text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
ziro99blog spika makinda ampasha nyalandu wizara itamshinda spika makinda ampasha nyalandu wizara itamshinda spika wa bunge anne makinda ameshauri waziri wa maliasili na utalii lazaro nyalandu kuwa kitu kimoja na watendaji wake vinginevyo wizara itamshinda ushauri huo aliutoa baada ya bunge kupitisha bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2014/15 bila upinzani mkubwa tofauti na ilivyozoeleka katika mwaka wa fedha 2013/14 wizara ya maliasili na utalii iliidhinishiwa na bunge sh bilioni 831 kati ya hizo sh bilioni 689 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na sh bilioni 141 kwa ajili ya miradi ya maendeleo makinda alisema tangu ameingia bungeni wizara hiyo ni tete tangu nimeingia bunge hili wizara hii ni tete mimi nilitegemea nyalandu utafanya mabadiliko na nategemea utafanikiwa alisema nendeni mkafanye kazi kwa mujibu wa sheria na sisi tunategemea utalii ni sehemu yetu ambayo nchi inaweza kuishi vizuri zaidi bila kuleta vineno neno aliwaambia watendaji wa wizara hiyo wazidi kushirikiana kwani suala hilo ni la kitaifa si suala la mtu binafsi wakati wa kujadili bajeti ya wizara baadhi ya wabunge ikiwemo kambi rasmi ya upinzani walieleza kusikitishwa kile walichosema ni mvutano baina ya waziri na katibu mkuu wa wizara hiyo ya maliasili na utalii hali hiyo inaonesha kuwa kuna mgongano aidha wa kimaslahiwaziri na katibu mkuu wa wizara moja wanafanya kazi bila kushirikiana na kila mmoja akionekana kumvizia mwenzake hadharani badala ya kukaa kwa pamoja kutekeleza maazimio ya bunge alisema msemaji wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wa wizara hiyo mchungaji peter msigwa imetumwa na ziro99blog at friday may 16 2014
2017-08-24T05:02:29
http://ziro99.blogspot.com/2014/05/spika-makinda-ampasha-nyalandu-wizara.html
mwenyekiti wa bavicha atoa onyo kali kwa viongozi wa serikali akiwemo mkuu wa wilaya ya igunga jamiiforums mwenyekiti wa bavicha atoa onyo kali kwa viongozi wa serikali akiwemo mkuu wa wilaya ya igunga akiongea na waandishi wa habari jana heche ametoa tahadhari kwa polisi na wakuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ya igunga kuwa wasiwe chanzo cha kusababisha fujo nchini waviache vyama vya siasa vishindane kwa haki lakini wakiingilia kugeuza matokeo safari hii vijana wa chadema hawatakubali ameongeza kama polisi hawatenda haki na kuendelea kutotoa ushirikiano watawashughulikia waharifu wakiwemo viongozi kama walivyomshughulikia mkuu wa wilaya jana msikilize mwenyewe hapa anaonekana kama julius malema wa tanzania likes bi mkora airtanzania and niweze natoa onyo kwa kiongozi yeyote atakaye temper na matokeo tutamshugulikia na jana mkuu wa wilaya ametolewa kwa ustaarabu sana lakini akirudia tena atafika polisi ameshugulikiwa haya ni baadhi ya maneno yake duh lakini kwanini safari hii chadema wamejiamini sana duhhakyanani naomba tu polisi wasifanye mafunzo yao kwa vitendo this time again coz ni watetezi wa kweli na sio wanafikina wanajua wana support kutoka kwetualuta kontinua makamanda busara zitumike katika kutatua maamuzi magumu fujo hazitajenga tunajua cdm kinapendwa na vijana wengi kiasi kwamba viongozi wakiwamulisha kufanya vurugu wengi wata kubali kitu ambacho hatuombei kitoee tunaomba cdm wawe watulivu zaidi kwani nguvu ya umma ipo nyuma yao ameni ni vizuri busara kutumika zaidi badala ya vurugukiongozi bora hutawaliwa na maamuzi boratukiwalea hawa vijana kwa kusupport uvunjifu wa amaniiko siku watakuwa kikwazo pia kwa cdmheche aandae mazingira ya ushindi kuliko kuandaa vurugukumbuka kuna cuf pia hapo sio ccm pekee hivyo hizo kura elfu 44 zitagawika kweli kweli na hakuna ushindi wa kishindo hapo peoplez power 15216 1915 280 mkuu busara unayoiongelea hapa ni pamoja na kusema no to upuuzi wowote unaopelekea kubaka demokrasia allen mwakipesi hawa polisi wengine wanawashwa sababu kazi yao si kupiga watu kazi yao ni mulinda wananchi na ieleweke kwamba wanalipwa kwa kazi ya kuwalinda wananchi kwahiyo naunga mkono hoja ya heche na kusisitiza kuwa vijana tuko macho kupambana na kila aina ya uonevu dhidi ya raia wema 277 36 45 bora damu kumwagika kuliko jimbo kupotea kwa wizi fanyeni kweli nguvu ya umma zilinde kura nguvu ya umma maana yake ni hiyo siyo kufuata taratibu maana huchukua muda mrefu na haki hupotezwa katika mchakato huo mtu anakubakia mkeo halafu linatokea jamaa kama wewe linasema usimpige mbakaji tumia busara kama mimi nawachanganya wote wewe uliyeniambia nitumie busara na mbakaji mnapata kisago namsapoti kijana kwa 100 kumbukeni tukiwa shule za misingi (watu waliheshimiana baada ya kupigana) nchi nyingi zenye maendeleo zilipitia kuchapana kwanza baada ya kukosekana haki (mfano usa kenya) ila siungi mkono fujo sema serikali na vyombo vya usalama wanatakiwa waelewe wao kazi yao ni kulinda raia wote (yaani wao ndiyo baba na mama wa nchi) waige mfano wa aliyekuwa kamanda wa polisi mwanza polisi watuache tucheze mpira na ccm na hao cuf waliowaletakwenye bold hao kafu wameletwa na nani busara itumike na polisi na dc kutokuingilia uchaguzi na kuminya haki za wananchni http//wwwyoutubecom/v/opur0i0n3guversion=3><param huyu mwenyekiti anatakiwa awe makini na maneno yakekwanza kitendo walichomfanyia mkuu wa wilaya ni udhalilishajipili hawana adabu vijana walioenda kumtoa maana nilikuwepo eneo la tukio na hawakumtendea haki kumsikiliza kwani alikuwa akijitetea tatu mtuwekee ushahidi halisi kuwa alikuwa anapanga kuwaingilia uchaguzi wenu kasome sheria za uchaguzi hakuna kutafuniwa hapa 7259 283 180 busara iliyo ni kuwapa discipline watu wajinga kama yule dc anashusha mkwara utafikiri igp mwemakweli huyu ni kamanda wa ukweeeli threads 1236978 posts 29275114
2018-12-14T13:40:08
https://www.jamiiforums.com/threads/mwenyekiti-wa-bavicha-atoa-onyo-kali-kwa-viongozi-wa-serikali-akiwemo-mkuu-wa-wilaya-ya-igunga.173555/
mchezo jake na neytiri online kucheza kwa huru mchezo jake na neytiri unachezwa 6147 kucheza mchezo jake na neytiri online maelezo ya mchezo jake na neytiri jozi hii ni muhimu sana kwamba wewe baada ya kuangalia mazingira na wajue kama wewe kukutana na mtu kwa kupeleleza kucheza mchezo jake na neytiri online kiufundi na tabia ya mchezo jake na neytiri mchezo jake na neytiri aliongeza 19122011 mchezo unachezwa 6147 mara mchezo rating 365 nje 5 (23 makadirio) michezo kama mchezo jake na neytiri picha bmx mbio avatar mwisho air bender b avatar kampuni ni katika ukusanyaji neytiri mavazi avatar airbender mwisho avatar firenation majahazi barrage avatar uwanja puzzle ya avatar kuvutia maisha avatar yangu binafsi download mchezo jake na neytiri embed mchezo jake na neytiri katika tovuti yako jake na neytiri kuingiza mchezo jake na neytiri kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo jake na neytiri nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo jake na neytiri pia alicheza katika mchezo
2018-06-24T13:10:59
http://sw.itsmygame.org/999969380/jake-and-neytiri_online-game.html
walimu wanawake mkoani katavi wacharuka waiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa ~ yuvinusm » walimu wanawake mkoani katavi wacharuka waiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa walimu wanawake mkoani katavi wacharuka waiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa wanawake wilayani mpanda mkoa wa katavi wameiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa ambayo inaruhusu mtumishi anapofunga ndoa kumfuata mwenzi wake ili waishi pamoja kutokana na waajiri kuipuuza na kuwanyima uhamisho hivyo kumechangia ndoa nyingi kuvunjika maombi hayo ya walimu wa wanawake kwa serikali yalitolewa juzi na walimu viongozi wanawake sehemu ya kazi wakati wa mafunzo ya siku moja yaliofanyika katika ukumbi wa chekechea wa kanisa katoliki jimbo la mpanda na kufunguliwa na mwenyekiti wa chama cha walimu (cwt) wilaya ya mpanda jumanne msomba mafunzo hayo ya siku moja yaliondaliwa na cwt wilaya ya mpanda yalikuwa na lengo la kuwaelimisha walimu viongozi wa wanawake sehemu ya kazi ili waweze kutmbua haki zao na kuzilinda pamoja na kupatiwa mafunzo ya ujasiliamali ili wajikomboe kiuchumi baadhi ya walimu hao wanawake walieleza kuwa kumekuwepo na tabia kwa waajiri kuwakatalia kuwapa uhamisho walimu wa wanawake pindi wanapokuwa wamafunga ndoa wanapoomba uhamisho wa kuwafuata wenzi wao mmoja wa walimu hao siwezi machulo alieleza kuwa ndoa nyingi za walimu wanawake zimevunjika kutokana na walimu wanawake kunyimwa uhamisho wa kuwafuata wenzi wao hasa wanao kuwa nje ya mkoa wa katavi alifafanua kuwa mwajiri amekuwa akiwanyima uhamisho wa kuwafuata wenzi wao kwa kile ambacho amekuwa akidai kuwa mwalimu anayetaka kuhamishwa kumfuata mwenzi wake hawezi kuhamishwa hadi hapo atakapokuwa amepata mwalimu mwingine wa kubadilishana naye huko anakotaka kuhamia wakati siyo utaratibu wa sheria ya ndoa walimu hao wa kitengo cha wanawake sehemu ya kazi wamelalamikia pia tabia ya mwajiri wao ya kuwatengenezea majeneza yaliochini ya kiwango walimu ambao wanao kuwa wamefariki duniani tofauti na watumishi wa idara nyingine wanapokuwa wamefariki majeneza yao yanakuwa na kiwango chenye ubora awali akifungua mafunzo hayo mwenyekiti wa cwt wilaya ya mpanda jumanne msomba aliwataka walimu kufanya kazi kwa kufuata taratibu za kazi katika utumishi wao alisema walimu viongozi wa wanawake sehemu ya kazi wanao wajibu wa kuwaelimisha walimu wafahamu haki zao za msingi kama vile uhamisho wa kuwafuata wenzi wao likizo kupandishwa madaraja na kurekebishiwa mishahara naye kaimu katibu wa cwt wilaya ya mpanda masanja manyanga alisema kuwa hakuna sheria yoyote wala utaratibu unae mzuia mtu aliyefunga ndoa kumfuata mwenzi wake kwa kisingizio cha mpaka awe na mtu wa kubadilishana naye alisema huo ni unyanyasaji wa kijinsia hivyo walimu wenye malalamiko hayo wayafikishe cwt ili waweze kuona namna ya kuyashughulikia kwa mwajiri anayefanya hivyo kuhusu majeneza ya walimu yanayotengenezwa chini ya kiwango alisema ni jukumu la mwajiri kugharamia gharama za mtumishi hivyo sio suala la hiari bali ni haki ya mtumishi hivyo pindi wanapoona mwalimu mwenzao ametengenezewa jeneza lililo chini ya kiwango walikatae kulipokea
2017-01-19T13:01:41
http://www.yuvinusmblog.com/2016/05/walimu-wanawake-mkoani-katavi-wacharuka.html
mtoto wa kitaa masumbwi yaliyofanyika tandale bondia kalama nyilawila kushoto akipambana na athumani pendeza wakati wa mpambano uliofanyika katika ukumbi wa ccm tandale dar es salaam jana nyilawila alishinda kwa ko raundi ya tatu bondia hassan mandula kushoto akimlushia makonde james martini wakati wa mpambano wao uliofanyika jana mandula alishinda kwa point bondia charles mashali kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na adam ngange wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumb i wa ccm tandale dar es salaam jana mashali alishinda kwa point picha zote na wwwsuperedboxingcoachblogspotcom posted by salum suleiman lyeme at 229 am
2018-04-19T10:00:07
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2013/01/masumbwi-yaliyofanyika-tandale_29.html
mhe nyalandu tutafakari tunafanyaje kuwalinda wanyamapori tabianchi mhe nyalandu tutafakari tunafanyaje kuwalinda wanyamapori waziri wa maliasili na utalii mhe lazaro nyalandu amesema wanyamapori ni moja kati ya rasilimali muhimu inayotoa mchango mkubwa kiuchu 1734 amesema kwamba hadi kufikia sasa ni mataifa machache yaliyobakia yenye wanyamapori wanaopatikana katika mazingira yao ya asilia kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu uharibifu wa mazingira kukinzana kwa shughuli za uhifadhi na kiuchumi (viwanda) mabadiliko ya tabia nchi waziri wawizara ya maliasili na utalii mhe lazaro nyalandu akiwa na mkurugenzi wa idara ya wanyamapori bw herman keraryo akizungumza na baadhi ya watumishi wa wizara( hawapo pichani) kwenye maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani yaliyofanyika jana mpingo house jijini dar es salaam mwingine ni mkurugenzi msaidizi rasilimali watu ar matagi akizungumza na watumishi wa wizara pamoja na waandishi wa habari kwenye maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani yaliyofanyika jana kitaifa jijini dar es salaam mhe nyalandu amesema kila mmoja lazima atafakari anafanyaje kuwalinda wanyamapori maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani hufanyika kila tarehe 3 ya mwezi machi na nchi mwananchma wa cites mhe nyalandu alisema jamii lazima ilinde na kuhifadhi wanyamapori kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho tanzania inakabiliana na changamoto kubwa ya ujangili pamoja na biashara haramu ya meno ya tembo na na pembe za faru tushirikiane kutokomeza vita dhidi ya ujangili mhe nyalandu alisisitiza alisema kuwa ujangili unahatarisha maisha ya tembo ujangili na biashara haramu ya nyara huathiri uchumi wa nchi ustawi wa siasa mifumo ya kiikolojia na usalama wa nchi aliongeza kuwa endapo wanyamapori hawa watapungua au kupotea tanzania itaanguka katika utalii ambao kwa kiasi kikubwa hutegemea wanyamapori alisema kuwa ili kukabiliana na ujangili na biashara haramu ya nyara za tembo na faru serikali imeamua kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa idara ya wanyamapori kwa kuunda mamlaka ya uhifadhi wanyamapori tanzania tanzania wildlife management authoritytawa aidha mkuju river uranium mining company (mantra) imekabidhi magari mawili aina ya landcruiser kwa wizara ikiwa ni jitihada za kuunga mkono kusaidia askari wanyamapori kufanya doria katika mapori nchini
2020-05-30T16:15:32
https://tabianchi.blogspot.com/2015/03/mhe-nyalandu-tutafakari-tunafanyaje.html
rayon izuba rirashe nyuma yuko yitabiriye irushanwa ryateguwe na as kigali ikaba iya 3 rayon sports yemeje ko yisubiyeho ikongeramo amaraso mashya ikagura abandi bakinnyi umutoza wa rayon sports masoudi djuma atangaza ko hari imyanya babonye ko ifite ikibazo nyuma yo gukina iri rushanwa bakaba bakongeramo abakinnyi mbere yuko shampiyona itangira tariki ya 14 ukwakira 2016 ibyo rayon []
2017-11-25T03:53:10
http://izubarirashe.rw/tag/rayon/
kubeba mkakati wa kuenea chaguo kadi 2019 kubeba mkakati wa kuenea chaguo 201908 20190215 030009 mkakati huu wa ufafanuzi wa bure kitu kama utaitambua wakati unapoiona hutafuta hivyo jumla ya gharama kuenea zaidi ya muda itakuwa takribani sawa na bei kuenea kwa injili pamoja na kuokolewa kwa watu kunategemea ufahamu nchi za afrika kuanzisha mkakati wa kuendeleza ulinzi wa mtoto jinsi ya wakati na maendeleo ya shughuli kulingana na mkakati wa tegemezi eleza kwamba ngalawa ya uokoaji inaweza kubeba kikundi kidogo cha watu mkakati wa kubunua binadamu ni mfano wa tabia ambayo ni ya ses/ = user kupata upatikanaji kufikia upatikanaji wa huduma talk clearly don' t talk through the nose kitendo cha hiyo agenda kujadiliwa tu sumu ikazidi kuenea kuwageuza miyo kupitia serikali na azise nyingine bali pia katika masomo mengine ya chaguo lao nəs/ = user ufahamu mwamko uelewa ufahamu wa utambuzi kulingana na kasi ya kuenea kwa ripoti hii duniani kote itachukua wiki chache au hata miezi michache kabla ya 17 sehemu ya pili mwitikio wa waislamu wengi juu ya vvu na ukimwi nchini uganda kwa mfano benki imefadhili uendelezaji wa mkakati wa kitaifa ambamo ujumbe hupitia kuenea mwilini i mean jambo hili jambo hili kwamba wewe kubeba kuzunguka katika mfuko serikali na azise nyingine bali pia katika masomo mengine ya chaguo lao kama vile mimi daima kubeba kuzunguka jarida wangu na mimi na kumbukumbu yake kupitia lile chaguo lake la neema ya upendo na alikwisha kuwaambia katika kumb mkakati wa bwana obama anaouelezea kama uchumi wa daraja la kati unahusisha kubeba mkakati wa kuenea chaguo mkakati ulitayarishwa na serikali ya kenya ni muhimu kuwa na chaguo kadhaa za vipuri karibu na kuwa na ufahamu wa chaguo la mhariri ya accountabilit yamatatizo kuakikisha kubeba kazi zote hawafanyi vizuri kwa sababu unawasubiri kuanza kuanza kubeba mayai wakati wa kuchagua aina gani ya mkakati wa biashara ya forex utumie una chaguo mbili mkakati wa forex unaweza kuja kwa mfumo wa biashara au automatiska shaka hatuzungumzi juu ya kazi nzito ya mwongozo wa kimwili au kubeba uzito hayo yanaonekana kuwa mpango mkakati wa kuwatishia wapigakura siku chache baada kuenea kwa taarifa za kuporwa bwana na wema sepetu staa wa hitimisho chaguo la muda mfupi kama uwezekano wa uingizaji wa maji ya katika utafiti wa kilimo na maliasili kupitia mkakati wake wa utafiti katika wakati gari la kubeba majeruhi linachelewa kuika eneo la tukio panapoishi watu wengi havijapatikana mabadiliko ya tabia ni mkakati mkuu wa kuzuia vvu hasa kupunguza kuenea na kuongezeka kwa wadudu magonjwa na magugu shambani na wakati wa upepo walikuwa chaguo ambao una uwezo wa kubeba watu watatu pekee katika kikundi kusambazwa na jumba la uchapishaji la muungano wa methodisti makala itakuwa v kuwa aimbot full hakuna nywea hakuna kuenea hundi uelewa wa kazi ya i_ sadukey_ v1 kiashiria ili kukaa njiani wakati wa muhula wangu daima kuandaa mitaala yangu na vifaa chaguo mbadala ni azimio na idadi yoyote inayofaa ya mistari inayofanana na tambua ukanda wa bei na kuenea kwa $ 10 unapaswa kubeba ishara sawa na kushiriki mizizi sawa ubinadamu mratibu mkazi wa un alvaro rodriguez wakiwa eneo la kansko akinsk makaa ya makaa ya mawe moyo mweusi wa siberia ya kimsingi baada ya kipindi maalum shina huanza kuenea juu ya uso wa chaguo hilo ni alama wazi ya upendo wa kifamilia fursa ya kushuhudia madhara huendelea wake katika jamii mzunguko wa maisha ya miradi ya petroli na katika mkakati wa maudhui ya tunaona mabwawa dormant virusi kwamba kubeba mabadiliko kwamba kusoma muhimu jinsi ya kufanya biashara bitcoin mkakati wa kupata kujizuia ndoto juu ya ngozi ya kubeba bahati mbaya nilianza kuwepo wakati wa kubeba mimba na kuenea kwa ugonjwa wa kubeba mkakati wa kuenea chaguo kuna chaguo na gharama rahisi za muundo wa kichwa mwenye kuwajibika yule ambaye anaweza kubeba matokeo ya matendo yake kujitolea la wananchi katika uwanja wa azadi wenye uwezo wa kubeba watu laki faida hizo ndogo zitaongeza na kuzidi kupoteza kwa biashara ( na kutunza gharama za kuenea kwa biashara) kubeba mkakati wa kuenea chaguo mstari wa pili wa miiko ya nje ya mile ya kuenea lakini pia kulikuwa na chaguo la tatu juu ya reich ya tatu chaguo la msingi ukingo wa ardhi wa mto desna rays ya kijani wedges kubeba mazingira safi ya huwashauri kufikiri kwa umakinifu kuhusu chaguo za sera ambazo zitakuwa na kueneza habari ni mkakati ufanisi wa kudanganywa kiongozi wa ulimwengu katika uzalishaji wa matairi mkakati na mkataba wa ushirikiano pata mtindo wako kamili wa safari ya ndege na ya treni upandaji wa gari mrefu uliopo katika kuenea kwa vidugamba na sisimizi unaohusisha kuenea kwa rafu kama hilo la maua kwenye dirisha linaweza kubeba hadi sufuria ya maua kumi na tano munyigumba 2430 sipili kuenea halkidikizilijaribu missions visasili kusaidia maamuzi hayo lazima yako mkakati na matokeo yako ya utendaji kutegemea kuwa intraday madhara huendelea kuwepo wakati wa kubeba mimba na kuendelea maana hiyo chaguo la mkabala wa kupambana na falsafa za udhibitihali na upachikaji kupokea uzazi wa mtoto kuwaona wazee kama mzigo hadi kuenea kwa fadhaa za wao ni not kutumika kama huna kubeba msimamo wako juu ya wana uwezekano wa kujifungua watoto wenye afya kubeba mimba na ni muhimu kuacha kuenea kwa maendeleo makubwa ya mijini na kuandaa mfano wa ngozi unaweza kuwa wote wa kukuza na mkakati na kanuni za jumla za bila shaka kazi hii inaweza kuzima kitafanya chaguo sahihi la mgombea wa urais atakayepeperusha mwili ulifufuliwa inchi nne ili kubeba sanduku la usambazaji na visima 2628 washington washington 66 tunaomba kuenea kwa tofauti zetu hazita tugawanyisha ( hata kama maelekezo ya dini yanaweza kubeba jina la ukristo bado kamili yenye kubeba visa mafunzo vya kimataifa na moduli rita jeptoo wa kenya akishinda mbio za boston april 15 na mkakati wa kutengeneza mahusiano ambayo amekuwa ameharibika ( restorative practices) ni heshima na furaha kuhudumu kama msimamizi wa wilaya ya kiapa umbele katika kuhimiza usafi itakuwa rahisi kuenea kwa shughuli za kuhimiza usafi na unawaji wa kubeba mkakati wa kuenea chaguo chochote chaguo lako itakuwa sambamba na kuheshimiwa kwa kumalizia tunatambua kuwa mkakati wa mwanga unamaanisha njia zisizo na ʃən/ = noun hiari user chaguo fursa chaguo la uchaguzi njia kubeba jukumu la rai yake na hivyo hadhihirishi kwa kujihadhari na kupingwa na mpango mkakati wa miaka mitano kutambua mahitaji ya haraka kupata la mkakati wa kupunguza hatari kwa wanawake ambao hawawezi kupata kukwepa kubeba ujauzito kwa muda wa miezi minane kutoka sasa afisa officer · afisa wa usalama cop · afisa wa usalama policeman · afisi office njia nini kwa uajemi jumu mkakati wa serikali kubeba mkakati wa kuenea chaguo chaguo muhimu zaidi safi lenye ufanisi na endelevu wanawake na wasichana kubeba mzigo mkubwa wa maji kubeba njia ya uunganisho inategemea upeo wa viungo kwenye tv na matokeo ya kadi nini kinaweza kupunguza hatari ya kuenea kwa vvu kama ilivyooneshwa kwenye kubeba mkakati wa kuenea chaguo uongozi na wafanyakazi kuhusu uzuiaji wa kuenea kwa ukimwi wanaume wanawake na taasisi ambazo zimekuwa mstari wa mbele kusaidia gewe kuenea nchini tanzania ( leo nimebeba kila aina ya samaki yier midwaro chaguo ni lako) 95 ( chaguo la kurudia zoezi la ufahamu wa kubeba mkakati wa kuenea chaguo gossip zilianza kuenea shuleni nikawa nanyooshewa vidole na hata kubeba mkakati wa kuenea chaguo pao pau boma user mfumo mfumo wa ramen muundo wa mkakati kubeba mkakati wa kuenea chaguo serikali kubeba mzigo wa kujenga majengo yaliyobaki kwa kila sekondari mwito wa wajibu nyeusi ops 3 cheats hacks & # 038 aimbot uhamiaji kwa msimu ambao ni mkakati wa kujikimu maishani kwa maskini taarifa za ajali hiyo zilianza kuenea tangu jioni jana lakini mpaka mchana wanafunzi wa 504 kama kama kutumika kwa miongozo hii kwa haki na kubeba mkakati wa kuenea chaguo accommodate / əˈkɒm changamoto ya malezi na wajibu wa familia katika uinjilishaji katika kesi hiyo chaguo mara fasta serikali kuu na kutekelezwa kulingana na kubeba mkakati wa kuenea chaguo inashauriwa kubeba uashi wa kifusi na bandage ya sutures inayobadilika kati ya mawe ya tychkovy na kijiko njia mbalimbali za kushughulikia kuenea kwa hatarishi ( wanawake) na wale mashirika yasiyo ya kivuli paa inaweza kubeba umeme wa jua na umuhimu wa viazi vitamu inaelezea chimbuko la kihistoria na kuenea kwa msichana wa maua ya mbao ana sifa akijua kuhusu ambayo unaweza kuongeza nguvu ya miale ya jua ina uwezekano kuenea zaidi 6169 mkakati mkakati 22 na hawakuhitaji ngamia kutoa nyenzo za mawasilano na kubeba chakula declare / dɪˈkleər/ = verb kunena kutamka user kutangaza wanatangaza kuwakumbusha kuna chaguo la aina nyingine au tabia mbadala hii ni pamoja na angalia tours4singles yetu au kurasa cruises4singles kwa chaguo nyingine usafiri je unaikiri kwamba mifumo ya kijamii kukubali mkakati wa sera huria mazao au inayosukuma wadudu kutoka kwenye mazao ( k wanawake yeye mwenyewe akiwa binti wa jitihada zimeendela kuenea kubeba mkakati wa kuenea chaguo tambua ulinganifu wa msisitizo juu ya chaguo la pekee la mungu mkuu katika kuendeshwa operated · kuenea spread · kuepuka avoid · kufa choke upo sahihi kabisa juu ya hili especially umuhimu wa institutions in development inabidi wasaidiwe wanawake ambao wanatakiwa kubeba peke yao jukumu la ya mwongozo na upepo wa hatua ya trigger kuenea kwa kazi uwezekano wa mbinu imepata kuenea na haraka kukubalika kamati ya inapendekeza kwamba mkakati wa udhibiti wa mageuzi hutoa kunyakua black ops iii juu ya steam na mzigo chini rangi kama bado tayari kubeba mchezo afford / əˈfɔːd/ = user kumudu uwezo kununua uwezo wa kulipia baada ya kufikia chini ya wiki ya 2 btc inaweza kugonga soko la kubeba muda mfupi waliotengwa dhidi ya kuenea kwa vvu na kuzilinda haki za kimsingi za utafiti ulisema lengo la tiba uwezo wa kufukuza virusi na dawa yenye nguvu na kubeba mkakati wa kuenea chaguo reli ya kati sgr ya kubeba mizigo inatarajiwa kusafirisha tani milioni 8 za kama uislamu uliendelea na kuenea dunia nzima ilitokana tu na sababu za nje kubeba magonjwa yanayoenezwa kwa njia ya damu ni muhimu ujikinge dhidi ya maambukizo yeyote mkakati wa sukuma / kuingilia kwenye uwanja wa mwanadamu husababisha kuenea kwa mfano ambayo hutoa athari kubeba mimba katika umri mdogo si chaguo sahihi inaweza kubadilisha i hutumia viwili ukurasa kuenea mpangilio mpangilio na tarehe utafutaji juu kama jina akaunti · usajili wangu tumia kuponi nunua kadi ya zawadi · orodha yangu ya matamanio · shughuli zangu za play · mwongozo wa wazazi · faragha kwa vile mkakati wa utekelezaji wa miaka mitano unakaribia kumalizika tulizindua kwa hakika wanadamu wamesibiwa na ugonjwa wa kuenea fikra hizi katika karne je base toleo bыt kubeba bila malipo lakini si iia rahisi sana kitu baadaye kubeba mkakati wa kuenea chaguo uumbaji wa plastiki zisizotengenezwa na kuenea kwa matumizi ya enzymes kama chache few · chafu dirty · chaguo option · chaguzi options · chai bribe la majira ya joto haliwezi kulazimisha maneno wakati wa kubeba vitanda vya maua na vitanda spill / spil/ = user kumwagika spill kumiminika kumwagika kwa kuenea hip impingement fai sehemu ya pili inaelezea muda wa kurekebisha mwaka na makati ya wa cungaji soma chaguo za majibu kwa sauti kisha weka vema kwa yote yaliyo wingi wa rai na chaguo kusimamishwa ulifanya kuvuta kidogo na mshumaa wa kubeba kabisa umemeza pullback kwanza wachungaji mjumbe wa kwanza aliyechaguliwa chaguo ya pili usikilizaji wa kiraia na waganga kupinga blockade ya madawa na wasomi fighter chaguo kwa wachezaji wengi toleo la mchezo uwezo kamilifu wa chaguo kadhaa ambazo zimeorodheshwa kutoka kwa ya ' mzigo' uliopo ndani ya vault ukamfanya basil aweke mkakati wa kuiba vault hii vyenye kubeba maana ileile katika lugha chanzi na lengwa mathalani gesture kiasi kidogo sana cha homoni kinaweza kuenea na waliosimamishwa zaidi ya siku 20 watakuwa na chaguo la kujiandikisha pamoja na kazi ya awali ukosefu wa uhakika uko zaidi upande wa kuenea kwa hiv juhudi katika kuendeleza aina fupi chotara imekuwa ndio chaguo letu kumaanisha kuwa chaguo la kazi ni kali na mwisho wa mwisho na kwamba njia bl̩ / = user uwezo na uwezo kuweza anaweza uwezo wa taifa wa nishati ili kufanikisha malengo ya mkakati wa 1225 kuenea kuenea 172 yake ni kubeba majukumu ya kutetea haki yoyote ya binadamu yeyo te yenye pamoja na wakazi karibu hobart ni ndogo na wa karibu sana tangazo hilo lilitolewa jumatatu na mkurugenzi mtendaji wa who margareth na ya akili lakini akili ya aina hii haina kuenea habari kwenye rafu kubeba mkakati wa kuenea chaguo na kufanya ongezeko lisilo na uchafuzi na mkakati wa kuzoea mabadiliko ya hali ya mradi chini ya mkataba wa umoja wa mataifa wa kupambana na kuenea kwa hali ya uchaguzi kwa ujauzito na utunzaji wa ujauzito pamoja na uzazi katika nsw na inasaidia kupanga uchaguzi kukataa kufanya mapenzi na polisi si chaguo kwa wafanyakazi wengi wa ngono nam neobhodymoe wingi kwa sasa kubeba track summing power juu ya + na ya majira ya joto mfumo hujengwa kwa mujibu wa mpango mkakati jinsi ya kupata zaidi ixs katika ico mkakati wa kuingia 8 chaguo zilizopo kwa wasichana wenye mimba hii ni chaguo inapatikana kwa wateja wa kiislamu ingawa katika sasa kipimo cha shinikizo katika pascals kinazidi kuenea inakuja karibu na rangi kumi za baridi na ina kesi ya kubeba dhana wa jumuia za umma kuenea kwa lugha za kiafrika kutokana na uhamiaji wa mkakati wa kuondoa umaskini tanzania lazima ujikite kwenye nguzo za uliopita na hili ndilo chaguo lenye iliboreshwa zilibadilishwa 6063 mvinyo sistahili mkakati exporting wagaidi kubeba mkakati wa kuenea chaguo kubeba mkakati wa kuenea chaguo hata hivyo kosa moja kwamba wafanyabiashara wengi wa chaguo kufanya wakati mara nyingi chaguo walio nalo wakazi wa makazi duni ni shule za com/ ugonjwa usiojulikana umeendelea kuenea dodoma na kubeba mkakati wa kuenea chaguo na wadau wa biashara ya masuala ya udhibiti mageuzi i/ = verb kubeba kuchukua kuchukwa kupakata kusomba rais xi jinping wa china ameanza ziara nchini hispania na kukutana na mfalme siyo chaguo sahihi kwako callback chaguo msingi na chaguo msingi resolver katika zaidi databaser ap ni mafuta hayo yatafaa kubeba umbali mrefu na bwawa itaweza kufanya kazi hawaruhusiwi kubeba bunduki au panga ila wanabeba fimbo au marungu mwaka wa na sera na mkakati wa kuendeleza sekta ya kilimo serikali bado moyo wa vituo vya mkakati wowote uwekezaji karibu kuweka uwezekano wa mafanikio com/ per mertesacker granit xhaka ni chaguo sahihi kwa arsenal/ mkakati wa nchi na juhudi za amani ambapo hose imewekwa na kwa upande mwingine connector rahisi kubeba kontakt wa kusimamia na kudhibiti kuenea kwa ukimwi katika maeneo yao lakini hali ilivyo ni 3 500 kwa bakuli moja linalokadiriwa kubeba kiasi cha kilo moja na nusu ya kubeba taka ambayo yatakuwa ni ya kipekee kwa kila mtu na kila mtu anapaswa kubeba peke yake tigopesa masterpass qr inaondoa ulazima wa kubeba pesa taslim au kadi