text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
marcelo vieira wikipedia kamusi elezo huru
marcelo vieira da silva junior (anayejulikana kama marcelo matamshi ya kireno cha brazil [maʁˈsɛlu] alizaliwa 12 mei 1988) ni mchezaji wa klabu ya real madrid ya hispania na wa timu ya taifa ya brazil anacheza kama beki wa kushoto na pia anaweza kucheza kama winga wa kushoto
mwaka 2005 alishinda taji la campeonato carioca akiwa na klabu ya fluminense na mwaka 2006 alikuwa mchzaji bora wa brazil akiwa na miaka 18 tu mwisho wa msimu huo alinunuliwa na real madrid kwa $ 8 milioni mpaka mwaka 2017 bado anacheza real madrid akiwa na magoli 28 akiwa amecheza mechi 408 amecheza misimu 11 amebeba uefa champions leagues mara tatu na ameshinda la liga mara nne
ameichezea brazil kwa mara ya kwanza 2006 dhidi ya wales na akashinda goli na alikuwa mmoja wa timu ya brazilkwenye michuano ya 2014 fifa world cup ambapo timu yao ilitoka kwenye ngazi ya nusu fainali na wakaitwa timu yenye ndoto za ubingwana akaitwa timu bora ya msimu la liga mwaka 2016
baada ya kumaliza msimu marcelo alisifiwa na magwiji wa soka kama paolo maldini na diego maradona ambaye alisema kuwa marcelo ndiye mchezaji bora kwa nafasi yake na alianza kulinganishwa na roberto carlos ambaye alisema kwamba marcelo ni mrithi wake ni beki bora wa kushoto na akasema marcelo anacheza vizuri zaidi yangu
je unajua kitu kuhusu marcelo vieira kama wasifu wake habari za maisha au kazi yake
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=marcelo_vieira&oldid=1077144
last edited on 11 agosti 2019 at 1408
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 agosti 2019 saa 1408 | 2020-07-07T16:13:46 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Marcelo_Vieira |
tbt picha za utoto za mastaa wa soka dzeko hulk falcao david luiz na chamberlain millardayocom
tbt picha za utoto za mastaa wa soka dzeko hulk falcao david luiz na chamberlain
alhamisi ya december 15 2016 mtu wangu naomba nikusogezee tbt picha za mastaa wa soka leo naomba nikusogezee picha za utoto za staa wa wa arsenal alex chamberlain staa wa zamani wa man city eden dzeko mshambuliaji wa zamani wa chelsea na man united radamel falcao
wengine ambao nimefanikiwa kupata picha zao za utoto ni mkali wa chelsea na timu ya taifa ya brazil david luiz hulk wa timu ya taifa ya brazil na timu ya shanghai sipg ya china unaweza kutazama kumbukumbu ya picha zao za utoto hapo chini mtu wangu
← previous story tbt miaka miwili iliyopita haya ndio yalikuwa yanatajwa kuwa magoli bora
next story → tbt picha za utoto za rooney aguero petr cech na theo walcott | 2018-12-19T07:11:38 | http://millardayo.com/asqw879/ |
marekani na urusi kuijadili syria | matukio ya kisiasa | dw | 14102015
marekani na urusi kuijadili syria
makamanda wa kijeshi wa urusi na marekani leo watakuwa na duru nyingine ya pili ya mazungumzo kuhusu namna ya kuendesha operesheni zao za kijeshi katika anga ya syria bila mkwaruzano
ndege ya kivita ya urusi nchini syria
waziri wa ulinzi wa marekani ash carter ameyatangaza mazungumzo hayo kuwa ni ya kumaliza tofauti wakati huu ambao madege ya kivita ya pande zote mbili marekani na urusi yanafanya mashambulizi katika maeneo ya vita ya taifa hilo la mashariki ya kati
akizungumza muda mfupi baada ya kufanya majadiliano na waziri mwenzake wa ulinzi wa australia mjini boston carter alisema urusi lazima ifanye operesheni zake kitaalumu katika anga ya syria na vilevile kujifungamanisha kanuni za msingi za kiusalama
mkutano kuendelea zaidi
waziri wa ulinzi wa marekani ash carter
aidha waziri huyo aliendelea kusema watafanya mkutano mwingine wenye maudhui hayo hayo kesho mjadala wa suala hilo ni jambo la kuendelea kwa kuwa mpaka wakati huu hakuna maafikiano amesema pamoja na kuendelea kutokubaliana kisera kuhusu syria lakini watakuwa tayari angalau kukabiliana kuhusiana na usalama wa watu wao wa anga katika maeneo hayo ya operesheni
waziri carter amesema yeye hana wajibu wa kupanga muda wa kuhitimisha mazungumzo hayo lakini ana matarajio ya kumalizika katika kipindi kifupi kijacho
hata hivyo ameonya kuwa mazungumzio ya kijeshi kati ya pande hizo mbili huenda yasifanikiwe kufadili msimamo wa urusi kuelekea hatua zake za kijeshi nchini syria ambao ni wenye makosa na mtazamo potovu kimkakati
mashambulizi ya urusi
urusi hapo jana ilisema jeshi lake la angani katika kipindi cha masaa 24 liliyashambulia maeneo 86 ya kigaidi yakiwemo kadhaa yenye wapiganaji wa kundi la wanamgambo wa dola la kiislamu marekani na washirika wake ambao wanajihusisha vita vya angani nchini humo wameituhumu urusi kwa kuwalenga waasi wenye msimamo wa wastani wanaoungwa mkono na marekani na kutaka kuuongezea nguvu utawala wa rais bashar alassad
katika hatua nyingine msemaji wa kundi la dola la kiislamu amethibitisha kwa njia ya sauti iliyorekodiwa kwamba kiongozi namba mbili wa kundi hilo ameuwawa na mashambulizi ya angani ya marekani yalitokea mapema mwaka huu
msemaji huyo abu mohammed aladnani amesikika akisema wamarekani wanafuraha kwa kumuuwa abu mutaz al qurashi na kufikiria ni ushindi kwaotunawaeleza bado hajafa ameacha mashujaa watakaopambana na marekani na washirika wake taarifa yake ilisambazwa na tovuti yenye mfungamano na kundi la dola la kiislamu ya alfurqan
agosti 21 mwaka huu marekani ilitangaza qurashi ambae vilevile alijulikana kama fadhil ahmad alhayali aliwawa agosti 18 kwa makombora yake ya angani karibu na mji wa kaskazini wa iraq wa mosul
mwandishi sudi mnette dpa/ afpe
maneno muhimu syria marekani ash carter assad
kiungo https//pdwcom/p/1gne7 | 2018-07-19T21:31:18 | https://www.dw.com/sw/marekani-na-urusi-kuijadili-syria/a-18780427 |
california yaidhinisha matumizi ya bangi kwa kujifurahisha worldnewscom
wapiga kura katika majimbo ya california na massachusetts wameidhinisha matumizi ya bangi(marijuana) kwa kura
kura ya kuidhinisha matumizi ya mmea huo iliyopigwa sambamba na ile ya uchaguzi wa rais inaidhinisha kisheria uzalishaji na matumizi ya bangi kwa watu wenye umri wa miaka 21
wapigaji kura
jambazi sugu mjini boston james whitey bulger amepatikana akiwa amefariki katika jela moja eneo la west virginia nchini marekani jambazi huyo mwenye umri wa miaka 89
chama cha demokratik chaongoza katika matokeo ya awali
wamarekani wamepiga kura muhimu ya katikati ya muhula ambayo ni mtihani wa kwanza kwa rais donald trump zoezi hilo ni kama kura ya maoni kwa utawala wake hadi sasa katika
donald trump hatakuwa kwenye karatasi za kura wakati raia marekani watapiga kura jumanne novemba 6 lakini uchaguzi huu utabaini mustakabali wa urais wake wapiga kura
waraibu wageukia dawa za usingizi tanzania
waraibu wa mihadarati nchini tanzania wamegeukia dawa za usingizi kama njia mbadala baada ya kuadimika kwa dawa za kulevya katika miaka ya hivi karibuni serikali ya
trump awatuma wanajeshi 5200 kuilinda mipaka
idadi hiyo ya wanajeshi wanaotumwa kuulinda mpaka ni kubwa kuliko ilivyotarajiwa huku rais donald trump akizidi kuwa na misimamo mikali kuhusu uhamiaji kuelekea chaguzi za
mahakama ya juu zaidi ya pakistan imebatilisha hukumu ya kifo kwa mwanamke mmoja wa kikristo aliyekutwa na hatia ya kuikashifu dini ya kiislamu mahakama hiyo imeamuru
asia bibi mkristo aliyefutiwa adhabu ya kifo nchini pakistan \'kwa kuukashifu uislamu\'
mahakama ya juu zaidi ya pakistan imebatilisha hukumu ya kifo kwa mwanamke mmoja wa kikristo aliyekutwa na hatia ya kuikashifu dini ya kiislamu mahakama hiyo imeamuru kuachiwa huru kwa mwanamke huyo katika kesi ambayo imeigawa nchi asia bibi alifungwa mwaka 2010 baada ya kukutwa na hatia ya mashtaka kumkashifu mtume muhammad baada ya kulumbana na majirani zake mwanamke huyo
madaktari jijini montreal canada wapo mbioni kutoa dawa mpya kwa wagonjwa michoro ya sanaa chama cha madaktari na jumba la makumbusho ya sanaa la montreal (mmfa) wanashirikiana katika kuwawezesha matabibu kuwaandikia dawa wagonjwa wao ya kwenda kutazama michoro bila kiingilio kwenye makumbusho hayo mkakati huo unatajwa kuwa wa kipekee na wa kwanza duniani albino watumia
wakili aliye mwakilisha mwanamke mkristo aliyeondolewa mashtaka ya kifo baada ya kuzuiliwa kwa miaka minane ametoroka nchini pakistan kwa kuhofia maisha yake saif mulook ameliambia shirika la habari la afp kwamba alilazimika kuondoka nchin humo ili aweze kumwakilisha mteja wake asia bibi ambaye mahakama iliamuru achiwe huru siku ya jumatano maafisa nchini pakistan
tanzania yaadhimia kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki
serikali ya tanzania imesema ina dhamira ya kupiga marufuku uzalishaji na matumizi ya mifuko ya plastiki bado ipo inachukua jitihada katika utekelezaji wake
kampeni kuanza mwisho wa mwezi lakini kuna changamoto
kampeni za uchaguzi katika jamhuri ya kidemokrasia ya congo zimepangiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu lakini bado tume ya uchaguzi inakabiliwa na changamoto kadhaa zikiwemo uhamasishaji wa wananchi kuhusu uchaguzi kupitia mfumo wa elekroniki raia wengi nchini humo hasa kwenye maeneo ya vijijni hawaja wahi kutumia kompyuta zikiwa zimesalia wiki tatu tu kabla ya kuanza rasmi | 2018-11-14T12:19:19 | https://article.wn.com/view/2018/11/08/California_yaidhinisha_matumizi_ya_bangi_kwa_kujifurahisha/ |
kuimarika mapato ya madini kutakanyowanufaisha geita mwananchi
shughuli za uchimbaji madini zikiendelea biashara ambayo inaliingiza fedha nyingi halmashauri ya geita picha ya maktaba
ingawa uchimbaji wa dhahabu umeanza siku nyingi mkoani geita lakini mapata mengi zaidi yameanza kupatikana siku za karibuni baada ya serikali kufanya marekebisho ya sheria
mabadiliko ya sheria ya madini yaliyofanywa na serikali mwaka 2017 yameanza kuonyesha tija mkoani geita ambako mapato yameongezeka hivyo kuupa nafasi ya kupanga namna ya kuwanufaisha wananchi
kwenye taarifa ya serikali iliyobainisha ukusanyaji wa mapato katika halmashsuri zote nchini iliyotolewa na waziri wa tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) seleman jafo mwaka jana ilionyesha ufanisi wa halmashauri ya mji wa geita ulivuka malengo
taarifa hiyo ilibainisha mapato ya halmashauri yalifika asilimia 218 ikifuatiwa na halmashauri ya wilaya ya kibaha iliyopata asilimia 165 na mpimbwe asilimia 162 wakati halmashauri ya mbinga (asilimia 20) songea (asilimia 33) na halmashauri ya rorya (asilimia 37) ndizo zilizokusanya kiasi kidogo zaidi ya kilichopangwa
licha ya halmashauri hiyo kuongoza kwa makusanyo kitaifa mkoa wa geita ulikuwa miongoni mwa mikoa mitatu iliyovuka malengo ya ukusanyaji ikipata asilimia 104 hivyo kuungana na dodoma (asilimia 170) na njombe (asilimia 103)
ikiwa na wilaya tano ambazo ni geita chato bukombe mbongwe na nyanghwale mkoa wa geita ndio unaoongoza kwa uchimbaji wa dhahabu kwani mgodi mkubwa zaidi unaosimamiwa na kampuni ya geita gold mine (ggm) upo humo
kujitofautisha na mkoa wa shinyanga unaoongoza kwa uchimbaji wa almasi nchini ukiwa mgodi wa mwadui huku ukikabiliwa na umasikini geita imeamua kuweka mikakati ya kubadilisha kilichoshindikana huko ili kuwanufaisha wananchi na rasilimali zilizopo katika ardhi yao
mkurugenzi wa mji wa geita method apolinary anasema haiwezekani wananchi wanazaliwa katika maeneo yenye utajiri wa madini ila wao wanabaki masikini
mhandisi huyo wa madini anasema walikubaliana kuibadili geita kwa kuboresha huduma za kijamii afya elimu na maji kwa kuweka mikakati itakayowanufaisha wananchi
apolinary anasema baada ya serikali kufanya mabadiliko ya sheria na madini mwaka 2017 ambayo iliwataka wawekezaji wa dhahabu kutoa asilimia 07 ya mapato ghafi kwa halmashauri walimowekeza wao walienda mbali zaidi
kwa fedha walizopokea kutoka mgodi wa ggm anasema walianza kutekeleza miradi ya maendeleo kwani baada ya mabadiliko hayo ya sheria kwa mara ya kwanza walipokea sh92 bilioni
hivi sasa tunakwenda vizuri na ndio sababu sasa tunatajwa kama moja ya halmashauri makini nchini kutokana na uwezo wetu mkubwa wa ukusanyaji mapato lakini tuna miradi mikubwa ambayo inaonekana anasema
ili kuwashirikisha wananchi kwenye mapato hayo apolinaly anasema wanajenga soko la kimataifa ambalo litakalogharimu zaidi ya sh2 bilioni kulikamilisha
pamoja na soko hilo kuna ujenzi wa viwanda vya kuchenjua dhahabu unaendelea ujenzi wa shule mpya za msingi na sekondari na jengo la halmashauri ambavyo vinatarajiwa kuongeza tija mkoani humo
mweka hazina wa mji wa geita munguabela kakwilima anasema ujenzi wa soko ukikamilika litakuwa na jumla ya vizimba 1000 na maduka yatakayoiingizia halmashauri zaidi ya sh300 milioni kwa mwaka
huu ni mkakati wa kukuza uchumi wa wananchi hivyo tunataka katika soko hili huduma zote zipatikane ikiwamo benki maduka ya jumla na huduma nyingine muhimu anasema munguabela
kukamilika kwa mipango yote inayoendelea kutekelezwa mkoani humo uongozi unaamini takriban watu 192000 waliomo watagushwa na miradi mipya ya kiuchumi iliyoanzishwa
tunataka wauzaji wa madini wafanye biashara na viwanda ambavyo tumeanzisha vifanye kazi bila matatizo kwani kuna malighafi za kutosha anasema
mwenyekiti wa halmasauri ya geita leonard bugomola anasema kutoka kwenye viwanda vya uchenjuaji madini ya wachimbaji wadogo wameanza kukusanya ushuru tofauti na miaka ya nyuma
kuna viwanda vidogo 14 vya kuchenjua dhahabu ambavyo kwa mwezi tunakusanya sh40 milioni viwanda hivi ni sehemu muhimu ya mapato ya halmashauri na vinasaidia kutoa ajira kwa vijana anasema
licha ya ushuru kwa halmashauri mgodi wa ggm pia hutoa fedha kusaidia jamii kupitia kitengo chake cha wajibu kwa jamii (csr)
mchumi wa halmashauri hiyo emmanuel malima anasema wamepokea sh49 bilioni ambazo wamepanga kujenga zahanati shule na vituo vya afya
tuna miradi 14 ya majengo ya zanahati na vituo vya afya na ujenzi wa shule ambapo zaidi ya sh15 bilioni zitatumika anasema mchumi huyo
mkurugenzi wa halmashauri hiyo apolinary anasema katika kupanga matumizi ya fedha zinazokusanywa kutoka vyanzo tofauti anasema wamepanga kutumia sehemu ya fedha hizo kuweka taa za barabarani kujenga shule mpya 10 za msingi na tano za sekondari
licha ya maeneo hayo meneja wa wakala wa barabara mjini na vijijini (tarura) wilayani geita patrick chadu anasema mwaka huu wamepanga kutumia zaidi ya sh16 bilioni kuboresha barabara ya mjini
peter ndaki ni mfanyabiashara wa madini anasema tangu kuanzishwa viwanda vya uchenjuaji uzalishaji umeongezeka lakini changamoto ni gharama kubwa ili kuongeza uzalishaji wao anaiomba serikali kuangalia namna ya kupunguza kodi na tozo zilizopo kwenye sekta hiyo tunaweza kuongeza uzalishaji kama serikali ikitupunguzia kodi madini yapo lakini kodi na gharama za kuchenjua ni kubwa anasema
ines fumbo mkazi kijiji cha nyamakale anasema ujenzi wa soko la kisasa utawapa faraja kwa kwa kuwawezesha kufanya biashara saa 24
unapokuwa na muda wa kutosha kufanya biashara mapato yako yanaongezeka soko litafungua fursa nyingine kwetu anasema | 2019-05-25T09:54:00 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/biashara/Kuimarika-mapato-ya-madini-kutakanyowanufaisha-Geita/1597570-4982002-hcjnhh/index.html |
brigedia jenerali gaguti na neema ya pikipiki kwa waratibu wa elimu ngara
homematukio pichabrigedia jenerali gaguti na neema ya pikipiki kwa waratibu wa elimu ngara
by kwizera tv on tuesday september 11 2018
mkuu wa mkoa wa kagerabwmarco gaguti akiwasha moja ya pikipiki wakati wa hafla ya makabidhiano ya pikipiki 22 kwa waratibu wa elimu ngazi ya kata wilayani ngara iliyofanyika katika viwanja vya ofisi za halmashauri ya wilaya ya ngara september 082018
maafisa elimu kata 22 katika halmashauri ya wilaya ya ngara mkoani kagera wametakiwa kutumia pikipiki walizopata kuinua kiwango cha elimu katika kata zao ili wilaya ipande kielimu na kufikia nafasi ya kwanza kimkoa na hata kitaifa
mkuu wa mkoa wa kagera brigedia jenerali marco gaguti ameyasema hayo septemba 08 2018 katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya ngara alipokuwa akiwakabidhi pikipiki 22 kwa waratibu wa elimu katika kata 22 za halmashauri hiyo
amewambia maafisa elimu hao kuwa yeye kama mkuu wa mkoa anapowakabidhi pikipiki hizo anatarajia kuona ubora wa elimu katika mkoa wa kagera unaongezeka na kuogeza kwamba kuanzia mwaka 2019 mkoa utachukua nafasi ya kwanza katika kufaulu mitihani ya darasa la saba kitaifa
tumepewa vifaa hivi tuvitunze vifanye kazi leo vifanye kazi kesho na siku zote zijazo ili elimu iendelee kuwa bora siyo katika mkoa wa kagera tu bali katika taifa zima alisisitiza mkuu huyo wa mkoa wa kagera
aidha serikali imewakabidhi pikipiki 2894 waratibu wa elimu katika kata za nchi nzima kwa ajili ya kuboresha sekta hiyo na zina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 8 ukiwa na malengo ya kutembelea na kukagua shule zilizopo mbali | 2019-03-22T00:13:58 | https://www.radiokwizera.co.tz/2018/09/brigedia-jenerali-gaguti-na-neema-ya.html |
serikali yaboresha sekta ya hali ya hewa na kufikia ya kiwango cha kimataifa
wahenga wanasema penye nia pana njia na haja ya mja hunena muungwana ni vitendo hatimae serikali imetimiza ndoto zake za kuwa na kituo bora chenye kutoa taarifa za uhakika zinazohusu masuala ya hali ya hewa katika kiwango cha kimataifa
serikali imeweza kufanikisha hili kwa kupitia taasisi yake ya mamlaka ya hali ya hewa (tma) ambapo mpaka sasa imefanikiwa kuboresha huduma hizo kwa asilimia 80 haya ni mafanikio makubwa kutokana na ukweli kwamba kufahamu habari za hali ya hewa kunasaidia sana kupanga shughuli za kiuchumi na maendeleo
hilo limejidhihirisha hivi karibuni katika taarifa ya tahadhari kuwepo kwa mvua zitakazo ambatana na upepo kutokana na kuimarika kwa ukanda wa mvua sambamba na uwepo wa kimbunga fantala katika bahari ya hindi
taarifa hiyo ilitolewa na mkurugenzi mkuu mamlaka ya hali ya hewa dkt agness kijazi na kusema mvua hizo zinatarajiwa kunyesha kuanzia aprili 13162016 ambapo kutakuwa na mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya saa 24 na hili limetokea kama lilivyotabiriwa wenye kuchukua tahadhari wamesha hivyo na kuepuka madhara yatokanayo na mafuriko waliohama baadhi ya sehemu za mabondeni walishukuru baada ya kuona makazi yao ya awali yakifunikwa kabisa na maji
mvua hizo zilikuwa zikiathiri mkoa wa tanga dar es salaam pwanimorogoro pamoja na visiwa vya unguja na pemba
kuthibitisha kuwa kituo hicho kinatoa taarifa za uhakika ni pale ambapo mwaka jana dkt agness kijazi alitangaza kuwepo na mvua za elnino kuanzia mwanzoni mwa mwezi septembadesemba 2015 hii ilithibitika baada kushuhudia kuwepo kwa mvua hizo katika maeneo mbali mbali ya nchi ambapo mvua hizo zilisababisha mafuriko na uharibifu wa miundombinumakazi na mazao ya wakulima
utabiri huo wa kuaminika unatokana na tma kuboresha mtandao wa vituo na usimikaji wa mitambo ya hali ya hewa pamoja na kuongeza idadi ya vituo vya hali ya hewa ambapo vituo vitatu vyenye mitambo ya kisasa vimejengwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo kilwa masoko lindi mpandakatavi na songwevituo hivi vimechangia kuongeza upatikanaji wa takwimu na taarifa za hali ya hewa kwa shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi nchini
kwa sasaserikali kupitia tma imeanzisha kituo cha kupimia hali ya hewa na kilimo kiitwacho agromet station hukomatangutuani pemba na hivyo kuongeza idadi ya vituo vya kutoa huduma za hali ya hewa katika sekta ya kilimo na kufikia vituo 15 nchinihivyo kuongeza ubora wa taarifa zinazotolewa
kwa upande wa taarifa za anga ya juu mamlaka imeimarisha huduma za usafiri wa anga kwa kuboresha mtambo wa kupima hali ya hewa katika anga za juu (modernization of upper air system) katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha julius nyerere dar es salaam (jnia) pamoja na kufufua kituo cha kupima taarifa za anga ya juu kilichopotabora | 2018-04-25T10:17:30 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/05/serikali-yaboresha-sekta-ya-hali-ya.html |
kuwa wa kwanza kuchangamkia fursa hii tafadhali mwana wa makonda
home habari kuwa wa kwanza kuchangamkia fursa hii tafadhali
kuwa wa kwanza kuchangamkia fursa hii tafadhali
mohamed ramadhan makonda saturday june 17 2017 habari
kutoa ni moyo na sio utajiri tukiwa katika mwezi mtukufu wa ramadhan kampuni ya nikohub imekuja na mfumo mpya wa neema yaani kufutulisha watu 100 kila siku bure popote pale ulipo mkazi wa dar es salaam hii ni fursa ya pekee
ili upate futari ya bure kupitia nikohub ukiwa hapa dar es salaam ingia kwenye pay store katika simu yako download nikohub user kasha jisajili ili uweze kuonekana kwenye mfumo wetu mpya ukimaliza kudownload washa gps kwenye simu yako ili uweze kuwaona wauzaji wa chakula na vinywaji wanao kuzunguka katika eneo unaloishi au ulipo kwa sasa watakao kuhudumia
ukifanikiwa ku download nikohub piga simu au tuma sms kwenye 0658161950 hiyo ndio tiketi yako ya futari kwa leo utaelekezwa eneo la kwenda kula asante
bofya hapa kuingia moja kwamoja kwenye ushindi wako
by mohamed ramadhan makonda at saturday june 17 2017 | 2018-01-23T12:07:01 | http://mwanawamakonda.blogspot.com/2017/06/kuwa-wa-kwanza-kuchangamkia-fursa-hii.html |
wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo ya muda mfupi na muda mrefu katika kada mbalimbali kutoka umoja wa afrika serikali za china ujerumani na jamhuri ya korea
kuhusu ufadhili wa mafunzo ya muda mrefu umoja wa afrika kupitia mwalimu nyerere african union scholarship scheme umetoa ufadhili wa mafunzo kwa ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu (phd) kwenye masuala ya sayansi teknolojia uhandisi na hesabu (stem) waombaji wa mafunzo haya ni wanawake pekee wenye umri wa miaka isiyozidi 35 kwa mafunzo ya ngazi ya shahada ya uzamili na miaka isiyozidi 40 kwa mafunzo ya ngazi ya shahada ya uzamivu (phd) maelezo ya ziada kuhusu mafunzo haya yanapatikana kupitia tovuti ya http//wwwauint au maombi yatumwe kwa olgaa@africanunionorg na nakala kwa mwalimunyerere@africaunionorg mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30 aprili 2018 mafunzo haya yanaratibiwa na wizara ya elimu sayansi na teknolojia na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma
aidha baraza la ufadhili wa mafunzo la china limetoa nafasi za ufadhili wa mafunzo ya muda mrefu maelezo kuhusu mafunzo haya yanapatikana kupitia http//wwwesceducn mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30 aprili 2018 mafunzo haya yanaratibiwa na wizara ya elimu sayansi na teknolojia na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora
vilevile serikali ya china imetoa fursa ya ufadhili wa mafunzo ya muda mrefu kwa ngazi ya shahada ya uzamili katika masuala ya utawala na shahada ya uzamivu (phd) katika nadharia ya uchumi na maendeleo ya taifa maelezo ya ziada ya kozi hizi yanapatikana kupitia http//wwwisscadpkueducn pia maombi yatumwe kupitia http//wwwadministration@isscadpkueducn mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30 mei 2018 mafunzo haya yanaratibiwa na wizara ya elimu sayansi na teknolojia kwa pamoja na ofisi ya rais menejimentii ya utumishi wa umma na utawala bora
wakati huohuo serikali ya china imetoa fursa za ufadhili wa mafunzo kwa wataalam wa kilimo kutoka tanzania mafunzo haya yatafanyika beijing china mratibu wa mafunzo haya ni wizara ya kilimo na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora
kwa upande mwingine wizara imepokea nafasi za mafunzo ya muda mfupi kutoka serikali ya ujerumani katika kozi ya stashahada ya juu ya usimamizi wa mazingira kwa nchi zinazoendelea (international postgraduate course on environmental management for developing countries) mafunzo haya yatafanyika ujerumani kuanzia tarehe 10 januari 2019 hadi tarehe 12 julai 2019 mafunzo haya yanaratibiwa na ofisi ya makamu wa rais (mazingira) na baraza la mazingira (nemc)
pia jamhuri ya korea kupitia program ya dkt lee jongwook imetoa nafasi mbili za ufadhili wa masomo ya muda mfupi kwa wataalam wa tiba kwa kipindi cha kati ya miezi 2 hadi 12 mafunzo haya yanaratibiwa na wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora
06 aprili 2018
posted by foreign tanzania at 339 pm | 2018-11-21T08:53:07 | http://foreigntanzania.blogspot.com/2018/04/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari.html |
tetesi za soka ulaya juni 7 2019
tetesi za soka ulaya juni 7 2019
07 june 2019 friday 0906
mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa leicester city na uingereza harry maguire 26anajiandaa kuikacha manchester united na kuwa na mpango wa kwenda manchester city (mail)
kiungo wa kati wa ubelgiji youri tielemans22 ambaye alitumia msimu uliopita akiichezea leicester city kwa mkopo akitokea monaco anahitajika old trafford ikiwa paul pogba ataamua kuondoka united(independent)
kiungo wa kati wa leicester city james maddison anataka kuendelea kubaki king power ingawa manchester united na tottenham zina nia ya kumchukua (mail)
updated 07062019 0915 | 2019-09-19T17:13:23 | http://www.azaniapost.com/michezo/tetesi-za-soka-ulaya-juni-7-2019-2-h23760.html |
imekaaje hii nayo | jamiiforums | the home of great thinkers
imekaaje hii nayo
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by tabutupu oct 28 2011
umefukuzia kutaka kumwoa dada mtu kakuchomlea baadaye unagundua anamdogo wake ambaye alikuwa hata hajui ya dada ake unamsomesha anakubali je kumchumbia mdogo mtu wakati dadamtu kakuchomolea haitaleta balaabalaa
imetulia owa tu
kwani dada mtu uligonga
kwani dada mtu uligongaclick to expand
sijagusa chamtu sipendi kuchafua nyumba nisiyo imiliki
imekaa vizurioa kwa sherehe kubwa mno kama vp nialike
ktk hili naona haitakuwa na ubaya kinachota is true love
imekaa vizurioa kwa sherehe kubwa mno kama vp nialikeclick to expand
we endelea na harusi tangaza tukuchangie na huyo dada mtu awepo
oa tena mpe mapenzi mazito sana huyo mdogo mtu given hakula tunda la dada yake
umefukuzia kutaka kumwoa dada mtu kakuchomlea baadaye unagundua anamdogo wake ambaye alikuwa hata hajui ya dada ake unamsomesha anakubali je kumchumbia mdogo mtu wakati dadamtu kakuchomolea haitaleta balaabalaaclick to expand
jambo jema na la maana kwanza unatakiwa umuweke wazi dada mtu kuwa kwa sasa wewe ni shemeji yake na hukuwa na nia mbaya wakati unajaribu kumtongoza maana anaweza kuja sikia na kuleta balaa hata la kizushi kwa mdogo wake kuwa nae uliwahi kulakama mwenzi wako ni muelewa basi nae yafaa umwambie ukweli wa kilichotokea ili kusiwe na mashaka pale dada mtu atakapoleta balaa zake
hongera sana kwa kuweza kuwekeza pale pale moyo wako ulipokuwa unataka na kwa kuwa uwekezaji wa mwanzo haukuwa mzuri sasa wekeza hapo tena ongeza mtaji ila angalia usije jikuta unakula kote kote
hapo hamna shida pengine sababu zilizofanya dada mtu akatae hazina mshiko kwa mdogo mtu na wewe ulikataliwa na dada mtu sio ukoo wao hata hivyo kuwa makini maana dada mtu lazima ataleta sumu lazima atataka kumshika masikio mdogo wake
ulimwambia mdogo mtu kuwa ulikula za uso kwa dada yake
ina maana ulikuwa unafanya trial and error huyo dada mtu hukumpenda in the first place dah wanaume kwa kurusha ndoano anyways yote heri endelea na owa ila make sure haumtendi huyo mdogo mtu coz watakushukia hadi utabroo mapigo
ina maana ulikuwa unafanya trial and error huyo dada mtu hukumpenda in the first place dah wanaume kwa kurusha ndoano anyways yote heri endelea na owa ila make sure haumtendi huyo mdogo mtu coz watakushukia hadi utabroo mapigoclick to expand
sikuwa na jaribu kwa jinsi nilivyo mpenda dada mtu nimeamua nisitoke nje ya jamii yake kuhusu kumtenda mdogomtu usiwe na hofu nina mba (bikra management and security)
sikuwa na jaribu kwa jinsi nilivyo mpenda dada mtu nimeamua nisitoke nje ya jamii yake kuhusu kumtenda mdogomtu usiwe na hofu nina mba (bikra management and security)click to expand
hahahaaa kweli jf is never boring
sourcethe boss
jf is never boringclick to expand
hujamjibu bado
kama hujanjuja dada mtu haina shidamajeshi mbele
kamwambie kwanza mdogo mtu ka ulishawahi kumtokea dada mtu
kaoe leo leo na si kesho
oa tu mkuu ila usizini kabla ya ndoa | 2017-04-25T05:05:33 | https://www.jamiiforums.com/threads/imekaaje-hii-nayo.186886/ |
jerry silaa aongoza kura za maoni ccm jimbo la ukonga habari na matukio
home habari habari na matukio siasa jerry silaa aongoza kura za maoni ccm jimbo la ukonga
jerry silaa aongoza kura za maoni ccm jimbo la ukonga
kajunason at july 21 2020 habari habari na matukio siasa
aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu (cc) ambaye kwa sasa ni mjumbe wa nec jerry william silaa amepata kura 206 huku mtia nia mwezake aliyemfuatia kwa karibu robert masegese akipata kura 118 kwa kupitwa kura 88
katika zoezi hilo jumla ya watia nia 147 walishiriki zoezi hilo lililoanza mapema leo majira ya saa tatu asububi na kwenda hadi usiku huu
jerry silaa ambaye aliwahi kuwa diwani wa kata ya gongolamboto na pia meya wa ilala alitoa shukrani zake kwa kura alizopata
pia jerry aliwahi kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo hilo la ukonga 2015
mwaka 2005 alianza kuwa diwani katika kata ya ukong na baadae 2010 aligombea udiwani kata gongolamboto na wakati huohuo aliweza kuwa meya wa ilala
jerry alisema 2015 aliamua kugombea ubunge ili kuleta maendeleo zaidi katika jimbo la ukonga hata hivyo hakufanikiwa kupita na kutokukata tamaa na 2020 amemua kurejea tena kutimiza adhima yake hiyo
zoezi hilo lilisimamiwa na katibu wa ccm wilaya ya ilala idd mkowa ambapo alisema zaidi ya wajumbe walioshiriki kupiga kura walikuwa zaidi ya 600
kura 552 zilipigwa huku kura moja ikiharibika na kufanya kura halali kuwa 551alisema mkowa
ambapo pia alimtaja jerry silaa kupata kura 206 | 2020-08-11T01:24:44 | http://www.kajunason.co.tz/2020/07/jerry-silaa-aongoza-kura-za-maoni-ccm.html |
yesu akómisi mampa ebele mpe apesi likebisi mpo na levire | bomoi ya yesu
matai 15321612 marko 8121
yesu aleisi mibali nkóto minei (4 000)
akebisi bayekoli na levire ya bafarisai
ebele ya bato bayei epai ya yesu na etúká ya dekapolisi na ngámbo ya ɛsti ya mbu ya galile bayei koyoka ye mpe kobikisama mpe bamemi bakitunga minene oyo batyaka biloko
kasi na nsima yesu ayebisi bayekoli na ye ete nazali koyokela ebele ya bato oyo mawa mpo mikolo misato mobimba bazali pene na ngai mpe bazali na eloko ya kolya te mpe soki nazongisi bango na bandako na bango na nzala bakokwea na nzela kutu bamosusu na kati na bango bauti mosika bayekoli batuni ye epai wapi moto akoki kozwa mampa ya kotondisa bato oyo awa na esika oyo bato bazalaka temarko 824
yesu atuni bango bozali na mampa boni bayekoli balobi nsambo mpe mwa ndambo ya mbisi ya mike (matai 1534) bongo yesu ayebisi bato báfanda na nse akamati mampa ná mbisi abondeli nzambe mpe apesi bayekoli na ye bákabolela bato likambo ya kokamwa moto nyonso alei mpe atondi ntango balɔkɔti oyo etikali batondisi bakitunga nsambo ya minene nzokande mibali oyo balyaki bazalaki soki nkóto minei (4 000) bakisa basi mpe bana
nsima ya kosɛnga ebele ya bato bákende yesu ná bayekoli na ye bamati na masuwa mpe bakei na magadane na bokula ya wɛsti ya mbu ya galile ntango bakómi bafarisai ná bato mosusu ya lingomba ya basadukai bayei komeka yesu basɛngi ye alakisa bango elembo moko ya likoló
lokola yesu ayebi mayele mabe na bango ayebisi bango ete ntango mpokwa ekómaka bolobaka lelo mokolo ekozala malamu mpo likoló ezali motane lokola mɔtɔ mpe na ntɔngɔ bolobaka ete lelo ekozala mokolo ya malili makasi mokolo ya mbula mpo likoló ezali motane lokola mɔtɔ kasi molilimolili boyebi kolimbola motindo oyo likoló ezali komonana kasi bilembo ya bantango bokoki kolimbola yango te (matai 162 3) na nsima yesu ayebisi bafarisai mpe basadukai ete bakopesa bango elembo moko te longola elembo ya yona
yesu ná bayekoli na ye bamati na masuwa mpe bakei na betesaida na bokula ya nɔrdiɛsti ya mbu na nzela bayekoli bamoni ete babosanaki kozwa mampa ebele bazali kaka na limpa moko lokola yesu azali naino kokanisa makambo oyo elekaki na bafarisai mpe basadukai oyo bazali bato ya erode akebisi bayekoli na ye ete bófungola miso bókeba na levire ya bafarisai mpe na levire ya erode bayekoli bakanisi ete yesu alobeli levire mpo babosani mampa ntango yesu amoni ete bazali na libunga alobi na bango mpo na nini bozali kolobana bino na bino mpo bozali na mampa temarko 81517
yesu autaki koleisa bankóto ya bato mampa na yango bayekoli na ye basengelaki koyeba ete azali komitungisa mpo na mampa ya solo te atuni bango bobosani nde ntango nabukaki mampa mitano mpo na mibali nkóto mitano (5 000) bolɔkɔtaki bakitunga boni oyo etondi na bitenibiteni oyo etikalaki bazongiseli ye ete zomi na mibale atuni lisusu ntango nabukaki mampa nsambo mpo na mibali nkóto minei (4 000) bolɔkɔtaki bakitunga boni oyo etondi na bitenibiteni oyo etikalaki balobi na ye nsambomarko 81820
yesu atuni ndenge nini bozali kososola te ete nazali koloba na bino te mpo na mampa mpe abakisi bókeba na levire ya bafarisai ná basadukaimatai 1611
nsukansuka bayekoli bakangi ntina ya likambo oyo azali kolobela basalelaka levire mpo na kovimbisa pɔtɔpɔtɔ ya farini mpe kosala mampa yesu asaleli levire na ndenge ya elilingi mpo na kolobela libebi azali kokebisa bayekoli na ye bámibatela bákeba na mateya ya bafarisai ná basadukai oyo ebebisaka batomatai 1612
mpo na nini bato balandi yesu
ntango yesu alobeli levire bayekoli bakanisi nini
yesu alingi koloba nini ntango alobeli levire ya bafarisai ná basadukai | 2017-08-21T09:41:57 | https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/yesu/mosala-na-galile/akomisi-mampa-ebele-akebisi-na-levire/ |
malipo gerezani jamiiforums
malipo gerezani
thread starter kamonga
170 1 35
baada ya kusikia mitaani kua eti wafungwa wanatakiwa kulipwa pesa kadhaa kwa ajili ya shughuli za uzalishaji wanazofanya pindi wawapo gerezani ikanibidi niulize locally na kugundua ni shilingi mmoja kwa siku moja( tafadhali nisahihisheni kama nimekosea) hivyo wakifanya kazi mwaka yaani siku 365 na robo ni sh 365 tsh ndo wanazolipwa
swali ni je fedha hii ya ujira ni halali ukilinganisha na pato linalotokana na jasho lao
je ni kweli wanalipwa hata hizo senti
je kama walipwi hebu fikiria wafungwa wapo wangapi wamekaa miaka mingapi
na je ambae amebana pesa hizo ni kiasi gani over the years
na ninani haswa
chemsha bongo jamaniwana jf
serikali inashiriki ktk unyonyaji na ubaguzi against humanity
hebu fikiria majengo yoote yanayojengwa na magereza wanatumia leba na utaalam wa wafungwa wao magereza input yao ni ndogo kulinganisha na kazi kubwa inayofanywa na inmates halafu mijisenti yoote inaishia kwa wajanja wachache ktk safu za uongozi wa magereza
mie nikisema tubadili katiba ili kurekebisha utoaji na usimamizi wa haki za wananchi tatizo wengine wanataka kubadili katiba ili iwasaidie kuingia madarakani
8378 5185 280
kabla hawajakimbilia kufanya usanii (kama kawaida yao) waboreshe kwanza huduma muhimu za msingi kwa wafungwa wafungwa hawana maji vibakuli vya kulia madawa nk hivyo huu ni usanii kama walivyozoea kufanya usanii
in principle mtu ukifungwa unapoteza haki nyingi za kimsingi ikiwa pamoja na haki ya kujiendeshea maisha
kulikuwa na kesi moja san fransisco ya mwanasheria mmoja aliyefungwa kwa kutolipa kodimwanasheria huyu aliyezoea kulipwa mamia ya dola kwa saa alijikuta anapata kazi ya kumwagilia bustani za jela kwa senti 19 za kimarekani kwa saa hela ambayo ukilinganisha na mshahara wake wa uanasheria ilikuwa ni kama utani
serikali inaweza kusema mengimfungwa anakosa baadhi ya haki zake za kiraia ikiwamo ya kujiendeshea maisha inaweza pia kusema uzalishaji unaotokana na kazi za wafungwa unatumika katika kuendeshea magereza na mambo mengine mengi
ukitoa mshahara mnono kwa wafungwa siajabu uswahilini kwetu watu wasio na kazi watafanya zali ili mradi waende kupata kazi za gerezani tena huko wala huna shida ya kufanya savings hamna vishawishi vingi vya kutumia pesa na serikali inakutunzia mshiko wako mpaka unapotoka
ukishakubali wafungwa wafanye kazi tu inakuwa vigumu kuwaombea mshahara wa maanandiyo maana watu wanaopigania haki za wafungwa wanataka kupiga marufuku kabisa wafungwa kufanya kazi kwa mtu anayeangalia upande wa argument ya kwamba kazi za wafungwa zinaweza kusaidia kuendesha magereza kiuchumi na hivyo kupunguza mzigo kwa walipakodi hili swala la wafungwa kuacha kufanya kazi inakuwa haiyumkiniki
pia kuna wengine wanaoona kazi kama sehemu ya rehabilitation kwa hiyo inabidi wafungwa wakubali the rehabilitative payment of work kuwa muhimu zaidi kuliko the economic aspect
wachina wanaongoza kwa kutumia prison labor bidhaa nyingi zenye label ya made in china zimetengenezwa jela kitu ambacho watu wa magharibi wanakilalamikia sana siku hizi
je wale wanawake waliofungwa kwa makosa ya waume zao inakuwaje hiyo hapo kuna haki kweli jk si aliahidi kulishughulikia hili alipoonana na yule mwanamke mbona kimya
mfungwa nielewavyo mimi ni kunyimwa uhuru wako binafsi wa kutokuwa na jamii yako inayokuzunguka na magereza ni chuo cha kurekebisha tabia
but kumfanyisha kazi bila malipo hii sio haki kwani wafungwa wangelipwa japo wakawekewa ktk account zao za benki ili iweze kuwasaidia pindi anapotoka jela wengi wa wafungwa waingiapo magereza wanafundishwa kazi nyingi like ufundi cherehanimagari na useremala ufugaji hata kilimo mfano mzuri upo kwenye maonyesho ya sabasaba ukiingia ktk banda la magereza utaona jinsi walivyokuw ana fanicha nzuribustani nzurishughuli za ufugaji ziko njema hii yote ni nguvu ya wafungwa
je mfungwa mmoja kwa mwaka anaingizia jeshi la magereza kiasi gani na yeye anafaidika vipi
1 tuelewe mtu anapokuwa mfungwa kama alikuwa anafanya kazi halali basi ile kazi imekwisha potea
2 familia aliokuwa nayo kama yeye alikuwa ndie muhimili wa basi ile familia imeathirika
3 punde anapotoka magereza au amemaliza kifungo ni kwamba anaanza maisha yake upya au moja
swali linakuwa je tunawezaje kumsaidia mfungwa kujimudu kimaisha mara amalizapo kutumikia kifung
1 tukiweza kuwawezesha sidhani kama kuna mfungwa atarudia kufanya makosa ili arudishwe tena kifungoni ikiwa watakuwa wanalipwa na pesa zinawekwa ktk account zao na kupewe wanapomaliza kifungo hii itawasaidia kwa namna moja ama nyingine kujikimu
2 wanapotoka gerezani wapewe vyeti vinavyo onyesha wamefuzu mafunzo ambayo vitatambulika kisheria ili viweze kuwasaidia kujiajiri au kuajiriwa ktk taasisi mbalimbali ziwe za kiserikali ama binafsi
its so unfairatleast wangefanya some changes angalau even the little wnacho produce wapate even a 20 commission na hata wawafungulie acounts ili pale wanapotoka gerezani wasirudie kwenye makosa ila wawe na capital ya kurun their own liveshii itapunguza dependence ratio hata kuongeza rate ya economic growthlets not underestimate thingssouth korea grew kwa sababu ya technical schools ambazo hapa tanzania wale wanaofell kabisa ndio wanaenda huko
this minor things could move mountains
siku zote ukisha itwa mfungwa basi haki yako imekwisha na maisha yako yapo rehani na unakabidhi roho yako mikononi mwa serikaliunakuwa kama mtoto wa serikali ulipwe usilipwe serikali ndo inayo amua
ila navyo jua mfungwa akimaliza kifungo anapewa nauli ya kurudi kwao hata kama unakaa mbali kiasi gani watakupigia hesabu ya nauli inayo simama kwa wakati huo
lakini inaonyesha kule kutakuwa na starehe mbona vibaka wanakaa mwaka kisha wanarudia tena makosa yale yale na wanarudi tena gerezani na mchezo unaendelea wanadai kule msosi ni bure tofauti na uraiani ni mpaka utumie akili nyingi sana kujipatia chakula cha kila siku kule ni bure
inawezekana serikali kupitia magereza hawajakaa chini na kufanya utafit wa kina kuhusu faida ya mfungwa kumlipa kwa kazi anazofanya za uzalishaji anapokuwa kifungonimtazamo wao ni kumuadhibu mfungwa wakiamini ndio njia sahihi ya kumfundisha asifanye uharifu kitu ambacho mimi binafsi siamini sana
nakumbuka mwanzoni mwa mwezi mei mwaka huu kamanda wa polisi wa mkoa wa kilimanjaro au arusha aliwahi kusema kuwa matukio mengi ya uhalifu yaliyotokea katika mwezi huo yamechangiwa na wafungwa waliopata msamaha wa raisiilinishangaza
lakini nikapata jibu kuwa yawezekana kabisa huyu mfungwa aliyetoka gerezani aidha kwa msamaha au kumaliza kifungo chake ni binadamu mwenye mahitaji yote ya kibinadamu na anapokuja uraiani akiwa hana chochote cha kumuendeshea maisha lazima utarajie arudie uhalifu huenda akiamini ni ndio njia rahisi ya kujipatia kipato
so nakubaliana kabisa na wazo la wafungwa kulipwa angalau kima cha chini cha mshahara nina imani kwa mtu aliyekaa gerezani miaka 5 akitoka anakuwa amenufaika sana kwanza atakuwa ameongeza ujuzi kwa shughuli alizokuwa akifanya gerezani pili anaweza kuja kuwa mjasiriamali mzuri huku uraiani anapotoka na mtaji na pia atakuwa amejifundisha kuwa maisha ni kazi halali na si uhalifu kwa hiyo uwezekano wa yeye kurudia uhalifu hautakuwepo
shida kubwa ni kwamba sheria zetu za magereza ni za tangu enzi za ukoloni wenzetu waliziweka kutukomoa sisi sasa tulipojitawala bado viongozi wetu kwa mtizamo finyu hawakufikir kuzifanyia marekebisho mazuri wakati kule zilikotoka walishazibadili na kuziboresha
ni kweli ukifungwa unapoteza haki zako za kuwa nje uraiani nidiyo sababu viongozi wetu ambao kimsingi walitakiwa wengi kwa sababu ya ufisadi wawe wameshatangulia huko lakini kwa sababu wanajua hakuna haki za kibinadamu katika magereza yetu wamepafanya magereza kama sehemu ya kupeleka wana wetu huko vijijini
simulizi zinaonyesha huko ni jehanamu ndogo lakini pia ni mahali pa kutoa digrii za uhalifu na si kurekebisha tabia kama wanavyotaka tuamini kama nasema uongo wale waliokwisha pita huko watatupa simulizi zinazoni support ninachosema
magereza pakiendelea kufanywa torturing camps badala ya mahali pa kuwasaidia watu kubadlika tabia mentaly physicaly and spritualy tutaendela kuwa na magereza zilizosheheni watu kibao maana mateso pekee hayajawahi kusaidia kupunguza uharifu maisha yao pia ni bora yaboreshwe
