text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
wananchi mtwara walilia kiwanda cha kusindika matunda | mtanzania home biashara na uchumi wananchi mtwara walilia kiwanda cha kusindika matunda wananchi mtwara walilia kiwanda cha kusindika matunda wakazi hao wakiongozwa na mwenyekiti wa kijiji cha kilambo mohamed mkama wametoa ombi hilo mbele ya waziri wa fedha na mipango dkphilip mpango aliyefanya ziara ya kikazi katika kituo cha forodha cha kilambo kilichoko mpakani mwa tanzania na msumbiji mkoani mtwara kwamba kijiji chao kina fursa nyingi za kilimo zinazohitaji viwanda vya kuongeza thamani ya mazao yao na kutoa ajira kwa vijana mwenyekiti wa kijiji cha kilambo mohamed mkama alisema kijiji chao kinapakana na nchi ya msumbiji ambako kuna mwingiliano mkubwa wa watu katika masuala ya biashara na uhusiano wa kijamii ikiwemo pande mbili za nchi kuoleana hivyo kuwafanya wananchi wa msumbiji waishio mpakani kutegemea bidhaa kwa wingi kutoka katika kijiji chao watu kutoka msumbiji wananunua sana chakula na bidhaa nyingine kutoka kwetu lakini tunawauzia bidhaa bila kuongeza thamani hivyo uwepo wa kiwanda utakuza uchumi wa kijiji chetu na tunakuomba mhe waziri wa fedha na mipango utusaidie kupata kiwanda ili nasi tuweze kunufaika waziri sisi ni wakulima wazuri wa matunda matunda yetu wakati wa msimu yanakosa soka yanaoza na tunayatupa jambo linalotulazimu tukuombe utusaidie kuhamasisha wawezezaji waje wajenge kiwanda cha kusindika juisi katika kijiji chetu ili nasi tuondokane na umasikini alisema selemani kumamba waziri wa fedha na mipango dk philip mpango aliwaambia wakazi hao inabidi ufanyike utafiti wa kutosha ili kubaini wingi wa mazao yanayozalishwa na wakulima katika kijiji hicho na vijiji jirani ili kupata takwimu sahihi za uzalishaji wa mazao hayo yakiwemo matunda ili kuiwezesha serikali kuwashawishi wawekezaji kujenga kiwanda katika eneo hilo na kuwapongeza wakulima hao kwa kufanya kazi kwa bidii na mawazo yao ya kujiletea maendeleo tukiwa na uhakika huo hata mwekezaji anayekuja tutamwambia kwa mwaka mmoja kwa wastani kijiji hiki na vijiji jirani vinazalisha maenbe kiasi fulani kwa hiyo wazo la kutaka kuwa ni kiwanda ni zuri lakini linahitaji kufanyiwa kazi zaidi alisema dkt mpango aliyeambatana na mkuu wa wilaya ya mtwara evod mmanda previous articleafrika yaanza mkakati wa kuondoa vikwazo vya biashara next articlesamaki wa baharini wanasababisha ugumba
2018-09-20T22:05:05
http://mtanzania.co.tz/wananchi-mtwara-walilia-kiwanda-cha-kusindika-matunda/
matukio yanayoendelea mkutano mkuu wa ccm dodoma 2jiachie official site matukio yanayoendelea mkutano mkuu wa ccm dodoma baadhi ya wageni waalikwa kutoka vyama mbalimbali vya upinzani pia wanahudhuria mkutano huu maalum wa ccm baadhi ya wageni waalikwa kutoka vyama upinzani pia wanahudhuria mkutano huu maalum wa ccm baadhi ya wanachama wakongwe wa chama cha ccm ali ameiri mohammed akizungumza jambo na mzee makambakabla ya mkutano kuanza rasmi kuanza ni shangwe tuu hivi sasa ndnai ya ukumbi item reviewed matukio yanayoendelea mkutano mkuu wa ccm dodoma
2017-03-24T16:01:47
http://www.2jiachie.com/2016/07/matukio-yanayoendelea-mkutano-mkuu-wa.html
tigo wanatudanganya | jamiiforums | the home of great thinkers tigo wanatudanganya discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by nguvumoja jul 2 2011 eti ukiongeza salio kwa tigopesa utapata mara2 lakini kumbe badala ya kupata mapeni mara 2 unapewa bonus ya dak za nyongeza ambazo zinaexpire within a limited time&ltbr&gtwizi mtupu uongo upo sana na nidhambi kubwa mbele ya mungu unajua matangazo yao huwa hawaweki uwazi wanatumia lugha ya mafumbo ili mteja ukisikia ukimbilie ukidhani vile ulivyosikia ndio hivyo kumbe ni tofauti unapokuja kwenye reality wamesha wasomoa na kugundua watanzania mna penda sana vya bure bure sana ndio maana wanawaanzishia hayo na huo mtandao utakufa siku tcra watakapo gundua kuwa license waliyowapa siyo ya kuchezesha kamali kama wanavyofanya sijui wale wanaojiita wa bahati na sibu nao wanachukua chochote kwani mimi sidhani kama kampuni za simu license yao pia inawaruhusu kushezesha kamali ni kweli kabisaaaaawanakupa dk kadhaa za tigotigo na dk kadhaa za kupiga mtandano mwingineyaani tigo ni karume kenge kabisaaa eti ukiongeza salio kwa tigopesa utapata mara2 lakini kumbe badala ya kupata mapeni mara 2 unapewa bonus ya dak za nyongeza ambazo zinaexpire within a limited time<br>wizi mtupuclick to expand tena dakika zenyewe hazifanani hata na hilo saliotangu lini tshs 1000/= ikawa sawa na dakika 4 tu kwa uwiano na calculation zipi hivi tume ya mawasiliano inafanya kazi gani ndo maana mh zitto anasemaga watu wa namna hii watakua wamehongwa tigo ni mtandao unaokimbiliwa na wezi au matapeli mjini watauza sio muda mrefu au labda kama watapewa tax holiday watabadili jina alwayz we are looking for cheapest things and this is the price for dat thing tigo tafadhali muogopeni mungu tigo ni matapeli hebu cheki ile product yao ya tigo mkopo wanakwambia wanakukopesha mia nane lakini unapewa 630
2017-07-21T16:56:08
https://www.jamiiforums.com/threads/tigo-wanatudanganya.151120/
mahakimu shinyanga watoa kilio chao kwa rc juu ya ukamilishwaji wa jengo la mahakama kuu mohabmatukioblogspotcom home » »unlabelled » mahakimu shinyanga watoa kilio chao kwa rc juu ya ukamilishwaji wa jengo la mahakama kuu by mohab dominic on 2306 / comment 0 febr 4 2013 hakimu wa mahakama ya mwanzo wilayani kahama mh bryarugaba akiwa na askari afande thomas siku ya sheri tanzania baadhi ya wanasheri wapongezana katika siku ya sheri katika viwanja vya mahakani wilayani kahama uongozi wa mahakama ya mkoa wa shinyanga umemuomba mkuu wa mkoa wa shinyanga ally rufunga kuiomba serikali kuharakisha ujenzi wa mahakama kuu ya mkoa wa huo ili mkoa uweze kunufaika na huduma za mahakama kuu badala ya kuendelea kufuata huduma hiyo mkoani tabora ombi hilo lilitolewa jana na hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama mkoa wa shinyanga john meseka katika sherehe za maadhimisho ya siku ya sheria dunia zilizofanyika viwanja vya mahakama ya mkoa mjini shinyanga meseka alisema kuwa pamoja na changamoto ya ukosefu wa mahakama kuu katika mkoa wa shinyanga pia wanakabiliwa na uhaba pamoja na uchakavu wa miundombinu hususani majengo ya mahakama ingawa mpaka sasa bado yanatumika katika shughuli nzima za kimahakama alisema jengo hilo la mahakama kuu ambalo ujenzi wake ulianza tangu mwaka 2008 lakini mpaka kufikia sasa bado jengo hilo halijakamilika kwa matumizi ya shughuli za kimahakama kuu kutokana na sababu nyingi ikwemo ukosefu wa fedha kwa maneno mengine tunakuomba mkuu wa mkoa wa shinyanga ally rufunga uingilie kati katika suala hili ili jengo letu liweze kukamilika na wananchi waanze sasa kunufaika kwa kupata huduma ya mahakama kuu katika mkoa wetu wenyewealisema hakimu john meseka chaba awali wakili wa serikali mwandamizi mfawidhi seth mkemwa akitoa salamu zake alisema moja ya vikwazo vinavyosababisha ucheleweshwaji wa kesi katika mahakama mbalimbali ni pamoja na ukiritimba uliopo wa kimahakama na kuongeza kuwa ni bora mshitakiwa akasomewa mashitaka na kesi yake ikasomwa siku hiyohiyo kama mashahidi watakuwepo wa kutosha alisema kuwa changamoto nyongine ni pamoja na mashahidi kuwa na woga wa kutoa ushahidi katika kesi mbalimbali huku wakijua kuwa mahakama sio rafiki na watu wa kundi hilo hali ambayo inakuwa vigumua katika kuendesha kesi mapema akiongea kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa shinyanga ally rufunga aliyekuwa mgeni rasmi katika sherehe hizo mwanasheria kutoka katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa shinyanga lightness tarimo lisema kuwa uchelewashwaji wa mashauri kufika kwa muda katika mahakama mbalimbali ni moja ya matatizo yaliopo katika mkoa huu alisema kuwa mapango wa matokeo makubwa sasa ni bora ukatumika katika ukamilishwaji wa jengo la mahakama kuu ya mkoa wa shinyanga hali ambayo itapunguza mwendo mrefu wa kufuata huduma hiyo mkoani tabora na kuongeza kuwa kwa mwaka huu wangefurahi kama sherehe hizo zingefanyika katika jengo hilo aidha alisema kuwa kwa sasa ataendelea kusisitiza juu ya ujenzi wa jengo hilo la mahakama kuu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mahakama za mwanzo ambazo pia zenyewe zimeonekana kuwa pungufu katika mkoa wa shinyanga
2018-07-20T14:33:31
https://mohabmatukio.blogspot.com/2014/02/mahakimu-shinyanga-watoa-kilio-chao-kwa_3.html
anayebisha kwamba polisi si vibaraka wa ccm asome stori hii ya t daima | jamiiforums | the home of great thinkers anayebisha kwamba polisi si vibaraka wa ccm asome stori hii ya t daima discussion in 'jukwaa la siasa' started by zak malang dec 10 2011 wanajamvi stori hii nimeipenda kwani tukio la ccm kutaka kuteka sherehe za miaka 50 ya uhuru pale mnazi mmoja lilizimwa na vijana wa cdm pia inasdhihirisha kwamba polisi daima ni watumishi wa ccm katika ushindani wa kisiasa nchini naamini kabisa matukia kama haya yataendelea tu hadi polisi wajue kwamba wao wanatakiwa wawe neutral kabisa katika siasa chadema yateka mkesha wa uhuru &#8226 watatu wazimia kwa milipuko ya fataki na waandishi wetu sherehe za mkesha wa miaka 50 ya uhuru wa tanzania bara zilizofanyika kitaifa katika viwanja vya mnazi mmoja juzi jijini dar es salaam ziliingia dosari baada ya askari kadhaa kutaka kuwakamata watu waliokuwa wakipiga kelele za kukishangilia chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kundi kubwa la watu wengi wao wakiwa vijana wa rika mbalimbali walishangilia kwa nguvu na kukitaja chadema kila mlio wa fataki ulipokuwa ukisikika hali iliyowavutia wananchi wengine kujiunga na kundi hilo kelele za kukishangilia chadema zilidumu zaidi ya robo saa kiasi cha kuonekana kuwaudhi baadhi ya viongozi wa serikali walioalikwa katika mkesha huo ambao mgeni rasmi alikuwa makamu wa rais dk mohamed gharib bilal polisi wenye mbwa na wale waliokuwa wamesheheni silaha walijaribu kulizingira kundi hilo na kulitaka kutokitaja chama hicho lakini walikumbana na wakati mgumu baada ya kuambiwa wakamnyamazishe kwanza kapteni john komba ambaye alikuwa jukwaani akitumbuiza kwa kuisifia zaidi ccm hatua ya polisi hao ilisababisha kukusanyika kwa watu wengine zaidi na kuzua zogo kubwa kutoka kwa wananchi waliodai kuwa wamelazimika kuingiza kibwagizo cha chadema kila ilipopigwa fataki moja kutokana na kukerwa kwao na tukio la viongozi wa serikali kutaka kuzifanya sherehe hizo zionekane kuwa za chama cha mapinduzi wakati ni suala la watanzania wote bila kujali itikadi za vyama kutokana na mshikamano wa wananchi hao polisi hao walilazimika kubaki kimya na kuacha shangwe za chadema ziendelee hadi ratiba ya kuondoka kwa mgeni rasmi na wageni wengine ilipowadia muwe mna summarize mnaweka madudu marefu hadi yanaboakama mtu anataka in details si atafute hiyo source mfano tanzania daimaacha ushabiki wa kisiasa muwe mna summarize mnaweka madudu marefu hadi yanaboakama mtu anataka in details si atafute hiyo source mfano tanzania daimaacha ushabiki wa kisiasaclick to expand pukuza munkari mwanamagamba weee your days are numbered sure they are ok nimeipunguza stori na kubakiza relevant sections bado unalo mvivu wa kusoma wewe kubingwa w n kenge mkubwa acha kutapika nawewe kihivi maana ni dhahiri kwa namna moja ama nyingine una damu ya ya ufisadi na kama we ni mvivu wa kusomaungeacha tu kuipitia thread hii na ukweli ulipo ni kwmb police tulionao ni watumishi walioangukia sisiem amini usiamini kwani kitu ambayo kiko wazi ingalikuwa mr ii (sugu) yupo pale naye anatumbuiza na kusifia cdm nadhani dakika hii ninayosema angekuwa lupango (central) kungojea jumatatu kukabiliwa na mashitaka ya uchochezi by the way kwanza wala asingeruhusiwa kufanya tumbuizo lolote pale hii post haina hata maana inajaza server tu nadhan ukimpa notibuku itamfaa kwa kusamaraizia hii post haina hata maana inajaza server tuclick to expand unajua seva za jf zina ukubwa gani na ziko wapi siyo kila m2 anaweza kuipata hiyo source kama ww huwezi kupitia humu sread nzima c acha tutupo tunaopitia neno kwa neno na kudigest usiwe mvivu wa kusoma kumbuka vyama vya siasa vina wanachama wapenzi wafuasi na wakereketwa kila kundi linawajibu wake ikiwemo kushabikia upooo au na hii ni story ndefu mvivu wa kusoma weweclick to expand sio wa kusoma tu hata kufikiri raha ya simulizi bana uipate kwa kina sasa yeye kazoea umbea unajua umbea ni 90 ushabiki kwanza alitumwa aingilie thread za kiume ulifikiri tunasifia magamba hapa sleep front kudadadeki zako nenda kajadili wachumba ndio mada zinazokufanania mapovu mbona yanaakutoka sana mkuu hongera vijana kwa kubalance sherehe ni ujasiri ambao lazima tuupongeze ili kuwapa moyo na kuwa na taifa linaloweka utaifa kwanza tatizo lako magamba yamekujaa hadi kwenye ubongo na macho no wonder unashindwa kusoma ya kwako inachafua server kabisa taratibu ujumbe unapelekwa kwa magamba watu hawaogopi tena vitisho na amri za polisi sinazogandamiza haki na pia naona polisi nao mikono yao inaanza kuwa na kigugumizi magamba mpo kubingwa ni zezeta wa kufikiri ndo zetu wasukuma hizo tumekalia kuibeba sisiem kama mataahira vile hongera vijana kwa kushitukia janja ya magamba
2017-07-28T05:09:34
https://www.jamiiforums.com/threads/anayebisha-kwamba-polisi-si-vibaraka-wa-ccm-asome-stori-hii-ya-t-daima.201419/
manchester city haikamatiki mechi sita pointi 18 swansea yachukua 31 | saluti5 ')+else if(null=(o=rmatch(/(youtube\/|youtubecom\/(watch\(*&)v=|(embed|v)\/))([^\&\\'>]+)/gi))){var v=o[0]match(/^*((youtube\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\))\v=([^#\&\]*)*/)v&&11==v[7]length&&(s='')}else s=''i=''l=rreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=s+''+d++lsubstring(0gsummarylength)+''+i+} » manchester city haikamatiki mechi sita pointi 18 swansea yachukua 31 manchester city haikamatiki mechi sita pointi 18 swansea yachukua 31 manchester city imeshinda mchezo wao wa sita mfululizo wa premier league baada ya kuilamba swansea 31 kwa matokeo hayo city inaongoza ligi kwa pointi 18 iliyozizoa katika michezo yake sita swansea fabianski 6 rangel 65 van der hoorn 65 amat 65 naughton 7 britton 65 (borja 79) cork 7 (ki 73 6) routledge 65 (barrow 73 6) fer 65 sigurdsson 7 llorente 7 mfungaji fernando llorente (dakika ya 13) man city bravo 55 sagna 65 (zabaleta 78) stones 55 otamendi 6 kolarov 6 fernandinho 7 de bruyne 6 (navas 81) gundogan 65 (fernando 69 6) silva 7 sterling 7 aguero 75 wafungaji sergio aguero (dak ya 9 na 66) raheem sterling (66) sergio aguero ameifungia manchester city mabao mawili raheem sterling akishangilia bao lake pep guardiola akipooza koo kwa maji hata hivyo manchester city ilipata pigo baada ya kevin de bruyne kuumia na kutolewa aya 15 za said mdoe tunadumaa kwa kulinda vipaji vya zamani na kupuuza vipaji vipya majuzi diamond platnumz alikabidhiwa bendera ya taifa wakati akiondoka kwenda kutumbuiza kwenye ufunguzi wa michuano ya afcon huko gabo kimwana wa cristiano ronardo gumzo tuzo za fifa nyota kibao wa soka walifurika mjini zurich kuelekea kwenye tuzo za the best fifa football awards ambazo cristiano ronaldo alitangazwa mw ogopa kopaz sasa kushusha majinzi madila yenye nembo ya bendi yao baada ya kuchapisha tisheti zenye nembo ya bendi yao ogopa kopaz classic band sasa wanakuja na nguo nyingine mbalimbali yakiwemo majinzi diego costa amalizana kiroho safi na antonio conte arejea kikosini kuivaa hull city kocha wa chelsea antonio conte na mshambuliaji wake diego costa wamemaliza mgogoro wao ulioibuka wiki iliyopita costa aliibua mgog mambo ya samatta jana genk ikitoa sare kombe la ubelgiji mshambuliaji wa kimataifa wa tanzania mbwana ally samatta jumanne akipiga mpira kitaalamu wakati timu yake krc genk ikimenyana na kv oostende katika mch na saleh ally hakuna ubishi kuwa hapa nyumbani mchezo maarufu zaidi ni soka lakini duniani kote soka ndiyo mchezo wenye mashabiki wengi zaidi tena kwa
2017-01-18T12:05:47
http://www.saluti5.com/2016/09/manchester-city-haikamatiki-mechi-tano.html
maalim seif aliponza jeshi la polisi jumapili januari 26 2020 naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi hamad masauni amelitaka jeshi la polisi litafakari uwapo wake baada ya kuruhusu mwanachama mpya wa actwazalendo maalim seif shariff kufanya mikutano ya kisiasa visiwani zanzibar kinyume cha maagizo yaliyotolewa maalim seif shariff masauni alitoa kauli hiyo juzi jioni wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji kwenye eneo la nyumba mpya za polisi zilizoko mahonda unguja alisema katika kipindi cha hivi karibuni alikuwa akifuatilia mitandao ya jamii na kushuhudia maalim seif akipokewa kwa maandamano maeneo ya tumbatu nilipoulizwa nikaambiwa ameweka magunia ndiyo majibu yaliyotolewa huyu mzee siyo kiongozi wa chama chochote cha siasa maelekezo yaliyotolewa na yanayoendelea kusimamiwa hadi sasa ambayo alitoa amiri jeshi mkuu wa nchi (rais john magufuli) akayazungumza waziri wa mambo ya ndani ya nchi (kangi lugola) na mimi nikayasisitiza kutokana na kazi kubwa ambazo serikali zetu mbili ya muungano na ya mapinduzi zanzibar zinazifanya wananchi sasa hivi wanahitajika kufanya shughuli za maendeleo na waliopewa dhamana ya wananchi kusimamia kutekeleza waliyoahidi tunatarajia mikutano ya hadhara ifanywe na viongozi waliochaguliwa kihalali na wananchi katika majimbo yao hayo ndiyo maelekezo ya serikali amiri jeshi mkuu alishaagiza waziri alishaagiza na mimi naibu wake niliongezea nguvu leo (juzi) nataka kuacha maswali hapa bahati mbaya kamishna wa polisi hayupo hapa lakini ujumbe utamfikia ninauliza je mnamwogopa mnadharau na kukebei maelekezo ya viongozi masauni alihoji kiongozi huyo alisema lazima nchi iongozwe kwa misingi ya nidhamu na askari wa jeshi la polisi walijifunza jambo hilo na kuapa haiwezekani maelekezo ambayo yanalenga kujenga misingi ya amani na utulivu katika nchi na maendeleo yachezewe haya ndiyo maswali nimeacha mjitathmini mnipatie majibu sidhani kama jambo hilo litabaki kama lilivyo hivi sasa ninazungumza kwa upendo alisema kongamano lavunjika wakati masauni akitoa maelekezo hayo kongamano la maridhiano ambalo lilifanyika jana visiwani zanzibar lilivunjika majira ya saa sita mchana kutokana na maalif seif aliyekuwa kiongozi wake kutakiwa kuripoti kwa jeshi la polisi mkurugenzi wa mawasiliano wa actwazalendo salim bimani aliiambia nipashe jana kuwa wakati wakiwa wanaendelea na kongamano hilo walifika maofisa wa jeshi la polisi na kuwataka walivunje alidai maofisa hao pia walimtaka maalim seif kufika kituo cha polisi madema kwa ajili ya mahojiano wakati maalim seif akijiandaa kwenda polisi akapigiwa simu kuwa asiende tena bimani alisema hata hivyo kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharib unguja thobias sedeyoka alidai jeshi hilo halijavunja wala kuzuia kongomano hilo sisi jeshi la polisi hatujazuia wala kuvunja kongamano maana hiyo ni mikutano yao ya ndani labda walikuwa washamaliza muda wao wa kufanya kongamano lakini wasisingizie kuwa tumevunja alisema kongamano hilo lilikuwa maalum kuadhimisha siku ya maridhiano julai 31 2010 wananchi wa zanzibar walipiga kura ya maoni kuchagua mfumo wa serikali ya umoja wa kitaifa uanze kutekelezwa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 jkt waingia barabarani kufanya usafi anayedaiwa kujinyonga aliandika wosia mzito tuhuma za dc sabaya si za kweli kilimanjaro waziri amulika gharama upimaji saratani makusanyo kiduchu ardhi yamchefua naibu waziri watanzania 22 jela kwa kuzamia 'sauzi' madiwani chadema wakimbilia ccm kcmc yajitosa upandikizaji mbegu uzazi aliyekuwa diwani wa themi katika jiji la arusha welance kinabo picha mtandao madiwani watatu chadema arusha watimkia ccm shughuli za uwajibikaji kuufuta umaskini na kuutafuta mafanikio ya kiuchumi inaacha maswali katika kufikia safari ya mafanikio kiuchumi picha zote mtandao pata somo la umasikini tabia zake na namna ya kuukabili madaktari wa zimbabwe walipoandamana picha mtandao bilionea mzimbabwe amaliza mgomo wa madakari kwao jengo la benki kuu ya tanzania (bot) jijini dar es salaam ilivyokaa tafsiri benki chimbuko lake na safari yake ilikofika nchini
2020-01-28T18:27:23
https://www.ippmedia.com/sw/habari/maalim-seif-aliponza-jeshi-la%C2%A0-polisi
tufail atwaa taji la mashindano ya mbio fupi ya ling long mwanaspoti tufail atwaa taji la mashindano ya mbio fupi ya ling long tufail alitumia muda wa dakika 246 kumaliza wa kwanza kilometa 25 katika mashindani hayo yaliyoandaliwa na chama cha mbio za magari tanzania (aat) na kudhaminiwa na kampuni ya ling long tire kutoka china na artan limited ya tanzania dar es salaam dereva nyota tanzania tufail tufail ameshinda mashindano ya kwanza yam bio fupi za magari (motorsport sprint event) zilizofanyika kwenye viwanja vya tanganyika parkers jijini mbio hizozilizo julikana kwa jina la ling long tire sprint event zilishirikisha jumla ya madareva 11 kutoka mikoa ya iringa morogoro na dar es salaam nafasi ya pili ilichukuliwa na dereva maarufu wa mashindano hayo bob taylor kutoka morogoro ambaye alitumia muda wa dakika 248 na nafasi ya tatu ilichukuliwa na dereva mkongwe kirit pandya aliyetumia muda wa dakika 251 mzee pandya pamoja na kuwa na umri mkubwa aliweza kumchapa mwanaye dharam pandya aliyemaliza katika nafasi ya nne kwa kutumia dakika 256 dharam wikiendi iliyopita alishinda mashindano ya afrika kwa upande wa tanzania kwa kuwashinda madareva 14 nimefarijika sana na ushindi huu umeongeza makombe katika kabati langu nimeweza kurekebisha makosa na kuibuka wa kwanza katika mashindano haya alisema tufail afisa mtendaji mkuu wa aat yusuf ghor alisema kuwa mashindano hayo mbali ya kutafuta washindi pia yatatumika kama sehemu ya kuutangaza utalii kupitia michezo tumepata wageni 100 kutoka nchi mbalimbali zikiwemo china misri falme za kiarabu na nyinginezo kwa ajili ya kuona maendeleo ya mchezo huu kwa ujumla na kutembelea vivutio vya utalii alisema ghor mkurugenzi wa masoko wa ling long ukanda wa mashariki ya mbali na asia kevin chang alisema kuwa amevutiwa na vipaji vya madareva ambao wameonyesha uwezo mkubwa kushindana naye mkurugenzi wa artan limited ismail artan alisema kuwa wamefarijika kuona tanzania ina vipaji vikubwa katika mbio za magari na kuahidi kuendelea kushirikiana na aat ili kuendeleza mchezo huo artan alisema kuwa kampuni yake inauza mataili na hivyo imeamua kuwa mdau wa kwanza kwani bila mataili gari haiwezi kutembea na kushindana
2019-10-16T05:15:16
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/1799484-5278608-o9opu8/index.html
mtoto wa kitaa january makamba aisimamisha mwanza kwa saa kadhaa maelfu wampokea mwanza yazizima january makamba aisimamisha mwanza kwa saa kadhaa maelfu wampokea mwanza yazizima mbunge wa bumbuli january makama na mkewe ramona makamba wakitembea pamoja na wananchi na wanachama wa ccm mkoa wa mwanza kuelekea katika ofisi za chama hicho wilaya ya nyamaga waliojitokeza kumdhamini ili aweze kuteuliwa kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho picha na mpigapicha wetu mh january makama na mkewe ramona makamba wakitembea pamoja na wananchi na wanachama wa ccm mkoa wa mwanza kuelekea katika ofisi za chama hicho wilaya ya nyamaga mbunge wa bumbuli na naibu waziri wa mawasilano sayansi na teknolojia january makamba akisalimiana na walimavu walijitokeza katika ofisi ya ccm wilaya ya nyamagana mh anuary makamba akisalimia wananchi na wanachama wa ccm mkoa wa mwanza nje ya ofisi ya chama hicho wilayaya nyamagana mh anuary makamba akihutubia wananchi na wanachama wa ccm mkoa wa mwanza waliojitokeza katika ukumbi wa ccm wilaya wa nyamagana january yupo katika ziara yake ya kusaka wadhamini ndani ya chama ambao watamuwezesha kuteuliwa kuwania nafasi ya urais wa tanzania kupitia tiketi ya ccm ambapo mkoani mwanza amejizolea wadhamini 5714 mke wa mh january makamba ramona makamba akisalimia wananchi na wanachama wa ccm mkoa wa mwanza waliojitokeza katika ukumbi wa ccm wilaya ya nyamagana mh january makamba akisalimia wananchi na wanachama wa ccm mkoa wa mwanza waliojitokeza katika ukumbi wa ccm wilaya ya nyamagana mh january makamba na mkewe ramona makamba wakionesha fomu iliyojazwa na wadhamini kwa kumdhamini kupata ridhaa ya chama cha mapinduzi kuwa mgombea wa nafasi ya urais mwaka 2015 mh january makama na mkewe ramona makamba kwa pamoja wakiweka sahihi kwenye vitabu vya wageni katika ofisi za ccm mkoa wa mwanza umati ulijitokeza kumlaki mh january makamba mkoani mwanza picha zote na mpigapicha wetu
2017-05-26T22:42:20
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2015/06/january-makamba-aisimamisha-mwanza-kwa.html
contributions by hon risala said kabongo (24 total) mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti naomba kuchangia wizara ya elimu sayansi teknolojia na ufundi kama ifuatavyo mheshimiwa mwenyekiti kumekuwa na shule za ufundi katika mikoa mbalimbali ikiwemo shule ya ufundi moshi (moshi technical school) shule hii ya ufundi ilikuwa ikitoa elimu ya ufundi kwa wanafunzi kutoka mikoa mingi tanzania na baada ya masomo ya elimu ya sekondari wanafunzi hawa walijiunga na vyuo vya arusha technical na dar technical pamoja na ifunda tech kwa sasa shule hizi za ufundi zina hali mbaya sana hasa shule ya ufundi moshi majengo yamechakaa sana vifaa vya ufundi vingi vimekufa na hivyo umuhimu wa shule hii kama ya ufundi inaendelea kushusha taaluma za ufundi katika nchi yetu na hasa kipindi hiki ambacho tunakwenda kwenye uchumi wa kati na uchumi wa viwanda ambao unategemea nguvukazi kubwa ya vijana waliopitia taaluma ya ufundi mheshimiwa mwenyekiti naomba waziri anapohitimisha aniambie ametenga bajeti kiasi gani kwa ajili ya kuimarisha shule za ufundi tanzania hii itasaidia sana vijana wetu ambao wamekuwa wakikosa ajira baada ya kumaliza shule na kujiunga kwenye vitendo visivyo na tija kwa taifa ambapo wangekuwa na utaalam wa ufundi mbalimbali wangeweza kujiajiri mheshimiwa mwenyekiti wakaguzi wa shule kumekuwa na changamoto kubwa kwa wakaguzi wa shule ambao wengine wamepewa magari ya kuzungukia na kukagua shule lakini tatizo la magari hayo wakati mwingine yanakosa bajeti za mafuta ya kuwawezesha wakaguzi kufanya kazi zao kwa ufanisi naomba kujua kuwa waziri amejipanga vipi kuhusiana na changamoto hii na atalitatuaje kupitia bajeti yake ya 2016/2017 ili kuhakikisha wakaguzi wanapata fursa ya kufikia kwenye shule zote nchini na kufanya ukaguzi mheshimiwa mwenyekiti uboreshaji wa shule uboreshaji wa shule za msingi na sekondari uangaliwe kwa karibu ili kuongeza tija shule zetu ni chakavu sana huduma za madarasa vyoo havifai kwenye shule zetu hakuna viwanja vya michezo madawati nyumba za walimu pamoja na changamoto zote hizo tatizo la vitabu ni kubwa sana naomba waziri anapohitimisha atuambie amejipangaje kwa bajeti yake ili kuweka sera za kusaidia huduma shuleni kupunguza gharama kubwa kwa wazazi mheshimiwa mwenyekiti mishahara ya walimu mishahara ya walimu ni midogo sana ukilinganisha na kazi kubwa anayoifanya mwalimu naomba waziri aangalie ni namna gani anaweza kuangalia upya suala la mishahara ili kuwapa motisha walimu wetu hali ya maisha imepanda sana hivyo kupelekea walimu kushindwa kujikita katika ufundishaji na kujiingiza katika biashara ndogondogo baada ya vipindi vya darasani mheshimiwa mwenyekiti naomba kuchangia suala la elimu kwa watumishi waliopo kazini kumekuwa na wafanyakazi ambao wamekuwa wakifanyia kazi idara mbalimbali kwa muda mrefu na baadaye kutaka kujiendeleza kutokana na uzoefu wao wa kazi wanazozifanya wanapotaka kujiendeleza wanaambiwa cheti cha form four ambacho pengine wakati huo hakikuwa kizuri ila amekuwa mzoefu wa kazi hata kwa miaka zaidi ya 10 naomba waziri anapohitimisha atuambie ni namna gani anaweza kutengeneza mfumo wa elimu ya juu kwa watumishi wa umma wanaohitaji kujiendeleza mhe risala s kabongo mheshimiwa naibu spika naomba kuchangia wizara ya nishati na madini kama ifuatavyo mheshimiwa naibu spika kumekuwa na tatizo kubwa la ukataji wa miti na kuvamia mapori kwa ajili ya uchomaji wa mkaa baada ya ujangili wa wanyama sasa ni ujangili wa misitu namtaka waziri atoe majibu ni namna gani serikali hii kupitia wizara hii imejipanga kuzuia au kupunguza matumizi ya mkaa hasa mijini ambako kuna nishati mbadala ya gesi na soko kubwa la mkaa limeelekezwa huko mheshimiwa naibu spika ukataji wa miti kwenye mapori umeendelea kusababisha mabadiliko ya tabianchi ambayo yanasababisha mafuriko sehemu kubwa nchini mafuriko haya yanatokana na ukataji wa miti ambayo huzuia kingo za mito na hivyo kusababisha mafuriko makubwa namtaka waziri atoe majibu ya kina ni namna gani amejipanga kuokoa misitu kwa kwa faida ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho mheshimiwa naibu spika namtaka waziri atoe majibu ni kwa namna gani serikali imeweka mkakati wa kudhibiti wachakachuaji wa mafuta ya magari ili kuondokana na adha ya uharibifu wa magari mheshimiwa naibu spika tunashuhudia matumizi ya solar kama umeme mbadala maeneo mengi nchini na hasa mijini namtaka waziri anipe majibu ni kwa namna gani zinaweza kusaidia wananchi wa vijijini ili watumie nishati hii kwa wingi kwa kuuza solar kwa bei nafuu kwenye maduka ya serikali ili wananchi wengi wafaidike na nishati hii naomba waziri anipatie majibu haya kwa faida ya wananchi wetu wa vijijini mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti ninaomba kuchangia hoja iliyopo mezani ya wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kama ifuatavyo mheshimiwa mwenyekiti miradi mingi ya ujenzi wa nyumba mfano shirika la nyumba (nhc) nyumba zao ni gharama kubwa sana kuanzia shilingi milioni 50 mpaka milioni 270 na kuendelea nyumba hizi kimsingi hazimnufaishi mtanzania wa kawaida mwenye kipato cha chini je serikali ina mpango gani wa kuhakikisha inapunguza gharama hizi ambazo kimsingi zinatokana na serikali kutokuchangia gharama za miundombinu kama barabara maji na umeme gharama ambazo sasa zinatolewa na nhc kupitia mikopo ya ujenzi wa nyumba hizi hali inayosababisha gharama ya ujenzi kuwa kubwa sana mheshimiwa mwenyekiti sambamba na miundombinu hii kumekuwa na suala la vat ya asilimia 18 katika kununua nyumba hizi ambazo kimsingi vat zimelipwa kwenye vifaa vya ujenzi ninaitaka serikali itoe tamko kupitia wizara hii ni lini itatoa vat hizi kwa nyumba zote za shirika la nyumba ambalo ndilo mkombozi wa watanzania mheshimiwa mwenyekiti kama ilivyo mikopo ya magari ningeshauri serikali itoe mikopo ya nyumba za nhc kwa watumishi ili waweze kukatwa fedha kiasi hii itaondoa hali ngumu za wastaafu wetu ambazo wanapata baada ya kustaafu katika utumishi wa serikali mheshimiwa mwenyekiti tume ya ardhi imekuwa ikifanya kazi bila kuwa na bajeti tatizo la tume hii inafanya kazi ya kuangalia eneo baada ya shughuli kubwa ya upimaji ningeshauri kama tume hii itaendelea kuwepo ipewe bajeti ya kutosha na itoe ushauri kabla ya eneo kupimwa ninaitaka serikali itoe majibu ya kina kuhusiana na wizara hii mheshimiwa spika ninaitaka serikali itoe tamko kuhusu wananchi wanaovamia vyanzo vya maji (waliopo ndani ya mita 60) ambazo wanatakiwa kuondoka mfano mzuri ni vyanzo vya maji vilivyopo mkoa wa arusha ambako kuna tatizo kubwa la maji mheshimiwa mwenyekiti maeneo ya maziko hasa ya mijini yamekuwa na changamoto kubwa sana ninamtaka waziri anipe majibu kuwa wizara yake imejipangaje kukabiliana na tatizo hili la maziko katika maeneo ya miji kama jiji la dar es salaam na mkoa wa kilimanjaro ambazo ardhi ni changamoto kubwa mheshimiwa mwenyekiti kuhusu bomoa bomoa ninamtaka waziri aniambie serikali imejipangaje katika kulipa fidia kwa wananchi hawa ambao wanaendelea kubomolewa nyumba zao na fidia zinazotolewa haziendani na hali halisi ya gharama za ujenzi wa nyumba ni kwa namna gani wananchi hawa watafidiwa kulingana na hali halisi ya maisha ya leo mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti naomba nami nichangie wizara hii ya mambo ya nje kama ifuatavyo mheshimiwa mwenyekiti naomba kujua serikali inawatumiaje mabalozi waliopo nje ya nchi katika kutangaza nchi yetu kwa maana ya ushiriki katika majukwaa ya kiuchumi mfano sekta ya utalii inachangia pato la taifa kutokana na fedha za kigeni takribani asilimia 25 mheshimiwa waziri atakapohitimisha naomba aniambie wana mpango gani wa kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza tanzania ili kuendana na kasi ya kukua kwa uchumi wa kati na uchumi wa viwanda mheshimiwa mwenyekiti changamoto kubwa ya mabalozi hawajui vizuri nchi na vivutio vilivyopo ofisi za mabalozi hazina wataalam wa utalii ambao wanaweza kuitangaza nchi yetu kupitia balozi zetu naomba mheshimiwa waziri anipe majibu wana mpango gani kuwa na maafisa wa utalii katika balozi zetu mheshimiwa mwenyekiti naomba kufahamu ni namna gani wanafunzi wanaosoma nje ya nchi wanapata misaada kupitia balozi zetu mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti nashukuru kwa kupata nafasi ya kuchangia binafsi nitoe pole kwa misiba iliyolipata bunge letu kwa kipindi cha mwaka huu kipekee nikushukuru kwa upendo wako kwa wabunge hata tunapokuwa na matatizo unakuwa mstari wa mbele kutusaidia naomba mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi mheshimiwa sitta mheshimiwa hafidh na mheshimiwa dr elly macha mheshimiwa mwenyekiti baada ya kusema hayo naomba kuungana na wabunge wenzangu katika kuangalia changamoto mbalimbali za miundombinu ya maeneo mbalimbali katika nchi yetu ikiwa ni pamoja na mkoa wangu wa songwe ambao ni mkoa mpya mheshimiwa mwenyekiti kumekuwa na changamoto za barabara katika mkoa wa songwe mfano barabara inayounganisha makao makuu ya wilaya mpya ya momba inayoanzia chapwa kupitia vijiji vya nanole chiwezi msambatu chindi msagao hadi chitete naomba waziri anapohitimisha aniambie ni lini serikali itatenga fedha kwa ajili ya barabara hii ili kusaidia maendeleo ya mkoa mpya wa songwe mheshimiwa mwenyekiti hifadhi ya taifa ya mikumi imepitiwa na barabara kuu ya tanzania kwenda zambia kwa takribani urefu wa kilometa 50 kati ya eneo la doma na mikumi na kwamba barabara hii ilianzishwa kabla ya mwaka 1964 kabla hifadhi ya taifa ya mikumi haijatangazwa wakati barabara hii haijawekwa lami magari yalikuwa machache na yalipita kwa mwendo mdogo baada ya barabara kuwekwa lami magari yaliongezeka sambamba na mwendokasi hivyo kusababisha ajali na vifo vingi vya binadamu na wanyamapori mheshimiwa mwenyekiti katika kukabiliana na changamoto hizo tanapa mwaka 1999 waliainisha na kujenga matuta maeneo yenye mapito ya wanyama jumla ya matuta 12 yalijengwa na alama za barabarani kuwekwa katika kilometa 50 zilizo za hifadhi mheshimiwa mwenyekiti takwimu zilizokusanywa na tanroad mwaka 2012 katika kituo cha doma zilionesha kuwa kulikuwa na magari 1750 kwa siku yanayopita katika barabara hii ambayo asilimia 60 yalikuwa ni magari ya mizigo na mabasi mheshimiwa mwenyekiti aina hii ya magari ndiyo inayosababisha ajali za kuwagonga wanyama hifadhi kwa kushirikiana na tawiri mwaka 2014 walihesabu na kubaini idadi ya magari imeongezeka na kuwa 1991 kwa siku matokeo ya utafiti 2014 yanaonesha ifikapo 2025 gari zinazopita hifadhi zitakuwa 4699 kwa siku idadi hiyo ya magari ni kubwa sana kuweza kuimudu kwa siku hivyo ni lazima tuchukue hatua madhubuti kwa sasa mheshimiwa mwenyekiti naomba kujua mikakati ya serikali kwa bajeti hii ya 2017/2018 kuhusu ujenzi wa barabara mbadala ya melela kilosa mikumi yenye urefu wa kilometa 14178 ili kupunguza idadi ya magari yanayopita katika hifadhi na kuokoa uwepo wa hifadhi ya mikumi mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti kwanza nikushukuru kwa kunipa nafasi hii ya kuchangia katika wizara hii muhimu ambayo inachangia pato kubwa la taifa kwanza kabisa nipende kuipongeza hotuba nzuri ya kambi rasmi ya upinzani bungeni (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwenye mchango wangu mimi nitajikita kwenye suala zima la utalii tunapozungumzia utalii nitazungumzia mambo matatu muhimu ili tuwe na utalii endelevu ili tuwe na utalii endelevu tunahitaji vivutio vya utalii ili tuwe na utalii endelevu tunahitaji namna ya kufikia vivutio hivyo tunahitaji malazi ya kuwalaza wageni wetu wanapofika kwenye vivutio vya utalii (makofi) mheshimiwa mwenyekiti nitaanza na suala la vivutio vya utalii nchi yetu ya tanzania ni nchi ya pili kwa kuwa na vivutio vyenye ubora wa hali ya juu ukilinganisha baada ya nchi ya brazil lakini cha kusikitisha sana pamoja na kwamba wizara hii inachangia asilimia kubwa kwenye pato la taifa kwa mfano nikiangalia asilimia 175 inachangia pato la taifa kupitia utalii lakini asilimia 48 inatoka kwenye misitu asilimia 25 ya pato la taifa kupitia fedha za kigeni zinatoka kwenye suala zima la utalii (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kitu ambacho nashangaa sana tunaona kitakwimu mapato haya ni makubwa lakini ukilinganisha na vivutio tulivyonavyo bado tunahitaji kuwekeza nguvu kubwa sana kwenye suala la kuboresha utalii (makofi) mheshimiwa mwenyekiti pamoja na vivutio tulivyonavyo bado tunapata mapato kidogo sana lakini tunapata watalii wachache sana ambao wanatembelea vivutio vyetu mheshimiwa mwenyekiti nimesikiliza vizuri hotuba ya mheshimiwa waziri imejaa mambo mengi imejaa mipango mingi lakini niseme ukweli tusiporekebisha changamoto za miundombinu hasa miundombinu ya barabara bado suala la utalii tutakuwa tunaimba kila siku (makofi) mheshimiwa mwenyekiti suala la miundombinu na barabara ni changamoto kubwa hasa mikoa ya nyanda za juu kusini mikoa ya magharibi na mikoa ya kanda ya ziwa ukitaka kuwekeza katika mikoa ya kusini mikoa ya magharibi na mikoa ya kanda ya ziwa utakumbana na suala zima la changamoto ya barabara gharama zinakuwa ni kubwa sana kwa wageni wetu wanaotembelea hifadhi zetu na maeneo yetu ya utalii hii ni kwa sababu ya changamoto za barabara wawekezaji wengi wanashindwa kuwekeza katika sekta ya utalii ni kwa sababu ya changamoto ya barabara (makofi) mheshimiwa mwenyekiti pia changamoto nyingine kubwa ni ya viwanja vya ndege tuna viwanja vya ndege vya kimataifa vya kilimanjaro dar es salaam lakini sasa tuna uwanja wa ndege wa songwe uwanja wa ndege wa songwe ambao tunategemea ndio utakuza utalii wa kusini hauwezi kufanya kazi peke yake usiposhirikiana na viwanja vidogo kwa mfano kiwanja a iringa kiwanja cha katavi ambacho a ndege zinazokwenda kwenye hifadhi ile ya katavi zinaweza kutua kule hatuwezi kukuza utalii wa mikoa hii kama hatuwezi kuimarisha hivi viwanja vya ndege nikisema hapa leo gharama ya kutoka dar es salaam mpaka kwenye hifadhi ya ruaha na kurudi ni karibu dola 700 (shilingi 1400000) mheshimiwa mwenyekiti hivi ni mtalii gani au mwekezaji gani anaweza kuwekeza kwenye utalii kwa gharama zote hizi ni mtalii gani wa ndani ambaye anaweza akatoka mfano mkoa wa iringa kwenda hifadhi ya ruaha kwa kulipa 800000 kwa usafiri wa gari tutakuwa tunaimba utalii wa ndani tutakuwa tunaimba uwekezaji lakini hatutoweza kuwekeza kama miundombinu hii haitafanyiwa kazi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti niende kwenye suala zima la malazi suala la malazi ni changamoto kubwa niwapongeze wawekezaji wa mkoa wa arusha ambao wao wameweza kuwekeza zaidi pia kwenye masuala ya hoteli hoteli nyingi zilizopo katika mkoa wa arusha zina hadhi za hoteli ya kitalii lakini hoteli hizi zinazidiwa wakati wa high season watalii wanalazimika kwenda kulala nchi jirani wanalala nairobi ni kwa sababu hoteli hizi hazitoshi lakini pia hoteli zetu zilizojengwa kwenye mikoa yetu ya nyanda za juu kusini mfano mikoa ya iringa mbeya mikoa ya magharibi mikoa ya kanda ya ziwa bado ni changamoto kubwa kwa wageni wanaotembelea maeneo hayo kwanza huduma zinazotolewa kwenye hoteli zile ni huduma duni ambazo haziendani na hadhi ya huduma ambazo wageni wetu wanatarajia (makofi) vilevile ningependa kutoa ushauri kwa serikali watoe masharti nafuu kwa wawekezaji hawa mnaotaka kuwekeza katika sekta ya utalii kuwekeza kwenye tour operators kwa mfano mwekezaji anataka kuwekeza kusini unatofautishaje mwekezaji wa kusini na mwekezaji wa kaskazini kwanza mwekezaji wa kusini ana changamoto ambazo nimezitaja vivutio vile viko mbalimbali barabara ni mbovu lakini pia mwekezaji huyu hajavutiwa wizara haijampa mwekezzaji huyu ya yeye kuwekeza katika mikoa hii ya kusini kwa mfano ukiwekeza katika suala zima la utalii la tour operator unatakiwa kulipa dola 2000 na sijui kwa nini ni dola kwa mtanzania mimi nilitegemea labda watalipa tanzania shillings lakini analipa dola dola 2000 kuwekeza tour operator mheshimiwa mwenyekiti huyu tour operator anahitaji kulipa tra anahitaji kulipa sumatra malipo yamekuwa ni mengi lakini huyu tour operator nitamtofautishaje na tour operator anayekuja kuwekeza kusini wanaokuja kuwekeza kusini mikoa ya magharibi na mikoa ya kanda ya ziwa wapunguziwe angalau ifike hata dola 1000 ili waweze kuvutiwa kuja kuwekeza katika mikoa ile (makofi) mheshimiwa mwenyekiti tukiboresha maeneo haya ya uwekezaji mahoteli yetu tour operator tunaweza pia tukatoa ajira nyingi sana kwa wazawa ambao wengi wamemaliza vyuo kwa mfano chuo cha taifa cha utalii kimetoa wanafunzi wengi wa certificate pamoja na diploma tangu mwaka 2006 lakini wanafunzi hawa hawajaajiriwa hawana ajira hata kwenye wizara kwa hiyo ningeomba pia waziri anapokuja kuhitimisha hapa atuambie pia ni ajira ngapi zimetoka kwa wanafunzi hawa waliomaliza katika chuo hiki kama ilivyo mweka na pasiansi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti lakini ningependa kuongelea suala pia la maafisa utalii katika mikoa yetu ninaomba wizara ya maliasili na utalii kwa kushirikiana na tamisemi iangalie namna ambavyo itaweza kuajiri maafisa utalii kwenye mikoa yetu wilaya zetu lakini pia kwenye halmashauri hii itasaidia sana kuibua vivutio mbalimbali vilivyoko kwenye mikoa yetu kwa kushirikiana na wataalam vilevile itasaidia kuondoa umaskini kwa wananchi wanaozunguka katika maeneo yanayozunguka hifadhi zetu au maeneo yetu ya utalii mheshimiwa mwenyekiti wananchi wengi wanaoishi kwenye maeneo hayo wamekuwa ni maskini kwa sababu hawana namna ya kutumia vile vituo vyao bila miongozo ya hawa maafisa utalii ukiangalia suala zima la utalii wa kitamaduni utalii huu sasa hivi umepotea hauthaminiwi lakini ukiangalia nchi nyingi zimekuwa zikitumia utalii wa kitamaduni kuweza kunufaisha wananchi wanaozunguka karibu na maeneo ya hifadhi wamekuwa wakitumia tamaduni zao wamekuwa wakitumia taaluma zao kwa mfano wengine wamekuwa ni wachoraji na wameweza kufaidika sana (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo siungi mhe risala s kabongo mheshimiwa naibu spika kwa mujibu wa mapendekezo ya mpango wa maendeleo ya taifa 2017/2018 ni uhuishwaji wa viwanda nchini mheshimiwa naibu spika viwanda haviwezi kuwa endelevu kama hakutakuwa na malighafi ambazo kimsingi zinatokana na kilimo mheshimiwa waziri atakubaliana na mimi kwamba bila kuwa na mapinduzi ya kilimo ndoto ya tanzania ya viwanda haitafanikiwa mheshimiwa naibu spika nasema hivi kwa sababu kilimo chetu bado ni duni sana kuweza kuzalisha malighafi za kulisha viwanda hivyo vinavyokusudiwa hivi karibuni nimetembelea mkoa wa songwe wakulima wanapata shida sana kutokana na ukosefu wa pembejeo za kilimo na zile chache zinazotolewa kwa mfumo wa vocha na mawakala zinakuwa za urasimu mkubwa mheshimiwa naibu spika nashauri serikali kwa mapendekezo ya mpango huu wa 2017/2018 iweke bajeti ya kufanya tathmini ya idadi ya wakulima ili pembejeo zinazotolewa ziendane na idadi ya wakulima wetu mheshimiwa naibu spika masoko ya mazao ya wakulima hayaeleweki naomba waziri atuambie kwa mpango huu wa 2017/2018 serikali imejipangaje kufungua masoko ya wakulima wetu mheshimiwa naibu spika kumekuwa na changamoto nyingi sana kwenye suala la afya nchini kwa mfano hospitali ya wilaya ya vwawa inayotegemewa na mkoa mzima wa songwe ina upungufu mkubwa wa madawa madaktari na vifaa tiba mheshimiwa naibu spika nilifanya ziara kuangalia huduma ya mama na mtoto wanawake 14695 sawa na wanawake 15 20 kwa siku wanajifungulia hapo wagonjwa 150 200 wanahudumiwa kama outpatient kila siku katika hospitali ya wilaya huku idadi ya madaktari wakiwa watatu na uhitaji ni madaktari 23 sambamba na watumishi 507 na uhitaji ni watumishi 1112 watoto wa umri wa miaka 0 28 wanafariki kwa siku na kupelekea idadi yao kuwa 180 kwa takwimu za 2015 mheshimiwa naibu spika wakati waziri anahitimisha aniambie kwa mpango huu wa 2017/2018 wana mkakati gani wa kupandisha hadhi hospitali ya wilaya ya vwawa kuwa hospitali ya mkoa ili kuwa na bajeti ya kutosha kukabiliana na changamoto katika hospitali hiyo mheshimiwa naibu spika yako majengo yaliyoachwa na wakandarasi waliojenga barabara ya sumbawanga tunduma ambayo yapo kilomita tatu kutoka tunduma mjini eneo la chipaka na serikali ilitoa commitment ya kufanya majengo yale kuwa hospitali ya wilaya naomba commitment hiyo iwekwe kwenye mpango ili kusaidia kupunguza tatizo la huduma za afya ukizingatia kwamba tunduma ni mpakani na watu wanaohitaji huduma ya afya ni wengi mheshimiwa naibu spika nizungumzie suala la black market soko hili lipo ndani ya mpaka wa zambia na wafanyabiashara wengi zaidi ya 1000 wa upande wa tanzania wanafanya biashara zao katika mpaka huo hii inasababisha ukosefu wa mapato mheshimiwa naibu spika ningependa kufahamu je katika mpango huu wa 2017/2018 serikali imeweka utaratibu gani wa kuwarudisha wafanyakazi katika eneo la tanzania ili kuongeza mapato katika halmashauri ya mji wa tunduma mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti nashukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia afya ni kigezo kimojawapo katika maisha ya mwanadamu hivyo basi sekta ya afya ni muhimu sana katika mustakabali wa maendeleo ya taifa letu mheshimiwa mwenyekiti ugonjwa wa ukimwi kwa akina mama ambao wamejifungua salama kumekuwa na uhaba wa dawa kwa akina mama wajawazito na waliojifungua salama mfano mama mjamzito anachukua dawa hospitali ya vwawa na anaishi usangu baada ya kupata mtoto na mtoto kufikisha miaka miwili mama anatakiwa kurudi kituo chake cha kwanza ili kuendelea na dawa ikifika wakati wa kurudi hospitali ya awali mama anaacha kwenda kuchukua dawa kwa sababu mbalimbali kwa mfano umbali wa vituo vya afya vya kuchukulia dawa gharama za usafiri majukumu ya malezi na kadhalika mheshimiwa mwenyekiti hoja yangu ya msingi kwa wizara ni kwa nini wizara isiweke mpango wa kutoa dawa kwenye ngazi ya zahanati zilizoko karibu na wananchi ili kuendelea kuokoa nguvukazi hii ya taifa letu mfano mtu anatoka ichesa kwenda hospitali ya wilaya ya vwawa kilometa 45 hadi 50 barabara ya vumbi na usafiri wa bodaboda hii inasabishia watumiaji wa dawa kuacha dawa na kuendelea kuwa na madhara yatokanayo na magonjwa nyemelezi mheshimiwa mwenyekiti pamoja na changamoto za vifaa tiba kwenye hospitali zetu bado wajawazito wanatakiwa kuwa na vifaa vya kujifungulia mfano gloves code tie inayotumika kufunga kitovu cha mtoto anapozaliwa pamba na gauze je waziri anatusaidiaje kwenye suala la vifaa hivi kwa wanawake wanaojifungua mheshimiwa mwenyekiti dawa aina ya folic acid kwa wajawazito bado zimekuwa adimu sana kwenye hospitali zetu badala ya kutolewa bure mama mjamzito analazimika kununua kwenye maduka ya dawa mheshimiwa mwenyekiti ninaomba nizungumzie kuhusiano na upungufu wa madaktari bingwa kwenye hospitali zetu za rufaa sambamba na wakalimani wanaotumia lugha za alama kwa walemavu wanaokwenda kutibiwa katika hospitali zetu mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti nashukuru kupata nafasi ya kuchangia katika wizara hii muhimu kwa nchi yetu kama ilivyo katika dira ya taifa ya kulinda na kudumisha amani na usalama wa taifa letu pamoja kuendelea kulinda jamhuri ya muungano wa tanzania dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nchi yetu usalama wa mipaka ya nchi mgogoro wa mpaka wa ziwa nyasa kati ya nchi ya tanzania na malawi umekuwa wa muda mrefu hivyo kuendelea kuathiri ukuaji wa uchumi kwa nchi yetu hasa kwa mikoa ya nyanda za juu kusini mheshimiwa mwenyekiti mgogoro huo unaendelea kuathiri shughuli za uwekezaji katika eneo la ziwa nyasa na hivyo kufanya mdororo wa kiuchumi kwa wananchi na kupoteza mapato katika nchi yetu mheshimiwa mwenyekiti ninaomba mheshimiwa waziri atakapokuja kuhitimisha aniambie mgogoro huu umefikia wapi ili kuweka mahusiano mazuri kati ya nchi ya tanzania na malawi na pia kuinua uchumi wa nchi yetu kupitia fursa zilizopo katika ziwa nyasa na mikoa ya nyanda za juu kusini mheshimiwa mwenyekiti kuhusu ajira kwa vijana waliopata mafunzo ya jkt kumekuwa na changamoto kubwa ya ajira nchini na hii ni pamoja na vijana wanaomaliza mafunzo jkt na kupelekea vijana hawa kujiingiza katika vitendo vya uvunjaji wa amani mheshimiwa mwenyekiti miaka ya nyuma taasisi za kiserikali kwa mfano tanapa ilikuwa ikichukua vijana wengi waliomaliza jkt na kuwapatia ajira hali ambayo kwa sasa imepungua na kufanya nidhamu kupungua sana kwa taasisi zinazojihusisha na masuala ya ulinzi na usalama wa maliasili zetu mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti nakushukuru kwa kunipa nafasi na mimi kuchangia wizara hii ya afya kwanza kabisa natambua jitihada za waziri wa afya pamoja na naibu wake kwa kazi kubwa ambayo wanaifanya ya kusimamia afya ya mama na mtoto mheshimiwa mwenyekiti nitajikita kwa akinamama ambao wana matatizo ya kupata ujauzito tatizo hili ni kubwa sana hapa nchini na linasababisha unyanyapaa pamoja na ndoa nyingi kuvunjika waathirika wakubwa wa tatizo hili ni wanaume na wanawake lakini inakuja kutokea kwamba wanawake ndiyo wanakuwa wanabeba tatizo hili kwa hiyo namwomba waziri aendelee kusimamia jambo hili ili wanawake wapunguziwe suala hili la unyanyapaa unaotokana na matatizo unaotokana na matatizo ya kupata ujauzito mheshimiwa mwenyekiti nizungumzie dar ivf clinic ambayo ni clinic inayotoa matibabu kwa akinamama hawa wanaoshindwa kupata ujauzito hospitali hii imekuwa ikisaidia sana wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito na wanawake wawili mpaka watatu wanahudumiwa kwa siku tunaweza kusema kwamba wanawake zaidi ya 50 wanahudumiwa matatizo haya ya kupata ujauzito kwa maana ya kupandikizwa watoto au kusaidiwa njia mbalimbali za kupata uzazi mheshimiwa mwenyekiti gharama za matibabu ni kubwa sana kwenye suala hili mwanamke au familia inaingia kwenye gharama ya dola 7000 au 8000 hadi dola 10000 kwa mwanamke kupata matibabau haya familia nyingi zinauza rasilimali lakini pia zinaingia katika mikopo kuingia katika kusaidia wanawake hawa kupata ujauzito ushauri wangu kwa serikali ili kupunguza gharama hizi kwa familia dawa zinazotoka nje ili kusaidia wanawake hawa kupata ujauzito zina gharama kubwa lakini pia nataka kuishauri serikali pamoja na wizara hii kuondoa kodi kwenye dawa hizi ili ziweze kupatikana kwa urahisi lakini pia kuondoa vizuizi vingi vinavyoambatana na uingizwaji wa dawa hizi ili tuweze kusaidia wanawake hawa na kuondoa urasimu pia ambao unapelekea dawa hizi kuchelewa kuingia nchini (makofi) mheshimiwa mwenyekiti vilevile ningependa kushauri wizara ya afya kusaidia dawa hizi kama zinaweza zipatikana kwenye msd ili tuweze kuzipata kwa urahisi mheshimiwa mwenyekiti suala lingine ambalo ningependa kuishauri wizara ni madaktari wataalam kama ilivyofanywa kwenye taasisi ya moyo kupandikiza figo tunaomba wizara itafute hawa wataalam ambao wanaweza kusaidia zoezi hili kwenye hospitali zetu za rufaa ili tuweze kusaidia wanawake hawa kupata ujauzito kwa gharama nafuu (makofi) mhesimiwa mwenyekiti jambo lingine la tatu nataka pia wizara ione namna gani tunaweza kutoa elimu kwa jamii ili kuona tatizo hili siyo la wanawake pake yao bali na wanaume pia wanahusika hii litasaidia sana kuondoa unyanyapaa kwa wanawake ambao wanashindwa kupata ujauzito mheshimiwa mwenyekiti nimalizie pia kwa kumpongeza waziri wa afya na naibu wake tena kwa kazi kubwa ambayo wanaifanya lakini niwaombe kwenye zile zahanati zetu kwenye maeneo ambayo tunatoka kwenye majimbo yetu kwenye mikoa yetu ziboreshwe kuna tatizo kubwa sana la maji kwenye zahanati zetu tunaomba namna ambavyo tunakarabati zahanati zetu tuweke gata ili kuweza kuvuna maji ya mvua na itasaidia sana kuweza kupata maji katika zahanati zetu na watu waweze kujifungua kwa usalama zaidi mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti namshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa fursa ya kuchangia wizara hii na kwa kunimheshimiwa mwenyekitipa pumzi ya kusimama hapa kwenye bunge lako tukufu leo nianze kwa kupongeza kamati ya ardhi maliasili na utalii kwa kupata fursa ya kufanya ziara za kutembelea baadhi ya vivutio vya utalii nchini mheshimiwa mwenyekiti mambo muhimu ambayo kama mdau wa uhifadhi ningependa kuyasisitiza ni wizara hii kuwa na ubunifu kumekuwa na utalii wa aina moja miaka mingi hivyo nashauri tuwe na aina nyingi za utalii ambazo zitafanya mtalii aache fedha zake kuliko kutegemea fedha za lango kuu wakati mgeni anaingia hifadhini mfano kivutio kilichopo hifadhi ya manyara ni mfano mzuri wa ubunifu nashauri maeneo mengine yafanye hivyo mheshimiwa mwenyekiti nizungumzie suala la vitalu vya uwindaji kumekuwa na sintofahamu kutokana na kauli mbalimbali za kuzuia na kuruhusu uendeshaji wa vitalu vya uwindaji kutokuwa na msimamo wa matamko katika wizara hii kunaathiri shughuli nzima ya uwekezaji kwenye vitalu vya uwindaji mheshimiwa mwenyekiti nasema hivi kwa sababu biashara hii inauzwa au inafanyiwa masoko kabla ya mteja kutumia bidhaa hivyo tunaweza kupoteza mapato mengi na kuwafanya wafanyabiashara ya utalii wa uwindaji kukata tamaa ya kuwekeza nchini mfano leo tuna vitalu 61 havina wawekezaji lazima tujiulize tumekosea wapi mheshimiwa mwenyekiti nizungumzie suala la mipaka kumekuwa na migogoro ya uhifadhi na wananchi wanaozunguka hifadhi zetu kama hatutaweza kuweka suluhisho la mipaka yetu ya hifadhi tunakwenda kuwaumiza wananchi wetu kwa kuendelea kuwatoza faini kubwa na adhabu mbalimbali mheshimiwa mwenyekiti naomba kushauri kwamba serikali kupitia wizara ya ardhi maliasili na mifugo tuweze kukaa pamoja ili kuwa na mpango wa pamoja wa matumizi bora ya ardhi na kuweza kupunguza na kumaliza kabisa migogoro ya mipaka mhe risala s kabongo mheshimiwa spika nakushukuru kwa kunipa nafasi nami niweze kuchangia katika hii mada muhimu iliyoko mezani hoja ya kupandisha hadhi mapori ya akiba ya biharamulo burigi kimisi ibanda na rumanyika orugundu kuwa hifadhi za taifa ndiyo hoja ambayo tumekuwa kukiijadili muda mrefu katika kamati yetu ya maliasili na utalii (makofi) mheshimiwa spika nikiri tu kuwa mimi ni mjumbe wa kamati hiyo na kwamba nichukue fursa hii kipekee kumpongeza sana mkurugenzi wa hifadhi za taifa tanapa ndugu allan kijazi pamoja na timu yake kwa kuendelea kusimamia maeneo ya hifadhi za taifa tanapa yenye hifadhi 16 mapori ya akiba 28 mapori tengefu 42 yanayosimamiwa na tawa (makofi) mheshimiwa spika mapori ya akiba yanayopandishwa hadhi ni miongoni mwa mapori 42 yanayosimamiwa na tawa kumekuwepo na jitihada mbalimbali za kukabiliana na changamoto za ujangili wa mapori kwenye maeneo yanayopakana na mapori ya akiba maeneo mengine yanayokuwa na changamoto ni sehemu ya ujambazi ambao umekithiri maeneo ya mipakani (makofi) mheshimiwa spika changamoto nyingine ni uvuvi haramu ambao umekuwa ukikabili mapori haya na uingizaji wa silaha za kivita ambazo pia zimekuwa zikiingizwa kupitia kwenye mipaka ya mapori haya kumekuwa na malengo mbalimbali ambayo yamesababisha kupandisha mapori haya kuwa hifadhi za taifa malengo hayo ni pamoja na kuimarisha uhifadhi wa maliasili kama tulivyoona kwenye kamati yetu hususani pia wanyama pori mimea adimu mazalia ya samaki viumbe wengine na ndege wa aina mbalimbali ikiwemo korongonyangu mheshimiwa spika kuimarisha ulinzi wa mipaka yetu imekuwa ni hoja muhimu pia ya kufanya maporo haya kupandishwa hadhi sambamba na hilo ni kuimarisha mifumo ya kisheria ambayo itakwenda kusimamiwa na hifadhi za taifa tanapa vilevile kuongeza pato la taifa kupitai shughuli za utalii ambazo zitakwenda kuendeshwa katika ukanda wa hifadhi za magharibi kwa kuwa shughuli za kijamii hazitaruhusiwa kuendeshwa katika mapori haya wakati eneo hili linapandishwa kuwa hifadhi za taifa napenda kushauri masuala yafuatayo mheshimiwa spika kwa kuwa hii inaweza kupelekea kuendelea kuwa na migogoro mingi ambayo imekuwa ikitokea katika maeneo mengine kama haya wananchi wa maeneo haya ambao ni wafugaji kulingana na sheria za hifadhi hawataruhusiwa kuendelea kufanya shughuli za kijamii kama kufuga kuokota kumi na kuvua samaki hivyo sambamba na kupandisha hifadhi hizi mapori haya ningependa kushauri mambo yafuatayo ili serikali iweze kuyatekeleza mheshimiwa spika kwa kuwa sasa hii ni fursa ya miji ya jirani kama geita biharamulo bukoba na ukerewe napenda kushauri kuweko na mikakati ya kuendeleza miji hii hivyo viwango vya utoaji huduma viwe vinakidhi mahitaji ya soko la utalii ili kuwezesha wananchi wanaopakana na mikoa ile kuweza kufaidika na hili suala la upandishaji hadhi (makofi) mheshimiwa spika suala langu la pili ningependa kushauri serikali ijenge mazingira kuiwezesha tanapa kuyaendeleza mapori haya yatakayopandishwa hadhi suala la tatu napenda kuishauri serikali kusaidia miundombinu ya kufika hifadhi iboreshwe suala la nne naomba serikali isaidie kuondokana na urasimu wa kutoa misamaha ya kodi kwa wafadhili wanaotoa pesa kusaidia maeneo hayo hasa kwenye suala la miundombinu (makofi) mheshimiwa spika napenda pia kushauri serikali kuwe na bajeti ya kutosha kusaidia shughuli za uendeshaji kwa kuwa mpaka sasa kati ya hifadhi 16 za taifa ni hifadhi tano tu ambazo zinajiendesha zenyewe hifadhi nyingine zote ni tegemezi kwa hiyo kwa kuwa tunaenda kwenye kipindi cha bajeti kuwe na bajeti ya kutosha kusaidia hifadhi hizi kujiendesha (makofi) mheshimiwa spika serikali ione kuna haja sasa ya kufanya wizara ya maliasili na utalii kuwa ni kipaumbele cha taifa kwa kuwa wizara hii sasa imekuwa ikichangia pato kubwa la taifa na kwamba ni miongoni mwa wizara zinazoingizia pato kubwa nchi yetu mheshimiwa spika kwa kusema hayo naomba kuunga mkono hoja hii ya kupandisha hifadhi hizi za magharibi kuwa na hadhi ya tanapa kwa kuwa kupandisha hadhi hifadhi hizi zitaisaidia sana wananchi wanaozunguka maeneo haya ya magharibi kuendelea kiuchumi lakini pia kusaidia mipaka yetu ambayo inayozunguka nchi jirani vile vile kama tulivyoona itasaidia ulinzi katika nchi yetu na kuzuia migogoro mingi ambayo inatokana na nchi zinazozunguka katika hifadhi zetu mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti nichukue fursa hii kumshukuru mwenyezi mungu kunipa fursa ya kuchangia hotuba ya waziri mkuu mheshimiwa mwenyekiti nianze kwa kuzungumzia suala la ajira kwa wenye kiwango cha darasa la saba kwanza napenda kuipongeza serikali kwa kuona ni lazima kiwango cha ajira kianzie kidato cha nne ni jambo jema kabisa ndiyo maana ya kuanzisha elimu bure mheshimiwa mwenyekiti maoni yangu kwenye eneo hili naomba kuishauri serikali ione kuna umuhimu wa kuwarudisha kazini watumishi wote waliokuwa wameajiriwa kwa kiwango hicho cha elimu huko nyuma ili wafikie kipindi chao cha kustaafu na kupunguza gharama kubwa ya kuwalipa watumishi hao mheshimiwa mwenyekiti watumishi hao wengi wao walioajiriwa kwenye kada za udereva uhudumu na huduma mbalimbali katika ofisi za serikali kada ambazo hazihitaji utaalam mkubwa kwa level yao ya elimu najua serikali ina nia njema ila kwa kipindi hiki cha mpito baada ya suala la elimu bure tunaamini mwamko wa kujiendeleza utakuwa mkubwa na hivyo kada hii ya elimu ya msingi itajifuta yenyewe mheshimiwa mwenyekiti kuhusu hifadhi ya mazingira napenda kuipongeza serikali kwa kuanzisha mpango wa usafi kwa ajili ya utunzaji wa mazingira pamoja na serikali kuanzisha mpango huu na kuongeza idadi ya wakaguzi na kutoa elimu na uelewa kuhusu uendeshaji endelevu wa viwanda unaozingatia utunzaji bora wa mazingira napenda kuishauri serikali kuona ni namna gani ya kupiga marufuku vifungashio vya plastic ili kuendelea kupunguza uharibifu mkubwa wa mazingira kupitia vifungashio vya plastic mheshimiwa mwenyekiti kuhusu kilimo nimekuwa nikifuatilia sana kwenye mikoa mbalimbali nchini ambayo imekuwa ni wazalishaji wakubwa wa chakula napenda kuishauri serikali kuhusu suala la pembejeo ambalo limekuwa na changamoto kubwa kwa upande wa upatikanaji kwa kuwa maeneo mengi yana mawakala ambao wamekuwa na urasimu mkubwa kwa namna ya upatikanaji wa pembejeo ushauri wangu ni kwa nini serikali isione umefika wakati wa kusambaza pembejeo hizi kwenye maduka na kuhakikisha inatolewa bei elekezi ili kila mkulima apate pembejeo hizi kwa wakati kwa kuwa kumekuwa na upendeleo mkubwa wa upatikanaji wa pembejeo kwa ruzuku mheshimiwa mwenyekiti suala lingine ni mazao ya biashara pamoja na serikali kuweka mkazo maalum wa kuyaendeleza kwa kasi mazao ya kahawa korosho pamba na tumbaku kuna zao la apples katika mkoa wa njombe ambalo kama serikali itaweka mkazo itasaidia upatikanaji wa apples kwa wingi katika nchi yetu na kuacha kuagiza apples afrika ya kusini ili kuongeza kipato kwa wakazi wa mikoa ya kusini na kuongeza mapato na uchumi wa taifa letu mhe risala s kabongo mheshimiwa naibu spika kwa mujibu wa mpango wa taifa wa umwagiliaji wa mwaka 2002 nchi yetu ina eneo la hekta milioni 294 zinazofaa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji mheshimiwa naibu spika kwa mfano mkoa wa songwe una vyanzo vingi vya maji ambavyo vingeweza kutumika vizuri vingeweza kusaidia huduma ya maji pamoja na kilimo cha umwagiliaji ambacho kinaweza kulisha nchi nzima ushauri wangu kwa serikali wizara ya maji na umwagiliaji na wizara ya kilimo vikae pamoja na kuona ni namna gani wanaweza kutumia vyanzo vya maji ili kuboresha kilimo cha umwagiliaji kwa mkoa mpya wa songwe mheshimiwa naibu spika mpango shirikishi wa maji shirikishi katika mto momba na songwe unaweza kuinua uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na kutoa ajira kwa makundi ya vijana na akina mama ambao wengi wanategemea kilimo wizara ishirikiane na sekta binafsi kukamilisha miradi hii mheshimiwa naibu spika kuhusu uharibifu wa miundombinu ya maji na umwagiliaji kumekuwa na uharibifu mkubwa wa miundombinu ya maji hasa maeneo ya vijijini mfano maeneo mengi ambayo yamewekwa mabomba ya maji ya kuchota kwa ujumla wananchi wamekuwa wakiharibu mabomba hayo kwa kuwa hawana uchungu na miradi hiyo mheshimiwa naibu spika ninashauri uwekwe utaratibu wa kuchangia miundombinu ya maji ili wananchi watambue thamani ya miundombinu ya maji na kuithamini hii itasaidia ukarabati wa miundombinu hiyo bila kutegemea ufadhili pindi miundombinu hiyo ikiharibika mheshimiwa naibu spika kumekuwa na tatizo kubwa la upotevu wa maji hasa kwenye mashamba makubwa ya mpunga na mfano mzuri ni bonde la usangu mbarali miundombinu ya umwagiliaji ni ya zamani tangu kukiwa na mashamba machache mheshimiwa naibu spika hatua za haraka zisipochukuliwa kudhibiti kilimo holela cha umwagiliaji katika bonde la usangu kuna uwezekano mkubwa wa uzalishaji wa nishati ya umeme katika bwawa la mtera na kidatu ukapotea kwa kiwango kikubwa kutokana na upotevu wa maji mheshimiwa naibu spika pia haki za binadamu ziheshimiwe mfano haki ya kupata elimu afya maji safi na salama mheshimiwa naibu spika hali ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini bado ni changamoto kutokana na wananchi wengi kupata maji yasiyo salama uharibifu wa mazingira ni hatari sana kwa maisha ya binadamu kwa asilimia kubwa ya wananchi wa tanzania wanatumia misitu kama malighafi kwa shughuli za uzalishaji na huduma pamoja na kuwa ni fursa ya ajira kwa watu wengi uharibifu wa mazingira ni chanzo cha mafuriko na ukame wa kutisha mheshimiwa naibu spika nashauri wizara ya maji kwa kushirikiana na wizara ya mazingira na wizara ya kilimo kuhakikisha utoaji wa elimu juu ya utunzaji wa mazingira unapewa kipaumbele na ikiwezekana kuwepo na faini zinazotozwa kwa watumiaji wabaya wa maji na vyanzo vyake mheshimiwa naibu spika kwa kuwa maji ni afya uhai na maendeleo ninashauri wizara ya maji kwa kushirikina na wizara zote ihakikishe kuwa majengo yote ya taasisi mbalimbali yawe na michoro itakayoonesha utunzaji wa maji ya mvua ili kusaidia wakati ambao kuna upungufu wa maji mfano katika shule hospitali ofisi hoteli na shughuli zote za kilimo cha umwagiliaji kuwekewa mifumo ya kutumia maji kidogo na kuzuia upotevu wa maji mheshimiwa naibu spika namalizia kwa kushauri wizara iendelee kutembelea na kutoa elimu kwenye maeneo yenye vyanzo vya maji hasa kusisitiza suala la mita 60 kutoka vyanzo vya maji kuendelea kutumia mila na desturi zinazosaidia utunzaji wa maeneo yenye vyanzo vya maji mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti nashukuru kwa kupata nafasi ya kuchangia hoja hii ya kilimo mheshimiwa mwenyekiti viwanda haviwezi kuwa endelevu kama hakutakuwa na malighafi ambazo kimsingi zinatokana na kilimo waziri atakubaliana na mimi kwamba bila kuwa na mapinduzi ya kilimo ndoto ya tanzania ya viwanda haitafanikiwa nasema hivi kwa sababu kilimo chetu bado ni duni sana kuweza kuzalisha malighafi za kulisha viwanda hivyo vinavyokusudiwa kujengwa mheshimiwa mwenyekiti kuhusu zao la mbaazi zao hili uzalishaji wake umeongezeka sana ambapo wakulima walizalisha tani milioni 23 za mbaazi mwaka 2016 naiomba serikali iendelee kuangalia kwa jicho la ukaribu soko la mbaazi ili wakulima hawa wasiendelee kupata hasara mheshimiwa mwenyekiti kuhusu mafuta ninaamini kuwa wananchi wengi wanaelewa kuhusu utumiaji wa mafuta ya mbegu ninashauri serikali itoe mikopo kwa wakulima ili waweze kuzalisha kilimo cha mbegu za mafuta na mafuta yatosheleze nchi nzima sambamba na upatikanaji wa mashine kwa bei nafuu za kukamulia mafuta ili wakulima waweze kuuza mafuta na kupata faida kiuchumi mheshimiwa mwenyekiti nashauri pia serikali iendelee kusupport zao la apples katika mkoa wa njombe mwaka jana nilizungumzia suala hili naomba nilisemee tena kwa kuwa tumekuwa tunatumia sana apples kutoka afrika ya kusini mheshimiwa mwenyekiti bajeti ya kilimo iangaliwe kwa jicho la karibu ili kusaidia wakulima wetu hasa kuwafikia kutoa elimu ya mbegu bora na kilimo chenye tija mhe risala s kabongo mheshimiwa mwenyekiti napenda kuchukua fursa hii kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa afya njema kuniwezesha kuchangia hotuba iliyoko mezani nianze kwa kuzungumzia mfuko wa wanawake vijana na walemavu ambao unatengwa kwenye halmashauri zetu mheshimiwa mwenyekiti kwanza nipende kuwapongeza sana mawaziri wote kwa kazi nzuri wanazozifanya nimpongeze mheshimiwa jafo na wasaidizi wake kwa kazi nzuri na zinazoonekana ninachotaka kushauri ni kwamba mfuko huu utengewe akaunti yake maalum katika halmashauri zetu ili kufanya usimamizi mzuri wa fedha hizi mheshimiwa mwenyekiti mwongozo wa serikali ni kila halmashauri kutenga fedha asilimia 10 kutokana na mapato ya ndani jambo hili ni jema sana iwapo litaratibiwa vizuri kwa kuwa litasaidia ajira kwa makundi haya hasa kwenye ujasiriamali naomba kuishauri serikali ilete muswada wa sheria ya kusimamia mfuko wa wanawake vijana na walemavu mfuko wa walemavu 2 utungiwe sheria inayozielekeza halmashauri kutenga kiasi hiki kwa ajili ya walemavu mheshimiwa mwenyekiti wakala wa ujenzi wa barabara vijijini (tarura) lengo ni kuhudumia barabara zote zilizokuwa zinahudumiwa na halmashauri za wilaya miji manispaa na majiji kumekuwa na changamoto mbalimbali katika tarura kukubaliana na majanga kama mafuriko ambayo hupelekea uharibifu wa madaraja makalavati na mashimo makubwa kwenye barabara vijijini mijini na mitaa mingi nchini tarura inatekeleza majukumu yake kupitia fedha za mfuko wa barabara za mwaka wa fedha 2017/2018 wakala waliidhinishiwa shilingi bilioni 2308 kwa ajili ya matengenezo ya barabara yenye urefu wa kilomita 34024 mheshimiwa mwenyekiti hadi kufikia februari 2018 tarura imepokea bilioni 985 ambazo zimetumika kutengeneza barabara yenye urefu wa kilomita 41833 tu naomba waziri atakapohitimisha atuambie ni kwa nini fedha hizi hazitolewi kwa wakati ili kukamilisha barabara hizi kwa mwaka wa fedha unaoishia 2018 kwa mujibu wa hotuba ya waziri mkuu ni kwamba barabara zilizopo chini ya tarura ni kilomita 1089462 mwaka huu wa fedha tarura imesimamia matengenezo ya barabara ya kilomita 41833 tu mheshimiwa mwenyekiti fedha za miradi ya maendeleo kutofika kwa wakati katika halmashauri zetu katika kujiletea maendeleo rasilimali fedha toka serikali kuu ni muhimu sana lakini kuna tatizo la serikali kushindwa kupeleka fedha kwa ukamilifu na kwa wakati kiasi kwamba utekelezaji wa miradi unashindikana na utaratibu wa manunuzi kutofanyika kwa wakati na kutofuata sheria ya manunuzi ambayo inahitaji kutimizwa kwa masharti hivyo kupelekea fedha kurudi serikalini mhe risala s kabongo mheshimwa mwenyekiti naomba kuchukua nafasi hii kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha ktupaa nafasi ya kuchangia wizara hii muhimu ya ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora nipende kumpongeza sana waziri wa utumishi kapteni george huruma mkuchika kwa kazi kubwa anayoifanya ya kusimamia utumishi wa umma nakiri kwa kusema nidhamu ya utumishi wa umma imerudi na uwajibikaji umeongezeka kwa kiwango cha juu mheshimiwa mwenyekiti kaulimbiu ya awamu ya tano ni uwekezaji katika viwanda unaochochea ukuaji wa nchi ili kuwekeza katika viwanda lazima tuwe na rasilimali watu tuliyoiandaa kikamilifu mheshimiwa mwenyekiti kwa kuwa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma ndiyo inayoratibu na kusimamia utumishi wa umma nchini utumishi wa umma unatakiwa kuwa endelevu unatunza historia na kumbukumbu za serikali hali kadhalika utumishi wa umma unatakiwa kutekeleza kazi za serikali iliyoko madarakani bila kujali inatokana na chama gani cha siasa ili kuondoa uwezekano wa mtumishi kutoa huduma kwa upendeleo au ubaguzi kutokana na itikadi za kisiasa kuingiza utumishi wa umma katika itikadi za vyama kutayumbisha utumishi wa umma ambao ndiyo injini ya utendaji wa serikali mheshimiwa mwenyekiti naomba nichukue fursa hii tena kumpongeza waziri na viongozi wote kwa ujumla kwa maamuzi ya kurudisha kazini watumishi wa darasa la saba walioondolewa kazini kwanza hii niseme inapunguza gharama kubwa kwa serikali kuwalipa watumishi hawa sambamba na hilo hawa watajifuta wenyewe kwa kuwa baada ya elimu bure watanzania wengi watatoka hapo na kufikia angalau kidato cha nne mheshimiwa mwenyekiti watumishi hawa wametumikia serikali kwa muda mrefu kwenye fani ya udereva na uhudumu wa ofisi nyingi za serikali yetu nimekuwa mtumishi katika hifadhi za taifa tanzania na watumishi wengi walioko kwenye level ya darasa la saba ndiyo walinzi wakubwa wa rasilimali zetu maliasili za taifa mheshimiwa mwenyekiti sasa nizungumzie upungufu wa watumishi wataalam kwenye wizara ya afya hili limekuwa na changamoto kubwa kwenye idara ya afya na hivyo kupelekea hospitali zetu za rufaa kubeba mzigo mkubwa nashauri eneo hili liangaliwe kwa jicho la pekee sana
2019-08-22T22:07:17
https://www.bunge.go.tz/polis/members/337/contributions
(elekezwa kutoka republic of the congo) ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 4 novemba 2017 saa 1316
2020-02-17T10:59:40
https://sw.wikipedia.org/wiki/Republic_of_the_Congo
serikali inapodharau wananchi | jamiiforums sitaki wananchi wakubali kudharauliwa na serikali waliyoiweka madarakani sitaki serikali iwaone kama wapiga kelele tu kwa mtindo wa ‘wacha waseme usiku watalala’ ni wiki ya nne sasa tangu wananchi waitake serikali yao iwaeleze ilikuwaje helikopta ya jeshi la wananchi (jwtz) ikabeba ‘raia’ wa marekani uingereza canada na australia kwa safari za kibiashara nchini lakini serikali imeendelea kukaa kimya hakuna maelezo na moja ya njia kuu za serikali kuficha ukweli kuzima hoja kuua mjadala na hata kusema uongo ni kukataa kusema kukataa kusema kuna maana ya kutokuwa na jibu sahihi kupuuza kilio cha wananchi kutojali kudharau hoja iliyoko mezani na kudharau wananchi kwa msingi kuwa ‘hata hivyo hawana la kufanya’ kwa mujibu wa sheria zinazotawala jeshi waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa ndiye msemaji mkuu wa chombo hicho waziri amepewa jukumu la kulinda na kutawala vitu viwili muhimu katika jeshi kwanza kutawala askari na pili asimamie na kulinda silaha kwa ufupi na kwa maana halisi ya kiufundi askari na silaha ni ‘vifaa’ muhimu na maalumu chini ya uangalizi wa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa kwa sasa profesa juma kapuya askari ni neno linalotumika kutofautisha mtu na kitu lakini katika maana halisi ya jeshi askari ni silaha ni silaha inayopumua inayoishi katika mabweni ya jeshi tofauti na silaha nyingine inayotunzwa katika ghala katika hili la helikopta kapuya anapaswa kujua majina ya raia wa nchi za nje ambao walikutwa na ndege walikuja nchini kwa shughuli gani nani aliwapeleka kwake au kwa msaidizi wake kuomba helikopta ni waziri huyohuyo ambaye anapaswa kujua iwapo ‘wageni’ waliomba msaada wa helikopta au walilipa kiasi gani ili wapewe silaha muhimu ya jeshi waziri ndiye anaweza kujua rubani wake wa silaha inayoruka amelipwa kiasi gani cha posho ikiwa nyongeza kwa mshahara wake wa kila mwezi vyombo vya habari vilipohoji matumizi ya ndege ya jeshi ni kapuya aliyejibu kwa jeuri isiyomithilika na kwa kuuliza ‘nisipotumia ndege nitumie farasi’ hata kama watatokea wenye kisingizio kwamba wizara ya utalii ilikuwa inajua kuwepo kwa wapiga picha hao kutoka nchi za nje helikopta ya jeshi inafanya nini katika biashara hii ya kitalii matumizi ya vyombo vya jeshi katika shughuli binafsi na za watu wa nje ni ushahidi tosha kwamba jeshi limeingizwa kwenye biashara ya watu binafsi katika kila biashara kuna ushindani katika ushindani kuna kupata na kupoteza katika mazingira ya ushindani kwa kutumia rasilimali za watu wengi kuna wanaosikitika wanaolalamika na wanaopinga matumizi ya zana za kazi kwa manufaa ya watu binafsi na wachache silaha zinazopumua ambazo ndizo hutumia silaha bubu katika tasnia ya kijeshi huweza kujenga hisia kutumiwa na watu binafsi na hivyo kugawanyika hasa linapokuja suala la masilahi mwandishi wa makala hii anapatikana kwa simu 0713 614872 barua pepe ndimara@yahoocom wwwndimarablogspotcom hivi majibu walishaleta m rais magufuli akiharibu kwa lissu na zanzibar basi serikali yake itapata tabu sana jukwaa la siasa 19 today at 1249 am uchaguzi 2020 viongozi wa dini kukutana jumatatu kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya tano jukwaa la siasa 80 yesterday at 523 pm k serikali ya tanzania ikishutumiwa kufanya upendeleo kwa vyombo vya habari itaonewa jukwaa la siasa 10 yesterday at 1238 pm msemaji mkuu wa serikali vyombo vya habari vya ndani vitawajibika kama vyombo vya habari vya nje walivyojiunga navyo vitakiuka sheria ya habari jukwaa la siasa 11 yesterday at 1156 am ccm hatuna hoja za kumjibu tundu lissu tunakwamishwa na watendaji wa serikali jukwaa la siasa 49 wednesday at 817 pm msemaji mkuu wa serikali vyombo vya habari vya ndani vitawajibika kama vyombo vya habari vya nje walivyojiunga navyo vitakiuka sheria ya habari ccm hatuna hoja za kumjibu tundu lissu tunakwamishwa na watendaji wa serikali
2020-08-14T02:53:12
https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-inapodharau-wananchi.8532/
mtibwa sugar yaisogelea simba sc kileleni yetu media mtibwa sugar yaisogelea simba sc kileleni klabu ya mtibwa sugar ya morogoro imepanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara baada ya ushindi wa 10 dhidi ya wenyeji lipuli uwanja wa samora mjini iringa leo
2018-02-22T20:11:31
http://yetu.co.tz/mtibwa-sugar-yaisogelea-simba-sc-kileleni/
col 3 | `dww | step | be taumi kerisoe gurie be ya kawa midisuḡu munaḡemina vutuna aubainama yodi marae deḡo keriso e miamiae mamaitua kasaune dabudi taumi nuenuemima sibo a kenakenana nema keriso sibo tèi muriwatana bake 1 be taumi kerisoe gurie be ya kawa midisuḡu munaḡemina vutuna aubainama yodi marae deḡo keriso e miamiae mamaitua kasaune dabudi taumi nuenuemima sibo a kenakenana 2 be mate ami noḡotama nam yaba dobue koi nuanoḡonoḡotedi ibewa da yaba marae koi nuanoḡonoḡotedina 3 baninama taumi koya gurina be ami yawasanama yodi keriso mate mamaitua nopone ya moisirina 4 keriso vutuna ami yawasanama ḡarone e kenakena raḡanine tauna na kaba verau munaḡe taumi tokare tauna mate neneḡarine ko yana tenaḡana 5 vutuna aubainama dobu adi yawasanama gewegewedima ḡaromie ko tom poreporedina uma yabedima inam waisoḡa yabayababa yawasana miremiredima badara ḡoana gewegewedima be waigogo mate inam kauine taragaie mamaitua na gabuma kowai gabu raupunana be taragai tawai rawakokoitauna 6 banaga aitauḡa inam yabedima ta voivoiedina tokare mamaitua na medima ḡarodie e tubuḡana 7 boni taumi nam kowai sumaḡana raḡanine taumi mate inam yawasanidima koya voivoiedina 8 be yodi nuaḡoraḡora medi nopopikapika waitupadeḡa be giu waibeawarewaredima matabudi ko gose poredi 9 be nam ami banagama ami banagama ḡarodiḡa koi tupadeḡa naḡo baninama taumi ami yawasana poranama na voiama kaite koya gosena 10 be yawasana vaunama koya kotena inam vutuna keriso raḡan patapatanama e rawarawa vaudana inam kedane dà yawasanama tokare teneḡinama maika yawasana tauwai tubuḡinama na yawasanama e ruvana maika 11 inam yawasaninama vaunama nopone tauda banaga matabuda namaḡa avedi da tauda eteni bo jius bo kopitom banegida bo nam kopitom banegida avedi da tauda banaga nam katakataida bo taunoya yababa bo taunoya adi babadama tauda matabuda mamaitua matane inam teneteneḡinaḡa baninama keriso tauna matabuda nopode e miamiana 12 be mate ko noḡoti da taumi nuaguma taupaḡonama be mamaitua ya vinemi da yodi taumi banaga babaumima vutuna aubainama uma yabedie sibo koyai garemina raunuatoi raukivivere ḡaubomunaḡa voyaḡota be damiporaḡa 13 be taumi sibo ami banagama mate koyai kawa voyaḡota vivira be noḡotaporaḡa ḡaromie sibo ya kenana ami banagama ami banagama mate nema bada ami gewagewama ya noḡota poredina nama 14 be waiḡesaunama yaba matabuna ya saḡa poredina inam wainuapaḡo inam vutuna yaba matabuna e soru gogonidi be wainuapaḡoe ewai rawateḡeidina 15 bada keriso na subama nopomie e kena be ei bademina baninama taumi matabumi tubuḡa tenaḡa inam vutuna aubainama mamaitua ya vinemi da taumi na subae ko miana be mamaitua koi kaiwena 16 be keriso riunama nopomie e moraba be e maura yodibe nuauyauyae banaga koi katakataidi be ko raukuredina be ma waikaiwimi mamaitua ḡarone ko sarena sare salamo nopodie kaisuḡu saredi be aba arua e riuriuemina nama ko sarena 17 be abaḡa ko giugiuedi bo ko voivoiedina matabuna sibo bada yesu isane koya voiedina be tauna isane mamaitua tamadama koi kaiwena bada isane koi bada kauana 18 taumi waiwaivi ami tautauḡomama adi waibadama dibune ko mia uma kauinama nama bada matane inam ya vere kauana 19 taumi tautauḡoma ami waiwaivima koi nuapaḡoedina be nam ko riu badobadoedi 20 taumi seda ami dosima ko voteyeteyedina baninama bada e ḡoeḡoe da nama sibo koya miana 21 taumi dosi ami sedama nam ko kawa nuaboyedi da taudi ta sirawa 22 taumi taunoya yaba matabuna ḡarone ami babadama ko voteyeteyedina be taumi nam ami babadama anitai nuaveredima aubaidima ta kitekitemi be noḡonairidie ko noyanoya inam avedi be nuemima tabutabune ko voteyeteyedina bada yesu anitai nuaverenama aubainama 23 raḡan matabuna aba ko voivoiedina nuemima tabutabune ko voiedina inam nam banaga ḡoma aubainama koma noyanoyana ibewa da inam bada aubainama ko noyanoyana 24 be ko noḡoti da ami noyama maesinama bada tokare na buderima e utemina taumi vutuna bada keriso ḡominama ko noyenoyena 25 be deḡoda yawasana barabaranama ko voiena tokare maesinama kovoḡa ko paḡona be nam buderi aba gewagewanama koya voivoiena tokare mamaitua ruvane e utemina avedi da taumi banaga dosimi bo nam dosimi tokare teneḡinama ko paḡona
2018-09-24T13:07:31
https://www.stepbible.org/?q=version=DWW%7Creference=Col.3
php scripts / miscellaneoustrading card maker addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads trading kadi ya muumba ni php script kutumia maktaba gd ambayo inaruhusu kujenga kadi biashara (kama jpg au png) kwa kutumia fomu rahisi unaweza hariri jina na maelezo ya kadi na kuchagua ambayo picha itaonyesha yake picha zote kutumika kuzalisha picha ni kuhifadhiwa katika folders na itaonyesha juu kama chaguzi maadili katika kujaza fomu kutumia matukio onchange wewe dona € ™ t kuwa na kuwasilisha fomu manually kuona matokeo fonts ukubwa fontna kuuza nje ya muundo (kuwa ni jpg au png) ni urahisi editable katika faili configuration (na katika nyaraka ya kina) downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwamachi 14 13mwisho wa mwishomachi 14 13high azimiohakunasambamba browsersie9 firefox safari opera chromemafaili pamojaphpprogramu versionphp 4x php 5x php 5052 php 53 nyinginekeywordsecommerce ecommerce vitu zote mchezo gd picha kudanganywa php gd biashara kadi maker kadi biashara
2017-04-28T10:07:18
https://sw.worldwidescripts.net/trading-card-maker-42647
daily mitikasi blog watoto chini ya miaka 5 kunufaika na upimaji wa afya bure kutoka kwa bango sangho
2018-03-18T02:01:33
http://johnbadi.blogspot.com/2016/03/watoto-chini-ya-miaka-5-kunufaika-na.html
kiunzi nje wikipedia kamusi elezo huru kiunzi nje (elekezwa kutoka kiunzi cha nje) kichwa cha sisimizi chitini kiunzi nje ni ganda au ngozi imara inayobeba na kulinda mwili wa mnyama kwa nje si kwa ndani kama kiunzi cha mifupa 1 wadudu na arthropodi 2 watu na kiunzi nje 31 biolojia 32 teknolojia wadudu na arthropodiedit ni hasa wanyama wa ngeli ya arthropodi kama vile wadudu buibui na kaa wenye kiunzi nje imara ya chitini tofauti ni matumbawe ambao wanakaa pamoja kwa vikundi vikubwa ilhali kila mmoja anajijengea kihunzi nje kidogo na viunzi hivyo vinabaki baada ya tumbawe kufa lakini wengine hujenga juu ya viunzi vya watangulizi hivi kujenga mwamba tumbawe ambaye yamekuwa chanzo cha visiwa vingi kwa mnyama mdogo kiunzi hicho bado ni laini lakini kinazidi kuwa kigumu baada ya muda kama mnyama anaendelea kukua ganda hili gumu linakuwa dogo hapo wanyama wenye kiunzi nje hutupa ganda na kukuza ngozi mpya itakayokuwa gumu tena watu na kiunzi njeedit watu walianza kuiga mfumo wa wadudu kwa kujitengenezea aina ya kiunzi nje tangu kale wanajeshi waliwahi kuvaa suti za chuma au bapa mbalimbali za metali zilizokinga kifua kichwa na tumbo katika tiba kama mguu umevunjika unafunikwa bendeji ya plasta itakayokuwa mgumu kwa muda ni ganda la nje linalobeba uzito wa mwili badala ya mfupa unaoendelea kupona katika teknolojia ya kisasa wahandisi wanachunguza suti za kuvaa kwa wajeruhiwa au walemavu zitakazowawezesha kutembea tena biolojiaedit university of washington exo arm project je unajua kitu kuhusu kiunzi nje kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=kiunzi_nje&oldid=1088451 last edited on 9 oktoba 2019 at 0717 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 9 oktoba 2019 saa 0717
2020-08-12T01:00:25
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Kiunzi_cha_nje
waziri mkuu ahuzuria mazishi ya mwanasiasa maarufu matopa * home / kijamii / waziri mkuu ahuzuria mazishi ya mwanasiasa maarufu matopa waziri mkuu ahuzuria mazishi ya mwanasiasa maarufu matopa mtinge blog april 12 2018 kijamii waziri mkuu amuaga mwanasiasa maarufu matopa waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na waombolezaji katika mazishi ya mwanasiasa mkongwe na mwenyekiti wa ccm mstaafu wa mkoa wa lindi alhaj ali mtopa katika kijiji cha nanjilinji wilayani kilwa apili 11 2018 waziri mkuu kassim majaliwa akishiriki katika mazishi ya mwanasiasa na mkongwe na mwenyekiti wa ccm mstaafu wa mkoa wa lindi alhaj ali mtopa katika kijiji cha nanjilinji wilayani kilwa aprili 11 2018 waombolezaji wakimsikiliza waziri mkuu kassim majaliwa wakati alipozungumza katika mazishi ya mwanasiasa mkongwe na mwenyekiti wa ccm mstaafu wa mkoa wa lindi alhaji ali mtopa kwenye kijiji cha nanjilinji wilayani kilwa aprili 11 2018 (picha na ofisi ya waziri mkuu) waziri mkuu kassim majaliwa akishiriki katika sala ya kumwombea mwanasiasa mkongwe na mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa lindi alhaj ali mtopa wakati aposhiriki katika mazishi ya mwansiasa huyo yaliyofanyika kwenye kijiji cha nanjilinji wilayani kilwa aprili waziri mkuu ahuzuria mazishi ya mwanasiasa maarufu matopa reviewed by mtinge blog on april 12 2018 rating 5
2019-01-16T23:29:36
https://www.mtinge.com/2018/04/waziri-mkuu-akizungumza-na-waombolezaji.html
pakua biohub na biorefinery bidhaa mpya na michakato ya kemia ya kijani na roquette simu pakua biohub na biorefinery bidhaa mpya na taratibu za kemia ya kijani na roquette novemba 24 2009 17 mai 2016 christophe programu ya biohub maendeleo ya bidhaa mpya na taratibu ndani ya biofinery na patrick fuertes roquette baadhi ya utafiti na maendeleo mazuri katika kemia ya kijani iliyofanywa na kikundi cha roquette katika mpango wake wa biohub pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika) biohub et bioraffinage nouveaux produits et procédés de chimie verte par roquette ← pakua lignins ya uzazi wa pili na kemia ya kijani pakua programu ya technose kemia ya kijani na molekuli mpya →
2018-08-20T08:13:02
https://sw.econologie.com/telechargement-biohub-bioraffinage-nouveaux-produits-procedes-chimie-verte-par-roquette/
mars maisha juu yake wanasayansi wamekuwa kuthibitishwa miaka iliyopita | | suenee ulimwengu mars maisha juu yake wanasayansi wamekuwa kuthibitishwa miaka iliyopita 13 8791x 04 05 2018 msomaji wa 1 mada maisha kwenye mars jamii mars maisha kwenye mars yalithibitishwa na wanasayansi katika 70 miaka lakini hakuwa na imani wakati huo uchunguzi wa mafanikio unaonyesha kwamba uthibitisho wa kwanza wa kuwepo kwa maisha kwenye mars unarudi 1976 mars kwa hivyo sio tu nchi ya vumbi uhai upo juu yake mapitio ya utafiti wa suluhisho mbili kwenye mars inayoitwa viking release labeled imeleta madai ya kusisimua ambayo yamekusanywa mto wa martian una maisha ya microbial probes kwenye mars ilifika saa 70 miaka ya 4 ya 000 lakini wote baada ya kuchunguza udongo walipata matokeo sawa ya kushangaza mara sampuli za udongo zilipelekwa duniani vipimo kadhaa vilifanyika ikiwa ni pamoja na joto lao sindano ya virutubisho na kuhifadhi katika giza kwa miezi miwili watafiti walibainisha kuwa sampuli zilionyesha dalili za maisha ya microbial na ilikuwa siri sawa na vipimo vya udongo sawa kutoka california alaska na antaktika mars na taarifa za wanasayansi wanasayansi wengine kisha wakataa nadharia ya kudai kwamba sampuli haikuwa ya kibiolojia wao walisema matokeo yalikuwa yanayosababishwa na wakala wa oxidizing wa udongo usio na kibiolojia dk gilbert v levin wa chuo kikuu cha arizona na dr patricia ann straat wa taasisi ya afya ya taifa hata hivyo sasa anasema kuwa utafiti huu ulikuwa kweli ushahidi wa maisha juu ya mars dk levin na dk sawa aliandika katika utafiti uliochapishwa katika astrobiology kila mmoja sifa hizi ni sawa athari muhtasari aina ya duniani wa vijiumbe ikiwa ni pamoja na ya awali chanya kudhibiti majibu joto 160 50 c na c gesi iliyotolewa juu ya reabsorption ya sindano ya pili ya madini na kifo pekee ya kuhifadhi kwa muda mrefu matokeo ni thabiti na maelezo ya kibiolojia kutokana na kwamba ubinadamu ungeweza kusafiri kwa mars karibu ni muhimu kupima upya na kuthibitisha matokeo haya kwa sababu za usalama na afya dk levin na dk straat wanaendelea katika ujumbe wowote ujao na mars tunapaswa pia kuzingatia kwamba sampuli hiyo inaweza kuwa na faida ingawa imepungua maisha ya mgeni chris mckay phd mhariri mkuu wa astrobiology na mtaalam wa astrobiologist katika kituo cha utafiti nasa imekubaliana na chapisho iliyochapishwa hivi karibuni alisema hata kama mtu haamini kwamba matokeo ya viking lr hutoa ushahidi mkubwa wa maisha kwenye mars hati hii inaonyesha wazi kwamba chaguo hili linapaswa kuchukuliwa hatuwezi kutawala ufafanuzi wa kibiolojia hii ina maana kwa mipango ya ujumbe wa watu wa baadaye hii ndiyo njia ya mars kuondoka kutoka complex 41 kutoka cape canaveral kituo cha space kennedy florida 1975 uchunguzi wa kiufundi 1974 mars januari 1985 mars na matuta kutenguka mars na crater mars na msingi wa ufuatiliaji mars na njia ya usingizi wa maji mars na mteremko mwinuko nasa real maji kwenye mteremko mars na menus ni sourround njoo tena kwenda mars se suenee ulimwengu tags antaktika maisha mars ndege au martians 1 15557x maoni ya 13 juu ya mars maisha juu yake wanasayansi wamekuwa kuthibitishwa miaka iliyopita 05052018 katika 21 11 ilikuwa ni aina hii kama hii https//wwwyoutubecom/watchv=hg0thmovjje 06052018 katika 00 08 sikujua hata kipande cha picha ilikuwa movie maalum 08052018 katika 00 50 olda anasema 04052018 katika 22 42 kwa mujibu wa corey goode wa habari tayari kuna na probes ya nasa ni ukungu tu 05052018 katika 14 34 kwa mujibu wa mtoa taarifa jarda pšenička nitakayemtumaini kabisa kwa sababu sisi kutumia muda mwingi katika baa kwa ngano ila kuna ukungu wa nasa probes pia wingu uliosababishwa na mashirika mengine ya nafasi kimsingi hakuna inayoonekana kwenye hatua na baridi kabisa pale na hata hilo kina pumzi na kisha exhale si kina ilivyokuwa ni pretty upset marhor ambaye alitaka kufanya ziara swimsuit na jua wanatarajia hali ya hewa kali na hali ya hewa ya jua kwa kifupi ambapo mguu wa binadamu huingia huiharibu na mars ni ushahidi wa wazi 05052018 katika 17 51 ukweli uko nje tena ninapenda hali ya hewa ya joto hivyo mars kuhudhuria mara kwa mara tu tu ziara ya ukaguzi ninapenda kwenda olympus mons na sanamu ya cydonia alalua na kwa njia mheshimiwa jane kuongeza ujuzi na kujua nani anayejulikana kwa alal 05052018 katika 18 09 kwa wakati mwingine huelezea uzoefu wako wa kutembelea maeneo haya kama shinikizo la anga kiwango cha umande wa wenyeji na kadhalika 05052018 katika 18 17 unaandika ukiwa usio na maana kwa sababu hauelewi kwa nini inaendesha endelea na jarda pšenička wako mjuzi katika chupa ili kuunga mkono nyuzi za ubongo na whisky wenye tamaa ya wasiwasi kujitolea maisha yako na kuruhusu amani yako ya akili kufanya kazi yako baada ya kumaliza soma matokeo kwa kuchapishwa 05052018 katika 18 40 huna kuelewa sisi na pšenička tumekuwa kwenye mars muda mrefu uliopita 05052018 katika 18 52 unapoteza muda wako kwa kujifanya ndoo ya pub nimekuomba kuchangia ustawi wa sayari hii mara kadhaa badala ya kukuleta hadithi za pub utaadhibiwa kwa shukrani yako baada ya mafunzo yako una kazi ya nyumbani kukubali ndiyo / hapana 05052018 katika 19 16 nia ya ajabu ukosefu vile mbaya ni wengine najua bora zaidi kwa wengine hiyo ni sawa na sio tofauti hii ni bora kwa blake planet unamaanisha nini dalili ya kutisha ni wakati mnyang'anyi anajaribu na kupata maadui kati ya wapendwao ninafikiria kufungua kliniki 04052018 katika 14 15 maoni kadhaa juu ya makala ya makala probes hazikuja umbali wa mita 4000 lakini kilomita za 4000 sampuli hazipelekwa kwenye ulimwenguni lakini zilipimwa moja kwa moja kwenye suluhisho la mars matokeo yamepatikana kwa usahihi tangu mwanzo kulikuwa na makala ambazo zilielezea nadharia kuwa ilikuwa yenye uharibifu kwa maisha na wale ambao walielezea tabia ya sampuli kama mchakato mkali wa kemikali bila shaka waandishi walielezea njia zote mbili za kuelezea na walikubaliana kuwa vipimo vilikuwa visivyo na kutosha ripoti mpya iliyoelezwa katika suala hili haikutoka kwenye mfululizo 06052018 katika 10 49 mwisho wa burudani za wasiwasi