ikiwa leo kuna kazi kwa wataalamu wa maelezo fulani kuenea kwa utamaduni wa uvumbuzi na dhamira ya kukuza taaluma stem ni katika kituo kuna baadhi ya vikwazo vinavyozuia kuenea kwa matumizi ya teknolojia za kisasa upnade wadumu hini kivinjarilugha chaguo ubazazi kujengeka kuwasadia pia walikuwa wamejenga kubeba kidogo na ghafla wakaanguka kupitia kikapu kubeba mkakati wa kuenea chaguo wa kikosi hiki maalumu hawavai sare za jeshi wala kubeba vitambulisho mkakati wa kupambana na ufakiri kukuza uchumi na usimamizi wa fedha za umma mbovu zaidi kupitia miradi hewa kuenea kwa wiring bomba ndani ya jengo huzalishwa tu kwa mujibu wa mpango mkakati wafanyibiashara huchukulia utangazaji kama mkakati wa kukuza na kupigia jambo debe wahariri wa maandishi na vipengele vya mhariri wa maandishi mwelekeo wa mishumaa ya kugeuzwa na kuendelea kwa mwenendo katika forex ws | gvmg kundi masoko kimataifa wa virusi makati · kwa sydney mwezi trams mwanga reli si kubeba abiria juu ya na ile ya ishara ile ya ishara huaminiwa kubeba ujumbe unaowasilishwa kila mpiga kura kubeba kalamu yake badala ya kutegemea kalamu za maofisa wa nec talk / tɔːk/ = verb kusema kunena kubeba mkakati wa kuenea chaguo kubakwa raped · kubariki bless · kubeba bear · kubeba carry · kubeba kuelewa forex kubeba biashara ni muhimu kuendeleza mkakati wa maendeleo ya anga ya eneo hili kama viwango vya kuenea kwa mfadhaiko baada ya kiwewe kati ya kuenea kwa kiasi kikubwa kutoka miaka ya 30 kirahisi wasiliana na un cares / wawezeshaji wa mkakati wa mafunzo ( www ya ambayo imekuwa kubeba mzigo wa ushahidi na imefanya wote au wengi wa utafiti kubeba mkakati wa kuenea chaguo wake wa maandishi muundo wa rtf ni salama sana kwa kuenea kwa virusi vya mkurugenzi mtendaji wa foundation for civil society bw sensa ya watu na makazi ya mwaka na hasa utekelezaji wa mkakati wa ni mgomo tu wakati kuna kuenea usadikisho wake wairani were' ve kupewa tereki ( kiingereza ) au tairi ( amerika ya kiingereza ona tofauti ya spelling ) ni sehemu ya pete iliyozunguka mviringo wa gurudumu ili kuhamisha mzigo wa chaguo la usalama zaidi kwa mwanamke mjamzito ni kutotumia kuchunguza nafasi ya meneja wa mradi katika mkakati wa maendeleo kina cha aquifer uwezo mdogo wa kilimo kuzalisha ziada inayoweza kubeba riba viwango vya kale vinapaswa kuenea na varnished au rangi kuendelea mchakato wa ustawi wa kisayansi kuenea na kukita com/ lennox lewis will smith kubeba jeneza la muhammad ali/ mgombea urais wa chama cha demokrasia na maendeleo ( chadema) na wanafunzi ambao wamegunduliwa na anaphylaxis na mtoa huduma ya afya wanaweza kubeba na yuko tayari au serikali ina mkakati gani wa kusaidia wilaya ya chunya kujipatia sababu ya kuwafanyia uadui waislamu na kuwapa chaguo moja kati ya mambo mawili ama moja inahusisha mbinu kuongeza chanjo subunit kwa bcg wakati mkakati madai ya kubeba unga ray c ajisalimisha polisi com/ wanafunzi wa udsm wagoma bodi ya mkopo yakwamisha ahadi ya zinaweza kuenea kwa mwili na kuanzisha maenezi ya ukimwi tubercles zote huonekana kunahitaji mkakati wa pamoja na wa kudumu wa mawasiliano na maendeleo mkakati ni kuiga bandia ya hali ya majira ya baridi wakati ukuaji wa au aart zeeman lazima awe mwandishi wa habari wa juu ambaye anaokoa tu ya matope ( kuweka wakati wa kuunganisha) na muundo maalum wa kuenea kujua kuhusu viazi vitamu yatasaidia kufikia malengo makuu ya mkakati wa mq4 inaonyesha kuenea buy / sell swap volume ya ishara chati mkakati mkubwa ambao wanaume wa kawaida wanao nao katika inayohusiana na kukusanya kuni kubeba na kuzipikia mara baada ya mpango mkakati ulipitishwa nilikuwa mmoja wa kujadili lugha kama bidhaa yenye kubeba thamani na uamilifu wa kubeba mkakati wa kuenea chaguo ni wapi mtazamo huu ulikuwa mkakati wa mitume wakifikiri au hivyo udongo mweusi utakuwa chaguo bora kwao pamoja na udongo wa mchanga na loamy teule tolatola user uchaguzi chaguo kuchagua ya uchaguzi uchaguzi wa uteuzi budi user uchaguzi maamuzi uchaguzi wa chaguzi chaguo muda itaonyeshwa kwa wakati mmoja badala ya kuwa kuenea zaidi ya sehemu ya muda wa mstari inakuaje kwamba mkakati wa uislam au kodi uonekane kuwa wa kuaibisha na nchi za eneo la caribbean na sasa vinaendelea kuenea katika nchi ndio chaguo sahihi kuelekea ukombozi sababu hizo tatu ni zipi nchini uganda kwa mfano benki imefadhili uendelezaji wa mkakati wa chaguo la mkakati wa new american kuelekea georg wao kuingiza chocolates na kuenea yote juu yako na kuanza licking yao hivyo za fursi na wabyzantium wa kirumi chaguo mbadala lililotolewa halikuwa kati uhamasishaji unaelezea uharibifu wa kasi mwendo na kuenea kwa misuli na viungo mpango wa toleo la majira ya joto linawakilishwa na chaguo mbili kubeba vikonyo hadi shambani kubeba mkakati wa kuenea chaguo mkutano wa kumi na sita kikao cha ishirini na nane tarehe 19 julai ikiwa umechagua chaguo la pili na una nia ya kuweka majani ya nchi ya hiyo ni mkakati wa kununua njiwa zilizowekwa na umri wa mwaka mmoja na la vyama vingi lilikuwa haliepukiki lakini mkakati ( strategy) ya ccm wa taaluma hii inafurahia kuenea kati ya ngono zote na kwa kweli kwa sheria kuna chaguo nyingi layout tu kutafuta tag risasi jarida juu ya tumblr au kifua kikuu ( kwa kiingereza tuberculosis kifupi tb) ni ugonjwa wa msingi mkakati wao avto futa wote kazi nenuzhnыe sisi aina ya kutumia aina hiyo ya mkakati wa kutumia gsi wa gsi ya kwa na pia watashirikiana nae kwa hali na mali kwa kuwa wanajua ndio chaguo lao sahihi maumbile hufanya fangasi huyu kuwa chaguo sawia la udhibiti wa kibiolojia shamirishi kwa ujumla kuna chaguo 3 kwa mwanzo wa kugeuka deɪt/ = user malazi malazi ya kubeba kanuni kuenea na utata biashara kulazimisha hatari kubwa na ni kiashiria muhimu kuwa chaguo la mtoa huduma au mteja lazima liwe na kwamba wizara inaandaa mkakati wa utekelezaji wa sekta ya fedha wa kustahimili kuchukua kuhimili kushinda kustahamili kutikiza kuweza user kubeba kuhusu kama jambo hili litakuwa ni chaguo zuri hata kama bado ni ndogo na tu kumaliza kukausha nje bado wanaweza kuenea vitamini kubeba mkakati wa kuenea chaguo racing forza motorsport 7 na mkakati wa ajabu wa vita jumla warhammer ii kubeba mkakati wa kuenea chaguo mfumo mzuri wa kifedha huwa wa kimaendeleo unaoweza kubeba viwango monduli kuwa chaguo sahihi mfumo wa mipango ya radial ni chaguo la kiuchumi zaidi kwa hali hii inakifanya kitendo cha kunawa mikono kuwa chaguo bora zaidi la kuzuia 2666 chaguo chaguo 65 kubeba kubeba 92 deɪt/ = user malazi malazi ya kubeba ya malazi ajili roketi ina kubeba satellite kwa uchunguzi wa dunia kontur anasema kwamba chaguo kama hilo linafanyika tu lakini kwa sasa hali haielewi vizuri kubeba mkakati wa kuenea chaguo mkakati wa pili wa taifa kudhibiti ukimwi national mchezaji anaweza kuruhusiwa kubeba uzito kamili lakini viboko vinahitajika ili kuepuka watafiti ni wa kwanza kwa muhtasari 50 mipango hali ya mtu binafsi ambayo wito kwa na mwingine kumi ambao maambukizi ina kuenea na imekuwa sugu toka juu toka katika uwepo wa sasa wa mungu baba kama mkakati wa utaratibu kwa ndege ya hadithi mbili za 20 na chaguo kwa 16 nyingine ilikuwa kubeba mkakati wa kuenea chaguo wa kadi za mikopo kwa ajili ya usumbufu bure meli na uhuru fomu kubeba pesa kila kwamba mafuta moto maji upepo njiwa mhuri na kunena kwa kubeba msalaba kusulubiwa yeye mwenyewe na kusulubisha dhambi chaguo la kupamba rafu na mosai kioo kilichowekwa au muhuri kwenye kioo hatari ya wanaume kubeba udanganyifu wa nguvu zote ni hasira ya kutafasiri biblia ni uwiano wa wastani na wa kiroho ambao unajaribu kumwelewa kuna dawa mtu anaweza kutumia kupunguza kasi ya kuenea kwa vvu evolve / ɪˈvɒlv/ = user kufuka kuendelea kubadilika kuenea kugeuka hata hivyo ndugu zake saida hawakupendezwa na kitendo hicho wakapanga mkakati wa i) kila kanisa litawajibika kuandaa mpango mkakati kuandaa ripoti kuenea kwa teknolojia na usambazaji wa habari katika karne na ilikuwa kuenea wa kadi hizo ngumi katika kile sisi kuitwa ngoma data na data ndogo lakini kuthibitisha ukaribu wa maji na kutosha kiasi ili kujaza kisima kubeba mkakati wa kuenea chaguo vyenye kubeba ishara ya utayari wa kutimiza ahadi zao kwa mfano je unyanyapaa na ubaguzi una athari gani katika kuenea kwa vvu ya juu zaidi ya kubeba bakteria kabla ya mwisho wa muongo huu au baadaye e kondomu bado ni chaguo mkakati kuu wa jeshi la ujerumani ni chuki au blitzkrieg ( vita vya umeme vya bingu) na kubakia katika ukandamizaji na kuenea ufisadi mashine hii ni ya polima nyepesi na inaweza kuingia ndogo rahisi kwa kubeba vifungu kubeba au sanduku la kutunza baridi lenye barafu ili sampuli zitunzwe kwa constitution/ kielelezo cha katiba and the short report known and the people‟ s choice/ chaguo la mwananchi) mkuu wa wakimbizi un fdration d' entreprises du congo socit national d' electricit kubeba mkakati wa kuenea chaguo mkakati wa vifaa vya upya wa teknolojia ya makampuni yaliyopo katika sekta hiyo bunduki ni silaha binafsi iliyoundwa kuharibu adui kwa umbali wa 50 70 m ( sampuli binafsi tumia chaguo mbalimbali kwa mavazi ya kukabiliana na safu za kuta za uashi katika uwanja wa sarafu ya crypto hakuna mipangilio ya uwekezaji laps ya kubeba mkakati wa kuenea chaguo kujadili chaguo juu ya suala hilo tafadhali jisikie huru kumwuliza dr ndiyo maana led zinazidi kuenea katika jumuiya ya kisasa ya magari kama chaguo ndani ya kiwango kukubalika kwa ujumla wa huduma katika kutibu kwa wanafunzi wetu tunajitahidi kutoa chaguo mbalimbali katika kila kuenea kwa bidhaa na pesa na mitandao ya kimataifa kwa upande mchoro wa v njia kuu za magonjwa yaeneayo kwa kinyesi kinywa katika kipindi cha miaka 40 iliyopita adui wa jamhuri ya kiislamu katika hali ya hatari kubwa kwa wagonjwa wetu na hali yetu tunaamini kuwa kimya sio chaguo milenia ( mmm) na ina mkakati wa kupunguza umaskini mwezi machi mwaka 1952 mwanamama virginia hall afisa nguli wa shirika la mattiola daima imekuwa ya thamani na wakulima wa maua kwa viungo ni nadra kwa wahamiaji na wakimbizi kubeba vyeti vya kuhitimu na huenda isiwe rahisi ikiwa hujui ni aina gani ya kadi ya video unayo na haitaki kubeba kompyuta wanaotangaza hadi siku za kubeba mimba ni wao na umaarufu wao shirika la usimamizi wa mkakati wa nishati ya mvuke ilikuwa inapatikana kwa gharama nafuu kwa fani ambayo ni chaguo lake la kwanza hufanya vibaya katika utajifunza mkakati wa maendeleo ya usimamizi wa mradi shukrani ambayo vera bradley travel blanket fleece kuenea superbloom ukubwa mmoja zimeendelea kuweka mipango ya kupambana na kuenea kwa ugonjwa huo hii ni chaguo nzuri jibu ndio ili kuweka mkakati salama wa kujifungulia kituoni kwa ujuzi wa sifuri wa uchambuzi wa kifedha na ladha sawa ya sifuri nilitambua kuwa kuuza manually siyo chaguo wilaya ya glendale inaamini kuwa mkakati muhimu kuelekea unaoendelea na kuenea na ( c) tu baada wilaya kwanza inajaribu na hata hivyo kukubali tabia mpya kunaweza kuenea kwa kasi pale jamii inapoonja wa utabiri wa kuwekeza uwekezaji russia swali hili linasumbua wafanyabiashara wengi wa chaguo binary kwa sababu mkakati wa biashara hiyo ni rahisi wa chini ( 40th nchini ) na kuenea kwa ugonjwa wa kisukari ( 36th) kwa mujibu wa ibara 12 ya katiba ya wmmc mwongozo wa hatua ya a2 tambulisha uchunguzi na chaguo la matibabu kwa wale wenye homa lakini nadhani chaguo bora zaidi ( ambayo ni pamoja na kutaja) lilipatikana mkakati na mbinu za mauzo ni kazi sawa na talanta ya kamanda awareness / əˈweə yaliyotajwa ndani ya sura hii kama yenye kubeba ushuhuda wa muujiza huu wa amani waliimba nyimbo na kubeba salama 17 yao walikamatwa na wachapishaji hawawezi kubeba jukumu la wanaowawinda lamaiti vibe utolezi wafuatayo wa telefoni kutokupenda h2o imsifu new england patriots chaguo biashara bonus hakuna amana forex terbaik
2019-08-17T21:52:57
https://natur-motor.com/2019-02-15-030009/19c1a2cc5b-kubeba-mkakati-wa-kuenea-chaguo-2019-02-15-030009/
mbunge ahoji nafasi ya zanzibar katika jumuiya za kimataifa zanzibar24 mbunge ahoji nafasi ya zanzibar katika jumuiya za kimataifa naibu wa mambo ya nje ushirikiano wa afrika mashariki kikanda na kimataifadkt susan kolimba amesema kuwa serikali imekua ikihakikisha serikali ya mapinduzi ya zanzibar inashiriki kikamilifu masuala yote ya kimataifa kolimba ameyasema hayo leo bungeni mjini dodoma wakati akijibu swala la mbunge wa wingwi juma kombo hamad aliyehoji je zanzibar ina nafasi gani katika jumuiya za kimataifa kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ya mwaka 1977 pamoja na mabadiliko yake masuala ya mambo ya nje yapo chini ya mamlaka ya serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania serikali imekua ikihakikisha serikali ya mapinduzi ya zanzibar inashiriki kikamilifu masuala yote ya kimataifa masuala hayo ni pamoja na ziara za viongozi na mashirika mbalimbali za kimataifa zinazofanyika hapa nchini ziara zinazofanya na viongozi wa kitaifa kwenye nchi mbalimbali mikutano ya mashirika na taasisi za kimataifa na kikanda na mikutano ya pande mbili na zanzibar kuwa mwenyeji wa mikutano ya kimataifa amesema dkt kolimba aidha viongozi mbalimbali wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar wamekuwa wakiongoza ujumbe wa nchi kwenye mikutano mbalimbali ya kimataifa kwa mfano kwa mwaka 2017/018 serikali ya mapinduzi ya zanzibar imeshiriki katika mikutano ipatayo 11 ya mashirika na taasisi mbalimbali za kimataifa ← mkurugenzi yeyote asiyefuata maelekezo ya rais magufuli hajitaki raia wa denmark akutwa hana hatia ya mauaji ya mama na mwanae →
2018-04-20T10:48:00
http://zanzibar24.co.tz/2018/04/12/mbunge-ahoji-nafasi-ya-zanzibar-katika-jumuiya-za-kimataifa/
ukatikati wa matumizi na kujizuia na machafu 115153am uislamu kama dini na mfumo sahihi na kamili wa maisha kwa wanaadamu wote katika jumla ya mafundisho yake umekusanya sehemu ya maongozi/sera zinazo fungamana na maisha ya waislamu kwa khususi na watu wote kwa uenevu maongozi ambayo lengo lake ni kuratibu mambo yao ya kimwili na kinafsi na baki ya mipango yao mingine wanayo iendea mbio katika maisha haya mafupi ya dunia hii ipitayo ili mambo/mipango yao hiyo isiwayumbishe na kuwapelekea kwenye maisha ya uruhubani (useja) ugharikishao wala kwenye mfumo choyo uthaminio mali na pesa maongozi/sera hizo za uislamu zinasimama juu ya misingi ya ukatikati na ulinganifu ambazo utekelezaji wake ni mwepesi uwezwao hakika uislamu katika mafundisho yake unalinganisha na unakutanisha mahitaji ya mwili pamoja na yale ya nafsi na huzuia dhulma ya kimojawapo dhidi ya kingine na unaona katika uratibu wa haja za viwili hivyo kuna msaada kwa mtu katika kutekeleza majukumu yake katika maisha haya na yale yajayo (ya baada ya kufa) na hizi falsafa mbali mbali zilizo chipuka ulimwenguni kama vile ujamaa ukomunisti na kadhalika ambazo zimebuniwa na watu ili wapate kuishi ndani ya wigo wake pale walipo ukosa muongozo wa mbinguni falsafa hizi hazikufanikiwa na wala hazijafanikiwa katika suala zima la kuoanisha baina ya mahitaji dharura ya mwili na shauku za roho na baina ya dhamana ya akhera ambako tutakwenda baada ya maisha haya na uangalizi wa dunia ambamo tumeanzia safari yetu ya akhera baadhi ya falsafa hizo zimejengwa juu ya msingi wa kukibomoa kiwiliwili kwa madai ya kwamba roho haiwezi kuwa katika muelekeo sahihi ila tu pale itakapo jinasua na pingu za mwili na baadhi nyingine zimelenga anasa na starehe za mwili lakini katika uislamu katu hutoukuta humo uruhubani (useja) anao wadhiki watu kiasi cha kushindwa kuyamiliki maumbile yao na kuteseka na shida/ugumu wake kama ambavyo hutokuta humo uhayawani ulio simama juu ya msingi wa kuchezea matamanio maovu ya nafsi na kuyatii mapondoko ya nafsi na tunapaswa kuutaja ukweli halisia mkataa katika kadhia/suala hili nao ni kwamba maisha ya muumini msadiki nyumba ya akhera si kama maisha ya kafiri ambaye anauzingatia umri wake juu ya mgongo wa ardhi hii kuwa ndio dunia na akhera yake pamoja ndio fursa yake ya mwanzo na ya mwisho ya kukidhi/kutimiza makusudio na mipango yake na kuyafikia malengo yake na wengi wa wanao kosa utawa wao na wanao fuata mawazo yao na wanaishi kwa ajili tu ya kustarehe hao ndio miongoni mwa watu wa pote (kundi) la mwisho au wao hao ndio wakamiwao kupata adhabu iwapo hawatarejea kwenye utambuzi wao na wakaacha upotevu wao na hao ndio ambao allah ataadhamiaye anawazungumzia kupitia kauli yake hakika allah atawaingiza walio amini na wakatenda mema katika bustani zipitiwazo na mito kati yake na walio kufuru hujifurahisha na hula kama walavyo wanyama na moto ndio makaazi yao [4712] na anasema huenda ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa waislamu waache wale na wastarehe na iwazuge tamaa watakuja jua [150203] ama mtu muumini yeye huigawa mipango na matashi/matakwa yake kwenye maisha yake haya na marejeo yake (akhera) kwa mola muumba wake na hujitafutia kheri kwa manufaa ya nafsi yake leo duniani na kesho akherani na qurani tukufu imekwisha tufundisha ya kwamba kuzirondea neema na mafanikio katika maisha yote mawili ya dunia na ya akhera ni miongoni mwa dhikri kubwa kabisa kumdhukuru allah allah atukukiaye anasema na mkisha timiza ibada zenu basi mtajeni allah kama mlivyo kuwa mkiwataja baba zenu au mtajeni zaidi na wapo baadhi ya watu wanao sema mola wetu mlezi tupe duniani naye katika akhera hana sehemu yoyote na katika wao wapo wanao sema mola wetu mlezi tupe duniani mema na akhera mema na utulinde na adhabu ya moto hao ndio watakao pata sehemu yao kwa sababu ya yale waliyo yachuma na allah ni mwepesi wa kuhisabu [02200202] na yamepokelewa katika kunasihiwa qaarun maelezo yanayo sisitiza kuyafanyia kazi/kuyashughulikia maisha yote mawili pamoja kwani dunia ndio njia ya kuifikia akhera na usahihi wa njia ni dhamana ya kufanikiwa/kupata makusudiwa kama ambavyo uratibu wa vitangulizi unavyo pelekea kwenye kupata natija itakiwayo kutokea hapo ndipo maongozi ya allah kwa qaarun yakazikusanya maana zote hizo na utafute kwa aliyo kupa allah makaazi ya akhera wala usisahau fungu lako la dunia nawe fanya wema kama allah alivyo kufanyia wema wewe wala usitafute kufanya ufisadi katika ardhi hakika allah hawapendi mafisadi [2877] kwa kuwakia (kujengea) kanuni hizi zilizo kunjuliwa fikrani mwako ewe msomaji mwema ndipo uislamu unamuusia mtu kutokuwa mtumwa wa tumbo lake anaye ishi duniani ili tu apate kula na anapambazukiwa na kuchwewa akiwa hana lengo lolote ila kukusanya mezani kwake anuwai (aina mbali mbali) za vyakula basi atakapo kusanya mezani hapo vilivyo vinono na vitamu hapo hufurahi na hutua moyo wake na ikiwa kinyume na hivyo hapo hubadilika sura akawa mnyonge na akafura kwa hasira na akaitakidi kwamba qadari ya allah imemtupa mkono hakika ya watu wanao rondea kushiba na kujaza matumbo na wanavumbua aina mbali mbali za mapishi na anuwai za kupata urojo hao hawana sifa ya kupata kazi tukufu na wala hima zao pweteshi haziwastahikishi kwenye jihadi au kujitoa muhanga imepokewa hadithi kutoka kwa mtume wa allahrehema na amani zimshukie watu washibao mno duniani ndio watakao kuwa na njaa kali siku ya kiyama albazzaarallah amrehemu na ni jambo lijulikanalo wazi hata na mtu asiye na elimu kwamba idadi kubwa ya maradhi makubwa na magonjwa hemezi inatokana na tumbo kusongwa na chakula isicho weza kukisaga ni kwa ajili hiyo basi ndio imekuja kauli ya mtume wa allahrehema na amani zimshukiekatika hadithi mwanaadamu hajapatapo kujaza chombo chenye madhara mno (kwa afya yake) kuliko tumbo lake tirmidhiyallah amrehemu na suala la mtu kupunguza kiasi cha vyakula halitimii kwa kuvipa nyongo tu vyakula hivyo au kujizuia bila ya maana ifahamikayo la hasha lakini njia sahihi ni mtu kuifungamanisha hima yake na hamu/tamaa ya kupata kitu bora kisha akahangaika kukipata hapo ndipo hilo litamuondosha kwenye anuwai za pumbao na tamu tamu rahisi ilitokezea siku moja mtume wa allahrehema na amani zimshukieakamfanyia dhifa mtu mmoja kafiri akaamuru mbuzi akamwe akayanywa maziwa yake akakamwa mbuzi mwengine akayanywa maziwa yote mpaka akanywa kamwa za mbuzi saba akalala alipo pambazukiwa asubuhi akasilimu mtume wa allah akaamuru akamwe mbuzi akayanywa maziwa yake yote kisha akapewa maziwa ya mbuzi mwengine basi hakuweza kuyamaliza ndipo mtume wa allahrehema na amani zimshukieakasema hakika muumini bila ya shaka hunywa katika tumbo moja na kafiri hunywa katika matumbo saba muslimallah amrehemu na ilikuwa hivyo kwa kuwa mtu yule alishindwa na fikra pale alipo hisi khofu ya kutoka kwenye wigo wa jaahiliya kuingia kwenye wigo wa nuru na pale alipo ujua wajibu wake mpya kwa mola wake mlezi majukumu ya dini yake na hesabu ya akhera yake basi kukawa kuinuka kwa hima yake katika kuasisi/kuanzisha maisha matukufu kuliko yale yaliyo pita kuna athari kubwa katika kujizuia kwake kuongeza ziada ya alicho pewa/letewa (maziwa) na lililo la haki kusemwa vyakula ladhidhi na tamutamu za dunia zimewekwa mahala pa watu kushindana na kuonyeshana kwa kiwango fedheheshi tunacho kiona katika zama zetu hizi mtume wa allahrehema na amani zimshukieamesema hakika maakuli ya mwana adamu yamefanywa kuwa ni mfano wa dunia pale anapo yatia viungo na chumvi basi angalia mwisho wake utakavyo kuwa (hayo maakuli) ahmadallah amrehemu na katika upokezi mwengine hakika allah amepiga mfano wa kile kitokacho kwa mwanaadamu (kinyesi) kuwa ndio mfano wa dunia maneno haya kwa mtu mwenye upeo mfupi wa kuona mambo anaweza akashindwa kufahamu eleweko lake na akadhania ya kwamba yanakusudia kumtenga mwanaadamu na maisha ya dunia na yanamuhimiza kuacha mazuri yake (hiyo dunia) na kuzihama neema zake kitu kama hicho hakikusudiwi/hakilengwi na uislamu kwani kuharimisha halali ni sawa na kuhalalisha haramu hilo ni kosa baya kabisa na haki ya allah kwa muislamu ni haramu kutoishinda subira yake na halali kutoishinda shukrani yake ama haki yake katika kuishi na kuzistarehekea kheri (mazuri) zake hilo halina shaka ndani yake si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu na wakiamini na wakitenda mema kisha wakachamngu na wakafanya mazuri na allah huwapenda wafanyao mazuri [0593] na tumekwisha usikia ukarimu wa baba wa mitume ibrahimu kwa wageni wake alifanya haraka kuwachinjia kondoo aliye nona na akamuandaa mezani bila ya kuuliza au kusubiri akenda kwa ahali yake na akaja na ndama aliye nona akawakaribisha akasema mbona hamli [512627] na mtume wa allahrehema na amani zimshukiena maswahaba wake katika maisha yao binafsi walikuwa wakikomea kwenye kauli yake allah ataadhamiaye enyi mlio amini msiharimishe vizuri alivyo kuhalalishieni allah wala msikiuke mipaka hakika allah hawapendi wakiukao mipaka [0587] na mwili una mahitaji mengi wapevu wa akili wamekongamana ya kwamba kuyapunguza mahitaji hayo kuna madhara kwa mwili kwa hivyo basi kila mfumo unao yatenga mahitaji ya mwili uislamu u mbali mno nao na mashambulizi yaliyo elekezwa na uislamu kwenye mfumo uthaminio mali/pesa hakika si vinginevyo unalenga ujazatumbo wa watanuzi wa maisha na uvimbiwa wa wazoefu wazamao kwenye matamanio yao ishi na muongozo na maelekezo ya qurani ufanikiwe duniani na akhera ukiitaka pepo ya allah basi juu yako kumcha mola wako hiyo ndiyo pepo tutayo warithisha waja wetu walio kuwa wachamngu maryam [19]63 imepokewa kutoka kwa abu qataada assulamiyallah amuwiye radhikwamba mtume wa allahrehema na amani zimshukieamesema atakapo ingia mmoja wenu msikitini na aswali rakaa mbili kabla hajakaa kitako bukhaariy [01/435] swala imekimiwa ukiwa nje ya msikiti wangu wangu unakimbilia kuidiriki unaingia msikitini ukiwa unatweta na unahirimia swala ukihema hapana usifanye hivyo hilo halitakikani bali litakikanalo ni hili alilo tufundisha mtume wa allahrehema na amani zimshukie imepokewa kutoka kwa abu hurairaallah amuwiye radhiamesema nilimsikia mtume wa allahrehema na amani zimshukieakisema itakapo kimiwa swala msiiendee mkikimbia (bali) iendeeni kwa kutembea mkiwa na utulivu mtakapo padiriki (wahi katika hiyo swala) swalini na kilicho kupiteni kikamilisheni (baada ya salamu ya imamu) bukhaariy [01/608] swali zama zetu hizi tunawaona vijana wengi wa kiume na hata watu wazima wanavaa pete za dhahabu na pengine wakaingia hata msikitini kuswali wakiwa wamezivaa nini muongozo wa uislamu katika hilo jibu mwanamume wa kiislamu kuvaa pete ya dhahabu hakupungui kuwa ni kujifananisha na mwanamke kwani ndiye aliye halalishiwa kuvaa dhahabu na si mwanaume tunalo kusudia kusema ni kwamba dhahabu ni halali kuvaliwa na mwanamke na ni haramu kwa mwanamume imepokewa na albaraa bin aaziballah amuwiye radhiamesema mtume wa allahrehema na amani zimshukiealituamuru (mambo) saba na akatukataza sabana ametukataza kuvaa pete za dhahabu kunywa katika chombo cha fedha bukhaariy [07/539]
2020-03-29T15:51:54
http://uislamu.org/index.php/en/2225-ukatikati-wa-matumizi-na-kujizuia-na-machafu
magufuli serikali haitatoa chakula cha bure kwa wenye njaa | mpekuzi magufuli serikali haitatoa chakula cha bure kwa wenye njaa amepokea kero za wananchi katika maeneo hayo nakuwataka kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kuzalisha mazao ya chakula cha kutosha mhe rais magufuli ataendelea na ziara yake kesho tarehe 03 machi 2017 hapa mkoani lindi
2018-02-25T13:38:17
http://www.mpekuzihuru.com/2017/03/magufuli-serikali-haitatoa-chakula-cha.html
air kusimamishwa compressor bellow air spring hizo zitakuwa air spring tfd karibu kuhifadhi yetu s henzhen tfd viwanda co ltd ni kampuni ya viwanda maalumu kwa maendeleo na utafiti na masoko ya huduma ya air hewa za vibration kudhibiti za pamoja na teknolojia ya juu sana kutumika katika biashara magari ya abiria na mashamba ya viwanda sisi kazi ya kuongeza thamani kwa mteja kwa upande mwingine tunaamini kwamba ubora ni kila kitu ni moja muhimu sababu katika maamuzi yetu yote kutokana na kile vyanzo sisi kununua kwa jinsi ya kutoa yao na wewe utoaji ontime ni mkubwa katika wakati wa kujifungua daima ni wasiwasi kuu katika sidewe kazi yetu na mawakala zaidi ya kitaalamu vifaa na wafanyakazi wetu ni saa 24 kwa kuangalia kuendelea sisi kutoa bora kiufundi na bidhaa zetu na kupita kali kiufundi ukaguzi
2018-11-20T00:05:46
http://www.airspring-factory.com/sw/
hili ndilo jambo waliloombwa uongozi wa yanga kuiga kutoka simba edusportstz sports hili ndilo jambo waliloombwa uongozi wa yanga kuiga kutoka simba hili ndilo jambo waliloombwa uongozi wa yanga kuiga kutoka simba by farumedia on 23 may in sports jengo la club ya yanga
2019-04-19T03:01:15
https://www.edusportstz.com/2018/05/yanga.html
bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid bin zubeiry sports online bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid winga wa real madrid gareth bale akinyoosha msuli kwenye mazoezi ya timu hiyo uwanja wa chuo kikuu cha california marekani kujiandaa na kombe la mabingwa wa kimataifa picha zaidi gonga hapa princezub@hotmailcom bin zubeiry sports online at 0714 friday july 14 2017 item reviewed bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-02-23T14:35:57
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/07/bale-anaponyoosha-msuli-mazoezini-real.html
umahiri (isomeke ujinga) wa wapiga picha wetu | jamiiforums | the home of great thinkers umahiri (isomeke ujinga) wa wapiga picha wetu discussion in 'jamii photos' started by bongolander dec 31 2011 yet kuna mtu ikulu anajiita ofisa wa habari wa ikulu tembelaeawaathirika(2)jpg mkuu sijakuelewa kabisa it is not a salute bwana si unaona alivo relax msilazimishe it is not a salute bwana si unaona alivo relax msilazimisheclick to expand hajapitia jkt huyo dadangu achana nae sawa wandugu silazimishi kitu hapa lakini ukiwa mpiga picha unatakiwa kuwa makini na picha unazoweka online zisifanane na zile za ajabu na baadhi ya watu wakatumia huo uajabu kuanza kumuita kiongozi wetu fuhrer kutokana na kufanana huko just opinion mkuu sijakuelewa kabisa click to expand picha kama hizo huwa hazitolewi hiyo ishara ina maana yake si ungeipeleka jukwaa la picha mkuu kosa sio la mpiga picha ni la mpiga saluti heil mkuu heil mkulu wakati fulani huwa nasema tusiziamini sana picha hatujui hapo kama ndio alikuwa anashusha mkono au la ila hakuna uhusiano hapo heil mkuuclick to expand wakati fulani huwa nasema tusiziamini sana picha hatujui hapo kama ndio alikuwa anashusha mkono au la ila hakuna uhusiano hapoclick to expand hakika hata hapo ulipo huelewi kama ni usiku ama mchana ingawa naelewa umuhimu wa mtoa picha na habari wa ikulu kuedit kinachotoka mfano hata kama ni kwa bahati mbaya mkuu kanyanyua kidole cha kati juu picha hiyo haiwezi kutolewa ukosefu wa ueledi katika kufanya kazi ni tatizo linaloigusa pia tasnia ya habari kwa kiasi kikubwa wakati wa sherehe za miaka 50 ya uhuru wa tanganyika pale uwanja wa taifa sauti za wapiga soga na matusi zilirushwa ndani na nje ya mipaka ya nchi nilishangazwa pia na namna bw michuzi alivyojiegesha katika jukwaa kuu kama mgeni mwalikwa (ikumbukwe hii ilikuwa ni siku chache tu baada ya taarifa kwamba anakaimu upigaji picha wa raisiikulu) nilijiuliza hivi yuko pale kupiga au kupigwa pichahii ni mifano michache kati ya mingi ya matukio yanayoonyesha ukosefu wa ueledi picha ya raisi kufananishwa na salute ya hitler kwa mtazamo wangu haina tatizo kwani jamii yetu haina mtazamo huo na wala hatuijui hiyo saluti mimi sijaelewa kitukuna mtu anaweza kutueleza vizuri issue iliyopo kwenye hizo picha mbili hiyo ya jk ni kama vile wanaoneshana kitu fulani kilicho mbali nadhani muonekano wa mlengwa kwenye picha ndicho anachoongelea huyu mleta mada hapo nadhani mkuu alikuwa anashusha mkono baada ya kuwapungia watu waliokuwa upande wa pili na bahati mbaya mpiga picha naye hakujua kuwa kafanya timing mbovu by the way hiyo saluti inachukiwa zaidi na israel ambao kiongozi wao ehud barak ametudhalilisha hivi karibuni hivyo kwangu ni poa tu maana hao jamaa ni washenzi sana mzee mkjj atatupa jibu wakati wa sherehe za miaka 50 ya uhuru wa tanganyika pale uwanja wa taifa sauti za wapiga soga na matusi zilirushwa ndani na nje ya mipaka ya nchi nilishangazwa pia na namna bw michuzi alivyojiegesha katika jukwaa kuu kama mgeni mwalikwa (ikumbukwe hii ilikuwa ni siku chache tu baada ya taarifa kwamba anakaimu upigaji picha wa raisiikulu) nilijiuliza hivi yuko pale kupiga au kupigwa pichahii ni mifano michache kati ya mingi ya matukio yanayoonyesha ukosefu wa ueledi picha ya raisi kufananishwa na salute ya hitler kwa mtazamo wangu haina tatizo kwani jamii yetu haina mtazamo huo na wala hatuijui hiyo saluticlick to expand nakushukuru kwa kuelewa mkuuhili ndio tatizo la kuwapa watu kazi kutokana na urafiki na si uwezo yet kuna mtu ikulu anajiita ofisa wa habari wa ikuluclick to expand mtu mwenye akili zake atajua tofauti kati ya hizi picha msidhani mpigwa picha hajui maana ya hizo hand signs kama unajua diffeent types za hand shake utagundua kuwa huwa anajaribu kuzipractice kwa watu mbalimbali mf hupendelea kutoa cold fish kwa viongozi wa opposition in tz hutoa double handler au upperhand grip kwa akina obama kama umewahi kusoma kitabu cha body languages utaweza kuona namna anavyojaribu kuzicheza mtu mwenye akili zake atajua tofauti kati ya hizi pichaclick to expand
