text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
jaji kisanga kuwania uspika nccrmageuzi sitta uwaziri | jamiiforums | the home of great thinkers
jaji kisanga kuwania uspika nccrmageuzi sitta uwaziri
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by halisi nov 10 2010
kuna taarifa zisizo rasmi kwamba nccrmageuzi wanapanga kumsimamisha jaji robert kisanga katika nafasi ya uspika hatua ambayo inaelezwa kuweza kuwasukuma chadema na cuf kumwachia cuf wamewaachia chadema waliomsimamisha mabere marando na hamad rashid amejitoa na kuwaunga mkono chadema kisanga anaweza kushinda kwa kuwa ccm wataona afadhali ya nccr kuliko chadema kukalia kiti huu ni mwaka wa mageuzi
tetesi hizo zinasema sitta anaweza kupoozwa kwa kupewa uwaziri hata uwaziri mkuu ama wizara ya utawala bora akapambane na ufisadi vizuri
ccm hawawezi kumpatia uspika mtu yeyote asiye miongoni mwao ila kama kweli wabunge wa ccm wanataka kurudi bungeni 2015 either kwa kupitia ccm au upinzani basi hawana budi kumchagua mtu makini badala ya aliyesimamishwa na chama tunajua wazi kuwa katika waliosimamishwa na ccm hakuna mwenye guts za kuwakoromea mafisadi
huu ni mwaka wa laana kwa ccm
na soffy lion unamweka wapi
siasa kweli siyo mchezo
ingelikuwa yawezekana nigelifurahi sana kumuona muadilifu na mstaarabu wa kweli judge kisanga anachukua nafasi hiyo hata hivyo siamini kama atakubali hilo na hata kuchaguliwa ukitilia maanani ni ccm ndio wenye kuamua na kamwe hawawezi kujidanganya kumpa uspika asiye mmoja wao
kama kuna watakaorebel hawatazidi kumi na kama itakuwa kura ya wazi sidhani kuna hata mmoja atathubutu kufanya hivyo
tetesi hizo zinasema
sitta anaweza kupoozwa kwa kupewa uwaziri hata uwaziri mkuu
ama wizara ya utawala bora akapambane na ufisadi vizuri
nilikuwa na waza hivyo pialazima watampooza uwaziri mkuu au kijiwizara iliasifurukute na wapambe wake waone wanasauti pia
ila wakimtosa kabisa wanajichimbia kaburi wenyewe na kusaidia kambi ya upinzania tusubiri tuone
chama cha kijani kishajifia hicho tunasubiri tar ya mazishi tu
simba akilowana usidhani paka hii ni warning kwa wanaoidharau ccm na ujumbe kwa ccmngoma ivumayo sana hupasuka na wakristo husema hiviaonywaye mara nyingiakishupaza shingo atavunjika na asipate dawa
hili ni bunge la wapambanaji spika aliyeonyesha kwa vitendo kuwa ni mpambanaji huyo ndiye sijui huyu jaji ana sifa hizi siyo suala la kujua kufunga watu au kuhukumu watu kunyongwa kwangu mimi ni mwanamageuzi na mpambanaji mabere marando utaona kuona jina hili ulimwengu wa mafisadi unahema kwa hofu
walicho mfanya simba unafikiri watamkumbuka hata kwenye uwaziritena uwaziri ni demort kwa sitta
soffy lion yeye atafaa zaidi waziri asiyekuwa na wizara maalum
mnadhani uspika unapatikana kirahisirahisi hivyo hamna great thinker hapa
wakuu hilo sofia lion ni kweli na hisi kama ni kweli maana mkwere hatamaniki kabisa anaweza kumwaga upm kwa lion ngoja tusubiri kuona majimambo mwaka huu | 2018-01-22T11:18:13 | https://www.jamiiforums.com/threads/jaji-kisanga-kuwania-uspika-nccr-mageuzi-sitta-uwaziri.86680/ |
leo ndiyo leo kwa lema | hb mtetezi habari
home / chadema / mahakamani / siasa / leo ndiyo leo kwa lema
hb mtetezi 136 pm chadema mahakamani siasa edit
mahakama kuu leo inataraji kutoa uamuzi wa maombi ya dhamana ya mbunge wa arusha mjini godbless lema (chadema) baada ya pingamizi la jamhuri kuondolewa mahakama ya rufani jumatatu
wakati mahakama ya rufani ikiridhia kurudishwa kwa shauri hilo mahakama kuu mwenyekiti wa kopo la majaji watatu jaji benard luanda alisema walishangazwa na mbunge huyo kushikiliwa kwa miezi minne bila sababu za msingi
lema anashikiliwa tangu novemba 2 mwaka jana
jaji luanda pia alihoji kama ofisi ya dpp ina wanasheria mbali na luanda jopo hilo linakamilishwa na jaji stella mugasha na jaji kipenka mussa
wakili wa serikali faraja nchimbi ndiye aliomba mahakama kuiondoa rufani hiyo kwa vile hawakuwa wamepeleka kusudio la kukata rufani kwa msajili wa mahakama ya rufani kosa ambalo waliligundua ijumaa iliyopita baada ya saa za kazi za mahakama
rufani iliyoondolewa iliombwa na njau aliyepinga jaji dk modesta opiyo wa mahakama kuu kumwongezea lema muda wa siku 10 ili akate rufani ya kunyimwa dhamana nje ya muda
jaji luanda aliwaagiza mawakili wa lema kurudi mahakama kuu kuendelea na masuala ya dhamana
dhamira mbaya
mwenyekiti wa chadema freeman mbowe aliwaambia waandishi wa habari nje ya mahakama ya rufani jumatatu kuwa jamhuri ilikuwa ikifanya ucheleweshaji kwa dhamira mbaya dhidi ya lema
alisema chama hicho kimesikitishwa kwani lema yuko gerezani bila sababu za msingi kitendo kilichowafanya waichukie mahakama kuona inapewa maelekezo na serikali lakini kumbe ni mchezo wa ofisi ya dpp
leo mahakama imetufariji sana na kuturudishia imani yetu kwao kuwa ni chombo kilichosimama kwa miguu yake kama mhimili wake na haipokei maagizo ya serikali
lema alianza kukaa mahabusu novemba 2 mwaka jana baada ya kukamatwa katika viwanja vya bunge mjini dodoma na kusafirishwa kuletwa kituo kikuu cha polisi mkoa wa arusha
novemba 8 alifikishwa mahakama ya hakimu mkazi arusha mbele ya hakimu desderi kamugisha ambapo alisomewa shitaka la uchochezi dhidi ya rais john magufuli
hakimu kamugisha alikubali kutoa dhamana kwa lema kwa madai kuwa sheria haizuii kutoa haki hiyo kwa mshtakiwa wa kesi ya uchochezi lakini kabla ya kutamka masharti ya dhamana mawakili wa serikali paul kadushi na materius marandu walidai wana nia kukata rufani dhidi ya msimamo huo
kutokana na mawakili hao kusema hivyo hakimu aliamua kesi hiyo ibaki kama ilivyo huku mtuhumiwa akisubiri maamuzi ya rufani ya jamhuri katika mahakama kuu
jaji dk opiyo alipotupa rufani ya jamhuri na kumpa lema siku 10 zaidi ili akate rufani ya kupinga kupewa dhamana bila masharti ya dhamana kwa kuwa hoja hizo hazikuwa na mashiko mawakili wa serikali wakakata rufani mahakama ya rufani
tangu wakati huo lema ameendelea kukaa mahabusu katika gereza la kisongo | 2017-09-26T03:45:49 | http://hbmtetezi.blogspot.com/2017/03/leo-ndiyo-leo-kwa-lema.html |
the thomcom inc balaa tena bandari ya dar es salaam ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
you are here home habari za kitaifa habari za leo balaa tena bandari ya dar es salaam
balaa tena bandari ya dar es salaam
*wafanyakazi wagoma kudai nyongeza ya malipo
meli nne zikiwemo za mashirika ya misaada ya kimataifa kutoka mataifa mbalimbali duniani zilizosheheni mizigo zimekwama kwa siku ya tatu sasa katika bandari ya dar es salaam kutokana na vibarua wa kushusha mizigo bandarini hapo kugoma
washusha mizigo hao wamegoma kudai nyongeza ya malipo ya kazi zao ambao ni sh 5000 kwa siku kiwango wanachoeleza kuwa ni kidogo kilinganishwa na kazi wanayofanya na kuporomoka kwa thamani ya shingili ambako kumefanya kuwe na ugumu wa maisha
vibarua hao walionekana wakiwa wamejikusanya makundi makundi nje ya majengo katika ofisi za madalali wa makampuni yaliyopewa zabuni ya kushusha mizigo bandarini hapo huku wafanyabiashara mbalimbali wakiwemo wanaotoka nchi za nje wakiwa wanailalamikia serikali kutomaliza tatizo hilo
wakizungumza na gazeti hili jana baadhi ya vibarua hao walisema mgomo huo ulioanza desemba 4 utaendelea hadi hapo watakaporekebishiwa kiwango cha malipo kama wanavyodai kwa kuwa wamevumilia muda mrefu wakifuata taratibu zote bila mafanikio
akizungumza kwa niaba ya wafanyakazi wenzake mfanyakazi mmoja aliyejitambulisha kwa jina la bw ally wandu alisema wanataka kulipwa sh150 kwa kila mfuko wa kilo 50 unaoshushwa tofauti na sasa ambapo wanalipwa sh 30
alisema wamekuwa wakifanya kazi katika mazingira magumuna hatari huku wakilipwa sh 30 kwa mfuko wa kilo 50 na kwamba kiwango hicho ni kidogo mno na hakiwezi kukidhi mahitaji yao hasa kutokana na kupanda kwa gharama za maisha
bw wandu alisema wanapofuatilia madai yao kwa viongozi wa makampuni hayo yaliyopewa kazi ya kushusha mizigo bandarini wanaelezwa kuwa hiyo ndiyo bei waliopangiwa na mamlaka ya bandari hivyo hawawezi kuongeza kiwango hicho cha fedha
kila tukifuatilia kwa viongozi wa hayo makampuni ya udalali hudai kuwa kiwango cha sh 30 kimeamriwa na bandari hivyo hawawezi kuongeza na kwa wale wanaotaka kazi wafanye na wasiotaka waondoke alisema
alisema walipofuatilia zaidi kwa viongozi hao waliambiwa kwamba wanaongeza sh10 kwenye sh30 ya awali kiwango ambacho bado hakiwezi kuwasaidia chochote hivyo wakaamua kuingia katika mgomo usio na kikomo hadi watakaposikilizwa
walisema kuwa kutokana na mgomo huu ulioanza juzi walionana na baadhi ya maofisa wa bandari na kuelezwa kwamba wasubiri hadi januari mwakani mkurugenzi mkuu wa bandari atakaporudi kutoka nchini china
walisema mbali na kiwango kidogo cha ujira wanacholipwa pia wamekuwa wakifanyakazi katika mazingira magumu na hatarishi kutokana na kutokuwepo kwa vyoo na maji katika maeneo waliyotengewa
tunataka kuanzisha umoja wetu ambao utaingia mkataba kwa kuwa tumechoka kuonewa na kudhulumiwa haki zetu umefika wakati sasa kampuni hizo tano ziondolewe alisema mfanyakazi mwingine aliyejitambulisha kwa jina la paulo
mwandishi wa habari hizi alipofika makao makuu ya mamlaka ya bandari (tpa) kupata ufafanuzi kuhusu madai hayo ya wafanyakazi mmoja wa ofisa aliyeomba jina lake kutotajwa kwa madai kuwa si msemaji alisema yeye si msemaji hawahusiki na suala hilo
kuna makampuni ambayo yamepewa kazi hiyo ili kupata ukweli wa hilo fuatilia kwa viongozi wa makampuni hayo alisema ofisa huyo
hata hivyo mwandishi alipofuatilia kwenye ofisi za makampuni hayo nyingi zilikuwa zimefungwa huku chache zilizokuwa wazi alijibiwa kuwa | 2017-09-22T08:15:44 | http://assenga.blogspot.com/2011/12/balaa-tena-bandari-ya-dar-es-salaam.html |
imechapishwa 01/06/2020 1108
vikosi vya usalama vikitumia gesi ya machozi kutawanya umati wa waandamanaji nje ya ikulu ya white house washington mei 31 2020 reuters/jonathan ernst
machafuko katika miji kadhaa ya marekani ni ishara tosha ya kuongezeka kwa matatizo ya ubaguzi wa rangi na ghasia nchini humo msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya china zhao lijian ameviambia vyombo vya habari nchini china
kauli hii ya china inakuja wakati waandamanaji wanaopinga ubaguzi kwa mara nyingine tena wameingia mitaani katika miji nchini marekani siku ya jumapili kupaza sauti zao za hasiradhidi yaukatiliwapolisi
wakati viongozi wa maeneo mbali mbali wakitoa wito kwa raia kuonesha hasira zao kwa njia ya uadilifu kuhusiana na kifo cha mtu mmoja mweusi ambaye hakuwa na silaha amri ya kutotembea usiku iliwekwa katika miji kama los angeles houston na minneapolis ambayo imekuwa kitovu cha machafuko
maandamano yaliyokuwa yakiangaliwa kwa karibu zaidi yalitokea nje ya ofisi za serikali katika mji pacha wa minneapolis wa stpaul ambako maelfu kadhaa ya waandamanaji walijikusanya kabla ya kuandamana katika barabara kuu
ripoti ya uchunguzi ya west philadelphia imesema kuwa magari ya polisi pia yalichomwa moto
wakati huo huo utawala wa rais donald trump uliwaita wanaoongoza maandamano hayo yaliyofanyika katika usiku wa siku tano kuwa ni magaidi wa ndani
hayo yanajiri wakati wakili wa familia ya george floyd ambaye kifo chake kiliibua maandamano ya hasira kote nchini marekani amemshutumu afisa wa polisi kwa kupanga mauaji
tukio la floyd limeibua ghadhabu miongoni mwa wamarekani juu ya mauaji yanayotekelezwa na polisi dhidi ya watu weusi
hii inafuatia kesi maarufu ya mauaji ya michael brown mjini ferguson eric garner mjini new york na kesi nyingine zilizowasilishwa mahakamani na vuguvugu linalojulikana kama black lives matters | 2020-07-07T04:05:59 | http://www.rfi.fr/sw/amerika/20200601-kifo-cha-george-floyd-china-yalaani-ugonjwa-sugu-wa-ubaguzi-wa-rangi-marekani |
masolo ya biblia banda na bozalisi tii na mpela site ya internet ya batatoli ya yehova
likoló ná mabele eutá wapi moi sanza minzoto ná biloko nyonso oyo ezali na mabele ebimaki ndenge nini biblia epesi eyano ya solo elobi ete nzambe nde moto akelaki yango yango wana buku oyo ebandi na masolo oyo elobeli liboso mpenza ndenge nzambe asalaki biloko nyonso
bikelamu ya liboso oyo nzambe asalaki ezali baanzelu baanzelu bamonanaka te lokola nzambe nzambe asalaki mabele mpo na bato asalaki mwasi ná mobali ya liboso nkombo na bango adama ná eva mpe atyaki bango na paradiso kasi batosaki ye te mpe basengelaki lisusu kofanda wana te
banda nzambe asalaki mokili tii na mpela elekaki mbula nkóto moko na nkama motoba na ntuku mitano na motoba (1 656) na ntango yango bato mabe bakómaki mingi satana ná baanzelu mabe na ye bazalaki kuna na likoló kaina ná ebele ya bato mabe mosusu bazalaki awa na mabele kati na bato mabe yango tokoki kotánga bilombe ya makasi mingi kasi bato malamu mpe bazalaki abele enoka ná noa na eteni ya liboso ya buku oyo tokolobela bato yango mpe makambo oyo esalemaki na ntango wana
na eteni oyo | 2017-11-19T19:56:47 | https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/bible-stories/eteni-1-banda-na-bozalisi-tii-na-mpela/ |
burudan mwanzo mwisho mashindano ya tika cup 2013 yaanza kutimua vumbi juni 6 viwanja vya shujaa na kilakala makaburini moro
mshambuliaji wa timu ya soka ya kata ya kauzeni juma bangule kushoto akimiliki mpira dhidi ya mlinzi wa timu ya kata ya kongasufian dikongola wakati wa mashindano ya tika cup 2013 katika michezo picha jumamtandablogspotcom
mshambuliaji wa timu ya soka ya kata ya kauzeni omari kaeza (katikati) akiwatoka wachezaji wa kata ya kong | 2018-07-23T13:49:50 | http://burudan.blogspot.com/2013/06/mashindano-ya-tika-cup-2013-yaanza.html |
g4s and bhubesi pride bring rugby in africa tour 2013 to local tanzanian schools bongo5com
g4s and bhubesi pride bring rugby in africa tour 2013 to local tanzanian schools
bongo5 editor april 20 2013 344 pm
kampuni ya ulinzi ya g4s ikishirikiana na mradi wa kukuza mchezo wa rugby kwa nchi za afrikaleo wameendesha kliniki ya mafunzo kwa watotoa shule za msingi katika viwanja vya shule ya kimataifa tanganyika
kocha kutoka america akiwafundisha watoto jinsi ya kucheza rugby
kliniki hiyo iliongozwa baadhi ya wakufunzi kama ryan jones wa afrika kusini springboksjuan pablogullaume boisseauben illingworthjonathan markiwitz and mike googankatika kliniki hiyo watoto wa shule ya tanganyka international schoolmapambano na shekilango walijifuzwa ya awali ya mchezo huo kwa masaa mawili kabla ya kupewa ujuzi wa vitenndo kwa lisaa hilo moja katika maeneo ya kucheza salamakuzuia na matumizi ya maji na namna bora ya kucheza kitimu
g4s managing director in tanzania jaqui bothma akiongea na waandishi wa habari
akiongea na bongo5com mkurugenzi wa kampuni ya g4s ambao ndiyo wadhamini wakuu wa project hiyo alisema wao kama kampuni kubwa ya ulinzi wamejitolea kukuza mchezo huo kama sehemu ya kurudisha fadhila kwa jamii kwa miaka miwili wamekuwa wakidhamini na kusaidia programu mbalimbali ili kuakikisha mchezo huo unawajenga watoto kiafyaukakamavuna kujiamiani na pia unaweza usaidia kufufua vipaji ambavyo atuvijiui kama vipo kwaiyo kwakupitia kliniki hizi za mara kwa mara tutawasaidia watoto
wanafunzi wakicheza mchezo wa rugby
shule tatu ambazo zimepewa vikombe baada ya kuonyesha ushirikiano
janeth mahanga mwalimu wa shule ya shekilango akikabidhiwa zawadi ya kombe kwa ushirikiano wao
mwalimu wa mkuu wa kutengo cha mazoezi ya viungo wa tanganyika international school akikabidhiwa zawadi ya kombe kwa ushirikiano wao
mwalimu mkuu wa shule ya mapambano idda henry akikabidhiwa zawadi ya kombe kwa ushirikiano wao
makombe ambayo yameandaliwa kwaajili wa shule ya shekilangotanganyika international school na mapambano baada ya kuonyesha ushirikiano
kocha wa mpira wa rugby
mambo yakijadiliwa
kutoka kulia ni jonathan boucher regional hsse and risk dir africa akiongea na philipple poinsot dar coopards rugby cccb chairman
watoto wakipokea mafunzo kutoka kwa makocha
liverpool dhidi ya psg barcelona na psv huku inter vs spurs uefa champions league leo | 2018-09-19T11:57:24 | http://bongo5.com/g4s-and-bhubesi-pride-bring-rugby-in-africa-tour-2013-to-local-tanzanian-schools-04-2013/ |
michezo ya jumuiya ya madola rais kenyatta aagiza wanamichezo wote wanaokwenda australia wote wawe wamelipwa stahili zao zote itakapofika saa saba mchana leo china radio international
michezo ya jumuiya ya madola rais kenyatta aagiza wanamichezo wote wanaokwenda australia wote wawe wamelipwa stahili zao zote itakapofika saa saba mchana leo
(gmt+0800) 20180328 104458
rais uhuru kenyatta amemwagiza waziri wa michezo rashid echesa kuhakikisha zoezi la kuwalipa stahili zao zote wanamichezo wa kenya wanaokwenda kushiriki mashindano ya jumuiya ya madola nchini australia linakamilika mapema leo kabla ya saa saba mchana kwa saa za afrika mashariki
pia rais kenyatta ameiagiza wizara ya michezo kufanya mapitio ili kubaini madai na malimbikizo ya malipo ya michezo na stahili za wanamichezo nchi nzima ya tangu mwaka 2002 na kuhakikisha yote yanalipwa
akizungumza na wanamichezo wanaokwenda australia rais amewapongeza kutokana na juhudi zao kubwa na amewataka kuendeleza moyo wa uzalendo kuipigania nchi yao kwa nguvu kupitia michezo akisema serikali itatimiza wajibu wake kuwatunza tangu mwanzo hadi mwisho wa mashindano
lakini pia ametumia mkutano huo na wanamichezo hao kuwakumbusha viongozi wa vyama vyote vya kimichezo kutimiza wajibu wao ili taifa liendelee kukua katika viwango vya dunia | 2019-04-21T01:13:54 | http://swahili.cri.cn/141/2018/03/28/1s173118.htm |
membe afungasha wanasiasa waliotia fora mwaka 2018 mwananchi
membe afungasha wanasiasa waliotia fora mwaka 2018
mkuu wa mkoa wa tabora agrey mwanri naye ametoa fora kutokana na utendaji wake lakini kubwa zaidi ni kauli zake za kusisitiza jambo zilizoonekana kama vichekezo lakini akiwa akionyesha umakini wa kufuatilia mambo
hata hivyo mzozo huo uliokuwa pia ukipinga mabadiliko ya sheria ya korosho yalikwisha kwa sheria hiyo kubadilishwa huku rais magufuli akiwaonya wabunge 17 wa mikoa ya kusini
kwa upande wake nape akionyesha kunywea katika suala hilo aliandika kwenye ukurasa wake wa twitter akiwataka wananchi kuiunga mkono serikali katika sheria mpya export levy halafu baada ya msimu huu wa zao la korosho kupita itathaminiwa tena ili kuona mafanikio na changamoto zake
hata hivyo nape ameonyesha kuguswa na hatua ya serikali ya kununua korosho akipinga njia zinazotumika akisema hazitamaliza njia haramu za ununuzi maarufu kama kangomba
membe aibuka upya
hivi karibuni ccm imeingia katika vita mpya dhidi ya wagombea urais wa mwaka 2015 baada ya katibu wake mkuu dk bashiru ally kumtuhumu hadharani bernard membe kuwa anakwamisha mikakati ya urais 2020
awali membe aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika utawala wa awamu ya nne alikuwa kimya huku ccm ikielekeza nguvu zake upinzani
akihutubia mkutano mkuu wa ccm mkoani geita hivi karibuni dk bashiru alisema membe anatuhumiwa kuandaa mipango ya kumkwamisha magufuli katika uchaguzi wa rais na kwamba tangu ateuliwe hajawahi kuonana naye
baada ya wito huo kulisambaa ujumbe katika mitandao ya kijamii ulioandikwa na mtu aliyejiita bernard membe akisema yuko tayari kumwona
mzozo huo uliendelea kushika kasi ukiwahusisha viongozi wastaafu wa chama hicho akiwemo spika mstaafu pius msekwa aliyemkosoa dk bashiru huku katibu mkuu mstaafu wa ccm yusuf makamba akimuunga mkono dk bashiru
ester bulaya na kikokotoo
baada ya mamlaka ya usimamizi wa mifuko ya hifadhi ya jamii (ssra) kutangaza utekelezaji wa kanuni za sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii mbunge wa bunda mjini ester bulaya (chadema) amesema anakusudia kuwasilisha muswada binafsi bungeni kupinga matumizi ya vikokotoo vya pensheni kwa madai kuwa vinamnyonya mfanyakazi
harakati za bulaya zilitiwa nguvu na pongezi kutoka spika wa bunge job ndugai akimsifia bulaya kwa kuibua hoja hiyo pia vyama vya wafanyakazi vimeunga mkono hoja ya mbunge huyo
mbunge wa kibamba (chadema) john mnyika ameumaliza mwaka 2018 kishujaa baada ya kumwambia rais john magufuli kuwa licha ya kupiga marufuku watu kusema vyuma vimekaza ukweli ni kuwa vyuma vimekaza
mnyika aliyasema hayo desemba 19 2018 katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la upanuzi wa barabara ya morogoro jijini dar es salaam eneo la kimara stop over alipopewa nafasi ya kusalimia
pia aliitaka serikali kuwalipa fidia wananchi waliokuwa wanaishi kando ya barabara hiyo ambao nyumba na maeneo yao ya biashara yalibomolewa huku akimtaka rais magufuli kuondoa vikwazo vya demokrasia nchini | 2019-02-22T15:39:10 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/Membe-afungasha-wanasiasa-waliotia-fora-mwaka-2018/1597592-4910548-firquqz/index.html |
salewa city softshell lite jacket salewa snowcap wp après ski black / pagoda women´s shoes salewa fleece jacket attractive design
home >> salewa >> women´s shoes >> aprèsski >> salewa snowcap wp après ski black / pagoda women´s shoessalewa salemultiple colors
salewa snowcap wp après ski black / pagoda women´s shoessalewa salemultiple colors
salewa goretex jackets salewa women´s shoes aprèsski salewa snowcap wp après ski black / pagoda women´s shoessalewa salemultiple colors salewa phantom jacketgenuine | 2018-04-26T11:12:25 | http://www.dicelessgames.com/salewa-snowcap-wp-apr%C3%83%C2%A8s-ski-black-pagoda-womens-shoessalewa-salemultiple-colors-p-1561.html |
mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha ufundi trade peramiho wilayani songea grayson maselin (23) amejeruhiwa na mwanafunzi mwenzake mosses ngole (23) kwa kuchomwa kisu shingoni baada ya kummwagia maji machafu siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwake (birthday)
ngole mwanafunzi wa mwaka wa nne katika chuo hicho anadaiwa kumchoma kisu shingoni mwanafunzi mwenzake huyo na kumsababishia jeraha na kuvuja damu nyingi kwenye sherehe hiyo
kamanda wa polisi mkoa wa ruvuma simon maigwa alidai tukio hilo lilitokea jumatano majira ya saa saba mchana katika chuo hicho
alidai kuwa siku ya tukio ngole alikuwa analazimishwa kumwagiwa maji na kupakwa matope na wanafunzi wenzake ndipo alipopandisha hasira na kufikia uamuzi wa kumchoma kisu mwanafunzi mwenzake huyo
kamanda maigwa alidai mtuhumiwa anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumjeruhi mwanafunzi mwenzake ambaye kwa sasa amelazwa hospitali ya kanisa peramiho | 2020-07-11T01:59:52 | https://www.ippmedia.com/sw/node/71383 |
kamati za bunge zaendelea na vikao vyao jijini dodoma mtaa kwa mtaa blog
home habari kamati za bunge zaendelea na vikao vyao jijini dodoma
kamati za bunge zaendelea na vikao vyao jijini dodoma
mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu selemani moshi kakoso akifafanua jambo mbele ya kamati hiyo ilipokutana na shirika la reli nchini trc hii leo jijini dodoma na kupokea taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa reli ya mpya ya kiwango cha kimataifa (sgr)
wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu wakimsikiliza mwenyekiti wa kamati hiyo selemani moshi kakoso ilyokutana na shirika la reli nchini trc hii leo jijini dodoma na kupokea taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa reli ya mpya ya kiwango cha kimataifa (sgr)
waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano injinia isack aloyce kamwelwe akifafanua jambo mbele ya kamati ya bunge ya miundombinu ilipokutana na shirika la reli nchini trc hii leo jijini dodoma na kupokea taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa reli ya mpya ya kiwango cha kimataifa (sgr)
mwenyekiti wa kamati ya ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje ulinzi na usalama mussa azan zungu akifuatilia uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa kwa mwaka wa fedha 2017/2018 iliyowasilishwa na meja jenerali a bahati mbele ya kamati bungeni jijini dodoma
waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa hussein alli mwinyi na katibu mkuu wa wizara hiyo dkt florens turuka wakiwa mbele ya kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje ulinzi na usalama wakati wizara hiyo ilipoenda kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa kwa mwaka wa fedha 2017/2018 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2018/2019
wajumbe wa kamati ya ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje ulinzi na usalama na watendaji wa wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa wakifatilia uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa kwa mwaka wa fedha 2017/2018 iliyowasilishwa na meja jenerali a bahati mbele ya kamati bungeni jijini dodoma | 2019-04-22T13:11:38 | https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/10/kamati-za-bunge-zaendelea-na-vikao-vyao.html |
news about uhuru kenyatta crying | read all 33 related news on tuko ▷ tukocoke
made in kenya latest politics entertainment swahili livescore submit video fighting alshabaab uhuru kenyatta crying after exchanging tough words with uhuru raila blatantly refuses to share podium with the president
after exchanging tough words with uhuru raila blatantly refuses to share podium with the president raila is more dangerous for kenya than uhuru and ruto jubilee mps claim
ruto akashifiwa baada ya 'kumtusi' raila na viongozi wengine wa cord (video)
a son of one of kenya's veteran politician is said to be angling for a big seat in murang'a and his entry in to the county's politics has caused panic
mwanamume ameshangaza ulimwengu kwa kumuoa nyoka kwa sababu anaamini marehemu mchumbake amejitokeza kupitia umbo la mnyama huyo pata uhondo kamili tukocoke
mwakilishi wa wanawake kuhukumiwa kifo kwa kumtusi rais uhuru kenyatta
mwakilishi wa wanawake katika kaunti ya machakos anakabiliwa na shtaka la mauaji kwa kumtusi rais uhuru kenyatta susan anaweza kuhukumiwa kifo kwa kosa hilo
ulius muia has been appointed as the director general of kenya vision 2030 by president uhuru kenyatta
he will serve in the docket for a period of three yr
uhuru kenyatta aombwa kuingilia kati ili kusaidia kumtafuta mwanamuziki aliyepotea
familia a mwanamuziki maarufu aliyetoweka miaka kumi iliyopita imemwomba rais uhuru kuingilia kati na kuwasaidia kujua aliko mpendwa wao czars alipotea 2006 uhuru kenyatta aombwa kuingilia kati ili kusaidia kumtafuta mwanamuziki aliyepotea
raila odinga and hassan joho cord and jubilee william ruto weeps uhuru kenyatta challenge election date set for 2017 mashujaa day kdf military strength identity of the hot luo girl that uhuru's son got married to martha karua presidential ambitions 2017 mohamed ali and raila odinga raila odinga branded matatu uhuru approves david maraga's nomination uhuru kenyatta's birth uhuru kenyatta's campaign team jaguar and uhuru machakos politics raila and uhuru mwangi wa iria case state house youth summit widow of kapenguria police station advertise with us tags categories social | 2016-12-05T08:26:55 | https://tuko.co.ke/tag/uhuru-kenyatta-crying.html |
push mobile yaingia mkataba na kajunason blog kuwapa habari wananchi kwa njia ya simu za mkononi kupitia sms ~ machellah blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
push mobile yaingia mkataba na kajunason blog kuwapa habari wananchi kwa njia ya simu za mkononi kupitia sms
mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya push mobile limited bw freddie manento akibadirishana mkataba na mkurungenzi wa kajunason blog bw cathbert angelo kajuna mara baada ya kajunason blog kuingia mkataba na push mobile kuwawezesha wasomaji mtandao huu kupata habari kupitia simu zao za mkononi
ambapo mkurugenzi wa kampuni ya push mobile alisema kuwa wanafurahishwa na kajunason blog kuingia katika mfumo wa kuwapa habari wasomaji wake kwa njia ya simu za mkononi kajunason blog ni mtandao wa kwanza kuingia katika mfumo huu wa kurusha habari kupitia simu za mkononi alisema
kwa upande wake mkurugenzi wa kajunason blog alitoa shukrani zake kwa kampuni hiyo na kuihakikishia kufanya kazi nao bega kwa bega ili kuweza kufikia malengo pia aliwaomba wasomaji kumuunga mkono kwa kujisajili ili wafaidike na huduma hiyo kwa kutuma neno kb kwenda 15678
mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya push mobile limited bw freddie manento akisaini mkataba wa makubaliano huku pembeni mkurungenzi wa kajunason blog bw cathbert angelo kajuna akishuhudia mkataba huo umesaini ofisi za push mobile jiji dar es salaam
mkurungenzi wa kajunason blog bw cathbert angelo kajuna akisaini mkataba wa makubaliano na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya push mobile limited freddie manento ambapo kajunason blog kuingia mkataba na push mobile kuwawezesha wasomaji mtandao huu kupata habari kutipia simu zao za mkononi | 2018-03-19T02:57:12 | http://machellah.blogspot.com/2012/10/push-mobile-yaingia-mkataba-na_18.html |
harakati katika mji wa chake chake pemba zanzinews
home habari matukio harakati katika mji wa chake chake pemba
harakati katika mji wa chake chake pemba
wananchi wa mitaa ya mji wa chakechake kisiwani wa pemba wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao katika marikiti kuu ya chakechake na baadhi ya wafanyabiashara ya samaki hufanya biashara hiyo katika eneo la kuingia na kutokea gari za abiria katika marikiti hiyo na kuwa kero kwa madereva wakati wa kutoka baada ya kupakia abiri kuaza safari zao | 2018-08-14T21:05:25 | http://www.zanzinews.com/2017/11/harakati-katika-mji-wa-chake-chake-pemba.html |
ombi la rais magufuli kwa kampuni ya ujenzi njombe latekelezwa | mpekuzi
ombi la rais magufuli kwa kampuni ya ujenzi njombe latekelezwa
naamiri kilagalilanjombe
kampuni ya ujenzi wa barabara ya kichina china henan international cooperation group co ltd (chico) inayotekeleza mradi wa barabara wa km 539 njombemoronga kuelekea wilayani makete mkoani njombe
imeanza utekelezaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa pamoja na bwalo moja la chakula katika shule ya msingi ramadhani mjini njombe kutokana na ombi la rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania aliloomba wakati wa ziara yake april 10 mkoani hapo mara baada ya rais magufuli kuombwa na wanafunzi wa shule hiyo wakati akiweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya njombemakete
waziri wa ujenzi elias kwandikwa amefika na kukagua shughuli zinazoendelea katika ujenzi huo na kumshukuru mkandarasi kwa utekelezaji huo
kwanza nimshukuru sana mheshimiwa rais alivyoweza kulisukuma jambo hili na hatimaye tumepata huu mradi lakini pia na hawa wenzetu wa chico kwa haraka wameanza utekelezaji kwa kweli mimi ninashukuru sanaalisema kwandikwa
lusekelo kijalo ni injinia wa kampuni hiyo amesema ujenzi wa majengo hayo unategemewa kukamilika kabla ya mwezi mmoja na nusu kuisha huku ujenzi huo ukigharimu karibu milioni 240 pindi utakapokamilika
mwalimu mkuu wa shule hiyo ephrahim sanga amesema mradi huo ni mkubwa katika shule hiyo kwa kuwa ina wanafunzi 1552 na kupelekea kuwa na uhaba wa vyumba vya madarasa
mimi hapa nina wanafunzi 1552 wavulana 648 na wasichana 604 vyumba vyetu vya madarasa ni vichache sana havitosheleziingawa tulikuwa na mpango wa kujenga shule nyingine mpya lakini mhrais ametutangulia kwa kweli tunashukuru tukaona tuanzie hapa ili tuweze kuigawa shule pawe na mikondo miwiliamesema mwlsanga | 2020-08-10T19:36:22 | https://www.mpekuzihuru.com/2019/07/ombi-la-rais-magufuli-kwa-kampuni-ya.html |
hazina ya maswali >قرآن و امامت >دلایل اثبات امامت >the recognition of imams >elimu ya akida hazina ya maswali islamquest
nyumbani hazina ya maswali elimu ya akida the recognition of imams دلایل اثبات امامت قرآن و امامت
maneno yote kama ibara ilivyo kila neno(maneno yaliyo ainishwa tu) kila neno(pamoja na minyambuko yake) hali kwa sasa timuقرآن و امامت ► maudhui zote qurani پیامبران hadithi elimu ya akida falsafa tabia irfani fiqhi tarehe nyendendo judgments مبانی شیعه اندیشه های امام خمینی (ره) مفاهیم قرآنی ولایت فقیه و حکومت اسلامی عرفان و اخلاق logic and philosophy know more arabic grammar kipindi chote msaa 24 yaliopiti wiki moja iliyopita wiki mbili zilizopita wiki tatu zilizopita mwezi mmoja uliopita miezi miwili iliyopita miezi sita iliyopita
2623 اشتراک در دین 2015/06/02
274 tabia kimatendo 2019/06/16
4396 گوناگون 2012/05/23
10794 تقوی 2012/05/23
1279 sheria na hukumu 2017/05/22
444 2019/01/23
324 حبط و تکفیر 2019/06/15 | 2019-12-12T22:40:32 | http://www.islamquest.ir/sw/archive/category/1488 |
mtoto wa kitaa kajala arudi uraiani amwaga chozi baada ya kukutana na lulu
posted by salum suleiman lyeme at 1057 am | 2017-08-20T02:11:58 | http://mtotowakitaa.blogspot.com/2013/03/kajala-arudi-uraiani-amwaga-chozi-baada.html |
taa za juu zilizopigwa taa ya post ya lampu iliyopangwa imewekwa juu ya wazalishaji na wauzaji nchini china
maelezotaa za juu zilizopigwalamp post juuiliyopigwa post post fixturesjalada la mchana ya jumapili
home > bidhaa > taa za juu za chapisho > taa za juu za posta za led
makundi ya bidhaa ya taa za juu za posta za led sisi ni wazalishaji maalumu kutoka china taa za juu zilizopigwa lamp post juu wauzaji / kiwanda jumla ya bidhaa za juu ya r & d iliyopigwa post post fixtures na viwanda tuna huduma kamili baada ya mauzo na msaada wa kiufundi anatarajia ushirikiano wako
50w garden light post 65000lm 4000k wasiliana sasa
50w taa za bustani zilizopachikwa 6500lm wasiliana sasa
vipuli vya nje vya bustani inayoongozwa na 30w 39000lm wasiliana sasa
vipimo vya 30w bustani nyepesi florida dubai 5000k wasiliana sasa
mapitio ya mwanga wa 50w bustani 240v 5000k wasiliana sasa
30w bustani za mwangaza baada ya bustani kwenye mwangaza wasiliana sasa
mwanga wa bustani na sensor ya motion kwa uuzaji 50w wasiliana sasa
30w bustani za pole mwanga zizi 3900lm wasiliana sasa
mawazo ya mwanga wa bustani ya 30w 39000lm 5000k wasiliana sasa
etl dlc imesababisha taa ya juu 30w wasiliana sasa
mwanga wa juu juu ya mwanga 30w kwa bwawa la kuogelea wasiliana sasa
150w mwanga wadi wa bustani wasiliana sasa
5000k 277vac 150w led circular area mwanga wasiliana sasa
taa za nje za nje za juu 150w wasiliana sasa
sehemu ya lima ya 150w post taa za juu wasiliana sasa
50w 6500lm led mwanga wa kuoga wasiliana sasa
100w imesababisha mwanga juu ya bwawa la kuogelea wasiliana sasa
ubora wa dlc high 100w ulisababisha mstari wa juu wasiliana sasa
daywhite 5000k 100w iliongoza eneo la juu la mwanga wasiliana sasa
pole iliyotoa 100w led post eneo la juu la juu wasiliana sasa
ip65 75w baada ya taa za juu za bustani wasiliana sasa
ufungaji 1pcs/ctn
50w taa za bustani zilizopachikwa 6500lm
taa zetu za 50w taa ya lima amazon kuweka mlima inasaidia kufaa 2 3/8inch od tenon & 3 inch pole mbali na hilo mapambo haya ya taa ya taa kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu 200w zenye urefu wa chuma
vipuli vya nje vya bustani inayoongozwa na 30w 39000lm
mwangaza wetu wa 30w taa ya bustani ya ndani kuweka mlima inasaidia kufaa 2 3/8inch od tenon & 3 inch pole mbali na hilo matumizi ya taa za nje zinazoongoza kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu za taa
