text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
mazungumzo ya amani mashariki ya kati bbc swahili http//wwwbbccom/swahili/habari/2014/04/140429_israeli_palestina image caption mazungumzo ya amani mashariki ya kati yatibuka muda wa mwisho uliowekwa na marekani wa mpango wa mashariki ya kati umemalizika mchakato huo unaonekana kugonga mwamba israeli na palestina wamekataa kuendelea na mazungumzo zaidi mazungumzo yao yalivunjika pale israeli ilipoukataa mpango wa amani baina ya makundi makuu mawili ya wapalestina wa kuunda serikali ya umoja na hasira ya wapalestina kutokana na ujenzi wa israeli wa makazi mapya katika maeneo ynayokaliwa waziri wa mambo ya nje wa marekani john kerry amekasirishwa na kitendo cha israeli kuendelea kujenga maakazi ya wayahudi na palestina kupendelea kuunda serikali ya umoja na kundi la hamas hatahivyo haja kubali kushindwa anatumia maneno kama ''kusitishwa kwa muda kwa harakati za kutafuta amani'' kuna uwezekano kuwa huenda marekani itafuatilia kwa karibu yanayoendelea huku ikishinikiza kurejelewa kwa mchakato wa kutafuta amani hatahivyo baadhi ya washirika wa marekani katika mazungumzo hayo wanamasema kuwa muda wa kuleta amani umekwisha viongozi wa nchi za ulaya na matiafa ya kiarabu wameunga mkono juhudi za john kerry katika kujaribu kulitafutia suluhu tatizo la israil na palestina na kushikilia msimamo kwamba marekani ndio taifa pekee lenye uwezo mkubwa wa kufanikisha mchakato huo
2018-03-17T22:31:17
http://www.bbc.com/swahili/habari/2014/04/140429_israeli_palestina
vampire diaries viungo | stories reviews and zaidi on fanpop | sorted kwa rating | page 106 onyesha viungo vya vampire diaries (10511060 of 3388) hopefully people who are mashabiki of the onyesha and mashabiki of elena and mashabiki of real human behavior will understand and respect the choice that she makes imewasilishwa kwa silvertear zaidi ya mwaka mmoja uliopita how damon slowly falls in upendo with elena how damon slowly falls in upendo with elena video imewasilishwa kwa kristta12 zaidi ya mwaka mmoja uliopita
2020-08-04T23:53:16
https://sw.fanpop.com/clubs/the-vampire-diaries/links/page/106?sort_method=rating
kisima cha maarifa kuwa bora zaidi soma hapa usipitwe kisima cha maarifa by makirita amani | july 17 2014 kisima cha maarifa ni blogu pacha ya amka mtanzania ambayo inakupatia mafunzo mbalimbali ya kuboresha maisha yako kupitia kisima cha maarifa unajifunza mambo mengi sana ambayo yanakuwezesha kufikia mafanikio makubwa kwenye jambo lolote unalofanya kwa sasa ndani ya kisima cha maarifa kumekuwa kukipatikiana makala mbili kwa wiki moja ikiwa ya ← fedha anza kujenga tabia ya kujiwekea akiba fedha utaratibu mzuri wa kujiwekea akiba →
2018-02-25T17:37:03
https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2014/07/17/kisima-cha-maarifa-kuwa-bora-zaidi-soma-hapa-usipitwe/
hivi ni makusudi au helsb hawajatoa hela au ni nini | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by wa bagamoyo jul 27 2012 wa bagamoyo senior member jamani hili ni tatizo wale wa saut mwanza waliopo field hawajapewa hela zao mpaka leo na next week field inaisha sasa wanadhani watu wanaishije huko mikoani tanzania haitaendelea kamwe kwa mtindo huu i swear poleni sana fuatilieni msikate tamaa ndo mambo ya boom hayo limetutesa wengi hata hela ya projject hatukupewa but tulimaliza wanazingua lakini wa bagamoyo said ↑ kiswahili ni lugha yetu lakin haielewek na na hawa wakuu wa nchi yetu lugha rahisi kwao kuelewa ni ya mgomo tu ukitumia kiswahili utachoka sana na no body cares hapa ni mgomo tugomeni masela
2018-01-23T22:29:00
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-ni-makusudi-au-helsb-hawajatoa-hela-au-ni-nini.299013/
yaliyo jiri mkoani ruvuma na mkongwe wa habari adam nindi tenesco kulikoni kuhusu umeme songea kero ya umeme katika manspaa ya songea ime kuwa kitendawile leo umeme upo kesho hakuna kwa nini msishirikiane na tancoal wa chimbaji wa makaa ya mawe kutoka rwanda ili tutumie umeme wa makaa ya mawe ndc hebu fanyeni vitu ili songea iwe songea inayo songambele posted by adam mzuza nindi at 153 am
2017-12-11T09:43:54
http://songeahabari.blogspot.com/2012/06/tenesco-kulikoni-kuhusu-umeme-songea.html
mkakati wa ccm kuchelewesha katiba mpya huu hapa | jamiiforums | the home of great thinkers mkakati wa ccm kuchelewesha katiba mpya huu hapa discussion in 'jukwaa la siasa' started by mpemba mbishi may 20 2012 chama cha mapinduzi kimepanga mbinu tofauti kuhakikisha katiba mpya inayotarajiwa kutungwa na watanzania haitoweza kutumika wakati wa uchaguzi mkuu ujao (2015) kwa mujibu wa wajumbe wa ccm (zanzibar) waliorudi tanzania bara hivi karibuni wamenukuliwa wakisema kuwa mikakati hiyo ni ya aina mbili 1) kuishinikiza tume ya katiba kuingiza mambo ambayo yatawakera wazanzibar kuhusu muungano jambo ambalo litapelekea kupiga kura ya kuikataa katiba mpya wakati itakapoitishwa kura ya maoni katika kufanikisha hili tayari mapendekezo ya awali yapo mbioni kuwasilishwa tume ya katiba ili yaingizwe kwenye katiba moja ya pendekezo hilo ni kuwepo kwa mfumo wa muungano wa serikali mbili jambo ambalo linapingwa vikali na wazanzibar 2) mkakati mwengine ni kuwatumia baadhi ya wanasiasa au vyama vya siasa kuweka pingamizi mahkamani ili muda wa kukamilisha mchakato huo usifanikiwe katika hili serikali na ccm imepanga kujitetea kuwa ilikuwa na nia njema lakini vyama vyenyewe vya upinzani ndio vilivyochelewesha mchakato huo pia wamedai watatumia mkakati mwengine iwapo mbinu hizo hazitofanikiwa hata hivyo mwandishi wa habari hii hakufanikiwa kupata mkakati wa tatu iwapo njia hizo hazitozaa matunda lakini bado ninaendelea kutafuta kujua ni njia gani hiyo wanatarajia kuichukua kwa mujibu wa wajumbe hao kutoka zanzibar wamesema kuwa wana ccm wenzao kutoka bara sasa hivi hofu yao ni chadema hivyo basi iwapo katika mpya itatumika katika uchaguzi mkuu ujao (2015) inaweza kuhatarisha wao kubaki madarakani kwa vile tume huru ya uchaguzi itakuwa ni pigo kubwa kwa ccm mmoja ya wajumbe hao alipoulizwa iwapo ni mkakati gani ambao anategemea kuwa utafanikiwa alidai kuwa ni ule mkakati wa kwanza wa kuweka vipengele na vizuizi ambavyo vitawafanya wazanzibar kuichukia katiba mpya na kupelekea kuikataa wakati wa kura ya maoni jambo ambalo litakuwa ni pigo kwa chadema ambacho kimepanga kutumia tume huru ya uchaguzi kujikita madarakani habari hizi huenda zikawa na ukweli fulani kwa vile uvumi umeenea hapa zanzibar kuwa kama hakitowekwa kipengele cha kujadiliwa muungano (kuwepo au kutokuwepo) basi wazanzibar watahamasishwa kupiga kura ya hapana wakati ukifika jambo ambalo litafanikiwa kwa kura nyingi (wakati ndio ambao utathibitisha ukweli au uongo wa tetesi hizi) tujadili na nini kifanyike kuzuia mbinu hizi chafu nakubaliana nawe ccm wanambinu za kipumbavu nawaonya ccm wasituchezee akili hawawezi zuia mvua kunyesha hii habari inamake sense wanatafuta balaa etihatuta kubali kirahisi patachimbika hapa 1 nafikiri kuwa chadema tumewaamini ccm kuwa wanaweza kuleta katiba mpya ya watanzania kitu ambacho siyo cha kweli kwa sababu hoja ya katiba mpya siyo sera ya ccm hivyo watafanya wawezavyo kupindisha mchakato ili waendelee kubaki madarakani 2 kuna haja ya kutumia njia mbadalakufanya marekebisho ya katiba ili kuruhusu uanzishwaji wa tume huru ya uchaguzi kabla ya katiba mpya 3 kushinikiza serikali kuanzisha mchakato wa kura ya maoni juu ya muungano muundo wake na uwepo wake 4 kuishinikiza serikali kuweka wazi juu ya msimamo wake kuhusu mahakama ya kadhi nafikiri kwa haya machache tunaweza kupiga hatualakini kuitegemea tume ya kikwete juu ya katiba mpya kuwa italeta hiyo katiba ni kupoteza muda na mwisho wa sikuuchaguzi ujao tusishangae tukafanya yaliyotokea kenya na pengine hata zaidibelieve me or not nakumbuka zamani komba wa tot alivyokuwa na mvuto kwenye kampeni na bendi yake lakini sasa anaonekana ni taktaka machoni kwa watanzania kwahiyo hata wakichelewesha lazima kieleweke kwenye swala la kupiga kura wapiga kura wote wa zanzibar ni sawa na wapiga kura wa jimbo moja tu la ubungo kwahiyo wazanzibar hawana ubavu wowote kwenye kura ya maoni kwenye swala la kupiga kura wapiga kura wote wa zanzibar ni sawa na wapiga kura wa jimbo moja tu la ubungo kwahiyo wazanzibar hawana ubavu wowote kwenye kura ya maoniclick to expand kasome tena sheria na kanuni wazanzibari hata wawe laki moja ujue kwamba wana kura ya veto usikurupuke asiyejua maana usimwambie maana kasome tena sheria na kanuni wazanzibari hata wawe laki moja ujue kwamba wana kura ya veto usikurupuke asiyejua maana usimwambie maanaclick to expand unaweza kusupport kauli yako kwa kuweka link ya hiyo kura yao ya veto maana wewe ndio umekurupuka na mapovu kibao mdomoni unaweza kusupport kauli yako kwa kuweka link ya hiyo kura yao ya veto maana wewe ndio umekurupuka na mapovu kibao mdomoniclick to expand mkuu matola nilishasema kwamba 'asiyejua maana usimwambie maana' mkuu matola nilishasema kwamba 'asiyejua maana usimwambie maana'click to expand then hapa unahitaji nini hasafacebook is safe place for you kumbe wanaogopa katiba mpya kama wanaogopa katiba basi ccm byebyemaana mikakati yao hakuna hata moja litafanikiwe time has come at its right sight wajumbe wa kamati ni kikwazo tosha tusitegemee kuvuka katiba nzuri kwenye ile mkusanyiko unaoitwa tume pale ni maslahi ya chama twawala tu hakuna cha zaidi nafikiri kwa haya machache tunaweza kupiga hatualakini kuitegemea tume ya kikwete juu ya katiba mpya kuwa italeta hiyo katiba ni kupoteza muda na mwisho wa sikuuchaguzi ujao tusishangae tukafanya yaliyotokea kenya na pengine hata zaidibelieve me or notclick to expand ni kweli kabisa i belive you mimi nina mashaka na hii tume teule ya jk kuwa watafanya kwa maslai ya mkuu wa kaya anayejitahidi kuwapa donge nono kama rushwa ili wafanye kwa maslai yao ccm niliona thread iliyozungumzia laki tatu kwa siku kwa hii tume ya katiba na je ni halali nakubaliana nawe ccm wanambinu za kipumbavu nawaonya ccm wasituchezee akili hawawezi zuia mvua kunyeshaclick to expand nachoweza kusema nikwamba nguvu ya umma hata upepo hauwezi kuizuia watabana lakini wataachia tu so tusubiri muda tu wafanye wanavyoaka lakini jibu ni cdm kushika nchi hii mnamo uchaguzi ujao kama tunaitakia nchi hii mema tuachane na uhaini na hila niliwahi kumwambia jamaa yangu kuwa ilikuepushavita kwa tuanze na tume ya uchaguziili tukipata rais safi ndiyotuundekatiba mpya kamasihivyo jiandaenikwavita maana ccm hawakotayari kuundakatiba mpya then hapa unahitaji nini hasafacebook is safe place for youclick to expand inauma eeehh asiyejua maana usimwambie maana
2017-01-25T01:26:44
https://www.jamiiforums.com/threads/mkakati-wa-ccm-kuchelewesha-katiba-mpya-huu-hapa.267130/
michuzi blog naibu waziri wa mambo ya ndani atembelea taasisi za wizara ya mambo ya ndani katika maonesho ya sabasaba jijini dar leo naibu waziri wa mambo ya ndani atembelea taasisi za wizara ya mambo ya ndani katika maonesho ya sabasaba jijini dar leo mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya serikali wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi isaac nantanga (kulia) akimkaribisha naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi pereira ame silima kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanywa na wizara pamoja na taasisi zake silima alitembelea taasisi zote za wizara zilizoshiriki maonesho ya sabasaba yanayoendelea jijini dar es salaam naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi pereira ame silima akipimwa kilevi kwa kifaa maalum na askari polisi (kulia) wakati alipotembelea banda la jeshi la polisi katika maonesho ya sabasaba yanayoendelea jijini dar es salaam maafisa wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi wakitoa vipeperushi vya wizara hiyo kwa wananchi na wanafunzi wa shule ya awali waliotembelea banda hilo katika maonesho ya sabasaba yanayoendelea jijini dar es salaam naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi pereira ame silima (kulia) akipewa taarifa za kazi mbalimbali zinazofanywa na idara ya uhamiaji na afisa wa idara hiyo wakati alipotembelea maonesho ya sabasaba yanayoendelea jijini dar es salaam askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji akimfundisha mwanafunzi wa shule ya awali jinsi ya kuzima moto wakati wa maonesho ya sabasaba yanayoendelea jijini dar es salaam kamishna msaidizi wa jeshi la magereza julius sangudi (katikati) akimuonesha samani za ndani naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi pereira ame silima (kulia) wakati alipotembelea banda la jeshi la magereza katika maonesho ya sabasaba yanayoendelea jijini dar es salaam picha zote na felix mwagara
2014-10-30T16:38:34
http://issamichuzi.blogspot.com/2013/07/naibu-waziri-wa-mambo-ya-ndani.html
lakers yaachana na jabari brown yamuingiza metta world peace | shaffihdauda home kimataifa lakers yaachana na jabari brown yamuingiza metta world peace lakers yaachana na jabari brown yamuingiza metta world peace sheria ya nba inavitaka vilabu kuwa na jumla ya wachezaji wasiozidi 15 ambao wataorodheshwa kushiriki michezo ya nba na vilabu kadhaa msimu huu vilikuwa na idadi iliyozidi 15 hivyo kutakiwa mpaka kufikia siku ya jumatau jioni (leo hii) kuwa vimewasilisha majina ya wachezaji wanasajiliwa rasmi hivyo katika kutimiza masharti hayo meneja wa klabu ya los angeles lakers mitch kupchak ametoa taarifa rasmi kuwa klabu ya los angeles lakers imeamua kuachana na mchezaji jabari brown na maana yake mchezaji mwingine aliyekuwa kwenye hatari ya kukatwa metta wworld peace ambaye jina lake la kuzaliwa ni ron artest (alilibadili mwaka 2011 kisheria) amebaki na kikosi hicho jabari brown alikuwepo katika michezo ya maandalizi na alikuwa na wastani wa pointi 60 ribaundi 15 assist 08 kwa dakika 143 kwa kila mchezo katika msimu uliomalizika alicheza michezo 19 pekee huku akianza 5 na kuwa na wastani wa pointi 119 assist 21 ribaundi 19 kwa dakika 299 kwa mchezo orodha rasmi ya wachezaji wa lakers hii hapa previous articlehii ndio list mpya ya team brands zenye thamani kubwa duniani next articledanny granger nje ya kikosi cha detroit pistons
2018-09-22T15:43:59
http://shaffihdauda.co.tz/2015/10/26/lakers-yaachana-na-jabari-brown-yamuingiza-metta-world-peace/
*rc shigella atembelea bandari ya tanga sufianimafoto home habari picha *rc shigella atembelea bandari ya tanga *rc shigella atembelea bandari ya tanga kushoto ni kaimu meneja wa bandari ya tangahenry arika akisisitiza jambo kwa mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella wa kwanza kulia aliyekaa kwenye boti wakati alipofanya ziara ya kuitembelea bandari hiyo mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella wa kwanza kulia akitazama maeneo ya bahari akiwa kwenye boti wakati alipoitembelea kuona namna ya utendaji wao katikati ni katibu tawala wa mkoa wa tangamhandisi zena saidi na kushoto ni kaimu meneja wa bandari wa tanga henry arika kaimu meneja wa bandari ya tangahenry arika wa pili kutoka kulia akisisitiza jambo kwa mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella wa pili kutoka kulia wakati alipofanya ziara ya kuitembelea bandari hiyo kuona namna inayofanya kazi kwa ufanisi katibu tawala wa mkoa wa tangamhandisi zena saidi akishuka kwenye boti la bandarini akisaidiwa kushuka wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella aliyoitembelea bandari hiyo kuona namna inavyofanya kazi zake kwa picha zaidi bofya read more mkuu wa wilaya ya tangathobias mwilapwa akipanda ngazi kuelekea kwenye meli ya mizigo iliyotia nanga bandari ya tanga wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella ambaye aliitembelea bandari hiyo anayefuatia ni mkuu huyo wa mkoa mkuu wa wilaya ya tangathobias mwilapwa akipanda ngazi kuelekea kwenye meli iliyotinga nanga baharini wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella juzi kuona namna inavyofanya kazi zake mkuu wa mkoa wa tanga martine shigella akipanda ngazi kuelekea kwenye meli ya mizigo iliyotia nanga bandari ya tanga wakati wa ziara yake ya kuitembelea bandari hiyo katibu tawala wa mkoa wa tangamhandisi zena saidi akipanda ngazi kuelekea kwenye meli hiyo akifuatiwa na katibu tawala wa wilaya ya tangafaidha salim wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella kaimu meneja wa bandari wa tanga henry arika akipanda ngazi kuelekea kwenye meli ya mizigo iliyotia nanga kwenye bandari ya tanga wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella kuitembelea bandari hiyo kuona shughuli zake anayefuatia ni pro wa bandari ya tangamoni jarufu mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella katikati akiteta jambo na pro wa mamlaka ya bandari ya tangamoni jarufu wakati wa ziara yake mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella wa kwanza kushoto akionyeshwa kitu na katibu tawala wa mkoa wa tanga(ras) mhandisi zena saidi wakati wa ziara yake ya kuitembelea bandari hiyo jana mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella kushoto katikati ni katibu tawala wa mkoa wa tangamhandisi zena saidi wakiteta jambo wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa kuitembelea bandari hiyo kuona namna inayofanya kazi zake kulia ni pro wa bandari ya tangamoni jarufu katikati ni mkuu wa mkoa wa tangamartine shigella akiwa ni kaimu meneja wa bandari ya tangahenry arika kushoto wa kwaza kulia ni katibu tawala wa mkoa wa tangamhandisi zena saidi na wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya tangathobias mwilapwa wakifurahia jambo wakati wakiwa kwenye ziara ya kuitembelea bandari ya tanga
2017-11-22T03:38:26
http://www.sufianimafoto.com/2016/09/rc-shigella-atembelea-bandari-ya-tanga.html
languta yingisa hanya buku 8 a vuxeni vanghana ndzi lava ku mi byela hi ta moya lowo kwetsima wa xikwembu le xi xi hanyaka loko miri karhi mi yingisile khasete le yi langutani swifaniso leswi la ka buku ya mhlovo wa xivunguvungu u pfula u ya eka xifaniso lexi landzelaka loko u twa mpfumawulo lowu (beep) xifaniso 1 yesu u tlhelela e tilweni mintirho 1111 languta exifaniso lexi hosi yesu u suka laha misaveni u tlhandlukela tilweni hi papa va landzeri va yena va langute va tlhome mahlo va nga copeti yesu i xikwembu ha kunene u tile misaveni a huma hi le tilweni hi malembe ya gidi mbirhi (2000) lama nga hundza yesu u tswariwile hi wa nhwanyana maria emutini wa betlehema yesu u vile munhu ku komba leswaku xikwembu xi fanisiwa na yini hikwalaho ka ku homboloka ka tindlela ta vanhu vanhu a va tsakisanga xikwembu va dyohile hakelo ya xidyoho i rifu ku hambanisiwa ni xikwembu kambe xikwembu xi rhandza vanhu hinkwavo a xi lavi leswaku vanhu va ya tiheleni endzhaweni la ha xikwembu xi baka vanhu kona (phanixa) hakona yesu u tile ku ta teka/hakela milandzu ya swidyoho swa hina hakelo ya kona a ku ri rifu vabihi ni vasandzi va vangerile yesu ku dlayiwa hi ku n'wi gongondzela mhandzini ya xihambano vanhu vo tala va n'wi vonile a fa e xihambanweni xexo kambe vo tala va valandzeri va yena va n'wi vonile loko a pfukile sirheni a va byela a ku mi ta amukela (kuma) matimba loko moya lowo kwetsima u xikele e henhla ka n'wina kutani mi ta byela vanhu hi mina swi vula leswaku valandzeri va yena va fanele ku famba va byela vanhu hinkwavo va matiko hinkwawo timhaka ta yena endzhaku ka loko a lerisile xileriso lexi yesu u tlhandlukerisiwe e henhla hi papa tani hi leswi mi swi vonaka e ka xifaniso lexi siku ri n'wana yesu u ta vuya la misaveni hi ndlela leyi a nga fambisa xiswona ku ya tilweni kutani vanhu hinkwavo lava va pfumelaka e ka hosi yesu va yingisa yena va ta kuma nyiko ya vutomi le byi nga heriki xifaniso 2 moya lowo kwetsima u chika hi ndzilo mintirho 2112 ma ha tsundzuka leswaku yesu u tshembisile ku rhumela moya lowo kwetsima e ka vadyondzisiwa va yena (va landzeri va yena) ka ku loko yesu a ha ku tlhandluka vadyondzisiwa va yena va pfumelelana leswaku va ta hlengeletana endlwini va khongela kutani moya lowo kwetsima u chikerile ka vona hi nomu lo ku twakala mpfumawulo wu kulu wu humaka hi le tilweni tani hi moya lowu kulu kutani vanhu va vona leswi fanaka ni malangavi ya ndzilo malangavi lama ya ndzilo ma hundzuka swindzin'wana swi tshama enhlokweni ya mupfumeri un'wana na u n'wana a va tatiwile hi moya lowo kwetsima wa xikwembu va sungula ku vulavula hi tindzimi hi ta mintirho yo hlamarisa ya xikwembu yesu minkarhi hinkwayo u endla tani hi leswi a nga tshembisa swona hikuva yesu u rhumerile moya lowo kwetsima e ka vanhu hinkwavo lava va nga ta yingisa va tlhela va pfumela xifaniso 3 ta ku dyondzisa ka petru eka vanhu mintirho 21441 moyo lowo kwetsima wa xikwembu u chikerile eka vadyondzisiwa va yesu e yerusalem etikweni ra va yuda enkarhini wa lowo a kuri na vayuda vo tala e yerusalem va huma e matikweni yo tala yo hambanahambana tani hi leswi mi swi vonaka la xifanisweni a va vulavula tindzimi to tala to hambanahambana moya lowo kwetsima u pfunile vadyondzisiwa va yesu leswaku va swi kota ku vulavula tindzimi leti to hambanahambana leswaku vanhu hinkwavo va ta kota ku twa no twisisa mahungu lawa ya ka hosi yesu kambe vanhu vo tala va ehleketile leswaku vadyondzisiwa lava va yesu va pyopyiwile hi vhinyo kutani un'wana wa vaapostola loyi a vuriwaka petru a yima xikan'we ni lava va n'wana va apostola va khume na n'we u vulavule ni ntshungu aku e e vanuna la va a va pyopyiwanga lavo tala va vanhu lava va pfumerile ka leswi petru a swi vuleke va khuvuriwile yiri mfungo wo nkombisa ku hlantswiwa ka vona swidyohweni va amukerile moya lowo kwetsima na vona va sungula ku landzela tindlela ta yesu xifaniso 4 kereke yo sungula ya kriste mintirho 24247 vona 1 korinte 11 vanhu vo tala e yerusalem va tshemberile eka yesu va tlhela va va valandzeri va yena vanhu lava va nga amukela moya lowo kwetsima a va hamba va hlangana swin'we va endla wonge endyangu wun'we kasi a kuri wona masungulo ya kereke ya kriste endzaku ka swona va vuriwile vakriste va a velane tinhundzu ta vona va tlhela va hlayisana siku rin'wana ni ri n'wana va yile endlwini leyi kulu ya xikwembu e yerusalem le yi vuriwaka tempele kwalano a va khongela va dzunisa xikwembu swin'we va apostola (vadyondzisiwa) va va dyondzisile rito ra xikwembu va kriste na vona va hlangane swin'we e makaya ya vona la ha va avelaneke swakudya eminkarhini yin'wana a va phema xinkwa va dya va nwa e vinyo ya madiriva yi ri ku komba swifihlulo swo hlawuleka le swi vuriwaka xilalelo xa hosi yesu a lerisile vadyondzisiwa va yena ku endla leswi hikuva hi vusiku byebyo yesu a nga si vambiwa u vile ni xifihlulo (swakudya) ni vadyondzisiwa va yena la ha a nga ku loko a khensile u tekile xinkwa a xi phemelela a nyika vadyondzisiwa va yena xinkwa lexi a xiri mfungho wa xitsundzuxo xa leswaku miri wa yesu u tshoviwile (phemiwile) e xihambanweni xisweswo yesu u tekile xinwelo xa vinyo a nyika vadyondzisiwa va yena leswaku va nwela ka xona xino le xi a kuri ku va tsundzuxa ngati ya yena leyi yi nga ta halaka e xihambanweni yesu u lerise vadyondzisiwa va yena ku endla leswi leswaku va n'wi tsundzuka loko swi ri tano u n'wana na u n'wana loyi a tshembaka a yingisa hosi yesu kriste u ta hlayisa xilalelo xa hosi hikuva xikwembu xi te eka rito ra xona hikuva minkarhi hinkwayo loko mi dya xinkwa lexi ni loko mi nwela exinwelweni lexi mi vula rifu ra hosi yi kondza yi ta (1 korinto 1126) xifaniso 5 ta ku hanyisiwa ka xigono le xi kombelaka mintirho 31 44 siku ri n'wana petru na yohane va yile ndlwini ya xikwembu ku ya khongela a ku tshamile xigono (xo kombela) e nyangweni hi mpfhuka a tswariwa a ri xigono a nga koti ku famba a kombela mali eka petru na yohane kutani petru a ku ka yena silivhere ni nsuku (mali) a ndzi na swona kambe leswi ndzi nga na swona ndzi ta ku nyika swona hi vito ra yesu kriste wa nazareta ndzi ri famba kutani petru a n'wi khoma hi voko ra xinene a n'wi pfuna ku yima hi nomu lo mikondzo ni mahlakala ya munhu loyi swi va swi tiya kutani a famba a ya e ndlwini yo xikwembu ku nga kereke ari na petru na yohane a kari a famba a tlulatlula a dzunisa xikwembu a ku nga ri petru loyi a hanyiseke wa nuna loyi ripfumelo leri ri tiyeke e ka yesu ni le ka matimba ya moya lowo kwetsima wa xikwembu hi wona ma hanyiseke munhu loyi u kumile nyiko yo tlula ngopfu mali xifaniso 6 wa nuna ni nsati wa yena lavo hemba mintirho 43236 5111 wa nuna u n'wana loyi a vuriwaka barnabas u xavisile nsimu ya yena a teka mali a nyikela e kerekeni leswaku yi ta pfuna swisiwana wa nuna ni wa nsati wa yena anania na safira na vona va ehleketa ku endla sweswo (tano) kambe anania u ti siyele yena ni nsati wa yena yin'wana mali u tisile xiphemu ntsena xa mali leyi e ka petru a hemba eka petru a ku hi yona mali leyi hinkwayo yi helerile petru a swi tiva leswaku u wo hemba se a ku ka yena anania hikwalaho ka yini satan a ta tile mbilu ya wena hi mavunwa u kondza u hembela moya lowo kwetsima a wu hembelanga munhu kambe u hembele xikwembu hi nomu lo anania a wela hansi afa majaha man'wana va n'wi rhwarile va ya n'wi lahla ndzhakunyana ku nghena safira nsati wa yena (ma n'wi vona la xifanisweni) a nga swi tivanga leswaku ku endleke yini hi anania safira na yena a fika a hembela va petru hi mali leyi petru a ku ka yena mitwananele yini ku ringa moya wa hosi xana vona milenge ya lava va nga lahla nuna wa wena hi leyi e nyangweni na wena va ta ku teka kutani hi nomu lo a wela milengeni ya petru a fa hi fanele ku nyika la va va nga ni vusweti kambe a hi fanelanga ku hembela xikwembu hambi kuri un'wana munhu tsundzuka na kambe leswi xikwembu xi tiva leswo saseka ni le swo biha leswi swi nga emehleketweni ya hina hinkwerhu xifaniso 7 ta ku dlayiwa ka stefano mintirho 61 83 vona va bihi va n'wana hi la va ya va khandla (dlaya) stefano hi maribye a a tirha a ri murhangeri e kerekeni a pfuna swisiwana e yerusalem u dyondzisile rito ra xikwembu hi xivindzi le xi kulu a endla masingita hi matimba ya moya lowo kwetsima va yuda va n'wana a va n'wi kaneta va yisile stefano e hubyeni va n'wi hehla hi mavunwa va ku u rhukana xikwembu na swona u sandza rito ra xikwembu kambe stefano a nga chavisiwanga hi nchumu hikuva xikwembu xi n'wi nyikile matimba ya moya lowo kwetsima stefano a va byela vayuda va lavo leswaku va dlayile yesu loyi a teke ku ta nyika vanhu vutomi lebyi nga heriki vayuda va kwata (kariha) ngopfu va kokela stefano e handle ka muti va sungula va n'wi kandla hi maribye loko va ri karhi va n'wi khandla a khongela a ku hosi yesu amukela moya wa mina loko a karhi a fa a huwelela a ku hosi u nga va hlayeli swidyoho leswi va swi endlaka va va nuna lava a va khandla stefano va vekile tinguvu ta yena e milengeni ya mujahana loyi a ri kona kwalano wa va rhangeri va ma yuda wo vuriwa saul yena a khensa ku fa ka stefano namuntlha la va va rhandzaka ku gandzela hosi yesu va ta xanisiwa hi la vo biha kambe xikwembu ni moya wa yena lowo kwetsima u ngeke u va tshika hambi loko vanhu va va dlaya xifaniso 8 ta wanuna wa mufambi wa mu etopia mintirho 848 82640 saulo ni valala va kereke ya kriste va sungula ku xanisa vapfumeri e yerusalem votala va vapfumeri lava va balekile va huma e muntini wanuna wu n'wana wo vuriwo filipi u yile e mutini wa samaria kona kwalano u byerile vanhu vo tala hi mahungu la manene ya yesu kutani vo tala va pfumela kutani xikwembu hi ntsumi ya xona xi byela filipi leswaku a famba hi ndlela ya managa leyi yi sukaka e yerusalema yi kongoma e gaza filipi u yingisile xikwembu laha xifanisweni lexi hi vona nuna wa nkoka wo tiveka loyi a humaka tikweni ra etopia a famba hi xigolonyana a hlaya rito ra xikwembu leri ri vulavulaka hi un'wana loyi a nga ta xanisiwa swi nga fanelanga kambe mu etopia loyi a nga ri twisisanga kahle e hungu leri moya wa xikwembu u susumeta filipi leswaku a ya lahaya xigolonyaneni kutani filipi a hatlisa a tsutsumela kana loko a fika a kuma wa nuna loyi ari ku hlayeni hi loko filipi a sungula a hlamusela mu etopia hi ti mhaka ta yesu loyi a rhumiweke hi xikwembu hiloko mu etopia na yena a sungula a lava ku landzela yesu loko va ri karhi va famba swin'we mu etopia aku ka filipi vona mati hi lawa ku nga sivela yini leswaku ndzi khuvuriwa xana filipi u khuvurile mu etopia loyani kutani atlhelela tikweni ra ka vona a ri ni ku tsaka lo ku kulu kambe filipi a yisa mahlweni ku vula mahungu la manene (evhangeli) lawa eka miti yo tala ku fana na filipi hi fanele ku yingisa no byela va n'wana hi timhaka ta yesu leswaku va ta veka ku tshemba ka vona eka yesu va ta kuma vutomi le byi nga heriki xifaniso 9 ta petru loko a vona mahlori mintirho 10918 siku ri n'wana petru a tlhandlukela lwangweni ra yindlu ku ya khongela (u nga vona petru la ha xifanisweni wa khongela) kutani petru a twa ndlala a la va swakudya e nkarhini wa lowo a vona xivono xo (mahlori mo hlamarisa ma huma eka xikwembu u vonile yo(nceka lowu kulu wo) basa wu huma hi le tilweni wu bohiwile endzeni ka wona a kuri ni tinxaka hinkwato ta swihari leswi hanyaka la misaveni kutani rito rifika ka yena ri ku petru suku u yima u tlhava u dya petru a a ri mu yuda kutani nawu wa vayuda a wu pfumeli leswaku a nga dya swihari leswi yilaka ni le swi nyamisiweke a nga ka a nga dyi kutani petru a ku ha kunene hosi swi nga tshuki swi va tano hikuva a ndzi si dya xilo lexi yilaka ni le xi nyameke kutani rito riku swilo leswi xikwembu xi nga swi basisa u nga vuli leswaku swa yila kutani swilo leswi swi endleke ka nharhu kutani nceka lo wu yani wu tlheriseriwa tilweni a ha hlamarile petru hi xivono lexi ni leswaku xi vula yini ku fika va vanuna va nharhu e ndlwini ya yena va n'wi lava languta la xifanisweni u ta vona leswaku a va tela yini xifaniso 10 mahungu lamanene ya tinxaka hinkwato ta vanhu loko petru a heta ku khongela ku nghena va vanuna va nharu va n'wi lava a va ta va huma e ka muti u n'wana va rhumiwile hi nuna loyi va ku i kornelio kornelio a a ri ndhuna ya dzana ya mavutho ya va roma loyi a a rhandza no chava xikwembu ntsumi ya xikwembu yi n'wi byela ku kuma petru va yuda a va teka varoma kuri vanhu lava nga tengangiki kambe xi n'wi kombile e xivonweni (petru) leswaku a nga tshuki a vula vanhu van'wana a ku va yila kumbe a va tengangi xikwembu xi amukela munhu u n'wana na u n'wana eka tinxaka hinkwato lava va chavako xikwembu niku endla leswi lulameke petru u yile ni va nuna lava endlwini ya ndhuna ya dzana kornelia a hlangana na petru a ti wisela e milengeni ya yena a n'wi khinsamela kambe petru aku ka yena pfuka na mina ndzi munhu ntsena u ndzi vitanele yini hi loko kornelio a n'wi byela hi timhaka ta ntsumi kutani petru a byela kornelia hi timhaka ta yesu loyi a hlavutelaka xikwembu eka vanhu ni ku va komba leswaku xikwembu xi njhani kornelio ni ndyangu wa yena va pfumerile eka yesu va kumile moya wa xikwembu kutani va va malandza ya hosi yesu xikwembu xi rhandza vanhu hinkwavo a xiyi hi nghohe kumbe nhlonge kumbe ririmi yesu anga telanga ku ponisa vayuda ntsena u lava ku nyika vutomi lebyi nga heriki eka vanhu hinkwavo u lava tinxaka hinkwato ti fanele ku n'wi tshemba no n'wi tirhela (gandzela) xifaniso 11 ta ku khotsiwa ka petru (petru e khotsweni) mintirho 12111 herode hosi a sungula ku xanisa va landzeri va yesu a xanisa kereke ya kriste u dlayile mu apostola yakobe kutani a hoxa mu apostola u n'wana petru e khotsweni vusiku byi n'wana petru a etlele a bohiwile hi tipencana (tichayeni) e xikarhi ka valanguteri va n'wi langutile hi ku ha tlisa ntsumi ya hosi yi fika yi ku ka petru hatlisa u pfuka hi ku hatlisa koloko timpecana ti wa tinchuncheka e mavokweni ya petru kutani petru a landza ntsumi a huma ekhotsweni loko va fika e nyangweni ya nsimbi ya khotso nyangwa wu tipfulekela ku va hava na munhu loyi a va sivelaka petru a ehleketa leswaku inorho ku kondza loko a ya fika emitsendzeleni kutani ntsumi yi suka ka yena yi nyamalala xifaniso 12 ta petru ni vanakulobye (vanghana) va xikhongelo mintirho 121219 loko petru a ti yingisile a humile e khotsweni kongomile e ndlwini ya maria mana wa un'wana va va postola vapfumeri vo tala a va ri kona kwalano vusiku byebyo a va ri karhi va khongelela petru petru a gongondza e nyangweni ya rikupakupa ku ta wa nhwanyana loyi va nge i roda ku tapfula ku te loko a twa rito ra petru a nga pfulangi kambe u tsutsumile a ya byela van'wana a ku petru u kona la nyangweni va pfumeri loko va twa sweswo a va tshembanga va ku u ni rihuhe nhwanyana loyi kambe petru a ka rhi a gongondza kutani va pfula va n'wi vona va hlamala ngopfu petru a va byela hindlela leyi xikwembu xi hlamuleke swikhongelo swa vona hi ku n'wi tshuncha e khotsweni vapfumeri va fanele ku hamba va hlangana swin'we va khongela xikwembu xitwa no hlamula swikhongelo swa lava pfumelaka e ka yesu yesu u te ndza mi byela loko vambirhi eka n'wina la misaveni mi pfumelelano hi nchumu kutani mi kombelo mi ta endleriwa swona hi tatana loyi a nge tilweni hikuva loko va mbirhi kumbe va nharhu va hlangana hi vito ra mina ndzi ta va na vona eka xifaniso lexi hi ta mi byela hi ta nuna loyi a vuriwa sawulo sawulo loyi ar kona hi kufa ka stefano sawulo a ehleketa ku famba a endzela muti wa damaska a lava kuya khoma vapfumeri a va yisa khotsweni erendzweni ra yena ku humelele swilo swo hlamarisa xifaniso 13 ku vonakala ni rito leri humaka hi le tilweni mintirho 919 ku vonakala loku kulu loku ku fanaka ni rihati ku huma hi le tilweni ku rendzela sawulo kutani a wela hansi rito ri vulavula na yena riku sawulo sawulo u ndzi xanisela yini sawulo a vutisa u mani hosi kutani rito riku himina yesu loyi u n'wi xanisaka vavanuna lava a va ri na sawulo va ri twile rito leri kambe a va vonangi munhu sawulo a pfuka kambe a nga ha voni (a ri bofu) kutani va vanuna lava a vafanele ku n'wi khoma hi voko va n'wi yisa e damaska kutani a tshama masiku manharhu a nga voni a nga dyi a nga nwi sawulo a ri ni tihanyi ngopfu e ka valandzeri va hosi yesu xikwembu xa swi kota ku hundzula munhu u n'wana na u n'wana yingisa u twa leswaku ku humelele yini swin'wana ku ya mahlweni xifaniso 14 sawulo wa bofu na anania mintirho 91020 laha hi vona nuna wa bofu sawulo endlwini e damaska xikwembu xi rhumela wa nuna loyi va nge i anania eka yena anania a ri mupfumeri ni mulandzeri (mudyondzisiwa_ wa yesu kriste a a swi tiva leswaku sawulo u endlile swilo swo chavisa e ka vapfumeri e yerusalema kambe hambi swi ritano u yingisile a pfumela leswi xikwembu xi n'wi rhumaka swona a famba a ya ka sawulo anania a ku ka sawulo sawulo makwerhu hosi yesu loyi a tikombiseke ka wena e ndleleni leyi u nga ta ha yona u ndzi rhumile leswaku u tlhela u vona ni leswaku u tala hi moya lowo kwetsima kutani anania a n'wi tlhandleka mavoko hi nomu lo sawulo a tlhela a vona u amukerile moya lowo kwetsima wa xikwembu kutani a khuvuriwa kutani a komba vanhu leswaku kutani hi yena mulandzeri mudyondzisiwa wa yesu kutani sawulo a ya e ka va yuda a va byela hinkwaswo ha hosi yesu ku fana na anania hi fanele ku yingisa xikwembu hi nga chavi vanhu kutani xikwembu xi ta hi tirhisa ku byela va n'wana hi tindlela ta ku ponisiwa xifaniso 15 kereke leyi khongelaka yi rhumela vafundhisi/varhumiwa mintirho 112526 1313 mutini lowu vuriwa antioka vapfumeri va hlengeletane swin'we va gandzela xikwembu enhlangano wa vanhu lava a va ri kereke ya antioka a awu vuriwa vakriste sawulo u fambile na barnaba ku ya dyondzisa vanhu kona siku ri n'wana va rhangeri va kereke (vakulukumba) vati tsonile swa kudya va khongela swin'we hi matimba kutani moya lowo kwetsima wu vula vula na vona wuku ndzi hlawuleleni barnaba na sawulo va ya entirhweni lowu ndzi va vitaneleke wona xikwembu xi lavile leswaku sawulo na barnaba va ya eka vanhu lava va nga si twaka hiti mhaka ta yesu u nga va vona sawulo na barnaba va nkhisamile exifanisweni lexi vakulukumba va kereke va va tlhandlekile mavoko va va khongelela kutani va rhumela sawulo na barnaba ku ya dyondzisa mahungu la manene ya yesu e ka lava va nga si ritwaka e rito kule lee ni le antioka yesu u te fambani mi ya emisaveni hinkwayo mi ya chumayela (vula) mahungu la manene eka tinxaka hinkwato ni vanhu hinkwavo ni ka un'wana na un'wana ni namuntlha leswi xikwembu xi vitana vanhu e kerekeni leswaku va huma va famba va vula mahungu lamanene eka munhu u n'wana na u n'wana kereke vapfumeri va fanele ku va khongelela va va seketela va va rhumela handle xifaniso 16 pawulo u vulavula ha yesu (chumayela) mintirho 13452 sawulo na barnaba va yile emadorobeni (mintini) yo tala ngopfu ni le swimintaneni swa le kulekulee a ku ri wona nkarhi lowo sawulo a vitaniwa hi vito ra yena rintshwa ra pawulo u hlanganile ni vayuda etindlwini ta vukhongeni tani hi leswi u vonaka la xifanisweni va karhi va dyondzisa xikwembu xa va yuda xi hlawurile va tata wa hina ku va endla rixaka le ri kulu xi va nyikile vaprofeta lava kulu varhangeri vadyondzisi va va byela hi ta loyi a nga ta va ponisa e swidyohweni swa vona i hosi yesu kriste loko yesu a tile va yuda vo tala a va pfumelangi ka yena a va n'wi twisisangi leswaku imani ni leswaku a va nga ta n'wi gandzela loyi a rhumiweke hi xikwembu pawulo na barnaba na vona va dyondzisile vanhu leswaku hambi leswi yesu a nga onhanga nchumu hambi swi ritano va n'wi dlayile xikwembu xi n'wi pfuxile ekufeni a nga ka a nga ha fi na kambe kutani u n'wana na u n'wana loyi a vekaka ku tshemba e ka yesu u amukeriwa hi xikwembu a endliwa lonene e ka xikwembu kambe lava va kanakanaka no hleka ntiyiso wa xikwembu va ta biwa va panichiwa hi xikwembu vayuda va n'wana vo tala ni tinxaka tin'wana ta vanhu va pfumerile e ka mahungu lama kutani tikereke to tala ti akiwile kambe va n'wana a va pfumelanga switano ni namuntlho vanhu vo tala a va nga pfumeli loko hi va byela ha yesu kambe xikwembu xi rhandza leswaku u n'wana na u n'wana a twa a pfumela e ka mahungu la manene ya yesu kutani a ta ponisiwa xifaniso 17 xikwembu xitlhela xi ti vonakarisa no rhangela paulo mintirho 16610 endzaku ka malembe yo hlayanyana pawulo utlhele a endzela tinhlengeletano (kereke) leti na kambe u tlhele na kambe a famba ni va n'wana vo hlayanyana u n'wana wa vona a kuri silas a va rhandzile ku ya e tikweni ra bitinia kambe moya wa yesu u va alela ku ya kwalano kasi vusiku byebyo pawulo u vonile mahlori eka mahlori malamo pawulo u vonile wa nuna wo huma etikweni ra makedonia a n'wi vitana aku pelela e makedonia u ta hi pfuna hi ku hatlisa pawulo a swi twisisa leswaku xikwembu xi va vitanela e makedonia xikwembu xi ta rhangela la va va rhandzaka ku landzela hosi yesu mikama (minkarhi) mi n'wana xi ku komba hi milorho kumbe mahlori(xivono) kambe minkarhi yo tala xi hi kombisa no hi rhangela hi marito mo huma eka buku ya xona ku nga bibele vapfumeri va fanele ku kombela xikwembu leswaku xi va rhangela ka hinkwasvwo leswi va swi endlaka va fanele va xi tshemba leswaku xita va komba ndlela yo kota ku yingisa loko xi va rhangela hi moya wa xona lowo kwetsima xifaniso 18 pawulo na silas eku tsekatsekeni ka misava mintirho 161635 pawulo na silas va yingisile xikwembu kutani va ya e filipia e makedonia kwalano va dyondzisile vanhu hi timbaka ta yesu hi vito ra yesu kriste va hlongorile moya lowo biha e ka nhwanyana leswi swi vilerisile no karhihisa vanhu va n'wana kutani va khoma paulo na silas va va ba va tlhela va va hoxa khotsweni evusikwini le byi kulu ngopfu pawulo na silas a va khongela va yimbelela xikwembu tinsimu kwale khotsweni kambe hi nomu lo ku tsekatseka loku kulu ka misava ku va kona tinyangwa ti pfuleka timpencana hinkwato ta vabohiwa ti chuncheka mulanguteri wa khotso a ehleketa leswaku vabohiwa va balekile a chuhile ngopfu kutani a lava ku tidlaya kutani pawulo a n'wi vona a huwelela hi rito leri kulu aku u nga tshuki u ti vavisa hikuva ha ha ri kona hinkwerhu mulanguteri wa khotso a va humesela handle a ku ka vona n'wina vavanuna ndzi nga endla yini leswaku ndzi ponisiwa vona va hlamula vaku pfumela e ka hosi yesu kriste kutani u ta ponisiwa wena ni va yindlu ya wena mulanguteri ni yindlu ya yena (ndyangu) va veka ku tshemba ka vona e ka hosi yesu kutani va va ni ku tsaka loku kulu etimbilwini kutani mulanguteri a va hlayisa pawulo na silas kutani ni mixo a va tshika va famba va fambile va ri la va chunchekeke loko minkarhi yi bihile hifanele ku dzunisa xikwembu loko hi tshembele e ka xikwembu hi yingisa rito ra xona kutani hi nga xi