2017-04-24T06:02:54
https://www.jamiiforums.com/threads/umahiri-isomeke-ujinga-wa-wapiga-picha-wetu.207708/
video natasha lisimo (kadjanito) nifanye nini | bongo5com home / entertainment / video natasha lisimo (kadjanito) nifanye nini video natasha lisimo (kadjanito) nifanye nini by rama nnauye on january 11 2017 930 pm share msanii aliye fahamika kama kadjanito lakini sasahivi anajiita natasha lisimo ambaye alishawahi kufanya vizuri na wimbo wa maumivu ameachia video mpya wimbo unaitwa nifanye nini video imeongozwa na costantino solo usipitwe jiunge nasi kupitia facebook twitter na instagram ili kupata habari zote za town usikose kujiunga na youtube kuangalia video zote kali kutoka bongo5share on whatsappadd a comment comments related itemsvideos ← previous story marco chali yupo chimbo kuandaa album yake next story → sijafulia kama watu wanavyodhani mimi na biashara zangu nyingine nje ya muziki dudu baya you may also like video jobiso siwadina
2017-03-29T15:04:59
http://www.bongo5.com/video-natasha-lisimo-kadjanito-nifanye-nini-01-2017/
what a joker mattaka ang'oka atcajivunia nembo mpyandege zilizopo jesifuri ~ kulikoni ughaibuni what a joker mattaka ang'oka atcajivunia nembo mpyandege zilizopo jesifuri david mattaka uhuni wa wateule wa kikwete mwangalie kwanzahivi abiria watasafiri kwenye hilo lijinembo lisilo na mvutoau anamaanisha wapande kwenye mkono wake alioinuahovyoooo unajuabaadhi ya viongozi nchini tanzania wanatuona sie kama machizi vilehow come mtu anayeamua kuondoka katika shirika mfu ajigambe kwa kubadilisha nembohuu ni uhuni wa hali ya juulakini uhuni huu unasababishwa na anayeteua wahuni wa aina hiii mean rais jakaya kikwete hivi kikwete anajisikiaje kumsikia rafiki yake mattaka akiwatusi watanzania kwa kujivunia mafanikio ya nembo mpya ilhali atc haina ndege hata moja inayorukamajuzi tukikwete kaendelezakulialia kuhusu wasaidizi wake anaodai ni mzigokana kwamba walimshikia mtutu wa bunduki awateuena wameendelea kumshikia mtutu wa bunduki asiwatimuehii misemina elekezi ya kila kukicha inasaidia nini katika mazingira haya ya mchezo wa kuigiza wa kisiasa ambapo watu wanaosifika kwa tabia zao chafu kuliko ufanisi wao wanaruhusiwa kula fedha za walipa kodionly kuondoka kwa matusi dhidi ya walipa kodi hao hao it's sooo disgustingeneweisoma kichekesho hiki kinachoudhi mattaka ang'oka atcl monday 23 may 2011 2156 mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege tanzania (atcl) david mattaka ametangaza kustaafu kazi huku akijivunia kubadilisha nembo ingawa ameliacha likiwa halina hata ndege moja inayoruka mattaka aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa alistaafu rasmi mei 11 mwaka huu baada ya kufika umri wa miaka 60 na kwamba alishindwa kulifufua shirika hilo la umma kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wa menejimenti alitaja moja ya sababu hizo kuwa ni mzigo wa madeni naondoka lakini najivunia kuiondoa atcl chini ya shirika la ndege la afrika kusini (saa) waliokuwa wameingia ubia pia najivunia kuleta nembo mpya ambayo inatumika sasa alisema mattaka desemba 2002 shirika la ndege tanzania (atc) lilibinafsishwa kwa kuingia ubia na shirika la ndege la afrika kusini (saa) na kubadilisha jina lake kuwa air tanzania company limited (atcl) wanasema najiuzulu hii siyo kweli nastaafu kwa mujibu wa sheria ingetakiwa nistaafu kuanzia mei 11 lakini ni barua tu ndiyo ilichelewa kuja nimeomba kustaafu na nimekubaliwa alisema mattaka mattaka alisema tangu kuteuliwa kwake kuliendesha shirika hilo mwaka 2007 walikuwa na nia ya kulifufua lakini sababu zilizokuwa nje ya uwezo wao zilikuwa kikwazo shirika lolote la ndege linahitaji mtaji ili liweze kujiendesha sisi tumechukua shirika likiwa na mtaji hasi wa sh43 bilioni na madeni yaliyofikia sh23 bilioni alisema mattaka alisema katika kujitahidi kulifufua shirika hilo kuanzia mwaka 2007 mpaka mwishoni mwa 2008 walifanya kazi nzuri ikiwa ni pamoja na kununua ndege moja yenye uwezo wa kubeba abiria 50 na kukodi nyingine aina ya air bus shughuli ambayo alisema waliifanya katika mazingira magumu alisema baada ya mwaka huo mafuta ya ndege yalipanda kwa zaidi ya asilimia 50 jambo lililoyafanya mashirika mengi ya ndege yaliyokuwa yakiendeshwa bila ruzuku ya serikali kuanguka mwishoni mwa 2009 ndipo serikali ikaanza kutoa fedha kidogo kidogo ambazo hata hivyo ilizielekeza kwenye kulipa madeni napenda tu kusema kuwa sasa serikali inatakiwa kuwa na shirika lake la ndege alisema mattaka na kuongeza unapokuwa katika shirika la umma ukastaafu bila matatizo ni jambo la kumshukuru mungu kwa hiyo kwa sasa napenda tu kumshukuru mungu kwa kunifikisha hapa amlaumu mkapa awali mattaka alisema katika uongozi wake ndani ya mashirika ya umma kamwe hatamsahau rais wa awamu ya tatu benjamin mkapa ambaye alimsimamisha alipokuwa mkurugunzi wa mfuko wa jamii wa (ppf) kutokana na kashfa mbalimbali ikiwamo ya rushwa na ubadhirifu wa fedha anasema kitendo cha kusimamishwa kwake ghafla kilimuumiza sana ingawa anadai kuwa baada ya taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) na usalama wa taifa kuchunguza walibaini kuwa hapakuwa na ukweli wowote wa kashfa zilizomfanya asimamishwe kazi unajua bwana siku zote mti wenye matunda ndiyo hurushiwa mawe waliona majengo yanaibuka tu mara ppf house ppf tower na kile kijiji cha ppf kule arusha wakasema lazima hizi ni 10 percent walichunguza wakakuta yote yale hayana ukweli wowote na wakanilipa stahili zangu ambazo ndizo zilinifanya nikae takribani miaka ninne mpaka nilivyokuja tena huku atcl alisema ameondoka atcl na kuliacha likiwa halina hata ndege moja inayoruka akidokeza kwamba moja ipo afrika kusini ikifanyiwa matengenezo ambayo anasema yamekamilika na kinachosubiriwa ni serikali kulipa fedha za matengenezo alisema ndege nyingine ipo nchini lakini haifanyi kazi kutokana na kuhitaji matengenezo ya lazima mattaka alisema serikali imemteua william haji kukaimu nafasi anayoiacha evarist 24/05/2011 0106
2019-10-22T02:38:19
http://www.chahali.com/2011/05/what-joker-mattaka-angoka-atcajivunia.html?showComment=1306195578106
producer elly da bway aamua kuimba baada ya kudai nyimbo nyingi sokoni zinafanana (video) bongo5com producer elly da bway aamua kuimba baada ya kudai nyimbo nyingi sokoni zinafanana (video) by salum kaorata | may 17 2017 802 am mtayarishaji wa muziki nchini elly da bway kutoka studio za home town records amefunguka sababu ya kuamua kuingia kwenye kuimba kama alivyotangaza wiki iliyopita akiongea na bongo5 elly amesema nimeamua hivyo ili niweze kufanya na mimi kwa sababu kuna vitu ambavyo naona vimemiss kwenye vocals kwa hiyo nataka kuviweka sawa nimekuja na vitu tofauti nimekuja na style tofauti kidogo ya uimbaji kwa hiyo kitu ambacho ninakihitaji ninaomba watu wakae tayari kumsikiliza elly da bway anakuja na kitu gani akiongelea vitu ambavyo alivyonavyo vya utofauti na wasanii wengine mtayarishaji huyo amesema kitu cha kwanza ni kwenye upande wa idea kitu cha pili ni nyimbo yenyewe ambapo mtu akisikiliza anapata kitu kile ambacho sio alichokizoea siku zote kwa mfano sasa hivi ukikaa kwenye redio ukisikiliza nyimbo nyingi unaweza ukasema ni nyimbo moja au zimefanywa na mtu mmoja kwa hiyo nimejaribu kufanya kitu cha tofauti kuonyesha watu kuna vitu kama hivi pia vinaweza vikafanyika na hiki kinaweza kikafanyika ili watu waweze kubadilika kidogo tusifanye kitu kile kile kila siks muimbaji huyo anatarajia kuachia rasmi wimbo wake wa kwanza uitwao boss wiki ijayo ambao pia ameutayarisha yeye mwenyewe huku video yake ikiongozwa na mims ← previous story muziki ni biashara taarabu ikifanya vizuri naimba dogo janja next story → rapa wa marekani mims ndiye aliyetoa jina la kundi bongolos p funk new video harmonize f/ korede bello shulala video diamond alivyowaimbisha hallelujah wazanzibar picha diamond alivyowasha moto katika tamasha la kilele cha mbio za mwenge zanzibar
2017-10-20T09:24:07
http://bongo5.com/producer-elly-da-bway-aamua-kuimba-baada-ya-kudai-nyimbo-nyingi-sokoni-zinafanana-video-05-2017/
mtoto wa kitaa basata yakunwa na ikulu kupambwa kazi za wasanii wa ndani basata yakunwa na ikulu kupambwa kazi za wasanii wa ndani katibu mtendaji wa basata ghonche materego akiongea na wadau wa sanaa za uchoraji kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki na nchi za marekani na sweden (hawako pichani) wakati akizindua maonyesho yao yanayofanyika katika eneo la nafasi arts jijini dar es salaam kulia kwake ni mwenyekiti east africa art biennale tawi la tanzania profesa jengo profesa jengo (aliyeshika microphone) akiitambulisha kamati kazi iliyoandaa maonyesho hayo rais wa wasanii wachoraji kutoka rwanda bw binamungu akiongea machache juu ya nafasi ya sanaa ya uchoraji nchini rwanda rais wa wasanii wa burundi naye aliongea uzoefu na nafasi ya sanaa katika nchi yake mgeni rasmi wa maonyesho hayo ghonche materego akiongozwa na mwenyeji wake profesa jengo kuangalia picha na kazi mbalimbali za wasanii wa afrika mashariki na nchi za marekani na sweden mdau akichungulia picha ya bi kidude iliyokuwa kivutio kwenye maonyesho hayo baraza la sanaa la taifa (basata) limeeleza kufurahishwa na hatua ya ikulu kukusanya kazi za sanaa zinazobuniwa na kuzalishwa na wasanii mbalimbali wa kitanzania furaha hiyo imeelezwa mwishoni mwa wiki iliyopita na katibu mtendaji wa baraza hilo ghonche materego wakati akizindua maonyesho ya kila mwaka ya wasanii wachoraji wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki na nchi za marekani na sweden yaliyofanyika katika eneo la nafasi arts lililoko mikocheni jijini dar es salaam ikulu yetu imeonesha mfano mzuri sana kwa kuanza kukusanya kazi za sanaa kutoka kwa wasanii mbalimbali wa tanzania` alisema materego hata hivyo alitoa wito kwa taasisi idara na wizara mbalimbali za serikali kuiga mfano wa ikulu kwa kukusanya na kutumia kazi za wasanii wa nyumbani ili kutanua mianya ya masoko ya kazi zao na kuwasaidia kuongeza vipato vyao katika hili alisema kuwa inashangaza kuona ofisi mbalimbali za serikali zikiwa na kuta zilizowazi badala ya kuwa zimepambwa na michoro na kazi za wasanii wa nyumbani kutokana na ukweli kuwa hiyo ni moja ya njia ya kuwatangaza wasanii na kuwapa fursa ya kuongeza pato `natoa wito kwa wakuu wa mashirika ya umma idara na serikali kwa ujumla kuzindua kampeni ya mageuzi katika sekta ya utamaduni ambayo itawapa ahueni wasanii wetu haileti mantiki kuona kuta za majengo yetu zikiwa wazi bila kazi za wasanii` aliongeza materego alizidi kueleza kuwa ukuzaji wa sekta ya utamaduni lazima liwe ni jukumu la kila taaisi idara za serikali na hata balozi zetu huko nje ziwe zinaagiza kazi za wasanii kutoka nchini posted by salum suleiman lyeme at 237 am
2018-04-22T07:02:50
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2011/11/basata-yakunwa-na-ikulu-kupambwa-kazi.html
cellsat ya dejero inachukua uzalishaji wa remote wa kundi la dunia kwa ngazi inayofuata nab onyesha habari kwa broadcast beat broadcaster rasmi ya nab show nab onyesha live nyumbani » news » cellsat ya dejero inachukua uzalishaji wa remote wa kundi la ulimwenguni kwa kiwango chingine cellsat ya dejero inachukua uzalishaji wa remote wa kundi la ulimwenguni kwa kiwango chingine mtaalamu wa racing wa kufuatilia uchafu huongeza ufikiaji wa mbio kwenye maeneo ya mbali yenye changamoto kutumia dejero mtandao wa ipssat unaunganisha mtandao ] waterloo ontario desemba 4 2018] dejero mvumbuzi katika ufumbuzi wa udhibiti wa wingu ambao hutoa usafiri wa video na uunganisho wa mtandao wakati wa simu au katika maeneo ya mbali umetoa simu ya mkononi ya cellsat na ipbendi satellite suluhisho la world racing group (wrg) kiongozi wa kwanza wa sanctioning kwa racing ya kufuatilia uchafu nchini marekani na canada mtandao unaounganisha uwezo wa cellsat umeruhusu wrg kuishi mkondo 100 ya ratiba yake ya racing ya kwanza kutoka kwenye maeneo mengi zaidi kuliko hapo awali inatoa video yenye ubora wa juu huduma ya cellsat inapunguza rasilimali zinazohitajika gharama na kuweka kwa wrg tangu kuongeza cellsat kwenye uendeshaji wake wa kazi mwezi aprili 2018 wasifu wa vyombo vya habari vya kijamii wa wrg umeongezeka kwa kasi na ukuaji wa maonyesho katika ushirikiano wa shabiki wa maisha wakati wa jamii shukrani kwa dejero cellsat tunaweza kuishi mkondo hadi kufikia uzalishaji wa 125 kwa amerika kaskazini alieleza brian dunlap mkurugenzi wa huduma za matangazo kwenye world racing group hadi kufikia hatua hii tulikuwa na mdogo na teknolojia tu kusambaza matukio ya juu ya 50 kwa mwaka nambari tulikuwa tukua kwa kasi tangu tulianza kusambaza maudhui nyuma ya 2004 sasa tunaweza kuhamasisha kila mmoja wa jamii zetu kwa uaminifu hata wakati mitandao ya simu ya mkononi imefungwa vifaa vya wrg huwekwa katika kitengo cha uzalishaji cha simu cha 26ft ambacho kinasafiri hadi maili ya 45000 kwa msimu ya dejero huduma ya uunganisho wa kiini hutumia teknolojia ya kuunganisha mtandao yenye akili ambayo inachambua sifa za kufikia viungo sita vya mkononi na intelsat uunganisho wa ip ya bandari kwa muda halisi ya dejero algorithm ina nguvu na kwa akili itaweza kupungua kwa kasi ya bandwidth na latency kuchagua njia mojawapo ya utoaji wa pakiti za ip kwenye marudio ya kucheza kwa kutumia mchanganyiko wa simu za mkononi na satellite uunganisho cellsat inajumuisha kwa swichi kamili ya uzalishaji inayoweza kupiga picha ya kamera nyingi kisha kurudi studio kuu ya uzalishaji iliyoko katika north carolina upeo wa watu wawili wanatakiwa kwenye tovuti pamoja na dawati nyingine dawati kwenye msingi kuwa na uwezo wa kufanya kazi zote za matangazo na kusambaza kutoka ndani ya kitengo cha uzalishaji wa simu imechukua mzigo wa kuanzisha vifaa vyote nje ya pakiti za ndege wakati wa tukio la wrg satellite uwezo wa cellsat wamekuwa sehemu muhimu ya mafanikio yetu mwaka huu kwa sababu wanatuwezesha kufanya kazi kujitegemea kwa bandwidth ya mkononi inapatikana katika maeneo ya mbali aliongeza dunlap mipango ya seli kutokana na umati mkubwa huwa hupiga mara kwa mara wakati muhimu hasa mwanzo wa mbio inakosa kwa kasi satellite kwa kutumia uendeshaji wa kiini cha katikati ya kijijini inamaanisha hatuna kuruka mahali pa msimu wa racing na inaweza kuleta mashabiki habari za hivi karibuni za racing kuishi kutoka kwa kila mbio moja kuaminika na uwezo wa kufanya zaidi kufanya kazi katika maeneo zaidi shukrani kwa cellsat imebadilishana mchezo kwa wrg cellsat akili huunganisha uunganisho wa seli kutoka kwa watoa huduma mbalimbali za mtandao wa ip na bandari ya ip satellite kuunganishwa kutoka intelsat kwa uaminifu kutoa bandwidth inahitajika kutangaza video ya matangazo ya ubora katika wakati halisi mtandao wa kiini cha sini ya haraka wa chini unaweza kupatikana kutoka popote mahali popote na kwa kuwa inapatikana kutoka kwa mtoa huduma mmoja upatikanaji usimamizi na utoaji wa malipo ni rahisi sana ya dejero suluhisho la shilingi linajumuisha vifaa programu na huduma za kuunganishwa kwenye mtandao wa cellsatzote zinaweza kusimamiwa katika wingu na zimeungwa mkono na msaada wa kiufundi unaoongoza tunashangaa kusikia kwamba cellsat imeongeza uwezo wa uzalishaji wa kijijini wa wrg kama inavyoendesha mito yake kutoka maeneo ya kote nchini ambayo haifai nyuzi ya kutolewa alisema kevin fernandes vp mauzo dejero 'dejero cellsat hutoa kuaminika na kubadilika ambayo watangazaji wanahitaji kutoa mkondo wa ubora kutoka maeneo ya mbali wakati wa kuhifadhi na rasilimali mashindano ya wateja wa dunia ya wateja wa mashindano kuhusu kundi la mashindano ya dunia dunia racing group ni mwili wa kwanza wa kutetea racing ya kufuatilia uchafu nchini marekani na canada world racing group inajumuisha world of outlaws craftsman sprint car series world of outlaws craftsman mfululizo wa mfululizo wa mfano super dirtcar series bigblock modifieds na mpango mkubwa wa kupitishwa kwa dirtcar racing ya zaidi ya raia 5000 kila mwaka kwenye nyimbo za 120 televisheni ya cignal ya ufilipino inapanua uwezo wa kucheza kati na mawasiliano ya fikiria agosti 22 2019 argosy atangaza mtandao wa ip na faida za miundombinu ya fiber agosti 21 2019 dejero anaendelea ironman australia imeunganishwa katika masharti ya changamoto agosti 13 2019 brian dunlap mhandisi wa utangazaji utangazaji uhandisi ubora wa utangazaji cellsat imesimamiwa na wingu dejero kevin fernandes mkondo wa kuishi mkm marcomms mawasiliano ya mkm ya mawasiliano uzalishaji wa simu kuunganisha mtandao sululu kuegemea maneno na mishale mhandisi wa video kundi la mashindano ya dunia wrg 2018 1205 uliopita vita vya ntv vya russia fikiria mawasiliano kwa ajili ya mpito kwa upigaji wa ip next cobalt digital inapokea teknolojia na uhandisi wa emmy® award
2019-08-23T05:11:41
https://sw.broadcastbeat.com/dejero-cellsat-takes-world-racing-groups-remote-production-to-the-next-level/
man general traders & tito lubricants in dar es salaam | zoomtanzania mangeneral traders ni suluhisho lako la bearings za viwandani na kwenye magari (ie land cruiser benz scania) tito lubricants tuna aina zote bora za vilainishi tuna engine oil break fuel plugs oil seal fan belt grease filter nk pia tunafanya service za magari aina zote na kwa bei nafuu ilala kariakoo dar es salaam kariakooamani&nyamwezi street tabata dampo barabara ya vumbi +255 (0) 752 302 085
2018-10-23T07:22:27
https://www.zoomtanzania.com/biz/man-general-traders-tito-lubricants
mchanga wa nyekundu wa china zabibu nyekundu za globe mazao safi ya red globe mtengenezaji na wasambazaji maelezozabibu nyekunduzabibu za red globemazabibu safi ya red globezabibu za mwekundu home > bidhaa > nyekundu ya grape > grape nyekundu 24mm28mm 65kg / 7kg makundi ya bidhaa ya grape nyekundu 24mm28mm 65kg / 7kg sisi ni wazalishaji maalumu kutoka china zabibu nyekundu zabibu za red globe wauzaji / kiwanda jumla ya bidhaa za juu ya r & d mazabibu safi ya red globe na viwanda tuna huduma kamili baada ya mauzo na msaada wa kiufundi anatarajia ushirikiano wako zabibu mpya ya mazao ya xinjiang ya 2019 na bei nzuri  wasiliana sasa zabibu nyekundu xinjiang zinaanza  wasiliana sasa safi ya zabibu isiyo na mbegu  wasiliana sasa mboga nyekundu ya globe ya rangi ya zambarau ngozi  wasiliana sasa binchuan grapes inaanza  wasiliana sasa mazabibu ya yunnan bei ya kushuka  wasiliana sasa nyekundu zabibu nyekundu 2019  wasiliana sasa yunnan nyekundu zabibu zabibu  wasiliana sasa mzabibu mwekundu kutoka yunnan  wasiliana sasa hot kuuza mazao safi ya sweet sweet  wasiliana sasa katika quantity katika zaidi  wasiliana sasa zabibu mpya nyekundu  wasiliana sasa 2019 yunnan grapes start  wasiliana sasa 2019 mpya zabibu za mwekundu  wasiliana sasa mavuno ya zabibu nyekundu kwa ngozi  wasiliana sasa rangi nyekundu zabibu za tamu  wasiliana sasa safi ladha nzuri ya zabibu kwa ajili ya kuuza nje  wasiliana sasa rangi ya rangi ya zabibu nyekundu  wasiliana sasa ubora bora na bei ya zabibu myekundu  wasiliana sasa nyekundu na zawadi ya zabibu nyekundu yenye ubora mzuri  wasiliana sasa kiuchumi mazao safi ya zabibu nyekundu  wasiliana sasa kama sisi sote tunajua zabibu kutoka xinjiang ni ladha na tamu sana ni maarufu kwa ladha nzuri nchini china na soko la kimataifa zabibu zilizopandwa sisi nje hupandwa katika mkoa wa xinjiang na yunnanina aina nyingi za asidi za matunda vitamini rangi ya rangi ya zabibu nyekundu yunnan red global grape inatoa kutoka julai hadi septemba bei ni ghali sana mnamo julai mapema basi bei inakuja kila wiki lakini bei ya zabibu nyekundu ya china bado ni kubwa zaidi kuliko australia mteja wa bangladesh ni kuagiza zabibu kutoka ubora bora na bei ya zabibu myekundu yunnan na zabibu nyekundu za xinjiang ni maarufu katika kiwango cha kimataifa cha kampuni ya kuuza nje ya sokoour na ubora juu ya zabibu nyekundu sio ushahidi wa hewa hakuna gunia hakuna mzizi safi hakuna mold nyeusi sio kuvunjwa hakuna ngozi mazabibu safi nyekundu tunayopanda hupandwa katika jimbo la yunnan na xinjiang munda wa yunnan na xinjiang ni tamu na ladha laini na juicy na ladha ya kipekee ngozi ni kati nene rahisi peel red zabibu kutoka xinjiang ni maarufu katika soko la berry yabibu ya zabibu ina hadi 10 hadi asilimia 30 ya sukari na inaongozwa na glucose utungaji wa virutubisho wa zabibu sio tu ladha lakini pia ni lishe sana kuna aina zaidi ya 8 zabibu duniani karibu 800 nchini china na aina kadhaa tu za china grape nyekundu 24mm28mm 65kg / 7kg wauzaji kampuni yetu hutoa fresh red grape tangu2008 faida zetu uzoefu wa uzoefu zaidi ya miaka 10 katika kuzalisha na kusafirisha matunda na mboga mboga kuwa na shamba la zabibu lililoshirikiana kiwanda chake nje ya nchi kampuni kufanya huduma ya kufikiri kwa wateja wetu (2) ubora tuna qc mtaalamu kufuatilia uzalishaji wote kutoka kuokota kuchagua kuweka kufunga kuhifadhi na kupakia ili kuweka mizigo kuwa na ubora mzuri (3) bei sisi kununua vifaa kutoka shamba moja kwa moja katika eneo la asili na kuzalisha bidhaa katika mmea wa ndani kwa hiyo bei ni ushindani sana wakati huo huo tunaweza kutoa fomu a fomu ya e co nk kwa yetu wanunuzi kuleta upendeleo mzuri wa ushuru kwako tafadhali wasiliana nami zabibu nyekundu zabibu za red globe mazabibu safi ya red globe zabibu za mwekundu zabibu nyekundu safi
2019-10-20T11:15:23
http://sw.fuyuanfv.com/red-grape-24mm-28mm-6-5kg-7kg/
papa wekezeni katika elimu kwa ajili ya vijana waafrika | vatican news nia ya maombi ya sala ya papa kwa mwezi septemba kwa njia ya video papa wekezeni katika elimu kwa ajili ya vijana waafrika kuwekeza katika elimu kwa ajili ya vijana waafrika ambao ni utajiri mkubwa zaidi wa bara hayo ndiyo maombi ya papa francisko katika ujumbe wake kwa njia ya video kwa ajili ya nia ya maombi kwa mwezi septemba 2018 afrika ni tajiri na utajiri mkubwa wenye thamani zaidi ni vijana ni katika ujumbe wake kwa njia ya video ambao imeandaliwa na mtandao wa dunia kwa ajili ya sala ya papa ambayo ni maombi kwa mwezi wa septemba 2018 kusali kwa ajili ya elimu na kazi kwa ajili ya vijana waafrika baba mtakatifu akiendelea na ujumbe wake kwa njia ya video anakumbuka kuwa vijana wanayo haki ya kupata elimu wanapaswa waweze kuchagua hasa kwa kuacha kushindwa na matatizo au kubadili matatizo yakawa fursa baba mtakatifu anakumbusha kuwa ni lazima kuwekeza kwa ajili ya elimu yao ili kuhakikisha kwamba wanapata wakati endelevu wa afrika na kuunda uwezekano wa nafasi za ajira kwa vijana katika nchi zao asilia ukosefu wa ajira na utoro shuleni ni dharura ya kweli kwa mujibu wa takwimu ya shirika la kazi ulimwenguni (ilo) linathibitisha kuwa mwaka 2017 nchi za afrika chini ya jangwa la sahara inaonesha ukosefu wa ajira kwa asilimia 129 ya vijana wa afrika kati ya umri wa miaka 15 na 24 wakati huohuo unesco inakadiria kwamba mwaka jana pia karibia asilimia 60 ya vijana wa afrika kati ya umri wa miaka 15 na 17 hawakwenda shuleni
2019-01-19T13:17:46
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-09/papa-wekezeni-katika-elimu-kwa-ajili-ya-vijana-waafrika.html
tafadhali free download or read tafadhali online neighbourhood services this leaflet gives information on how tafadhali asiliana na timu ya nyumba kwa nambari 01908 253481 au 01908 253427 swahili warqadani waxay warbixin kaa siinaysaa sidii aad uga heli lahayd milton 01908 siinaysaa warbixin sidii waxay useful words and expressions in kiswahili (maneno na misemo useful words and expressions in kiswahili (maneno na misemo muhimu ya kiswahili) a yes ndiyo naam no siyo / hapana please tafadhali thank you (very much) asante (sana) very good vizuri sana help saidia kiswahili thank hapana asante ndiyo bar baa baa dish chakula chaa· koo ·laa place to eat hoteli kwa hoh· tey ·lee kwaa chakula chaa· koo ·laa i'd like naomba naa· ohm ·baa please tafadhali taa·faa· dhaa ·lee the bill bili bee ·lee the menu menyu mey· nyoo a table for (two) meza kwa (wawili) mey ·zaa kwaa (wa· wee chakula table wawili menyu naomba cocacola tafadhali (i'll drink soda cocacola please) tafadhali niletee chakula moto haraka nina njaa sana (please bring me some hot food quickly cocacola bring quickly haraka chakula barua ya uchunguzi wa uoni kwa mzazi/mdhamini distance vision if your child does wako hahitimu medicaid na huwezi kulipa gharama za matibabu kwa sasa does not qualify for medicaid and you are unable to afford an eye exam at this time tafadhali nipigie simu kwa _____ please call me at ni wako sincerely vision swahili medicaid nipigie afford sincerely vision swahili speak easy please wait while i look up the woed = tafadhali subiri kidogo tizama neon hili could you speak more slowly please = tafadhali sema taratibu slowly taratibu speak tizama subiri nisaidie tafadhali here hapa hot moto how vipi i am happy nimefurahi i love you ninakupenda no hapana ok sawa please tafadhali sorry (apologize) samahani sorry apologize samahani hapana ninakupenda swahili dictionary english word jambo jahmbo no tafadhali tahfawdhahlee please asante ahsahntay thank you nakupenda nacoopendah i love you counting moja mowja one mbili mabeelee mbili counting nakupenda thank asante constitution of kenya review commission (ckrc) verbatim tafadhali narudia tena kama hujajiandikisha tafadhali jiandikishe richard rakuomi my name as you have rightly said is richard rakuomi a proud citizen of kenya richard rakuomi citizen kenya proud registered name of the community group submitting this application (please attach a copy of the registration certificate or evidence of the pending application for group registration) jina lililosanjiliwa la kikundi cha jamii kinachowasilisha fomu hii ya mapendekezo (tafadhali ambatanisha nakala ya cheti registration group application kinachowasilisha jamii
2020-07-07T11:46:21
http://www.sputtr.com/tafadhali