vipimo vya 30w bustani nyepesi florida dubai 5000k
kituo chetu cha bustani cha taa cha 30w florida mwanga florida kinasaidia kifafa 2 3/8inch od tenon na 3 inchi pole mbali na hilo dubai ya bustani hii kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu za taa za urefu wa
mapitio ya mwanga wa 50w bustani 240v 5000k
50w bustani yetu nyepesi ebay kuweka mlima inasaidia kufaa 2 3/8inch od tenon & 3 inch pole mbali na hilo uhakiki wa mwanga wa bustani hii kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu 200w zenye urefu wa chuma
30w bustani za mwangaza baada ya bustani kwenye mwangaza
balbu zetu za kubadilisha nafasi ya kubwa kwa 30w kwa bustani zinafaa kuweka 2 3/8inch od tenon & 3 inch pole mbali na hilo mwanga huu wa bustani kwenye pole kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu za taa
mwanga wa bustani na sensor ya motion kwa uuzaji 50w
sensor yetu ya 50w ya mwangaza wa bustani kuweka mlima inasaidia kufaa 2 3/8inch od tenon & 3 inch pole mbali na hilo mwanga huu wa bustani unauzwa kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu 200w zenye urefu
30w bustani za pole mwanga zizi 3900lm
taa yetu ya 30w bustani taa za amazon inasaidia kuweka 2 3/8inch od tenon na 3 inch pole mbali na hilo pole mwanga wa bustani kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu za taa za urefu wa 100w kuokoa hadi 90 ya
mawazo ya mwanga wa bustani ya 30w 39000lm 5000k
jumba letu la nyumba ya nyumba ya bustani ya 30w taa nyepesi inasaidia 2 3/8inch od tenon & 3 inch pole mbali na hilo bustani hii nyepesi ya atlanta kusaidia pembejeo ya sasa ya voltage ya 100100277v ikilinganishwa na balbu za taa za urefu
etl dlc imesababisha taa ya juu 30w
etl dlc imesababisha taa ya juu 30w 1 dw 30w baada ya mwanga kuokoa nishati kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha mwanga wa juu wa 30w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare hakuna mwanga wa strobe
mwanga wa juu juu ya mwanga 30w kwa bwawa la kuogelea
mwanga wa juu juu ya mwanga 30w kwa bwawa la kuogelea 1 30w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuhifadhi mazingira ya kirafiki hakuna mionzi ya uv au ir 2 umesababisha pole eneo la juu mwanga kupambana na mshtuko kupambana na unyevu
150w mwanga wadi wa bustani
150w mwanga wadi wa bustani 1 15 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuhifadhi mazingira ya kirafiki hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha eneo la juu la 150w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare hakuna mwanga wa
5000k 277vac 150w led circular area mwanga
5000k 277vac 150w led circular area mwanga 1 15 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuhifadhi mazingira ya kirafiki hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha eneo la juu la 150w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare
taa za nje za nje za juu 150w
taa za nje za nje za juu 150w 1 15 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuhifadhi mazingira ya kirafiki hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha eneo la juu la 150w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare hakuna mwanga wa
sehemu ya lima ya 150w post taa za juu
sehemu ya lima ya 150w post taa za juu 1 15 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuhifadhi mazingira ya kirafiki hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha eneo la juu la 150w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare hakuna
50w 6500lm led mwanga wa kuoga
50w 6500lm led mwanga wa kuoga 1 led mwanga wa kuoga mwanga 50w 6500lm kuokoa nishati kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 led mwanga 6500lm pwani ya kuogelea kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare hakuna mwanga
100w imesababisha mwanga juu ya bwawa la kuogelea
100w imesababisha mwanga juu ya bwawa la kuogelea 1 10 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuokoa kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha eneo la juu la 100w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare
ubora wa dlc high 100w ulisababisha mstari wa juu
ubora wa dlc high 100w ulisababisha mstari wa juu 1 10 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuokoa kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 imesababisha eneo la juu la 100w kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare
daywhite 5000k 100w iliongoza eneo la juu la mwanga
daywhite 5000k 100w iliongoza eneo la juu la mwanga 1 10 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuokoa kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 umesababisha eneo la pole mwanga kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna
pole iliyotoa 100w led post eneo la juu la juu
pole iliyotoa 100w led post eneo la juu la juu 1 10 0w imesababisha post juu mwanga nishati ya kuokoa kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 umesababisha eneo la pole mwanga kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare
ip65 75w baada ya taa za juu za bustani
ip65 75w baada ya taa za juu za bustani vipengele 1 imesababisha post top pole mwanga nishati ya kuokoa kirafiki wa mazingira hakuna mionzi ya uv au ir 2 umesababisha eneo la pole mwanga kupambana na mshtuko kupambana na unyevu hakuna glare
china taa za juu za posta za led wauzaji
taa za juu za posta za led pia mtaa wa dlc iliyoandikwa30w 50w 75w 100 watt ip65 post juu ni bollard retrofit led circular street mwanga 5000k 130 lumen kwa watt (100300w hid / hps / mh / cfl replacement) mchana 120 sehemu ya usambazaji wa degree mwanga wa backway taa ya chapisho la juu linahifadhi nishati 80 zaidi ikilinganishwa na rasilimali za taa za jadihizi nzuri za led post bora za mipango ni bora kwa mitambo mpyausaidizi wetu mpya unaongozwa na taa za juu hufanya bustani yako iwe ya pekee ni maeneo ya mvua vumbi na uthibitisho wa bug ip65 imepimwa kwa masaa 50000 na dhamana ya miaka 5
taa za juu zilizopigwa lamp post juu iliyopigwa post post fixtures jalada la mchana ya jumapili taa za muda zilizopigwa | 2019-12-09T08:50:36 | https://www.chinabbier.com/sw/led-post-top-lights-1502870/ |
home > bidhaa > taa ya nje ya customizable (jumla ya 24 bidhaa kwa taa ya nje ya customizable)
taa ya nje ya customizable mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
sisi ni maalumu taa ya nje ya customizable wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka china ya jumla taa ya nje ya customizable na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu mojawapo ya taa ya nje ya customizable bidhaa za kuongoza kutoka china zhejiang fizz new energy coltd
taa ya nje ya customizable jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa taa ya nje ya customizable jumla kwenye zhejiang fizz new energy coltd na kupata ubora wa juu taa ya nje ya customizable moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china taa ya nje ya customizable na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka | 2020-06-06T08:29:13 | http://sw.ywfizz.com/dp-taa-ya-nje-ya-customizable.html |
ujumbe toka muhunda mila na tamaduni watanzania ni wakarimu (sehemu ya pili)
mila na tamaduni watanzania ni wakarimu (sehemu ya pili)
jiunge nami kwenye sehemu ya pili ya msafara huu
agosti 2
tulitembelea makazi ya kwanza walipofikia wakristu wa kwanza kutua kwenye kisiwa cha ukerewe zaidi ya miaka 100 iliyopita hakuna maelezo mengi sana kuhusu eneo hili ila simulizi za mauaji yaliyofanyika hapo dhidi ya baadhi ya wageni hao na mtawala wa eneo hilo wa wakati huo ni eneo ambalo liko kwenye kilima chenye mwinuko mkubwa unaowezesha kuona umbali mkubwa juu ya ziwa viktoria mwenyeji wangu aliniambia kuwa nyakati ambapo hakuna ukungu yawezekana kuona ndege zikipaa na kutua kwenye uwanja wa ndege wa mwanza
ukerewe ni kisiwa chenye mandhari za kuvutia na visiwa vingi vinavyokizunguka upande wa kulia wa picha kinaonekana kisiwa cha bwiru
baada ya hapo tulitembelea eneo la ufukweni wa ziwa ambapo mjasiria mali mmoja wa nansio makao makuu ya wilaya ya ukerewe anajenga hoteli itakayozingatia utunzwaji wa mazingira wa eneo hilo
taarifa ijayo watanzania ni watu wakarimu
posted by madaraka at 404 pm | 2018-05-23T11:00:48 | http://muhunda.blogspot.com/2014/09/mila-na-tamaduni-watanzania-ni-wakarimu.html |
topic kuanzisha ngo msaada tutani
24th july 2012 2012
last edited by makole 25th july 2012 at 1034
24th july 2012 2140
re kuanzisha ngo msaada tutani
24th july 2012 2257
25th july 2012 0723
25th july 2012 1051
unachotakiwa kufanya ni kuandaa katiba ambapo mtaonyesha na muundo wa ngo yenu majina ya viongozi waweka saini ambao lazima ionekane wamepitishwa na vikao halali vya wanachama wa hiyo ngo kwa sasa ngos zote zinaratibiwa na wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto na watkupa muongozo wa jinsi ya kuandaa katiba ni vyem ukajitahidi kutembelea website yao utapata muongozo na muundo wa katiba unaotakiwa katiba yenu lazima ipitishwe na wakili mtaenda kuilipia then mtawasilisha katiba na risiti kwa mratibu wa ngo pale wizara ya jinsia ambapo mtapewa cheti cha usajili baada ya hapo kazi kwenu
last edited by ndyoko 25th july 2012 at 1116
25th july 2012 1858
26th july 2012 0015
26th july 2012 0720
27th july 2012 1038
29th july 2012 2218
kilimo kwanza sweet potatoes | 2013-05-21T19:57:07 | http://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/297317-kuanzisha-ngo-msaada-tutani.html |
marka 2 | bibele eka web site leyi | vuhundzuluxeri bya misava leyintshwa
marka 2128
2 hambiswiritano endzhaku ka masikunyana a tlhela a nghena ekapernawume kutani ku vikiwa leswaku u kona ekaya+
2 hikwalaho ku hlengeletana vunyingi lerova ku nga ha vi na ndhawu hambi ku ri enyangweni hiloko a sungula ku va byela rito+
3 kutani vanhu va nwi tisela munhu la omeke swirho a tlakuriwe hi vanhu va mune+
4 kambe loko va tsandzeke ku nwi yisa eka yesu hi ku kongoma hikwalaho ka ntshungu hiloko va hahlula lwangu ehenhla ka laha a a ri kona kutani loko va cele mbhovo va nembeleta rihlaka leri munhu la omeke swirho a a etlele+ eka rona
5 loko yesu a vona ripfumelo+ ra vona a ku eka munhu la omeke swirho nwananga swidyoho swa wena swi rivaleriwile+
6 a ku ri ni vatsari vanwana kwalaho va tshamile naswona va kanela etimbilwini ta vona+
7 ha yini munhu loyi a vulavula hi mukhuva lowu wa sandza i mani la nga rivalelaka swidyoho handle ka unwe ku nga xikwembu+
8 kambe yesu loko hi ku hatlisa a swi xiyile hi moya wa yena leswaku va anakanya hi ndlela yoleyo a ku eka vona ha yini mi anakanya swilo leswi etimbilwini ta nwina+
9 i yini lexi olovaka swinene xana i ku byela munhu la omeke swirho u ku swidyoho swa wena swi rivaleriwile kumbe i ku vula u ku pfuka u teka rihlaka ra wena u famba+
10 kambe ku endlela leswaku mi swi tiva leswaku nwana wa munhu+ u ni mfanelo yo rivalela swidyoho emisaveni+a byela munhu la omeke swirho a ku
11 ndzi ri eka wena pfuka teka rihlaka ra wena u muka+
12 hi ku landza sweswo a pfuka kutani a teka rihlaka rakwe hi ku hatlisa a huma emahlweni ka vona hinkwavo+ lerova hinkwavo ka vona a va tikhome tinhlaya kutani va vangamisa xikwembu va ku a hi si tshama hi swi vona swo fana na swona+
13 nakambe a huma a ya etlhelo ka lwandle kutani ntshungu hinkwawo wu hambeta wu ya eka yena kutani a sungula ku wu dyondzisa
14 kuteloko a hundza a vona levhi+ nwana wa alfiya a tshame ehofisini ya xibalo hiloko a ku eka yena vana mulandzeri wa mina kutani a suka a yima a nwi landzela+
15 endzhaku a ya vurhama etafuleni endlwini yakwe naswona valuvisi+ vo tala ni vadyohi a va vurhame na yesu ni vadyondzisiwa vakwe hikuva a va tele naswona a va sungula ku nwi landzela+
16 kambe vatsari va vafarisi loko va vona leswaku a a dya ni vadyohi ni valuvisi va ku eka vadyondzisiwa vakwe xana yena u dyela yini ni valuvisi ni vadyohi+
17 loko yesu a twa leswi a ku eka vona lava tiyeke a va lavi nanga kambe yi laviwa hi lava vabyaka ndzi tele ku ta vitana vadyohi+ ku nga ri vanhu lava lulameke
18 kutani vadyondzisiwa va yohane swinwe ni vafarisi a va hanya hi ku titsona swakudya hiloko va ta va ku eka yena ha yini vadyondzisiwa va yohane ni vadyondzisiwa va vafarisi va hanya hi ku titsona swakudya kambe vadyondzisiwa va wena a va hanyi hi ku titsona swakudya+
19 kutani yesu a ku eka vona vanakulobye va muteki a va nge titsoni swakudya+ loko muteki a ha ri na vona a swi tano ke loko ntsena muteki a ha ri na vona a va nge titsoni swakudya+
20 kambe ma ta masiku lawa ha wona muteki a nga ta susiwa eka vona kutani va ta titsona swakudya esikwini rero+
21 a ku na munhu la rhungelelaka xitiva xa lapi lexi nga khwanyanangiki engubyeni ya le handle ya khale loko o xi rhungelela ntamu wa xona lowu teleke wu ta koka xitiva lexintshwa eka lexa khale naswona ku handzuka ku ta nyanya+
22 nakambe a ku na munhu la chelaka vhinyo leyintshwa emaguleni ya khale ya vhinyo loko o yi chela vhinyo yi ta boxa magula naswona vhinyo yi ta lova swinwe ni magula+ kambe vanhu va chela vhinyo leyintshwa emaguleni lamantshwa ya vhinyo+
23 loko a ri karhi a tsemakanya masimu ya swimila hi savata vadyondzisiwa vakwe va sungula ku hambuka va kha+ swichocho+
24 kutani vafarisi va ku eka yena vona laha ha yini va endla leswi nga pfumeleriwangiki hi savata+
25 kambe a ku eka vona xana a mi si tshama mi hlaya hi leswi davhida+ a nga swi endla loko a pfumarile kutani a twa ndlala yena ni vavanuna lava a va ri na yena+
26 ndlela leyi a ngheneke ha yona endlwini ya xikwembu emhakeni leyi khumbaka abiyatara+ muprista lonkulu kutani a dya swinkwa leswi nyikeriweke+ leswi ku nga pfumeleriwiki+ hambi ku ri mani ku swi dya handle ka vaprista swinwana a nyika vavanuna lava a va ri na yena+
27 kutani a ya emahlweni a ku eka vona savata yi ve kona hi mhaka ya munhu+ ku nga ri munhu hi mhaka ya savata+
28 hikwalaho nwana wa munhu nakambe i hosi ya yona savata+
https//wwwjworg/finderdocid=1011452&book=41&chapter=2&wtlocale=ts&srcid=share
mailtobody=hlaya bibele eka internet0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d101145226book3d4126chapter3d226wtlocale3dts26srcid=share⊂ject=hlaya bibele eka internet | 2016-12-11T09:14:59 | https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/bibele/bi12/tibuku/marka/2/ |
local news archive magic fm tanzania page 4
picha wasikilizaji wa magic fm manzese bhakhresa walivyoenjoy na busati lao
tunakuja mtaani kwako tazama video hapa chini
janga la moto dsm lateketeza ghala na shehena ya matairi
moto mkubwa umeteketeza ghala la matairi kwenye kampuni ya superdoll trailer manufacture iliyoko barabara ya nyerere wilayani temeke jijini dar es salaam na kusababisha hasara ambayo thamani yake bado haijafahamika aidha inaaminika kuwa shehena iliyokuwa imehifadhiwa katika ghala hilo imetekea kufuatia janga hilo channel ten []
mkasa wa vifo vya gongo kimara stop over mashuhuda wasimuliawazilaumu mamlaka husika na polisi
baadhi ya majirani na mashuhuda wa vifo vya mmojawapo ya watu waliofariki katika eneo la kimara stop overkinondonidar es salaam baada ya kunywa pombe haramu ya kienyeji aina ya gongoinayodaiwa kuchanganywa na kemikali kadhaa ikiwamo jiki na spiritikwa nia ya kuziongezea makali wameisimulia channnel tenmkasa []
ujenzi hospitali ya temeke dsm asilimia 80 ya jengo la kitengo dharura na upasuaji yakamilika
ujenzi wa jengo la kitengo cha huduma za dharura na upasuaji katika hospital ya temeke jijini dsm unaofadhiliwa na ubalozi wa japan kwa gharama ya shilingi millioni 323 umekamilika kwa asilimia 80 huku changamoto ikiwa ni ya vifaa vya kisasa kwa ajili ya utoaji huduma []
miili inayoopolewa baharini jeshi la polisi launda timu ya wataalam kuchunguza
mkuu wa jeshi la polisi nchini igp simon sirro amesema kuwa jeshi la polisi nchini limeunda timu ya wataalamu kupeleleza na kuchunguza miili ya watu inayoopolewa baharini siku za hivi karibuni ambayo imezua gumzo miongoni mwa wananchi jeshi hilo pia limewataka watu waliopotelewa na ndugu []
taasisi ya elimu pamoja na bodi ya mikopo waziri ndalichako azitaka kushughulikia taarifa za uchunguzi
baraza la taasisi ya elimu tanzania tet limetakiwa kuhakikisha linawachukulia hatua wahusika wote wa sakata la uandishi mbovu wa vitabu na watumishi ambao hawana sifa kuwemo katika taasisi hiyo pamoja na kuhakikisha vitabu vilivyokuwa na makosa vinarekebishwa ili viweze kutoka agizo hilo limetolewa jijini dar []
uzinduzi wa makumbusho ya olduvai george kuvutia watalii wengi na wanasayansi wa mambo ya kale
makamu wa rais mama samia suluhu hassan amezindua rasmi makumbusho ya olduvai gorge katika hifadhi ya ngorongoro eneo pekee duniani ambapo inapatikana historia ya muda mrefu ya chimbuko la binadamu na hivyo kuwa moja ya kivutio kikubwa cha watalii nchini akizungumza katika uzinduzi huo ulieonda []
rais dkt john pombe magufuli amezitaka halmashauri nchini kuendelea kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato
rais dkt john pombe magufuli amezitaka halmashauri nchini kuendelea kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato na ubadhirifu watumishi wa sio waadilifu katika halmashauri zao huku akizipa changamoto ya kubuni mbinu za kuongeza mapato ili kuwaletea maendeleo wananchi akifungua mkutano mkuu wa 33 wa jumuiya ya []
sakata la mwekezaji stendi ya makumbusho serikali yamuamuru kulipa deni la milioni 79 ndani ya mwezi mmoja
serikali wilaya ya kinondoniimetoa mwezi moja kwa mwekezaji wa stend ya makumbushodar es salaam pamoja na jengo la ghorofa lilopo katika stend hiyo kulipa shilingi milioni 79 ambazo anadaiwa na manispaa ya kinondoni ama la akishindwa manispaa isitishe mkataba wake alioukiuka mkuu wa wilaya hiyo []
jkt watekeleza agizo la rais magufuli kuzindua kambi
mafunzo ya jeshi la kujenga taifa jkt kwa wananchi wakiwemo watumishi wa umma wanafunzi na viongozi wa kisiasa yameendelea kutoa mchango mkubwa katika kujenga na kusimamia nidhamu utii na uzalendo katika taifa hususan makundi hayo yanapopata nafasi na dhamana ya kulitumikia taifa katika nyanja za [] | 2020-07-10T02:27:08 | http://www.magicfm.co.tz/category/local-news/page/4/ |
the thomcom inc igp asafisha vigogo uwanja wa ndege
igp asafisha vigogo uwanja wa ndege
idadi ya watu waliosoma habari hii siku chache baada ya kuibuliwa kwa kashfa ya kupitishwa kiholela kwa dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (jnia) jeshi la polisi limemwondoa kamanda wa polisi wa viwanja vya ndege kamishna msaidizi (acp) deusdedit kato pamoja na mkuu wake wa upelelezi david mwafwimbo
mbali ya maofisa hao pia jeshi hilo limemwondoa kamanda wa polisi mkoa wa mtwara kamishna msaidizi wa polisi (acp) linus sinzumwa naye ikiwa ni miezi michache baada ya kutokea kwa ghasia wakati baadhi ya wakazi wa huko walipokuwa wakipinga mpango wa serikali wa ujenzi wa bomba la gesi kwenda dar es salaam
nafasi ya kamanda sinzumwa imechukuliwa na kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi (sacp) zelothe stephen kutoka makao makuu ya polisi
taarifa iliyotolewa jana na msemaji wa jeshi la polisi advera senso ilisema mkuu wa jeshi hilo inspekta jenerali (igp) said mwema amemteua acp selemani hamisi kuchukua nafasi ya kato ambaye anahamishiwa makao makuu ya jeshi hilo kabla ya uteuzi huo kamanda hamisi alikuwa makao makuu idara ya upelelezi
igp mwema pia amemteua mrakibu mwandamizi wa polisi (ssp) hamad hamad kuchukua nafasi ya mwafwimbo aliyehamishiwa mkoani lindi kuwa mkuu wa polisi wa wilaya ya lindi (ocd)
taarifa hiyo ya polisi ilisema uhamisho huo ni wa kawaida kwa mujibu wa kanuni taratibu na miongozo yake hata hivyo katika siku za karibuni kumekuwa na malalamiko mengi kuwa vyombo vya usalama katika uwanja huo vimeshindwa kudhibiti biashara hiyo na matokeo yake tanzania imechafuka katika medani ya kimataifa kutokana na idadi kubwa ya vijana wake kukamatwa sehemu mbalimbali duniani
matukio ya karibuni yanahusisha kukamatwa kwa wasanii agnes masongange na melisa edward waliokamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa oliver tambo johannesburg afrika kusini
kutokana na kashfa hiyo waziri wa uchukuzi dk harrison mwakyembe aliamua kulivalia njuga suala hilo na kuchukua hatua kadhaa na pia alifichua jinsi wasichana hao walivyosaidiwa kupitisha dawa hizo na mtandao uliohusisha polisi maofisa usalama wa taifa na baadhi ya wafanyakazi wa jnia
sinzumwa anaondoka mtwara baada ya ghasia kubwa zilizozuka mei mwaka huu wakati baadhi ya wakazi wa mtwara walipokuwa wakipinga gesi kutoka msimbati kusafirishwa kwa bomba hadi dar es salaam
katika ghasia hizo ambazo jeshi la wananchi tanzania (jwtz) liliingilia kati polisi walishutumiwa na wakazi wa huko kwa kutumia nguvu kubwa na kuwasababishia madhara | 2017-07-27T06:43:16 | http://assenga.blogspot.com/2013/08/igp-asafisha-vigogo-uwanja-wa-ndege.html |
shiriki kutokomeza ugonjwa wa malaria kwa manufaa ya jamii ya wananchi wa mkoa wa kagera
imewekwa april 26th 2017 mkoa wa kagera waadhimisha siku ya malaria duniani kwa kuhamasisha wananchi wa halmashauri ya wilaya ya missenyi  kushiriki katika kupunguza kiwango kikubwa cha ugonjwa wa malaria hasa kwa watoto
mkoa wa kagera wazindua rasmi vitambulisho vya taifa kwa waatumishi wa umma
imewekwa april 26th 2017 hatimaye mkoa wa kagera wazindua rasmi vitambulisho vya taifa  kwa watumishi 22771 ambao ni sawa na asilimia 98 ya watumishi wote wa mkoa walioandikishwa na nida  kama awamu ya kwanza ya u
operesheni ondoa mifugo kagera yasonga mbele sasa ngombe wasakwa kwa ndege zisizokuwa na rubani kila pembe ya hifadhi
imewekwa april 8th 2017 operesheni ondoa mifugo kagera yasonga mbele sasa ngombe wasakwa kwa ndege zisizokuwa na rubani kila pembe ya hifadhi operesheni ondoa mifugo katika hifadhi za misitu na mapori ya akiba mkoani kag | 2020-04-05T06:44:31 | http://kagera.go.tz/news/62 |
heater plug (glow plug) peugeot tata sumo armada jeep commandor (hp423710) for mahindra tata armada jeep sumo | parts big boss
heater plug (glow plug) peugeot tata sumo armada jeep commandor (hp423710)
heater plug (hp423710)
heater plug (glow plug) peugeot tata sumo armada jeep commandor (hp423710) is available for purchase in increments of 1
vehicle model armada jeep sumo
hp423710/hp1742
armada jeep sumo | 2017-08-21T08:15:01 | http://www.partsbigboss.in/heater-plug-glow-plug-peugeot-tata-sumo-armada-jeep-commandor-hp-42-3710.html |
fifa yaifungulia nigeria rasmi bbc swahili
fifa yaifungulia nigeria rasmi
http//wwwbbccom/swahili/habari/2010/10/101031_nigeria_yafunguliwa
fifa imeiondoa rasmi marufuku iliyoiwekea nigeria baada ya kesi mahakamani dhidi ya maafisa wa shirikisho la soka kufutwa
image caption fifa yaifungulia nigeria
shirikisho la soka la nigeria (nff) lilifungiwa wiki tatu zilizopita kwa sababu mbalimbali ikiwemo kuingiliwa kisiasa na serikali
marufuku hiyo awali iliondolewa siku chache baadae ambapo nigeria iliruhusiwa kucheza mechi ya kufuzu mashindano ya kuania kombe la mataifa ya afrika dhidi ya guinea | 2018-03-23T10:37:05 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/10/101031_nigeria_yafunguliwa |
discussion in 'utambulisho (member intro forum)' started by major mkandala mar 7 2010
hongeren kwa umoja wenu
najua ipo siku nchi itabadilika
kwa umoja huu
siku gani hiyo
siku gani hiyoclick to expand
haina jina wala muda fl1ila ipo siko nayo yaja
haina jina wala muda fl1ila ipo siko nayo yajaclick to expand
life cycle ya mbongo ni miaka50 eeh
am not sure km ntaiona iyo cku wait how many yrs i have left in ma basket let me count them12 thats y th song 'young forever' makes me cry niusikilizapo
mkuu wangu major mkandala
mtumaini bwana kwa moyo wako wote wala usitegemee akili zako mwenyewe katika njia zako zote umkiri yeye naye atanyosha mapito yako (mithali 356) | 2017-01-23T23:15:58 | https://www.jamiiforums.com/threads/hello.55238/ |
happy valentines day while in bagamoyo nuru the light
happy valentines day while in bagamoyo
posted on 13 february 2020 14 february 2020 by nuru the light
barua ya uhuru/freedom letter
mtumwa wa mwisho
moving on to next location in bagamoyo
kama utaenda tanzania au huwa unaenda tanzania na hata mnaokaa tanzania basi nendeni bagamoyo kwenye tour za sehem tofauti za kihistoria kwani mtajifunza mengi sana kuhusu nchi na waliotutawalanilifurahi kuwa nilipata guide mzuri sanaa ambaye aliweza nielimisha kuhusu mengi
bagamoyo has so much history and heritage to a point that it hurtsi highly recommend it for whomever whos visiting to pay bagamoyo a visit while in tanzania
tagged bagamoyo catholic church in bagamoyo fort in bagamoyo market in bagamoyo
← one of those la familia day
and then she arrived →
4 thoughts on happy valentines day while in bagamoyo
happy valentines day shogareeeee ❤❤ asante sana kwa ushauri asante pia kwa picha hakika tanzania ni nchi nzuri na yenye historia ya karne na karne
happy valentine ni kweli kuna historia nzuri love ur simplicity
14 february 2020 at 0529
ahsante dear kwa kutuwekea picha za historia na umenihamasisha nami naplan niende
nnendeni na kwa mzaliwa it is so cheap imagine hapo ilikuwa buku mbili kwa mzaliwa na elf kumi au zaidi kwa wagenikuna vitu vingi sana vya kuona na pia kujifunzai highly recommend it na tour guide mnaweza kunegotiate nae bei | 2020-02-25T21:18:37 | https://blog.nuruthelite.com/52620-2/ |
jinsi ya kucheza file wito kurekodi (mp4) ispyoo ispyoo mkono kupeleleza app best ufuatiliaji maombi kwa gps tracking mahali kiini simu kupeleleza app android kupeleleza appkupeleleza whatsapp
jinsi ya kucheza file wito kurekodi (mp4) ispyoo | 2017-11-19T04:46:34 | http://ispyoo.com/sw/play-file-call-recording-mp4-ispyoo/ |
tutapendaje jirani wetu ambaye ni muisilamu gospel translations swahili
tutapendaje jirani wetu ambaye ni muisilamu
english how shall we love our muslim neighbor
by john piper about world religions
kuna majibu mengi kwa swali hili vile ilivyo njia nyingi ya kutenda wema badala ya maovu upendo hautendi maovu kwa jirani (warumi 1310) upendo huvumilia kila kitu huamini kila kitu hutumaini kila kitu huvumilia kila kitu (wakorintho 134) haya ni vitu ambavyo kwangu vyaonekana vinastahili kutiliwa mkazo katika nyakati zetu
[jambo jipya kusema tupende maadui yetu haijakusudiwa kumaanisha kuwa waisilamu wote wanahisi ama wanatenda mambo kwa njia ya kiadui kwa wakristo la hasha mara nyingi ni wakarimu na wanajali jambo ni kwamba hata kama mtu anatuchukua kwa njia ya kiadui (haijalishi ni wa dini ama si wa dini) inatupasa tuendele kupenda
maelezo mengine yahitajika katika hali yetu ya sasa ninaposema kuwa upendo unatihimiza kutenda wema katika njia zinazoonekana ya kukimu mahitaji yetu ya kimwili si maanishi kuwa usaidizi huu upeanwe tu wakati muislamu amekuwa mkristo upendo wa kudhihirika ni ushuhuda wa upendo wa kristo mshuhuda hafichwi pahali anahitajika zaidi gumzo ambazo zimeshurutishwa kwa nguvu ama kwa fedha zinaenda kinyume na umbile wa imani iokoayo imani iokoayo ni kuukumbatia yesu kama mwokozi wetu bwana wetu na hazina kuu kwa hiari sio njia ya hazina yeye ni hazina]
1 waombe baraka zote kutoka kwa kristo hata kama wanakupenda ama hawakupendi
luka 628 wabarikini wale wanaowalaani waombeni wale wanao watendea mabaya
warumi 1214 wabarikini wale wanaowatesa barikini na msiwalaani
i wakorintho 412 tunapolaani tunabariki
2 watende wema kwa njia zinazoonekana ambazo zinatimiza mahitaji yao ya kimwili
luka 627 wapendeni adui zenu watendeni wema wanaowachukia
luka 631 watendeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi
i wathesolanika 515 angalieni kuwa mtu asilipe uovu kwa uovu bali siku zote tufuateni kutendeana mema
warumi 1220 adui yako akiwa na njaa mpe chakula akiwa na kiu mnyweshe maana ukifanya hivyo utampaalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake
3 usilipize uovu kwa uovu ukiwa umetendewa mabaya
i petero 39 msilipe uovu kwa uovu au jeuri kwa ujeuri bali barikini kwa maana hili ndilo mliloiitiwa ili mpate kuridhi baraka
warumi1217 19 msilipe mtu yeyote ovu kwa ovu wapendwa msilipize kisasi bali ipisheni ghadhabu ya mungu maana imeandikwa kisasi ni juu yangu mimi nitalipa asema bwana
4 kaeni nao kwa amani ikiwezekana kwa kuwa inakutegemea wewe
warumi 1218 kama inawezekana kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote
5 watafutie furaha ya uhuru kutoka kwa dhambi na hukumu kwa kuwaambia ukweli wa kristo
yohana 83132 kisha yesu akawaambia wale wayahudi waliomwamini kama mkihudumu katika maneno yangu mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru
6 kwa hakika tamani kuwa wajiunge nawe mbinguni kwa baba kuwaonyesha njia yaani kristo yesu
warumi 101 ndugu zangu shauku ya moyo wangu kwao ni kwamba waokolewe
yohana 146 yesu akawaambia mimi ndimi njia na kweli na uzima mtu hawezi kuja kwa baba isipokuwa kwa kupitia kwangu
yohana 316 yeyote amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele
7 tafuta kufahamu yale wanayoyasema ndipo unayokubali ama kukaripia yanatokana na kuelewa kwa kweli sio mkanganyiko ama picha tatanishi
i wakorintho 316 upendo haufurahii mabaya bali hufurahia pamoja na kweli
8 wakanye kwa machozi kuwa wale ambao hawatapokea kristo yesu kama mwokozi aliyekufa na kufufuka ambaye anaondoa dhambi za ulimwengu wataangamia kwa ghadhabu za mungu
yohana112 bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa mungu walioamini jina lake
warumi 109 kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba yesu ni bwana na kuamini moyoni mwako kwamba mungu alimfufua kutoka kwa wafu utaokoka
wafilipi 318 kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla nami sasa nasema tena hata kwa machozi watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa kristo
9 usiwaelekeze kwa njia mbaya ama kuwapa tumaini lisilo la kweli kwa kusema waisilamu wanamwabudu mungu wa kweli
neno hili linaonyesha karibu kila mtu taswira sahihi ya moyo wa muisilamu ujuao upendao na kumcha mungu wa kweli lakini yesu anafanya jibu la kibinafsi ya mtu mwenyewe kama jaribio la uhakika wa mtu katika kumcha mungu na yeye ni wazi kuwa mtu akimkataa kama mtauwa apeanaya maisha yake kama fidia kwa ajili ya dhambi na amefufuka tenahuyo mtu hajui wala kupenda ama kumcha mungu wa kweli
yohana 819 ndipo wakamuuliza [yesu] huyo baba yako yuko wapi yesu akawajibu ninyi hamnifahamu mimi ni nani wala hamfahamu baba yangu kama mngenifahamu mimi mngefahamu na baba yangu
yohana 523 ili wote wamheshimu mwana kama vile wanavyomheshimu baba yeyote asiyemheshimu mwana hamheshimu aliyemtuma
yohana 54243 [yesu akasema] lakini mnajua kwamba hamna upendo wa mungu mioyoni mwenu mimi nimekuja kwa jina la baba yangu nanyi hamnipokei
upendo hautaelekeza waisilamu ama wale wanaowajali kwa njia mbaya kwa kusema kuwa wanamjua ama kumcha na kumpenda mungu wa kweli kama hawatampokea yesu vile alivyo hatuwezi kuiona mioyo ya watu tunajuaje kama wanamjua na kumcha mungu wa kweli tunaweka chini uhai wetu ili kuwapa yesu wakimpokea wanajua na kupenda na kumcha mungu wasipompokea yesu naye mungu pia hawajampokea yesu ndiye jawabu
hilo ndilo hoja katika neno la yesu katika luka 1016 yeye amkataaye mimi amkataa yeye aliyenituma na katika mathayo 1040 yeyote atakaye nipokea mimi atakuwa amepokea yeye aliyenituma na katika yohana 546 kama mngelimwamini musa mngeliniamini mimi
kitu cha kupendeza ambacho tunaweza kuwafanyia waisilamu ama mtu yeyote yule ni kuwaambia ukweli kamili kuhusu yesu kwa njia ya tunzo la kidhabihu kwao na kuwa tayari kuteseka kwa ajili yao badala ya kuwaacha na halafu kuwasihi kuacha kuabudu isiyo faida (mariko 77) na kuupokea kristo kama mwokozi aliyesulubishwa na kufufuka kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao na tumaini ya uzima wa milele hii ingekuwa furaha yetu kuukuwa na ndugu na dada kutoka kwa waisilamu ulimwenguni
rudishwa kutoka http//swgospeltranslationsorg/wiki/tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_muisilamu3f | 2018-07-18T12:43:18 | http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F |
matukio @ michuzi blog rc ndikilo aonya amcoswatu wanaoshawishi wakulima wa korosho kukataa mfumo wa stakabadhi ghalani
rc ndikilo aonya amcoswatu wanaoshawishi wakulima wa korosho kukataa mfumo wa stakabadhi ghalani
serikali mkoani pwani imetoa onyo kwa watu ama vyama vya msingi vya ushirika (amcos ) wanaoshawishi wakulima kukataa mfumo wa stakabadhi ghalani pamoja na kupeleka korosho kwenye maghala makubwa na badala yake wanawarubuni kuuza kwa mtindo wa kangomba
aidha umetoa wito kwa wadau mbalimbali kujenga ghala la kibiti ili yaweze kupewa leseni ya kutumika katika msimu ujao wa ukusanyaji na ununuzi wa korosho akifungua mkutano wa wadau wa zao la kibiashara la korosho wilayani mkuranga mkuu wa mkoa huo mhandisi evarist ndikilo alisema yeyote aliyejipanga kukataa mfumo huo ni mhujumu uchumi na biashara hiyo haikubaliki
alisema kuwa na maghala machache ni mpango wa serikali hivyo hawatakuwa na nafasi ya kutumia maghala ya vichochoroni ambayo yameshasababisha changamoto nyingi msimu uliopita tunazijua amcos ambazo zilitutia doa tuwajua majina na mipango wanayoyafanya nawataadhalisha kabisa hatutaki tuharibu sifa yetu tena tutamnyakua mmoja baada ya mmoja
ndikilo pia alikemea baadhi ya wanunuzi wa korosho waache kuhujumu uchumi kwa kushinda minada kisha kushindwa kulipia kwa wakati na makubaliano ya mkataba na kuanzia sasa hawatawachekea wanunuzi wa aina hiyomsimu huu unaokuja hatutaki utani tumechoka kuwa kichwa cha wendawazimu kila mmoja anufaike mnunuzi na mkulima bila kumyanyasa mkulima alibainisha
alielezea tangu wameanza kutumia mfumo huo msimu wa mwaka 2015/2016 waliuza tani 8800 mwaka 2016/2017 tani 13300 na msimu wa 2017/2018 tani 20650 hivyo kila msimu umekwenda ukiongezeka kwa uzalishaji
kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa bei nayo imepanda mwaka hadi mwaka kwa mwaka 2015/2016 ilikuwa sh2900 kwa kilo ya korosho kwa daraja la kwanzaambapo 2017/2018 korosho daraja hilo iliuzwa kwa sh 3800 na kuongeza mapato ndikilo alifafanua haikuwa rahisi kufikia malengo hayo kwani wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya maghala madogoyasiyo na ubora na kuathirika kwa ubora wa korosho katika msimu uliopita na uhaba wa magunia
hata hivyo alitaka magunia ya mkoa yasiangukie kwa watu asiowaaminifu ili kuendelea kulinda korosho ya mkoa huo awali meneja uratibu huduma kutoka bodi ya usimamizi wa stakabadhi za maghala temu fidelis alisema kuna maghala mawili yaliyosajiliwa likiwemo la mkuranga ambalo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi tani 15000 za korosho na litahifadhi korosho za wakulima kutoka mkuranga mafia kibiti rufiji
alitaja ghala jingine ni la tanita wilayani kibaha ambalo litahifadhi tani 5000 za korosho kutoka kibaha kisarawe bagamoyo na chalinze na maghala hayo yataendeshwa na mwendesha ghala katibu tawala msaidizi uchumi na uzalishaji shangwe twamala aliwasihi wakulima wa mkoa wa pwani wasirudi nyuma ili kupata manufaa