mimi nitaendelea kuamini kwamba magereza tanzania ni kwa ajili ya watoto wetu wakulima kijijini wapinzani wa kisiasa wa serikali ya chama cha mafisadi na watu wachache wa kada ya chini nitaamini kuwa ipo kurekebisha tabia mafisadi wakishaanza kufungwa huko tukianzia na wakina lowasa karamagi msabaha na wengine wengi wanaochezea resources zetu
si mnakumbuka jinsi viongozi wetu waalifu wasivyokaa magerezani si mnakumbuka kisa cha dito na mnakumbuka hata visa vya watoto wa viongozi ambao wamekuwa convicted na wako nje kwa sababu magereza hazikujengwa kwa ajili yao
692 393 80
swali langu ni moja tu kwa mtoa mada jiulize kwanini waliopo jela wengi ni maskini ukishafahamu hilo jibu unalo
22791 49788 280
mfungwa ni mali ya serikali wanaweza hata kukuua hukohuko gerezani na usishitaki kokote mfungwa kwa serikali ni kama punda wako wa kubebea mizigo | 2018-12-15T06:21:08 | https://www.jamiiforums.com/threads/malipo-gerezani.14947/ |
wananchi wampongeza mkuu wa wilaya ya ubungo jijini dar es salaam | lukaza blog
na dotto mwaibale wananchi wa wilaya ya ubungo jijini dar es salaam wamempongeza mkuu wa wilaya hiyo kisare matiku makori kwa kuweka
http//wwwjosephatlukazacom/2017/03/wananchiwampongezamkuuwawilayayahtml
kitaifa 4397465497970697726 | 2017-10-18T01:48:00 | http://www.josephatlukaza.com/2017/03/wananchi-wampongeza-mkuu-wa-wilaya-ya.html |
baba askofu anapowashughulikia wajane | jamiiforums | the home of great thinkers
baba askofu anapowashughulikia wajane
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by rutashubanyuma apr 29 2012
ama kwa hakika kweli kufa ni kufaana kikabisakabisa
yawaje haya yawasibu wajane ambao kilio chao ni kanisa lao
nilifikiri wajane ni wa kuwaangalia kwa jicho la huruma
kumbe huyu baba askofu kaona ni kivuno
wajamani baba askofu acha kushughulikia wajane
kiama kimetufika na wanaumme tunateketea
kiama cha wanaumme sasa harusi ya baba askofu
kiama cha wanaumme chadhoofisha familia
kiama cha wanaumme chazalisha wajane
wajamani baba askofu acha kushughulikia wajane
waumme wanapotoweka si kilio tu huacha bali familia huyumba
yule bread winner akiwa kapuni mjane humlazimu kurithi mikoba yake
lishe pango matibabu karo na usafiri ni baadhi ya kero zake
sasa kero za mjane baba askofu kwake ni kitoweo
wajamani baba askofu acha kushughulikia wajane
pesa za wafadhili za kuhudumia wajane sasa hutolewa kwa masharti
masharti ya baba askofu ni moto na mchezo hataki
bila ya wajane kumtuliza kiu yake patupu huambulia mgao wao
kwa kubanwa kila upande wajane waona bora wamtumikie kafiri wapate mradi wao
wajamani baba askofu acha kuwashughulikia wajane
mkuu kuna wajane ambao wao wanalilia kupoteza mume
mali na mfumo wa maisha tayari walishajiwekea thabiti na askofu wala mafimaji hawana nafasi mpaka apende yeye
wajane unaowasema ni wale wa zamani ambapo mwanamke alikuwa kama mama wa nyumbani lakini siku hizi kidogo hali imebadilika
na huyo askofu ni fagia fagia hachagui maana kila mtu anavigezo vyake vya kula nyama ile ni sharti uchague iliyonona kama unataka kusema wajane wote wamenona sawa askofu atafanya kazi yake
siku hizi kajamaa kale nako kitisho maana penzi ili linoge na uonje utamu wa sukari ni sharti upekue kavukavu
na ikiwa hivyo askofu naye siyo mzima anataka kuleta msiba mzito zaidi kwa familia kwa kufanya hata mama aliyebaki kupotea kabisa na kuacha mayatima
siku hizi kajaa kale nako kitisho maana penzi ili linoge na uonje utamu wa sukari ni sharti upekue kavukavu
losambo ukweli lazima tuuseme nao ni kuwa wengi ya wajane ni hoehaena waumme zao wameishia bila kuwaachia msingi wa kujivaragua hata chembe matokeo yake hawawezi kufurukuta kwa baba askofubaba askofu ni wote wale ambao wanashughulikia wajane kwa kukidhi mahitaji ya kuishiushahidi angalia ngo nyingi zimeanzishwa za kuwahudumia wajanekumbe ni akina baba askofu ambao ndiyo huona ganda la mwua la jana chungu kuona ni kivuno kwao losambo
mi naona si kwa wajane tu hata wale ambao hawajaolewa baba askofu anashugulika nao
vaislay umeamkaje umeng'atwa usiku wa leo au umelala fofo tuwajane kabali yao ni kali kwa sababu tofauti na hao wasichana ni kuwa wajane wengi saa zimesogea na hawapo sana sokoni kwa hiyo wana aina fulani ya kujikuta lupango na wanapopewa masharti hujikuta hawana namna bali kujisalimisha kwa baba askofu[mention]@vaislay[/mention]
sasa wamuamini nani kam yeye anafanya hivyoooooo
wanamwamini baba askofu maana ndiye kashika mpini na wao wameshika makali
vaislay umeamkaje umeng'atwa usiku wa leo au umelala fofo tuwajane kabali yao ni kali kwa sababu tofauti na hao wasichana ni kuwa wajane wengi saa zimesogea na hawapo sana sokoni kwa hiyo wana aina fulani ya kujikuta lupango na wanapopewa masharti hujikuta hawana namna bali kujisalimisha kwa baba askofu vaislay
fofooffoooo hadi asubuhiruta ujue baba mchungaji amepunguza kasi kabisa kwa wajanehujagundua tuamen
kwa hiyo wataka kuniambia ya kuwa baba askofu sasa kahamia wapi isije ikawa kahamia kwakololnitalia mie kama ndivyo hivyo[mention]@vaislay[/mention]
badili tabianilifikiri hapa ndipo utamwaga sera zako bila ya kujivunga[mention]@badili tabia[/mention]
ndio maana nasema ni bora hawa viongozi wa dini wasiooa bora nao waoe tumaana wengine wanashindwa kuhimili tamaa zao
huyu askofu ana mke na watoto wakubwa tu na hata wajukuu anaotatizo mwanadamu haridhiki na alichonacho ataka na vinginevyo navyo atafune kama khali yaruhusu
hii reference haiwalengi wajane tu kama tafsiri yako ya askofu ndiyo hiyo uliyoiweka ambayo inazigusa pia na ngo kwa hakika wasichana wabichi na wake za watu ambao wanahangaika kutafuta kazi na pengine wanakwenda kwa hawa watu ambao wanasimamia mashirika ya misaada na hujikuta wakilazimika kuweka rehani hiyo mali yao adhimu ili kupata kile wanachokitaka ni bahati mbaya sana kwamba watu hawa wanaotaka kila kinachoonekana huwa si wazima sasa mkeo atapolazimishwa kumegwa ili mradi wake ufike ndipo atakapoleta maradhi humo nyumbani naye binti kigoli anayemegwa na maaskofu wa aina hii atajikuta kwenye akiingia kwenye ndoa akiwa na virusi na bahati mbaya vijana wengi hawapimi virusi kabla ya kufunga ndoa hii ni hatari sana
ikiwa hivyo baba askofu hajambo na wapo wengi kweli hofu yangu ni kumaliza hata mzizi ulibaki maana usalama ni lazima utakuwa ni mdogo sana
baba askofu hapa ni yule ambaye kashika mpini na mnyonge kakamata ncha ya makalininaafiki khoja zako zote
losambo uko juu sana
hawa jamaa ni noma wanawakamuaje sitaki hata kuwasikia
ta kamugisha hawa waheshimiwa hudai kama wanataka kula basi kwanza nao waliwena hawa mababa askofu hata kwenye siasa wamefurika[mention]@ta kamugisha[/mention]
nisingependa niwe mnafiki utamu (pengine hata mahitaji tu) hauchagui dini
baba askofu ikiwa zake ndio hizo hatachagua kama ni mjane kigoli au mke wa mtu
halmuradi tu kaombwa na alisikiliza maneno ya mkuu wa kaya ukitaka kula uliwe
ninachomlaumu baba askofu ni kucheza pekupeku anaweza kuambukiza anaweza
kuambukizwa pia asijeshangaa siku moja anapelekewa timu ya watoto wake matunda
ya uzinifu wake kwakuwa ameikiuka amri ya usizini basi angalau afuate amri ya 11
ukishindwa kujizuwia tumia kondom au ile ya ukijipenda utajilinda | 2018-01-18T04:15:31 | https://www.jamiiforums.com/threads/baba-askofu-anapowashughulikia-wajane.258945/ |
hosanna inc october 2011
posted by hosanna inc at 727 am 0 comments
posted by hosanna inc at 724 am 0 comments
posted by hosanna inc at 1203 pm 0 comments
labels nukuu za watumishi
wakati elisha na mtumishi wake walipokuwa wanatafutwa na jeshi la shamu walijikuta wamenaswa katika mji wa dotani mtumishi wa elisha alitazama juu ya kuta za mji na baada ya kuona makundi ya askari yanajikusanya alipata wasiwasi sana
[elisha] akamjibu usiogope maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao elisha akaomba akasema ee bwana nakusihi mfumbue macho yake apate kuona bwana akamfumbua macho yule mtumishi naye akaona na tazama kile kilima kilikuwa kimejaa farasi na magari ya moto yaliyomzunguka elisha pande zote (2waf 616 17)
na shepherd save ministry
posted by hosanna inc at 1129 am 0 comments
collection album hii imekuwa released mapema mwaka huu lakini kulingana na upatikanaji wake nchini tanzania ni wachache sana waliofanikiwa kuipata mpaka muda huu wow album zilianza kutoka rasmi mwaka 1998 na hadi kufikia sasa zimeshatoka jumla ya wow album zipatazo kumi na mbili hapa nchini msama promoters wanadesturi ya kuandaa collection album ambazo wamezipa jina la halleluya album collection
posted by hosanna inc at 238 am 0 comments
posted by hosanna inc at 100 am 1 comments
hatimaye waimbaji wa nyimbo za injili tanzania wakiongozwa na mwalimu wa muziki mtumishi john shabani chini ya usimamizi wa chama cha muziki wa injili tanzania (chamuita) wamekamilisha video ya wimbo ya miaka 50 ya uhuru wa tanzania
pamoja na waimbaji mbalimbali kushiriki katika wimbo huo pia yumo mheshimiwa martha mlata ambaye amechangia sana katika kufanikisha kurekodi wimbo huo baadhi yam abo aliyo yafanya ni pamoja na kufanikisha kupata sare na bendera kutoka serekalini pamoja na kutoa feha za kufanikisha kurekodi video pia studio ya pro arts studio ya jijini dar es salaam ilijitolea kurekodi sauti
video ikifanyika
7 joyce ombeni
8 bony mwaitege 24 douglas pius
16 tina marego 32 stara thomas
17 martha mwaipaja 33 victor ahron
pamoja na hayo viongozi wa chama chamuziki tanzania wanatoa wito wa waimbaji kujiunga na chama hicho kwani kuna faida nyingi za kujiunga na chama fomu zinapatikana sasa kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0754 818 767 au 0716 560094
clip za video zikiendelea kuchukuliwa
posted by hosanna inc at 757 am 1 comments
song kuna dawa
kuna dawa kuna dawa
nayatangazia mataifa
kuna dawa na waipokee
dawa nii kumpokea yesu
ooh kuna dawaa
dawa nii yesu
mpokee leo
naitangaza dawaa
pokea dawa bila malipo
yaponya roho napia mwili
yao ndoa dhiki na laana
ooh kuna dawa
yesu ndiye dawa
pokea dawa
pokea dawa yake
munywe dawa
nawasihi wote munywe dawa
wazee kwa vijana tunywe dawa
watoto pia wapewe dawa
natangagaza kwa mataifa
hakuna hakuna hakuna fundisho
linginee
dawa ndio wahitaji mama
ikubali
ikubali hii
vijana munywe dawa nina
tangazaa
msife moyo
usife mwoyo
kuelekea miaka 50 ya uhuru watanzania waishio marekani na canada kufanya ibada ya pamoja kusherehekea uhuru
watumishi wa mungu kutoka tanzania waishio na kuhudumu nchini marekani na canada pamoja na washirika mnamo tarehe 12nov 2011 wanatarajia kukutana na kuwa na ibada ya pamoja kwa ajili ya kumtukuza mungu kwa kutuwezesha tanzania kufikisha miaka 50 toka tumepata uhuru ibada hiyo itakayohudumiwa na speakers sita kutoka huduma(ministries) tofauti tofauti za watanzania waishio katika mataifa hayo inatarajia kufanyika katika kanisa la bethel world outreach church lililoko nchini marekani
hii ni fursa nzuri kwa watanzania waishio nje ya nchi kukaa pamoja na kumtukuza mungu kwa yale yote aliyotutendea kama watanzania mungu wetu ni wa ajabu na fadhili zake kwetu hazikomi kizazi mpaka kizazi
posted by hosanna inc at 515 am 0 comments
posted by hosanna inc at 431 am 0 comments
posted by hosanna inc at 838 am 0 comments
posted by hosanna inc at 339 am 0 comments
posted by hosanna inc at 300 am 0 comments
posted by hosanna inc at 248 am 0 comments
john lisu akiwa studio ya alive fm radio ya jijini mwanza
mwanamuziki wa nyimbo za injili john lisu pamoja na kundi lake wanatarajia kufanya tamasha la kusifu na kuabudu katika jiji la mwanzakwa mujibu wa john lisu tamasha hilo lainatarajiwa kufanyika tarehe 6/nov/2011 kuanzia saa 900 mchana 12jion katika ukumbi wa hotel mpya ya golden crest ulioko mkabala na new mwanza hotel
hapo awali tamasha hilo ilipangwa kufanyika katika uwanja wa ccm kirumba kabla mabadiliko hayajatokea hili litakuwa ni tamasha la pili kwa john lisu kuhudumu katika jiji la mwanza ambapo tamasha lake la awali lilifanyika takribani miaka mitatu iliyopita
john lisu akiwa na addo nzwalla ambaye ni mmoja wa watangazaji wa alive fm
lisu aliiambia hosanna inc kuwa anatarajia kufanya tamasha hilo live pasipo playback akiwa jijini mwanza kwa maandalizi ya tamasha hilo lisu alifanya mahojiano(interview) na mtangazaji smith swai kutoka redio ya alive fm na kueleza dhana nzima ya tamasha hilo hosanna inc itakuarifu mchakato mzima katika kuelekea kwenye tamasha hilo
posted by hosanna inc at 734 am 0 comments
posted by hosanna inc at 733 am 0 comments
posted by hosanna inc at 1237 pm 0 comments
posted by hosanna inc at 1258 am 0 comments | 2019-05-24T16:59:15 | http://hosannainc.blogspot.com/2011/10/ |
the way you see the problem is the problem remembering robert nesta marley
remembering robert nesta marley
the first thing you must know about me is that i always stand what i stand for good the second thing you must know about yourself listening to me is that words are tricky so when you know what me a stand for when me explain a thing to you you must never try to look 'pon it in a different way from what me a stand for labda wengi wanajitahidi kuandika historia yake lakini naamini ni vema kuandika mission aliyokuwa nayo
waweza kuwa na tafsiri yako ya bob marley na pengine hata hadhi utakayompa kulingana na mtazamo wako kwake lakini ushahidi wa kazi yake waonesha kuwa alikuwa zaidi ya mwanafalsafa zaidi ya mtabiri zaidi ya muona mbali na aliyeona njia sahihi za kuikwamua dunia miongo kadhaa iliyopita aliyehimiza kuhusu kujitambua kama njia ya kutuweka huru na pia alikuwa askari wa jeshi la amani aliyetumia kazi yake yake ya muziki kama silaha halisi
aliimba wimbo aliouita real situation uliohusu wanyang'anyi wa mali za watu wanaoamini kuwa the total destruction is the only solution na tunaona yatokeayo ulimwenguni sasa katika wimbo huo huo alisema give them an inch they take a yard give them a yard they take a mile akiwaeleza wale ambao wakipata kisa cha kuingia nchini mwako hawatoki na kila siku watakuwa na sababu ya kuendelea kuwepo kuinyonya nchi ndio tuonayo leo
alitumia hotuba ya kiongozi wa ethiopia emperor haile sellasie kuzungumzia suala la vita na bado tatizo hilo laendelea kama lilivyonenwa katika wimbo wake wa war bob aliimba akisema until the philosophy which hold one race superior and another inferior is finally and permanently discredited and abandoned everywhere is warthat until there are no longer first class and second class citizens of any nation na leo twaendelea kuona haya hasa huko sudan ambako watu wa taifa moja wanauana kwa kuwa wapo wanaoamini kuwa na rangi yenye umiliki wa eneo na kuwa daraja la juu kuliko wenzao wanasababisha ugomvi wanasababisha vita na wengi hawakumbuki
lakini bob hakuwazungumzia wanasiasa pekee alisisitiza pia namna ya kujikwamua kutoka katika lindi la matatizo ambalo wanyonge wamekuwa wakiwekwa katika wimbo wake wa redemption song marley amewaasa wananchi na wanyonge kujua kuwa hatma ya maisha yao imo miongoni mwao kwa kuwakumbusha kuwa hakuna mwingine zaidi ya sisi wenyewe anasema emancipate yourself from mental slavery none but ourselves can free our minds na hili ndilo tatizo kwa wananchi wengi nchini mwetu ambapo tunalalamika kuhusu maendeleo japo hatushiriki kuyaleta (iwe kwa kuweka viongozi sahihi ama kuchagua wale walio tayari kutushirikisha kuyatafuta) tunataka yule anayesema ataleta maendeleo japo hakuna ukweli wa maendeleo halisi bila ushiriki wa wananchi husika
kwa wale waliokata tamaa na kufungwa na msongo wa maisha kutokana na kuwaza wasiyo na suluhisho nayo bob marley anasemawakumbusha kuwa life is one big road with lots of signs so when you riding through the ruts don't complicate your mind flee from hate mischief and jealousy don't bury your thoughts put your vision to reality wake up and live
leo ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwake miaka 65 iliyopita tunaendelea kukumbuka aliyoimba bob marley kwa kuwa yalihusu maisha halisi yaligusa uhitaji halisi wa wanajamii na bado yanagusa ni hili lililomfanya aamini kuwa muziki wake hautakufa kwani unaeleza ukweli alinukuliwa akisema my music will go on forever maybe it's a fool say that but when me know facts me can say facts my music will go on forever
one love to you all and let us (people) get ready
nahusudu sana kazi za huyu jamaa ingawa natofautiana naye kwenye imani ya urasta
na tukiachana na filosofi zake mpaka katika lugha ya kiingereza alinisaidia sana kukuza misamiati yangu kwa maana nilikuwa na mpaka daftari za nyimbo zake enzi hizo najulikana kama ras kit
rip nesta
love this legend
all morning i have been playing his music
nyimbo za bob ni darasa tosha sana kwa sisi wananchi na viongozi kwa ujumlamambo mengi ya kisiasa kiuchumi na kijamii yaikumbayo dunia hususani barani afrika yalishaongelewa sana na nguli huyu kinachosikitisha ni kuwa wengi wanasikiliza miziki yake kwa kuburudika tukinachosemwa hakiwahusuhakuna tafakari ya kina na ujaribu wa kuhusisha asemacho na hali halisi ya mambo yaendavyo kisiasakiuchumi na kijamii wengi wanachukulia ni muziki tu kumbe tulitakiwa tuuone muziki wake kama kioo na dira itupayo uelekeowatu tungekuwa tunatafakari kwa makizi aliyoyasema bob marleysi shaka kuwa tungekuwa na jazba ya kweli ya kutaka maendeleo ya wotetungekuwa na mshikamano wa kwelitungewapata viongozi wazalendotungekuwa wenye uwezo wa kupaza sauti bila woga kusema yalio moyoni nk cha msingi hapa ni kuwa jamii iamke na itambue kuwa muziki kama zilivyo namna nyingine za uelimishaji(dini vitabuni nk)upewe nafasi na pia watu wautafakari kwa kina na kisha kutumia maudhui yale sehemu husika na kwa maendeleo chanyatutambue ya kuwa muziki(isiyokuwa ya upotoshaji) ni chachu ya maendeleo kisiasakiuchumi na kijamii
alikuwa nabii
i wish i was born before he died but big up to everyone who kept his work alive so children like us will get a chance to know him even a little bit i think/believe this proves that what he said quoting from the quote you quoted (lol) my music will go on forever maybe it's a fool say that but when me know facts me can say facts my music will go on forever
long live his music and mission | 2018-05-20T23:30:33 | http://changamotoyetu.blogspot.com/2010/02/remembering-robert-nesta-marley.html |
raisi wa marekani atuma video ya ubaguzi wa rangi mtandaoni mulastar
mulastar news raisi wa marekani atuma video ya ubaguzi wa rangi mtandaoni
raisi wa marekani atuma video ya ubaguzi wa rangi mtandaoni | 2020-07-06T19:43:50 | https://www.mulastar.com/2020/06/raisi-wa-marekani-atuma-video-ya.html |
michuzi blog mboni masimba ndani ya 1025 lake fm mwanza akizungumzia kongamano la sauti ya mwanamke
wa kipindi cha the mboni show kinachoruka kupitia runinga ya tbc1 mboni masimba (kushoto) akizungumza na caroline mwaipungu ambaye ni mtangazaji wa 1025 lake fm mwanza kuhusu kongamano la sauti ya mwanamke linalotarajiwa kufanyika novemba 06 mwaka huu gold crest hotel jijini mwanza
konagamano
hilo limelenga kuwahamasisha wanawake kujikomboa kiuchumi ambapo wanawake mbalimbali waliofanikiwa kiujasiriamali kibiashara na kielimu watakuwepo kuzungumza na wanawake jijini mwanza ambapo kiingilio itakuwa
elfu 40 tu na utapata elimu burudani pamoja na chakula
atakuwepo
shekha nasser ambaye ni mmiliki wa shear illusion na mwanzilishi wa manjano foundation ambaye amefanikiwa kwenye biashara atakuwepo mkandarasi maida waziri ambaye amekuwa mkandarasi na amefanikiwa pamoja na biubwa ibrahim ambaye ana kampuni inaitwa namaingo agri_busness agency ambayo inawawezesha watu mbalimbali katika masuala ya kilimo na wengine wengi amefafanua masimba
wa kipindi cha the mboni show kinachoruka kupitia runinga ya tbc1 mboni masimba akiwa ndani ya 1025 lake fm mwanza akizungumzia kongamano
la sauti ya mwanamke linalotarajiwa kufanyika novemba 06 mwaka huu ndani ya gold crest hotel jijini mwanza | 2017-05-29T20:51:58 | https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/mboni-masimba-ndani-ya-1025-lake-fm.html |
kiwanda cha rhino cement cha tanga chafungiwa kwa uharibifu wa mazingira lekule blog
naibu waziri wa nchi ofisi ya makamu wa raisi muungano na mazingira mh luhaga mpina (mb) amekifungia kiwanda cha kuzalisha cement na chokaa kilichopo jijini tanga cha rhino cement jana jioni kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni uharibifu na uchafuzi wa mazingira na kuvunja sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake | 2018-03-24T19:44:58 | https://sosteneslekule.blogspot.com/2016/03/kiwanda-cha-rhino-cement-cha-tanga.html |
ni namna gani yesu ni mkuu kuliko watu mashuhuri katika historia
swali ni namna gani yesu ni mkuu kuliko watu mashuhuri katika historia
jibu biblia inamwakilisha yesu kuwa mkuu kuliko wale wote walioishi mbele yake na wale watakaokuja baada yake wakolosai 1 inaiweka wazi kwa njia inayoeleweka mafunzo ya ukuu wa kristo kwa kila kitu (wakolosai 118) waefeso 122 inasema mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote
yesu ni mkuu kuliko viumbe vyote kama muumbaji wa vitu vyote lazima awe mkuu yesu alidhihirisha mamlaka yake juu ya viumbe wakati alituliza mawimbi makali (marko 439) alizidisha mikate na samaki (marko 869) aliwafungu macho vipovu (marko 82225) na alitembe juu ya maji (marko 648) maana kwake vitu vyote viliumbwa kila kitu duniani na mbinguni (wakolosai 116)
yesu ni mkuu kuliko ibrahimu baba ibrahimu alikuwa na bado ni mmoja wa watu ambao wemeheshimika sana katika historia wakati mmoja wakati yesu alipokuwa anasungumza na wayahudi kuhusu kizazi chao walimuuliza wewe u mkuu kuliko baba yetu ibrahimu ambaye amekufa (yohana 853) jibu la yesu lilikuwa la kustaajabisha ibrahimu baba yenu alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu naye akaiona akafurahiyesu akawaambia amin amin nawaambia yeye ibrahimu asijakuwako mimi niko (yohana 85658)
yesu ni mkuu kuliko yakobo mzee mwingine mkuu ni yakobo ambaye pia aliitwa israel (mwanzo 3228) yesu alipokuwa akihojiana na mwanamke katika kisima cha yakobo huko samaria alimwambia kuwa ataweza kumpa maji ya uzima (yohana 410) mwanamke alifikiria kuwa alikuwa anamaanisha maji mengine ya kisima akauliza je wewe u mkubwa kuliko baba yetu yakobo (aya ya 12) yesu alimjibu kwa kulinganisha zawadi iliyoonekana ya yakobo na zawadi ya maisha yake ya milele yesu akajibu akamwambia kila anywaye maji haya ataona kiu tena walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji yakibubujikia uzima wa milele (aya ya 1314)
yesu ni mkuu kuliko musa kuna uwezekano kuwa hakuna nabii katika aga la kale aliyeheshimika sana kuliko musa alikuwa mtoa sheria na mkombozi wa israel na mtenda miujiza musa alikuwa na bahati ya kipekee ya kunena na mungu uso kwa uso kama vile mtu asemavyo na rafiki yake (kutoka 3311) kabla afe musa aliwaamuru waisraeli kutizamia kuja kwa nabii mwingine ambeye atakuwa na nembo kama ya musa msikilizeni yeye (kumbukumbu 1815) yesu alitimiza sheria (mathayo 517) alitukomboa kutoka dhambi na kifo (warumi 82) na hakika alikuwa mtenda miujiza (matendo 222) waebrania 33 yasema kwamba lakini yesu anastahili heshima kubwa kuliko musa
yesu ni mkuu kuliko daudi katika siku za yesu jina la heshima la masiha kuwa mwana wa daudi lilikuwa la kawiada ona (mathayo 927) utumiaji wa hili jina wa wayahudi kulionyesha imani yao katika unabii kuwa masiha atatoka katika uzao wa daudi (2 samueli 716) katika masungumzo pale hekaluni yesu alinukuu zaburi 1101 akionyesha kuwa daudi alimwita masiha bwana wangu (mathayo 2245) mwana wa daudi kwa hivyo ni mkuu kuliko daudi na ako na uzao ulio mkuu kuliko ule wa kifalme hapa duniani
yesu ni mkuu kuliko sulemani mfalme sulemani hakuwa na mwingine aliye kuwa na hekima utajiri nguvu na raha (1wafalme 102324) falme kutoka ulimwenguni kote walisulu yerusalem wakati wa utawala wa sulemani na kumpa heshima kuu na bado yesu alisema na hapa yupo aliye mkuu kuliko sulemani (mathayo 1242)
yesu ni mkuu kuliko yona nabii yona alikuwa kiungo muhimu katika uamsho mmoja mkuu katika historia chini ya uhubiri wake mji wote wa nineva ulitubu dhambi zao na kumrudia mungu ili wahurumiwe taifa lililojulikana kwa sanamu na ukatili walinyenyekea mbele za mungu and kugeuka toka ibada ya sanamu na bado yesu alisema na hapa yupo aliye mkuu kuliko yona (mathayo 1241)
yesu ni mkuu kuliko yohana mbatizaji yesu alisema kwamba yohana mbatizaji alikuwa aliye zaidi ya nabii na hakuna aliye mkuu kuliko yohana (luka 72628) hakika yohana alikuwa nabii wa mwisho wa kizazi cha agano la kale alitimiza malaki 31 na aliona nguvu sawia na za eliya (luka 117) lakini yohana alikuwa na mtizamo gani kwa yesu utabiri wake unaonyesha ni nani aliye mkuu yuaja nyuma yangu aliye na nguvu kuliko mimi ambaye mimi sistahili kuinama kuilegeza gidamu ya viatu vyake (marko 17) kwa maneno mengine yohana hakuwa kitengo kimoja na yesu yohana alibatiza kwa maji lakini yesu atabatiza na roho mtakatifu (marko 18)
yesu ni mkuu kuliko hekalu hekalu kule yerusalem palikuwa mahli patakatifu ulikuwa umejawa historia umuhimu na madhara ya kidini (angalia mathayo 241) huku yesu aliwaambia mafarisayo lakini nawaambieni kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko haekalu (mathayo 126) hekalu ilikuwa ni mahali ambapo kuhani mkuu alikua anamwomba mungu na huduma ya yesu ya uombezi ni kuu zaidi (waebrania 86)
yesu ni mkuu kuliko sabato ishara ya agano la musa ilikuwa kuitunza sabato (ezekieli 2012) na wayahudi walikuwa makini katika kutunza hii ishara wakati yesu alikuja aliishi chini ya sheria (wagalatia 44) alitimiza sheria (517) na akaonyesha kuwa mwana wa adamu ndiye bwana wa sabato
yesu ni mkuu kuliko kanisa kanisa ni mteule wa mungu ambaye ameitwa toka ulimwenguni amekombolewa na kufanywa haki kutakazwa na kutukuka (warumi 830) hatimaye kanisa itakuwa lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo bali liwe takatifu lisilo na mawaa (waefeso 527) bado kristo ni mkuu yeye ndiye kichwa cha kanisa ambayo ni mwili wake (wakolosai 118 cf yohana 1316 1520)
yesu ni mkuu kuliko malaika malaika ni watumishi wa mungu lakini yesu ndiye mwana pekee wa mungu ameketi mkono wa kuume na mungu mkuu (waebrania 135 yohana 316) siku moja mamlaka yote nguvu zote mbinguni na duniani sitapiga magoti mbele ya kristo (wafilipi 210) yesu ni amefanyika bora kupita malaika kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao (waebrania 14)
jina la yesu ni kuu kuliko majina yote yesu mwanadamu kamili na dhabihu pekee ya dhambi ameinuliwa juu mungu amempa akamkirimia jina lile lipitalo kila jina (wafilipi 29) majina mengine ya historia budha mohammed gandhi confucius krishna joseph smith na sun myung moon na mengineyo hayana umuhimu wowote ikilinganishwa na utukufu wa yesu kristo ndilo jina hilo la kristo ambalo tunahubiri hadi mwisho wa dunia kwa sababu ni kupitia kwake tunapata wokovu (matendo 412)
maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa mungu kwa jinsi ya kimwili (wakolosai 29) kama neno la mungu (yohana 11) yesu ni ufunuo kamili kutoka kwa mungu kwa mwanadamu hakuna njia nyingine ambayo mungu angesungumza wazi wazi ila tu yeye | 2020-08-15T20:55:58 | https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Yesu-ni-mkuu.html |
serikali haidaiwi na wafanyakazi wa kiwanda cha kilitexarusha mtaa kwa mtaa blog
home habari serikali haidaiwi na wafanyakazi wa kiwanda cha kilitexarusha | 2019-02-22T21:53:28 | https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/01/serikali-haidaiwi-na-wafanyakazi-wa.html |
simu ya rais haina tija | gazeti la mwanahalisi
simu ya rais haina tija
na saed kubenea imechapwa 19 may 2010
rais jakaya kikwete anasema simu yake ya mkononi iko wazi kwa yeyote anayetaka kuwasiliana naye namba ambayo wengi tunaifahamu ni 0754 777775
akizungumza na viongozi wa madhehebu ya dini nchini mwishoni mwa wiki iliyopita rais kikwete alisema amekuwa akiwasiliana na wananchi moja kwa moja kwa simu ya mkononi
aliwaambia “…simu yangu ile ipo wazi muda wote watu wananitumia sms (ujumbe mfupi wa simu) wananipigia wengine wananieleza matatizo yao mbalimbali nazungumza nao nanyi nawaomba msisite kufanya hivyoâ€
kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa viongozi hao uliolenga kufahamisha kilichomo katika sheria ya gharama za uchaguzi aliyosaini hivi karibuni
rais aweza kuwa anajibu simu na kama alivyosema wakati mwingine hujibu ujumbe aliotumiwa kwa njia ya kupiga badala ya kuandika
hata hivyo hadi sasa hakuna mwenye uhakika iwapo kikwete anaitumia simu hiyo kupata taarifa kwa ajili ya umma au ni taarifa binafsi hii ni kwa kuwa simu ya rais inashikwa na rais mwenyewe
ndiyo maana taarifa zinasema kila anayetuma ujumbe kwa rais hujibiwa na rais mwenyewe
baadhi ya wale ambao wamewasiliana naye na ambao nimehojiana nao wanasema muda mzuri wa kutuma ujumbe kwa kikwete na ili ujibiwe ni kuanzia saa saba usikuâ€
lakini je rais anastahili kusumbuliwa na mambo kama vile mwaliko wa harusi kipaimara au mzazi kushindwa kumcheza mtoto mkole je haya hayampi kazi ya ziada ambayo inaminya muda wake kwa shughuli za umma
chukua mfano wa mawasiliano ambayo rais kikwete alifanya mwaka 2007 na mbunge wa viti maalum (ccm) amina chifupa kwa maoni ya wengi hayakulenga kusaidia taifa yalikuwa yanamuongezea rais mzigo
chifupa alilalamika kwa rais akituhumu mmoja wa mawaziri wake kuingilia ndoa yake alidai waziri huyo alikuwa anamsakama kutokana na kile alichoita “kutaka kiti cha umoja wa vijana ccmâ€
kikwete alijibu ujumbe wa chifupa kwa kumwambia mengi lakini kubwa alisema “mungu yupo naweâ€
amina hakutunza siri ya mawasiliano kati yake na rais alitumia mawasiliano hayo kushambulia wapinzani wake kisiasa
taarifa zinasema chifupa aliwapa wengi mawasiliano yake na rais alirudi hadi kwa mbaya wake na kumtambia kuwa tayari amemshitaki kwa rais baadhi ya mawasiliano ya rais na chifupa yaliwahi kuchapishwa na gazeti hili
hivi ni sahihi kwa rais kutolala usiku kucha akipokea sms wakati ana vyombo vya kufanya kazi ya kupokea taarifa
vyombo hivi vimeundwa rasmi kwa kazi hiyo na watumishi wake wanalipwa na wananchi kupitia kodi wanayolipa
sasa kwa nini rais hataki kutumia vyombo hivyo kumpa taarifa na badala yake anataka kupokea taarifa yeye mwenyewe
ukweli ni kwamba hata kama rais angekuwa na nia njema ya kuongea na kupata kila taarifa moja kwa moja kutoka kwa wananchi asingekuwa na uwezo wa kuzifanyia kazi
kwanza ni nyingi mno pili zinahitaji uratibu tatu zinahitajika kuchujwa na nne zinastahili kuandaliwa kwa vipaumbele mpangilio huu hakika siyo kazi ya rais na ndiyo maana kuna vyombo vya kufanya kazi hiyo
kama alivyofanya chifupa na kama wanavyofanya baadhi ya wabunge na mawaziri “waliochati†na rais nia imekuwa mbwembwe na majigambo kuwa waliongea na rais
kuna wanaotajwa kutumia sms zao na rais kujimiminia sifa na kutafutia ubunge haya ni mafao binafsi hata kama rais hakushiriki kuyaandaa
naye waziri mmoja aliwahi kunidokeza mbinu alizotumia kuangamiza wapinzani wake wa kisiasa alidai kuwa alipeleka ujumbe kwa rais kikwete naye haraka akachukua hatua
waziri huyo alijigamba kuwa ujumbe huo ulikuwa “mtaji†kwake na kwamba atautumia kujiimarisha na kumuangamiza kisiasa mbaya wake
alisema kwa jinsi alivyomueleza kikwete na rais alivyojibu hategemei tena mbaya wake kurudi katika ufalme wa kisiasa
katika mazingira haya simu ya rais yaweza kutumika kuangamiza wengi yaweza kusambaza umbeya kufitinisha na kuvunja hata ndoa
kwa lugha ya vijana hapa rais amejiachia mno kama kweli amekuwa mpokea sms usiku kucha licha ya ujumbe wake kutumiwa vibaya lakini naye aweza kupelekewa ujumbe ambao hakutarajia
kwa mfano rais aweza kupelekewa ujumbe wa kufitinishwa na wateule wake wafanyabiashara wakubwa wanaharakati viongozi wa wafanyakazi na wengine wenye nia njema
hili laweza kufanyika kwa kuwa mpeleka ujumbe ama hakuwaelewa vizuri wahusika au ana nia mbaya nao
si hivyo tu rais aweza kuwekwa kiwewe kwa kupelekewa uzushi kuhusu usalama wa nchi jambo ambalo siyo tu litashughulisha wengi lakini pia ni ghali sana kuandaa ulinzi wa nyongeza kwani rais hawezi kuamua kupuuza tu
siyo rais kikwete pekee mwenye simu ya mkononi marais wengi wana simu za mkononi lakini si kila mtu anaweza kuwasiliana nao moja kwa moja
hata ofisi kubwa kama zile za mashirika makubwa ya kimataifa kuna simu ambazo huwezi kupata moja kwa moja mpaka uwe kwenye orodha ya wadau hii ni kupunguza usumbufu kwa kuweka mchujo muwafaka
ukijumuisha yote haya utaona kwamba ama kumpigia rais simu au rais kupigiwa yote yanageuzwa kuwa mambo ya mbwembwe tu na hili halipingiki
rais anatumia simu moja †namba moja idadi ya watu wenye shida au maoni na wanataka kuwasiliana naye itakuwa kubwa sana kama kampuni yenye njia tano au hata kumi za simu inakuwa “bize†hadi kushindikana kufikika itakuwaje namba moja ya rais
kinachohitajika siyo kupiga mbiu kutaka watu wampigie simu rais bali kuimarisha taasisi za serikali zilizoundwa rasmi kwa kazi ya kupokea kuchambua na kuwasilisha panapohusika madai matakwa na maoni ya wananchi
kwa mtindo wa kutaka kila mmoja aongee au achati na rais basi taasisi ya urais itazidiwa na vitaarifa dhaifu badala ya hoja kuu za nchi na kwa maslahi ya wengi kupitia vyombo rasmi vilivyoundwa kwa kazi hiyo
hatimaye simu ya rais na hata sms na maongezi vitakosa tija licha ya siku kutofikika rais anaweza kujikuta anafanya kazi alizopokea kwenye simu kuliko kwa mkondo wa wazi wa asasi za dola
kikwete hajamjibu lowassa
chadema pinda mkapa dowans cuf slaa makamba uchaguzi richmond chenge lowassa sitta rostam ccm kikwete
akili ya sofia haiwezi kuwaza zaidi ya ngono (17)
aliyemteka ulimboka huyu hapa (92894) | 2019-12-11T16:46:44 | http://mwanahalisi.co.tz/simu_ya_rais_haina_tija |
wafungwa wanaosubiri kunyongwa magerezani wafikia 465 | pamoja blog
» wafungwa wanaosubiri kunyongwa magerezani wafikia 465
5/01/2016 113000 am
idadi ya watanzania wanaosubiri kunyongwa imekuwa ikiongezeka na hadi sasa imefikia 465 kutokana na hukumu ya kifo kutotekelezwa tangu mwaka 1994 ripoti iliyotolewa na tume ya haki za binadamu na utawala bora katika mafunzo kwa waandishi wa habari mjini morogoro juzi imebainisha kuwa hakuna hukumu yoyote ya kifo iliyosainiwa na rais ili kutekelezwa hadi oktoba 2015 kulipofanyika uchaguzi mkuu ambao rais magufuli aliibuka mshindi
wanaharakati akiwasilisha ripoti hiyo ofisa uchunguzi mkuu wa tume hiyo philemon mponezya alisema tume ya haki za binadamu na utawala bora inaitaka serikali kufuta adhabu hiyo kwa kuwa haitekelezeki lakini baadhi ya asasi hasa zinazohusika na haki za walemavu wa ngozi zinapinga kufutwa kwa adhabu hiyo
wananchi wagawanyika tume hiyo ilikiri kwamba tanzania imeshindwa kutekeleza adhabu hiyo kwa miaka mingi kutokana na serikali kueleza kuwa jamii imegawanyika kuhusu hukumu hiyo wapo wanaotaka ifutwe lakini wengi wanataka iendelee kutekelezwa kutokana na ongezeko la mauaji ya vikongwe kwa imani za kishirikina na albino
akifafanua zaidi alisema hata katika mchakato wa tume ya mabadiliko ya katiba hali hiyo ilijitokeza kwamba watanzania wengi hawaoni kama muda ni mwafaka kufuta adhabu hiyo marais kuhusu marais kushindwa kusaini hukumu hiyo mulumbo alisema upo mtazamo wa aina mbili kuhusu jambo hilo wa kiimani na kisheria
alisema pamoja na kwamba nchi haina dini marais wote waliowahi kuchaguliwa mpaka wa awamu ya tano wana imani za kidini siwasemei kwamba imani zao ni sababu lakini huenda ni sababuila kisheria rais hahukumiwi akisaini hukumu hiyo sasa hilo mimi siwezi kulisemea ila sheria zinaweza kuangaliwa zaidi ili zimpe rais nafasi ya kumpa mhusika kifungo cha maisha lakini hapo napo kuna mtazamo mwingine maana kuna hoja kwamba kwa nini aliyeua na kupatikana na hatia afungwe maisha je iko wapi haki ya aliyeuawa alifafanua mulumbo kwa mtazamo wake
wanaoipenda mwanasheria wa utss aliyewasilisha mada katika mafunzo hayo perpetua senkoro ambaye pia ana ulemavu wa ngozi alisema kwamba utafiti uliofanywa na taasisi hiyo kwa walemavu wa ngozi (albino) kuhusu hukumu hiyo umeonesha jamii inataka iendelee kuwapo na itekelezwe
wengi wa jamii yetu wanataka hukumu iendelee kuwapo mpaka hapo mauaji kwa albino yatakapokoma na itekelezwe wauaji wa albino wanaua kwa imani si tabia wanatumwa na watu wenye fedha kiungo kinauzwa dola za marekani 2000 tena tunaona wanaokamatwa ni vidagaa bado mapapa hatuyaoni tunaomba serikali (ya magufuli) iwatafute vigogo na tuone hukumu hii ikitekelezwa ili kumaliza imani hizi zinazowanyima haki baadhi yetu ya kuishi alisema senkoro
kwa mujibu wa ripoti hiyo watu 1634 waliuawa mwaka jana sawa na asimilia 50 ya waliouawa mwaka 2014 aidha takwimu hizo hazihusu utekelezaji wa hukumu hiyo nchini china ambako takwimu za adhabu hiyo huwa siri ingawa zinatajwa kuwa kubwa labels | 2017-05-28T00:56:08 | http://www.pamoja.co.tz/2016/05/wafungwa-wanaosubiri-kunyongwa.html |
instagram photos and videos tagged with #goldenpresenter | snap361
@eddykenzo ameshinda tuzo ya east africa artist of the year muda kwenye tuzo za afrimma nchini marekani #braveinfo #goldenpresenter
natasha lisimo niliwahi kwenda kwa mganga kusafisha nyota yote hayo ili mambo yangu yaweze kwenda kipindi cha nyuma wakati napambana katika muziki wa kidunia niliambiwa nipeleke kuku mweupe na mbuzi kwenda kwa mganga ilikuwa ni kwa kulazimishwa na marafiki nikajikuta nafanya kitendo hicho ntasha kwa sasa ni mwanamuziki wa nyimbo za injili akimtukuza mungu kwa karama ya uimbaj #goldenpresenter #braveinfo
#inbox nchini misri hairuhusiwi kwa mwigizaji yeyote nchini humo kwenda kutoa ushahidi mahakamani kwa sababu inaaminika kuwa waigizaji ni waongo toa maoni yako kuhusu hili #braveinfo #goldenpresenter
alikiba atia neno kuhusu kufutwa kwa video ya helaasema watu wameelewa tofauti wimbo wa hela ni wimbo wa zamani ila wakati nimeenda kenya nilipata nafasi ya kukutana na director ikanibidi nishoot video yake kwasabb kama kumkumbuka dancer wangu emma aliefariki kwa sababu ndiye aliyetunga style ya kudance ya wimbo huo toka ulipotoka amemalizia kwa kusema kwa sasa anasimamia wasanii wake na label yake mpya king music na wimbo wake utafata badae watu waendelee kusikiliza mwambie sina wimbo wetu mpya #braveinfo #goldenpresenter
elizabeth michael lulu amebakiza siku 40 kumaliza kifungo chake huku akijisifia kuwa ni mfungwa mwenye nidhamu lulu alihukumiwa kifungo cha miaka 2 jela kwa kosa la kuua bila kukusudia #stevenkanumba kifungo cha lulu kingeisha mwaka 2019 mwezi march kama angelikuwa jela sahivi #braveinfo #goldenpresenter
#goldenpresenter
@officiall_nai x #goldenpresenter
21 days ago 4 171
my life is still under construction #braveinfo #goldenpresenter
@navykenzoofficial x @diamondplatnumz #katika #goldenpresenter #braveinfo
nawazoom km drone #goldenpresenter
kazi kazi @diamondplatnumz #braveinfo #goldenpresenter
new collàbo @harmonize_tz x @professorjaytz #braveinfo #goldenpresenter
kiss most wanted #kissfmtz join us 58 mchanaaaa #goldenpresenter
@officialalikiba #goldenpresenter
oya wana tunaenda sawa tym ya saa 58 mchana #kissfm @official_qchief atakuepo #goldenpresenter
@brightmusictz tunakichafua naye leo kwenye #kissmostwanted ya #kissfm kwanzia 58 mchana usikose #goldenpresenter
@countryboytz tunakichafua naye leo kwenye #kissmostwanted kwanzia 58 mchana #goldenpresenter
@ommydimpoz still recovering #goldenpresenter
happy birthday @simon_cherehani more blessings #goldenpresenter
hii mic ni shamba na mimi ndo mkulima navuna ninachopanda na ulimi ndo unalima #goldenpresenter #igp
aiseeee ni #nomamwanangu #pmawenge x #goldenpresenter | 2018-10-21T03:56:38 | http://snap361.net/ig-tag/Goldenpresenter/ |
chaguzi za ccm mabina apinga ushindi wa diallo rushwa yavunja uchaguzi pwani bahari ya maarifa
home » »unlabelled » chaguzi za ccm mabina apinga ushindi wa diallo rushwa yavunja uchaguzi pwani
chaguzi za ccm mabina apinga ushindi wa diallo rushwa yavunja uchaguzi pwani
mabina apinga ushindi wa diallo
habari imeandikwa na david azaria habarileo mwanza
aliyekuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza clement mabina ameyakataa matokeo yaliyompa ushindi aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii anthony diallo na kutangaza kukata rufaa makao makuu ya chama hicho tawala akipinga kupoteza wadhifa huo
mabina alitangaza nia ya kupinga matokeo hayo juzi saa moja usiku kwenye uwanja wa ccm kirumba baada ya diallo kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi huo mjumbe wa kamati kuu ya ccm william lukuvi kuwa mshindi kwa kura 611 kati ya kura 998 zilizopigwa
mabina alipata kura 328 akizungumza wakati wa kuwashukuru wanaccm mabina alisema hakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo kwa madai kuwa baadhi ya wagombea akiwamo mshindi walikiuka kanuni za uchaguzi kwa kufanya baadhi ya matendo ambao ni kinyume cha kanuni za uchaguzi wa ccm
sikuridhika na sitaridhika na matokeo ya uchaguzi huu kwa sababu baadhi ya kanuni zimekiukwa na rushwa zimetembea kwa wingi lakini kibaya zaidi baadhi ya wagombea walikuwa wakizunguka na kufanya mikutano ya kampeni kinyume na kanuni na kuzungumza na wagombea hili ni kosa ambalo pamoja na mengine yananifanya nisikubaliane na matokeo alisema na kuongeza nakusudia kukata rufaa kwa kamati kuu ili niweze kupata haki yangu kwa sababu naona imepokonywa kwa makusudi na naamini kwamba kamati kuu itanitendea haki kwa sababu ushahidi ninao
hata hivyo mwenyekiti huyo wa zamani alipata wakati mgumu kwa kuzomewa na hivyo kukatisha maelezo yake mara kwa mara na wapigakura kumtaka ashuke jukwaani lakini aliendelea kutoa maelezo huku akiwaambia kuwa hata wakizomea ni lazima akate rufaa hata kama yeye hatagombea