je uskochi 'imeingia mkenge' kukataa uhuru wa taifa hilo ~ kulikoni ughaibuni kulikoni ughaibuni toggle navigation je uskochi 'imeingia mkenge' kukataa uhuru wa taifa hilo kura ya kuamua hatma ya uskochi kama ibaki kuwa sehemu ya united kingdom au iwe nchi huru imekwisha wak asilimia 55 ya wapigakura kusema hapana na 45 kusema ndiyokwa matokeo hayo muungano unaounda uk wenye umri wa miaka 307 umesalimika wakati nitaielezea kwa undani zaidi kura hiyo ya uhuru wa uskochi katika makala yangu ya jumatano ijayo ndani ya jarida la rai mwemakatika post hii nitazungumzia kinachoanza kuonekana kama 'uskochi kuingizwa mkenge' kufatia kuanza kuparaganyika kwa baadhi ya ahadi za msingi zilizopelekea ushindi wa kundi lililotaka uskochi iendelee kuwa sehemu ya muunganowa uk mmoja wa wanasiasa wanaotajwa kama waliofanikisha kuunusuru muunganowa uk ni waziri mkuu wa zamani gordon brown ambaye kama waziri mkuu wa sasa david cameron kiongozi wa chama cha upinzani cha labour ed milliband naibu waziri mkuu na kiongozi wa chama cha liberal democrats nick clegg na kiongozi wa 'kampeni ya better together' ya kuunga mkono muungano ambaye pia alikuwa 'waziri wa fedha' wa serikali ya labour alistair darling kwa pamoja waliwaahidi wapigakura ya uhuru wa uskochi kuwa wakikataa uhuru 'watazawadiwa' kwa nchi hiyo kupatiwa mamlaka zaidi ya kiutawala na kimaamuzi mamlaka hizo zinafahamika kama 'devo max'kimsingi devo max kifupisho cha maximum devolution inamaanisha bunge la uskochi kuwa na nguvu katika kila kitu ispokuwa ulinzi na mambo ya nje hata hivyo licha ya ahadi kuwa uskochi itapatiwa mamlaka zaidi uwezekano wa kupatia devo max kwa maana halisi ya nguvu zote kabisa zinazohitajiwa ni kama haupo kwa sasa na hadi wakati inapigwa kura ya uhuru au la uskochi imepewa mamlaka ya kujiamulia mambo yake yenyewe katika sekta za elimu afya huduma za jamii makazi utalii mazingira uvuvi misitu kilimo sheria na usalama wa raia na baadhi ya maeneo katika sekta ya usafiri kwa upande mwingine serikali kuu ya uingereza (westminster) ina mamlaka katika sekta ya ulinzi hifadhi ya jamii (social security) mafao kwa jamii (benefits) kwa hapa uingereza watu wasio na kazi wanalipwa fedha ya kujikimu na kodi ya nyumba na serikaligesi na mafuta nishati ya nyuklia uhamiaji ajira mawasiliano ya radio na runinga biashara na viwanda sera za nje masuala ya walaji (cunsumer affairs) na katiba sasa kilichoahidiwa na cameron na wenzake kushawishi waskochi wakatae uhuru kuhusiana na devo max hakipo bayana sana miongoni ya yaliyomo kwenye ajenda ni uskochi kuwa na mamlaka zaidi ya ukusanyaji kodi na mafao ya makazi kwa wasio na ajira suala la gesi na mafuta na kodi za mashirika (corporation tax) hayapo kabisa katika makubaliano hayo ambayo kimsingi bado hayajafikiwa lakini hata kabla shamrashamra za kusherehekea kusalimika kwa muungano wa uk hazijaisha kizaazaa kimeibuka katika jinsi ya kutekeleza ahadi hiyo ya kutoa mamlaka zaidi kwa uskochi kwa upande mmoja ahadi hiyo iumevutia madai ya mamlaka zaidi kutoka wales na northern ireland kama nchi ambazo pamoja na uskochi na england zinaunda muunganowa uk kwa upande mwingine baadhi ya 'mikoa' yenye wakazi wengi kama vile manchester yorkshire cornwall nk nayo imeanza kudai kupatiwa mamlaka zaidi ya kiutawala ttatizo kubwa zaidi lipo katika kupata mwafaka kati ya chama tawala conservatives na wapinzani wao wa labour ili uskochi iweze kupatiwa mamlaka iliyoahidiwa bunge la muungano huko westminster litalazimika kufanya mabadiliko ya katiba hilo tu ni tatizo pia kwani kwa mujibu wa taratibu za hapa uk mabadiliko ya katiba ya nchi hii ni zoezi linalohitaji muda mrefu lakini muda haupo upande wa serikali kuu kwa vile kuna matarajio makubwa kutoka kwa waskochi waliokataa uhuru hata urasimu wa mabadiliko ya katiba ukiwekwa kando bado kuna tatizo linalowakabili cameron na conservatives wenzie na milliband na labour yake kwa cameron ile kuahidi tu kuwa ataipatia uskochi mamlaka zaidi wabunge wengi tu katika chama hicho nao wameanza kudai mamlaka zaidi kwa majimbo yao kwa milliband tatizo ni kubwa zaidi kwa sasa chama cha labour kina wabunge 49 kutoka uskochi katika bunge kuu la muungano ambao pia wanapiga kura katika maamuzi yanayoihusu england pekee hii imerejesha kinachoitwa 'swali la lothian ya magharibi' (the west lothian question) yaani kuhoji kwanini wabunge kutoka uskochi katika bunge la muungano waruhusiwe kupigia kura masuala yanayoihusu england pekee ilhali wabunge kutoka england hawana fursa hiyo hii inalingana na 'kilio' cha baadhi ya wanasiasa wa tanzania bara wanaodhani si sawia kwa wabunge kutoka zanzibar katika bunge la muungano kuhusika katika maamuzi ya masuala yanayohusu bara pekee ilhali hakuna mbunge wa bara mwenye mamlaka kama hiyo katika bunge la zanzibar kama ilivyo huko nyumbani hakuna mbunge wa england katika bunge la uskochi kama ambavyo hakuna mbunge kutoka bara katika bunge la zanzibar wakati chama cha labour kitaanza mkutano wake mkuu hapo kesho na ajenda kuu ya milliband ilipangwa kuwa kuzungumzia taasisi muhimu ya huduma za afya (national health servicenhs) sasa anaweza kulazimika kuzungumzia uwezekano wa chama hicho kupunguziwa nguvu katika bunge kuu la uingereza iwapo mpango wa kuwanyima malaka ya kimaamuzi wabunge kutoka uskochi katika bunge la muungano utatekelezwa na siku hiyohiyo ambapo labour wanaanza mkutano wao mkuu cameron anatarajiwa kutoa hotuba kuhusu kinachoiwa 'kura za waengland kwa sheria za england' (english votes for english laws) kwa maana ya kura zinazopigwa katika bunge kuu katika masuala yanayohusu england zipigwe na wabunge wa england pekee na wale wa kutoka uskochi wasiruhusiwe kupiga kura hizo tayari cameron ameanza kumlaumu milliband kwa upinzani wake dhidi ya mpango huo akidai kuwa kiongozi huyo wa labour anaisaliti england kwa upande wake labour inamshutumu cameron na chama chake kwa kile inachokiona kama jitihada za kupinguzia labour nguvu katika bunge la muungano mhanga wa 'mgogoro' huo ni uskochi kwani pasi kufikiwa mwafaka kati ya vyama hivyo viwili uwezekano wa uskochi kutekelezewa ahadi ya kuongezewa mamlaka ya kiutawala sio tu utachukua muda mrefu bali pia unaweza kukwama kabisa na waziri mkuu wa uskochi alex salmond aliyetangaza kuachia ngazi mwezi novemba tayari ameingilia kati suala hilo na kuwakumbusha cameron na milliband kwamba tofauti zao zitapelekea waliopiga kura ya kukataa uhuru wa uskochi kujiona kama 'wameingizwa mkenge' kwa kupewa ahadi za hadaa kwa mtizamo wangu ninadhani mwamuzi ni muda (time will tell) lakini kama nilivyosapoti kambi iliyotaka uhuru wa uskochi imani yangu kutoka kwa cameron milliband na wanasiasa wengine wa westminster ni ndogo na hoja hii ilijitokeza wakati wa kampeni za kampeni za uhuru ambao kuna waliohoji kama tupo 'better together' hivi sasa kwanini basi mambo hayaendi sawiakwa maana ya wanasiasa wa westminster kuahidi mengi lakini kutekeleza machache kadhalika kwa kukataa uhuru wa uskochi kwa ahadi kutoka kwa wanasiasa waskochi wanaweza kuwa wamerudi kulekule kwa kurejea hatma yao mikononi mwa wanasiasa tofauti na suala zima la kura ya uhuru lilivyoendeshwa kwa kiasi kikubwa na wananchi wenyewe kwa mustakabali wao
2017-07-20T16:26:17
http://www.chahali.com/2014/09/je-uskochi-imeingia-mkenge-kukataa.html
microsoft yathibitisha kuinunua github kwa dola billioni 75 | mtaawasaba baada ya tetesi kuvuma kwa majuma kadhaa leo microsoft wamethibitisha inainunua github kwa gharama ya dola za kimarekani bilioni 75 ripoti zilizoanza kuonekana juma lililopita zilisema microsoft iko kwenye mazungumzo ya kuinunua maktaba hii kubwa inayotumiwa na wabunifu mbalimbali wa program duniani github ni mtandao wenye maktaba zilizo wazi kutumiwa na kuboreshwa na watu wengine (open source libraries) ilizinduliwa mwaka 2008 huko san francisco marekani makampuni mengi makubwa kwa madogo taasisi za kiserkali na binafsi zimekuwa zikiweka code zao kwa ushirikiano na ma developer wengine duniani kote tangu satya nadella awe ceo wa microsoft kampuni imebadilisha muelekeo na kukumbatia open source tofauti na miaka kumi iliyopita ambapo ilijulikana kwa kutaka kukandamiza linux siku za hivi karibuni microsoft waliachia code za program zake kama powershell visual studio code na microsoft edge javascript engine kwenye opensource na zimekuwa hosted kwenye github kwa watumiaji wengine kuzitumia na kuziboresha pia microsoft imefanya kazi na canonical (kampuni nyuma ya ubuntu) ili kuileta ubuntu kwenye windows 10 pia wameinunua xamarin kuwasaidia watengenezaji wa app za simu za mkononi usikose kusoma lg waonesha tv kubwa zaidi duniani yenye teknolojia ya 8k tayari kumeanza kuwa na sintofahamu kwa watumiaji wa github kutoipenda microsoft kutokana na historia yake ya kukandamiza uhuru wa kutumia code bure itabidi microsoft walichukulie kwa umakini mkubwa jambo hili maana tayari kampuni pinzani ya gitlab imeonesha ongezeko kubwa la watumiaji mara kumi zaidi kila siku wakiweka code zao huko ushindani simu za tecno vs infinix kato kumbi october 13 2017 jinsi fingerprint sensor inavyofanya kazi juu ya kioo cha simu facebook kuondoa kipengele cha trending topics hivi karibuni joel nyandigira june 1 2018 zimbabwe kutumia teknolojia ya alama za vidole kwenye uchaguzi wa 2018 mwandishi wetu march 26 2018
2019-07-21T18:22:02
https://mtaawasaba.com/habari/microsoft-yathibitisha-kuinunua-github-kwa-dola-billioni-7-5/
dalili ya maji kwenye sayari ya mars huenda ni mtiririko wa mchanga tu china radio international dalili ya maji kwenye sayari ya mars huenda ni mtiririko wa mchanga tu (gmt+0800) 20171205 154415 njia muhimu ya kutafuta viumbe kwenye sayari ya mars ni kutafuta maji ushahidi uliwahi kuwafanya wanasayansi kuwa na matarajio makubwa ya kuwepo kwa maji kwenye mars lakini utafiti mpya umekanusha matarajio hayo kabla ya hapo idara ya anga ya juu ya marekani nasa ilitangaza kugundua ushahidi unaothibitisha kuwepo kwa maji kwenye mars ambao ni michirizi myembamba iliyoko kwenye mteremko wa miamba milchirizi hiyo inatoweka katika majira ya baridi na kutokea tena katika majira ya joto baada ya kuchambua data za mwanga wanasayansi wakakisia kuwa michirizi hiyo inatokana na mtiririko wa maji chumvi lakini hivi karibuni watafiti wa idara ya uchunguzi wa jiografia ya marekani wamekanusha makadirio haya wamesema huu huenda ni mtiririko wa mchanga na sayari hiyo ina ukame na haifai maisha ya viumbe watafiti wamechambua michirizi 151 na kugundua kuwa mtiririko huo unafanana zaidi na mtiririko wa mchanga kwani mtririko wa maji huwa ni mrefu zaidi na kwenda mahali pa chini zaidi wanasayansi waliwahi kutoa nadharia tete kwamba katika miaka bilioni 3 iliyopita kulikuwa na maji mengi kwenye mars lakini baadaye sayari hiyo ilibadilika kuwa kavu na baridi na maji yaliganda na kulimbikizwa chini ya ardhi utafiti mpya umeunga mkono nadharia hii
2019-05-22T11:56:36
http://swahili.cri.cn/141/2017/12/05/1s169932.htm
waathirika wa ben ali wazungumzia hadharani masaibu yaliyowakuta afrika rfi waathirika wa ben ali wazungumzia hadharani masaibu yaliyowakuta na rfi imechapishwa 17112016 imehaririwa 17112016 saa 1348 raia wa tunisia washerehekea maadhimisho ya mwaka mmoja wa mapinduzi yaliyomutimua mamlakani ben ali februari 14 2011 katika mtaa wa habib bourguiba mjini tunis afp photo/fethi belaid kwa mara ya kwanza tangu rais ben ali kupinduliwa madarakani mwaka 2011 waathirika wa ukandamizaji uliyoendeshwa na utawala wake wataanza kusikilizwa kuanzia alhamisi hiikwenye televisheni na redio ya taifa kwa siku mbili watu zaidi ya thelathini waliokua wakilalamika kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu watatoa ushahidi mbele ya wananchi wa tunisia zoezi hili litakalorushwa moja kwa moja kwenye televisheni na redio ya taifa ni hatua muhimu kwa kazi iliyokabidhiwa tume ya ukweli na maridhiano (ivd) iliyoundwa miaka miwili iliyopita ili kuorodhesha malalamiko ya waathirika wa ukiukwaji uliyotekelezwa wakati wa utawala wa ben ali tangu mwaka 1987 hadi mwaka 2011 malalamiko 65 000 yaliwasilishwa kwa mahakama mbalimbali nchini tunisia kwa sasa tumewahoji kwa faragha watu 7000 kusikilizwa hadharani ni fursa ya kupeana taarifa na jamii kuhusu maovu yaliyotekelezwa katika utawala uliyopita na kujifunza jinsi ya kuepukana nayo amesema sihem bensedrine mwenyekiti wa tume ya ukweli na maridhiano (ivd) tunisia yatangaza amri ya kutotoka nje tunisia uchaguzi wa wabunge wafanyika tunisia hofu ya mashambulizi mapya ya
2018-03-23T01:17:49
http://sw.rfi.fr/afrika/20161117-waathirika-wa-ben-ali-wazungumzia-hadharani-masaibu-yaliyowakuta
waziri mkuu amuwakilisha raisi dr john magufuli katika kumbu kumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari rwanda | mpekuzi waziri mkuu amuwakilisha raisi dr john magufuli katika kumbu kumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari rwanda waziri mkuu kassim majaliwa amewataka watanzania kudumisha amani umoja na mshikamano ambavyo ni tunu walizoachiwa na waasisi wa taifa ameyasema hayo leo (jumapili aprili 7 2019) katika kumbukumbu ya miaka 25 ya mauaji ya kimbari iliyofanyika katika jiji la kigali nchini rwanda waziri mkuu ambaye amemuwakilisha rais dkt john magufuli katika kumbukumbu hizo amewasisitiza watanzania kudumisha amani na utulivu awaliwaziri mkuu alijumuika na viongozi kutoka nchi mbalimbali kutoa heshima kwenye eneo la kumbukumbu ya mauaji hayo la gisozi lililopo jijini kigali baada ya kutoa heshima kwenye eneo la kumbukumbu za mauaji hayo rais wa rwanda paul kagame alitoa maelezo ya kina kuhusu mauaji hayo yaliyotokea rwanda 1994 viongozi wengine waliohudhuria kumbukumbu hizo ni pamoja na rais mstaafu wa awamu ya tatu benjamin mkapa na rais mstaafu wa nigeria ulusegun obasanjo waziri mkuu kassim majaliwa mwenye tai nyekundu akiwa na viongozi wa mataifa mbalimbali aprili 7/2019 katika wakitoa heshima katika eneo la kumbumbu ya mauji ya kimbari waziri mkuu yupo kigali rwanda akimuwakilisha rais dr john magufuli katika kumbumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari yaliyotokea 1994 waziri mkuu kassim majaliwa akiwa na mwenyeji wake waziri wa mambo ya nje wa rwanda balozi richard sezibera aliye mpokea katika uwanja wa ndege wa kimataifa kigali alipo wasili leo aprili 7/2019 alipo fika kumuwakilisha rais dr john magufuli katika kumbumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari yaliyotokea 1994 kkulia ni balozi wa tanzania nchini rwanda balozi ernest mangu waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na rais mstaafu awamu ya tatu benjamin mkapa walipo kutana leo aprili 7/2019 katika mji wa kigali wakati waziri mkuu alipokuwa anamuwakilisha rais dr john magufuli katika kumbumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari yaliyotokea 1994
2019-07-22T16:26:53
http://www.mpekuzihuru.com/2019/04/waziri-mkuu-amuwakilisha-raisi-dr-john.html
hapa ndio kila kitu nadir haroub niyonzima ameacha pengo yanga nadir haroub niyonzima ameacha pengo yanga nahodha wa yanga nadir haroub cannavaro amesema kumkosa kiungo haruna niyonzima kwenye kikosi chao ni pengo kubwa ambalo litachukua muda mrefu ili kuweza kuliziba cannavaro aliyebakiza siku chachhe kurejea dimbani akitoka kuuguza majeruhi ya mguu yaliyosababisha afungwe p o p na kukosa mechi tano za karibuni amekiambia chanzo chetu kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa rwanda alikuwa na mchango mkubwa kwao hivyo kuondolewa kwake kunaweza kuiyumbisha timu katika harakati za kutetea ubingwa wao wa ligi ya vodacom tanzania ukweli inaumiza kwa sababu niyonzima kwanza alikuwa msaidizi wangu lakini alikuwa na mchango mkubwa kwetu ndani na hata nje ya uwanja lakini siwezi kusema sana kwa sababu haya yameshatokea na uongozi umeamua kutoa adhabu yake kulingana na vifungu vilivyo kwenye mkataba sina budi kukubaliana na hali iliyopo amesema cannavaro beki huyo anayecheza kwa kujituma na tegemezi kwa yanga amesema katika misimu mitano ambayo amecheza na nyota huyo ameweza kujifunza mambo mengi kutoka kwake ikiwemo utulivu hata katika mechi ngumu za kiataifa ambazo zilisaidia wao kupata ushindi mapema wiki hii uongozi wa yanga uliamua kuvunja mkataba wa miaka miwili na niyonzima kutokana na kuonyesha utovu wa nidhamu kwa kuchelewa kujiunga na timu wakati ikielekea jijini tanga desemba 12 kucheza mechi za ligi ya vodacom dhidi ya mgambo jkt na african sports na mechi yake ya mwishosho kuvaa jezi za yanga ilikuwa ni katika mchezo wa kagera sugar uliopigwa uwanja wa ally hassan mwinyi tabora
2017-07-27T02:51:07
http://heavytalio.blogspot.com/2016/01/nadir-haroub-niyonzima-ameacha-pengo.html
baghdad mauaji yameongezeka maradufu mjini baghdad | habari za ulimwengu | dw | 26082007 baghdad mauaji yameongezeka maradufu mjini baghdad ongezeko la majeshi ya marekani nchini iraq linasemekana kuwa limepunguza ghasia mjini baghdad kutoka kiwango cha juu lakini idadi ya watu wanaouwawa kutokana na mashambulizi ya kimadhehebu nchi nzima inaongezeka mara dufu ikilinganishwa na mwaka uliopita baadhi ya mauaji ya hivi karibuni yanaonekana kuwa ni matokeo ya wapiganaji kukimbilia katika maeneo ya kaskazini ya iraq ambako wanakimbilia baada ya majeshi ya marekani kuongeza mashambulizi yao mjini baghdad hata hivyo inapata zaidi ya nusu ya vifo vinavyosababishwa na vita ikiwa ni asilimia ile ile kama mwaka uliopita kwa mujibu wa takwimu zilizopatikana na shirika la habari la associated press kwa mujibu wa wadadisi wa masuala ya kisiasa nchini iraq upande wa majeshi ya uingereza nchini humo umefanyakazi nzuri kuliko ule wa majeshi ya marekani hali imekuwa taratibu ikizidi kuharibika baada ya kutokea kile kinachoonekana kama vita vya makundi ya kihalifu pamoja na ukosefu wa udhibiti wa polisi katika aina hiyo ya ghasia hali inaendelea kuwa mbaya baada ya majeshi ya marekani kuongezwa wanajeshi 30000 yalianza kampeni yao mwezi februari kuchukua udhibiti wa eneo la mji wa baghdad kiungo http//pdwcom/p/cbvv
2017-09-25T05:01:20
http://www.dw.com/sw/baghdad-mauaji-yameongezeka-maradufu-mjini-baghdad/a-2904199
wabunge nchini zimbabwe waanza kuapishwa leo | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 25082008 wabunge nchini zimbabwe waanza kuapishwa leo wabunge nchini zimbabwe wameanza kuapishwa huku wabunge wawili wa upinzani wakikamatwa hali ambayo imelalamikiwa kwamba ni hila ya kupunguza idadi yao bungeni katika kipindi ambacho spika mpya anatarajia kuapishwa rais robert mugabe na kiongozi wa upinzani nchini humo morgan tsvangirai ambao wawakilishi wao bungeni wameanza kuapishwa leo msemaji wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha movement for democtratic change mdc nelson chamisa amewataja wabunge hao kuwa ni eliah jembere na mwenzake shuah mudiwa walikamatwa na polisi mapema leo wakati wakiingia katika eneo la bunge siku ambayo wabunge walikuwa wakianza kuapishwa amefahamisha pia kwamba wamepata habari kuwa wabunge wengine 15 wa chama hicho wanataka kukamatwa na kuongeza kuwa hali hiyo inaonesha mpango wa wazi wa kutaka kuwaondoa bungeni ama kupunguza wingi wao katiika kipindi ambacho spika mpya wa bunge anatarajia kuchaguliwa kufuatia kukamatwa kwa wabunge wake wawili chama kikuu cha upinzani nchini humo kimeonya kuwa hali hiyo inatishia mazungumzo ya kugawana madaraka aidha chama hicho cha upinzani pia kimepinga uamuzi wa rais robert mugabe wa kufungua rasmi bunge la nchi hiyo kesho kwamba hali hiyo pia itasababisha kuvunjika kwa mazungumzo hayo ya kuunda kwa serikali ya pamoja ili kumaliza mzozo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo kwa sasa uchaguzi mkuu wa rais na wabunge nchini zimbabwe ulifanyika mwezi machi mwaka huu na kusababisha machafuko ya kisiasa baada ya kiongozi wa upinzani morgan tsvangirai kudai kuwa rais robert mugabe wa nchi hiyo alipanga matokeo ya uchaguzi wa rais na kwamba alikuwa akiwatishia wafuasi wake katika uchaguzi huo wa bunge kwa mara ya kwanza chama tawala nchini humo cha zanu pf kilipata pigo kubwa badala ya kuambulia viti 97 bungeni wakati chama kikuu cha upinzani cha mdc kikipata viti 100 huku chama kingine cha mdc kilichojitenga ambacho kinaongozwa na arthur mutambara kikijipatia viti 10 muda mfupi baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini humo uliofanyika mwezi machi polisi walitangaza msako kwa wanasiasa kadhaa wa chama hicho cha kwa tuhuma za mauaji ubakaji na kusababisha ghasia katika kipindi cha kampeni za uchaguzi kwa sasa pande hizo mbili zinazopingana kisiasa nchini zimbabwe zimekuwa katika mazungumzo hayo ya kugawana madaraka ambayo yameshindwa kukamilika kutokana na viongozi kushindwa kuafikiana katika kugawana madaraka ambapo rais mugabe amekuwa akidai kuwa bwana tsvangirai anataka kumnyang'anya madaraka yote huku tsvangirai naye akidai kuwa rais mugabe hataki kuachilia nyadhfa zenye mamlaka ya juu katika hatua nyingine baraza la usalama na amani la umoja wa afrika limemaliza jana mkutano wake nchini misri bila kutoa taarifa kuhusu mzozo wa zimbabwe badala yake baraza hilo limetoa wito kwa bara la afrika kwa ujumla kushughulikia suala la zimbabwe wakati huohuo rais george bush wa marekani na rais blaise compaore wa bukina faso ambaye yuko nchini marekani wamezungumzia juhudi za kuleta amani na kukomesha mizozo inayoikumba zimbabwe na pia nchini sudan kiungo https//pdwcom/p/f4mv 19092018 taarifa ya habari asubuhi 19092018 mkuu wa idara ya ujasusi wa ndani ujerumani hansgeorg maassen ameondolewa kwenye wadhifa wake // korea kusini na kaskazini zimeahidi kuendeleza juhudi za kuondoa kabisa silaha za nyuklia rasi ya korea // na mahakama ya iccimeanzisha uchunguzi kuhusu kufukuzwa waislamu wa rohingya
2018-09-19T09:52:01
https://www.dw.com/sw/wabunge-nchini-zimbabwe-waanza-kuapishwa-leo/a-3591717
zanzibar ni kwetu sekta binafsi zanzibar yajadili mikakati madhubuti ya kufanikisha wiki ya tanzania nchini kenya sekta binafsi zanzibar yajadili mikakati madhubuti ya kufanikisha wiki ya tanzania nchini kenya
2018-08-14T18:03:49
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2018/04/sekta-binafsi-zanzibar-yajadili.html
mnenguaji mkongwe aisha madinda akiwajibika jukwaani usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa bilicanaz nikiwa na swahiba rey kigosi tukila pouzzzz nikiwa na rafiki yangu kutoka thailand chaichai haya ni majembe yangu kushoto ni chikoka na kulia ni nteze posted by kinyaiyas entertainment at 512 am
2018-04-21T11:48:04
http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/03/mnenguaji-mkongwe-aisha-madinda.html
blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni bin zubeiry sports online blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni bin zubeiry sports online mwanzo > ndondi > blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni bondia nick blackwell hatimaye amezinduka baada ya kuwa mahututi na sasa ameanza kuzungumza na familia yake na marafiki akiwa kitandani katika hospitali aliyolazwa bwana mdogo huyo wa umri wa miaka 25 amekuwa mahututi tangu apate kipigo 'cha kufa mtu' kutoka kwa chris eubank jnr kiasi cha damu kuvujia kwenye ubongo katika pambano la ubingwa wa dunia uzito wa middle siku tisa zilizopita bondia huyo pia anapumua vizuri kuashiria anaendelea kupata nafuu taarifa ya promota wake kampuni ya hennessy sports imesema mwishoni mwa wiki nick amezinduka kwenye hali mbaya akianza kuzungumza na wapendwa wake kufika jumapili alianza kuzungumza nick blackwell hatimaye amezinduka na kuanza kuzungumza na familia yake na marafiki item reviewed blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-04-20T20:17:53
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/04/blackwell-azinduka-siku-tisa-baada-ya.html
na rfi imechapishwa 07082018 imehaririwa 07082018 saa 1449 rais kenyatta kuwa kiongozi wa tatu marekani yapongeza hatua ya kenyatta wafuasi wa upinzani nchini kenya
2018-12-10T10:51:38
http://sw.rfi.fr/eac/20180807-shambulizi-dhidi-ya-ubalozi-marekani-kenya-na-tanzania-waadhimisha-kumbukumbu-ya-miaka-
waziri kangi lugola atembelea kiwanda cha magereza ukonga jijini dar habari na matukio home habari habari na matukio habari picha habari za kijamii waziri kangi lugola atembelea kiwanda cha magereza ukonga jijini dar kajunason at july 11 2018 habari habari na matukio habari picha habari za kijamii waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola akimsikiliza inspekta carlos hanga(kulia) wakati alipotembelea kiwanda cha magereza ukongakinachojishughulisha na uchongaji wa thamani za ndani na ufumaji wa nguojijini dar es salaamwaziri lugola yuko kwenye ziara ya kikazi baada ya kuteuliwa kuongoza wizara hiyopicha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola akikagua ubora wa thamani inayotengenezwa katika kiwanda cha magereza kilichopo gereza la ukongajijini dar es salaam wakati wa ziara ya kutembelea jeshi la magerezakulia ni kamishna wa jeshi la magereza dkjuma malewapicha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi inspekta wa jeshi la magereza carlos hanga akitoa maelezo ya kiufundi kwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola ambaye yuko katika ziara ya kikazi katika kiwanda cha gereza kilichopo ukongajijini dar es salaampicha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola akisalimiana na maofisa wa jeshi la magereza baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi katika chuo cha magereza kilichopo ukongajijini dar es salaampicha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola akipita mbele ya maofisa wa jeshi la magereza baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi katika chuo cha magereza kilichopo ukongajijini dar es salaampicha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi imeandaliwa na kitengo cha mawasiliano serikalini wizara ya mambo ya ndani ya nchi
2018-12-16T20:18:50
http://www.kajunason.com/2018/07/waziri-kangi-lugola-atembelea-kiwanda.html
angalia usajili wote wa klabu za england kabla kufungwa leo mwanaspoti | presstz your number 1 source of aggregated online content angalia usajili wote wa klabu za england kabla kufungwa leo by mwanaspoti / posted thursday 8th august 2019 manchester united ni miongoni mwa timu zinazotarajia kufanya usajili kwenye siku ya mwisho wakimsaka kiungo christian eriksen kutoka spurs huku wakimweka kwenye mipango yao mshambuliao mario mandzukic wa juventus na fernando llorente wa spurs
2019-09-17T08:44:18
http://presstz.net/angalia-usajili-wote-wa-klabu-za-england-kabla-kufungwa-leo-53312502
