text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
mkutano wa kilele kuhusu hatima ya nishati ya diesel | matukio ya kisiasa | dw | 02082017
mkutano wa kilele kuhusu hatima ya nishati ya diesel
mazungumzo baina ya wanasiasa wa ujerumani na watengenezaji wa magari bado yanaendelea leo hata baada ya chama cha wenye viwanda vya magari vda kusema wamekubali kupunguza utoaji wa gesi zinazoharibu mazingira kwa kuboresha programu maalum katika magari ya dizeli milioni 5
duru zilizoko karibu na majadiliano hayo zimesema mazungumzo hayo baina ya mawaziri kadhaa mawaziri wakuu wa majimbo na wakuu wa viwanda vya magari bado yanaendelea na yamegawanywa katika makundi kadhaa
hapo mapema leo chama cha wenye viwanda vya magari vda kimesema kitaweka program mpya ya uedneshaji ingini katika magari milioni 5 ili kufanya mfumo wa kuchuja moshi uweze kufanyakazi vizuri zaidi na kushusha utoaji wa gesi zinazochafua mazingira kwa asilimia 25 hadi 30 katika magari hayo
maneno muhimu ujerumani dieselgate
kiungo https//pdwcom/p/2hadj | 2018-08-18T15:23:33 | https://www.dw.com/sw/mkutano-wa-kilele-kuhusu-hatima-ya-nishati-ya-diesel/a-39941623 |
tofu pouch aburaa ge | kimiko's japanese kitchen
« enoki mushroom simple saute
easy and simple temaki zushi » | 2018-04-27T04:39:14 | https://kimikoskitchen.wordpress.com/2012/05/23/tofu-pouch-abura-ge/ |
mama yangu hamtaki mume wangu kwa sababu alikuwa mtumishi wetu | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /mama yangu hamtaki mume wangu kwa sababu alikuwa mtumishi wetu | 2020-05-26T13:48:42 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/2082 |
itv tangazeni matokeo ya urais mnavyoyapata | jamiiforums | the home of great thinkers
itv hamuwatendei wananchi haki kwa kuzuia matokeo ya urais ambayo yanatangazwa pamona na yale ya wabunge tangazeni matokeo hayo yanavyokuja kutoka majimboni kwanza ni kwa sababu mtawasaidia wananchi kujua nini kinaendelea na mtaondoa wasiwasi na vile vile mtasaidia kupunguza watu kufikiria tume inachakachua
sasa kama nyinyi ndiyo vyombo vya habari na mnapata matokeo halali kutoka majimbo kwanini msiyatangaze huku mnayajumlisha tuone kama yanalingana na yale yanayotangazwa na tume
you must be independent enough mbona wenzenu mwananchi wanafanya hivyo
kama kikwete kashinda matokeo yenu na ya tume hayawezi kupishana so do the needful
kweli itv hawatutendei haki namsikiliza masako live anavyo wakatiza kauli watoa habari wanapotaka kutoa matokeo ya urais hadi anaboa kabisa sielewi kwanini anawazuia wakati matokeo yameshatolewa vituoni ila nasikia chadema kama chama kinakusanya matokeo yote ya vituoni ndipo kitoe tamko kwa hiyo kama nec watatangaza tofauti watakuwa wanajitafutia matatizo makubwa nawaomba wasije wakathubutu kufanya hivyo
ahsante sana mzee mwanakijiji kunbe umeliona hilo jana nilikuwa naangalia star tv toka asubuhi walikuwa wanatangaza kwamba lema kashinda arusha lkn itv wao wanasema eti mchuano bd mkali sijui wanaogopa nini sasa wanatangaza nini km hawatoi matokeo mapema waache kutangaza basi
wamezuiliwa kufanya hivyo na ccm ili waendelee kuchakachua itv wanashiriki uchakachuaji kwa njia hiyo
nazionea wivu tv za kenya
uwt umeaagiza reporter wake wasitangaze matokeo ya urais
shame on you itv ripripripripitv
itv mwaka huu ammewafanyia watanzania kitu kibaya sanatulikuwa tuna waamini sana lakini imani yetu imeshapotea sijui mengi wamemwogopesha na nini habari zote mtakazo kuwa mnatangaza baada ya uchaguzi sitoziamini tenamlimani tv na sauti ya ujelumani ndizo sosi zangu
nimekuwa nafuatilia matokeo ya uchaguzi kupitia tv na radio lakini kinachonishangaza ni kwamba katika majimbo ambayo ccm inashinda matokeo ya urais yanawekwa wazi ila kule ambako upinzani unashinda wanatangaza tu ubunge lakini matokeo ya urais hayatangazwi
naomba matokeo ya urais
iringa mjingi
mnaweza kuendelea
huko tumetangaziwa ubunge tu ila urais hawajatangaza
je ni strategy ya nec kuchakachua | 2018-01-24T06:11:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/itv-tangazeni-matokeo-ya-urais-mnavyoyapata.83416/ |
rc mongella akagua miradi ya maendeleo ukerewe
mhe mkuu wa mkoa john mongella ameanza ziara ya siku mbili katika wilaya ya ukerewe kuanzia tarehe 1617 januari 2019 ambapo lengo la ziara hii ya kikazi kukagua miradi na shughuli mbalimbali za maendeleo zinazotekelezwa katika wilaya ni ukerewe
mongella ameanza ziara yake ya kikazi katika kisiwa cha ukara ambapo ametembelea na kukagua mradi wa maji bwisya uliopochini ya kikundi ukara na kusaidiana na ofisi ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri unao gharimu kiasi cha tsh 41000000/ fedha zilizofadhiliwa na benki ya nmb mkuu wa mkoa amepongeza juhudi za wananchi hasa wanakikundi wanaofanya kazi nzuri ya kuwasaidia na kuwezesha upatikanaji wa maji safi na salama katika eneo la bwisya
mhe mkuu wa mkoa john mongella katika ziara yake katika wilaya ya ukerewe katika sekta ya elimu ametembelea shule za msingi na sekondari ambapo ametembelea shule ya sekondari bwisya ambapo ametoa wito kwa uongozi uweke mazingira rafiki ya kuwezesha wanafunzi kuishi hostel na amewasihi wazazi wanafunzi wasome na wakae hostel ili kuondoa umbali mrefu pindi waendapo darasani shule ya sekondari bukiko amewapongeza walimu na wanafunzi amewataka wasome kwa bidii na kuwaasa mabinti kujithamini na kuachwa kudanganywa na kupata mimba
mongella ameahidi kutoa saruji mifuko 50 na mhe mkuu wa wilaya cornel magembe ameahidi kutoa mifuko 20 ya saruji nae afisa elimu wa mkoa ameahidi kutoa mifuko 20 amewasihi wananchi kuendelea kujitokeza ili kuboresha miundombinu ya shule hiyo shule zingine zilizo kaguliwa katika ziara ya mkuu wa mkoa ni mwitongo shule ya msingi shule ya msingi kagera shule ya sekondari kakerege ambapo aliweka jiwe la msingi katika ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara na ameahidi kutoa mifuko 60 mkuu wa wilaya 40 na afisa elimu kumalizia bati zilizokuwa zimesalia katika kuezeka
mongella ametembelea chuo cha ualimu murutunguru na ameridhishwa na mradi wa ujenzi wa majengo mapya katika chuo hiko na amepongeza halmashauri ya wilaya ya ukerewe kuwezesha upatikanaji wa maji safi na salama chuoni hapo kwani hapo awali maji yalipatikana umbali mrefu
sekta ya afya mkuu wa mkoa amekagua na kuridhishwa na ujenzi unaondelea wa kituo cha afya bwisya mradi unao gharimu tsh 860000000/ fedha zilizokuwa zimesalia kwenye rambirambi baada ya maafa yam v nyerere mwezi septembamsimamizi wa ujenzi kutoka suma jkt luteni masudi ameeleza kuwa mradi huo unatarajia kuwa umekamilika 17/2/2019
mongella ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa kituo cha afya muriti ambapo wenye thamani ya tsh 400000000/= amewataka mainjinia wa halmashauri kuwepo eneo la kazi na kuukamilisha mradi huu kwani upon je ya wakati nataka mradi huu uwe umekamilika kufikia 17 februari 2019 alisema mongella
mkuu wa mkoa amehitimisha ziara yake kwa kutembelea na kukagua mradi wa ufugaji wa samaki ziwani ulipo eneo ya kata ya ngoma muluseni amepongeza na amesema ufugaji huo uwe somo kwa wengine kufuga samakikisasa
amekagua shamba darasa la kahawa lililopo eneo la ngoma lenye miche 14000 amewataka idara ya kilimo kuongeza miche zaidi na kutoa elimu kwa wananchi juu ya kilimo cha kahawa | 2019-05-26T04:23:18 | http://ukerewedc.go.tz/new/rc-mongella-akagua-miradi-ya-maendeleo-ukerewe |
mlekani sports news mawe reki vyatumika kuwapa mafunzo ya vitendo walimu
mawe reki vyatumika kuwapa mafunzo ya vitendo walimu
uhaba wa vifaa noma mwinga mwanjala akitumia leki kama mkuki wakati wa kuwafundisha walimu (hawapo pichani) jinsi ya kurusha mkuki wakati wa mafunzo hayo
mwanariadha wazamani wa kimataifa wa tanzania mwinga mwanjala akiwaonesha walimu kwa vitendo mchezo kurusha tufe unavyochezwa wakati wa mafunzo katika shule ya msingi ali hassan mwinyi magomeni leo alhamisi
ukistaajabu ya mussa autayaona ya filauni
usemi huo umedhirika mapema leo mchana wakati baadhi ya walimu wa shule za msingi mkoa wa dar es salaam walipokuwa wakipewa mafunzo ya mchezo wa riadha waliporusha mawe badala ya tufe
mafunzo haya ambayo yalishirikisha zaidi ya walimu 40 wa shule mbalimbali za mkoa wa dar es salaam ambapo mbali na riadha pia yalishirikisha michezo mingine kama mpira wa mikono netiboli wavu na soka
hatahivyo kihoja hicho kilikuwa kwa walimu kama sita waliokuwa wakihudhuria mafunzo ya riadha ambapo kasheshe iliibuka pale walipoanza kufundishwa mazoezi ya vitendo kwenye uwanja wa shule ya msingi ya ali hassan mwinyi magomeni
mafunzo hayo yalikuwa kuwaandaa walimu kwa ajili ya michezo ya shule za msingitanzania ya umitashumta itakayofanyika baadae mwaka huu
katika mchezo wa riadha mwanariadha wa kimataifa wa zamani wa tanzania mwinga mwanjala ilimbidi kutumia mawe kuwaonesha waliu hao tufe lilivyo na linavyorushwa
mbali na kihoja hicho cha tufe pia ajabu jingine lilitokea wakati walimu wakioneshwa jinsi ya kutupa mkuki ambapo badala ya kutumika kifaa hicho badala ya ilitumika leki ya chuma ya kutolea uchafu ambayo ilionekana wazi kuwapoteza mwelekeo walimu hao kutokana na uzito wa leki hiyo ya chuma
mafunzo hayo ya siku tano ambayo yanamalizika ijumaa mbali na mwanjala katika riadha mkufunzi mwingine alikuwa katibu mkuu wa riadha tanzania (rt) suleiman nyambui
mwinga mwanjala akiwaonesha walimu jinsi ya kurusha tufe akitumia jiwe kutokana na uhaba wa vifaa
washiriki wa semina ambao ni walimu wakiwa katika mafunzo ya vitendo ya kutupa tufe
mwanariadha wa kimataifa wa zamani wa tanzania mwinga mwanjala (kushoto) akimuonesha mwalimu amina hamisi ally wa shule ya msingi ali hassan mwinyi jinsi ya kushika kisahani na kukirusha wakati wa mafunzo yaliyofanyika leo magomeni jijini dar es salaam
kocha wa mpira wa mikono clavery msakuzi (kulia0 akitoa mafunzo kwa baadhi ya walimu wa shule za msingi kuhusu mchezo huo katika mafunzo yaliyofanyika katika shule ya msingi ali hassan mwinyi magomeni dar es salaam
posted by mlekani cosmas at 0720 | 2018-06-22T01:16:55 | http://mlekani.blogspot.com/2015/03/mawe-leki-vyatumika-kuwapa-mafunzi-ya.html |
marekani yasema haina uadui na korea kaskazini | tanuru la fikra blognews
home uncategories marekani yasema haina uadui na korea kaskazini
tanuru la fikra 102000 pm add comment edit
image captionwaziri wa maswala ya kigeni nchini marekani rex tillerson amesema kuwa marekani sio adui wa korea kaskazini
serikali ya marekani haitaki mabadiliko ya utawala katika korea kaskazini waziri wa mambo ya nje wa marekani anasema huku hofu ikitanda juu ya mpango wa silaha wa pyongyang
sisi si maadui zenu rex tillerson alisema na kuongeza kuwa marekani ilitaka mazungumzo wakati mmoja
wakati huo huo seneta wa chama cha republican alisema rais trump alihisi kuanza vita na korea kaskazini ni chaguo
pyongyang inadai kuwa jaribio lake la hivi karibuni la makombora linaweza kushambulia magharibi mwa marekani na zaidi
marekani yatishia kuiadhibu korea kaskazini
hatutaki mabadiliko ya utawala hatulengi kuuangusha utawala hatutaki kuharakisha muungano wa eneo la peninsula hatutaki sababu ya kutuma wanajeshi wetu kwenye eneo lenu alisema bwana tillerson akimaanisha mpaka baina ya korea kaskazini na korea kusini
sisi si maadui zenu sisi si tisho kwenu lakini munatuwekea tisho lisilo kubalikana lazima tujibu
jaribio la pili la kombora la masafa marefu linaloweza kshambulia bara jingine (icbm) siku ya ijumaa lililosherehekewa na kiongozi wa korea kaskazini kim jongun lilikuwa ni jaribio la hivi karibuni kutekelezwa linalokiuka marufuku ya umoja wa mataifa
image captionrais kim jong un alisema kombora la masafa marefu linaweza kushambulia eneo lolote la marekani
majaribio ya hivi karibuni ya makombora ya masafa marefu ya korea kaskazini yamesababisha hofu kubwa juu ya tishio la serikali ya pyongyang dhidi ya marekani na kuzingatiwa kwa haja ya kuzuwia shambulio lolote nchini marekani
hilo ndilo alilokuwa nalo akilini rais trump katika mazungumzo juu ya vita na seneta lindsey graham
makao makuu ya wizara ya ulinzi nchini marekani pentagon yametoa taarifa za hivi karibuni juu ya hatua za kijeshi lakini wakati huo huo wachambuzi wanasema kukabiliana na korea kusini itakuwa ni maafa
hilo limemfanya bwana tillerson arudie kwa marefu kwamba marekani haitaki mabadiliko ya utawala na kuongeza kuwa lengo ni kufanya mazungumzo lakini ambayo hayana msingi kwamba korea kaskazini inaweza kuendelea kutunza silaha zake za nuklia
serikali ya pyongyang hata hivyo imekataa kata kata masharti ya aina hiyo | 2017-10-23T15:28:44 | http://www.tanurulafikra24.com/2017/08/marekani-yasema-haina-uadui-na-korea.html |
warriors hakujulikana kipi wanachokifanya uwanjani mpaka pale ambapo stephen curry alipoanza kufanya vyema kwenye robo ya tatu ya mchezo wa kwanza wa fainali ya
nba nicasius coutinho may 18 2017
kumekuwepo na maswali mengi juu ya namna mabayo wachezaji wa klabu ya golden state warriors wanaweza kuendana na mbinu za kocha msaidizi wa klabu
nba nicasius coutinho may 8 2017
inawezekana ukawa shabiki mkubwa wa golden state warriors au cleveland cavaliers na ukawa unasubiri mechi yao ya fainali kwa hamu iwapo itatokea lakini kamwe
nba nicasius coutinho june 3 2016
neymar anajua soka anaijua pesa anajua biashara mtu tatu ndani ya track moja
nba nicasius coutinho october 18 2016
inawezekana kabisa mchezaji cristiano ronaldo akawa ndiye mchezaji wa soka anayeongoza kwa kutengeneza pesa nyingi katika mikataba ya kibiashara na umaarufu katika mitandao ya
unazo bilioni 30 za madafu muone jordan akuachie mjengo wake wa chicago na air
nba october 30 2015
mjengo wa kifahari wa michael jordan wuliopo kwenye eneo la futi 56000 za mraba sawa na mita 520 za mraba umekuwa ukiwekwa sokoni kwa
nba nicasius coutinho october 23 2016
nba aidan charlie february 24 2016
inaaminika david beckham ndio alikuwa mchezaji maarufu kuliko yoyote katika kipindi cha kuanzia 19992010 lakini taji hilo kwa sasa lipo chini ya mwanasoka cristiano
hatimaye yametimiagolden state warriors ya stephen curry yaiondoa bulls ya michael jordan kwenye kiti
nba nicasius coutinho april 14 2016
nani asiyemkumbuka michael jordan wapo wanaomfahamu pasipo kumwona na hawajui anafananaje lakini jina lake wanalifahamu nani asiyemkumbuka scottie pippen na ni nani asiyekuwa na
hatimaye mke wa magic johnson afunguka kuhusiana na maisha ya maambukizi ya virusi ya
nba nicasius coutinho september 21 2016
wengi wanamkumbuka moja ya wachezaji bora kuwahi kugusa mpira wa kikapu earvin magic johnson jr ambaye alileta ladha tofauti katika mchezo huu na kuufanya | 2019-02-17T15:35:12 | http://shaffihdauda.co.tz/category/nba/page/2/?filter_by=popular |
health services | kagera regional website
serikali mkoani kagera imeendelea kutoa kipaumbele katika huduma za afya zenye ubora na zinazowafikia wananchi wote ili kuboresha afya zao serikali ya mkoa inatambua umuhimu wa afya bora kwa wananchi wake kwani afya bora ni raslimali muhimu kwa maendeleo maendeleo ya mkoa wetu wa kagera yataletwa na wananchi wenye afya na wenye uwezo wa kuzalisha mali
katika kuhakikisha kuwa wananchi wa kagera wana afya bora serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo
sera ya taifa ambayo imeendelea kutumika katika kuelekeza utoaji wa huduma za afya mkoani kagera ilipitishwa mwaka 1990 tangu sera hiyo ilipopitishwa yamekuwepo mabadiliko mbalimbali ya kiuchumi na kijamii mabadiliko ya sayansi na technolojia na kuongezeka kwamagonjwa yametokea pia maelekezo mbalimbali ya serikali
mabadiliko na maelekezo yote haya yanatoa changamoto mpya katika utoaji wa huduma za afya na yamechangia kwa pamoja kuifanya sera iliyopitishwa mwaka 1990 kutokidhi mahitaji na matarajio ya sasa na ya miaka ijayo
mfumo na utaratibu wa utoaji huduma unaotumika hivi sasa umebadilika kutokana na mabadiliko yaliyotokea ikilinganishwa na mfumo uliokuwa unatumika kwa maelekezo ya sera ya 1990 mwaka 1996 marekebisho ya sera yalipitishwa kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa utoaji na uendeshaji wa huduma za afya katika ngazi ya wilaya katika marekebisho haya ushiriki wa sekta binafsi katika utoaji wa afya ulitambuliwa na kupewa msukumo pia yalikasimu usimamizi wa utekelezaji katika mamlaka za serikali za mitaa na hivyo kuongeza ushiriki wa wananchi katika kusimamia na kumiliki raslimali za afya
mabadiliko haya yamelazimu kufanyia mapitio sera ya mwaka 1990 na yamezingatia sera na mikakati mbalimbali ya kitaifa na kimataifa sera na mikakati hiyo ni pamoja na dira ya maendeleo ya taifa ya 2025 malengo ya maendeleo ya milenia na mkakati wa kukuza uchumi na kupunguza umasikini (mkukuta)
sera ya afya ya mwaka 1990 iliyopitiwa mwaka 2007 imeweka bayana dira makusudio maelekezo ya serikali katika mfumo wa matamko mabadiliko ya kiuchumi na kijamii matokeo ya tafiti na majaribio na uzoefu katika utoaji wa huduma aidha utayarishaji wa sera hii umekuwa shirikishi kwa wizara kuwashirikisha wadau mbalimbali wanaotoa na kutumia huduma za afya katika kupitia sera ya 1990
jukumu la wadau wote wa sekta ya afya ni kusoma kuielewa na kutafsiri matamko yaliyomo katika sera hii wakati wa kupanga kutoa na kutathmini huduma za afya nchini
wizara inatoa shukrani kwa wadau wote walioshiriki kutoa maoni yao na hivyo kukamilisha sera hii nina imani kuwa wadau katika ngazi zote watashiriki kikamilifu katika kutekeleza sera hii kwa lengo la kuboresha huduma za afya kote nchini
lengo la huduma za afya mkoani kagera
lengo la huduma za afya mkoani kagera ni kuwezesha utoaji wa afya ya kinga tiba maendeleo ya afya na ustawi wa jamii kwenye mkoa aidha mkoa unafanya kazi ya kuratibu na kushauri juu utekelezaji wa sera ya afya kwenye mkoa kamailivyofafanuliwa hapo juu
pili ni kufuatilia na kusimamia watoa huduma za afya zinazotolewa na serikali na sekta binafsi ambapo mkoa wa kagera unatoa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma 291 zahanati zikiwa 246 vituo vya afya 31 na hospitali 14 tatu ni kuzijengea uwezo mamlaka za serikali za mitaa katika utoaji wa huduma za afya kwa wananchi nne ni kutoa msaada wa kitaalam kipindi cha milipuko ya magonjwa mwisho ni kutoa ushauri wa kitaalam katika mipango ya kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi kwenye mkoa | 2018-07-17T22:36:13 | http://kagera.go.tz/huduma-za-afya |
nimelazwa kcmc | jamiiforums | the home of great thinkers
nimelazwa kcmc
discussion in 'jf chitchat' started by angel msoffe mar 17 2012
habarini wana jf wenzangu mwenzenu naumwa na nimelazwa kcmc hospital toka juzi sa 5 usiku naombeni mniombee dua kwa mwenyez mungu nipone mapema nirudi kwenye mapambano ya kulikomboa taifa mungu ibariki tz mungu ibariki jf mungu ibariki
pole ila unamwa nini (kama hutajali kutuambia)
habarini wana jf wenzangu mwenzenu naumwa na nimelazwa kcmc hospital toka juzi sa 5 usiku naombeni mniombee dua kwa mwenyez mungu nipone mapema nirudi kwenye mapambano ya kulikomboa taifa mungu ibariki tz mungu ibariki jf mungu ibariki click to expand
allah atakufanyia wepesi inshaallah
pole mkuu allah atakufanyia wepesi inshaallahclick to expand
ahsante mh spika
pole sanazingatia dawa na sindano tu kutokana na maagizo ya daktari utapona
pole sanazingatia dawa na sindano tu kutokana na maagizo ya daktari utaponaclick to expand
ahsante msafiri ninazingatia kila daktari analonieleza naimani pamoja na dua zenu nitapona
ugua pole
quick recovery member
pole sana ndugu mungu wetu ni mponyaji atakuponyaila kuna ndugu yako nadhani alituambia anakuja kujifungua kapotelea wapi zamani kidogoni flora msoffe kama sijakosea jina la kwanza
ugua pole click to expand
pole sasa mdau inaelekea si serious sana ndo maana umeweza kurusha uzi uko wodi gani nikuje hapo kukuchum
halafu umelazwa na laputopu yako au unatumia simu ya mchina
kama ni ujauzito mungu akujalie ujifungue salama kakizaliwa kadume kaite paw kakiwa kademu kaite ashadii
sawa ehcrazy
pole am mwenyezi mungu akufanyie wepesi katika ugonjwa unaokusibu upate kupona inshaallah
quick recovery memberclick to expand
pole sana ndugu mungu wetu ni mponyaji atakuponyaila kuna ndugu yako nadhani alituambia anakuja kujifungua kapotelea wapi zamani kidogoni flora msoffe kama sijakosea jina la kwanzaclick to expand
asante sana ndugu mzalendo my sister flora yupo anaendelea vyema na mungu akipenda atajifungua muda wowote tumwombee ajifungue salama
pole sana angel get well soon
hata hivyo inaonekana hali si mbaya sana kwani dr amekuruhusu kucheza na computer
angel ugua pole dear | 2017-07-26T17:23:52 | https://www.jamiiforums.com/threads/nimelazwa-kcmc.234656/ |
kijukuu cha bibi k | habarimatukio na burudani tanzania wanaume mkoani shinyanga wametakiwa wajitokeze kupata huduma ya tohara bure ili kujikinga na ukimwi
home / kahama news / wanaume mkoani shinyanga wametakiwa wajitokeze kupata huduma ya tohara bure ili kujikinga na ukimwi
wanaume mkoani shinyanga wametakiwa wajitokeze kupata huduma ya tohara bure ili kujikinga na ukimwi
september 10 2019 kahama news | 2020-08-11T18:35:13 | https://www.kijukuu.co.tz/2019/09/wanaume-mkoani-shinyanga-wametakiwa.html |
friday november 14 2025
at 33000 am 12 comments
wednesday november 13 2024
tazama hapa kwa matukio yote yatakayokuwa live
kiota kipya kabisa kitakachokua na chakula cha kibongo na disco la kimataifa kuzinduliwa soon sehemu anaitwa
green bar lounge &restaurant
214 back river neck rd
at 75600 pm no comments
waziri wa kilimo dkt charles tizeba (mb) akihutubia mamia ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya chakula duniani kitaifa ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya jk nyerere katika halmashauri ya mji wa tunduma leo tarehe 16 octoba 2018 (picha zote na mathias canalwk)
kikundi cha ngoma ya asili cha mkoani songwe kikitumbuiza mara baada ya waziri wa kilimo dkt charles tizeba (mb) kuwasili kuhitimisha kilele cha maadhimisho ya siku ya chakula duniani kitaifa ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya jk nyerere katika halmashauri ya mji wa tunduma leo tarehe 16 octoba 2018
waziri wa kilimo dkt charles tizeba (mb) akitoa salamu za rais john pombe magufulu wakati akihutubia mamia ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya chakula duniani kitaifa ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya jk nyerere katika halmashauri ya mji wa tunduma leo tarehe 16 octoba 2018
dicota press release announcing board of trustee candidates
dear tanzania diaspora member
on behalf of the diaspora council of tanzanians in america (dicota) please accept our appreciation for participating in the nomination process for potential members of the dicota board of trustees the nominating phase was closed on october 12 2018 a total of 30 nominations were received and a total of 14 considered and accepted the nomination
the 7 elected members of the board of trustees shall be elected for a term of three (3) years trustees shall be allowed to stand for election for a maximum of two (2) consecutive threeyear terms and may be reelected after being away for one (1) term however the immediate past chair shall serve one (1) additional year
view additional information on qualifications and responsibilities of members of the board of trustees in our bylaws
preview here the slate of candidates who have accepted their nominations and responded to the call to serve please vet these candidates as you prepare to cast your vote on october 20 and 21 2018
the information on these candidates will be available online for your review and consideration till october 21 2018
please note that to be eligible to vote on october 20 and 21 2018 membership dues must be paid in full by october 19 2018 voting ballots will not be issued to inactive members as of october 19 2018 to pay your dues please visit dicota or email dicota@dicotausaorg to verify your membership status and eligibiliy to vote
this is a dynamic time for the tanzania diaspora and specifically those based in the united states the future of dicota is in the hands of its elected officials it is important therefore you exercise your opinion at this time
please do not hesitate to ask any questions regarding qualifications and/ or nomination procedures to the 2018 dicota elections returning officers dicota@dicotausaorg
key date(s) activity
october 5 2018 nominations deadline
october 12 2018 final candidates announced
october 19 2018 voter registration deadline
october 1219 2018 campaigning period
october 20 and 21 2018 election days (electronic voting only)
october 23 2018 declaration of election results
ndaga mwakabuta & alfred u nkunga
2018 dicota elections returning officers
thank you in advance for your participation in the election
sauti sol live in concert washington dc
btag events mdosi ent worldwide ent dckarma dc dmv african ent group
melanin world tour
the mtv ema awards(best african act)
bet best international act nominees
sauti sol live in concert
the top concert venue in the city
spacious luxurious and swank
@ dckarmacom
door open @ 8pm
showtime midnite sharp
terry the hippiie
i liter premium bottle 1 champagne
4 guest vip $500
early bird regular $30
early bird vip $50
click herw for tickets
waziri lugola akutana na watendaji wakuu wa wizara yake jijini dar es salaam leo wajadili mikakati mbalimbali ya utendaji kazi
waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola (katikati) akizungumza na watendaji wakuu wa wizara na taasisi zake katika kikao cha kujadili masuala mbalimbali yakiwemo utendaji kazi wenye weledi kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa ofisi ndogo ya wizara jijini dar es salaam leo kushoto meza kuu ni katibu mkuu wa wizara hiyo meja jenerali jacob kingu kulia ni naibu katibu mkuu ramadhan kailima picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola (katikati) akimsikiliza mkurugenzi wa sera na mipango wa wizara hiyo wanja mtawazo wakati alipokua anatoa taarifa yake katika kikao cha watendaji wakuu wa wizara na taasisi zake kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ndogo ya wizara jijini dar es salaam leo kushoto meza kuu ni katibu mkuu wa wizara hiyo meja jenerali jacob kingu kulia meza kuu ni naibu katibu mkuu ramadhan kailima
waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola (katikati) akimfafanulia jambo kamishna jenerali wa jeshi la magereza nchini (cgp) phaustine kasike (kulia aliyesimama) katika kikao cha kujadili masuala mbalimbali ya utendaji kazi wa wizara hiyo kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa ofisi ndogo ya wizara jijini dar es salaam leo kushoto meza kuu ni katibu mkuu wa wizara hiyo meja jenerali jacob kingu kulia meza kuu ni naibu katibu mkuu ramadhan kailima
waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola (katikati) akimsikiliza katibu mkuu wa wizara hiyo meja jenerali jacob kingu (kushoto) alipokua anamfafanulia jambo katika kikao cha watendaji wakuu wa wizara na taasisi zake kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ndogo ya wizara jijini dar es salaam leo kulia ni naibu katibu mkuu wa wizara hiyo ramadhan kailima a kuu ni naibu katibu mkuu ramadhan kailima
un serikali wazungumza na vijana
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera bunge kazi vijana ajira na walemavu mh jenista mhagama akitoa hotuba katika bonanza la wiki ya vijana lililofanyika jijini tanga na kudhaminiwa na shirika la umoja wa mataifa (un) kuelekea kilele cha mbio za mwenge katikati ni mkuu wa mkoa wa tanga mh martine shigella
sehemu ya vijana kutoka shule mbalimbali pamoja na wadau kutoka taasisi mbalimbali walioshiriki bonanza la wiki ya vijana lililofanyika jijini tanga na kudhaminiwa na shirika la umoja wa mataifa (un) kuelekea kilele cha mbio za mwenge
mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano unesco nancy kaizilege akizungumza katika bonanza la wiki ya vijana lililofanyika jijini tanga na kudhaminiwa na shirika la umoja wa mataifa (un) kuelekea kilele cha mbio za mwenge
htown old school reunion 2019 houston texas kuwaka moto simba na yanga kukipiga british international schoolof houston soccer field
bucha la mtanange wa simba na yanga mechi itakayochezwa siku ya jumamosi march 23 2019 mida ya saa 11 jioni
sehemu ya jukwaa na uwanja
htown old school reunion 2019 kufanyika march 22 na 23 houston texas kaa mkao wakula ikiwemo bonanza la mpira wa kikapu na soka la simba na yanga inayosubiliwa kwa hamu houston na vitongoji vyake
timu ya yanga
timu ya simba
timu ya mpira wa kikapu
htown old school reunion
march 22 march 23 2019 ndani ya houston tx
old school reunion 2019
mwakani itafanyikia htown ni event ya siku 2 itaanza ijumaa usiku na kumalizikia jumamosi
bonanza la mpira wa kikapu ikiwashirikisha wachezaji wa waliotamba na timu za pazi vijana don bosco na wengine tanzania wakishirikiana na wachezaji vijana
ratiba ni kama ifuatavyo
ijumaa march 22 2019 ni karibu night music policy ni new school by houston djs
crystal palace party hall
12450 bissonnet #220
jumamosi march 23 litaanza bonanza la kikapu na baadae mpira wa simba na yanga mechi itakayochezewabritish international school of hosuton soccer field anuani
2203 n westgreen blvd
baadae usiku kutakuwa na old school party usikose burudani kutoka kwa the legendary djs luke joe aka mix master akishirikiana na dj dennis funkhouse
fri $10
sat $20
*janmarch 22*
fri $20 couple $30
sat $30 couple $50
kulipia mlangoni
fri $30
sat $40
lipia kupitia cashapp
luke joe 301 661 6696 au gloria alex 336 214 0218tuma lisiti/jina kamili
*stay tuned more details to come
ni matumaini yangu kwamba una shauku kubwa ya kujua nini nimekuandalia kwa leo ni yaleyale kuhusu maisha yetu ya kimapenzi na leo nataka kuzungumzia usaliti katika sura ya tofauti
nimefikia uamuzi wa kuandika juu ya hili kutokana na ushuhuda nilioupata kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina la fatma wa tanga ni ushuhuda wa kusikitisha sana lakini una funzo ndani yake kwa wanandoa na wapenzi wa kawaida
anasemaje hebu msikie kwanza kisha tuendelee mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana na hajawahi kunisaliti tulioana miaka miatu iliyopita na sasa nina ujauzito wa miezi 7 mume wangu anafanya kazi na mimi pia nafanya kazi lakini kipato changu ni kikubwa kumzidi mume wangu
kutokana na hali hiyo mimi nilinunua gari ambalo mume wangu amekuwa akilitumia muda mwingi huwa ananipeleka kazini kisha yeye anaenda kwenye mihangaiko yake jioni ananifuata tunaishi na mdogo wangu wa kike ambaye anasoma chuo ila alionesha ukaribu sana kwa mume wangu utani ulikuwa mwingi hadi kuna kipindi nikahisi kuna kitu kinaendelea kati yao kwa siri kubwa
at 41700 am no comments
dkt tizeba awataka wakulima wa pareto kujiunga na mfumo wa ushirika
waziri wa kilimo mhandisi dkt charles tizeba (mb) akisisitiza jambo wakati akizungumza na wakulima wa pareto katika kijiji cha ikanga kilichopo kata ya mdabulo wilayani mufindi kwenye mkutano wa hadhara akiwa katika muendelezo wa ziara ya kikazi mkoani iringa jana tarehe 13 octoba 2018(picha zote na mathias canal wk)
waziri wa kilimo mhandisi dkt charles tizeba (mb) akikagua shamba la pareto la mkulima bahati mhapa katika kijiji cha ikanga wilayani mufindi kwenye mkutano wa hadhara akiwa katika muendelezo wa ziara ya kikazi mkoani iringa jana tarehe 13 octoba 2018
waziri wa kilimo mhandisi dkt charles tizeba (mb) akizungumza na wakulima wa pareto katika kijiji cha ikanga kilichopo kata ya mdabulo wilayani mufindi kwenye mkutano wa hadhara akiwa katika muendelezo wa ziara ya kikazi mkoani iringa jana tarehe 13 octoba 2018
at 40400 am no comments
wananchi wahamasishwa kushiriki kilele cha mbio za mwenge wa uhuru
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu) mhe jenista mhagama (katikati) (wa nne kutoka kulia) ni naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi vijana na ajira mhe anthony mavunde katibu mkuu wa ofisi hiyo bw andrew massawe na mkurugenzi wa maendeleo ya vijana bw james kajugusi (wa nne kutoka kushoto) ni mkuu wa mkoa wa tanga mhe martine shigela walipowasili uwanja wa mkwakwani oktoba 13 2018 kukagua maandalizi ya mwisho kuelekea kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zinazotarajiwa kufanyika mkoani humo oktoba 14 2018
kazi vijana ajira na wenye ulemavu
na mwandishi wetu
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu mhe jenista mhagama (mb) amehimiza wananchi wa mkoa wa tanga kushiriki kwa wingi katika kilele cha mbio za mwenge wa uhuru
akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa mkwakwani waziri mhagama alisema kuwa mkoa wa tanga umepewa heshima kuwa wenyeji wa kilele cha mbio za mwenge wa uhuru na kumbukizi ya kifo cha baba wa taifa yatakayofanyika oktoba 14 2018 katika uwanja wa mkwakwani mkoani tanga
mhe mhagama ameeleza kuwa mgeni rasmi anatarijiwa kuwa rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar mhe dkt ali mohamed shein ataungana pamoja na waziri mkuu mhe kassim majaliwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job ndugai na viongozi mbalimbali ambao pia watashiriki ibada ya kumbukumbu ya baba wa taifa mwl julius k nyerere itakayofanyika siku hiyo ya tarehe 14 oktoba 2018 katika kanisa katoliki la mtakatifu anton mjini tanga
mwenge wa uhuru ni tunu ya taifa na unawakupusha wananchi hususan vijana historia ya baba wa taifa juu ya mambo mengi aliyoyafanya katika kudumisha muungano na umoja wa taifa letu alisema waziri mhagama
aliongeza kuwa ofisi ya waziri mkuu itakabidhi rasmi mpango mkakati wake kwenye maadhimisho hayo unaolenga kutoa ujuzi kwa vijana nchini ili waweze kujiajiri kwenye sekta ya kilimo kwa kutumia ujuzi na utaalamu mpya wa kilimo cha kitalu nyumba
naye mkuu wa mkoa wa tanga mhe martine shigela amesema kuwa sherehe hizi ni za kihistoria na hivyo aliwasihi wakazi wa tanga kushiriki kwa wingi ili waweze kusikiliza yanayotarajiwa kuzungumzwa na viongozi watakaokuwepo kwenye maadhimisho hayo
kauli mbio ya mwenge wa uhuru 2018 ni elimu ni ufunguo wa maisha wekeza sasa kwa maendeleo ya taifa letu
familia ya dewji yatoa bilioni 1 kwa atakayefanikisha mo kupatikana
sukos yakabidhi vifaa vya zima moto idara ya uratibu wa maafa nchini
mkurugenzi wa taasisi ya maafa majanga na uokoaji sukos suleiman kova (kulia) akikabidhi hati ya shukrani kwa mkurugenzi wa idara ya uratibu wa maafa ofisi ya waziri mkuu kanali jimmy said matamwe walipomtembelea kukabidhi vifaa vya zima moto ofisini kwake dodoma
mkurugenzi wa idara ya uratibu wa maafa ofisi ya waziri mkuu kanali jimmy said matamwe (katikati) akipokea maelezo kutoka kwa meneja wa oparesheni birahma kova wakati wa kukabidhi cheti cha shukrani ya ushirikiano uliopo kati ya sukos na ofisi ya waziri mkuu
mkurugenzi wa taasisi ya maafa majanga na uokoaji sukos suleiman kova akimkabidhi vifaa vya zima moto mkurugenzi wa idara ya uratibu wa maafa ofisi ya waziri mkuu kanali jimmy said kwa ajili ya kutoa huduma ya uokoaji endapo itatokea majanga ya moto katika maeneo ya kazi
at 31500 am no comments
siku tatu za maonesho ya swahili international tourism expo 2018 (ste) ukumbi wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam
ulikuwa unapoingia tu katika maonesho ya swahili international tourism expo (ste) 2018 unapokelewa na burudani mbalimbali yaliyo andaliwa na bodi ya utalii tanzania (ttb)
waziri mkuu mh kassim majaliwa (aliyevaa suti ya blue) akiwa katika banda la maliasili na utalii wakati wa maonesho ya swahili international tourism expo (ste) 2018 yaliyo andaliwa na bodi ya utalii tanzania (ttb)
baadhi ya wadau mbalimbali wa utalii wakiwa katika maonesho ya swahili international tourism expo (ste) 2018 yaliyo andaliwa na bodi ya utalii tanzania (ttb)
wadau wa utalii wakimsikiliza waziri mkuu mh kassim majaliwa akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa maonesho ya swahili international tourism expo (ste) yaliyo andaliwa na bodi ya utalii tanzania (ttb)
at 30800 am no comments
we got deported our story
ibada ya kiswahili columbus ohio
at 30200 am no comments
john bera mfalme [official video] dircrix
picha iliyochukua tuzo kwenye siku ya uangalizi wa afya bure uliofanywa na uongozi wa jumuiya ya watanzania dmv kwa kushirikiana na kamati ya afya iliyowashirikisha madaktari wazawa na manesi wakiwemo madaktari wa health choice urgent care na family clinic kamati ya afya ikiongozwana mwenyekiti zawadi sakapala ukondwa clara lema eunice majura dr talibali dr rahma nyang'anyi dr kurwa nyigu rebecca ndekeja erick mahai hamida na cleopatrakulasi picha na vijimambo kwa hisani kubwa ya atc metro
madaktari wauguzi na wasaidizi waliojitolea katika zoezi hilo wkiwa katika picha ya pamoja
dr kurwa nyigu (kushoto) na dr rahma nyang'anyi wakiwa katika picha ya pamoja/
mkamao wa rais wa jumuiya ya watanzania dmv joha nyang'anyi akipata huduma ya kipimo cha kisukari kulia anayempima ni muuguzi erick mahai na anaye mwangalia kushoto ni dr rahma nyang'anyi
kutoka kushoto ni dr kurwanyigu dr twalib ali na dr rahma nyang'anyi
dr kurwa nyigu akimsikiliza na kutoa ushauri kwa mwana dmv teddy aliyefika kwenye uangalizi wa afya bure uliofanyika siku ya jumapili oct 14 2018 maryland
dr rahma nyang'anyi akimsikiliza mmoja ya wanadmv waliofika kwenye zoezi la uangalizi wa afya
kulia ni muuguzi neesha akimfanyia vipimo mmoja ya wanadmv waliohudhuria uangalizi wa afya dmv siku ya jymamosi oct 14 2018
wauguzi na madaktari wakiwa katika picha ya pamoja
seif msabaha akiangaliwa afya yake
arumeru yamuenzi mwalimu nyerere kwa harambee ya ujenzi wa kanisa
mkuu wa wilaya ya arumeru mhe jerry muro jana amewaongoza waumini wa kanisa la kiinjili la kilutheri dayosisi ya meru usharika wa maruvango katika mtaa wa maruvango katika ibada ya kuadhimisha miaka 19 ya kifo cha baba wa taifa hayati mwalimu julius kambarage nyerere ambapo katika ibada hiyo pia mhe muro aliendesha harambee ya ujenzi wa kanisa la maruvango na kufanikiwa kuchangisha jumla ya shilingi milioni 28331500 fedha zilizopatikana kutokana na ubunifu na hamasa ya mkuu wa wilaya ya arumeru ambae alilazimika kufanya kazi ya ziada ya kuhamasisha wananchi na kufikia malengo
katika ibada hiyo dc muro amewataka wananchi wa arumeru kumuenzi mwalimu kwa kuzingatia misingi ya umoja na amani ya nchi dc muro amesema katika uhai wake mwalimu nyerere alipinga vitendo vya rushwa na ufisadi uonevu ukandamizaji wa haki za msingi za wananchi haswa kina mama na watoto mwalimu nyerere alisisitiza matumizi bora ya ardhi ambapo kwa wilaya ya arumeru bado migogoro ya ardhi imeendelea kuwa changamoto hatua ambayo imemlazimu dc muro kuomba viongozi wa dini kuendelea kuiombea wilaya ya arumeru kuepukana na migogoro ya ardhi
katika mahubiri yake mchungaji wa usharika mchg aminiel mwenda amesema kanisa litaendelea kumuenzi mwalimu nyerere kwa kuwasisitiza wananchi kuacha vitendo viovu vya rushwa ufisadi dhuluma na chuki ambapo amesema katika utawala wa awamu ya tano chini ya rais dkt john pombe magufuli umeanza kurudisha mwelekeo na matendo ya utawala wa mwalimu nyerere kwa kukomesha vitendo vya rushwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi ambapo amemuomba mhe magufuli kuendelea na jitahada zake za kuitengeneza tanzania mpya ya viwanda na yenye uchumi wa kati
katika harambee hiyo dc muro alialika marafiki ndugu na jamaa wanaoishi arumeru na kutoka katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya dar es salaam na arusha akiwemo bw richard kashaija kutoka dar es salaam ambae ameoa arumeru
at 92900 am no comments
kumbukumbu november (1) november (1) october (129) september (268) august (336) july (318) june (387) may (419) april (487) march (443) february (422) january (475) december (590) november (535) october (672) september (529) august (530) july (618) june (613) may (638) april (552) march (634) february (634) january (683) december (695) november (739) october (754) september (723) august (753) july (691) june (802) may (778) april (802) march (908) february (840) january (886) december (962) november (883) october (923) september (958) august (905) july (1110) june (1053) may (1066) april (924) march (981) february (973) january (1030) december (882) november (836) october (972) september (885) august (1073) july (1275) june (1293) may (1055) april (1271) march (1205) february (1130) january (986) december (894) november (1119) october (1122) september (956) august (1056) july (967) june (1046) may (1154) april (1075) march (1064) february (1091) january (1219) december (1028) november (978) october (902) september (757) august (844) july (697) june (580) may (595) april (512) march (479) february (470) january (464) december (505) november (502) october (506) september (485) august (530) july (464) june (465) may (422) april (442) march (462) february (439) january (535) december (516) november (373) october (288) september (218) august (281) july (253) june (234) may (253) april (292) march (382) february (377) january (4) | 2018-10-17T01:06:33 | https://lukemusicfactory.blogspot.com/ |
tigo yamwaga smatifoni kwa washindi wa promosheni ya nyaka nyaka bonus malunde 1 blog
home burudani tigo yamwaga smatifoni kwa washindi wa promosheni ya nyaka nyaka bonus
mshindi wa simu aina ya tecno r6 katika promosheni inayoendelea nyaka nyaka bonus daniel joseph swai (kulia) ambaye ni mkaazi wa iala dar es salaam akipokea zawadi yake kutoka kwa balozi wa promosheni hiyo inayoendeshwa na kampuni ya tigo mina ali (kushoto) pamoja na meneja mawasiliano wa tigo woinde shisael (katikati) zaidi ya simu 900 bado zinashindaniwa katika promosheni hiyo
wateja wa tigo tanzania wanazidi kupata faida lukuki ikiwemo bonasi za hadi gb 1 bure kwa matumizi yao ya intaneti pamoja na fursa ya kushinda mojawapo ya simu janja 900 ambazo bado zinashindaniwa katika nyaka nyaka bonus promosheni murwa inayowazawadia wateja wa tigo wanaounua vifushi vya kuanzia tzs 1000 vya intaneti kupitia menu iliyoboreshwa *147*00#
tigo yamwaga smatifoni kwa washindi wa promosheni ya nyaka nyaka bonus reviewed by malunde on monday february 26 2018 rating 5
haya hapa magazeti ya leo jumatano septemba 19 2018
maktaba yetu september (242) august (414) july (410) june (252) may (387) april (394) march (445) february (381) january (369) december (352) november (411) october (357) september (385) august (344) july (373) june (326) may (340) april (254) march (268) february (248) january (245) december (247) november (223) october (279) september (254) august (260) july (319) june (311) may (322) april (370) march (283) february (220) january (206) december (198) november (219) october (214) september (222) august (197) july (193) june (237) may (224) april (243) march (317) february (258) january (278) december (269) november (256) october (272) september (263) august (244) july (283) june (267) may (318) april (287) march (214) february (180) january (81) december (79) november (65) october (29) september (16) august (17) july (14) june (11) may (8) april (2) march (5) february (12) january (7) december (12) november (37) october (42) | 2018-09-20T04:55:41 | https://www.malunde.com/2018/02/tigo-yamwaga-smatifoni-kwa-washindi-wa.html |
salewakids´ clothingcaps sale cheap all styles save up to 68 in salewakids´ clothingcaps usa
salewa fanes co cap caps red onion kids´ clothingsalewa viva jacket salesave
salewa sun protect cap caps juta kids´ clothingsalewa viva jacket | 2017-12-13T06:59:17 | http://www.ipanemaestetica.com/caps-c-3_81_94.html |
maisha na mafanikio january 2010
napenda kuwatakieni wote jumapili njema kwa sala hii
mungu nakuomba unisaidie niwakumbuke wenye njaa ninapokuwa na chakula wagonjwa nianpokuwa na afya nzuri wote wanaoteseka kwa sababu ya vita ninapokuwa na amani wasio na nyumba ninapokuwa nimelala na pia kuwa ndani ya nyumba yenye joto pia nakuomba unisaidia niwakumbuke yatima kila ninapokuwa na wazazi wangu
na pia nakuombabikira maria mama wa msaada na uibariki familia yangu kaka zangu dada zangu wazazi wangu na watu wote dunia hii katika dhambi amina
jumapili njema kwa wote jamani na pia ni jumapili ya tano na ya mwisho ya mwezi huujanuari
na yasinta ngonyani muda 251 pm
lebo jumapili maisha mungu sala
napenda kuwatakia mwema wa juma hili pia ijumaa ya mwisho ya mwezi huu wa kwanza
kunywa lakini kumbuka pombe si maji (na kumbuka kama utaendesha usinywe ugimbi mwingi)
wazee na vijana wa kijiji cha kibaa wakicheza bao kama sehemu ya kupoteza muda baada ya kumaliza kazi
au ngoja tumsikilize dada saida karoli ili wenye kuselebuka
muwe na wakati mzuri wote
na yasinta ngonyani muda 506 pm
lebo burudani kazi maisha muziki pombe
katika udadisi wangu nikawa nimepitia blog ya http//kaluseblogspotcom/ na kukuta makala hii na nikashidwa kuiacha kwa vile najua wote katika hizi blog lengo letu ni moja kuelimisha jamii
na yasinta ngonyani muda 449 pm
lebo maisha malezi watoto
watoto wenye vipaji maalum
je unawezaje kuwagundua
watoto wenye akili za ziada au wenye vipaji vya ajabu ni watotot ambao wamejaaliwa kuwa na iq {intelligence quotient} kubwa kuliko kawaida iq ni kifaa maalumu kinachotumiaka kupima akili za binadamu
kwa kawaida watoto wa ain hii wanakuwa na uwezo mkubwa katika masomo ya sayansi na hisabati pia ni wabunifu na wajanja wa kufikiri haraka haraka na kupata majibu kwa njia za ajabu mno
ni watoto wenye uwezo mkubwa sana katika uongozi au wanweza kuwa na vipaji tofauti tofauti kama vile muziki uigizaji na michezo mbalimbali
hata hivyo tunawezaje kuwatambua watoto wa aina hii
kwanza watoto wenye vipaji maalumu mara nyingi huanza kujibainisha wakiwa na umri wa kuanzia miaka miwili au umri wa miaka wa kuanza masomo ya awali wakati mwingine watoto wa aina hiiwhawajibainishi hadi wanapomaliza elimu ya msingi na hii inatokana zaidi na sababu za kibaiolojia
zifuatazo ni baadhi ya dalili za kumtambua mtoto mwenye akili za ziada
* huanza kuongea mapema kwa kutengeneza sentensi kwa ufasaha ukilinganisha na watoto wa umri wake
* wanakuwa na uwezo wa kupanga vitu kwa mpangilio sahihi kwa kufuata rangi au aina ya vitu
* wanakuwa wajuaji wa hesabu kwa kupenda kuhesabu vitu na hata kukokotoa hesabu
* wamejaaliwa kuwa na maono au wanweza kusoma hisia za mtu mwingine kwa mfano mtoto wa aina hii anweza kumwona mama yake anahangaika ktafuta kitu na yeye akajua anatafuta nini na hata kujua mahali kilipo na hivyo kukifuata na kumletea mama yake pia wanakuwa na uwezo wa kusoma mawazo ya wazazi wao au hata watu wa karibu wanaowazunguka
* wanavutiwa sana na sanaa au muziki mapema mno na hata kupenda kuchezea vyombo vya muziki kama viko karibu nao
* wanakuwa na moyo wa upendo na hurumawakiwa bado ni wadogo wa umri ukilinganisha na watoto wengine wa umri wao
* wanakuwa na tabia ya kujitegemea zaidi badala ya kuomba msaada kwa kila kitu kwa kawaida huwa wanjiamini sana hivyo ni aghalabu sana kuomba msaada kabisa huwa wanaamini katika wao
dalili za kuwatambua watoto wa aina hii ziko nyingi sana kulingana na mazingira yaliyowazunguka watoto hao
je watoto wa aina hii wanasaidiwaje ili kukuza vipaji vyao
watoto wa aina hii wanhitaji mapenzi sawa na watoto wengine kwani wazazi wengine huwa wanashindwa kuwaelewa watoto wa aina hii na hivyo kuwapuuza kitu mabcho ni hatari sana kwa maendseleo yao wazazi wanatakiwa kufahamu kuwa licha ya watoto hawa kuwa na akili za ziada pia bado ni watoto kama watoto wengine
ila inashauriwa wazazi kuwatengenezea watoto wa aina hii mazingira mazuri ya kuendeleza vipaji vyao kwa kuwanunulia vifaa mbalimbali vya kuchezea kulingana na matakwa ya vipaji vyao ikiwezekana kuwatengea vyumba vyao ambavyo watavitumia kufanya mambo yao bila bughuza pia inashsuriwa kuwa ni vyema kuwasikiliza na kuwatimizia mahitaji yao
huko mashuleni nako inashauriwa kuwaandalia vipindi maalum vitakavyoamsha hisia zao bila kusahau kuwachanganya na wanafunzi wenzao wenye akili za kawaida
na yasinta ngonyani muda 633 am
lebo elimu maisha watoto
kukatwa mshahara wakati ukiwa mgonjwa
wiki iliyopita nilikuwa mgonjwa na kabla sijapona sawasawa nilikwenda kazini tena na wakati naumwa kulikuwa na baadhi ya marafiki kutoka nyumbani tz walikuwa wananitaka hali kila siku pia marafiki wengine waliojua kuwa naumwa
nachotaka kusema hapo ni kwamba
hapa sweden kuna sheria ya kwamba ukiwa unaumwa ile siku ya kwanza ukishatoa ripoti kazini kuwa ni mgonjwa unakatwa mshahara wote wa siku ile siku ya pili 80 na siku ya tatu hivyo hivyo na kuendelea inategemea kama bado unaendelea kuwa mgonjwa kama unapata laki tatu kkwa mwezi siku ya kwanza wanakata elfu kumi na siku ya ifuatato elfu nane kama nilivyosema hapo juu kama utaendelea kuugua utakatwa kila siku elfu nane
hii ndiyo sababu nilikwanda kazini bila kupona sawasawa
na yasinta ngonyani muda 923 am
lebo afya maisha pesa sheria
makala hii nimeikuta jamii forum nimeipenda na nimeona niiweka hapa kwangu ili tusaidiane kwa mapana swala hili
je ni kweli kuwa wanaume wakibongo hawana mpango sunday january 17 2010
salama jamani huko kuna huyu dada mmoja wakitanzania yeye baada yakuolewa na mzungu anaona kuwa manamume wakibongo hawana mpango hebu soma hii blog yake ni kweli wajomba zangu wakiswahili ni wayeyushaji
im not a great writer that is evident sijui kupangilia sentensi zanguso bear with me sasa leo nataka tuweka wazi swala zima la wasichana wa kitanzania kuolewa au kuwa na maboyfriend wa kizungu
mimi binafsi nimenotice kwamba wasichana wengi wa kitanzania wamekuwa wakiona kwamba kuwa na boyfriend ama mume ambae ni mzungu is actually an achievement in life na wengi wamekuwa hawataki kabisa hata kuwa na maboyfriend ambao ni waaafrica especially watanzania
na kuna wasichana ambao nawajua ambao wako kwenye relationships na mwanaume wa kitanzania lakini anaeleza wazi wazi kwamba anatamani apate mwanaume wa kizungu mdau wewe unanaoje swala hili je hawa wasichana ni kwamba they are shallow and stupid or are they very smart
really kabla hujajudge na kutuma comment za kuwatukana lifikirie hili swala vizuri mimi personally naona kuna 2 sides to this issuekuna wale ambao watanaka kuwa na wazungu na hawataki kudate watanzania wenzao kwasababu za kijinga na zisizo na msingi 1st side
kwa mfano kuna wengi facebook unaona mtu akipata boyfriend wa kizungu basi anamwaga picha zake na mzungu facebook sasa hizo comments za marafiki nayeye mwenye mchumba ndio zinazotuharibia wengine wotenashindwa kuelewa kabisa ni kwanini mtu akiweka picha yake na mzungu facebook basi kila mtu anamwandiki comment uko juu umeopoa mama uko juu kweli mungu mkubwa riski zimefunguka mwaka huu kweli mungu amekukumbuka comment kama hizi na zingine za disini hii zinanisikitisha mnojamani hivi kweli kuwa na mwanaume mwenye ngozi nyeupe ni kitu cha maana kiasi hiki alafu hivi kweli tumejishusha utu wetu kiasi cha kwamba tunafurahia in public kwanini msiweke comment kama u look happy hongera kwa kupata mchumba and so forth kuwa na mzungu sidhani kama inamaanisha uko juu or whatever (kama moja ya comment nilizoandika hapo zipo kwenye picha yako please usijisikie vibaya niliitumia tu kama mfano ili kuwapa wasomaji wangu picha kamiliits really not about you) hivi kweli hawa wazungu wenyewe wangekuwa wanajua kusoma kiswahili humo facebook ingekuwaje
wanawake wenzangu wa kitanzania tuache kujiabisha na hili swala zima la mzungu mzungu mzungu especially kwenye facebook mtu akikuwekea comment ya kishamba kama hizo hapo juu usiishadadie sana ikiwezekana idelete akuwekee comment ya maana kama wewe ni mwanamke ambae kupata mzungu is an achievement basi i am sorry to say you are without a doubt a loser