tirhela hinkwako laha hi nga kona xifaniso 19 pawulo ni altari ya xikwembu lexi nga tiviweki mintirho 171634 muti wa athena a wu talele hi swikwembu swa hava (leswi swi vula leswo vanhu va ti endlela xilo kutani va xi gandzela hi xona xikwembu xa hava) vanhu a va gandzela swikwembu swo hambanahambana exifanisweni lexi pawulo u langute e ka altari e ka altari leyi le swi nga tsariwa swi vula leswaku eka xikwembu le xi nga tiviwiki vanhu va le athena va rhandzile ku tiva leswaku va pawulo va dyondzisa hi yini ku tani pawulo a ku ka vona vavanuna va athena ndzi vona leswaku mi vanhu lava tšhavaka xikwembu ku tlurisa hikuva loko ndzi karhi ndzi famba ndzi languta magandzelo ya n'wina ndzi kumile altari laha ku tsariweke va ku 'eka xikwembu le xi nga tiviwiki' sweswi ndzi lava ku mi byela hi xikwembu lexi mi nga xi tiviki pawulo a va dyondzisa hi xikwembu xa ntiyiso le xi xi endleke swilo hinkwaswo i hosi ya tilo ni misava a nga tshami e tempeleni yo akiwa hi mavoko ya munhu pawulo a va byela leswaku va nga dyondza ku tiva xikwembu xin'we xa ntiyiso eka hosi yesu kutani va tile ku ta pfumela e ka xona yesu u ta vuya ku ta avanyisa u n'wana na u n'wana hi yena muponisi a ri yexe a ku na xikwembu xi n'wana ni ripfumelo ri n'wana leri ri nga ponisaka vanhu eswidyohweni tanihi pawulo a hi tshembekeni eku tshembeni hosi yesu kriste hi nga chaveni ku byela vanhu va n'wana hi yena (yesu) hi ta kota ku n'wi tirhela xifaniso 20 pawulo a yisiwa hubyeni mintirho 18117 tanihileswi mi swi vonaka la xifanisweni pawulo u le khombyeni na kambe u le muntini wa korinto a ku ri ni vanhu va timbilu to biha ngopfu va mona e mutini lowu va yuda va le korinto na vona a va kaneta pawulo hikuva a byela va yuda leswaku yesu i kriste i messia siku ri n'wana ni vusiku hosi yesu u vulavule na pawulo aku u nga chavi kambe vulavula u nga miyeri hikuva ndzi na wena a kuna munhu loyi a nga ta ku veka voko ra yena e henhla ka wena ku ku endla swo biha hikuva ndzi ni tiko le ri kulu e mutini lowu kutani pawulo a tshamisa e korinto a dyondzisa vanhu kutani vo tala va pfumela e ka mahungu lawa kambe va yuda lava a va n'wi kaneta a va ri ni mavondzo na yena siku ri n'wana va n'wi pfukerile kutani va n'wi yisa ehubyeni a va n'wi hehla hi leswaku u dyondzisa tidyondzo leti hambaneke ni ta vona hambi swi ritano ndhuna a yi va yingiselanga yi va hlongola hinkwavo e hubyeni e handle le hubyeni va yuda lava a va karihe ngopfu va khoma murhangeri wa muyuda loyi na yena a pfumela ka yesu va n'wi ba kambe pawulo a baleka va nga n'wi vavisanga hi nga tshikeni ku vulavula hi yesu hambi loko va bihi ni vasandzi va hi kaneta xikwembu xi tshembisile leswaku xi ta va ni malandza ya xona minkarhi hinkwayo xifaniso 21 masocha ma ponisa paulo eka valala va yena mintirho 211 2224 pawulo a tlhela a endzela tikereke tintshwa leti nga sunguriwa pawulo u kuceterile vapfumeri leswaku va yisa mahlweni hi ku landzela yesu vapfumeri va n'wana va khongoterile pawulo leswaku a nga yi e yerusalem a a swi tiva leswaku valala va yena va kona na swona va lava ku n'wi dlaya kambe pawulo a ku mina ndzi tilungisile ku ngari ku bohiwa ntsena kambe ku ri ku fela evito ra hosi yesu e yerusalema ku te loko pawulo a tlhelele e yerusalema va yuda va pfuxa madzolonga ha yena (pawulo) vunyingi byi ringetile ku n'wi dlaya e mitsendzeleni va n'wana va masocha ya varoma va susile pawulo entshungwini wa vanhu vo kariha swo nghasi pawulo a yimile e henhla endhaweni ya masocha a vulavula ni ntshungu kutani va sungula va huwelela va ku n'wi dlayeni a nga fanelangi ku hanya kutani masocha va n'wi teka va n'wi susa eka ntshungu va n'wi yise e khotsweni pawulo a nga chavi ku fa a swi tiva leswaku ku ni hakelo yi kulu e tilweni leyi yi vekeriweke hinkwavo lava va nga ta xanisiwa hikwalaho ka yesu xifaniso 22 pawulo u dyondzisa eka vanhu va nkoka va matimu la makulu mintirho 2311 25 26 (tindhuna vafumi tihosi ni nkosikazi) va n'wana va ma yuda a va ha lava ku dlaya pawulo kambe hosi yesu u ti vonakari sile eka pawulo aku tiyisa mbilu paolo hikuva ku kotisa leswi u vuleke vumboni bya timbaka ta mina e yerusalem swi fanele leswaku u vula vumboni bya mina ni le roma va kulukumba va vayuda va behla pawulo emahlweni ka ndhuna ya varoma va teka pawulo va n'wi yisa eka agripa hosi ya vayuda u nga va vona hinkwavo la xifanisweni lexi pawulo a nga chavi munhu u byerile ndhuna hosi ni nkosikazi ha yesu u va byerile hinkwaswo leswi yesu a nga humelerisa xi swona e ka yena loko a ri ndleleni yo ya e damaseka ni leswi yesu anga n'wi lerisa xi swona leswaku a famba a byela vanhu va matiko hinkwawo hi mahungu la manene hosi agripa a ku u kusuhi ni ku ndzi khorwisa hi yesu a swi tiva leswaku pawulo a nga endlanga nchumu wo biha pawulo a kombela ku a vanyisiwa hi khezar ya le roma a gripa u kphumelele pawulo ku ya a vanyisiwa kona roma a wu ri muti lowu kulu ngopfu emisaveni hinkwayo nkarhi wolowo khezar na yona a yiri munhu lonkulu muavanyisi lo nkulu loyi a tshama kwalano xikwembu a xi ri ni makungu yo karhi na pawulo xi ni makungu yo hlawuleka eka munhu u n'wana ni u n'wana wa hina hi kuma makungu ya vutomi bya hina eka rito ra xikwembu hi fanele ku xi yingisa xifaniso 23 xikwembu xi na pawulo ekhombyeni mintirho 271344 (ku bombomela ka ngalava) masocha ma teka pawulo ni va bohiwa va n'wana va va yisa e roma a va famba hi byatso ku pelela ntsungeni hi masiku ya khumemune (14) ngalava yi khomiwile hi mheho yo chavisa vanhu lava ingi va ri ngalaveni va ehleketa leswaku va ya kufeni ntsumi ya xikwembu yi vulavula na pawulo yi ku u nga chavi pawulo u fanele ku ya yima emahlweni ka khezar xikwembu xi ta ponisa mavutomi ya vanhu lava hinkwavo va nga na wena hi nkarhinyana ngalava yi fika ekusuhi ni xihlala ngalava yi sungula ku tsemelelekana vanhu va sungula ku tlulela ematinielwandle va n'wana a va swi kota ku hlambela va n'wana va khomelela e swi po mbo ndzwaneni swa ngalava hi mukhuva wolowo va fika e ribuweni va ponile hinkwavo e ka mhaka leyi hi dyondza leswaku loko xikwembu xi ri ni ntirho na hina leswaku hi tirha xa swi kota ku hi ponisa e makhombyeni ya tinxakaxaka xifaniso 24 pawulo tanihi mubohiwa e roma mintirho 281631 laha mi vona pawulo e roma laha u tshamile malembe mambirhi e khotsweniu pfumeleriwile ku tshama endlwini ya yena yo ta hakelela a tshama ni socha ra mu roma ku n'wi langutela u amukerile no tsakela hinkwavo la va a va ta ku ta n'wi vona u va dyondzisile hi ta mfumo wa xikwembu na hosi yesu pawulo u tsarile mapapila ku dyondzisa tikereke leti a nga ti endzela a nga si khomiwa mapa pila lama ma kona e bibeleni leswaku hinkwavo vanhu va ta dyondza tindlela ta xikwembu pawulo u xaniseke ngopfu hikwalaho ka yesu minkarhi mi n'wana a biwa a khandliwa a va hava swa ku dya a va hava ni kaya e ku heteleleni u dlayiwile hi varoma kambe pawulo e papileni ra yena eka varoma u tsalela vapfumeri hinkwavo uri ndzi tiyisile ndzi ri ku nga va rifu kumbe ku hanya kumbe xin'wana na xin'wana e ka ntumbuluko hinkwawo lexi xi nga hi hambanisaka ni rirhandzu ra xikwembu leri ri nga eka kriste yesu hosi ya hina xikwembu xi nyika matimba e ka hinkwavo lava pfumelaka eka yena va tirhela hosi ni muponisi yesu kriste a hi nyiketeni vutomi bya hina e ka hosi yesu a hi n'wi tirheleni hi hangalasa mahungula manene ya yena leswaku misava hinkwayo yi ta tiva leswaku yesu u nyika vutomi lebyi nga heriki ni xikwembu
2019-12-16T03:30:15
http://globalrecordings.net/en/script/1269
katika maisha ya nyota hali ya jitu jekundu inatokea baada ya kumaliza sehemu kubwa ya hidrojeni kwenye kitovu cha nyota iliyobadilishwa tayari kuwa heli hapo kiini cha nyota kinajikaza kiasi na humo kuongeza jotoridi hii inasababisha hata hidrojeni ya tabaka za nje za nyota kuingia katika myeyungano nyuklia (nuclear fusion) na hapa nyota inapanuka na kuongeza uangavu rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=jitu_jekundu&oldid=1061121 last edited on 15 aprili 2019 at 1805 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 15 aprili 2019 saa 1805
2020-07-07T00:23:59
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Jitu_jekundu
news articlesnotices | tanzania bureau of standards (tbs) has great pleasure to announce the 4th arso essay competition for 2017 the competition is open to all college and higher learning institution students below the age of 35 years old pursuing their studies in tanzania read more news articlesnotices | shirika la viwango tanzania (tbs) linawatangazia wafanyabiashara wadogo na waagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi kuwa limeandaa semina ya mafunzo ya udhibiti ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi kuanzia tarehe 16 hadi 18 januari 2017 katika mkoa wa dar es salaam read more news articlesnoticesvacancies | supply of laboratory culture media for tanzania bureau of standards read more news articlesnotices | in order to ensure that tanzania revenue authority (tra)s assessment process in tancis is not affected by tanzania bureau of standards (tbs)s process of uploading permits/certificates of quality for imported goods clearing & forwarding agents on behalf of importers of goods are hereby required to abide by the following read more news articlesnotices | katika kuhakikisha taratibu za mamlaka ya mapato tanzania (tra) zinazofanyika katika mfumo wa tancis haziathiriwi na shughuli za uingizaji wa vibali vya shirika la viwango tanzania (tbs) katika mfumo huo mawakala wa forodha wenye dhamana ya waagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi wanatakiwa kuzingatia yafuatayo read more news articlesnotices | shirika la viwango tanzania (tbs) ni shirika la umma lililoanzishwa upya kwa sheria ya viwango na2 ya mwaka 2009 jukumu kubwa la shirika chini ya sheria hii ni kuandaa viwango vya kitaifa na kusimamia utekelezaji wake read more utaratibu wa kuwapatia alama ya ubora 'tbs' wajasiriamali wadogo na wakati (smes) certification mark of quality mark applied on the product with a number for the relevant tanzania standard (tzs ) publications national enquiry point nep
2017-07-25T04:44:36
http://www.tbs.go.tz/index.php/highlights/category/news_articles/P20
mh tundu lissu apangua tuhuma dhidi yake katika kesi ya kupinga matokeo ya ubunge iliyotia fora mkoani singida kwa kuhudhuriwa na watu wengi home / featured / mh tundu lissu apangua tuhuma dhidi yake katika kesi ya kupinga matokeo ya ubunge iliyotia fora mkoani singida kwa kuhudhuriwa na watu wengi 14 march 2012 by dewjiblog 0 comments mbunge wa jimbo la singida mashariki mh tundu lissu akipongezwa na wanachama wa chadema mara baada ya kuwasilisha pingamizi za kupinga kesi iliyofunguliwa ya kutaka kutegua ushindi wake wa ubunge mawakili wa serikali vicent tango (mbele) kutoka mkoa wa mbeya akifuatiwa na ni wakili kutoka arusha ramadhan mzalah na wa mwisho ni abdalah chavula kutoka moshi wakili wa waomba maombi ya kutegua ushindi wa mh tundu lissu godfrey wasonga muuza maji singida mjini maarufu kwa jina la chadema one ambaye aliacha kuuza maji mjini na kwenda kusikiliza kesi ya tundu lissu (picha zote na nathaniel limu) na nathaniel limu mabishano makali ya kisheria yametawala wakati kesi ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa ubunge jimbo la singida mashariki mh tundu lissu kupitia tiketi ya chadema kesi hiyo ambayo imevunja rekodi kwa kuhudhuriwa na wasilikizaji wengi mno inasikilizwa na jaji moses mzuna wa mahakama kuu kutoka moshi mjini mkoani kilimanjaro washitakiwa katika kesi hiyo ya uchaguzi ambayo ni ya kwanza kusilizwa mkoani singida ni tundu lisu mwanasheria mkuu wa serikali na msimamizi wa uchaguzi jimbo la singida mashariki tundu lissu anajitetea yeye mwenyewe mwanasheria mkuu wa serikali na msimamizi wa uchaguzi wao wanatetewa na mawakili wa serikali vicent tango kutoka mbeya ramadhani mzalau kutoka arusha na abdala chavula wa moshi upande wa waomba maombi ya kutegua ushindi wa tundu ambao ni shaban itambu na pascalin wanatetewa na wakili msomi kutoka dodoma godfrey wasonga katika hoja yake ya kwanza mh tundu amesema maombi yaliyowasilishwa mahakamani sio maombi halali kisheria kwa sababu ada iliyowekwa na sheria kwa ajili ya kufungulia madai hayo haijalipwa amesema ada iliyowekwa kisheria kwa mujibu wa sheria namba 8 (1) ya kanuni ya uendeshaji kesi ya uchaguzi ya 2010 ni shilingi laki mbili lakini waombaji wamelipa shilingi 12500/= tu kupitia stakabadhi no 40696065 ya novemba 30 mwaka 2010 hoja hii peke yake inatosha kufutilia mbali maombii ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa jimbo la singida mashariki na kuwaamuru walete maombi haya kulipa gharama zote za uendeshaji wa kesi hii alisema tundu katika hoja yake ya pili tundu amesema tuhuma zilizotolewa na waleta maombi katika vifungu kuanzia cha saba hadi 18 sio halali kisheria akifafanua alisema tuhuma hizo zimeandikwa katika lugha ya jumla jumla ambazo sio rahisi kujibiwa kisheria amesema maelezo yanatakiwa yawe yanajitosheleza kikamilifu yasiwe maelezo ya jumla jumla baadhi ya tuhuma ambazo tundu amesema ni za jumla jumla ni pamoja na hoja inayodaiwa kuwa alitumia ukabila na udini wakati wa kampeni tundu amesema lakini hakuna mahali kumeonyeshwa ni wapi alitamka maneno hayo wala hapajatajwa ni matamshi gani aidha katika tuhuma ya nane inayodai tundu kutoa mafunzo kwa wanachama 140 wa chadema na vyama vingine isipokuwa ccm juu ya namna ya kuvuruga uchaguzi alisema wapewa mafunzo hao 140 hawajatajwa majina na vyama vyao na waleta maombi ya kupinga ushindi wake hoja ya 12 ambayo tuhuma imetolewa kuwa mawakala wa tundu walitumia nguvu na amri katika vituo kadhaa kwa wapiga kura ambao uoni wao sio mzuri kwa lengo la kutaka wampigie tundu tundu amesema tuhuma hiyo haijaainisha ni nguvu za aina gani zilitumika ngumi au mapanga haijataja vituo vya kupigia kura wala majina ya watu wenye uoni hafifu au kadi zao za kupigia kura hizo ni baadhi ya tuhuma alizozipangua mh tundu lissu email contact us singida yetu simanzi zaendelea kutawala ndani ya nyumba ya tanzania movie talents (tmt) mara baada ya mshiriki mwingine kuaga shindano 28th july 2014 / 0 comments new audio nimempata pam d mic queen ft mesen selector 28th july 2014 / 0 comments new music dereva makinibanaba amini dayna & mrblue 25th july 2014 / 0 comments recent pos
2014-07-28T06:14:19
http://dewjiblog.com/2012/03/14/mh-tundu-lissu-apangua-tuhuma-dhidi-yake-katika-kesi-ya-kupinga-matokeo-ya-ubunge-iliyotia-for-a-mkoani-singida-kwa-kuhudhuriwa-na-watu-wengi/
mininfra igiye gushyiraho ikigega cyamafaranga azorohereza abubaka inzu ziciritse | imirasirecom ahabanza >> amakuru yose >> amakuru mashya >> mu rwanda >> mininfra igiye gushyiraho ikigega cyamafaranga azorohereza abubaka inzu ziciritse yanditswe 10/05/2017 0717 yasuwe incuro 6860 miliyoni hagati ya magana abiri na magana abiri na mirongo itanu zamadolari yamerika niyo agiye gukoreshwa na ministeri yibikorwaremezo mu gutangiza ikigega kizafasha mu korohereza abubaka inzu ziciriritse zo guturamo ibi byatangajwe na minisitiri wibikorwa remezo james musoni ubwo yari imbere ya komisiyo yingengo yimari nubukungu mu nteko ishinga amategeko mu biganiro ku mbanzirizamushinga yingengo yimari yumwaka wa 2017/2018 minisitiri james musoni avuga ko iki kigega ari kimwe mu bizafasha mu kubaka inzu ziciriritse bityo bifashe abaturage benshi bafite ikibazo cyo kubona amacumbi minisitiri musoni kandi yabwiye komisiyo yinteko ko iyi ministeri yafashe icyemezo cyo guteza imbere ibikoresho byubakishwa bikorerwa mu rwanda kuko kugeza ubu mu rwanda hamaze kugera ibigo bifite ubushobozi kandi bikora ibikoresho bihendutse ikindi kandi ngo nuko bashyizeho amabwiriza yuko ibyo bikoresho bigomba kuba bihendutse kurusha ibitumizwa mu mahanga minisitiri yavuze ko kugeza ubu ingengo yimari ya minisiteri yibikorwa remezo itwara 14 byingengo yimari yose yigihugu bikaba bisaba ko ikoreshwa mu bikorwa bifatika kandi bikemura ibibazo byabaturage muri gashyantare uyu mwaka ikigo cyigihugu cyimiturire cyatangaje ko cyari ifite umushinga wo kubaka inzu 30000 mu cyerekezo cya leta cyo kubaka inzu ziciriritse mugayo 12/05/2017 saa 1341 murashaka kuturya nanone ariko ntabwo muhaga narimwe
2017-05-26T14:58:47
http://imirasire.com/MININFRA-igiye-gushyiraho-ikigega-cy-amafaranga-azorohereza-abubaka-inzu-ziciritse.html
online casino worth kila pound mwisho £/€/$3 welcome bonus the pound slots online casino review kuweka what you win pamoja phonemobilecasinocom pound slots is among the most stimulating and zaidi credit and debit cards bora neteller pay by phone skrill trustly debit kadi bora neteller pay by phone skrill trustly online casino worth kila pound mwisho £ / € / $ 3 karibu bonus the pound slots online casino review kuweka what you win pamoja phonemobilecasinocom pound slots ni miongoni mwa kuchochea na kuvutia online kasinon kuna watu ni hutoa makundi ya invigorating michezo na uhakika wa huduma ya kuaminika kila mtu novice na mkongwe anapaswa kujaribu tovuti hii nje get up to £200 real money deposit match welcome bonus when playing for real money and keep what you win kupata mkusanyiko wa slots & casino michezo utafutaji pound slots jiunge sasa kulipwa 100 karibu bonus up £ / € / $ 200 + kupata 20 free spins juu ya kila weekend pound inafaa ni online casino which allows people to wager mobile credit on phone slots casino games using nothing more than their mobile phones and an internet connection wao kutoa aina mbalimbali ya yanayoikabili michezo kwa ajili ya wachezaji wao na ni salama kabisa kwa wager fedha ya mtu online simu kasinon kweli ilianza kuja katika vogue na ongezeko la biashara kufurahia real cash promotions & real money casino deposit bonuses wachezaji ambao saini hadi saa poundslotscom kwa maana hakuna ada ya ziada unastahiki jeshi la mafao na matangazo hizi ni inatoa maalum ambapo casino inatoa wachezaji fedha za ziada kwa wager katika mchezo au spins bure kwenye online inafaa mchezo wachezaji waaminifu ambao wager mara kwa mara ni zaidi uwezekano wa kupata mafao haya maalum kuliko wengine ambayo ni sawa tu moja ya mafao maarufu sasa zinazotolewa katika pound inafaa ni yao £ / € / $ 3 bure kipekee fedha halisi spins bonus plus 100 hadi £ / € / $ 200 kuwakaribisha ziada kama kasinon zaidi ya simu pound inafaa inatoa kusema ukweli kabisa staggering aina ya michezo hizi ni pamoja na inafaa online bure online poker mkononi blackjack na bila shaka inafaa themed kucheza inafaa yako favorite na casino michezo sasa mandhari msingi inafaa ni mpya na badala captivating lahaja ya mchezo wa zamani casino wao kuchanganya unpredictability ya inafaa na baridi kamili ya mandhari maarufu kama horror ndoto katuni na utamaduni wa pop kuweka spin mpya juu ya tale umri kama ilivyokuwa ina aligeuka kuwa kabisa miongoni mwa favorite online kamari jamii one neednt worry one bit when it comes to pound slots as their repute and fame in matters of transparency murua na watejakwanza kufikiri live chat casino services benefit all slots fans looking for swift assistance and as well as prompt follow through and resolution and thats exactly what this mobile casino provides other areas of interest include malipo na pesa wateja kuwa kwa namna ya kuzungumza pick ya takataka linapokuja suala la malipo na shughuli nyingine fedha huduma zao kutoa casino kulipa kwa muswada simu na hasa popular mechanisms like paypal and visa cards are accepted kufanya malipo yako kwa kutumia malipo ya chaguzi rahisi vifaa flexible ya kucheza michezo online shukrani michezo yao na maombi si mdogo na yoyote jukwaa moja mkononi ukiondoa watumiaji wengine michezo yao kukimbia kwenye android iphone ipad blackberry na mifumo mingine maarufu kama wao lazima kwani wao kujivunia kuajiri bora mchezo watengenezaji katika biashara kucheza michezo yoyote juu ya vifaa yako android mambo ya kuvutia when wagering at poundslotscom any cash transactions regarding bonuses jackpots au amana ni kufanywa bila mteja incurring gharama yoyote ya ziada kwa ajili ya manunuzi ada ya manunuzi ni kama ilivyokuwa juu ya nyumba phone casinos allow people to wager whenever they want na kutoka popote wanataka unaweza kuwa amelazwa juu ya kitanda yako mapema asubuhi na kujisikia kama kucheza baadhi ya michezo aina ya uhuru online kasinon inaruhusu watu stunning kabisa na hii imebadilika sekta ya kamari milele the vast variety of games ensures that theres something for everyone unaweza kuwa shabiki wa batman na kupata batman themed inafaa mchezo online unaweza kama kadi na ningependa kupata mchezo baccarat kuwa alicheza uchaguzi ni kutokuwa na mwisho the bonuses and promotional offers are tempting to say the very least na ukarimu kabisa kuna mafao kwa ajili ya kila aina ya mafanikio na hasa kwa uaminifu na utaratibu katika mchezo authenticity can be hard to come by in the virtual world ambayo ni kwa nini wakati wowote mmoja hupata kuaminika simu casino mtu lazima hazina yake pound inafaa ni miongoni mwa kuaminika zaidi ya kura na moja unaweza mapumziko uhakika kwamba moja si kudanganywa the games require a fair amount of good software and uptodate technology angalau ndio na graphics na kuonekana nzuri hitimisho pound inafaa ni rahisi kabisa magoti nyuki ya kasinon online na kasinon simu mchezaji yoyote ingekuwa mpira wagering katika moja yoyote ya michezo yao multitudinous the pound slots blog for phonemobilecasinocom kuweka what you win roulette pay na bill simu | pound slots free play online slots | slot kuhusiana | £ / € / $ 200 karibu bonus
2017-11-24T18:23:16
http://www.phonemobilecasino.com/sw/mapitio/pound-inafaa-online-casino/
abanyarwanda ntibahiriwe numunsi wa kabiri wa la tropicale amissa bongo igihecom kuya 21 mutarama 2020 saa 0529 umunsi wa kabiri wisiganwa rizenguruka gabon la tropicale amissa bongo ntiwahiriye abakinnyi batandatu bagize ikipe yu rwanda aho agace ka kabiri kakinwe kuri uyu wa kabiri kegukanywe numunyaerythrèe natnael tesfazion abasiganwa 86 bahagurutse i bitam berekeza mu gace ka oyem ku ntera yibilometero 120 yegukanywe na natnael tesfazion ukinira ikipe yigihugu ya erythrèe nyuma yo gukoresha amasaha abiri iminota 30 namasegonda 42 amasegonda 11 uyu mukinnyi yongewe nyuma yo kwitwara neza muri aka gace yatumye anafata umwanya wa mbere ku rutonde rusange aho amaze gukoresha amasaha atandatu iminota ine namasegonda 28 ibihe anganya na mugenzi we yemane dewit wabaye uwa kabiri mu gace ka mbere munyaneza didier mpappé ni we munyarwanda waje hafi muri aka gace ka kabiri akoresha ibihe bimwe naba bakinnyi bose basoreje mu gikundi cya mbere ari ku mwanya wa 10 kimwe na nzafashwanayo jean claude wabaye uwa 15 mugisha moïse yabaye uwa 20 arushwa amasegonda 34 nuwa mbere akurikirwa na uhiriwe byiza renus we wasizwe amasegonda 41 areruya joseph wegukanye iri rushanwa mu 2018 yabaye uwa 43 asizwe iminota 14 namasegonda 44 mu gihe kapiteni wikipe yu rwanda mugisha samuel yasoreje ku mwanya wa 54 arushwa iminota 15 namasegonda 32 umutaliyani viviani attilio ukinira cofidis solutions crédits yo mu bufaransa wari wegukanye agace ka mbere yabaye uwa 56 agera ku murongo ari mu gikundi kimwe na mugisha samuel la tropicale amissa bongo iri ku rwego rwa 21 izakomeza kuri uyu wa gatatu hakinwa agace ka gatatu aho abasiganwa bazahagurukira mitzic berekeza mu gace ka ndjole ku ntera yibilometero 180 umunyaerythrèe natnael tesfazion yegukanye agace ka kabiri ka la tropicale amissa bongo abanyaerythrèe bakomeje kwigaragaza muri la tropicale amissa bongo iri kuba ku nshuro ya 15
2020-04-09T23:02:17
https://igihe.com/imikino/amagare/article/abanyarwanda-ntibahiriwe-n-umunsi-wa-kabiri-wa-la-tropicale-amissa-bongo
diary yangu wema hauozi33 wema hauozi33 kwahiyo kumbe sio yeye aliyekuokoa kwa wale wabakaji nikamuuliza wakili mwanadada ndiyo yeyealiyeniokoa na mwenzake lakini walipomaliza kuniokoa na kunipeleka hospitalini mwenzake akawa mwepesi zaidi kwa vile alikuwa na pesa na pili huyo mwanasheria ilionekena hakupenda sana kubembeleza kwa jinsi nilivyokuja kumuona baadayeakasema wakili mwanadada kwahiyo ikawaje nikamuuliza aaah sijui siku ile ilikuwaje maana japokuwa kiukweli nilishavutika na huyo mwanaume aliyenisaliti siwezi kusema nilivutika na yeye kwa vile nilishampenda sikuwa na uhakika na hilo maana akili yangu haikuwa na mawazo hayo kwa kipindi hichoakili yangu ilikuwa imeliweka hilo pemebeni kabisa ila kwa matukio yaliyotokea hapo chuoni ilishafikia muda nikasema kwanini na mimi nisiwe na rafiki wa kiume basi kama ni hivyo huyo mwanaume msaliti atanifaa huenda ndiye chaguo langu ngoja nijaribu kuwa nayelakinihapo akasita lakini nikamuuliza nilikuja kumchukiaunajua kuchukia utazania alinifanyia kitu gani kibaya fikiria tulikuwa hatujakubaliana kuwa wapenzi na ikatokea hivyo kumkuta akiwa na mwanamke mwingine wakitenda tendo hiloyaani niliona kuwa nikamfumania yaani moyo wangu uliona kanifanyia mabaya yasiyosamehekanikajigundua kuwa nina wivu wa kupindukiaakasema wakili mwanadada ni ni kweli una wivu kiasi hicho nikamuuliza na yeye hakujibu hilo swali akaendelea kuongea sasa kilichofuata ikawa kama vile nalipiza kisasi kwani niliamua kuwa na huyo mwanasheria huyu aliyekuja na kunidaka wakati nataka kudondoka ambaye ndiye huyu tunayemzungumziana tukachukuana hadi kwenye bustani za shule na kukaa naye yeye alikaa na kunyosha miguu na mimi nikajilaza kwenye miguu yake kitu ambacho sijawahi kukifanya kwa mwanaume yoyote na muda huo akaja yule mwanaume mwingine akiwa kachanganyikiwa akatuona tukiwa tumekaa vile vipi mumemaliza rafiki yake akamuuliza na huyu mwanaume msalaiti hakuweza kujibu akaja na kupiga magoti mbele yangu huku akionyesha kuhuzunika kwa kitendo alichokifanya lakini mimi sikutaka kabisa kumsikiliza nakuomba mwanadada unisamehe ibilisi alinizidi na kwa vile nimekuwa siku nyingi bila nikashindwa kuvumiliana wewe sikutaka kukulazimishaakawa anaongea huku akiwa kapiga magoti niliinuka pale nilipokuwa nimejilaza nikakunja magoti huku nimeweka kichwa kwenye magoti sikutaka kabisa kumwangalia machine nikasema kwa sauti kali tafadhali nakuomba uondoke tafadhalinisije nikakuumbua nikasema na nilipoona haondiki nikainuka kutaka kuondoka na yeye akanifuata na kujaribu kunishika niligeuka na kumwangalia kwa jicho baya hadi yeye mwenyewe akarudi nyuma nisamehe mwanadada sitarudia tenaaaksema huku akiwa kajishika kifuani kama vile anatubu madhambi yake sitaki kuwa rafiki na wewe kuanzia leo mimi na wewe basi tusijuane kabisanikasema na wakati huo rafiki yake alikuwa kasimama na kusogea pembeni kutupa nafasi ya kuongea na mimi nikamgeukia yeye nikamuuliza upo tayari kuwa na mimi au nikamuuliza na yeye akaja akiwa na mshangao machoni bila kumwangalia rafiki yake akanishika mkono tukaongozana hadi chumbani wanapoishi na humo nikamkuta msichana akiwa kakaa kwenye kitanda huku akiwa tayari kuondoka na alipotuona tu akainuka kwa haraka na kutoka nje na huyo mwanasheria akaniambia huyo ndiye mwanamke wa huyo rafiki yake ina maana unafahamu kuwa ni mpenzi wake wa siku nyingi nikamuuliza nafahamukabla wewe hujafika hapa chuoni huyo ndiye mpenzi wake lakini huenda alitaka kumbwaga na kukuchukua weweakasema ndio tabia zenu eeeh nikamuuliza sio mimi ulishawahi kuniona nikiwa na rafiki mwanamke hapa chuon tangu ufike ulishawahi kuniona nikiwa nimeongozana na mwanamke kama rafiki hebu ulizia watumimi sijawahi kwavile sikuwa na mpango huo kwa sasa ila wewe peke yake umeonekana kunigusa moyo wangu wewe ndiye uliyenivutia na alipokuwahi rafiki yangu nikasema basi tena na sitaku kamwe kugombea akasema na nilimwamini hapo hapo sijui kwanini kwahiyo ukamkubali japokuwa ulikuwa hujampenda nikamuuliza na yeye hakujibu swali kama nilivyomuuliza akasematu urafiki wetu ndipo ulipoanzia hapo wakili mwanadada alifika kwa mjumbe akiwa na azima ya kumuliza mjumbe baadhi ya maswali ambayo alitaka kuwa na uhakika nayo hakumuelezea lolote mteja wake yaani mwanamama alitaka hilo wazo alilo nalo kichwani lisijulikane hadi hapo atakapokuwa na uhakika nalo na alipofika hapo kwa mjumbe akakuta watu wamejazana akasimama na kuangalia huku na kuleakamsogelea mwanamama mmoja na kumuuliza mbona kuna watu wengi hapa kwa mjumbe akamuuliza huyo mwanamama aliyekuwa kasimama nje maana ilionyesha wazi kuwa ndani kwa mjumbe kulikuwa kumejaa wewe huna habari akaniuliza kwa kuonyesha mshangao habari gani hiyo mwanadada akauliza jana usiku tumeingiliwa na maaskarihii ni mara ya pili ila safari hii wamezidi maana imekuwa kama uvamizi wa kijambaz wameingia kila nyumba baada ya nyumba wakikuta mwanaume wanamkamata wanamfunga pingu wanaondoka nayendio maana unatuona wanawake watupu hatujui ni kitu gani kimewasibu wanaume zetu na watoto wetuakasema hata watoto wamekamatwa mwanadada akaulizwa akionyesha kushangaa waliokamatwa ni vijana wakubwa sio watoto lakini mtoto kwa mzazi wake ni mtoto au sioaksema kwani tatizo ni nini mpaka wote wakamatwe sizani polisi wangelifika na kukamata watu bila sababu maalumu akauliza mwanadada na huyo mama akamwangalia huyo wakili akionyesha kukerwa na akasema ndio maana tumekuja hapa kwa mjumbe tujue sababu ni ninitungelijua tatizo tungelijua ni nini cha kufanyakwani wewe ni naniakauliza na huku akimwangalia huyo wakili mwanadada na mwenzake akasema humjui huyondio mchumba wa yule mwanasheriahumkumbukiakasema huyo mwanamama mwingine na mwanadada akauliza sasa mjumbe yeye kasemaje mwanadada akauliza mjumbe naye hayupo inasadikiwa kuwa huenda alipata taarifa hii mapema akakimbia kujificha akasema huyo mwanamke mwingine sasa kwanini akimbie kujificha akauliza wakili mwanadada kitabasamu kwa kushangaa labda na yeye alihitajika kukamatwa au alipata taarifa mapema kuwa watamkamata au watu watakamatwa kwahiyo yeye akatafuta kisingizio au vinginevyo amejificha kuogopa wananchi kuwa watakuja kumlalamikiaakasema huyo mama mlipomuuliza mkewe amesema nini mkewe anasema mume wake alimuaga kuwa wana kikao toka jana hadi leo hajarudi kwahiyo hajui wapi alipo na inaonyesha kabisa kuwa anafahamu wapi alipo lakini anaficha siri ya mumeweakasema mama mwingine aliyetoka kwa muda huo yeye alikuwa huko ndani sasa nyie mna maamuzi gani akawauliza sisi tumepanga kuwa tunaandamana hadi kwa katibu kata mtendaji naye kama hana jibu tutakwenda ofisi za wilayaakasema huyo mama akigeuka kuwaangalia akina mama wengine ambao walikuwa wakitokea huko ndani na ilionyesha dhahiri kuwa huyo ndiye msemaji wao mkuu lakini mnafikiri ni kwanini harambee au zoezi hili limefanyika hivi kweli watu watakamatwa hivi hivi bila jambo hamuoni kuwa kuna sababu akauliza mwanadada tungelikuwa tunalijua hilo tusingelikuwa na wasiwasi tungefahamu ni hatua tufanye sasa hivi wanatupa wakati mgumu maana badla ya kuhangaika na majukumu yetu ya ndani na mashambani tunahangaika kuwatafuta waume zetu na hawa watu hawajui kuwa sisi tunawategemea waume zetuhiyo serikali ituambie tutakula nini kama wamewashikilia waume zetuwatupe pesa za matumiziakasema huyo mwanamama msemaji wao na wenzake wakamshangilia baadaye kidogo mjumbe akafika na alipoona kundi la akina mama akajifanya kushangaa na kuwasogelea akauliza jamani kuna tatizo gani akauliza huku akiangalia huku na kule kama anaogopa au kama anachunguza jambo mjumbe usijifanye hujui ni kitu gani kimetokea hii imekuwa ni tabia yako pindi kukitokea jambo unatoweka ghafla na unakuja baadaye na ukijifanya hujui lolote hili la sasa litakuumbuaakasema huyo msemaji wao mkuu jamani mimi sijui chochote kwani hakuwaambia mke wangu kuwa tulikuwa na vikao vya chama tunajiandaa kwa kampeni za uchaguzi kwahiyo jana nimeshinda huko kwenye ofisi za chama na tumelala huko huko sijui kabisa ni nini kimtetokeaakasema kama hujui kweli haya fuatilia ni kwanini wanaume zetu wamekamatwa usiku bila taarifa yoyote na hatujui wamepelekwa wapisisi hapa hatujala hatuna pesa za matumizimimi hapa naumwa nina presha akasema mama mmoja mnene na wenzake wakawa kama wanamliwaza sasa mimi nifuatilie wapi nyie ndio mliokuwepo wakati wanakamatwa kwanini msiwaulize hao polisi kisa cha kutuvamia usiku na kuwakamata waume zetu ni nini tumekuwa majambazi kwanini hatuna amani kwenye kijiji chetuakasema huyo msemaji wao mkuu ina maana hawakusema lolote akauliza huku akionyesha mshangao na kutaka kujua zaidi hawakuta kusema lolote walifika na marungu na pingu mikononi na silaha kila nyumba ilipitiwa na akikutwa mwanaume au kijana wa kiume wote walisombwa kwenye karandingaakasema mama mmoja kama ni hivyo watakuwa wamewapeleka kituo cha polisi cha mjini labda ni kuhusiana na hiyo kesi inayoendeshwa kwa sasa na huenda wanajaribu kupata maelezo na kama ni hivyo haitachukua muda wataachiwa ni bora mkavuta subirakwasababu kesi hiyo kesho inaanza kuskilizwaakasema mwanadada mbona wewe mwanadada unaongea kama vile unafahamu kwanini imetokea hivyoakasema huyo msemaji wao mkuu mimi naongea hivyo kwa vile ninajua mbinu za maaskari wanapokuwa wanawatafuta wahalifulakini sina uhakika wa moja kwa moja kuwa huenda ni hivyo au kuna jambo jingineakajitetea mwanadada wahalifu unaita wanaume wetu wahalifu tuombe razi wewe bintiakasema mama mmoja sina maana kuwa wanaume wenu ni wahalafu ila nasema wakiwa wanamtfauta mhalifu wnafnaya hivyo na mara nyingi mhalafu anakuwa pamoja na sisiakasema huyo mwanadada na yule mzungumzaji mkuu akamgeukia mjumba na kusema sasa ili kuondoa huo utata sisi na mjumbe tunakwena mguu kwa mguu hadi kituo hicho cha polisi hatukuachii mjumbe maana hili sasa limekuwa ni tatizo hatulalihatuna raha na waume zetukila siku tunavamiwa na polisi kwanini akawa kama anauliza msemaji mkuu tumechokaa twendeniwakasema akina mama kwa pamoja mimi kwakweli sina muda huo maana nilikuja mara moja kuchukua baadhi ya makabrasha yangu hamuoni kuwa nipo kazinininahitajika kurudi ninarudi kikaoniakasema mjumbe akionyesha wasiwasi mjumbe wewe ni kiongozi wetu na kama tatizo limetoka kwenye nyumba zakounafikiri ni nani atatuongoza wewe ndiye mjumbe wetu tunaamini utatusaidia kwa hili vinginevyo ukiri kuwa kazi imekushinda ili tujichukulie madaraka wenyewe na ufanye hivyo kwa maandishiakasema huyo msemaji wa mkuu na wakili mwanadada akamwangalia mjumbe ambaye alikuwa akihangaika akitaka kupita kwenda ndani lakini ilikuwa vigumu na asingeliweza kuwakimbia watu kwa njia hiyo mimi sijawaambia kazi imenishida lakini nina majukumu ya kichama na wakubwa wananisubiri huko kwenye kikaoakasema na mara simu ya mjumbe ikalia na yeye kwa haraka akaipokea bila hata kuangalia ni nani aliyepiga akasema mnaona wakubwa wananiita wameona nina chelewa akaiweka sikioni na kama vile kaguswa na kitu sikioni cha kumshitua akaisogeza mbali hiyo simu na baadaye akairejesha sikioni na kusema nani mwenzangu akauliza huku akiwa na wasiwasi kwani huenda aliyetaraji kumpigia sio yeye unasema ni mkuu wa kitu cha polisi afande unasemajekuna nini afande maana watu wamejaa hapa wanauliza waume zao akauliza huku akiongea kwa sauti lakini sauti yake ilimshitaki kwani akionekaan kuwa na wasiwasi eti ninikwani mimi nina kosa gani mkuu akauliza ana akasikiliza kwa muda halafu akasema kwa kigugumizi mimi hapanaunasema kwanini nitafutwehapa mkuu kuna makosasio kweli akawa kama anajitetea na hiyo sauti nyingine na yenyewe ikawa inaongea sijakimbia mkuu kwanini nikimbie kabisanilikuwaniliitwa na ndugu yangu anaumwaikabidi niende kumuuguzanikalala huko hukoakawa anajiuma uma akisahau kuwa alishawaambia watu kuwa alikuwa kwenye kikao sawa afande nitakujaakasema na alipokata simu akainama kuelekea ndani na wale wanawake wakawa wanamuangalia wakita kujua ni kitu gani kimetokea sasa mjumbe mbona unatuweka hewani unatuacha njia panda wakamuuliza waume zenu wameshikiliwa na polisi ili watoe ushahidi kuhusiana na mauaji yaliyotokea hapa kijijini kwa taarifa ya polisi wanadai kuna kundi linaloendeleza hilo wimbi la mauaji na ubabe na kujichukulia sheria mkononi na wanasema mnawafahamu hawo wahalifu lakini hamtaki kuwasemasasa cha ajabu huyu mkuu anadai kuwa mimi ninawafahamu hawo wahalifungona niende huko huko nitapambana nao huko hukoakasema akijipa moyo mjumbe waume zetu wasipoachiwa sisi tutasema ukweli woteakasema huyo mwanamke msemaji ukweli gani tena wewe mbona unataka kunichanganyaakasema mjumbe akimwangalia huyo mwanamama unaufahamu vyema huo ukweli wenyewe ndio maana ulikumbia na kujifanya ulikuwa kwenye kikao kama sio kweli mbona ulipoongea na hiyo simu umewaambia polisi kuwa ulikuwa kwa ndugu yako mgonjwa mbona hukusema kuwa ulikuwa kwenye kikao kama ulivyotudanganya sisi inaonyesha unafahamu fika kuwa ungeliwaambia hivyo hawo polisi wangefuatilia kuhakikisha kuwa kweli ulikuwa kwenye kikao au laakasema huyo msemaji wao kwahiyo mnataka kusema nini akauliza kumkatiza huyo msemaji mkuu akijua kiozidi kuongea atamwanga mtama kwenye kuku wengi kama upo na sisi na sisi ni wanachi wako tunakuhitajia tuongozane mguu kwa mguu hadi huko kituoni ili tujue makosa ya waume zetu vinginevyo tutachukulia kkuwa umetuasi na ukumbuke sisi ndio tuliokuchagua sasa kama hutaki kuwa na sisi nenda kwa hawo waliokuchagua na sisi tutachagua mjumbe wetu mwingineakasema huyo mwamama msemaji wao na watu wakamshangilia jamani jamanihebu tulieninaombeni hili swala niachieni mimi mimi nitakwenda huko kituoni peke yangu na nitawaletea ni nini kimetokea kwani tukienda kundi la watu tutaanzisha jambo jingineakasema mjumbe na kabla hajamaliza mara wakaonekana watu wakija muelekeo wao na mjumbe alipowaona akajipenyeza kwenye kundi la akina mama na kujibanza kwenye ukuta na aipoona yupo kwenye sehemu ambayo wale watu wanaokuja hawamuoni akatimua watu akabakia kushangaa vipi jamani mjumbe mbona anakimbia na hawa watu wanaokuja ni akina nanii akauliza mmojawapo huku na wao wakiwa na wasiwasi nafikiri mjumbe anafahamu kabisa ni kwanini wanaume zetu wamekamatwa na yeye ni mwanaume ndio maana akiwaona watu tu anahisi ni hawo maaskari wanakuja kumkamata na yeye ndio maana katimua mbioakasema na akina mama wakaangua kicheko na kicheko chao kilinyamazishwa na ujio wa hawo watu ambao kwanza waliuliza huo mkusanyiko una maana gani kwani nyie ni nani maana mjitambulishe kwanzaakauliza msemajii mkuu sisi tunatoka kituo cha polisi ni wanausalama tumakuja kuonana na mjumbe je mjumbe yupo wapi wakauliza mjumbe kaondoka sasa hivi hatujui wapi alipoelekea inaonyesha ana haraka sanaakasema mama mmoja mwenye udugu na mjumbe anahitajika kituo cha polisi mwambie kama tusipomuona leo tutamfuata kwa namna asiyoipenda yeye akasema huyo jamaa na mwenzake akawa anachunguza huku na kule na baadaye akawa kama kaona kitu akambonyeza mwenzake kuonyeshea kule mjumbe alipokuwa kaelekea na wote wawili wakakimbilia huko alipoelekea mjuumbe nb je kulikoni wazo la leo unapotenda makosa moyoni kunakuwa hakuna amani na hutaweza kuishi kwa raha ukiwa na wasiwasi kuwa utagundulikana kwa makosa uliyoyafanya jitahidi kutenda mema pale unapotenda kosa jitahidi kutenda mema ili hayo mema yafute hayo makosa uliyoyatenda kumbuka kuwa dawa ya makosa ni kutenda mema mmh ngoja tusubiri wabaya ndo haooo washaanza kukamatwa take a look at my web page übersetzung kostenlos google (forumanyfaceir)
2017-10-22T22:47:42
http://miram3.blogspot.com/2013/07/wema-hauozi-33.html
