text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
27998 2000
suleiman755
hii chibhoko
thinks b4 speak said
tusipo kuwa makini tutaangamia na huyu jamaa kama ni kweli ana secret ishu tukimpa miaka kumi hawa wa tutsi watakuwa wameshika sehemu nyeti sana na watatutikisa sana
ushauri wa bure ccm wasifanye mzaa fuatilieni hili la vetting la mweshimiwa why inaonekana kuna siri kubwa sana kwenye ubin wake
nyie fukieni kila kitu na kusema ni porojo za wapinzani
hatukatai mtu yeyote ana haki ya kutawala hata kama sio mtz but ukweli lazima uwekwe wazi
mnyarwanda si mtu mzuri na ninaona ni adui atari sana wa taifa hili
kwa kweli hii chibhoko
12003 2000
nashauri rais apeleke vyeti vya kuzaliwa vya babu zake upande wa mama na babake pamoja na vyeti vya bibi zake wote wawili yaani mama mzaa mamake na mama mzaa babake baada ya hapo apeleke vyeti vya kuzaliwa vya mamake na babake na mwisho sasa apeleke vyeti vyake mwenyewe vya kuzaliwa na vya shule tusimtume nondo peke yake na wengine tupeleke
catolic sio biblia biblia haisemi umkosoe mshirika tu ila yeyote asiyefanya sawa sawa na matendo ya mungu
umebobea ktk uandishi lkn sio ktk mambo ya dinibado mtoto sana mpaka nakosa nikujibu lipi maana umeingiza ukatoliki ukasahau biblia alafu ukasahau mungu hajui dhehebu anajua neno lake na maelekezo yake
haki ikitendeka kila mtu athibitishe kama kweli ni raia wa tanzania uchaguzi mkuu utarudiwa
ni hayo tu ndugu zangu
reactions tulimumu and pascal mayalla
unamaanisha
kama tamnzania uchaguzi utarudiwa kweli
nina wasiwasi na jiwe
ukimkuta ben saa nane msalimie nadhani ndipo utakapopelekwa
mwambega geofrey
jiwe la kihutu
jiwe ni mhutu atupishe
kuna mabandiko mengine humu unajikuta unayasoma tuu na kuchangia kimoyomoyo
ila kama immigration wetu wanapita humu nawashauri wazingatie hoja za baadhi ya wachangiaji wa bandiko hili
14277 2000
14208 2000
unataka kusema nini
ccm walikuaga wanasema lowassa babake ametokea kenya aisee
na utakaporudiwa viongozi wengi na wananchi wengi watakuwa wamerudishwa katika nchi zao hivi jamani leo rais anaweza kuleta cheti cha kuzaliwa babu zake wazaa baba na mama je anaweza kuleta vyeti vya wazazi weke je yeye mwenyewe na mkewe walipata vyeti walipozaliwa au wamepatia ukubwani kwa njia ya affidavity kwanza baadhi ya watu wanaodaiwa vyeti walizaliwa wakati nyakati za ukoloni na wengi wameshafariki hivi kwa mfano mimi mababu bibi na wazazi wangu wote wameshafariki leo nikiambiwa nipeleke vyeti uhamiaji navipata wapi wengi itabidi tuondoke ikwa ni pamoja na jiwe | 2019-09-23T19:34:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/kauli-ya-kakobe-magufuli-atubu-yaibua-mambo-je-asili-halisi-ya-rais-magufuli-ni-msukuma-mhaya-au-muha-wa-kakonko.1373311/page-25 |
mchumba wa wolper afunguka mapya | raha za walimwengu
home » »unlabelled » mchumba wa wolper afunguka mapya
anayedaiwa kuwa ni mchumba wa muigizaji jaqueline wolper engine amesema kwamba yeye ana mahusiano ya muda mrefu na muigizaji huyo na wala siyo kwamba amekurupuka kama watu wanavyofikiria
engine amelazimika kufunguka hayo baada ya habari mitandaoni kusambaa kwamba wiki iliyopita alikwenda kumvalisha pete ya uchumba huko kwa bibi yake moshi | 2018-01-20T10:45:27 | http://www.rahatupu.us/2018/01/mchumba-wa-wolper-afunguka-mapya.html |
maisha mhe samia suluhu awahutubia wanawake kwenye maadhimisho ya kimataifa ya siku ya wanawake duniani wazalendo 25 blog
home habari jamii lifestyles maisha matukio news maisha mhe samia suluhu awahutubia wanawake kwenye maadhimisho ya kimataifa ya siku ya wanawake duniani
maisha mhe samia suluhu awahutubia wanawake kwenye maadhimisho ya kimataifa ya siku ya wanawake duniani
gadiola emanuel march 06 2016 habari jamii lifestyles maisha matukio news
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mkurugenzi mkuu wa kampuni ya trumark agnes mgonge alipowasili katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana jioni march 052016 kwa ajili ya kuhudhuria maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan katikati akiwa katika picha ya pamoja viongozi wa kampuni ya trumark iliyoandaa sherehe ya maadhimisho ya siku ya kiataifa ya wanawake duniani alipowasili katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana jioni march 052016 kwa ajili ya kuhudhuria maadhimisho hayo
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akizungumza na wajasiriamali wa vikundi vya vikoba kutoka katika taasisi mbalimbali kwenye maonesho ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani yaliyondaliwa na kampuni ya trumark katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana jioni march 052016
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akiangalia bidha katika maonesho ya vikundi vya wajasiriamali wa vikoba kutoka katika taasisi mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani yaliyoandaliwa na kampuni ya trumark katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana jioni march 052016 kulia naibu waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto mhe khamis kigwangala
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akimtunza msanii wa kikundi cha barnaba bibi patrisha hilary alipokua akiimba nyimbo ya kusifu siku ya wanawake duniani kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani yaliyoandaliwa na kampuni ya trumark katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana jioni march 052016
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akihutubia kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani iliyoandaliwa na kampuni ya trumark katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana march 052016
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na kuzungumza na wajasiriamali wa vikundi vya vikoba kutoka katika taasisi mbalimbali baada ya kuwahutubia kwenye maonesho ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani yaliyoandaliwa na kampuni ya trumark katika ukumbi wa kingsolomon kinondoni jijini dar es salaam jana jioni march 052016 (picha na omr)
tags # habari # jamii # lifestyles # maisha # matukio # news
posted by gadiola emanuel gadiola emanuel at march 06 2016
labels habari jamii lifestyles maisha matukio news | 2017-10-23T00:27:35 | https://wazalendo25.blogspot.com/2016/03/maisha-mhe-samia-suluhu-awahutubia.html |
mwaipaja blog rais dkt jakaya kikwete aongoza watanzania katika kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha moringe sokoine monduli juu arusha
rais dkt jakaya kikwete aongoza watanzania katika kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha moringe sokoine monduli juu arusha
jakaya kikwete ameongozi taifa katika maadhimisho ya miaka 30 ya kifo cha waziri mkuu wa zamani edward moringe sokoine katika maadhimisho
yaliyofanyika nyumbani kwa marehemutarehe 12/4/2014 monduli juu
pichani ni juu rais
jakaya kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa waziri mkuu wa
tanzania hayati edward moringe sokoine wakati wa kumbukumbu ya miaka 30 tangu kifo
mkuu mstaafu na mbunge wa monduli edward lowasa akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu edward moringe sokoine
spika wa bunge mhe anne makinda akishiriki misa
maalum ya kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa tanzania
hayati edward moringe sokoine iliyofanyika nyumbani kwake monduli kulia kwake
ni waziri wa habari vijana utamaduni na michezo mhe dkt fenera mkungara na
motto wa marehemu sokoine ndugu joseph sokoine
kikwete akiwa katikati ya wajane wa waziri mkuu wa zamani edward moringe sokoine wakati wa kumbukumbu ya kiongozi huyo wa zamani wa tanzania wengine kutokla kushoto ni mjane wa baba wa taifa mama maria nyerere rais mstaafu benjamin mkapa spika wa bunge anne makinda na mtoto wa marehemu sokoine ndugu joseph sokoine | 2017-07-27T18:46:06 | http://amani-mwaipaja.blogspot.com/2014/04/rais-dkt-jakaya-kikwete-aongoza.html |
habari ni habari ndugu yangu habari za kenya na k24 tv
tangibovukatika matatizo ya mwenzetu lazima tuwe wamoja kumsaidia
10/09/2010 102900 am | 2017-04-26T08:07:59 | http://kennedytz.blogspot.com/2010/10/habari-za-kenya-na-k24-tv_09.html |
wakimbizi 6700 raia wa burundi kurejea makwao kwa hiari | emmanuel shilatu breaking news blog
home » unlabelled » wakimbizi 6700 raia wa burundi kurejea makwao kwa hiari
wakimbizi 6700 raia wa burundi kurejea makwao kwa hiari
ajali ya coaster kugonga treni yaua watu kadhaa morogoro | 2017-08-24T10:37:40 | http://ndgshilatu.blogspot.com/2017/08/wakimbizi-6700-raia-wa-burundi-kurejea.html |
pressreader rai 20181227 kimataifa dunia yaingia kwenye vita ya miamala ya fedha taslim
kimataifa dunia yaingia kwenye vita ya miamala ya fedha taslim
rai 20181227 mbele na hilal k sued na mitandao
wakati ambapo kila mbonyezo wa kibodi (keyboard) unakuwa sehemu ya kumbukumbu mtu isiyofutika wakati ambapo vifaa vyote vya kielectroniki vinafuatilia kila jambo mtu analolifanya uwezo wa kufanya malipo kwa pesa taslim kupitia muamala wa kifedha ndiyo unabakia njia pekee isiyoweka kumbukumbu yoyote ambayo mtu anaweza kufanya
labda iwapo muamala huo umerekodiwa kupitia kamera za usalama (cctv) zilizowekwa kwenye eneo husika lakini pia dalili ziko kila mahali kwamba uhuru hu wa mwisho nao oia umedhamiriwa kutokomezwa kwani siku hizi njia zote zinaelekea kwenye mfumo wa kifedha wa kimataifa ambao kila manunuzi na mauzo kuanzia majumba ya maghorofa hadi peremende yanarekodiwa ndani ya historia ya kila binadamu kwa njia ya kielektroniki
kenneth rogoff mwanauchumi aliyebobea wa chuo kikuu cha harvard cha marekani na aliyewahi kuwa mchumi mkuu wa shirika la fedha duniani (imf) amesema sasa dunia imeanza kufikia mahali ambapo hakuna muamala ambao hautajulikana na mamlaka za kodi au mamlaka zingine za serikali
rogof ambaye anahusishwa katika andiko lake moja kuhusu faida na hasara za kuondoa kabisa fedha za makaratasi (noti) anasema noti zinasaidia kuifanya miamala kuwa siri na hivyo kusaidia kuificha miamala hiyo kwa serikali hivyo kusaidia katika ukwepaji kodi na malipo mengine
na katika fedha za noti zile zenye viwango vikubwa ndiyo hupendelewa kutumika katika miamala ya namna hii kwa mfano huko marekani asilimia 78 ya fedha zote zilizo kwenye mzunguko ni noti na dola mia mia na vivyo hivyo kwa noti za euro kuhusu nchi za umoja wa ulaya na yen kwa japan
noti hizi za viwango vikubwa kupendelewa katika miamala ya wahalifu kama vile katika biashara ya dawa za kulevya ukwepaji wa kodi na kutakatisha fedha ndiko kumeibua hoja kubwa ya kuachana nazo na badala yake miamala ya kielektroniki
rogoff si peke yake kupendekeza kuachana na matumizi ya pesa za karatasi wachumi wengine kama vile waziri wa fedha wa zamani wa marekani lawrence summers pia anapinga matumizi ya fedha za karatasi
summers anasema fedha taslimu zinapaswa kuwa historia kwani faragha (privacy) ndiyo adui mkubwa kwa mamlaka za serikali katika kupambana na uhalifu wa miamala na hivyo kufanya uthibiti kuwa mgumu
lakini kwa marekani falsafa yenyewe ya uwepo wa jamii isiyotumia pesa taslim ni ukiukwaji wa marekebisho ya nne (fourth amendment) ya katiba ya nchi hiyo hii ni kwa sababu itakuwa vigumu kupata tafsiri halisi ya ukaguzi ili kuwa na uhakika wa uwepo wa miamala yote ya mtu binafsi yaani muamala wa kielektroniki hautakuwa na maana au thamani yoyote kwa wakaguzi/ wapelelezi wa serikali matumizi ya bitcoin halafu sasa hivi kumeibuka matumizi ya aina ya pesa cryptocurrency kwa mfano bitcoin nje ya mifumo ya benki kuu za nchi mbali mbali fedha inayotumia teknolojia iitwayo blockchain miamala ya mfumo huu unafichwa (encrypted) ili kwamba kinadharia utambulisho wa mtu husika unakuwa haujulikani
bitcoin kwa mfano ilianzishwa mwaka 2009 na watu wasiojulikana ila kwa jina la bandia la satoshi nakamoto bitcoin imetokea kuwa maarufu sana sasa hivi ingawa kuna aina nyingine ya mifumo hiyo iliyoanzishwa kama ilivyotajwa hapo mbele mifumo ya fedha aina ya bitcoin iko nje ya mifumo ya benki kuu za nchi mbali mbali aidha umiliki wa bitcoin unatambulishwa siyo kwa majina bali ni kwa anuani tu
hata hivyo inadaiwa ile dhana ya kwamba hakuna mamlaka zinazoweza kuhusisha anuani ya bitcoin kwa mtu halisi haina nguvu sana kwani inadaiwa sasa hivi mamlaka ya mapato nchini marekani (irs) kwa mfano sasa hivi imeanza kutumia software in ayofuatilia utambulisho wa watu wanaomiliki bitcoin
waziri wa fedha wa zamani wa marekani lawrence summers | 2019-01-22T19:45:02 | https://www.pressreader.com/tanzania/rai/20181227/281492162434774 |
hapa ndio kila kitu ubaguzi wa simba wamchosha ajibu sasa kutimkia yanga
ubaguzi wa simba wamchosha ajibu sasa kutimkia yanga
mshambuliaji wa simba ibrahim ajibu amesema yupo tayari kuhamia yanga kipindi hiki cha dirisha dogo kutokana na uongozi wa timu yake kushindwa kumlipa mshahara wake kwa wakati
ajibu ameiambia goal tangu kumalizika kwa mzunguko wa kwanza hana furaha ndani ya timu hiyo na sababu kubwa ni uongozi kuwadharau wachezaji wazawa kwa kuchelewesha misharaha yao na kuwathamini wachezaji wa kigeni
naweza kuhamia yanga kwenye mzunguko wa pili kwa sababu wananihitaji na mimi ni mchezaji nategemea soka kuendesha maisha yangu kama wao wanakuwa na ubaguzi bora niwaachie timu yao niende kule ninapothaminiwa amesema ajibu
mshambuliaji huyo aliyepoteza namba kwenye kikosi cha kwanza cha kocha joseph omog katika mechi za mwishoni mwa duru la kwanza amesema vipo vitu vingi ndani ya timu hiyo vinakwenda ndivyo sivyo na wahusika wa kubwa ni viongozi
amesema pamoja na kuanza vizuri msimu huu lakini itakuwa ngumu kwa simba kutwaa ubingwa msimu huu kwa sababu kwa asilimia kubwa uongozi umekuwa ukiwavunja moyo wachezaji kutokana na ubaguzi wanaoufanya kwa kuwabagua wachezaji
simba ni kweli tuna timu nzuri wachezaji tulikuwa na ari kubwa ya kutwaa ubingwa msimu huu lakini kila tunavyokwenda viongozi wamekuwa wakituchanganya kwa kushindwa kutupa stahiki zetu kama posho na mishahara kucheleweshwa huku taarifa za pesa kuwepo tukiwa nazo amesema ajibu
mshambuliaji huyo aliyefunga mabao matatu tangu kuanza msimu huu amesema kufanya vibaya kwa timu hiyo katika mechi mbili za mzunguko wa kwanza kumetokana na wachezaji wenzake kucheza kwa kinyongo huku wakiwa wanaida timu hiyo mshahara wa miezi miwili
ajibu amebakiza miezi sita kumaliza mkataba wake wa kuichezea simba na tayari mahasimu wao yanga wameanza kutumia madhaifu hayo kwa kumshawishi ili aweze kuichezea timu yao kwenye mzunguko wa pili wa ligi ya vodacom tanzania bara
posted by ramadhan imiri at 821 am | 2018-10-21T08:44:53 | http://heavytalio.blogspot.com/2016/11/ubaguzi-wa-simba-wamchosha-ajibu-sasa.html |
byemejwe ko kigeli v aratabarizwa kuri iki cyumweru | imirasirecom
ahabanza >> amakuru yose >> amakuru mashya >> mu rwanda >> byemejwe ko kigeli v aratabarizwa kuri iki cyumweru
yanditswe 11/01/2017 1150
abagize umuryango wabahindiro bemeje ko umugogo wa kigeli v ndahindurwa uzatabarizwa ku cyumweru tariki ya 15 mutarama 2017 i mwima na mushirarungu mu karere ka nyanza
ibi byatangajwe na pasiteri ezra mpyisi wabivuze mu izina rya mushiki wa nyakwigendera witwa mukabayojo speciose kuri uyu wa gatatu tariki ya 11 mutarama 2017
pasiteri mpyisi yatangaje ko umuhango wo gutabariza umugogo wa kigeli uzabimburirwa na misa yo kumusezera izabera muri kiliziya gatolika paruwasi ya nyanza aho yabatirijwe
nyuma yuko umugogo wumwami kigeli v ndahindurwa ugejejwe mu rwanda ku wa 9 mutarama 2017 abahindiro bateraniye mu cyumba cyinama cya minisiteri yumuco na siporo aho bari kuganira ku mihango yitabarizwa ryumwami ndetse nuzamusimbura
aba bagize umuryango wumwami bayobowe na pasiteri ezra mpyisi wo mu itorero ryabadiventisiti bumunsi wa karindwi akaba ari numwe mu babanye na nyakwigendera kuva yakwima ndetse bakaba baranahunganye mu bihugu binyuranye kugeza muri amerika aho kigeli yaguye
pasiteri ezra mpyisi
mpyisi yavuze amateka yumwami nuburyo babanye agaragaza ko agaruka mu rwanda mu 1992 yasize kigeli ari kumwe na boniface benzinge ari nawe wari waratambamiye izanwa ryumugogo wumwami mu rwanda
nyuma yuko benzinge atsinzwe urubanza muri amerika bikemezwa ko umwami aza gutabarizwa mu rwanda mpyisi yagize ati nkumuryango twishimiye icyemezo cyurukiko rwa amerika cyo kohereza umugogo wumwami ngo atabarizwe mu rwanda
mpyisi kandi yavuze ko umuryango wishimiye uburyo uyu mugogo wakiriwe numuryango nyarwanda muri rusange
hagati aho umugogo wumwami ukigera mu rwanda benzinge yahutiyeho atangaza amazina yumuntu witwa bushayija emmanuel avuga ko ari we watoranyijwe gusimbura umwami kigeli ibi bikaba byaramaganiwe kure
dr vuningoma james umunyamabanga nshingwabikorwa winteko nyarwanda yururimi numuco yatangaje ko ingoma ya cyami yarangiye mu rwanda kugeza ubu kigeli v ndahindurwa akaba ariwe mwami wa nyuma u rwanda rwagize
rusatsi 11/01/2017 saa 1535
naruhuke imiruho y'iyi si abahindiro basigare bamarana nizere ko bazaduha amakonji yo kumugandarira
john peter 11/01/2017 saa 1404
gutabarizaumugogoetcicyo ni cya kinyarwanda twize kera ngo ntibavuga bavugaumwami ntapfa aratangasi umurrambo ni umugogontahambwa aratabarizwantamanurwa mu nva arururutswaibyo abana bacu baba bagomba kubimenya kuko umuco ni umutungo nyarwanda utagomba kwibagirana
nsengumuremyi 11/01/2017 saa 1433
ibyu vuganukuri
kaneza 11/01/2017 saa 1303
jye ibi mba numva birengeje ibisetso
kaneza 11/01/2017 saa 1302
ariko mumafoto ko mba mbona ari abantu bakuru kandi ko utapfa no kugera state utari umuntu usobanutse ni gute abantu nkaba baba bahuzagurika gutya ngo himitse undi mwami wa bwokoki wa rubanza ki ugamije iki c ahubwo nuwambere ntaho yarafite ayobora siwe ubonye yava iyisi mumaso none ngo undi mwamenya gukina theatre pe
xlxxcom 11/01/2017 saa 1222
biragaragarako ingoma yubwami ya rangiyereka abihamagara babikore bihamagare | 2017-02-28T09:59:34 | http://imirasire.com/Byemejwe-ko-Kigeli-V-aratabarizwa-kuri-iki-cyumweru.html |
waghana kuchezesha yanga na waangola taifa jumamosi bin zubeiry sports online
waghana kuchezesha yanga na waangola taifa jumamosi
marefa wa ghana watachezesha mechi ya kwanza ya mchujo wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya kombe la shirikisho afrika jumamosi uwanja wa taifa dar es salaam kati ya wenyeji yanga dhidi ya sagrada esperanca ya angola
hao ni joseph odartei lamptey atakayepuliza filimbi akisaidiwa na washika vibendera david laryea na malik alidu salifu
ofisa habari wa shirikisho la soka tanzania (tff) alfred lucas mapunda amesema leo mjini dar es salaam kwamba kamisaa wa mchezo huo ni asfaw luleseged begashaw kutoka ethiopia
kocha wa yanga mholanzi hans van der pluijm (kulia) akiwa na meneja hafidh saleh
mwandishi huyo wa zamani wa gazeti la dimba amesema kwamba waamuzi watawasili leo usiku nchini wakati kamisaa atawasili kesho mchezo wa marudiano utachezeshwa na marefa wa madagascar mei 17 mwaka huu uwanja wa sagrada esperanca zamani quintalao do dundo na utachezweshwa
item reviewed waghana kuchezesha yanga na waangola taifa jumamosi
kikosi cha azam fc dhidi ya mwadui
tight end jacob tamme wants to remain in atlanta that just doesn't appear to be his only option i love being a falcon love my teammates love what
notice undefined index layout_id in /var/www/vhosts/sunnews/wpcontent/themes/fastnews/library/frontphp on line 1663 despite securing a home win baba g
caf to open up its presidency to fa heads
confederation of african football (caf) is set to repeal a law allowing only the 13 members of its executive council to challenge for the presidency a
danny rose's brother knocks red card out of referee's hand
angry reactions to red cards are hardly uncommon in football but they still make the headlines when they occur and an incident in league two on saturday
the teams blackburn v united
find out who jose mourinho has picked to face blackburn rovers in the emirates fa cup | 2017-02-19T18:44:32 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/05/waghana-kuchezesha-yanga-na-waangola.html |
huu ni ukomavu wa siasa au ni ukibaraka | jamiiforums | the home of great thinkers
huu ni ukomavu wa siasa au ni ukibaraka
discussion in 'jukwaa la siasa' started by pinokyo jujuman mar 22 2012
siku ya kwanza mh ole sendeka alipopanda jukwaan kule arumeru kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya ccm yalisemwa mengi ikiwepo na kutoa mtazamo wa fikra zetu ya kuwa mhole sendeka sasa naye yupo katika kundi la el kauli hii ilichangiwa na wengi sana hapa jamvini na kuandikwa kwenye baadhi ya magazeti
sasa kwa picha hii ya ole sendeka na nassari ilopamba ukurasa wa mbele wa gazeti la tanzania daima nani kibaraka wa nani au tutauita ni ukomavu wa kisiasa kwa ole sendeka
sendeka & nasari jpg
vyote vinawezekana na visiwezekane pia kumbuka wanasiasa ni baba mmoja ila mama tu ndio tofauti vijinasaba vyao vinafanana intrest zao ni moja tu (usidanganyike eti kukutumikia wewe) we mkubwa umeshaelewa nadhani
hakika nimeamin kuwa jf nikisima cha habari za uhakika hiyo picha imenithibitishia kwamba ni kwel sendeka alimkombatia nassary na kumpongeza much respect to jf
kwani ni olesendeka alimkumbatia nassari ama nassari alimkumbatia olesendeka ****** tutajuaje pengine walikumbatianahuwezi jua kama historical background zinawahusu
kwa hiyo ntakuwa sawa nikuanganisha na ile dot ya sioi kuhujumiwa
kwa hiyo ntakuwa sawa nikuanganisha na ile dot ya sioi kuhujumiwaclick to expand
sangarara kama ukiamua kuziunganisha dot zako kwa kumaliza kihivyo sasa je kama ilisemwa kuwa ole sendeka ni kambi ya el inakuaje tena amhujumu sioi ambaye ni mteule kambi yao
vyote vinawezekana na visiwezekane pia kumbuka wanasiasa ni baba mmoja ila mama tu ndio tofauti vijinasaba vyao vinafanana intrest zao ni moja tu (usidanganyike eti kukutumikia wewe) we mkubwa umeshaelewa nadhaniclick to expand
point taken
hakika nimeamin kuwa jf nikisima cha habari za uhakika hiyo picha imenithibitishia kwamba ni kwel sendeka alimkombatia nassary na kumpongeza much respect to jfclick to expand
una uhakika gani kama sendeka alikua anampongeza nassari au alikua anamvuta kijana kijanja kwa kuutengeneza ukaribu na ushawishi wa kiutu kuwa kibaraka wao
kwani ni olesendeka alimkumbatia nassari ama nassari alimkumbatia olesendeka ****** tutajuaje pengine walikumbatianahuwezi jua kama historical background zinawahusuclick to expand
kutokana na maelezo ya mwandishi na mpiga picha wetu ameeka bayana kuwa ole sendeka akimkumbatia nassari wakati anaondoka kuelekea kwenye kampeni
hapa inaonekana sendeka ndo alienda kumkumbatia nassari huu ni mtazamo wangu kwakua hapo walipo kuna gari inayoashiria kuwa ni ya cdm na bila shaka ndo anayotembelea nassari kwenye kampeni therefore sendeka alimfuata nassari na kumkumbatia hapo vipi
una uhakika gani kama sendeka alikua anampongeza nassari au alikua anamvuta kijana kijanja kwa kuutengeneza ukaribu na ushawishi wa kiutu kuwa kibaraka waoclick to expand
sasa na ww umekuwa wasira siku hzi usiwe kiraza bhana
nadhani ole sendeka anajua anachokifanya maana siamini kabisa kwamba sasa yuko kambi ya lowasa nadhani anapigana vita vya ndani na hapa atakuwa anahujumu tu kambi ya lowasa hii ni advantage kwa chadema
sasa kwa picha hii ya ole sendeka na nassari ilopamba ukurasa wa mbele wa gazeti la tanzania daima nani kibaraka wa nani au tutauita ni ukomavu wa kisiasa kwa ole sendekaclick to expand
jana nasri katupiga goli lakini baada ya mechi akakumbatiana na essien
hamna cha ajabu hapo
it is sendeka's wish that ccm lose in arumeru hajasahau lowasa alivyotaka kumfunga kupitia kwa millya
kumbe wenye maumivu (chelsea) tuko wengi humu pole ng'wanangwa | 2016-10-28T16:21:08 | http://www.jamiiforums.com/threads/huu-ni-ukomavu-wa-siasa-au-ni-ukibaraka.236787/ |
baba yake beyonce apanga kupeleka bangi kenya dar24
1 week ago comments off on baba yake beyonce apanga kupeleka bangi kenya
kampuni ya bangi inc iliyo chini ya mathew knowles ambaye ni baba mzazi wa mwanamuziki beyonce imepanga kufanya biashara ya bangi jijini nairobi nchini kenya endapo nchi hiyo itahalalisha matumizi ya mmea huo
mzee mathew pamoja na wajumbe wa kampuni ya bangi inc wanaiangalia kenya kama sehemu muhimu ya soko lao wakiamini kuwa nchi hiyo itapitisha sheria itakayowapa nafasi ya kutengeneza pesa kupitia bangi
kampuni hiyo iliyosajiliwa marekani ilitangaza agosti 7 2019 kuwa bodi yake ya wakurugenzi imepitisha azimio ambalo litaifanya kuwa kampuni ya kwanza kuorodheshwa kwenye masoko ya hisa ya nairobi na marekani
mzee knowles atakuwa na jukumu la kusimamia kampuni hiyo katika masuala ya matangazo mawasiliano ubunifu pamoja na matumizi ya mitandao ya kijamii
kenya ni soko linalokuwa haraka katika miaka ya hivi karibuni soko hili litavutia uwekezaji wa mabilioni ya dola za kimarekani mtendaji mkuu wa bangi inc amekaririwa na yahoo
hata hivyo ingawa kumekuwa na mjadala kuhusu kuruhusu matumizi ya bangi nchini kenya bado sheria ya nchi hiyo kama ilivyo kwa nchi zingine za afrika mashariki inapiga marufuku matumizi ya mmea huo kwa namna yoyote bangi au marijuana imewekwa kwenye orodha ya dawa za kulevya katika nchi zote za jumuiya ya afrika mashariki
mzee mathew alikuwa msimamizi wa kazi za mwanaye beyonce kwa muda mrefu lakini machi 2011 mwanaye huyo alitangaza kumuachisha kazi
habari kubwa katika magazeti ya tanzania leo agosti 15 2019 | 2019-08-24T06:50:53 | http://dar24.com/baba-yake-beyonce-apanga-kupeleka-bangi-kenya/ |
utafiti wasiwasi kutokana na kushuka kwa kiwango na ubora wa mbegu za kiume ulaya na marekani sibuka footage stock
utafiti wasiwasi kutokana na kushuka kwa kiwango na ubora wa mbegu za kiume ulaya na marekani
posted by erick kway on october 9 2018 with 0 comment
wataalamu wametahadharisha kwamba ubora wa mbegu za kiume miongoni mwa wanadamu umekuwa ushuka pakubwa na kuathiri uzazi
utafiti viwango vya mbegu za kiume vimepungua
vyakula visivyo vya wanga vinaweza kupunguza uhai wako
kudhoofika pakubwa
haki miliki ya pichascience photo library
image captionmbegu za uzazi
image captionmbegu za kiume kupungua
kuna pia unywaji pombe kupindukia kafeini na ulaji wa nyama iliyopitishiwa viwandani
mafuta ya kupanga uzazi kwa wanaume yafaulu majaribio
binadamu kupandikizwa kichwa kufikia 2017
kiwango cha mbegu za kiume
mafuta yanayowafanya wanaume kumea matiti
makaburi yaliyo na ujumbe kutoka kuzimu misri | 2019-08-18T18:04:19 | https://sibukamedia.com/utafiti-wasiwasi-kutokana-na-kushuka-kwa-kiwango-na-ubora-wa-mbegu-za-kiume-ulaya-na-marekani/ |
mkutano wa india na afrika | matukio ya kisiasa | dw | 08042008
mkutano wa india na afrika
viongozi wa nchi za afrika wanakutana mjini new delhi kujadili njia za kuimarisha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina yao
mkutano wa kihistoria wa viongozi wa india na nchi za afrika umeanza leo mjini new delhi kujadili njia za kuimarisha uhusiano wa kibiashara na kibalozi baina ya mabara yao
viongozi wasiopungua 15 kutoka nchi za afrika wanahuhduria mkutano huo wa siku mbili ambapo pamoja na wenyeji wao wa india wanajadili njia za kuimarisha uhusiano wa kiabiashara na kiuchumi
mkutano huo ni muhimu kwa kutambua kwamba biashara baina ya india an nchi za afrika sasa imefikia thamani ya dola bilion 30
biashara baina ya pande hizo imekuwa inaongezeka tokea mwaka 2001
kwenye mkutano wao viongozi wa india na afrika pia watajadili ushirikiano katika sekta za nishati na usalama
mkutano huo unafanyika wakati ambapo india nchi inayoinukia kuwa na nguvu kubwa za kiuchumi inahitaji nishati na raslimali zaidi kwa ajili ya uchumi wake unaondelea kustawi kwa kiwango kikubwa
biashara baina ya india na nchi za afrika imekuwa inastawi haraka mnamo miaka ya hivi karibuni na imeongezeka mara mbilipande mbili hizo zinakusudia kuongeza zaidi kiwango cha biashara baina yao ambacho sasa kinafikia thaamni ya dola bilioni 30
akifungua mkutano huo leo mjini new delhi waziri mkuu wa india bwana manmohan singh amesema nchi yake inataka kuona karne hii kuwa ni ya watu wa afrika na india wakishirikiana katika juhudi za kuendeleza sera za dunia utandawazi
waziri mkuu huyo pia ametangaza kupunguza ushuru kwa bidha za afrika zinazouzwa nchini india amesema india pia itashirikiana na nchi za afrika katika sekta za kilimomiundombinuelimu pamoja na mawasiliano ya kisasa
na katika kipindi cha miaka mitano ijayo india itatoa mikopo thamani ya dola bilioni 5 na milioi mia nne
akizungumza kwenye mkutano huo rais joseph kabila wa jamhuri ya kidemokrasi ya kongo amesema katika ushirikiano wake na nchi zingine mnamo miaka ya nyuma afrika iliambulia maneno matupu rais kabila amesema afrika sasa inataka kuona miradi ya haraka katika maendeleo
kiungo http//pdwcom/p/dean | 2017-12-13T20:16:06 | http://www.dw.com/sw/mkutano-wa-india-na-afrika/a-3252693 |
tahadhari za kuchukuliwa unapotoa chanjo | the beehive kenya
ingia au ujisajilishe nyumbanipesaafyakazielimu[ukulima] nyumbaniukulimakilimo cha mifugoufugaji wa kukumatibabu na chanjotahadhari za kuchukuliwa unapotoa chanjo katika sehemu hii mbinu za kutoa chanjatahadhari za kuchukuliwa unapotoa chanjo vifaa muhimu vya chanjo chapishatahadhari za kuchukuliwa unapotoa chanjo 1chanjo zote zinafaa kuhifadhiwa kahtika jokofu kabla ya kutumika
2chanjo zingine zinazoitwa uthibiti jotona hii ina maanisha chanjo hizi zinaweza kuhimili halisjoto kalihata hivyo chanjo zinazothibiti joto zinafaa kuhifadhiwa mahali patulivu ili kuzifanya ziwe na uwezo wa kufanya kaziunapaswa kuziweka chanjo mbali na jua la moja kwa moja 3unapotumia chanjo kiwanjaniunapaswa kwa umbali unaowezekana kuzisafirisha katika sanduku tulivu na lenye barafu
4sirinjisindano na vifaa vingine vitakavyo tumika wakati wa utoaji wa chanjo havifai kuohshwa na viua viini vya kemikali kwani vinaweza kuharibu chanjobadala yake vinapfaa kuuliwa viini kwa kuwekwa katika maji ya moto na hatimaye kutumiwa baada ya kupoa 5chaanjo ni lazima zichanganyishwe ama kuzimuliwa na maji baridi yaliyotoneshwana tahadhari inafaa kuchukuliwa ili kuhakikisha chanjo hazipatani na jua la moja kwa moja
6ni vizuri kuwachanja ndege katika masaa matulivu ya sikuaidha asubuhi ama jioni
7baadhi ya chanjo zilizochanganyishwa zinafaa kuutumiwa katika mda usiozidi dakika 30ama hazitafaa kwa matumizi na zinafaa kutupwa
8mara kwa mara tafuta ushauri wa dakitari wa wanyama ama mzaidizi wa dakitari wa wanyama kabla ya kufanya kampeni ya chanjo | 2017-02-24T11:07:48 | http://kenya.thebeehive.org/content/767/2024 |
vielelezo 10 muhimu vinavyomtambulisha kijana na kutambua thamani yake hapa duniani « amka mtanzania
vielelezo 10 muhimu vinavyomtambulisha kijana na kutambua thamani yake hapa duniani vielelezo 10 muhimu vinavyomtambulisha kijana na kutambua thamani yake hapa duniani posted by makirita amani | at thursday september 29 2016
habari mpendwa rafiki na msomaji wa amka mtanzania natumaini hujambo kabisa na karibu tena ndugu msomaji katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kila mtu ana faida yake hapa duniani aidha kwa kujua au kwa kutokujua tupo tofauti ndio maana kila mtu ana kitu cha kipekee au ana hazina ya kipekee ambayo bado haijagunduliwa wewe ni zawadi kwa wewe mwenyewe lakini pia wewe ni zawadi kwa dunia huu ndio wakati sahihi kwako kutoa thamani iliyoko ndani yako kila mtu ana deni katika hii dunia ambalo anapaswa kulipa kabla hajaondoka duniani kama una tabasamu ujue kuna mtu anahitaji tabasamu lako kuna mtu anahitaji upendo wako ambao kama ukiutoa atafarijika katika maisha hivyo utakua umeongeza thamani katika maisha yake
hivyo ndugu msomaji napenda kukukaribisha katika somo letu la leo ambapo leo tutakwenda kujifunza vielelezo muhimu vinavyomtambulisha kijana na kutambua thamani yake hapa duniani karibu mpenzi msomaji tuanze kwa pamoja mpaka mwisho wa somo letu vifuatavyo ni vielelezo muhimu vinavyomtambulisha kijana na kutambua thamani yake katika hii dunia
1 usemi wewe kama kijana unasema nini juu ya maisha yako na watu wengine unasema nini na kuchukua hatua gani pale mambo yako na jamii yako kwa ujumla yanapokwenda vibaya unapomwona mwenzako anaangamia na madawa ya kulevya unasema nini unapomwona mwenzako amekata tamaa ya maisha wewe kama kijana unasema nini unachukua hatua gani unampatia ushauri sahihi au na wewe unaendelea kumsukumiza shimoni ili aendelee kutokomea kabisa wewe kama kijana unatakiwa kusema na siyo kukaa kimya na kuacha watu wakiangamia kama kuna sehemu inahitajika kusema ukweli sema na siyo kukaa kimya
2 mwenendo unatakiwa kuwa na mwenendo mzuri katika maisha yako na maisha ya watu wengine ebu jiulize mwenendo wa maisha yako uliyokuwa nayo sasa ni mwenendo sahihi katika maisha yako mwenendo wako ni mzuri au mbaya jina lako likitajwa katika jamii watu wanasikia nini kutoka kwako au wanajifunza mwenendo gani kutoka kwako mtu akigugo jina lako katika mtandao atajifunza mwenendo au tabia gani hasi au chanya kijana unatakiwa kuwa na mwenendo mzuri kwenye maisha yako na jamii kwa ujumla
3 upendo unaishi katika falsafa ya upendo katika maisha yako je unajipenda wewe mwenyewe kama jibu ni ndio unawapenda na wengine je unapenda kile unachofanya wewe kama kijana unatumiaje falsafa ya ujana wako ambayo ni kipindi cha sasa ukoje katika kugusa maisha ya wengine hivyo upendo ni kielelezo kinachomtambulisha kijana na kugundua nini thamani yake hapa duniani
4 imani maisha ni imani lazima uwe na imani na yale unayoyafanya lazima kama kijana uwe na imani na maisha yako uwe na imani thabiti ya maisha ya kiroho unatakiwa ukue katika nyanja tatu katika maisha yako nazo ni kiroho kimwili na kiakili vitu hivi vitatu vinategemeana kama mizani au mafiga kama vile tunavyojua mafiga yanafanya kazi vema na kwa ustadi kama yakiwa matatu hivyo ukiwa na figa moja huwezi kupika chakula kikaiva hivyo ni muhimu kuwa na imani katika maisha yako
5 usafi kijana anapaswa kuwa kielelezo cha usafi na siyo uchafu kuna baadhi ya vijana ukikutana nao huwezi kukaa nao karibu kwa sababu wananuka jasho nguo chafu yaani wamechoka wamechakaa wengine wananuka sigara wengine wananuka pombe hivyo basi tabia kama hizi huwa zinaathiri watu wengine kama wewe ni kijana unatakiwa kuwa msafi na nadhifu wa mwili wako unatakiwa kujitunza na kujithamini mwili wako ni ndio nyumba yako yaani mahali wewe unaishi usiruhusu kila mtu kuuchezea mwili wako jitunze na jithamini kula vizuri fanya mazoezi kiufupi kula mlo kamili na usiruhusu mwili wako kuwa kama siti ya daladala au taulo la nyumba ya wageni kila mtu anayekwenda analitumia kuwa msafi wa ndani na wa nje wa mwili wako mtu akikuangalia uonekane kweli kijana na siyo mzee kuwa nadhifu na maridadi kama kielelezo cha usafi
6 bidii hakuna kitu kinachoweza kutokea katika maisha yako kama wewe mwenyewe huna bidii katika kitu hicho kama wewe ni mwanafunzi unasoma hakikisha unaweka bidii katika masomo yako kama wewe unafanya kazi weka bidii katika kazi yako unayofanya juhudi ni muhimu sana katika maisha yako kwenye chochote unachofanya hakuna kitu kirahisi na ingekuwa rahisi kila mtu angefanya kuna usemi mmoja unasema hivi heri uzee kuliko uzembe kama huna bidii katika maisha yako wewe ni mzembe na wazembe hawahitajiki katika karne hii hivyo basi bidii ni kielelezo tosha cha kijana mahali popote pale ambapo kijana yupo ukiwa eneo la kazi na wewe ni kijana jaribu kufanya kazi tofauti ongeza thamani na uoneshe tofauti kuwa kweli wewe ni kijana na siyo mzee uwe sehemu ya mabadiliko chanya mahali ulipo