wazungu wanamatizo mengi tu na hata ukiangalia the highest divorce rates in the world zipo western countries na sio kwetu
na kwa wale wenzetu wanaodhani wazungu wote wanapesa na kwamba atakuhonga basi unajidanganya kabisa mzungu sio muhongaji kama unataka kuhongwa bora mapedeshee ya kibongo litakununulia hata gari baada ya kukujua kwa siku chache tuhahahahha wazungu wanachukua muda wao kumsoma mtu na tabia zake na kama kuna chochote atakachokufanyia ni baada ya muda mrefu na kwamba umeshakuwa mke wake au labda anahisi utaishia kuwa mke wake
na pia ndugu zetu wa kibongo wanaweza kuishi na mwanamke asie na income yoyote na asiejishughulisha la lolote asilimia kubwa ya wazungu hawawezi kabisa hii tabia so kabla hujarukia na kugeza watu angalia usije kuchanika msambalol
2nd side kuna wale wasichana wa kibongo wanaotaka kuolewa na wazungu for the right reasons hao ndio ninaowalewa mimi
ukweli lazma tuuseme leo asilimia kubwa ya wanaume wa kibongo ni miyeyusho mitupu tuseme labda 80sasa wewe utakuwa na bahati gani mpaka upate mmoja wa hiyo 20 ambao ni wastaarabu ukweli ni kwamba nikiangalia rafiki zangu walioolewa na wanaume watanzania na walioolewa na wanaume wazungu walioolewa na wazungu are way more content in their marriages ofcourse kuna exception za rafiki zangu wachache waliiolewa na wabongo na wanaenjoy ndoa zao na ndoa zao haziwapi homa kila siku
mie nafikiriwanawake wengi wa kitanzania wameamua kuwa na wazungu kwasabu wanatafuta pumziko la rohoukweli ni kwamba wanaume wengi wa kitanzania wanasumbua mno tena kupita kiasi
mwanaume wa kitanzania amelelewa akiona baba yake ana wake wawili na nyumba ndogo kama tatu je unadhani yeye atakuja kuwa mume wa aina gani mwanaume wa kitanzania anajiona ni mwanaume kamili zaidi kama anawanawake wengi na kitu ambacho yupo proud nacho kiasi ya kwamba anaweza kukaa na rafiki zake bar akaadisia jinsi gani anawanawake wengi na wenzio wakamuona yuko juu
mwanaume wa kizungu hajakulia kwenye mazingira haya and automatically ipo kichwani mwake kwamba anatakiwa kuwa faithfull kwa mke wake na kumtreat as an equalhata ikitoea akawa macho juu akapata kidosho nje atajificha hutojua lolote na ni jambo la aibu sana kwake kiasi cha kwamba hawezi kuongelea hadharani umeona tofauti hapo
huwa nasikitika sana nikienda disco unaona kabisa janamme lina mke na watoto lipo disco na totos nyingine na anajua unamjua mke wake na labda utamueleza lakini haogopi kabisa hivi kweli hapo unaweza kumlaumu mtoto wa kitanzania akianza kutafuta mzungu anakuwa ni kwamba ameamua hataki kuumizwa roho yake wala akili yake ana anataka kuishi maisha yake in peace
sio kwamba wazungu hawacheat au na wao sio washenzi wakati mwingine tofauti ni kwamba hiki sio kitu cha kawaida kwao na hata akiwa mshenzi basi huu ni samaki mmoja mmbovuinabidi tu awekwe kwenye kapu la pekeelol
mwanaume wa kitanzania kama hajatembea na rafiki zakoau mtu ambae unamjua basi haoni raha kabisa
and whats worse wanaume wa kitanzania haachi mke wake hata siku moja atamtesa mke wake miaka kibao lakini hamuachiyani mmbongo atakufanyia vituko weeeee mpaka utaondoka mwenyewe utarudi kwenu but mzungu akipata mtu nje atakuja kukwambia on your face i dont love you anymorei love somebody else ofcourse inauma sana but atleast utakuwa umeachwa with respect lakini kaka zetu atamake sure amekutoa all your dignity kakuabisha mji mzima amekutoa confidence yote ndio anakuachalol
na wasichana wengine wameniambia pia wanachukia tabia za kaka zetu za kufanya nao ngono alafu wanakaa bar na kuanza kuhadithia rafiki zao yule demu yuko hivi yuko vile huu mji ni mdogo sana unaingia sehemu unadhani umevaa nguo kumbe watu wanakujua ulivyo ukiwa uchi
basi siku hizi utawasikia wanaume wa kitanzania wanatukana hawa wanawake wetu wanatamaa sana sijui wanawafatia nini wazungukila mtu mzungukila mtu mzungu kaka zetu you are the best lakini badilisheni tabia zenu
kuwa na wanawake wengi sio haki yakosana sana ni kujitafutia magonjwa na kumpelekea mkeo asie na hatia
tunawapenda sana lakini anzeni kututreat with respect love and humanity ni hayo tu wadau kwa leo ambayo nimeweza kuyaelewa ndani yah ii issue nzima ya wanawake wa kitanzania na wazungu
na yasinta ngonyani muda 1051 am
lebo afrika maisha ughaibuni
salam maria umejaa neema bwana yu nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
je unajua hapa chini ni lugha gani zawadi nono itatolewa
yethi maria ogcwele igrasiya inkosi inawe ubusisiwe wena esifazaneni ibusisiwe nenzalo yesisu sakho ujesu maria ocwebileyo nina kankulunkulu mawusikhulekele thina zoni kalokhu nasesikhathini sokufa kwethu amen
napenda kuwatakieni jumapili hii ya nne iwe njema kwa wote
na yasinta ngonyani muda 1112 am
lebo dini maisha sala
mziki ni moja ya maisha yetu leo ngoja tumsikilize dada huyo sophia george
mwaka ulikuwa 1992 kulikuwa na sherehe katika ukumbi wa sherehe wilima secschool eehhh bwana we wacha watu wajimwage kwa mziki wa dada huyu kwa hiyo leo nimekumbumbuka sana wilimamatetereka na hasa siku ile ebu sikilizeni nawatakieni usikilizaji mwema na pia ikibidi uchezaji mwema muwe na wakati mzuri wa mwisho wa juma hili nataka kusema tuanza mwisho wa juma na muziki tutaonana wakati mwingine
na yasinta ngonyani muda 651 am
lebo burudani kumbukumbu maisha muziki
swali ni vyakula gani katika kabila lako ambavyo ukila unaonekana wewe ni maskini wa kutupwa
kila kabila lina mila na desturi zake kuhusu vyakula kuna vyakula akina mama na watoto hawatakiwi kula kutokana na mila hizo kwetu ruhuwikolitumbandyosi kingoli ukila mangatungu(aina ya upupu)au ukila ugali wa bundura(mihogo ya kuvundika) ukila unaonekana wewe ni maskini sana pia nimeishi kule ubenani na wao walikuwa wanakula sana makande(ng´nde)na kuna makabila waliona kuwa wao ni maskini sana katika utafiti nimegundua/nimekikuta kitu kama hicho usukumani kwa wasukuma wa sehemu za maswa mpaka mwagala njia ya kulelekea meatu ambapo mtu akionekana anakula ugali wa mtama anaonekana amechacha ile mbaya
je hali ikoje kwa makabila yenu je wasukuma (najua wamegawanyika wa bariadi malya kahama mwanza tabora nk) wote wana mila hizi
lebo afrika desturi maisha mila
piacha ya leo nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo
leo nimekumbuka nilipokuwa mdogo kwenda mstuni kuokota kuni na hapo ujue ukirudi inabidi uende mtoni/kisimani kuchota maji wakati huo huo maharage yapo jikoni inabidi uchochee na kisha inabidi kutwanga mihogo ama kweli tumetoka mbali haya ndio maisha tuliopitia wengi huwa najiuliza sijui ni muda gani nilisoma
na yasinta ngonyani muda 832 am
lebo kazi kumbukumbu maisha mtoto
mada ya sitarajii kuwa mwanaharakati naomba kutoa hoja
makala yangu niliyoiweka hivi karibuni niliyoipa kichwa cha habari kisemacho sitarajii kuwa mwanaharakati imeleta changamoto kubwa sana kiasi kwamba nimeshindwa kuiacha ipite hivihivi kwa yule ambaye hakupata fursa ya kuisoma anaweza ku bofya hapa na kujikumbusha
nimesoma maoni ya wadau wote kwa umakini kabisa na pia nimefurahishwa sana na barua ya mdogo wangu koero aliyoiweka hapo kibarazani kwake na kuipa kichwa cha habari kisemacho dada yasinta nimeishitukia janja yako unaweza kubofya hapa kumsoma katika barua hiyo pamoja na utani mwingi lakini kuna mambo ya msingi kabisa yaliyojitokeza ya kujadili kwa kina
nakumbuka nilipokuwa likizo nyumbani songea mwaka juzi nilikutana na utitiri wa taasasi nyingi zisizo za kiserikali maarufu kama ngos kila taasasi ilikuwa imelenga jamii fulani nilikuta ngos za ukimwi unyanyasaji wa wanawake na watoto za wajane za kidini za kilimo za afya za walemavu ilimradi kila eneo linaloonekana kama litavutia wafadhili limeguswa na hizi ngos
binafsi sikushughulika sana kutaka kujua manufaa yanayopatikana kupitia hizi ngos kwa sababu ya labda ya majukumu niliyo nayo wakati nilipokuwa likizo
baada ya mtundiko wangu wa hiyo makala ya kukanusha kuwa na nia ya kuazisha ngos mdogo wangu koero na kaka bwaya wakaja na hoja kuwa sio ngos zote zilizo na malengo yaliyokusudiwa
kwamba ngos nyingi zimeanzishwa kinafiki na wamiliki wake ni wasanii tu kwa ajili ya kutaka kutafuna fedha za wafadhili kwa mgongo wa kusaidia jamii fulani
hata hivyo kaka yangu chacha wambura na yeye akaja na hoja nyingine kwanza hakupinga hoja iliyotolewa na koero na bwaya pamoja na wadau wengine bali yeye alikwenda mbali zaidi akitaka mjadala huu ujadiliwe kwa mapana chacha wambura anadai kuwa kuna wakati wafadhili wanatoa $ 5000 kwa ajili ya mradi halafu wanatumia $15000 kwa ajili ya kufanya monitoring na evaluation
chacha hakuishia hapo akazidi kubainisha kuwa unaweza kusikia zimetolewa bilioni kadhaa za dola kama msaada katika mradi fulani lakini asilimia 85 ya msaada huo ni technical support ambapo wanaotoa hiyo technical support ni wao hao hao yaani wafadhili kwa hiyo utaona kuwa kuna mlolongo wa unafiki kutoka kwa hao wafadhili mpaka wanaotumia yaani wenye hizo ngos
kitu kingione kilichojitokeza ni wamiliki wa hizo ngos ambapo inasemekana wengi wao ni wastaafu waliotoka serikalini au world bank ambao wanajua namna ya kuandaa makabrasha na kupata hizo fedha za wafadhili
wengine wanaotajwa ni vijana walioshindwa kujiajiri kulingana na taaluma zao na kutokana na kuonekana kuwa ngos ni njia ya mkato katika kujitengenezea fedha za chap chap kutoka kwa wafadhili vijana wengi wamekimbilia huko na ndio sababu ya kukuta kuna utitiri wa hizo ngos lakini tija hazionekani
jamani mimi ni muongoza mjadala tu hapa na nilichoandika ni mnyumbulisho wa kile kilichozungumzwa na wachangiaji kwenye mada kuu je wadau mnasemaje juu ya hizi hoja zilizojitokeza
na nawatakieni wote jumapili hii ya tatu ya mwaka 2010 iwe njema kwa wote
lebo elimu maisha
leo ni siku aliyozaliwa mtakatifu simon kitururu
napenda kukutakia kila la heri kwa siku hii maalum yaani ni tarehe ambayo ulifungua macho yako katika ulimwengu huu ila sina uhakika kama ilikuwa siku ya jumamosi pia nakuombea mwenyezi mungu akujalie afya njema wewe na familia yako na zaidi ya yote akujalie baraka zake kwa kadri ya mahitaji yako
na yasinta ngonyani muda 1218 am
lebo burudani miaka mungu urafiki
hili limenitatiza naomba msaada wenu
habari zenu wanablogu na wasomaji wa blogu hii kama wengi waniitavyo kapulya kutokana na maswali yangu niwaulizayo
ni juzi juzi tu nilikuwa naongea na rafiki mmoja wa nyumbani tanzania akaniambia kuwa atakuwa off (hatafanya kazi kwa muda wa siku kadhaa) kwa vile alifanya kazi wakati wa sikukuu nikamuuliza kama zile siku za sikukuu alizofanya kazi hakulipwa akanijibu hakulipwa nilishangaa sana na nikaona kweli dunia ni ya ajabu kwani hapa sweden mtu kama unafanya kazi siku za sikukuu mshahara unaongezeka yaani kama unapata 100kr kwa saa basi utapata 200kr kwa saa
na mimi nilikuwa nafikiri sheria hii ipo sehemu zote ulimwenguni swali langu ni hili je hii sheria ya kutolipwa wakati wa sikukuu tz tu na kama ipo je ni kwa wafanyakazi gani nina maana hata wafanyao kazi serikalini
na yasinta ngonyani muda 856 am
lebo maisha mishahara tanzania udhaibuni
mitindo tofauti ya kuonyesha hasira
ana hasira
hebu fikiria kuhusu mwanao huyu wamekuja wageni nyumbani kwenu na unamwambia mwanao awaletee wageni kinywaji ukweli ni kwamba hakuna vinywaji huko kwenye jokofu badala ya kukuita pembeni na kukueleza hali halisi mwanao huyo ambaye ni mkubwa kiumri anakuelewa hapo hapo mbele ya wageni kwamba hakuna vinywaji je utafanyaje baada ya hatua hiyo
kwa sehemu kubwa baada ya kukerwa kwa kwa namna hiyo uwezekano ni kuchukua hatua moja kati ya hizi tatu zifuatazo hii ina maana kwamba huwa tunaonyesha hasira zetu kwa njia kuu tatu kuna kukasirika ambako hufuatwa na utulivu baada ya mkasirikaji kukagua na kufanya tathmini ya mazingira baada ya kutathmini huko mkasirikaji huamua kuahirisha hasira zake hadi pale mazingira yatakaporuhusu kwenye huu mfano wetu mkasirikaji atasubiri wageni waondoke ndipo amkaripie mwanaye
bila shaka hata wewe (kwa kutegemea malezi au kiwango chako cha hasira) umeshawahi kuahirisha hasira kama siyo wewe umewahi kuona mtu akiahirisha hasira mara nyingi wanandoa wenye busara wanapokuwa kwenye hali ya hasira na akaingia mgeni huwa wanaahirisha hasira zao
kuna kukasirika ambako hakuangalii mazingira mtu huonyesha hasira zake popote na kufanya mambo ya ajabu mahali ambapo kamwe asingetarajiwa kufanya hivyo mtu kishakasirika anaropoka au kufanya mambo mengine yenye kufedhehesha sana hapa mkasirikaji hajali matokeo ya kauli na vitendo vyake vya hasira
kuna kukasirika ambako kila mtu anweza kubaini kwamba fulani amekasirika lakini mtu huyo aliyekasirika hatoi kauli wala kutenda jambo lolote lenye kuonyesha kukasirika pamoja na ukweli kwamba kuna kila dalili kuwa mtu amekasirika hafanyi au kutoa lkauli yoyote yenyewe kuthibitisha kukasirika kwake hata kama atatoa kauli yoyote itakuwa tu ni ya kuonyesha kukereka bila kutoa maneno makali
kuna wale ambao wanapokasirika hulia sana huvunja vifaa hupiga ngumi ukutani au hupiga mateke hovyo ni kwa kufanya hivyo tu ndipo hasira zao zinapopungua au kwisha lakini wapo ambao wanapokasirika hucheka sana badala ya kununa au kulia wanapomaliza kucheka hununa ghafla na hapo hufanya chochote
ni wazi kila mmoja kati yetu anayo namna yake ya kuonyesha hasira ingawa hata hivyo uonyeshaji huo hutegemea hali na mazingira tofauti je ni nani aliyemuudhi mtu wapi kwa sababu ipi na mengine lakini bado ukweli unabaki palepale kwamba mara nyingi namna ya mtu kuonyesha hasira yake huwa ni ileile bila kujali mazingira au hali
makala hii nimeichukua kutoka kwenye kitabu cha maisha na mafanikio kilichoandikwa na hayati munga tehenan ambaye alikuwa ni mwalimu mzuri wa maarifa ya utambuzi akitoa elimu hiyo kupitia magazeti yake ya jitambue vitabu na semina zake nchini tanzania kabla ya kufariki dunia
na yasinta ngonyani muda 925 am
lebo binadamu hasira maisha
sitarajii kuwa mwanaharakati
nimekuwa nikipokea email kutoka kwa baadhi ya wasomaji wa blog hii ya maisha wakinitaka nijiunge na organization za kutetea haki za wanawake za huko nyumbani au nianzishe ngo yangu ya kutetea haki za wanawake na watoto ni email ambazo zimenitia moyo kuona kuwa kumbe kile ninachoandika kinaigusa jamii na huenda kuna wasomaji wengi hujifunza kupitia maandishi yangu hayo
watumaji wengi wa email hizo wamekuwa wakinipongeza kwa kuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake lakini pamoja na kunipongeza pia wamenipa ushauri huo wa kunzisha ngo yangu au kujiunga na ngo za huko nyumbani ili kupigania haki za wanawake hapo nyumbani au hata ulimwenguni kote
bila shaka hata wewe unayesoma hapa huenda pia ulikuwa na wazo kama hilo la kunishauri nianzishe hicho kinachoitwa ngo kwa kuona kuwa nimekuwa mwanaharakati kutokana na kuzungumzia sana habari za manyanyaso ya wanawake hapo nyumbani tanzania
sitaki niwakatishe tamaa lakini ni vyema nikaweka bayana kuwa lengo la kuandika makala za kutetea haki za wanawake sio kwamba ninayo dhamira ya kuanzisha ngo sijawahi kuota na wala kuwaza kufanya kazi hiyo binafsi naamani kwamba kuwa mwanaharakati haimaanishi kuwa na organization kwamba huwezi kuwatetea wanawake na watoto isipokuwa mpaka uwe na ngo mimi siamini hivyo bali naamini kuwa mtu yeyote akiwa mahali popote kwa utashi wake anaweza kuwa mwanaharakati wa kutetea haki ziwe ni za wanawake watoto au hata jamii kwa ujumla na sio lazima mtu huyo awe na organization
naamini kuwa ile kuandika makala tu iwe ni kupitia magazetini ukurasa binafsi yaani blog au kuzungumza redioni au hata katika luninga inatosha kabisa kuwa mchango katika kuibadilisha jamii kimtazamo
nimelizungumza hili maana nadhani kuna baaadhi ya wasomaji wa blog hii wanadhani kuwa huenda ninavyoandika makala za kutetea haki za wanawake ni kamchakato kangu ka kuelekea kuanzisha organization yangu nitakaporeja nchini
kusema kweli sina wazo hilo kwa sasa bali nafurahia sana kile ninachoandika na jinsi wasomaji wanavyotoa maoni yao huku kukiwa na tofauti za kimtazamo kusema kweli huwa najifunza mengi kupitia changamoto za wasomaji wa blog hii
labda ingekuwa ni vyema nikaweka bayana kuwa mimi nimfuatiliaji wa habari za hapo nyumbani tanzania kupitia magazeti na mitandao tofauti tofauti na hata ninapokuwa nyumbani tanzani huwa nanunua vitabu na nasoma sana magazeti mengi ikiwa ni pamoja na kuzungumza na watu wa rika tofauti na kada tofauti ili kupata uzoefu wao juu ya kile ninachokisoma kupitia vyombo vya habari vya nyumbani
mimi nimezaliwa kijijini huko lundo nyasa na nimekulia kijijini kabisa kingoli au litumbandyosi mkoani ruvuma nimekulia kijijini kabisa nafahamu maisha halisi ya mwanamke wa kijijini kuanzia kulima kukata kuni kupika na shughuli ndogo ndogo zinazofanywa huko vijijini pia nafahamu juu ya ndoa za mapema kwa wa watoto kike na athari zake kwa kuwa nimezishuhudia nimeona wanawake wanaonyanyaswa na waume zao nimesikia habari za wanawake kubakwa kwa hiyo ninapoandika habari yoyote juu ya madhila ya wanawake ni kutokana na uzoefu wangu maana ninajua ninachoandika
huku ughaibuni nilipo kuna visa na mikasa mingi sana kuna mitandao mingi ya habari na vyanzo vya habari pia ni vingi ninaweza kuandika habari za huku na zikavutia kwani nimeshajaribu mara kadhaa lakini kwanini niandike habari zao nimeona ni vyema nikiwa naandika habari za huko nyumbani kwa wingi ili jamii itambue kuwa japo niko huku ughaibuni lakini nayafahamu madhila yao na niko tayari kuyakemea japo niko mbali
hata hivyo naomba nikiri kuwa nimevutiwa sana na wale wanaoniunga mkono kataka makala zangu nawashukuru sana na ninaomba msiache kunipa changamoto pale ambapo mtaona labda nimekosea au nimeteleza kwani mimi sio mwanahabari bali ninapenda sana kuandika na ninafurahia kuandika yale yanayoigusa jamii kwani huo ndio mchangao wangu pamoja na hayo sitaacha kale katabia kangu ka udadisi yaani ukapulya kwani huwa sioni haya kuuliza pale ninapokutana na jambo nisilolifahamu au lililonipitia kushoto
mungu awabariki wote
lebo afrika maisha ughaibuni wanawake
aneth mbilinyi mwanamke tajiri asiyejua kusoma wala kuandika
aneth mbilinyi
asomesha watoto wake na yeye aamua kuingia darasani
habari hii nimeipata kutoka gazeti la mwananchi na tumaini msowoya
nimeipenda sana habari hii na nimeona ni vizuri niiweka hapa ili tujadali kwa pamoja
ukitaka kuwazungumzia wanawake waliofanikiwa kiuchumi nchini bila shaka hutaweza kuacha kumtaja aneth mbilinyi
mwanamke huyo ambaye ni msambazaji wa maji ya kunywa katika mikoa ya iringa mbeya na rukwa amejizolea sisa kutokana na uwezo wake wa kuendesha biashara kubwa
kuna msemo unaosema elimu ni ufunguo wa maisha kwa mama huyu ni tofauti kidogo yeye hakupata elimu ya darasani lakini yeye anasema hajui kusoma wala kuandika lakini amepata elimu ya maisha ambayo inamsaidia kuendesha shughuli zake za kila siku
sijawahi kwenda shule hivyo kifupi sijui kusoma wala kuandika lakini nina uwezo mkubwa wa kuendeleza biashara zangu mungu akipenda nitaanza darasa la kwanza wakati wowoteanasema
anasema kabla ya kufikia mafanikio yake biashara maisha yake yalikuwa magumu kwa sababu haikuwa rahisi kwake kupata ajira hakuwa na elimu ambayo ingemwezesha kufanya hivyo
aneth anasema ugumu wa maisha ulimpa changamoto hivyo akatafuta mtaji mdogo na kuanza bishara ya kukopesha vitenge ambayo aliiacha mapema kutokana na wengi kushindwa kumlipa madeni yake hivyo kuua mtaji
anasema baada ya kuachana na biashara hiyo alianza kusaga unga wa sembe ambapo alikuwa akiusafirisha jijini dar es salaam alikokuwa na wateja wengi
hata hivyobiahsara ya sembe ilimshinda kwani nayo haikumpa mafanikio yoyote kitu kilichomkatisha tamaa na kuamua kuachana nayo
mwaka 2000 aneth alianza kuuza maji ya kunywa ambayo alikuwa akiyafuata katika kijiji cha kidamali kiwandani kisha kuyasambaza iringa mjini
uaminifu katika biashara ya maji uliwafanya wamiliki wa kiwanda kunipenda hivyo wakaniongezea mtaji na nikawa na uwezo wa kuyasambaza mkoa mzima na hapo nikaanza kuona mafanikio makubwa anasema
anasema kuna wakati alikuwa akipewa mzigo mkubwa wa maji unaozidi milioni 20 na kuusambaza bila hasara yoyote licha ya kuwa hawajahi kuhudhuria darasa lolote
hakuna asiyejua kuhesabu hela kamwe sijawahi kudhurumiwa kwa sababu nipo makini sana kwenye biashara zangu anasema
anasema miezi sita baadaye alifanikiwa kununua gari aina ya fuso ambalo lilimwezesha kusambaza maji kirahisi zaidi tofauti na awali alipokuwa akitumia magari ya kukodi au ya kiwanda hicho
kutokana na kuwa makini katika uendeshaji wa bishara zake biasharayake ilizidi kukua na akafanikiwa kushi mashas mazuri pamoja na kuwasomesha watoto wake katika shule nzuri ili wasiishi maisha ya kubahatisha kwa kukosa elimu
nilijibana sana japo faida iliyokuwa ikipatikana kutokana na baishara yangu ilikuwa kubwa malengo yalianza kutimia taratibu na mpaka sasa namshukuru mungu kwani namimiliki mamilioni ya fedha bila kuingia darasani anasema
baadaye alinunua malori mengine mawili aina ya scania kwa ajili ya kusiadia kusambazia bidhaa zake
mbali na mradi wa kuuza maji aneth anamiliki maduka ya vyombo na bidhaa nyingine huku akisema siri kubwa ya mafanikio yake ni mungu na kujituma
hakuna mafanikio yatakayokufuata mwanamke kama atakaa na kusubiri awezeshwe lazima tukubali kufanya kazi kama watumwa ili siku moja tuishi maisha ya kifahari anasema
anasema ingawa hajafikia malengo yake lakini kwa hapo alipo anamshukuru mungu kwani tayari amejenga nyumba za kisasa gari kwa ajili ya usafiri na watoto wake wamesoma
bila elimu anawezaje
nikubali nikatae elimu ni kila kitu napata shida kwenye kazi zangu kwani huwa nalazimika kukariri mambo kichwani ili nisikosee mahesabu mfano mzuri ninapoenda benki anasema
anasema kukariri namba na mambo mengine ya kibiashara vimekuwa vikimsaidia katika biashara zake
pamoja na mambo hayo mwanamke huyo anasema amekuwa akishirikiana na mtoto wake wa kwanza ambaye amehitimu shahada ya uchumi na bishara chuo kikuu cha tumaini
kwa sababu sikubahatika kusoma wanangu nimejitahidi kuwasomesha hadi watakaposhindwa ili wasije kuishi maisha ya kubahatisha hasa wakati huu ambapo elimu inaonekana kuwa kila kitu anasema
hata hivyo anasema taasisi za fedha zinatakiwa kupunguza masharti ya mikopo ili kumwezesha mwanamke mjasiliamari kumudu kuchukua mikopo hiyo pamoja na kurejesha
mara nyingi taasisi za fedha huhitaji mkopaji awe na mali isiyohamishika kama nyumba ama hati ya kiwanja sharti hili ni gumu kwa wanawake walio wengi jambo ambalo huwakatisha tamaa wanawake kuchukua mikopo anasema
anasema alifanikiwa katika biashara yake kwa sababu kiwanda kilimuamini na kuanza kumpa bidhaa kwa kumkopesha lakini kama isingekuwa hivyo hali ingekuwa tofauti kutokana na ugumu wa mashari ya mikopo
anaongeza kuwa taasisi za fedha zina wajibu wa kutoa elimu kwa wanawake wajasiliamari ili kuwawezesha wanawake hao kutambua faida na hasara ya biashara zao
nalia na jennifer mgendi jumapili njema wote
na yasinta ngonyani muda 1119 am
hongera dada ajuna na kaka mathew senga mwanasosholojia kwa siku yenu ya kuzaliwa
hongera mwanasosholojia
hongera dada ajuna dada wa musee wa changamoto
ni furaha kwa blog ya maisha kuwapongezeni kwa siku hii malumu kwani ni pia wote tumezaliwa mwezi mmoja na wiki moja hongereni sana muwe na siku nzuri
na yasinta ngonyani muda 1226 pm
lebo maisha shukrani urafiki
wanawake na sheria ya kubakwa
nilipokuwa nyumbani tanzania mwaka juzi niliwahi kuzungumza na binti mmoja ambaye ni mhitimu wa sheria chuo kikuu katika mazungumzo yetu nilimuuliza juu ya tatizo la ubakaji hapo nchini kuwa sheria za nchi zinasemaje juu ya makosa ya aina hiyo
kama nilimnukuu vizuri binti yule aliniambia kuwa sheria ya ubakaji ipo na inafanya kazi kwa mujibu wa maelezo yake alidai kuwa sheria hiyo inamlinda mwanamke kwa kiasi kikubwa sana kwa mfano hata kama mwanamke aliridhia kufanya kitendo cha kujaamiana na mwanamume na baada ya kitendo kile bila kujisafisha akaenda polisi na kuripoti kuwa amebakwa na ikathibitika kupitia vipimo vya dna kuwa (manii) shahawa zilizaokutwa katika uke wa mwanamke yule ni ya mwanaume mtuhumiwa basi moja kwa moja mwanaume huyo atakuwa matatani
kwani kwa mujibu wa sheria inasema kama mwanamke yule angekuwa ameridhika kuingiliwa na mwanaume mtuhumiwa basi asingekwenda kuripoti polisi nilimuuliza mbona makosa ya aina hiyo yapo sana hapa nchini na yanaandikwa sana katika vyombo vya habari alinijibu kuwa tatizo ni ukosefu wa ushirikiano kati ya wanawake wanaobakwa na polisi kutokana na wanawake wanaofanyiwa vitendo hivyo kuona haya kwenda kuripoti hususani wale walioolewa huogopa kutoa taarifa katika vituo vya polisi ili kuepuka kuachika pindi waume zao wakifahamu polisi nao kwa upande wao hawatoi ushirikiano wa kutosha kwa waathirika wa vitendo hivyo kwani huwakejeli na kuwapuuza kwa madai kwamba waliyataka wenyewe
tulizungumza mambo mengi yanayofanana na hayo na kusema ukweli yule binti alinifumbua macho kwa kiasi fulani kwani kabla ya hapo sikuwa nikiyafahamu hayo
bila shaka wasomaji wa blog hii mtajiuliza kulikoni leo kuzungumzia jambo hili
ni kwamba nimekuwa ni mfuatiliaji sana wa habari za huko nyumbani na nimekuwa nikishangazwa sana na kuripotiwa kwa matukio ya watu kubakwa kwa kiasi cha kutisha niliwahi kuweka habari moja ambayo niliichukua kutoka katika gazeti la mwananchi juu ya waendesha pikipiki wa kule songea maarufu kama yeboyebo jinsi wanavyowabaka wanawake pindi wanapowabeba kuwapeleka katika safari zao kwani usafiri huo hutumika kama taxi kule vijijini
ni jambo la kushangaza kuwa pamoja na kuwepo sheria hii lakini matukio ya aina hiyo yapo na hayakomeshwi
hata hivyo lipo jambo moja ambalo nilijiuliza hivi kama kubaka ni kitendo cha mwanaume kulazimisha kumuingilia mwanamke bila hiyari yake je kwa wanandoa inakuwaje ikumbukwe kwamba sheria hiyo haikutenganisha kati ya wanandoa na wale wasio wanandoa sheria imesema tu kwamba kama mwanamke akiingiliwa na mwanaume bila matakwa yake akienda kuripoti katika vyombo vya sheria basi mwanaume yuko matatani
kama sheria inamlinda mwanamke kwa kiasi hicho basi wanawake wengi sana walioko katika ndoa hubakwa na waume zao karibu kila siku kwani wakati mwingine wanawake walio katika ndoa hulazimika kukubali kufanya tendo la ndoa nje ya utashi wao mila na desturi zetu zimemnyima mwanamke uwezo wa kusema hapana pindi mwanaume akitaka kwani neno geuka huku sio ombi ni amri ambayo inatakiwa kutekelezwa bila kupingwa bila shaka mtakubalina na mimi kuwa mila na desturi zetu zinatufundisha kuwa kuolewa kwa mwanamke ni kwenda kutumika kama chombo cha kumstarehesha mwanaume na kumzalia watoto na ndio maana kama ikitokea mwanamke akiolewa halafu asipate mtoto anayeangaliwa na kushutumiwa ni mwanamke na sio mwanaume kwani aliolewa ili amzalie mwanaume watoto ikiwa ni pamoja nakumstarehesha
hata kama mwanaume ndiye mwenye tatizo bado jamii itamtetea niliwahi kusimuliwa kuwa yapo baadhi ya makabila hapo nchini mwanamke hulazimishwa kutoka nje ili amzalie mwanaume watoto ikiwa kama mwanaume amekosa uwezo wa kutia mimba lengo ni kulinda heshima ya mwanaume na jambo hilo hufanywa kwa siri sana
wanaume huamini kwamba wanazo haki zote kwa miili ya wake zao lakini wake zao hawana haki hizo na kutokana na mfumo huo dume wanawake nao wameaminishwa kuwa wenye mamlaka na miili yao ni waume zao
kwa kawaida wanawake huishi kihisia hivyo inapotokea kuathiriwa kihisia na hamu ya kushiriki tendo la ndoa hupotea hivyo wanaume wanapowambia geuka huku hulazimika kufanya hivyo sio kwa mapenzi yao bali hutekeleza ili kuepusha shari vinginevyo itakuwa nongwa
hivi ni mara ngapi tumesikia kupitia vyombo vya habari kuwa mwanaume kamuua mkewe kwa kunyimwa unyumba ni mara nyingi tu lakini binafsi sijawahi kusikia mwanamke kamuua mumewe kisa kanyimwa unyumba sidhani
naamini kuwa kama wanawake walioolewa wataamua siku moja kuwashitaki waume zao kwa kubakwa kama sheria inavyoruhusu basi magereza hapo nchini yatajaa mpaka pomoni maaana hakuna atakayebaki lakini thubutuuunani ajaribu jamii yote itamhukumu kuwa amekosa adabu kwa mumewe
lebo maisha mke mume
maisha ya mumemke na watoto maswali ya leo
hivi ni kwa nini watu wawili wanaopendana wakifunga ndoa wanabadili majina yao ya ukoo au mke anabadili jina lake la ukoo na kuitwa jina la ukoo la mume wake
na kwa nini watoto huitwa jina la ukoo wa baba sio la mama
nimesoma post ya kamala ya 7/1209 yenye kichwa cha habari ndoa kwa nini kuzaa watoto
amesema watoto sio wa baba wala wa mama swali langu ni hivi je kwa nini kwanini baba na mama wachanapo watoto wanabaki kwa baba je ni kwasababu wanaitwa jina lake la ukoo au ni kwanini nitafurahi kama nikipata majibu kwani nimekuwa nikijiuliza sana na nimeona ni vema mnisaidie
na yasinta ngonyani muda 701 pm
lebo baba na mama maisha ndoa watoto
leo ni siku yangu ya kuzaliwa
napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunilinda salama mpaka kufika siku hii ya leo na kuongeza limwaka limoja zaidi namshukuru kwa kuniepusha na mambo mabaya magonjwa na pia vishawishi
lebo burudani maisha miaka yasinta
nililazimika kuchukua maamuzi magumu
ni furaha isiyo kifani kutumiwa barua kama hii na ukizingatia ndio mwaka umeanza tu kwa vile napenda kugawana na wasomaji wengine wa blog hii na pia wanablog wenzangu nimeona niufikishe ujumbe huu karibuni sana kusoma hapa
kwako dada yasinta ni matumaini yangu kuwa umzima wewe na familia yako huko uliko
dada mimi ni msomaji wa blog yako na nimejifunza mengi sana kupitia blog yako hii ya maisha kwani mijadala unayoianzisha katika blog yako imekuwa ikileta changamoto na migongano ya mawazo kiasi kwamba nimekuwa nikijifunza mambo mengi kupitia mijadala hiyo
kusema kweli nimekuwa ni mfuatiliaji wa blog yako na kupitia blog yako hiyo ya maisha nimekuwa nikijifunza mambo mengi juu ya maisha na mafanikio pia
mimi ninao uzoefu wangu ambao ningependa uuweke katika blog yako ili wasomaji waweze kujifunza kupitia uzoefu wangu huu
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 37 na nina mke na watoto watatu kikazi mimi ni mtumishi serikalini na mke wangu by professional ni mpishi na pia anao ujuzi kidogo wa ushonaji mke wangu alikuwa na ndoto za kumiliki biashara ya catering wakati namuoa kwa sababu aliwahi kufanya kazi kwa mtu mwenye biashara hiyo alipokuwa kwao mbeya kabla sijamuoa na kuhamia naye dar hivyo alitengetengeneza picha kuwa biashara ya catering ndio biashara pekee yenye faida kubwa
ni kweli kuwa biashara ya catering ina faida kubwa lakini inategema na mtaji utakaoanzishia biashara hiyo kusema ukweli nilikuwa na dhamira ya kumuanzishia biashara hiyo ya catering na nilianza mchakato wa kutekeleza azma yangu lakini nikakutana na vikwazo vingi sana kwani ili kuanzisha biashara hiyo ni lazima uwe na vifaa kama serving dishes maturubai viti na meza vyombo vya kupikia sahani vifaa vya mziki na mc kama ukimudu kuwa na vitu hivyo basi na faida yako itakuwa kubwa kwani shuguli utakazokuwa unapata zitakuwa ni kubwa na zenye kulipa faida kubwa kwa mfano hapa dar shughuli kama harusi send off kitchen party misiba na kumaliza misiba wengine huita kumaliza arobaini vipa imara achilia mbali semina ndogo ndogo za kidini na za ngos zote hizo ni kazi ambazo zinategemea sana watu hawa wa catering lakini kutokana na mtaji wangu kuwa mdogo nikajikuta nikikwama kwa sababu nilikuta vifaa hivyo vinauzwa ghali kutokana na watu wengi kukimbilia biashara hiyo kwa kuwa inalipa
nilikata shauri kumfungulia biashara nyingine ili japo asikae bure bila kazi na pia kuokoa hizo pesa tusije tukazifuja bure kwa haraka niliamua kuanzisha biashara ya ushonaji pamoja na uuzaji wa vifaa vya ushonaji
awali nilipata upinzani mkubwa sana kwa mama watoto na hakupenda hilo wazo langu kabisa nilipata wakati mgumu sana kumuelimisha mpaka akakubali lakini hakuwa na mwamko wa kuipenda kazi hiyo sikukata tamaa niliendelea kumuelimisha huku nikiendelea kununua vifaa kama vyerehani vitatu na ya kudarizi kimoja pamoja na vifaa vya ushonaji vya kuweka dukani kwa ajili ya kuuza na vifaa vingine muhimu kama makabati nakadhalika na kulifungua duka hilo rasmi hata hivyo nilimuahidi kuwa ahadi yangu iko pale pale nitamfungulia biashara yake ya catering kama nilivyomuahidi wakati ukifika
hata hivyo mwanzoni hakuipenda biashara hiyo na nilikuwa kama vile namlazimisha kwenda dukani kufungua kila siku asubuhi lakini sikukata tamaa
mshangao
dada siku za karibuni biashara ikaanza kukua na wateja wakaanza kuja kwa wingi kununua bidhaa na mtaji umeanza kukua sasa hivi karibuni katika mazungumzo yangu na yeye nikamwambia kuwa mpaka mwezi wa pili mwakani nitakuwa nimemfungulia biashara yake ya catering kama nilivyoahidi ili ndoto yake itimie lakini kwa mshangao aliruka na kukataa kabisa kuwa hataki tena biashara ya catering kwani ile biashara ya ushonaji ina faida na ameipenda sana
sikuamini masikio yangu unajua wakati nabishana naye kuhusu kuanzisha biashara ya ushonaji nilidhani yeye yuko sahihi kuwa hiyo biashara haifai na ilikuwa nusura nikubaliane naye ila kuna kitu huwa tunaita machale au mlango wa sita wa fahamu ambao huwa nautumia katika kufanya maamuzi magumu
baada ya kutafakari sana niliamua kufungua hiyo biashara na sasa nimepata jibu kuwa nilikuwa sahihi maana ameuona ukweli kuwa wazo langu lilikuwa ni sahihi kuna msemo mmoja unasema kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba ki ukweli sikuwa nauzingatia huo msemo kwa kuwa niliona ni dalili ya kujikweza na kuwadhalilisha wanawake lakini nadhani hiyo dhana ina ukweli fulani
nimejifunza jambo moja kuwa kuna wakati mwanaume analazimika kuwa dikteta ili kufikia maamuzi fulani magumu hasa pale mke anapoonekana kupinga bila kutoa wazo mbadala au kutoa ushauri
sio kwamba wanawake hawawezi kutoa ushauri au wazo zuri la hasha ninachomaanisha hapa ni kwamba kuna wakati kunapohitajika maamuzi magumu mume anatakiwa kupewa nafasi ili aamue ila inategemea tabia za mume huyo
inasemwa kuwa nyuma ya mafanikio ya mume kuna mke na nyuma ya anguko la mume kuna mke pia lakini huwa najiuliza je utamjuaje mke ambaye maamuzi yake yanakupeleka shimoni
nawatakieni jumapili hii ya kwanza ya mwaka 2010 iwe ya furaha tele
lebo changamoto furaha maisha mke mume
mwaka mpya 2010
mwaka mpya huwa ni wakati wa malengo mapya na mwelekeo mpya kila binadamu ana malengo yake hapa duniani mimi nina malengo yangu na wewe pia una yako kila kukicha huwa tunajitahidi kuyatimiza tunapasua vichwa kujaribu kuyatimiza malengo yetu ndio maisha
bila shaka na wewe umeshaketi chini na kujiuliza swali hili ninataka kutimiza malengo gani mwaka huu je ni kurudi shule kuongeza ujuzi je ni kuoa au kuolewa je ni kujitolea zaidi katika jamii yako je ni kutunza na kulinda mazingira msururu wa malengo unaweza kuwa mkubwa kama kutimiza malengo fulani fulani ndio mkakati wako wa mwaka huu basi zingatia ushauri ufuatao
weka malengo yanayotimizika au yenye uhalisiajiangalie ulipo angalia vitndea kazi ulivyonavyo tizama kwa makini ujuzi ulionao kisha yapime vizuri malengo yako
jiulize swali au mawswali nitayatimizaje malengo yangu ukishafanya hivyo jiwekee utaratibu wa jinsi ya kutimiza malengo yako wazungu wanasema weka vyema action plan yako
nenda utaratibu mwaka ndio kwanza umeanza yakaribiribie malengo yako kwa mwendo wa taratibu usiwe na haraka wala pupa si unakumbuka kwamba mambo mazuri hayataki haraka
usiogope kurekebisha malengokadri mwaka unavyoanza kusonga mbele unaweza kugundua kwamba huenda kutimiza malengo fulani hiyo inawezekana kutokea kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi kiafya au kibinafsi usihofu kurekebisha malengo yako
usiogope kushindwayawezekana kabisa ukashindwa kutimiza malengo fulani fulani kwa sababu zaweza kuwa kama hizo nilizozitaja hapo juu usiogope cha muhimu ni kujaribu na kujaribu na kujaribu jitahidi kadri unavyoweza nina uhakika ukijaribu utafanikiwa kwa hiyo mwisho wa siku hadithi ya kushindwa wala haitokuwepo
la muhimu ni kuomba msaada inapobidi yapo mambo mengine ambayo hutoweza kuyatekeleza peke yako hilo linapotokea usiwe mgumu kuomba msaada
kwa mara nyingine tena nawatakieni wasomaji wa blogya maisha kila la kheri katika mwaka huu wa 2010
lebo maisha malengo mwaka watu
napenda kuwatakieni wote jumapili njema kwa sala h
napenda kuwatakia mwema wa juma hili pia ijumaa ya
mziki ni moja ya maisha yetu leo ngoja tumsikilize
swali ni vyakula gani katika kabila lako ambavyo
piacha ya leo nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo
mada ya sitarajii kuwa mwanaharakati naomba kuto
leo ni siku aliyozaliwa mtakatifu simon kitururu
aneth mbilinyi mwanamke tajiri asiyejua kusoma wa
nalia na jennifer mgendi jumapili njema wote
hongera dada ajuna na kaka mathew senga mwanasos | 2017-10-23T00:39:23 | http://ruhuwiko.blogspot.com/2010/01/ |
uchumi kairuki apongeza kiwanda wigo wa ajira
kampuni ya mafuta yaomba radhi yatozwa mil 10/
mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (ewura) imesitisha kufuta leseni ya kampuni ya mansoor oil industries limited (moil) baada ya kuomba msamaha hivyo kulipishwa faini ya sh milioni 10
aidha imesema kusudio la kufuta leseni ya kampuni ya olympic petroleum lipo pale pale baada ya kukaidi maelekezo japo kampuni hiyo ipo tayari kuomba msamaha hivyo kuamriwa hadi jana saa 11 jioni iwe imesambaza mafuta katika maeneo waliyoelekezwa
kaimu mkurugenzi mkuu wa ewura godfrey chibulunje alisema dar es salaam jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya upatikanaji mafuta nchini
chibulunje alisema kutokana na taarifa za uhaba wa mafuta maeneo mbalimbali nchini wamekuwa wakifuatilia hali ya upatikanaji wake kwa kutumia wakaguzi wake na kupata taarifa kutoka kwa uongozi wa wilaya au mkoa
alisema katika maeneo hayo yaliyotambulika kuwa na uhaba wa mafuta ewura ilielekeza vituo vya mafuta kununua petroli na dizeli kutoka katika kampuni zikiwamo moil total oryx star oil na olympic petroleum
hadi kufikia juni 27 mwaka huu ewura iliwezesha mafuta kufikishwa au kupakiwa kutoka katika maghala kuelekea katika maeneo yenye uhaba wa mafuta maeneo hayo ni ifakara ngara chato sirari geita kasulu tabora vwawa nkasi na chunya alisema chibulunje
aliongeza kuwa mafuta mengine yalitegemewa kupakiwa jana kwenda katika maeneo yaliyobainika kuwa na uhaba wa mafuta ambayo ni geita biharamulo kibondo ilula iramba igunga kondoa kibaigwa mpwapwa kibondo kongwa mbande mvumi mlali manyoni na kyela
awali alisema juni 27 mwaka huu maghala ya mafuta yalikuwa na jumla ya lita 92435539 za petroli zitakazotosheleza matumizi ya mafuta hayo kwa takribani siku 25 na lita 147398593 za dizeli zitakazotosheleza mahitaji ya mafuta hayo kwa takribani siku 29
vile vile maghala ya mafuta yana jumla ya lita 98077624 za petroli na lita 147404384 za dizeli kwa ajili ya soko la nje jumla ya kampuni 22 zina hifadhi ya mafuta ya petroli katika bandari ya dar es salaam huku kampuni 27 zikiwa na hifadhi ya mafuta ya dizeli alifafanua
akizungumzia uagizaji wa mafuta kwa septemba alisema shehena ya petroli yenye tani 39771 sawa na lita 52357820 inategemewa kuwasili nchini kesho pia shehena nyingine yenye tani 38759 sawa na lita 51025540 inategemewa kuwasili julai 14 mwaka huu
kwa ujumla inategemewa kuwa na lita 103383360 za petrol zitapokelewa nchini julai 2020 kiwango hiki ni sawa na asilimia 89 ya matumizi ya petroli kwa julai 2019 na asilimia 94 ya wastani wa matumizi ya juni 2020 alisema
rwanda yaruhusu ndege za biashara
rwanda itafungua tena viwanja vyake kwa kuruhusu safari za ndege
kairuki apongeza kiwanda wigo wa ajira
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) angellah kairuki
dakika 22 zilizopita kigali rwanda
dakika 22 zilizopita veronica mheta arusha
masaa 22 yaliyopita alfred lasteck | 2020-07-06T09:52:39 | https://habarileo.co.tz/habari/2020-06-305efac757a47bb |
willow schutzengel wakati wa mungu clintonsparkscom
paul clement & guardian angel ~ wakati
28032018 · guardian angel and paul clement performing wakati wa mungu c 2018 fisher records and 7 heaven music sms skiza 9046099 to 811 to set this song as your ringback tune safaricom kenya only 02042018 · paul clement & guardian angel wakati wa mungu [lyrics] video wimbo mzuri toka kwa vijana hawa machachariiiusisahau kusabscribe na kulike na utabarikiwathis song belongs to guardian angel 20122018 · this video is unavailable watch queue queue watch queue queue
20082019 · callsifaelimwabuka255719482223whatsapp mtumishi wa mungu sifaeli mwabuka anayejulikana sana kwa album yake ya pili itwayo herilawama vol2 shuka tukuone mungu wetu 02122019 · sikiliza ushuhuda wa mwalimu mwakasege mungu acha aitwe mungu tu nikuhusu wimbo wa edson mwasabwite na ushuhuda huu naamini utakusaidia katika maisha yako ya kiroho na kukua zaidi ya hapo ulipo 14062018 · our new desktop experience was built to be your music destination listen to official albums & more ili upate ufafanuzi zaidi kuhusu matukio yote yatakayotangulia vita vya harmagedoni tazama sura ya 21 ya kitabu ufalme wa mungu unatawala kwa habari zaidi kuhusu shambulizi la gogu wa magogu na jinsi yehova atakavyowalinda watu wake wakati wa harmagedoni tazama sura ya 17 na ya 18 ya kitabu hatimaye ibada safi ya yehova yarudishwa
wakati mkristo akifa atachukuliwa mbele ya mungu na katika uwepo wake itakuwa kawaida kuzungukwa na utukufu wa mungu tutachukuliwa mahali ambapo uzuri wa mungu hukaa halisiuzuri wa roho wake utakuwa pale kwa sababu yeye atakuwa huko tena uzuri wa roho wake au kiini cha yeye ni nani ni utukufu wake katika mahali hapo utukufu wake 1 faraja inayopatikana katika biblia inatoka kwa yehova mungu wa kweli 2 yehova ndiye mweza yote muumba wa mbingu na dunia yeye ni mungu wa upendo na mwingi wa fadhiliupendo na kweli 3 tunaweza kuimarishwa ili kuvumilia hali mbalimbali iwapo tutamkaribia mungu kwa kutwaa ujuzi sahihi wa neno lake 4 biblia ina maandiko wakati wowote ule waabudu wa mungu wanaweza kumfikia msikiaji wa sala ambaye anaweza kuwasaidia kukabiliana na hali na hisia zenye kufadhaisha zaburi 652 biblia inatuhimiza tummiminie yaliyo mioyoni mwetu msihangaike juu ya kitu chochote 28062018 · text skiza 7473956 to 811 to set this song as your skiza ringback tone / 2018 groove awards artiste of the year guardian a
5 wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe wakati wa kukumbatia 10 nimeiona taabu ambayo mungu amewapa wanadamu ili kutaabika ndani yake 11 kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya mungu anayoifanya tangu mwanzo hata mwisho 12 mimi najua ya kwamba 31122019 · neema na baraka zimeachiliwa kwao wote wamtafutao mungu kwa mioyo yao yotejiunge nasi sasa kwa masomo na taarifa mbalimbali za kiroho youtubec
1 basi tukiwa wafanyakazi pamoja na mungu tunawasihi msikubali ile neema mliyopokea kutoka kwa mungu ipotee bure 2 mungu asema hivi wakati wa kufaa nimekusikiliza wakati wa wokovu nikakusaidia basi sasa ndio wakati wa kufaa sasa ndiyo siku ya wokovu 3 kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuio chochote komo aliambia bbc afaan oromo kwamba ujenzi wa kanisa pekee na kupuuza hali mbaya ya misikiti iliopo 'utamsikitisha' mungu wazo lake la kuchangisgha fedha lilianza 2015 wakati wa inafariji kama nini kujua kwamba hivyo ndivyo mungu atakavyofanya kwa wote wanaopumzika ndani ya makaburi ya ukumbusho yohana 528 29 wakati wa ufufuo yehova atamfanyizia mwili mpya yule anayelala katika kifo na kuuhuisha kwa kutia roho au nguvu ya mpango wa mungu ni wa watoto kujifunza kuheshimu na kutii wazazi wao wakati wanapokua ili waweze kuishi kwa hekima wanapojifunza heshima nyumbani wataheshimu wengine kwa usahihi wakati wanapoondoka nyumbani hata yesu akiwa mdogo ingawa alikuwa mwana wa mungu alitii wazazi wake wa duniani na kukua kwa hekima luka 2 5152 biblia inasema
mwanza town choir wakati wa makuhani
the u/fw34guzayt community on reddit reddit gives you the best of the internet in one place ibada hujumuisha yafuatayo kuadhimisha kutoa sifa kutoa sadakakuomba na kumtumikia mungu au mungu ndipo akasimama yoshua mwana wa yosadaki na ndugu zake makuhani na zerubabeli mwana wa shealtieli na ndugu zake nao wakaijenga madhabahu ya mungu wa israel ili kutoa sadaka za kuteketezwa juu yake kama ilivyo andikwa katika toati ya musa mtu wa mungu
badala yake aliketi kwenye mkono wa kuume wa mungu tangu wakati huo na kuendelea akingojea mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yakeebr 1012 13 5 mtu anayetajwa katika mfano huo alikuwa na talanta nane hicho kilikuwa kiasi kikubwa sana cha pesa wakati huo akielezea matokeo yake anna akirejea kwenye hali yake ya kawaida na uso wa tabasamu alisema baada ya kuwa na uhakika wa kuendelea na masomo kwa kupata daraja la pili wakati alitarajia kupata daraja la kwanza anataka kufikia malengo aliyoyakusudia ila anaona changamoto pekee itakayomsumbua atakapoanza masomo ni kupewa pole mpya na kuchukuliwa nichukue fursa hii kuwapa pole ndugu na jamaa wa waumini wote ambao walifariki siku ya juzi katika mji wa moshi wakiwa katika ibada huu ni msiba mzito sana kwa wananchi wa moshi hususani ndugu na jamaa wa marehemu alisema na kuongeza mungu awape faraja subira na uvumilivu mkubwa katika wakati huu mgumu wa maombolezo namwomba mungu mkurugenzi wa tma dk agnes kijazi amesema hayo leo alhamisi februari 13 2020 wakati akizungumzia msimu wa mvua za masika zitakazoanza machi mpaka mei amesema baadhi ya maeneo yatapata mvua ya juu ya wastani jambo linaloweza kusababisha maafa na kuzitaka taasisi mbalimbali kuchukua tahadhari mvua hizo zinatarajia kuanza kati ya wiki ya kwanza au ya pili ya mwezi machi call_to_pray mungu analokusudi maalum kwa kipindi hiki tunachoishi anaompango na makusudi kwa kila wakati husika na kazi yetu ya kwanza nikujua mungu anakusudia nini na anapanga kufanya nini katika wakati huu tuliopo na cha pili ni kuhakikisha tunakua sehemu ya kufanya mpango wake utimie tunakua kichochochea na kumuuliza nini hasa anataka sisi tufanye katika mpango wake | 2020-03-29T18:24:02 | http://clintonsparks.com/willow-schutzengel-wakati-wa-mungu |
shangwe za uzinduzi wa copa umisseta zanzibar mjengwablog
mkuu wa mkoa wa mjini magharibi unguja alisema suala la michezo serikali ya mapinduzi ya zanzibar inalipa kipaumbele kikubwa kwa kuwa inaamini kuwa inayo faida nyingi baadhi yake ikiwa ni kujenga afya kuleta umoja burudani na inazo fursa kubwa za ajira hususani kwa vijana na aliipongeza kampuni ya cocacola kwa kuwa mstari wa mbele kudhamini mashindano haya
mkuu wa mkoa wa mjini magharibiayoub mohamed mahmod alipokea zawadi ya mpira wa kufanyia mazoezi kutoka cocacola baada ya hafla ya uzinduzi
pia alikabidhi jezi na mpira kwa mwalimu mussa abdi khamis wa shule ya sekondari ya penae pamoja na kukagua moja timu shiriki za mashindano hayo na mwisho kupiga mpira kuashiria uzinduzi wa mashindano ya copa umisseta
wananchi wengi walijitokeza kufuatilia matukio wakati wa uzinduzi huo
← previous story liverpool yatinga finali ya kombe la ligi ya mabingwa barani ulaya
next story → barcelona habari antoine griezmann hajafanya uamuzi juu ya uhamisho wake kwa msimu ujao | 2019-07-18T05:03:34 | http://mjengwablog.com/shangwe-za-uzinduzi-wa-copa-umisseta-zanzibar/ |
kwa mara ya kwanza nakili kuipenda chadema toka moyoni | jamiiforums | the home of great thinkers
kwa mara ya kwanza nakili kuipenda chadema toka moyoni
discussion in 'jukwaa la siasa' started by idawa apr 26 2012
kumetokea vyama vingi vya upinzani lakini kazi ya chadema kusambaza elimu ya uraia haki na kujitambua ni ya kipekee vivia chadema
kumetokea vyama vingi vya upinzani lakini kazi ya chadema kusambaza elimu ya uraia haki na kujitambua ni ya kipekee vivia chademaclick to expand
mimi ningalikuwa moderator ningali kufungia kwa ufinyu wako huu wa akili na kutupotezea muda kwa mada ya kichizi
ulikuwa unasubiri nn siku zote hizo mkuu karibu kwenye mapambano ya ukweli
mimi ningalikuwa moderator ningali kufungia kwa ufinyu wako huu wa akili na kutupotezea muda kwa mada ya kichizi click to expand
na ndio maana wewe sio mods sababu huna uchungu na taifana sidhani kama ungekua ndo wewe miongoni mwa mados wengine jf tungeisikia kwenye magazeti
ccm hawana thamani sawa na ngozi ya nguruwe maana huwezi kuitumia kuwamba ngoma au kulalia kama kirago
ulikuwa unasubiri nn siku zote hizo mkuu karibu kwenye mapambano ya ukweliclick to expand
mkuu nilikuepo tokea siku nyingi chadema ila propaganda za ccm zilikua zinanichanganya sana
ccm hawana thamani sawa na ngozi ya nguruwe maana huwezi kuitumia kuwamba ngoma au kulalia kama kiragoclick to expand
kweli mkuu nimemsikiliza leo lissu kwa kweli ameniridhisha sana
kariabu mwana mpotevu
siyo wewe tu hata nape naye anawaza hivihivisema shida njaa ndo zinamsumbua
pole ndugu yangu hujui kilichopo kwenye vyama ungesema unaingia msituni ningekuona wa maanainchi hii hakuna chama chochote chenye kuleta msaada kwa wananchi twende poli ndugu yangu tujikomboe wenyewe si vyama
pole ndugu yangu hujui kilichopo kwenye vyama ungesema unaingia msituni ningekuona wa maanainchi hii hakuna chama chochote chenye kuleta msaada kwa wananchi twende poli ndugu yangu tujikomboe wenyewe si vyamaclick to expand
mkuu unaonekana unamawazo mbadala zaidi fafanua tuungane
kimekuvutia nini walete na wenzio
kimekuvutia nini walete na wenzioclick to expand
kiukweli nilikuepo m4c tokea siku nyingi ila leo toka moyoni
umechelewa sana kamanda ila karibu sana kitu kimoja tu nakuomba usiwe mnafiki
pigania nchi yako mkuu
chadema kwa uknmbozi
jamani popote ulipo sema chadema kwa ukombozi
sijaona tatizo lake mbona kajieleza vizuri tu toka heading hadi content yake
hivi vyama vingine kama nccr mageuzi udp tlp cuf kwanini wasiungane na chadema waform one political party coz lets face ithivi vyama haviwezi kua anywhere near where chadema is at the moment so wanapoteza mudalipumba cheyo mrema 2015 hamuwezi kushinda urais hata kwa dawa au ni hizo ruzuku ndo mnazitaka join forces wote nyie under chadema and try and give ccm a run for their money tuone itakuajerolleyez | 2017-07-25T13:07:39 | https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-mara-ya-kwanza-nakili-kuipenda-chadema-toka-moyoni.257752/ |
jay z aibuka mshindi mbele ya wanasheria wake waliomshtaki millardayocom
jay z aibuka mshindi mbele ya wanasheria wake waliomshtaki
kwa mujibu wa mtandao wa the blast umeripoti kuwa rapper jay z ameshinda kesi iliyokuwa imefunguliwa na timu ya wanasheria wake wawili roschier na seb toka nchini sweden baada ya kuripoti kuwa hawajalipwa kikamilifu
wanasheria hao walifungua shtaka wakidai kuwa hawakulipwa hela waliostahili na kusema kuwa walikua wakimdai jay z kiasi cha dollar 600000 za kimarekani sawa na zaidi ya bilioni 1 za kitanzania kutokana na msaada waliompa mpaka kufanikiwa kununua mtandao wa tidal mwaka 2014
kampuni ya jay z ( carters company) imewafungulia mashtaka wanasheria hao kwa kosa la kutaka pesa nyingi kuliko kiasi walichostahili huku jay z akitoa malalmiko kuwa hawakufanya kazi nzuri kama ilivyoada kwenye mkataba walioandikishiana
brigitte naolewa harusi ya watu 100 tu watoto 6 zitto kabwe alinipa milioni 40
← previous story mama mzazi wa 21 savage aingilia kati sakata la mwanae kukamatwa
next story → mama nandy nilifatwa nikabebwa na polisi nandy akabaki analia tu (+video) | 2020-04-09T10:32:51 | https://millardayo.com/i89yt6b/ |