pata muonekano 8020fashions blog 33595 twitter followers 39298 facebook fans 1219 google+ followers 176723 ig followers all posts in pata muonekano 8020fashionsblog · pata muonekano 164 views pata muonekano birthday outfit by evecollections birthday ya mwaka huu january 14 nilisherehekea miami niko huku kwa fursa ya oriflamenipo kwa seminars mbalimbali na vacation flani hivi amazing follow me on insta kwa mambo yote nilipiga picha hizi kwa miami streets kama jadore 8020fashionsblog · pata muonekano 220 views celebrating 5 years of kikis fashion with five outfits day 5 kwa wiki nzima tume mcelebrate kisa kama desginer mwenye lebel yake ya kikifashion katika kufikisha miaka 5 kama desginer na nilivaa vivazi 5 toka kwakwe leo ni siku ya tano off shoulder kitenge top by kiki levis 8020fashionsblog · pata muonekano 231 views celebrating 5 years of kikis fashion with five outfits day 3 & 4 katika kucelebrate miaka mitano ya @kikisfashion ya @kikizimba wiki hii ntakuwa ndani ya vivazi vya #kikisfashion bell sleeves kitenge pencil dress by kikisfashion shoes indigo_shop_tanzania africanprint top by @kikisfashion#pinkmidheels 8020fashionsblog · pata muonekano 232 views celebrating 5 years of kikis fashion with five outfits day 2 mixed african prints jumpsuit by kikisfashion pumps 8020fashionsblog · pata muonekano 239 views celebrating 5 years of kikis fashion with five outfits day 1 kikis fashion chini ya kiki zimba wanasherehekea miaka 5 tangu kuanzishwa kwakehivyo basi shamim mwasha atakuwa anavaa vivazi vitano toka kwa kiki kikis fashion kitenge top ripped skinny jeans the glamorous 8020fashionsblog · pata muonekano 221 views pata muonekanopinstriped jumpsuit hakika mwaka wa 2016 tunamshukuru mungu ulikuwa mwema tuliweza kuanzisha youtube channel zezetv 8020 forum uwanja wa wanawake kuongeana hata blog yetu kukua na kuwa na post pendwa kama 8020fashionsblog · pata muonekano 238 views shop muonekano huu wa jacqueline mengi jacqueline mengi amewashukuru fans wake kwa all the birthday wishes na love mnayompa she was a lady in white and peep of color white jeansgray v neck tee and a white blazer with white stilettos what i love ni her orange birkin bag 8020fashionsblog · pata muonekano 176 views tbt to pata muonekano wangu gml athletic chic look post hii nayo ya pata muonekano ilibamba mnooojamani nani kamiss hizi series za pata muonekanoshare kwa comments below by ups fashion wear wanapatikana namanga near eddo chips instagram @ups_fashion_wear wacheki 0717 835222 my 8020 fashions blog · pata muonekano 7014 views tbt pata muonekano wangu @ wemas birthday party hii ilikuwa birthday party ya wema mwaka 2014hapa ndo nimejifungua mwanangu ajmal endiwoooo hivi ndo nilivotokelezea kwa birthday party ya wema skirt ourfashioncorner topbongoshopaholic mid wedge woolworth kukwida belt 8020fashions 8020fashionsblog · pata muonekano 128 views pata muonekano wa maznat toka kwa beautypointdar maza wa maznatbridal looked wow in the beautiful strapless floral dress from beautypointdar she styled her dress simply with just simple accessories like a necklaceearring and a silver clutch hair and make up from maznatbridal alipost hizi older entries → powered by google mishono place your order for mens shirt from katty collection 102 views lavido rocks a batiki skater skirt fro bijoux trendy 504 views 4 times mboni stunned in katty collection designs 424 views african print ball gown worth a red carpet appearence 509 views get african print material designs inspiration and more from katty collection 449 views mother and daughters look stunning in katty collection designs 519 views african fashion highlow kitenge top by katty collection 341 views african print dresses designed by katty collection 448 views african print duster coat by katty collection 606 views african print designs from katty collection 327 views disclaimer we covers the top social media news on topics like facebook like us and be our fan on facebook 7245 blog stuff mogoze stats and counting
2017-04-24T16:57:43
http://www.8020fashionsblog.com/category/pata-muonekano/
jaman naumwa na mawazonateseka nfanyeje | jamiiforums | the home of great thinkers jaman naumwa na mawazonateseka nfanyeje discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by madawa bety oct 12 2011 madawa bety ni mwaka3 sasa tangu nianze uhusiano na huyu kakakiuwezo tunatofautina sana but sikujali hilo nami nmejitahidi sana kumpa penzi langunimejitahidi kumtunza na nimekuwa nikimvumilia sana nami aniridhisheanipe penzi na matunzo yale anayostahili kupata mwanamke but sipaitnikimweleza ananiambia nivumilie atabadilika but mpaka sasa sioni mabadiliko yoyotenamweleza basi kama huwezi kuleta mabadiliko katika penzi letu basi jtahidi hata wewe mwenyewe kushughulika kwasababu somtimes anaishiwa kabisa inabidi nimsaidie but mimi ninavyoamini mapenzi ni kusaidianakuonyesha ushirikiano ili wote mfurahihakuna lolote analoweza kunipa zaid ya penzi kitandani na muda wote nashrikiana nae tu ili nimfurahishe but mie sina amani wala furahakuna wakait nilikuwa nikikaa namwaza yeye tunamuota yeye tu but now nimechoka maana sina amani wala furaha maana mimi na weakness moja napenda kubembelezwa napenda ile attention toka kwa mwanamme but hata hayo hakuna i feel i need to move on or nitulize nafsi na akili yangu ili nipate kusoma maana niko mwaka wa mwisho wa masomo chuo but nilipojaribu kumweleza mwenzangu amereact na kucomplain nimpe nafasi nyingne atabadilika but mi nimemweleza feelings zangu kwake zmeisha naamini mambo yatakuwa yaleyale nami nmeboreka but nilipomueleza yote haya darasani haendivpind haudhuriihanafuraha kama kachanganyikiwahe says he cant do without meanalia kabisa anataka nimpe chance nyingne hata kwahuruma tu angalau amalize masomo but mimi sitaki kupretend namjali wakati nimechoka naona kama na muumiza nami najiumiza nakujipa mawazostill sina furaha yaan ndo hivi hebu nipeni mwangaza nifanye nini fuata moyo wako unavyotaka i thnk u need 2 sit dwn and av sam 9c desitn aprt 4m extrnl forcs ok uko chuo chuo gani unasema mnatofautiana kiuwezo tayari ww ni mfanyakazi ama pesa za wazazi/boom ndilo mnalotumia mara zote mapenzi hayaendi sawa hasa pale mmoja anapojali kupita kiasi mapenzi yapo tu siku zote na hufurahisha pale ambapo kila mmoja anafanya wajibu wake ktk uhusiano tofauti na hapo unasonga mbele na kuangalia mambo mengine kuweka mkazo zaidi katika masomo nikwambie wewe unampenda huyo kijana ila tatizo tu hana pesa hata ya kukusaidia hata nguo ya ndani coz najua your not demanding of expensive things from him ni vile tu vya kukufanya ujisikie na wewe unapendwa sasa basi hao watu wapo na ndio wanaoitwa masharohuyo mwanaume siokuwa hajua nin yampasa yeye afanye ila anapenda mtelemko na huko kujiliza kisikustue eti ukadhani ana mapenzi hapana analilia pesa na huduma ulizokuwa uanmsaidia do you think ukiendeleza mgomo hatapata mpenzi mwingineusikubali kuendelea naye muache kama mpenzi hana msaada wowote kwako mwambie its over kwa nn utunze nguo iliyokuruka ndani songa mbele wewe kama mshaongea mara kadhaa hajabadilika unafikiri atabadilika mkioana hyo anajidai haendi clas hana raha ni bomu lake la mwisho akijua ukimuona yuko ktk hali hyo utamsamehe muendelee tegua mtego huo cuz ukijidai unamuonea huruma basi waweza kufeli mwishoni cuz m2 asietoa ushirikiano ktk mapenzi ni kumwaga tu maana mizani haibalans kata mawasiliano nae fata mambo yako then km kweli akikukosa atakufalet hm die cuz hana shukrani he is a golddigger na ukifatilia sana utakuta ako na manzi mwingne ambae ndie anakula kile unachokitoa/ kukosa as ur his little atm mapenzi tena ya upande mmoja ni km kautumwa flani hv mwache kimbia okoa muda wako okoa gpa yako na tambua wanaume wanaojua kuprovide hvyo vi2 uvipendavyo wapo tena wengiijipe tu muda utampata greyps said i thnk u need 2 sit dwn and av sam 9c desitn aprt 4m extrnl forcsclick to expand mkuu unayetumia mobile nafikiri ungeaandika post yako ikaeleweka zaidi kuliko kuweka hizo initials ambazo ziko kwenye blue color rasilimali pesa hanasimlaumu lakini hata kushow some love he gat be kidinmpe take a bowtake back ua love atatokea anaekujali na utakua na raha ya maisha kulia ni maigizo hata kanumba haitaji kuweka kitunguu machoni umwone analia lol hivi hawa com huku jamvini mbona wanatuchanganya sasa hapa kaandika nini fuata moyo bibie it has come to my attention that at the end of the day 'a man with power' is what a woman needs anything else its a calamity to some and unfulfilled emotions to others yaani hivi viherufi havieleweki kabisaahata kama unapost via mobile lakn jaribu kuwa makinimaake hata hatujui unamaanisha ninianyway ni jana tu umejiunga_ukikua utabadilika kitabia it has come to my attention that at the end of the day 'a man with power' is what a woman needs anything else its a calamity to some and unfulfilled emotions to othersclick to expand yeah man shoga huyu kaka amejisahau sana au anaona wewe ndio atm yake pesa hana basi hata mapenzi umejitahidi sana kumuonyesha na kumkubali alivyo lakini sasa ameliwa rahahata kama pesa hana sidhani kama anashindwa kukufanya ukajisikia speacialss mwache alie mpaka agaregare chini asukupoteze mda alopoteza unatosha apeleke masha yake mbele asipokuja darasani atajijuasikushughulishe wa2 wahivyo dadaangu wapo hiyo tabia si kwamba atabadilika ndo yake milele hata akiwa na kazi matunzo hutayaona kwa sbb ya mkono wa birika hivi unashindwa kumuonyesha upendo mwenzio kwa kisingizio cha kipato upendo nao unahitaji kipato siajabu anajishaua tu kulialia il umuonee hurumalove na ww hana kaza mwendo bi dada mambo mbele kwa mbele 2 si dwnni to seat down and//av sam 9c desitnyani have some nice destination apart from external forcendo nilivyo muelewa lakini sijui hii si lugha yangu mkuu unayetumia mobile nafikiri ungeaandika post yako ikaeleweka zaidi kuliko kuweka hizo initials ambazo ziko kwenye blue colorclick to expand nadhani hata wewe ulimuelewa hivyo lakini ajitahidi hapa umri umepishana aache mambo ya facebook hapa ni jamiiforums pole sana shosti kama ushampa muda abadilike na yy bado yupo hivyo hivyo hebu achana nae fanya mambo yako piga moyo konde na utamsahau tu na mungu atakujalia utampata wa ukweli mwenye mapenz ya dhat na anayejua kujali na kujua umuhim wa mwanamke kaa ufikiri na upate jibu la swali hili anakupenda ukipata hilo na wewe jiulize unampenda baada ya hapo usikilize moyo wako utakuwa unakuambia nini
2017-01-23T11:05:50
https://www.jamiiforums.com/threads/jaman-naumwa-na-mawazo-nateseka-nfanyeje.181495/
jk aonekana mchomvuataanguka tena kesho kama 2005/2010 | jamiiforums | the home of great thinkers jk aonekana mchomvuataanguka tena kesho kama 2005/2010 discussion in 'uchaguzi tanzania' started by phillemon mikael oct 29 2010 maandalizi ya mkutano kabambe kesho yamekamilika nimepita pale jangwani usiku huunimekuta mkesha wa walinziunaendelea na kuna dalili ya wenye imani mbali mbali kuwa pale kwenye vikundi vyao kuongezea ulinzi huoinaonekana wazi kwa namna ya mpangilio pale gharam zimetumika kubwa tayari maandalizi kupitia kwa wajumbe wa ngazi mbali mbali kuhakikisha mkutano wa kesho unahudhuriwa na watu wanafikishwa yamekamilika hofu ya kikwete kuanguka tena kesho imetanda pale uwanjanilabda kutokana na hali yake kuonekana amekonda sana safari hiii na wazi kuonekana ana msongo wa mawazo ambao ni chanzo kikubwa cha watu wenye sukari kama yeye kuangakahii ni iwapo hayajipa muda wa kupumzika usiku wa leo na angalau apate muda wa kulala kidogo mchana kabla ya mkutanohatutaki fedheha nyingine kesho kampeni zinaisha kesho cuf wao kama maara ya mwisho walifanya mkutano jangwani jana kesho ccm watakuwa pale na chadema watamalizia kwa suguleo nccr wamemaliza mazingira na dalili za jk kuanguka tena kesho ni waziespecially kwa tabia yake ya kutumia muda mrefu kuongea porojo atakuwa anaendelea kujichosha wanaomtakia mema wamshauri ahutubie amekaapamoja na kuwa ameaza kuwa na vigugumizi na kuruka ruka maneno kama leo kwenye mdahaloangalau akianguka tusije tukampoteza kwa kuwa atakuwa amekaa a hatagonga kichwa chini ramadhani imeshapita duh mbona watutisha sisi mashabiki wa kilaza wetu jk anyway hapo jangwani huyu jamaa kuna kitu nini mbona anaanziaga hapo na kumalizia hapo kwa tabia hizi za kuanguka anguka anyway lets see lets hope for the best lakini lipo tatizo kubwa ambalo tunakwepa kulitanzua wakati na matokeo yake ndio yatatupa majibu kesho ahadi ya shekhe yahya inatimia stay tuned mazingira na dalili za jk kuanguka tena kesho ni waziespecially kwa tabia yake ya kutumia muda mrefu kuongea porojo atakuwa anaendelea kujichosha wanaomtakia mema wamshauri ahutubie amekaapamoja na kuwa ameaza kuwa na vigugumizi na kuruka ruka maneno kama leo kwenye mdahaloangalau akianguka tusije tukampoteza kwa kuwa atakuwa amekaa a hatagonga kichwa chiniclick to expand wamejenga ka'dispensary ka mda nini kama hatasema neno tumeboresha nitahama nchi makamba na sheikh yahya jangwani saa 7 usiku leo usiku baada ya hotuba ya sultani jk na kundi lake waandishi njaa vilaza mzee wa mipasho yusuf makamba alipita na sheikh mtabiri yahya na kwenda kwenye viwanja vya jangwani kwa muda wa dakika 30 na baadae kutoka mbio kuelekea ikulu vyanzo vyetu pia vimeshuudia viongozi mbali mbali wakielekea uwanjano hapohadi ninaandika kuna walinzi kibao (polisi) katika eneo hilo hivi waungwana kuna nini kati ya jangwani na ikulu makamba ni mshirikina ​ last edited by fisadioriginal today at 0216 am ​ akianguka kesho ndo haamki tena mark my words ningekua mim nsingerudi pale nuksiiii mimi wasiwasi wangu ni kuahirishwa kwa uchaguzi tu basi wakuu jamaa keshasema anasumbuliwa na matatizo ya shingo na anasubiria kisu cha shingo au hamkumsikia jana kwenye mdahalo wake neurons zikisumbua tusishangae akikaa chini lakini ya mungu mengi tumuombee uzima ili mapenzi ya mungu yaonekane kwenye uchaguzi huu lazima apatikane kiongozi aliye pata kibali machoni pa mungu kuitawala nchi hii walio mafisadi na vikaragosi wao washindwe kwa jina la yesu wakuu jamaa keshasema anasumbuliwa na matatizo ya shingo na anasubiria kisu cha shingo au hamkumsikia jana kwenye mdahalo wake neurons zikisumbua tusishangae akikaa chini lakini ya mungu mengi tumuombee uzima ili mapenzi ya mungu yaonekane kwenye uchaguzi huu lazima apatikane kiongozi aliye pata kibali machoni pa mungu kuitawala nchi hii walio mafisadi na vikaragosi wao washindwe kwa jina la yesuclick to expand kweli mkuujamaa anajiandalia mazingira ya kuanguka leo hata mganga wake alisha sema kuwa kunguka kwake ndiyo ushindi wake masharti mengine bana ingekuwa mi sikubali mimi wasiwasi wangu ni kuahirishwa kwa uchaguzi tu basiclick to expand tupo msitari mmojaaaaaaaaaaaaaaa na wewe wasiwasi wangu mkubwa ndo huo tu basi tunamwombea asianguke tena eee baba yetu uliye mbinguni msaidie jk asianguke leo pale jangwani umpe nguvu ya kuvumile hadi matokeo yatangazwe ndo aanguke millele amina
2017-04-28T04:38:49
https://www.jamiiforums.com/threads/jk-aonekana-mchomvu-ataanguka-tena-kesho-kama-2005-2010.81824/
kwa uwekezaji/maamuzi ambayo ibm imeyafanya inatazamiwa nguvu kuongezeka katika utengenezaji wa programu ambazo zinashirikisha watu wengi kuziboresha lakini pia kuongeza uaminifu kwa wateja wao kuweka data zao mawinguni buy orlistat (xenical) ni 1020 ya wateja wa ibm ndio wanahifadhi vitu vyao sehemu ambayo wanaweza kuvipata muda wowote
2019-01-19T06:32:00
https://teknokona.com/ibm-yainunua-red-hat-kujiimarisha/
wanawake mnavopenda kuhudumiwa na wanaume hivi kuna mvuto gani jamiiforums wanawake mnavopenda kuhudumiwa na wanaume hivi kuna mvuto gani 5568 8845 280 habari za mchana wana mmu kama title inavosema hapo juu mara nyingi katika huduma tofauti wanawake wanapenda na kufurahia sana wahudumiwe na wanaume ikiwa ni restaurant au bar kama kuna wahudumu wa kike utaskia lawama 'basi wahudumu wa kike wa hii bar wanajivuuta sana' au 'wanaringa sana' utashangaa hata fundi wa kushona nguo za kike wapo radhi kum support kwanza fundi mwanaume kuliko mwanamke mwenzao juzi uliletwa uzi humu kuhusu waosha miguu wanaume na mtazamo wa jamii ninahakika hata wakitokea waosha miguu wa kike wengi katika wanawake watapendelea zaidi kusuguliwa miguu na kuoshwa kucha na wanaume kwenye huduma za afya napo hasa katika matibabu yanayohitaji madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake ( gynecologists) wanawake always watapendelea kuhudumiwa na madaktari wanaume yupo dada mmoja alikua anamtafuta gyno akaelekezwa kwa doctor bingwa anaitwa thomas(ni jina lake la ubini wake maana yeye anaitwa angela) basi yule dada hakuingia kuhudumiwa na dr angela ingawa yawezekana hii ni case ya mtu mmoja lakini in most cases wanawake huhitaji huduma ya mwanaume zaidi (fanya tafiti kwa wajawazito wanaokaribia kujifungua) na kama kuna mwanamke inakua ni second option nauliza wakuu hii ni kasumba kutojiamini kwa jinsia hii au ni kweli wanaume wanatoa huduma nzuri kwenye kila sekta mkuu umekunywa chai leo nimekunywa chai ya pilipili mkuu 222 441 80 mara nyingi watu huvutiwa na jinsia tofauti na zao hata wanaume pia wengi wapo hvyo mmmh kwa wanaume pia labda mnhu si nikweli eeh likes to yeye kuhudumiwa na mwanamke mwenzako inataka moyo miaka fulani iliyopita nilikuwa na tafuta kazi kampuni fulani kumbe general meneja ni mke wa kwenye kampuni kila kitu ni yeye mara chache sana kumkuta mmewe ofisini huyooo nikaelekea town hiyo ofisi sikujua sehemu ilipo ilibidi niulize duka fulani wanielekeze nikamuuliza mkaka fulani anauza duka anielekezesamahani kaka ofisi ya iko wapi akanitazama akacheka akaniuliza kwani una shida gani nikajikanyaga baadae nikamwambia na tafuta kazi alicheka kwa nguvu akanambia ofisi ile pale ila hupati kazi pale kwa kukuona tu nikaenda kufika reception on kauliza kwa hr wakanielekeza kwa mama duh kufika salama anaitikia kama anataka kutapika ananiona juu chini nikamwambia shida yangu akajibu sasa wewe hapa tutakupa kazi gani kwanza kazi hakuna umesomea nini maskini vyeti anavyo mkononi shule hana kibongeee kama nini kajaa kwenye kiti kabinua midomo nikawaza mda wa kubinuliwa wageni midomo si aende hata jim nikaondoka sikurudi tena alieniambia niende pale ni rafiki wa mkurugenzi ingawa mm mkurugenzi simjui najua jina la kampuni alifatilia kwa nn sikupewa kazi akapiga simu wakamwambia sijafikapale ahaaa kazi za watu mifano kama hii ipo miiingi sana sasa sijui kuna siri gani ndani yake likes luckyline
2018-12-16T15:40:29
https://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-mnavopenda-kuhudumiwa-na-wanaume-hivi-kuna-mvuto-gani.1348896/
kingamuzi cha itv na star | jamiiforums | the home of great thinkers kingamuzi cha itv na star discussion in 'tech gadgets & science forum' started by wikiliki aug 25 2012 wana jf kuna wakati tulisikia itv na star tv wanaanzisha king'amuzi chao na kitaanza kazi september kuna mtu anajua wamefikia wapi mhondo ndiyo maana hawaonekani tena kwa ghafla startimes mhondo said ndiyo maana hawaonekani tena kwa ghafla startimesclick to expand umeona eeeh startimes ni wangese sana wameweka startvitv na eatv ghafla wameziondoa bila maelezo yeyote kweli tanzania hatuna mamlaka(so called tcra) kabisa walitaka wapandishe mauzo mwezi huusiunajua hii nchiwatu wanajipangia wanavyotaka then wanaumua wanavyotakaingekuwa nchi zingine wananchi wangedai fidiatanganyikaaaaakila jambo ndio mzee officer2009 tcra is a toothless dog it can't bite these con chinese wameniudhi sana silipii tena vocha yao ikimalizika muda tena ningeingia mkenge kwani nilitaka kulipia miezi mitatu baada ya kuona emmanuel tv itv star tv na ea tv hawanipati tena wapuuzi kabisa hawa angedizzle startimes wana haki ya kuondoa au kuweka channel mpyamkataba ndo upo hivyokwa hiyo kuweni wapole tu siasa mpaka kwenye ving'amuzi hapa wa kulaumiwa sio startimes bali ni hao itv na star tv kwa mujibu wa sheria station za bure kama vile itv na star tv ni lazima ziwepo kwenye ving'amuzi vyote ili kuondoa uwezekano wa kuwafanya wananchi kuwa na king'amuzi zaidi ya kimojahili ni jambo lisilokubalika hivyo basi itv na star tv wanalazimika kisheria kupeleka vipindi vyao star timesso wasipopeleka star times hawana namna ya kulazimisha kuweka vituo hivyo kwenye ving'amuzi vyao hapa kinachotakiwa ni tcra kukaa pamoja na hao wanaogoma (itv na star tv) ili ifahamike ni kwanini hawapo tayari kupeleka vipindi vyao palelabda inawezekana ni suala la ki mkataba zaidi wameshindwa kukubaliana terms nd condition therefore hata kama itv na star tv watakuwa na ving'amuzi vyao bado wanalazimika kupeleka vipindi star times na watoa huduma wengine wote no matter what otherwise wajibadilishe na kuwa pay tv startimes ni wangese sana wameweka startvitv na eatv ghafla wameziondoa bila maelezo yeyote kweli tanzania hatuna mamlaka(so called tcra) kabisaclick to expand hahahahaaaanikiicheki hiyo avatar yakoalafu nikaconect na hapo kwenye red kilichobaki ningekuona na wewe ili niweze kupata triangle ya ukweli nimeipenda kaka hapa wa kulaumiwa sio startimes bali ni hao itv na star tv kwa mujibu wa sheria station za bure kama vile itv na star tv ni lazima ziwepo kwenye ving'amuzi vyote ili kuondoa uwezekano wa kuwafanya wananchi kuwa na king'amuzi zaidi ya kimojahili ni jambo lisilokubalika hivyo basi itv na star tv wanalazimika kisheria kupeleka vipindi vyao star timesso wasipopeleka star times hawana namna ya kulazimisha kuweka vituo hivyo kwenye ving'amuzi vyao hapa kinachotakiwa ni tcra kukaa pamoja na hao wanaogoma (itv na star tv) ili ifahamike ni kwanini hawapo tayari kupeleka vipindi vyao palelabda inawezekana ni suala la ki mkataba zaidi wameshindwa kukubaliana terms nd condition therefore hata kama itv na star tv watakuwa na ving'amuzi vyao bado wanalazimika kupeleka vipindi star times na watoa huduma wengine wote no matter what otherwise wajibadilishe na kuwa pay tvclick to expand mzee ulichoweka hapo nadhani haujafanya utafiti eti niniiiiiiiii ni lazima nani alikwambia kuwa ni stesheni za bure acha hizo wewe usitake tujaze seva za watuhapa nakukubalia labda mikataba baina ya itv & star tv v/s startimes ndo tatitizo wana jf kuna wakati tulisikia itv na star tv wanaanzisha king'amuzi chao na kitaanza kazi september kuna mtu anajua wamefikia wapiclick to expand tcra imewapa licence ya pamoja lakini baado kuanza huenda mambo ya mtaji yamewakwamisha mamode mnyakeni huyu natukana kisiasa aiseee dah terms and conditions applies = vigezo na masharti kuzingatiwa muwege mnasoma masharti na vigezo siyo kubebaga decoder na kuendaga kuwaringishiaga majirani kiherehere said mzee ulichoweka hapo nadhani haujafanya utafiti eti niniiiiiiiii ni lazima nani alikwambia kuwa ni stesheni za bure acha hizo wewe usitake tujaze seva za watuhapa nakukubalia labda mikataba baina ya itv & star tv v/s startimes ndo tatitizoclick to expand mkuu wewe ndio hujafanya utafiti kwa mujibu wa muongozo wa tcra inatakiwa kila mrusha matangazo aweke local chaneli za free kwenye king'amuzi chake na hata kama malipo yako ya mwezi yakiisha basi local chanel zote zinatakiwa ziwe zinaonekana bure hizi ni pamoja na itveatvcapitaldtvstartvctntrinitc2cagape nk hizi zinatakiwakuwa katika kila king'amuzi tena ziwe free kwa maana subscription yako ikiisha kwa mwezi basi chenel zingine zote zikate lakini hizi ziendelee kuonekana ktk kila king'amuzi iwe statimestingeasytv hii imewekwa makusudi ili kumpunguzia mzawa usumbufu wa kuwa na kila king'amuzi ili kupata local chanel hii haiwahusu dstv kwa mujibu wa muongozo wa tcrs inatakiwa kila mrusha matangazo aweke local chaneli za free kwenye king'amuzi chake na hata kama malipo yako ya mwezi yakiisha basi local chanel zote zinatakiwa ziwe zinaonekana bure hizi ni pamoja na itveatvcapitaldtvstartvctntrinitc2cagape nk hizi zinatakiwakuwa katika kila king'amuzi tena ziwe free kwa maana subscription yako ikiisha kwa mwezi basi chenel zingine zote zikate lakini hizi ziendelee kuonekana ktk kila king'amuzi iwe statimestingeasytv hii haiwahusu dstvclick to expand uko sahihi lakini watekelezaji wa hilo agizo wanawaogopa star tv na itv kwa sababu za kisiasa na ndo mkwamo uulipo hapo maana tbc isyokuwa na waandishi mahili ndo inaonekana hivyo paulss ameelezea kwa undani kama jibu kuhusu post yakolabda tusaidie mwenzetu ambae umeshafanya utafiti mwongozi kama alivyosema paulss unasemaje kuhusu free to air umeshangaa kuziita ni za bure je unataka kuniambia kwamba hizo ni pay tv kwani hivi sasa mtu anatakiwa kulipa kiasi gani cha fedha ili aweze kuziona itv na star tv leo hii nikinunua antena yangu hata ya tube light siwezi kuziona hizo channels so if i can watch them freely without monthly subscription why should i then pay to watch them simply because natumia king'amuzi hata kama hutaki ukweli ndio huoinavyotakiwa ni kwamba local fta ziwepo kwenye ving'amuzi vyote coz' yule mwananchi wa kawaida haitakiwi kumwingizia gharama za ziada kutokana na kuingia kwenye digital worldwanachofanya itv na star ni jeuri tu nalo ni suala la muda tu lakini hata kama watakuwa na ving'amuzi vyao bado hawana budi kurelease mawimbi yao kwenye ving'amuzi vingine kama ni kweli wana mpango kuwa na ving'amuzi vyao basi wanachofanya ni kununua muda tu coz' wanafahamu kuwa local channels zote zikishakuwa available kwenye ving'amuzi vyote basi vya kwao ambavyo wamechelewa vitakuwa havina soko at least kutoka kwa wale ambao interest/uwezo wao ni local channels peke yake paulss ameelezea kwa undani kama jibu kuhusu post yakolabda tusaidie mwenzetu ambae umeshafanya utafiti mwongozi kama alivyosema paulss unasemaje kuhusu free to air umeshangaa kuziita ni za bure je unataka kuniambia kwamba hizo ni pay tv kwani hivi sasa mtu anatakiwa kulipa kiasi gani cha fedha ili aweze kuziona itv na star tv leo hii nikinunua antena yangu hata ya tube light siwezi kuziona hizo channels so if i can watch them freely without monthly subscription why should i then pay to watch them simply because natumia king'amuzi hata kama hutaki ukweli ndio huoinavyotakiwa ni kwamba local fta ziwepo kwenye ving'amuzi vyote coz' yule mwananchi wa kawaida haitakiwi kumwingizia gharama za ziada kutokana na kuingia kwenye digital worldwanachofanya itv na star ni jeuri tu nalo ni suala la muda tu lakini hata kama watakuwa na ving'amuzi vyao bado hawana budi kurelease mawimbi yao kwenye ving'amuzi vingine kama ni kweli wana mpango kuwa na ving'amuzi vyao basi wanachofanya ni kununua muda tu coz' wanafahamu kuwa local channels zote zikishakuwa available kwenye ving'amuzi vyote basi vya kwao ambavyo wamechelewa vitakuwa havina soko at least kutoka kwa wale ambao interest/uwezo wao ni local channels peke yakeclick to expand tambua kwanza ubure unaozungumzia ulikuwa kwenye analogy tech bro sasa tambua wazi kuwa hizi channels zinapoingizwa kwenye king'amuzi ni lazima aangalie vitu kadhaa 1 uwezi ilinganisha sibukacloudsmlimani tvchannel ten dtv nkukazilinganisha na star & itvtambua wazi kuwa katika mfumo wa analogia channels hizi zina masafa marefu kulinganisha na hizo pia tambua katika mfumo wa biashara ya pamoja hizi sasa zitakuwa zinalingana masafain this casekatika mfumo wa analogiatangazo moja katika itv/star linaweza kuwa na thamanai zaidi ya mara tano ya tv nilizo zitaja hapo juu 2unapooingiza local channel katika mfumo wa analogia tambua sasa channel 10 itakuwa na masafa sawa na itv au tv sibuka itakuwa na masafa sawa na star tvkitu amabacho tambua term katika kuingia katika king'amuzi husika zitakuwa tofauti kwa asilimia zaidi ya 80 ukizingatia na system waliyonayo sasa 3tambua kwa kuziita za bure ni kutokana na mfumo uliokuwapo ni analogyndio wenyewe uliokuwapo na kulikuwa hakuna jinsi nyingine ila kwa kuwa sasa tunaenda kwenye digital utalipia tu utake usitakesasa inakuwaje mtu aziite ni za bure wakatai kulikuwa hakuna mfumo wa kulipia mfumo uliokuwapo si wa kulipia alafu jamaa anadai ni za buresasa tutaona kama ni za bure pindi mfumo wote uwe digitalhakuna cha bure mzee ndicho ninachopinga mtihani siyo kigezo cha kujua ni nani mwenye akiliila ndio kilichopo 4 tambua pia kwa mfumo wa digital tcra kwa jinsi moja au nyingine inabidi kutoa ruzuku kwa hizi channel ndogo ili ziweze kuingia katika mfumo wa ushindani kwa kuwa wao kama wao hawakuwa wamejaipanga katika kipindi kuingia matika mfumo shindani na channels kubwa 5 sasa basi inabidi ukubaliane nami kuwa itv na star tv ndio private channels kubwa na zenye masafa marefu kwa tanzania so hawawezi kuwa na mikataba sawa na mlimani tz pili sio lazima kujiunga na king'amuzi flanikaka nimatakwa ya mtukwa kuwa hakuna sheria inawabana na istoshe hakuna kingamuzi cha tcra au serikali m'jr umesahau kama kuna sheria za biashara pia pamoja na hakimiliki ambazo zinawapa haki itv na star tv kuamua ni nani wanamruhusu kutumia matangazo yao (hasa kama mtu huyo anatumia kibiashara kama startimes) so itv na star tv wana uwezo wa kuamua nani wanamruhusu kurusha matangazo yake kwasababu hizo ni biashara na zina business strategies zake 1000503 20660821
2017-04-30T21:11:24
https://www.jamiiforums.com/threads/kingamuzi-cha-itv-na-star.313039/
made in kenya latest politics tuko tv swahili entertainment feedback livescore submit video wakenya wakasirishwa na bwanake size 8 baada ya kuonekana na mwanamke mwingine (picha) 73594 chapisha kwa facebook dj mo ndiye msanii maarufu wa hivi karibuni kupigwa picha akiwa na malkia wa urembo wa gereza la langata amepokea jumbe nyingi hasi kuhusu vitendo vyake watu wengi hawakubaliani na kumpa muuaji aliyehukumiwa kifungo hadhi ya umaarufu dj maarufu wa inili kenya sammy muraya almaarufu kama dj mo amekuwa swala la mjadala mkali mtandaoni baada ya kuchapisha picha yake akiwa na malkia wa sasa wa urembo wa gereza la wanawake la langata ruth kamandehabari nyingine size 8 agundua ukweli wa kuhofisha kuhusu afya yake habari nyingine picha za kusisimua za bintiye francis atwoli anawakosesha 'mafisi' usingizimwanamke huyo aliyeshinda shindano la urembo la kituo hicho cha kurekebisha tabia mnamo 2016 yumo gerezani kwa kumdunga kisu mpenzi wake mara 22 mnamo 2015 alifariki kutokana na maajeraha yake kamande aligundua kuwa mwanamume huyo alikuwa akienda nje ya uhusiano wao baada ya kupata jumbe za simu kutoka kwa mwanamke mwingine sasa amesema anafurahia sana maisha yake ya jela na ni mahali pazuri kwa taji lake la sasa la urembo habari nyingine mfanyabiashara aliyedaiwa kumuua mwanawe raila odinga akamatwa na polisiruth kamande sasa anafurahia maisha yake ya jela picha na hisanihabari nyingine mke wa gavana mutua amvamia vibaya mwanamke aliyekosoa sura yake (picha) wakenya walikuwa wepesi kuelezea hisia zao kamande tayari alikuwa akiangaziwa mno na vyombo vya habari tangu aliposhinda taji la bi langata dj mo si msanii wa kwanza kupigwa picha naye yote hayo yakimfanya kuwa mtu maarufu kivyake habari nyingine bintiye mbunge maarufu wa odm afanya harusi ya kukata na shoka (picha)wakenya wengi hawakufurahishwa na dj mo picha na hisanipakua app mpya ya tuko upate habari bureweni wameelezea jinsi inavyoweza kuwa makosa kwa muuaji kutukuzwa kwa njia hii na dj mo ndiye mhasiriwa wa hivi karibuni wa jumbe hizi za hasira idadi kubwa ya jumbe hizo zimechapishwa katika akaunti ya instagram ya dj mo na akaunti yake ya twitter read english versionuna maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke read more size 8 dj moh ruth kamande dj mo wishes size 8 birthday message ruth wanjiru kamande miss lang'ata winner ruth kamande moto kcb mpesa gloria muliro husband uhuru kenyatta son teachers promotion 2016 ann kiguta twins habari zingine hali tata katika muungano wa nasa baada ya chama cha odm kutoa tangazo la kusikitisha
2017-04-23T17:54:11
https://swahili.tuko.co.ke/233715-wakenya-wakasirishwa-na-bwanake-size-8-baada-ya-kuonekana-na-mwanamke-mwingi.html
lilian nabora | kitoto posts tagged lilian nabora posted in uncategorized tagged chande nabora elimu ya kujitegemea afrika lilian nabora maendeleo tanzania sayansi na teknolojia tikyomo stephen chande vijana na maendeleo warsha fasdo tandika warsha tanzania on november 17 2011| 1 comment »
2019-04-22T22:29:46
https://kitoto.wordpress.com/tag/lilian-nabora/
sasa viza za israel zaanza kutolewa hapa nchini faida zake zabainishwa | masama blog sasa viza za israel zaanza kutolewa hapa nchini faida zake zabainishwa serikali ya israel imeanza kutoa huduma za viza moja kwa moja kutokea jijini dar es salaam ambapo kwa mujibu wa waziri wa maliasili na utalii profesa jumanne maghembe hatua hiyo itachochea ukuaji wa biashara pamoja na ushirikiano wa kidiplomasia
2017-01-18T12:03:25
http://www.masamablog.com/2016/11/sasa-viza-za-israel-zaanza-kutolewa.html
mwalimu wa sekondari afumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani habari24 home / habari mpya / mwalimu wa sekondari afumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani mwalimu wa sekondari afumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani habari24 tv 90200 am habari mpya mkuu wa wilaya ya wanging'ombe mkoani njombe ally kasinge(pichani) ameagiza kushikiliwa kwa makamu mkuu wa shule ya sekondari wanike iliyopo katika wilaya hiyo baada ya kukamatwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani usiku kuanzia wanafunzi waliotimuliwa wahojiwe na polisi na wale wanafunzi wengine waliotajwa pia wahojiwe na polisi na mwalimu mwenyewe pia aendelee kushikiliwa huyo ambaye anatuhumiwa aendelee kushiliwa na polisi mpaka tupate majibu kwa sababu akibaki nje ataendelea kutengeneza mazingira ya kutengeneza mtandao wa kutaka kumsaidia na kupotosha ushaidi alisema mkuu wa wilaya ally kasinge mbali na hilo shule ya sekondari ya wanging'ombe pamoja na wanike zimepandishwa hadhi na sasa zitapokea wanafunzi wa kidato cha tano walimu wa shule hizo wameweka wazi kuwa shule hizo zinachangamoto ya walimu wa sayansi ambao ni wachache ukilinganisha na walimu wa masomo ya sanaa mwalimu wa sekondari afumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani reviewed by habari24 tv on 90200 am rating 5
2018-02-23T06:19:46
http://habari24.blogspot.com/2017/06/mwalimu-wa-sekondari-afumaniwa-akifanya.html
2 tihosi 10 | bibele eka web site leyi | vuhundzuluxeri bya misava leyintshwa 2 tihosi 10136 10 akabu a a ri ni vana va 70+ esamariya+ hikwalaho yehu a tsala mapapila a ma rhumela esamariya eka tihosana+ ta yizriyele vakulukumba+ ni vahlayisi va akabu a ku 2 hi wona nkarhi lowu mapapila lawa ma fikaka ha wona eka nwina vana va hosi ya nwina va na nwina ni makalichi ya nyimpi ni tihanci+ ni muti lowu tiyisiweke ni swihlomo swa nyimpi 3 mi fanele mi vona leswaku hi wihi lonene ni la lulameke eka vana va hosi ya nwina mi nwi veka exiluvelweni xa tata wakwe+ kutani mi lwela yindlu ya hosi ya nwina 4 va chave ngopfu swinene kutani va ku maswivo tihosi timbirhi+ a ti yimanga emahlweni ka yena xana hina hi ta yimisa ku yini+ 5 hiloko loyi a lawulaka yindlu ni loyi a lawulaka muti ni vakulukumba ni vahlayisi+ va rhumela rito eka yehu va ku hina hi malandza ya wena hinkwaswo leswi u nga ta hi byela swona hi ta swi endla a ku na munhu loyi hi nga ta nwi veka a va hosi endla leswi swi nga swinene ematihlweni ya wena 6 kutani a va tsalela papila ra vumbirhi a ku loko mi ri va mina mi yingisa rito ra mina+ tekani tinhloko ta vavanuna lava va nga vana+ va hosi ya nwina mi ta eka mina mundzuku hi nkarhi lowu eyizriyele+ vana va hosi vavanuna va 70 a va ri ni vavanuna lava hlawulekeke va muti lava a va va kurisa 7 hi ku hatlisa loko papila ri fika eka vona va teka vana va hosi va va dlaya vavanuna va 70+ endzhaku ka sweswo va hoxa tinhloko ta vona exirhundzwini va ti rhumela eka yena eyizriyele 8 hiloko murhumiwa+ a fika a nwi byela a ku va tise tinhloko+ ta vana va hosi kutani yena a ku ti vekeni ti va tinhulu timbirhi evunghenweni bya nyangwa ku fikela nimixo+ 9 nimixo a huma kutani a yima a nga fambi ivi a byela vanhu hinkwavo a ku mi lulamile+ maswivo mina ndzi endlele hosi yanga xikhiri+ kutani ndzi yi dlaya+ kambe i mani la dlayeke lava hinkwavo 10 hikwalaho swi tiveni leswaku a ri kona rito ni rinwe ra yehovha leri ri nga ta ka ri nga hetiseki emisaveni+ leri yehovha a ri vuleke ku avanyisa yindlu ya akabu+ yehovha hi byakwe u endle leswi a swi vuleke hi nandza wakwe eliya+ 11 tlhandlakambirhi yehu a ya emahlweni a dlaya hinkwavo lava va siyiweke va yindlu ya akabu eyizriyele ni vavanuna+ vakwe vo hlawuleka hinkwavo ni lava va tolovelaneke na yena ni vaprista vakwe+ kukondza a nga ha siyi munhu wakwe la poneke+ 12 hiloko a pfuka a nghena kutani a khoma ndlela a ya esamariya yindlu leyi ku boheriwaka tinyimpfu eka yona ya varisi a yi ri endleleni 13 yehu a hlangana ni vamakwavo+ va ahaziya+ hosi ya yuda loko a ku eka vona xana hi nwina vamani vona va ku hi vamakwavo va ahaziya hi rhelela ku ya vutisa loko swa ha famba kahle hi vana va hosi ni vana va wansati la xiximiwaka 14 hi ku hatlisa a ku va khomeni va ha hanya+ hiloko va va khoma va ha hanya va va dlaya exihlobyeni xa yindlu leyi ku boheriwaka tinyimpfu eka yona vavanuna va 42 a nga siyanga ni unwe wa vona+ 15 loko a ri karhi a famba ku suka kwalaho a hlangana na yonadabu+ nwana wa rekabi+ a ta ku ta nwi hlanganisa loko a nwi katekisa+ hiloko a ku eka yena xana mbilu ya wena yi tshembekile eka mina tanihi leswi ya mina yi tshembekeke eka ya wena+ yonadabu a ku yi tshembekile loko yi tshembekile ndzi nyike voko ra wena hiloko a nwi nyika voko kutani a khandziya na yena ekalichini+ 16 a ku famba swinwe na mina u vona ndlela leyi ha yona ndzi nga pfumeriki leswaku ku kwetlembetaniwa+ na yehovha kutani va nwi hlayisa a khandziye na yena ekalichini rakwe ra nyimpi 17 eku heteleleni a fika esamariya kutani a dlaya hinkwavo lava va siyiweke va akabu esamariya ku fikela loko a va lovisile+ hi ku landza rito ra yehovha leri a ri byeleke eliya+ 18 ku tlula kwalaho yehu a hlengeleta vanhu hinkwavo a ku eka vona akabu hi hala tlhelo u gandzele bali katsongo+ yehu hi tlhelo lerinwana u ta nwi gandzela ngopfu 19 sweswi vitanani vaprofeta+ hinkwavo va bali vagandzeri+ vakwe hinkwavo ni vaprista vakwe hinkwavo+ va ta eka mina ku nga sali ni unwe wa vona hikuva ndzi ni xitlhavelo lexikulu lexi ndzi nga ta xi endlela bali unwana ni unwana la nga ta sala a nge hambeti a hanya loko ku ri yehu u endle hi mano+ hi xikongomelo xo lovisa vagandzeri va bali 20 yehu a ya emahlweni a ku endlelani bali nhlengeletano yo xiximeka hiloko va tivisa vanhu 21 endzhaku ka sweswo yehu a rhumela rito etikweni hinkwaro ra israyele+ kutani vagandzeri hinkwavo va bali va fika a nga kona ni unwe la siyiweke loyi a nga nghenangiki va hambeta va nghena endlwini ya bali+ kutani yindlu ya bali yi tala ku suka emakumu lawa ku ya emakumu lamanwana 22 hiloko a ku eka loyi a a lawula kamara ra swiambalo humesela vagandzeri hinkwavo va bali tinguvu kutani a va humesela tinguvu 23 hiloko yehu a nghena na yonadabu+ nwana wa rekabi endlwini ya bali kutani a ku eka vagandzeri va bali lavisisani hi vukheta mi vona leswaku a ku na vagandzeri va yehovha laha eka nwina kambe ku ni vagandzeri va bali ntsena+ 24 eku heteleleni va fika va endla switlhavelo ni magandzelo yo hisiwa yehu a yimisa vavanuna va 80 ehandle va lawuriwa hi yena a ya emahlweni a ku loko ku ri munhu la balekaka eka vavanuna lava ndzi va tisaka emavokweni ya nwina moyaxiviri wa munhu yoloye wu ta rihiwa hi moyaxiviri wa unwana+ 25 hi ku hatlisa loko a hete ku endla gandzelo ro hisiwa xikanwekanwe yehu a ku eka lava va tsutsumaka ni vapfuni va mufambisi wa nyimpi nghenani va dlayeni mi nga pfumeleli ni unwe leswaku a huma+ hiloko lava va tsutsumaka ni vapfuni va mufambisi+ wa nyimpi va sungula ku va dlaya hi banga naswona va va cukumetela ehandle va hambeta va famba va ya fika emutini wa yindlu ya bali 26 kutani va humesa tinsika to kwetsima+ ta yindlu ya bali va hisa+ yinwana ni yinwana 27 ku tlula kwalaho va tshova nsika yo kwetsima ya bali+ ni ku hirimuxa yindlu ya bali+ va yi vekela etlhelo leswaku yi va swihambukelo+ ku fikela esikwini leri 28 hikwalaho yehu a lovisa bali eisrayele 29 ntsena swidyoho swa yerobuwamu+ nwana wa nebati leswi a dyohiseke israyele ha swona+ hi swona leswi yehu a nga hambukangiki eku swi landzeleni ku nga marhole ya nsuku+ rinwana a ri ri ebethele kasi rinwana a ri ri edani+ 30 hiloko yehovha a ku eka yehu hikwalaho ka leswi u endleke kahle hi ku endla leswi lulameke ematihlweni ya mina+ ni hi ku landza hinkwaswo leswi a swi ri embilwini ya mina leswi u swi endleke endlwini ya akabu+ vana va wena va ta tshama exiluvelweni xa israyele hikwalaho ka wena ku fikela eka xitukulwana xa vumune+ 31 yehu a nga fambanga hi mbilu+ yakwe hinkwayo enawini wa yehovha xikwembu xa israyele a nga hambukanga eswidyohweni swa yerobuwamu leswi a dyohiseke israyele ha swona+ 32 emasikwini wolawo yehovha a sungula ku dlaya israyele hakatsongotsongo hazayele+ a tshamela ku va dlaya endhawini hinkwayo ya israyele 33 ku sukela eyordani etlhelo ra vuhumadyambu tiko hinkwaro ra giliyadi+ va ka gadi+ ni va ka ruveni+ ni va ka manase+ ku suka etikweni ra arowere+ leri nga ekusuhi ni nkova wa arinoni hambi ku ri giliyadi na baxani+ 34 kutani timhaka letinwana ta yehu ni hinkwaswo leswi a swi endleke ni matimba yakwe xana a swi tsariwanga ebukwini+ ya timhaka ta masiku ya tihosi ta israyele 35 eku heteleleni yehu a etlela ni vatata wakwe+ kutani va nwi lahla esamariya yowohazi+ nwana wakwe a sungula ku fuma ematshanweni ya yena 36 masiku lawa yehu a fumeke eisrayele ha wona a ku ri malembe ya 28 esamariya 2 tihosi 10