7 kusoma kijana unatakiwa usome katika maisha yako siyo kukaa tu na kujishughulisha na mambo ambayo hayaongezi thamani katika maisha yako mwanafalsafa jim rohn aliwahi kusema kosa chakula lakini usikose kusoma kitabu je wewe kama kijana mara yako ya mwisho kusoma kitabu ni lini huenda hata ulivyokua shuleni au chuoni hukujisumbua kusoma vitabu badala yake ulikuwa unatumia tu notes za mwalimu mpaka unamaliza kama wewe unaitwa kijana kuanzia leo anza kujifunza anza kutafuta maarifa katika maisha yako kwani hujui ya kuwa maarifa ni chakula cha ubongo wako mbona wewe unakula kila siku halafu huilishi akili yako hujui ya kwamba unatakiwa kukua katika sehemu tatu yaani kiakili kiroho na kimwili anza kusoma acha kutafuta sababu zisizokua na maana
8 onya moja kielelezo cha kijana ni kuonya kama unaona watu wanafanya mambo na kwenda kinyume na maadili katika jamii unaonya huwezi kumuonya mtu juu ya jambo fulani wakati na wewe ni mshirika wa mambo hayo chochote unachotaka kuonya hakikisha kwanza wewe uko vizuri unapomuonesha mwenzako kidole kimoja angalia vidole vingapi vinakurudia wewe tumia ujana wako kama kielelezo cha kuonya kama uko katika familia yako unaona kuna mtu anaenda kinyume mpe onyo lake kwa kumwambia ukweli yaani wewe onya wala usifunge macho kuwa mwaminifu katika maisha yako kwani uaminifu utakulipa
9 kufundisha hapa naongelea kwa kijana yoyote mwenye kipaji au karama fulani katika maisha yake je wewe una kipaji kama una kipaji ulichopewa bure je na wewe unakitumiaje ili uweze kuwasaidia wengine kama una kipaji chako hakikisha unawafundisha wengine hicho kipaji chako hujui ya kwamba wewe ni zawadi kwa wewe mwenyewe na wewe ni zawadi kwa dunia nzima fundisha wenzako kile unachojua katika akili yako ambacho kitakua msaada kwa wengine kama una maarifa uliyoyapata darasani ni wakati wako sasa wa kufundisha dunia kile unachojua usiwe mchoyo au mbinafsi katika maisha yako kama una kitu cha msaada wafundishe wenzako kabla hujaondoka na zawadi uliyonayo una kipaji na karama ambayo bado hujaigundua na kuitoa duniani ninachokuomba usife na hazina uliyonayo itoe ili na wengine wajifunze
10 uadilifu nidhamu na uaminifu katika zama hizi za taarifa uadilifu uaminifu na nidhamu umekua adimu sana uaminifu ni kutekeleza kile unachoahidi au kuwaambiwa watu kama unawaambia watu kuwa utawafanyia kitu fulani hakikisha unatekeleza ahadi yako watu wamekosa uaminifu siku hizi hivyo unatakiwa umchunguze mtu kabla ya kufanya naye kitu fulani ukiwa na uaminifu utakulipa sehemu yoyote ile hata kama hujuani na mtu mtaweza kufanya kazi na mambo yakaenda vizuri pia unatakiwa kuwa mwadilifu yaani usimamie misingi uliyojiwekea katika maisha yako kama umeamua kuishi katika kusimamia ukweli basi simamia ukweli mpaka pumzi yako ya mwisho hapa duniani vile vile unatakiwa kua na nidhamu kwani nidhamu ni daraja la mafanikio katika maisha yako hivyo kuwa na nidhamu thabiti katika maisha yako
soma ushauri muhimu kwa vijana okoa miaka hii kumi ambayo utaipoteza
kwa kutamanisha unatakiwa kudumu katika yote uliyojifunza leo kudumu maana yake ni kusimamia katika yote uliyoamua kufanya kama umeamua kusimamia ukweli basi dumu katika falsafa hiyo ya kusimamia ukweli kama wewe ni kijana usisubiri upewe ruhusa katika maisha kwani maisha ni muda na ni mafupi lakini ni marefu kama tu ukitumia muda wako vizuri hapa duniani unaweza kufanya na kwenda mbali zaidi kuliko mtu yeyote katika familia yako una uwezo mkubwa sana jaribu kuutumia leo | 2017-05-25T14:29:30 | http://www.amkamtanzania.com/2016/09/vielelezo-10-muhimu-vinavyomtambulisha.html |
dzi mineral dzine dza ṱoḓea kha mbudzi
dzi mineral dzine dza toḓea kha mbudzi
dzi mineral dza toḓea kha mbudzi
calcium (ca) na phosphorus (p) dzi dzula kha marambo mbudzi ya kona u zwiwana nga tshifhinga tsha ṱhoḓea yadzo calcium na phosphorus dzi ya shuma u khwaṱhisa marambo na maṋo kha nwana wa mbudzi ane akhou hula mafhi aya vha o ḓala ca zwine zwa amba uri hezwi ya tsadzi i tshi khou fha nwana wayo mafhi ivha i tshi khou fha ca lucerne nayone yo ḓala nga calcium kana ya wanala kha zwinwe zwiḽiwa usa vha hone ha a ca zwi nga ita uri na mafhi asa vhe hone kana uvha na u lwala kha ya tsadzi
calcium na phosphorus dzina vhushaka dzi fanela uvha hone kha ratio ya 21 i ya ṱoḓea uri hu hule dzi tissue na u mela ha marambo nahone ndi zwa ndeme uri i kone u wana maanḓa musi i tshi khou shenga dzi grin dzo ḓala nga ca na p
dzinwe dzi minerala sa selenium na copper dzi ya ṱoḓea dzi songo tou ḓalesa copper (cu) u itela tsukanyo na selenium i thusana na dzi cele na u tshidza vhana vho bebiwaho vha songo swika
zinc i vha hone kha u bveledzwa ha murundo wa ya munna na u thusa kha dzine dza sokou fhelelwa nga mavhudzi avha a si tsha hula musi huna zwitzhili zwinzhi kha mulomo na mare ane avha atshi khou sokou bva u oma ha marambo he atangana hone na usa shuma zwavhuḓi kha nzeo ya ya tshinna
usa vha hone kha iodine zwi nga vhonala nga usina ha thyroid na mukumba wo omaho
u dzi fha dzi vitamin na mineral
musi u tshi khou renga mbudzi ya mafhi vhane vha shuma u ita zwiḽiwa vha ya kona u nwala zwine zwa vha uri zwi khou ṱoḓea kha dzi mineral na dzi vitamin arali ya sa fhiwa zwiḽiwa unga kona u tou ifha mineral yo tou ralo uri i kone ufha pfushi ine ya khou ṱoḓea huna tshaka nnzhi dza dzi lick dzine dza vha dzo itelwa dzi nyimelo dzo fhambanaho na dzi khalanwaha vhunzhi ha dzi lick dzi vha dzina muṋo fhedzi zwi vha zwi tshi khou sumbedziwa uri mbudzi iḓo ḽa zwo linganaho uri i kone u swikela dzi minerala na dzi vitamin dzine ya khou ṱoḓa | 2019-09-18T14:05:47 | http://southafrica.co.za/ve/dzi-mineral-dzine-dza-todea-kha-mbudzi.html |
messi awakalisha man city etihad ibrahimovic aing'arisha psg ugenini bin zubeiry sports online messi awakalisha man city etihad ibrahimovic aing'arisha psg ugenini bin zubeiry sports online
mwanzo > untagged messi awakalisha man city etihad ibrahimovic aing'arisha psg ugenini
messi awakalisha man city etihad ibrahimovic aing'arisha psg ugenini
barcelona imejiwekea mazingira mazuri ya kupenya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kufuatia ushindi wa mabao 20 dhidi ya wenyeji manchester city uwanja wa etihad usiku huu katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 bora ya michuano hiyo
lionel messi alifunga bao la kwanza dakika ya 54 kwa penalti ya utata baada ya yeye mwenyewe kuangushwa nje kidogo ya eneo la hatari na martin demichelis lakini refa akatenga tuta kabla ya beki dani alves kufunga la pili dakika ya 90
mtu hatari messi akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza kwa penalti usiku huu uwanja wa etihad
hilo linakuwa bao la kwanza kabisa messi anafunga dhidi ya vigogo wa ligi kuu ya england tangu ameanza kukutana navyo akiwa na barca mwaka 2006 na kumaliza ukame wa kucheza saa 12 nchini humo bila kufunga
katika mchezo mwingine wa leo 16 bora ligi ya mabingwa uwanja wa bayarena mjini leverkusen wenyeji bayer 04 leverkusen walichapwa mabao 40 na paris saintgermain fc ya ufaransa
mabao ya psg yalifungwa matuidi dakika ya tatu pasi ya verratti ibrahimovic dakika ya na 42 pasi ya matuidi na cabaye dakika ya 88 pasi ya lucas
ndani ya eneo la hatari martin demichelis akimkwatua lionel messi kusababisha penalti lakini ilikuwa faulo ya ndani ya boksi na chini messi akipiga penalti hiyo
shujaa ibrahimovic akishangilia baada ya kuifungia psg
rekodi ya messi viwanja vya ligi kuu england
2006 16 bora chelsea 12 barca ilishinda
2006 makundi chelsea 10 barca ilifungwa
2007 16 bora liverpool 01 barca ilishinda
2008 robo fainali man utd 10 barca ilifungwa
2009 nusu fainali chelsea 11 barca ilitoa sare
2010 kufuzu arsenal 22 barca ilitoa sare
2011 16 bora arsenal 21 barca ilifungwa
2012 nusu fainali chelsea 10 barca ilifungwa
2014 16 bora man city 02 barca ilishinda
item reviewed messi awakalisha man city etihad ibrahimovic aing'arisha psg ugenini rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-08-15T13:29:22 | http://www.binzubeiry.co.tz/2014/02/messi-awakalisha-man-city-etihad.html |
1951 kupanga kushindwa kisima cha maarifa
1951 kupanga kushindwa
by dr makirita amani | may 4 2020
najua hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza kukaa chini na kupanga kushindwa yaani kwa makusudi kabisa unapanga uingie kwenye biashara na upate hasara hilo huwa halitokei lakini kila siku watu wanashindwa kila siku watu wanaingia kwenye biashara na kupata hasara je hili huwa linatokeaje ina maana kushindwa ni ajali
← #tafakari ya asubuhi tumia mawazo ya wenye hekima #tafakari ya asubuhi sema ukweli kwa watoto → | 2020-05-25T10:22:27 | https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/05/04/1951-kupanga-kushindwa/ |
kampuni ya network ltd yazindua droo kubwa ya milioni 60 ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
pichanimratibu wa mawasiliano wa tatu mzuka sebastian maganga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na mchezo wa bahati nasibu ya tatu mzuka wakati wa uzinduzi wa mchezo huo wa kubahatisha nchini mapema jijini dar es salaam (picha na immamatukio blog)
akieleza sababu ya kutumia namba tatu mratibu wa mawasiliano wa tatu mzuka sebastian maganga alisema tumezungukwa na namba inaweza kuwa siku yako ya kuzaliwa namba ya jezi ya mchezaji unayempenda au kumbukumbu yoyote hivyo tunaamini kila mtu anazo namba angalau tatu za bahati sasa fikiria kutumia namba yako ya bahati kujishindia mamilioni ya fedha
balozi wa tatu mzuka mussa hussein akitambulisha tatu mzuka kwa waandishi wa habari
unaweza kubeti kuanzania tsh 500 mpaka tzsh 30000 na kujiwekea nafasi ya kushinda mpaka tzsh milioni 6 ndani ya lisaa kubeti na tatu mzuka ni kupitia huduma za fedha kwa njia ya mtandao hivyo hutahitaji kufanya usajili wowote fedha utakazoshinda pia zitatumwa moja kwa moja kwenye simu yako
kila unapobeti unaingia moja kwa moja kwenye droo ya wiki iitwayo mzuka jackpot na droo hii inakupa nafasi ya kuwa milionea hivyo basi kwa kila tzsh 500 unayobeti kwenye tatu mzuka unapata nafasi moja ya kuingia kwenye droo ya mzuka jackpot alieleza maganga
aliongeza kuwa kila ticket ya tatu mzuka inakuwa na viashiria vyenye herefu 6 zanazokuingiza kwenye droo ya jackpot hivyo ukibeti tzsh 500 herufi zako zinaingizwa kwenye droo mara tatu hivyo kukuongezea nafasi ya kushinda
muwakilishi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha daniel wilson amewasihi watanzania kushiriki kwenye tatu mzuka na kuwa na nafasi ya kubadilisha na kuboresha maisha yako sera ya tatu mzuka ni uwazi hivyo kila ushindi wa washiriki utachapishwa kwenye tovuti ya tatu mzuka (wwwtatumzukacotz)
droo ya jackpot itafanyika kila jumapili na kurushwa moja kwa moja na vituo vya televisheni vya tv1 na clouds tv saa 3 kamili usiku na kutangazwa na mtanganzaji mashuhuri mussa hussein akiambatana na antu mandoza kila mshindi atakua na uhakika wa kushinda kati ya tzsh milioni 2 na milioni 6 pamoja na kupata nafasi ya kujishindia milioni 30 iwapo hakuna atakayeshinda milioni 30 basi wiki inayofata kitita cha mzuka jackpot kitaongezeka mara mbili yake na kuwa milioni 60
ndani ya wiki moja tu tangu kuanza kwa tatu mzuka wameshapatikana washindi zaidi ya 40000 na kulipwa kiasi cha tzsh milioni 100 kwa pamoja beti na tatu mzuka sasa upate nafasi ya kushinda tzsh milioni 60 jumapili hii
mmoja wa waandishi wa habari akishiriki katika droo ya tatu mzuka wakati wa uzinduzi
balozi wa tatu mzuka shilole akishiriki katika mchezo huo wa kubahatisha mapema leo
baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo katika shughuli ya uzinduzi wa mchezo wa kubahatisha wa tatu mzuka mapema leo katika hoteli ya serena | 2017-08-21T12:08:06 | http://khalfansaid.blogspot.com/2017/08/kampuni-ya-network-ltd-yazindua-droo.html |
fighters of life check muoneakano wa karibu wa demu wa ney wa mitego aliyeachwa akiambatana na manano ya ney wa mitego
check muoneakano wa karibu wa demu wa ney wa mitego aliyeachwa akiambatana na manano ya ney wa mitego
jana nay wa mitego alikuwa akiandika ujumbe wenye mafumbo kwenye instagram na baada ya kuusoma ndani ya mistari ilibainika kuwa huenda mambo si mazuri kati yake na mpenzi wake ambaye hivi karibuni alikuwa akitarajia kumzalia mtoto lakini mimba ikaharibika
nay ambaye jina lake halisi ni emmanuel munisi jana alianza kwa kuandika ujumbe huu sasa mapenzi basi# by diamond platnumz single boy# ally
kiba#966
baada ya muda kidogo aliandika tena niko ivi nikikupenda nakupenda kwa asilimia 100# na kila m2 atajua
juu ya upendo wangu kwako bt ukizingua nakuacha na ninakusahau kwa asilimia 200# na kwa muda mchache 2 nikiamua huwa sirudi nyuma# mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake ye mwenyewe# by linex#966 | 2017-01-19T08:43:27 | http://folclassic.blogspot.com/2013/08/check-muoneakano-wa-karibu-wa-demu-wa.html |
kinyika fc yapeta kombe la spanest rufaa ya ilolompya fc ikitupwa bongo leaks
kinyika fc yapeta kombe la spanest rufaa ya ilolompya fc ikitupwa
kamati ya mashindano ya kombe la spanest piga vita ujangili okoa tembo imetupilia mbali rufaa ya ilolompya fc baada ya kujiridhisha kwamba haikuwasilishwa kwa kuzingatia kifungu cha rufaa namba 29
uamuzi huo ambao awali ulipingwa na ilolompya unaipa kinyika fc pointi 3 na mabao matatu ya chee na hivyo kuifanya icheze nusu fainali ya mashindano hayo dhidi ya itunundu fc kesho
ilolompya na kinyika walikuwa wakutane katika robo fainali ya kombe hilo mchezo ambao hakuchezwa baada ya ilolompya kutaka kutumia wachezaji mamluki
mshindi wa mchezo huo wa kesho atakutana katika fainali za michuano hiyo na malizanga fc novemba 25 mchezo utakaopigwa katika uwanja wa tungamalenga idodi
mgeni rasmi katika fainali hizo atakuwa mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza atakayeongozana na kamati ya ulinzi na usalama mkoa | 2017-12-13T15:05:30 | http://www.frankleonard.info/2017/11/kinyika-fc-yapeta-kombe-la-spanest.html |
baba mzazi 'abdul nondo babu yake ni muasisi wa tanu' | mpekuzi
maelezo haya yametolewa na mzazi huyo siku chache baada ya mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi tanzania (tsnp) abdul nondo kuhojiwa na idara ya uhamiaji mkoa wa dar es salaam kuhusu uraia wake | 2018-04-19T21:18:26 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/04/baba-mzazi-abdul-nondo-babu-yake-ni.html |
rais dkt magufuli aongoza mkutano wa 17 wa dharula wa wakuu wa jumuiya ya afrika mashariki ikulu dar es salaam leo zanzinews
home kitaifa rais dkt magufuli aongoza mkutano wa 17 wa dharula wa wakuu wa jumuiya ya afrika mashariki ikulu dar es salaam leo
rais dkt magufuli aongoza mkutano wa 17 wa dharula wa wakuu wa jumuiya ya afrika mashariki ikulu dar es salaam leo
othman maulid 200 pm
mwenyekiti wa jumuiya ya nchi za afrika mashariki rais dkt john pombe magufuli akisalimiana na katibu mkuu wa jumuiya bw liberat mfumukeko muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa dharula wa wakuu wa jumuiya hiyo katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam leo
mwenyekiti wa jumuiya ya nchi za afrika mashariki rais dkt john pombe magufuli akisalimiana na mwakilishi wa sudan ya kusini muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa dharula wa wakuu wa jumuiya hiyo katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam leo
mwenyekiti wa jumuiya ya nchi za afrika mashariki rais dkt john pombe magufuli akisalimiana na wa burundi waziri wa mambo ya nje wa burundi mhe alain nyamitwe muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa dharula wa wakuu wa jumuiya hiyo katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam leo | 2017-10-19T03:26:58 | http://www.zanzinews.com/2016/09/rais-dkt-magufuli-aongoza-mkutano-wa-17.html |
kosovo rushwa index
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi kosovo rushwa index
mabadiliko katika inventories 196690 174220 196690 112370 eur milioni [+]
viwanda uzalishaji 260 740 2910 1530 asilimia [+]
mining uzalishaji 1190 310 6600 4370 asilimia [+]
rushwa index 3600 3700 3900 2800 pointi [+]
rushwa rank 10100 9300 11200 8500 [+]
urahisi wa kufanya biashara 5700 4400 6400 4000 [+]
umeme uzalishaji wa 181710 172050 181710 88960 gigawatt saa [+] | 2020-06-03T00:26:04 | https://sw.tradingeconomics.com/kosovo/corruption-index |
uefa euro 2012 ugiriki haina lake kwa ujerumani | michezo | dw | 23062012
uefa euro 2012 ugiriki haina lake kwa ujerumani
ujerumani imefanikiwa kuingia katika nusu fainali ya mashindano ya kombe la mataifa ya ulaya uefa euro 2012 kwa kuifungisha virago ugiriki na kuweka miadi na ama uingereza ama italia
kansela wa ujerumani angela merkel akishangiria bao la ujerumani
gazeti moja liliandika nchini ujerumani na hapa nanukuu samahani ugiriki kwa hili hatuwezi kuwaokoa ni maneno yanayolenga kuifahamisha ugiriki kuwa katika soka hakuna mpango wa kuiokoa kama uliotolewa na mataifa ya eneo la euro wa kuiokoa nchi hiyo kiuchumi
kikosi cha ujerumani kiliiendesha puta ugiriki na hatimaye kuibwaga kwa mabao 42 na kuwa timu ya pili kufanikiwa kuingia katika nusu fainali ya kombe la mataifa ya ulaya euro 2012 ijumaa (22062012) katika mchezo ambao ulikuwa karibu wa upande mmoja na ambao ulipewa vionjo vingine zaidi kutokana na mvutano wa kisiasa na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili
maji yamezidi unga kwa ugiriki
kansela ashuhudia pambano
kansela wa ujerumani angela merkel akiwa uwanjani kushuhudia pambano hilo mtu ambaye anachukiwa nchini ugiriki kwa kuonekana kuwa ndie anayelazimisha masharti magumu ya kubana matumizi ili kupata mkopo wa kuiokoa kiuchumi kikosi hicho cha joachim loew kilipata ushindi rahisi mwishoni na kitakwaana na uingereza ama italia katika pambano la nusu fainali
ugiriki ikitumai kurudia kile ilichokifanya mwaka 2004 katika mashindano ya kuwania kombe hili ilianza kwa kulinda lango lao kwa nguvu zote katika nusu ya kwanza ya mchezo lakini walifungashwa virago kwa mapigo yaliyonyooka ya washambuliaji wa ujerumani huku merkel akishangiria
wagiriki wavunjika moyo
tulitaka kushinda kwa hali yoyote ile na ingekuwa inashangaza kwa watu nyumbani ugiriki amesema shabiki mmoja wa ugiriki anayeishi mjini zurich aliks fotiou na ambaye amekwenda poland na dada yake na watoto wake wawili wa kike kushuhudia pambano hilo
tumepata mabao mawili na haya yanatupa faraja tumejaribu kwa nguvu zetu zote lakini wajerumani ni timu ngumu sana
ndio kulikuwa na hii hali ya shauku kabla ya mchezo lakini nafikiri mashabiki wote kutoka ugiriki na ujerumani na poland wamesaidia kuifanya hali kuwa ya furaha ya urafiki na tamasha la soka amesema shabiki wa ujerumani joerg himmler ambaye amesafiri saa 20 kwa treni kutoka heidelberg hadi gdansk kwa ajili ya pambano hilo
kocha ataka kahawa
lakini wakati nafasi baada ya nafasi zikipotea katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo kocha wa ujerumani joachim loew alikuwa na wasi wasi ambapo nusura aondoke kwenda katika vyumba vya kuvalia ili kupata kahawa
kocha wa ujerumani joachim loew
hatimaye mambo yalikuwa mazuri kwa ujerumani na kikosi cha joachim loew kiliingia katika nusu fainali ya mashindano haya nilijaribu kwenda kupata kikombe cha kahawa lakini tukakosa nafasi nyingine na nilikasirika sana amesema joachim loew mwenye umri wa miaka 52 ambaye anafahamika kwa mapenzi yake ya kahawa
wakati ugiriki iking'ang'ania sare ya bila kwa bila marco reus alipata nafasi na kupiga mpira nje na loew karibu apate wazimu loew aliamua kucheza kamari kwa kufanya mabadiliko ya kikosi chake kwa kumuacha nje mario gomez na kuamua acheze miroslav klose na kumuacha thomas mueller na lukas podolski katika juhudi za kuwachanganya wagiriki
nahodha wa ujerumani phillip lahm baada ya kufungua mpango wa ugiriki
ulikuwa ni uamuzi wa kishujaa lakini licha ya kuchukua dakika 39 kuanza kufungua milango ya ugiriki kwa goli la nahodha phillip lahm ilidhihirisha kuwa ni uamuzi sahihi
uhispania watatetea taji lao
jumamosi (23062012) ni siku ya tatu ya awamu ya robo fainali wakati ufaransa inakwaana na uhispania mjini donetsk nchini ukraine kabla ya hapo jumapili (24062012) ambapo uingereza inamiadi na italia mjini kiev
mwandishi sekione kitojo/ rtre
tarehe 23062012
maneno muhimu uefa euro 2012 germany vs greece
kiungo http//pdwcom/p/15ka7 | 2017-09-22T03:20:05 | http://www.dw.com/sw/uefa-euro-2012-ugiriki-haina-lake-kwa-ujerumani/a-16045483 |
tiyay mayutata suyu tampupata pruwinsya inampari distritu tampupata distritu
tinkurachina siwikuna 12°54′s 69°20′w
hallka k'iti k'anchar 274690 ha
kamasqa wata 4 ñiqin tarpuy killapi 2000 watapi (ds nº 0482000ag)
https//quwikipediaorg/w/indexphptitle=tampupata_mama_llaqta_risirwa&oldid=591841 p'anqamanta chaskisqa (wikipedia qhichwa / quechua) | 2019-08-23T08:48:03 | https://qu.m.wikipedia.org/wiki/Tampupata_mama_llaqta_risirwa |
[hot news][carouselslide][recent][5]
kobazi
angalia picha ajali mbaya daraja la wami basi la simba mtoto uso kwa suo na lori 747 pm
haryeth paul
ajali mbaya imetokea eneo la daraja la wami basi la simba mtoto na lori baada break za lori kufeli matukio
angalia picha ajali mbaya daraja la wami basi la simba mtoto uso kwa suo na lori ajali mbaya imetokea eneo la daraja la wami basi la simba mtoto na lori baada break za lori kufel
ray c kuachia wimbo mpya mshummshum (kiss kiss) november hii
licha ya kuwa nje ya muziki kwa muda mrefu lakini ray c amesema anatarajia kuachia singo mpya aliyoipa jina la mshummshum (kiss kiss) vovember hii burudani
licha ya kuwa nje ya muziki kwa muda mrefu lakini ray c amesema anatarajia kuachia singo mpya aliyoipa jina la mshummshum (kiss kiss) vove
kisa deni la fedha marehemu agombewa kuzikwa dar au iringa
mtoto mwingine wa marehemu hassan hatibu akizungumza jambo na mtandao huu matukio
mtoto mwingine wa marehemu hassan hatibu akizungumza jambo na mtandao huu full story >>>
zijue sababu za benjamini mkapa kumuunga mkono lowassa
ikiwa dunia imesimama kwa mshutuko wa kumpoteza kiongozi shupavu rais wa zambia marehemu michael chilufya satta kilichotokea london mapema wiki hii rais mstaafu benjamin mkapa amekaririwa na kituo cha lunginga citizen nchini kenya kwa njia ya simu akihojiwa maswali mbali mbali baada ya kifo cha satta katika mahojiano yake siku sita okello kupata tafakuri ya zaidi ya masaa 30 hadi sasa na kudhubutu kusema lowassa ameungwa mkono na mkapa kwa maslahi ya taifa chama na serikali zijue sababu za mkapa kumuunga mkono lowassa katika tafsiri ya mahojiano yake na kituo tajwa
ikiwa dunia imesimama kwa mshutuko wa kumpoteza kiongozi shupavu rais wa zambia marehemu micha
unaambiwa davido alivuta shilingi milioni 65 kwenye shoo ya fiesta
kwa mujibu wa mwanafa akiwa kwenye kipindi choice fm ni kuwa davido alilipwa dolla 40000 kupiga show fiesta kimataifa
kwa mujibu wa mwanafa akiwa kwenye kipindi choice fm ni kuwa davido alilipwa dolla 40000 kupiga
msimu wa pili wa 'in my shoes' ya wema sepetu kuanza wiki ijayodiamond kuonekana ndani
kama unamfuata wema sepetu kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii sina shaka uliona picha akiwa nje ya nchi hivi karibuni na timu yake hayo yote yalikuwa ni maandalizi ya msimu wa pili wa reality show yake ya tv in my shoes wema amesema msimu mpya utakuwa na maboresho mengi na surprises nyingi
kama unamfuata wema sepetu kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii sina shaka uliona picha akiwa nje ya nchi hivi karibuni na timu yake
chege afikishwa mahakamani baada ya kukutwa akifanya mapenzi na kondoo
siri imefichuka mtifuano kati ya diamond na alikiba kumbe chanzo ndio hiki hapa
kama umefuatilia katika wiki hii kumekuwa na vuguvugu kali linaloendelea kati ya mahasimu hawa wawili sasa wengi wakiwa hawajui nini ch
wema ammwaga diamond
afari hii ndiyo basi tena pamoja na kujishaua mbele ya kamera za wanahabari na simu za kuteleza (smart phones) kisha kutupia kwenye mita
sakata la diamond kupewa phd wadau waponda yadaiwa ni vijembe kwa alikiba na nicki wa pili watafiti wa mambo wanakwambia phd ambayo atatunukiwa diamond siku si nyingi zijazo ni ujanja ujanja wa msanii huyo chanzo kimedai kuwa msa
baada ya kumaliza shoo za fiesta nay wa mitego apeleka baadhi ya mahitaji kwenye kituo cha watoto yatima
serengeti fiesta ni miongoni mwa matamasha makubwa nchini ambayo yanafanyika mara moja kwa mwaka na kuwapa nafasi kubwa ya wasanii wa nyum
angalia picha ajali mbaya daraja la wami basi la
ray c kuachia wimbo mpya mshummshum (kiss kiss) no
kisa deni la fedha marehemu agombewa kuzikwa dar
zijue sababu za benjamini mkapa kumuunga mkono low
unaambiwa davido alivuta shilingi milioni 65 kweny
msimu wa pili wa 'in my shoes' ya wema sepetu kuan
wanawake na ushamba wa kubofya simu mnatia aibu
behind the scenes kupanda na kushuka nikki mbis
belle 9 hataonekana kwenye video mpya ya young kil
tid na dully sykes waondoa tofauti zao warekodi n
ti adai hawezi kulazimisha iggy azalea na snoop d
picha neymar atumia private jet kumfuata girlfrie
picha kumi za ikulu zinazoongoza matumizi mabaya y
unajua kwanini wagonjwa wa saratani hutibiwa ocean
kanye west apanga kuhamia paris na mwanae north h
penny ameacha kazi efm awaaga wasikilizaji wa gen
tafsiri ya mfalme ya mwana fa
ecowas yaionya burkina faso haitatambua mabadiliko
sauti sol washindwa kuendelea hatua ya mwisho kuwa
ray aliwahi kuwa dereva wa jb na richie richie
gadner g habash atua rasmi efm
baada ya kumaliza shoo za fiesta nay wa mitego ap
chege afikishwa mahakamani baada ya kukutwa akifan
kala akanusha kupotea kwenye game na kudai mwaka h
aliyenaswa kwenye danguro kupandishwa kizimbani
baada ya kukosa dhamanamahabusu wamzodoa chid
binti darasa la tano atundikwa mimba na denti mwen
fumanizi la aina yakejamaa akimbilia darini
tid hebu tuongee kishkaji kidogo
odama niko kwenye uhusiano makini
madaha atilia shaka afya ya mkongo wa wolper
click like to win huawei y330
udaku magazine © 2014 all rights reserved
share on powered by blogger | 2014-11-01T12:53:56 | http://www.udakumagazine.com/ |
mzee akilimali mkwasa ni tatizo nipeni uwenyekiti niwasaidie sijaitwa abramovich kwa bahati mbaya
by mkweli daima on sun apr 15 2018 426 pm
akilimali mkwasa ameyataka mwenyewe
katibu wa baraza la wazee wa klabu ya yanga ibrahim akilimali naye ametoa neno kuondoka kwa kocha wa yanga george lwandamina na kujiunga na klabu ya zesco united
asubuhi ya leo mzee akilimali amesema
lwandamina ni kocha mzuri sana tukubali tu timu yangu imepoteza mtu sahihi yanga ilikuwa inamhitaji bado lwandamina ila viongozi wa yanga ndio wamesababisha yote haya
katibu tumempigia kelele kila siku atangaze mchakato wa uchaguzi ili nafasi ya mwenyekiti wa klabu hiyo ijazwe ila yupo kimya timu imekosa fedha za kujiendesha kwa sasa ila angekuwepo mwenyekiti angekuwa na yeye ana mawazo chanya ya kupata fedha
wamevunja katiba ya yanga kwa matakwa yao wenyewe matatizo ambayo yapo kwa sasa klabuni hapo yamesababishwa na viongozi waliopo kwa sasa kwa kukumbatia mambo wenyewe wamekuwa wasiri kila jambo ona sasa wanaumbuka
alisema mzee akilimali
mzee akilimali alipoulizwa swali yeye kama katibu wa baraza la wazee wa yanga inaisaidiaje klabu hiyo kwa sasa na matatizo ambayo yaliyopo mzee akilimali alijibu
katibu atangaze mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa na bwana yusuph manji iwapo wana yanga watataka niwe mwenyekiti wa klabu hiyo nitaisaidia kwa moyo mmoja
watu hawajui jina la abramovich limetoka wapi mimi sishindwi kuisaidia klabu ya yanga kwa sasa ila nitaisaidiaje niko nje ya mfumo
alisema akilimali kwa sauti ya upole
re mzee akilimali mkwasa ni tatizo nipeni uwenyekiti niwasaidie sijaitwa abramovich kwa bahati mbaya
hawa wazee ndio hutuaribia timu zetu | 2018-08-18T23:29:28 | http://sokasports.forumotion.com/t98-mzee-akilimali-mkwasa-ni-tatizo-nipeni-uwenyekiti-niwasaidie-sijaitwa-abramovich-kwa-bahati-mbaya |
wakali wa bongo flava ali kiba na diamond jukwaa moja kutoa single ya kuhamasisha serengeti boys sufianimafoto
home burudani michezo wakali wa bongo flava ali kiba na diamond jukwaa moja kutoa single ya kuhamasisha serengeti boys
wakali wa bongo flava ali kiba na diamond jukwaa moja kutoa single ya kuhamasisha serengeti boys | 2018-07-17T17:18:38 | http://www.sufianimafoto.com/2017/03/wakali-wa-bongo-flava-ali-kiba-na.html |
mkutano mkuu wa 39 sadc itifaki na mikataba mbali mbali | vatican news
jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika sadc imetiliana sahihi itifaki na mikataba pamoja na marekebisho ya sheria za nchi zao kwa ajili ya utekelezaji wa maamuzi haya 2019 (afp or licensors)
mkutano mkuu wa 39 sadc itifaki na mikataba mbali mbali
nchi wanachama wa sadc wametiliana sahihi kuhusu itifaki ya viwanda yenye lengo la kuboresha mazingira ya kukuza viwanda viweze kuzalisha vya kutosha na katika ubora wa ushindani itifaki ya kubadilishana wafungwa miongoni mwa nchi wanachama pamoja na makubaliano ya kurekebisha sheria za nchi zao ili kuendana na itifaki pamoja na makubaliano ya kupambana na uhalifu
na mwandishi maalum dar es salaam tanzania
wakuu wa nchi 16 zinazounda jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika sadc jumapili tarehe 18 agosti 2019 wametia sahihi itifaki na makubaliano mbalimbali kwa ajili ya kuanza utekelezaji ambapo itifaki iliyosainiwa na wakuu hao ni itifaki ya viwanda yenye lengo la kuboresha mazingira ya kukuza viwanda viweze kuzalisha vya kutosha na katika ubora unaoweza kushindana duniani wakuu hao pia wamesaini itifaki ya kubadilishana wafungwa miongoni mwa nchi wanachama itakayowezesha wafungwa waliohukumiwa nje ya nchi zao kwenda kutumikia kifungo ndani ya nchi zao aidha walisaini pia makubaliano ya kurekebisha sheria za nchi zao ili kuendana na itifaki zilizosainiwa pamoja na makubaliano ya kusaidiana katika mapambano dhidi ya uhalifu wa kimataifa
itifaki hizo zimesainiwa wakati wa kufunga mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi za jumuiya ya kiuchumi kusini mwa afrika sadc uliofanyika kwa siku mbili jijini dar es salaam kuanzia tarehe 1718 agosti 2019 ambapo pamoja na mambo mengine wakuu wa nchi 16 zinazounda jumuiya hiyo wamesaini itifaki na makubaliano mbalimbali kwa ajili ya kuanza utekelezaji akizungumza katika wakati akifunga mkutano huo mwenyekiti wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika (sadc) rais john pombe magufuli wa tanzania ameisisitizia sekretarieti ya sadc kutumia fedha wanazopata vizuri badala ya kuishia kuzitumia katika warsha semina na mikutano rais magufuli amependekeza kwa sekretarieti hiyo kuona umuhimu wa kuanza kutumia fedha hizo katika masuala ya maendeleo fungamani ya binadamu kama vile elimu afya uanzishaji na uboreshaji wa miundombinu bajeti ya jumuiya yetu inafikia dola milioni 74 lakini kituo cha afya kinagharimu shilingi milioni 400 hadi 500 sawa na dola 200000 ambazo zipo ndani ya uwezo wa sekretarieti alisema rais magufuli
rais magufuli pia amesema katika mkutano huo wamepitisha kauli mbiu itakayotumika mwaka mzima 20192020 ambayo inasisitiza ujenzi wa viwanda endelevu vitakavyoongeza ufanyaji biashara na kukuza fursa za ajira hasa miongoni mwa vijana wa kizazi kipya kauli mbiu hiyo inasema maendeleo endelevu ya viwanda kuongeza ufanyaji biashara na kukuza ajira rais magufuli amesema katika mambo waliyoazimia wamehimizana nchi wanachama kuahkikisha zinajenga miundombinu wezeshi ili kuweza kusaidia kukuza uchumi wa nchi hizo pamoja kuboresha sera za uchumi na fedha aidha amesema mambo mengine waliojadili katika mkutano huo ni ombi la nchi ya burundi kutaka kuingia sadc ambapo walijiridhisha kuwa bado kuna mambo ambayo hayajafanyiwa kazi na kuagiza sekretarieti kuu kuwapa taarifa hiyo na baadae kwenda kuchunguza kama mambo hayo yamefanyiwa kazi
akizungumza kuhusu suala la vikwazo vya kiuchumi kwa nchi ya zimbabwe rais magufuli amesema wamekubaliana waendelee na mazungumzo na jumuiya za kimataifa ili kuangalia namna ya kuondoa vikwazo hivyo kwani waathirika wakuu ni wananchi wa kawaida kwa mujibu wa katibu mkuu wa sekretaieti ya sadc dk stergomena tax mkutano huo umekubaliana kuwa tarehe 25 oktoba 2019 itakuwa ni siku ya kutoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuondoa vikwazo dhidi ya zimbabwe wajumbe wa sadc wameondoka nchini tanzania wakiwa na sura mpya ya maendeleo endelevu na fungamani ya binadamu wameridhishwa na ukarimu umoja na upendo kutoka kwa watanzania wamefurahiswa na huduma ya kiwanja cha ndege wa mwalimu julius kambarage nyerere uliozinduliwa hivi karibuni na rais john pombe magufuli mafanikio yote haya yataendelea kuiweka tanzania katika ramani ya maendeleo ya dunia kama inavyostahili ukweli lazima usimamiwe na kuheshimiwa na wengi
19 august 2019 0906 | 2020-02-24T15:31:56 | https://www.vaticannews.va/sw/world/news/2019-08/mkutano-39-jumuiya-maendeleo-kusini-mwa-afrika-sadc-2019.html |
mhe maftaha a nachuma mheshimiwa mwenyekiti ahsante kwa kunipa nafasi nami niweze kuchangia hotuba hii ya mheshimiwa waziri mkuu kwanza nianze kwa kumshukuru mwenyezi mungu muumba wa mbingu na ardhi
mheshimiwa mwenyekiti wakati nasoma degree ya kwanza pale chuo kikuu cha dar es salaam nilisoma course moja african political thought wakati ule napitia kile kitabu kuna mwanazuoni mmoja anaitwa okodiba noli aliwahi kusema kwamba a state is political organization with territoriality recognize boundaries and independent government akiwa na maana ya kwamba nchi yoyote ni taasisi ya kisiasa ambayo ina watu wake ina mipaka yake lakini kubwa zaidi ina serikali ambayo ni independent
mheshimiwa mwenyekiti ukipitia mafuhumu zaidi ya maelezo ya mwanazuoni huyu anamaanisha kwamba katika nchi yoyote lazima kuwe na serikali ambayo kazi yake kubwa ni kulinda rasilimali na kulinda watu wake naomba nitumie fursa hii kulipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri inayofanya ya kuhakikisha kwamba inalinda amani ya jamhuri ya muungano wa tanzania na leo hii sisi kama wabunge tuko katika bunge hili tukishiriki mijadala hii ya bunge kwa amani na utulivu kabisa (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nawapongeza pia jeshi la ulinzi na usalama na jeshi la polisi kwa kuweza kudhibiti hali mbaya ambayo imetokea miezi kadhaa iliyopita pale kibiti sasa hivi sisi wananchi wa kusini tunapita kwa amani kabisa hii ndiyo dhana ya kwamba nchi yoyote iliyokuwa huru lazima iweze kujilinda na iweze kulinda mipaka yake pamoja na raia wake nalipongeza sana jeshi la polisi (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti pamoja na pongezi hizi naomba nichukue fursa hii pia kueleza baadhi ya mambo ambayo kimsingi yanapaswa kufanywa sawasawa wakati tunalinda rasilimali na wananchi
mheshimiwa mwenyekiti tarehe 25 mwezi wa tatu pale mtwara mjini kijana mmoja ambaye anajulikana kwa abdillah abdulahman alikuwa katika ufukwe wa bahari wa maeneo ya kianga akiwa anajitafutia kitoweo sisi watu wa pwani tunaita kumbwa wale wadudu wa sea shells wakati anajitafutia kitoweo hiki ghafla wakatokea jeshi la polisi ambao tunasema ni kikosi kazi ambacho kimeundwa na wizara ya uvuvi na maliasili wakawa wamemwita yule kijana kijana kwa kawaida kwa sababu jeshi letu la polisi linaogopeka kidogo alivyoona anaitwa akakimbia askari wakaamua kumpiga risasi kisogoni
mheshimiwa mwenyekiti pamoja na kazi nzuri inayofanywa na jeshi la polisi wahakikishe ya kwamba wanafanya uchunguzi sawasawa kabla ya kuweza kuchukua hatua hizi za kuweza kuwamiminia watu risasi pale wanapofanya operation maalum