nae kaimu naibu mrajis uthibiti kutoka tume ya maendeleo ya ushirika tanzania collins nyakunga alibainisha mwaka jana walifanya uchunguzi na kubaini kuna uhuni unafanywa na baadhi ya amcos ikiwemo kufanya ubabaishaji na kusababisha hasara
alisema chama cha ushirika kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria na mtendaji anaajiriwa kama mwajiri mwingine na ukiona unashindwa kutekeleza majukumu yako acha kazi nafasi hiyo apewe mwingine
mkuu wa mkoa wa pwani mhandisi evarist ndikilo akifungua mkutano wa wadau wa zao la kibiashara la korosho wilayani mkuranga
baadhi ya washiriki kwenye mkutano wa wadau wa zao la kibiashara la korosho wilayani mkuranga mkoani pwani (picha na mwamvua mwinyi )
kaimu naibu mrajis uthibiti kutoka tume ya maendeleo ya ushirika tanzania collins nyakunga akitolea ufafanuzi jambo wakati wa mkutano wa wadau wa zao la kibiashara la korosho wilayani mkuranga mkoani pwani
katibu tawala msaidizi uchumi na uzalishaji shangwe twamala akizungumza jambo katika mkutano wa wadau wa zao la kibiashara la korosho wilayani mkuranga mkoani pwani(picha na mwamvua mwinyi | 2020-07-03T11:40:17 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/10/rc-ndikilo-aonya-amcoswatu.html |
kenya bbc swahili
akatwa mikono kwa 'kukosa kushika mimba' kenya
mwanamume mmoja nchini kenya amedaiwa kumkata mikono yote miwili mkewe wa miaka saba kwa kutumia kisu kikubwa kwa kushindwa kumzalia watoto
soma taarifa kwa kina akatwa mikono kwa 'kukosa kushika mimba' kenya
soma taarifa kwa kina rio2016 jewayajua majukumu mengine ya wanariadha wa kenya
wanamuziki maarufu nchini kenya sauti sol wanaamini tatizo linaloendelea nchini kenya ambapo shule zimekuwa zikichomwa linaweza kwisha endapo mfumo wa elimu utabadilika na kuanza kuweka mkazo katika masuala mengine ya maisha
soma taarifa kwa kina sauti sol waomba mfumo wa elimu kenya kubadilishwa
miss world kenya apokonywa taji lake
aliyekuwa mshindi wa tuzo la miss world kenya 2016 roshanara ebrahim amepokonywa taji lake baada ya kukumbwa na sakata
soma taarifa kwa kina miss world kenya apokonywa taji lake
rio2016 wanariadha wakimbizi wafanya mazoezi kenya
wanariadha wakimbizi kutoka kote duniani wamekuwa wakifanya mazoezi kwa bidii lengo kuu kushiriki katika michezo ya olympic chini ya bendera ya kamati ya kimataifa ya olimpiki
soma taarifa kwa kina rio2016 wanariadha wakimbizi wafanya mazoezi kenya
biskuti za samaki dawa ya utapiamlo afrika
biskuti za samaki huenda ikawa hazikuvutii lakini biskuti hizi huenda zikawa ndio suluhu ya baadhi ya matatizo makubwa zaidi ya utapiamlo barani afrika
soma taarifa kwa kina biskuti za samaki dawa ya utapiamlo afrika
alshabab washambulia mtambo wa mawasiliano kenya
washukiwa wa kundi la alshabaab mapema leo alhamisi wameshambulia na kulipua mtambo wa mawasiliano lafey eneo la mandera kenya
soma taarifa kwa kina alshabab washambulia mtambo wa mawasiliano kenya
mchezo wa maeneo yenye theluji washika kasi kenya
kenya inafahamika sana kwa riadha lakini karibuni utashuhudia timu ya kenya ya mchezo wa kuteleza kwenye theluji katika mashindano makubwa 27 julai 2016
soma taarifa kwa kina mchezo wa maeneo yenye theluji washika kasi kenya
shule zaidi zateteketezwa na moto kenya
shule nane za sekondari nchini kenya zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo katika maeneo tofauti nchini humo
soma taarifa kwa kina shule zaidi zateteketezwa na moto kenya
bwana trump ameiambia new york times kuwa hatua ya bwana sessions haijakuwa nzuri kwa urais
mwana wa simba cecil auwawa zimbabwe
ndege za kutoka saudi arabia hadi marekani zaondolewa marufuku ya laptopu
kasuku atamka maneno ya mwisho ya mwanamme aliyeuwawa na mkewe
madonna azuia mnada wa barua ya uhusiano wake na tupac shakur
aliyepuuza ujumbe apewa talaka taiwan
ed sheeran ashirikishwa game of thrones | 2017-07-20T23:31:43 | http://www.bbc.com/swahili/topics/kenya?page=007 |
riwaya sorry madam sehemu ya 105 ( mwisho ) | habari24
home » hadithi riwaya » riwaya sorry madam sehemu ya 105 ( mwisho )
riwaya sorry madam sehemu ya 105 ( mwisho )
written by bigie on sunday december 18 2016 | 110500 am
daktari akaingia haraka ndani ya chumba tulichopo kwa haraka akaanza kumuhudumia mama huku akiniomba niweze kutoka nje nimuache aifanye kazi yake kiufasaha nikatoka nje huku machozi yakinimwagika phidaya akanifwata kwa haraka baada ya kuniona ninatokwa na machozi mfululizo
baby kuna nini
mama anakufa
phidaya kwa haraka akaingia ndani ya chumba cha mama na kuufunga mlango shamsa akamchukua junio na kumpeleka nje kwani hakustahili kuendelea kushuhudia matukio yanayo endelelea kwa muda huu ukitegemea kwamba umri wake bado ni mdogo sana blanka naye akaanza kutokwa na machozi akanifwata na kunikumbatia
ohhh mungu saidia mama yetu apone kwa nini inakuwa ni hivi jamani
blanka alizungumza huku akiwa ameendelea kunikumbatia machozi yakimwagika tukaendelea kusubiri nje kwa muda mrefu pasipo phidaya wala doka angelina kutoka nje wasiwasi juu ya kifo cha mama ukazidi kunipanda mara kadhaa nilihitaji kwenda kuufungua mlango ili kutazama hali ya mama ila blanka alinizuia akiniomba niweze kuwapa muda walipo ndani kufanya wanacho kifanya kwa muda huu
baada ya masaa kama manne phidaya akawa wa kwanza kutoka ndani ya chumba huku jasho likimwagika usoni mwake
baby vipi
nilianza kumuuliza phidaya mara tu alipo simama mbele yetu akatutizama kwa sekunde kadhaa mimi na blanka kisha akashusha pumzi nyingi iliyo nizidisha kuchanganyikiwa
tumejitahidi kadri ya uwezo wetu katikakatika kumuokoa mama nanaana
kigugumizi cha phidaya kikaanza kunipa wasiwasi ulio nifanya na mimi kijasho chembaba kuanza kunimwagika usoni mwangu
nini mbona huzungumzi
hali ya mama si nzuri sana ila bado anapumua kwa kutumia mashine
anasumbuliwa na nini
mmmmm alipata mstuko ulio pelekea mapigo yake ya moyo kwenda kwa spidi kubwa iliyo mfanya awe katika hali kama ile ila kwa sasa amerudi katika hali yake ya kawaida
niliona phidaya akinichanganyia mada mara aniambie hali yake ni mbaya mara aniambie hali yake imerudi kama kawaida nikataka kuingia chumbani ila phidaya akanishika mkono
kwa sasa mama anabadilishwa nguo na angelina
nikamtazama phidaya machoni kwa kuhitaji kujua anacho kizungumza kina ukweli wowote ndani yake
blanka nenda kamuangalie mama
nilimuagiza blanka taratibu akapiga hatua za kuelekea chumbani kwa mama nikabaki na phidaya tukiwa tumetazamana usoni baada ya muda blanka akatoka akiwa ameongozana na dokta angelina
mama anaendelea vizuri kidogo
blanka alizungumza jambo lililo anza kunipa faraja kidogo moyoni mwangu ila angelina akaniambia siwezi kumuona mama kwa wakati huu kutokana amepumzika
hali ya mama ikaanza kurudi taratibu kadri ya siku zilivyo zidi kukatika afya ya mwili wake ikaanza kujijenga taratibu baada ya matunzo mazuri anayo pewa na dokta angelina pamoja na phidaya kumbukumbu taratibu zikaanza kumrejea na kuwatambua watu baadhi jambo lililo zidi kutufurahisha katika familia yetu alipo kaa sawa nikamuelezea mama mpango wote alio kuwa ameupanga sheila dhidi yake
kumbe yule mtoto alikuwa mshenzi kiasi kile eheeee
ndio mama hata yule fredy wamemuua wao
aiseee ila kama umesha waua hakuja haja tena ya kuwaadisia kwa maana hicho ndicho walicho vuna kwa yale mauovu waliyo yafanya
ni kweli mama
pia nisamehe eddy wangu kwa kuto kukusikiliza na kumuona mke wako hana maana kwangu nikidhani waarabu wote ni magaidi
hakuna haja mama ya kuniomba msamaha kwa maana mimi pia nimekukosea mengi
nikamkumbatia mama akiwa kitandani amelala ikawa ni moja ya ukurasa mwengine tulio uanza kimaisha kama mama na mwanaye phidaya akamuanzishia mama mazoezi ya kujifunza kutembea asubuhi na mapema pamoja na jioni kwani kutokana na kuparalaizi aliweza kupoteza uwezo wa kutembea na kuzungumza vizuri
ndni ya miezi nane mfululizo ya mazoezi pamoja na kupewa dawa za kuipa nguvu mifupa yake pamoja na mwili kwa ujumla mama akaanza kujimudu kutembea mwenyewe kwa kutimia fimbo maalumu inayo msaidia pale anapokuwa amechoka sana furaha ikazidi kuongezeka katika familia yetu huku mama akizidi kuipenda familia yangu hadi ikafikia hatua akaanza kutulazimisha mimi na phidaya tuweze kufunga ndoa mapema itakavyo wezekana
mama tutafunga tu ndoa
phidaya alizungumza huku akiwa amemshika mkono mama akimfanyisha mazoezi ya jioni ya kutembea tembea kuzunguka nyumba
sawa unajua mukikaa sana pasipo kufunga ndoa mutapata uvizu wa kufunga ndoa
ila mama tulikuwa tunakusubiria wewe upone ili nimuoe mke wangu mtarajiwa
ndio nimesha pona sasa unaona ninaweza hata kutembea mwenyewe ninakula mwenyewe
hahaaaaaa
mimi na phidaya tukacheka kwa jinsi mama alivyo kuwa akiruka ruka akiashiria kwamba amepona kabisa
mama angalia usije ukaanguka
siwezi kuanguka hembu niachie uone leo situmii fimbo kutembea nitatembea peke yangu
phidaya akamuachia mama na mimi nikaishika fimbo yake anayo itumia kuitembelea taratibu mama akaanza kupiga hatua za kutembea jambo lililo tushangaza sote kwani kutoka kitandani hadi leo anaweza kutembea mwenyewe ni kwa msaada wa mwenyezi mungu ndio umemfikisha hapa
munaona munaona naweza kutembea mwenyewe
kadri tulivyo zidi kwenda mbele ndivyo jinsi mama alivyo zidi kuongeza mwendo wa kutembea kwa haraka japo ule mwendo wake nilio kuwa nimeuzoea haujarudi bado
bibi
junio alimshangaa bibi yake baada ya kukutana naye akitembea mwenye kwani amesha zoea kumuona akitembea kwa msaada wa mtu pemben au fimbo yake ya kisasa inayo tumia umeme wa kuchaji
mama alimuambia mjukuu wake wakaendelea kuongozana wakaanza kushindana kutembea kwa haraka mimi na phidaya tukabaki tukiwa tunawatazama
asante mungu wewe ni muweza wa kila jambo
phidaya alizungumza huku akimtazama mama anavyo cheza na mjukuu wake hapa ndipo nilipo amini kwamba usimdharau mtu usiye mjua kwa maana hujui atakuja kukusaidia katika lipi na endapo kama mama alivyo kuwa amemkataa phidaya sidhani kama leo hali yake inge tengemaa na kutembea mwenye kwa ni watu wachache sana wanao paralaizi na kurudi katika hali zao za kawaida
nikuoe lili mke wangu
hata leo hii
nikamkumbatia phidaya wangu mwanamke aliye weza kunisaidia katika kipindi changu chote cha maisha yangu hadi nimefikia hatua ya kubahatika kupata mtoto aliye zidi kuongeza furaha kwenye mioyo yetu tukaanza kupanga mipango ya harusi ambayo hatukuhitaji watu wengi wahudhurie kwani tunaifungia katika viwanja vya hapa nyumbani kwa mama na si kanisani kama wapendavyo watu wengi sana katika nchi hii ya tanzania
kabla hamujaingia kwenye ndoa mimi ninaombi moja tu
mama alizungumza mara baada ya kumaliza kikao cha mwisho cha harusi yetu kilicho hudhuriwa na marafiki wa chache wa mama wengi wao wakiwa ni wafanya kazi wa serikalini
ombi gani mama
nahitaji junio aishi kwangu
sawa mama hilo halina tatizo na wenyewe mumesha zoeana
phidaya alizungumza kwa furaha huku akimtazama maama usoni
baba mtu mbona hazungumzi
mama mimi kwenye hillo sina tabu tutamtafuta mdogo wake junio
huyo ndio atakuwa wa kwenu ila huyu ni wakwangu nataka amrithi baba yako
sote tuajikuta tukicheka kwani mama tangu apone amekuwa muongeaji sana junio mwenye tulipo mfikishia habari za kuhamia nyumbani kwa bibi yake moja kwa moja alifurahi sana kwani ni mara kadhaa alikuwa akikaa kwa bibi yake hata wiki mbili bila hata ya kurudi kwetu
kwahiyo dady mimi nitakua siji huku
utakuwa unakuja kusalimia pia sisi tutakuwa tunakuja huko
ila ukienda kwa bibi yako uli mtindo wako wa kuchungulia chungulia madirishani ukiwa gorofani siku utaanguka hilo bichwa lako livunjike
p usimuombee mtoto hivyo
huju mtoto wako asikii mkorofi kama nini na ukichukulia bibi yake atakavyo kuwa anamdekeza basi atazidi kuwa mkorofi
phidaya alizungumza huku akimtazama junio aliye jikausha baada ya kuambiwa hivyo na mama yake katika hali ya ukali sikutaka nimtetee sana junio kwani mama naye anapaswa kuchukua nafasi yake kama mama ikanilazimu kubadilisha mada
shamsa mwanangu wewe je unahitaji nini
mimi nahitaji kusomea udaktari kama mama hapa
ahaaa sasa inabidi tutafue vyuo vya udaktari ambavyo vinatoa elimu bora
unataka nje ya nchi au humu ndani ya nchi phidaya alimuuliza
nje ndio kwenye elimu bora
sawa tafuta tafuta chuo ambacho wale watu wako hawata weza kukudhuru wala kukufikia kiurahisi
shamsa akaaga na kwenda chumbani kwake naye junio akaaga na kwenda chumbani kwake tukabaki mimi na mke wangu mtaraijiwa phidaya nikamnyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia na kumbeba mke wangu na kwenda naye chumbani
leo mbona umenibeba muwe wangu
ninachukua mazoezi ya siku ya harusi yetu kwa maana kwa sasa umenenepa
mmmmm ndio unibebe jamani
phidaya akanivuta kitandani na kuanza kunipa haki ya tendo la ndoa linalo stahili sisi kuweza kulipata kama mmoja ya furaha katika mahusiano yetu
siku ya harusi ikawadia watu si chini ya thelathini wakawa wamehudhuria kwenye harusi yetu tuliyo ifanya nyumbani kwa mama yetu hatukuhitaji kwenda kanisani kuepuka maswala ya kigaidi kama yaliyo tokea kwenye harusi ya kwanza ya fredy na sheila hatua zote za ndoa zikaendeshwa na mchungaji kama vile anavyo ziongoza akiwa kanisani
ndio nimekubali na mungu anisaidie
phidaya alijibu swali la mchungaji alilo ulizwa kama yupo tayari kuishi na mimi milele hadi pale kifo kitakapo tutenganisha taratibu nikamvisha pete mbele ya mashahidi walio kuja kushuhudia tukio hili akiwemo raisi wa jamuhuri ya muungano wa tanzania muheshimiwa praygod makuya
eddy godwin je upo tayari kuishi na phidaya eddy kuwa mke wako kwenye shida na raha tabu na shinda hadi pale kifo kitakapo watenganisha
ilibidi phidaya achukue jina langu la eddy kwani jina la baba yake lilikuwa la kiarabu na siku zote hakulipenda jina la baba yake kutokana na matatizo yao ya kifamilia
ndio nimekubali na mungu anisaidie
phidaya akanivisha pete huku machozi ya furaha yakimwagika nikataka kumbusu ila mchungaji akatuzuia kwa kutumia ishara ya mkono
basi ninawatangaza ya kwamba eddy na phidaya mumekuwa mwili mmoja sasa bwana eddy unaruhusiwa kumbusu mke wako
baadhi ya waalikwa wakacheka kwa tukio hilo kwani nilimvuta kwa haraka phidaya na kumbeba na kuanza kumnyonya mdomo huku sote tukiwa tumefumba macho yetu na kuwaacha mapaparazi kupiga picha kwa tukio hilo
nikamuachia phidaya akawapa mgongo waalikwa na kulishika vizuri uwa lake alilo kuwa amelishika tangu anafika kwenye hii bustani ya maua tunapo fanyia shuhuli hii akalirusha na blanka akafanikiwa kulidaka ikiashiria kwamba katika familia hii blanka atafwatia kuolewa
sherehe ikaendelea kufanyika huku kila mtu akitupa pongezi ya kufunga ndoa muheshimiwa raisi akatufwata sehemu tulipo mimi na phidaya
hongera sana vijana
kuna kitu nahitaji nikupe kama zawadi
kitu gani muheshimiwa
nahitaji kukupa nafasi ya uwaziri wa ulinzi je utaimudu hiyo kazi
tukatazamana na phidaya ambaye akanikonyeza kwamba niweze kukubaliana na ombi hilo la muheshimiwa raisi
basi ukimaliza mapumziko ya harusi uje ofisini kwangu nikupe majukumu hayo rasmi kabla sijatengua baraza la mawaziri kutokana mama yako ameomba kustafu katika kuitumikia serikalini na yeye alikuwa ni waziri mkuu
sawa muheshimiwa raisi nimekuelewa asante sana
raisi akatupa mikono kisha akatuacha tukiendelea na kusheherekea
dady mom ninawapenda sana
junio alizungumza huku akiwa amesimama mbele yetu taratibu phidaya akachuchumaa na kumkumbatia mtoto wetu nami nikachuchumaa na kuwakumbatia wote kwa pamoja
tunakupenda pia mtoto wetu
ila dady mimi nataka kuanza shule
ohhhh basi mwaka ujao utaanza kusoma sawa mwanagu
phidaya akampiga busu junio upande wa kushoto kisha nami nikampiga junio shavu upande wa kulia mpiga picha akatuomba tunate hivyo hivyo kwenye pozi letu tukapiga picha ya tukio hilo
yeaaaahh
tukapiga picha nyingi tukliwa na mtoto wetu kama kumbukumbu ya maisha ya baadaya usiku wa siku hiyo hatukutaka makuu sana ya kwenda kusheherekea nje ya nchi tukepelekwa katika hoteli ya serena ambapo ilitupasa kukaa hapo wiki mbili kwa ajili ya kuanza ukurasa mpya wa maisha kama mume na mke
eddy unataka nini nikufanyie mume wangu
phidaya alimiuliza swali tukiwa kitandani mara baada ya kumaliza kuoga na kujitupia kitandani
nahitaji unipatie mtoto mwingine
basi njoo tumtengeneze mwengine kwani leo nipo katika siku hatari
ndio baba junio
phidaya akajigeuza na kunikalia mapajani mwangu na kunitazama kwa macho malegevu mkono wake mmoja akaupeleka kwenye swichi iliyopo pembeni ya kitanda na kuzima taa giza likatawala ndani ya chumba chetu na shuhuli ya kumtafuta mtoto mwengine ikaanza taratibu huku kila mmoja akifurahia utengenezaji wa mtoto wetu huyu mpya ambaye jina lake hatukulijua ataitwa nani
mwishooooo
==> kesho tutaanza riwaya nyingine mpya | 2019-03-19T15:37:41 | https://www.habari24.com/2016/12/riwaya-sorry-madam-sehemu-ya-105-mwisho.html |
btso haitoi kasi katika mafunzo ya urge | rayhaber | raillynews
nyumbaniturkeymkoa wa marmara16 bursabtso haina kukata kasi katika mafunzo ya urge
btso haina kukata kasi katika mafunzo ya urge
10 / 12 / 2017 16 bursa railway general turkey
bursa chama cha biashara na viwanda (bcci) biashara locomotive katika mji bursa wa uchumi wa uturuki kufanya kazi ili kuweza ushindani katika nyanja ya kimataifa inaendelea kwa kasi kamili btso inatoa michango muhimu kwa wanachama wake kupitia mafunzo ushauri kukuza ujumbe wa manunuzi ya ndani na mikutano ya biashara ya nchi mbili na miradi yake ya kimataifa ya ushindani (urge) kutekelezwa kwa msaada wa wizara ya uchumi na inawezesha mji kufikia nafasi yenye nguvu kwa kiwango cha kimataifa btso ambayo inaendesha mradi wa 10 urge wakati huo huo inaendeleza shughuli zake za mafunzo na ushauri kwa kikamilifu katika kipindi cha mwisho cha 3 kila mwezi btso imepanga shughuli za mafunzo na ushauri tofauti wa 15 na miradi yake ya urge katika maeneo ya nguo za watoto watoto kemia nafasi aviation na ulinzi mifumo ya reli nguo mashine chakula na makundi
mfano wa maombi
wizara ya uchumi kwa kati ya miradi urd nchini uturuki 'practices bora ya' mtoto na mavazi ya watoto umeonyesha kama urgee wigo uliofanyika katika wateja septemba 'uhusiano alijiunga 28 kampuni wawakilishi katika jumla ya mafunzo mazoezi ya utafiti wa soko mafunzo ya x yalihudhuriwa na 15 katika nguo ya uge ambayo inafanya kazi chini ya utambulisho wa ushirika wa burtex na mwakilishi wa kampuni ya 20 kutoka kwa food urge ambayo inafanya kazi chini ya utambulisho wa kampuni ya 'food point' mnamo oktoba 15 ilishiriki katika tekstil ya mafunzo ya biashara ya nje ya dış uliofanyika katika uwanja wa r & d na wawakilishi wa kampuni ya 15 walioshiriki katika uguu wa ugulam wa enerji energy ufanisi ambayo ilipangwa na kutumika kwa kinadharia mnamo novemba ndani ya upeo wa mradi wa mashine urge mtu wa 12 alitolewa 'mafunzo ya kitaifa na ya kimataifa kwa msaada wa sme'
mafunzo ya kitaalamu yanatolewa
mnamo oktoba mtu wa 4 kutoka kwa mwanachama wa 11 wa urge kutoka kwa iris quality systems taarifa na ukaguzi wa ndani wa mkaguzi ambao uliendelea 23 ndani ya uendeshaji wa rail systems urge na 19 kutoka 'maendeleo ya fiber kuimarishwa vifaa vya thermoplastic vifaa' ndani ya upeo wa composite urge mradi watu walifaidika mnamo novemba mwakilishi wa kampuni ya 3 alifaidika na mafunzo ya maandalizi ya karatasi ya usalama wa n ambayo yaliendelea kwa muda wa siku 7 ndani ya uwiano wa chemical urge watu wa 2 walihudhuria 'sheria ya forodha na mafunzo ya utekelezaji x uliofanyika desemba katika 15 kwa makampuni katika chakula urge
huduma za ufunzo zatatuwa kwa wakanyana
huduma za ushauri wa btso ndani ya upeo wa miradi ya urge huendelea agosti naok oktoba na oktoba tukio la 'utafiti wa ufanisi wa nishati' 'utambulisho wa kampuni ya basdec' ambayo inaendelea shughuli zake katika nafasi makampuni ya uendeshaji wa ndege na ur & d ya utetezi uliofanyika juni na oktoba 'shughuli za maendeleo ya biashara' kunufaika
milioni ya 10 dollar yakuba na 45 urge
ndani ya mradi wa 10 urge uliofanywa na btso kubeba makampuni ya bursa kati ya wachezaji muhimu zaidi wa masoko ya kimataifa msaada wa 45 hutolewa kwa kila mradi kutoka wizara ya uchumi hadi dola milioni 45 jumla ya fedha zinazotolewa na btso kwa wanachama wake zinaweza kufikia dola milioni 30 btso 3 mnamo novemba 60 desemba 'mkutano wa viwanda wa bursa' ulioandaliwa na ushiriki wa watu wa biashara elfu wa 200 kutoka zaidi ya nchi za xnumx kati ya desemba na desemba pia walipokea wajumbe wa ununuzi ndani ya upeo wa miradi ya urge iliyotengenezwa katika uwanja wa mifumo ya mitambo mashine nafasi ndege na ulinzi na reli pia alifurahia
kazi ya treni ya high speed haipunguzi
usafiri haukupunguzwa kasi katika mwaka ujao
mradi wa bridge na highway hauacha muhimu
kazi ya akçaray haipungua
manispaa ya sahinbey haipungui kasi juu ya asphalt
bursa haina kupunguza kasi ya usafiri
akçaray kuchomwa moto kuingia line tram
leo katika historia 11 desemba 1921 kazım karabekir akifanya nafia | 2020-01-27T20:05:28 | https://sw.rayhaber.com/2017/12/btso-ur-ge-haina-kasi-katika-mafunzo/ |
ombaomba janga linalokua kwa kasi kijiji cha nungwi | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
ombaomba janga linalokua kwa kasi kijiji cha nungwi
wamiliki wa mahotel kijiji cha nungwi wamewataka wazazi na walezi wanaoishi karibu na mahoteli kuwazuia watoto na kuwakataza tabia ya kuomba omba watalii kwani hatua hiyo itaweza kuwasababishia kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji
wakizungumza kwa masikitiko makubwa baadhi ya wamiliki wa mahoteli hao ambao wamekataa kutajwa majina yao wamesema tabia ya kuomba omb pia ni chanzo cha udhalilishaji kwa watoto kwani wapo baadhi ya wageni hawatoi pesa zao bure
wamesema wazazi
wavuvi wa kijiji cha nungwi walalamikia uvuvi haramu katika bahari
mwananchi mvuvi wa kijiji cha nungwi mkoa wa kaskazini unguja akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na uvuvi haramu unaofanywa na baadhi ya makampuni katika ukanda wao wa bahari ya nungwi kwa kutumia bunduki na mishale wakati wa uvuvi wao na kuwakimbiza samaki katika maeneo hayo na wao inawalazimu kwenda kuvua sehemu ya mbali na eneo hilo kutokana na samaki kukimbilia maeneo mengine wameitaka taasisi husika kulichunguza hilo mwananchi wa kijiji cha nungwi unguja
simu aina ya acer inafanya vizuri katika soko la simu linalokua kwa kasi duniani
wakati kampuni kadhaa za simu za mkononi wakiwa katika mikakati kabambe ya kupanua biashara zao nchini india lakini kwa acer wapo katika mapumziko kidogo baada ya kazi kubwa na ndefu ya kutafuta masoko na kujijenga kibiashara
kampuni hiyo kutoka taiwan wameamua kupumzika kwa muda katika soko la siku na kuweka nguvu kubwa kwenye kompyuta mpakato zake na bidhaa zingine za kieletroniki baada ya kazi kubwa ya miaka kadhaa wamesema hayo mwishoni mwa wiki
mkakati huo umekuja baada ya nchini
watu sita wafariki kwa ajali ya lori kijiji cha katika kijiji cha kijota singida
watu sita wamefariki dunia huku wengine 42 wakijeruhiwa baada ya lori lenye namba za usajili t806 ael aina ya scania mali ya abdalla mussa (39) mfanyabiashara mkazi wa mwenge mjini singida kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha kijota singida
kamanda wa polisi mkoa wa singida acp debora magiligimba amesema ajali hiyo imetokea agosti 27 mwaka huu saa 130 usiku katika kijiji cha kijota wakati likitokea mnadani katika kijiji cha mtinko singida vijijini likielekea singida mjini
kijiji cha milenia chakoleza kasi ya maendeleo uyui
wananchi wanaoishi katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya uyui mkoani tabora wameanza kunufaika na mradi wa kijiji cha milenia unaotekelezwa katika kijiji cha mbola kilichoko wilayani humo
chama cha wazee chakerwa kuzagaa kwa ombaomba mitaani
serikali imetakiwa kuwaondoa kwa nguvu ombaomba wote mitaani kwani kuwaacha ni kuwadhalilisha na kudumaza maendeleo ya familia zao ikiwa ni pamoja na kujenga hisia kwa watoto kuwa kuomba mitaani ni mojawapo ya ajira sahihi
dc ndejembi asimamisha uchimbaji madini katika kijiji cha silwa kata ya pandambili na kumuagiza mkurugenzi kumsimamisha kazi mtendaji wa kijiji cha silwa
leo (jana) baada ya shuguli ya kuadhimisha miaka 17 toka mwalimu nyerere afariki dc ndejembi na mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya kongwa ndg izengo walifanya ziara ya kushtukiza katika kijiji cha silwa kata ya pandambili baada ya kupata taarifa kuna uchimbaji wa madini aina ya konisuphire unaofanyika na wafanyabiashara bila kua na vibali vyovyote
baada ya kufika eneo la tukio wakabaini mtendaji wa kijiji ndg michael boniface magenje alitoa eneo bila kutoa nakala kwenye kata wala
wilaya ya kyerwa yagawa chakula cha msaada kwa wakazi wa kijiji cha muhulile mkoani kagera
siku moja baada ya itv kutangaza wakazi wa kijiji cha muhulile kata ya nkwenda wilaya ya kyerwa mkoani kagera wanakabiliwa na janga la njaa uongozi wa wilaya hiyo umemuita mwandishi wa itv cosmas makongo kwa lengo la kukanusha ukweli wa jambo hilo wakimtaka kuonyesha alipopata picha huku mkurugenzi mtendaji wa halamshauri hiyo akitoa ufafanuzi | 2019-05-24T01:31:14 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/ombaomba-janga-linalokua-kwa-kasi--kijiji-cha-nungwi |
ushiriki mkubwa wa mawakibu za kutoa huduma katika uwanja wa uhuru kuwaunga mkono waandamanaji
tangu yalipo anza maandamano hapa iraq mawakibu za kutoa huduma zinazo fungamana na idara ya ustawi wa jamii chini ya atabatu abbasiyya zimekua mstari wa mbele kusaidia waandamanaji
mawakibu hizo pia zimekuwa na mchango mkubwa kwa waandamanaji walioweka kambi katika uwanja wa uhuru (tahriir) mjini bagdad mchango wao umeonekana wazi katika maandamano yaliyo fanyika hivi karibuni ambampo wamefanya mambo yafuatayo
kushirikiana na waratibu wa maandamano
kutuma shehena za chakula na vitu vingine
kujenga mabanda kwa ajili ya kutoa huduma kwa waandamanaji katika uwanja wa uhuru
kushiriki katika maandamano
idara za karkha na raswafa zinamchango mkubwa kwazi zipo kila siku kumbuka idara ya ustawi wa jamii tangu yalipo anza maandamano haya imesimama pamoja na waandamanaji katika uwanja wa uhuru mjini bagdad na kwenye mikoa mingine wanatoa huduma tofauti kama vile
kujenga mabanda ya kutolea huduma
kuandaa chakula na kukigawa kwa waandamanaji
kugawa chakula maji na juisi kwa waandamanaji
kutoa huduma za matibabu kwa majeruhi
kutoa huduma ya kwanza ya kitabibu na uwokozi
wajumbe wengi wa mawakibu kuwepo katika uwanja wa maandamano
kusaidia kazi za kujitolea kama vile kufanya usafi | 2020-01-23T05:14:16 | https://alkafeel.net/news/index?id=9639&lang=sw |
wanawake katika halmashauri ya arusha wametakiwa kubadili fikra za kuwa tegemezi kwa waume zao na badala yake watumie fursa ya kukopa mikopo ya halmashauri inayotolewa kwa ajili yao ili wajikwamue kiuchumi
wito huo ulitolewa jana jijini hapa na ofisa maendeleo ya jamii mkoa wa arusha irene materu wakati akizungumza na vikundi vya wanawake wajasiriamali wa halmashauri hiyo kwenye viwanja vya shule ya sekondari ya enaboishu wilayani arumeru mkoani hapo
alisema wanawake wanatakiwa kutumia fursa zinazotolewa na serikali na wadau mbalimbali ikiwamo mikopo inayotozwa asilimia nne inayotolewa na halmashauri kwa ajili ya wanawake ili waweze kujikwamua kiuchumi kwa kuanzisha miradi mbalimbali ya ujasiriamali
ufike wakati sasa wanawake tukatae kuwa tegemezi tujikwamue kiuchumi kwa ajili ya kutunza na kuendeleza familia zetu kwa kupata lishe bora kupitia fursa mbalimbali zinazowalenga wanawake alisema
aidha alisema wanawake ni nguzo kuu katika jamii lakini pia ni msingi mkubwa wa maendeleo hivyo kuna kila sababu kwao kubadilisha mtazamo na kuwa na fikra chanya ili waweze kufikia malengo waliyojipangia katika kujiletea maendeleo
irene alitumia fursa hiyo kulaani vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa kike na kuwataka wanawake kuwa jasiri kwa kupinga vitendo vya ukatili kwenye familia zao na jamii inayowazunguka ikiwa ni pamoja na kuwafichua wanaowapa mimba wanafunzi wa kike ili wachukuliwe hatua kali za kisheria
tusikubali kudhalilishwa tuanze sisi wenyewe kukemea vitendo vya ukatili vinavyodhalilisha utu wa mwanamke pia tuwafichue wanaowapa mimba watoto wetu wa kike wakiwa na umri mdogo na kuwakatisha masomo ikiwa ni pamoja na kutoa ushirikiano kwa serikali ili hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya watu hao alisema
aliwataka wanawake hao kutumia kikamilifu majukwaa ya wanawake katika maeneo yao kwa kujadili changamoto zinazowakabili
lakini pia kubadilishana uzoefu wa miradi ya ujasiriamali wanaoufanya pamoja na kupeana fursa za kufikia malengo ya kupata mafanikio
naye mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa arusha (uwt) yasimin bachu alisema wanawake wanatakiwa kutunza familia zao ili taifa liweze kuwa na wananchi wachapa kazi kutokana na lishe bora
yasmin ambaye pia ni diwani wa viti maalum aliwataka wanawake kupima afya zao kila mara ikiwa ni pamoja na kufanya mazoezi ili kuepuka maradhi ambayo yanakwamisha na kurudisha nyuma gurudumu la maendeleo katika taifa letu
awali ofisa maendeleo ya jamii na jinsia halmashauri ya arusha getrude darema alisema jumla ya wanawake wajasiriamali 395 kwenye
vikundi 45 wamewezeshwa na halmashauri hiyo kwa kuwapatia mikopo isiyo na riba yenye thamani ya sh milioni 243 fedha zinazotokana na asilimia nne za mapato ya ndani kwa mwaka huu wa fedha 2018/2019
alisema licha ya vikundi hivyo halmashauri inatarajia kutoa mikopo yenye thamani ya sh milioni 80 kwa vikundi vingine vinane
leo na kuwahimiza wanawake kutumia vyema fursa hiyo kwa kuanzisha miradi ya kibiashara itakayowawezesha kujikwamua
kiuchumi na si vinginevyo | 2019-04-18T17:37:38 | https://www.ippmedia.com/sw/biashara/wanawake-waaswa-kuchangamkia-mikopo-ya-halmashauri |
this sunday live on star tv 19th dec | jamiiforums | the home of great thinkers
this sunday live on star tv 19th dec
discussion in 'katiba mpya' started by yahya mohamed dec 17 2010
mapendekezo mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya uweje ni dhahiri katiba mpya haiepukiki kwa sasa utaratibu upi utasaidia kupatikana katiba itakayokidhi mahitaji ya watanzania
shiriki katika mjadala huu kwa maoni yako ikiwa ni sehemu ya pili na ya mwisho mpaka hapo utakapoandaliwa tena mjadala huu
wageni waalikwa wanatarajiwa kuwa wahadhiri wa kitivo cha sheria kutoka chuo kikuu cha mtakatifu agustino na bado jitihada zinafanyika kumpata jaji mstaafu joseph warioba jijini dsm profesa shivji yupo nje ya nchi
nafikiri ingependeza kama ungealika na viongozi wa dini maana hili suala muhimu kwa watz wote bila iman wa itikadi
ndugu yahya wewe ni makini pamoja na star tv kiujumla inaonesha mnataka kuweka legacy sahihi ya itv kwanza nishukuru kwamba ulisoma mchango wangu kuhusu kwanini tunahitaji katiba mpya bila uchakachuaji ingawaje hukusoma maoni yangu kuhusu kombani waziri okay kuhusu mjadala wa mchakato wa katiba mpya uweje mimi maoni yangu ni kama ifuatavyo
1 serikali iunde tume ya kuandaa rasimu ya katiba mpyatume hii iwe na wawakilishi walioteuliwa na vyama vya siasa kutoka vyama vyao wawakilishi kutoka bakwata tec cct sabato yaani dini mwakilishi kutoka civil society mwawakilishi kutoka vyuo vikuu mwakilishi kutoka law society mwakilishi kutoka haki za binadamu mwakilishi kutoka mahakama na mwakilishi kutoka balaza la watoto na vijana mwakilishi kutoka media na baraza la habari katika tume hii awemo jenerali ulimwengu prof issa shivji jaji amir manentodr lwaitama deus kibamba na ayoub lioba
2 tume hii ifanye uchambuzi yakinifu na kwa kukutana na vikundi mbalimbali ili iweze kutengeneza rasimu ya katiba mpya
3 ikishatengeneza rasimu ya katiba mpya iweke hadharani rasimu hiyo ya katiba mpya kwa muda wa miezi sita wananchi kuijadili na kutoa mapendekezo yao
4 ikishamaliza kupokea mapendekezo ya watanzania wote itengeneze final draft for preresentaion ipeleke kwa kamati ya bunge kwa ajili ya mapitio na mapendekezo
5 bunge lipewe nafasi yake kujadili na kutoa mapendekezo ya mwisho kabla ya kuifanya kuwa sheriaangalizo bunge lisifanye maamuzi ya katiba kwa kupiga kura za kichama badala yake kamati ya bunge na tume vifanyie kazi mapendekezo ya bunge kabla ya kuipitisha
6 watawala wasiingilie mchakato huu manake katiba ya nchi inatakiwa kuwa huru na sustainable yaani tufikirie kuibadaili baada ya miika 50 mpaka 100 ijayo
7 tume isiwe ya watu wenye njaaaaaaaaa kali ndio maana nimependekeza kwa maoni yangu baadhi ya watu wanojua nini maana ya katiba
8 wananchi washirikishwe kutoa maoni wanachotaki kibadilike tukumbuke elimu ya uraia ni utata lakini kwa tume hiyo inawezekana kupata maoni yao ni uzandiki eti kuwaambia watanzania tubadili au tusibadili wakati wengi wao hawaijui 9 tume hiyo iwe huru na uhuru uonekane siyo kama nec tume pandikizi tume iwajibike kwa watanzania wa sasa na kesho
10 mwisho star tv nawapa big up kama ninanvyo wafagilia mwanahalisi raia mwema tz daima na mwananchi
katika mjadala wenu wafahamishe wananchi haya
1ni nani hasa mwenye uamuzi wa mwisho wa kuamua kama tuwe na katiba mpya au la
hii itasaidia kujua hata mtu/watu/kundi la kudili nalo badala ya kuongea tu kama vile tunapiga kelele
inawezekana tunamlenga mtu fulani hivyo kama yuko nje ya nchi tusubiri akirtudi tumueleze kiu yetu ya katiba mpya
pia yahya na star tv nawapongeza kwa utartibu huu wa kutumia new media katika uandaaji wa vipindi vyenu lakini nashauri mfanye kama wenzetu nje cnnbbc na aljazeera kama mnaweweza fanya mjadala huo wa studio na ule wa interenet hasa kwenye thread yako viendane sawa wakati wa kuchangia
ingawa hapa kuna changamoto ya mtandao vifaa nk lakini pole pole tutafika
napongeza kwa ufanisi katika fani
wageni waalikwa wanatarajiwa kuwa wahadhiri wa kitivo cha sheria kutoka chuo kikuu cha mtakatifu agustino na bado jitihada zinafanyika kumpata jaji mstaafu joseph warioba jijini dsm profesa shivji yupo nje ya nchiclick to expand
tatizo lenu mnaalika wageni ambao mitazamo yao tayari inajulikana sasa utapataje mawazo ya upande mwingine haya mwalikeni huyo warioba aongee tunachokifahamu tufurahi halafu maisha yaendelee democracy haijengwi hivyo wazee
yahaya big up and endelea kutu update kupitia humu jamvini wakati wa kipindi hicho ili na sisi tupate kujua nini kitakacho kua kinaendelea huko
yahya naomba mkiweza fanya kuwapata japo kwa dakika mbilimbili au tatutatu kila mmoja
dr slaa & prof lipumba
kiongozi wa kidini yeyote toka wakristo na kiislam
waziri kombani
kisha mwendelee na discussion yenu na wageni waalikwa ili mnapojadiliana hao wageni watoe mitizamo yao kuhusiana na kauli za niliowapendekeza (the list can be modified) mnaweza kuwarecord hawa mapema ili kuepusha muda wenu kupitiliza (editing inaweza kufanyika ili kuzingatia hoja zaidi bila kuchakachua)
so far nice move
10 mwisho star tv nawapa big up kama ninanvyo wafagilia mwanahalisi raia mwema tz daima na mwananchiclick to expand
thanks denyo mchango umefika
so far nice moveclick to expand
yes invisible tulikuwa na wazo moja kwa bahati mbaya kutokana na majukumu baadhi ya viongozi uliowataja tulifikiria kuwahoji mapema ila kutokana na majukumu yaliyowabana ths week hatujafanikiwa ila onrecord tayari yupo mhjcheyo julimwengu & arioba