2019-08-18T13:28:39
https://sw.suenee.cz/mars-zivot-na-nem-existuje-vedci-potvrzeno-uz-pred-lety/
michezo winx msimu 5 bloom ya spring wardrobe michezo winx msimu 5 ni mkutano na heroines yako favorite wa flora stella bloom na wengine michezo winx 5 msimu kamili ya kichawi na adventurous kuna wakati mtoto ni tena jukumu mifano ya kutosha katika ulimwengu halisi na hatua kwa hatua kuwa kusukuma nyuma kwa wazazi wa mashujaa tako wengi tamthiliya ya filamu vitabu na bila shaka katuni ambazo watoto inayotolewa leo ni kubwa kwa upande mmoja ni mengi salama zaidi kuliko kama mtoto wako limekuwa sanamu ya sigara grader bob baada ya yote tuna kudhani kwamba maudhui ni nafasi nzuri kama mtoto priori hauwezi kuzaa chati mabaya na uharibifu lakini mtazamo vile angalau wasiojua na mtoto anaweza kunyonya mambo kwenye televisheni kama si hasi basi ndio kwamba wewe bila ya shaka hawataki kuona kama msingi wa mtazamo wa dunia yake hiyo wale ambao kufikiria wenyewe kuwa kuwajibika wazazi makini sana na kile kinachoonekana wasomaji na anasikiliza mtoto wake na muhimu zaidi ni nini hitimisho yeye huchota kutoka taarifa zilizopatikana kuona kwamba binti yako ni nia klatsat mkono amevaa kiumbe kwamba inafanana mseto wa mwanamke na wadudu kuwa na uhakika kwamba kile yeye kimepata katika injini ya utafutaji juu ya mahitaji ya msimu wa michezo winx 5 na kama si kwamba ajali lakini utawala kisha kuangalia nje ya matukio kadhaa ya mfululizo animated hakika ni shabiki wake na anapenda tu wahusika hawa kwa mtazamo wa kwanza kuna zaidi ya wasio na hatia chanya na ya kuvutia (angalau katika ladha sana kupotosha ) ya heroine kujifunza uchawi katika shule kwa fairies nzuri aitwaye althea sanamu zao ni kiasi fulani za ajabu lakini hakuna kujamiiana chumvi ambayo mara nyingi kuweka lawama kwa ajili ya wasichana kike anime lakini yote hii ni hisia tu juu juu inaaminika kuwa chini ya picha brand ya fairy wahamasishaji godmother italia aliamua kuwekeza katika msichana akili mtazamo wa watoto glamorous chama ambaye ulimwengu mhusisha ununuzi uhusiano na wavulana na kupatana na marafiki kuangalia haya brightly wamevaa wanawake vijana katika meza ya cafe na kufikiria nini kitatokea kama wao pia kuvipa uchawi jibu sahihi na itakuwa heroine ya winx na kujamiiana ni pale kwa njia yameandikwa wazi wazi kabisa tu wahamasishaji hakuweza kuteka ni kama kuvutia kama ni imeweza kwa wenzao japan hata kama wewe kuamini kwamba mtoto kuletwa hadi katika njia ya haki kwa ajili ya maadili yenu na kwa ajili yake maneno mchezo winx msimu 5 ni neno tupu kudhoofisha ushujaa bado thamani yake sasa juu ya screen na mtandao ina mengi ya bidhaa za watoto ambayo mesedzh bora kuweka mbali na hata akili machanga utotoni
2019-12-09T09:00:03
http://sw.itsmygame.org/winx-season-5-game_tag.html
i̇stanbul konya hızlı tren bilet fiyatları sefer saatleri ve sefer süreleri rayhaber | raillynews [17 / 01 / 2020] ripoti ya idhaa ya istanbul eia imepitishwa 34 istanbul [17 / 01 / 2020] usajili wa red bull homerun 2020 umeanza 14 bolu [17 / 01 / 2020] kipaumbele cha bursa katika uwekezaji 2020 16 bursa [17 / 01 / 2020] mabasi ya i̇ztaşit yamebeba abiria 113 elfu katika wiki mbili za kwanza 35 izmir nyumbaniturkeymkoa wa marmara34 istanbulistanbul konya high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba 15 / 07 / 2019 34 istanbul 42 konya mkoa wa anatolia wa kati railway general treni ya haraka mkoa wa marmara turkey istanbul konya high speed ​​train inayoendesha 3 kila siku mistari hii ya treni ambayo hapo awali ilikuwa safari ya 2 ilizinduliwa kwa safari ya 3 kila siku kwa njia hii abiria zaidi wanapewa nafasi ya kusafiri kituo cha mwisho cha gari moshi ni konya treni inakamilisha wakati wa safari kwa wastani wa dakika ya 4 20 treni ya kasi ya juu ya istanbulkonya hupitia gebze izmit arifiye bilecik bozuyuk vituo vya eskisehir mtawaliwa unaweza kununua ndege na chaguzi mbili za kawaida na rahisi za tikiti na chaguzi za aina tofauti za 3 treni ni pamoja na uchumi wa pulman biashara ya pulman gari za biashara za pulman na chakula bei ya tiketi ya treni inatofautiana kulingana na aina ya gari abiria wanaweza kununua tikiti kutoka kwa aina zinazofaa zaidi za gari wakati huo huo punguzo kwa vikundi vya umri fulani na kazi zinazotolewa na usafirishaji wa tcdd kwa treni kuu za mstari ni halali kwenye treni hii ya kasi kubwa maelezo zaidi yanapewa katika sehemu ya bei ya tikiti usafiri wa tcdd ambayo ndiyo njia ya usafiri iliyopendekezwa zaidi kati ya istanbul na konya ni maombi ya treni ya juu ambayo huacha katika vituo vingi na inapokea na kupakua abiria nyakati za kuondoka kwa treni na kuwasili kwa konya zinapewa hapa chini ikiwa una maswali yoyote unaweza kupiga simu tcdd usafiri au unaweza kuanza kufurahia safari hii nzuri na ya kupendeza kwa kununua tiketi yako mara moja kwa bei za kiuchumi zaidi kwenye ukurasa wa kununua tiketi online (inayotumika kutoka 08122019) istanbul konya yht masaa ya kuondoka pia kuna huduma ya basi kwa abiria kutumia treni hii ya kasi shukrani kwa huduma hii abiria wanaweza kuunganisha kwa urahisi na wilaya nyingine na mikoa baada ya kutumia treni ya kasi na kufurahia usafiri usioingiliwa chini ni ratiba ya basi kwa abiria kutumia konyaistanbul au istanbulkonya high speed ​​treni samani za karamankonya (kwa istanbul yht) antalya konya za bima ratiba (kwa istanbul yht) konya antalya ratiba za basi (kwa istanbul yht) ratiba za bus za konyakaraman (kwa istanbul yht) vituo vya teknolojia za high speed ​​za istanbulkonya abiria kutoka istanbul hadi konya hupita kupitia vituo vilivyoorodheshwa hapa chini hoteli ya istanbul pendik bei za tiketi za treni ya istanbul konya juu tiketi ya kawaida 8500 tl dining standard 8500 tl teknolojia ya standard standard 12350 tl tiketi ya flexible 10200 tl tiketi ya flexible kwa biashara 14800 tl 1326 vijana walimu wananchi wa kikundi cha umri wa 6064 waandishi wa habari makundi ya kupokea tiketi ya 12 wanachama wa taf na abiria ambao wanunua tiketi za safari ya kurudi kutoka kituo hicho hupokea discount ya 20 watoto wa 06 wapiganaji wa vita na jamaa za kwanza watu wenye ulemavu sana wanariadha wa serikali na wahidi wa kwanza wa shahada ni bure wananchi zaidi ya umri wa 65 watoto wa umri wa 712 na watoto wa umri wa 06 kwa ombi la mahali tofauti wana haki ya discount ya 50 yht halali kwa safari kutoka tarehe ya 08122019 bonyeza hapa kwa treni za yht za sasa na viunganisho vya mabasi tangu 08122019 bonyeza hapa kupata tiketi ya high speed ​​train online bonyeza hapa konya istanbul high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba ankara konya high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba konya ankara high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba istanbul ankara high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba ankara eskişehir high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba eskisehir ankara high speed ​​train ratiba ya tiketi na ratiba bei za tiketi za treni za kasi za ankara eskişehir bei za tikiti za kasi za treni za konya eskisehir konya istanbul high speed ​​train bei ya tiketi istanbul konya muda wa haraka istanbul konya vituo vya treni za haraka muda wa tcdd yht reverse home ina maslahi makali kutoka kwa wananchi ratiba na ratiba za tiketi za treni za kasi ya hivi karibuni za 2019 rayhaber ripoti ya idhaa ya istanbul eia imepitishwa rais erdoğan kuzindua mradi wa kanal i̇stanbul hivi karibuni 71 ilipungua asilimia ya watu waliopotea katika ajali za trafiki uturuki itakuwa logistics kitovu ya silk road
2020-01-19T14:14:45
https://sw.rayhaber.com/2019/07/istanbul-konya-haraka-ratiba-ya-tiketi-ya-treni-ratiba-ratiba-na-ratiba-2/
gari la wagonjwa la jwtz laua na kujeruhi watu wanne chalinze | malunde 1 blog home » matukio » gari la wagonjwa la jwtz laua na kujeruhi watu wanne chalinze gari la wagonjwa la jwtz laua na kujeruhi watu wanne chalinze kamanda wa polisi pwani wankyo nyigesa akitoa taarifa ya ajali ya gari la wagonjwa mali ya jeshi la wananchi jwtz inayoonekana pichani iliyogonga gari jingine eneo la kibiki chalinze na julieth ngarabali mwananchi mtu mmoja amefariki dunia na wanne kujeruhiwa baada ya gari la kubeba wagonjwa la jeshi la wananchi wa tanzania (jwtz) kuligonga gari jingine kwa nyuma katika eneo la kibiki kata ya bwilingu halmashauri ya chalinze mkoani pwani akizungumza leo ijumaa agosti 31 2018 kamanda wa polisi mkoani pwani wankyo nyigesa amesema ajali hiyo imetokea leo ikihusisha gari hilo la wagonjwa la kikosi cha 911kj cha ihumwa dodoma amesema gari hilo lilikuwa linasafirisha mgonjwa kutoka mkoani dodoma kwenda hospitali ya taifa muhimbili (mnh) jijini dar es salaam amemtaja aliyefariki dunia kuwa ni elinikunda mushi (50) ambaye alikuwa mgonjwa kwamba alikuwa amekwenda ihumwa kwa mwanae ufo swai hili gari la jwtz lilikua linaendeshwa na askari shabani mpwate lilipofika eneo la kibiki dereva aliligonga gari jingine aina ya toyota canter kwa nyuma canter hilo lilikuwa limeegeshwa kando ya barabara kwa matengenezo amesema amewataja majeruhi katika ajali hiyo kuwa ni beatrice shidodolo ambaye ni muuguzi wa hospitali ya mkoa wa dodoma dereva wa gari lililogongwa justine patrick na fundi wa gari hilo rashid rais pamoja na swai amesema katika uchunguzi wa awali wamebaini kuwa katika gari hilo la wagonjwa pia kulikuwa na watu wengine wanne ambao hawakupata majeraha yoyote amesema abiria hao ni askari mt 3480 sgt elimasa mushi mt 95881 pte taulin karia eveline stanley (25) na mtoto mwenye umri wa miezi 11 nicholous petro amebainisha kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya jeshi lugalo jijini dar es salaam huku majeruhi pia wakipata matibabu katika hospitali hiyo dereva wa gari la jwtz tunamshikilia kwa mahojiano na uchunguzi kwa sababu hata kama ni gari la wagonjwa lazima tujiridhishe na sisi amesema
2019-06-19T13:04:02
https://www.malunde.com/2018/08/jwtz.html
dc uyui aja na mikakati ya kuwakwamua wananchi kiuchumi | jamhuri ya muungano wa tanzania uncategorized december 31 2018 16 comments miradi mingine inayotarajiwa kutekelezwa mwaka 2019 ni pamoja na ujenzi wa stendi mpya na eneo la maegesho ya magari makubwa alisisitiza mhe msuya alitaja baadhi ya faida za miradi hiyo kuwa ni pamoja na kuchangia katika kukuza uchumi wa wilaya hiyo kwa kuzalisha ajira ← waziri kalemani awataka wakandarasi miradi ya umeme kueleza mipango kazi yao kwa viongozi watanzania waaga mwaka 2018 wataja mambo saba yaliyowagusa → pingback lowest price for viagra() pingback how much does cialis cost at walmart() pingback viagrauk() pingback tadalafil 20mg lowest price() pingback chloroquine autophagy() pingback buying ed pills online() pingback mens ed pills() pingback hydroxychloroquine tablets cost()
2020-06-02T20:11:46
http://blog.maelezo.go.tz/dc-uyui-aja-na-mikakati-ya-kuwakwamua-wananchi-kiuchumi/
serikali yazungumzia sheria ya adhabu kwa wanaofanya biashara ya ukahaba | malunde 1 blog home » mapenzi » serikali yazungumzia sheria ya adhabu kwa wanaofanya biashara ya ukahaba serikali yazungumzia sheria ya adhabu kwa wanaofanya biashara ya ukahaba naibu wa waziri wa mambo ya ndani ya nchi hamadi masauni ameliomba bunge kufanya marekebisho ya sheria ya adhabu ya makosa ya biashara makahaba ambapo aliitaja kama ni miongoni mwa changamoto zinazopelekea biashara ya ukahaba kuzidi kufanyika licha ya jitihada za serikali kuitokomeza akijibu swali la mbunge wa viti maalum mkoa wa pwani zainabu matitu ambaye alihoji kwanini jeshi la polisi linawakamata wauzaji wa biashara hiyo bila kuwakamata wanunuzi pamoja na wapangishaji wa biashara ya madanguro ambapo alipendekeza kubomolewa kwa eneo la uwanja wa fisi badala yake kujengwe miundombinu ya maendeleo ili wahusika wafanye biashara halali akijibu swali hilo naibu waziri masauni amesema kumekuwa na changamoto mbalimbali nadhani bunge hili ni wakati muafaka wa kuzitafakari moja ni changamoto ya sheria ukiangalia kwenye kanuni ya adhabu namba 176 (e) sura ya 16 adhabu ni faini isiyozidi shilingi 500 au 1000 hivyo kuna haja kuangalia na kutafakari ili kazi kubwa inayofanywa ya kuwakamata wahusika na biashara ya ukahaba iwe na tija aidha massauni amesema kupitia wizara ya mambo ya ndani itashirikisha wizara nyingine ikiwemo tawala za mikoa na serikali za mitaa tamisemi katiba na sheria pamoja na wizara afya ili kumaliza tatizo la biashara ya ukahaba nchini tumeandaa mkakati wa kushirikisha taasisi nyingine za serikali kama vile wizara ya tamisemi wizara ya katiba na sheria na pamoja na ustawi wa jamii ili kupunguza na kumaliza vitendo hivi ambavyo ni kinyume na utamaduni wetu amesema masauni
2019-05-26T02:53:07
https://www.malunde.com/2018/09/ukahaba.html
angela merkel wa ujerumani aamua kuipa mgongo siasa | mtanzania home makala angela merkel wa ujerumani aamua kuipa mgongo siasa *ataendele kuwa kansela hadi 2021 enzi ya angela merkel hapa ujerumani inamalizika desemba mwaka huu ataacha kuwa kiongozi wa chama tawala cha christian democratic (cdu) lakini atabaki bado kuwa kansela (mkuu wa serikali) hadi mwaka 2021 baada ya hapo hatawania tena wadhifa huo nani watakaokamata nafasi zake hizo ni jambo linalowashughulisha si tu wajerumani wenyewe lakini pia watu wa nchi za nje oktoba 29 mwaka huu kwa namna fulani ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa ujerumani pale kansela angela merkel aliporipua bomu la kisiasa na yote ilitokana na hasara kubwa ya kupoteza kuungwa mkono na wapigaji kura ilichopata chama chake cha cdu na pia serikali ya mseto ya shirikisho anayoiongoza ya vyama vya cdu (christian democratic) csu (christian social) na spd (social democratic) siku ya pili baada ya kujulikana kwamba cdu ilipoteza asilimia 113 ya kura katika uchaguzi wa mkoa wa hesse na pia spd ilipoteza asilimia 109 merkel alibwaga manyanga na kuchukua uamuzi uliokuwa kinyume na alivyopanga hapo awali alitangaza kwamba hatapigania kuwa tena kiongozi wa cdu katika mkutano mkuu wa chama hicho hapo desemba mwaka huu katika mkutano na waandishi wa habari merkeli alisema kwamba hata hivyo atabakia kuwa kansela katika kipindi chote kilichobaki cha bunge la sasa hadi mwaka 2021 baada ya hapo ataacha shughuli zote za siasa aliendelea kusema kwamba japokuwa yeye maisha alihisi kwamba vyeo vya kiongozi wa chama na ukansela vinafaa vikamatwe na mtu mmoja yaani ni uzuri mtu mmoja avae kofia hizo mbili lakini hivi sasa baada ya kuzingatia faida na hasara za jambo hilo amefikia uamuzi kwamba kuzitenga kofia hizo mbili ni jambo linalokubalika angela merkel alikiri lakini bila ya kujimwagia sifa mwenyewe kwamba ilikuwa fahari kwa yeye kukiongoza chama cha cdu kwa miaka 18 na hivi sasa anahisi na anaamini kwamba umewadia wakati wa kufungua ukurasa mpya wa kitabu haijahitaji kuwa mwanasiasa mzoefu na mahiri kama merkel (amekuwa kansela kwa miaka 13 sasa) kuzitambua na kuzisoma waziwazi herufi zilizoandikwa ukutani ikiwa siku moja baada ya wapigaji kura wa mkoa wa hesse kutoa kauli yao kura za cdu zilipungua mno pia wiki mbili kabla chama ndugu cha csu katika uchaguzi wa bunge la mmkoa wa kusini wa bayern kilipoteza zaidi ya asilimia kumi ya kura zaidi ya hayo uchunguzi wa maoni ya wananchi unaonesha kwamba pindi uchaguzi mkuu wa ujerumani nzima utafanywa sasa basi cdu ya angela merkel itaambulia si zaidi ya asilimia 24 ya kura chama kingine kikubwa spd nacho hakitasalimika kupoteza kura nyingi mwenyewe kansela merkel anatambua kwanini chama chake kimefikia katika hali hiyo ya kusikitisha na ya kuvunja moyo sura ya serikali ya mseto anayoiongoza si nzuri hata kidogo mbele ya wananchi aliungama kwamba hali hiyo haikubaliki na sababu si tu mabishano miongoni mwa mawaziri wa serikali yake lakini pia utamaduni wa kutekeleza kazi ndani ya serikali yenyewe yaonesha serikali ya merkle inashindwa kuyaelewa matakwa ya wananchi sembuse tena kuyatekeleza kivitendo matarajio yao tangu kuundwa serikali ya mseto ya shirikisho machi mwaka huu ujerumani imejionea mabishano kadhaa baina ya vyama ndugu vya cdu na csu pamoja na kutofautiana baina ya viongozi wa vyama hivyo kansela merkel na waziri wa mambo ya ndani horst seehofer pia chama shirika serikalini spd kinapoteza umaarufu miongoni mwa wanachama wake ambao kila siku zikienda wanadhani hakuna faida kwa chama hicho kubakia serikalini ikumbukwe kwamba ilichukuwa muda mrefutangu uchaguzi mkuu wa septemba mwaka jana hadi machi mwaka huu kuweza kuundwa serikali ya mseto hapa ujerumani baina ya cdu csu na spd nchi shirika na ujerumani zilishangazwa na uamuzi wa merkel lakini ziliuheshimu japokuwa serikali ya marekani ambayo wakati wa karibuni imekuwa na uhusiano usiokuwa mchangamfu sana na ujerumani ilisema kungatuka kwa merkel ni suala la mwenyewe kansela na wajerumani kuna nchi za ulaya zitakazopumua kuondoka merkel kutoka ulingo wa kisiasa miongoni mwa hizo ni nchi kama ugiriki zilizoshuhudia ukaidi wa ujerumani chini ya merkel pale berlin iliposhikilia kuwekwa masharti magumu ya kupatiwa mikopo nchi hizo zilipokabiliwa na matatizo makubwa ya kifedha nchi hizo zimeiona ujerumani chini ya merkel ikitumia misuli yake ya kiuchumi kuzibana nchi nyingine ndogo za ulaya lakini ujerumani hiyohiyo chini ya merkel imesifiwa kuwa mbele katika kupigania usafi wa mazingira duniani na kutaka migogoro ya kimataifa itanzuliwe kwa njia za amani mchango wa ujerumani katika kuutanzua mzozo wa kifedha barani ulaya mwanzoni mwa mwongo huu ulikuwa mkubwa atakapoondoka kabisa merkel kutoka ukumbi wa kisiasa basi nusu ya kipande cha historia ya ujerumani kwa vijana walio sasa umri wa miaka 20 kitamalizika vijana hao wanaujua tu ukansela wa angela merkel kama wale waliokuwa na umri wa miaka 40 wanavyomkumbuka helmut kohl katika mkutano wake wa kwanza wa kilele wa dunia angela merkel alizungukwa mezani na watu mashuhuri kama kina george bush (marekani) jacques chirac (ufaransa) na tony blair (uingereza) katika miaka iliyofuata walikuwapo wakuu wengi wengine na ilionesha hadi karibuni kana kwamba hao wote wengine watapita isipokuwa merkel tangu uchaguzi mkuu uliopita wa mwaka 2017 hapa ujerumani mambo yalianza kumbadilikia merkel punde baada ya kuanza kumiminika wakimbizi wa kigeni mwaka 2015 siasa za kansela huyo zilianza kushambuliwa tena kwa sauti kali hata ndani ya chama chake mabishano ndani ya serikali yake na pia chama chake kupoteza kura katika chaguzi za mabunge ya mikoa ni mambo yaliyomtikisa kisiasa nyota yake ilizidi kupungua kungara kila siku zikienda suali linaloulizwa sasa ni nani atachukua nafasi za merkel kuna nafasi mbili desemba mwaka huu kuna nafasi itakayokuwa wazi ya mkuu wa chama cha cdu majina yanayotajwa na ambayo moja huenda likaijaza nafasi hiyo ni annegret krampkarrebauer (56) ambaye ni katibu mkuu wa sasa wa cdu na anayezungumzwa kwamba ni rafiki mkubwa wa kisiasa na msiri wa kansela pia kuna waziri wa afya jens spahn (38) anayeelemea siasa za kiasilia asisahauliwe pia friedrich merz (62) aliyewahi kuwa mkuu wa wabunge wa cdu lakini akaacha siasa baada ya kutofautiana na merkel na kujishughulisha na biashara uamuzi wake wa kurejea katika siasa unatafsiriwa ni kulipizia kisasi kushindwa kwake hapo kabla na angela merkel katika kuwania uongozi wa cdu nafasi ya kuwa kiongozi wa cdu huenda pia ikaenda kwa spika wa sasa wolfganga schäuble (76) aliyewahi kuwa waziri wa fedha lakini huyu kutokana na umri wake huenda akawa mtu wa kujishikiza tu kipindi cha mwaka mmoja uliopita kimekuwa kigumu kwa angela merkel mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu uliopita ndipo alipotangaza atawania tena nafasi ya ukansela wakati huo alisema kwamba ilikuwa si rahisi kwake kufikia uamuzi huo huenda alitaka aachane na siasa lakini huo pia ulikuwa wakati ambapo donald trump punde alishinda uchaguzi nchini marekani na utabiri ulionesha kwamba mambo huenda yasiwe mazuri huko mbele chama cha cdu kilitikisika katika suala la ujerumani kuwapokea malaki ya wakimbizi wa kigeni nayo uingereza ilishaanza kufanya mashauriano ya kujitoa kutoka umoja wa ulaya licha ya hayo merkel aliamua kuendelea kubeba dhamana na kuikabili kwa ujasiri mitihani iliyoko mbele ya nchi yake pale uchaguzi mkuu ulipofika wafuasi wa vyama vya pegida na afd vya siasa kali za mrengo wa kulia na za kibaguzi walichomoza kila upande wakimtaka kansela aachie ngazi vyama vya cdu na csu vilijaribu kutafuta suluhisho kuhusu suala la wakimbizi lakini ilikuwa si rahisi mara kadhaa vilibishana na pale mapatano yalifikiwa basi yalishindwa kutekelezwa ilionesha kana kwamba kiongozi wa csu horst seehofer alikuwa anamwandama kisiasa angela merkel mwaka jana vyama ndugu vya cdu/csu vilishinda uchaguzi mkuu lakini vilipoteza asilimia tisa ya kura ukilinganisha na uchaguzi wa mwaka 2013 chama cha kiliberali cha free democratic (fdp) kilichoalikwa na merkel kuungana naye katika serikali ya mseto kilijitoa katika mazungumzo na kumuacha merkel awe hana chaguo jingine isipokuwa kuunda serikali ya mseto na spd ilimlazimu pia akubali chama chake kisalimu amri kiache kushikilia wizara muhimu zilizokwenda kwa spd alifanya hivyo ili angalau nchi ibakie kuwa na umoja na pia kuwa na serikali imara japokuwa merkel amesema hatavaa tena kofia ya mkuu wa cdu baada ya desemba mwaka huu lakini ataendeela kuwa kansela hadi 2021 uzoefu wa siasa nchini ujerumani umeonesha kwamba ni busara kofia hizo mbili kuvaliwa na mtu mmoja kuwa kiongozi wa chama kunamuongezea madaraka kansela kunaweza kukatokea mikwaruzano baina ya mkuu wa chama na kansela na hivyo kuidhoofisha serikali na pia chama tawala lakini bado kuna watu japokuwa ni wachache wanaodhani kwamba merkel anaweza akashawishiwa au kulazimika kuufikiria upya uamuzi wake huu aliouchukua sasa kauli ya mwisho kabisa kabisa bado haijatamkwa bado kuna muda hadi desemba na katika siasa hata siku moja ni muda mrefu umaarufu wa merkel wakati fulani uliwahi kufika juu kabisa kileleni lakini baadaye uliteremka chini wapiga kura wengi wa cdu wamekimbilia chama cha kijani na kile kinachopinga ujerumani kumiminikiwa na raia wa kigeni afd na licha ya chama kingine kikubwa spd kupoteza kura cdu hakijafaidika yote hayo hayajasababishwa tu na merkel lakini pia na uchokozi wa kila wakati kutoka chama ndugu cha csu kwa vyovyote vile merkel akiwa nahodha wa meli hawezi kukwepa kubeba dhamana ya hayo yaliotokea angela merkel ameweka historia si tu kama kansela wa kwanza wa kike nchini ujerumani si tu kama mwanamke aliyekuwa na nguvu kubwa kabisa za kisiasa duniani si tu kama kansela aliyekuwa madarakani kwa muda mrefu kama vile helmut kohl lakini anaacha madaraka bila ya kulazimishwa bila ya kushindwa katika uchaguzi mkuu tena kwa hiyari yake na kwa heshima bila ya kusukumwa na bila ya kufanya kashfa yeye anaamini kwamba kuondoka kwake kutoka jukwaa la kisiasa kunatoa nafasi zaidi kuliko kuwa hatari kwa nchi yake serikali ya shirikisho na pia chama chake sasa cdu ina wakati kwa utulivu kutafuta nani atakuwa kansela mpya baada ya 2021 pindi nacho chama cha spd licha ya umaarufu wake kwenda chini hivi sasa hakitaamua kujitoa serikalini na kusababisha kuitishwa uchaguzi mkuu mpya wa mapema na pindi wana cdu wataendelea kubishana tu wenyewe kwa wenyewe katika kumtafuta kansela mpya basi wasijutie na wala wasitarajie kwamba merkel atarejea na kuwaokoa yaonesha merkel huyo ameamua kweli kutaka kuyafaidi maisha yake yajayo ya kustaafu ametosheka hahitaji zaidi ya yale aliyokwisha yafikia maishani mwake nayo ni makubwa mno kama binti wa mchungaji nahisi angela merkel amejifunza vilivyo tabia ya kukinai bahati mbaya ni kwamba tabia hiyo iliyotukuka inakosekana miongoni mwa wanasiasa wengi somo lingine kwa wanasiasa merkel kila wakati amekuwa karibu na wananchi akiusikiliza kila wakati namna moyo wa wananchi na wapiga kura unavyopiga kweli matokeo ya chaguzi kila wakati yalimpa darasa lakini hajasubiri matokeo ya chaguzi yampe somo nini wananchi wanataka na nini hawataki hata bila ya kungoja uchaguzi mkuu yaonesha alishapata ujumbe na akachukua uamuzi anaouamini kuwa ni sahihi kwa vile alikuwa kila wakati karibu na wananchi hao kwake yeye madaraka yalimaanisha kuwatumikia watu na nchi yake na pia wananchi waliomchagua waridhie yale anayoyatenda bila ya hivyo kwake yeye kofia za ukansela na kiongozi wa chama juu ya kichwa chake hazina maana yeyote previous articleuhuru azima kiaina mjadala wa siasa 2022 next articlekama sikuwatuma watekaji sitakubali wanizidi nguvu
2019-01-24T00:27:41
http://mtanzania.co.tz/angela-merkel-wa-ujerumani-aamua-kuipa-mgongo-siasa/
nyumbani piga simu kwa maombi egbank mint incubator program 2019 for startups mwisho wa maombi februari 8th 2019 makala zilizotanguliatuzo la unescojapan 2019 kwa miradi bora katika elimu ya maendeleo endelevu (tuzo ya us $ 50000) makala inayofuataun environment young champions of the earth competition 2019 (us$15000+ in seed funding xcharx funded trip to highlevel un meeting) mokofah timothy chui januari 31 2019 katika 3 53 am
2019-03-24T21:08:11
https://sw.opportunitiesforafricans.com/egbank-mint-incubator-program-2019-for-startups/
koffi achafukwa sasa kuchaji ili kupata mahojiano naye ndio ni kweli koffie amefikia maamuzi hayo baada ya kukerwa na waandishi wa habari ambao wanaandika habari kwa makusudi ya upotoshaji na kuharibu hali ya hewa katika bendi yake na kwa familia yake pia alisema sasa atakuwa anachaji pesa kwa kila mtu atakaye mahojiano naye kama wafanyavyo ulaya na marekani fally na ujumbe wa amani mashariki mwa congo mwanamuziki mwenye mafanikio ya juu kwa sasa nchini congo aishiye ufaransa fally ipupa anatarajiwa kuwasili kinshasa kwa onesho maalum kama balozi wa amani huko mashariki mwa kinshasa fally anatarajiwa kuandamana na wachezaji kadhaa wa soka wa congo wanaocheza barani uropa kwa lengo la kufanya harambee huko goma eneo ambalo limetawaliwa na mapigano kwa muda mrefu sasa fally pia atatumia ziara hiyo kutambulisha album yake mpya aliyoipa jina la power kosa leka baada ya onesho la goma tarehe 24 fally ataunguruma bukavu tarehe 27 octoba haya sasa mwana wa afrika huyo tena akiibeba bendera ya amani congo miaka 24 ya kumbukumbu ya franco congo kimya kimya tarehe 12 mwezi huu ilikua kumbukumbu ya gwiji na nguli wa muziki wa rhumba nchini congo franco luambo luanzo makiadi lakini ilipita kimyakimya hali ilofanya wadau kujiuliza kama mchango wake kwenye muziki wa congo umesahaulika bebe cool amkera mbunge betty nambooze uganda mwanamuziki wa uganda bebe cool amejikuta kwenye wakati mgumu kama jaji wa onesho la kusaka vipaji kwenye runinga ya ntv baada ya mbunge wa mukoro kaskazini betty nambooze kumbwatukia kwenye mtandao kwa madai kuwa amekuwa jaji mbaya na hawapi vijana nafasi ya kuonesha vipaji vyao na anatumia maneno makali mno ya kuwakatisha tamaa watoto hao ambao wanajitahidi kutaka kutoka kimaisha kupitia muziki ni jb mpiana zenith tena hatimaye ule utata wa kama onyesho litafanyika umetatuliwa na waandaaji wa onyesho hilo huku taasisi ya uendelezaji utamaduni na wamiliki wa ukumbi maarufu wa zenith wamethibitisha onyesho hilo kwa kuweka tangazo la onyesho hilo linalotazamiwa kufanyika dec 21 jb mpiana alikuwa nchini ufaransa mwezi september na inasemwa kwenye ndege walikuwa na hasimu wake werasson ngiama makanda ambaye pia amesaini kupiga onyesho kwenye ukumbi huo huo bado tarehe haijapangwa swali linabaki je onyesho litafanyika bila fujo au kipingamizi kutoka kwa bana congo vipi hapa fally vs lady jay dee wakipiga collabo naam ni mwana wa congo anayetesa vilivyo akiwa na mwana wa bongo mwenye mafanikio lukuki walipokutana jijini nairobi hivi karibuni vp wakitoa collabo skilizia papa viva afrika singo mpya ya werasson cover yake iko hivi fally sasa kwenda sawa na r kelly mwana wa afrika ambaye alitabiriwa makubwa alipoamua kuwa mwanamuziki wa kujitegemea sasa anazidi kutanua mbawa zake ni hivi juzi tu fally ipupa amemaliza kazi ya kurecodi wimbo wake mpya uendao kwa jina la power akiwa amemshirikisha gwiji wa miondoko ya r & b r kelly fally ambaye yuko busy mno kwa ziara za kikazi duniani kote anatarajia kuitambulisha albam yake hiyo kabla ya mwisho wa mwaka huu werasson uso kwa uso na jb mpiana patamu hapo live bila chenga kutoka kinshasa habari zinanyetisha kuwa yaandaliwa show moja kubwa na maalum itakayowakutanisha katika jukwaa moja magwiji wa wenge musica bcbg(jb mpiana) na wenge musica meison merre (werasson) tarehe ni 26 ya june na eneo la tukio ni katika uwanja wa stde des martyrs waswahili husema mafahari wawili hawakai zizi moja kitakachojiri ntakujuza papa hapa kunako viva fere gola kuitambulisha `boite noire` kinshasa sasa imethibitika rasmi kuwa kabla ya mwisho wa mwezi wa sita nguli mwingine toka congo fere gola nae ataipakua album yake ya tatu tangu awe mwanamuziki wa kujitegemea akifafanua kiongozi wa bendi hiyo ya jet set inayomilikiwa na ferre amesema album hyo inakwenda kwa jina la `boite noire` ikimaanisha kasha jeusi imetayarishwa chini ya kampuni ya diego music chini ufaransaferre anatarajiwa kinshasa wakati wowote toka sasa kwa ajili ya uzinduzi wakati kiongozi wa bendi yake vasco mabiala yeye anasimamia zoezi la uzalishji wa cd na dvd za album hiyo haya kama kawa wapenzi wa rhumba tuusubirie mzigo huo wa ferre gola aka shetani papa mikongoti upooooo posted by koffie olomide aibwatukia tena serikali ya congo wanamwita quadra koraman ambaye ametoa dukuduku lake la moyoni kwa seikali yake akiwakilisha wasaii wengine wengi wa congo ambao huvuna pesa nyngi katika ziara zao nje ya congo koffie anasema kwanza wanalazimika kulipa kodi nyingi wanapotaka kusafiri nje ikiwemo na kulipia vibali katika uwanja wa ndege wa ndjili kodi hizo zamnufaisha nani alihoji mopao pia aliitaka serikali iwasaidie wanamuziki wa congo kujenga studio ya kisasa ya kuzalisha muziki wao ili kuwaepusha na gharama za kwenda ulaya kwa ajili ya kazi hiyo kitu kinachowagharimu mno koffie alikuwa akizugumza katika kipindi cha `info 7` kilichorushwa moja kwa moja na congoweb tv wakitangaza kutoka kinshasa ambapo pia koffie alitangaza nia yake kujitupa kwenye siasa katika kile kionekanacho bado mvua ya mafanikio bado yamnyeshea fally ipupa tayari ametwaa tuzo ya mwanamuziki bora wa kiume kwenye tuzo za trace 2013 huku akiwa jikoni kwa upishi wa album yake mpya chni ya kampuni ya universal musichaya tu0ngoje fally baada ya bicarbonate anakujaje 2013 wazekwa yu tayari kuwaleta adam na eva hasimu mkubwa wa koffie olomide felix wazekwa amegonga vichwa vya habari baada ya kutoa picha hii akimaanisha yuko tayari kuingia sokoni ambako tayari koffie anapeleka puta roho za wapenda burudani kwa mkwaju wake wa abracadabra haya sasa adam na eva hiyoooo tuama hapahapa viva utajua kitakachoendelea posted by uzinduzi wa risasi kidole wafana business park naam hatimaye naye charlz baba ameingia rasmi katika kundi la marais wa bendi za dansi hapa bongo akiliongoza barabara kundi la mashujaa musica hapa ni katika uzinduzi wa album ya mashujaa rais wa fm academia nyoshi el sadat akimvisha medali charlz baba unaambiwa business park ilipendeza kwa show tam na kali toka kwa bendi kali hongera charls baba kuiongoza vema mashujaa kuonesha ushujaa na kizindua album yenu ya risasi kidole posted by ngwasuma kuunguruma new maisha club katika kile kionekanacho kama muziki wa dansi unarudisha hadhi yake ilopigwa kumbo miaka ya hivi karibuni tayari matukio ya kiburudani yanazidi kuongezeka haya sasa wapenzi na washabiki wa fm academia habari yajieleza hapo mzee wa viva siongezi neno posted by ulimbwende muziki hadi filamu maji hufuata mkondo ila mkondo huu si mchezo binti kajaaliwa vipaji lukuki nae anavitendea haki toka ulimbwende muziki hadi filamu tabia batamwanya anadhihirisha kuwa yeye si bahati mbaya kuzaliwa kwenye familia ya sanaakwa sasa anakimbiza na wakali wengine katika bendi ya k mondo sound chini ya mtaalam richard mangustino sasa fuata nyuki ule asali posted by mashujaa kutambulisha risasi kidole mei 11 haya sasa wana afrika wenzangu shughuli ndo hiyo inaalika washughulikaji si shindano wala mpambano ila hakika patachimbika wakati mashujaa watakapopakua risasi kidole pale business park may 11 huku ngwasuma kule kibega twenzetu wana afrika tuwape sapoti mashujaa wanapotoka kishujaa posted by nani kasema banza kaisha ramadhani masanja al maarufu kama banza stone akiwajibika jukwaani kumpa sapoti rapa kaba tano kuonesha bado anadai na utamu wa muziki kama hivi totoo ze bingwa na mtu mzima banza stone wanapokukutana jukwaa moja posted by
2017-01-22T16:11:47
http://vivaafrika.blogspot.com/
kamati ya nidhamu tff imekosa nidhamu ijiuzulu | jamiiforums | the home of great thinkers kamati ya nidhamu tff imekosa nidhamu ijiuzulu discussion in 'sports' started by alfu lela ulela nov 27 2010 kamati ya nidhamu tff imekosa nidhamu ijiuzulu​ kamati ya nidhamu ya tff iliyo chini ya mwenyeiti wa sunday kayuni imekosa nidhamu kwa watanzania na inapaswa ijizulu kamati hii ilifanya kituko cha mwaka kwa kutoa adhabu ya uongoiliyokosa ushahidibadala yake ikazingatia majunguumbea na chuki binafsi mwenyekiti wa kamati hiyo sunday kayuni aliwaambia waandishi wa habari kuwa wamemwadhibu golikipa nambari moja wa klabu ya simba juma kaseja faini ya sh laki tano na kumfungia mechi tatu za ligi kuukutokana na kitendo chake cha kugoma kumsalimia mheabass kandoro (mkuu wa mkoa wa mwanza) aliyekuwa mgeni rasmi katika pambano la simba na yanga lilifanyika ccm kirumba mwezi uliopita tena katika kusisitiza kayuni akasema kitendo alichokifanya kaseja ni utovu mkubwa wa nidhamu na kinapaswa kulaaniwa na kila mpenda sokahapa ni kama vile kayuni alikuwa anatuambia kuwa kutomsalimia mgeni rasmi ni kosa kubwalisolopaswa kuvumiliwa mgeni rasmi anawakilisha watanzaniahivyo kumkosea mgeni rasmi ni kuwakosea watanzania kwa hiyo adhabu aliyopewa kaseja ilikuwa inaendana na kosa lake kutomsalimia mgeni rasmi lakini siku hiyohiyo kaseja alipohojiwa na vyombo vya habari alinukuliwa akikanusha kosa hilo na kusema alimsalimia mgeni rasmitena kuomba uhakika wa maneno yake akaomba tff waangalie mikanda ya video watabaini ukweli lakini kama filamu vilemkuu wa mkoa wa mwanza bwabass kandoro naye akatoa tamko kwanza akaonesha kushangazwa na hukumu ya tfflakini akakiri kuwa alisalimiana na kaseja na hata mkanda alionao unaonesha hivyohaikupita mudavyombo vya habari navyovikachapisha picha ya kaseja akisalimiana na kandoro tff wakapata kihorowakaaibikawakafadhaikaaibu ikawavaa kuanzia utosini hadi kwenye unyayo wa miguu yao hii ina maana walitoa hukumubila kuzingatia ushahidi (facts)kwa sababu kama walipata malalamiko kuwa kasega hakumsalimia kandoro ilipaswa watafute ushahidi wa kutosha na sehemu ya ushahidi huo iwe ni mkanda wa video wa mechi hiyo lakini vilevile kabla ya kutoa hukumu wazingatie natural justicekwa kumwita mlalamikiwa ambaye ni kaseja ajibu tuhumana hatimaye ndio tff watoe hukumu kwa kufanya hivyo wangetoa hukumu ya hakihukumu ambayo haingeonesha upendeleo wowote na hakuna mtu awaye yeyote ambaye angehoji hukumu hiyohata kaseja mwenyewe lakini kinachoonekana ni kuwa wajumbe wa kamati ya nidhamu ya tff baada ya kupokea malalamikowalikutanawakanywa chai wakajigawia posho ya kikaokisha wakaandika majina yao kwenye karatasi kwa ajili ya kumbukumbu wakasaini na kuondoka kwa maana hiyoshauri la kaseja lilitolewa maamuzi kwenye “vikao vya chai vya tff”kamati hii imekosa umakini na inapaswa ijiuzulu kukosa umakini katika mambo makinini kunajisi jamii unayoitumikia ni aibu chombo nyeti kama tffbadala ya kukutana na kujadili mambo kwa kina ili kufikia maamuzi sahihi wanakutana kwenye vikao vya chai ili kugawana posho kwa hali ivyoonekana huu ndio utendaji kazi wa kamati ya nidhamu ya tff jeni mashauri mangapi yaliwahi kuwasilishwa kwenye kamati hii yakihitaji kujadiliwa kwa kinalakini badala yake yakaishia kwenye “vikao vya chai”kama la kaseja kamati ya maadili tff imekosa maadilinani wa kuiadilisha kamati imetumia dhambi kukemea dhambiimemdhalilisha kasejaimemshushia heshimainapaswa imwombe radhi vinginevyo soka la tanzania haliwezi kuendelea maana limejaa majungu na chuki binafsimajungu baina ya wachezaji wenyewemajungu kwa viongozi wa soka na hata kwa makocha ni nani asiyekumbuka kauli ya kocha wa zamani wa taifa stars marcio maximo kuwa eti kaseja hatacheza timu ya taifalabda yeye aondoke nchinialipoulizwa sababu akasema ni utovu wa nidhamulakini hakutaka kueleza ni utovu gani huo wa nidhamu kaseja aliomfanyiahaya kama si majungu ni nimi maximo kwa nini hakutaja utovu wa nidhamu aliokuwa nao kaseja kwanini aliachwa hadi akaondoka na siri yake moyoni hata alipoulizwa na viongozi wa serikali kuwa kaseja kakufanyia kosa gani kubwa hivyo lisilosameheka aliishia kujing’atang’ata kwa kiingereza chake cha kuombea maji “he is indiscipline” lakini maximo yeye kama mwalimu alichukua hatua gain juu ya utovu wa nidhamu wa kasejaalimwonya mara ngapi na alitumia njia gani kumuonya katika hili maximo naye alikuwa mnafiki alimhukumu kaseja kwa majunguumbeana chuki binafsi kama sunday kayuni alivyofanya maximo kwa kukataa kutaja “indiscipline ya kaseja” yeye ndiye alikuwa “indiscipline” sasa kwa hali hii tunategemea soka la tanzania kukua tusipoacha majungu umbea na chuki binafsi tutaendelea kuwa wa mwisho kwenye viwango vya fifamaana wachezaji wenye uwezo na vipaji wataachwa na kuchezeshwa wasio na uwezo lakini katika hali ya kushangaza zaidi mwenyekiti wa kamati ya maadili ya tff bwsunday kayuni baada ya kutoa hukumu yenye utataakajitokeza tena hadharani na kusema kuwa kosa la kaseja si kutokumsalimia mgeni rasmi bali wachezaji kadhaa wa yanga lakini katika hali ya utata zaidi hao wachezaji wa yanga ambao inadaiwa hawakusalimiwa na kaseja hawakutajwa ebo hii ni picha ya kihindi lakini kayuni akatoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa adhabu ya kaseja itabaki palepale licha ya kosa la wali kubatilishwa hivi huyu ni sunday kayuni au sunday kayumbamaana akili zake zimekaa kikayumbakayumba tangu lini makosa mawili yasiyofanana yakabebeana adhabukuhamisha adhabu ya kosa moja kwenda jingine bila maelezoinaonesha ukayumba wa fikra alionao kayuni mwanasheria mmoja ambaye alikerwa nu uchakachuzi wa kayuni alisema hakuna adhabu za jumla kisheriakila kosa huwa na hukumu yake kulingana na uzito wa kosa lenyewelakini pia kulingana na ushahidi uliotolewa kuhamisha adhabu ya kosa a kwenda kosa b ni ulimbukeni wa fikrakatika hili kayuni ameonesha namna alivyo na fikira kurupushikwenye kutoa maamuzi kama adhabu ya kutomsalimia mgeni rasmi inalingana na adhabu ya kutomsalimia mchezaji mwenzako basi hadhi ya mgeni rasmi haipo kisheria kamati ya nidhamu ya tff ilipaswa iombe radhi kutokana na kupotosha watanzaniaimwombe na kaseja radhi kwa kumchafuawafute adhabu zote za awalihalafu kamati ikae upya kujadili shutuma mpya za kaseja kutosalimiana na wachezaji wa yanga baada ya kujiridhishaadhabu itolewe kulingana na uzito wa kosa lakini pamoja na yote hayo badoyanaibuka maswali kuhusu walamikaji haswa wa shutuma hizi kama kandoro alipinga kuwa mlalamikaji je ni nani mlalamikaji wa kesi hiini nani aliwasilisha tuhuma tff dhidi ya kaseja lakini hata katika hili la pili alilozuliwa kaseja kuwa hakusalimiana na wachezaji wa yangani nani mlalamikajije ni wachezaji wa yanga(mbona hawajatajwaje ni viongozi wa yangaau ni mfadhili mkuu wa yanga yusufu manji jamani mlalamikaji wa kesi hii ni nani aliyewasilisha malalamiko tff kuwa kaseja hakusalimia wachezaji wa yanga ni nani jibu la uhakika ni moja tutff ndio walalamikaji wa mashtaka yote mawili na haohao ndio mahakimuni ajabu lakini kweli na katika hili tff wameweka rekodi ya aina yake duniani yaani kuwa mahakimu wa kesi ambayo wao wenyewe ndio walalamikaji ili kufikia hitimisho la mjadala huukamati ya nidhamu ya tff inapaswa kufanya mambo mawili la kwanza ni kuomba radhi mwisho kayuni na kundi lake wawaombe radhi watanzania kwa kuwapa taarifa za uongozilizokosa udhibitisho (facts) taarifa za majungu na za kutunga na wakiri kuwa wanachuki binafsi na kaseja na kwamba walikuwa wanashirikiana na maximo kumwua kaseja kisoka baada ya kuomba radhi jambo la pili kamati yote ya nidhamu ya tff ijiuzuluwajumbe wa kamati (wakiongozwa na kayuni) wajiuzulu kwa maslahi ya ummana iundwe kamati mpya itakayo zingatia haki na maadili kwa kufanya hivyo tutakuwa tumechangia kukuza soka la tanzania kwa kiasi kikubwa muzeezaidi@gmailcom siyo mahala pake muzeezaidi@gmailcom​ 0 people likes walaka mzuri sana hiv haiwezekani kuwapelekea ujumbe huu hawa tff kwa email zao hawa jamaa ni wajinga sana naona kuna mkanganyiko waliokuwa hawana nidhamu na kamati ya tff au na maximo pia maana umechanganya mambo maana umechanganya mamboclick to expand hakuna mambo yaliyochanganywa kaka hoja ya msingi ni kuhusu kamati ya nidhamu tff kukosa nidhamu kwa kukemea waliokosa nidhamu na ktk kujadili hilo maximo kahusika kwenye hoja inayoeleza namna viongozi wetu pamoja na makocha wanavyodumaza soka kwa chuki binafsi soma vizuri makala
2017-07-23T09:04:15
https://www.jamiiforums.com/threads/kamati-ya-nidhamu-tff-imekosa-nidhamu-ijiuzulu.91694/
uko wapi ubinadamu wa watu | enockmaregesi acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta tunazaliwa na kufa lakini hatujui tunakotoka wala hatujui tunakokwenda huenda tunatoka na kwenda katika dunia nyingine ya ulimwengu mwingine hivyo kutufanya wageni wa dunia yetu wenyewe acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta ukiwa mgeni katika nyumba ya mtu iache katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta ukiazima kitu cha mtu kirudishe katika hali nzuri kuliko ulivyokichukua « mahakama ya umaskini ni uchawi
2018-12-15T05:39:32
https://enockmaregesi.wordpress.com/2017/10/01/uko-wapi-ubinadamu-wa-watu/
meli za magendo ya mafutazenye bendera ya ukraine na congo zakamatwa libya edusportstz news meli za magendo ya mafutazenye bendera ya ukraine na congo zakamatwa libya meli za magendo ya mafutazenye bendera ya ukraine na congo zakamatwa libya by farumediatv on 02 may in news walinzi wa pwani nchini libya wamezikamata meli mbili za kigeni na kuwatia mbaroni wafanyakazi wa meli hizo kwa kutuhuma za kufanya magendo ya mafuta kufuatia mapambano ya muda mrefu ya silaha mamla zimesemausiku wa alhamisi walinzi hao walizibaini meli mbili hizo zikiwa zinapeperusha benderza za ukraine na congotakribani kilometa mbili kutoka mji wa sidi said karibu na mji wa zuwaramagharibi ya pwani ya mji mkuu tripoli mkuu wa kikosi hichojenerali ayoub qassemamesemamapambano baina ya vikosi vyake na watu wenye silaha aina ya kalashnikovswaliokuwa kwenye maboti kadhaa yalichukua saa tatu kabla ya kudhibiti hali ya mambo
2019-03-25T18:40:30
https://www.edusportstz.com/2017/05/meli-za-magendo-ya-mafutazenye-bendera.html
kinana apata ugeni | emmanuel shilatu breaking news blog home » unlabelled » kinana apata ugeni kinana apata ugeni katibu mkuu wa chama cha mapinduzi ndg abdulrahman kinana akifanya mazungumzo na balozi wa jamhuri ya korea kusini hapa nchini mhe song geumyoung alipomtembelea katika ofisi ndogo ya makao makuu ya ccm lumumba jijini dar es salaam leo mei 29 2017 matukio rc gambo atimiza ahadi zake kwa wana arumeru rc gambo atimiza ahadi zake kwa wanaarumeru
2017-09-19T13:40:19
http://ndgshilatu.blogspot.com/2017/05/kinana-apata-ugeni.html
teacher wanjiku aamua kufuata nyayo za babu owino mwangaza news teacher wanjiku aamua kufuata nyayo za babu owino may 30 2020 mwangaza 0 comments teacher wanjiku aamua kufuata nyayo za babu owino na kuazisha masomo ya mtandao kama umekuwa ukifuatilia babu owino alianzisha masomo ya mtandao na kwa sasa ako na wafuasi wengi wanaojifunza kupitia kwa ujuzi wake teacher wanjiku ni mzazi na ana watoto wawili tofauti na babu owino yeye ameamua kufunza watoto wa chekechea na sana sana anazingatia letter sounds kulingana na yeye anataka wazazi pia waelewe haya masomo kwani kuna tofauti kubwa kwa masomo ya sasa na ya hapo awali leo aliweza kueka video kwenye mtandao wake wa instagram huku akionyesha tofauti ya vile mafunzo yapo kwa sasa na yalivyokuwa hapo awali wakati yeye alikuwa shuleni alijaribu kuonyesha vile mwalimu wake alimfunza na vile walimu wa siku hizi wanavyofunza teacher wanjiru ni mumewe wake kwenye harusi yao kama wewe ni mzazi nakuhisi uweze kujifunza namna yakutamka az mimi ninaye mtoto wa miaka minne na huu mda tumekuwa tukipitia pamoja na naweza kusema nimejifunza mengialisema wanjiku teacher wanjiku alisema amehakikisha chenye anafundisha kwa mitandao kimeidhinishwa na cbc na anafuata maagizo yao kwa hivyo anafunza inavyotakikana wengi walimsifia sana na wakagundua kumbe walichofundishwa ni tofauti na masomo ya sasa tofauti nyengine yake na babu owino ni kwamba babu owino anafundisha chemistry na biology ila yeye ameamua kufunza watoto wa chekechea yaonekana wazazi wengi waliweza kufuatilia mafundisho kwani kulingana na video aliyo weka kwa instagram wengi waliweza kuitazama kulingana na wengi masomo ya hapo awali yalikuwa rahisi ikilinganishwa na ya sasa hawajajua ni kwa nini kulitokea mabadiliko kwa masomo ya sasa stress hapa kwa nyumba who is finding challenges teaching the young ones😂😂😂😂😂😂 learn from this😂😂 teachers wa watoto kujeni hapa #stayinghome #educational #studyinghome sounds a post shared by teacher wanjiku (@teacherwanjiku) on may 26 2020 at 229am pdt soma hii pia ( sikuamini alichokifanya size 8 bien sauti sol asema) ← tanasha donna nimekuwa nikikufikiria kunani marina joyce ni nani na nini kilimfanyikia → 13340 total views 296 views today 16131 total views 276 views today