mheshimiwa mwenyekiti nizungumze suala la mahakama ambapo tulipitisha katika bunge hili tarehe moja mwezi wa saba mwaka 2017 tulipitisha sheria hapa ya mahakama ya mafisadi tanzania jambo la kusikitisha kabisa ukipitia kwenye halmashauri zetu kwa mfano pale mtwara mjini wafanyakazi wa halmashauri waliweza kutafuna zaidi ya shilingi milioni 800
mheshimiwa mwenyekiti tumewasilisha taarifa hizi serikalini kwa muda mrefu sana lakini jambo la ajabu ni kwamba wanaotafuna hizi shilingi milioni 800 mpaka shilingi milioni 900 hawapaswi kushtakiwa kwenye mahakama ya mafisadi sasa ni jambo la ajabu sana halmashauri kutafuna pesa zaidi ya shilingi milioni 800 ni pesa nyingi sana pesa ambazo zingeweza kujenga shule zingeweza kujenga miundombinu zingeweza kununua dawa lakini zinatafunwa na wale waliotafuna hawaitwi mafisadi
mheshimiwa mwenyekiti naomba sana kwamba iletwe sheria bungeni tuipitishe kwamba pesa za serikali zikitafunwa kuanzia shilingi milioni 200 300 400 mpaka 600 bado wapelekwe kwenye mahakama ile ya ufisadi kuweka shilingi bilioni moja ni nyingi sana halmashauri zetu zinatafunwa sana tunaomba sana
mheshimiwa mwenyekiti kama yanavyofukuliwa makaburi katika maeneo mengine makaburi yanafukuliwa kwenye vyeti kwenye taasisi za kiserikali lakini tulikuwa tunaomba sana wale waliotafuna pesa mabilioni mengi miaka miwili miaka mitatu miaka mitano iliyopita wachukuliwe hatua
mheshimiwa mwenyekiti tunaomba mahakama hii ya mafisadi iweze kuwachukuliwa hatua kwa sababu wanasheria wanasema kwamba sheria haiendi retrospective lakini kwa sababu taifa hili limetafunwa sana taifa hili tumekuwa masikini hapa kwa sababu ya watu wachache wajanja wachache ambao tuliwapa dhamana ya kusimamia rasilimali zetu lakini wamechukua pesa zetu na mwisho wa siku tanzania tunasema ni maskini
mheshimiwa mwenyekiti leo ukipitia kwenye sekta mbalimbali kwa mfano sekta ya utalii mabilioni ya pesa yameweza kutafunwa sana jambo la ajabu sana niliwahi kuzungumza wakati nachangia mjadala wa taarifa za kamati hapa taarifa ya kamati ya maliasili na utalii ukipitia olduvai gorge ni eneo pekee ambalo binadamu wa kale alipatikana duniani liko tanzania ni olduvai gorge
mheshimiwa mwenyekiti miaka ya nyuma ukipitia taarifa za serikali olduvai gorge ilikuwa inakusanya karibu shilingi 1700000000 kwa mwaka sasa hivi wajanja wachache wakahakikisha kwamba olduvai gorge wanaitoa kwenye eneo la malikale na kulipeleka kwenye taasisi ya ngorongoro na badala yake sasa hivi linakusanya shilingi milioni 700
mheshimiwa mwenyekiti huu ni ufisadi watendaji wana under estimate pale kwa ajili ya kujinufaisha wao binafsi tunaomba mahakama hii ya ufisadi tanzania ifanye kazi yake ipasavyo tusiseme kwamba eti mpaka pesa ifike shilingi bilioni moja basi mtu aweze kushtakiwa
mheshimiwa mwenyekiti kuna jambo hapa nimezungumza pia wakati naanza utangulizi wangu kwamba mtengano wowote wa kitaifa unataegemea na kugawana fursa hizi sawasawa kama taifa leo hii tanzania kila kanda ina hospitali ya kanda isipokuwa kanda ya kusini pekee jengo linaanza kujengwa takribani miaka 10 iliyopita hivi sasa mpaka leo halijakamilika pale mtwara mitengo mpaka leo jengo la hospitali ya kanda ya kusini limejengwa zaidi ya miaka 10 halijakamilika lakini maeneo yote kuna hospitali za kanda (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti tumeshindwa kuzungumza maeneno haya kwa muda mrefu sana tumekuwa tukiongea kwa muda mrefu sana kwamba rasilimali hizi za taifa zigawanywe sawasawa ili kanda nyingine na kanda ya kusini pia tuweze kupata hospitali hii ya rufaa pesa ziweze kutengwa kwenye bajeti zinazokuja nasi wanakusini tuweze kunufaika na rasilimali hizi za kitaifa
mheshimiwa mwenyekiti tumekuwa tunazungumza kwa muda mrefu sana na ikumbukwe mwaka 2013 wananchi wa mikoa ya kusini waliandamana sana wakidai rasilimali ziweze kuwanufaisha kama watanzania wengine wapo watu waliokuja kupotosha watanzania wakasema kwamba wanakusini wanahitaji gesi watumie peke yao kitu ambacho hakikuwa sahihi kabisa tulichokuwa tunasema ni kama ilivyo kwenye korosho kwamba korosho zimekusanya mabilioni ya pesa pesa zote zinapelekwa katika mfuko wa hazina na zinatumika kwa ajili ya watanzania wote kununua dawa kujenga barabara na miundombinu mingine ya nchi hii (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo nasema suala la umeme kusini limekuwa ni kizungumkuti sana tunaipongeza serikali kwamba imenunua mashine mbili ambazo zinaenda kutoa megawati nane bado tatizo la umeme litakuwa ni endelevu ni miezi zaidi ya saba hivi sasa mtwara na lindi hatuna umeme wa uhakika
mheshimiwa mwenyekiti sasa jambo hili linapelekea viwanda kutojengwa mtwara pia limepelekea wawekezaji kukimbia mtwara tunaiomba serikali naomba ofisi ya waziri mkuu ije na mpango wa kudumu wa kuhakikisha kwamba mikoa hii ya kusini tunakuwa na umeme wa uhakika ili wawekezaji waweze kuja kusini (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti leo hii kama serikali ingeamua kuondoa tatizo la umeme kusini ingenunua mashine moja tu ambayo inatoa megawati 20 na tulikuwa tunapitia taarifa mbalimbali wizara ikaenda wataalam wakaenda kuangalia ujerumani kuna mashine moja ambayo itaweza kutoa megawati 20 za umeme ambazo zitaweza kusambaza umeme mtwara na lindi inauzwa shilingi bilioni 50 tu
mheshimiwa mwenyekiti kama serikali kweli ingekuwa na nia ya dhati ya kuhakikisha kwamba inataka kuondoa tatizo la umeme kusini basi ingeweza kununua mashine moja ya megawati 20 inauzwa shilingi bilioni 50 siyo nyingi kwenye korosho tunakusanya billions of money ambazo zinasaidia taifa hili (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo naiomba sana serikali iangalie kwa jicho la kipekee kabisa suala hili la umeme kusini liweze kwisha hatutaki kurudi kule tulikotoka wananchi wanadai sana ukifanya mikutano hadhara kila mwananchi anazungumza suala la umeme (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti jambo lingine serikali iliyopita iliweka utaratibu kwamba pale kunapotoka rasilimali yenyewe hii gesi basi wananchi wapate unafuu ikaweka punguzo la kuunganisha umeme badala ya kuunganisha umeme kwa sh370000/= ikawa sh190000/= hivi
mheshimiwa mwenyekiti leo kila mwananchi anakuja kwenye mikutano ya hadhara anauliza kwani hili punguzo ambalo serikali liliweka kwa nini mmeliondoa wakati gesi ipo nami nauliza gesi bado ipo kwa nini punguzo ambalo serikali iliweka kwenye umeme leo hii serikali inasema imeondoa punguzo hili naomba sana kwamba sekta hii isaidie wanakusini ili serikali iweze kusemwa sawasawa na wananchi hawa (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti jambo lingine kuna suala hili la dawa za kulevya tunaipongeza serikali imeweza kuzuia dawa za kulevya nchini ni jambo zuri sana kwa sababu vijana wetu walikuwa hawaeleweki ilikuwa inapoteza nguvu kazi serikali lazima iwekeze vya kutosha kudhibiti uvutaji na uenezaji wa dawa za kulevya tanzania naiomba serikali pale inapofikia kuangamiza madawa ya kulevya kama inavyochoma moto mashamba ya bangi basi hata tukikamata cocaine na heroin tushuhudie zikiwa zinachomwa hadharani kama zinavyochoma bangi (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kila siku serikali imekuwa inatuambia kwamba imekamata kilo 10 kilo 20 gramu sijui ngapi za heroin au cocaine lakini hatuoni zinaangamizwa au zinachomwa moto tunataka serikali iangamize tukiwa tunaona kama tunavyoona kwenye bangi (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti suala la elimu pia hotuba ya waziri mkuu imezungumza kwamba inatenga zaidi ya shilingi bilioni 208 kila mwezi kupeleka shule za msingi na sekondari kwa maana ya kugharamia elimu ya msingi ni jambo jema sana wakati huo wa nyuma kulikuwa na michango mingi katika shule ambayo ilikuwa inachangishwa na wazazi leo hii ukipita maeneo ya kusini mzazi ukimwambia achangie hata chakula cha mtoto wake ili mtoto aweze kusoma akiwa ameshiba kile anachofundishwa aweze kukielewa sawasawa anasema na serikali imesema elimu bure nani amekwambia uchangie (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti serikali imetamka hapa kwamba michango yote ipitie kwa mkurugenzi mkurugenzi huyu mnamtwisha mzigo mkubwa sana haiwezekani leo mpaka mchango wa sh5000/= wa shule ya msingi shule zote zilizopo za msingi na sekondari akusanye mkurugenzi tunarudisha nyuma elimu yetu bure
mheshimiwa mwenyekiti tunaomba mkurugenzi huyu apunguziwe mzigo na serikali itoe tamko kwamba suala la chakula cha mchana shuleni kuanzia shule za msingi mpaka sekondari ni jambo la lazima na wazazi lazima wahusike kuchangia chakula (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kuna suala hili limezungumzwa na wenzangu hapa
mhe maftaha a nachuma mheshimiwa mwenyekiti nilikuwa nazungumzia suala la migogoro ya ardhi serikali kupitia ofisi ya waziri mkuu imeliona hili kwamba kuna migogoro mingi ya ardhi ni kweli kabisa naitaka serikali pale ambapo iliahidi kwamba italipa fidia kwa mfano pale mtwara mjini mji mwema basi ahakikishe kwamba inalipa fidia za wananchi wale siyo serikali inakuwa na kauli mbili mbili kwamba leo wanasema tutatoa fidia maeneo tuliyoyachukua baadaye inasema serikali haiwezi kutoa tutazungumza haya katika wizara ya nyumba ardhi na maendeleo ya makaazi (makofi) | 2020-08-11T04:17:44 | http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/8125 |
fahamu kuhusu kifaa ambacho ukiwa nacho hauna haja ya kwenda hospitali millardayocom
fahamu kuhusu kifaa ambacho ukiwa nacho hauna haja ya kwenda hospitali
wanasayansi kutoka swansea university uingereza wamegundua bandeji zinazojulikana kama smart bandage ambazo pindi anapofungwa mgonjwa hupeleka taarifa moja kwa moja kwa daktari hata kama mgonjwa huyo yuko nyumbani
bandeji hizo zinazotumia mfumo wa 5g zimewekwa kifaa maalum ambacho kina uwezo wa kupima hali ya maumivu ya mgonjwa na kupeleka taarifa kwa daktari bila ya mgonjwa kwenda hospitali ambapo kwa mujibu wa daktari marc clement bandeji hizo zitaanza kutumika rasmi mapema mwaka 2018
video ulipitwa na hii ya hospitali kubwa iliyokabidhiwa kwa chuo cha muhimbili bonyeza play kutazama
← previous story hauhitaji passport kuvuka mipaka ya nchi hizi
next story → huyu ndiye mtu pekee duniani anayeruhusiwa kisheria kuendesha gari bila leseni | 2018-06-24T03:19:09 | http://millardayo.com/dak66r/ |
csw63 | habari za un
photo irin/aubrey graham
harakati za wanawake kusaka sauti katika kaunti ya kisii nchini kenya
umoja wa mataifa na mashirika yake kwa pamoja wamekuwa mstari wa mbele kupigia chepuo suala la usawa kijinsia katika kila jamii hususan katika nafasi ya uongozi ili kuhakikisha mwanamke anapewa nafasi katika maendeleo ya jamii yake
fao/amos gumulira
elimu kuhusu hifadhi ya jamii tanzania kusaidia kupanua wigo
wakati umoja wa mataifa ukieleza kuwa upataji wa huduma za hifadhi ya jamii bado ni changamoto kubwa wa wakazi wengi wa dunia tanzania imeamua kuchukua hatua madhubuti kwa kutambua kuwa hifadhi bora ya jamii ni jawabu la siyo tu kupunguza umaskini wa kaya bali pia umaskini katika ngazi ya taifa
licha ya mapigano libya who yaendelea kupeleka vifaa vya matibabu kliniki ya macho beni nchini drc yasaidia manusura wa ebola mpango wa kunusuru kaya mask
unicef/samuel leadismo
wanawake nchini kenya washika hatamu kusongesha amani
lengo namba 16 la malengo ya maendeleo endelevu sdgs linataka uwepo wa amani na haki pamoja na taasisi thabiti za kusimamia masuala hayo
katika jarida la habari hii leo arnold kayanda anakuletea
csw63 yakunja jamvi kwa mkakati kuwahakikishia wanawake ulinzi usalama na fursa za kiuchumi
23 machi 2019
shirika la umoja wa mataifa linalohusika na kukuza usawa wa kijinsia na kuwaezesha wanawake un women limehitimisha mkutano wake wa mwaka mwishoni mwa wiki hii mjini new york marekani kwa makubaliano kuhusu njia za kulinda na kuboresha jinsi wasichana na wanawake watakavyoweza kufikia mifumo ya ulinzi wa kijamii huduma za kijamii na miundombinu endelevu
un news kiswahili/ grece kaneiya
mchango wa wanawake katika kuchagiza amani kenya
22 machi 2019
makala ya wiki
mkutano wa kamisheni ya hali ya wanawake csw63 unafunga pazia leo machi 22 hapa kwenye makao makuu ya umoja wa mataifa
5'54
jaridani machi 22 2019 na grace kaneiya
photo ocha/tamara van vliet
tanzania yachukua hatua ili kila mtu apate maji ifikapo 2030
ikiwa leo ni siku ya maji duniani maudhui yakiwa hakuna kumwacha mtu nyuma katika kupata huduma hiyo ifikapo mwaka 2030 kwa kuzingatia lengo namba 6 la malengo ya maendeleo endelevu sdgs tanzania imetaja hatua iliyochukua ili kufanikisha lengo hilo
21 machi 2019
katika jarida la habari hii leo grace kaneiya anakuletea
siku ya kutokomeza ubaguzi wa rangi duniani wito umetolewa na un kukomesha aina zote za itikadi na misimamo ya chuki vilevile ubaguzi wa kisiasa na kijamii | 2020-04-08T20:00:44 | https://news.un.org/sw/tags/csw63 |
le mwine kidishitu ufwaninwe kupangika mwa kubutwila | bipangujo bya mu bible
tanga mu angele dingala falanse kiafrikaans kialameni kialbane kialema kiamarike kiassamais kiazeri kiazeri (kya sirilike) kibemba kibilgare kibishlama kichichewa kichitonga kichitumbuka kidanwa kiefik kieshipanyole kieshitoni kiewe kiferoye kifidji kifinwa kifon kiga kigalwa kigbo kihausa kihebelu kihiligaynone kihongrwa kiikrenye kiiloko kiindonezi kiislande kiisoko kiitali kijampani kijeorji kikamba kikatalana kikhosa kikongo kikore kikreole kya haiti kikroate kileton kilituani kiluba kiluganda kilumani kiluo kilusi kimalagashe kimalate kimalayalam kimasedwane kimyama kinerlande kingidiki kinorveje kinyarwanda kinzema kiosete kipapiamento (kya aruba) kipapiamento (kya kirasao) kipeleshia kipolone kipolotige kirgiz kiribati kirundi kisango kisebuano kisepedi kiserbi kiserbi (kya mu loma) kishinwa mandaren (kipēla) kishinwa mandaren (kya kala) kishona kisinhala kislovake kislovene kisuedwa kiswahili kitagaloge kitamule kitatare kitcheke kitelugu kithai kitirk kitirkmene kitiv kitsonga kitswana kitwi kiumbundu kivietname kiyoruba kizulu kyalabu sesotho (ya mu lesotho)
le i byendelemo bene kidishitu kwingidija bintu bya kwikinga ku kwimita
yesu kāsoñenyepo balondi bandi kubutula nansha kuleka kubutula bana kadi kekudipo mwanā bwanga wa yesu nansha umo wāletelepo bulombodi nansha bumo bible kapelejepo patōkelela kwikinga ku kwimita mu uno mwanda tukengidija musoñanya utelelwe mu loma 1412 amba batwe bonso wa pandi wa pandi tukeshintulwilanga kudi leza
nanshi ba mulume ne mukaji badi na bwanapabo bwa kutonga abo bene kubutula nansha kuleka kubutula kadi babwanya kukwata butyibi bwa buvule bwa bana bobakabutula ne kitatyi kyobasaka kwibabutula shi ba mulume ne mukaji abatonge kwingidija bintu bya kwikinga nabyo ku kwimita kebipulumunapo dīmi i mwanda wi batala abo bene kekudipo wa kwibatyibila mamboloma 144 1013
būmi ne mwikadilo bipangujo bya mu bible bilondolwelwe
le mwine kidishitu ufwaninwe kupangika mwa kubutwila | 2018-04-24T03:58:09 | https://www.jw.org/lu/bible-ne-abe/bipangujo/mumweno-wa-bible-pa-bintu-bya-kwikinga-ku-kwimita/ |
national social security fund nssf yashiriki katika maonesho ya kimataifa ya biashara (sabasasa 2017)
nssf yashiriki katika maonesho ya kimataifa ya biashara (sabasasa 2017)
shirika la taifa la hifadhi ya jamii nssf limeshiriki katika maonesho ya kimataifa ya biashara yaliyofanyika katika viwanja vya julius nyerere sabasaba yalioanza tarehe 28/06/2017 na kumalizika tarehe 13/07/2017
katika maonesho hayo nssf ilitoa huduma mbalimbali muhimu kwa wanachama wake na wananchi wote waliopita kwenye banda hilo huduma zilizotolewa katika banda la nssf ni pamoja na kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa umma kuandikisha wanachama wapya na kutoa kadi papo hapo wanachama pia waliweza kupata taarifa za michango yao nssf pia ilipokea maoni na malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali na kuwatafutiau ufumbuzi wa haraka
kadhalika nssf ilitoa huduma za kupima afya bure (kwa magonjwa yasiyoambukiza) pamoja na kutoa ushauri wa kiafya kwa walio pima afya zao sambamba na kupima afya kulikuwa na huduma za uchangiaji damu
kaulimbiu ya maonesho ya mwaka huu ilikuwaukuzaji wa biashara kwa maendeleo ya viwanda ambapo nssf tayari ni mdau mkubwa sana katika kuiunga mkono serikali ya awamu ya tano kwenye swala la kukuza viwanda kwa kuzingatia hayo ndani ya banda la nssf kulikuwa na wawakilishi wa viwanda mbalimbali ambavyo shirika la taifa la hifadhi ya jamii imewawezesha kufufua kuanzisha na kukuza viwanda vyaowadau wa viwanda waliokuwa ndani ya banda la nssf ni pamoja na kiwanda cha viuwadudu kibaha bodi ya nafaka mchanganyiko cpb kiwanda cha chaki cha maswa pamoja na benki ya azania | 2018-06-18T00:02:54 | http://nssf.or.tz/~nssfnew/index.php/news-archive/170-nssf-yashiriki-katika-maonesho-ya-kimataifa-ya-biashara-sabasasa-2017 |
> mbunge wa iringa mjini peter msigwa aiomba mahakama impe wiki 3 atafute wakili mwingine msumba news blog
home matukio mbunge wa iringa mjini peter msigwa aiomba mahakama impe wiki 3 atafute wakili mwingine
mbunge wa iringa mjini peter msigwa aiomba mahakama impe wiki 3 atafute wakili mwingine
mbunge wa iringa mjini peter msigwa ameiomba mahakama ya hakimu mkazi kisutu impatie muda wa wiki 3 ili atafute wakili mwingine kwa kuwa wakili wake jeremiah mtobesya amejitoa
msigwa pamoja na vongozi wenzake 8 wa (chadema) akiwamo freeman mbowe wanakabiliwa na mashtaka 13 ikiwemo uchochezi na kufanya mkusanyiko usiohalali
kwa pamoja viongozi hao walipaswa kusomewa maelezo ya awali (ph) mbele ya hakimu mkazi mkuu wilbard mashauri lakini imeshindikana kwa sababu mshtakiwa wa tano esther matiko ambaye ni mbunge wa tarime mjini anaumwa
naye wakili wa utetezi peter kibatala aliieleza mahakama kuwa mshtakiwa msigwa kwa sasa hana wakili kwani awali alikuwa akitetewa na wakili jeremiah mtobesya ambaye amejitoa na baada ya kueleza hayo kibatala msigwa alinyoosha mkono na kuieleza mahakama kuwa impatie muda wa wiki 3 ili aweze kutafuta wakili mwingine
kutokana na maombi hayo hakimu mashauri ameahirisha kesi hiyo hadi september 27 2018 ili washtakiwa wasomewe maelezo ya awali
washtakiwa wengine ni naibu katibu mkuu zanzibar salum mwalimu naibu katibu mkuu bara na mbunge wa kibamba john mnyika mbunge wa tarime vijijini john heche mbunge wa kawe halima mdee na mbunge wa bunda esther bulaya na katibu mkuu wa chama hicho dk vincent mashinji
washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 13 ikiwemo kula njama kufanya mkusanyiko wenye ghasia kuhamasisha hisia za chuki kushawishi hali ya kutoridhika uchochezi na kushawishi utendajia jinai kati ya february 1 na 16 2018 dar es salaam | 2018-10-21T02:16:37 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/08/mbunge-wa-iringa-mjini-peter-msigwa.html |
burudan mwanzo mwisho watoto mapacha waliotenganishwa nchini india warejea jijini dar
watoto mapacha waliotenganishwa nchini india warejea jijini dar
watoto mapacha kutoka wilayani kyela mkoani mbeya waliokuwa wamepelekwa na serikali chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha wakiwasili nchini tanzania kutokea nchini india walipokuwa wakipatiwa matibabu katika hospitali ya watoto ya appolo kulia ni mkuu wa kitengo cha magonjwa ya nje wa wizara ya afya na ustawi wa jamii dkt edward sawe mama mzazi wa watoto hao bi grace joel na daktari aliyekuwa akiwaangalia nchini india dktglory joseph
watoto hao wakiwa wamebebwa na daktari aliyekuwa akiwaangalia nchini india dktglory joseph (kushoto) na mama mzazi wa watoto hao bi grace joel
mama mzazi wa watoto hao bi grace joel akiwa amewabeba watoto wake elikana erick (kushoto) ns eliud erick (kulia) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere jijini dar es salaam
picha na stori na aron msigwa maelezo
hatimaye watoto mapacha kutoka wilayani kyela mkoani mbeya waliokuwa wamepelekwa na serikali chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha jana jioni wamerejea nchini wakitokea nchini india katika hospitali ya watoto ya appolo walikokuwa wanapatiwa matibabu
mara baada ya kuwasili katika uwanja ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere wakiwa wameambatana na mama yao mzazi grace joel na daktari aliyekuwa akiwaangalia nchini india ambaye pia alikuwa masomoni akisomea magonjwa ya moyo kwa watoto dkt glory joseph wamepokewa na mkuu wa kitengo cha magonjwa ya nje wa wizara ya afya na ustawi wa jamii dkt edward sawe na baadhi ya wauguzi kutoka taasisi ya mifupa (moi)
mapacha hao wa kiume wakiwa wenye furaha na afya njema walichukuliwa katika gari maalum na kupelekwa katika taasisi ya mifupa (moi) ambako watakaa kwa muda mfupi na kisha kuruhusiwa kuelekea wilayani kyela jijini mbeya ambako ndiko walikozaliwa
kwa upande wake mama mzazi wa watoto hao akizungumza kwa furaha mara baada ya watoto wake kupatiwa matibabu ya kuwatenganisha kwa mafanikio makubwa amesema kuwa sasa maisha yake yamebadilika na ataishi kwa furaha na watoto wake
najisikia furaha sana kwa hatua niliyofikia mpaka hapa watoto wangu eliudi na elikana sasa ni wazima naishukuru sana serikali kupitia wizara ya afya kwa msaada ilionipatia amesema
kwa uipande wake daktari aliyekuwa akiwaangalia nchini india ambaye pia alikuwa masomoni akisomea magonjwa ya moyo kwa watoto dkt glory joseph akizungumzia matibabu ya watoto hao nchini india amesema kuwa hatua ya kuwatenganisha imekamilika na mwezi wa 8 mwaka huu watarudi tena nchini india kwa ajili ya uchunguzi na matibabu zaidi ya afya zao
ni kwamba watoto hao wametenganishwa kwa wakati huu wanaelekea moi ambako watakaa kwa muda na baadaye wataruhusiwa kwenda kwao mbeya kujumuika na jamaa zao amesema
kwa upande wake msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bw nsachris mwamwaja amesema kuwa watoto hao waliwasili jana jioni na ndege ya shirika la ndege la oman baada ya kumaliza matibabu ya awamu ya kwanza
amesema upasuaji huo mkubwa wa kuwatenganisha watoto hao ulichukua saa 18 na kufafanua kuwa kati ya hizo saa 13 zilitumika kutenganisha viungo vilivyoungana sehemu ya chini ya uti wa mgongosehemu ya utumbo mpananjia ya mkojokibofu cha mkojo na sehemu za uume huku saa 5 zikitumika kuunganisha sehemu zilizotenganishwa
kumbukumbu zinaonyesha kuwa mpaka sasa duniani upasuaji wa aina hii umefanikiwa mara tano kutenganisha mapacha watoto wa kiume walioungana amesisitiza
ameongeza kuwa matibabu hayo ni juhudi za serikali katika kuhakikisha kuwa huduma za afya zinatolewa kwa kila mwananchi kila inapowezekana na kutoa wito kwa jamii kujenga utaratibu wa kuwafikisha mapema kwenye vituo vya afya wale wote wenye matatizo ya kiafya badala ya kuwafikisha pindi hali zao zinapokuwa mbaya | 2018-05-26T21:07:58 | http://burudan.blogspot.com/2014/02/watoto-mapacha-waliotenganishwa-nchini.html |
ziro99blog simon group washangaa upotoshaji wa mnyika
simon group washangaa upotoshaji wa mnyika
mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya simon group inayoendesha shirika la usafiri dar es salaam (uda) robert kisena ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na mbunge wa ubungo john mnyika juu ya uhalali wa umiliki wa hisa za shirika hilo
pamoja na kushangazwa na upotoshaji huo kisena amesema mnyika ni miongoni mwa wajumbe wa baraza la madiwani wa jiji la dar es salaam walioshiriki katika vikao halali vilivyojadili hatua zote za kuuza hisa kwa simon group
mbali ya upotoshaji huo kulenga kulihujumu shirika la uda kisena alisema una lengo pia la kuwahujumu wananchi wa dar es salaam kuhujumu uchumi wa taifa lakini pia umewashitua wadau wanaofanya kazi na simon group kuiboresha uda zikiwemo taasisi za fedha wasambazaji wa mabasi na wataalamu kutoka nje
kisena aliyasema hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu uendeshaji wa uda siku chache baada ya mnyika kutoa madai mazito bungeni akiishutumu serikali kwa kile alichosema imefumbia macho ufisadi aliodai umefanywa katika uuzwaji wa hisa za uda kwa simon group
mnyika alisema pia anashangazwa na uwepo wa simon group kwenye shughuli za uendeshaji wa uda na kuitaka serikali kutaifisha mabasi yote ili kuzuia uda chini ya simon group kuendelea kutoa huduma za usafiri katika jiji la dar es salaam
kisena akizungumzia madai hayo ya mnyika alisema nimeshangazwa sana na maneno haya ya mnyika bungeni na nimeridhika kusema kuwa mbunge huyu anatumiwa na mfanyabiashara mmoja (jina linahifadhiwa) ambaye tangu 2011 amekuwa akiendesha mbinu chafu za kuichafua simon group
ni jambo la kusikitisha kuona pamoja na jitihada za kufanya uwekezaji mkubwa wa zaidi ya sh bilioni 300 ili kuwaondolea tabu ya usafiri watu wa dar es salaam mbunge wa jimbo la dar es salaam anatumika katika kuwahujumu wananchi wake jambo linalosikitisha
akizungumzia madai ya mnyika kuhusu kuwepo kwa ufisadi uda kisena alisema madai hayo si mapya kwani yalikuwepo tangu mwaka 2011 hatua iliyosababisha serikali kuu kuagiza wanahisa wa wakati huo simon group msajili wa hazina na halmashauri ya jiji la dar es salaam kukutana na kujadiliana
kutokana na maelekezo hayo ya waziri mkuu tulikutana novemba 15 2011 na kujadili malalamiko yote yakiwemo kwamba simon group tumeuziwa uda kwa bei ndogo baada ya majadiliano ya kina ilikubalika kuwa pamoja na mambo mengine ufanyike upya uthamini wa bei ya hisa tulizonunua
pamoja na kuzungumzia hayo tulizungumzia pia namna ya kumaliza migogoro ya uda kurekebisha kasoro zilizokuwa zinajitokeza katika uendeshaji wa shirika ili kuleta tija na ufanisi si kwa kuliua shirika bali kwa kuliboresha na kulistawisha zaidi
kwa kauli moja wanahisa wote tukakubaliana uda kuendeshwa na simon group na tukakubaliana kuwa na bodi ya wakurugenzi ya pamoja ambapo januari 9 2012 jiji walimteua mbunge wa ukonga eugene mwaiposa kuwa mjumbe wa bodi katika kikao ambapo mnyika alishiriki na wakati huo serikali iliendelea kufanya uthamini upya wa bei ya hisa za ununuzi kupitia kampuni ya kpmg alisema
kisena alisema ilipofika agosti 16 2013 wanahisa hao wa uda waliitwa na kamati ya kudumu ya bunge ya serikali za mitaa chini ya mwenyekiti wake dk hamis kigwangalla katika ukumbi wa karimjee dar es salaam na kuzungumzia madai ya utata juu ya uda
baada ya maelezo na ufafanuzi wetu lakini kamati ya bunge ilituita dodoma sisi sote ili kujadili zaidi suala la uendeshaji wa uda lakini walituagiza kuwa kabla ya kwenda dodoma kifanyike kikao cha wadau wote muhimu wa uda chini ya mkuu wa mkoa ili tuweze kuandaa taarifa ya pamoja juu ya mgogoro wa uda na ufumbuzi wake
tulifanya kikao hicho agosti 28 2013 tukiwa sisi sote msajili wa hazina jiji kampuni hodhi ya mashirika ya umma (chc) na simon group ambapo katika kikao kile jiji walikuja na muhtasari juu ya kikao chao walichokaa agosti 22 2013 mnyika akiwa mmoja wa wajumbe ambapo walifikia maazimio mbalimbali
miongoni mwa maazimio yao ni kuamua kuiuzia simon group hisa zake 3631046 kwa takribani sh bilioni 6 ili kufanya shughuli za uda kusimamiwa kwa ubora zaidi na wao kupeleka nguvu zao kwenye mradi wa mabasi ya haraka (dart) hazina pia walikuja na maazimio ya kuiachia uendeshaji wa uda simon group
baada ya kikao hicho tuliandika taarifa ya pamoja ya ni mambo yapi tumeyapatia ufumbuzi na nini hatma ya baadaye ya uda katika majadiliano hayo yote tulizingatia pia taarifa za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) anazosema mnyika na hivyo taarifa hizo za cag pia si ngeni alisema
kisena alisema agosti 31 2013 na septemba 1 2013 kilifanyika kikao cha pamoja baina ya wanahisa wa uda na kamati ya kudumu ya bunge ya serikali za mitaa kikiwashirikisha pia waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) watendaji wakuu wa jiji la dar es salaam hazina na chc
kutokana na majadiliano yetu kamati iliamua kuwa migogoro yote iishe na migogoro ya bei ya hisa irekebishwe lakini iliagiza kuwa hayo yote yafanyike huku ikimpa mamlaka simon group kuendelea na uwekezaji kwa kuzingatia sheria ya uanzishwaji wa uda utekelezaji wa maagizo ya kamati umefanyika na hakuna tena utata katika uda kama mnyika anavyojaribu kuendelea kutumika kupotosha
kisena akizungumzia madhara yaliyopatikana na taarifa hizo alisema ni pamoja na wadau wanaoshirikiana na simon group katika kuiboresha uda zikiwemo taasisi za fedha wataalamu na watengenezaji wa mabasi kuingiwa na shaka isiyo na sababu wala tija
unajua wadau kama hawa unapoingia makubaliano nao ili kushirikiana katika uendeshaji wa mradi wenye mtaji mkubwa kama ilivyo sasa kwa uda ni lazima uwajengee imani fulani ili waamini kwamba fedha zao au ushirikiano wao ni salamawaliposikia habari za mnyika walituandikia barua kuomba ufafanuzi jambo ambalo si zuri sana alisema
alisema mbali ya madhara hayo yapo madhara kwa wananchi wa jiji la dar es salaam wakiwemo wa jimbo la ubungo kuingiwa na hofu ya shirika lao wanalolitegemea sasa kwa usafiri likifika katika maeneo yote ya jiji na kwa saa zote hadi usiku kufa
huyu ni mbunge ambaye hajali maslahi ya wananchi wake maana anaposema mabasi ya uda yakamatwe na yasitoe huduma na simon group wafukuzwe maana yake ni kwamba anashabikia uwekezaji mkubwa wa usafiri kama wa uda wenye thamani ya sh bilioni 300 ufe kwa kile anachodai kuwa anatetea sh bilioni 11 zisipotee
sisi uda pamoja na kutoa huduma za usafiri tunachangia pia kwenye huduma nyingine za jamii kama kuchangia madawati na hata kuwasafirisha wanafunzi kwenda shule zilizo mbali zikiwemo za ubungo ndio maana nasisitiza kuwa kuna mazingira ya rushwa katika harakati hizi za mnyika alisema kisena
hali ya uwekezaji ilivyo
kisena alisema madai kuwa serikali imeuza hisa zake zote si sahihi kwa vile hisa za serikali 3488651 sawa na asilimia 2326 zipo kama zilivyokuwa awali ingawa sasa zimepanda thamani kutokana na kuongezeka kwa uwekezaji jambo ambalo ni faida kwa serikali
alisema kwa upande wa simon group sasa ina hisa 11011349 baada ya awali kununua hisa 7888 303 ambazo ziliongezwa bei baada ya kudaiwa kununuliwa kwa bei ya chini lakini baadaye ikanunua tena hisa 3631046 zilizokuwa za halmashauri ya jiji
alisema mipango ya uwekezaji inaendelea vizuri kukiwa na lengo la kuwezesha uda kuwa na mabasi 2000 hadi mwisho wa mwaka huu na kwamba kwa sasa mabasi 300 yapo barabarani huku 200 yakiwa kwenye karakana kwa kufanyiwa maandalizi
mabasi 1500 yataendelea kuingia nchini kwa mabasi 300 kila mwezi na kimsingi haya ni kama tumeshayalipia maana tumeshafanya oda alisema mabasi marefu 50 yataingizwa nchini muda mfupi ujao na yatatoa huduma katika barabara za nyerere bagamoyo na kilwa | 2018-03-18T05:50:03 | http://ziro99.blogspot.com/2014/05/simon-group-washangaa-upotoshaji-wa.html |
afrika itakavyosuka au kunyoa olimpiki 2012 london tanzania sports
home / all articles / afrika itakavyosuka au kunyoa olimpiki 2012 london 18th august 2017 last update at 242 pm
afrika itakavyosuka au kunyoa olimpiki 2012 london
*nini matarajio ya watanzania
*pata takwimu za maandalizi ya kila nchi
michezo ya majira ya joto ya olimpiki ni fursa muhimu kwa wadau wa michezo kuonyesha umahiri wa nchi zao katika medani mbalimbali
afrika moja ya mabara yenye vipaji vingi kwa asili imejiandaa kwa namna tofauti kutegemea mwamko wa nchi moja hadi nyingine
zipo ambazo zimekuwa na sifa kubwa ya ushiriki lakini zinazojivunia rekodi ya ushindi wa medali kedekede ila si nyingi sana
safari hii michuano inafanyika uingereza moja ya nchi kubwa na mshirika mkubwa wa afrika vumbi likitimka kuanzia julai 27 hadi agosti 12 jijini london mara ya tatu kwa jiji hili kuiandaa
wakati miezi ikikatika kuelekea sherehe za ufunguzi na hatimaye wanamichezo kuonyesha umahiri wao waafrika hawajabaki nyuma katika kujiandaa hata kama ni kwa uchache
kwa bahati mbaya ni katika mwonekano hasi nchi kama tanzania inaonekana kwa sababu ya maandalizi mabovu yanayosababisha kuwakilishwa na wanamichezo wachache lakini pia ndoto ya kuzoa medali kufifia hata kabla mashindano kuanza
kila miaka minne watu wamekuwa wakisubiri kwa hamu mtu wa kuvunja rekodi za akina filbert bayi na suleiman nyambui
wawili hawa ndio sura ya tanzania linapokuja suala chanya la olimpiki kwani ndio pekee walioipatia nchi medali tena za fedha na wote katika riadha kwenye michuano ya mwaka 1980
bayi alipata medali yake kutokana na ushindi wake katika mbio za mita 3000 kwa wanaume kuruka viunzi wakati nyambui alishinda katika mbio za wanaume mita 5000 wote kwenye mashindano yaliyofanyika moscow urusi
miaka zaidi ya 30 leo bado hakuna mtanzania aliyeweza kufikia achilia mbali kuvunja rekodi hizo au wale wa michezo mingine kungaa
simulizi za maandalizi mabovu ziliendelea kama ilivyotarajiwa katika kupata washiriki wa michuano ya mwaka huu
hata baadhi ya wanamichezo walipotangaza au kutangazwa kwamba wangeshiriki mashindano haya palibakia utata huku mamlaka husika ndani ya nchi ikiwa haina uhakika na kufuzu huko
hilo liliwapata wanariadha mseduki mohamed nan faustine mussa ambao ilibidi wabaki wamepigwa butwaa hadi pale shirikisho la riadha la kimataifa (iaaf) lilipokuja kutoa tamko
iaaf ilithibitisha kwamba wawili hao walishiriki kwenye mashindano wanayo yasimamia na kwamba walifanya vizuri na kufuzu kushiriki kwenye michuano hii ya olimpiki
mseduki alishiriki kwenye michuano iliyofanyika nchini poland mach 29 wakati faustine alicheza ujerumani mei 6 na kufanikiwa kufikia viwango
ilivyotokea ni kwamba baada ya wanariadha hao kusema walishiriki mashindano na kufuzu kwa ajili ya ichuano hii kupitia chama cha riadha tanzania (at) kamati ya olimpiki tanzania (toc) haikuweza kuidhinisha madai hayo kwa sababu haikuwa na uthibitisho hadi iaaf walipowaandikia rasmi
kwa hali ilivyo tanzania itawakilishwa na wachezaji sita kwenye michuano ya olimpiki wanariadha watakuwa wanne watakaoungana na hao wawili wa mwanzo ni zakia mrisho na samson ramadhan walio kambini tayari
michezo mingine ni ngumi ambapo bondia mmoja seleman kindunda ataiwakilisha nchi kama itakavyokuwa kwa magdalena moshi kwa upande wa kuogelea huyu amekuwa kambini nchini austria anakosomea masuala ya utabibu michezoni
katibu mkuu wa toc filbert bayi (aliyenyakua media ya fedha mwaka 1980) anasema kwamba tanzania itakuwa na msafara wa watu 13 kwenye mashindano hayo
hao wanatarajiwa kuondoka nchini kwa safari ya london kati ya julai 6 na 7 na kuweka kambi katika chuo cha bradford kilichopo leeds
katika msafara huo watakuwapo makocha wawili mmoja wa kuogelea na mwingine wa ngumi na wengine watakaoambatana na timu ni viongozi
ikiwa maombi ya chama cha kuogelea tanzania yatakubalia na kamati ya kimataifa ya olimpki (ioc) tanzania itapata uwakilishi zaidi ambapo mwogeleaji mmoja wa kiume ataongezwa
hiyo ndiyo tanzania maandalizi na picha inayotolewa kwa ajili ya matokeo kwenye michezo hii muhimu ambayo nchi zinawekeza vilivyo kwani ni jukwaa muhimu la kujitangaza na kujipatia sifa
na katika bara la afrika pia maandalizi ya wanamichezo kwa ajili ya olimpiki si haba ndiyo maana katika nchi mbalimbali unaweza kukuta mashindano ambayo hukujua kama yapo kumbe ndiyo ya mchujo kwa ajili ya olimpiki
vyombo vya habari katika nchi husika pia vimejikita kwa sasa kufuatilia na kutoa habari za wanariadha wake zaidi wakijua ni mbegu zinazopandwa sasa zitakazovunwa julai na agosti jijini london
ethiopia na kenya ndizo nchi za afrika zinazopewa nafasi kubwa zaidi za kufanya vizuri kwa kuzoa medali kwenye olimpiki mwaka huu