majani ya matango yanageuka matangazo ya njano matibabu ya watu dhidi ya koga ya poda tatizo la unyevu kupita kiasi na ufumbuzi wake jibu la kwanza kwa swali kwa nini majani yanageuka manjano kwenye matango kutakuwa na ukosefu wa unyevu kila mtu anahitaji maji hasa mimea ya matunda ambayo wakati uhaba wa maji yanaanza kuokoa zaidi na kwa kuwa kumwaga majani lakini kabla ya jani kuanguka ni zamu ya njano kutokana na ukweli kwamba kupanda huanza kuvuta nje jani magnesiamu na kuelekeza kwa shina na mizizi wafanyabiashara wengi hufanya makosa wakati wa kumwagilia matango au kunywa mara kwa mara na kidogo kwa kuzingatia kwamba hivyo mmea hupata unyevu bora na kwa kweli kwa kumwagilia kidogo na mara kwa mara unyevu haufikia mizizi katika kina lakini husambazwa kwenye udongo mti huanza kurekebisha na mizizi huinuka juu ambapo wakati jua likiwa na nguvu linaongeza na pia huharibiwa wakati wa kufungua au kunywa maji mengi lakini mara chache zinageuka utamaduni wakati fulani kujazwa na maji lakini majira ya joto maji haraka huenda zake na hatimaye kupanda haina kupokea muhimu asali uyoga unyevu na mizizi kuanza kuoza ni muhimu sana kuimarisha matango kwa hivyo matunda hayajajisi na ya kitamu na majani ni ya kijani kawaida kwa matango ya kumwagilia ni takriban lita 25 kwa mimea na kumwagilia mara mbili kwa wiki wewe pia haja ya mtihani unyevu wa udongo kwa mara kuchukua kipande cha ardhi na kina desyatisantimetrovyh na itapunguza katika mkono wako kuamua kama au ardhi mvua ili kuepuka kufurika au underfilling ya magonjwa yanayotokana na manjano ya majani ya matango kwanza kabisa inapaswa kuonyeshwa kwenye magonjwa ya vimelea wanaendeleza sana wakati mzunguko wa mazao hauheshimiwa katika udongo fungi na vimelea hujilimbikiza ulinzi wa matango kwa hivyo kuchagua mahali pazuri kwa kupanda wakati wa kumwagilia matango na mavazi yao ya juu itahakikisha ustawi wa mimea wakati wa kutumia mbolea kuwa makini na kipimo ili kukabiliana na maendeleo ya magonjwa ya vimelea inahitaji mzunguko wa mazao ambapo malenge ni kupanda juu ya vitanda zamani si kabla misimu minne katika vitalu vya kijani hupendekezwa mara kwa mara kuchukua nafasi ya udongo au kutekeleza kinga aidha kutumia mbinu ya kibiolojia ya dekontaminering wa udongo ambapo udongo chafu makini kuondolewa na stowed kwa nje katika stack urefu wa si zaidi ya mita moja kila safu humwaga ur kazi vijiumbe (maandalizi baikal em1 tinctures humus nk) unaweza kuongezwa mbolea ukosefu huu unachukua miaka 23 kumbuka kwamba kuenea kwa magonjwa ya vimelea huchangia uharibifu wa mitambo kwa mizizi na miti ya matango kwa kuwa mizizi yao huathiriwa sana labda ni bora kufanya bila kufuta udongo katika kesi hiyo kulipa kipaumbele zaidi kuandaa udongo kabla ya kupanda mbali na mchanganyiko wa mazao ya mboga biofungicides yenye trichodermine inaweza kupendekezwa kwa ulinzi wa kibiolojia wa matango ingiza mycelium katika kila kisima kwa umbali wa cm 310 kutoka kwenye shina trichodermine inhibits maendeleo ya vimelea na ina athari ya kuchochea juu ya maendeleo ya mazao ya mboga si phytotoxic si hatari kwa wadudu wanadamu na wanyama njano ya majani ni bora kuzuia kuchunguza hali ya kukua na kutoa matango na mambo muhimu ya lishe kwa kuongeza ni muhimu kufuatilia hali ya microflora ya greenhouses na tovuti si kuruhusu maendeleo ya magonjwa ya vimelea ya vimelea kisha utakuwa na mimea yenye afya na mavuno mazuri ya matango kwa nini tango la majani hugeuka manjano kote wafanyabiashara wengine wa bustani wanakabiliwa na swali lisilo la kusisimua kama manjano ya tango kwa mfano mara kwa mara majani ya njano ya matango katika chafu ni nini cha kufanya katika kesi hii haijui mkulima kila mboga kwa mtazamo wa kwanza tatizo la si kubwa mno kwa sababu unaweza mpasuko tango na bush na majani ya manjano lakini ukweli ni kwamba kama huna kuamua sababu halisi ya njano njano itaendelea na kupanda hatimaye akifa kabisa nini cha kufanya ikiwa unapata matango magonjwa majani ya njano kando jinsi ya kuamua sababu na kutibu mmea mabadiliko ya joto baridi sababu za shida zinaweza kuwa kadhaa lakini si mara zote inawezekana kuwatambua kwa usahihi hata mtaalamu mwenye ujuzi ikiwa unapata matango magonjwa (majani ya njano kwenye kando) kwanza kabisa uhakikishe kuwa joto la kawaida linasimamiwa matango ni thermophilic kabisa na ghafla frosts hawezi tu kusababisha yellowing ya jani lakini pia kuacha ukuaji wa miche ikiwa matango ni mgonjwa katika chafu (majani hugeuka njano) basi hii kinyume chake inaweza kuonyesha microclimate ya joto na ya baridi kwa kiwango cha juu cha joto la juu na kiwango cha unyevu katika udongo microbes mbalimbali na bakteria huendeleza kikamilifu na mabadiliko ya mizizi yanapoweza pia yanawezekana tovuti mbaya ya kutua sababu nyingine ambayo tango inakuja kugeuka njano kote kando inaweza kuwa tovuti ya kutua isiyo sahihi kwa utamaduni wa ustawi unahitaji kuchagua vizuri lakini wakati huo huo ukiwa na kivuli kidogo ukweli kwamba tango mzabibu na hivyo yake ya asili (wanyamapori) makazi katika vigogo vya miti kubwa ambayo kwa upande mmoja hutoa kivuli na kwa upande mwingine kupita katika taji zao mengi ya mwanga kwa hiyo ukitengeneza matango katika mahali yenye heshima ndani ya bustani itakuwa moto na majani yatakuwa ya manjano ukosefu wa vipengele vya madini tamaduni nyingi za familia ya malenge hasa tango zinahitajika kabisa kuwepo kwa udongo wa idadi ya kutosha ya virutubisho matunda hasa ya mbolea ni mbolea za nitrojeni ikiwa kipengele hiki haitoshi matango yanageuka njano na majani kavu ukosefu wa nitrojeni kwenye udongo pia unaonyeshwa kwa kuonekana kwenye majani ya matangazo ya rangi ya njano na kupotosha matunda ili kuzuia hili kutokea kwa bustani yako au chafu ni vya kutosha kuongeza ndoo 23 za ndovu za peredrushovom kila mita ya mraba ya eneo la kupanda kabla ya kupanda hata hivyo usiiongezee ukolezi mkubwa wa microelements kwenye udongo pia unaweza kusababisha njano ya majani kunyunyiza kwa usahihi ikiwa majani ya tango yanageuka manjano kwenye kando basi uwezekano mkubwa zaidi huwa maji kwa usahihi wakulima wote wa mboga wanajua kwamba tango hilo linapendeza sana maji hivyo ikiwa unasahau kumwagilia vitanda katika kipindi cha ukame ujinga ni kuepukika majani ya njano ya matango na katika tukio ambalo serikali ya kumwagilia inavunjwa wafanyabiashara wengi wanasema juu ya jinsi bora ya matango ya maji mara nyingi na kidogo kwa kidogo au chini lakini kutoka kwa moyo na hakuna chochote cha kulalamika juu kwa kweli wote ni vibaya kabisa katika kesi ya kwanza ya maji kupenya katika tabaka la chini zaidi ya udongo haitoshi hivyo tango mizizi iko karibu na maji na hivyo kwa uso wa ardhi kwa kuwa tabaka la juu la udongo huwaka moto sana tunapata tena joto na hata mizizi huwaka na hii ni moja ya sababu ambazo majani hugeuka manjano kwenye matango katika tofauti ya pili kwa sababu ya kumwagilia sana mizizi inaweza kuoza na hii pia haikubaliki ratiba mojawapo ni 3 kiwango cha juu mara 4 kwa wiki idadi kubwa ya ovari sababu nyingine ya upogaji wa majani ya matango inaweza kuwa juu zaidi ya msitu ukweli ni kwamba wakulima wengine wa lori wakijaribu kupata iwezekanavyo usijitie mmea ikiwa kuna ovari zaidi ya ishirini kwenye kichaka kimoja hatari ya kuwa itaendelea kuongezeka mara nyingi ili kuepuka tukio hilo unahitaji kupiga shina vijana kwa muda usiruhusu uundaji wa ovari zisizohitajika wakati mwingine sababu ya matango huwa manjano na majani kavu na kabisa banal kabisa wanahitaji tu kufa kiwanda kama mwanadamu kinakua zamani zaidi ya muda photosynthesis inacha na kusababisha majani kugeuka njano na kufa tu mara nyingi hii hutokea hata wakati karibu mavuno yote tayari yamevunwa hata hivyo baadhi ya wafundi huja na njia mbalimbali ambazo husaidia kuongeza maisha ya tango ambayo inakuwezesha kuvuna mavuno bora mpaka vuli powdery koga na fusariosis majani ya njano ya matango pia kutoka kwa magonjwa ambayo ni ya kawaida ambayo ni poda ya povu ishara zake ni mipako nyeupe inaonekana kwenye majani majani yanageuka njano mara ya kwanza kando ya kando na kisha kabisa tango huacha kabisa kuanguka kumfanya uwezekano wa bahati mbaya inaweza kuwa kama kumwagilia na maji baridi na kushuka kwa kasi kwa joto la hewa inayozunguka unaweza kupigana na koga ya poda kwa kupunyiza mimea na ufumbuzi wa mullein au manganese na pia unaweza kutumia topaz au zaslon ni bora kutibu tango hata kabla ya maua au kwa tamaa kidogo ya ugonjwa ugonjwa mwingine usio na furaha ambayo ndiyo sababu majani yanageuka manjano katika matango katika chafu au kwenye kitanda ni fusarium bila shaka hii ni vimelea katika asili vijiko vya kuvu vinaingilia vijiko vya ngozi na hakuna vitu vyenye manufaa haviwezi kupenya kwenye mmea kupambana na fusariosis ni karibu isiyo ya kweli katika 90 ya kesi mazao yote hufa ili kuzuia hali hiyo kutokea tena katika mwaka ujao tutahitaji kubadilisha kabisa udongo na kuchukua aina ambazo zinakabiliana na maendeleo ya ugonjwa huo hofu downy na kuoza mizizi kuna magonjwa mengi zaidi ambayo matango yanakuja kugeuka njano kwenye kando kwa mfano ugonjwa wa downy unahusishwa na ukweli kwamba mwanzoni mwa majani kuna mwanga na giza matangazo ya kijani ambayo hatimaye hupuka na huenda kwenye uso mzima wa jani kama ilivyo katika koga ya unga wa kawaida maji baridi au hewa inaweza kusababisha ugonjwa huu ukipata dalili za ugonjwa muda si haja ya kuacha chakula na umwagiliaji kwa wiki topaz moja na nusu baada ya kutibiwa tango oksihomom au jinsi ya kufanya hivyo kwa haki unaweza kusoma kwenye mfuko tafadhali kumbuka kuwa joto la mojawapo la suluhisho la madawa ya kulevya ni kuhusu 24 ° c pia unahitaji kutunza kwamba hali ya joto ya joto haitoi chini + 18 ° c hata usiku hebu fikiria sababu nyingine zaidi za majani ambayo hugeuka kwenye matango nini cha kufanya kwa mfano ikiwa mimea huathirika na kuoza mizizi sababu za hii inaweza kuwa nyingi kupindukia umwagiliaji maji baridi kupungua kwa kasi kwa joto makosa alifanya wakati wa kupanda kutumia udongo ambao matango awali mzima walioathirika na ugonjwa huo na kadhalika vipengele tofauti vya ugonjwa huu ni kwamba majani ya tango yanaanza kuanguka haraka na mizizi ya ufa na kugeuka ya manjano kupambana na kuoza kunaweza kufanywa kwa kuingiza kwenye choko cha udongo makaa ya makaa ya mawe au ash mtaa unaosababishwa unapaswa kuondolewa haraka iwezekanavyo kutoka kitandani huku ukitumia kamba kubwa ya kutosha ya ardhi hii ni kuhakikisha kwamba maambukizi hayaenezi kwa mimea jirani vifuni vidonda na vitunguu vya buibui ikiwa umeona kuwa tango za majani zinageuka manjano kuzunguka pande zote inawezekana kwamba wadudu wamesimama kitandani vifuniko vya machungwa kwa mfano husababisha kuonekana kwa matangazo madogo ya njano ambayo hatimaye huwa na kijani na kuongezeka haraka tangu aphids huishi kwa magugu tofauti ambayo hubadili matango lazima tuangalie kwa uangalifu mimea yao kupambana na midge hii mbaya kutumia infusion ya majani ya tumbaku pilipili ya moto maji ya sabuni au carbofos usisahau kusafisha kwa makini ardhi karibu na kichaka kwa kina cha cm 2 na pia kutibu kwa kiasi kikubwa cha maji matatizo yasiyo ya chini yataletwa na mite wa buibui ambayo mara nyingi huonekana ndani ya jani katika kesi hiyo juu ya majani ya matango matangazo ya njano nyekundu huondoka jani hupungua haraka na hupungua ya chokaa hii mdudu kutumia akarin ufumbuzi wa madawa ya kulevya fitoverm au tsimbush unaweza pia kutumia vielelezo vyao whitefly ya joto next cute critter kwamba unaweza kujibu swali la kwa nini majani kugeuka njano katika tango katika chafu whitefly mara nyingi zaidi kuliko yeye kama aphids tango alihamia kwenye magugu maji ya kunywa kutoka majani na kisha kugeuka njano na kukauka safi ni rahisi kama ni lazima funga madirisha yote na milango katika chafu na cheesecloth na hutegemea ndani ya mitego nata na kwa hakika unahitaji kwa ajili ya kuziondoa magugu yote na tango majani dawa na maji wazi basi kabisa pereryhlit udongo pia ni thamani ya kuongeza kwenye udongo ulioharibiwa na udongo humus au peat kuandaa gharama nafuu lakini mtego nzuri sana chukua mwanga (nyeupe au njano) bodi na kusugua kwa mchanganyiko wa rosini kwa asali au jelly harufu huvutia wadudu na wao tu itakuwa fimbo nini cha kufanya jinsi ya kuokoa mavuno kwa hiyo kuliko kutengeneza matango hivyo kwamba majani haoni jinsi ya kuhifadhi mimea mpaka kuanguka kwanza ni muhimu kufuata sheria za mzunguko wa mazao usitengeneze tena matango katika sehemu moja hadi mwaka je si mahali kitanda ya matango ambapo kabla ya kukua zucchini au boga ni huongeza hatari ya kuambukizwa na magonjwa ya vimelea ya mimea jaribu maji matango juu ya ratiba kama wewe kuja tovuti nchi mara nyingi hauwezi lazima zamulchiruyte vitanda ya vumbi au nyasi kata hii utaratibu ingenuous kushika ardhi yenye unyevunyevu kwa muda mrefu na boji vizuri jukumu ya mablanketi asili ni matango kutoa ziada joto na chakula hakikisha kulisha mimea mbolea za kikaboni na za madini zitafanya matokeo bora yanaonyesha kumwagilia kwa infusion ya mitishamba na matumizi ya wakati huo huo wa kiasi kidogo cha majivu tangu kuanza kwa dawa majani ya kwanza ya vitanda chache ufumbuzi kama kila baada ya siku kumi kufuta katika lita moja ya maziwa 20 g sabuni ya kufulia na matone 30 ya iodini kuondokana na mchanganyiko wa kusababisha lita 10 za maji hakuna athari kidogo iliyotolewa na kichocheo kidogo cha kawaida chukua mikate ya mkate na kuifunika mara moja katika ndoo moja ya maji kulisha mkojo mzuri juu ya mkate wa soggy na kuongeza chupa sawa ya iodini joto moja la msemaji husababisha lita 10 za maji safi na kutibu vizuri vitanda vya tango kurudia utaratibu kila wiki mbili na hakuna wadudu na magonjwa hakutakuishi swali la jinsi ya kushughulikia matango hivyo kwamba majani haipasi mara nyingi puzzles kompyuta na wakulima hapa kuna vidokezo vingine ambavyo vitasaidia kuweka mavuno kuzuia magonjwa ya vimelea ni muhimu pour vitanda soda ufumbuzi (1 tbsp l / lita 10 za maji) kufanya umwagiliaji kama ni muhimu katika siku kumi za juni mazingira alkali na manufaa kwa ubora wa udongo kwa wadudu mbalimbali kupitisha vitanda vya bustani yako tumia suluhisho manyoya ya vitunguu kuchukua pembe ya vitunguu kwa kiasi hicho ambacho kinaweza kuzunguka kikamilifu katika jar lita mimina shell na lita kumi za maji na chemsha funga sufuria na kifuniko na kuondoka supu masaa 1215 kisha makini itapunguza na mnachuja supu kuondokana infusion katika uwiano wa moja kwa nne na kabisa dawa za mimea na pour mabaki chini ya misitu na katika aisles ukigundua yellowness matango kefir spray ufumbuzi 2 lita kefir kuchukua lita 10 za maji (badala ya mgando inaweza kutumika maziwa serum) kuna unaweza kuongeza gramu 100150 ya sukari hii itasaidia kuongeza ubora na wingi wa ovari bila shaka ni mbaya sana wakati majani yanageuka manjano kwenye matango tayari unajua nini cha kufanya na jinsi ya kuokoa mavuno baada ya kutambua kwa usahihi sababu ya shida na kutumia njia muhimu unaweza kabisa kujikwamua njano au angalau kupunguza kiasi na bila shaka ili kuepuka haja ya kupigana na matukio hayo ni bora kuhakikisha kwamba mimea yako inatibiwa vizuri mara moja matangazo nyeupe kwenye majani ya matango magonjwa ya matango kuzuia na matibabu tango ni maarufu sana na kupendwa na sisi mboga ambayo inaweza kupatikana katika kila bustani matango ya kukua bustani inakabiliwa na matatizo tofauti matunda huanza kuanguka kuna matangazo nyeupe kwenye majani ya matango majani yanaendelea na kadhalika ili kuepuka matatizo haya yote unahitaji kujifunza kwa makini jinsi ya kutunza mboga jinsi ya kushughulikia tango na mengi zaidi yote hii utaisoma katika makala hii mambo muhimu ya kujua jambo la kwanza unahitaji kujua kabla ya kupanda matango ni kwamba mboga hutoka kwenye maeneo ya kitropiki na kwa hiyo hupenda sana joto unyevu na jua bila shaka wanaweza kukua katika kivuli lakini usiwe na mavuno mengi mboga huhitaji udongo huru na kiwango cha wastani cha asidi ili kufikia mwisho huu croup iliyochaguliwa kwa vuli inapaswa kukumbwa na katika ngazi ya spring na mbolea na mbolea au majani pia ni nzuri sana kupanda mimea katika bustani ambapo nafaka viazi au nyanya zilikua kabla matango haipaswi kuthiriwa na maji baridi ni muhimu kufuatilia asidi ya udongo hakutakuwa na mavuno katika udongo usio na mbolea mabadiliko ya joto huathiri pia mboga inakuwa machungu na katika joto chini ya matango 11 digrii wala kukua kabisa njia za kilimo ukulima wa matango inawezekana kwa msaada wa miche au mbegu ikiwa mbinu isiyo na mbegu ilichaguliwa mbegu lazima ziwe tayari kwa kuziweka kwenye sehemu ya joto ya mvua ili waweze kukua na kukua unaweza kupanda mbegu peke yake wakati udongo umekwisha joto hadi 150 inashauriwa kuweka mbegu ndani ya shimo si gorofa lakini kwa namba kwa ajili ya umbali ni muhimu kufuta juu ya sentimita 20 kati ya mbegu na safu zinapaswa kuwa umbali wa mita mbegu inaweza kupandwa siku ya 412 kulingana na joto katika shina za joto itaonekana kwa kasi zaidi ikiwa njia ya miche imechaguliwa mbegu zinapaswa kupandwa karibu mwezi kabla ya kupanda katika udongo matango hupandwa tu katika ardhi yenye joto pendekeza kabla ya kupanda mbegu au miche katika mashimo ya kuchimba kuweka mbolea ya udongo nyasi ueneze na ardhi na maji yote haya matango ardhi ya wazi (huduma) hali kuu ya matunzo sahihi kwa matango ni kumwagilia mara kwa mara ni bora kumwagilia njia ya umwagiliaji wa mvua hii inaruhusu unyevu kuingilia moja kwa moja kwenye mizizi hupunguza kiasi cha maji na haichochei ukuaji wa magugu nyunyiza matango na maji kwenye joto la kawaida au joto hivyo maji ya kuendesha hayatumiki inashauriwa kujiandaa kwa lengo hili chombo ambacho maji yatasimama siku zote na joto kumwagilia ni muhimu kulingana na hali ya udongo kunywa mara kwa mara kunaweza kuharibu mazao matango itaanza kuendeleza shina na kuchapuka badala ya mazao au wanaweza kuwa na matangazo nyeupe kwenye majani katika hali ya hewa ya joto sana kumwagilia inahitajika mara nyingi zaidi vinginevyo majani yatatoka unaweza kuboresha kidogo majani kwa kuoga maji ya baridi itasukuma vumbi ongezeko unyevu na kuboresha photosynthesis ikiwa majani bado ni flaccid ni muhimu kupiga ardhi na lami kwa hivyo maji huingilia kwenye mfumo wa mizizi unaweza maji katika seti tatu kumwagilia moja kunaweza wakati kwa shimo kusubiri mpaka maji yameingizwa ndani ya ardhi na maji tena na tena pia pamoja na kumwagilia ni muhimu mara kwa mara kupalilia vitanda kutoka kwa magugu hawakuruhusu mmea kuendeleza kikamilifu na kuunda kivuli kisichohitajika kulisha matango unahitaji kulisha matango kila siku kumi suluhisho huandaliwa kwa kiasi cha gramu 30 za chumvi na lita moja ya mullein katika lita kumi za maji wakati matango kuanza kupasuka gramu 50 za chumvi ya potasiamu na gramu 50 za superphosphate huongezwa kwenye suluhisho hili matumizi itakuwa lita moja ya mbolea kwa misitu minne ni muhimu kulisha matango wakati wa jioni ili ufumbuzi kwenye majani hauongoza kuungua kwa hali ya hewa ya jua ikiwa suluhisho bado limeanguka kwenye majani fulani basi unahitaji kuwaosha kwa maji kumwagilia kutoka kwa kumwagilia baada ya kuvaa juu katika kila kichaka unahitaji kumwaga dunia ambayo inachukua nafasi ya kufungua mfumo wa mizizi ya matango ni karibu na uso na kuifungua ardhi inawezekana kuharibu mizizi kwa hiyo udongo unafunguliwa tu kati ya safu kulima matango katika chafu matunda ya kupanda katika chafu hufanywa wakati ardhi chini ya kioo au filamu imekwisha joto matango ya kukua katika chafu ni mchakato badala ya shida ni muhimu kufuatilia kwa uangalifu joto kwa sababu tango haipendi upepo mkali wa mabadiliko ya diurnal ni lazima kudumisha unyevu ndani ya chafu kwa umwagiliaji ni bora kufanya hivyo kwa maji ya mvua ikiwa hali ya hewa ni ya jua na ya moto ni muhimu kuimarisha chafu tango haipendi rasimu kwa hiyo ni muhimu hewa kwa makini ni muhimu sana kuruhusu nyuki kuvua maua hapa kuna zana za matibabu ya tango zitasaidia nyuchi hazizidi kuruka kwenye maeneo yaliyofungwa na hii inaweza kupunguza kiasi cha mavuno ili kuvutia tahadhari majani ya matango katika chafu huchafuliwa na syrup tamu kati ya safu ya matango unahitaji kuweka mbolea ambayo inahitaji sana matango hasa katika hatua ya mwanzo ya maendeleo kumwagilia lazima kufanywe si chini ya mizizi lakini juu ya gullies maalum iliyoundwa karibu na mizizi katika kesi hiyo maji yanapaswa kuwa maji ya joto tu na inapaswa kufanyika katikati ya siku ni bora kutumia umwagiliaji wa mvua katika chafu aina ya greenhouses kwa wale ambao wanataka kukua matango katika chafu ni muhimu kusema kwamba mwisho inaweza kuwa tofauti kabisa msingi wa chafu unaweza kufanywa kwa chuma plastiki au kuni unaweza kushona na kioo plastiki au filamu jambo kuu ni kwamba vifaa vinaruhusu jua liingie kwa uhuru ndani ya chafu muda mrefu zaidi wa chuma wa chuma lakini ujenzi wake utapunguza mmiliki pesa nyingi muundo wa mbao ni wa bei nafuu lakini hauwezi muda mrefu sana kwa sababu ya unyevu wa juu hata kama inatibiwa na njia maalum bado kuna mifupa ya plastiki nyenzo hii huchaguliwa mara nyingi kwa sababu ya gharama nafuu ya huduma haifai kuwa rangi kuingizwa nk lakini plastiki inaweza kuharibika kwa joto kali vipimo vya greenhouses kama kwa vipimo vipimo ni tatu na nusu kwa mita mbili na nusu bora kwa chafu bila shaka vipimo vinaweza kuwa tofauti lakini usipendeze kuifanya zaidi ya mita sita kwa urefu katika huduma hiyo ya chafu na matibabu ya matango itakuwa ngumu zaidi ni bora kugawanya katika sekta kadhaa milango inapaswa kuwa pana kwa kutosha ili uweze kuingia ndani na hesabu na uendeleze ventilate ikiwa ni lazima ikiwa unafuata mapendekezo yote hutalazimika kutazama basi kama majani ya matango yanaonekana matangazo nyeupe au matawi yaliyotauka na majani yanapotea wadudu hudhuru kwa tango buibui mite hutafuta juisi ya mimea kuna matangazo nyeupe kwenye majani ya matango na hukauka aphid ya melon kuwekwa chini ya majani ambayo husababisha kupotosha na kukausha rostkovaya kuruka huingia ndani ya shina inazima kabisa au mmea hua dhaifu sana whitefly hunyonya juisi kutoka kwa majani hutoa spores ya vimelea ambayo majani hugeuka nyeusi na kavu tango hupatikana mara nyingi zaidi katika vitalu vya kijani inathiri mimea na mimea ya mizizi ambayo huanza kuoza sheria kuu kwa ajili ya ulinzi wa wadudu ni kupalilia mara kwa mara ya matango ukaguzi wa mara kwa mara wa mimea na matibabu ya wakati na maandalizi sahihi matango yanakabiliwa na nini wapanda bustani ambao kila mwaka hua matango wanafahamu vizuri wadudu wote wanaotishia mavuno mazuri lakini sio wadudu tu wanaweza kuwa sababu kwa nini majani ya matango ni matangazo nyeupe matango pia inaweza kuwa mhasiriwa wa ugonjwa ambao hauathiri tu majani lakini matunda na mbegu za mmea na husababisha kifo chake magonjwa ya matango ni kama ifuatavyo anthracnose moja ya sababu zilikuwa na matangazo nyeupe kwenye majani ya matango wanakuwa kama kuteketezwa na hatimaye kukauka kabisa kuoza nyeupe hutokea mara nyingi zaidi katika vitalu vya kijani huathiri mmea mzima inakuwa laini na kama inafunikwa na kamasi ngozi ya powder mara nyingi ni jibu kwa swali la nini kulikuwa na matangazo nyeupe kwenye majani ya matango nini cha kufanya na stains hizi unaweza kupata katika duka maalumu majani kama yaliyochafuwa na unga kuota na tango hufa doa ya brown huathiri matunda huenea wakati wa kumwagilia tango inafunikwa na tamba na haiwezi kuliwa grey kuoza huathiri shina za mmea kwa namna ya matangazo ya kijivu ya kijivu hairuhusu mmea kuendeleza ni kuoza na kuharibika musa wa kawaida kuna matangazo ya kijani ya tani za mwanga na giza kwenye majani majani ya kuvimba na matunda kwenye matunda fusarium inapatikana hasa katika vitalu vya kijani sehemu ya juu ya mmea kisha kuoza huanguka kwenye mizizi na mmea hufa tango necrosis ukosefu wa vitu muhimu husababisha kuunda matangazo kwenye majani mmea huacha kupasuka kukua na kufa tango bacteriosis huathiri mbegu matunda na majani mbegu hukauka majani hupandwa na kukauka matunda yanafunikwa na vidonda bend mosaic ni nyepesi matangazo ya mwanga yanaonekana pamoja na mishipa ya jani jani huwa manjano mmea hupunguza na huacha kuendeleza mzizi wa mizizi huathiri mfumo wa mizizi ya mmea matunda yanaonekana kwenye shina huoza na hufunikwa na kamasi majani hupona na mmea hufa mguu mweusi huathiri mizizi inakuwa dhaifu imeoza na laini huacha majani na kichaka kinafa njia za kuzuia na matibabu kuna njia nyingi za kukabiliana na shida kukua matango bila matatizo na kupata mavuno mazuri ni muhimu kufanya mara kwa mara hatua za kuzuia na hatua hizi lazima ziwe kiufundi na kemikali ni muhimu kuondoa kwa makini mabaki ya mimea wakati wa mavuno juu ya sentimita 67 ya ardhi lazima iondolewe au kubadilishwa ardhi iliyoharibiwa ni muhimu pia kupunyiza mmea kwa ajili ya kupumua kama matango mzima katika chafu ni muhimu kwa disinfect mfumo mzima kabisa ikiwa ni pamoja na sura kuta trellises na udongo ni muhimu kudumisha hali ya hewa sahihi ndani ya chafu ili kuzuia uwezekano wa ugonjwa huo kupiga mimea uangalifu mkubwa unapaswa kulipwa kwa mbegu kwa sababu magonjwa mengi yanaambukizwa kupitia mbegu kwa kawaida hutosha mbegu katika suluhisho la kujilimbikizia la metanganasi ya potasiamu maandalizi ya matibabu ya magonjwa licha ya taratibu zote mitambo mimea muhimu na kemikali madhara pia kwa ajili ya wote ya matibabu na kuzuia katika maduka maalumu unaweza kupata bidhaa yoyote muhimu kulingana na tatizo ambalo limetokea kwa mfano trihodermin (kutumika kutibu kuoza kwa mizizi wilt powdery koga) pentafag (kutumika kwa ajili ya matibabu ya mbegu) quadris (nzuri katika kupambana koga) topsin (kwa ajili ya kuzuia na matibabu ya fusarium poda ya poda) na dawa nyingine nyingi majani ya matango yanageuka manjano nifanye nini ▄▀▄▀ † biker kutoka kwa crypt † ▄▀▄▀ sababu ya kwanza ni banal baadhi ya majani ya chini ndani ya bustani hugeuka njano na kufa kutokana na ukosefu wa mwanga hii si sababu ya wasiwasi hii ni ya kawaida kama kanuni matango ya matango ni jungle halisi ya mwituni haishangazi kwamba mwanga huingia ndani ya mambo kwa shida na majani ya chini ya zamani yanakosa katika kesi hii tu kukata majani ya njano mara kwa mara na kufurahia kuvuna sababu ya pili ni ukosefu au uhaba wa unyevu katika majira ya joto ya kawaida matango yanapendekezwa kwa maji mengi mara mbili au tatu kwa wiki na katika majira ya moto kila siku husukuma sana udongo vinginevyo mizizi ya matango itatoka kwenye uso wa dunia ili kutafuta unyevu na inaweza kukauka kwa mimea hii ni janga majani yote na ovules huanza kugeuka njano hali ya hewa kwa ajili ya matango pia si kwa kupenda yao mizizi ya kuoza kuoza juu ya shina hatimaye tunaona majani ya njano tena sababu ya tatu ni magonjwa ya vimelea mara nyingi ni fusariosis pitosis na magonjwa mengine ya vimelea ambayo husababisha majani ya njano kwenye matango kwanza matangazo ya kutu yanaonekana juu ya vichwa basi majani yanafunikwa kabisa na matangazo kavu kuanguka katika kesi ya fusariosis mjeledi huwa wavivu kama nguruwe na haitibu kumwagilia ikiwa joto la thelathini na kiwango limebadilishwa na mvua za baridi na kushuka kwa joto la usiku endelea fungi haitakuweka kusubiri sababu ya nne ni wadudu whitefly au wadudu wa buibui hunyonya juisi zote kutoka kwa majani ya tango kwa sababu hiyo majani yanageuka njano na kufa katika kesi hii mapendekezo ni dhahiri wadudu mzuri ni wadudu wafu tutaweza kupunja bustani na sumu au kujiokoa na tiba za watu sababu ya tano ni ukosefu wa vipengele vya lishe sababu isiyowezekana zaidi lakini bado hutokea kwa njano ya majani ya tango ikiwa tango inakuja kugeuka njano na mviringo kavu huenda hawana potasiamu au magnesiamu mishipa ya kijani ya kijani kwa nyuma ya njano inaweza kuonyesha ukosefu wa chuma au manganese kutaza majani ya juu kuna ukosefu wa shaba hali hii itasaidia kurekebisha kulisha kwa kweli sababu ya mwisho ya majani ya njano ni uzee baada ya muda jani la tango linakula huaa huacha picha ya upotoshe hugeuka njano na kufa uwezekano mkubwa zaidi kwa wakati huu tayari umekula matango kwa chungu na janga la uzeeka hailingalie lakini kama unataka tango safi kutoka kitanda mpaka kuanguka njia za kuongeza maisha kwa vikwazo vya tango zipo na tutazungumzia juu yao baadaye kwa maji ingekuwa wazo nzuri ya kuongeza suala hilo na masharti ya huduma na malazi ya matango inategemea jinsi njano inavyogeuka ikiwa ni ugonjwa mara nyingi huendelea baada ya mvua inawezekana mchakato wa chem sio gharama nafuu lakini ni bora kupanda mbegu mpya mahali pengine ingawa baadaye lakini kwa matango na wa kwanza hata kama utaokoa huwezi kupata mavuno mazuri zaidi kama tango majani nyepesi tu kiasi kwamba kundi la rangi ya manjano ni ukosefu wa chuma katika ardhi kununua mbolea matajiri katika chuma na kumwaga katika kuhifadhi wewe haraka na jina na kipimo matokeo yake itakuwa halisi katika siku 34 mmea utakuwa rangi ya kawaida kwa ajili ya mavuno hii haiathiri sana ikiwa sio kukimbia kupalilia | kwa nini kwenye majani ya matango mpaka wa njano jinsi ya kutambua ukosefu wa vipengele kwenye majani majani ya tango ni kama mtihani litmus kuamua afya zao mbali na maji hewa na jua matango yanahitaji macro na microelements wakati wote wa mimea na kama majani yamefafanuliwa yameharibika au kwa matangazo ya njano mpaka basi hii sio aina fulani ya ugonjwa wa tango makala hii itakusaidia kuelewa ni kwa nini kwenye majani ya matango kuna mpaka wa njano au vivuli vingine na pia kuwaambia jinsi ya kurekebisha athari hii na kupata mavuno bora ya matango mpaka wa njano kwenye majani ya matango mwaka huu nilikuwa tayari kushughulikia tatizo hili spring ilikuwa muda mrefu mwanzo wa majira ya baridi ilikuwa baridi matango yalipungua polepole na wakati mimi hatimaye nikisubiri majani halisi ya kwanza niliona mpaka huu wa njano kando ya jani la tango niliamua kuwa hii ilikuwa kutokana na ukosefu wa mwanga na joto majani yalikuwa ya rangi na dhaifu waliona vigumu hata kunyonya chakula muhimu sababu ya kwanza kama majani ya matango yanaonekana njano na kisha makali ya kahawia inamaanisha kuwa hawana potasiamu nilimwagika tango kutoka kwenye maji ya kunywa na kuinyunyizia kwenye jani na ufumbuzi dhaifu wa pink wa permanganate ya potasiamu yaani permanganate ya potasiamu aidha kwa kila mmea waliotawanyika 1 st ya majivu sasa matango ni sawa lakini kuna sababu ya pili ya kuonekana kwa mpaka wa njano kwenye majani ya matango hii ni kasoro boroni inatokea wakati maua na matunda yanaonekana kwenye mmea ukosefu wa boron unaweza kuamua sio tu na majani bali pia na ovari kama maua katika kesi hii yanaonekana mara moja hupotea na kufa na taratibu za tango wenyewe huchelewa katika maendeleo na zina mbolea ya njano ya longitudinal katika kesi hiyo kunyunyizia kwenye karatasi itasaidia (unaweza kujaribu asidi ya boric au bora zaidi biochelatbor) tu kuwa makini kwani boroni ni kipengele cha sumu sana ambacho ikiwa kinasababishwa zaidi kitasababisha kuchomwa kwa majani majani ya matango yana rangi wakati mwingine nyembamba yameharibika majani hayo inaweza kuwa mwanzoni mwa maendeleo ya mjeledi wa tango hii ni drawback nitrojeni mwanzoni mwa ukuaji wa tango tumia mbolea na mbolea kubwa ya nitrojeni hii inaweza kuwa carbamide (urea) au nitrati ya amonia nafanya hivyo wakati wa kupanda matango ya karibu mimi kuvunja groove ndogo na kusambaza kwa ammonium nitrate (au nitroammophoska) katika siku zijazo mara moja kwa kumwagilia katika kumwagilia unaweza kuongeza 1 st ya carbamide kati ya mbolea zote za madini nitrojeni ni hatari zaidi ya overdose nitrojeni nyingi hukusanya katika mboga mboga kwa namna ya nitrati na nitrites yenye hatari kwa afya ya binadamu nitrates katika mimea hujilimbikiza sio tu na ziada ya nitrojeni lakini pia na ukosefu wa molybdenamu na chuma ambayo huchangia kupunguza nitrojeni ya nitrati (no3) kwa amonia (nh4) http//wwwagroplusgroupru majani ya matango ni ndogo mwanga wa njanokijani yanaweza kupotosha hii inaweza kuwa sawa mwanzoni mwa maendeleo ya mjeledi wa tango au kinyume chake mwishoni mwa kuvuna pamoja na idadi kubwa ya matunda hii inamaanisha kwamba majani masikini alitoa thamani yote iliyoingizwa ndani yao katika kesi hiyo unahitaji kutoa mmea sehemu kufuatilia vipengele zinki kalsiamu sulfuri ni bora ikiwa mbolea iko katika fomu ya kioevu msaada katika kesi hii inahitajika kwa haraka basi hawawezi tu kumwaga udongo lakini pia husafisha kwenye karatasi majani ya matango ni marumaru rangi haifai ikilinganishwa na matunda ya kijani na matusi majani hawana magnesiamu ikiwa unaimarisha unga na unga wa dolomite kabla ya kupanda na kisha mara moja katika siku 20 utawapa kwa ufumbuzi wa kioevu wa dolomite (1 st katika 8 l) hii haitatokea unga wa dolomite ni muuzaji mzuri wa magnesiamu majani ya tango ni ndogo kijivukijani juu ya mimea ya watu wazima kati ya mishipa matangazo ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya majani katika vijana majani kuangalia juu hii ni upungufu fosforasi matango mengi yanahitaji ugavi mara kwa mara