2020-07-14T19:20:48
https://mwangaza.co.ke/teacher-wanjiku-aamua-kufuata-nyayo-za-babu-owino/
jeniffer kyaka (odama) j fiml 4 life mpoki amchana cop nenda kwanza field kwenye you heard ya xxl ya clouds fm soudy brown amempigia simu mpoki kumuuliza kuhusiana na story iliyoandikwa na gazeti la ijumaa wikienda kuhusiana na masanja mkandamizaji mwishoni mwa wiki iliyopita kudaiwa kutandikwa makofi hadharani na polisi baada ya kuingilia msafara wa gari lililokuwa limebeba fedha katika mahojiano hayo mpoki amemwambia gossip cop kuwa hana taarifa zozote kuwa masanja amelazwa kutokana na kichapo hicho na kummshauri kuwa aende kwanza field ili ajifunze uandishi wa habari kwakuwa hauwezi mpoki amejinadi kuwa yupo kwenye game kwa miaka 12 hivyo hayumbishwi na kitu habari hiyo iliandikwa chanzo hicho cha ijumaa wikenda kinachopiga kambi maeneo hayo kilieleza kuwa jamaa huyo alikutwa na kasheshe hilo baada ya kuliovateki gari hilo lililokuwa likisindikizwa na polisi ambapo pamoja na kuzuiwa na wajeda hao masanja alijitoa fahamu na kujifanya kichwa ngumu kilisema baada ya kuwaovateki wale polisi ndipo nao (askari) wakamkimbiza hadi wakamkamata na alipotaka kuleta mbovumbovu za kujifanya staa kama wale wenzake waliopoteza umaarufu na mvuto ndipo akala mbata zake safi na soo likahamia kwenye kituo cha polisi cha chalinze njiapanda na kumshikilia kwa muda kisha kumuachia baada ya mahojiano ili kupata mzani wa habari hiyo ijumaa wikienda lilimtafuta masanja ambaye alikiri kutokea kwa tukio hilo na kudai kukamatwa na askari kutokana na makosa ya barabarani kwake ni suala la kawaida huku akikanusha kupewa kibano posted by jennifer kyaka odama at 304 am
2018-03-21T16:57:22
http://odama1.blogspot.com/2012/08/mpoki-amchana-cop-nenda-kwanza-field.html
indonke zaba ari zo zitumye rayon sports inanirwa kwishyura imodoka itwara abakinnyi igiye gutezwa cyamunara | celebz magazine home amakuru indonke zaba ari zo zitumye rayon sports inanirwa kwishyura imodoka itwara abakinnyi igiye gutezwa cyamunara may 25 2020amakuru amakuru mashya imikino0 ikigo gicuruza imodoka cya akagera motors kigiye kugurisha mu cyamunara imodoka nini (bisi) cyari cyaragurishije ikipe ya rayon sports nyuma yuko iyi kipe inaniwe kwishyura amafaranga yari yarasigaye iyigura mu ugushyingo 2018 ni bwo iyi modoka yamuritswe nyuma yuko rayon sports yumvikanye nakagera kuyigura abarirwa muri 100000000rwf mu gikorwa cyo kumurika iyi modoka muvunyi paul wari perezida wa rayon sports yavuze ko iyi bisi igomba kuba yarangiye kwishyurwa mu mpera za 2019 dore ko hari hasigaye kwishyurwa abarirwa muri miliyoni 50 icyo gihe muvunyi yagize atiiyi modoka tuyiguze miliyoni 100 zizishyurwa mu byiciro kugera mu ukuboza 2019 harimo miliyoni 16 frw zavuye muri rayon sports miliyoni 34 frw zigomba kuva muri radiant insurance umwe mu bafatanyabikorwa dusanzwe dukorana naho izindi miliyoni 50 frw zo zizava mu bandi bafatanyabikorwa bacu nabandi bazajya baduha miliyoni buri kwezi bagahabwa umwanya wo kwamamaza kuri iyi modoka cyakora cyo nyuma gato yuko iyi modoka iguzwe yakunze kugaruka kenshi mu itangazamakuru kubera impamvu zijyanye nubuziranenge bwayo bwashidikanywagaho na benshi ni incuro zirenze imwe iyi modoka yakunze kugaragara yakwamiye ku muhanda bikaba ngombwa ko ihavanwa ijyanwa mu igaraje muri kamena umwaka ushize iyi modoka yamaze amezi abiri idakoreshwa na rayon sports nyuma yo kuyamburwa nakagera motors kubera kunanirwa kubahiriza ibyo impande zombi zari zumvikanye akagera motors kashyize iyi modoka mu cyamunara nyuma yuko kari kongeye kuyaka rayon sports mu cyumweru gishize kubera kunanirwa kubahiriza ibyo bumvikanye muri kanama 2019 ubwo rayon sports yayisubizwaga ubwo rayon sports yasubizwaga iriya modoka nakagera motors mu mwaka ushize perezida wa rayon sports munyakazi sadate yavuze ko iyi modoka itazongera kuva mu maboko yikipe mu magambo ye yagize atitwumvikanye nakagera hari ibyo badusaye kwishyura turabyishyura badusubiza imodoka badusabye ko twishyura imirimo ya reparation bayikozeho nasezeranya abafana ko itazongera gufatirwa kandi bizajyana nisezerano tugirana nabafana ba rayon sports komite yacu ishyize imbere gukora ibyo ishoboye kandi ibyo idashoboye ikabwira abakunzi ba rayon sports ko itabishoboye amakuru avuga ko amakosa yimicungire mibi yakozwe ku ngoma ya muvunyi na muhirwa ari yo yatumye rayon sports ikomeza kuba yugarijwe nibibazo uruhuri bivugwa ko ku ngoma ya muvunyi hagiye hakoreshwa amafaranga nabi aho ngo amafaranga yagiye agurwa abakinnyi batandukanye yagiye anyerezwa urugero ni amafaranga abarirwa muri 46750000 rwf yaguzwe rwatubyaye abdul bivugwa ko yariwe na muvunyi cyo kimwe na muhirwa frederick andi mafaranga yaburiwe irengero ni ayaguzwe ismailla diara wagurishijwe 28050000 rwf rwf muhire kevin wagurishijwe 18700000 rwf shaban hussein wagurishijwe 14025000 rwf bimenyimana caleb wagurishijwe 18700000 rwf mukunzi yanick faustin usenginana nabandi hari kandi 18000000rwf muvunyi nuwari umwungirije binjije mu buryo bwamanyanga ku mukino rayon sports yari yakiriyemo rayon sports ikayitsinda igitego 10 cyatsinzwe na sarpong magingo aya rayon sports yugarijwe nubukene bukomeye ku buryo abakinnyi bayo baheruka guhembwa muri mutarama uyu mwaka ni ibyatumye abenshi mu bayikinira bafata icyemezo cyo kuyisohokamo previous postbatatu babaye miss rwanda bahawe imirimo muri kompanyi itegura irushanwaabandi babayeho bate next postamerika irotsa igitutu akinwumi adesina uyoboye banki nyafurika itsura amajyambere(bad) ushinjwa icyenewabo
2020-07-11T08:35:14
http://celebzmagazine.com/indonke-zaba-ari-zo-zitumye-rayon-sports-inanirwa-kwishyura-imodoka-itwara-abakinnyi-igiye-gutezwa-cyamunara/
mchungaji atambulisha kimwana 5 months bada ya kufiwa na mkewe | jamiiforums | the home of great thinkers mchungaji atambulisha kimwana 5 months bada ya kufiwa na mkewe discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by pdidy dec 17 2009 likes received 5789 ilikuwa ni sherishori pale mchungaji wa kanisa la calvari la urafiki ambae aliamua kumtambulisha kifaa chake kipya baada ya kufiwa na mkewe miezi mitano iliopitahabari zaidi zinasema mtumishi huyo wa bwana aliwaliza watu machozi pale alipowanunulia watoto 3 wa marehemu suti na kuwapa mataji 3 wamvike akiwa anamtambulisha kanisanihakika wengi tulishikwa na mshangao maan achanzo halisi cha mkewe kufa kinajulikana na inasemekana alikuwa aki walk na kimwana kimoja kabla ya bwana kumtwaa mama mchungaji na baya zaidi mtoto mkubwa wa mchungaji alikuwa akijua shida na maneno waliokuwa wakitupiana mama na babake kuhusu kimwana hichosasa basi alipofika kumvisha shada akusita kutoa ukunga kumkumbuka mamake na hapo ndipo waumini walipoanza kutoa machozianyway ni kweli ana haki ya kuwa na mwingine kama mchungaji ni mapema kuonyesha hivi wengi wataishia na maswali yasiyo na majibunamtakia kifaa kipya yaani (mama mchungaji mtarajiwa) maisha mema sasa kama mnaona kuna tatizo kwa nini amumtoi huyo mchungaji hapo biblia inasema katika kitabu cha yakobo imani na matendo uwezi kusema una imani wakati matendo yako ayafanani mpendwa huyu ndio mchungaji mkuu sio wale wainjilisti kumtoa mpaka wazee wa juu waseme//ni tatizo maana watu wanajiuliza iweje mapema hivi na kuna wakati mkewe kabla ajafariki alikuwa akilalama kwa wazee wa kanisa wamsaidie binti mmoja anamsumbua madhhabahu yakehakika kama ni huyu huyu ndie aliearibu ndoa ya huyu mama mungu atashuka kabla awajaoana naamini hilo likes received 24238 mi ndio maana najifungiaga chumbani kwangu najisalia zangu kivyangu na ndio maana waifu naye amekula ban la kushiriki kwenye vikundi vya kanisani wizi mtupu inabidi wewe na waumini wenzako wa hapo calvari ubungo mtoe shukrani zenu kwa mungu kwa kupata mchungaji mwenye kuichukia zinaa kiasi hicho miezi mitano ingetosha kabisa kwake kuanza kuwarukia mabinti au waimba kwaya lakini kachagua kuishi maisha ya usafi na kuicha zinaa wapo watu wanafiki wachache wanaojifanya hawawezi kuoa baada ya wake zao kufariki lakini huishia kufanya mambo ya ajabu wengine hutembea hata na wafanyakazi wao wa ndani au watoto wa ndugu zao wanao ishi nao ni mpango wa mungu mkewe kufariki lakini pia ni mpango wa mungu mtumishi wake aishi maisha ya amanihalleluyyahh hahaha hilo kanisa lenu kiboko siwezi kuja kusali hapo hata kwa mtutu wa bunduki hata avatar yako ni shahidi yangu messages 5125 mama mia matumizi ya nukta ni muhimu sana inakuwa ngumu kinoma kusoma bila hilo nadhani kanisa linaruhusu kuoa tena baada ya mke kufariki nadhani kama nyie ni wakristo wazuri mnatakiwa kuacha kumhukumu huyu mzee na kujua chanzo cha kifo cha mkewe bora ajitulize kwa kimwana kipya kwani inatakiwa upite muda gani ndio aoe tena ushauri mzuri sana huu zaidi memba wengine unawagusa vilevile sasa kuna tatizo gani na hilo au unamlaumu kwa kufanya mambo yake waziwazimaanake wajane wengi tunawajua huwa hawamalizi hata wiki mnapishana nao tu kwenye vyumba vya gesti prosperity93 member mama mia hiii habari kama imekuchanganya kidogo au nafasi hiyo uliipenda ila ukaikosa avatar yako inaonyesha kuwa huneni kwa lugha ( speaking in tongues) kwani mwanaume anatakiwa akae muda gani ndipo aoe kama amefiwa na mume wake kwa uzoefu wangu mdogo katika maisha au ndoa naona ni rahisi mwanamke kuishi bila sex na sio mwanaume mwanaume eliyezoea sex akikosa anaweza kufa haraka au kuwa restless be blessed my mama mia i love uuu sana ameeeniii usihukumu utata mkubwahabari yenyewe imekaa kiumbeambeasasa kuna tatizo gani akioa baada ya miezi 5na wewe ni muumini wa kanisa hilo unaonekana una ajenda ya siri au unamlaumu kwa kufanya mambo yake waziwazi maanake wajane wengi tunawajua huwa hawamalizi hata wiki mnapishana nao tu kwenye vyumba vya gesti uko sawa mkuu kuna siku pale kwa mtitu si nikamuona maza mmoja wa kitaa mumewe hata miezi miwili haikuisha yuko kaunta tena serengeti boy anazuia mzigo nikamwakia akachuna eti anasalimia 'mambo' asee nilishangaa kinoma
2018-01-24T12:26:54
https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-atambulisha-kimwana-5-months-bada-ya-kufiwa-na-mkewe.47369/
matukio @ michuzi blog rais dkt magufuli aongea na wananchi mikumi aweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa barabara ya kidatu ifakara yenye km 669 pamoja na daraja la mto ruaha katika eneo la nyandeo kidatu rais dkt magufuli aongea na wananchi mikumi aweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa barabara ya kidatu ifakara yenye km 669 pamoja na daraja la mto ruaha katika eneo la nyandeo kidatu
2019-11-15T22:54:34
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/05/rais-dkt-magufuli-aongea-na-wananchi.html
dkkigwangalla aagiza kusimamishwa kazi kwa wauguzi sita wa hospitali ya temeke kwa kuomba rushwa | pamoja blog » dkkigwangalla aagiza kusimamishwa kazi kwa wauguzi sita wa hospitali ya temeke kwa kuomba rushwa dkkigwangalla aagiza kusimamishwa kazi kwa wauguzi sita wa hospitali ya temeke kwa kuomba rushwa 3/01/2016 091100 pm naibu waziri wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto mh dkt hamisi kigwangwalla pamoja na mganga mfawidhi wa hospitali hiyo ya rufaa ya temeke dktamani malima wakiwa katika moja ya maeneo ya hospitali hiyo mapema leo naibu waziri wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto mh dkt hamisi kigwangwalla (katikati) akisikiliza kwa umakini maelezo ya mganga mfawidhi wa hospiyali hiyo dk malima wauguzi sita wa wodi ya akinamama wajawazito wa hospitali ya rufaa ya temekewamesimamishwa kazi kwa kukiuka maadili ya taaluma yao wakati wa kuwahudumia akina mama wanaofika kujifungua kwenye hospitali hiyo hatua hiyo imefikiwa kwenye ziara iliyofanywa hospitalini hapo na naibu waziri wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto mh dkt hamisi kigwangwalla alipofanya ziara ya kawaida kuangalia utendaji wa kazi aliyofaya mapema leo machi mosi (machi 12016) tukio hilo la aina yake ni mara baada ya dk kigwangalla kufika hospitalini hapo na kuangaalia huduma zinavyotolewa pamoja na kusikiliza wagonjwa ghafla baadhi ya wagonjwa walipobaini uwepo wa naibu waziri huyo ndiopo walipomfuata na kutoa maoni na kero zao ikiwemo suala hilo la kudaiwa pesa za matibabu na dawa licha ya kuwa wana kadi za bima za matibabu hata hivyo baada ya dk kigwangalla kuhoji juu ya malalamiko yao ndugu wa wagonjwa hao walimweleza kuwa licha ya kuwa na bima ya afya mgonjwa wao ambaye alikuwa mjamzito wauguzi walimtaka atoe pesa ilikulipia vifaa huku wakikataa kwa kutotumika kwa kadi ya matibabu hali ambayo ni kinyume na utaratibu aidhawauguzi hao wanatakiwa kifikishwa kwenye baraza la wauguzi na wakunga kwakukosa uadilifu waliosimamishwa kazi ni pamoja na bi beatrice temba marian mohamed khadija salum elizabeth mwilawa agnes mwapashe na merion saidi hatahivyo dk kigwangalla ametoa siku 30 kwa manispaa hiyo ya temeke kukamilisha chumba cha upasuaji cha akina mama wajawazito pia ameagiza vyumba viwili vya upasuaji kuvifanyia ukarabati mkubwa na kuwa katika ubora unaotakiwa ndani ya miezi sita aidha ametoa miezi mitatu kwa chumba cha watoto wachanga kwa kuongeza vitanda 25 hadi 30 kutoka vitanda 9 vya awali ili kuepusha magonjwa ya kuambukiza ambapo kwa sasa wodi hiyo ina vitanda tisa pekee huku wakiwa wanazalisha watoto zadi ya 30 kwa siku dkkigwangalla ametoa wito kwa uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha wanatekeleza yale yote aliyoagiza kwani pindi atakaporejea tena ni kuchukua hatua kwa watakaozembea tazama mo tv kuona video ya tukio hilo hapa imeandaliwa na andrew chale modewjiblog/mo tv naibu waziri dk kigwangalla mganga mfawidhi pamoja na ndugu wa mama mjamzito aliyeombwa pesa za vifaa na wauguzi wakielekea kumuonyesha naibu waziri mgonjwa huyo wakielekea wodi ya akina mama wajawazito ndugu wa mgonjwa akitoa maelezo yake kwa kina (aliyenyoosha vidole juu) ambapo hata hivyo wauguzi waliofanya kitendo hicho hawakuwa tayari 'kutumbuliwa majipuu' ndipo naibu waziri alipoamua kuchukua hatua kwa wauguzi wote sita ambao walikuwapo zamu ambao pia walimshughulikia mama mjamzito huyo wasimamishwe kazi mara moja pamoja na kuchukuliwa hatua za kisheria katika mamlaka husika ndugu wa kiume wa mgonjwa akitoa malalamiko yake hayo naibu waziri wa afya dk kigwangalla akiwa ndani ya chumba cha mahabara cha hospitali hiyo ukaguzi ukiendelea naibu waziri wa afya dk kigwangalla akiwa katika wodi ya akimama wajawazito wakati wa ziara hiyo ya kukagua utendaji kazi naibu waziri akiwasili katika hospitali hiyo ya temeke naibu waziri wa afya dk kigwangalla pamoja mganga mfawidhi dk malima wakisikiliza kwa makini malalamiko ya baadhi ya wagonjwa na ndugu wa wagonjwa (hawapo pichani) naibu waziri wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto mh dkt hamisi kigwangwalla akitoa maelezo kwa uongozi wa hospitali hiyo juu ya kuchukua hatua stahiki kwa wauguzi hao pamoja na kufanyia kazi maelekezo yote aliyoyaagiza (picha zote na andrew chalemodewjiblog/mo tv) wilaya ya hai wazindua kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa kwa shule za msingi na sekondari * mkuu wa mkoa wa kilimanjaro said mecky sadick akishiriki katika uchimbaji wa msingi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi msamad makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akizungumza na balozi wa italia nchini mhe roberto mengoni (kushoto) ikulu ji manchester united yafia darajani yapigwa 40 na chelsea *manchester uniteds team manager jose mourinho shouts during the english premier league
2016-10-24T10:32:05
http://www.pamoja.co.tz/2016/03/dkkigwangalla-aagiza-kusimamishwa-kazi.html
makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan azungumza na mabalozi wa nchi za misri ethiopia na spain walioko nchini tanzania zanzinews home habari matukio makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan azungumza na mabalozi wa nchi za misri ethiopia na spain walioko nchini tanzania makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan azungumza na mabalozi wa nchi za misri ethiopia na spain walioko nchini tanzania makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akizungumza na balozi mpya wa spain nchini mhe francisca pedros (kushoto) aliyefika kujitambulisha ofisini kwa makamu wa rais ikulu jijini dar es salaam makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na balozi mpya wa spain nchini mhe francisca pedros (kushoto) mara baada ya kumaliza mazungumzo ofisini kwa makamu wa rais ikulu jijini dar es salaam makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akiagana na balozi mpya wa spain nchini mhe francisca pedros (kushoto) mara baada ya kumaliza mazungumzo ofisini kwa makamu wa rais ikulu jijini dar es salaam balozi wa kwanza kukutana na makamu wa rais alikuwa mhe gaber mohamed abulwafa balozi mpya wa misri hapa nchini ambaye alifika kwa lengo la kujitambulisha na pia kuzungumzia mambo mbali mbali ya kuimarisha uhusiano baina ya nchini mbili ambao ulianzishwa na waliokuwa marais wa nchi hizi baba wa taifa hayati mwalimu julius kambarage nyerere na rais gamal abdel nasserhussein wa misri
2019-02-21T06:05:00
http://www.zanzinews.com/2019/01/makamu-wa-rais-wa-jamuhuri-ya-muungano_31.html
08 | march | 2006 | jukwaa huru la uchambuzi naambiwa kuwa mbeya pekee kuna madhehebu ya dini zaidi ya 280 kuna eneo idadi ya makanisa ni sawa na idadi ya wakazi wa eneo hilo lakini mbeya watu wanachunana ngozi mbeya hiyo hiyo inaongoza kwa ukimwi sina uhakika kama marehemu vivian tillya aliwaona hawa wakati alipokuwa akitunga wimbo wake wa siwaelewi kwasababu hawa nao hivi sasa wamekuwa katika kundi hili hili la hawa wasioeleweka nawazungumzia watumishi wa mungu wa madhehebu mbalimbali nchini tanzania na bilashaka duniani kwa ujumla nakumbuka zama zile wakati naanza kujifunza masuala ya dini nilikuwa naambiwa kuwa zamani za kale kulikuwa na watu alikuwa wakiitwa manabii na mitume kwamba hawa walikuwa wateule wa mungu katika kuufikishia umma wa wanadunia ujumbe maamrisho malekezo na utashi wa mungu katika wajawake kwamba walikuwa watu ambao waliagizwa kuja duniani kutupatia na kutuelkekeza namna ya kuyafuatisha maandiko matakatifu ambayo yalikuwa ni maagizo au malekezo ya kutoka kwa mungu kwenda kwa kiumbe alichokiumba akikiusia namna bora ya kuishi humu duniani kwamba walikuwa wakizunguka sehemu mbalimbali duniani kutoa maelekezo hayo kwa kadiri mungu huyo huyo alivyowajaalia kwamba watu hawa ambao walikuwa katika baadhi ya nyakati wakiwasiliana na mungu kwa namna moja ama nyingine akiwapa miongozo na ujumbe wa kuwaletea waja wake kwamba katika baadhi ya nyakati walikuwa wakikumbana na majaribu mbalimbali kiasi cha kumwomba mungu awaepushe na majaribu ya namna hiyo kwamba katika baadhi ya nyakati walikuwa wakikutana na waja wa mwenezi mungu wenye matatizo na kisha wakamwomba mungu awashushie baraka zake na hakika hali ikawa hivyo kwa walioshushiwa baraka hizo wakapona au kuondokana na matatizo yaliyokuwa yakiwakabili kwa namna moja ama nyingine sikumbuki kama niliwahi kuambiwa kuwa watu hawa walikuwa na uwezo wa kutenda miujiza sikumbuki kama niliwahi kufundishwa au kuelezwa kuwa walikuwa wameletwa duniani ili wawe matabibu wapiga ramli waganga wa kienyeji au madaktari wa miujiza hawa ndio waliokuwa mitume au manabii wa enzi hizo ambao walitumwa na mungu na ambao kwakuwa kanuni ya mungu ni kuwa binadamu hatoishi milele humu duniani kila ilipokuwa inakaribia wakati wao wa kurejea kwa udongo basi walijitahidi kuona wanaacha watu ambao watakuwa viongozi katika mwendelezo wa yale waliyokuwa wametumwa na mungu kuja kuyafanya duniani ni katika utaratibu huo huo ambapo viongozi mbalimbali wa kidini walikuwa wakipatikana lengo likiwa ni kwa watu hao kuja kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa maandiko maamrisho na miongozo mbalimbali ambayo mungu alitaka iwe inakuwa hivyo kama alivyotaka yeye ni kupitia utaratibu huo huo hivi sasa tuna masheikh maimamu maustaadh na kadhalika ni katika mfumo huo huo ambapo tuna wachungaji mapadre masister mafather na wengineo wengi kulingana na imani ya watu fulani katika jamii husika hawa ndio ambao kwa mujibu wa maandiko matakatifu walitakiwa kuwa watetezi wa nguzo kuu za imani wasimamizi wakuu wa kuhakikisha maamrisho ya mungu yanatekelezwa viongozi wa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wanairekebisha jamii pale inapoonyesha kuanza kupotoka wanaharakati wakubwa wa kupenyeza imani za kidini katika mioyo ya watu ili kuwafanya wahusika kuishi na imani hizo na kumshinda shetani hata hivyo licha ya ukweli huo (mwa mtazamo wangu lakini) hali imekuwa kinyume na hivyo kinyume na inavyotakiwa kinyume na mungu alivyotaka kinyume na walivyokuwa wakifanya mitume na manabii kinyume na maandiko wanayoyatumia katika kutuhubiria makanisani na misikitini na kwa hakika kinyume hata na jinsi nafsi zao zilivyotakiwa kufanya katika miaka ya karibuni dunia ikiwa inashuhudia mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia hasa katika upande wa mawasiliano wafuatiliaji wa masuala mbalimbali ya kijamii katika vyombo mbalimbali vya mawasiliano watakubaliana nami kuwa masuala ya dini ni miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakipewa uzito wa aina yake katika vyombo mbalimbali vya habari bila kujali kuwa ni kwa ubaya au uzuri wake ni kupitia njia hii hii ambako nami nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu makongamano mbalimbali ya kidini ingawa nimekuwa nikiona baadhi ya mambo yanayofanyika huko ni kinyume kabisa na maandiko yale yale ambayo sote tunajua kuwa yametoka kwa mungu limekuwa ni jambo la kawaida kabisa hivi sasa na kimsingi hata wengi wanaoyahudhuria ndio wanalokuwa wakilitarajia kuwa makongamano mengi yamekuwa makongamano ambayo sio kwa ajili ya mafundisho ya neno la mungu bali makongamano kwa ajili ya mchungaji au mhubiri fulani kuonyesha miujiza ya uponyaji wa watu wenye matatizo lukuki nadiriki kusema kuwa ndio maana hata idadi ya watu wanaohudhuria makanisani au misikitini imepungua kwasababu ndani ya majumba hayo naamini bila ya yesu miujiza haiwezi kutokea bila ya usafi wa nafsi ya mhubiri hakuna muujiza unaoweza kutokea bila ya imani ya kweli kwa anayemjua na kumjali muumba wake hakuna miujiza inayoweza kutokea kinyume chake makongamano ndio ambayo yamekuwa yakijaza watu kupita kiwango bilashaka kutokana na ukweli tu kuwa ni katika makongamano hayo tu ndio miujiza huweza kufanywa na wahusia ambao hata katika mabango ya matangazo kuhusu semina makongamano au warsha zao za neno la bwana huhanikizwa kwa ukubwa wa maajabu na miujiza itakayojiri si jambo la kushangaza hivi sasa kumwona mtu ameandaa kongamano la neno la bwana lakini akifika pale hata kabla ya kusalimia waliohudhuria katika jina la anayemwamini anaanza kwa kuwahitaji wale wote wenye matatizo kujitokeza mbele cha ajabu unaweza kukuta waliojitokeza wote ni watu ambao hata hapo mtaani kwenu hamuwajui na hata ukifuatilia mitaa ya jirani inayowazunguka pia hamna aliye mkazi wa eneo hilo wala sio jambo la kushangaza kabisa kusikia wahubiri hao hao baadhi yao wakihanikiza kuwa wana uwezo wa kuponya hata ukimwi lakini hakuna ambaye anaweza kutuonyesha takwimu halisi za kisayansi kuwa ameshawahi kuwaponya watu wangapi ugonjwa huo na uthibitisho juu ya hilo ndio huku huku katika makongamano hayo ambako watu hutolewa majini hutolewa mashetani hutolewa mapepo wabaya huponywa kwa miujiza ya kuombewa dua ambazo hata hao wanaozitoa ukiwaambia wazirejee tena wanashindwa maana hazijulikani kuwa ziko katika lugha gani ndio wapo hawa ambao inafkia hatua ambapo lugha wanayoongea inakuwa haieleweki nadhani hata kwao binafsi hivi bila kuongea kilatino kijerumani kizungu kiholanzi au hata kimarekani kama kipo dua haliwezi kusikilizwa hivi ni nani alisema kuwa maombezi ya kiswahili hayawezi kusikilizwa na mungu na kwanini basi watumie lugha ambayo hata wenyewe baadhi ya nyakati wanakuwa hawawezi kuyarudia maneno hayo kuyatamka ikiwa utawataka wafanye hivyo katika hilo nani anayehitaji kuombewa kati ya wawili wa aina hiyo na kizuri zaidi ni kuwa siku hizi imeshakuwa kanuni kwamba siku hizi maombezi warsha semina na makongamano yote ya dini hayawezi kuitwa hivyo ikiwa hayatakuwa na kipengele cha miujiza kipengele cha watu kuitwa na kugaragara kwenye mavumbi kama hawana akili nzuri vile (ingawa baadhi ya nyakati naamini kweli hawanazo) wakililia maumivu wanayoyapata wakati mapepo mabaya yakiwatoka hivi ni nani anaweza kututhibitishia kisayansi kuwa hayo madudu wakati yanatoka tendo hilo linaambatana na maumivu ya mtu kutaka kulia machozi ya damu wahubiri mbalimbali siku hizi wamegeuka waganga wa kienyeji na ninasema kwa makusudi kabisa kuwa ni waganga wa kienyeji kwasababu ni vitu vya kienyeji tu ambavyo huwa haviwezi kuwa na uthibitisho wa kueleweka wa kitaalamu wanachokifanya ni kitu ambacho hata wao wenyewe hawawezi kukithibitisha kisayansi isipokuwa kwa nguvu za kigiza giza tu ndio kuna tofauti gani kati ya watu hawa lakini haiyumkiniki kuwa katika baadhi ya nyakati watu wamekuwa wakifanyiwa hivyo na kisha baadae wakakutwa tena wako katika hali yao ile ile iliyokuwa ikiwakabili na kisha mkimuuliza aliyemfanyia maombezi atawajibu huyo hakuamini katika jina la bwana sasa swali la kujiuliza hapa ni kuwa je kilitakiwa kwanza kipi kati ya haya mawili kumpandikiza imani ya kumwamini mungu au kumpandikiza miujiza ya muda ambayo naamini ni kwa ajili ya kumuogofya na hali fulani wengi wamekuwa wakitumia nguvu za giza katika kutenda haya nadhani wengi wetu tungali tunakumbuka suala la yule mchungaji mkenya kule uingereza na nyingine kama hizo ambazo sizikumbuki mimi wengi wamekuwa ni watu ambao wanajenga mazingira ya kuwafanya wanaowasilikiza kuwa waoga dhidi yao na sio dhidi ya mungu wao matokeo yake ni kuwa kila wanalowaamrisha ndilo wanalifanyandio si wameshapandikizwa mazingira hayo kila kukicha wamekuwa wakizidi kujenga hofu mpya dhidi ya wanaowapandikiza woga huo na kujijengea majeshi yao ambayo hatimaye huanza malumbano kuwa mimi ni bora zaidi kuliko fulani ndio tumeyaona haya na wala hawawezi kutubishia je hivi mungu ndio aliagiza kuwa watu wawe wanatengwa kwa makundi fulani fulani mbona alisema kuwa tupendane daima na tuwapende hata maadui zetu mbona nyie mnawakataza hata waumini wenu kuwatembelea waumini wa madhehebu mengine katika masuala ya muziki hasa nchini tanzania kuna kitu wanakiita muziki wa kizazi kipya na bilashaka kuwa hata katika upande huu wa masuala ya dini muda si mrefu tutaanza kusikia kuwa kuna dini ya kizazi kipya dini ya watenda miujiza dini ya waponyaji wajenga hofu wasambaratishaji wa umoja wa mwanadamu naam dini ya matabibu wa miujiza dini ya mashahidi wa shetani na miujiza alamsiki march 8 2006 at 441 pm 15 comments
2020-01-28T02:05:09
https://uchambuzi.wordpress.com/2006/03/08/
view attachment 131831 view attachment 131834 view attachment 131836 view attachment 131835 view attachment 131838 view attachment 131839 view attachment 131840 view attachment 131841 view attachment 131842 view attachment 131843 view attachment 131844 view attachment 131846 view attachment 131849 view attachment 131848 view attachment 131847 reactions mr finest miminimkulimaakachekasana come27 and 53 others mkyashinho mkulima2002 said asante for quick reply ila mimi nashauri kama mtu ameamua kuingia mazima kwenye sekta ya kilimo na ufugaji ni bora ukawekeza vema kwenye suala la usimamizi kama wewe muwekezaji una muda basi simama kweli kweli lkn kama huna muda basi weka watu wenye weredi na uchungu na mradi wako ni kweli wasimamizi wengi si waaminifu wanahujumu sana miradi yetu labda kwa tamaa ya pesa ama ushawishi mimi nasema ufugaji na kilimo ni miradi yenye faida sana ila tuu ifanywe kwa umakini na uangalifu wa hali ya juu kwa mfano kama mtu anamtaji wa maana akapata samba ata eka 10 humo unaweza kuweka vitu kibao na mambo yakawa safi pia ila kwa wale wanaofugia mjini ni ngumu kimtindo manake mjini panahitaji mtaji mkubwa ambao mwisho wa siku mfugaji atapata hasara asipokuwa makini mm hawa wadudu nawafugana kwa kwl ninawaheshimu sn wafugaji wengi wanakata tamaa sababu wanafanya ufugaji km ni shughuli ya kupoteza mudahata kama wewe ni muajiriwawekeza juhudi zako nyingi ktk ufugaji unaoufanyatusikate tamaaht huko makazini kuna makandokando yake ambayo kimsingi hatuyakatii tamaa sababu mwisho mwezi tuna uhakika ukitaka kuona faida ya nguruwe fuga wengiili ukiuza uione hela yake lkn pia usitegemee tuu kuwauza wakiwa haiongeza thamanitengeneza soseji niko mbioni kuingia ktk soko la soseji maana huku kwa uchunguzi nilioufanya bd hakuna competition kubwa sn kwa yeyote mwenye abc za utengenezaji wa soseji tutafutane hakufuga kibiashara haukuwa na hasira ya uwekezaji haukufata taratibu sahii mwanzo mgumu tafuta mbegu sahihi mara nyingi hupatina mission kwa watasha eneo la kutosha na lenye maji na sehemu ya bustani nunua stock ya kudumu ya vyakula mbalimbali na tengeneza rough garden ya carbage nk kwa ajili ya mifugo toa chanjo ma tiba kila inapohitajika usipende kuuza nguruwe au vifaranga kila unapopata shida maximum ukianza na nguruwe 20 ndani ya miaka miwili utakuwa na nguruwe 200 wa umri tofauti utauza mia kwa gharama zaidi ya million 50 misosi ni million 10 tu unapata vp hasara sasa anafuga nguruwe watanoatapata vp faidaushauri wako ni mzuri kaka ramea nakuunga mkono asilimia mia mbili nimefuga hapa dsm mwaka mzima nguruwe 10 faida kila mmoja elfu 40 hakuna value for money kabisa inategeneana na formula yako ya kufugiaili update faida kwa hawa noa lazima uwafuge kwa formula ya kuzaa zaidikuhasi madume fasta yaani kiufupi ngiruwe anatime table ngumu kidogo na ufuatiliaji kinyume chake ni hasara watu wanafuga kienyeji afu wanataka faidakitimoto ni formula tena ya kuwapishanisha na target ni uwingi kinyume na hapo ni hasara 1132 1250 ipo ya kuku mkuu malafyalep mnazo mbegu za wanyama wengine pia au ni nguruwe pekee mary nenjamin ninaomba no yako yangu ni 0715878575 5611 2000 mimi ni mfugaji kwa miaka minne sasa avatar yangu inanitambulisha pia sijaona faida ya mnyama huyo isipokuwa hasara ana gharama za malisho na rahisi sana kudumaakwa ufupi hachelewi kukosewa katika ukuaji unaweza kujaribu ukajionea mwenyewe ingawa wengi humu ambao hawafugi watakuja kukupa ushauri wa kwenye vitabu mimi kwa sasa nafuga kama huduma si faida tena kwakuwa mabanda nilishayajenga ya kisasa hayawezi kukaa hivi hivi utakuwa unakosea kwenye kanuni za ufugaji borakwanza elewa kuwa faida kubwa ktk ufugaji wa huyu mjamaa ipo kwenye watoto hivyo hakikisha kuwa unafuga nguruwe anayezaa sanakuanzia kumi na kuendeleawatoto watasaidia kupunguza running cost yao baada ya hapo jitahidi kupata mbegu inayokua haraka na yenye hfcratio kubwa (high feed conversional ratio) angalau basi kwa haya yatakusaidia mimi ninavo vitoto lakini naona vinaumizana mikia mpka inatoa damu kabisanyejua shida ni nini au niwape dawagani hapo hakuna dawa zaidi ni kukata mikia huo ndio ushauri wa kitaalam nondo chuma sana wakuu william dindai mimi ni mfugaji wa nguruwe ndo nimeanza ufugaji huu nina nguruwe 9 majike 7 madude 2 naomba mwenyewe elimu nzuri juu ya ufugaji huu na idadi nzuri ya kuanza nayo anisaidie ili niweze kupata faida karibuni sana katika ufugaji wa nguruwe nina banda kubwa la mabanzi bagamoyo kiromo lenye tayari umeme wa solar na maji ya kisima na tank lenye litre 5000ltrninakodisha 650000 kwa mweziatakayekuwa interested tunapenda tuingie mkataba wa mwaka mojamawasiliano zaidi whatssap 0756661761 au 0627840045karibuni sana pumper 2 pumper mkyashinho said great idea ninafikiria hivyo hivyo kwa mwanzakimsingi ukienda nchi za wenzetu utaona watu wanafurahia nyama hapa kwetu tunauziwa mifupa ukiweza kuongea thamani ukatengeneza pork products like sausagebeaconpork ribs na fillets unauza uko kama mimi yaani bora yako labda ni karibu na nyumbani mimi ni mbali kidogo na home sasa ukute chakula kimeisha (nimeajiri zee sumbufu ndo linawahudumia) litapiga simu hata saa 8 ya usiku au lipate matatizo ya familia yake utatamani kulia mpaka saivi nawaona nguruwe kama simba pole sana mkuu kama naliona hilo zee linavyokusumbua kudai msosi mkuu hongera sana kwa ufugaji wako na inaonekana unao uzoefu mkubwa kwenye hii biashara mimi ndo najiandaa kuanza ufugaji je unaweza kunipa mawili matatu juu ya banda zuri la kufugia biashara ya nguruwe uifugiw maporini au vijijini gharama ya matunzo au malisho ni ndogokwa mjini haina maslahi kupotezeana mda na kupoteza pesa zako nakushauri fuga kuku walipa zaidi kuliko biashara ya nguruwe au ng'ombe angekuwa anakula majani hiyo hoja yako inekuwa na mashiko sasa ngurue alacho hupatikana mjini ukimfuga bush huoni itakuwa garama kusafirisha chakula mfukutuzi kwa wale walio serious na ufugaji wa nguruwe fuata hii link kujiunga na group la ufugaji wa nguruwe nguruwe na masoko reactions sokorada and kipwate hey bob mbona una hasira hivyo be wise with speed a fool at forty is a fool indeed kichwa cha habari soko la nguruwe kama wewe hutumii kiherehere gani kilikuleta humu go have sex to ease your stress hapo ndo na mimi nimeshangaa mtu nguruwe haram sasa kwenye comment za watu anafuata nini anawashwa huyu wabongo wengi wakiwa wanapata vitu vitamu hawapendi wenzao wapate possible huyo mtu ni mtumiaji mzuri hataki wenzie wapate utamu reactions dennismtumishi fursa ya ufugaji wadudu kilimo ufugaji na uvuvi 2 mar 15 2020 mrejesho ufugaji wa nguruwe kilimo cha matikiti maji na ufugaji ng'ombe wa maziwa kilimo ufugaji na uvuvi 58 jan 26 2020 ushauri nina mtaji na eneo lenye upatikanaji wa maji kwa wingi nataka kuanza ufugaji wa nguruwe kilimo ufugaji na uvuvi 8 sep 6 2016 fursa ya ufugaji wadudu ushauri nina mtaji na eneo lenye upatikanaji wa maji kwa wingi nataka kuanza ufugaji wa nguruwe threads 1404315 posts 34450261
2020-04-02T22:55:12
https://www.jamiiforums.com/threads/ufugaji-wa-nguruwe-utaalam-na-masoko.42162/page-75
toyota verossa wikipedia kamusi elezo huru front engine rearwheel/allwheel drive 1gfe 20 litre inline six 160 ps 1jzfse 25 litre directinjection inline six 200 ps 1jzgte 25 litre turbocharged inline six 280 ps toyota verossa lilikuwa gari lenye muundo wa sedani lililoundwa na kampuni ya magari ya toyota kwa soko la ndani la japani toyota ilibadilisha sedani hizo mbili kwa verossa yenye muundo wa kiutata katika mwaka wa 2001uundaji wa chaserna cresta ulikomeshwa mwaka wa 2000 verossa iliyumia chassi ya mtindo wa x pamoja na watangulizi wake na pia ilikuwa na injini ya mbele ya kusonga kwa magurudumu ya mbele uundaji wa verossa ulikoma mwaka wa 2003 kutokana na uuzaji uliokuwa chini 1 ngazi za trimu 11 20 20four na 20four g 12 25 na v25 ngazi za trimu[hariri | hariri chanzo] verossa iliuzwa katika ngazi sita za trimu sita ikishirikiana na injini 3 laini 6 na gia aina tatu magari yanayosonga kwa magurudumu yote pia yalikuwa baadhi ya magari ya ngazi za trimu lakini yalipatikan tu yakiwa na gia ya kujiendesha vifaa vya kawaida na chaguo katika verossa ni pamoja na mbele chuma ya kudhibiti mwendo urambazaji viti vyenye umeme na vidhibiti hewa 20 20four na 20four g[hariri | hariri chanzo] ngazi ya kuingia ya verossa ilikuja na injini ya toyota ya 1gfé iliyotoa 160 ps ifikapo 6200 rpm na 200 nm ifikapo 4400 rpm 20 ilipatikana gia ya kujiendesha ya spidi 4 the 20four na 20four g yalipatikana kama magari ya kusonga kwa magurudumu yote manne jamii ya g ilikuwa na magurudumu ya chuma za kuchanganya na a viti vya ngozi 25 na v25[hariri | hariri chanzo] mtindo hii ina injini ya toyota 1jz pamoja na unyunyuzaji wa mafuta ifikapo 200 ps ifikapo 6000 rpm na 250 nm ifikapo 3800 rpm zote zilikuja na gia nya kujiendesha ya spidi 5 na kuzitofautisha na verossa ya 1g v25 ilikuwa na chuma ya kudhibiti mwendo iliyopatikana katika 20l verossa pamoja na magurudumu ya nchi na chaguo ya viti vya ngozi vr25[hariri | hariri chanzo] kupitia tourer v vr25 ilikuwa na injini ya turbo ya 1jzgte na chasi ya mmuundo wa kusonga kwa miguu ya nyuma injini hii ilitoa 280 ps ifikapo 6200 rpm na nm 377 ifikapo 2400 rpm na iliunganishwa na aidha gia ya kuendeshwa ya spidi 5 au ya kujiendesha ya spidi 4 kama ilivyokuwa katika mitindo ya ka 20l na kiwango cha kawaida cha differential kulingana na v25 vr25 ilikuja na minara ya chuma mbele na nyuma na magurudumu ya 17 ngozi ilikuwa chaguo pia spoila za nyuma na mbele toyota verossa mauzo ya kijapani # vq00180107 (2001) toyota verossa katika kumbukumbu ya magari http//wwwcarsdirectorynet/specs/toyota/verossa/2001_7/ kundi la wamiliki wa toyota chaser / cresta / mark ii mabadiliko katika toyota jzx90 ujuzi kuhusu uundaji wa markii / cressida / chaser / cresta makundi ya toyota jzx110 verossa rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=toyota_verossa&oldid=1094108 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 30 novemba 2019 saa 1430
2020-07-03T21:08:00
https://sw.wikipedia.org/wiki/Toyota_Verossa
imvahonshya bugarama bifuza kugira umujyi usatira uwa rusizi mu iterambere bugarama bifuza kugira umujyi usatira uwa rusizi mu iterambere kuya 20170903 082651 nyuma yaho igishushanyo mbonera cyumujyi wa bugarama mu karere ka rusizi gishyiriwe ahagaragara abaturage buyu murenge baravuga ko bagiye gukora ibishoboka byose bakagira umujyi uyingayinga uwa rusizi mu iterambere umujyi wa bugarama ufite ibikorwa remezo bigezweho abaturage bakaba bawubona nkumujyi wubucuruzi uzayingayinga uwa rusizi (foto bahuwiyongera s) bavuga ko iki gishushanyo mbonera cyaje gikurikira imihanda ibiri ya kaburimbo babonye harimo uca muri santere yubucuruzi rwagati nundi wa bugaramacimerwa uca iruhande rwayo ukaza ukurikira indi ihuza uyu murenge nimipaka ya kongokinshasa nu burundi kimwe nibindi bikorwa remezo bihubakwa bigatuma bemeza ko mu minsi iri imbere bazaba bafite umujyi uzaba ari isoko ryubucuruzi muri aka karere cyane ko ari wo ukurikira uwa rusizi muri aka karere hakaba nubucuruzi bwambukiranya imipaka uzayisenga emerda usanzwe acururiza mu isiko rya bugarama avuga ko akurikije ubucuruzi mpuzamahanga bubera muri kano gace igihe hazaba hari amahoteli agezweho akurura ba mukerarugendo amashyuza akabyazwa umusaruro ufatika wubukerarugendo bakagira isoko ryiza rya kijyambere rihesheje icyubahiro namazu ahari akavugururwa nta kabuza bugarama izaba umujyi ukomeye mpuzamahanga uzinjiriza igihugu amafaranga menshi yagize ati turifuza umujyi usatira uwa rusizi mu iterambere ryubukungu kandi birashoboka kuko imipaka ya kongo nu burundi akarere gaturiye imwe iri mu murenge wacu hakaba habereye ibikorwa byinshi byubucuruzi nubukerarugendo tukaba dusaba abayobozi bacu kutwubakira ibikorwa remezo bikomeye bakazana abashoramari bahashyira amahoteli afatika isoko rya kijyambere riberanye nishoramari rihakorerwa na ryo rikubakwa imihanda ya kaburimbo ikiyongera nibindi nta kabuza tuzagira umujyi ukomeye umunyamabanga nshingwabikorwa waka karere mushimiyimana ephrem avuga ko ibi abaturage bavuga atari inzozi ahubwo ko bishoboka cyane kubera gahunda nziza iguhugu gifitiye kariya gace ibikorwa remezo nibimara kuhaba byinshi nta kabuza uzahinduka umujyi wubucuruzi uteye imbere ati ni byo bugarama ni ahantu heza haberanye nishoramari mpuzamipaka kandi na twe twarabibonye kuko kuba igishushanyo mbonera cyumujyi waho kimaze gushyirwa ahagaragara ni ikimenyetso gikomeye ko ugiye gutunganywamo umujyi mwiza kuba kandi hari ibikorwa remezo bigenda bihagera nkimihanda myiza na byo bigatanga icyizere cyumujyi wubucuruzi mwiza kandi nibitarahajya tuzabihashyira asaba abaturage buyu murenge gutangira gutekereza ibikorwa binini byiterambere rishingiye ku bucuruzi kuko rihashoboka akarere nizindi nzego zibishinzwe bakazakomeza gukora ibishoboka byose aka gace kakaba isoko yiterambere ryubukungu ryakarere kose
2017-11-23T05:29:23
http://www.imvahonshya.co.rw/spip.php?page=article&id_article=44480
utafiti wa twaweza 2010 hospitali za serikali zanyoshewa kidole | star television bloginfo( utafiti wa twaweza 2010 hospitali za serikali zanyoshewa kidole habari kitaifa no comments na flora mallya dar es salaam utafiti uliofanywa na shirika la twaweza mkoani dar es salaam kwa mwaka 2010 umeonyesha rushwa na ucheleweshwaji wa huduma za afya ukiendelea kwenye hospitali na vituo vya afya vinavyomilikiwa na serikali utafiti huo ulifanyika kwa miezi miwili na kushirikisha kaya 550 katika wilaya za ilala temeke na kinondoni ripoti ya utaafiti huo ilisomwa mbele ya waandishi wa habari huku ikionyesha mpango wa serikali katika usambazaji wa vyandarua kwa kaya ulipata mafanikio ambapo asilimia 95 za kaya zina angalau chandarua kimoja mtafiti mchambuzi wa twaweza nyankomo marwa anaasema utafiti huo pia ulionyesha kaya moja kati ya tatu inauguliwa huku watoa huduma za afya wakidai rushwa kutoka kwa wagonjwa rakesh rajan ni mkurugenzi wa twaweza analazimika kutoa somo kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya rushwa pindi wanapokwenda kutibiwa aidha kuna uhitaji mkubwa wa huduma ya vituo vya afya vya serikali ambapo asilimia 60 ya washiriki wanatumia vituo hivyo kwa ajili ya matibabu huku asilimia 82 ya watu wenye vipato vya chini wanatumia vituo vya afya vya serikali maoni toka kwa watazamajieddo on startv liveeddo on programme schedulemagosho on startv liveosmund on startv liveeddo on contact usjoseph daniely on mahakama yamrejeshea ubunge wake dk kafumuashery on contact usstartvhabarihabari ya star tv wachawi waumbuka mwanza who's online13 visitors online now8 guests 5 bots 0 members star television email mawasiliano@saharamediacotz
2013-05-25T04:08:12
http://www.startvtz.com/2012/09/19/utafiti-wa-twaweza-2010-hospitali-za-serikali-zanyoshewa-kidole/
wwwbukobasportscom fifa kombe la dunia kwa klabu cristiano ronaldo aibebesha real ubingwa wa dunia leo kwa bao 42 fifa kombe la dunia kwa klabu cristiano ronaldo aibebesha real ubingwa wa dunia leo kwa bao 42 mchezaji bora duniani cristiano ronaldo leo amepiga bao 3 na kuwawezesha real madrid kutwaa kombe la ubingwa kwenye fainali ya mashindano ya fifa ya kombe la dunia kwa klabu huko yokohama international stadium nchini japan kwa kuwachapa wenyeji wao kashima antlers 42 kwenye mechi iliyokwenda dakika 120 baada ya sare 22 katika dakika 90 ushindi huu wa real umeletwa kwa mchango mkubwa wa ronaldo ambae mapema wiki hii alizoa tuzo ya mchezaji bora duniani ballon d'or na pia kuukamilisha mwaka mwema kwake ambao yeye ndie alifunga penati ya ushindi kwenye fainali ya uefa champions ligi mwezi mei na kuwapa ubingwa real wakati pia mwezi julai akiwa nahodha wa portugal aliiongoza nchi yake kutwaa euro 2016 ubingwa wa mataifa ya ulaya hii pia ni mara ya 3 kwa ronaldo kutwaa kombe hili na mara nyingine alitwaa akiwa na manchester united mwaka 2008 na real mwaka 2014 vile vile ronaldo ameweka rekodi ya kufunga goli nyingi bao 5 kwenye fainali za mashindano haya akifungana na mchezaji mwingine 44 & 52 gaku shibasaki
2017-12-11T02:19:17
http://www.bukobasports.com/2016/12/fifa-kombe-la-dunia-kwa-klabu-cristiano.html
matunda safi ya zabibu china manufacturers & suppliers & factory matunda safi ya zabibu mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa matunda safi ya zabibu) wilaya ya xinjiang f resh nyekundu zabibu zabibu zimevunwa ubora sana ukubwa mkubwa rangi nzuri tamu crispypacked kwa ukubwa kutoka 2226cm 2428cm iliyojaa sanduku la plastiki 7kg zabibu za xinjiang ni tamu zaidi supply wakati kutoka mahitaji septembercustomers kuweka zabibu packed katika 7kg carton kati matunda safi ya zabibu matunda safi ya zabibu matunda safi ya pear matunda ya afya ya pear mandhari safi ya mandarin matunda juicy na vc matunda matamu na lishe maji safi ya maji
2019-10-23T17:58:47
http://sw.fuyuanfv.com/dp-matunda-safi-ya-zabibu.html
