text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
vijimambo dc mtaturu awaagiza viongozi wa vijiji vyote kusoma mapato na matumizi ndani ya wiki moja
2017-03-27T00:42:52
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/10/dc-mtaturu-awaagiza-viongozi-wa-vijiji.html
icj sets closure date for hearings in kenyasomalia maritime dispute | knatv ugandas cabinet endorses adoption of kiswahili mbunge ataka sheria iundwe dhidi ya wanaotoa ushuzi safarini kwa nini cia haikugundua shambulio la septemba 11 lililolenga majengo 2 familia ya aliyeliwa na fisi yataka fidia kutoka kwa serikali kwa mtaji wa kuku wa sh10000 hujipatia sh20000 kila mwezi first batch of almost 200 nigerians arrive in lagos from s jaguar aibua jipya lingine nchini kenya vijana wampongeza wazee roho juu kampuni yaingia hatiani baada ya mfanyakazi wake kufariki wakati akifanya mapenzi raia wa nigeria 188 wawasili jijini lagos kutoka afrika kusini unmasked here are photos of the man enjoying jacque maribes warmth shock as a witness in rutos murder plot is arrested by familia ya robert mugabe yakasirishwa na mipango ya mazishi zimbabwe inayokwenda ill never forget that night victor kinuthia on being trolled for mazishi ya mugabe familia yake na serikali vyaingia kwenye mvutano mkali kevin hart apata ajali mbaya ya gari meddie kagere aongoza kwa upachikaji mabao kuelekea qatar 2022 hatua hii idadi vifo vya ajali ya moto morogoro yaongezeka / mwengine afariki waliokamatwa wakifanya biashara ya ngono wahukumiwa jela pamoja na wateja wao home east africa news icj sets closure date for hearings in kenyasomalia maritime dispute icj postpones kenyasomalia case to allow nairobi seek new legal team previous articleyaelezwa nigeria yawaondosha zaidi ya raia wake 600 nchini afrika kusini kutokana na machufuko ya xenophobia next articlearabs abroad the politician and the inventor | middle east hong kong airport reopens as china fumes over protests | news hells gate lango la jehanamu lafungwa baada ya watalii kufariki illfated helicopter flew without navigation facilities ein sondertribunal für isstraftäter im irak | deutschland | dw when the dgame is so strong mombasa slay queens nearly kill each fighting kna tv july 17 2019 world12149 swahili news5102 uganda news1254 tanzania news884 somalia's alshabaab militants impose new dress code on elders
2019-09-15T22:50:37
https://knatv.co.ke/icj-sets-closure-date-for-hearings-in-kenya-somalia-maritime-dispute/
japan k hashimoto profile with news career statistics and history soccerway matches of k hashimoto 28 t enamoto 27 k kakoi 34 y maruyama 26 m morishige 28 s muroya 19 m okazaki 17 y tokunaga 32 m yamada 21 t yanagi 18 k yoshimoto 31 n hanyu 36 k hashimoto 22 k higashi 25 t hiraoka 34 y kajiyama 30 h kawano 26 s kono 21 h nozawa 21 y oiji 17 h takahashi 28 s tanabe 25 insoo yu 28 n burns 27 muriqui 29 y hayashi 26 s hirayama 30 r maeda 34 r matsuoka 17 francisco sandaza 31 k yajima
2016-05-01T02:36:57
http://www.soccerway.com/players/kento-hashimoto/156941/
jiandikishe sasa kushiriki maonesho ya sita ya vito jijini arusha | leohub blog you are herehome > tangazo > jiandikishe sasa kushiriki maonesho ya sita ya vito jijini arusha tangazo jiandikishe sasa kushiriki maonesho ya sita ya vito jijini arusha april 15 2017 leohubblog mwandishi michuzi blog kutoka michuzi blog rais magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya askari 8 waliouawa kibiti pwanimahakama yatoa amri ya kumkamata agnes masogange related posts tiza ya joto la asubuhi la redio 937 efm january10 january 9 2017 leohubblog mwandishi michuzi blog kutoka michuzi blog tembelea chanzo related tutembelee facebook tutembelee facebook
2017-05-25T02:59:24
http://www.leohub.ac.tz/2017/04/jiandikishe-sasa-kushiriki-maonesho-ya-sita-ya-vito-jijini-arusha/
download wanafunzi wakifanya mapenzi bongo mp4 3gp | tvmack download wanafunzi wakifanya mapenzi bongo play in 3gp mp4 flv 3gpp mp3 available in 240p 360p 720p 1080p video formats free download and streaming wanafunzi wakifanya mapenzi bongo on your mobile phone or pc/desktop wanafunzi wakifanya mapenzi bongo wanafunzi wakifanya mapenzi bongo3gp wanafunzi wakifanya mapenzi bongomp4 wanafunzi wakifanya mapenzi bongomp3 format wanafunzi wakifanya mapenzi bongo download wanafunzi wafanya mapenzi darasani541 › 22201 › milionea t top 10 ya wasanii wa bongo wakifanya mapenzi hadharani231 › 12456 › kaka masab wanafunzi wakifanya mapenzi darasani055 › 181010 › g machine wanafunzi wakutwa class wakifanya mapenzi live717 › 15265 › masshele t wakifanya mapenzi chooni048 › 7712 › xvideo bon wanafunzi wa vyuo vikuu wakifanya yao dar059 › 21250 › bongo hits wanafunzi wa chuo mwanza wakifanya mapenzi hosteli402 › 76597 › sajex chan wanafunzi kutombana bongo429 › 148497 › utamuoffic mapenzi bongo101 › 3091 › warioba ki live wakifanya mapenzi211 › 96502 › official k wanafunzi wa chuo mwanza wakifanya mapenzi hosteli006 › 599791 › thomas fid fumanizi live wakutwa wakifanya mapenzi341 › 325 › ngozy tv wanafunzi wanaswa wakifanya mapenzi225 › 763 › online vid wakifanya mapenzi live bila chenga116 › 304061 › michapiyo wanafunzi wachuo wafanya ngono holter016 › 78606 › sellndeget wanafunzi wa kiarabu waarabu wanaswa wakifanya ngono kichakani ni aibu158 › 3919 › bongo mzuk wanafunzi wakifanya mapenzi darasani012 › 4876 › ayo boy +18 dunia imekwisha wanafunzi wasagana016 › 11581 › 24seven tv video ya wanafunzi wachuo wakisagana052 › 8721 › burudani z aibuwakutwa wakifanya ngono mchana kweupe119 › 20284 › kitaa tv
2018-12-10T21:09:27
http://movies.tvmack.com/search/wanafunzi-wakifanya-mapenzi-bongo.html
meneja wa nssf na dereva wake waliokufa kwa ajali vwawa mbozi waagwa | mwanafasihi mahiri mabaki ya gari aina ya land cruiser mali ya shirika la hifadhi ya jamii nssf baada ya kutokea ajali eneo la old vwawa wilayani mbozi jana asubuhi mke wa marehemu said mkumba akisaidiwa baada ya kushuhudia ajali iliyosababisha kifo cha mumewe gari la nssf lililowabeba kaimu meneja na dereva wake baada ya kugongana uso kwa uso la lori hivi ndivyo ilivyokuwa jana katika eneo la ajali baada ya dereva wa lori kunasuliwa kwenye chases alikobanwa baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu mjini vwawa wilayani mbozi wakiomba dua kabla ya kuanza kwa safari ya kuwasindikiza marehemu waliofariki katika ajali magari yaliyobeba miili ya marehemu yakijiandaa kwa safari ya kuelekea chalinze na dar es salaam kwa ajili ya mazishi buriani kwa heri ya kuonana gari lililobeba mwili wa kaimu meneja wa nssf said mkumba likianza safari baadhi ya wakazi wa mjini vwawa wakitawanyika baada ya kuaga miili ya waliokufa kwa ajali miili ya wafanyakazi wa shirika la hifadhi ya jamii(nssf) wilayani mbozi mkoani mbeya imeagwa na kusafirishwa leo kuelekea mkoa wa pwani na dar es salaam kwa mujibu wa ndugu wa marehemu hao ni kwamba mwili wa said mkumba ambaye alikuwa kaimu meneja wa nssf wilayani mbozi unasafirishwa kuelekea mbagala jijini dar es salaam huku mwili wa aliyekuwa dereva wa gari hilo mbaraka kiwamba unasafirishwa kuelekea chalinze mkoani pwani baadhi ya wakai wa mjini vwawa walishiriki kuaga miili ya marehemu hao katika mtaa wa ilolo na ichenjezya majira ya saa sita mchana ajali hiyo ilitokea jana mnamo majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya old vwawa kwenye mteremko wa barabara ya mbeya tunduma kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba chanzo cha ajali hiyo kilitokana na lori la mafuta ambalo lilikuwa linaelekea mjini tunduma kugongana uso kwa uso la landcruiser ya nssf ambapo mbele yake kulikuwa na magari yaliyokuwa yakisindikiza harusi taarifa zinaeleza kuwa land cruiser ilikuwa inatokea tunduma kuelekea vwawa ilhali lori lilikuwa linaelekea tunduma nyuma ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa harusi ambao ulikuwa unaelekea njia ya tunduma inaelezwa kuwa dereva wa lori aliyefahamika kwa jina la maduhu aliamua kuovateki msafara wa magari ya harusi ndipo alipokutana uso kwa uso na landcruiser ambayo ilikuwa katika upande wake ikielekea mjini vwawa na kusababisha vifo vya mkumba na kiwamba ambao wapoteza maisha papo hapo mara baada ya kugongana uso kwa uso na landcruiser lori hilo lililobeba mafuta aina ya petrol lilipinduka bondeni upande wa kulia ambapo dereva wake alibanwa kwenye chesesi ya gari hilo na kuchomolewa baada ya masaa matano tangu kutokea kwa ajali hiyo
2018-02-23T06:30:57
http://mkwinda.blogspot.com/2014/11/meneja-wa-nssf-na-dereva-wake-waliokufa.html
majina ya mapapa[hariri | hariri chanzo] mkuu wa vatikano[hariri | hariri chanzo] cheo cha papa penginepo[hariri | hariri chanzo] ↑ jarrett bede (1913) papal arbitration catholic encyclopedia new york robert appleton company viongozi wa kikristo ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 7 septemba 2017 saa 0937
2017-12-15T16:07:08
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mapapa