2017-07-22T21:00:50
https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/bibele/bi12/tibuku/2-tihosi/10/
mjamzito ajifungua nazi asimulia mkasa mzima inatisha | bongo voice mjamzito ajifungua nazi asimulia mkasa mzima inatisha maajabu msichana aliyefahamika kwa jina la dora mkazi wa magomeni bagamoyo mkoani pwani hivi karibuni amejikuta akijifungua nazi badala ya mtoto jambo lililomshangaza kila mtu dora anayedaiwa kujifungua nazi ilidaiwa kuwa chanzo cha dora kujifungua nazi ni maneno aliyoambiwa na mke mwenzake aliyefahamika kwa jina la jamila ambapo aliambiwa hatajifungua kiumbe cha kawaida na ndipo alipokimbilia dodoma kukwepa matatizo msikie dora akizungumza na amani hivi karibuni akiwa nyumbani kwake bagamoyo dora alisema nilihamia bagamoyo nikitokea mwanza nikakutana na mwanaume anayeitwa pascal tukakubaliana tuishi kama mke na mume baada ya kukubaliana hilo nikapata ujauzito lakini nikashangaa siku moja akaja mwanamke na kusema yeye ni mzazi mwenzake na pascalalifanya vurugu akanijeruhi kisha akachukua tv na vitu vingine akaondoka huku akiniambia lazima nijifungue kiumbe cha ajabu nilipata hofu kubwa mara nikaanza kusumbuliwa na tumbo nikapelekwa kwa mganga ambapo niliambiwa nimerogwa mume wa dora akihojiwa na mwandishi wa habari (hayupo pichani) nikatibiwa kisha nikafungwa kitambaa chenye dawa mkononi na kuambiwa nisikivue siku moja kikapotea kimaajabu baadaye tukakiona juu ya mti nje ya nyumba nikaachana na masuala ya kienyeji nikaamua kwenda kanisani hata hivyo mauzauza hayakuisha alisema dora na kuongeza siku uchungu uliponijia nikiwa dodoma ndugu zangu na wakunga wakaja kunisaidia lakini cha ajabu wakashangaa kuona nazi ndiyo inatokawakakimbia na kuniacha nikipandisha mashetani akaitwa mganga wa kienyeji lakini naye aliogopa ndipo nikapelekwa kwa walokole kuombewa nilipopata nafuu na kurudishwa nyumbani polisi wakaja na kutuambia eti tumetupa mtoto wakasachi hawakuona kitu wakatupeleka kituonihuko nako nikapandisha mashetani nilipotulia nikapelekwa hospitali ambako nilisafishwa lakini ishu ikawa kubwa polisi wakatuchukua mimi na mume wangu na kutuweka ndani tulitoka baada ya kutoa pesa mfano wa nazi aliyojifungua dora cha ajabu niliporudi nyumbani ili nichukue kadi niende kliniki nikakuta shanga kibao ndipo tukaona cha msingi ni kurudi bagamoyo na kuhama pale tulipokuwa tunaishi alisema dora huku akiungwa mkono na mumewe pascal imeandaliwa na chande abdallah na deogratius mongela
2017-11-22T03:23:13
http://www.bongovoice.com/2015/04/mjamzito-ajifungua-nazi-asimulia-mkasa.html
matendo 19 | biblia kwenye mtandao | tafsiri ya ulimwengu mpya matendo ya mitume 19141 paulo huko efeso baadhi ya watu wabatizwa tena (17) paulo ajishughulisha na kazi ya kufundisha (810) mafanikio licha ya roho waovu (1120) machafuko huko efeso (2141) 19 apolo+ alipokuwa korintho paulo alipita bara na kushuka mpaka efeso+ aliwakuta wanafunzi fulani huko 2 akawauliza mlipoanza kuamini je mlipokea roho takatifu+ wakamjibu hata hatujasikia kwamba kuna roho takatifu 3 basi akawauliza mlibatizwa katika nini wakajibu katika ubatizo wa yohana+ 4 paulo akasema yohana aliwabatiza watu ili kuonyesha kwamba wametubu+ akiwaambia wamwamini yule ambaye angekuja baada yake+ yaani yesu 5 waliposikia hivyo wakabatizwa katika jina la bwana yesu 6 paulo alipoweka mikono juu yao wakapokea roho takatifu+ nao wakaanza kuzungumza kwa lugha za kigeni na kutoa unabii+ 7 wote walikuwa wanaume karibu 12 8 akaingia katika sinagogi+ na kwa miezi mitatu akazungumza kwa ujasiri akitoa hotuba na kujadiliana kwa ushawishi kuhusu ufalme wa mungu+ 9 lakini baadhi yao wakawa wagumu* na wakakataa kuamini huku wakizungumza vibaya kuhusu ile njia+ mbele ya umati basi akawaacha+ na kuwatenga wanafunzi kutoka kwao na kila siku alikuwa akitoa hotuba katika ukumbi wa shule ya tirano 10 aliendelea kufanya hivyo kwa miaka miwili hivi kwamba wote walioishi katika mkoa wa asia wakasikia neno la bwana wayahudi na wagiriki pia 11 na mungu akaendelea kufanya matendo yenye nguvu yasiyo ya kawaida kupitia mikono ya paulo+ 12 hivi kwamba hata nguo na vitambaa vilivyogusa mwili wake vilipelekewa wagonjwa+ nao wakaponywa magonjwa na roho waovu wakatoka+ 13 lakini baadhi ya wayahudi waliosafiri huku na huku wakifukuza roho waovu wakajaribu pia kutumia jina la bwana yesu kwa wale waliokuwa na roho waovu wakisema ninakuamuru kwa jina la yesu ambaye paulo humhubiri+ 14 wana saba wa skewa mkuu wa makuhani wa kiyahudi walikuwa wakifanya hivyo 15 lakini yule roho mwovu akawaambia ninamjua yesu+ nami ninamfahamu paulo+ lakini ninyi ni nani 16 ndipo mtu huyo aliyekuwa na roho mwovu akawarukia akawazidi nguvu mmoja baada ya mwingine na kuwashinda hivi kwamba wakatoka mbio katika nyumba hiyo wakiwa uchi na wakiwa wameumizwa 17 watu wote wakajua jambo hilo wayahudi na wagiriki walioishi huko efeso na wote wakaogopa nalo jina la bwana yesu likaendelea kutukuzwa 18 na wengi kati ya wale waliokuwa waamini walikuwa wakija na kuungama wakieleza waziwazi kuhusu mazoea yao 19 kwa kweli idadi kubwa ya wale waliozoea kufanya uchawi wakakusanya vitabu vyao pamoja na kuviteketeza mbele ya kila mtu+ nao wakafanya hesabu na kupata vitabu hivyo vilikuwa na thamani ya vipande 50000 vya fedha 20 hivyo kwa njia yenye nguvu neno la yehova* likazidi kukua na kusitawi+ 21 baada ya mambo hayo kutukia paulo akaazimia katika roho yake kwamba baada ya kupitia makedonia+ na akaya atasafiri kwenda yerusalemu+ akasema baada ya kwenda huko lazima pia nione roma+ 22 basi akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia timotheo+ na erasto+ waende makedonia lakini yeye akakaa kwa muda fulani katika mkoa wa asia 23 wakati huo kukatokea mvurugo+ mkubwa kuhusu ile njia+ 24 kwa maana mtu fulani aliyeitwa demetrio fundi wa fedha aliyetengeneza vihekalu vya fedha vya artemi aliwaletea mafundi faida kubwa+ 25 akawakusanya pamoja na wengine waliofanya kazi kama hiyo na kuwaambia wanaume mnajua vema kwamba tunapata mafanikio yetu kutokana na biashara hii 26 sasa mnaona na kusikia kwamba si katika efeso tu+ bali pia katika karibu mkoa wote wa asia paulo huyu ameushawishi umati mkubwa na kuwafanya wawe na maoni tofauti akisema kwamba miungu iliyotengenezwa kwa mikono kwa kweli si miungu+ 27 isitoshe kuna hatari kwamba biashara yetu itapata sifa mbaya na pia hekalu la artemi mungu mkuu wa kike litaonwa kuwa si kitu naye anayeabudiwa katika mkoa wote wa asia na dunia inayokaliwa atakosa utukufu 28 waliposikia jambo hilo wakajawa na hasira nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa artemi wa waefeso ni mkuu 29 basi jiji likajaa mvurugo na wote pamoja wakakimbia na kuingia katika ukumbi wa maonyesho wakiwakokota gayo na aristarko+ wamakedonia waliokuwa wakisafiri pamoja na paulo 30 naye paulo alitaka kuingia walimokuwa watu hao lakini wanafunzi hawakumruhusu 31 hata baadhi ya wasimamizi wa sherehe na michezo waliomtendea kwa urafiki wakamtumia ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kuingia katika ukumbi wa maonyesho 32 kwa kweli baadhi yao walikuwa wakisema kwa sauti kubwa jambo moja na wengine jambo tofauti kwa maana kusanyiko hilo lilikuwa limevurugika na wengi wao hawakujua kwa nini walikuwa wamekusanyika 33 basi wakamtoa aleksanda kwenye umati huku wayahudi wakimsukuma mbele naye aleksanda akapunga mkono akitaka kujitetea mbele ya watu 34 lakini walipotambua kwamba alikuwa myahudi wote wakaanza kupaza sauti kwa pamoja kwa karibu saa mbili wakisema artemi wa waefeso ni mkuu 35 mwishowe karani wa jiji akaunyamazisha umati kisha akasema watu wa efeso kwa kweli ni nani kati ya wanadamu ambaye hajui kwamba jiji la efeso ndilo mlinzi wa hekalu la artemi mkuu na sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni 36 kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa tulieni na msitende haraka haraka 37 kwa maana mmewaleta hapa watu hawa ambao hawaibi katika mahekalu wala kumkufuru mungu wetu wa kike 38 basi ikiwa demetrio+ na mafundi walio pamoja naye wana kesi dhidi ya mtu fulani siku za mahakama hufanywa na kuna maliwali* wanaweza kushtakiana huko 39 lakini ikiwa mnatafuta jambo lingine zaidi ya hilo linapaswa kuamuliwa katika kusanyiko la kawaida 40 kwa kweli tunakabili hatari ya kushtakiwa kwa uchochezi kuhusu tukio la leo kwa sababu hatuna msingi wa kuwa na kikundi hiki chenye machafuko 41 baada ya kusema mambo hayo akauagiza umati utawanyike ^ au wakawa wakaidi ^ liwali alikuwa gavana mroma aliyetawala mkoa angalia kamusi matendo 19
2020-04-10T13:27:13
https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/matendo/19/
zilizotumika suzuki sx4 inauzwa | car from japan 116922 magari kwenye hisa tafuta hapa neno kuu suzuki sx4 futa zote nissan (15521) suzuki (11242) daihatsu (9207) mazda (4797) isuzu (4285) mitsubishi fuso (3459) zilizotumika suzuki sx4 inauzwa (38 matokeo) cfj4406696 us$ 20065us$ 18878 us$ 12958us$ 11140 cfj4538072 us$ 18011us$ 15027 cfj4478200 us$ 21027us$ 18890 us$ 13185us$ 12049 cfj4230690 us$ 1500us$ 880 us$ 15706us$ 13435 cfj4437668
2020-07-04T13:11:10
https://carfromjapan.com/sw/cheap-used-suzuki-sx4-for-sale
wananchi wilayani rufiji wamuomba rais magufuli kuingilia kati mgogoro wa ardhi baina ya wakulima na wafugaji jiachie baadhi ya wananchi wa kijiji cha mloka wakimsikiliza mbunge wa jimbo la rufiji mohamed mchengwerwa wakati wa mkutano huo wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha mloka(picha zote na victor masangu) wa kijiji cha mloka kata ya mwaseni wilayani rufiji mkoa wa pwani wamemwomba rais wa awamu ya tano drjohn magufuli kuingilia kati haraka iwezekanavyo migogoro ya kugombania ardhi baina ya wafugaji na wakulima ya ili kuweza kuepeukana vurugu na mapigano ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara na kusababisha baadhi ya watu kupoteza maisha yao na uvunjifu wa amani hicho wamekitoa kwa mbunge wa jimbo la rufiji wakati wa mkutano wa adhara katika kijiji cha mloka kata ya mwaseni ulioandaliwa kwa lengo la kuweza kubaini changamoto mbali mbali zinazowakabii wananchi kwa lengo la kuweza kuzitafutia ufumbuzi hao akiwemo juma katoto na salum mlanzi walisema kwamba kulingana na kukithiri kwa mapigano ya wakulima na wafugaji serikali inapaswa kulitafutua ufumbuzi suala hilo kwa kuwachukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kufanya utaratibu wa kuipunguza mifugo iliyozidi kwani ndio chanzo cha kusababisha vurugu hizo katika hatua nyingne walisema kuwa jamii ya wafugaji wamekuwa wakiingiza mifugo yao katika mashamba na kula mazao yao hali ambayo kwa sasa imesababisha kuwepo kwa njaa katika baadhi ya maeneo kutokana na kukosa chakula kweli kwa sasa sisi wananchi wa kijiji hiki cha mloko bado tunakabiliwa na changamoto ya wakulima na wafugaji maana tatio kubwa ni jamii ya wafugaji kuingiza mifugo yao katika mashamba yaetu na kua mazao yote kama vile mahindi mpunga mboga mboga amabo ndizo tunategemea katika chakula hivyo serikali inapaswa kuwachukulia hatua kali a kisheriaalisema wananchi hao upande wake mbunge wa jimbo la rufiji mohamed mchengerwa ameahidi kulivalia njuga suala hilo kwa kushirikiana bega kwa bega na serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha wanatenga maeneo maalumu kwa ajili ya wagugaji na wakulima ili kuepukana na mapigano ambayo yamekuwa yakijitokeza kwa wananchi wake mchengerwa aliesma kwamba anatambua kuwepo kwa changamoto hiyo ya wafugai kuingiza migugo kiholela katika maeneo ya mashamba lakini ameshaana kufanua jitihada hali na mali kuhakikisha kuwa serikali inatenga maeneo maalumu kwa ajili ya wakulima na wafigaji ili kuweza kuondokana na virugu amabo imekuwa ikijitokeza jimbo langu la rufiji kwa sasa kuna zaidi ya mifugo kama laki tatu na nusu hadi laki nne kwa hivyo kikubwa aidi hapa mii nitahakikisha kwamba vurugu hizi zinamalizika kwa kushirikiana na serikali ili kuweza kuona jinsi ya kutoa elimu kwa jamii ya wafugaji na wakulima ii wananachi wawee kuishi kwa amani bila ya kuwepo kwa mapigano ya aina yoyotealisema mchengerwa ya rufiji kwa sasa ambayo inakadiriwa kuwa na mifugo zaidi ya laki tatu na nusu bado inakabiliwa na changamoto ya migogoro ya ardhi kwa kipindi cha muda mrefu kutokana na jamii ya wakulima kuamua kuingiza mifugo yao katika maeneo ya mashamba na kula mazao hali ambayo inasababisha kuibuka kwa matukio ya mapigano na uvunjifu wa amani item reviewed wananchi wilayani rufiji wamuomba rais magufuli kuingilia kati mgogoro wa ardhi baina ya wakulima na wafugaji
2017-07-23T18:32:46
http://michuzijr.blogspot.com/2016/10/wananchi-wilayani-rufiji-wamuomba-rais.html
ccm ukawa kutikisa nchi kwa siku 30 | emmanuel shilatu breaking news blog home » unlabelled » ccm ukawa kutikisa nchi kwa siku 30 ccm ukawa kutikisa nchi kwa siku 30 dar es salaam baada ya mwaka mzima wa serikali kuzuia mikutano ya hadhara vyama vya ccm ukawa act wazalendo na vingine vinatarajiwa kuwasha moto kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la dimani zanzibar na madiwani katika kata 22 kwenye halmashauri 21 za tanzania bara kwa mwezi mzima
2017-04-27T01:14:55
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/12/ccm-ukawa-kutikisa-nchi-kwa-siku-30.html
habari upinzani wa wananchi unapata nguvu libya februari 21 2011 watu wakiimba na kubeba mabango yanayotwa wito wa kufanya migomo hadi kuanguka kwa utawala wa ghadafi mashahidi katika mji mkuu wa libya wanasema majengo ya serikali yametiwa moto na wanaharakati wa upinzani wanaopambana na vikosi vya usalama upinzani wa wananchi dhidi ya utawala wa kiongozi wa muda mrefu wa libya moammar gadhafi unaendelea kupata nguvu wakati mashahidi wakisema kuna baadhi ya majengo ya serikali katika mji mkuu wa tripoli yametiwa moto na wanaharakati wa upinzani wanaopambana na vikosi vya usalama mashahidi wanasema majengo yaliwaka moto baada ya mapigano ya bunduki kuzuka tripoli jumapili usiku kwa mara ya kwanza pale wandanmanaji wanaoipinga serikali kujaribu kuchukua udhibiti wa eneo la kati la mji lililokua linashikiliwa na wafuasi wa ghadafi kijana wa ghadafi saif alislam alizungumza kwa mara ya kwanza kwenye televisheni ya taifa siku ya jumpaili akidai kwamba babake anaendelea kuwa kiongozi na jeshi linamunga mkono wakati wa malalamiko haya mkubwa kabisa kuwahi kutokea tangu kuchukua madaraka 1969 saif slislam ameapa kwamba serikali itapambana hadi mwanamume wa mwisho mwanamke wa mwisho na risasi ya mwisho ili kubaki madarakani kenya yapokea raia wake kutoka libya jamii ya kimataifa yamshtumu ghadafi bei ya mafuta na dhahabu yapanda duniani wamisri wafurahia mwisho wa mubarak viongozi wa dunia watoa wito wa utulivu misri
2016-12-07T14:23:29
http://www.voaswahili.com/a/upinzani-wa-wananchi-unapata-nguvu-libya-116595628/1362074.html
masoko ya dunia yatetereka baada ya ugiriki kutangaza kufunga benki zake ulaya rfi ugiriki alexis tsipras françois hollande eu imf ujerumani angela merkel imechapishwa 29062015 • imehaririwa 29062015 saa 1151 masoko ya dunia yatetereka baada ya ugiriki kutangaza kufunga benki zake wananchi wa ugiriki wakiwa kwenye foleni wakisubiri kutoa fedha kwenye moja ya mashine za atm (©reuters) masoko ya dunia hii leo yamejikuta kwenye hali tete wakati huu nchi ya ugiriki ikiwa imetangaza kuzifunga benki zake zote kwa muda wa juma moja na kuweka kiwango cha wananchi kutoa fedha kwenye mashine za atm hii leo wananchi wa ugiriki wameamka wakiwa hawajui nini chakufanya kufuatia tangazo hili la serikali linalonega kunusuru benki zake na uchumi wake wakati huu mazungumzo na wakopeshaji wa kimataifa yakiendelea kusuasua lakini licha ya hali ngumu ya kifedha inayoikabili nchini ya ugiriki wakopeshaji wa kimataifa bado hawajafunga milango yao kwa taifa hilo kurejea kwenye meza ya mazungumzo kujaribu kuwashawishi wakopeshaji hao watoe fedha zaidi kuvunjika kwa mazungumzo ya juma lililopita kati ya utawala wa athens wakopeshaji wa kimataifa na viongozi wa umoja wa ulaya kumeibua maswali mengi kuhusu mustakabali wa taifa la ugiriki kuendelea kusalia kwenye jumuiya ya ulaya masoko ya hisa duniani yameshuhudia kushuka kwa mauzo yao ambapo soko la hisa kwenye nchi za ufaransa na ujerumani yameshuhudia kushuka kwa mauzo yao kwa asilimia 4 saa chache baada ya masoko ya bara asia nayo kushuhudia kushuka kwa thamani yao na hofu ya ugiriki kujitoa kwenye umoja wa ulaya serikali ya ugiriki imetangaza kuweka ukomo kwa wananchi kutoa fedha kwenye mashine za atm kuanzia leo mpaka july 6 mwaka huu ambapo sasa mwananchi ataruhusiwa kutoa kiasi kisichozidi euro 60 kwa siku huku watalii wa kigini na taasisi nyingine muhimu zikiruhusiwa wakiruhusiwa kutoa zaidi waziri mkuu wa ugiriki alexis tsipras amewataka wananchi kuwa watulivu wakati huu mashine nyingi za atm zikiwa hazina fedha huku masoko ya hisa nchi nzima yakitangaza kufunga huduma hizo hadi july 7 kwa mujibu wa tangazo la serikali katika hatua nyingine waziri mkuu tsipras ametangaza kuwa nchi yake itaitisha kura ya maoni july 5 mwaka huu kuamua iwapo nchi yao isalie kwenye umoja wa ulaya ama ijitoe kutokana na kutoelewana na wakopeshaji wake wachambuzi wa mambo wanaona kuwa viongozi wengi wa ulaya wanataka kuona serikali ya waziri mkuu tsipras inashindwa kujiendesha na kulazimika kuitisha uchaguzi mkuu wa mapema kujaribu kuurejesha utawala uliokuwa unafuata masharti ya wakopeshaji rais wa ufaransa francois hollande akizungumzia mzozo unaoendelea nchini ugiriki amesema kuwa nchi hiyo iko huru kujitoa kwenye umoja huo na kwamba ni suala la demokrasia kwa nchi yoyote mwanachama wa umoja huo kuitisha kura ya maoni kuamua hatma yao kwenye jumuiya hiyo rais hollande ameongeza kuwa viongozi wa athens bado wanayo nafasi nyingine kujaribu kunusuru uchumi wake kwa kukubali kurejea kwenye mazungumzo ili kusaka suluhu hatua hii ya ugiriki imekuja saa chache baada ya benki ya ulaya kutangaza kusitisha utoaji wa fedha za dharura kuisaidia ugiriki
2019-11-13T18:29:34
http://m.sw.rfi.fr/ulaya/20150629-masoko-ya-dunia-yatetereka-baada-ya-ugiriki-kutangaza-kufunga-benki-zake
klopp aumizwa na kipigo kutoka kwa leicester city | ishi kistaa home sports klopp aumizwa na kipigo kutoka kwa leicester city klopp aumizwa na kipigo kutoka kwa leicester city kocha wa liverpool jurgen klopp amesema kuwa ameumizwa kwa timu yake kukubali kipigo cha kizembe cha mabao 20 dhidi ya leicester city klopp ameyasema hayo mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa michuano ya carabao cup na kukubali kipigo cha mabao hayo 20 dhidi ya leicester katika dimba la king power hapo jana siku ya jumanne nimeumizwa mno kwa namna tulivyofungwa kizembe tumeshindwa kushinda katika michezo mitatu sasa liverpool imemiliki mpira katika kipindi chote cha kwanza klopp ameyasema hayo baada ya kumalizika kwa mchezo huo klopp ameongeza kuwa leicester angalau walidumu katika mchezo kutokana hatukuwa vizuri lakini tulipaswa kuendelea kuwa ndani ya mchezo hadi mwisho na kutoruhusu mabao wametufunga kirahisi mno kuusimulia mchezo huu ni rahisi mno kwakuwa tulikuwa wazuri na kuwazidi katika kipindi cha kwanza licha yakuwa tulishindwa kutumia nafasi vizuri na kupata bao lakini wakati mwingine hii ni sehemu ya mchezo meneja huyo aliyeleta mabadiliko makubwa tangu ajiunge na klabu hiyo ameongeza kuwa tumecheza mpira mzuri katika dakika 45 za kipindi cha kwanza na tungeamua matokeo katika kipindi hicho tumepata nafasi zakutosha lakini mpira ni dakika 90 waliyoibuka mashujaa kwakuipatia ushindi mbweha hao wenyeji wa king power ni wachezaji shinji okazaki na islam slimani ambao wameisaidia klabu ya leicester kutinga raundi ya nne ya michuano hiyo ya carabao cup previous articlerais magufuli amwagia sifa mbunge wa chadema next articlerais magufuli azindua barabara ya kia mpaka mererani mkoani manyara
2018-08-20T05:44:27
http://www.ishikistaa.com/klopp-aumizwa-na-kipigo-kutoka-kwa-leicester-city/
jijiletublogblogspotcom rose mmbaga ashinda tunzo ya mwanamke mwenye ushawishi marekani rose mmbaga ashinda tunzo ya mwanamke mwenye ushawishi marekani msichana wa kitanzania rose mmbaga ameweza kushinda tunzo ya mwanamke mwenye ushawishi women in events hall of fame ya nchini marekani na kuwa ni mwafrika pekee katika kusaidia vijana na masuala ya mazingira mmbaga amesema kuwa ameshinda tunzo hiyo kutokana na uwezo wake wa ushawishi katika kazi za kijamii ambazo amezifanya nchi nzima amesema pongezi zinamwendea mwanaharakati wa kuwasaidia wanawake duniani mandy sanghera ameweza kuwa wa kwanza kuninominate jina langu kati ya wanawake wengi na leo hii ninamshukuru kwa kupitia yeye nimeweza kushinda
2018-07-20T10:31:08
http://jijiletublog.blogspot.com/2017/08/rose-mmbaga-ashinda-tunzo-ya-mwanamke.html
tulonge's blog february 2013 archive (117) moto wateketeza maduka zaidi ya kumi tegeta moto umeteketeza maduka zaidi ya kumi katika eneo la tegeta sokoni manisipaa ya kinondoni jijini daressalaamna kuwasababishia wafanyabiashara hao hasara kubwa added by tulonge on february 28 2013 at 2346 1 comment morogoro wafanyakazi wa kiwanda cha nguo wapoteza fahamu baada ya hitilafu ya umeme(video) wafanyakazi zaidi ya 65 wa kiwanda cha kutengeneza fulana cha mazava kilichopo msamvu mkoani morogoro wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa morogoro zaidi ya 30 wakipoteza kabisa fahamu baada ya kukosa hewa kufuatia hitilafu ya umeme iliyotokea kiwandani hapo na kusababisha moshi mzito added by tulonge on february 28 2013 at 035 2 comments clouds fm yatwaa tuzo ya 'superbrand' mara 4 mfululizo waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu uwekezaji na uwezeshaji dk mary nagu (kati) pamoja na mkurugenzi wa mradi wa superbrands afrika mashariki bw jawad jaffer kwa pamoja wakimkabidhi cheti mkurugenzi mtendaji wa clouds media groupbwajoseph kusaga kwa couds fm redio kuibuka na tuzo hiyo ya ubora kwa mara ya tatu mfululizo tukio hilo added by tulonge on february 28 2013 at 021 3 comments mbeyamwanafunzi aliyemaliza kidato cha iv 2012 akamatwa akiiba fedha kwenye atm ya nmb pamoja wenzake watatu polisi wilayani rungwe mkoani mbeya limewanasa watu wanne akiwamo mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana wilayani bunda mkoani mara baada ya kukutwa wakiiba fedha benki ya nmb tawi la tukuyu kupitia mashine za kutolea fedha (atm) mkuu wa wilaya ya rungwe chrispin meela alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 230 usiku meela aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni mkazi wa mjini tukuyu mfanyabishara wa mbozi mwanafunzi aliyemaliza kidato cha added by tulonge on february 27 2013 at 2201 3 comments hospitali ya butiama kitanda kimoja watoto wanne *watoto wanalazwa wanne kwenye kitanda kimoja *wodi ya wanaume ina vitanda nane tu na gordon kalulunga mara hali ya hospitali ya butiama iliyopo wilayani musoma mkoani hapa iliyofunguliwa rasmi mwaka 1972 na baba wa taifa mwalimu julius nyerere imezidiwa na wagonjwa kutokana na kuachwa kama ilivyoziduliwa enzi za mwalimu nyerere tanzania daima added by tulonge on february 27 2013 at 2144 4 comments pwani kwa muda wa miezi minne binti atekwaabakwa na kutolewa mimba akisimulia mkasa huo kwa mwandishi wa habari hii huko nyumbani kwao mjini hapa jana baada ya kufanikiwa kuwatoroka watekaji wake binti huyo ambaye ni mkazi wa kijiji cha kidimu wilayani hapa alidai kutekwa na vijana hao novemba 11 mwaka jana saa tisa alasiri added by tulonge on february 27 2013 at 2138 5 comments watu watatu wamefariki dunia katika ajali iliyotokea eneo la kwasunga watu watatu wamekufa papo hapo kufuatia gari waliokuwa wamepanda aina pajero lililokuwa likitokea jijini dar es salaam kwenda arusha kuacha njia na kupinduka added by tulonge on february 26 2013 at 2243 no comments hii ndiyo michezo ya kesho ya ligi kuu ya vodacom tanzania bara added by tulonge on february 26 2013 at 2125 1 comment added by tulonge on february 26 2013 at 2042 47 comments vituo viwili vya radio vyafungiwa clouds fm yapigwa faini makamu mwenyekiti wa kamati maadili ya utangazaji nchini walter bgoya (katikati) akizungumza na wanahabari leo jijini dar es salaam ukumbi wa habari maelezo vituo added by tulonge on february 26 2013 at 2023 7 comments katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk willibrod slaa wakati baadhi ya wanasiasa wakiwa wameanza kujiwinda kwa ajili ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2015 shirika la added by tulonge on february 26 2013 at 1832 16 comments nigeria picha za mazishi ya msanii goldie harvey huko lagos leo gazeti la daily post liliripoti leo asubuhi kwamba msanii goldie ambae aliiwakilisha nigeria kwenye jumba la big brother 2012 anazikwa leo baada ya muda kupita ndio nimezipata hizi picha za msiba wa goldie ambae alifariki siku ya valentine feb 14 2013 imeripotiwa kwamba manenoya mwisho ya goldie yalikua ni kumuomba baba yake amuombee apone maumivu makali ya kichwa added by tulonge on february 26 2013 at 000 13 comments rais wa kwanza mwanamke aapishwa nchini korea kusini rais mpya wa korea kusini park gunhyeh (pichani) ameapishwa katika sherehe zilizofanyika kwenye mji mkuu wa nchi hiyo seoul watu elfu 70 wamehudhuria sherehe hizo zilizofanyika kwenye jengo la bunge la nchi hiyo akihutubia baada ya kuapishwa mwanamama park ameitolea wito korea kaskazini kuachana na mpango wake wa nyuklia na kuacha kutumia vibaya rasilimali added by tulonge on february 25 2013 at 2247 8 comments mchungaji huyo alifanyiwa udhalilishaji huo hivi karibuni baada ya kuwatahiri wanawe katika hospitali ya kiteto jambo ambalo vijana wa jamii hiyo walisema ni kosa kwa kwenda kinyume added by tulonge on february 25 2013 at 2203 15 comments elimu yetu inatiririka tu bila kujua iendako added by tulonge on february 25 2013 at 1026 9 comments kondomu bandia aina ya durex na trojan zauzwa nchini kondomu zinazodaiwa kuwa ni bandia ambazo zilipigwa marufuku nchini uingereza kutokana na kubainika kuwa hazina ubora unaotakiwa zimetapakaa katika maduka mbalimbali ya dawa nchini mwananchi limebaini kondomu hizo ni durex na trojan ambazo zina vipele na uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa zinauzwa katika maduka mbalimbali ya dawa kwa bei added by tulonge on february 25 2013 at 815 13 comments mwenyekiti wa chama cha wamiliki wa shule na vyuo binafsi nchini (tamongsco) mahmoud added by tulonge on february 25 2013 at 104 1 comment wanahabari 150 wanusurika kutekwa wakitokea mtwara kupata habari kuhusu gesi wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini walioshiriki kongamano la mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) mjini mtwara wakilindwa na askari wa kikosi cha polisi cha kutuliza ghasia (ffu) eneo la chuo cha veta mjini lindi jana asubuhi waandishi wa habari 150 kutoka vyombo mbalimbali added by tulonge on february 24 2013 at 2318 1 comment geita watuhumiwa 7 wa ujambazi wakamatwa watu saba wanaosadikiwa kuwa majambazi sugu akiwemo mfanyabiashara bw jamal mabula maarufu white anayemiliki duka la jumla mkazi wa kijiji cha masumbwe wilaya ya mbogwe mkoani geita wanashikiliwa huku wakimiliki silaha moja ya kivita aina ya uzgun ikiwa na risasi 53 baada ya kudaiwa kumuuwa mtu mmoja na kupora mali mbalimbali za wananchi added by tulonge on february 24 2013 at 2242 2 comments sababu hizi za msanii roma zaweza isaidia sana tume ya uchunguzi wa matokeo mabaya ya kidato cha iv 2012 roma ukizungumzia wasanii muziki wa kizazi kipya wenye upeo mkubwa wa kufikiria hapa tanzania huwezi muacha roma baada ya matokeo ya kidato cha nne 2012 kuwa mabaya alimua kuandika sababu zilizopelekea matokeo hayo kuwa hivyo tume ya uchunguzi iliyoundwa na waziri mkuu mh mizengo pinda inaweza kupitia sababu hizi za roma ili added by tulonge on february 24 2013 at 2209 10 comments
2019-12-09T05:03:49
http://tulonge.ning.com/profiles/blog/list?user=0jd860aschvlg&month=02&year=2013&promoted=
18 / 11 / 2016 | rayhaber | raillynews nyumbani2016kasim18 (ijumaa) siku novemba 18 2016 toroley ya pili ya samsun ilifikia mji samsun kufikiwa katika pili kiasili streetcar samsun metropolitan manispaa tram mstari kati wigo wa gartekkeköy hatua ya pili ya ujenzi itakuwa kuendeshwa na mwisho wa ndani tram simu 8 samulaş inc pia kufikiwa samsun [zaidi ] kuinuka dhidi ya kupanda upesi mapenzi mapenzi discount ya mapenzi kutoka burulaştı dhidi ya maandamano ya hike kampeni ya kutiwa saini ilianzishwa kurudisha safari ya usafiri kwenye subway ambayo iliwekwa katika bursa siku iliyopita na kuvutia athari kubwa ya umma dhidi ya kuinua watu wa bursa [zaidi ] kituo cha vifaa vya samsun hupokea tuzo bila kufungua kituo cha vifaa vya samsun kinapata tuzo bila ufunguzi mwaka huu 10 kituo cha vifaa vya usafirishaji cha simun ambacho kilishiriki katika fair ya usafirishaji wa logitrans ya kimataifa kilitunukiwa tuzo maalum kwa jury katika jamii bora ya mradi usafiri wanne [zaidi ] kituo cha basi la kocaelisabiha gökçen huduma za mabasi 21 huanza mnamo novemba hifadhi ya usafirishaji ya manispaa ya kocaeli aş na uwanja wa ndege wa sabiha gökçen kabla ya kuanza kwa ndege kwenda 250 [zaidi ] bajeti ya 2017 ya istanbul metropolitan 42 bilioni liras bajeti ya 2017 ya manispaa ya istanbul metropolitan 42 pauni bilioni meya wa jiji la metropolitan metropolitan kadir topbas aliyewasilisha bajeti ya mwaka ya 42 ya pauni bilioni 2017 kwa bunge la manispaa alisema uz tunataka istanbul kuwa ndiyo zaidi katika kila kitu [zaidi ] treni mpya za metm za izmir ziliingia kwa huduma uwekezaji wa tl milioni za 240 milioni katika gari ndogo za gari za 95 zinazoimarisha manispaa ya metropolitan ya izmir gari mpya za gari za 5 zilianza seti ya kwanza ya treni wafanyikazi wa metro [zaidi ] wizara inatangaza kecioren subway kufunguliwa mwisho wa januari wizara ya uchukuzi masuala ya bahari na mawasiliano 12 inatarajiwa kwa miaka darling mapenzi yetu hayatomi na iwe kama kecioren subway ikisema mada ya kichekesho metro konsooren [zaidi ] kati ya vituo vya petekükpozantı km 269 + 275'de petredük ukarabati wa viwanda vya polatlı osb itajengwa relimojareli injili ya gari ya cable ya iskenderuna na tramu gari la waya wa iskenderun na injili ya tramu meya wa iskenderun seyfi dingil eneo la barabara kuu na trafiki itapunguza trafiki jijini ilisema kwamba hatua ya mwisho ya kazi mji [zaidi ] safari ya ubora ya chuo kikuu cha beykoz imeanza safari ya chuo kikuu cha beykoz yaanza ubora chuo kikuu cha beykoz kimeanza kutekeleza mfano wa efqm ili kufikia ubora endelevu katika huduma zake chuo kikuu hupitia tathmini ya nje ndani ya wigo wa mfano ubora wa nyota wa 2 [zaidi ] masomo katika muda mrefu zaidi mara mbili tube reli handaki mradi wa uturuki katika maendeleo kazi uturuki inachukua muda mrefu zaidi mara mbili tube reli handaki mradi wilaya bustani ya osmaniye kwa gaziantep nurdağı itaunganisha wilaya kufanya kazi katika jozi mrefu reli handaki mradi wa uturuki inaendelea bila ya kuingiliwa [zaidi ] ajali ya gari moshi katika janga la new jersey 29 huko new jersey new york kifo cha mtu mmoja 108 ilijeruhi usingizi wa gari la thomas gallagher [zaidi ] izmir treni ya abiria imeshikamana na vifaa vya ujenzi treni ya abiria iligongana na gari la abiria huko i̇zmir 2 ilijeruhiwa kwa sababu ya kiwango kisichodhibitiwa kuvuka bayındır i̇zmir [zaidi ] leo katika historia 18 novemba 1936 çatalağzıfilyos line
2020-01-22T10:41:23
https://sw.rayhaber.com/2016/11/18/
kisima cha fikra historia ya mapapa historia ya mapapa francis papa wa kwanza kutoka nje ya ulaya kwa miaka 1300 histopria ya mapapa posted by reggy's at thursday march 14 2013
2018-02-20T00:10:01
http://rsmiruko.blogspot.com/2013/03/historia-ya-mapapa.html
nyumbani2013temmuz06 (jumamosi) siku julai 6 2013 metropolitan zaidi ya magari ya 4 huko bursa metropolitan zaidi ya 4 wagon haifai kwenye jukwaa okurum safiye yaşar iliyoshughulikiwa kwa burulaş mnamo mei 9 ilisema katika ujumbe kwamba nilichapisha ungekuwa na gari za kuongezea görükle line asubuhi saf safiye yaşar alisema raia [zaidi ] gavana mutludan 3 maelezo ya daraja gavana mutludan 3 gavana furaha daraja maelezo xnumxköpr ilitajwa kuwa miradi mikubwa kama vile uturuki na ni kiashiria muhimu ya utulivu na kujiamini katika nchi zetu zilizopo katika istanbul gavana wa istanbul hüseyin [zaidi ] hapa kuna njia halisi ya kanal istanbul mradi wa kanal istanbul utaanza kutoka yeniköy na kufuata bwawa la sazlıdere na kukutana na marmara kutoka ziwa la küçükçekmece channel istanbul ambapo uvumi juu ya njia imesambazwa [zaidi ] tangazo la zabuni kituo kitajengwa ndani ya upeo wa mradi wa maendeleo ya mradi wa i̇zmir mradi wa maendeleo ya mfumo wa suburban suburban ndani ya wigo wa mradi wa maendeleo ya mfumo wa suburban suburban i̇zmir mradi wa maendeleo ya mfumo suburban i̇zmir mradi wa maendeleo ya mfumo suburban ndani ya upeo wa mfumo wa suburban suburban [zaidi ] boztepeye gari cable kujengwa ropeway ya boztepeye itafanywa katika mradi wa manispaa ya trabzon 61 lakini tathmini iliyofanywa kabla ya miaka ya 15 iliyopita 'haiwezekani' akaondoa rafu boztepe ikaja kwenye ajenda tena manispaa ya trabzon [zaidi ] ni mradi kutoa usafirishaji wa reli kupitia handaki iliyowekwa ndani ya bosphorus chini ya bahari na mradi wa marmaray asia na ulaya zitaunganishwa na huduma ya reli inayoendelea historia ya marmaray ni nini inakadiriwa kupitisha kupitia bosphorus [zaidi ] mwenyekiti wa tüvasaş erol i̇inal tutakuwa sumu ya nguvu nguvu statednal alisema kuwa tüvasaş ni kiwanda kikubwa zaidi cha gari kwenye mashariki ya kati na 62 ya kujua na gari ya kila mwaka [zaidi ] majengo ya yht yanakata (picha ya nyumba ya sanaa) yht ni ujenzi wa majengo kwa treni ya kasi ya juu (yht) moja ya mikoa ambayo ujenzi unafanya kazi kwenye njia ya kilomita ya 56 katika mkoa wetu imesababisha shida kubwa imekuwa i̇zmit cumhuriyet kitongoji 56 makazi iko katika kitongoji cha cumhuriyet [zaidi ] ushindwa wa siku ya 3 power kwa tramway kazi katika çamlıcada | eskisehir kushindwa kwa nguvu ya siku ya 3 kwa sababu ya kufanya kazi kwa tram huko çamlıc kurugenzi yetu ya mkoa wa operesheni jipya mpya ndani ya wigo wa kazi za uhamishaji wa mtaa wa n tram katika mpango wa uwekezaji wa mwaka wa 2013 [zaidi ] mradi wa boztepeye ropeway ilikuwa moja ya mradi wa 61 wa manispaa trabzon mradi wa boztepeye ropeway ulikuwa moja ya mradi wa 61 wa manispaa ya trabzon 61 lakini miaka 15 iliyopita katika tathmini ya 'haiwezekani' aliiweka kwenye rafu za boztepe ropeways tena [zaidi ] hata chini ya subway pua ya mwanamke huyo haikutokwa na damu hata treni ilipopita mwanamke akianguka kwenye reli za metro huko prague mji mkuu wa jamhuri ya czech alitoroka bila huruma polisi waliachilia kamera ya usalama vijana [zaidi ] wastaafu wa tudemsas walikusanyika wakati wa chakula cha jioni wastaafu wa tüdemsaş walikutana pamoja kwenye chakula cha jioni wafanyakazi wastaafu tudemsaş walipa chakula meneja mkuu wa tüdemsaş yıldıray koçarslan afisa usafirishajisen sivas tawi [zaidi ]
2020-01-22T12:18:58
https://sw.rayhaber.com/2013/07/06/
kamari za wenger zilizomfunika feruguson bingwa nyumbani michezo kimataifa kamari za wenger zilizomfunika feruguson kamari za wenger zilizomfunika feruguson juzi kocha arsene wenger aliweza kuvunja rekodi ya aliyekuwa mpinzani wake mkuu alex ferguson ya kusimamia mechi 810 za ligi kuu baada ya kufikisha 811 kwa kufikisha mechi hizo ambapo juzi alikutana na west brom na kutoka nayo sare ya bao 11 sasa wenger anakuwa ndiye kocha aliyedumu kwa muda mrefu katika michuano hiyo katika kipindi hicho wenger amekuwa akisifika kwa kuwapa nafasi wachezaji chipukizi ambao baadaye walikuja kutamba tofauti na ilivyodhaniwa lakini katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni baadhi ya mashabiki wamekuwa na wasiwasi kuhusu sera hiyo ya arsenal ya kusajili chipukizi badala ya kusaka nyota kama zinavyofanya timu nyingine vifuatavyo ni vifaa ambavyo pamoja na wenger kulalamikiwa kwa sera hiyo ya kusajili makinda lakini kwa hivi alikuwa amelamba dume vieira alisainiwa kabla ya mpango wa wenger kutoka katika timu ya grampus eight hadi highbury kukamilika na huku ac milan ikiwa inamwinda lakini mchezaji huyo mwenye nguvu alikuja kungara na kuonekana kuwa tishio baada ya arsenal kuwa chini ya wenger kutokana na umahiri wake vieira aliweza kuiongoza gunners kutwaa mataji matatu ya ligi kuu manne ya kombe la fa na akaichezea mechi 406 mpaka anaondoka na kwenda kujiunga na juventus mwaka 2005 staa huyo alikuwa bado ana uwezo wa hali ya juu henry alitua arsenal zikiwa bado ni wiki mbili kabla ya kutimiza miaka 22 agosti 1999 na akiwa ameshatwaa kombe la dunia ingawa alikuwa mchezaji wa kutiliwa shaka kutokana na kipindi cha mwaka mmoja bila mafanikio akiwa na juventus wenger alikuwa na maswali mengi ya kujibu kuhusu kuamua kutumia kitita cha pauni milioni 11 ili aweze kuchukua nafasi ya nicolas anelka maswali hayo yalizidi zaidi baada ya staa huyo kucheza mechi nane za gunners bila kufunga bao hata hivyo baada ya kutokea benchi na kisha akafunga bao muhimu ambalo liliwapa ushindi dhidi ya southampton henry hakuweza kuangalia tena nyuma na tangu kipindi hicho akawa mmoja kati ya mastraika tishio barani ulaya hadi mwaka 2007 wakati akiondoka na kwenda kujiunga na barcelona tayari alishatwaa mataji mawili ya ligi kuu england na mchezaji bora wa mwaka wa chama cha waandishi wa habari na mpaka sasa ndiye mfungaji bora wa muda wote arsenal akiwa na mabao 228 aliyoyafunga katika mechi 377 wakati henry akiwatikisa mabeki katika michuano ya ligi kuu england na ulaya kwa ujumla lakini msaada mkubwa alikuwa akiupata kutoka kwa pires staa huyo alisajiliwa kwa pauni milioni 6 akitokea marseille mwaka 2000 wakiwa na mholanzi marc overmars ndio waliomwezesha henry kutwaa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwaka kutoka chama cha waandishi wa habari msimu wa 200102 mbali na hilo gunners ikiwa na mastaa freddie ljungberg dennis bergkamp na henry ndiyo timu ilikuwa safu ya ushambuliaji hatari msimu wa 200304 kati ya usajili huu wa campbell wenger hakuweza kutumia hata senti tano kutokana na kwamba alimchukua akiwa mchezaji huru kutoka kwa wapinzani wao tottenham mwaka 2001 baada ya campbell kutua highbury aliweza kutwaa ubingwa wake wa kwanza wa ligi kuu ukiwa ni msimu wake wa kwanza na kisha akafanya hivyo msimu wa 200304 katika kipindi hicho cha kwanza aliweza kucheza na wachezaji nyota kama vile tony adams na martin keown kabla ya kukutana na kolo toure staa huyo ndiye aliyeweza kumaliza ukame wa arsenal wa kucheza dakika 995 bila kufunga bao katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya katika mchezo ambao walifungwa mabao 21 dhidi ya barcelona mtanange ambao ulipigwa jijini paris mwaka 2006 akiwa yeye ndiye aliyefunga bao la kuongoza straika van persie naye ni kati ya biashara nzuri ambayo wenger aliifanya katika usajili wake aliwasili katika kikosi hicho mwaka 2004 kwa ada ndogo ya pauni milioni 275 akitokea feyenoord baada ya kuwasili ilimlazimu kuchukua muda akijifunza kupitia kwa nyota kadhaa kama vile henry kabla ya kuonesha makali yake katika safu ya ushambuliaji katika kipindi cha kuanzia mwaka 2005 hadi 2014 aliiwezesha kutwaa mataji kadhaa ya kombe la fa mbali na hilo aliweza kuifunga gunners mabao 132 katika michezo 278 na huku msimu wa 201112 aliweza kufunga mabao 37 katika mashindano yote jambo ambalo lilimfanya akabidhiwe tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka la kulipwa kabla ya kuondoka na kwenda kujiunga na man utd makala ya awalilyyn mashabiki wa zari walifanya niuchukie umaarufu makala ijayowameizingua liver kinoma mwaka 2017
2018-01-20T03:23:50
http://bingwa.co.tz/2018/01/02/kamari-za-wenger-zilizomfunika-feruguson/
hekima za badi basata jeshi la polisi waunda kikosikazi kudhibiti uharamia kwenye sanaa asp edson kasekwa kutoka jeshi la polisi makao makuu kitengo maalum cha operesheni uzuiaji uhalifu akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusu matumizi ya sanaa katika polisi jamii na ulinzi shirikishi kulia kwake ni mkurugenzi wa ukuzaji sanaa basata bivivian shalua posted by amani bila ya heshima na kipato ni kazi bure at tuesday january 31 2012