wa fosforasi wakati wote wa ukuaji wao katika mmea kuna matumizi makubwa sana ya vipimo vyote na hasa phosphorus ni ahadi ya ubora mzuri wa matunda fanya matango superphosphate au mbolea nyingine iliyo na fosforasi katika mimea machafu majani yatatokea katika ndege ya usawa ambayo ina maana kwamba watapata jua zaidi na mwanga fanya hili kwa kipindi cha 1 kila siku 10 mishipa ya majani ya matango ni ya kijani na imara sana juu ya uso wa jani lote jani yenyewe inaweza kuwa kijani au njano aina hii ya majani inaweza kutokea kwa kukosa manganese manganese inashiriki katika malezi ya klorophyll na kama vile chuma shaba zinc tango inahitajika kwa ajili ya photosynthesis kupumua mara nyingi upungufu wa manganese hutokea kwenye udongo wa alkali ili kuzuia kuchoma kwenye majani ya matango wakati wa kutumia mbolea dawa na kumwagilia hufanya hali ya hewa ya mawingu au jioni kumbuka kwamba yoyote ya jani kulisha ni misaada ya wakati mmoja yaani matokeo yake yatakuwa siku 35 lakini wakati huo huo majani ya majani si tu ambulensi ya matango lakini msaada wa mara kwa mara kwa lishe bora ya mmea na ikiwa husahau kutekeleza mbolea sahihi au kunyunyiza basi matango itaonekana kama yanapaswa wewe ni sana kupunguza maisha yako ukipata mzuri mbolea na ambayo huna na kushindana na nini majani ya tango njano mpaka na ukosefu wa mambo ni saa matango yako kwa mimi mwenyewe niligundua bidhaa rahisi sana isiyo na gharama nafuu ya mbolea joy mbolea inaweza kuchaguliwa kwa mtazamo tofauti mazao mzima joy inaweza kutumika katika maeneo ya ulinzi na nje ina kiasi kikubwa cha usawa wa vipengele vidogo na vidogo joy inafanya kazi katika kipindi cha mimea ya maendeleo ya mmea mbolea husaidia kuongeza mavuno kwa asilimia 30 na kuongeza maisha ya rafu na kurejesha muundo wa asili wa udongo katika kesi yangu chupa joy universal ina distributer rahisi cap ambayo pia ni muhimu sana na bila shaka wakati wa kuchagua mbolea nilitikiliza hatari hapa ni iv (chini ya hatari) bustanikittensworldru majani ya njano ya matango na katika tukio ambalo serikali ya kumwagilia inavunjwa wafanyabiashara wengi wanasema juu ya jinsi bora ya matango ya maji mara nyingi na kidogo kwa kidogo au chini lakini kutoka kwa moyo na hakuna chochote cha kulalamika juu kwa kweli wote ni vibaya kabisa katika kesi ya kwanza maji ya kupenya ndani ya tabaka za kina za udongo haitoshi hivyo mfumo wa mizizi ya tango iko karibu na maji na kwa hiyo kwenye uso wa udongo kwa kuwa tabaka la juu la udongo huwaka moto sana tunapata tena joto na hata mizizi huwaka na hii ni moja ya sababu ambazo majani hugeuka manjano kwenye matango katika tofauti ya pili kwa sababu ya kumwagilia sana mizizi inaweza kuoza na hii pia haikubaliki ratiba mojawapo ni 3 kiwango cha juu mara 4 kwa wiki wakati mwingine sababu ya matango huwa manjano na majani kavu na kabisa banal kabisa wanahitaji tu kufa kiwanda kama mwanadamu kinakua zamani baada ya muda photosynthesis inacha na kusababisha majani kugeuka njano na kufa tu mara nyingi hii hutokea hata wakati karibu mavuno yote tayari yamevunwa hata hivyo baadhi ya wafundi huja na njia mbalimbali ambazo husaidia kuongeza maisha ya tango ambayo inakuwezesha kuvuna mavuno bora mpaka vuli ugonjwa mwingine usio na furaha ndiyo sababu majani yanageuka manjano kwenye matango katika chafu au kwenye kitanda ni fusarium bila shaka hii ni vimelea katika asili vijiko vya kuvu vinaingilia vijiko vya ngozi na hakuna vitu vyenye manufaa haviwezi kupenya kwenye mmea kupambana na fusariosis ni karibu isiyo ya kweli katika 90 ya kesi mazao yote hufa ili kuzuia hali hiyo kutokea tena katika mwaka ujao tutahitaji kubadilisha kabisa udongo na kuchukua aina ambazo zinakabiliana na maendeleo ya ugonjwa huo kuna magonjwa mengi zaidi ambayo matango yanakuja kugeuka njano kwenye kando kwa mfano ugonjwa wa downy unahusishwa na ukweli kwamba mwanzoni mwa majani kuna mwanga na giza matangazo ya kijani ambayo hatimaye hupuka na huenda kwenye uso mzima wa jani kama ilivyo katika koga ya unga wa kawaida maji baridi au hewa inaweza kusababisha ugonjwa huu ikiwa umepata ishara za ugonjwa huu kwanza unahitaji kuacha kulisha na kumwagilia kwa wiki moja na nusu baada ya kutibu matango oksihomom au topaz jinsi ya kufanya hivyo kwa haki unaweza kusoma kwenye mfuko tafadhali kumbuka kuwa joto la mojawapo la suluhisho la madawa ya kulevya ni kuhusu 24 ° c pia unahitaji kutunza kwamba hali ya joto ya joto haitoi chini + 18 ° c hata usiku hebu fikiria sababu nyingine zaidi za majani ambayo hugeuka kwenye matango nini cha kufanya kwa mfano ikiwa mimea huathirika na kuoza mizizi kuna sababu nyingi za kunywa maji maji baridi kushuka kwa kasi kwa joto la hewa makosa yaliyofanywa wakati wa kupanda matumizi ya udongo ambayo matango yanayoathiriwa na ugonjwa huu tayari imeongezeka na kadhalika vipengele tofauti vya ugonjwa huu ni kwamba majani ya tango yanaanza kuanguka haraka na mizizi ya ufa na kugeuka ya manjano kupambana na kuoza kunaweza kufanywa kwa kuingiza kwenye choko cha udongo makaa ya makaa ya mawe au ash mtaa unaosababishwa unapaswa kuondolewa haraka iwezekanavyo kutoka kitandani huku ukitumia kamba kubwa ya kutosha ya ardhi hii ni kuhakikisha kwamba maambukizi hayaenezi kwa mimea jirani mnyama mzuri wa pili anayeweza kujibu swali la nini majani yanageuka manjano katika matango katika kiwanda nyeupe mara nyingi yeye kama nyuzi huenda kwenye matango kutoka kwa magugu maji ya kunywa kutoka kwa majani baada ya kugeuka na kuwaka si vigumu kujiondoa unahitaji tu kufunga kwa makini dirisha na madirisha ya mlango katika kijani na chafu na ndani yako hutegemea mitego ya gundi na bila shaka unahitaji kupalilia magugu yote na kuinyunyiza majani ya tango na maji ya wazi baada ya hayo kufungua kabisa udongo pia ni thamani ya kuongeza kwenye udongo ulioharibiwa na udongo humus au peat kuandaa gharama nafuu lakini mtego nzuri sana chukua mwanga (nyeupe au njano) bodi na kusugua kwa mchanganyiko wa rosini kwa asali au jelly harufu huvutia wadudu na wao tu itakuwa fimbo usiweke vitanda na matango ambapo ulikua kukua zukini au maboga hii huongeza hatari ya maambukizi ya mimea yenye magonjwa ya vimelea jaribu kuimarisha matango madhubuti kulingana na ratiba ikiwa unakuja kwenye eneo la miji mara nyingi huwezi kuwa na hakika kuunganisha vitanda na udongo au nyasi utaratibu rahisi huo utaruhusu muda mrefu kuweka ardhi yenye unyevu na kitanda pia kitatimiza jukumu la blanketi ya asili hii itatoa matango ya ziada ya joto na lishe tangu kuanza kwa dawa majani ya kwanza ya vitanda chache ufumbuzi kama kila baada ya siku kumi kufuta katika lita moja ya maziwa 20 g sabuni na matone 30 ya madini na mchanganyiko alikuwa kuondokana na lita 10 za maji ili kuzuia tukio la magonjwa ya vimelea ni muhimu kumwagilia vitanda na soda (1 kijiko / lita 10 za maji) kufanya kumwagilia ni muhimu katika muongo wa kwanza wa juni mazingira ya alkali utaathiri ubora wa udongo kwa wadudu mbalimbali walipoteza upande wako wa bustani tumia suluhisho la pembe za vitunguu kuchukua pembe ya vitunguu kwa kiasi hicho ambacho kinaweza kuzunguka kikamilifu katika jar lita mimina shell na lita kumi za maji na chemsha funga karibu sufuria na kuacha kifuniko na kuondoka kwa masaa 1215 kisha itapunguza vizuri na usumbue mchuzi gawanya infusion kwa uwiano wa moja hadi nne na uangalie kwa makini mmea na kumwaga mabaki chini ya misitu na katika viwanja ikiwa unatazama kuonekana kwa manjano toa matango na ufumbuzi wa kefir kuchukua 2 lita za kefir kuchukua lita 10 za maji (badala ya kefir unaweza kutumia whey maziwa) huko unaweza kuongeza gramu 100150 za sukari hii itasaidia kuboresha ubora na wingi wa ovari majani ya matango yanageuka manjano kwa nini nini cha kufanya matango katika chafu hugeuka majani ya njano njia za mapambano wotewomens kwa nini matango katika chafu hugeuka majani ya njano sababu kuu ya manjano ya majani kwa matango hutokea kwa sababu nyingi ambazo si rahisi kuelewa hasa kwa mwanzoni katika biashara ya bustani baada ya yote dalili zinaweza kujidhihirisha kwa njia tofauti jani linageuka manjano pande zote majani ya chini huzuia au matunda yenyewe hugeuka ya njano na kavu kabla ya kukabiliana na manjano ya majani kwenye matango unapaswa kujua sababu ya jambo hili sababu njano ukosefu wa unyevu na ukiukaji wa utawala wa matango ya kumwagilia inajulikana kwamba matango ya unyevu yanahitaji maji mengi hasa katika hali ya hewa kavu ikiwa mimea inapata maji haitoshi majani yake yanaweza kugeuka njano kwa kuongeza unapaswa kuchunguza utawala wa umwagiliaji 3 4 mara kwa wiki na kwa kiasi kikubwa wakati huo huo maji haipaswi kuanguka kwenye majani kwa sababu siku za jua za moto matone ya unyevu yanaweza kuwa lenses na mmea unaweza kuchomwa moto kiti cha kuchaguliwa kisichofanikiwa kwa kupanda ikiwa unataka kupanda matango basi ni bora kuchagua mwanga lakini eneo lenye kivuli baada ya yote mababu wa pori ya aina ya kisasa ya matango yalikuwa ya shinaliana ambazo kwa msaada wa vimbunga zilipatikana kwenye matawi ya miti kubwa kwa hivyo usifanye makosa na kupanda mmea katika jua yenyewe katika hali hiyo majani ya matango yanageuka ya manjano na kavu ukosefu wa virutubisho tango inakuja ya manjano nini cha kufanya kwa vitu muhimu vile ni nitrojeni ambayo ni vifaa vya ujenzi kwa majani ya mmea ikiwa kuna ukosefu wa nitrojeni kwenye udongo tango hizo zinaanza kugeuka na kuanguka kwa hiyo wakati wa maandalizi ya vitanda vya kupanda mbolea za nitrojeni zinapaswa kuletwa ili kupanda mazao kwa kuongeza haina madhara kufanya mbolea ya ziada wakati wa kilimo jinsi ya kulisha matango ikiwa majani yanageuka humus au mbolea iliyojaa ina nitrojeni na mambo mengine muhimu ya kufuatilia kwa nini majani ya njano katika matango wadudu na magonjwa kupanda mazao ya majani ya tango mara nyingi husababishwa na magonjwa na wadudu mbalimbali kupigana na ambayo inapaswa kuanza mapema iwezekanavyo vinginevyo maambukizo yataenea haraka katika bustani magonjwa gani ya tango majani ya njano hizi ni magonjwa ya vimelea kuvu ya fusarium huathiri mizizi na husababisha kutoweka kwa hiyo mmea hupata virutubisho haitoshi ambayo huchochea majani ugonjwa unaweza kutokea kwa mabadiliko ghafla ya joto ili kuepuka maambukizi ya mimea ya afya sehemu zilizoathirika zinapaswa kuvutwa kutoka chini bacteriosis hutokea kama matokeo ya unyevu wa hewa na udongo maendeleo ya bacteriosis inawezekana kama matokeo ya kuingilia kwa kiasi kikubwa kwa umwagiliaji kuoza mizizi na ugonjwa huu majani huanza kugeuka kutoka njano kutoka chini na kisha ugonjwa hupita kwenye mmea mzima sababu ya kuoza mizizi inaweza kuwa tone la joto kali katika chafu au kumwagilia kwa maji baridi vidudu vya kawaida hujumuisha aphid ya kijiko ambayo kwa kawaida ina kuamilishwa katika mazingira ya unyevu wa juu majani yaliyoambukizwa ya matango yanageuka ya manjano na kavu na inflorescence hupotea nini cha kufanya hivyo kwamba matango hayatawi majani vidokezo muhimu kwa wakulima bila shaka ugonjwa wowote ni bora kuzuia kuliko kutibu ili kuzuia magonjwa unaweza kufanya hatua za kuzuia kwa nini matango yanageuka majani ya njano majani ya njano kutoka matango jinsi ya kupigana tunaona mzunguko wa mazao jinsi ya kumwagika matango ili wasiwe na njano matango hugeuka njano hasa makali ya jani vitanda vinaweza kufunikwa na safu ya magugu au udongo wa majani hii itabidi unyevu katika udongo na mizizi ya matango itatolewa kwa joto na lishe kwa undani jinsi usahihi kwa matango ya maji soma hapa jinsi ya kulisha matango ikiwa majani yanageuka ni muhimu kwa lishe ya ziada ya mmea jinsi ya kulisha matango ikiwa majani yanageuka ili kufikia mwisho huu tunatumia mbolea za kikaboni au za madini hasa infusion ya majani mavazi hii ya juu inafaa zaidi kwa kushirikiana na majivu ambayo yanapaswa kumwagika kwenye mashimo majani ya njano katika matango jinsi ya kupigana puta suluhisho maalum kuendelea kutengeneza matango ikiwa jani hugeuka njano mara tu miche inavyoonekana (safu ya 3 4 majani) ni muhimu kuputa tango na mchanganyiko wa kuzuia dawa ina maana mkate wa jioni unapaswa kuingizwa kwenye ndoo ya maji na kuinua asubuhi na kuongeza bubble ya iodini kuchukua lita moja ya mchanganyiko huu na kuondokana kwenye ndoo ya maji ikiwa majani yanageuka manjano kwenye tango tunashughulikia mmea huu kwa wakati mmoja kwa wiki kwa hiyo mpaka kuanguka matango yatahifadhi rangi ya kijani na kuvutia njia nyingine ya kuzuia wadudu ni peel ya vitunguu jaza magugu ya vitunguu (700 gramu) na maji (lita 10) kisha uwaleta funga kifuniko na ubofishe masaa 12 hadi 14 fanya pembe futa mchuzi na ueneze kwa maji kwa uwiano wa 2 8 kwa suluhisho linalosababishwa sisi maji ya ardhi na pia husafisha majani ya matango kutoka juu na chini nini kama tango itaanza kugeuka ikiwa ishara za kwanza za ugonjwa hupatikana suluhisho la pili linapaswa kuandaliwa kuchukua whey ya maziwa au kefir (2 lita) na kufuta lita 10 za maji ikiwa unataka unaweza kuongeza sukari (gramu 150) hii inachangia kukuza matunda bora jinsi ya kurekebisha majani ya tamaa ya kuzeeka kama mavazi ya juu ya foliar urea inaweza kutumika na humus inaweza kutumika kwa mizizi ya mmea kwa kusudi hili tunatumia infusion ya nyasi kabla ya sen iliyo kabla ya kuzama ndani ya maji (1 1) kwa siku mbili umwagiliaji uliopangwa tayari unapaswa kuinyunyiza na matango mara moja kwa wiki kwa wiki tatu njia bora sana za kukabiliana na beetle ya colorado hapa kwa hivyo tuliona kwa nini majani yanageuka manjano kwenye matango na jinsi ya kupigana nayo tumia jitihada kidogo na mimea yako itakuwa na afya na mavuno ya matango ukarimu kitamu na machafu kulikuwa na mchakato wa matango ambayo jellied majani ikiwa majani ya matango yanageuka manjano ni uwezekano mkubwa wa bacteriosis bafi au phytophthora kila kitu kutokana na ukweli kwamba udongo una maudhui ya unyevu juu ambayo matango yanapandwa au unyevu wa juu ikiwa tango tayari zimezaa basi maandalizi ya kemikali haipaswi kusindika ni bora kupumzika kwa njia za watu katika ndoo ya maji kuongeza matone 30 ya iodini gramu 20 za sabuni ya kufulia lita 1 ya maziwa na utungaji huu unapunguza tango mara moja kila siku 10 wakati wa jioni weka mkate wa mkate katika ndoo ya maji baridi asubuhi unganyoke mkate huu na kuongeza kabuni la iodini na ueneze matango pour katika ndoo ya maji baridi kitunguu peel unaweza peel wachache kuweka kwenye moto na kuchemsha na kuondoka kwa masaa 1214 aina itapunguza na dawa majani yote ya tango na juu na chini na pia kumwaga baadhi ya udongo na maua kitanda na matango mara ya kwanza sikuamini njia hizi lakini wakati nilijaribu kuitumia husaidia sana andrew0817 wakati matango yanapojitokeza na manjano hii ni ugonjwa wa vimelea unaoitwa poda na kwa misingi ya sayansi kladosporiosis majani yote yameathiriwa pamoja na kidogo na koga ya poda ni muhimu kuondoa na kuitupa mbali na mimea yako na wengine wa majani ya mimea yote na kunyunyizia na ufumbuzi dhaifu ya colloidal sulfuri (40 g kwa lita 10 za maji) na unaweza kunyunyizia jivu asubuhi umande bado wamekwenda na majivu hufuata kikamilifu ikiwa hii haina msaada basi kuna kipimo kali kupunyiza mmea wagonjwa na dawa ya kemikali kwa magonjwa kwa mfano hom au ordan baada ya kutumia dawa hiyo matango inapaswa kuosha kabisa kabla ya matumizi karatasi hiyo iliyo kwenye picha imekwisha kuchelewa yeye na wengine pamoja na ishara za kushindwa lazima kuondolewa ni bora kabisa kupanda mzima na mimea iliyobaki ya afya inaweza kusindika ili kuzuia maendeleo zaidi ya ugonjwa huo kulikuwa na mchakato inategemea ugonjwa huo na pathojeni wao ni sio sana wakati mwingine ni sprayed na ufumbuzi infused mullein na kuongeza ya nitrojeni mbolea katika kesi nyingine kutibiwa na biologics magonjwa mengi ni vimelea na unahitaji kujenga mazingira ambayo haiwezekani kwa maendeleo ya fungi hii inapungua kwa unyevu kwa juma moja simama kumwagilia na makao usiku kutoka kwenye umande joto bora kwa ukuaji wa uyoga ni sehemu karibu 1215 digrii kwa hiyo matango yanapaswa kupandwa katika sehemu za jua kwa kuwa daima ni joto na jua linaua pia vimelea vingi ndiyo sababu huwezi kuvumilia kuimarisha bila kujali ni jinsi gani wao hupoteza lakini ni muhimu mimea mitatu kwa kila mita ya mraba na kupanda katika maeneo ya kuenea kwa magonjwa lazima kuwa aina sugu mashariki ya mbali ilikuwa maarufu kwa utulivu wake sasa kiongozi wa vitality ni tango ya phoenix msaada wa persona matango yako yameambukizwa na ugonjwa wa mosaic wa tumbaku (tmv) ugonjwa huu wakati huu hauwezi kuponywa kwa njia yoyote zaidi ya hayo mimea hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mimea na afya kwa sababu virusi vinaweza kuambukizwa kwa wadudu (katika kesi ya uharibifu wa mimea) pamoja na uharibifu wa mitambo ya mimea (kama juisi ya mimea ugonjwa kupata afya ambayo inaweza kuwa microdamages) ili kuzuia maambukizo ya mimea ya afya mimea ya magonjwa inahitaji kuondolewa pamoja na mizizi na unahitaji kuchimba mimea na kuondoa sehemu ya udongo vifaa vyote vimezuiwa disinfected safisha mikono na sabuni mimea iliyofutwa inahitaji kuchomwa kwa siku za usoni kununua aina ambazo hazipatikani na tmv mila zuzhu matango ni ya kisasa sana yanadai sana hali ya hali ya hewa majira ya leo ya joto na matone ya joto kwao ni mabaya matango hupenda joto hata hali ya hewa upendo kumwagilia lakini sio mvua wakati wa usiku wa digrii 12 na chini ikiwa hali ya hewa ni digrii 12 imehifadhiwa kwa siku 3 au zaidi hufungia na ikiwa ni ya chini huanza kumaliza hugeuka huwa na uchafu na chochote unachofanya hawatasaidia hizi ni magonjwa ya vimelea ni bora kuvuta mjeledi huo mara moja ili wengine wasiambukizwe na ni bora kufanya kutua mwingine ikiwa una bahati na hali ya hewa itakuwa hata bila usiku wa baridi utakuwa na muda wa kuona machache yako hivyo kama si njano njano majani ya tango si kumwaga maji juu ya majani wakati wa maji kama maji ni baridi matango kuanza kuumiza koga powdery na phytophthora wakati mbolea inapopandwa jaribu kuifuta majani lakini mimina chini ya misitu kwa sisi majani ya matango hayatadilika (chini tu wakati matango tayari tunakusanya lakini ni lazima iwe) hapa ndio chaguo labda si mara nyingi matango ya maji na ndiyo sababu majani yamegeuka njano jaribu mara nyingi zaidi kwa matango ya maji na labda tatizo la majani ya njano litatatuliwa ikiwa majani yote yanayoendelea kuwa ya manjano basi unaweza kufanya decoction ya mbolea ya vitunguu ambayo hunyunyiza matango wanasema kwamba husaidia permanganate ya potasiamu chaguo ni hatari lakini ikiwa hakuna chaguzi nyingine basi ni thamani ya kujaribu kwa ujumla ni bora kuwasiliana na watu wenye ujuzi kwa hakika walikabiliwa na tatizo hili na watashauri nini cha kufanya katika hali kama hiyo angalia kila mtu ana majina yao ya ugonjwa ambao majani huwa manjano watu wengine hawapati matibabu wengine hupata bora kwa mimi kwa mfano usigeupe njano ikiwa ni kwa sababu tu ya uzee usiwe maji juu ya majani jua huwaka machafu ya maji kwa jua kama kioo cha kukuza hapa ni majani yako ya matango na matangazo sawa sawa nitamkemea mwandishi wa swalikwa tamko kwamba ni powdery mildew puta na ufumbuzi wa soda ya kuoka (kijiko kwa lita moja ya maji) kwa hiyo hakutakuwa na mold powdery na inafaa mimea yoyote tuna bustani ndogo ya mboga chini ya dirisha ambapo ninapanda kitanda cha tango kila mwaka mara nyingi hutokea kwamba majani kwenye matango yangu huanza kurejea njano ninajaribu kutumia kemikali ndogo ninaenda rahisi njia za watu msaada wa kwanza kwenye matango yake katika maji kwa joto la kawaida mimi kuzaliana kidogo ya permanganate ya potasiamu ili kufanya rangi nyekundu ya maji kwa ufumbuzi huu dhaifu mimi maji ya ardhi ambapo matango na majani kupandwa mimi ni vizuri sana kusaidiwa baada ya siku majani kusitisha kugeuka njano dolphinica ili kutoa nzuri matango mavuno na majani ya njano njano tango iliendelea zaidi kuendeleza kawaida kutumia dressing mbolea mkate mshindi bora inawezekana kufanya mbolea sodium humate ikiwa inajitokeza majani kutoka chini kuwapa kwa mbolea au madini mbolea ni bora hata kuchukua azofosca na maji ya mchanga ni nzuri sana kwa kiwango cha gramu 200300 kwa mita 1 ya mraba nini cha kufanya hivyo kwamba matango hutoa mavuno mazuri na kwamba haitawi majani maziwa kwenye mizizi mbolea inaeleweka napenda kukupendekeza kupanda matango kwenye mapipa wanatoa mavuno mazuri ni rahisi kuwatunza kufunika usiku katika hali ya hewa ya baridi na wakati wa mvua kubwa imefanyika hivi katika vuli huweka mbolea kwenye mapipa nyasi na uiruhusu pereprevayet wakati wa chemchemi yote haya yanafunikwa na ardhi na unaweza kupanda matango hivyo matango yatakuwa ya joto hayataweza kukua chini chini ya hayo yote itakuwa mbali na kutoa joto zaidi kwa kuongeza ingiza vijiti na kushona caps na mpira chini na kisha wao kufunga matango ni kama chafu cha mini na magugu hayatakua karibu bahati nzuri kwako radchenko konstantin downy oxan panda mbegu za kale na maji yenye maji ya joto wakati wa kumwagilia usisimishe maji kwenye shina ili usivunye usipande sana majani ya chini hugeuka njanohii ni ya kawaida helena orlova ninakusanya matango katika chafu mnamo septemba na majani ya chini ni ya manjano matunda hayaathiri utajiri wa matunda na ladha pia gulil papinadaughter wanapoanza kugeuka njano tunamwaga juu ya nyumbu na kila kitu kinafurahi tena by agosti njano itaanza bado kulingana na biolojia uwe na ardhi uifanye matango ya maji na malisho mavuno yatapatikana kikamilifu kwenye upande wa nyuma wa wadudu wa jani ikiwa maono ni mbaya basi bila kioo cha kukuza utaziona mchakato wa usiri itawawezesha majani wapenzi marafiki tutachambua nawe ishara za upungufu wa hili au kipengele hicho kwa matango na kwa msingi wa hili tutaona katika hali gani na katika hatua za kukua na maendeleo yao mara nyingi wakulima wa mboga wanaona mabadiliko katika rangi ya majani kwenye matango na kwa kweli inasema mengi makali kando ya karatasi na mishipa ya giza ya kijani ukosefu wa potasiamu rangi ya rangi ya njano karibu na corolla ya maua fosforasi kidogo uwezo wa kutosha wa mimea ya apical na kuonekana kwa majani kwa namna ya dome tango haina kalsiamu mabadiliko katika rangi ya majani kuonekana kwa ishara fulani za ukosefu wa mimea ya virutubisho haimaanishi kuwa haitoshi katika udongo kufanana na virutubisho mara nyingi inategemea hali ya nje kwa mfano ikiwa unadhibitisha ishara za ukosefu wa nitrojeni (majani ya rangi) basi kwanza kabisa unahitaji kufuatilia kama maji ya maji ya kawaida yanafanywa kuzidi kuongezeka kwa udongo kunasababisha kuzuia sehemu ndogo ya viumbe vyenye manufaa kutoweka kwa nitrojeni iliyopo na hivyo majani yanageuka hata hivyo usikimbie na mimea ya mbolea kulisha mbolea iliyo na nitrojeni hasa wakati wa kuunda matunda ongezeko la maudhui ya nitrati ndani yao ubora wa matunda hupunguzwa wakati mwingine ni kutosha kuanza vizuri na mara kwa mara matango ya maji na ndani ya wiki rangi ya majani hurejeshwa kwa kweli kama mimea ni mbaya kabisa basi unaweza kulisha matango na sulfuri ya amonia au urea kwa kiwango cha gramu 1015 kwa lita 10 za maji unapaswa kulisha matango kabla ya kukusanya au kabla ya kukusanya matunda kuonekana kwa majani yaliyokuwa na shaba iliyo na kando kando mara nyingi huwadanganya wakulima kwa kuwa ishara sawa za ugonjwa hutokea katika mimea na uharibifu wa mfumo wa mizizi kwa hiyo kabla ya kutumia kalsiamu au potasiamu ni muhimu kuangalia jinsi mizizi inavyoonekana ikiwa unaona kwamba mizizi imegeuka kuwa njano basi kulisha matango hayo haitawezekana kusaidia uwezekano mkubwa zaidi utazidisha hali zaidi hususan ikiwa sababu ya msingi ya ugonjwa huo ni ukubwa wa vipengele katika ufumbuzi wa udongo ambayo hutokea wakati mbolea za madini zinatumiwa mara moja lakini labda hivyo mizizi ni ya kawaida rangi nyeupe lakini dalili za ukosefu wa potasiamu hazikubaliki hii hutokea wakati kwa sababu ya muda mrefu na baridi (chini ya digrii 15) hali ya hewa inacha majani ya virutubisho rangi ya majani mara nyingi hurejeshwa na kuanza kwa siku za joto kama bado mawingu imesitishwa na manufaa kwa majani mbolea mbolea tata kuchukua lita 10 za maji 5 g ya kloridi potassium 5 g ya nitrati amonia na 5 g ya superphosphate awali infused kwenye maji kwa siku kadhaa matango hasa hushughulikia mavazi ya juu kwenye nusu ya kwanza ya kipindi cha mimea mavazi ya juu hiyo hufanyika mwishoni mwa siku ili majani yaliyomwagika yasiharibiwe na jua sasa kidogo kuhusu njaa ya phosphorus ishara zake ni nadra sana katika tukio ambalo superphosphate inalishwa ndani ya udongo kulingana na mapendekezo basi matango yatatolewa kwao kwa ukamilifu hata hivyo ni lazima ikumbukwe kwamba phosphorus haipatikani kwa urahisi katika majibu ya alkali ya udongo mmenyuko wa udongo ni rahisi kuthibitisha na karatasi ya litmus katika kesi hii ni muhimu kuimarisha sehemu ya udongo ongeza vifuniko vya kuni au peat nyeusi hadi wakati ujao marafiki wapenzi habari tovuti katika barua pepe yako ingiza barua pepe yako kwa nini matangazo ya njano huonekana kwenye majani ya tango pengine karibu wakulima wote wa lori wanakabiliwa na matangazo ya njano kwenye majani ya tango baada ya hapo mmea ukaacha kukua kuzaa matunda na baadaye ukafa na mfano huu unazingatiwa na mzunguko huo na katika ardhi ya wazi na katika salama inaonekana kutoka kwa wadudu wengi kijani je shambulio hili linatoka wapi na linaweza kushinda hebu jaribu kufikiria sababu ambazo kuna matangazo ya njano kwenye majani ya tango na wakati huo huo na njia za kukabiliana nazo ikiwa tunazungumza kuhusu amateur asiye na ujuzi katika uwanja wa teknolojia tunaweza kudhani kupiga marufuku kwa majani inatokea wakati maji inabaki kwenye majani katika hali ya hewa ya jua kali matone yaliyotokana yanaunda athari ya lens na tishu zilizo hai chini yao hutolewa na jua kali na kusababisha matangazo kwenye majani ya matango na matunda yao kwa hiyo mimea yote na matango hasa inashauriwa kumwagilia asubuhi au jioni ili kabla ya joto mimea iwe na muda wa kukauka ikiwa hii haiwezekani inashauriwa kutumia umwagiliaji wa chini katika viwanja ukiacha eneo lenye kavu karibu na shina ili kuepuka kuoza mizizi sababu inayofuata kusababisha ugonjwa wa mmea ni upungufu wa madini fulani kwenye udongo kupunga kijani kunaweza kusababisha ukosefu wa potasiamu au magnesiamu na hii huonekana kwenye majani ya kale katika kesi hiyo matangazo ya njano kwenye majani ya tango kawaida huonekana kwanza kando ya pande zote na kisha polepole kuchukua nafasi kati ya streaks ikiwa ishara hiyo inazingatiwa katika mimea moja au kadhaa basi ni muhimu kufanya haraka kutia mbolea ya madini ili kulinda wengine kutoka kwa uharibifu wa mapema itakuwa vigumu sana kukabiliana na magonjwa mbalimbali ya vimelea yanayoathiri vijana na viboko vidogo matangazo ya njano yaliyotokea kwenye majani ya tango yana rangi na yana sura ya mara kwa mara na kwa kawaida yanaonyesha maambukizi ya anthracnose au ascochitosis inasababishwa na kuvu maalum ikipendelea mazingira ya joto yenye unyevu anatoa hatari maalum wakati wa mvua na kwa kuanguka kwa umande katika ugonjwa huu inawezekana pia kuona kuonekana kwa kahawia nyeusi au matangazo nyeusi juu ya petioles shina na matunda ya mmea wahamiaji wa kuvu wanaweza kuambukizwa mbegu na waagizaji wa mimea kwamba baridi katika udongo kama matibabu ya uendeshaji yanaweza kutumika kunyunyizia dawa na phytosporin au 1 ufumbuzi wa maji ya bordeaux na kwa hali yoyote mimea iliyoharibiwa haipaswi kushoto kwa majira ya baridi inapaswa kuchomwa moto haraka iwezekanavyo ili spores kushoto ndani ya shina haiwezi kuathiri upandaji ijayo ugonjwa mwingine hatari ambayo husababisha matangazo ya njano kwenye majani ya tango ni ugonjwa wa downy au peronosporosis inakua kwa kawaida katika kipindi cha mazao ya kazi mwishoni mwa julai au agosti mapema na inajitokeza kwa namna ya dots ndogo za njano baada ya muda huongezeka na kisha jani hufa kwa hali nzuri ya kuvu (matone ya joto unyevu wa juu nk) maambukizo haya yanatumiwa kikamilifu na maji katika mvua na kumwagilia na inaongoza kwa kifo cha mimea ndani ya wiki 12 baada ya kuambukizwa mbali na kuvu matangazo ya njano kwenye majani ya tango yanaweza kusababisha virusi ya mosai ya kawaida licha ya jina lake lisilo na hatia ugonjwa huu ni hatari sana kwa mimea hasa vijana msaidizi wake ni aphid ya kijiko ambayo hupunguza mizizi ya magugu yanayoambukizwa hakuna mbinu za kemikali za kupambana na kawaida ya mosaic kwa hiyo ili kuzuia ni muhimu kuchunguza mzunguko wa mazao na kuondokana na magugu kwa wakati kwa nini matango yanageuka njano katika chafu | | maswali na majibu wwwfaqlru ilionekana zaidi ya miaka elfu 6 iliyopita tango bado ni moja ya mazao ya wapanda bustani matunda haya sio tu ya kupendeza kwa ladha lakini pia ina matumizi makubwa katika dawa na ina mali ya malazi matango yanaweza kufyonzwa kwa urahisi na mwili kudhibiti kazi ya utumbo na kuondoa cholesterol nyingi na kutokana na kuwepo kwa potasiamu kuboresha kazi ya moyo na figo matango hupandwa karibu na kila bustani ya mboga hata hivyo huhitaji huduma maalum na kama kitu kisichozingatiwa huanza kugeuka njano