kwa upande wake lukuvi alisema anachofahamu na anachoamini ni kwamba uchaguzi huo umeanza na kukamilika vizuri ambapo haukuwa na kasoro yoyote kama ambavyo kura zimeonesha ingawa alibainisha kuwa rufaa ni haki ya mgombea yeyote anayeona hakuridhika na mwenendo wa uchaguzi
alipoulizwa kuhusu tuhuma alizotwishwa na mabina za ukiukwaji wa kanuni diallo alisema anaamini mabina atakuwa amepata mshituko kutokana na matokeo ambayo hakuyategemea ndiyo maana ametamka maneno hayo na kwamba akitulia na akili kukaa sawasawa hatakuwa na mawazo hayo
rushwa yavunja uchaguzi ccm pwani
habari imeandikwa na julieth ngarabali mwananchi kibaha
tuhuma za kushamiri kwa vitendo vya rushwa katika mkutano mkuu wa uchaguzi wa ccm mkoani pwani juzi vilimlazimisha mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo mwinshehe mlao kuvunja mkutano huo
uchaguzi huo uliokuwa ufanyike kwenye jengo la mkuu wa mkoa wa pwani uliahirishwa saa chache kabla ya upigaji kura kuanza kutokana na kuwapo kwa taarifa kwamba baadhi ya wajumbe walikuwa wakitoa na kupokea rushwa ili kushawishi ushindi wa baadhi ya wagombea
mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa pwani mwantumu mahiza aliwaeleza wajumbe hao kuwa amepata taarifa kutoka vyombo vya usalama kuwa uchaguzi huo umegubikwa na vitendo vinavyoashiria kuwapo na rushwa
akiahirisha mkutano huo jana mlao alisema amelazimika kusitisha uchaguzi huo hadi utakapotangazwa tena kutokana na baadhi ya wajumbe kukidhalilisha chama kwa kujihusisha na rushwa kwa haya yaliyotokea lazima tuwasiliane na wenzetu makao makuu baada ya kusema haya natangaza kuahirisha kikao hadi tarehe ya uchaguzi itakapotangazwa tena alisema mlao
akizungumza katika mkutano huo mahiza alilaani kitendo hicho akisema kuwa kimeidhalilisha ccm na ofisi yake
awali mahiza alisema kuwa alipata taarifa kutoka kwa maofisa wa takukuru kuhusu kuwapo kwa mazingira ya rushwa yanayofanywa na wajumbe wa mkutano huo na baadaye alifika katika ukumbi wa mkutano baada ya kupata taarifa kuhusu mazingira ya rushwa nilitoka nje na kweli ukumbini sikukuta watu niliposhuka chini niliwakuta wajumbe wengi wakiwa wamesimama makundi sikujua na wala sikushuhudia nani aliyekuwa anatoa rushwa ila maofisa wangu wameliona hilo alisema mahiza na kuongeza najua nitabeba lawama kubwa sana nitatukanwa sana na baadhi yao lakini hili sitalivumilia
nafasi iliyodaiwa kuwa ndiyo iliyokuwa ina wagombea waliokuwa wakichuana vikali zaidi ni katibu wa uchumi ambayo wagombea wake ni imani madega na haji abuu jumaa
baada ya kuahirishwa kikao hicho mahiza alifanya kikao cha ndani na wajumbe wa mkutano mkuu taifa (nec) wa mkoa huo ridhiwan kikwete na rugemalila lutatina
alipotakiwa kuzungumzia hali hiyo jana katibu wa itikadi na uenezi wa ccm nape nnauye alisema waseme wenyewe wa pwani kama imetokea leo siwezi kupata taarifa leo kama imetokea wataleta taarifa zikifika tutakuwa na cha kuzungumza lakini leo waache waseme wao kwanza
posted by bahari ya maarifa at 55800 am | 2017-12-16T13:06:40 | http://mangiayoub.blogspot.com/2012/10/chaguzi-za-ccm-mabina-apinga-ushindi-wa.html |
mrpengo blog bunge lapitisha sheria ya kuanzishwa baraza la vijana
bunge lapitisha sheria ya kuanzishwa baraza la vijana
aidhakwa upande wa maoni ya kamati ya kudumu ya bunge ya maendeleo ya jamii yaliyosomwa na mwenyekiti wake said mtanda aliishauri serikali katika kifungu cha 4(3)kisomeke uanachama utakuwa na uwazi na hiari kwa kijana yeyote mwenye umri wa kuanzia miaka 15 mpaka 35pia kifungu cha 4(4) imeeleza kuwa baraza halitakuwa kisiasa liongezwe neno halitakuwa na itikadi za kidini
katika kipindi cha majadiliao ya muswada huo naye mhekuluthum mchuchuri (mb) viti maalum cuf aliipongeza serikali kwa mchakato wake mzuri wa kuandaa baraza la vijana litakalo saidia vijana kujadili matatizo yao na kuyawasilisha serikali kwa kupatiwa ufumbuzi kwa urahisipia ameishauri serikali katika suala la wajumbe uwawakilishi waanze kuanzia ngazi ya kata na serikali pia iweke wazi ni kwa utaratibu gani wawakilishi hao watapatikana
naye mhemagret sitta mbunge wa viti maalum ccm aliiomba serikali kuandaa ziara kwenda kuangalia mabaraza ya vijana katika nchi za wenzetu yanafanyaje kazi na kujifunzapia aliendelea kuiomba serikali itoe mafunzo mbalimbali ya ufundi kwa kushirikia na taasisi ya veta na vyuo vya wananchi ilikuwapatia elimu itakayo wasaidia vijana kujikwamua kiuchumi na kupunguza idadi ya vijana wa vijiweni
pamoja na hayo naye mbunge wa kasulu mjini (nccr) mhemoses machali alishauri serikali kuanzisha asasi moja ambayo vijana watakayo jiunga huko ili kudhibiti uanzishwaji wa asasi bandia kwa watu wenye nia ya kujinufaishapia aliipongeza serikali kwa kuleta muswada huo kwani unamanufaa makubwa kwa vijana
aidhambali ya kuwepo na marekebisho mbalimbali ya muswada huo serikali iliyapokea maombi ya suala la baraza hilo kuanzia katika ngazi ya kata ilikupata uwakilishi uliyowa uhakika na baraza likalete manufaa kwa kuanzia ngazi ya chini ambapo ndipo vijana wengi wanapatikana na jamii inawafahamu kwa usahihi zaidi
halikadhalika serikali iliridhia kuanzishwa kwa uwakilishi wa vijana watano kutoka kundi maalum kwa maana ya wenye ulemavu na ili kuweka uwianao wa vijana hawa kuweza kuwasilisha maombi yao kwa serikali kwa urahisi huku ikizingatia mahitaji yao maalum
posted by teammapicha mrpengo at 948 am | 2018-01-19T22:48:47 | http://atickfadhiri.blogspot.com/2015/04/bunge-lapitisha-sheria-ya-kuanzishwa.html |
serikali kutoa matrekta ili kuinua kilimo biashara kwa wanawake jiachie
serikali kutoa matrekta ili kuinua kilimo biashara kwa wanawake
serikali imeahidi kutoa pembejeo za kilimo cha kisasa yakiwemo matrekta kwa ajili ya kuwawezesha wanawake kupitia taasisi inayojihusisha na kuendeleza wanawake katika kilimo tanzania (cawat) ili waweze kushiriki kikamilifu katika kilimo cha kisasa hususani cha kibiashara ahadi hiyo ya serikali ya serikali imetolewa na naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi william ole nasha kwa niaba ya waziri mkuu kassim majaliwa wakati akizungumza kwenye harambee kukusanya fedha kwa ajili ya kuwezesha mradi wa kuwajengea uwezo wanawake waweze kushiriki kikamilifu katika kilimo biashara iliyoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya land o lakes kwa kushirikiana na cawat na kufanyika jijini dar es salaam mwshoni mwa wiki serikali ipo tayari kutoa pembejeo hizo za kilimo cha kisasa yakiwemo matrekta bora kabisa ambayo yataolewa kwa vikundi vya kina mama wanachama wa cawat ambao wataonyesha nia na uwezo wa kutekeleza kilimo cha kisasa hususani cha kibiashara zaidi wanufaika hao watahakikishiwa soko la uhakika kwa kile watakachozalisha alisema ole nasha ambae pia yeye binafsi alitoa mchango wa mil 2 kwenye harambee hiyo alisema serikali ipo tayari kushirikiana na taasisi yeyote nchini yenye nia ya dhati katika kuleta mabadiliko yenye tija yatakayoliwezesha taifa kuongeza kasi yake katika kuelekea uchumi wa viwanda na mapinduzi ya kilimo hatua hiyo ya serikali inakwenda sambamba na ahadi ya benki ya maendeleo ya kilimo nchini (tadb)kwa cawat ambapo kupitia kaimu mkurugenzi mtendaji wake bw francis assenga ilitangaza kwenye warsha hiyo kwamba ipo tayari kushirikiana na cawat ili kutoa ushauri utakaoambatana na fursa ya kutenga sh milioni 600 kwa ajili ya kuwajengea uwezo wanawake katika kuendesha kilimo hicho cha kibiashara kupitia taasisi hiyo kupitia ushirikiano wetu huo na cawat ni wazi kwamba tadb tunakwenda kufanya mabadiliko makubwa kwenye sekta ya kilimo hasa cha kisasa kupitia wanawake nchini baada ya kupitia malengo ya cawat tumelizika moja kwa moja kuwa tuna kila sababu ya kushirikiana nao ili kuifikisha hii nchi kwenye uchumi wa viwanda kupitia kilimo alisema katika harambee hiyo kiasi cha pesa zaidi ya milioni 27 kilipatikana ikiwa ni ahadi na taslimu huku pia ikielezwa kuwa balozi za japan na switzerland hapa nchini zimeonyesha nia ya kusaidia miradi mbalimbali itakayoendeshwa na taasis hiyo ya cawat awali wakizungumza kwenye hafla hiyo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa taasisi ya cawat dk victoria kisyombe pamoja na mkurugenzi mradi kutoka taasisi ya land o lake dr rose kingamkono walisema kwa sasa taasisi ya cawat ipo kwenye mchakato wa awali wa kuanza kujitegemea yenyewe kiuendashaji bila kutegemea msaada iliyokuwa ikiupata kutoka shirika la msaada la marekani usaid mkurugenzi mradi kutoka taasisi ya land o lake dr rose kingamkono akizungumza kwenye harambee ya kukusanya fedha kwa ajili ya kuwezesha mradi wa kuwajengea uwezo wanawake waweze kushiriki kikamilifu katika kilimo biashara iliyofanyika jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki
baadhi ya washiriki wa harambee hiyo
naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi william ole nasha akizungumza kwenye harambee hiyo ole nasha alimuwakilisha waziri mkuu kassim majaliwa kwenye harambee hiyo iliyofanyika kwa mafanikio makubwa
kaimu mkurugenzi mtendaji wa benki ya maendeleo ya kilimo nchini (tadb) bw francis assenga akizungumza kwenye harambee hiyobenki hiyo ilitangaza nia yake ya kutenga sh milioni 600 kuwezesha miradi ya taasisi ya cawat mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa taasisi inayojihusisha na kuendeleza wanawake katika kilimo tanzania (cawat) dk victoria kisyombe (kushoto) akipeana mkono wa pongezi na kaimu mkurugenzi mtendaji wa benki ya maendeleo ya kilimo nchini (tadb) bw francis assenga kwenye harambee hiyo ikiwa ni ishara kuanza kwa ushirikiano baina ya taasisi hizo wanaoshuhudia ni pamoja na naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi william ole nasha (wa pili kushoto) na mkurugenzi mradi kutoka taasisi ya land o lake dr rose kingamkono
naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi william ole nasha (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa taasisi za cawat land o lake sagcot pamoja na maofisa wa juu wa benki ya maendeleo ya kilimo nchini (tadb) kwenye harambee hiyo
naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi william ole nasha akipeana mkono wa pongezi na meneja uhusiano wa mfuko wa pesheni wa ppf lulu mengele ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa mfuko huo kwenye harambee hiyo
item reviewed serikali kutoa matrekta ili kuinua kilimo biashara kwa wanawake | 2017-06-28T15:39:37 | http://michuzijr.blogspot.com/2017/02/serikali-kutoa-matrekta-ili-kuinua.html |
video maswali makubwa 12 yaliyoulizwa bungeni leo june 14 2017 millardayocom
june 14 2017 mkutano wa saba wa bunge la kumi na moja umeendelea bungeni dodoma ambapo shughuli ilianza kwa kipindi cha maswali na majibu kwa serikali ambayo yalitolewa majibuhapa ninayo maswali makubwa 12 yaliyoulizwa na kujibiwa
← previous story video msichana mtanzania aliyeshinda dollar 500 kupitia facebook
next story → video maazimio ya wabunge baada ya maamuzi ya rais jpm | 2020-03-29T12:55:07 | https://millardayo.com/dudax/ |
maneno yote kama ibara ilivyo kila neno(maneno yaliyo ainishwa tu) kila neno(pamoja na minyambuko yake) hali kwa sasa timuادله نقلی ► maudhui zote qurani پیامبران hadithi elimu ya akida falsafa tabia irfani fiqhi tarehe nyendendo judgments مبانی شیعه اندیشه های امام خمینی (ره) مفاهیم قرآنی ولایت فقیه و حکومت اسلامی عرفان و اخلاق logic and philosophy know more arabic grammar kipindi chote msaa 24 yaliopiti wiki moja iliyopita wiki mbili zilizopita wiki tatu zilizopita mwezi mmoja uliopita miezi miwili iliyopita miezi sita iliyopita
6479 elimu za qurani 2012/05/23
10800 تقوی 2012/05/23
8807 tabia kimatendo 2012/06/17
4936 falsafa ya sheria na hukumu 2012/05/23
10111 دانش، مقام و توانایی های معصومان 2012/05/23
10800 tabia kimtazamo 2012/05/23 | 2019-12-14T11:48:01 | http://www.islamquest.ir/sw/archive/category/1446 |
tumetoka wapi sisi ni nani tunaenda wapi
mmojawapo kati ya michoro maarufu ya msanii paul gauguin wa kipindi cha baada ya uimpreshonisti
1 maswali na marejeo yake
2 uchunguzi wa kisayansi
21 umuhimu wa kisaikolojia na thamani katika maisha
22 asili na hali ya maisha ya kibiolojia
23 asili na hatima ya ulimwengu
24 maswali ya sayansi kuhusu akili
3 mitazamo ya kifalsafa
31 falsafa za kale za kigiriki
311 uplato
312 uaristoteli
313 falsafa ya shaka
314 usairini
315 uepikuro
316 falsafa ya uvumilivu
32 falsafa za enzi ya kutaalamika
321 uhuru kutoka mipango ya kimali ya jamii
322 ukanti
33 falsafa za karne ya 19
331 utumikaji
332 umaksi
333 ubatili wa vyote
34 falsafa za karne ya 20
341 upragmatiki
342 udhanaishi
343 ukanganyikaji
344 utu wa kidunia
345 uchanya wa kimantiki
346 baada ya usasa
347 dhana ya uhisia
348 upanthei wa kiasilia
4 mitazamo ya kidini
41 dini za magharibi na mashariki ya kati
411 uzoroastro
412 uyahudi
413 ukristo
414 uislamu
415 imani ya bahá'í
42 dini za asia ya kusini
421 falsafa za kihindu
4211 uhindu wa advaita na dvaita
4212 uvaishnavi
422 ujaini
423 ubudha
4231 ubudha wa mapema
4232 ubudha wa kimahayana
424 kalasinga
425 dini za mashariki ya mbali
426 ushinto
427 utao
428 ukonfiuso
429 dini mpya
5 katika utamaduni maarufu
81 jumla
82 kisayansi
83 kifalsafa
84 kiroho
maswali na marejeo yake
mwanafalsafa katika kutafakari alivyochorwa na msanii rembrandt
maana ya maisha ni nini nini maana ya haya yote sisi ni nani [1][2][3][4][5][6][7]
kwa nini tumekuwepo sababu ya sisi kuwa hapa ni nini [7][8][9][10][11][12]
asili ya uhai ni nini [13][14]
hali ya maisha ni nini ukweli ni nini [13][15][16]
madhumuni ya maisha ya mtu ni nini [4][7][15][17][18]
maana ya maisha ni nini [18]
cha maana na cha thamani maishani ni nini [14][19]
thamani ya maisha ni nini [14][20]
sababu ya kuishi ni nini kwa nini tunaishi [12][14][21]
uchunguzi wa kisayansi
dna ambayo ina maelekezo ya kijenitikia kwa ajili ya maendeleo na utendaji wa viumbe hai vyote
kwamba sayansi inaweza kutusaidia kuelewa zaidi kuhusu masuala ya msingi (kama vile maana ya maisha) ni suala linalozua mabishano mengi katika jamii za sayansi na falsafa ya sayansi
sayansi huenda ikashindwa kutuambia nini ni cha thamani maishani lakini baadhi ya fani zake hugusia maswali yanayohusiana watafiti katika saikolojia chanya hutafuta sababu zinazoleta hali ya ndani ya kuridhika na maisha[22] kujihusisha vikamilifu katika shughuli[23] kufanya mchango zaidi kwa kutumia vipawa vya kibinafsi[24][25]
aina moja ya mfumo wa thamani iliyopendekezwa na wataalamu wa elimunafsia ya jamii iitwayo kwa upana nadharia ya kupambana na mambo ya kutisha inasema kwamba maana yote ya binadamu inatokana na hofu ya msingi ya kifo ambapo maadili yanachaguliwa yanapotusaidia kuepukana na kumbukumbu ya kifo
sayansi ya niurolojia imetunga nadharia ya malipo raha na msukumo katika masuala ya kimwili kama shughuli za kupitisha ujumbe za kiniuro ikiwa mtu anaamini kwamba maana ya maisha ni kufanya raha ziwe nyingi iwezekanavyo basi nadharia zinatoa utabiri unaozidi kuongezeka kuhusu jinsi ya kufanya ili kufanikisha hilo
asili na hali ya maisha ya kibiolojia
kufanya kazi kwa abayojenesisi hakueleweki kwa ufasaha nadharia mashuhuri ni pamoja na nadharia ya dunia ya rna (vitoaji aina sawa katika makao ya rna) na nadharia ya dunia ya chumasulfuri (umetaboli bila jenetikia) nadharia ya mabadiliko ya viumbe haijaribu kuelezea asili ya uhai bali mchakato ambao viumbe tofauti vimepitia katika kipindi chote cha historia kupitia mabadiliko ya ghafla ya kijenitikia na uteuzi wa kiasili[26] wakati wa mwisho wa karne ya 20 kwa kuzingatia ufahamu wa mabadiliko ya viumbe unaotegemea jeni hasa wanabiolojia george c williams richard dawkins david haig miongoni mwa wengine wanahitimisha kwamba ikiwa kuna kazi msingi ya maisha ni kujinakilisha kwa dna na kuendelea kuwa hai kwa jeni za mtu[27][28]
ingawa wanasayansi wameyachunguza maisha yalivyo duniani kuyafafanua bayana bado ni changamoto[29][30] kimwili mtu anaweza kusema maisha hula entirofi hasi [31][32] ambayo walio hai wanapunguza entirofi yao ya ndani kwa gharama ya aina fulani ya nishati inayochukuliwa ndani kutoka mazingira[33][34]
wanabiolojia kwa jumla wanakubaliana kwamba viumbe mbalimbali ni mifumo inayojipanga inayosimamia mazingira ya ndani ili kudumisha hali hii ya mpango shughuli za kimetaboliki hutumika kutoa nishati na uzazi unaruhusu uhai kuendelea kwa vizazi vingi kwa kawaida maumbile huwa sikivu kwa uchochezi na habari za kijenitikia hivyo huelekea kubadilika kutoka kizazi hadi kizazi ili kuruhusu marekebisho kupitia mabadiliko ya kimwili sifa hizo huongeza nafasi ya kuishi ya kiumbe binafsi na wazao wake kwa mtiririko huo[35][36]
viwakala visivyokuwa vya seli vinavyozaana hasa virusi kwa jumla havitazamwi kama viumbe kwa sababu haviwezi kuzaana kwa kujitegemea au kuendesha shughuli za kimetaboliki pambano hilo ni tatizo ingawa baadhi ya vimelea na visimbayonti vya ndani ya mwili pia vinaweza kuishi maisha ya kujitegemea
astrobiolojia inajihusisha na masomo ya uwezekano wa kuwa na aina tofauti ya viumbe hai katika ulimwengu mwingine kama vile miundo ya kujinakilisha kutoka vifaa vingine visivyo dna
asili na hatima ya ulimwengu
upanuzi wa kimetriki wa nafasi enzi ya kupanda ni kupanuka kwa kivuto cha kimetriki kilichoko upande wa kushoto
ingawa dhana ya mlipuko mkuu ilipozinduliwa mara ya kwanza ilipambana na shaka kwa wingi shaka iliyochangiwa na uhusiano na imani ya dini ya uumbaji imekuja kuungwa mkono na uchunguzi kadhaa wa kujitegemea[37] hata hivyo fizikia ya sasa inaweza kuelezea tu ulimwengu ulivyokuwa mapema sekunde 10 baada ya kutokea wanafizikia wengi wamedadisi nini inaweza kuwa imetangulia na jinsi ulimwengu ulivyoanza[38] baadhi ya wanafizikia hudhani kuwa mlipuko mkuu ulitokea kiajali na kanuni ya kianthropiki inapozingatiwa mara nyingi hutafsiriwa kuashiria uwepo wa ulimwengu maridhawa[39]
hata hivyo haijalishi jinsi ulimwengu ulivyokuja kuwepo hatima ya binadamu katika ulimwengu huu ni maangamizi kwani hata kama ubinadamu utaishi muda huo wote maisha ya kibiolojia hatimaye yatashindwa kujiendeleza[38]
maswali ya sayansi kuhusu akili
hali ya kweli na asili ya fahamu na akili yenyewe pia vinajadiliwa sana katika sayansi suala la hiari pia linaonekana kuwa na umuhimu wa msingi masuala hayo hupatikana zaidi katika nyanja za sayansi koginitivu niurolojia na falsafa ya akili ingawa baadhi ya wanabiolojia wa mabadiliko ya viumbe na wanafizikia wa kinadharia pia wameliashiria sana suala hilo[40][41]
kuinuka kwa watakatifu ni picha iliyochorwa na msanii hieronymus bosch inaonyesha sehemu inayofanana na pango lenye mwanga na watu wa kiroho mara nyingi hutajwa katika ripoti za waliokikaribia kifo
mbinu nyingine kwa vile mfano wa rasimu nyingi hudai kwamba fahamu inaweza kuelezwa kikamilifu na niurolojia kupitia utendaji kazi wa ubongo na niuroni zake hivyo kushikilia ubiolojia wa kihalisia[41][42][43]
kwa upande mwingine wanasayansi kama andrei linde wanadhani kwamba fahamu kama nafasiwakati huenda ikiwa na ngazi zake za ndani za uhuru na kwamba maoni ya mtu binafsi yanaweza kuwa halisi kama (au hata kuliko) vifaa tunavyoweza kuvigusa na kuviona[44]
nadharia ambazo hazijabainishwa za fahamu na nafasiwakati zinaelezea kuhusu fahamu katika kuelezea nafasi ya vipengele vyenye fahamu[44] mara nyingi zikijumuisha idadi kubwa ya mitazamo ya ziada[45]
nadharia za sumakuumeme za fahamu zinatatua tatizo lenye vipengele vingi la fahamu kwa kusema eneo la sumakuumeme linalotokana na ubongo ndilo hasa linalobeba fahamu zoefu hata hivyo kuna kutokubaliana kuhusu kutekelezwa kwa nadharia kama hiyo inayohusu utendaji kazi kwingine kwa akili[46][47]
nadharia za akili za kikwontamu hutumia nadharia ya kwontamu kuelezea baadhi ya sifa za akili [48][49][48][50]
ikitegemea hoja ya maelezo ya akili yasiyoweza kugusika baadhi ya watu wamependekeza uwepo wa fahamu ya kikozmiki wakidai kwamba fahamu kwa kweli ndiyo msingi wa yote kuwepo[16][49][51] wanaounga mkono mtazamo huo wanaelezea matukio yasiyo vya kawaida hasa uwezo wa kuhisi usio wa kawaida na uwezo wa kuyasoma mawazo kama ushahidi wa uwepo wa fahamu ya juu isiyoeleweka katika matumaini ya kuthibitisha uwepo wa mambo hayo yasiyokuwa ya kawaida wanaelimunafsia wa mambo yasiyo ya kawaida wamefanya majaribio mbalimbali uchambuzi unaoangalia mambo yote yaliyopo unaonyesha kuwa idadi ya wenye nguvu zisizo za kawaida (ingawa ndogo sana) kwa ulinganishaji imebaki thabiti[52][53] ingawa baadhi ya wachambuzi wakosoaji wanahisi kuwa somo la elimunafsia isiyo ya kawaida ni sayansi hawaridhishwi na matokeo ya majaribio yake[54][55]
wanaochunguza mambo haya upya wanabaki na wasiwasi kwamba matokeo yanayoonekana kuwa na mafanikio huenda yakawa yanatokana na utaratibu mbaya na watafiti wasiokuwa na mafunzo ya kutosha au mbinu hafifu[56][57][58][59]
mitazamo ya kifalsafa
falsafa za kale za kigiriki
plato na aristotle katika shule ya athene mchoro wa ukutani wa msanii raffaello
plato alikuwa mmoja wa wanafalsafa wa mwanzo na mwenye ushawishi mwingi hadi leo hasa kwa uhalisia kuhusu uwepo wa viulimwengu katika nadharia ya maumbo viulimwengu havipo kimwili lakini vipo katika maumbo ya kipepo au kimbingu katika jamhuri mazungumzo ya mhusika wa mwalimu wake sokrates yanaelezea umbo la zuri jambo la kimaadili hali kamili ya uzuri hivyo basi kipimo cha ujumla cha haki katika falsafa ya plato maana ya maisha ni kufikia umbo la juu zaidi la elimu ambalo ni umbo la zuri ambapo mambo yote mema na ya haki yanatoa umuhimu na thamani binadamu wamefungwa na wajibu wa kuyatekeleza mazuri lakini hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa katika harakati hiyo bila fikira za kifalsafa ambazo zinaruhusu elimu ya kweli
uaristoteli
aristotle mwanafunzi wa plato alikuwa mwanafalsafa mwingine wa mapema mwenye ushawishi mkubwa ambaye alisema kuwa maarifa ya maadili si ya hakika kama metafizikia na somo la maarifa lakini ni maarifa ya kiujumla kwa sababu si fani ya kinadharia inambidi mtu asome na afanye mazoezi ili awe 'mzuri' kwa hiyo mtu angekuwa mwema hangeweza kusoma tu fadhila ni nini ingembidi awe na fadhila kupitia juhudi za kiadili kufanya hili aristotle alifafanua kitendo kilicho cha fadhila kila tajriba na kila swali na vilevile kila tendo na chaguo la tendo linadhaniwa kuwa na uzuri fulani kama lengo lake hii ndiyo sababu ya kwamba lile zuri limefafanuliwa ifaavyo kama lengo la bidii yote []
kila kitu hufanywa na lengo na lengo hilo ni zuri(maadili ya kinikomakea 11)
hata hivyo ikiwa kitendo a kinafanyika ili kufikia lengo b kisha lengo b pia litakuwa na lengo (lengo c) na lengo c pia litakuwa na lengo hivyo muundo huo utaendelea mpaka kitu kiusimamishe suluhisho la aristotle ni wema mkuu ambao ni wa kuwaniwa kwa ajili yake pekee ni lengo lake lenyewe wema mkuu hauwaniwi kwa ajili ya kufikia mema mengine na mema yote yanawaniwa kwa ajili yake hili linahusisha kufikia eudemonia ambayo kwa kawaida hutafsiriwa kama furaha ustawi kutokosa chochote muhimu na ubora
falsafa ya shaka
katika ugiriki ya kale wanafalsafa wa shaka walisema kuwa lengo la maisha ni kuishi maisha ya fadhila yanayowiana na viumbe wengine furaha inatokana na kujitegemea na kuusimamia mtazamo wa kiakili mateso yanatokana na maamuzi ya uongo kuhusu thamani ambayo husababisha hisia mbaya na aidha tabia ya uhasama
maisha ya shaka yanakataa tamaa za kawaida za mali nguvu afya na umaarufu kwa kuwa huru kutoka vitu vinavyopatikana katika kuyatafuta ya kawaida[60][61] kama viumbe wenye uwezo wa kufikiria watu wanaweza kufanikisha furaha kupitia mafunzo kabambe kwa kuishi katika njia iliyo ya kiasili kwa binadamu dunia ni ya kila mtu kwa kiwango sawa hivyo mateso yanasababishwa na uamuzi wa uongo kuhusu kile ambacho ni cha thamani na kile ambacho hakina maana kulingana na tamaduni na itikadi za jamii
usairini
falsafa ya usairini iliyoanzishwa na aristipo wa kirene ilikuwa shule ya zamani ya kisokrate iliyotilia maanani upande mmoja tu wa mafundisho ya sokrates kwamba furaha ni tokeo moja la mwisho la hatua za kimaadili na kwamba radhi ni zuri kuu hivyo basi mtazamo wa dunia wa kuipenda raha pekee ambapo kutimiza tamaa za mwili ni za faida kuliko radhi ya akili wasairini walipendelea kutimiza tamaa haraka kuliko faida inayopatikana baada ya kusubiri kipindi kirefu kunyimwa ni huzuni mbaya[62][63]
uepikuro
mchongo wa epikuro akimuegemea mwanafunzi wake metrodorus katika makavazi ya louvre
kwa epikuro jambo zuri kuliko yote ni kutafuta raha za wastani kupata utulivu na kuwa uhuru kutoka hofu (ataraxia) kupitia maarifa urafiki na wema kuishi kwa kujichunga maumivu ya kimwili (aponia) hayapo kupitia maarifa ya mtu kuhusu hali ya dunia na mipaka ya matamanio ya mtu vikiwa pamoja uhuru kutoka maumivu na uhuru kutoka hofu ndiyo furaha kuu kukusifu kwake kufurahia anasa ambazo hazijapita kiasi kunakaribia dhana ya kujiepusha na raha zote kama vile ngono na anasa
tunaposema kuwa radhi ndio mwisho na lengo hatumaanishi raha za upotevu au raha za kimwili jinsi tunavyoeleweka na wachache kwa ujinga ubaguzi au udanganyifu wa makusudi tukisema radhi tunamaanisha kutokuwepo kwa maumivu mwilini na taabu katika nafsi si kwa mfululizo wa ulevi na kuponda raha si kwa tamaa ya ngono wala kufurahia utamu wa samaki na vyakula vingine vitamu kutoka meza iliyojaa vinono ambavyo huzalisha maisha mazuri ni fikira za kimakini kutafuta nje ya misingi ya kila uchaguzi na kuepuka na kuikataa mitazamo ambayo hufanya shida kubwa kuichukua nafsi[64]
maana ya kiepikuro ya maisha inakanusha kutokufa na dhana ya maisha mengine mbali na haya ya duniani kuna nafsi lakini inaweza kufa kama mwili hakuna maisha baada ya kifo ingawa mtu hatakiwi kuogopa kifo kwa sababu kifo si chochote kwetu kwani yale ambao hunywea ni bila hisia na kile ambacho hakina hisia si chochote kwetu[65]
falsafa ya uvumilivu
falsafa ya uvumilivu hufunza kwamba kuishi kulingana na fikira njema ni kuwa kat | 2015-07-02T05:22:55 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Maana_ya_maisha |
muhuri wa siny main oil cylinder
nyumbani > bidhaa > muhuri wa siny main oil cylinder
(jumla ya 24 bidhaa kwa muhuri wa siny main oil cylinder)
hebei shengdebaolong international trading coltd ni moja ya bidhaa za muhuri wa siny main oil cylinder zinazoongoza nchini china ni kiwanda na muuzaji aliye maalumu katika viwanda muhuri wa siny main oil cylinder toa ubora wa juu muhuri wa siny main oil cylinder kwa bei ya bei nafuu
putzmeister saruji pampu kuu ya mafuta ya silinda muhuri
uwezo wa ugavi 50000 pieces per time
tag saruji ya pomba ya swing ya mpira wa mpira wa siri muhuri wa siny main oil cylinder saruji ya saruji muhuri wa siri ya siri ashuru
saruji sehemu ya pampu kuu ya mafuta silinda muhuri assy na muhuri kits kuna bidhaa nyingi zenye pampu ya muhuri pampu ikiwa ni pamoja na kiti za muhuri wa putzmeister kiti za zoomline muhuri sany halisi pampu muhuri assy schwing muhuri assy
tag schwing complete agitator iliyofungwa schwing complete agitator iliyofunguliwa schwing saruji pure agitator kuzaa
schwing saruji pamba pamba vipu vipande vilivyofungwa iliyofungwa na iliyofunguliwa tuna aina nyingi za schwing saruji vipuri vipuri katika ghala yetu ikiwa ni pamoja na schwing saruji pampu plunger silinda schwing slewing lever mlango schwing
tag bomba la elbow elbow ya zege bomba la mafuta
sehemu za pump zisizopigwa elbow hebei shengdebaolong international trading co ltd ni mtengenezaji wa kitaaluma na nje ya saruji pampu elbows kwa zaidi ya miaka kumi w ufanisi mkubwa na bei ya ushindani sana teknolojia jopo la pampu la bomba
tag kamba ya saruji ya kamba ya kamba ya kupiga uchina wa pembe ya casting ya kamba ya chanda china ya prete ya saruji ya kuunganisha kamba
zoomlion imetengenezwa kuunganishwa kwa bolt kuna aina nyingi za pampu za kupiga pampu za pampu kuhusu pampu thabiti inayounganisha kamba tuna aina tatu kwanza ni kawaida ya kughushi na kutupwa kamba pamoja na ukubwa wa sk148mm na 5 5
tag kusafisha sponge mpira sponge mpira wa mpira mpira sponge cleaning ball kwa malori ya pembe ya concrete
sehemu za pampu za kukimbia kusafisha mpira wa sifongo mpira dn125 kwa lori iliyowekwa saruji boom pampu 1 hebei shengdebaolong international trading co ltd inaweza ugavi ubora bora pande zote sura pampu sehemu spong kusafisha mpira kutumika juu
putzmeister halisi pampu piston muhuri kichwa
tag putzmeister concrete pump mkuu wa piston pump halisi ya pistoni iliyokatwa muhuri wa pumponi muhuri wa pumponi
putzmeister (pm) saruji mpira wa pistoni kichwa muhuri kichwa kuhusu putzmeister halisi pampu pistoni kwa kawaida tuna aina mbili za pistoni aina moja ya pistoni ni piston muhimu na nyingine ni piston muhimu kubadili ukubwa wa pistoni tuna
model number dn180 dn200 dn230 dn260
tag pump halisi ya piston ram sist concrette pumponi pumponi pu pump halisi ya piston ram
maelezo ya bidhaa pu pumponi ya sany zoomlion mwandishi wa schwing lori lenye mipuko ya zege tuna bidhaa nyingi tofauti za pampu ya pistoni ya pampu putzmeister schwing sany zoomline kifafa niggate kyokuto na kadhalika pm pistoni pampu
putzmeister kitambaa kilichovunjika mpira wa pistoni muhuri
tag putzmeister split mpira pistoni saruji ya pump ya kitambaa cha pistoni saruji za pump parts mpira wa pistoni
putzmeister halisi pampu mpira piston muhuri na pete mwongozo kuna aina mbili za sehemu za pampu za putzmeister zenye pampu aina moja ya pistoni ni pistoni ya integral na moja ya pampu halisi imepasuka pistoni kwa kawaida dn200 saruji pampu
putzmeister s valve kits kubwa ya muhuri wa mwisho
tag s valve kuondoa kubwa muhuri putzmeister repair kits putzmeister big end seal kits
putzmeister saruji pampu kubwa ya mwisho ya muhuri sisi kuweka puttmeister kubwa mwisho kits kukarabati kits katika hisa kubwa mwisho kits muhuri kutumika kwenye valve s kuhusu putzmeister saruji pampu kuvaa sisi pia kuwa na sehemu nyingi katika
tag putzmeister forged concrete pump screw clamp bomba la zege bolt clamp coupling vipuri vya pamba vya kuvaa
putzmeister halisi pampu screw coupling coupling kuhusu putzmeister amevaa sehemu tuna sehemu nyingi zilizovaa kwenye hisa hasa sehemu za putzmeisterconcrete pampu ya kuunganisha putzmeister ina ukubwa wake wa kuunganisha ukubwa ndiyo juu ya
cifa halisi ya pampu ya mpira wa pistoni ya pampu
tag cifa prete ya pumponi cifa krete ya piston pump muhuri wa piston pump ya perioni ya cifa
cifa halisi ya pampu ya mpira wa pistoni ya pampu kuhusu saruji ya pampu ya pistoni mpira tuna kawaida putzmeister sany zoomline schwing na kadhalika bidhaa mpira mpira piston muhuri pia tuna cifa halisi ya pampu ya piston kondoo tuna pistoni
lubricant kwa bomba la kusukumia saruji
tag saruji ya pampu lubricant bomba la zege lubricantion imara siri ya pomba ya kwanza ya pomba
pampu saruji amevaa lubricant imara kwa bomba la kusukumia saruji tuna aina moja ya lubricant imara thabiti ya pampu ya kusukumia bomba kwa kawaida mfuko mmoja ni 500g au 300g au kama mahitaji ya mteja kwa kawaida hutumia mfuko wa plastiki na
muhuri wa siny main oil cylinder jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa muhuri wa siny main oil cylinder jumla kwenye hebei shengdebaolong international trading coltd na kupata ubora wa juu muhuri wa siny main oil cylinder moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china muhuri wa siny main oil cylinder na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka | 2019-08-17T10:44:59 | http://sw.sdblpumpparts.com/dp-muhuri-wa-siny-main-oil-cylinder.html |
download audio | mimi mars watoto taifa la kesho mp3 all free music downloads
home / mimi mars / download audio | mimi mars watoto taifa la kesho mp3
download audio | mimi mars watoto taifa la kesho mp3
mokomidiacom 11/25/2019 mimi mars
download audio | mimi mars watoto taifa la kesho mp3 reviewed by mokomidiacom on 11/25/2019 rating 5 | 2020-05-25T10:05:48 | https://www.mokomidia.com/2019/11/download-audio-mimi-mars-watoto-taifa.html |
straika moto wa kina hazard ramires sturridge waisaidia chelsea kuikandamiza man u 54 liverpool wachapwa 31 na swansea
moto wa kina hazard ramires sturridge waisaidia chelsea kuikandamiza man u 54 liverpool wachapwa 31 na swansea
hazard akishangilia goli alilowatungua man u kwa penati katika mechi yao ya kombe la capital one jana usiku oktoba 31 2012 (picha reuters)
wewwweeeeee hazard akishangilia
ryan giggs wa man u (kulia) akifunga goli lao la ufunguzi dhidi ya chelsea katika mechi yao ya raundi ya nne ya kombe la capital one kwenye uwnaja wa stamford bridge jana usiku oktoba 31 2012 (picha reuters)
sturidge (aliyebebwa) akishangilia goli alilofunga dhidi ya man na wachezaji wenzake ramires na hazard katika mechi yao ya kombe la capital one kwenye uwanja wa stamford bridge jana usiku
nani (kulia) wa man u (kulia) akipongezwa na mwenzake anderson baada ya kufunga goli dhid ya chelsea katika mechi yao ya kuwania kombe la capital one jana usiku (picha reuters)
nathan dyer wa swansea city (katikati) akibanwa na jack robinson na luis suarez wa liverpool wakati wa mechi yao ya raundi ya nne ya kombe la capital one kwenye uwanja wa anfield jana usiku oktoba 31 2012 mjini liverpool england swansea ilishinda 31 (picha reuters)
aiya weeee luis suarez wa liverpool akisikitika baada ya timu yake kula kichapo katika mechi yao ya raundi ya nne ya kombe la capital one dhidi ya swansea city kwenye uwanja wa anfield jana usiku oktoba 31 2012 (picha reuters)
washambuliaji wa chelsea walikuwa juu mno jana usiku dhidi ya beki yosso wa manchester united wakati wenyeji waliposhinda kwa mabao 54 na kutinga hatua ya robo fainali ya kombe la capital one watakayocheza dhidi ya leeds united
chelsea walifanya makosa mawili kwenye safu yao ya mabeki wakati ryan giggs na javier hernandez walipofunga kila mmoja huku goli la kwanza la kusawasisha la wenyeji likiwekwa wavuni kwa njia ya penati na david luiz
gary cahill alifanya ubao wa magoli usomeke 22 lakini goli jingine la man u kutokana na mpira wa kubetua wa nani lilionekana lingemaliza mechi kabla ya kusawazishwa kupitia penati ya eden hazard
daniel sturridge na ramires walifunga kila mmoja katika dakika 30 za nyongeza kabla giggs hajaifungia man u goli la nne kwa njia ya penati
luiz pia aligongesha besela katika nusu saa iliyoongezwa wakati chelsea ilipomaliza mechi hiyo ikiwa kidedea na kustahili ushindi baada ya kuwaingiza nyota wao walioanzia benchi
lakini pia walimshukuru beki yosso wa kati wa man u scott wootton aliyemsukumiza ramires kuwazawadia chelsea penati ya pili katika dakika za majeruhi na baadaye akapiga pasi fupi ya kichwa kumrudishia kipa anders lindegaard ambayo mwishowe ilinaswa na sturridge na kuwapa wenyeji goli jingine muhimu
mechi hiyo ya kusisimua ilistahili hasa kumaliza bifu lililotokana na mechi yao ya ligi kuu ya england siku tatu zilizopita wakati refa mark clattenburg alipowatoa nje kwa kadi nyekundu wachezaji wawili wa chelsea na kutuhumiwa kutumia lugha chafu dhidi ya john mikel obi na juan mata
refa lee mason alichezesha vizuri sana juzi akitoa penati zote tatu kwa usahihi na pia kushughulikia vyema ugomvi kati ya oscar na nani ulioonekana kutaka kuharibu
baada ya kuongoza katika nusu ya kwanza man u walijikuta wakigeuziwa kibao wakati hazard na oscar walipoungana na mata moses na sturridge katika kuunda safu ya ushambuliaji yenye nyota watano wa chelsea baada ya mapumziko
lakini kabla ya mapumziko kikosi cha kocha alex ferguson kilionekana kujipanga vyema huku chelsea wakinaswa mara mbili wakati wakicheza nje ya eneo lao kipa petr cech na david luiz wote wakistahili kubeba lawama
goli la utangulizi la man u lilipatikana wakati cech alipomuanzishia mpira oriol romeu aliyekuwa peke yake karibu na eneo la penati lakini anderson aliuwahi mpira akampasia giggs kabla winga huyo mwenye miaka 38 kutofanya makosa na kumalizia vyema kwa kuupeleka mpira huo wavuni pembeni kwa chini ya lango
hadi kufikia wakati huo wageni walikuwa wamepiga mashuti mengi yaliyolenga lango lakini hakukuwa na hata moja kali la kumsumbua cech wakati safu ya kiungo iliyokuwa na wazoefu giggs darren fletcher na anderson ikimlinda kirahisi beki yosso wa kati wa kikosi chao ambacho kilimshuhudia kocha alex ferguson akibadili wachezaji 10 kulinganisha na kikosi kilichoanza katika mechi yao ya jumapili
hata hivyo mmoja kati ya wachezaji wenye sura mpya kikosini alexander buttner alimuangusha moses na kuipa chelsea penati ya kwanza iliyofungwa na luiz
mbrazili huyo alipiga penati kali lakini ndiye aliyehusika na goli la pili la man u wakati alipokokota mpira kuvuka nusu ya uwanja na kunyangannywa na mbrazili mwenzake rafael
anderson aliinasa pasi aliyopewa na kumpenyezea javier hernandez chicharito aliyemfunga cech kwa mara ya sita katika mechi tisa alizocheza dhidi ya chelsea
rafael mchezaji pekee aliyekuwamo pia katika kikosi cha man u kilichocheza jumapili alihamia kwenye nafasi ya beki wa kushoto katika kipindi cha pili na ndiye aliyemnyanganya mpira sturridge kabla ya kufunga goli la kusawazisha lakini beki huyo wa pembeni wa man u alishindwa kumzuia cahill wakati akiwahi kona ya mata na kufunga goli lililofanya matokeo yawe 22
dakika saba baadaye nani aligongeana vyema pasi za onetwo na anderson kabla ya kufunga na kuipa man u uongozi kwa maa nyingine tena
wootton alimsukuma ramires na kusababisha penati iliyowekwa wavuni na hazard na mwishowe sturridge akatumia vyema makosa mengine ya wootton aliyepiga pasi ya kichwa chepesi kumrudishia lindegaard na mahsambuliaji huyo akauwahi mpira na kuipa chelsea uongozi
hazard alimtengenezea pasi safi ramires aliyefunga na kufanya matokeo yawe 53 na hivyo hata baada ya giggs kuongeza bao jingine la penati baada ya chicharito kuangushwa bado chelsea walitoka kifua mbele kwa ushindi wa 54
katika mechi nyingine za kombe la capital one jana swansea city walishinda 31 dhidi ya liverpool na norwich waklshinda 21 dhidi ya tottenham
katika hatua ya robo fainali bradford watavaana na arsenal leeds united dhidi ya chelsea norwich city dhidi ya aston villa na swansea watacheza dhidi ya middlesbrough | 2018-02-21T11:10:14 | http://straikamkali.blogspot.com/2012/11/moto-wa-kina-hazard-ramires-sturridge.html |
tusiuogope wingi (majority) wa wabunge wa ccm | jamiiforums | the home of great thinkers
tusiuogope wingi (majority) wa wabunge wa ccm
discussion in 'jukwaa la siasa' started by kisanduku dec 2 2010
kwanza niwieni radhi kwani thread hii nimeiandika harakaharaka lakini naamini mtaiona ni ya msingi
mimi sina shaka na kina tundu lissu kufikisha hoja yoyote wala siiogopi majority ya ccm mle bungeni ambayo ni 78 hivi ingekuwa majority ya ccm bungeni ndiyo kikwazo je dr slaa angethubutu kupeleka hoja ya epa bungeni tena wakati huo chademahawazidi watano
ukweli alijua majority ni kubwa lakini aliamini amaijenga hoja yake vizuri kisomi kiasi kwamba ukiipinga unajiumbua tu mbele ya jamii kilichokwamisha hoja ile ni spika sitta mnayemsema alipambana na ufisadi wakati yeye ndiye aliyeizuia kwa kusema hawezi kupokea hoja yenye ushahidi wa internet
vinginevyo dr slaa hoja yake ingeunguruma na ingetikisa si bunge tu bali nchi nzima inaelekea wengine hawaukumbuki mwaka 1992 ambapo hoja ya njelu kasaka ya utanganyika ilipovurumisha nchi njelu kasaka alijua majority ya wabunge wangeikataa hoja ile lakini yeye alikuwa na wafuasi 55 tu wakijiita g55 wakiwemo philim marmo generali ulimwengu na wenzao
hoja ile ilishindwa kuzuiwa bungeni hadi julius nyerere akaingilia na kuwatungia kitabu malecela na kolimba kushindwa kuipinga hoja ya wabunge 55
hoja ya chrisant mzindakaya ya minofu ya samaki ilimuondoa proffessa mbilinyi sikumbuki wizara gani ilikuwa hoja nyingine ya mzindakaya ya vibali vya sukari ilimuondoa idd simba kwenye wizara ya viwanda
hivyo tatizo si majority ya wabunge tatizo ni uzito na ukweli wa hoja uzito na ukweli unaoweza kujengwa kisomi lakini kila mwananchi akauelewa
hoja ya tume huru ikipangwa vizuri na ushahidi ukaletwa lazima nchi itetemeke kwa mfano chadema ikipeleka bungeni ushahidi mzito unaoonyesha kura za uraisi zilivyochakachuliwa hata kwa jimbo moja tu ushahidi wa fomu za mawakala ambazo na ccm walipata kopi
hakuna mwanaccm mle bungeni anayeweza kuipinga bila kuleta na yeye fomu za mawakala kwa sababu wataumbuka hivyo mjadala hautafika hata kwenye kupiga kura sanasana ili kufuta aibu bunge lote litaamua ipite mara moja
tunasahau kuwa hata hoja ya kuwa na vyama vingi ilikuja kwa shinikizo la dunia kubadilika na kwa wanaujamaa kukosa support urusi iliposambaratika ingekuwa ni suala la majority basi majority yaani 80 walisema hawataki vyama vingi kupitia tume ya nyalali
nyerere alijua wazi hao 80 hawana hoja au hawajui ni kinaendelea duniani ndipo aliposisitiz kwamba vyama vingi lazima vije tu
turudi kwenye mifano ya juzi ni wanaccm wangapi mle bungeni tuliwabatiza jina makamanda wa ufisadi hakika hawazidi hata kumi lakini wameungurumisha karibu miaka miwili yote ya mwisho ya bunge lililopita mbona hapo wingi wa wabunge wa ccm haukusaidia makamanda hao wanyamaze hadi wakaishia kuitana kwenye vikao vyao vya chama na kutaka kuvuana uanachama
hoja ya halima mdee na ufisadi wa kinondoni mbona aliibeba kivyake bila utegemezi tena akitishiwa na makamba kuchukuliwa hatua mbona makamba mwenyewe aliinua mikono akachomoa mwishoni na hoja ya halima mdee ikapita
hivyo tusijidanganye na minority yani uchache wa wenye hoja hakuna minority ndogo zaidi ya mtu mmoja ndiyo maana kuna hoja ya vikundi au hata hoja binafsi ya mtu mmoja hoja ikijaa ukweli huna haja ya kupiga debe ikubaliwe hoja zinapojadiliwa mle bungeni usidhani wote wanachangia au kupinga hata hoja iwe na upinzani vipi sanasana wachangiaji wanaweza wasizidi 20 wakati bunge lina wabunge zaidi ya 200