2018-03-17T20:21:55
http://darusi2008.blogspot.com/2012/01/basata-jeshi-la-polisi-waunda.html
igihecom mobile version 2kd gift shop yashyize igorora abayigana itangiza urubuga rwa internet izana nibicuruzwa bidasanzwe 2kd gift shop yashyize igorora abayigana itangiza urubuga rwa internet izana nibicuruzwa bidasanzwe 7062019 saa 2017 na uwiduhaye theos iduka ricuruza imitako rya 2kd gift shop ryatangije urubuga rwa internet rinashyira igorora abakomeje kurigana rizana ibicuruzwa bishya kandi ryorohereza nabakiliya baryo ku buryo bwo kubigezwaho iri duka rimaze kwigarurira benshi bakunda imitako mu mujyi wa kigali mu gihe cyumwaka gusa rimaze ritangiye iyo urisuye utangazwa nuburyo abantu baba banyuranamo barigana bifuza kuryoherwa nimitako myiza nyuma yo kumenya ko rifite ibanga mu kudabagiza abakiliya baryo mu kiganiro yagiranye na igihe umuyobozi mukuru wa 2kd gift shop muzana carine yavuze ko nyuma yo kugira ababagana benshi bazanye ibindi bicuruzwa byihariye ati twagize abakiliya benshi bishimiye imitako yacu ariko tugira nabandi bagiye badusaba ko twabazanira imitako batabonye harimo imitako yo ku nkuta ibitambaro byameza ndetse nimiteguro igezweho yitwa center peaces ijya kumeza yo mu ruganiriro sibyo gusa kandi bamwe mubatugana twagiye tubafasha kubereka uburyo bataka inzu zabo yakomeje avuga ko bafite ibishya byinshi buri munsi hari byinshi twiga kandi tukishimira kubisangiza abakiliya bacu ubu 2kd gift shop ifite facebook page yishimiwe na benshi ituma bumva ibitekerezo byabakiliya babo https//mfacebookcom/2kdgiftshop310485986287075/ ubu kandi bashyizeho urubuga rwa internet ruzatuma ababagana babona amafoto namashusho yose nibindi bishya bafite mu iduka icyihariye kuri uru rubuga abakiliya bazaba bashobora kubavugisha bagahita basubizwa ako kanya hifashishijwe live chat urwo rubuga warujyaho ukanze aha http//2kdinteriordecorsrw/ muzana yakomeje avuga ko umukiliya wa 2kd gift shop afatwa nkumwami kuko iyo aguze umutako bawumushyira ndetse bakanamufasha kuwutaka mu nzu ati muri serivisi dutanga harimo ko umukiliya ashobora kutubwira umutako ashaka uwo ariwo wose tukawumushyira kandi tukamufasha kuwutegura ntayandi mafaranga yishyuye dufite ububiko bushya burimo imitako yumwihariko idahenze kandi myiza icyo nababwira bose tubahaye ikaze abifuza kutugana iduka rya 2kd gift shop riherereye mu mujyi wa kigali muri chic mu nyubako ibanza (ground floor) mu muryango ukurikiranye niguriro ryabashinwa winjiriye hagati ya banki ya kigali na cogebanque ushobora kubahamagara kuri +250 788 894 240 ‎+250 788 454 320 na +250 783 404 856 cyangwa ukabandikira kuri [email protected] wanamenya byinshi ku bicuruzwa bishya bazanye unyuze kuri instagram yabo ig 2kdcadeaux 2009 2019 © all rights reserved
2019-09-21T15:16:06
https://mobile.igihe.com/serivisi/kwamamaza/advertorials/article/2kd-gift-shop-yashyize-igorora-abayigana-itangiza-urubuga-rwa-internet-izana-n
ccm arusha baada ya mgombea udiwani kupigwa ushauri wa bure kwa godbless lema millardayocom ccm arusha baada ya mgombea udiwani kupigwa ushauri wa bure kwa godbless lema chama cha mapinduzi (ccm) arusha kupitia kwa katibu elias mpanda kimefunguka kuhusu wafuasi wanaodaiwa kuwa wa chadema kuwashambulia watu watatu wa ccm akiwemo mgombea udiwani kata ya murieti fransis mbise mpanda amesema sisi ccm kwakweli ni wastaarabu na ninataka niwahakikishie kati ya kata zote 8 ambazo nimesema tutashinda tutashinda kwasababu tuna hoja za kusema juu ya wananchi nashukuru wananchi wa arusha na kama sio tanzania nzima wameshatambua dhamira kubwa ya chadema kwamba dhamira yao sio kuwaletea wananchi maendeleo bali kuwatumia kwa maslahi yao binafsi ushauri wa bure kwa ndugu godbless lema kwanza wafuasi wa chadema niwaombe sana wasitumike vibaya kwasababu hata jana walioleta fujo wote walikamatwa na wako polisi lakini godbless alikimbia pamoja na katibu wa chama wa wilaya hii video hapa chini ina maneno yote aliyoyaongea mpanda video fupi rais magufuli akiwa nyumbani kwao chato na mama mzazi ← previous story video rais magufuli akiwa nyumbani kwao chato na mama mzazi next story → live breaking news msemaji wa serikali anamwaga mambo 10 ya serikali sasa hivi
2019-08-17T21:07:09
http://millardayo.com/ccm4n/
breaking tamko la bavicha baada ya tundu lissu kupigwa risasi millardayocom september 9 2017 baraza la vijana wa chadema bavicha limekutana na wanahabari na kutoa tamko baada ya mwanasheria wa chama hicho kupigwa risasi na watu wasiojulikana katika tukio lililotokea september 7 2017 akiwa nyumbani kwake dodoma tazama kwenye hii video mwanzo mwisho related itemsayo tvchadema ← previous story breaking serikali imepokea taarifa ya madini yaliyozuiwa airport dsm next story → breaking news nyumba ya kwanza ya lugumi iliyopigwa mnada
2019-12-15T01:17:22
https://millardayo.com/bcfxl/
soma katika afrikaans kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiazebaijani kibislama kibulgaria kicheki kichinois cantonais (traditionnel) kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kichitumbuka kidanishi kiebrania kiestonia kiewe kifaransa kifaroe kifiji kifini kigiriki kigreenland kigun kihausa kihiligaynon kihindi kihispania kiholanzi kihungaria kiiban kiiloko kiindonesia kiingereza kiiselandi kiitaliano kijapani kijeorjia kijerumani kikatalan kikazath kikirigizi kikorasia kikorea kikrioli cha haiti kilitwania kimalagasi kimalayalamu kimalayi kimalta kimasedonia kimyama kindebele (zimbabwe) kinorwe kinyarwanda kinzema kipangasinan kipapiamento (aruba) kipapiamento (kurasao) kipolandi kipunjabi kireno kireno (ureno) kiromania kirundi kirusi kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kishona kisinghale kislovakia kislovenia kiswahili kiswahili (congo) kiswedi kitagalog kitai kitamul kitatar kitelugu kitigrinya kitirke kitsonga kiukraini kivietinamu kixhosa kiyoruba kizulu lingala sesotho (afrique du sud)
2019-06-20T21:31:15
https://www.jw.org/swc/mafundisho-ya-biblia/vijana/wanauliza/sababu-gani-napaswa-kusali/
alshabab latangaza mauaji kupitia facebook | bukoba wadau alshabab latangaza mauaji kupitia facebook kundi la wanamgambo wa somalia alshabab limesema limewaua watu watatu ambao linawashutumu kufanya upelelezi katika mashirika ya kijasusi ya marekani au somalia kundi hilo lenye uhusiano na al qaida lilitangaza mauaji hayo jumanne katika ukurasa wake wa facebook limesema mmoja wa wanaume waliouawa mwenye umri wa miaka 29 mohamed abdulle gelle aliongoza ndege isiyokuwa na rubani ya marekani kufanya shambulizi lililouwa kamanda wa al shabab katika mji wa juba nchini somalia oktoba mwaka jana hilo likiashiria shambulizi lililomuuwa mtaalamu wa milipuko wa al shabab aliyejulikana kama anta mwezi oktoba 28 mwaka jana alshabab lilisema mtu wa pili ahmed abudllahi farole mwenye umri wa miaka 47 alifanya ujasusi kwa niaba ya serikali ya jimbo la puntland mwanamume wa tatu ambaye hakutambulishwa alishtumiwa kwa kufanya ujasusi kwa niaba ya serikali ya somalia taarifa hiyo ilisema wanaume hao watatu walipigwa risasi na kikosi cha walenga shabaha katika mji wa barawe
2018-01-23T05:34:22
http://www.bukoba-wadau.com/2014/03/al-shabab-latangaza-mauaji-kupitia.html
irene mwamfupe jamii mahari ya lulu laki 8 mahari ya lulu laki 8 imevuja kuwa mwanaume atakayetaka kumuoa staa wa sinema za kibongo elizabeth michael lulu atalazimika kutoa si chini ya shilingi laki nane (800000) kama mahari ili kumuoa mwigizaji huyo kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti hili wanaume wengi wamekuwa wakimendea kufunga ndoa na lulu lakini wakashindwa njia za kumpata ilidaiwa kuwa kikwazo kikubwa wanachokutana nacho ni namna ya kumfikia na kigezo cha dini kwa sababu lulu hataki kuolewa na muislam kwani hayupo tayari kubadili dini akizungumza na amani katika mahojiano maalum mapema wiki hii mama wa lulu lucresia karugila alisema kwa upande wake yupo tayari kupokea mahari yoyote ilimradi mwanaye awe ameridhiana na mwanaume husika unajua lulu ameshakua mambo ya kumwingilia mtoto kwenye vitu binafsi ni ya kizamani siwezi kupanga mahari sijui laki nane au laki ngapi kiasi chochote ni sawa cha msingi mwanangu awe amekubaliana na huyo mwanaume hajaniambia kama kuna mtu anataka kuleta mahari alisema mama lulu kwa upande wake lulu alisema kwa sasa sina wazo la kuolewa ila naweza kuamka kesho nikabadili uamuzi alipoulizwa kama ni kweli atatakiwa kulipiwa mahari ya laki nane alisita kidogo kuhusu kigezo cha dini staa huyo alikiri kuwa kati ya vitu anavyozingatia ni hicho kwani hataki mwanaume wa kumbadilisha dini na mahari yake itategemea na mtoaji kwa nini laki 8 uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa wanandoa wengi waliofunga pingu za maisha hivi karibuni ulibaini kwamba wengi walilipa mahari ya kati ya shilingi laki sita na milioni moja na nusu huku wastani ukiwa ni shilingi laki nane posted by irene mwamfupe at 1001 am
2018-07-21T13:44:56
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2013/12/mahari-ya-lulu-laki-8.html
skul and val skulduggery pleasant karatasi la kupamba ukuta (30385832) fanpop this skulduggery pleasant karatasi la kupamba ukuta contains moto inferno moto anime comic kitabu manga cartoon and mkono there might also be ishara bango maandishi ubao matini and ubao wa chokaa
2019-05-20T12:59:35
http://sw.fanpop.com/clubs/skulduggery-pleasant/images/30385832/title/skul-val-wallpaper
mhindi aliyeua mtanzania kunyongwa fukuto la jamii home unlabelled mhindi aliyeua mtanzania kunyongwa by mshappiness katabazi 813 am jaji dktwaibu alisema kwa mujibu wa shahidi wa upande wa jamhuri inspekta mapunda aliyeieleza mahakama hiyo kwamba aliandaa maelezo ya onyo yaliyotolewa na mshtakiwa ambaye alikiri kufanya mauaji hayo aidha mshtakiwa alimueleza shahidi huyo kwamba hawezi kumruhusu mtu wake wa karibu kusikiliza anachomueleza shahidi huyo kwa sababu wakati anafanya mauaji hayo alikuwa peke yake na kwamba alifanya hivyo kwa kuwa shahidi huyo alionyesha kumjali pia kwa mujibu wa ungamo la mshtakiwa alilotoa mbele ya mlinzi wa amani (hakimu) alikiri kutenda kosa hilo kwa sababu mshtakiwa huyo alikuwa akimdai marehemu dola 20000 za marekani ambazo walikubaliana zirejeshwe kwa mshtakiwa katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja lakini marehemu alishindwa kumfanya hivyo ndipo mshtakiwa akaamua kumuua kwa ungamo hilo la mshtakiwa mbele ya mlinzi wa amani maelezo ya onyo aliyochukuliwa na polisi ambayo amekiri kutenda kosa hilo na yalipokelewa na mahakama hii kama vielelezo na ushahidi wa mazingira wa kesi hii umethibitisha mshtakiwa alikuwa na dhamira ya kutenda kosa hilo mahakama hii inatamka wazi kuwa inakubaliana na vilelezo hivyo kuwa ni kweli mshtakiwa huyo alimuua kwa kukusudia mshtakiwa huyo na kwamba adhabu ya mtu anayepatikana na kosa la mauaji hapa nchini ni moja tu kunyongwa kwa kamba hadi kufa hivyo mahakama hii inakuhukumu wewe plaveen adhabu ya kunyongwa hadi kufa alisema jaji dktwaibu ilidaiwa mahakamani hapo kuwa februali 6 mwaka 2009 eneo la kipata kata ya kariakoo jijini dar es salaam mshtakiwa alimuua marehemu kwa kumchoma visu na mshale mgongoni tumboni shingoni na mdomoni kisha kuuweka mwili wake kwenye begi na kuutelekeza kwenye jengo la harbours view ambayo awali liliitwa jm all jijini dar es salaam mhindi aliyeua mtanzania kunyongwa reviewed by mshappiness katabazi on 813 am rating 5
2017-10-20T23:07:00
https://katabazihappy.blogspot.com/2011/06/mhindi-aliyeua-mtanzania-kunyongwa.html
mtaguso wa kwanza wa nisea wikipedia kamusi elezo huru mtaguso wa kwanza wa nisea (elekezwa kutoka mtaguso wa nikea) konstantino i akialika maaskofu wafike nisea kwa mtaguso (hagia sophia istanbul mwaka 1000 hivi) picha ya kirusi ya konstantino i kati ya wanamtaguso wa nisea gombo limeandikwa maneno ya kanuni ya imani ya nisea mtaguso wa kwanza wa nisea ndio mtaguso wa kwanza kuitwa (tangu mwaka 338) mtaguso wa kiekumeni yaani mtaguso wa dunia yote au mtaguso mkuu ndiyo sababu inashika nafasi ya pekee kati ya mitaguso yote uliitishwa na kusimamiwa na kaisari konstantino mkuu aliyehofia mabishano kati ya raia wake wakristo kuhusu yesu kristo ambayo yalihatarisha umoja na usalama wa dola la roma lililoanza kuelekea kusambaratika yeye aliwaalika maaskofu wote wa dola waliokuwa kama 1000 mashariki na kama 800 magharibi washiriki walitokea hata nje ya dola hilo kama vile persia na armenia katika hali hiyo mtaguso ulianza tarehe 20 mei 325 washiriki walikuwa kama 318 wengi wao wakitokea upande wa mashariki wa dola hilo upande wa magharibi uliwakilishwa na watu 4 kutoka ulaya na 1 kutoka afrika papa silvesta i (314335) aliwakilishwa na mapadri wawili asili ya mabishano ilitokea katika kanisa la aleksandria (misri) ambapo kasisi arios alikuwa amekanusha umungu wa yesu na hivyo alihukumiwa na sinodi ya aleksandria ya mwaka 321 iliyoitishwa na askofu aleksanda wa aleksandria hata hivyo arios hakuacha mafundisho yake akakimbilia palestina kwa rafiki yake eusebio wa nikomedia basi mtaguso ulikiri karibu kwa kauli moja kwamba yesu kristo ni mwana wa mungu kwa maana ana ousìa (yaani dhati) ileile ya kimungu aliyonayo baba ndiyo kiini cha kanuni ya imani ya nisea iliyopitishwa na mtaguso uamuzi mwingine wa mtaguso ulikuwa kupanga siku ya pasaka sherehe kuu ya kanisa iwe jumapili inayofuata mbalamwezi ya kwanza ya majira ya springi tofauti na kalenda ya kiyahudi pia zilitungwa kanuni 20 kuratibu mambo mbalimbali mtaguso ulipomalizika tarehe 25 julai 325 konstantino alifikiri uamuzi juu ya dogma utamaliza mabishano lakini haikuwa hivyo kwa sababu wagiriki wengi ingawa hawakukubaliana na arios hawakuridhika na msamiati uliotumika kuelezea uhusiano wa baba na mwana hati zote za mtaguso katika lugha mbalimbali atanasi wa aleksandria utetezi wa tamko la nisea • atanasi wa aleksandria barua ya sinodi kwa watu wa afrika eusebio wa kaisarea • eusebio wa kaisarea barua kwa watu wa jimbo lake kuhusu mtaguso wa kwanza wa nisea account of the council of nicea maisha ya mwenye heri kaisari konstantino kitabu iii sura vixxi zinahusu mtaguso wa kwanza wa nisea eustazio wa antiokia barua iliyorekodiwa katika historia ya kanisa iliyoandikwa na theodoreto 17 mtaguso wa kwanza wa nisea katika catholic encyclopedia rudishwa kutoka http//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mtaguso_wa_kwanza_wa_nisea&oldid=886346 jamii mitaguso urambazaji ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 10 machi 2013 saa 0849
2013-05-23T11:55:14
http://sw.wikipedia.org/wiki/Mtaguso_wa_Nikea
tume ya taifa ya uchaguzi nchini kenya imekubali kutoa fomu za matokeo ya vituo vya kupigia kura maarufu kama fomu 34a | bukoba wadau tume ya taifa ya uchaguzi nchini kenya imekubali kutoa fomu za matokeo ya vituo vya kupigia kura maarufu kama fomu 34a muungano wa upinzani ulikuwa umelalamikia kukosekana kwa fomu hizo na kusema ilikuwa vigumu kukagua matokeo yaliyokuwa yakipeperushwa katika mtandao wa tume hiyo mwenyekiti wa tume hiyo bw wafula chebukati amewaambia wanahabari kwamba meza maalum itatengwa katika kituo kikuu cha kujumlishia matokeo ukumbi wa bomas nairobi kwa ajili ya maajenti wa vyama ambao wangependa kukagua fomu hizo aidha ameongeza kwamba fomu hizo zitapakiwa kwenye tovuti ya tume hiyo mgombea urais wa national super alliance (nasa) raila odinga usiku wa kuamkia jumatano alikuwa amesema tume hiyo inafuata utaratibu usiofaa kwa kutangaza matokeo bila fomu hizo bw chebukati hata hivyo amesema matokeo yanayopakiwa kwenye tovuti hiyo si rasmi na kwamba matokeo rasmi yatatangazwa baada ya kupokelewa kwa fomu 34a kutoka vituoni afisa mkuu mtendaji wa tume hiyo ezra chiloba amesema tume hiyo ilikuwa imepokea fomu kutoka vituo 28000 kufikia leo asubuhi bw chebukati amesema tume hiyo pia imepokea habari kuhusu tuhuma za muungano huo wa upinzani kwamba mitambo yake ya uchaguzi ilidukuliwa tume hiyo ina hadi siku saba baada ya kumalizika kwa upigaji kura jana kutangaza matokeo lakini bw chebukati amesema matangazo rasmi yatatangazwa punde yatakapokuwa tayari kufikia sasa matokeo ya awali kutoka vituo 39046 kati ya 40883 yanaonesha rais uhuru kenyatta akiwa kifua mbele na kura 7906062 (5435) naye bw odinga akiwa wa pili na kura 6513303 (4477) posted by bukobawadau at 558 pm
2019-01-22T17:49:11
http://www.bukoba-wadau.com/2017/08/tume-ya-taifa-ya-uchaguzi-nchini-kenya.html
imani na mafundisho (ya imani) elimu na jamii historia na siasa sheria & ibada qurani & hadithi maisha ya kiroho na falsafa avant propos
2016-05-30T05:52:04
http://www.al-islam.org/sw/node/22578
azam fc yasajili kiungo mzimbabwe aliyefunga mabao manne ligi ya mabingwa afrika bin zubeiry sports online azam fc yasajili kiungo mzimbabwe aliyefunga mabao manne ligi ya mabingwa afrika bin zubeiry sports online mwanzo > habari za nyumbani > azam fc yasajili kiungo mzimbabwe aliyefunga mabao manne ligi ya mabingwa afrika mzimbabwe huyo amesaini mkataba rasmi wa kuichezea azam fc leo jumatatu usiku dakika chache mara baada ya kutua nchini zoezi lililosimamiwa na ofisa mtendaji mkuu abdulkarim amin 'popat' huku wakala wake george deda akishuhudia item reviewed azam fc yasajili kiungo mzimbabwe aliyefunga mabao manne ligi ya mabingwa afrika rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-03-31T12:54:54
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/01/azam-fc-yasajili-kiungo-mzimbabwe.html
matukio mbalimbali ya waziri mkuu pinda bungeni mjini dodoma dodoma yetu home » » matukio mbalimbali ya waziri mkuu pinda bungeni mjini dodoma matukio mbalimbali ya waziri mkuu pinda bungeni mjini dodoma waziri mkuu mizengo pinda akizungumza na madiwani na watendaji wa halmashauri ya wilaya ya kishapu mkoani shinyanga kwenye ukumbi wa spika bungeni mjini dodoma mei 27 2014walipotembelea bunge kwa mwaliko wa mbunge wao suleiman nchambi (picha na ofisi ya waziri mkuu) waziri mkuu mizengo pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na mbunge wa moshi vijijini cyrli chami kwenye viwanja vya bunge mjini dodoma waziri mkuu mizengo pinda akiteta na mwandishi wa habari mkongwe prince bagenda kwenye viwanja vya bunge mjini dodoma waziri mkuu mizengo pinda akiteta na mbunge wa maswa mashariki john shibuda kwenye viwanja vya bunge mjini dodoma mei 27 2014 (picha na ofisi ya waziri mkuu)
2017-08-17T21:35:04
http://dodoma-yetu.blogspot.com/2014/05/matukio-mbalimbali-ya-waziri-mkuu-pinda.html
zanzibar ni kwetu chakula cha wanga kinavyoweza kuathiri afya yako chakula cha wanga kinavyoweza kuathiri afya yako na dk boaz mkumbo mtanzania leo nataka nikueleze kidogo kuhusu sayansi ya chakula aina ya wanga maana kila mtu ninayemwelekeza njia sahihi ya kupunguza uzito anakwambia nitaishije bila chakula cha wanga mwili wako hutumia vyakula vikuu aina tatu ambavyo ni wanga protini na mafuta kwanini nakushauri upunguze wanga kiafya
2018-04-21T09:50:07
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2016/04/chakula-cha-wanga-kinavyoweza-kuathiri.html
rais wa tanzania dkt john pombe magufuli amemuagiza waziri mkuu kassim majaliwa kumsimamisha kazi naibu kamishna wa uhamiaji bi grace hokororo asimamishwe kazi kwa tuhuma za kuingiza nchini raia 50 wa somalia na kuwapa vibali vya kuishi kinyume cha taratibu kauli hiyo imetolewa ijumaa julai 28 2017) na waziri mkuu kassim majaliwa mara baada ya kumaliza kikao na makamishna wa uhamiaji kikao hicho kilifanyika makao makuu ya uhamiaji jijini dar es salaam pia waziri mkuu amemuagiza waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe mwigulu nchemba kuunda tume ya uchunguzi kuhusu utoaji wa vibali uraia nchini amesema haiwezekani raia wa kigeni wanaingizwa nchini na wanapewa vibali vya kuishi bila ya kufanyiwa uchunguzi wa kina idara ya uhamiaji tunaitegemea kusimamia mipaka yetu na kuziba mianya ya watu kuingia bila ya kufuata taratibu lakini kwa mapenzi yake ofisa huyu ameruhusu wasomali kuingia bila kufuata taratibu waziri mkuu amesema ni lazima uchunguzi ufanyike ili kubaini tulidhani ni kitu gani kilimsukuma kutoa vibali kwa wasomali hao ambao hawakuwepo nchini wameingia na kupewa vibali moja kwa moja kwa mapenzi yake tu sasa hii ni dosari hatuwezi kuivumilia amesema serikali inaitegemea idara ya uhamiaji kwa kuzuia mianya ya uingiaji raia mbalimbali kutoka nje ya nchi bila ya kufuata taratibu hivyo mheshimiwa rais dkt magufuli ameagiza ofisa huyo asimamishwe kazi na uchunguzi ufanyike ili kubaini malengo yake hawa wasomali aliowapa vibali vya kuishi wala hawakuwa wanaishi nchini wameingia tu na kupewa vibali hivyo mheshimiwa rais dkt john magufuli ameagiza ofisa huyo akae pembeni na achunguzwe ni kujua ni kitu gani kilimsukuma kutoa vibali kwa raia hao pia waziri mkuu ameiagiza idara ya uhamiaji wadhibiti kitengo cha utoaji hati za kusafiria za kibalozi na kwa wanaomaliza muda wasipewe tena lazima hati hizo zikaguliwe katika mipaka yote na maeneo yote ya usafiri ili kujua kama huyo anayeitumia bado anahadhi hiyo na msiporidhika ichukuweni kwani kuna watu wanazitumia vibaya hata hivyo waziri mkuu ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike kwa watu wote walioomba hati za kusafiria pamoja na vibali vya makazi kama wanakidhi matakwa ya kisheria kabla ya kuwakabidhi
2019-10-20T13:39:20
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2017/07/31/bi_grace_hokororo_asimamishwa_kazi_na_rais_magufuli/sw-1327926
kwa mara nyingine tena tunakutana kwenye safu yetu hii ya mahabarafiki wanawake wengi hulia na kujutia kuwepo katika ndoa hii ni kutokana na kuhisi au kujua kuwepo kwa usaliti kwa waume zao ukweli ni kwamba suala la kusalitiwa linaumiza sana hakuna atakayekuwa tayari kukubali usaliti katika penzi lakehuo ndiyo ukweli lakini pamoja na ukweli huo umewahi kujiuliza kwa nini mpenzi wako anakusaliti umewahi kufikiri kwamba hata wewe unaweza kuwa chanzo cha mpenzi wako kukusalitikama hujawahi kufikiri basi fahamu kwamba kama usipokuwa makini katika maeneo fulani katika ndoa yako unaweza kuwa chanzo cha mumeo kukusaliti vipengele vifuatavyo vinafafanua hilo kwa undani zaidiunatambua majukumu yakohili linawashinda wengi katika maisha ya ndoa na waume zao kwa kukosa kujitambua kuwa yeye ni nani na wajibu wake katika ndoa yake ni upi hapo awali kabla ya kuingia katika ndoa na mumeo ulikuwa ukimnyenyekea na kujitahidi kadiri ya uwezo wako kumwonyesha mapenzi motomoto lakini sasa baada ya kuingia katika ndoa umebadilikaulikuwa msafi mwenye kumjali wakati wote na kumwonyesha kuwa yeye ni muhimu maishani mwako na wewe ni muhimu sana katika maisha yake kuwa naye karibu wakati wote na kumshauri hasa akiwa katika matatizo na sononeko la moyo au msongo wa mawazo vilimvutia na kuona thamani yako kwenye maisha yakehuenda hapo awali ulikuwa mshauri wake mkubwa wa mambo mbalimbali ya kikazi na wakati mwingine mambo yake binafsi wakati alipokuwa na majaribu ya kufukuzwa kazi au kupata balaa la madeni kazini kutokana na uharibifu au upotevu wa mali ya anapofanyia kazi kwa kumshauri au hata kumsaidia kifedhasababu hizo na zingine nyingi ulizokuwa ukimfanyia wakati mkiwa wachumba huenda ndizo zilizomsukuma akusogeze karibu ili aishi na wewe kwa kutambua umuhimu wako katika maisha yake lakini sasa umebadilikamwanaume anahitaji mwanamke wa kumshauri na kumpa moyo hasa anapokuwa kwenye majaribu na matatizo mbalimbali ya kimaishakama awali ulikuwa ukimfanyia hivyo mumeo na sasa umeacha ni wazi kwamba atakapokuwa na msongo wa mawazo au matatizo flani atakwenda baa ambako atakutana na mwanamke wa nje na akithubutu kumweleza yaliyomsibu atapata tulizo kwa sababu wanawake wa nje ni mahodari wa kufariji waume za watubaadhi ya wanawake wakishaingia katika ndoa hujisahau na kuona kuwa wao ni wao na kama walichotaka wameshakipata hivyo kujisahau na kutowapa wapenzi wao mapenzi motomoto kikubwa unachopaswa kutambua wewe mwanamke ni kwamba wanaume wanapenda kuona wake zao wanakuwa kwa ajili yao na kuwafanyia vituko vya mahaba kila wakatikadhalika hupenda kuona wake zao wanakuwa karibu nao wanapokabiliwa na matatizo mbalimbali ya kimaisha hakika utakaposhidwa kumjali mumeo huona ni afadhali atafute kitulizo kingine ambapo hata hivyo mara nyingi hukimbilia baa kutafuta kitulizo cha msongo wa mawazowengine hushinda kutwa nzima nyumbani wakihudumia mifugo au wakifanya shughuli ndogondogo za kila siku kama kufua kupiga deki na kazi nyingine za mama wa nyumbani baada ya hapo hubaki na nguo alizoshinda nazo kutwa nzima hadi mumewe anaporejea kazini humkuta akiwa na nguo hizo chafu huku akinuka jasho ambapo kwa kiasi kikubwa linamkera mume atakaporudi kutoka kwenye mihangaiko yakehivi unafikiri kwa misingi hiyo mumeo ataacha kutoka nje ya ndoa kweli kama unakuwa mchafu wakati wote humfurahishi huvutii kama zamani unadhani atafanya nini kama siyo kukusalitilazima utambue majukumu yako katika ndoa yako majukumu yako hayaishii kumfulia kumpasia na kufanya usafi nyumbani pekee majukumu yako ni pamoja na kuhakikisha mumeo anafurahia penzi lako pamoja na kumsaidia katika matatizo mengine ya kikazi na kiakili anza kubadilika sasa kabla hujampoteza mumeo mmh mbona mume mume tuu na mume kwa mkewe je wanawake tunataka haswa raha unalikuta jianaume lingine linalala tu halijui kumpa mahaba mkewe anaona akisha maliza yeye basi rudini jando sio kusema wanawake tu
2017-07-27T06:39:32
http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/09/leo-kwenye-kona-ya-mahaba.html
new video | yemi alade heart robber (official music video) new audio | mr t touch feat chibau mtoto wa pwani amber lulu & young dee bilionaire jux awashukuru mashabiki wa burundi new audio | jason derulo ft rayvanny & french montana tip toe (remix) you are athome»mixed photos»producer daxo chali ametangaza kutowasimamia haitham na kim by djchoka on october 22 2017 mixed photos news producer kutoka mj records daxo chali ametangaza rasmi kutowasimamia wasanii wa kike haitham na nini ambao amekuwa nao kwa muda mrefu na kuweza kufanya nao kazi kama fulani ya haitham aliyomshirikisha mwana fa playboy aliyofanya na wema sepetu huku nini nae alitoa wimbo wake kwa jina la wimbo sasa kupitia kurasa yake ya instagram daxo chali ametangaza kutofanya tena kazi na wasanii hao daxo aliandika nimeamua kuacha kuwasimamia juhudi zangu zimewafikisha hapo so yeyote atakayeweza kuwaendeleza please awasaidie nitafurahi nikiona wanaendelea nakufanikiwa 🙏🏽 ni wasanii wazuri sana wakipata mtu akawapatia kuwapanga mapungufu yapo kwa kila mtu haithamkimhakukaa kimya alicomment hivi time will tell hata sisi tuna mengi ya kuongea🙏🏻❌ na daxo chali nae akajibu daxochali@haithamkim kila la kheri me sitosema mengi hayo machache niyoyachagua kusema yanatosha sioni ulazima kusema mengi ambayo watu wanayajua tayari 🙏🏽 we ni msanii mzuri sana discipline tuu ndio unayohitaji 🙏🏽 mungu akufumbue uone vyema source http//wwwlilommycom djchokamusic prod daxo chali
2018-02-20T05:48:30
http://djchokamusic.com/producer-daxo-chali-ametangaza-kutowasimamia-haitham-na-kim/
wema sepetu ampa ujumbe huu tiffah wa diamond kwenye birthdayyake bongoswaggzcom about us tiffah wema sepetu ampa ujumbe huu tiffah wa diamond kwenye birthdayyake tiffah tiffah msanii wa filamu wema sepetu anaendelea kuuthibitishia umma kwamba hana tena kinyongo na ex wake wa zamani diamond platnumz baada ya jumamosi hii kumwandikia ujumbe mzuri bintiye diamond tiffah katika siku yake ya kuzaliwa wawili hao hivi karibuni wameonyesha kushirikiana mambo kadhaa katika mitandao ya kijamii licha ya wiki mbili zilizopita kusambaa kwa tetesi ya kurudiana na baadae kukanushwa na wema sepetu muigizaji huyo kupitia instagram ameandika ujumbe huu happy birthday princess tee may allah bless your precious lil self you will definitely turn out to be a phenomenal young woman princess_tiffah jumamosi hii bintiye diamond tiffah ametimiza mwaka mmoja ambapo amewashukuru wote waliomtakia heri katika siku hiyo today a year ago at 440 am in the wee hours of the morning i was brought into this world thankyou for all my bday wishes & god bless all of you happy birthday to me ujumbe huu uliandikwa instagram ya binti huyo kwa upande wa diamond ameandika princess_tiffah you are certainly the most beautiful gift that i have received in my lifetimethis day is very important for us and to everyone who knows youonly god knows how much you mean to meam so proud for the first time in my life to wish my own daughter happy birthday trust me in my heart you are the most wonderful daughter in the whole worldmay you always be surrounded with beauty and happinessmy angel my little cupcake my sweet daughter my miss world me and your cute mom loves you so muchhappy birthday @princess_tiffah jiunge nasi >> facebook << >> instagram << na >> playstore << kupata habari na burudani fasta kila time on 1115 am facebook count=457600followers instagram count=107100followers youtube count=4545followers twitter count=3590followers pakua app upateutamu wote diamond platnumz akimwimbia zari wimbo eneka' | live inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwa download wimbo mpya wa aslaykasema mama bofya hapa kuidownload picha kali aunt ezekiel akijiachia beach ndani ya dubai mambo 39 yanayovunja mahusiano ya kimapenzi au ndoa mambo 39 yanayovunja mahusiano ya kimapenzi au ndoa 1 kutokuwa na mawasiliano ya karibu na mwenzi wako 2 kutojali maumivu ya mwenzi wak
2017-07-27T20:57:42
http://www.bongoswaggz.com/2016/08/wema-sepetu-ampa-ujumbe-huu-tiffah-wa.html
kamati ya maandalizi ya kongamano la kimataifa kuhusu kuhuisha utengenezaji wa historia na kuiandika hauza ya najafu ashrafu ilikua na nafasi muhimu katika maktaba ya historia profesa haadi abdunabi tamimi katika hafla ya kufunga kongamano la kimataifa kuhusu uhuishaji wa kutengeneza historia na kuiandika iliyo fanyika siku ya ijumaa (27 jamadalthani 1439h) sawa na (16 machi 2018m) kulikua na ujumbe wa kamati ya maandalizi ulio wasilishwa na profesa haadi abdunabi tamimi miongoni mwa aliyo sema ni hakika umma huchukua historia yake na hubaki unakumbuka yaliyo pita na kuangalia athari za yaliyo fanywa na mababu zao pamoja na kilicho andikwa na kalamu katika mambo mbalimbali pengine umma wetu wa kiislamu na kiarabu unaweza kua miongoni mwa umma zilizo piga hatua watoto wema wa umma huu wameonyesha kujali turathi na historia kwa kuzama ndani ya vitabu na kutafuta ukweli wa matukio jambo la kuchambua na kuhakiki limekua ni moja ya kazi zao kielimu kazi ambayo haikua rahisi ilikua na hatari kubwa kutokana na aina ya utawala ulio kuwepo kwani ulikua ni utawala unao ficha ukweli na kuzua mambo akaongeza kua ilianza kuandikwa historia ya mtume mtukufu kisha yakatokea yaliyo tokea matukio muhimu yakapotoshwa hali ikaendelea hivyo hadi kufikia katika historia ya sasa uandishi wa historia sio jambo rahisi hakuna anaye weza kupambana na mitihani ya kazi hiyo ispokua mtu mwenye imani kubwa na msimamo imara wa kuvumilia mateso na matatizo kutokana na umuhimu wa jambo hili hauza ya najafu iliona umuhimu wa kupambana na watawala na kutekeleza wajibu wao wakafanya kazi kubwa ya kukusanya vitabu vya historia vya kila zama za hatua za histori kuanzia matukio ya kihistoria hasa yaliyo tokea katika miji mitakatifu akabainisha kua kwa ajili ya kuweka wazi kazi kubwa iliyo fanywa na hauza ya najafu ashrafu atabatu abbasiyya tukufu na taasisi ya bahrululuum alkhairiyya wameamua kuanzisha safari hii ambayo mwaka huu tumefika katika kituo cha tatu kwa kufanya makongamano ya kielimu na kimataifa ambapo safari hii tumeangalia nafasi ya hauza ya najafu ashrafu katika kutengeneza historia na kuiandika na kwa ajili ya kusisitiza mchango wao katika kutunza taarifa za matukio ya sasa bila kuyapotosha na kuyaharibu tamimi akaendelea kusema kua kutokana na msingi huo na kwa taufiq ya mwenyezi mungu kamati ya maandalizi ya kongamano hili kwa muda wa miezi kadhaa imekua ikitoa mialiko kwa wasomi mbalimbali miongoni mwa wanachuoni watafiti walio tumia kalamu zao kuandika tafiti madhubuti zilizo wasilishwa ndani ya siku mbili za kongamano hili jumla tulipokea tafiti (70) zilizo elezea mada sita za kongamano kutokana na uchache wa muda pamoja na kufanana kwa baadhi ya tafiti ilitulazimu kuchagua tafiti chache na bora zaidi katika hizo kwa kutumia kamati maalumu iliyo zipitia na kuchagua hizi zilizo wasilishwa kwenu kwa muhtasari baada ya kukidhi vigezo vyote vya kielimu akamaliza kwa kusema kua tunaomba radhi kwa kuacha baadhi ya tafiti kutokana na kutoendana na mada za kongamano zilizo tangazwa mwenyezi mungu ni shahidi hakika tulisoma kwa umakini mkubwa tafiti zote ili tusimdhulumu yeyote katika kazi kubwa ya kielimu aliyo fanya tunaomba radhi kwa upungufu wowote uliojitokeza kwa wageni wetu au kama kuna jambo lolote tulilisahau hata kama ni dogo kiasi gani
2019-12-13T06:08:12
https://alkafeel.net/news/index?id=6547&lang=sw
wazambia wapiga kura kumchagua rais wao | matukio ya afrika | dw | 20012015 wazambia wapiga kura kumchagua rais wao vituo vya kupigia kura vimefunguliwa leo(20012015) nchini zambia katika uchaguzi wa rais ambapo hakuna hakika nani atakuwa mshindi baada ya mvutano wa kuwania madaraka baada ya kifo cha rais michael sata mwaka jana mdahalo wa wagombea wa kiti cha urais nchini zambia wagombea wawili wa juu ni waziri wa ulinzi edgar lungu mwenye umri wa miaka 58 anayewakilisha chama tawala cha patriotic front na mgombea wa upinzani hakainde hichilema mwenye umri wa miaka 52 wa chama cha united party for national development upnd wanawania muhula uliobaki wa mwaka mmoja na nusu katika kipindi cha uongozi wa marehemu sata cha miaka mitano katika nchi hiyo ya pili duniani kwa uzalishaji wa madini ya shaba ambako ushuru mpya kuhusiana na madini hayo umekuwa kwa mshangao mada kuu katika uchaguzi huo waungaji mkono wa chama cha upinzani cha upnd mada ya kampeni ya uchaguzi chama cha lungu kilianzisha ushuru huo mwezi januari mwaka jana wakati hichilema ameahidi kuiondoa akiahidi kuiweka zambia katika hali ya kuvutia kibiashara mahasimu hao lungu ambaye ni mwanasheria na hichilema ambaye ni mfanyabiashara akitambulika kama hh wamewavutia watu wengi katika mikutano yao ya mwisho ya kampeni lakini kutokana na kutokuwapo uchunguzi wa maoni wadadisi wanashindwa kupima ahadi zao ni mbio za watu wawili amesema oliver saasa mwenyekiti mtendaji wa premier consult shirika la kutoa ushauri katika masuala ya biashara na uchumi ni dhahiri kwamba uchaguzi huu utakuwa wa vuta nikuvute ameongeza wazambia ambao wamechoshwa na uchaguzi ambao walipiga kura katika chaguzi ambazo zimemuingiza madarakani sata miaka mitatu iliyopita na wanatakiwa tena kupiga kura mwakani wamekuwa katika mistari mirefu mapema leo asubuhi katika hali ya hewa ya baridi kali mgombea wa chama cha upnd hakainde hichilema mvua kubwa yanyesha muda mfupi baada ya vituo vya kupigia kura kufunguliwa mvua ilianza kunyesha kwa wingi mjini lusaka lakini haikuwazuwia wapiga kura akisimama katika mvua nguo zake zikiwa zimelowana na kukiwa na matope bila mwanvuli ama koti la mvua mfuasi wa chama tawala cha pf allan kabwe hakukata tamaa nafahamu watu wengi wanavunjika moyo lakini baada ya kukamilisha upigaji kura nitakwenda nyumba kwa nyumba kuwahimiza watu waje kupiga kura ni lazima tumuweke edgar ikulu amesema kijana huyo wa miaka 24 mchuuzi wa mitaani ni yangu matumaini kwamba wafuasia wa chama cha upinzani cha upnd hawatakuja kupiga kura marehemu michael sata aliyefariki dunia oktoba mwaka jana chama cha lungu cha pf kimeingia katika uchaguzi huu kikiwa kinanyufa baada ya mvutano mkali wa kuwania madaraka baada ya kifo cha sata mwezi oktoba mwaka jana miaka mitatu ndani ya kipindi chake cha utawala cha miaka mitano licha ya sera zinazoelekeza katika ukuaji wa uchumi na uchumi imara katika muda wa miaka michache iliyopita kiasi ya asilimia 60 ya wakaazi wa zambia wapatao milioni 15 wanaishi chini ya mstari wa umasikini kwa mujibu wa tarakimu za benki kuu ya dunia maneno muhimu zambia elections kiungo http//pdwcom/p/1en7o
2017-12-12T07:45:24
http://www.dw.com/sw/wazambia-wapiga-kura-kumchagua-rais-wao/a-18201824
nyota wawili simba kuikosa mechi ya yanga mwanaharakati mzalendo ™ krantz 53500 am michezo ni suala la muda tu ndio kitu pekee kimebaki kabla ya kuchezwa mechi ya watani wa jadi yanga na simba itakayofanyika kesho jumamosi februari 16 ambapo katika mchezo huo simba inamkosa nyota wake ambaye amekuwa akiipa matokeo simba kwenye mechi mbalimbali za karibuni wachezaji wa simba wakishangilia bao la erasto nyoni dhidi ya yanga msimu uliopita si mwingine ni winga shiza kichuya ambaye tangu aliposajiliwa na simba mwaka 2016 akitokea mtibwa sugar amekuwa chachu ya matokeo mazuri ya simba katika pambano la watani wa jadi akiwa katika msimu wake wa kwanza wa 2016/2017 ndani ya simba kichuya alifanikiwa kufunga bao lake la kwanza kwenye mchezo huo mkubwa barani afrika bao lake lilikuwa la kusawazisha dakika ya 87 ambapo alifunga kupitia kona ya moja kwa moja baada ya yanga kutangulia kwa bao la amissi tambwe dakika ya 26 februari 25 2017 kichuya pia alifunga bao moja katika ushindi wa mabao 21 iliopata simba dhidi ya yanga hivyo kuendelea kuwa na bahati ya kufumania nyavu katika pambano la watani wa jadi kichuya hakuishia hapo jumamosi ya oktoba 28 2017 aliifungia simba bao la kuongoza dhidi ya yanga dakika ya 58 lakini yanga walisawazisha dakika ya 60 kupitia kwa obrey chirwa kichuya kwasasa hayupo tena msimbazi baada ya kusajiliwa na klabu ya pharco fc ya misri ambayo nayo imemtoa kwa mkopo kwenda klabu ya enppi fc inayoshiriki ligi kuu ya nchini misri mchezaji mwingine ambaye bado haijawekwa wazi kuwa atakuwa sehemu ya mchezo huo ni erasto nyoni ambaye ametoka majeruhi nyoni ni muhimu kwa simba ambapo naye ni miongoni mwa waliofunga mabao ya simba dhidi ya yanga hivi karibuni beki huyo kiraka uwanjani alifunga bao pekee lililoipa ushindi simba dhidi ya yanga april 29 2018 kwa upande wa vinara wa mabao msimu huu kwa kila timu tayari heritier makambo wa yanga ambaye ni raia wa dr congo ana mabao 11 na ndio kinara wa wafungaji mpaka sasa huku kwa simba meddie kagere anaongoza akiwa na mabao 8
2019-05-23T17:25:10
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/02/nyota-wawili-simba-kuikosa-mechi-ya.html