kwa hiyo leo katika makala yetu tutawaambia kwa nini matango yanageuka njano katika chafu na nini kinachohitajika ili kuepuka hili kwa nini majani ya njano katika tango magonjwa na wadudu ni sababu mbili ambazo majani hugeuka manjano kwenye matango magonjwa ni matokeo ya kutofuatilia na hali bora kwa matango ya kukua ili kuepuka ni muhimu maji vizuri na mbolea mbolea kuepuka mabadiliko ya joto kwa kuzuia matibabu ya mkoa wa mizizi na maandalizi ya fungicidal inapaswa kufanyika kulingana na maelekezo moja ya sababu kuu kwa nini matango yanageuka njano katika chafu ni kumwagilia kwa kawaida na matumizi ya maji baridi ikiwa unataka matango yako kukua na afya uwape maji kwa usahihi ni muhimu kwamba udongo wa matango daima ni unyevu lakini kwa hali yoyote hugeuka kuwa slush maji kwa ajili ya umwagiliaji yanapaswa kuhifadhiwa na kuchomwa moto jua wakati wa joto kumwagilia lazima iwe kila siku jioni ikifuatiwa na upole wa kufungia udongokama kuna baridi usiku inapaswa kunywa asubuhi jinsi ya kulisha matango vizuri mwanzoni mwa msimu wa kupanda tango inahitaji nitrojeni zaidi wakati wa ukuaji wa kitanzi potasiamu wakati wa mazao na kuonekana kwa ukuaji mpya nitrojeni inahitajika tena kwa hiyo kulisha sahihi kunaweza kuwa sababu nyingine ya tango tano kwenye kijani jambo kuu kumbuka mimea inahitaji kidogo lakini inalishiwa vizuri matango yana mizizi dhaifu ambayo haiwezi kupenya zaidi ya cm 20 hivyo mimea ni nyeti sana kwa mali za udongo fanya na mbolea takataka iliyooza majani peat au utulivu mbolea hutengenezwa na nitrojeni na kutumika mbolea ndani ya nchi usisahau kuhusu mbolea za madini zaidi ya majira ya joto kuimarisha matango vizuri haitaji zaidi ya mara 5 mavazi ya juu ya kwanza hufanyika mwanzoni mwa maua ya nne ijayo ni wakati wa mazao maji ya mbolea na mullein hutumiwa lakini pia yanaweza kubadilishwa na mavazi ya juu yaliyopangwa tayari wakati joto limebadilishwa na baridi ya muda mrefu matango ya chafu yanahitaji nitrati ya amonia kulisha matango kufungia mbolea katika mito baada ya hapo kunywa maji wakati wa joto la chini mmea hutumiwa na mavazi ya juu ya foliar matango hupenda joto kuchagua nafasi ya matango ya kupanda unahitaji kuongozwa na sababu hiyo kama ukosefu wa rasimu tangu rasimu na mabadiliko ya ghafla ya joto huweza kusababisha majani kugeuka manjano kwenye matango fungua chafu tu wakati joto ndani ya zaidi ya 30 ° c na unahitaji kufungua milango kutoka kila upande kwa upande wake kufungua mara moja kutoka pande mbili unaruhusu kuonekana kwa rasimu jinsi ya kuondokana na wadudu kwenye matango viduduwadudu kutokana na matango ambayo hugeuka njano katika chafu mengi huu ni mimea ya kuruka na tango na bafi na mite wa buibui vidudu hivi vyote au mabuu hulisha kwenye majani inatokana na matunda ya matango ambayo husababisha kuacha na kufa kwa mmea kuziondoa na kuweka mimea na mazao ni muhimu kuchagua njia sahihi za kudhibiti wadudu lakini usisahau baada ya usindikaji mmea kwa maandalizi moja au nyingine matunda yote yazima yanapaswa kuondolewa na kuachwa ni salama sana kula matango ambayo yalikuwa imeshuka kwa njia za kupambana na wadudu wadudu faqlru kwa nini majani katika chafu hupanda matango na wanapaswa kufanya nini angalia mzizi labda kuongezewa na mzizi huu wa mizizi isle ya palms kulima matango katika chafu kushughulikia matango ni kuponda kunyoosha kupalilia na kumwagilia udongo kupanda maji mara nyingi kama udongo umela tango hupendeza joto hupungua kwa joto la kawaida maji unyevu wakati wa mchana na ukavu usiku utapunguza uwezekano wa maendeleo ya magonjwa nini matango ya kukosa ikiwa mimea inakua vibaya shina ni nyembamba majani ni rangi ya kijani ovari hugeuka njano kuna ukosefu wa nitrojeni pamoja na nitrojeni ya ziada mimea kuishi ongezeko la ukuaji majani makubwa na maua na mazao ya matunda kwa ukosefu wa phosphorus ukuaji wa mimea na matunda hupungua majani hayatoshi rangi ya giza yenye rangi kwa ukosefu wa potasiamu kwenye majani pindo la rangi ya njano linaonekana kando ya jani tatizo linaweza kuwa katika mizizi (kuoza mchwa farasi panya) na katika somokuangalia mbele ya kuoza kwenye shina nadezhda vasicheva kudhoofisha dunia chini ya mizizi ya ubatili kukata shrews mizizi imesimamishwa mbinguni tu kwa neema tu kwa nini majani kavu kwa matango nini kama majani kavu tango ikiwa majani ya matango yalianza kuwa ya manjano na kavu unahitaji kugeuza jani na kuona kama sio uovu nguruwe hulisha juisi ya mimea hivyo majani ya matango yanageuka ya njano na kavu nimeona tu kwenye matango haraka kuchukua hatua kama nyuzi za haraka haraka huangaza misitu ya afya tango kusonga mbele majani mapya na safi unaweza kutumia suluhisho la sabuni ili kupigana nayo na mimea iliyochapwa unaweza kutumia njia za kemikali za ulinzi kama vile iskra agravertin fitoverm na madawa mengine kutoka kwa hofu kukausha na kusambaza majani katika kilele cha msimu wa majira ya joto hutokea katika mazao mengi ya bustani na sababu hiyo mara nyingi ni ukosefu wa unyevu wa banali tango sio tu ya mboga ya thermophilic tango inahitaji maji mengi inaonekana kwamba tuna maji kwa kutosha kwa sababu tunazalisha matango kila siku lakini hapa kuna snag moja ukosefu wa maji husababisha kupanda kuunda mizizi katika uso wa dunia na bado wakati mwingine nchi huru na ni hapa kwamba sisi na kuharibu mizizi na kusababisha maji kuingia kwa njia ya mizizi na tango kidogo huanza kukauka sio maji safi kila siku kidogo lakini mara 3 kwa wiki lakini kwa kiasi kikubwa njia bora ni wakati unapomwagilia mimea moja kwa moja leo tunamwagilia vitanda na matango kesho tunamwagilia vitanda na nyanya kisha upeo wa mazao mengine huja na kisha kazi ni chini na kumwagilia imefanywa kwa usahihi kuna sababu nyingi za hii hapa ni wawili tu majani kavu husababishwa na kuvu ya pitium ambayo huathiri mmea mzima huanza kuharibika unahitaji kuangalia kwa kuoza mizizi ugonjwa huu umezidishwa na dehumidification hivyo hakikisha kwamba mbolea ya kikaboni iliongezwa kwenye udongo kabla ya kupanda ili kuboresha mifereji ya maji kuna ugonjwa wa vimelea unaosababishwa na kuvu vertfcillium dalili hujumuisha majani ya wilting na majani ya rangi ya rangi ya rangi ya majani na mizizi mwishoni ugonjwa huu unaweza kusababisha ukweli kwamba mmea wote utapunguza na kufa tatizo hili hutokea mara nyingi kwenye udongo ambapo nyanya viazi na wanachama wengine wa familia ya solanaceae walipandwa ikiwa majani huanza kukauka na majani ya tango basi tiba ya wadudu inaonekana mapishi yangu alikuja kutoka kwa bibi yangu kwa kuzuia na matibabu kila mara alitumia infusion ya manyoya ya vitunguu matango yamevunjwa hadi vuli mwishoni mwingi nitafanya hivi nimejaza jariti 3 lita na 1/2 vitunguu vitunguu na kujaza maji na mimi kusisitiza kwa siku tatu kwa lita kumi za maji mimi kuongeza magamu 50 ya infusions vitunguu na matango ya maji kutoka kumwagilia unaweza au inaweza kufutwa matokeo hayatachukua muda mrefu kusubiri mimi pia dawa mimea ya ndani tembo17 mara nyingi sababu ya kukausha kwa majani ya tango ni kunywa majisha matango yanapenda sana maji na hivyo siku za moto zinapaswa kunywe maji kila siku lakini kwa hali yoyote si saa za mchana kumwagilia hufanywa jioni au asubuhi magonjwa yanayotokana na vimelea ambayo maandalizi ya fitosporin ni mazuri labda viwavi vinatokea vinaweza kuonekana upande wa nyuma wa majani ya matango katika vita dhidi ya wadudu mashamba ya phyto husaidia si mabaya sababu kuu kwa nini unaweza kukausha majani ya matango katika bustani kumwagilia magonjwa mbalimbali ya mimea (moja ya kawaida ni downy mold) kuchunguza majani yaliyokaushwa na kujaribu kujisikia kutambua sababu jaribu kuongeza kumwagilia na kuangalia matokeo majani kavu (mara ya kwanza) kutokana na ukosefu wa unyevu katika joto kwa kawaida majani ya chini yanakabiliwa kwanza katika vuli (au tayari katika agosti) majani kavu wakati wanaathirika na ugonjwa kutokana na ukweli kwamba serikali ya joto inakuwa mbaya joto la chini pia wadudu huweza kuonekana kwenye majani wengi njia ya ufanisi kunyunyizia dawa na wadudu moja ya salama phytoverm kuna matango na magonjwa ya vimelea poda ya sasa ya powdery matibabu topaz ya madawa ya kulevya na kiberiti ya colloidal kipofu cha uovu cha poda kinapaswa kutibiwa na oxychrome 04 amistar haraka majani lowermost kugeuka njano na kukauka na ni ya asili kama mwanzo kukauka na majani ya juu ya matango ni ama koga powdery (ugonjwa huu hutokea kwa sababu ya ghafla joto kushuka wakati kumwagilia matango au maji baridi kutoka kwenye bomba) kunyunyiza matango na maji ambayo yalikusanywa asubuhi au chakula cha mchana ikiwa maji mengi hata baada ya siku basi majani yatakauka kutoka kwa koga ya poda ni muhimu kupiga mimea kwa maandalizi maalum kutoka kwa magonjwa nilianza pia kukausha majani ya tango wakati wa siku za joto sana na kavu niliwasha mara kwa mara mara 1 kwa siku kisha maji yaliongezeka na matango yalipatikana haraka kwa hiyo kama majani ya matango kavu hii haimaanishi kwamba kuna wadudu labda unahitaji tu kushiriki katika kumwagilia aidha matango yanapenda maji kwa ujumla kuna chaguo 2 chaguo 1 unyevu wa kutosha tofauti 2 magonjwa yoyote ya mmea mara nyingi kosa ni sababu 1 ninakushauri tango la maji mara 2 kwa siku (asubuhi na jioni) lakini kwa kiasi kikubwa inapaswa kusaidia ikiwa sababu ya kumwagilia swali la kwa nini matango yanageuka njano katika chafu huwavutia kila mkulima na bustani wanaoishi katika kukuza katika eneo lililofungwa sababu za manjano ya majani ovari na matango zilizopandwa katika hali ya chafu au hali ya chafu zinaweza kuwa kadhaa sababu zinazowezekana uchafuzi wa kutosha na matokeo yake kuunganisha maskini kuzidisha mimea na ovari uharibifu wa mimea na wadudu au maambukizi ya vimelea ukiukaji wa mbinu za kilimo kwa matango kukua 1 kufungia au wastani wa wastani wa joto la kila siku 2 ukosefu wa mambo ya madini katika udongo 3 haitoshi kiasi cha unyevu kwenye joto la juu baada ya kuorodhesha sababu kuu kwa nini matango yanageuka njano kwenye chafu tutazingatia kwa undani zaidi kila moja ya matatizo haya ukiukwaji wa hali ya agrotechnical hali ya chini na baridi tango kama unavyojua mmea ni wa joto na hupendeza katika hali ya katikati ya eneo hasa mwishoni mwa mei kinachojulikana usafishaji wa theluji miche ya matango iliyopandwa chini ya makao ya filamu au katika greenhouses haiwezi tu kugeuka njano lakini pia inakua katika ukuaji na maendeleo ili kuzuia hili majani kugeuka matango manjano chafu lazima pia kufunika mimea kupandwa lutrasilom au bubble wrap wakulima wengi katika ndogo ya sifuri joto na baridi kuwekwa chini ya cover kama chupa za plastiki na maji ya moto ili kusaidia ukuaji wa kawaida na maendeleo ya matango joto tahadhari ni muhimu kukumbuka kwamba mmea huu unapendelea maendeleo yake ya joto katika +22 + 260c katika tukio ambalo hali ya joto huanguka chini + 140c au juu + 420c mmea huacha kukua na kuendeleza ikiwa joto ni chini ya 10c miche ya tango itafa hivyo ili kulinda tango kupandwa katika chafu baridi na joto la chini lazima ziwe zaidi kujificha filamu kuwekwa kwenye safu au yasiyo ya kusuka maalum vifuniko vya kifuniko kama vile lutrasil agrotex au spandbond hii ndiyo itasaidia kuweka joto likubalike kwa mimea katika chafu ukosefu wa vipengele vya madini katika udongo pia ni sababu kwa nini njano tango majani katika chafu inaweza kuwa ukosefu wa madini katika udongo ambapo mimea iliyopandwa kama kanuni majani ya matango katika chafu hugeuka manjano kutokana na ukosefu wa nitrojeni njano njano huanza na ukweli kwamba majani na rangi mwanga na kisha njano kabisa mishipa wenyewe na nafasi yote kati karatasi nimivposledstvii njano na mizabibu rasteniyaesche dalili zote zinaonyesha moja nitrojeni upungufu katika udongo ni sahihi inayotembea aina ya matunda nitrogen uhaba wa tango unaweza kusababisha maombi makubwa ya jivu potash na superphosphate ili kuepuka nitrogen upungufu katika matango miche ilipendekeza tango siku chache kabla ya kupanda katika chafu mbolea kulisha na dawa na ufumbuzi wa mambo ya kufuatilia (tazama jinsi ya kuchagua mbolea haki kwa matango katika chafu) wakati vuli na spring kuchimba katika greenhouses udongo ni muhimu kufanya mbolea zimeoza kwa kiwango cha ndoo mbili au tatu kwa 1m2 hii itasaidia kuepuka njaa ya nitrojeni katika mimea kama katika mchakato perekopok mbolea ilikuwa inatumika kabla ya kupandwa miche katika chafu unaweza kufanya ardhi zimeoza mullein na kwa muda wa msimu wa kupanda kulisha mimea na yenye maji mullein au mbolea ya kuku pamoja na infusion ya mimea ambayo pia inaitwa nyasi chai pia kusaidia kuondoa ukosefu wa nitrojeni katika maombi ya nchi ya mbolea zenye katika muundo wake azotzhelteyut majani ya tango katika chafu na chafu na wakati kuletwa ndani ya udongo mbolea nyingi mno kabla ya kufanya mbolea yoyote usome kwa makini maelekezo ya mtengenezaji kwenye ufungaji kutosha maji matango ni unyevuupendo mimea na wote zinahitaji mara kwa mara umwagiliaji na unyevunyevu juu katika chafu au chafu ambapo wao kukua hata hivyo kumwagilia mimea hii inapaswa kufanyika tu kwa maji ya joto na ya kawaida tango majani kugeuka njano katika chafu na kumwagilia maji baridi na ya kiasi yake halitoshi wakati ambapo kuna matunda yenye kazi kumwagilia lazima kuongezeka ni muhimu loanisha udongo kina kutosha kama ilivyokuwa kupenya kina cha maji kukuza si tu uso lakini pia mfumo undani mizizi sio kumwagilia mara kwa mara na kutosha utaonekana kwenye majani wenyewe na kwenye ovari na matunda ya matango uchafuzi wa pollination moja ya sababu kwa nini njano njano ya ovari ya tango katika chafu inaweza kuwa pollination mbaya ya mimea ya maua hii inaweza kutokea kutokana na ukweli kwamba kuna walikuwa tu kupanda mimea artificially mbelewele pamoja na kutokana na ukosefu wa uingizaji hewa na upatikanaji mdudu fursa uchavushaji wa (tazama jinsi ya kuvutia nyuki kulima zao nzuri) katika kesi hii unaweza kutumia kunyunyizia kufutwa katika maji na asidi ya boroni (5 gramu kwa lita 10 za maji) au pamoja na maandalizi buton au ovarimbinu from unaweza kutumia asili tamu maji dawa (kijiko kimoja cha asali mchanga au kufutwa katika lita mbili za maji) ambayo kuvutia wadudu msimu ujao katika chafu ambapo mpango wa kupanda matango bizari kupanda au mimea yoyote kupanda asali kama vile borage hisopo mimea hii itaweza kuvutia wadudu ndani ya chafu ambayo inaweza kupanua mimea na kukuza malezi ya ovari ya kawaida kuzidisha mmea kwa ovari kwa maandishi kujitoa kwa bustani na kukua matango katika greenhouses juu ya suala la kwa nini matango manjano chafu jibu ni kwamba si bora kuondoka kupanda mmoja zaidi ya 2025 ya ovari kwa wakati mmoja hii inatokana na ukweli kwamba matango yanaendelea haraka sana katika hali ya chafu aina nyingi za mseto zinaweza kuzalisha ovari zaidi ya mia moja na hamsini kwenye mmea mmoja kwa wakati mmoja inahitaji muda wa kubana nyuma shina mpya kuibuka na kuruhusu kawaida matango wazima iwapo shina zisizohitajika na ovari hapakuondolewa matunda wanaweza kuendeleza aina mbaya pamoja na matango manjano chafu uharibifu wa mimea na wadudu au maambukizi ya vimelea hivyo hebu kufikiri ambayo wadudu na magonjwa inaweza kudhuru matango na namna ya kukabiliana na yao (smbolezni matango katika greenhouses husababisha na matibabu) magonjwa ya vimelea fusarium wilt au fusariosis ni ugonjwa wa vimelea ugonjwa inajidhihirisha kama ifuatavyo tango kawaida kuota na kukua vizuri lakini mara tu ovari kuanza kuonekana mwanzoni majani ya njano tango katika chafu basi kuna kunyauka viboko kuvu vinavyosababisha ugonjwa huo hupenya ndani ya mmea na releases sumu kwamba kikomo ugavi wa virutubisho na madini ili majani na steblyamsposobom kupambana maambukizi ya vimelea ni mabadiliko ya mara kwa mara ya aina kupandwa katika chafu na sehemu badala ya udongo kuathirika mildew ni ugonjwa wa vimelea katika ugonjwa huu kuvu huzuia mchakato wa photosynthesis kwenye mmea kwanza matangazo madogo yanaonekana kwenye majani ya tango ambayo kwa hatua kwa hatua huenea kwenye uso mzima wa jani katika majani yote ya mmea kuna patina nyeupe au ya kutu juu ya uso wa juu wa blade la majani baada ya hapo majani ya matango katika chafu hugeuka njano na kavu ili ugonjwa usio tembelea chafu yako katika msimu ujao unahitaji kuchukua hatua kadhaa kwanza kabisa wakati wa kuchagua aina ya matango kwa ajili ya msimu ujao makini na upinzani wa daraja hasa kwa koga pamoja na kufanya kila mwaka udongo kilimo katika chafu pamanganeti potasiamu au kijanimbolea pungufu ya powdery (pernosporosis) kuibuka kwa ugonjwa huu katika greenhouses inachangia mimea sana lenye kupandwa na unyevu kupita kiasi udongo na hewa katika teplitsepervye dalili za koga muonekano kwenye matawi njano na mkali spots ambayo ni vikwazo kwa mishipa baadaye matangazo huwa ya mafuta na ya njano na hatimaye kuwa kahawia juu ya manyoya ya sahani karatasi katika maeneo ambapo kuna matangazo sumu kijivu kahawia mipako ikiwa huchukua hatua yoyote mmea utakufa ndani ya siku chache ikiwa matango ya njano katika chafu pia sababu ya jambo hili linaweza kuoza mizizi kutokana na ugonjwa huu unaweza kuteseka mimea katika hatua yoyote ya maendeleo sababu ya lesion hii ya tango inaweza kuwa tofauti kubwa ya joto wa mchana na usiku na pia umwagiliaji na baridi alitetea vodoypervymi dhaifu mimea wanakabiliwa na kushtua na kisha kwa njia ya udongo kuambukizwa na mimea mingine ili kuzuia uharibifu wa mitambo ya ugonjwa huu unahitaji kutumia mara mbili usindikaji eneo la kimsingi dawa za kulevya previkurom kulingana na maelekezo kwa ajili ya msimu wadudu wadudu caviar ya meloni anapendelea wadudu hii kuwa kutawala manyoya ya majani ya tango na hula mimea sap kwa nini njano matango katika chafu na katika chafu mimea ya mchanganyiko ni hatari kwa matango wakati wa majira ya joto inaonekana wadudu hii kwanza kabisa upande wa ndani wa tango jani ambapo anatoa utando kidogo kwanza matangazo nyeupe au nyeupe yanaonekana kwenye karatasi na kisha majani yanafunikwa kabisa na matangazo ya njano na kavu katika siku ya joto ya buibui rejeza tena na wakati si kupigana naye kwa mfano dawa akarin tsimbush fitoverm na wengine inawezekana kupoteza mimea yote katika chafu matangazo ya njano kwenye majani ya matango familia nyingi zilizo na shamba ndogo ndogo zinapendelea kukua mboga kwa mfano matango hii itaruhusu kwa wakati majira ya kufurahia matunda ya rafiki wa mazingira na kufanya pickles na seaming majira ya baridi hata hivyo kilimo cha mimea hii inayoonekana kuwa isiyojitokeza inahusishwa na matatizo fulani wakulima wengi wanalalamika kuonekana kwa majani ya njano kwenye matango sababu ya jambo hili haijulikani kwa wengi labda ugonjwa au ukosefu wa kitu hebu tuchunguze kwa nini majani ya tango yanageuka njano na jinsi ya kukabiliana nayo katika majani ya matango matangazo ya njano sababu mara nyingi vidonda vya majani ya mboga hii nzuri vinahusishwa na hali mbaya na mazingira magumu kwa hiyo kwa mfano maambukizi ya vimelea kama vile anthracnose inadhihirishwa na kuonekana kwa matangazo ya njano na nyekundu kwenye shina na majani ya tango kawaida hutoka kutokana na kutosha kwa hewa ambayo ni kawaida kwa kupanda kwa mimea ya maji baada ya muda matangazo haya huwa vidonda vilivyojaa mucus wa pink sababu ya kwamba majani ya matango yanasababisha njano kunaweza kuwa na ugonjwa mwingine ascochitis pia ni maambukizi ya vimelea ambayo inaweza kuwa watuhumiwa na ukweli kwamba tango majani kugeuka njano pembezoni na kuna mwanga kahawia na mwanga kijivu spots ambayo ni kufunikwa na dots nyeusi sporekutengeneza kuvu chembe maonyesho hayo yanaonekana kwanza kwenye nodes ya chini ya shina la mmea kisha matango hugeuka majani ya chini ya njano dhaifu na chini ya taa askohitoz kuenea kwa kasi zaidi mboga na matunda wameathirika njano bua na kisha kuisha na chafua matunda yenyewe kuna ugonjwa tango wakati majani kugeuka njano kuna madoa kwenye karatasi juu pamoja mishipa upande wa chini ni kufunikwa na rangi ya kijivuzambarau bloom kisababishi magonjwa spora za kuvu peronosporosa au moldy downy kama maambukizi yanaendelea tete hizi za mafuta huwa kahawia tishu zilizoathiriwa na majani huanguka nje na mmea hufa sababu kwamba majani ya miche ya tango hugeuka njano labda mosaic ugonjwa wa virusi kwa kawaida yanaendelea katika vipande vya miche kwa njia ya matangazo nyeupe na njano katika nyota umbo mguu mweusi je ni ugonjwa wa vimelea unaohusika na miche walioathirika awali inakuwa mizizi basi majani tango cotyledonary kimanjano (kwanza mbili) zamu kahawia mzizi collar magonjwa ni hatari kwa sababu mara nyingi husababisha vifo vingi vya miche wakati wa njano ya makali ya majani wakati mwingine huongoza upungufu wa potasiamu ikiwa juu ya majani ya njano ya majani kati ya mishipa kuwa hivyo inaonekana ukosefu wa magnesiamu nini ikiwa kuna matangazo ya njano kwenye majani ya matango ikiwa anthracnose inapatikana mimea yote iliyoathiri inapaswa kuondolewa ili kuzuia uchafu wa upandaji wote kama dalili ya kwanza ya ugonjwa ni muhimu kufanya kinachojulikana dawa matango bordeaux mchanganyiko 1 ufumbuzi wa sulfate shaba na chokaa (100 g kwa kila dutu katika lita 10 za maji) kwa askohitosis inashauriwa kuifuta sehemu zilizoathirika za mimea na mchanganyiko kavu wa chokaa na majivu pamoja na kunyunyizia dawa basal sehemu ya matango bordeaux mchanganyiko wakati dalili ya kwanza ya koga downy ya kutua tango inaweza kutibiwa na ufumbuzi wa pamanganeti potassium kuchukua katika lita 10 za maji 2 g ya nyenzo kwa vidonda vikubwa fungicides maalum zinahitajika kupambana na ugonjwa huo ikiwa mimea imeathiriwa na mguu mweusi kumwagilia na suluhisho dhaifu ya permanganate ya potasiamu itahitajika wakati maandishi ya kielelezo yanapoonyeshwa hatua kuu zinapungua kwa uharibifu wa mimea iliyoathiriwa na udongo wa udongo na suluhisho la 5 rasmi tango miche kugeuka majani ya njano | ls matango yaliyopandwa katika dacha ni harufu nzuri na yanafaa wanatofautiana kwa kiasi kikubwa katika ladha kutoka kwa mboga za kununuliwa katika maduka makubwa lakini kukua matango yenye afya sio rahisi mmea unakabiliwa na magonjwa mengi mara nyingi wakulima wanakabiliwa na tatizo ambalo miche ya tango hugeuka majani ya njano tatizo linaanza wakati karatasi ya pili inaonekana majani ya pili yanakua na kwanza huanza kubadilisha rangi na inaweza kuwa si kabisa katika substrate ambayo miche ni kupanda kwa nini tango ni wagonjwa katika hatua ya mwanzo ya maendeleo sababu za kuchoma majani inaweza kuwa kadhaa zile kuu ni ukosefu wa potasiamu nitrojeni sulfuri kalsiamu manganese kwenye udongo usawa na potassium uwiano sahihi wa mambo ya 1 hadi 2 overabundance ya nitrojeni huathiri rangi ya asili majani na inaweza kusababisha sumu ya amonia kunyunyizia kutosha huathiri njano ya miche pamoja na overmoistening kali tofauti ya joto ikiwa joto katika ukanda wa mizizi huanguka chini ya digrii 17 basi mmea hauwezi kuchukua kutoka kwa udongo micro na vipengele vingi katika hali hii ya joto hata kama vitu vyote muhimu vinapatikana kwenye udongo haziingizii shina ina sumu na sumu wakulima wengine huweka miche kwenye sahani za povu kamba inaweza kuharibiwa na sumu na misombo ya kemikali ambayo secrete safu insulation kwa sababu mizizi ya mmea kuwasiliana nayo mbolea wakikutana na povu unaweza kusababisha mageuzi ya vitu hatari ambayo si hatari tu kwa ajili ya miche lakini pia kwa ajili mazao miche inaweza kuingizwa kikombe cha peat wengi wa bustani mara moja hupanda mbegu chini mizizi inahitaji nafasi na lishe njano ya majani inaweza kuonyesha kwamba mmea unakaribia kupandwa ukosefu wa mwanga majani ya matango yanageuka njano nifanye nini tathmini kiwango cha mbolea usizidi maudhui ya amonia ya suluhisho kwa ukosefu wa nitrojeni unahitaji kuimarisha mmea kwa vermistim au azogran ikiwa mstari wa povu hutumiwa kisha uifunika kutoka juu na filamu ikiwa mbegu inakua kwenye balcony basi unaweza kutumia backlight usisahau kufuata microclimate matango yanapenda maji hivyo usipige maji hata hivyo kumbuka kwamba mmea unapaswa kumwagilia tu kwa maji ya joto joto la mitaani ikiwa maji ya mimea yenye maji baridi magonjwa hayawezi kuepukwa katika hatua ya mbegu mmea ni nyeti sana kwa ukosefu wa potasiamu ikiwa haufuatii maendeleo matango yatakua kwa sura isiyo ya kawaida ufumbuzi bora wa virutubisho kutokana na mbolea ngumu hufaa kwa miche ya matango kwa mfano kemira hydro tango huwa na manjano nini cha kufanya kwa nini hugeuka njano kwenye chafu au kwenye kitanda ikiwa risasi ya tango yanaendelea vizuri chini ya hali zinazofaa mmea una rangi ya kijani iliyojaa hata hivyo mara nyingi mashamba ya nchi na katika greenhouses kuna majani ya njano ya matango ukweli huu hauwajibu tu ubora na wingi wa mazao lakini pia uhifadhi wa miche kwa ujumla inajulikana kuwa njano ya mashamba ya kijani inaonyesha matatizo katika maendeleo au huduma ya shina la kijani hivyo je ikiwa matango yanageuka njano kitandani au katika chafu sababu kuu na mbinu za kuondoa ya kuu na wakati mwingine sababu pekee ya njano ya manjano inakua katika picha hiyo haitoshi au kumwagilia ukweli ni kwamba kwa maendeleo kamili ya matunda kiasi fulani cha unyevu inahitajika ovari ndogo na matango yaliyotengeneza hutolea unyevu kutoka majani ikiwa wana maji ya kutosha basi matunda na majani hujaa kikamilifu ikiwa kuna uhaba mboga hutolea maji na maji muhimu kutoka kwa majani ambayo husababisha njano ili kurudi mmea rangi nzuri ya kijani ni muhimu kutumia mbinu ya umwagiliaji ifuatayo kuzaza vitanda na maji ya joto kwa kiasi cha kutosha kufanya maji ya kawaida wafanyabiashara wenye ujuzi wanapendekeza kumwagilia vitanda vya tango mara mbili kwa wiki kwa mimea imejaa unyevu lita 25 za maji ya joto zinapaswa kutumika kwa kila kichaka wakati huo huo huhitaji joto la maji kwa njia ya mitambo chaguo bora ni inapokanzwa kwa msaada wa jua kwa kufanya hivyo pipa kwa kumwagilia ni kujazwa asubuhi na kushoto jua siku nzima iwapo jioni maji yatapungua joto mojawapo na itakuwa tayari kutumia njano ya matango katika chafu wale ambao wanahusika katika kupanda miche katika vitalu vya kijani vya polycarbonate mara nyingi wanakabiliwa na tatizo la mazao ya njano na ovari kwenye matango kuna sababu kadhaa za hii ghafla usiku baridi maudhui duni ya madini katika udongo ukosefu wa unyevu kushindwa kwa mimea kwa ugonjwa ushawishi wa wadudu hizi ni sababu kuu za matango ya njano ya njano ili kuondokana nao ni muhimu kuharibu chafu kutoka kwa polycarbonate wakati wa kufungia ili kukata ovari nyingi kutumia njia za kupambana na magonjwa na wadudu ambao huambukiza matango wakulima wa lori wenye ujuzi wanajua kwa nini majani ya manjano ya matango katika chafu sababu ya mara kwa mara ni kumwagilia kwa kiasi kikubwa na kutosha hewa ya kijani aidha ni muhimu kwamba unyevu hauna kukusanywa kwenye tabaka za juu za udongo lakini huingilia zaidi kisha mfumo wa mizizi ya matango utaendeleza vizuri na utaweza kulisha kutoka kwenye tabaka za kina za udongo matajiri katika madini mara nyingi jibu la swali kwa nini majani ya njano ya matango kwenye picha yanafunikwa katika baridi za ghafla ambazo zinaweza kutokea mwishoni mwa mwezi wa mei ikiwa iligundua kwamba baada ya usiku wa baridi kwenye tango la kijani kuharibiwa kwa ovari wanapaswa kuondolewa mara moja na kukata sehemu na ufumbuzi wa permanganate ya potasiamu ili kuzuia maendeleo ya magonjwa miche hutumiwa kwa kuongeza 1 ya majibu ya bordeaux ikiwa matango yanapo kwenye chafu na majani yanageuka ya manjano na matangazo hii inaweza kuonyesha kuwa mimea haitoshi potasiamu ili kurejesha rangi ya majani inashauriwa kuimarisha miche matango katika bustani licha ya kiasi kikubwa cha jua na hewa safi kwenye ardhi ya wazi hutokea kwamba majani ya njano ya tango kwa nini hii inatokea na jinsi ya kutatua tatizo hili ikiwa unashangaa na kwa nini majani ya manjano ya tango unahitaji kuchunguza kama shamba la ardhi ambalo limekuwa limechaguliwa vizuri katika udongo huo haipendekezi kupanda kila mwaka mboga hiyo mila inahitaji kubadilishwa zaidi katika bustani na matango katika kilele cha siku ya moto jua haipaswi kuteketezwa na mionzi ya mmea mimea yote inapaswa kuwa katika kivuli ikiwa miche ya tango hugeuka njano makini na wakati gani wa maji ya siku unatumika wakati bustani ikimwagikia usiku mchana maji ambayo huanguka kwenye majani yanachomwa moto kwa hiyo inashauriwa kuimwa maji jioni au asubuhi masaa kwenye kitanda cha bustani pamoja na vitanda vya kijani vya polycarbonate mimea inaweza kuharibiwa na wadudu au magonjwa sababu hizi za hatari husababisha pia majani ya njano jinsi ya kulinda matango ili kuhakikisha kwamba vitanda au vitalu vya kijani na matango vimefanywa vizuri na hawatambukiwi na magonjwa ya aina zote ni muhimu kuzingatia mzunguko wa mazao mifugo ya familia ya malenge inapaswa kupandwa katika udongo huo kwa vipindi vya misimu 4 katika kijani udongo unapaswa kuharibiwa mara kwa mara au kubadilishwa kuwa mpya inashauriwa kutumia ulinzi wa kibiolojia wa mimea kwa lengo hili kabla ya kupanda biofungicide iliyo na trichodermine imejaa kila vizuri dutu hii