wasanii mbalimbali wema na wenzake walivyoripoti kituocha polisi kati jana kuhojiwa sufianimafoto
home burudani jamii wasanii mbalimbali wema na wenzake walivyoripoti kituocha polisi kati jana kuhojiwa
wasanii mbalimbali wema na wenzake walivyoripoti kituocha polisi kati jana kuhojiwa
msanii wa bongo movie wema sepetu (mwenye mkopa) akisindikizwa kuingia kituo kikuu cha polisi cha jijini dar es salaam februari 3 2017 wema na wasanii wenzake wengine wawili na mtangazaji mmoja wa televisheni waliripoti kituoni hapo kufuatia agizo la mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda la kuwataka wafanye hivyo ili wazungumzie tuhuma zinazohusiana na uuzaji na matumizi ya madawa ya kulevya
katika mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliofanyika kituo kikuu cha polisi dar es salaam mkuu wa mkoa wa dar es salaam ametangaza orodha mpya ya watuhumiwa wa kutumia na kuuza madawa ya kulevya akiwemo msanii wa bongo fleva vanes mdee
watu kadhaa jijini dar es salaam wakiwemo polisi wametajwa na mkuu huyo wa mkoa akiwatuhumu kujihusisha kwa namna moja au nyingine katika biashara hiyo haramu ya madawa ya kulevya
mkuu wa mkoa makonda alitoa orodha ndefu ya watu waliotakiwa kuripoti leo kituoni hapo alhamisi ya februari 2 2017 hata hivyo makonda ameagiza watuhumiwa ambao walitakiwa kuripoti leo na kukaidi agizo lake wasakwe na kutiwa mbaroni
miongoni mwa wanaotafutwa na msanii chidi benz naye kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam simon siro alisema kanda yake imeunda kikosi kazi cha kutekeleza ahizo la mkuu wa mkoa ambapo kitahusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama
kamanda siro pia alikiri kuwashikilia kwa mahojiano wasanii wema sepetu na wenzake pamoja na askari polisi saba kati ya tisa wanaotuhumiwa
tid akiwasili kituo kikuu cha kati cha polisi jijini dar es salaam februari 3 2017
mtangazaji wa clouds tv ajulikanaye kama mzee wa kitaa akiwasili kituo kikuu cha polisi dar es salaam kuitikia wito wa mkuu wa mkoa huo paul makonda
kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam simon siro akiwa anafuatwa na waandishi wa habari alipowasili kituoni hapo
waandishi an wananchi wakiwa wamepiga kambi nje ya geti la kingilia kituo kikuu cha polisi kati jijini dar es salaam
polisi akitoa maelekezo
kamanda siro (kushoto) akiwasili kituoni hapo | 2018-06-18T03:37:59 | http://www.sufianimafoto.com/2017/02/wasanii-mbalimbali-wema-na-wenzake.html |
maandalizi ya ujenzi wa barabara ya njia sita ya ubungochalinze habari na matukio
home habari habari na matukio habari za kijamii maandalizi ya ujenzi wa barabara ya njia sita ya ubungochalinze
kajunason at november 08 2018 habari habari na matukio habari za kijamii
muonekano wa barabara ya morogoro eneo la kimara mwisho jijini dar es salaam hivi leo ambapo tayari maandalizi ya ule mradi wa ujenzi wa barabara ya njia sita kutoka ubungo hadi kibaha mkoani pwani yenye urefu wa kilometa 16 umeiva ujenzi wa barabara hiyo unaotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi disemba mwaka huu utasaidia kukuza uchumi kwa kuongeza kasi ya usafirishaji wa bidhaa katika nchi jirani kupitia bandari ya dar es salaam pia inatarajiwa utasaidia kupambana na changamoto ya msongamano wa magari na kuziwezesha barabara zote za jiji la dar es salaam kupitika katika majira yote ya mwaka | 2018-11-20T11:59:30 | https://www.kajunason.com/2018/11/maandalizi-ya-ujenzi-wa-barabara-ya.html |
ofisi ya waziri mkuu yahamia rasmi mji wa serikali lemutuz blog
ofisi ya waziri mkuu yahamia rasmi mji wa serikali
katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi akiwa anatekeleza majukumu yake katika ofisi yake mpya iliyopo katika mji wa serikali kata ya mtumba jijini dodoma ikiwa ni kutekeleza agizo la mhe rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe joseph magufuli alilotoa tarehe 13 aprili 2019
katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi akizungumza na baadhi wakuu wa idara na vitengo wakati alipofanya kikao cha kuwakaribisha katika ofisi zao mpya zilizopo katika mji wa serikali aprili 15 2019
mkurugenzi wa uwekezaji bw joseph mramba (katikati) akieleza jambo kwa katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna (hayupo pichani) juu ya utayari wa kutekeleza majukumu yao wakati wa kikao hicho kilichofanyika aprili 15 2019 katika mji wa serikali jijini dodoma
katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi akiwaonesha baadhi ya watumishi wa ofisi yake (hawapo pichani) namna mji wa serikali ulivyo walipofanya ziara ya kuzunguka kujua maeneo mbalimbali ya wizara na huduma zilizopo katika mji huo
afisa mipango miji wa jiji la dodoma bw william alfayo (wa tatu kutoka kulia) akiwaonesha baadhi ya watumishi wa ofisi ya waziri mkuu waliombatana na katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi (wa pili kutoka kushoto) maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za balozi katika mji huo
katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi akiwaeleza jambo watumishi wa ofisi yake kuhusu miundombinu huduma na mahitaji mbalimbali yatakayokuwa yanapatikana katika mji huo wa serikali uliopo kata ya mtumba jijini dodoma (kushoto) ni katibu wa kikosi kazi cha kuratibu zoezi la serikali kuhamia dodoma bwmeshach bandawe
mkurugenzi msaidizi wa rasilimali watu kutoka wizara ya madini bw msajigwa kabigi (wa pili kutoka kulia) akimpa taarifa katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi (katikati) juu ya zoezi la kuamishia ofisi zao rasmi katika mji huo wa serikali uliopo kata ya mtumba jijini dodoma
katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya naibu waziri wa madini iliyopo katika mji wa serikali alipotembelea wizara hiyo ambayo tayari imekwisha hamia mji wa serikali
katibu mkuu (waziri mkuu na bunge) maimuna tarishi akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa ofisi yake baada ya kumaliza majukumu yao kwa siku ya kwanza katika ofisi zao mpya zilizopo katika mji wa serikali
muonekano wa jengo la ofisi ya waziri mkuu (sera na uratibu) iliyopo katika mji wa serikali uliopo kata ya mtumba jijini dodoma
mtuhumiwa wa mauaji ya nipsey adai kulipwa
habari leo april 17 2019 mbowe kungolewa
hatukupenda uhusiano wetu uendeshwe na mitandao nandy
magazeti ya leo jumamosi tarehe 31032019
mdee avilaumu vyama vya upinzani
magazeti ya leo jumatatu tarehe 08042019
mashindano ya qur aan tukufu yapamba moto washiriki wakabidhiwa bendera
calisah afunguka kuhusu mahusiano yake
dc jokate atoa neno tuzo za sinema zetu | 2019-07-17T21:25:53 | https://lemutuz.co.tz/2019/04/17/ofisi-ya-waziri-mkuu-yahamia-rasmi-mji-wa-serikali/ |
njohole wa mbao fc alipodhihirisha ubora wake jana sportpesa super cup bin zubeiry sports online njohole wa mbao fc alipodhihirisha ubora wake jana sportpesa super cup bin zubeiry sports online
mwanzo > mbao fc > njohole wa mbao fc alipodhihirisha ubora wake jana sportpesa super cup
njohole wa mbao fc alipodhihirisha ubora wake jana sportpesa super cup
mchezaji wa mbao fc ibrahim njohole akikabidhiwa mfano wa hundi wa dola 500 za kimarekani zaidi ya sh milioni 12 za tanzania baada ya kuchaguliwa mchezaji bora wa mechi dhidi ya gor mahia ya kenya jana katika mchezo wa sportpesa super cup jana uwanja wa taifa mjini dar es salaam mbao ilishinda kwa penalti 43 baada ya sare ya 11 na kwenda nusu fainali ambako itakutana na kariobangi sharks
item reviewed njohole wa mbao fc alipodhihirisha ubora wake jana sportpesa super cup rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-01-26T15:51:56 | http://www.binzubeiry.co.tz/2019/01/njohole-wa-mbao-fc-alipodhihirisha.html |
single news | karagwe district council
jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa halmashauri ya wilaya ya karagwe
rasilimali watu na utawala
ufugaji na nyuki
fedha uongozi na mipango
ujenzi uchumi na mazingira
inayokuja
iliyotekelezwa
waziri wa nchi ofisi ya rais tamisemi mhsuleiman jafo (mb) akisisitiza jambo kwenye ziara yake ya kikazi wilayani karagwe
imewekwa may 11th 2018
serikali kujenga hospitali wilayani karagwe 2018/2019 jafo
na innocent e mwalo karagwe
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mh suleiman jafo (mb) mnamo mei 11 2018 amewatangazia wananchi wilayani karagwe ya kwamba serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 105 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali 67 hapa nchini ambapo wilaya ya karagwe ni miongoni mwa wilaya hizo zitakazojengewa miundombinu ya hospitali hizo
mh jafo alibainisha haya kwa nyakati tofauti alipowahutubia wananchi wilayani hapa kwenye maeneo ya shule ya msingi ihembe na kwenye kituo cha afya cha kayanga katika ratiba yake ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani hapa na mkoani kagera kwa ujumla
naomba niwaambie wananchi wa karagwe ya kwamba serikali inakwenda kufanya historia kwa kujenga hospitali 67 kwa muda mfupi na hayo yatakuwa maendeleo makubwa kuwahi kutokea hapa nchini kwenye sekta ya afya takwimu zinaonesha ya kwamba toka nchi yetu ipate uhuru ni hospitali takribani 77 tu zimejengwa nchini kote alisisitiza mh jafo
licha ya kusisitiza masuala mengine katika sekta ya afya ikiwemo azima ya serikali kuajiri zaidi ya watumishi 6000 wa sekta ya afya hapa nchini mh jafo alitoa maelekezo kwa uongozi wa wilaya kuwakopeshwa wananchi pesa za vikundi bila kuwatoza riba
katika hatua nyingine mh jafo alipata nafasi ya kutembelea miradi miwili ya maendeleo wilayani hapa ikiwemo kufanya uzinduzi na kuweka jiwe la msingi ambapo mradi wa kwanza aliozindua ulikuwa ni ule wa ukarabati wa vyumba vitano vya madarasa stoo tatu na ujenzi wa matundu nane ya vyoo katika shule ya msingi ihembe miradi ambayo hadi kukamilika kwa ujenzi wake itagharimu kiasi cha 66600000 ikiwa ni gharama zilizotolewa kwa asilimia mia moja na ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa ikiwa ni kutekeleza ahadi ya waziri huyo aliyoitoa mnamo 25/07/2071 alipofika kwenye maeneo hayo kwa ziara ya kikazi iliyokuwa na lengo la kuzindua jengo la utawala lenye chumba kimoja cha darasa na ofisi mbili
katika taarifa kwa waziri huyo ilionesha ya kwamba wa miundombinu hiyo uj umefanywa kwa kutumia mwongozo wa sheria ya manunuzi maarufu kama force account
mapema katika taarifa iliyosomwa na mwalimu mkuu kwenye shule hiyo ya msingi ihembe mwalimu vaston rugaju taatifa hiyo iliainisha ya kwamba pamoja na kukamilika kwa ujenzi huu kuna mambo hayakukamilika kutokana na fedha hiyo kutokutosheleza ikwemo kuweka mfumo wa maji vyooni unaotarajiwa kugharimu kiasi cha 7535000/= ambapo hata hivyo mh waziri jafo aliagiza halmashauri ya wilaya kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kukamilishwa kwa ujenzi wa miundombinu hiyo
aidha mradi mwingine ambao waziri jafo aliweka jiwe la msingi ilikuwa ni ule wa ujenzi wa miundombinu katika kituo cha afya kayanga
kwenye mradi huu serikali ilitoa jumla ya 17071445218 mnamo mwaka 2017 kwa ajili ya kuiwezesha halmashauri ya wilaya kufanya ukarabati wa miundombinu katika kituo cha afya hicho kufuatia miundombinu yake kuathiriwa na tetemeko la ardhi lilitokea mnamo septemba 11 2016 na kusababisha madhara makubwa kwa miundombinu mbalimbali ikiwemo ile ya serikali ambapo kwa kutumia fedha hizo serikali iliweza kujenga wodi ya wazazi ambayo sasa inatumika kama wodi ya watoto chumba cha kuhifadhia maiti na kiasi kingine kinachobaki kiliweza kutumika kwa ajili ya ujenzi wa power house
kadhalika kituo hiki cha afya kiliweza kupokea kiasi cha 72789530 na vifaa vya ujenzi kutoka ghala la maafa la mkoa vilivyofanya kazi kuezekea wodi ikiwa ni kutimiza ahadi ya waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera bunge vijana na wenye ulemavu aliyotoa kufuatia ziara yake wilayani hapa mnamo julai 13 2017
aidha katika hatua nyingine halmashauri iliweza kupokea kiasi cha 500000000/= kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya kituo cha afya kayanga ambazo zilitumika kujenga jengo la wagonjwa wan je nyumba ya mganga wodi ya wazazi chumba cha upasuaji jengo la utawala na walk ways ilibainishwa kupitia taarifa iliyosomwa kwa waziri jafo
tangazo la kupokelewa kwa fedha za matumizi mengine (oc) kwa mwezi septemba 2018 october 18 2018
tangazo la kusikiliza na kutatua malalamiko/kero za wananchi ngazi ya wilaya october 16 2018
tangazo la kupokelewa kwa fedha za rbf kwa mwezi octoba 2018 october 11 2018
tangazo la fedha zilizoletwa kwa ajili ya walengwa wa mradi wa tasaf mwezi septemba 2018 september 16 2018
halmashauri itaendelea kufanya kazi na wadau wa maendeleo
waziri mkuu mh kassim majaliwa majaliwa afanya ziara ya kihistoria wilayani karagwe na kutangaza neema lukuki
naibu waziri kwandikwa afanya ziara ya kikazi wilayani karagwe
neema yawashukia vijana wanawake na vijana
kiongozi bora ni yupi | mwl jk nyerere
fomu za mbalimbali
neema inakuja kwa wakulima
fedha zilizopokelewa kwa ajili ya mfuko wa jimbo
viunganishi vihusishi
tovuti ya taifa
ffars
karagwe kagera tanzania
anuani ya posta box 20 karagwe
simu 0282227148
barua pepe ded@karagwedcgotz dedkaragwedc@kageragotz
copyright©2017 karagwedc all rights reserved | 2018-10-18T14:26:20 | http://karagwedc.go.tz/new/waziri-wa-nchi-ofisi-ya-rais-tamisemi-mhsuleiman-jafo-mb-akisisitiza-jambo-kwenye-ziara-yake-ya-kikazi-wilayani-karagwe |
maisha ya ibada | kile wabaháí wanachofanya
mungu asifiwe moyo wako hushughulikia kumbukizi ya mungu roho yako hufurahishwa kwa habari njema za mungu na wewe unazamia sana katika sala hali ya sala ni hali bora kabisa
huduma na ibada ni sehemu ya kiini cha mpangilio wa maisha ya jumuiya ambayo wabaháí kote ulimwenguni wanajaribu kuuleta katika uwepo ni vipengele viwili tofauti lakini vipengele visivyotengana vinavyosogeza mbele maisha ya jumuiya abdulbahá aliandika kwamba mafanikio na ustawi hutegemea juu ya huduma na ibada kwa mungu
sala ni ya msingi kwa maisha ya kibaháí iwapo kwenye ngazi ya mtu binafsi jumuiya au asasi wabaháí hugeuza mioyo yao kwa mungu mara kwa mara siku nzimawakisihi msaada wake wakimwomba kwa niaba ya wapendwa wakitoa sifa na shukrani na wakitafuta thibitisho takatifu na mwongozo aidha mikutano ya mashauriano na mikusanyiko ambamo marafiki wamekuja pamoja kutekeleza mradi mmoja au mwingine mara nyingi huanza na huisha na sala
wabaháí pia wanakaribisha mikusanyiko ambamo marafiki wabaháí na wengine vilevile wanaungana katika sala mara nyingi katika nyumba za mmoja kwa mwingine mikutano ya ibada kama hii hutumika kuamsha mwelekeo wa kiroho ndani ya washiriki na pamoja na matendo ya huduma wanayotekeleza huongoza kwenye muundo wa maisha ya jumuiya unaojawa na roho ya ibada na unaozingatia upatikanaji wa ustawi wa kiroho na kimwili
kuunganishwa kwa ibada na huduma hupata kielelezo katika asasi ya mashriquladhkár muundo huu hujumuisha jengo la katikati linalokuwa kitovu cha ibada katika eneo la kijiografia na majengo tegemezi yaliyotengwa kwa ajili ya utoaji wa elimu huduma za afya na huduma nyingine zinazohusika na maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya jumuiya ingawa kuna mashriquladhkár chache tu duniani leo mbegu za kwa ajili ya kufikia ustawishwaji wake zinaendelea kupandwa katika idadi inayoongezeka ya jumuiya na huko mbeleni kila kitongoji kitanufaika na majengo kama hayo | 2018-12-17T12:58:34 | https://www.bahai.org/sw/action/devotional-life/ |
rais magufuli akabidhiwa uenyekiti sadc awatoa hofu wanachama mwanahalisi | presstz your number 1 source of aggregated online content
by mwanahalisi / posted saturday 17th august 2019
rais john magufuli leo tarehe 17 agosti 2019 amekabidhiwa rasmi uenyekiti wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika sadc anaripoti regina mkonde (endelea) dk magufuli amekabidhiwa kijiti hicho na rais wa namibia dk hage geingob mwenyekiti wa sadc aliyemaliza muda wake katika mkutano wa 39 wa jumuiya hiyo unaondelea katika ukumbi wa mikutano
1 igp sirro aonya polisi kujihusisha na siasa
2 mlipuko wa bomu wauwa mmoja na kujeruhi wawili kibaha
3 serikali yatoa majibu sintofahamu zao la korosho
4 kusimamishwa uwakili fatma atuma ujumbe kwa jpm
5 aliyetumbuliwa ateuliwa ubalozi | 2019-09-22T02:10:14 | http://presstz.net/rais-magufuli-akabidhiwa-uenyekiti-sadc-awatoa-hofu-wanachama-53657177 |
home > bidhaa > mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic (jumla ya 24 bidhaa kwa mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic)
mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
sisi ni maalumu mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka china ya jumla mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu mojawapo ya mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic bidhaa za kuongoza kutoka china zhejiang fizz new energy coltd
mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic jumla kwenye zhejiang fizz new energy coltd na kupata ubora wa juu mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china mashamba ya maji ya umwagiliaji ya photovoltaic na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka | 2020-05-29T11:52:55 | http://sw.ywfizz.com/dp-mashamba-ya-maji-ya-umwagiliaji-ya-photovoltaic.html |
rai hamkani haya ndiyo madhara ya kumdharau nyerere | jamiiforums | the home of great thinkers
rai hamkani haya ndiyo madhara ya kumdharau nyerere
thursday june 30 2011 732
baba wa taifa mwalimu julius nyerere aliwahi kuja na falsafa yake kuhusu dhana ya maendeleo kwa kutumia hekima busara na kwa kinywa chake mwenyewe mwalimu nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne ambavyo ni ardhi watu siasa safi na uongozi bora
naam huu ni unabii wa aina yake ambapo kauli hii ni zaidi ya falsafa inayowezwa kufanywa kama imani ya kutuponya na kutuokoa kutoka katika hili dimbwi la umaskini jambo la kushangaza ni kuwa watanzania tunazidi kuwa maskini licha ya kujaaliwa mambo yote ya msingi na muhimu inakuwaje maendeleo hakuna kwa maana ya watu ni maskini wakati vitu hivyo vyote tunavyo
kama ni suala la ardhi tunalo eneo kubwa tu lenye ukubwa wa zaidi ya kilometa za mraba 940000 ardhi yetu imejawa na rutuba ya kutosha ardhi yetu imesheheni madini na vitu vya thamani ardhi yetu hii hii imesheheni vyanzo vya maji (mito maziwa bahari nk) na pia ardhi yetu hii imebarikiwa kuwa na mbuga za wanyama na mioto ya asili (misitu) ya kutosha tu hivyo ardhi si tatizo kabisa
pia katika suala la watu nalo pia hatujambo ni takribani miaka 50 sasa tangu tupate uhuru wetu lakini leo hii tupo karibu watanzania milioni 45 kati ya watanzania hao tuna wasomi wa kutosha tuna wataalamu na mabingwa wa kila idara ama nyanja tuna vijana (nguvu kazi ya taifa) ya kutosha hivyo uwepo wa watu kama nguvu kazi ya taifa ama wajasiriamali pia si tatizo
suala la siasa safi napo hali si mbaya uhalisia wa uwepo wa siasa safi upo ila isipokuwa kuna baadhi ya viongozi ‘sisimizi' ambao wanajaribu kulivuruga hili licha ya uwepo wa mfumo wa vyama vingi ikumbukwe tangu tanu na asp hadi hii leo chama cha mapinduzi (ccm) ambacho ndicho chama tawala kimeendelea na ujenzi imara si tu wa maendeleo bali pia hali nzima ya uhakikishaji wa uwepo wa demokrasia nzuri inayoleta amani na utulivu ambayo ndio nguzo yetu ya kimaendeleo
siasa na demokrasia yetu ni ile inayofuata mfumo wa nyama vingi uwepo huu wa vyama vingi umesababisha vyama baina ya vyama ama viongozi baina ya viongozi kusiginana ambapo kila mtu ama kila chama huvutia upande wake hapa ndipo kwenye tatizo sugu linalotuweka njia panda huku tukiendelea kutafunwa na mdudu ‘umasikini'
nao uongozi bora hali si shwari hali hii si kwa upande wa chama {yaani ccm} bali ni kwa upande wa baadhi ya viongozi wetu uongozi una miiko na si lelemama kama baadhi yao wanavyojifikiri uongozi bora msingi wake ni utawala wa kisheria ambao ni nguzo ya uwepo wa utawala bora
tatizo linalotukumba ni uwepo wa laana inayotumaliza kutokana na kuiasi falsafa ya baba yetu mwalimu nyerere kwa kupuuzia dhana ya uwepo wa siasa safi na uongozi bora hatuwezi kuendelea kwa kuendesha ushabiki upofu ama siasa za maji taka yaani siasa chafu za kuchafuana na kupakana matope kila kukicha
mbaya zaidi ni hayo madudu yamekuwa yakifanyika chini ya mwamvuli unafki kwa tafsiri ya haraka haraka neno unafki unaweza ukasema ni undumila kuwili wa kujivika sura mbili tofauti kwa nyakati moja lakini kwa mahali tofauti tofauti kulingana na muktadha husika lengo kuu la kufanya hivyo ni kutaka kuharibu uhalisia kwa njia ya mficho na wakati huo huo mtu huyo huyo aonekane mwema machoni
hali hii ya baadhi ya watu kuwa wanafki haikuanza leo wala jana historia inatudhihirishia hilo kuwa hali ya baadhi ya watu kuutumia mwamvuli huu wa unafki na kuamua kuwa wanafki haikuanza leo wala jana kwani ulikuwapo tangu enzi za utawala wa kwanza wa mwalimu nyerere hadi hii leo katika utawala wa awamu ya nne yake dk kikwete na utaendelea kuwepo utofauti wa unafki upo kwenye ukomavu wake
tuweke kumbukumbu zetu sawa mwalimu julius nyerere wakati akiwa madarakani alimwagiwa lawama na tuhuma lukuki kwani wapo waliosema mwalimu haambiliki na wengine wakadai anaendesha nchi kwa remote akiwa butiama (kijijini kwao) lakini mara baada ya kung'atuka kwa hiari urais ndipo sifa za kinafki zilianza kummiminikia huku tukianza kumuita baba wa taifa mara baada umauti kumkuta ndipo unafki ulizidi kwake na leo hii kila kitu kibaya kinachotokea tunasema laiti mwalimu nyerere angekuwepo haya yote yasingetokea lakini angali hai ama madarakani hatukuyatambua haya zaidi ya kuuendekekeza unafki
ama alhaji hassan mwinyi wakati akiwa rais wa awamu ya pili walimwita mbinafsi muuzaji nchi kutokana na ubinafsishaji lakini leo hii ni mstaafu wanaanza kummwagia sifa teletele na hata kumwita mzee wetu huku wakijivunia kuchota hekima na busara kutoka kwake lakini angali madarakani hatukuliona hilo huu ni unafki mtupu
pia benjamin mkapa alidhihakiwa kweli kweli wakati wa uongozi wake hadi kufikia hatua ya kumwita ‘ukapa' badala ya mkapa kutoka katika neno la ‘ukata'
lakini leo hii kila anapokatiza ni shangwe kofi vifijo na vigelegele na tukisema afadhali ya mkapa kuliko wote na wengineo tumewaona wakimpa hata tuzo ya heshima jamani kama huu si unafki basi tuuiteje
na bila shaka haya marashi ya kinafki yalioanza kupulizwa tangu enzi za utawala wa awamu ya kwanza hautaiacha awamu hii ya nne leo hii rais kikwete anatukanwa vibaya mno kwani kila mtu anayejisikia kumuongea vibaya anafanya hivyo lakini subiria akitoka madarakani hizo sifa atakazo mwagiwa usizipimie kabisa rais kikwete awe sawa kimkao na marashi haya ya kinafki
unafki niliouzungumzia ni sehemu ya khulka ya kawaida kabisa kwa asilimia kubwa ya watu kutokupenda kuzungumzia mazuri ya mtu akiwa hai wanasubiria mpaka awe amefariki ndipo wamzungumzie kwa mema ama wale walio katika uongozi huwa hawasifiwi kwa kile wanachokifanya mpaka wamalize muda wao wa uongozi ndipo sifa kedekede huanza kumiminika yote hayo ni sehemu ya unafki wetu sie tusio na shukrani hilo ni kundi mojawapo tu la unafki unaofanywa na wanafki waliokubuhu
kundi lingine la wanafki ni lile ambalo wanatambua mambo yalivyo ama uhalisia wa mambo ulivyo lakini wanaamua kuupindishia kwa maksudi ilimradi uonekane ni uongo watu wa sampuli hii ni wale ambao wanalikubali tukio fulani lililofanywa na mtu ama kikundi cha watu fulani pasipo kutia shaka wala alama ya kuuliza kitu
lakini inapotekea kuwa tukio lile lile ama hali ile ile ikafanywa mtu mwingine ama kundi la watu wengine walio na mitazamo tofauti dhidi yao huanza kutia shaka fitna kuwaghubika hujawa na maswali mengi ya kipuuzi ambayo majibu yake wanayo
mathalani mwaka 1977 kulianzishwa operesheni kali ya kuwasaka wanaosadikiwa walikuwa ni wauaji na wachawi ambapo watu kadhaa walikamatwa wakawekwa ndani na kupewa mateso makali yaliyosababisha vifo vya baadhi ya watu operesheni hiyo iliyoendeshwa katika mikoa ya mwanza na shinyanga ilisadikiwa kufanywa na maofisa wa kiserikali
makosa hayo yaliyofanywa na baadhi ya maofisa wa kiserikali yalisababisha mabosi wao ama wakubwa wao kimadaraka ambao ni mzee alhaji ali hassan mwinyi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani na peter said sioverwa (kwa sasa ni marehemu) aliyekuwa waziri wa nchi ofisi ya rais usalama wa taifa bila ya kuwasahau waliokuwa wakuu wa mikoa wa mwanza na shinyanga mzee peter kisumo na marco mabawa (marehemu) walijiuzulu kutokana na vitendo vya kikatili vilivyofanywa na maafisa wa serikali waliokuwa chini yao
hapa mzee mwinyi aliamua kuwajibika kwa niaba ya makosa yaliyofanywa na maofisa wa ngazi ya chini yake yaani makosa wafanye watu wengine ama maofisa wa ngazi ya chini lakini mkubwa wao (mzee mwinyi) anaamua kubeba msalaba wao kwa niaba yao kitendo hicho kinajulikana kama kuchukua wajibu wa kisiasa yaani political responsibility kwa lugha ya kitaalamu na kisomi zaidi
kutoka awamu ya kwanza mpaka awamu ya nne tunashuhudia hali ile ile ikijitokeza kwa kiongozi mwingine ilikuwaje wakati awamu ya nne inaingia madarakani shirika la umeme tanzania (tanesco) walitangaza hatari ya taifa kuingia gizani kutokana na ukame uliosababisha vina vya maji yanayozalisha umeme kupungua sana hivyo jitihada za haraka na za lazima zilihitajika
serikali waliisikia taarifa hiyo na ikaiamuru wahusika ama wataalamu wa wizara ya nishati na madini washirikiane na tanesco katika kutafuta kampuni itakayozalisha umeme wa dharura katika kipindi hicho kigumu
hatimaye kampuni ya kufua umeme wa dharura ya richmond ilipatikana ambayo baada ya muda mfupi tu ilionekana kuwa na uwezo duni wa kiutendaji na pia hawakuwa na mtaji wa kutosha
hali hiyo ya makosa hayo kufanywa na wataalamu wa tanesco na wizara yalisababisha wakubwa wao kimadaraka ambao ni edward lowassa aliyekuwa waziri mkuu na mawaziri wengine wawili ambao ni ibrahimu msabaha na nazir karamagi kuamua kujiuzulu kutokana na uzembe uliofanywa na maafisa wao wa chini
lowassa hakujiuzulu kwa sababu yeye ndiye aliyehusika katika hili au eti alikuwa na maslahi yake binafsi bali edward lowaassa aliamua kubeba msalaba kwa kuchukua dhamana ya kuwajibika kisiasa political responsibility kwa kuiokoa serikali isiendelee kusurubiwa na wabunge kwa maslahi ya serikali ya awamu ya nne na chama chake ccm
jionee unafki wa watu ulivyo tukio ni lile lile na hali ni ile ile ambapo lilitokea kwa mzee mwinyi lakini leo hii limetokea kwa lowassa kwa mzee mwinyi hakukuwa na maneno lakini kwa lowassa kuna maneno tele mzee mwinyi alichukua hatua gani na lowassa naye alichukua hatua ipi wanaopindisha uhalisia huu kwanini wasiitwe wanafki
lowassa aliamua kuwajibika kwa misingi ile ile ya kuchukua dhamana ya kisiasa (political responsibility) inakuwaje kwake inakuwa nongwa kwa kitendo chake cha kuamua kuwajibika
wapo wanaomlaumu lowassa kutokana na ufuatiliaji wa ukaribu katika mchakato huu watu hawa wanasahau ya kwamba kwanza lowassa alikuwa ndio mtendaji mkuu wa serikali (waziri mkuu) akimsaidia rais katika kipindi hicho pili inawezekana lowassa alitambua umuhimu wa umeme kijamii na kiuchumi kwa watu na kwa taifa jiulize endapo nchi ingeingia gizani huyo anayemsaidia rais asingeonekana mzembe kwa kutokuchukua hatua za kuinusuru hali ile
pia kuna kundi jingine wanalomtuhumu lowassa kuwa alikuwa na maslahi binafsi dhidi ya kampuni hiyo mbaya zaidi ni kuwa hawa wanaoshabikia hili ni mabingwa wa sheria ambao sasa wameivamia siasa wengineo walishawahi kuongoza mhimili mmojawapo wa dola na hivyo wanazijua vyema sheria zilivyo kwanini hawampeleki mahakamani kama kweli wana uhakika na tuhuma zao wanamtuhumu (ili waonekane wema) lakini wanashindwa kwenda kwenye vyombo vya sheria tuwaeleweje kama huu si unafki ni kitu gani haswaa
hakika tuhuma hizi za baadhi ya watu kujigeuza mahakama kwa kumwita mtu au watu wezi pasipo mahakama kuhukumu zinaelekea kuchochewa zaidi na unafki wao
hila roho mbaya tamaa za fisi za uchu wa madaraka na mali huwafikisha kwenye upindishaji wa mambo kwa maksudi ilimradi ukweli uonekane ni uongo kwa kuwaamisha watu uongo wao pasipo kujua kuwa umma wanaujua uongo wao
wanauendekeza unafki wao pasipo kujua kuwa unafki wao ndio unaoliangamiza taifa letu unafki wao umeleta chuki iliyozaa makundi baina ya wanasiasa unafki wao unasababisha baadhi yao kuutafuta utukufu binafsi na si tena utumishi kwa umma unafki wao umezaa ubize wa majungu fitna usaliti unafki wao umeleta uadui unaosababisha viongozi kwa viongozi kutokushirikiana pasipo nguvu ya umoja maendeleo yatatoka wapi
leo hii tumefika kwenye hatua ambayo waziri hana ushirikiano na naibu wake katibu mkuu hawapeani hata salaam na naibu wake watu wanaishi kwa mtindo wa nikanyage bahati mbaya nikulipue maksudi
matokeo ya hayo ni kila upande kutokuona mwenzake anapata kile anachokiita sifa kwa jamii huyu ataleta mradi bora wa maendeleo kwa jamii mpinzani wake ataukwamisha yule atatoa hoja yenye tija mwenzake ataupinga mathalani walipinga mitambo ya dowans isinunuliwe kwa kuwa ina harufu ya ufisadi na pia ni mitambo chakavu lakini leo hii tunawasikia wamarekani wakiinunua na kukiri ni mipya na watatuuzia umeme unaona mambo hayo badala ya kuwa na mitambo yetu wenyewe tunaishia kuwa taifa la kuuziwa umeme kisa unafki wao umaskini utatuachia kweli
leo wataunda tume kuchunguza kesho tutalipa faini ya mamilioni ya pesa kutokana na madudu yaliyofanywa na tume hiyo haya ni matokeo ya unafki wao watakubaliana hili ila kwenye mkataba utaandikwa kile kwa mwendo huu tutaacha kuwa maskini kisa unafki wao ambao unazidi kuliangamiza taifa
ipo mifano mingi tu ya kuelezea jinsi gani unafki unaofanywa unavyotuletea umaskini laiti kama unafki ungelikuwa ni pesa basi watu wangekuwa matajiri kwani leo hii baadhi ya watu wameigeuza nchi hii kuwa kama taifa la makambare si baba mama wala mtoto wote ni wanafiki watupu tuukatae unafki huu | 2016-12-07T09:16:20 | http://www.jamiiforums.com/threads/rai-hamkani-haya-ndiyo-madhara-ya-kumdharau-nyerere.150563/ |
matukio rais dk magufuli akutana na bilionea bill gates na kaimu balozi wa marekani nchini wazalendo 25 blog
home » habari » jamii » maisha » matukio » teknolojia » matukio rais dk magufuli akutana na bilionea bill gates na kaimu balozi wa marekani nchini
matukio rais dk magufuli akutana na bilionea bill gates na kaimu balozi wa marekani nchini
posted by gadiola emanuel posted date august 10 2017 / comment 0
tagged with habari jamii maisha matukio teknolojia | 2017-08-22T03:34:19 | https://wazalendo25.blogspot.com/2017/08/matukio-rais-dk-magufuli-akutana-na.html |
fikiria kutumia akili ili kukabiliana na shida ya kila siku
tags wasiwasi • unyogovu • high blood pressure • maumivu
ili kufanya mazoea ya akili lazima uangalie inaweza kuonekana rahisi lakini katika jamii yetu ya haraka kuwa na wakati huu kwa madhumuni na bila ya hukumu inaweza kuwa changamoto
dr timothy riley profesa msaidizi na mwenyekiti mwenye ushirika wa ustawi katika idara ya madawa ya familia na jumuiya at afya ya jimbo la penn alisema wakati tunapozingatia kile kinachotokea hivi sasa tunaona mambo ambayo tunaweza kukosa
kuwa na ufahamu wa kimwili mawazo na hisia zote mbili nzuri na zisizofaazinaweza kutusaidia kuchagua kujibu badala ya kujibu tu alisema
maumbile yetu ya maumbile mazingira jinsi tulivyoinuliwa na hali ambazo tunajikuta sisi wenyewe huathiri jinsi tunavyofikiria maisha wakati mwingine athari zetu moja kwa moja ni doa katika hali nyingine sio hatua bora zaidi
unatembea na starbucks angalia cookie na una majibu ya kihisia riley alisema unataka cookie kisha inaweza kuja na hatia kwa kutaka kuki
katika mazoezi ya akili unaona cookie unatambua mchoro wako wa kihisia na unaruhusu uwepo bila hukumu inakuweka katika mtazamaji huu ambapo tunaweza kushuhudia kile kinachotokea bila kupata vifuniko ndani yake alisema inakupa nafasi kidogo
kujitenga kunaweza kukusaidia kufanya uamuzi kuhusu kuchagua kama kuki ni hekima na unachohitaji nini hivi sasa
maelfu ya tafiti yamefanywa kwa jinsi akili na njia zinazohusiana zinaweza kusaidia kupunguza matatizo na matatizo ya kawaida ya afya kama vile wasiwasi unyogovu maumivu na shinikizo la damu
kuzingatia wakati huu una madhara kadhaa katika maisha yetu ya kila siku riley alisema kawaida chochote kinachotokea hivi sasa sio mbaya sana na kutambua kwamba inaweza kutuweka katika sura nzuri zaidi ya akili kisha ushirikiano wetu wa pili ni bora
uangalifu pia umeonyesha kuimarisha shughuli katika kanda ya mapendeleo sehemu ya ubongo ambayo inasaidia kuchukiza mtoto mdogo ambaye anataka kupiga kelele kupiga kelele kulia kupiga au kutupa fit
tunapojitahidi zaidi zaidi tunapokuwa tukibadili misuli hii ya udhibiti wa kihisia riley alisema wakati hisia za moja kwa moja zinakuja tunaweza kuchagua ikiwa ni lazima tuwashirikishe
kwa msaada wa idara yake riley alikamilisha mafunzo ya kutoa kozi ya wiki nane kwa wafanyikazi wa afya wa jimbo la penn na mwanzo wa umma mnamo januari atakuwa akifundisha na holly socolow ambaye amekuwa akifundisha uangalifu katika eneo la hershey kwa miaka kadhaa
kozi hiyo itakutana kwa masaa matatu jumatatu jioni katika chuo kikuu cha fitness fitness na inakabiliwa na makao ya kimya
wanafunzi kulipa $ 500 kwa masaa ya 30 ya kuwasiliana na mwalimu na kujitolea kutafakari dakika 4560 kila siku wakati wa kozi riley alisema hawatawaacha wale ambao wamejiunga na mpango lakini ambao wanaweza kuwa hawawezi kulipa kiasi kamili
wafanyakazi ambao huhudhuria angalau madarasa sita na nane na kuhudhuria makao ya kimya wanaweza kupata nusu ya gharama zinazolipwa na rasilimali
kwa maelezo au kujiandikisha tuma barua pepe kwa [email protected] kabla ya jan 7
kujifunza zaidi
dakika ya matibabu kufanya kazi kupitia shida ya kila siku ya maisha
mpango wa kupunguza kisaikolojia hutoa msaada kwa wasiwasi unyogovu maumivu ya muda mrefu
dakika ya matibabu tu sema om faida za yoga na pilates kwa kompyuta
the dakika ya matibabu ni kipengele cha habari cha afya kila wiki kilichozalishwa na afya ya penn state makala huonyesha ustadi wa kitivo madaktari na wafanyakazi na ni iliyoundwa kutoa wakati habari muhimu za afya ya maslahi kwa watazamaji mpana
kablaweka moyo wako kutoka kwa athari za nyakati za likizo
ifuatayokupunguza stress ya likizo
mama wa mama wa texas anamtunza mtoto ambao alipokea kido chake
fanya katika kila umri kuadhimisha mwezi wazee wa merika
kidogo cha vituo vya matibabu vya marekani kutoa dawa kwa dawa ya opioid | 2020-04-04T17:31:19 | https://livepast100well.com/sw/fikiria-kutumia-mindfulness-kukabiliana-na-shida-ya-kila-siku/ |
#perving hashtag instagram
#perving photos and videos
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment brand new appartments ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kinondoni near kwa pinda ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price $ 1500 per month terms of payment direction masaki near coco beach ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block #swimming pool $gym #security # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (d )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea pia ina servant corter ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 7 per month terms of payment 6 month direction ununio ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (e )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inategemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 8 per month terms of payment 6 month direction kinondoni near mkwajuni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (d )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment brand new appartments ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price $ 800 per month terms of payment 6 month direction mikocheni near victoria ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block 2 swimming pool #gym #security # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 75 per month terms of payment 6 month direction kinondoni near usalama wa taifa ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment brand new appartments ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price $ 800 per month terms of payment 6 month direction mikocheni near victoria ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block #2 swimming pool #gym #security # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price millioni 1 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach near kwa zena kawawa ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (mk )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price millioni 1 per month but maongezi yapo terms of payment 6 month direction chuo cha ardhi near mlimani city ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 7 per month terms of payment 9 month direction mbezi beach makonde upande wa juu ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (m/tz )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 8 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach upande wa chini near kwa zena ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (mk )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price $ 750 per month terms of payment 3 month direction ostabey near kaunda road ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block #swimmimg pool # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (c )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction kinondoni near mkwajuni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (d )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price millioni 12 per month terms of payment 6 month direction mikocheni b ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (c )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 8 per month terms of payment 6 month direction mikocheni near warioba ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment direction kinondoni near komakoma ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (c )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction mbweni near ubungo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 7 per month terms of payment 6 month direction bunju beach near moga ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (o )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction mbweni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (mw/m )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 4 april 2020 asking price laki 35 per month terms of payment 6 month direction mbweni near teta ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (mw/m )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 5 per month terms of payment 6 month direction bunju b ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (t )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment zipo 4 kwenye compound ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 5 per month terms of payment 6 month direction tegeta near namanga ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (t )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 5 per month terms of payment 7 month direction victoria ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (t )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction sinza a near mlimani city ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (ng )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction sinza near kwa remy ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (ng )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment brand new appartments ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction kinondoni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # #
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment brand new appartments ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 4 per month terms of payment 8 month direction sinza ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (t )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 3 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach near masana hospital ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (m/tz )
⭐⭐🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 3 april 2020 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction sinza near mugabe ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #perving block # # # # # #⭐⭐⭐nyota⭐⭐⭐ # # # # # # # # #garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine # # # # # #pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp # # #⭐⭐nyota⭐⭐ # # # ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa # # #thanks & welcome # # # (ng )
top on #perving
shock horror the trains were time for once 😲 had a lovely weekend in manchester and some stupid kids set a fire at the back of the boyf's so got to see some firemen this was the best looking one out of all of them 😍🤤👨🚒 #weekend #manchester #perving #fireman
swoon 💕💕💕💕💕💕this stud and my parents in the background being cute 🙈 #perving #myman #hottie #romantic #swoon #talldarkandhandsome #happygirl #couplegoals #relationshipgoals
getting crafty at the red lion people watching my tits off holy shit ive been isolated for too long 🤤🤤🤤🤤🤤🤤🤤 #perving #peoplewatching #london #waiting #drinking #ale #beersoflondon
caught out admiring the rig 😏😏😏
chillin out at the beach bar @bomboras_torquay 😎 #perving #fatgeorgeposes #bullyplaying #bulldogdays #bully #bulldoglife #livingthedream #allaboutgeorge #fatgeorgethebulldog #dogtrepreneur #dogbalm #organicbalm #georgesbalm #lovemydog #bulldog #britishbulldog #englishbulldog #bullybutt #bulldogsofmelbourne #igbulldogs_worldwide #igbulldogs #bulldogsarebeautiful #instadog #dogsofaustralia #bulldogloversofinstatagram #bulldogstuff #bulldoglove #bulldog_featured
perving from the tree #award #winning #home #design #architecture #designlovers #archilovers #homestolove #tree #perving #render #art | 2020-04-04T04:57:07 | https://picmehd.com/htag/Perving |
ali kiba atupa jiwe gizani kisa watoto wake | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
ali kiba atupa jiwe gizani kisa watoto wake
kiba alisema kuwa katika maisha yake japo mungu hajamjalia kufunga ndoa lakini kwa watoto watatu ambao tayari amewapata anahakikisha anawalea
kambi ya mr blue si shwari mke wake atupa jiwe gizani
baada ya kuibuka kwa madai ya kuwa mr blue na ex wake wa zamani naj huwenda wakawa wanawasiliana kumekuwa na vijembe vya maneno kutoka kwenye kambi ya mr blue ambavo vinahisiwa huwenda vikawa vinaelekezwa katika kambi ya barakah da prince na naj
mr blue na mke wake walda
ilo limeibuka baada ya kipindi cha uheard cha clouds fm kudai barakah da prince ambaye ni mpenzi wa naj wiki chache zilizopita akiwa ameshika simu ya mpenzi wake huyo alipiga mtu ambaye namba yake iliseviwa zai na
wakati wengine wakitambulisha wapenzi wao ali kiba kaanza mwaka kwa kuwatambulisha watoto wake kwa mashabiki
nawapenda sana watoto wangu kingine ambacho kinabeba na kita endelea kubeba uzito kwenye maisha yangu ni familia yangu na hasa watoto wangu wananipa furaha sana inshaallah mwenyezi mungu awalinde siku zote amin
boss lady wa kampuni ya endless fame wema isaac sepetu madam amesababisha timbwili la aina yake hivi karibuni akidaiwa kuwa kwenye harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa bongo fleva anayesumbua na wimbo wa chekecha cheketua ali saleh kiba risasi mchanganyiko limesheheni mchapo kamili boss lady wa kampuni ya endless fame wema isaac sepetu madam ni arusha
tukio
miss tanga ataka kuzichapa kisa ali kiba
stori jamila said
miss tanga 2011 zubeida seif ametaka kuzichapa kavukavu na mwenzake aliyefahamika kwa jina moja la kelly kisa kikiwa ni mkali wa wimbo wa mwana ali saleh kiba miss tanga 2011 zubeida seif tukio hilo lililoacha watu midomo wazi lilitokea juzikati katika baa moja iliyopo maeneo ya mwenge dar ambapo ubishi ulianza baada ya zubeydah kutetea kuwa ali kiba anajua kuimba kuliko nasibu abdul diamond
qchillahtid wataka kutwangana kisangoma mpya ya ali kiba
mastaa wa bongo flevaqchillah na tid mwishoni mwa wiki hii walitaka kutwangana walipokutana katika klabu moja usiku kwa mujibu wa qchillah akizungumza kwenye uheard na soudy brown alisema kuwa alikwenda kwenye klabu hiyo kuangalia shoo iliyokuwa ikifanyika kwenye lakini baadaye aliamua kutoka nje kucheza pool table ndipo alipomuona tid
nilimuona jamaa(tid) akiniangalia na baadaye alinifuata akaniambia kuwa anataka kuongea na mimi nikamwambia ile siye sehemu yake atafute muda mwingine
ali kiba atoa nafasi kwa mashabiki wake kupendekeza jina la wimbo wake mpya
staa wa muziki ali kiba amesema anajipanga kuachia wimbo wake mpya hivi karibuni huku akitoa nafasi kwa mashabiki kupendekeza jina la wimbo huo
akizungumza na katika kipindi cha planet bongo cha east africa radio ijumaa hii ali kiba amewapa uhuru mashabiki kutoa jina la wimbo huo
mashabiki zangu kaeni mkao wa kula nashusha balaa lingine muda si mrefu kutoka sasa hii ngoma hata sijui mimi niiiteje yaani ila nitawaachia wenyewe wananchi mchague jina la kazi hiyo alisema ali
gigy adai kuporwa ali kiba wake
muuza nyago machachari bongo gift stanford gigy money
na mayasa mariwata
muuza nyago machachari bongo gift stanford gigy money ameonekana kushobokea penzi la mwanamuziki ally salehe kiba kwa kudai kuwa eti alikuwa wake ila jokate mwegelo akampora
akipiga stori na paparazi wetu huku akionesha picha mbalimbali alizopiga naye gigy alisema kuwa alishangazwa sana na taarifa kuwa jokate yuko na kiba wakati yeye ndiye aliyekuwa amejiweka kwake
watu hawajui ila kiba alikuwa wangu jokate
ali kiba apagawisha mashabiki wake escape one
ali kiba akikonga nyoyo za mashabiki wake katika ukumbi wa escape one mikocheni usiku wa kuamkia leo akipozi kwa ajili ya selfee akichekecha na kucheketua
mashabiki waliofurika kwenye onyesho hilo wakiimba na kucheza pamoja na ali kiba
maelfu ya wananchi wa afrika kusini walipuka kwa
waziri wa maji ahimiza usimamizi mzuri miradi ya maji
masoko mapya ya madini yaingiza bilioni 343 kwa | 2019-05-26T12:53:37 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/ali-kiba-atupa-jiwe-gizani-kisa-watoto-wake |
agosti 05 2019
eric kabendera akiwa mahakamani jumatatu agosti 5 2019
mwandishi wa habari nchini tanzania erick kabendera jumatatu amepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka mapya ya uhujumu uchumi baada ya kuzuiliwa na polisi kwa zaidi ya siku saba
mashtaka mapya yanamtuhumu kwa kujihusisha na genge la uhalifu na uhujumu uchumi nchini na kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya sh milioni mia moja za kitanzania
kosa jingine ni la utakatishaji fedha zenye thamani ya zaidi ya sh millioni mia moja na sabini
muungano wa watetezi wa haki za binadamu tanzania (thrdc) wameeleza kuwa hapo awali alikamatwa na kuhojiwa kwa uchochezi na uchapishaji wa habari za uongo lakini jumatatu madai yaliyotolewa mahakamani dhidi yake ni mapya kabisa na yamezua maswali mengi juu ya hayo moja ni kwa nini alikuwa hajahojiwa juu ya tuhuma hizo dhidi yake zilizoletwa leo
mtandao huo umeripoti pia kuwa kabendera anadaiwa kuyafanya makosa hayo kati ya januari 2015 na julai mwaka 2019 jijini dar es salaam kwa kushirikiana na watu ambao hawakuwepo mahakamani
kwa mujibu wa wakili wake makosa yote hayo hayana dhamana mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote mahakamani kwa sababu mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo mawakili wake wameondoa ombi la dhamana kutokana na mashtaka hayo mapya
kabendera anayeandikia magazeti ndani na nje ya tanzania alikamatwa jumatatu julai 29 wiki iliyopita na watu waliojitambulisha kuwa ni maofisa wa polisi katika mkutano na vyombo vya habari kamanda wa polisi kanda maalum ya mji wa dar lazaro mambossasa amesema kuwa mshukiwa huyo alikaidi agizo la polisi la kufika mbele yao kwa ajili ya mahojiano
akizungumza na wanadishi wa habari punde baada ya kabendera kusomewa mashtaka wakili wake jebra kambole amesema wakati erick anakamatwa siku ya kwanza aliambiwa kosa lake ni la uhamiaji akapelekwa kwenye mamlaka za uhamiaji akahojiwa pasipoti yake ikachukuliwa
uhamiaji wakamkabidhi kwa jeshi la polisi makao makuu (central) ya jeshi la polisi wakamhoji kwa makosa ya uchochezi kuanzia hapo hajawahi kuhojiwa kwa makosa mengine zaidi ya hayo
tunachofanya sasa ni kuangalia upelelezi unafanyika kwa wakati ameeleza wakili huyo kesi hiyo inatarajiwa kusikilizwa agosti 19 mwaka huu
mwandishi huyu aliitwa hakutekwa lakini kwa ujeuri alikaidi wito huo kimsingi pengine iwapo angewasili angehojiwa na kuachiliwa alisema mambossasa
amnesty international mashtaka dhidi ya idris sultan lazima yatupiliwe mbali
tanzania yapata fursa kupanua wigo wa rasilmali fedha
wanajeshi waasi wa zamani waomba serikali iwasaidie
serikali ya afrika kusini yakosolewa inavyoshughulikia covid19 | 2020-07-08T13:28:04 | https://www.voaswahili.com/a/tanzania-tuhuma-mpya-za-uhujumu-uchumi-dhidi-ya-eric-kabendera-zazua-maswali/5029256.html |
bora video chat uzbekistan online dating bila ya usajili
katika hali nzima ya historia utamaduni wa uzbekistan ilikuwa utajiri na aina ya mvuto wa kigeni kwamba walikuwa kuja juu ya ardhi yake kutoka maeneo mengine pamoja mkuu silk road mbali na hilo uzbekistan ni mama wengi maarufu duniani haiba kama vile avicenna (ibn abu sine) au kubwa gulbuddin begum kuweka yako kikwazo kando na wewe kujifunza mengi ya mpya na ya kuvutia mambo ya wakati kuwasiliana katika mazungumzo uzbekistan kutumia chat uzbekistan wewe wazi kwa ajili ya wewe mwenyewe na uwezekano wa kuwasiliana na aina ya interlocutors ambayo kila mmoja ni hardwired kwa mazungumzo kama hata hivyo mazungumzo akaenda
bure china video chat chumba china chat china mgeni ongea china cam chat
karibu china video chat chumba free china chat chat chumba marekani uingereza canada mexico ukraine ufaransa ujerumani italia romania hispania sweden uswisi ureno uturuki austria india belgium denmark ireland finland australia argentina brazil chile colombia poland saudi arabia bahrain yemen iran iraq israeli jordan kuwait oman qatar syria uae yemen misri afrika kusini zimbabwe kenya mauritius morocco nigeria tanzania sudan algeria algeria uganda urusi india china kyrgyzstan tajikistan uzbekistan georgia turkmenistan bangladesh pakistan indonesia philippines malaysia japan china korea ya kusini singapore vietnam thailand
random chat video chat ramiz
wasichana na guys kukutana na kujadili mioyo webcam kushikamana h hakuna video chat au roulette nusu tupu kama nzito juu ya ramiz moja ya njia ya mazungumzo ya kweli tofauti na nini unaweza kuona kwenye mtandao wewe kugeuka juu ya kasi na kushiriki adventure furaha mtazamo na ndiyo hakuna michango ya kufanya na sisi hawana hata haja ya kujiandikisha hakuna usajili required na nini juu ya wote video na chat roulette kwenye tovuti hii sisi kuchagua mali chat roulette kwa ajili ya wewe kuwa na furaha katika yote unyenyekevu ukweli kuwa free chat roulette ni kutumika kwa kupokea watu kutoka
chat tunisia free video chat na wageni random
mazungumzo ya tunisia itakuwa kuanzisha wewe mpya watu kutoka moto ya nchi ambayo itakuwa na kisingizio kwa ziara ya tunisia kwa ajili ya mazuri ya mkutano kupata interlocutor wa tunisia kuchagua nchi hii kutoka kwenye orodha kama video chat itakuwa si kuwa na uwezo wa kupata mtu basi utakuwa na kuungana na wageni kutoka nchi nyingine unaweza kuona kutoka nchi gani kwa mtumiaji katika chat kuzungumza na wakazi wa tunisia sfax sousse ariana attachment kairouan gabs bizerte kupanua maarifa kuhusu hali ya tunisia ni kilimo na viwanda ya nchi misingi ya uchumi wake ni kilimo utalii nguo mauzo ya nje