man city wamtaka isco kiungo wa real madrid isco ametajwa kuwa mmoja ya wachezaji ambao kocha wa manchester city pep guardiola anataka kuwasajili kwenye kikosi chake isco alijiunga na madrid mwaka 2013 ameshindwa kujihakikishia nafasi katika klabu hiyo huku akianza katika michezo 10 pekee kwenye michuano yote walioshiriki city ambao wamekuwa wakimtaka nyota huyo tangu mwaka 2012 watatumia nafasi ya kukosa namba kwenye kikosi cha los brancos ambapo kwa sasa amesitisha mazungumzo ya kusaini mkataba mpya klabuni hapo barcelona kumnasa ivanovic klabu ya barcelona imeendeleza jitihada zake za kutafuta beki wa kulia na sasa wamehamishia nguvu kwa wa chelsea branislav ivanovic barcelona imekua ikiwafuatilia mabeki mbali mbali kama hector bellerin ambaye alisaini mkataba mpya na arsenal huku srna nae akigoma kusaini kutokana maslahi madogo ivanovic anategemewa kutimka chelsea katika dirisha ili dogo la usajili kutokana na kukosa nafasi kwenye kikosi cha kocha antonio conte chicharito kujiunga na chelsea mshambuliaji wa timu ya bayern leverkusen ya ujerumani javier hernandez 'chicharito' anahusishwa na dili la kujiunga na chelsea katika dirisha hili la usajili chicharito alitimka manchester united majira ya joto na kujiunga na leverkusen amekuwa katika kiwango bora kilichowavutia chelsea kuhitaji huduma yake leverkusen wapo tayari kumuachia chicharito kwa ada ya uhamisho isiopungua euro milioni 35 vallejo kurejea madrid beki wa real madrid aliye kwa mkopo katika klabu ya eintracht franfurt jesus vallejo anatarajiwa kurejea klabuni hapo baada ya mkopo kuisha huku pepe akitaka kutimka baada ya mkataba wake kwisha vallejo alitazamiwa kuongeza mkataba wa mwaka mmoja zaidi wa mkopo ambapo uwezo wake alionyesha akiwa liverkusen miamba ya hispania wamekataa ofa ya kuongeza mwaka mwingine kwa mkopo na hivyo kutegemea kurejea juni 30 vallejo anategemewa kumrithi pepe ambae amepata ofa kutoka klabu mbalimbali kutoka china huku mshahara wa euro milioni 10 kwa mwaka ukimvutia zaidi psg wamuandalia dau coutinho liverpool ipo katika wakati mgumu wa kumzuia kiungo wake fundi phillipe coutinho baada ya matajiri wa ufaransa timu ya paris saint germain kuonesha nia ya kutaka kumsajili coutinho yupo majeruhi tangu alipo umia katika mechi dhidi ya sundeland katika ushindi wa mabao 20 psg wapo mbioni kupeleka dau la paundi milioni 44 ili kuishawishi liverpool kumuachia kiungo huyo psg wameungana na timu za barcelona na real madrid katika kinyang'anyiro hicho cha kumpata nyota huyo
2017-01-23T00:23:31
http://boiplus.blogspot.com/2017/01/tetesi-za-usajili-barani-ulaya.html
diary yangu kitanda hakizai haramu22 kitanda hakizai haramu22 dereva akiwa kabadilika alimuendea mama yake na kusema 'hasa wewenakutafuta sanalazima nikufundishe adabu unadiriki kusema uongo kuwa mimi sio damu ya huyu hawara wakomzandiki mkubwa wewe mara ngapi mumekuwa nayemimi nawaona tumimi sitaki uchafu huo nimechokasasa nakumaliza wewe kwanzaakawa sasa anamsogelea mama yake nisamehe mwanangu nitasema kila kituusinitese usiniue mimi ni mama yakoakasema sasa akipiga magoti huku anatetemeka umeniuzini lazima nikufundishe adabuwewe na mwenzako ni kwanini mnasema mimi sio damu halali ya bwana wakokwaniniakasema sasa akiwa keshamshika mama yake na kumuinua juu na anataka kumbamiza chinimama huyu ana matatizo ya presha na kama hali hiyo itazidi anaweza kuathirika vibaya sanana kama atarushwa kama walivyorushwa wengine sizani kama anaweza kuhimili baba wa soldier akaliona hili akajua asipofanya jambo mke wa marehemu watamsahau akajitutumua na kukaa vyema akasema kwa sauti nitasema kila kitu mwanangunitaitoa siri yote ya baba yakonitasema kila kitu muachie mama yako utamuua huyo ni mama yakona mimi nitasema kila kitutafadhaliakasema mzee haya waambie ukweli simuachiii huyu mtu mpaka usema ukweli wotekuwa mimi ni damu yako kuwa wewe na mama ni wapenzi kuwa mimi ni haki sawa na familia hii ongea kila kitu haya subiria niongeeakasema mzee ukumbuke haya yote yanasimuliwa na baba yake soldier na kwa jinsi mzee alivyozidi kuongea ilifika mahali dereva akawa anabadilika kidogo kidogo kwani kwa muda wote huo alikuwa bado kamuinua mama yake hewani akitaka kumbamiza chini lakini kila muda ulivyozidi kwenda dereva naye akawa kama anaanza kuishiwa nguvu ikafika muda dereva akachuchumaamzee anaendelea kuongea huku mama yake dereva kainuliwa juu ikafikia muda dereva akakaa mkao wa kukaamzee alikuwa bado anaongea na baadae akamshusha mama yake na kumshikilia kama anataka kumtia kabarina mzee anaongea na wengi walikuwa wakimsikiliza mzee hawakuwa na mawazo y ahuy mtu tena na ilipofika sehemu hiyo tuliyoishia sehemu iliyopita ghafla dereva akaporomoka chinina mama yake naye akamfuatia na wote wakawa wamelala sakafuni kimiaah kitendo kile kiliwafanya wote waliokuwemo humo ndani kusimama kwa uwoga na wengi waliangalia usawa wa mlango tayari kukimbia dereva na mama yake sasa walikuwa wamelala sakafuni mama kalala kichwa kaweka kufuani kwa mwanae wapo kimia kabisa hebu waangalieni hao watu kama wapo sawa akasema yule mzee mualikwa akiwa karibu na mlango alikuwa tayari anataka kukimbilia nje na ni nani angewasogelea kila mmoja alitoa jicho la uwoga na aliyeweza kusogea pale baada ya kupita dakika chache ni docta docta kwa tahadhari akawasogelea na kuanza kuwakagua na alipoona kuna usalama akaanza kuwapima mapigo ya moyo na baadae akasema wapo sawanaona walipoteza fahamu kidogo lakini naona wameshazindukanawapo sawaakasema docta 'docta una uhakika maana hayo sio mambo ya hospitali yana wenyewe hayo'akasema mzee na mara dereva akafungua macho yake na kwa haraka akakurupuka na kumsukuma mama yake ambaye alikuwa bado hajazindukana vyema na kwa haraka akasimama alikuwa kama mtu aliyeshtuliwa kwenye usingizi na ndoto mbaya akawa sasa anaangalia huku na kule kwa kitendo kile cha kuzimama kwa haraka wengine walishafika mlangoni wakikimbia kutaka kutoka nje ambaye hakuweza kusimama na kusogea pale alipo alikuwa baba yake soldier dereva akili ikamtulia akaangaza macho na kushangaa kuona watu wanamkodolea macho akatikisa kichwa na kusema 'kumetokea nini jamani akauliza hakuna aliyemjibu watu walikuwa na wasiwasi huenda jamaa anaweza akaanza makashi kashi mengina wakaishia kuvunjwa viuno na mbavuna dereva alipoona watu wapo kimia wanamuangalia tu naye akaanza kuingiwa na wasi wasi na katika kuangaza huku na kule macho yakatua kwa mama yake alipomuona mama yake kalala sakafuni akamsogelea kwa haraka na kusema 'mama nini tena kumetokea nini jamani mama kafanya ninina mama umekujaunafanyasasa akaanza kukumbuka na kushika kichwa halafu akasema sasa mama kwanini ulikuja huku nilikuambia haya uniachie mimi'akasema na kwa muda huo mama yake akawa naye akaangaza macho huku na kule na akili ilipokaa sasa akazizoa zoa na kusimama akawa anataka kuondoka mama tulia kwanza haujawa sawa unaona unavyo yumba yumbaakasema dereve 'tuondoke twende zetu nyumbani'akasema mama yake akimshika mwanae mkono na watu walipoona kuna amani ikawa sasa kuangalianana hapo ikaonekana hali ya baba yake dereva haipo sawa 'docta hali ya mzee sio nzuri tufanyaje'ilikuwa kauli ya soldier na docta akamsogelea baba yake soldier na kuanza huduma ya kwanza mzee akawa analalamika maumivu na docta akasema 'huyu inabidi afikishwe hospitalini kwa haraka yawezekana kuna athari ndani kwa ndani'akasema docta 'sawa mimi nitamchukua kwenye gari langu'akasema dereva 'wewe mimi sikuamini ukija kutusweka kwenye makorongohapana tutatafuta usafiri mwingine'akasema soldier 'kwanini niwasweke kwenye makorongo mimi ni dereva nina leseniakasema dereva akionyesha uso wa kushangaa hakuna muda wa kubishana hapa muhimu mgonjwa afikishwe hospitaliniakasema docta hatimaye mzee akabebwa na kuingizwa kwenye gari haraka akafikishwa hosp na ikawa mwisho wa kikao hicho kwa siku hiyo zikapita siku mbili hali ya mzee ikawa inaendelea kuwa mbaya na siku ya tatu taarifa zikaja baba anataka kuongea na soldier na dereva na wote wawili wakafika harala mbele ya mzee akiwa kalala kitandaniakasema 'wanangu nimewaiteninajua kuumwa sio kufa lakini pia kuumwa ni dalili ya kuwa huenda umauti umekaribia mengine ni majaliwa ya munguakaanza kuongea mzee usiwe na shaja utapona haina haja ya kupoteza matumainiakasema dereva 'nimewaiteni kwa jambo moja siku ile kila jambo liliwekwa hadharani hakuna utata tena na yaliyopita naomba yapitemjua sasa nyie ni ndugu hakuna mjadala kama rafiki yangu angelikuwepo hai hili lisingelikuwepo lakini kwa hayupo nimebakia mimimimi ndiye baba yenu wote naombe mlielewe hivyo hamna shida akasema dereva na soldier akatikisa kichwa tu 'sasa nawaombeni jambo moja kwanza kuhakikisha familia ipo kitu kimoja ondoeni tofauti zenu jueni kuwa nyie ni damu ya baba mmoja ndio yaliyotokea yalitokea isivyo stahiki lakini mkumbuke mambo mengine yanaweza yakawafanya watu wakapokea mapokea ambayo kwa wengine yanaweza kuwa ni mshangaohamjui ni jinsi gani hayo yalitokea lakinitumuombe mungu atusamehe tuakasema mzee mimi nakuomba utulize kichwa chakouangalia afya yakohaya mengine hayana msingiakasema soldier ni kweli kabisa mzeeakasema dereva pili fanyeni jitihada mama zenu warejee ile hali yao ya zamani mnajua akina mama zenu kipindi cha awali walikuwa kama mapacha wanaume hali kadhalika sasa nyie fanyeni hivyo hivyo muishi kama mapacha nawaombeni sana msahauni yaliyopitaakasema baba hayo yaache kwanzaakasema soldier usijali mzee muhimu ni afya yako akasema dereva na jingine naona ni la tatu eeh soldier fanya mpango mkeo arudi najua kaondoka kwa hasira lakini nimefurahi kuwa mtoto hakutaka kumucha kampenda mtoto kuonyesha kuwa ni wake nilijua atamkataa'akatulia 'sasa atamkataa wakati ni mtoto wakeakasema dereva una uhakika gani kuwa ni mtoto wake akauliza soldier uhakika upi tena kama