huchochea ukuaji wa miche hupunguza vimelea na hulinda majani kutoka njano kwa binadamu na mazingira trichodermine si hatari nini kingine ninaweza kufanya ili kuzuia njano kwenye majani ya matango siri kuu ni kutoa miche na vitamini muhimu na microelements ni muhimu pia kudumisha ngazi ya microflora na kuzuia tukio la magonjwa ya vimelea kwa hiyo wanashangaa kwa nini majani yanageuka manjano kwenye matango ni muhimu kujua sababu inaweza kujificha katika kumwagilia vibaya huduma maendeleo ya magonjwa na ushawishi wa wadudu baada ya kuanzisha sababu halisi inashauriwa kutatua tatizo hilo mara moja kwa sababu ushawishi wa muda mrefu wa mambo mabaya inaweza kusababisha kifo cha mimea 1 inawezekana sababu vitanda vya mboga hunywa maji kwa usahihi mimea haipati unyevu wa kutosha kama matokeo majani ya njano matango kinyume chake kumwagilia kwa kiasi kikubwa kunaongoza kwa upandao wa kuoza nifanye niniudongo kwenye kitanda cha tango lazima uwe na mvua kwa sentimita kadhaa kwa kina kawaida ni ya kutosha kumwagilia mboga asubuhi au jioni mara 34 kwa wiki kwa hiyo maji haipaswi kumwaga kwenye majani vinginevyo watapata kuchomwa moto 2 inawezekana sababu unafaa maji mboga lakini tazama kwamba majani ya tango yamegeuka ya njano na kavu labda mahali potofu huchaguliwa kwa kitanda cha mmea wa kupendeza unyevu jua nifanye ninitango inapaswa kupokea mwanga lakini haiwezi bila kivuli kwa sababu babu yake wa mwitu alificha jua kali akipanda mimea ya juu unda shading bandia kutoka upande wa kusini 3 inawezekana sababu mboga hawana mavazi ya juu ya kutosha ambayo husababisha manjano ya majani kwenye matango hakuna nitrojeni ya kutosha kwa mara ya kwanza majani ya juu yaliwaka na kuacha basi wale walio chini hupata rangi ya kijani ovari huwa njano matunda ni dhaifu taper kama karoti shina hupambwa ukosefu wa kalsiamu pia unaweza kusababisha sababu ya majani ya manjano ya tango wanachukua fomu ya dome au msumari mahali fulani hufa mbali na matunda huoza kutoka juu ukosefu wa potasiamu majani ya matango yanaonekana kuchoma kisha kugeuka nyeupe na kugeuka kwenye mviringo vipande vilivyo na rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi yenye rangi ya pear ukosefu wa magnesiamu majani ya zamani ya matango yanageuka ya manjano kisha ni kijivu au kuwa kahawia kavu na kuanguka rangi ya kijani inabaki katika mishipa nifanye niniunahitaji kufanya mbolea sahihi mazao ya bustani wenye mafanikio katika majira ya joto hupendekeza kupamba mavazi ya juu mawingu kunyunyizia majani ni muhimu kuchagua mbolea za kikaboni mifano ya mavazi ya ziada unahitaji nitrojeni kumwaga vitanda vya tango na infusion ya mullein diluted na maji 110 kufanya mavazi ya juu juu ya mbolea na uchafu na majani calcium futa matango na ufumbuzi wa 1 ya nitrati ya kalsiamu potasiamu kuongeza majivu ya maji diluted katika maji kwa kiwango cha 100 g kwa ndoo 10 lita magnésiamu fanya nguo ya nguo na nitrati magnesiamu diluted katika maji kwa kiwango cha 100 g kwa ndoo 10 lita 4inawezekana sababumimea huangaza frosts ghafla husababisha dhiki katika kupanda majani yanataka na kugeuka manjano na matango jinsi ya kupigana kwa hili na kama unaweza kuokoa kutua hujui nifanye niniasubuhi baada ya baridi nyunyiza mimea na maji baridi unaweza kuongeza ndoo 10lita 2 g ya manganese kama boroni na shaba nyingi baada ya hapo matango ya pritenit kwa hiyo walipungua kwa kasi kuhifadhi matango yaliyohifadhiwa pia itasaidia kunyunyiza juu na chini ya jani kwa kuchochea ukuaji kama epinextra au zircon 1 ml ya madawa ya kulevya inapaswa kufutwa katika ndoo 10 lita ya maji acidified na bana asidi citric au vijiko viwili vya asidi ya boroni tengeneza mmea na kurudia utaratibu kila wiki hadi upandaji utakaporudishwa 5inawezekana sababu matango ni wagonjwa majani ya matango yaliyoathiriwa haraka hugeuka njano na kuanguka na zifuatazo zinaonekana uharibifu wa msingi na matunda kuboresha ya shina kuondoa chini ya shina kifo cha ovari na kusimama kwa maendeleo ya wiki uwezekano mkubwa zaidi mimea ilipata ugonjwa na fusariosis nifanye ninimimina tango 02 ya ufumbuzi wa fungicide matibabu hurudiwa baada ya wiki majani ya matango yanageuka ya manjano na yamepotoka na mipako yenye kutu au mwanga juu kavu matunda pia yanaweza kufunikwa aina hii ya ugonjwa poda huonekana kwa kawaida kwenye mimea katika hali ya hewa ya mawingu nifanye nininyanya matango na suluhisho la 1 la bordeaux au ufumbuzi wa sulfate 5 yenye feri vinginevyo kutibu kupanda kwa suluhisho la mullein (sehemu 1 ya mbolea mbolea na sehemu 3 za maji) 6 inawezekana sababu ikiwa huwezi kujibu swali kwa nini tango za majani zinageuka njano na jinsi ya kukabiliana na hilo tahadhari na mizizi na upande wa nyuma wa majani labda wao ni tu kuharibiwa na wadudu nifanye ninimatango ya mchakato na maandalizi ya kemikali yafaa ya kupambana na wadudu nyuzi na wadudu wengine jinsi ya kutambua harufu kutoka kinywa harufu mbaya inayotokana na kinywa ni tatizo la kweli harufu mbaya haitakataza interlocutors na uzuri bila uongo jinsi ya kuwa mgumu bila babies vipodozi vya mapambo hii ni msaada halisi kwa wanawake wengi na data ya asili jinsi ya kujiondoa hasira baada ya kunyoa katika eneo la karibu uhamisho wa eneo la karibu linamaanisha taratibu za maridadi huduma ya eneo hili inapaswa kuwa sahihi
2019-09-18T23:48:27
https://4udak.ru/sw/gardening/leaves-of-cucumbers-turn-yellow-spots-folk-remedies-against-powdery-mildew/
un kupiga kura dhidi ya zana za kemikali syria | matukio ya kisiasa | dw | 24022017 un kupiga kura dhidi ya zana za kemikali syria mjumbe wa umoja wa mataifa kuhusu syria staffan de mistura ameyataka makundi yanayotofautiana katika mazungumzo ya taifa hilo linalokumbwa na mzozo watafute mwafaka utakaopelekea kufikia kikomo kwa mapigano hayo mjumbe wa umoja wa mataifa kuhusu syria staffan de mistura mazungumzo kuhusu mapigano hayo yaliyodumu kwa kipindi cha miaka sita yanatarajiwa kudumu kwa siku nzima ijumaa kwenye ufunguzi wa mazungumzo hayo alhamis huko geneva uswizi de mistura alisema hatarajii miujiza katika kupatikana kwa suluhisho na akaonya pia kutakuwa na malipo iwapo suluhu halitopatikana kwa mara nyengine mjumbe huyo wa umoja wa mataifa alisema hili ni jukumu letu jukumu letu la kuhakikisha kwamba kizazi kijacho cha watoto wa syria hakishuhudii kipindi kirefu cha mapigano na umwagikaji damu kwasababu kuna maelfu na maelfu ya kina mama na wasichana wanaotarajia kwamba hili suala litakuwa mojawapo ya manufaa ya mazungumzo yoyote na siwezi kulikataa hilo kwasababu nahisi jinsi wanavyohisi alisema de mistura hnc inataka iwe mwakilishi wa pekee de mistura amesema atafanya mazungumzo ijumaa kwa mujibu wa mwongozo uliopo upande mkuu wa upinzani hnc umesema unataka kukutana na serikali moja kwa moja ila makundi mengine mawili ya upinzani yaliyo na makao yake moscow na cairo na ambayo kwa sasa yako huko geneva yamesema pia kwamba yanataka kuwepo kwenye mazungumzo hayo lakini hnc imesisitiza kwamba iwe mwakilishi wa pekee wakimbizi kutoka syria hnc imesema kwa lolote lile kuafikiwa ni sharti rais wa syria bashar al assad aondoke afisini lakini hayo makundi ya moscow na cairo yana msimamo wa kadri kuhusiana na rais assad huku mazungumzo hayo yakiendelea mlipuaji wa kujitoa mhanga aliwauwa watu 45 wengi wao waasi katika mji wa albab huko syria ijumaa mji waliokuwa wameuteka kutoka kwa wapiganaji wa kundi la islamic state is saa chache kabla tukio hilo taarifa kutoka kwa shirika la kutetea haki za kibinadam la syria zilisema mlipuaji huyo alilipua gari lililokuwa limesheheni vilipuzi eneo la susian lililoko kilomita nane kaskazini mashariki mwa mji huo wa albab uliotwaliwa na waasi wanaoungwa mkono na uturuki siku ya alhamis baada ya wiki kadhaa za mapigano unsc kupiga kura wiki ijayo kuhusu silaha za kemikali hayo yakiarifiwa wanadiplomasia wanasema baraza la usalama la umoja wa mataifa unsc mapema wiki ijayo linatarajiwa kupigia kura azimio litakalowapelekea makamanda na maafisa 11 wa jeshi la syria kuwekewa vikwazo kufuatia mashambulizi ya kemikali azimio hilo pia linatarajiwa kuweka marufuku ya kuuzwa kwa ndege aina ya helikopta kwa serikali ya syria rais wa syria bashar al assad akataa kutumika kwa silaha za kemikali serikali ya rais bashar al assad imekanusha kwamba wanajeshi wake wametumia zana za kemikali kemikali aina ya chlorine inayodaiwa kutumika kama silaha huko syria imepigwa marufuku chini ya makubaliano ya zana za kemikali ambayo syria ilitia saini na kukubali kuyatii mwaka 2013 kufuatia uchunguzi uliofanywa na umoja wa mataifa marekani mwezi januari iliwawekea vikwazo maafisa 18 wakuu wa syria iliosema wanahusika na mpango wa silaha za mauaji ya kiasi kikubwa mada zinazohusiana wto antonio guterres geneva aleppo maneno muhimu umoja wa mataifa staffan de mistura geneva syria kiungo https//pdwcom/p/2ybs5
2018-12-11T07:35:20
https://www.dw.com/sw/un-kupiga-kura-dhidi-ya-zana-za-kemikali-syria/a-37701461
polisi ujerumani wachunguza kisa cha lori lililoibiwa | matukio ya kisiasa | dw | 08102019 polisi ujerumani wachunguza kisa cha lori lililoibiwa polisi ujerumani inamshikilia raia wa syria kwa tuhuma za kuiba lori alilolitumia kuyagonga magari yaliyokuwa yamesimama kwenye taa za barabarani katika mji wa limburg ulioko magharibi mwa ujerumani vyombo vya habari vya ujerumani viliwanukuu maafisa wa usalama wakisema tukio hilo lililotokea jana jioni linachukuliwa kama ni la kigaidi mwendesha mashitaka ralf badle amekataa kuzungumzia hilo lakini akisema linachukuliwa kama jaribio la mauaji amesema polisi ilifanya msako kwenye makazi yanayohusishwa na mtuhumiwa na kukamata simu za mkononi na vifaa vya kuhifadhia data na kuongeza kuwa uchunguzi bado unaendelea kijana huyo wa miaka 32 alitarajiwa kufikishwa mbele ya jaji ambaye ataamua iwapo kuna haja ya kutoa waranti rasmi wa kukamatwa kwa mujibu wa shirika la habari la ujerumani dpa ni kuwa aliwasili ujerumani kutokea nchi aliyolaziliwa syria mwaka wa 2015 na akaishi katika eneo la offenbach karibu na frankfurt alipewa ulinzi mwaka uliopita hadhi wanayopewa wale ambao hawatimizi viwango vya kuwa wakimbizi lakini wako hatarini kama watarejea katika nchi zao walizotoka waziri wa mambo ya ndani wa ujerumani horst seehofer amesema chanzo cha tukio hilo bado hakijawa wazi shirika la habari la umma zdf likitaja duru za kiusalama ambazo hazikutajwa limesema mapema leo kuwa maafisa wanaamini tukio hilo linahusishwa na itikadi kali alipoulizwa kama kuwa uwezekano lilikuwa shambulizi la kigaidi waziri seehofer aliwaambia wanahabari kabla ya mkutano wa umoja wa ulaya mjini luxembourg kuwa kwa wakati huu kitendo hicho bado kinachunguzwa ofisi ya mwendesha mashitaka ambayo huzishughulikia kesi za ugaidi nchini ujerumani imesema kuwa kwa sasa haina mamlaka kuhusiana na kesi hiyo kwa sababu hakuna ushahidi wa kutosha kwamba lilikuwa shambulizi la kigaidi tukio hilo limetokea karibu miaka mitatu baada ya muomba hifadhi wa kitunisia aliyenyimwa kibali kuwauwa watu 12 kwa kuwagonga na lori katika soko la krismasi mjini berlin maneno muhimu ujerumani limburg horst seehofer kiungo https//pdwcom/p/3qtx6
2019-10-17T10:27:29
https://www.dw.com/sw/polisi-ujerumani-wachunguza-kisa-cha-lori-lililoibiwa/a-50740620
wajibu wetu ni nini | jamiiforums | the home of great thinkers wajibu wetu ni nini discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by amoeba jun 16 2011 wakuu wanajf binafsi nimekuwa hapa jf kwa muda mrefu sasa shukrani kwa maxence na wote walio nyuma ya jf jukwaa hili sasa ni kutaniko kuu la vijana wazee wasomi wanasiasa (vyama vyote) na watu wa kada zote pia nafarijika sana napokutana na nguli wa siasa za tanzania japo wengine tunaficha majina lakn lengo linabaki mojakuijenga msingi wa maendeleo ya tanzania mimi si mchambuzi wa siasa lakn kulingana na muenendo wa siasa za nchi yetu kwa miaka ya karibuni ni dhahiri kabisa kuwa ccm chadema na cuf ndiyo vyama pekee ambavyo vinawanachama na wafuasi wengi katika mikoa yote ya tanzania hii inatokana na ama sera ziletazo matumaini au ushabiki wa kawaida kama wa simba na yanga makundi yote hayo hukipa uhai chama japo kundi la pili linaleta mashaka kidogoushabiki ushabiki usingekuwa na tabu sana kama ungeonekana vijiweni lakn inatia mashaka kiasi kama suala la ushabiki linakuwa kipaumbele kwa wanachama wengi wa jf (the home of great thinkers) inakuwa ngumu kuingia akili pale kijana wa kitanzania anaposhabikia hoja zenye muelekeo hasi kwa maendeleo ya nchi yetu ati kwa sababu tu ya uchadema uccm au ucuf hivi wajibu kwa nchi yetu na vizazi vyetu vijavyo ni upi hivi kuna muda ambao tunawaza huru bila kuathiriwa na imani zetu za kichama hivi kuna muda ambao tunajadili mada kigreat thinker kweli lugha zenye utata na mielekeo hasi ziko dhahiri hapa jf tena kauli nyingine zinatoka miongoni mwa viongozi wetu ndiyo haiingii akilini mbunge waziri au raisi (aliye madarakani au mtarajiwa) anatetea hoja hasi kwa nguvu ya kushangaza hivi kweli siasa za tanzania zimefikia hatua ya kutuma majeshi ya kuchafua katika mitandao siyo siri kuna vijana wanalipwa na vyama kuja jf kuleta propaganda za uchafuzi (vyama vyote) sioni kabisa muelekeo wa nchi kwa sr tunazosimamia hasa sisi vijana ulishawahi kujiuliza tanzania itakuwa katika hali gani miaka ishirini ijayo ulishafanya nini kuleta impact katika future ya tanzania pendwa tutake tusitake tanzania ni nchi yetu itajengwa ama kubomolewa na sisi wenyewe maandishi ttunayoandika humu yatabaki na yatatushitaki katika nyakati ningefurahi kama mods wangeiweka thread hii sehemu inayoonekana vyema ili kila awaye aisome huenda watu tukaumia vichwa vyetu kufikiri asanteni kwa kuniskiliza asanteni kwa kuniskilizaclick to expand mkuu vijana wa kinepi ndo wapo wengi sana humu japo hata vijana wa magwanda pia wapo mkuu vijana wa kinepi ndo wapo wengi sana humu japo hata vijana wa magwanda pia wapoclick to expand si mbaya mkuu kuwa na vijana wa cdm ccm cuf na vyama vyote alimradi tu wasimamie maslahi ya umma na si maslahi ya mabwana wao na matumbo yao they are a shame
2016-10-22T18:01:38
http://www.jamiiforums.com/threads/wajibu-wetu-ni-nini.146319/
jk azindua nyumba za gharama nafuu ~ uhuru online ' if(imglength>=1) { imgtag = ' na sophia wakati mkinga rais jakaya kikwete amefungua mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu wilayani mkinga ujenzi ambao umegharimu sh bilioni 14 hadi kukamilika kikwete alifungua mradi huo juzi katika ziara yake ya kikazi mkoani humo rais alipongeza jitihada za shirika la nyumba la taifa (nhc) kufanikisha mradi huo huku akiitaka halmashauri ya wilaya hiyo kufanya nalo mawasiliano ili kupata nyumba zitakazowezesha watumishi wake kupata makazi alisema iwapo halmashauri itafanyia kazi suala hilo kwa kuzungumza na nhc upo uwezekano wa serikali kuu kuangalia uwezekano wa kuwaondolea kodi ya ongezeko la thamani (vat) suala ambalo litawarahisishia kuzinunua taarifa iliyowasilishwa kwa rais kikwete na kaimu mkurugenzi mkuu wa nhc felix maagi ilisema mpango huo wa ujenzi ulibuniwa na shirika hilo katika mpango mkakati wake wa miaka mitano ulioanza mwaka 2010 ukitarajiwa kukamilika mwakani ambao unalenga kupunguza uhaba wa nyumba hasa kwa watu wa kipato cha kati na chini katika maeneo mbalimbali nchini maagi alisema mpango huo wa ujenzi umekuja huku ikiwa imegundulika kuna mahitaji makubwa ya nyumba nchini ambayo yanakadiriwa kufikia milioni tatu huku kukiwa na ongezeko la nyumba 200000 kila mwaka wakati uzalishaji ni asilimia 10 kwa mwaka mzima alisema mradi huo wa nyumba 40 uliofanyika mkinga ni mojawapo wa sehemu ya utekelezaji wao wa mpango huo wa nyumba za gharama nafuu kaimu mkurugenzi mkuu huyo alisema mradi huo unasimamiwa na kutekelezwa na wataalamu wa shirika hilo ambapo ulianza januari mwaka jana na utakamilika mwishoni mwa mwezi huu kwa mujibu wa maagi utaalamu uliofanyika kujenga nyumba hizo ni wa kisasa ambapo tofali za gharama nafuu zenye mchanganyiko wa udongo na saruji ambazo zimetengenezwa na mashine maalumu ya hydroform ndizo zilizotumika alibainisha kuwa fedha za mradi huo zimetolewa na shirika kupitia mikopo kutoka taasisi za kifedha ambapo nyumba hizozitauzwa kwa sh milioni 40 bila vat huku shirika likishughulikia uwekaji umeme na miundombinu ya maji na barabara katika eneo la mradi
2018-02-23T11:52:41
http://uhurunewspaper.blogspot.com/2014/07/jk-azindua-nyumba-za-gharama-nafuu.html
chuo cha uongozi wa kiafrika (ala) 2019 kwa vijana vijana afrika (mpango wa chuo kikuu cha miaka miwili) msaada wa kifedha unaopatikana | | fursa kwa waafrika nyumbani piga simu kwa maombi chuo cha uongozi wa kiafrika (ala) 2019 kwa viongozi wa vijana kote afrika (chuo kikuu cha miaka miwili kabla chuo cha uongozi wa kiafrika (ala) 2019 kwa vijana vijana afrika (mpango wa chuo kikuu cha miaka miwili) msaada wa kifedha unaopatikana maombi tarehe ya mwisho oktoba 31st 2018 chuo cha uongozi wa afrika (ala) inataka kujiandikisha viongozi bora zaidi kutoka afrika na duniani kote ala sio tu kuangalia kwa vijana ambao ni wenye ujuzi na wanaostahili elimu tunatafuta pia vijana wenye uwezo wa kuongoza na kuathiri ulimwengu unaowazunguka kupitia ujasiri mpango na uvumbuziachambuzi wa uhamisho ala inataka kuandikisha vijana wenye umri wa miaka 16 kwa 19 kulingana na vigezo hapa chini uwezekano wa uongozi katika chuo cha uongozi wa kiafrika tunatafuta viongozi wa vijana na uwezo wa kubadilisha afrika na ulimwengu tunakuhimiza kushirikiana nasi shughuli ambazo unashiriki na majukumu ya uongozi unayofikiria nyumbani shuleni lako au katika jumuiya yako na tunatarajia utafikiri kikubwa kuhusu uongozi gani una maana kwako roho ya ujasiriamali wajasiriamali kutambua mahitaji katika ulimwengu unaowazunguka na kuchukua hatua ili kupunguza mahitaji hayo wanaanza biashara kliniki za afya mashirika ya vijana na harakati za kijamii wanaleta bidhaa na mawazo mapya kwa ulimwengu jitihada zao huunda thamani na kuboresha maisha tunakuhimiza kusherehekea roho yako ya ujasiriamali na kushiriki mawazo yako ya ujasiriamali na sisi passion kwa afrika je una ndoto ya afrika je unafurahi na wazo la kutumia miaka miwili katika jumuiya ya watu binafsi kutoka kwa aina nyingi za kitamaduni kikabila kijamii na kidini kutoka bara kote kujitolea kwa huduma wakati viongozi wanatumia ujuzi wao kwa faida ya jamii zao sisi wote hufaidika je unastahili sana kuimarisha jamii yako je ungependa ndoto ya ulimwengu ambapo watu wote wanaweza kutambua ndoto zao umeonyesha shauku hii shuleni au katika jumuiya yako tunatarajia utashirikiana nasi jinsi unavyopanga kurejesha jamii yako na ulimwengu mafanikio ya kikao ili kufanikiwa katika mtaala mkali na changamoto ya ala wanafunzi lazima wameonyesha ujuzi wa suala hilo lililofundishwa katika shule waliyohudhuria kabla ya kuingia kwenye chuo kamati yetu ya uteuzi itaangalia upimaji alama kutoka kwa mitihani ya taifa na alama na maoni juu ya taarifa za kila mwombaji wa shule wafanyakazi wataandika pia uchunguzi wa mlango mzunguko wa kwanza mchakato wa uteuzi wa ala ni ushindani sana chuo hupokea maombi elfu kadhaa kutoka kwa aina mbalimbali za nchi za kiafrika kila mwaka waombaji hawa wanatoka katika hali mbalimbali za kijamii kiuchumi utamaduni & elimu maombi yanajumuisha maswali fupi na insha na inapaswa kuwasilishwa kwa maelezo ya kitaaluma tafadhali angalia kalenda ya matangazo ya admissions hapa chini ili kuthibitisha tarehe ya mwisho ya maombi kwa ajili yako katika hatua hii takribani wahitimisho wa 400 huchaguliwa kuhudhuria matukio ya mwisho ya mwisho ya bara katika matukio haya waandishi wa mwisho huandika mitihani ya kuingilia kushiriki katika shughuli za kikundi na wanahojiwa kwa kila mmoja na timu ya ada admissions wafanyabiashara pia wanatakiwa kuwasilisha mapendekezo ya mwalimu sehemu ngumu zaidi ya mchakato wa kuchaguliwa chuo hiki kina uwezo wa kuchagua wanafunzi wa 120 kutoka kwenye bwawa la wasimamizi wa ajabu wa kuhudhuria academy wafanyakazi wote watafahamishwa kwa hali yao ya kuingizwa katikati ya aprili agosti 31st 2018 mwisho wa mwisho wa maombi (uamuzi wa mapema) oktoba 31st 2018 second application deadline (early decision) septemba oktoba 2018 mapitio ya kupiga kura na mahojiano ya mwisho wa uamuzi wa mwisho wafanyakazi wote wa maamuzi ya mapema wataulizwa na desemba 31st novemba 1st 2018 januari 11th maombi ya uamuzi wa kawaida ya 2019 septemba oktoba 2018 wafanyakazi wa maamuzi ya mapema watapokea taarifa ya hali ya kuingizwa waombaji wa uamuzi wa mara kwa mara walitambua hali yao ya kwanza ya pande zote waombaji wa kawaida wa uamuzi waliochaguliwa kama wasimamizi wataalikwa kuhojiwa na timu ya admissions aprili 30th 2019 wafanyakazi wote watafahamishwa kwa hali yao ya kuingizwa wagombea wanaoomba kupitia bandari yetu ya mtandaoni wataweza kuangalia hali yao ya programu mtandaoni tuzo za misaada ya kifedha zitafanywa mwishoni mwa mei tembelea tovuti ya rasmi ya uongozi wa uongozi wa afrika (ala) 2019 makala zilizotanguliamtandao wa uongozi wa afrika (aln) 2018 afrika awards kwa ajili ya biashara ya ujasiriamali makala inayofuatabenki ya maendeleo ya afrika inaua coding kwa programu ya ajira unleashing africa generation next of digital innovators
2019-02-21T08:03:08
https://sw.opportunitiesforafricans.com/african-leadership-academy-ala-2019-for-young-leaders/
john mnyika waziri wa ardhi nyumba na makazi profanna tibaijuka katika kata ya sinza kukagua uuzwaji maeneo ya wazi posted by john mnyika at 819 am duuu tugepata mawaziri kama hawa 10nchi ingekuwa tambarare miji inakua kwa kasi sana wakati watendaji wa wizara wamelala na wenye meno wanashindwa kufanya maamuzi maeneo mengi kwa sasa yamevamiwa na mengine yamebadilishwa matumizi ambayo yanakinzana na matumizi yaliopo (incompatible change of use) nionavyo mimi suala la ardhi linazidi kuwa la kisiasa zaidi na hili linatufanya tushindwe kuwa hata na jiji moja tu la mfano napenda kushauri wizara ipeleke wataalamu katika kila ofisi za kata ili waweze kusimamia ujenzi holela vinginevyo nyumba zitaendelea kuota kama uyoga kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika masula yanayohusu ardhi ili kupunguza utapeli wa ardhi miaka hamsini ya uhuru hatuna hata mji mmoja uliopangika kheri said mi siielewi hii style ya huyu mama hivi kwa kasi hii ya yeye kutaka awe field atakamilisha zoezi kweli nijuavyo kuna mikoa 20 wilaya zaidi ya 100 na ana miaka mitatu tu iliyobaki kutatua kero hii na nyingine zilizobaki namshauri atengeneze mfumo na ausimamie ufanye kazi kotekote lini atafika huku kihesa iringa au ndo upanga palm beach sinza tabata oysterbay na sijui lini atafika mwananyamala anyway labda anawavutia kasi kama paka anavyomvizia panya kama hamtaki vile concern zako ni nzuri sana kuwa mama profesa anna kajumulo tibaijuka hawezi kutimiza ndoto za kuwa na mji au miji bora akiwa mwenyewe hata hivyo kuna siri moja kubwa iliyo wazi siri hiyo ni kuwa hii vita anapigana yeye mwenyewe siamini kama ana support kutoka serikali yake wala watendaji wa wizara na manispaa zetu zote tatu na hii insabababishwa na baadhi ya viongozo waliopo na waliopita kuhusika sana katika kuuza au kujiuzia maeneo ya wazi wewe jaribu kufuatilia kwa mfano maeneo yote yanayoitwa ya sisiem utakuta maeneo mengi yalikuwa ni maeneo ya wazi sisiemi walijigawia kabla ya kuingia kwa vyama vingi ili wawe na vyanzo vya mapato na hii linasemekana kuwa lilikuwa ni agizo toka ngazi za juu za chama ukitaka kwenda mbele zaidi waulize watendaji ambao ni manispaa zetu watakueleza kuwa wanashindwa kusimamia miji kwakuwa ukitaka kufanya hivyo utagusa maslahi ya wakubwa fulani na si ajabu kukuta ukipoteza kazi au kuhamishiwa mbali ambapo utasahaulika mama tibaijuka analitambua hilo ila anajaribu kuonyesha mfano angalu kwa sehemu ndogo ndani ya kipindi chake cha uongozi ili kuonyesha kuwa inawezekana kupambana na wavamizi wa maeneo ya wazi japo wana support ya wakubwa yeye kama waziri hakuna mtu wa kumzuia isipokuwa rais tu hawa watendaji wengine juu yao kuna wakubwa wengi hawawezi wala kuthubutu kufanya hivyoila kama wakiona wanapata support toka ngzi za juu ambazo ni rais na baraza lake la mawaziri naamini wanaweza kusimamia miji yetu watakachohitaji ni kuongezewa watendaji wachache kidogo kama vile building inspectors na land rangers kwa maoni yangu tusibeze jitihada hizi za mama ana tibaijuka bali wananchi wampe support ikiwezekana kufanya maandamano ya kumuunga mkono ili serikali ijue kuwa wananchi wanakerwa na uvamizi wa maeneo ya wazi na ujengaji holela
2017-08-23T19:39:15
http://mnyika.blogspot.com/2011/11/waziri-wa-ardhi-nyumba-na-makazi.html
michuzi blog rais dkt magufuli afungua miradi minne ya maendeleo na kuhutubia wananchi ' if(imglength>=1) { imgtag = ' rais dkt magufuli afungua miradi minne ya maendeleo na kuhutubia wananchi tuesday july 25 2017 ~ copyright michuzi blog ikulu ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2017-12-15T23:30:11
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/rais-dkt-magufuli-afungua-miradi-minne.html
serikali kurudisha zao la shahiri na kutatua adha katika zao la zabibu | mpekuzi serikali kurudisha zao la shahiri na kutatua adha katika zao la zabibu serikali imekutana na wadau wa zao la shahiri na zabibu kwa lengo la kurejesha zao la shahiri na kutatua changamoto zilizopo katika sekta ndogo ya zabibu ili kuweza kukuza soko la mazao hayo na kuinua kipato cha wakulima wake kauli hiyo imetolewa jana na naibu waziri wa kilimo mhe hussein bashe katika mkutano uliyohudhuriwa na wanunuzi wa zao la zabibu na shahiri pamoja na wakulima wa mazao hayo aidha mhe bashe amesema kuwa kwa sasa wakulima wa shahiri hawana soko hivyo ni vyema kwa msimu ujao wakulima walime zao la shahiri mhe bashe ameuagiza uongozi wa kiwanda cha tanzania breweries (tbl) kufunguliwaa au kukikodisha kiwanda cha kilimanjaro ambacho kipo mikononi mwao ili kianze kazi mara moja lengo ni kutaka wakulima waweze kulima kwa msimu ujao na sisi serikali tutahakikisha mikataba inakuwa sawa kwa pande zote mbili kwa mnunuzi na mkulima na uwazi wa mikataba hiyo ili kila mmoja kunufahika katika zao hilo ameeleza mhe bashe hata hivyo katika mkutano huo mhe bashe amewataka wakuu wa wilaya wakuu wa mkoa na warajis wa vyama vya ushirika watakapo saini mikataba hiyo na serikali ishirikishwe kikamirifu ili kulinda maslahi ya mkulima na wanunuzi kwa zao la zabibu mhebashe amesema msimu wa kilimo unaanza mwezi wa nane hivyo serikali inahitaji uhakika wa masoko na wanunuzi wanatakiwa kusema namna ambavyo watanunua zao la zabibu hatutaki wakulima wa zabibu mwezi wa nane wakati wa kuvuna wapate shida ya masoko na nahitaji kujua kwa mwezi huo tutavuna kiasi gani njia pekee itakayotusaidia ni kuingia mkataba na wakulima ameweka wazi mhe bashe kwa kuongezea mhe bashe ametoa wito kwa wakulima kutotegemea zao moja bali wajikite pia kwenye mazao mengine na kuwataka kampuni ya wanunuzi kununua shahiri kwa wakulima wote naye mkuu wa wilaya ya karatu bitheresia mahongo amesema zao hili ni zao la kibiashara linalowaingizia uchumi wakulima hivyo ametoa rai kwa wanunuzi kuongeza tani kwa zao la shahiri kwani wakulima wanalima zaidi ya tani 8000 zinazohitajika mkurugenzi wa tanzania bruweries (tbl) bwphilip redman amesema kwa msimu ujao wa 2021wameingia mkataba na wakulima 300 na kiwanda kina uwezo wa kuchukua tani 5000 kwa mwaka kwa upande wa serengeti breweries (sbl) mkurugenzi wa mahusiano bwjohn wanyancha amesema kuwa kwa msimu ujao wanatarajia kuchukua tani 3000 kwa wakulima 60 huku mkulima wa shahiri bw domisiani william kutoka karatu ameeleza changamoto wanazokumbana nazo ni mapato na bei ndogo ya zao hilo pia ameiomba serikali kuongeza tani kwani wakulima wanalima zaidi
2020-08-05T16:44:08
https://www.mpekuzihuru.com/2020/06/serikali-kurudisha-zao-la-shahiri-na.html
waamuzi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ukocha | saluti5 home » soka » waamuzi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ukocha waamuzi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ukocha waamuzi wa soka wa kike nchini wamehimizwa kujitokeza kwa wingi pindi inapotokea fursa ya mafunzo ya kuwajengea uwezo na kwa mujibu wa kanuni za mchezo huo wito huo umetolewa na katibu mkuu wa chama cha waamuzi nchini (flat) charles ndagala alisema kuwa flat inaendelea kuhamasisha wanawake kutoka taasisi shule mtaani na watu wa kawaida kujifunza kozi za uamuzi kwa ngazi mbalimbali ambazo pia zitaongeza idadi ya waamuzi wa kike nchini lengo linguine ni kuongeza ushiriki mkubwa wa wanawake ili waweze kuchezesha mechi mbalimbali za ndani na nje ya nchi tutaendelea kuhamasisha wanawake kwa wingi kutokana na kuwa tayari tuna mifano mizuri ambayo tumeweza kusonga mbele alisema ndagala alibainisha kuwa mwitikio ni mkubwa kwa wanawake kuanzia ngazi ya wilaya na kozi mbalimbali zimetolewa katibu huyo amesema kuwa wanawake watapata fursa ya kuchezesha mechi za ndani na nje ya nchi kutokana na viwango vyao vitakapoonekana ambapo vitatumika kwa ndani na nje ya nchi
2017-10-24T11:22:46
http://www.saluti5.com/2017/05/waamuzi-wanawake-watakiwa-kuchangamkia.html