online china webcam chat chumba china kuzungumza kuishi china webcam chat china mgeni video chat
kukutana na mgeni china wasichana na wavulana katika china vyumba vya gumzo utakuwa mgeni kutoka wote juu ya dunia hii live uso kwa uso
wanawake kuangalia kwa ajili ya watu katika china kukutana na china wanawake
nyumba kujiandikisha kuingia katika search kuvinjari juu sasa online maeneo maswali dating affiliate program sera ya faragha mteja msaada hati miliki lava nafasi moja ya kichina mwanamke ambaye urithi cheo jadi ina nguvu na rahisi mashariki kike wa bidii na maalum na ya nje kama vile ndani kama vile kuwa na mawazo bora kwa ulimwengu na ladha mimi kuja kutoka china mimi ni ainamoyo waaminifu familiaoriented kuwajibika vizuri elimu busara mpole kimapenzi smart akili rahisi kwenda kirafiki extroverted i am addicted na kusafiri mimi kuwa na hisia nzuri ya mtindo wote kwamba fit nzuri sana wangu mshupavu mwili wa asili
ambapo kukutana na asia ya wanawake online maelezo pipa
maelezo ya pipa ni kuandika jukwaa kwa ajili ya mashirika yasiyo ya uongo kumbukumbumsingi maudhui ya taarifa maoni yaliyotolewa na maelezo pipa waandishi ni wao wenyewe shukrani kwa mtandao ni kamwe kuwa rahisi kukutana na asia ya wanawake kuangalia kwa ajili ya magharibi waume hapa ni baadhi ya nje ambapo unaweza kukutana na asia ya wanawake online kichina wanawake ni sasa miongoni mwa wengi zaidi katika maeneo ya dating ambapo watu wa magharibi wanaweza kukutana pamoja na kuzungumza na wanawake asia ingawa unaweza kupata kichina wanawake wengi juu ya maeneo ya dating watu ambao dhahiri wanataka kupata kichina mke mara
chat china video chat vyumba katika china turtle chat
nchini china kuna takriban idadi ya watu na hakika wengi wa watu hawa ni sasa online kusubiri kuungana na wewe kwa njia hii ya mazungumzo ya kujifurahisha kuingia kuzungumza chumba sasa kuingia chat china kama wewe hawataki kutumia wiki yako mchana peke yake tena wakati unaweza kuwa kufurahia kampuni ya mtu maalum kama una aliwasili hapa ama wewe kuishi katika nafasi hii au wewe ni nia katika desturi na njia ya maisha ya watu wa huko hivyo kuingia sasa kama moja ya mambo ambayo wewe kufurahia zaidi ni kukutana na watu kutoka duniani kote kuhusu jinsi ya kuchagua mahali ambapo
free video chat juu ya zinazotembea
free video chat juu ya simu za mkononi hii ni smart simu ya mkono simu programu ambayo tayari ni kuwa kupakuliwa na mamilioni ya watu nchini china (yake ya toleo la kiingereza ni wito kama) hii hutoa mazungumzo na mazungumzo ya kikundi kwa ajili ya bure juu ya kwenda juu ya smart ya simu za mkononi ambayo ni apple ios android windows simu au symbian nk
ushauri jinsi je mimi kukutana na watu mkutano watu wakati wewe ni migogoro na kuepukana na uhusiano mbaya mizigo reclaim na natalie undi
siku za hivi karibuni i ve been kuwa na mashaka kuhusu mahali pa kukutana na watu kwa sababu mimi nina uchovu wa klabu guys wote pale tu wanataka moja usiku kusimama na zaidi ya muda wao ni aina ya kulewa hivyo kwamba ni si baridi nataka zaidi labda si uhusiano mbaya lakini guy unaweza tarehe michache mara na kuwa na muda mzuri na mimi nina umri wa kutosha kurejea kwa dating tovuti na mimi don t kujisikia upweke sababu mimi don t kuwa na guy haki sasa nml anasema shida ni kwamba wewe ni katika vita wewe sema unataka kukutana
njia bora ya kukutana na wasichana kirusi kwa ajili ya ndoa
karibu watu bilioni saba wanaoishi sasa juu ya dunia wote wana tofauti ya rangi ya ngozi sura ya macho na nywele texture wakati wanaoishi katika mabara tofauti na kuwa na dini mbalimbali ndiyo tofauti kati ya watu ni dhahiri lakini ambaye aliamua kwamba kuonekana kuwa na jambo siku hizi hata kubwa umbali kati ya mbili mabara tofauti na wakati eneo ni kitu kwamba ndogo mapema juu ya maisha barabara kila siku watu wengi kufanya uamuzi blur mistari yote na kuwa na furaha moja kila mwaka idadi ya tamaduni ndoa kuongezeka watu wa nchi mbalimbali lakini kwa maoni sawa na tamaa
nini ni bora online dating tovuti katika china video dating
swaps ni rika kwa rika jukwaa ambapo watumiaji kubadilishana sarafu yao wenyewe epochi (paypal wechat belle alipay) wao je si kuwa na»fedha pool» ambayo wengine wote exc utamaduni wa kichina kuwezesha urafiki wa watu kutenda ukarimu kama reflex kuonyesha huduma zao kwa njia ya matendo badala ya maneno kuchagua usafi zaidi majadiliano ndogo na kutoa yao ya jumla ya makini na watu bahati kutosha kuwaita marafiki watu wana kila mmoja migongo hapa na sehemu bora ni wao kufanya hivyo bila kufanya mpango kubwa nje ya hiyo momo ni bure social search na ujumbe wa papo programu ya simu programu inaruhusu
moja ya kichina wanawake dating site ili mail wanaharusi kwa ajili ya ndoa
una alikutana gorgeous mwanamke juu yetu kichina dating tovuti na wanataka kuoa wake unapaswa kufunga mwenyewe juu katika takatifu ya ndoa hapa ni baadhi ya sababu kwa nini single kichina wanaweza kufanya bora wake asia wanaharusi kuwa maarufu kabisa na watu wa magharibi mengi yao ni sasa ndoa kwa wanawake kichina je umewahi kujiuliza kwa nini sisi si kusema kwamba china wanawake dating ni bora kuliko dating wanawake kutoka nchi nyingine lakini kama wewe ni mtu magharibi ambaye anataka tarehe wanawake kichina utapata mwongozo huu na manufaa china wanawake dating ni ya kuvutia kabisa kwa ajili ya watu wa magharibi
kwa mujibu wa china video dating watu wengi ambao ni dating wasichana kichina online na ni mipango ya kuwa na kichina mke siku moja kuwa na wasiwasi kwamba kama wao kupata ndoa ya kichina mwanamke yeye inaweza kuwa nia tu katika kuacha nchi yake au kuimarisha yake hali ya kiuchumi unaweza kuwa alitembelea china bara kabla na inaweza kuwa kamwe tarehe yoyote kichina mwanamke hivyo kuna baadhi ya mambo unahitaji kujua kama wewe ni kufikiri ya jinsi ya kupata kichina msichana kama wewe au ni tayari dating mwanamke wa kichina jambo moja muhimu sana unapaswa kujua kuhusu wasichana kichina ni
china chat chumba china chat online mgeni webcam chatrooms
online chat chumba kwa ajili ya jamhuri ya watu wa china china mgeni chumba chat china webcam chat china video chat hii ni china chat vyumba ambapo watu kutoka china wanaweza kuzungumza online live cam kasi na duniani kote kuhusu china china rasmi jamhuri ya watu wa china ni taifa huru iko katika mashariki ya asia ni dunia ya nchi yenye wakazi wengi na idadi ya watu zaidi bilioni kuna aina mbili tu ya majeshi ya kwamba kuungana wanaume hofu na riba wakati sisi kuzungumza kama mgeni basi wote wanaweza kuwa katika ngazi ya chini kama kuna kikwazo cha
ambapo kukutana na guy asia internals vikao
kabla unaweza post bonyeza kujiandikisha kiungo hapo juu na kuendelea ili kuanza viewing ujumbe kuchagua jukwaa kwamba unataka kutembelea kutoka uteuzi chini hi kwa wote mimi ningependa kukutana na asia guy lakini siwezi kupata haki ya maeneo ambapo kwa kufanya hivyo ni inaweza kuwa na uhusiano au urafiki tu lakini mimi nasema tu kiingereza kijerumani na kirusi na kuishi katika urusi mimi je si kuzungumza lugha yao (i mean siwezi kusoma hieroglyphs) na kwamba ni kwa nini hawezi kujiandikisha katika maeneo yao bila shaka kuna ni ya kimataifa dating maeneo ambayo ni katika kiingereza lakini wengi wao ni wamarekani na
mambo ambayo kutokea wakati wewe kukutana na guy nzuri baada ya sumu ya uhusiano thought catalog
wakati wewe ni katika sumu ya uhusiano huna kutambua jinsi gani unyanyasaji wa kihisia na athari wewe si wakati wewe ni katika angalau wakati wewe ni katika sumu ya uhusiano kila kitu juu yake ni aina gani ya addicting ni kujua na bila kujua nini kinaendelea kutokea ni matumaini yetu kwamba utakuwa kutakuwa na mabadiliko lakini pia kuna faraja katika mambo ambayo ni ya sawa kuna faraja katika mtu kujua wewe hivyo kwa undani na inachukua kila kitu katika wewe si kutembea mbali na hata wakati wewe kutembea mbali wewe mwenyewe kupata kwenda hivyo mara nyingi kwa sababu wewe miss
jinsi ya kukutana up msichana online
sisi wote ni risasi kwa ajili ya nyota hasa linapokuja upendo na kutafuta mtu maalum sisi kwenda kwa njia kadhaa ya vikao kujifunza jinsi ya kuishi na baadhi yetu kuendelea kujaribu hata wakati matumaini ni defusing kama puto baadhi yetu hata hivyo kuona dating si kama ahadi ya muda mrefu na elfu vikwazo na changamoto wao tu kufurahia kukutana na watu wapya na si overthink kuhusu masuala ya uhusiano wowote lakini sisi wote kwenda online mara kwa mara kwa ajili ya kwamba wakati maalum na nzuri mgeni sisi kuweka juu ya inaendelea linapokuja dating mahusiano ni si halisi wakati somo
wanaume alitaka kwa ajili ya kichina millionaire single ladies telegraph
johnny du mkurugenzi mtendaji wa online dating kuanzaup tanoan (mimi nataka mtu) mateke mbali ya jitihada zake mwezi uliopita na lengo la kupata kufaa waume kwa baadhi ya wengi na haki kwa wanawake katika kisasa ya china wanawake ni pamoja na mali isiyohamishika magnates na viwanda tycoons kutoka jimbo la sichuan ambao wamekuwa hawawezi kupata mr haki pamoja au labda kwa sababu ya wao ballooning benkimizani naamini hii ni mara ya kwanza kumekuwa na mpango huo tu kulengwa kwa ajili ya wanawake matajiri mheshimiwa du aliiambia daily telegraph wiki hii wakati wa ziara ya shanghai moja ya miji yeye ni
china dating tovuti free online dating katika china tx
china ni bora bure dating tovuti kuanza dating katika china ya leo hi mimi kazi katika ritter mbao mimi kama kazi yangu wakati mimi si kazi mimi kama samaki kambi ya wapanda baiskeli kwenda pwani wakati mwingine mimi kama kukaa nyumbani mimi kama kahawa yangu mimi kuweka nyuma na furaha kufurahia maisha mimi ni mwaminifu hi mimi nina tu ol nchi kijana nina umri wa mtindo nampenda nje ya uvuvi na uwindaji kambi na mimi m ngumu sana mfanyakazi mimi upendo pia ngoma na kwenda nje kwa chakula cha jioni ya upendo kupikia nje ya upendo kwa kwenda napenda kujua
ambapo kwenda kukutana na wanawake kichina
hivyo unataka tarehe msichana wa kichina huh ambapo kwenda kukutana na wanawake kichina sina uhakika kama na jinsi ya kwenda juu ya mkutano moja ni si kama vigumu kama unaweza kufikiri kama jambo la kweli kuna njia ya kukutana nzuri kichina wanawake katika eneo lako hebu tuangalie kwa haraka katika baadhi ya njia bora ya kwenda juu ya mkutano wa baadhi ya haya ya kigeni ya wanawake ndani ya umbali mfupi kutoka mji wa nyumbani yako chaguo moja tarehe ya china airlines ndege mtumishi wakati ujao wewe kusafiri matumizi ya china airlines na juu ya kupanda ndege kuhakikisha wewe kuendeleza
guys kuangalia kwa ajili ya wasichana katika china kukutana na china guys
mimi kuwa na aina mbalimbali ya maslahi anaongea lugha mbalimbali pamoja na elimu kuwa ya riba katika wawili akili ya mada sanaa kama vile chini ya ardhi ya msingi ya mada mrefu mwembamba mimi ni maya kimsingi mimi kutoka india lakini kutafuta yangu m mbbs kutoka mkoa wa liaoning mimi kuwa na madarasa ya mimi kutumia muda wangu na sketching kama mimi ni mwanafunzi wa digital kubuni nina marafiki zaidi i am kawaida mtu msingi kwangu ni kichina mimi kujifunza falsafa katika chuo kikuu cha humboldt zoo berlin mimi ni kuangalia kwa mpenzi ambaye anaweza kuishi na mimi katika china
china chat chumba bila ya usajili bure online chat rooms
kama wewe ni kuangalia kwa ajili ya chatting tovuti ni ya bure china chat chumba zaidi ya kuwakaribisha kujiunga bure china chat chumba bila ya usajili wa chuo kikuu mwanafunzi wa shule ya wasichana vyumba vya gumzo yetu online china chat chumba interface ni rahisi kuelewa na rahisi kutumia kugundua idadi kubwa ya vijana wanawake na folks kuzungumza na tarehe kwenye mtandao kujiunga na sasa kuruhusiwa yetu ya china majadiliano ya vyumba na hakuna awamu ya kugundua haki mechi ya leo sisi ni bure dating tovuti na zaidi dating watu kutoka uingereza na marekani kwa ajili ya kutafuta kasi dating
kama yoyote anauliza jina ni sehemu inayoonekana katika fb search screenshot i got habari kwa ajili yam folks yeye (kristen) ni kweli yeye kuangalia kwa karibu ni wazi wig na yeye haja ya kunyoa karibu btw i checked robert profile imekuwa ama ilifutwa au kubadilishwa rundo na profile yake picha ilifutwa kristen ni bado kuna lakini profile pic pia ni ilifutwa (asante mungu) wow hiyo ni kama kwa nini ingekuwa wewe tu kuamua kufanya hivyo kwa mgeni kamili i mean wagonjwa kama kutomba lakini pia ni funny sana si mali ya watu ni kusema katika wavu isipokuwa yake yameandikwa
dating kichina online
miezi michache baadaye sisi aliamua kukutana katika canada baada ya kuwa sisi aliyesema ya masaa kadhaa kila siku kuna ni daima kubwa kemia kati ya sisi na sisi ni furaha sana na kuvutia kwa kila mmoja mimi alitumia yangu ya kichina ya mwaka mpya likizo katika uingereza na tulikuwa na muda wa ajabu pamoja hivi sasa sisi ni kazi juu ya visa na mpango kwa ajili ya ndoa sasa shukrani kwa ajili ya kila kitu dating kichina online mimi alijiunga dating kichina online karibu mwaka mmoja uliopita pamoja na utata wa dhana mimi ili kupata yangu mpenzi kamili baada ya
juu ya njia ya texting wasichana kichina | 2019-04-26T14:07:12 | https://sw.video-chat.cn/ |
boma la mjerumani la 116 sasa linameremeta | lukwangule entertainment
boma la mjerumani la 116 sasa linameremeta
lukwangule 443 pm a+ a print email
makumbusho ya mkoa wa iringa inavyoonekana kwa nje baada ya mradi wa kuendeleza utamaduni nyanda za juu kusini (fahari yetu) kulifanyia ukarabati jengo hilo lililokuwa boma la mjerumani miaka 116 iliyopita (picha na frank leonard)
hili ndilo jengo la makumbusho ambalo litazinduliwa kesho
mkuu wa chuo kikuu cha iringa (iuco) profesa joshua madumulla amesema nyumba ya makumbusho ya mkoa wa iringa itafanya kazi kubwa ya kukusanya na kutunza vitu mbalimbali vya kale
vitu hivyo vya kisayansi sanaa na historia vitatoa fursa kwa jamii ya ndani na nje ya nchi kujionea hazina ya urithi uliopo mkoani iringa
uwekezaji katika urithi wa utamaduni hauna budi kupokelewa kama sehemu muhimu ya program itakayosaidia kukuza uchumi wa jamii husika na taifa kwa ujumlaalisema
ukarabati wa nyumba hiyo iliyojengwa takribani miaka 116 iliyopita na utawala wa mjerumani aliyeitumia kama boma lake kuu umefanywa kupitia mradi wa kuendeleza utamaduni nyanda za juu kusini (fahari yetu) unaofadhiliwa na umoja wa nchi za ulaya (eu) kwa zaidi ya sh milioni 230
fursa ya kulibadili jengo hilo la boma la kihistoria kuwa jumba la makumbusho ni msingi imara wa kukataa hatari ya kuyumbishwa na mabadiliko yasiyoleta tija katika kukuza na kuendeleza tamaduni zetu na utalii wa kiutamaduni nchini alisema
meneja msaidizi wa mradi huo unaokishirikisha chuo hicho kikuu jimson sanga alisema uzinduzi wa nyumba hiyo utafanywa na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki kikanda na kimataifa dk augustine mahiga
sanga alisema katika hafla hiyo itakayowashirikisha mawaziri wengine na viongozi mbalimbali wa serikali siasa mila utamaduni na taasisi mbalimbali za ndani nan je ya nchi utakwenda sambamba na maonesho ya rasilimali za utamaduni na historia ya mkoa wa iringa | 2018-11-13T01:37:11 | http://lukwangule.blogspot.com/2016/06/boma-la-mjerumani-la-116-sasa.html |
dc igunga kajidhalilisha mwenyewe mwisho wa ubaya ni aibu | jamiiforums | the home of great thinkers
dc igunga kajidhalilisha mwenyewe mwisho wa ubaya ni aibu
discussion in 'jukwaa la siasa' started by lengeju bob sep 23 2011
lengeju bob
wamejisahau sana hawa bado wanaishi katika ulimwengu wa chama kushika hatamuwanalewa divai ya ukada mpaka kwenye nyumba za ibada wanasahau kuwa ulevi nooma haya tuliyajua muda mrefu tulikuwa tunakosa ushahidi tu sasa yamejidhihirisha mchana kweupe kulikuwa hakuna namna nyingine ya kuanika uzandiki ule pasipo kumuumbua mhusika ingefanywa siri wakekanusha hao si mnawajua walivyo mahodari wa kukana
ni aibu sana lakini ya kujitakia hebu angalia mama wanao wanakuona umeminywa kama mwizi wa maembe watu wa ukoo wako wanaficha uso kwa ajili yako badala ya kuwa alama ya ushujaa katika kutetea uhai na haki unakuwa kinara wa mikakati ya kuua democrasia likiisha hili jirekebishe na warekebishe na wenzioowatu wanang'angana kupigana na wakatiujumbe umefika kama wezi wa simu za kichina wanachomwa moto tufanyeje kwa wezi wa haki na democrasia
safari ndo kwanza imeanza wala si suala la chadema ni ishu ya wananchi tunaoimua very soon tutaanza kuwashikisha adabu wanaouza chakula cha msaada tutawaburuta wanaokula pesa sa miradi ya maendeleo na tutawakimbiza mchakamchana wanaozika utu wetu kwa propaganda dhaifuvery soon tutawafunga kengele na kuwazungusha nchi nzima msiaminike tena mtengwe mpaka na nafsi zetu wenyewe maana mmekuwa makatili wa miili yenu na wasaliti wakubwa wa mioyo yenumnatenda yanayoumiza hata dhamiri zetu halafu mnataka tuwashangilie tu tuwasifie tu tuwanyenyekee na kuwalambalambanot this time not today not igunga be waremwisho wa ubaya ni aibu | 2017-01-21T13:58:06 | https://www.jamiiforums.com/threads/dc-igunga-kajidhalilisha-mwenyewe-mwisho-wa-ubaya-ni-aibu.175623/ |
rais magufuli amjulia hali mzee majuto hospitalini afunguka alivyomtabiria makubwa | mpekuzi
rais magufuli amjulia hali mzee majuto hospitalini afunguka alivyomtabiria makubwa
pamoja na hayo mzee majuto aliendelea kwa kusema sisi wazee tunafarijika sasa hivi viwanda kila kona vimetapakaa na leo amekuja kutembea hospitalini hapa sijui kama wengine hawajikojolea huko kwa uoga maana hataki masihara hii ndio raha ya kupata viongozi wenye msimamo | 2018-08-15T09:49:52 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/01/rais-magufuli-amjulia-hali-mzee-majuto.html |
kama tunaupenda muungano tufute kero zake | gazeti la rai
home makala kama tunaupenda muungano tufute kero zake
napenda niwakumbushe wenzangu wa jamhuri ya muungano na watendaji wa pande zote mbili kwamba mambo yanayohusu muungano yasifanywe na upande mmoja hayo ni maneno ya rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar (smz) dk ali mohammed shein aliyoyatoa januari 4 mwaka huu
siyo lazima uwe umezaliwa chake chake (mji maarufu kibiashara kisiwani pemba) au umezaliwa mji mkongwe (mji wa kitalii) inahitaji tu uelewa na roho ya kibinadamu ili kukubali kwamba muungano tulionao umezongwa na kero za muda mrefu
nakusudia muungano wa tanganyika na zanzibar wa mwaka 1964 ulioundwa na watu wachache mno hata raia wa mataifa haya wawili hawakushauriwa wala kuulizwa ikiwa wanataka muungano au la baadae ndipo tulipopata taifa la tanzania
haukuwa tu ni muungano wa kimya kimya pia umekuwa ni muungano watu kero na matatizo mengi ndani yake bila ya kusahau hauweleweki umekaaje kaaje hata ukijaribu kuuweka kitako au kuusimamisha
sisemi haya kwa sababu mimi ni mpinzani wa mungano napaswa kueleweka vizuri kwanza nakubali kwamba kuna faida nyingi tu ndani ya muungano zimepatikana lakini hatuwezi kuzikataa kero na sintofahamu za muungano
elimu yangu ya msingi na upili nimeipata kwetu zanzibar lakini elimu iliyobakia ikiwemo hii ya uandishi wa habari nimeipata tanzania bara katika mkoa wa morogoro hivyo sina kiburi cha kusema muungano hauna lolote hauna chochote zaidi ya hasaranikisema hivyo nitakuwa mnafiki
huko nyuma kuliundwa tume nyingi ili zisimamie kile kinachoitwa kero za muungano baada ya malalamiko kuzidi na kero kuzidi pia kulikuwa na mambo machache ya muungano lakini yakaongezwa kinyemela hadi yakawa mengi
katika tume hizo zipo zilizofanikiwa kupunguza kero za muungano laini hakuna tume iliyofanikiwa kuondoa kero zote zilishindwa kwa sababu si kazi rahisi sana punda dume kumgeuza ndama jike
ndio maana hadi sasa punde tu tulipouwanza mwaka mpya tena kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya urais wake dk ali mohammed shein amelilia usawa katika huu muungano
rasimu ya katiba mpya ya jaji warioba ndiyo iliyokuwa suluhisho la wazi juu ya changamoto za muungano bahati mbaya iliingia katika mikono ya wachumia tumbo wakaikoroga na mambo yamerudi kama yalivyokuwa
rais wa zanzibar asingelalamika usawa katika muungano kama hakuna changamoto zinazouzonga muungano hadi sasa bahati mbaya kachelewa mno kuzungumzia usawa katika muungano
mwanasheria kutoka zanzibar awadh ali said anapozungumzia matatizo ya muungano katika muktadha wa mapato anasema suala la mapato linaanguka katika suala la uchumi huku uchumi likiwa si suala la muungano
anaongeza kwamba kila mmoja (kati ya tanganyika na zanzibar) ina uchumi wake na mzigo wa kushughulikia (miundombinu umeme maji safi nk) lakini nyenzo kuu za uchumi ambazo ni sera za fedha sera za kodi benki kuu yote hayo yako upande mmoja (tanzania bara)
kinachomshangaza awadh ni kuwa uchumi ni wako lakni huna udhibiti wa sarafu yako huna udhibiti wa sera za kodi na huna uwezo hata wa kukopa lakini mwenzako muliyeungana amedhibiti yote hayo
hayo ndio maajabu ya muungano tulionao hata uwe mwanza au bukoba huwezi kukataa changamoto hizi ndio maana nikasema ni muungano wa ajabu hata ukiuweka kitako au kuulaza bado hauweleweki
ni muungano wa shaghalabaghala sio lazima umalize shahada ya siasa ili kuelewa muungano wa nchi mbili lakini nchi moja ndio imehodhi kila kitu na nyengine imepewa mamlaka ya ndani tu
na tatizo la viongozi wetu wa pande zote mara nyingi wanaposimama majukwaani hawakazii katika kutatua changamoto za muungano lakini hukazia kuulinda tu muungano
katika maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa nchi hizi mbili yaliyofanyika dodoma rais magufuli alisema nataka niwahakikishie kuwa tutaulinda muungano kwa nguvu zote na kamwe asijitokeze mtu yeyote atakaye jitahidi au kujarbu kuuvunja muungano atavunjika yeye
kwanini viongozi wetu wasile viapo vya kuondoa kero za muungano kuliko kula viapo kulinda muungano ambao dhahirishahiri una mapungufu tele ndani yake ni kana kwamba unalazimisha kitu kibovu kiendelee tu kubakia lakini kukirekebisha hutaki
viongozi wasiokuwa wa chama cha mapinduzi (ccm) wanapozungumzia kero za muungano huonekana hawana nia njema na muungano hadi wapo viongozi wa kidini zanzibar waliolia na huu mungano wakaishia kupachikwa kesi ya za ajabu ambazo imeshindikana kuwapata na hatia wa miaka mitano sasa
mwezi mey mwaka juzi mbunge wa ccm wa jimbo la kijito upele zanzibar shamsi vuai nahodha alilalamika bungeni akisema
tumezungumza kwa muda mrefu suala la kugawana mapato kati ya serekali ya mapinduzi zanzibar na ya muungano naonba suala hili lifike mwisho limalizwe
aliyazungumza haya kwa sababu kulikuwa na tatizo hata yale mapato ambayo paliwekwa makubaliano kuwepo na mgawanya fulani kwa pande zote bado zanzibar ilikuwa haipati
huyu ni mbunge wa ccm ambaye amewahi kuwa waziri katika serekali ya muunganokama angekuwa ni mbunge wa chama chengine tungesima analeta upinzani lakini ni wa ccm ambayo ndiyo imeshika mpini pande zote
ili kuwa na muungano wenye afya hatuwezi kuzikataa changamoto zake kwamba zipo na dk shein kachelewa sana kujitutumua kuzungumzia usawa wa muungano wakati mambo yameharibika muda mrefu sana
kinachoumiza ni kwamba rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli anaonekana hana hata ile nia ya kuweka mambo sawa katika muungano anachokazia yeye ni kuulinda tu
siku dk harrison mwakyembe wakati akiwa waziri wa katiba na sheria alipoutambulisha umma kuwa mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya haikuwa kipau mbele kwa rais magufuli kilikuwa ni kielelezo cha wazi kwamba utatuzi wa hizi kero umeshatiwa kapuni mazima
ili kuufanya muungano kuwa na afya na ubaki imara kwa pande zote la muhimu ni kuutoharisha ili usiwe na harufu ya dhulma kwa upande mmoja kuliko kutishana kuulinda tu
ukimuuliza mwanandoa yeyote lipi bora kati ya kulinda kwa nguvu zote ndoa yenye matatizo au kutumia nguvu zote kuondoa matatizo ni wazi kila mwenye akili atatumia nguvu kufuta matatizo yaliyo kwenye ndoa
janury 4 mwaka huu dk shein alipozungumzia usawa katika muungano katika ufunguzi wa jengo la takwimu mjini zanzibar pia alisema si busara kwa mambo ya muungano kufanywa upande mmoja tu au upande mmoja kuonekana unajivutia wenyewe kila kitu hali hiyo inaweza kuleta madhara makubwa katika utendaji wa masuala ya muungano
haya maneno hayapaswi kuchukuliwa kwa wepsi ni ishara kwamba bado kuna shida katika muungano wetu nguvu za kuondoa haya matatizo ya muungano ndizo zinazohitajika
ingawa kwa sababu ya kulinda matumbo yao viongozi wengi wa smz huchelewa kuzungumzia jambo hili lakini bado kuna nafasi ya kuhakikisha mambo yanawekwa sawa ikiwa kweli tuna nia njema na muungano
previous articlemfahamu black mamba na historia ya tanzania
next articlechadema yamalizana na edward lowassa
tujadili mustakabali wa nchi elimu baadaye | 2018-03-22T08:01:14 | http://www.rai.co.tz/2018/01/11/kama-tunaupenda-muungano-tufute-kero-zake/ |
mtatiro amefuata fursa kwa jpm mwanahalisi | presstz your number 1 source of aggregated online content
by mwanahalisi / posted sunday 12th august 2018
kwenye siasa hatufuati watu ukiwafuata watakuacha solemba fuata misingi anaandika ansbart ngurumo (endelea) msando na mtatiro walikuwa wafuasi hawakuwa waanzilishi hata wangekuwa waanzilishi tungewaacha waende zao kama tulivyowaacha akina prince bagenda na chifu abdallah fundikira au hata mgombea ubunge wa kwanza wa chadema dk amani kabourou msando na mtatiro hawafikii hata nusu ya dk | 2018-12-12T07:55:32 | http://presstz.net/mtatiro-amefuata-fursa-kwa-jpm-40198073 |
richie baada ya kurudi tanzania na ushindi
by millard ayo | mon 07 mar 2016 0311
richie kaongea baada ya kushinda tuzo la amvca nigeria
hatimaye tumepata ushindi imani yangu kabla ilikua ni kushinda au kushindwa na nilikua tayari kwa chochote hayo ni maneno ya kwanza ya mwigizaji richie richie baada ya kutua uwanja wa ndege dar es salaam akitokea nigeria baada ya kushinda kwenye amvcas 2016
mengi kuhusu richie elizabeth michael na waigizaji wengine kutoka bongo usikose kuitazama inside bongowood jumanne saa 2130 kwenye maisha magic bongo
richie amesema nigeria wamejipanga lakini ni watu ambao tukikaza tunaweza kuwashinda vile vile nimejifunza mengisio kama tulivyokuwa tukifikiria tukijipanga tunawakuta
kingine kikubwa alichosema mwigizaji huyu mshindi wa tuzo la best indigenous language movie (swahili) kupitia movie yake ya kitendawili ni kwamba tanzania inabidi watu waanza kununua movie za kibongo kwa kasi
ukiangalia tuna watu milioni 50 lakini mwigizaji akiuza movie yake mauzo hayafiki hata kopi milioni mbili inahuzunisha inabidi watu wasupport zaidi
waigizaji wa tanzania lulu (elizabeth michael) na richie richie walishinda tuzo mbili kwenye usiku wa tuzo hizi 5 march 2016 lagos nigeria ambapo lulu alishinda ya best movie afrika mashariki kwa movie yake mapenzi
filamu hizi kutoka bongowood unaweza kuzitazama kwenye maisha magic bongo pia unaweza kutazama zingine zaidi kupitia catch up plus kwenye dstv explora yako jaza fomu hii kupata explora na pia zapper decoder kwa urahisi | 2018-05-26T04:31:13 | https://www.dstv.com/en-tz/news/richie-baada-ya-kurudi-tanzania-na-ushindi-20160307 |
images about #mctonygutta on instagram
#mctonygutta photos & videos
tunawatakia maandalizi mema ya sikukuu za christmas na mwaka 2020 mpyaasante sana kwa kutuamini
#mctonygutta #mcdarajalakwanza #firstclassentsmc
feedback kutoka kwa bwana harusi familia waaikwa ni muhimu sana kwenye kuboresha na kutoa huduma borakwetu sisi mteja ni mfalmena tunahikisha tunatimiza na kuzidi matarajio asante sana @edo_mkulima kwa kutuamini
karibu kila kikundi kilipata keki ya harusihalafu jamani wanyaki balaa si kwa usmart huu #mctonygutta #weddinginspiration #harusitanzania #instawedding #tupilikek
jamani angalia champagne ikimwagwa kwa fujo hapa katumba songwe #mctonygutta #harusitanzania #tupilikek
hiyo sio karatasi jamani bali ni champagne hayo ni mambo ya katumba songwe kwenye harusi ya bambumbile harry na grace #mctonygutta #mcibrahim #harusitanzania
tuliweza kupiga misururu ya watoa zawadi kwa bwana na bi harusiharusi hii ya bambumbile harry na grace wa kijiji cha katumba songwe wilaya ya kyela mkoani mbeya imeacha simulizi #mctonygutta #wedding #harusitanzania #weddinginspiration #instawedding
#mctonygutta #harusitanzania #wedding #weddinginspiration
huyu mzee sio mnaijeria bali nimtanzania alikuwa shuhuda wa harusi kijijini katumba songwe wilaya ya kyela hebu fananisha utashanati wake na wale ma superstar wa filamu za kinaijeriaharusi ya bambumbile harry imetuonyesha mengi #mctonygutta #weddinginspiration #harusitanzania
jumamosi tarehe 30 nov 2019 tupilikestudios tulipata nafasi ya kupiga picha harusi ya bambumbile harry na gracewazazi wa bwana harusi bambumbile mwakyanjala na mkewa bupege moses waliamua kufanya hii harusi kijijini kwao katumba songwe wilayani kyelamoja ya masharti waliyotoa kuhusiana na upigwaji picha ni kututaka tuonteshe mazingira halisi ya makazi ya nyumbani kwao ambapo zitafanyika sherehe walisistiza tuonyeshe hadi mimea na uoto uliopo hapo nyumbani kwaomatokeo ya mazungumzo hayo ndio hizi picha nimepiga makusudi kuonyesha miti na mimea ikionekana #mctonygutta #weddinginspiration #harusitanzania #instawedding | 2020-02-22T07:00:57 | https://www.pictaramsite.com/hashtag/mctonygutta |
mhe naibu spika dkt tulia ackson awajulia hali watoto wanawaosubiri kufanyiwa upasuaji wa moyo katika taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) | kapingaz
mhe naibu spika dkt tulia ackson awajulia hali watoto wanawaosubiri kufanyiwa upasuaji wa moyo katika taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci)
mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) prof mohamed janabi akimpokea mhe naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania dkt tulia ackson alipotembelea taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuwajulia hali watoto wanawaosubiri kufanyiwa upasuaji
mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) prof mohamed janabi akieleza jinsi wanavyotoa huduma za matibabu ya magonjwa ya moyo kwa mhe naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania dkt tulia ackson alipotembelea taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuwajulia hali watoto wanawaosubiri kufanyiwa upasuaji
posted by henry oswald kapinga at 707 am | 2018-03-21T23:55:09 | http://kapingaz.blogspot.com/2017/06/mhe-naibu-spika-dkt-tulia-ackson.html |
waziri mkuu kassim majaliwatutaendelea kushirikiana na madhehebu yote nchini | masama blog
home » news and updates » waziri mkuu kassim majaliwatutaendelea kushirikiana na madhehebu yote nchini
waziri mkuu kassim majaliwatutaendelea kushirikiana na madhehebu yote nchini
waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na mufti na sheikh mkuu wa tanzania abubakar zuberi bin ally (kulia) wakati aliposhiriki katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtume muhammad saw mtaa wa indira ghandi jijini dar es salaam februari 16 2020 wa pili kulia ni sheikh wa mkoa wa dar es salaam al hadi musa
waziri mkuu kassim majaliwa akiteta na mufti na sheikh mkuu wa tanzania abubakar zuberi bin ally katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtume mohammad saw mtaa wa indira ghandi jijini dar es salaam februari 16 2020 (picha na ofisi ya waziri mkuu)
waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtume muhammad saw mtaa wa indira ghandi jijini dar es salaam februari 16 2020 wa pili kushoto ni mufti na sheikh mkuu wa tanzania abubakar zuberi bin ally (picha na ofisi ya waziri mkuu)
awali mufti na sheikh mkuu wa tanzania sheikh aboubakari bin zuberi alisema katika kuadhimisha mazazi ya mtume muhammad (saw) waislamu nchini wanapaswa waendelee kuwa watulivu na wasikivu wa kila jambo linalotolewa
from michuzi blog https//ifttt/39bev0e
thanks for reading waziri mkuu kassim majaliwatutaendelea kushirikiana na madhehebu yote nchini | 2020-04-06T17:21:12 | https://www.masamablog.com/2020/02/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-tutaendelea.html |
wadaiwa vyuo vikuu kukiona watafutiwa njia ya kuwapata ~ yuvinusm
wadaiwa vyuo vikuu kukiona watafutiwa njia ya kuwapata
450 pm elimu kitaifa baada ya bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (heslb) kusumbuliwa kwa muda mrefu na wadaiwa sugu sasa
imeamua kutumia mamlaka ya mapato (tra) kukamata wahitimu ambao wamejiajiri mkurugenzi
wa heslb abdulrazaq badru (kushoto) akijadiliana jambo na mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian wallece maugo na mhariri mkuu wa the guardian ltd jese kwayu akizungumza wakati wa ziara yake kwenye ofisi za the guardian limited ambao ni wachapishaji wa magazeti ya nipashe the guardian na la michezo la lete raha mkurugenzi
mtendaji wa heslb abdulrazaq badru alisema watatumia pia wakala wa usajili na utoaji wa leseni za biashara (brela) kuwatafuta wadaiwa hao
kwa muda mrefu tumekuwa na changamoto ya kupata wanufaika wa mikopo ambao hawaingii kwenye sekta rasmi ya ajira kwa sasa tuko kwenye
mpango wa kutumia tra na brela kupata taarifa zao alisema badru hii
ni kwasababu hawa wasio kwenye mfumo rasmi siyo kwamba ni maskini hawawezi kulipa tatizo ni namna ya kuwapata kwa hiyo kupitia taarifa za tra tutajua kama wamefungua kampuni ama wana leseni ya biashara na wako wapi kwa sasa wapo baadhi ambao nawajua tena wanafedha kuliko sisi tulio kwenye ajira mmoja alisikia anadaiwa akalipa deni lote hapohapo akaenda na ofisini kwake akatafuta wafanyakazi wenye mkopo wa bodi akaahidi kuwalipia nusu kila mmoja na sehemu nyingine wajilipie wenyewe mbali na mfano wa mdaiwa huyo badru alisema
kuna mhitimu mwingine ambaye baada ya masomo hakupata ajira hivyo akaajiriwa kuendesha bodaboda ya mtu na sasa amenunua yake na kila mwezi
analipa bodi ya mikopo sh 100000 kwa hiyo sisi jambo la kwanza ni kuwapata wako wapi na mfumo wa nida (mamlaka ya vitambulisho vya taifa) ukikamilika kazi yetu ya kuwapata wadaiwa sugu itakuwa rahisi
sana kwa sababu mfumo ule utakuwa na taarifa zote badru alisema sisi
ni kupeleka tu majina mtu ukienda kuchukua passport (hati ya kusafiria)
wanajua unadaiwa ukienda kukopa benki wanajua una mkopo mwingine wa benki hilo litarahisisha sana kazi yetu alisema kwa sasa
bodi hiyo inadai sh bilioni 14 ambazo zilikopeshwa kwa wanafunzi mbalimbali kabla ya kuanzishwa kwa chombo hicho mwaka 2005 alisema
kwa wakati huo wanafunzi 38000 walikopeshwa sh bilioni 51 na zaidi ya miaka 10 baadaye sasa wamelipa sh bilioni 36 alisema baadhi ya wadaiwa hao tayari majina yao yamepelekwa katika taasisi ya credit information tanzania limited ili ipeleke taarifa zao kwenye taasisi mbalimbali za kifedha zijue kwamba wanadaiwa tunataka kuhakikisha kwamba kwa miaka miwili ijayo tunakusanya fedha zote hizi tukimaliza kukusanya hili deni lenye zaidi ya miaka 10 tunaweza kusema tuko vizuri alisema alisema pia baada ya bodi hiyo kutangaza majina ya wadaiwa sugu kwenye magazeti na kueleza azma ya kuyapeleka idara ya uhamiaji ili wasiruhusiwe kusafiri nje fedha zinazorudishwa kila mwezi zimeongezeka kutoka sh bilioni mbili kwa mwezi mpaka sh bilioni sita mbali na kuzuiwa kusafiri nje ya nchi heslb pia ilielezea kusudio la kuhakikisha wadaiwa sugu hao wanazuiwa kokopa benki
na kujiendeleza kimasoma ndani na nje ya nchi kupitia taasisi husika aidha
badru alisema badala ya kutangaza tu kwenye vyombo vya habari wadaiwa watakaoendelea kukaidi kulipa fedha hizo sasa wataburuzwa mahakamani sheria
mpya imetusaidia kutupa nguvu ya kupeleka wadaiwa wetu mahakamani na pia imesaidia fedha kulipwa haraka kwa sababu inataka sasa mwajiri akate
mshahara wa mfanyakazi ambaye ni mdaiwa asilimia 10 badala ya nane ya awali alisema alisema kwa mwajiri anayechelewa kupeleka fedha
hizo bodi ndani ya siku 15 tangu azikate kwenye mshahara wa mfanyakazi wake ambaye ni mdaiwa wa heslb atatozwa pia faini ya asilimia 10 mambo
haya yanasaidia tupate fedha kwa wakati na pia kiwango kilichokuwa kikikatwa ambacho ni cha chini licha ya kuongezeka kutoka asilimia nane mpaka 10 pia sasa kitakatwa mwanzo kabisa baada ya makato ya kodi ya serikali (paye) na ile ya mifuko ya hifadhi ya jamii alisema kuhusu
deni ambalo kwa sasa limeiva na wanufaika wanalilipa badru alisema ni sh bilioni 284 na tayari sh bilioni 105 zimelipwa hili ni lile linalotakiwa kila mnufaika aanze kulipa mwaka mmoja baada ya kuhitimu masomo yake na jambo la msingi tunataka waone umuhimu wa kulipa hizi fedha ili wadogo wao pia waweze kukopa chanzo nipashe weka maoni yako hapa | 2016-12-07T12:26:00 | http://www.yuvinusmblog.com/2016/09/wadaiwa-vyuo-vikuu-kukiona-watafutiwa.html |
yanga na simba kupoza machungu ya vipigo pamoja leo | malunde 1 blog
home » michezo » yanga na simba kupoza machungu ya vipigo pamoja leo
yanga na simba kupoza machungu ya vipigo pamoja leo
wachezaji wa simba kushoto na yanga kulia
klabu za soka za yanga na simba zote zimerejea dar es salaam usiku wa kuamkia leo januari 21 2019 zikitokea kwenye mechi zake za uganini ambapo zote ziliambulia kichapo
timu hizo mbili zote zimeunganisha kwenye maandalizi ya michuano ya sportspesa ambapo kila timu imeingia kambini kuanza mazoezi tayari kwa michuano hiyo inayoanza kesho
''kikosi kimerejea salama jijini dar es salaam jana usiku na kuingia kambini moja kwa moja tayari kwa maandalizi ya michuano hiyo ambapo mchezo wa kwanza kwetu utakuwa kesho jumanne dhidi ya kariobangi sharks'' imeeleza taarifa ya yanga
kwa upande wake msemaji wa simba haji manara amesema baada ya timu kurejea salama nyumbani leo inaanza mazoezi kwa ajili ya michuano hiyo ambapo inatarajia kucheza na afc leopards ya kenya katika mchezo wake wa kwanza kesho jumanne
simba ilikuwa nchini dr congo ambapo ilifungwa mabao 50 na as vita club kwenye mechi ya kundi d ligi ya mabingwa afrika huku yanga ikifungwa bao 10 na stand united kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka tanzania bara | 2019-02-20T01:00:32 | https://www.malunde.com/2019/01/simba-yanga_21.html |
mashabiki msitengeneze bifu isiyo ya lazima kati ya wizkid na alikiba ~ chimbuko letu
1044 am burudani na michezo | 2017-12-15T21:45:33 | http://chimbukoletu.blogspot.com/2016/11/mashabiki-msitengeneze-bifu-isiyo-ya.html |
xtra cover fernando gago kurudi nyumbani
fernando gago kurudi nyumbani
hatimea kiungo alikosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha real madrid fernando gago anakaribi kuihama klabu hiyo na pengine atarejea nyumbani kwao argentina kujiunga na boca juniors
wakala wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 25 marcelo lombilla amesema harakati za gago kuondoka nchini hispania zinaonyesha matumaini makubwa na kabla ya kumalizika kwa muda wa usajili atakua amefanikisha safari ya kurejea nyumbani
marcelo lombilla amesema mpaka sasa bado ofa ya boca junior haijatumwa huko estadio stantiago bernabeu lakini amekuana na mazungumzo na viongozi wa klabu hiyo ya mjini buenos aires ambao wamemuhakikishia kufanya hivyo kabla ya muda haijamalizika
fernando gago amekua na wakati mgumu wa kupewa nafasi katika kikosi cha kwanza toka alipowasili meneja kutoka nchini ureno jose mourino hatua ambayo imekua haimpi raha yeye kama mchezaji mwenye kiwango cha hali juu
kabla ya kusajiliwa na real madrid mwaka 2007 fernando gago alikua akiitumikia boca junior na akiwa huko kuanzia mwaka 2004 alicheza michezo sabini na kufanikiwa kupachika bao moja
posted by xtra cover at 410 pm | 2017-12-12T02:54:19 | http://viwanja.blogspot.com/2011/08/fernando-gago-kurudi-nyumbani.html |
ushauri ex lover wake anamjia ndotoni | jamiiforums | the home of great thinkers
ushauri ex lover wake anamjia ndotoni
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by colgate dec 30 2010
kuna rafiki yangu mmoja mwanamume anakisa kimoja
kwa muda mrefu amekuwa akimuota anasema anamjia ndotoni mara kwa mara
wakati mwingine halali kabisa na uhusiano na mkewe umeanza kuyumba ila anaogopa kumuambia
anadai ndoto kuwa wakati mwingine anaota kuwa wanaishi pamoja huyo ex wake
nimeshindwa kumshauri
ebana da mazee huwezi kukuta watu halafu ukawapita bila kuwasalimu halafu ukataka msaada sio kiafrika kaka
karibu lakini
nilham rashed
mi nhisi suala la kuota x wako lipo kwa kila mmoja wetu japo labda itakuwa si woote sidhani kama ndoto itakuwa ndio sababu ya ugomvi na kuyumba kwa ndoa yake ila tuu awe muangalifu na ndoa yake kwani wangapi wameachana na maxboyfirend ama gf na wameolewa wako kwenye ndoa kama kawaida aache kujiendekeza na ndoto hilo ndio muhimu 0 people likes
ndio za wajinga hizoukishaamua kuachana na mtu achana nae kimoja sio mara namuotaoh anafanya nininikiwa mkeo ukinihadithia hadithi ya ex wako nakata pumbu
wakati huyo jamaa yako anaachana na huyo mwanamke alikuwa bado anampenda na mpaka sasa bado yupo mawazoni mwake ndio maana haachi kumuota kila mara
cha kufanya ni awe wazi kwa mkewe ili ndoa yao iweze kudumu maana inawezekana siku moja akawa anaota na kumtaja jina na mkewe kusikiapia azidishe mapenzi kwa mkewe na wawe na muda mwingi pamoja natumai tatizo lake litaisha
huyo anampenda na yupo kwenye akili yake huwezi kuota jitu ambalo halipo mawazoni mwako especial mpenzi kama alishachapa lapa na iwe ivo utamuotea wapi anataka kutuyeyusha tu hapa kakumbuka mahunjumati ya enzi sasa ooh ananijia ndotoni wapi ushaona au huyu mpenzi ni mganga wa kienyeji
tajiri mtoto
ndio za wajinga hizoukishaamua kuachana na mtu achana nae kimoja sio mara namuotaoh anafanya nininikiwa mkeo ukinihadithia hadithi ya ex wako nakata pumbuclick to expand
mhhh @shosti punguza hasira kwani ugomvi
chakufanya hapo ni huyo bwana aelekeze upendo wake wote kwa mkewe na aache kumfikiria huyo x
tanganyika parkers wanatibu hii maneno kuna wanajeshi hatari pale mwambie aende pale wamkatie hii maneno akishuka kawe aulizie bonde la kukata maneno
duuuh hahahahaha
na yeye amfwate ndotoni | 2016-10-25T22:53:04 | http://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-ex-lover-wake-anamjia-ndotoni.98792/ |
maisha ecuador rafael correa bado ni rais
ecuador rafael correa bado ni rais
rais rafael correa wa ecuador ameruhusiwa kutoka hospitalini katika mji mkuu wa quito alikokimbilia kujificha baada ya kushambuliwa kwa gesi ya kutoa machozi na maafisa wa polisi waliokuwa wakiandamana
jeshi la nchi lilitumia nguvu kumuokoa rais huyo na ufyatulianaji wa risasi ulifuatia rais huyo alikaribishwa kwa shangwe nje ya kasri lake alikohutubia watu aliwaambia kuwa mtu mmoja amethibitishwa kufariki katika tukio hilo na kuitaja siku hii kama siku ya huzuni kwa nchi hiyo
awali rais huyo alitangaza hali ya tahadhari baada ya polisi hao kuteka uwanja wa ndege na maeneo mengine ya mji wakilalamikia hatua ya rais kupunguza gharama ya marupurupu yao
makamanda wakuu wa jeshi la ecuador wametangaza kumuunga mkono rais correa
wakati huo huo muungano wamataifa ya america unasur uliitisha mkutano wa dharura katika mji mkuu wa argentina buenos aries ambapo wametangaza kumuunga mkono rais correa
rais wa peru alan garcia amesema kuwa ni jambo la aibu kuwa maafisa wa polisi walijaribu kutumia nguvu kuhujumu uongozi wa kidemokrasia amesema kuwa muungano huo utafanya kila juhudi kuimarish auongozi wa rais correa
unasur imesema kuwa amerika haitakubali serikali za kidemokrasia kuvunjwa na watu wachache wanaotetea maslahi zao za kibinafsi
posted by ismado at 1024 am | 2018-03-23T20:30:24 | http://maishani.blogspot.com/2010/10/ecuador-rafael-correa-bado-ni-rais.html |
mrembo lina sanga adai hana ujauzito wowote ~ blogu ya wananchi
mrembo lina sanga adai hana ujauzito wowote
msanii wa bongo fleva linah sanga maarufu kama 'ndege mnana' amefunguka na kusema kwa sasa hana ujauzito kama ambavyo watu wanahisi ila amedai kuwa yeye mwenyewe anatamani kuwa na mtoto na kusema muda si mrefu huenda mambo yakawa hivyo
linah sanga alisema hayo kupitia kipindi cha friday night live ya eatv na kusema hivi sasa hana mimba ila soon mambo yanaweza kuwa hivyo kwani kwa sasa amejikita kufanya muziki na mambo ya msingi katika maisha yake
hapana hii si mimba nguo tu imesogea kwa mbele haya mambo huwa hayafichiki maana yataonekana tu ila kiukweli soon mambo yanaweza kuwa hivyo maana saizi nimeamua kufanya muziki na mambo ya msingi maana hata wazazi wetu wanafurahi kuona tukifanya mambo ya msingi kuliko mambo ya kijinga alisema linah sanga
october 2016 (1282) | 2016-10-25T03:06:35 | http://www.williammalecela.com/2016/10/mrembo-lina-sanga-adai-hana-ujauzito.html |
ufaransa yapendekeza burundi iwekewe vikwazo | matukio ya kisiasa | dw | 10112015
ufaransa yapendekeza burundi iwekewe vikwazo
ufaransa imewasilisha mswada wa azimio kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa linalopendekeza jumuiya ya kimataifa kuibinya burundi huku kukiwa na wasiwasi wa kuweza kutokea mauaji makubwa
hatua hizo zinatishia kuwalenga viongozi wa burundi wanaochochea machafuko na kuzuia juhudi za kuusuluhisha mzozo uliozuka kufuatia maandamano yaliyotokana na uamuzi wa rais wa nchi hiyo pierre nkurunziza kuwania muhula wa tatu madarakani
naibu balozi wa ufaransa katika umoja wa mataifa alexis lamek amenukuliwa na shirika la habari la ufaransa afp akisema hali ya vurugu nchini burundi imefikia kiwango cha kuogopesha zaidiinaweza naweza sema nchani balozi aliendelea kusema kwamba lazima wakubaliane na ukweli na kuonya kama wataendelea kuacha mvutano kuendelea kuenea machafuko yataenea nchi nzima
nakala ya mswada
operesheni ya kupokonya silaha
rasimu ya maazimio hayo ambayo afp imepata makala yake imetoa wito kwa serikali na pande zote kutokukubaliana na aina yoyote ya vurugu na kulaani vikali mauwaji mateso ukamataji watu wa holela na ukiukwaji mwingine wa haki za binaadamu nchini burundi baraza la usalama linataweza kuipigia kura mapendekeo hayo katika siku zijazo
katika mkutano huo wa dharura wa baraza la usalama la umoja wa matiafa lililoitishwa na ufaransawaziri wa mambo ya nchi za nje wa burundi alain aime nyamitwe amesema hali ni tulivu nchini mwake isipokuwa katika baadhi ya maeneo yaliyo na shuguli za kile alichosema kumekuwepo na makundi madogo ya wahalifu
akuzungumza kwa kutumia mkutano wa moja kwa moja kupitia video akiwa bujumbura waziri huyo alisema burundi haipo haiwaki moto na kulitaka baraza la usalama kutotumia vikwazo kwa kusema kwamba havitaleta manufaa yoyote aidha alikazia kauli yake kwa kusema serikali inaesendesha mazungumzo na upinzani kama ilivyohitajiwa na umoja wa mataifa
balozi wa uingereza matthew rycroft alitoa wito kwa baraza la usalama kuungana katika kuchukua hatua madhubuti kwa lengo la kudhibiti taifab hilo kutumbika katika kile alichokiita uwezekano wa kutokea mauwaji ya halaiki kama ilivyotokea rwanda miaka 21 iliyopita
hapo jumatatu watu wengine wawili waliuawa katika msako mkali wa silaha mjini bujumbura siku kadha baada ya vifo vya wengine tisa katika klabu moja ya pombe vilivyosababisha na mshambuliaji alievalia mavazi ya polisi
burundi imegubikwa na vurugu tangu rais nkurunziza aanzishe jitihada zake tata za kumfanikisha kuongozea muhula wake wa tatu madarakani aprili jambo lililosababisha zaidi ya watu 200000 kulikimbia taifa hilo polisi kwa wakati huu wameanzisha operesheni kabambe ya kusaka silaha mikoni mwa watu katika maeneo ya wapinzani katika mji mkuu wa taifa hilo bujumbura baada ya siku ya mwisho iliyotelewa na serikali kuzisalimisha silaha hizo kwa hiyari kufikia tamati jumamosi iliyopita
maneno muhimu burundi ufaransa
kiungo http//pdwcom/p/1h3d3 | 2017-12-18T21:58:05 | http://www.dw.com/sw/ufaransa-yapendekeza-burundi-iwekewe-vikwazo/a-18840253 |
assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh karibuni katika mfululizo mwingine wa darsa ya quran hii ni darsa ya 321 na tukiwa tunaendelea kuizungumzia sura ya 10 ya yunus tunaianza darsa yetu kwa aya za 79 na 80 ambazo zinasema
na akasema firauni nileteeni kila mchawi mjuzi basi walipokuja wachawi musa aliwaambia tupeni mnavyotaka kuvitupa katika darsa iliyopita tulisema kuwa nabii musa as alitakiwa na mola wake aianze kazi yake ya kulingania la ilaha illa llah kwa kumwendea firauni na kumtaka aikubali tauhidi yaani kumuabudu mungu mmoja wa haki na pia kuwakomboa bani israil na madhila ya mafirauni aya tulizosoma zinasema firauni ambaye hakuwa na uwezo wa kukabiliana na huja na burhani alizopewa na musa as alianza kuutuhumu muujiza alioonyeshwa na nabii huyo kuwa ni uchawi na hivyo kutoa amri ya kuitwa wachawi wake wote ili kukabiliana na muujiza huo wa mtume wa allah musa as
lakini nabii musa ambaye hakuwa na chembe ya shaka kuwa haki iko upande wake aliwataka wachawi wa firauni wafanye kila walichonacho cha uchawi na mazingaombwe yao ili watu wajionee wenyewe na kuamua hivyo miongoni mwa yale tunayojifunza kutokana na aya hizi ni kuwa mataghuti wa kila zama huamua kuwatumia vibaya wataalamu na taaluma zao ili kuweza kufikia malengo yao maovu aidha aya hizi zinatuelimisha kuwa mitume walikuwa na yakini na risala waliyokuwa wakiilingania na juu ya kupata nusra na msaada wa allah sw tunaiendeleza darsa yetu hii kwa aya za 81 na 82 ambazo zinasema walipotupa musa alisema mliyoleta ni uchawi mwenyezi mungu sasa hivi ataubatilisha hakika mwenyezi mungu haitengenezi kazi ya waharibifu
na mwenyezi mungu ataithubutisha haki kwa maneno yake ingawa watachukia hao wabaya kama ilivyoelezwa pia katika suratu shuaraa wachawi wa firauni walitupa kamba zao na vifimbo vyao na kutamka kuwa kwa utukufu wa firauni tunaapa kuwa sisi ndio washindi hakika ni kuwa wachawi wa firauni hawakufanya chochote kubadilisha kamba na vifimbo vyao bali walifanya kiini macho tu na hivyo watu wakahisi kana kwamba vifimbo na kamba hizo zilikuwa zinaonyesha harakati za kutambaa na ndiyo maana nabii musa aliwatangazia kinagaubaga kuwa mwenyezi mungu atauanika hadharani ubatili wa uchawi wao huo na kuithibitisha haki mbele ya macho ya watu baadhi ya nukta za kuzingatiwa katika aya hizi ni kuwa hata kama batili itarembwa na kupambwa kwa kila namna ya urembo mwishowe itabainika na kutoweka tu nukta nyingine ya kuzingatiwa katika aya hizi ni kuwa nia na njama ya mustakbirina ya kutaka kuizima nuru ya haki haiwezi kufaulu na kusimama mbele ya irada ya allah sw ambaye ameahidi kuwa nusra na msaada wake hautoacha kuwafikia wale waliosimama upande wa haki
tunaiendeleza darsa yetu kwa aya ya 83 ambayo inasema hawakumuamini musa isipokuwa baadhi ya vijana wa kaumu yake kwa kumuogopa firauni na wakuu wao wasiwatese kwani hakika firauni alikuwa jeuri katika nchi na kwa yakini alikuwa miongoni mwa (maasi) waliopita mpaka
darsa ya 231 inahitimishwa na aya za 84 85 na 86 ambazo zinasema na musa akasema enyi kaumu yangu ikiwa nyinyi mumemwamini mwenyezi mungu basi mtegemeeni yeye kama nyinyi ni waislamu kweli wakasema tunamtegemea mwenyezi mungu ee mola wetu usitufanye wenye kutiwa misukosuko na hao watu madhalimu na utuokoe kwa rehama yako na hao watu makafiri
katika kukabiliana na mateso makali na maudhi na madhila ya akina firauni nabii musa as aliwataka watu wa kaumu yake watawakal kwa mwenyezi mungu na kuwaonyesha kuwa kutawakkal na kumtegemea allah tu na kusalimisha muislamu mambo yake yote kwa mola wa haki ni sharti la imani ya kweli nao wale waliokuwa wamemuamini kikweli kweli musa as waliyasikiliza mawaidha hayo waliyopewa na mtume wao na kusema sisi hatuna kimbilio wala egemeo jengine ghairi ya allah sw na hivyo tunamuelekea yeye na kumwomba atulinde na shari ya madhalimu na makafiri