wafanyabiashara wa china wametakiwa kuwekeza katika usindikaji wa mazao ya chakula kwa kutumia malighafi inayopatikana nchini ili kutosheleza mahitaji ya soko ifikapo mwaka 2050 ambapo inakadiriwa asilimia 50 ya watu barani afrika watakuwa wamekimbilia maeneo ya mijini waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) angela kairuki wito huo ulitolewa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) angela kairuki wakati akifungua kongamano la uwekezaji kati ya china na tanzania katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha arusha (aicc) jana kairuki alisema kuwa mahitaji ya chakula yatakuwa makubwa kutokana na ongezeko kubwa la watu wanaokimbia uchumi wa vijijini wa kilimo na kwenda mijini kutafuta kazi za viwandani na huduma alisema tanzania ina ardhi nzuri yenye rutuba pamoja na maji ya kutosha hivyo kuwezesha uzalishaji wa mazao yanayotumiwa sana na jamii barani afrika kama vile nafaka maharage mihogo viazi vitamu na matunda ya aina mbalimbali yakiwamo maparachichi tanzania ina kila kitu na hamtahitaji kuleta mazao kutoka nje kwani kwa ardhi iliyopo na maji kuna uwezekano mkubwa wa kulisha kwa chakula majirani zetu kutokana na mahitaji yaliyopo alifafanua aidha kairuki alisema fursa nyingine ni usindikaji wa nyama pamoja na samaki ambapo alibainisha kuwa kuna mahitaji makubwa sana kwa soko la nchi za asia lazima uwekezaji wenu ujikite katika viwanda lakini kubwa kwa kutumia malighafi zinazopatikana hapa nchini alisema kairuki alisema mpaka sasa tanzania ina soko la uhakika kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya afrika mashariki (eac) yenye watu milioni 152 na jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika (sadc) yenye watu milioni 800 akizungumzia biashara kati ya china na tanzania kairuki alisema imekua kutoka dola za marekani bilioni 39 hadi kufikia dola za marekani bilioni 7 kwa mwaka jana alifafanua kwamba kuongezeka kwa kasi kwa biashara na uwekezaji kutachangia katika ukuaji wa uchumi wa tanzania alisema uchumi wa tanzania hivi sasa unakua kwa kasi ikiwa ya nchi ya tano katika bara la afrika hali ya mazingira ya uwekezaji ni nzuri na ina fursa katika sekta za madini kilimo viwanda ufugaji na sekta ya utalii kutokana na kuwapo kwa rasilimali za kutosha katika maeneo yote ya nchi alisema aidha aliwataka wafanyabiashara wa china kuingia ubia na wenzao wa tanzania katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwamo ya gesi asilia makaa ya mawe uchimbaji wa madini utalii sekta ya hoteli na nyumba za malazi katika hifadhi za taifa alisema ni matumaini ya tanzania ni kuona makampuni kutoka china yanakuja kwa wingi kuwekeza katika miradi mbalimbali ikiwamo ya miundombinu ujumbe wa wafanyabiashara kutoka china unaongozwa na mwenyekiti wa makampuni ya touchroad international holding group kutoka jimbo la zhejiang liehui kongamao hilo limeshirikisha wafanyabiashara zaidi ya 60 kutoka china na 90 kutoka tanzania bara na visiwani
2019-05-22T08:05:30
https://www.ippmedia.com/sw/biashara/wafanyabiashara-wa-china-waonyeshwa-fursa
trump amshambulia msaidizi wake wa zamani steve bannon cgfm mapacha waliounganatanzania wamepelekwa kwa uchunguzi zaidi wa kiafya mwanamke raia wa cote dvoire akamatwa na cocaine tumboni
2019-05-23T15:50:19
http://blog.cgfmradio.com/trump-amshambulia-msaidizi-wake-wa-zamani-steve-bannon/
wenye hatari ya kujifungua watoto wenye magonjwa ya moyo washauriwa kufanya vipimo habari za jamii home / unlabelled / wenye hatari ya kujifungua watoto wenye magonjwa ya moyo washauriwa kufanya vipimo wenye hatari ya kujifungua watoto wenye magonjwa ya moyo washauriwa kufanya vipimo dotto mwaibale 755 am daktari bingwa wa magonjwa moyo kwa watoto dktnaiz majani akielezea umuhimu wa akina mama wajawazito kufanya kipimo chafetal echocardiography katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari hii mapema hivi karibuni kipimo hicho ni maalum kwa ajili ya kupima wajazito ili kubaini kama watoto waliotumboni wana ugonjwa wa moyo daktari bingwa wa magonjwa moyo kwa watoto dktnaiz majani akielezea umuhimu wa akina mama wajawazito kufanya kipimo chafetal echocardiography katika mahojiano maalum na waandishi wa habari mapema hivi karibuni kipimo hicho ni maalum kwa ajili ya kupima wajazito ili kubaini kama watoto waliotumboni wana ugonjwa wa moyo na agness moshi maelezo taasisi ya moyo ya jakaya kikwete imewashauri wajawazito walio kwenye hatari ya kujifungua watoto wenye magonjwa ya moyo kufanya kipimo chafetal echocardiography ili waweze kugundua tatizo mapema na kulipatia tiba akiongea na waandishi wa habari katika mahojiano maalumdaktari bingwa wa magonjwa moyo kwa watoto dktnaiz majani amesema ni vyema wajawazito walio kwenye hatari ya kujifungua watoto wenye magonjwa ya moyo kuhakikisha wanafanya kipimo hicho mapema ili kujua hali ya mtoto tumboni kufanya kipimo cha magonjwa hayo ili kuweza kugundua tatizo mapema na kujiandaa kukabiliana nalo dktnaiz alitaja baadhi ya wajawazito walio kwenye hatari ambao ni pamoja na waliowahi kuzaa mtoto mwenye tatizo la moyowanaotumia dawa za muda mrefu kama vile dawa za kifafawenye mimba ya mapacha wanaougua ugonjwa wa kisukari wenye mgonjwa wa moyo kwenye familia zao au ambao kwenye vipimo walivyofanya wamekuta mtoto anatatizo lolote magonjwa mengi ya moyo ya kuzaliwa yanatibika lakini yanasharti kubwa la kujulikana mapema na yanahitaji tiba kwa wakati muafaka inaumiza sana unapogundua mtoto anatatizo la moyo halafu unamwambia hatuwezi kufanya upasuaji kwa sababu tu amechelewa alisema dktnaiz dktnaiz alisema kuwa kuna wakati mtoto anagundulika na tatizo lakini anashindwa kufanyiwa upasuaji si kwasababu hakuna tiba bali kwasababu amefika kliniki ya moyo kwa wakati usiosahihi kwa upasuaji hivyo ni vyema kwa mjamzito kuwahi kufanya kipimo ili aweze kumsaidia mtoto kupata tiba kwa wakati kuna magonjwa ya moyo yanatakiwa yatibiwe ndani ya mwezi baada ya kuzaliwamengine ndani ya miezi sita au mwaka mmoja inategemea na tatizo alilonalo mtoto hivyo kwa kufanya kipimo cha fetal echocardiography tutaweza kugundua tatizo la mtoto mapema angali akiwa tumboni mwa mama na kujiandaa na matibabu kwa muda muafakaalisema dktnaiz aidha dktnaiz amesema kuwa kipimo hicho ni salama kwa mama na mtoto kwasababu hakina mionzi ambayo ingeleta madhara na kinafanya kazi kwa mimba ya umri wowote japo inapendeza zaidi mimba ifikishe walau miezi minne hadi saba kwa sababu kwa wakati huo tatizo linaonekana vizuri kipimo cha fetal echocardiography ni ultrasound ambayo inapima magonjwa ya moyo kwa mtoto aliye tumboni hivyo wajawazito wasiwe na wasiwasi wowote kwa sababu hakina utofauti na ultrasound aanazofanya wakati wa ujazitoalisisitiza dktnaiz hata hivyo dktnaiz amesema si lazima mjamzito mwenye hatari ya kujifungua mtoto mwenye ugonjwa wa moyo ndio anatakiwa apime hata wasio kwenye hatari wanakaribishwa kufanya kipimo hicho kwa tahadhari kwani tafiti zinaonyesha mtoto mmoja kati ya 100 huzaliwa na ugonjwa wa moyo hivyo ni vyema kujua hali ya mtoto mapema kwasababu mtoto wa yeyote anaweza kuzaliwa na tatizo kwa sasa huduma hii inapatikana kwenye taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) pekee na tayari wajawazito 35 wamefanyiwa ambapo watano kati yao wamegundulika na tatizo na tayari maandalizi ya matibabu yao yameanza
2018-06-19T06:55:31
http://www.habarizajamii.com/2017/09/wenye-hatari-ya-kujifungua-watoto-wenye.html
ukristo wa kweli washinda mnara wa mlinzitoleo la funzo | aprili 1 2001 katika njia yenye uweza neno la yehova likafuliza kukua na kuwezamatendo 1920 1 eleza ukuzi wa ukristo katika karne ya kwanza wakichochewa na nguvu za roho takatifu wakristo wa mapema walitangaza neno la mungu kwa bidii ambayo haingeweza kupunguzwa mwanahistoria mmoja aliandika hivi ukristo ulikuwa umesambaa upesi sana katika ulimwengu wote wa roma kufikia mwaka wa 100 yaelekea kila mkoa uliopakana na mediterania ulikuwa na wakristo 2 shetani alijaribuje kupinga habari njema na jambo hilo lilikuwa limetabiriwaje 2 shetani ibilisi hangeweza kunyamazisha wakristo wa mapema badala yake alipinga habari njema kwa kutumia njia nyingineuasiimani yesu alikuwa ametabiri jambo hilo katika mfano wake wa ngano na magugu (mathayo 132430 3643) mtume petro pia alikuwa ameonya kwamba walimu wasio wa kweli wangetokea ndani ya makutaniko na kuleta mafarakano yenye kuangamiza (2 petro 213) vivyo hivyo mtume paulo alikuwa ameonya kihususa kwamba uasiimani ungetokea kabla ya siku ya yehova2 wathesalonike 213 3 ni nini kilichotokea baada ya mitume kufa 3 baada ya mitume kufa watu walitilia maanani mafundisho na falsafa za kipagani badala ya habari njema kama ilivyotabiriwa walimu wasio wa kweli walipotosha na kuchafua ujumbe safi wa kweli hatua kwa hatua ukristo bandia jumuiya ya wakristo ukafanya ukristo wa kweli usitambuliwe kukatokea jamii ya makasisi iliyojaribu kuzuia watu wa kawaida wasiwe na biblia ingawa idadi ya watu waliojiita wakristo iliongezeka ibada yao haikuwa safi jumuiya ya wakristo ilikua na kuenea katika nchi nyingi na kuwa tengenezo lenye nguvu nyingi katika utamaduni wa nchi za magharibi lakini haikuwa na baraka za mungu wala roho yake 4 kwa nini mpango wa shetani wa kuzuia kusudi la yehova haukufaulu 4 hata hivyo mpango wa shetani wa kuzuia kusudi la yehova haukufaulu hata katika siku ambazo uasiimani ulikuwa umepamba moto bado ukristo wa kweli ulikuwako miongoni mwa watu fulani watu walionakili biblia walijitahidi sana kufanya hivyo kwa usahihi hivyo biblia yenyewe ilibaki jinsi ilivyokuwa ijapoku wa ujumbe wake ulifasiriwa vibaya na wengi waliodai kuwa na mamlaka ya kuifundisha katika karne zilizopita wasomi kama vile jerome na tyndale walitafsiri na kugawanya neno la mungu kwa ujasiri mamilioni ya watu walikuwa na biblia na walifuatia aina fulani ya ukristo japo ulikuwa bandia 5 nabii danieli alitabiri nini kuhusu maarifa ya kweli 5 hatimaye kama ilivyotabiriwa katika kitabu cha danieli maarifa ya kweli yaliongezeka hilo limetukia katika wakati wa mwishowakati ambao tunaishi sasa (danieli 124) roho takatifu imeongoza wapendao kweli ulimwenguni pote kupata ujuzi sahihi juu ya mungu wa kweli na kusudi lake hata baada ya karne nyingi za mafundisho ya uasiimani neno la mungu limeshinda leo habari njema zinahubiriwa kila mahali zikiwapa watu tumaini la ulimwengu mpya wenye kupendeza (zaburi 3711) acheni sasa tuchunguze ukuzi wa kisasa wa neno la mungu ukuzi wa neno leo 6 wanafunzi wa biblia walielewa kweli zipi za biblia kufikia mwaka wa 1914 6 mwishoni mwa karne ya 19 kweli ya biblia ilichochea kikundi kidogo cha wanafunzi wa biblia ambao leo wanajulikana kuwa mashahidi wa yehova kufikia mwaka wa 1914 wanafunzi wa biblia walipata kuielewa biblia walielewa kweli nzuri kuhusu kusudi la mungu walichochewa sana na upendo wa yehova wa kumtuma mwana wake duniani na hivyo kufanya iwezekane kupata uhai udumuo milele pia walipata kufahamu na kuthamini jina la mungu na utu wake isitoshe walitambua kwamba nyakati za mataifa zilikuwa zimeisha tayari jambo lililoonyesha kwamba wakati wa kubarikiwa kwa wanadamu kupitia ufalme wa mungu ulikuwa karibu (luka 2124) ni habari njema zenye utukufu kama nini kweli hizo zenye nguvu zilipasa kutangaziwa kila mtu kila mahali maisha yalikuwa hatarini 7 kweli ya biblia imeshindaje katika nyakati za kisasa 7 yehova alibariki kikundi hicho kidogo cha wakristo watiwamafuta leo kuna watu zaidi ya milioni sita ambao wamekubali ukristo wa kweli neno la mungu limesambaa pia katika maeneo mbalimbali kwa kuwa mashahidi wa yehova wanapatikana katika nchi 235 isitoshe kweli ya biblia imekuwa yenye nguvu na kushinda vizuizi vyote vya kidini na vinginevyo kazi hii ya kuhubiri inayofanywa ulimwenguni pote yazidi kuunga mkono uthibitisho usioweza kukanushwa kwamba yesu amekuwapo katika mamlaka ya ufalmemathayo 243 14 8 watu fulani wamesema nini kuhusu ukuzi wa mashahidi wa yehova 8 kama vile wanahistoria walivyosema kuhusu ukuzi wenye kutokeza wa ukristo katika karne ya kwanza wasomi wengi wametoa maelezo fulani kuhusu ukuzi wa watu wa yehova siku hizi nchini marekani wasomi wawili waliandika hivi kwa pamoja katika miaka 75 iliyopita mashahidi wa yehova wamekuwa na ukuzi usio na kifani ulimwenguni pote jarida moja la afrika mashariki lawarejezea mashahidi kuwa mojawapo ya dini inayokua upesi zaidi na inayoheshimiwa zaidi na kujulikana ulimwenguni pote kwa kutii mafundisho yote ya biblia na jarida moja la katoliki lisilopendelea mabadiliko ambalo huchapishwa ulaya lataja ukuzi mkubwa sana wa mashahidi wa yehova ni nini ambacho kimechangia ukuzi huo roho takatifu inatenda leo 9 (a) ni sababu gani kuu inayofanya neno la mungu lishinde leo (b) yehova huvutaje watu kwake 9 sababu kuu inayofanya neno la mungu lishinde leo ni kwamba roho ya yehova inatenda kwa nguvu kama ilivyokuwa ikitenda katika karne ya kwanza yesu alisema hivi hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa baba aliyenituma amvute yeye (yohana 644) maneno hayo yadokeza kwamba mungu huvuta kwa fadhili wale walio na mwelekeo ufaao akivutia mioyo yao kupitia kazi ya kuhubiri ya mashahidi wake yehova anavuta kwenye utumishi wake vitu vinavyotamaniwa na mataifa yotewapole watu wenye mfano wa kondoo dunianihagai 26 7 10 ni watu wa aina gani ambao wameitikia neno la mungu 10 roho takatifu imewatia nguvu watu wa mungu wapeleke neno lake hadi sehemu za mbali kabisa za dunia na pia imewachochea watu wa kila aina waitikie habari njema kwa kweli wale ambao wamekubali neno la mungu wamekuja kutoka kila kabila na ulimi na watu na taifa (ufunuo 59 79 10) wanapatikana miongoni mwa matajiri na maskini walio na elimu ya juu na wale wasio na elimu wengine wamekubali neno wakati wa vita na mnyanyaso mkali huku wengine wakilikubali nyakati za amani na ufanisi chini ya kila aina ya serikali katika tamaduni zote hata katika kambi za mateso na majumba ya wafalme wanaume kwa wanawake wameitikia ifaavyo habari njema 11 roho takatifu inatendaje kazi katika maisha ya watu wa mungu na kuna tofauti ipi iliyo dhahiri 11 watu wa mungu wanaishi pamoja kwa muungano licha ya kwamba wanatofautiana katika njia mbalimbali (zaburi 13313) jambo hilo lazidi kuthibitisha kwamba roho takatifu inatenda katika maisha ya wale wanaomtumikia mungu roho yake ni kani yenye nguvu iletayo faida na ambayo huwawezesha watumishi wake waonyeshe upendo shangwe amani fadhili na sifa nyingine zenye kuvutia (wagalatia 522 23) leo twatambua vizuri mambo ambayo nabii malaki alitabiri muda mrefu uliopita nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu na kati ya yeye amtumikiaye mungu na yeye asiyemtumikiamalaki 318 neno la mungu lashinda miongoni mwa wafanyakazi wenye bidii 12 mashahidi wa yehova huhisije kuhusu kazi ya kueneza evanjeli nao hutarajia itikio gani kuelekea kazi yao ya kuhubiri 12 mashahidi wa yehova leo si waendakanisani wasiotenda wanashiriki kwa bidii katika kazi ya kueneza evanjeli kama wakristo wa mapema wanajitoa kwa hiari kufanya mapenzi ya mungu na kujitahidi kusaidia wengine wajifunze ahadi za ufalme wa yehova wao ni wafanyakazi wenzi wa mungu ambao kupatana na roho yake wanakusanya wengine kwa ajili ya utumishi wa yehova kwa kufanya hivyo wanadhihirisha rehema na upendo wa yehova kuelekea wanadamu wasioamini nao hufanya hivyo licha ya kukabili ubaridi dhihaka na mnyanyaso yesu aliwatayarisha wafuasi wake kwa ajili ya maitikio mbalimbali ambayo wangepata wanapohubiri habari njema alisema hivi mtumwa si mkubwa zaidi kuliko bwanamkubwa wake ikiwa wameninyanyasa mimi watawanyanyasa nyinyi pia ikiwa wameshika neno langu watashika lenu piayohana 1520 13 ni mambo gani yasiyopatikana katika jumuiya ya wakristo ambayo yanapatikana kwa wingi miongoni mwa mashahidi wa yehova 13 tunavutiwa na ufanano uliopo kati ya mashahidi wa yehova leo na wale waliokubali ukristo wa kweli katika karne ya kwanza pia kuna tofauti kubwa kati ya mashahidi wa yehova na jumuiya ya wakristo leo baada ya kuandika juu ya bidii ya kueneza evanjeli ya wakristo wa mapema msomi mmoja alalamika hivi isipokuwa sera ya kanisa ibadilishwe ili kila mkristo aliyebatizwa atambue ana daraka la kueneza evanjeli na pia awe na mwenendo bora kuliko watu wasio na imani hatutafanikiwa mambo hayohayo yasiyopatikana katika jumuiya ya wakristo yanapatikana kwa wingi miongoni mwa mashahidi wa yehova imani yao i hai ni imani halisi inayotegemea kweli ya biblia nayo huwachochea kueleza wote watakaosikiliza1 timotheo 23 4 14 yesu alionaje huduma yake nao wanafunzi wake hudhihirisha mtazamo gani leo 14 yesu alichukua huduma yake kwa uzito sana na kuifanya iwe jambo muhimu zaidi alimwambia pilato hivi kwa ajili ya hili mimi nimezaliwa na kwa ajili ya hili nimekuja kuingia ulimwenguni ili nitoe ushahidi juu ya ile kweli (yohana 1837) watu wa mungu wanahisi kama yesu wakiwa na kweli ya biblia akilini mwao wanajitahidi kutafuta njia za kuwaambia kweli wengi iwezekanavyo baadhi ya njia hizo hudhihirisha ustadi wenye kutokeza 15 watu fulani wameonyeshaje ustadi katika kuhubiri habari njema 15 katika nchi moja ya amerika kusini mashahidi walisafiri wakifuata kijito kimoja cha mto amazon ili kuwapelekea watu kweli hata hivyo kulipotokea vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka wa 1995 raia hawakuruhusiwa kuvuka mto huo huku wakiwa wameazimia kuendelea kuwapelekea vichapo watu wenye kupendezwa mashahidi waliamua kutumia mto kupeleka vichapo hivyo waliandika barua na kuzitia ndani ya chupa za plastiki pamoja na nakala za mnara wa mlinzi na amkeni kisha wakatupa chupa hizo mtoni waliendelea kufanya hivyo kwa miaka minne na nusu hadi wakati ambapo raia waliruhusiwa kuvuka mto huo watu wanaoishi kandokando ya mto huo waliwashukuru mashahidi kwa ajili ya vichapo hivyo bibi mmoja aliyekuwa mwanafunzi wa biblia aliwakumbatia huku akibubujikwa na machozi na kusema nilifikiri sitawahi kuwaona tena hata hivyo nilipoanza kupokea vichapo vikiwa ndani ya chupa nilijua kwamba hamjanisahau wengine walioishi kandokando ya mto huo walisema kwamba walikuwa wamesoma magazeti hayo tena na tena vijiji vingi vilikuwa na postamahali ambapo maji yalizungukazunguka na kufanya vitu vilivyoelea vijikusanye kwa muda watu wenye kupendezwa walienda mahali hapo mara nyingi ili kuona ikiwa kuna barua zozote kutoka sehemu ya juu ya mto 16 nyakati nyingine fursa za kufanya wanafunzi hutokeaje tunapojitoa 16 kuhubiri habari njema huelekezwa na kutegemezwa na yehova mungu pamoja na malaika wake wenye nguvu (ufunuo 146) nyakati nyingine fursa tusizotazamia za kufanya wanafunzi hutokea tunapojitoa katika jiji la nairobi kenya wanawake wawili wakristo waliokuwa katika utumishi wa shambani walikuwa wamemaliza kuhubiri nyumba walizogawiwa mwanamke mmoja kijana aliwafikia kwa ghafula na kusema kwa msisimuko nimekuwa nikisali nikutane na watu kama nyinyi aliwasihi mashahidi hao waende nyumbani kwake mara moja ili wawe na mazungumzo funzo la biblia lilianzishwa siku hiyohiyo kwa nini mwanamke huyo aliwafikia wakristo hao wawili akiwa na uharaka namna hiyo karibu majuma mawili mapema alikuwa amefiwa na mtoto kwa hiyo alipoona kijana fulani akibeba trakti kuna tumaini gani kwa wapendwa waliokufa aliitamani sana na kumwomba kijana huyo ampe alikataa na kumwonyesha mashahidi waliokuwa wamempa trakti hiyo punde si punde mwanamke huyo alifanya maendeleo mazuri ya kiroho na aliweza kukabiliana ifaavyo na huzuni ya kufiwa na mtoto lazima upendo wa mungu ushinde 1719 yehova ameonyesha upendo wa aina gani kwa wanadamu kupitia fidia 17 ukuzi wa neno la mungu duniani pote wahusiana kwa ukaribu na dhabihu ya fidia ya kristo yesu kama vile fidia kazi ya kuhubiri ni wonyesho wa upendo wa yehova kwa watu kila mahali mtume yohana alipuliziwa kuandika hivi kwa maana mungu aliupenda ulimwengu [wa wanadamu] sana hivi kwamba akatoa mwana mzaliwapekee wake ili kila mtu anayedhihirisha imani katika yeye asipate kuangamizwa bali awe na uhai udumuo mileleyohana 316 18 fikiria upendo ambao yehova alionyesha kwa kuandaa fidia kwa kipindi kirefu sana cha wakati mungu amefurahia uhusiano wa karibu pamoja na mwana mzaliwapekee wake anayempenda mwanzo wa uumbaji wa mungu (ufunuo 314) yesu anampenda sana baba yake naye yehova alimpenda mwana wake kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu (yohana 1431 1724) yehova alimruhusu mwana wake mpendwa afe kusudi wanadamu waweze kupata uhai udumuo milele huo ulikuwa wonyesho ulioje wa upendo kwa wanadamu 19 yohana 317 husema mungu alimtuma mwana wake kuingia katika ulimwengu si ili ahukumu ulimwengu bali ili ulimwengu uokolewe kupitia yeye kwa hiyo yehova alimtuma mwana wake ili atekeleze mgawo wa upendo wenye kuleta wokovu si wa kuhukumu au kushutumu jambo hilo lapatana na maneno ya petro [yehova] hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba2 petro 39 20 ni katika njia gani wokovu wahusiana na kuhubiri habari njema 20 baada ya kuandaa msingi halali kwa ajili ya wokovu kwa gharama kubwa yehova anataka wengi iwezekanavyo wafaidike na mpango huo mtume paulo aliandika hivi kila mtu aitiaye jina la yehova ataokolewa hata hivyo watamwitiaje ambaye hawajaweka imani katika yeye nao watawekaje imani katika yeye ambaye hawajasikia nao watasikiaje bila mtu fulani kuhubiriwaroma 1013 14 21 tuhisije kuhusu fursa ya kushiriki kazi ya kuhubiri 21 ni pendeleo kubwa kama nini kushiriki katika kazi hii ya kuhubiri na kufundisha inayofanywa ulimwenguni pote si kazi rahisi lakini yehova hufurahi kama nini aonapo watu wake wakiishi kwa uaminifu kupatana na kweli na kuwaeleza wengine habari njema kwa hiyo hata hali zako ziweje acha roho ya mungu na upendo ulio moyoni mwako ukuchochee kushiriki kazi hii na kumbuka kwamba mambo tunayoona yakitimizwa ulimwenguni pote hutoa uthibitisho wenye kusadikisha kwamba hivi karibuni yehova mungu atatimiza ahadi yake ya kuleta mbingu mpya na dunia mpya ambamo uadilifu utakaa2 petro 313 • kwa nini uasiimani haungeweza kuzuia wahubiri wa habari njema • neno la mungu limeshindaje katika siku zetu • ni katika njia gani roho ya mungu inatenda leo • fidia yahusianaje na kuhubiriwa kwa habari njema [grafu/picha katika ukurasa wa 16] ongezeko la watangazaji wa ufalme katika karne ya 20 wastani wa wahubiri (kwa mamilioni) gutenberg na hus from the book the story of liberty 1878 wanafunzi wa biblia wakitangaza habari njema katika miaka ya 1920 watu wanaitikia habari njema ulimwenguni pote kama vile dhabihu ya fidia ya yesu kristo kazi ya kuhubiri hutukuza upendo wa mungu habari njema ya ufalme yahusu nini unaweza kupata baraka za ufalme indiawenye umoja wajapokuwa tofauti neno la yehova likaendelea kukua je unahisi umeeleweka vibaya tulishirikiana utii je ni somo muhimu utotoni maandishi mbinu za kupakua machapisho ya elektroni mnara wa mlinzitoleo la funzo aprili 1 2001 aprili 1 2001 mnara wa mlinzitoleo la funzo aprili 1 2001
2020-02-24T06:45:49
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20010401/Ukristo-wa-Kweli-Washinda/
baby madaha adi wanaume wana hali ngumu ~ blogu ya wananchi ' if(imglength>=1) { imgtag = ' baby madaha adi wanaume wana hali ngumu kutoka na hilo amesema ndio sababu ya yeye kufanya biashara zake nje ya nchi (dubai) pia anajivunia elimu yake kwani anaweza kuajiriwa sehemu yoyote kutokana na cheti chake hivyo hawezi kuishi kwa kutengemea muziki
2017-08-22T07:24:29
http://www.lemutuz.com/2017/07/baby-madaha-adi-wanaume-wana-hali-ngumu.html
shamba la miti saohili wakabidhi madawati kwa shule ya msingi mbalwe wilayani mufindi | masama blog home » news and updates » shamba la miti saohili wakabidhi madawati kwa shule ya msingi mbalwe wilayani mufindi shamba la miti saohili wakabidhi madawati kwa shule ya msingi mbalwe wilayani mufindi wakala wa huduma za misitu tanzania(tfs) kupitia shamba la miti saohill limekabidhi madawati katika shule ya msingi mbalwe iliyopo katika kijiji cha wami mbalwe wilayani mufindi akizungumza wakati wa kukabidhiwa madawati hayo mkuu wa wilaya ya mufindi jamhuri william amesema anaipongeza tfs kupitia shamba la miti saohill kwa jitihada wanazozionesha kwa kushirikiana na jamii kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo wilayani nawapongeza sana saohill kwa kuwa majirani wazuri wa wananchi mmetuchangia madawati 30 lakini bado tuna mahitaji ya madawati sehemu nyingine endeleeni kutusaidia amesema william ameongeza kuwa anatoa mwito kwa wadau wengine wilayani kuendelea kuchangia shughuli za maendeleo na hivyo viongozi katika maeneo husika kuhakikisha wanasimamia vyema maendeleo hayo aidha kaimu meneja wa shamba la miti saohill daniel silima amesema ugawaji wa madawati haya 30 ni sehemu tu ya jitihada za kuonyesha ushirikiano katika jamii inayolizunguka shamba silima amesema hiyo ni sehemu ya kurejesha fadhira kwa jamii ambayo inazunguka shamba kwani wamekuwa ni sehemu kubwa katika ulinzi wa misitu katika wilaya ya hiyo ya mufindi pichanimkuu wa wilaya ya mufindi mhejamhuri william akikabidhiwa madawati na kaimu meneja wa shamba la miti saohill bwdaniel silima katika makabidhiano ambayo yaliyofanyika katika shule ya msingi mbalwe from michuzi blog https//ifttt/2u0ogbm thanks for reading shamba la miti saohili wakabidhi madawati kwa shule ya msingi mbalwe wilayani mufindi
2020-02-27T11:37:53
https://www.masamablog.com/2020/01/shamba-la-miti-saohili-wakabidhi.html
langkawi hali ya hewa kwa mwezi joto la maji dunia resorts nchi malaysia langkawi wastani kiwango cha joto kila siku 325°c mei wastani kiwango cha juu usiku joto 29°c mei wastani wa kima cha chini joto kila siku 308°c mwezi januari wastani wa kima cha chini usiku joto 262°c mwezi januari wastani kiwango cha joto la maji 308°c fasta mei wastani wa joto chini ya maji 285°c fasta mwezi januari upeo hapa na pale 305 mm ilikuwa kumbukumbu novemba kiwango cha chini hapa na pale 529 mm ilikuwa kumbukumbu februari
2020-01-27T03:53:06
http://meteodb.com/sw/malaysia/langkawi
dk mandai aina 10 ya vyakula unavyopaswa kula wakati unapokuwa kwenye siku zako (period) aina 10 ya vyakula unavyopaswa kula wakati unapokuwa kwenye siku zako (period)
2017-08-19T09:25:24
http://www.dkmandai.com/2017/01/aina-10-ya-vyakula-unavyopaswa-kula.html
aegina na xios kulinganisha hali ya hewa dunia resorts aegina xios kulinganisha aegina (ugiriki) xios (ugiriki) aegina na xios misimu kulinganisha septemba 28 u 25 julai 325 °c augustus 321 °c juni 294 °c julai 294 °c juni 266 °c augustus 27 °c julai 262 °c augustus 242 °c julai 236 °c septemba 231 °c februari 139 °c desemba 14 °c jan 125 °c februari 137 °c jan 9 u 25 februari 7 u 25 desemba 7 u 25 augustus 178 km / h februari 154 km / h julai 145 km / h jan 256 km / h februari 254 km / h augustus 244 km / h masharti ya matumizi sera ya faragha mawasiliano 2020 meteodbcom hali ya hewa juu ya resorts kwa miezi joto la maji kiasi cha mvua kujua ni wapi kupumzika na ambapo msimu sasa page load 00279 s ▲
2020-07-07T16:18:54
http://meteodb.com/sw/aegina/xios
man united yaichapa tranmere rovers 60 na kusonga mbele fa bin zubeiry sports online man united yaichapa tranmere rovers 60 na kusonga mbele fa bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > man united yaichapa tranmere rovers 60 na kusonga mbele fa man united yaichapa tranmere rovers 60 na kusonga mbele fa wachezaji wa manchester united wakimpongeza diogo dalot baada ya kufunga bao la pili dakika ya 13 katika ushindi wa 60 dhidi ya wenyeji tranmere rovers ya daraja la pili kwenye mchezo wa raundi ya nne kombe la fa england leo uwanja wa prenton park huko birkenhead merseyside mabao mengine ya man united yamefungwa na harry maguire dakika ya 10 jesse lingard dakika ya 16 phil jones dakika ya 41 anthony martial dakika ya 45 na mason greenwood kwa penalti dakika ya 56 picha zaidi gonga hapa item reviewed man united yaichapa tranmere rovers 60 na kusonga mbele fa rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-05-24T22:01:31
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/01/man-united-yaichapa-tranmere-rovers-6-0.html
usajili wa bocco zogo siku moja baada ya klabu ya simba kutangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili nahodha wake john bocco timu ya polokwane city sc inayoshiriki ligi kuu ya afrika kusini (psl) imeibuka na kudai mchezaji huyo amesaini mkataba wa awali kuitumikia timu hiyo kwa msimu ujao taarifa kutoka uongozi wa polokwane zinadai mchezaji huyo walijua alikuwa huru ndipo walipoanza kufanya mazungumzo na kufikia makubaliano ya kusaini mkataba wa awali tangu aprili kuitumikia timu hiyo na kwamba hadi sasa psls kwa wasimamizi wakuu nchini humo wanajua kwamba mchezaji huyo watakuwa naye msimu ujao hata hivyo mkataba wa awali wa bocco simba unatarajiwa kumalizika juni 30 mwaka huu hivyo alifanya mazungumzo na kuingia mkataba wa polakwame akiwa ndani ya mkataba mwingine kinyume na sheria za fifa taarifa ya simba kwa vyombo vya habari jana iliwataka wanasimba kufahamu kuwa bocco ni mchezaji wao halali tunapenda kuwajulisha umma wa wanasimba kupitia vyombo vya habari kuwa suala hili lilizungumzwa baina ya viongozi wa simba na polokwane juu ya utata huo na likamalizwa kwa maelewano ya pande zote mbili ilisema taarifa ya simba iliyosainiwa na ofisa habari wake haji manara ifahamike kuwa kwa mujibu wa fifa mchezaji akiwa amebakiza miezi sita kabla ya mkataba wake kumalizika na kama kuna klabu nyingine inayotaka kumsajili inabidi iwape taarifa klabu husika inayommiliki kabla ya kuzungumza na mchezaji kwenye suala hili la bocco polokwame hawakutoa taarifa kwa simba juu ya kutaka kufanya mazungumzo na nahodha wetu alisema manara kwenye taarifa yake kwa muktadha huo tunawajulisha wanasimba na watanzania wote kwa ujumla kwamba john bocco bado ni mchezaji wetu halali wa simba na ameshaongeza mkataba na klabu yetu kama tulivyowaarifu jana (juzi) kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii alisema manara bocco aliyesajiliwa kutoka azam misimu miwili iliyopita amekuwa na mchango mkubwa kwa simba kwenye michuano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa kwa sasa yupo misri kwenye kikosi cha taifa stars kinachotarajiwa kushiriki fainali za afrika
2019-09-16T16:45:13
https://habarileo.co.tz/habari/2019-06-125d0094572b48c.aspx
balozi wa iran tanzania atangaza kuwa tehran imedhamiria kutoa mafunzo kwa maafisa wa jeshi la tanzania | imamswadiq ← tangazo kumbukumbu ya kifo cha ruhullah khomein sheikh hemedi jalala ziarani kitabligh mkoani tabora → balozi wa iran tanzania atangaza kuwa tehran imedhamiria kutoa mafunzo kwa maafisa wa jeshi la tanzania hotuba ya aqajafari ilikuja baada ya meli ya kivita ya jeshi la maji la jamhuri ya kiislamu ya iran kuondoka kuelekea bahari kuu baada ya kupiga nanga kwa muda katika ufukwe wa mwambao wa dar es salaam manuari hiyo ikiwa imebeba zana za kijeshi kama vile alvand destoyer na bushehr logisticscombat vessel balazi alikaribisha na kupongeza kukuwa kwa mahusiano katika mwelekeo chanya wa upanuzi wa mahusiano baina ya iran na tanzania na alisema viongozi wa jeshi wa nchi mbili hizo pia wamekubaliana kwamba meli za kivita na mafunzo za iran ziendelee kufanya ziara mara kwa mara hapa tanzania kwa mujibu wa aqajafari viongozi wa jeshi la tanzania wamelitaka jeshi la iran kubadilishana uzoefu pamoja kutoa mafunzo ili kuimarisha uwezo wa majeshi ya nchi za afrika mashariki uwezo na nguvu za iran hasa vikosi vya jeshi la majini ni jambo lisilo na upinzani hata kwa maadui wa jamhuri ya kiislamu ya iran wamekiri uwezo huo mwezi septemba 11 2008 ripoti ya taasisi ya elimu ya washington ya sera ya mashariki ya kati (washington institute for the near east policy) ilisema katika miongo miwili tangu vita ya kupandikizwa ya iraq dhidi ya iran jamhuri ya kiislamu imepiga hatua kubwa kiuwezo na nguvu za jeshi la majini na taifa la iran liweza kwa mafanikio makubwa ya kipekee kutoa changamoto za vita dhidi ya majeshi makubwa ya maji duniani kwa mujibu wa ripoti hiyo jeshi la maji la iran limebadilishwa na kuwa jeshi lenye motisha vifaa vya kisasa na mahiri na vya kutosha rasilimali fedha za kutosha na kwa umahiri mkubwa linadhibiti mhimili mkuu wa njia ya mafuta duniani mlango wa hormuz jeshi la maji la iran limekuwa likifanya doria za kupambana na uharamia katika ghuba ya aden tangu novemba 2008 wakati maharamia wa kisomali walipovamia meli ya mizigo ya iran mv delight katika pwani ya yemen posted on june 16 2014 in habari na matukio bookmark the permalink leave a comment
2019-05-22T03:06:54
https://imamswadiq.com/2014/06/16/balozi-wa-iran-tanzania-atangaza-kuwa-tehran-imedhamiria-kutoa-mafunzo-kwa-maafisa-wa-jeshi-la-tanzania/
alvin collections je unazijua tabia za mwanamke wa kuoa au huwa watu wanakurupuka zifahamu hapa tabia za mwanamke wa kuoa je unazijua tabia za mwanamke wa kuoa au huwa watu wanakurupuka zifahamu hapa tabia za mwanamke wa kuoa utafiti ambao nimeufanya unaonesha kwamba zaidi ya uzuri wa tabia na umbo kuna kuna sifa nyingine za msingi ambazo mwanamke anatakiwa kuwa nazo ili aweze kuwa katika mazingira mazuri ya kupata mchumba wa kumuoa kiasi kwamba asipokuwa nazo ataishia kuchezewa tu lakini haitatokea mtu kumtamkia kwamba anataka kumuoa posted by prince ngenje sr at 619 am
2018-02-19T15:41:43
http://alvincollections.blogspot.com/2014/05/je-unazijua-tabia-za-mwanamke-wa-kuoa.html
reactions manengelo mzee chayai rolihlahla and 34 others reactions manengelo kelao tresa and 7 others reactions manengelo kelao trillion and 1 other person reactions manengelo kelao niccolo machiavelli and 3 others kuna watu mmekalia fursa muhimuulipaswa uwe consultant unaelipwa vizuri halafu kuna watu wapumbafu wachache wanaleta figusu na jf kisima cha elimu na maarifa wanatamani isiwepo reactions manengelo residentura bungua and 5 others 2998 2000 reactions manengelo residentura rooney and 3 others hivi sasa kuna urasimu na kudai comm kwa nguvu usipoeleweka kasoro ndogo ya maelekezo na kujadiliana inakuwa kesi na usumbufu wa ajabu malipo wakandarasi wengi wa serikali wanalia kucheleweshewa malipo wasukuma huwa tunasema nzela yahobiwa ndongeji yaani mwongozaji ndo kakosea njia kwahiyo unategemea nini kwa wanaomfuata kama vichwa ndo hivi vya 0 0 reactions nndu wa selote residentura mapuma miyoga and 4 others 26788 2000 reactions nyakaone kelao midfield and 14 others tatizo la kuacha akili iliyosababisha matatizo kutatua matatizo yatakanayo na hizo akili reactions niccolo machiavelli remote and allency hapa umewaza sana reactions residentura ciril niccolo machiavelli and 1 other person mkuu huyu makonda hajui kitu kuna malaya wanasomesha watoto mpaka wanakuwa watu wakubwa reactions ciril and remote reactions truevoter twahil and graph theory kuna zwazwa lingine linataka kuchoma watu sindano za sumu reactions chakaza kilwakivinje and tamuuuuu reactions remote and allency tanzania ya v wonder hii yule ndio kheri na bashite reactions mapuma miyoga kilwakivinje douglas sallu and 2 others 3584 2000 reactions zatara 24 magic mapuma miyoga and 7 others huyo aliyebeba gunia bila mashaka anavizia hela ya matibabu kwenda nje reactions mapuma miyoga remote allency and 1 other person
2019-08-23T16:06:45
https://www.jamiiforums.com/threads/hawa-ndio-wasaidizi-wa-rais.1616907/
juventus vs ac milan siku 4 za allegri kubeba ndoo mbili kubwa zinaanza leo | shaffihdauda home uncategorized juventus vs ac milan siku 4 za allegri kubeba ndoo mbili kubwa juventus vs ac milan siku 4 za allegri kubeba ndoo mbili kubwa zinaanza leo nchini italia hii leo kutakuwa na mchezo mkubwa sana kati ya wababe wawili wa nchini humu ac milan wakimenyana na juventus katika fainali za michuano ya copa italia endapo juventus watashinda katika mchezo huu baasi itakuwa klabu ya kwanza italia kushinda kombe hili mara 4 mfululizo ukiacha hilo lakini pia inaonekana kama wiki nzuri sana kwa kocha massimiliano allegri kwani baada ya mchezo wa leo anakwenda kukutana na as roma siku ya jumapili katika serie a ambapo suluhu itawapa juve taji la 7 la serie a hii ina maana kuanzia leo allegri anaweza kubeba makombe makubwa 2 nchini italia ndani ya siku 4 ac milan wenyewe mchezo wa leo wanaweza kuutumia kuondoa uhaba wa makombe uliotawala katika klabu hiyo kwani mara ya mwisho kwa milan kubeba kombe kubwa nchini italia ilikuwa mwaka 2011 ambapo walibeba serie a chini ya kocha wanayekutana naye leo massimiliano allegri juventus wana nafasi kubwa kuibuka na ushindi siku ya leo kwani rekodi yao mbele ya milan imekuwa ikiwabeba katika michezo minne ya mwisho kati ya timu hizi mbili ac milan wamepoteza mara 3 huku wakiambulia sare moja tu msimu huu tu juventus wameshawafunga milan jumla ya mabao 51 na uwekezaji mkubwa uliofanywa na kampuni ya wachina waliochukua umiliki wa klabu hiyo inaifanya klabu ya ac milan kocha pamoja na wachezaji kuwa na deni kubwa la kuonesha thamani ya kikosi chao msimu huu previous articlekocha wa yanga aipa simba ubingwa vpl next articlekocha kafunguka wachezaji waliogoma kwenda algeria
2018-09-25T22:41:29
http://shaffihdauda.co.tz/2018/05/08/juventus-vs-ac-milan-siku-4-za-allegri-kubeba-ndoo-mbili-kubwa-zinaanza-leo/
jeshi la sudan kusini latwaa ngome kuu ya waasi | matukio ya afrika | dw | 07082017 jeshi la sudan kusini latwaa ngome kuu ya waasi msemaji wa jeshi la sudan kusini dickson gatluak amesema vikosi vitiifu vya waasi kwa kiongozi aliyeko uhamishoni na aliyewahi kuwa makamu wa rais riek machar vimeondoka katika mji huo jana jumapili bila ya kupigana amesema kumekuwa na machafuko katika mji wa karibu wa maiwut na vikosi vya serikali vimewasukuma nyuma waasi kuelekea pagak baadaye mchana waasi walikimbia kutoka mji wa upper nile ambao kwa muda mrefu umekuwa ni makao makuu ya wapiganaji wa machar naye msemaji wa jeshi la waasi la splaio brigedia jenerali william gatjiath amethibitisha kuondoka kwa vikosi vyake katika mji huo lakini akasema kwa hivi sasa wanaudhibiti mji wa maiwut na wanajitayarisha kuitwaa tena ngome yao kwa hivi sasa tunapozungumza vikosi vyetu vimeizingira pagak amesema kamanda huyo rais salva kiir na riek machar wakati akiwa makamu wa rais msemaji wa waasi lam paul gabriel ameliambia shirika la habari la reuters kwamba vikosi vya waasi viliondoka katika eneo hilo la pagak baada ya kuona kwamba iingewagharimu raia licha ya anguko hilo lam anasema haimaanishi ndio mwisho wa mapambano ya kabila la nuer dhidi ya serikali na vikosi vya sudan kusini vinayotawaliwa kwa kiasi kikubwa na kabila la dinka mchambuzi huru wa sudan kusini alan boswell anasema pagak imekuwa na umuhimu katika uasi wa machar katika mgogoro wa kabila lake la nuer dhidi ya kabila la rais kiir la dinka ni ishara ya pigo kubwa katika harakati za waasi pagak imekuwa ni makao makuu tangu kuanza kwa uasi kama isingekuwa ni kusambaa kwa vita nchi nzima hii ingetoa taswira ya kumalizika kwa uasi amesema boswell kiongozi wa waasi aliyeko uhamishoni riek machar sudan kusini ilitumbukia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013 wakati rais salva kiir alipomtuhumu makamu wake wa zamani machar kwa kupanga njama za mapinduzi machar alilazimika kukimbilia uhamishoni nchini afrika kusini mwishoni mwa mwaka jana lakini pagak ilisalia kuwa ngome kuu kwa vikosi vyake tiifu mapema mwaka huu serikali ilitangaza usitishaji wa mapigano wa pamoja lakini ripoti zimeendelea kutolewa kwamba serikali iliendeleza mashambulizi kuelekea miji ya mewut na pagak ikiwemo uchomaji wa nyumba na mauaji ya raia makumi kwa maelfu ya watu wameuawa na wengine mamilioni kulazimika kuyakimbia makaazi yao tangu kuanza kwa mgogoro huo takwimu za hivi karibuni za umoja wa mataifa zinasema nusu ya wakazi wa nchi hiyo wakikadiriwa kufikia milioni sita watahitaji msaada wa chakula cha dharura mwezi huu maneno muhimu sudan kusini riek machar salva kiir dinka nuer kiungo http//pdwcom/p/2hpaa
2017-08-17T11:51:54
http://www.dw.com/sw/jeshi-la-sudan-kusini-latwaa-ngome-kuu-ya-waasi/a-39999088
tiba za makabila madogo madogo hali ya tiba za makabila madogo madogo tiba za jadi ya kichina ni pamoja na tiba za kabila la wahan na za tiba za makabila madogo mbalimbali kutokana na tofauti za historia na utamaduni hali ya maendeleo ya tiba za makabila madogo madogo ni tofauti pia tiba za baadhi ya makabila madogo licha ya kuchukua sehemu fulani ya tiba ya kabila la wahan imechukua baadhi ya sehemu ya tiba za nchi za nje kwa mfano tiba za kabila la watibet licha ya kuchukua sehemu fulani ya tiba za kabila la wahan inachukua sehemu fulani ya tiba za jadi za ingia ya kale wakati tiba za kabila la wamongolia zinachukua sehemu fulani ya tiba za russia nadhari ya tatu za kitibet inaona kuwa mwilini mwa binadamu kuna chimbuko tatu za long chiba na beigen msingi wa vitu vya aina 7 ambavyo ni rutuba ya chakula damu shahamu mifupa ute ulioko katikati ya mifupa na shahawa vinyesi vya binadamu vikiwa ni pamoja na kinyesi cha haja kubwa kinyesi cha haja ndogo na jasho chimbuko tatu zinatawala msingi wa vitu vya aina saba pamoja na mabadiliko ya vinyesi vya aina tatu katika hali ya maisha ya kawaida mambo hayo matatu yanategemeana na kuzuiana hali ambayo inaleta mazingira ya kupatana na kuendana wakati moja au zaidi ya moja ya mambo hayo matatu yakiingia kwenye hali ya kustawi au kuzorota kutokana na sababu fulani unaweza kutokea ugonjwa wa long chiba au beigen tiba zinatakiwa kuyarekebisha uhusiano wa mambo hayo matatu na kuyarejesha katika hali ya kupatana tiba za kimongolia hali ya tiba za kimongolia tiba za kabila la wamongolia nchini ziliendelezwa hatua kwa hatua kuwa tiba za jadi za kimongolia katika uzoefu wa tiba katika miaka mingi iliyopita na pia ni sayansi ya tiba inayoendana na umaalumu wa kikabila na mazingira ya huko tiba za kimongolia zinajulikana kwa kutumia dawa kidogo na zenye ufanisi mwingi rahisi kutumika na ya gharama ndogo nadharia ya msingi wa tiba za kimongolia tiba za kimongolia zinatumia uhusiano za chimbuko tatu za heyi xila na badagan kufafanua hali ya mwili na kuugua ugonjwa kwa binadamu heyi ni nguvu ya uwezo wa mwili wa binadamu mawazo maneno vitengo na kazi za maungo ya mwili vyote vinatawaliwa nayo endapo heyi haifanyi kazi zake barabara uwezo wa maungo ya mwili wa binadamu utafifia na kuonekana kutokuwa na umakini kupaa usingizini na kuwa msahaulifu xila maana yake ni moto ujoto wa mwili viungo vya mwili pamoja na nguvu ya kuchangamka vyote vinahusika na xila xila ikionekana kuwa na nguvu kubwa zaidi binadamu huwa na homa au mwepesi kukasirika badagan ni kitu kama ute mwilini mwa binadamu kikionekana kuwa baridi pindi badagan haifanyi kazi sawasawa binadamu ataonekana kuwa baridi na kuwa na ute mwingi tiba maalumu za kimongolia tiba za kutoa damu kupasua au kutoboa mshipa wa damu inayorudi kwa moyo ili kutoa damu yenye matatizo tiba ya kufyonza ngozi kwa chupa tiba hiyo hufanyika kwa chupa ya kufyonza ngozi ya mwili kwa chupa na kutoa damu kwa pamoja kwanza kuchagua sehemu moja ya kufyonza ngozi baada ya kuondolewa chupa ya kufyonza kutoboa ngozi iliyoinuka ya sehemu hiyo kwa sindano kisha kutumia chupa ya kufyonza tena ili kutoa damu yenye matatizo pamoja na maji ya rangi ya manjano tiba hiyo inaleta matokeo haraka wala haina uchungu na hatari mbali na hayo tiba za kimongolia kuna mbinu nyingine za kuwaponya wagonjwa zikiwa ni pamoja na kutumia maziwa ya farasi yaliyoumuka (kwa hamira) akyupancha na kumia mikono kurejesha mfupa ulioteguka tiba za kiuigur hali ya tiba za kiuigur zamani za kale xinjiang ilikuwa ya eneo la magharibi urahisi wa mawasiliano kati ya sehemu ya magharibi na sehemu ya mashariki yalichangia maendeleo ya biashara na maingiliano ya kiutamaduni tiba na dawa za sehemu ya mashariki na magharibi zilikuweko kwa wakati mmoja katika xinjiang sehemu ya kati ya asia ya kati hali ambayo ilihimiza maendeleo ya tiba na dawa za sehemu hiyo mfumo wa tiba za kiugur uliendelezwa kwa uzoefu wa tiba na kujifunza kutoka uzoefu wa tiba wa sehemu za mashariki na magharibi tiba na dawa za kiuigur zinachukua nafasi kubwa katika tiba za jadi za kichina hivi sasa aina 202 za dawa za kiuigur zimeorodheshwa kuwa dawa za ngazi ya kitaifa za china katika mkoa wa xinjiang ambayo imekuwa moja ya sehemu nne zenye idadi kubwa ya wazee wenye umri wa miaka mingi duniani tiba na dawa za kiuigur imeenea kila mahali dawa za mitishamba zinazoota kwenye milima yenye theluji jangwa na mbuga zinafanya kazi ya kipekee katika tiba za kichina kutokana na kuwa tiba za kikorea zimeingiza elimu ya tiba na dawa za jadi za kichina hivyo tiba za kikorea zinatumia dawa za jadi za kichina kama silaha za kabila la wakorea kupambana na maradhi kwa mfano kitabu kijulikanacho kwa dawa za sixiang dawa zote zilizoelezwa ni za kichina ambazo ni za aina 271 na dawa zilizoelezwa katika kitabu kijulikanacho kwa tiba za mashariki ni za makundi makubwa 15 zenye aina zaidi ya 1400 matumizi ya dawa za kabila la wakorea yamekuwa na historia ya miaka mingi hususan baada ya mwaka 1949 matumizi ya dawa zilizokuwa zinatumika na wakorea kutibu wagonjwa zilikusanywa na kuandikwa katika kitabu cha dawa tiba za jadi za kabila la wazhuang hali ya tiba za kabila la wazhuang kabila wa wazhuang linachukua nafasi ya kwanza kwa wingi wa idadi ya watu miongoni mwa makabila madogo madogo nchini china tiba za jadi za kabila la wazhuang ziliundwa hatua kwa hatua baada ya enzi ya tang zikijifunza elimu ya tiba za jadi za kabila la wahan maendeleo ya tiba za jadi za kabila la wazhuang katika zamani za kale ingawa hayakuandikwa kwa maneno lakini yamejulikana hadi vizazi vya baadaye kutokana na njia za waalimu kuwafundisha wanafunzi na watu kuambiana vyeti vya mseto wa dawa za jadi za kabila la wazhuang vilienea miongoni mwa watu wa kabila la wazhuang ambavyo vimechangia maendeleo ya tiba za jadi za kichina dawa za jadi za kabila la wazhuang dawa za kabila la wazhuang ni dawa za zinazoendelea katika kabila hilo ambazo bado hazijakamilika na kuwa na mfumo wake pekee watu wa kabila la wazhuang wanaishi katika sehemu ya joto upande wa kusini wa milima ya qinling ambapo kuna rasilimali kubwa ya wanyama na mimea tena watu wa kabila hilo wanapenda kula nyoka panya na ndege wa milimani hivyo dawa nyingi za jadi za kabila la wazhuang zinatokana na wanyama na mimea umaalumu wa dawa za jadi za kabila la wazhuang ni kuponya wagonjwa waliopatwa na sumu zikiwa ni pamoja na za nyoka wadudu chakula dawa mishale yenye sumu na mchango wa tumboni tiba za kabila la wahui tiba za kabila la wahui ni mchanganyiko wa tiba za jadi za kichina na tiba za kiislamu katika maendeleo ya miaka mingi tiba za kabila la wahui zimekuwa na mbinu zake za kipekee ambazo ni dawa kuchanganywa na chakula kwa mfano wahui wanachanganya mafuta ya ufuta na glauber's salt kutibu ugonjwa wa kutokuwa na choo ( constipation) tiba za jadi za kabila la wamiao tiba za jadi za kabila la wamiao zinaona kuwa sumu udhaifu jeraha chakula kulundikana tumboni vijidudu na wadudu ni aina 6 za vitu vinavyoathiri afya ya watu na kuwafanya kuugua ugonjwa nyingi za dawa za jadi za kabila la wamiao zinatengenezwa kutokana na mimea wanyama na aina chache za madini kutokana na takwimu zisizokamilika hivi sasa dawa za jadi za kabila la wamiao zimefikia aina zaidi ya 1500 aina 200 kati ya hizo zinatotumika mara kwa mara dawa za jadi za kabila la wamiao zinapatikana kwenye milima ya miaoling wumeng na wuling katika miaka ya karibuni kwenye maeneo wanayoishi watu wa kabila la wamiao vimeanzishwa vituo vya uzalishaji wa dawa za jadi