kufikia kupiga kura ni lazima uzito wa hoja uwe umelinganalingana mkiipinga kwa minajiri ya kuipiga basi yanaweza kuwatokea puani kama mudhihiri alivyoleta hoja ya kumuadhibu zitto kabwe majority ya wabunge ikakubali na zitto akaadhibiwa nini kilifuata zito alipokelewa kama shujaa na tangu hapo akawa maarufu kwa serikali je nini kilitokea wananchi walipiga kelele kila kona hadi naibu spika anne makinda akalaumu kwamba wananchi wanatakiwa kufundishwa kanuni za bunge serikali haikuadhibika hivyo tu wiki zilizofuata ikawatuma mawaziri wake kwenda mikoani kumpinga zitto lakini wakaishia kuzomewa kila kona kumbuka wakati huo dr slaa ameshachomoa hoja yake ya epa lakini siku za mwembeyanga hazijafika
hoja ya richmond ilitimia kwa kuletwa ripoti ya mwakyembe mwakyembe na kamati yake walikuwa hawazidi kumi iliposomwa ripoti hawakuchangia zaidi ya watu kumi je ni kina nani walikuja na mchango hoja nzito mle bungeni na ikaleta ubishi ili kuipiga ripoti ya mwakyembe unbishi ambao kama tungefikia deadlock basi ingebidi ipigwe kura hakuna kama ulisimama ukaipiga ripoti ile basi ulikuwa unajitafutia balaa ambalo ungepona kwa kuhama nchi hii balaa la kuzomewa tu na kuitwa fisadi
hivyo kama kweli tunataka kusaidia basi humuhumu jf na nchi nzima tujadili jinsi ya kujenga hoja nzito zitakazofikishwa bungeni ili tupate walau tume huru
makala ya celina kombani nimeisoma yote nilivyomelewa ninaona kama serikali wanajua wananchi wameamka sasa ni lazima ifikapo 2015 tume huru itakuwa imeshakuja kwa njia zozote
mimi naona kama ni maandalizi ya kuonekana kuwa hata wao pia walishiriki kuileta hiyo tume huru kama wanavyojisifu kuleta vyama vingi
naishia hapa mengine ongezeeni
mwana jf kisanduku umenifurahisha kweli kweli kwa thread yenye kuondoa wasiwasi na kuingiza ujasiri jinsi hoja hizi nzito za tume huru ya kuchunguza matokeo ya uchaguzi katiba mpya (kama ile ya kibaki/raila) tume huru ya uchaguzi kupunguza madaraka ya rais viporo vya epana richmond zinavyokwenda kupita bila kupingwa mjengonitamu kweli kweli jf tuelimishe hata wabunge wa sisiemu walio mbumbumbu kwamba wakitaka kuchaguliwa 2015 waangalie tundu lissu anatetea hoja ipi waiunge hiyo hiyo hapo full support
unajua hata mkwere akiwa mjanja anaweza akaitosa sisiemu kwa kukimbiza hoja hizi kwenye line ya dr wa phd na kusapraise watanzania kiasi kwamba at the end of his term (2015) sisiemu ikapinduliwa na cdm lakini yeye mkwere akipata legacy ya kuandika katiba mpya tume huru ya uchaguzi mpya (akawatelekeza makame na kiravumaana nani atamshika shati tena) na kupunguza madaraka ya rais dr wa phdsi ndivyo anavyotaka dr wa phd safi sana mwana jf kisanduku kwa kuleta thread hiicongrats
ukweli ni kwamba hoja bungeni hupita kutokna na uthabiti wake na si kutegemea wingi wa wabunge au wanaoipenda
kumbuka seneti ya usa ilikuwa imepania kumnyima george bush hela za kwenda kuipiga iraq ilibidi bush mwenyewe abebe mikoba yake toka white house na ninakumbuka alitumia masaa mawili akitoa speech ni kwa nini anahitaji kwenda iraq
seneti wote walimsikiliza huku wakitumbua macho toka mwanzo wa speech hadi mwisho baada ya hotuba hakuna yeyote aliyeinuka kupinga vita si democrat au republic wote waluinga mkono hoja na marekani ikaingia vitani
hivyo watanzania tujenge hoja nzito inoyokublika tuone kama kuna mbunge anatakeinuka kuipinga achilia mbali kuipigia kura
hoja ya tume huru ni rahisi sana kuijenga hata kama kusingekuwa na vipanga kama wilbroa slaa au tundu lissu ni kwamba tu hakukua na wa kuishikia bango
lakini sasa wakati ndiyo huu
swali je mnafahamu ili hoja ijadiliwe bungeni inahitaji kupita kwa na nani kwanza kila mbunge anaibua makabrasha yake ya hoja na kuanza kuisoma bungeni tafakarini kwanza
kweli na tusishindwe kupaza sauti na kuongea mambo ya muhimu bungeni kwa hofu hiyo pia
kisanduku u have reveled the reality in truthu r 99 right the 1 remains kwa watoa hoja na waunga hojai think its time up not to rush kutumia nguvu ya uma wakati wana nafasi ya kuupeleka ukweli mezanikama wataukataa ukweli na wananchi tukajua hapo upo ukweli na umekataliwa kwa kulinda maslahi ya ccm then nina uhakika hata watoto wa shule ya msingi wataingia barabarani kama wazee wa eac
sina hofu na idadi ya wabunge wa ccm coz kazi yao kubwa ni kulala tu bungeni wakisubiria siku iingie wavute posho
swali je mnafahamu ili hoja ijadiliwe bungeni inahitaji kupita kwa na nani kwanza kila mbunge anaibua makabrasha yake ya hoja na kuanza kuisoma bungeni tafakarini kwanzaclick to expand
mkuu cassanova
nashukuru kuwa kwa maelezo yako unakubaliana na hoja zangu isipokuwa tatizo kwako ni utaratibu wa kuzifikisha hoja hizo bungeni sidani kama hilo ni tatizo ndiyo maana kuna kanuni za bunge ambazo kila mleta hoja azipitie iwe ni serikali mbunge au kamati na kama umenisoma nieeleza mifano mingi ya hoja zilizopelekwa na zikafaulu kutikisa bunge
kisanduku u have reveled the reality in truthu r 99 right the 1 remains kwa watoa hoja na waunga hojai think its time up not to rush kutumia nguvu ya uma wakati wana nafasi ya kuupeleka ukweli mezanikama wataukataa ukweli na wananchi tukajua hapo upo ukweli na umekataliwa kwa kulinda maslahi ya ccm then nina uhakika hata watoto wa shule ya msingi wataingia barabarani kama wazee wa eacclick to expand
mkuu questt
nashukuru shukrani zako kunielewa labda niongezee kwa kutofautiana na wewe kuhusu kutumu=ia nguvu ya umma kama tumekubaliana kuwa tusiogope kupeleka hoja zille bungeni na hatuna wasiwasi na majority ya ccm basi mimi naamini tutumie kwanza nguvu ya umma kabla ya kuzipeleka hoja zile bungeni
tunapotumia ngvu ya umma si kwamba umma utoe maamuzi la hasha umma ueleweshwe kwamba tunachokipeleka bungeni ni hiki na kile kwamba bunge lijalo tunapeleka hoja ya kuundwa kwa tume huru uwezezekano wa kushiitaki matokeo ya rais kama inavyofanyika kwa wabunge na kadhalika
wakati huo tunazunguka nchi nzima kuwaeleimisha tunachoenda kudai bungeni huku tukiwahimiza kufuatilia kwa makini bunge kwenye tv na hansard ili kujua jinsi hoja ilivyofikishwa na ilivyojadiliwa
baada ya kuzunguka nchi nzima maredioni mitandaoni midahaloni basi hoja inatinga bungeni ushahidi wa kura zilizochakachuliwa uwe mikononi palepale bungeni
sasa tuone ni nani anayeweza kuinua kidole chake na kuleta point za kijinga kupinga hoja ile ya kubadili tume iwe tume huru
ikifanyika hivi hakuna mbunge anayeweza kuinia uso wake kuipinga akijua kila mwananch anasubiri kwa hamu mjadala wa hoja hizo
usishangae wabunge wa ccm wakaomba udhuru kutohudhuria mijadala hiyo wakijua ngoma ni nzito kwani akitoke mmoja tu kuipinga siku ya kwanza utanisikilizia kelele kwenye magazet na mitaani kesho ake
kama unakumbuka mbinu hii nidyo ilitumika na wanaharakati wa gender mwaka 1997 ilipopitishwa sheria ya kujamiiana ukweli sheria ile ilibeba pia mamo ya kijinga eti ukimkonyeza mwanamke kwa jicho tu tayari umeshamnyanyasa kijinsia unadhani kwa akili ya kawaida mbunge gani angependa aonekane amepitisha sheria yenye utata kama huu
ukweli ni kwamba wabunge waliipitisha kwa shinikizo si la wabunge wenzao bali tamwa na taassisi zote za kijinsia zilitanda nje ya jengo la bunge na mabango wakisubiri hatima ya sheria hiyo ama inapitishwa au haipitishwi eti mnasema kusubiri matokeo kucha ilifanyika mwaka huu nyamagana arusha mjini kawe na kwingineko walichkifanya wanaharakati wale pale bungeni ni sawa kabisa na kusubiri matokeo ya upitishwaji wa sheria ile
hebu nikumbushe ni mbunge gani aliinuka hata kusema neno ilipita bila kubadilishwa hata nukta
hivyo hoja hizi za sasa zikieleimishwa ipaswavyo kwa wingi unaostahili mimi sitarajii kama kuna mbunge anataka kuchafua cv yake kuitamkia neno baya
sijui wenzangu mnasemaje | 2017-04-25T02:58:19 | https://www.jamiiforums.com/threads/tusiuogope-wingi-majority-wa-wabunge-wa-ccm.92738/ |
download music audio tasha cobbs leonard feat nick minaj i'm getting ready gospo media
wimbo uliokuwa unasubiriwa kwa shauku kubwa duniani uitwao im getting ready kutoka kwa mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini marekani tasha cobbs leonard akiwa amemshirikisha nicki minaj tayari ameshauachia rasmi ukiwa ni moja ya kati ya nyimbo zilizo kwenye albamu yake mpya iliyoachiwa tarehe 25 agosti 2017 ikiwa imebeba jina la heart passion pursuit ushirikiano huu baina ya tasha cobbs na nick minaj umesababisha vurugu kubwa katika kiwanda cha muziki wa injili duniani hasa kwa mashabiki na wadau wa muziki huu ingawa tasha cobbs ameweka wazi upendo wake na shukrani zake za dhati kwa nicki minaj na ameahidi kumuweka katika maombi yake ya sala kila siku
kupitia ukurasa wake wa instagram tasha alisema
nataka kuchukua nafasi hii kumshukuru rafiki yangu @nickiminaj asante kwa kutangaza sifa zako kwa mungu ili ulimwengu uweze kusikia na kwa kuweka upendo wako kwa mungu asante kwa kutoa zawadi yako katika albamu hii kama nilivyokuwa nakwambia mara nyingi nitasema ili ulimwengu usikie nitakuweka milele katika sala wengi watabarikiwa na kuwa na mungu wa kweli kwa sababu uliamua kuchagua kusimama na kufanya rekodi hii
tagsnyimbo mpyanyimbo za dininyimbo za gospelnyimbo za injilitasha cobbs leonardus gospel music
tazama video | download audio elizabeth kasase feat mussa mazingwa usikate tamaa
download audio scola maghembe shekidee yesu ametenda mema
music video | audio music tina campbell we livin | 2017-11-21T15:26:12 | http://gospomedia.com/download-music-audio-tasha-cobbs-leonard-feat-nick-minaj-im-getting-ready/ |
hussein hassan [5]
rajab osman [6]
wayahudi [8]
wakristo [9]
imam muhammad baqir (as) [11]
harakisha vaa nguo zako na ushike udhu ili twende msikitini pamoja bwana huyo mwislamu mpya alishika udhu kwa mara ya kwanza katika maisha yake na kuandamana na rafikiye mwislamu hadi msikitini marafiki hao walifika kabla ya wakati kuwadia ilikuwa wakati mzuri wa sunna ya swala ya usiku ambayo ni baada ya usiku wa manane waliswali hadi alfajiri wakati wa swala ya asubuhi (subhi) ukaingia
marafiki hao waliswali swala ya subhi kisha wakamsabihi mwenyezi mungu (swt) na nyuradi hadi kukapambazuka wakati yule bwana aliyesilimu aliamka kutaka kuelekea mlangoni rafiki yake mwislamu alimuuliza
bwana huyo alikaa na kusoma kama alivyoagizwa hadi jua lilipochomoza wakati alipoinuka ili aondoke rafiki yake alimpa qurani mikononi na akamwambia soma hadi jua lichomoze zaidi kidogo na nakushauri ufunge saumu leo hii kwani hujui kufunga kuna ubora na malipo (thawabu) kiasi gani basi mwislamu huyo mgeni alifuata maamrisho jinsi alivyokuwa ameelekezwa aliendelea kusoma qurani hadi kukaribia wakati wa adhuhuri jirani mwislamu alimwambia sasa hivi wakati wa adhuhuri umekaribia ni bora tukiswali swala ya adhuhuri hapa msikitini
hivyo swala ya dhuhri ikaswaliwa kisha akasema tena baada ya muda mfupi swala ya alasiri itaswaliwa na hiyo pia inabidi tuiswali kwa wakati wake uliotengwa swala hiyo pia iliswaliwa kisha akasema sasa hivi magharibi imewadia na akamuweka aliyesilimu hadi wakati wa swala ya magharibi wakati alipoamka kufunguwa saumu yake jirani alimwambia kuna swala moja imebaki na inaitwa ishaa kwa hivyo walisubiri kipindi cha swala kiingie baada ya hapo yule bwana aliyekuwa amesilimu siku za karibuni aliamka na kuenda zake
source url https//wwwalislamorg/node/24935
[1] https//wwwalislamorg/user/logindestination=node/2493523commentform
[2] https//wwwalislamorg/user/registerdestination=node/2493523commentform
[3] https//wwwalislamorg/person/ustadhshahidmurtadhamutahhari
[5] https//wwwalislamorg/person/husseinhassan
[6] https//wwwalislamorg/person/rajabosman
[8] https//wwwalislamorg/tags/wayahudi
[9] https//wwwalislamorg/tags/wakristo
[10] https//wwwalislamorg/tags/historia
[11] https//wwwalislamorg/person/imammuhammadbaqir | 2018-04-23T21:40:06 | https://www.al-islam.org/print/book/export/html/24935 |
mr luke k hamood physiotherapist goolwa whitecoat
11 dowdodd crescentgoolwa sa 5214
goolwa vision centre
mr luke k hamood is a physiotherapist in goolwa 5214
the practice is located in sa at 11 dowdodd crescent goolwa sa 5214 you can use the | 2017-06-24T14:45:45 | https://www.whitecoat.com.au/physiotherapist/sa/goolwa/hamood/500046 |
natafuta ndugu tuliopotezana ackyshine minisites | best of 2019
ndugu ally allen marambo anamtafuta salma salehe kidato👉 soma zaidi hapa
ndugu bonventure joseph anamtafuta poul haule👉 soma zaidi hapa
ndugu matondo s damela anamtafuta grace👉 soma zaidi hapa
ndugu john festo chundu anamtafuta jerady dave mshuka👉 soma zaidi hapa
ndugu isamir athumani isamir anamtafuta alice biko👉 soma zaidi hapa
ndugu maxmilian david mkongwa anamtafuta mkongwa wote👉 soma zaidi hapa
ndugu wizzy blanco anamtafuta 👉 soma zaidi hapa
ndugu juma hussein anamtafuta tamasha issa👉 soma zaidi hapa
ndugu solomon philemon anamtafuta jackson costam👉 soma zaidi hapa
ndugu amili nasani musaa anamtafuta zukraa amisiamsi👉 soma zaidi hapa
ndugu rashid charo mwandenge anamtafuta karisa kenga mnubi👉 soma zaidi hapa
tags 👉 maana mungu category 👉katekisimu maana mungu mungu ni nini read more
tags 👉 category 👉nav top dini read more
tags 👉 funniest funny photos category 👉funnypictures funniest funny photos definitely entertaining pictures forever ever read more
tags 👉 mungu utatu_mtakatifu category 👉katekisimu mungu utatu_mtakatifu je nafsi tatu za mungu zina umoja hata katika utendaji read more
tags 👉 category 👉dini haleluya msifuni mungu read more
tags 👉 category 👉sms sms ya mahaba ya kimapenzi ya kutakia siku njema read more
tags 👉 category 👉vichekesho nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi read more | 2019-10-17T00:56:29 | http://www.ackyshine.com/kutafutana:6940 |
nimeipenda hii sijui imeshafika huku | jamiiforums | the home of great thinkers
nimeipenda hii sijui imeshafika huku
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by shedafa oct 21 2010
viongozi wasafi ndani ya chama cha mapinduzi (ccm) wanapatikana kwa nadra sana sisemi hawapo la hasha wapo lakini ama hutengwa kwa kile kinachoitwa huyu si mwenzetu au huamua kujiweka mbali kwa kuogopa kuchafuliwa
kwa ujumla baada ya takriban miaka 50 ya kuwepo kwake ccm imepoteza sifa ya kuwa na viongozi bora ambao misingi yake ilijengwa tangu nchi ilipojiondoa katika mikono ya wakoloni
utando huo wa viongozi umeshindwa kurutubishwa kilichobakia sasa ni majigambo kwamba ccm ni chama bora wakati machoni mwa wengi kinaonekana kimekumbatia mafisadi
hata tukikubali na kauli ya mgombea wake urais jakaya kikwete kwamba nchi haihitaji chama cha kuongoza kwa majaribio basi chenyewe ndicho kinachotakiwa kuondoka kwa kushindwa kutimiza majaribio ya kuongoza
kwa miongo mitano sasa ccm imeshindwa kuzalisha viongozi badala yake inaongozwa na kikundi cha watu ambao wengi wao si wasafi
baadhi yao wanabeba tuhuma kadhaa za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka wengine wanafahamika hata kwa majina lakini hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi yao
kutoweka kwa viongozi waadilifu katika uongozi wa juu wa ccm kumesababisha mmomonyoko wa maadili nchini na kasi yake inaweza kuwa ni ya kushangaza
kwa jinsi hali hii ya kulea ufisadi ilivyo karibu taifa hili linakaribia nchi kama ya zimbabwe ambayo inaongoza kwa uporaji wa rasilimali za taifa
ripoti ya utafiti iliyotolewa na taasisi ya marekani ijulikanayo kama national intelligence council (nic) inasema kutakuwepo nchi nyingi za aina ya somalia zitakazoshindana kujiendesha
ripoti hiyo inataja nchi kadha katika afrika na asia ya kusini kwamba zinaweza kutwaliwa na mitandao ya kihalifu
dalili hizi zinaanza kujitokeza nchini kutokana na utamaduni mpya ambao ccm wameanza kuulea utamaduni wa kulindana ndani ya chama hicho ndiko kunazidi siku hadi siku
chukulia mfano wa tuhuma za uwindaji katika mbuga ya loliondo mkoani arusha kashfa ya ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi ndani ya benki kuu ya taifa (bot) viwanda na mashamba lakini nani aliyewagusa
baadhi yao wameteuliwa kugombea uongozi ikiwamo ubunge jambo ambalo linawapa fursa ya kuwa mawaziri
wako wapi wamiliki wa kampuni ya kagoda agriculture limited ambayo ilikubuhu kwa wizi yuko wapi aliyejipatia mlungula wa rada
ni ukweli usiopingika kwamba ufisadi ni mojawapo ya masuala ya kampeni zinazoendelea ingawa chama tawala kimekuwa kikijitahidi kulisukuma nje ya kampeni kwa kutumia visingizio mbali mbali
wanajaribu kuwazuia wananchi na vyama vya siasa kuzungumzia ufisadi katika kampeni kwa madai kwamba kufanya hivyo ni uchochezi
kinachobakia ni usemaji wa hovyo usiyo na mashiko yumkini hakuna hatua zinazochukuliwa sasa wala baadaye
hata walengwa wa uongo huo wanaamini kuwa wananchi ni mbumbumbu wanakubali kila wanachoambiwa na viongozi wa chama tawala hili ni kosa kubwa ambalo ccm wanalifanya
kwa mfano angalia suala la ukodishwaji wa ndege za serikali kwa mke wa rais mama salma kikwete
viongozi wakuu wa ccm wamejaribu kulifunika suala hili kwa kuonyesha stakabadhi za malipo ya ukodishaji hata hivyo kila mwenye akili timamu anajua kuwa stakabadhi hizi zina utata
ndiyo maana haikupita muda vyombo vya habari viliripoti kuwa hati hizo zilikuwa za kughushi walisema hati za salma hazionyeshi malipo halisi ikiwamo nambari ya kasma
hadi leo waliotoa hati zile mwenyekiti wa kamati ya kampeni abulrahaman kinana hakurudi kwa waandishi wa habari kufafanua kasoro hizo
bila shaka hakuwa na hoja ya msingi ya kufanya hivyo hadi sasa hakuna afisa wa mamlaka yoyote ya serikali aliyechunguza hati za mama salma je nani mwenye ubavu atautoa wapi wakati chama chenyewe kimetopea katika ufisadi
angekuwa ni profesa mwesiga baregu mwenyekiti wa kamati ya kampeni ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) ndiyo ametoa hati hizo za kughushi kabla hata ya kumaliza mkutano wake na waandishi wa habari serikali tayari ingepeleka afisa wake kuchunguza suala hilo
lakini ni kutokana na kile mtu anaweza kuita unafiki wa hali ya juu ndicho kilimsukuma kinana kutoa kauli ya kupinga matokeo hayo ya redet akidai kwamba yamempunja mgombea wao kwani angestahili kupata asilimia 88
hivi hili dudu litatutoka lini
dudu liumao tusilipe kidole
kaka mi mwili wote umekufa ganzi kwa kuyasikia hayo najua iko siku ambayo haina jina mimi na wewe tutakuwa huru na zaidi ya yote kwa mkono wa mungu tutashinda
mhchama cha mjambazi | 2016-10-28T21:55:31 | http://www.jamiiforums.com/threads/nimeipenda-hii-sijui-imeshafika-huku.79931/ |
maisha hague azuru tunisia baada ya maandamano
hague azuru tunisia baada ya maandamano
waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa uingereza william hague yuko nchini tunisia katika siku ya kwanza ya ziara yake katika mataifa yaliyokumbwa na vuguvugu la maandamano ya wananchi wanaoshinikiza kufanyika mageuzi ya kisiasa
bwana hague atakutana na mawaziri wa ngazi ya juu katika serikali ya tunisia na kuwaambia kuwa uingereza iko tayari kuwapa msaada katika utekelezaji wa
huku kimbunga cha mabadiliko kinapozidi kuvuma kaskazini mwa afrika na mashariki ya kati william hague atatumia siku tatu zijazokuzuru mataifa matano
bwana hague
anaanzia ziara yake katika chanzo cha maandamano kaskazini mwa afrika tunisia ambako rais ben ali alitimuliwa madarakani mwezi uliopita
ujumbe wake kwa mataifa yote anayozuru ni kuwa serikali ya uingereza iko tayari kutoa msaada wa hali na mali kuhakikisha kuwa mabadiliko ya kisiasa ya amani yanatakelezwa na wakati huohuo kusaidia kujenga taasisi za kidemokrasia katika mataifa hayo
uingereza inashirikiana na mataifa mengine ya magharibi kufuatia wasiwasi kwamba ghasia na misukosuko katika mataifa ya afika kaskazini yanahatarisha usalama katika eneo lote na kwamba mabadiliko bora yanapaswa kufanywa | 2018-06-23T09:58:48 | http://maishani.blogspot.com/2010/12/hague-azuru-tunisia-baada-ya-maandamano.html |
kudumu magnet motors kwa air compressor (zyt7876) uchina shandong bora motor
hii ni dc wa kudumu sumaku motor ni kazi na utoaji hiyo kurekebisha nguvu ambayo ni crankkiungo maambukizi kutumika kwa ajili ya kujazia mbalimbali ndogo hewa
model voltage / frequency (v / hz) hakuna mzigo state
voltage (v) sasa (a) ingiza power (w) kasi (rpm) torque (n · m) pato power (w)
awali motor kwa air compressor (hc7635e / 40e / 45h)
next kudumu magnet motors kwa air compressor (zyt78102)
dc kudumu magnet motor
medium dc kudumu magnet motor
small dc kudumu magnet motor
motor kwa ventilating kifaa (yy8225a)
motor kwa air compressor (hc9540m / 45m)
motor kwa air compressor (hc9640c) | 2019-10-15T23:21:20 | http://www.btmeac.com/sw/permanent-magnet-motors-for-air-compressor-zyt7876.html |
serikali ya sudan na makundi ya wapiganaji wakubaliana kufanya mazungumzo ya amani mwezi ujao
kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na baraza la utawala nchini sudan serikali ya sudan na makundi ya wapiganaji wamekubaliana kufanya mazungumzo ya amani oktoba 14
tangazo hilo lilitolewa baada ya mazungumzo yaliyofanyika mjini juba kati ya wawakilishi wa serikali ya sudan na makundi ya wapiganaji yanayotoka majimbo ya darfur kordofan kusini na blue nile kufuatia pendekezo la upatanishi lililotolewa na rais salva kiir mayardit wa sudan kusini
pande hizo pia zimekubali kuunda kamati maalumu za kupanga mazungumzo ya amani kufuatilia utaratibu wa kuwaachia huru wahalifu wa kivita na wafungwa kushughulikia hatua za kumaliza uhasama na kuidhinisha utaratibu wa usimamizi
wakati huo huo nchi tatu wanachama wa baraza la usalama la umoja wa mataifa pamoja na umoja wa afrika waliomba kuondolewa vikwazo vyote vya kimataifa nchini sudan baada ya nchi hiyo kuunda serikali ya mpito inayoongozwa na raia
kwenye taarifa kwa vyombo vya habari iliyosomwa na balozi wa cote dívoire katika umoja wa mataifa leon kacou adom nchi hizo tatu zikiwemo cote dívoire guinea ya ikweta na afrika kusini pamoja na umoja wa afrika zimeeleza kutaka kuondolewa kwa vikwazo vyote pamoja na kuiondoa nchi hiyo kwenye orodha ya nchi zinazounga mkono ugaidi
taarifa hiyo pia imeeleza kwamba baraza la amani na usalama la au limeamua kuondoa vikwazo vilivyoiwekea sudan vilivyodumu kwa miezi mitatu kufuatia maendeleo chanya nchini humo | 2020-01-20T21:47:48 | http://swahili.cri.cn/141/2019/09/13/1s188959_2.htm |
hispania uwekezaji wa moja
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi hispania uwekezaji wa moja
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=spainfordirinv&v=202008132300v20200716&lang=all&h=300&w=600&ref=/spain/foreigndirectinvestment' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/spain/foreigndirectinvestment'>tradingeconomicscom</a>
urari wa biashara ya 12440000 151857100 63493500 983476600 eur elfu [+]
sasa akaunti 75000 153000 576500 1220100 eur milioni [+]
uagizaji 1739040000 1656134417 3024987183 3743704 eur elfu [+]
mauzo ya nje 1751480000 1504277310 2686139968 1428606 eur elfu [+]
masharti ya biashara ya 10840 10740 12370 6220 pointi [+]
uwekezaji wa moja 2800 434600 2297600 1069600 eur milioni [+]
capital mtiririko 343200 377300 1408500 1117600 eur milioni [+]
fedha kutoka nje 299300 322500 327900 85700 eur milioni [+]
utalii waliofika 20493 000 1049344 000 elfu [+]
utalii mapato 168100 362600 940700 83300 eur milioni [+]
ya nje madeni ya 214712700000 210777000000 214712700000 61860000000 eur elfu [+] | 2020-08-14T09:24:55 | https://sw.tradingeconomics.com/spain/foreign-direct-investment |
japan y muta profile with news career statistics and history soccerway
matches of y muta
37 k nishimura
28 y takagi
29 n havenaar
22 y ishibitsu
29 m tanaka
32 t masukawa
22 k sato
26 j fujimoto
22 n jakimovski
18 n nakamura
34 y ogawa
28 t taguchi
22 r tanabe
30 m takahara
19 k tamada
33 k yano | 2013-05-21T01:43:46 | http://www.soccerway.com/players/yusuke-muta/286619/ |
rwebangira blog thursday january 28
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk ali mohamed shein na mkewe mama mwanamwema shein wakiangalia uandaaji wa huduma mbalimbali za mauwa wakati walipotembelea katika kiwanda cha mapambo mjini nairobi jana
makamu wa rais wa jamhuri ya mungano wa tanzania dk ali mohamed shein na mkewe mama mwanamwema shein wakiangalia huduma za utafiti wa mazao kwa kutumia teknologia ya kisasa walipotembelea katika kituo cha utafiti wa kilimo gigiri nairobi kenya jana
kazi kwenu wapenda kujinafasi | 2018-02-20T07:36:50 | http://bongopicha.blogspot.com/2010_01_28_archive.html |
splashy samaki hack kudanganya tool
mchezo mpya katika app hifadhi na google play ambayo inakua kwa haraka sana inaonekana kama kuchukua juu ya uchaguzi katika flappy ndege michezo miwili ni karibu kufanana lakini kwa kuzingatia kwamba flappy ndege ilikuwa kuondolewa mabaki splashy samaki mchezo mzuri sana na ya kuvutia sana wanataka kufanya alama ya juu juu ya splashy samaki timu yetu kuundwa splashy samaki hack kudanganya tool hack hii ni rahisi sana kutumia na kazi kikamilifu pamoja na hayo unaweza kuongeza alama ukomo katika dakika chache tu na clicks chache tu hack inaweza kutumika kwa ajili ios na android hakuna haja ya mapumziko ya gerezani au mzizi kutumia chombo hiki hack unaweza kushusha ni chini unaweza kuona hapa video na ushahidi kwamba hack wetu kazi na unaweza kuweka nini alama
download splashy samaki hack kudanganya tool
kukimbia tool soka
chagua jukwaa yako (ios au android)
bonyeza kuchunguza hila
mungu mode (ondoa mabomba)
furaha mode
unaweza kushusha hack hii moja kwa moja kwenye ios android au pc yako clicked juu ya kifungo chini na utakuwa na uwezo wa kuchagua jukwaa yako kama download moja kwa moja kwa simu yako ni tena inahitajika kupitia uhusiano usb kutoa tu kuchunguza kifaa na kutumia hack
februari 15 2014 katika 727 pm
james p anasema
februari 15 2014 katika 728 pm
work on iphone 5 shukrani
frank m anasema
februari 15 2014 katika 729 pm
russell anasema
februari 15 2014 katika 730 pm
julie anasema
july d anasema
februari 17 2014 katika 736 am
allen bathory anasema
februari 17 2014 katika 851 am
putin anasema
februari 26 2014 katika 1038 am | 2018-09-23T20:29:54 | http://www.morehacks.net/splashy-fish-hack-cheat-tool/?lang=sw |
wema sepetu aonja joto ya jiwe wakati rc makonda akitikisa jeshi la polisi kashfa ya madawa ya kulevya | mtanda blog
home / kitaifa / slider / wema sepetu aonja joto ya jiwe wakati rc makonda akitikisa jeshi la polisi kashfa ya madawa ya kulevya
wema sepetu aonja joto ya jiwe wakati rc makonda akitikisa jeshi la polisi kashfa ya madawa ya kulevya
juma mtanda 128 pm kitaifa slider edit
operesheni maalumu ya kupambana na dawa za kulevya iliyoanzishwa na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda imeonekana kuigusa moja kwa moja wizara ya mambo ya ndani
katika hatua ambayo pengine haikutarajiwa na wengi operesheni hiyo imemgusa mkuu wa jeshi la polisi inspekta jenerali wa polisi (igp) ernest mangu
ikiwa ni siku yake ya tatu jana operesheni hiyo imesababisha igp mangu atangaze kuwasimamisha kazi askari 12 ambao majina yao yamo kwenye orodha iliyotolewa na makonda alhamisi na ijumaa wiki hii
askari waliosimamishwa ni pamoja na aliyewahi kuwa kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni sacp christopher fuime na aliyekuwa ofisa wa operesheni kituo cha osterbay inspekta jacob swai
wengine ni sajenti steven ndasha sajenti mohamedi haima sajenti steven shaga na koplo dotto mwandambo
wamo pia koplo tausen mwambalangani koplo benatus luhaza koplo james salala koplo noel mwalukuta d/c gloria massawe na d/c fadhili mazengo
wakati makonda akilitikisa jeshi la polisi ambalo lipo chini ya wizara ya mambo ya ndani inayoongozwa na mwigulu nchemba hali iko hivyo hivyo pia mkoani arusha ambako mwanzoni mwa wiki hii mkuu wake wa mkoa mrisho gambo alionekana kutoa kauli nzito kumlenga waziri wa maliasili na utalii profesa jumanne maghembe
wakati maghembe akiwa tayari alikwishatangaza uamuzi wa kutenga eneo la kilomita za mraba 1500 kwa pori tengefu la loliondo gambo wiki hii alitangaza kutotambua uamuzi huo na badala yake kuendelea na suluhu katika mgogoro wa eneo hilo
tangu wakuu hao wawili wa mikoa vijana wachukue hatua hizo kwa nyakati tofauti mawaziri ambao maeneo yao ya kazi yameguswa wameendelea kukaa kimya pasipo kuzungumza lolote
hadi kufikia jana ni naibu waziri wa mambo ya ndani hamad masauni ambaye alikuwa angalau ametoa kauli juu ya kile kinachoendelea kutekelezwa na makonda katika mkoa wa dar es salaam na kuigusa moja kwa moja wizara hiyo
hata hivyo hatua ya igp mangu kutangaza kuwasimamisha kazi askari 12 ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowahusisha na mtandao wa dawa za kulevya ni kielelezo cha wazi kwamba suala hilo sasa limechukua sura ya kitaifa
aidha kwamba makonda na kamanda wa kanda maalumu ya dar es salaam kamishna simon sirro waliitwa ikulu juzi ni kielelezo kingine kwamba taarifa ya operesheni ya kupambana na dawa za kulevya aliyoianzisha mkuu huyo wa mkoa imegusa mamlaka za juu za dola
hilo pia linathibitishwa na kauli iliyotolewa na igp mangu jana katika mkutano wake na waandishi wa habari wa kutangaza kuwasimamisha kazi askari hao alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kupambana na dawa za kulevya kwa aina yoyote
mangu ambaye alisema tuhuma hizo wamezichukulia kwa uzito wa kipekee alisisitiza kuwa jeshi hilo litaendelea kuwafanyia uchunguzi askari hao kulingana na taratibu za kijeshi na baadae watafikishwa mahakamani
kama jeshi la polisi ndiyo kiongozi na askari wake wanatuhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya ni jambo tunalolichukulia kwa uzito wa pekee na kamwe hatulichukulii la kawaida
kufuatia taarifa za mkuu wa mkoa zipo hatua mbalimbali tunazochukua na tunaendelea kuchukua maana huu ni uhalifu alisema igp mangu
alisema ili kupambana na matukio mbalimbali ikiwamo dawa za kulevya wananchi wanapaswa kutoa taarifa mapema wanapoona viashiria vya uhalifu ili hatua zichukuliwe mapema
hata kama ni askari wetu watabainika kujishughulisha na uhalifu hatuwezi kumvumilia hata kidogo kwenye hili alisema igp mangu
alisema katika vita ya kupambana na uhalifu askari polisi inabidi wawe wasafi kama alivyo kiongozi wa dini anayewahubiria waumini waache dhambi
igp mangu alisema pamoja na tuhuma hizo za dawa za kulevya kuwakumba baadhi ya viongozi waliokuwa katika ngazi za juu za polisi haimaniishi kuwa jeshi hilo limechafuka
jeshi la polisi haliwezi kuchafuka kwa sababu ya kashfa ya watu wachache watu tisa wachafue watu 47000 kwa vigezo gani alihoji
akizungumzia wasanii igp mangu alisema bado wanaendelea kuwakamata na kuwahoji wakiwamo watu mbalimbali wanaotajwa katika mtandao huo ikiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani
kama tutakavyofanya kwa askari hivyo hivyo kwa wasanii tutafanya tunatafuta vithibitisho tukijiridhisha na wao tunawapeleka mahakamani alisema igp mangu
mbali na hilo aliwataka wananchi kutoa taarifa rasmi kwa polisi zinazowahusu wafanyabiashara wakuu wa dawa za kulevya maarufu kama mapapa na si kuwaongelea mitandaoni
wananchi walete majina kila jina tunalotajiwa tunalishughulikia hao mapapa nao ni watu wapo ambao ni wafanyabiashara wakubwa tumewahi kuwakamata na wamepelekwa mahakamani mkisema mapapa maana mnawaweka watu walio katika mabano kwa nini hamtupi majina sisi kazi yetu sio ya siri tunakamata na tutawapeleka mahakamani alisema igp mangu
katika operesheni aliyoianzisha wiki hii ya kupambana na dawa za kulevya makonda aliwakamata na kuwaweka ndani baadhi huku akiwataja kwa majina askari polisi 12 kati ya 17 wasanii na watu mbalimbali 18
baadhi ya majina ya wasanii wakubwa waliotajwa katika orodha hiyo ni pamoja na wema sepetu khalid mohamed (tid) vanessa mdee mr blue na chidi benz
ingawa taarifa hizi hazijathibitishwa katika msako wake makonda inaelezwa aliwakamata baadhi wakiwa na kete za dawa za kulevya
naibu waziri wa mambo ya ndani masauni alipotafutwa kuzungumzia operesheni hiyo alikaririwa na gazeti dada la hili la mtanzania jumamosi jana akisema kuwa hawaaniki mikakati yao kwenye magazeti | 2017-10-20T07:15:43 | http://jumamtanda.blogspot.com/2017/02/wema-sepetu-aonja-joto-ya-jiwe-wakati.html |
fukuoka masaa ya biashara ya biashara forex 2019
fukuoka masaa ya biashara ya biashara 201904
20190310 062049
jinsi ya kutumia masaa 24 vizuri kwa kuwa mganga alimwambia dawa hii uweke katika droo ya mauzo na asishike mtu mwingine yeyote basi mfanyabiashara analazimika kuwepo eneo la biashara masaa yote ili kukwepa kukiuka masharti
hakikisha mahesabu yote ya manunuzi mauzo na malipo yanatunzwa kwa usahihi kwaajili ya kupata taarifa za maedeleo ya biashara yako yaani ndio hivyo mwaka unaishaga ni sekunde moja inacheza na kutengeneza dakika na dakika nayo inakwenda hadi masaa 24
biashara mtaji wako waweza kuwa mdogo au ni mkubwa hii inategemea na aina ya biashara utakayo taka kuwekeza ningependa kukupa angalizo kidogo bila shaka litakupa mwangaza kidogo kabla ya kuwekeza ktk biashara yoyote fanya kazi sana mwanzoni mwa biashara unaweza kufanya kazi zaidi ya masaa kumi na mbili kwa siku huna njia ya kukwepa hilo kazi ni muhimu sana
jinsi ya kufanya biashara ukiwa nyumbani/ home business kuza uelewa na ufahamu wako kwa kusoma vitabu mbalimbali kwa kusoma watu katika mazingira unayoyaishi au kwa kuzungumza na watu mbalimbali
kusafisha nyota kwa dua kali kabia 2 fukuoka masaa ya biashara ya biashara
kwa kuanzia na kwa biashara ndogo na za kati angalau weka mifumo mitatu fukuoka kampuni ya mwananchi fukuoka communications ltd wasambazaji wa magazeti ya mwananchi thecitizen na mwanaspoti tanzania
hili wazo zuri sana tatizo kwa mtu asiye na nafasi ya kufanya mwenyewe kazi hii kwa masaa 12 inakuwa ngumu sana kumpata mtu mwaminifu wa kuisimamia kwa masaa ambayo mmiliki hayupo kumrudisha mpenzi wako hatakama mna miaka10 mmeachana atakupigia cm ndani ya masaa ma wili na kukuomba msamaha 3
ni vizuri mtu huyu akawa na elimu ya masoko na huduma kwa wateja ambayo ni muhimu sana kwa biashara yoyote kwa njia nyingi kuanzia biashara ya mtandaoni ni kama kuanzia duka la matofali na chokaa
biashara nyingi humlipa yule mwenye biashara kulinganna na masaa anayotumia kuitumikia biashara husika ya 142598 na 108506 wa 5403 katika 46691 ni 33648 la 30420 za 19654 kama 1810 kuwa
soma njia za kuingiza kipato nje ya kazi yako je umejiandaa kufanya kazi kwa juhudi
kunakuwa asubuhi mchana jioni na hatimaye usiku siku inapita unapopata mwenyewe shirika linapaswa kupanua
fukuoka masaa ya biashara ya biashara ni lazima pia kuwa na nafasi ya kutosha katika mgahawa wako ili kutoa nafasi inayoweza kuenea wageni zaidi wakati wa masaa ya biashara
mfano wa biashara hii ni blogu ambapo muda utakaoutumia ni ule ambao unatengeneza makala masaa 228 alianzisha 227 mtunzi 227 molekuli 227 makosa 226 ukiwa 226 ambo 225 yangu 225 madai 225 kuzingatia 2
biashara 203 uswisi 203 tamthilia 203 sekta 203 safu 203 unaweza kuona sasa kwamba biashara ya namna hiyo haina tofauti kubwa na ajira ya kawaida
elimu biashara wanaotufundisha elimu ya ujasiriamali huwa wanafanyaga tuione safari ya ujasiriamali ni rahisi sana tutakua mabosi wenyewe tutapata muda wa kupumzika na kurelax na familia tutapata hela nyingi ya kwenda fukuoka vacation et cetera watu wengi hushitukizwa kwamba masaa ya kazi huongezeka kama ndo unaanza kuianzisha biashara yako
fukuoka masaa ya biashara ya biashara fukuoka masaa ya biashara ya biashara
unaweza ukawasiliana na absolute solutions ltd na upate blog yako katika masaa 24 tu kwa bei nafuu na uanze biashara katika intaneti rafiki yangu mpendwa njia ya uhakika ya mtu kuweza kutengeneza kipato kisichokuwa na ukomo ni kuanzisha biashara
kakwezi kaimu afisa mtendaji mkuu wakala wa usajili wa biashara na leseni ( fukuoka brela) jengo jipya la ushirika mtaa wa fukuoka lumumba s lakini biashara inayoendeshwa kwa teknologia ya intaneti unahitaji idadi ya masaa mawili au matatu kuiendesha hauhitaji kuwepo eneo la biashara muda wote ( part time)
toa 100 katika ajira yako toa 100 fukuoka kwa kitu unachokifanya baada ya masaa ya kazi ya ajira yako na to 100 kwa familia yako anauwezo wa kurudisha biashara yako hata kama
| market players fukuoka forex tanzania swahili market sessions market players com kona ya biashara tabia za kukuwezesha kufikia mafanikio na biashara yako
haijalishi una hamasa kubwa kiasi gani ya kufanya shughuli zako kuna masaa 24 pekee kwenye siku yako wa kuaminika sana aitwaye mr collins williams loan company ambaye alinipa mkopo usio salama wa dola 75 000 chini ya masaa 24 bila shida yoyote
mgogoro juu ya biashara internet na jinsi ya kushinda hii aina ya vyakula na vinywaji ni lazima izingatie uhitaji wa wateja na mchanganyiko wake uwe wa kisasa
mafanikio ya biashara hutegemea sana uwajibikaji wa mfanyabiashara yaani kama unawajibika kikawaida na maendeleo pamoja na mafanikio ya biashara yako yatakuwa ya kawaida na kama uwajibikaji wako ni mkubwa na wakasi basi biashara yako itakuwa kwa kasi na kuendelea zaidi na zaidi for example you can have a native tour agent arrange a tour for you of the destination after your fukuoka business hours ( masaa ya biashara)
hii maana yake ni kwamba biashara huingiza pesa hata kama mmiliki wa hiyo biashara hatakuwepo pale biashara ya namna hii inahitaji uwe na kiasi cha fedha ambacho huna uhitaji nacho kwa siku za usoni ili uweze
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda amethibitisha kuwepo kwa mchakato ili kuruhusu kufanyika kwa biashara masaa 24 ndani ya jiji la dar es salaam ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi na mapato kwa serikali pia ni nafasi yako ya kuwapa updates kuhusu bidhaa mpya unazotaka kutoa au mabadiliko mengine ya kiutendaji kimarketing na sera za biashara au asasi yako
jifunze kuhusu hiyo biashara kabla ya kuanza kuifanya fikiria maisha yako zaidi ya ajira zaidi ya biashara yako
ikiwa una haja ya aina yoyote ya mkopo tu wasiliana naye sasa andika email yako hapa ili kupata makala zetu zote moja kwa moja
biashara ya kuku bata vifaranga na mayai kwa oda piga namba hii ili mjasiriamali kukwepa kikwazo hiki cha marufuku ya serikali anapaswa kuwa mbunifu zaidi kwa mfano kupanga biashara yake muda ambao serikali haihangaiki na fukuoka mtu kama masaa ya jioni kubuni biashara isiyochukua eneo kubwa kwa mfano biashara ya kuuza kadi/ vocha za mitandao ya simu za mkononi pamoja na kuuza biashara zile mtu unazoweza kuzunguka
tunazungumzia jinsi gani leo tutajadili kuhusu changamoto ya biashara gani ufanye ili uweze kupata mafanikio makubwa
na biashara nyingi zinazoanzishwa na wengi fukuoka huwa zinaanza kama biashara ndogo lakini zenye ndoto ya kuwa biashara kubwa tengeneza mifumo inayoeleweka ya biashara yako ambapo majukumu fukuoka kwenye mifumo hiyo yanaweza kupewa watu wengine
fukuoka masaa ya biashara ya biashara ukijua hila utaweza kupambana na changamoto fukuoka za hapa na pale
zijue faida kumi na nne( 14) za kutumia matango( cucumber) ugonjwa wa uti na fukuoka tiba zake tunza mahesabu ya biashara kwa usahihi
wengi hawaajiri wafanyakazi na kuwaelekeza a z ya biashara zao kwa sababu ya masharti ya kipuuzi wanayopewa na waganga wa jadi anakutengenezea nyota ya kupata mpenzi mwenye pesa na atakupatia kila unachohitaji 4
anatoa pete za bahati na ukiiva itakunyoshea mambo yako 5 fukuoka masaa ya biashara ya biashara
makampuni na majina ya biasharamiliki ubunifuleseni za biashara na viwanda) imetolewa na emmanuel m ni masaa gani yanafaa kufanya biashara ya forex
kuuza bidhaa za biashara ya watu wengine kupitia tovuti wakati unapoendesha biashara ya mtandaoni kila kitu hupatikana kwa masaa ya 24 kila siku au zaidi kwa siku mia tatu na sitini sita kila msimu
jpm ateua viongozi mbali mbali/ makonda atoa kauli juu kufanya biashara masaa 24 kampuni nyingi za kibiashara wajasiriamali na wafanyabiashara kwa kawaida wamejaribu kufungua biashara zao na kuwekeza kwa kasi kubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha miundombinu bora ya utoaji huduma na bidhaa kwa kiwango cha juu kuajiri wa wafanyakazi wengi na kuwapatia mishahara mizuri kuimarisha ulinzi sambamba na wengine kutoa huduma ndani ya masaa 24
kuwa na email address binafsi website itakufanya uweze kuwa na email address inayotaja jina la biashara yako here you can inform your host to arrange a schedule to include business hours ( masaa ya biashara) as well as one that will cater for your leisure
9393 dar es salaam
biashara forex moja kwa moja chaguo biashara juu ya vix | 2019-04-18T18:38:20 | https://shaddai-baptist.com/7185/2019-03-10-062049-fukuoka-masaa-ya-biashara-ya-biashara/ |
mzungu amlazimisha mwafrika kuingia kwenye jeneza ili amuue | siasa huru ')+else if(null=(o=rmatch(/(youtube\/|youtubecom\/(watch\(*&)v=|(embed|v)\/))([^\&\\'>]+)/gi))){var v=o[0]match(/^*((youtube\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\))\v=([^#\&\]*)*/)v&&11==v[7]length&&(s='')}else s=''i=''l=rreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=s+''+d++lsubstring(0gsummarylength)+''+i+}
» mzungu amlazimisha mwafrika kuingia kwenye jeneza ili amuue
mzungu amlazimisha mwafrika kuingia kwenye jeneza ili amuue
johannesburg africa kusini
hisia kali zimetolewa mitandaoni baada ya mwanamume mzungu kuonekana akimwingiza mwanamume mweusi kwenye jeneza kwa lazima huku akitishia kumchoma akiwa hai
video iliyosambazwa mitandaoni ilionyesha tukio hilo ambalo wengi wanasema ni dhihirisho la jinsi ukandamizaji wa waafrika weusi bado unaendelezwa nchini humo
kwenye video hiyo ya sekunde 20 mwanamume mweusi aliyeingizwa kwenye jeneza anasikika akilia huku mzungu anayeaminika ni mkulima akifunga jeneza hilo kwa lazima
anasikika akimwambia ingia ndani ninataka kumwaga petroli
mwingine ambaye haonekani lakini anaaminika ndiye aliyekuwa akinasa video hiyo anasikika akitishia kuingiza nyoka ndani ya jeneza hilo kama kijana huyo mweusi ataendelea kujaribu kujinasua