baadhi ya mafunzo tunayoyapata kutokana na aya hizi ni kuwa wakati wa masaibu na misukosuko mola mwenyezi huwa ndiye tegemeo pekee la mja muumini na kwa kweli kwa kumtegemea yeye mola aliye muweza wa kila kitu na kujisalimisha kwake kwa kushikamana na maamrisho yake na kujiepusha makatazo yake mja huweza kufaulu katika kukabiliana na misukosuko yoyote inayomkuta aidha kutokana na aya hii tunajielimisha kuwa dua na kushtakia hali yake mja kwa mola ni miongoni mwa njia za kumnasua mja na mazonge kwa haya machache tunaifunga darsa yetu ya juma hili na kumwomba mola aijaze subra ndani ya nyoyo zetu athibitshe imani zetu na atunusuru na kila fitna inayoweza kutuweka mbali na dini yetu amin wassalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh
assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh karibuni katika mfululizo mwingine wa darsa ya quran hii ni darsa ya 322 na tukiwa tunaendelea kuizungumzia sura ya 10 ya yunus tunaianza darsa yetu kwa aya ya 87 ambayo inasema
ili kuijenga tena jamii ya bani israil baada ya kuikomboa na madhila ya firaun nabii musa as aliamriwa na mola wake kuwakusanya watu wa kaumu yake mahali pamoja na kwa msaada wao kujenga nyumba kwa ajili ya makaazi yao nyumba hizo zilitakiwa ziweko mahali pamoja zikiwa zimeelekeana na si kutawanyika huku na huko ili iwe rahisi kwao kujumuika pamoja kwa ajili ya kupanga na kuchukua maamuzi mbali mbali ya kijamii na pia endapo firauni atataka kuwaangamiza waweze kusimama pamoja na kukabiliana naye
baadhi ya wafasiri wa quran wanasema kutokana na kutolewa amri ya sala katika aya hii muradi uliokusudiwa hapa juu ya neno qibla ni kuzijenga nyumba zao hizo kwa namna ambayo zitakuwa zimeelekea upande wa kibla ili wakiwa ndani ya nyumba zao waweze kutekeleza ibada zao pamoja na hayo maana hiyo ni ya kiistilahi na kimsingi makusudio ya neno qibla kilugha ni maana hiyo hiyo ya kuelekeana baadhi ya mafunzo tunayopata kutokana na aya hizi ni kuwa mojawapo ya sifa za mitume ilikuwa ni kuwafikiria watu na hivyo kila wakati wakichukua hatua zinazohitajika kwa ajili ya kuwasaidia watu wa kaumu zao funzo jengine tunalopata kutokana na aya hii ni kuwa kushughulika na masuala ya kimaada na kimaisha kusitughafilishe na utekelezaji wa sala na kumwabudu mola wetu kutekeleza kwa pamoja yote hayo ndiko kutakakotufanya tupate rehma na baraka za mola karima
zifuatazo sasa ni aya za 88 na 89 ambazo zinasema na musa akasema mola wetu hakika wewe umempa firauni na watu wake wakubwa mapambo na mali katika maisha ya dunia mola wetu hivyo wanapoteza watu na njia yako mola wetu ziangamize mali zao na zifunge nyoyo zao wasiamini mpaka waione adhabu chungu mwenyezi mungu akasema maombi yenu yamekubaliwa basi simameni sawasawa wala msifuate njia za wale wasiojua
katika kuendelea na utekelezaji wa jukumu alilopewa na mola wake la kupambana na firaun nabii musa as alimwomba allah sw auangamize utajiri uliopindukia mpaka aliokuwa nao firaun na kutomruhusu aendelee kufanya ufisadi na uharibifu pamoja na kutumia vibaya nguvu na mamlaka aliyokuwa nayo kutokana na utajiri na neema za kimaada alizoruzukiwa na yeye mola karima mali na neema ambazo alikuwa akizitumia kwa ajili ya kupotosha watu na njia ya mwenyezi mungu nabii musa aliomba dua hiyo kwa mwenyezi mungu pale ilipofika hadi akawa hana matumaini tena kwamba firauni ataamini na kuikubali haki
allah sw aliitakabalia dua ya mtume wake na hivyo akamtaka mussa as na watu wake wao wenyewe kwanza wasimame sawa sawa na kushikamana na njia ya mola wao kwani sharti mojawapo la kutakabaliwa dua ni waumini wenyewe kwanza kuwa wameshikamana barabara na njia ya uongofu na ndiyo maana kwa mujibu wa hadithi ni kwamba ilichukua muda wa miaka arubaini tokea nabii musa alipoomba dua ya kumwapiza firauni hadi taghuti huyo alipoangamizwa kwa kugharikishwa baharini aya hizi pamoja na mambo mengine zinatufunza kwamba kuwa na utajiri wa mali tu si kipimo cha kuonyesha kuwa mwenyezi mungu amemjali na kumpenda mja kwani katika dunia hii hata makafiri nao wamepewa neema nyingi za kimaada halikadhalika aya zinatuonyesha kuwa pamoja na sisi kumwomba mola awaangamize madhalimu sisi wenyewe pia tujihimu na kutekeleza wajibu wetu ipasavyo
darsa ya 322 inahitimishwa na aya za 90 91 na 92 ambazo zinasema tukawavusha bahari wana wa israili na firauni na askari wake wakawafuata kwa dhulma na uadui hata firauni alipokuwa anataka kuzama akasema naamini kuwa hapana mungu ila yule waliyemuamini wana wa israili na mimi ni miongoni mwa wanaonyenyekea ala sasa (unaamini hayo) na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi leo basi tutakuokoa kwa kuuweka mwili wako ili uwe ishara kwa ajili ya walio nyuma yako na hakika watu wengi wameghafilika na ishara zetu
aya hizi wapenzi wasikilizaji zinabainisha jinsi dua iliyoombwa na nabii musa as ilivyotakabaliwa na kueleza kuwa pale jeshi la firauni lilipoamua kukuandameni nyinyi kwa lengo la kukuangamizeni sisi tulikufungulieni njia katika mto nile na kukupitisheni salama usalimini ama firauni na jeshi lake wao tuliwagharikisha kwenye mto huo na tukaamua kukiibua kutoka majini kiwiliwili cha firauni tu peke yake ili hilo liwe funzo na ibra kwa wengine nukta yenye kutoa mguso hapa ni kuwa ule utabiri wa nabii musa tuliouona katika aya iliyotangulia ulithibiti na kuwa kweli kwani wakati firauni alipoiona adhabu ya kugharikishwa imemkabili hapo alitamka kwa unyenyekevu kuwa amemwamini mola wa haki waliyemuamini bani israil
lakini wapi jibu alilopata ni kuwa hivi sasa wakati mauti yamekukabili ndiyo unatubia na kuiamini haki hayo ni majuto matupu yaliyopitwa na wakati na majuto ni mjukuu miongoni mwa yale tunayojifunza kutokana na aya hizi ni kuwa katika kupambana na mataghuti tutawakal na kumtegemea mwenyezi mungu tu kwani yeye hatotuacha mkono bali atatufungulia njia ya faraja hata pale tutakapkuwa katika hali ngumu kabisa ya misukosuko
funzo jengine tunalopata hapa ni kuwa kama sisi tutasimama imara na bila kutetereka katika njia ya laa ilaha illa llah mataghuti hawatokuwa na jengine la kufanya ghairi ya kupiga magoti na kusalimu amri na kupata jaza ya maovu yao aidha aya zinatuonyesha kuwa kuna umuhimu wa kuzitunza na kuzihifadhi athari na turathi za watu waliotangulia zinazoonyesha uwezo wa allah sw ili ziwe funzo na mazingatio kwetu sisi na watakaokuja baada yetu kwa haya machache tunaifunga darsa yetu hii kwa kumwomba allah atuwafikishe kutubia makosa yetu mara tu tunapoteleza na kupata maghufira na msamaha wake kabla ya kufikwa na mauti amin wassalaamu alaykum warahmallahi wabarakaatuh | 2017-11-25T05:48:02 | http://www.alhassanain.com/swahili/book/book/holy_quran_library/quran_interpretation/tafsiri_yunus_radio_tehran/008.html |
tamko la thelathini na tano | kanisa la mwenyezi mungu
nimeanza kutenda kazi yangu kati ya wanadamu kuwakubalia kuishi mkondo mmoja nami nitakamilisha kazi yangu nikiwa bado kati yao maana wao ni vyombo ninavyosimamia katika mpango wangu wote wa usimamizina ni mapenzi yangu ili waweze kuwa watawala wa vitu vyote hivyo basi naendelea kutembea kati ya wanadamu kadri wanadamu pamoja nami tuingiavyo katika enzi ya sasa najihisi huru kabisa kwa sababu hatua yangu imekuwa ya haraka wanadamu hawa wanawezaje kudumisha mwendo huu nimefanya kazi nyingi kwa watu wasiojali na walio butu lakini hawajafaidi chochote kwa kuwa hawanijali wala kunipenda mimi nimeishi kati ya watu wote na kuwatazama waendapo juu na chini ya ardhi wale wote wanaoainishwa kama wanadamu wananipinga kana kwamba kunipinga mimi kulikuwa katika maelezo ya kazi yao inaonekana kwamba kama hawangeitekeleza hii kazi basi wangekuwa kama yatima mzururaji asiyepangwa na mtu yeyote hata hivyo siwahukumu watu kwa udhalimu kulingana na matendo na tabia zao bali mimi huwasaidia na kuwaruzuku kwa mujibu wa kimo chao kwa kuwa wanadamu ndio wahusika wakuu wa mpango wangu wote wa usimamizi natoa ushauri zaidi kwa walio katika hii nafasi ya wanadamu ili waweze kuiigiza kwa moyo wote na kwa uwezo wao wote ili igizo hili ninaloliongoza liweze kufanikiwa kikamilifu hili ndilo ombi langu kwa wanadamu je yawezekana kuwa bila ombi hili hawataweza kutenda wajibu wao kadri ya uwezo wao naweza kutimiza kile watu wanachohitaji kwangu lakini wao hawawezi kutimiza ninachohitaji kwao haiwezi kusemekana kuwa nawatesa wanadamu kwa uwezo hili ndilo ombi langu la mwisho nawasihi kwa juhudi na uaminifu wote hawawezi kwa kweli kufanya ninachowauliza nimekuwa nikiwapa watu kwa miaka mingi lakini sijapokea chochote kutoka kwao ni nani amewahi kunipa mimi chochote je damu jasho na machozi yangu ni kama tu mawingu milimani nimewapa watu chanjo mara nyingi na kuwaambia kwamba mahitaji yangu kwao hayakuwa ya kushurutisha kwa nini basi watu huniepuka mimi daima je ni kwa sababu nitawachukulia kama vifaranga wadogo ili wauawe punde washikwapo je mimi ni katili na asiye na huruma hivyo wanadamu daima hunipima kwa dhana zao wenyewe je dhana zao juu yangu zinafanana na uhalisi wa[a] mimi mbinguni sichukulii dhana za watu kuwa vyombo vya furaha yangu bali naiona mioyo yao kama vitu vya kuthaminiwa hata hivyo nahisi kuchoshwa kabisa na dhamiri zao kwa kuwa kulingana nao mimi mwenyewe sina dhamiri hivyo basi nimefafanua kauli za ziada juu ya mada hiyo hata hivyo nakataa kukosoa dhamiri zao moja kwa moja badala yake naendelea kuwaelekeza kwa uvumilivu na utaratibu hata hivyo wanadumu ni dhaifu na wasioweza kufanya kazi yoyote
leo nilichukua hatua rasmi kuingia katika eneo la kuadibu kusiko na mipaka na ninaifurahia pamoja na wanadamu pia ninawaongoza kwa mkono nao wana nidhamu njema chini ya uongozi wangu hakuna anayethubutu kunipinga mimi wote wapo chini ya uongozi wangu wakiteleza wajibu niliowapa kwa kuwa hili lipo katika maelezo ya kazi zao kati ya mambo yote yaliyo mbinguni na chini ya mbinguni nani anayethubutu kutotii mipango yangu ni nani asiye katika mfumbato wangu ni nani asiyetamka sifa na fadhili kwa maneno yangu na kazi yangu wanadamu huajabia matendo yangu hivyo basi wao hujitoa kwa mkondo wa kazi yangu kwa ajili ya kila hatua yangu ndogo ni nani awezaye kuacha ni nani anayeweza kuondoka kwa kazi niliyoipanga kwa ajili ya amri yangu ya utawala wanadamu hawana budi ila kusalia bila hiyo wote wangepenyeza kimya kimya kutoka mstari wa mbele na kuwa watoro nani asiye na hofu ya kifo je watu wako tayari kweli kujitoa mhanga simlazimishi yeyote kwa sababu nilipata ufahamu wa asili ya wanadamu hapo kale kwa hivyo nimekuwa kila mara nikifanya miradi ambayo watu hawajawahi kufanya hapo awali kwa kuwa hakuna mtu ambaye angeifanya kazi yangu nimeingia vitani binafsi kukumbana na mapambano ya kufa na kupona dhidi ya shetani siku hizi shetani amekithiri kupita kiasi kwa nini nisichukue fursa hii kuringia kiini cha kazi yangu ili kufichua nguvu zangu kama nilivyosema hapo awali natumia ujanja wa shetani kama foili[b] yangu je hii sio fursa mwafaka sasa tu ndio naonyesha tabasamu ya kufurahishwa maana nimetimiza lengo langu sitakimbia huku na huku tena na kuomba msaada wa wanadamu nimeacha kutangatanga huku na huko na siishi tena maisha ya mzururaji tangu sasa na kuendelea nitaishi kwa amani wanadamu pia watakuwa salama salmini kwa maana siku yangu imewadia hapa duniani nimeishi maisha ya shughuli nyingi mno ya mwanadamu maisha ambamo matukio mengi ya udhalimu yanaonekana yamefanyika kwa macho ya wanadamu nimeshiriki raha na masikitiko yao na vilevile shari zao kama wanadamu mimi pia nimeishi duniani na chini ya mbingu hivyo basi wameniona mimi daima kama kiumbe kilichoumbwa kwa kuwa wanadamu hawajaniona mimi mbinguni hawajatumia juhudi nyingi kwangu hata hivyo hali ilivyo leo watu hawana budi ila kukubali kuwa mimi ni bwana wa majaliwa yao na mnenaji anenaye kutoka mawinguni hivyo basi wanadamu wamesujudu wakiabudu mbele yangu je hii sio ithibati ya marejeo yangu ya ushindi je hili silo onyesho la ushindi wangu dhidi ya majeshi yote ya uhasama watu wote wamekuwa na jakamoyo kwamba dunia inakaribia mwisho na kwamba binadamu watapitia utakaso mkuu hata hivyo hawawezi kwa ukweli kutimiza kile ninachouliza kwa kufahamu kwa hiyo hawana budi ila kulia chini ya kuadibu kwangu nini kinachoweza kufanyika ni nani aliyewaambia hawa wanadamu kutotii ni nani aliyewaambia kuingia katika enzi ya mwisho kwa nini walizaliwa kama wanadamu katika nyakati hizi zinazotangulia kuangamizwa kwa dunia kila kitu kimepangwa na mimi binafsi ni nani anayeweza kulalamika
tangu uumbaji wa ulimwengu nimetembea kati ya wanadamu nikikaa nao katika kuishi kwao duniani katika vizazi vilivyotangulia hata hivyo hakuna mtu hata mmoja aliyechaguliwa na mimi kila mmoja alikataliwa na kimya changu hii ni kwa sababu watu hao wa kale hawakunitumikia kwa kujitolea kwa nia moja hivyo basi nami wala sikuwapenda kipekee walikuwa wamechukua vipawa vya shetani na kisha wakageuka na kunitolea mimi kwa kufanya hivyo je huu haukuwa udanganyifu kwangu wakati sadaka hizo zilikuwa zinatolewa sikufichua ghadhabu yangu badala yake nilijaribu kubadili mpango wao kwa matumizi yangu mwenyewe kwa kuongezea vipawa hivi kwa vifaa vinavyotumika katika usimamizi wangu baadaye mara tu vilipokuwa vimesindikwa na mtambo ningechoma takataka zote zalizotokana navyo ijapokuwa kizazi hiki cha sasa cha wanadamu hakijanitolea mimi vipawa vingi siwakaripii kwa hilo watu hawa wamekuwa masikini na wenye mkono mtupu daima hivyo licha ya kutazama uhalisi wa hali yao sijawahi kuwalazimisha kufanya kisichowezekana baada ya mimi kuja katika ulimwengu wa wanadamu bali baada ya kuwapa vifaa nimetafuta tu bidhaa iliyokamilishwa ninayotaka maana hili ndilo jambo pekee linaloweza kutimizwa na wanadamu nimeishi miaka mingi kwenye taabu nikijifunza maana ya kuishi kama mwanadamu kabla ya kufikia ombi la kufaa lau singekuwa na uzoefu wa maisha ya mwanadamu ningeelewaje maswala wanayoyaona magumu kujadili hata hivyo wanadamu hawalioni hivi wao husema tu mimi ni mungu mwenye nguvu mungu mwenyewe wa ajabu je hii siyo hasa dhana ambayo wanadamu wote wamekuwa nayo kote katika historia na hata mpaka leo nilisema kuwa ardhini hakuna yeyote anayeweza kunijua mimi kweli asilimia mia moja usemi huu una maana yake hii siyo porojo tu nina uzoefu na nimeona hili mimi mwenyewe kwa hivyo nina ufahamu wa utondoti iwapo singekuja chini kwa ulimwengu wa wanadamu ni nani angekuwa na nafasi ya kunijua mimi ni nani angeyasikiliza maneno yangu binafsi ni nani angeona umbo langu kati yao tangu nyakati za zamani nilikuwa daima nimejificha mawinguni nilitabiri hapo mapema kwamba ningeshuka chini kwa ulimwengu wa wanadamu katika siku za mwisho kuwa mfano wao mzuri ndio maana siku hizi watu wana bahati kupanua peo zao je hii si fadhili niliyowakidhi je yawezekana kuwa hawataelewa neema yangu kabisa mbona wanadamu hawajali hisia za wengine na ni butu sana baada ya kuja umbali huu mbona bado hawajaamka nimekuwapo humu ulimwenguni kwa miaka mingi lakini nani anijuaye si ajabu nawaadibu watu inaonekana kwamba wao ndio vyombo vya kuweka mamlaka yangu katika matumizi inaonekana kwamba wao ni risasi kwenye bunduki yangu ambazo nikishaifyatua zote zitapotea hili ndilo wazo lao nimewaheshimu wanadamu daima sijawahi kuwanyonya kwa udhalimu au kuwafanyia biashara kama watumwa hii ni kwa sababu siwezi kuwaacha wala wao hawawezi kuniacha mimi hivyo basi mshikamano wa kufa kupona umeundwa kati yetu daima nawatunza na kuwapenda wanadamu ijapokuwa hisia hiyo haijawahi kuwa ya maafikiano wamenitazama mimi daima ndio maana naendelea kutumia juhudi kwao nawapenda watu kama hazina yangu mwenyewe maana wao ndio raslimali ya usimamizi wangu duniani hivyo basi bila shaka sitawaangamiza mapenzi yangu kwa wanadamu hayatabadilika kamwe je wanaweza kusadiki kwa kweli katika kiapo changu wanawezaje kuniridhisha huu ndio wajibu wa wanadamu wote hili ndilo zoezi la nyumbani nililowaachia ni tumaini langu kwamba wote watafanya bidii kulikamilisha
a maandishi ya asili yanaacha uhalisi wa
b foili mtu/kitu kinachodhihirisha uzuri/ubora wa kingine kwa kuvilinganisha
iliyotangulia:tamko la thelathini na nne
inayofuata:tamko la thelathini na sita
je umekuwa hai tena je wewe ni muumini wa kweli wa mungu enzi ya ufalme ndiyo enzi ya neno tamko la thelathini na saba | 2018-07-21T15:00:43 | https://sw.godfootsteps.org/the-thirty-fifth-utterance.html |
brunei jumla ya pato zisizohamishika ukuzaji rasilimali
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi brunei jumla ya pato zisizohamishika ukuzaji rasilimali | 2019-10-19T04:54:40 | https://sw.tradingeconomics.com/brunei/gross-fixed-capital-formation |
ole gunnar solskjaer afunguka hatma ya pogba ifikapo january kwenye usajili mulastar
mulastar sports ole gunnar solskjaer afunguka hatma ya pogba ifikapo january kwenye usajili
ole gunnar solskjaer afunguka hatma ya pogba ifikapo january kwenye usajili
meneja wa manchester united ole gunnar solskjaer amesema kwamba paul pogba hatauzwa januari na pia amekanusha madai ya kwamba amekutana na mshambuliaji wa red bull salzburg erling haaland siku ya ijumaa
pogba kiungo huyo wa kati wa united amerejea baada ya kupata jeraha lakini pia amekuwa akihisi vizuri na kuna uwezekano mkubwa asicheze katika mechi dhidi ya watford jumapili ijayo
wakati huo huo kuna taarifa zinazodai kwamba haaland amesafiri kutoka stavanger norway hadi manchester na babake
lakini solskjaer amesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 ni zawadi ya krismasi
sidhani kama hatma yake ni hapa amesema
siwezi kuzungumzia wachezaji wa timu nyengine watu wataanza kuwa na mashaka na wewe
mchezaji wa kimataifa wa ufaransa paul pogba alikuwa anatarajiwa kurejea katika kambi ya mazoezi wiki iliyopita baada ya kupona jeraha la kifundo cha mguuni ambalo limemfanya kuwa nje tangu septemba lakini akauguwa na hali yake ikawa inaendelea kuwa mbaya jumapili iliyopita
hata hivyo solskjaer amesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anakaribia kurejea na hataondoka old trafford mwezi ujao
hatauzwa januariamesema maneja wa united
ni matumaini yangu kwamba ataingia uwanjani kabla ya mwisho wa mwaka huu lakini sitamlazimisha siwezi kujiweka katika hatari ya kupata changamoto au wachezaji wangu kupata jeraha | 2020-07-12T07:13:33 | https://www.mulastar.com/2019/12/ole-gunnar-solskjaer-afunguka-hatma-ya.html |
michuzi blog korea kusini yaonesha nia ya kuwekeza tanzania
waliosoma nchi korea kusini wameunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya
tano ya kujenga uchumi wa viwanda kwa kuleta wawekezaji ambao wanataka kuwekeza
katika ujenzi wa viwanda vya nguo vifaa tiba uzalishaji wa nishati ya umeme
wa jua kilimo na katika sekta ya sanaautamaduni na michezo
wa baraza la uwekezaji kutoka korea kusini hapa nchini kakono david ametoa
kauli hiyo wakati anaongoza ujumbe wa baraza la uwekezaji la korea kusini ambao
wamekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa rais wa jamahuri ya muungano wa
tanzania mhe samia suluhu hassan ikulu jijini dar es salaam
huyo amesema ujenzi wa viwanda hivyo utatoa fursa kubwa katika kukuza uchumi wa
nchi na kutoa ajira nyingi kwa watanzania na amesisitiza kuwa kwa kuanzia
wawekezaji hao wataanza kuwekeza katika wilaya ya ilemela mkoani mwanza
upande wake makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu
hassan katika mazungumzo na ujumbe huo wa baraza la uwekezaji kutoka korea
kusini amesema amefurahishwa na ujio wa wawekezaji hao na amewahakikishia kuwa
serikali ya awamu ya tano inaendelea kujenga mazingira bora ya uwekezaji ili
kazi ya ujenzi wa viwanda nchini iweze kwenda kwa kasi inayotakiwa
rais amesema ujenzi wa viwanda unaoendelea kufanywa na wawekezaji nchini
utasaidia kuongeza pato la taifa na kutoa ajira kwa watanzaniaamesema
tanzania ina maeneo mengi na mazuri kwa ajili ya uwekezaji tanzania bara na
zanzibar hivyo ni wakati muafaka kwa watendaji wa sekta husika kwa ushirikiano
na serikali kujiimarisha katika kuondoa ukiritimba ili kuvutia wawekezaji
kutoka mataifa mbalimbali duniani
wa raia pia amefurahishwa na mpango wa wawekezaji hao kutoka korea kusini ambao
wanataka kusaidia uimarishaji wa haki za wanawake hapa nchini na amekaribisha
jumuiya ya wanawake kutoka korea kusini kuja kufanya ziara ya kikazi hapa | 2017-07-23T16:46:12 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/04/korea-kusini-yaonesha-nia-ya-kuwekeza.html |
quality media group limited walivyo ukaribisha mwaka 2017 | sdm production media
home / gloria media / quality media group limited walivyo ukaribisha mwaka 2017
quality media group limited walivyo ukaribisha mwaka 2017
waandishi wa gazeti la jambo leo ambalo linaandika habari mbalimbali likiwa chini ya shirika la quality media group limited walivyo ukaribisha mwaka mpyatujikumbushe habari picha | 2018-07-15T22:58:06 | http://sdmproductionmedia.blogspot.com/2017/03/quality-media-group-limited-walivyo.html |
serikali zisisahau kuchagiza sekta binafsi zinapoondoa vizuizi vya kibiashara unctad | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa
11/07/2013 serikali zisisahau kuchagiza sekta binafsi zinapoondoa vizuizi vya kibiashara unctad
ripoti hiyo ya maendeleo ya kiuchumi barani afrika 2013
neno la wiki maneno yanayotumika kama kitenzi febuari 2017 | 2017-02-19T12:44:10 | http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/07/serikali-zisisahau-kuchagiza-sekta-binafsi-zinapoondoa-vizuizi-vya-kibiashara-unctad/ |
arsenal kileleni tanzania sports
17th march 2019 last update at 1042 am
*chelsea chali mourinho matatani tena
*leo ni manchester united na man city
arsenal wamepata ushindi muhimu kwenye mechi ya ugenini dhidi ya everton na kuchupa hadi nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi kuu ya england (epl)
kocha arsene wenger amewamwagia sifa wachezaji wake akiita ni wiki iliyokuwa tamu mno kwake kwani katikati ya wiki walitangulia kuwafunga bayern munich 20 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya (ucl)
wakicheza huku theluji ikianguka goodison park arsenal walifanikiwa kupata bao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wa kati mfaransa olivier giroud dakika ya 36 baada ya mesut ozil aliyeonesha kiwango cha juu kuachia majalo nzuri ozil ndiye alikuwa mchezaji bora wa mechi hiyo
dakika mbili tu baadaye beki wa kati kisiki laurent koscielny alifunga kwa kichwa baada ya kuupokea vyema mpira wa kiungo santi cazorla akiwaacha wachezaji wa everton na kipa wao tim howard wakishangaa na kusikitika
hata hivyo dakika moja kabla ya mapumziko ross barkley alisawazisha bao na muda mfupi baadaye mshambuliaji machachari wa everton romelu lukaku alipoteza nafasi nzuri na ya nadra sana ambapo mpira wake wa kichwa uligonga mtambaa wa panya
kipa wa arsenal petr cech alionesha umahiri wake na jinsi alivyo hazina kwa klabu iliyomsajili kiangazi kilichopita pale alipookoa hatari kadhaa ikiwamo moja ya gerard deulofeu
jumamosi hii iliendelea kuwa mbaya kwani katika dakika za majeruhi gareth barry alipewa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi mbili za njano na kutolewa nje kutokana na kumchezea vibaya kieran gibbs ambaye aliingia uwanjani dakika ya 89 kuchukua nafasi ya alexis sanchez
wenger alishindwa kuizuia furaha yake akisema lazima wawe na uendelevu katika kiwango chao kufanya kazi pamoja kwa unyenyekevu na kwamba anaionea fahari timu yake kwa sababu wameonesha uwezo wao na kujielekeza inavyotakiwa kuendelea kuongoza ligi kutategemea matokeo ya wababe wa manchester jumapili hii kwani man city wana pointi 21 moja pungufu ya arsenal na united wanazo 19
chelsea wapigwa matic na mourinho nje
jose alilia
chelsea wameendelea na hali mbaya kabisa kwenye epl baada ya kukubali kichapo cha 21 kutoka kwa wenzao wa london west ham huku kiungo nemanja matic na kocha jose mourinho wakitolewa uwanjani kwa nidhamu mbaya
chelsea waliotawala zaidi mechi hiyo walianza kuadabishwa baada ya mauro zarate kufunga bao kutokana na chelsea kushindwa kufagia mpira wa kona katika dakika ya 17 mlinzi gary cahil alisawazisha bao katika dakika ya 56 akipokea majalo ya willian baada ya mpira wa kona kupigwa
west ham walipata bao la ushindi katika dakika ya 78 kwa andy carroll kupiga kichwa kizuri akiwa katikati ya kasha la penati akiutendea haki mpira wa aaron cresswell kwa ushindi huo west ham wamepanda hadi nafasi ya tatu baada ya kufikisha pointi 20 lakini kubaki hapo kutategemea mechi ya man united na man city jumapili hii kwani united wana pointi 20
chelsea walionesha utovu wa nidhamu ambapo wachezaji wake walioneshwa jumla ya kadi sita za njano na moja nyekundu kwa matic kadi ya pili ya njano akiipata kutokana na kumchezea vibaya diafra sakho
kadi hiyo nyekundu ilisababisha mzozo ambapo wachezaji wa chelsea walikurupuka kuipinga na ni hapo diego costa na cesc fabregas walipopewa kadi zao za njano mourinho naye alielekezwa kwenda kukaa majukwaani badala ya kwenye eneo la ufundi baada ya kumfuata mwamuzi jon moss chumbani kuzungumza naye wakati wa mapumziko
wakati bao la ushindi la west ham linafungwa mourinho alinaswa akiwa amesimama katikati ya washabiki wa west ham lakini muda mfupi baada ya hapo alitoweka asionekane tena jukwaani
kadhalika kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza cha chelsea silvino lauro alitolewa nje kwa nidhamu mbovu sasa chelsea wamepoteza mechi tano kati ya 10 walizocheza za epl msimu huu wakiwa na pointi 11 tu huku wakishika nafasi ya 15
hii ilikuwa mechi ya mwisho kwa west ham kucheza na chelsea katika dimba la upton park kwani wanatarajiwa kuhamia olympic stadium kiangazi kijacho
matokeo ya mechi nyingine za epl
katika mechi nyingine za epl jumamosi hii aston villa walilala 21 kwa swansea na kuongeza machungu kwa kocha tim sherwood ambaye kibarua chake kipo hatarini kutokana na mwenendo mbaya wa timu msimu huu
villa walicheza nyumbani wakitarajia kupata walau pointi moja lakini walishindwa hivyo kubaki katika nafasi ya 19 kwenye msimamo wa ligi ambapo kwenye mechi zote 10 wameambulia pointi nne tu
leicester walitumia vyema uwanja wa nyumbani kwa kuwafunga crystal palace 10 na leicester wanashika nafasi ya tano kwenye msimamo wa ligi wakionekana kufufuka sana tangu walipomwajiri kocha mwitaliano claudio ranieri kiangazi kilichopita
norwich waliendelea na maumivu yao kwani wakichezanyumbani walilala 10 mbele ya west bromwich albion norwich wapo nafasi ya 16 yaani moja nyuma ya chelsea wakati west brom wamepanda hadi ya nane kwenye msimamo wa ligi
stoke walifungwa na watford 20 na kushuka hadi nafasi ya 14 wkaati watford waliopanda daraja msimu huu wakipanda mpaka nafasi ya 13
mechi nyingine leo hii ni sunderland wenye kocha mpya sam allerdyce watacheza na newcastle katika derby ya eneo hilo itakumbukwa kwamba sunderland wanashika mkia wakiwa na pointi tatu tu huku newcastle wakishika nafasi ya 18 na pointi zao sita
kadhalika kuna mechi nyingine kubwa ambapo kocha mpya wa liverpool mjerumani jurgen klopp atakuwa na kazi ya kuwawezesha vijana wake kukabiliana na wageni southampton
tags arsenal arsène wenger epl josé mourinho | 2019-03-25T08:10:42 | https://www.tanzaniasports.com/2015/10/25/arsenal-kileleni/ |
usikose hii👉 je mungu amegawanyika sehemu tatu
page 30491 of 30851« previous1230489304903049130492304933085030851next »
[sala ya sasa] 👉novena ya noeli
[mtakatifu wa sasa] 👉mtakatifu bakhita
kuhusu toharani haya hapa maswali ya msingi yanayoulizwa sana soma zaidi 👉katoliki
tunapotumia visakramenti tuchukue tahadhari hizi soma zaidi 👉katekisimu
ndiyo kwani twataka kwake maonyo na msaada tusipokuwa na neema yake hatuwezi kutenda jambo jema la kufaa kutuokoa (yoh 1613) soma zaidi 👉katekisimu
yafuatayo ni maswali yatakayotuongoza kwenye mada yetu soma zaidi 👉katoliki
wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili mimi nami nitajisifu nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu walakini akiwa mtu anao ujasiri kwa lo lote (nanena kipuuzi) mimi nami ninao ujasiri wao ni waebrania na mimi pia wao ni waisraeli na mimi pia wao ni uzao wa ibrahimu na mimi pia wao ni wahudumu wa kristo (nanena kiwazimu) mimi ni zaidi katika taabu kuzidi sana katika vifungo kuzidi sana katika mapigo kupita kiasi katika mauti mara nyingi kwa wayahudi mara tano nalipata mapigo arobaini kasoro moja mara tatu nalipigwa kwa bakora mara moja nalipigwa kwa mawe mara tatu nalivunjikiwa jahazi kuchwa kucha nimepata kukaa kilindini katika kusafiri mara nyingi hatari za mito hatari za wanyang'anyi hatari kwa taifa langu hatari kwa mataifa mengine hatari za mjini hatari za jangwani hatari za baharini hatari kwa ndugu za uongo katika taabu na masumbufu katika kukesha mara nyingi katika njaa na kiu katika kufunga mara nyingi katika baridi na kuwa uchi baghairi ya mambo ya nje yako yanijiayo kila siku ndiyo maangalizi ya makanisa yote ni nani aliye dhaifu nisiwe dhaifu nami ni nani aliyekwazwa nami nisichukiwe ikinibidi kujisifu nitajisifia mambo ya udhaifu wangu soma zaidi 👉masomoyamisa
karama zinagawiwa na roho mtakatifu jinsi anavyotaka si kwa sifa au faida ya binafsi bali kwa ustawi wa taifa la mungu soma zaidi 👉katekisimu
kanisa linaheshimu marehemu kwa kuwafanyia mazishi huku likiwaombea kwa mungu soma zaidi 👉katekisimu
roho mtakatifu anatutakasa kwa njia ya sakramenti visakramenti fadhila za kimungu na vipaji vyake (yoh 168) soma zaidi 👉katekisimu
ndiyo kila mwanadamu anaye malaika wake wa kumlinda ndiye malaika mlinzi (mt 1810) soma zaidi 👉katekisimu
ibada ya kutolea daraja ya uaskofu ina matokeo yafuatayo soma zaidi 👉katekisimu
miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba jina lake rahabu huyu mwanamke aliwaokoa wapelelezi wa israel waliotumwa kwenda kufanya uchunguzi ktk nchi yao soma zaidi 👉dini
tuvitumie visakramenti kwa imani na matumaini yaani kwa kwa kutumainia kupata ulinzi wa mungu kwa ajili ya baraka ya kanisa soma zaidi 👉katekisimu
mafuta ya wagonjwa yanamaanisha lengo la kuwaponya na kuwarudishia nguvu na uzuri soma zaidi 👉katekisimu
🔹zifuatazo ni sababu kwanin binti hautakiwi kuvaa suruali soma zaidi 👉dini
dhambi ni kosa la mtu mwenye kuvunja amri ya mungu au ya kanisa kwa mawazo (tamaa) kwa maneno au kwa matendo soma zaidi 👉katekisimu
uisali daima rozari hii niliyokufundisha na yeyote atakayeisali rozari hii atajaliwa kupata huruma kuu ya mungu saa ya kufa kwake hata wakosefu shupavu wakisali rozari hii hata kama ni mara moja tu wataipata huruma yangu isiyo na mwisho kwa njia ya rozari hii unaweza kuomba chochote na utakipata bora tu kipatane na mapenzi yangu ninataka dunia nzima iijue huruma yangu isiyo na mwisho nami ninataka kuwapa neema nyingi wale wanaoitukuza huruma yangu hata neema zile wasizofikiria kuzipata maneno ya yesu kwa sista faustina soma zaidi
ni sakramenti ambayo padri humuombea neema ya mungu na kumpaka mafuta matakatifu mgonjwa aliye katika hatari ya kifo kwa ajili ya neema ya roho na mwili (yak 51415 mk 613) soma zaidi
ekaristi inaitwa sakramenti ya upendo kwa sababu kila tunapofanya ukumbusho wa sadaka hiyo pekee tunazidi kujifunza na kupokea upendo ambao siku hiyo yesu ali amewapenda watu wake katika ulimwengu aliwapenda upeo (yoh 131) soma zaidi
zaka ni asilimia kumi (10) ya pato la mtu kwa mwaka ambalo anapaswa kulitoa kwa kanisa soma zaidi
hekima ya leo soma zaidi | 2019-08-18T21:43:58 | http://www.ackyshine.com/katoliki-f:blog/tag/dunia/p/30491 |
magugu maji ni kula yangu ni mtaji wangu mariama mamane | habari za un
magugu maji ni kula yangu ni mtaji wangu mariama mamane
video ya unep
bingwa kijana wa mwaka 2017 katika kunusuru mazingira ya dunia mariama mamane akishughulikia mboga ambazo zinakuzwa kwa mbolea itokanayo na magugu maji
ili kutatua changamoto kubwa zinazoikabili dunia hivi sasa kuanzia umaskini mabadiliko ya tabianchi na hata majanga ya asili tunahitaji utashi hatua zaidi na hatua zenyewe zichukuliwe sasa kauli hiyo imetolewa na bingwa kijana wa mwaka 2017 wa kupigania maslahi ya dunia mariama mamane kutoka burkina faso tupate maelezo zaidi na jason nyakundi
ougadougou burkina faso bingwa huyo wa maslahi ya dunia anasema suluhu kwake yeye ni kugeuza changamoto hizo zinazoikabili dunia na kuwa fursa kubwa katika jamii kama alivyofanya yeye akianza kwa kujitambulisha mimi ni mariama mamane ni mwanzilishi na meneja mkuu wa mradi wa jacigreen nambadili magugumaji kuwa nishati kwa wote
mradi wa mariama ambao ni wa majaribio mbali ya kuzalisha nishati pia unatumia magugu maji hayo kuzalisha mbolea ya asili unazuia hali ya jangwa uhakikisha uhakika wa chakula na kuzalisha umeme utokanao na gesi ya samadi na sio tu unampatia kipato lakini pia umeinusuru jamii yake mfano mbolea wanayotengeneza akisema kuwa inasaidia uzalishaji wa kilimo na inahitaji nafasi ndogo kuweza kuzalisha mazao mengi leo hii kutokana na mradi huu tunaweza kukidhi mahitaji ya kaya zaidi ya 12000 na wakulima zaidi ya 100 ambao wataweza kutumia mbolea yetu
kwa mujibu wa mariama ndoto yake ilitimia pale alipotunukiwa tuzo ya umoja wa mataifa ya kuwa bingwa kijana wa kutetea maslahi ya dunia 2017
mariama anasema kuwa tuzo hii ilinitambulisha kimataifa na kuniwezesha kufadhili mradi wangu leo hii na lengo langu ni kuchagiza wasicha wengine kama mimi kupigania mustakabali wetu ninataka kufanya kazi kutatua changamoto za kesho
magugu maji|burkina faso|jacigreen|mariama mamane|champion of earch | 2019-12-10T19:54:48 | https://news.un.org/sw/story/2019/07/1063451 |
amwe a aria mbathi ya cancer ikuite icaini ikuhi inoorotvcoke
amwe a aria mbathi ya cancer ikuite icaini ikuhi
winnie kimani | july 27th 2019 1545
gikuu kia mumbunge wa kibra ken okoth kiongereire namba ya atongoria aria marikitie kuhuruka thutha wa kurwara cancer bob colyymore wangari maathai waweru mburu jane kiano na nderitu gachagua ni amwe aa andu aria makuite niundu wa murimu uyu ica ikuhi
mwaka uyu murugamiriri wa kambuni ya safaricom bob collymore niarahurukire thutha wa kurwara cancer itagwo valiant
mwaka wa 2018 mumbunge wa baringo south grace kipchoim niahurukire niundu wa cancer ya mara mweri wa kana
mweri wa itandatu mwaka oo ucio uria wari senator wa migori ben oluoch agikua ni kurwara cancer ya mumero
jane kiano uria wari mutongoria wa maendekeo ya wanawake agikua mweri wa ikumi mwaka oo ucio wa 2018 ni cancer ya mahuri na ndithemba oo iyo muru wa nyina na chairman wa kiama kia jubilee raphael tuju niwe kefa tuju agikua ni cancer ya tombo
mwaka wa 2017 uria wari mumbunge wa kitui west francis nyenze agikua thutha wa kurwara cancer ya mara
mwandiki wa mohoro janet ikua kanini onake akiure mwaka oo ucio mweri wa itatu ni cancer ya mahuri
kiambiriria kia mwaka wa 2017 gugitangathwo gikuu kia uria wari ngabana wa nyeri ngeritu gachagua uria wakuire ni cancer itagwo pancreti
mumemerekia wa ceceni ya radio citizen akuire ni cancer itagwo gastric mwaka wa 2016 nake muru wa nyina na munini wa president harison kiptoo akuite mweri wa mugwanja mwaka ucio ararwa cancer ya higo
uririkane wangari maathai onake akuire ni cancer mwaka wa 2011
← ndemu cia ungumania kumeria david komosop
aikari a majengo voi gukaya matiarihirwo migunda yao yakwo sgr → | 2019-09-19T08:41:13 | https://inoorotv.co.ke/amwe-a-aria-mbathi-ya-cancer-ikuite-ica-ini-ikuhi/ |
wakati wa kubadili fikra ni huu mambo mengine sijuhi tuanzie wapi
wakati wa kubadili fikra ni huu
itajengwa na wenye moyo na italiwa na wenye meno
mambo mengine sijuhi tuanzie wapi
mimi huwa ni kipofu wa dini inakuwa ngumu sana kwangu kumuuliza mtu dini yake au hata kuhisi kutokana na jina kwa sababu nimesoma na watu wenye majina ya kizungu ambayowengi huita ya kikristo lakini baadaye nikaambiwa ni waislamu wengine wenye majina ya kiarabu ambayo huitwa ya kiislamu baadaye naambiwa ni wakristo sasa huwa sichukulii jina kama kigezo kabisa sasa baada ya mawaziri kutajwa hapo januari wengi wetu tulianza kujadili sifa zao lakini kuna jamaa wengine wameniacha hoi sana wanasema wewe huoni wizara nyeti zote kawapa waislamu angalia fedha mambo ya nje akataja na wizara nyingine lakini sikutilia maanani nikamuliza hivi wizara kuwa nyeti maana yake ni nini au kwa mfano kikwete alipokuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka kumi ambayo ni moja ya wizara nyeti kutokana na hao wanaodai hivyo waislamu walifaidi nini nilishangaa nikagundua kwamba kuna safari ndefu baadhi ya takwimu zinaonyesha kwamba tanzania ina asilimia 35 ya ambao si waislamu wala wakristo hawa watapewa wizara ipi na hizo takwimu za wakristo na waislamu pwngine zinafuata majina na nyingine ni za zamani kwa mfano kuna maelfu ya watanzani wenye majina ya kikrito na kiislamu(kama yapo) ambao hawako kwenye hizo dini au walishajiondokea na kujichukulia ustaarabu wao tukiendelea na huu uhayawani tutafika mahali kila dhehebu litake kuwa na waziri na kuna madhehebu karibu 400 ya kikristo tuu tanzania sijuhi itakuwaje lakini hao ambao hawako kwenye hizi dini mbili nani atawawakilisha ndesanjo kaongelea kiapo kwa kutumia vitabu kitukufu na kitakatifu suala linarudi niliyowahi kusema huko nyuma elimu ya dini
posted by indya nkya @ 747 pm 14 comments
at 729 am ndesanjo macha said
nakumbuka uliwahi kuongelea hili suala la elimu ya dini ukasema kuwa tatizo la vipindi vya dini shuleni ni kuwa havifundishi juu ya dini mbalimbali bali vinafundisha wanafunzi kuhusu dini zao yaani muislamu atakwenda kujifunza kuhusu uislamu na mkristo kuhusu ukristo (wakati ambapo kuna madrasa kipaimara mafundisho sande skuli nk) hoja yako ni kuwa vipindi vya dini vitumike kutufunza juu ya dini alizonazo mwanadamu nilikubaliana nawe wakati ule na leo ninakubaliana nawe elimu yetu ya dini ni finyu sana inaanzia kwenye ukristo na kuishia kwenye uislamu zaidi ya dini mbili hizo ni sifuri tena hata dini mbili hizo tunazijua kijuujuu tu
ningependa kuongeza kwenye hoja yako ya leo ukichunguza taifa letu linavyokwenda nyimbo tunazopenda na kusikiliza redioni maneno tunayotumia mitaani utendaji wa kazi maadili utu yanayofanyika usiku kwenye mabaa na gesti (ambazo wanaokwenda huko sio wageni ingawa zinaitwa nyumba za kulala wageni) rushwa mauaji ya vikongwe ujambazi upigaji mawe hadi kuua wanaodaiwa majambazi nk utagundua kuwa asilimia ya wakristo na waislamu ni ndogo sana huenda kama nimekosea nkya nisahihishe tanzania hakuna mkristo au muislamu hata mmoja
au pengine wapo ila dini hizi zimeshindwa kufanya kile kinachodaiwa katika mafundisho yake
at 630 pm mloyi said
mgawanyiko unaendelea baada ya kuangalia huyu jamaa atalisaidiaje taifa sisi tunashupalia yule jamaa ni wa dini fulani na yule ni wa dini ile
watu wa dini hao kaka ndesanjo ndiyo tabia zao zilivyo wanachojali ni kuona kwamba dini zao zinazishinda nyingine hata kwa hila ambazo wanaongelea kila siku kwamba mungu au mungu(sijui tofauti yake) anazichukia ni mbwa mwitu ambao huvaa ngozi ya kondoo waendapo kusali lakini hawatimizi mapenzi ya miungu yao angalia wanaochukua rushwa na wengine wa staili hii ndesanjo ameshawasema wote kwao la maana ni biblia na korani
at 750 pm egidio ndabagoye said
watanzania tuache unafiki hivi yule anae kula rushwa ya 10 ni dini gani yule anaeshindwa kutimiza wajibu wake kazini ni dini gani
at 723 pm boniphace makene said
tena utasikia pia suala la huyu si muislamu safi ama huyu kafiri tu hizi hoja zisizo na mashiko zinaudhi na zinadumaza umma sana
at 328 am jeff msangi said
nkya
hoja muhimu sana hii na naona wachangiaji wote wameweka msimamo wa hitaji la marekebisho ya elimu ya diniunajua nilishawahi kujiuliza hivi mimi na pengine wewe ningekuwa nasema dini yangu ni kadha wa kadha endapo nisingezaliwa na kujikuta nikiambiwa habari za msikitini au kanisanidini za mapokeo zina madhara makubwa sanamojawapo ni la kutokuelewa kwamba kwanini wewe unaamini dini fulani na wakati huo huo kujivalisha kitambaa cha giza kuhusu dini mbalimbali zilizopo dunianiukichunguza kwa sana mambo haya ya dini ni ubatili mtupu
kuna siku nilituma barua pepe iliyokuwa na kichwa cha habari ya mungu ibariki afrika katika barua pepe hiyo niliambatanisha habari za waziri mmoja kenya aliyekataa madaraka ya uwaziri kwa sababu wizara yake haikuwa nyeti
niliposoma habari hiyo nikakumbuka habari moja alinisimilia jamaa mmoja niliyekuwa nikiishi naye nyumba moja wakati nilipokuwa nasoma huyu jamaa yangu alikuwa mkenya alinismulia habari za waziri mmoja huko kenya aliyekataa uwaziri kwa sababu alikuwa kashushwa cheo toka uwaziri wa fedha kupelekwa uwaziri wa afya nikamsikiliza huyu jamaa halafu nikamwambia lakini wewe unasoma mambo ya afyaunajiona ni duni zaidi ya mtu anyesomea biashara akanijibu hapanalakini wizara ya fedha ni muhimu kuliko wizara ya afya nikamwambia hapo ndipo tunapokosea kuelewa maanana kutokana na kutoelewa kwetu ndiyo sababu tuna matatizo mengihaya niambie katika dunia hii yenye magonjwa mengi kama yalivyo kwa nini wizara ya afya siyo muhimuhawa wenzetu huku kila wizara kwao ni muhimu na ina maana ndiyo sababu hiyo wizara ikaundwa mazungumzo yetu yakageuka kuwa mabishano tukabishana sana mwishowe nikamwambia basi wewe endelea kuamini unavyoamini na mimi nitaendelea kuamini ninavyoamini
huku kutoelewa maana ndiko kunakofanya mambo mengi sana yakwame au yaishie kuwa ya chini kwa mfano pale nyumbani tanzania ninaweza kusema wizara ya utamaduni na michezo ni moja ya wizara inayozalisha pato kubwa sana la taifa ukichukulia michuano ya ligi kuu ya kandanda pekee yake inazalisha pesa nyingi sana bahati mbaya sina takwimu kamili ya pesa zinazozalishwa na ligi hiyo lakini nina hakika ni mamilioni ya shilingi yanaingia kila siku za mechi za ligi kuu lakini wizara hii haina mikakati ya nguvu ya kukuza na kuborehsa kandanda kilichokuwa chama cha soka (fat)tanzania kilikuwa hakina taarifa zozote za kufurahisha ulikuwa ukisikia neno fat linakutia karaha kama maana yake kwa kiingereza hebu tujiulize mataifa ya kameruni na naijeria yanapata kiasi gani cha fedha za kigeni kutokana na wachezaji wake wanaocheza soka ya kulipwa ughaibuni nikiendelea na wizara hiyo hiyo tujiulize taifa limekuwa linaingiza kiasi gani cha fedha kutokana na kodi inazopata kutoka kwenye bendi za muziki wa dansi taarabu na ngoma za kiasili nina hakika kila usiku mmoja wizara ya utamaduni inapata fedha nyingi sana kutokana na shughuli starehe ya muziki lakini hapo hapo tanzania haikuwa na studio za kufyatulia santuri kile kiwanda cha kufyatulia santuri pale kijitonyama kilififia kimya kimya chukulia mfanoafrika ya kusini inaingiza kiasi gani cha fedha kutokana na shughuli za muziki tanzania tungekuwa tunaingiza mabilioni ya fedha kutokana na muziki ninasema hivyo kwa sababu kwanza muziki wa tanzania ulikuwa na ghani (peculiar melody) yake yenyewe na hiyo ni moja ya kipusa ambacho kingeuuza muziki wa tanzania ulimwenguni kote sitaki kuchukulia mifano mikubwa kama ya wanamuziki wa marekani ambao ndiyo mabalozi wakubwa wa vijana dunia kote leo hii ni kitu aghalabu na adimu sana kukuta nyumba ambayo haina muziki wa kimarekani au kusikiliza radio yoyote duniani bila kusikia miziki ya kimarekani na kwa kwa juhudi za kitaifa dunia nzima imechotwa na muziki wa wamarekani ikiwemo tanzania na hiyo mikelele ilioenea kwa jina la bongo fleva
ni muhimu kwete sote kutambua umuhimu wa wizara zetu na kuzifanyia kazi katika umuhimu na maana zake kamili tukifanya hivyo tutaendelea upesi mno tukifikia hapo hatutasema tena ili tuendelee twahitaji vitu vinne watu ardhi siasa safi na uongozi bora tutasema ili tuendelee twahitaji akili yenye kuelewa maana halafu tutajipangia mikakati (milestones) halafu tutaanza kwenda na nguvu mpya ari mpya na kasi mpya kuelekea tulipopanga kwa sababu nguvu mpya kasi mpya na ari mpya bila kujua tunakokwenda ni sawa na mtoto aliyeanza kutambaa huwa anakwenda tu lakini hana safari maalumu
nikirudi kwenye suala la majina miye zamani nilikuwa nafikiri jina saidi au juma ni majina la kiislamu na jina charles au pancras ni ya kikristo la hasha nikajakubaini kwamba jina charles halimo hata kwenye biblia na wala saidi na juma siyo majina ya kiislamu cha ajabu katika kuzurura kwangu kote ughaibuni sijawahi kukutana hata na mwarabu mmoja anayeitwa juma isipokuwa juma wamejaa tele tanzania halafu sijawahi kukutana hata na mkatoliki mmoja toka ireland au italy anayeitwa charles au carlos zanzibar kuna waislamu wengi sana wenye majina ya kizanzibari kama kina pandu makame machano faki nk ukisikia majina yao huwezi kujua ni dini gani lakini ukiangalia vichwani mwao utaziona baraghashia ndiyo zitakazokuambia kwamba ni waislamu hali kadhalika huko mbeya kuna akina anyitike mwalusamba huyu huwezi kujua kama ni mkristo au muislamu mpaka ifike jumapili au jumamosi anapoenda kusali au kupiga mayowe madhabahuni kwake
jingine wizara apewe yeyote mkristo musilamu muhindu na muamini imani nyingine yoyote la msingi awe na uwezo wa kuiongoza
namalizia kwa kuwatakieni sikukuu njema ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi kilipozaliwa chama hiki niliimba kwaya uwanja wa taifa nimemkumbuka rafiki yangu mmoja ambaye tuliimba naye kwaya hii yeye sasa hivi mbunge wa ccm namshukuru mungu kutuletea vyama vingi kwa sababu siku ya leo 0502 ingekuwa hekaheka za maandamano na magwaride na kusikiliza hotuba za wakuu wa ccm ingekuwa ndiyo siku ya kuvuna mapesa toka kwa wananchi makampuni na mashirika ya umma ili kufanikisha shamrashamra za kuzaliwa kwa ccm
kila la kheri kwenu nyote
at 1111 am reginald s miruko said
mimi nadhani aliye safi ni yule asiye na dini maana ubongo wake haujachafuliwa na imanimabyo mtalaama mmoja alisema ni hatua ya juu kabisa ya ukichaa unaamini nini ambacho wewe binafsi hujawahi kukiona na hakuna mwenzio hata mmoja aliyewahi kukiona ukichaa ukiachana na ukichaa huo unakuwa safi unachodaiwa pekee ni kuwatendea wenzio kama wewe ambavyo ungetaka kutendewa basi
at 407 pm bwaya said
rejeo langu liwe mistari ya ufahamu ya ndesanjo inayokwenda kwa jina la yesu/isa na watanzania ambayo kimsingi ina mafundisho mazito
niliposoma mistari hiyo nilikubaliana naye kuwa katika tanzania wenye dini(kikweli kweli) watakuwa ama ni wachache sana ama hawapo kabisa kama alivyorudia kulisema hilo katika mchango wake hapo juu
huo ndio ukweli yaliyobaki ni unafiki mtupu mtu nadai ni mkristo na eti anashikilia mafundisho ya yesu wakati anayoyafanya ni tofauti kabisa na maneno yake
sijui kama itakuwa sahihi tukikubaliana reginald simon (mkristo)kwamba afadhali asiye na dininahisi ni afadhali kwa sababu alizozitaja
lakini swali linakuja dini zipo na hazishikwi zinaaminiwa kijuu juu je zisingekuwapo si ingekuwa ni balaa zaidi si afadhali hata wazuge zuge
at 304 am john mwaipopo said
ukisikia waafrika tuko njia panda ndio hapa hata wakati wa 'mtakatifu' nyerere matatizo haya yalijitokeza sana hizi imani tulizopandikizwa na wazungu na waarabu zinatuparaganya sana nadahni wakati umefika sasa tuzipige teke mioyoni mwetu hivi hao 35 ndio tuseme hawana mugnu mimi nafikiri wanaye
lililopo tanzania ni mbegu ambayo kwa upofu fulani hivi ilipandwa na wakoloni ya watu wa majina (sio dini)fulani kupata manufaa fulani na watu wa majina tofauti kusahauliwa au kuenguliwa kwa makusudi yafaa basi ili kujenga umoja tujipofushe na dini na tukodolee mambo yanayohusu maendeleo yetu
at 1052 am indya nkya said
si kwamba hiyo asilimia 35 hawana dini wana dini zao za asili na wanaabudu ni kwamba hawana dini za mapokeo za kiislamu na kikristo
at 721 pm mark msaki said
kwa kaka nkya tunashukuru kuleta mjadala kaka tunga nimekubali uchambuzi wako ni sahihikama kilivyo kilio changu safari hii umeanzia ndani tusafishe halafu ndio tuende njemaana kama sisi hatutaki kuuza wachezaji wetu na kufanya mambo proffession wao si ndio wanafurahia kuchukua vinavyoelea kiulanini
ni kweli kabisa hatujui maananyerere akasusa kwenda nashno stadium miziki ikawa inaburudisha wahishimiwa baada ya mikutano sanaa au kipaji kilifanywa cha kujitolea vipaji au sanaa vikawa sio tena njia halali ya kujipatia riziki ila ni shughuli ya kufanya baada ya kazi kwa ajili ya kujenga afya
watoto wakaenda shule wazazi hawataki kusikia mambo ya michezo sanaakwani nani asiyejua wasanii na wanamichezo hujifurahishanani asiyependa kufanya kazi serekalini au kuajiriwa ushinde ukiburudisha nani aliyeona mtyu kafanikiwa kupitia michezo huko nje lakini sio hapa nyumbanisoma kwa bidii utacheza ukiwa na kwakohaya ndio usia toka kwa wazazi ambao siujutii sana mimi kama mimi lakini ni hasara kwa taifa
wakasoma wakapata kazi wamekariri michezo sanaa uhuni kupoteza muda ni kweli wazee walisema jamaa kazi yao kubomu fegi sisi tuliosoma utawala na fizikia mambo safi tunafanya shughuli halali inaingiza kipatosio wale wale wamelosttena uhuni hata mtoto wangu hataenda hukonimekariri hilo
tulio serekalini / ajira rasmi tuna sheria sisi ndio miungu watu waliobaki wadudu ndio kwani nini nani anataka kiwanjasi atoe hela (aongee vizuri)wakati tunasoma alikuwa wapi nani anadai kuwa muziki mpira na sanaa unaweza kuwa kazi hadi urasmishwekwani magabacholi wameishiwa hadi kuwafuatilia na sijui hatimiliki waapi bwana ndio faida za kusoma tena serekalini ndio kuzuri zaidi kinachomata hapo ni dawati ulilokalia usijali sana mambo ya fenicha hata kama ni dawati kama la darasa la kwanzakinachomata hapo si ni nafasi hujui hata kama ukienda huko ajira binafsi hata kama ni milioni unalipwa mimi na elfukumi yangu nitakutoa knock out tuusicheze na sisi serekali si ndio wenye nchi mwisho wa siku bia nitaitwa mtu wa maana tu kwani unaonaje mshahara mdogo lakini ninamiliki vx
hawa wengine wanalia imekuwa tabu kufungua biashara kwani tatizo ni nini kama kile kimama kilikuja hapa juzieti kinanisubiri masaa mannemie nimeenda kunywa supu ya kitimotohawa watu wengine bwana kwani yeye masaa manne si angefanya mambo ya maana tu ananisubiri mimiwatu wengine bwana
sekta rasmi ikafavyama vya michezo vikawa ni personal enterpriseskama hii fat nani alisema ni mali ya mtu mmojakichefuchefu sitaki hata kusikiabora wamebadilisha ikawa tfflakini kuna myinyo wa zamani imebadilika chupa tuukiwa huko hufuatwi hata kama ulitoka serekalini kwa kashfa kubwa ndio haijali hata kama ilikuwa ni kuuza nyaraau hata kama walipoteza watu maishaukienda huko hata serekali ni aku haikugusihuko ni kwenu wizarani ni kwetuje nani anajua kuwa miss tanzania anawajibika kwa nani mahesabu yao yanapitia wapi je wanalipa kodi halali hizo zawadi wanazotangaza kutyoka hewani wanazo kweli nani anawaaudit kama hawataki na si waache kujiita jina miss tanzania je wachezaji mikataba yao je je mapato ya uwanja wa taifa nani anajua yanapoenda je mfumo wa kukata tiketi ukoje je serekali haiibiwi namna hii tutajenga uwanja mungine na mungine na mungine au fweza itaishia hewani je hawa vijana wa bongo flava wanaingiza kiasi gani je hakitoshi kutoa kodi kubwa tu kwa serekali je tutaendelea kwa namna gani kwanini hatuwasaidii ili na sie tufaidike je je je jeeeeeeeeeeeee
hii wizara ya utamaduni naona walaaaaaaaaaa hata mpango haina jamani wenye safu za magazeti muwaamshe sasa wafanye kazi waache upumbavu hii ni wizara ambayo ilitakiwa itengeneze hata kazi milioni peke yake kwa mwaka
methali ya kiswahili ilisema asiyejua maana haambiwi maanaje tunaojua maana tusiwaambie wenzetu
alhamsiki
mark na wengine
kwa sababu ya kuwiana sana majadiliano haya na yale ya kule kwa michuzi ninadurufu maoni niliyoyaandika kwa michuzi ili kuongeza hoja katika majadiliano haya kwa kurejea hoja ya mark
santuri inacheza upande wa kwanza