2019-11-15T07:15:08
http://swahili.cri.cn/441/2013/11/05/1s124309_6.htm
breaking news kuna dada tabibu wa magonjwa sugu wa mji kasoro bahari | keronyingi home / uncategories / breaking news kuna dada tabibu wa magonjwa sugu wa mji kasoro bahari breaking news kuna dada tabibu wa magonjwa sugu wa mji kasoro bahari mkala fundikira 92400 pm edit hapa akiwa na mkuu wa wilaya saidi mwambungu kushoto fatuma senga jamani kuna dada kwa jina bi fatma saidi senga kajitokeza morogoro kata ya kichangani anatoa tiba ya magonjwa sugu kama walioanza huko loliondo tabora kilimanjaro na mbeya na sasa morogoro ka jamani nyie kazi hiyo kaianza march 31 na anatoza sh 200 kwa kikombe habari na picha na john nditi morogoro cha ajabu huyu ni muumini wa dini ya ki islamu kutokana na majina yake kulikoni jamani
2018-04-20T02:48:37
http://keronyingi.blogspot.com/2011/03/breaking-news-kuna-dada-wa-mji-kasoro.html
baraka da prince atokwa povu na kumtukana msami baada ya kudai anamtamani najma celebrity swaggz i official website '+l+ home » »unlabelled » baraka da prince atokwa povu na kumtukana msami baada ya kudai anamtamani najma baada ya baraka da prince kutupitia picha mpenzi wake kwenye instagram msanii mwenzake msami alicomment kwa kumtania lakini baraka alipandwa na harisa na kumtukana mwenzake
2018-07-17T05:55:01
http://www.celebrityswaggz.com/2016/10/baraka-da-prince-atokwa-povu-na.html
'maendeleo ya kampuni ya simu kujiunga na mfumo wa kulipa kodi kielektroniki' | lukwangule entertainment 'maendeleo ya kampuni ya simu kujiunga na mfumo wa kulipa kodi kielektroniki' lukwangule 823 pm a+ a print email
2017-12-15T08:23:42
http://lukwangule.blogspot.com/2017/07/maendeleo-ya-kampuni-ya-simu-kujiunga.html
mzee wa mshitu makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd atembelea makao makuu ya nhc makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd atembelea makao makuu ya nhc mkurugenzi mkuu wa shirika la nyumba la taifa nehemia kyando mchechu akimuelekeza jambo makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd ambaye alitembelea makao makuu ya shirika la nyumba la taifa kujua utekelezaji wa miradi ya shirika hilo anayeshuhudia ni waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi william vangimembe lukuvi makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi william vangimembe lukuvi wakiangalia baadhi ya mabango walipotembelea makao makuu ya shirika la nyumba la taifa kujua utekelezaji wa miradi ya shirika hilo bwana mohamed sharif mtanzania ambaye ni mtendaji mkuu wa mradi wa dubai sports city akisalimiana na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi william vangimembe lukuvi huku mkurugenzi mkuu wa shirika la nyumba la taifa nehemia kyando mchechu na makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd wakiwasikiliza bwana mohamed sharif mtanzania ambaye ni mtendaji mkuu wa mradi wa dubai sports city akimueleza makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd namna ujenzi wa jiji la la kisasa la nhc litakaloanza kujengwa usa river arusha kaimu mkurugenzi wa masoko na mauzo wa shirika la nyumba la taifa tuntufye mwambusi akimwelekeza jambo makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ally idd huku waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi william vangimembe lukuvi na bw mchechu wakishuhudia
2017-08-22T01:36:43
http://charaz.blogspot.com/2015/08/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar.html
bashe aonya ya zambia yanaweza kutokea tanzania 2015 jamiiforums bashe aonya ya zambia yanaweza kutokea tanzania 2015 likes baba collins fred katulanda kwetu iringa and 1 other person 36700 47384 280 bashe ana hasira sana baadhi ya viongozi wa ccm kila analolisema kuhusu ccm anawalenga maadui wake na maadui bosi wake walioko ndani ya ccm nadhani it is late ccm kimeshaamua kutumikia matajiri na wawekezaji waache walalie kitanda walichojitandikia nimefuatilia kwa karibu jamaa namna anavyotoa hoja zake hua anazungum zia uhalisia walengwa hawapaswi kubeza anachosema huyu nae si ana kundi lake ndani ya ccm ila ametoa pointi ccm inautaratibu wa matundu mawili ya moja linapokea jingine linatoa hawashauriki hawa jamaa kaongea fact kwa faida ya chama yao bt sikia mabosi wake watakavyo react kimsingi jamaa ametoa ushauri mzuri kwa chama chake ila ninamambo mawili ninayoweza kuzungumzia kutokana na ushauri wake 1 ana historia ya kusukumwa na siasa za makundi kwenye chama chake pa1 na hasira ya kupokwa nafasi ya kugombea ubunge hii inatupa mashaka ya kujiuliza kama anamaanisha anachokinena au ni mashambulizi kwa makundi wanayohasimiana hapo mashaka yanazidi matumaini 2 ushauri wake kwenye chama umechelewa sana hasa ukizingatia kwamba ccm ni kama mgonjwa aliyerudishwa nyumbani hakuna tiba tena inasubiri kifo tu ameshapewa kila dawa (ushauri) lakini haiponi kwa kifupi tunajipanga na maisha yetu baada ya ccm kuanguka nadhani ushauri ungeifaa zaidi chama kinachotarajia kusucceed ccm ili nchi istawi kuishauri au kuisaidia ccm ni sawa kabisa na kwenda kucheza bao au draft kwa maana ya kupoteza muda pamoja na makundi alionayo lakin katoa point za msingi my take mbona malaria sugu rejao mwita25 na wenzao hawachangii kulikoni zambia's rupiah banda farewell letter likes bigirita and watanabe amevua miwani bashe is running very fast but it is so unfortunate that he is running at a wrong track all he has said are but time barred pamoja na mapungufu aliyonayohuwa anaongea hali halisi katika chama chake 2367 108 160 ccm si mabingwa wa kupuuzana walivyo na jeuri hawa jamaa sijui kama wataweza kuandika barua kama hii likes bei mbaya and fred katulanda ni vigumu sana kuamini maneno ya mwanaccm nasema hivi kwa sababu historically wapo watu (ccm) ambao wamekuwa wanaongea maneno ya maana kabisa na kueleza mikakati ya kupambana na maisha magumu kwa watanzania lakini mara wanapoingia kwenye safu ya uongozi ndani ya ccm wanakuwa kama wamenywesha dawa ya kuwatoa fahamu hivi nani asiyekumkumbuka nape nnauye kabla hajawa kwenye hii safu ya nec na kwa wale wasiojua mama magreth sitta kabla ya 2005 aliuiwa rais wa chama cha waalim na alikuwa mpiga debe mzuri mno wa kutetea haki za waalim leo hii yuko wapi au alipopewa wizara ya elimu soon after 2005 elections aliondoa kero ngapi za waalim sina shaka hata kidogo kwamba leo hii bashe akipata cheo kikubwa huko ccm atakuwa excatly like the rest of them kama kweli bashe na wenziwe wa aina yake wanaona ccm inapelea nchi siko basi wangijiengua na kuungana na wale wanaoona wanaipeleka nchi kwenye mstari ulio sahihi haya makelele anayopiga kila siku ni kutusumbua sisi wananchi tunajuwa matatizo yetu na tunajuwa ccm ndio wametusababishia haya matatizo bashe hana historia ya historia ya upambanaji zaidi ya hizi ngonjera za kila siku no one owns this country ccm hawana haki ya kuendelea kutawala maana hawana jipya they have expired kabisa and if i had my way neno ccm lingepigwa marufuku kabisa kwenye katiba ya nchi hii marufuku kuwa na chama (hata cha wauza vitunguu) kinachoitwa ccm nightmares bashe huyo hana lolote anachokisema hakihitaji elimu yeyote kukichambuaccm si lolote kwa sasa naye analijuaanachofanya ni kama kurudia kusema mambo yaliyopo kwa ajili ya kutafuta umaarufusi chochote huyo asijifanye anatoa unabii wakati alama za nyakati zimekwisha onekana kusema tunasema sana lakini je matendo yetu yanaendana na yale tusemayo je chama cha ndugu bashe kinaweza kukidhi mahitaji ya wananchi iwapo hakitakuwa na ujasiri wa kuwasema na kuwafukuzilia mbali viongozi wabovu wanaoangalia zaidi matumbo yao na ya wale wanaowapigia filimbi hapa kuna kazi kweli kweli huyu jamaa ana point lakini anasukumwa zaidi na hasira alivyofanyiziwa na magamba wenzake another insignificant politician who wants to be heard 159 4 35 nivizuri kama mmeanza kuliona hilo kwamba mwaka 2015 chadema lazima waichukue nch jiangalieni jamani hivi watanzania watawaliwa tufanye nini kwa nini matatizo ya watanzania yanageukadili kwa kuyazungumza tu bila utekelezaji maana kila kukicha viongozi wa chama na serikali wanayazungumza lakini hakuna dalili ya matumaini ya unafuu wa maisha kwa mtz wa kawaida watu wanajitahidi kufanya kazi wanalipa kodi lakini inawanufaisha wachache hivi nchi hii ni ya watu wachache kama ni hivyo tuigawe basi tunakosea wapi watanzania
2018-12-15T13:28:27
https://www.jamiiforums.com/threads/bashe-aonya-ya-zambia-yanaweza-kutokea-tanzania-2015.176453/
video waziri aliyesoma bajeti iliyopaswa kusomwa na prof muhongo millardayocom video waziri aliyesoma bajeti iliyopaswa kusomwa na prof muhongo waziri wa viwanda biashara na uwekezaji charles mwijage leo june 1 2017 imewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya nishati na madini kwa mwaka wa fedha 2017/18 ambapo wizara hiyo ikiomba kutengewa bajeti ya tsh 9883b video aliyoyafanya mzee ndesamburo enzi za uhai wake akiwa chadema ← previous story video maswali 4 makubwa aliyojibu waziri mkuu bungeni leo next story → maeneo 7 yatakayotekelezwa na bajeti ya bunge la a mashariki 2017/18
2019-11-12T11:40:44
https://millardayo.com/mwijajune1/
maisha na mafanikio baada ya kuwa likizo bustanini/ mboga ya maboga imefunga/stawi mno) yaani mjanja mnoooodah nimetamani dada uwiiikwenye friji zitakaa kwa muda gani hongera sana kwa kulima mama a ahsante kupita hapa na kuacha yako ya moyonikwenye deep frriza itakaa hata miaka ndugu yangu) hongera sana kadalamhhh nimeitamani sana oooh asante sana dada kwa maujuzi dada yangu umenitamanisha na mboga ya maboganaomba kuuliza je naweza kuifadhi mboga ya mchicha kwa njia hiiasante manka ndugu yangu haswaaa unaweza hata kusamvu pia tembile na kadhalika nilikumissije yayasante sana nitafanya hivyonami nilikumisi dada yangu habari yako dada yasintanaomba kukuuliza kwani kuna mbegu za kuvuna majani ya maboga tuu bila kuota mabogaau ni yale yale ya maboga ndio mnavuna majani yake msinicheke jamani nataka kujua na tena ni mgeni humumama wane ndugu yangu mama wanekuuliza si ujinga hizi mbegu nilipewa na mama yangu wa hiari njombe ni mbegu nyeusi mara nyingi hustawi na kuvumilia hali ya hewa ya ubaridi kama ile ya njombe iringa makambako na pia niliishi madaba_matetereka huwa hayawi mabogo ni mboga tu na zile mbegu zitoazo mabogo hapa hazistawi sana hii ndiyo sababu kubwa ahsante dada yasinta kwa kunijulishasamahani nimechelewa kushukuru watoto walinipelekesha kidogomimi nipo canada naona hizo mbegu zitanifaanitaziagiza dar kama zipomama wane mama waneunaweza kuniagiza nitakwenda nyumbani karibuni ukitaka si unajua maisha kusaidiana nimeitamanije na hasa inavyopikwa kiusafi kaka mwangoka usitamani tu karibu nimekuwekea
2017-03-24T02:11:10
http://ruhuwiko.blogspot.com/2014/08/baada-ya-kuwa-likizo-bustanini-mboga-ya.html
kina dada are you mom enoughwanaume najua mtatia chabo tu | jamiiforums | the home of great thinkers kina dada are you mom enoughwanaume najua mtatia chabo tu discussion in 'jamii photos' started by abtitchaz may 11 2012 kwa hisani ya time magazine mjadala ni kuhusu bonding with your kids and how much should you do it ​in the provocative new cover story of its may 21 issue time magazine taps into a twodecadelong parenting conversation that has boiled over in recent months journalist kate pickert reports on the rise of attachment parenting a set of techniques popularized by dr william (bill) sears in the baby book his 767page treatise published in 1992 in the article pickert explores who sears is and why controversy surrounds his theories specifically babywearing extended breastfeeding and cosleeping but it's time's photographs of real mothers breastfeeding their toddlers that has everyone talking (scroll down for reactions on twitter) the cover shows jamie lynne grumet a slim blonde 26yearold california mom breastfeeding her 3yearold son time photographer martin schoeller also shot three other families on the same day this is serious kuna watu wanaoga na watoto wao a mom with her 5 year old boy/girl having a foam bath or these artistic pictures 1 people likes daaahhuyo dogo wa kwanza anafaidi kweli nyonyo imekaa fresh sana hiyo huyu dogo anaziba riziki angu yake ilishapita wazungu bwana na najaribu kufikiri niingie bafuni kuoga na mwanangu wa miak 5 tena nikiwa na mimba lol manake nakumbuka nilipokuwa mjamzito aliwah kuniuliza mama mbona wewe tumbo lako kubwa sana nikammjibu nakula sana ugali na hapo analiona likiwa kwenye nguo likiwa wazi si kasheshemmh au je akiona kwa bibi si atasema kichwa kingine duh binafsi siwez pelekeni ujinga huko dogo ananyonya hii kitu kimahaba kabisa uzungu wa hivin siuitaji bwana wamama wa kibongo wananyonyesha popote hadi kwenye daladala mewata zao hazina mvuto anymore wamama wa kibongo wananyonyesha popote hadi kwenye daladala mewata zao hazina mvuto anymoreclick to expand simba wa taranga nani kasema hazina mvuto mtoto akitaka nyonyo shurti apewa chakula yake mtoto akitaka nyonyo shurti apewa chakula yakeclick to expand 1st lady usinyoyeshe hadharani plz take my advice mimi nimesema hazina mvuto 1st lady usinyoyeshe hadharani plz take my advice mimi nimesema hazina mvutoclick to expand mie natupia kitenge kufunika manyonyo mtoto anapata haki yakehivi kama mtoto analia kwenye daladala na mkono anapeleka kwenye nyonyo si utaelewa kabisa mtoto anataka chakula utamwacha alie mpaka ufiki home mtoto ana haki ya kuthaminiwa a s wink mkuu wewe huna njaawaachie wenye njaa wale ilhali chakula yao ipo karibu mtoto ana haki ya kuthaminiwa a s winkclick to expand kula tano mama na huu ndo uanamke na umama kama umeamua kuzaa be at it in full come wat mayna nimependa pia unajihifadhihawa masista duu wa cku hiz hii mambo hawawezi @simba wa taranga mkuu are you a fathercan you stand to see your child crying eti kwa kuwa mama hawezi mnyonyesha kuna watu mimi nikitoka nao lazima mtandio au chochote kiwe hapoimagine mtoto kapata prick for b/s kilio yake ni mpaka nyonyo tuuuhapo mnafanyaje na mpo opd wazungu bwana na najaribu kufikiri niingie bafuni kuoga na mwanangu wa miak 5 tena nikiwa na mimba lol manake nakumbuka nilipokuwa mjamzito aliwah kuniuliza mama mbona wewe tumbo lako kubwa sana nikammjibu nakula sana ugali na hapo analiona likiwa kwenye nguo likiwa wazi si kasheshemmh au je akiona kwa bibi si atasema kichwa kingine duh binafsi siwezclick to expand kina mama na kina baba kweli tuache mchezo wa kuoga na kulala na watoto wetu hasa kuanzia 3 yearsmy friend mwanae aliona kule kwa bibi kwa bahati mbaya basi siku walikuwa wanakula chakula wakiwemo wageni mtoto akaropoka ' eti baba mbona mimi sina vichwa viwili' baba akamwambia mbona wote hapa tuna kichwa kimojawe umeona wapi mtu ana vichwa viwili' dogo akasema ' mbona jana nilimuona mama anakichwa kingine huku katikati ya miguu' mama ilibidi azimie kwa statement hiyo mjadala wangu unaanzia hapo kwenye bold akina mama wa siku hizi hope firstlady1 ni mmojawao wako addicted sana na kazi kiasi kwamba kunyonyesha mtoto hata kwa waka mmoja na nusu ni shida nimeshangaa na nimependa sana jindi huyo mama kwenye picha anavyonyonyesha mtoto wa miaka mitatu ilhali wake zetu ambao wako busy kutafuta shilingi wananyonyesha sana sana ikizidi ni mwaka mmoja hili nalo si haki kwa mtoto tunamnyanyasa mbele ya haki yake wataalamu wa umati wanashauri kwamba mtoto ni vema akanyonya hadi umri wa miaka miwili na nusu hilo la kwanza la pili upendo wa watoto kwa wazazi unapungua hususan tunapowaachia mayaya (housemaids/girls) kuwalea kwa muda mrefu huku sisi tukiwa busy kutafuta shilingi nadhani hili nalo linahitaji thread yake niishie hapa la pili upendo wa watoto kwa wazazi unapungua hususan tunapowaachia mayaya (housemaids/girls) kuwalea kwa muda mrefu huku sisi tukiwa busy kutafuta shilingi nadhani hili nalo linahitaji thread yake niishie hapaclick to expand mbona umeongea mwisho wa siku hujatoa maoni yako na ushauri kwa kina mama vizuri sana flsi aibu kumnyonyesha mtoto wangucha msingi nijifunike mbona umeongea mwisho wa siku hujatoa maoni yako na ushauri kwa kina mamaclick to expand provided wako tayari kuupokea ningeshauri kwamba akina mama wanyonyeshe watoto angalau kwa miaka miwili najua wanaweza kusema kazi zinawabana (hasa hawa wa mijini) lakini kazi huwa haziishi tutafanya hadi tunaingia kaburini mtoto kwanza kazi later 1 people likes breastfeeding photos time cover on attachment parenting lightboxclick to expand wote ni waigizaji tuwamejiweka tayari kwa ajili ya matangazo
2016-10-27T01:31:31
http://www.jamiiforums.com/threads/kina-dada-are-you-mom-enough-wanaume-najua-mtatia-chabo-tu.265401/
aeleza alivyoua watoto njombe | gazeti la jamhuri kabrasha linaanza kufunguka juu ya nani anahusika na mauaji ya watoto mkoani njombe huku ikithibitika kuwa ndumba uchawi ukimwi na ujinga vimekuwa nguzo ya mauaji hayo jamhuri limebaini ni wiki mbili sasa tangu matukio ya mauaji ya watoto wasiopungua saba katika mazingira ya kutatanisha na kutikisa taifa yaanze kutokea mkoani njombe na jamhuri limebaini namna baadhi ya matukio hayo yalivyotekelezwa ukistaajabu ya musa utaona ya firauni mtuhumiwa mmoja katika mauaji ya watoto watatu wa familia moja ameamua kuzindika taarifa zisivuje kwa kuzika sh 15000 katika kaburi la bibi yake akitekeleza masharti ya mganga wa kienyeji tukio mojawapo katika matukio saba ya mauaji ya watoto hao ni lile la mauaji ya watoto watatu wa familia moja gaspar nziku aliyeuawa na kukutwa na majeraha kichwani godwina nziku aliyeuawa na kutelekezwa mtoni na mwenzao gilbert nziku matukio haya yamefanyika katika kijiji cha nundu nyuma ya mauaji ya watoto hao watatu uchunguzi wa gazeti la jamhuri kutoka vyanzo mbalimbali vya kuaminika unabainisha kuwa mtuhumiwa mkuu katika mauaji ya watoto hao watatu ni baba mdogo wa watoto hao (jina linahifadhiwa) ambaye ni mmoja wa wafanyabiashara wenye ukwasi wa wastani mkoani hapa anamiliki mali kadhaa likiwamo lori aina ya fuso ambalo ndilo uchunguzi unafichua kuwa lilitumika kuwachukua watoto hao na kuelekea kusikojulikana hadi ilipobainika wameuawa gazeti hili la jamhuri limehakikishiwa kuwa mtuhumiwa huyo baada ya upelelezi wa kina wa vyombo vya dola hasa jeshi la polisi lililokuwa chini ya timu maalumu iliyounganisha wataalamu kutoka jeshi la polisi makao makuu mtuhumiwa huyo alihusisha matatizo yake ya kiafya (inadaiwa ni ugonjwa wa ukimwi) na kufanyiwa ushirikina (kulogwa) mganga wa mtuhumiwa huyo alimweleza kuwa mtu mbaya anayemloga ni baba yake mdogo na amekuwa akifanya ubaya huo kupitia kwa mmoja wa watoto hao katika kundi la watoto hao watatu taarifa za kiuchunguzi zinabainisha kuwa mmojawapo alikuwa akimlaki kwa mapenzi makubwa baba yake huyo mdogo kila anapofika nyumbani kwa familia ya watoto hao ikiwa ni pamoja na kumkimbilia kila anapomwona kwa ajili ya kumsalimu (kumwamkia) kwa hiyo taarifa zinafichua kuwa mganga huyo wa kienyeji alimweleza kuwa mtoto huyo ndiye mbaya na kila anapofika kwa ajili ya kumsalimu humshika kichwa kwa ajili ya kumwekea jini na ndiyo maana afya yake imekuwa ikizorota ingawa taarifa za kitabibu zinabainisha kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa na matatizo ya afya kwa mujibu wa vipimo vya kisayansi yaani hospitalini mipango ya mauaji taarifa zinafichua kuwa katika hatua za awali baada ya mganga kumshawishi mteja wake kuwa mtu mbaya anayemwandama hadi kukabiliwa na matatizo ya kiafya ni baba yake mdogo mtuhumiwa huyo alichukua sheria mkononi akapanga kwenda kummaliza baba yake huyo mdogo akiwa na gurudumu la gari akidhamiria kwenda kumvalisha mhusika na kumchoma moto hata hivyo katika hekaheka za kukabiliana na tukio hilo kwa juhudi za watu kadhaa mlengwa alibaki salama mtuhumiwa hakuridhika na katika hatua mbaya zaidi alifanya mipango ya kuwaua watoto hao wasio na hatia ingawa yalikuwa maelekezo ya mganga wake na hasa msisitizo ukiwa kwa mtoto aliyekuwa akimsalimia kwa bashasha mtuhumiwa huyo kila alipokuwa akifika nyumbani kwao alielezwa na mganga kwamba mmoja wa watoto hao ambaye hupenda kumkimbilia kwa ajili ya kumsalimu kila anapofika nyumbani ndiye hatari na kwa kila anapomfuata kwa ajili ya kumkimbilia ili amsalimie ndipo hapo humuingizia jini kwa hiyo katika kulenga mpango wake wa kuangamiza watoto hao chanzo chetu cha habari kinaeleza siku moja baada ya mtuhumiwa kutoridhishwa na hali ya kushindikana kwa jaribio la kumwangamiza baba yake mdogo ndipo akafanya uamuzi siku nyingine wa kuuawa watoto hao watatu huyu anamiliki gari aina ya fuso hiyo siku alikwenda na fuso lake hadi nyumbani kwa hao watoto (watatu) na aliwakuta wakicheza na watoto wenzao hapo nyumbani akafanya ujanja wa kuwatawanya wale watoto wa majirani akiwaambia wengine wanaitwa na wazazi wao wakabaki wale watoto wa ndugu yake akawashawishi aondoke nao akawachukua na kuondoka nao kwenye gari hilo kwa hiyo kutoka katika kundi la watoto waliokuwa wakicheza akawachukua wale aliowataka kwa ajili ya kwenda kutekeleza nia yake katika kukiri kwake alieleza kila alichokifanya na hata kutimiza masharti ya mganga wake mara baada ya kufanya mauaji ya watoto hao sharti la mwisho la mganga lilikuwa kwamba aende kwenye kaburi la bibi yake kwenda kuhitimisha malipo ya kafara kwa kufukia shilingi 15000 kwenye kaburi hilo ili kitendo alichokifanya (cha mauaji ya watoto) kisimgeuke alisema mtoa habari wetu hadi tunakwenda mitamboni kuchapishaji gazeti hili taarifa zinaonyesha kuwa baada ya mtuhumiwa kukiri kuhusika [na mauaji] wiki iliyopita wakati wowote atafikishwa mahakamani mkuu wa mkoa wa njombe christopher ole sendeka amebainisha mlolongo wa matukio saba ya mauaji ya watoto mkoani hapa novemba 16 mwaka jana mwili wa mtoto ulipatikana eneo la sido mjini mwili huu haukutambuliwa na alizikwa na manispaa desemba 8 mwaka jana mwili wa mtoto aliyefahamika kwa jina la oliva nganda mwenye umri wa miaka sita ulikutwa ukiwa umenyongwa eneo la mfeleke njombe mjini huu ulikuwa mwili wa kwanza kutambulika wazazi walifika na kuuchukua kwa ajili ya maziko januari 10 mwaka huu mtoto aliyefahamika kwa jina la goodluck mfugale mwenye umri wa miaka mitano alikutwa akiwa ameuawa mwili wake ulikutwa na majeraha kichwani mwili huo ulikutwa eneo la shule ya sekondari njombe januari 21 2019 gaspar nziku aliuawa na mwili wake kukutwa na majeraha kichwani mwili huo ulikutwa eneo la nundu januari 27 2019 godwina mwenda nziku mwenye umri wa miaka 10 aliuawa na kukutwa eneo la mto hagafilo januari 27 (tena) 2019 gilbert nziku mwenye umri wa miaka mitano alikutwa ameuawa eneo la kijiji cha nundu februari mosi 2019 rechol malekela mwanafunzi wa darasa la pili naye alikutwa ameuawa kijiji cha matembwe kumekuwa na imani za kishirikina kuwa kitu chenye ncha kinachotumika kwa ajili ya mauaji kikiwa na damu ya marehemu hupelekwa kwa mganga wa kienyeji kwa ajili ya kukidhi imani za kishirikina kama kujipatia mali na mahitaji mengine agizo la rc sendeka itakumbukwa kuwa baada ya mauaji ya watoto hao kutokea na kuzua taharuki mkuu wa mkoa wa njombe christopher ole sendeka aliapa kuwa wote waliohusika ni lazima mkono wa sheria uwaguse bila kujali nafasi zao katika jamii na kundi mojawapo lililodhaniwa kuhusika na mauaji ya watoto hao ni baadhi ya wafanyabiashara mkoani njombe hata hivyo baada ya kuwakamata na kuwashikilia baadhi ya wafanyabiashara maarufu takriban wanane huku uchunguzi wa jeshi la polisi ukiendelea imebainika kuwa wafanyabiashara hao baadhi wakiwa maarufu wenye vitega uchumi vikubwa katika mji wa makambako hawahusiki na matukio hayo mkuu wa mkoa wa njombe sendeka akizungumzia agizo lake la awali la kuwakamata watuhumiwa wakiwamo baadhi ya wafanyabiashara amesema imebainika wafanyabiashara hao wanaendesha shughuli zao kwa mujibu wa sheria zote za nchi na hawahusiki na vitendo hivyo ilivyokuwa wiki mbili nyuma baada ya matukio hayo kujitokeza mfululizo wiki kadhaa nyuma kulizuka hali ya taharuki miongoni mwa wazazi katika mji wa makambako kiasi cha mbunge wa makambako deo sanga amenukuliwa na gazeti moja la kila siku akisema karibu wafanyabiashara 10 ambao wamewaajiri watu 200 wamekamatwa na hatujui kinachoendelea kufikia sasa mbunge huyo alisisitiza kuwa hata shughuli za kiuchumi zilikwama kwa siku hizo za awali baada ya taarifa hizo kufichuka na kuzua taharuki kamanda wa polisi njombe renata mzinga naye katika taarifa yake ya awali kuhusu mauaji hayo alinukuliwa akisema tumevumbua mtandao wa watu waliohusika na mauaji hayo tunashirikiana na kitengo maalumu cha polisi kutoka makao makuu ya polisi jijini dar es salaam kuhakikisha wote waliohusika na ukatili huo wanatiwa nguvuni kamati ya bunge ya huduma na maendeleo ya jamii imeliomba bunge kuunda kamati maalumu kuchunguza mauaji hayo ya watoto njombe wizara ya mambo ya ndani imewahakikishia usalama wananchi wa njombe na kusema serikali itahakikisha wote wanaohusika na mauaji hayo wanakamatwa na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria 2521 total views 52 views today previous ubabe wa wachuuzi yah tuliangalie sakata la elimu kwa sasa [2]
2019-02-17T04:32:39
http://www.jamhurimedia.co.tz/aeleza-alivyoua-watoto-njombe/
wamdanganya magufuli | gazeti la jamhuri kashfa imegubika maadhimisho ya kilele cha siku ya wafanyakazi mei mosi mwaka huu yaliyofanyika kitaifa jijini mbeya kashfa hiyo imekikumba chama cha wafanyakazi wa reli tanzania (trawu) ndani ya chama hicho baadhi ya viongozi wake wanadaiwa kuwasilisha jina la kigogo asiyestahili kuwa mfanyakazi bora akapewa mkono na rais dk john magufuli na kukabidhiwa cheti cha mfanyakazi bora na zawadi ya hundi uchunguzi wa jamhuri umebaini kuwa katika mchakato wa kumsaka mfanyakazi bora kutoka katika chama cha wafanyakazi wa reli tanzania kinachohusisha pande mbili wafanyakazi wa shirika la reli tanzania na zambia (tazara) na wale wa shirika la reli tanzania (trl) mambo yalikwenda vizuri lakini yaligeuzwa kwa wafanyakazi wa trl dakika za mwisho wakati shughuli za kilele cha mei mosi zikiendelea uwanja wa sokoine mgeni rasmi akiwa rais dk magufuli hata hivyo kwa njia ya hila zilizofanywa na baadhi ya viongozi walifanya uchaguzi wa kumpata mfanyakazi hodari kwa hiyo kulikuwa na mshindi wa kundi la mfanyakazi bora ambaye ndiye anastahili kuhudhuria sherehe za kitaifa za mei mosi na kukabidhiwa zawadi zake na mgeni rasmi mshindi wa kundi la mfanyakazi hodari kwa kawaida kwa mujibu wa taratibu za trawu huhudhuria sherehe za mei mosi kikanda na hukabidhiwa zawadi na mgeni rasmi wa sherehe hizo za kikanda ambazo ni ndogo ukilinganisha na zile za kitaifa wafanyakazi wote tulijua kwamba kunena ndiye mshindi wetu na atakuwa katika sherehe za kitaifa mbeya kukabidhiwa zawadi zake jambo ambalo lingetupatia hamasa zaidi sisi wafanyakazi wa kawaida lakini kinyume chake akatangazwa focus sahani ambaye ni kaimu mkurugenzi wa uendeshaji trl ameeleza mmoja wa watoa habari wetu aliyeshiriki mchakato wa kusaka mfanyakazi bora dalili za mipango hiyo ya kupindua mshindi zilianza kubainika wakati shughuli ikiendelea wakati wa kusoma majina ya washindi wa kipengele cha wafanyakazi bora kwa upande wa trawu trl akatajwa focus sahani badala ya james kunena nimekanusha hili kwao lakini hawanielewi nimewasilisha malalamiko kwa wakubwa zangu wa chama ngazi ya mkoa na kanda wanasema wanalifanyia kazi suala hili amesema james kunena vigogo walonga kiini cha utata utata unaogubika sakata hili ni kwamba cheti cha mfanyakazi (bora) kwa upande wa wafanyakazi wa reli kinapaswa kutwaliwa na watumishi wawili tu mtumishi mmoja kutoka tazara na mtumishi mwingine kutoka trl kwa maana hiyo ahadi ya kumtengenezea cheti kingine james kunena cha ufanyakazi bora itaifanya trl kutoa wafanyakazi bora wawili kwa mwaka 2019 jambo ambalo linatajwa kutokuwahi kutokea katika historia ya mei mosi nchini kwa maana hiyo katika rekodi za wafanyakazi bora mwaka huu pale tucta kutoka trl hatakuwapo james kunena kama alivyochaguliwa na wafanyakazi wenzake atakuwapo james focus wakisema wampe cheti sasa trawu haijapata kuwa na best national workers watatu kwa mara moja huwa ni mmoja kutoka tazara na mwingine kutoka trl sasa hicho cheti kinaweza kuwa feki akizungumzia kuhusu hoja za katibu wa trawu kwamba kulikuwa na makubaliano kati ya focus na kunena kiongozi huyo naye amehoji kama kulikuwa na makubaliano kwa nini james kunena anahoji kuhusu haki yake kuporwa amekwisha kulalamika rasmi kwa mwenyekiti wake wa kanda ya dar es salaam trawu kuna viongozi kadhaa wamekwisha kufikishiwa malalamiko haya mei 4 2019 tulikaa kikao kilichohusisha mwenyekiti na katibu wa matawi mawili ya trl tawi la karakana na tawi la makao makuu kujadili suala hili tuliazimia apewe cheti chake cha mfanyakazi bora kama ilivyostahili taarifa zaidi zilizolifikia jamhuri zinabainisha kuwa suala hilo halikuwafurahisha wafanyakazi wa kawaida wa trl kiasi cha kutikisa ufanisi wao kikazi wakiamini kuwa utashi wao wa kutaka mwenzao awe mfanyakazi bora umepuuzwa tucta wazungumza jamhuri lilifika ofisini kwa katibu mkuu wa tucta dk yahya msigwa kupata ufafanuzi wa kadhia hiyo pamoja na mambo mengine jamhuri lilitaka kufahamu kwanza barua iliyowasilishwa kwao kutoka trawu ilibainisha nani mfanyakazi bora pili hundi iliyoandaliwa na cheti kiliandikwa kwa jina la nani previous aibu barabara za city center dar next ligi kuu hekaheka kiongozi anao wajibu kuelimisha anaowaongoza
2019-10-14T20:44:33
http://www.jamhurimedia.co.tz/wamdanganya-magufuli/
jinsi ya kuepuka utumwa wa mapenzi | muungwana blog jinsi ya kuepuka utumwa wa mapenzi saturday september 14 2019 mahusiano rafiki zangu uwanja wa mapenzi ni mpana sana wakati mwingine unatakiwa kutumia akili na uwezo wako wa mwisho wa kufikiri ili uweze kungamua ufanyacho kama ni sahihi au lah lakini kama unataka mambo yako yakuendee vizuri zaidi na zaidi na uache kujuta lazima umshirikishe mungu mweke yeye namba moja katika uhusiano wako mweke mpenzi wako mikononi mwake na mwisho wa siku utaona mafanikio yake machozi yako hayatamwagika tena ikiwa utamtanguliza yeye wengine hujisahau mapema wanajiona wanaweza kila kitu bila msaada wa mungu nani amekudanganya usijidanganye ndugu yangu wengi ambao wanamtumainia mungu mambo yao huwanyookea katika mapenzi kuna aina nyingi za uhusiano wengine huwa na mtu kwa muda mfupi wakati wapo ambao wanatamani sana kuishi na wenza wao baada ya kuwa katika uhusiano wa kawaida inapendeza sana kama wote mtakuwa mnawaza katika umoja yaani lililopo kichwani mwako ndilo lililomo kichwani mwa mpenzi wako vinginevyo lazima mmoja wenu atalia unapokuwa katika uhusiano na mpenzi ambaye moyo wako umemfia na unatamani kufunga naye ndoa lakini wakati huohuo mpenzi wako huyo hana time na jambo hilo ni hatari sana inawezekana ukawa unafahamu juu ya jambo hilo na unachojaribu kufanya ni kumlazimisha/ kumshawishi zaidi ili awe na fikra kama zako jambo ambalo mara nyingi husababisha mtafaruku hata hivyo siyo kila aliye katika uhusiano usio na dira ameamua yeye kwa mapenzi yake wapo wanaolazimishwa na wazazi/walezi lakini pia kuna ambao hudhamiria kuwashawishi wenzi wao wabadili uamuzi ili mwisho wa siku waweze kuolewa kwanza tuangalie maana ya utumwa wa mapenzi kabla ya kupitia vipengele vingine vitakavyokuweka wazi juu ya jinsi unavyoweza kuepukana na uhusiano wa aina hiyo ni hali ya kuwa/kuishi na mpenzi ambaye humpendi kwa moyo wako lakini unalazimika kuwa naye kwa sababu binafsi maana ya pili ni kuwa/kuishi na mpenzi ambaye hakupendi na unajua kabisa hana mapenzi na wewe lakini unalazimisha ukiamini kwamba siku moja anaweza kubadili uamuzi wake
2020-02-24T06:15:24
http://www.muungwana.co.tz/2019/09/jinsi-ya-kuepuka-utumwa-wa-mapenzi.html
who yatoa mwongozo wa kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza mijini shirika la afya ulimwenguni who limetoa mwongozo na mbinu za kuwezesha viongozi kwenye maeneo ya majiji kuweza kukabiliana na visababishi vikuu vya vifo kwenye maeneo hayo hofu ya njia za uzazi wa mpango yasababisha wanawake kubeba ujauzito usiopangwa who utafiti mpya wa shirika la afya ulimwenguni who umebaini kuwa theluthi mbili ya wanawake wenye uwezo wa kubeba mimba na ambao wana nia ya kuchelewesha kupata ujauzito au kudhibiti idadi ya watoto huacha kutumia huduma za uzazi wa mpango kwa hofu ya madhara ya huduma hizo iarc press/ 2010 taasisi ya kimataifa ya utafiti wa saratani iarc na wadau wake wamezindua toleo la tatu la atlasi au kitabu cha ramani kinachoonesha hali ya saratani duniani zaidi ya watoto milioni 200 hawapati lishe toshelezi au ana uzito kupita kiasi unicef ripoti idadi kubwa ya watoto wanateseka kutokana na lishe duni na mifumo ya chakula ambayo inawadumaza limesema shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto unicef katika ripoti kuhusu hali ya watoto duniani kwa mwaka huu wa 2019 ikiangazia zaidi watoto chakula na lishe theluthi moja ya chakula cha binadamu duniani hupotea kila mwaka fao katika kuelekea siku ya chakula duniani ambayo kila mwaka hufanyika oktoba 16 shirika la umoja wa mataifa la chakula na kilimo fao limesema kila mwaka theluthi moja ya chakula kinachozalishwa kwa ajili ya matumizi ya binadamu kina pote bure au kutupwa maelezo zaidi na flora nducha
2020-02-27T15:46:48
https://news.un.org/sw/news/region/europe/audio/1/date/2019/date/2019-10
baada ya penny kumwagwa na diamondsasa anatafuta mwanaume mkamilifu | bongo voice baada ya penny kumwagwa na diamondsasa anatafuta mwanaume mkamilifu penniel mwingila aka vj penny ambaye wengi wanamfahamu kama mpenzi wa mkali wa bongo flava diamond platinumz ambao hivi sasa hawako pamoja anaamini kuwa ingawa hakuna mwanaume mkamilifu kuna sehemu yupo mkamilifu japo kwa kiasi kidogo amefunguka katika mahojiano aliyofanya na mtandao wa bongo5 kuhusu maisha yake kwa ujumla na uhusiano wake na diamond platinumz ambaye hivi karibuni ameonekana kurudiana na mpenzi wake wa zamani wema sepetu huyo mrembo alisema bado hajafikiria kuwa na mwanaume mwingine bado si kwamba sitongozwi wanaume wanakuja lakini najaribuhakuna mwanaume mkamilifu najaribu kutafuta mwanaume anayeweza kuwa mkamilifu kidogo najua yuko sehemu ambaye hivi sasa maisha yake yako kwenye spotlight akifuatiliwa na kuandikwa kila anapofanya jambo hali iliyosababishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na diamond amedai kuwa anatamani arudie maisha yake ya zamani ambayo yalikuwa ni maisha ya faragha napenda kurejea kwenye maisha niliyokuwa nayo it was much fun napenda maisha yangu ya faragha penny ameuambia mtandao huo kuhusu kinachoendelea hivi sasa kati yake na diamond amesema alihisi anahitaji kumpa nafasi mwimbaji huyo na kwamba hadi sasa wawili hao wamepeana nafasi ili kila mmoja afanye mambo yake uhusisiano wowote ulivyo kuna mwanzo na mwisho na watu wanaachana kwa sababu nyingi nilihisi kwamba nahitaji kumpa nafasi wote ni vijana na wakati mwingine tunahitaji nafasi kugundua vitu vipya kuona kipi hasa unachokihitaji katika maisha unajua ukimruhusu ndege afanye vitu mbalimbali then unajua kama mti huu ndio unanifaa mti huu haunifai hivyo nilihisi wote tulihitaji hicho tulihitaji space hivyo nikampa nafasi na mimi kuchukua nafasi amedai kuwa alipoona picha za diamond akiwa na wema sepetu alishituka kama watu wengine walivyokuwa surprised lakini alipomuuliza diamond alimwambia walikuwa wanafanya movie mrembo huyo bado anaisubiri movie ya diamond na wema sepetu hivyo penny amedai kuwa mwaka huu anahitaji kujikita zaidi katika kufanya kazi yake na kwamba anaamini utakuwa mwaka wa ushindi kwake facebook twitter tweet google+ linkedin 0
2017-03-27T18:18:46
http://www.bongovoice.com/2014/01/baada-ya-penny-kumwagwa-na-diamondsasa.html
kiwanja kikubwa (low density) kinauzwa kiko buyuni | jamiiforums kiwanja kikubwa (low density) kinauzwa kiko buyuni kiwanja kizuri kabisa kina 2200sq mtr bei yangu ni 7000 kwa sqmt moja so ni 15400000 nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza nimekisafisha vizuri nimezungushia nguzo za zege kiwanja kizima pia nimepanda michongoma iliyokwisha chipua na nimerekebisha barabara iliyoachwa hoi na wananchi kiko blok 22kiwanja ni tambarare kwa sasa nimepanda matikiti maji ili pasikae bure serious buyer anipm au apige namba 0714881500 buyuni ndo wapi aisee buyuni ni dar es salaam wilaya ya ilala mbele ya gongo la mboto ukiwa unaenda chanika ipo upande wa kushoto kutoka town mpaka buyuni ni 34km appx eneo ni la mradi wa serekali viwanja viliuzwa mwaka 2006/07 kuna barabara nzuri tu za kifusi na kokoto zilizochongwa na serekali kutoka barabara ya chanika mpaka kiwanjani ni 3km kumeshaendelea vya kutosha kwani wengi waliouziwa wameshaanza kujenga kwa maelezo zaidi nipigie nikupe taarifa zaidi 17127 2000 watoto wa o'bey aiseeduh mleta mada ya kuuza kiwanja ebu tupe updates hapo awali huko buyuni kulikuwa na wanyama simba wakipitia wakati wakidhurura toka rufiji / selous kiwanja hicho nakitamani lakini naogopa kuwa lunnch ya simba hali ya sasa ikoje aisee jiografia imekupitia kando mkuu selous na gongo la mboto wapi na wapi nb hakuna wanyama kuna raia wanaishi mkuu ingekuwa vema ukaenda kupatembelea na kuona maendeleo yaliyo huko acha kua chawa wewetuliambona unakua kama usingizi well baada ya kupata simu kadhaa kutoka kwa wadau imenibidi niweke hili sawa buyuni haiko bagamoyo road to be frank hakuna kiwanja chenye title deed ya miaka 99 kipo bagamoyo road utauziwa kwa 154m hata kiwe na 600sqmtr kwahiyo let's keep our hype aside kama huna 30m + habari ya bagamoyo road isahau ndugu zangu tena na hii double road ya john pombe magufuli ndio kabisaa reactions ureni mvaa tai and mjasiria avatar imemchanganya hiyo z ninatafuta kiwanja kikubwa lushoto (shume) matangazo madogo 1 oct 2 2019 plot4sale kiwanja kikubwa cha kujenga nyumba tatu kinauzwa kigamboni matangazo madogo 17 sep 18 2019 plot4sale kiwanja kikubwa kinauzwa isaka kahama matangazo madogo 0 nov 12 2016 n jipatie kiwanja kikubwa kinyerezi kwa bei rahisi matangazo madogo 13 sep 13 2016 kiwanja kikubwa surveyed kiko mjini makambako matangazo madogo 0 aug 27 2015 ninatafuta kiwanja kikubwa lushoto (shume) plot4sale kiwanja kikubwa cha kujenga nyumba tatu kinauzwa kigamboni plot4sale kiwanja kikubwa kinauzwa isaka kahama jipatie kiwanja kikubwa kinyerezi kwa bei rahisi kiwanja kikubwa surveyed kiko mjini makambako threads 1379559 posts 33748956
2020-01-20T15:49:22
https://www.jamiiforums.com/threads/kiwanja-kikubwa-low-density-kinauzwa-kiko-buyuni.172830/
polisi shinyanga yakamata bunduki ya kivita ak 47 yenye skafu ya chadema majambazi wakivamia kiwanda cha wachina pamoja blog home > habari > matukio > polisi shinyanga yakamata bunduki ya kivita ak 47 yenye skafu ya chadema majambazi wakivamia kiwanda cha wachina 1/18/2018 051900 pm habari matukio
2018-02-23T16:47:49
http://www.pamoja.co.tz/2018/01/polisi-shinyanga-yakamata-bunduki-ya.html
tag uvuvi haramu tume inaonya #vietnam juu ya hatua haitoshi kupambana na #illegalfishing tume ya ulaya inaendeleza mapambano yake dhidi ya uvuvi haramu isiyoelezwa na usiyothibitiwa (iuu) ulimwenguni pote kwa kuonya vietnam na kadi ya njano kuhusu hatari ya kutambuliwa kama nchi isiyo ya ushirikiano uamuzi unaonyesha kwamba vietnam haifanyi kutosha kupambana na uvuvi haramu inabainisha mapungufu kama vile ukosefu wa ufanisi [] #oceana bunge la ulaya kura kwa uwazi zaidi katika shughuli za uvuvi eu nje maji eu wajumbe wa bunge la ulaya walipiga kura leo (2 februari) juu ya pendekezo tume ya ulaya ya usimamizi endelevu shughuli za uvuvi eu meli kazi nje ya umoja wa ulaya maji eu vyombo vya uvuvi kazi katika maji ya mataifa yanayoendelea mwambao wa bahari ya hindi na pasifiki na pwani ya afrika ya kati chini ya mbalimbali [] #thailand eu anakuwa tishio la kuuza nje marufuku kutokana na 'wasiwasi mkubwa' juu ya sekta thai uvuvi martin benki | aprili 22 2016 | 0 maoni umoja wa ulaya inasema kwamba itakuwa kudumisha tishio la uwezekano wa crippling dagaa kuagiza kupiga marufuku thailand kwa sababu nchi hiyo tawala serikali hiyo ya kijeshi ni bado si kufanya kutosha ili kuboresha uvuvi wake na taratibu za ajira habari alikuja katika tangazo kazi nzuri awaited juu ya hatua za eu ijayo katika jitihada zake za kupata maboresho [] thailand inakaribia eu 'kadi red' juu ya uvuvi haramu martin benki | septemba 18 2015 | 0 maoni picha kittiphum sringammuang channel newsasia indochina bureau thailand inakabiliwa na mbio dhidi ya saa ili kuepuka vikwazo vya uwezekano wa crippling juu ya samaki nje ya nchi na umoja wa ulaya maritime tume wakaguzi kutoka eu kwa sasa ni kupitia upya kufuata maendeleo na isipokuwa thailand cleans up sekta yake ya uvuvi ina hatari 'red card' kuuza nje marufuku [] ripoti ya tume ya mazingira ya bahari 'inatoa njia ya bahari endelevu' eu reporter mwandishi | julai 3 2014 | 0 maoni tume ya ulimwenguni mwa bahari (goc) imejiunga na kamishna wa uvuvi wa eu leo (3 julai) ilizindua ripoti yake ya kuvunja ardhi juu ya kuondokana na kupungua kwa bahari ya dunia ripoti hutoa mapendekezo mbalimbali ya kina ikiwa ni pamoja na hatua za kukomesha uvuvi wa haramu isiyohamishwa na usio na sheria (iuu) goc inonya hivi bahari ni chini ya tishio na mbinu ya mwanadamu ni []
2019-09-15T12:13:50
https://sw.eureporter.co/tag/illegal-fishing/
mahakama yawabwaga wapinzani kesi ya muswada mwanahalisi online posted by faki sosi 2 days ago 0 1558 views mahakama kuu tanzania imetulia mbali shauri la kupinga muswada sheria ya vyama vya siasa iliyonguliwa na zitto kabwe salumu biman na joran bashange anaripoti faki sosi (endelea) zitto ambaye ni kiongozi wa chama cha actwazalendo biman mkuregenzi wa mawasiliano wa chama cha wananchi (cuf) na bashange naibu katibu (cuf)bara viongozi hao waliowakili vyama 10 vya upinzani walifungua shauri hilo kupinga muswada wa sheria hiyo usijadiliwe bungeni kupitia jopo la mawakili wao walioongozwa na mpoki mpare leo jaji benhajo masoud ametoa uamuzi huo amekubali hoja za mawakili wa serikali kuwa bunge ni muhimili unaojitegemea na haupaswi kuingiliwa na mahakama wiki iliyopita jaji masoud alisikiliza hoja za serikali zilizotaka shauri hilo lifutiwe mbali kwa sababu zilizodaiwa na mawakili wa serikali kuwa mahakama haiwezi kuingia mamlaka ya bunge moja ya hoja zilizowasilishwa na serikali kuwa katiba ya nchi imegawa mamlaka na kuyaheshimu akiongoza jopo la mawakili wakili mkuu wa serikali mark mulwambo alieleza kuwa mahakama haiwezi kuingilia muhimili wa bunge katika kujadilia mambo yake wakili ameeleza kuwa mahakama inaweza kujadili sheria iliyotungwa na bunge siyo muswada ambao haujapitishwa kuwa sheria hoja nyingine ya serikali ni kwamba waombaji wamewasilisha maombi yao kwa kiapo chenye udhaifu ambao hakuna mahala kinapoeeleza muombaji namba moja zitto kiapo hiko hakina iaini ya zitto ambapo kina upungufu ambapo kimeambatanisha saini ya waombaji wawili tu ambapo wametaka kwa udhaifu huo kesi hiyo iondelewe mahakamani hapo muswada siyo sheria mpaka usainiwe ndiyo uweze kuwa sheria kwa sasa bunge liachwe lifanye kazi yake kisheria na kwamba huo muswada haupo kwenye ofisi ya waziri mkuu wala ofisi ya mwanasheria huu muswada upo bungeni alieleza alieleza kuwa wabunge wanauwezo wa kutoa maoni ya marekebisho bungeni kwa kuwawakilisha wananchi upande wa watoa maomba uliongozwa na wakili mpare mpoki umekitaka kifungu cha ibara ya 5 kwenye katiba inayoipa mahakama mamlaka ya kutengea sheria au hatua yoyote itakayochukuliwa na serikali au mamlaka yoyote kwa kukiuka haki uhuru na wajibu kama ilivyoanisha ibara ya 12 hadi 29 kwenye katiba mahakama kuu tanzania imetulia mbali shauri la kupinga muswada sheria ya vyama vya siasa iliyonguliwa na zitto kabwe salumu biman na joran bashange anaripoti faki sosi (endelea) zitto ambaye ni kiongozi wa chama cha actwazalendo biman mkuregenzi wa mawasiliano wa chama cha wananchi (cuf) na bashange naibu katibu (cuf)bara viongozi hao waliowakili vyama 10 vya upinzani walifungua shauri hilo kupinga muswada wa sheria hiyo usijadiliwe bungeni kupitia jopo la mawakili wao walioongozwa na mpoki mpare leo jaji benhajo masoud ametoa uamuzi huo amekubali hoja za mawakili wa serikali kuwa bunge ni muhimili unaojitegemea na haupaswi kuingiliwa na mahakama wiki&hellip previous mbowe matiko waitwa mahakama ya rufaa next mbunge chadema amvaa spika ndugai ampa kazi ngumu
2019-01-16T09:42:22
http://mwanahalisionline.com/mahakama-yawabwaga-wapinzani-kesi-ya-muswada/