sio mtoto wake ni wa naniunaona anavyofanana na wewe lakini mimi sijui kinachonikwanza ni jinsi gani mke awe na roho ya namna hiyokutupa mtotohivi nyie mnalionaje hilo yawezekana kweliakatulia soldier akaonekana kukunja uso lakini hakusema jambo hayo tuyaacheni vijana wangu mkitaka kuchokonoa chokonoa mtafikia mahali hamtaelewana na lengo langu ni nyie wote muelewane najua kuna sintofahamu nyingi lakini akasema baba na dereva akamkatiza kwa kusema sawa baba tumekuelewa lakini ni muhimu kujua huyo mtoto ni wa nani haya tusema mama ni mke wa bro hapalakini baba yake ni nani akasema dereva kwa maelezo ya baba wewe ulisema baba yake ni mzee auusitake kupindisha pindisha maneno wewe subiria mzee apone utaniambia ukweli wote na kama umezua jambo utaishai jela nakuhakikishia hilositajali udugu hapa umenisikia akasema soldier akimkazia macho dereva na dereva akatabasamu akibenua mdomokwa dharau bro usiwe na shaka na hiloila kwa hilo ndivyo nilivyoambiwalakini hata hivyo ni nani kakuambia kuwa nilisema hivyoakasema dereva akionyesha kushangaa na kugeuka kumuangalia baba yake na nanihahahaulifanya hivyo kumkomoa baba si ndio ili upate urithi ausasa utapambana na mimiumenisikia vyema akasema soldier na dereva akamuangalia baba yao pale kitandani halafu akasema tumuache mzee kwanza apone najua yeye ana majibu rahisi lakini mimi sikumbuki kuongea kitu kama hichombele yakoakasema uliongea na mzee ukimshinikiza ili akupatie urithi na kukuandikia hati ya urithihayo uliyafanya kwa siri lakini landa pale alipokuwa anaongea baba wewe hukuwa wewe nasikia ikiwa hali kama hiyo hujielewi lakini kwangu utanielewaakataka kuendelea kuongea lakini baba akawa anamzuia kwa mkono kuwa asiendelee kuongea brohebu kwanza hayo tuyaacheyatafikia muda wake tatizo hunijuiutakuja kunijua kuwa mimi sio mtu wa kutishiwa nyaulakini hayo tuyaache akasema tutaonaakasema soldier vijanawatoto mbona mnanikatisha tamaa kabisamumenielewa nilichowaitia wasiwasi wangu ni kuwa nikiondoka huku nyuma mnaweza kuanzisha vurugu hilo ndio sitaki mimi mnanisikia hebu kwanza yafanyieni kazi hayo niliyowamambia yakikaa sawa muone maajabu yake hayo mengine yatajileta yenyewena mniombeee mungu nipone nitawaambia kila kitukuna mambo mengi hayajaka sawa lakini hata mimi sijaweza kuwa na uhakika nayosasa nawaombeni mnisaidie kwa hayo niliyowaambia ili moyo wangu uwe na amaniakatulia sawa mzeewakasema kwa pamoja mzee mungu akujalie upone maana tunakuhitajia sanaakasema dereva hilo ni sawaili upate mtetezi wakoakasema soldier sio hivyo bro wewe hutaki mzee apone akauliza mimi sitaki au wewe ndiye chanzo cha yote haya hebu jiulize isingelikua wewe baba angekuwa hapo kitandaniakasema soldier kwani mimi nimemfanya nini mzeekwani mimi ndiye niliyemuumizamimi mpaka sasa sijajua chanzo cha mzee kuumua hiviakasema dereva basi utajua tunimeshafungua kesi rb yako ninayo hapaakasema soldier na mara mlangoni akaonekana mama akija na chakula cha mgonjwa na wote wakatulia kimia hadi pale mama aliposogea karibu yako kwa nje kulikuwa na watu wengine wanasubiria waingielakini yaonekana walikuwa wakiogopa kuingia ni nani hao wapo huko nje si mumekuja nao mbona hawataki kuingia ndani akauliza mzee kuna ugeni akasema mama akionyesha uso usio na furaha na wote mle ndani wakageukia mlangoni kuuona huo ugeni isipokuwa mama ambaye alikuwa akimuandalia mgonjwa chakula nb ni akina nani hao wazo la leo inapofikia swala la ugonjwa inabidi mambo mengine yashaulike hata kama kulikuwa na ugomvi hata kama kulikuwa na uaduiinabidi wote waangalia matatizo ya ugonjwa kwani mgonjwa anahitajia faraja anahitajia huduma na kukiendelea na sintofahamu inaweza ikawa sababu ya kumuongezea mgonjwa ugonjwa au kuzua magonjwa mengine tuweni na moyo wa huruma kwa wagonjwa wetu hata kama ni maadui zetu
2018-01-18T00:01:02
http://miram3.blogspot.com/2017/03/kitanda-hakizai-haramu-22.html
u heard majibu ya diamond juu ya mwanaye tiffa kuolewa na mtoto wa alikiba millardayocom video nimekuwekea hapa performance ya diamond kwenye tuzo za mtvmama2016 south afrika itazame hapa video ipo hapa full performance ya alikiba kwenye steji ya fiesta2016 dar es salaam tanzania tazama hapa ← previous story kanye west hatolipwa pesa baada ya kukatisha show itafidiwa kwa mashabiki next story → jiandae kuipokea albam mpya ya navy kenzo aim rasmi december 2016 soma na hizi u heard shilole kazungumzia kuhusu kuchorwa tatoo ya ubavu u heard mimi ninavyonganganiwa na wanawake naanzaje kumbakanay wa mitego
2016-12-05T00:25:14
http://millardayo.com/5r367u4/
legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa jamiiforums legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa thread starter dragoon tan1947 wasomi natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu poleni na majukumu mazito katika ujenzi wa taifa naomba msaada wa kupatiwa precedents zinazoongelea power ya high court ku intervene kwenye arbitration au kesi zoote zinazohusu arbitration ninazo ni application anahitaji device kuinstall nifanyeje uweze kunifanyia instalment ya hizo naomba kama una tlr 1983 unisaidie au kama una kesi hiijeremiah venant v clementina alexander (bahati) civil appeal no 94 of 1983 kamugunga not sure kama kuna whatsapp group or telegram kama lipo naomba mniunge kwa namba hii 0755198295 kamugunga said bila dragon this thread is dead pole sana reactions godzilla soso j and nyakubonga thread nzuri hii iko dormant baada ya gragoon kupotea unaona nikiwambia kuwa mtu mmoja tu anaweza akawa ngao ya kitu fulani say taifa shule etc thread ya sheria ni dragoon it is now dormant ona sasa lisu hayupo hakuna outstanding brain tena tanzania in tanzania politics jaman wanasheria wa humu ndani naomba niwaulize swali mm katika pita pita zangu kuna mtu alinizonga njian hivyo kupelekea simu yangu kupotea nilimshitaki kwa kwa kosa la kunipiga nilimshitaki mahakama ya mwanzo lakin pamoja na huyo mtu kukili kunizonga ila mahakama hio ikaona hana hatia yeyote na kufuta kesi kwa sababu ushahid wa daktar katk pf3 haojaonyesha kama nilipata maumivu makubwa swali langu ne kweli huyo mtu hakjwa na kosa lolote ikizingatiwa mm nilipoteza mali kiufupi ilinifanya mm nimdharau sana yule hakimu kwa uwezo wake vicent jackson samahani nilikuwaaa na swali explain the limitations on the powers of courts in dealing different cases please anaye fahamu samahani naomba mnisaidie limitations on the powers of courts in dealing different cases msaadaaa pleasea anayefahamu swali linataka utaje na uelezee types za courts jurisdictions mfano pecuniary territorial exclusive original appellate nk (kuna kama 11 types of jurisdiction) vicent jackson said notisi to students lengo la uzi huu ni kusaidia masuala ya kisheria katika litigations (ie lawsuits) sio academics (ie assignments home works ect) no no itakuwa sio kabsa masuala ya darasan komaa na vitabu library mkuu (it seems upo chuo kinaitwa out) reactions godzilla soso j and retired poa mkuu asante nimeelewaa kuna hii kesi ya hivi karibuni ni kesi ya farijala s hussen imeamuliwa na mahakama ya rufani mwishoni mwa mwezi uliopita inatoa angalizo kuhusu notice of appeal na memorandum of appeal pia namna ya kudraft notice of appeal karibuni naomba msaada mwenye kitabu cha issa shivj's provisions of rule of law tafadhali reactions godzilla and soso j asali ya limao hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws hasa ambazo ni unreported legislations law books nk binafsi nina elibrary kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa wanasheria karibuni sana mkubwa nlkua nahitaji copyright ya ruling ya kesi ya lema cat na high court ile ya salma maghimbi j aloyce_kimario wadau naombeni cases za tanzania zinazohusu wrongful termination of employment as a tort natanguliza shukhrani reactions soso j and katus manumbu aloyce_kimario said hakuna cause of action ya hivi labour ni labour case haijawahi kuwa tort sijapita hapa muda mrefu pita mkuu builder 53 claims megxit was coverup to hide truth that hes charles & camillas secret son as he launches legal bid jf trash 0 jan 29 2020 builder 53 claims megxit was coverup to hide truth that hes charles & camillas secret son as he launches legal bid entertainment 10 jan 29 2020 legal/authorized supplier/seller of ethanol food grade biashara uchumi na ujasiriamali 0 jan 23 2020 group legal & human resources manager at exodus group limited jukwaa la ajira na tenda 0 jan 9 2020 legal/authorized supplier/seller of ethanol food grade group legal & human resources manager at exodus group limited
2020-05-28T15:51:25
https://www.jamiiforums.com/threads/legal-documents-na-uchambuzi-wa-masuala-ya-kisheria-hapa.905368/page-40