mark uliyosema ninayaafiki kwa kila hali miye kwa sababu ya uchechefu wa msamiati huwa naita kukosa kujua maana viongozi wa kisiasa wa tanzania huwa wanaona soka kama mchezo wa wanaume ishirini na mbili wanaokimbizana na kukimbiza mpira kwa dakika 90 halafu huwa kuna refari akisaidiana na washika vibendera kuhakikisha kwa hawa mashababi ishirini na mbili hao hawaumizani kwa hiyo soka kwao ni burudani ya baada ya kazi siku ya jumamosi kuanzia saa kumi na dakika kumi na tano jioni shughuli yoyote ya maana hufanywa asubuhi mpaka adhuhuri au alasiri au jioni ikiwa ndivyo hivyo basi kwanini wachukue muda wao kumakinikia jambo la dakika tisini tena jumamosi jioni
naipindua santuri upande wa pili
soka huchezwa na mashababi 22 kumi na moja toka kila upande huchezwa na wachezaji kumi na moja toka kila upande wachezaji hao hutumia viungo vyote vya mwili isipokuwa mikono huchezwa kwenye eneo la mraba la mita mia nne kama ilivyo kawaida ya makundi yoyote yawe ni vyama vya kisiasa wafuasi wa imani za kidini na kadhalika huwa yana wafuasi wake hali kadhalika soka kwa hiyo inapochezwa soka huwa si wachezaji ishirini na mbili wanaoshiriki huwa kuna kundi kubwa la mashabiki wa timu hizo wanaoshiriki mashabiki hawa huwa pengine wapo uwanjani au majumbani au vilingeni wakishiriki kwenye pambano kwa kusikiliza radio au majumbani au migahawani wakitazama pambano kupitia kwenye luninga ushabiki wa soka unaweza kuwa ni maradhi mabaya yasiyotibika kuna mashabiki wa soka ambao wamewahi kufikia hatua ya kujiua pale timu wanayoishabikia iliposhindwa kuna wengine ambao wamepoteza mali zao kwa kualifia (betting) matokeo ya mapambano ya soka kuna wengine waliouawa au kujeruhiwa na mashabiki wa timu pinzani na wapo waliopoteza urafiki na hata wapenzi kwa sababu ya kushabikia soka
wacheza soka ni wa kulipwa ni watu wanaopata vipato vikubwa kuliko marais wabunge na viongozi wengine wa kisiasa au wanataaluma walioenda kwenye taasisi mbali mbali za elimu kwa miaka zaidi ya nusu ya maisha yao soka ni moja ya ajira inayotengeneza mamilionea vijana kwa kazi halisi yenye kipato halisi soka ndiyo kazi pekee inayoweza kumlipa mtu asiyejua kusoma wala kuandika mamilioni ya fedha kutokana na uwezo wake wa kulisakata kabumbu
pambano la soka ni shughuli ambayo inaajiri na kutoa vipato kwa njia mbali mbali na kwa watu mbali mbali kwa mfano pambano moja la soka la ligi ya daraja la kwanza huleta vipato kwa wachezaji wenye njia za usafiri nyumba za wageni na mahoteli wenye migahawa ya chakula kwa makampuni ya vinywaji baridi makampuni ya habari kama radio luninga na magazeti wauza makabrasha(merchandise) makampuni ya usalama na polisi na ffu wauza petroli na dizeli makampuni ya umeme simu telegramu na kadhalika halafu kuna pato kubwa linaloenda ofisi ya kodi mapato pato hili huwafaidisha na wananchi wengine ambao siyo mashabiki wa soka
katika somo la sosiolojia kuna kipengele cha sanaa na michezo kama taasisi za jamii hiki kipengele kinasema kwamba michezo ni kigezo kinachoonyesha afya mpangilio (how organised or disorganised) nidhamu na uwezo kufanya mambo kwa pamoja kwa watu wa jamii inayohusika (coordiantion) kwa mantiki hiyo na kuwaangalia kina mohamed chuma na wenziye wakiwa vifua wazi tunaweza kuijadili vipi jamii yetu ya tanzania
naona ule ugonjwa wangu wa mawazo kupandana unaanza tena akilini imenijia picha ya mohamed chuma akiwa na bendera ya tanzania akizunguka uwanja wa taifa kuaga rasmi kustaafu kucheza namba tatu timu ya taifa baada ya kuitumikia kwa miaka kumi namuona hayati mohamed kajole akiirithi nafasi mohamed chuma namuona hayati mohamed kajole pale ofisi za bima mtaa samora akiwa mtu mwenye furaha saa zote ulipokutana naye inanijia pia picha ya kocha mohamed msomali akiwa kavaa kanzu yake nyeupe karibu na jumba la sinema sapna mtaa wa reli morogoro naona ofisi za mamlaka ya tumbaku na wachezaji aliowazalisha kocha msomali wakiwemo charles boniface mkwasa zamoyoni mogellah (kama sikosei ndiye mshambuliaji aliyepata kufunga magoli mengi kuliko mwingine yoyote katika historia ya ligi kuu ya tanzania) omar hussein golikipa hamad masarakasi na wengineo naliona jiji la morogoro naona makao makuu ya timu ya mseto zaragoza na aston villa ninamuona beki mashuhuri na sanifu sana kocha kido simkoko nakumbuka siku nilipoimba na cosmas chidumule na kundi zima la wana matimila ukumbi wa bwalo morogoro nilipomaliza kuimba kocha kido simkoko alipokuja kunipa mkono na kuniambia sikujua kama una kipawa cha kuimba safi sana mawazo yangu hayajakaa sawa nasikia huzuni
at 232 pm mark msaki said
nashukuru kwa mjadalasasa naona bado kidogo meli itaenda sawaumenifurahisha mzee mzima tungakumbe na wewe umekaa kaa jiji kasoro baharikwa kina mkude na wengine
bado hatujachelewa mawazo yatakaa sawa tu punde si pundejambo zuri au la maana huanzishwa si lazima na kijiji au taifa zima ni mtu mmojaakauza sera zake wakamuunga mkono ikakubalika ikawa sheria na siku hizi inawezekana kupitia hata taasisi zisizo za kiserekalinadhani sasa ndio wakati la kama tanzania ya sasa bado haitaki manabii watuue kama walivyoua waliotangulia
asante kwa changamoto
nimepata kuishi kwenye mji kasoro bahari ni mji mzuri sana kwa sifa za watu wake historia mandhari na hali ya hewa yake
naipenda morogoro
niandikie vunjavunja_2005@yahoocom
name indya nkya
location kila mji
maandishi ya siku za karibuni
tumepoteza maelfu ya miaka ya elimu
vyama viendeshwe na wanachama
nawajibika kuomba radhi
kimya wenzangu
igizo limeisha tungoje miaka mingine mitano
bendera ya uingereza yafanyani katika tovuti ya ch
ukimwi bado ni tishio
kiswahili kitolewe utumwani kwanza
uvutaji na unywaji wa pombe na saratani tena
hii ni kona ya makala jadili bila jazba
kasi ya ahadi za ajira
utata juu ya ukimwi
misaada na g8
mfumo wa ubepari na maadili
kumbukumbu ya mwalimu
kona ya padre karugendo
kichwa cha yohana mbatizaji
mtoto wa afrika
kuruwiji
wanawake na uongozi
twahubiri maji tukinywa mvinyo
maslahi ya taifa
sera tofauti lengo lile lile
nyerere na utakatifu
nyerere na utakatifu 2
makala za prudence
kiini macho cha madeni
amani ya kweli tanzania
ni upande gani unaohatarisha amani | 2017-09-21T22:59:43 | http://pambazuko.blogspot.com/2006/02/mambo-mengine-sijuhi-tuanzie-wapi.html |
jane john walimu wawili na wakulima wawili waibuka washindi wa promosheni ya airtel yatosha
walimu wawili na wakulima wawili waibuka washindi wa promosheni ya airtel yatosha
washindi wa siku wa shilingi milioni moja wa promosheni ya airtel yatosha bwana thomasi joackim chali na abdallah omari muhomba kwa pamoja wakionyesha furaha mara baada ya kukabithiwa zawadi za pesa
taslimu baada ya kuibuka washindi wa siku wa promosheni ya airtel yatosha
meneja uhusiano wa airtel bwana jackson mmbando akiongea na moja ya washindi wakati airtel ilipochezesha droo ya saba ya washindi wa shilingi milioni moja kila siku wa promosheni ya airtel yatosha
ambapo mpaka sasa zaidi ya shilingi million 44 zimeshatolewa akishuhudia ni msimamizi wa bodi ya michezo ya bahati nasibu
* zaidi ya shilingi million 39 bado kushindaniwa
* na washindi wa wiki ya sita wakabidhiwa zawadi zao
airtel imechezesha droo ya wiki ya saba ya promosheni ya airtel yatosha jana katika ofisi za makao makuu ya airtel morocco jijini dar es saalam ambapo wateja saba wameibuka washindi wa kitita cha
shilingi million 1 kila mmoja
washindi hao ni pamoja na theresia martine komba wa morogoro mkulima john kimoro wa kondo dodoma mwalimu yohanna masunga zengo wa maswa shinyanga mkulima isabellah joseph wa chamwino dodoma mwalimu nassor mohammed nassor wa kariakoo dsm mfanyabiashara modest laurian mussa wa bukoba kagera mfanyabiashara na masanja mwanamenda
wa nkyala singida mfanyabiashara
wakati huo huo airtel imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia promosheni ya airtel yatosha ambapo washindi wa wiki ya sita nao walikabidhiwa zawadi zao ambapo kila mmoja aliondoka na shillingi
milioni moja
nategemea kutumia pesa hizi kujiendeleza kiuchumi na maaendeleo ya familia yangu binafsi nachukua fursa hii kuwaasa watanzania kushiriki katika promosheni hizi za airtel na kwa hakika wataamka washindi kama
mimi hivi leo
kwa upande wake bwana thomas joachim chali ambaye pia ni mshindi wa wiki ya sita alisema anawashukuru airtel kwa kuanzisha promosheni yaairtel yatosha na kuahidi kuzitumia pesa zake kuendeleza na kupanua biashara kwa kuwa hiyo ndio shughuli kubwa anayoifanya
akiongea wakati wa makabidhiano hayo kwa washindi hao meneja uhusiano wa airtel bwana jackson mmbando alisema leo tunao washindi saba waliojishindia shilingi milioni 1 kila moja katika droo ya wiki
tumeendelea kushuhudia watanzania na wateja wetu wakiibuka mamilionea kila siku na kila mwezi kupitia promosheni hii ya airtel yatosha
tunaahidi kuendelea kuwazawadia wateja wetu huku tukiboresha huduma zetu na kuwapata wateja wetu huduma bora zenye gharama nafuu kupitia huduma yetu poa ya airtel yatosha inayomuwezesha mteja kuwasiliana na mitandao mengine ya simu za mkononi kwa bei poa na kupata vifurushi
vya maongezi bila kulipia gharama ya ziada aliongeza mmbando
droo itakayomchagua mshindi wa nyumba kwa mwezi huu inatarajiwa kuchezeshwa tarehe 5/9/2013 saa tano asubuhi hii itachagua mshindi mmoja kati ya wateja wote waliotumia huduma ya airtel yatosha kwa
mwezi huu
ili mteja wa airtel aweze kushiriki anatakiwa kujiunga na vifurushi vya airtel yatosha kwa kupiga *149*99# na kujiunga na vivurushi vya airtel yatosha kila unapojiunga na kifurushi unaingia moja kwa moja
kwenye droo ya kushinda | 2018-01-23T19:42:38 | http://janejohn5.blogspot.com/2013/08/walimu-wawili-na-wakulima-wawili.html |
imechapishwa 20/02/2019 0857 imehaririwa 20/02/2019 0857
kenya iligundua mafuta miaka saba iliyopita eneo la turkanar kaskazini mwa kenya © afp/ho/tullow oil plc
kenya inaendelea na jitihada zake za kuzalisha mafuta ghafi kenya iligundua mafuta mnamo mwaka 2012 katika mkoa wa turkana kaskazini mwa nchi kwa kiwango kilichokadiriwa sawa na mapipa milioni 560
kenya ilianza kuzalisha mafuta mnamo mwezi juni na kuwa kwa mara ya kwanza nchi inayozalisha mafuta tangu wakati huo kenya inahifadhi bidhaa yake hiyo kwa kusubiri kuiuza na kuongeza kiwango
tangu miezi minane iliyopita malori yamekuwa yakisafirisha zaidi ya mapipa mia moja ya mafuta kwa siku kutoka turkana
kufikia sasa tayari kenya imetoa mapipa 80000 ambayo yanaendelea kuhifadhiwa kwenye matangi yaliyo mjini lokichar
kwa mujibu wa chanzo cha serikali kenya inatarajia kuongeza kiwango cha uzalishaji mnamo mwezi mei na hivyo kufikia mapipa 2000 ambayo yatakuwa yakisafirishwa na malori visima vingine vya mafuta vitachimbwa na kufikia visma 300
hivi karibuni rais uhuru kenyatta alisema serikali yake imeweka mikakati ya kisheria kuhakikisha kwamba wakati bidhaa hiyo itaanza kuuzwa haitakuwa laana wala kuleta mvutano kama ulioshuhudiwa katika baadhi ya nchi zilizogundua mafuta katika siku za karibuni
kenya imejiunga na uganda na kuwa nchi ya pili ya afrika mashariki kuzalisha mafuta | 2020-05-30T03:25:28 | http://www.rfi.fr/sw/eac/20190220-kenya-kuanza-kuuza-mafuta |
magazeti ya tanzania leo jumamosi february 3 2018 | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
magazeti ya tanzania leo jumamosi february 10 2018
kama kawaida zanzibar24 tayari imeshakusogezea stori kubwa zilizotengeneza headline katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya tanzania leo jumamosi february 10 2018 chukua time yako kwa kupitia stori zote kali za udaku siasa michezo burudani na mambo mengine mbali mbali
the post magazeti ya tanzania leo jumamosi february 10 2018 appeared first on zanzibar24
magazeti ya tanzania leo jumamosi february 24 2018
kama kawaida zanzibar24 tayari imeshakusogezea stori kubwa zilizotengeneza headline katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya tanzania leo jumamosi february 24 2018 chukua time yako kwa kupitia stori zote kali za udaku siasa michezo burudani na mambo mengine mbali mbali
the post magazeti ya tanzania leo jumamosi february 24 2018 appeared first on zanzibar24 | 2019-04-21T20:56:13 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/magazetiya-tanzania-leo-jumamosi-february-3-2018 |
yah kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga dugu moja | gazeti la jamhuri
yah kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga dugu moja20170419t035827+0000
nianze waraka wangu wa leo kwa kumshukuru mwenyezi mungu kunipa uhai mrefu wa kuweza kuyaona mambo ya dunia hii ya awamu mbalimbali na mambo tofauti yanayoleta changamoto katika kichwa changu
huwa nawaza sana juu ya vitukuu vyangu vitaionaje dunia ambayo sisi tunawaachia kwa hivi sasa yapo ambayo natoa uamuzi sasa hivi kuwa hayo ni ngumu kudhibitika na kwamba kizazi chao kitaishi kwa staili mpya kabisa ambayo sisi tunaweza kufa bila homa iwapo tu tutaoteshwa
nawaza wakwe zangu vitukuu viwe vya kike au vya kiume itoshe tu kusema hali niionayo sasa hivi inanifanya nione kichefuchefu seuze kwa wakati huo sina hakika kama hata posa itakuwa ikitolewa kwa wenyewe nawaza kwa sauti namna ambavyo watakuwa wanavaa na heshima katika jamii yenyewe sijui wakati huo hawa dotcom watakuwa wanaonekana analogi au vipi
najaribu kuvuta hisia za maisha niliyoishi mimi kwa utoto wangu na tofauti iliyopo sasa kwa watoto wadogo ambao nao inawapasa kuufaidi uzee wangu najaribu kukumbuka uhayati wa ujana wangu na urijali niliokuwa nao na kizazi cha vijana wa sasa wa kuku mayai na madhara yanayowasibu naona kama wamepanga kuchagua lakini hawachagua kupanga
naangali mfumo wa uongozi enzi zetu na mfumo wa uongozi uliopo sasa na changamoto zake haki ya kuongea na kuchagua aina ya mfumo wa siasa wa kukidhi matakwa ya wote waliopo madarakani na wanaotaka madaraka na wale wanaoongozwa
nakumbuka kanuni mbalimbali za utawala wetu wa nyakati zile za siasa ya ujamaa na kujitegemea siasa za kufanya kazi na kujiletea maendeleo siasa za kukataa utawala wa kimwinyi na badala utawala wa shamba la mfano uongozi wa kuiga kutokana na matendo uongozi wa awamu ya kujitolea
naangalia mfumo uliopo na matatizo ya kuweza kukabiliana na changamoto zilizopo kwa maana ni kizazi cha uongozi na siyo kufanya kazi ni kipindi cha kujadili udhaifu wa viongozi ili kuweza kupata nafasi ya kutumikia wananchi kwa faida ya matumbo tumepanga lakini hatujachagua ni aina ya siasa tunayofanya sasa na sijui hatima ya kizazi cha vitukuu vyetu
maisha yanakwenda kasi sana miaka 60 iliyopita naona ni kama jana tu ya kuamkia leo miaka mitano ijayo najiuliza uwezo wa kumaliza hiyo safari watoto wa juzi miaka ya 1970 nawaona wakiwa wazee wenye kubeba uzee pasi na umri wao halisi sitaki kukubali mabadiliko ambayo yanaleta kero badala ya ahueni
sitaki kusikia la mtu juu ya ushauri wa kizazi cha sasa kizazi cha kuangali nafuu ya leo na siyo nafuu ya kesho kizazi cha kuangalia shibe ya tumbo na siyo shibe ya maendeleo kizazi cha kutafuta wepesi badala ya kukabiliana na changamoto kizazi cha kutafuta suluhisho badala ya kuishi kwa amani hii ndiyo dunia ninayokumbana nayo sasa katika kuhitimisha nngwe yangu ya maisha
nashindwa kukubaliana na ukweli kiasi cha kuomba rufaa ya kutoona kinachoendelea sitaki kuamini kuwa maendeleo ya sasa siyo kufanya kazi badala yake ni kuuziana sumu siyo kufanya kazi badala yake ni kuwa madalali wa wazee wachache wanaofanya kazi sitaki kuamini kuwa ni kizazi cha kuamini katika dhuluma na uonevu kizazi cha kutojua hatima yako ya maisha
sitaki kuamini kuwa tunafikiria kupotezeana maisha na siyo kunufaishana maisha sisi tunachagua kutoogopa maisha ya mtu tumechagua kuwafanya wanandamu wenzetu kuwa bidhaa na siyo binadamu hiki ni kipindi cha sasa na sijui kipindi kijacho cha vitukuu kitakuwaje
nawaza jinsi ambavyo binadamu anashindwa kumteka mbu lakini anaweza kumteka binadamu mwenziwe na kumdhuru kwa sababu za kukosa utu ni enzi za kumwaga damu kwa lengo la kujipatia mkate wa siku hii ndiyo awamu inayofanya nijiulize maswali mengi ya kutaka kujua awamu ya vitukuu vyangu
sitaki kujua wataishije lakini nikiwaangalia machozi yananitoka kila jambo lenye heri sasa ya hatari ni jambo la kufikirisha sana kwa wakati wao nadhani umefika wakati tukaamua kupanga na kuchagua na kuchagua ni kupanga kikawa cha manufaa kwa kizazi kijacho
85 total views 1 views today |||||
« hofu kutawala nchi ni hatari
nimeelimisha nimehadharisha na nimeonya kuhusu loliondo » | 2017-07-25T20:38:31 | http://www.jamhurimedia.co.tz/yah-kupanga-ni-kuchagua-na-kuchagua-ni-kupanga-dugu-moja/ |
mwakinyo amewakilisha mabondia wanaolazimishwa kupenda soka | gazeti la rai
home michezo mwakinyo amewakilisha mabondia wanaolazimishwa kupenda soka
wiki iliyopita medani ya masumbwi ilipambwa na taarifa ya bondia mzaliwa wa jijini tanga hassan mwakinyo ndiye aliyekuwa gumzo katika mijadala mbalimbali iliyohusu mchezo wa ndondi
kilichomfanya kuwa habari ya mjini ni ushindi wake wa pambano la uzito wa welter weight akimtembezea kichapo mwenyeji wake nchini uingereza sam egginton
huenda kumchapa egginton kusingetosha kuwashangaza wengi lakini ushindi wa tko tena ugenini halikuwa jambo la kawaida
na ikizingatiwa kuwa kwa miaka mingi mabondia wa tanzania wamekuwa wakipoteza mapambano yao ya nje hakuna ubishi kuwa alichokifanya mwakinyo kilipaswa kupewa uzito ule
ushindi wake haukuishia kuwaduwaza mashabiki wa masumbwi pekee kwani ijumaa ya wiki iliyopita alialikwa kuhudhuria kikao cha bunge la jamhuri ya muungano mjini dodoma
ukiliweka kando hilo la kwenda bungeni ni ukweli usiopingika kuwa safari ya mafanikio ya mwakinyo haikuwa nyepesi kwamba haikutosha kumpongeza kwa maneno na mwishowe kumchangia kiasi cha fedha
ni kweli tulimwandaa mwakinyo kwenda kutuchukulia ubingwa huko uingereza au kwetu imekuwa surprise
si kwamba hili ni bezo kwa wabunge waliojitolea 20000 kila mmoja ili kumpa kifuta jasho mwakinyo hakika wanastahili pongezi pia kwa moyo wao huo
hata hivyo hakuna namna unayoweza kuficha mazingira mabovu ya mchezo wa ngumi nchini ni kama unavyoweza kusema bondia anahitaji roho ya paka kufikia walau nusu ya mafanikio aliyorudi nayo kijana huyo
kuakisi hilo katika mahojiano yake na moja kati ya magazeti ya michezo mwakinyo alisema siasa ipo kila mahali niliondoka nikiwa kama mkimbizi sasa hivi kila mmoja anasema amenisaidia
alichokisema hakitofautiani na kilio cha mabondia wengi nchini ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa wakipelekwa nje ya nchi wakiwa hawajaandaliwa hivyo kukumbana na vichapo vinavyoitia aibu tanzania mbele ya mataifa mengine
huku mamlaka husika zikiwepo likiwamo baraza la michezo (bmt) mara kadhaa imeshuhudiwa timu ya taifa ya ngumi ikienda katika michuano ya kimataifa nikitolea mfano ile ya jumuhiya ya madola ikiwa imeshafeli
ndiyo kabla ya kukwea pipa kwenda kushiriki mashindano hayo makubwa tayari mabondia na makocha wao huwa wameshavurugwa kisaikolojia sababu ikiwa ni ile ile ya miaka yote ukata
cha kushangaza sasa siku ya kuagwa na kukabidhiwa bendera ya taifa tayari kwa safari utasikia wakiombwa kurejea na medali
kwa bahati mbaya nguvu kubwa imekuwa ikiwekezwa katika soka mchezo ambao hata hivyo hakuna ulichowahi kuifanyia bendera ya tanzania licha ya uwekezaji unaofanywa kila uchwao
wakati klabu zikibaki kuwa wasindikizaji katika michuano ya shirikisho la soka barani afrika (caf)ligi ya mabingwa na kombe la shirikisho taifa stars haijazigusa fainali za afcon tangu mwaka 1980
ukimtazama mwakinyo na mabondia wengine waliowahi kufanya vizuri nje ya nchi ndipo unapoweza kujiuliza nusu ya ufadhili uliopo stars simba sc na yanga sc ungehamishiwa kwenye ndondi tungekuwa wapi leo hii
huku wachezaji makocha na wafanyakazi wengine wa benchi la ufundi katika timu hizo wakiishi kifalme wenzao wa timu ya taifa ya ngumi hujiandaa na mashindano wakiwa na msongo wa mawazo
mbali ya uhaba wa vifaa pia hufika hatua ya kutembeza bakuli kwa ajili ya mahitaji muhimu kama chakula
aidha kutokana na nguvu kubwa iliyoelekezwa katika kandanda ikiwa ni pamoja na fedha nyingi zinazomwagwa katika usajili wa mastaa wa nje maproo hatari iliyopo ni kuliona kundi la mabondia chipukuzi likivutiwa huko
ikifikia huko ina maana hatutawaona tena akina mwakinyo ingawa pia hakuna uhakika kama katika soka tutakuwa tumemaliza adhabu tuliyojipa tangu mwaka 1980 ya kutoshiriki fainali za afcon
previous articleeu yaibana hungary kwa kuwakataa wahamiaji
next articlesimba inaficha ugonjwa kilio kitawaumbua
stars imetuonyesha uhalisia wetu
stars kukataa au kuendeleza unyonge kwa kenya | 2019-09-22T18:47:27 | http://www.rai.co.tz/mwakinyo-amewakilisha-mabondia-wanaolazimishwa-kupenda-soka/ |
abapolisi 280 basimbuye abari muri santarafurika kigali today
abapolisi 280 basimbuye abari muri santarafurika
17122019 0808' | ibitekerezo ( )
ku wa mbere tariki ya 16 ukuboza 2019 abapolisi bu rwanda 280 barimo abagore 54 bagiye mu butumwa bwumuryango wabibumbye bwo kubungabunga amahoro mu gihugu cya repubulika ya santarafurika
aba bapolisi bagabanyije mu matsinda abiri itsinda rya mbere rigizwe nabapolisi 140 bayobowe na assistant commissioner of police(acp) uwimana safari akaba ari icyiciro cya 6 kigiye muri iki gihugu
bazakorera mu murwa mukuru wa repubulika ya santarafurika bangui naho itsinda rya kabiri riyobowe na senior superintendent of police (ssp) antoine munyampundu akaba ari icyiciro cya 5 iri tsinda rizakorera ahitwa kaga bandora
abasimbuwe bageze ku kibuga cyindege mpuzamahanga cya kigali mu ijoro ryo ku wa mbere saa tanu baje bayobowe na senior superintendent of police(ssp) alphonse ngabonziza yavuze ko ubutumwa bari bamazemo umwaka bwagenze neza bakaba barakoze neza inshingano zari zabajyanye ziganjemo kurinda abaturage ndetse nabayobozi bigihugu nabakozi bumuryango wabibumbye
ssp ngabonziza yagize ati abaturage ba kiriya gihugu baba bakeneye umutekano usesuye twakoraga ibishoboka byose tukabarindira umutekano kuko hari igihe mu nkambi hazaga abantu bashaka kubagirira nabi
yakomeje avuga ko usibye ibikorwa byo gucungira umutekano abasivili banagiye bakora ibindi bikorwa biteza imbere imibereho myiza yabaturage
ati hariya hari impunzi nyinshi zifite ibibazo bitandukanye harimo uburwayi ubukene ndetse banakenera isuku twagiye tubafasha mu bijyanye no gusukura aho baba binyuze mu gukora umuganda nyuma yumuganda twakoranaga inama abaturage bakaganira ku mahoro nibindi byaho batuye twabatozaga kunywa amazi meza ndetse nabatayafite tukayabaha
ku cyumweru tariki ya 15 ubwo yaganirizaga abapolisi bagiye muri santarafurika gusimbura bagenzi babo umuyobozi mukuru wa polisi yu rwanda igp dan munyuza yavuze ko nk uko basanzwe babigenza bagomba kuzarangwa no gukora kinyamwuga ikinyabupfura kwitanga ndetse no kwigomwa kugira ngo babashe guhagararira neza u rwanda yanabasabye kuzarangwa nibikorwa byurukundo nimpuhwe bafasha abababaye ndetse bakubaha abaturage ba kiriya gihugu nabapolisi baturutse mu bindi bihugu bazaba barimo gukorana muri kiriya gihugu nk uko abo bagiye gusimbura babigenzaga bikaba binasanzwe mundangagaciro za polisi yu rwanda
u rwanda rwatangiye kohereza abapolisi mu butumwa bwumuryango wabibumbye bugamije kubungabunga amahoro mu gihugu cya repubulika ya santarafurika guhera mu mwaka wa 2014 kugeza ubu amatsinda agera kuri 15 yabapolisi bu rwanda amaze gusimburana muri kiriya gihugu | 2020-01-20T10:22:47 | https://www.kigalitoday.com/umutekano/hanze-y-igihugu/article/abapolisi-280-basimbuye-abari-muri-santarafurika |
ufunguzi wa sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana | vatican news
sinodi ya maaskofu vatican kwa ajili ya vijana
ufunguzi wa sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana
tarehe 3 oktoba 2018 mjini vatican sinodi ya vijana inaanza ambayo inaangozwa na mada ya vijana imani na mangamuzi ya miito kabla ya kuanza mkutano muhimu wa kanisa wametoa hata majina mawili ya mababa wa sinodi kutoka nchini china
katika fursa ya kufungua sinodi ya maaskofu baba mtakatifu anatarajia kuadhimisha misa katika uwanja wa mtakatifu petro mjini vatican 3 oktoba 2018 na mchana katika ukumbi wa sinodi wataanza rasmi na sala na salam za mwanzo katika mkutano wakati wa shughuli za kazi ya ufunguzi pia katibu mkuu wa sinodi ataonesha kitendea kaziyaaani istrumentum laboris na mfumo mzima wa sinodi itakavyokuwa pamoja na kuwakilisha sehemu ya kwanza ya mkutano
mababa wawili wa sinodi kutoka china
habari zinaeleza kuwa katika wanaodhuria sinodi ya vijana ni mababa wa sinodi 267 kwa mara ya kwanza na baada ya kutiwa saini ya mkataba wa muda kati ya vatican na jamhuri ya watu wa china watakuwapo hata maaskofu wawili kutoka nchini china taarifa zilizotolewa kuhusu mababa hawa wawili kutoka china ni askofu giuseppe guo jincai wa chengde katika jimbo la hebei alizaliwa kunako tarehe 27 februari 1968 na kupewa daraja la uaskofu mwaka 2010 amesomea huko prado lione nchini ufaransa baba mwingine ni askofu giovanni battista yang xiaoting wa yan'an katika jimbo la shaanxi alizaliwa kunako tarehe 9 aprili 1964 na kupewa daraja la uaskofu kunako 2010 shahada ya taalimungu mjini roma 1999
katika sinodi ya xv ya maaskofu ambayo itahitimishwa tarehe 28 oktoba wanaudhuria kama wasikilizaji hata vijana 34 wenye umri kuanzia 1829 kutoka duniani kote kuwakilisha sauti ya vijana wenzao kwa mujibu wa kardinali lorenzo baldisseri katibu mkuu wa sinodi wakati wa kuwakilisha kwa waandishi wa habari juu ya utaratibu mzima wa sonodi utakavyokuwa jumatatu mosi oktoba 2018 alisema hii ni sinodi ya tatu kuitishwa na papa francisko ambayo inaanzia katika misingi yake yenyewe kwanza familia na vijana ambao wanahakikisha wakati endelevu wa kizazi
03 october 2018 0949 | 2019-03-23T03:14:31 | https://www.vaticannews.va/sw/vatican-city/news/2018-10/sinodi-maaskofu-vijana-vatican-china-wawili.html |
(showing articles 12121 to 12140 of 65393)
10/12/142357 _rais kikwete alipof
10/13/140000 _breaking newzzzzz
10/13/140004 _mhariri gazeti la
10/13/140012 _tanzania among the
10/13/140030 _latest updates mai
10/13/140127 _maadhimisho ya siku
10/13/140156 _bei ya madafu leo
10/13/140356 _prof ali alamin ma
10/13/141330 _rais kikwete azindu
10/13/141338 _makamu wa pili wa r
10/13/141446 _majumuisho ya majad
10/13/141546 _wataka western saha
10/13/142000 _ngoma azipendazo ankal
10/13/142155 _kumbukumbu ya mwali
10/13/142226 _nssf yanogesha mbio
10/13/142329 _word lung foundatio
10/13/142349 _salamu za rambiramb
10/14/140002 _news alert lori la
10/14/140004 _joomla cms website
older | 1 | | 605 | 606 | (page 607) | 608 | 609 | | 3270 | newer
10/12/142357 rais kikwete alipofungua jengo la kitega uchumi la hoteli ya ppf mwanza
rais dkt jakaya mrisho kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi rasmi wa jengo la hoteli ya gold crest linalomilikiwa na mfuko wa pensheni wa ppf katika hafla fupi ya uzinduzi iliyofanyika hivi karibuni jijini mwanzawengine pichani toka kulia ni mkuu wa mkoa wa mwanzamh evarist ndikilomwenyekiti wa bodi ya mfuko wa ppfndg ramadhan kijjahnaibu waziri wa fedhamh adam malimamkurugenzi mkuu wa mfuko wa ppfwilliam erio pamoja na waziri wa ujenzimh john magufuli
rais dkt jakaya mrisho kikwete akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa jengo la kitega uchumi la hoteli linalomilikiwa na mfuko wa ppf jijini mwanza
rais dkt jakaya mrisho kikwete akifatilia kwa makini maelezo ya mkurugenzi mkuu wa mfuko wa ppf ndg william erio
naibu waziri wa fedhamhe adam malima (mb) akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya ufunguzi wa jengo la kitega uchumi la hoteli inayomilikiwa na mfuko wa ppf jijini mwanza ufunguzi huo uliambatana na rais kutembelea sehemu mbalimbali za jengo hilo la hoteli
10/13/140000 breaking newzzzzz maharusi wanusurika kifo baada ya mtumbwi waliopanda kuzama ziwa tanganyika
waokoaji wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka kigoma mjini kwenda katika kijiji cha kigalya kutafuta miili ya marehemu ambayo bado haijapatikana
waokoaji toka vikosi mbalimbali wakiwemo wanajeshi wa jwtz wakijiandaa kwenda kutafuta miili ambayo bado haijapatikana kutokana na jali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo
bibi harusi mariamu mduwa aliyenusurika katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa anaendelea na matibabu katika hospitali ya mkoa wa kigoma
ndugu jamaa na wapambe wa bwana na bibi harusi walionusurika katika ajali ya mtumbwi katika kijiji cha kalalangabo wakiwa wanaendelea na matibabu katika hospita ya mkoa wa kigoma
watu sita wamekufa maji katika ziwa tanganyika na wengine 11 kunusurika kifo akiwemo bwana harusi shaaban idd na bibi harusi
mariamu mduwa baada ya mitumbwi miwili waliyokuwa wakisafiria kutoka kigoma mjini kwenda katika kijiji cha kigalye kilichopo mwambao mwa ziwa tanganyika kuzama ziwani
tukio hilo limetokea leo saa nane na nusu mchana baada ya mitumbwi hiyo kupigwa wimbi kali na kuzama katika kijiji cha kalalangabo wakati bwana harusi huyo akitoka kuoa katika eneo la mwandiga na kurudi nyumbani akiwa na ndugu na jamaa pamoja na wapambe
akiongea na globu ya jamii katika wodi namba 5 katika hospital ya mkoa wa kigoma alipolazwa bibi harusi huyo alisema kuwa alishikwa na bumbuwazi sana baada ya tukio hilo kwani mpaka sasa bado hajielewi
''sikumbuki kitu kwani baada ya mtumbwi kuzama kila mtu alikuwa anahangaika kujiokoa na kifo
kwakweli mimi naona kama mkosi siku ya harusi yangu watu wanakufa ila namshukuru mungu kwa kutunusuru na kifo na yote mimi nimemwachia mungu''alisema bibi harusi huyo
mwathirika mwingine aliyenusurika katika ajali hiyo zabibu issa alisema kuwa mitumbwi waliyokuwa wamepanda ilikuwa imejaza sana watu na mizigo ndiyo maana ilizidiwa uzito na kuzama baada ya kupigwa na wimbi
''safari ya kwenda kijijini kwetu lazima tupite njia za majini hakuna barabra kabisa sababu vijiji tunavyoishi vipo mwambao mwa ziwa tanganyika kungekuwa na barabara tungepita barabrani''alisema bi zabibu issa
naye muuguzi wa wodi namba tano walipolazwa majeruhi hao alisema kuwa majeruhi wote waliopo wodini hali zao zinaendelea vizuri na kwamba mpaka sasa wameshapokea jumla ya maiti sita
kamanda wa polisi wa mkoa wa kigoma jafari mohamed akithibitisha hayo alisema kuwa mpaka sasa jumla ya watu 27 wameshaokolewa na miili sita kuopolewa pamoja na walionusurika 11
lakini bado inahofiwa kuwa kuna miili mingine zaidi ambao bado haijapatikana kwani mitumbwi hiyo inakadiriwa kuwa ilikuwa na watu zaidi ya sabini alisema na kuongezea kuwa vikosi vya ukoaji kwa kushirikiana na askari wa jeshi la wananchi wa tanzania vinaendelea na kazi ikiwa ni sambamba na kuchunguza chanzo cha tukio hilo
10/13/140004 mhariri gazeti la mtanzania akabidhi vyeti shule ya salma kikwete
wazazi na walezi nchini wametakiwa kutambua wajibu kwa kuhakikisha wanawekeza kwenye elimu kwa watoto wao
wito huo ulitolewa dar es salam na mhariri msanifu wa gazeti la mtanzania khamis mkotya alipokuwa akizungumza katika mahafali ya tano ya jumuiya ya wanafunzi wa kiislamu wa shule ya sekondari ya salma kikwete
na mkiwa hamtafanya hivi mtakuwa mmekwenda ninyume na mafundisho ya mtume wetu muhammad (saw) ambaye amatutaka tutafute elimu hadi uchina na hata leo ukimaliza mtihani wa kidato cha nne na kuona umemaliza tambueni elimu mlionayo sasa ni sawa na elimu ya msingi alisema mkotya
alisema ili maendeleo chanya yaweze kupatikana nchini ni lazima jamii ijiandae vema kuyapokea kwa kuwa na mkakati hasa kwa wanafunzi kujifunza kwa bidii kwenye masomo yao
10/13/140012 tanzania among the leading countries with teacher recruitment needs
tanzania is one of the top ten countries globally with the highest projection of the total number of teachers who have to be recruited by 2030
according to the new paper jointly released by the unesco institute for statistics (uis) and the education for all global monitoring report on world teachers' day tanzania needs to recruit at least 406600 new teachers by 2030
closely followed by tanzania is uganda which stands as the tenth most needy country in teacher recruitment according to the statistics uganda needs at least 372800 new teachers by 2030 other african countries leading the league of ten most needy countries are nigeria at number four and democratic republic of congo at number seven
the new data released by unesco show a chronic lack of trained teachers in many countries without action it will be impossible to get all children into school and learning by 2030 in total more than 27 million teachers will be needed to achieve universal primary education by 2030
the report also shows that in the rush to fill this gap many countries are recruiting new teachers with little training in the past decade countries have made great efforts to steadily increase the supply of teachers
since 1999 at least 22 countries have more than doubled their teacher workforces in particular afghanistan burundi congo and niger have tripled their teaching staff over the same period to date in primary education alone there are about 29 million teachers working in classrooms around the world
for more information about the statistical data on teachers please consult http//tellmapscom/uis/teachers/ or contact jalimakotta@unescoorg
10/13/140030 latest updates maiti zaidi zapatikana ziwa tanganyika baada ya ajali ya mitumbwi ya maharusi jana
globu ya jamii kigoma
mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama
mkuu wa mkoa wa kigoma luteni mstaafu issa machibya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya maafa ya mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado hazijapatikana
''zoezi hili linakuwa gumu sababu ya uhaba wa waokoaji pamoja na miundombinu duni ambavyo ni kikwazo katika zoezi hili la ukoaji lakini bado tunaendelea na kazi ''mkuu wa mkoa huyo ameiambia globu ya jamii asubuhi hii
viongozi wa mkoa wa kigoma wakiwa katika eneo la ajali wakiangalia zoezi la upoaji wa miili iliyopatikana katika ziwa tanganyika kufuatia ajali ya mitumbwi iliyotokea jana nao ni mkuu wa mkoa wa kigoma luteni mstaafu issa machibya (wa pili kushoto) anayefuata ni katibu tawala wa mkoa john nduguru na ramadhani maneno mkuu wa wilaya ya kigoma kushoto ni mwenyekiti wa ccm wa kigoma
waokoaji wakiwa wamebeba mwili uliopatikana katika ziwa tanganyika baada ya ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo
wanajeshi wa jeshi la wananch (jwtz) wakiendelea na zoezi la kuopoa miili ya watu waliopata ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo baada ya mitumbwi waliyokuwa wakisafiria kuzama
zoezi la uopoaji wa miili linaendelea na vikosi mbalimbali vya ukoaji katika ziwa tanganyika kufuatia ajali ya mitumbwi iliyotokea jana
10/13/140127 maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na wildaf yafana jijini dar es salaam
10/13/140156 bei ya madafu leo
10/13/140356 prof ali alamin mazrui afariki dunia leo
msomi maarufu nchini kenya na afrika masharikiprof ali alamin mazrui (pichani) amefariki dunia leo asubuhi binghamton jijini new york nchini marekani
prof mazrui amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81taarifa za awali zinaeleza kuwa prof mazrui hakuwa akijisikia vizuri kwa miezi kadhaa kabla ya kifo chake
mwenyekiti wa haki za binadamau za waislam (muhuri) khelef khalifa amesema mwili wa marehemu prof prof mazrui utasafirishwa kwa ndege kwenda kenya kwa mazishi
10/13/141330 rais kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana sikonge mkoani tabora leo
rais dktjakaya mrisho kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana pathfinders green city katika kata ya igigwa wilayani sikonge leorais kikwete yupo mkoani tabora kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ambapo pia atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha mbio za mwenge hapo keshowatatu kushoto ni mkuu wa mkoa wa tabora bifatma mwassa na wapili kushoto ni mkuu wa wilaya ya sikonge bihanifa selenga
rais dktjakaya mrisho kikwete akipata maelezo ya uchakataji asali kutoka kwa mmoja wa vijana waishio katika kijiji cha mfano cha vijana wajasiriamali katika kata ya igigwa wilayani sikonge mkoani tabora leo
rais dktjakaya mrisho kikwete akikagua baadhi ya madawati yaliyotengenezwa na kikundi cha vijana wajasiriamali katika kijiji cha mfano cha pathfinders katika kata ya igigwa wilayani sikongemkoani tabora muda mfupi baada ya kukizindua kijiji hicho
rais dktjakaya mrisho kikwete akikagua viatu vya ngozi vilivyotengenezwa na vijana wajasiriamali katika kijiji hicho cha mfano
rais dktjakaya mrisho kikwete akikagua viatu vya ngozi vilivyotengenezwa na vijana wajasiriamali katika kijiji hicho cha mfano picha na freddy maro
10/13/141338 makamu wa pili wa rais wa zanzibar ziarani mkoa wa ruvuma
makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi amewasili mkoani ruvuma kwa ziara ya siku mbili kuangalia miradi mbali mbali ya kiuchumi na maendeleo ya mkoa huo kwa mualiko wa uongozi wa jimbo la peramiho
kwenye uwanja wa ndege wa songea balozi seif na mkewe mama asha suleiman iddi akiambatana pia na wake wa wabunge na wawakilishi zanzibar alilakiwa na kaimu mkuu wa mkoa wa ruvuma ambae pia ni mkuu wa mkoa mpya wa njombe mh aseri msangi pamoja na viongozi mbali mbali wa serikali na siasa
akitoa taarifa fupi ya mkoa huo mara baada ya mapokezi hayo hapo ikulu ya mkoa wa ruvuma kaimu mkuu wa mkoa huo mh aseri msangi alisema mkoa wa ruvuma umekuwa na mafanikio makubwa ya sekta ya kilimo kwa kubarikiwa kuwa na mvua za kutosha
mh msangi alisema msimu huu wa kilimo mkoa wa ruvuma umezalisha tani milioni moja nukta nne za chakula ukiwa na ongezeko la ziada ya tani laki tisa ikiwa ni sawa na asilimia 102 alisema mafanikio hayo yamesababisha changamoto kubwa la uhifadhi wa nafaka kutokana na uhaba wa maghala pamoja na uchelewaji wa fedha za ununuzi wa mahindi kutoka kwa wakulima hata hivyo kaimu mkuu huyo wa mkoa wa ruvuma aliwahakikishia wakulima waliouza mahindi yao ambao bado hawajapata fedha zao kwamba serikali imeshatenga fedha hizo zinazotarajiwa kuwafikia wakati wowote kuanzia sasa
akigusia huduma za maendeleo na kiuchumi mh msangi alimueleza makamu wa pili wa rais wa zanzibar kwamba ruvuma imekuwa mstari wa mbele katika kusimamia mipango ya kiuchumi ili kutekeleza sera na ilani ya ccm ya mwaka 2010
alisema mipango hiyo iliyojikita zaidi katika miradi ya kiuchumi na ustawi wa jamii imelenga kwenda sambamba na dira ya taifa iliyokusudia kuifanya tanzania kuwa na uchumi wa kati na kati ifikapo mwaka 2025
kuhusu sekta ya afya mh aseri msangi alifahamisha kwamba mkoa wa ruvuma umefikia kuwa na vituo vya afya 271 kukiwa na ongezaeko la zaidi ya asilimia ishirini na sita alisema kinachoupa mtihani mkoa huo hivi sasa ni ongezeko la maambukizi ya virusi vya ukimwi iliyofikia asilimia 7 hali ambayo uongozi wa mkoa huo unatafuta mbinu za kupunguza kasi ya kuenea kwa maambukizi hayo
mh msangi alisema juhudi za ziada zitachukuliwa katika kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi mapya hasa katika skuli zote za sekondari na msingi ili kupunguza kasi hiyo iteremke hadi kufikia asilimia 3
akitoa shukrani zake kwa mapokezi hayo makamu wa pili wa rais wa zanzinbar balozi seif ali iddi alizipongeza juhudi zinazochukuliwa na viongozi na wananchi wa mkoa wa ruvuma katika kujiletea maendeleo yao balozi seif alisema takwimu zinaonyesha wazi kwamba mkoa wa ruvuma umepata mafanikio makubwa katika sekta ya kilimo afya pamoja na elimu na kuwa mfano bora kwa mikoa mengine hapa nchini
alisema wananchi na jamii kote nchini wanapaswa kumpongeza rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania dr jakaya mrisho kikwete kutokana na juhudi anazochukuwa za kusimamia na kuhamasisha maendeleo ya umma hasa katika sekta muhimu ya elimu
balozi seif alisema muongozo wa rais kikwete wa kuzitaka wilaya zote nchini kumaliza ujenzi wa madarasa ya maabara katika skuli zote za sekondari wilaya ifikapo mwezi disemba mwaka huu umeonyesha juhudi hizo za kumkomboa mtoto wa kitanzania ili aoane na karne hii ya sayansi na teknolojia duniani
naye mbunge wa jimbo la peramiho ambaye ndie mwenyeji wa ziara hiyo mh jenista mhagama alisema ziara ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar imeonyesha mapenzi na mshikamano uliopo kati ya pande mbili zilizounda jamuhuri ya muungano wa tanzania
kijana wa umoja wa vijana wa ccm mkoani ruvuma mustafa hamad mlanzi akimfunga skafu makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa songea kuanza ziara ya siku mbili mkoani humo kukagua miradi ya maendeleo
balozi seif akisalimiana na baadhi ya viongozi wa serikali na kisiasa mara baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa songea
kikundi cha utamaduni ya shaba sanaa cha songea kikiimba wimbo maarufu wa lisombe kumkaribisha makamu wa pili wa rais wa zanzibar alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa songea kwa ziara ya siku mbili mkoani ruvuma
mbunge wa jimbo la paramelo mh jenistamhagama akimshukuru makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif kwa kukubali kwake kufanya ziara mkoani ruvuma kushoto ya mh jenista ni makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi na mkewe mama asha suleiman iddi wakati kulia ya mh jenista ni kaimu mkuu wa mkoa wa ruvuma ambae pia ni mkuu wa mkoa wa njombe mh aseri msangi
picha na hassan issa wa ompr znz
10/13/141446 majumuisho ya majadiliano ya awali kati ya tanzania benki ya dunia na imf
katibu mkuu wa wizara ya fedha na mlipaji mkuu wa serikali dr servacius likwelile ambaye ni kiongozi wa ujumbe kutoka tanzania na anawakilisha kama gavana mbadala (alternate governor) pamoja na gavana wa benki kuu prof benno ndulu ambaye pia ni gavana katika mikutano hii katika picha viongozi hao wakiwa wanafanya majumuisho ya majadiliano ya awali na kukubaliana cha kufanya kwa pamoja na viongozi kutoka imf na wb kuhusiana na hali ya uchumi kwa maana ya sera za fedha na sera za mapato na matumizi
bwherve joly ambaye ni mkurugenzi msaidizi na mkuu wa idara ya afrika sehemu ya mashariki akimsikiliza kwa makini katibu mkuu wa wizara ya fedha na mlipaji mkuu wa serikali dr servacius likwelile hayupo katika picha alipokuwa akitoa msimamo wake kuhusu sera zinazopendekewa na imf na wb
katibu mkuu wa wizara ya fedha na mlipaji mkuu wa serikali dr servacius likwelile alipokuwa akitoa msimamo wake kuhusu sera zinazopendekewa na imf na wb
dr servacius likwelile katibu mkuu wa wizara ya fedha na mlipaji mkuu wa serikali akiwa pamoja na ujumbe kutoka tanzaniawakichukua mapendekezo kutoka kwa viongozi wa imf na wb hawapo kwenye picha kutoka kushoto ni gavana wa benki kuu ya tanzania akiwa amefuatana na bi natujwa mwamba naibu gavana wa benki kuu ya tanzania na kutoka kulia ni bw philip mpango katibu mtendaji tume ya mipango akifuatiwa na msaidizi wa kamishna sera bw shogholo msangi na wa mwisho ni kamishna wa bajeti bw john cheyo na walioketi nyuma wote ni wajumbe kutoka tanzania
10/13/141546 wataka western sahara iwe huru kujiamulia hatima yake
umoja wa mataifa unaitambua western sahara kuwa ni koloni ambalo linapashwa kuondokana na minyororo ya ukoloni liwe huru na lijiamulie mambo yake yenyewe kama taifa huru
hata hivyo tangu mwaka 1963 western sahara ilipotambuliwa kuwa koloni pamoja na michakato mbalimbali inayosimamiwa na umoja wa mataifa umoja wa afrika na wadau wengine wengi bado safari ya koloni hilo pekee barani afrika ya kuikata minyororo ya ukoloni inazidi kuwa ndefu na yenye mabonde mengi
kama hiyo haitoshi mchakato wa kuisaidia western sahara kufikia hatua ya kuwa nchi huru inaelekea sasa kuigawa jumuiya ya kimataifa katika pande zinazokinzana
kwa zaidi ya wiki moja sasa wajumbe wa kamati maalum ya nne ya baraza kuu la umoja wa mataifa inayohusika na masuala ya siasa na umalizaji wa ukoloni wamekuwa wakijadiliana na kubadilishana mawazo ya namna pamoja na mambo mengine kuchagiza umalizwaji wa ukoloni kwenye makoloni 17 yanayotambuliwa rasmi ndani ya umoja wa mataifa ikiwamo western sahara
ni katika majadaliano hayo ambapo pia wajumbe wa kamati waliwasikiliza petitioners zaidi ya 60 waliojenga hoja mbalimbali zikiwamo zinazoitaka jumuiya ya kimataifa kwa maana ya umoja wa mataifa kuharakisha mchakato wa kuipatia western sahara uhuru wake kamili au iwe sehemu ya morocco
ni katika majadiliano hayo ambapo pia misimamo ya wazi wazi imejitokeza kwa baadhi ya wajumbe kusimamia au kuegemema upande wa morocco ambaye ndiye mtawala ( mkoloni)wa sasa wa western sahara baada ya mkoloni wa awali hispania kuliacha mwaka 1963 wajumbe wengine zikiwamo nchi za afrika zinazozungumza kiingereza pamoja na nchi za amerika ya kati wao zenyewe zinasimamia katika kutaka western sahara iachwe huru na iwe na haki kuajiamulia hatima yake kwa wale wanaogemea upande wa morocco zikiwamo baadhi ya nchi zinazozungumza kifaransa nyingi zikiwa za kiafrika
wao wanapigia chapuo hoja inayopendekezwa na morocco ya kuipatia western sahara uhuru wa kujiamulia baadhi ya mambo yake ( limited autonomy) lakini ibaki kuwa sehemu kamili ya morocco
wanaounga mkono hoja hii wanaamini kwamba pengine huu ndiyo mwelekeo sahihi wa kisiasa na wenye kutekelezeka lakini wakati huo huo unakosa hoja ya msingi ya uhuru kamili na kujitawala hata hivyo kundi la pili na ambalo pengine ni kubwa zaidi lenyewe linapendekeza kuwa wananchi wa western sahara na kwa mujibu wa maazimio ya baraza kuu la umoja wa mataifa na baraza kuu la usalama wanapashwa kuachiwa wenyewe fursa ya nini wanataka iwe hatima yao kama ni kuwa na uhuru kamili nakujiamulia mambo yao au pendekezo hilo la limited autonomy
lakini wafanya hivyo bila ya kushinikizwa na wala wasiamuliwe wanaopendekeza hivyo wanasimamia katika ile misingi inatoainishwa na katiba ya umoja wa mataifa inayowapatia watu wa saharawi haki yao ya msingi inayoainishwa katika maazimio mbalimbali ya umoja wa yanayowataka wafanye hivyo kupitia kura ya maoni ( referendum) kama ilivyopendekezwa na kupitishwa na baraza kuu la usalama kupitia maazimo 658 ( 1990) na 690 ( 1991) hata hivyo pamoja na kupitishwa kwa maazimio hayo pamoja na kuundwa kwa chombo cha kusimamia kura hiyo ya maaoni ( minurso)
kura hiyo haijafanyika kutoka na kile kinachoelezwa ni pingamizi zinayowekwa na morocco jitihada mbalimbali za mjumbe maalum wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa bw christopher ross zimeshindwa kusukuma mbele mchakato wa kuipatia western sahara uhuru wa kujiamulia mambo yake
kama hiyo haitoshi umoja wa afrika umemteua rais mstaafu wa msumbiji joachim chisano kuwa mjumbe wake maalum wa kulishughulikia suala la western sahara na afanye kazi kwa karibu na umoja wa mataifa wajumbe wa kamati ya nne wameelezwa kuwa kadri suala la western sahara linavyochelewa kupatiwa ufumbuzi ndivyo hali inavyozidi kuwa tete hususani katika makambi ya wakimbizi yanayohudumia wakimbizi wa western sahara wanaohifadhi humo
wakati wa majadiliano hayo zilitolewa taarifa zinazoonyesha kuwa katika kambi hizo za wakimbizi hususani ile ya tinduff imegeuka au imo katika hatari ya kugeuzwa eneo ambalo vijana wa kisaharawi wanarubuniwa na kuingizwa katika makundi ya ugaidi waliozungumza wanasema vijana hao wameamua kuingia katika vitendo vya ugaidi kwa kile kinachodaiwa kukata tamaa na mkwamo wamchakato mzima wa kuamua hatima yao yaani kuwa huru
ni kwa sababu hiyo na tishio hilo la ugaidi katika kambi hizo na mstakabali mzima wa hali ya amani na usalama katika eneo la maghereb imefikia wakati sasa ambapo jumuiya ya kimataifa inashauriwa kuliangalia kwa jicho pana zaidi suala la western sahara
balozi ramadhan mwinyi naibu muwakilishi wa kudumu wa jamhuri ya muungano wa tanzania katika umoja wa mataifa akichangia majadiliano ya jumla kuhusu agenda ya umalizaji wa ukoloni katika makoloni 17 yanayotambuliwa rasmi na umoja wa mataifa likiwamo la western sahara koloni pekee katika bara la afrika akizungumza kwa niaba ya tanzania balozi mwinyi pamoja na mambo mengine alirejea wito uliotolewa na mhe rais jakaya mrisho kikwete wakati alipolihutubia baraza kuu la umoja wa mataifa mwezi septemba ambapo alilitaka baraza kuu la usalama la umoja wa mataifa kutumia uwezo wake kulitafutia ufumbuzi wa kudumu na wa mwisho kuhusu koloni hilo la western sahara tanzania ni kati ya nchi ambazo zimesisitiza haki na uhuru wa watu wa saharawi kujiamulia hatima yake kwa mujibu wa maazimio na mapendekezo ya umoja wa mataifa tanzania licha ya kuwa mjumbe wa kamati ya nne inayohusika na masuala ya siasa na umalizaji wa ukoloni pia ni mjumbe wa kamati ya nchi 24 ( c24) ambayo imekasimiwa jukumu la kumaliza ukoloni
10/13/142000 ngoma azipendazo ankal
marijani rajabu nyerere
10/13/142155 kumbukumbu ya mwalimu nyerere na costantine magavila
10/13/142226 nssf yanogesha mbio za rock city 2014
afisa uhusiano wa shirika la taifa la hifadhi ya jamii (nssf) bw jumanne mbepo (kulia) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 15 ili kudhamini mbio za rock city marathon 2014 mratibu wa mbio hizo bw mathew kasonta (kushoto) katika hafla ya kukabidhi hundi hiyo na kutangaza rasmi zawadi zitakazotolewa katika mbio hizo iliyofanyika jijini dar es salaam jana mbio hizo zitafanyika mkoani mwanza katika uwanja wa ccm kirumba tarehe 26 mwezi oktoba mwaka huu nssf ikiwa kama mdamini mkuu wa mbio hizo
mratibu wa mbio za rock city marathon 2014 kutoka capital plus international (cpi) bw mathew kasonta (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 15 iliyotolewa na shirika la taifa la hifadhi ya jamii (nssf) kudhamini mbio za rock city marathon 2014 na kutangaza rasmi zawadi zitakazotolewa katika mbio hizo jijini dar es salaam jana mbio hizo zitafanyika mkoani mwanza katika uwanja wa ccm kirumba tarehe 26 mwezi oktoba mwaka huu nssf ikiwa kama mdamini mkuu wa mbio hizo wakishuhudia katikati ni afisa uhusiano wa shirika la taifa la hifadhi ya jamii (nssf) bw jumanne mbepo na afisa uhusiano wa nssf bi anna nguzo (kulia)
afisa uhusiano wa shirika la taifa la hifadhi ya jamii (nssf) bw jumanne mbepo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 15 kudhamini mbio za rock city marathon 2014 na kutangaza rasmi zawadi zitakazotolewa katika mbio hizo jijini dar es salaam jana mbio hizo zitafanyika mkoani mwanza katika uwanja wa ccm kirumba tarehe 26 mwezi oktoba mwaka huu nssf ikiwa kama mdamini mkuu wa mbio hizo wakishuhudia kushoto ni mratibu wa mbio kutoka capital plus international (cpi) bw mathew kasonta na afisa uhusiano wa nssf bi anna nguzo (kushoto)
nssf yanogesha mbio za rock city 2014
· zawadi nono zatangatazwa kwa washindi
zawadi za washindi wa mbio za rock city zitakazofanyika katika mkoa wa mwanza tarehe 26 mwezi huu zimetangazwa jana huku mdhamini mkuu wa mbio hizo shirika la taifa la hifadhi ya jamii (nssf) likitoa shilingi milioni 15 kuboresha mbio hizo
akizungumza wakati wa makabidhiano ya hundi ya shilingi milioni 15 kwa waratibu wa mbio hizo capital plus international limited afisa uhusiano wa nssf bw jumanne mbepo amesema kuwa nssf imeendelea kudhamini mbio hizi kwa mwaka wa sita mfululizo kutokana na kuona maboresho yanayofanyika katika mbio hizo kila mwaka
mbio hizi zitaambatana na kutoa elimu kwa wakulima na wachimbaji wadogowadogo wa madini katika kanda ya ziwa juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko wa nssf ili waweze kunufaika na huduma zitolewazo na shirika kama vile mkopo bima ya afya pamoja na mafao mbalimbali alisema bw mbepo