wanamichezo wake si wa kawaida na programu zao za olimpiki hupewa uzito mkubwa mazoezi yakiwa ya kina ili kuhakikisha nchi zao haziaibiki na hazipendi kushiriki tu bali kushindana na kujipa nafasi kubwa ya kushinda
kuna nchi kama togo ambazo zipo chini zikituma wanamichezo wawili wawili tu kwa sababu haziwezi kumudu kupeleka wengi zaidi hata kama wangekuwa wamefuzu
ngumi ni moja ya mashindano yanayowezesha nchi za afrika zisizokuwa na umaarufu michezoni kuwakilishwa kwenye olimpiki
hapa zinazungumziwa nchi kama algeria botswana cameroon swaziland na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc)
ukiacha ngumi kuna michezo mingine kama badminton taekwondo na judo ambayo hutokea kuibua watu wasiotarajiwa kutoka maeneo yasiyotarajiwa pia na kutinga kwenye olimpiki kama utani
wanamichezo kutoka sudan kusini na somalia kwa mfano watashiriki olimpiki licha ya maandalizi duni nyumbani na ukosefu wa udhamini kwao
angola ndiyo nchi yenye timu bora zaidi katika mchezo wa kikapu barani afrika na wana matumaini makubwa ya kutwa medali mwaka huu pamoja na timu hiyo angola inapeleka london waogeleaji wawili
benin inatuma waogeleaji wawili na wanariadha wanariadha wawili kadhalika pamoja na mshindani mmoja wa mchezo wa taekwando
nyota inamuwakia amantle montsho mwanariadha wa botswana ambaye ni bingwa wa dunia wa mbio za mita 400 ambaye huenda akaipatia nchi yake medali ya kwanza kwenye mashindano hayo
msichana huyo mdogo amejijengea stamina kwa kukimbizana na mbuni kwenye makonde makavu wakati akienda shuleni kaskazini mwa botswana
baba yake ni mfanyabiashara anayemiliki duka dogo la bidhaa za rejareja na hakuamini alipopelekewa taarifa kwamba bintiye anakimbia kwa kasi kama mvulana
burkina faso inawakilishwa na wachezaji sita watakaoshindana kwenye riadha fencing kuogelea na judo cape verde itawakilishwa na mwanasarakasi na bondia kwenye olimpiki kama ilivyo kwa nchi nyingine ndogo za afrika cape verde ina wakati mgumu kugharamia wanamichezo wake
misri imefuzu kwa mchezo wa kuogelea wenye manjonjo ya aina yake kama waogeleaji kucheza dansi au sarakasi majini kadhalika itawakilishwa kwenye kulenga shabaha badminton ngumi mpira wa mikono kupiga makasia na sarakasi
ushiriki wa misri si haba kwani nchi hii ya afrika kaskazini ina zaidi ya wanamichezo 100 na ingawa si wengi wana nafasi ya kutwaa medali itavutia kuifuatilia timu yenyewe
ethiopia kama ilivyoelezwa awali ina nafasi kubwa ya kutwaa medali kadhaa za dhahabu haile gebrselassie ni moja ya nyota wake akikimbia mbio ndefu na ameshapata medali ya dhahabu mara mbili na sasa anashikilia rekodi ya dunia ya mbio za nyika
yupo mwingine kenenisa bekele aliyetwaa medali ya dhahabu mwaka 2008 anayechuana tena kulinda heshima au hata kuvunja rekodi
ethiopia itakuwa na wanamichezo 34 baadhi wakipewa nafasi kubwa ya kutwaa medali za dhahabu si ajabu wakatwaa dhahabu kwenye mbio za mita 10000
washiriki wake isipokuwa mmoja wanashindana kwenye mbio ndefu na za kati
mmoja ni bondia molla getachew anayepigana katika uzito mwepesi wa unyoya huyu hamiliki hata gloves za kupigana bali huazima kwenye kituo kibovubovu cha mazoezi anakojifua
guinea ya ikweta nayo inashiriki olimpiki mwaka huu ikiwa na wachezaji watatu mmoja wa judo na wawili wa riadha
vipi kuhusu eritrea licha ya umasikini wake uliokithiri mwaka huu inapeleka wachezaji 11 london wengi wao wakiwa wanariadha tumaini lao kubwa lipo kwa mkimbiaji wa mbio ndefu zersenay tadese
gabon iliyokuwa mwenyeji mwenza wa mashindano ya kombe la mabingwa afrika mwaka huu inapeperushiwa bendera yake na mshindani mwanamama kwenye judo bondia na wanariadha kadhaa
gambia itakuwa na wanariadha wawili na bondia mmoja
ghana inawinda medali kwa kupeleka mabondia watano wanariadha wawili akiwamo mrukaji aitwaye ignatius gaisah anayepewa nafasi kubwa ya kutwaa medali
mabondia wa ghana wanafanya vyema chini ya kocha wao kutoka cuba roberto ibanez chavez aliyefanikiwa kwa kiasi kikubwa kurejesha hadhi ya mchezo huo ghana
nyota nyingine ya afrika ni kenya kwani imekuwa na mafanikio michezoni katika ngazi za kimataifa huku kikosi chake kinachotinga london majira haya ya joto kikiwa na watu 80
humo kuna wanariadha 36 waogeleaji mpiga makasia mabondia na mchezaji wa taekwondo
matarajio ya medali kwa kenya yapo zaidi kwa wanariadha wa mbio ndefu mbio za nyika zikitarajiwa kuleta matunda kwani wilson kipsang na mary keitany walifunika na kuibuka na medali kwenye mashindano ya mbio za nyika yaliyofanyika london mwezi aprili
hakuna wasiwasi kwa wanariadha wengine kwani wote wamepata maandalizi mazuri wengine wanaotakiwa kuchungwa na washindani wao ni pamoja na robert cheruiyot (mbio ndefu/mbio za nyika) na msichana mdogo pamela jelimo anayekimbia mbio za mita 800 aliyeshinda karibu kila alikoshiriki katika majira haya ya joto
mwingine ni ezekiel kemboi aliyebobea kwenye kuruka viunzi edwin cheruiyot soi mbio za mita 5000 david rudisha na wilfred bungei wanaoshiriki mbio za mita 800 wanaume
wapo washiriki wengine wengi wenye fursa nzuri za kushinda kwenye mashindano haya muhimu na kwa ujumla kenya ina kikosi kinachotarajiwa kutoa ushindani mkubwa hivyo kuvutia watazamaji
madagascar inapeleka wanariadha kadhaa mcheza judo bondia waogeleaji wawili mwogeleaji wa kike anatarajiwa kuwapa wakati mgumu watangazaji kwani jina lake ni refu kupita kiasi anaitwa aina andriamanjatoarimanana
malawi ina waogeleaji wawili na wanariadha wawili pia mwogeleaji mmoja ana umri wa miaka 14 zarra pinto anayesoma shule ya sekondari ya st andrews jijini blantyre nchi hii ya kusini mwa afrika haitarajii kupata medali lakini yapo matumaini ya kukua kimichezo kwa siku zijazo
mali ina timu nzima ya mpira wa kikapu inayokwenda london pamoja na waogeleaji wachache na mwanariadha mmoja
mauritania imefanikiwa kupata wanariadha wawili wakati mauritius itawakilishwa na washiriki tisa kwenye medani tofauti ikiwamo badminton na kurusha mikuki
morocco imejizatiti kwani safari hii ina kundi la washiriki 50 wengi wao wakiwa wanariadha matumaini yake ya kutwaa medali ni kwa wanariadha wa mbio ndefu na wale wa mbio za nyika
amine laalou anayekimbia mita 800 pia anapewa nafasi kubwa kunyakua medali
msumbiji inaingia kwenye michuano hii na waogeleaji wanne mwanamieleka mmoja wanariadha wawili mmoja maarufu katika mbio za mita 800 maria mutola akishiriki kwa mara ya sita kwenye olipiki jambo ambalo si la kawaida
sura ya namibia kwenye olimpiki hii ni shujaa wake frankie fredericks na pamoja naye wapo washiriki wengine waliofuzu katika michezo ya kulenga shabaha kuendesha baiskeli ndondi na riadha
nigeria imepanga kutafuta mataji kwa kupeleka washiriki katika michezo tofauti wakiwamo wanariadha wa mbio fupi wawili kati yao walishawahi kupata medali nao ni olusoji fasuba na damola osayemi
nigeria inapeleka pia timu mbili za soka (wanaume na wanawake) na wanatarajia kutoa ushindani mkubwa kwenye masumbwi mpira wa meza judo mieleka kunyanyua vitu vizito taekwondo badminton na kuogelea
rwanda ina waogeleaji wawili na wanariadha kwa idadi hiyo hiyo
ama kwa upande wa senegal ina washiriki 16 wanaokwenda kwenye olimpiki hii wakijigawa katika michezo ya kuendesha mitumbwi judo na taekwondo mwanariadha aminata diouf ni mmoja wa walio tishio na hii ni michuano yake ya olimpiki ya tatu kushiriki
somalia ingalipo na inapeleka wanariadha wawili ambao kwa kweli wanatarajia kutwaa medali za dhahabu kambi yao ya mazoezi ni imo kwenye kiwanja kikuu kuu kaskazini mwa mogadishu
afrika kusini si nchi ya kutania kwenye michezo wamewekeza hasa na umakini wake unaonekana katika kikosi chao ambacho ni kikubwa kuliko nchi nyingi zote barani afrika
wamepanga kupeleka washiriki 225 london wakiwa wamefuzu kwenye michezo kama wa magongo kulenga shabaha kuogelea riadha bmx kupiga makasia mashindano ya mitumbwi kufyatua mishale kutoka kwenye pinde mieleka na kuendesha baiskeli
moja ya habari kubwa zaidi za michezo za kuvutia nchini humo ni kuhusu mwanariadha wa mbio za mita 400 oscar pistorious alikuwa anakaribia kufuzu kushiriki olimpiki lakini cha kushangaza ni kwamba hana miguu na watu humwita mkimbiaji bapa
miguu yake imekatika hivyo hutumia ya bandia ijulikanayo kama cheetah blades
mwaka 2008 mwogeleaji wa masafa marefu natalie du toit alipamba vichwa vya habari baada ya kufuzu kwa olimpiki akiwa mwanamke wa kwanza aliyekatwa miguu kufanya hivyo tangu zama za olivér halassy mwaka 1936
afrika kusini inao waogeleaji 24 na mpiga mbizi mmoja wote wakiingia kwa kujiamini kwenye olimpiki hii
ronald schoeman ni mahiri na anapewa nafasi kubwa ya kutwaa medali kama ilivyo kwa wenzake suzaan van biljon na gerhard zanberg wanaoogelea kwa kurudi nyuma
sudan inaingiza washindani saba kwenye michezo ya olimpiki wakiwamo wanariadha kutoka kipande cha nchi hiyo kilichochakazwa kwa vita cha darfur
pamekuwapo na miito ya kuizuia sudan kushiriki michezo hii kutokana na hali ya kisiasa ilivyokuwa darfur wakati wa michezo ya olimpiki ya mwaka 2008
hata hivyo kama mshiriki mmoja alivyosema wakati ule kuna habari nimesikia lakini ukweli ni kwamba hazinihusu sisi sote ni wasudani nami nakimbia kwa ajili ya sudan
mshiriki huyo alisema hayo wakati wa mapumziko akiwa kwenye mazoezi katika uwanja wa riadha uliokuwa umejengwa nusu nchini mwake
mwaka 2008 sudan ilipata medali moja tu ya fedha kwa mwanariadha wa mbio za mita 800 mwaka huu mwanaridha abubaker kaki anatumaini kusigishana na wakenya kwenye mbio hizo ili aipatie nchi yake medali ya dhahabu
hata hivyo washiriki wa sudan wanakabiliwa na uhaba wa viwanja vya mazoezi na kwa kiasi kikubwa wanafadhiliwa na vikundi vya hiari vya uingereza
hali hii ni tofauti kabisa na jirani zao wa ethiopia na kenya wenye viwanja vizuri na mipango thabiti ya mazoezi kwa wanamichezo wake kadhalika kuna fursa nyingi za ufadhili zinazotolewa kwa mshiriki mmoja mmoja
togo inayotuma washiriki wawili ni mfano anuai wa nchi ya afrika isiyokuwa na fedha za kuwadhamini wanamichezo wake kwa ajili ya olimpiki
tunisia ina kikosi kikubwa kwa ajili ya michezo hii wakiwamo watakaoshiriki riadha ndondi mashindano ya mitumbwi kuogelea mieleka mpira wa meza na mingine mingi kwa ujumla wana washiriki 32 katika michezo 10
uganda ina msafara usio mdogo kwani itaingiza washiriki 11 katika michezo minne kama vile waogeleaji wanariadha na yumo mchezaji namba moja wa badminton afrika edwin ekiring
zambia inaingiza mwanamasumbwi mmoja na wanariadha sita wanaotarajia kujifanya vyema hata kama hawatazoa medali safari hii atakuwapo pia mchezaji mmoja wa badminton
licha ya hali tete ya kisiasa nchini zimbabwe taifa hilo linapeleka washiriki 13 london likiwamo tegemeo lake kubwa kirsty coventry
huyu alishinda medali tatu kwenye mashindano ya athens ugiriki mwaka 2004 na ndiye anashikilia rekodi ya dunia katika kuogelea kwa kurudi nyuma
baada ya mafanikio yake kwenye mchezo huo watoto kadhaa waliozaliwa nchini mwake walipewa jina lake kristy baadhi wakipewa jina la katikati la coventry na hata wengine wakiitwa goldmedal au threemedals ilimradi kusherehekea mafanikio yake aliyopata ugiriki
hiyo ndiyo hali ya afrika na hayo ndiyo matarajio ya kufanya vizuri au vibaya kusuka au kunyoa kupwa au kujaa kwa afrika kwenye michuano hii mikubwa duniani | 2017-08-19T07:15:34 | https://www.tanzaniasports.com/2012/05/28/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london/ |
rc makonda kula sahani moja na wanaowatumia watoto waishio mazingira magumu kama kitega uchumi | mpekuzi
rc makonda kula sahani moja na wanaowatumia watoto waishio mazingira magumu kama kitega uchumi
mkuu wa mkoa wa dar es salaam mhe paul makonda ametangaza vita na watu wenye tabia za kuwachukuwa watoto yatimawalemavu na waishio katika maisha magumu kama mitaji ya kujinufaisha watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria
rc makonda ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya matokeo ya utafiti wa idadi ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani kinyume na sheria hali inayopelekea kushindwa kutumia fursa ya elimu bure iliyotolewa na rais dkt john magufuli jambo ambalo rc makonda ameapa kulivalia njuga
utafiti huo umebaini mkoa wa dar es salaam pekee una jumla ya watoto 3312 wanafanya kazi mitaani na kati ya hao watoto 2984 walionekana wakifanya kazi nyakati za mchana na 328 wanafanya kazi nyakati za usiku
rc makonda amesema idadi hiyo ya watoto wanaoishi mitaani ni matokeo ya kukosekana kwa misingi bora ya familia na mmonyoko wa maadili ndio maana aliamua kuunda tume ya kupitia sheria ya mtoto na mikataba ya kimataifa ambayo itasaidia kuweka haki stahiki za watoto
aidha rc makonda amewaonya watu wenye tabia ya kuwapatia ombaomba fedha barabarani kuwa ndio wanaohalalisha uwepo wa watu hao ambapo amesema kama mtu anataka kweli kusaidia waishio maisha magumu wapeleke misaada kwenye vituo vilivyopo kwa mujibu wa sheria kwakuwa vituo hivyo vinafuatilia mienendo ya watoto kitabia elimu na matibabu ambapo ukimpa pesa mtoto barabarani unatengeneza mazingira ya kuwa na fedha ambayo hana uhalali nayo na anapokuwa mtu mzima anakuwa mkabajimporaji na kuchoma visu watu wasio na hatia
kwa upande wake mkurugenzi wa shirika la babawatoto center bwana mgunga mwa mnyenyelwa amempongeza rc makonda kwa kufanya zoezi la kutafuta haki ya mtoto alietelekezwa kwakuwa kupitia zoezi hilo limewezesha watoto wengi kuingia kwenye mfumo rasmi wa kupata fedha ya matunzo kila mwezi pamoja na bima ya matibabu bure
amesema utafiti huo umefanywa na shirika la babawatoto center for children and youth kupitia mradi wa usaid kizazi kipya kwenye mikoa mitano ambapo wamebaini nusu ya watoto wa mitaani wanapatikana mkoa wa dar es salaam | 2019-03-18T18:03:29 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/06/rc-makonda-kula-sahani-moja-na.html |
wafanyakazi wa kitanzania wa mgodi wa buzwagi watakiwa kufukuzwa kwa vyovyote vile | jamiiforums | the home of great thinkers
wafanyakazi wa kitanzania wa mgodi wa buzwagi watakiwa kufukuzwa kwa vyovyote vile
discussion in 'jukwaa la siasa' started by magamba matatu nov 28 2011
kwa hali isiyo ya kawaida kwa migodi iliyoko chini ya kampuni ya uchimbaji madini ya barrick wafanyakazi wake wamekuwa kwenye msuguano mkubwa na viongozi (management) waliowekwa kwa ajili ya kusimamia migodi hiyo mgodi wa barrick buzwagi ulioko kahama kwa sasa umetokea kuwa na kashfa kubwa sana mara baada ya wamiliki wa huo mgodi kuamua kutumia maneno machafu kwa wafanyakazi wake kitu ambacho kimekuwa na uonevu mkubwa sana kwa hao wafanyakazi imefikia hadi wakati watanzania hao kuhoji kama serikali inajua kile kinachofanyika kwa hao wafanyakazi wa kitnzania hivi karibuni kuna taarifa ilitolewa na gazeti la taifa letu kwa tuhuma nzito dhidi ya wafanyakazi wa kitanzania zinazofanywa na wageni(makaburu) kutoka afrika ya kusini gazeti hilo lilinukuliwa likimnukuu katibu wa tamico wa buzwagi pale alipoitwa mbwa wadogo pamoja nawafanyakazi wenzake hivyo hivyo wafanyakazi hao wa kitanzania wamekuwa wakiitwa (monkey) kitu ambacho kimeafanya taarifa itolewe polisi pale kahama ili uchunguzi ufanywe lakini mambo yamekuwa tofauti kwani kinachoonekana polisi wanahongwa na wale wageni(makaburu) na kuamua kutofatilia madai ya wafanyakazi wa kitanzania
kwa sasa baada ya wageni hao(makaburu) hao kuona hawachukuliwi hatua za kinidhani wameamua kuweka mkakati wa kuhakikisha kuwa wanawafukuza watanzania kwa kigezo cha kuwa wanalala kazini kuna mpango unaoendelea kwa sasa ambapo kuna wageni(makaburu) kadhaa wamepewa kamera ili watimize kazi hiyo ili wawalete wafanyakazi wa kigeni kiukweli mpango wao umeisha anza kazi kwani kwa hii wiki zaidi ya wafanyakazi 8 wamefukuzwa kazi kwa kupigwa picha hata kama mtu ataonekana kuwa ameinama hiyo picha wataitunga kuwa alikuwa anaokota dhahabu juzi tarehe 26 wafanyakazi watano tena wamepigwa picha na wameamuliwa kumuona afisa mwajili kesho tarehe 28 kwa ajili ya kuchukuliwa hatua zitakazofaa hadi sasa hali imekuwa ni ngumu sasa kwa wafanyakazi wa kitanzania kitu kinachofanya wajiulize kama wana serikali au hapana kiukweli hali si nzuri na serikali isipoliangalia hili swala basi ijue wananchi wake wameishageuzwa watumwa japo uhuru tuliisha upata
mambo haya yanakera yanatokea kwenye nchi ambayo ina viongozi wanaoruhusu upuuzi kama huu kutokea na wao kuendelea kuneemeka na vipande kiasi vya fedha
ole wao siku yaja
huyo john comer mining engenieer ndo aliita waafrica wote mbyana hilo li hr garth lipohapo kwa ajili ya makaburuusitegemee ocs haway anaweza kufanya lolote hapo maana naye nikibaraka tu anaomba moaka mafuta ya gari lapolisi mgodini buzwagi unategemea nini
meneja wa mgodi boyd timler ndo matapishi matupu hanaga akili za kufikiria akitoa maamuzimeneja wa mahusiano ya jamii richard sherinhtin ndo bure anakazi ya kufanya ngono na vibinti vya kahama mjiniyaaani huu mgodi umeoza
ole wao siku yajaclick to expand
mkuu hii kitu imeniuma sana kwa sababu nchi ambayo nipo hayo ambayo wanafanyiwa watanzania hapo nyumbani kwa huku wanafanyiwa wageni mgeni ni marufuku kuwa hata kwenye menejiment zenye maamuzi kuhusu mwenyeji
sasa kwa hapo tz ni upumbavu
okole wao siku yaja unamaanisha nini siku gani au baada ya miaka 50 tena ya uhuruinasikitisha sana aiseekama maigizo vile
meneja wa mgodi boyd timler ndo matapishi matupu hanaga akili za kufikiria akitoa maamuzimeneja wa mahusiano ya jamii richard sherinhtin ndo bure anakazi ya kufanya ngono na vibinti vya kahama mjiniyaaani huu mgodi umeozaclick to expand
serikali yetu ni ya kipumbavumtz anaitwa mbwa au nyani na mgeni then huyo mgeni anaendelea kudunda nchini dahmaajabu ya dunia hayainabidi tuazime vichwa wa wa egypt ili kuiondoa hii serikali
viongozi wa tanzania wanaogopa sana wazungu sijui ni lugha au confidence nachelea kusema ni confidence kwa sababu ingekua wanaenda kwenye mikutano na wakalimani sidhani kama uozo huu ungetokea
mkuu kiukweli kwa sasa inasemekana meneja mkuu amekaimu kaburu na kuna kaburu hawana hata utaalamu wowote na wanalipwa pesa nyingi kuliko hali yenyewe naamini serikali isipochukua hatua kuna siku mauaji yatatokea hapo mgodini maana watu watachoka kunyanyaswa
viongozi wa tanzania wanaogopa sana wazungu sijui ni lugha au confidence nachelea kusema ni confidence kwa sababu ingekua wanaenda kwenye mikutano na wakalimani sidhani kama uozo huu ungetokeaclick to expand
uko sahihi kwani mwezi mmoja uliopita kuna waziri wa mambo ya ndani shamsa vuai nahodha alikuja pale buzwagi cha ajabu hakuweza kuruhusiwa kuingia sehemu inayoitwa process plant zaid yake walimpeleka juu ya kifusi cha mawe na hapo ndo walitumia kumuonyesha jinsi mgodi unavyofanya kazi huku akiwa nje
uko sahihi kwani mwezi mmoja uliopita kuna waziri wa mambo ya ndani shamsa vuai nahodha alikuja pale buzwagi cha ajabu hakuweza kuruhusiwa kuingia sehemu inayoitwa process plant zaid yake walimpeleka juu ya kifusi cha mawe na hapo ndo walitumia kumuonyesha jinsi mgodi unavyofanya kazi huku akiwa njeclick to expand
ni haki yao kutokumpeleka hata mimi nikija kwako una hiari kuniingiza chumbani kwako
na sisi wa tz tuache utegaji kazinituache kulala kazini na uzembe tuache tuwajibike vilivyo ama sivyo tutaishia kupigwa picha na kulalamika ovyo
haya mambo tumeyakubali wenyewe serikali yenu mnaijua ya nn mnaisubir ifanye maamuz choma moto ofisi zote mbona shule zenu mwazichoma chukueni hatua au mnaogopa njaa basi vumilien manyanyaso ndani ya nchi yenu eti mko huru huru labda hururuu
ni haki yao kutokumpeleka hata mimi nikija kwako una hiari kuniingiza chumbani kwako na sisi wa tz tuache utegaji kazinituache kulala kazini na uzembe tuache tuwajibike vilivyo ama sivyo tutaishia kupigwa picha na kulalamika ovyoclick to expand
kuliko uwe mtumwa wa akili kama wewe bora unywe sumu ufei
ulivyotoa ule uzi wa shimbo nikaacha kukuamini acha mkwara
hawa jamaa si muwashtaki kwa yale majembe ya chadema pale kahama kama mwenyekiti wa wilaya akina abbas wakiweka vikao vyao pale california wawalipue wakilipuliwa wataacha
haya yote ni madhara ya 10
mkuu kiukweli kwa sasa inasemekana meneja mkuu amekaimu kaburu na kuna kaburu hawana hata utaalamu wowote na wanalipwa pesa nyingi kuliko hali yenyewe naamini serikali isipochukua hatua kuna siku mauaji yatatokea hapo mgodini maana watu watachoka kunyanyaswaclick to expand
mauaji hayawezi kutokea kwa kuwa mmetengwa na kutawaliwa hamuwezi hata kuchangia magari wakati wote mnakaa mjini mabasi mengine yanarudi na watu wa4 huku wengine wakisubiri ya kwao
mzanzibar hawezi kuwasaidia kwenye 10 za wakubwa zake wekeni umoja wenu muwe na mwanasheria wenu poleni sana kaka zangu
haya mambo tumeyakubali wenyewe serikali yenu mnaijua ya nn mnaisubir ifanye maamuz choma moto ofisi zote mbona shule zenu mwazichoma chukueni hatua au mnaogopa njaa basi vumilien manyanyaso ndani ya nchi yenu eti mko huru huru labda hururuuclick to expand
kaka hawa watu hawawezi kuchukua hatua yoyote hawana umoja mna pesa nyie anzisheni umoja wenu mi niko kahama na si mgodini nitawasaidia wakisikia tu watatia adabu
haya mambo yanauma sana na si hapo mgodini tu njoo arusha uone wabongo wanavyonyanyaswa kwenye mahoteli na position zote walizopewa wabongo ni zile za chini kabisa kufuta madirisha kusafisha vyumba udereva ulinzi na kuwabebea wageni mabegi wakifika reception
mi huwa nashangaa sijui kwanini waafrika huwa wanakasirika sana wakiitwa majina kama mbwa na nyani waafrika wote tabia zao ni kama mbwa na manyani tu wala hawana cha kulaumu hapo viongozi wao kwa mfano wapo tayari hata kuona waafrika wenzao wanateseka ili wao waendelee kunufaika na wizi wa mali wanazoziiba huku uswahilini nako mtu anadiriki kubaka mtoto wake wa kumzaa kwa imani za kishirikina tu sasa mnataka wazungu wawaite jina gani kama siyo mbwa na manyani
ahsante karamagi yale matokeo ya kamkataba kako pale hotelini matunda tunayaona we endelea kula kuku tu | 2017-01-20T16:42:06 | https://www.jamiiforums.com/threads/wafanyakazi-wa-kitanzania-wa-mgodi-wa-buzwagi-watakiwa-kufukuzwa-kwa-vyovyote-vile.197470/ |
pressreader dimba 20190113 zijue alama muhimu katika uwanja wa mpira
zijue alama muhimu katika uwanja wa mpira
atika uwanja wa soka kuna alama mbalimbali zimechorwa na kwamba kwa mujibu wa sheria zinazouongoza mchezo huo kila alama ina maana yake
kwa mujibu wa shirikisho la soka la kimataifa (fifa) mchezo wa mpira wa miguu unaongozwa na sheria 17 pamoja na kanuni ambazo hutungwa na chama cha mpira
uwanja ambao ni kwa ajili ya kutumika kuchezea mpira wa miguu sheria za mchezo huo zinautaka kuwa na alama ambazo waamuzi watazitumia kuuongoza au kuchezesha mchezo huo
pamoja na kuwepo kwa alama hizo lakini zimewekwa kwa vipimo maalumu lengo likiwa hilo hilo la kuwaongoza waamuzi kuuchezesha mchezo kwa kutumia sheria pamoja na alama zilizopo uwanjani pindi mchezo unapoendelea
kwa mujibu wa sheria alama zilizopo uwanjani na vipimo vyake ni kwenye mabano ni mzunguko wa katikati wenye mita 10 (centre circle) alama ya katikati (center mark) eneo la goli lenye mita 6 (goal area)
vile vile kuna alama yakupigia penalti (penalty mark) eneo la penalti lenye mita 12 (penalty area) eneo la nje ya penalti lenye mita 10 (penalty arc) eneo la kupigia kona lenye mita 1 (corner arc)
alama nyingine ni eneo la goli lenye mita 6 (goal area) pamoja na nusu mstari wa katikati (halway line) huku eneo la kutoka mlingoti mmoja wa goli kwenda mwingine una mita 8 na urefu wa kwenda juu kwenye mtambaa wa panya ni futi 8
pia alama nyingine ni ile mistari miwili mirefu (touch line) na ile miwili mifupi (goal line)
sambamba na alama hizo pia kwenye kila kona ya uwanja kumewekwa milingoti iliyofungwa bendera ambazo ni alama ya kuonyesha mahala ambako uwanja unapoishia na kwamba kila mlingoti mmoja una urefu wa futi 5 kwenda juu
kulingana na sheria za mchezo huo milingoti yote ya magoli pamoja na ile ya vibendera ambavyo vipo kwenye kila kona ya uwanja vinatakiwa kuwa na umbo la duara na iliyotengenezwa kwa matirio laini isiyoumiza
ikumbukwe kuwa katika milingoti ya magoli si lazima kuwekewa nyavu lakini ili kuepuka magoli yanayoweza kusababisha utata ni muhimu kuweka
kama tulivyoeleza katika toleo lililopita ili uwanja uwe na sifa za kutumika katika michezo mbalimbali ya ligi pamoja na mechi za kirafiki za kitaifa au kima taifa unatakiwa kuwa na urefu usiozidi mita 130 na usiopungua mita 100 wakati upana wake unatakiwa kuwa mita 100 na usipungue mita 50
lengo la kuugawanya uwanja katika nusu mbili zinazolingana kwa kuchorwa mstari katikati ya uwanja ni ili kuzitenganisha timu zitakazokuwa zikicheza kwa wakati huo
kwa upande wa ile mistari miwili mirefu (touch line) na ile miwili mifupi (goal line) ipo kwa ajili ya kuonyesha eneo zima la uwanja ikiwa ni pamoja na kuwawezesha waamuzi kuona mpira wa kutoka mpira uliovuka mstari wa goli mpira wa kona pamoja na ule wa kipa kupiga (goal kick) uchambuzi huu wa sheria 17 za mpira wa miguu umeandaliwa na mwandishi wa gazeti hili ambaye pia mwamuzi wa mpira daraja la pili taifa kwa maswali maoni na ushauri katika sheria hizi za mpira tuwasiliane kupitia barua pepe [email protected] yahoocom | 2019-01-17T15:20:27 | https://www.pressreader.com/tanzania/dimba/20190113/281676846070311 |
kutoka kwenye magazeti ya udaku michezo na burudani na hardnews jumatatu novemba 07/2016 yakiwa na vichwa vikuu vya habari | mtanda blog
home / magazeti / slider / kutoka kwenye magazeti ya udaku michezo na burudani na hardnews jumatatu novemba 07/2016 yakiwa na vichwa vikuu vya habari
kutoka kwenye magazeti ya udaku michezo na burudani na hardnews jumatatu novemba 07/2016 yakiwa na vichwa vikuu vya habari | 2017-12-18T01:12:30 | http://jumamtanda.blogspot.com/2016/11/kutoka-kwenye-magazeti-ya-udaku-michezo_7.html |
spika anapodhani waliosema ndio wameshinda | jamiiforums | the home of great thinkers
spika anapodhani waliosema ndio wameshinda
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by sabung'ori aug 13 2011
wabunge sasa nawahojiwanaokubali waseme ndiowasiokubali waseme sionadhani waliosema ndio wameshindahuu ndio utaratibu unaotumika ktk bunge letu kupitisha au kutopisha mambo muhim ya nchindugu zangu wanajamii nimelileta kwenu jambo hili mnisaidie kwani nimekuwa nikitatizwa sana na huo utaratibu wa bungelabda niweke wazi kile kinacho nitatiza1nashidwa kuelewa speka anatumia kipimo gani cha sauti kutambua kuwa walioshinda au shindwa ni wangapi2 kuwatangaza washindi na walioshindwa bila ya kuwa na uhakika yaani kwa kudhania tubaada ya kuutafakali kwa kina utaratibu huu nmegundua yakuwa baadhi ya matatizo yanayoikabili nchi hii yametokana na huo utaratibu wa viongozi wetu wa kudhani badala ya kufanya tafiti na kupata majibu yasokuwa na shakaleo taifa limekwama kwenyetope la ufukala kwa sababu viongozi wanakaa maofisi kutwa wakidhania tuspika anadhani waliosema ndio wameshindawaziri mkuu anadhan tatizo la wauza mafuta alimuhusuraisi anadhani mgao wa umeme ni ukamedaktari anadhani mgonjwa anaumwa kichwa anampasua mguu nkmwisho ngependa kuwahasa wabunge wabadiri huo utaratibu kwani haufai na unalea uzembekudhani ktk mambo ya msingi ni sawa na kuyachezea kamali maisha ya watanzaniaumdhaniae ndiye kumbe siye
kwa hakika hili ni kosa spika wa bunge hawezi kuruhusu mswada wa sheria au hoja yoyote ya serikali ipite ie budget kwa 'kudhani' lazima kuwepo na uhakika beyond reasonable doubt kwamba upande fulani ndio umesema hivi na ule umesema vile na hii sio kwa kusikiliza sauti huu ni mfumo wa kiujima sijui kwa nini viongozi wetu wa bunge hawako innovative
kwa nini kusiwepo na utaratibu wa wabunge kupiga kura ijulikani wazi nani alisema ndiyo na nani alisema hapana tena hii ingekuwa kitu muhimu sana maana mpiga kura atajuwa mwakilishi wake yuko upande gani kwa kila hoja inayopita bungeni marekani ukitaka kujua 'voting record' ya senator wako unaweza kupata hapa sio rahisi kwa sababu hata kama alisema ndiyo anaweza kutoka nje na kudai hakusema chochote au alisema hapana
kuwepo na 'electronic device' chenye ndiyo & hapana na inapofika wakati wa kuvoti basi mbunge abonyeze ndiyo au hapana hii mambo ya kusema 'nadhani' upande fulani umeshinda ni wrong wrong wrong
labda wanatumia wingi wa wabunge wa chama tawala ndio kukubalika kwa hoja zao zote
messages 20059
likes received 7275
ingefaa wakati mjadaka unakaribia mwisho
wapewe vikaratasi vya vote iwe kura ya siri
wengi hua wanaogopa kuonekana na wenzao ndo maana wanasema ndio ya mdomoni huku moyoni wakijua ni sio
ni tanzania pekee ndio tuna spika/naibu spika wa aina yake mwenye kpaji cha kuhesabu sauti hakika anahitajika kuingia ktk kitabu cha guines na awe kivutio cha watalii pia spika anayeweza kuhesabu sauti tutapata pesa nyingi za kigeni au mnasemaje
uwingi wa waliosema ndiooooooooooooooooo na sioooooooooooooo uko sawa ila nikashngaa spika kasema waliosema ndio wameshinda hapo hapo nikagundua wanaamua kufosi mambo yapite hata kama hamna hoja za msingi
mkali_moko member
haki ya nani sina imani kabisa na hili bungehuyo spika ndio kabisaa hayuko siriaz na kazi yakekutoa comments zisizo maanakutoa kauli asonauhakika nazo inshort nahoji sana uwezo wake wa kazi kama spikanilishuhudia pale pa ndio na siohaihitaji jinias kutambua uozo wa hyo system ya kupitisha maswala muhimu ya kitaifa hata nilivokua chekechea tulikua tunapiga kura kupitisha monita na monitresni lini nchi yetu itakua siriaz jamaniiinauma sana
hizo ndo sera za ccm mwenye akili na atazame kwa makini na kutambua kwa mtazamo chanya
ndio maana ya kuitajika katiba mpya kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015 kura katika bunge inahitajika iwe ya siri kwa mbunge
kwa mfumo wa kutumbukiza karatasi katika box ambalo litawekwa mbele ya bunge na sio mfumo uliopitwa na wakati ukiwa
bado unaendelea ambao ni wa kuwakutishana kwa wabunge wa chama tawala
mtanzania haswa said ↑
sidhani kama spika ndo mwenye matatizo naona matatizo yapo kwenye kanuni zinazotumika zinahitaji kurekebishwa ili ktuoruhusu upuuzi kama huo unaompa spika mamlaka ya kupitisha kitu kwa kudhani
kanuni zeeeeeeeeeeekiboko chao katibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpya chenye mwanzo mwisho huo hapo suluali zitawabana na vitambi walivyonavyosipati picha
huu utaratibu kwa kweli ni wa kitoto kabisa utafikiri mchezo wa kuigiza
ni tanzania pekee ndio tuna spika/naibu spika wa aina yake mwenye kpaji cha kuhesabu sauti hakika anahitajika kuingia ktk kitabu cha guines na awe kivutio cha watalii pia "spika anayeweza kuhesabu sauti" tutapata pesa nyingi za kigeni au mnasemaje
ndiyoooo
matokeo yatakuwa tofauti na wanalielewa hilo
mkali_moko said ↑
userious utakuwepo pindi tutakapowaondoa ccm madarakani
anayo matatizo makubwa tu ndio maana bunge linamshinda kwakuelemea upande mmoja
kijana ndo tunatakiwa kufanya mabadiliko ya nchi yetu kwahiyo tuchukue hatua
rangi 2 senior member
comment ya #2 hapo juu electronic device hilo ndilo suluhisho mbona vipaza sauti wanavyo kila mmoja si ni vidude vile vile vinavyofanyakazi kwa kanuni zile zile za kidigitalelectronics
<br /> <br / haswaaaaa | 2018-01-17T00:13:58 | https://www.jamiiforums.com/threads/spika-anapodhani-waliosema-ndio-wameshinda.163679/ |
wiki ya nenda kwa usalama yazinduliwa dares salaam/arusha ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
posted by khalfan said on 0412 | 2017-10-24T05:59:37 | http://khalfansaid.blogspot.com/2016/11/wiki-ya-nenda-kwa-usalama-yazinduliwa.html |
waukweli zaidi yao chombeza chombeza time
chombeza chombeza time
nimekuja kuchungulia kidogo na kumpa hongera zake tk kwa kutoa tena kitabu cha malovedave kinachoenda kwa jina la chombeza time wadau wangu kama mnakumbuka miezi michache nilitoa kijalida cha mahaba kilichokwenda kwa jina la chombeza time (ujumbe wa mahaba) nawashukuru kwa kuniunga mkono na kukinunua na sasa naleta kwene mfululizo wa kijarida hiki kinachokwenda kwa jina lile lile la chombeza time kikiwa kimesheheni mada kali za mahaba na meseji zenye hisia kali za mapenzi zaidi ya 500 ili kukuiwezesha wewe msomaji wangu kupata kitu roho inapenda kokote uendakokitabu hiki kitauingia sokoni hivi karibuni kaa tayari kupokea mambo matamu ya mahaba labda nikumegee siri moja tu kuwa ndani ya kitabu hiki hakuna kuficha nimeweka wazi kila kitu nikiwa na imani wakubwa wenzangu tu ndio watakinunua lakini kama mtoto atakinunua itakuwa bahati mbaya kwani sikuwalenga waosi kitabu cha kukosa kitakuwa mitaani mwezi huutk
hayo ni maneno ya kijana mtanashati na mchakarikaji wa maisha si mwingine bali ni tulizo (tk) nampongeza kwa kazi yake nzuri anayoifanya kuelimisha jamiikitabu chake si cha kukosa kabisa utakuwa umekosa kitu muhimu sana katika maisha yakopata copy yako sasa
posted by by waukweli at 303 am
poa safi hicho kitabupia tunawakaribisha kwenye blog yetu ya celebritiesinayoitwastarsbongoblogspotcom hii ina wadada maarufu wote wa kibongo ughaibuni na bongo yenyewe
semina ya mafunzo kwa mahakimuwakuu wa magereza na waendesha mashitaka yafanyika mkoani kigoma *na abel daudkigomamkuu wa mkoa wa kigoma brigedia jeneral mstaafu emmanuel maganga amewataka mahakimu wa mkoa wa kigoma kufanya kazi kwa wer | 2018-06-22T19:15:44 | http://waukweli.blogspot.com/2008/07/chombeza-chombeza-time.html |
katanga ahukumiwa miaka 12 | matukio ya afrika | dw | 23052014
katanga ahukumiwa miaka 12
mahakana ya kimataifa ya uhalifu ya mjini the hague uholanzi imemuhukumu mbambe wa kivita kutoka congo germain katanga miaka 12 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kuwapa silaha kundi la waasi 2003 na kufanya mauwaji
mbabe wa kivita wa drc germain katanga akiwa mjini the hague
mahakama imemuhukumu germain katanga kifungo cha miaka 12 gerezani alisema jaji mkuu bruno cotte mbele ya mahakama ya the hague ikiwa ni hukumu yake ya pili tangu kufunguliwa kwake mwaka 2003 jaji huyo amesema kile kipindi cha miaka saba ambacho mtuhumiwa amekutimia akiwa kizuizini kitapunguzwa katika miaka ya kifungo chake
mwezi machi mwaka huu katanga mwenye umri wa miaka 36 alikutwa na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu yakiwemo mauwaji na uporaji kutokana na jukumu lake katika harakati za kuvamia kijiji cha bogoro katika eneo tete la mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo tarehe 24 februari 2003
dhati ya hukumu
makauburi waliozikwa waliouwawa ituri
wakati ikitangazwa hukumu hiyo katanga ambaye anajulikana kwa jina la utani la simba hakuonesha mtikisiko wowote mahakamani hapo inaelezwa kuwa matukio hayo ya uhalifu yalifanyika wakati akiwa na umri wa miaka 24
jaji aligundua kuwa alilipa silaha kundi la wapiganaji la patriotic resistance forces la mjini ituri (frpi) ambalo liliuwa idadi kubwa ya watu ikikadiriwa kuzidi 200 jaji cotte ameiambia mahakama ya icc kwamba makovu ya mapigano ya februari 24 2003 yameendelea kuonekana mpaka leo hii amesema kutumika kwa mapanga katika mashambulizia hayo ilikuwa vitendo vya kikatali sana na kwamba kumesababisha maumivu yaliyokithiri
kupunguzwa kwa mashitaka
hata hivyo awali mahaka ya uhalifu wa kivita icc ilimfutia mashitaka katanga ya ubakaji utumwa wa kingongo na kutumia watoto wenye umri mdogo jeshini baada ya kutolewa hukumu hiyo wanasheria kutoka kwa upande wa katanga watakuwa na siku 30 ya kukataa rufaa kufuatia hatua hiyo hata hivyo uhamuzi rufaa hiyo bado haujatolewa