usiwathibitishie (dont prove them wrong) | jacob mushi published in june 12 2019 usiwathibitishie (dont prove them wrong) kwa muda mrefu nimekuwa nikiona watu wanafanya vitu mbalimbali kama ujasirimali biashara fulani kazi fulani ili tu kuwathibitishia watu fulani waliokuwa wanawaona wao hawafai mfano mtu aliambiwa wewe hujawahi kuweza kitu hutaweza biashara anaingia kwenye biashara kwa hasira ili tu amthibitishie yule mtu kwamba anaweza unaweza kuambiwa wewe huwezi kupata kazi fulani kwasababu huna elimu ya kutosha halafu ukaanza kupambana kufanya vitu mbalimbali ili tu uweze kuipata ile kazi watu wajue kwamba hata wewe unaweza hii ni mbaya sana kwasababu unaweza kujikuta unatumiwa bila kujijua mfano mtu atakuja akwambie huwezi kufanya kitu fulani ukafanikiwa kwasababu anataka ukifanye halafu wewe ukafanya ukaweza na yeye akajikuta ametimiza lengo lake wewe utaona umeweza kumwonesha kwamba unaweza lakini yeye anakucheka kwasababu ameshakutumia hasara nyingine ni kwamba unaweza kujikuta unafanya hata vitu visivyo sahihi ili tu upate ile kazi au ufanikiwe kwenye ile biashara ambayo uliambiwa huwezi na ikawa ni madhara makubwa kwako unaweza kujikuta umetoa rushwa kwasababu unataka kwa haraka yale mafanikio ili kuwakomesha wale watu waliosema hutaweza unaweza kutoa rushwa ya ngono ili upate kazi ambayo uliambiwa na marafiki zako kuwa wewe huwezi ipata kitu kingine ambacho ulikuwa hukijui ni kuwa unakuwa umedhibitiwa na yule mtu aliekwambia huwezi unajikuta unafanya kwa kupitia ushawishi wake alioweka ndani yako kwa kusema huwezi hivyo basi yule mtu anakuwa amekudhibiti kwa kifupi unakuwa ni mtumwa wake inawezekana hata yeye asijue kwamba alikufanya mtumwa kibaya zaidi ni pale anapokuwa amejua halafu akaamua tena kukutumia ukweli ni kwamba kufanya hivyo ni kutoka nje ya lengo la maisha yako hujaja hapa duniani kuwaonesha wengine kuwa unaweza umekuja hapa duniani kuishi ishi maisha yako vile unavyotaka usipoteze muda hata kidogo kufanya chochote ili tu kumthibitishia mtu unaweza akitokea mtu akakwambia huwezi kitu fulani au unachokifanya hakitakaa kikuletee mafanikio mpuuze mwambie hajui kwanini unakifanya kaa mbali kabisa na mtu anaekwambia ni kitu gani huwezi kaa karibu zaidi na wale wanaokuonesha ni vitu gani unaweza wapuuze wote na wala usifanye chochote kuwaoneshea kwamba umeweza kwani utajikuta unakimbia mbio ambazo hazina mwisho na wala faida zozote malengo uliyojiwekea mwenyewe ndio ya muhimu kuliko mengine hata mtu akija kukwambia hutayatimiza mwambie haikuhusu nisipotimiza ni juu yangu mwenyewe hakuna atakaekuchapa usiponunua gari hakuna atakae kufukuza usipotimiza malengo yako kwa kifupi wewe mwenyewe ndio utawajibika na kuumia kwa kutokutimiza kile ulichokuwa unakitaka hivyo basi hakikisha unafanya kile ambacho moyo wako unataka acha fanya kile unachokipenda bila ya msukumo wa kutaka kuwathibitishia wengine kuwa unachokifanya ni sahihi au walivyosema utafeli walikosea category inmafanikio makubwa maisha na mahusiano ushauri utabaki kama ulivyo usipobadili imani endapo maisha yote uliyoishi mpaka sasa yangekuwa ni ndoto join 61345 other subscribers
2020-02-18T15:11:05
https://jacobmushi.com/usiwathibitishie-dont-prove-them-wrong/
serikali kupitia upya mashamba yaliyofutwa na rais magufuli mbukuzi serikali kupitia upya mashamba yaliyofutwa na rais magufuli date may 18 2019author mbukuzi blog 0 comments waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi william lukuvi amesema wizara yake itapitia upya mashamba yote yaliyofutwa na rais katika wilaya ya kilosa mkoa wa morogoro lukuvi amesema hayo tarehe 16 mei 2019 katika kata ya chanzulu tarafa ya kimamba wilaya ya kilosa mkoani morogoro alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata hiyo ili kutatua mgogoro wa ardhi katika wilaya hiyo ikiwa ni jitihada za wizara kumaliza migogoro ya ardhi nchini waziri lukuvi amesema katika maeneo mbalimbali yapo mashamba yaliyofutwa na rais lakini hayajawekewa utaratibu wa kuyatumia na hivyo kutoa fursa kwa wajanja wachache kujigawia na mengine kuyauza kwa wananchi bila kufuata utaratibu amesema katika kuhakikisha mashamba yote yaliyofutwa na rais katika wilaya ya kilosa na kuzua mgogoro baina ya wananchi na wamiliki wizara yake imeamua kupeleka timu kutoka wizarani kwa ajili ya kuyafanyia uhakiki mashamba yote yaliyofutwa katika wilaya ya kilosa tutayapitia mashamba yote yaliyofutwa na rais na kujua kilichomo ndani yake na timu ya uhakiki niliyokuja nayo itanilitea mapendekezo ya namna ya kutumia mashamba na mengine watapewa wanaostahili na si kila mtu atapewa amesema lukuvi mashamba yenye mgogoro na wananchi katika wilaya ya kilosa ni noble agriculture enterprises magereza dhidi ya wananchi wa mabane mbigiri na mabwegere chadulu estate shamba la swai dhidi ya wananchi wa ilonga na shamba la mauzi estate malangali previous previous post membe amjibu rostam aziz sakata la kugombea urais mwakani next next post mchungaji msigwa ahoji uhalali wa spika ndugai kumsimamisha kuwasimamisha uwakilishi wabunge wanaochaguliwa na bunge kuwawakilisha katika mabunge mbalimbali
2019-08-18T01:37:16
https://mbukuzihuru.com/2019/05/18/serikali-kupitia-upya-mashamba-yaliyofutwa-na-rais-magufuli/
tlp kuzunguka nchi nzima kuzungumzia miradi iliyotekelezwa na serikali radio 5 fm home » kitaifa » tlp kuzunguka nchi nzima kuzungumzia miradi iliyotekelezwa na serikali akiongea na vyombo vya habari mkoani arusha katibu mwenezi wa taifa wa chama hicho geofrey stephen amesema kuwa baada ya kamati kuu kumpitisha kwa kauli moja mgombea wa ccm dkt magufuli kuwa ndie anafaa kugombea kwa mwaka huu katika uchaguzi mkuu na chama hicho kumuunga mkono mgombea huyo kama unavyojua chama chetu kimezaliwa upya baada ya kufanya uchaguzi wa viongozi na mwenyekiti wetu kuendelea kuwa agustine mrema hivyo sura mpya ya uongozi wachama chetu unaakisi mageuzi makubwa kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu awali akiongea kwenye kikao hicho na waandishi wa habari katibu mkuu wa chama hicho mkoa wa arusha kinanzaro geofrey alieleza kuwa chama hicho mkoa wa arusha litasimamisha wagombea kwenye majimbo yote sanjari na nafasi za udiwani niwatoe hofu maamuzi ya kumpitisha mgombea wa nafasi ya urais wa chama chetu kuwa ni dktjohn magufuli wa ccm yamefanywa na kupewa baraka na mkutano mkuu wa chama chetu na sio maamuzi yake pekee mwenyekiti bali ya wajumbe wote wa mkutano huo previous post wilaya ya mwanga kuboresha miundombinu ya mabwawa na misitu next post afisa mtendaji awataka wananchi kuendelea na majukumu yao ya kujipatia kipato may 23 2020 14 0 commentsby contributor contributor
2020-05-27T04:46:52
http://www.radio5fm.co.tz/tlp-kuzunguka-nchi-nzima-kuzungumzia-miradi-iliyotekelezwa-na-serikali/
vinara wa nasa wakiongozwa na raila wamvamia na kumpapura vibaya william ruto ▷ tukocoke vinara wa nasa wakiongozwa na raila wamvamia na kumpapura vibaya william ruto maoni 2587 nasa imemshtumu naibu rais ruto dhidi ya kupata ksh 3 bilioni kila mwaka kwa njia haramu yamkini naibu rais ruto na gavana wa narok samuel tunai wana kampuni inayokusanya fedha hizi kutoka hifadhi ya kitaifa ya maasai mara nasa inasisitiza vilevile kuwa naibu rais ruto katika shughuli zake aliwafuta kazi vijana kadha katika hifadhi hiyo kambi ya national super alliance ikiongozwa na mgombea wao wa urais raila odinga imefichua jinsi naibu rais william ruto anavyojitwalia ksh 3 bilioni kila mwaka kwa njia haramu wakizungumza kaunti ya narok mnamo alhamisi juni 29 viongozi hao watano raila kalonzo musyoka musalia mudavadi moses wetangula na isaac ruto walisema naibu rais ruto na gavana wa kaunti ya narok samuel tunai wamekuwa wakishirikiana kuiba mapato ya kitalii kiasi cha ksh 3 bilioni kila mwaka ruto na tunai wamesajilisha kampuni ambapo hukusanya mabilioni ya hela kutoka hifadhi ya kitaifa ya maasai mara tutaondoa kampuni hii mamlakani kwa sababu inachukua mabilioni kutoka kwa hifadhi na pia wamewafuta kazi vijana wengi katika hifadhi hiyo alisema raila odinga habari nyingine pigo kwa uhuru baada ya rafiki wa ruto kumuidhinisha raila viongozi wenzake walisisitiza hisia zake wakitumia shtuma hizo kupigia debe muungano wa upinzani wakisema nasa itagawanya raslimali kwa usawa ruto ndiye mwanzilishi wa mashirika ya ufisadi ndiye baba wa mabwenyenye wanaotumia bosi wa ngo fazul kupanga mikataba alisema kalonzo musyoka jinsi alivyonukuliwa na daily nation mnamo ijumaa juni 30 habari nyingine mfanyikazi wa uchumi aliyemhudumia raila alifutwa kazi huu hapa ukweli musalia picha na hisani habari nyingine methali 10 'za' wavinya ndeti ambazo zitakuvunja mbavu kwa upande mwingine mudavadi alishtumu serikali ya jubilee dhidi ya kujaribu kudhibiti mamlaka kwa kutumia raslimali bila ya kuwajibika nasa itagawanya raslimali kwa usawa na raia na itawezesha ugatuzi wa raslimali hadi mashinani alisema mudavadi aisha jumwa mudavadi churchil comedians churchill show awour mwili wa jamaa mwenye umri 60 aliyetoweka kwa juma moja wapatika ndani ya afisi ya mwanasiasa jamaa mwenye umri wa miaka 60 apatikana akiwa amefariki ndani ya afisi ya mwakilishi wa wanawake kaunti ya migori mwigizaji wa tahidi high amtema mpenziwe na kufanya harusi miezi kadhaa baadaye nilipanga ghasia zilizoshuhudia laare aliyekuwa mfuasi wa raila akiri jubilee yamshtaki raila odinga katika mahakama ya juu mkoba anaoumiliki ngina kenyatta unagharimu maelfu ya pesa( picha) hivi ndivyo roselyne akombe alivyohusika katika kubatilisha ushindi wa uhuru akombe ndiye kiini cha kubatilishwa kwa ushindi wa uhuru ala ali kiba atia bao kinywaniatakana kutenda haya ali kiba anatarajia mwana wa tano kutoka kwa mpenzi wa tano
2017-10-20T06:53:40
https://kiswahili.tuko.co.ke/245171-vinara-wa-nasa-wakiongozwa-na-raila-wamvamia-na-kumpapura-vibaya-william-rut.html
septemba 23 2018 251 pm habari no 910186 rejea abna link shirika la habari ahlulbayt (as) abna vyanzo makini vya sehemu husika wamefichuwa siri hiyo kwa kusema ndege za kijeshi za marekani huwa zinatumika kuwahamisha magaidi wa kikundi cha kigaidi cha daesh kuwatoa sehemu ya deir ezzor na kuwapeleka sehemu isiofahamika nchini humo vyombo vya habari vya syria vimeongeza kusema kuwa umoja wa kimataifa dhidi ya daesh unaosimamiwa na serikali ya marekani nchini humo zimeonekana ndege zao katika vijiji marashidah mashariki mwa deir ezzor ambayo mpaka sasa kikundi cha kigaidi cha daesh kinaendelea kufanya mauaji yake katika sejhemu hiyo kuonekana kwa ndege za serikali ya marekani zikifanya mambo kama hayo si mara ya kwanza nchini humo ambapo miezi mitatu ilopita walionekana kuwachukuwa makamanda wa kikundi cha kigaidi cha daesh katika sehemu ya tuyemin nchini humo
2019-02-22T05:57:05
http://sw.abna24.com/news/habari-muhimu/ndege-za-marekani-zawaamisha-magaidi-wa-daesh-nchini-syria_910186.html
rais dkt magufuli ahudhuria mkutano mkuu wa kisekta wa wadau wa madini jijini dar es salaam mtaa kwa mtaa blog home habari rais dkt magufuli ahudhuria mkutano mkuu wa kisekta wa wadau wa madini jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiagana na wadau wa madini baada ya kuhudhuria na kuhutubia mkutano mkuu wa kisekta wa wizara ya madini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa julius nyerere jijini dar es salaam leo jumanne januari 22 2019
2020-07-07T13:01:55
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/01/rais-dkt-magufuli-ahudhuria-mkutano.html
lwimbo 1​ngikadila ya yehova | lwimbo lwa bene kidishitu tanga mu angele batak (lwa mu simalungun) batak (lwa mu toba) damara dingala drehu esan falanse javanais karen (lwa mu s'gaw) kiafrikaans kialameni kialbane kialema kiamarike kiaymara kiazeri kiazeri (kya sirilike) kibasa (kya mu kamelune) kibaule kibemba kibikole kibilgare kibishlama kibulu kichichewa kichitonga kichitumbuka kichiyao kicitonga(lwa mu malawi) kidangme kidanwa kidwala kiedo kiefik kieshipanyole kiewe kifidji kifinwa kifon kiga kigbo kigokana kiguarani kigun kihausa kihiligaynone kihiri motu kihongrwa kiibinda kiikrenye kiiloko kiindonezi kiislande kiisoko kiitali kikabye kikachokwe kikalunda kikambodje kikaonde kikechua (kya mu ankash) kikechua (kya mu ayakusho) kikechua (kya mu bolivi) kikechua (kya mu kuzko) kikhosa kikongo kikore kikreole kya haiti kikreole kya mu morise kikreole kya mu seishele kikroate kikuyu kikwangali kikwanyama kileton kilituani kiluba kiluganda kilukonzo kilumani kilusi kiluvale kimakua kimalagashe kimalay kimalayalam kimambwelungu kimapudungu kimasedwane kimazateke kya mu huautla kimikse kimyama kindau kindebele kinerlande kingabere kingidiki kiniase kinorveje kinyanja kinyarwanda kinzema kioromo kiosete kiotomi(lwa mu mezquital valley) kipangasina kipapiamento (kya kirasao) kipeleshia kipidjin kya mu kisanga kya salomo kipolone kipolotige kiponape kirgiz kiribati kirundi kisamoa kisango kisebuano kisena kisepedi kiserbi kiserbi (kya mu loma) kishinwa mandaren (kipēla) kishinwa mandaren (kya kala) kishona kisi kisilozi kisinhala kislovene kisranantongo kisuedwa kiswahili kitagaloge kitahiti kitatare kitelugu kitetela kithai kitigrinya kitirk kitojolabala kitok pisine kitotonake kitsonga kitwi kitzotzile kiumbundu kivietname kiwalise kiwolaita kiyapese kiyoruba kizulu kongo krio kriole kya mu belize kurde kurmanji (lwa mu caucase) ngangela nyungwe pidgin (kya mu cameroon) quichua (lwa mu chimborazo) quichua (lwa mu imbabura) sesotho (ya mu afrika wa kunshi) sesotho (ya mu lesotho) soundané tshiluba lwimbo no 1 ngikadila ya yehova (kusokwelwa 411) 1 leza mwinē bukomo yehova umpangi wa būmi bonso ne mwinya tumwene bukomo mu bipangwa diulu ntanda i byayayaya 2 lupona lobe i lwa boloke ne misoñanya yobe i myoloke potutanga mu kinenwa kyobe twimwenanga tunangu tobe 3 kipite byonso i buswe bobe kadi byabuntu byobe i bivule ngikadila ne dijina dyobe tukebisapulanga nyeke (tala ne ñim 369 145613 mus 314 yak 117) ngikadila ya yehova (lwimbo 1)
2018-01-17T04:22:59
https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/minjiki-%C3%B1imbo/imbai-na-nsangaji/1-ngikadila-ya-yehova/
simba yabadili gia kupata kocha wa viwango | shaffihdauda home kitaifa simba yabadili gia kupata kocha wa viwango uongozi wa simba umesema unajipanga kuhakikisha unaboresha benchi la ufundi kwa kuwashirikisha wataalam wa soka na si kufanya mambo kwa mazoea kaimu rais wa simba salim abdallah aameeleza namna walivyojipanga kwa ajili ya kupata kocha mwenye viwango simba inataka kubadikisha utaratibu wake wa kupata walimu ili mwalimu awe mzuri ni lazima mwalimu huyo atafute kazi na afanyiwe interview tunao wataalam mbalimbali tunaweza kuwapa kazi ya kuwafanyia interview hao makocha kuona kama wanafit kwenye mfumo na soka letusalim abdallah tumekuwa tukichukua makocha wengi wakija hapa baada ya muda mfupi tunaona hawafai ni kwa sababu hatukushirikisha wataalam sisi viongozi tunaajiri walimu wa mpira wakati sisi si wataam katika eneo hilo tutakuwa tukitangaza kazi walim wanaoomba tunawakutanisha na wataalam ili wafanyiwe interview ili tujaribu na mfumo huo hiyo ndiyo maana ya mabadiliko previous articlekmc imemsajili beki kutoka stand united next articlesouthgate na somo kwa mourinho kuhusu jesse lingard
2018-07-20T20:19:17
http://shaffihdauda.co.tz/2018/07/09/simba-yabadili-gia-kupata-kocha-wa-viwango/
vichwa vya habari ambavyo vinasema na kile unachoweza kujifunza kutoka kwao | whsr nyumbani > blog > andika kuandika > vichwa vya habari ambavyo vinasema na kile unachoweza kujifunza kutoka kwao 42hisa taasisi ya poynter eyetools inc na kituo cha estlow kwa uandishi wa habari na vyombo vya habari mpya vilivyotumia vifaa vya ufuatiliaji wa jicho ili kujifunza jinsi watu wanavyoisoma maandishi ya mtandao na kuja na taarifa zenye kuvutia kusaidia wamiliki wa tovuti na wanablogu kila mahali utafiti huo aitwaye eyetrack iii ulijifunza watu wa 46 kwa saa kama wanavyowasoma mtandaoni waligundua kuwa kichwa cha habari ambacho kiko kikubwa kinachotafuta jicho na hata zaidi ikiwa iko iko kona ya juu kushoto ya ukurasa kwa kuongeza kichwa cha habari kilicho na maneno maalum kama vile baadhi ya mifano jerry low hutoa katika makala yake yenye jina andika vichwa vya habari kama brian clark neil patel na jon morrow sampuli za kichwa cha 35 kutoka kwa waandishi wa blogu itakua ya usomaji wa msomaji njia moja bora ya kujifunza kile unapaswa kufanya wakati wa kuandika kichwa cha habari ni kwa kutazama kichwa cha habari kinashindwa kwa kusoma kisichofanya kazi utajifunza sio cha kufanya wakati wa kuandika vichwa vyako mwenyewe ni nini kinachofanya kichwa cha habari kike kuna vitu maalum sana ambavyo hufanya vichwa vya habari kunyonya wakati mwingine hujatambua kuwa kuna kitu kinachovuta hadi unakisoma na kugundua jinsi ilivyo mbaya ingawa labda umesikia ushauri kwa kiss (keep it simple sweetie) lakini hata mambo mazuri yanaweza kuchukuliwa mbali sana ingawa kichwa cha habari haifai kuwa na mistari mitatu pia haipaswi kuwa fupi sana hadi kwamba msomaji tu ana maoni ya jumla ya mada unataka msomaji ajue ni nini kifungu chako ni nini anapoanza kukisoma wacha tuitumie nakala hii kama mfano kichwa changu cha kichwa ni vichwa vya suck na unachoweza kujifunza kutoka kwao natumaini unajua utajifunza juu ya nini usifanye kwa kichwa cha habari na upate maagizo kwa kuandika bora zaidi je ikiwa ningetumia kichwa cha habari tofauti ambacho hakuwa wazi je ningeenda na hiyo sucks ingawa hiyo inaweza kunyakua kipaumbele kwa pili huwezi kuwa na ufahamu wa nini habari yangu ilikuwa juu niliweza kuandika kuhusu chochote ndefu sana kwa upande wa mwisho wa wigo ni kichwa cha habari ambacho ni muda mrefu sana kama adhabu ya kukimbia ya mambo inaendelea kwenda na kwenda na kwenda gothamist inaangazia kichwa cha new york post iwezekanavyo kuwa moja ya ndefu zaidi mnamo mei 18th 2013 safu ya josh sauli ilienda juu na kichwa kifuatacho mwimbaji wa injili amshtaki mcdonald's baada ya kudaiwa kuingia kwenye glasi na kula sandwich ya kuku ambayo anadai imeharibu sauti yake wow hiyo haingefanya hata sentensi nzuri chini ya kichwa cha habari kichwa hiki cha kichwa kinaweza kusawazishwa kwa kuzingatia vidokezo muhimu mwimbaji wa injili suing mcdonald's kwa kuharibu sauti yake hapa ni mwingine kichwa cha habari ambacho kinachochea kwa sababu ni muda mrefu sana mwanamke katika sumo wrestler suti alishambulia msichana wake wa zamani katika pub ya mashoga baada ya kusonga kwa mtu amevaa kama bar ya snickers sawa mimi ni aina ya kuelewa ni kwa nini mwandishi alitaka kutumia yote hayo katika kujaribu kunyakua shauku ya msomaji lakini ilikuwa nyingi tu badala yake bora kuandika kitu kifupi kama hiki hatua za mwanamke exgirlfriend bar ya snickers imehusishwa ludie cochrane kupitia compfight wadanganyifu sana kuna nyakati ambapo kichwa cha habari ni chafu na kiburi kwamba inashindwa kumshawishi msomaji kupitisha kurasa zake baada ya yote ikiwa kichwa cha habari kinaonekana kibaya basi makala hiyo pia ni pia vichwa vya kusikitisha kawaida hutokea wakati mwandishi anaongeza au hawezi kutumia punctuation sahihi kulingana na huffington post kichwa cha pili kilichotokea katika gazeti la petersburgindex gazeti la virginia skydiver ardhi kwenye muuzaji wa bia katika hafla ya mieleka ya wanawake ya cole wakati hiyo dhahiri inastahili kuwa ujinga labda ningeisoma nakala hiyo kinachozungumziwa zaidi ni vichwa vya habari ambapo sarufi isiyo sahihi hubadilisha maana ya kichwa ikiwa utakwenda kukagua sarufi yako mara mbili na tatu fanya hivyo katika vichwa vyako wanaweza kuwa wanazungumza juu ya golf katika kichwa cha pili lakini unawezaje kuwa na hakika nina maana ouch maskini mjukuu haipaswi kupenda hiyo bibi wa nane hufanya hole mmoja mji wa slinky wakati wa kuandika vichwa vya habari kukumbuka maana yoyote mawili ambayo msomaji anaweza kupata kutoka kwa kichwa hiki makosa ya kisarufi inaweza kuwa kitu ambacho wasomaji wako hawatambui lakini ukisahau kutumia njia za kawaida nk baadhi ya wasomaji wako watatambua na itawafanya wapuuze fikiria juu ya mifano kadhaa ambayo umeona mkondoni kama vile tunakula babu hiyo ni ya kutisha je familia yako ni ya siku zote kumbuka kutumia kombe tunakula babu njia kuu ya kuzuia maswala haya ni kufahamu vichwa vyako na labda uwe na sekunde ya pili ya vichwa vya macho vinavyoonekana kuhakikisha kuwa sio ujinga mpangilio mzuri vichwa vingine hujaribu kudanganya msomaji katika kusoma kifungu hicho wakati unaweza kumdanganya msomaji hutaki ajisikie kudanganywa atashukia wavuti yako kwa kumdanganya haswa ikiwa utamfikisha chini ya udanganyifu wa uwongo kisha makala hiyo ikishindwa kutoa soma ibara hii hivi sasa ikiwa unataka kuishi usiku mwingine sijui kuhusu wewe lakini hiyo inaonekana karibu kutishia labda nisingejisumbua kuisoma na ningeyaandika kwa mbinu ya uandishi wa habari pia spammy kwa miaka sasa wasomaji wamepata spam kwenye makasha yao ya kikasha na wakatazama vichwa vya kichwa ambavyo vinajitokeza kwa wenyewe wao ni habari za vichwa vya aina ya bonyezabait ambazo zinatafuta kupata clicks kwa sababu kichwa cha habari ni cha kushangaza au cha kusisimua wasomaji kuepuka vichwa hivi maneno ya kuepuka katika vichwa vya habari takwimu za outbrain zinaonyesha kwamba wasomaji wanapata zaidi mbinu za spammy zinazotumiwa na watangazaji wengine kulingana na utafiti wao majina yenye maneno yafuatayo (bure rahisi nk) kupata ushiriki mdogo kulingana na outbrain watumiaji huepuka maneno maalum kwa mfano maneno kama magic free na lazima yana kiwango cha ushiriki wa wasomaji hasi baadhi ya mifano ya vichwa vya habari ni pamoja na lazima soma kifungu hiki kabla ya chakula chakula chafu nakuhakikishia msomaji atakwenda mbele na kula milo kadhaa na bado hajasoma nakala yako na kichwa kama hicho mfumo wa uchawi ambao utakulipatia $ 1000 na kesho ni barua pepe ngapi ambazo umepata ambazo ni sawa na hii kama msomaji je unasumbua kubonyeza kichwa cha habari na aina hii ya kuongoza mwisho wa majira ya joto facebook ilibadilishana nishati za habari za kulisha habari za kushinikiza vichwa vya habari vya spamu na maneno muhimu chini ya chakula cha habari hiyo inamaanisha kwamba vichwa vyenye vya habari vilivyofaa vyema vyenye vizuri vitakuwa na ustadi wa kufikia kwenye vyombo vya habari vya kijamii kwa kuwa vichwa vya juu vya vichwa vya juu ni nini unapaswa kuandika hata hivyo hii inasisitiza tu suala kwenye jukwaa hili ni hoja nzuri na facebook na imepata vichwa vingi vya spammy ambavyo vinaonekana kuwa vinavyopata chakula cha habari kwa muda mfupi huko wema na mbaya unapoandika kichwa kizuri utataka kuzingatia mifano ya vichwa vyema vilivyotolewa na jerry low katika nakala iliyotajwa hapo juu kwenye ukurasa huu walakini pia utataka kupima maoni unayotoa na yale ambayo haupaswi kufanya kwa kuelewa mambo mawili ya kichwa kizuri cha makala na vitu ambavyo vinasababisha wasomaji kutamani utakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kufikia wasomaji na kuwafanya wabonye kwenye kichwa chako na usome zaidi
2020-01-27T18:28:49
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/blog/web-copy-writing/headlines-that-suck-and-what-you-can-learn-from-them/
heb 7 | `yby | step | ito melekisedekida monawalamuya lo libituyo emoya saleme ebatokaya uliki we napa ito omai we napamidana jokila he mekaka we ne sanoiyoko aebalahamukaho ulinipoki ulalalo wesida maya kohaidokoko aha nisekaiyoko melekisedekiteya wiki anuloka hotula ikaidanaki aebalahamuda maya maku miye melekisedekiya omaimitoka jokila he mekaka we nebo ga 1 ito melekisedekida monawalamuya lo libituyo emoya saleme ebatokaya uliki we napa ito omai we napamidana jokila he mekaka we ne sanoiyoko aebalahamukaho ulinipoki ulalalo wesida maya kohaidokoko aha nisekaiyoko melekisedekiteya wiki anuloka hotula ikaidanaki aebalahamuda maya maku miye 2 maku mekaiyoko aebalahamumamo lowauti wau nesahena leko nisibo maya lepeko ona molokadanaki saina 10 10 oko nebokuti maya ona moloko melekisedekida maya meika meika iye ito melekisedekida uliwamidana monawaya lemo ateukatiya wehe loko minokaka wemidana ulilaki weya ne ito saleme ebamidana uliki we nebomuye loko ulila makoya lemo ateukatiya hulu we napae loko ne 3 melekisedekida aholale dolale ito latalelesida dulinipoya luhuwa makomauya minamiye emo monawalamu ohu jeha ohu jeha ohu jiki li soto molamabo ne emoya minoko leko ibolawa ito api ibolawaki ito minoko helibolawakiya minamibo nenako omai ipalada jokila he mekaka weya minoloko woko ahaya ne 4 maya mudalo melekisedekiya we napa lolo oko neyoko latate aebalahamuya we napa nebo welimoya lowauti wau nesa lalogoya lepeko ona moloko saina 10 10 nebokuti melekisedekidaya makoko makoko miye 5 liwaeda awola malokaya omaitoka jokila hi mikaka we lolo iki minabo weya aebalahamukuti wewena lolo abo neboya wewenanipouti saina mainanipo muki o molaibo 10 10 nebokuti makoko makokoya li litae liki li molabo ga li nupa abokutiya li hukibitiki lae 6 ito melekisedekiya liwaeda nalalauti soto pamibo welimoya aebalahamuda sainala muki 10 10 nebokutiya makoko makoko oko liye sanoidanaki omailimo lo moloetaibo nesaya le mekaiyoko libo we aebalahamuda makuya miye 7 ito we napasiya wewena malokasida maku bikaka niabo nesamuya wewena makolimo elamoe loko lamekolaiye ito melekisidekahoya aebalahamuda maku mibo nenako melekisidekahoya aebahamamuda aseko ne loko noelune 8 malokaya uda ji mikaka niabo wesiya miniki helitabo wewenasiya wewenasida nesanipo 10 10 oko nebokutiya makoko makoko iki likaka niae ito malokaya aya nesa 10 10 oko nebokuti makoko makoko oko libo we melekisedekidamuya minowa minowa oko nebo we liki luhuwa jiminabo ne 9 nemoya eloboya saokaiye melekisedeki aebehamauki hotula niaiyoko liwaekahodina ito awolamolatadinaki oladawa aebalahamuda ukalau minamibo ilekaiye mibo elene saokaiyoko liwaekahokiya asitoti uvamina 10 10 nebokuti liwaeya latalada ukauka aha neyoko makoko makoko iki likaka wesida latanipoya lolo oko minoko aebalahamuda omudaloka nedanaki muki nesahena maya melekisidekida le mibo nesa lolo okaiye 11 liwaeda awopilalalesiya omaitoka jokila hi mekaka yowanumidana laloya omailimo lo hukoko libo gaya isilaelo wewenasida biboya ito edimo gaya omaitoka jokila hi mikaka weya omu wilebolimoya omaimidana omudaloya woko wehe lokogo minatudawo nesamidana le soto molatidanako alikaya uda jekaka we mako aitomidana melekisedekida nalalautiya nenahamu soto petine jisesiya soto pekadanaki elonikaho oko moloko okaka ibomidana oko minamiye emo melekisedekaho oko moloko okaka ibotoya soto penebomuya noloe 12 ga mako yamidana monawaya sako ne omaitoka jokila he mekaka yowanu asehawa maya le huloko ohatama mako le soto molabo nenako minawamidana galawa lo hukoko libo gaya ayamidana oko le huloko oneyoko ohatamamidana mako soto pekaiye 13 ito lo hukoko libo galimoya jisesitoka woko lekaiyoko uda jikaka monoka numuda napau yowanu libo we liwaeda awopilalale yuhaloka libitabo wesida nalanipouti soto pamiye jisesiya aito nalauti soto peneboya aya nalauti makolimo omaitoka jokila hi mikaka monoka numuda napauya yowanu lamabo ne 14 we napateya liwaeda nalalauti nehekala unala judada nalalauti soto penebolawa maya alo muki ele suwoko eleminune ito juda wewenasi omaitoka jokila hi mikaka yowanu litabomu mosesekaho ga mako lamibo ne 1 jen 1417205 nam 1821 jisesi maya melekisedekida aweyaha lolo oko soto pibo ga 15 ito omaitoka jokila he mekaka we ohatamamidana monawala mako sakoya soto pe lalo okaiye omaitoka jokila he mekaka we mako jisesima melekisedekida aweyaha lolo oko soto pekaiye 16 emoya aha wewenasi laboto omaitoka jokila he mekaka we lolo amiye emoya elewole oko minokakamidana abuhawowola omaitoka jokila he mekaka etibo we minakolaiye 17 emokumu monoka bukuguya saliki luhuwa jiminaboma ne emoya melekisedekida aweyahala lolo oko omaitoka jokila he mekaka we minoloko woko minakolaiye liki jiminaboma ne 18 yamuya hapaya li hukiki labo gaya olisauti lilimekakakumu laboya abuha minamiboto watiya ga mako le soto molamiboyae liki li suwi maloka molae 19 mosesekaho lo hukoko libo galimoya omaimidana omudaloka wehe lokogo minatudawo nesago le soto peloko wamiye ito yamidana asetoko ohatama omaitoka jokila he mekakakuti saina lalomu ubolo minoko ujapa oko minokakamidana watiya le soto molaibolimoya anute wileletokaiyoko omaimidana omudaloka wokaka noune 20 ohatama omaitoka jokila he mekaka nesalimo jisesitoka soto piboya omailimo le elewole oko lo hukoetaiboto elewole abuhawowolakiya le soto pe miye edimo omutiki omaitoka jokila hi mikaka wesiya li elewole iki li hukiki lamadanaki aha omaitoka jokila hi mikaka we lolo iki minae 21 ohatamaya le elewole oko lo hukoetaibotoya jisesiya omaitoka jokila he mekaka we wehe loko lolo oko ne jisesidaya luhuwa ga mako omailimo lo miboya mako saloko ne we napamo le elewole oko lo hukaidanaki emoya omaitoka jokila he mekaka we minoloko woko elewole oko minatane loko libo gaya hulamekolaiye 22 monawaya sakoya minokaiyoko jisesi maya lo mutihekaka ga yoweko nebo gamidana le elewole etibo weya lolo iye 23 ito omutiki minabo omaitoka jokila hi mikaka wesi yowanu koli miki likili heliki wiwi niayoko mini ayalo ayalo iki muki wewenasi liliki wiminae 24 saiminaboya jisesiya elewole oko minokaka we nebokumuye loko omaitoka jokila he mekaka yowanuya kolo meko minowa minowa oko minakolaiye 25 saonebo nenako elewole oko minokakauya netibo wemamo muki yupekaya omaitoka lemodamu wako lokaka noinako emoya olisauti dilimekaka yowanuya leko omaimidana omudalo wati oko wokaka noudawo we lilime elewole etibo nesaya noliye 26 lilime wati wati okaka we jisesiya lemo olisatemu omailoka jokila he mekaka weya ne emoya eto oko minoko olisala minamibo we uka laloki lahelamibo nesahena lolohalo abo wewenaki makoko lelilo koloko lolo amidanaki wehe loko nebo we okulumau muki kohaido suwoko nebo we neyoko wati one 27 jisesiya omaitoka jokila hi mikaka we asehawakidana minamiye edimoya muki yupekaya edimonipo lihimanipomuye liki ada omaitoka jokila hi mikadanaki alikaya wewenasida lihimanipomuya jokila hi mikaka niaboya jisesiya lihimala minamibomuye loko jekaka amiye eimolaya ukala obohalaya omaitoka mekadanaki uda makokoya je mekaiyoko woko suwiye 28 mosesekaho lo hukoko libo galoya dukamo opa ibo wewenaya omaitoka jokila hi mikaka weya aha minatae loko lobetaiboya mosesekaho lo hukoko libo ga mupilaloya omailimo le elewole oko lo hukokaka gamoya ipaladaya ilime eto okaiyoko wokoya wehe lokogo nebo weya minoloko woko minakolaiye 17 sam 110421 sam 110427 liv 97
2018-10-16T07:26:57
https://www.stepbible.org/?q=version=YBY%7Creference=Heb.7
buy these cushion covers now for a new look of your living room etc modern design home decor '+l+ home » »unlabelled » buy these cushion covers now for a new look of your living room etc buy these cushion covers now for a new look of your living room etc price range 10000/= to 15000/= per cushion cover *hapa nimeonyesha nikiwa nime arrange katika style tofautiili kujua utaitupiaje kwenye makochi na sebule yako ipendezewa kupenda colour combo wa kupenda mito mingi wa mito michachecontact +255 0712 023102
2017-12-18T09:08:51
http://weloveohlala.blogspot.com/2014/10/buy-these-cushion-covers-now-for-new.html
garlic peeled mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 23 bidhaa kwa garlic peeled) garlic fresh peeled garlic sisi ni ugavi kutoka jinxiang jimbo la shandong tuna kiwanda yetu wenyewe hivyo tunaweza kudhibiti hatua zote za kuzalisha mchakatounaweza kuhakikisha kwamba ubora ulikuwa mzuri kiwango cha kusafirisha i sn o mizizi safi hakuna mold nyeusi si kuvunjwa hakuna splits juu ya ngozi garlic peeled garlic seeds garlic smell garlic kavu garlic clove garlic hotsale red red peeled garlic root
2020-07-08T22:00:51
http://sw.fuyuanfv.com/dp-garlic-peeled.html
rc mtaka fedha za wadau wa afya zilenge kutatua matatizo wananchi kupata picha zaidi kuhusu habari hii fungua hapahttps//simiyuregionblogspotcom/2018/02/rcmtakafedhazawadauwaafyazilengehtml
2019-07-20T21:11:52
http://simiyu.go.tz/new/rc-mtaka-fedha-za-wadau-wa-afya-zilenge-kutatua-matatizo-wananchi
tamwa home homeabout usabout usmission & visionactivitysuccessmembershipmembersregistration projectscurrent projectspast projectspublicationnews letter reportsfeatures & storiesgender base violancehiv & aidsgovernanceconstitutioncorruptionempowermentmaternal mortalitysauti ya sitifact sheetmedia centrenewstamwa newseventsmultimediatv sportsradio sportsphotospress releasedownloadmedia coveragecontactvacancydonate maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani http//wwwffhockeyorg/docs/hg=doesviagrareallyworkyahooanswers does viagra really work yahoo answers quiero comprar viagra sin receta wafanyakazi wa tamwa wapatiwa mafunzo yakupambana na moto maofisini na majumbani taking viagra with high blood pressure medicine tamwa yasikitishwa kesi za ubakaji /ulawiti kwa watoto kuto hukumiwa secure tabs online viagra 100mg http//wwwbcgcertificationorg/donaldphphg=duredeffetduviagra durée deffet du viagra http//wwwffhockeyorg/docs/hg=inventoresviagra inventores viagra view venda de viagra na internet tamwa yakutanisha wadau wa vyama mbalimbali vya siasa na wanahabari hoteli ya flomi morogoro http//wwwppsystemscom/donaldphphg=buyrealviagraonline buy real viagra online tamwa yaadhimisha siku ya wanawake duniani click no effect of viagra building capacity of partners to use media viagra interaction with alcohol http//wwwlittlepriestedu/donaldphphg=howlongdoesittaketillviagraworks how long does it take till viagra works mwendelezo wa mradi wa gewe ii tamwa http//wwwbcgcertificationorg/donaldphphg=viagraringingears viagra ringing ears viagra efectos a largo plazo http//wwwffhockeyorg/docs/hg=bestuseofviagra best use of viagra lsf ya ruhusu mradi wa majaribio kuendelea mpaka disemba 2016 meglio kamagra o viagra http//basilicasanclementecom/donaldphphg=remediopressoxviagra remedio pressão x viagra generico do viagra na ultrafarma ask gp viagra cialis vs viagra market share tamwa kufanya mkutano wake mkuu http//basilicasanclementecom/donaldphphg=viagraandnasalcongestion viagra and nasal congestion mkutano mkuu wa tamwa wanachama watajengewa uwezo namna ya kupanga kushirikishwa pamoja na kutathimini maendeleo ya chama changamoto katika kazi na mipango ijayo ambapo zaidi ya wanachama 100 watapata nafasi ya kujadili mpango mkakati wa miaka mitano ijayo kuanzia mwaka huu 2016 hadi 2020 aidha mpango mkakati wa chama ujao utakaojadiliwa ni pamoja na ukatili na usawa wa kijinsia uwezeshaji wanawake kisiasa na kiuchumi upatikanaji wa habari kwa wanawake na watoto hasa wa kike kwa njia ya tehama ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto pamoja na kukijengea uwezo chama cha tamwa wanachama wa tamwa aidha watapata nafasi ya kupitia katiba ya chama ambapo mwanachama ambaye pia ni mwanasheria wa tamwa bi zainabu mwatawala atawaongoza katika kufanya marekebisho ya katiba ya chama na kuwapitisha wanachama 28 wapya wa mwaka huu kwani mkutano mkuu ndicho chombo kikuu cha maamuzi hayo tamwas 2016 and beyond after agm 8th 9th april 2016 as the tamwa annual general meeting dust settles down i want to thank each and every tamwanite for a very fruitful and informative retreat on 8th april as well as a very resourceful agm on 9th april 2016 we have a visionary new board and a strong secretariat brimming with new ideas we have recruited 25 new tamwa members whose induction course is in the pipe line we have a new strategic plan emphasizing our areas of focus for social transformation which are gender based violence general a review of our annual performance was professionally carried out in which we saw successes and failures challenges as well as opportunities given the above i believe we are rejuvenated what this means our vision is focused towards performing even better towards 2016 and beyond we have commitment drive courage resilience and zeal to carry forward our agenda we want change then we must be the change that we want braced with a very powerful tool for mobilization which is media only the sky is the limit cheers tamwanites edda sangatamwa executive director tamwa yaongeza wanachama 25 wapya baadhi ya wanachama wapya wa chama cha wanahabari wanawake tanzania tamwa waliopitishwa na mkutano mkuu wa chama uliofanyika april 8 na 9 mwaka huu wakapewa maelekezo kuhusu chama hicho ukaribisho huo umefanywa na baadhi ya waanzalishi ambao ni fatuma alloo edda sanga na valerie msoka pamoja na mwenyekiti mpya wa tamwa alakok mayombo hafla hiyo imefanyika makao makuu ya tamwa yaliyopo sinza mori jijini dar es salaam tamwa yashiriki maadhimisho ya siku ya watetezi wa haki za binadamu duniani taasisi ya mtandao wa watetezi wa haki za binadamu tanzania (thrdc)kwa kushirikiana na wanaharakati mbalimbali ndani na nje ya nchi leo hii wanaadhimisha siku ya watetezi wa haki za binadamu duniani kwa mujibu wa umoja wa mataifa haya ni maadhimisho ya tatu kitaifa toka mtandao huu ulipoanzishwa mwaka 2012 nchini tanzania maadhimisho haya kwa tanzania yamefanyika leo tarehe 28 aprili2016 katka hoteli ya blue pearl ubungo plaza na kufunguliwa rasmi na mwanzilishi wa watetezi wa haki za binadamu kwa afrka mashariki na nchi zilizo katika pembe ya afrika (east and horn of africa human rights defenders project (eahrdp) bw hassan shire kutoka uganda siku ya maadhimisho kimataifa kwa watetezi wa haki za binadamu duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 aprili na kwa tanzania maadhimisho haya husimamiwa na mtandao wa watetezi wa haki za binadamu (tanzania human rights defenders thrdc) ambapo tamwa ni mwanachama ukatili wa kijinsia unaoletwa na unywaji pombe washika kasi chama cha wanahabari wanawake (tamwa) kwa pamoja na wawezeshaji wa mradi wa kutokomeza ukatili wa kijinsia unaosababishwa na unywaji pombe kupita kiasi leo wametembelea maeneo ya mradi katika kata ya saranga maeneo ya kituo cha polisi cha mbezi kwa yusuphu pamoja na ofisi ya serikali ya mtaa wa kimara mwisho jijini dar es salaam akizungumza katika ofisi za dawati la jinsia polici mbezi kwa yusuph afisa mradi wa iogtnto movement didas balimanya alipendekeza tamwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii hasa wanawake kupitia vikundi vya akina mama wa maeneo hayo kama vile vikoba na watoto walioko mashuleni kwa ajili ya lengo la kupunguza madhara ya ukatili wa kijinsia unaotokana na unywaji au matumizi ya pombe na pia kuzuia kutokea kwa matukio hayo naye afisa wa polisi gloria urrasa kutoka dawati la jinsia amesema kuwa kwa siku wanasikiliza kesi 9 hadi 10 zinazoletwa dawati zikiwa zinahusiana na ukatili unaotokana na pombe na kuongeza kuwa ulevi bado ni tatizo kubwa na elimu kwa jamii lazima iendelee kutolewa ili kupunguza kesi zinazokuja kutolewa taarifa katika dawati hilo hata hivyo wameishukuru sana tamwa kwa kuandaa mafunzo ambayo yamewajengea uwezo wa kumaliza kesi za ukatili wa kijinsia kwa njia ya kusuluhishwa na sio kama walivyokuwa wanafanya zamani wakichukulia makosa hayo kama ya jinai na hivyo kuongeza mlolongo wa kesi za kwenda mahakamani ambazo mara nyingi wahusika hushindwa kuzifuatilia kwa ajili ya muda mradi huu ambao kwa sasa unakwenda ukingoni unatekelezwa katika wilaya ya kinondoni kata ya makumbusho wazo na saranga tamwa yashiriki zoezi la kutathmini shughuli za jukata tarehe 9 na 10 april2016 jukwaa la katiba tanzania (jukata) liliendesha zoezi la kutathimini maendeleo ya shirika hilo toka lilipoundwa rasmi miaka 6 iliyopita jukata ni asasi isiyo ya kiserikali lililosajiliwa rasmi miaka 6 iliyopita ili kutetea na kusimamia uwepo wa katiba mpya tanzania yenye kuzingatia na kujali usalama wa raia na usawa wa kijinsia tanzania chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) ni miongoni mwa wa jumbe wa bodi iliyoundwa pamoja katika uanzishwaji wa jukata zoezi la kutathimini kazi za jukata lilikamilika jana tarehe 10/5/2016 na shirika lililopewa dhana ya kutathimini linaendelea kukamilisha taarifa za mwisho juu ya tathmini hiyo iliyowahusisha wajumbe wote wa bodi ya jukata na tamwa tukiwa wamoja wao kamati ya mradi wa gewe yatoa elimu ya ukatili wa kijsia kwa wanafunzi morogoro katika hatua za utekelezaji wa mradi wa gewe ii kata ya mtibwa wilayani mvomero mkoani morogoro mei 23 2016 kamati ya kupinga ukatili wa kijinsia na waandishi wa habari wa morogoro wameshiriki kutoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika shule mbili za msingi kata ya mtibwa katika mradi unaotekelezwa na chama cha waandishi wa habari wanawake tanzania tamwa kwa ufadhili wa shirika la danida kutoka denmark miongoni mwa shule zilizonufaika na elimu hiyo ni shule ya msingi madizini na kiwandani ambapo kupitia wanakamati na waandishi habari wameweza kutoa elimu juu ya haki za mtoto wajibu wa mtoto katika familia na namna ya kuweza kutoa taarifa za ukatili wa kijinsia pindi vitendo hivyo vinapojitokeza katika familia zao na jamii kwa ujumla kupitia elimu hiyo walimu wa shule hizo wameiomba tamwa kupitia kamati zake za gewe kuwapatia wanafunzi wao elimu hiyo mara kwa mara ikiwemo pia walimu ambao wameeleza kuridhishwa na utoaji wa elimu hiyo katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii welcome to tamwa website the tanzania media womens association (tamwa) is a nonprofit sharing nongovernmental and nonpartisan organisation registered under the societies ordinance on 17th of november 1987 with registration number so 6763 the association in 2004 complied with the new ngo law of 2002 tamwa has two offices in dar es salaam and zanzibar zanzibar office located at mombasa area near sos is rented but the office in dar essalaam situated at sinzamori along shekilango road kijitonyama kinondoni district is association's property the founder members of tamwa are fatma alloo edda sanga leila sheikh rose haji ananilea nkya valerie msoka pili mtambalike elizabeth marealle rose kalemera jamilla chipo nellie kidela and halima shariff currently the association has over 100 members with a minimum qualification of diploma in journalism and three years work experience in the media industry members are working in public and private media houses as editors reporters programme managers producers public relations and communication officers the agm is the supreme organ of the association but it delegates its powers our to the gb which meets four times a year to evaluate the performance of the secretariat an organ to execute day today activities of the association latest news thu kamati ya mradi wa gewe yatoa elimu ya ukatili wa kijsia kwa wanafunzi morogoro 27 hitstamwa26 may 2016 katika hatua za utekelezaji wa mradi wa gewe ii kata ya mtibwa wilayani mvomero mkoani morogoro mei wed 109 hitstamwa18 may 2016 ndugu wanahabari taasisi zinazotetea haki za wanawake na watoto nchini tunalaani vikali ukatilii thu tamwa yashiriki zoezi la kutathmini shughuli za jukata 117 hitstamwa12 may 2016 tarehe 9 na 10 april2016 jukwaa la katiba tanzania (jukata) liliendesha zoezi la kutathimini maende thu ukatili wa kijinsia unaoletwa na unywaji pombe washika kasi 118 hitstamwa12 may 2016 chama cha wanahabari wanawake (tamwa) kwa pamoja na wawezeshaji wa mradi wa kutokomeza ukatili wa k thu tamwa yashiriki maadhimisho ya siku ya watetezi wa haki za binadamu duniani 260 hitstamwa28 april 2016 taasisi ya mtandao wa watetezi wa haki za binadamu tanzania (thrdc)kwa kushirikiana na wanaharakati thu tamwa yaongeza wanachama 25 wapya 228 hitstamwa28 april 2016 baadhi ya wanachama wapya wa chama cha wanahabari wanawake tanzania tamwa waliopitishwa na mkutan fri tamwas 2016 and beyond after agm 8th 9th april 2016 298 hitstamwa15 april 2016 as the tamwa annual general meeting dust settles down i want to thank each and every tamwanite for wed 421 hitstamwa13 april 2016 chama cha wanahabari wanawake tamwa kimeandaa mafunzo ya siku mbili yatakayofanyika kuanzia leo tar fri tamwa kufanya mkutano wake mkuu 489 hitstamwa08 april 2016 chama cha wanahabari wanawake tanzania tamwa leo tarehe 08 na 09 april 2016 kinafanya mkutano wake wed tangazo mkutano mkuu wa tamwa (agm) 89 april 2016 667 hitstamwa06 april 2016 chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) kinawataarifu wanachama wake kuwa mkutano mkuu wa ch fri lsf ya ruhusu mradi wa majaribio kuendelea mpaka disemba 2016 710 hitstamwa01 april 2016 chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) kwa kushirikiana shirika la kimataifa legal services thu mwendelezo wa mradi wa gewe ii tamwa 641 hitstamwa31 march 2016 chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) leo tarehe 31 machi 2016 kimekutana na wadau mbalim thu building capacity of partners to use media 580 hitstamwa24 march 2016 tamwa in partnership with legal services facility is implementing 9 months pilot project for buildin tue 1693 hitstamwa22 march 2016 chama cha wanahabari wanawake tanzania tamwa kimepokea kwa masikitiko msiba wa mwanachama wake na m tue 720 hitstamwa08 march 2016 chama cha waandishi wa habari wanawake (tamwa) kwa ufadhili wa unfpa iliadhimisha ya siku ya wanawak mon tamwa yakutanisha wadau wa vyama mbalimbali vya siasa na wanahabari hoteli ya flomi morogoro 1016 hitstamwa07 march 2016 tamwa kwa ufadhili wa unwomen ilifanya tathmini ya vyombo vya habari namna vilivyoandika habari za mon 1594 hitstamwa07 march 2016 utafiti umebaini kuwa ukeketaji na ndoa za utotoni bado unaendelea nchini licha ya juhudi zinazofan mon 1406 hitstamwa07 march 2016 journalistic survey conducted recently revealed that that fgm and child marriage are still practiced fri tamwa yasikitishwa kesi za ubakaji /ulawiti kwa watoto kuto hukumiwa 958 hitstamwa26 february 2016 chama cha wanahabari wanawake nchini tamwa kinalaani vikali ucheleweshwaji na upotoshwaji ushahidi fri 946 hitstamwa26 february 2016 chama cha wanahabari wanawake nchini tamwa kinalaani vikali ucheleweshwaji na upotoshwaji ushahidi mon wafanyakazi wa tamwa wapatiwa mafunzo yakupambana