mratibu wa mbio hizo bw matthew kasonta amesema kuwa udhamini huo utasaidia kwa kiasi kikubwa kufanikisha maandalizi ya mbio hizo na kuleta maboresho makubwa katika mbio za mwaka huu amesema kuwa maboresho hayo ni pamoja na kuwepo kwa mbio fupi zitakazo jumuisha vijana kutoka katika shule za sekondari na wale waliopo shule za msingi madarasa ya juu
baada ya kupata udhamini huu tunafaraja ya kutaja zawadi watakazopatiwa washindi kwa mbio za kilomita 21 jumla ya shilingi milioni saba na laki moja zimetengwa kwa ajili ya washindi washindi wa kwanza watazawadiwa tsh 15m/ huku washindi wa pili watapata laki tisa na washindi wa tatu watapata laki saba kila mmoja
bw kasonta amesema kuwa kwa mbio fupi ambazo zimeanzishwa mwaka huu (mita 100 mita 400 na mita 1500) jumla ya shilingi laki nne na themanini pesa taslimu zimetengwa kwa ajili ya washindi huku washindi wote wa kwanza (wa kike na kiume) watapata kingamuzi cha continental decoders
bw kasonta aliwataja wadhamini waliofanyikisha mbio hizo kuwa ni shirika la taifa la hifadhi ya jamii (nssf) tsn group kupitia kinywaji chake cha chilly willy pamoja na african barrick gold iptl air tanzania new mwanza hotel nyanza bottling sahara media group continental decoders new africa hotel ppf tanapa na bodi ya utalii tanzania (ttb)
nawasihi watu waendelee kujitokeza kwa wingi kuchukua fomu za usajili katika ofisi za kampuni ya capital plus international limited (cpi) jengo la atc ghorofa ya tatu jijini dar es salaam chuo kikuu cha mtakatifu augustino mwanza ofisi zote za wilaya za michezo na utamaduni mkoani mwanza na uwanja wa nyamagana alisema bw kasonta
10/13/142329 word lung foundation na serikali ya mkoa wa kigoma wazindua kampeni ya thamini uhai okoa maisha ya mama mjazito na mtoto
na editha karo wa globu ya jamii kigoma
serikali ya mkoa wa kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la word lung foundation chini ya ufadhili wa swedish internatinol agency (sida) wamezindua mkoani hapa kampeni ya''thamini uhai okoa mama mjamzito na mtoto''
mgeni rasmi katika uzinduzi huo mkuu wa mkoa wa kigoma kanali mstaafu issa machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya
''hawa ndugu zetu wa wlf wamekuwa wakitusaidia sana katika masuala ya afya ya mama mjazito na mtoto hapa kigomamambo ya kujifungulia nyumbani yameshapitwa na wakatinina waomba akina mama wote wanapo pata ujauzito kuanza klinik mapema ili waweze kuonana na wataalam mapema''alisema machibya
naye mganga mkuu wa hospitali ya mkoa wa kigoma dkt leonard subi alisema kuwa shirila la wlf limekuwa mstari wa mbele katika kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto katika mkoa wa kigoma
alisema wanawake wanaojifungulia katika vituo vya afya mkoani kigoma ni wachache hali hiyo ndiyo inayosababisha idadi ya vifo vya akina mama wajawazito kuwa kubwawengi hupenda kujifungulia manyumbani sababu ya fikra potofu
mkurugenzi mkuu wa shirika la word lung foundation nchini nguke mwakatundu alisema kuwa shirika kupitia kampeni hiyo limedhamiria kupunguza matatizo ya uzazi wakatiwa kujifungua kwa akina mama
alisema kampeni hiyo itakayodumu kwa muda wa miezi mitatu inawalenga wanawake na wanaume wote mkoani kigoma itafanyika kwa njia ya radiomabangosimu za mkononikatuni na uhamasishaji
''nina amini kampeni hii itafanikiwa katika mkoa wa kigoma japo kuna changamoto mbalimbali ikiwemo uhaba wa watumishi katika vituo vya afyavitendea kazi pamoja na akina mama kuchelewa kufika katika vituo vya afya kwa wakati kujifungua''alisema mkurugenzi mkuu
wahudumu wa hospita ya mkoa wa kigoma maweni pamoja na wananchi wakitembea kwa maandamano kuelekea katika viwanja vya sekondari ya mwananchi mkoani kigoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni ya ''thamini uhai okoa maisha ya mama mjazito
mkuu wa mkoa wa kigoma kanali mstaafu issa machibya akizindua kampeni ya ''thamini uhai okoa maisha mama mjamzito''katika viwanja vya sekondari ya mwananchi wa nyuma yake ni katibu tawala wa mkoa mhandisi john ndunguru
mkuu wa mkoa wa kigoma pamoja na viongozi wengine wa serikali ya mkoa wa kigoma wakipiga makofi baada ya uzinduzi kufanyika
mkuu wa mkoa wa kigoma kanali msataafu issa machibya akimpongeza na mkurugenzi mkuu wa shirika la word lung foundation nchini dkt nguke mwakatundu baada ya uzinduzi wa kampeni na anayefuata ni mganga mkuu wa hospita ya mkoa wa kigoma dkt leonard subi
10/13/142349 salamu za rambirambi toka nra kwa wakazi wa mkoa wa kigoma kwa ajali ya boti
akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini dar es salaam naibu katibu mkuu taifa na katibu mkuu wa bodi ya chama cha ujenzi wa taifa nra (national reconstruction alliance) mhe hassan kisabya almas ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na uongozi mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti
ndugu kisabya alisema ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu
ndugu kisabyaaliomba uongozi wa mkoa kufuatilia kwa ukaribu sana ajaili hiyo ili kubaini chanzo cha ajali hiyo na kuweka mikakati thabiti ili ajali kama hiyo isitokee tena
kwa upande wa wahudumu wa safari hizo aliwaasa kutochukua idadi kubwa wa watu tofauti na uwezo wa chombo husika ili kuepusha majanga kama hayo ndugu kisabya alitoa shukurani kwa askari wetu wa jeshi la wananchi walioshirikiana na wananchi katika kuopoa maiti na mali za wahanga wa ajali hiyopia alitoa shukurani kwa uongozi wa serikali ya mkoa mzima kwa kuonyesha mshikamano mkubwa katika ajali hiyo
katika salamu zake ndugu kisabya alisema nimeguswa sana na mkasa huu ni ajali mbaya kutokea naungana na wafiwa wananchi wotena uongozi wa mkoa wa kigoma katika kipindi hiki kigumuhasa ukizingatia ni nyumbani kwetupia waliopoteza maisha ni watanzania wajenzi wa taifa na ni hazina ya nguvu kazi ya taifa
mungu awalaze pema marehemu wotemungu ibariki afrika mungu ibariki tanzaniamungu ibariki kigoma
10/14/140002 news alert lori la mafuta lawaka moto mbagala jijini dar usiku wa kuamkia leo
sehemu ya mabaki lori la mafuta lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo maeneo ya mbagala jijini dar es salaam baada ya kupiga mwereka likiwa katika hatakati ya kulikwepa gari lingine lililokuwa likitokea kongowe ambalo liliingia ghafla barabarani bila ya tahadhari
awali lori hilo pamoja na kupiga kwake mwereka halikufanya na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto ila baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza kuchukua mafuta yaliyokuwemo kwenye lori hilo hali iliyopelekea kutokea mlipuko mkubwa ulioliteketeza kabisa lori hilo
haijafahamika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliyepoteza maisha katika moto huo ila hasara kubwa imeonekana kutokea kwa nyumba tatu zilikuwepo jirani na eneo la tukio ambazo zimeteketea kwa moto nyumba moja ni ya makazi ya watu ingine ni duka la juma la mchele pamoja nyumba ya kulala wageni globu ya jamii inaendelea kufatilia kwa ukaribu tukio hilo na tutaendele kujuzana
10/14/140004 joomla cms website / blog design & maintenance boot camp
this is practical base boot camp will teach you how to do our instructor will use his 5 years of experience working with joomla to make sure when you finish you are no longer a beginner
however that is not all you will have the email and contact numbers of your instructor entitled to skype and email support for a period of 30 days after attending the bootcamp even though you might not be ready to launch your website after the 5 days of training you can work on your website at your own pace with the added benefit of never being alone again when facing a question or uncertainty
understanding joomla world and web technologies
participants will be required to pay 350000/= tanzania shs covering
training materials (includes one copy of joomla 3 book)
1 year kilimanjaro hosting package (worth 100000) from dudumizinet
one cotz domain (worth 27000) from dudumizinet
dudumizi home mbezi beach dar es salaam
in order to control and make this bootcamp effective there are limited seats available for this bootcamp please book your seat before november 5 2014 | 2019-12-06T04:55:53 | http://michuzi2.rssing.com/chan-7007653/all_p607.html |
na abel ndekirwa imechapwa 29 september 2009
yusuph makamba katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (ccm) ana ajenda gani dhidi ya spika wa bunge la jamhuri samwel sitta
acha spika afanye kazi
na m m mwanakijiji imechapwa 01 september 2009
tanzania haihitaji watu wakamilifu kwani hawapo duniani haihitaji watu watakatifu kwa kuwa hawako mbinguni taifa hili halihitaji watu wasiokosea hao nao hawapatikani bali taifa linahitaji watu ambao wanajua mapungufu yao
wabaya wa sitta wafichuka
na saed kubenea imechapwa 25 august 2009
maandalizi kumg'oa ya muda mrefu
kikwete alinong'onezwa mapema
njama za kumng'oa spika wa bunge la jamhuri samwel sitta ziliratibiwa na baadhi ya viongozi wa juu ndani ya chama cha mapinduzi (ccm) mwanahalisi limedokezwa
na mwandishi maalum imechapwa 18 august 2009
aruhusu 'mafisadi' kumsulubu
mpasuko mkubwa ccm waja
jk_13jpg
rais jakaya kikwete ameshindwa kulinda hadhi ya spika wa bunge la jamhuri samwel sitta katika vikao vya chama cha mapinduzi (ccm) mjini dodoma
sitta_3jpg
upishi wa kashfa utaathiri wengi
na aristariko konga imechapwa 04 august 2009
sitta_7jpg
spika wa bunge samwel sitta ameiomba serikali kumwongezea ulinzi ni kutokana na vita kali inayooendeshwa na wabaya wake
na saed kubenea imechapwa 19 march 2008
sitta_6jpg
spika wa bunge samwel sitta anamsubiri aliyekuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano edward lowassa ili kumjumuisha katika moja ya kamati za kudumu za bunge mwanahalisi limeambiwa
cuf dowans makamba chadema slaa richmond chenge kikwete ccm mkapa rostam pinda lowassa uchaguzi sitta | 2018-08-14T23:42:51 | http://mwanahalisi.co.tz/category/story_post_categories/ccm/sitta?page=1 |
diamond gave his clothes to this celebrity for a video shoot entertainment news news
by sheila kimani | thursday dec 8th 2016 at 0803
diamond platnumz and raymond
sometimes the industry is so excited about the scandals that people forget some deeds by celebrities diamond platnumz is one celebrity whose brand has been marred with controversy but he mastered the art of turning his lemons into lemonade
impressively so his fellow artistes raymond who is signed to the label wcb and features in the song salome took time to appreciate diamond for mentoring and even lending him clothes to do his video shoots
kwenye video ya #kwetu nguo zote ulinipa wewe #mugacherere nguo zote ulinipa zako kiukweli nimepata tabu nyingi sana kwenye mziki wangu lakini niliamini ipo siku namimi nitaonekananashukuru mungu sana kunikutanisha nawewe brother naseeb asante kwa moyo wako wa upendo kwangu ulithamini kwa kidogo nilichonacho nakuamini nitaweza kufanyasafari bado ndefu tutafika tunapotaka diamond platnumz raymond posted | 2017-06-27T02:00:26 | https://www.sde.co.ke/article/2000226131/diamond-gave-his-clothes-to-this-celebrity-for-a-video-shoot |
naibu waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi angeline mabula ameelezea kukerwa na tabia ya wakurugenzi wa halmashauri nchini kwa kuzitengea fedha kidogo idara za ardhi hivyo kuzifanya kushindwa kutekeleza majukumu ipasavyo
akizungumza na watumishi wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya rufiji mkoa wa pwani jana mabula alisema wakurugenzi wengi katika halmashauri wamekuwa wakiifanya idara ya ardhi kama mtoto yatima
ukienda katika halmashauri nyingi idara ya ardhi imekuwa kama mtoto yatima na ofisi zake haziridhishi kabisa kulinganisha na zile ofisi za idara zingine kama vile afya na elimu alisema
kwa mujibu wa mabula katika halmashauri nyingi alizotembelea bajeti katika idara za ardhi haizidi sh milioni nne tofauti na fedha za mapato ya ndani ingawa wakati mwingine hazipatikani zote
alisema tatizo linaloonekana ni wakurugenzi kutofahamu kama idara hiyo ina fedha nyingi na kuweka wazi kuwa iwapo halmashauri zitaamua kuisimamia sekta hiyo kikamilifu zitajikusanyia mapato mengi kulinganisha na sekta zingine
mabula alisema katika ukusanyaji mapato ya serikali nchini sekta ya ardhi inaweza ikawa sekta ya pili au ya tatu kwa kuingiza mapato mengi ikiwa nyuma ya taasisi zinazokusanya mapato moja kwa moja kama mamlaka ya mapato tanzania (tra)
kaimu mkuu wa idara ya ardhi halmashauri ya wilaya ya rufiji mashaka abdallah alimweleza mabula kuwa idara yake inakabiliwa na ufinyu wa bajeti inayotengewa kwa ajili ya kutekeleza kazi za ardhi na vitendea kazi kama kompyuta mashine za uchapaji na usafiri
alisema katika mwaka wa fedha wa 2018/2019 halmashauri yake ilipangiwa kukusanya sh milioni 15 na hadi desemba 31 mwaka jana ilishakusanya sh milioni 167 ikiwa ni sawa na asilimia 1116
kutokana na maelezo hayo mabula alisema ukosefu wa vitendea kazi unawakatisha tamaa watendaji wa sekta hiyo lakini pia unachangia watendaji hao kutofanya kazi vizuri na wakati mwingine kuwalazimu kutumia fedha zao za mfukoni kufanikisha kazi walizopangiwa
kuhusu ukusanyaji mapato kupitia sekta ya ardhi mabula alisema halmashauri nyingi zimekuwa zikifanya makisio kidogo ya fedha za makusanyo huku zikiacha fedha nyingi kwa wadaiwa na kuwataka watendaji kuweka makadirio kulingana na uhalisia wa madeni wanayodai
alitolea mfano wa halmashauri ya wilaya ya rufiji kuwa pamoja na kuwekewa kiwango cha kukusanya sh milioni 15 ilikusanya sh milioni 167 kujivunia kuvuka lengo lakini kumbukumbu zilizoko wizarani zinaonyesha halmashauri hiyo inadai zaidi ya sh bilioni moja
majaliwa ataka kasi ujenzi ofisi za wizara | 2019-02-17T04:49:21 | https://www.ippmedia.com/sw/habari/naibu-waziri-akerwa-bajeti-kiduchu-ya-ardhi-halmashauri |
migne anyoa wanne akitangaza nyota 23 afcon misri mwanaspoti
migne anyoa wanne akitangaza nyota 23 afcon misri
kenya itawakilishwa na nyota 23 kabla ya mchezo juni 15 dhidi dr congo katika mchezo wa pili wa kujipima nguvu mechi hii itapigwa nchini hispania katika jiji la paris baada ya hapo juni 19 kikosi kitaelekea cairo misri kwa ajili ya afcon
nairobi hatimaye kitendawili cha nani watapeperusha bendera ya kenya katika makala ya 32 ya kombe la mataifa ya afrika afcon 2019 zitakazofanyika huko misri kimeteguliwa mapema leo baada ya mazoezi ya harambee stars iliyoko kambini jijini paris ufaransa
baada ya majumaa mawili ya kukitizama kikosi cha wachezaji 27 kilichokuwa kambini kocha mkuu wa harambee stars mfaransa ameridhika kuwa clifton miheso na anthony 'teddy' akumu hawatoshi mboga
nyota wengine waliopitiwa na panga la mfaransa huyo kiungo mshambuliaji christopher mbamba na beki wa kati brian mandela ambao ni majeruhi mbamba amekuwa majeruhi tangu siku ya kwanza ya kambi juhudi za kutibu jeraha lake la enka zimegonga mwamba
mandela aliyekuwa ni beki tajika katika kikosi cha migne aliumia jana wakati wa mazoezi ya asubuhi katika nafasi yake migne hana budi zaidi ya kumtegemea beki wa gor mahia joash onyango ambaye msimu huu amekuwa katika kiwango cha juu
ikumbukwe kwamba chris mbamba mwenye umri wa miaka 27 mzaliwa wa zimbabwe babake akiwa ni mnamibia na mama mkenya alikuwa na matumaini ya kuvaa jezi la kenya kwa mara ya kwanza baada ya kuwatolea nje sweden
hata hivyo habari nzuri ni kwamba beki wa kati musa mohamed na winga ayub timbe walioumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya madagascar wanaendelea vizuri na wamejumuishwa kwenye kikosi kinachoenda misri lakini watakosa mchezo wa kirafiki dhidi ya dr congo
kwa maana hiyo kenya itawakilishwa na nyota 23 ambao juni 15 wataivaa dr congo katika mchezo wa pili wa kujipima nguvu mechi hii itapigwa nchini hispania katika jiji la paris baada ya hapo juni 19 kikosi kitaelekea cairo misri kwa ajili ya afcon
kenya inayoshiriki fainali hizi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 15 iko katika kundi c pamoja na algeria senegal na majirani zao tanzania itatupa karata yake ya kwanza juni 23 dhidi ya algeria kisha itaivaa taifa stars (juni 27) kabla ya kuumana na simba wa milima ya teranga julai mosi
kikosi cha mwisho cha stars
mabeki philemon otieno abud omar bernard ochieng musa mohammed joash onyango joseph okumu david owino eric ouma
viungo victor wanyama dennis odhiambo erick johanna ayub timbe francis kahata ismael gonzalez ovella ochieng paul were johanna omollo
mastraika masud juma michael olunga john avire | 2019-06-17T03:10:08 | https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Migne-anyoa-wanne--akitangaza-nyota-23-Afcon-Misri/1799484-5152728-5cv4oaz/index.html |
siri ya kufaulu mtihani mmea wa rosemary husaidia kukumbuka mambo bbc swahili
siri ya kufaulu mtihani mmea wa rosemary husaidia kukumbuka mambo
http//wwwbbccom/swahili/habari39803753
watafiti nchini uingereza wamesema huenda harufu ya mmea wa rosemary ikawa na uwezo wa kusaidia mtu kukumbuka mambo
mmea huyo ambao huwa na maua ya rangi ya nyeupe waridi zambarau au samawati sana hutumiwa kama kiungo kwenye chakula vinywaji au mchuzi
utafiti ulibaini kwamba wanafunzi waliokuwa kwenye chumba kilichopulizwa harufu ya rosemary iliyokuwa kwenye mafuta walikuwa na uwezo wa kukumbuka mambo kwa asilimia 5 hadi 7 zaidi kuliko wanafunzi ambao hawanusa harufu hiyo
mark moss kutoka chuo kikuu cha northumbria anasema matokeo ya kutumia mmea huyo yalikuwa sawa pia kwa watu wazima
dkt moss alisema utafiti huo unaonekana kutilia mkazo itikadi kuhusu uwezo wa mmea huo
amesema kwa miaka mingi mmea huyo umehusishwa na uwezo wa kukumbuka mambo
gavana wa mombasa ahojiwa na polisi kuhusu cheti kenya
sasha obama alikuwa wapi wakati ya hotuba ya mwisho ya babake
enzi za kale wanafunzi wagiriki walikuwa wakijifunga shada la maua shingoni walipokuwa wanafanya mitihani
na ophelia katika mchezo wa kuigiza wa hamlet wake william shakespeare kuna wakati husema kuna rosemary hiyo ni ya ukumbusho
nguvu za tiba
utafiti huo ambao matokeo yake yatawasilishwa wiki hii katika mkutano mkuu wa chama cha wanasaikolojia cha uingereza utakuwa unatilia mkazo busara ya miaka mingi kwamba rosemary husaidia kumbukumbu
katika utafiti huo uliofanywa na dkt moss na victoria earle wanafunzi 40 wa miaka 10 na 11 walifanya mitihani kadha ya kupima uwezo wao wa kukumbuka mambo wakiwa kwenye vyumba vyenye harufu ya rosemary na wakiwa vyumba ambavyo havina harufu ya mmea huo
mataifa yenye wanafunzi werevu zaidi duniani
wanafunzi walioshirikishwa hawakuwa wanafahamu kwamba walikuwa wanachunguzwa kuhusu uwezo wa harufu hiyo
lakini dkt moss anasema wale waliokuwa vyumba vyenye harufu ya rosemary waliimarika kwenye matokeo yao kwa 5 hadi 7
wanafunzi waliolalamika kwamba walibaguliwa na walimu wao walikuwa na uwezekano mara 17 zaidi wa kujihisi kwamba wametengwa
utafiti huo kuhusu uwezo wa rosemary ulifanywa baada ya utafiti mwingine mdogo kudokeza kwamba huenda kuna uhusiano kati ya rosemary na uwezo wa kukumbuka mambo
dkt moss alisema utafiti wake na earle ulithibitisha kwamba mmea huo una faida kwa watoto na watu wazima
lakini alisema kuna tofauti katika kiwango cha manufaa kwa watu mbalimbali kuna baadhi ambao hawakufaidi kwa vyovyote vile katika uwezo wao wa kukumbuka mambo
'ujumbe kwa ubongo
alisema uwezo wa binadamu kunusa huwa wa juu na hutuma ujumbe kwenye ubongo ambao huanzisha shughuli nyingine mwilini
wanafunzi warushiwa maguruneti sa
huwa kuna chembe za kusafirisha ujumbe wa neva katika ubongo ambazo huhusika katika kumbukumbu na dkt moss anasema huenda chembe hizi ndizo huathiriwa na harufu ya rosemary
alisema ni kama dawa ambapo ubongo huathiriwa na kitu ambacho mtu anapumua
raia wa nigeria wazuiwa kuingia marekani
natasha annie tonthola vita vyangu dhidi ya 'fisi mtu' malawi
25 oktoba 2016 | 2017-08-17T02:38:29 | http://www.bbc.com/swahili/habari-39803753 |
cherange usomaji wa kisaikolojia wa mtandaoni
online masomo ya akili > psychics live > thamani
megan machi 23 2017 psychics live1 maoni juu ya thamani
kuhusu thamani
psychiciguguange ana uzoefu wa miaka ya 5 kwa kutumia uwezo wa saikolojia kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi psychic valueange hivi karibuni imesaidia wanachama wa 2 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika oranum ushuhuda hapa chini unaonyesha kile wengine wamesema juu ya usahihi na usikivu wa thamani kama psychic ya mtandaoni
mimi ni psychic clairvoyiant kati mtu wa kila siku kama wewe ambaye amebarikiwa tu na uwezo wa kuwasiliana na wale waliopo kwa upande mwingine
sipo hapa kutembea kwenye viatu vya mtu mwingine na kuwaambia jinsi ya kuishi maisha yao tuko hapa kupata uzoefu mimi niko hapa kushiriki kile ninachokiona na kusikia roho hutupa uhakikisho ndio lakini lazima tukumbuke kila wakati kuwa wao ni mwongozo tu kwetu tunayo uchaguzi wa kubadilisha mambo kwenye njia yetu ya kila siku ikiwa inasaidia watu kujua mpendwa wao ni salama na yuko vizuri na wanaweza kusonga mbele na kuhisi bora juu ya njia yao basi ninafurahi kuwa nimesaidia kwa njia hii na nitaendelea kuwa mjumbe wa roho
ushuhuda wendy willis usa
ninahisi kila mtu hutafuta usomaji wakati unastahili kuwa nilisikia juu ya ange kupitia dada yangu aliyekuwa na usomaji wa kina sana niliwahi kusoma hapo awali na zilikuwa za kufurahisha lakini hazijawahi kufafanuliwa baada ya wiki kadhaa za kuzingatia kusoma mwishowe nilianzisha wakati ange alianza kwa kusema nukuu ambayo mimi husema kila wakati ambayo ni ninahisi kama niko juu ya ngazi lakini kila wakati ninapochukua hatua mbili mimi huanguka chini tatu
kwa kushangaza ushauri ambao alinipa tayari umeanza kuinua mioyo yangu na kunisaidia sana kama habari zilizonishtua ange aliniambia ninahifadhi kadi za huruma katika sanduku chini ya kitanda changu nilimwambia nilikuwa najua sanduku hilo lakini kwamba haikuwa chini ya kitanda changu alisisitiza baada ya kusoma kwangu nilitafuta nyumba yangu na mwishowe nikakipata chini ya kitanda changu aliniambia niangalie barua ambayo ilikuwa chini kabisa na itanisaidia hii ilikuwa sanduku la kadi za huruma lakini barua iliyo chini kabisa ilikuwa habari ya kifedha kutoka kwa mama yangu ambayo nilikuwa nimesahau ningeweza kuendelea na kuendelea lakini ange amebadilisha kabisa maisha yangu kulingana na usomaji wake nilihitaji kuendelea na maisha yangu na nilikuwa nimekwama wakati huo shukrani kwa ange sasa ninaweza kuponya kihemko
huduma yangu ni ya ukweli na sijaathiriwa na imani yoyote ya kidini
wateja wangu wameshangazwa na usahihi wa habari ninayopitisha na ujumbe wangu ni zawadi za thamani sana
tarajia kuzungumza na wewe
machi 23 2017 katika 7 57 am
imeandikwa na harvey6972 | 2019-12-12T11:12:29 | https://sw.psychicbonus.com/preciousange/ |
ukipekua madawati mengi ya vyumba vya habari utakutana na ukweli huu
luteni jenerali meela nipo tayari kuutumikia umoa wa mataifa
mkuu mpya wa unamid luteni jenerali mella akiwa katika picha ya pamoja na waambata wa kijeshi kutoka nchi za afrika na kwingineko wakati alipotambulishwa kwao katika hafla fupi iliyoandawali na uwakilishi wa tanzania katika umoja wa mataifa kutoka kushoto ni naibu mwakilishi balozi ramadhan mwinyi lt jenerali wynjones kisamba balozi tuvako manongi lt jenerali paul mella na maj jenerali ngodi mkuu wa jeshi la kulinda amani huko lebanon (unfil)
meandikwa na mwandishi maalum ni heshima kubwa kwa jamhuri ya muungano wa tanzania ni heshima kubwa kwa afrika ni heshima kubwa kwangu mimi binafsi lakini kubwa zaidi ni heshima kubwa kwa jeshi la wananchi wa tanzania (jwtz) ambalo mwakani litakuwa linatimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake
hiyo ni kauli ya luteni jenerali paul ignace mella mkuu mpya wa jeshi la kulinda amani la umoja wa mataifa katika jimbo la darfur (unamid)
alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na uwakilishi wa kudumu wa tanzania katika umoja wa mataifa kwa madhumuni ya kumtambulisha mkuu huyo mpya wa unamid kwa waambata wa kijeshi hususani wa kiafrika na wengineo walioko makao makuu ya umoja wa mataifa
aidha hafla hiyo ililenga pia kutambua mchango mkubwa na wa kutukuka wa naibu kamanda na ambaye pia amekuwa akikaimu nafasi ya kamanda mkuu wa unamid luteni jenerali wynjones mathew kisamba naye kutoka jwtz
akizungumzia uteuzi huo ambao ulitangazwa hivi karibu na katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon luteni jenerali mella amesema pamoja na heshima kubwa kwa nchi yake kwa afrika na jwtz lakini pia
zitto kabwe barack obama anatembelea tena bara la afrika
tanzania inapokea kiongozi wa taifa kubwa duniani wa pili sasa ndani ya kipindi cha miezi 3 tu kwanza
obama nilidunduliza nikanunua suti na viatu vilivyonibana ofisini walishangaa
obama na viatu vyake vilivyochakaa soli
obama anasema wakati tukiendelea na masomo yetu ya sheria mimi na michelle tulifanya kazi katika kampuni ya uwakili ya sidley na austin jijini chicago
binafsi nilikuwa na wasi wasi kuhusu ujana wangu na hasa changamoto kuwa maisha ya sasa ni fedha hofu yangu ilikuwa ni lini nitaanza kukamata fedha nyingi ili zisaidie mawazo na fikra zangu kufikia mahala ninapotaka
lakini kutokana na kupanda kwa gharama na mkopo niliyochukua serikalini kwa ajili ya masomo niliamua kuendelea kuwatumikia mabwana wawili chuo na kampuni ya sheria
nilijitahidi kadiri nilivyoweza kundunduliza sehemu ya kipato changu hatimaye nilifanikiwa kuwa na chumba nilinunua suti zangu tatu na pia jozi moja ya viatu
hata hivyo wakati nanunua viatu sikuwa makini kwani vilionekana vidogo vilivyonibana na kunifanya nionekane mshamba siku niliyopiga ripoti ofisini kila mmoja aliniangalia
ingawa sikujua ni kwa nini lakini nilihisi walifanya hivyo kutokana na viatu vyangu barack obama ( kutoka kijitabu cha maisha ya barack obama alikotoka aliko na anakokwenda maggid mjengwa 2008)
president obama welcome to tanzania
obama makes poignant pilgrimage to the robben island south africa
it was a poignant moment as president barack obama and wife michelle visited a bleak former prison island off the coast of south africa on sunday to pay tribute to ailing antiapartheid hero nelson mandela
their visit set the stage for a speech at the university of cape town later to urge africans to strive for prosperity and democracy in which the president will cite the legacy of mandela who was imprisoned on robben island for 18 of the 27 years he spent in jail before becoming the first black president of south africa
current south african president jacob zuma was also held on the windswept island off cape town under the apartheid regime that ended in 1994 with mandela's election victory
below are photos from dailymailcouk
mawasiliano ya simu na barabara zitakazofungwa kwa muda sababu ya ujio wa obama
ujio wa rais wa marekani barack obama utaathiri upatikanaji wa mawasiliano ya simu za mkononi kutokana na ulinzi kuwa mkubwa ambapo inatarajiwa kuwa mitambo ya mawasiliano wanayotumia itaathiri mitambo mingine nchini tanzania
lakini pia hali ya usafiri wa umma utakuwa wa adha kubwa kutokana na ugeni huo kutumia baadhi ya barabara muhimu za jiji la dar es salaam hivyo inashauriwa kuwa wafanyakazi ambao watakaokwenda kazini wadamke alfajiri ili kuepuka adha hiyo
msafara huo utapita barabara za nyerere gerezani sokoine drive hadi ikulu kwa kupitia lango la mashariki
licha ya barabara hizo kufungwa waenda kwa miguu ni ruksa kupita pembeni mwa barabara hizo isipokuwa
picha za hapa na pae za maandalizi ya ujio wa rais obama nchini tanzania
picha via blogu za richard mwakenda na muhidini sufiani
president obamas schedule/ratiba in tanzania
baada ya mapokezi mhe rais obama atakwenda ikulu kwa mazungumzo rasmi na rais mhe kikwete aidha atafanya mkutano na wafanyabiashara na kuhudhuria dhifa ya kitaifa
tarehe 2 julai 2013 mhe rais obama atatembelea mitambo ya kufua umeme ya symbion iliyopo ubungo dar es salaam na kuzindua rasmi mpango maalum wa maendeleo ya nishati barani afrika ulioanzishwa na
mwanafunzi akung'utwa na wazazi wake baada ya kufumaniwa guest house dar
mwanafunzi mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la yombo vituka jijini dar es salaam
hata hivyo mfumaniwa mwenzake hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia
(picha zote na maelezo yameletwa na dei misana)
wazazi wa uchungu na hasira wakiwa na binti yao mara baada ya fumanizi
hii ndio sura halisi ya binti aliyefumaniwa
chumba kilichotumika kwa kwa mwanafunzi huyo mwenzake kufanyia ufuska
wazazi wakimpiga binti yao kwa uchungu na hasira mara baada ya fumanizi
[video] connecting continents michelle obama in s africa speaks of education
[video text] remarks by presidents obama zuma at a joint press conference
text and video below courtesy of the white house
us president barack obama and south african president jacob zuma address a press conference following their meeting at union building in pretoria south africa on saturday
1157 am sast
we are pleased to be working with you today with a common goal of expanding trade relations between our
maelezo ya prof lipumba kuhusu mateso na ukatili aliofanyiwa shaweji mketo
siku ya tukio mwanamama huyo ambaye ameeleza ana umri wa zaidi ya miaka 40 lakini kimaumbile anaonekana
tanker fire accident in uganda kills 29
habari hii ya kuhuzunisha inanikumbusha ya juzi walipoponea chupuchupu na vidumu vyao wakazi wale wa eneo la kibaha waliofuata lori la kubebea mafuta lillokuwa limeanguka kandoni mwa barabara
from the bbc world news at least 29 people have been killed in the ugandan capital after a car crashed into a fuel tanker police say
many of those who died had rushed to the scene on a main road in kampala to siphon off the fuel they say
around 20 motorbikes were burnt eyewitnesses say they were used to take people to collect the petrol
kampala is a key transit point for tankers taking fuel to landlocked rwanda burundi and eastern democratic republic of congo
more than 20 people are said to be critically ill in hospital
many of the victims ran to a nearby papyrus swamp to try and douse the flames reports say
several bodies were found in the water
president bongo arrives in tanzania for 2013 global smart partnership dialogue
he president ali bongo ondimba president of the republic of gabon arrived at the julius nyerere international airport on june 28 2013 in time to participate at the 2013 global smart partnership dialogue which has been ongoing at the mwalimu nyerere international convention centre since june 28 to july 1 2013 (photo tanzania ministry of foreign affairs and cooperation blog)
karibu kwenye tovuti ya jhiko man
mwanamuziki wa reggae nchini jhiko manyika aka jhikoman amefungua mtandao wake ujulikanao kwa anwani ya jhikomancom unaweza kusikiliza nyimbo na kusoma
mambo mbalimbali ya jhikoman and afrikabisa band
wadau msikose kumpa shavu mtoto wenu jhikoman manyika at jhikomancom
imewasilishwa na mdau msema kweli
obama ana simulizi mbaya ya afrika kichwani mwake
imeandikwa imewasilishwa na maggid mjengwa
barack obama ametua afrika mguu wake wa kwanza ameukanyagia senegal neno lake kuu akiwa senegal ni demokrasia ameisifu senegal kwa kuwa mfano wa kuigwa katika kukuza demokrasia barani afrika
kisha ametua afrika kusini jana jumamosi ametembelea kisiwa cha robben mahali ambapo nelson mandela alifungwa kwa miaka 27 inahusu demokrasia bila shaka obama ataisifu afrika kusini kwa kukuza demokrasia yake na hivyo kuinua uchumi wake maana pasipo na demokrasia ni nadra kwa uchumi kukua
obama anaipenda afrika ni bara alilozaliwa baba yake mzazi dr barack hussein obama sir hivyo kwa barack obama afrika ni bara la asili yake na kenya ndiko iliko asili yake ndiko liliko kaburi la baba yake
lakini obama ana simulizi mbaya juu ya bara hili
soma zaidi mjengwablogcom
tanesco to raise tarrifs as govt looks to drop subsidies
electricity consumers in tanzania may have to pay more if countrys main power distributor (tanesco) has its way
tanesco is expected to table a fresh proposal to raise electricity tariffs later on this year as the utility firm seeks funds to support its operations after an expected drop in government subsidies which have been its lifeline
in a letter to the international monetary fund the countrys finance minister said the government will inject just $105 million into the utility company in the 2013/14 financial year out of the companys projected financing need of $352 million meaning the company has to source the balance
the imf is advising on the restructuring of the company
any remaining gap in tanescos finances is expected to be
chalii ya arifu atua bongo kusaka namba ya binti wa obama
malaysia offers 10 scholarships to africans from each country participating in dialogue
dar es salaam (tanzania) in the latest move by malaysia to help africa build up its technological capabilities through human capital development a malaysian private university is offering 10 full scholarships to each african country participating in the global smart partnership dialogue
the initiative is in addition to the malaysian governments assistance in the area of education in this region
prime minister datuk seri najib razak announced during the global smart partners dinner here last night that limkokwing university of creative technology offered the scholarships
seventeen african nations are participating in the dialogue a platform for heads of government and state business leaders scientists and academicians to meet and discuss how science technology and innovation can be leveraged to boost socioeconomic transformation in the continent
najib said the university had three campuses in lesotho botswana and swaziland respectively currently and planned to set up a new campus in tanzania
obama take us with
wanafunzi wanavyoathirika kitaaluma kwa wazazi kuwa 'busy' kibiashara
lakini kumpeleka mtoto shule na kutomfuatilia anafanya nini wakati gani na hata anaporudi nyumbani baada ya shule haitoshi uchunguzi mdogo uliofanyika katika baadhi ya
[video] remarks by pres obama at young african leaders initiative town hall
a video has bee added/embedded below at the end of the text
president obama arrives for a town hall meeting in johannesburg on saturday (photo ny times)
president obama arrives for a town hall meeting in johannesburg on saturday
for immediate release june 29 2013
university of johannesburgsoweto johannesburg south africa
when i travel around the world this is one of my
mawio ya jua yaleee nd'o ku'shapambazuka hivyooo
picha via blogu ya j lukaza
bahrain teenager jailed for 'insulting' king on twitter
via the bbc high school pupil ali al shofa sent to prison for one year for insulting gulf island's ruler on twitter
a lower criminal court in bahrain headed by a member of the ruling family sentenced the 17yearold boy to a year in jail | 2018-10-22T03:27:20 | http://wavuti.weebly.com/news-blog/archives/06-2013 |
watano azam fc waula ngorongoro heroes | the official website of azam football club
watano azam fc waula ngorongoro heroes
by abducado emmanuel on march 05 2018
wachezaji watano wa timu ya vijana ya azam fc chini ya umri wa miaka 20 wameitwa kujiunga na timu ya taifa ya tanzania ya umri huo ngorongoro heroes
nyota walioula kutoka azam fc ni beki wa kati oscar masai beki wa kushoto said issa viungo ni mohammed mussa kijiko rajab odasi na mshambuliaji paul peter huku ibrahim ally aliyekuwa awali ameitwa akienguliwa kutokana na majeraha ya misuli ya paja
heroes inayofundishwa na kocha oscar milambo chini ya mkuu wa soka la vijana wa tff kim poulsen inajiandaa na mechi za kufuzu mataifa ya afrika (u20 afcon qualifier) fainali zitakazofanyika nchini nigeria mwakani
timu hiyo imepangwa kuanza na dr congo kwenye mchezo wa raundi ya kwanza utakaofanyika machi 30 mwaka huu jijini dar es salaam huku ule wa marudiano ukipigwa aprili 22 mwaka huu jijini kinshasa congo na mshindi wa jumla wa mchezo huo atakata tiketi ya kucheza na mali anayeanzia raundi ya pili
kwa mujibu wa barua pepe iliyotumwa na kaimu katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania (tff) wilfred kidao kuja azam fc imeeleza kuwa wachezaji hao wanatakiwa kuripoti kambini kesho jumanne saa 1000 jioni katika hosteli za tff zilizopo karume jijini dar es salaam | 2018-07-21T09:29:02 | http://azamfc.co.tz/content/watano-azam-fc-waula-ngorongoro-heroes |
dah mkulima ndiye amesababisha ndege ya tanzania ikamatwe afrika kusini reuters jamiiforums
dah mkulima ndiye amesababisha ndege ya tanzania ikamatwe afrika kusini reuters
wala hata wakenya hawahusiki hapa lipeni madeni ndege irudi muipokee kwa kukata viuno hapo airport
tunaye boss kiduku lilo afahamishwe ni bei gani tuko tunadaiwa
8981 2000
kwa iyo bora wangeendelea kutunyonya
tafuta suluhu kwa staha
is it the first time you hear a company is taken to court
nah negro of the bongolala clan this is between the government of tanzania and that man got owns that plane and it needs to pay that man his money there is no company here just got and a businessman
5586 2000
yeah air tanzania company limited is a goverment and i think its president is pilot i dont know who
48912 2000
hasara aliyosababisha na huyo pimbi iingie sehemu ya malipo ya deni
whichever way you want to slice this it will end up with got cutting that cheque
16068 2000
yaaaani hili lidege linawatekenya tekenya wakenya sehemu zote zote
sikiliza nyie mnazo ndege za kupora eac miaka ile siye tunazo classic new hata hiyo tunaweza tukawazilia
kipindi wakenya wanapora hizo ndege watanganyika mlikuwa wapi
tulikuwa wazalendo
hii ni ngumu sana aisee yaani mnawakomboa watu halafu wanawakomoa
kwani ujui sa mabeberu yanaendelea kuishi kama raia hivyo ukisema nyerere wao wanamuona adui yao
8566 2000
ni mahakama tu imetumika ya huko rsa huyu jamaa ni beberu mlowezi toka namibia
hata utaratibu huujui
utaratibu ni kua hukumu ikitoka ulieshindwa unapewa kopi yako tayari kutekeleza ulichoambiwa
mpaka leo hujalipa
maana yake hukutekeleza hukumu
utaratibu unaousemea ni wa kujisaidia vichakani au upi hasa
lipa deni chukua lindege lako peleka kwenu huko
na ukichelewa linauzwa
serikali na ccm sizipendi hata kidogo
ni uamuzi wangu binafsi
ni kama wewe ulivyo na haki ya kuipenda mimi siipendi
ni moyo wanguna wewe unao wako
tuachiane uhuru please
siyo kua badala yake ni kuwa
siyo ulieshindwa badala yake ni uliyeshindwa
katika maisha ndio inavyokuwaga
you are right but we should not give in the way we decided to go
ukiona mambo yako hivi ujue tuko kwenye njia sahihi mabeberu hayaja zoea kubanwa unyonyaji wanaofanya kwa afrika
hata libya mambo yalianza hivi hivi hujuma ndogo ndogo baadaye wakavamia
tunashukuru kwa tanzania watapigana lkn hawatashinda
1966 2000
hivi wakichelewa si ndo balaa zaidi kwa port charges fees mzigo kuulaza pale nilivyokolea uchaga mshahara wa rais ndo ungekipa gharama izo na sio hela ya umma ahahahahahahahahaha ccm hii kusingekua na sheria ningechinja mmoja mmoja barabarani humu kila siku mi pia nawachukia sana sio we peke yako
mimi ningekuwa magfool ningekataa kulipa na ningecut diplomatic relations na sa mara moja kisha kuambia balozi wa tz kurudi nyumbani na wa sa kurudi kwao
ndiyo akili yako ilipoishia hapo halafu si bure wewe ni graduate unahangaika kutafuta kazi tuna safari ndefu san
uhusiano wa tanzania na sa unawaumiza roho wakazi wa kibera
uchaga
kuchinja mmoja mmoja
nawakuchukia sana
haya tutaona mwisho wake ni nani atalia familia yako inapokukosa au hao unao wachukia sana hadi sasa nuataka kuwachinja
kuna mataifa utawala wa sheria hufanya kazi sio mchezo yaani mkulima wa afrika kusini ambaye anadai kwamba ardhi yake ilitaifishwa kipindi alikua akiishi tanzania aliwasilisha kesi mahakamani na kusababisha ndege ya tanzania ishikiliwe hadi alipwe hela zote pamoja na riba
inabidi kuwa makini sana unapowavuruga wageni ambao siku wakirudi makwao halafu unafuata huko na mindege ni muhimu sana kuzingatia wakati wa kukimbizana na akina acacia maana wana mawakili wa kimataifa na wakiamua aisei utanyan'ganywa hadi majengo ya ubalozi
south african authorities impounded an airbus 220300 aircraft leased by tanzanias national flag carrier following a court application by a retired farmer who is owed compensation by the tanzanian government the farmers lawyer said
south african court impounds tanzanian plane in compensation case
south african authorities impounded an airbus 220300 aircraft leased by tanzani
nani yupo nyuma ya huyu mkulima mstaafu wa south africa maswali ni mengi kuliko majibu
basi mkenya umefurahi kweli kwa ndege yetu kukamatwasi bure we utakuwa kigagula
threads 1336791
members 512721
posts 32551196 | 2019-09-24T09:17:15 | https://www.jamiiforums.com/threads/dah-mkulima-ndiye-amesababisha-ndege-ya-tanzania-ikamatwe-afrika-kusini-reuters.1620970/page-3 |
della media production uzembe katika baadhi ya vituo vya afya ni moja ya chanzo cha vifo vya kina mama wajawazito masikini mama huyu
ijumaa julai 18 2014
uzembe katika baadhi ya vituo vya afya ni moja ya chanzo cha vifo vya kina mama wajawazito masikini mama huyu
mwanamke mmoja nchini india ametoa shutuma kwa wauguzi wa hospitali ya royal bolton akidai kuwa walimpa ruhusa kurudi nyumbani wakati akiwa katika hatua za mwisho za ujauzito wake zenat patel (26) alidai kuwa muda mfupi baada ya kufika nyumbani alijifungua huku akisaidiwa na mama yake mzazi licha ya mama huyo kutokuwa na ujuzi wowote wa kuzalisha
alisema muuguzi aliyempokea alipofika hospitalini hapo alimtaka arudi nyumbani licha ya kumueleza anahisi maumivu yanayoashiria kujifungua kumewadia amesema hali niliyokuwa nayo ilieleza wazi kuwa muda mfupi ningejifungua lakini kila nilivyokuwa najaribu kuwaelezea hawakuonyesha kujali na kunitaka nirudi nyumbani alisema patel | 2018-04-20T14:32:45 | https://adeladallykavishe.blogspot.com/2014/07/uzembe-katika-baadhi-ya-vituo-vya-afya.html |
watiwa mbaroni kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kutumia akaunti feki facebook yenye jina la mama janeth magufuli msumba news blog
watiwa mbaroni kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kutumia akaunti feki facebook yenye jina la mama janeth magufuli
kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu [mtandao wa kijamii]
jeshi la polisi mkoa wa mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1 sophia elia mwaluanda [22] mfanyabiashara na mkazi wa sistila jijini mbeya na 2 mpaji seleman mwinyimvua [38] mkazi wa manzese jijini dar es salaam kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kutumia akaunti feki ya facebook yenye jina la mheshimiwa mama janeth magufuli mke wa mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohn pombe magufuli
watuhumiwa wamekamatwa mnamo tarehe 28042020 majira ya saa 1500 alasiri katika operesheni na msako uliofanywa huko eneo la ikuti sokoni kata ya ikuti tarafa ya iyunga jijini mbeya
mbinu wanayoitumia watuhumiwa ni kufungua akaunti facebook yenye jina la janeth magufuli saccos na kuuaminisha umma kwa kuweka picha ya mama janeth magufuli na kisha kutangaza kutoa mikopo nafuu kwa sharti la muombaji kutuma kwanza fedha kiasi cha shilingi 76500/= kwenye namba ya simu waliyoiweka kama ada ya mkopo ili aweze kupata mkopo wa shilingi milioni 3000000/=
watuhumiwa wamekutwa na simu mbili aina ya infinix smartphone ambayo imetumika kufungulia akaunti hiyo ya facebook na simu aina ya siccoo mobile [analogue] inayotumika kupokea fedha zinazotumwa na watu mbalimbali aidha watuhumiwa wamekutwa na fedha taslimu shilingi 470000/= ambazo wamekiri kuzipata kwa njia ya udanganyifu kupitia akaunti hiyo feki
mtakumbuka februari 21 2020 huko katika mji mdogo wa mbalizi jeshi la polisi mkoa wa mbeya liliwakamata vijana kumi na moja [11] kwa tuhuma za kujihusisha na wizi kwa njia ya mtandao kwa kutumia akaunti feki za mitandao ya kijamii ikiwemo facebook wenye majina ya viongozi wa serikali na wasanii maarufu wa hapa nchini upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika watuhumiwa watafikishwa mahakamani
wito wa kamanda
natoa rai kwa watanzania kuheshimu ikulu kwani ni mahali patakatifu na hapachezewi kabisa chombo cha dola hakitavumilia kuona mtu wa aina yeyote kwa vyovyote vile akitumia jina la ikulu kuibia au kutapeli watu wengine
ninatoa wito kwa wananchi kuwa makini na taarifa mbalimbali zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii ambazo zinaelekezea fursa mbalimbali kama vile ya mikopo masomo na biashara ambazo zinawataka kutuma kiasi kadhaa cha fedha ikiwa ni moja ya masharti ya kupata fursa hiyo ni vyema kujiridhisha kwenda mamlaka za serikali zilizo karibu kwa ajili ya kupata uhakika kabla ya kufikia uamuzi wa kutuma fedha
aidha ninawataka vijana kujenga utamaduni wa kufanya kazi ili kujipatia kipato halali badala ya kujiingiza kwenye vitendo vya kihalifu ambavyo vitawasababisha kupata adhabu kali kwa mujibu wa sheria
mwisho ninatoa rai kwa mtu/watu waliotuma fedha kupitia namba ya watuhumiwa kwa lengo la kupata mkopo kufika kituo cha polisi kilichopo jirani kwa ajili ya kutoa taarifa ili taratibu za kisheria zichukuliwe dhidi ya watuhumiwa
kukamatwa kwa watuhumiwa wa mauaji
jeshi la polisi mkoa wa mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne 1 riziki anthony muhema [20] mkazi wa mtakuja mbalizi 2 rehema kasela [36] mama mzazi wa marehemu na mkazi wa iwindi 3 esta msongole [52] mganga wa kienyeji na mkazi wa sumbawanga na 4 mtumwa haonga [65] mganga wa kienyeji na mkazi wa mtakuja mbalizi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto tamali simon miaka miwili na miezi mitatu
watuhumiwa walikamatwa katika operesheni maalum iliyofanywa na kikosi kazi cha jeshi la polisi mkoa wa mbeya tarehe 06052020 majira ya saa 0400 usiku huko iwindi kata ya utengule usongwe katika mji mdogo wa mbalizi na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao ambao wamekiri kufanya tukio hilo kwa kushirikiana na mama mzazi wa marehemu
chanzo cha tukio ni tamaa ya kupata utajiri kwa njia za kishirikina baada ya mtuhumiwa ambaye ni mganga wa kienyeji kuwapa masharti yaliyopelekea kifo cha mtoto huyo
awali mnamo tarehe 04052020 majira ya saa 2000 usiku huko kijiji na kata ya iwindi tarafa ya usongwe wilaya ya mbeya vijijini mkoa wa mbeya mtoto tamali simon miaka miwili na miezi mitatu mkazi wa iwindi alikutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na mtu asiyejulikana na mwili wake kutelekezwa
kutokana na tukio hilo kikosi kazi cha polisi mkoa wa mbeya kilifanya msako mkali na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa katika maeneo tofauti na katika mahojiano watuhumiwa wamekiri kuhusika kwenye tukio hilo baada ya kupewa masharti na mganga wa kienyeji aidha upekuzi umefanyika nyumbani kwa mganga wa kienyeji na kukamata vifaa mbalimbali vya uganga na dawa za kienyeji za aina mbalimbali upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika watuhumiwa watafikishwa mahakamani
kukamatwa kwa watuhumiwa wa tukio la mauaji
jeshi la polisi mkoa wa mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne 1 violeth simeluta [26] mwalimu na mkazi wa isanga 2 charles simeluta [39] mkazi wa isanga 3 emmanuel kiwale [30] mkazi wa mafiati na 4 sophia samson [42] mkazi wa airport ya zamani kwa tuhuma za mauaji ya junior charles machibya [30] mkazi wa airport ya zamani
watuhumiwa walikamatwa mnamo tarehe 07052020 baada ya kikosi kazi cha polisi mbeya kufanya msako na upelelezi wa kina na kubaini kuwa marehemu aliuawa kwa kupigwa vitu butu usoni na kunyeshwa sumu huku chanzo cha tukio hilo kikiwa ni ugomvi wa kifamilia
awali mnamo tarehe 30042020 majira ya saa 2000 usiku huko hospitali ya rufaa kanda ya mbeya junior charles machibya [30] mkazi wa airport ya zamani alifikishwa hospitalini hapo na wasamalia wema wakidai kuwa amekutwa maeneo ya nyumbani kwake akiomba msaada na akilalamika maumivu makali ya tumbo akidai kuwa amenyweshwa sumu bila kutoa ufafanuzi zaidi
tarehe 01052020 majira ya saa 1800 jioni alifariki dunia akiwa anaendelea kupatiwa matibabu na ndipo upelelezi ulianza pamoja na msako na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa mahojiano zaidi kuhusiana na tukio hilo upelelezi unaendelea | 2020-06-03T09:28:59 | http://www.msumbanews.co.tz/2020/05/watiwa-mbaroni-kwa-kujipatia-fedha-kwa.html |
vijimambo ateseka kutunza familia ya wasioona 7
ateseka kutunza familia ya wasioona 7
mwajuma nasoro mkazi wa simbani wilayani kibaha mkoani pwani yuko kwenye wakati mgumu wa kulea familia ya watu saba ambao hawaoni
mwajuma hana shughuli yoyote ya kumuingizia kipato zaidi ya kulima vibarua kwa ajili ya kujipatia chakula
mama huyo alikuwa ameolewa na nasoro abdala (80) ambaye naye haoni hata hivyo miaka michache iliyopita waliachana hivyo kubaki na mzigo mkubwa wa kuilea familia hiyo ambapo wanajipatia riziki katika mazingira magumu ya kulima kuchoma mkaa na kushona mikeka
akizungumza na mwandishi wa habari hizi mjini kibaha mwajuma alisema licha ya kuwa na familia hiyo yenye watoto wasioona wakiwemo wajukuu wawili hana msaada wowote kutoka serikalini mashirika au watu binafsi
watoto wa mama huyo wasioona ni mume wake abdala nasoro na watoto laila nasoro (30) aziza nasoro (26) asia nasoro (21) kasimu nasoro (18) na latifa nasoro
wajukuu zake ni majidi maulid (11) anayesoma darasa la 3 mkoani tanga kwenye shule ya wasioona ya irente na tariq ambaye bado ni mdogo akiwa chini ya miaka mitano na alipopimwa alionekana hana uwezo wa kuona mbali na anahitaji matibabu ili asije kushindwa kuona
mwajuma alisema kuwa watoto wake wanne pamoja na wajukuu wawili hawaoni pamoja na mume wake ambaye hawaishi pamoja kwa sasa alisema anashirikiana na mwanawe mmoja ambaye anaona na mkwe wake ambao wote hao wanategemea kufanya shughuli za kulima vibarua ili kujitafutia riziki ya kila siku
alisema watoto wake wamekuwa wakipata ulemavu wa kutoona katika mazingira ya ajabu bila kujua sababu alisema wamekuwa wakizaliwa wazima lakini wanapofikia umri fulani wanapoteza uwezo wa kuona
ninaishi kwenye mazingira magumu mimi na familia yangu nafikiri kama kungekuwa na watu wanaosaidia basi wangetupatia misaada ili nasi tuweze kujiendesha kwani wanangu kama unavyowaona hawaoni na hatuna msaada wowote wa serikali ya mtaa au watu binafsi alisema mwajuma
alisema hata nyumba wanayoishi ni ya ndugu yao na mazingira ni magumu mno kwani wanahangaika kupata mahitaji hasa ya chakula ambacho ni muhimu
kweli maisha ni magumu sana tunashukuru wakati mwingine tunapata msaada kutoka kwenye chama cha watu wasioona wilaya ya kibaha wakipata chochote huwa wanatuletea tunashukuru sana kwa upande wa serikali ya mtaa hatupati msaada wowote hatujui kama kuna misaada inayokuja kwa ajili ya walemavu hatujui tunaona kimya tu alisema mwajuma
aidha alisema kuwa familia yao licha ya kuwa ni kaya maskini lakini haijawekwa kwenye mradi wa kusaidia kaya maskini unaotekelezwa na mfuko wa maendeleo ya jamii (tasaf) au katika mipango mingine ya kusaidia makundi maalumu
tunaomba wadau mbalimbali watuangalie namna ya kutusaidia ikiwa ni pamoja na mashirika yanayosaidia walemavu kwani hali ni ngumu sana ambapo moja ya watoto wangu ambaye ni binti licha ya kuwa haoni lakini humbidi kulima kuchoma mkaa na kushona mikeka ili kujipatia kipato lakini naye wanawe wawili hawaoni alisema mwajuma
akihojiwa mzee nassoro abdalla alisema kuwa yeye alianza kupoteza uwezo wa kuona akiwa na miaka 40 alisema watoto wake aliwazaa wakiwa wazima lakini walipokuwa wakifikia umri fulani nao wanapoteza uwezo wa kuona