utamu wa kuma na mboo | utamu wa kumamboo na mkundu category archives utamu wa kuma na mboo october 14 2017 rahazangu 10 comments june 3 2016 rahazangu 135 comments labda kama unazungumzia kugusa ndani kabisa if not kwenye kizazi au hapo kwenye kizazikama ni hapo ni hivihapo ukiwa na mboo ndefu ni rahisi sana kugugusa ila pia sio lazima uwe na mboo ndefu ndio upaguse ila inategemea na mkao uliomuweka mwanamkekuna mikao aka mikunjo ya kutiana yaani ukipress mboo vizuri lazima uguse kizazimfano mbuzi kagoma afu demu asiwe na tako kubwa kwani coming from behind kama demu anatako kubwa lazima uwe na mboo ndefu kugusa kizazi au wee ukilala akiikalia kwa juu ni rahisi kugusa kuleeepia ukimuweka chini mkunje na miguu yake aiweke kwenye mabega yako na wewe uwe kama umechuchumaa hapo unapata ile tunaita deep penetration yaani uboo unazama woote na kila kona utaigusa ukitaka hata kizazi hii hata kama una mboo ndogo au yeye anakuma kubwa lazima utagusa cha msingi hakikisa mboo inasimama barabara na inakuwa ngumuyaani mada yako kwa lugha ya kitaalamu unataka kujua how to get deep penetrationkama sijakusoma ovyomaana kwenye deep penetration automaticaly mtu unagusa kote kumani na ndani ya kuma 2mwanamume pia anatakiwa kukatika ili uume wake ukune sehemu zote za bustani ya bibi yake jaribu kukuna kushoto kulia juu na chini ya uke kama vile mtu anayesafisha glasi/bilauri/kikombe kwa movement ya kuanzia juu kwenda chini ya kikombe kila upande pia fanya movement kama vile ya kinyamkera lakini kuanzia juu ya uke kwenda chini (kinyume cha kinyamkera cha upepo) jaribu kuchanganya moves za taratibu kama vile unaipapasa k*** kwa uume wako kila sehemu na moves za kutwanga kama vile mtu anayetwanga nafaka katika kinu badili staili mademu wengi wana sehemu zao nyeti (g spot) ambayo hukunwa vizuri wakati wa staili ya chuma mboga (doggy style) wengine huridhishwa zaidi wakati unapomweka chini ukaiinua miguu yake mpaka magoti yake yaguse mabega yake huku umemshika barabara mafundo (ankles) zake kama demu ni msafi 100 na hana maradhi mtayarishe kwa kumyonya k*** yake na kisimi chake fanya mapenzi na demu ambaye unampenda kwa dhati tu au mke wako ili uwe na focus zaidi kwa kuchanganya ngono na mapenzi ya dhati 3naona wachangiaji wote wako sawa kwa kuangalia maoni ninayopewa na mke wangu mtarajiwa kwa ukweli style 2 ni nzuri sana km unataka kumgusa ktk kila kona ya kima iwe ndogo au kubwa dogy style na ile mke kukalia mboo na kujipimia mwenyewe huwa ni hodari ktk kuifukua kuma sawasawa lkn pia kunyonya kinembe ni muhimu huku kidole kikikupa sapoti haya yote mimi huwa nayafanya halafu namnyonya hadi mkundu nisikufiche mtu mchumba wangu huwa analia machozi hadi analoa uso mzima kelele kama kliniki lkn yote labda kuwa nina mboo ndefu kama nchi 6 na kitu na ukweli kabla sijawa nae wasichana wa 2 nilokuwa nao kwa wakati tofauti walikuwa wanaeleza sana kwa rafiki zao jinsi wanavyoinjoi ila sasa nimeamua kuoa na kuachana na ujinga wa aina yeyote lkn kwa miaka 3 sasa sijawahi kutembea na mtu mwingine tofauti na muhumba wangu lkn haniamini kabisa anasema wazi kwa jinci ninavojua kutomba na mboo ndefu ya kutosha akitambua kuwa ninamahusiano na mtu mwingine ataniaua mimi huyo mwanamke au yeye na hatanii yupo serious hii yote ni sababu ninamtomba vizuri kwani naweza kumtomba kwa masaa 4 kwa style nyingi na kumkojolea hata mara 4 kwa usiku 1 na ukweli nikiwa kazini ulimi wangu unaogelea ktk kuwa kisawasawa sina kinyaa na sehemu yoyote ila sina uhuru sasa siruhisiwi hata kusalimia njiani au kakaa karibu na msichana hata ktk daladala ila katika vyote ili umridhishe na umkune vizuri lazima muwe wasafi na wawazi ktk kutombana ndo mwanamke ataona raha ya kutombwa na mwanaume ataona raha ya kutomba june 3 2016 rahazangu 62 comments ufundi wa ngono hii ndio siri ya kuma yangu april 24 2016 rahazangu 36 comments iko hivi yani nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu ikitokea nimeachana na mwanaume yani itanibidi nimtege yeyote ninayevutiwa nae ili aweze kunitongoza au kunitaka kimapenzi na mimi nimpatie na ikiwezekana awe bwana wangu na kunitia kila mara imekua kama ugonjwa yani nikitiwa leo mfano baada ya siku tatu hadi nne naanza kusikia hamu tena na ikikaribia wiki tatu sijapata mwanaume kwakweli hua inaniumiza na hua inanifanya niwe nafua sana chupi kwavile kuma yangu inakua na maji sana na hamu ya kutiwa sana ila vitu hivi vyote vilitokea au vilisababishwa kipindi nipo kidato cha kwanza nilianza mapema kufanya ngono nilipojiunga na kidato cha kwanza huko tanga nilikua mwanafunzi mwema mwanzoni na niliyependa shule sana akatokeaga mwanaume mmoja hivi alikua mzuri na ana mwili mwili na alikua ni mfanya biashara mtaani karibia na maeneo nilipokua naishi mimi na shangazi yangu huyo jamaa alinitaka na kunihonga honga na vitu vidogo vidogo sasa kwa utoto wa akili yangu na yeye alikua ni mtu mzima (mkaka) aliweza kunirubuni na kunifanya niwe nae ilikua siku moja nikiwa nimetoka shule vipindi vya jioni hivi wakati narudi nyumbani ghafla nikasikia akiniita kwenye mti mmoja hivi pembeni ya barabara kwavile nilikua namjua ikanibidi niende kwenda akananza kuniambia maneno ambayo sikutegemea kusikia kutoka kwake alikua ananitaka na anataka kua na mimi na atanipa kila kitu ninachotaka kwavile nilikua natamani kua na mwanaume kipindi hiko cha usichana wangu nikamkubalia baada ya kumkubalia sasa kilichofata mwana rahauchi ilikuabalaa kwanza wiki yake iliyofuata siku ya jumamosi ile aliniita kwake mida ya saa tisa hivi kwavile sio mbali nilienda nilivyofika nikamkuta mwenyewe pale alinikaribisha vizuri na kupiga story vizuri na kunionyesha vitu vyake kidogo baada ya mda mfupi alianza kunishika shika mikono yangu na miguu yangu nilistuka sana na nikamwambia sitaki yeye kwa vile alikua ni mtu mzima na anajua anachokifanya aliweza kunilainisha akaanza kunitomasa maziwa yangu na mimi nikaanza kusikia hamu sana iliikua ndo mara ya kwanza kufanyiwa vile hivyo nikajikuta namruhusu aendelee na mimi nikawa mpole sana alinitomasa sana kiasi kwamba nikawa nimeloa sana kwa chupi yangu akanivua chupi na kunichezea kisimi changu hapo nilikua naona kama nipo dunia nyingine ilikua raha sana na nilikua napiga kelele akaniambia ataingiza mboo yake lakini kabla ya kuingiza niinyonye mhhh nilisita lakini nilikua nasikia utamu nikadhani itakua tamu ilikua ni nene sana kwangu mpaka nikamuuliza hii yote itaingia huko akacheka na kuniambia usijali itaingia bila shida akanifundisha kunyonya mboo yake kwa mara ya kwanza baada ya mda kidogo nikaona ananitanua miguu yangu na kukaa vizuri akielekeza mboo yake kwangu nilijua nitaumia sana ile yote kuingia kwangu ila kwavile nilikua na maji sana ilipunguza kidogo maumivu akaanza niingia niliumia sana baada kama ya dakika kumi na tano nikaihisi ipo ndani kwangu lakini inaniumiza sana kwavile ilikua ni kubwa na kuma yangu ilikua ndogo baada ya kunisugua kwa trip kumi hivi nikaona maumivu yanapungua na raha kwa mbali hiyo siku ilipita na nilirudi nyumbani lakini maumivu yakiwepo na nikiyavumilia april 8 2016 rahazangu 23 comments mwanaidi akiwa kwenye gari yake mark 2 baloon anampigia simu kidumemwanaidi kidume leo nakuja kwako kukutembelea uko nyumbanikidume karibu mwanaidi nipo nyumbani nikutayarishie nini si bado waikumbuka njia ya kuja nyumbanimwanaidi nitayarishie tusker mbili baridi nina kiu sana njia naikumbuka nikipotea ntakupigiakidume ok poa later basihuku nyuma kidume anakimbia mbio duka la jirani kununua tusker mbili na yeye anachukua pepsi baridi kidume hanywi pombe kabisabaada ya muda mwanaidi anaingia na gari anapaki chini ya mti ili kuepuka jua kali la saa tisa alasiri anateremka anamkumbatia kidume kwa kumsalimia na kidume anagundua kuwa mwanaidi amelewa kidogokidume anamkaribisha mwanaidi ndani wanakaa kwenye sofa wanaanza kupiga story huku wakipata kinywaji na kusikiliza muziki kwa mbalimwanaidi anaanza kumdadisi kidumemwanaidi kidume yule demu wako hajambo yule anayekaa magomeni mtaa wamatombo anayefanya kazi sigarakidume hajambo tena jana nilikuwa nae ila kanisikitisha sana janamwanaidi amefanya nini tena au ametombwa nje kidume hajatombwa nje tulikuwa tumekubaliana tukatombane jana basi kila gesti tukifika anaikataa eti anadai ni chafu na sio nzuri tumehangaika wee mpaka nikachoka ikabidi nirudi nyumbani nilalemwanaidi pole jamanisasa nyege ukazitoaje au ulipiga punyetokidume sikupiga punyeto wala nini ninazo mpaka sasa tunavyoongea yaani we acha tu nina mwezi sijatomba mwanaidi anaipapasa mboo ya kidume anaikuta imedinda mishipa imetoka mpaka inataka kupasuka bila kuongea anafungua zipu ya kipensi cha kidume na kuitoa nje anaanza kuinyonya kwa fujo sana utadhania hana akili nzurikidume anaanza kupiga kelele oooooh ooooooh aaaaaah yeah suck meninyonye mwanaidiaaaaah ndio hapo hapo yeahmwanaidi anaacha kunyonya mboo anampa denda la nguvu kidume anamnyonya ulimi halafu anamuuliza nikusaidie mdogo wangu uondokane na mateso hayo ya kuzidiwa na nyege mboo yako ya moto sana oooh siwezi kuisubirikidume anamvamia na kumvua nguo kwa haraka na kuzitupa mbali nae mwanaidi anamvamia na kumvua kipensi chake na kisha boxer na kisha singleti yake wote wanabakia uchi matiti ya mwanaidi yakiwa mekunduuuu yamejaa vizuri mithili ya embe dodokidume anampa denda mwanaidi huku wamesimama wote wanapandisha mashetani kidume ananyanyua mguu mmoja wa mwanaidi na kuuweka kiunoni kwake kisha anajipinda kidogo na kuingiza mboo yake ndani ya kuma ya moto sana inayoteleza ya mwanaidi huku bado wamesimama mwanaidi analia kwa utamu ooooh aaaah oooh my dog jamani tamu jamaaaaani huku kuma yake ikiwa imelowa vyakutosha mboo ya kidume inapinda bila taaabundani nje ndani nje ndani nje mwanaidi anamwambia kidume twende kitandani jamani nimechoooka kusimama wanahamia chumbani kwa kidume kufika tu mwanaidi anajilaza chali huku kapanua miguu yake kuma yake ikiwa inaonekana wazi imelowa mno anachukua kitaulo anaifuta kidogokidume anapanda kitandani anachukua mboo yake na kuanza kuisugua kwenye kisimi cha mwanaidi mwanaidi anapiga ukelele kama kapandwa na kichaaa jamaniiiiiiiiiiiiii aaaaaaiiiiiiiiiaaaaaaaaa oooooooooooh i feeeel sooooo gooooodkidume bila kujali anaendelea kusugua mboo huku akiwa makini na ametulia sana anasugua juu chini juu chini halafu anaipeleka mboo yake kidogo ndani ya kuma kama anataka kutomba halafu anatoa mwanaidi kelele zinazidi nitombeeee kidume nitombeeeee jamani nitombe nasikia kuma yangu ya moto sana jamani ooooooooohhhh aaaaaahhhhh kidume jamaniiiiiiiiiii kidumeeeeeee jamaaaaaaaaniiiiiiiiikidume anaendelea kusugua kama hamsikii vile kelele zinazidi kidume tutachafua shuka jamanniiiiiiiii nitombe jamaniiiiii aaaaaaaahhhhooooooohhhmwanaidi anamwaga maji maji ya uke kuma inaloa inakuwa moto kidume anaingiza mboo kwa kasi anaanza kupampu kwa kasi ya ajabu anabadilisha utombaji anasugua kulia sana then kushoto sana then chini sana then anasugua juu ya ukuta wa kuma kwa muda mrefu anasugua kwenye gspot mpaka panakuwa pagumu panajaa vipele kama vya ubaridi au msisimko mwanaidi anapiga kelele sana this time kidume anamziba mdomo kelele zisisikike na majirani maan ni kelele kubwa mnowote wanakaribia kilelemwanaidi oooooohh kidume am commmmmmiiiiiingkidume yeaham cccccccccoooooooming toooooomwanaidi ooooh you are so sweeeet ooooohhmwanaidi anakuja na anamwaga anamkumbatia kidume kwa nguvu kidume anabanwa mpaka anashindwa kupumua anajitahidi kumalizia nae anakuja anamkojolea mwanaidi huku misuli ya mwili mzima ikiwa imekaza na kukakamaaa na akitoa miguno na maneno anuwai ooooooohh aaaagghhhhh oooohshahawa ni nyingi sana joto lake linamfanya mwanaidi amkumbatie kidume zaidi zinatoka zaidi mwanaidi anaikamua mboo ya kidume ikiwa ndani kwa kuma yake kwa kuiminya kwa ndani kwa misuli ya kuta za kuma yake kidume anapiga yoweyeeeeeeees yeaaah anaguna duh wote wanamaliza kidume anachomoa mboo yake imelowa sana shahawa nyingine zinamwagika kutoka kwenye kuma ya mwanaidi mithili ya matone matone mwanaidi anamkejeli kidume kweli ulikuwa hujatia muda mrefu umemwaga shahawa nyingi kweli ungekinga kikombe cha kahawa za mtaani kingejaa wote wanacheka mwisho usisahau kulike page yetu kwa story zaidi utamu wa muuza maziwa ( 5 ) april 7 2016 rahazangu 5 comments kwa mkono wake lisa alishusha kufuli hilo taratibu alipolifikisha magotini akaachana nalo na kuanza kuifakamia koni muuza maziwa alikuwa kama mwendawazimu kwa hisia pale lisa alipokuwa akinyonya koni na kuinyonya kwa ufundi wa haina yake mithili ya alamba alamba aaahhh ahh muuza maziwa alilalamika huku lisa akiliendeleza zoezi lake la kulamba koni network za muuza maziwa zilizidi kupotea huku mwili wake ukiwa na msisimko wa aina yake alizishikilia nywele za lisa huku mguu wake mmoja akiwa ameuweka sofani ouh ouuh ouuh muuza maziwa alizidi kulalama huku lisa bado akiwa ameikazania koni kwa ghafla lisa alikatiza zoezi hilo la kulamba koni na kumsukumiza muuza maziwa kwenye sofa muuza maziwa hakuelewa kwanini lisa amefanya hivyo akabaki pale sofani ameduwaa asijue nini cha kufanya alimwangalia lisa ambae hakufanya kitu wala kuongea chochote kwa sekunde kadhaa zaidi ya kumwangalia muuuza maziwa na kuhema kwa nguvu kama vile mtu aliyeshtushwa na jambo fulani muuza maziwa alitaka kuinuka pale sofani lakini lisa alimsukumiza tena palepale hakuelewa kwanini lisa anafanya hivyo alibaki katika hali ileile ya kuduwaaa na kuamua kuwa mpole ili ajue nini kinachofuata lisa akiwa katika hali ileile ya kuhema alimsogelea muuza maziwa taratibu na kumpanda juu yakena kuanza kujichoma sindano taratibu asiiii lisa alilalama pale sindano ilipoingia sawasawa taratibu kwa mwendo wa kinyonga akaanza kujipampu ili kuifanya sindano itoe dawa asiiii auh aauuh lisa alizidi kulalama huku akiendelea kusimika mzizi huku akizungusha kiuna tarattibu muuza maziwa alishika kiuno chalisa na kuzichezea shanga huku akijaribu kujiinua kumfuatiza lisa alivyokuwa akijipampu asiiii lisa alilalama pale muuza maziwa alipomgandamiza ili kuifanya sindano iingie sawia taratibu ailianza kupekecha huku bado muuza maziwa akiwa amemshikilia kiuno dakika kumi na tano zilipita huku bado wakiwa katika staili ileile muuza maziwa alikwaisha ichoka nae akaamua kuonyesha maajabu yake akamnyanyua lisa na kumgeuza kimbuzi kagoma na hapo ndipo moto ulipowaka auuh taratibu muuza ma lisa alitoa ukulele huo huku muuza maziwa akiendeleza bakora zake kwa spidi zote muuza ma nakupenda muuuza lisa alizidi kulalama huku muuza maziwa akiendelea kutoa dozi nzito siachi kitu leo patakuwa patupu aliwaza muuza maziwa huku akizidi kuichochea dozi yake na kumfanya lisa apoteze network kabisa asiii aiiii lisa alizidi kutoa ukulele wa mahaba huku akiwa hoi kweli kweli muuza maziwa alikuwa anampatia dozi ya uhakika mpaka kumfanya aheme nusunusu ash ouh asiiii lisa alizidi kulalama hoi hoi kwa mikuno hiyo ya uhakika toka kwa muuza maziwa ilikuwa ni dozi ya uhakika na ya aina yake lisa hakuwahi kuipata mikuno kama hiyo kabla hali iliyomfanya azidi kuchachawa na kubwata kama vile mwendawazimu geuka hivi muuza maziwa aliongea na lisa bila kusita alifanya kama alivyoelekezwa kasha muuza maziwa alimsogelea na kuanza vitu vyake staili ya sasa ilikuwa ya kifo cha mende ilikuwa sio staili mpya kwa lisa lakini kwa jinsi muuza maziwa alivyoipatia ilikuwa kama vile mpya machoni pake asiii auuh asiii muuu lisa aliongea huku akishindwa hata kumalizia kauli yake kwa jinsi alivyonogewa na uroda muda wake wa kuzitikisa nyavu ulifika lisa alimkumbatia muuza maziwa kwa nguvu huku miguu yake akiwa amembana kiuno muuza maziwa kwa nguvu nakupenda nakupenda muuuza maziwa nakupeaahh lisa aliongea maneno hayo mfululizo huku bado akiwa amemkumbatia muuuza maziwa kwa nguvu zake zote huku mwili wake wote ukisisimka nakupenda muuza maziwa nakupenda sana alizidi kuongea muuza maziwa hakujibu kitu zaidi ya kuendeleza makamuzi yake tu kwa upande wake nae mambo yalikwishaanza kunukia kata kiuno muuza maziwa aliongea lisa bila kuchelewa alianza kukata kiuno hapo ndipo muuza maziwa nae alianza kulalama kama mwenda wazimu hapo hapo safi sana endelea ahh endele muuza maziwa alijikuta anashindwa hata kumalizia kauli yake sababu ya msisimko wa aina yake aliokuwa akiupata lisa nae alizidi kuyakata mauno na kumfanya muuza maziwa azidi kupagawa kabisa yeahbaibe yes ilove you muuza maziwa alijikuta anaongea kingereza chake cha kuokoteza huku macho yakiwa yamemtoka kwa msisimko mpira ulishaanza kuingia gorini kilichobaki kwake ilikuwa ni kushangilia tu like page yetu ya faceaidi january 2 2016 rahazangu 8 comments december 31 2015 rahazangu 21 comments stori tamu utamu wa kuma na mboo utamu wa muuza maziwa (sehemu ya 1) september 6 2015 rahazangu 36 comments mwanzo toka alipotoka kijijini na kuingia katika jiji la dar karani alikuwa akifanya kazi ya kuuza maziwa katika mitaa maziwa yakawa maziwa kwani badala ya kuwauzia maziwa wake za watu na kuondoka zake karani akawa anautumia mwanya wa wanaume zao kukurupuka asubuhi asubuhi kuharakia vibarua vyao na kuwaacha wake zao vitandani wakiwa na mshawasha wa mapenzi kuwashawishi wanawake hao ambao walijikuta hawatoki kwenye kumi na nane zake alikuwa akiwakaza wanawake hao mpaka wengine walikuwa wanasahau kabisa ladha walizozipata kwa waume zao huku wengine wakidiriki kumfuata hadi katika zizi la ngombe akiwa anakamua maziwa wakidai wanataka maziwa haraka na bila kufanya ajizi muuza maziwa aliwakazia humo humo mambo yalimbadilikia muuza maziwa pale mke wa bosi wake alipomtaka kimapenzi japo awali alisita lakini akajikuta anamkaza nae pia na ni hapo ndipo aliposhuudia vioja na vibweka ambavyo hakuwahi kukutana navyo katika maisha yake yote ya kufanya maopenzi mwanamke huyu aliyekuwa mbabe na mwenye kutumia mabavu katika kufanya mapenzi kumbe alikuwa ni mwendawazimu aliyekuwa anatumia dozi ili kutuliza kichaa chake na pale muuza maziwa alipomgonganisha mwanamke huyo na wanawake zake ndipo kichaa cha mwanamke huyo kilipanda na kumuanzishia muuza maziwa songombingo ambalo lilimfanya muuza maziwa aione nyumba ya bosi wake chungu na kutimua mbio mtaani muuza maziwa alitoka nje ya nyumba ya bosi wake huku akitimua mbio alikuwa haamini kabisa kama kweli amesalimika mikononi mwa mke wa bisi wake kichaa alichokipandisha leo kilikuwa mwisho wa matatizo hata iweje muuza maziwa hakuwa tayari kurudi ndani ya nyumba hiyo tena kwake hayakuwa yale makazi yaliyokuwa yakimvutia tena bali aliiona nyumba hiyo kama jehanamu hakuwa na sehemun yoyote ya kwenda zaidi uya kwa rafiki yake kipenzi aitwaye mwandambo rafiki yake huyu naye pia alikuwa akiuza maziwa kwa kuzunguka kwenye majumba ya watu kama karani siku za nyuma lakini siku hizi aliacha baada ya bosi wake kupata tenda ya kupeleka mnaziwa katika mahoteli hivyo mwandambo kazi yake ilikuwa kuwahudumia ngombe tu ah karani mwanadambo aliongea mara baada ya kumuon a karani akiwasili katika zizi lake alipokuwa akiwa katia katia majani ngombe wake mwandambo vipi ndugu yangu mbona huko hivyo aliongea mwandambo baada ya kumuona karani akiwa katika hali isiyokuwa ya kawaida nimekinukisha huko umefumaniwa na mke wa mtu nini yani bora hata ningefumaniwa ni msala gani huo basi mwandambo aliuliza karani bila kusita alimsimulia kila kitu duh pole ndugu yangu ahsante nimekuja unipe hifadhi kidogo wakati natafuta mishe ya kufanya usiwe na hofu wewe ni mshikaji wangu wa nguvu uzuri bosi wangu hana maneno kabisa ila tafadhari usitie tamaa kwa mke wa bosi wangu ukasababisha kiibarua changu kiote nyasi bure aliongea mwandambo kisha muuza mnaziwa alicheka mwandambo alikuwa akimaanisha aliposema hivyo vurugu za muuuza maziwa alizijua vizuri toka kipindi kile walipokuwa wakiuza wote maziwa mtaani mara nyingi alimshuudia muuza maziwa akiingia kwenye nyumba za watu na kufanya mapenzi na wake za watu huku yeye akibaki nje kumlindia maziwa na kucheki usalama vipi unafikiria kufanya kazi gani sasa karani kwa kweli sijui ndugu yangu yoyote ile nitakayoipata twende tu si unajua mimi kiraka haya bwana mimi niko pamoja na wewe rafiki yangu aliongea mwandambo tayari alikuwa amemaliza kukata kata nyasi walitoka na kwenda chumbani kwa mwandambo hakukuwa na kiti hivyo waliketi kitandani mwandambo alitoka na kwenda kwenye nyumba ya bosi wake akachukua chai ya maziwa na vitafunio akaviweka chini kisha wote wakaketi chini na kuanza kupata kifungua kinywa baada ya hapo mwandambo aliendelea kushughulika na ngombe wake na karani alitoka kwenda mitaani kusaka kazi hakutaka hata siku moja impite akiwa hana uhakika wa kazi kwani aliyajua vema maisha ya jiji la dar usipokuwa na cha kufanya alisota kweli kweli siku hiyo kila alipoingia aliambiwa kazi hakuna kijasho kilikuwa kikimtoka na jua kali lililokuwa likiwaka ndio lilizidi kumyongonyesha alitembea kinyonge akiwa ajui hili wala lile muuza maziwa muuza maziwa karani alisikia sauti hiyo iliyomshtua katika wimbi zito la mawazo alilokuwa nalo alipogeuka hakuona mtu bali gari ndogo ya kutembelea lililokuwa likikatiza kwenye barabara hiyo kioo cha gari hiyo kiliposhushwa ndipo alipokutana ana kwa ana na sura ya lisa yule mke wa jerry ambaye alitaka kumponza apigwe na risasi siku aliyomficha kwenye kabati la chumba cha wageni baada ya mtu kubisha hodi walipokuwa wakifanya mapenzi sebuleni ni kwa bahati tu muuza maziwa aliponea kifo katika nyumba hiyo mara baada ya kutokea kama muujiza msichana aliyekuwa ndani ya chumba hicho na kupiga kelele za mwizi kumbe alikuwa ni msichana wa shuleaitwaye penina aliyekuwa mpenzi wake kipindi anafanya kazi ya kuchunga ngombe huko suji mkoani kilimanjaro kwa sababu karani alikuwa anafanya mapenzi vizuri na penina ndio maana penina akaamua kumtetea kwa kumdanganya kaka yake kwamba alipiga kelele kwa sababu alikuwa akiota kaka yake akamuamini na hiyo ndiyo ilikuwa ponea ponea ya karani jamani muuuza maziwa siamini kama ni wewe lisa alioongea mara baada ya kupaki gari lake kando ya bara bara na kushuka muuza maziwa hakujibu kitu alibaki ameduwaa kumuangalia kusema kweli aliapia hatokanyaga katika nyumba ya jerry tena wala kumgusa mke wake alijua kama akithubutu kumsogelea mke wake na ikatokea amefumania kwa mara nyingine tena basi bastola yake ataitumia kwa haki kwa nini ulipotea jamani muuza maziwa hata bili yako hukuchukua yani kila nikiulizia naambiwa hata mtaani kwetu uliacha kupita kwa nini lakini aliongea lisa kwa sauti yake laini ya kulalamika karani alimuangalia huku akiwa na wasi wasi kwamba jerry anaweza kutokea hapo na kumpiga risasi twende basi angalau hotelini tukaongee vizuri au unasemaje muuza maziwa eh aliongea lisa kwa sauti yake nyororo iliyokuwa na kila aina ya ushawishi karani alitaka kukataa lakini alishindwa hata yeye mwenye alikuwa amechoka siku hiyo na alihitaji kukaa sehemu kupumzika tena sehemu yenye upepo mwanana wa kiyoyozi na sio kule chumbani kwa mwandambo ambapo ataenda kulala huku jasho zikimtoka kwa joto lililopo kwenye kijichumba hicho kilichokuwa kifupi huku madirisha yake yakiwa mafupi kama kibanda cha kuku unasemaje muuza maziwa niambie basi tafadhari usiseme hapana lisa alizidi kumbermbeleza muuza maziwa alikubali sawa nimefurahi sana muuza maziwa twende kwenye gari basi aliongea kwa furasha na kwenda kwenye gari muuza maziwa alimfuata lisa alimfungulia muuza maziwa mlango muuza maziwa akaingia na kisha yeye akazunguka upande wa dereva akaingia na kuanza kuliendesha gari hilo muuza maziwa alipokuwa ndani ya mkoko huo alishusha pumizi mara baada ya kupulizwa na ubalidi wa ac iliyokuwemo ndani ya gari hilo walielekea moja kwa moja mpaka kwenye hoteli ya landmark iliyopo ubungo lisa alikwenda mapokezi na kufanya malipo kisha wakaingia chumbani lisa hakutaka kumkawiza muuza maziwa walipoingia ndani ya chumba hicho tu akamkumbatia na kuanza kumpa mabusu moto moto uchovu wote aliokuwa nao muuza maziwa ulimuisha midomo ya lisa jinsi ilivyokuwa mitamu kuinyonya ilimfanya muuza maziwa ainyonye kweli kweli mikono yake ilianza kuyapapasa maungo ya lisa huku akiendelea kunyonyana nae denda auuuh assssi lisa alilalama pale muuza maziwa alipovichomeka vidole vyake kwenye ndogo na kuvisukuma taratibu huku mkono wake mwingine akiwa anayaminya minya makalio yakeitaendelea toa comment na maoni yako ili story hii tamu iendelee july 11 2015 rahazangu 1035 comments zuma on jinsi ya kufira / kufirwa mkun toni on sekeseke la frank 1 toni on utamu wa mke wa boss
2018-11-17T10:49:10
https://rahazangu.wordpress.com/category/natafuta-kuma/
zombie michezo kwa ajili ya mbili online zombies kwa mbili 2 zombies katika chumba vita kwa ajili ya mji zombie double jeshi la dead kwa mbili zombie crypt katika chumba riddick kubwa na ndogo ghasia ya riddick wapiganaji na wapiga mishale kuanzia kwa kucheza michezo bure online zombie kwa mbili unaweza kumpa nafasi ya wakazi wa jiji la wokovu kuharibu waasi wafu risasi na kupiga vichwa vyao kwa upanga michezo kwa ajili ya mbili zombie dead kuja hebu riddick polepole si kuwadanganya wewe hii ni mbinu diversionary na gari mwathirika wa kona secluded na haraka kukabiliana nayo kama moja anatembea chini ya mitaani waliokufa na karibu na kadhaa lazima kukanyagwa na riddick bloodthirsty zaidi na mengineyo na unahitaji wote ujasiri na nguvu ya kukabiliana nao kufungua mchezo kwa riddick mbili naam wakati moja ijayo ambayo itakuwa kusaidia kuzuia uvamizi wa waasi maovu kuendesha gari shujaa wa mchezo hung na mabomu na bunduki kuharibu adui ukatili bado angalau moja kuzurura maiti tishio la maambukizi habari bado ni hai kwa sababu kuuma mtu hai yeye anarudi yake katika aina yake mwenyewe kukabiliana na ujumbe na haja ya kucheza dhidi ya zombie kwa ajili ya mbili mate hii ni mwingine jozi ya macho na mikono vigogo wachache na msaada wa maadili watu wawili pointi kurusha mbili ambayo inaweza kusambazwa katika wilaya kuzuia mitaani kama sneak up nyuma unaweza taarifa hii katika joto la vita lakini kuwa na uhakika wa kusaidia nje rafiki mkuu snesya mtu aliyekufa pamoja kasi na rahisi kuwateka nafasi wakati showering adui kwa risasi na kutupa mabomu wakati huo huo moja reloads bunduki wa pili kufanya nyuma dhidi ya hatua ya adui jeshi pointi waliotajwa zaidi ya kutosha kuthibitisha embodiment preferred kwa ajili ya michezo miwili dhidi ya zombies hata hivyo kama katika wakati huu ilitokea kwamba mchezo si kushiriki na mtu yeyote kisha kuweka katika mazingira checkmark ambao wana nia ya kuchukua hatari peke yake kufanya haiwezekani zaidi tofauti arsenal wako kubwa zaidi nafasi ya kuishi sisi alichukua huduma hiyo na kuchagua kutoa taka • rifles • crossbows • bazooka • bunduki • mapanga lazima niseme kwamba chuma baridi ni moyo pia katika ukusanyaji yao binafsi kama kukimbia nje ya risasi na mabomu makali chuma kidogo tu mkweli mwishoni mwa vita lakini huwezi kujisikia hivyo mpaka vita ni kwenda usisahau update silaha katika duka ni muhimu kufanya yote bora kwa sababu kazi ni aliongeza katika nafasi ya riddick kuanguka kuja bidhaa mpya svezheobraschennye na wao pia wana njaa kuacha nyuma bunduki na kuchukua bunduki mashine mambo kwenda pamoja naye furaha zaidi chaguzi zombie michezo michezo kwa ajili ya mbili riddick risasi awali kuendeleza baadhi backstory kwamba kuelewa jinsi hii ilitokea apocalypse mara nyingi lawama wanasayansi wao daima kuja majaribio ilivyopangwa ajali isiyotarajiwa wanataka kuona athari za madawa ya kulevya juu ya binadamu na wao basi virusi kuchukua kutembea au magaidi ikiendelea na baada kuibiwa kituo cha utafiti mauti bakuli kuigawanya katika nafasi ya umma kinga katika bakteria watu kufa lakini hivi karibuni kuongezeka na kuhisi chochote ila wote mwingi na njaa riddick akageuka na wanyama amefafanua kazi yako mpya kuharibu nnelegged wanyama wanaokula wenzao michezo kwa ajili ya shooters zombie mbili pia kutumia hadithi ya michezo mingine na utaona jinsi mtema kutoka bears majirani alikwenda na rafiki juu ya kuwinda zombie na shotgun kuwaambukiza ukimwi na mipira hapo awali hawakuwa kuona hakuna mtu wakati wote na sasa giza zao lakini huwezi kuwa na hofu wao kula amanita kati zombie pia wanaweza kupambana umegawanyika katika makundi wao mashambulizi aina yao wenyewe ghouls nyingine hata tolewa na kujengwa michezo archery mishale hawana wao kutolewa na icicles na tag si katika lengo na ndege kugonga wao kupata upande wa ziada miongoni mwa haya wanariadha zilionekana hata watoto
2019-12-07T20:33:05
http://sw.itsmygame.org/zombies-for-two_tag.html
swahilivilla jk azindua taasisi ya kusaidia jamii duniani jk azindua taasisi ya kusaidia jamii duniani rais mstaafu dk jakaya kikwete amezindua taasisi yake ya kusaidia jamii nakusema ameamua kuanzisha taaisi hiyo ili kuwa na chombo kitakachomsaidia kuendeleza maono yake ya kutimiza ndoto zake katika kuendelea kusaidia jamii rais mstaafu wa awamu ya nne jakaya kikwete (kulia) akizungumza alipokuwa akizindua rasmi bodi ya wadhamini ya taasisi ya jakaya mrisho kikwete foundation (jmkf) ikiwa ni sehemu pia ya uzinduzi wa taasisi hiyo kwenye hotel ya hyatt kempinsk the kilimanjaro dar es salaam jana kikwete ni mwenyekiti wa taasisi hiyo labels jk azindua taasisi ya kusaidia jamii duniani
2017-12-15T10:14:37
http://swahilivilla.blogspot.com/2017/03/jk-azindua-taasisi-ya-kusaidia-jamii.html
lukuvi akabidhi bati 2000 na power tila kwa madiwani wake wote jimbo la ismani | h@ki ngowi katibu wa mbunge jimbo la isimani bw thom malenga kulia akimkabidhi diwani wa mboliboli khalfan lulimi msaada wa bati kwa ajili y katibu wa mbunge jimbo la isimani bw thom malenga kulia akimkabidhi diwani wa mboliboli khalfan lulimi msaada wa bati kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa miradi ya maendeleo katani kwake msaada huo umetolewa na mbunge wiliam lukuvi kwa kata mbali mbali kwa kutoa bati 2000 zenye thamani ya tsh milioni 44 na power tila 15 kwa madiwani wote wa ccm jimboni mwake diwani wa mlolo charles nyagawa kushoto akikabidhiwa bati na katibu wa mbunge wa isimani thom malenga madiwani wakipokea bati diwani wa viti maalum idodi sophin msekwa akipokea msaada wa badi diwani wa mlenga akipokea bati diwani wa kata ya malenga makali flanzisca kalinga akiwa akijiandaa kuendesha moja kati ya power tila 15 zenye thamani ya tsh milioni 105 zilizotolewa na mbunge wa jimbo la isimani mkoani iringa wiliam lukuvi kwa ajili ya madiwani wote 15 wa ccm jimboni mwake kama miradi yao pamoja na bati 2000 zenye thamani ya tsh milioni 44 kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo jimboni humu wa tatu kushoto ni katibu wa mbunge lukuvi thom malenga ambae alikabidhi kwa niaba ya mbunge lukuvi akiwa na baadhi ya madiwani hao na matukiodaimablog mbunge wa jimbo la isimani wiliam lukuvi aametoa msaada wa bati 2000 ajili ya kukamilisha miradi ya kimaendeleo katika kata mbali mbali za jimbo hilo pamoja na kuwasaidia madiwani wote 15 wa chama cha mapinduzi (ccm) power tila vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya tsh milioni 10044 lukuvi alisema amelazimika kukabidhi msaada huo wa power tila kwa madiwani wake ili kuwawezesha kiuchumi pia kusaidia kusukuma maendeleo katika kata zao kama kuwasaidia wananchi kutumia power tila hizo kuendeshea shughuli mbali mbali za kijamii zikiwemo za kilimo kwani alisema kuwa power tila hizo amezinunua zikiwa na kamili ya vifaa vyake vyote kama jembe la kulimia pamoja na tela zake kwa ajili ya kusafirishia mazao ama kufanyia shughuli nyingine za kijamii katika akikabidhi msaada huo leo kwa niaba ya mbunge lukuvi katibu wake thom malenga alisema kuwa kuwa lengo la msaada huo ni kusukuma mbele maendeleo ya wananchi wa jimbo la isimani na kuwa msaada wa bati unakwenda katika kata zote ambazo zina miradi ya ujenzi wa shule nyumba za walimu na zahanati ambazo zilikuwa zikihitaji bati ili kumalizia ujenzi huo na kuwa bati zote ziliotolewa ni 2000 zenye thamani ya tsh milioni 44 msaada huo wa power tila umeelekezwa kwa madiwani 15 wa ccm waliopo katika jimbo hilo na kuwa kila power tila moja imegharimu kiasi cha tsh milioni 7 na kwa powertila zote zimegharimu tsh milioni 105 lengo kubwa la kutoa msaada huo ni kuwawezesha madiwani hao kuwa na vitega uchumi na kuongeza ari ya kuwatumikia wananchi wao hivyo alisema kuwa kupitia msaada huo wa bati anaamini madiwani hao wakiwa ni wenyeviti wa kamati za maendeleo ya kata kuhakikisha wanasimamia vema miradi ya ujenzi inayoendelea katika maeneo yao na kwa upande wake mbunge ameamua kutoa msaada huo wa bati kama njia ya kuwapunguzia makali wananchi wake kwa ajili ya kuchangia pesa kununua bati hizo mheshimiwa mbunge amewaunga mkono wananchi kwa kazi waliyoifanya ya kusimamisha kuta za vyumba vya madarasa na zahanati na kwa ajili ya kuwaunga mkono bati amelazimika kununua hata hivyo alisema kwa upande wa power tila hizo alisema ni mradi binafsi wa madiwani wake kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wao hivyo kazi ya diwani na kusimamia shughuli za kimaendeleo na pale wananchi wanapohitaji msaada wa power tila hizo basi mwenye mamlaka nazo ni diwani mwenyewe na sio mradi wa kata wala kijiji makamu mwenyekiti wa halmashauri ya iringa na diwani wa kata ya mboliboli khlfani lulimi akishukuru kwa niaba ya madiwani wenzake alisema kuwa msaada huo ni mkubwa kwao na zaidi wanampongeza mbunge wao kwa kuthamini kazi inayofanywa na madiwani na kuwa watahakikisha power tila hizo zinaleta chachu ya maendeleo katika maeneo yao wakati diwani wa kata ya malenga makali flanzisca kalinga na diwani wa viti maalum tarafa ya idodi sophin msekwa pamoja na kupongeza msaada huo walisema wanategemea kutumia power tila hizo kwa ajili ya kuwasaidia wanawake na watoto hasa ukizingatia kuwa kumwezesha mwanamke ni kuisaidia jamii nzima h@ki ngowi lukuvi akabidhi bati 2000 na power tila kwa madiwani wake wote jimbo la ismani https//4bpblogspotcom/4usts6qzge/v_otkb3dtxi/aaaaaaacnjq/jdock8augiw66q69vw553yltvc8eudjwclcb/s640/dsc_0137jpg https//4bpblogspotcom/4usts6qzge/v_otkb3dtxi/aaaaaaacnjq/jdock8augiw66q69vw553yltvc8eudjwclcb/s72c/dsc_0137jpg http//wwwhakingowicom/2016/10/lukuviakabidhibati2000napowertilahtml
2017-06-25T15:35:13
http://www.hakingowi.com/2016/10/lukuvi-akabidhi-bati-2000-na-power-tila.html
hambebeki viumbe hasidi nyie tena wewe ni mmojawapo 'the finest ' mi simo bana niliuliza tuuu mtalingolo lakini kazi ya un ni mkataba wa miaka miwili so mume akiacha kibarua chake aondoke na mkewe then mkataba ukija kuisha itakuwaje wanarudi kwenye msoto wa kutafuta kazi tena hapa bongo hapo ndo palipo na shida tatizo lingine mwanamke akiongezewa tana miaka inamaana jamaa aendelee tu kukaa nyumbani mkewe anafanya kazi kama anataka yeye aende tu akafanya kazi huko akimaliza hiyo miaka 2 arudi lakini siyo lazima waende wote yawezekana pia mume anachannel zake hivyo kumkurupusha aziiache kwa miaka miwili anaona ni ngumu hivyo mke naye anahitaji kuheshimu maamuzi yake binti77 kazi ni bora zaidisimshauri kuacha kaziwengi imewaghalimu ina maana kazi ni bora zaidi ya ndoa yao kwa hiyo kwa huyo mwanaume kazi yake siyo bora zaidi ya mwanamke ndo bora au kwa vile anafanya serikalini huwezi juwa ni kiasi gani kazi ya mwanaume ilivyo muhimu zaidi kwake pia na pia inategemea na maelewano yaliyokuwepo mwanzo kati ya mume na mke hivyo siye tuliyoko inje tusitowe maamzi ya kumlaumu mwanaume kutofuatana na mkewe kama hapo awali mawasiliano/maelewano yalikuwa na tatizo tusitegemee mwanaume kwenda kukaa ndani anahudumiwa hilo alitatokea maana ataona kuwa uanaume wake umevuliwa na sasa anahudumiwa na mke na kusomeshwa juu (hana sauti tena) dena amsi nailyne nakwambia ukweli kazi ndo mpango mzima mume mpango wa kando ha ha ha ha ha mara nyingi mtu aliye na mtafaruku kwenye mahusiano yake atatoa maamzi kutokana na mazingira aliyomo kama ungekuwa na furaha na upendo katika ndoa/mahusiano yako usingetoa huo ushauri mtu aliye na matatizo ya ndoa atakwambia ndoa ni mbaya wakati yule aliye na furaha na upendo katika ndoa yake atakwambia kwa nini alichelewa kuingia ndani ya ndoamwenye kuchukuwa ushauri pima ushauri wako unatoka kwa mtu wa namna gani maana japo hatujuani lakini unaweza kujuwa watu waliyo na mshikemshike kwenye mahusano yao kwa kusoma ndani ya mistari oak dena amsi nailyne nakwambia ukweli kazi ndo mpango mzima mume mpango wa kando ha ha ha ha ha hapo kwenye blue umesema ukweli naona watu wanasema kazi zao ni bora kuliko ndoa zao hiyo kazi utaifanya vema kama una mtafaruku kwenye ndoa yako hivi niache ajira yangu parmanent serikalini kwa mkataba wa miaka 2 ambao bado hata maingira siyajui kweli nikawe kula kulala na kuja kutafuta tena ajira bongo after 2 years kweli huyo mume ana busara sana tena sana umenena vyema kabisa ndugu 413 13 35 na wanaume wenyewe wa tz walivyo haba na haswa marrying menmmmmmh kuna watu wakisikia mama ameondoka itabidi jamaa aende kwa kakobeparoko au kwa sheikh akaombewe la sivyo usalama wake uko mashakani by 100 nina mtu wangu eti kadada ka chuo kakamwambia naomba tuwe sote for this period wala siji kulala kwako lakini jamaa ali sepa kuhamia kwa ka dada kila mtu alishangaa sasa kanauliza kwani mimi na yeye tuna tofauti gani na sijui jamaa aliahidi nini ameshindwa kuchomoka mwambie dada aende bila pressure ya mume wanaume watapatikana jao kwa shida lakini akiiachia shule kupatikana kwake ni kazi gossip[ quote=saram2495877]mwaambie aende akakae mwenyewe kiasi akirudi kama wamekutana jana yake mahaba motomoto[/quote] <b>dena amsi</b> nailyne nakwambia ukweli <font color=#ff0000>kazi ndo mpango mzima mume mpango wa kando ha ha ha ha ha<br /> </font><font color=#000000>mara nyingi mtu aliye na mtafaruku kwenye mahusiano yake atatoa maamzi kutokana na mazingira aliyomo kama ungekuwa na furaha na upendo katika ndoa/mahusiano yako usingetoa huo ushauri mtu aliye na matatizo ya ndoa atakwambia ndoa ni mbaya wakati yule aliye na furaha na upendo katika ndoa yake atakwambia kwa nini alichelewa kuingia ndani ya ndoamwenye kuchukuwa ushauri pima ushauri wako unatoka kwa mtu wa namna gani maana japo hatujuani lakini unaweza kujuwa watu waliyo na mshikemshike kwenye mahusano yao kwa kusoma ndani ya mistari</font> narudia nakusisitiza kuwa kazi ndo mpango mzima seriously da ila si unajua kuwa hawa jamaa ni tamu na chungu at the same time mkuu ukisema ndoa ni ya watu 2 ambao ni independent i beg to differ coz ikiwa kila mtu anafanya lake katika ndoa then meaning ya ndoa haipo tena binafsi naamini ukikubali maisha ya ndoa unaweka kando umimina usisi unachukua nafasi n so to speak kila jambo unaloamua kufanya ni lazima uangalia litamuaffect vipi mwenzio sio tu kuamua bz wewe umeamua theoretically uko sahihi ila practically (especially baada ya kumalizana na hang over ya uchumba) hauko sahihi muulize da labda atakueleza ninachomaanisha
2018-12-13T20:12:36
https://www.jamiiforums.com/threads/kazi-au-mume-ushauri.172753/page-4
posted on october 10th 2018 katibu mkuu wa wizara ya habariutamadunisanaa na michezo suzan mlawi amesemataifa lisilo na utamaduni ni taifa linalokufa na kutoa kizazi kisichoweza kuenzi na kuthamini mila na desturi zao</p> posted on october 5th 2018 viongozi wa wilaya wa mkoa wa arusha wametakiwa kusimamia kikamilifu zoezi la utoaji dawa za ugonjwa wa vikope (trakoma) kwenye maeneo yao kwa lengo la kuhakikisha ugonjwa huu unatokomezwa kabisa</p> ziara ya waziri kange lugola uzinduzi wa upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza
2019-10-14T18:44:25
http://arusha.go.tz/news/13
ander herrera kutembelea tanzania mwanahalisi online posted by masalu erasto january 7 2017 0 1049 views kiungo wa manchester united na hispania ander herrera anatarajiwa kutembelea nchi mbili zilizopo kwenye ukanda wa afrika ya mashariki ikiwemo tanzania bila kuweka wazi sababu zitakazomfanya kuja wala kutaja muda gani atakaotua nchini herrera ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandao wake wa twitter baada ya kuulizwa swali na moja ya mashabiki zake je ni sehemu gani ya dunia unayopenda kutembea na lakini haujawahi kuwa awali kiungo huyo alitaja nchi nne ambazo ana mpango wa kuzitembelea kwa siku za hivi karibuni lakini katika ukanda wa afrika mashariki anatamani kutembelea kenya na tanzania na nyingine zikitokea america ambazo ni colombia na argentina kenya tanzania colombia argentina i still have to travel a lot https//tco/7iqmjxlzcj tamaa ya mchezaji huyo kuja nchini huwenda ikawa imechagizwa na ziara iliyofanywa na magwiji wa klabu ya fc barcelona waliokuja nchini machi 28 2015 na kutembelea vivutio vya ndani baada ya kucheza mchezo katika uwanja wa taifa dhidi ya maveterani wa tanzania kiungo wa manchester united na hispania ander herrera anatarajiwa kutembelea nchi mbili zilizopo kwenye ukanda wa afrika ya mashariki ikiwemo tanzania bila kuweka wazi sababu zitakazomfanya kuja wala kutaja muda gani atakaotua nchini herrera ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandao wake wa twitter baada ya kuulizwa swali na moja ya mashabiki zake je ni sehemu gani ya dunia unayopenda kutembea na lakini haujawahi kuwa awali kiungo huyo alitaja nchi nne ambazo ana mpango wa kuzitembelea kwa siku za hivi karibuni lakini katika ukanda wa afrika mashariki anatamani kutembelea kenya na tanzania na nyingine zikitokea america ambazo ni colombia na argentina https//twittercom/anderherrera/status/817456499417055232 tamaa&hellip previous serikali yamsulubu mbowe next zbar mikononi mwa lowassa maalim seif
2017-09-24T06:56:23
http://mwanahalisionline.com/ander-herrera-kutembelea-tanzania/
shinigiwa satellite chen ai fukyou iinkai koushiki sanka sono ni otakusync directory home album shinigiwa satellite chen ai fukyou iinkai koushiki sanka sono ni album rts11 shinigiwa satellite title 橙愛布教委員会公式賛歌 其ノ弐 rank #24 on shinigiwa satellite tag またたび・だんしん・ぱーてぃ・ないと原曲 ティアオイエツォン (withered leaf)vocal めらみぽっぷ 憑神ホウンテッド原曲 遠野幻想物語vocal めらみぽっぷ mega388mb 320kbps vk388mb 320kbps
2019-12-14T10:05:34
https://otakusync.thisistap.com/album/shinigiwa-satellite-chen-ai-fukyou-iinkai-koushiki-sanka-sono-ni/