hukumu hio ni ya pili kutolewa tangu kufunguliwa milango ya mahakama hiyo mwaka 2003 nyingine ilikuwa ya mbambe wa kivita ambae kwa wakati fulani alikuwa hasimu wake thomas lubanga ambae mwaka julai 2012 alihukumiwa miaka 14 gerezani
hukumu ya funzo kwa waharifu
kufuatia hukumu hiyo mmoja kati ya wanahakaraki wa haki za binaadamu kutoka katika umoja unaoshiorikiana na mahaka icc ili iweze kutekeleza majukumu yake joseph dunia luyenzi amesema inatoa matumaini kwa waathirika na kupeleka salamu kwa wale wote wanaotenda uhalifu kuwa watakuwa wakifuatilia na sheria kuchukua mkondo wake
hukumu ya mtuhumiwa huyo ilikuwa tata baada ya mmoja kati ya majaji watatu katika keshi hiyo kusema uamuzi wa kubadili muundo wa awali wa kesi hiyo utaathiri uwezo wa kujitetea awali katanga alishitakiwa kama mshiriki mwenza asiekuwa wa moja kwa moja na kufanya kuwa mwezeshaji katika uhalifu huo hatua hiyo imeshusha kiwango cha ushiriki wake katika shambulio hilo la kijiji cha bogoro
mahakama ya kimataifa ya uhalifu (icc) imemtia hatiani mkuu wa wanamgambo wa frpi kaskazini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo germain katanga kusaidia kwenye mauaji na uhalifu mwengine dhidi ya ubinaadamu (07032014)
sikiliza ripoti ya john kanyunyu kuhusu hukumu ya germain katanga
maneno muhimu katanda drac ituri bogoro
kiungo http//pdwcom/p/1c54m | 2018-02-20T06:46:30 | http://www.dw.com/sw/katanga-ahukumiwa-miaka-12/a-17655788 |
magufuli hapo vipi | jamiiforums | the home of great thinkers
magufuli hapo vipi
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by babu lao apr 14 2011
kati ya barabara ambazo zimefanyiwa uchunguzi huo ni pamoja na barabara ya mandela inayoendelea kukarabatiwa ambapo imegundulika kuwa barabara ya watembea kwa miguu maeneo ya kituo cha gereji kata ya makuburi imegeuzwa kuwa gereji na maegesho ya magari makubwa
cha kushangaza zaidi ni kwamba maegesho na gereji hizo zipo mbele ya ofisi za wakala wa barabara nchini mkoa wa dar es salaam (tanroads) zilizopo katika barabara ya mandela
imebainika kuwa wenye magari makubwa ndiyo wanaovunja sheria za barabarani katika eneo hilo na kugeuza kuwa maegesho na gereji bubu
dar leo limeshuhudia mara kadhaa magari makubwa yakiwa yamejipanga katika barabara hiyo kwa muda mrefu huku mengine yakiwa kwenye matengenezo
mmoja wa mafundi waliokutwa na gazeti hili akitengeneza gari katika eneo hilo aliyejitaja kwa jina la abadala saidi alisema hawana maeneo ya kufanyia kazi hiyo na kwa kuwa wanatafuta riziki wameamua kutumia eneo hilo
kwa sababu tuna njaa tumeamua kufanya hivi kama unavyotuona tumesoma lakini bado ni masikini hatuwezi kukodi gereji za kutengenezea magari makubwa kama hayaakasema saidi
akizungumza na dar leo jana mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mwongozo zilipo gereji na maegesho hayo james ngoitanile amekiri kuwapo kwa tatizo hilo na kudai kuwa madereva hasa wa magari makubwa ndiyo waliogeuza barabara ya watembea kwa miguu kuwa maegesho na gereji bubu katika eneo hilo
nimeliona hilo na mara kadhaa nimeweza kuwafukuza na kuweka kalipio kali lakini naona tabia hii inazidi kukua siku hadi siku kitu ambacho kianweza kusababisha madhara kwa watembea kwa miguu kwa kuwa wanalazimika kupita kwa shida amesema ngoitanile
ngoitanile amewataka wenye magari hayo au wenye tabia ya kutumia barabara kama maegesho kuacha tabia hiyo mara moja na kwamba kwa sasa anaandaa mkakati maalumu wa kuwakamata na kuwachukulia hatua za kisheria
kwa kweli hilo la maroli kwenye hiyo barbara ndio kero kubwa mi nashangaa watu wananunua maroli pa kuyapaki hawana yamejaakwenye hiyo barabarani kila eneo kuanzia buguruni mpaka external | 2017-07-25T11:32:32 | https://www.jamiiforums.com/threads/magufuli-hapo-vipi.126833/ |
fighters of life harusi iliyofurahisha ni hii bwana harusi miaka 91 na bibi harusi miaka 78 huku wakitinga kanisani na bodadoda
harusi iliyofurahisha ni hii bwana harusi miaka 91 na bibi harusi miaka 78 huku wakitinga kanisani na bodadoda
mzee nkwabi ngobola kapimbi (91) baada ya kufunga pingu za maisha na mkewe maria mkiwa (78)
mwaka mpya mambo mapyakatika
tukio linaloweza kuitwa kama ndoa ya karne mzee mmoja mwenye umri wa miaka 91 nkwabi ngobola kapimbi wiki iliyopita alifunga pingu za maisha na mkewe maria mkiwa (78) mbele ya mchungaji thobias shilole wa kanisa la maombezi huko kibaha mkoani pwani
mzee nkwabi akipozi na mkewe maria
tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi lilitokea baada ya wanandoa hao kutimiza miaka 55 tokea walipoanza kuishi pamoja katika uhusiano ambao walibahatika kupata watoto saba wajukuu 78 na vitukuu 24akiwa amevalia suti huku mkewe akiwa ndani ya vitenge mzee nkwambi alisema amejisikia furaha sana kufanya kitendo hicho kwani ni jambo ambalo kwake na la tatu kwa umuhimu mengine yakiwa ni kuzaliwa na kifo
sherehe baada ya ndoa ikiendelea
nimefurahi kufunga ndoa tukio hili ni muhimu kwangu umri wangu ni miaka 91 nimezaliwa mwaka mmoja na nyerere mke wangu ana miaka 78 tulionana kwa mara ya kwanza mwaka 1958 tukio hili limefungua ukurasa mpya wa maisha yangu najua mungu yuko pamoja nasi nina wajukuu 78 na vitukuu 24watu wengi wanauliza tulikuwa wapi siku zote hizi ni kwamba nilikuwa simuamini sana mke wangu tulikuwa tukikorofishana lakini bado tuliweza kudumu mungu ni mwema sana alisemaalisema hajali kama kuna watu watakuwa wakizungumza wanalojua kuhusu ndoa yao lakini anachofurahi yeye ni kufunga ndoa na mke wake anayempenda
mara ya kwanza mke wangu alikuwa anasita lakini nilisema lazima tukafunge ndoa kwenye kanisa la mzee wa upako ( antony lusekelo) nampongeza mchungaji thobias shilole kwa kuwa pamoja nasi na kukubali kubariki ndoa yetu lilikuwa jambo la furaha kwangu na mke wangu alisema babu nkwabi
wakiondoka kanisani na bodaboda kwa upande wake mkewe maria alisema awali alikuwa akisita kwa kuona kama itakuwa ni kituko mbele ya jamii lakini baada ya majadiliano na mumewe akaridhia jambo hilo kwa moyo mmojanajua maneno lazima yasemwe lakini mimi nampenda sana mpenzi wangu tuliwahi kupitia mambo magumu milima na mabonde lakini leo tumeamua kuzishinda hila za muovu ya shetani si kitu cha kawaida kufunga ndoa kwa umri wetu lakini mungu ndiyo njia ya kweli na uzima alisema mama huyo | 2017-03-26T03:26:18 | http://folclassic.blogspot.com/2014/01/harusi-iliyofurahisha-ni-hii-bwana.html |
wafanyakazi wawili wa tbs wafikishwa mahakamani kwa kusababisha hasara zaidi ya mil 977 issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content
wafanyakazi wawili wa tbs wafikishwa mahakamani kwa kusababisha hasara zaidi ya mil 977
na karama kenyunko blogu ya jamiiafisa manunuzi mwandamizi wa hifadhi ya taifa ya chakula mohamedx mzingi na mkuu wa textile leather wa shirika la viwango tanzania (tbs) wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakikabiliwa na makosa miwili likiwemo la matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya zaidi ya sh milioni 977akisoma hati mashtaka wakili wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) aneth mavika amedai mbele ya hakimu mkazi mkuu augustina mmbando kuwa kati ya julai 16 na 30 mwaka 2013 katika ofisi za makao makuu ya hifadhi ya chakula (nfra) washtakiwa walitenda kosa
imedaiwa siku ya tukio washtakiwa hao kwa nafasi zao na wakiwa wajumbe wa uthamini wa zabuni walitumia madaraka yao vibaya katika uthamini wa zabuni namba ae054/2013/2014/hq/g/02 lot namba 01
wakili huyo aliendelea kudai kuwa washtakiwa walitenda kosa hilo wakati wakitekeleza majukumu yao ambapo kwa makusudi walipendekeza kampuni ya bajuka international (t) ltd ambayo ilikuwa ha continue reading > | 2019-01-21T20:13:48 | http://presstz.net/wafanyakazi-wawili-wa-tbs-wafikishwa-mahakamani-kwa-kusababisha-hasara-zaidi-ya-mil-977-43246296 |
new york uchokozi wa israel huko gaza watakiwa kulaaniwa | habari za ulimwengu | dw | 10112006
new york uchokozi wa israel huko gaza watakiwa kulaaniwa
israel imeshutumiwa hapo jana wakati wa mjadala wa baraza la usalama la umoja wa mataifa juu ya shambulio lake la kijeshi lililosababisha maafa katika ukanda wa gaza na kutolewa kwa wito kadhaa wa kuwekwa kwa wanajeshi wa umoja wa mataifa kusimamia usitishaji wa mapigano kati ya pande hizo mbili
nchi za kiarabu zimeongoza wito wa kutaka kulaaniwa vikali kwa shambulio hilo la israel la jumaatano lililouwa wapalestina 18 wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto kwenye mji wa beit hanun katika ukanda wa gaza
mwakilishi wa palestina katika umoja wa mataifa ryad mansour amesema shambulio hilo ni ugaidi uliodhaminiwa na taifa ni uhalifu wa kivita ambapo kwayo wahusika lazima wawajibishwe chini ya sheria ya kimataifa
qatar imewasilisha rasimu ya azimio kwa niaba ya nchi za kiarabu lenye kulaani kile ilichokiita kuwa mauaji ya israel huko beit hanun na kutowa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano kati ya israel na wapalestina na umoja wa mataifa kutuma kikosi cha uangalizi na kuchunguza mauaji hayo
mwakilishi wa palestina katika umoja wa mataifa ameelezea matumaini yake kwamba rasimu ya azimio hilo yumkini likapigiwa kura leo hii
kiungo http//pdwcom/p/ccum | 2017-11-24T07:09:32 | http://www.dw.com/sw/new-york-uchokozi-wa-israel-huko-gaza-watakiwa-kulaaniwa/a-2909558 |
matukio @ michuzi blog balozi wa uingereza nchini tanzania amtembelea rc makonda
mkuu wa mkoa wa dar es salaam mhe paul makonda akizungumza na mgeni wake balozi wa uingereza nchini tanzania bi sarah cookealipomtembelea ofisini kwake leo jijini dar
katika mazungumzo hayo mhe makonda na bi cooke wamejadili suala la uanzishwaji wa jiji la fikra (brain storming center ) kwa ajili ya kuwakutanisha vijana wabunifu kama ilivyo kwa tech city uingereza
katika kuhitimisha mazungumzo yao mhe makonda na bi cooke kwa pamoja wamekubaliana kuzikutanisha timu za wataalamu kutoka london na dar es salaam za kukabiliana na majanga haraka iwezekanovyo
bi cooke kwa upande wake amefurahishwa na jinsi mkuu wa mkoa anavyopambana na vita ya dawa za kulevya ambayo imeathiri nguvu kazi kubwa sana katika jiji la dar es salaam na kumuhakikishia kuwa serikali ya uingereza inaunga mkono jitihada zote zinazofanywa katika kuwaletea maendeleo wananchi wa mkoa wa dar es salaam | 2018-04-25T12:13:04 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/05/balozi-wa-uingereza-nchini-tanzania.html |
mambo yanayoharibu swaumu kwa mtu aliyefunga katika mwezi wa ramadhani | mtanda blog
home / kitaifa / slider / mambo yanayoharibu swaumu kwa mtu aliyefunga katika mwezi wa ramadhani
mambo yanayoharibu swaumu kwa mtu aliyefunga katika mwezi wa ramadhani
juma mtanda 532 pm kitaifa slider edit
yanayobatilisha swaumu na yasiyobatilisha swaum yanayobatilisha (yanayoharibu) swawm*
na mwalimu omari abdallah makoo 1 kula na kunywa kwa makusudi na sio kwa kusahau wala kwa bahati mbaya au kwa kulazimishwa katika mchana wa swawm
4 kujichua (kuyatoa manii) kwa makusudi ima kwa mkono au kwa kuchezewa na mkeo au kwa njia yoyote ile ama manii hayo yakitoka kwa kuota (ndoto) au kutazama (bila kukusudia) basi haiharibu swaumu
5 kupatwa na hedhi au nifasi kwa mwanamke hata kukiwa kutokea huko kuwa ni wakati wa kukaribia kufuturu
6 mwenye kutia nia ya kula wakati amefunga kwa sharti kuwa kaazimia tendo hata
hakulitekeleza
kamahilo
7 kudhania kuwa jua lishazama magharibi au bado hakujapambazuka (yaani haujaanza wakati wa kufunga) kisha akala akanywa au akamuingilia mke wake
yasiyobatilisha (yasiyoharibu) swawm
3 kudungwa sindano mwilini wakati wa maradhi
5 kuoga na kujimwagia maji mwilini wakati wa joto kali
6 kuonja chakula kwa mpishi kwa sharti asimeze kile akionjacho
7 kumbusu au kumkumbatia mkeo kwa sharti awe mtu ana uwezo wa kujizuia na kudhibiti matamanio yake
8 kupiga chuku (cupping) ikiwa kupika chuku huko hakutomfanya huyo mtu adhoofike ingawa kuna baadhi ya maulamaa wanaona kuwa haifai na hali kadhalika kutoa damu
9 haitobatilika swawm ya mtu atakayeamka na janaba au atakayeota mchana wa swawm akatokwa na manii
10 kuingia harufu ya manukato au udi puani mwake ingawa baadhi ya maulamaa wanasema ni vizuri kujiepusha moshi usiingie hadi kufika tumboni
11 kupiga mswaki kusukutua au kusafisha pua kwa kutia maji puani bila kuzidisha | 2017-09-26T16:22:45 | http://jumamtanda.blogspot.com/2017/06/mambo-yanayoharibu-swaumu-kwa-mtu.html |
mkojo katika bustani faida au madhara | magazine mkate yellow
mkojo katika bustani faida au madhara
jina la kilatini la ladybug linaonekana kama coccineus inamaanisha alai rangi mkali mkali ilikuwa msingi wa jina kama hilo
wamarekani wa kilatini wanaiita ng'ombe wa st anthony wajerumani na uswisi huita mdudu wa bikira maria waeczech na slovakia wanaiita jua na warusi ukrainians na belarusi mwanamke wa kike hebu tuone ni nini wadudu huleta kwenye bustani zetu faida au madhara ambako huishi na kile kinachotumia
bug nzuri na matangazo kwenye mabawa wenyeji wote wa nchi wanafahamu vizuri wadudu huu na wamewaona mara kadhaa katika vitanda vyao vya maua na bustani
urefu wa mwili wa beetle ni kutoka 5 hadi 8 mm katika nchi yetu ladybug ya kawaida yenye pointi saba kwenye kanda (sabakumweka) mdudu wa kifahari uliitwa jina la matangazo saba ya giza kwenye mabawa nyekundu mara kwa mara kuna mende zilizojenga isiyo ya kawaida na mbawa za njano na dots za giza au nyeusi na matangazo nyeupe kwenye kanda au hata kabisa bila pointi
mwanamke hutumia aina ya vifuniko na viboko vya buibui hivyo kuokoa bustani na misitu ya berry vimelea vya wadudu duniani ni wafuasi wa ajabu wa aphid wakiishi nyuma ya majani ya bustani na mimea ya mboga
je unajua katika nchi nyingi kuna mwelekeo wa biashara ya kilimo kama uzazi wa wanawake wakulima wanahusika sana katika wadudu hawa wenye manufaa mzunguko mzima wa maendeleo ya mende ni chini ya udhibiti mkali katika siku zijazo wadudu huuzwa kwa wakulima na muswada huenda kwa maelfu ya watu katika kila kura wawindaji wa aphid wanatunzwa wote katika nchi waliyoinuliwa na kutumwa kwa barua pepe duniani kote
wanachama wazima wa familia wanaishi na wanajitokeza katika shamba lisilo wazi wakificha kwenye majani yaliyokaushwa au chini ya nyasi kavu kwa mwanzo wa joto ni wakati wa kuzaa watoto na mende huweka clutch ya mayai 1020 uashi umeunganishwa ama kwenye matawi ya matawi ya wima ya miti ya matunda au ndani ya jani la majani sio mbali na makazi ya aphid kutoka mayai kwa watu wazima wadudu hatua kwa hatua hupita kupitia hatua nne
mabuu ya wadudu hawa huwa na rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi wakati mende mdogo hujitokeza kutoka kwa pupa inahitaji muda kidogo kwa elytra hatimaye kuwa nyekundu
jua nini cha kufanya kama aphid ilionekana kwenye apple plum kabichi matango currants kinu
mvuko kama watu wazima hasa hulisha apidi aina hii ni ya wadudu wadudu katika mzunguko wa maisha mende wa kike hukaa juu ya mayai elfu ambayo hatimaye itachaa kukua na kuzaa kizazi kipya cha mende mia elfu
kutoka mayai kwa kutolewa kwa beetle mtu mzima katika majira ya joto inachukua siku 4060 thamani ya kibaiolojia ya mwanamke ni ngumu kuzingatia zaidi mkoko mmoja tu wa kike huharibu hadi nyuki nne elfu katika maisha yake na hivyo kuhifadhi mimea inayopata nusu hekta ya ardhi kutokana na uharibifu
bug mdudu na mbawa nyekundu kwa dot ndogo inayojulikana kwa wote tangu utoto katika siku moja inaweza kuharibu watu zaidi ya 150170 ya majani ya kukuza majani
ni muhimu mabuu ya mende hii inaonekana si ya kuvutia sana ni kiumbe wa ajabu bila mbawa na kwa dots kali kwenye nyuma yake ikiwa unaona monster kama hiyo kwenye nyanya unazopenda au pilipili usikimbilie kuiharibu hivi karibuni lava hii itageuka kuwa mdudu mzuri wa rangi
faida ambazo mwanamke huleta huonekana kwa jicho la uchi mtu anapaswa kuangalia kwa karibu tu kwa mfano vitanda vya tango sehemu ya nyuma ya jani ina vifuniko vinavyotumia majani kikamilifu
ikiwa wameachwa peke yake katika siku nne majani ya tango yatauka kabisa na mmea utakufa lakini wawindaji wa rangi nyekundu huanza kazi zao na mashamba ya tango yatakaswa ya wadudu kwa siku ni uwepo wa wadudu hawa wenye mishipa juu ya mimea ambayo hutatua matatizo kwa uharibifu wa makoloni aphid kwenye misitu ya berry miti ya matunda nyanya na pilipili uwezo wa kufanya bila matibabu ya kemikali utakuwezesha kula mazao yaliyopandwa ya matunda na mboga bila hofu
baadhi ya bustani mwanzoni mwa spring akiona mimea michache ndogo ya nyuzi za nyuzi mara moja huanza kupumzika kwa uharibifu wa dawa zao za wadudu hakuna haja ya kuharibu kabisa mimea ya kupanda kwenye mimea kwa sababu watu wazima wa kike bila chakula watafa
kuanzia mwanzo wa vuli hakuna haja ya kusafisha bustani na bustani kutokana na uchafu wa kupanda kwa kupanda kwa sababu kwa kutokuwepo kwa majani yaliyomo ya kuvua masanduku yaliyomo ya tupu au miundo ya brashi iliyoachwa wakati wa majira ya baridi wanawake wa kike hawatakuwa na mahali pa kusubiri kipindi cha baridi
je unajua kuna ishara hiyo ikitabiri bahati ya karibu kwa chochote ikiwa mwanamke hutandaa kwenye mitende yako basi unaweza kutarajia furaha isiyoyotarajiwa bahati nzuri mbegu inayozunguka haifitikivu mkono kwa namna yoyote ili usikisie bahati lakini subiri mpaka itakapotoka mbali na yenyewe
ingawa faida za shughuli za mende huzidi sana madhara wanayosababisha bado kuna si kila kitu ambacho wanawake wanaola hula ni kwa manufaa ya ulimwengu wa mimea
inasababisha uharibifu mkubwa kwa mavuno ya mazao ya meloni viumbe wetu wa hali ya hewa ya melon siofaa kwa sababu ya winters kali 28kumweka ni janga la kweli la mungu kwa ajili ya kupanda viazi nyanya matango na maziwa ya mvua katika mkoa wa amur eneo la khabarovsk na sakhalin peninsula
katika maeneo mengine mdudu kama huu huitwa ng'ombe ya viazi mbegu hii sio tu hudhuru mazao ya mboga mboga mboga mboga na matunda lakini pia hueneza magonjwa ya mimea ya virusi wakati wa kuruka kutoka shamba hadi shamba harlequin au viumbe vya asia vurugu na voracious kutoka aina hii ya mende katika wakulima hofu ya amerika ya kaskazini ulaya ya magharibi na uingereza mwaka 1988 wadudu hawa waliletwa amerika ya kaskazini
kwa msaada wao ilipendekezwa kuanzisha biokontrol juu ya vimelea vya kueneza vibaya lakini aina hii huharibu sio tu lakini pia ni wawakilishi wa aina zake na leo imekuwa aina ya kawaida nchini marekani na uingereza wanabiolojia wa nchi hizi wanapiga kelele aina 46 za ng'ombe zilizobaki ambayo hapo awali zilienea zimepotea karibu
ni muhimu mkulima ambaye anataka kuhifadhi wakazi wa mende hizi za kifahari katika eneo lake lazima kukumbukwa kwamba matibabu yoyote ya bustani na dawa za kulevya zitasababisha kifo cha wadudu sio tu baada ya matibabu na dawa za wadudu wadudu haraka kurejesha namba zao lakini mende hufaa kuzaliana polepole zaidi
kuvutia mende kwa bustani yako au bustani si rahisi sana lakini inawezekana kwa hili unahitaji kupanda mimea inayovutia wadudu huu kukaa kwenye eneo lako
wakulima wa bustani kwa muda mrefu wamegundua kuwa mende hizi huvutia harufu ya daisies ya kupanda bizari tansy yarrow
wafanyabiashara wenye ujuzi wanaacha mahali pazuri kwa majira ya baridi na mende mzuri ikiwa makaazi hayo yanatayarishwa kwa makusudi na katika maeneo yanayotumiwa kwa wadudu basi wadudu hupenda kukaa ndani ya baridi mbinu inayojulikana kwa muda mrefu baada ya kuvuna mahindi makundi ya kusafisha kavu ya vichwa vya mahindi yanatungwa na vile vile bouquets huwekwa kwenye bustani au juu ya vitanda ambapo kuna kukua kile wanawake wanaokula
mnamo septemba katika kutafuta nyumba yenye joto kavu na yenye furaha kwa ajili ya majira ya baridi wadudu wanakuja kwa hiari kwa idadi kubwa katika maagizo ya mahindi yaliyotolewa nao
bustani inaweza kukusanywa tu mwishoni mwa mwezi wa septemba kufunikwa na mende ya makaazi kuhamisha kwenye ghalani na kuiweka kwenye boriti ya dari katika msimu wa spring mende huondoka makao ya baridi wenyewe na kugawa juu ya biashara zao
vidudu hivi vitabaki kwa majira ya joto katika bustani yako na katika bustani yako ni lazima ikumbukwe kwamba hata na ladybugs kadhaa husababisha uharibifu mkubwa kwa jeshi la aphid
hata kama mmiliki wa tovuti hakutunza mkusanyiko wa nyuzi kwa ajili ya majira ya baridi watapata makazi katika yadi katika kuni ya mbao chini ya gome la zamani chanjo chini ya rundo la majani au shavings wote wawakilishi wa ulimwengu wa wadudu wanaficha huko na overwinter na kampuni ya kirafiki kwa hali ya hewa yetu ni muhimu kwamba makaazi hayo ni ya chini kutoka kwenye udongo na wakati wa majira ya baridi hufunikwa na theluji na kuokoa mende kutoka kwa kufungia
wakati wa majira ya joto wadudu hawana kuruka ndani ya nyumba hiyo kwa kuwa hawana haja ya makazi wakati wa joto na ili kuwavutia nyumbani na kuwakaribisha kukaa kwa majira ya baridi watu hutoa bait yenye pheromones katika masanduku haya
nyumba hiyo ni mapambo sana na hupamba bustani lakini wakati huo huo imeundwa ili wadudu hawabebe theluji wakati wa majira ya baridi na watakuwa na uwezo wa kuishi baridi bila kupoteza ng'ombe ng'ombe kuruka mbinguni kuna watoto wako wanakula pipi ambaye kutoka watoto kama mtoto baada ya kuweka kidole zaidi hakuwa na kusubiri na pumzi bated wakati baada ya maneno ladybug ingeenea mabawa yake na kuchukua
kukua spirea nyeupe katika bustani kupanda na kutunza mmea
kushindwa na mende ya colorado viazi ramona maelezo ya aina mbalimbali picha na vipengele vingine
matumizi ya quinoa faida na madhara ya kutumia mimea
makala ya kupanda na kutunza bafu katika dacha | 2019-11-13T06:04:56 | https://sw.yellowbreadshorts.com/4756-ladybug-in-garden-and-garden-good-or-bad.html |
image captionnchi nyingi barani afrika ni kinyume cha sheria kulima kuuza au kutumia bangi
image captionzimbabwe kuhalalisha upanzi na matumizi ya bangi | 2018-05-26T21:51:43 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2018/05/fahamu-nchi-zinazotumia-bangi-kwa-kiasi.html |
majaliwa apokea msaada wa maafa ya tetemeko la ardhi kagera pamoja blog
home > kassim majaliwa > matukio > tetemeko la bukoba > waziri mkuu > majaliwa apokea msaada wa maafa ya tetemeko la ardhi kagera
majaliwa apokea msaada wa maafa ya tetemeko la ardhi kagera
12/22/2016 043900 pm kassim majaliwa matukio tetemeko la bukoba waziri mkuu | 2018-06-23T08:34:23 | http://www.pamoja.co.tz/2016/12/majaliwa-apokea-msaada-wa-maafa-ya.html |
taleban wajizatiti jimboni swat | matukio ya kisiasa | dw | 04052009
taleban wajizatiti jimboni swat
uongozi nchini pakistan umetisha kuwachukulia wapiganaji wa taleban hatua za kijeshi endapo wataendelea kukiuka amri ya kutotoka nje nje iliyotangazwa katika mji wa mingora ulio jimboni swat
ramani ya jimbo la swat(njano) la pakistan
kwa upande wao wapiganaji wa taleban waliojihami wanaripotiwa kushika doria bila uwoga wowoteyote haya yanatokea baada ya makubaliano ya muda ya kusitisha vita kufikiwa miezi mitatu iliyopitawakati huohuo rais barack obama wa marekani anatarajiwa kukutana na viongozi wa pakistan na afghanistan ifikapo jumatano kwa lengo la kujadili mkakati wa kupambana na wapiganaji wa al qaeda
uongozi wa pakistan unakabiliwa na mivutano wakati ambapo marekani inaushinikiza kuongeza muda wa operesheni ya kuwafurusha wapiganaji wa talebankundi la taliban kwa upande wao limepinga vikali hatua ya kuundwa mahakama za rufaa za kiislamu kwa ajili ya kuusambaratisha uasi huomahakama hizo za sharia zilianzishwa katika jimbo la kaskazini magharibi la swatkwa mujibu wa wadadisi makubaliano hayo yaliyofikiwa miezi mitatu iliyopita sasa yanatetereka
wakazi wa eneo la mingora jimboni swat
serikali ilitangaza muda wa kutotoka nje katika mji mkuu wa jimbo hilo wa mingora ambako wapiganaji wa taleban wanaripotiwa kushika doria bila uwoga wowote
makubaliano hayo yaliyofikiwa mwezi wa februari yaliidhinishwa na rais asif ali zardari mwezi uliopita yalikosolewa vikali nchini humo vilevile na jamii ya kimataifawakosoaji walidai kuwa hatua hiyo zaidi itawatia nguvu wapiaganaji wa taleban badala ya kuleta tija yoyote
hofu na wasiwasi huo ulizidi kutanda pale wapiganaji wa taliban walipoishambulia wilaya jirani ya bunerkatika kipindi cha siku kumi zilizopita ndege za kijeshi pamoja na wanajeshi wa nchi kavu wamekuwa wakiwasaka wapiganaji wa taleban ambao wanaripotiwa kukimbia katika maeneo ya mbali zaidi mikoani dir ya kaskazini na buner
kwa mujibu wa waziri wa misitu anayetokea eneo hilo wajid ali khanwapiganaji wa taliban wanakiuka makubaliano yaliyofikiwa kwa kushika doria na huenda serikali ikalazimika kuwashambulia endapo hawatoridhia kusitisha operesheni zao kwa amani
mwanajeshi anayeshika doria katika eneo la dir ya kaskazini
kwa upande mwengine rais barack obama wa marekani anatarajiwa kukutana na viongozi wa pakistan na afghanistan ifikapo jumatano kutokana na hali iliyopomkakati mpya wa marekani wa kupambana na wapiganaji wa taliban na al qaeda wanaoendesha operesheni zao afghanistan na pakistan haujapokelewa vizuri na jamii ya kimataifa wala katika nchi husika
hii itakuwa mara ya kwanza kwa viongozi hao kukutana ana kwa ana wakiwa na azma ya kujadili mkakati huo mpyahata hivyo rais obama ataweza kupata fursa ya kuwasilisha hisia zake kuhusu masuala ya rushwa na ufisadi pamoja na uongozi mbayachangamoto kubwa ni kuishawishi pakistan kulipa uzito tishio la uasi kadhalika kuwazuia wapiganaji wa taleban kuendeleza operesheni zao dhidi ya afghanistan wakiwa nchini mwaokauli hizo zinaungwa mkono na waziri wa ulinzi wa marekani robert gates aliyesema kuwa ''kuvunjika kwa makubaliano ya kusitisha vita katika jimbo la swat pamoja na harakati za kuivamia buner ni mambo yaliyoifungua macho serikali ya pakistannadhani viongozi wa pakistan wanalielewa hilo ila kuna haja yao wao kuwafahamisha raia wengine wa pakistan''
wakati huohuo mlipuaji mmoja wa kujitoa muhanga amemshambulia meya wa mehterlam ulio mji mkuu wa jimbo la laghman pamoja na watu wengine watanoshambulio hilo limesababisha vifo vya meya huyobinamu yakewalinzi wawili na wanakijiji wawili kwa mpigo mmoja
shambulio hilo limethibitishwa na naibu gavana wa jimbo hilo edayatullah qalanderzaiitakumbukwa kuwa rais hamid karzai anapanga kuwania muhula wa pili katika uchaguzi uliopangwa kufanyika mwaka huutayari rais karzai ameshajisali na kuwatangaza makamu wa rais wa sasa karim khalili pamoja na makamu wa rais wa zamani qasim fahim kuwa wagombea wake wenzauchaguzi huo umepangwa kufanyika ifikapo tarehe 20 mwezi agostiwagombea wengine wamepewa muda wa wiki moja kujisajili hamid karzai amekuwa madarakani tangu utawala wa taleban kuangushwa mwaka 2001
mwandishirtre/afpe
kiungo http//pdwcom/p/hjny | 2018-01-21T03:31:43 | http://www.dw.com/sw/taleban-wajizatiti-jimboni-swat/a-4226042 |
tujadili kuhusu mobile browsers jamiiforums
tujadili kuhusu mobile browsers
thread starter uncleuber
4986 1250
tujadili uzuri au ubaya wa mobile browsers tunazotumia au tunazozipenda haijalishi ni java android ios etc hii itasaidia wadau wasio wazoefu waweze kuchagua browser itakayowafaa kwa matumizi yao
kwa kuanza mi naifagilia sana dolphin browser ya android bwana weee hii kitu tangu niitumie yani nikagundua nilikuwa napoteza muda kwenye opera mini
nnachoipendea hii browser ni bishi especially website zenye javascript nyingi mfano jf unapoamua kubrowse in pc mode unapata experience safi kabisa
kama huna space kubwa dolphin wana lite version ambayo pia iko poa
haya wadau tiririkeni mie nimeanza
kwa hiyo unamaanisha ninuue cm ya aina gani swali la pili kama computer unaweza kubadilisha window je cm na yenyewe unawezakama huwezi kwa nini
2801 1225
me ni mpenzi wa kudownload hapa naipa credit uc browser sijaona mpinzani hata kidogo hii ni kiboko ya browser kene sector ya kudownload as ina downloading stability nzuri sana kiasi kwamba unaweza zima simu ukiwasha unaenda endelza pale ilipo ishia pia ina support streaming ya codec ambazo ziko supported na device yako yaani mfano mp3 file uki click download ina kuuliza play online ama download hapo una play online kitu ina stream bila utata unakuja na built in flash player + java script inayo vutia
the ugly thing ya hii browser ni inakula memory kama haina akili nzuri yaani browser file ina 67mb but after sone times uf uses inafikisha hadi 30mb pia inaleta web page kama zilivyo hapa ni umalizaji wa bundle kama nini
running uc browser 841 in android
reactions mr anold
chimbuvu said
dogo anzisha uzi mpya utajibiwa na wataalam hapa uko off topic
1047 1195
hapa sasa mkuu sijui nianze na ipi opera mini imeniwezesha sana mpaka kufikia hapa nilipo hiyo dolphin sijui hata ilivyo cause i haven't android opera mobile nayo ni nzuri na ina javascript na kuna operamini ambayo sio ya java pia haina javascript iko kasi na kuna opera mini za java nazo ni nzuri ila opera mini 7 ya java imenifurahisha kiasi fulani mpaka nikajiuliza kwamba nayo ina javascrip au nini hiki yaani mpaka ina page redirecting hata kwenye hizi file sharing sites inaenda na kudownload file
27725 2000
operamini kali balaa ngoja nimuite chiefmkwawa aje kutuwekea ule uzi wa mobile browser
muchuno
mi natumia uc webina javascriptkudownload na kusave iko poa
19829 2000
mkuu zile ni za symbian tu
2937 2000
i dont even know what to use nina opera google chrome mozilla firefox zote natumia interchangeably and i love em all heri yenu wenye uc and dolphine
hivi kumbe kuna mozilla ya simu
ningar said
ni kwa ajili ya android os tu ndio ipo
reactions ningar
17623 2000
oooh kumbe nshakumbukathanks
3097 2000
ninayo ya android
21923 2000
wakuu samahani kama nitakua nje ya topicmimi simu yangu ni e52 nokia naomba kuuliza nitumie browsers gani ambayo itaendana na simu yangu
muchuno said
nina ucweb kwenye smartphone htc s740 yenye windows 61 standard yenyewe naona haina javascript pia tukumbuke hizi ucweb zipo file extension aina nyingi kwa mfano kwa winmobile ni cab symbian ni sis na kwa java ni jar etc hivyo hii nayo yaweza kuleta tofauti kulingana na application yenyewe ilivyoundwa
tupia operamini 7 aka next iko poa sana na itakufaa ila ucweb kama salio lako lakizushi haifai
mi na samsung winmob 61 ila nataka kujaribu 65 nione inakuaje maana natafuta fundi mwenye uwezo huo ili anisaidie
mkuu mimi nimeelewa hapo kubadilisha window umemaanisha kama tab yani ufungue page 2 kwa mpigo sjui ndo hivooooo
kama ndivyo nafkiri browser zote za simu zote zinafanya hivo
3889 1225
jamani nimejaribu kila aina ya browser including bolt na zote mnazozijua lakini bado sijaona badala ya opera mini tena version ya opera mini mod 42 hiyo kwangu sijaona inayoipiku japo zimefikia mpaka 10
threads 1295826
posts 31224411 | 2019-05-24T21:10:53 | https://www.jamiiforums.com/threads/tujadili-kuhusu-mobile-browsers.356707/ |
tanzania style ya kutombana
tanzania style ya kutombana style za kutombana tanzania web picha za kutombana | malindi handi style za kutombana tanzania web picha za kutombana video of kutombana of tanzania 2mapa org kuma za kibongo social search engine london fashion picha za matako
mambo ya kutombana tanzania | 2mapaorg missouri association of possible answer kutombana tz mambo ya kutombana tanzania 2mapa kutombana tz mikundu matako makalio manundu na kashfa ya kuwatumia email za mapenzi wabunge wa bunge
mitindo ya kutombana statscrop mitindo ya kutombana video za kutombana video na picha za kutombana tanzania mitindo house tmh
style za kutombana at askives video za kutombana hii blogu itasaidia kupata hizo picha za kutombana na video za kutombana picha za style za kutombana | serial youth pastor filed under uncategorized by
picha za mitindo ya kutombana submited images | pic 2 fly find images on picha za mitindo ya kutombana pic 2 fly launched pic 2 fly finaly launched its beta service in the next few weeks we will be adding the most
jinsi ya kutombana picha 2mapa org | unusual bookmarklets technology news about jinsi ya kutombana picha 2mapa org contained in this web further news information about jinsi ya kutombana picha 2mapa org can be found in
jinsi ya kutombana vizuri | 2mapaorg missouri association of information statistics for the jinsi ya kutombana vizuri search query the jinsi ya kutombana vizuri search query from searchquerypediacom from 2mapaorg from 2mapaorg
jinsi ya kutombana sanaa ya kutombana kwa wanyama haitofautiani sana na wanadamu ndiyo maana picha za kutombana video za kutombana shule ya ngono picha za kuma siri za ngono siri
d588bdbyinternet
jinsi ya kutombana blog and journal topic ideas jinsi ya kutombana blog topic ideas if you are looking to write about jinsi ya kutombana these resources will help you make an informed decision about the topic
tanzania wizara ya sayansi teknolojia na elimu ya juu (open books by tanzania wizara ya sayansi teknolojia na elimu ya juu open library is an initiative of the internet archive a 501(c)(3) nonprofit building a
jamhuri ya muungano tanzania wizara ya fedha na uchumi 1 jamhuri ya muungano tanzania wizara ya fedha na uchumi wananchi wote wanatangaziwa kwamba serikali itauza kwa njia ya mnada wa hadhara magari pikipiki
picha ya kutombana free mp3 download mp3ster page 1 picha ya kutombana free mp3 download this is page 1of music download page showing the most 10 relevant files no 110 about picha ya kutombana mp3
website meta keywords namna ya kutombana
picha za mitindo ya kutombana
mitindo ya kutombana ya kiswahili
mikao ya kutombana
mambo ya kutombana | 2015-02-27T04:05:17 | http://thumbcreator.com/tanzania/tanzania-style-ya-kutombana.html |
mwananzila tulikurupuka sekondari za kata | jamiiforums | the home of great thinkers
mwananzila tulikurupuka sekondari za kata
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by augustoons jan 14 2008
mwananzila tulikurupuka sekondari za kata na mwandishi wetu serikali ya awamu ya nne imekiri kukurupuka katika ujenzi wa sekondari za kata ambazo kwa asilimia kubwa zimekosa sifa za kupokea wanafunzi upungufu wa walimu na vitabu akizungumza wakati wa mahafali ya tatu ya kidato cha sita katika shule ya sekondari ya st matthews wilaya ya mkuranga mkoani pwani naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi ludovic mwananzila alisema uamuzi huo unaigharimu serikali pamoja na hayo mwananzila aliweka wazi kwamba kufutwa kwa michepuo ni sababu nyingine inayoendelea kuathiri sekta ya elimu tanzania alisema katika kuhakikisha kwamba shule za kata zilizohimizwa kujengwa nchi nzima zinakuwa na michepuo ya maabara karakana na kuajiri walimu wa kutosha wenye sifa serikali pia itatoa mafunzo ya kiwango cha juu kwa walimu wa sekondari hizo haiingii akilini kuona shule ina mwalimu mmoja
hili ni jambo lisilowezekana hata kama shule hiyo ingekuwa ina darasa la kwanza tu alisema naibu waziri huyo katika kuhakikisha kwamba serikali kupitia wizara yake inaboresha kiwango cha elimu nchini mwananzila alibainisha kuwa lengo la serikali ya awamu ya nne kwa sasa ni kuangalia jinsi itakavyotoa mikopo kwa wanafunzi wote wanaojiunga na vyuo vya elimu ya juu naibu waziri huyo aliwataka wanafunzi wanaokopa kurejesha mikopo hiyo mara wanapoanza kazi ili kuwasadia wengine wanaojiunga na vyuo hivyo awali akimkaraibisha mgeni rasmi mkurugenzi wa shule hiyo thadeus mtembei aliitaka serikali kuziboresha shule za kata ili zikidhi sifa sambamba na vyuo vya ufundi kwa lengo la kuajiri wanafunzi wanaomaliza mafunzo mbalimbali naye mkuu wa shule hiyo charles mtenga alimpongeza mkurugenzi huyo kwa kutenge sh milioni 20 kwa ajili ya ununuzi wa pikipiki na fedha taslimu kama motisha kwa walimu wanaofaulisha vizuri hali inayochangia ukuaji wa taaluma na ufaulu wa wanafunzi wao jumla ya wanafunzi 219 wa shule hiyo walihitimu na kutunukiwa vyeti huku baadhi yao wakijizolea zawadi mbalimbali na nyingi kati ya hizo zilikwenda kwa wasichana walioongoza kitaaluma chanzotanzania daima 14/1/2008