jitihada zinaendelea
yahaya big up and endelea kutu update kupitia humu jamvini wakati wa kipindi hicho ili na sisi tupate kujua nini kitakacho kua kinaendelea hukoclick to expand
tunathamini na kutambua mchango wa great thinkers
byabatoclick to expand
tunafanya maandalizi byabatoverysoon tutaanza kuwa na mijadala ya papo kwa papo online wakati wa live discussion on studio
tatizo lenu mnaalika wageni ambao mitazamo yao tayari inajulikana sasa utapataje mawazo ya upande mwingine haya mwalikeni huyo warioba aongee tunachokifahamu tufurahi halafu maisha yaendelee democracy haijengwi hivyo wazeeclick to expand
nayo pia ni mawazo kalagabaho though umejicontradict kwa mtazamo wangu
mapendekezo mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya uweje ni dhahiri katiba mpya haiepukiki kwa sasa utaratibu upi utasaidia kupatikana katiba itakayokidhi mahitaji ya watanzaniaclick to expand
ni vyema upatikanaji wa katiba uhusishe makundi yote pasipo kubagua kwa mfano eti kundi la walemavu wa miguumikono liwasilishe na walemavu wa ngozi {albino} hii si sawa wote wanapaswa kuingia katika mchakato wa katiba kwa kutuma wajumbe cha msingi serikali iwe makini hapa katika huu mchakato kila kundi au kila fani iwe na wawakilishi ili kuondoa manung'uniko mbeleni mi napendekeza kila kundi katika jamii lihusishwe moja kwa moja katika mchakato wa katiba
nafikiri watanzania tuwe serious ili suala hili lisonge mbele tusisubiri mkutano wa pinda na kikwete maana naamini watatukwaza
mtafute pia prof e rwaitama na pia linahitajika kundi la vijana wa sheria pale chuo kikuu cha dar es salaam au kundi la wabunge vijana
mkuu mjadala uliopita niliufuatilia vizuri sana na nawapongeza sana mjadala ulikuwa mzuri mkuu tunaweza kumpata mtu toka tanzania visiwani kuleta usawa naona kama tunajadili katiba ya tanganyika wakati hii ni tanzania
mkuu mjadala uliopita niliufuatilia vizuri sana na nawapongeza sana mjadala ulikuwa mzuri mkuu tunaweza kumpata mtu toka tanzania visiwani kuleta usawa naona kama tunajadili katiba ya tanganyika wakati hii ni tanzaniaclick to expand
henge nakubalian na wewe lakini ukweli ni kwamba zanzibar wao wana katiba yao ambayo tayari wameipitisha utaona ukweli ni kwamba katiba hii tunayoizungumzia ni kama ni ya tanganyika kwani umeshasikia zanzibar wanajishughulisha na jambo hili kilio chote kiko kwa watanganyika
mchakato mzima uanzie kwa kuwapata wawakilishi kutoka makundi mbali mbali ya kijamii vyama vya siasa madhebu ya kidini na asasi mbalimbali hii itatusaidia kuwa na katiba itakayo kuwa imewashirikisha wananchi kutoka katika ngazi ya shina tofauti na katiba tuliyokuwa nayo sasa ambayo haikumshirikisha mwananchi kiasi kwamba hata mwananchi wa kawaida kule mkuzi lushoto nyamanoro au buhemba hajui kuwa kuna katiba inayo tambua stahili zake
tunahitaji katiba mpya yenye tija na inayoendeana na mazingira na wakati tulio kuwa nao leo na kesho hivyo hata mchakato wake unatakiwa uwe makini ili kuondoa mazonge yaliyopo yasijitoke katiba tuliyokuwa nayo ilipita ndani ya dk 10 na ikatufikisha hapa tulipo hatutegemei mchakato wa katiba mpya uwe wa kasi ya kutimiza matamanio ya kuwa na katiba mpya mchakato uwe makini kuhakikisha kuwa tunapata katiba itakayo dumu kwa kipindi cha miaka kadhaa yenye kukidhi mahitaji laki bila kuwa na malalamiko ya mara kwa mara
kuwashirikisha wananchi ndio msingi mkuu wa kuwa na katiba yenye kuangalia maslahi ya wananchi maana wanaweza kuwawajibisha au kuwaarudi viongozi wao pale wanapo potoka tofauti na sasa na si kuangalia maslahi ya viongozi peke yao ambao hutumia udhaifu wa kutokuwashirikisha wananchi kuji vimbiza vitambi vyao kwa tamaa na ulevi wa madaraka
mouddymtoi
yahya asante kwa vipindi vyako unavyotushirikisha kuhusu msitakabali wa nchi yetu imenipa faraja sana kwamba sasa waandishi mmekomaa maana mnatushirikisha msitakabali wa nchi yetu na kuvunja ile kasumba ya kufanya mawazo yenu ndio mawazo ya wananchi wengi
mimi nina mawazo zaidi kwamba hata kabla ya kufikiri jinsi ya kuunda katiba yetu mpya ya muungao ebu tufikirie zaidi na muundo wake tusiende mbio sana kwa upande wangu wakati tunafikiri kuhusu mchakato wa kuunda katiba iweje na nani wahusike kwanza naomba niseme mimi ningefikiri kwanza katiba hiyo mpya ilenge kuwa na serikali 3 ile ya tanzania bara (hapa nitaiita tanganyika) tanzania visiwani (hapa nitaiita zanzibar) na muungano (hapa nitaita muugano wa nchi tanzania) na kwa kweli kila nchi hapa inahitaji kwanza katiba yake ambayo itaitambua nchi hiyo kama nchi huru (identity of the state) bahati nzuri ndugu zetu zanzibar tayari wameshakwenda hatua ndefu zaidi kwa kutengeneza katiba yao ambayo inaitambua nchi yao kama nchi huru sisi bara (tanganyika) je tutaendelea kuwa nchi isiyo na utambulisho lazima tuwe na utambulisho katika katiba ya muungano hatuwezi kuendelea kuwa nchi inayosemekana kuwa imeungana na nyingine lakini wenzetu wakiwa na state yao sisi tukiwa hewani na tukiwa hatujulikani ni nchi au la na kama ni nchi katiba yetu ni ipi tujiulize je kama tutasema tutengeneze katiba ya muungano ni kati ya nchi ngapi mbona moja ina katiba na nyingine haina
jambo hili litatuletea matatizo mbeleni tu hivyo kuwe na katiba tatu kama nilivyoainisha moja ya tanganyika nyingine ya zanzibar na ya mwisho ya muungano
sasa tunapokuwa tunafikiria jinsi ya kupata hizo katiba lazima makundi yote mawili ya kwanza yaani katiba ya tanganyika na ile ya zanzibar yashughulikiwe na nchi husika tu ile katiba ya tanganyika iwahusishe watanganyika tu na waamue je wanahitaji kuiunda vipi na ile ya zanzibar ishughulikiwe na wazanzibar peke yao kwa bahati hawa wameshashughulikia ya kwao
tukishamaliza kabisa kupata katiba za nchi zote mbili sasa ndipo michakato ya kuunda kamati zitakazoangalia jinsi tutakavyounda katiba ya muungano itakapofanyika kama baadhi ya wadau wengine hapa wanavyopendekeza
yahya ikumbukwe kwamba katiba ya tanganyika ni muhimu sana ili huko mbele tusijejikuta tunarudi kubebeshana lawama kwamba viongozi wetu wametubulura kuingia katika muungano ambao ni batili kwani hakuna muungano wa nchi moja na muungano wa nyingine isiyokuwepo utakao kuwa halali katika katiba ya muungao kama ilivyo sasa malalamishi yataendelea kuwepo maana tayari yapo tunaposema tuna nia ya kushughulikia kero za muungano let's consider both sides of our union tusidhani kushughulikia upande mmoja tu itakuwa tiba asante
ndugu zangu nimeona na haya maono tusiyapuuze ila tuyafanyie kazi sivyo tutavuna tutakacho kipanda sasa wapo wazalendo waliotuonyesha njia lakini viongozi wetu wa wakati huo hawakuyawekea maanani mawazo yale wazalendo hao ni marehemu jaji nyalali jaji kisangalicha ya gharama kubwa za pesa zilizotumika kukamilisha kazi hizo kazi walio ifanya haikuthaminiwa leo tuthamini kazi zao na ziwe dira kwa kutekeleza yaliyomo kwenye ripoti zao hapo ndipo tuanzie mchakato wa mkutano wa katiba mnaonaje watanganyika | 2016-10-22T21:54:38 | http://www.jamiiforums.com/threads/this-sunday-live-on-star-tv-19th-dec.96151/ |
rita ora afunguka kuhusu jay z | mtanzania
home burudani rita ora afunguka kuhusu jay z
aliyekuwa staa wa muziki kutoka kundi la roc nation rita ora ameweka wazi alihofia maisha yake ya muziki baada ya kugombana na mmiliki wa lebo hiyo jay z
msanii huyo mwenye umri wa miaka 28 aliwahi kusainiwa kwenye lebo hiyo mwaka 2008 kabla ya 2016 kuvunja mkataba wake amedai aliamua kuvunja mkataba huo kutokana na kunyanyaswa na kushindwa kupata nafasi kama wasanii wengine
kutokana na kitendo hicho walifikishana mahakamani ambapo jay z aliitaka mahakama kumfungia msanii huyo kufanya muziki kwa kipindi cha miaka mitano
ukweli ni kwamba nilikuwa kwenye kipindi kigumu katika maisha yangu muziki ni sehemu ya maisha yangu nimekuwa nikiishi kwa kutegemea muziki sasa suala la kufungiwa miaka mitano lilinipa wasiwasi kubwa ya kuendesha maisha hakuna kitu kingine ambacho ninakijua kama sio muziki lakini ninashukuru kila kitu kilikwenda sawa na jay z akakubali kuyamaliza alisema mrembo huyo
previous articlesamatta tunamaliza kazi mapema tu
next articlesofia richie kourtney kardashian mambo shwali | 2019-09-15T07:57:41 | http://mtanzania.co.tz/rita-ora-afunguka-kuhusu-jay-z/ |
jaji augustino ramadhani ahimiza afrika kuheshimu haki za binadamuazitaka nchi zaidi kutoa tamko la kuitambua mahakama hiyo | jestina george
home / tanzania news / jaji augustino ramadhani ahimiza afrika kuheshimu haki za binadamuazitaka nchi zaidi kutoa tamko la kuitambua mahakama hiyo
jaji augustino ramadhani ahimiza afrika kuheshimu haki za binadamuazitaka nchi zaidi kutoa tamko la kuitambua mahakama hiyo
rais wa mahakama ya afrika ya haki za binadamu(afcphr)yenye makao yake jijini arushajaji mstaafu wa tanzaniaaugustino ramadhani(katikati)akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na taasisi ya pan african lawyers union(palu)kushoto ni afisa mtendaji mkuu wa paludonald deya na kulia ni mkuu wa mawasiliano wa afcphrsukhdev chatbar
waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali za afrika mashariki wakisikiliza hotuba fupi ya jaji augustino ramadhani
baadhi ya maafisa wa afcphrpalu na waandishi wa habari wakifatilia hafla hiyo 4mwandishi wa habari wa siku nyingi ambaye alikua mwezeshaji mkuu katika mafunzo ya waandishi wa habari jenerali ulimwengu(kushoto)akiwa amejumuika na waandishi wa habari
waandishi wa habari wakifurahia moja ya picha ya tukio la hafla ya chakula cha jioni kwenye ofisi za palu
rais wa mahakama ya afrika ya haki za binadamu(afcphr)yenye makao yake jijini arushajaji mstaafu wa tanzaniaaugustino ramadhani(kulia)akimkabidhi cheti cha kushiriki mafunzo ya namna mahakama ya afrika na haki za binadamu inavyofanya kazi zake mwandishi wa habari wa ippasraji mvungi
rais wa mahakama ya afrika ya haki za binadamu(afcphr)yenye makao yake jijini arushajaji mstaafu wa tanzaniaaugustino ramadhani(kulia)akimkabidhi cheti cha kushiriki mafunzo ya namna mahakama ya afrika na haki za binadamu inavyofanya kazi zake mwandishi wa habari wa gazeti la new vision nchini ugandamosses warugembe habari picha na wwwrweyemamuinfoblogspotcom | 2018-07-16T08:49:27 | http://www.jestina-george.com/2015/05/jaji-augustino-ramadhani-ahimiza-afrika.html |
chama cha mapinduzi tawi la moscow ridhiwani aendelea na kampeni ya ubunge katika kijiji cha tokamisasa jimboni chalinze
ridhiwani aendelea na kampeni ya ubunge katika kijiji cha tokamisasa jimboni chalinze
mgombea ubunge katika jimbo la chalinze
kwa tiketi ya ccm
ndg ridhiwani kikwete
jana aprili 1 2014 ndg ridhiwani aliendelea na kampeni yake ya kujinadi kwa wananchi wa kijiji cha tokamisasa jimboni chalinze
awaahidi wananchi wa tokamisasa kuwa ataanza na barabara kisha elimu afya pamoja na kurudisha michezo jimboni humo
pia awaahidi kuhakikisha anamaliza tatizo la mgogoro kati ya wakulima na wafugaji kwa kuweka mipango bora ya matumizi ya ardhi kijijini hapo
ndgridhiwani kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea jimboni chalinze
ndg ridhiwani akihutubia wakazi wa kijiji cha tokamisasa
mgombea ubunge wa jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm ndugu ridhiwani kikwete akicheza muziki na miraji mtaturu katibu wa ccm wilaya ya mufindi wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la chalinze uliofanyika kwenye kitongoji cha mbuyu kijiji cha tokamisasa kata ya ubena zomozi
msanii sam wa ukweli akitumbuiza kwenye kampeni za ccm zilizofanyika katika kijiji cha tokamisasa kitongoji cha mbuyu
mgombea wa ubunge wa jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm ndugu ridhiwani kikwete akisalimiana na wazee wa kijiji cha tokamisasa wakati akiwasili kwenye kitongoji cha tuka mjini tayari kwa kufanya mkutano wa kampeni
msanii wa mashairi mwanahamisi mohamed wenye ulemavu wa macho akiimba shairi linaloitwa changamoto wakati wa mkutano wa ccm wa kampeni za ubunge jimbo la chalinze
wakina mama wa kimasai wakifuatilia kwa makini mkutano wa kampeni za ubunge za ccm ambapo ndgridhiwani kikwete (mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm ) alifika katika tawi la kivuga na kuomba kura
katibu wa nec itikadi na uenezi ccm ndgnape nnauye akizungumza na wafugaji wa kimasai wa tawi la kivuga kata ya ubena zomozi wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la chalinze
ndg ridhiwani kikwete akizungumza na vijana wajasiriamali wa uvccm mshikamano visakazi mara baada ya kuzindua shina hilo lililopo katika kata ya ubena zomozi
ndg ridhiwani akiwahutubia wananchi wa kijiji cha tokamisasa kata ya ubena zomoni wakati wa mkutano wa kampeni za ccm uliofanyika jana aprili 1 2014 jimboni chalinze
mgombea ubunge katika jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm ndg ridhiwani kikwete akishiriki kucheza mziki na wananchi wa kitongoji cha mbuyu katika kijiji cha tokamisasa kata ya ubena zomoni wakati wa muendelezo wa mikutano yake ya kampeni za ubunge iliyofanyika jana aprili 1 2014
posted by ccm moscow at 351 am | 2018-05-24T06:09:27 | http://ccmmoscow.blogspot.com/2014/04/ridhiwani-aendelea-na-kampeni-ya-ubunge.html |
bunge laendelea kujadili taarifa ya laacmbunge ashauri serikali ianzishe chuo cha wizi | mpekuzi
bunge laendelea kujadili taarifa ya laacmbunge ashauri serikali ianzishe chuo cha wizi
bunge la bajeti mkutano wa 19 kikao cha 38 limeendelea kujadili hoja ya kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa[laac] kuhusu ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali[cag] huku serikali ikishauriwa kuanzisha chuo cha wizi ili kukabiliana na ubadhilifu wa mali za umma
wakitoa michango ya maoni mbalimbali leo mei282020 juu ya ripoti ya cag iliyowasilishwa bungeni jijini dodoma na kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa[laac]mbunge wa kahama mjini mhejumanne kishimba ameshauri serikali kuanzisha chuo cha wizi ili kuweza kupambana na ubadhilifu wa mali za umma
mbunge wa ukerewe mhejoseph mkundi amesema kuna baadhi ya watumishi ngazi ya halmashauri wasiokuwa waaminifu wamekuwa wakitumia mashine za ukusanyaji mapato[pos] kwa njia ya udanganyifu na kusababisha halmashauri kupata hasara hivyo kuna haja ya kuwafukuza huku mhehasma mwilima akishauri namna ya kupata mafunzo zaidi wakurugenzi wa halmashauri ili kuweza kupambana na watumishi wasiokuwa waaminifu
naibu waziri wa kazi ajira na wenye ulemavumhestella alex ikupa amesema serikali ya awamu ya tano imekuwa na mchango mkubwa katika kuwezesha mikopo watu wenye ulemavuhuku naibu waziri ofisi ya rais utumishi wa umma na utawala bora dktmary mwanjelwa ametoa pongezi kwa watumishi kufanya kazi bila kuchoka ambapo naibu waziri wa afyamaendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto godwin mollel akizungumzia suala la tiba asilia aemesema ni suala la kibiblia
naibu waziri wa ardhinyumba na maendeleo ya makazimheagelina mabula amesema wizara hiyo imesogeza huduma za ardhi ngazi ya mikoa huku naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi elias kwandikwa akizungumzia suala la mapato zaidi ya bilioni 17 hazikwenda kwenye miradi ya maendeleo ambapo naibu waziri wa kilimo mheomary mgumba amekiri hoja ya gharama kubwa katika miradi ya umwagiliaji
akijibu hoja ya posho ya madiwaniwaziri wa ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa [tamisemi]seleman jafo amesema kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni zaidi ya bilioni 10 zimeshalipwa huku mwenyekiti wa kamati ya hesabu za serikali za mitaa [laac] vedasto edgar ngombale akihitimisha hoja ya kamati kwa kuipongeza serikali kwa kuanza kutekeleza maagizo ya cag | 2020-07-06T18:10:17 | http://www.mpekuzihuru.com/2020/05/bunge-laendelea-kujadili-taarifa-ya.html |
watu waipongeza china kwa kupata maendeleo makubwa katika uchumi wa kidijitali china radio international
watu waipongeza china kwa kupata maendeleo makubwa katika uchumi wa kidijitali
(gmt+0800) 20180423 164724
mkutano wa kwanza wa kilele wa kujenga china ya kidijitali wenye kauli mbiu ya kufanya maendeleo ya teknolojia ya habari kuhimiza mambo ya kisasa na kuongeza kasi ya kujenga china ya kidijitali unakusanya nguvu za pande mbalimbali kuhimiza ujenzi wa china ya kidijitali katika mkutano huo wageni wa ndani na nje ya china kutoka sekta ya biashara na taaluma wametoa mapendekezo kwa ajili ya kuhimiza ujenzi wa china ya kijiditali
mwenyekiti wa kampuni ya inspur ya china bw sun pishu anasema watu wa kawaida wananufaika zaidi na maendeleo ya uchumi wa kidijitali wa china
maendeleo ya uchumi wa kidijitali katika miaka ya hivi karibuni yameboresha na kurahisisha maisha ya watu shughuli zote maishani zinaweza kufanywa kupitia simu ya mkononi na huwezi kuendesha gari bila ya mfumo wa uongozaji safari
bw sun pia anaona kuwa katika siku za baadaye china inapaswa kuinua kiwango cha maendeleo ya teknolojia ya habari kuboresha huduma za serikali na kupoteza muda wa watu katika kushughulikia shughuli hizo pia ni lazima kuhimiza ujenzi wa mtandao wa kiviwanda na kufanya uchumi wa kidijitali uhudumie zaidi uchumi halisi
mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kampuni ya alibaba bw ma yun amesema hivi sasa china imeongoza duniani katika mambo mbalimbali kuhusu teknolojia ya dijitali lakini katika ubunifu wa teknolojia muhimu kampuni za china zinapaswa kubeba wajibu zaidi
naona kampuni kubwa halisi hazipaswi kuangalia kama zimepata soko kubwa kiasi gani bali ni kuzingatia kama zinamiliki teknolojia kuu na muhimu kampuni kubwa zinabeba wajibu usioweza kukwepeka katika kupata teknolojia kuu zinazohusu maendeleo ya jamii na binadamu
mtafiti wa umoja wa mataifa profesa banji oyelaranoyeyinka amesema china imepata maendeleo ya kasi katika ulipaji wa kutumia simu ya mkononi na manunuzi kwenye mtandao wa internet na kutoa mifano mizuri kwa nchi nyingine
maendeleo iliyopata china ni ya kasi na kushangaza china imetupatia moyo kuwa inawezekana kupata maendeleo ndani ya muda mfupi maarifa ya china imeonesha kuwa uchumi wa kidijitali unaweza kuungana kwa kina na uchumi halisi kuboresha maisha ya watu kuinua sifa ya maisha pia tumeona kuwa uchumi wa kidijitali unaweza kuhimiza maendeleo yenye usawa na kuyawezesha makundi ya watu yanayoweza kusahaulika kujiunga na jamii | 2018-11-15T09:22:47 | http://swahili.cri.cn/141/2018/04/23/1s173936.htm |
updated version 20 sasa inapatikana kwa shusha (5/21/13)
features new na chaguzi katika version 20
sasa unaweza kuongeza kiungokushughulikia kwa kila menu item kama unataka zilizounganishwa na ukurasa mwingine wakati clicked
mbalimbali upana uchaguzi kwa ajili ya dropdown kama wewe unataka kuwa ni kitu kingine zaidi ya upana kamili
choice kuwa na kiungo anwani ya wazi katika dirisha mpya / tab wakati clicked
zaidi michezo / uchaguzi ngozi (ikiwa ni pamoja na chaguo desturi) juu ya mega chaguzi menu ukurasa
click / hover tabia ya uchaguzi juu ya mega chaguzi menu ukurasa
kuhusu pbk mega menu kwa wordpress
pbk mega menu plugin kwa wordpress ni njia yako rahisi kuongeza kazi na customizable mega menu na tovuti yako wordpress kuongeza vitu menu na maudhui ni kama kuongeza posts au kurasa kama unajua jinsi ya kutumia wordpress basi tayari kujua jinsi ya kutumia mega menu plugin
kujengwa katika shortcodes kukupa kubadilika wakati kuwekewa nje dropdown maudhui yako na chaguzi plugin ukurasa utapata kuchagua kutoka 6 chaguzi mbalimbali rangi kama wewe ni chini na css unaweza style menu kwa furaha ya moyo wako kwa kupakia faili aitwaye userdefinedmegamenucss na mitindo desturi yako katika saraka sawa na mada yako ya stylesheet msingi
bonyeza hapa kama ungependa kuona maelekezo / matumizi hati kabla ya kununua plugin
tafadhali kuacha maoni kama yale mitindo na chaguzi ungependa kuona katika pbk mega menu plugin na mimi bora wangu kujaribu kufanya kazi katika bora / ndio wengi ombi katika updates baadaye
installation / setup notes
baada ya kufunga / inleda mega orodha plugin kuhakikisha kwenda mega options menu ukurasa kuchagua rangi uchaguzi na bonyeza mwisho options button rangi uchaguzi ni si kuchaguliwa kwa default na orodha yako mega inaweza kuonyesha vizuri mpaka wameamua moja hii itakuwa updated katika ijayo kuwasilishwa toleo la plugin na maelekezo / nyaraka
meja mwisho (version 20) 2013/05/21
tazama maelezo zaidi ya juu ya mabadiliko na makala inapatikana katika toleo la mwezi
ndogo mwisho 2011/02/06
zisizohamishika suala kwamba alikuwa kuzuia plugin kutoka upakiaji css na javascript kama plugin folder alitajwa kitu chochote zaidi ya 'pbkmegamenu' plugin sasa anafanya kazi bila kujali folder enclosing ni jina
ndogo mwisho 2011/01/14
zisizohamishika suala kwamba ilikuwa kupunguza idadi ya vitu menu kwa kile kuweka kwa upeo wa idadi ya posts katika mazingira wordpress 'kusoma'
aliongeza msaada kwa ajili ya marekebisho
ndogo mwisho 2010/12/25
zisizohamishika suala kwamba alikuwa anatoa kosa wakati wa kutumia desturi permalink muundo
zisizohamishika suala kwamba alikuwa anatoa kosa wakati wa kutumia pbk_mega_menu () kazi bila parameter
23 desemba 10
1 mei 13 sambamba browsers
ecommerce all items chaguzi 6 michezo css3 maelekezo orodha mega menu urambazaji chaguzi ukurasa shortcodes wordpress 30 | 2018-05-25T18:52:55 | https://sw.worldwidescripts.net/pbk-mega-menu-for-wordpress-38582 |
wizara kuandaa mikakati ya kupambana na ungonjwa wa malaria zanzibar24
wizara kuandaa mikakati ya kupambana na ungonjwa wa malaria
april 26 2019 april 26 2019 rukiya abdullah
pia alieleza kuwa mafanikio hayo yamepatikana kutokana na juhudi kubwa zinazochukuliwa na serikali ikishirikiana na wadau mbali mbali zikiwemo taasisi za kitaifa na kimataifa za ndani na nje ya nchi
aidha aliwataka wananchi waliopata vyandarua waendelee kuvitumia kikamilifu pamoja na kuvitunza kwani kwa mujibu wa taarifa za ufuatiliaji wagonjwa majumbani unaonyesha kuwa matumizi ya vyandarua kwa jamii bado yapo chini
aliwakumbusha wananchi kuwa huduma za uchunguzi wa malaria zinapatikana katika vituo vyote vya afya vikiwemo vituo vya bandarini na uwanja wa ndege ambavyo vimewekwa kwa ajili ya wasafiri wanaoingia na kutoka zanzibar
← rais kim aishutumu marekani kwa kupotosha ukwelikuhusu mpango wa nyuklia
patrick aussems ala shavu kivingine → | 2019-05-26T17:16:39 | http://zanzibar24.co.tz/wizara-kuandaa-mikakati-ya-kupambana-na-ungonjwa-wa-malaria/ |
uundaji meli mbili za mizigo ziwa nyasa wakamilika asilimia 98 sufianimafoto
home habari uundaji meli mbili za mizigo ziwa nyasa wakamilika asilimia 98
ujenzi wa meli mbili za mizigo katika bandari ya itungi wilayani kyela mkoani mbeya mv njombe na mv ruvuma umekamilika kwa zaidi ya asilimia 98 na kwamba meli hizo zinatarajiwa kufanyiwa majaribio ziwa nyasa mwishoni mwa mwezi februari na kukabidhiwa rasmi serikalini mwezi machi 2017 kusoma zaidi bofya hapa | 2017-08-22T16:52:33 | http://www.sufianimafoto.com/2017/02/uundaji-meli-mbili-za-mizigo-ziwa-nyasa.html |
madaktari 72 wasimamishwa kazi kwa mgomo | home
hali ya dkt ulimboka yaendelea vyema miss world tanzania kushuhudia miss mara 2012 madaktari 72 wasimamishwa kazi kwa mgomo june 29 2012 differentsourcestz latest news bodi f17 gaming hao hayo hiyo huyo kanuni kazi mbeya miaka mkoa namba sigara toleo travel vacation zaidi leave a comment mwenyekiti wa bodi kaimu [caption id=attachment_3013 align=alignleft width=500] mkurugenzi wa wa hospitali ya rufaa mbeya dr e sankey akimsikiliza kwa makini kaimu mkuu wa mkoa mbeyamkuu wa mkoa wa mbeya norman sigara aikzungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu kusimamishwa kazi kwa madaktari hao[/caption]bodi ya hospitali ya rufaa ya mkoa wa mbeya imewasimamisha kazi madaktari 72 kwa kosa la kutoingia kazini kwa siku tano jambo ambalo ni kinyume cha makubaliano ya mkataba
kanuni za kudumu za utumishi wa umma nalo walilikaidi iwapo madaktari ambao hawakuripoti au kueleza sababu za kuridhisha ifikapo tarehe 28/6/2012 kwa kuzingatia kanuni za utumishi wa umma madaktari hao watasimamishwa kazi na kurudishwa kwa mwajiri wao ambaye ni katibu mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamiialisema
hali ya dkt ulimboka yaendelea vyema miss world tanzania kushuhudia miss mara 2012 month viewers 666700 hits | 2016-12-08T07:50:49 | https://infosourcestz.wordpress.com/2012/06/29/madaktari-72-wasimamishwa-kazi-kwa-mgomo/ |
klabu ya gymkhana dar es salaam kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake mtazamo news home
home michezo klabu ya gymkhana dar es salaam kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake
mtazamo news tv tuesday june 13 2017 michezo
mwenyekiti wa klabu ya dar es salaam gymkhana walter chipeta (katikati) akisikiliza maswali toka kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini dar es salaam klabu hiyo iko mbioni kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1916 ambapo imejipanga kuandaa michuano ya michezo mbalimbali kama gofu kriketi tenisi skwashi soka mchezo wa kuogelea na mingine mingi inayotarajiwa kuanza julai 03 na kuhitimishwa tarehe julai 08 kulia ni meneja wa mauzo wa shirika la nyumba la taifa (nhc) ndugu itandula gambalagi na meneja msaidizi wa klabu hiyo elizabeth michael (kushoto)
pia imekuwa ikiendesha michezo ya watoto na watu wenye ulemavu ambao pia wanapata fursa ya kushiriki michezo kama tenisi na skwashi
hii ni klabu ambayo inapokea watu wote wanaopenda kuwa sehemu ya jumuiya ya wapenda michezo na kuwa sehemu ya maadhimisho haya ya kihistoria ili kuendelea kukuza michezo mbalimbali | 2017-10-20T19:47:44 | http://www.mtazamonews.com/2017/06/klabu-ya-gymkhana-dar-es-salaam.html |
tps honduras | unaweza kufanya nini kama tps yangu unaochina | usahello
tps honduras what can you do when your tps expires
picha courtesy of belinda osorio hanzman
tps honduras wakati gani tps wangu mwisho wake
kama tps yako humalizika hali yako ya kisheria kwenda nyuma kwa nini ilikuwa kabla ya unaweza kuomba kubadili hali yako au unaweza kuondoka marekani hii inaitwa kurekebisha hali yako
hadi uamuzi unaweza kuweka yaliyosasaishwa habari zote mpya unaweza kujifunza kuhusu machaguo yako kama tps humalizika na kujiandaa mwenyewe na familia yako kwa ajili ya hatua yako ya pili
unaweza pia kupakua na factsheet kuhusu muda lindwa hali nchini marekani kwa ajili ya el salvador hondurasi na haiti kutoka baraza la uhamiaji ya marekani
tps wamiliki wanaweza kuomba hali ya hifadhi hasa kama wamekuwa hapa mwaka au chini ikiwa umekuwa hapa kwa mwaka chini ya unapaswa tekeleza sasa hata hivyo ni muhimu sana kwamba unajua uscis ya hivi karibuni imebadilika vipi maombi ya hifadhi ni kusindika sasa ni kupitia maombi hivi karibuni kwanza mara baada ya kuwasilisha maombi kwa ajili ya hifadhi inaweza kuwa muda mfupi sana kabla ya kesi yako ni kusikia hivyo wewe pekee zaidi kuomba hifadhi kama kuhitimu kwa sababu vinginevyo wewe hatari kuwa kesi yako kusikia na kisha kuwa warudishwa hapa ni ya fomu ya kuomba hifadhi (hii ni fomu ya kisheria na ingekuwa bora ungekuwa mwanasheria ili kukusaidia kukamilisha fomu)
kujua uhamiaji machaguo yako na hatari
kipeperushi hiki kutoka kliniki katika kihispania itasaidia kuelewa hatari ya kukamatwa kama wewe au kuwa wasioandikishwa
your embassy may post new information about tps unaweza kupata nchi yako marekani ubalozi tovuti hapa
anwani ya ubalozi ni 3007 tilden st nw washington mm 20008
namba ya simu ni(202) 9667702
hapa ni kiungo the embassys page about tps
the embassy of honduras also has consulates in other cities hapa ni ya list of consulates | 2019-11-18T19:48:58 | https://usahello.org/sw/resources/tps-honduras/ |
micharazo mitupu hatari dawa za kulevya zenye thamani ya sh bil 300 zanaswa dar
hatari dawa za kulevya zenye thamani ya sh bil 300 zanaswa dar
godfrey nzowa(kamishina msaidizi mwandamizi kitengo cha kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya) akionyesha baadhi ya madawa yaliyokamatwa
dawa za kulevya aina ya heroin zenye ujazo wa kilo 7 zenye thamani ya zaidi ya sh bil 300 zimenaswa jijini dar es salaam
watu hao wamekamatwa maeneo ya magomeni jijini dar es salaamusiku wa kuamkia jumanne hii
wafanyabiashara wanaoshikiliwa na kitengo hicho ni mwalami mohamed chonji mariki zuberi taka adam rehan musso na abdul abdallah ambao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika
kamishina msaidizi mwandamizi wa kitengo hichogodfrey nzowa amesemakukamatwa kwa watu hao kunafuatia taarifa kutoka kwa raia wema waliowatilia shaka watu hao
aidha kamishna nzowa ameendelea kuwataka wananchi kuachana na biashara hiyo haramu ikiwa ni pamoja na kutoa wito kwa wakulima wanaozalisha bangi kuacha mara moja kwa kuwa zao hilo ni miongoni mwa dawa za kulevya
zaidi ya kilo mia tatu za heroin zimekamatwa na kitengo hicho tangu kuanza kwa mwaka huuhali hiyo inayopunguza kasi ya biashara hiyo hapa nchini
baadhi ya dawa za kulevya zilizowahi kukamatwa na godfrey nzowa
godfrey nzowa(kamishina msaidizi mwandamizi kitengo cha kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya)
dawa za kulevya zilizokamatwa leo magomeni aina ya heroin kilo saba zenye thamani ya shilingi bilioni 300
mizani iliyokuwa inatumika kupimia dawa za kulevya
kifaa kimojawapo ambacho wamekamatwa nacho watuhumiwa hao wa dawa za kulevya
godfrey nzowa(kamishina msaidizi mwandamizi kitengo cha kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya) akionyesha baadhi ya dawa za kulevya yaliyokamatwa
posted by badru kimwaga at 816 am | 2018-03-19T12:53:52 | http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/10/hatari-dawa-za-kulevya-zente-thamani-ya.html |
kinyaiya's entertainment ivi ni kwanini viongozi wa kiafrica hawatoki madarakani mpaka aibu iwakumbe
ivi ni kwanini viongozi wa kiafrica hawatoki madarakani mpaka aibu iwakumbe
rais wa zamani wa misri bwhosni mubarak ambaye baada ya kuambiwa kistaarabu atoke madarakani akajifanya kugoma na sasa 'aibu' imemkumba kwa kushtakiwa tena akiwa kwenye 'machela' kitandani mahakamani kwa rushwa na kuamuaru wafuasi waliokuwa wanampinga wauwawe
na huyu nae anaitwa zine ben alli ambaye ni rais wa zamani wa tunisia ambaye naye aliambiwa kistaarabu atoke madarakani akajifanya mbishi sasa amekimbizwa nchini humo na sasa ankabiliwa na mashtaka ya rushwa na udikteta
huyu anaitwa muamar ghaddafi nae yuko njiani kung'olewa madarakani kwa ubishi wake wakati ameshatawala libya miaka kibao ila bado ana tamaa ya madaraka sasa we subiri utasikia siku chache zijazo balaa litakalomkumba maana waasi wameishaingia tripolli kudaadekiii
jamani eeh la kuvunda halina ubani historia inatuonyesha mifano mingi tokea zama za kale kuhusu viongozi waliolewa madaraka wakabweteka na kujisahau na ukichunguza kwa makini kila kiongozi mbaya anayebweteka na kujisahau pembeni mwake kuna majuha kadhaa anaowategemea kama wapambe au washauri wake na mara nyingi washauri majuha humshauri kiongozi mbaya kile wanachojua anapenda au anataka kusikia au kwa maneno mengine washauri wale hubakia wakimchekeachekea wakimsifu kumpamba na kumweleza jinsi anavyopendwa na wananchi na jinsi nchi inavyoweza kuangamia bila yeye na jinsi ambavyo jua linasimama siku akiugua mafua nk mtukufu mheshimiwa mkuu wa wakuu huwezi kuamini juzi ulipopatwa na hali ya mafua kidogo hakuna hata ndege mmoja aliruka angani katika miti ya nchi hii wote walisikitika na kukuombea upone haraka uje kusaidia watu wako ni maneno yaliyosemwa na mpambe wa kiongozi mmoja dikteta wa afrika ambaye hata hivyo aliondolewa madarakani kwa nguvu ya umma na akakimbia kwa aibu kwenda kujifia ughaibuni miaka michache iliyopita hakuna watu hatari kama wapambe wenye njaa ambao hawaamini katika kitu kingine chochote zaidi tu ya kupata mlo na kutuliza njaa zao ni jambo dhahiri kuwa utapiamlo ni tatizo kubwa sana katika nchi zetu kiasi kwamba suala la kupata mlo ni tatizo la msingi kuanzia kwa mmachinga anayeuza nguo kadhaa za mtumba mkononi hadi kwa waziri wa serikali ya nchi mmaachinga anapokuuzia shati au suruali ya mtumba anasisitiza hapo natafuta pesa ya kula tu mjomba au unamsikia akisema niongozee basi nipate hela ya kula vivyo hivyo hata na waziri wetu anapokwenda kusaini mikataba (kumbuka mikataba yote tuliyoingizwa mkenge ukiwamo wa sasa wa dowans) waziri wetu pia analia mbele ya yule anayeingia naye mkataba na mie natafuta hela ya kula tu hapo ndugu mwekezaji au ongeza basi bei hapo nami nipate hela ya kula kwa vile tumezaliwa na kukulia katika nchi ambazo watu hukumbwa na baa la njaa na hata kufa basi ni kama bongo zetu zimeandaliwa kufikiria namna ya kukabiliana na njaa muda wote ndiyo maana wakati mmachinga anatafuta shilingi 2000/ kutwa nzima ili familia ile ivae na ijisitiri (katika chumba cha kupanga manzese) vigogo wetu wanatafuta milioni 200 kwa siku ili familia zao zile (chakula sawa na cha kempisky) zivae (nguo za wabunifu wa ulaya kama versace) na ziishi katika mahekalu ambayo maskini huyasoma katika hekaya za kufikirika hizo tofauti tu siyo tatizo hakuna kokote duniani ambapo watu hulingana au kufanana kwa kila jambo tatizo ni pale watawala wwetu wanapotumia rasilmali za umma na kodi za wananchi kwa ajili ya anasa zao binafsi huku wananchi wengi wakiachwa kujitafutia chakula kama kuku wa kienyeji na jambo muhimu ninalojaribu kulidadisi leo katika makala yangu ni tabia hii ya watawala na wapambe wao kuhisi njaa muda wote na wakajisahau matokeo yake tumeyaona tunisia hivi karibuni na tunazidi kuyaona misri na katika nchi zingine muhammad bouaziz alikuwa amehitimu shahada ya kompyuta nchini mwake tunisia lakini kutokana na mazingira yaliyojengwa na mfumo usiowajali vijana hakupata kazi na aliishia kuwa mmachinga akiuza mbogamboga kwa toroli ili apate hela ya kula na kulisha familia yake pamoja na bouazizi kutafuta njia bora na halali ya kujiingizia kipato bado alikumbana na nguvu za dola akavumilia manyanyaso ya kila siku hadi yalipomfika kifuani kazi aliyokuwa akiifanya bouazizi ni halali japo wamachinga wa kule husumbuliwa na mgambo wa jiji kama ilivyo hapa kwetu bouazizi akaamua kujiwasha moto (kujilipua) kudhihirisha hasira alizokuwa nazo dhidi ya mfumo maandamano yakapamba moto siyo tu kupinga uonevu aliokuwa ameonyeshwa bouazizi bali pia kukataa mfumo uliosababisha mauti yake vijana wakafurika mitaani kuelezea hasira zao lakini serikali ya watawala waliojulikana kwa sifa ya ukatili na kujilimbikizia mali ikaamuru askari watumie nguvu za dola kuzima nguvu ya umma mnadhimu wa jeshi la nchi ile rachid ammar alipokataa kutii amri ya rais zile al abedine ben ali ya kuvunjilia mbali maandamano aliondolewa na kuwekwa mwingine aliyekuwa tayari kutafuta hela ya kula kwa kunawa damu za watu lakini ukweli umeanza kudhihirika kwamba viongozi wanaoingia madarakani kutafuta hela ya kula na wakauza rasilmali za nchi kwa manufaa yao binafsi na kusababisha madhila makubwa kwa wananchi wa kawaida siku zao zinahesabika kama tulivyoona wimbi kubwa la mapinduzi ya kisiasa katika miaka ya mwishoni mwa 1980 na mwanzoni mwa 1990 wakati nchi nyingi zilivyolazimika kufuata demokrasia ya vyama vingi (bila watawala kutaka) wimbi la sasa ni la nguvu ya umma kwa watawala jeuri wanaoibia wananchi wao na kuwafukarisha kwa kutumia madaraka ya umma tumeshuhudia ukweli kwamba askari na wanajeshi pia huchoshwa na utawala usiojali wananchi na unaotaka tu kutumia ubabe na ukandamizaji wakati mazingira yanayosababisha vurugu yanaandaliwa na watawala wenyewe uzoefu wa tunisia na misri unaonyesha kuwa wakati mwingine vyombo vya dola vikiamua kuua waandamanaji si kwa sababu vinatii amri ya watawala la hasha vinafanya hivyo kuwachochea wananchi wachukue hatua zaidi hadi tawala zile dhalimu zingoke ninachoweza kuwashauri watawala wa namna hiyo na wapambe wao ni kuaandaa ndege za kutosha kubeba masanduku ya almasi dhahabu na vito vingine walivyoficha (kama alivyofanya ben ali wa tunisia na mkewe) tayari kutoroka nchi zao kwa sababu hawatajua siku wala saa posted by