imetumwa august 29th 2018 na nebart msokwa nipashe mbunge wa jimbo la mbarali mkoani mbeya haroon pirmohamed ametangaza kuwalipia wakulima wadogo wa wilaya hiyo zaidi ya shilingi milioni 800 wanazodaiwa kwa ajili ya mko imetumwa july 28th 2018 makamu wa rais samia suluhu awataka viongozi wa mkoa wa mbeya kuendana na kasi serikali ya awamu ya tano ili kufikia malengo yake ya kufikia uchumi wa kati na kwamba viongozi ndio wenye uwezo wa kuw imetumwa july 25th 2018 makamu wa rais jamhuri ya muungano ya tanzania mhe mama samia suluhu ameanza ziara ya siku 5 mkoani mbeya ambapo atatembelea wilaya zote 5 za mkoa wa mbeya lengo likiwa ziara ni kusikiliza na kuona ji
2020-08-08T23:03:42
http://www.mbeya.go.tz/index.php/news/22
kabudi gavana wakaliwa kooni jamiiforums kabisa mkuu wameshakuwa wajanja wa kutuzuga na lugha zao tamu tamu huku wakikwepa uwajibikaji wao kwa miaka chungu nzima sasa hizi korosho hadi leo hii hazijauzwa nani atawajibika koroshow mbaazi makinikia udart sgr epz na na na kama si homa kuna kuumwa kichwa mungu atusaidie cheki jinsi dili lilipoanzia likaunganishwa likatengenezwa na kusimuliwa 'live /mubashara ' ktk video clip palamagamba ni mtu wa kutengeneza ma deal / madili rahisi sana kuwatapeli kina sultan 'mangungo' ukija kufanya deal kodisha private jet shuhudia zoezi zima la utiaji saini na 'siasa' nyingi ktk video hapo chini mfanyabishara atua na ndege binafsi kununua tani 100000 za korosho bodi ya nafaka na mazao imetia saini na kampuni ya indo power solution ya kwa ajili ya ununuzi wa korosho tani laki moja ambapo viongozi mbalimbali wameshuhudia mkataba huo akiwemo waziri wa sheria na katiba prof palamagamba kabudi waziri wa viwanda na biashara joseph kakunda na naibu waziri wa kilimo innocent bashungwa mkoani arusha maendeleo watakuwa nayo hao wahuni wachache na familia zao kwa kuendelea kugawana keki ya taifa miongoni mwao na kuwasahau mamilioni ya watanzania wanaowaita wanyonge wako madarakani miaka 58 nchi imejaaliwa utajiri mkubwa sana sasa iweje karibu miaka 60 bado kuna wanyonge nchini nani anauyesababisha unyonge huo akina naliliii 65+ eti mpaka leo ni viongozi wapo kujineemesha na familia zao kuna wakati moyo unaumaaa kuyaona haya a lakini baada najiambia kila mtu atalipwa ujira wake siku atakapoiacha dunia hii na mambo yake kama jehanamu ipo nawaombea moto wa milele uwafunike ( biblia inasema mwombee adui yako hahahhh naomba kwa mtindo huu) akiwasilisha bungeni jijini dodoma jana hotuba kuhusu makadirio ya wizara ya viwanda na biashara kwa mwaka ujao wa fedha cecil mwambe kwa niaba ya msemaji mkuu wa kambi hiyo anthony komu alisema uamuzi huo umeisababishia serikali hasara ya dola za marekani milioni 500 (sh trilioni 11) waziri kivuli huyo alilieleza bunge kuwa juni mwaka jana serikali ilizindua awamu ya pili ya mpango wa kuendeleza sekta ya kilimo ambao unatekelezwa kwa miaka 10 ambao malengo yake ni pamoja na kuongeza tija katika uzalishaji na kufanya kilimo kiwe cha kibiashara hata hivyo wakati serikali ikifanya hivyo mwambe aliliambia bunge kuwa mapema mwaka huu serikali kupitia bodi ya nafaka mchanganyiko (cpb) iliingia makubaliano na kampuni hiyo ya kenya kwa ajili ya ununuzi wa korosho tani 100000 kwa bei ya dola za marekani milioni 1802 (sh bilioni 418) alisema hatua hiyo ilichukuliwa baada ya mipango mikakati na maelekezo ya serikali kuhusu korosho kushindwa kutekelezeka na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima wa zao hilo wanalolitegemea kama zao la biashara hata hivyo miezi minne baadaye serikali imevunja mkataba na kampuni hiyo kwa kile kilichoelezwa kuwa kampuni hiyo kushindwa kutekeleza mkataba huo alisema mwambe alisema mkataba huo ambao serikali iliingia ulitiwa saini mbele ya waziri wa katiba na sheria (kipindi hicho prof palamagamba kabudi) naibu waziri wa kilimo dk innocent bashungwa na waziri wa viwanda na biashara joseph kakunda tukio la kutiwa saini kwa mkataba huo jijini arusha januari 30 pia lilishuhudiwa na gavana wa benki kuu (bot) prof florens luoga naibu mwanasheria mkuu wa serikali balozi wa kenya nchini dan kazungu na makatibu wakuu wa wizara zinazohusika lakini tunaamini pia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina jukumu katika mikataba hii ambayo taifa linaingia taarifa za kwamba kampuni hii imeshindwa kutekeleza vifungu vya kimkataba inatia ukakasi kwa kuwa lilikuwa wajibu wa serikali kwa kutumia vyombo vyake kufanya uchunguzi wa kampuni hiyo haiingii akilini kwamba vyombo vyote walishindwa kujua uwezo wa kampuni husika ni kwa bahati mbaya haya yanatokea na mawaziri waliohusika wako ofisini utadhani hakuna kilichotokea pamoja na udhaifu huo matamko na maelekezo ya serikali kuhusu biashara ya zao la korosho yamesababisha hasara kubwa kwa wakulima na taifa kwa sababu ambazo zingeweza kuepukwa kutokana na sakata hili la korosho kambi rasmi ya upinzani bungeni inawataka wahusika wote wajitafakari kama wanatosha kuendelea kushika nyadhifa walizo nazo ama wanapaswa kupisha ofisi hizo za umma kuongozwa na watu wengine kwa kuwa uamuzi wa ccm umelisababishia taifa hasara ya sh trilioni 118 kambi rasmi ya upinzani bungeni pia inataka kufahamu ni gharama kiasi gani ambazo serikali ilitumia kukusanya zao hili la kibiashara kutoka kwa wakulima na kuzipeleka kwenye maghala ya serikali baada ya gharama zote zilizotumiwa na serikali je serikali ilitegemea kuuza korosho kwa bei gani mwambe alihoji waziri kivuli huyo pia alisema kambi yao inaishauri serikali kuboresha kwanza sekta ya kilimo na kujielekeza katika viwanda ambavyo vitaongeza thamani katika mazao ya mifugo kama vile maziwa nyama ngozi damu kwato pembe na kusindika mazao yatokanayo na uvuvi mwambe pia aliitaka serikali kuongeza bajeti ya wizara hiyo huku akiitaka ilieleze bunge kiwango ambacho viwanda vyote vilivyopo nchini vinachangia kwenye pato la taifa mwambe pia alisema bado wafanyabiashara wanakumbana na kadhia utitiri wa kodi na manyanyaso kutoka mamlaka ya mapato (tra) alisema kwa kipindi kirefu tra imeshindwa kubuni mkakati wa makusanyo ya kodi na badala yake wanatumia vibaya mamlaka katika kutekeleza majukumu na kusababisha malalamiko ya kuwapo vitendo vya rushwa kabudi anajua kula na wakubwajamaa ukimuona anaongea utafikir anajua sanaissue ya makinikia iliishia wap alituaminisha pesa tutakayolipwa si ya kitotokabudi endelea kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa reactions mavipunda and bak mpaka jiwe aje kustuka kwamba kabudi ni kimeo basi itakuwa too late wapinzani wadandia hoja jina lako jingalao linarandana na sifa yako kuu ujinga ni kukosa uelewa au kuea na uelewa mdogo wa jambo/mambo husika susla la korosho lilipigiwa sana kelele bungeni na wapinzani serikali ikakurupuka kwa kudandia hoja ya upinzani ambao walipinga kutaifisha mfuko wa korosho uliokuwepo kisheria kwa ajili ya kuwasaidia wakulima wa korosho serikali ikatumia rasilimali nyingi zikiwemo za jwtz (magari nk) kukusanya na kusomba korosho za wakulima bila kuwalipa wanunuzi wakawekwa binafsi kando kwa madai kuwa walikuwa wanawapunja wakulima serikali ikaenda mbali zaidi ikaaminisha wananchi kuwa ingesimamia kikamilifu ubangunguaji na uuzaji nje ya nchi matokeo yake si siri tena wizi na ufisadi wa kiwango cha kutisha ikumbukwe kuwa serikali ilijitoa kufanya biashara suluhisho rahisi kwa mambo magumu reactions busarautu and bak optic nerve said napata taabu sana na wasomi wa nchi hii hususan maprofesa wengi ujianza na lip shivji na cag ni tofauti hapa wapinzani wameogopa lawama zoote anastahili jiwe mwenyewe hawa kina kabudi ni wacheza shoo tu hiyo kampuni ilihusishwa na mgombea wa nchi jirani ambaye ni kindakindaki na jiwe kabudi zero kabisa mwongo mkubwa kabudi hayupo makini anapenda sana sifa gavana wa bot alitakiwa kuikataa ile kazi kwa sababu alikua anajua amepelekwa pale kutetea maslahi ya kisiasa magavana siku zote huwa wanakua watalaam kwa maana ya uzoefu kwenye financial institution kwenye mashirika ya kimataifa anajipendekeza kwa mambo ambayo hayahitaji hata utalaam watakaowajibishwa kwenye suala la korosho ni wakulima wenyewe ili kufidia uzembe na hujuma zinazofanywa juu yao kwa maana wao ndio wanyonge mdee alishasema ni professor wa hovyo ila anaula sababu kila akipewa muda lazima atumie dk 10 na ushee kumsifia rais halafu 10 nyingine kuiponda upinzani hii ndiyo style ya kuula ukiwa serikali ni ila ukitaka mambo yako yasinyooke thubutu kuacha kutaja jina la mheshimiwa tazama bungeni wabunge wa ccm makusudi hawajikiti kuibana serikali ila wanaangaika kusifia juhudi hadi dk zao za kuchangia zinaisha suala la korosho alaumiwe rais magufuli kwa kina lake na kutumia vibaya madaraka yake waziri mkuu alikuja na pendekezo ajabu akatoa amri pale pale na kuwapa jwtz kukusanya korosho chini ya amri yake matokeo ndiyo hii ya hasara tunayoiona sasa tatizo hapa ni katiba kumpa rais madaraka makubwa mno hili suala la korosho asingejiingiza na hii yote ni kutowaamini walioko chini yake mashilla said haha haha kama namuona kabudi na mimacho yakee amekodoaaa lile propeseli linaa sana ndiyo kawaida ya hawa wahuni mkuu wakishafanya maamuzi ya kipuuzi yanayotugharimu watanzania miaka yote hukingiana vifua hujui hata kazi ya upinzani bungeni halafu unajifanya mtetezi was ccm kiukweli wewe ni mpotoshaji was ccm ccm itaingia hasara kubwa kama itawaamini watu kama wewe kilangila reactions busarautu and kilangila kati ya viongozi wa hovyo kuwahi kutokea nchini prof kabudi ni mmoja wapo uko sahihi maana amesahau yote aliyokuwa anaongea wakati anapigania katiba mpya kilangila tusipopitisha katiba mpya na sheria mpya kuhusu wahujumu na mafisadi wa mali na miradi ya umma kama walivyofanya malaysia na singapore maendeleo tutaendelea kuyasikilizia kwenye zidumu kidumu adumu maendeleo hayana chama tunaona jinsi ambavyo wenzetu wa kenya wanavyo songa mbele kwa spidi ya jet kilangila ati na wao wanashangaa nchi kuwa maskini wakijisahaulisha kwamba wao miaka 58 ndio watawala walishashindwa kuleta maendeleo wakabaki na nyimbo zisizoisha makabwela mabwanyenye wanyonge makabaila mabepari uchwara mabeberu najiuliza kila siku kwani miaka yote hiyo nchi hii ilikuwa chini ya utawala was chama gani kilangila
2019-05-25T11:10:56
https://www.jamiiforums.com/threads/kabudi-gavana-wakaliwa-kooni.1584270/page-2
hairuhusiwi kufanya adhabu ya mtu mwingine kosa linabaki kuwa la mkosaji waziri nchemba bongo5com hairuhusiwi kufanya adhabu ya mtu mwingine kosa linabaki kuwa la mkosaji waziri nchemba emmy mwaipopo june 13 2018 1235 pm waziri wa mambo ya ndani mwigulu nchemba amesema kuwa hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya adhabu ya mtu mwingine na kosa linabaki kuwa la mkosaji kauli hiyo imekuja baada ya mbunge wa viti maalum (chadema) devotha minjaameihoji serikali kuwa hivi karibuni kumezuka na tabia mbaya kwa jeshi la polisi wanapoenda kumkamata mtuhumiwa wakimkosa wanamkamata mtu mbadala akiwa mke au watoto naomba kufahamu jeshi la polisi linatoa wapi mamlaka haya ambapo wanashindwa kutumia mbinu zao za kiintelijensia kukamata mtuhumiwa badala yake wanarahisisha kuwakamata mama au mtoto na kuwatesa jeshi la polisi linafanya kazi kwa mujibu wa sheria na niseme pia hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya adhabu kwa mbadala kosa linabaki kuwa la mkosaji kwahiyo nieleke tu popote pale ambapo mtu amefanya kosa atafutwe yule yule aliyekosa na kama wengine wanaweza wakasaidia basi wasaidie kwa namna ya kuelezea jinsi wanavyoweza kufahamu sio kuchukua adhabu ya mtu mwigine aliyekosa amesema mwigulu leo juni 13 2018 bungeni jijini dodoma dc jokate wa kisarawe aeleza mambo 10 aliyoyafanya toka ateuliwe na rais magufuli (video)
2019-03-22T13:24:23
http://bongo5.com/hakuna-anayeruhusiwa-kufanya-adhabu-ya-mtu-mwingine-kosa-linabaki-kuwa-la-mkosaji-waziri-nchemba-06-2018/
1881 kumbuka mambo yangeweza kuwa mabaya zaidi kisima cha maarifa 1881 kumbuka mambo yangeweza kuwa mabaya zaidi by dr makirita amani | february 24 2020 kwa jambo lolote baya unalokutana nalo au linalotokea kwenye maisha yako kumbuka kwamba mambo yangeweza kuwa mabaya zaidi ya yalivyo sasa kwa kujikumbusha hili hutalaumu badala yake utashukuru na hilo kitakuwezesha kutoka ulipokwama sasa unaumwa hebu fikiria wale ambao wapo hoi kuliko wewe au ambao wamefariki dunia unaweza kuona kuumwa ← #tafakari ya asubuhi tatizo la kuwadanganya wengine #tafakari ya asubuhi kujua na kutawala →
2020-03-29T13:11:28
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/02/24/1881-kumbuka-mambo-yangeweza-kuwa-mabaya-zaidi/
wananchi wengi wajitokeza kupiga kura katika uchaguzi jimbo la kiembesamaki | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today makamu wa rais dkt bilal ashiriki kupiga kura uchaguzi mdogo wa uwakilishi jimbo la kiembesamaki makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akiwasili kwenye kituo chake cha kupigia kura kwa ajili ya kushiriki kupiga kura ya kumchagua mwakilishi wa jimbo la kiembesamaki katika uchaguzi mdogo uliofanyika leo mjini zanzibar kushoto ni mgombea wa jimbo hilo mahmoud thabit kombo uchaguzi huo umefanyika baada ya aliyekuwa mwakilishi wa jimbo hilo mansour yusuph himid kuvuliwa uanachama
2019-02-16T18:12:44
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/wananchi-wengi-wajitokeza-kupiga-kura-katika-uchaguzi-jimbo-la-kiembesamaki
somo nililojifunza mcdonald restaurant | jamiiforums | the home of great thinkers somo nililojifunza mcdonald restaurant discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji jul 2 2008 ukifanya kazi mcd hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimua kwa muda sasa nimekuwa nikipitia ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali ya mahesabu ya serikali ya mwaka wa 20062007 ulioisha juni 30 2007 ingawa nimekuwa nikipitia ripoti hiyo mara kadhaa lakini jana kwa namna ya pekee it hit me hatuna usimamizi wa fedha (which is understatement) siyo tu ripoti yenyewe inashtua lakini mambo yanayotajwa yanaudhi na kama una moyo mwepesi unaweza kujikuta unapata kiungulia cha ubongo hebu angalia mifano ya kile ambacho cag alikigundua katika uchunguzi wake na maneno anayotumia kuelezea jeshi la wananchi malipo bila hati za malipo (payments without payment vouchers) sh614980930 malipo yenye shaka kwa meremeta ltd = 200980370 • kitengo cha ukaguzi wa ndani hakijawahi kutoa taarifa ya hati ya ukaguzi yenye shaka masuala yaliyopelekea kutoa hati hiyo • amana na malipo ya awali ya muda mrefu ambayo hayajashughulikiwa sh6091761309 vipuri visivyotumika vyenye thamani ya sh252216000vimeendelea kuonyeshwa katika taarifa za fedha za shirika la nyumbu kwa miaka 15 iliyopita bila kufutwa kwenye vitabu • jumla ya sh220019955 zililipwa kwa kampuni ya kimataifa kwa ajili ya vifaa ambavyo hadi sasa havijapokelewa malipo ya ruzuku kwa chuo cha diplomasia yasiyotolewa maelezo sh1531278729 ng’ombe wa maziwa wenye thamani ya sh86000000walionunuliwa hawakupokelewa tume ya ukwimi tanzania matengenezo yenye thamani ya sh2023560 yalifanywa kwa mkandarasi asiyeidhinishwa • matumizi ya kiasi cha sh16030000 hayakuwa na nyaraka • taarifa za mwaka za hesabu zilizokaguliwa za vyama vya siasa zinazoonyesha matumizi ya jumla ya sh13667340694 hazikuwasilishwa kwa msajili wala balozi zetu kadhaa london – uingereza • matumizi ya sh2379251838 nje ya bajeti iliyoidhinishwa • usimamizi dhaifu wa mali za kudumu • malipo ya awali kwa ajili ya pango £ 7200 hazikurejeshwa kwa balozi paris – ufaransa • matumizi bila idhini sahihi sh1171099881 berlin – ujerumani • matumizi zaidi ya bajeti sh301016847• mafuta ya magari yasiyoingizwa vitabuni sh20532535 new york – umoja wa mataifa• kuchelewa kupeleka benki fedha zilizokusanywa sh116601861• matumizi zaidi ya idhini sh 66840160• kuripotiwa pungufu kwa matumizi sh38236905• fedha isiyorejeshwa sh25130225 • kukosekana kwa hati za malipo sh255628000 washington – marekani• malipo yaliyofanywa bila ushindani wa bei sh32966854• matumizi yasiyo na nyaraka sh85278900 • kandarasi na zabuni zilizotenganishwa ili kuidhinishwa kinyume cha sheria sh58340972• kuidhinishwa kwa kandarasi kwa kiwango kinachozidi uwezo wa afisa masuuli mdogo sh65784765 cairo – misri • malipo yasiyokuwa na nyaraka yaliyofanywa na mwambata wa jeshi sh190352770 i can't take anything nimewaambatanishia ripoti ya serikali kuu (unaweza kusoma ripoti nyingine kwenye http//wwwnaogotz na ukipitia pitia unaweza kuona vitu vingine vingi ambavyo vinaweza kukusababishia lile jinamizi la utotoni kukurudia serikalikuupdf ndio maana kuna haja ya kufanya kazi kwa kina ili kuhakikisha kuwa mafisadi wa kisiasa wanaondoka kwani najua kuwa hata hawa watendaji watakuwa makini sana pili ripoti hii ni nzuri kuliko ya mwaka jana kwani imeonyesha upotevu wa pesa ila sio nyingi kama mwaka jana japo fedha zilitolewa nyingi kwa kipindi cha mwaka huu kuna kazi kubwa sana ya kufanya siku za huko mbeleni kwani kunahitajika total overwhal kwenye leadership ya taifa hili we are in leadership crisis now hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushia hivi inakuwaje mtu anawasilisha ripoti ya malipo bila risiti tena ya mamilioni ya shilingi halafu mtu huyo kesho yake anarudi tena kazini inawezekanaje mtu ananunua kitu bila risiti na kitu hicho hakipokelewi halafu bado anaendelea na kibarua kesho yake inakuwaje mtu anaamua kumlipa mkandarasi kwa fedha za umma bila idhini halafu mtu huyo kesho yake anarudi na tai yake ofisini tukisema serikali imeubeba ufisadi kama mtoto kwenye mbeleko tutakuwa tunawazushiaclick to expand mimi nikisema waafrika ndivyo tulivyo naambiwa eti nina complex i can't take anything nimewaambatanishia ripoti ya serikali kuu (unaweza kusoma ripoti nyingine kwenye http//wwwnaogotz na ukipitia pitia unaweza kuona vitu vingine vingi ambavyo vinaweza kukusababishia lile jinamizi la utotoni kukurudiaclick to expand theory of mcdonaldization watu wanafikiri hizi zinabakia kuwa theory za kwenye vitabu hata kwenye uongozi pamoja na maisha yetu kwa ujumla yanatendeka mkuu mzee mwanakijiji nimekupata sana analysis hii imetulia mno mimi nikisema waafrika ndivyo tulivyo naambiwa eti nina complexclick to expand waafrika ndivyo tulivyo na kama watu wanabisha wamuulize mugabe wa zim kwa ufahamu wangu wa sheria za kodi unapokaguliwa na tra wakikamata manunuzi yasiyo na stakabadhi (documentary evidence) tra watakulima na assessment na kukdai kodi ambayo ni payable within 30 days if not 10 days kwa mantiki ya hapo juu hao walafi/mafisadi lazima wachukuliwe hatua kwani tax is said to be fair to all citizens lakini kwa nini watu wachache waendelee kuiba tu bila ya kuchukliwa hatua za kinidhamu utouh alishakuwa mkuu wa nbaa kwa muda mrefu hivyo kitu cha kwanza ni kuwaadhibu hao wahasibu ambao wanaendeleza huo uwizi halafu ndio wakuu wa system waadhibiwe pia jee tutafika na mpango huo wa uwizi tra wako speed kuwakamata waliipa kodi wa kawaida lakini wakuu wa idara wanatakiwa wafuatiliwe na idara yenye nguvu zaidi ya tra na nao maskini kama utoh hana nguvu za kufanya hivyo itakuwaje theory of mcdonaldization watu wanafikiri hizi zinabakia kuwa theory za kwenye vitabu hata kwenye uongozi pamoja na maisha yetu kwa ujumla yanatendeka mkuu mzee mwanakijiji nimekupata sana analysis hii imetulia mnoclick to expand hii ni kufuru uhai wa watz unachezewa wanawezaje kufuja pesa zote hizo na huku kuna wananchi wanakufa kila siku kwa njaa na magonjwa na kweli nimeshaona kama hao watu hawatachukuliwa hatua tena na sisi yanaweza kutukumba ya wenzetu kama ya hapo kwa baba moi tunaomba tuwekewe na majina ya hao walioidhinisha hiyo kufuru hapo juu tafadhali tunaomba muweke majina yaliyoidhinisha mkjj we need to acquire a new vehicle since overhaul will not help since the vehicle is beyond repair loh hiyo inaumiza kweli kweli halafu nikisema tunataka tanzania iwe na highway za njia mbilimbili waziri anasema serikali haina uwezo wa kufanya hivyo hapa sifanyi ushabiki wa kisiasa ila ninapenda kujua eti hizo taasisi zote ni za serikali inayoongozwa na chama gani kuna haja ya kufanya mageuzi ya dhati sana ili kumaliza matatizo haya watu husema ukikuta nyoka wa sumu ndani ya nyumba yako mpige kichwani kwa nguvu sana ama sivyo atakusumbua sana na anaweza kukutemea mate yakakudhuru kwenye ofisi zetu za ubalozi kuna ufisadi wa hali ya juu unaofanywa katika manunuzi ya nyumba au ofisi matengenezo ya nyumba hizo au ofisi lakini hakuna yeyote aanayejali wanaweza wakafanya matengenezo ya pound 200 wakapeleka bill ya pound 20000 yaani ni wizi wa hali ya juu ambo unasikitisha sana kweli mvunja nchi ni mwanachi mimi kinachonisumbua ni jinsi watendaji wanavyokiuka taratibu with impunity yaani ni sawa na wale ambao wanaona kuna mahali panasema stop na wao wanaendelea kana kwamba ile stop inasema ongeza mwendo ukiwauliza kwanini wanasema hawakudhani ile alama ina wahusu wao tatizo la viongozi wetu na labda watanzania kwa ujumla ni kwamba hawajawahi kufanya kazi mcdonalds watanzania wengi ambao hawapata kuishi nga'mbo hawajui kazi maana yake nini originally posted by mzee mwanakijiji ukifanya kazi mcd hasa kwenye cashier register hawaruhusu cash register yako iwe na upungufu wa zaidi ya dola mbili mwisho wa mauzo ya siku ukiwa na upungufu huo mara tatu wanakutimuaclick to expand experience yako ya mcdonalds sio tofauti na ya kwangu ambayo nilijifunza kuna kitu kinaitwa discipline accountability na responsibility katika kufanya kazi kwangu tanzania atmosphere ilikuwa laid back kidogo ila nilipofika huku hawachezi discipline inatokana na kitu unachokiamini na uko tayati kukifanya kwa mfano kufika kazini on time sio in time na kuwajibika hasa na mtu anayecheza na kazi anakuwa disciplined ipasavyo pamoja na kufukuzwa kazi kupewa onyo au kuwa trained upya discipline ni mtu kujiprogramu kuwa hata kama mtu hakuoni utafanya kila kitu sawa bila kusubiri mtu wa kusukuma au kukuuliza mbona hili ulikosea na hujalirekebisha sasa mkaguzi mkuu anaonekana kukosa vyote vitatu discipline accountability na responsibility kama kuna yote haya na yeye anaridhika kutoa report tu bila kuquestion au kuchukua hatua ambazo nafasi yake inaweza kumruhusu then i guess hata akifufuka mfu na kumletea ujumbe wa responsibility na discipline hawezi elewa sina maana ya kuundermine his capability and abilities to excute his duties but i rather find him more wanting watanzania wengi ambao hawapata kuishi nga'mbo hawajui kazi maana yake niniclick to expand kuhani umenichekesha kiasi kwamba natamani kuanzisha a macdonald si nasikia bongo na wenyewe wameanzisha hizo fast food au wanafanya tofauti tanzania style zipo bongo fast food ila hazina ufast wowote unasubiri wakati mwingine utafikiri wameufata huo msosi outskirts ila kazi iwe kumuchangamsha huyu mkaguzi wetu kwa sababu akiwa anaendelea hivi hivi ni sawa na kama anaidhinisha ufisadi
2017-07-25T12:57:41
https://www.jamiiforums.com/threads/somo-nililojifunza-mcdonald-restaurant.15130/
alikiba ft davido mpya hot clip new video funny keclipscom home / michael mwasunga / alikiba ft davido mpya alikiba ft davido mpya agizo la waziri mkuu majaliwa kwa watu wote wanaoishi hiki ni kitendawili kutoka kwa nay wa mitego millardayo gabriel afolayan new wife banke stunning photos dj mixes music top 100 chart free mp3 download or listen world information guide countries in the wo afrima 2017 le nigérian wizkid sacré meilleur artiste du shona ferguson biography age children wife television dr paul enenche just one word lyr kboing ouvir músicas artistas com a letra a&qu page alikiba ft bella alikiba family alikiba fiancee alikiba football alikiba ft rihana alikiba ft davido alikiba ft patoraking alikiba ft patoranking alikiba ft ommydimpozkajiandae alikiba ft patoranking mp3 alikiba ft patoranking katika alikiba f abdukiba single alikiba ft patoranking katika mp3 alikiba ft baraka da prince alikiba ft ommy dimpoz kajiandae alikiba ft christian bella mp3 alikiba free download mp3 music alikiba ft christian bella nagharamia audio alikiba ft sauti sol mp3 download alikiba ft nay wa mitego napenda mp3 339alikiba maumivu per day (unofficial release music video) 102nyimbo mpya ya roma simba au yanga 1114exclusive majibu ya alikiba kuhusu kolabo yake na davido 1551chidi benz jux sio msanii / wanamuua ali kiba kusudi / weusi kila kitu wao tu / nandy sio mzuri 710kutoka kuwa rais wa nchi mpaka kuwa ombaomba mtaani ijue historia yake 1625dmk nyimbo hizi za bongo zinachezwa marekani kabla ya davido 259wizkid prostrates to king sunny ade during a colabo performance at the ebonylife tv launch 337aslay natamba ( official music video ) sms 7660809 kwenda 15577 vodacom tz 5418 times pogba shocked the world 2958gigy money diamond platnumz / namueendea kwa mganga 2151alikiba live performance in muscat oman (part1) 316davido like dat (official video) 255vijitabia vya simu washa blenda 121utashangaa ukitazama nyumba mpya ya alikiba bonge la mjengo 618aslay na nandy walivyojibishana harusini /wawa gumzo ukumbini /ni kwenye harusi ya kifahari ya dstv 338mbosso tamu (official music video) skiza 8544941 to 811 1544lava lava kutoka wcb akiri kumkubali alikiba zaidi 145nyumba ya alikiba yapendeza kweli 1457mbosso aslay/ nimevumilia jifunze ku balance shobo/ waliitwa wasafi (part 1)
2019-02-21T00:52:27
http://keclips.com/ke-play/Keclips-alikiba-ft-davido-mpya-KedoA1lBBWOOY.html
mnyika anaonyesha umakini uzalendo na kutambua lilompeleka bungeni | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by naggy apr 11 2012 nathubutu kusema mh mnyika kuwa ni jembe bingwa wa kufikiri naamini wote mtakubariana nami nasema hili kutokana na uwezo wake bungeni wa kujenga hoja na kukubarika na wabunge wote bila kujari itikadi kamanda mnyika amekuwa bingwa wa kuweka marekebisho katika sheria zinazotungwa hata katika bunge la leo jioni linalojaribu kupisha sheria ya usajiri wa makampuni amekuwa akifanya hivyo katika sheria nyingi sana my take wabunge wote wakiwa serious kama mnyika hakika bunge litakuwa linapitisha sheria nzuri sana big up kamanda mnyika i salute you asante kwa kumpatia kamanda sifa stahili ziweke basi hizo nondo zake hapa ili nasi tuone na kudadavua well done mnyikakatibu wetu baada ya slaa kustaafu nafatilia mjadala wa brela bungeni sasa hivi kwa nini wabunge wa ccm wako kimya zaidi ya kusema ndiyooo maana wanaompeleka ag kwenye makosa ya muswada ni wapinzanijee wale wa ccm wanawakilisha watu gani au hawajui wako pale kwa shughuli gani safi sana mdogo wangu john mnyika nimeona jinsi alivyojenga hoja zenye mashiko my take wabunge wote wakiwa serious kama mnyika hakika bunge litakuwa linapitisha sheria nzuri sana big up kamanda mnyika i salute youclick to expand naunga mkono hoja kwa jinsi inavyoonekana wabunge wa magamba wangekuwa pekeyao hiyo sheria ingepita kwa kila mahali kuitikia ndiyooooooooooooooo bila hata kujua ni kitu gani kinapitishwa big up mnyika kwa hali hiyo hakuana kitu kupita chini ya carpet kama walivyokuwa wamezoea naona hata ag anakubaliana na mnyika mnyika ubungo hatukukosea kukuchagua big up tunalo jukumu la kuweka wasimamizi wa sheria nzuri pia siyo hawa wacheza makirikiri vinginevyo zitaishia kuandikwa vitabuni kweli kabisa namuona hapa mhmnyika amejitahidi sana kufanya marekebisho kwa maslahi ya wafanyabiashara wa tzinaonekana kapitia sheria moja baada ya nyingine na kutafakarithen akatoa mapendekezo yanayoendana na hali halisi na mazingira ya kitanzania ili sheria isiwe mzigo bali isaidie wafanya biashara kufanya kazi zao kwa tija kwa taifa nafuatilia mjadala wa wabunge aidha ni umri wake au kuwa kwake fresh kichwani bila kuathiriwa na sumu za siasa lakini bila ushabiki anaongoza mjadala na changamoto nzuri sana na zenye hoja na anonekana kuwa ndiye aliyesoma vizuri sana muswada huu yeye na mwana shria mkuu wanaelewana lugha ukilinganisha na wengine nimeipenda hongereni chadema kwa hili hamkukosea rizt umepotea njia unaelekea kuzimu safi sana mdogo wangu john mnyika nimeona jinsi alivyojenga hoja zenye mashikoclick to expand wabunge 30 wa magamba i'm waiting for the featuring between mnyika and zitto ha ha ha magamba wataumiaaaaaaaaaaaaaaaa mpigie naggy like kwanza then cheki tbc iko live utaona wabunge wa ccm wengi wababaishaji hata hoja muhimu kama hii hawaungi mkonoila na wasiwasi wengi wao hawajui kilicho wapeleka mjengoni zaidi ya maslai yao binafsipongezi kwa jembe mnyikapiga kazi huko mbele tutakupatia nchi hii uiongoze rizt umepotea njia unaelekea kuzimuclick to expand ushabiki mandazi source mtm naona hapa anavyomuweka sawa gamba werema kijana yuko fit sasa hivi yuko anamkimbiza ag na sub standard na counterfeit goods ag anachemka kweli wakuu ag na mwenyekiti mama mhagama wametumia wingi wa ccm kupitisha hiyo hoja dah naomba huyu dogo wasimpore ubunge wake ili tuendelee kufaidi nondo za huyu mnyika gamba limeanza kukuvuka natamani sheria inayopitishwa ipewe jina aka mnyika katoa mchango mkubwa sana angalieni tbc siwezi kuost hoja zake nzito mwanasheria mwenyewe kamkubari
2017-04-25T05:01:25
https://www.jamiiforums.com/threads/mnyika-anaonyesha-umakini-uzalendo-na-kutambua-lilompeleka-bungeni.249125/
sanzawa wikipedia kamusi elezo huru sanzawa ni jina la kata ya wilaya ya chemba katika mkoa wa dodoma tanzania yenye postikodi namba 41811[1] wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012 kata ilikuwa na wakazi wapatao 10613 [2] waishio humo sanzawa ipo katika tarafa ya kwamtoro ina jumla ya vitongoji vinane wakazi wake ni wasandawe wagogo na wabarabaig wakazi wa sanzawa wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara mazao ya chakula ni pamoja na mahindi uwele mtama udo mihogo nk mazao ya biashara ni alizeti ufuta na karanga wakazi wa sanzawa pia ni wafugaji wa mifugo mbalimbali hali ya hewa ya sanzawa ni nusu jangwa hivyo hukabiliwa na ukame na hali ya ukosefu wa maji kwa kipindi kirefu hivyo kwa wafugaji hutembea umbali mrefu kutafuta maji kwa ajili mifugo yao sanzawa pia ni makao makuu ya kata hivyo ina shule ya sekondari ya kata rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=sanzawa&oldid=1014336 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 8 oktoba 2017 saa 0914
2019-08-17T17:20:22
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sanzawa
rfa inasikilizwa kila mtaa kila kijiji wanafeli wapi jamiiforums rfa inasikilizwa kila mtaa kila kijiji wanafeli wapi hii redid rfa ndio redio pekee inayofika kila kijiji cha nchi hii inazidi hata tbc redio ni redio inasikilizwa sana sina takwimu sahihi ila ni redio ambayo ni miongoni mwa redio inayosikilizwa sana pengine kuliko redio yeyote nchini ni redio inayosikilizwa na kila rika kila aina ya watu waelewa wa mambo na wale wasiojua mambo mengi ukipita mtaani rfa inaunguruma je inakwama wapi kibiashara angalia redio changa zinasikika mkoa mmoja tu wa dar es salam zinajiendesha kwa faida lkn rfa tunaambiwa hata wafanyakazi hawapati mishahara yao (kutolipa wafanyakazi mishahara ni hatua ya mwisho kufilisika ndugu dialo anakwama wapi mimi nafahamu dialo anaukwasi wa kutosha tu kwanini asiajiri mtu atakayekuja kuendesha kampuni kwa faida kuna vijana wapo mtaani wamebobea kwenye kurun kampuni ambao ukiwapa nafasi lazima ndani ya miaka miwili uanze kuona matunda jifunze kwa kwa vyombo kama ipp na clouds media ambao walikubali kufuata mtiririko wa kitaalamu kuendesha kampuni hiyo sahara ukiwauzia watu wanaojua biashara ndani ya miaka mitano utaona jinsi biashara inafyofanywa ukifika pale sahara ilemela ndo utajuwa kuwa huyu hamas ana pesa sana na kawekeza vizur sana shida inakuja kuwa yeye ndo mwenye radio yeye ndo mkurungenz yeye ndo meneja na hata mishahara halipi lakin jamaa ana pesa sana sijui hata ana kwama wapi huyu mwamba wa kisukuma reactions proved misasa and victor wa happy hii ni redio kongwe inatakiwa iwe mfano kwa redio zinazochipukia lakini yeye ndio amekuwa mfano mbaya akitokea mpuuzi mmoja akanunua ile radio na aje na mikakati mizuri atarudisha hela yake mapema sana r f a siku hizi imekuwa radio ya kata ihayabuyaga huku songea haisikiki tena twaambiwa kuna kifaa kimeharibika na hawana kela ya replacement hamas ndio antony diallo maana navyojua diallo ndio kila kitu au madeni wewe bwana wambura mtani acha kudevela kiivo ariffumefanya utafiti wa aina gani kujua inaongoza kwa kuskilizwaumetumia samplingquestionaireobservation au interviewclouds fm ndo redio inayoskilizwa zaidi bongo na niya tatu kwa africa nzima ukibisha nakuja na evidence beyond doubts case sio radio issue ni pesa baba diallo anapumulia mashine ushauri auze baadhi ya hisa za sahara media rfa ipo vizuri sana ni msikilizaji sanatatizo diallo aliipendelea sana sisiemu true thathata kama sio ya kwanza ila kusikilizwa ila inasikilizwa kwa kiasi chakelabda tuseme hawana watangazaji wenye ushawishi mkubwa utakaovutia biashara maana brand ni kitu muhimu sanando maana clouds wanapata matangazo mengi makubwa maana kwenye vipindi vyao wanabrand kubwa ni kweli kabisa rfa inasikilizwa maeneo mengi japo kuna baadhi ya maeneo haisikiki nlienda songea home huko haipatkan kabisaa pili nadhan ubunifu pia hakuna pale mtantangazaji mmoja anaweza endesha vpnd hata v3 au 4 kwa siku lazima achoke tatu matangazo ya biashara ndyo hasa huwalipa wamiliki wa vyombo hivi yamepungua sana hvyo kusababisha ukata kwa wafanyakaz watangazaji wengi na bora wameikimbia hii radio kama sky walker fredwaa sam kiama na baruan muhuza na wengneo wengi6 kifup pale pana ukata wa kufa mtu watumish wengi wa zamani wanaidai hii kampun kuna sehemu(wilaya) hazishiki hata station moja ya radiomfano sikonge mjini hakuna hata radio inashika huko naomba facts broo
2019-06-15T22:30:24
https://www.jamiiforums.com/threads/r-f-a-inasikilizwa-kila-mtaa-kila-kijiji-wanafeli-wapi.1594521/
kilimanjaro kuna shida kati ya mkuu wa mkoa na wakuu wa wilayawaziri mkuu awatuma mawaziri wawili kwenda kutatua tatizo you are athome»habari360»kilimanjaro kuna shida kati ya mkuu wa mkoa na wakuu wa wilayawaziri mkuu awatuma mawaziri wawili kwenda kutatua tatizo previous articleupanuzi wa bandari gati namba moja wafikia asilimia 100 next article banc abc yawekeza kwenye maendeleo ya wananchi
2018-12-16T21:51:52
https://habarimpya.com/featured-2/bigie/kilimanjaro-kuna-shida-kati-ya-mkuu-wa-mkoa-na-wakuu-wa-wilaya-waziri-mkuu-awatuma-mawaziri-wawili-kwenda-kutatua-tatizo
sakata la rkelly la unyanyasaji mabinti kingono laibuka upya wanawake wengine wawili wajitokeza wakiwa na ushahidi bongo5com ally juma february 22 2019 924 am wanawake wengine wawili wamejitokeza na madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya mwanamuziki wa r&br kelly rochelle washington na latresa scaff walizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuwa walipewa kinywaji pamoja na madawa ya kulevya mara baada ya tamasha la mwanamuziki huyo lililofanyika baltimore miaka ya 1990 kwa mujibu wa bbc wanawake hao walisema kuwa mwanamuziki huyo aliwapeleka katika chumba cha hoteli bila ridhaa yao na kutaka kufanya nao mapenzi akizungumza na waandishi wa habari wanasema kuwa wakati huo ambao kelly aliwachukua kwenda kwenye tamasha walikuwa vijana wadogovilevile walishindwa kusema ni mwaka gani sahihi ambao walinyanyaswa kingono bali walisema ni kati ya mwaka 1995 au 1996 bi scaff mwenye umri wa miaka 40 anasema kuwa katika sherehe hiyo ya muziki walipewa madawa ya kulevya aina ya cocaine bangi na pombe na kualikwa kumsubiri mwanamuziki katika chumba cha hoteli akituma ujumbe kwa mwanamuziki huyo maarufu duniani alisema huna pa kukimbilia au kujificha umeweza kukana makosa yako maovu kwa muda mrefu katika makala ya hivi karibuni inayoitwa surviving r kelly ambayo ilikuwa inaoneshwa katika chaneli moja ya televisheni inayoitwa lifetime imeeleza namna ambavyo amefafanua madai yake dhidi ya unyanyasaji wa kingono kwa wanawake hata hivyo wakili wa kelly amesitisha makala hiyo isiendelee kutumika
2019-06-25T06:38:17
http://bongo5.com/sakata-la-r-kelly-la-unyanyasaji-mabinti-kingono-laibuka-upya-wanawake-wengine-wawili-wajitokeza-wakiwa-na-ushahidi-02-2019/
mwili wa robert mugabe kuwasili zimbabwe leo kutoka singapole kwa mazishi rswahili wengi miongoni mwa mashujaa wa taifa la zimbabwe wale ambao walishirikiana katika mapambano dhidi ya utawala wa wazungu walio wachache wamezikwa katika eneo la makaburi ya mashujaa lililopo nje kidogo tu ya mji mkuu harare ← rekodi za mauaji ya jamal khashoggi zachapishwa rais donald trump amfuta kazi mshauri wa masuala ya usalama wa kitaifa john bolton →
2019-09-24T08:54:34
http://rswahili.com/mwili-wa-robert-mugabe-kuwasili-zimbabwe-leo-kutoka-singapole-kwa-mazishi/
micharazo mitupu tff mnatania au mnawataka ubaya wekundu wa msimbazi tff mnatania au mnawataka ubaya wekundu wa msimbazi afisa habari wa tff alfred lucas mashabiki wa al ahly wakipewa sapoti na mashabiki wa simba wakati wa mechi baina ya wamisri hao na yanga lililochezwa uwanja wa taifa hivi karibuni bila shaka simba watakuwa wanacheka huko walipo baada ya kulisikia shirikisho la soka tanzania (tff) likiwaangukia na kuwataka wawe na uzalendo kwa kuishangilia yanga itakapokuwa ikiumana na tp mazembe jumatano ijayo simba na yanga kwa miaka mingi zimekuwa zikishindwa kupigana tafu kwenye mechi zao za kimataifa kwa tabia yao ya kushangilia wageni na kufikia hatua ya kuvaa jezi ya timu pinzani inayocheza na mmoja wao lakini tff kupitia afisa habari wake alfred lucas imewaomba mashabiki kuwa wazalendo kuisapoti yanga lucas alisema tff inawaomba mashabiki waje kwa wingi uwanjani kwa ajili ya kushangilia kwani wanaamini mashabiki ni mchezaji wa 12 na uwepo wao utaongeza ari ya ushindi yanga itacheza na mazembe juni 29 kwenye mchezo wa kundi a ya michuano ya kombe la shirikisho afrika na kusisitiza kuwa mafanikio ya yanga ni faida kwa soka la tanzania na kuomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kuiunga mkono kama ambavyo anataka wajitokeze jumapili kuishangilia serengeti boys itakayocheza na shelisheli mchezo wa kuwania kufuzu fainali za vijana u17 afrika tayari mashabiki wa simba wameshaanza kununua jezi za mazembe ili kuwaunga mkono katika mechi hiyo na iwapo watasikia ombi hilo la tff lazima wataumia mbavu kwa kucheka kwani ni jambo lisilowezekana kwao kama ambavyo kigogo wa klabu hiyo zakaria hanspoppe aliwahi kukaririwa akisema huwa anahisi kichefuchefu akitajiwa jina la yanga
2018-02-24T14:16:55
http://micharazomitupu.blogspot.com/2016/06/tff-mnatania-au-mnawataka-ubaya-wekundu.html