kwakweli hii nayo kali
hawa jamaa sijui wanapopanga mipango yao sijui huwa wanafanya utafiti au sijui huwa wanaota ndoto tu na kuanza kutekeleza wana jf hii serikali sometimes nashindwa kuielewa wizara ya elimu imekuwa wizara ya majaribio ya serakila waziri akija anakuja na msimamo wake matokeao yake ni kuwa na mawaziri karibu kumi na misimamo kumi tofautihalafu cha kushangaza mara wanapoanza kutekeleza mikakati hiyo ukiwapinga wanakuwa wakali kama pilipili na wa kwanza kukanusha ona sasa aibu inavyowapata hadi wanafikia kukiri hadharanihii unatufundisha nini
yaani mimi nimeshateremsha matarajio mapema kabisa kuondoa disappointment
kwa kweli nilishateremsha matarajio pale tu kikwete alipotajwa kuwa mgombea wa ccm
siku hizi kuharibu ndiyo kawaida tena hawaoni hata aibu kusema tulikurupukautarajie kukurupuka katika kila kitucha kushangaza si kukurupuka tena kama kuna kitu kinafanyika vizuri hicho ndicho kitanishangaza
ni wapumbavu wote hao waliodhani kujenga shule nyingi kama uyoga kutasaidia kupunguza matatizo ya elimu tanzania nyingi ya shule hizi walimu wake (kama shule ina walimu) ni wale waliopata division 0 o'level hawajui lolote ni sawa na kichwa cha mwendawazimu tu
eti ule ndio ulikuwa utekelezaji wa mkakati wa mgd's (millenium development goals) hahaha kwa kweli tumerudi kulekule kwenye ualimu pasipo elimu(upe)kwani tunachofanya sasa ni kutaka quantity kuliko quantity saa nyingine mtu unafikiri hadi unajiuliza hivi siku moja tuwapige mawee ninipundit bora wee ulishajikatia tamaamanaake taifa la wajinga linaloundwa sasa mi nashindwa hata kuelewa unamaliza form four hujui testtube ikoje na anyekufundisha mwenyewe hana uhakikabado rais anataka nchi inayokua kisayansi mmmmh
lakini nasikia by 2015 tutakuwa ontrack with mdg
na kwenye afya hiyoooo inakuja kila kijiji kuwe na dispensary kazi ipo
maeneo mengine kama huko umasaini madarasa yaliyojengwa kwa mbinde na wananchi kulazimishwa kutoa michango hayana hata wanafunzi licha hata ya walimu muda si muda tutaanza kuona manyasi yanaota ndani
kwa hakika hii ni aibu kubwa inaonesha kukosa umakini katika maamuzi ya serikali lakini cha kushangaza ndugu zangu ni kwamba maofisa wanaohusika kuishauri serikali katika masuala haya ya elimu na mengine wana elimu nzuri tu tatizo ni kuwa na wataalamu ambao ni watumwa wa wanasiasa ukimshauri mwanasiasa jambo tofauti na analofikiri yeye ankuona wewe ndio hufai kwa hiyo anatoa amri toka jukwaani na wewe unalazimishwa kutekeleza usipotekeleza anakuondoa kwenye madaraka hayo ama anakunyanyasa na kukufrustrate nimewaona wenzangu wengi tu ambao wako pale wizara ya elimu makao makuu ambao hawakubaliani na mambo mengi ambayo serikali inashinikiza katika suala la maendeleo ya elimu lakini wanalazimika kuyakubali tu hivyohivyo mfano wa wazi ni hizi shule za sekondari ambazo mimi naziita za msaragambo ni aibu tupu watoto wanakwenda kucheza mchana kutwa wanarudi nyumbani jioni wanadanganywa wako sekondari dhambi kabisa hii bora tu wangekaa nyumbani wakajifunza kuchoma tofali
nafikiri wenzetu hawa wako bize kujifikiria wao wenyewe jinsi watakavyoweza kubaki madarakani milele na milele badala ya kuifikiria nchi na wananchi kwa jumla
nakumbuka jinsi rais mstaafu mkapa alivyokuwa anapenda kujisifu nini alichofanya na kuyatolea takwimu hayo aliyoyafanya kuna siku alikuwa akitoa takwimu za shule za msingi zilizojengwa wakati yeye akiwa madarakani kama rais
shule zanyewe hizo ni zile zizokandikwa kwa udongo kuezekwa kwa nyasi au makuti hazina milango wala madirisha na sakafu ambazo hazikusakafiwa kwa udongo ulaya ndani yake wanafunzi wamekaa chini mavumbini hawana vitabu wala kalamu mwalimu hana chaki wala ubao ukutani wa kuandikia na yeye mwenyewe hajalipwa mshahara kwa miezi kadhaa isitoshe mwalimu mwenyewe alimalizia darasa la saba na hana taaluma ya kufundisha
kukurupuka kwa hiyo kunasababishwa na hamu ya kutaka kufanya mambo kadhaa kwa haraka na kwa muda mfupi unaowezekana ili mtu apate kujinadi wakati muafaka ufikapo kwa shabaha ya kubaki madarakani kwa sifa zisizomnufaisha mtu mwingine katika jamii
unaweza kuamini kuwa baada ya kukiri makosa ya kujenga shule za sekondari ambazo maendeleo yake hayakupangwa kisayansi watu hao hao wanazungumzia kujenga dispensari katika kata zote hizo hizo ikifika 2010 wasimame majukwaani/ulingoni wadai wamefanya hiki na kile ili wapate kuchaguliwa tena (kama wanachaguliwa kweli) kuendelea kuwa madarakani
uchu wa madaraka ndio unaoleta ukurupukaji huu tanzania kila rais kuanzia nyerere mpaka hapa tulipo anataka kila kitu kifanyike na kikamilike katika uhai wa madaraka yake hatuna mpango wa miaka hamsini licha ule wa miaka mia moja na hamsini au mia mbili | 2016-10-24T20:20:00 | http://www.jamiiforums.com/threads/mwananzila-tulikurupuka-sekondari-za-kata.8922/ |
matondo utafiti matajiri ni wadanganyifu wabinafsi wachoyo wasio na subira na wako tayari kuiba
utafiti matajiri ni wadanganyifu wabinafsi wachoyo wasio na subira na wako tayari kuiba
utafiti mpya uliofanywa na watafiti wa chuo kikuu cha berkeley nchini marekani na kuchapishwa katika jarida la proceedings of the national academy of sciences unaonyesha kwamba matajiri wengi wanaongozwa na kutawaliwa na tama na wana uwezekano mkubwa zaidi wa
(1) kudanganya ili kujishindia zawadi au bahati nasibu
(2) kuiba pipi kutoka kwa watoto
(3) kutorudisha chenji iliyozidi
(4) kutofuata sheria za barabarani
watafiti hawa wanaonya kwamba matokeo ya utafiti huu yasichukuliwe kama chanzo cha kuwachukia matajiri bali yachukuliwe kama changamoto ya kupunguza pengo kati ya matajiri na masikini
sijui kama matajiri wetu nao wana tabia kama hizi za wenzao wa marekani habari zaidi kuhusu utafiti huu zinapatikana hapa
posted by masangu matondo nzuzullima (mmn) at thursday march 08 2012 | 2017-12-17T11:49:02 | http://matondo.blogspot.com/2012/03/utafiti-matajiri-ni-wadanganyifu.html |
beyonce was a virgin before meeting jayz | jamiiforums | the home of great thinkers
beyonce was a virgin before meeting jayz
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by emt jan 23 2011
beyonce was a virgin before jayz beyonce
shockshockkev
beyonce was a virgin before jayz beyonceclick to expand
naleta za kwangu
naleta za kwanguclick to expand
kwa body hiloleta tu ntaifanya kazi bila kinyongo 0 people likes
shockshockkevclick to expand
hahahawivu bwanakitu mbaya mno
nani kakwambia kuna mwenye wivu hapa kila mtu na time yake abuy usishuku ni dhana hiyo na dhana ni gharam chapakazi said
hahahawivu bwanakitu mbaya mnoclick to expand
kwa body hiloleta tu ntaifanya kazi bila kinyongo click to expand
shockshockshocksuspicioussuspicioussuspiciouskevkev
nani kakwambia kuna mwenye wivu hapa kila mtu na time yake abuy usishuku ni dhana hiyo na dhana ni gharam click to expand
umeona eheee
wivu wa nini tena kila mtu si ana maamuzi yake na mwili wake jamanihiyo dhana ya kila kitu wivuitafika sehemu hata mtu unaogopa kutoa opinion kwa kuhofia kuambiwa wivusi ishu kuwa alikuwa virginingekuwa ishu kama na jayz naye angekuwa virgin b4 meeting beyoncelolmimi mwenyewe i was a virgin before meeting my first boyfriendshutmouth
wivu wa nini tena kila mtu si ana maamuzi yake na mwili wake jamanihiyo dhana ya kila kitu wivuitafika sehemu hata mtu unaogopa kutoa opinion kwa kuhofia kuambiwa wivusi ishu kuwa alikuwa virginingekuwa ishu kama na jayz naye angekuwa virgin b4 meeting beyoncelolmimi mwenyewe i was a virgin before meeting my first boyfriendshutmouthclick to expand
hailhailhailhailmselamselamsela
exactly my pointkwa nini udhani ni dhana na sio orijinal
bangebangebangetapetapetape
nione wivu wa nini sasakwani kuna mwanamke hajawahi kuwa na bikra
wivu kwa vile badala ya kusema hongera wameweka majividude kama wanadharau uogope kuchangia kisa unaogopa majibu ya wengine hiyo sasa itakuwa balaapshongera kwa kuwa virgin ulipomkuta bf wako
nione wivu wa nini sasakwani kuna mwanamke hajawahi kuwa na bikraclick to expand
wat does this mean washing
kwa nini hukumpa hongera
kumbe ndio maana jigga kadumu naye
wivu kwa vile badala ya kusema hongera wameweka majividude kama wanadharau uogope kuchangia kisa unaogopa majibu ya wengine hiyo sasa itakuwa balaapshongera kwa kuwa virgin ulipomkuta bf wakoclick to expand
mmmmmhhhhhh haya hamna mtu anapenda ambiwa ametoa comment kwa kuwa ana wivu especially kwenye suala kama hilo la bikirasi ishu
asante kwa hongerabiggrin | 2017-04-25T22:42:50 | https://www.jamiiforums.com/threads/beyonce-was-a-virgin-before-meeting-jay-z.105152/ |
hii ni barua ya ronaldinho kwa gaucho | shaffihdauda
home kimataifa hii ni barua ya ronaldinho kwa gaucho
hii ni barua ya ronaldinho kwa gaucho
by shaffihdauda january 12 2017 242 0 share
ronaldinho gaucho moja kati ya vipaji vya soka bora kabisa kuwahi kutokea duniani mzaliwa wa porta alegre nchini brazil mwaka 1980kipaji chake cha soka ameshakua kombe la dunia na timu ya taifa ya brazil mwaka 2002 akichukia la liga mara mbili na barcelona na pia kombe la uefa na pia akiwa amewahi kuchukua tuzo binafsi kama ballon dor mwaka 2005 na ile ya uefa mwaka 2005
gaucho amejiandikia baruabarua ambayo inaelezea mambo mengi aliyopitia katika soka lake na mambo ya kifamiliakatika barua hiyo ronaldinho amejivika uhusika wa kaka yake roberto kama anamuandikia barua ronaldinho mwenye miaka 8ameelezea mengi kuhusu soka tangu amaamza soka katika klabu ya gremio hadi anaenda ulaya pia jina la lioneil messi limetokea kwenye barua hiishaffih dauda inakuletea barua nzima ya dinho
kwako ronaldinhokesho ukirudi nyumbani kutoka kucheza mpira utakuta watu wengi nyumbani marafiki wa familiandugu zako na watu wengine usiowajua watakuwa jikoniunaweza kufikiri kuna sherehe ya kuzaliwa kwa kaka yako robertokila ukitoka mpirani huwa unamkuta mama anacheka na kuwa na utani mwingi ila leo analia
utamuona kaka yako akikukumbatia na kukupeleka bafuni halafu atakuambia kitu usichotarajiakumetokea ajali na baba amekufahutaelewa anamanisha ninina hutajua baba anarudi linibaba amekufajehutaelewa kwa sasa kwa kuwa umdogo lakininutakuja kuelewa
baba ndiye aliyekuambiwa ucheze kibunifu uwanjani na kuuchezea mpiraalikuamini kuliko mtu yeyote yulepale roberto alipoanza kucheza mpira wa kulipwa pale gremio mwaka jana baba aliwaambia watu roberto ni mchezaji mzuri ila mutamuona mdogo wake(ronaldinho)baba alikuwa shujaa
alipenda mpira hadi akimaliza kazi zake kwenye yadi ya meli alikwenda kufanya kazi za ulinzi kwenye timu ya gremioitakuwaje hutamuona tenahuwezi kuelewa roberto asemachomiaka michache ijayo utaelewa baba hatarudi tena duniani ila kila muda mpira ukiwa mguuni mwako jua baba yuko na wewempira ukiwa mguuni mwako unakuwa huru na mwenye furaha kama vile unasikiliza muziki na hisia hizo zitakufanya utamani kusambaza furaha hiyo kwa watu wengine
una bahati kwa kuwa roberto yupo japo kakuzidi miaka 10 na tayari anacheza soka gremio ila atakuwa msaada kwakoatakuwa wa thamani sana kwako na shujaa wakoukichezea timu ya vijana ya gremio yeye tayari atakuwa timu ya wakubwa na ukienda kitandani utawaza unaenda kukaa chumba kimoja na mtu muhimu kwako
hakuna mabango kwenye ukuta ila kuna kajivideo ila haijalishi kwa kuwa hamtakuwa na muda kuangalia mechi yoyote pamoja kwani asiposafiri roberto atakupeleka nje kucheza mpiraunapoishi porto alegre kuna biashara za madawa ya kulevya na makundi ya kihuni ni mazingira magumu kuishi ila kwa kuwa unacheza mpira mtaani na mbwa wako utajihisi huru na salamanasema mbwa kwa sababu ni mlinzi asiyechoka
utacheza na roberto na vijana wengine kila mtu atachoka ila utaendelea kucheza kwahiyo hakikiaha unakuwa na mbwa wako bombom kila mudabombom ni mbwa wa kibrazil asiyechoka na mbwa wa brazil pia wanapenda soka atakusaidia kufanya mazoezi kuuchezea mpiramiaka michache ijayo ukiwa ulaya baadhi ya mabeki watakufanya umkumbuke bombom
utoto wako utakuwa tofauti sana ukiwa na miaka13 watu wataanza kukuzungumzia wakizungumzia ufundi wako katika soka kwa sasa soka ni mchezo tu kwako ila ukiwa na miaka14 kombe la dunia litakuonesha kwamba soka ni zaidi ya mchezo17 july 1994 ni siku kila mbrazil anaikumbukasiku hiyo utasafiri na gremio kwa ajili ya mechi dhidi ya belo herizontekombe la dunia litakuwa kwenye video na ni brazil dhidi ya italia kila sehemu ya belo herizonte kutakuwa na bendera ya taifa ni kijani na njano tu hakuna rangi nyingine
utaangalia na wachezaji wako na mechi itaisha kwa suluhu ya bila kufunganaitalia walikosa penati ya kwanzabrazil wakakosa piaitalia wakafungaromario akapiga mpira uliogonga mwamba na kwenda kimianiitalia wanafunga tena kisha branco alitupatia golitaffarel akaokoa penati ya waitaliadunga akafungahiyo siku inaishi kwenye mioyo yetu wabrazil roberto bagio aligonga mwamba akakosa penati tukashinda kombe la dunia
katika kushangilia itakuonesha ni jinsi gani wabrazil tunapenda soka utaona nguvu ya michezoutaona furaha inavyoletwa na sokautasema utatamani kuichezea brazilkuna makocha wataamini unachofanya wengine watakuambia uongeze juhudi na kukukatisha tamaatumia maneno hayo kukuhamasisha na waza kuhusu wachezaji wakubwa waliovutia kwenye soka kama ronaldodeener na maradonawaza kuhusu maneno ya baba ucheze mpira huru na kwa furaha japo makocha wengi hawatakuelewa kila kitu kotakuwa sawaubunifu utakufanya uwe bora
siku moja kocha wa gremio atakuita ofisini na kukuambia umeitwa kwenye kikosi cha brazil chini ya miaka 17utaanza kula vyakula walivyokula wachezaji wakubwa na kula migahawa waliyowahi kula wakati wa mazoeziukilala usiku utawaza umelala mto ambao mchezaji gani mkubwa aliwahi kulaliaukifikisha miaka 18 utapata kitu ambacho baba atajivunia sana kuhusu wewe utaanza kuchezea timu ya wakubwa ya gremio ila roberto hatakuweposiku za mechi utapitia sehemu ya kupaki magari ambapo baba yako aliwahi kufanya kazi za ulinzi
mwaka unaofuata utaanza kuichezea timu ya wakubwa ya braziljambo la kuchekesha utachelewa mazoezini kwa kuwa utakuwa na gremio kwenye fainali za campeonato dhidi ya internacionalwatu waatanza kukuzungumzia muone yule dogo anayevaa jezi namba 10 anavyotembea na mpirawataanza tarajia makubwa toka kwako ninakushauri endelea kufanya na kucheza unavyoamini kuchezea brazil milango itafunguka
utaanza kuwaza ulaya ukiambiwa kuhusu ulaya na kuona tuzo ya ronaldo ya dunia ya mwaka 2001 utaenda ulaya kusaini psgukiondoka psg utaenda barceloma halafu milan mambo yatabadilika harakaharaka sana na baadhi ya vyombo vya habari ulaya hawataelewa uchezaji wako wa mpira hawataelewa unavyotabasamu kila mudaunatabasamu kwa ajili ya soka kuwa huru ili ushinde kombe la duniakuwa huru tashinda la liga na uefakuwa huru utashinda ballon dor
ukiwa barcelona utasikia kuhusu huyu kijana timu ya vijana anavaa jezi namba 10 kama wewe ni mdogo kama wewe ma anacheza kama wewe mutaanza kumuona kama mchezaji bora ajaye anaitwa leo messi utamuomba kocha amlete timu ya wakubwamshauri muambie acheze mpira kwa furahahuru acheze mpiramambo mengi mazuri na mabaya yatakutokeahutamsikia tena baba ila ndio iwe kumbumumbu yako ya staili yako ya mpira
tweet previous articleje wajua azam wameingia fainali bila kuruhusu hata bao moja mapinduzi cupnext articledawa ya simba ipo tayari bado kuwanywesha tu kocha azam fc shaffihdauda related articlesmore from author
ashley cole aichokonoa arsenal shaffihdauda march 23 2017 hawa hadi sasa wameshindwa kuonesha kwanini walisajiliwa shaffihdauda march 27 2017 samatta alitusababishia majanga kwenye safu yetu ya ulinzi kocha wa botswana dick dauda march 26 2017 thamani halisi ya kiatu anachovaa mbwana samatta dick dauda march 24 2017 soka la basque jimbo linaloleta mapinduzi ya kisoka hispania nicasius coutinho march 27 2017 the home of sports news and scorescontact us shadaka20@gmailcom even more news | 2017-03-29T09:07:55 | http://shaffihdauda.co.tz/2017/01/12/hii-ni-barua-ya-ronaldinho-kwa-gaucho/ |
obama anaweza kuunda tume ya kupitia katiba ya marekani | jamiiforums | the home of great thinkers
obama anaweza kuunda tume ya kupitia katiba ya marekani
discussion in 'katiba mpya' started by mzee mwanakijiji jan 3 2011
hivi rais obama anaweza akaamka na kuamua siku moja kuunda tume ya kupitia katiba mpya na kuwaahidi wananchi wa marekani ambao baadhi yao wanaona katiba inahitaji mabadiliko katiba mpya kwa ajili ya miaka mingi ijayo nini kitatokea endapo atafanya hivyo
hivi rais obama anaweza akaamka na kuamua siku moja kuunda tume ya kupitia katiba mpya na kuwaahidi wananchi wa marekani ambao baadhi yao wanaona katiba inahitaji mabadiliko katiba mpya kwa ajili ya miaka mingi ijayo nini kitatokea endapo atafanya hivyoclick to expand
haiwezekani asilani kwani rais obama ana mwanasheria mkuu makini na asiyekuwa mwoga wa kusema kweli zaidi ya hilo ana waziri wa sheria aliyemakini
jk anataka kuikumbatia mchakato ili waweke wanachoamini kuwa kitawalindainabidi mchakato uende bungeni
kikwete decision very undemocraticwhy he is trying is to steal our game
hivi mimi nashangaa kila atalofanya jmk ni baya damned if you do damned if you don't kwa nini au ndio
kikwete decision very undemocraticwhy he is trying is to steal our gameclick to expand
mlitaka afanye nini au ndio zile agenda za siri
ccm hapana / democrats watampiga chini mara moja maana hafanyi kazi kwa kufuata sera zake binafsi bali ni kwa kuitegemea na kuitegemeza chama chake kilichompa ufadhili kwa nafasi alionayo
mafisadi wachache mlioko ndani ya ccm mbinu yenu hii imeshaanguka chali hata kabla haijaanza kutekelezwa 'and you can quote me on that'
hivi mimi nashangaa kila atalofanya jmk ni baya damned if you do damned if you don't kwa nini au ndioclick to expand
jibu ni kwamba ukichinja kunguru mmoja basi kutwa kuchwa wako na wewe popote uendako na lolote ulitendalo utajihisi unadamu ya kunguru tu yote haya ni gharama ya uchakachuaji na kukosa uaminifu kwa watu unaowatawala
hizi si ndio pumba zenyewe kwenda kuifananisha merekani na tanzania mrudishe obama miaka 50 baada ya us kupata uhuru halafu tuone hata kama swali lako litawezekana kuulizika halafu watu kama wewe mnajiita great thinkers to me you are just a tinker
nadhani mmm anauliza juu ya obama na si jktehe teheee
nadhani mmm anauliza juu ya obama na si jktehe teheeeclick to expand
kwanza aulize ni miaka mingapi leo ya uhuru wa merekani na wetu halafu ajiulize katika miaka ya 50 ya uhuru wa merekani angeweza kuuliza swali kama hili kama si pumba hizi ni nini | 2017-01-21T06:46:02 | https://www.jamiiforums.com/threads/obama-anaweza-kuunda-tume-ya-kupitia-katiba-ya-marekani.99561/ |
rais magufuli aonya atakayesababisha vurugu nchini kumshughulikia
1 barabara ya barack obama 11400 dar es salaam
wananchi hawa wana shida na siasa nzuri ni wananchi washibe siasa nzuri ni wananchi wetu wapate dawa amesema rais magufuli
*wananchi wa nakapanya wilayani tunduru mkoani ruvuma wameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya nakapanyatunduru yenye uref
wafuasi wa mnyange aliyewahi kuwa miss tanzania 2006 wema sepetu ambao mitandaoni wanajiita team wema wameamua kujiunga rasmi na chama cha demokrasia n | 2017-02-24T12:31:50 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/07/rais-magufuli-aonya-atakayesababisha.html |
burundi bunge laomba msaada kutoka umoja wa ulaya
burundieuushirikiano
imechapishwa 27/02/2017 1832
spika wa bunge la burundi pascal nyabenda afp photo / landry nshimiye
katika taarifa ya pamoja iliyosainiwa na spika wa bunge na rais wa baraza la seneti vya burundi wawili hao wamethibitisha kwamba karibu sekta zote zinakabiliwa na hali ya sintofahamu kutokana na ukosefu wa misaada kutoka nje
taarifa hii iliyotolewa jumatatu hii februari 27 2017 ambayo ilisomwa na makamu wa pili wa spika wa bunge chantal jocky nkurunziza baada ya tangazo la bunge la canada hivi karibuni bunge la canada lilielezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kutisha ya kibinadamu inayoendelea kushuhudiwa nchini burundi
taasisi hizo mbili za burundi zimetolea wito umoja wa ulaya kutoa misaada yake kwa wananchi wa burundi waishio mikoani kama unavyofanya kwa wakimbizi wa burundi waliokimbilia nchi jirani
licha ya njaa inayoelezwa nchini burundi serikali ya bujumbura imekua ikiendelea kuandaa maandamano dhidi ya umoja wa ulaya (eu) kila jumamosi viongozi wa ngazi ya juu serikalini ambao hushiriki maandamano hayo wanatoa hotuba zao kila mara kwamba burundi ni nchi huru na haihitaji msaada kutoka umoja wa ulaya
burundisiasa
mkuu wa un amuonya rais wa burundi kuhusu muhula wa nne
burundinjaausalama
ripoti ya kibinadamu yatahadhari uhaba wa chakula nchini burundi
euburundiusirikiano | 2020-08-11T10:24:59 | https://www.rfi.fr/sw/eac/20170227-bunge-na-seneti-vya-burundi-vyaomba-msaada-kutoka-eu |
karibu mlima sayuniuwanja wa uwazi na ukweli kuhusu masuala yote ya kibiblia na ukristo april 2009
bwana asifiwe sana
mlima sayuni unaomba kuwatangazia wanasayuni wote kuwa mtumishi na mtendakazi mwenzenumtu wa mungu na askari hodari ndani ya jeshi la kristo yesu bwana wetu mtumishi frank lema yu katika hali ya ugonjwa kwa muda wa wiki kadhaabwana amemponya na sasa anaendelea vyema na matibabu na mungu ameanza kumponyakwani alikuwa hawezi lakini sasa anaendelea vyema sana
mlima sayuni bado unawaomba wanasayuni wote kumkumbuka mtenda kazi huyu asiyezimia katika maombi yenu
isaya 53 16 i kwa kupigwa kwake sisi tumepona
mamimia ya wananchi wamekimbia nyumba zao maeneo ya mbagala kuu kwa miguu hadi tuangoma kongowe umbali wa kilomita tatu na nusu katika manispaa ya temeke kufuatia milipuko ya mabomu iliyotokea jana katika kambi ya jwtz iliyo mbagala
mimi nimepotezana na watoto wangu na baadhi ya ndugu zangu sijui waliko alisema
walipoulizwa kwamba sasa wanaelekea wapi walisema wanakwenda kujihifadhi kwa ndugu zao wanaoishi maeneo ya tuangoma
wakati huhuo moja ya bomu lililoruka kutoka katika kambi hiyo liliangukia eneo hilo la tuangoma na kuleta taharuki kwa wakazi wa eneo hilo
baadhi ya watu kutoka mbagala na maeneo mengine walionekana wakimbilia kitunda gongo la mboto chanika na mkuranga kwenda kujihifadhi wa ndugu zao na wote walikuwa wakitembea kwa miguu ili kuokoa maisha yao
athari za mabomu pia zililikumba eneo la tandika mikoroshini ambako baadhi ya vipande vya mabomu viliangukia katikati ya makazi ya watu
wakizungumza na mwananchi wakazi wa maeneo hayo wanasema vipande vya bomu hilo vilidondoka eneo hilo kwa kishindo kikubwa na kufuatiwa na moto ambao hata hivyo haukuzifikia nyumba zao
mkazi mmoja wa tandika asha jumanne alisema kabla bomu hilo kutua mahali hapo alilishuhudia likipita angani wakati akianika nguo za mwanae hivyo kumfanya aache shughuli zake na kukimbia ili kuokoa maisha yake na kuwaacha watoto wake waliokuwa wamelala ndani
katika maeneo ya kiwalani hali ilikuwa mbaya baada ya mtikisiko wa bomu ulipofumua paa la kibanda ambamo vijana kadhaa walikuwa wanaangalia filamu ya kutisha ya predator ya arnord schwarzenegar
wanasayuni
habari za muda mrefuimekuwa ni kipindi kirefu cha kama mwezi mzima tumekuwa hatupo hewani kwa kuwa tumekuwa katika matengenezo makubwa ya mtandao wetu wa sayuni
mungu ametuwezesha kusajili wwwsayunicom na muda si mrefu itakuwa hewani kwa mambo mazuri kabisa ya kupendezatunahitaji maombi yenu ili tuweze kufanya yote haya kwa utukufu wa mungu
ndani ya sayunicom utaweza kuchati na wapendwa sehemu mbali mbali duniani kusikia radio za kikristo za hapa nyumbani tanzania mahubiri mbali mbali ya wahubiri wa hapa nyumbani na mambo mengine mengi mengi ya kujenga na kuburudisha
blogu yenu ya sayuni itaendelea kama kawaida kwa utukufu wa mungu
posted by mtade at 346 pm 1 comment | 2017-08-17T09:48:54 | http://sayuni.blogspot.com/2009/04/ |
najuta kumsaliti mume wangu sehemu ya arobaini na sita(46) pamoja blog
home > hadithi > simulizi > najuta kumsaliti mume wangu sehemu ya arobaini na sita(46)
najuta kumsaliti mume wangu sehemu ya arobaini na sita(46)
9/16/2016 110000 am hadithi simulizi
huku nako peter alionekana akiwa na suzy safari ya kutoka hotelini na kuelekea mbugani ikianza huku wakiwa na msindikizaji mmoja wa mbuga za wanyama ndani ya gari yao ya wazi ambayo iliwawezesha kuona kila sehemu kama walivyotaka
nao wakajifanya watalii kabisa wakati huo suzy akitambulika kwa jina la madam jackline tena akiwa na shela kama bibi harusi huku tumboni akijivalisha manguo aonekane ana mimba
hapo unaweza sasa kuona jinsi ambavyo mpango wao unaelekea kuchezeka yaani ilikuwa lazima suzy ajifanye jackline ili kupoteza ushahidi wa kifo cha jackline
suzy na peter wakiwa wanaangalia mara kwa mara mandhari ya mbuga hiyo kwa kutumia darubini hasa baada ya kufika eneo walilokuwa wakilitaka nalo si lingine bali ni simba campsite karibu kabisa na pale walipomfunga jackline
kilichotakiwa kwa peter saa hiyo ni kumuua yule msindikizaji wao na kumpandisha suzy kwenye gari waliloahidiana kupita hapo baadaye kisha yeye atarudi hotelini na kujifanya mkewe jackline na msindikizaji wao wameshambuliwa na simba
basi wakati akiwaza hayo akaivuta darubini yake na kutazama upande ule ambapo kulikuwa na ule mti walipomfunga jackline kwa kile alichotarajia kweli aliona mti ukiwa mtupu huku kamba zikiwa zinaninginia pale akamtazama suzy na kumuoneshea alama ya dole yaani kila kitu kama kalambwanda
suzy akakenua meno yake na kusubiri ishara ya pili na hii si nyingine bali ni ya gari ambalo walipanga kumchukua yeye
ndani ya dakika chache peter alipotazama kwenye darubini yake akaona vumbi likitimuka kwa mbali huku gari ya mbugani yenye bendera ya njano ikionekana kuja kwa kasi mno
hapo peter akacheka na kumtazama yule msindikizaji wao ambaye kwa bahati mbaya naye alikuwa akiitwa peter kama yeye akamwambia
rafiki simba hapa ni wengi sana eeh aliuliza peter katili
yah ni wengi sana lakini leo nashangaa kuona kukiwa kimya hivi alijibu yule peter msindikizaji watalii
ohh au wamehama alichagiza suzy
hahhaa madam hiyo haiwezekani jana tu nasikia walikuwa wengi sana maeneo yalee (alisema huku akionesha upande ule ambao walimfunga jackline) mwenzangu alikuja na watalii wakachukua picha nzuri sana
kwa maneno hayo suzy na peter wakafurahi kwa pamoja wakajua lazima jackline atakuwa ameliwa na simba jana kama walivyotarajia sasa mpango ukawa mmoja ni kumuua peter msindikiza watalii
peter akachomoa bastola yake na kumuita peter yule mwingine nje ya gari akazuga anamuuliza kitu ghafla bila huruma akamfyatulia risasi ya kichwa iliyotapakaza ubongo wake ardhini
suzy pamoja na ukatili wake akajificha kwa woga wakati huo lile gari lilifika likiwa na dereva ambaye alionekana kufahamiana vilivyo na peter suzy akapanda na kuondoka tayari kumalizia hatua ya mwisho ya mpango wao
maelekezo hapo yakiwa ni suzy aondoke na kukutana kesho katika hoteli ya udzungwa national park
baada ya suzy kuondoka peter akachukua kipande cha mti na kukingata kisha akachomoa kisu na kujikata kifuani mara tatu akararua nguo zake
ndani ya dakika chache simba walioonekana kuvutiwa na harufu ya damu ya peter wawili walianza kufurika na kuanza kuula mzoga wa peter wakaanza kulizoga na gari alimokuwamo peter katili
mwenyewe hakuogopa wala nini badala yake akafurahi kuona mpango wake umetimia akapiga risasi juu na kuwatawanya simba wote waliokuwa eneo hilo kisha akawasha gari na kurudi kwa kasi kule hotelini huku akipiga simu ya upepo ya peter msindikizaji wa watalii akitoa taarifa ya kumevamiwa na simba
taarifa za watalii wanandoa kuvamiwa na simba na kuawa porini zilisambaa kwa kasi sana miongoni mwa viongozi pale hotelini haraka matour guide wasindikiza watalii wa hoteli hiyo ya guruneti wakawasha magari yao yaliyosheheni silaha na vifaa vya huduma ya kwanza kuelekea kwenye tukio
wakati huohuo meneja na viongozi wa hoteli hiyo walioonekana kuchanganyikiwa na taarifa hizo haraka wakaitana kwenye kikao maalumu ajenda kubwa ikiwa ni kuficha taarifa hizo ili kutowafukuza watalii wao ambao wengi huja kwenye hoteli hiyo kwa sababu ya utalii huo wa wanyama hasa simba
baada ya nusu saa ya kikao hicho wote walitoka hapo wakiwa wamekubaliana kuficha tukio hilo huku wakikubaliana kumfidia mume wa jackline kwa yote yaliyotokea na kumtaka aondoke haraka hapo hotelini kwao
mpango wa peter ulionekana kwenda kama alivyopanga huku meneja wa hoteli hiyo akiwa hajui chochote kama huo ulikuwa mchezo aliochezewa na peter
ndani ya dakika chache tayari peter alirudishwa hotelini hapo kisiri sana na kupewa matibabu ambayo hata hivyo mwenyewe alinogesha kwa kujifanya kulia na kulalamika kinafki kuhusu kifo cha mkewe jackline
kama ilivyopangwa siku hiyohiyo tayari alikabidhiwa kitita cha milioni 30 za kitanzania kutoka kwa meneja wa hoteli hiyo tena wakiwa wamehgakikisha afya yake ipo sawa wakamtaka aondoke siku hiyo hiyo huku wakimpa dokumenti zote zinazohusu taarifa ya kifo cha mkewe kwa akiwa mbugani
chini ya uangalizi wa uongozi wa hoteli peter alisindikizwa haraka na kutoka hifadhi hiyo ya mikumi usikuusiku kuanzia hapo mwenyewe akafuatwa na usafiri uleule wa mwanzo uliomfuata suzy kule porini ambapo alipakia vitu vyake vyote alivyokuwa navyo na kuelekea udzungwa alipokubaliana na suzy
suzy alianza kwa kushangaa majeraha ya mpenzi wake peter lakini baada ya kusikia stori nzima alifurahi sana wakati peter amelala akipumzika suzy akakumbuka zawadi ambazo hakuwa amezifungua tangu siku ya harusi
akafungua maboksi kadhaa kisha akayaona mengine mawili akalifuata moja na kulifungua ghafla kukatokea mlipuko mkubwa mno | 2017-08-21T06:33:57 | http://www.pamoja.co.tz/2016/09/najuta-kumsaliti-mume-wangu-sehemu-ya_16.html |
hodi hodi na msaada | jamiiforums | the home of great thinkers
hodi hodi na msaada
discussion in 'jukwaa la sheria (the law forum)' started by drofthreephd may 2 2011
nilikuwa naelekea mjini nikiendesha gari langu na nikagongwa ubavuni kushoto na gari la jamaa aliyetokea kwenye barabara ndogo akakimbia nikaweza kuchukua namba ya gari lake nifanyeje nipate details za gari hilo ili niendelee na kesi
asante kwa msaada wenu
nenda tra wakiingiza hizo namba kwenye system watapata information zote but unaweza kuta ni za pikipiki maana watu wetu wa it kwa kuchanganya mambo ni hodari
asanteni wadau nitafanya hivyo je tra watanifanyia hivyo bila kuwa na report yoyote inayowalazimisha/amuru kisheria kufanya hivyo
nadhani busara ni kureport polisi kwanza kabla hatua zaidi hazijachukuliwa ila ni lazima ushahidi uwepo maana isiwe ni mtu una kisa naye ukaamua tu kumtafutia sababu
dah unawaza mbali sana mkuu
asanteni wandugu na msaada huu wakunifanya nifikirie nje ya boksi zaidi
ni kweli cha kwanza polisi na ingekuwa vyema kuripoti wakati huo huo wa ajari na pia unamjulisha insurer wako kuhusu hilo ili yeye pia aweze kukulipa au kukutengenezea gari yako kwa kutumia maelekezo yako insurer wako anaruhusiwa kumshitaki huyo jamaa na kudai fidia (subbrogation) utata wowote wa kuchelewa kuripoti huwa unaleta mashaka na unaweza usifaidike na chochote hata kama namba za huyo jamaa unazo
tatizo hapo atadhibitishaje kama kweli huyo jamaa alimgonga ana ushahidi wowote
nilichukua namba ya gari nimesema hapo juu | 2018-01-18T22:07:43 | https://www.jamiiforums.com/threads/hodi-hodi-na-msaada.131372/ |
watanzania kunufaika na umeme wa jua na majiko bunifu ya sun king arusha publicity media
home biashara maendeleo maisha matukio watanzania kunufaika na umeme wa jua na majiko bunifu ya sun king
arusha publicity april 22 2017 biashara maendeleo maisha matukio
mkuu wa masoko wa kampuni ya sun king judie wu amesema kampuni hiyo imedhamiria kuhakikisha kila mmoja mjini na vijijini anapata huduma ya umeme pamoja na kutumia majiko bunifu yasiyo na madhara kiafiya kwa bei nafuu akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa mwanza kwenye uzinduzi huo wa bidhaa za king sung zubeda kimaro ambaye ni afisa tawala wilayani nyamagana amewahimiza wawekezaji kujitokeza kwa wingi kuwekeza mkoani mwanza kwani kuna fursa nyingi za kiuwekezaji hatua ambayo pia itazalisha ajira zaidi kwa vijana
posted by arusha publicity on april 22 2017 | 2017-12-11T13:02:14 | https://arushapublicity.blogspot.com/2017/04/watanzania-kunufaika-na-umeme-wa-jua-na.html |
bongoweekend wanaharakati waandamana kupinga utekaji wa wasichana nigeria
wanaharakati waandamana kupinga utekaji wa wasichana nigeria
mkurugenzi wa wildaf dk judith odunga akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha jeshi la polisi nchini tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati viongozi wakuu wa mtandao wa mashirika huru ya kijamii (csos) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa na wanamgambo wa boko haram baadhi ya wanafunzi wa kike na wanaharakati wakiandamana kupinga vitendo vya kikatili vinavyofanywa na kundi la wanamgambo wa boko haram baadhi ya wanaharakati na wanahabari wakisikiliza sauti za viongozi wakuu wa mtandao wa mashirika huru ya kijamii (csos) mara baada ya kupokea maandamano ya wanaharakati na wanafunzi kupinga utekaji wa wanafunzi wasichana uliofanyika na kikundi cha wanamgambo wa boko haram baadhi ya wanafunzi wakiwa na huzuni kwenye maandamano hayo baadhi ya wanaharakati na wanahabari wakisikiliza sauti za viongozi wakuu wa mtandao wa mashirika huru ya kijamii (csos) mara baada ya kupokea maandamano ya wanaharakati na wanafunzi kupinga utekaji wa wanafunzi wasichana uliofanyika na kikundi cha wanamgambo wa boko haram mkurugenzi wa wlac theodosia muhulo (aliyeshika kipaza sauti) akizungumza katika mkutano na
wanahabari mara baada ya maandamano ya mtandao wa mashirika huru ya kijamii (csos) na wanaharakati wengine kupinga utekaji wa wanafunzi wasichana uliofanyika na kikundi cha wanamgambo wa boko haram
maandamano hayo ya ndani yaliyoshirikisha wanaharakati mbalimbali yamefanyika ndani ya viwanja vya tgnp mtandao eneo la mabibo jijini dar es salaam ambapo viongozi wa mashirika yanayounda csos walipokea maandamano na kusoma barua maalumu yenye ujumbe wa kupinga utekaji uliofanyika na kuishinikiza serikali ya nigeria itekeleze matakwa ya watekaji ili wanafunzi waliotekwa waachiwe huru
akisoma barua hiyo kwa niaba ya csos kaimu mkurugenzi mtendaji wa tgnp mtandao bi lilian liundi alisema mashirika yao yanaotetea haki za wanawake na watoto yameamua kuungana na mitandao na wanaharakati wengine duniani kote kulaani kitendo cha kinyama cha kuwateka nyara wasichana wanafunzi zaidi ya 200 waliokuwa shuleni nchini nigeria tukio lililofanywa na wanamgambo wa kikundi cha boko haram
kwa pamoja tunakitaka kikundi cha boko haram kuwaachia mara moja watoto hao na kuwarudisha haraka majumbani kwao kama wanaharakati na watetezi wa haki za wanawake na wasichana tunaitaka serikali ya nigeria kuchukua hatua zote muhimu zinazotakiwa ili kuokoa maisha ya wasichana hao wasio na hatia na
kuwahakikishia haki yao ya msingi ya kupata elimu na kutembea kwa uhuru bila vitisho alisema bi liundi
alisema mashirika hayo yametumia maadhimisho ya siku ya kimataifa ya familia ulimwenguni kulaani kitendo hicho cha kikatili na kuitaka serikali ya nigeria kuhakikisha inawajibikaji ipasavyo ili kuwarejesha mateka hao mara moja tena wakiwa salama