nchi yetu inaelekea wapieti wilaya yabadilishwa jina kinyemela ~ kulikoni ughaibuni nchi yetu inaelekea wapieti wilaya yabadilishwa jina kinyemela ccm tanzania jamii imetakiwa kushirikishwa katika maamuzi yaliyotolewa na baraza la madiwani pamoja na chama cha mapinduzi (ccm) kwa lengo la kubadili jina la wilaya ya missenyi na kuiita wilaya ya nkenge ambayo tayari yamekubaliwa na baraza hilo pamoja na chama ili kuona kama kubadilika kuna manufaa kwa jamii ombi hilo limetolewa jana na wajumbe wa kikao cha kamati cha ushauri wa wilaya ya missenyi (dcc) kilichofanyika katika kata ya kassambya ambapo baadhi ya wananchi na viongozi walisema kubadilisha jina la wilaya hiyo hakuna maana yoyote mmoja wa watendaji wa kata za wilaya ya missenyi joseph kitakule ambaye ni mtendaji wa kassambya alisema wadau wa maendeleo inabidi wapinge vikali suala la kubadilisha jina kwa kuwa litaiingiza halmashauri hiyo kwenye hasara kubwa na watakuwa wamekiuka maamuzi ya rais mstaafu benjamin mkapa aliyebariki jina hilo alisema kumekuwepo kundi la watu wachache wenye maslahi yao binafsi ambao jina hilo likibadilishwa na wizara husika basi wao watakuwa wamepata faida kubwa na watakuwa wamefanikisha adhma yao kwa upande wake mkurugenzi wa halmashauri hiyo izidor mtalo alisema suala hilo wao kama watendaji walilikabidhi baraza la madiwani kwa vile ndiyo wenye uwamuzi wa kubadilisha au kutobadilisha alisema hakuna kikao chochote ambacho kinaweza kutengua uamuzi huo kwani likishapitishwa na madiwani linapelekwa katika kikao cha ushauri cha mkoa na baadaye kwa waziri mwenye dhamana akitoa uamuzi wa kubadilisha jina hilo na kuitwa nkenge mwenyekiti wa halmashauri hiyo william katunzi alisema kutokana na mkanganyiko wa majina ya tarafa za kiziba na missenyi ambazo zinaunda jimbo la nkenge kitendo ambacho kimeibua malalamiko kutoka kwa wakazi wa kiziba hawa wakazi wa kiziba wanahoji kama makao makuu ya wilaya yapo katika tarafa ya misenyi inakuwaje na jina la wilaya ipewe jina la tarafa na wakati jina la jimbo ni tofauti na wilaya kwa hiyo ndiyo sababu kubwa wanayolalamikia na kutaka jina la wilaya liwe sawa na la jimbo nkenge alisema katunzi
2018-11-15T22:02:04
http://www.chahali.com/2009/04/nchi-yetu-inaelekea-wapieti-wilaya.html
vidakuzi lazima viwezeshwe kwenye kivinjari chako ingia kwa kutumia akaunti yako juu ya karibu kwenye mfumo wa ujifunzaji kielektroniki
2020-08-12T00:20:26
https://stanleyjordan.com/integral.arts/courses/login/index.php?lang=sw
makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi amefungua mkutano mkuu wa jumuiya ya wafanyabiashara zanzibar zanzinews home habari matukio makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi amefungua mkutano mkuu wa jumuiya ya wafanyabiashara zanzibar makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi amefungua mkutano mkuu wa jumuiya ya wafanyabiashara zanzibar makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi akiufungua mkutano mkuu wa kumi na moja wa mwaka 2018 wa jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar {znccia} uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya golden tulip malindi mjini zanzibar wajumbe wa mkutano wa kumi na moja wa mwaka 2018 wa jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wao balozi seif kulia akiteta jambo na rais ya jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar { znccia } rais wa jumuiya hiyo nd toufiq salum turky rais ya jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar { znccia } rais wa jumuiya hiyo nd toufiq salum turky akimkabidhi zawadi maalum makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi baada ya hafla ya ufunguzi balozi seif akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar baada ya kuufungua mkutano wa jumuiya hiyo balozi seif akibadilishana mawazo na baadhi ya wajumbe wa bodi ya jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi alisema haipendezi kuona sekta ya biashara inakuwa kimbilio au chaka la uhalifu rushwa magendo pamoja na uingizwaji wa bidhaa zilizopitwa na wakati mambo yanayoipaka matope sekta hiyo muhimu kwa taifa alisema wafanyabiashara wanapaswa kusimamia maadili ya biashara huku wakizingatia jambo la msingi la kuwa waaminifu wenye kufuata kanuni na sheria zote zilizowekwa ili waende na wakati wa sasa wa sayansi na teknolojia balozi seif ali iddi alisema hayo wakati akiufungua mkutano mkuu wa kumi na moja wa mwaka 2018 wa jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar {znccia} uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya golden tulip malindi mjini zanzibar balozi seif alisema uingizwaji nchini wa bidhaa zisizokuwa na kiwango na kuuzwa kwa bei kubwa ni wizi wa mchana kwa wateja ambao ndio wadau wakubwa wa sekta hiyo aliuomba uongozi wa jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima kuwajengea uwezo wafanyabiashara wa zanzibar ili wajitofautishe kwa ubora na wafanyabiashara wengine duniani kote alieleza kwamba nafasi ya jumuiya ya wafanyabiashara katika maendeleo ya taifa kiuchumi haina mjadala ambapo uimara wake utatokana na wanachama walio hai ikiwa ni faraja kwa serikali ya mapinduzi ya zanzibar balozi seif alisema serikali iliyo makini husisitiza umuhimu wa jumuiya ya wafanyabiashara iliyo makini yenye kuleta faida kwa kufungua milango ya biashara ndani na nje ya nchini sambamba na kuongeza wigo wa pato la taifa alionyesha faraja ya serikali ikitarajia kuona taasisi hiyo inayosimamia mazingira ya biashara nchini inaendelea kuwa mlezi mzuri wa wazalishaji wadogo wadogo na wakulima ili lengo la kuwa katika uchumi wa kati ifikapo mwaka 2020 lifanikiwe balozi seif alifahamisha kwamba tafsiri ya uchumi wa kati ni ule utakaozalisha ajira nyingi kwa vijana wengi ambao hukuza pato kwa mtu mmoja mmoja pamoja na kutoa huduma bora alieleza kwamba huduma hizo pia hujumuisha elimu afya pamoja na kuzalisha bidhaa nyingi kwa kuzisafirisha nje ya nchi mfumo utakaoongeza mapato ya haraka haraka makamu wa pili wa rais wa zanzibar alisema serikali ya mapinduzi ya zanzibar inaiangalia sekta binafsi kwa mtazamo mpana zaidi kutokana na jitihada za mabadiliko yake yanayoungwa mkono chini ya mwamvuli wa jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima akitoa risala ya jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar { znccia } rais wa jumuiya hiyo nd toufiq salum turky alisema miezi sita ya mwanzo ya uongozi mpya ilitumiwa kwa kufanya marekebisho ya kuondokana na utegemezi wa wahisani jambo ambalo lilikuwa likiyumbisha uendeshaji wake nd toufiq alisema kinachohitajika kwa sasa ni kwa viongozi na wanachama kufanyakazi kwa pamoja na upendo ili lengo la kuanzishwa kwa taasisi hiyo inayosimamia matakwa ya wafanyabiashara na wakulima linafanikiwa vyema alieleza kwamba jumuiya hivi sasa iko katika mchakato wa mabadiliko ya katiba yake ili kujaribu kuondoa kasoro na vikwazo vilivyopo katika dhana nzima ya kujenga mazingira bora ya mwanachama wake akimkaribisha mgeni rasmi kuufungua mkutano huo naibu waziri wizara ya baishara na viwanda zanzibar mh hassan khamis hafidh alisema wizara hiyo iko tayari wakati wowote kutoa ushauri au msaada katika kuona wadau wa biashara wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi mpana zaidi mh hassan alisema wizara kama mlezi wa sekta hiyo itajitahidi katika kusimamia sekta hiyo ambayo ni muhimu kwa umma na wafanyabiashara wenyewe wanaoitegemea kuendesha maisha kwa kujiongezea kipato mkutano huo mkuu wa kumi na moja wa mwaka wa jumuiya ya wafanyabiashara wenye viwanda na wakulima zanzibar pamoja na mambo mengine unajadili mada saba katika kikao hicho halali miongoni mwa agenda za mkutano huo ni pamoja na ripoti ya ukaguzi wa mahesabu ya mwaka 2016/17 taarifa ya utekelezaji na maendeleo ya miradi ya mwaka 2018 taarifa ya fedha ya mwaka 2016/2017/2018 mapendekezo ya bajeti ya mwaka 2019 pamoja na mapendekezo ya muundo mpya wa uanachama
2019-03-21T12:26:51
http://www.zanzinews.com/2018/12/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar-mhe_15.html
trei 700 za mayai zateketezwa kahama | mpekuzi trei 700 za mayai zateketezwa kahama serikali wilayani kahama imeteketeza trei 700 za mayai yanayosadikiwa ya kuku yalioingizwa nchini kinyume cha sheria agizo hilo lilitolewa na serikali ya wilaya ya kahama kupitia ofisa mifugo wa halmashauri ya mji wa kahamadk damian yustin la kuteketeza trei hizo za mayai za mfanyabiashara regine ayinkamiye alisem mayai hayo kutoka rwanda yalikuwa yakisafirishwa na gar t318 aer fuso dk yustin alisema wafanyabiashara wanaosafirisha ama kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi wanatakiwa kufuata taratibu ili kuepuka hasara itakayojitokeza kwa kuteketezwa kwa mali zao pindi watakapobainika kuingiza ama kusafirisha kinyume cha taratibu alisema serikali imezuia uingizwaji wa mayai kutoka nchi za nje kwa lengo la kujikinga na homa ya ndege alisema licha ya wafanyabiashara wa mayai kupatiwa elimu namna ya kupata vibali vya uingizwaji wa mayai na kuku ambavyo hutolewa na katibu mkuu wizara ya mifugo na uvuvi kwa lengo la kuwaepusha wasiendelee kupata hasara lakini wamekuwa wakienda kinyume na kuingiza mayai na kuku kwa njia za panya aidha alitoa elimu juu ya sheria ya mamlaka ya chakula na dawa (tfda) inayosema chakula chochote kinachoingizwa nchini bila ya kuwa na kibali cha uingizwaji na usafirishaji sio salama kwa matumizi na kuongeza wafanyabiashara wataendelea kupata hasara kama watashindwa kufuata sheria
2019-09-20T12:39:44
http://www.mpekuzihuru.com/2019/01/trei-700-za-mayai-zateketezwa-kahama.html