kumekuwa na malalamiko ya waafrika weusi kuhusu ubeberu nchini humo ambapo hivi majuzi wanafunzi wa vyuo vikuu waliandamana kutaka sanamu za kibeberu zibomolewe katika vyuo vyao
matukio mengine ambapo waafrika weusi walilazimishwa na wazungu kunywa mikojo yao pia yamewahi kuripotiwa | 2016-12-10T18:27:08 | http://www.siasahuru.com/2016/11/mzungu-amlazimisha-mwafrika-kuingia.html |
#huawei uwazi ushirikiano na maendeleo kujenga usalama #digitalsociety eu reporter eu reporter
mfululizo wa gsma simu ya 360 ulifanyika hivi karibuni huko la haye chini ya kichwa 'usalama kwa 5g' pamoja na wawakilishi kutoka kwa wahamiaji wa kimataifa wauzaji wa vifaa serikali na wasimamizi wa sekta tukio hili linatarajia kuendesha makubaliano kote ulaya na duniani kwa ujumla juu ya usalama wa usalama wa 5g kupima na vyeti
sean yang mkurugenzi wa huawei global cyber security & ofisi ya faragha
sean yang mkurugenzi wa huawei's global cyber usalama na ofisi ya faragha alitoa hotuba ya muhimu wakati tukio lililoitwa ufunguzi maendeleo ya ushirikiano kujenga jamii ya usalama wa digital yang alijadili hali ya kimataifa ya 5g ya kubadilisha kasi na kushirikiana na nini sekta hiyo imefanya viwango vya usalama vya 5g na upimaji wa usalama wa 5g kwa kukabiliana na changamoto za usalama
yang alibainisha kuwa huawei hujibu kikamilifu na inasaidia mpango wa usalama wa usalama wa vifaa vya mtandao (nesas) mpango wa gsma ambao unalenga kuendesha maendeleo ya viwango vya umoja kwa ajili ya kupima usalama wa usalama na vyeti nchini ulaya na duniani viwango vya usalama vya umoja itasaidia kuhakikisha kwamba vipengele vyote vya mtandao na huduma zinaweza kufikia ngazi sawa za usalama
inaeleweka kuwa usalama wa 5g unachukua makini mengi alisema yang tunapaswa kukumbuka kwamba usalama wa usalama ni kwa kweli suala la kiufundi na suala lolote la kiufundi linapaswa kushughulikiwa kupitia njia za kiufundi kuamini usalama wa usalama lazima iwe msingi wa ukweli ukweli lazima uhakikishwe na uthibitishaji lazima uwe na misingi ya viwango
yang pia alisisitiza utayari wa huawei kufanya kazi na washirika wa viwanda ili kuendeleza viwango na sheria wazi na kujenga ujasiri katika sekta hiyo sisi daima tunasaidia na kushiriki kikamilifu katika viwango vya kimataifa na kufuata sheria za usalama wa usalama na kanuni alisema tunafanya kazi na washiriki wa viwanda kujenga mfumo wa kimataifa wa wazi wa uwazi na wenye nguvu ambao unasaidia kushirikiana na kufanikiwa pamoja
yang alionyesha imani yake kuwa teknolojia zote zinahusika na masuala ya usalama wakati wa kuanzishwa jitihada zinapaswa kujitolea kushughulikia masuala haya kama teknolojia inaendelea kuendeleza aliongeza akibainisha kuwa wadau wote wanahitaji kupitisha mtazamo alitoa wito kwa wachezaji wote wa sekta ya kufanya kazi pamoja ili kujenga ujasiri na kujenga dunia ya usalama kwa vizazi vijavyo
usalama huanza na maadili na imani zetu ikiwa ni pamoja na uadilifu uwezo uwajibikaji uaminifu uwazi na uwazi alisema huawei anafanya kazi kwa bidii na wadau wote juu ya teknolojia ya usalama taratibu vyeti kuthibitisha na kushirikiana na habari za hatari na hatari
yang pia alisema kuwa huawei imejenga vituo sita vya ukaguzi vya usalama ulimwenguni kote ikiwa ni pamoja na kituo cha uwazi wa usalama wa cyber usalama huko brussels ambayo yang alisema kama jukwaa la ushirikiano na mawasiliano kati ya mashirika ya serikali wataalamu wa teknolojia vyama vya sekta na mashirika ya viwango
kupitia jukwaa hili tunaweza kupata njia kuelekea usawa bora kati ya maendeleo na usalama katika zama za digital alisema
wakati wa tukio hili huawei alitoa karatasi nyeupe yenye haki kushirikiana na sekta kwa usalama wa usalama wa 5g karatasi nyeupe inaelezea jinsi 5g inavyojenga juu ya itifaki za usalama wa vizazi vya zamani vya teknolojia ya mawasiliano (kutoka 2g na 3g hadi 4g) na hutoa uwezo wa usalama wa kiboreshaji hii inamaanisha 5g ina salama zaidi kuliko watangulizi wake
ili kupanua mafanikio yaliyopo katika usalama wa 5g huawei amewaomba sekta nzima kubaki wazi uwazi na ushirikiano na kuendelea kuboresha sheria kanuni na ukaguzi na utaratibu wa uhakika wa usalama wa 5g huawei anatarajia mipango hii itafanya mitandao kuwa na nguvu zaidi na kuboresha viwango vya usalama na teknolojia ili vitisho vya usalama na changamoto za 5g ziweze kushughulikiwa vizuri
tags eu featured fullpicha huawei uholanzi hague
jamii frontpage biashara digital uchumi digital single market digital society eu eu ibara matukio hague
« sheria mpya juu ya washirika wa #wawala na #transparency ingiza katika programu
#freighttransport #digitalization itaokoa sekta ya usafiri hadi saa 102 za kazi kwa mwaka » | 2020-04-10T06:47:08 | https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/06/11/huawei-openness-collaboration-and-development-building-a-secure-digitalsociety/ |
oxfam kuongezeka kwa kukosekana kwa usawa kunapungua mamilioni zaidi ya wazungu katika umasikini mwandishi wa eu mwandishi wa eu
umaskini na ukosefu wa usawa huko ulaya umefikia viwango vya kutisha kulingana na ripoti mpya ya oxfam kati ya 2009 na 2013 idadi ya wazungu wanaoishi bila fedha za kutosha kwa joto la nyumba zao au kukabiliana na gharama zisizotarajiwa inayojulikana kama kunyimwa nyenzo iliongezeka kwa watu milioni 75 kwa watu milioni 50 hizi ni kati ya watu milioni 123(1) karibu robo ya wakazi wa eu katika hatari ya kuishi katika umasikini wakati bara lina nyumbani kwa mabilionea ya 342 'ulaya kwa wengi sio wachache' matokeo ya ripoti ya kuthibitisha na kuongeza utafiti uliofanywa na imf na wengine kuhusu jinsi kupanda kwa usawa kunafanya vita dhidi ya umaskini vigumu kushinda kama sehemu ya kampeni yake ya kimataifa dhidi ya usawa oxfam inafanya kazi katika kukabiliana na umaskini huko ulaya
ripoti ya oxfam ambayo inaonyesha kiwango cha kutofautiana katika bara zima kwa kuchambua data juu ya umasikini na utajiri inaambatana na meza ya ligi wote wawili walichapishwa kabla ya mkutano usio rasmi wa mawaziri wa fedha wa ulaya juu ya 11 na 12 septemba
jedwali la ligi linashirikisha mataifa ya wanachama wa ulaya juu ya hatua saba tofauti za usawa na umaskini inaonyesha kwamba wakati baadhi ya nchi kama vile bulgaria na ugiriki hufanya hasa vibaya katika idadi kadhaa ya viashiria nchi nyingi za ulaya zina matatizo makubwa ya ukosefu wa usawa wa uchumi kati yao
· watu wa ujerumani ugiriki na ureno wanaona kiwango cha juu cha kutofautiana kwa mapato kabla ya kodi na uhamisho kama vile faida za ustawi ni kwa ajili ya
· ukosefu wa usawa katika mapato yanayopatikana ni mkubwa zaidi katika bulgaria latvia na lithuania hata hivyo nchi kadhaa kama vile ufaransa na denmark pia zimeongezeka katika kutofautiana kwa mapato kati ya 2005 na 2013
· viwango vya umasikini kati ya watu walioajiriwa ni vya juu zaidi katika romania na ugiriki lakini wanaongezeka mahali pengine ulaya pia ikiwa ni pamoja na ujerumani na slovenia
· wanawake nchini ujerumani austria na jamhuri ya czech wanapata baadhi ya mapungufu makubwa ya kulipa jinsia katika ulaya
· tofauti kati ya kulipa kwa wafanyakazi na wakuu wa juu ni kubwa katika nchi kama latvia
jedwali la ligi pia linaonyesha jinsi sera za serikali zinaweza kuendesha usawa juu au chini kwa mfano kodi ya uswidi na mfumo wa manufaa ni maendeleo zaidi katika ulaya na kusaidia kupunguza usawa wa mapato huko na 53 kwa kulinganisha kodi ya hispania na mfumo wa manufaa tu imeweza kupunguza kutofautiana kwa mapato kwa 32
ripoti ya oxfam inonya kwamba ushawishi mkubwa wa watu matajiri mashirika na makundi ya riba juu ya maamuzi ya sera katika ngazi ya kitaifa na ulaya inazidisha umasikini na usawa katika bara zima kwa mfano wawakilishi wa maslahi binafsi na kibiashara hufanya 82 ya vikundi vinavyohusika na kushauri tume ya ulaya juu ya mageuzi ya kodi
natalia alonso naibu mkurugenzi wa utetezi na kampeni za oxfam huko ulaya alisema tunaishi katika bara la tajiri ambapo umasikini na usawa huongezeka na ni matokeo ya uchaguzi wa siasa sio mwisho ili kukabiliana na usawa na umaskini huko ulaya tunapaswa kupunguza ushawishi wa matajiri na wenye nguvu kuwa na kuunda sera za serikali kwa kibali chao kwa gharama ya watu wengi wa ulaya uwazi mkubwa wa umma juu ya uamuzi wa sera itakuwa ni mwanzo muhimu
ripoti hiyo inaonyesha mshikamano pamoja na mifumo ya kodi isiyo ya haki na regressive kama kuwa madereva mawili muhimu ya usawa huko ulaya
hatua za udhaifu zilizoletwa baada ya mgogoro wa kifedha katika 2007 / 8 ni pamoja na kupunguzwa kwa matumizi ya umma ubinafsishaji wa huduma na ugawaji wa masoko ya ajira hatua hizi zote zimegonga sana zaidi tangu 2008 nchini ireland kwa mfano kupungua kwa mapato na ukosefu wa ajira mkubwa umekataa karibu robo ya watu milioni kutoka kwenye miradi ya bima ya afya ya gharama kubwa wakati huo huo ireland imekata bajeti ya huduma ya afya kwa 12
mfumo wa ushuru usio na haki na wa kuruhusu huruhusu mashirika ya kimataifa kuepuka mabilioni ya euro kwa kodi akiongeza mzigo wa kodi kwa wananchi binafsi katika hispania asilimia 90 ya mapato ya kodi hutoka kwa watu binafsi kupitia kodi mapato na kodi ya matumizi wakati kodi ya ushirika ni akaunti tu ya 2 ya mapato ya jumla ya kodi
serikali zinahitaji kupatanisha mifumo yetu ya kodi isiyo ya haki ili makampuni ya kulipa ushuru wao wa kodi serikali inapaswa pia kufikiria upungufu na kuimarisha huduma za umma na kuhakikisha mshahara mzuri ili maskini zaidi katika jamii zetu hawaendelee kulipa bei ya mgogoro wa kifedha alonso alisema
ripoti 'ulaya kwa wengi sio wachache' na meza ya ulaya ya ligi inapatikana hapa
ukosefu wa usawa katika mapato yanayopatikana ni kipimo cha kutofautiana katika mapato ya idadi ya watu baada ya kodi na uhamisho kama faida ukosefu wa usawa wa soko ni kipimo cha kutofautiana katika mapato ya idadi ya watu kabla ya kodi na uhamisho kama faida
tags ukali hatua data juu ya umasikini na utajiri kuendesha usawa juu au chini featured fullpicha mifumo ya kodi ya regressive mifumo ya kodi isiyofaa
jamii frontpage eu oxfam umaskini dunia
« mjadala mambo muhimu jimbo la umoja mjadala uhamiaji cloning marufuku
eurochild wito kwa mshikamano na uongozi kabla ya eu mkutano wa mawaziri » | 2020-01-25T10:59:38 | https://sw.eureporter.co/world/2015/09/14/oxfam-increasing-inequality-plunging-millions-more-europeans-into-poverty/ |
kona ya habari picha za kudhalilisha watoto kudhibitiwa
na bbc swahili kampuni za google na microsoft zinazoongoza duniani kwa mitandao yao kutumika kutafuta taarifa mbalimbali zimekubaliana kuchukua hatua za kuhakikisha inakuwa vigumu kupata picha zinazowadhalilisha watoto katika mitandao
alisema kwamba wlitakiwa kuhakikisha kuwa maombi
yanayotumwa kutafuta taarifa ambazo zinalenga kupata picha chafu yasitoe majibu yoyote
baadaye jumatatu kampuni mbili hizo za google na microsoft zitaungana na kampuni nyingine za internet katika ofisi za waziri mkuu wa uingereza zilizopo downing street kwa ajili ya kikao cha
usalama wa internet | 2017-07-28T00:46:54 | http://mkojera.blogspot.com/2013/11/picha-za-kudhalilisha-watoto-kudhibitiwa.html |
samia mchango wa mwanamke utambulike kiuchumi mtanzania
home biashara na uchumi samia mchango wa mwanamke utambulike kiuchumi
samia mchango wa mwanamke utambulike kiuchumi
makamu wa rais samia suluhu hassan (kushoto) mwenyekiti wa bodi ya benki ya tpb dk edmund mndolwa na mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo sabasaba moshingi wakifurahia jambo baada ya kuzindua akaunti ya tabasamu kwa wanawake dar es salaam mwishoni mwa wiki
sera ziangalie mchango wao aisifu tpb kwa akaunti tabasamu
tanzania ni moja ya nchi barani afrika ambazo uchumi wake unakua kwa kasi tangu mwaka 2017 kasi ya ukuaji wa uchumi wa tanzania ni asilimia 7
moja ya chachu ya kasi hiyo ni biashara ndogondogo ambazo kwa kiasi kikubwa zinamilikiwa na wanawake
takwimu za usawa wa kijinsia katika ajira zinaonyesha kwamba kufikia mwaka 2014 watanzania milioni 21 walikuwa wameajiriwa katika sekta rasmi ikiwa ni pamoja na serikalini na sekta binafsi kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nchini
hatahivyo takwimu rasmi za serikali zinaonyesha pia kwamba zaidi ya asilimia 60 ya wanawake walio kati ya umri wa miaka 18 hadi 24 yaani milioni 139 wanajishughulisha na shughuli zisizo rasmi yaani biashara ndogondogo na kilimo
hii maana yake ni kwamba ni asilimia 075 tu ya wanawake walioko katika umri wa kufanya kazi ndio wapo katika sekta rasmi kwa maneno mengine idadi kubwa ya wanawake walioko katika umri wa kufanya kazi nchini ni wajasiriamali
licha ya kuwa na idadi kubwa ya wanawake wenye ujasiri wa kubuni na kuendesha biashara kasi ya ukuaji wa mitaji yao bado ni finyu na duni
chanzo kikuu cha mitaji karibuni duniani kote ni mikopo ya benki rasmi ya kibiashara hata hivyo tafiti zinaonesha kuwa wanawake wengi wajasiriamali kutoka nchi zinazoinukia uchumi ikiwemo tanzania hawana mikopo kutoka benki na taasisi rasmi za kifedha
kutokana na hatua hiyo inamfanya makamu wa rais samia suluhu hassan kuona umuhimu kwa sasa sera za uchumi wa nchi zitambue mchango wa mwanamke kwenye uzalishaji mali na ukuaji wa uchumi wa taifa
akizindua akaunti maalumu ya tabasamu kwa ajili ya wanawake wote nchini chini ya ubunifu wa benki ya tpb anasema hatua hiyo inatokana na kuwa wanawake wengi wamekuwa wakishiriki kujenga uchumi kupitia sekta isiyo rasmi lakini bado wamekuwa hawatambuliki kwenye sera
anasema kuwa hatua ya kuzinduliwa kwa mkakati huo ni njia mahsusi ya kumuwezesha mwanamke ili aweze kufikia malengo yake
mama samia anasema kuwa rais dk john magufuli amekuwa akiwathamini wanawake na ndio maana hata ilipofika hatua ya kufunga baadhi ya benki za serikali ambazo zilikuwa zinajiendesha kwa hasara aliamua iliyokuwa benki ya wanawake tanzania ihamishiwe benki ya tpb ili kuenzi na kupata usimamizi mzuri wa masuala ya wanawake ikiwamo kuwa na huduma maalumu zinazowahusu
benki ya tpb ipo imara na ndio maana katika utekelezaji wa agizo la serikali wamehakikisha huduma zote zilizokuwa zinatolewa na benki ya wanawake sasa tunazikuta huku na kufunguliwa kwa akanti maalumu ya tabasamu ni sehemu ya kuenzi mchango wa wanawake nchini
tunajua kwamba wanawake ndio wazalishaji wakubwa na ndio wenye kumiliki viwanda vidogo na vya kati lakini bado mchango wao hautambuliki kwenye ukuaji wa uchumi na hili linaweza kuwa kwenye hata kwenye sera zetu sasa wakati umefika mheshimiwa naibu waziri dk ashatu kijaji anzeni sasa kufanya marebisho ya sera hizo ili kuweza kutambua mchango huu anasema samia
anasema kwamba wanawake ndio wazalishaji wakubwa na wengi wao wanamiliki viwanda vidogo na vya kati lakini bado mchango wao hautambuliki kwenye ukuaji wa uchumi
anasema benki ya tpb ina matawi takriban 80 atm 54 mtandao wa umoja switch takriban 200 na mawakala 150 kupitia shirika la posta huku ameitaka benki hiyo kuwafikia wanawake wengi haswa vijijini na kuhakikisha wanapata huduma na elimu ya masuala ya kifedha
wanawake ni nguzo kuu ya uchumi wetu kwani wao ndiyo wazalishaji wakuu kuanzia ngazi ya familia hadi taifa mbali ya kulea familia huwezi kuwakosa wanawake kwenye sekta yoyote ya uzalishaji mali na hivyo siyo upendeleo kuanzisha akaunti maalumu ya tabasamu kwa wanawake bali ni haki yao ya msingi kama ilivyofanya benki ya tpb anasema
kutokana na hali hiyo makamu wa rais ameitaka tpb ishirikiane na makampuni ya simu kuhakikisha kuwa wanawake hawa si tu wanapata taarifa za kibenki hata ikiwezekana kuweza kupata huduma za kibenki kama mikopo kupitia simu zao za mikononi
kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa benki ya tpb sabasaba moshingi anasema kuwa katika kutambua umuhimu wa changamoto za kujiwekea akiba ambazo watu wengi hukutana nazo benki ya tpb imelazimika kuanzisha akaunti hiyo maalumu ya tabasabu ili kuwezesha akina mama dada waweze kijiwekea akiba na kujikwamua kiuchumi
madhumuni ya akaunti hii ya kina mama na dada ni kujikwamua kiuchumi kwa kufungua akaunti ya tabasamu ili kujiwekea akina na hatimaye waweze kuboresha maisha yao ya kila siku kwa kuongeza mitaji ya biashara zao au kuanzisha shughuli mbalimbali za kiuchumi
walengwa wa akaunti hii mahsusi kwa akina mama au akina dada wanaojishughulisha na shughuli za kiuchumi za aina yoyote ya biashara anasema moshingi
anasema iwapo muhusika atafungua akaunti ya tabasamu itampa fursa mwenye akaunti kuchukua mkopo hasi asilimia 50 ya akiba yake hata atakapohitaji kufanya hivyo
lakini pia anasema akaunti hiyo inatoa faida nono kwa mwaka na inampa mwenye akaunti kinga za bima ya afya na bima ya maisha
akaunti ya tabasamu inatumika kama dhamana endapo mwenye akaunti anahitaji mkopo anasema moshingi
naye mwenyekiti wa bodi ya benki ya tpb dk edmund mndolwa anasema kuwa benki hiyo imefanya mabadiliko makubwa katika huduma ikiwamo kuwa na akaunti maalumu ikiwamo ya tabasamu kwa lengo la kusogeza huduma bora kwa jamii
kuzinduliwa kwa akaunti hii ya tabasabu sasa kunakwenda kumfanya mwanamke kuwa sehemu ya uchumi wa nchi yetu kwa kuweza kupata huduma mbalimbali ikiwamo mikopo ya gharama nafuu na hili sasa linakwenda kuondoa fikra potofu kwa jamii anasema dk mndolwa
previous articleutalii utamaduni mashujaa vita majimaji kukumbukwa daima
next articlebunge kutofanya kazi na cag mdee akalia kuti kavu kwa kumuunga mkono | 2020-08-07T00:38:38 | https://mtanzania.co.tz/samia-mchango-wa-mwanamke-utambulike-kiuchumi/ |
mkasa mzima wa kutekwa kwa sheikh faridi huu hapa shakeel investment
amesema kuwa waliomchukuwa walijitambulisha kwake kuwa ni askari polisi na kumonesha vitambulisho huku wengine wawili wakiwa na silaha za mshingani hapo hapo wakamfunga macho yake kwa kutumia kitambaa ili asijue wapi anapelekwa walimchukua kwa gari na baadae kumuingiza katika nyumba asioijua kwa mahojiano bila ya kumfungua kitambaa hicho kwa muda wa siku tatu mfululizo
wazanzibar wakiwa wanakusanyika nyumbani kwa kiongozi wao farid baada ya kuonekana na mkono unaonekana ni wa faridi akiwasalimia
wazanzibar wakiwa wanasherekea mitaani baada ya kuonekana shekhe farid jana usiku
shekhe faridi akiwa na waumini waliofika nyumbani kwake mara baada ya kuonekana jana usiku
shekhe faridi akiwa na mwanae mara baada ya kuwaachiwa toka mafichoni
dua ikisomwa katika kumshuru mungu baada ya shekhe faridi kuonekana akiwa salama | 2019-01-23T18:29:42 | http://shabanishakeel.blogspot.com/2012/10/mkasa-mzima-wa-kutekwa-kwa-sheikh.html |
nyumba 100 zawekwa x jangwani vurugu zatawala mwanahalisi online
posted by hamisi mguta december 30 2015 0 1990 views
zoezi la uwekaji alama nyekundu katika zaidi ya nyumba 100 zinazotakiwa kubomolewa kwenye bonde la mto msimbazi jangwani limemalizika chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya vurugu za wananchi kuigomea serikali katika zoezi hilo anaandika hamisi mguta (endelea)
zoezi hilo lililoanza leo majira ya saa nne asubuhi likiongozwa na mwanasheria wa nemc machare heche lilisababisha vurugu zilizotokana na wananchi kukataa kuwekewa alama hizo huku wakidai kuwa zoezi hilo alikustahili kufanyika kutokana na kusimamishwa kwa zoezi hilo hadi januari mosi mwakani
alipohitajika na mwanahalisi online kuzungumzia zoezi hilo kwakuwa alikuwepo wakati tukio zima hadi kumalizika kwakwe heche aligoma kuzungumzia zoezi hilo kwa kudai kuwa mzungumzaji mkuu ni waziri anayehusika na mazingira january makamba au mkurugenzi wa nemc
miongoni mwa malalamiko ya wananchi waishio katika bonde hilo ni kutaka jengo la stendi ya mabasi yaendayo haraka pia liwekewe alama na hatimaye kubomolewa kwa sababu ya kuwa jengo hilo lipo bondeni sawa na nyumba zao
aidha wameiomba serikali kuongeza siku zaidi za maandalizi ili waweze kuhamisha vitu vya majumbani kwani muda uliotolewa hautoshi kufanya maandalizi
ikumbukwe kuwa zoezi la kubomoa nyumba zilizopo mabondeni lilianza desemba 17 mwaka huu na kusitishwa baada ya siku tatu na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi william lukuvi hadi januari 5 kwa kigezo cha kutoa nafasi kwa watu waliojenga katika maeneo hayo kuondoa wenyewe mali zao huku kukiwa na sintofahamu ya upewaji wa maeneo kwa wakazi hao
zoezi la uwekaji alama nyekundu katika zaidi ya nyumba 100 zinazotakiwa kubomolewa kwenye bonde la mto msimbazi jangwani limemalizika chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya vurugu za wananchi kuigomea serikali katika zoezi hilo anaandika hamisi mguta (endelea) zoezi hilo lililoanza leo majira ya saa nne asubuhi likiongozwa na mwanasheria wa nemc machare heche lilisababisha vurugu zilizotokana na wananchi kukataa kuwekewa alama hizo huku wakidai kuwa zoezi hilo alikustahili kufanyika kutokana na kusimamishwa kwa zoezi hilo hadi januari mosi mwakani alipohitajika na mwanahalisi online kuzungumzia zoezi hilo kwakuwa alikuwepo wakati tukio zima hadi kumalizika kwakwe heche aligoma kuzungumzia zoezi hilo&hellip
previous simbachawene atimua maofisa biashara dodoma
next serikali wasilikiza mapendekezo ya walemavu | 2018-09-24T04:15:51 | http://mwanahalisionline.com/nyumba-100-zawekwa-x-jangwani-vurugu-zatawala/ |
mavazi yanavyoathiri muonekano wa mtu | makurukirw | habari za kina
muhimu kutambua mavazi ni njia kubwa na nzuri ya kutambulisha tabia ya mtu wengi wanapendwa au wanachukiwa kutokana na mavazi wanayovaa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakivaa mavazi yasiyo na heshima ama kwa kuwa mafupi au yamekuwa yakiacha sehemu kubwa ya kifua kuwa wazi
wasichana wa sasa wanaona kuvaa nguo zinazoacha wazi sehemu kubwa ya matiti kama fasheni kuna mavazi ya aina nyingi ambapo yakivaliwa humfanya mtu apendeze au achukize uvaaji wa nguo unatakiwa kuzingatia umri na rangi ya mwili na pia mazingira ya nguo inapovaliwa
sio kila nguo ni ya kuvaliwa mchana na sio kila nguo ni ya kutoka nayo barabarani aina nyingine za nguo hazistahili kuvaliwa barabarani unapotoka tu barabarani unaanza kupigiwa miluzi hiyo si sawa sawa
mathalani wewe ni mfanyakazi unajua unatakiwa uvaaje kujiweka mrembo na mtanashati ni kitu muhimu siku hizi kuna mitimbo mbalimbali ya nguo za madukani kushona mitindo ya kutumia vitenge vitambaa kwa mitindo ambayo inatunza heshima ya mvaaji
unatakiwa kuvaa kulingana na mahali na wakati kwani kuna nguo za kazini na za kutokea lakini sasa hivi si ajabu ukakutana na mtu mchana wa jua kali akiwa amevaa nguo ya usiku au kumkuta akiwa amevaa viatu virefu huku akijua fika anatembea kwa miguu kwa umbali mrefu | 2018-02-26T01:31:10 | http://sw.makuruki.rw/spip.php?article2839 |
covid19 will change the way we buy cars forever here's how news hamburg reporter hamburg ia hamburg ia | 2020-07-03T14:02:21 | https://www.hamburgreporter.com/zz/news/20200527/covid-19-will-change-way-we-buy-cars-forever-heres-how |
tunahitaji udikteta zaidi ya huu | jamiiforums | the home of great thinkers
tunahitaji udikteta zaidi ya huu
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by speaker jan 9 2012
toka raisi jk azomewe mwaka jana (2011) pale udsm kwenye maadhimisho
ya miaka 50 ya kuanzishwa udsmkumekua na udikteta unao endelea kila kukicha nchi nzima kwa vyuo takribani vyote
kwa mfanoudsm walifukuzwa wanachuo 43bila sababu za msingisababu ya kiubabaishaji
ikiwa ni kufanya fujo na mikusanyiko isiyokuwa halali
udom week iliyo pitabaada ya kuwa wame cheleweshewa hela zao takribani mwezi mzima waliamua
kuandamana kwenda utawala kujua hatma ya hela zaowaliambiwa wangepata kesho yake
lakini siku hiyo hiyo waliyo goma kidogo walipata hela zaona kesho yake wanafunzi zaidi ya 15
walifukuzwa kwa sababu ya kuchochea mgomo na uvunjifu wa amani
stjohn chuo walikua na matatizo kama ya vyuo vyote kwa wanafunzi wanaopata mkopowalipo goma
kudai haki yaowalifukuzwa wote na kurudishwa kwa masharti magumu sana
yanayo endelea muhimbili kila mtu anayajuamagazeti yameelezea kwa undani zaidi
seikali ya wanafunzi pale udsm huwa na kikao kimoja cha bunge (kikao halali) mara moja kwa semester
jumamosi iliyopita 7/1/2012 walikaa na kuamua kuquestion wenzao kufukuzwa bila sababu za msingi
wakidai ni uonevu
kikao kile alihudhuria dean of studentskwa hiyo kilikua halali na maazimio yake ilikua ni kuwa na shinikizo la kutaka wanafunzi walio
fukuzwa warudishweutawala ulipata habari hizi na kwa haraka sanaprofmgaya akatoa karipio kali na vitisho
kwamba atakaye shiriki mara moja atarudishwa kwaona hakuna ruksa ya kukusanyika maana utakuwa defined kwamba
una hamasisha mgomo
viongozi wa serikali ya wanafunzi walitoa maazimio ya kikao chao cha bunge tarehe 9/1/2012 asubuhiwakiwa wana tafuta uungwaji mkono wa 2/3 ya wanachuo wote katika kushinikiza walio fukuzwa kwa kuonewa warudishwe
usiku huuwame pigiwa simu wakitakiwa kwenda kuchokua barua zao warudi makwao haraka sanakwa style ya udsm ya sasahii ni 3/4 ya kufukuzwa mazima maaana utasubiri kuitwa chuo hadi yesu arudi
uko wapi uhuru wa kujieleza
iko wapi haki ya kukusanyika
jehii ndio adhabu anayotoa jk kwa wanafunzi baada ya kudhalilishwa
hali itakuaje/ikoje mtaani watu wanapodai haki zao
huu ni udikteta
mkuu wanaotakiwa kuchukua barua ni viongozi au
mkuu wanaotakiwa kuchukua barua ni viongozi auclick to expand
yeahkwa kesho viongozi woote wanaenda kuchukua barua za kwenda nyumbani
naona wanataka kuwa fukuza ili common wanachuo waogope kufanya mgomo wowote
ikitokea kesho wanachuo wote wakagomabasi wote watapewa barua kwenda makwao
ni vema hizo shida mlizo nazo watanzania zikaendelea kwa kasi tena mara saba zaidi ili mjifunze hayo ndio matunda ya kupiga kura kama vipofu hiyo serikali mnayoilalamikia kwani iliingia msituni na kutwaa madaraka si mliichagua kwa kura zenu wenyewe tulieni hadi mtakapopata akili na mang'amuzi | 2017-07-24T06:50:05 | https://www.jamiiforums.com/threads/tunahitaji-udikteta-zaidi-ya-huu.210720/ |
je wamjua mtunzi wa wimbo wa taifa | spoti na starehe
je wamjua mtunzi wa wimbo wa taifa
je wajua mtunzi wa wimbo wa taifa mungu ibariki afrika (god bless africa)umetungwa na mtunzi toka afrika ya kusini anayeitwa enoch mankayi sontonga mnamo mwaka 1897 wimbo huu ulikuwa maalumu kwa chama cha anc na baadaye ukawa wimbo maalumu wa taifa wa afrika ya kusini naabadaye tanzania ikatumbukiza maneno ya kiswahili ndani yake
this entry was posted on sunday october 9th 2011 at 810 am and is filed under michezo you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed | 2017-06-29T00:30:37 | https://spotistarehe.wordpress.com/2011/10/09/je-wamjua-mtunzi-wa-wimbo-wa-taifa/ |
this day magazine waziri mwijage waziri tizeba wafanya mazungumzo na waziri mkuu wa vietnam ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
waziri mwijage waziri tizeba wafanya mazungumzo na waziri mkuu wa vietnam
ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yao nchini vietnam waziri wa viwanda biashara na uwekezaji charles mwijage pamoja na waziri wa kilimo mifugo na uvuvi dkt charles tizeba wamekutana kwa mazungumzo na waziri mkuu wa vietnam mhe nguyen xuan phuc ambapo walijadili namna ya kuimarisha mahusiano na ushirikiano wa kiuchumi na biashara baina ya nchi hizo mbili mazungumzo hayo yalifanyika baada ya kukamilisha kongamano la tatu la biashara na uwekezaji kati ya tanzania na vietnam lililofanyika siku hiyo hiyo ya tatu ya ziara yao
posted by editor on 0958 filed under feature gallery worldnews you can follow any responses to this entry through the rss 20
0 comments for waziri mwijage waziri tizeba wafanya mazungumzo na waziri mkuu wa vietnam | 2018-05-21T18:27:55 | http://thisdaymag.blogspot.com/2017/08/waziri-mwijage-waziri-tizeba-wafanya.html |
manispaa ya morogoro yajipanga kukusanya mapato ya ndani yenye jumla ya bilioni 64 mwaka wa fedha 2018/2019
halmashauri ya manispaa ya morogoro inatarajia kukusanya jumla ya sh bilioni 64 kutoka vyanzo vyake vya ndani katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2018/2019 ambapo asilimia 60 ya mapato hayo yakielekezwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya wananchi
meya wa halmashauri ya manispaa pascal kihanga alisema hayo ( jan 15/01/2018) kwenye kikao maalumu cha baraza la madiwani kupitia na kupitisha bajeti ya fedha kwa mwaka 2018/2019
kihanga alisema halmashauri inakisia kukusanya na kupokea mapato kiasi cha sh 74801384234 kutoka kwenye vyanzo vya mapato toka serikali kuu wahisani na pamoja na vyanzo vyake vya ndani
hata hivyo alisema bajeti ya mwaka 2018/2019 imelenga katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutumia kupunguza kero za wananchi na kuweka kipaumbele katika utoaji wa huduma za elimu maji usafi wa mji utawala bora afya na miundombinu
kwa mujibu wa meya kiasi cha makusanyo ya fedha kutoka vyanzo vya mapato ya ndani kinachokisiwa kuwa ni sh 6473910373 ambayo pia ni pungufu la sh 367280668 sawa na asilimia 56 ya makadiriko ya mwaka wa fedha wa 2017/2018 ya sh 6841191 045 05
alisema katika mapato hayo jumla ya sh 3415109624 zitatumika kwa ajili ya uchangiaji wa miradi ya maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 60 ya makisio
kihanga alitaja kiasi kingine cha sh 44232 000 zitalipa mishahara kwa watumishi wasiopata ruzuku sh 2276739749 kwa matumizi mengineyo na sh 737829000 zitatumika katika vituo vya afya na zahanati kupitia mifuko ya utoaji huduma za afya
pia alisema makisio ya mapato ya miradi ya maendeleo kwa mwaka 2018/2019 halmashauri inakisia kupokea ruzuku kutoka serikali kuu na wahisani mbalimbali kiasi cha sh 16279095274 katika kiasi hicho serikali kuu inatarajia kutoa sh 5740294000 wakati wahisani wa maendeleo (ulgsp) kutarajiwa kutoa kiasi cha sh 10538 538801274
naye mbunge wa jimbo la morogoro mjini abulaziz abood pamoja na kupitishwa kwa bajeti hiyo aliwataka watendaji wa halmashauri na madiwani wote kuwa na ushirikiano wa pamoja katika kusimamia utekelezaji wa miradi na malengo yaliyowekwa ili kuboresha huduma za wananchi
kwa upande wake diwani wa kata ya bigwa zamoyoni abdallah aliwashauri madiwani wenzake kuwahamasisha wananchi kwenye kata zao hasa wanawake na vijana ili washiriki kuanzisha vikundi vya ujasiriamali wa viwanda vidogo waweze kunufaika na mikopo inayotolewa kwa ajili ya kuinua mitaji na kuwaondolea umaskini wa vipato | 2018-02-21T01:01:37 | http://morogoromc.go.tz/new/manispaa-ya-morogoro-yajipanga-kukusanya-mapato-ya-ndani-yenye-jumla-ya-bilioni-64-mwaka-wa-fedha-20182019 |
taabini salim mzee mzee wa calypso 19162015 zanzibar daima
homehabaritaabini salim mzee mzee wa calypso 19162015
taabini salim mzee mzee wa calypso 19162015
june 19 2015 zanzibar daima habari 2
wengine wakimwita maalim salim wengi wakimwita sheikh salim na wakisikia anaitwa maalim wakishangaa kwa sababu walikuwa hawajui kwamba salim mzee aliyefariki dunia ijumaa iliyopita akiwa na umri wa miaka 99 na miezi mitatu ujanani mwake alikuwa mwalimu
wengi waliotambua kwamba aliwahi kuwa mwalimu wakidhani kwamba akisomesha katika skuli za kawaida lakini salim mzee aliyepata umaarufu afrika ya mashariki nzima katika fani ya utangazaji wa redio akisomesha katika skuli ya mafunzo ya polisi (police training school)
juu ya hayo utangazaji wa redio ndio uliomjenga naye kwa upande wake alikuwa miongoni mwa wachache walioijenga fani hiyo zanzibar kuna waliojaribu kuyaiga mahadhi yake ya utangazaji wasifanikiwe
salim mzee akijua namna ya kuchagua maneno ya kuyatumia wapi pa kuyatilia mkazo na lafudhi yake siku zote ilinyooka hakuwa na ulimi ulioyaponda maneno utaona raha namna alivyokuwa akilitamka jina zanzibar si kama baadhi ya watangazaji wa leo wanavyolitamka zanzibaa
si lafidhi yake ya kiswahili tu iliyokuwa nzuri bali hata za kiarabu na kiingereza watu wengi wamesahau na pengine wengine hata hawana habari kwamba kabla ya mapinduzi ya 1964 sauti ya unguja pia ilikuwa ikitangaza kwa kiarabu kiingereza na kihindi
kwa upande mmoja ubingwa wake wa utangazaji ulitokana na ugwiji wake wa lugha za kiswahili kiarabu na kiingereza ugwiji huo aliupata kutoka kwa waalimu waliomsomesha zanzibar ilipokuwa na mfumo wa elimu uliosifika afrika ya mashariki
waalimu wa enzi hizo kwa mfano hawakusomesha masomo ya kawaida tu bali pia wakifundisha maadili na mwenendo mzuri nadhani kufuata mafundisho ya waalimu wake ndiko kulikomfanya awe mtu mwenye kustahiki kuheshimiwa kama alivyomwelezea rafiki yangu mmoja juzi
salim mzee alizaliwa unguja na alikuwa miongoni mwa kundi la pili au la tatu la wanafunzi wa zanzibar walioanza kusomeshwa katika skuli za kawaida skuli ya mwanzo ya serikali ilifunguliwa visiwani humo 1905 kwa jitihada za sultan wa siku hizo seyyid ali bin hamoud (aliyetawala kutoka 1902 hadi alipojiuzulu ufalme 1911 na akaenda kuishi uhamishoni paris alikofariki 1918 akiwa na miaka 34)
baada ya kumaliza masomo yake ya msingi salim aliingia skuli ya kujifunza ualimu (teachers training school kwa ufupi tts) taasisi pekee ya elimu ya juu iliyokuwako zanzibar siku hizo huko tts alisomeshwa na magwiji miongoni mwao alikuwa lw hollingsworth mwingereza aliyeishi zanzibar kwa miaka 13 na ambaye baadaye aliandika kitabu kuhusu historia ya zanzibar na kingine kuhusu kiswahili
mwalimu wake mwengine wa kiingereza alikuwa mohamed salim barwani (maarufu kwa jina la jinja) aliyebobea kwa umombo na aliyewahi kuwa mwanafunzi wa hollingsworth
jinja ambaye ni babu mzaa mama wa mwanasiasa mansour yusuf himidi alikuwa mtu mwenye hisia za kizalendo aliyehitimu baadaye katika chuo kikuu cha oxford uingereza
si ajabu kwamba salim mzee aliondokea kuwa na lafudhi nzuri ya kiingereza kwa sababu waalimu wake wa kiingereza walikuwa ndio hao hollingsworth na jinja
mwalimu wake mwengine anayetajika ni maalim abdallah hadhrami aliyekuwa mwanafunzi wa mwanzo kutiwa skuli zanzibar 1905 binafsi nilibahatika kwamba alikuwa mmoja wa waalimu wangu wa kiarabu katika king george vi grammar secondary school (ambayo sasa inaitwa lumumba college)
abdulla hadhrami alikuwa na njia zake za kusomeshea zilizokuwa nje ya zile alizopangiwa kwa mujibu wa minhaji (silibasi) kwa mfano nakumbuka alikuwa hatufundishi sarufi na nahau ya kiarabu tu au mashairi ya almutanabbi mshairi wa kale wa kiarabu lakini akisimama mbele ya klasi mawazo yake yakitembea kwingi kwani alikuwa ameogelea katika bahari tofauti za lugha fasihi historia siasa na masuala ya kijamii
kwa vile akipenda kusoma magazeti na kusikiliza redio abdulla hadhrami akiweza kutuchambulia matukio mbalimbali ya ulimwengu
siwezi kusahau siku moja 1960 namna alivyoyachambua matabaka ya uingereza alipoposwa princess margaret mdogo wa malkia wa uingereza na mpiga picha antony armstrongjones aliyekuwa mtu wa kawaida na si wa aila ya kifalme
wengine waliomsomesha kiarabu salim mzee walikuwa mmisri aliyekuwa akiitwa abdul bari alaziji maalim abdulla alkindi na sheikh burhan mkelle mtaalamu wa lugha hiyo ambaye moja ya vitabu alivyotunga ni kitabu cha sarufi ya kiarabu kwa mashairi ya kiarabu na cha utangulizi wa kujifunza kiarabu tamrin alatfal kilichochapishwa cairo 1918 sheikh mkelle alisomea cairo na kati ya vitabu vingine alivyotunga kwa kiarabu katika miaka ya 1920 ni al burhaniyat mkusanyiko wa mashairi na tarikh jazirat alqamar alkubra (historia ya ngazija)
waalimu wengine wa salim mzee walikuwa ibrahim kassim (bingwa wa hisabati) kassim abdul hafidh pamoja na amour ali ameir ambaye baada ya adha za mapinduzi ilimbidi akimbilie oman ambako aliujenga msingi wa elimu wa taifa hilo
katika zanzibar ya miaka ya 1930 mtindo uliokuwapo ulikuwa kwamba wanafunzi waliohitimu tts wakitafutiwa kazi na hollingsworth katika idara za serikali salim mzee alipomaliza masomo march 1934 alipelekwa kufanya kazi ya ukarani katika idara ya forodha akisubiri kuajiriwa kuwa mwalimu
fursa hiyo aliipata novemba mwaka huohuo ilipofunguliwa skuli ya mafunzo ya polisi (pts) huko alisomesha kiingereza na akawa mkuu wa pts (19361954) akimrithi mzungu miongoni mwa askari aliowasomesha ambao baadaye walishiriki katika mapinduzi ya 1964 ni eddington kisasi ramadhan haji (aliyewahi kuwa waziri kiongozi) na ibrahim amani aliyekuwa mjumbe wa baraza la mapinduzi
wakati redio ya sauti ya unguja ilipofunguliwa na kuendeshwa na serikali salim mzee aliingiwa na shauku ya kutangaza mara ya mwanzo alipoomba kazi hiyo bahati haikuwa yake alikataliwa
bahati ilimwangukia ama 1954 au 1955 alipoomba tena naakakubaliwa wakati huo mtangazaji aliyekuwa akingara kwa sauti yake tamu alikuwa ali buesh aliyekuwa pia mwanamuziki buesh baadaye alikwenda misri kusomea fani ya muziki
alipoondoka buesh ndipo salim mzee akawa yeye mbele katika fani ya utangazaji nasauti ya unguja ilistawi kwa ajili yake alikuwa miongoni mwa watangazaji wa mwanzo wa redio katika afrika ya mashariki miongoni mwa watangazaji wa kizanzibari walikuwako wawili wengine david wakati na ahmed rashad ali waliokuwa wakivuma miaka hiyo ya mwanzo ya utangazaji wa redio katika afrika
lakini david wakati ambaye kama salim mzee alikuwa mtangazaji wa watangazaji kwa sauti yake ya kuvutia akilifanyia kazi shirika la utangazaji la tanganyika (tbc) na pia bbc london isipokuwa kwa muda mfupi baada ya mapinduzi aliporudi kwao akateuliwa mkurugenzi wa utangazaji ahmed rashad naye baada ya kufanya kazi sauti ya unguja akinguruma kwenye sauti ya afrika kutoka cairo na alijipatia umaarufu kwa matangazo yake ya kuupinga ukoloni
miongoni mwa watangazaji aliofanya nao kazi salim mzee ni yusuf mohamed joseph asama sanura shakhsi mdungi usi aliyekamatwa na kuuliwa bila ya kufikishwa mahakamani katika awamu ya mwanzo ya mapinduzi
watangazaji wengine mashuhuri aliofanya kazi nao ni septi suleiman haidar jabir ramadhan ali (mtangazaji mstaafu wa sauti ya ujerumani) na zeyana seif ambaye baadaye alikuwa mtangazaji wa mwanzo wa kike wa idhaa zote za bbc za kiingereza na lugha nyingine kusoma taarifa ya habari
salim mzee aliwapiku watangazaji wengi kwa sauti yake tamu lafdhi ya matamshi yake na upeo wa aliyokuwa akiyajua ni mtangazaji aliyekuwa akipewa dhamana ya kutangaza mambo muhimu na makubwa ya kiserikali toka siku za utawala wa kikoloni hadi baada ya mapinduzi
alifundishwa kazi na maofisa wa idara ya habari wakiwemo yahya alwi na mohamed saleh farsi halafu alipelekwa nairobi kujifunza zaidi tasnia ya uandishi habari wa redio katika kenya institute of mass communications (kimc) alipohitimu alitunukiwa stashahada
mwaka 1964 salim mzee alipata fursa ya kuwa miongoni mwa waandishi wa habari kutoka barani afrika waliotembelea nchi kadhaa za ulaya ya mashariki kwa miezi michache wakihudhuria semina mbali mbali
salim mzee alishikilia vyeo kadhaa vya utangazaji kama vile mkuu wa habari na mwisho akawa mkurugenzi wa utangazaji alistaafu 1978
baada ya kustaafu alipumzika kwa muda wa kama miezi mitatu halafu rais aboud jumbe alimtaka arudi kuutumikia umma alipokuwa anatayarisha kuliunda baraza la wawakilishi (blw) salim mzee akateuliwa msaidizi wa katibu wa baraza hilo na mwisho akawa kaimu wa katibu mpaka alipostaafu 1990
mbali na kazi zake rasmi salim mzee akijishughulisha na mengine pia alikuwa mjumbe wa baraza la kiswahili la tanzania na kuna wakati akiwafundisha watu wazima kuandika na kusoma katika mtaa wa mtendeni
miongoni mwa wanafunzi wake walikuwa wazegazega na wauza kahawa waliokuwa wakitafahari walipoanza kusoma na kuandika
salim mzee akiwavutia wengi katika baraza zake hususan ile ya karibu na jengo la manispaa darajani iliyobandikwa jina la utani la baraza la wawakilishi hapo alikuwa kinara wa kustawisha barza watu wakivutiwa kwa ujuzi wake mkubwa wa lughana kwa maarifa yake
miongoni mwa watu wa baraza hiyo alikuwa rais jakaya kikwete kabla hajawa rais alipokuwa akikitumika chama chake zanzibar wengine walikuwa mawaziri wanasiasa watumishi wa serikali na wasomindo salim mzee akawamsomi wa wasomi hususan kuhusu siasa taarikh (historia) hasa ya zanzibar ya afrika ya mashariki na ya ulimwengu wa kiislamu
baraza yake ya mwishoni mwa uhai wake ilikuwa ya kwa calypso iliyo kwenye duka moja katika eneo hilo la darajani
miaka hii michache iliyopita alipokuwa akishindwa kutoka nje watu wakimwendea kwake kuchota viwili vitatu kutoka kwenye kisima cha hazina ya kumbukumbuku na maarifa yake
siku zote juu ya meza ubavuni mwake kulikuwa vitabu na magazeti mbali mbali pamoja na raia mwema ambalo alikuwa halikosi akisoma vitabu vya kiswahili kiarabu na kiingereza na vya kila aina riwaya siasa historia na dini
nakumbuka kumtembelea ofisini mwake alipokuwa mkurugenzi wa utangazaji kabla hajastaafu 1978 alinyosha mkono wake kunionesha safu ya vitabu vyote vilikuwa vimeandikwa na karl marx mwanzilishi wa falsafa ya umarx halafu kwa dhihaka akanambia mwambie abdulla nimeviramba vyote hivi
abdulla ni mwanawe na rafiki yangu mkubwa sifikiri kama aliviramba kweli vitabu vyote nadhani akitufanyia tashtishi kwani alikuwa akizipinga siasa zetu
nayajuwa hayo kwa sababu alikuwa mtu asiyebania mambo kama hapendi kitu akikwambia wala hakuwa mtu wa porojo na chokochoko ndio maana akipendeza kwa watu naalipokuwa akizungumza akivutia alikuwa muungwana na mtamaduni
kwa vile hakujidai kwamba akijuwa kila kitu hakuwa akiona haya kuuliza asichokijua lakini ingawa kwa kawaida alikuwa mtu mpole na wa mizaha wakati mkibishana na akihisi kwamba unasema upuuzi hamaki zikimpanda hata hivyo hamaki hizo zikizimika mabishano yalipokwisha
sheikh salim mzee gwiji wa utangazaji wa redio na msomi wa wasomi alikuwa miongoni mwa watu wa kupigiwa mfano zanzibar atasalia kuwa mtu wa kupigiwa mfano na hapatotokea mwengine mfano wake kwani alikuwa mtu pekee wa aina yake
salim mzee
batu bawili bana biti bitatu viswahili vya kiswahili
ccm wapenda namba lakini hawajui hesabu
kwaheri taimur saleh juma
may 23 2017 zanzibar daima habari 1
taimur saleh juma ameaga dunia leo jumatatu ya tarehe 22 mei 2017 inna lillahi wa inna ilayhi raajiun tunamuomba mola wetu amsamehe makosa yake yote na amfanyie wepesi katika safari ya khera aamin nakumbuka endelea