alisema alikuwa akijaribu kuwapeleka hospitali kwa ajili ya matibabu lakini hakuna mafanikio yaliyopatikana alisema licha ya yeye kutokuwa na hiyo familia lakini maisha wanayoishi ni magumu mno kuanzia kwenye lishe hadi kwenye masuala ya chakula
hivyo alisema kuna haja ya kupatiwa misaada ya hali na mali ili kuwezesha familia hiyo nayo kuishi kwenye mazingira mazuri kama wenzao
kwa upande wake mwenyekiti wa mtaa huo obed njile alipoulizwa ni jinsi gani mtaa huo unawashirikisha watu wenye ulemavu hakuwa tayari kuongelea suala hilo alipoulizwa kuhusu familia ya mwajuma alisema hawezi kuzungumzia suala la familia hiyo
mwenyekiti wa chama cha wasioona rajab mgoha alisema kuwa wana taarifa na familia hiyo na wamekuwa wakisaidia pale wanapopata misaada kutoka kwa watu mbalimbali lakini misadaa hiyo ni michache
mgoha alisema kuwa viongozi wengi wa serikali za mitaa wamekuwa hawawathamini watu wenye ulemavu kwani baadhi hawajui hata idadi ya watu wenye ulemavu hivyo inakuwa ni vigumu kuwashirikisha kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo alisema chama hicho kina wanachama zaidi ya 300 | 2018-04-21T09:54:52 | http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/11/ateseka-kutunza-familia-ya-wasioona-7.html |
andu makiria ma 30 gwikirwo mukonde nimakua kurumirira mutino wa barabara barabaraini nene ya nakuru guthii eldoret
mediamax digital december 31 2017
1834 less than a minute
andu mirongo itatu nimakuire na angi ikumi na anana magurara kurumirira mutino wa barabara mwena wa migaa barabaraini ya naikuru guthii eldoret mutino ucio ukuruhanirie mbathi iria iguthanire kiongo gwa kiongo na turela kindu thaa inyanya na nuthu
kuratuika mbathi iyo ya kambuni ya matunda iria ikuumite mwena wa busia yukite guku nairobi ni igutwarithagio na thimidi nene ma macungiriro yaguthana kiongo gwa kiongo na turela iria iguthiyaga mwena wa eldoret
aria magurarire nimahanyukirio thibitariini nene ya naikuru na aria angi matwarwo thibitariini ya molo sub county agikira uhoro ucio mukonde abithaa wa ruhonge rwa mutharaba mutune gicigoini kia rift valley michael aiyabei arauga gatagatiini ka acio makuire ni kana kanini na ati kana kangi ka ukuru wa mwaka umwe na nuthu nigatigitwo na nguraro njuru cia mwiri
muingi kuurio ndugeetikire kugayanio na mithingi ya kidini kurumirira thariko ya mukawa wa dusit
birigiceni ya borithi mukawaini wa dusit gukinya muthia
maabithaa a borithi guikia ngono aria marekuirwo kuhenia arimi a mbembe eldoret
mihango ya gutambura miiri mocharyini ya chiromo guthii nambere
atongoria a makanitha gutuma ndumiriri ya macakaya kuri aria mahutitwo ni thariko ya dusit | 2019-01-16T16:50:07 | http://www.mediamaxnetwork.co.ke/397166/397166andu-makiria-ma-30-gwikirwo-mukonde-nimakua-kurumirira-mutino-wa-barabara-barabara-ini-nene-ya-nakuru-guthii-eldoret/ |
166 watiwa mbaroni kwa kutumia ovyo mitandao | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
watano watiwa mbaroni kwa upigaji ramli
watu watano wa kijiji cha mheza kilichopo kata ya mhinduro wilayani mkinga wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa wakipiga ramli za uchonganishi zilizolenga kufichua wachawi
100 watiwa mbaroni kwa kuchoma ofisi ya serikali
kundi la wananchi leo lilivamia ofisi ya serikali ya kata ya njoromanispaa ya moshi na kuichoma moto wakipinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea udiwani wa chadema jomba koyi
23 watiwa mbaroni kwa kukutwa na bangi mkoani pwani
jeshi la polisi mkoani pwanilinawashikilia vijana 23 waliokamatwa kwa tuhuma za kukutwa na kete 354 za bangipuni 4misokoto 8 pamoja na panga 1visu vinne na sime 3ikiwa ni katika sehemu ya upekuzi wa magari yatokayo dar es salaam ambapo katika upekuzi huo watuhumiwa hao walipatikana
kati ya watuhumiwa hao 7 wameshafikishwa mahakamani kwa kupatikana na makosa waliyokutwa nayo na wengine waliachiwa baada ya kupatikana na makosaji halisi
kiasi hicho cha bangi kingeingia mwaloni kingeleta
mstaafu wa jwtz mwanae watiwa mbaroni kwa ujangili
polisi kanda maalumu ya tarime inawashikilia watuhumiwa watano akiwamo mstaafu wa jeshi la wananchi tanzania (jwtz) na mwanae kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali | 2019-04-22T00:30:29 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/166-watiwa-mbaroni-kwa-kutumia-ovyo-mitandao |
sumo kanywaji
kanywaji
jamani kama office zetu zingeweka mambo hivi tusingekuwa tunawaqhi kutoka
posted by mzee wa sumo at 23910 | 2018-03-23T18:17:12 | http://mpoki.blogspot.com/2010/09/kanywaji.html |
tgnp mtandao kuandaa tamasha la 14 la jinsia dar es salaam habari24
home / habari za kijamii / tgnp mtandao kuandaa tamasha la 14 la jinsia dar es salaam
tgnp mtandao kuandaa tamasha la 14 la jinsia dar es salaam
vicent macha 80500 am habari za kijamii
tgnp mtandao ipo kwenye maandalizi ya tamasha la 14 la jinsia litakalo fanyika tarehe 5 mwezi 8 2017 tamasha hilo linalofanyika kila baada ya mwaka mmoja na linawakutanisha wadau mbalimbali toka toka serikalini vituo vya taarifa na maarifa club za shule tofautitofauti na wanaharakati mbalimbali ngazi ya kata mpaka taifa na wenyeji washiriki wa semina za jinsia(gdss)
afisa program wa harakati na nguvu za pamoja wa tgnp mtandao bi anna sangai akitoa ufafafanuzi juu ya jambo fulani kwenye semina ya maandalizi ya tamasha la 14 jinsia litakalofanyika mabibo jijini dar es salaam
akiongea kwenye semina jana jumaa tano bi anna sangai alisema kuwa tamasha hilo ni la wazi na linawakaribisha watu wa aina zote kwani hakutakuwa na kiingilio hivyo watu wajae kwa wingi kuja kujionea bidhaa mbalimbali za tanzania na kupata elimu juu ya ukatili wa kijinsia
na kauli mbiu ya mwaka huu ya tamasha hilo inasema mageuzi ya mfumo kandamizi kwa usawa wa jinsia na maendeleo endelevu
bi anna sangai akitoa maelekezo kwenye semina ya wanaharakati wa maendeleo jana kwenye ofisi za tgnp mtandao jijini dar es salaam
lengo kuu la tamasha hilo ni kusherehekea mafanikio kujadili changamoto na kubadilishana uzoefu kutokana na harakati wanazozifanya ndani ya muda husika hivyo wanapokutana inakuwa wakati muafaka wa kupata mrejesho wa kile walichokivuna au wapi wamekwama ndani ya mwaka uliopita
miongoni mwa malengo mengine ni kujadili mikataba ya kimataifa amabyo serikali imeingia na kuangalia kama utekelezaji wake unafanyika juu ya haki za watoto na wanawake pamoja na upatikanaji wa huduma muhimu za jamii kama maji elimu afya na mengineyo
na kwenye tamasha wageni watakaohudhuria wataweza kupata elimu bure burudani ya ngoma ngonjera mashairi maigizo maonesho ya bidhaa mbalimbali pamoja na makablasha yenye mafunzo mbalimbali ya kupinga ukatili wa kijinsia na utatuzi wake
baadhi ya washiriki wa semina za maendeleo wakifuatilia kwa umakini semina iliyofanyika mapema jana jijini dar es salaam
lakini pia bi anna sangai alisisitiza kwa kusema kuwa safari hii wanahitaji bidhaa zinazotengenezwa kwa kazi ya mikono za watanzania na siyo kuleta bidhaa za viwanda vikubwa au za kutoka nje ya nchi kwani lengo la tamasha hili ni kutangaza na kukuza soko la bidhaa za ndani kwani watakuwepo wageni toka mataifa mbalimbali ya jirani
na kwa wajasiriamali watakaobahatika kuleta bidhaa zao mwaka huu watapata bahati ya kutembelewa na siddo kwa ajili ya kupewa utaalamu wa kuboresha bidhaa zao pamoja na tbs kwa ajili ya kuwapa maelekezo yakufanya namna ya kufungasha ili waweze kuingia kwenye soko la ushindani la bidhaa za ndani na nje ya nchi
baadhi ya wasiriki wa semina za maendeleo (gdss)
na kwa watakao hitaji kupeleka bishaa zao kwenye maonesho hayo ambao ni nje ya wanaharakati wa semina za jinsia(gdss) wanaombwa kuwasilisha maombi yao mapema kwa kufika makao makuu ya mtandao wa jinsia tgnp yaliyopo mabibo karibu na chuo cha nit jijini dar es salaam
tgnp mtandao kuandaa tamasha la 14 la jinsia dar es salaam reviewed by vicent macha on 80500 am rating 5 | 2017-10-17T11:26:49 | http://habari24.blogspot.com/2017/07/tgnp-mtandao-kuandaa-tamasha-la-14-la.html |
alikiba defends radio presenter who exposed their secret affair of 10 years nairobi news
by rajab zawadi may 18th 2020 2 min read
bongo artist alikiba photo | courtesy
abdu kibas viral sex tape now on pornhub
just let my wife be alikiba tells prying public
alikiba explains why his wife amina khalef is back in kenya a year after their wedding
alikiba addresses claims of breaking up with kenyan wife
mnamjua diva jinsi alivyo anapenda kuapia kwa watu lakini pia kila mtu anamfanya ajisikie comfortable na mimi alinifanya nikajisikia comfortable sana ila kwenye suala la mapenzi sijawahi kuwa naye ingawa alishawahi kuwa rafiki yangu wa karibu sana diva ni mtu mzuri sana na nawaomba watu waayaache hayo mambo yalivyo na hivi vitu ambavyo vimetokea waviache vilivyo pia watu waache kumcritiseze kwa hayo yaliyotokea alikiba pleaded
ngo installs thousands of handwashing bags in nairobi
stewart hall rupia flopped at wazito i have no place for | 2020-06-06T02:38:45 | https://nairobinews.nation.co.ke/chillax/alikiba-defends-radio-presenter-who-exposed-their-secret-affair-of-10-years |
videorais wa jamhuri ya muungano dkt john pombe magufuli aombewa dua na kijana omary abdallah ramadhani viwanja vya sabasaba jijini dar es salaam | h@ki ngowi
videorais wa jamhuri ya muungano dkt john pombe magufuli aombewa dua na kijana omary abdallah ramadhani viwanja vya sabasaba jijini dar es salaam
0 0 haki ngowi friday july 08 2016 edit this post
h@ki ngowi videorais wa jamhuri ya muungano dkt john pombe magufuli aombewa dua na kijana omary abdallah ramadhani viwanja vya sabasaba jijini dar es salaam
https//iytimgcom/vi/onxnpcasamu/hqdefaultjpg
https//iytimgcom/vi/onxnpcasamu/defaultjpg
http//wwwhakingowicom/2016/07/videoaiswajamhuriyamuunganodkthtml | 2017-11-22T11:16:38 | http://www.hakingowi.com/2016/07/videoais-wa-jamhuri-ya-muungano-dkt.html |
ruto atakiwa kufanya mambo matatu baada ya kuachiwa mamlaka na rais uhuru kenyatta ▷ tukocoke
ruto atakiwa kufanya mambo matatu baada ya kuachiwa mamlaka na rais uhuru kenyatta
6 months ago 1787 views by jally kihara
ruto ametakiwa kuwafuta kazi kibicho kwa madai ya kumkosea heshima
ingawa hilo linaonekana kama ucheshi tu wa mwanamitandao linaashiria uhusiano uliopo kati ya dp na maafisa hao wa serikali
kwa sasa serikali iko mikononi mwa dp ruto baada ya rais uhuru kusafiri marekani
rais uhuru kenyatta yuko nchini marekani ambapo anahudhuria mkutano wa umoja wa matifa wa 74 ambapo athari za ongezeko la joto duniani
kwa sasa rais kenyatta aliiacha nchi chini ya uongozi wa naibu wake william ruto
habari nyingine magazeti ya kenya jumatatu septemba 23 kra kutoza facebook na twitter ushuru
rais uhuru kenyatta alipotua marekani tayari kwa mkutano wa umoja wa mataifa kuhusu kuongezeka kwa joto duniani picha pscu
huku ripoti zikiendelea kuonyesha kuwa kuna tofauti kati ya dp ruto na baadhi ya maafisa wakuu wa serikali kama vile katibu katika wizara ya usalama wa ndani karanja kibicho mfuasi mmoja sugu wa dp alimpa ushauri wa kuwakabili mahasimu hao wakati huu ameachiwa serikali
kwa nini kaimu rais wetu dkt william ruto asichukue nafasi hii ambapo rais kneyatta atakuwa nje ya taifa kwa siku 14 kwenye ziara ya singapore na marekani kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa na kumfuta kazi katibu wa wizara ya usalama wa ndani karanja kibicho kwa kutomheshimu alisema boniface kamau kwenye mtandao wake wa facebook
aliongeza kuwa kibicho anafaa afutwe na mahali pake kupewa mbunge wa kiharu na mfuasi sugu wa dp ruto ndindi nyoro
kibicho afutwa na kazi yake ipewe ndindi nyoro aliogeza
habari nyingine askofu aliyenyimwa ngono miaka 3 apata idhini ya mahakama kumtaliki mke wake
katika nakala ya ucheshi kwenye mtandao dp ruto ametakiwa kumfuta kazi karanja kibicho na nafasi yake ipewe ndindi nyoro picha standard
na si kibicho pekee mwanamitandao huyo anataka waangukiwe na shoka mbali pia waziri fred matiang'i na mkuu wa dci george kinoti
anafaa pia ampe uhamisho waziri matiang'i kutoka wizara ya usalama wa ndani mpaka ile ya maji na mahali pake kuchukuliwa na jelungui (waziri wa maji simon chelugui) dci kinoti anafaa kushukishwa mamlaka na atumwe wajir kama ocpd hii madharao yao watajua hawajui aliandaika kamau
katika maisha ya kisasa ya mitandao wakenya wameonysha ucheshi wao kwenye mambo mbali mbali siasa ikiwa haijabaki nja
dp william ruto kwenye mkutano wa awali picha dpps
lakini licha ya kuwa semi za mwanamitandao huyo ni za ucheshi tu zinaashiria wakenya wanavyoona uhusiano wa kikazi kati ya ikatibu wa wizara ya usalama wa ndani kibicho waziri matiang'i dci kinoti na dp ruto
kwa kile ambacho kinakisiwa kuleta mgawanyiko zaidi serikalini katibu huyo alionekana kumshambulia dp kutokana na ziara zake za mara kwa mara katika kaunti ya kirinyaga na eneo nzima la mlima kenya
umekuja hapa kuvuna kile ambacho hukupandahatutapotoshwa sisi kibicho alidokeza
dp ruto raila hajui matatizo ya wakenya | 2020-04-10T13:45:49 | https://kiswahili.tuko.co.ke/316178-ruto-atakiwa-kufanya-mambo-matatu-baada-ya-kuachiwa-mamlaka-na-rais-uhuru-kenyatta.html |
je hivi mnaweza mkanipatia baadhi ya riwaya zenye kukataza kuwepo kwa mahusiano baina ya msichana na mvulana hazina ya maswali islamquest
jumapili 19 januari 2020
maneno yote kama ibara ilivyo kila neno(maneno yaliyo ainishwa tu) kila neno(pamoja na minyambuko yake) hali kwa sasa timusheria na hukumu ► maudhui zote qurani پیامبران hadithi elimu ya akida falsafa tabia irfani fiqhi tarehe nyendendo judgments مبانی شیعه اندیشه های امام خمینی (ره) مفاهیم قرآنی ولایت فقیه و حکومت اسلامی عرفان و اخلاق logic and philosophy know more arabic grammar kipindi chote msaa 24 yaliopiti wiki moja iliyopita wiki mbili zilizopita wiki tatu zilizopita mwezi mmoja uliopita miezi miwili iliyopita miezi sita iliyopita
tarehe ya kuingizwa 2012/04/10
kodi ya tovuti fa11916 nambari ya hifadhi 25101
group sheria na hukumu
stika hadithi|uhusiano|msichana|mvulana|asiye halali kuwa na mahusiano naye bila ya kuwepo masharti maalumu
mimi ninahitajia kutoka kwenu baadhi ya hadithi zenye kuhusiana na makatazo ya kuwepo uhusiano baina ya mvulana na msichana je mnaweza kunipaita
msichana na mvulana wanaweza kuwa na aina mbali mbali za mahusiano ndani ya jamii ya wanaadamu na bila shaka baadhi ya mahusiano hayo huwa si mahusiano salama na si halali kwa kweli swali lililo ulizwa na muulizaji wetu ni swali lisilokuwa la wazi lakini sisi tutalijibu swali hili kupitia aina mbali mbali za mitazamo kwa jinsi ya makadirio ya jawabu yanavyoweza kukadirika kielimu na kiakili
maelezo ya hadithi kuhusiana na mahusiano ya mvulana na msichana
1 katika kitabu kijulikanacho kwa jina la (usulilkafi) kuna riwaya iliyopokewa na asad alaskaaf kutoka kwa imamu baaqir (as) isemayo kuwa (siku moja kijana miongoni mwa vijana wa kiansari alikuwa akitembea kwenye chochoro za mji wa madina na mara akakutana na mwanamke na katika zama zile wanawake walikuwa wakivaa hijabu zao hadi kufia chini ya masikio yao tu baada ya mwanamke yule kutangulia mbele kidogo yule kijana alianza kumfuata hadi akafikia kwenye kichochoro ambaco kilikuwa ni chembamba mno na yeye alipokuwa akiendelea kumfuata ndani ya kile kichochoro mara uso wake ukakwama kwenye kitu fulani kilichokuwa kimekamatana na ukuta wa kile kichochoro naye bila ya hata kuhisi maumivu aliendelea kumfuata yule mwanamke na baada ya yule mwanamke kutoweka mara yeye akatanabahi kuwa anavujwa na damu kutoka usoni mwake na kumwagikia kwenye sehemu ya kifuanai mwa nguo zake hapo alijisemeza mwenyewe kwa mwenyewe kwa kusema naapa kwa mola ni lazima niende kwa mtume (saww) na kumhadithia tokeo hili na pale mtume (saww) alipomuona akiwa katika hali kama ile alumuuliza umesibiwa na nini hapo yule kijana akamhadithia mtume (saww) yale yaliyomtokea na baada ya hapo jibrail akashuka na aya isemayo[1]
(قُلْ لِلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ أَبْصارِهِمْ وَ يَحْفَظُوا فُرُوجَهُمْ ذلِكَ أَزْكى لَهُمْ إِنَّ اللَّهَ خَبِيرٌ بِما يَصْنَعُونَ)
maana yake ni kwamba (waambie waumini kuwa wainamishe macho yao chini (na waisiwaangalie wanawake wasioruhusiwa kuwa na mahusiano nao bila ya kuwepo masharti maalumu) na wazihifadhi tupu zao kwani hilo ni takaso kubwa kwao kwa hakika mwenye ezi mungu ni mjuzi wa yale wayatendayo (waja wake))[2]
2 mtume (saww) amesema (siku ya kiama macho yote yatalia ispokuwa macho ya aina tatu nayo ni jicho linalolia kwa ajili ya kumkhofu mwenye ezi mungu jicho linaloepu kuyaangalia yale yaliyoharamishwa kuyaangali (kutomuangalia mtu kwa nia mbaya na ya haramu) na la tatu ni lile jicho linalobaki macho ( wakati wa usiku huku wengine wakiwa wamelala ) kwa ajili ya kumuabudu mola)[3]
3 imamu ridhaa (as) amesema (ni haramu kwa waumini kuziangalia nywele za mwanamke aliye olewa au asiye olewa hii ni kwa sababu ya kuwa jambo hilo ni lenye kuziamsha shahawa zao na kuwasogeza wao kwenye maasi)[4]
maswali yenye kufungamana na swali hili ni
swali namba 1044 na kwenye tovuti ni namba 1110
swali namba 6669 na kwenye tovuti ni namba 6745
[1] tarjama ya kitabu almiizaan cha muhammad husein tabaatabaai juz/15 uk/160 chapa ya islamiy qum mwaka 1374 shamsia
[2] suratunnuur aya ya 60
[3] kanzuddaqaaiqiwabahrulgharaaibi cha muhammad mahdiy juz/9 uk/278 chapa ya wizaarate irshaad tehran mwaka 1368 shamsia
[4] bihaarulanwaari cha muhammmad baaqir majlisiy juz/101 uk/34 chapa ya daarulwafaa beirut
أرید عدة أحادیث تنهی عن العلاقة بین الاولاد و البنات غیر المحرم
3215 sheria na hukumu 2011/12/17
العلاقة بین شخصین من غیر المحارم واسعة جداً و لا إشکال فی بعض مصادیقها قطعاً و السؤال أعلاه فیه نوع من الإبهام و لکن یمکن الإجابة عنه فی عدة مجالاتبیان روایة حول العلاقة بین غیر المحارم1 عن سعد الاسکاف
naməhrəm qızla oğlanın rabitəsinin qadağan etməsi haqqında neçə hədis istəyirəm
5345 sheria na hukumu 2012/01/16
i̇ki naməhrəmin rabitəsi çox genişdir ki onlardan bəzilərinin eybi yoxdur və nöqsansızdır qeyd olunan sual qaranlıqdır amma bu sualı neşə cəhətdən cavab vermək olar naməhrəmlər arasında əlaqələr haqqındakı
por favor quería algunas narraciones que hablen de la prohibición de la relación entre un chico y una chica noíntimos
3146 sheria na hukumu 2012/01/17
el asunto de la relación entre dos personas noíntimas es muy amplio que sin duda algunos de sus ejemplos son permitidos la pregunta planteada no es clara pero responderemos a ésta en algunos camposa
چند حدیث در مورد نهی کردن رابطه پسر و دختر نامحرم می خواستم؟
25124 sheria na hukumu 2011/02/22
رابطه بین دو نامحرم، بسیار گسترده است که مسلماً برخی از مصادیق آن بدون اشکال است سؤال بیان شده دارای ابهام است ولی در چند زمینه به این سؤال پاسخ داده می شود بیان روایت درباره روابط
je voudrais que vous me citiez quelques hadiths au sujet de linterdiction de rapport entre le garçon et la fille
3420 sheria na hukumu 2012/04/10
la question sur le rapport entre deux personnes étrangères ou nonmahram est un sujet très vaste certains de ces cas ne présentent aucun problème la question que
volevo alcuni hadìth in merito al divieto di rapporti tra un ragazzo e una ragazza
2798 sheria na hukumu 2012/01/28
i rapporti tra due persone nonmahram sono di vario tipo e certamente in alcuni casi non rappresentano un problema la domanda avanzata è ambigua tuttavia la risposta abbraccerà alcuni aspetti della
ฉันต้องการฮะดีซสักสองสามบท ที่ห้ามการติดต่อสัมพันธ์กัน ระหว่างชายหนุ่มและหญิงสาวที่สามารถแต่งงานกันได้
3348 sheria na hukumu 2012/01/23
ความสัมพันธ์ระหว่างนามะฮฺรัม 2 คน กว้างมากซึ่งแน่นอนว่าบางองค์ประกอบของมันไม่มีปัญหาแต่อย่างใด จากคำถามที่ได้ถามมานั้น ยังมีความเคลือบแคลงอยู่ แต่จะขอตอบคำถามนี้ในหลายสถานะด้วยกันรายงานเกี่ยวกับความสัมพันธ์ระหว่างชายหนุ่มและหญิงสาย นามะฮฺรัม 1อุซูลกาฟียฺ จากรายงานของ สะอ์ดฺ อัลอัสกาฟ รายงานจากท่านอิมาม บากิร
namahrem bir kızla bir oğlanın ilişkisinin yasak olduğuna dair birkaç hadis yazar mısınız
5603 sheria na hukumu 2012/02/04
i̇ki namhrem arasındaki ilişki konusu çok geniş olup bazılarının kesinlikle sakıncası yoktur soruda belirsizlikler olmasıyla birlikte yinede birkaç açından ona cevap verebiliriznamhremler arasındaki
چند حدیثیں نامحرم لڑکے اور لڑکی کے باهمی رابطه سے متعلق معلوم کرنا چاهتا هوں ؟
3924 sheria na hukumu 2012/01/23
4062 حوادث روز عاشورا 2012/05/23
7506 هدایت الاهی 2012/05/23
8771 عزاداری و زیارت 2012/05/23
1 suala la malaika kuumbwa kutokana na nuru ya watu fulani ni suala maarufu lilinukuliwa kutoka kwenye riwaya za pande zote mbili za masunni na mashia ndani ya vitabu vya kishia kuna riwaya zinazoelezea kuwa malaika wameumba kutokana na nuru za watu maalumu kama vile mtume na
8102 sheria na hukumu 2012/06/17
2740 اشتراک در دین 2015/06/02
8432 متعه 2012/06/17
6573 elimu za qurani 2012/05/23
8956 روزه های مستحب، مکروه و حرام 2012/05/23
13465 حدود، قصاص و دیات 2012/05/23
415 tabia kimatendo 2019/06/16
30683 falsafa ya dini 2012/05/23
21705 tabia kimtazamo 2012/06/17
15877 sheria na hukumu 2012/06/17
15869 sheria na hukumu 2012/06/17
14059 sheria na hukumu 2012/05/23
13841 sheria na hukumu 2012/05/23
11803 tabia kimtazamo 2012/05/23
11577 tafsiri 2012/05/23
11019 tabia kimtazamo 2012/05/23 | 2020-01-19T09:05:49 | http://www.islamquest.ir/sw/archive/question/fa11916 |
(showing articles 30501 to 30520 of 37959)
02/23/180621 _dk kigwangalla aag
02/23/180623 _kamanda muslimu azu
02/23/180631 _dc mtanda kuanzisha
02/23/180723 _poland kufungua ofi
02/23/180743 _kauli ya rais maguf
02/23/180746 _wananchi zaidi ya 1
02/23/180757 _simba yaanza kujifu
02/23/180802 _ uwepo wa viwanda u
02/23/180803 _kaimu katibu mkuu w
02/23/180816 _rais magufuli ahudh
02/23/182155 _zari alipohojiwa na
02/23/182201 _article 2
02/23/182205 _madini yote nchini
02/23/182209 _rc telack ahamasish
02/23/182223 _dk mwanjelwa aziasa
02/23/182336 _simon group yachang
02/24/180154 _ubunifu wa kijana o
02/24/180222 _rais magufuli aondo
02/24/180518 _mpina azipiga faini
02/24/180525 _waziri kigwangalla
older | 1 | | 1524 | 1525 | (page 1526) | 1527 | 1528 | | 1898 | newer
02/23/180621 dk kigwangalla aagiza mbinu mpya itumike kudhibiti wanaochimba madini kwenye chanzo cha maji ya mto zigi jijini tanga
02/23/180623 kamanda muslimu azungumzia bodaboda kupigwa barabarani
kamanda wa polisi kikosi cha usalama barabarani fortunatus muslimu amesema hakuna sheria inayoruhusu askari polisi kupiga wanaotumia vyombo vya usafiri barabarani wakiwamo waendesha bodaboda huku akielezea kuwa atafuatilia ili kubaini iwapo kuna askari wenye tabia ya kupiga waendesha bodaboda
muslimu ametoa kauli hiyo leo jijini dar es salaam wakati akielezea mafanikio yaliyopatikana kwenye kupunguza ajali za barabarani ambapo baraza la taifa la usalama barabarani limetoa tathmini ya mpango mkakati wa awamu ya kwanza na awamu ya pili unaonesha ajali za barabarani zimepungua kwa kiasi kikubwa nchini
hivyo ameelezea pia umuhimu wa watumiaji wa barabara wakiwamo waendesha pikipiki maarufu bodaboda kuzingatia sheria za usalama na kuelezea kuwa wanapaswa kufuata sheria bila shuruti hata hivyo waandishi wa habari waliokuwa kwenye mkutano huo walitaka kufahamu ni kwanini baadhi ya askari polisi hasa maeneo ya makutano ya tazara ubungo mwenye na daraja la salenda wamekuwa wakiwapiga waendesha bodaboda na kusababisha hali ya sintofahamu
sheria hairuhusu mtu yoyote kumpiga mwingine na kama kuna makosa yamefanyika hatua za kisheria zinastahili kuchukuliwa lakini si kupiga mtuhii ya kwamba askari wanawapiga bodaboda tutafuatilia lakini nachofahamu hakuna askari anayeweza kumpiga mtu wa bodaboda
pia ifahamike tunazo sheria za usalama barabarani ambazo tunazisimamia na wakati huohuo zipo sheria ndogondogo za jiji ambazo nazo kuna watu wanaozisimamia na kuzitekelezasuala la bodaboda kukamatwa hilo lipo chini ya jiji na tambaza ndio wanaohusika na waendesha bodabodaamesema kamanda muslimu
amefafanua licha ya kwamba hakuna askari anayeweza kupiga waendesha bodaboda barabarani ameahidi kufuatilia kwa kwenda maeneo yanayolalamikiwa kupata ukweli wake na ikibainika atachukua hatua ameongeza wao wanalojukumu la kusimamia sheria za usalama barabarani na pia wanalo jukumu la kukabiliana na wahalifu
02/23/180631 dc mtanda kuanzisha wangabo cup kupongeza juhudi za wana kirando
02/23/180723 poland kufungua ofisi za ubalozi wake nchini tanzania
waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dk harrison mwakyembe (kulia) akipokea salamu za rais wa poland na mwaliko kwa niaba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john magufuli toka kwa waziri wa nchi ofisi ya rais wa poland mhkrzysztof szczerski
waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dk harrison mwakyembe (kushoto) akisalimiana na balozi wa poland nchini tanzania mh krzysztof buzalski mapema hii leo jijini dar es salaam wakati walipoleta salamu na mwaliko wa rais wa poland kwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john magufuli waziri mwakyembe aliokea salamu hizo kwa niaba ya rais magufuli picha zote na eliphace marwa maelezo
02/23/180743 kauli ya rais magufulikenyata kuhusu kuondolewa tofauti za kiabishara
02/23/180746 wananchi zaidi ya 1200 wajitokeza songamebele ya uzinduzi wa ujenzi kituo cha afya kirando
02/23/180757 simba yaanza kujifua uwanja wa veterani
vinara wa ligi kuu tanzania bara simba sc mara baada ya kurejea kutoka nchini djibout katika mchezo wa marudiano na gendarmarie sasa wanaanza mazoezi rasmi leo ili kujiandaa na mchezo wao dhidi ya mbao fc mazoezi hayo yataanza leo jioni saa 10 jioni katika uwanja wa boko veterani jijini dar es salaam
02/23/180802 uwepo wa viwanda utachangia uzalishaji wa bidhaa za kilimomhandisi stella manyanya
amesema ili kufikia malengo hayo kunahitajika ushirikiano mkubwa kati ya sekta binafsi na serikali kwa kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiasharatasisi za fedha mnatakiwa kuhakikisha mnatatua changamoto za wajasiriamali za ukosaji wa mitaji jambo ambalo limekuwa likiwasumbua wengi wao ili kuhakikisha tunafikia tanzania ya viwanda amesema
na ripoti ya benki kuu hiyo hiyo inaonesha katika hizo ni asilimia 98 tu ndizo zimekwenda kwenye viwanda sasa tunajiuliza kwa rate hiyo tutafika kwenye viwanda amehojia simbeyeamesema benki za kibiashara zimekuwa zikiangalia zaidi wapi zinapata faida ambapo mikopo inaweza kurudi haraka ambapo mikopo mingi imekuwa ikielekezwa kwenye biashara ambako watu wengi hukopa ili kuagiza bidhaa za biashara na kujenga nyumba tofauti na uwekezaji wa viwanda ambao ni wa muda mrefu
amesema hivyo ni vema kuwa na chombo maalumu kitakachokuwa kikitoa mikopo ya maendeleo hasa sekta ya viwanda ili kuwezesha kufikia lengo la uchumi wa kati unaotegemea viwandahakuna kiwanda kinaanzishwa kikae miaka mitano kiwanda ni project za milele na milele wewe mwanzishaji utakufa lakini kile kiwanda kipo kwa hivyo vinahitaji uwekezaji wa muda mrefu
tatizo hapa wanaangalia faida zaidi lakini tukiwa na industrial development bank kama tib ni kama unaempower watu kuanzisha viwanda amefafanua simbeyeameongeza sensa ya maendeleo ya viwanda ya mwaka 2013 iliyozinduliwa mwaka 2016 inaonesha tanzania ina jumla ya viwanda 49242 lakini viwanda vikubwa ni 1322 tu hivyo ni vema kujiuliza kwanini viwanda vidogo ndiyo vingi na kwanini visianzishwe viwanda vikubwa
02/23/180803 kaimu katibu mkuu wa mambo ya nje akutana kwa mazungumzo na mbunge kutoka uturuki
02/23/180816 rais magufuli ahudhuria mkutano wakuu wa nchi za jumuiya afrika mashariki uliomalizika leo jijini kampala nchini uganda
02/23/182155 zari alipohojiwa na bbc swahili jijini london
02/23/182201 article 2
madaktari na watoa huduma kutoka kanda ya kaskazini waliokuwa wakishiriki mafunzo ya siku tano (5) ya kufanya tathmini yamfanyaakzi aliyepataulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi amesema wamepata nyezo muhimu itakayowasaidia kutekeleza majukumu hayo kwa usahihi na haraka
naye mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) ambao ndio waandaaji wa mafunzo hayo dkt abdulsalaam omar alisema jumla ya washiriki 66 kutoka mikoa ya kilimanjaro arusha manyara na tanga walishiriki mafunzo hayo chini ya wataalamu wa wcf na wawezeshaji waliobobea kwenye maswala ya usalama mahala pa kazi kutoka taasisi ya mifupa moi
alisema mafunzo haya ni mundelezo wa mafunzo kama haya ambayo yamekuwa yakifanyika kwa awamu kwenye kanda mbalimbali nchini ili kujenga mtandao wa wataalamu wa kufanya tathmini ya ulemavu uliotokana na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi kwa mujibu wa mkataba
idadi ya madaktari ambao wamepatiwa mafunzo haya nchi nzima hadi sasa ni 655 na tunatarajia kutoa mafunzo zaidi ili wafanyakazi waweze kupata huduma kwa ukaribu lakini kwa haraka na usahihi alifafanua dkt abdulsalaam
baadhi ya madaktari na watoa huduma za afya wakionyesha stika watakazobandika kwenye milango ya ofisi zao ili kumrahisishia mfanyakazi anayehitaji kufanyiwa huduma ya tathmini stika hizo zimetolewa na wcf kwa washiriki wa mafunzo ya siku tano ya kufanya tathmini yamfanyaakzi aliyepataulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi yaliyomalizika februari 23 2018 mjini moshi
mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) ambao ndio waandaaji wa mafunzo hayo dkt abdulsalaam omar akizungumza
mgeni rasmi katibu tawala msaidizi wa mkoa wa kilimanjaro kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya moshi bw sebastian masanja akimkabidhi cheti dkt theresia temu cha ushiriki wa mafunzo ya siku tano ya kufanya tathmini yamfanyaakzi aliyepataulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi yaliyowaleta pamoja madaktari 66 kutoka mikoa ya kaskazini
meneja tathmini ya madai (claims assessment manager) wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) dkt ali mtulia akitoa mada ya namna ya kufanya tathmini na ukadiriaji(assessment and evaluation)
daktari bingwa wa uchunghuzi wa vijidudu na madawa(medical microbiology and immunology) profesa john shao (kulia) akiteta jambo na mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) dkt abdulsalaam omar
daktari bingwa wa uchunghuzi wa vijidudu na madawa(medical microbiology and immunology) profesa john shao (kulia) akipongezwa na mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) dkt abdulsalaam omar kwa kuwapa uzoefu wake wa kazi katika sekta ya afya na tiba washiriki hao
02/23/182205 madini yote nchini ni sharti yawanufaishe watanzania
02/23/182209 rc telack ahamasisha wananchi kutoa taarifa sahihi utafiti wa mapato na matumizi ya kaya binafsi
telack ametoa rai hiyo leo ijumaa februari 232018 katika mkutano na waandishi wa habari mkoa wa shinyanga akizungumzia utafiti wa mapato na matumizi ya kaya binafsi tanzania bara wa mwaka 2017/2018 utafiti huo unaosimamiwa na ofisi ya taifa ya takwimu (nbs) unaoendelea nchini katika kata 796 utazifikia kaya 9552 nchini ambapo kaya 408 zitafikiwa katika kata 34 za mkoa wa shinyanga
telack alisema njia pekee ya kufuatilia utekelezaji wa program za maendeleo ni kufanya tafiti mbalimbali kama huu unaoendelea ambao unalenga kutoa takwimu za hali ya umaskini na takwimu nyingine ili kuisaidia serikali na wadau kutathmini hatua zilizofikiwa katika kutimiza malengo ya kitaifa suala la ukusanyaji wa takwimu rasmi za serikali ni shirikishi na ni wajibu wa kila mwananchi kutoa taarifa sahihinatoa wito kwa viongozi kuanzia ngazi ya mitaavitongojivijijikatawilaya na mkoa kutoa ushirikiano wa karibu kwa watafiti watakaozifikia kaya 408 zilichaguliwa katika mkoa wetualisema telack
utafiti huu wa mapato na matumizi ya kaya binafsi tanzania bara wa mwaka 2017/2018 unahitaji sana ushirikiano kutoka kwa wananchi wote hasa katika kaya zilizochaguliwa kitaalamu kuwakilisha sampuli za kaya zilizopo mkoani shinyangaaliongeza alibainisha kuwa kila kaya iliyobahatika kuchaguliwa itahojiwa kwa siku 14 mfululizo na mdadisi atakutana na mkuu wa kaya ambaye hatatakiwa kubadilishwa ili kupata takwimu sahihi kwa ajili kupanga maendeleo ya nchi
mkuu huyo wa mkoa alisema utafiti huo utasaidia kuweka msingi katika kutambua viashiria vya msingi vya kiuchumiajira na ustawi wa jamii ambavyo vitatakiwa kufuatiliwa kwa kipindi husika na kupata makadirio ya jumla ya mwenendo wa matumizi ya kaya ili kuandaa fahirisi za bei telack alizitaja kata 34 za mkoa wa shinyanga zitakazofanyiwa utafiti kuwa ni ngokolomwawazandalandembezisongwamwadui lohumbokishapumwakipoyalaganatalagadidiamwakitolyoiselamagazimwamalanyida na lyabusalu kata zingine zitakazofikiwa ni lyamidatilunguyachelabuligejanaisakachamboigundasabasabinibulungwaushetuubagwemondonyahangazongomeranyihogomajengo na kilago
picha ya pamoja mkuu wa mkoa wa shinyanga waandishi wa habari maafisa kutoka ofisi ya taifa ya takwimu icha zote na kadama malunde/frank mshana
02/23/182223 dk mwanjelwa aziasa taasisi kuiga mfano wa iop waanzisha shamba darasa kwa 'single mothers' mkoani iringa
naibu waziri wa kilimo dk mary mwanjelwa akikagua sehemu ya shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na taasisi ya ilula programu 2013 wakati wa ziara yake mkoani iringa februari 23 2018 shamba hilo ni la kilimo cha biashara ni maalum kwa ajili ya kina mama wanaojitegemea watoto yatima na wanafunzi wenye nia ya kukuza uelewa wa kilimo kutoka katika wilaya ya iringa hasa wa shule za primary na awali pamoja naye (kulia) ni mshauri wa shamba hilo osmund ueland afisa mtendaji mkuu wa sagcot geoffrey kirenga (nyuma kulia) mwasisi wa ilula orphan program (iop) berit skaare na viongozi wengine wa serikali wa mkoa huo
naibu waziri wa kilimo dk mary mwanjelwa akiwahusia vijana yatima ajolin mgeveke (wa pili kulia) na atilio mbungu ambao ni wanufaika wa ilula orphan program (iop) alipofanya ukaguzi wa shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na taasisi ya ilula programu 2013 wakati wa ziara yake mkoani iriga jana kulia ni mwasisi wa iop berit skaare
02/23/182336 simon group yachangia milioni 25 ujenzi wa miundombinu ya elimu simiyu
02/24/180154 ubunifu wa kijana omary wamvutia dkkamala aahidi kusaidia vijana kilimo cha mbogamboga nkenge
na ripota wetu misenyi
mbunge wa jimbo la nkenge mkoani kagera balozi dk kamala amempongeza kijana rosh omary ambaye ameamua kujikita kwenye kilimo cha mbogamboga na matunda kando ya mto nkenge
kijana omary wakati rais dkjohn magufuli akiwa kwenye ziara katika mkoa huo novemba mwaka jana alitoa kilio chake kwa rais kuwa kuna moja ya maofisa mifugo alifika kwenye shamba lake na kufyeka mazao yake
hata hivyo kijana huyo bado anaendelea na kilimo hicho baada ya rais kutaka asisumbuliwe bali aachwe
hivyo dkkamala ameamua kwenda kwenye shamba la kijana omary kuona shughuli anazofanya ambapo ametumia nafasi hiyo kumpongeza kwa jitihada zake kwenye kilimo cha mbogamboga na matunda
dkkamala ameona haja ya kutembelea shamba hilo na alipofika akavutiwa na ubunifu wa kijana huyo na hivyo ameshauri ni vema vijana wakaanzisha kikundi ambacho kitajikita kwenye aina hiyo ya kilimoamesema yeye ameahidi kutoa vitendea kazi ikiwamo mashine za umwagiliaji
sehemu ya shamba la rosh omary ambaye ameamua kujikita kwenye kilimo cha mbogamboga na matunda kando ya mto nkenge
mbunge wa jimbo la nkenge mkoani kagera balozi dkt kamala akikagua shamba la kijana rosh omary ambaye ameamua kujikita kwenye kilimo cha mbogamboga na matunda kando ya mto nkenge
mbunge wa jimbo la nkenge mkoani kagera balozi dkt kamala akiungumza jambo na kijana rosh omary ambaye ameamua kujikita kwenye kilimo cha mbogamboga na matunda kando ya mto nkenge
02/24/180222 rais magufuli aondoka uganda mara baada ya kuhudhuria vikao vya wakuu wa nchi za jumuiya ya afrika mashariki (eac)
02/24/180518 mpina azipiga faini meli 19 zilizotoroka bila kukaguliwa
waziri wa mifugo na uvuvi luhaga joelson mpina (mwenye koti jekundu)akimsikiliza waziri wa kilimo maliasili mifugo na uvuvi wa serikali ya mapinduzi zanzibar hamad rashid muhamed ofisini kwake leo wakati alipofanya ziara ya kikazi katika kisiwa unguja kushoto ni kaimu mkurugenzi wa mamlakaya kusimamia uvuvi wa bahari kuu(dsfa)hosea gonza mbilinyi (picha na john mapepele)
waziri wa kilimo maliasili mifugo na uvuvi wa serikali ya mapinduzi zanzibar hamad rashid muhamed(mwenye suti nyeupe) kushoto kwake ni waziri wa mifugo na uvuvi luhaga joelson mpina (mwenye koti jekundu) na kulia kwake ni katibu mkuu uvuvi tanzania bara dkt yohana budeba wakiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi na watendaji wa sekta ya uvuvi mara baada ya waziri mpina na watendaji wake kuwasili leo unguja kwa ziara ya kikazi (picha na john mapepele)
kiongozi wa kampuni ya linghang kutoka china inayoshughulika na uendelezaji wa utalii wa zanzibar nchini china tom zhang (katikati) akiwa na waziri wa kilimo maliasili mifugo na uvuvi wa serikali ya mapinduzi zanzibar hamad rashid muhamed(mwenye suti nyeupe) kushoto kwake ni waziri wa mifugo na uvuvi luhaga joelson mpina (mwenye koti jekundu) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya waziri mpina na watendaji wake kuwasili leo unguja kwa ziara ya kikazi (picha na john mapepele)
pia meli hii imebainika kukiuka kanuni ya 10 ikisomeka pamoja na kanuni ya 68 ya kanuni za uvuvi wa bahari kuu za mwaka 2009 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016 kwa kuhaulisha mabaharia kutoka kwenye meli nyingine ambao idadi yao ilikuwa mabaharia 10aidha meli hii pamoja na kukutwa na makosa hayo iliondoka nchini bila kufuata taratibu zinazotakiwa kwa mujibu wa vifungu tajwa hapo juu
naye katibu mkuu wa wizara ya mifugo na uvuvi dkt yohana budeba amewataka wawekezaji kwenye bahari ya tanzania kuwa waaminifu na kuzingatia masharti na taratibu za kisheria ili nchi na wawekezaji waweze kunufaikataratibu zipo wazi ni muhimu kuzinangatia sheria namna nyingine tutaendelea kusimamia sheria za nchi yetu kwa faida ya sasa na vizazi vya baadaye alisisitiza dkt budeba
aidha amesema serikali ipo tayari kufanya biashara na mtu yoyote ambaye atazingatia masharti ya nchi na kwamba taifa linajipanga ili kuwa na makampuni yake ya tafico na zafico yatakayoshuhulika na uvuvi ili kunufaika na raslimali za uvuvi kama ambavyo inafanyika katika nchi mbalimbali dunianiamesema hatua hiyo itasaidia kukuza ajira kwa wananchi uchumi wan chi na kuanzisha viwanda vya kuchakata samaki na mazao yake
02/24/180525 waziri kigwangalla atembelea hifadhi ya taifa ya arusha atuma salamu kwa muwekezaji anaechochea mgogoro katika hifadhi hiyo | 2019-12-15T17:00:21 | http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1526.html |
marmaray başkentray na i̇zban ni bure kwa utaalam wa huduma za afya | rayhaber | raillynews
nyumbaniturkeymkoa wa anatolia wa katiankara ya 06marmaray başkentray na i̇zban ni bure kwa utaalam wa afya
23 / 03 / 2020 ankara ya 06 34 istanbul 35 izmir mkoa wa anatolia wa kati treni za kuendesha gari railway pwani ya aegean ya kituruki general kenti̇çi̇ reli systems headline mkoa wa marmara turkey
marmaray baskentray na izban ni bure kwa wataalamu wa huduma ya afya
mehmet cahit turhan waziri wa uchukuzi na miundombinu ya jamhuri ya uturuki aliwashukuru wafanyikazi wa afya ambao walifanya kazi kwa dhati kwa ajili ya kuwaokoa wagonjwa ambao walimkamata kovid19 aliyejitokeza wuhan uchina na kuenea kote ulimwenguni
turhan alisema kuwa serikali na taifa haswa wizara ya afya walipigana vita vya busara maisha chini ya uongozi wa rais recep tayyip erdoğan dhidi ya kovid19 ambayo ilisababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni
lolote tunalofanya kwa wataalamu wetu wa huduma ya afya ambao hutimiza majukumu yao kwa kuchukua hatari yoyote mbele ya vita hii tutawakaribisha wafanyikazi wetu wa huduma ya afya ambao watarudi majumbani kwao wakiwa wamechoshwa na kazi zao bure huko marmaray huko istanbul başkentray huko ankara na izban huko izmir bure utekelezaji utaanza kama ilivyo leo
tunawapongeza wafanyikazi wetu wa huduma ya afya kwa miguu
akionyesha kuwa itatosha kwa wafanyikazi wa afya kuonyesha kitambulisho chao tu kufaidika kutoka marmaray başkentray na izban turhan alisema kuwa kama familia ya wizara ya uchukuzi na miundombinu wafanyikazi wa afya huwa pamoja nao wakati wote katika mapambano yao ya kujitolea
wafanyakazi wa i̇zban kufanywa mbele ya usimamizi mkuu wa i̇zban | 2020-04-05T06:48:02 | https://sw.rayhaber.com/2020/03/marmaray-baskentray-na-izban-ni-bure-kwa-wataalamu-wa-huduma-ya-afya/ |
miss utalii utalii kinondoni kufanyika julai 20
warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la miss utalii kinondoni wakifanya mazoezi tayari kwa shindano hilo litakalofanyika julai 20 kwenye hoteli ya travetine jijini dar es salaam
mratibu wa shindano hilo methusella magesa amesema leo kwamba maandalizi yanaendelea vema | 2018-04-26T07:47:12 | http://dinaismail.blogspot.com/2012/07/miss-utalii-utalii-kinondoni-kufanyika.html |
ninapojivunia kuishi zama hizi tanzania ~ kalamu yangu
ninapojivunia kuishi zama hizi tanzania
by moringe jonasy at 1714 makala no comments
nisiwe mnafiki najivunia kuishi katika zama hizizama ambazo licha ya taifa stars kufanya vibaya katika karibu kila mashindano nimefanikiwa kuwaona mbwana samata tom ulimwengu juma kaseja nadir haroubjuma nyosomrisho ngasajerry tegetekigi makasi na wengine wengi ambao kila nikiwatazama najikuta najivunia kuwa mtanzania wa zama hizi huku nikikinzana na mitazamo ya kuwa soka letu linashuka
najivunia kuishi zama za akina mwigulu nchembazitto kabwekafulila john myika anna makinda na wengine wengi kama lissuzama za siasa za wazi huku unafiki wa zama zote ukiumbuliwa na uwazi wa vyombo vya habari ama wa kwa masudi au kwa kutokujua laini nimefanikiwa kuishi zama hizi za ukawa kuvuana magamba na parakatumba zote kwenye siasazama za kuwa na wanasiasa machachari bila kujali umri wala jinsi zao kama akina halima mdee esta bulayaanne kilango malechelana marehemu amina chifupa nisijivunie tuu kuishi katika zama zao jamani hapana lazima nijivunie na nitajivunia daima
nani hajawahi kufurahia zama za shule za kata na chuo kikuu karibu kila mkoa kama haufurahiii basi hunitakii mema motto wa mkulima wa mtama ambaye kwa malezi niliyopitia kufanikiwa kwenda mzumbetosamagangazanaki na kwingineko ni ndoto ya mchana weupe huu nikitembea juani nikisaka maji ya kupikia kwa takribani saa la tatu nzima lakini kila bonde linaonekana kukosa uhahi wa miaka yote
zama za bima ya afyazama za barabara za rami hadi nyumbani kwangu ludewa nikimweleza mdogo wangu lami iivyo sipati tabu kumweeza tofauti na alivyopata taabu baba yangu mdogo aliyekuwa akinisimulia juu filamu za ngambo atajapo barabara nzuri akilini nikifikiria njia yetu ilitengenezwayo kwa muda ama kwa kuandaa kumpokea mwanasiasa mmoja akiwa na huyu wamwitaye mwekezaji wakija kuangalia maeneo ambayo wanapanga kuweka mgodi mkubwa wa makaa ya mawe na madini mengine yanayobebwa kwa tani eti kwenda kufanyia utafiti ulaya
kwa nini nisijivunie kuwa na mbunge ambaye hata unaibu waziri kivuli hajapta lakini kila sehemu tanzania hii wanjivuni kuwa na mtu kama yeyeau niendelee kumuuliza mrema kilichompata kolimbanajivunia kwani leo hii hata naweza kutumwa na baba yangu benki nikalipie pembejeo zakilimo ama kutumwa na mama yangu mwalimu wa mwandiko darasa la kwanza na la pili tangu nikiwa na miaka miwili kwenda kumchukulia kalaki kake akamlipe muuza tv aliyemkopesha ili nasi tuendane na wakati nani anataka kuikosa the komedi
najivunia kuwa na uchaguzi wa kuchagua redio ipi ya kuisikiliza badala ya kusubiri usiku nisikilize rtd ama nimalize betri zangu kwa kusikiliza redio za malawi ambazo hauna ninachokielewa zaidi ya mlibwanji leo hii hata wilayani wangu kuna redio inayoweza kutangaza bei mpya ya panadol ama bei ya maparachichi ya mzee magoha tofauti na zama za kusubiri saa saba ama kumi kusikiliza kama kweli mtoto wa mzee kasuku alikuwa amefariki kweli kwenye matangazo ya vifo
kweli najivunia hizi zama ambazo kupitia mimi mama yangu anaweza kufungua laptop na kuweka cd ya rose mhando kusikiliza yesu nibebeama kwenda kwa ndugu yake kajole kutoa hela aliyotumiwa na mwanaye aliyeolewa huko mbinga lazima nijivunie bwana hizi zama nzuri
lakini lazima nijivunie kuzaliwa zama za akina diamond platnumz ambao leo hii hamwombi mtu kufanya kollabo bali yeye huombwa kufanya hivyo mwangalie kwenye picha hapo chini hivi uliwahi kufikiria jambo hili miaka kumi iliyopita kama ulifikiria we sasa utakuwa pweza ama shekh yahaya tena ulifikiria ndani ya ndoto ya kutisha ambayo daima hukupenda kuikumbuka
ulifikiria kuwa utafika muda kuna mtanzania atachukua mamilion kwenye bba ama kuna mwanadada atakuja kuchukua tunzo kubwa za muziki hapa afrika am duniani kwa ujumla mie nimewaona hawa watu vannesa na jide hadi hapo nisijivunie kwa nini au huoni raha kusikia kuna watu wa kutoka tanzania hii hii wanaimba nyimbo na wamarekani ambao watu kutoka nchini humo wanawaona kama miungu watu unabishaau humjui r kelly ama kingstone
nisijivunie zama za yamoto bendi ama tht nikijiaminisha kuwa muziki huo wanauweza wakongomani pekee ama nitafute tape ya msondo ngoma niliyoiharibu nikitaka nyuzi za kufukuzia ndege wala mpunga shambani
zama za kusoma hadithi kwenye simu yako huku waandishi mahiri wa zama hizi kama | 2018-02-18T01:15:41 | http://kalamuyangu.blogspot.com/2015/05/ninapojivunia-kuishi-zama-hizi-tanzania.html |
labattoir mayotte audioguide gratuit pour iphone et android ndzaudze shimaore
yi bandari
ndzaudze koho la yi tarehi ya nyumeni ya maore
pare la boulevard des crabes
mumamusée de mayotte (musée ya maore)
musée ya maore
makazi ya guvernera
makazi ya guvernera dhwamana wa sirikali ya wutawalifu
yi zarde ya résidence
shandza ya wu wunafasi
makazi ya twaɓiɓu
lapitali ya ndzaudze
lagilizi ya saintmichel
sanamwe la mariama
ɓahari
ɓahari ya moni mwa wu mwamba
mitsakandro pia ya wutrungizi ya djumba la sisygambis yija ha hadja ya wuombodza maendreleyo ya
wutrungizi ha murumishio wa zombo za wusitaâraɓu wa leo ja ordinatera na mavuna yanu yaparihwana ha matembezi ya tsi na tsi na mingiliano ya tanafu na ngupangizi zilolesao zi mila na zi zombo za shi leo christine coulange mudere wa wutrungizi sisygambis avhawa makazi ya maha miraru maore na yi idhara ya wutamaduni ya yi daule pare atrie ndziani wu mupango wa wutrunga yi shiyelehahaji na shikao yahe vhumoja na wu musada wa yi musée ya maore na li djumba la misomo ya wuju na wanazioni na yi idhara ya muhafadhio wa makaratasi ya tarehi na li djumba la zi ngurembo la wuvhandre wa ɓahari ya hindi
itinerary 12 stops duration 200 location labattoir mayotte language français audio 21 min total size 271 mb published 9/19/2018
shiyelehahaji yini yavhingi luha nne (shifarantsa shimaore shiɓushi shingereza) yifanyishiha ha ndzia za makazi ya hazi yavhawa mutrungizi ha zombo za leo christine coulange wa djumba la sisygambis na shikao yahe vhumoja na idhada ya shi daula ya wutamadunu ya maore mwaha 2016 [alifu mbili na kumi na sita] ata mwaha 2018 [mwaha alifu mbili na kumi na nane]
yifanyisha vhumoja na yi musée ya maore li djumba la misomo ya wuju na wanazioni walo yi shama ya shime yi idhara ya muhafadhio wa makaratasi ya tarehi li djumba la zi ngurembo la wuvhandre wa ɓahari ya hindi mayotte la 1ère na pawa ya musomo ya unesco iten (djumba la misomo ya wuju la paris 8/fondation msh) guidigo yifanyishiha hari mwa shandra ya wupangizi djumbani la misomo ya wuju maore mwezi wa marsi 2018 [mwaha alifu mbili na kumi na nane] vhumoja na wanazioni wadziangiha hari mwa misomo ya mbali na mbali ya li palashio lini
deni haouvenoufou za harimoi chicandré koumi na mbili
a ndzaudze | 2020-04-05T09:38:06 | https://www.guidigo.com/Tour/Mayotte/Labattoir/Ndzaudze--Shimaore/OxKwxEgwTiw |
radio kwizera yaja na kampeni ya usafi wa mazingira
homematukio picharadio kwizera yaja na kampeni ya usafi wa mazingira
by radiokwizera on saturday march 03 2018
mkurugenzi wa radio kiwzera padre damas missanga sj ( kulia pichani ) akishiriki zoezi la usafi wa mazingira march mosi2018 katika mtaa wa barabara ya ngara jankisheni katikati ya mji wa ngaramkoani kagera wakati wa zoezi la usafi wa mazingira unaoratibiwa na kituo hicho cha radio katika mji wa ngara ikiwa ni kampeni iliyoanzishwa kuwakumbusha viongozi na wananchi wilayani humo ikiwa ninamna mojawapo ya kuhakikisha mji huo unakuwa safi wakati wote
kituo cha radio kwizera cha wilayani ngara mkoani kagera kimeanzisha kampeni ya kuwakumbusha viongozi na wananchi wilayani humo kudhibiti watu wanaochafua mazingira kwa kutupa taka ovyo ikiwa ninamna mojawapo ya kuhakikisha mji huo unakuwa safi wakati wote
akizungumza wakati wa zoezi la usafi march mosi2018 mkurugenzi wa radio kwizera fm padredamas missanga sj aliwashauri wakazi wa ngara na wageni kujiepusha na utupaji wa taka ovyo na kwamba suala la usafi ni la kila mtu na kwamba kwenye kampeni ya usafi wao wanaihamasisha jamiiviongozi mbalimbali na mamlaka za usafi wilayani ngara kutimiza wajibu wao katika kushiriki kwenye zoezi la usafi wa mazingira mara kwa mara katika maeneo yao ili kuepukana na magonjwa yatokanayo na uchafu kama vile kuhara na kipindupindu
uchunguzi wa radio kwizera fm umebaini kwamba katika maeneo ya mji wa ngara mwitikio wa wananchi katika suala la usafi ni mdogo mno huku wengi wao ameeleza kwamba changamoto kubwa ni uchafu wa kudumu kwenye maeneo ya vizimba vya kutupia taka maeneo ambayo usafi wa mazingira haufanyiki kama inavyotakiwa | 2020-02-17T12:14:10 | https://www.radiokwizera.co.tz/2018/03/radio-kwizera-yaja-na-kampeni-ya-usafi.html |
the pool table village yafunguliwa dar es saalam wavutiweeblycom
the pool table village yafunguliwa dar es saalam
the pool table village ni kijiji chenye kusheheni vifaa mbalimbali vya mchezo wa pool na chenye hadhi ya juu kikijumuisha wachezaji mbalimbali wa pool kutoka jijini dar es salaam kushiriki katika mchezo huo
katika kijiji hicho kuna kiyoyozi (air condition) sehemu nzuri ya kupumzikia vinyaji baridi saluni ya kunyoa nyele luninga bapa kubwa zinazoonyesha picha na habari mbalimbali za michezo (supersport) na pia hivi karibuni itaanza kutolewa huduma ya chakula ambayo itakuwa ikitolewa kwa oda maalum
kijiji hicho kiko tandika davis coner wilayani temeke katika jiji la dar es salaam na kina studio ya kisasa ijulikanayo kama mpoafrika recording ya kurekodi miziki mbalimbali chini ya kampuni mama ya mpoafrika entertainment
habari na picha kwa hisani ya blogu ya john bukuku full shangwe
27/4/2010 122522 am
yaaa tunashukuru mungu tumeweza kupata sehemu nzuri kwa ajili ya michezo hiyo inayopendwa na watu wote kwani zamani tulikuwa tunacheza kwenye makuti tu na baa sasa naamini tutakuwa salama sana tukifurahia pamoja ahsante kwa kutuletea kitu kipya ndani ya nchi yetu
lazaro mtaaalamu wa pool table nitakuja kuonyesha viwango
meshackalfred
30/11/2012 080103 am
mimi ni kijana mpenzi wa pooltablenilikuwa naitaji kujua bei za bidhaa zao zinavyoendana ningependa kushauri kama hakuna mafunzo ya pooltable mahali hapo yaanzishwepia kuwe na mechi za kujipika kwa miongoni mwa wachezaji | 2017-10-16T22:11:02 | http://wavuti.weebly.com/news-blog/the-pool-table-village-yafunguliwa-dar-es-saalam |
tanzania ilivyoshiriki maonesho ya kimataifa ya biashara nchini msumbiji issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content
waziri mkuu wa jamhuri ya msumbiji mheshimiwa carlos agostinho do rosário wakati wa ufunguzi wa maonesho ya biashara ya kimataifa ya 54 ya facim alipotembel continue reading > | 2019-03-22T06:54:47 | http://presstz.net/tanzania-ilivyoshiriki-maonesho-ya-kimataifa-ya-biashara-nchini-msumbiji-41255998 |
Subsets and Splits