mabaga fresh mnatisha | jamiiforums | the home of great thinkers mabaga fresh mnatisha discussion in 'celebrities forum' started by evj aug 31 2012 jaman nilienda sehem fulan inaitwa naliendele mtwarasasa nkaskia mabaga wanapiga showwakuu hamwez amn kwan kiingilio ilikuwa buku na had kufika saa sita naondoka pale kuna watu wanne ndanukumbi vumbi tupukumbe wasanii huwa wanafulia hivi mlioko juu akina diomond kuwen makn sana ha ha ha ha ha kiingilio buku hii ni zaidi ya kufulia evj said mlioko juu akina diomond kuwen makn sanaclick to expand dah mabaga fresh bado wapo dah mabaga fresh bado wapoclick to expand acha tu mtu wangu yan nliwaone hurumaikabd nitoe buku atlist nichangienikachungulia tu na kutoka hawa jamaa ni vilema jamani acheni u **** mungu awarehemu awape nuru ya kubuni miradi mingine ya biashara muziki umesha washinda ebwana acha utani mkuudj snox wa mabaga mambo ya mtulize mambo ya tumepigika duuuuuuu kufulia noma kupoteza mvuto katika mziki ni msibaday one nipo mombasa kuna ukumbi mbaya mbaya dogo z anto ndo alikuwa anagonga show hapo halaf kiingilio ilikuwa kama buku 3 ya kibongonani alitegemea mr nice atakuwa anapiga show za weekdays tena kila wiki sehemu kama maasai clubmeridean kinondoni na bado watu hawajai inaumiza kichwa muziki una msimu na wenyewe yaan achen tumbona ulaya awafulii hivikama hawa kna dogo janja na aslayrachel even bora waende tu shule maskini mungu atawasaidia aisee kakabadilisha kauli yakomungu anaombwa kurehemu waliokufa tuhawa jamaa bado wapo hai mzeeunawaua wakati wanapumuaclick to expand acha tu mtu wangu yan nliwaone hurumaikabd nitoe buku atlist nichangienikachungulia tu na kutokaclick to expand unaitwaje huo ukumbi unaitwaje huo ukumbiclick to expand jina lao limewaponza mabaga = kufuria
2017-04-23T19:51:18
https://www.jamiiforums.com/threads/mabaga-fresh-mnatisha.316409/
sababu ya chirwa kukosa penalti zbar hii hapa michezo | mwananchi 3 hours ago kila msanii amlilia masogange kivyake 3 hours ago halmashauri zatwishwa zigo mipango ya matumizi ya ardhi 3 hours ago rais wa misri atuma ujumbe kwa magufuli 3 hours ago rais magufuli awahoji cag katibu mkuu kuhusu sh15 trilioni 12 hours ago dk kigwangalla miezi sita hakuna ujangili uliotokea 12 hours ago serikali yatenga sh155 bilioni kujenga maghala mapya 1 day ago ubungo crdb kukopesha wajasiriamali sh19 bilioni 13 hours ago aina tano za mabosi na namna ya kuendana na utendaji wao kazini 13 hours ago mbinu tano za kushirikiana vizuri na wafanyakazi wenzako 1 day ago cag amebainisha ukosefu wa wataalamu ukiukaji sheria 1 day ago mafanikio ya mradi wa gesi asilia yatakuwa kivutio cha uwekezaji 8 hours ago kupanda kushuka kwa wenger 10 hours ago atletico yaipa ubingwa barcelona 11 hours ago mwisho wa enzi wenger abwaga manyanga 11 hours ago singida united yawaachia simba yanga ubingwa sababu ya chirwa kukosa penalti zbar hii hapa chirwa amegeuka shubiri kwa mashabiki wa yanga baada ya kukosa penalti ya mwisho dhidi ya ura ya uganda katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa jana kwenye uwanja wa amaan mjini hapa by thobias sebastianmwananchi tsebastian@mwananchicotz shujaa aliyetarajiwa kuleta heshima kwa yanga kuipeleka fainali ya kombe la mapinduzi obrey chirwa amepeleka kilio makutano ya mtaa wa twiga na jangwani dar es salaam mshambuliaji huyo aliwasili visiwani hapa jana asubuhi kutoka dar es salaam baada ya kutokuwemo katika kikosi muda mrefu mchezaji huyo alikosa penalti ya tano iliyoamua ushindi wa mabao 54 baada ya ura kupata penalti zote tano baada ya timu hizo kutoka suluhu dakika 90 sababu za kukosa penalti pamoja na kucheza kwa dakika 37 mshambuliaji huyo kipenzi cha yanga hakupaswa kucheza jana kwa kuwa hakuwa fiti kimchezo kwasababu muda mrefu alikuwa kwao zambia kumuuguza mama yake huku kukiwa na moja ya picha alizoweka katika mitandao ya kijamii akiwa analima mahindi shambani baadhi ya mashabiki waliamini kuwa angekuwa mtazamaji lakini kocha msaidizi wa timu hiyo shadrack nsajigwa hakutaka kuingia ndani jana zaidi ya kusema ni uamuzi wa timu mbali na kucheza chirwa hakutakiwa hata kukaa benchi la wachezaji wa akiba kwa kuwa kisaikolojia hakuwa mchezoni na hakustahili hata kupewa penalti kwani hata wakati anakwenda kupiga hakuwa mwenye kujiamini ikilinganishwa na papy tshishimbi gadiel michael hassan kessy na rafael daud waliofunga penalti zao penalti za ura zilifungwa na mbowa patrick kibumba enoch shafiq kagimu jimmy kulaba na brian majwega kauli za watafiti watafiti wa soka nchini norway wanasema kukosa na kufunga penalti kupo na kwamba mpiga penalti ana asilimia 92 ya kufunga kama ni penalti ya kawaida mchezoni lakini kama penalti inataka ufunge matokeo yawe sare au kuipa timu ushindi (penalti ya kuamua) mpigaji ana asilimia 60 za kufunga mchambuzi wa masuala ya soka pprofesa geir jordet wa chuo cha sayansi ya michezo norway kilichopo mjini oslo anasema katika penalti tano tano asilimia za kupata pia hupungua kwa wanaopiga kwani penalti ya kwanza kupata ni asilimia 866 penalti ya pili asilimia 817 na asilimia 793 kwa panalti ya tatu na kuendelea hii inahusisha zaidi suala la kisaikolojia anasema profesa jordet mtafiti mwingine rich masters wa taasisi ya human performance nchini hong kong masters anasema kuwa wakati mwingine mpiga penalti anakosa kwa kuwa na hofu kama atapata ama la na mwisho wa siku anakosa naye mchambuzi wa vitabu mark wilson nchini uingereza anasema wakati mchezaji anakwenda kupiga penalti anawaza mengi umetajwa kupiga penalti unatoka katikati ya uwanja na mawazo unachukua mpira unauweka kwenye eneo lake la penalti unarudi nyuma tayari kupiga sasa hapo unawaza hili ndilo tumaini la timu yangu kila mmoja ananiangalia sijui nitapata au nitakosa na mwisho wa siku anakosa pambano lilivyokuwa yanga ilianza mchezo ikiwa imefanya mabadiliko ya wachezaji wanne waliocheza dhidi ya singida united ulimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya bao 11 lwandamina aliitazama mechi hiyo akiwa jukwaani akiendelea kuwaamini wasaidizi shadrack nsajigwa na noel mwandila tangu kuanza kwa mashindano hayo yanga iliwapumzisha edward makka gadiel michael yohana nkomola na rafael daud na nafasi zao kujazwa na papy tshishimbi juma mahadhihaji mwinyi na said juma makapu tofauti na yanga ura ilifanya mabadiliko mawili katika kikosi chao kilichocheza na simba jana iliwaanzisha ssemda charles na bokota labama wakichukua nafasi za peter lwasa na sseruyide moses hata hivyo muda mrefu wa mchezo mpira ulichezwa eneo la katikati kwa kila timu kuonekana kuwa na hofu ya kutoruhusu bao la mapema ura ilijaribu mara kadhaa kupeleka mashambulizi langoni mwa yanga lakini ustadi wa mabeki wa timu hiyo uliisaidia kutowapa mwanya waganda hao kupata bao moja ya shambulizi ilitokea dakika ya 10 ambapo kipa youthe rostand alilazimika kufanya kazi ya ziada kuokoa mkwaju wa faulo wa brian majwega ambao ulipatikana baada ya haji mwinyi kufanya madhambi yanga ilijaribu kuamka na kuanza kushambulia kwa zamu na ura lakini safu yake ya ushambuliaji ilionekana kukosa uelewano na kuwapa mwanya mabeki wa wapinzani wao kucheza kwa uhuru mkubwa nusura nkomola aipatie yanga bao la ushindi dakika moja baadaye baada ya kupiga shuti kali nje ya eneo la hatari la urataharuki ilitokea dakika ya 81 baada ya lwassa kuunganisha kwa kichwa mpira uliopita nyavu za nje ambazo zilikuwa zimechanika na kuingia ndani ya bao la yanga lakini mwamuzi alikataa bao hilo jambo lililosababisha azongwe na wachezaji wa ura baada ya mchezo huo nahodha wa ura allan munaaba alisema kilichowapa mafanikio hadi wakaweza kucheza fainali ni nidhamu rais wa misri atuma ujumbe kwa magufuli uhusiano na ushirikiano kati ya tanzania na misri wajadiliwa kila msanii amlilia masogange kivyake ni baada ya msanii mwenzao agnes gerald (masogange) kufariki dunia leo wasanii waubeba msiba wa masogange 2 hours ago masogange video queen wa bongo fleva hatunaye 4 hours ago rais magufuli awahoji cag katibu mkuu kuhusu sh15 trilioni 3 hours ago dpp alifunga jalada la kesi ya mauaji ya akwilina 3 hours ago 1 habari kila msanii amlilia masogange kivyake 2 habari halmashauri zatwishwa zigo mipango ya matumizi ya ardhi 3 habari rais wa misri atuma ujumbe kwa magufuli 4 habari rais magufuli awahoji cag katibu mkuu kuhusu sh15 trilioni 5 habari video maswali yakatishwa bungeni serikali yaeleza zilipo sh15 trilioni 6 mwanzo usiyoyajua kuhusu kufikia mshindo 7 habari ali kiba ay diamond waunganisha familia afrika mashariki 8 habari dpp alifunga jalada la kesi ya mauaji ya akwilina 9 habari vigogo ncu mbaroni kwa uhujumu 10 habari ndugai apigilia msumari gharama matibabu ya tundu lissu
2018-04-20T23:54:56
http://www.mwananchi.co.tz/Michezo/Sababu-ya-Chirwa-kukosa-penalti-Z-bar-hii-hapa/1597534-4259458-format-xhtml-11iwwuaz/index.html
christine lagarde | idhaa ya kiswahili | dw | 03072019 christine madeleine odette lagarde ni wakili wa kifaransa na mwanasiasa anaehudumu kama mkrugenzi mkuu na mwenyekiti wa shirika la fedha la kimataifa imf tangu mwaka 2011 lagarde ameteuliwa kuwa rais wa benki ya ulaya aliwahi kushika nadhifa mbalimbali za uwaziri katika serikali ya ufaransa alikuwa mwanamke wa kwanza kutoka taifa la g8 kushika wadhifa wa wa fedha na pia mwanamke wa kwanza kuongoza shirika la imf mwaka 2018 jarida la forbes lilimuorodhesha katika nafasi ya tatu miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani ikiwa atathibitishwa na bunge mjini strasbourg atakuwa pia mwanmake wa kwanza kuongoza benki kuu ya ulaya ecb ukurasa huu ni mkusanyiko wa maudhui za dw kumhusu lagarde mada zinazohusiana sarafu ya euro ecb kiungo https//pdwcom/p/3lvnd matangazo ya asubuhi 10122016 10122016 tarehe 10 disemba zanzibar yatimiza miaka 53 ya kupata uhuru leo pia ni siku ya kimataifa ya haki za binaadamu na mkurugenzi mkuu wa shirika la fedha la kimataifa imf christine lagarde anafikishwa mahakamani jumatatu 22072016 matangazo ya jioni 22072016 katibu mkuu wa chama cha wananchi (cuf) cha nchini tanzania maalim seif sharif hamad yuko mjini the hague uholanzi kwa kusaka haki ya kisheria kwa madai ya uvunjwaji wa haki za binaadamu visiwani zanzibar // mkurugenzi mkuu wa shirika la fedha la kimataifaimf christine lagarde atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma za uzembe katika kadhia ya kulipwa tajiri mmoja mkubwa wa ufaransa mazungumzo ya uokozi wa ugiriki yaendelea 31072015 mawaziri wa fedha na uchumi wa ugiriki wamekutana na wawakilishi wa wakopeshaji wa nchi hiyo leo kwa mazungumzo kuhusu mpango mpya wa mabilioni ya uokozi kuelekea muda wa marejesho ya mkopo kwa benki kuu ya ulaya ecb ugiriki na wakopeshaji wafikia muafaka 13072015