musiloweza kulisema tanganyika mwalisema zanzibar
june 15 2017 zanzibar daima kalamu ya ghassani 0
mimi sifichi msimamo wangu dhidi ya siasa za huu tunaoaminishwa kuwa ni muungano wa tanzania kuelekea zanzibar ingawa naweka mpaka baina ya kusimama dhidi ya muungano wenyewe na kusimama dhidi ya hizo niziitazo siasa za endelea
fursa kijani na ukombozi wa vijana zanzibar
june 2 2017 zanzibar daima habari 2
tukiwezeshwa tunaweza ni msemo maarufu hasa kwa wanawake ambao wanajishughulisha na ujasiriamali kwa ajili ya kujiletea maendeleo lakini msemo huu unatafisiriwa vizuri hapa zanzibar ambapo vijana zaidi 70 wamewezeshwa kupata muelekeo kuwa wazalishaji wazuri kwa endelea
pembeni says
nimevutika sana na makala haya yaliomuelezea maalim salim mzee katika maelezo haya wengi watapata kuwajua ijapokuwa kwa ufupi walimu wa daraja la hollingsworth waliowasomesha wazee ambao bila shaka ni tunu ya taifa letu napenda kusahihisha jambo moja ali buesha hajawahi kuwa mtangazaji sauti ya unguja aliyefanya kazi na maalim salim alikuwa ni ndugu yake saleh buesh naye alisifika vile vile kwa sauti yake wote hao watatu walikuwa ni marafiki wenzangu wa mchangani wanaweza kuthibitisha hili
a abdalla
makala nzuri sana bwana ahmed rajabzanzibar ilikuwa na kila ya aina ya watu wenye ujuzi na maarifaya ya fani tofauti | 2019-06-16T16:34:43 | https://zanzibardaima.net/2015/06/19/taabini-salim-mzee-mzee-wa-calypso-1916-2015/?shared=email |
ccj ilikuwa mradi wa nani | jamiiforums | the home of great thinkers
ccj ilikuwa mradi wa nani
discussion in 'jukwaa la siasa' started by click_and_go mar 3 2011
wanajf nimekaa nikatafakari kuhusu kile chama cha ccj kilichoibuka from no where wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu mwaka jana kiliibuka ibuka tu na ikasemekana ni watu waliojimega kutoka ccmila kilidisapper kama jinsi kilivyoibuka baada ya kuletewa mizengwe ya usajili
hivi yawezekana ule ulikuwa mradi wa mafisadi au
ccj ilikuwa plani ya ya watu furani kuharibu muelekeo wa cdm kwakuwa iliandaliwa ili kuhakikisha cdm inapoteza umaarufu walitegemea kwakuwa watakipa umaarufu ili kisikike zaid ya cdm lakini walikuwa na uhakika kuwa watu hawawezi kukiamini sana kilichowashtua ni zile taarifa za kuwa wapo vigogo wanataka kujiunga huko hiyo iliwashtua kwavile wanawafahamu wanamvuto wakaamua kuahirisha mpendazoe alipoingia alisema mimi nimetangulia wenzangu wanakuja hiyo ndo ikawa uthibitisho tosha hivyo ndivyo nilivosikia mimi kutoka kwenye radio mbao ambazo huitwa na bwana frani
don't ask about the deadit's worthy concentrating on the living
ccj ilikuwa plani ya ya watu furani kuharibu muelekeo wa cdm kwakuwa iliandaliwa ili kuhakikisha cdm inapoteza umaarufu walitegemea kwakuwa watakipa umaarufu ili kisikike zaid ya cdm lakini walikuwa na uhakika kuwa watu hawawezi kukiamini sana kilichowashtua ni zile taarifa za kuwa wapo vigogo wanataka kujiunga huko hiyo iliwashtua kwavile wanawafahamu wanamvuto wakaamua kuahirisha mpendazoe alipoingia alisema mimi nimetangulia wenzangu wanakuja hiyo ndo ikawa uthibitisho tosha hivyo ndivyo nilivosikia mimi kutoka kwenye radio mbao ambazo huitwa na bwana franiclick to expand
thanks mkuu for the maelezoi appreciate alot
don't ask about the deadit's worthy concentrating on the livingclick to expand
to the living we owe respect but to the dead we owe only the truthvoltaire | 2016-12-08T22:41:21 | http://www.jamiiforums.com/threads/ccj-ilikuwa-mradi-wa-nani.114852/ |
samatta washambuliaji wengi stars wanamchanganya kocha bin zubeiry sports online samatta washambuliaji wengi stars wanamchanganya kocha bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za nyumbani > samatta washambuliaji wengi stars wanamchanganya kocha
samatta washambuliaji wengi stars wanamchanganya kocha
mshambuliaji wa tp mazembe ya drc mbwana ally samatta amesema kwamba timu ya taifa ya tanzania taifa stars ina washambuliaji wengi kiasi kwamba inamchanganya kocha katika kupanga kikosi
akizungumza na bin zubeiry juzi mjini hapa baada ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya malawi samatta alisema kwamba ni jambo zuri timu kuwa na wachezaji wengi lakini inafikia wakati kocha anapagawa amuanzishe yupi
hata hivyo samatta amesema hiyo ni nzuri kwa sababu inapotokea kocha akatoa mchezaji hata anayeingia yuko vizuri na anakwenda kuisaidia timu
mbwana samatta aliifungia bao la kusawazisha taifa stars ikitoka sare ya 11 na malawi jumapili
samatta akimtoka beki wa malawi ccm kirumba juzi
katika mchezo wa juzi uwanja wa ccm kirumba mwanza stars iliponea chupuchupu kufungwa kama si samatta kusawazisha bao dakika ya 76 akiwa katikati ya mabeki wawili wa the flames baada ya kupewa pasi nzuri na kiungo wa yanga sc mrisho khalfan ngassa
samatta amesema taifa stars kwa sasa iko vizuri na kuna vitu vimeongezeka kwenye maeneo kadhaa kutokana na vijana wadogo kuongezwa kikosini kwani hiyo imeongeza chachu na hali ya watu kujituma
kuna vitu vimeongezeka japo si vikubwa kutoka kwa wachezaji wapya malawi ni timu ambayo tunafahamiana vizuri michezo mingi tunacheza na malawi sijashangaa matokeo kama haya kwa sababu wamekwishatuzoea
baadhi ya vijana wadogo walioongeza chachu katika kikosi cha taifa stars juma luizio kulia na said ndemla kushoto juzi waliketi jukwaani kabisa kirumba
mechi za kufahamiana siku zote zinakuwa ngumu hata kama tungecheza kwao nao ingekuwa tabu vile vile kwao kwa viwango hatujatofautiana sana popote ambako tungecheza matokeo ya droo yasingekuwa ya kustaajabishaamesema samatta
item reviewed samatta washambuliaji wengi stars wanamchanganya kocha rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-02-27T12:19:44 | http://www.binzubeiry.co.tz/2015/03/samatta-washambuliaji-wengi-stars.html |
ni takriban masaa 24 kabla ya viongozi wa dunia akiwemo rais wa marekani donald trump kuwasili katika mkutano wa mataifa saba matajiri duniani
mkutano huo unaofanyika kusini magharibi ya ufaransa mji wa mapumziko ambapo viongozi hao watajadiliana tofauti zao katika masuala mbalimbali ikiwemo suala la kuteketea kwa moto misitu ya amazon na jinsi ya kukabiliana na hali hiyo
vyanzo vya habari nchini ufaransa vimeripoti kuwa mkutano huo pia utaangazia mabadiliko ya tabia nchi mgogoro wa iran na ushuru wakati huo huo mji huo uliowapokea viongozi hao biarritz umewekewa ulinzi imara
polisi wapatao 13000 wamepelekwa katika mji huo wa kifahari ambapo kila polisi mmoja anauwezo wa kukabiliana na watu wawili ili kuhakikisha usalama na kuzuia vurugu zozote za maandamano dhidi ya utandawazi ambayo yalikuwa yanatarajiwa katika mpaka ulioko karibu na eneo la ufaransa linalozungumza kihispania
serikali inakadiria gharama za mkutano huo zitafikia kiasi cha euro milioni 36 (dola za marekani 40 milioni)
biarritz inajulikana kwa hoteli yake ya kifahari ya hotel du palais iliyojengwa karne ya 19 kama nyumba ya mapumziko kwa ajili ya malikia eugenie makasino ya kamari na michezo mashuhuri ya baharini
mwenyeji wa mkutano huo rais emmanuel macron wa ufaransa hana matarajio makubwa ya kufikia makubaliano kuepuka kutokea tena matatizo yaliyotokea mwaka 2018 wakati trump aliposababisha rapsha katika mkutano uliyofanyika canada kwa kuondoka mkutanoni kabla ya kumalizika na hivyo kutokuwepo tamko la pamoja
macron ambaye ni mkereketwa wa umoja wa ulaya na matetezi wa ushirikiano wa kimataifa anamatarajio ya kupiga hatua katika kuwasilisha msimamo wa pamoja na mkutano huo kuangaza suala pana la kupunguza hali ya kutokuwepo usawa duniani
kikundi cha g7 kinajumuisha marekani ufaransa uingereza japan ujerumani italia na canada na umoja wa ulaya pia huhudhuria mkutano mwaka huu macron pia amemkaribisha kiongozi wa australia burkina faso chile misri senegal rwanda na afrika kusini kuongeza wigo la mjadala juu ya kukosekana usawa duniani
thailand papa francis awataka maaskofu kuwa karibu na mapadri
un watu zaidi ya milioni 11 wakabiliwa na ukosefu wa chakula kusini mwa afrika | 2019-11-22T18:39:01 | https://www.voaswahili.com/a/mkutano-wa-g7-kuzungumzia-janga-la-moto-msitu-wa-amazon/5054526.html |
facebook waja na messenger ya mtandaoni teknokona teknolojia tanzania
you are athome»apps»facebook waja na messenger ya mtandaoni
by mhariri mkuu on april 9 2015 apps intaneti
tayari tulishaandika kuhusu maamuzi ya facebook ya kuboresha zaidi huduma yao ya kuchat ya messenger soma facebook kuifanya messenger kuwa zaidi ya messenger katika kuzidi kuonesha uboreshwaji wa huduma hiyo kampuni hiyo imetumia anuani yao ya wwwmessengercom kwa ajili ya huduma hiyo
kwa sasa mtu ataweza kuingia kwenye mtandao huu wa wwwmessengercom akiwa kwenye kompyuta na kuweza kuchati bila kwenda kwenye mtandao wa facebook dot com
muonekano wa messenger katika kivinjari
kwenye mtandao huo bado utaweza kutumia vitu kama vile stika utumaji wa picha na kikubwa zaidi eneo zima la kuchati litakuwa linajaa kwenye eneo lote la kivinjari (browser) pia utaweza kupiga simu ya sauti na ya video
wengi wanasema cha kutegemea muda si mrefu ni kwamba kampuni hiyo inaweza amua kutengeneza programu ya kompyuta kabisa na hivyo kushindana moja kwa moja na skype maboresho unayotakiwa kuyategemea hivi karibuni ni pamoja na uwezo wa kuchati kwenye messenger na makampuni yaani brands na ata kufanya manunuzi ya kimtandaoni kutumia messenger
soma pia facebook kuifanya messenger kuwa zaidi ya messenger
endelea kutembelea teknokonacom
> masaa machache baada ya huduma hiyo kuanza ilipotea tena kwenye mtandao huo na inasemekana ni kutokana na tatizo la kiufundi na maboresho yanafanyika | 2018-05-26T04:11:24 | http://teknokona.com/facebook-waja-na-messenger-ya-mtandaoni/ |
rc mwanza unajitafutia ajali kwa uzembe | jamiiforums | the home of great thinkers
rc mwanza unajitafutia ajali kwa uzembe
discussion in 'jukwaa la siasa' started by chakaza oct 27 2012
ofisi ya rc mwanza iko kati ya jengo la polisi mkoatra na mahakama na mbele ya kuna barabara moja ya one way traffic kutokea upande wa jengo la ccm kwenda mahakama ukitoka ofisi ya rc lazima ukate kulia kuingia barabarani
rc huyu wa mwanza kwa yeye kwa kuona kupita kulia ni usumbufu kwa vile ni njia ndefu anakata kushoto ma kuvunja sheria za barabarani na kuweza kusababisha ajali mbaya gari hilo likigongwa na kusababisha madhara au upotevu wa maisha sheria itafata mkondo au trafic wapo na hawamwelezi hatari hiyo au gari ikiwa na bendera inapita popote
rc fata sheria za barabara ili kuepusha ajali inayoweza kukudhuru wewe au wengine
nafikiri marc kule ngurudoto waliambiwa kuwa wako juu ya sheria kwasababu wengi wako hivyo hata kuamuru polisi kuua ni wao chanzo
achana nayeclick to expand
mbaya ni kuwa anaweza kusababisha ajali ikanihisisha mimiwewe au mwingine na kulingana na siasa za nchi hii kosa litakuwa sio la kwake
anajua wazi 2015 sio rc maana ccm imeshindwa kila kitu
wao ni maraisi na sheria ipo chini yao mpaka wapate ajali
hayo ni matokeo ya nidhamu ya woga anayeendesha gari ni dereva aliyefuzu masomo ya udereva ikiwa ni pamoja na sheria za usalama barabarani kwa nini akubali kuzivunja nakuhakikishia siku ikitokea ajali rc hatahusika hata kidogo atakayewajibishwa ni dereva tu
hayo ni matokeo ya nidhamu ya woga anayeendesha gari ni dereva aliyefuzu masomo ya udereva ikiwa ni pamoja na sheria za usalama barabarani kwa nini akubali kuzivunja nakuhakikishia siku ikitokea ajali rc hatahusika hata kidogo atakayewajibishwa ni dereva tuclick to expand
hapo inawezekana dereva anaamriwa na mkuu wake naye anvunja sheria kwa kuogopa kupoteza kazinchi hii imekuwa ya ki imla
akipata ajali atakwenda kwa mganga na kuambiwa nani kamloga huyo ni dili kwa waganga wa jadi
pia wamewekwa kwa kujuana zaidi xo hawaoni haja ya kuheshimu sheria kwani hata yakitokea ya kutokea aliyewaweka atawalinda
acha afe kwani hana umuhimu kwa jamii ya wanamwanzarpc wa mwanza tushamsahau
anamrudisha mwalimu nyumbani kwakesi ndio style yao refer rpc
hapo inawezekana dereva anaamriwa na mkuu wake naye anvunja sheria kwa kuogopa kupoteza kazinchi hii imekuwa ya ki imlaclick to expand
marc wa nchi huu mkuu wala huwa hawazungumzi kama wanataka kumwelekeza dereva akate upande gani wanatumia fimbo tu mkuu hapo dereva lazima ajiongeze kwamba kaambiwa nini sasa huo muda wa kumwelewesha rc sijui utautoa wapi kaazi kweli kweli
hiyo barabara kama na malori yanapita basi ujue siku zake zinahesabika
kama alikuwa anaendesha mwenyewe lazima apande kizimbani na ingekuwa enziiiii zileeee za nyerere tayari leo jioni alitakiwa anakabidhiwa barua ya kumtakia maisha mema huko aendako
asubuhi hiii tena sio usiku wa mamane
anamrudisha mwalimu nyumbani kwakesi ndio style yao refer rpcclick to expand
acha afe kwani hana umuhimu kwa jamii ya wanamwanzarpc wa mwanza tushamsahauclick to expand
tatizo watakufa na wasiokuwa na hatia
na traffic police huwepo coz hy barabara inatokea round abt na jiran na central police rc katiba ya nchi nafikiri inamruhusu kuvunja sheria maskini tz
kuongoza ni kuonesha njia lakini hapa kwetu inaelekea kuogoza na kupoteza wananchi njia
hivi kwanini viongozi wetu wanakuwa vinara wa kuvunja sheria badala ya kuwa mafano mzuri wa kufuata sheria mwananchi wa kawaida atajifunza nini kutoka kwa huyu rc tena eti ni engineer evarist ndikilo au ndiyo maengineer type ya stella manyanya (rc rukwa)
katiba mpya tuondokane na watu hawa rcs dcs they are hopless people with no job to do
katiba mpya tuondokane na watu hawa rcs dcs they are hopless people with no job to doclick to expand
tatizo n i kuwa sisi hatuna viongozi bali tuna watawala | 2017-04-28T06:36:48 | https://www.jamiiforums.com/threads/rc-mwanza-unajitafutia-ajali-kwa-uzembe.345133/ |
tume yawataka wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia katiba na sheria za uchaguzi katika kusimamia uchaguzi
imewekwa may 30 2019
makamu mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec) jaji (r) mbarouk salum mbarouk amewataka wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuzingatia matakwa ya katiba na sheria zinazosimamia uchaguzi nchini katika kusimamia uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 32 unaotarajiwa kufanyika juni 15 mwaka huu
jaji mbarouk ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya usimamizi wa uchaguzi kwa wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kutoka kata 32 na halmashauri 20 za tanzania bara zinazotarajia kushiriki katika uchaguzi huo yanayofanyika jijini dodoma
alisema pamoja na baadhi ya wasimamizi kuwa na uzoefu katika kusimamia chaguzi mbalimbali aliwasisitiza kuzingatia maelekezo watakayopewa na tume katika kusimamia uchaguzi huo badala ya kusimamia kwa mazoea kwani nec imewaamini kuwa wanaweza kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia matakwa ya katiba na sheria
ndugu washiriki mnatakiwa kutambua kuwa mmeaminiwa na kuteuliwa kwa sababu mnao uwezo wa kufanya kazi hii jambo la muhimu ni kujiamini na kujitambua na kwamba mtapaswa kuzingatia sheria miongozo kanuni na maelekezo yanayotolewa na tume kwa ajili ya kuendesha na kusimamia chaguzi alisema jaji mbarouk
kwa upande wake mkurugenzi wa uchaguzi wa nec dkt athumani kihamia aliwataka wasimamizi hao wa uchaguzi kuwepo muda wote wakati wa kutekeleza majukumu ya uchaguzi na hata pale inapotokea dharura wahakikishe anakuwepo msimamizi atakayetekeza majukumu yao
ni vyema mkafahamu kwamba kipindi hiki ambacho mmeshateuliwa na kuapa kuwa wasimamizi wa uchaguzi wewe unakuwa mtumishi wa tume ya taifa ya uchaguzi kwa muda huokwa hiyo ni vyema ukawa ofisini muda wote ukiondoa dharura alisema dkt kihamia
alifafanua kuwa suala hilo limetolewa muongozo katika maadili ya uchaguzi ya mwaka 2015 sehemu ya 4 (1) watendaji wote wa uchaguzi katika kipindi cha uteuzi wa wagombea katika kipindi cha upigaji kura na katika hatua yoyote ya mchakato wa uchaguzi
katika mafunzo hayo wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi walikula kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa mbele ya hakimu arnold kirekiano ambapo mada mbalimbali zitawasilishwa kuhusu hatua mbalimbali za mchakato wa uchaguzi
tume yawataka viongozi wa dini kuwahimiza waumini wao wajitokeze kujiandikisha na kuboresha taarifa zao
tume kushirikiana na asasi za kiraia kutoa elimu ya mpiga kura
tume kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kuanzia julai 2019 | 2019-07-21T23:52:23 | https://www.nec.go.tz/news/tume-yawataka-wasimamizi-wa-uchaguzi-kuzingatia-katiba-na-sheria-za-uchaguzi-katika-kusimamia-uchaguzi |
abdel fattah alsisi kusalia madarakani hadi 2030 afrika rfi
na rfi imechapishwa 17042019 imehaririwa 17042019 saa 0821
rais wa misri abdel fattah alsissi cairo le machi 2 2017 afp/khaled desouki
wabunge nchini misri wameifanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo kumruhusu rais abdel fattah alsisi kuendelea kusalia madarakani hadi mwaka 2030 lakini wapinzani wake wamekosoa uamuzi huo wa bunge na kusema kuwa misri inaingia katika utawala wa kiimla
mbali na mabadiliko hayo wabunge wamempa rais al sisi mamlaka makubwa ya kudhibiti idara ya mahakama lakini pia jeshi kuendelea kuwa na usemi mkubwa katika siasa za nchi hiyo ya afrika ya kaskazini
hata hivyo mabadiliko hayo yanatarajiwa kupigiwa kura ya maoni na wananchi wa misri na tarehe ya zoezi hilo inatarajiwa kutangazwa leo jumatano
rais al sisi ambaye alichaguliwa mwaka 2018 muhula wake wa miaka sita ulitarajiwa kumalizika mwaka 2024 lakini iwapo mabadiliko hayo yataungwa mkono anaweza kuchagulia tena kwa muhula mwingine wa miaka sita
al sisi aliingia madarakani mwaka 2013 baada ya kuongoza mapinduzi ya kijeshi kumpindua rais aliyekuwa amechaguliwa wakati huo mohamed morsi
al sisi akabidhiwa uenyekiti wa umoja
katiba kufanyiwa marekebisho
misri yashtumiwa kukandamiza wanasiasa
kiongozi wa wanamgambo wa kiislam | 2020-01-25T01:14:50 | http://sw.rfi.fr/afrika/20190417-abdel-fattah-al-sisi-kusalia-madarakani-hadi-2030 |
lulu aeleza mapinduzi yanayoletwa na filamu yake mpya ni noma inayotoka ijumaa hii (video) bongo5com
lulu aeleza mapinduzi yanayoletwa na filamu yake mpya ni noma inayotoka ijumaa hii (video)
fredrick bundala july 14 2016 800 am
baada ya kimya cha muda mrefu mshindi wa tuzo za africa magic elizabeth lulu michael anakuja na filamu yake mpya iitwayo ni noma
filamu hiyo inaingia sokoni ijumaa hii kwa mfumo wa dijitali ambapo watu watainunua na kuingalia kwenye smartphone zao kupitia app ya proin box
lulu ameiambia bongo5 kuwa filamu hiyo imekuja na mapinduzi makubwa kwa kila kitu kuanzia teknolojia na uigizaji amedai kuwa yeye na kampuni yake ya proin walitaka kuja na kitu tofauti na vilivyozoeleka kwenye filamu za tanzania
ilitubidi kwa kiasi fulani tutulie tusome mazingira tasnia yetu inamiss nini sasa hivi mashabiki wetu wanahitaji nini sasa hivi anasema lulu
tumejitahidi kufanya production ya tofauti ambayo ina quality nzuri it needs time sio kama zamani kwa siku mnaweza mkashoot scene sita saba lakini saa zingine production kwa siku tulikuwa tunaweza kushoot scene mbili tu lakini mnahakikisha mnatoka na kitu kizuri ameongeza
amedai kuwa hata sauti zingine pia ilibidi waziingize upya studio ili kuwa na kitu bora kama ambavyo hufanyika kwenye filamu za hollywood
lulu amesema watu wataweza kununua filamu hiyo kwenye app ya proin box kwa shilingi 2500 tu kwa kupitia huduma za malipo ya simu kama mpesa airtel money na zingine huku wale waliopo nje wakiweza kununua kwa credit cards
amesema baada ya kuizindua kwa mfumo wa dijitali filamu hiyo itaanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema na kisha baadaye kuuzwa kwenye dvd hata hivyo ameeleza kuwa kwenye dvd hizo kutakuwa na vitu vya ziada kama vile behind the scenes interview na vitu vingine | 2019-11-12T07:21:23 | http://bongo5.com/lulu-aeleza-mapinduzi-yanayoletwa-na-filamu-yake-mpya-ni-noma-inayotoka-ijumaa-hii-video-07-2016/ |
ban kimoon afanya ziara ya ghafla libya bbc swahili
ban kimoon afanya ziara ya ghafla libya
12 oktoba 2014
http//wwwbbccom/swahili/habari/2014/10/141012_libya_ban_ki_moon
image caption ban ki moon
katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon ametoa wito wa kudumishwa kwa amani nchini libya baada ya kufanya ziara ya ghafla mjini tripoli kama hatua ya umoja wa mataifa kuleta maridhiano nchini humo
katika ziara yake ya kwanza mnamo mwaka 2011 wakati marehemu kanali muamar gaddafi alipopinduliwa aliwaambia wabunge katika hoteli moja mjini humo kwamba hakuna hatua nyengine mbadala ya maridhiano
waziri wa maswala ya kigeni nchini italy federica mogherini aliandamana na mkuu huyo
umoja wa mataifa ulianzisha makubaliano ya kuleta amani kati ya wabunge pinzani baada ya miezi kadhaa ya machafuko
image caption wapiganaji wa makundi pinzani wakabiliana libya
ukosefu wa amani umelifanya taifa hilo lenye utajiri wa mafuta kukosa udhabiti huku bunge jipya lilochaguliwa mwezi july likilazimika kufanya vikao vyake nje nao wapiganaji kutoka makundi pinzani yakipigania udhibiti wa mji huo
bwana ban na bi mogherini waliwasili mjini tripoli kwa ndege kutoka taifa jirani la tunisia ambapo ubalozi wa umoja wa mataifa nchini libya umekita kambi tangu uondolewe nchini humo wakati wa msimu wa joto
''libya inahitaji bunge na serikali yenye uwezo''bwana ban aliwaambiamapigano ni sharti yasitishwetusitishe umwagikaji wa damu
bi mogherini ambaye anatarjiwa kuwa mkuu wa sera za kigeni katika muungano wa ulaya mwezi ujao aliliunga mkono bunge la libya | 2017-12-13T02:15:43 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2014/10/141012_libya_ban_ki_moon |
mtuhumiwa mauaji ya polisi marekani pasua kichwa aacha ujumbe tanzania nzima
datejuly 10 2016 views 234by josephat mwanzi
mtuhumiwa ajiua mbele ya polisi uhasama wazidi marekanimessi baba yake wahukumiwa kufungwa jela miezi 21papa francis awavuruga waumini na kauli ya kuomba radhi mashogamtoto wa miaka 6 ampiga risasi mdogo wake kwa bahati mbayawaziri mkuu wa uingereza kuachia ngazi ni fundisho kwa afrikadavid cameron ana wakati mgumu baada ya uingereza kujinasua eu
dallas polisi wa dallas marekani wamevunja ukimya kuhusiana na kifo cha mtuhumiwa wa mauaji ya polisi watano mwishoni mwa juma polisi hao wameeleza mazingira ya kifo cha mtuhumiwa huyo na alivyowapatia wakati mgumu kumkamata
alikuwa mtu mmoja tu aliyehusika kuua polisi watano mjini dallas alitumia ufundi wa hali ya juu na alikuwa mwepesi kuwakanganya polisi kiasi cha kushindwa kutambua alipokuwa mtuhumiwa huyo
mkuu wa polisi katika mji wa dallas akiongelea tukio hilo amesema tumeumizwa tumevunjika moyo sana mkuu wa polisi mjini dallas david brown
tulimbana sana mtuhiwa huyo baada ya kumshawishi [ajisalimishe] kushindikana tumepambana naye kwa saa nyingi ndivyo anavyosema kamanda brown mtuhumiwa yeye alikereketwa na kufadhaishwa na mauaji ya watu weusi msikilize kamanda brown zaidi hapa chini pamoja na ujumbe alioacha mtuhumiwa
http//tanzanianzimacom/wpcontent/uploads/2016/07/muuajipolisimp3
haya ni mauaji yaliyotikisa dallas na kugusa nyoyo za watu wengi duniani wengi wanaamini ni tukio la kulipiza kisasi kwa mauji ya raia wa marekani weusi polisi wazungu wametuhumiwa kuua watu weusi kwa pupa sana hivi karibuni
kuna wasiwasi kwamba huenda mtuhumiwa huyo ameuawa na polisi lakini kamanda brown umri 55 ambaye pia ni mweusi ameonesha juhudi za kurejesha utulivu na kuponya vidonda baina ya polisi na raia
profesa mmoja kutoka mji wa denver (jina tunalo) ametuambia (wwwtanzanianzimacom) kwamba kamanda brown naye ni mwathirika wa mauji hayo ya visasi huenda ndiyo maana anakazana kurudisha mahusiano mazuri amempoteza kaka yake katika vurumai fulani wakati akiwa kazini kutimiza wajibu wake
mwanaye wa kiume pia aliua afisa wa polisi na mtu aliyekuwa amesimama kando ya barabara na yeye aliuawa matukio hayo yalitokea muda mfupi tu baada ya kamanda brown kupandishwa cheo kuwa mkuu wa polisi mjini dallas
utulivu unaanza kurejea katika mji wa dallas polepole lakini mtanzania ambaye yuko katika mji wa daviscalifornia dennis mwendwa amemwambia mwandishi wa tanzania nzima media kwamba huku [marekani] ni shwari ila hofu bado ni kubwa kwa raia wenye asili ya afrika
imeandaliwa na josephat mwanzi (wwwtanzanianzimacom}
july 8 2016 by josephat mwanziviews 75 | 2018-06-18T21:19:57 | http://tanzanianzima.com/mtuhumiwa-mauaji-ya-polisi-marekani-pasua-kichwa-aacha-ujumbe/ |
serikali yashauriwa kujenga mahabusu za watoto kwenye mikoa na wilaya hapa nchini kajunason | presstz your number 1 source of aggregated online content
mratibu wa chama cha wanasheria wanawake mkoani tanga latiba ayoub akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha hiyo ya siku moja iliyokuwa na lengo la kujaribu kujadili changamoto kwenye sheria za mtoto na kanunuzi zake hususani waliopo kwenye ukinzani nazo wakiwemo kama wadau iliyofanyika mjini hapa mwanasheria wa chama cha wanasheria wanawake mkoani tanga (tawla) mwanaidi kombo akizungumza wakati wa warsha hiyo ya siku moja iliyofanyika ukumbi wa ydcp jijini tanga afisa wa dawati jeshi la magereza mkoani tanga asp halima mswagilla akichangia jambo kwenye warsha hiyo wakili wa serikali rebbeca msalangi akisisistiza jambo kwenye warsha hiyo wakati akiwasilisha mada wakifuatilia hoja mbalimbali za wajumbe wa warsha hiyo sehemu ya washiriki wakiendelea kufuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa hakimu mkazi wa mahakama ya mwangombe jijini tanga husna abdi wa pili kutoka kulia akichukua baadhi ya dondoo kwenye warsha hiyo serikali imeshauriwa kujenga mahabusu za watoto kwenye mikoa na wilaya hapa nchini ili kuwaweka watoto waliokuwa katika ukinzani wa kisheria ambao wamekuwa wakifanya vitendo viovu
hivi sasa kuna watoto wanakuwa kuzidi umri wao na wanafanya vitendo viovu huku wazazi wakiwa hawana uwezo hivyo kupelekea wimbi lao kuwa wengi na mahabusu yao ni chache hivyo kuna umuhimu wa serikali kuliangalia jambo hili kwa mapana kwa kuziongeza angalau mkoa na wilaya alisema
alisema kupitia warsha hiyo ambayo wamekutana wadau mbalimbali wakiwemo ustawi wa jamiijeshi la polisimahakamani wawe chachu ya kuielimisha jamii kuhusu haki zao ili kuhakikisha haki inatendeka vema kwa mujibu wa sheria(habari kwa hisani ya blog ya kijamii ya tanga raha)copyright 20072017 @kajunason blog | 2018-09-24T17:56:00 | http://presstz.net/serikali-yashauriwa-kujenga-mahabusu-za-watoto-kwenye-mikoa-na-wilaya-hapa-nchini-38787267 |
hans poppe tambwe kazoea alifanya hivyo tanga mnavyomsifia mnamvimbisha kichwa saleh jembe
» hans poppe tambwe kazoea alifanya hivyo tanga mnavyomsifia mnamvimbisha kichwa
hans poppe tambwe kazoea alifanya hivyo tanga mnavyomsifia mnamvimbisha kichwa
salehjembe ilizungumza na mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba zacharia hans poppe kutaka kujua maoni yake kuhusiana na mechi hiyo lakini mwenendo wa kikosi chake
salehjembe kikosi kinakwenda vizuri ukiangalia hata msimu uliopita ilikuwa hivi mkayumba mwishoni vipi mmejiandaa na hili
salehjembe kwa nini unaamini mtalifanya
salehjembe mechi dhidi ya yanga mmeonekana ni walalamishi sana mfano bao la tambwe kweli alishika lakini huenda mwamuzi hakuona
salehjembe huenda lilikuwa tukio la haraka sana
hans poppe hapana ilikuwa inawezekana kabisa kuona tena mwamuzi alipaswa awe makini maana huyu tambwe imekuwa kasumba sasa anataka kushikashika mipira na anafunga alifunga dhidi ya coastal union kwa mkono akasababisha vurugu kubwa mkwakwani wengine hawakumbuki hili tena ajabu mnamsifia tu acheni hivyo atazidi huyu kufanya haya mambo ya kijinga
salehjembe kumsifia namna gani
salehjembe ukiangalia wewe kweli alishika na alikosea lakini umaliziaji wake ulionaje nafikiri ulikuwa na ufundi mwingi
salehjembe tambwe alifunga na kwenda kwa mashabiki wa simba huoni hili lilikuwa tatizo jingine
salehjembe umesikia watu wanatoa mfano kuwa ni sawa na mabao ya henry maradona
salehjembe ulisema mmechoka kuonewa hukufafanua ni waamuzi au tff au vipi
salehjembe kadi nyekundu ya mkude inaonyesha hajakomaa wewe unaonaje
salehjembe mashabiki wenu wamevunja viti vipi mnashindwa kuwadhibiti sasa mnapata hasara kubwa
salehjembe sasa hawaachi mnafanyaje sasa
salehjembe mnahisi wanaweza kuwa yanga
salehjembe sasa mnatakiwa kulipa mamilioni mnalipaje
salehjembe lakini lazima mlipe au hamfurahii kulipa
salehjembe kwa hasira kivipi | 2017-02-28T03:09:35 | https://salehjembe.blogspot.com/2016/10/hans-poppe-tambwe-kazoea-alifanya-hivyo.html |
raila atoa wito kwa waliotimu umri wa miaka 18 kuhakikisha wanapiga kura radio taifa
raila atoa wito kwa waliotimu umri wa miaka 18 kuhakikisha wanapiga kura
september 9 2016 april 26 2018 radio taifa kaunti ya kakamega kiongozi wa odm raila odinga uchaguzi mkuu ujao
kiongozi wa odm raila odinga amekamilisha ziara yake katika kaunti ya kakamega huku akitoa wito kwa maeneo bunge ambayo hayakumpigia kura katika uchaguzi mkuu uliopita yafikirie tena msimamo wao raila alitoa wito kwa wakazi kujiandikisha kuwa wapigakura na kuhakikisha watashiriki katika uchaguzi mkuu ujao alisema marekebisho ya hivi majuzi katika utaratibu wa uchaguzi yatahakikisha kuwa wakenya wote waliotimu umri wa kupiga kura wanaweza kufanya hivyo bila kuchelewa kama ilivyokuwa wakati uliopita katika kupata stakabadhi hiyo
raila pia aliulaumu utawala wa jubilee kwa kile alichokitaja kuwa ufisadi uliokithiri katika serikali alisema maoni yake kuwaa nchi hii huenda ikapoteza mabilioni ya pesa zilizopatikana kupitia mpango wa hati za dhamana za yuro yamethibitishwa na taarifa ya mkaguzi mkuu wamahesabu iliyowasilishwa bungeni inayoonyesha kwamba huenda shilingi bilioni 200 zilipotea
kiongozi huyo wa odm sasa anaelekea huko pwani kuungana na vinara wengine katika sherehe za kuadhimisha miaka kumi tangu kubuniwa kwa chama cha chungwa raila anatarajiwa kurejea katika kaunti ya kakamega katika muda wa wiki mbili zijazo kukamilisha ziara yake katika maeneo bunge ya lugarina likuyani
← matayarisho yakamilika tayari kwa uzinduzi wa chama cha jubilee
naibu rais william ruto kuhutubia wajumbe wa jubilee →
uhuru kenyatta asisitiza makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi
april 13 2018 john madanji comments off on uhuru kenyatta asisitiza makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi
sospeter ojaamong awahimiza wakenya kuzingatia maisha yenye afya bora
july 29 2016 toepista nabusoba comments off on sospeter ojaamong awahimiza wakenya kuzingatia maisha yenye afya bora | 2020-05-31T22:02:44 | http://radiotaifa.co.ke/index.php/utaratibu-wa-uchaguzi-kuhakikisha-wakenya-waliotimu-umri-wa-kupiga-kura-kufanya-hivyo-raila-atoa-wito-kwa-wakazi/ |
nishati waziri prof muhongo azitaka taasisi kuongeza kasi ya miradi ya umeme nchini wazalendo 25 blog
home habari matukio news nishati uchumi nishati waziri prof muhongo azitaka taasisi kuongeza kasi ya miradi ya umeme nchini
nishati waziri prof muhongo azitaka taasisi kuongeza kasi ya miradi ya umeme nchini
gadiola emanuel february 16 2016 habari matukio news nishati uchumi | 2018-03-20T13:32:43 | https://wazalendo25.blogspot.com/2016/02/nishati-waziri-prof-muhongo-azitaka.html |
mambo tisa yanayo unda nyota ya mwanadamu na uhusiano kati ya nyota ya mtu na mafanikio yake katika maisha | mpekuzi
mambo tisa yanayo unda nyota ya mwanadamu na uhusiano kati ya nyota ya mtu na mafanikio yake katika maisha
nyota ya mwanadamu ni nafsi hai ya mwanadamu
nafsi hai ya mwanadamu ni pumzi ya mungu aliyopuliziwa mtu baada ya kuumbwa
lengo la mwenyezi mungu lilikuwa ni kumuumba mwanadamu yaani ( mwenye nafsi hai) ili amsaidie kuutawala ulimwengu na kuvitiisha vitu vyote vilivyomo ndani yake vinavyo onekana na visivyo onekana
ili kufanikisha lengo hiliilimbidi mwenyezi mungu amuumbe kwanza mtu ( yaani mwenye mwili na nafsi ya udongo ) na baada ya kumuumba mtu huyondipo mwenyezi mungu akampulizia mtu huyo pumzi ya uhai ambayo sasa ndio ikamfanya mtu huyo kuwa mwanadamu kamili yaani mwenye nafsi hai au aliye puliziwa pumzi ya uhai ( pumzi ya mungu)
ndani ya pumzi hii ya uhai aliyo puliziwa mwanadamu ambayo ndio nyota ya mwanadamu limeandikwa kusudi la mungu juu ya maisha ya mwanadamu
kwa hiyo nyota ya mtu ni pumzi ya uhai ya mwenyezi mungu ambayo ndani yake kuna tamko rasmi juu ya maisha ya mwanadamu
ni tamko rasmi la mwenyezi mungu juu ya maisha ya mwanadamu kwa maana ya kwamba ndani ya pumzi aliyo puliziwa mwanadamu kuna neno au tamko rasmi la mwenyezi mungu kuhusu mambo yote aliyo yakusudia juu ya maisha ya mwanadamu huyo kuanzia siku anazaliwa hadi siku atakayo ingia kaburini
nyota ya mtu ni mafuta ya mungu yaliyo pakwa kwenye nafsi ya mwanadamu ndani ya mafuta hayo limeandikwa kusudi la mwenyezi mungu juu ya maisha ya mtu huyo kuanzia siku ya kutungwa kwa mimba yake hadi siku ya kufa kwake
uhusiano kati ya nyota ya mwanadamu na maisha yake unafanana kwa kiasi kikubwa sana na uhusiano kati ya mbegu ya mti na mti wake
kwa mfano tuchukulie mbegu ya mbuyu mbegu ya mbuyu kwa umbo ni ndogo sana haienei hata kwenye kiganja lakini inatoa mti mkubwa kabisa wenye matawi mizizi matunda na faida lukuki kwa mwanadamu
katika ulimwengu wa kiroho maana yake ni kwamba ndani ya mbegu ya ubuyu yamendikwa mambo yote hayo unayo yaona kuhusu mbuyu ndani ya mbegu ya ubuyu umeandikwa mti wa mbuyu matunda ya ubuyu ladha tamu ya ubuyu faida za kiafya za juisi ya mbuyu faida za kiafya za mafuta ya ubuyu faida za kiafya za magome ya mbuyu nakadhalika nakadhalika
pia uhusiano baina ya nyota ya mwanadamu na maisha yake ni kama mbegu za mwanaume na maisha ya watoto wake
ndani ya mbegu za mwanaume ( shahawa ) kimeandikwa kila kitu kuhusu kitakachozaliwa kutoka kwenye mbegu hizo ukizitazama mbegu za mwanaume ni ute ute lakini ndani ya mbegu hizo hizo ameandikwa mtu kamili mwenye macho masikio pua midomo nakadhalika
ila ili mtu huyo aweze kutokea ni lazima mbegu hizo zikaungane na mayai ya mwanamke vivyo hivyo kwa mwanadamu ndani ya nyota yake kimeandikwa kila kitu kuhusu maisha yake yatakavyo kuwa kuanzia siku atakayo zaliwa hadi siku atakayo ishi lakini ili mambo yote hayo yatokee ni lazima yale mambo tisa yanayo unda nyota ya mwanadamu yawepo yote
vivyo hivyo ndani ya nafsi hai ( nyota ) ya mwanadamu yameandikwa mambo mambo yote ambayo mwenyezi mungu ameyakusudia juu ya maisha ya mtu huyo hapa duniani
kazi ya nyota ya mwanadamu ni nini
mwenyezi mungu alivyo uumba ulimwengu aliukabidhi chini ya utawala wa viumbe wake wakuu watatu
kiumbe wa kwanza kupewa mamlaka ya kutawala ni juajua lilipewa mamlaka ya kuutawala mchana kiumbe wa pili kupewa mamlaka ya kutawala ni mwezi mwezi ulipewa mamlaka ya kuutawala usiku
kiumbe watatu kupewa mamlaka ya utawala ulimwenguni ni mwanadamu na ninaposema mwanadamu namaanisha nafsi hai ya mwanadamu mwanadamu alipewa mamlaka ya kuutawalaulimwengu wote na vitu vyote vilivyomo ndani yake vinavyo onekana na visivyo onekanawalaa mwanadamu hakuambiwa kuutawala mchana au usiku pekee bali yeye alipewa mamlaka ya kuutawala ulimwengu na vitu vyote vilivyomo ndani yake vinavyo tambaa juu ya ardhi ndani ya maji na juu angani bila kujalisha ni mchana au usiku
kwa hiyo tumeona kuwa ulimwengu unatawaliwa kwa ushirikiano wa vitu vikuu vitatu ambavyo ni juamwezina nafsi hai ya mwanadamu kwa lugha nyingine tunaweza kuuita utatu mtakatifu wa utawala wa ulimwengu hivyo basi kazi na jukumu kuu la nyota ya mwanadamu ni kuutawala ulimwengu
mambo tisa yanayo unda nyota ya mwanadamu
nyota ya mwanadamu inaundwa na mambo tisa yaani ndani ya pumzi ya uhai anayo puliziwa kila mwanadamu yameandikwa mambo tisa pamoja na mambo hayo tisa imeandikwa stori ya maisha ya mwanadamu huyo kuanzia siku atakayo zaliwa hadi siku atakayo ingia kaburini mambo hayo tisa yaliyo andikwa kwenye nyota ya mwanadamu ndio yanayo saidia kuibeba stori ya maisha yake hili stori ya maisha ya mwanadamu iweze kudhihirika katika ulimwengu wa nyama au kwa lugha nyepesi ili mambo yote ambayo mwenyezi mungu ameyakusudia juu ya maisha ya mwanadamu yaweze kutokea basi ni lazima yashikiliwe na mambo haya tisa ambayo yameandikwa kwenye pumzi ya uhai ( nyota ) ambayo amepuliziwa kila mwanadamu
nyota ya adamu ilivyo ilivyo chukuliwa na kumilikiwa na ibilisi
ndani ya pumzi ya uhai ( nyota ) ya adamu yaliandikwa mambo makuu tisa pamoja na stori kamili ya maisha ya adamu na kizaz chake chote (yaani wanadamu wote )
adamu alipewa sharti moja na mwenyezi mungu kwamba asile tunda la mti ule na endapo atakula basi hakika atakufa yaani nafsi yake hai ama nyota yake ama kusudi la mungu juu ya maisha yake litaondoka na atabaki kuwa mtu tu yani mwenye mwili na nafsi ya udongo
hata hivyo adamu alienda kinyume na agano alilowekewa na mungu na mara tu baada ya kutenda dhambi ile basi ile nafsi yake hai ikaondoka na adamu akabaki na kujiona mtupu
utupu unaozungumziwa hapo sio utupu wa mwili isipokuwa ni utupu wa nafsi
nafsi ya adamu ilibaki kuwa tupu yale mambo yote tisa yaliyoandikwa kwenye nyota yake yakayeyuka na kutoweka
mfano wa utupu unao zungumziwa hapa ni sawa na mwanafunzi aliye jisomea mwezi mzima kwa ajili ya mtihani halafu siku ya kufanya mtihani yale yote aliyo yasoma yanayeyuka kichwani na kumuacha akiwa mtupu kichwani asijue aandike kitu gani kwenye mtihani mwisho wa siku mwanafunzi huyu lazima atafeli tu mtihani wake
kwa hiyo nyota ya adam ikachukuliwa na yeye akabaki na utupu nafsini mwake
utupu ni nafsi ya kwanza katika utatu mtakatifu wa shetani utatu mtakatifu wa shetani una undwa na nafsi kuu tatu ambazo ni utupu giza na ukiwa kwa hivyo ndani ya nafsi ya adamu kukabakiwa na utupu giza na ukiwa
nafsi hai ya adam ikawa imechukuliwa na kumuacha adamu akibaki na nafsi mfu nafsi ya udongo yenye kuundwa na vitu vitatu yaani utupu giza na ukiwa ambayo ndani yake kinaweza kupandwa chochote kile chenye asili ya utupu kiza na ukiwa
ibilisi anabadilisha majira na nyakati ili kumpishanisha mwanadamu na nyota yake
baada ya kufanikiwa kuiba na kuiweka nafsi ya mwanadamu chini ya umiliki wake kitu cha kwanza kabisa alicho kifanya lusifa kilikuwa ni kubadilisha majira na nyakati
lusifa aliamua kubadilisha majira na nyakati kwa sababu moja kuu nayo ni kumpishanisha mwanadamu na nyota yake
kuna uhusiano mkubwa sana kati ya nyota ya mtu na siku aliyo zaliwa nyota ya mtu na siku aliyozaliwa ni sawa na pande mbili za shilingi moja
kwa kuwa ibilisi alibadilisha majira na nyakati basi kwa kiasi kikubwa sana alifanikiwa kumpishanisha mwanadamu na nyota yake watu wengi leo hii hawazijui nyota zao halisi licha ya kuzijua tarehe walizo zaliwa
nyota ya mtu inatambuliwa kwa kuangalia siku aliyo zaliwa na wala sio tarehe aliyo zaliwa
unakuta mtu anasema mimi nyota yangu ni mapacha ukimuuliza kwanini anajibu kwa sababu nimezaliwa tarehe 15 juni
lakini kiukweli kabisa kwa sisi wanajimu tulio somea na kubobea katika taaluma hii ya unajimu tunajua fika kwamba tarehe uliyo zaliwa haiwezi kusema wewe nyota yako ni nini
kwanini kwa sababu majira na nyakati vimebadilishwa tangu zamani hiyo unayo amini kuwa ndiotarehe yako ya kuzaliwa inatokana na majira nanyakati zilizo badilishwa na kubatilishwa wala sio tarehe yako halisi ya kuzaliwa na wala sio nyota yako halisi
wanajimu tunajua tukitaka kujua nyota halisi ya mtu huwa tunaulizia siku aliyo zaliwa nyota ya mtu inatazamwa kwa kuangalia siku aliyo zaliwa na sio tarehe aliyo zaliwa
ndio maana unakuta watu wawili wenye nyota inayo fanana ( mfano mapacha ) na wanafanya kitu kile kile kimoja lakini mmoja anakuwa tajiri sana na mwingine anabaki kuwa masikini sana ila wote nyota yao ni mapacha jibu ni moja tu wamezaliwa siku tofauti nyota zinafanya kazi kutokana siku na muda ulio zaliwa na sio tarehe uliyo zaliwa
ndio sababu watu wengi wanashindwa kufanikiwa katika mambo wanayo yafanya kwa sababu wanayafanya katika majira na nyakati batili na majira na nyakati ndio vitu vinavyo tawala kila kitu katika ulimwengu huu
jinsi ibilisi alivyo badilsha majira na nyakati
majira na nyakati viliwekwa kwa ajili ya kuitumikia nyota ya mwanadamu iweze kutenda kazi na kutimiza majukumu yake kwa ufanisi hii ni kwa sababu mafanikio ya nyota ya mwanadamu yanategemea na siku pamoja na muda alio zaliwa kama alizaliwa siku ya kwanza basi nyota yake itatawaliwa na kuongozwa na majini na malaika wanao tawala na kutumia siku hiyo ya kwanza pia itategemea amezaliwa muda gani katika siku hiyo kama amezaliwa mchana basi nyota yake itatawaliwa na kuongozwa na majini wanao tawala mchana wa siku hiyo ambao wanatawala pamoja na jua na kama amezaliwa usiku basi nyota yake itaongozwa na kutawaliwa na majini wanao tawala na kuongoza usiku wa siku hiyo ambao watatawala pamoja na mwezi
hivyo ibilisi alibadilisha majira na nyakati ili kumpishanisha mwanadamu na nyota yake
1 alianza kwa kubadilisha siku
kwa mungu hakuna jumatatu wala jumanne wala jumatano alhamisi ijumaa jumamosi wala monday tuesday wednesday thursday friday saturday na sunday
wala majina ya siku niliyo yataja hapo juu hayana uhusiano wowote yenyewe kwa yenyewe kwa maana kuwa jumatatu sio monday wala tuesday sio jumanne wala jumapili sio sunday hakuna uhusiano wowote hapo
mfano jumapili sio sundaysunday ni siku ya jua na jumapili siku ya pili kwa hiyo hakuna uhusiano wowote hapo kati ya siku hizo mbili
kama nilivyo sema hapo juu kwa mungu hakuna jumatatu wala monday ukisoma torati vizuri hutaona sehemu yoyote ile imeandikwa ikawa jumatatu mungu akafanya hivi au ikawa jumatano mungu akafanya vile nadhani wote tunakubaliana katika hili
utakacho kiona ni ikawa siku ya kwanza mungu akafanya hivi ikawa siku ya pili mungu akafanya vile
kwa hiyo kwa mungu kuna kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya saba haya ndio majina ya siku za mungu