kama tanzaniani ccm ccm na waohawapendi rais atoke kwenye chama kingine chochote kile | 2017-07-24T12:46:26 | http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/08/ivi-ni-kwanini-viongozi-wa-kiafrica.html |
uchokozi wa edo kifo cha fastjet kimekuja ghafla hatukujiandaa vyema mwananchi
mke wa rafiki yangu amekwama mbeya analazimika kurudi dar es salaam kwa kutumia usafiri wa basi siku hizi ni safari ya saa 13 barabarani mnatoka mbeya saa 12 asubuhi mnafika dar es salaam saa tatu usiku hilo linatokana na tochi nyingi barabarani na madereva sasa wanatii sheria
kwa mujibu wa mume wake mke wake aliambiwa ndege ya atcl imejaa mpaka alhamisi nauli ya ndege anayo lakini analazimika kupanda basi bila ya kupenda tunaanza kulipia gharama za utawala wa shirika moja tu la ndege hewani kuna watu watatu waliwahi kuniambia wamekumbana na tatizo hilo
wakati huu tukiwa tumeifukuza fastjet kwa majigambo huku precision wakiwa hoi kwa muda mrefu tuna shirika moja tu la ndege atcl wamepewa nguvu sokoni lakini sioni kama wamejiandaa kukidhi mahitaji ya abiria
ndege kubwa tatu ambazo zimenunuliwa inabidi zipige safari za mbali haziwezi kwenda mbeya au mwanza kibiashara ni hasara inabidi ziende hong kong dubai china marekani india na kwingineko humu ndani inabidi zitumike zile mbili ndogo
kinachofuata kwa sasa ni kama kile kilichomtokea mke wa rafiki yangu una fedha yako mfukoni lakini unakosa huduma wale watu wa mwanza wakati ule kulikuwa na ndege tatu kwa siku asubuhi mchana na jioni leo wana bombardier tu ambayo wakati inajipanga kwenda mwanza mara mbili kumbuka bado kuna safari za mbeya kiimanjaro tabora na dodoma zinawasubiri
abiria wote wa fastjet wamehamia atcl hapo kumbuka kuna abiria wa atcl ambao tayari walikuwepo kabla ya kukata roho kwa fastjet maisha yanaanza kuwa magumu
ndege zetu tunazipenda sana na tunamuunga mkono namba moja katika juhudi zake za kufufua shirika hili lakini nadhani walipaswa kuwa na upinzani hewani usafiri wa ndege sio biashara tu ni huduma kama unalazimika kusubiri wiki nzima upate nafasi katika ndege basi kuna tatizo kubwa tumelitengeneza
asiyetamani shirika letu lifufuke ni mchawi lakini lazima tuwe wakweli na tatizo ambalo tunalitengeneza kwa sasa ni wakati mwafaka wa ndege zetu kupiga fedha ndefu lakini bado kuna fedha nyingi wanaziacha ardhini kifo cha fastjet ni tatizo kwetu | 2019-04-19T19:12:39 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/UCHOKOZI-WA-EDO--Kifo-cha-Fastjet/1597296-4943866-format-xhtml-xxvi47/index.html |
wakina baba niwieni radhi jamani sio kosa langu tuongeemahusiano
wakina baba niwieni radhi jamani sio kosa langu
354 am 1 comment
kwanza kabisa kuna comment moja najuwa kabisa itakuwa ni mwanume ameituma anasema kwamba mimi mada zangu nyingi nawatetea kina mama na kuwakandia kina baba
jamani kina baba mimi nawapenda kama ninavyowapenda kina mama tatizo nikwamba mmezidi kutupa matatizo mengi sana kwenye nyumba na ndio maana mnaona mambo humu mengi yanahusu nyie kuwafanyia wake zenu hawa ni wake zenu wanaonitumia hizi mada bado sijapata mada nyingi kutoka kwa kina baba wakilalamikia wake zao
ukweli ni kuwa wababa wengi pengine si walalamikaji kwenye blogs au wako busy lakini ukweli wanawake wengi hawajui kuishi na waume hata inashangaza kitchen party ni za nini zimekuwa chicken party
hata wanaume wanaokwenda nje ya ndoa wengi ni kwa vile wanashindwa kuvumilia vituko vya ndani wanawake hawajali hisia zetu wamejaa ubeijing wa bandia wakati wenzao wa nyumba ndogo wanajua kujituma kitandani wanaheshima ingawa ya bandia n badilikeni wamama
waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mhe william lukuvi afafanua kuhusu bomoabomoa | 2017-10-23T17:17:05 | http://rosemarymizizi.blogspot.com/2011/02/wakina-baba-niwieni-radhi-jamani-sio.html |
serikali kudumisha matibabu ya uzazi pingaamizi jiachie serikali kudumisha matibabu ya uzazi pingaamizi jiachie
home > jamii > serikali kudumisha matibabu ya uzazi pingaamizi
serikali yaja na mpango mkakati wa kudumisha matibabu ya uzazi pingamizi ili kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka mitano nchini tanzania
hayo yamesemwa na katibu mkuu wizara ya afyamaendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dkt mpoki ulisubisya wakati waa ufunguzi wa mkutano wa nne wa`masuala ya ganzi uliofanyika jijini dar es salaam
huwezi kutoa huduma bora na salama ya uzazi pingamizi bila kuwa na wataalamu wa ganzi ili kufanywa upasuaji usio na maumivu hivyo katika mkutano huu tunapanga kuwa na wataalamu wengi wa huduma hiyo ili kutoa huduma bora nchini
aidha dkt ulisubisya amesema kuwa licha ya kudumisha matbabu ya uzazi pingamizi pia serikali imejidhatiti kujenga vituo vya afya vinavyotoa huduma hiyo kuanzia ngazi ya wilaya mkoa na taifa kwa ujumla
mbali na hayo dkt ulisubisya amesema kuwa mkutano huo unalenga kutoka na malengo ya kutoa huduma bora kwa wagonjwa mahututi pamoja na kutoa huduma ya ganzi kwa wanaohitaji kupasuliwa mkutano huo ulioandaliwa na chama cha wataalam wa ganzi nchini (sata) umeudhuriwa na wadau mbalimbali kutoka swedencameroon marekani tanzania ili kuweza kujua mchango wa kupunguza vifo vya wajawazito kutokana na huduma ya ganzi
item reviewed serikali kudumisha matibabu ya uzazi pingaamizi rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2017-10-23T20:48:13 | http://michuzijr.blogspot.com/2017/05/serikali-kudumisha-matibabu-ya-uzazi.html |
zanzibar ni kwetu spika aidhinisha kura ya siri kuhusu rais jacob zuma
spika aidhinisha kura ya siri kuhusu rais jacob zuma
wabunge nchini afrika kusini watapiga kura ya siri wakati wa kuamua kuhusu hoja ya kutokuwa na imani na rais jacob zuma siku ya jumanne spika wa bunge la nchi hiyo ametangaza
baleka mbete ametoa uamuzi huo baada ya vyama vya upinzani kuwasilisha kesi mahakamani wakitaka kura hiyo iwe ya siri
wabunge hao wanaamini kwamba iwapo kura ya siri itafanyika wabunge wa chama tawala cha african national congress (anc) ambao wanampinga zuma watakuwa na uwezekano wa juu wa kupiga kura dhidi ya rais huyo
bw zuma amenusurika kura ya kotukuwa na imani naye mara kadha awalichama cha anc ambacho kimetawala afrika kusini tangu kumalizika kwa utawala wa ubaguzi wa rangi wa wazungu mwaka 1994 kina wingi wa wabunge katika bunge la nchi hiyo
mbunge wa anc makhosi khoza amesema amepokea vitisho baada yake kutangaza kwamba angepiga kura dhidi ya rais zuma
hili ndilo jaribio la karibuni zaidi la kujaribu kumuondoa madarakani rais zuma na linatokea baada yake kumfuta kazi waziri wa fedha aliyependwa sana na wengi pravin gordhan pamoja na mawaziri wengine katika mabadiliko yake kwenye baraza la mawaziri mwezi machi
rais huyo amekabiliwa na tuhuma za kujihusisha katika ufisadi na kwamba amekuwa na uhusiano na familia ya matajiri ya gupta ambao wanadaiwa kuwa na ushawishi wakati wa maamuzi yake ya kisiasa
bw zuma na familia ya gupta wote wamekanusha tuhuma hizo
mwezi juni majaji wa mahakama wa kikatiba waliamua kwamba bi mbete ana mamlaka ya kufanya uamuzi kuhusu iwapo wabunge wapige kura ya siri
blog archive august ( 244 ) july ( 721 ) june ( 537 ) may ( 919 ) april ( 706 ) march ( 1044 ) february ( 697 ) january ( 743 ) december ( 620 ) november ( 501 ) october ( 436 ) september ( 279 ) august ( 184 ) july ( 72 ) june ( 51 ) may ( 1 ) april ( 489 ) march ( 786 ) february ( 964 ) january ( 963 ) december ( 1025 ) november ( 909 ) october ( 910 ) september ( 760 ) august ( 806 ) july ( 625 ) june ( 341 ) may ( 488 ) april ( 625 ) march ( 428 ) february ( 318 ) january ( 356 ) december ( 307 ) november ( 333 ) october ( 341 ) september ( 288 ) august ( 200 ) july ( 147 ) june ( 112 ) may ( 90 ) april ( 41 ) march ( 10 ) january ( 205 ) december ( 300 ) november ( 413 ) october ( 406 ) september ( 214 ) august ( 265 ) july ( 285 ) june ( 274 ) may ( 291 ) april ( 365 ) march ( 355 ) february ( 315 ) january ( 488 ) december ( 372 ) november ( 357 ) october ( 295 ) september ( 212 ) august ( 80 ) | 2017-08-17T23:27:55 | https://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2017/08/spika-aidhinisha-kura-ya-siri-kuhusu.html |
je mgomo wa walimu unaweza kuwa faida kwetu tusiokuwa na ajira kipindi hiki cha sensa | jamiiforums | the home of great thinkers
je mgomo wa walimu unaweza kuwa faida kwetu tusiokuwa na ajira kipindi hiki cha sensa
discussion in 'nafasi za kazi na tenda' started by pettymarcel jul 31 2012
samahan wakuu mimi ni muhanga wa ajira hapa nchini na jana nimesikia tichaz wamegoma je wamegoma mpaka kuhesabu watu ili sisi tusio na ajira tujue kama tutapata japo kanafasi maana matichaz ndo walipewa first peority sasa vipi inakuwaje nawakilisha
kweli hebu wakuu mtujuze hata mm nina cheti cha grade 'a' marangu ttc mwaka je wizara ya elimu naruhusiwa kufundisha somo la kiingereza au lolote nikapata huo mshahara maana sina kazi na katika sensa tunaruhusiwa kuvuja kwa pakacha nafuu ya
njaa itakuua ndugu yanguyaani wewe hicho wanachodai wenzio hakikugusi
njaa itakuua ndugu yanguyaani wewe hicho wanachodai wenzio hakikugusiclick to expand
wee ukisema cha nini wenzio wanajiuliza watakipata lini
walimu wamegomea kazi zao tu za kufundisha na mitihani sensa haihusiki maana inasimamiwa na idara nyingine ya serikali na tayari ofisi ya takwimu imewaajiri takriban walimu wote waliogoma usilalie mlango wazi bahati ya mwenzio bro
wee ukisema cha nini wenzio wanajiuliza watakipata liniclick to expand
kweli tumeumbwa tofautimpigie kawambwa
ebwana sina ajira kama wameamua kugoma kwa shibe yao na mimi nina njaa ata uji wa chumvi sina hili kwangu kama zali la mental tu tena wamegoma wakat ambao nina njaa balaa
kweli tumeumbwa tofauti wenye njaa na wenye shibe wenye ajira na wasio kuwa na ajira so hatuwez kuwa sawa wewe ukisema cha nini mwenzako kama mimi nasema nitakipata lini
kweli tumeumbwa tofautimpigie kawambwaclick to expand
kweli tumeumbwa tofauti wenye njaa na wenye shibe wenye ajira na wasio kuwa na ajira so hatuwez kuwa sawa wewe ukisema cha nini mwenzako kama mimi nasema nitakipata liniclick to expand
yahnimekubali and nikupa mbadalajust call kawambwa
mabadiliko yanaweza kufanyika wakati wowote hii ndo tanzania bana si umeona walichoambulia wauguzi ebo
walimu wamegomea kazi zao tu za kufundisha na mitihani sensa haihusiki maana inasimamiwa na idara nyingine ya serikali na tayari ofisi ya takwimu imewaajiri takriban walimu wote waliogoma usilalie mlango wazi bahati ya mwenzio broclick to expand
umeona mkuu watu hatuna ajira wengine wanachezea ajira badala ya kuchezea mishahara yao
kweli hebu wakuu mtujuze hata mm nina cheti cha grade 'a' marangu ttc mwaka je wizara ya elimu naruhusiwa kufundisha somo la kiingereza au lolote nikapata huo mshahara maana sina kazi na katika sensa tunaruhusiwa kuvuja kwa pakacha nafuu ya click to expand
samahan wakuu mimi ni muhanga wa ajira hapa nchini na jana nimesikia tichaz wamegoma je wamegoma mpaka kuhesabu watu ili sisi tusio na ajira tujue kama tutapata japo kanafasi maana matichaz ndo walipewa first peority sasa vipi inakuwaje nawakilishaclick to expand
kama mwalimu anahesabu vizuri hata akigoma bado ataendelea kuhesabu vizuri
ama kweli kufa kufaana ila ukiingia kwenye ajira wewe miezi mitatu tu inatosha kuku_frustrate
ukundi
wamesema zoez la sensa halitahusika na mgomo | 2017-01-25T01:57:12 | https://www.jamiiforums.com/threads/je-mgomo-wa-walimu-unaweza-kuwa-faida-kwetu-tusiokuwa-na-ajira-kipindi-hiki-cha-sensa.301051/ |
kuzungumza na mungu | mwangaza
maombi ni kumfungulia mungu moyo kama rafiki si tu kwamba ni lazima ili kumjulisha mungu vile tulivyo bali hutuwezesha sisi kumpokea yeye maombi hayamshushi mungu chini bali hutuinua juu aliko yeye wakati yesu alipokuwa duniani aliwafundisha wanafunzi wake jinsi ya kuomba aliwaelekeza kupeleka mahitaji yao ya kila siku mbele ya mungu na kumtwisha yeye shida zao zote uhakika aliowapatia kwamba maombi yao yatasikiwa pia ni uhakika kwetu
hitaji letu la kuomba
yesu mwenyewe alipokuwa akiishi pamoja na wanadamu alikuwa kwenye maombi mara kwa mara mwokozi wetu alijihusianisha na mahitaji na mapungufu yetu na udhaifu wetu kwa kuwa alikuwa mwombaji mtoadua akitafuta toka kwa baba yake kupewa nguvu mpya ili aweze kuwa tayari kwa kazi na majaribu yeye ndiye mfano wetu katika mambo yote yeye ni ndugu katika udhaifu wetu alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote lakini akiwa hana dhambi asili yake ilipingana na uovu alivumilia mahangaiko na mateso ya roho katika ulimwengu wa dhambi ubinadamu wake uliyafanya maombi kuwa suala muhimu na fursa ya upendeleo alipata faraja na furaha katika kufanya ushirika na baba yake na kama mwokozi wa wanadamu mwana wa mungu aliona haja ya maombi ni kwa kiasi gani zaidi wanadamu wadhambi na wenye ukomo na dhaifu wanapaswa kuhisi hitaji la dhati la maombi ya kudumu
baba yetu wa mbinguni anangoja kutukirimia baraka zake tele ni haki yetu kunywa kwa wingi kutoka kwenye chemchemi ya upendo usio na mipaka ni jambo la kushangaza kiasi gani kwamba tunaomba kidogo sana mungu yuko tayari na hupenda kusikiliza maombi ya dhati ya wale walio wanyonge kabisa miongoni mwa watoto wake lakini badala yake kuna hali ya kusita sana kwa upande wetu katika kumjulisha mungu mahitaji yetu je malaika wa mbinguni huwafikiriaje hawa wanadamu maskini wasio na msaada wanaokabiliwa na majaribu wakati ambapo moyo wa mungu wenye upendo usio na kikomo unatamani sana kuwa karibu nao ukiwa tayari kuwapatia zaidi ya kile wanachoweza kuomba au kufikiria lakini bado wanaomba kidogo sana na wana imani ndogo sana malaika wanapenda kusujudu mbele ya mungu wanapenda kuwa karibu yake wanauchukulia ushirika wao na mungu kama furaha yao kuu na bado watoto wa duniani wanaohitaji sana msaada ambao mungu pekee anaweza kuutoa wanaonekana kuridhika kutembea bila nuru ya roho wake na ushirika wa uwepo wake
ufunguo wa ushindi
giza la yule mwovu huwazunguka wote wanaopuuza kuomba minongono ya majaribu ya yule adui huwashawishi kutenda dhambi na hii yote ni kwa sababu hawatumii fadhila yao ambayo mungu amewapatia katika fursa ya maombi aliyoiteua kwa nini wana na mabinti wa mungu wapuuzie kuomba wakati maombi ni ufunguo katika mikono ya imani unaofungua hazina ya mbinguni mahali palipohifadhiwa rasilimali tele za mungu mwenyezi pasipo maombi yasiyokoma na kukesha kwa bidii tupo katika hatari ya kuzembea na kupotoka kwa kuiacha njia ya kweli yule adui daima hutafuta kuweka vizuizi katika njia ya kiti cha rehema ili kwa kukosa maombi ya bidii na imani tusipokee neema na nguvu ya kuyakabili majaribu
omba ukiwa faraghani peke yako na kadri unapokuwa ukifanya kazi zako za kila siku hebu moyo wako uinuliwe mara kwa mara kwa mungu hivyo ndivyo henoko alivyoweza kutembea pamoja na mungu maombi haya ya kimya hupanda juu kama manukato ya thamani mbele ya kiti cha neema shetani hawezi kumshinda mtu yule ambaye moyo wake umetulizwa kwa mungu
masharti ya maombi
kuna masharti maalumu ambayo kwayo twaweza kutegemea kuwa mungu atasikia na kuyajibu maombi yetu moja ya hayo hali ya kuhitaji msaada toka kwake ameahidi kwa maana nitamimina maji juu yake aliye na kiu na vijito vya maji juu ya mahali pakavu (isaya 443) wale wote wenye njaa na kiu ya haki wenye shauku ya kumjua mungu wanaweza kuwa na uhakika kuwa watashibishwa moyo lazima uwe wazi kwa ajili ya mvuto wa roho vinginevyo baraka za mungu haziwezi kupokelewa
hitaji letu kubwa lenyewe ni hoja na husihi kwa nguvu zaidi kwa niaba yetu lakini bwana anapaswa kutafutwa katika maombi aweze kutufanyia mambo haya kwani anasema ombeni nanyi mtapewa tena yeye asiyemwachilia mwana wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye (mathayo 77 warumi 832)
ikiwa tukiwaza maovu mioyoni mwetu kama tukingangania dhambi yoyote inayojulikana bwana hatatusikia lakini maombi ya roho iliyopondeka na yenye toba hukubaliwa kila wakati wakati makosa yote yanayojulikana yanaposahihishwa twaweza kuamini kuwa mungu atajibu maombi yetu wema wetu sisi wenyewe hauwezi kutustahilisha kupata fadhila za mungu ni sifa stahilifu ya yesu ndiyo itakayotuokoa damu yake ndiyo itakayotutakasa lakini hata hivyo tunayo kazi ya kufanya ili kuendana na masharti ya kupokelewa
jambo lingine la msingi linalohusiana na maombi ni imani mtu amwendeaye mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao waebrania 116 yesu aliwaambia wanafunzi wake yoyote myaombayo mkisali aminini ya kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu (marko 1124) je twamchukua bwana kama alivyosema katika neno lake
hakuna jambo gumu linalomshinda mungu
peleka mahitaji yako furaha yako huzuni zako masumbufu yako na hofu zako mbele ya mungu huwezi kumwelemea kwa kumtwisha mzigo mzito huwezi kumchosha yeye awezaye kuhesabu idadi ya nywele za kichwa chako hayapuuzii mahitaji ya watoto wake bwana ni mwingi wa rehema mwenye huruma (yakobo 511) moyo wake wa upendo huguswa kwa huzuni zetu na hata kwa maneno yetu yanayozitamka peleka kwake kila kinachoifadhaisha akili hakuna lolote lililo kubwa kwake kulibeba kwani hushikilia malimwengu huyatawala mashauri ya ulimwengu wote hakuna chochote kinachohusu amani yetu ambacho ni kidogo sana kwake kiasi cha kutokiona hakuna sura katika uzoefu wetu yenye giza sana kwake kiasi cha kutoisoma hakuna mfadhaiko ulio mgumu sana kwake kiasi cha kutoitatua hakuna dhoruba iwezayo kumpata hata mmojawapo mdogo kabisa miongoni mwa watoto wake hakuna hofu inayoisumbua roho hakuna furaha hakuna maombi ya dhati yatokayo midomoni ambayo baba yetu wa mbinguni hayatazami au ambayo havutiwi nayo huwaponya waliopondeka moyo kuziganga jeraha zao zaburi 1473 uhusiano kati ya mungu na kila nafsi ni wa pekee na kamilifu kabisa kiasi kwamba kama kusingekuwa na mtu mwingine duniani kushiriki kupata uangalizi wake kiasi kwamba kama kusingekuwa na mtu mwingine ambayo kwa ajili yake alimtoa mwanawe mpendwa
*imenukuliwa toka kitabu cha steps to christ au njia salama (amani katika dhoruba hatua za ushindi | 2019-06-26T19:11:54 | http://www.mwangaza.info/home/kuzungumza-na-mungu/ |
tdi 300 service kit dar es salaam | zoomtanzania
utambulisho wa tangazo 1467032
mwanachama tangu 9 jul 4 total ads / 4 active ads | 2019-08-18T13:13:46 | https://www.zoomtanzania.com/sw/mafuta-na-vilainishi/tdi-300-service-kit-1467032 |
maelfu ya watoto nchini mali hatarini kupata utapiamlo | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa
19/04/2013 maelfu ya watoto nchini mali hatarini kupata utapiamlo
watoto waugua utapiamlo mali unicef
kiasi cha watoto 700000 nchinimaliwako hatarini kukubwa na matatizo ya utapiamlo kutokana na kuendelea kuzorota kwa hali ya usalama katika eneo la kaskazini ambako makundi ya waasi yanaendesha harakati za kijeshishirika la umoja wa mataifa linalohusika na watoto unicef limesema kuwa hali ya utoaji wa huduma za kijamii kwenye shule pamoja na usambazaji wa maji siyo ya kuridhisha jambo ambalo linaongeza hali ya wasiwasi
unicef imesema kuwa hata hivyo maeneo mengi ya mijini kumekuwa na uimarikaji wa usambazaji wa huduma za kijamii kunakofanywa na mashirika ya usamaria mwema lakini kunahitajika kuongeza nguvu ili kurejesha ustawi wa kijamii na kulinda maslahi ya watoto
marixie mercado mmoja wa maafisa wa unicef amesema kuwa shughuli za usambazaji wa huduma za kibinadamu zinazorota kutokana na kukosa fedha shirika hilo limeomba msaada wa dola za marekani milioni 82 ili kuendesha shughuli zake lakini hadi sasa limefaulu kupata dola milioni 20 | 2015-01-31T01:10:03 | http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/04/maelfu-ya-watoto-nchini-mali-hatarini-kupata-utapiamlo/ |
ghasia na uhaba wa pesa yakwamisha misaada ya kibinadamu mali | habari za un
14 agosti 2015
mratibu wa maswala ya kibinadamu wa umoja wa mataifa kwa ukanda wa sahel toby lanzer ameonya kwamba uhaba wa chakula utazidi kuongezeka nchini mali iwapo pande za mzozo watashindwa kuhakikisha utulivu nchini humo
ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuendelea kufadhili msaada wa kibinadamu nchini humo hasa kwa watu wanaoteseka zaidi
kwa mujibu wa ofisi ya kuratibu maswala ya kibinadamu ocha takriban watu milioni 31 nchini mali bado wanakumbwa na ukosefu wa chakula huku maisha ya watoto 15000 yakiwa hatarini kwa sababu ya unyafuzi
kwa upande wake mbaranga gasarabwe ambaye ni mratibu wa maswala ya kibinadamu nchini mali ameeleza kwamba ukosefu wa usalama unazuia usambazaji wa misaada ya kibinadamu kwenye baadhi ya maeneo ya nchi
halikadhalika ocha imeongeza kwamba asilimia 33 tu ya pesa zinazohitajika kwa ajili ya msaada wa kibinadamu zimefadhiliwa
africa|culture and education|hapa na pale|humanitarian aid|peace and security|women children population
mjumbe mpya wa um awasili nchini somalia
mpango wa kulinda amani côte d'ivoire kufungwa karibuni | 2020-02-27T10:12:15 | https://news.un.org/sw/story/2015/08/424702-ghasia-na-uhaba-wa-pesa-yakwamisha-misaada-ya-kibinadamu-mali |
iran na uturuki zafanya mazungumzo juu ya syria | matukio ya kisiasa | dw | 07082012
iran na uturuki zafanya mazungumzo juu ya syria
mwakilishi mmoja wa kiongozi wa iran ayatollah ali khamenei amefanya ziara ya ghafla nchini syria kwa ajili ya mazungumzo na rais bashar alassad katika wakati ambao mapigano nchini humo yanaendelea
saeed jalili mwakilishi wa ayatollah khamenei
saeed jalili ambaye pia ni mkuu wa baraza la usalama la iran aliwasili syria mapema jumanne akitokea beirut mji mkuu wa lebanon huko alikuwa na mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo iran ambayo ni mshirika mkuu wa syria imekuwa ikikosoa ushirikiano unaotolewa na nchi kama marekani uturuki saudi arabia na qatar kwa waasi wanaopamabana na vikosi vya assad mbali na hayo iran ina wasiwasi juu ya hatma ya raia 48 wa nchi hiyo waliotekwa na waasi mwishoni mwa wiki iliyopita
waziri wa mambo ya nje wa iran ali akbar salehi atafanya ziara nchini uturuki jumanne kufanya mazungumzo juu ya mzozo wa syria na juu ya kisa cha raia hao 48 wa iran waliotekwa mwanadiplomasia mmoja wa uturuki amelieleza shirika la habari la afp kwamba salehi atakutana na mwenzake wa uturuki ahmet davutoglu na watajadili zaidi kuhusu mzozo wa syria
nchini syria kwenyewe mapigano yanaripotiwa kuendelea katika mji wa aleppo uliopo kaskazini mwa nchi hiyo majeshi ya serikali leo yameendelea na juhudi zake za kuteka maeneo ambayo sasa yanakaliwa na waasi wapigananaji wasiopungua 25 wameuwawa katika machafuko yaliyotokea leo mauaji hayo yalitokea baada ya waasi kukishambulia kituo cha kuzalisha umeme na hivyo kwa mujibu wa vyombo vya habari vya taifa kuwalazimisha wanajeshi wa serikali kuwashambulia waasi na kuuwa 25 kati yao
idadi ya wakimbizi yaongezeka
uharibifu uliosbabishwa na vita mjini aleppo
waasi wanadai kwamba wamefanikiwa kukiteka kituo cha ukaguzi wa kijeshi kilichopo kaskazini mashariki mwa aleppo akizungumza na shirika la habari la dpa kwa njia ya simu kamanda wa jeshi huru la syria abu omar alhalabi alisema kwamba waasi walifanikiwa kuteka kituo hicho baada ya kupambana na vikosi vya assad kwa muda wa masaa 10 kwa sababu ya kuendelea kwa machafuko umoja wa mataifa umeamua kuwaondoa waangalizi wake katika mji wa aleppo waangalizi hao sasa wamepelekwa kwenye mji mkuu wa syria damascus
machafuko yanayoendelea syria yanasababisha wimbi la wakimbizi kuongezeka zaidi ya raia 1000 wa nchi hiyo akiwemo jenerali mmoja wa jeshi wamekimbilia uturuki wiki hii hadi sasa inakadiriwa kwamba idadi ya wakimbizi kutoka syria waliopo uturuki imefikia 50000 jenerali aliyekimbilia syria leo anasemekana kuambatana na maafisa wengine 12 wa jeshi
hata hivyo utawala wa uturuki umekataa kutoa idadi kamili ya majenerali walioukimbia utawala wa assad na waliopo uturuki hivi sasa baadhi yao wanaripotiwa kurudi syria na kujiunga na waasi katika juhudi za kumwondoa assad madarakani
mada zinazohusiana iran tehran bashar alassad
maneno muhimu syria iran assad aleppo ayatollah
kiungo http//pdwcom/p/15l6q | 2018-01-19T07:55:18 | http://www.dw.com/sw/iran-na-uturuki-zafanya-mazungumzo-juu-ya-syria/a-16149068 |
picha na rangi ~ light photo studio
picha na rangi
client mohamed kilwanda
theme picha na rangi
picha ni rangi hivyo ndivyo ntakavyo jibu kama mtu yeyote ataamua kuniuliza picha ni nini hiyo ni kutokana na mtazamo wangu kama wewe una mtazamo tofauti nitafurahi kuona unayafikisha hapa kwenye blog yetu
hizi picha za leo kama ukichunguza au ukiangalia utaona nimetumia background ya njano sio kwamba nilipanga nitumie hiyo tangu zilopoanza kupigwa la hasha wazo la kubadilisha background limeniingia wakati na edit nimeona rangi aina ya njano inayofifia ndo inanifaa kwasababu tu inaleta staili fulani hivi na urembo fulani picha inaonekana kama ya zamani kidogo hivi
ukitaka kuziangalia picha vizuri basi usisite kuangalia kwenye gallery yetu kwa maoni zaidi unweza kutembelea ukurasa wetu wa facebook uka like afu ndo ukaacha maoni yako
https//wwwfacebookcom/pages/lightphotostudio/136259433243570
mpaka wakati mwingine enjoy | 2019-05-27T13:26:52 | http://lightphotostudio.blogspot.com/2013/09/picha-na-rangi.html |
indege yintambara ya israel yarasiwe muri syria irasandara umuseke
indege yintambara ya israel yarasiwe muri syria irasandara
yashyizweho na ange eric hatangimana 10/02/2018 1231 7 _
indege ya israel yo mu bwoko bwa f16 yarasiwe muri syria nyuma yibitero byo mu kirere israel yagabye ku ngabo za syria ishinja gufatanya na iran
abapilote bimwe mu ndege za israel yahanuwe ngo bahise bajyanwa kwa muganga umwe yakomeretse cyane
abapilote bindege babiri bari muri iyo ndege ngo babashije gusimbuka bayivamo ari bazima
iyi ndege yarasiwe muri syria igwa mu majyaruguru ya israel nibwo bwa mbere israel itakaje indege yintambara ikabyemera kuva intambara muri syria itangiye
israel yagabye ibitero byindege mu duce ivuga ko turimo ibirindiro byingabo za iran nyuma yo gufata akadege katagira umupilote ka iran kinjiye muri israel
syria yatangaje ko nyuma yo guterwa na israel ingabo zayo zakoresheje imbunda zirasa indege mu rwego rwo kwitabara
umusesenguzi wibibera mu burasirazuba bwo hagati avuga ko israel bidasanzwe koi rasa muri syria tom bateman yabwiye bbc ko kuba indege ya israel yarasiwe muri biriya bitero byerekana ko habayeho gukozanyaho gukomeye
ingabo za israel zivuga ko zagabye igitero muri syria nkigisubizo ku gikorwa cyubushotoranyi cyakozwe na iran nkuko byemejwe numuvugizi wingabo za israel (israel defense force idf) jonathan conricus
brig gen ronen manelis na we uvugira igisirikare yavuze ko akadege ka iran kafatiwe mu kirere cya israel nindege ya kajugujugu ngo kari kakomeje gukurikiranirwa hafi kuri radar
kuva ubutegetsi bwa perezida bashar alassad wa syria bwagerwa amajanja guhera mu 2011 iran yohereje ingabo nabarwanyi bo kumugoboka kandi iki gihugu israel igifata nkumwanzi wa mbere wayo
abatuye mu majyaruguru ya isael ngo bumvise urusaku rwinshi mu kirere iyo mirongo ni imyotsi yibisasu bihanura indege byarashwe na syria
iyi ndege yavuye mu kirere cya syria isandarira ku butaka bwa israel
miteja 10/02/2018 1328 2018/02/10 at 128 pm
ubundi yajaga he
mane 10/02/2018 2158 2018/02/10 at 958 pm
hahh ubwo n aba pilote bapfuye isiraheli iri kwiyemera ngo barusimbutseturabazi sha abazungu n ibinyoma byabongo bagiye mu kwezi kandi ubwo ntibazi uko hasango bbla bla
kamali 10/02/2018 1410 2018/02/10 at 210 pm
kuba abasirikare ba iran na hezbollah baraje kurwana muli syriabishobora kuzatuma kariya karere kose gashyandetse bishobora guteza intambara ya 3 yisikuko abanyamerikaabarusiyaturkeybose barimo kurwana muli syriamutekereze umunsi russia cyangwa amerika yahanuye indege yuburusiya or vice versani kimwe na kiriya kibazo cya north korea cyangwa ibibera muli ukrainbyose bishobora guteza intambara ya 3 yisinayo yazana imperuka cyangwa armageddonubwo imana izivanga mu bibazo byisiikica abantu bose bakora ibyo itubuzaigasigaza gusa abantu bayumvira nkuko tubisoma ahantu henshi muli bible
munyemana 10/02/2018 1522 2018/02/10 at 322 pm
urakoze bwana kamalinanjye iriya ntambara ya syria na north korea bintera ubwobabishobora gutera intambara ya gatatu yisiiramutse ibayeisi yashira kuko noneho bakoresha atomic bombsnanjye ndi mu bantu bemera imperuka ivugwa ahantu henshi muli bible
mberakurora 10/02/2018 2200 2018/02/10 at 1000 pm
abahoza imperuka yisi mu kanwa kabo no mu bwonko bwabo nubundi isi yabo iba yararangiye harya ngo bategereje indi si nshya kuri iyingiyi nta myaka miliyoni 100 izashira hari ubuzima bukiri ku isi kuko ubushyuhe bwayo buzaba bwararenze degere ijana abo bene data bazaba bayituyeho gute
munyemana 11/02/2018 1340 2018/02/11 at 140 pm
bwana mberakurora uribeshya cyaneubushyuhe bwisi muli iki gihebuterwa ninganda zo mu isi zizana pollutionku munsi wimperukaimana izarimbura abantu bose bangiza ikirere binyuze kuli pollution (ibyahishuwe 1118)isi nshya ivugwa muli 2 petero 313ntabwo ari indi si imana izaremani iyi dutuyeho izakurwamo abantu bose bakora ibyo imana itubuzahagasiraga gusa abantu bumvira imanabyisomere muli imigani 22122ibyo bizaba ku munsi wimperuka uri hafi cyanentabwo bizategereza imyaka 100 nkuko wibwira iyo si nshya ntabwo hazabamo inganda cyangwa pollution kuko bitera ubushyuhe
nbe 11/02/2018 1451 2018/02/11 at 251 pm
ngo israel yafashe akade ka iran kuki ukita akadege
iyi nkuru yawe igaragaza kubogama | 2018-07-17T03:58:36 | https://umuseke.rw/indege-yintambara-ya-israel-yarasiwe-muri-syria-irasandara.html |
uhuru kenyatta amtosa jaguar atuma ujumbe mzito kwa jpm dar24
uhuru kenyatta amtosa jaguar atuma ujumbe mzito kwa jpm
2 weeks ago comments off on uhuru kenyatta amtosa jaguar atuma ujumbe mzito kwa jpm
ujumbe huo umewasilishwa na balozi wa kenya nchini tanzania dany kazungu na kupokelewa waziri mkuu kassim majaliwa kwa niaba ya rais dkt magufuli ofisini kwa waziri mkuu magogoni jijini dar es salaam
akipokea taarifa hiyo waziri mkuu amesema kuwa watanzania wamefurahishwa na hatua mbalimbali zilizochukulia na serikali ya kenya dhidi ya mbunge huyo zinazodhihirisha kwamba matamshi hayo hayakuwa msimamo wa serikali ya kenya wala wananchi wake bali ulikuwa ni msimamo binafsi wa mbunge huyo
amesema kuwa siku zote watanzania na wakenya wamekuwa huru kuishi na kufanya kazi au biashara katika nchi za afrika ya mashariki na pale yalipotokea matatizo au kutokukubaliana serikali husika hukaa mezani na kumaliza tofauti hizo
uhusiano kati ya kenya na tanzania ni wa karibu mno na wa kindugu kwani kuna baadhi ya makabila yapo katika nchi mbili hizi kama vile wamasai na wakurya na wajaluo hivyo ushirkiano katika masuala ya mbalimbali yakiwemo ya kabiashara na ya kijamii haukwepekiamesema majaliwa
aidha waziri mkuu ametoa wito kwa viongozi na wananchi wa nchi za jumuiya ya afrika ya mashariki kujiepusha na kauli zenye viashiria vya kujenga chuki uhasama na migongano miongoni mwa wananchi kwani kauli hizo zisipodhibitiwa mapema zinaweza kusababisha hofu na kutokuelewana miongoni mwao
mambo yetu yote katika nchi za afrika ya mashariki hasa ya biashara na ya kiuchumi kwa ujumla yataenda vizuri endapo tutalinda na kudumisha amani bila amani tutaogopana na tutashindwa kabisa kushirikiana amesisitiza majaliwa
hata hivyo ameahidi kuwa serikali ya tanzania kamwe haitaruhusu wala kufumbia macho kauli au vitendo vyovyote vyenye viashiria vya uchochezi dhidi ya nchi jirani ili kulinda na kuunga mkono juhudi mbalimbali za ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi zinazofanywa na viongozi wakuu wa mataifa ya afrika
video doto biteko aonya wizi wa madini sasa ni zilipendwa#
membe amkalia kooni musiba 'wamenichafua sana' | 2019-07-16T02:56:14 | http://dar24.com/uhuru-kenyatta-amtosa-jaguar-atuma-ujumbe-mzito-kwa-jpm/ |
news page 4 biznet online
watanzania wote kuwa na vitambulisho vya taifa ifikapo disemba 2018
mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) imeanza kuandikisha kusajili na kuwatambua wananchi wa kuwapa vitambulisho vya taifa katika mikoa 12 ikilenga kutoa vitambulisho hivyo kwa watanzania wote wanaostahili ifikapo desemba 2018 akizungumza kwa
nyalandu call it quits with ccm plans to join chadema
singida north mp lazaro nyalandu (ccm) has quit the ruling party (ccm) and plans to join the main opposition party chadema mr nyalandu has written to speaker of the national assembly job ndugai to inform him of his resignation from the mp
magazeti ya leo jumatatu oktoba 30 2017
ujumbe wa kikwete kwa rais magufuli kwenye siku ya kuzaliwa
rais mstaafu wa awamu ya nne wa jamhuri ya muungano wa tanzania jakaya mrisho kikwete amemtumia ujumbe rais wa sasa wa tanzania dkt john pombe magufuli kuhusu siku yake ya kuzaliwa ambayo ni leo oktoba 29 kwenye ukurasa wake wa twitter jakaya
mtihani wa taifa wa kidato cha nne kuanza kesho
mitihani ya taifa kidato cha nne hapa nchini inatarajiwa kufanyika siku ya kesho nchi nzima ambapo watahiniwa 385938 wanatarajiwa kufanya nchini hyo yamesemwa leo oktoba 292017 na katibu mtendaji wa baraza la mitihani la tanzania (necta) dk
baada ya ndoa dogo janja atoa neno kwa mara ya kwanza
habari zilizoenea katika mitandao ya kijamii ni kwamba msanii wa muziki wa hip hop nchini dogo janja amefunga ndoa kimyakimya na mnyange wa filamu irene uwoya kilichofuatia ni mtandao wa global publisher kumpigia simu dogo janja aliyeipokea na
should iebc declare uhuru president we will swear in raila as president nasa
leaders from the national super alliance threatened to swear in raila odinga as president of kenya following the october 26 repeat presidential election speaking in athi river town in mavoko on saturday october 28 the opposition leaders
zari kwa diamond kuhusu tuzo nyingine tena
baada ya mwanamuziki wa bongo fleva diamond platnumz kupewa tuzo na kampuni ya muziki maarufu duniani universal music group hatimaye mpenzi wake zarry amempongeza kwa mafaniko hayo kupia akaunti yake ya instagram zarry the boss lady amempongeza