tunaikumbusha serikali ya nigeria kuzingatia na kutekeleza tamko la umoja wa mataifa la haki za watoto (united nations convention on the rights of the child (crc) ambalo liliridhiwa na tanzania mwaka 1989 na nigeria mwaka 2003 mwisho tunatoa wito kwa viongozi wote wa afrika na jumuia ya kimataifa kuimarisha ulinzi wa wanawake na watoto ili kuhakikisha tukio kama hili halitokei tena mahali pengine alisema liundi akisoma barua maalumu itakayowasilishwa ubalozi wa nigeria
csos wamelazimika kufanya maandamano hayo ya ndani baada yale ya kutaka kuandamana hadi ubalozi wa nigeria kuzuiwa na jeshi la polisi kwa sababu kadhaa hata hivyo baadhi ya askari polisi walikuwa pembeni mwa viwanja vya tgnp mtandao katika huku zoezi la maandamano ya ndani likiendelea baadhi ya mashirika yanayounda csos ni pamoja na tamwa tgnp mtandao wildaf lhrc
mwandishi khadija kalili at 951 am | 2017-10-18T23:44:57 | http://bongoweekend.blogspot.com/2014/05/wanaharakati-waandamana-kupinga-utekaji.html |
matukio @ michuzi blog marufuku matumizi ya wood kwenye soko la filamu
waafrika wametakiwa kukataa utumwa na kuiga neno la wood kwenye soko la filamu hasa baada ya nchi nyingi kukopi jina la hollywood ambalo ni eneo lililopata umaarufu mkubwa kwenye soko la filamu duniani kwa kuwa na wasanii nyota na studio za kisasa za masuala ya filamu | 2017-01-21T02:08:30 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2013/11/marufuku-matumizi-ya-wood-kwenye-soko.html |
kaseja kumpiku manula stars | malunde 1 blog
home » michezo » kaseja kumpiku manula stars
kaseja kumpiku manula stars
malaki philipo saturday january 19 2019
mlinda mlango mkongwe nchini juma kaseja amekuwa kwenye kiwango bora siku za hivi karibuni akiiongoza kmc kukaa katika nafasi ya 3 kwenye ligi kuu soka tanzania bara baada ya kutoruhusu kufungwa bao katika mechi 3 mfululizo
ubora wa kaseja ulionekana alipoiongoza timu yake kushinda mabao 20 dhidi ya african lyon kabla ya kushinda 10 dhidi ya jkt tanzania na kumaliza mechi tatu mfululizo bila kufungwa waliposhinda 10 dhidi ya ruvu shooting
katika mchezo wa 4 kaseja aliruhusu mabao 2 huku timu yake ikishinda mabao 52 dhidi ya coastal union ya tanga hivyo mkongwe huyo aliyewahi kuzichezea simba na yanga kukamilisha dakika 360 za kucheza lakini akiwa ameruhusu mabao 2 pekee
kmc sasa ipo juu ya simba ikiwa na alama 34 katika nafasi ya 3 na simba wakiwa na alama 33 katika nafasi ya 4 kmc wamecheza mechi 22 huku simba wakiwa wamecheza mechi 14
kaseja mwenyewe amewahi kuweka wazi kuwa bado ana mpango wa kuichezea timu ya taifa na kwa kiwango chake cha sasa huenda ikawa ni miongoni mwa machaguo ya emmanuel amunike
endapo kaseja ataitwa kwenye kikosi cha taifa stars atakumbana na upinzani mkali kutoka kwa mlinda mlango namba moja wa simba na stars aishi manula ambaye naye anafanya vizuri na klabu yake
imechapishwa na malaki philipo at saturday january 19 2019 | 2019-02-20T00:58:32 | https://www.malunde.com/2019/01/kaseja.html |
jane john bondia lulu kayage ajifua kwa kuzipiga na fatuma omar oktober 26
kocha mkongwe wa mchezo wa masumbwi nchini habibu kinyogoli kushoto akiwasimamia mazoezi bondia lulu kayage na amir shekh wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya mazoezi ilala iliyopa amana dar es salaam jana
mabondia amir shekhe kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na lulu kayage wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ilala amana dar es salaam jana lulu ana jiandaa na mpambano wake na fatuma omari utakaofanyika oktober 26 katika ukumbi wa panandi panandi ilala bungoni picha na wwwsuperdboxingcoachblogspotcom | 2017-11-19T12:14:46 | http://janejohn5.blogspot.com/2013/10/bondia-lulu-kayage-ajifua-kwa-kuzipiga.html |
mungu amekuwa mwili nchini china katika siku za mwisho ni msingi gani upo kwa jambo hili katika unabii wa biblia na katika maneno ya mungu | kanisa la mwenyezi mungu | 2020-04-08T12:20:11 | https://sw.godfootsteps.org/china-1.html |
whatsapp kuja na group video call pamoja na stickers
sehemu hii itakuwezesha kupiga simu za video kwa kuunganisha watu wanne
mei 2 2018 1141 mu 1 votes
bado tupo kwenye mkutano wa f8 (2018) ulio anza kufanyika rasmi hapo siku ya jana baada ya kuona kuhusu facebook kuja na sehemu mpya kukusaidia kupata mpenzi sasa twende tukaangalie upande wa whatsapp
programu ya whatsapp inatarajiwa kufanyiwa maboresho kadhaa na moja kati ya maboresho hayo ni uwezo wa kikundi cha watu kuweza kupiga simu za video kwa kutumia programu ya whatsapp kwa mujibu wa facebook sehemu hiyo itawezesha hadi watu wanne kupiga simu za video kwa pamoja kupitia sehemu hiyo mpya
mbali na hayo maboresho mengine yanayo tarajiwa kufanyika ni pamoja na kuleta stickers ndani ya programu za whatsapp hapa utapewa uwezo wa kuchagua sticker mbalimbali kama ilivyo kwenye programu za facebook messenger na nyingine kama hizo vilevile wabunifu wa programu watapewa uwezo wa kubuni programu za sticker ambazo zitakuwa zinatumika na watumiaji wa programu za whatsapp kutumiana stickers mpya tofauti na zile zitakazo kuwa ndani ya programu ya whatsapp
sehemu mpya ya stickers kwenye whatsapp
kwa upande wa programu ya whatsapp kwaajili ya biashara watumiaji wataweza kuendelea kutumia programu hiyo bure kabisa lakini kutakuwa na baadhi ya sehemu mpya ambazo mtumiaji wa programu hiyo atabidi kulipia ili kuweza kutumia sehemu hizo na kufikia wateja wengi zaidi
na hayo ndio maboresho machache yaliyo tangazwa hapo jana ambayo yanatarajiwa kufanyika kwenye programu za whatsapp siku za karibuni mkutano wa f8 bado unaendelea kufanyika siku ya leo na kama tulivyo ahidi tutakuletea yote ya muhimu yatakayo jiri hivyo hakikisha unaendelea kutembelea tanzania tech ili kujua mengi zaidi
makala iliyopita mtandao wa facebook kuja na huduma ya kutafuta mpenzi
makala inayofuata samsung yazindua simu mpya ya samsung galaxy a6 (2018) | 2020-08-09T17:50:18 | https://tanzaniatech.one/2018/05/whatsapp-group-video-call-na-stickers/ |
magazeti ya tanzania march 6 2017 kuanzia udaku hardnews na michezo millardayocom
magazeti ya tanzania march 6 2017 kuanzia udaku hardnews na michezo
good morning mtu wa nguvu leo ni march 6 2017 na kama ilivyo kawaida yangu ya kila siku alfajiri nimekusogezea habari kubwa kwenye magazeti kurasa za mwanzo na mwisho kuanzia ya udaku hardnews na michezo ili ujue kinachoendelea mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia
← previous story magazeti ya tanzania march 5 2017 kuanzia hardnews na michezo
next story → ayotv magazeti makonda amwaga machozi kanisani gwajima azindua oparesheni mpya | 2020-04-06T14:55:27 | https://millardayo.com/mgmarch6/ |
the superstars tz big dady mwanamieleka duniani afariki dunia
big daddy v enzi za uhai wake katika moja ya onyesho kubwa la mieleka
mcheza mieleka marufu duniani ajulikanae kwa jina la big daddy v akiwa kazini katika moja ya maonyesho yake
yule mwanamieleka wa wwe nelson frazier maarufu kama mabel viscera na big daddy v amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa moyo jana jumanne big daddy v amefariki akiwa na umri wa miaka 43
mungu ailae roho yake mahali pema peponi amin
hii ni moja ya video ikimuonyesha akifanya onesho la mieleka | 2017-03-26T01:31:07 | http://thesuperstarstz.blogspot.com/2014/02/big-dady-mwanamieleka-duniani-afariki.html |
wakenya kumi na watano wauawa sudan kusini ▷ tukocoke
wakenya kumi na watano wauawa sudan kusini
5666 chapisha kwa facebook
madereva kumi na watano raia wa kenya wanasemekana kuuawa juba nchini sudan kusinitakriban watu mia tatu wameangamia katika mapigano hayo kati ya wanajeshi wanaomwunga mkono rais salva kiir na wanajeshi watiifu kwa makamu wa rais riek machar madereva kumi na watano raia wa kenya wanasemekana kuuawa juba nchini sudan kusini katika mapigano ya siku kadhaa zilizopita nchini humo
habari nyingine waziri mkuu wa ethiopia akana kuwepo kwa mkataba na uhurukulingana na katibu mkuu wa muungano wa madereva wa masafa nchini nicholas mbugua jamaa hao waliuawa kwa kupigwa risasi karibu na eneo la jebel
habari nyingine obama awatoa maafisa sudan kusini baada ya makabiliano makalitakriban watu mia tatu wameangamia katika mapigano hayo kati ya wanajeshi wanaomwunga mkono rais salva kiir na wanajeshi watiifu kwa makamu wa rais riek machar read more
inasikitisha wakenya wauawa kinyama nchini sudan kusini
south sudan violence in south sudan peace talks in sudan south sudan conflict moto
masawe japani bushiri wife pregnant uhuru kenyatta children photos massawe japanni garlic under pillow habari zingine francis atwoli ampa hongera rais uhuru na naibu wake ruto hii ndiyo sababu (video) | 2017-04-29T19:27:39 | https://swahili.tuko.co.ke/153609-wakenya-kumi-na-watano-wauawa-sudan-kusini.html |
habari na matukio mwigulusendeka washiriki mazishi ya christina lissu mkoani singida
mwigulusendeka washiriki mazishi ya christina lissu mkoani singida
msemaji wa chama cha ccmole sendeka waziri wa kilimomifugo na uvuvi mhmwigulu nchemba wakimpa pole mbunge wa singida mashariki (chadema)mh tundu lissuambao waliwasili wilayani ikungi mkoani singida kushiriki mazishi ya aliyekuwa mbunge wa chadema (viti maalum) marehemu christina lissu
msemaji wa chama cha ccm ole sendeka akitoa neno la pole kwa wafiwa ndugu jamaa na marafiki kabla ya kufanya maziko kwa aliyekuwa mbunge wa chadema (viti maalum) marehemu christina lissuwilayani ikungi mkoani singida | 2018-01-18T05:43:38 | http://www.kajunason.com/2016/04/mwigulusendeka-washiriki-mazishi-ya.html |
uzamivu wikipedia kamusi elezo huru
uzamivu
(elekezwa kutoka shahada ya uzamivu)
muhitimu wa ngazi ya phd huko afrika ya kusini akiwa katika vazi maalumu
uzamivu (pia phd ambayo ni kifupi cha kilatini philosophiae doctor yaani daktari wa falsafa) ni shahada ya juu kabisa katika elimu
inatolewa na vyuo vikuu baada ya digrii ya bachelor na shahada ya uzamili
kwa kufuata tabia za lugha nyingine jina daktari hutumiwa pia kama jina la heshima kwa mtu aliyepata shahada ya uzamivu katika nchi nyingi mtu aliyepokea shahda ya uzamivu anaongeza cheo kabla ya jina lake kwa kifupi ambacho kimatifa ni dr kwa kiswahili mara nyingi pia dk
ilikuwa desturi hadi leo kwamba mgombea wa uzamivu anaonyesha uwezo wake kwa kutunga tasnifu ambayo ni kitabu kamili siku hizi masharti ya tasnifu zinaweza kutimizwa pia kwa kutunga idadi fulani za makala zinazohitaji kupokewa na majarida ya kitaalamu ambamo zinachunguliwa na wataalamu wengine kabla ya kupokewa na kuchapishwa
nje ya utaratibu wa kawaida kuna pia cheo cha daktari wa heshima (honorary doctorate) hutolewa kwa mtu anayetazamiwa kuwa na michango mikubwa kwa maendeleo ya sayansi fulani elimu kwa jumla au kwa taasisi ya elimu mara nyingi hutolewa pia kwa sababu za kisiasa kifupi chake kwa kawaida ni dr hc hc ni kifupi cha kilatini honoris causa kinachomaanisha kwa sababu ya heshima
je unajua kitu kuhusu uzamivu kama historia yake uenezi au maendeleo yake
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=uzamivu&oldid=1122279
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 26 julai 2020 saa 1324 | 2020-08-15T20:50:15 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Shahada_ya_Uzamivu |
serikali yaiokoa tena trl ~ kulikoni ughaibuni
serikali yaiokoa tena trl
serikali kwa mara nyingine imeingilia kati na kuamua kulipa mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania (trl) baada ya mwekezaji wake kushindwa kulipa mishahara ya mwezi uliopita
waziri mkuu mizengo pinda alitangaza uamuzi huo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la papo kwa hapo la mbunge wa viti maalumu halima mamuya (ccm) aliyetaka kujua mpango wa serikali katika kuhakikisha mwekezaji huyo anaiendesha kampuni hiyo kwa ufanisi na kama alikuwa akijua kuwa hadi jana wafanyakazi wa kampuni hiyo walikuwa hawajalipwa mishahara yao ya mwezi uliopita
serikali imelichukua tena tatizo hilo na tunalifanyia kazi ninaahidi kuanzia sasa wafanyakazi hawa hawatakosa tena mishahara tutajaribu kuona kama hiyo nyongeza tutaweza kuilipa alisema pinda
agosti mwaka huu tatizo la wafanyakazi kukosa mishahara lilipotokea kwa mara ya kwanza waziri mkuu ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kuokoa jahazi na hadi jana na juzi alikuwa akihaha kuhakikisha wafanyakazi hao wanalipwa mishahara yao ya oktoba
hadi juzi nilikuwa nahangaikia suala hili ahadi ya serikali ilimalizika agosti na tulitarajia uongozi wa trl ungeendelea kulipa viwango vipya vya mishahara kuanzia oktoba kama tulivyokubaliana lakini kwa bahati mbaya wameshindwa na tunalazimika tena kulipia mishahara ya wafanyakazi hao hadi novemba alisema pinda
hii ni mara ya tatu kwa serikali kulazimika kuiokoa kampuni hiyo baada ya uongozi wake kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi
miezi mitano tangu mwekezaji alipolichukua shirika hilo wakati huo likiitwa shirika la reli tanzania (trc) serikali iliingia mfukoni na kutoa fedha za walipa kodi zaidi ya sh bilioni tatu kuikopesha trl kwa ajili ya kulipa mishahara ya wafanyakazi
septemba mwaka huu trl ilikwama tena kulipia viwango vipya vya mishahara na serikali iliamua kulipa mishahara ya mwezi huo kwa ahadi kwamba kuanzia oktoba mwekezaji angeweza kuendelea kulipa wafanyakazi wake bila matatizo
kampuni hiyo imeshindwa tena kulipa mishahara ya mwezi uliopita serikali kwa mara ya tatu sasa inajikuta ikilazimika kuingia tena mfukoni kuokoa jahazi
juzi wafanyakazi wa trl walitangaza kuanza mgomo baridi huku wakisubiri hatua zinazochukuliwa na mwekezaji kuikoa kampuni hiyo mbali na sula la trl waziri pinda pia alizungumzia suala la kuvuja kwa mitihani aliposema serikali inaliangalia kwa umakini baraza la mitihani la taifa (necta) kwani ndipo penye tatizo
serikali inajitahidi kuangalia namna bora ya kulisimamia kwani ni aibu kwa taifa kukaa na kuulizana maswali juu ya uvujaji wa mitihani amewataka wazazi na wanafunzi wanaotafuta mitihani kuacha kuendekeza tabia hiyo ya aibu
natoa rai kwa wazazi kuwa tusikubali na tuwe wa kwanza kutoa taarifa tunapoona watoto wana mitihani ya kununua alisema pinda
jibu hilo la waziri pinda lilitokana na swali la mbunge wa viti maalum magdalena sakaya (cuf) aliyetaka kujua mpango wa serikali katika kukabiliana na tatizo la kuvuja kwa mitihani na uchapishaji wa vyeti feki vinavyosambazwa mashuleni na kusababisha kushuka kwa kiwango cha elimu nchini
akizungumzia hali ya kiuendeshaji ya kampuni ya ndege tanzania (atcl) pinda alikiri kwamba kwa sasa kampuni hiyo iko taabani hali iliyosababisha serikali ilazimike kufanya mazungumzo na shirika moja nchini china lengo likiwa ni kuinusuru atcl katika hali hiyo mbaya
akijibu swali la mbunge wa vunjo aloyce kimaro aliyeitaka serikali ichukue jukumu la kununua vitabu vya kiada kwa shule za msingi na sekondari na kuvisambaza badala ya jukumu la sasa la kutumia wakandarasi waziri pinda alisema utaratibu wa sasa ni kwamba serikali inatoa fedha kwa halmashauri nazo zinatumia wakandarasi ambao wengine si waaminifu
wakandarasi mara nyingine hununua vitabu vya mitaani vinavyokuwa katika kiwango cha chini hivyo tumekubaliana na wizara tutafute utaratibu mzuri wa upatikanaji wa vitabu alisema
kumwokoa mwekezaji kila anapokwama sio ufumbuzibali uahirishaji wa ufumbuziwa tatizoni muhimu kujiuliza huyu mwekezaji ataendelea kuokolewa hadi liniand what'd happen if hatookolewa | 2019-03-20T08:20:07 | http://www.chahali.com/2008/11/serikali-yaiokoa-tena-trl.html |
leo tunajiuliza kwa jkt ruvuligi ndogo ya tff hatua ya sita bora inaendelea tena kwa yanga kupambana na jkt ruvu katika mchezo wa kundi a utakaochezwa huko kwenye uwanja wa sheikh amri abeid arushatimu hizo mbili zinachagizwa na ushindi waliopata dhidi ya mtibwa sugar hivi karibuni yanga iliifunga mtibwa sugar 32 wakati jkt ruvu ilishinda 31mchezo huo unatarajia kuwa mgumu kwani yanga huwa inapata taabu sana kuifunga jkt ruvu inayonolewa na mchezaji wa zamani wa yanga fred felix minzirompaka hapo baadaye kila la heri yanga
kichwabuta mwendantwala
nawatakia kila la kheri timu yetu ya yanga ili iweze kufanya vizuri leo dhidi ya vijana wetu wadogo wa jkt ruvu na sina shaka tutatoka kifua mbele kwa bao 2 1 na huo ndio utabiri wangu mungu wabariki wachezaji wa yanga mungu ibariki yanga
tunaomba matokeo kati yetu na ruvu jkt (ya leo) haraka kwani tuna hamu nayo sana
jun 27 2007 60400 pm
jun 27 2007 73200 pm
kichwabutwa mwendantwala
tunaomba uwepo utaratibu wa kuwa mnatupa matokeo hata wakati mpira ukiwa bado unaendelea kwani huwa tunakuwa na wasiwasi na timu yetu inapocheza
ndugu yangu kichwabutwa nadhani unaelewa kuwa hilo ombi lako ni investment kubwa kwa cm kuupdate blog wakati mpira unaendelea ina maana inabidi awepo uwanjani akiwa na laptop iliyokuwa connected kwenye internet kila timu inapocheza sio kwamba hilo haliwezekani ila i think it is too much to ask of cm ukizingatia gharama za maisha na technology kwa bongo ni vigumu kusustain ombi lako hata kama angependa kufanya hivyowewe na mimi na wengine tunaweza kuiwezesha yanga kuwa na website yake ambayo itakuwa updated kila timu inapocheza hizi timu zinapaswa kuweka record zake electronically mfano ukiuliza leo said maulid amefunga magoli mangapi tangu amejiunga yanga au ivo mapunda amecheza mechi ngapi yanga hakuna mtu atakupa record lakini system ikiwa developed kushirikiana na viongozi wa klab hili linawezekana wenzetu wanafanya hivyo makocha kama micho najua wanaweka record hizi zote to the details za mchezaji fulani amepiga cross ngapi au attempts ngapi to the goal lakini wakiondoka wanaondoka na tarifa zao sababu hatuna utaratibu wa kuziweka na sisi kila mmoja wetu akitimiza wajibu wake mambo mengi yanaweza kufanyikajm aka jzah
jun 28 2007 124600 pm | 2017-07-23T18:47:20 | http://yangatz.blogspot.com/2007/06/leo-tunajiuliza-kwa-jkt-ruvu-ligi-ndogo.html |
kazi ipo tcu mwaka huu page 3
1}ud0043 total applicants=1026eligible=8941 st choice=122admission capacity=80
2}su004total applicants=3399eligible=2896 1st choice=890admission capacity=220
3}ud002total applicants=548eligible=4321s t choice=93admission capacity 160
4}ud041total applicants=1179eligible=1014 1st choice=256admission capacity=220
5}mu007total applicants=428eligible=3921s t choice=24admission capacty=250
6}mu006total applicants=1577eligible=1304 1st choice=216admission capacity=250
nakusifu sana mshenzi wewe ningekufahamu ningekuchapa na msimbazi moja kwa darasa jema unalowapa vijana yaaah kweli neno shenzi si tusi nimeamini leo keep it up quick reply
11th july 2012 1431
waache wafanye kazi kama wanavyoona waowala hutakiwi kuanza kujadili watafanyaje kwa sasalangu jicho tu
veterinary medicine ya sua walio apply ni 1407eligible ni 11811st choice ni 289admission capacity ni 60tutajibeba mwaka huu
ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaa naenda udsm 1sy choice yangu tulio eligible ni 43 na intaka watu 50 ha ha ha ha ha thank u god
umechagua kozi gani udsm
daaaah balaaa kumbe ile ya 4000 ilikua story ila hapo competition kali wenye 3 tutapona kweli
11th july 2012 1647
pia unaweza kuwa eligible na ukaiweka ikawa first choice yako lakini ukazidiwapoints na mtu aliyekuwa ameiweka ya nane kwa sababu anasifa za juu zaidi kuliko wewe chukulia mfani mwenye one ya tano na mwenye two ya kumi na mbili hata kama wa two ya kumi na mbili ameweka choice yake ya kwanza akishindanishwa na wa wani ya tano ambaye kozi hiyohiyo aliiweka ya nane mwenye kufikiriwa zaidi ni wa wani ya tano
hujui kitu kuhusu tcu better you lay down your pen
mungu wangu hivi mwaka huu nitapata chuo kweli maana mpaka sasa hali ni tete yaani watu waliopata dvn 1 waishe then dvn 2 mmh mambo magumu kweli
11th july 2012 1809
sasa kama wewe mwenye 2 unaliaje mwenye 3 afanyaje sasa
daah kheri ningejaza ki2 cha duceila hakuna noma lets pray to god
11th july 2012 1843
g width=18 height=11 src=template/jamiv1/default/misc/quote_iconpng alt=quote /> by ze duduz
duce ndio noma mkuukuna ambayo nimeona applicants wako zaidi ya buku 3
11th july 2012 1951
daah kwa iyo unaweza kosa chuo ingawa umefaulu au
11th july 2012 2000
dah mimi nnaendelea kunipandishia presha tu
sidhani mkuu
hivi hata kwa programs za education pia competition ni kubwa
yahnimeangalia duce na udsmkidogo nife
12th july 2012 0730
12th july 2012 0814
kazi kwelikweli sijui tutaponaje ila hii ni kutokana na priority status ya loan ndo maana tunashoshona kwenye program zenye prioritywale wenzangu na mimi wa arts tusio na uwezo wa kujilipia kozi za nyingine kimbilio ni education ambayo madhara yake yatakuja kuonekana huko mbele kwenye ajira
12th july 2012 0950
mwaka huu lazima watu wasome course za kiarabu | 2013-05-19T12:07:01 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/289597-kazi-ipo-tcu-mwaka-huu-3.html |
ni sawa kuweka nguzo mita 5 kutoka kwenye nyumba | jamiiforums
ni sawa kuweka nguzo mita 5 kutoka kwenye nyumba
nisaadieni watu wa umeme vijijini wameweka nguzo ya umeme mita 5 kutoka kwenye nyumba je ni sawa je standard ya nguzo ya umeme inabidi iwe mita ngapi kutoka eneo husika
wasiliana na tanesco mkuu
hawaeleweki kuna majirani huku kwetu wamegombana sasa kila mtu kavuta umeme kila mmoja ana nguzo kwenye nyumba yake wakati nguzo moja ingeweza kutumika na wote ajabu tanesco nao wameunganisha umeme hivyo hivyo kila mmoja na nguzo yake na hataki ushirika na mtu
ni sawaau unataka kushindana na mtoto wa ikulu
changamkia fursa hiyojivutie umeme kiulainitayari umesogezewa nguzo bado unaanza kulalamika
wabongo bwana sijui nani ameturoga
tanesco wana shida kwenye mambo ya survey na engineering hasa kwenye nguzo kama kungekuwa na eneo la wazi la kutolea kero zikafanyiwa kazi ingesaidia sana kuna hii link hapa tanesco special thread tupe maoni maswali malalamiko na hata ushauri hata ukiwaandikia usitegemee watachukua hatua naona ipo kama danganya toto kwamba wapo kumbe hawapo
kabisa wanafanya kazi kizamani mno hivi inaingia akilini kweli kila nyumba iwe na nguzo halafu mikoani hata ukiomba mita ya luku ni shida kupata unaambiwa subiri subiri ukiomba mita mpya kwenye nyumba nyigine ni shida unaambiwa weka nguzo wakati kuna nguzo uliyokuwa una share umeme na nyumba nyingine wanakera sana nadhani hili la nguzo limekuwa biashara sasa
kwa mipango miji ipi tuliyo nayo mkuuhuku kwetu kuna nguzo imeungana na ukuta wa nyumba
we vuta umeme tuungane kwenye luku ayo mengine achana nayo
hahahah sijui kama ina ukweli lakini haya ni maajabu
sina sababu ya kuongea uongo hata mimi niliporudi kutoka mihangaiko yangu nikakukuta nguzo mpya niliuza tu tanesco walikuwepo au jamaa kajichimbia nguzo mwenyewe nikaambiwa walikuwepo sasa kituko kikubwa ni kuwa kwenye nguzo ambayo jirani mmoja alichukulia hapo huyu mwingine kaenda kuomba kanyimwa kisa alimzuia kuweka nguzo katikati ya eneo maana wao walitangulia kujenga kabla ya huyu mwenye nguzo yenye umeme amekomaa nguzo yenye umeme itolewe iweke katikati ya wote kisa pale alipowka imebana gate na tanesco wakaona sawa hao wakasepa wakaacha mzozo hivi viwanja vya kupimiwa na miguu umasaini ni shida
ila tanesco hawan cha kupoteza maana hiyo nguzo hawakupi bure ni wanauza
hii link imenisaidia kupeleka malalamiko yangu na nafurahia umeme tayari unawaka kwetu
inategemeana na lalamiko pia seriousness ya meneja wa eneo husika mkuu
lalamiko langu lilihusu eneo letu lilikua halina umeme na tanesco waliokua wanazunguka zunguka tu tangia 2015 baada ya lile bandiko langu yani fasta tu walinitaka niende pm yao ili niwaelekeze vizuri na nitume namba ya simu nashukuru siku iliyofuata akanipigia meneja wa eneo la ukonga na kunisikiliza live lkn issue ilikua si ya eneo lake ila aliahidi suala hili atafuatilia kwa karibu yeye mwenyewe kwa meneja wa eneo husika na kuahidi atanipa mrejesho siku inayofuatia kweli bwana siku aliyoahidi mchana na mapema akanipigia na kunieleza suala langu ameshughulikia meneja wa eneo langu atanitafuta lkn pia alinipa namba ya simu wa meneja wa hilo eneo wakaniita ofisini kwao nami nikawashtua wananchi km sita hivi tukaenda kuwaona tunashuru ndani ya wiki mbili tu kwa sasa eneo letu lote lina umemelkn shukrani za kipekee zimuendee meneja tanesco wa ukonga kwakweli simfahamu jina wala sura lkn alijtolea sn ktk hili ktk utumishi wa umma wa ki africa huwa kuna longo longo sana lkn yeye amejitahidi mungu amuangazie kila lilo jema kwake
p hivi hili la kuweka limit ya umri kwa vijana wa sasa katika ajira kwa mazingira ya sasa liko sawa habari na hoja mchanganyiko 29 jun 30 2020
e naomba kuweka mambo sawa mwl nyerere bado hajatangazwa kuwa ni mwenye heri (blessed) habari na hoja mchanganyiko 6 mar 3 2019
kuweka record sawa update ya viwanda vilivyojengwa tangu kuanza kwa awamu ya tano habari na hoja mchanganyiko 15 jul 20 2018
s hii ni sawa tangazo la kazi kuweka vigezo mtanzania mwenye asili ya asia habari na hoja mchanganyiko 42 jun 29 2016
m huu utaratibu uliowekwa na nssf mkoa wa ilala na temeke ni sawa habari na hoja mchanganyiko 3 monday at 609 pm
naomba kuweka mambo sawa mwl nyerere bado hajatangazwa kuwa ni mwenye heri (blessed)
kuweka record sawa update ya viwanda vilivyojengwa tangu kuanza kwa awamu ya tano
hii ni sawa tangazo la kazi kuweka vigezo mtanzania mwenye asili ya asia
huu utaratibu uliowekwa na nssf mkoa wa ilala na temeke ni sawa | 2020-07-16T00:16:23 | https://www.jamiiforums.com/threads/ni-sawa-kuweka-nguzo-mita-5-kutoka-kwenye-nyumba.1267484/ |
rais magufuli azindua mradi wa umeme wa kilowati 2115 weyani media
rais magufuli azindua mradi wa umeme wa kilowati 2115
raisi john magufuli ameweka jiwe la msingi kwenye mradi mkubwa wa kufua umeme katika mto rufiji utakaozalisha umeme wa kilowati 2115
mradi huu utakaogharimu kiasi cha trilioni 65 za tanzania zikiwa fedha za ndani ulipangwa kutekelezwa kwa miezi 42 hivi sasa ikiwa imebaki miezi 36 pekee ili kuukamilisha
umeme utakaozalishwa utasafirishwa kutoka rufiji kuelekea chalinze umbali wa km 167 kisha dar es salaam na dodoma pia umeme utakaozalishwa utaweza kuendesha treni za mwendo kasi
waziri wa nishati nchini tanzania dokta medard kalemani amesema malengo ya serikali ni kuzalisha umeme wa megawatt 10000 ifikapo mwaka 2025
mradi huu una manufaa gani
utasaidia udhibiti uharibifu wa mazingira dar es salaam pekee magunia laki 5 ya mkaa hupelekwa na kutumika kila mwezi kutoka msituni asilimia 712 ya watanzania hutumia nishati mbadala ya kuni na mkaa ekari za mraba laki nane hukatwa kwa ajili ya matumizi ya nishati mbadala
mradi huu ni mkakati madhubuti wa kupambana na athari za mazingira nchini tanzania
kuongeza shughuli za utalii na shughuli za umwagiliaji na pia kutoa ajira na kusaidia uimarishwaji wa shughuli nyingine za kiuchumi
rais magufuli asafiri kwa treni kwenda rufiji
waziri atimuliwa kazi kisa mgao wa umeme
image captionrais wa tanzaniadokta john magufuli
mradi huu unajengwa na wakandarasi kutoka makampuni makubwa mawili kutoka jamuhuri ya kiarabu ya misri ikishirikiana na kampuni ya tanzania ya usambazaji umeme tanesco
rais wa tanzania dokta john magufuli amesema kuwa mradi huu ni utekelezaji wa ndoto ya baba wa taifa mwalimu nyerere miaka ya 70 baada ya kutambua kuwa nishati ya umeme ni kichocheo cha maendeleo ya sekta zote
kupitia mradhi huu nchi yetu imeudhihirishia ulimwengu kuwa sisi ni taifa huru linaloweza kujiamulia mambo yake kwa kuzingatia vipengele vyakenyote mnafahamu mradi huu ulikabiliwa na vikwazo vikali kutoka ndani na nje ya nchi yetu upinzani huo ulianza baada ya kutangazwa kwa azma ya kuanza mradhi huu mwezi juni mwaka 2017
afrika habari/newsdar es salaam dodoma john magufuli mto rufiji tanesco tanzaniaweyani medialeave a comment
wahamiaji 150 wahofiwa kufa baada ya boti kuzama libya | 2020-01-18T02:45:24 | https://weyanimedia.com/2019/07/26/rais-magufuli-azindua-mradi-wa-umeme-wa-kilowati-2115/ |
dan 9 | neno | step | katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake dario mwana wa ahusuero (mzaliwa wa umedi) ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa babeli
maombi ya danieli
1 katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake dario mwana wa ahusuero (mzaliwa wa umedi) ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa babeli 2 katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake mimi danieli nilielewa kutokana na maandiko kulingana na neno la bwana alilopewa nabii yeremia kwamba ukiwa wa yerusalemu ungetimizwa kwa miaka sabini 3 kwa hiyo nikamgeukia bwana mungu na kumsihi katika maombi na dua katika kufunga kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu
4 nikamwomba bwana mungu wangu na kutubu
ee bwana mungu mkuu na unayetisha anayeshika agano lake la upendo kwao wanaompenda na kutii maagizo yake 5 tumetenda dhambi na kufanya mabaya tumekuwa waovu na tumeasi tumegeuka mbali na maagizo yako na sheria zako 6 hatukuwasikiliza watumishi wako manabii ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu wakuu wetu baba zetu na watu wote wa nchi
7 bwana wewe ni mwenye haki lakini siku hii ya leo tumefunikwa na aibu wanaume wa yuda na watu wa yerusalemu nayo israeli yote wote walio karibu na walio mbali katika nchi zote ulikotutawanya kwa sababu ya sisi kukosa uaminifu kwako 8 ee bwana sisi na wafalme wetu wakuu wetu na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako 9 bwana mungu wetu ni mwenye rehema na anayesamehe hata ingawa tumefanya uasi dhidi yake 10 hatukumtii bwana mungu wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia kwa watumishi wake manabii 11 israeli yote imekosea sheria yako na kugeuka mbali nao wamekataa kukutii
kwa hiyo laana na viapo vya hukumu vilivyoandikwa katika sheria ya mose mtumishi wa mungu vimemiminwa juu yetu kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako 12 umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu na dhidi ya watawala wetu kwa kuleta maafa makubwa juu yetu chini ya mbingu yote kamwe hapajatendeka kitu kama kile kilichotendeka katika yerusalemu 13 kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya mose misiba hii yote imekuja juu yetu lakini hatujaomba fadhili kwa bwana mungu wetu kwa kugeuka kutoka katika dhambi zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake 14 bwana hakusita kuleta maafa juu yetu kwa maana bwana mungu wetu ni mwenye haki katika kila afanyalo lakini hata hivyo hatujamtii
15 sasa ee bwana mungu wetu ambaye uliwatoa watu wako misri kwa mkono wenye nguvu na ambaye umejifanyia jina linalodumu mpaka leo tumetenda dhambi tumefanya mabaya 16 ee bwana wewe kwa kadiri ya matendo yako ya haki ondoa hasira yako na ghadhabu yako juu ya yerusalemu mji wako mlima wako mtakatifu dhambi zetu na maovu ya baba zetu yameifanya yerusalemu na watu wako kitu cha kudharauliwa kwa wale wote wanaotuzunguka
17 basi mungu wetu sasa sikia maombi na dua ya mtumishi wako ee bwana kwa ajili yako tuangalie kwa huruma kuhusu ukiwa wa mahali pako patakatifu 18 ee mungu tega sikio na ukasikie fumbua macho yako ukaone ukiwa wa mji ule wenye jina lako hatukutolei maombi yetu kwa sababu sisi tuna haki bali kwa sababu ya rehema zako nyingi 19 ee bwana sikiliza ee bwana samehe ee bwana sikia na ukatende kwa ajili yako ee mungu wangu usikawie kwa sababu mji wako na watu wako wanaitwa kwa jina lako
majuma sabini
20 basi nilipokuwa bado nikinena na kuomba nikiungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu israeli na nikifanya maombi yangu kwa bwana mungu wangu kwa ajili ya mlima wake mtakatifu 21 wakati nilipokuwa bado katika maombi gabrieli yule mtu niliyekuwa nimemwona katika maono hapo awali alinijia kwa kasi karibia na wakati wa kutoa dhabihu ya jioni 22 akanielimisha na kuniambia danieli sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu 23 mara ulipoanza kuomba jibu lilitolewa ambalo nimekuja kukupasha habari kwa maana wewe unapendwa sana kwa hiyo tafakari ujumbe huu na uelewe maono haya
24 majuma sabini yameamuriwa kwa ajili ya watu wako na kwa ajili ya mji wako mtakatifu ili kumaliza makosa kukomesha dhambi kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu kuleta haki ya milele kutia muhuri maono na unabii pia kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu sana
25 ujue na kuelewa hili tangu kutolewa kwa amri ya kuutengeneza na kuujenga upya yerusalemu mpaka kuja kwa mpakwa mafuta aliye mtawala kutakuweko majuma saba na majuma sitini na mawili barabara zitajengwa tena pamoja na mahandaki lakini katika wakati wa taabu 26 baada ya majuma sitini na mawili mpakwa mafuta atakatiliwa mbali wala hatabakia na kitu watu wa mtawala atakayekuja watauharibu mji pamoja na mahali patakatifu mwisho utakuja kama mafuriko vita vitaendelea mpaka mwisho nao ukiwa umeamriwa 27 mtawala huyo atathibitisha agano na watu wengi kwa juma moja katikati ya juma hilo atakomesha dhabihu na sadaka mahali pa dhabihu katika hekalu atasimamisha chukizo la uharibifu hadi mwisho ulioamuriwa utakapomiminwa juu yake yeye aletaye uharibifu | 2018-03-22T06:32:27 | https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=Dan.9 |
kinana azindua semina elekezi kwa wajumbe wa baraza kuu la uvccm taifa leo jijini dodoma
you are athome»habari360»kinana azindua semina elekezi kwa wajumbe wa baraza kuu la uvccm taifa leo jijini dodoma
kaimu katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi ndgshaka hamdu shaka (mnec) akizungumza kabla ya kumkaribisha mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi ndgkheri denis james (mcc) kumkaribisha katibu mkuu wa ccm kufungua semina elekezi kwa wajumbe wa baraza kuu la umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi leo mjini dodoma
mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi ndgkheri denis james(mcc) akizungumza wakati wa kutoa maelezo na kumkaribisha mgeni rasmi kufungua mafunzo maalum kwa wajumbe wa baraza kuu la uvccm taifa
katibu mkuu wa ccm abdulrahman kinana akifungua semina elekezi kwa wajumbe wa baraza kuu la umoja wa vijana wa ccm taifa leo katika ukumbi wa nec katika jengo la ofisi ya makao makuu ya ccm mjini dodoma
washiriki wakifuatilia semina elekezi kwa wajumbe wa baraza kuu la umoja wa vijanaleo katikaukumbi wa nec makao makuu ya ccm mjini dodoma
washiriki wakifuatilia semina elekezi leo katikaukumbi wa nec makao makuu ya ccm mjini dodoma
katibu msaidizi mkuu idara ya oganaizesheni ndgsteven kazidi akiwasilisha mada katika semina elekezi kwa wajumbe wa baraza kuu la umoja wa vijana ccm taifaleo katika ukumbi wa nec makao makuu ya ccm mjini dodoma
meza kuu ikifuatilia semina
previous articlemnec mwaka ramadhan amevuna wanachama wapya (80) kata ya mkwawa manispaa ya iringa
next article mambo ya kukumbuka kabla ya kutumia dawa
wanyama amfuata samatta ubelgiji | 2019-08-23T15:11:29 | https://habarimpya.com/featured-2/woinde-shizza/kinana-azindua-semina-elekezi-kwa-wajumbe-wa-baraza-kuu-la-uvccm-taifa-leo-jijini-dodoma-3 |
polisi dar yapiga stop uuzwaji wa silaha za jadi dewjiblog
polisi dar yapiga stop uuzwaji wa silaha za jadi
polisi kanda maalum dar es salaam imewaagiza wafanyabiashara wote wanaojihusisha na uuzwaji wa silaha za jadi barabarani kuacha tabia hiyo mara moja na badala yake kutafuta sehemu maalumu ya kufanya biashara hizo
hayo yametokana na tabia iliyojengeka kwa wafanyabiashara wadogo wadogo kujihusisha na uuza wa siraha kama mapanga visu manati na upinde pembezoni mwa barabara hususani kwenye mataa ya kuongezea magari