1 siku ya kwanza ( kwa mungu siku ya kwanza ni siku ambayo duniani inajulikana kama jumatano(wednesday) hii ambayowewe unaijua kama jumatano kwa mungu ndio siku ya kwanza )
jina la kiroho la siku ya kwanza ni siku ya nuru
2 sikuya pili ( kwa mungu siku ya pili ni hii ambayo duniani inaitwa alhamisi au thursday sasa kwa utaratibu wa hesabu za kimungu alhamisi ndio siku ya pili )
jina la kiroho la siku ya pili ni siku ya akili ya mungu
3 siku ya tatu (kwa mungu siku ya tatu ni hii ambayo duniani inajulikana kama ijumaa au friday sasa basi kwa utaratibu wa kuhesabu siku wa mungu siku ambayo duniani inajulikana kama siku ya ijumaa au friday ni siku ya tatu )
jina la kiroho la siku ya tatu ni siku ya faida na thamani
4 siku ya nne ( kwa mungu siku ya nne ni hii ambayo duniani inajulikana kama jumamosi au saturday ila kwa utaratibu wa hesabu za mungu siku ya jumamosi ndio siku ya nne )
jina la kiroho la siku nne ni siku ya majira na nyakati
5 siku ya tano (kwa mungu siku ya tano ni hii ambayo huku duniani inajulikana kama jumapili au sunday ila kwa mungu hii ni siku ya tano )
jina la kiroho la siku ya tano ni siku ya kufanya mambo makubwa
6 siku ya sita ( kwa mungu siku ya sita ni hii ambayo duniani inajulikana kama jumatatu au monday sasa katika utaratibu wa hesabu za kimungusiku ya sita ndio hii ambayo duniani inajulikana kama jumatatu au monday )
jina la kiroho la siku ya sita ni siku ya kumiliki na kutawala
7 siku ya saba ( kwa mungu siku ya saba ni hii ambayo duniani inajulikana kama jumanne au tuesday sasa basi kwa kufuata hesabu za kimungu jumanne ni siku ya saba )
jina la kiroho la siku ya jumanne ni siku ya kustareheshwa
mungu aliweka malaika na majini wakubwa wakubwa kwa ajili ya kuzitumikia siku hizi kwa manufaa ya mwanadamu
hivyo basi kila siku ina malaika na majini wake maalumu wanao itumikia ili mwanadamu aweze kunufaika na utumishi wa majini na malaika hao ni lazima awe anajua siku wanazo tawala kwa sababu lusifa alisha badilisha utaratibu huo kwa kubadilisha majina ya siku husika na kuwapa majini wake mamlaka ya kutawala siku hizoinakuwa vigumu sana kwa mtu kunufaika na usaidizi wa majini na malaika hao kwa sababu hawawezi kukutumikia kama haujui siku wanazo tawala
mungu aliumba siku saba kwa mwanadamu na kutenga siku moja kwa ajili ya kumuabudu vivyo hivyo kwa majini na malaika hawa kila majini na malaika wana siku yao maalumu ya kumuabudu na kumtukuza mwenyezi mungu
kwa mwanadamu atakae abudu katika siku moja na majini/malaika hawa basi majini na malaika hao watamtumikia na mtu huyo atapata mafanikio makubwa sana kwa kitu anacho kifanya ilimradi kiwe kinaendana na nguvu na uweza wa majini na malaika wanao tawala siku hiyo
mfano wa kwanza tunauona kwa wazunguwazungu waowalichagua kusali na kuabudu siku ya tano ambayo ni siku ya kufanya mambo makubwa siku hii inatawaliwa na majini na malaika wenye kufanya mambo makubwa makubwa kwa sababu wazungu wamechagua kuabudu katika siku hii basi majini na malaika wanao tawala siku hii kwa uwezo waliopewa na mwenyezi mungu wamewatunuku wazungu uwezo wa kufanya mambo makubwa makubwa
ndiomaana wazungu wanasifika kwa kufanya mambo makubwa katika hii dunia kufanya vumbuzi na gunduzi kubwa kubwa nakadhalika wanabebwa na nguvu ya kiroho ya siku waliyo ichagua kuabudu
mfano wa pili tunauona kwa waarabuwaarabuwao walichagua kumuabudu mwenyezi mungu katika siku ya tatu ambayo ni siku ya faida na thamani
ndio maana waarabu wanajulikana kote ulimwenguni kwa kufanya mambo yenye kuwaletea faida na thamani kubwa waarabu wanajulikana na kuheshimika kwa kufanya biashara zenye kuleta faida kubwa kubwa
uhitaji kwenda qatarbahrain kuwait au uae ili kuthibitisha ninacho kisema ubora wa waarabu katika kufanya biashara zenye kuleta faida kubwa unajulikana ulimwengu mzima
hakuna mwarabu anae fanya ibada sawa sawa halafu akafanya biashara na asipate faida hayupo kama yupo basi huyo atakuwa hafanyi biashara zake vizuri na ndio maana kwa waarabu mtu anaeishi maisha ya kimasikini anachukuliwa kama mtu asie fanya ibada au asie muamini mungu
mtu yoyote yule awe mwarabumzungumwafrika mhindi au mchina akichagua kumuabudu mwenyezi mungu katika siku ya faida na thamani basi atakuwa ni mtu mwenye kupata faida kubwa sana hapa duniani katika kila kitu anacho kifanya tazama hata wafanyabiashara wengine wasio kuwa waarabu lakini wanamwabudu mwenyezi mungu katikia siku ya faida na thamaniwote niwafanyabiashara wenye faida kubwa na wenye kumiliki vitu na mali zenye thamani kubwa kubwa
tazama vitu wanavyo miliki waarabuvyote ni vyenye thamani kubwa kubwa wazungu pamoja na kuwa na uwezo na karama ya kufanya mambo makubwa makubwa lakini hawamiliki vitu vyenye thamani kama waarabu wao wanacho jali ni kufanya mambo makubwa makubwa tu lakini sio kumiliki
ndio maana unakuta gari limetengenezwa na mzunguilatazama thamani ya gari analo endesha mzungu na thamani ya gari analo endesha mwarabu utaona tofauti wakati mzungu akiishi kwa kujibana bana na kuendesha gari lenye thamani ndogomwarabu yeye atamiliki garilenye thamani kubwa kubwa kwa sababu anatembea na nguvu ya kiroho ya siku anayo abudu siku ya faida na thamani
kama unataka kunufaika na utukufu na utumishi wa majini na malaika wote wanao tawala kuanzia siku ya nuru ( siku ya kwanza ) hadi siku ya kustareheshwa ( siku ya saba ) basi unatakiwa kutenga muda wa kumuabudu mwenyezi mungu kila siku ili unufaike na mambo yote hayo
2 kubadilisha siku
kwa utaratibu mpya wa kuhesabu siku ulio wekwa na lusifa siku mpya inaanza saa sita usiku na kuisha saa sita mchana ( kama imekuchanganya hii tazama mambo ya am na pm )
ikifika saa saba mchana ni siku nyingine hiyohuu ni utaratibu uliopotoshwa kutoka katika utaratibu ulio wekwa na mwenyezi mungu kwa lengo la kumpoteza mwanadamu
kuanza na kumalizika kwa siku ni vitu muhimu sana katika ulimwengu wa kiroho ukitaka kujua hili tazama mawio na machweo ya juatazama ndege wa porini nyimbo wanazo imba nyakati za asubuhi na sauti wanazo toa nyakati za usiku
3 kubadilisha miezi
kwa utaratibu wa mwenyezi mungumwaka mmoja unamiezi kumi na miwili lakini kwa utaratibu uliowekwa na lusifamwaka mmoja una miezi kumi na tatu ila kwa kutumia maarifa yake amevuruga vuruga siku na masaa na kufanya ionekane kana kwamba mwaka mmoja una miezi kumi na miwili
ndio maana ninasema watu wengi hawajui tarehe zao halisi za kuzaliwa wala nyota zao halisijambo linalo waweka mbali na mafanikio yao ya kinyota
hiyo tarehe unayo amini umezaliwa sio tarehe yako halisi katika ulimwengu wa kiroho tarehe yako ya kuzaliwa ina umuhimu mkubwa sana katika ulimwengu wa kiroho hii ndio inayo tumika kujua umezaliwa siku gani na nyota yako inatawaliwa ama kutumikiwa na majini/malaika wepi hii ndio sababu yetu sisi wanajimu kutumia siku na siku tarehe ya mtu kuzaliwa
mwezi mmoja una wiki nne na kila wiki ina siku 7 kwa hiyo mwezi mmoja unapaswa kuwa na siku 28 hizo siku 30 au 31 zimetoka wapi tarehe 2930 na 31 zimetoka wapi
ukipiga hesabu kwa utaratibu uliowekwa na lusifa utagundua kuwa mwaka mmoja una miezi kumi na tatu ( 13 )
chukua 365 gawanya kwa 28 unapata 13 kwa wenye ufahamu wa kiroho mnajua kuwa namba 13 ni namba ya lusifa
kwa utaratibu wa mungumwaka mmoja kwa wanadamu unapaswa kuwa na siku 336 ambazo ni sawa sawa na 3 + 3 + 6 = 12
ndio sababu madaktari hospitalini huwa hawahesabu miezi ya mtoto kukaa tumboni wao huwa wanahesabu wikikama wewe ni mama ambae umewahi kujifungua mtoto au ni nesi unaefanya kazi hospitalini utakuwa shahidi yangu katika hilo
kwa hivyo basi kwa utaratibu huu wa kubadilisha majira na nyakatiwatu wengi wanazaliwa wakiwa watupu wakiwa na wenye kukabiliwa na kiza kuu katika maisha yao ya hapa duniani kwa sababu maisha ya duniani yanaongozwa na nyota na wao wanazaliwa wakiwa hawazijui nyota zao
ili kurejesha umiliki wa nyota ya mwanadamu kwa wamiliki wake halisi mwenyezi mungu alishusha torati kupitia mussa ambako ndani yake aliweka amri zake kumi
mambo yanayo ua na kuchafua nyota ya mwanadamu
yapo mambo mengi sana yanayo changia kuharibika kuzimika au kufa kabisa kwa nyota ya mwanadamu baadhi ya mambo hayo ni pamoja na uzinzi tendo la kujamiiana na kurogwa na wachawi na uchawi wa kuharibu kuzima na kuua nyota upo wa aina nyingi sana unaweza kutupiwa majini kulishwa uchawi kutegwa urukwe uchawi kupakwa uchawi au kuchanjiwa uchawi wa kuharibu na kuua nyota yako
uchawi wa kuchanja upo wa aina kuu mbili aina ya kwanza unachanjwa chale ambazo huwezi kuziona kwa macho ya kawaida na aina ya pili unachanjwa chale ambazo unaweza kuziona hapa unaamka asubuhi au alfajiri na kujikuta umechanjwa chale watu wengi wanao chanjwa chale zisizo onekana huwa wanakuwa hawajijui kama wamechanjwa ila kinacho onekana huwa ni matokeo ya kilicho kusudiwa na wachawi
unapo chanjwa chale zenye kuonekana maana yake ni kwamba wachawi wamekusudia uone na ujue kwamba wanakufuatilia hawa fanyi hivi kwa kukosea bali wanafanya hivi kwa sababu maalumu kabisa ambayo utaifahamu hapo baadae
kila aina ya chale huwa ina maana yake katika kutafsiri maana ya chale za kichawi huwa tunatazama mambo makuu yafuatayo kwanza ni alama ya chale husika pili ni sehemu ya mwili ambako chale imechanjwa na tatu ni siku ambayo chale imechanjwa
jinsi ya kurudisha nyota iliyo ibwa
unaweza kurudisha nyota yako kwa kufanya mambo makuu mawili kama ifuatavyo
mosi kufanya agano na majini wa kisheitwani
unaweza kurejesha nyota yako kwa kufanya agano la kuunganisha nafsi yako na majini wa kisheitwani hawa ni majini wakubwa sana na wana uwezo mkubwa sana wa kurejesha nyota yako na kukufanya kuwa vile unavyo taka kuwa
majinihawa wa kisheitwani wanafanya kazi chini ya ibilisi na ndio waliopewa jukumu la kutawala siku saba za juma baada ya ibilisi kuiba nyota ya mwanadamu kupitia adamu
ni majini walio katika daraja kuu kabisa katika ufalme wa kisheitwani ni majini wa kifalme wenye nyota ( nafsi hai ) kubwa
watakacho kifanya majini hawa ni kuunganisha nyota yako na nyota zao kwa hiyo unakuwa unatembelea nyota zao inakuwa sio wewe ila ni wao
utapata mafanikio makubwa sana na ulimwengu utastaajabishwa kwa mafanikio yako lakini kiuhalisia yanakuwa sio mafanikio yako utamiliki kila kitu utakacho kitaka duniani lakini vyote vitakuwa si vyako bali vyao
ili kuunganisha nafsi ( nyota ) yako na nafsi ( nyota ) zao majini hawa watahitaji kafara ya damu ya mnyama au kafara kubwa
watu wengi wanao onekana kuwa na nyota kubwa wapo katika kundi hili wanasafiria nyota za majini hawa wa kisheitwani nyota zao zinasafiri katika mkondo wa nyota za majini hawa wa kisheitwani
ukiona mtu yoyote yulenyota yake ipo juu lakini anafanya mambo ambayo hayaendani na mafundisho ya mwenyezi mungu basi maanayake ni kwamba anatumia nyota za majini hawa wa kisheitwani
hata wale wanaosema mambo yao yamebadilika na kuwa mazuri baada ya kufanya mapenzi na mwanamke fulani ni kwamba nyota ya mwanamke huyo inakuwa inakaliwa na majini hawa wa kisheitwani ambao nguvu yao ni kubwa sana sema wapo upande wa adui
kuunganisha nyota ya mtu na majini hawawa kisheitwani hufanyika kwa kafara ya damu ya mnyama au kafara kubwa pamoja na maagano mengine makubwa makubwa
baadhi ya majini walio katika kundi hili hukalia madini na mawe au vito ambavyo hutumika kutengeneza pete maalumu za kijini mtu atakae vaa pete hizo basi anakuwa ameunganisha nafsi yake na nafsi ya majini hao kupitia pete hizo
njia za kumuunganisha mwanadamu na majini hawa wa kisheitwani zipo nyingi sana nyingine nitazielezea kwenye kitabu
njia ya pili kutumia miti na mimea inayo kaliwa na kutawaliwa na majini na malaika wanao tawala siku saba za wiki
unaweza kurejesha nyota yako mwenyewe kwa kutumia miti na mimea inayokaliwa na majini na malaika wanao tawala siku saba za juma
unacho takiwa kufanya ni kwanza ufahamu ulizaliwa siku gani na muda gani ( ulizaliwa usiku au mchana )
ukisha fahamu siku na muda ulio zaliwa kitakacho fuata sasa utatakiwa kufahamu ni majini na malaikawepi wanatawala siku na muda ulio zaliwa
na ukisha fahamu ni majini na malaika wepi wanao tawala siku na muda uliozaliwa unatakiwa kufahamu miti na mimea ambayo inakaliwa na majini na malaika hao
ukisha fahamu kuhusu miti na mimea inayo kaliwa na majini na malaika hao unatakiwa ufahamu kuhusu dua unayo takiwa kufanya ili kuunganisha nguvu ama nyota ya majini wanao kalia miti au mimea hiyo na nyota yako
kinacho fanyika hapo ni kuwaamuru / kuwaomba majini na malaika hao watukufu kuhamisha makazi yao kutoka kwenye miti wanayo ikalia na kuhamishia kwenye nafsi yako ili kuunganisha nyota yako na nyota zao na utakapo fanikiwa kufanya jambo hili basi nyota yako itarejeshwa na stori ya maisha yako iliyo andikwa kwenye nyota yako na mwenyezi mungu itatimia
kumbuka kuwa mwenyezi mungu alimpa mwanadamu mamlaka ya kuvitiisha vitu vyote vilivyomo ndani yake vinavyo onekana na visivyo onekana na moja kati ya vitu hivyo ni pamoja na mimea na miti inakaliwa na majini na malaika majini na malaika wanao ishi ndani ya mimea na miti hiyo bado wanamtambua mwanadamu kama bosi wao au kama mtawala wao wanae paswa kumtumikia ukiijua mimea na miti inayo endana na siku na muda ulio zaliwa halafu ukajua kufanya dua ya kuwaombaau kuwaamuru majini na malaika hao kuunganisha nguvu yao na nguvu ya nyota yako basi nyota yako itarejea na kuwa juu kama mwenyezi mungu alivyo kusudia
ndani ya mbegu za miti na mimea yote unayo ijua kimeandikwa kila kitu kuhusu maisha ya mwanadamu na mafanikio yake unacho takiwa kufahamu ni kujua ni mimea ipi inaendana na nyota yako na ndani ya mimea hiyo kimeandikwa kitu gani kuhusu maisha yako
hata hivyo ipo mimea ambayo ndani yake yameandikwa mambo yanayo kinzana na nyota ya mwanadamu mimea hii haipaswi kutumiwa na mwanadamu kwa namna yoyote ile mfano wa miti na mimea iliyo katika kundi hili ni ule mti uliokuwa katika bustani ya eden ambao mwenyezi mungu alimzuia adam kutumia matunda yake
miti hii inakaliwa na majini wa kisheitwani ndani ya mbegu za miti hii yameandikwa na kunenwa mambo yaliyo kinyume na mafanikio ya nyota ya mwanadamu
wachawi wana elimu kubwa sana kuhusu miti hii ni miti hii hii ndio ambayo wachawi wanaitumia kutengeneza magonjwa na maradhi mbalimbali ya kichawi ili kuwatesa wanadamu
kwa kutumia elimu kuhusu miti hiyo wachawi wanaweza kutengeneza kila aina ya ugonjwa na kumsababishia mtu ugonjwa huo
wachawi hushirikiana na majini wanao kalia miti hii kuwaroga na kuwatesa wanadamu kwa kuwasababishia matatizo mbalimbali ya kimaisha kama vile nuksi mabalaa na mikosi pamoja na magonjwa ya kichawi kama vile kiharusi (kupooza) ugumba uziwi ukichaa kifafa na hata nguvu za kiume
kwa mfano katika kutengeneza maradhi ya nguvu za kiume wachawi huwa wanatumia majini wa kisheitwani watatu ambao wanaishi kwenye mitatu tofauti ya porini majini hawa watatu wa kisheitwani wanapo tumwa kwa mwanaume alie kusudiwa huelekezwa kwenda kukaa kwenye sehemu tatu katika mwili wa mwanadamu majini hawa wa kisheitwani wakisha weka makazi hayo kwenye sehemu hizo kuu tatu ndani ya mwili wa mwanadamu humsababishia mwanadamu huyo maradhi ya nguvu za kiume na hufanya hivyo kwa kutengeneza sababu za kumuhalalishia mtu huyo maradhi ya nguvu za kiume
kwa ufupi wachawi wana maarifa makubwa sana juu ya miti yenye kukaliwa na masheitwani wabaya na namna inavyo tumika kuwatesa wanadamu
unacho takiwa kufanya ni kuifahamu miti inayo kaliwa na majini na malaika wazuri ambayo itakusaidia kujilinda kujikinga na kupambana dhidi ya shari hii ya wachawi
miti hii ipo mingi sana na utapata kuifahamu miti yote pamoja na shari zote za kichawi itakayo kukinga nazo
kwa mfano kuna mti mmoja (jina lake linahifadhiwa ) unapatikana porini mti huo ukikomaa urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe
mti huu ukikauka ukausaga unga wake huwa mweupe kama kama mti wenyewe
ukijipaka unga wa mti huu usoni halafu ukatembea mtaani wakati wa mchana unaweza kuona mambo yote yanayofanyika katika siri kubwa kama vile wachawi wakiwa wanawanga au wanafanya shughuli zao wakiwa uchi
dawa hii itakupa pia uwezo wa kuwaona misukule
vilevile mti huu una uwezo wa kukimbiza nyoka mfano ukiwa na kipande cha mti huu mfukoni halafu ukawa unatembea kama mbele yako kuna nyoka atakimbia kabla hujafika
hata ukikaa mahali kama kuna nyoka hawezi kukaa hapo atakimbia tu
jiandae kusoma kitabu changu kinachoitwa mambo tisa yanayo unda nyota ya mwanadamu na uhusiano kati ya nyota ya mtu na mafanikio yake katika maisha
kitabu hiki kitatoka hivi karibuni na utafahamishwa kitakapo kuwa mtaani
ndani ya kitabu hiki utapata kuyafahamu kwa kina mambo yote yaliyo elezewa kwenye makala haya
pamoja na mambo mengine mengi ndani ya kitabu hiki cha kipekee kabisa utapata kufahamu kuhusu mambo yafuatayo
1 mambo tisa yanayo unda nyota ya mtu
2 miti yote inayo tawala siku zote saba za juma kuanzia siku nuru ( siku ya kwanza ) hadi siku ya kustareheshwa (siku ya saba ) utapata kufahamu ni miti gani hutawala usiku na miti gani hutawala mchana katika siku hizo saba za juma
3 majini na malaika wanao tawala siku zote saba za juma kuanzia siku ya nuru ( siku ya kwanza ) hadi siku ya kustareheshwa ( siku ya saba )
4 majini na malaika wanao tawala kila mti na kila mmea katika kila siku ya juma kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya saba
5 dua zipi za kuomba katika kila siku ya juma kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya saba
6 dua za kuomba ili kuunganisha nyota yako na nyota za majini na malaika wanao tawala katika kila siku kupitia mimea wanayo ikalia
7 uhusiano kati ya nyota yako ( nyota ya siku uliyozaliwa ) na mafanikio katika maisha yako
8 utafahamu kujua namna ya kusoma nyota yako mwenyewe kwa kutazama siku uliyo zaliwa
9 utazijua tabia sifa na nguvu halisi ya nyota yako halisi ambayo inajulikana kwa kutazama siku uliyo zaliwa
10 jinsi uzinzi nakujamiiana vinavyo weza kusababisha kuharibu kuzima au kuua nyota yako na jinsi ya kujiepusha
11 jinsi tendo la ndoa linavyo weza kutumika kupandisha nyota yako
12 mbinu zote wanazo tumia wachawi katika kuharibu na kuzima nyota za watu
13 jinsi ya kusoma na kutafsiri chale za wachawi na namna ya kujikinga na kujiepusha na madhara yake
14 sehemu tatu ndani ya mwili wa mwanadamu ambazo huwekwa majini wa kisheitwani kwa ajili ya kuwahalalishia wanaume maradhi ya nguvu za kiume
15 maabara za kichawi jinsi wachawi wanavyo tengeneza magonjwa mbalimbali ya kichawi kuanzia kiharusi kifafa uchizi uziwi ugomba ukojozi ukhanithi nakadhalika
16 miti na mimea mbalimbali inayo tumiwa na wachawi kuwatesa watu jinsi wanavyo itumia na jinsi unavyo weza kujikinga na shari hiyo
17 miti mbalimbali inayo tibu na kuponyesha maradhi yoote yanayo msumbua mwanadamu kama vile udhaifu katika nguvu za kiume kifafa kiharusi kupandisha cd 4 kisukari vidonda vya tumbo bawaziri ugumba nakadhalika
18 miti maalumu ya kitabibu inayo patikana katika kila wilaya ya tanzania bara na visiwani katika utabibu wa jadi karibu katika kila wilaya ya tanzania bara na visiwani inasifika kwa kutoa dawa moja yenye uwezo wa kutibu kwa ufasaha na usahihi kabisa maradhi fulani yanayo mkabili mwanadamu mfano katika wilaya ya kisarawe kuna kijiji kimoja ambako unapatikana mme mmoja unaoota kwa kutambaa chini mmea huo ni tabia ya uhakika na sahihi kabisa kwa watu wanao taka kupandisha cd4 mmea huo unapandisha cd4 kwa namna ya kipekee sana katika tafiti zangu za kitabibu mmea huu kwa tanzania bara nimeuona katika kijiji hicho tu na huko visiwani zanzibar kwenye msitu mmoja unao patikana katika kisiwa cha tumbatu
pia huko wilayani handeni tanga kuna mti mmoja ambao mimi ninautambua kama mti pekee wenye uwezo mkubwa sana wa kuwasadia watu wanao taka kupungua mwili mti huu unapukutisha mwili kwa kasi ya ajabu sana kwa umbo mti huu ni mwembamba sana na wachawi walikuwa wanautumia kuwasababishia watu maradhi ya kukonda sana na kuwafanya waonekane kama waathirika wa ukimwi kwa kuwanywesha kimiminika cha mti huu kupita kikomo bila mhusika kujua mmea huu unatumika mara mbili tu kwa wiki mbili tu yaani unaanza siku ya kwanza unachemsha unakunywa robo glasi halafu baada ya wiki moja unatumia tena robo glasi utapungua sana mwili
katika ulimwengu wa kitabibu tuna imani moja kwamba unapotaka kutumia mmea au mti fulani kwa ajili ya tiba maana yake ni kwamba unakuwa unakula kile ambacho mmea au mti huo unakila ndio maana huwezi kuwa mwembamba kwa kutumia mti ambao sio mwembamba mti unakupa kile unachokila wenyewe
19 uchawi na ulozi unao sifika kutoka katika kila kona ya tanzania na nchi jirani pamoja na namna ya kujikinga nao
20 uchawi na ulozi wa mapenzi wa aina zote jinsi unavyo tengenezwa madhara yake jinsi unavyo weza kumzindua mtu alie lishwa au kutupiwa uchawi na ulozi wa mapenzi
21 pete mbalimbali za kijini na matumizi yake faida na hasara zake
22 utajiri wa kuku kudonoa mchele
23 misukule wa kila aina na jinsi ya kujizuia usichukuliwe msukule
pamoja na mambo mengine mengi ambayo nitayabainisha
kupata updates kuhusu kitabu hiki tembelea kila siku
wwwmungwakabhiliblogspotcom
pia unaweza kunipata kwenye mtandao wa facebook kupitia wwwfacebookcom/mungwakabhili | 2018-12-10T12:53:50 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/06/mambo-tisa-yanayo-unda-nyota-ya.html |
mahojiano na dc paul makonda katika kipindi cha jukwaa langu dec 7 2015 | h@ki ngowi
kipindi cha jukwaa langu hukujia kila jumatatu kuanzia saa 11 jioni kwa saa za marekani ya mashariki kuijadili tanzania ya sasa na i
h@ki ngowi mahojiano na dc paul makonda katika kipindi cha jukwaa langu dec 7 2015
http//3bpblogspotcom/7pcn9hzxda0/vmajmtpc9xi/aaaaaaaakpa/5zhtrqvp7lk/s640/paulmakondajpg
http//3bpblogspotcom/7pcn9hzxda0/vmajmtpc9xi/aaaaaaaakpa/5zhtrqvp7lk/s72c/paulmakondajpg
http//wwwhakingowicom/2015/12/mahojianonadcpaulmakondakatikahtml | 2018-01-17T20:10:46 | http://www.hakingowi.com/2015/12/mahojiano-na-dc-paul-makonda-katika.html |
sababu kuu ya ajali za barabarani tanzania ni hii hapa jamiiforums
sababu kuu ya ajali za barabarani tanzania ni hii hapa
pamoja na uzembe wa madereva kuchangia katika asilimia kubwa sana ya ajali za magari barabaranina kusababisha vifo vya maelfu ya raia wasio na hatia yoyote sasa tunakuletea sababu moja wapo ya msingi ya kukithiri kwa ajali siku za hivi karibuni
madereva wengi sana wanaojifunza gari mijini(dararushatanga)wakishapata lessen tuhuwa na mzuka wa kukata masafa marefu na gari zao au za kuazimakimatembeziau kwa shida nyengine yoyote ilebila kuweka katika akili zao kuwa barabara zote zinazokwenda mikoani huwa zinamisukosuko ya aina mbali mbali
1inahitaji uwe mzoefu wa hali ya juu katika ku overtake
2inatakiwa ujuwe sehemu za ku overtake au kuto overtake ili kujiepusha na ajali
3uwe na uvumilivu wa kukwepa makosa ya madereva wengineili kujiepushia ajali
4masafa ya km2001200km si sawa na 20km au 15 kmsafari ndefu zinataka angalau ukae kushoto hata mara mbili
barabara zetu za mikoani zina changamoto mbali mbali unapoendesha gari majira ya usiku huwezi kuyaepuka kama wewe si dereva mzoefu wa njia hizo
1kuna gari nyingi usiku huwa zinatembea na taa moja tuunaweza ukadhani pikipiki ukiibana imekula kwako
2kuna matreckta yanavuta matela nyakati za usiku bila kuwa na ishara yoyotena ajali nyingi hutokea hapo
3kuna madereva wanaowasha taa zenye mwanga mkali bila kuzizimahivyo kukusababishia kupata ajali
ninachopenda kuwaeleza madereva wa mjini muliokuwa hamuna idea na barabara za mikoanikabla ya kuchukua maamuzi ya kuhatarisha maisha yako au ya familia yakounapotaka kukata masafa marefu ya mikoani hali ya kuwa huna idea ya marabara za hukuajiri dereva akuendeshe angalau tripu mbili au tatuupate uzoefuna muchangie katika kutupunguzia ajaliambazo sisi wakazi wa mikoani tunaona madereva wengi wanaotusababishia ajali nyingi hutokana na kutokuwa wazoefu wa njia zetu
likes nyikanavome sungurampole mbutaiyo and 17 others
big up for the lesson/reminder
asante sana kwa maelekezo yako mkuu
madereva wengi aise haswa usiku ni balaa haswa wa magari makubwa
wengine wanakuwa wanadrive huku wamesinzia maana unapishana na lori liko katikati ya barabara na amewasha full light hakjali kama kuna wengine wanaumizwa na mwanga wa hizo taa
wanaovertake vibaya na kwenye corner za hatari na madaraja bila kujali watumiaji wengine wa barabara
uendeshaji wa gari kwa kweli unahitaji umakini mkubwa sana na bora kudrive speed nndogo uchelewe kufika kuliko kudrive speed kubwa na uwahi kuitwa marehem maana waweza kuwa makini ila ukakutana na dereva ambaye hamnazo akakufanya asusa
likes utantambua wilbert1974 itumbili and 2 others
753 5 35
ni kweli unayosema kufanya safari ya masafa inatakiwa uwe na uzoefu wa kutoshakwanza hata macho kuangalia lami muda wa masaa matatu au manne huwainafikia yanachoka na hatimaye kupelekea usingizi wa ina flani ambao unaweza ukapelekea gari kutoka nje ya barabara
likes utantambua
duh huyu dereva ana hatari sanauna overtake mlimani afu na nissan diesel kwa scania
this is more than danger
571 38 45
tunashukuru kwa darsa wengi wa madereva wa mijini hawapati nafasi ya kukimbiza sana magari kutokana na misongamano ya magari na ufupi wa safari hivyo wakiambiwa kuenda masafa basi wanawaza kuitafuta 140 160 180km/h matokeo yake hafiki mbali kama unahamu ya kuona spidi panda ndege uone inavyokimbia wakati wa ku take off
3364 1224 280
huu ni mlima kitonga naujua kama sala hapa huwezi kuwa safe kama huwezi kuendesha kama huyo mwenye basi
huu mlima una kona mithili ya nyoka halafu ni mkali sana(very steep) ukiendesha nyuma ya lori unaona kama linaweza rudi nyuma either kwa kukosa nguvu au kuisha upepo lika feli brake
you dont have any other alternative buddy
binafsi hapa nimekoswa koswa mara mbili its such a dangerous place
haya ndio maeneo watu waliozea kuendesha mjini tu si washauri kabisa kujaribu
hapo sio kitonga mkuuhapo ni mlima sekenke ukiwa unauanza kama unatokea igunga
mlachake uko salama mkuu
za masiku kibao aise
dah kitonga na sekenke ni balaa aise
14909 4386 280
mkuu umenenanaongeza unapopishana na lori ujue kuna super feo ya songea nayo ina overtake hivyo punguza mwendo
inaoneka ndugu huijui iyovi hayo ni maisha ya kawaida kabisa hao jamaa wa mabasi eneo hilo
mr rocky nipo mambo yamepandiana tu lakini hayajagandana kumbu unaijua kitonga pale ni noma kaka
iyovu ndio nini mkuuni kweli siijui
hata kama wanafanya hivyo ni hatari sana assume kuna gari nyingine inashuka
si balaa hilo
miezi hii ni miezi ya watu maarufu kudondoka
duh na wewe jiografia kabisa sekeke ukitokea sherui unapandisha hapo wanashuka sasa itakuwaje sekenkeanayesema kitonga inaweza kuwa sawa ila hiyo barabara ni ya lami kitonga siku hizi kuna zege hi
iyovi ni kipande ya barabara kutoka mikumi kabla ya kufika ruaha mbuyuni hapo ukiendesha gari machana ni hatari sana
unapoinza kitonga ina lami siku hizi angalia vizuri pembeni pia kuna zege
ile njia nimepita sana mkuu mlachake wakati nasoma mikoa ya huko nyanda za juu kusini aise karibu miaka miwili mizima napita kila mwando wa mwaka katikati ya mwaka na mwisho wa mwaka kwenda na kurudi
dah tusitupane hivyo mkuu
na ni sawa na sekenke nimepita sana ile milima wakati wa barabara ikiwa bado unapita kwenye milima na sasa japo hata hivyo maeneo yale ya sekenke kwa sasa ni balaa maana yamaeharibika mbaya
pita kitonga alafu hiwe usiku nibalaaunaomba mungu tu uvuke salamazamani ilikuwaga sekenkealafu shida ya watanzania tumekwisha kuona ajari za barabarani ni jambo la kawaida kumbe siyo
uko juu mr rocky
enzi hizo nafanya kazi iringa weekend naenda kunywa beer dar yaani wacha mchezo ndio tulikua tunaendesha spidi zote zikiisha tunakopa ha ha ha ha ha
namshukuru mungu tu nipo salama kwa sasa ila ujana maji ya moto meeen | 2018-12-09T20:39:34 | https://www.jamiiforums.com/threads/sababu-kuu-ya-ajali-za-barabarani-tanzania-ni-hii-hapa.359957/ |
taarifa mpya kuhusiana na kutoka kwa album ya gospel ya kanye west mulastar
mulastar entertainment taarifa mpya kuhusiana na kutoka kwa album ya gospel ya kanye west
taarifa mpya kuhusiana na kutoka kwa album ya gospel ya kanye west
baada ya kusubiriwa album ya jesus is king toka kwa kanye west ambayo ilikuwa itoke ijumaa ila ikasogezwa jumapili kwa mujibu wa kim kardashian right now kuna taarifa kamili zimekuja kutokana na album hiyo kuchelewa sokoni
kwa mujibu wa tmz wameripoti kutoka kwa chanzo cha karibu cha kanye ni kwamba album hiyo imekwishakamilika ila kanye hataki kuiachia kutokana na kila wakati anapoisikiliza anahitaji kubadilisha baadhi ya vitu kwenye album hiyo hakuna tarehe wala muda maalumu wa album hiyo kutoka ila itatoka muda na saa yoyote so watu wawe na subira
ye alifanya listening party ya album yake hiyo mjini chicago jana jumapili na alisikika akitangaza kuachana na muziki wa kidunia mbele ya wahudhuriaji | 2020-07-11T00:57:14 | https://www.mulastar.com/2019/09/taarifa-mpya-kuhusiana-na-kutoka-kwa.html |
makala news and entertainments baada ya kuvuliwa nafasi zote za uongozi chadema hatimaye zitto kabwe [mb] afunguka akanusha tuhuma dhidi yake asisitiza bado anaipenda chadema
credit vijimambo blog mbunge wa chadema na naibu kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni zitto kabwe amesema hawezi kufanya maamuzi magumu ya kutoka ndani ya chama hicho kwa kile kilichotokea ndani ya chama hicho amesema yeye atakuwa wa mwisho kutoka chadema na si vinginevyo
zitto ameyatoa hayo leo katika mkutano na waandishi wa habari jijini dar es salaam alipokuwa anazungumzia maamuzi ya kamati kuu ya chadema ya kumvua
nafasi zake zote za uongozi yeye pamoja na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho dk kitilla mkumbo na aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa arusha samson mwigamba
leo watu walitegemea nitafanya maamuzi magumu ya kuondoka kwenye chama
mimi bado ni mwanachama wa chadema na nitakuwa wa mwisho kutoka kwenye
chama hiki kwa hiyari yangu nitafanya taratibu zote za chama kuhitimisha jambo hili mimi sitoki kwenye chama hiki labda wanitoe wao
alisema zitto
alisema anaumia sana anapotuhumiwa kwa kuwa yeye ni binadamu ninapotuhumiwa naumia ninapoambiwa naujumu chama hiki naumia kwa kuwa nakipenda chama na nimekitumikia muda mrefu aidha aliwataka viongozi wa chadema kuacha siasa za uzushi ili kujenga chama himara na kuwakomboa watanzania
sisemi
kama mimi sina makosa ni binadamu nimefanya mambo mengi kwa chama changu lakini kinachoendelea kwa sasa ndani ya chama chetu ni mapambano
ya kukuza demokrasia na ni mapambano ya wanaotaka mabadiliko na wasiopenda mabadiliko ndani ya chamamapambano ya wawajibikaji na wasiopenda kuwajibika ni mapambano ya wanaopenda demokrasia na wanaokwaza demokrasia alisema zitto huku akionesha kusikitishwa | 2017-06-26T19:07:54 | http://stevenmruma.blogspot.com/2013/11/baada-ya-kuvuliwa-nafasi-zote-za.html |
2011 august 23 mo blog
home / 2011 / august / 23 waliberia kupiga kura katika kura ya maoni
23 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments rais ellen johnson sirleaf wa liberia ambaye ameonya vyama vya siasa kuepusha vurugu katika kipindi hiki cha zoezi la kura za maoni zinazoendelea nchini humo []
continue reading » jairo safiiii cag abaini ni fitina
23 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments katibu mkuu kiongozi bw phillemon luhanjo akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam kuhusu tuhuma zilizokuwa zikimkabili katibu mkuu wa wizara ya nishati []
continue reading » hali tata mjini tripoli
23 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments pichani ni baadhi ya waasi wakishangilia baada ya kuingia katikati ya mji wa tripoli namo blog team huku kukiwa na hali ya mtafaruku na isiyoeleweka []
continue reading » maonyesho ya 4th ya magari na utoaji huduma kufanyika dar es salaam
23 august 2011 by admin events & promotions featured 1 comment mratibu wa maonyesho ya sekta ya magari na utoaji huduma ally nchahaga (katikati) akizungumza na waandishi wa habari juu ya maonyesho hayo yenye lengo la []
continue reading » madai yafutwe dhidi ya dominique strauss kahn
23 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments dominique strausskahn pichani ambaye upande wa utetezi umeiyomba mahakama kufutilia mbali madai yake ya shambulio la aibu na ubakaji namo blog team waendesha mashtaka mjini []
continue reading » rage sendeu kamati ya nidhamu
23 august 2011 by admin featured sports 0 comments mwenyekiti wa klabu ya simba ismail aden rage pichani ambaye yeye pamoja na mwenzie wa yanga aloyce sendeu wameshitakiwa na tff kwa kamati ya nidhamu []
continue reading » mbunge wa singida mjini mheshimiwa dewji atoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa na baadhi ya wananchi wa singida
23 august 2011 by admin featured uncategorized 5 comments mbunge wa singida mjini mh mohammed dewji akiwa bungeni huku akibadilishana mawazo na naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii dkt lucy nkya namo []
continue reading » the new mr and mrs humphries jet off on a quick european honeymoon before kim gets back to work
23 august 2011 by admin entertainment featured 0 comments newlyweds kim kardashian and kris humphries jetted out of los angeles today bound for a quick european honeymoon after their lavish wedding in montecito california []
continue reading » step up player welcome to miami beach party @ mbalamwezi beach club
23 august 2011 by admin events & promotions featured 0 comments 09/02/2011 200 am 09/03/2011 500 am africa/dar es salaam venue mbalamwezi beach mikocheni dar es salaam description no beach party has ever been this big we flew []
continue reading » jayz and beyonce are the second highest paid celeb couple
23 august 2011 by admin entertainment featured 0 comments jay and bey both put out highly anticipated albums this year and all their hard work paid off the hottest chick in the game and []
continue reading » maandalizi ya sikukuu ya eid
23 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments maandalizi kuelekea sikukuu ya eid mkazi wa jiji akiwa amekikumbatia kitoweo chake kama alivyonaswa katika daladala la mbagalamwenge jijini dar es salaam (picha by said []
continue reading » dwight howard wa orlando magic akutana na rais kikwete ikulu jijini dar es salaam
23 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu duniani dwight howard akimkabidhi rais dktjakaya mrisho kikwete zawadi ya jezi wakati nyota huyo alipomtembelea rais ikulu jijini dar [] | 2013-05-22T16:38:32 | http://dewjiblog.com/2011/08/23/ |
imepakiwa tuesday april 2 2019 at 0855
kwa takriban miezi mitatu maduka ya ubadilishaji fedha za kigeni yamekuwa yakipitia hatua mbalimbali ikilinganishwa na ilivyozoeleka kabla ya hapo
ilianzia mjini arusha na baadaye dar es salaam ambako serikali ilifanya ukaguzi maalumu katika maduka hayo ili kujiridhisha kama yanaendesha shughuli hiyo kwa kuzingatia sheria na taratibu za nchi
katika operesheni hiyo maduka mengi yalifungwa baada ya kubainika kuwa yanakiuka taratibu kisha serikali ikatawangazia wahitaji wa huduma hiyo kutumia benki za biashara
mbali na hatua hiyo jana waziri wa fedha na mipango dk philip mpango alitoa tahadhari kwa wananchi kutojihusisha na biashara ya kubadilisha fedha za kigeni kwa njia zisizo halali
dk mpango alisema watu saba wamekamatwa na kufikishwa mahakamani wakituhumiwa kuhusika na biashara haramu ya ubadilishaji wa fedha hizo
tunaunga mkono na kupongeza hatua zinazochukuliwa na serikali kuhakikisha biashara ya ubadilishaji fedha inazingatia sheria na taratibu za nchi ili kila upande upate haki stahili imewahi kuelezwa mara kadhaa kuwa baadhi ya wafanyabiashara hulitumia soko la udalishaji fedha kama kichaka cha utakatishaji pesa ili kujipatia masilahi ya harakaharaka
hata hivyo kwa kuwa biashara ya kubadili fedha siyo haramu kulingana na sheria za nchi ni vyema fursa ikatolewa kwa walio tayari kufuata utaratibu ili wapate haki hiyo
ingawa wapo wafanyabiashara wanaochafua sifa nzuri ya biashara hiyo tunaamini kwamba hali hiyo haiondoi ukweli kwamba uwepo wa uhuru wa kuchagua sehemu ya kupata huduma kwa kuzingatia masilahi yatokanayo na ushindani wa soko unahitajiwa na wananchi
jambo la msingi ni kwa mamlaka husika kutoa sifa utaratibu na vigezo stahili vinavyohimilika vinavyopaswa kufuatwa kikamilifu kuhakikisha wafanyabiashara walio tayari kufanya biashara hiyo wanaifanya
tunasema hivyo tukizingatia kwamba umuhimu wa soko la ubadilishaji fedha unabeba uchumi wa nchi na hatuoni tatizo kwa hatua mbalimbali zinazochukuliwa ingawa zimekuwa zikilalamikiwa katika baadhi ya maeneo na baadhi ya wafanyabiashara kuwa ni kali mno na zimekuja kwa haraka
kwa upande wa wale wanaotekeleza operesheni ya kuwasaka wafanyabiashara wanaokiuka sheria na utaratibu unaoongoza biashara hiyo ni vyema wahakikishe wanaitekeleza bila ya kuwaonea watu wala kutanguliza masilahi binafsi tofauti na yale yaliyokusudiwa na serikali
kama kuna wafanyabiashara watakaoonekana kwenda kinyume na sheria au utaratibu unaoongoza biashara hiyo na kulazimika kuchukuliwa hatua basi ni vyema watendewe haki
kwa upande wa wananchi hasa wale wanaohitaji huduma ya kubadilisha fedha wazingatie miongozo inayotolewa na serikali ambayo lengo lake ni kusimamia haki na kuhakikisha wanapata kile wanachostahili
kila mmoja anatambua kuwa maeneo ya mipakani ndiko kuliko na mahitaji zaidi ya huduma hiyo hivyo ni muhimu nguvu kubwa ikaelekezwa huko kuhakikisha huduma inapatikana kwa ukamilifu
ni wajibu wa kila mmoja iwe serikali wananchi au wafanyabiashara kuzingatia utaratibu tuliojiwekea kisheria | 2019-07-23T06:49:55 | http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/1310220-5052356-13hxsnl/com.coremedia.starterkit.cae.contentbeans.standard.CMChannelImpl$$%5Bid=1306882%5D |
edeni milele online usajili kucheza mchezo edeni milele online online mchezo edeni milele online
online mchezo edeni milele
mbadala majina edeni milele
edeni mchezo mchezo miaka miwili iliyopita katika mtindo anime koya imeundwa kwa ajili ya watumiaji wengi kwa wakati mmoja uchache yake kuu kwa nguvu tofauti kati ya mchezo kutoka mikakati hiyo ni uwezekano mchezo si moja tabia na wachache kwa byte na yote hii kati ya madarasa kadhaa kuonyesha maelezo ya kina ya
edeni mchezo mchezo miaka miwili iliyopita katika mtindo anime koya imeundwa kwa ajili ya watumiaji wengi kwa wakati mmoja uchache yake kuu kwa nguvu tofauti kati ya mchezo kutoka mikakati hiyo ni uwezekano mchezo si moja tabia na wachache kwa byte na yote hii kati ya madarasa kadhaa mara baada ya kuamua juu ya edeni kucheza eternalv huna haja ya mpango wa haraka kwa ajili ya kupaa kwa mkutano wa kilele cha ukamilifu na ushindi si nzito unahitaji kufikiri kwa makini kuhusu jinsi ya kuwa na ujasiri nguvu na nguvu ya tabia ni muhimu kueleza kuwa kwa darasa yoyote hapa kuchukuliwa aina ya sifa ya kupambana hii ina nafasi ya kuwa si tu kabisa punguzo kwamba shujaa yoyote anapata kwa uharibifu uchaguzi wa kulia wa aina tofauti ya silaha uwezo wa kumwita msaada kwa ajili ya wanyama na mambo ya ajabu wote katika mchezo wachezaji wanaweza kutumia madarasa ya 5 lakini pamoja na mabadiliko haya yote 1 hadi mwingine inachukua kati ya sekunde 20 na line bora kasi mahitaji kwa ajili ya mchezo ni sana matukio 1 upatikanaji wa kutoridhishwa online angalau 600 muafaka / sec 2 uendeshaji system xp vista 7 au sawa 3 kumbukumbu kwa gb chini ya 1 4 kumbukumbu zaidi ya 1 gb 5 video kadi 6 sauti kadi 7 ndogo ya michezo ya kubahatisha ujuzi katika edeni wa milele wachezaji online kuwa na nafasi nzuri ya kujenga miji yote ni kabisa inategemea tu juu ya mawazo na matarajio kunaweza kuendeleza uchumi na nyanja za kijamii kuchukua kazi na kushiriki katika utekelezaji wa miradi mbalimbali shukrani kwa hii mchezaji ana nafasi ya kushinda heshima ya mabwana wakati wewe ni tayari kuchukua jukumu kwa jiji nzima inawezekana kukubaliwa kwa mji wowote katika fomu ya mpangaji na kuendeleza pale unahitaji kujiunga na chama kukua binafsi na kusaidia kuendeleza wengine katika edeni usajili wa milele ni muhimu itachukua kamili ya ziada ya mchezo katika yote haya lazima ikumbukwe na kituo cha ununuzi ambayo ni rahisi kununua kila kitu unahitaji usajili yenyewe kabisa muda kidogo inachukua juu ya ukurasa jina la furaha (kujazwa na mashamba kwa ajili ya jina barua pepe na kadhalika) mbali na ujenzi wa amani na nafasi ya kujaribu mwenyewe katika kazi mbalimbali kwa mfano ili kushiriki katika vita vita kwenda kuwinda hazina nk § juu ya yoyote ya upande wa uwezo shujaa kwa pampu na kupata zawadi na mafao kama matokeo kama kujifunza nzuri kushirikiana jeshi uvamizi na kuwepo kwa amani sasa unaweza kujenga na kulea jiji binafsi katika yeye miundombinu imara katika mchezo wa edeni milele online ni kubwa mno na burudani ya kama hiyo mara katika mchezo kuwa na nafasi zote kucheza hadi watu elfu kadhaa ingawa kwa yote haya katika chama fulani ni 3 tu kadhaa wachezaji katika kesi hiyo wote hawana shaua wenyewe kwamba hivi sasa wewe ni mshindi katika mapambano kisha kesho kupata na kupanga sawa ili kufikia matokeo ya taka haja ya daima kuboresha stadi zao na ni iliyoundwa na mikakati yote mpya na safi kucheza edeni suti milele watu wa umri wote kwa sababu kuna mengi ya kufanya ili mtu yeyote hivyo kuchezwa na kuboreshwa | 2018-02-19T15:41:28 | http://tz.sgames.org/online-edeneternal/ |
hawa jamaa walishapotelea wapi | malunde 1 blog
home » nyimbo za asili » hawa jamaa walishapotelea wapi
hawa jamaa walishapotelea wapi
malunde thursday january 17 2019
kupitia ukurasa wake wa facebookmwandishi wa habari costantine mathias amepost ujumbe huu
costantine mathias
15 january at 1040 ·
nimewaza tu
miaka ya 2000 kurudi nyuma walikuwepo watu maarufu sana katika maeneo mengi ya usukumani waleta mvua wa asili (baghemi bha mbula) mvua zikigoma kama sasa walikuwa wakitafutwa kwa gharama yoyote ile