2019-09-17T01:50:13
https://www.dw.com/sw/christine-lagarde/t-49454525
rais aktaş kahraman alimkabidhi dereva nuri acar | rayhaber nyumbaniturkeymkoa wa marmara16 bursarais aktaş kahraman alimkabidhi dereva nuri acar 09 / 11 / 2019 16 bursa general highway mifumo ya magurudumu ya tiro mkoa wa marmara turkey rais aktas shujaa alipewa soforu rais aktaş kahraman alimkabidhi dereva meya wa jiji la bursa metropolitan alinur aktas wakati wakiwa kwenye basi wakiwa motoni kwa abiria wote kwa njia ya baridi ili kuhama vizuri janga linalowezekana mbele ya dereva nuri acar'a wristwatch zawadi katika tukio lililotokea jumatano iliyopita kwenye makutano ya gökdere takriban abiria wa 20 katika 'sculpture' katika upande wa nuri acar (37) hutumia basi la sahani ya 16 bod 49 moto ulizuka kwa sababu ya kushindwa kiufundi acar alifungua milango ya basi kwa kugundua moto abiria wenye damu baridi kwa kupakua walipita mbele ya janga linalowezekana abiria walipata moto mkubwa wa hofu kuzimwa na walima moto kutoka ilani meya wa metropolitan alinur aktas asante kwa umakini na baridi ya hafla hiyo hata pua ya mtu yeyote ambaye alinusurika dereva wa basi la nuri acar'ı alishikilia ukumbi wa mji wa kihistoria tunataka kuchukua kujitolea akiongea wakati wa ziara iliyohudhuriwa na meneja mkuu wa burulaş mehmet kürşat çapar rais aktaş alisema kuwa licha ya ukweli kwamba tukio hilo ni suala kubwa sana abiria wote walihamishwa kwa juhudi maalum za dereva nuri acar na ilikuwa ya kuridhisha sana kwamba hakuna mtu atakaye damu kutoka pua meya aktaş alisema kwamba walileta watu kazini kwao asubuhi na kwa nyumba zao wenzi wa ndoa watoto na wapendwa jioni arasında kunaweza kuwa na upungufu na udhaifu katika mfumo ambao mfumo wa reli mabasi na mabasi ya umma ni karibu na watu milioni kwa msingi huu lakini kutokana na juhudi maalum za marafiki wetu tunaona kwamba upungufu umefungwa napenda kumshukuru mwenzetu nuri acar na meneja wetu mkuu anayetukuzwa ninaelezea mara nyingine tena kuwa tunatarajia usikivu sawa na usikivu kutoka kwa marafiki wetu wote wacha tuchukue mioyo ya watu wetu haswa na ombi letu na uso wetu wa kutabasamu na ubora wetu wa huduma na viwango tunavyowasilisha dereva wa shujaa nuri acar alisema kuwa alikuwa akijaribu kufanya vizuri wakati wa hafla hiyo na kwamba ataendelea kufanya kazi na usikivu huo baada ya hapo rais aktaş acar mwishoni mwa ziara hiyo alitoa saa ya kiuno rais şahin aliwapa walifunzi wa kwanza shule tuzo ya chama cha hero hero kwenye klabu ya kapteni plaque kwa madereva wa hero kutoka kocaeli metropolitan plaque kwa dereva wa hero kutoka büyükakın bonus ya mshahara kutoka kwa rais kwa dereva shujaa meya aktaş atangaza njia ya barabara mkubwa mabasi ya kibinafsi ya bursa
2019-12-15T15:03:55
https://sw.rayhaber.com/2019/11/rais-aktas-shujaa-sofor-nuri-acari-kuheshimiwa/
huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje ackyshine blog👍kali🐨tz😂2017💯 video 👉 huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje 🙉🙉🙉usisahau kushare video hii ya huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje👍 share facebook twitter nk bila kusahau whatsapp💯✔ ackyshine sio mmiliki wa video hii ya huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje video hii imewekwa kwa nia ya kuburudisha au kuelimisha tuu kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi hapa>> 🎥 chagua hapa video nyingine nyingi kama hii ya huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje👇 🎬 jamaa nusura agongwe na pantoni✔ 🎬 duh hawa watu ni hatari kwa kuruka✔ 🎬 huyu mwizi kaiba na yeye kaibiwa hapa mjanja ni nani✔ 🎬 kati ya huyu nyoka na mjusi nani atakayemmeza mwenzake✔ 🎬 zoezi kali la kijeshi cheki hapa uone✔ 🎬 kama hujui kupigana usipigane angalia kilichompata huyu✔ 🎬 ulishawahi kuona maandamano ya bata mzinga haya hapa✔ 🎬 chui anavyowinda na kukamata swala✔ 🎬 huyu mbuzi atakua kafantaje cheki huyu jamaa anachoufanyia✔ 🎬 kocha akiwafundisha adabu wachezaji wake✔ 🎬 cheka tena kidogo hapa kwenye hii video ya vituko✔ 🎬 cheki hiki hivi vyombo vingine vya usafiri ni majanga✔ 🎬 matukio ma 5 ya kusisimua na kushangaza ya wamama wakiwaokoa watoto wao✔ 🎬 baadhi ya ngumi zilizowahi kutokea uwanjani✔ 🎬 huyu bibi anakumbukia ujana cheki anachofanya sasa✔ 🎬 angalia kilichompata huyu jamaa baada ya kuamka na hang over yake✔ 🎬 mcheki huyu anataka kuendesha pikipiki yenye tairi moja✔ 🎬 huu wizi mwingine ni balaa cheki anachofanya huyu mama✔ 🎬 cheki jamaa alivyoangukia kwenye tope na pua✔ 🎬 huyu kuona zimwi ungekua ni wewe ungefanyaje✔ 🎬 angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari kumbe pombe saa nyingine nzuri✔ kuangalia videos zote za kufanana na hii ya huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje ingia ackyshine 📺 tv hapa✅ 🎥 jichagulie video za sasa za kufanana na hii ya huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje kama ifuatavyo👇 unaalikwa kila siku kuangalia videos bomba kali kama hii ya huyu kamuweza mshikaji anashangaa damu imetoka wapi tena ungekua ni wewe ungefanyaje ni wewe tuu kutembelea blog hii ili uweze kuona videos hizi✅ jifunze ujasiriamali soma zaid kwenye maisha soma zaid maisha ni kujifunza soma zaid je wajua soma zaid usikose picha bomba soma zaid video za kila siku soma zaid usikose hizi soma zaid vichekesho vipya soma zaid karibu katika blog maarufu soma zaid njia ya kumrudia mungu soma zaid njia ya sala soma zaid sifa za sala yeyote soma zaid sala inayojibiwa soma zaid sala ni ufunguo soma zaid sala ni upendo soma zaid sala sio maneno tuu soma zaid mambo muhimu katika sala soma zaid sala ni chimbuko la fadhila soma zaid sala ni chakula cha roho soma zaid sala za kila siku soma zaid sali daima soma zaid mungu anasubiri sala zako soma zaid maisha ya kikristo ni sala soma zaid njia ya kumtafuta mungu soma zaid jumbo la muhimu zaidi duniani soma zaid sala ni hazina soma zaid upendo wa mungu hauna mwisho soma zaid mungu ni mwenye haki soma zaid marium amezaa mtoto mfalme soma zaid vichekeshotosha soma zaid vichekeshokabambe soma zaid ackyshine blog soma zaid ackshine blog soma zaid karibu akshine blog soma zaid blog mpya ya ackyshine soma zaid maswali na majibu kuhusu watakatifu ndani ya kanisa katoliki soma zaid maswali na majibu kuhusu vishawishi soma zaid maswali na majibu kuhusu visakramenti soma zaid mafundisho kuhusu vilema vichwa vya dhambi au mizizi ya dhambi soma zaid kanisa katoliki linavyofundisha kuhusu yesu soma zaid uzima wa milele soma zaid maswali na majibu kuhusu uumbaji jinsi mungu alivyoumba soma zaid maswali na majibu kuhusu utatu mtakatifu soma zaid maswali na majibu kuhusu utawa soma zaid mambo muhimu kujua kuhusu ubatizo soma zaid maswali na majibu kuhusu toharani soma zaid maana ya sanamu ndani ya kanisa katoliki soma zaid mambo ya msingi kujua kuhusu sala soma zaid maswali na majibu kuhusu roho mtakatifu soma zaid maswali na majibu kuhusu neema na rehema soma zaid maswali na majibu kuhusu ndoa soma zaid maswali na majibu kuhusu mungu soma zaid mafundisho ya dini kuhusu binadamu soma zaid sakramenti ya mpako wa wagonjwa soma zaid maswali na majibu kuhusu mitume soma zaid maswali na majibu kuhusu misa takatifu ya kanisa katoliki soma zaid maswali na majibu kuhusu kifo soma zaid mafundisho kuhusu hukumu ya mwisho soma zaid mafundisho ya dini kuhusu marehemu soma zaid maana ya mapokeo kwenye kanisa katoliki soma zaid maswali na majibu kuhusu malaika soma zaid maswali na majibu kuhusu liturujia soma zaid maana sahii ya kuabudu inayotumika na kanisa katoliki soma zaid mafundisho kuhusu kitubio soma zaid maswali na majibu kuhusu sakramenti ya kipaimara soma zaid mafundisho kuhusu karama soma zaid maswali na majibu kuhusu ibada soma zaid mafundisho kuhusu dhamira soma zaid maswali na majibu kuhusu dhambi soma zaid maswali na majibu kuhusu sakramenti ya daraja takatifu na kuhusu utawa soma zaid mambo makuu usiyoyajua kuhusu bikira maria soma zaid maswali na majibu kuhusu amri za kanisa soma zaid maswali na majibu kuhusu biblia soma zaid 30 soma zaid mwenendo wa roho soma zaid makusudi ya mungu soma zaid kumtafuta mungu soma zaid neno soma zaid uzuri wa mungu soma zaid upendo na matamanio ya mungu kwa wanadamu soma zaid uwepo wa mungu wakati wa shida soma zaid umuhimu wa kumsogelea mungu soma zaid upendo wa siku zote soma zaid mafundisho ya amani soma zaid tumaini kwa mungu soma zaid mungu ni mwenye huruma soma zaid makala mpya soma zaid unakumbuka hizi soma zaid soma hapa kila siku soma zaid haya ni kwa ajili yako soma zaid mambo mapya ya kila siku soma zaid blog inayopendwa