akizungumza na waandishi wa habari leo hii kamishna wa polisi kanda maalum dar es salaam saimon sirro amesema biashara hizo zimekuwa hatarishi kwa usalama wa watu wanaotumia barabara hizo pia aliongeza kuwa biashara hizo zimeshamiri sana katika barabara ya nyerere tazara mataa changombe mataa pamoja na gerezani mataa
nimepiga marufuku uuzwaji wa bidhaa hizo kwasababu watu wanao husika na uuzaji wa bidhaa hizo wamekuwa sio waaminifu na hutumia fursa hiyo kuwatishia watu wanaokuwa kwenye magari binafsi na magari ya umma na kuanza kuwaibia mali zao mbalimbali kama simu za mikononi saa mikoba na laptop pia amesema
aidha kamishna sirro amesema silaha hizo zinatakiwa kuuzwa kwenye maduka yenye leseni na sio vinginevyo ambapo atakayepatikana akifanya biashara hiyo atachukuliwa hatua za kisheria
january 12 katika mataa ya tazara tulimkamata mtuhumiwa mgoli sakalani (39) mgogo mfanyabiashara na mkazi wa banana akifanya biasha hiyo amesema
pia kamishna sirro amesema kikosi cha usalama barabarani kanda maalum ya dar es salaam ya ukamataji wa makosa barabarani katika kipindi cha january 5 hadi january 12 wamefanikiwa kupata fedha za tozo sh milioni 657060000
maamuzi ya kamati ya utendaji ya caf
wajumbe wa kamati ya miss tanzania 2016/17 waiomba serikali iwasaidie kupata wafadhili wa mashindano hayo
waziri ummy azindua ugawaji wa vitambulisho vya tiba kwa wazee ubungo
rais jpm afanya uteuzi wa kamishna mpya wa madini
magese apongeza serikali kwa kumpa ushirikianomrembo wake apata nafasi ya tano afrika | 2018-01-18T05:36:26 | http://dewjiblog.co.tz/polisi-dar-yapiga-stop-uuzwaji-wa-silaha-za-jadi/ |
langa kileo afariki jioni hii
wiki moja baada ya kuzikwa msanii maarufu wa kizazi kipya (bongo fleva) albert mangweha leo jioni msanii mwingine aliyewika katika tasnia hiyo langa kileo ametangazwa kuaga dunia kutokana na maradhi
kwa mujibu wa kituo cha radio clouds fm langa ambaye aliwika na kikiundi cha wakilisha amefariki leo jioni katika hospitali ya rufaa muhimbili jijini dar es salaam katika chumba cha wagonjwa mahututi
taarifa hiyo haikuweka wazi msanii huyo alifariki kwa maradhi gani lakini kwa muda mrefu langa aliweka wazi kuathiriwa na matumizi mabaya ya dawa za kulevya ambazo zilifanya kushusha kiwango chake kiusanii kutokana na kudhoofika afya
naye ofisa habari wa hospitali hiyo eminiel eligaesha amethibitisha kifo cha msanii huyo kwa kusema ni kweli amefariki saa 11 jioni leo hilo ndilo ambalo naweza kusema kwa sasa ila saabu za kifo chalke na mambo mengine inabidi msubiri taarifa ya daktari kidojembe ipo karibu na vituo vya habari ili kuweza kujua sababu za kifo cha msanii huyo ambaye atakumbukwa sana kutokana na kipaji cha hali ya juu katika muziki huo wa hiphop bongo
aidha langa mtoto wa mfanyakazi wa serikali aliibuka katika usanii mara baada ya kumaliza elimu ya kidato cha nne mwaka 2004 ambapo katika mwaka huohuo alikuwa miongoni mwa wasanii watatu sara na witness walioshinda coca cola popstars wakaenda afrika kusini na kurudi ndipo wakaunda kikundi cha wakilisha
baada ya mwaka mmoja waligawanyika kutokana na sababu za kimaslahi lakini tayari walikuwa na nyimbo mbili zilizokuwa kali moja ikiwa ni 'unaniacha hoi' baada ya hapo langa alitoa ngoma kali iliyomtambulisha vema amabyo ni 'matawi ya juu' na nyingine nyingi alizoimba peke yake na alizoshirikishwa na wasanii wengine
baada ya kupata umaarufu mwanzoni mwa mwaka 2008 alijitumbukiza katika matumizi ya dawa za kulevya lakini baada ya kuona hakuna faida aliamua kuweka wazi juu ya hali yake na kuchukia kutumia dawa hizo ambapo kwa wakati ho alikuwa msanii wa kwanza wa kizazi kipya tanzania kutangaza kuwa mwathirika wa dawa za kulevya
kidojembe inaungana na ndugu wa familia pamoja na wasanii wote hasa kwa wiki mbili hizi ngumu kwa kupoteza wasanii wawili ambao wote wanahusishwa na matumizi ya dawa za kulevya mungu ailaze roho ya marehemu mahali panapostahil hafidh kido
dar es salaam tanzania posted by | 2017-02-22T13:15:50 | http://kidojembe.blogspot.com/2013/06/langa-kileo-afariki-jioni-hii.html |
wordsearch leads generation with games | worldwidescriptsnet
wordsearch leads generation na michezo inafanya kuwa rahisi kujenga desturi neno search puzzle mchezo katika javascript kukamata inaongoza kwenye tovuti yako kila mchezaji mapenzi ana kupata 6 maneno juu ya bodi puzzle unaweza kukusanya taarifa za mawasiliano ya wachezaji kama wao kushinda au kupoteza na kuelekeza yao kwa url anwani yoyote
customisation ni kosa kweli kwa urahisi kwa njia wordsearch yetu game generator ni inakuwezesha kujenga wordsearch game katika dakika na tu kutumia fomu ya maingiliano wewe tu haja ya kuingia mashamba chache flip baadhi swichi wewe ni nzuri ya kwenda
nini unaweza customize
maelekezo (hadi 200 wahusika)
siri maneno (ukomo lakini mchezo itakuwa kujificha 6 yao)
rangi ya background na bendera / vifungo
ujumbe wakati mchezaji mafanikio ya mchezo
ni habari mahitaji ya kuwa zilizokusanywa (email jina mitaani simu)
kama kuelekeza kifungo lazima kuonyeshwa
link ya kompyuta yako baada ya mchezaji mawasiliano ya habari
wordsearch game ni msikivu na wadogo chini na juu itakuwa wadogo hadi 700px x 400px kama mchezo ni katika html5 / js ni playable juu ya smartphone yoyote
kumbuka tafadhali kumbuka kuwa ili kukusanya anwani ya barua pepe unahitaji kuanzisha server na hivyo kuwa na elimu ya msingi katika lugha upande server kama php ruby nodejs wewe pia haja ya kuelewa hukumu wachezaji mawasiliano ya habari itakuwa kutuma kwa njia ya post ombi
19 februari 15 badiliko la mwisho
ecommerce all items customization mchezo kizazi kuongoza simu puzzle msikivu wordsearch | 2017-12-11T18:41:51 | https://sw.worldwidescripts.net/wordsearch-leads-generation-with-games-492016 |
wizara ya kilimo tanzania september 2014
waziri wa kilimo chakula na ushirika mheshimiwa eng christopher chiza akiangalia takataka zilizokuwa kwenye magunia ya mahindi yaliyokuwa yameletwa na wafanyabiashara na wakulima kwa ajili ya kuyauza katika kituo cha nfra dodoma
posted by kimu tv at 1237 am
waziri wa kilimo chakula na ushirika mheshimiwa eng christopher chiza akizungumza na kujibu kero za wafanyabiashara na wakulima waliopeleka mahindi nfradodoma kwa ajili ya kuyauza
posted by kimu tv at 1229 am
mahindi yaliyonunuliwa na kituo cha nfradodoma yakipangwa kwa ajili ya kuhifadhiwa
posted by kimu tv at 1220 am
timu ya kilimo sports club yakabidhiwa jezi
mhandisi rajabu mtunze amepokea jezi kwa niaba ya mheshimiwa waziri wa kilimo chakula na ushirika kutoka kampuni ya savoy farm limited kampuni ya savoy farm limited imeingia makubaliano na kusaini mkataba wa udhamini kati yake na kilimo sports club kwa kipindi cha miaka mitatu katika hafla hiyo savoy farm ltd iliwakilishwa na bwana omary issa ambaye pia aliwakabidhi kilimo sports club dazani moja ya jezi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkataba huo
wakati huo huo timu ya mpira wa miguu ya wizara ya kilimo chakula na ushirika leo inatarajiwa kupimana nguvu na timu ya wizara ya mambo ya ndani saa 845 mchana katika viwanja vya magereza ukonga
posted by kimu tv at 335 am
benki na mfumo mpya wa pemebejeo za kilimo
waziri wa kilimo chakula na ushirika mhe christopher chiza leo amekutana na wamiliki wa benki mbalimbali lengo likiwa ni kujadili namna watakavyo imarisha mfumo mpya wa utoaji wa pembejeo za ruzuku kwa njia ya mikopo
akiongea mbele ya waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa taasisi ya bodi ya sukari amewataka wamiliki wa benki hizo kuwekeza katika mazao ya chakula kama mpunga na mahindi badala ya mazao ya biashara pekee
aidha amezitaka taasisi hizo za fedha kutumia mitandao yao ili kuwafikia wakulima wengi zaidi maeneo ambayo taasisi hizo hazitaweza kuyafikia kilimo cha mkataba kitumike kukamilisha dhana hiyo
posted by kimu tv at 533 am
kikao cha baraza la kisekta la mawaziri wa kilimo na usalama wa chakula wa jumuiya ya afrika mashariki chafanyika kigali nchini rwanda
mhe eng christopher k chiza (mb) waziri wa kilimo chakula na ushirika akitia saini katika taarifa ya kikao cha baraza la kisekta la mawaziri wa kilimo na usalama wa chakula wa jumuiya ya afrika mashariki kikao kilifanyika kigali nchini rwanda hivi karibuni
mhe eng christopher k chiza (mb) waziri wa kilimo chakula na ushirika akitia saini katika kitabu cha wageni baada ya kutembelea makumbusho ya mauaji ya kimbali yaliyofanyika nchini rwanda
mhe eng christopher k chiza (mb) waziri wa kilimo chakula na ushirika na mhe dr kebwe stephenekebwe (mb) kwa pamoja wakiweka shada la maua kwenye kaburi la pamoja walilozikwa wahanga wa mauaji ya kimbali nchini rwanda
mhe eng christopher k chiza (mb) waziri wa kilimo chakula na ushirika na mhe dr kebwe stephen kebwe (mb) wakisali kwenye kaburi la pamoja walilozikwa wahanga wa mauaji ya kimbali nchini rwanda baada ya kuweka shada la maua
posted by kimu tv at 426 am
mhe chiza kuhudhuria mkutano wa usalama wa chakula
waziri wa kilimo chakula na ushirika mhe eng christopher chiza leo amehudhuria mkutano wa baraza la mawaziri la kisekta la afrika mashariki unaofanyika kigali nchini rwanda
aidha mkutano huo wa siku moja mawaziri hao watakuwa wanajadili hali ya usalama wa chakula barani afrika
posted by kimu tv at 216 am | 2019-01-17T02:52:13 | http://kilimotaarifa.blogspot.com/2014/09/ |
waziri mkuu anena kuhusu gesi mtwara | songeayetublogspotcom
home » unlabelled » waziri mkuu anena kuhusu gesi mtwara
waziri mkuu anena kuhusu gesi mtwara
waziri mkuu mizengo pinda amefanikiwa kutuliza jazba za wakazi wa mkoa wa mtwara kwa kuwaeleza kuwa kiwanda cha kusindika gesi ghafi kitajengwa kijijini madimba mkoani humo ili mabaki yatokanayo na gesi hiyo yatumike kuvutia uwekezaji wa viwanda hii ikiwa ni kauli tofauti na ya madai ya wakazi hao ambao hasira zao zilichangiwa na taarifa kwamba kiwanda hicho kingejengwa dar es salaam
kwenye mkutano wa majumuisho uliofanyika january 29 2013 waziri mkuu baada ya kusikiliza madai ya wananchi hao kwa siku mbili mfululizo amesema hakuna tone la gesi ghafi itakayosafirishwa kwa njia ya bomba
namkariri akisema imani yangu ni kwamba maelezo yametosheleza mtakua na kiwanda chenu cha kusindika mtakua na kiwanda cha kusafisha mtakua na hayo matawi kadhaa kwa ajili ya uzalishaji wa umeme kwa ajili ya usindikaji wa viwanda
mwanzoni madai ya wakazi wa mtwara yalikua ni kupinga usafirishaji wa gesi ghafi mpaka dar es salaam wakieleza kwamba huo mpango utafukuza wawekezaji wa viwanda mtwara ambao ungechochewa na upatikanaji wa malighafi baada ya kusafishwa kwa gesi
pia wananchi walipinga ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme kinyerezi dar es salaam na badala yake wakataka hiyo mitambo ijengwe hukohuko mtwara
mbali na hayo waziri mkuu aliwataka wananchi kumsamehe mkuu wa mkoa wa mtwara kanali mstaafu joseph simbakalia kwa kauli alizotoa december 21 2012 katika kikao cha kamati ya ushauri pale alipoombwa kuyapokea maandamano ya wakazi wa mkoa huo december 27 ambapo aliwaita wapuuzi na wahaini
waziri mkuu katika majumuisho yake aliambatana na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya kazi profesa anna tibaijuka waziri wa uchukuzi dr harrison mwakyembe waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi dr shukuru kawambwa na waziri wa mambo ya ndani dr emmanuel nchimbi
katika hizo siku mbili pia waziri mkuu alikutana na vyama vya siasa vya upinzani chama cha mapinduzi ccm viongozi wa dini ya kiislamu na kikristo wafanyabiashara madiwani na wenyeviti wa mitaa pamoja na wanaharakati | 2017-11-20T18:55:15 | http://songeayetu.blogspot.com/2013/01/waziri-mkuu-anena-kuhusu-gesi-mtwara.html |
ibura ryabanyeshuri imicungire mibi bimwe mu bibazo byashegeshe kaminuza zigenga igihecom
kuya 14 nyakanga 2020 saa 0757
abakurikiranira hafi imikorere ya kaminuza zigenga mu rwanda bashimangira ko ingaruka zicyorezo cya covid19 cyatumye amashuri afungwa mu gihe gisaga amezi atandatu zafashe indi ntera bitewe nuburyo cyasanze izi kaminuza zihagaze nubwo hari izikomeje kwirwanaho
kaminuza zigenga zinengwa kudohoka
zisaba kujya zihabwa abanyeshuri bagenerwa buruse
covid19 yasanze kaminuza nyinshi zugarijwe
minisiteri yuburezi yemeye uburangare mu gutinda gutanga ibyangombwa
minisiteri yuburezi ivuga ko mu rwanda habarwa kaminuza 40 harimo eshatu za leta ari zo kaminuza yu rwanda ishuri rikuru ryu rwanda ryimyuga nubumenyingiro (rwanda polytechnic) nishuli rikuru ryo guteza imbere amategeko (ilpd) bivuze ko izigenga ari 37
mu minsi ishize mineduc yafunze kaminuza ya kibungo (unik/inatek) christian university of rwanda na indangaburezi college of education kubera kutuzuza ibisabwa nibindi bibazo byari bizugarije bikabangamira ireme ryuburezi
minisitiri wuburezi uwamariya valentine avuga ko kuba kaminuza zigenga zimwe zafungwa bitagaragaza ko leta itazikeneye kuko ari zo zifite abanyeshuri benshi
yagize ati duhereye ku mibare yo mu 2019 usanga kaminuza zigenga zifite 586 byabanyeshuri bose biga muri kaminuza bivuze ngo uruhare rwa kaminuza za leta ni 414 mu magambo make kaminuza zigenga zirakenewe kugira ngo zunganire kaminuza za leta aha yari kuri televiziyo yigihugu
kaminuza zimwe zaradohotse
dr jered rugengande umushakashatsi wanakoze muri kaminuza zitandukanye avuga ko izigenga zavutse zikenewe nyuma yigihe gufungura kaminuza byemererwaga gusa leta namadini
yakomeje ati izi kaminuza zavutse zikenewe ariko ngira ngo byagiye bipfa mu mikurire navuga ko amakaminuza yagiye asa nadohoka kuko mbere wabonaga hari afite ikibatsi cyo gutangira ariko nyuma hari ayagiye agira ibibazo kandi wabonaga bishobora gukemuka
mu gutangira ngo wasangaga abantu bashinze kaminuza bashyiramo amafaranga ndetse bakiyemeza nayo bazajya batanga buri mwaka yo kuyifasha ariko bikagera nyuma ugasanga baradohotse ishuri rigasa nirisigaranwa numuntu umwe
yakomeje ati ugasanga wenda icyemezo kirafatwa nkumuntu umwe yabanje kujya inama numuryango we cyangwa se nagatsiko kabantu bari kumwe bibaho rero bene icyo ni nacyo cyica ishuri kuko iyo imiyoborere yishuri idahobora gufata ishuri ngo yerekane aho ibibazo biri yerekane aho inkunga nubushobozi bushobora kuva icyo gihe bitera ikibazo
bityo mu gihe kirekire ukazasanga batazashobora gukomeza ya kaminuza ubukene bukabataha bugatuma kaminuza yafungwa
minisitiri uwamariya avuga ko nubwo kaminuza zigenga ari nyinshi zose zidafite ibibazo bimwe kuko hari nizihagazeho ari nayo mpamvu hari izafunzwe nizigikora
ati uko imyaka yagiye igenda hagiye habaho kudohoka mu bijyanye nimyigishirize hari zimwe ziyandikishije nkimiryango itari iya leta izindi ziba ibigo byubucuruzi iyo watangiye kuba ikigo cyubucuruzi uba ugomba no kubona inyungu ariko ya nyungu yagombye gukomeza izamura ya kaminuza ariko akenshi icyagiye kigaragara za nyungu zakabonetse ahubwo zijya no mu bindi bitari ukuzamura rya reme
igabanuka ryabanyeshuri ryakomeje ikibazo
dr rugengande avuga ko jenoside irangiye hari abantu benshi batashoboye kujya muri kaminuza cyangwa bari barayicikirije bisanze bakeneye kwiga kaminuza kugeza ubwo kaminuza zigenga zasabwaga kwigisha amanywa nijoro
yakomeje ati abo rero nabo basa naho bagabanutse kubera ko ayo mahirwe yo kwiga buri wese yayagize abari barananiwe kwiga barize ubu noneho abantu barimo kujya muri kaminuza ni abantu barimo kurangiza amashuri yisumbuye ntekereza ko ari naho ayo mashuri yagiriye ibibazo bano banyeshuri bagabanutse cyane
ibyo ngo byatumye na porogaramu zimwe zamasomo zisigaramo abanyeshuri nka batanu amashami amwe afungwa burundu
ikibazo cyigabanuka ryabanyeshuri gishimangirwa na minisitiri uwamariya aho cyasonze kaminuza zari zifite imikorere mibi
yakomeje ati inyinshi rero zatangiye gutyo numubare wabanyeshuri ugenda ugabanuka buriya abantu bashakaga kwiga mu myaka yashize ntabwo aribo bacyinjira muri za kaminuza iyo turebye mu mibare dufite uyu munsi umubare wabinjira muri kaminuza uragenda ugabanuka umubare wabanyeshuri wagabanuka waratangiye nubundi utujuje ibisabwa byose noneho bikagenda bisubira inyuma
urebye umubare wabanyeshuri biga mu mashuri abanza uko bagenda bigira hejuru umubare ugenda ugabanuka nko mu 2019 mu mashuri abanza abanyeshuri bari miliyoni 25 mu mashuri yisumbuye ari 732 104 muri kaminuza ari 86 206
yakomeje ati iyo tuvuga ubukungu bushingiye ku bumenyi rero turacyari ku bipimo byo hasi cyane hasi hasi cyane kuko ndebye ku mibare muri kaminuza dufitemo 24 gusa [byabanyeshuri bose]
hakenewe ubufatanye
dr kabera avuga ko hakenewe ubufatanye bwa kaminuza zigenga na leta kuko urebye nko muri ibi bihe bya covid19 ibiganiro byinshi byagiye bireba ku buryo ibigo byazahajwe ningaruka ziki cyorezo byafashwa aho nko mu kigega leta yashyizeho 50 yagiye mu bukerarugendo
ati no mu rwego rwuburezi gufunga amezi arindwi ntabwo ari ikintu cyoroheje aho rwose twifuza ko nka minisiteri yuburezi yareba uko yashyiraho nkikigega cyuburezi nubushakashatsi icyo cyajya cyunganira za kaminuza duke zisagura zigakomeza mu kubaka rya reme ariko cya kigega kaminuza iguye kikaba cyayigoboka
yavuze ko kaminuza zigenga zashinzwe numurava mwinshi ariko covid yaje ihuhura kaminuza nubundi zari zifite ibibazo
yakomeje ati hari icyifuzo tumaze iminsi tuvuga kijyanye no guhabwa abanyeshuri bahabwa buruse yitwa inguzanyo nacyo cyatuma mu byukuri za kaminuza zifite ibibazo zoroherezwa kuko zaba zibonye inkomoko yamafaranga yizewe kuko buriya abanyeshuri tubona bigenga burya hishyura nka 70 cyangwa 60 abandi bishyura nabi nabyo bigatera icyuho mu mikorere ya buri munsi
ni igitekerezo dr rugengande avuga ko gishoboka kuko hari nkamashuri cyangwa amavuriro yashinzwe nimiryango cyangwa amadini bifashwa na leta ikabishyiramo abakozi nibikoresho
avuga ko ariko kaminuza zitakagombye gucungira ku mafaranga yishyurwa nabanyeshuri gusa kuko covid yerekanye ko atari uburyo burambye
minisitiri uwamariya yavuze ko kaminuza zikwiye kurushaho kubahiriza ibyo zisabwa kandi zikanoza imiyoborere nubwo na minisiteri yasanze hari ibyo ikeneye kunoza cyane bijyanye no gutinda gutanga ibyemezo bya kaminuza
yakomeje ati urebye nkindangaburezi (iheruka gufungwa) yatinze kubona ibyemezo bya burundu ari nabyo twemera ko habayeho kurangara ku ruhande rwa minisiteri ku buryo ntabwo byagombaga gufata iriya myaka yose agateganyo ubundi aba ari akigihe gito agateganyo kagakomeza kuba agateganyo kandi iyo ishuri ari agateganyo burya nta nubwo ryemerewe gutanga impamyabumenyi ku banyeshuri
yakomeje agira ati ibyo byo nka minisiteri yuburezi tugomba kubyemera ko habayeho uburangare
kaminuza ya kibungo iheruka gufungwa | 2020-08-14T17:46:03 | https://www.igihe.com/amakuru/u-rwanda/article/ibura-ry-abanyeshuri-imicungire-mibi-bimwe-mu-bibazo-byashegeshe-kaminuza |
wenye ulemavu watakiwa kuchangamkia fursa kwenye bima mbeya yetu
wenye ulemavu watakiwa kuchangamkia fursa kwenye bima
washiriki wa semina kuhusu bima kwa watu wenye ulemavu wa kutokusikia wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mafunzo
← previous story zawadi za sibuka lotto zawafikia wakazi wa mbeya na songwe
next story → maadhimisho ya hija ya utume wa fatima ulimwenguni yahitimishwa kitaifa jijini mbeya | 2018-05-24T00:12:24 | http://www.mbeyayetu.co.tz/wenye-ulemavu-watakiwa-kuchangamkia-fursa-kwenye-bima/ |
forever argi plus in dar es salaam | zoomtanzania
ad id 1451092
tumia #argi+ leo zitakuondolea kabisa uoga na changamoto zote unazo kutana nazo wakati wa faragha usikubali matatizo madogo kama hayo yavunje/kuyumbisha mahusiano yako
ni products asilia na salama kabisa kwa mtumiaji hazina madhara yoyote zimethibitishwa na mashirika makubwa ya afya na chakula duniani
magachiachys@gmailcom
member since 22 jun '15 1 total ads / 1 active ads | 2020-05-30T09:26:15 | https://www.zoomtanzania.com/fitness-beauty-health-services/forever-argi-plus-1451092 |
kesi ya kina dk tenga mahakama yatoa siku 14 upande wa mashtaka kuwasilisha nyaraka mwananchi
kesi ya kina dk tenga mahakama yatoa siku 14 upande wa mashtaka kuwasilisha nyaraka
mahakama ya hakimu mkazi kisutu tanzania imetoa siku 14 kwa upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili vigogo watano wa kampuni ya mawasiliano ya six telecoms limited akiwemo wakili maarufu dk tenga kuhakikisha kuwa unawasilisha nyaraka muhimu mahakama kuu kitengo cha uhujumu uchumi na ufisadi
dar es salaam mahakama ya hakimu mkazi kisutu tanzania imetoa siku 14 kwa upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili vigogo watano wa kampuni ya mawasiliano ya six telecoms limited akiwemo wakili maarufu dk ringo tenga kuhakikisha unawasilisha nyaraka muhimu mahakama kuu kitengo cha uhujumu uchumi na ufisadi
dk tenga ambaye ni mkurugenzi na mwanasheria wa kampuni hiyo na wenzake wanakabiliwa na mashtaka sita likiwemo la kutakatisha fedha na kuisababishia mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano tanzania (tcra) hasara ya dola za marekani 374875122 (sawa na sh8 bilioni )
uamuzi huo umetolewa leo jumatano agosti 28 2019 na hakimu mkazi mkuu wa mahakama hiyo thomas simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa
hakimu simba amesema kwa kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekwisha kamilika hivyo upande wa mashtaka unatakiwa kuhakikisha una kamilisha kazi ya kuwasilisha nyaraka muhimu mahakama kuu ili kesi hiyo iweze kuendelea
baada ya kueleza hayo hakimu simba ameahirisha kesi hiyo hadi septemba 10 2019 itakapotajwa na washtakiwa wamerudishwa rumande kutokana na mashtaka yanayowakabili kutokuwa na dhamana
awali wakili wa serikali mwandamizi wankyo simon alidai upelelezi wa kesi hiyo umeshakamilika na kwamba wanaomba siku 14 ili waweze kukamilisha kazi ya kuwasilisha nyaraka muhimu mahakama kuu
katika kesi ya msingi dk tenga na wenzake wanadai kati ya januari 1 2014 na januari 142016 dar es salaam walitoza malipo ya mawasiliano ya simu za kimataifa chini ya kiwango cha dola za marekani 025 kwa dakika kwa lengo la kujipatia faida
vilevile katika kipindi hicho washitakiwa kwa pamoja wanadaiwa kuisababishia tcra hasara ya dola za marekani 374875122 (sawa na sh8bilioni ) | 2020-04-01T07:13:07 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/1597296-5252148-3t6m2iz/index.html |
tupia macho kichupa kipya cha yusuph teggo coco dilembaa | saluti5
home » muziki » tupia macho kichupa kipya cha yusuph teggo coco dilembaa
itupie macho video huyo ya yusuph teggo ambaye ni mdogo wake na mwimbaji staa wa taarab omar teggo | 2017-08-17T01:48:12 | http://www.saluti5.com/2017/04/tupia-macho-kichupa-kipya-cha-yusuph.html |
mtaa wa tatu sehemu ya 10 | bongolife
mtaa wa tatu sehemu ya 10
*mtaa wa tat ep 10* basi kessy taratibu alimwingiza dudu lake kubwa lenye stamina yani sio mpaka lishikwe au libustiwe ambapo salma kwa mbw
*mtaa wa tat ep 10*
basi kessy taratibu alimwingiza dudu lake kubwa
lenye stamina yani
sio mpaka lishikwe au libustiwe
ambapo salma kwa mbwembwe alikuwa akitikisa matako yake laini huku akighuna kimahaba kulipokea dudu hilo
taratibu mpaka dudu lote lilizama kwenye kitumbua hapo salma akaanza kuonyesha ufundi wake kwa kuzungusha kiuno chake kulikatikia dudu
mmmmhasssssoooooouushiiiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaaahalisikika akilalamika kwa utamu baada ya kukunwa kiarage chake ipasavyomtoto aliinamisha kichwa chake chini kabisa na kujibinua matako yake huku akimpa mauno ya nguvu kessy aliyekuwa anapampu kwa kasi hasa
mmmhahaaaauwiiiiiiiiaaaaaaaaaaaaahmmmmmmmmmmmmmmmmmmhoooooshiiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaah kessy nae alilalamika bila kutarajia kama safari yake ingeishia paleutamu ulikuja kwa ghafla ambapo mtoto hakukoma
aliendelea kulikuna dudu kwa kulikatikia mpaka mwanaume alimwaga bao lake lakini alijua fika bibiye hajamwagahivyo hakumwaga ndani ya kitumbua alichomoa dudu lake na kumwagia nje
mmh baby mbona umemwagia nje mpenzi wangu kwa sauti ya kimahaba alihoji salma
jamaniungelea mtoto peke yako unajuwa mie sio wa kuishi hapa milele kessy akajibu hivyo
ndiyo ningelea peke yangu tena mtoto anayepatikana kwa utamu hivianakuwaje mzuri
acha maneno yako wewe
sasa hutaki au
we unaongea tu
ila mtoto una kitumbua kizuri hadi raha
basi bibiye
aliposifiwa hivyo alitingisha matako yake kwa kumringishia nae aliyapiga makofi kichokozi
aaaah jamani wewe unanipigantakuwa sikupi tenabasi mtoto wakike baada ya kuongea hivyo alijinyanyua na kulibana dudu lililokuwa limelegea kwanye matako yake kisha akaanza kuyatingisha matako yake huku akilibana bana
taratibu dudu lilianza kuvimbaukubwa uliongezeka huku likiendelea mpaka alipoona hawezi tena kulibanabana kwani lilikuwa limedinda barabaralimenyooka kama gobole mpenzinaomba uingizee tenaaa mtoto alipanua tena
yaani yale matundu yote mawili yalionekana wazi
mwanaume hakumcheleweshaaliingiza dudu lake tena ambapo kwa muda huu alipania kumsugua hasa mpaka akome kumshobokea na kumfuata chumbani kwake kessy alienda na salma mpaka chini kabisa bila dudu kuchomokayaani alilala kifudifudi kwa kunyooka kabisa huku kidume akiwa juu yakemiguu yake iliibana miguu na kufanya kama anaivuta kwa chinimikono ilikuja mgongoni na kuanza kumshikashika mpaka matakonikichwa kilikuwa kisogoni huku akimhemea na kuzidi kumsisimuakwenye shingo alianza kuinyonya ambapo alionekana kama anamnongoneza kitu fulani sikioni
taratibu kiuno cha kessy kilianza kucheza
juu chini chini juuyaani ni kiuno pekee kilichokuwa kinacheza hivyoyaani ilikuwa raha hata kuangalia tu jinsi kessy alivyokuwa akimshughulikia bibiye
mikono ya kessy ilimshika salma mabega yake ambapo wakati anamwingiza dudualimvuta mabega yake chini ili dudu lifike kule kwenyewe kwenye utamu madhubuti
aaaaaaaaaaaaaaahbabiiiiiii utaniuaaaaaaaaa babaaaaammmmmmmmmmmhaaaaaaaaaaaishiiiiiiiiiiiinasikia utamuuuuuuuuuuuuuaaaaaaaaaaaaaahrahaaaaaaaaaamwanaume unajua kusugua weweaaaaaaaaaaaaahalilalamika salma ambapo dudu lilizidi kuongeza kasi ya kuingia na kutoka
tukija kitaa cha yombo hafidhi alikuwa amekaa maskani akiosha viatu vya mteja
oyaa eddy kimbia mwamba cheki wale mateja wamekamatwa wanakuja huku
hafidhi akataka kukimbia
wee simama hapohapo si unajifanya kidume wewe unataka kukimbia nini
ilikuwa sauti ya mkwewe ikimtaka asimame
baada hafidhi kuambiwa vile akaona sio mbaya wacha asimame tu kikundi kikafika huku taqawa akimsindikiza kwa teke yule mshikaji aliyemkamata
akaenda chini huku akilia
sasa baba huyo eddy mwenyewe ndio huyumtoto mshenzi sana huyu
taqawa akamsogelea karibu zaidi na kumkunja
wewe ndio pusi unaejifanya kuwatishia watu maisha sio sasa kwa taarifa yako hapa umeingia choo cha kike bwege wewe
hafidhi akatabasamu tu pasipo kuongea chochote mwajuma akaja kuingilia kati kwa kumsihi taqawa amuachie mwenzake
please wee kaka muachie mwenzio
baby embu tulia kwanza
tuonyeshane kazi
wewe si umewapiga hawa wajinga sasa naitaji tufanye kitu
tuandae mechi ya fighting
nikikupiga unahama mtaa huu ukinipiga nitaondoka mimi
hafidhi akaongea hivyo na kumfanya
taqawa acheke kumbe hakuweza kufahamu huyo ndio hafidhi ni kijana hatari sana basi uringo ukaandaliwa saini zikawekwa
wanaume wakaingia kati
wengi walikuwa upande wa taqawa huku upande wa hafidhi akiwepo
pengo na mwajuma tu kuna style
taqawa alikaa na kumkumbusha mbali sana hafidhi ndipo akaweza kumkumbuka taqawa na akajuwa bila shaka baba yake kaandaa watu wa kumsaka yeye
akajisemea kila atakaye ingilia hili swala lazima afe akiwa kwenye dimbwi la mawazo akashtukia akipigwa mateke ya uso tena faster faster na kupigwa la kifua
mwanaume akayumba na kwenda chini
duhuu jamaa anapiga mateke kama vann damme ehee
hafidhi baada kudondoka chini akajishika mdomoni kuangalia mkononi damu
akapandisha hasira na kuinuka pale chini kwa style ya pekee kabisa
ebwanaee jamaa kainukaje sijui mwanaume akakaa style ya chyko na kumwita
taqawa kwa madoido
nae akamdharau akaenda kwa mwendo wa kibabe zaidi kufika akafanya kama kupiga ngumi kama mbili za haraka haraka
hafidhi akarudi nyuma kidogo
katika stence ya kuzikwepa
ikawa kila taqawa akipiga ngumi au mateke
mwenzake anapanchi na kukwepa
tu hakutaka kujionyesha sana
mbona eddy hapigi ngumi
anakwepa tu kwani vipi
mi sijui labda master wake kamfundisha kukwepa kupiga ngumi
bado hajajuwa
huku nnje kwa watizamaji wa show ile ya bure kila mmoja akasema lake
taqawa akachukia zaidi kwa kufanywa kama mtoto yani kila akipiga zinatolewa tu
akachenji style na kuja kivingine zaidi
ikawa anapiga style za fighting chicken
ni mapigo ya kuku
hafidhi akajikuta anakwanguliwa usoni
na kucha za taqawa huku tshirt yake ikichanwa vibaya mno
damu zikamtoka usoni na sehemu za mabegani
akaona isiwe shida akakimbia huku akiacha vicheko na kuzomewa
huyoo anakimbia huyoo pyee eti vikarate vyako vya kucheki chideo unataka kupigana na mtu spesho
katizame tena jack chen anafanya nini
hahahahaha
ilikuwa kauli ya aisha na mwenzake
binafsi mwajuma aliweza kuchukia
kupita kiasi
hafidhi baada kukimbia akaingia chumbani kwake ajabu maumivu hakuweza kuyasikia tena akajicheki majeraha hana
akazidi kujikagua
kila sehemu ya mwili wake hakuona kitu akavuwa nguo zote na kujitizama
hakuweza kuona kitu
akaanza kucheka tu na kujiuliza yeye ni nani
hahaha mimi ni nani
nauliza mimi ni nani
akapiga kelele kujiuliza hivyo na kujibwaga kitandani usingizi ukampitia
kesho yake asubuhi na mapema tukija pande za mji mwema tunamuona kijana
boyka akiwa anaongea na simu
ndio boss kuhusu hilo swala haina shida kabisa huyo
binti nimeweza kumuona yupo maeneo ya mtaa wa tatu
ndio yeye kabisa sema anaonekana yuko mzima wa hafya anafanya biashara ya mama ntilie pale
ok sasa naitaji vijana kama wanne hivi na gari aina ya noah tuweze kumteka vizuri
sauti ya upande wa pili haikuweza kusikika zaidi ya kumsikia boyka akiongea tu
kisha akakata simu na kuondoka zake
ghafla mwanaume akachumpa baada kupigiwa honi kali ya gari huku sauti ya muungurumo wa gari ile ukisikika
na kufunga bleak
dereva akashuka akiwa na hasira akamfata boyka na kumsukumiza huku akifoka
mshenzi mkubwa nyau mweusi wee
mtoto wa malaya pumbavu zako
yani bange zako unataka kunipa kesi ya kuuwa hapaoghyalaaa
dereva akatoa sauti ya kilio baada kupigwa ngumi nzito ya mdomo aache kuchonga
damu zikamtoka kabla hajakaa sawa
akasindikizwa na teke
akaenda chini hakika kakutana na chuma cha pua akaitaji kujibu mapigo
akainuka na kurusha ngumi mbili tatu akadakwa na kupigwa kichwa kitu kikalia tihii kule
ndani ya gari ile kulikuwa na mabinti watatu hapa namzungumzia bibiye
mariam yusra vivian
wao walikuwa kimyaa wakitizama jinsi dereva wao akipewa kichapo
yusra akataka kushuka
embu tulia mama niende mimi huyu mtu anaonekana yuko juu zaidi yako
mariam akashuka na kumfata boyka
wakati huo alikuwa anamchimba biti yule dereva
pumbavu zako kuanzia leo uwe na adabu
kwanza urudi tena veta
nae akashtukia akipigwa mateke na ngumi za haraka haraka akashindwa hata kujizuia
mariam alikuwa ni mwepesi
katika kupiga free dongchar
mapigo hatali sana kutoka kule nchini filipinos
boyka akadondoka chini kisha
mariam akamshika dereva na kurudi zao kwenye gari
vivian akakamata usukani na kuondoka zao
boyka hakuweza kuamini
aisee kapigwa na mwanamke mbona dharau
akajiinua pale chini kwa mwendo wa kuchechemea akaondoka zake
yapata majira ya saa nne usiku
taqawa akiwa chumbani kwake amelala akasikia mlango wake kubishwa hodi basi akainuka na kwenda kuufungua na kukutana na sura ya binti mmoja hivi
wewe ndio ulimpiga eddy ile
mchana
ndio mimi vipi amekuja kusema kwako au
sio amekuja kusema kanipa ujumbe huu
taqawa akakabidhiwa bahasha akaifungua na kuisoma ile barua iliyokuwa ndani na kuuliza
kwani uwanja wa shule upo wapi pande hizi
upo kulee bondeni kama vipi twende nikupeleke
mwanaume akarudi chumbani kwake na kutoka huku akisema haya twenzetu
kwa upande wa kijana kessy alikuwa yupo chumbani na bibiye
zay wakipiga story mbili tatu
sasa unataka kufanya nini jamani
zay alianza kuleta pozi la kichokozi
kama hajui kinachoendelea
tena alihoji kwa sauti ya kumbembeleza hasa
tulia bibiye ngoja nipime mafuta kwanza tusihangaike kusonga na safari wakati wese litakata njianialiongea hivyo kessy kimafumbo ambapo zay alielewamuda huo walikuwa wamekaribiana sana
kiasi kwambakila mmoja mwili wake ulikuwa ukichemka kwa joto la mahaba
kwa aibu bibiye alijificha kifuani kwa kessy ambapo nae alimkumbatia kisawasawa na kuanza kuyashikashika matako yake akipandisha juu kama anataka kuyapandisha na kuyashusha chinimpaka bibiye alikuwa akitabasamu kwani kuna raha utamu alihisi
sio kwamba alikuwa mjinga kujifanya kama ndio mara yake ya kwanza kufanya hayo kwa jinsi aibu ilivyomtawalaakiwa amemkumbatia kessy aliishusha mikono yake na kuipenyeza kwenye shati kisha kuipandisha juuambapo ilikuwa ikipita ndani ya shati alilovaa kessy mwanaume ndani hakuvaa vesti hivyo bibiye alikuwa hura hasavidole vyake viliwasili kwenye kitovu na kukishikashikahakukaa sana eneo hilo alipanda juu mpaka kwenye chuchu za kessykila mkono ulishika chuchu yakeakaanza kuziminyaminya kimahaba ambapo kessy wawatu alianza kusisimka japo hakutoa mguno wowote
hapo ndipo waliinua vichwa na kutazamana zay hakuwa na aibu hata chembe kwani alijua kuwa hawatapoteza muda kurudisha vichwa vyao chini taratibu bibiye ndiye aliyekuwa mchokozialiusogeza mdomo wake kuufuata mdomo wa kessy denda lilianza kutawala ambapo wote wawili walishiriki kikamilifu huku wakipapasana sehemu za miili yao
tayari mkono wa bibiye ulikuwa ushafika kwenye ikulu na kumtoa askari kipara nje ya nyumba yenye mlango aina ya zipukweli kessy alidindisha hasa dudu lake ambapo alikuwa akilishikashika kichwa chake taratibu kimahabanaye kessy mkono wake ulishafika ikulu kwa bibiye
taratibu dole lake lilianza kupenya kwenye kitumbua chake na kukisaka kiarageaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaasssssssssssaaaaaaaaaahmmmmmmmmmhalilalamika zay tena sauti nyingine akiongeza ili kumkoleza nyege alimtamkia maneno ya kupandisha nyege ambapo ni kama alikuwa anaitwa aanze shughuli
alijiandaa yeye kama yeye kisaikolojiahivyo haikuwa kazi kwake kuwa tayari kwa ajili ya kusuguana
mpenzi nikwambie kituliongea kwa sauti ya kuzidiwa kimahaba mtoto wa watu
niambie mpenzialijibu kessy kwa sauti nzito huku akimwangalia usoni mtoto huyo aliyekuwa na sura fulani ya upole iliyokwenda kinyume na mwili wake
twende paleeealionyesha kwa kidole cha mkono mahali alipopataka waende kwa ajili ya hiyo shughuli ambapo kessy hakuwa na kipingamizialiiweka kwenye akili kuwa mchezaji hachagui kiwanjakwahiyo kwa tathmini za harakaalianza kumwona bibiye sio mjuvi sana wa hayo mambo
wakati wanaelekea kwenye hiyo mezamtoto alitangulia mbelena matako yake ya wastanialiyatikisa makusudi ili kumwongezea muwashawasha wa kusuguanampaka wakati huo wote walibaki kama walivyozaliwawalishasaulana kila kitududu la kessy lilinyooka kama askari wa nchi ya khuba akiwa gwaride
basi mtoto huyu jamani alivyo na makusudi nyegeshialipofika kwenye meza kwani alipanda juu basialichokifanya alishika meza kwa mikono yake miwili na kuinama ambapo aliyaacha matako yake wazi huku mpododo na kitumbua kikionekana laivumtoto alikibinua kiasi kwamba hakuwa na haja ya kuuliza lakini alipomfuata kwa karibu huku akiwa ameshikilia dudu lake kwa lengo la kulichomeka
itaendeleaa
bongolife mtaa wa tatu sehemu ya 10
https//wwwbongolivescom/2018/12/mtaawatatusehemuya10html | 2019-11-20T20:01:23 | https://www.bongolives.com/2018/12/mtaa-wa-tatu-sehemu-ya-10.html |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.