basi kijiji kinajadili kupitia mkutano wake (dagashida) ulioongozwa na ntemi mganga anafuatwa anafanya matambiko yake kuna wakati mvua ilinyesha kwa kuamini wamefanikiwa maombi yao kuna wakati iligoma na kuona mganga kashindwa kazi
yalikuwepo pia maeneo maalumu yaliyotengwa kwa ajili ya kaudhimisha tambiko hilo la kimila ambayo yalikuwa ni visima milima na maeneo mengine muhimu kwa kazi hiyo
walikuwepo wazee maalumu kwa kazi hiyo (wanaume kwa wanawake) ambao walikuwa na mavazi yao rasmi yenye rangi ya nyeusi na nyekundu
siku ya matambiko walichinja ng'ombe mweusi huko milimani/visimani wanampika kwenye chungu bila kumwekea chumvi na kutafunwa bila ugali au wali tena wanapakulia kwenye majani
mtaalamu huyo alikuwa akilipwa ujira wa ng'ombe mmoja pia wakati akitekeleza shuguli hizo alikuwa akitunzwa sana kwa sababu alionekana kuleta neema katika eneo hilo
lakini pia ilikuwepo siku maalum ya kuadhimisha siku hiyo ya matambiko kwenda kuabudu (kuhumba) pia kama watabaini kuna mtu (ke/me) anazuia hayo maombi yao yasifanikiwe walikuwa wakilowekwa kwenye dimbwi la maji na kuchapwa fimbo pia kufukuzwa kijijini
hawa jamaa walishapotelea wapi
imechapishwa na malunde at thursday january 17 2019 | 2019-06-27T03:07:10 | https://www.malunde.com/2019/01/habari.html |
spika ndugai kufikishwa mahakamani mwanahalisi online
naibu spika na mbunge wa jimbo la kongwa job ndugai akizungumza kwenye mkutano wa hadhara jimboni kwake
posted by dany tibason july 30 2015 0 4053 views
jeshi la polisi mkoa wa dodoma limesema kwamba limeisha kamilisha jalada la kumshitaki naibu spika job ndugai kutokana na kumpiga mgombea mwenzake wa ccm dk joseph chilongani anaandika dany tibason dodoma (endelea)
akizungumza mwanahalisione kamanda wa polisi mkoa wa dodoma david misime amesema kwamba jeshi hilo limechukua uamuzi huo kutokana na mlalamikaji kutoa taarifa katika kituo cha polisi na kuandika maeelezo ya kupigwa kwake
amesema baada ya kupigwa dk chilongani alienda katika kituo cha polisi wilayani mpwapwa na kutoaa maelezo na kupatiwa pf3 kwa ajili ya kupatiwa matibabu
misime amesema jeshi la polisi liliweza kumkamata ndugai lakini alijidhamini kwa mali yake mwenyewe na kutokana na hali hiyo jeshi la polisi limeisha kamilisha uandaaji wa jalada la mashitaka ambalo litapelekwa kwa mwana sheria wa serikali kwa ajili ya kwenda mahakamani
jeshi la polisi limeisha fanya taratibu zake baada ya mlalamikaji kufika katika kituo cha polisi na alipatiwa pf3 kwa ajili ya matibabu na baada ya hapo alitafutwa mtuhumiwa abaye ni job ndugai nayealitoa maelezo yake na kujidhamini kwa mali zake
kutokana hali hiyo jeshi la polisi limeweza kukamilisha jarada la mshitaka ambalo litaperekwa kwa mwana sheria wa serikali ili hatua nyingine za kisheria kufuatia ziweze kukamilika sisi tumeisha kamilisha taratibu zote tunasubiri ripoti ya daktari ambaye alimtibu dk chilongani ili tuwezekuambatanisha na tumkabidhi mwana sheria wa serikali ili awezekufanya majukumu yake amesema misime
mbali na hilo misime amesema jeshi la polisi linafanya kazi zake kwa kuzingatia sheria kanuni na taratibu na halitaweza kumuonea mtu yeyote kulitokana na hela zake umaarufu na badala yake kazi itafanyika kwa ueledi mkubwa
kuandaliwa kwa jarada hilo kunatokana na job ndugai kumshabulia mgombea mwenzake dkchilongani ambaye alipigwa na kuzimia hadi kufikia hatua ya kulazwa katika hospitali ya wilaya ya kongwa
hata hivyo wagombea wenzake na ndugai wametishi kujiengua ccm aiwapo kamati ya nidhamu ya ccm taifa haitamchukulia hatua kali za kinidhamu job ndugai kutokana navitendo vya uvunjaji wa sheria na kanuni
akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa wagombea samuel chimani amesema ndugai amekuwa kinala mkubwa wa uvunjifu wa maadili ndani ya chama
jeshi la polisi mkoa wa dodoma limesema kwamba limeisha kamilisha jalada la kumshitaki naibu spika job ndugai kutokana na kumpiga mgombea mwenzake wa ccm dk joseph chilongani anaandika dany tibason dodoma (endelea) akizungumza mwanahalisione kamanda wa polisi mkoa wa dodoma david misime amesema kwamba jeshi hilo limechukua uamuzi huo kutokana na mlalamikaji kutoa taarifa katika kituo cha polisi na kuandika maeelezo ya kupigwa kwake amesema baada ya kupigwa dk chilongani alienda katika kituo cha polisi wilayani mpwapwa na kutoaa maelezo na kupatiwa pf3 kwa ajili ya kupatiwa matibabu misime amesema jeshi la polisi liliweza kumkamata ndugai lakini alijidhamini kwa&hellip
previous chadema yawaonya wanaowachafua wenzao
next nec yaongeza uandikishaji bvr dar | 2017-12-17T08:12:36 | http://mwanahalisionline.com/spika-ndugai-kufikishwa-mahakamani/ |
sanamu la michael jackson laondolewa kisa tuhuma za unyanyasaji wa kingono | lilommy
sanamu la michael jackson laondolewa kisa tuhuma za unyanyasaji wa kingono
sanamu ya michael jackson imeondolewa kwenye makumbusho ya taifa ya mpira wa miguu nchini uingereza kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa kin
sanamu ya michael jackson imeondolewa kwenye makumbusho ya taifa ya mpira wa miguu nchini uingereza kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa kingono kwa wavulana wadogo
makumbusho hayo ambayo yapo kwenye mji wa manchester yamekuwa yakiionesha sanamu hiyo tangu mwaka 2014 lakini yameiondoa ghafla wiki hii siku chache baada ya filamu ya leaving neverland kurushwa hewani nchini humo
kwenye filamu hiyo vijana wawili wanaodai kuwa wahanga wade robson na james safechuck wamefunguka kwa undani jinsi walivyofanyiwa vitendo vya unyanyasaji na michael jackson kwa miaka mingi tangu walivyokuwa watoto
lilommy sanamu la michael jackson laondolewa kisa tuhuma za unyanyasaji wa kingono
https//2bpblogspotcom/7iyty3pvlrw/xij04zipaci/aaaaaaaabpw/vw7tb8ufldkj7xn4umzeb6qkx_zn8k7twclcbgas/s640/52111554_331028141089876_4762025583898154300_njpg
https//2bpblogspotcom/7iyty3pvlrw/xij04zipaci/aaaaaaaabpw/vw7tb8ufldkj7xn4umzeb6qkx_zn8k7twclcbgas/s72c/52111554_331028141089876_4762025583898154300_njpg
http//wwwlilommycom/2019/03/sanamulamichaeljacksonlaondolewahtml | 2019-03-23T06:23:00 | http://www.lilommy.com/2019/03/sanamu-la-michael-jackson-laondolewa.html |
toleo hilo jipya limeanza kupatikana kwa watumiaji wa simu za android na ios kupitia masoko yake ya apps na tumefanikiwa kujaribu kutumia na ni kweli mabadiliko hayo yamekuja
tokea mwaka jana waliwezesha utumaji wa mafaili ya mfumo wa pdf doc txt csv na xls ila kuanzia sasa utaweza kutuma mafaili ya aina yeyote
> katika eneo la kuchati bofya alama ya kutuma faili kisha bofya document
kutuma mafaili ya aina yeyote kupitia whatsapp
> kuanzia sasa badala ya kuona mafaili yale ya txt pdf na mangine kama hayo kama zamani kuanzia sasa kama unatumia toleo jipya basi utaweza kuona na mafaili ya mifumo mingine pia bofya na kutuma
soma pia whatsapp msg ulizozifuta kuweza kusomwa tena #utafiti
ila bado kiwango cha ukubwa wa mafaili unayoweza kutuma kipo chini kwa kutumia whatsapp web (kwenye kompyuta) utaweza kutuma hadi faili la ukubwa wa mb 64 kwa android ukubwa wa mb 100 wakati kwa watumiaji wa ios (iphone) wao wataweza kutuma hadi faili la ukubwa wa mb 128
ukilinganisha kwenye app zingine kwenye app ya kuchati ya telegram mtumiaji anaweza kutuma hadi faili la ukubwa wa gb 15 | 2017-08-20T06:02:39 | http://teknokona.com/2017/07/14/kutuma-mafaili-ya-aina-yeyote-kupitia-whatsapp/ |
http//wwwbbccom/swahili/habari/2016/04/160427_round_up_27_april
1 trump asema anajihisi kama mgombea mteule
image caption trump amesema hatabadilisha msimamo wake wa kisera
nchini marekani tajiri donald trump amesema kuwa anajihisi sasa kama mgombea mteule wa urais wa chama cha republican
alisema hayo alipokuwa akiwahutubia wafuasi wake baada ya vyombo vya habari kutangaza kuwa amepata ushindi katika majimbo yote matano kaskazini mashariki mwa marekani
majimbo hayo ni connecticut delaware maryland pennsylvania na rhode island
katika shughuli za upigaji kura wa mchujo katika maeneo hayo mtafuta nafasi katika chama cha democratic bi hillary clinton alimpiku muwaniaji mwenzake bernie sanders ambaye alishinda katika jimbo moja tu la rhode island
2 watumishi wa umma kufanya kazi siku mbili kwa wiki
image caption venezuela inakabiliwa na uhaba mkubwa wa umeme
serikali ya venezuela imebuni mikakati ambayo itapelekea wafanyikazi wapatao milioni mbili wa serikali kufanya kazi kwa siku mbili pekee kwa wiki katika kipindi cha majuma mawili
hatua hii inalenga kusaidia kukabiliana na uhaba wa umeme ambao unayumbayumba nchini humo
wafanyikazi hao wa umma na wale wanaofanya kazi katika sekta zinazomilikiwa na serikali watafika kazini siku za jumatatu na jumanne pekee hadi matatizo hayo ya nguvu za umeme yatakapodhibitiwa
3 mauzo ya apple yashuka duniani
image caption mauzo ya simu za iphone yameshuka sana
kampuni kubwa mno ya teknolojia nchini marekani apple kwa mara ya kwanza kabisa tangu mwaka 2003 imeshuhudia kushuka kwa mapato yake katika robo ya kwanza ya mwaka
mauzo yake yalishuka kwa zaidi ya robo nchini china soko lake kuu baada ya marekani
aidha kumeshuhudiwa kushuka pakubwa kwa mauzo ya bidhaa ya apple ya iphone kote duniani
4 kiongozi mpya wa tibet kutangazwa
image caption serikali ya tibet huishi uhamishoni india
serikali ya tibet iliyoko uhamishoni nchini india itatangaza hadharani leo nani ameibuka mshindi katika kinyanganyiro cha kumtafuta kiongozi wa kisiasa wa eneo hilo
kiti hicho kilibuniwa mnamo mwaka 2011 pale dalai lama alipojiuzulu kutoka kwa majukumu ya kisiasa
kiongozi wa sasa ni lobsang sangay ambaye anatarajiwa na wengi kupata ushindi kwa muhula wa pili
5 uhispania kufanya uchaguzi
image caption mfalme wa uhispania amesema uhasama wa kisiasa umeendelea
uhispania inajiandaa kwa uchaguzi mwingine mkuu mwezi juni mwaka huu baada ya juhudi zake za kuunda serikali mpya kusambaratika
katika juhudi za siku mbili za mazungumzo na viongozi wa chama tawala mfalme wa uhispania alisema bayana kuwa uadui wa kisiasa hauonekani kukoma hivi karibuni
6 korea kaskazini kuandaa mkutano wa chama tawala
image caption utakuwa mkutano wa kwanza chini ya kim jong un
na korea kaskazini imetangaza kuwa chama tawala cha kisiasa cha muda mrefu cha wafanyikazi kitaandaa mkutano wake kwa mara ya kwanza kwa kipindi cha miaka 40 mwezi ujao mjini pyongyang
ni mkutano wa kwanza chini ya kiongozi wa sasa kim jong un mkutano huo wa kikomunisti utafanyika mjini pyongyang mnamo mei sita utaangaziwa pakubwa na viongozi wa kigeni kwani huenda swala muhimu likatangazwa | 2017-12-17T17:53:49 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/04/160427_round_up_27_april |
binti aliyemufurahisha baba yake na pia yehova | uwafundishe watoto wako
soma katika abui afrikaans ahanta ajië alur batak (karo) batak (simalungun) batak (toba) biak changana du mozambique chavakano chibemba chopi dayak ngaju drehu dusun gitonga guerze hmong blanc ibanag kalanga (zimbabwe) karen sgaw kiabkhaze kiacholi kialbania kialtai kiamharike kiarabu kiarmenia kiarmenia cha mangaribi kiassami kiaukan kiaymara kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibalini kibambara kibashkir kibaske kibassa (kameruni) kibassa (liberia) kibaule kibengali kibete kibikole kibislama kibomu kibulgaria kibulu kicheki kichichewa kichini haka kichini tedim kichini zotung kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kichitonga (malawi) kichitonga (zimbabwe) kichitumbuka kichokwe kichua (imbabura) kichua (pastaza) kichua (chimborazo) kichua (santiago del estero) kichuabo kidangme kidanishi kidigor kidiola kiduala kiebrania kiedo kiefik kiembera kiesan kiestonia kiewe kifaransa kifaroe kifiji kifini kifon kifrafra kiga kigalisia kigarifuna kigiriki kigreenland kiguarani kiguarani (bolivia) kigujarati kigun kihausa kiherero kihiligaynon kihindi kihiri motu kihispania kiholanzi kihuastek (san luis potosí) kihungaria kiiban kiibinda kiichinamwanga kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiirelandi kiiselandi kiisoko kiitaliano kijapani kijava kijeorjia kijerumani kijerumani cha chini kijerumani cha pennsylvania kijolabal kijula kikabardinotcherkesse kikabile kikachin kikamba kikampuchia kikana kikannada kikaonde kikatalan kikazakh (kiarabu) kikazath kikechua (ancash) kikechua (ayakucho) kikechua (bolivia) kikechua (cuzco) kikekchi kikiribati kikirigizi kikishe kikisi kikol kikomoro (ngazidja) kikongo kikorasia kikorea kikrio kikrioli cha ginebisau kikrioli cha haiti kikrioli cha morisi kikrioli cha shelisheli kikuna kikurde cha kisirili kikurde kurmanji (caucase) kikuyu kikwangali kikwanyama kikyangonde kilamba kilao kilatvia kilenje kilitwania kilomwe kiluba kilugbara kilunda kiluo kiluvale kimabwelungu kimakua kimalagasi kimalayalamu kimalayi kimalta kimamu kimanjake kimapudungun kimarati kimarshall kimasedonia kimaya kimazahua kimazateke cha huautla kimbukushu kimbunda kimbundu kimikse kimikstek (guerrero) kimikstek (huajuapan) kimiskito kimizo kimongolia kimoore kimotu kimyama kinahuatl (guerrero) kinahuatl (huasteca) kinahuatl (puebla ya kaskazini) kinahuatl cha kati kinande kinavajo kindau kindebele kindebele (zimbabwe) kindonga kinepali kingabere kinia kinikobare kiniue kinorwe kinyaneka kinyanja kinyarwanda kinzema kioromo kiosete kiotomi(cha mezquital valley) kipangasinan kipapiamento (aruba) kipapiamento (kurasao) kipende kipidjin cha nijeria kipijin cha visiwa vya solomon kipolandi kipular kipunjabi kipunjabi(shahmukhi) kirapanui kirarotongane kireno kiromani (bulgaria) kiromani (kaskazini ya ugiriki) kiromani (kusini mwa ugiriki) kiromani (slovakia mashariki) kiromani cha kisirili (makedonia) kiromani cha makedonia kiromania kirundi kirunyankore kirusi kirutooro kisamoa kisango kisaramakan kisarnami kisebuano kisena kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kiserer kisetswana kishona kisidama kisii kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kisoli kisomali kisranan tongo kiswahili kiswahili (congo) kiswati kiswedi kitagalog kitahiti kitai kitajiki kitamul kitandroi kitankarana kitaraskan kitatar kitelugu kitigrinya kitirke kitirkmene kitiv kitlapanek kitoba kitok pisin kitokelau kitongien kitotonake kitshwa kitsonga kiturkmen cha kisirili kituvalu kituvinian kitwi kitzeltal kiukraini kiumbundu kiurdu kiurhobo kiuzbek kivalensia kivenda kivezo kivietinamu kiwalese kiwalis kiwaraywaray kiwayuunaiki kiwichi kiwigur cha kisirili kiwolaitsa kiwolof kixhosa kiyoruba kizapotek (isthmus) kizapotek (lachiguiri) kizotzil kizulu kongo kpelle lhukonzo lingala lovari luganda maninkakan (cha mashariki) mende nengone ngangela nyungwe otetela pemon piaroa pidgin camerounais páez sangir sesotho (lesotho) sunda susu tarahumara central toraja tshiluba tétoum dili xârâcùù
yefta anamupatia yehova ahadi gani
hata kama haikukuwa mwepesi binti wa yefta alitimiza ahadi yenye baba yake alimupatia yehova
unamuona binti huyu ku picha hii ni mutoto wa bwana moja anayeitwa yefta biblia haitaje jina lake lakini tunajua kama alimufurahisha baba yake na pia yehova ni vizuri tuzungumuze sasa juu ya binti huyu na baba yake
yefta alikuwa mutu muzuri alikuwa anapitisha wakati mwingi na mutoto wake ili kumufundisha habari za yehova yefta alikuwa pia mutu mwenye nguvu na kiongozi muzuri siku fulani waisraeli walimuomba awapeleke kupigana vita na maadui wao
yefta alimuomba mungu amusaidie ili ashinde vita hiyo yefta alimuambia yehova hivi nikishinda vita hiyo wakati nitarudi mutu wa kwanza mwenye atatokea mu nyumba yangu ili kunipokea nitakupatia mutu huyo ni kusema mutu huyo anapashwa kuishi na kumutumikia mungu maisha yake yote ku hema ya ibada wakati huo watu walikuwa wanakutana ku hema ya ibada ili kumuabudu mungu habari ya kufurahisha ni hii yefta alishinda vita hiyo wakati anarudi unajua ni nani mutu wa kwanza mwenye anatokea mu nyumba yake ili kumupokea
ni ule binti wake yefta alikuwa na mutoto huyo mumoja tu lakini sasa inamuomba amutume aende kuishi mbali ku hema ya ibada yefta anahuzunika sana lakini kumbuka yefta alikuwa amekwisha kumupatia yehova ahadi bila kusita binti wake anamuambia hivi papa ulimupatia yehova ahadi kwa hiyo unapashwa kutimiza ahadi yako
kila mwaka marafiki wa binti wa yefta walikuja kumutembelea
binti wa yefta alihuzunika pia juu kule ku hema ya ibada hangeolewa wala kuzaa watoto hata hivyo binti huyo alipenda sana kutimiza ile ahadi ya baba yake na pia alipenda kumufurahisha yehova aliona kama kufanya vile ndio jambo la maana sana kuliko kuolewa na kuzaa watoto kwa hiyo aliacha nyumba yao na kuenda kuishi maisha yake yote ku hema ya ibada
unawaza tendo hilo lilimufurahisha baba yake na vilevile yehova tendo hilo liliwafurahisha ukimutii yehova na kumupenda kama vile binti wa yefta alifanya weye pia unaweza kufurahisha sana wazazi wako na vilevile yehova
kumbukumbu la torati 646
waamuzi 113040
1 wakorintho 737 38
yefta alikuwa nani alimupatia yehova ahadi gani
ni juu ya nini haikuwa mwepesi kwa binti wa yefta kutimiza ahadi yenye baba yake alimupatia yehova
binti wa yefta alipenda kufanya tendo gani la maana sana kuliko mambo mengine
namna gani unaweza kufuata mufano wa binti wa yefta | 2019-10-22T17:39:50 | https://www.jw.org/swc/maktaba/vitabu/uwafundishe-watoto-wako/binti-yefta-furahisha-yehova/ |
mfumo wa uzazi wa power generation wa gridi ya jua china manufacturer
maelezosimu ya nishati ya juafungua mfumo wa gridisystems generation systems
simu ya nishati ya juafungua mfumo wa gridisystems generation systems
home > bidhaa > solar nyumbani / dc mfumo > mfumo wa gridi ya mini > mfumo wa uzazi wa power generation wa gridi ya jua
uzalishaji can meet customer needs
msimbo wa hs 8543709990
mfumo wa kizazi cha nishati ya jua ni jenereta ya nishati ya nishati ya jua ya silika ya jua iliyotengenezwa kwa seli za nishati ya jua kuhamisha nishati ya jua hitilafu ya mfumo wa gridi
betri inashtakiwa chini ya jua kisha sasa ya moja kwa moja ya betri inabadilishwa kuwa sasa ya 220v inayobadilishwa kawaida kutumika katika maisha yetu ya kila siku kupitia mfumo wa inverter au matokeo ya moja kwa moja ya sasa ya 12v yanaweza kupatikana kupitia mzunguko wa kudhibiti mifumo ya kizazi cha nguvu
inatumiwa sana kwa ajili ya safari ya shamba watu wasiokuwa wakimbizi familia watu wa mashua visiwa mapungufu au maeneo yasiyo ya umeme vituo vya kupokea satellite vituo vya hali ya hewa vituo vya uchunguzi wa moto wa misitu posts za mpaka nk
nishati ya jua ni nishati ya msingi na nishati mbadala
ni tajiri katika rasilimali huru kutumia bila usafiri bila uchafuzi wowote kwenye mazingira imeunda fomu ya maisha mapya kwa wanadamu na kuletwa jamii na wanadamu katika kipindi cha kuokoa nishati na kupunguza uchafuzi wa mazingira
jamii za bidhaa solar nyumbani / dc mfumo > mfumo wa gridi ya mini
simu ya nishati ya jua
fungua mfumo wa gridi
ugavi wa nishati ya jua
mkoba wa nishati ya jua
mwanga wa nishati ya jua
taa ya kusoma nishati ya jua | 2020-05-30T00:02:46 | http://sw.ywfizz.com/mini-grid-system/56641250.html |
auwawa kisa kuongeza mke wa pili boss ngasa official website
home unlabelled auwawa kisa kuongeza mke wa pili
auwawa kisa kuongeza mke wa pili
akizungumza na mwananchi jana mkuu wa wilaya ya ileje joseph mkude alisema tukio hilo lilitokea saa sita usiku wa kuamkia jana huku akibainisha kwamba chanzo halisi kinaendelea kuchunguzwa ili kubaini ukweli
mkude alisema hadi jana mke na watoto wawili wa chomo walikuwa wanashikiliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi kuhusiana na tukio hilo
aliwataka wananchi kuwa watulivu wakati uchunguzi unaendelea
akizungumzia mkasa huo elifa kalago alisema usiku huo walisikia sauti ya chomo akiomba msaada na walipofika nyumbani kwake walimkuta amelala mlangoni huku akitokwa damu nyingi
alisema alipoingia ndani aliwakuta mke na watoto wawili wakisafisha damu iliyokuwa imetapakaa katika nyumba yao
kalago alisema baada ya kuwauliza sababu ya tukio hilo hawakutoa jibu ndipo walipoamua kumpeleka chomo hospitali lakini alipoteza maisha wakiwa njiani
mkazi mwingine wa kijiji hicho ikomba kayuni alisema wanafamilia hao walikuwa na ugomvi wa siku nyingi na ulianza baada ya baba mwenye nyumba kuoa mke wa pili bila kuwashirikisha japokuwa awali ugomvi huo ulionekana kwisha
hilo ni tukio la pili katika kipindi cha wiki mbili mkoani songwe ambapo mwishoni mwa mwezi uliopita mkazi wa kijiji cha bupigu wilayani ileje alifariki dunia baada ya kupigwa na mkewe kutokana na wivu wa mapenzi
auwawa kisa kuongeza mke wa pili reviewed by jaqueline victor on saturday october 27 2018 rating 5 | 2019-04-21T14:06:44 | http://www.bossngasatz.com/2018/10/auwawa-kisa-kuongeza-mke-wa-pili.html |
zitto dr ulimboka kutekwa kupigwa na kuumizwa serikali inawajibika kutueleza | jamiiforums | the home of great thinkers
zitto dr ulimboka kutekwa kupigwa na kuumizwa serikali inawajibika kutueleza
discussion in 'jukwaa la siasa' started by kiganyi jun 27 2012
ujumbe amenitumia daktari yupo pale moi ‘kaka zittohali ya drulimboka yuko unconsciousmultiple ribs fracture na kwenye mikono pia amevunjika pamoja na tayayuko icu wanamstabilise kwanza kwasababu hapumui vizurithe situation here is really badi agree with you this is outright outrageous'
serikali kama mlinzi wa usalama kwa raia inawajibu kueleza tena kwa haraka ni nini kimetokea kwa kijana huyu msomi na kiongozi wa wataalamu wenzake serikali inawajibika kueleza katika nyakati kama hizi ambapo kuna mgogoro kati yake na madaktari imekuwa wapi kuhakikisha usalama wa viongozi wa madaktari ili kuepusha watu wanaoitwa ‘agente provocateure‘ kuweza kuhatarisha hali ya amani ya nchi na hata kupelekea kuweka hali ya vitisho kwa madaktari wetu
nimemuomba waziri kivuli wa afya wa chadema kufuatilia suala hili kwa kwa karibu sana ili kuhakikisha kwamba ukweli wote na ukweli mtupu unafahamika kamwe hatuwezi kuacha mtanzania yeyote aonewe anyanyaswe au akandamizwe eti kwa sababu ya kudai haki yake na za wenzake ‘an injury to one injuries to all'
hivi nchi wahisani wakiona mambo yanayofanyika kama haya hivi wanatuonaje
serikali ya kihuni huwa ina mbinu za kihuni katika kutatua matatizonaanza kuamnin kwa nini nyerere alikuwa hataka jk awe rais
viongozi dhaifu hawajui namna ya kutatua matatizo ya wananchi viongozi dhaifu wanachoweza ni kulipa kisasi
hivi haya yapo tanganyika
serikali ieleze nini
tupate maelezo ya lhrc kwanza wao walijuajejuaje kuwa majeruhi yuko mabwepande
natamani ithibitike kuwa serikali wanahusika
tupate maelezo ya lhrc kwanza wao walijuajejuaje kuwa majeruhi yuko mabwepandeclick to expand
tuanze na yule aliyetoa taarifa lhrc yeye alijuajekama hakushiriki
chunga tamaa mbaya
wewe inaelekea una chuki binafsi na serikali
mimi natamani wahusika wapatikane na wa confess
natamani ithibitike kuwa serikali wanahusikaclick to expand
siungi mkono kitendo alichofanyiwa dr ulimboka kama ambavyo siungi mkono mgomo wa madaktari
kama vipi tuandamane kushinikiza kauzu pinda awajibike
kwa kauli yake aaaaah
ningeomba mh zitto aende mbali zaidi ya hapo of coz kwa jinsi hali ilivyo chadema ni muhimu sana kutoa tamko kadhalika vikundi vya haki za binadamu na taasisi nyingine
najua kina nape na dhaifu watainuka kusema hizo ni propaganda na eti madaktari wanatumika kisiasa lakini hatutajali upuuzi wao huo
ni watu wenye akili punguani au kitu cha kufanana na hilo (mfano zomba) ndio wanaoweza wasione (kwa makusudi) ushiriki na mkono wa serikali ya ccm ktk tukio hili la kinyama ninalaani kwa nguvu zote ukatili na vitisho kwa dr ulimboka na madaktari wote mwito wangu kwao ni kuwa wana azma na nia nzuri kuboresha huduma za afya na maslahi ya taaluma zao na katu wasirudi nyuma pia wampe mwenzao sapoti kubwa hasa wakati huu mgumu pole dr ulimboka poleni familia yake na madaktari kwa ujumla
wanahaarakati na
watu wengi wanyonge wana namba za lhrc maana hupewa msaada wa kisheriandivyo lrhc walivyopata habari
kama waliomuokota wanamjua ulimboka walijua wakiripoti polisi ndio wamempoteza
jeshi la polisi lijiulize kwa nini wananchi hawakuwaamini wao wakaamini lhrc
hilo ndio swali kubwasio lako
hata sumaye na ufisadi wake alishawahi kusema kuwa mtu aneyetumia kalamu kuwachafua wenzake akipata madaraka atatumia mtutu kuwanyamazisha wanaompinga ndio jk huyo hana tofauti na mseveni au idd amin
ni kawaida ya serikal ya ccm hata km wamehusika wataleta propoganda hili suala la kuua watu hata mh mbowe aliliongelea juz mbungeni ccm na serkal yake ndio walivyo achen jaman huo mtindo
serikali hii hii haiwezi kutoa tamko lolote itaendelea na uchunguzi hadi watu hasira zenu ziwatoke na watamlazimisha ulimboka kukanusha yote ngoja tusubiri
eh mungu mpe uponyaji kijana si vyema alivyofanyiwa
serikali ya kihuni huwa ina mbinu za kihuni katika kutatua matatizonaanza kuamnin kwa nini nyerere alikuwa hataka jk awe raisclick to expand
mbona ni afadhali wakati wa jk amepigwa na amepatikana wakati wa nyerere usinge muona kabisa na angetoweka kwenye historia ya ulimwengu wewe hata historia hujui kumbe nyamaza kama hujui kitu
haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo eti serikali wakuchukuwe wakupige wakutupe mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuotaclick to expand
wanaaanza kijifunza kunywa damu wakizoe itakuwa taabu inabidi idhibitiwe | 2016-10-22T18:01:00 | http://www.jamiiforums.com/threads/zitto-dr-ulimboka-kutekwa-kupigwa-na-kuumizwa-serikali-inawajibika-kutueleza.284069/ |
hospitali ya apollo india kusaidia sekta ya afya zanzibar | zanzibar islamic news's blog
blogs ownermakala za kislamuhabari za kislamueast africa newsqaswidahoutuba za rais jakaya mrisho kikwete2013tafrija za ftari za ramadhanpichauchaguzi tanzania2010hadithi za mtume (saw)ramadhan karimedil mubarakmaradhi yanayotibu habba sodapichahijaangalia mwili wa firaunlana tullahmaoini yako juu ya katiba mpya tztafsir ya qurani tukufusarafu zilizotumika zanzibar kabla ya muungano 1964hotuba za rais wa kwanza zanzibar abeid aman karumerasimu ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ya mwaka 2013baraza la wawakilishi zanzibarmajina ya watoto wa kislamu na maana yakemawaidha & darssa yanapatikana hapanakala ya hati ya muungano wa tanganyika na zanzibar hospitali ya apollo india kusaidia sekta ya afya zanzibar
afisa mkuu kanda ya kati dr hari prasad kutoka mtandao wa hospitali za apollo nchini india akiwa amefuatana na meneja mkuu ustawi wa biashara wa kimataifa kutoka apolo bwana radhey mohan alieleza hayo wakati walipokuwa na mazungumzo na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein ikulu mjini zanzibar
katika maelezo yake dk prasad alimueleza rais dk shein kuwa hospitali za apollo ziko tayari kusaidia kutoa nafasi za mafunzo ya udaktari kwa madaktari wa zanzibar hadi kufikia hatua za kuwa mabingwa kwa mujibu wa mahitaji yanayotakikana
aidha uongozi huo ulieleza kuwa tayari mtandao huo wa hospitali za apollo utakamilisha hospitali yake ya kisasa inayojegwa mjini daressalaam ambayo alisema kuwa itasaidia kwa kiasi kikubwa kutoa huduma kwa watanzania wote wakiwemo wagonjwa kutoka zanzibar
alieleza kuwa wanamatarajio makubwa kuwa hospitali hiyo itakamilika na kuanza kazi baada ya miaka miwili
pamoja na hayo dk prasad alieleza kuwa mtandao wa hospitali za apolo unajumla ya hospitali 55 na kusisitiza kuwa katika nchi za asia apollo ni mtandao mkubwa wa hospitali kutokana na kuwa na hospitali nyingi alisema kuwa hivi sasa mtandao huo umekuwa na kuweza kutoa huduma bora zaidi na kusisitiza kuwa kutokana na mashirikiano na uhusiano mwema uliopo kati ya apollo na wizara ya afya ya zanzibar mafanikio zaidi yatapatikana
uongozi huo ulieleza kuwa kumekuwa na uhusiano na mashirikiano mazuri kati ya wizara ya afya ya jamuhuri ya muungano wa tanzania pamoja na wizara ya afya ya serikali ya mapinduzi ya zanzibar katika suala zima la kuimarisha huduma za afya sanjari na kutoa huduma za tiba kwa wananchi mbali mbali kutoka tanzania
sambamba na hayo uongozi huo ulimueleza dk shein kuwa miongoni mwa malengo ya safari yao ya kuja zanzibar ni pamoja na kukaa na uongozi wa wizara ya afya ya zanzibar kuangalia na kujadiliana juu ya mchakato mzima wa kuimarisha mahusiano katika kuimarisha sekta afya kati ya zanzibar na mtandao wa hospitali za apollo
alisema kuwa serikali ya mapinduzi zanzibar imeweka mikakati thabiti ya kuimarisha sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuanzisha kitengo cha kutoa huduma za utibabu wa maradhi ya saratani huduma za utibabu wa maradhi ya figo na maradhi ya moyo
alisistiza kuwa mbali ya hatua hiyo pia serikali imo katika mikakati ya kukipanua chuo hicho kwa kuongeza idadi ya wanafunzi kuwaongeza walimu wa kufundisha masomo ya fani mbali mbali kwa kiwango cha shahada
« waislamu wataka zanzibar irejeshewe kiti chake umoja wa mataifa
ccm kufyeka mafisadi hadi ngazi za shina » | 2017-04-28T02:25:10 | https://zanzibarislamicnews.wordpress.com/2011/04/16/hospitali-ya-appolo-india-kusaidia-sekta-ya-afya-zanzibar/ |
ewura yabuni mbadala vijijini kukabili maduka ya madumu
baada ya ugumu kupata mbadala
wenye madumu siku zinahesabika
tahadhari maegesho malori ya tenki
nishati ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya binadamu ni msemo unaotokana na ukweli kwamba bila ya nishati mambo mengi hayawezi kufanyika kama vile uendeshaji viwanda vya ngazi tofauti kwa sababu ni kichocheo kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi
wenye madumu katika foleni ya kununua mafuta picha mtandao
nishati ya mafuta za taa petroli na dizeli zinatajwa kuwa kichocheo kikubwa kwa shughuli za kila siku hasa katika kuendesha mitambo mbalimbali yakiwamo magari
kutokana na umuhimu huo serikali kupitia mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (ewura) imekuwa ikifanya jitihada kuhakikisha nishati hiyo inapatikana kwa wingi ili kupunguza ulanguzi na wananchi wasipate shida katika shughuli zao za kila siku
kulivyo vijijini
pamoja na mafuta kuuzwa katika vituo vinavyojengwa kupitia vibali vya ewura hali ya upatikanaji nishati hiyo vijijini imekuwa ngumu kutokana na hali halisi ya miundombinu
hadi sasa kubwa ya watanzania wanaishi vijijini na kutokana na umuhimu wa huduma hiyo baadhi ya wafanyabiashara wadogo wanalazimika kununua mafuta kwenye vituo mijini na kuuza reja reja kienyeji kwenye madumu na chupa za maji kwa ujazo tofauti vijijini
mmoja wa wafanyabiashara hao joseph mahindoni anasema wauzaji wamekuwa wakiuza mafuta kwa ujazo tofauti kwenye maduka ya bidhaa zingine pia vibanda vya barabarani ili kurahisisha upatikanaji wake vijijini
anasema kutokana na hali hiyo ya kimiundombinu wafanyabiashara wa mafuta wamekuwa wakisita kujenga vituo vya mafuta maeneo ya vijijini na matokeo yake kujikita katika miji mikubwa barabara kuu na miji midogo inayokuwa kibiashara
mkazi wa mwitikira katika wilaya ya bahi mkoani dodoma manzije mazengo anasema hali ya upatikanaji mafuta ni changamoto kwao na wanategemea wafanyabiashara wenye maduka ya vijijini hapo kusafirisha bidhaa hiyo kutoka jijini dodoma
hapa unaweza kuishiwa mafuta ya taa ukasubiri hadi jioni ndio upate maana wanaouza wanafuata dodoma mjini na hadi kufika huku ni jioni kabisa giza limeshaingia kwa kuwa magari yanayofanya safari za huku yanaondoka dodoma mjini saa nane mchana kwa kweli ni changamotoanaeleza
pia anasema mafuta yanayotunzwa kwenye madumu kwenye makazi au sehemu za kawaida za biashara na pindi inapotokea moto yanachangia mazingira ya madhara kwa maisha ya watu na mali zao
vituo tembezi
kutokana na kuwapo mazingira hatarishi kwa sababu ya utunzaji na uhifadhi wa mafuta usiozingatia vigezo na masharti ewura imekuwa ikibuni mbinu mbalimbali kuhakikisha nishati hiyo inapatikana vijijini kwa usalama
kwa sasa ewura inaanzisha utaratibu wa vituo tembezi ili kurahisisha upatikanaji huduma kutokana na mahitaji yake kuongezeka kwa kushamiri kwa usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda ambao ndio usafiri wa haraka kwa maeneo mengi
akizungumza kwenye semina ya waandishi wa habari mjini dodoma hivi karibuni mkuu wa kitengo ya mawasiliano na uhusiano titus kaguo anasema ewura imeibua mkakati mpya wa kuanzisha vituo vya mafuta vinavyotembea (mobile fuel system) kwa kutumia magari maalumu yaliyotengenezwa ajili ya kazi hiyo
kaguo anasema ni mpango unaolenga kurahisisha upatikanaji mafuta katika maeneo mbalimbali nchini yakiwamo ya vijijini
anasema katika maeneo mengi nchini wafanyabiashara wadogo wamekuwa wakisafirisha na kuuza mafuta kwa njia ambazo si sahihi na zinazohatarisha usalama wa vyombo vya watumiaji na maisha yao wenyewe
kaguo anafafanua kwamba watu hivi sasa wanatakiwa kufahamu kuwa kusafirisha kuuza mafuta kwa njia zisizo rasmi kwa kutumia madumu ni kosa kisheria na hatari kubwa inayoweza kusababisha majanga kama milipiko ya moto
kutokana na ongezeko la vyombo vya usafiri kama pikipiki tumeamua kupunguza gharama za kuanzisha vituo vya uuzaji mafuta ili viweze kujengwa katika maeneo mbalimbali hasa vijijini ili kuepuka uuzaji mafuta katika vidumu anasema
anaongeza kwa sasa tunakuja na vituo vya mafuta vinavyotembea ambavyo vitatoa huduma vijijini kwa mfano mtu anakuwa na gari ndogo unaweka tenki ambalo litakuwa limepimwa halina risk au pikipiki za guta mtu anabeba lita 50 anapita njia labda ya mtera (dodoma iringa) anakuuzia pikipiki itasaidia gap (pengo) la kutokuwa na vituo vijijini
anaeleza kwamba chuo kikuu cha dar es salaam (udsm) hivi sasa kinafanyia utafiti wa suala hilo na lipo katika hatua za juu hivi karibuni watatoa taarifa ya kuanza kwa biashara hiyo
tuna imani itapunguza risk (hatari) za watu kujenga vituo vikubwa kwenye vijijiusafirishaji mafuta kwenye madumu ni risk sana hatuwezi kuruhusu vitu vya aina hii kutokana na uhaba wa vituoanasema
aidha kaguo anasema kuna mfumo wa ujenzi wa vituo vya vijijini kwa lengo la kumsaidia mtu asiye na uwezo wa kujenga kituo kikubwa ili aweze kujenga kidogo kinachogharimu si zaidi ya sh milioni 50
kujenga kituo ni gharama kituo kikubwa kama pale dar es salaam unaweza kukuta kati ya sh milioni 800 hadi sh bilioni moja
ndio maana tumekuja na mfumo unaoendana vijijini kwa mfano kituo cha pampu moja ambacho kina uwezo wa kuwa na lita za mafuta laki moja huwezi kuweka lita milioni mbili wakati wewe unauzia pikipiki ambazo zinatumia lita 12 anasema
tahadhari magari
kaimu mkurugenzi mkuu wa ewura nzinyangwa mchany anatoa tahadhari mbalimbali muhimu kuhusu matumizi ya mafuta ikiwamo magari ya kubebea mafuta ama kutoegeshwa au kulazwa pasipohusika
badala yake anashauri yawekwe sehemu maalumu ilizotengwa huku akitaja tahadhari nyingine ni kuwa shughuli zote zinazohusu mafuta ya petrol ni lazima zifanyike kwa umakini na uangalifu mkubwa kuepuka madhara yanayoweza kutokea
anasema ni muhimu kuzingatia na kufuata sheria kanuni viwango vya ubora na masharti ya leseni wakati wote huku kukizingatiwa utunzaji usafirishaji na utumiaji na uuzaji wa bidhaa za petroli
mwanamitindo odemba kumtua mama ndoo
vanilla inapoongezeka zao la matumaini kwa wakulima | 2019-11-20T17:03:01 | https://www.ippmedia.com/sw/makala/ewura-yabuni-mbadala-vijijini-kukabili-%E2%80%98maduka%E2%80%99-ya-madumu |
ansar dine wa mali wagawika | matukio ya afrika | dw | 24012013
kundi la ansar dine nchini mali linaripotiwa kugawanyika baada ya mashambulizi makali ya kijeshi yanayoongozwa na ufaransa huku wanajeshi wa mali wakishukiwa kuwaua kwa makusudi watu wa jamii za kiarabu na kituareg
wanamgambo wa ansar dine wa mali
kundi jipya linalojiita vuguvugu la waislamu kwa ajili ya azzawad limetangaza kujitenga na lile la ansar dine ambalo lilikuwa likilitawala eneo la kaskazini mwa mali tangu aprili mwaka jana kabla ya wanajeshi wa ufaransa kuingia huko tarehe 12 januari mwaka huu
kundi hilo linaongozwa na alghabasse ag intalla mkuu wa familia kubwa ya kituareg kutokea mji wa kidal na aliyekuwa mpatanishi wa tawi lenye mrengo wa wastani la ansar dinne
katika taarifa yake iliyotolewa leo kundi hilo limesema kwamba linapingana na aina zote za siasa kali na ugaidi na kwamba liko tayari kupambana nazo likiongeza kwamba linataka kuutatua mzozo wa mali kwa njia za amani
shirika la habari la afp linasema kwa kundi hilo la waasi kutumia jina la azzawad inaonesha kwa kiasi gani linataka kujitenga na siasa za tawi la alqaida la kaskazini mwa afrika aqim linaloshukiwa kuendeshwa zaidi na wageni na badala yake kujinasibisha na harakati za watu wa kaskazini mwa mali jamii ya tuareg ambao kwa miongo kadhaa wamepigania uhuru wa kujiamulia mambo yao wenyewe
taarifa iliyotolewa na kundi hilo lililojitenga imesisitiza kwamba kundi hilo limeundwa na raia wa mali peke yake na limezitolea wito serikali za mali na ufaransa kuacha uadui kwenye maeneo linaloyashikilia ya menaka na kidal ili kutengeneza mazingira ya majadiliano ya kisiasa kwa njia za amani
wanajeshi wa mali washukiwa kuuwa
tangazo hilo la kujitenga kwa vuguvugu la waislamu kwa ajili ya azzawad kutoka ansar dine linakuja katika siku ambayo shirikisho la haki za binaadamu duniani (fidh) limetoa taarifa ya uvunjwaji mkubwa wa haki za binaadamu unaoshukiwa kufanywa na jeshi la mali kwenye maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo
taarifa za kuaminika zinasema kwamba kiasi cha watu 20 wameuawa kwa makusudi kwenye miji ya sevare niono na kijiji cha serbala mashahidi wanasema wanajeshi wa mali wanawalenga watu wenye asili ya kiarabu na kituareg wanaowatambua kwa sababu ya ngozi zao mmoja wa wakaazi wa huko oummul sall seck ameiambia dw kwa njia ya simu kwamba anahofia usalama wake si kwa sababu ya wanamgambo wa kiislamu bali kutoka wanajeshi wa serikali
jeshi la mali halipaswi kuwahukumu watu wa kaskazini kwa tuhuma za kushirikiana na waasi wa kiislamu ati tu kwa sababu ngozi zao zina rangi inayong'ara kuna mtu hapa amekatwa koo kwa sababu tu ya uvumi kwamba alikuwa anashirikiana na waislamu wenye siasa kali hilo si jambo la kawaida amesema oummul sall seck
ufaransa yajitenga na visa hivyo
wanajeshi wa mali kwenye mji wa niono wanakoshukiwa kufanya mauaji ya makusudi
shirikisho la fidh limesema pia kwamba limepokea taarifa za uhakika kwamba wanajeshi wa mali wamehusika kwenye visa vya ubakaji karibu na kijiji kimoja karibu na mji wa sevare ambao kwa sasa unashikiliwa na wanajeshi hao baada ya wanajeshi wa ufaransa kuondoka
waziri wa ulinzi wa ufaransa jeanyves le drian amesema kwamba heshima ya jeshi la mali iko hatarini huku waziri wake wa mambo ya nje laurent fabius akisema kwamba ufaransa haiwezi kukubali aina yoyote ya uvunjwaji wa haki za binaadamu jumuiya ya kimataifa itakabiliwa na hali mbaya sana kama ikinasibishwa ni visa hivyo vya uvunjaji haki za binaadamu amesema fabius
shirikisho la kimataifa la haki za binaadamu limezitaka serikali za mali na ufaransa kufanya uchunguzi huru wa visa hivyo
jeshi la kiafrika laanza kuchukua nafasi ya wafaransa mali
kiungo https//pdwcom/p/17qrm | 2019-01-24T05:19:30 | https://www.dw.com/sw/ansar-dine-wa-mali-wagawika/a-16547910 |
habari na matukio mazishi ya joseph senga katika picha
mazishi ya joseph senga katika picha
mwili ukiwasili katika kijiji cha shushi wilaya ya kwimba mwanza kwa ajili ya taratibu za maziko (picha na said powa)
mama wa marehemu akilia kwa uchungu huku akifarijiwa na ndugu
mama wa marehemu akisaidiwa kugusa mwili wa mwanae kwa mara ya mwisho kabla ya maziko
mke wa marehemu akigusa mwili wa mumewe kwa mara ya mwisho kabla ya maziko
waandishi wa habari wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu joseph senga
mke wa marehemu winfrida senga akiweka shada la maua katika kaburi la mumewe marehemu joseph senga
mtoto wa marehemu joel senga akiweka shada la maua
mhariri mtendaji wa gazeti la free media neville meena akiweka shada la maua
mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) freeman mbowe akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa mpigapicha mkuu wa gazeti la tanzania daima marehemu joseph senga wakati wa maziko yake yaliyofanyika katika kijiji cha shushi wilaya ya kwimba mwanza
mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) freeman mbowe akiweka udongo katika kaburi la marehemu
mwili wa aliyekuwa mpigapicha mkuu wa gazeti la tanzania daima marehemu joseph senga ukiwekwa kaburini wakati wa maziko yake yaliyofanyika katika kijiji cha shushi wilaya ya kwimba mwanza
wanafamilia wakiwa katika ibada ya mazishi katika kijiji cha shushi wilaya ya kwimba mwanza | 2018-04-27T04:39:58 | http://www.kajunason.com/2016/08/mazishi-ya-joseph-senga-katika-picha.html |
mkuu wa mkoa mbeya amwagia sifa dr tulia kwa kuandaa tamasha la ngoma za jadi ~ blogu ya wananchi
mkuu wa mkoa mbeya amwagia sifa dr tulia kwa kuandaa tamasha la ngoma za jadi
asema ameandika historia kukutanisha vikundi 62 toka halmashauri 3wabunge mabalozi wahudhuria na amewaomba watanzania kuendeleza utamaduni na ngoma za asili za makabila yetu mkuu wa mkoa wa mbeya amempongeza naibu spika dr tulia ackson kwa kuandaa tamasha kubwa la ngoma za jadi zinazohusiana vikundi 62 kutoka halmashauri za rungwe busokelo na kyela
hayo ameyasema leo mjini tukuyu wakati akifungua tamasha la ngoma za jadi lilihudhuria na maelfu ya watu wakiwemo wabunge kutoka majimbo mbalimbali hapa nchini mabalozi na wakuu wa taasisi mbalimbali hapa nchini
mkuu wa mkoa amempongeza naibu spika na wabunge wa majimbo ya kyela busokelo na rungwe kwa kuandaa na kufanikisha tamasha hilo muda muafaka wakati kikazi cha sasa wengi ya vijana hawajui mila na jadi ya makabila yao
amewaomba watanzania kuenzi tamaduni na ngoma za makabila yao kwa ajili ya kuenzi na wakati huo huo kupata burudani za asili | 2017-04-23T13:52:23 | http://www.williammalecela.com/2016/10/mkuu-wa-mkoa-mbeya-amwagia-sifa-dr.html |
Subsets and Splits