magazeti ya leo jumapili oktoba 29 2017 | 2018-04-24T22:28:39 | http://biznet.co.tz/category/news/page/4/ |
rusia umunyemari yahambwe ari muzima yeejorw
⌂subira abanzarusia umunyemari yahambwe ari muzima
yanditswe na raoul nshungu ⋅ khikmet salaev ukomoka mu gihugu cyuburusiya yatabawe na murumuna we nyuma yo gushimutwa akanahambwa ari muzima
dialy mail itangaza ko uyu mugabo wimyaka 41 yari afitanye ibibazo byamafaranga nabo bafatanya mu bucuruzi akaba yari abarimo ama rouble ((amafaranga akoreshwa mu burusiya) angana na milliyoni 30 aya akaba ahwanye nibihumbi 410 byama pawundi
yaje gushimutwa ashyingurwa ari mu muzima mu irimbi ryitwa lyubertsy cemetery gusa ku bwamahirwe bamuhambanye telefoni ye igendanwa nibwo yaje guhamagara murumuna we witwa ismailismail yemeye utanga amafaranga agera kuri milliyoni 12 mu mafaranga ya ma rouble angana na 16430 by ma pawundi ndetse yemera no guhara imodoka ye yo mu bwoko bwa bmw ayiha abari bafatanyije ubucuruzi na mukuru we kugirango bamubwire aho aherereyenibwo yaje gusanga mukuru we atabye mu irimbi amaze mo amasaha ane ismail yahise amujyana kwa muganga aho ari kwitabwaho nabaganga | 2017-06-27T22:36:28 | http://yeejo.rw/izindi-nkuru/utuntu-utundi/article/rusia-umunyemari-yahambwe-ari-muzima |
tit 1 | `mox | step | natugu taitusi eu leta baʼe yaʼa faulo ʼiguyega yaʼa yaubada ena tofewa ta ieisu keliso ena tovaletuyana ta egu fewa yaubada weaqina keliso vetunegu ena tomotauyavo vevenuaʼivinidi ʼidia sabi givewaiwaiedi edi vetumaqana ʼinaya ta wese vetunegu ʼidia sabi veʼitadi ieisu valena ana vonahaqiaqi weaqina be yaqisa tomotau diavona adi fata yaubada ena nuanua ina alamani aqiaqiea be ina ʼabibodea
b142kol 823 gal 23
c1691tim 327 2tim 22426
e1111fit 52 2tim 356
h1161ion 16 24
1 natugu taitusi eu leta baʼe yaʼa faulo ʼiguyega yaʼa yaubada ena tofewa ta ieisu keliso ena tovaletuyana ta egu fewa yaubada weaqina keliso vetunegu ena tomotauyavo vevenuaʼivinidi ʼidia sabi givewaiwaiedi edi vetumaqana ʼinaya ta wese vetunegu ʼidia sabi veʼitadi ieisu valena ana vonahaqiaqi weaqina be yaqisa tomotau diavona adi fata yaubada ena nuanua ina alamani aqiaqiea be ina ʼabibodea 2 a ʼinega ina luʼita vane toa vataya weaqina mana baʼe toa nana lova yaubada maduvona fofofolayea ʼidaya ta ʼabiboda bwaʼobwaʼo ʼivaʼavaʼaia ta baʼe vona nana vonahaqiaqi mana yaubada ge wese ana fata nauʼava 3 lova ʼinega yaubada ieisu valena ena ʼifoqe ana tuta taunega venuaʼivinea ta tuta nana niʼa mai e ʼinega wese giveʼifoqeyea ta venuaʼivinegu ta vetumaqanegu be vale nana ena yawala dadanea tomotau qabudi ʼidia ta baʼe vale nana yalulugaihiea yaubada ada toʼetoyavua ena luvine ʼinega
4 b taitusi oʼa be yaʼa eda vetumaqana ʼaidegana ta baʼe vetumaqana nana ʼinega yaʼawanatuna aqiaqieu ta yavevenoqi weaqiu tamada yaubada be ada toʼetoyavua ieisu keliso ina nuakolokoloyeu ta una toadaumwala
taitusi ana veyoveyoa kiliti ʼinaya
5 bwanabwana kiliti ʼinaya yavaloveu be yaqisa eda fewa vaidi ge adi luʼovoamo ʼekalesia taha taha ʼidia oʼa una luʼovoia ta wese ʼekalesia ana tovanugweta una venuaʼivinidi ʼabaga taha taha ʼidia yaʼa egu vebibina baʼe ʼinega 6 c ʼinega tovanugwetayavo una venuaʼivinidi ʼoloto taudi ge taha adi ʼebeveʼewamo ta moqanena ʼaidega otaqina ta natunavo ge toyafwauta ʼidewani ta ʼesi me edi vetumaqana ta wese inana be tamana edi vona adi tomatayaga
7 vonahaqiaqi ʼekalesia ana toludebana yaubada weaqina fewafewa ʼinega luaqiaqiea be ge taha luveifana ʼinaya naʼenoʼeno ta ge navedeba ʼiʼwana be ge diana navilei be ge goʼila waiwaina nanuma ʼodaʼodaqa be ge tomotau navunuqidi ta wese mane ge nuana naʼewei 8 ta ʼesi luaqiaqiea be wagawaga naʼitamakidi ta nanuaʼewa yani qabuna aqiaqina weaqidi ta wese ana fata be taunega naʼitamaki aqiaqiea be naluvinea ta luvine ʼaideganega tomotau qabudi naluvinedi ta ena ilivu vunavunaqina ta wese ena nuanua be giwalina qabuna nahawafeledi yaubada ʼinaya 9 tauna lova veʼita ma ana vetumaqana niʼa ʼewea ʼinega luaqiaqiea be veʼita nana nakafiʼiʼihia ʼinega ana fata be mali tomotau navona iuledi be nagivewaiwaiedi veʼita tunutunuqina ʼinega ta wese ʼeguma vaina toveʼita veʼita tunutunuqina ge ida ʼawahaqiaqiea be wese uʼavega iveveʼita e ʼinega ana fata nagivetunuqidi
10 d mana baʼitagana tomotau ʼeala veʼita tunutunuqina ivevoalanea ta edi veʼita be wese edi vona kavokavovo ʼinega tomotau iʼeʼeuʼauʼavedi ta baʼe toveʼita diavona ʼealidi ʼidiega lova inuagivila ta ivaukamana ieisu valena ʼinaya ta ivetumaqanea ta vaidi ʼidiega nawale ivonavona be ge taha toga ana fata ʼetoyavua nalobei ʼeguma ʼwafi ana daʼa ge daʼewei 11 e ʼinega edi vona kavokavovo weaqina una awatayedi edi veʼita luveifana ʼinega vaina susu niʼa itauya gei ta edi veʼita nana ʼiuna nuanuadi mane ina lobea 12 taha toalamani qiduana me kiliti ʼidiega taunega ena tomotauyavo weaqidi vonaya me kiliti tuta qabuna iʼeʼeuʼauʼava ta edi ilivu kavona waqiwaqi ta ge nuadi fewa ta ʼesi ʼabwaga namo weaqina inuanua 13 f baʼe vonahaqiaqi me kiliti weaqidi ta eu vona waiwaina ʼinega una lugwaeyedi be yaqisa ina nuagivila ta edi vetumaqana navetunutunuqa be wese navewaiwai 14 g ta wese una awatayedi be me diu tubudiavo veluluʼuyadi ge ina ʼabibodedi ta wese tomeqabu vonahaqiaqi ana veʼita inogea edi luvine ge ina matayagedi
15 tomeqabu giwalidi be edi nuanua vunavunaqidi e taudina yani qabuna vunavunaqina ʼidia ta vale aqiaqina ana tonoga ge taha yani vunavunaqina ʼidia daʼenoʼeno ta ge ana fata ina ʼwamomo tuta nana luveifana iviaviaqia mana edi nuanua be wese giwalidi qabuna luveifana 16 h taudi ivonaya vonigo yaubada niʼa ialamania ta ʼesi edi viaqayavo ʼidiega yaubada ivegeqea taudi luveifa otaqidi ta luvine ivevegwavuʼaiea ta baʼe tomotau diavona ge taha yani aqiaqina adi fata ina viaqi | 2018-10-21T10:01:11 | https://www.stepbible.org/?q=version=MOX%7Creference=Tit.1 |
dar es salaam mke wa rais wa tanzania mama salma kikwete awataka wanasiasa kutoeneza siasa za chuki nchini humo mtangazaji
home / unlabelled / dar es salaam mke wa rais wa tanzania mama salma kikwete awataka wanasiasa kutoeneza siasa za chuki nchini humo
dar es salaam mke wa rais wa tanzania mama salma kikwete awataka wanasiasa kutoeneza siasa za chuki nchini humo
mama salma kikwete akiwa na kiongozi wa kanisa la waadventista wa sabato unioni ya kusini mwa tanzania mch mark walwa malekana
mama salma kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria tamasha la kuombea amani tanzania
mama salma kikwete akihutubia
mchungaji mark walwa malekana ambaye ni kiongozi wa kanisa la waadventista wa sabato tanzaia akisoma maelezo ya tuzo kwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania jakaya kikwete kabla ya kuikabidhi kwa mama salma kikwete
mama salma kikwete akipokea tuzo ya rais jakaya kikwete toka kwa mch mark walwa malekana iliyotolewa na kampuni ya msama promotion
mkuu wa wilaya ya kinondoni paul makonda akihutubia kwenye tamasha la kuombea amani tanzania lililofanyika uwanja wa taifa oktoba 42015
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama salma kikwete amewataka wanasiasa na wafuasi wao kutoeneza siasa za chuki ambazo zinaweza kuwatenga wananchi kwa misingi ya diniukabilaukanda kwa kuwa jambo hilo ni hatari kwa taifa la tanzania pia kutofanya kampeni katika nyumba za ibada
mama salma kikwete alitoa agizo hilo wakati akihutubia maelfu ya waumini wa madhehebu ya mbalimbali ya dini nchini tanzania katika tamasha la kuombea amani kabla ya uchaguzi mkuu wa oktoba 25 mwaka huu lililofanyika kwenye uwanja wa michezo wa taifa jijini dar es salaam oktoba 42015 ambapo pia lililowahusisha viongozi wa madhehebu hayo na waimbaji wa nyimbo za injili toka tanzaniakenyazambiaafrika kusini na uingereza
naye kiongozi wa kanisa la waadventista wa sabato unioni ya kusini mwa tanzania mchungaji mark walwa malekana akikabidhi tuko ya rais jakaya kikwete kwa mama kikwete amesema amani ya tanzania italetwa kwa maridhiano na kuheshimiana | 2017-10-20T19:52:47 | http://www.mtangazaji.com/2015/10/dar-es-salaam-mke-wa-rais-wa-tanzania.html |
heko taifa stars
ikiwa zimebakia siku chache tu kabla ya kipindi cha siku kuu nyingi za dini zote yaani christmas kwa wale wakristo eid uladha kwa wale waislamu na nyinginezo kama hanukkah kwa wenzetu wayahudi basi labda pamoja na mambo mengi ambayo ni matatatizo yanayoikabili nchi yetu labda ni wakati wa kuangalia yale mafanikio kadhaa ambayo tumeyafikia
na kabla hatujaingia kwenye mada yenyewe tunawatakia nyote sikukuu njema merry christmas eid ulaidha kwa wale wanaohusika happy hanukkah kwa wanaohusika pia na kwa wengine wote waliosalia tunawatakia heri ya mwaka mpya kwa pamoja bongotz tunaamini kwamba tunapojiandaa kuuaga mwaka huu na kuukaribisha mwaka mpya [2007] kama raia wema wa dunia tutajitahidi ndani ya uwezo wetu kuufanya mwaka ujao kuwa bora zaidi ya huu tunaoumaliza
sasa tukirudi katika mada yetu moja ya mambo ambayo binafsi naona ni mafanikio kwa kiwango fulani cha uongozi wa awamu ya nne ni timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu [taifa stars] kama tukikumbuka hapo mwanzoni mheshimiwa rais alitoa ahadi kwamba maendeleo ya soka ya tanzania hasa maendeleo ya timu yetu ya taifa ni mambo ambayo yeye binafsi atayafanyia kazi na tukikumbuka vyema alitoa changamoto kwamba yeye atagharamia kocha yeyote shirikisho la mpira wa miguu litakayempendekeza na kwa kweli wakaleta kocha ambaye ana sifa nzuri duniani shukrani mh rais sasa tunaye mbrazil marcio maximo
tangu kuwasili kwa maximo ambaye amewahi kuzifundisha timu kubwa duniani kama vile club ya livingston (2003/2004) na timu ya taifa ya vijana ya brazil under17 & under 20 (1992/1993) timu ya taifa imeanza kufanya maendeleo mazuri na si tu kimchezo bali pia hata idadi ya mechi za kimataifa za kujipa nguvu nazo zimeongezeka hivyo kufanya nafasi ya timu yetu ya taifa katika hadhi ya timu za soka duniani kupanda kwa kiasi fulani katika daraja la timu za soka duniani inayotolewa kila mwezi na shirikisho la soka duniani (fifa)
katika miezi ya hivi karibuni timu yetu ya taifa imejitahidi sana kuwa na michezo kadhaa ya kimataifa na hata viongozi wengi wa kitaifa wameonyesha kuiunga mkono timu ya taifa kwa kuhudhuria michezo mingi inayofanyika tanzania akiwemo rais mwenyewe hivi karibuni katika sherehe za kusherehekea miaka 45 ya uhuru timu yetu ya taifa ilifanya vizuri na kuifunga timu ya taifa ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo mbele ya umati mkubwa wa wananchi na viongozi wa taifa hii ni baada ya timu ya bara kilimanjaro stars kufanya vizuri pia katika kombe la chalenji na hata kuzifunga timu kadhaa zenye hadhi ya juu zaidi yetu kwenye mashindano ya yaliyofanyika addiss ababa ethiopia ingawa hatukutwaa kombe lakini tulifika robo fainali
katika miezi minne iliyopita hadhi ya timu yetu ya taifa taifa stars imekuwa ikipanda katika daraja la orodha ya timu za taifa za soka duniani ingawa nafasi iliyopo sasa bado hairidhishi lakini kwa sababu kumekuwa na maendeleo nadhani ni vyema kutoa pongezi kwa wadau mbalimbali wa soka ndani na nje ya nchi waliochangia kwa mafanikio yaliyopatikana
kwa takwimu za hivi karibuni mnamo mwezi wa tisa timu ya taifa ilikuwa inashikilia nafasi ya 164 katika orodha ya timu 198 zinazotathminiwa kila mwezi na shirikisho la soka duniani na kutolewa katika fifa coca cola world ranking cha kufurahisha zaidi mwezi uliofuata (octoba) taifa stars ikapanda kutoka nafasi hiyo ya 164 hadi kufikia nafasi ya 120 ambapo ilikaa kwa miezi miwili yaani mwezi wa kumi na wa kumi na moja mwezi wa disemba taifa stars imepanda tena kutoka nafasi hiyo ya 120 kati ya timu 198 hadi kufikia nafasi ya 110 kulingana na taarifa ambayo inaweza kupatikana katika tovuti yao [http//wwwfifacom]
kama tulivyosema hapo awali ingawa nafasi hiyo bado hairidhishi lakini ni maendeleo mazuri ya kutia moyo toka nafasi ya 164 kufikia nafasi ya 110 ina maana kwa miezi hii mitatu taifa stars imefanya vizuri zaidi ya timu za mataifa 54 duniani na hilo si jambo dogo na kwasababu hiyo basi tulipongeza shirikisho la mpira wa miguu nchini (tff) wizara na waziri wa michezo na pia mheshimiwa rais kwasababu ni dhahiri kuwa kwa kasi hii huenda njozi zake za kuiona taifa stars ikipeperusha bendera ya tanzania huko ghana na afrika kusini zitatimia lakini zaidi sana pongezi za dhati kwa kikosi kizima kinachounda taifa stars
ingawa inaonekana kama ndoto za alinacha kuwaona watanzania wakiwa wamevalia mavazi ya rangi ya njano nyeusi kijani na blue wakiishangilia taifa stars kwenye mashindano ya kombe la dunia mwaka 2010 huko afrika ya kusini kwa miezi hii michache timu yetu imeonyesha kwamba ikiwa na maandalizi mazuri inaweza kufanya vizuri kwani kama kwa miezi mitatu/minne stars imeweza kupiga hatua na kuzidi mataifa 54 katika rank ya fifa kuna miaka zaidi ya miwili kujiandaa kwa kombe la dunia na kwa sababu timu zinazoenda kombe la dunia ni 32 kwa nafasi iliyopo sasa ya 110 inahitaji kuzidi timu angalau 78 kujihakikishia nafasi ya kwenda afrika ya kusini na ikiendelea kwa kasi hii ya kuwa bora zaidi ya timu 54 kwa kila miezi minne ni imani yetu kuwa kufikia katikati ya mwaka ujao stars itakuwa katika nafasi nzuri ya kujihakikishia nafasi ya kombe la dunia mwaka 2010
basi tuendelee kuishangilia na kuiombea timu yetu ya taifa taifa stars maana kama ikifanya vizuri inaweza ikawa moja ya vitu ambavyo vitaitangaza nchi yetu vyema kimataifa
nb ingawa kwenye orodha ya fifa timu zinazoonekana kwenye rank ziko 198 jumla ya timu ziko 206 timu 8 za mwisho hazina pointi yoyote kwa hiyo zote zinakuwa ranked namba 198 | 2017-10-20T08:52:02 | http://bongotz.com/bongoyetu12_22_06.htm |
jaji aliyetoa hukumu ya lema ni nani haswa | jamiiforums | the home of great thinkers
jaji aliyetoa hukumu ya lema ni nani haswa
discussion in 'jukwaa la sheria (the law forum)' started by mwanawavitto apr 6 2012
nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu mmoja ambaye yupo karibu sana na jaji aliyetoa hukumu ya lema ambaye pia ni kiongozi wa idara nyeti serekalini na kuniambia kuwa jaji rutakibalila alitishiwa maisha ili kupindisha hukumu akinieleza kwa masikitiko alisema hakupenda kufanya vile ila alishinikizwandiyo maana alipoingia mahakamani aliletwa na gari la jeshi jwtz na hata saa ya kuondoka aliondolewa na jwtz alisema mtoa habari
[td=class contentheading]pigo chadema
[td=class createdate]thursday 05 april 2012 1056
lema avuliwa ubunge arusha mjini jaji amzuia kugombea miaka mitano vilio mahakamani
habari hii imeandaliwa na mussa juma arusha peter saramba moses mashalla
ukisoma hii taarifa katika gazeti la mwananchi na hasa hapo pekundu na kwenye mistari napata picha kwamba yawezekana jaji alitoa hukumu kwa maelekezo ya wakubwa fulani ni kwanini ahukumu kwa kifungu namba 114 badala ya 108 ambayo ndiyo makosa yote yalikuwa yanaangukia (illegal campaign) hapa napata wasiwasi na uhalali wa hukumu iliyotolewa pia ni kwanini kama jaji alikuwa hana shinikizo toka kwa wakubwa je ni kwanini maaskari wengi sana wawe wanalinda ofisi ya mbungearusha kabla ya hukumu hapa kuna kitu na si bure ni hakika mahakama zetu haziko huru
hili inawezekana kabisa
inatia uchungu sana hali kama hii inapojitokeza kiujumla inajenga chuki kubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali
nchi yetu inanajisiwa na ccm
sheria ni msumeno acheni kutafuta cheap popularity kwa kulialia kama vichang
cdm wasipokata rufaa watakuwa wamefanya kosa ambalo watalijutia milele maana hawajui mkakati uliopangwa na ccm
mmhhh kama siasa zenyewe ndiyo hivyo basi mafisadi wamepagawa kwani kuna nini kwenye ubunge wa lema kwa kwei mimi si mwanasheria kitaaluma lakini kwa kusoma yaliyoandikwa kwenye gazeti hili nachelea kuamini kwamba kipengele cha sheria no 114 kiliongezwa kwa shinikizo ndiyo maana kimekuja kutajwa kwenye majumuisho ya hukumu hakikuwepo kwenye hukumu ya mwanzo hiyo naona iliongezwa baada ya watu fulai kuipitia na kuona inampa unafuu lema kuwa atagombea tena na uhakika wa ushindi
nashauri hivi kwa vile sheria iliyoyumika ina malengo tofauti ni kweli lema akate rufaa na atarudishiwa ubunge wake
wapendwa tunaomba aliye na wasifu wa jaji rwabibarila aturushie humo jamvini
we unautaka ili iweje si umuulize mwenyewe acha kusumbua watu
mapoazi(au mapouda) hakuna anayelialia watu wanafanya uchambuzi maana kama kifungu cha kilichomtia hatiani ni kingine na kilichomhukumu ni kingine ina maana the judge erred in law hizo ni sheria za banana republic think before you write maana watu wa aina yako walio na ***** kichwani ni hatari sana kwa tanzaniachambuafikiriandika
we unautaka ili iweje si umuulize mwenyewe acha kusumbua watuclick to expand
kama hutaki si uache usiwasemee watu au nawe unajishtukia
mahakama kuu imenasa kwenye mtego wa panya
huu ni muda mwafaka kuichambua legal system ya kibongo
tufunue uozo wooote kwenye huu mhimili wa dola
wasifu wa jaji rwakibarila ni muhimu kuujua maana ameshangaza umma kwa maamuzi yake na kuvuja kwa hukumu tunataka kujua kama kweli ana sifa sitahiki za kuhandle kesi muhimu kama ya lema kwa ujumla watu ambao wamepewa madaraka ya kuwatumikia wananchi wanatakiwa kujulikana qualification zao na historia zao
wasifu wake anza na hii serial no 34 pia ni j 33
source high court of tanzania
huyu jaji aliyetoa hukumu kwa chama cha demokrasia na maendeleo jana tar 5/04/2012 ni mtanzania jamani
na kama ni mwenzetuanatoka mkoa gani hapa nchini
hebu mwenye kumjua atujuze tu angalau tumjue maana anafaa kuwekwa kwenye baadhi ya kumbukumbu muhimu
wapendwa tunaomba aliye na wasifu wa jaji rwabibarila aturushie humo jamviniclick to expand
tuanze kwanza mujulizi ambaye ndiyo aliyeanza hii kesi alikuwa firm moja na mashana soon baada ya mkuu wa kaya kuingia magogoni alimteua masha kuwa naibu waziri then akafuata mujulizi kuteuliwa kuwa jajiuteuzi wa hawa watu wawili ilileta malalamiko mengi sana ikichukuliwa kuwa malipo ya deep green yalifanyika chini ya hii firm na wakati huo huo riz alikuwa yupo kwenye hii firmconnect the dot unaweza pata picha
am stand to be corrected
surname kama ya kihaya vileuraia wa watu wa mipakani hawa shida tupu
tunaitaji maelezo yakina kutoka kwama drinawezekana jaji anaugwonjwa wakusahau
surname kama ya kihaya vileuraia wa watu wa mipakani hawa shida tupuclick to expand
nina hofu anaweza akawa raia wa uganda ama rwanda
haiwezekani mtanzania asilia akapindisha sheria kama alivyofanya huyu | 2017-01-17T15:30:26 | https://www.jamiiforums.com/threads/jaji-aliyetoa-hukumu-ya-lema-ni-nani-haswa.247229/ |
plugins / magento extensionsextrawatch live stats and counter pro for magento addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unatakasehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads
mgeni maarufu kuishi kufuatilia sehemu extrawatch utapata kuangalia wageni wako joomla kuishi stats na roboti katika muda halisi kutoka kwa utawala wa nyumamwisho
waliotajwa pia katika orodha rasmi magento connect
downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwafebruari 26 13badilikofebruari 26 13sambamba browsersie6 ie7 ie8 ie9 ie10 firefox safari opera chromeprogramu versionmagento 1702 magento 1701 magento 17 00high resolutionndiyofiles pamojajs javascript html xml css sql layered pngkeywords | 2017-06-29T03:42:10 | https://sw.worldwidescripts.net/extrawatch-live-stats-and-counter-pro-for-magento-42517 |
joseph kabila kumteua waziri mkuu siasa uchumi rfi
na rfi imechapishwa 14112016 imehaririwa 14112016 saa 0714
joseph kabila rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo februari 3 2015 © afp photo / carl de souza
jumatatu hii novemba 14 rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo joseph kabila anatazamiwa kumteua mrithi wa augustin matata ponyo kwenye wadhifa wa waziri mkuu
kwa mujibu wa makubaliano yaliyotokana na mazungumzo waziri mkuu atateuliwa kutoka miongoni mwa wapinzani ambapo sehemu mona ya upinzani ilishiriki katika mazungumzo na serikali pamoja na vyam avinavyoiunga mkono mpaka sasa hajajulikana mtu ambaye atashikilia nafasi hii muhimu nchini humo
majina kadhaa ya wanasiasa wa upinzani yamekua yakizungumzwa na wakazi mbalimbali mjini kinshasa kuwa huenda mmoja wao akateuliwa kwenye wadhifa huo
anayepewa nafasi kubwa kwa kushikilia wadhifa wa waziri mkuu nchini jamhuri ya kidemokrasia ya congo ni vital kamerhe ambaye ni mmoja miongoni mwa wapinzani aliyefanya kiliyochini ya uwezo wake ili kufanyike mazungumzo kati ya serikali na sehemu moja ya upinzani alionekana akiongoza upinzani uliyoshiriki mazungumzo hayo na serikali wengi mjini kinshasa wanaamini kuwa wadhifa huo huenda ukashikiliwa na kiongozi wa chama cha unc kwa kazi alioifanya katika mazungumzo hayo
makamu wa zamani wa rais azarias ruberwa pia ameombwa kukubali kushikilia wadhifa huo hadi mwezi aprili 2018
pamoja na wawili kutoka mkoa wa kivu ya kusini pia jina la seneta florentin mokonda bonza mtu wa karibu sana na léon kengo wa dondo rais wa baraza la seneti waziri wa zamani na mkuu wa wafanyakazi kwenye ofisi ya rais mobutu sese seko ambaye ni kutoka mkoa wa zamani wa mashariki ana uzoefu na anaonekana kuwa anaweza kuteuliwa kwenye wadhifa huo kutokana na umaarifu wake
eneo la magharibi halitaki kubaki nyuma kwenye mbio hizo leon kengo wa dondo mwenyewe ananyooshewa kidole na wachambuzi kwa sababu ya uzoefu wake na umri mwanasheria balozi na mara kadhaa waziri mkuu chini ya utawala wa mobutu sese seko leon kengo wa dondo hata hivyo anapendelea kuteuliwa kwenye wadhifa wa waziri mkuu waziri wa sasa wa bajeti michel bongongo kutoka mkoa wa zamani wa equateur kama bw kengo wa dondo
kwenye mitandao ya kijamii pia jina la felix tshilombo tshisekedi kwa niaba muungano wa rassemblement limekua likitajwa lakini muungano huu wa upinzani unaosimamiwa na etienne tshisekedi pamoja na moise katumbi bado haujamaliza mazungumzo katika ngazi ya baraza kuu la maaskofu nchini drc (cenco) jumatatu hii muungano wa rassemblement na kundi la mazungumzo watakutana pamoja katika kamati ndogo pamoja na maaskofu kwa mazungumzo ya moja kwa moja
serikali ya drc yatakiwa kuheshimu
ujumbe wa baraza la usalama la un
upatanishi wa makanisa kutoka afrika
said djinnit atoa wito wa kuendeleza
washirika wa rais joseph kabila matatani
upinzani wamshtumu rais joseph kabila | 2020-01-18T07:16:45 | http://sw.rfi.fr/siasa-uchumi/20161114-joseph-kabila-kumteua-waziri-mkuu |
video magoli ya liverpool vs leeds na dogo aliyevunja rekodi ya michael owen millardayocom
video magoli ya liverpool vs leeds na dogo aliyevunja rekodi ya michael owen
usiku wa november 29 2016 timu ya liverpool ilicheza mchezo wa efl cup dhidi ya timu ya leeds united katika uwanja wa anfield katika mchezo huo liverpool waliocheza katika uwanja wao wa nyumbani wamefanikiwa kushinda goli 20
magoli ya liverpool yakifungwa na divock origi dakika ya 77 na ben woodburn dakika ya 81 kinda aliyefunga na kuvunja rekodi ya michael owen iliyodumu kwa muda wa miaka 19 toka michael owen alipoifungia goli liverpool akiwa na umri wa miaka 17 na siku 145
ben woodburn amekuwa ndio mchezaji wa liverpool mwenye umri mdogo zaidi katika historia ya liverpool kuwahi kuifungia goli goli hilo alilofunga dakika ya 81 amefunga akiwa na umri wa miaka 17 na siku 45 na kuvunja rekodi ya michael owen
← previous story pesa aliyoitoa ronaldo kwa familia za wachezaji waliofia katika ajali ya ndege
next story → pesa aliyoitoa messi kwa familia za wachezaji waliofia katika ajali ya ndege | 2018-04-20T07:05:20 | http://millardayo.com/2dgo80-2/ |
warembo wa vyuo vikuu kupanda jukwaani sept 29 sufianimafoto
home burudani warembo wa vyuo vikuu kupanda jukwaani sept 29
warembo wa vyuo vikuu kupanda jukwaani sept 29
warembo wa vyuo vikuu vya tanzania miss higher learning institution 2017 watapanda jukwaani septemba 29 kwenye ukumbi wa king solomoni namanga jijini
kwa mujibu wa saedo warembo wanaotaka kushiriki katika mashindano hayo wanatakiwa kuomba kupitia intagram page higher_learning_miss_tz_2017 au kupitia mubasaedo4me@gmailcom msaedo@glamourbridal@gmailco tz na jmsendo@glamourbridalcotz | 2018-01-21T14:54:19 | http://www.sufianimafoto.com/2017/09/warembo-wa-vyuo-vikuu-kupanda-jukwaani.html |
obama mustakabali wa dunia utakuwa kwenye mizani dodoma one
november 3 2016 hash uncategorized 99
rais wa marekani barack obama ametahadharisha kwamba wapiga kura nchini marekani watakuwa wakiamua kuhusu hatima ya marekani kama taifa na ulimwengu kwa jumla watakapokuwa wanapiga kura jumanne
ametoa wito kwa wafuasi wa chama cha democratic wa asili zote kujitokeza kwa wingi na kumpigia kura bi hillary clinton
amesema mpinzani wa bi clinton donald trump wa chama cha republican ni tishio kwa haki za kiraia ambazo watu wamezipigania kwa miaka mingi
rais obama alikuwa anahutubu katika mkutano wa kampeni katika jimbo la carolina kaskazini
swali ambalo limekuwa likiulizwa tangu kubainika kwa uwezekano kwamba bi hillary clinton anaweza akawa rais wa marekani ni jina ambalo mumewe atapewa
kwa sasa bi clinton anayewania urais kupitia chama cha democratic amekuwa akiongoza katika kura za maoni kitaifa na katika majimbo mengi yanayoshindaniwa
wengi wamekuwa wakichakura kwenye google
katika ngazi ya kimataifa nafasi kama atakayoichukua bw bill clinton si jambo geni mumewe kansela wa ujerumani angela merkel joachim sauer ambaye ni mprofesa wa kemia huitwa jina lake tu
mfadhili philip john may mumewe waziri mkuu wa uingereza theresa may sawa na ujerumani hana jina rasmi
lakini nchini marekani kumekuwa na utamaduni wa kumrejelea rais na mke wa rais ambaye huitwa first lady na ambaye kwa kiswahili huitwa mama wa taifa
bw clinton alipokuwa akifanya kampeni za urais mwaka 1992 alisema kwa mzaha kwamba alikuwa anawapa wapiga kura marais wawili kwa bei ya mmoja
lakini bw trump amesema bw obama anafaa kuacha kumfanyia kampeni bi clinton na badala yake aangazie kuongoza nchi
ukweli ni kwamba hakuna anayetaka miaka mingine minne ya obama ameambia wafuasi pensacola florida
amesema sifa halisi za bi clinton zimedhihiriska siku za karibuni
hatima ya jamhuri yetu imo kwenye mabega yengu rais obama ameambia wafuasi wa chama cha democratic katika jimbo linaloshindaniwa la carolina kaskazini
hatima ya dunia imo hatarini nanyi pia carolina kaskazini tutahakikisha kwamba tunaielekeza katika njia ifaayo
simo kwenye karatasi za kura lakini nawaambia usawa umo kwenye karatasi za kura maadili yanapigiwa kura haki imo kwenye kura ufanisi umo kwenye karatasi za kura demokrasia yetu imo kwenye kura
kampeni ya bi clinton imetikiswa na tangazo la mkuu wa fbi james comey kwamba kuna barua pepe mpya kuhusu mgombea huyo zinazochunguzwa
bw comey ameshutumiwa vikali kwa kutangaza habari hizo siku 11 kabla ya tarehe ya uchaguzi
awali bw obama alimkosoa hadharani kwa kuanzisha tena uchunguzi na kusema katika utamaduni wa marekani hatua huwa hazichukuliwi kwa kutegemea maelezo ambayo hayajakamilika
hiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa bw obama kuzungumza hadharani tangu bw comey atangaze ijumaa kwamba fbi wamepata barua pepe mpya ambazo huenda ziwe zinahusiana au huenda zisiwe zinahusiana na uchunguzi wa awali ambao ulikuwa umefanywa dhidi ya bi clinton
bi clinton alikuwa ametuhumiwa kutumia sava ya barua pepe ya kibinafsi kufanya shughuli rasmi za serikali jambo ambalo baadhi wanasema lilihatarisha usalama wa taifa
barua pepe hizo mpya zilipatikana kwenye uchunguzi dhidi ya mbunge wa zamani anthony weiner anayetuhumiwa kumtumia msichana wa miaka 15 ujumbe wa kimapenzi jimbo la carolina kaskazini
bw weiner ni mumewe mmoja wa wasaidizi wakuu wa bi clinton huma abedin
blue dart tracking by awb number
i would not even know generate income ended up in this article on the other hand presumed that submit once were beneficial i cant have an understanding of that you happen to be having said that surely youll a new famous tumblr when you are definitely not previously koleksi youtube terbaru many thanks | 2018-08-20T18:53:52 | https://mwendokasi.000webhostapp.com/index.php/2016/11/03/obama-mustakabali-wa-dunia-utakuwa-kwenye-mizani/ |
unalindwa kwa sababu unaadibiwa na kuhukumiwa | kanisa la mwenyezi mungu
1 leo ni kwa sababu ninyi huadibiwa hulaaniwa na huhukumiwa ndipo ninyi hupewa ulinzi ni kwa sababu mmepitia mengi ndipo ninyi hulindwa la sivyo mngekuwa mmetumbukia katika uharibifu zamani sifanyi mambo yawe magumu kwenu kwa kudhamiriaasili ya mwanadamu imefanywa madhubuti kwa imara na lazima iwe hivi ili tabia za watu zibadilishwe leo ninyi hamna hata urazini au kujitambua kwa paulo wala hamna dhamiri yake ninyi kila mara lazima mshurutishwe na ninyi kila mara lazima muadibiwe na kuhukumiwa ili kuamsha roho zenu kuadibu na hukumu ndivyo vilivyo bora zaidi kwa maisha yenu na kama inabidi lazima pia kuwe na kuadibu kwa ufikaji wa ukweli ni wakati huo tu ndipo utatii kwa ukamilifu
2 asili zenu ni kiasi kwamba bila kuadibu na laana mngekuwa hamko radhi kuinamisha vichwa vyenu mngekuwa hamko radhi kutii bila ukweli mbele ya macho yenu hakungekuwa na athari ninyi ni duni mno na wasio thamani katika hulka bila kuadibu na hukumu ingekuwa vigumu ninyi kushindwa na vigumu kwa udhalimu na kutotii kwenu kukomeshwa asili yenu ya zamani imekita mizizi sana kama mngewekwa juu ya kiti cha enzi hamngekuwa na habari kuhusu kimo cha mbingu na kina cha dunia sembuse mlikokuwa mkielekea ninyi hata hamjui mlikotoka kwa hiyo mngemjuaje muumba
3 bila kuadibu na laana ya wakati wa kufaa ya leo siku zenu za mwisho zingekuwa zimefika kitambo sembuse majaliwa yenuhilo haliko hatarini hata zaidi bila kuadibu na hukumu hii ya wakati wa kufaa nani ajuaye vile mngekuwa wenye kiburi na nani ajuaye vile mngekuwa wapotovu hamna uwezo wowote wa kudhibiti na kutafakari kuhusu ninyi wenyewe kuadibu huku na hukumu imewafikisha leo na imehifadhi kuishi kwenu hampaswi kutenda bora zaidi katika kukubali kuadibu na hukumu ya leo ni machaguo gani mengine mliyonayo
iliyotangulia:pitia hukumu ya mungu ili utupilie mbali ushawishi wa shetani
inayofuata:hukumu ya mungu hufichua haki na utakatifu wake | 2020-07-12T14:02:26 | https://sw.godfootsteps.org/protected-because-youre-chastised-lyrics.html |
chama kikuu cha upinzani spd kujiunga na serikali ya mseto | matukio ya kisiasa | dw | 14122013
chama kikuu cha upinzani spd kujiunga na serikali ya mseto
chama kikuu cha upinzani nchini ujerumani social demokratikspd kimegiga kura ya kujiunga na serikali ya mseto na vyama vya kihafidhina cdu na csu
mwenyekiti wa spd sigmar gabriel akifurahia kupitishwa kwa mkataba wa serikali ya mseto
mweka hazina wa chama cha spd barbara hendricks ametoa taarifa hiyo baada ya kura zaidi ya 300000 kuhesabiwa za wanachama waliopiga kura kuunga mkono mkataba wa serikali ya mseto ya vyama vikuu
baada ya miezi mitatu tokea kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa nchini ujerumani wanachama 475000 wa chama kikuu cha upinzani social demokratik bado walikuwa wanajadiliana iwapo kujiunga na serikali hiyo
baadhi ya viongozi wa chama hicho hapo awali walishaashiria uwezekano makubwa juu ya wanachama wao kuunga mkono mkataba wa kuunda serikali ya mseto
mwenyekiti wa chama cha spd sigmar gabriel amewaambia wanachama wa chama hicho kwamba kujiunga na serikali ya mseto kutakuwa na manufaa makubwa kwa chama chao ametahadharisha kuwa kutojiunga na serikali hiyo kungeweza kusababisha maonevu zaidi ya kijamii kwa mamilioni ya watu nchini ujerumani hata hivyo bwana gabriel amekiri kuwa kujenga mfungamano na vyama vya kihafidhina vinavyoongozwa na kansela angela merkel siyo mshikamano wa hiari bali unatokana na kutambua hali halisi
wakati huo huo baadhi ya vyombo vya habari vimeshadokezea juu ya baraza la mawaziri linalotarajiwa kuundwa kwa mujibu wa vyombo hivyo waziri wa fedha wa hadi sasa wolfgang schäuble ataendelea na wadhifa huo waziri schäuble anazingatiwa kuwa nguzo kuu mojawapo iliyosimama imara katika kuukabili mgogoro wa fedha barani ulaya
vyombo vya habari pia vimedokezea kwamba waziri wa ulinzi thomas de maizere pia ataendelea kuitumikia wizara hiyo
kiongozi wa wabunge wa spdfrankwalter steinmeier
na katika upande wa chama kikuu cha upinzani social demokratik watakaokuwamo katika baraza jipya la mawaziri ni bwana frankwalter steinmeier anaetarajiwa kuwa waziri wa mambo ya nje bwana steinmeier alishawahi kuwa waziri wa mambo ya nje wa ujerumani kuanzia mwaka wa 2005 hadi mwaka wa 2009
mwenyekiti wa chama cha spd sigmar gabriel anatarajiwa kuiongoza inayoitwa wizara kuuya uchumi na ya mageuzi ya nishati bwana gabriel atausimamia mchakato wa kuondokana na matumizi ya nishati ya nyuklia na badala yake kuelekea kwenye nishati mbadala
katika uchaguzi mkuu uliofanyika mnamo mwezi wa septemba chama cha kansela angela merkel cdu kilipata asilimia 415 ya kura na hivyo kushindwa kukifikia kiwango cha kuweza kuunda serikali peke yake katika uchaguzi huo chama cha social demokratik kilipata asilimia 257 tu ya kura matokeo yanayozingatiwa kuwa mabaya kabisa kwa chama hicho tokea kumalizika kwa vita kuu vya pili
mwandishimtullya abdu/dpaza
maneno muhimu frankwalter steinmeier sigmar gabriel angela merkel cdu spd
kiungo http//pdwcom/p/1azja | 2018-03-21T15:56:55 | http://www.dw.com/sw/chama-kikuu-cha-upinzani-spd-kujiunga-na-serikali-ya-mseto/a-17296982 |
mazishi ya pacha maria na consolata tanzania cgfm
watu wengi wamejitokeza asubuhi ya leo katika viwanja vya chuo kikuu cha ruaha (rucu) eneo la iringa katika ibada maalumu ya kuwaaga pacha waliokuwa wameungana maria na consolata waliofariki mwishoni mwa juma
miongoni mwa waliofika ni viongozi mbali mbali wa dini na kiserikalibaada ya ibada kutakuwa na maandamano ya kuelekea katika makaburi ya tosamaganga ambapo ndipo miili yao itakapopumzishwa
askofu jimbo katoliki njombe alfred maluma amesema vifo vya pacha hao vinafaa kutumiwa na watanzania kukumbushana wajibu wao kwa watu wenye ulemavu
wameacha somo hilo tuwajali watu wenye ulemavu hilo ndilo somo walilotuachia maria na cobsolata
amesema mungu aliwaumba pacha hao kwa mfano wa sura yake na akawapa uhai kwa kipindi walichokuwa duniani vifo vya maria na consolata ambao walikuwa ni wanafunzi katika chuo kikuu cha ruaha vimegusa wengi hasa kutokana na ujasiri walioonyesha wakati wa uhai wao
vile vile watakumbukwa kwa ucheshi wao
pacha hao wameandaliwa jeneza moja lenye mfumo wa watu wawili misalaba miwili na watazikwa katika kaburi moja
mkuu wa shirika la maria consolata jane nugi alikuwa ameambia gazeti la mwananchi kwamba pacha hao waliamua eneo ambalo watazikwa
alisema katika uhai wao walichagua kuzikwa kwenye eneo wanalozikwa viongozi wa kanisa katoliki eneo hilo
wakati wakiumwa walisema wangetamani kuhifadhiwa tunakohifadhiwa sisi hivyo watazikwa kwenye makaburi ya tosamaganga alisema
pacha hao walifariki dunia wakiwa katika hospitali ya iringa usiku wa kuamkia jumamosi
kifo chao kiliwagusa wengi tanzania wengi wakituma salamu zao za rambirambi kupitia mitandao ya kijamii