soma zaid usikose hii soma zaid blog ya kutembelea kila siku soma zaid furahia blog hii soma zaid blog ya manufaa soma zaid ona mguu wa huyu dada anavyouweka soma zaid angalia ujinga wanaofanya hawa soma zaid bonge la nyoka lilivyojibanza kwenye gari soma zaid balaa la mitoto isiyopenda shule soma zaid cheki ndama wa kidigitali soma zaid paka kasema sikubali angalia alichomfanyia huyu mtoto soma zaid cheki sababu ya huyu jamaa kutokupenda mchezo wa mieleka soma zaid upendo wa kweli ni nini soma zaid kufahamu tabia ya rafiki yako wa kike/kiume kabla ya kuoana hata kama anaishi mbali soma zaid dongo kwako kama una degree moja halafu unachagua kazi soma zaid huu ndio umuhimu wa english katika mapenzi soma zaid hizi hapa aina 10 za ndoa usizozijua soma zaid ni katika umri gani vijana wana haki ya kujihusisha na mambo ya kujamiiana soma zaid huyu jamaa ni shida chezea wimbo wa taifa soma zaid ukita kuruka angani agana na nyonga cheki huyu hajaagana na nyonga kikampata hiki soma zaid cheki huyu dingi alivyo mnoko soma zaid jinsi ya kupika kisamvu bila nazi soma zaid jinsi kangaroo anavyobeba mtoto wake kwenye mfuko ulioko tumboni kwake soma zaid best speech of mother teresa about love and family soma zaid umewah kumpenda kwa kihivi soma zaid kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work soma zaid madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani soma zaid hakuna siku mbaya maishani kama hii soma zaid kupunguza magonjwa kwa kuku soma zaid tofauti kati ya mwanamke na mwanamme soma zaid angalia huyu polisi kitu alichonijibu soma zaid angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa soma zaid huu ukataji wa ugali ni noma soma zaid angalia huyu mtoto anachofanya huku amesinzia soma zaid mashine ya kusaga kuku soma zaid angalia hili bonge la jibwa lilivyo na hasira soma zaid cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake kufundisha watoto ni kazi kweli kweli soma zaid lengo na sababu ya kujamiiana soma zaid nani mkali hapa soma zaid cheki hawa wanavyoonyeshana ubabe soma zaid tabia ambazo zinamfanya mwanamke asiolewe soma zaid angalia huyu jamaa anaenjoy tuu nishida soma zaid jinsi ya kuzuia magonjwa ya kuku soma zaid kweli elimu ina umuhimu wake chek hawa soma zaid ushauri kwa usiku wa leo soma zaid kipaji ni kipaji tuu huyu japo kilema lakini mtaalamu wa mpira soma zaid angalia sababu ya mke mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi soma zaid je serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya albino tutaishi vipi soma zaid unakumbuka enzi hizi za utoto soma zaid mbinu 5 za kukunufaisha maishani soma zaid jinsi ya kutunza nyanya kwa faida soma zaid simulizi ya mapenzi soma zaid michezo mingine hii ni hatari soma zaid umetoka kazini umekuta panya 6 ndani soma zaid angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno soma zaid mapishi ya samaki aina ya salmon soma zaid staili ya huyu ya kubeba mtoto ni kiboko soma zaid cheki huyu mwanamke alivyojibiwa na huyu mwanaume soma zaid kati ya hawa wanafunzi wewe ulikua yupi enzi zako ukiwa shuleni soma zaid huyu anacheza mziki kama vile hana viungo soma zaid sipati picha kitakachofuata hapa soma zaid angalia huyu alichokifanya kwenye hii pikipiki soma zaid kwa nini kuna watanzania wanaovuta bangi soma zaid usiruhusu tabia hii itawale akili yako soma zaid huyu kashauzwa soma zaid huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure soma zaid angalia huyu alivyo mtaalamu wa kucheza pool table soma zaid madhara ya shisha soma zaid hapa nani mbabe kwenye ngumi hii soma zaid kufunga na kuomba kunakoongea mbele za mungu soma zaid mzunguko wa elimu kiafrikaafrika soma zaid ukisikia bwege wa mapenzi ndio huyu cheki anavyoropoka tuu soma zaid huyu mtoto akiwa mkubwa atakuaje kama sasa anawaza bunduki soma zaid huu mchezo hautaki makeup soma zaid jinsi ya kupika pilau ya nyama ya ng'ombe na nyanya soma zaid muangalie anachokisema huyu mwanamke hii ni kweli soma zaid ajali za magari za kutisha soma zaid jinsi ya kulima mtama soma zaid simu ilivyozua utata soma zaid madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya soma zaid jinsi mzunguko wa elimu ulivyo soma zaid jinsi ya kulima vizuri zao la kabichi soma zaid huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama soma zaid jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho shambani soma zaid je pombe ni moja ya sababu za kuenea kwa virusi vya ukimwi na vvu au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana soma zaid huyu mbuzi kwa anavyopigwa hata kaa arudie alichofanya soma zaid angalia huyu mwizi alivyokamatwa soma zaid huyu ana sura mbaya cheki anavyokula sasa soma zaid angalia huyu panya anachofanyiwa baada ya kula hela mbele ya hela panya lazima asulubishwe soma zaid hawa ndio wataalamu wa baiskeli kweli kweli soma zaid haya hapa mavazi makuu ya msichana nguo nne za msichana soma zaid usiyoyajua kuhusu nyangumi soma zaid mwanamke alivyowaponza wanaume mbele ya mwanamke mwanaume anaweza kufa soma zaid mapishi ya mboga ya mnavu soma zaid hapo sasa akili itakuja soma zaid pale n'gombe anapoamua kukuhag ndio hiki hutokea soma zaid jinsi ya kufuga vizuri kuku wa kienyeji soma zaid wachepukaji wengi wanatabia hizi soma zaid huyu dogo anawenge siku nyingine hawezi kurudia soma zaid kwa namna hii wizi utaisha soma zaid hizi tv nyingine bwana za kiajabu soma zaid rais drmagufuli ametekeleza kwa vitendo agizo alilolitoa kwa watanzania kufanya usafi soma zaid angalia huyu alivyokomaa soma zaid angalia utofauti wa mawazo ya maskini na tajiri soma zaid huyu dogo mkorofi cheki alichomfanyia mama yake soma zaid hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi soma zaid ni wazo tuu soma zaid sister anaswaga simba wake taratibu jaribu wewe uone soma zaid sasa hawa wadada wapo in relationship na nan soma zaid huku kujiua kwingine huku ni balaa soma zaid hapa nani kawezwa zaidi soma zaid sms tamu za kimahaba soma zaid je unajua kwa nini hufanikiwi soma zaid hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago albino juani soma zaid hofu inavyo tugharimu katika safari ya ujasiriamali na jinsi ya kuiepuka soma zaid soma hii nani haelewi kati ya hawa soma zaid kwani albino hawatakiwi kuishi duniani soma zaid maelezo ya kitabu cha mwanzo cha biblia soma zaid kwa nini vijana wengine albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo soma zaid ukisikia utundu ndio huu wa huyu mtoto sasa soma zaid namna ya kumtambua mwanamke mpumbavu na mwanamke mwerevu soma zaid wivu huu ni noma soma zaid kati ya huyu nyoka na mjusi nani atakayemmeza mwenzake soma zaid madenge hakosi visa soma hii soma zaid kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi soma zaid kama wewe ni mwalimu soma hii soma zaid watu 6 wameuawa katika mji mkuu wa burundi bujumbura na wengine kadhaa kujeruhiwakufuatia machafuko yaliyotokea katika mji huo soma zaid angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari soma zaid hapo sasa patamu cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo soma zaid kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja bongo wasanii wengi soma zaid thamani ya marafiki zetu soma zaid angalia huyu faru alichokifanyia hili gari soma zaid ishara za uhakika za mtu yeyote anayekupenda kimapenzi hata kama hajakwambia soma zaid punguzeni pombe cheki kilichompata huyu soma zaid jinsi ya kulima karanga bora soma zaid kuua huyu mnyama yataka moyo angalia anavyowasumbua hawa soma zaid angalia huyu alivyoumbuka wakati anasalimiana soma zaid kilichompata fundi umeme baada ya kuzidisha mbwe mbwe kazini soma zaid ujumbe kwa wadada soma zaid dada zangu huu ni mwaka wa mabadiliko soma zaid jinsi ya kutambua magonjwa ya mbuzi wa maziwa soma zaid mbinu kuu za kilimo cha mboga cha uhakika kwa mazao mazuri soma zaid angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani soma zaid angalia kiingereza kilivyoniponza soma zaid cheki hii ndege ilivyowaka soma zaid kama simu yako ina wifi soma zaid jielewe kipato chako kinakusaidia nini soma zaid cheki huyu mtoto alichomfanyia baba yake soma zaid huyu mwizi kaiba na yeye kaibiwa hapa mjanja ni nani soma zaid cheki jamaa alivyofumwa akimuomba mavi shemeji yake soma zaid hakuna aliyesawa na mungu soma zaid roho mtakatifu aliwafanyia nini mitume soma zaid je yatupasa kumtolea mungu shukrani soma zaid ee mungu moyo wangu u thabiti soma zaid ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe soma zaid mawasiliano soma zaid factors of life soma zaid vichekeshobora soma zaid malaika walinzi wanatutendea nini soma zaid slide2 soma zaid jinsi ya kuzalisha lishe kwa n'gombe wa maziwa kwa bei nafuu soma zaid angalia huyu mwanaume anachokisema sasa soma zaid kwa mwaka huu hizi ndizo videos zinazotamba online soma zaid utoto raha soma zaid the kingdom of god is within you soma zaid mungu aliumbaje vyote soma zaid je toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa mungu peke yetu soma zaid ungeenda kunya akhera soma zaid yesu alihalalisha ulaji wa vyakula vyote hakuna chakula kinachoweza kumtia mtu unajisi soma zaid videos kali za instagram kwa mwezi huu soma zaid matukio ma 5 ya kusisimua na kushangaza ya wamama wakiwaokoa watoto wao soma zaid videoskwawanawake soma zaid kwa nini wakatoliki wanaungama dhambi kwa padri soma zaid videotuu soma zaid komunyo takatifu hutuletea neema gani soma zaid videosmbeya soma zaid ushauri wa bure kwa wakaka na wadada soma zaid je yesu ametufundisha maneno ya sala pia soma zaid angalia huyu baba anavyomfanyisha mwanae mazoezi huyu mtoto akiwa mkubwa atakuwa mtaalamu ile mbaya soma zaid nini matatizo ya macho ya albino soma zaid pichazaleo soma zaid ni hatua zipi zinazochukuliwa na serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya soma zaid rais wa gambia yahya jammeh ametangaza taifa hilo lenye waislamu wengi kuwa jamhuri ya kiislamu soma zaid stress tupu soma zaid je wasichana wana viungo gani vya uzazi na kazi zake ni zipi soma zaid tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili soma zaid waziri mwenye ushawishi mkubwa katika serikali ya rais uhuru kenyatta amejiuzulu soma zaid karoli nipe biblia soma zaid