apps za samsung galaxy sii gti9100 jamiiforums apps za samsung galaxy sii gti9100 thread starter achengula achengula 383 20 35 naomba msaada kwa yeyote anaye jua nawezaje kupata apps za hiyo samsung apps kama skype adobe reader office na zinginezo browser nimefanikiwa kuinstall uc browserna inafanya kazi vizuri 3608 35 135 achengula said nenda katika play store kisha chagua category unayoitaka utapata asante hippo nimejaribu several times sijafanikiwa niliambiwa nilog in nikafanya hivyo lakini bado sijafanikiwa nikijaribu kudownload kwa kutumia computa naambiwa [h=2]you haven't accessed the google play store app on your device with this email account wakati kule nimeshatumia email hiyo hiyo bila mafanikio ninachofikiri baada ya kusoma soma ni kuwa sababu huenda ikawa ni hii simu yangu ambayo haina google play store app preinstalled mwenye msaada zaidi anaweza kunisaidia[/h] 7262 1573 280 you haven't accessed the google play store app on your device with this email account wakati kule nimeshatumia email hiyo hiyo bila mafanikio ninachofikiri baada ya kusoma soma ni kuwa sababu huenda ikawa ni hii simu yangu ambayo haina google play store app preinstalled mwenye msaada zaidi anaweza kunisaidia unatakiwa uwe na account ya gmail account ninayo ngoja niendelee kujaribu kabla ya hiyo simu umeshawahi kutumia model nyingine ya simu za android mkuu unatakiwa uwe na account(email account ya gmail)iko in one of your apps katika simu if hauna jaribu kufungua kwa kutumia means nyingine then log in sometimes unaweza kuchangaya password mkuu check hiyo pia sijawahi kutumia hii ndiyo ya kwanza kwa hiyo unaweza nisaidia kama una maelezo zaidi kutokana na swali lako email ya gmail ninayo na browser ninayotumia ni uc browser ambayo nimeinstall iko faster sijui kama simu yangu iko tofauti na simu nyingine yangu imetengenezwa korea ina appstore badala ya android market kwenye appstore kuna categories kama games wallpapper social kwenye social ndo nimeona app za yahoo messenger weather na google plus apps nyingine nzuri sizioni ndo maana nataka nipate sehemu nyingine mawazo yangu ni kuwa labda kwa sababu haina android market ndo maana google play inakataa labda kwa wazoefu wanaweza kunisaidia kama bado inawezekana bila ya kuwa na android market kwenye simu islam005 2605 1035 280 natumia galaxy s2 na hizo apps zote ulizotaja ninazo na zaidinilichofanya ni kusign in kupitia account yangu ya gmail then kuendelea kudownload kama kawalabda ungetuambia unapewa error gani wakati ukitaka kudownload ukiona inasumbua zaidi badilisha sytem weka nyingine(upgrade that one) telecom said nikishasign in nikitaka kuinstall program naambiwa there is no device wakati nadownload kupitia hiyo simu na browser ya uc browser wewe galaxy yako ni ya wapi yangu imekuwa made in korea huenda kuna utofauti fulani nipe maelekezo ya ku upgrade system nijaribu hiyo option kama hiyo simu ilikuwa inatumika na mtu mwingine it is probably account yake ndiyo ipo activecha kufanya ni kuingia katika settingsaccounts and synand add new account which is yours then sign in na uweze kupakua applicationscoz droid without applications ni kama unaendesha vogue madirisha wazi other old versions of droids hiyo apps store yake ilikuwa inaitwa marketukishaitumia once ndiyo inabadilika kuwa google play or play storehivyo inabidi uanzie hapo na sio kwenye browser thanks inkoskaz kwa msaada wako iko hivi simu ni mpya haijatumika na mtu apps store yake haiitwi market inaitwa appstore ambapo ukiifungua categories zake ni new inayoonyesha kila kitu kipya kinaopoongezeka on spot nyingine ni games music ebook beautys wallpaper na social na kwenye kila category kuna vitu na kwenye socia ndo nimona program hizi google plus yahoo messenger na king's weather na nyingi ukitaka kudownload unaambiwa it will charge you 42373 tzs ilipo appstore pia kuna java facebook msn na twitter na ndani ya java ndiko apps zinakokuwa installed sasa rudi katika setting uadd accountkatika kudownload select free appskununua mpaka uwe na visa au mastercard yenye pesa nimesearch nikaona version za samsung galaxy sii gti9100 zipo tatu gti9100 (kama yangu) gti9100p na gti9100g hii yangu nimejaribu kuunga na kies kwenye pc pia kies haiitambui maana ingekubali ningetumia huko kuinstall apps sasa nimejaribu kudownload apps za android toka 4shareddesktopcom lakini format ya mafile yake haisomeki kwenye simu labda nahitaji kuyafungua kwa program fulani maana 7 zip imeshindwa nimeshindwa kuatach hapa n kwa msaada zaidi kama kuna mtu mwenye idea kaini yako hapa android market 3027apk 4sharedcom online file sharing and storage download na adobereader_for_android_40862apk 4sharedcom online file sharing and storage download ni format ya apk natanguliza shukrani 602 13 35 kwanza jaribu kuhakikisha kama simu yako ni halisi (guinuine from authority) 1nenda sahemu ya msg andika neno register ikifuatiwa na serial no ya simu yako au imei kwenda namba 15685 baada kama ya dakika 2 utapata ujumbe kuhakiki utatuma neno check kisha andika imei no kwenda namba 15685 utapata majibu kama cmu yako inatambulika kwenye data base ya samsung ukijibiwa imei invalid ujue hiyo ni feki 2 wakati unataka kudownload application yoyote kutoka google play hakikisha email yako ya gmail ipo on yaan signed in vile vile log in bila mawasiliano yaani jaribu kusign in wakati unataka kudownload app mojawapo mfano ukifungua map ita search baadaye itakupa option ya ku create account au sign in sasa kama una account teyari ingilia hapo au kama huna create kuanzia hapo kwa kufanya hivyo nadhani haitakusumbua its is very simple it few minutes lakini kama ni issue ya adobe na office kuna kitu kinaitwa poris office yenyewe inasoma na kwa simu kama ya kwako zinakuwa installed from factory ila unaweza kudownload nyingine nb internet ikiwa weak inasumbua sana ku access google play au market threads 1237621 posts 29295085
2018-12-16T05:31:59
https://www.jamiiforums.com/threads/apps-za-samsung-galaxy-sii-gt-i9100.361895/
soundproofing in north bend wa | call 8005933340 soundproofing in north bend wa decoupling as part of soundproofing in north bend wa you can see that all of these methods by sound proofing guys in north bend wa offer varying degrees of separation of the drywall on one side from the drywall on the other side again all of the walls shown are superior to a single stud (common) wall for a full explanation on soundproofing call sound proofing guys in north bend wa on 8005933340 and get the best advice around trust the experts in soundproofing in the north bend wa area home » wa » soundproofing in north bend allyn wa anderson island wa bainbridge island wa belfair wa bellevue wa black diamond wa bothell wa buckley wa burley wa carbonado wa duvall wa eatonville wa edmonds wa enumclaw wa federal way wa fox island wa graham wa hansville wa index wa kenmore wa kent wa lynnwood wa manchester wa maple valley wa marysville wa mercer island wa mountlake terrace wa north bend wa paradise inn wa port gamble wa port orchard wa puyallup wa redmond wa rollingbay wa ronald wa roy wa sammamish wa seahurst wa skykomish wa snoqualmie pass wa south cle elum wa south colby wa southworth wa spanaway wa sultan wa sumner wa suquamish wa tacoma wa vashon wa woodinville wa 98045 98020 98050 98386 98022 98398 98038 98340 98061 98323 98010 98051 98028 98524 98528 98004 98396 98333 98364 98270 98272 98352 98303 98353 98385 98328 98031 98378 98294 98011 98072 98036 98943 98322 98110 98068 98315 98392 98388 98003 98467 98338 98047 98380 98941 98256 98580 98065 98039 98275 98321 98019 98236 98329 98387 98395 98062 98393 98344 98439 98366 soundproofing experts in north bend wa
2019-04-21T14:18:11
http://www.soundproofingguys.com/wa/soundproofing-in-north-bend/
kamati ya forodha ya jumuiya ya afrika mashariki yatoa ripoti ya maendeleo katika utekelezwaji wa malengo ya umoja habari za jamii home / unlabelled / kamati ya forodha ya jumuiya ya afrika mashariki yatoa ripoti ya maendeleo katika utekelezwaji wa malengo ya umoja kamati ya forodha ya jumuiya ya afrika mashariki yatoa ripoti ya maendeleo katika utekelezwaji wa malengo ya umoja kaimu kamishna kitengo cha forodha kutoka mamlaka ya mapato hapa nchini(tra) qamdiyay akonaay (wa kwanza kushoto) akizungumza jambo katika mkutano huo uliomalizika leo aprili 272017 washriki wa mkutano huo wakiendelea kufuatilia kilichokuwa kikiendelea baadhi ya washiriki kutoka nchi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo wakifuatilia mada zilizokuwa zikiendelea kamishna wa forodha nchini uganda dickson c (katikati) kateshumbwa akizungumza jambo katika mkutano huo akisoma taarifa hiyo mbele ya vyombo vya habari kamishna wa forodha nchini uganda dickson c kateshumbwa amesema kuwa mkutano wa umoja wa forodha kwa nchi zilizo kwenye uanachama wa jumuiya ya afrika mashariki hufanyika kwa zamu nchi zote za uanachama ambapo kwa mwaka huu mkutano huo umefanyika hapa nchini tanzania ameongeza kuwa kila mwaka mkutano huo hufanyika katika ngazi tatu ambazo ni ngazi zinayohusisha wataalamu wa masuala ya forodha ambao hutoka katika mamlaka za mapato za kila nchi wanachama na ngazi ya pili ni makamishna wote wa forodha walio katika nchi wanachama huku ngazi ya tatu ni makamishana wote wakuu ambao jukumu lao huwa ni katika kuidhinisha mipango na mikakati pamoja na kutoa maelekezo na maagizo kwa ajili ya kuhakikisha mipango na mikakati inatekelezwa alifafanua kuwa lengo la jumuiya ya afrika mashariki ni kuhakikisha inatekeleza miradi mbali mbali ya forodha yenye lengo la kurahisisha na kuhakikisha kuwa wafanyabiashara na wananchi wote wanapata faida kwa ujumla naye kaimu kamishna kitengo cha forodha kutoka mamlaka ya mapato hapa nchini(tra) qamdiyay akonaay ametaja miradi iliyo katika mfumo huo wa forodha kwamba ni pamoja na himaya moja ya forodha muunganiko wa huduma za kiforodha kituo kimoja cha huduma mpakani na wafanyabiashara wenye kuidhinishwa huweza kupata huduma maalumu mkutano huo ulianza aprili 21 mwaka huu na umemalizika leo aprili 27 ambapo maazimio mbalimbali juu ya mkutano huo yamejadiliwa na miongoni mwa hayo ni mpango wa kuwa na himaya moja ya forodha muunganiko wa huduma za kiforodha na mapitio ya viwango vya ushuru na kanuni za uasili wa bidhaa
2017-10-24T04:12:04
http://www.habarizajamii.com/2017/04/kamati-ya-forodha-ya-jumuiya-ya-afrika.html
1red ni nini ni mpango wenye vifurushi na malipo ya jinsi unavyotumia vifurushi vina dakika za kutosha za mitandao yote vifurushi vya intaneti(mb) sms na dakika za kimataifa wakati wa kununua kifurushi mteja anaweza kuchagua kununua kifurushi mara moja au kwa kujirudia 2kujirudia ni nini ni huduma mpya ambayo vodacom imewawezesha wateja kuweka vifurushi wavitavyo kujirudia wakati vinapomaliza muda wa matumizi 3je ni tofauti gani kati ya kujirudia na mara moja ukiwa kwenye kujirudia kifurushi chako cha bei hihio kitajirudia unatakiwa kuwa na salio la kutosha ili kijirudie wakati kile kifurushi cha mara moja hakitajirudiamteja atatakiwa kununua upya kwa kupiga *149*01#>red 4je kuna faida yoyote mteja akiwezesha kifurushi cha kujirudia ndio mteja ataweza kuhama na dakikamb na sms ambazo hazijatumika pale muda wa matumizi wa kifurushi unapokwisha wateja ambao watanunua kifurushi cha mara moja hawataweza kuhamisha dakika mb au sms ambazo hakutumika pale muda wa matumizi wa kifurushi unapokwisha 5je ni nanma gani naweza kujiunga na kifurushi cha red unaweza kujiunga na vifurushi vya red kwa njia mbili menu ya bidhaa piga *149*01# kisha chagua red rlx menu ya mpesa piga *150*00# >nunua vifurushi/muda wa maongezi > red + pinduapindua 6ni faida zipi utapata kwa kujiunga na kifurushi cha red zaidi ya kupata dakika za mitandao yote vifurushi vya intaneti (mbs) sms na dakika za kimataifa utapata pia huduma ya sokoni bure umuhimu wa kwanza unapowasiliana na huduma kwa wateja umuhimu wa kwanza unapotembelea vodashop kwa msaada 7je ni namna gani mteja atajua kuwa yeye amejiunga na red au hajajiunga mteja atajua kwa kupiga *149*73*01# au kupitia menu ya bidhaa *149*01# chagua red na kisha akaunti yangu 8je naweza kupata faida zinatokazo na red bila kujiunga na kifurushi cha red hapana wateja waliojiunga na vifurushi vya red ndio watakaofaidika na manufaa yote yatokanayo na red 9je nitapata faida za red pale vifurushi vya red vitakakwisha muda wa matumizi hapana utasimama kupokea manufaa yatokanayo na red pale vifurushi vinapokwisha muda wa matumizi 10je vifurushi vya red ni vipi chini ni vifurushi vya red muda wa matumizi kifurushi bei mitandao yote kimataifa sms intaneti siku 7 red silver tsh 7000 dk 100 1000 200 mb red internet silver tsh 7000 dk 30 1000 1 gb red gold tsh 10000 dk 200 1000 400 mb red internet gold tsh 10000 dk 30 1000 2gb siku 30 red silver tsh 30000 dk 600 3000 3 gb red gold tsh 50000 dk 1000 7000 7 gb red platinum tsh 95000 dk 2500 30 min 15000 20 gb red internet silver tsh 30000 dk 300 300 5 gb red internet gold tsh 50000 dk 300 300 15 gb red internet platinum tsh 95000 dk 600 dk 10 600 30 gb 11vifurushi vya nyongeza vya red ni vipi hivi ni vifurushi vya siku 7 vinavyoweza kununuliwa baada ya kifurushi kuisha vinaweza kuwa vyenye dakika au mb au vyenye dakika na mb muda wa matumizi bei(tsh) dakika za mitandao yote intaneti (gb) 12je ninaweza kununua vifurushi vya nyongeza vya red bila kujiunga na vifurushi vya red hapana vifurushi vya nyongeza vinaweza kununuliwa pale unapokuwa na kifurushi cha red kama kifurushi cha red kikiisha muda wa matumizi hutaweza kununua vifurushi vya nyongeza vya red 13je nini kitatokea kama dakikasms na mb zitaisha kabla ya kifurushi cha red kuisha unaweza ukanunua kifurushi kingine cha red cha aina nyingine katika mwezi huo huo au kununua kifurushi cha ziada cha red au utumie kwa gharama za malipo kabla (tsh 1 kwa sekunde) kuimiza mahitaji yako kwa siku zilizobakia 14je gharama za matumizi ya red ni tofauti na gharama za matumizi ya kawaida ya malipo kabla ndio gharama za matumizi ya red ni za chini ukilinganisha na gharama za kawaida kwa simu zipigwazo ndani ya tanzania ni tsh 15 kwa sekunde na gharama kwa mb ni tsh 20 15je ninaweza kununua kifurushi kingine wakati nina vifurushi vya red ndio unaruhusiwa kununua vifurushi vingine uvipendavyo 16je ni lazima kuwezesha huduma ya kujirudia ya red kabla ya kujiunga na kifurushi cha red sio lazima kuwezesha huduma ya kujirudia ya red kabla ya kununua kifurushi cha red lakini ni vizuri kuwezesha huduma hio ili upate faida ya kuhamisha dakika mb na sms ambazo hukuzitumia 17je naweza kusitisha huduma ya kujirudia pale nitakapoiwezesha ndio unaweza kuchagua kusitisha huduma ya kujirudia ya red wakati wowote na hata pale kifurushi kitapoisha muda wa matumizi kifurushi hakitajiwezesha chenyewe baada ya hapo utatakiwa kwenye kwenye menu ya bidhaa kununua tena kifurushi 18je ninaweza kununua kifurushi cha red popote pale tanzania ndio unaweza kununua kifurushi chochote cha red mahali popote tanzania 19kama sijawezesha huduma ya kujirudia ya red je ninaweza kununua kifurushi kama hicho cha red ndio unaweza kununua kifurushi kama hicho cha red na unaweza kununua zaidi ya mara moja 20huduma ya kujirudia itafanyaje kazi pale kifurushi kiatapoisha muda wa matumizi kama huduma ya kujirudia imewezeshwa utapokea ujumbe mfupi kukukumbusha kuwa na salio la kutosha kwa ajili ya kuwezesha kifurushi chako kama una salio la kutosha na kifurushi chako kikaisha muda wa matumizi basi kifurushi chako cha red kitawezeshwa moja kwa moja na utapokea ujumbe mfupi wa kuthibitisha kujiunga 22je nini kitatokea kama sina kiasi cha kutosha kwenye salio kwa ajili kuwezesha kujirudia kwa kifurushi je pale nitakapoongeza salio nitakatwa salio na kupewa kifurushi cha red kama huna salio la kutosha kujirudia kwa kifurushi hakutafanyika na faida za zote za red zitaondolewa 23je nini kitatokea kama hutajiunga tena na kifurushi cha red pale kinapoisha muda wa matumizi pale kifurushi cha red kinapoisha muda wa matumizi faida zote za ziada nazo zitakoma 24je naweza kununulia rafiki kifurushi cha red ndio unaweza ukamnunulia rafiki na wana familia kifurushi cha red kupitia muda wa maongezi au mpesa kutoka kwenye simu yako 25je nikimnunulia rafiki kifurushi cha red na yeye atapata faida za ziada zitokanazo na red ndio utakapomnunulia raiki na yeye atapata faida zote za red lakini kifurushi hakitaunganishwa tena pale kitakapoisha muda wa matumizi 26je ninaweza kupata huduma ya red ninapokuwa nje ya nchi vifurushu vya red ni kwa matumizi ya tanzania tu
2020-04-07T18:56:31
https://vodacom.co.tz/sw/self_red_faqs/
damon & elena mashabiki foramu chat damon & elena fanpop | page 278 zaidi ya mwaka mmoja uliopita vidvida said
2019-12-08T03:53:32
http://sw.fanpop.com/clubs/damon-and-elena/forum/post/54384/278/damon-elena-fans-forum-chat
ban akutana na kuzungumza na viongozi uholanzi amani duniani yaangaziwa | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa 28/08/2013 ban akutana na kuzungumza na viongozi uholanzi amani duniani yaangaziwa ban na viongozi uholanzi katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon amekutana na kufanya mazungumzo na waziri mkuu na waziri wa mambo ya nje wa uholanzi katika tukio la maadhimisho ya miaka mia moja tangu ujenzi wa kasri la amani lililoko the hague uholanzi katika mazungumzo yake na waziri mkuu wa uholanzi mark rutte viongozi hao wamaejadili maendeleo katika nchi za mashariki ya mbali syria misri mali na umuhimu wa ujenzi wa nchi na taasisi na kusaidia nchi hizi katika kipindi cha mpito pamoja na kugusia mageuzi ya umoja wa mataifa katika mkutano na waziri wa mambo ya nje wa uholanzi frans timmermans katibu mkuu wa umoja wa mataifa alijikita katika mgogoro wa syria na kazi ya timu ya uchunguzi wa silaha za kemikali pia walijadili juu yamali malengo ya maendeleo ya milenia na mkakati wa agenda za maendeleo baada ya 2015 kadhalika bwana ban ameishukuru uholanzi kwa ushiriki wake katika operesheni za amani za umoja wa mataifa na kusisitiza uhitaji wa msaada zaidi wa vifaa kwa ujumbe wa umoja wa mataifa nchini mali (minusma) hususani vifaa vya anga
2014-07-30T15:11:50
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/08/ban-akutana-na-kuzungumza-na-viongozi-uholanzi-amani-duniani-yaangaziwa/
colombia yasitisha mashambulizi dhidi ya farc | matukio ya kisiasa | dw | 11032015 colombia yasitisha mashambulizi dhidi ya farc serikali ya colombia imesitisha mashambulizi yake ya anga dhidi ya waasi wa farc kwa kipindi cha mwezi mmoja kwa kuheshimu tamko la upande mmoja lililotolewa na waasi hao kusitisha mapigano rais juan manuel santos wa colombia tangazo hilo lililotolewa jana (10 machi) na rais juan manuel santos linafuatia lile la miezi mitatu nyuma ambapo wapiganaji hao wa msituni walisema wangelisitisha mashambulizi yoyote dhidi ya majeshi ya serikali kuanzia tarehe 20 disemba ingawa walionya kuwa msimamo huo ungeliondoshwa endapo wangelishambuliwa na sasa baada ya kukataa wito wa kuwa na makubaliano ya pande mbili ya kusitisha mapigano santos amesema serikali yake itasitisha mashambulizi kwa kipindi maalum hatua ambayo baadaye itatathminiwa upya kwa ajili ya kuukwamua mzozo huu nimeamua kuiamuru wizara ya ulinzi na makamanda wa jeshi kuacha kuzishambulia kwa mabomu kambi za farc kwa kipindi cha mwezi mmoja baada ya hapo tutathmini utekelezaji wa usitishaji mapigano wa upande mmoja na kwa mujibu wa matokeo hayo ndipo tutaamua ikiwa tuendelee na hatua hii ama la alisema rais santos mashambulizi dhidi ya eln kuendelea kikao cha majadiliano kati ya wajumbe wa serikali ya colombia na waasi wa farc mjini havana cuba hata hivyo tangazo hili la rais santos halimaanishi kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya makundi mengine ya waasi kama lile la eln lenye wapiganaji wapatao 1500 na ambalo ni la pili kwa ukubwa baada ya farc ingawa nalo limo kwenye mazungumzo yasiyo rasmi na serikali wajumbe wa serikali na wa kundi la farc wanaokutana mjini havana cuba wamefikia sehemu fulani ya makubaliano juu ya mageuzi katika sera ya ardhi ushiriki wa kisiasa wa wapiganaji wa zamani wa msituni na kukomeshwa kwa biashara haramu ya madawa ya kulevya hata hivyo masuala muhimu ya kuvunjwa kwa kundi hilo la waasi na kufidiwa kwa wahanga wa vita hivyo vya wenyewe kwa wenyewe bado yanajadiliwa huku rais santos akitangaza kuungwa kwa kamisheni ya amani kusaidia duru ya mwisho ya mazungumzo nimeamua kuunda kamati ya ushauri kwa ajili ya amani ambayo itawajumuisha wote na ambayo itakusanya maoni ya wananchi mbalimbali litakuwa kundi la raia mashuhuri wa colombia wenye uzoefu uhuru na dhamira yao kwa nchi haina shaka kamati hii itanishauri na kuwa nami kwenye mchakato wa hatua ya mwisho ya kupatikana kwa amani alisema santos raia wa colombia watapiga kura ya maoni kabla ya makubaliano ya mwisho kutekelezwa farc watangaza kusitisha vita colombia tarehe 11032015 mada zinazohusiana colombia maneno muhimu colombia farc juan manuel santos kiungo https//pdwcom/p/1eoub rais nicolas maduro anusurika kuuwawa 05082018 rais wa venezuela nicolas maduro ameapa kuhakikisha kuwa sheria inachukua mkondo wake baada ya jaribio linalodaiwa kufanyika dhidi ya maisha yake ambalo anasema limeamriwa na rais wa colombia juan manuel santos colombia yaelekea kwenye duru ya pili ya uchaguzi 28052018 nchini colombia mgombea wa chama cha kihafidhina ivan duque ameshinda duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais iliyofanyika jana jumapili lakini hakupata asilimia 50 ambaye ingemwezesha kuepuka duru ya pili
2019-03-24T04:00:36
https://www.dw.com/sw/colombia-yasitisha-mashambulizi-dhidi-ya-farc/a-18306999
imechapishwa wed jan 11th 2017 siasa / slideshow | na mtanzania digital mapinduzi ya zbar yawe na mwelekeo wa maendeleo © new habari (2006) ltd haki zote zimahifadhiwa mapinduzi ya zbar yawe na mwelekeo wa maendeleo
2017-01-22T16:11:49
http://mtanzania.co.tz/?p=28145
videompya mabibi na mabwana harmonize katuletea video aliyofanya na korede bello shulala millardayocom kwa mashabiki wa harmonize hii ilikua kiu kubwa sana baada ya kusikia kwamba mwimbaji huyu wa bongofleva amefanya kolabo na mnigeria korede kiu imekatwa leo na video yenyewe ndio hii hapa chini ukishamaliza kuitazama usisahau kudondosha comment yako video kelele za wifi wifi baada ya zari kuonekana mlimani city tazama kwenye hii video hapa chini mwanzo mwisho party ya mtoto wa hamisa mobetto na diamond dar es salaam itazame yote hapa chini hatimae wolper afunguka kuhusu kuachana na harmonize sarah katajwa humo ndani mwanzo mwisho ← previous story videompya ni zamu ya kala jeremiah leo katuletea mpya inaitwa kijana next story → videompya tekno na cupy wametuletea hii inaitwa green light
2018-02-22T12:51:30
http://millardayo.com/hkd17/
mbunge wa ccm aikosoa serikali ya jpm mwanahalisi online omar mjaka ali aliyekuwa mbunge wa jimbo la pemba vitongoji alipokuwa anazungumza na wanaccm picha ndogo rais john magufuli posted by danson kaijage october 23 2017 3 comments 3944 views mbunge mstaafu wa chama cha mapinduzi omar mjaka ali amesema serikali inayoongozwa na rais john magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza mwelekeo kutokana na rais kukosa washauri anaandika dany tibason mbunge huyo ambaye alikuwa mbunge wa ccm tangu mwaka 2000 hadi 2005 jimbo la vitongoji kisiwani pemba amesema kuwa kwa sasa nchi haina mwelekeo kutokana na kuendeshwa kwa matamko na matakwa ya mtu mmoja akizungumza na waandishi wa habari kutoka chama cha waandishi wa habari kutoka mkoa wa dodoma (cpc) pamoja na wenyeji wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa kusini pemba (ppc) nje ya ofisi ya mkuu wa wilaya ya chake chake mbunge huyo mstaafu amesema kuwa kwa sasa taifa limekosa mwelekeo katika ziara hiyo iliyofadhiliwa na muungano wa vyama vya waandishi wa habari tanzania (utpc) alieleza kuwa yapo mambo mengi ambayo yanafanywa bila kufuata utaratibu na kuminya matakwa ya wananchi likiwemo suala la kutoonyesha vikao vya bunge moja kwa moja mimi nimekuwa mbunge wa ccm tangu mwaka 2000 hadi 2005 na mimi ni mwana ccm na nitaendelea kuwa ccm lakini yapo mambo mengi ambayo nayaona katika serikali ya magufuli yakiwa siyo mazuri na hayo yanafanyika kutokana na kiongozi huyo kukosa washauri wazuri washauri wa rais wanashindwa kumweleza ukweli kuwa serikali ni ya wananchi yapo mambo mengine ambayo wananchi wanayataka hata kama yeye hayataki mfano kitendo cha serikali kuzuia kuoneshwa kwa vikao vya bunge moja kwa moja hiyo ni kuwaonea wananchi amesema mbunge huyo mstaafu katika hatua nyingine amekemea kitendo cha serikali kuwapora mali zao viongozi wastaafu na kudai kuwa jambo hilo siyo zuri kwani linaweza kusababisha migogoro ambayo siyo sahihi na kujenga chuki kati ya jamii na serikali akizungumzia wajibu wa wabunge amesema wote ni sawa wakiwa bungeni awe ccm au upinzani hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao hususani katika kuisaidia serikali pale ambapo inaonekana kwenda tofauti amesema kuwa wabunge wengi wamekuwa hawajui wajibu wao badala ya kuisimamania serikali wamekuwa ni watu wa kuijibia serikali au kujifanya wao ni sehemu ya serikali katika mambo ambayo ni ya msingi kwa maslahi ya jamii aidha ameitaka serikali pamoja na bunge kuacha tabia ya kubeza maoni ya wapinzani badala yake maoni na ushauri wa wabunge wa upinzani yanatakiwa kufanyiwa kazi kwani kazi kubwa ya mbunge ni kuikosoa serikali ili iweze kukaa katika mstari mbunge ni mtu wa heshima iwe wa upinzani au wa chama tawala siyo jambo zuri kumtoa mbunge bungeni kwa kutumia jeshi la polisi kwa kufanya hivyo ni kumvunjia heshima mbunge na kulivunjia heshima bunge kwa ujumla hivyo washauri wanaomshauri rais na vyombo vyake wanatakiwa kutokuwa na hofu na badala yake wampe rais ushauri ambao ni sahihi zaidi alisema ali mbunge mstaafu wa chama cha mapinduzi omar mjaka ali amesema serikali inayoongozwa na rais john magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza mwelekeo kutokana na rais kukosa washauri anaandika dany tibason mbunge huyo ambaye alikuwa mbunge wa ccm tangu mwaka 2000 hadi 2005 jimbo la vitongoji kisiwani pemba amesema kuwa kwa sasa nchi haina mwelekeo kutokana na kuendeshwa kwa matamko na matakwa ya mtu mmoja akizungumza na waandishi wa habari kutoka chama cha waandishi wa habari kutoka mkoa wa dodoma (cpc) pamoja na wenyeji wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa kusini pemba (ppc) nje ya ofisi ya&hellip previous mwigamba amsikitisha zitto kabwe next wizara ya afya yapokea mashine 100 za saratani
2019-01-20T04:51:13
http://mwanahalisionline.com/mbunge-wa-ccm-aikosoa-serikali-ya-jpm/
ukigundua kuwa ni jini utafanyeje jamiiforums ukigundua kuwa ni jini utafanyeje 42396 38575 280 umepata msichana miezi mitatu nyuma mmependana naye sana na ana kila sifa unayoitaka kuanzia umpate mambo yako yananyooka sana unapata hela katika mazingira ya kutatanisha sana mara ukute milioni 2 kwenye mfuko wako wa koti wakati hukuziweka siku nyingine ukakuta milioni 70 kabatini kwako baada ya mauzauza hayo unaamua kumjulisha mpenzi wako anakusikiliza kwa makini kisha anacheka kicheko cha dharau sana na anapotea kwenye upeo wako wa macho (anayeyuka) je ndugu yangu utachukua hatua ipi kimbiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa likes shosti 892 28 45 sasa kama kayeyuka si ndio raha unalula mwenyewe milion zako 72 majini ni watamu sana na ni wazuri sana wanajua stail zate uzipendazo anazozijua na usizo zijua usiombe ukutane nae hutamuacha kamwe usha wahi kumega jini 7142 60 145 aah umeshakutana nao nini inawezekana huyu jamaa kamega kabisa 4565 32 135 kimbia kwa wakuu wa dini yako ukaombewe koz hawatoi hizo pesa bure ndio yale baada ya muda unambiwa mama yako then baba yako wanakufa tu kumbe ni sadaka ya hizo pesa za bure heheeh ntadumisha upendo na nitafurahia sana hapo itakuwa hakuna mzinga wa vocha wala hakuna kufeki yale mambo yetu halaf unamshtua tu sasa hivi geuka shosti wa jf anageuka enhee geuka rose1980 anageuka geuka dena amsi anageuka unajishtukizia ushalamba jf nzima mpaka mods wenye jinsia ya ke ushanipandisha mzuka mkuu naomba contact za hilo jini likes firstlady1 maishapopote and shieka huwezi ukakimbia kivuli chako bidada heheeh ntadumisha upendo na nitafurahia sana hapo itakuwa hakuna mzinga wa vocha wala hakuna kufeki yale mambo yetu halaf unamshtua tu sasa hivi geuka shosti wa jf anageuka enhee geuka rose1980 anageuka geuka dena amsi anageuka unajishtukizia ushalamba jf nzima mpaka mods wenye jinsia ya ke<br /> mmmh we kweli unaroho ya kichaga ila unanyota yakiarabu ngoja upate hzo contact tuone manjonjo yako mkuu likes klorokwini pesa unapata ukiwa kivulini taabu ya nni maadamu haudhuriki nafanya mambo ya maana kweli wewe ni gileti sinka 7255 1568 280 nakimbizia mshiko bank ili asije akaupoteza kimiujiza alafu nampa talaka tatu @ once 58760 23803 280 alinacha halafu na wewe nina mashaka sana juu yako huwa nahisi umeumbwa kwa moto 22791 10924 280 ukimbie mpaka wapi utajisumbua bure kumkimbia kwan akitaka atakupata tu kama mtamu we mega tu isitoshe ndio kama hivyo shida zako ndogondogo na kubwa zinatatulika hapo inabidi usali na kuwashirikisha viongozi wako wa dini ili uepukane na hilo balaa na pia wanaume kwa wanawake tuepukane na kuingia kwenye mausiano na mtu ambae hata hujafuatilia background yake kwani itatuepusha na mambo kama haya akimbilie wap akati uko aendako atamkuta kweli kabisahawa marai wanafikiri majini ni ishuhayasiti kukutoa rohoomba sana usi fall in luv with a jini bjbj bana dah threads 1236262 members 475042 posts 29252053
2018-12-12T19:43:11
https://www.jamiiforums.com/threads/ukigundua-kuwa-ni-jini-utafanyeje.170932/
ya usafiri kigamboni na wimbo wa gezaulole zama hizo ( makala mwananchi) | jamiiforums | the home of great thinkers ya usafiri kigamboni na wimbo wa gezaulole zama hizo ( makala mwananchi) discussion in 'jukwaa la siasa' started by maggid jan 9 2012 [td=width 100] [font=&quot][/font] [td=width 100] [font=&quot] [/font] [td] [font=&quot]sunday 08 january 2012 1143 [/font] [font=&quot]na maggid mjengwa [font=&quot]’’gezaulole baba gezaulole mama eetwendeni kibugumo na mwanadilato kwenye makao mapyagezaulole baba geza ulole mama eee” hapa nanukuu gazeti la mwananchi jumatano juma la jana “majuzi dk magufuli alifanya ziara ya ghafla katika eneo la vivuko hivyo na kuwaambia wananchi waliomzomea kwamba kama wakishindwa kulipa nauli hiyo ya sh200 ni vyema wakapiga mbizi baharini au kuzunguka kongowe kuingia katikati ya jiji au warudi vijijini wakalime” mwisho wa kunukuu (mwananchi jumatano januari 4 2012) utotoni katika jiji la dar es salaam nilishuhudia kwa macho yangu msako wa wazururaji niliona jinsi mgambo wa jiji walivyokuwa wakiwadhalilisha vijana na watu wazima kwa kuwakamata kuwafunga mashati na kuwapandisha kwenye malori tayari kwa safari za kwenda gezaulole kosa lao walikuwa wakizurura mijini bila kazi hivi anayetafuta kazi atabaki nyumbani kuisubiri si ni lazima apige mguu kuitafuta sijui leo ungefanyika msako wa wazururaji dar yangehitajika malori mangapi na miaka ile ya sabini tulipokuwa watoto tulisikia hata nyimbo za redioni kuhimiza ‘ wazururaji’ waende kwenye vijiji vipya vilivyoandaliwa na serikali kama makazi ya ‘ wazururaji’ watoto wa enzi hizo huenda tunakumbuka wimbo huu “ gezaulole baba gezaulole mama eetwendeni kibugumo na mwanadilato kwenye makao mapya gezaulole baba geza ulole mama eee” na kigamboni ya enzi hizo ilikuwa shamba kweli wengi wa waliofikishwa huko gezaulole na vijiji vingine kule kigamboni wakayaanza maisha mapya ya vijijini [/font] [font=&quot]kuna waliokimbia gezaulole wakarudi tena mjini au kwenye vijiji vyao vya asili kuna waliobaki huko gezaulole wakafyeka mapori yao wakaanza kilimo wakaizoea hali mpya wakajenga familia zao huko ajabu leo wenye fedha ndio wanaokwenda kuyanunua kwa bei ya hadaa maeneo ya watoto na wajukuu wa ‘ wazururaji’ wa enzi za mwalimu kuna watoto na wajukuu wa ‘wazururaji’ waliobaki na vieneo vidogo miongoni mwao ndio hao wanaofanya shughuli za kusukuma mikokoteni na kuendesha maguta ni hivi mkazi wa magomeni hata kama hana nauli anaweza kutembea kwa miguu kukatisha jangwani na akamwona mgonjwa wake muhimbili au kwenda kuhangaikia kibarua kariakoo na jioni ikifika hata kama hana nauli ya daladala atakatisha jangwani na kufika magomeni kwenye chumba chake cha kupanga lakini mkazi wa kigamboni kama hana nauli ya mia mbili ya pantoni na kama anataka kuvuka kwenda kumwona mgonjwa wake muhimbili au kuhangaikia kibarua kariakoo ana mawili kwa mujibu wa magufuli ama apige mbizi au azungukie kongowe kwa miguu mwendo wa nusu siku kama si siku nzima na hapa ndipo ilipo hoja ya msingi ya kumfikiria mtu wa kawaida wa kigamboni gezaulole na kwingineko ng’ambo ya pili ya bahari na hali ya uchumi wetu kwa sasa si nzuri kule kigamboni na vijiji vyake bado kuna wengi wanaojishughulisha na kilimo tunafanya makosa kuweka viwango vya juu vya ushuru huku kiuchumi jambo hilo liko wazi kuwa litayafanya maisha ya mtu wa kawaida kiuchumi yawe magumu zaidi kupanda kwa ushuru kusikoenda sambamba na kuongezeka kwa kipato cha wakazi wa kigamboni kuna maana moja tu kuwa gharama za bidhaa na huduma zitapanda kwa watu wa kigamboni lakini si kwa mtanzania wa kigamboni tu hata wakazi wa jiji walio nje ya kigamboni nao wataathirika kwa kupanda kwa kiwango cha juu cha ushuru wa kuvusha bidhaa na abiria kwenye kivuko cha kigamboni maana tunajua kuwa kuna tani nyingi za mazao ya nafaka na matunda yanayovushwa kutoka kigamboni na kuletwa katikati ya jiji la dar es salaam kuongezeka ushuru kwa zaidi ya asilimia mia moja kiuchumi kuna maana ya kuongezeka kwa gharama ya bidhaa zinazovushwa na hivyo basi kuongezeka kwa bei hilo halitachangia kuongezeka kwa uzalishaji litadumaza halitasaidia kuchangia kukua kwa uchumi nauli na ushuru mpya ulioongezeka haviwatakii wanakigamboni ’ safari njema’ ya kiuchumi bali ni kuwatakia ' wazame salama' kiuchumi kama hawawezi kupiga mbizi kwa hakika ukisoma na kutafakari viwango vipya vya ushuru wa kuvuka na pantoni ndipo utakapoelewa kuwa waliofanya maamuzi ya kupandisha viwango hivyo walikurupuka viwango hivyo ni sawa na ' kuwachoma walalahoi ganzi ya kiuchumi' ni hao ndio watakaohumia zaidi vinginevyo kwa kusema kuwa asiye na nauli arudi kijijini akalime ina maana pia kuwa kuishi jangwani mburahati na mabibo kunaweza kuwa na nafuu zaidi kwa mtu wa kigamboni mwenye hali ngumu kiuchumi kwamba hatimaye tunawaambia watoto na wajukuu wa ‘ wazururaji’ wa enzi za mwalimu “rudini mjini’ na wimbo ule leo labda ungeimbwa hivi “ mburahati mama mburahati baba ee rudini jangwani na mwananyamala kwenye maisha bora” haki ya mungu[/font] [font=&quot]ni tafsiri yangu tu[/font] [font=&quot]maggid mjengwa
2017-04-26T08:36:14
https://www.jamiiforums.com/threads/ya-usafiri-kigamboni-na-wimbo-wa-gezaulole-zama-hizo-makala-mwananchi.210478/
gharama mpya za matibabu wavuti » gharama mpya za matibabu gharama mpya za matibabu mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) utatangaza gharama mpya za matibabu kwa wanachama wa mfuko huo wanaohudumiwa na hospitali zenye mkataba gharama hizo zitatangazwa baada ya nhif kuketi kwenye meza ya mazungumzo na hospitali zilizosaini kutoa huduma ya matibabu kwa wanachama wa mfuko huo ili kumaliza mvutano kuhusu mabadiliko ya utoaji huduma mvutano baina ya nhif na hospitali zinazotoa huduma kwa wanachama wa mfuko huo uliibuka baada ya baadhi ya hospitali binafsi kudai mabadiliko ya bei za huduma yaliyofanywa na nhif yaliyoanza kutumika julai mwaka huu hayana uhalisia katika malalamiko hayo wamiliki wa hospitali hizo walidai kuwa bei za utoaji huduma zimepunguzwa kiasi kwamba zinahatarisha uendeshaji wa taasisi zao akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam kaimu mkurugenzi mkuu wa nhif bernard konga alisema bei hizo zitaendelea kutumika hadi desemba mwaka huu watakapokutana na wadau hao kujadili hoja zao na kufikia mwafaka hata hivyo alisema suala la mabadiliko ya bei huwa linafanyika kila mara inapohitajika kwa kuzingatia ushauri wa kitaalamu wa tathmini ya uhai wa mfuko matokeo ya tafiti mbalimbali maelekezo yanayotolewa na wizara na bodi ya wakurugenzi na maoni ushauri na malalamiko yanayotolewa na wadau wakiwemo watoa huduma wanachama na vyama vinavyowakilisha watoa huduma alisema bei mpya ni makubaliano ya pande zote na zinatekelezwa chini ya mkataba ambao husainiwa kati yao na watoa huduma na kwamba atakayekiuka masharti ya mkataba atachukuliwa hatua za kisheria alisema hadi sasa baadhi ya watoa huduma wamekwishasaini mikataba hiyo na kukubaliana na bei hizo na wengine wanaendelea kusaini na kwamba kinachoonekana kuwa ni mvutano ni maombi na maoni ya baadhi ya watoa huduma wakitaka kufanyike marekebisho katika baadhi ya mambo hili suala linahusu maisha ya watu hivyo tunapofanya mabadiliko ya bei lazima tukae tukubaliane na inapotokea kuna vitu ambavyo haviendi sawa lazima tukae meza moja na watoa huduma kujadili ili kufikia mwafaka ndiyo maana tumesema bei hizi tutaziangalia kwa miezi sita wakati tunaendelea kupokea maoni na malalamiko kutoka kwa watoa huduma na ikifika desemba tutakutana na kujadili hoja zao na sisi tutatoa hoja zetu hatuwezi kusema bei tulizopanga ndiyo mwafaka kwa sababu tunapokutana na kukubaliana bei ni suala moja na utekelezaji ni suala jingine hivyo lazima tuwape nafasi ya kutueleza hali iko vipi katika utekelezaji ili tujue pakurekebisha alisema konga alisema malalamiko waliyoyapata ni ya gharama za kumwona daktari utoaji wa vipimo na dawa konga alisema licha ya malalamiko hayo upo ukweli kuwa mabadiliko hayo (kupanda na kushuka kwa baadhi ya gharama) gharama zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 13 mabadiliko haya yamehusisha kushuka na kupanda kwa gharama kwa kuzingatia aina ya huduma/dawa na daraja la kituo kinachotoa huduma lakini kwa wastani gharama zimeongezeka kwa asilimia 13 sasa hivi tofauti na awali gharama ya kumwona daktari ni sawa kwa kuzingatia daraja la kituo na utaalamu wa daktari badala ya kuangalia daraja la kituo pekee awali ilikuwa ada ya kumwona daktari bingwa akiwa katika hospitali ya mkoa analipwa shilingi 2000 lakini daktari wa hadhi hiyo hiyo akiwa hospitali ya kanda ni shilingi 20000 akiwa muhimbili ni shilingi 40000 kwa upande wa vituo binafsi unakuta daktari bingwa yupo kwenye hospitali yenye hadhi ya mkoa au kanda kwa hiyo anajiuliza kwanini huyu mgonjwa nisimwambie jioni tukutane kwenye kliniki yangu akijua kule atapata fedha nyingi tulichofanya sasa ni kupandisha madaktari bingwa wote iwe ni shilingi 15000 na hii itazuia mrundikano wa madaktari sehemu moja kwa sababu awali walikuwa wanakimbilia kwenye fedha nyingi kwa hiyo utaona tumepandisha kwa wale waliokuwa wanalipwa shilingi 2000 watalipwa shilingi 15000 na wale wa wilaya waliokuwa wanalipwa shilingi 1000 watalipwa shilingi 10000 alisema konga alisema gharama za vipimo na dawa zimewekwa kwa ulinganifu katika vituo vyote na gharama za upasuaji wa uzazi na kufunga mirija ya uzazi kutoka sh 130000 hadi sh 300000 na upasuaji wa kidole tumbo imetoka 130000 hadi 300000 ambalo ni ongezeko la asilimia 65 imenukuliwa kutoka gazeti la mtanzania
2017-02-27T14:06:21
http://www.wavuti.com/2016/09/gharama-mpya-za-matibabu.html
naomba ufafanuzi juu ya likizo ya mwaka v/s likizo ya ugonjwa | jamiiforums naomba ufafanuzi juu ya likizo ya mwaka v/s likizo ya ugonjwa thread starter ladyaj asalaam aleikhum wana jf wote tumshukuru m/mungu kwa kutujaalia siku nyingine tena yenye kheri na barka teletuwaombee waliofikwa na matatizo mbali mbali kama maradhi na misiba m/mungu apate kuwatia faraja kuna jambo kwa hakika usiku wa jana limenitatiza kiasi hivyo nikaona si mbaya kulileta na kuomba ufafanuzi miezi 3/4 iliyopita mwenza wangu alipatwa na ajali akiwa katika shughuli za kikaziajali ambayo ilimlaza kitandani karibu miezi mi 3 lakini sasa amerejea kazini na kawaida yake kila kati kati ya mwezi wa sita yeye huchukua likizo kazini lakini safari hii ameniambia kwamba kazini hawawezi kumpa likizo kwani ametumia miezi mi 3 nyumbani kwa ugonjwa hivyo watakachofanya ni kumlipa fedha zake za likizo huku akiendelea kufanya kazi kama kawaida hakika jambo hili limenishangaza sana na nikaona si vibaya kuuliza maana nilishajipanga kwa vacation ya wiki 2 (kuomba ruhusa yangu ya mwaka ya siku 14) ladyaj said kuna jambo kwa hakika usiku wa jana limenitatiza kiasi hivyo nikaona si mbaya kulileta na kuomba ufafanuzi miezi 3/4 iliyopita mwenzi wangu alipatwa na ajali akiwa katika shughuli za kikaziajali ambayo ilimlaza kitandani karibu miezi mi 3 lakini sasa amerejea kazini na kawaida yake kila kati kati ya mwezi wa sita yeye huchukua likizo kazini lakini safari hii ameniambia kwamba kazini hawawezi kumpa likizo kwani ametumia miezi mi 3 nyumbani kwa ugonjwa hivyo watakachofanya ni kumlipa fedha zake za likizo huku akiendelea kufanya kazi kama kawaida hakika jambo hili limenishangaza sana na nikaona si vibaya kuuliza maana nilishajipanga kwa vacation ya wiki 2 (kuomba ruhusa yangu ya mwaka ya siku 14) mi sijui mambo haya sikusomeawanasheria na wafanya kazi wa labour mnaitwa huku njooni reactions ladyaj naomba ufafanuzi juu ya sanitizer na hand wash habari na hoja mchanganyiko 11 may 15 2020 naomba ufafanuzi juu ya hili mbona bado tunalipia nguzo za umeme habari na hoja mchanganyiko 7 aug 16 2019 waziri mwenye dhamana unayesimamia mawasiliano naomba utoe ufafanuzi kwa watanzania juu ya hili swala habari na hoja mchanganyiko 5 apr 23 2019 wataalamu wa mambo naomba ufafanuzi juu ya hili habari na hoja mchanganyiko 2 feb 28 2018 naomba ufafanuzi juu ya mambo haya muhimu wadau habari na hoja mchanganyiko 0 jan 13 2018 naomba ufafanuzi juu ya sanitizer na hand wash naomba ufafanuzi juu ya hili mbona bado tunalipia nguzo za umeme waziri mwenye dhamana unayesimamia mawasiliano naomba utoe ufafanuzi kwa watanzania juu ya hili swala wataalamu wa mambo naomba ufafanuzi juu ya hili naomba ufafanuzi juu ya mambo haya muhimu wadau
2020-07-14T07:39:24
https://www.jamiiforums.com/threads/naomba-ufafanuzi-juu-ya-likizo-ya-mwaka-v-s-likizo-ya-ugonjwa.1269924/