rais wa tanzania dkt john magufuli ambaye mapema mwaka huu alikutana na pacha hao alieleza kusikitishwa kwake na vifo vyao
nimesikitishwa na kifo cha maria na consolata nilipokwenda hospitali waliliombea taifa walikuwa na ndoto ya kulitumikia taifa aliandika rais magufuli kwenye twitter
maria na consolata mwakikuti walizaliwa eneo la ikonda wilaya ya makete kusini magharibi mwa tanzania mwaka 1996
walisoma shule ya msingi ya ikonda kabla ya kujiunga na shule ya sekondari ya maria consolata na baadaye wakasomea hadi kidato cha sita katika shule ya udzungwa wilaya ya kilolo
septemba mwaka jana baada ya kufaulu mtihani wa kidato cha sita walijiunga na chuo kikuu cha kikatoliki cha ruaha iringa
walianza kuugua maradhi ya moyo na desemba wakahamishiwa taasisi ya maradhi ya moyo ya jakaya kikwete katika hospitali ya taifa ya muhimbili dar es salaam ambako walilazwa kwa miezi miwili
wamekuwa wakitatizwa na afya tangu wakati huo
walipofaulu mtihani wa kidato cha sita walieleza furaha yao kuu baada ya kufaulu mtihani na kueleza ndoto zao
tulipokea matokeo yetu tukiwa kwenye mazingira ya nyumbani tu tukiendelea na shughuli zetu za kila siku tukaambiwa matokeo yametoka na tumefanya vizuri tulikuwa tukiwaza kabla ya hapo unajua kwenye mitihani ya mwisho huwezi kujiamini sana alieleza consolata
walieleza sababu za kuchagua chuo cha ruaha kwenye mkoa waliokuwa wanaishi tofauti na vyuo vingine au kama ilivyo kwa wanafunzi wengine ambao hupenda kubadili mazingira
kwanza tunapenda mazingira ya iringa hatukutaka kwenda dar es salaam kwa sababu ya kwanza tunapenda kuishi pamoja na walezi wetu masista waliokuwa wanatulea tukiwa wadogo na pili mikoa mingine ni mbali na tunapoishi pia ni kwa sababu kwa hali yetu tulivyo hatumudu kuishi kwenye mazingira ya joto mji wa iringa ni baridi hali hii tumeizoea
walitaka kuolewa na mwanamume mmoja
maria na consolata walikuwa wamewahimiza wazazi kuwajibika ipasavyo kwa watoto wao wenye ulemavu wakisema hakuna lisilowezekana
wazazi washukuru mungu kupata watoto wenye changamoto kama wao wasione kuwa na mtoto mlemavu ni laana pili wawaone kama watoto wengine na kuwapa mahitaji yao ya msingi wawawezeshe wawapatie nafasi ya kujiendeleza maana wakiwezeshwa wana nafasi kubwa ya kufanya vizuri
mapacha walioungana huwa ni wachache sana kutokea au kuwepo katika watoto laki mbili wanaozaliwa kila mwaka anazaliwa mtoto mmoja tu wa aina hiyo
kuzaliwa kwa watoto hawa huwa kuna hali ya kustaajabishakwa ujumla watoto hao wanaweza kuishi wakizaliwa katika hali hiyo huwa ni kati ya asilimia 5 mpaka asilimia 25
mapacha eng na chang
mapacha wa kwanza wa kuungana waliojipatia umaarufu mkubwa duniani walijulikana kama siamese majina yao yalikuwa ni eng na chang
daisy na violet mapacha waliokuwa wacheza filamu
refa mkenya aliyeteuliwa na fifa kusimamia kombe la dunia anaswa kwa rushwa | 2018-12-11T23:34:13 | http://blog.cgfmradio.com/mazishi-ya-pacha-maria-na-consolata-tanzania/ |
koka akabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya mil25 pamoja na barakoandoosanitizer za mil 3 msumba news blog
koka akabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya mil25 pamoja na barakoandoosanitizer za mil 3
mbunge wa jimbo la kibaha mjini silvestry koka amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya shmilioni 25 kwa viongozi wa matawi ya chama cha mapinduzi (ccm) jimboni humo kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi
aidha koka ametoa ndoo za majidawa ya kunawia mikono sanitizer na barakoa zenye thamani ya shmilioni 3 kwa ajili ya kutumika katika ofisi za chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya ugonjwa wa virusi vya corona (covid 19)
akizungumza wakati wa makabidhiano ya baiskeli hizo kata ya pangani maili moja na tumbi alisema ameamua kutoa vitendea kazi hivyo ili kurahisisha utendaji kazi kwa viongozi wa chama hicho kuwafikia wanachama
wakati wa mkutano mkuu wa ccm wa wilaya niligawa pikipiki 14 kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wa makatibu wa kata lakini nimekabidhi baiskeli 95 kila moja sh 250000 kwa ajli ya viongozi wa matawi
mbunge huyo aliisihi jamii kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kunawa mikono kujikinga na barakoa kuwalinda watoto kuacha mikusanyiko pamoja na kuacha kupeana mikono na wajifukize ili kupambana na ugonjwa wa corona
nae mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) kibaha mjini maulid bundala alieleza pikipiki na baiskeli ni vitendea kazi na mali ya kata na tawi la chama cha mapinduzi (ccm) isifike mahali wakatumia vitendea kazi hivyo kuwanufaisha katika shughuli zao binafsi
katibu wa ccm kibaha mjini afidu luambano alisema wajipanga kushinda uchaguzi mkuu kwa kishindo hivyo aliwahimiza wanachama wa ccm wakajiandikishe na kusahihisha majina katika daftari la kupiga kurakwa kuhakiki majina kama yapo ili wapate ridhaa ya kupiga kura lakini pia wakumbuke kulipia ada ya kadi zao | 2020-06-06T17:37:46 | http://www.msumbanews.co.tz/2020/05/koka-akabidhi-baiskeli-95-zenye-thamani.html |
the game chupuchupu kutupwa jela | pro24
the game chupuchupu kutupwa jela
rapa the game huenda juma hili lingehitimisha maisha yake gerezani baada ya kumtwanga mtu ngumi wakati wakicheza mpira wa basketball
tukio hilo lilitokea mwishoni mwa mwezi march mwaka huu na kesi hiyo ilikua ikiendelea kimyakiya kabala ya the game jumatatu ya june 8 kuamua kulipa faini ya dola za kimarekani elfu 50
siku ya jumatatu alionekana the game akiingia kituo cha polisi na kwenda kulipa faini na baada ya dk 54 the game aliachiliwa huru
kipande cha video kutoka mtandao wa tmz kinaonyesha the game akimpiga mtu ngumi wakiwa katikati ya mchezo katika ripoti yake aliyoiandika polisi the game aliamua kumpiga ngumi kijana huyo kwa sababu mara ya kwanza wakati wapo kwenye mchezo alisukumwa na kijana huyo
kwa mujibu wa polisi kosa la the game ni pale alipotampa kwamba atamuua kijana huyo wakati akimalizia kumpiga ngumi
baada ya kumalizana na kesi hiyo kupitia akaunt yake ya instagram the game alipost picha akiwa amepozi kwenye swimming pool na kuiweka caption yenye maneno haya relaxing in the sauna before i turn myself in but what you gone do when you get outta jail im gonna have some fun
bofya hii link hapa chini uone kipande cha video kinachomuonyesha the game akimtwanga ngumi mwenzake | 2017-11-21T12:03:31 | http://pro-24.blogspot.com/2015/06/the-game-chupuchupu-kutupwa-jela.html |
flaviana matata kutoa msaada kumbukumbu ya mv bukoba | chimbuko letu
home » »unlabelled » flaviana matata kutoa msaada kumbukumbu ya mv bukoba
flaviana matata kutoa msaada kumbukumbu ya mv bukoba
mwanamitindo wa kimataifa flaviana matata amekuja nchini akitokea nchini marekani ambako ndiko yaliko makazi yake kwa sasa mahsusi kwa ya ajili ya kugawa msaada wa vifaa vya kuokolea
maisha majini (life vest) ikiwa ni miaka 16 tangu meli ya mv bukoba izame ambapo mama yake mzazi alifariki kwenye ajali hiyo anatarajia kugawa msaada wa vifaa hivyo jumatatu ya 21 may jijini mwanza
soma zaidi http//fununuhabariiblogspotcom/ | 2018-05-27T13:40:19 | http://www.chimbukoletu.com/2012/05/mwanamitindo-wa-kimataifa-flaviana.html |
mkuu wa mkoa wa karbala amesema kuwa atabatu abbasiyya tukufu imesaidia kwa kiwango kikubwa sekta ya afya katika mkoa huu
12 julai 2020 2035
mkuu wa mkoa wa karbala ustadh jaasim khatwabi amesema kuwa atabatu abbasiyya tukufu imesaidia kwa kiwango kikubwa sekta ya afya katika mkoa wa karbala hasa wakati huu wa janga la korona imekuwa mstari wa mbele wakati wote kusaidia watumishi wa afya na hili sio jambo geni kwake
ameyasema hayo alipo hudhuria hafla ya ufunguzi wa kituo cha alhayaat cha nne kilicho jengwa kwa ajili ya kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya korona alasiri ya jumapili ya mwezi (20 dhulqaada 1441h) sawa na tarehe (12 julai 2020h) kilicho jengwa na kitengo cha usimamizi wa kihandisi katika atabatu abbasiyya kwenye mji wa imamu hussein (as) wa kitabibu
akaongeza kusema kuwa hili ni moja ya mambo mengi yanayo fanywa na uongozi mkuu wa atabatu abbasiyya tukufu tunaishukuru sana pamoja na kiongozi wake mkuu wa kisheria mheshimiwa sayyid ahmadi swafi (di) na katibu wake mkuu pamoja na wafanyakazi wote hususan walio husika na mradi huu
akamaliza kwa kusema kuwa bila shaka jengo hili litasaidia kuongeza idadi ya vitanda vya wagonjwa wa korona kwani linavyumba maalum vya wagonjwa hao vilivyo wekwa vifaa vyote vinavyo hitajika
kumbuka kuwa kukamilika kwa jengo hili kumetokana na kufanyia kazi maagizo ya marjaa dini mkuu aliye himiza kusaidia sekta ya afya aidha ni sehemu ya mkakati wa atabatu abbasiyya tukufu wa kuwalinda wananchi na maambukizi ya virusi vya korona pia ni muongozo wa moja kwa moja kutoka kwa kiongozi mkuu wa kisheria mheshimiwa sayyid ahmadi swafi (di) aliye elekeza kujenga vituo vya kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya korona ndani na nje ya mkoa wa karbala hivi sasa ujenzi unaendelea kwenye vituo vingine vitatu vyenye ukubwa tofauti kwenye mkoa wa baabil bagdad na muthanna | 2020-08-13T06:20:20 | https://alkafeel.net/news/index?id=11090&lang=sw |
kotika eloko te ezangisa yo mapamboli ya nzambe | boyekoli
moto moko te azangisa bino libonzabakolose 218
nzembo 122 139
ndenge nini tokoki komibatela na bamposa ya mbindo
ndenge nini bolingo mpe boboto ekoki kosalisa biso tózwa libonza
tokoki kosala nini mpo libota na biso mobimba ezwa libonza
1 2 (a) libonza nini basaleli ya nzambe bazali kozela (b) nini esalisaka biso tótya miso na biso na libonza (talá elilingi ya ebandeli)
bakristo oyo batyami mafuta na elimo bazali na elikya kitoko ya kokende kofanda na likoló ntoma paulo abengaki elikya yango libonza ya kokende na likoló ndenge nzambe abengi (bafilipi 314) kuna bakoyangela elongo na yesu kristo na bokonzi na ye mpe bakosala elongo na ye mpo na kosalisa bato bákóma bato ya kokoka (emoniseli 206) ezali mpenza elikya kitoko bampate mosusu bakozwa libonza ya ndenge mosusu bakofanda libela na libela na paradiso awa na mabele mpe elikya yango epesaka bango esengo mpenza2 petro 313
2 ntoma paulo alingaki kosalisa baninga na ye bakristo oyo batyami mafuta na elimo bátikala sembo mpe bázwa libonza ayebisaki bango bókoba kotya makanisi na bino na makambo ya likoló (bakolose 32) basengelaki kotya makanisi na elikya na bango kitoko ya kokende likoló (bakolose 14 5) kokanisa mapamboli ya yehova esalisaka basaleli nyonso ya nzambe bátya miso na libonza na bango ezala ya likoló to ya mabele1 bakorinti 924
3 ntoma paulo akebisaki bakristo na makambo nini
3 ntoma paulo akebisaki mpe bakristo na makama oyo ekokaki kozangisa bango libonza na ndakisa na mokanda na ye epai ya bakolose alobelaki bakristo ya lokuta oyo bazalaki koluka kosepelisa nzambe na nzela ya kolanda mibeko ya moize na esika ya kondimela kristo (bakolose 21618) paulo alobelaki mpe makama oyo ezali komonana tii lelo oyo ekoki mpe kopekisa biso tózwa libonza amonisaki ndenge ya kotɛmɛla bamposa ya mbindo mpe oyo tosengeli kosala ntango tozwani matata na bandeko ya libota to ya lisangá toli ya paulo ekoki mpe kosalisa biso na yango tótalela makebisi oyo ezali na mokanda na ye epai ya bakolose
bomá bamposa ya mbindo
4 mpo na nini bamposa ya mbindo ekoki kozangisa biso libonza
4 nsima ya kokundwela bandeko na ye elikya kitoko oyo bazalaki na yango ntoma paulo akomaki na yango bóboma binama ya nzoto na bino ya mabele na likambo ya pite mbindo mposa [makasi] ya kosangisa nzoto mposa oyo eyokisaka mpasi mpe bilulela (bakolose 35) bamposa ya mbindo ekoki kozala makasi mpenza mpe kosala ete tóbebisa boyokani na biso na yehova mpe tóbungisa elikya ndeko moko oyo akweaki mpo na bamposa na ye ya mbindo mpe na nsima azongisamaki na lisangá alobi ete bamposa yango ekómaki makasi mpe akokaki lisusu kokanga motema te tii asalaki lisumu
5 ndenge nini tokoki kokima makama
5 tosengeli kokeba mingimingi soki tozali na likambo oyo ekoki komema biso tóbuka mibeko ya yehova na ndakisa ezali likambo ya bwanya mwasi ná mobali oyo balingani mpo na kobalana bámityela bandelo banda na ebandeli mpo na makambo lokola kosimbana kopesana bizi mpe kozala kaka bango mibale (masese 223) makama mosusu ekoki kobima ntango okei mobembo ya mosala to soki ozali kosala elongo na moto oyo azali molongani na yo te (masese 21012 16) okoki kosala nini mpo na komibatela monisá ete ozali motatoli ya yehova zalá na bizaleli malamu mpe kobosana ata mokolo moko te ete kolulana na moto oyo azali molongani na yo te ememaka na likama tosengeli mpe kokeba soki tozali mawamawa to tozali komiyoka ete tozali kaka biso moko tokoki kozala na mposa moto moko atyela biso likebi tokoki koyoka lokola tosuki tii tokoki kondima kaka moto nyonso yango ezali likama soki ekómi ete oyoka bongo kosala likambo moko te oyo ekopekisa yo ozwa libonza luká lisalisi epai ya yehova mpe bandekotángá nzembo 3418 masese 1320
6 likambo nini tosengeli kobosana te ntango tozali kopona kominanola
6 mpo na koboma bamposa ya mbindo tosengeli koboya kominanola ya mbindo lelo oyo kominanola mingi ezali kokundwela biso ndenge makambo ezalaki na sodoma mpe gomora (yuda 7) bato oyo basalaka bafilme balingaka ete pite emonana lokola ezali mabe te mpe ezangi likama yango wana tosengeli ntango nyonso kokeba tokoki te kondima kominanola nyonso oyo mokili ezali kobimisa tosengeli kopona kominanola oyo ekopekisa biso te kozwa libonza ya bomoimasese 423
latá bolingo mpe boboto
7 mikakatano nini ekoki kobima na lisangá
7 tozalaka na esengo ya kozala na kati ya lisangá ya bokristo toyekolaka liloba ya nzambe na makita tolinganaka mpe tosalisanaka yango esalisaka biso tókoba kotya miso na libonza kasi na bantango mosusu kozanga koyokana ekoki kobimisa mikakatano na kati ya bandeko soki tosilisi matata yango te tokoki kobomba nkanda na motematángá 1 petro 38 9
8 9 (a) bizaleli nini ekosalisa biso tózwa libonza (b) soki ndeko moko apesi biso nkanda nini ekoki kosalisa biso tóbatela kimya
8 tótika te ete nkanda ezangisa biso libonza ntoma paulo alimbolaki oyo bakristo basengeli kosala akomaki boye lokola bato oyo nzambe aponi basantu mpe bandeko ya bolingo bólata bolingo ya motema oyo euti na mawa boboto elimo ya komikitisa motema pɛtɛɛ mpe motema molai bókoba kokanga motema moto na moto na makambo ya mosusu mpe kolimbisana na motema moko soki moko na bino azali na likambo ná mosusu kaka ndenge yehova alimbisaki bino na motema moko bino mpe bósala bongo kasi longola makambo nyonso wana bólata bolingo mpo ezali ekanganeli ya kokoka mpo na bomokobakolose 31214
9 bolingo mpe boboto ekoki kosalisa biso tólimbisaka basusu soki tomoni ete basali to balobi na biso likambo moko ya mabe tókanisa ntango oyo biso mpe tolobaki to tosalaki basusu likambo oyo ebongaki te kasi balimbisaki biso na ntembe te tosepelaki mingi na bolingo mpe boboto oyo bamoniselaki biso (tángá mosakoli 721 22) tozali na botɔndi ndenge kristo azali kosangisa basambeli ya solo na bomoko (bakolose 315) biso nyonso tolingaka nzambe moko tosakolaka nsango moko mpe mikakatano na biso mingi ezali kaka ndenge moko soki tozali na boboto bolingo mpe tozali kolimbisana lisangá ekozala na bomoko mingi mpe tokotya makanisi na biso na libonza
10 11 (a) mpo na nini zuwa ezali likama (b) tokoki kosala nini mpo zuwa ezangisa biso libonza te
10 zuwa mpe ekoki kozangisa biso libonza bandakisa ya biblia emonisi ete zuwa ezali likama mpenza na ndakisa kaina ayokelaki abele zuwa mpe abomaki ye kora datane mpe abirame bayokelaki moize zuwa mpe batombokelaki ye mokonzi saulo ayokelaki davidi zuwa mpe alukaki koboma ye liloba ya nzambe elobi solo ete epai zuwa mpe kowelana ezali mobulu ná makambo nyonso ya mabe mpe ezali wanayakobo 316
11 soki tosali nyonso mpo na komonisa bolingo mpe boboto ekozala mpasi tóyokela basusu zuwa liloba ya nzambe elobi bolingo ezali na motema molai mpe na boboto bolingo ezali na zuwa te (1 bakorinti 134) mpo zuwa ekóma te moko ya bizaleli na biso tosengeli kosala nyonso tótalelaka makambo lokola yehova tosengeli komona bandeko na biso lokola binama ya nzoto kaka moko elingi koloba lisangá biblia elobi soki enama moko ekumisami binama mosusu nyonso mpe esepelaka elongo na yango (1 bakorinti 121618 26) na yango soki likambo moko ya malamu ekómeli ndeko na biso tósepela tóyokela ye zuwa te kanisá ndakisa ya yonatane mwana ya mokonzi saulo yonatane ayokaki zuwa te ntango davidi nde aponamaki mpo na kozala mokonzi kasi alendisaki ye mpe apesaki ye mabɔkɔ (1 samwele 231618) yo mpe okoki komonisa boboto mpe bolingo lokola yonatane
bózwa libonza libota mobimba
12 toli nini ya biblia ekoki kosalisa libota ezwa libonza
12 soki moto nyonso na libota azali kosalela mitinda ya biblia libota ekozala na kimya esengo mpe ekozwa libonza ntoma paulo apesaki toli ya bwanya mpo na mabota alobaki bino basi bómikitisa liboso ya mibali na bino mpo ebongi bongo na kati ya nkolo bino mibali bókoba kolinga basi na bino mpe bóyokelaka bango nkanda makasi te bino bana bótosaka baboti na bino na makambo nyonso mpo yango ezali malamu mingi na kati ya nkolo bino batata bósilikisaka bana na bino te mpo bálɛmba nzoto te (bakolose 31821) na ntembe te toli yango ekoki kosalisa mingi ata lelo
13 ndenge nini ndeko mwasi akoki kosalisa mobali na ye oyo azali motatoli te abanda kosambela yehova
13 mbala mosusu ozali na mobali oyo azali motatoli te okosala nini soki omoni ete azali kosalela yo makambo ndenge esengeli te okoki kosilika mpe koswanisa ye kasi yango ekobongisa nde makambo ata soki olongi na maloba yango nde ekopesa ye mposa ya kosambela yehova mbala mosusu te kasi soki ozali komemya ye mpo azali mokonzi ya libota okoki kosalisa libota na yo ezala na kimya mpe okopesa yehova lokumu ndakisa na yo ya malamu ekoki ata kosala ete mobali na yo abanda kosambela yehova mpe bino mibale bokoki kozwa libonzatángá 1 petro 31 2
14 ndeko oyo mwasi na ye azali motatoli te asengeli kosala nini soki mwasi yango amemyaka ye te
14 mbala mosusu ozali na mwasi oyo asambelaka yehova te okoki kosala nini soki omoni ete atosaka yo te soki oluki komonisa ye ete ozali mokonzi mpe ozali kogangela ye okanisi ete akobanda komemya yo soki moke te nzambe alingi ete olingaka mwasi na yo ndenge yesu alingaka lisangá (baefese 523) yesu mokonzi ya lisangá azalaka ntango nyonso na motema molai mpe na bolingo (luka 94648) soki omekoli yesu nsima ya mikolo mwasi na yo akoki kobanda mpe kosalela yehova
15 ndenge nini mobali akoki komonisa ete alingaka mwasi na ye
15 yehova ayebisi mibali ete bino mibali bókoba kolinga basi na bino mpe bóyokelaka bango nkanda makasi te (bakolose 319) mobali oyo alingaka mwasi na ye apesaka ye lokumu ndenge nini ayokaka makanisi na ye mpe amonisaka ye ete makanisi oyo apesi ezali na ntina (1 petro 37) ata soki akoki te kosala ntango nyonso oyo mwasi asɛngi koyokela mwasi na ye ekoki kosalisa ye azwa bikateli ya malamu koleka (masese 1522) mobali oyo alingaka mwasi na ye asɛngaka limemya na makasi te alingaka ete makambo oyo asalaka nde etinda mwasi amemya ye ntango mobali azali kolinga mwasi na ye mpe bana bakozala na esengo ya kosalela yehova mpe bakozwa libonza ya bomoi
tokoki kosala nini mpo mikakatano ya libota ezangisa biso libonza te (talá paragrafe 1315)
bilenge bótika eloko te ezangisa bino libonza
16 17 soki ozali elenge nini ekoki kosalisa yo otombokela baboti na yo te
16 mbala mosusu ozali elenge mpe ozali komona ete baboti bamityaka na esika na yo te mpe bazali makambo makasi mbala mosusu epesaka yo nkanda makasi mpe ozali komituna soki osengeli kutu kosalela yehova kasi soki otiki yehova okomona ete moto moko te na mokili alingaka yo koleka baboti na yo oyo bazali bakristo mpe baninga na yo na lisangá
17 kanisá naino soki baboti na yo basembolaka yo te okomituna te soki balingaka yo mpenza (baebre 128) ezali solo ete bazali bato ya kokoka te yango wana ndenge bapesaka yo disiplini ekoki kosilikisa yo kotyela yango likebi te kasi lukáká koyeba ntina oyo balobi na yo to basali yo likambo moko fandá kimya mpe salá makasi otomboka te biblia elobi moto nyonso oyo apekisaka maloba na ye azali na boyebi mpe moto ya bososoli azali na elimo ya kimya (masese 1727) mityelá mokano ya kokóma moto oyo akɔmɛli oyo andimaka toli mpe azwelaka yango liteya ata soki epesami ndenge nini (masese 18) kobosana ata moke te ete kozala na baboti oyo balingaka yehova ezali likabo ya motuya balingi kosalisa yo mpo ozwa bomoi ya seko
18 mpo na nini ozali na ekateli ya kotya miso na libonza
18 ezala tozali na elikya ya kokende na likoló to ya kofanda na paradiso awa na mabele biso nyonso tozali na elikya ya malamu na mikolo ezali koya elikya na biso ezali ya solo euti na elaka ya mozalisi ya molɔ́ngɔ́ mobimba oyo alobi mabele ekotonda na boyebi ya yehova (yisaya 119) mosika te moto nyonso akoteyama na nzambe ebongi tósala nyonso mpo na kozwa libonza yango na yango kanisáká ntango nyonso oyo yehova alaki yo mpe kotika eloko te ezangisa yo libonza yango | 2018-04-21T02:37:30 | https://www.jw.org/ln/mikanda/bazulunalo/linongi-ya-mosenzeli-boyekoli-11-2017/kotika-eloko-te-ezangisa-yo-mapamboli-ya-nzambe/ |
mu libelelenako ya ku atula i tile
tawala ya mulibelelihatiso ya kuituta | 20051001
tuto ye kaufela i tomile fa broshuwa ya mu libelele ye ne zwisizwe fa mikopano ya sikiliti ye ne ezizwe mwa lifasi kamukana mwa 2004 ku isa 2005
mu libelele kakuli ha mu zibi lizazi la ka taha mulena minamateu 2442
1 2 jesu na swaniselize ku taha kwa hae kwa nto mañi
kiñi se ne mu ka eza haiba mu lemuha kuli mwa silalanda sa habo mina ku na ni lisholi le li nanalelanga inze li punya mandu kuli li uzwe kuli mu kone ku sileleza balatiwa ba mina ni tutu ya mina mu ka zwelapili ku libelela inge mu tona mwa swanela ku tona kabakala kuli lisholi ha li lumangi katilotilo ka ku zibisa kuli li taha nako mañi kono li tahanga ka ku nanalela ni ka ku patisa
2 ka linako li sikai jesu na itusisize mikwa ya lisholi mwa liswanisezo za hae (luka 1030 joani 1010) jesu ha na bulela ka ze ne ka ezahala mwa mazazi a maungulo ni ze ne ka ezahala pili a si ka taha kale ku to fitisa katulo ya mulimu na file kelezo ye ye li mu libelele he kakuli ha mu zibi lizazi la ka taha mulena mina kono mu zibe kuli muña ndu kaba ziba nako ya busihu ye li ka taha lisholi kaba libelela mi a si ke a lumela kuli ndu ya hae i punyiwe (mateu 2442 43) kacwalo jesu na swaniselize ku taha kwa hae kwa ku taha kwa lisholi ko ku sa zibwi
3 4 (a) ku mamela temuso ya jesu ya ku taha kwa hae ku talusañi (b) ki lipuzo mañi ze zuha
3 swanisezo yeo ne i swanela luli bakeñisa kuli ha ku na ya na ka ziba lizazi luli la na ka taha jesu nakonyana kwamulaho mwa bupolofita bo bu swana jesu na ize haili ka za lizazi leo ni za nako yeo ha ku na ya li ziba mane ni mangeloi a kwa lihalimu ha li zibi nihaiba mwana konji ndate a li nosi (mateu 2436) kacwalo jesu na susuelize bateelezi ba hae kuli mu itukise (mateu 2444) fa na ka tela mulena kaufela ku to fitisa katulo ya jehova ba ba mamela kelezo ya jesu ne ba ka ba ba ba itukisize ba ba eza lika hande
4 ku na ni lipuzo za butokwa ze zuha kana temuso ya jesu i ama fela batu ba lifasi kamba ni bakreste ba niti ni bona ba tokwa ku libelela ki kabakalañi ku libelela ha ku li kwa butokwa mi lu kona cwañi ku libelela
temuso ku bomañi
5 lu ziba cwañi kuli temuso ya ku libelela i filwe kwa bakreste ba niti
5 ki niti kuli kwa batu ba lifasi ba ba sa lati ku utwa temuso ka za kozi ye taha ku taha kwa mulena ku ka swana sina ku taha kwa lisholi (2 pitrosi 337) kono ku ka ba cwañi kwa bakreste ba niti muapositola paulusi na ñolezi balumeli ka yena kuli mina mu ziba hande kuli lizazi la mulena li ka taha sina lisholi la busihu (1 matesalonika 52) ha lu kakanyi ni hanyinyani kuli lizazi la mulena la taha kono kana taba yeo i nyinyafaza butokwa bwa ku libelela mu lemuhe kuli jesu na ambola ni balutiwa ba hae ha na ize mwana mutu u ka taha nako ye mu sa zibi (mateu 2444) kwamulaho jesu ha na susueza balutiwa ba hae ku zwelapili ku bata mubuso na ba lemusize kuli mu yeme mu itukisize kakuli mwana mutu u ka taha ka nako ye mu sa hupuli (luka 1231 40) kacwalo kwa iponahaza hande kuli jesu na bulelela balateleli ba hae ha na ize mu libelele
6 ki kabakalañi ha lu tokwa ku libelela
6 ki kabakalañi ha lu tokwa ku libelela ni ku itukisa jesu na ize kwa banna ba babeli ba ba li mwa simu yo muñwi u ka ngiwa yo muñwi a siwe kwa basali ba babeli ba ba sita mwa cika yo muñwi u ka ngiwa yo muñwi a siwe (mateu 2440 41) lifasi le li maswe ha li ka sinyiwa ba ba ka ngiwa kamba ku puluswa ki ba ba itukisize ba bañwi ba ka siiwa ili ku timezwa kakuli ne ba ikezeza za bona ka buitati ba bañwi ba bao i kana ya ba batu ba ne ba zibile niti kono ne ba si ka zwelapili ku libelela
7 ku sa ziba fo a ka tela mafelelezo ku lu tusa ku ezañi
7 ku sa ziba kwa luna lizazi luli fo u ka felela muinelo wa kale wo ku lu fa kolo ya ku bonisa kuli ha lu sebelezi mulimu ka buitati ka mukwa ufi ne ku kana kwa bonahala inge kuli mafelelezo a liyeha ku taha ki bumai kuli bakreste ba bañwi ba ba ikutwa cwalo cisehelo ya bona mwa sebelezo ya jehova i kuyukile kono ka ku ineela ku jehova lu ifanile ku mu sebeleza ka ku tala ba ba ziba jehova ba ziba kuli ku to bonisa cisehelo kwa mafelelezo ha ku na ku tabisa mulimu kakuli wa bona ze mwa pilu1 samuele 167
8 lilato la ku lata jehova li lu susumeza cwañi ku libelela
8 bakeñisa kuli lwa lata jehova luli lu banga ni tabo ye tuna hahulu ha lu eza tato ya hae (samu 408 mateu 2639) mi lu bata ku sebeleza jehova ku ya ku ile niha ne lu ka libelela nako ye telelenyana ku fita mo ne lu hupulela sepo yeo i sa li ya butokwa mi libaka le lituna ha lu libelela ki la kuli lu nyolezwi hahulu ku bona mo u ka petahalela mulelo wa jehova fa lizazi la hae takazo ya luna ye tuna ya ku tabisa mulimu i lu susumeza ku latelela kelezo ya linzwi la hae ni ku beya mubuso wa hae mwa sibaka sa pili mwa bupilo bwa luna (mateu 633 1 joani 53) ha lu nyakisiseñi mo lu swanela ku ezeza liketo za luna ni mo lu swanela ku pilela ka zazi ni zazi ha lu nze lu libelela
bupilo bwa mina bu libile kai
9 ki kabakalañi batu ba mwa lifasi ha ba tokwa ku lemuha ka putako taluso ya linako za luna
9 batu ba bañata kacenu mwendi ba lemuhile kuli matata a matuna ni likezahalo ze komokisa se li atile mi mwendi ha ba tabeli mo bu zamaela bupilo bwa bona kono kana ba ziba taluso ya miinelo ye ezahala mwa lifasi kana ba lemuha kuli lu pila mwa linako za ku fela kwa lifasi (mateu 243) kana ba lemuha kuli ku ata kwa buitati mifilifili mane ni buhedeni ku bonisa kuli a ki ona mazazi a maungulelo (2 timotea 315) ba tokwa ku lemuha ka putako za taluso ya lika ze ezahala ni kuli ba nyakisise ko bu libile bupilo bwa bona
10 ki nto mañi ye lu lukela ku eza kuli lu bone teñi kuli lwa libelela
10 luna bo kana lwa lemuha ko bu libile bupilo bwa luna ka zazi lu na ni ku eza likatulo ze ama mubeleko wa luna buikangulo bwa luna lubasi lwa luna ni bulapeli bwa luna lwa ziba ze i bulela bibele mi lu lika ka tata ku li sebelisa kacwalo lu swanela ku ipuza kuli kana ni ituhelezi ku yaululwa ki lipilaelo za mwa bupilo kana ni tuhelela mihupulo ya lifasi ku zamaisa ze ni eza (luka 213436 makolose 28) lu tokwa ku zwelapili ku bonisa kuli lwa sepa jehova ka pilu ya luna kaufela ni kuli ha lu tiyeli fa butali bwa luna (liproverbia 35) ha lu ka eza cwalo lu ka yo amuhela bupilo bo bu sa feli ili bupilo bwa kamita mwa lifasi la mulimu le linca1 timotea 612 19
1113 lu kona ku itutañi ku ze ne ezahezi (a) mwa miteñi ya nuwe (b) mwa miteñi ya lota
11 mwa bibele ku na ni mitala ye miñata ye kona ku lu tusa ku libelela mu nahane ze ne ezahezi mwa miteñi ya nuwe mulimu na boni teñi kuli temuso ya fiwa inze ku sa na ni nako ye ñata kono kwanda nuwe ni lubasi lwa hae batu ba bañwi kaufela ne ba si ka lemuha se siñwi (2 pitrosi 25) jesu na bulezi ka za taba ye kuli mo ne ku inezi mwa mazazi a nuwe ku ka ba cwalo kwa ku taha kwa mwana mutu kakuli mo ne ku inezi kwa mazazi ale munda o mutuna u si ka bonahala kale batu ne ba ca ba nwa ba nyala ba nyalisa mane la fita lizazi la kena nuwe mwa aleka ha ba si ka lemuha se siñwi mane munda wa kena mi wa ba kukisa kaufela ku ka ba cwalo ha ka taha mwana mutu (mateu 243739) lu kona ku itutañi kwa mutala wo haiba ba bañwi ku luna ba tuhelela misebezi ya za ka zazi mane nihaiba lika ze eziwanga kamita mwa bupilo kuli li hatelele misebezi ya kwa moya yeo mulimu a lu susueza ku beya mwa sibaka sa pili fo he lu tokwa ku nyakisisa hahulu mupilelo wa lunamaroma 1417
12 hape mu hupule ze ne ezahezi mwa miteñi ya lota munzi wa sodoma mwa na pila lota ni lubasi lwa hae ne u onyokile kono hape ku ona ne ku na ni muzamao o maswe hahulu jehova a luma mangeloi a hae ku to sinya munzi mangeloi a eleza lota ni lubasi lwa hae ku saba mwa sodoma ni ku sa itemuna ba fulalela munzi ka ku susuezwa ki mangeloi kono ku bonahala kuli pilu ya musala lota ne i siyezi kwa bupilo bwa ku onyoka bwa mwa sodoma ka ku sa utwa a itemuna mi a kutula lifu (genese 191526) jesu na lu lemuselize cimo kuli mu hupule musala lota kana lwa mamela temuso yeoluka 1732
13 ba ne ba mamezi litemuso za mulimu ne ba punyuhile ne ku bile cwalo ku nuwe ni lubasi lwa hae ni ku lota ni bana ba hae (2 pitrosi 29) ha lu nze lu nahanisisa ka za temuso ye fiwa mwa mitala yeo lipilu za luna hape li tiiswa ki lushango lo lu mwateñi lwa puluso ya ba ba lata ku luka taba ye nde yeo i tiisa sepo ya luna ya ku talelezwa kwa sepiso ya mulimu ya lihalimu le linca ni lifasi le linca mo ku yahile ku luka2 pitrosi 313
nako ya ku atula i tile
14 15 (a) nako ya katulo i kopanyelezañi (b) ku saba mulimu ni ku mu lumbeka ku kopanyeleza lika mañi
14 ha lu nze lu libelela ki lika mañi ze kona ku ezahala buka ya sinulo i bulela mo u ka petahalela mulelo wa mulimu ka ku tatamana mi ku eza ze i bulela buka yeo ku ka lu tusa ku ba ba ba itukisize bupolofita bo bu bonisa hande ze ne ka ezahala mwa lizazi la mulena le ne li kalisize muta kreste na filwe bulena mwa lihalimu ka 1914 (sinulo 110) sinulo i lu zibisa za lingeloi le li filwe evangeli ya linako ze sa feli ku i bulela lingeloi leo li bulela ka linzwi le lituna kuli mu sabe mulimu mu mu lumbeke kakuli nako ya hae ya ku atula i tile (sinulo 146 7) yona nako ya ku atula yeo ki ye kuswani ku yona nako ye kuswani yeo ku fiwa lizibiso ni likatulo ze bonisizwe mwa bupolofita bwa sinulo kacenu le se lu pila ku yona nako ye bulezwi yeo
15 cwale nako ya ku atula i si ka fela kale lu susuezwa kuli mu sabe mulimu mu mu lumbeke kono ku saba mulimu ku talusañi ku saba mulimu ka nzila ye swanela ku lukela ku lu tibela kuli lu si ke lwa eza ze maswe (liproverbia 813) haiba lu kanyisa mulimu lu ka mu utwa ka likute le lituna ha lu na ku patehiswa hahulu ki lika ze ñwi kuli mane lu palelwe ku balanga linzwi la hae yona bibele kamita ha lu na ku keshebisa kelezo ya hae ya ku fumanehanga kwa mikopano ya sikreste (maheberu 1024 25) lu ka tabela hahulu tohonolo ya ku abana mwa ku shaela ka cisehelo za mubuso wa mesiya wa mulimu lu ka sepa jehova ka nako kaufela ni ka pilu ya luna kaufela (samu 628) bakeñisa kuli lwa ziba kuli jehova ki yena muambakani ya pahami lwa mu kuteka ka ku ipeya ku yena sina mubusi wa bupilo bwa luna kana luli mwa saba mulimu ni ku mu lumbeka ka linzila zeo kaufela
16 ki kabakalañi ha lu kona ku bulela kuli katulo ya babilona yo mutuna ye bulezwi kwa sinulo 148 ki kale i talelezwa kale
16 kauhanyo 14 ya sinulo i zwelapili ku talusa likezahalo ze ñwi ze ka ezahala mwa nako ya ku atula babilona yo mutuna yona kopano ya lifasi ya bulapeli kamukana bwa buhata ki yona ye bulezwi pili lingeloi le liñwi la bubeli la mu tatama la li u wile u wile babilona yo mutuna (sinulo 148) ee ku mulimu babilona yo mutuna u wile kale ka 1919 batanga ba jehova ba ba tozizwe ne ba lukuluzwi mwa butanga bwa lituto ni likezo za babilona ili ze kukuelize batu ni macaba ka lilimo na lilimo (sinulo 171 15) mi ku zwa nako yeo ne se ba kona ku ifana ka ku zwisezapili bulapeli bwa niti ku zwa ka yona nako yeo musebezi wa ku kutaza taba ye nde ya mubuso wa mulimu mwa lifasi kamukana wa kalisamateu 2414
17 ku ikauhanya ku babilona yo mutuna ku kopanyeleza lika mañi
17 kono katulo ya mulimu fahalimwa babilona yo mutuna ha i feleli fo u tuha a yundiselezwa (sinulo 1821) ku na ni libaka bibele ha i susueza batu kai ni kai kuli a mu zwe ku yena [babilona yo mutuna] kuli mu si ke mwa ba ni taba ni libi za hae (sinulo 184 5) lu kona ku zwa cwañi ku babilona yo mutuna ku zwa ku babilona yo mutuna ku kopanyeleza ze ñata ku fita ku ikauhanya fela kwa bulapeli bwa buhata babilona u kukueza batu ka mikiti ni lizo ze ñata ze tumile ka moya wa lifasi wa ku tuhelela buhule ka ku yemela lika za ku itabisa ka zona za sidimona ni lika ze ñwi ze ñata kuli lu libelele ki kwa butokwa hahulu kuli likezo ni litakazo za mwa lipilu za luna li bonise kuli lu ikauhanyize ha buniti ku babilona yo mutuna mwa linzila kaufela
18 ka ku ya ka ze ñozwi kwa sinulo 149 10 kiñi ze ba swanela ku tokomela ku ambuka bakreste ba ba tona
18 kwa sinulo 149 10 lu ituta ka za nto ye ñwi hape ye ama nako ya ku atula lingeloi le liñwi li li mutu kaufela ya ka kubamela sibatana ni siswaniso sa sona mi a amuhela nombolo ya sona fa pata kamba fa lizoho la hae mutu yo u ka nwa ni yena kwa veine ya buhali bwa mulimu kabakalañi kakuli sibatana ni siswaniso sa sona li swaniseza puso ya batu ye sa kuteki bubusi bwa jehova bakreste ba ba tona ba tokomela kuli ba si ke ba amuhela nombolo ili moya kamba likezo za babusi bao ku sebeleza batu ba ba sa kuteki bubusi bo bu pahami ka ku fitisisa bwa mulimu wa niti jehova bakreste ba ziba kuli mubuso wa mulimu u tomilwe kale mwa lihalimu mi u ka pyata ni ku felisa lipuso kaufela za butu mi hape u ka ina ku ya ku iledaniele 244
mu zwelepili ku tona
19 20 (a) ha lu nze lu atumela mafelelezo a mazazi a maungulo lu kona ku ikolwisa kuli satani u ka lika ku ezañi (b) lu swanela ku ikatulela ku eza nto mañi
19 ha lu nze lu atumela mafelelezo a mazazi a maungulo matata ni miliko li kana li zwelapili ku ekezeha ibile fela lu sa pila mwa muinelo wa kale wo mi lu katazwa ki ku sa petahala kwa luna lu kana lu tahelwa ki mapongo busupali ku shwelwa ki batu be lu lata ku holofazwa mwa maikuto ku swabiswa ha lu kopana ni batu ba ba lwanisa linzwi la mulimu le lu ikataza ku kutaza ni lika ze ñwi ze ñata lu si ke lwa libala ni kamuta kuli satani u bata hahulu ku manama fa matata a lu tahela ao kuli a lu zwafise ilikuli lu lisele ku kutaza taba ye nde kamba kuli lu tuhele ku pila ka likuka za mulimu (maefese 61113) ye hasi yona nako ya ku libala butokwa bwa linako ze lu pila ku zona