na moto maofisini na majumbani 883 hitstamwa22 february 2016 chama cha waandishi wa habari wanawake (tawmwa) kimetoa mafunzo maalum kwa wafanyakazi wake wote jin fri gender gap in media election coverage 987 hitstamwa19 february 2016 in 2015 tanzania election women were underrepresented in media in analysis of one month of all st fri vyombo vya habari vilivyominya sauti za wanawake wakati wa uchaguzi mkuu 998 hitstamwa19 february 2016 uchaguzi mkuu wa tanzania uliofanyika mwaka 2015 ulionyesha kuwa wanawake walikosa nafasi kwenye vyo mon kigwangalla ajitangaza kuwa balozi wa kupinga ukeketaji na ukatili wa aina yoyote wa kijinsia 834 hitstamwa08 february 2016 naibu wa waziri afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dokta hamis kigwangalla ameahidi k tue tamwa yatoa msaada wa vifaa vya kurekodi matukio yatokanayo na unyanyasaji wa kijinsia 926 hitstamwa02 february 2016 chama cha waandishi habari wanawake tanzania (tamwa) katika harakati zake za ukombozi wa wanawake na fri tamwa kukutana na wadau kujadili mapendekezo baada ya kongamano la nchi za afrika kutokomeza ndoa za utotoni 1868 hitstamwa29 january 2016 chama cha wanahabari wanawake tamwa kwa kushirikiana na ubalozi wa canada hapa nchini leo i thu tamwa yatokomeza ukatili wa kijinsia masokoni 1139 hitstamwa21 january 2016 wanawake katika masoko ya ilala buguruni na kiwalani wameishukuru tamwa na efg kwa kuwawezesha kuta thu 2249 hitstamwa17 december 2015 the tanzania media women's association (tamwa) is a membership nongovernmental nonpartisan and n tue role of men and boys in promoting gender equality and positive parenting 3759 hitstamwa15 december 2015 tanzania media women association (tamwa) in collaboration with pathfinder international childrens thu madhara ya ulevi kijamii kiuchumi na kiafya katika kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia miongoni mwa wanawake na watoto 3939 hitstamwa10 december 2015 tamwa kwa kushirikiana na tpha mnamo tarehe 10 na 11 november ilikaa na baadhi ya wadau muhimu katik tue warsha ya wadau wa kupinga ukatili na unyanyasaji katika siku 16 za kupinga ukatili na unyanyasaji wa kijinsia 3384 hitstamwa08 december 2015 tamwa imefanya mkutano na wadau mbalimbali wa kutetea haki za binadamu na kupinga ukatili wa kijinsi mon 2922 hitstamwa30 november 2015 tanzania media women association (tamwa) is a nonpartisan nonprofit sharing professional media me fri kwa mwendo huu 50 kwa 50 ni ndoto 4486 hitstamwa20 november 2015 mtandao wa wanawake na katiba tanzania umesema kwa mwenendo uliopo sasa nchini katika uchaguzi ni vi thu tamwa yafanya warsha ya siku 2 kuweka mpango mkakati wa kutengeneza na kuboresha sera na sheria zitakazo punguza matumizi mabaya ya pombe yanayosababisha madhara katika jamii 2516 hitstamwa19 november 2015 tamwa kwa kushirikiana na tpha chini ya ufadhili wa iogt wamefanya warsha ya siku 2 kwa kuwashirikis thu 3752 hitstamwa12 november 2015 chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) kinapongeza uongozi mpya ulioapishwa novemba 5 2015 fri waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuandika habari zitakazosaidia kuleta amani katika kipindi hichi cha uchaguzi 2460 hitstamwa23 october 2015 waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuandika habari zitakazosaidia kuleta amani na usawa wa kiji thu mafunzo kwa wanahabari kutoka radio za jamii jinsia na habari 2484 hitstamwa22 october 2015 chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) kimeandaa mafunzo kwa wanahabari kutoka mikoa ya dar mon maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani 3054 hitstamwa12 october 2015 wakati serikali imekiri kwamba pamoja na kuwa na sheria kali za kuzuia ukatili kwa watoto bado kuna wed waheshimiwa wakisoma sauti ya siti 2560 hitstamwa07 october 2015 mwenyekiti wa zamani wa umoja wa wanawake tanzania (uwt) mheshimiwa anna abdallah (katikati) mrati wed training report leadership capacity building to tamwa members i am a leader 20228 hitstamwa07 october 2015 on the 3rd and 4th september 2015 the tanzania media womens association (tamwa) conducted a capaci fri tamko la mtandao wa wanawake na katiba na uchaguzi kumpongeza mheshimiwa rais jakaya mrisho kikwete kwa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa malengo endelevu ya millenia 3650 hitstamwa02 october 2015 mtandao wa wanawake na katiba na uchaguzi unampongeza kwa dhati mheshimiwa rais jakaya kikwete kwa wed sauti ya siti toleo la 37 august 2015 english version 2495 hitstamwa30 september 2015 please open below attachment to read new sauti ya siti magazine english version wed sauti ya siti toleo la 37 august 2015 toleo la kiswahili 3132 hitstamwa30 september 2015 please open below attachment to read new sauti ya siti magazine mon alcohol main reason for gender based violence in siha district 2799 hitstamwa28 september 2015 participants of the media engagement strategy formulation workshop in siha district and kilimanjar thu mafunzo kwa waandishi wa radio za kijamii 4296 hitstamwa10 september 2015 tamwa kwa msaada wa shirika la umoja wa kimataifa linaloshughulikia idadi ya watu (unfpa) wameendes mon sauti ya siti toleo la october 2014 3983 hitstamwa07 september 2015 please open below pdf file to read swahili and english version fri tamwa members trained on leadership skills 2726 hitstamwa04 september 2015 participants of the leadership workshop organized by tamwa to impart knowledge of leadership to the fri mkutano wa wahariri 4715 hitstamwa04 september 2015 wahariri kutoka vyombo mbali mbali vya habari wamekutana katika ofisi za tamwa tarehe 02092015 il fri tamasha la kijinsia tgnp 2015 11704 hitstamwa04 september 2015 asasi huru tgnp mtandao ambayo inajihusisha na kutetea na kushawishi mabadiliko kuelekea usawa wa ki wed tamwa kwa kushirikiana na shirika la msaada wa kisheria lsf yaendesha warsha ya kisheria morogoro 4252 hitstamwa26 august 2015 kuanzia tarehe 17 hadi 20 agosti 2015 tamwa kwa kushirikiana na shirika la msaada wa sheria la lsf sun taarifa kwa vyombo vya habari tamwa kutambulisha kwenye kata mradi wa unywaji pombe kupindukia 194899 hitstamwa23 august 2015 chama cha wanahabari wanawake tamwa leo tarehe 24 agost 2015 katika ofisi zake sinza mori ki tue 3527 hitstamwa04 august 2015 wafanyakazi pamoja na wajumbe wa chama cha wanahabari wanawake tanzania tamwa wamekutana tarehe 31 j tue ofisi inapangishwa na pia gari linauzwa 4809 hitstamwa14 july 2015 ofisi ya zamani ya tanzania media women association (tamwa) iliyopo eneo la kisutu mkabala na standi thu wahariri watakiwa kuandika masuala ya jinsia katika uchaguzi ujao 8132 hitstamwa18 june 2015 chama cha wanahabari wanawake tanzania (tamwa) kimewataka wahariri nchini tanzania kuunga mkono na k sun vyama vya siasa vimetakiwa kuweka mikakati kuinua makundi ya pembezoni 145247 hitstamwa19 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari 19042015 vyama vya siasa vimetakiwa kuweka mikakati sun 175108 hitstamwa19 april 2015 please support tamwa in implementing the following activities against gender based violence (gbv sun press realise lets commemorate wolrd aids day 3171 hitstamwa12 april 2015 lets commemorate wolrd aids day while fighting gender based violence tanzania media women organizat sun 3610 hitstamwa12 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari cham sun press release gender based violence 4232 hitstamwa12 april 2015 gender based violence survey on women and national development tanzania media women association ( sun taarifa kwa vyombo vya habari december 10 2014 3824 hitstamwa12 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari utafiti wa unyanyasaji kwa maendeleo ya mwanamke na taifa chama cha sun 3604 hitstamwa12 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari tamwa kuazimisha siku ya ukeketaji mkoani singida leo chama cha w sun 3489 hitstamwa12 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari mafunzo kwa waandishi wa habari chama cha wanahabari wanawake tanza sun 104373 hitstamwa12 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari ubalozi wa kanada kumtunuku mkurugenzi mtendaji wa tamwa kuwa balozi sun ulevi wa pombe kupindukia march 202015 133137 hitstamwa12 april 2015 march 202015 tamwa kukutana na wahariri kujadili ukatili unaosababishwa na ulevi wa pombe kupindu sun 102349 hitstamwa12 april 2015 tamwa annual general meeting 2014 over 100 tamwa members will on saturday 28th march 2015 sit fo sun 254956 hitstamwa12 april 2015 our visiontamwa vision is to see a peaceful tanzanian society which respects human rights with sun 2783 hitstamwa12 april 2015 taarifa kwa vyombo vya habari zaidi ya wanachama 100 wa chama sat tamwa and international womens day march 082014 123010 hitstamwa11 april 2015 march 082014 as the world marks international womens da sat tamwa annual general meeting march 28 2014 178133 hitstamwa11 april 2015 march 28 2014 members of the tanzania sat 57714 hitstamwa11 april 2015 august 262014 graça machel sat 9th africa regionalnovember 202014 252889 hitstamwa11 april 2015 november 202014 9th africa regional conference on the 20 year review of the beijing declaration an sat 16 days of gender activism november 252014 210442 hitstamwa11 april 2015 november 252014 the 16 days of activism against gender violence is an sat launch of campaingn against sextortion december 032014 98399 hitstamwa11 april 2015 december 032014 a nationwide campaign to end sexual exploit sat commemoration zero tolerance of the fgmfebruary 102015 115945 hitstamwa11 april 2015 february 102015 the minister of community development ge sat mafunzo kwa waandishi wa habari february 242015 103756 hitstamwa11 april 2015 february 242015 mafunzo kwa waandishi wa habari chama cha wanahabari wanawake tanzaniatamwa kwa sat end child mariage february 242015 5452 hitstamwa11 april 2015 february 242015 the high sat new mrch 082015 116438 hitstamwa11 april 2015 march 082015 every year march 08 the whole world celebrates womens day around the world tamwa a sat new march 272015 411867 hitstamwa11 april 2015 march 272015 zaidi ya wanachama 100 wa chama cha wanahabari wanawake nchini tamwa jumamosi tarehe sat speaking out for girls april 012015 46168 hitstamwa11 april 2015 april 012015 speaking out for girls care hosts tanzanian activist to discuss child early and for fri 3097 hitstamwa10 april 2015 november 28 2014 ongoing events this november and december december 25 2014 public rally from m fri women coalition july 192014 42837 hitstamwa10 april 2015 july 192014 women coalition on constitutionalism rights for women meets with editors tamwa execut fri women coalition december 172014 195474 hitstamwa10 april 2015 women coalition on constitutionalism rights for women in tanzania the coalition o fri 2792 hitstamwa10 april 2015 november 302014 click here to read new released magazine events february 062015 78445 hitstamwa10 april 2015 february 062015 maadhimisho ya kupinga ukeketaji singida chama cha wanahabari wanawake nchini (ta fri events march 08 2015 110438 hitstamwa10 april 2015 march 08 2015 tamwa scoops two awards at the international womens day 2015 the tanzania media fri 2787 hitstamwa10 april 2015 november 30 2014 school pregnancy or sometimes regarded as teenage pregnancy occur in girls who ha wed speaking out for girls care hosts tanzanian activist to discuss child early and forced marriage 9170 hitstamwa01 april 2015 care canada was pleased to host a special event march 24 featuring tanzanian activist valerie msoka sun 2491 hitstamwa08 march 2015 as the world marks international womens day the tanzania media womens association (tamwa) also re sun 3101 hitstamwa08 march 2015 every year march 08 the whole world celebrates womens day around the world tamwa as the largest s wed ithnaasheri community visited crc 19623 hitstamwa25 february 2015 ithnaasheri community visited crisis resolving centre of tamwa on 2nd february 2015 with the aim of tue 2330 hitstamwa24 february 2015 the high commission of canada presented an award today to honor a tanzanian who has made a distingui tue 2340 hitstamwa24 february 2015 chama cha wanahabari wanawake tanzaniatamwa kwa kushirikian na shirika linalo hudumia idadi ya watu tue 2714 hitstamwa10 february 2015 the minister of community development gender and children (mcdgc) hon sophia simba on 10th februar sun 6249 hitstamwa11 january 2015 society members ought to accept people with disabilities on political participation including in lea tue 3085 hitstamwa25 november 2014 the 16 days of activism against gender violence is an international campaign that starts on 25 novem sun wanawake waomba kupatiwa elimu yauongozi kabla yauchaguzi 59628 hitstamwa26 october 2014 taarifa kwa vyombo vya habari 26oktoba2014 waratibu wawanawake kutoka wilaya 10 za unguja na mon 4551 hitstamwa29 september 2014 the ministry of community development gender and children in collaboration with the united nations wed 36762 hitstamwa03 april 2013 nam egestas libero nec placerat lacinia tellus orci bibendum lectus a elementum tortor arcu eget wed 75443 hitstamwa03 april 2013 nam egestas libero nec placerat lacinia tellus orci bibendum lectus a elementum tortor arcu eget wed 24001 hitstamwa03 april 2013 nam egestas libero nec placerat lacinia tellus orci bibendum lectus a elementum tortor arcu eget wed 159007 hitstamwa20 march 2013 contrary to popular belief lorem ipsum is not simply random text it has roots in a piece of classi map events calendar may 2016 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 our youtube videos youtube slider homeabout usabout usmission & visionactivitysuccessmembershipmembersregistration projectscurrent projectspast projectspublicationnews letter reportsfeatures & storiesgender base violancehiv & aidsgovernanceconstitutioncorruptionempowermentmaternal mortalitysauti ya sitifact sheetmedia centrenewstamwa newseventsmultimediatv sportsradio sportsphotospress releasedownloadmedia coveragecontactvacancydonate joomshaperusing viagra recreational use formula viagra natural viagra safe not puedo tomar viagra tengo 22 años viagra side effects blood urine viagra christianity background music for viagra commercial postfix viagra spam benzo fury viagra tsa viagra pat down often can viagra taken hard sell the evolution of a viagra salesman ending testosterone supplements viagra over counter herbal viagra im 17 need viagra can you take viagra enlarged prostate informacion viagra español viagra levaquin interaction can take viagra after vasectomy can self prescribe viagra viagra prostate massage bnf viagra viagra fassse bad young man take viagra using viagra teenager will viagra show up military drug test la viagra estimula a las mujeres trailer film viagra viagra canadian ads viagra boost confidence viagra boite 30 men have viagra do women have viagra für frauen geeignet u costa rica cheap viagra viagra lose patent womens viagra alternative 23 too young for viagra viagra reverse impotence medical necessity form viagra viagra doesn't help el viagra es bueno para el corazon happens if boy takes viagra dangers mixing viagra alcohol viagra in chicago il empirical formula viagra canine pulmonary hypertension viagra viagra mais barato no brasil reason invention viagra ¿puedo tomar viagra sin receta medica viagra given to a woman does viagra have l arginine before after pictures viagra users efectos secundarios viagra jóvenes tabletki dzialajace jak viagra over counter viagra pills viagra less side effects guy dies from viagra much too much viagra andy griffin viagra can u take ibuprofen viagra faz mal tomar viagra bebida alcoolica kann viagra sicher kaufen can take aspirin viagra viagra jovenes efectos secundarios viagra stop stop stop song lyrics nhs viagra rules plants work like viagra eminem necesita viagra cocktail rezepte viagra can healthy male use viagra reason for using viagra onda cero carlos herrera viagra viagra to sex offenders in health care bill efectos secundarios tomar viagra mixing viagra ketamine herbal viagra 365 viagra cura eiaculazione precoce healthwise clinic + viagra viagra super active what is boots viagra costs viagra bhopal maximum dose viagra one time viagra lung function viagra monologues newtown old too old viagra age can you start taking viagra q color viagra viagra development story can viagra used pulmonary hypertension latest on viagra precio del viagra 2009 do have pay viagra prescription taking a and viagra men's health viagra online kako dolgo deluje viagra boston herald viagra falls viagra libyan troops viagra delay ejeculation cuanto cuesta viagra uruguay viagra convicted sex offenders viagra patient experience viagra use australia viagra structure wiki viagra vo2 max effect viagra healthy males how much dosage of viagra viagra cause hearing loss viagra harmful body viagra paid medicare does viagra help depression efectul viagra femei jokes viagra women do you need script viagra australia viagra info spanish tom kaulitz tem overdose de viagra do you become immune viagra viagra de 50mg é bom viagra e beneficios viagra side effects back best absorption viagra can take cialis day after viagra efectos tomar viagra largo plazo novo concorrente do viagra viagra from tesco on line amazonian viagra viagra kamagra now fda viagra ban contraindications taking viagra long should take viagra work viagra much time take effect would happen if girl drinks viagra initial reason and primary use for viagra cuanto cuesta bote viagra viagra covered under medicaid viagra covered united healthcare get viagra calgary happens if you use viagra thuco viagra dung de lam gi short term long term effects viagra viagra lisinopril contraindications slip viagra drink dizziness after viagra viagra response times abracadabra 151 coke viagra conseguir viagra tenerife viagra originally designed anagennet viagra geodon viagra viagra brillianty tekst viagra effect alcohol co to jest viagra i jak działa asking viagra è possibile comprare il viagra in farmacia bananas natures viagra ginseng viagra interaction effects viagra young adults initial reason viagra galeoncom/comprar viagra foods have viagra effect patent viagra up what's the best place to buy viagra online can you use viagra if you don't need it viagra soft gov br viagra appropriate dose can you buy viagra cozumel comparison of viagra cialis efectos causa viagra jovenes tomar viagra pecado often viagra can used does viagra have same effect women viagra aumenta pressao bill clinton viagra china would happen if girl took viagra yahoo answers can i take aspirin and viagra viagra vanzare 2011 how does viagra for men work get viagra street get rid effects viagra does viagra cause peyronie disease much viagra nhs prescription viagra part d buying viagra tj viagra for men for women viagra sleeplessness is it ok to take viagra when you dont need it lange wirkt halbe viagra quanto tempo antes de tomar viagra viagra för tjej vente du viagra au canada viagra laken taking viagra with adderall usar viagra para durar mas niagara generic viagra much viagra take once viagra bad teenagers viagra may help in cancer treatment viagra induced hearing loss golden root contains viagra herbal viagra high blood pressure cost viagra inr viagra mouse picture viagra over counter india viagra works take cual es precio del viagra what happens after you ejaculate while on viagra film viagra acqua alternativas de viagra en chile viagra us patent expire how long viagra good for pka viagra happens lady takes viagra taking out date viagra cuantos miligramos viagra siege social de la compagnie viagra chemical properties viagra diet instead of viagra puedo usar viagra dias beneficios pastilla viagra virus sending email my account viagra why viagra makes you see blue taking viagra in your 30's viagra frau rezept viagra mapuche capsulas can you take viagra nitric oxide valor viagra 2011 norvir et viagra viagra sellers delhi do need subscription viagra viagra bander apres ejaculation using viagra prozac did viagra start viagra women 2009 happens girl takes viagra yahoo el viagra tiene oxido nitrico female substitute viagra does viagra make you more fertile happens if take half viagra pietro citati bossi viagra taking yohimbe with viagra nome do remedio viagra muerto por sobredosis de viagra vend viagra iasi can you take viagra after having heart attack can women use viagra cialis viagra women benefits crush snort viagra venta viagra mano barcelona viagra sperm damage composicion del viagra natural bipolarismo al viagra romance viagra si el viagra no funciona remedio tem mesmo efeito viagra what foods are natural viagra fda approved uses viagra does long does viagra work dangers viagra alcohol vendo viagra en peru ocular complications viagra es legal vender viagra enrique iglesias toma viagra androderm viagra viagra airline pilots viagra didn't work what should i do viagra much use viagra generica legal can viagra taken empty stomach viagra advantages using viagra seus concorrentes delayed viagra reaction ischemic priapism viagra viagra in stokeontrent viagra despues cancer prostata can u take viagra lisinopril my doctor prescribe viagra viagra for women antidepressants use viagra younger men alphaadrenergic antagonist and viagra braucht man viagra rezept schweiz usar viagra dias can viagra cause irregular heartbeat the risks of viagra distribuidores viagra colombia viagra transient ischemic attack improper use of viagra constant viagra emails has anyone died viagra search female equivalent viagra viagra interactions herbs viagra allowed singapore foro viagra españa gmail sending viagra spam virus boite hotmail viagra safe drink viagra viagra reclama is there viagra for teenagers puedo tomar viagra dias usar viagra por primera vez viagra off label women viagra virus email yahoo can take viagra doxazosin viagra for women with antidepressants video viagra action different between viagra and cialis viagra terazosin fast shipment viagra did viagra begin viagra with terazosin viagra infused bed sheets can you get viagra line new drug women viagra can drink beer viagra viagra available chemists take chewable viagra can you take sudafed viagra side effect of viagra in women optic atrophy viagra viagra changes vision diabetic retinopathy viagra what age can men take viagra was ist viagra wiki viagra for pct contra indicações para viagra viagra nebenwirkungen erfahrungsberichte tablet viagra side effects can take lisinopril viagra differences between viagra acheter du viagra à marseille viagra at lloyds dados viagra viagra jovenes chile viagra for non eu viagra spam removal czy viagra działa po wytrysku viagra canadian delivery can viagra increase testosterone full strength viagra does viagra help ejaculation problems viagra funciona siempre unlabeled viagra possession millions for viagra pennies for the poor silverstein what happens if women ingest viagra smoke weed take viagra viagra legal britain viagra para todos los dias all viagra commercials viagra wygląd tabletki viagra women mayo effects viagra has on women efeitos de viagra com alcool viagra condoms sale taking beta blockers viagra ccr song viagra commercial tom kaulitz sufre sobredosis de viagra viagra laboratorio lilly physiologic action viagra viagra fungerar på kvinnor importação viagra viagra performance anxiety yahoo
2016-05-27T21:59:34
http://www.tamwa.org/
jinsi ya kutatua suala na msaidizi wa mtandao wako | whsr nyumbani > blog > miongozo ya hosting > jinsi ya kutatua suala na msaidizi wa wavuti imesasishwa februari 25 2019 wamiliki wa tovuti wa leo wana chaguzi nyingi za mtandao wa mwenyeji katika hali ambapo kampuni haitoi kiwango cha huduma unachohitaji ni rahisi kupata kampuni mpya ya mwenyeji hata hivyo kuna nyakati ambapo umekuwa na kampuni kwa miaka kama bei zao au hawataki tu shida ya kuhamia kwenye seva mpya katika matukio hayo inaweza kuwa bora kujaribu kutatua masuala yako na kampuni yako ya sasa ya hosting kabla kuhamia kwenye mpya hadithi yangu nyuma katika 2012 katika 2012 nilikuwa na suala na mojawapo ya watoa huduma yangu wavuti kampuni ya mwenyeji wa wavuti ilihamisha tovuti zangu kwenye seva mpya na ip haikutaulua kwa usahihi kwenye tovuti kadhaa za mteja wangu hata baada ya kubadilisha kila kitu nilichoweza kumaliza nilikuwa na wateja fulani wenye hasira na tatizo lilionekana kuanguka kupitia nyufa baada ya siku moja au mbili nilishangaa sana kwa kuwa nimeangalia watoa huduma mpya hata hivyo nilikuwa na mwenyeji wa sasa wa wavuti kwa muda wa miaka mitano na kamwe sikuwa na shida kama hii kabla kwa kweli walinipa mojawapo ya uzoefu bora zaidi wa huduma ya wateja ambao ningekuwa nao badala ya kuondoka nimemtuma mmiliki barua pepe na kuelezea kuchanganyikiwa kwangu kupitia mazungumzo hayo masuala yangu ya ip yalitatuliwa na mmiliki alielezea mambo fulani kuhusu jinsi ya kusaidia kampuni yako ya mwenyeji wa wavuti kukusaidia 1 kutoa maelekezo na maelezo wazi ikiwa unafungua tiketi tuma barua pepe au ufanye simu kutoa maelezo wazi juu ya tatizo unaloona maelezo ambayo unataka kukusanya kabla ya kuwasiliana na msaada wa kiufundi ni pamoja na ikiwa unapokea ujumbe wa kosa nakala nakala ya ujumbe wa neno kwa neno je tatizo la nyuma ya tovuti au katika kivinjari umejaribu kufanya nini tayari kurekebisha tatizo je una nakala ya hifadhi ya tovuti mara ya mwisho mambo yalifanya kazi vizuri tatizo ni la haraka kwa mfano tovuti yako kuwa chini katika browsers ni suala kubwa lakini tatizo juu ya backend inaweza kuwa kama haraka haraka 2 ruhusu muda wa usaidizi wa kazi kwenye suala hilo tovuti ambayo ni nje ya mtandao inaweza kumaanisha dola zilizopotea ni rahisi kukua huzuni wakati suala hilo halijachukuliwa mara moja lakini kuelewa kuwa mwenyeji wa wavuti ni kushughulika na mamia ya watu wengine wenye maswala kama hayo ruhusu 12 kwa saa 24 kwa jibu ikiwa hupokea moja kwa wakati huo au kwa kiwango cha chini sana update juu ya maendeleo kisha wasiliana na mwenyeji wa wavuti tena na kuwakumbusha suala unao nalo mara kwa mara tiketi au barua pepe hupoteza kwenye mchanganyiko kwa hiyo msiwe na wasiwasi kwamba unajumuisha kampuni ya mwenyeji pia ikiwa kuna njia ya kuwasilisha tiketi mtandaoni tumia njia hii kama itatuma shida kwa msaada wa tech na pia itaorodheshwa katika cue ombi lako haliwezekani kuanguka kupitia nyufa wakati unafanywa na watu kadhaa 3 fikiria historia yako na kampuni ikiwa umekuwa na huduma bora kwa wateja lakini uwe na shida moja ambayo ni vigumu kutatua usitupe kikamilifu katika kitambaa hii inaweza kutokea kwa kampuni yoyote ya mwenyeji wa wavuti uliza maswali haya kabla ya kuamua kuchukua biashara yako mahali pengine je masuala mengine yamepangwa haraka ni msaada wa teknolojia kutuma sasisho mara kwa mara kuhusu kile wanachofanya ili kutatua tatizo je kuna kiasi kinachochukuliwa cha muda kitachukua ili kurekebisha masuala niliyo nayo nina furaha gani na kampuni hii ya mwenyeji wa wavuti nje ya suala hili jaribu kukumbuka kuwa mtu mwenye msaada wa tech anafanya tu kazi mchukue mtu huyo kwa wema na kuepuka mashtaka kutukana au jina wito tabia mbaya hazifanya mtu kwa upande mwingine wa seva atakayefanya kazi haraka zaidi haijalishi unaweza kuwa mbaya zaidi kumbuka kuwa wewe ni mtaalamu wa biashara 4 soma msingi wa maarifa wakati tovuti yako iko chini unaweza kuanza kwa kusoma msingi wa maarifa na vikao kwenye tovuti ya mwenyeji wako wateja wengine wanaweza sasa wanaendelea tatizo sawa au inaweza kuwa na kushughulikiwa nayo katika siku za nyuma wakati mwingine ufumbuzi ni rahisi kama kurejesha faili htaccess au kubadilisha vibali kwa folda nyakati nyingine suluhisho linahitaji mabadiliko fulani kwenye mwisho wa seva na msingi wa ujuzi unaweza kukusaidia kuelewa wakati ni kitu ambacho unaweza kurekebisha na kitu unachohitaji kusubiri msaada kufunga juu jua wakati ni wakati wa kwenda kwa upande mwingine ikiwa unakabiliwa na muda mara nyingi au kwa kipindi cha muda mrefu inaweza kuanza kujisikia kama ugonjwa ambao unaua biashara yako kwa kweli itakuwa na athari za trafiki yako kama wateja watakua na kufadhaika na hawatarudi kuna wakati unapaswa tu pata kampuni mpya ya mwenyeji kuweka tovuti yako iendeshe njia inayofaa wakati wa kuondoka jeshi lako la sasa whsr iko hapa maoni ya jeshi na vidokezo vya kutafuta huduma mpya ya kukaribisha ambayo itakidhi mahitaji yako
2019-09-19T01:01:50
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/blog/web-hosting-guides/how-to-resolve-an-issue-with-your-web-host/
chadema wagundua mtambo wa kuingiliana kwa mawasiliano | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by abdulahsaf jul 22 2012 [td]saturday july 21 2012 152 pm chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimedai kugundua mtambo unachochea uvunjifu wa amani unaotumika kupitia mawasiliano ya simu za mkononi ambao unamilikiwa na mtoto wa kigogo wa ccm[/td] [td=colspan 3]hayo yalisemwa jana mbele ya vyombo vya habari jijini dar es salaam na mjumbe wa kamati kuu wa chadema mabere marando wiki iliyopita mbunge wa iramba magharibi mwigulu alisimama bungeni na kuomba mwongozo wa spika akidai kuwa amepokea ujumbe mfupi wa simu kutoka kwa baadhi ya wabunge wa chadema akitishiwa kuuawa[/td]
2016-10-25T14:09:36
http://www.jamiiforums.com/threads/chadema-wagundua-mtambo-wa-kuingiliana-kwa-mawasiliano.296076/
nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri home > bidhaa > nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri (jumla ya 24 bidhaa kwa nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri) nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china sisi ni maalumu nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka china ya jumla nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu mojawapo ya nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri bidhaa za kuongoza kutoka china jining fuyuan fruits and vegetables co ltd tag ubora wa nyekundu wa nyekundu apple red star apple ya uuzaji nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri professional maufacture nyota nyekundu apple upandaji wetu msingi wa apple nyekundu apple inaweza kusambaza bei ya juu na ya sababu sisi ni mtaalamu mtengenezaji wa apple nyekundu ya nyota huko shandong china tuna msingi wetu wenyewe wa upandaji tag zabibu za yunnan grape high quailty juicy na sweet mazabibu ni asili ya asia ya magharibi na hupandwa ulimwenguni kote mzabibu ni matunda maarufu ghafi au zabibu na hupandwa baada ya divai kufanywa asidi ya pombe inaweza kutolewa kwa miguu ya divai mzizi na dawa za mzabibu zinaweza kuacha tag nyekundu nyekundu ya globe grape 2019 nyekundu ya grabe ya globe kuanzia juni mzabibu mpya mboga bora ya red globe zabibu zetu huanza kuingia soko karibu mapema ya mei kipindi cha usambazaji wa zabibu za black globe kutoka kwa mizabibu ya yunnan huanza katikati ya mei wakati wa uzalishaji wa zabibu red globe kutoka mizabibu ya xinjiang ifuatavyo baadaye agosti tag mazao safi ya sweet sweet nyekundu za zabibu bora kubwa mzabibu mwekundu mzabibu mwekundu hupandwa sana nchini china na aina ya jufeng imekuwa aina mbili muhimu za kilimo cha zabibu safi nchini china zabibu nyekundu huchukuliwa kama moja ya aina bora ya zabibu safi kutokana na sifa zake za kuhifadhi na usafiri wa muda yunnan safi zabibu nyekundu tag ngozi safi ya purplish re ambapo inaweza kununua unbibu bora zaidi grape juicy na sweet 2018 xinjiang fresh grape red ni kuanzia sasa tulituma nje zabibu safi nyekundu kwa indonesia malaysia filipino maldives india sri lanka tunaweza ugavi wa fob shenzhen bei na bandari ya cif ya marudio kwa wateja wowote mazao safi nyekundu yunnan nyekundu zabibu zabibu tag mzabibu mpya wa nyekundu ya globe zawadi safi za zabibu nyekundu quality excellent fresh grape red mazabibu yamepandwa kwa maelfu ya miaka na imeheshimiwa na ustaarabu wa kale kwa matumizi yao katika winemaking kuna aina nyingi za zabibu ikiwa ni pamoja na kijani nyekundu nyeusi njano na nyekundu wao hukua katika makundi na kuja katika mbegu zabibu mpya nyekundu tag nyekundu za zabibu 2019 zabibu nyekundu 2019 zabibu nyekundu mazabibu safi nyekundu hupatikana na tunatoa zabibu za zabibu nyekundu kwa ladha nzuri iliyojaa katika sanduku la povu uzito wa 8kgs / ctnsize 20mm28mmsupply upatikanaji julai hadi desembakwa njia sisi pia ugavi garlic safi tangawizi safi 2019 zabibu mpya za zabibu nyekundu kwa bei nzuri tag yunnan red grape mzabibu mpya daraja la mzabibu mwekundu 2 fresh grape grape quality bora sasa mazao mapya ya mazao nyekundu 2019 yameanza ni yabibu nyekundu ya yunnan daraja la 2 na ubora mzuri wengi ni wachache kwa sababu zabibu za yunnan zilianza tu mapema mwezi mei kulingana na uzoefu wa kila mwaka wingi itakuwa zaidi katikati tag mboga mazuri mboga ubora bora wa maharage nyeu ya ladamu tamu nzuri sana tunatoa nafaka tamu kutoka jilin na gansu tabia ya nafaka yetu nzuri ni kwamba ni kubwa na tamu tunaweza kupunguza sehemu moja au mbili za nafaka sawa wakati nafaka inafungua inuka harufu nzuri inuka harufu nzuri ni tamu mdomo aina hii ya mboga mpya mzuri na ubora wa juu tag nyeo ya sweet na high quality nzuri nzuri ya mahindi na ubora wa juu nzuri nzuri ya mahindi sisi hutoa nafaka tamu nzuri ambayo inajulikana katika korea ya kusini mashariki ya kati na mikoa mingine na ladha nzuri na thamani ya lishe kwa sababu ya lishe yake nzuri tamu safi crisp tabia zabuni na kupendezwa na viwango vyote vya tag faida ya afya ya ginger safi jinsi ya kutumia ginger kupikia ukubwa wa ginger safi ginger safi kutoka mkoa wa anqiu weifang jimbo la shandong ukubwa ni 50g na juu 100g na juu 150g na juu soko tofauti inahitaji ukubwa tofauti soko la bangladesh linahitaji 50g na juu na kuingizwa katika mfuko wa mesh 20kg mfuko mesh mbili vifaa vya tangawizi na ubora mzuri tag bei ya tangawizi ya mazao safi tangawizi imewekwa kwenye sanduku ginger tangawizi ya shandong mbinu mpya ya tangawizi ya 2018 ni bora zaidi kuliko pato la kabla ya chini na nyenzo za tangawizi za juu sana ni sababu gani hufanya sistuation hii ikatoke kama unavyojua kulikuwa na mvua nzito katika majira ya joto hii na inaendelea siku tag kichina karoti mboga mboga bei ya kiwanda cha karoti karoti na ubora bora nyeusi kubwa ya chestnut safi tag ubora wa juu na bei nzuri faida ya kula chestnuts je unapikaje chestnuts bei ya jumla ya mandarin safi na ubora mzuri tag hot sale baby mandarin mandarin baby mandarin kwa kuingiza ubora wa mandarin safi ukubwa wa mandarin ya mtoto ni pamoja na s 3540mm m 4050mm l 5055mm mandarin ya mtoto tunayotumia ni maarufu kwa rangi yake ya dhahabu matunda ya juicy ladha tamu harufu nzuri na safi ladha itaendelea kuzunguka baada ya kula nanfeng mavuno ya zabibu nyekundu kwa ngozi tag mzabibu myekundu mzabibu myeusi nyekundu safi zabibu nyekundu mazabibu ya nyekundu mazao mapya ya 2018 xinjiang fresh grape red huanza sasa sisi kununua vifaa bora kutoka bole jinxiang bei ni nzuri sana ubora kutoka bole tulihamisha mazabibu safi mwekundu bangladesh indonesia malaysia filipino maldives india sri lanka nzabibu nyekundu zisizo na mbegu tag mavuno ya zabibu nyekundu zabibu nyekundu ni zabibu za kijani zabibu za zabibu nyekundu 2018 xinjiang fresh grape red ni kuanzia sasa sisi kununua vifaa bora kutoka bole jinxiang bei ni nzuri sana ubora kutoka bole sisi kuuza nje mazabibu safi ya red kwa indonesia malaysia philippines maldives india sri lanka tunaweza ugavi rangi nyekundu zabibu za tamu tag matunda ya xinjiang matunda ya mwekundu 2226mm zabibu za red global zawadi ya bei nafuu ya delicious je ni lishe gani ya zabibu za red nyekundu mzabibu nyekundu una spikes kubwa rangi nyekundu texture crisp na maudhui ya sukari ya juu uzito wa matunda moja unaweza kufikia hadi gramu 20 na sikio moja linaweza kufika karibu na kilo 1 madhara bora ya xinjiang nyekundu zabibu za kimataifa tag 22cm na up red grapes global matunda safi ya zabibu 2018 kazi nzuri ya zabibu za red global wilaya ya xinjiang f resh nyekundu zabibu zabibu zimevunwa ubora sana ukubwa mkubwa rangi nzuri tamu crispypacked kwa ukubwa kutoka 2226cm 2428cm iliyojaa sanduku la plastiki 7kg zabibu za xinjiang ni tamu zaidi supply wakati kutoka yunnan nyekundu zabibu tayari za kuuza nje tag kudumisha uzuri weka matunda vijana grape vyema katika vc 2018 mpya mzabibu mwekundu hapa ni msimu mpya wa zabibu nyekundu mwaka 2018 na kutoka mkoa wa xinjiang mazabibu safi ya mbegu nyekundu yana nafasi ya pili katika eneo la china yunnan na mkoa wa xinjiang zabibu nyekundu za yuan zinaweza kuzalisha mwezi mei kila mwaka tag nyekundu ngozi iliyokatwa ondoa ufungashaji vitunguu utoaji wa vitunguu utoaji kwa soko la australia ukubwa wa kijiko kilichokundu ni 79cm packeage 10kg / loose cardonkuanzia mahali pa asili ya vitunguu ni anqiutown mji wa weifang jimbo la shandong tunaweza kudhibiti ubora na kuhakikisha ubora sana lengo kuu ni kukidhi kutoka kwa vifungo nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri jumla kwenye jining fuyuan fruits and vegetables co ltd na kupata ubora wa juu nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china nyeusi nyekundu apple onjeni mzuri na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2019-08-22T20:26:00
http://sw.fuyuanfv.com/dp-nyeusi-nyekundu-apple-onjeni-mzuri.html
bakwata na siasa za uswisi | jamiiforums | the home of great thinkers bakwata na siasa za uswisi discussion in 'jukwaa la siasa' started by netanyahu apr 17 2010 [font=&quot]baraza kuu la waislamu tanzania (bakwata) limewataka waislamu nchini na wapenda amani kususia bidhaa na huduma zote kutoka uswisi [/font] [font=&quot]tamko hilo limetokana na hatua iliyochukuliwa mwaka jana na serikali ya uswisi kupiga marufuku ujenzi wa minara ya misikiti nchini humo na kwa mujibu wa kura ya maoni iliyopigwa zaidi ya asilimia 50 ya wananchi waliunga mkono huku 42 wakipinga [/font] [font=&quot]akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mufti wa tanzania issa bin shaaban simba aliwataka waislamu pia kutopanda ndege za uswisi hadi marufuku hiyo itakapokuwa imeondoshwa [/font] [font=&quot]“ninatoa mwito kwa waislamu wote duniani kuisusia uswisi katika nyanja za kisiasa kiuchumi kibiashara na masuala yote ya kijamii kama yupo mwenye fedha katika benki ya uswisi au biashara basi aziondoshe mara moja” alisema mufti [/font] [font=&quot]mufti simba alisema anasikitishwa na jinsi uswisi ilivyoingilia uhuru wa kuabudu kwa kupinga ujenzi wa minara kwani hata kesho wanaweza kupinga adhana jambo linaloweza kuleta uchokozi na kufarakanisha watu[/font][font=&quot]baraza kuu la waislamu tanzania (bakwata) limewataka waislamu nchini na wapenda amani kususia bidhaa na huduma zote kutoka uswisi [/font] [font=&quot]mufti simba alisema anasikitishwa na jinsi uswisi ilivyoingilia uhuru wa kuabudu kwa kupinga ujenzi wa minara kwani hata kesho wanaweza kupinga adhana jambo linaloweza kuleta uchokozi na kufarakanisha watu [/font] [font=&quot]alisema hatua hiyo ni ubaguzi chuki na uchokozi dhidi ya dini ya kiislamu kwa kuwa marufuku hiyo hailengi kukataza ujenzi wa minara ya makanisa ila ya misikiti [/font] [font=&quot]alisema kitendo hicho cha serikali ya uswisi kueneza propaganda chafu dhidi ya uislamu si cha kiungwana wakati kwa muda mrefu imekuwa ikifahamika kwa utamaduni wake wa kuvumiliana na kuheshimiana baina ya dini tofauti [/font] [font=&quot]“kitu hicho kinaliondolea heshima taifa hilo na kibaya zaidi kwenda kinyume na tamko la dunia kupitia umoja wa mataifa la haki za binadamu linalotaka kila mtu kuwa na haki ya kuabudu” alisema [/font] [font=&quot]mufti pia aliwataka waislamu duniani kote kulinda na kuienzi dini yao na kuhakikisha wanachukua hatua madhubuti kuhakikisha inalindwa[/font] [font=&quot]source http//wwwhabarileocotz/kitaifa/n=6505&cat=kitaifa[/font] [font=&quot]my comment[/font] [font=&quot]mufti asilojua ni kuwa huko nchi zinazoitwa za kiislamu makanisa hayaruhusiwi kujenga makanisa na kuweka minara yenye misalaba juukisa wanachosimamia ni kuwa watu wengi ni waislamu na hawataki hilosasa uswisi wengi wamepiga kura kusema hawataki kama uarabuni na nchi za kiislamu wanavyofanya tatizo liko wapi je hizo haki za kibinadamu ni kwa ajili ya waislamu uswisi na wakristo hawana haki hizo uarabuni na nchi za kiislamuje na nchi zenye wakristo wengi waanze kutangaza kususia kila kitu ikiwemo mafuta toka nchi za kiislamu kwa kuwakatalia kuweka misalaba kwenye minara ya majengo ya ibada [/font] [font=&quot][/font] [font=&quot]uswisi walichofanya ni kuwaeleza waislamu kuwa democracy is not a one way traffic ukikataza mwenzio asijenge mnara wa msalaba kwenye nchi zako za kiislamu ujiandae na wewe kwenye nchi za wenzio kukataliwa na wewe kujenga wakonatamani nchi zingine zingeiga mfano wa uswisi ili kushinikiza nchi za waislamu wabadilike na wawe na utamaduni wa kuvumilia imani za wenginesio tu watake kuvumiliwa wao tu[/font] [font=&quot][/font] [font=&quot]hili la kusema waislamu wa tanzania wasusie bidhaa za uswisi sidhani kama lina nguvuwaislamu wengi tanzania hata saa ya mkononi ya uswisi hawajui inafananaje kwa kuwa hawana na hawana uwezo wa kununuakauli yake haina athari kwa uchumi wa uswisi[/font] that is stupidity of beyond beliefnafikiri hawa bakwata wangempinga sheikh yahaya hussein kuhusu kutabiri kifo kuliko kuingilia mambo ya uswisi ndio maana watu wengi hapa jf tuna wasiwasi na serikali yetu kuendekeza udini to be fair wananchi wengi wa uswisi hawajui kama kuna tanzania inaexistthey dont care leo kulikuwa na suicide bombing huko pakistan unleashed by fellow muslimsnigefurahi bakwata wangecondemn huu unyama labda bakwata ingeanza kwa kuorodhesha hizo bidha za uswiss zinazouzwa tanzania kisha apime kama ususiaji wa hizo bidhaa utakuwa na impact gani bidhaa za uswiss sio saa na shirika la ndege tuu hata madawa ya tiba mengine yanatoka huko uswiss onyesha mfano wewe kwa kususia misaadana utueleze sera endelevu za kuukomboa uislamuna aibu uiepushie jumuia ya bakwataaibu ya kugombania mbuzi kutoka meccawakati sisi bongo tunao wa kutosha pia viongozi wa bakwata nawasihi mwache kugombamia msaada wa nyama ya mbuzi kila mwaka kwani mbuzi hao hutolewa kwa ajili ya yatima baada ya swala ya hija pia muache kupokea misaada ya yatima wakati vituo vya kuwalea hatuna tumbie kwa vipi tutajikomboa ili tuweze kuacha kuomba msaada wa fedha serikalini kwa ajili ya kukombolea hao mbuzi bandarini pindi wanapoingia kutoka mecca kujinufaisha kwa kutumia nembo ya mayatima ni unafiki na uzandiki mwapaswa kuadhibiwa nyie mnaitia dini aibu
2016-10-25T05:02:51
http://www.jamiiforums.com/threads/bakwata-na-siasa-za-uswisi.58857/
lowassa rais magufuli anafagia fedha za watanzania | eddy blog | edwinmoshi official blog lowassa rais magufuli anafagia fedha za watanzania mjumbe wa kamati kuu ya chadema na aliyekuwa waziri mkuu mh edward lowassa amefunguka na kusema kuwa rais magufuli alianza vizuri kwani yapo mambo aliyoyafanya ni mazuri lakini pia yapo mambo mengine amefanya yana matatizo lowassa amesema haya alipokuwa akifanya mahojiano na kusema kwa sasa tumuache rais magufuli aendelee na kazi yake lakini baadaye ndiyo watu waweze kumuhukumu kutokana na mambo ambayo ameyafanya rais magufuli ameanza vizuri kubana mambo mazuri amefanya lakini kuna mambo mengine yana matatizo lakini mwalimu nyerere aliwahi kusema wakati unafagia unaweza kufagia hata shilingi sasa rais magufuli anafagia shilingi nyingi lakini tumuachie aendelee na kazi tumuhukumu baada ya kipindi fulani alisisitiza lowassa
2018-06-22T12:44:49
http://edwinmoshi.blogspot.com/2017/06/lowassa-rais-magufuli-anafagia-fedha-za.html
china yasisitiza uwekezaji wake hauna masharti rais cyril ramaphosa wa afrika kusini rais xi jingping wa china amewaambia viongozi wa kisiasa na kibiashara wa nchi za afrika kwamba uwekezaji wa china katika bara lao unafanyika kwa ajili ya kuimarisha maendeleo ya afrika na wala sio miradi ya maonyesho tu akifungua jopo la ushirikiano kati ya china na afrika mjini bejing jumatatu rais xi aliwambia viongozi wa afrika kwamba uwekezaji wa china haufunganishwi na masharti ya kisiasa na wala nchi yake haina nia ya kuingilia kati masuala ya ndani ya afrika rais xi aliahidi kutoa dola bilioni 60 kusaidia misaada ya maendeleo kwa miaka mitatu ijayo dola bilioni 15 kati ya hizo ni msaada wa bure bila ya riba kwa lengo la kupunguza wasiwasi kwamba msaada wa china unazitumbukiza nchi za afrika katika madeni zaidi viongozi na wakuu wa serikali za nchi za afrika wanaohudhuria mkutano huo unaofanyika kila mwaka wanasifu jukumu muhimu la china katika maendeleo ya nchi zao na kueleza kwamba bejing inashirikiana na nchi zote za afrika kwa usawa na heshima rais wa africa kusini cyril ramaphosa aliyekuwa mwenyekiti wa jopo lililopita amesema kwamba china ni mshirika mkuu wa nchi za afrika na inachukua jukumu muhimu kuzisaidia nchi hizo kuimarisha maendeleo na uchumi wao kama mshirika wa sawa kabla ya ufunguzi wa mkutano wa kilele jumatatu marais xi na ramaphosa waliongoza mkutano wa viongozi juu ya namna ya kuimarisha uchumi na ushirikiano wa kibiashara kati ya pande hizo mbili polisi wafunguka juu ya kushikiliwa kwa mlinzi wa bobi wine sakata la kukamatwa wanasiasa uganda
2020-05-28T15:38:01
https://www.voaswahili.com/a/china-yasisitiza-uwekezaji-wa-china-hauna-masharti/4555495.html