20 jesu na ziba kuli lu ka kena mwa muliko o mutuna wa ku bata ku lu zwafisa kiha na lu elelize kuli mu libelele kakuli ha mu zibi lizazi la ka taha mulena mina (mateu 2442) kacwalo he lu zwelepili ku tona ka ku ziba linako ze se lu zamaela ku zona haike lu be ba ba itekezi kamita kwa malaba a satani a kona ku lu kokombisa kamba ku lu zwisa mwa niti haike lu ikatulele ku kutaza taba ye nde ya mubuso wa mulimu ka tukufalelo ye tuna ni ka tundamo ka mo ku konahalela kaufela haike lu beye mwa munahano linako ze lu pila ku zona ka ku mamela temuso ya jesu ye li mu libelele ka nzila yeo lu ka tumisa jehova ni ku balelwa ku ba ba libelela ku yo amuhela limbuyoti za hae za ku ya ku ile
• lu ziba cwañi kuli temuso ya jesu ya ku libelela i filwe kwa bakreste ba niti
• ki mitala ifi ya mwa bibele ye kona ku lu tusa ku libelela
• nako ya ku atula ki nto mañi mi lu susuezwa ku ezañi pili nako yeo i si ka fela kale
jesu na swaniselize ku taha kwa hae kwa ku taha kwa lisholi
babilona yo mutuna u tuha a yundiselezwa
haike lu ikatulele ku kutaza ka tukufalelo ni ka tundamo
ku lemuha lisupo ki kwa butokwa hahulu
kana mwa lemuha sisupo sa ku taha kwa jesu
ze zwile mubano mwa buka ya makolonika ya pili
kana lizwalo la mina li lutilwe hande
ne ni tiisizwe ki mutala wa bashemi ba ka
bashemimu bata kuli bana ba mina ba be cwañi kwapili | 2020-01-28T17:36:15 | https://www.jw.org/loz/sifalana/limagazini/w20051001/Mu-Libelele-Nako-ya-ku-Atula-I-Tile/ |
uchunguzi wa awali na dst ya msemaji wa mtandao wa sortir du nucléaire habari na habari
dst imethibitishwa na msemaji wa mtandao wa sortir du nucléaire
leo asubuhi katika 8 pm idara ya usalama (n) uliofanywa kutafuta ghorofa stéphane lhomme msemaji mtandao sortir du nucléaire na mwandishi wa kitabu nuclear ukosefu wa usalama hivi karibuni chernobyl nchini ufaransa (mhariri yves michel)
tangu asubuhi hii stéphane lhomme amefungwa katika kituo cha polisi cha kati cha bordeaux kwa muda usiojulikana anashuhudiwa kuwa na hati ya ulinzi wa siri ambayo inaonyesha hatari ya eactor ya nyuklia wakati wa kukimbia kwa ndege ya ndege kesi hiyo iko mikononi mwa sehemu ya kupambana na kigaidi ya ofisi ya mwendesha mashitaka wa paris
mtandao wa nje ya nyuklia unakataa kukamatwa kwa hii na unahitaji kuachiliwa huru kwa msemaji wake
mtandao wa sortir du nucléaire iliyochapishwa katika septemba 2005 barua kutoka edf kuwajibika (sio kufunikwa na ulinzi usiri) kutoa taarifa hii hati za siri ya ulinzi katika mjadala wa umma juu epr iliyomalizika mapema aprili 2006 pdcc (tume ya taifa ya mjadala wa umma) kudhibiti kifungu kutoka mchango maandishi ya mtandao sortir du nucléaire na kusema kuwa hati za siri ya ulinzi
kesi hii mara nyingine tena inaonyesha opacity na udhibiti wa nguvu ya nyuklia
wananchi wana haki ya kujua ukweli kuhusu nishati ya nyuklia na hasa epr mtandao sortir du nucléaire inauliza serikali kufuta hati ya ulinzi wa usalama juu ya epr ili ukweli ufanyike kwenye reactor hii
alhamisi kutolewa 4 mei 2006
kujiua kwa nyuklia kujiua crash msaidizi wa epr mbaya
mtandao wa sortir du nucléaire ana hati siri defense kutoka edf ambayo alitambua kuwa epr reactor nyuklia itakuwa kama mazingira magumu kama mitambo ya sasa inakabiliwa ajali kujiua hii haikubaliki kabisa kwa mtambo wa nyuklia ambayo kama kujengwa itakuwa mtambo wa kwanza kujengwa baada ya septemba 11 2001
wakati bi lauvergeon mkurugenzi mtendaji wa areva mtengenezaji wa epr alidai mfululizo kuwa reactor hii ni iliyoundwa na kuhimili ajali kujiua kwa ndege mtandao sortir du nucléaire lazima kumjulisha ukweli kwa kufunua maudhui ya hati ulinzi wa siri inachukua
1) ufafanuzi wa hatari
kichunguzi dhana ya athari lazima itoe utoaji wa hatari na hauwezi kudai kuhusisha kila tukio
mtandao wa kutoka kwa nyuklia maoni uwezo wa busara katika tukio la athari ina maana ya kukamilika kwa hatari ya hatari kuanguka kwa kujiua kwa epr kwa hiyo kunaweza kusababisha wazi maafa ya nyuklia
2) kuficha wananchi ukweli
maelezo dhana sheria zilizotumiwa na uchambuzi unaohusishwa haipaswi kuingizwa katika ripoti za usalama ambazo zinapatikana au zinaweza kupatikana kwa umma
maoni na mtandao ondoa nyuklia viongozi wa edf wanataka kuficha ukweli kwa wananchi maelezo ni ya msingi ikiwa imejengwa epr itakuwa reactor ya kwanza baada ya 11 septemba 2001 haiwezekani kuwa haikuundwa kuhimili ajali ya kujiua
← pakua piaggio x2 scooter kwenye magurudumu ya 3
mwisho wa ulinzi kwa msemaji wa mtandao sortir du nucléaire → | 2018-11-17T09:19:55 | https://sw.econologie.com/mise-examen-par-dst-d-porte-parole-reseau-sortir-nucleaire/ |
*nani mkali wa kusuka dar suka suka yapiga hodi kaa chonjo kama wewe ni msusi sufianimafoto
home burudani *nani mkali wa kusuka dar suka suka yapiga hodi kaa chonjo kama wewe ni msusi
*nani mkali wa kusuka dar suka suka yapiga hodi kaa chonjo kama wewe ni msusi
akina dada wakikusuka mitindo yote kwa speed zaidi ya mwendokasi | 2017-11-19T12:15:29 | http://www.sufianimafoto.com/2016/09/nani-mkali-wa-kusuka-dar-suka-suka.html |
henry ampigia debe griezman epl soka stadium
henry ampigia debe griezman epl
home » unlabelled » henry ampigia debe griezman epl
kwa kile kinachoonekana kama kumpigia debe mshambuliaji wa zamani wa arsenal thiery henry amsema kuwa angependa kumuona mfaransa mwenzake antoine griezman anaekipiga katika klabu ya athletico madrid ya hispania akicheza katika ligi kuu ya nchini uingereza
akijibu katika kituo cha sky sport mchezaji huyo wa zamani wa arsenal na ufaransa amesema kuwa 'nafikiri huyo ni mtu anaetakiwa kuja kucheza ligi kuu'
'kama akienda ot kitakuwa kitu kikubwa kwao lakini ni mchezaji unae muhitaji kwenye ligi mashabiki na kila kitu anataka kumuona akicheza hapa'
henry ambaye ni mfungaji bora wa muda wote wa arsenal amesema kuwa amekuwa akimfuatilia griezman kwa muda mrefu tangu alipokuwa mdogo akiichezea timu ya sociedad baada ya kukataliwa kukipiga katika timu ya vijana ya lyon ya nchini ufaransa huku akisema si lazima mchezaji huyo achezee man united tu
griezman ni mmoja wa wachezaji wenye vipaji katika ulimwengu wa soka huku mwaka 2016 ukiwa wa mafanikio kwake huku akifanikiwa kuingia kwenye tuzo kubwa kabisa duniani na kufanikiwa kushika namba tatu katika tuzo hizo ambazo ni ballon d'or na ile ya mchezaji bora wa fifa
mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 alikuwa akihusishwa kujiunga na manchester united kwenye dirisha la usajili lililofungwa jana anamkataba na athletico hadi mwaka 2021 huku akisema kuwa anafuraha kucheza chini ya diego simeone | 2018-12-10T04:39:27 | http://sokastadium.blogspot.com/2017/02/henry-ampigia-debe-griezman-epl.html |
new audio | one the incredible kichwa | mp3 download | mishe mishe media
» new audio | one the incredible kichwa | mp3 download
new audio | one the incredible kichwa | mp3 download
new audio | one the incredible kichwa | mp3 download leo nimekusogezea ngoma yake mpya kabisa kuwa wakwanza kuipakua kupitia apa na kama na wewe ni msanii na ungependa audio yako au video yako ionekane apa na watu wengi waione wasiliana nasi kwa no +255714903603 | 2016-12-07T12:30:43 | http://www.africanmishe.com/2016/11/new-audio-one-incredible-kichwa-mp3.html |
gucci mane afungwa miaka mitatu salma msangisalma msangi
gucci mane amefungwa miaka mitatu zaidi kuendelea kukaa jela baada ya kumpiga mtu na chupa
gucci mane amekutwa na kosa hilo la kushambulia juzi septemba 15
repa huyo alifungwa miaka mitatu kwa kumshambulia askari (army staff sergent) kwa kumpiga na chupa kwenye klabu ya usiku ilikuwa machi 16 2013 imeripotiwa kwamba askari huyo alienda kwenye eneo la vip alilokuwepo gucci maine na alikuwa akitafuta kupiga picha na repa huyo kabla hajapigwa na chupa
mwasheria wa wilaya paul howard aliongelea swala hilo kutokana na atlanta journaliconstitution
badala ya kumpokea shabiki anayekufurahia ndugu davis na bila sababu ya maana unampiga chupa ya vodka kichwani na kwa haraka kuondoka katika club hiyo askari huyo aliumia sana kwa mbele ya uso wake ambapo palihitachi kushonwa nyuzi 10
ajc inaripoti kwamba haiku wazi kama atapewa sifa wakati akitumikia kifungo chake
gucci mane pia alikutwa na makosa mengine la kukimbia polisi mwaka 2011 na kushambulia tena 2005 ajc inaeleza kwamba gucci mane alikuwa akishtakiwa kwa kosa la mauaji baada ya kmpiga repa macon ambaye alisema alimpiga lakini makosa hayo yalifutwa
mwaka 2008 gucci alikutwa na makosa huko henry county lakini waliofanyiwa makosa walishindwa kuthibitisha taarifa za ajc zilieleza lakini kwa sasa gucci mane afungwa jela miaka mitatu | 2018-07-23T15:25:13 | http://salmamsangi.com/gucci-mane-afungwa-miaka-mitatu/ |
masauni ahamasisha ujenzi wa nyumba za polisi pemba wadau wajitokeza wamchangia milioni 400 habari za jamii
home / habari / masauni ahamasisha ujenzi wa nyumba za polisi pemba wadau wajitokeza wamchangia milioni 400 | 2018-08-14T15:28:09 | http://www.habarizajamii.com/2017/11/masauni-ahamasisha-ujenzi-wa-nyumba-za.html |
wamiliki wa daladala na machozi yasiyokauka | gazeti la jamhuri
jamhuri september 4 2012 wamiliki wa daladala na machozi yasiyokauka20120904t072605+0000 siasa
baada ya kununua basi dogo (hiace) la kwanza na kulisajili daladala nilikutana na ulimwengu mpya wa changamoto za biashara za magari changamoto zilipozidi niliazimu kukutana na walionitangulia kwenye biashara hiyo ili nipate hazina ya ushauri
nikamfuata mzee wangu mjini iringa aliyeanza biashara ya kusafirisha mizigo na abiria mwaka 1978 mzee wangu baada ya kunisikiliza aliniambia sentensi moja tu na akasema huo ndiyo ushauri anaonipa na ambao utanisaidia alisema hivi kijana wangu ili umudu biashara ya magari hasa hizi daladala unatakiwa uwe mjeurijeuri kwa madereva makondakta na wakati mwingine kwa matrafiki
nikataka anipe ufafanuzi kuhusu hili ndipo akaongeza ufafanuzi hawa watu ninaokwambia usicheke nao ndiyo wanaoweza kukuliza ama kukufanya ufurahi ukizubaa katika hili usishangae kujikuta muda umepita gari limechakaa na fedha za kununulia gari jingine huna ushauri wa mzee wangu huyu niliufanyia kazi na ulizaa matunda
uzoefu wangu katika biashara hii ya daladala unachagizwa pia na nafasi ya uongozi niliyopata kushika kuanzia mwaka 2009 hadi januari 2012 nilikuwa makamu mwenyekiti wa chama cha wamiliki wa mabasi ya abiria mkoa wa iringa kinachojumuisha magari yote ya abiria ukiacha mabasi ya mikoani yaliyo chini ya taboa nafasi hii iliniwezesha kufahamiana na kushirikiana na wafanyabiashara wengi wa magari ya abiria iringa
hivyo nafahamu chungu na tamu za biashara ya daladala machozi yao nayajua ukiacha changamoto ya faida (ambayo nitaichambua kwa kina kwenye makala haya) biashara ya daladala ina timbwilitimbwili si mchezo madereva wanasumbua sana faini za barabarani zisizoisha na uharibifu wa magari ni kama chachandu chungu kwenye biashara hii kati ya biashara nilizowahi kufanya biashara ya daladala inaongoza kwa kupasua kichwa
miezi machache iliyopita wamiliki wa daladala dar es salaam waliwasilisha kusudio la kupandisha nauli za daladala kwa asilimia 300 mbele ya baraza la watumiaji wa huduma za usafiri baraza hilo pamoja na mamlaka ya usafiri wa nchi kavu na majini (sumatra) waliwagomea kwa sababu mbalimbali moja ya sababu hizo ni pamoja na mosi wamiliki wa daladala walishindwa kuwasilisha taarifa za kifedha za biashara zao (approved financial statements)
pili sababu walizozitoa kuhusu kupanda gharama walidai zilikuzwa mno na kukosa ushahidi wa bei katika soko baada ya kufuatilia mnyukano ule niliwahurumia sana wamiliki wa daladala kwa sababu wenye rungu la kuwasaidia hawajui viatu vya umiliki wa daladala vinavyobana na kuumiza
nimetafiti biashara hii katika mikoa ya mbeya morogoro na dodoma huku iringa nikiwa nimeifanya kwa vitendo sehemu karibu zote changamoto zinafanana ingawa kuna tofauti ndogo ndogo kutegemea na utamaduni wa maeneo sehemu hizi zote viwango vya fedha inayolazwa ni shilingi kati ya sh 30000 na 40000 kwa siku kwa mabasi madogo (hiace super roof) kwa mabasi ya kati (coaster) kiwango kwa siku ni kati ya sh 50000 hadi sh 80000 kwa siku sasa twende kimizania ya uhasibu hapa
bei ya kununua basi dogo (toyota hiace super roof) pamoja na kusajili leseni njia na taratibu zote ili ianze biashara ni kati ya sh milioni 20 hadi sh milioni 25 bei ya kununua basi la kati (coaster) ni kati ya sh milioni 35 hasi sh milioni 45 magari hayo yote ni mitumba kutoka japan
tukokotoe hesabu ya basi dogo kwa upande wa mapato kama gari inalaza sh 30000 kwa siku ina maana kwa mwezi unakusanya sh 840000 hesabu hizi ni kwa siku 28 siku mbili kwa kawaida hutengwa kwa ajili ya kufanya service ya gari inayofanyika kwa mwezi mara mbili yaani kila baada ya siku 14 tushuke kwenye matumizi
galoni moja ya kilainishi kizuri (oil) ni sh 45000 gharama ya kubadilisha sahani za breki ni sh 25000 vifaa ambatanishi vya service ni karibu sh 20000 ukichanganya na ufundi na ikiwa unafanya service ya uhakika katika gari lako kila service moja unatumia sh 100000 kwa makadirio ya chini sana katika kipengele cha service kwa mwezi unatumia kama sh 200000
mshahara wa dereva kwa mujibu wa sheria za sumatra zinazoambatana na masharti ya kupewa leseni yanakutaka mmiliki wa gari ulipe kuanzia kima cha chini cha mshahara wa sekta binafsi ambao ni sh 80000 kodi za serikali ikiwamo leseni ya barabara leseni ya njia zimamoto mapato na ushuru wa manispaa/jiji ni wastani wa sh 65000 kwa makadirio ya chini
kodi hizi nyingi zinalipwa kwa mwaka lakini hapa nimezigawanya katika mafungu ya miezi 12 mwisho tujumlishe mshahara wa wewe mjasiriamali unayemiliki gari najua wajasiriamali wengi hawana utaratibu wa kutenga mishahara yao kwa biashara zao lakini hata kama hutengi mshahara tukadirie kuwa unajilipa sh 80000 kwa mwezi
sasa ukichukua mishahara ukajumlisha na kodi ukajumlisha na gharama za matengenezo unapata matumizi ya sh 420000 kwa haraka haraka unaweza ukadhani faida inayobaki ni sh 420000 hapa ndipo wafanyabiashara wengi wa magari wanapofilisikia kwa kusahau jambo la muhimu kuliko yote
jambo hili la muhimu ni gharama ya uchakavu wa gari (depreciation cost) gharama hii kitaalamu hutakiwa kujumuishwa kwenye kipengele cha matumizi tunaposema gharama ya uchakavu ni pale unapoelewa kuwa ikiwa gari linatembea basi matairi yanazi kwisha vyuma vinasagika na bodi inachakaa kinachoamua kiwango cha gharama ya uchakavu ni makadirio ya muda ambao gari lako litakaa kabla ya kuchakaa kabisa
kuna njia kadhaa za kitaalamu lakini hapa nataka nitumie njia rahisi ya kijasiriamali ili tuelewe vema mathalani kama gari lako linapita kwenye barabara nzuri unaweza kukadiria kuwa uhai wa gari hilo utakuwa ni miaka mitano unachofanya unachukua thamani ya kununulia hadi kusajili gari ianze biashara kisha unagawanya kwa miaka mitano
twende pole pole hapa tumesema wastani wa chini wa basi dogo ni sh milioni 20 hadi ianze biashara ukichukua sh milioni 20 ukagawanya kwa miaka mitano unapata sh milioni 4 ambazo ndiyo gharama ya uchakavu kwa mwaka sasa chukua sh milioni hii 4 kisha gawanya kwa miezi 12 unapata wastani wa sh 333000
fedha hizi tunaziingiza kwenye sehemu ya matumizi kwa maana hiyo jumla kuu ya matumizi yetu kwa mwezi inakuwa ni sh 753000 ili uelewe faida halisi (net profit) unayozalisha kwa mwezi chukua mapato ya mwezi (sh 840000) kisha utoe na matumizi ya mwezi (sh 753000) ukikokotoa hapo utaona faida halisi ya biashara ya daladala ikiwa una basi dogo kwa mwezi ni sh 87000 tu
najua hesabu hizi zitawashtua wengi watakaoshindwa kuzielewa na kwa kutozielewa wanaweza wasizikubali bahati nzuri ni kuwa nimeshafanya biashara hii huku nikiwa na digrii ya biashara kutoka chuo kikuu hivyo naelewa ninachokisema hapa labda nitafsiri maana ya hesabu hizi za hapo juu kwa lugha nyepesi na ya picha
iko hivi ukinunua gari la sh milioni 20 leo baada ya miaka mitano linaweza kuwa limeshachakaa kabisa wakati huo gari litakapochakaa unatakiwa uwe na fedha mkononi za kununua gari jingine kutoka katika biashara hiyo hiyo na ubakiwe na fedha nyingine ambayo ndiyo tutaiita faida zile fedha utakazorudishia gari lililochakaa ni mtaji ulioanza nao
kwa hesabu hizo hapo juu ambako tumeona faida halisi ya daladala ikiwa unamiliki hiace super roof ni sh 87000 kwa faida hiyo itamkuchukua mjasiriamali miaka 19 ili afanikiwe kununua gari jingine la pili mliowahi kufanya biashara ya daladala mtakubaliana nami kuwa ukiona mtu ameongeza daladala ya pili ndani ya mwaka mmoja au miwili basi uwe na uhakika kuwa fedha ya kununua gari la pili hajaitoa kwenye gari la kwanza kwa asilimia 100 ni ama amechukua mkopo au fedha ameongezea kutoka vyanzo vingine
naomba nieleweke vema hapa sisemi kuwa biashara ya daladala hailipi la hasha lakini faida halisi iliyopo kwenye daladala ipo tofauti sana na vile sumatra na abiria wanavyoitazama au kuifikiria mtazamo na mawazo ya wadau hawa ndiyo yamekuwa yakisababisha kuwakatalia wenye daladala au kuwakubalia kwa mbinde kila wanapotaka kuidhinishiwa kupanda kwa nauli kumiliki daladala yataka uwe na moyo wa chuma
mathalani kilainishi ambacho mwaka 2006 kilikuwa kikiuzwa sh 19000 leo kinauzwa sh 45000 tairi ambalo wakati huo liliuzwa sh 85000 leo linauzwa sh 165000 gari lililokuwa linauzwa sh milioni 12 mwaka 2006 leo linauzwa sh milioni 22 (toyota hiace super roof) kwa mabadiliko hayo nauli za daladala zilitakiwa zipande kwa asilimia 236 kutoka mwaka 2006 hadi leo
lakini hali ni kinyume kwani maeneo mengi nauli ya daladala imeongezeka kwa kati ya sh 50 hadi sh 100 ongezeko la kati ya asilimia 25 hadi 50 tu ndiyo maana sumatra na baraza la watumiaji walipowagaragaza wamiliki wa daladala kwa kufutilia mbali madai yao ya kupandisha nauli nilijichekea na kusikitika tu hata hivyo sina neno na wala sina lawama kwa sumatra wala baraza la watumiaji kwa sababu wenye daladala wenyewe walishindwa kutoa utetezi wenye nguvu za hoja
ukitaka kuanza biashara ya daladala ni vema ukayajua haya tukutane wiki ijayo
5482 total views 1 views today
« sumatra na porojo za kujikosha
ukabila dhidi ya profesa maji marefu ni upuuzi » | 2020-01-18T09:33:31 | http://www.jamhurimedia.co.tz/wamiliki-wa-daladala-na-machozi-yasiyokauka/ |
rais dktmagufuli azungumza na wananchi wa lamadi mkoani simiyu zanzinews
home habari matukio rais dktmagufuli azungumza na wananchi wa lamadi mkoani simiyu
rais dktmagufuli azungumza na wananchi wa lamadi mkoani simiyu
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akizungumza na wananchi wa lamadi wilaya ya busega mkoani simiyu akiwa anatokea mkoa wa mara alipokuwa na ziara ya siku 4rais magufuli ameanza ziara katika mkoa wa simiyuseptemba 82018
naibu waziri wa madini dotto biteko akizungumza mbele ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli aliposimama ili kuzungumza na wananchi wa lamadi wilaya ya busega mkoani simiyu akiwa anatokea mkoa wa mara alipokuwa na ziara ya siku 4rais magufuli ameanza ziara katika mkoa wa simiyu
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) suleiman jaffo akizungumza mbele ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli aliposimama ili kuzungumza na wananchi wa lamadi wilaya ya busega mkoani simiyu akiwa anatokea mkoa wa mara alipokuwa na ziara ya siku 4rais magufuli ameanza ziara katika mkoa wa simiyu
waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola akizungumza mbele ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli aliposimama ili kuzungumza na wananchi wa lamadi wilaya ya busega mkoani simiyu akiwa anatokea mkoa wa mara alipokuwa na ziara ya siku 4rais magufuli ameanza ziara katika mkoa wa simiyu
wananchi wa lamadi wakimshangilia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli aliposimama ili kuzungumza nao akitokea mkoa wa mara alipokuwa na ziara ya siku 4rais magufuli ameanza ziara katika mkoa wa simiyuseptemba 82018 | 2018-09-22T07:37:25 | http://www.zanzinews.com/2018/09/rais-dktmagufuli-azungumza-na-wananchi.html |
rais magufuli akubali ombi la tff
rais john magufuli anatarajiwa kuikabidhi klabu ya simba kikombe cha ubingwa wa soka ligi kuu ya tanzania bara jumamosi
16 may 2018 wednesday 1739
kaimu katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania wilfred kidao leo hii amethibitisha kuwa rais john pombe magufuli amekubali kuikabidhi kombe kwa mabingwa wa soka tanzania bara simba msimu wa 20172018
akiongea leo makao makuu ya tff amesema kuwa ile barua iliyotumwa na waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dkt harrison mwakyembe ilikubaliwa
rais magufuli amekubali ombi la tff kuwakabidhi vijana wa serengeti boys kombe la cecafa pamoja na kuikabidhi simba amesema
hii sasa uthibitisho ambapo mchezo wa simba na kagera utachezwa saa nane mchana
rais john magufulitff | 2019-08-24T15:53:20 | http://www.azaniapost.com/michezo/rais-magufuli-akubali-ombi-la-tff-h17397.html |
cameron ashinda uchaguzi mkuu wa uingereza | matukio ya kisiasa | dw | 08052015
cameron ashinda uchaguzi mkuu wa uingereza
waziri mkuu wa uingereza david cameron amepata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana nchini uingereza baada ya chama chake cha conservative kujinyakulia viti vingi kwenye uchaguzi huo wa bunge
waziri mkuu wa uingereza david cameron akiwa na mkewe samantha
matokeo ya awali yanaonyesha chama cha david cameron cha conservative kimepata viti 310 kati ya viti 650 vya bunge la nchi hiyo huku uchunguzi wa matokeo ya utabiri yakiashiria kuwa chama hicho kitajizolea viti 316
chama kikuu cha upinzani cha labour kimepata viti 217 vikiwa ni viti 25 chini ya idadi iliyokuwa nayo kwenye bunge lililopita ingawa utabiri unaonyesha kuwa chama hicho kinaweza kujizolea viti 228
nacho chama kikuu cha scotland scottish nationalsnp kimefanikiwa kupata viti 58 na hivyo kukosa kiti kimoja tu
chama cha cameron kinatakiwa kupata jumla ya viti 326 ili kuwa na mamlaka kamili ya kuweza kulidhibiti bunge shirika la utangazaji la uingerezabbc linatabiri huenda chama cha conservative kikapata viti 329
kura zikiendelea kuhesabiwa
matokeo yanaonyesha kuwa chama cha liberal democrats kimepata viti vinane baada ya kupoteza viti vyake vingi
hata hivyo kulingana na matokeo hayo cameron ana dalili zote za kuendelea kuwa waziri mkuu wa uingereza kwa miaka mingine mitano aidha cameron ameibuka mshindi katika jimbo la oxfordshire akizungumza baada ya kutangazwa mshindi cameron amesema ushindi huo umefanya usiku kuwa mzuri kwa chama chake cha conservative
cameron ataka kuileta pamoja uingereza
''zaidi ya yote nataka kuileta pamoja nchi yetu uingereza yetu kwa pamoja angalau kutekeleza haraka iwezekanavyo masuala ya ugatuzi kama tulivyoahidi na kukubaliana na vyama vingine kwa wales na scotland'' alisema cameron
cameron amesema anakumbuka mwaka 2010 wakati alipofikia malengo yake ya kukiondoa chama cha labour na kukirejesha tena madarakani chama chake kwani ilikuwa ni jambo la kushangaza lakini kwa ushindi wa leo huu ni ushindi mzuri kuliko yote iwapo utabiri wa matokeo hayo utakuwa sahihi chama cha conservative kitakuwa kwenye nafasi ya mbele kuunda serikali ijayo kwa ushirika wa vyama vidogo
kiongozi wa labour ed miliband
serikali itakayoongozwa na conservative itaendeleza shinikizo lake la kutaka uingereza kuitisha kura ya maoni ya kujiondoa kwenye umoja wa ulaya ifikapo mwaka 2017 mchana huu cameron anatarajiwa kukutana na malkia elizabeth kukubaliana kuhusu mamlaka ya kuunda serikali
wakati huo huo kiongozi wa chama cha labour ed miliband ametangaza nia yake ya kutaka kujiuzulu kukiongoza chama hicho baada ya kushindwa katika uchaguzi huo amesema chama chake kimesikitishwa sana na matokeo hayo akizungumza baada ya kushinda katika jimbo la doncaster kaskazini mwa uingereza miliband amesema usiku wa kuamkia leo umekuwa mbaya kwa chama cha labour
mwandishi grace patricia kabogo/rtreapeafpedpae
mada zinazohusiana uingereza brexit sergei skripal tony blair
maneno muhimu uingereza david cameron ed miliband conservative labour bbc
kiungo https//pdwcom/p/1fmkm | 2019-03-21T08:32:43 | https://www.dw.com/sw/cameron-ashinda-uchaguzi-mkuu-wa-uingereza/a-18438724 |
ni mara ngapi meza / mwili wa bwana unapaswa kuzingatiwa
swali ni mara ngapi meza / mwili wa bwana unapaswa kuzingatiwa
jibu hakuna mahali popote bibilia hutueleza ni mara ngapi tunapaswa kuchukua ushirika 1 wakorintho 11 2326 inaandika maagizo yafuatayo ya ushirika kwa maana mimi nalipokea kwa bwana niliyowapa nanyi ya kuwa bwana yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate naye akiisha kushukuru akaumega akasema huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe akisema kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu maana kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki mwaitangaza mauti ya bwana hata ajapo kifungu hiki kinatoa maelekezo yote tunayohitaji ili kufanya ibada ya ushirika na kuelewa umuhimu wa kile tunachofanya
mkate ambso yesu aliumega unawakilisha mwili wake uliovunjika msalabani kwa ajili yetu kikombe kinawakilisha damu aliyomwagika kwa niaba yetu kuziba agano kati yake na sisi kila wakati tunapozingatia amri ya ushirika hatukumbuki tu yale aliyetufanyia lakini tuna onyesha pia kwa wote wanaoangalia na wote wanaoshiriki ushirika ni picha nzuri ya kile kilichotokea msalabani chenye inamaanisha na jinsi inavyo badilisha maisha yetu kama waumini
inaonekana kwamba kwa kuwa tunachukua meza ya bwana kukumbuka kifo cha kristo tunapaswa kukichukua kila mara na inavyostahili makanisa mengine yana huduma ya kila mwezi ya meza ya bwana wengine hufanya baada ya miezi wengine kila wiki tangu biblia haitupi maelekezo maalum kuhusu ni mara ngapi kuna usawa fulani katika kanisa mara ngapi inapaswa kuzingatia meza ya bwana inapaswa kuwa kila mara kuzingatia kristo bila kuwa ya mara nyingi haitakuwa ya kawaida kwa hali yoyote haijalishi ni mara ngapi inaadimishwa bali ni tabia ya moyo wa wale wanaoshiriki tunapaswa kula na heshima upendo na hisia kamili ya shukrani kwa bwana yesu ambaye alikuwa tayari kufa msalabani kuzibeba dhambi zetu mwenyewe | 2018-11-12T22:38:55 | https://www.gotquestions.org/Kiswahili/meza-Bwana-kutunzwa.html |
mc pilipili rose ndauka mambo hadharani tanzania gossip/udaku | hivisasa blog
home › gossip/udaku › mc pilipili rose ndauka mambo hadharani
mc pilipili rose ndauka mambo hadharani
tarehe december 29 2016
baada ya kukwepa kuthibitisha kwa muda mrefu kuwa wana uhusiano mchekeshaji emmanuel mathias maarufu kama mc pilipili na muigizaji rose ndauka wameamua kutojificha tena
hatua hiyo imekuja baada ya wawili hao kuonekana wakiwa pamoja katika siku ya christmas huko dodoma
ndauka aliongozana na pilipili kwenye show yake ya dodoma siku ya christmas na kupandishwa jukwaani kuchekesha na mzee
muda wote wawili hao walikuwa wakiongozana kama kumbikumbi na kudhihirisha kuwa mahaba yamewaelemea
hizi ni baadhi ya picha za wawili hao
new year vip party
shilole ashambuliwa mtandaoni na mashabiki | 2018-04-22T18:25:37 | http://hivisasa.co.tz/udaku/mc-pilipili-rose-ndauka-mambo-hadharani |
tuandamane mpaka ikulu tarehe 30 august 2008 | jamiiforums | the home of great thinkers
tuandamane mpaka ikulu tarehe 30 august 2008
discussion in 'jukwaa la siasa' started by shalom aug 7 2008
wana forum
nimeshindwa kuvumilia njisi nchi inavyokwenda nadhani sasa ni muda muafaka wa kwenda kumwambia mkuu kuwa tumechoka na tunataka nchi yetu irudi kuw kama nchi na sio genge la mauza uza haya ni maandamano ya amani kabisa ambayo myu hatatakiwa hata kuwa na wembe ni nguvu ya umma tu inayotakiwa
hilo ni wazo langu na nataka watu wa kuunga mkono haya maandamano yatakuwa hayana kiongozi wala chama yatakuwa sawa na ya ya waamerika weusi yalioitwa match to washington ni nguvu ya umma pekee itakayoshinda
action plan will follow after showing your support gembe to hell with your masters
tatizo hiki ni kitu kigeni kwa watanzania
duh umeenda mbali sana tanzania kwa maandamano kama hayo hawajazoa halafu nina ona ni bora watu wakafanya debate ya kitaifa nazani hiyo ni bora zaidi kuliko maandamano kwa sababu itawapa elimu raia wa tanzania na viongozi wetu
tunaandamana juu ya nini
kuandamana kwa sababu corruption imekidhiri na hakuna anayejali kwa mfano epa richmond nk tutawaachia barua/waraka wa maoni yetu pia tunaweza kuelekea embassy za usa uk nk na kuacha barua za maoni yetu pale dunia itakuwa ikiona haya mambo pia hizo barua hivyo presha zaidi kwa muogopa mtumbwi
hakuna walioshinda ktk vita yoyote kama hawana ki/viongozi watu wanaokwenda bila ya kiongozi ujue kiongozi wao shetani so lazima muwe/tuwe na kiongozi na kama hatuna kiongozi ujue hio ni big failuredo not even think
pia ukitaka kuwajua watu walivyobasi angalia viongozi wao ukiona viongozi wasanii ujue na wananchi wake wasanii
hapa kwenye forum watu wanauliza tunaandamana juu ya nini je huko vijijini wataelewa kabisa
ebu tuambie nyie mnaotaka debate kwanza dibate zipi hizo ambazo hazijafanyika tanzania jamani watu mshasema weweeeeeeeeeeee na kusema kila kukicha lakini hakuna lolote tunakaa kusema tu nguvu ya hoja nguvu ya hoja kila siku haya tuendelee na dibate lakini jueni ya kuwa mataifa mengi yaliyoendelea na kuendelea yalipitia katika hali yakaona hapana yakatafuta suluhu nyingine aka maandamano na kuikataa serikali yake na mambo yake na mwishowe heshima mbele na hakuna anayecheza na resource za nchi
umechoka kitu gani unaweza kuandamana wewe peke yako na huo uchovu kumbuka kuomba ruhusa kwamkuu wa polisi wilaya
tunaandamana juu ya niniclick to expand
mfumuko wa bei za bidhaa na hali ngumu ya watanzania wa daraja la chini hadi la kati
tatizo hiki ni kitu kigeni kwa watanzaniaclick to expand
wakati ndio umefika kwenye nia pana njia yale mabango ya wanafunzi juu ya mauli za mabasi ulikua ni mwanzo tu natumai hili litawahamasisha watanzania wengi ambao bado wako kwenye kiza labda mambo yatabadilika
mfumuko wa bei za bidhaa na hali ngumu ya watanzania wa daraja la chini hadi la katiclick to expand
unaona je tuandamane kwamba mnaandika mauza uza jumu jf kwanza ndio tuandamane kwa ajili ya wengine
kwi kwi kwi duh mkuu shalom umenivunja mbavu yaani watu wanaoficha id wajitokeze mtaani tena kwenda ikulu kwi kwi kwi jf tunaweza vita vya kifikra
will you be on the frontline sir or madam
tungeunga mkono yale ya wanafunzi kwanza
idea nzuriila hapa si mahala pakehapa watu wenye uwezo wa kuchangia hapa hawana shidawengi wao ni vibopa ama ni wana connectionseither ni mafisadi ama watoto wa mafisadi
wazalendo mtandaoni na watu wa kawaida ni wachache sanana ndio maana usije kushangaa unafungiwa kwa kusema tuadamane dhidi ya jkkwanza umeona jinsi idea yako ilivyoonekan kuwa ni ndotohapo watu wako out of touchmajority ya hawa wanaojiita wana jf ni priveledge people na wako hapa kwa madhumuni ya kisiasa na ya kibinafsiwengine ni wapambe na wana mabwana zao kisiasa wanaowalipataifa muozo na watu wake wanoijiita wasomi na wenye uelewa wabishi sana tu na masikini wa kutupwa pale inapokuja kwenye fikra za kikombozi
na hata response uliyoipata ni ndogo na kuna madharau kubwa sana humu ndanilabda angeitowa ponti hii mwana jf mtandaoungeshangaa responsesna mithanks kwamba amesema kitu cha maana
ni uoza uoza uozaunachotakiwa ni ku lay low na kuwatch the situation periodically utaona ukweli wa mambokuwa idea za mapinduzi ziko hapa lakini zimeshikiwa chini na wale walio priveldges hapa jfambao wanaweza waka kohoa dakika moja ukafungiwa moja kwa mojapesa zimeharibu dunia na utu hakuna tena
hivyo maandamano hayatasikilizwadawa ni moja tu
haya mambo yameshaanzishwa na wapemba sasa mnataka wafanye kitu gani tena mpaka mjue kuwa haya mambo yanawezekana kabisa
mpaka un wamefika sasa hapa mnashauriana kufanya kitu wengine wanaanza kusuasuahivi tutafika
mnanikumbusha ule wimbo maarufu wa sugu enzi hizo akiitwa two proud wimbo huo ukienda kwa jina la hali halisi
tukikubali tukikataa
tukikubali tukikataa
ni hali halisi
(mara mbili)
wacha tutabsamu
tuna maisha magumu mpaka raisi anafahamu
kwa kila hali ni halisi
mama wacha kulia
tulia vumialia futa machozi
nani anasema mimi nasema maneno ya uchochezi
mbona mambo yako wazi
sometimes nakunywa pombe niondoe mawazo
matatizo yananipa shinikizo niuwe mtu
lakini sitaki kuua mtu bora kukosa no sweat hayo ndo maisha
(rap inaendelea)
ipo siku tutaandamana mpaka ikulu kwa raisi
tukamweleze hali halisi
tukikubali tukikataa ni hali halisi
(mwisho wa rap)
kwi kwi kwi duh mkuu shalom umenivunja mbavu yaani watu wanaoficha id wajitokeze mtaani tena kwenda ikulu kwi kwi kwi jf tunaweza vita vya kifikraclick to expand
huu ndio mfano halisi watanzania ndivyo tulivyo mbegu imezaa pendekezo na wengine bado wanabeza hatutaki kuangalia historia romania chini ya ceausescu lianza hivi hivi na watu walibeza hivi hivi ikafuata mao tse tung wa china na si ajabu ikafuata kikwete wa tanzania akina nziku wakabeza mmhh kalagabaho
haya tuendeleependekezo linaweza kuzaa mwamko halafupole pole mwamko ukazaa guess what mmmhh ukweli ni kuwa wanaobeza wana hofu kubwa na kinachowasababishia hofu kiko wazi
will you be on the frontline sir or madamclick to expand
acheni uogasi mlishaambiwa hakuna cha kuogopa isipokuwa uoga wenyewe we are going to do this bring out the plan and let's do it
ishu sio priveledges peke yake watu wa kawaida watahamasishwa pia hapa jf ni jikoni tu mkuu sio lazima ulie jikoni
kiasi wapemba wadai nchi yao maana kusonga mbele kwa wengine ni tatizo la uhai na kifo lakini nikiangalia naona siku hazipo mbali kwa tanzania kufikia stage ya kuandamana | 2017-04-29T01:54:19 | https://www.jamiiforums.com/threads/tuandamane-mpaka-ikulu-tarehe-30-august-2008.16580/ |
kumbe rais museveni alimsalimia rais obama kwa mkono wa kushoto kuna tatizo (+video) millardayocom
kumbe rais museveni alimsalimia rais obama kwa mkono wa kushoto kuna tatizo (+video)
kuna ishu ya baadhi ya watu kutumia mikono ya kushoto kuandika badala ya mkono wa kulia kama ambavyo imezoeleka hiyo sio story ya kushangaza lakini ni kawaida watu kusalimiana kwa mikono ya kulia ikitokea mtu anakusalimia kwa mkono wa kushoto unaweza usiichukulie poa
rais museveni kamsalimia rais wa marekani barack obama kwa mkono wa kushoto walipokutana kwenye mkutano wa marais marekani sio kila mtu alielewa sababu hasa rais obama alimtania wakati huohuo museveni >>> kuna mtu mlisumbuana nini ukampiga ngumi rais museveni akajibu >>> hapana ilikuwa ni ajali tu>>>
ukweli ni kwamba rais museveni alikuwa na bandage mkononi taarifa kutoka ikulu ya uganda ilitolea ufafanuzi kuhusu ishu ya rais wao kuwa na bandage mkononi ambapo wamesema rais museveni alijigonga kwenye mlango wa gari wakati akiwa anaharakisha kuwahi safari yake kwenda japan
wapo waliohisi kwamba msimamo wa rais museveni kuhusu ishu ya ndoa na uhusiano wa jinsia moja imefanya amsalimie kwa mkono huo rais obama kitu ambacho ikulu ya uganda imekanusha kwamba hakuna uhusiano wowote kwenye hayo mawili
kipande cha video hiki hapa pamoja na stori za rais obama na rais museveni uso kwa uso
← previous story bibie hakutaka utani kaamua kutumia bango kubwa barabarani kutangaza ndoa imevunjika
next story → wizi kutokea eneo la ajali sio kwa bongo pekeyake imemkuta na huyu mama marekani +pichaz | 2020-02-25T19:30:58 | https://millardayo.com/museveni3009/ |
Subsets and Splits