2017-06-28T05:17:06
http://www.ackyshine.com/videos:huyu-kamuweza-mshikaji-anashangaa-damu-imetoka-wapi-t
wagombea wetu ismail idrissa imani madega rashid bhinda kibo merinyo na baraka igangula makamu wa mwenyekiti rashid ngozoma matunda shabaan dilunga na patrickfata lucas kisasa constantine maligo na emmanuel mpangala katibu msaidizi ahmed mamba mlimuka luhanda ally bwamkuu francis kaswahili said motisha abdulrahman gwando constantine maligo mohamed bhinda rasul ndee na ramesh patwa katibu mipango ismail mwapani seif mohamed yussuf yassin ali kamtande geoffrey mhagama na patrick fata hamisi juma francis lucas bakili makele juma magoma mlimuka luhanda bakari malima hamisi kinye mohamed omar na makusudi hussein patory kyombya abeid mohamed abeid castory nketto na jeremiah mkali mweka hazina msaidizi abbas bomba boniphace clemence godfrey mwenge na seif mbelwa uchaguzi utafanyika jumatano tarehe 30/05/2007 katika ukumbi wa karimjee kama kuna mwanablog yeyote anayefahamu sifa za hawa wagombea ni vizuri atuwekee wazi bila majungu ili tujue nani ni nani posted by cm at 1037 am nasikia kuna wanachama kibao wa yanga wenye kadi za miaka ya 1960 ambao hawakujitokeza kuhakikiwa ili wafanye uchaguzi lakini waliposikia mshiko wa sh 20000/ wakajitokeza kuchukua kama ni kweli basi nadhani viongozi wapya wana kazi kubwa ya kufanya maana wanachama wanatakiwa kwenda klabuni kutimiza wajibu na haki yao ya kupiga kura hata kama hawaahidiwa kulipwa kitu sasa kumbe wako wengi na kadi wanazo lakini hawajitokezi jamani wanachama tunatakiwa kupeleka hela klabuni sio kwenda kuchukua hela hii elimu mpaka ituingie akilini itachukua muda ingekuwa vizuri wagombea wenyewe wakapitia hapa na kuweka sera zao hadharani lakini huenda wapenzi wengi wa hapa nyumbani hawaijui hii blog 'yetu' kuna gazeti pale klabuni nadhani linaitwa 'sauti ya jangwani' kama sijakosea sasa kama unaweza pata email ya mhariri unaweza kumpa details za hii blog akachapisha kwenye hilo gazeti ili viongozi na wanachama nao wawe wanatembelea hapa nakutoa maoni yao may 28 2007 121000 pm hapa kuna maelezo kidogo ya baadhi ya wagombea ni kutoka gazeti la tanzania daima la leo http//wwwfreemediacotz/daima/2007/5/28/makala2php sina hakika kama hakuwa akipigiwa debe mtu lakini its worth reading (inafaa kusoma) may 28 2007 33200 pm jm nakushukuru sana kwa michango yako mbalimbali ambayo kusema kweli huwa inanijenga sana nimejaribu kutafuta hilo gazeti la sauti ya jangwani nimeona wametoa mawasiliano yao na nimefanikiwa kupata email yao (jangwani2007@yahoocom) kwa hiyo kama mdau yeyote atafanya mawasiliano nao au vinginevyo asisite kudondosha data hapa bloguni kuhusu hiyo makala iliyopo kwenye tz daima naona kama wanapiga kampeni sehemu fulani may 28 2007 50400 pm kichwabuta mwendantwala said huyo patrick fata anayegombea umakamu mwenyekiti na ukatibu mipango mbona naambiwa ya kuwa hana kabisa uzoefu na hizo nafasi anazogombea kwani hata wafanyakazi wenziwe wa benki kuu ya tanzania wanasema hajawahi kuwa kiongozi wa ngazi yoyote pale ofisini kwake sasa tukimpa hizo nafasi anatuahakikishaje kama atazimudu may 29 2007 124400 pm
2017-10-24T05:39:10
http://yangatz.blogspot.com/2007/05/wagombea-wetu-mwenyekiti-ismail-idrissa.html
mawaziri watano watembelea mradi wa kufua umeme stiegler's gorge issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content mawaziri watano watembelea mradi wa kufua umeme stiegler's gorge waziri wa nishati medard kalemani akizungumza na baadhi ya mawaziri pamoja na makatibu wakuu waliofanya ziara jana ya kutembelea mradi wa kufua umeme wa mto rufiji kwa ajili ya kukagua miundombinu wezeshi ikiwemo maji barabara umeme pamoja na nyumba za watumishi kabla ya kumkabidhi mkandarasi huyo kwa ajili ya kuanza ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme waziri wa nyumba ardhi na maendeleo ya mkazi mhe william lukuvi akiwa ameshika moya nguzo za umeme zilizotengenezwa kwa zege yenye urefu wa mita 17 ambazo zimewekwa katika pori la akiba la selous ili wanyama kama vile tembo na twiga waziweze kuziangusha wakati mawaziri watano walipofanya ziara katika mradi huo wa kufua umeme wa mto rufiji mkoani morogoro wengine wanaoangalia ni mawaziri na makatibu wakuu mratibu wa mradi wa kufua umeme wa mto rufiji mhandisi justus mtolela akizungumza na mawaziri pamoja na viongozi mbalimbali walioambatana na katika pori la akiba la selous kabla ya kuanza kufanya ziara ya kukagua miundombinu we continue reading >
2019-03-24T09:39:07
http://presstz.net/mawaziri-watano-watembelea-mradi-wa-kufua-umeme-stiegler-s-gorge-45601884
mh john momose cheyo unakumbuka | jamiiforums | the home of great thinkers mh john momose cheyo unakumbuka discussion in 'jukwaa la siasa' started by raia fulani mar 7 2011 nakumbuka sana mwaka 2005 jk alipohutubia bunge kwa mara ya kwanza kwa hotuba yake ya kutoa denda saa zima na ushee jk alituimbisha huku tabasam likimtanda usoni alianza kwa kusema kuwa safari hii kura zimetosha mwanzo mwisho wabunge walitabasam sie tulijawa matumaini mwisho wa siku wabunge wakihojiwa cheyo alisema tena kwa bashasha baada ya miaka 10 tumepata rais anayeongea na watu labda hakukosea jk anaongea kweli mh bado una imani ile bado tuna imani ile naomba sana kama kuna mdau anayo ile speech atubandikie hapa tuitafakari maisha bora kwa kila mtanzania hana lolote huyo jkkazi ya msanii ni kuchekeshatanzania ndugu zangu hatuwezi kukombolewa na ccmhuyo cheyo na chama chake ni ccm b kura hazikutosha sanadecision nakushauri uachane na john momose cheyo huyu siye yule wa 2005 baada ya kuhoja joto la jiwe ambapo nyumba yake ilipigwa mnada ameamuakujihudumia yeye badala ya kuwahudumia watanzania matokeo yake chama chake hivi sasa tayari kimeishapoteza sifa za kuwa chama cha siasa kinachozuia chama hicho kufutwa ni kutokana na kulindwa kwake na utawala uliopo nakumbuka sana mwaka 2005 jk alipohutubia bunge kwa mara ya kwanza kwa hotuba yake ya kutoa denda saa zima na ushee jk alituimbisha huku tabasam likimtanda usoni alianza kwa kusema kuwa safari hii kura zimetosha mwanzo mwisho wabunge walitabasam sie tulijawa matumaini mwisho wa siku wabunge wakihojiwa cheyo alisema tena kwa bashasha baada ya miaka 10 tumepata rais anayeongea na watu labda hakukosea jk anaongea kweli mh bado una imani ile bado tuna imani ile naomba sana kama kuna mdau anayo ile speech atubandikie hapa tuitafakari maisha bora kwa kila mtanzaniaclick to expand siyo mzee cheyo peke yake humu humu jf wakati inaanza 2006 ilikuwa ukimsema jk unatupiwa mawe hata wakongwe kama mzee mwkjj walikuwa wanatumia kauli eti 'washauri wa raisi hawakumshauri vizuri' na leo miaka 6 baadae hatujaona mabadiliko ama kweli ukipenda chongo huita kengeza ama kweli ukipenda chongo huita kengezaclick to expand ni wengi sana tuliingizwa kingi kumbe tumeandaliwa mazingira ya kuliwa hata mi nakumbuka nilimtetea sana eti tumpe muda i wish tungepata ile hotuba yake ya kwanza kabisa bungeni anyone who has never made a mistake has never tried anything new [font=&quot]kwa hiyo mwanzoni mlikuwa na matumaini haikuwa kosa lakini kosa ni kutumaini tena safari hii wakati hali halisi ni tofauti na maneno yasemwayo sokoni ie [/font] reality rarely matches the marketing[font=&quot] nakumbuka mzee aliyekua anatoka mkapa alituonya kwamba najua ntaonekana sifai ila ipo siku tanzania itanikumbuka personaly sikujuaga alimaanisha nini ila kwa sasa najua alichomaanisha na inaonekana alijua nini kitakachotokea watu walipoambiwa nguvu mpya na kasi mpya wakajua ni mbio za maendeleo kumbeeeteh great gad oneya siamini kama kuna mtu kwa dhati ya moyo wake anamuamini tena kwa sasa kama wapo basi wana aidha maslahi binafsi ama ni wapumbavu (maana ujinga si tusi) mpumbavu ni mtu aliyekuwa katika kiwango cha ujinga akashindwa kuondokana na ujinga pamoja na kueleweshwa mmojawapo cheyo huyu ana maslahi binafsi
2017-01-21T04:55:49
https://www.jamiiforums.com/threads/mh-john-momose-cheyo-unakumbuka.115684/
mzee wa mshitu viwanda visivyo endelezwa kurudishwa kwa watanzania wizara hiyo inaendelea na kushawishi wawekezaji mbalimbali ili kujenga viwanda vingi iwezekavyo kwa ajili ya uchakataji wa mazao yanayolimwa nchini pamoja na mifugo
2017-10-23T20:27:45
http://charaz.blogspot.com/2016/06/viwanda-visivyo-endelezwa-kurudishwa.html
haya ndiyo maamuzi ya halmashauri kuu ya taifa ya ccm baada ya kikao chake cha siku moja | tanuru la fikra blognews home uncategories haya ndiyo maamuzi ya halmashauri kuu ya taifa ya ccm baada ya kikao chake cha siku moja
2018-02-21T17:14:57
http://www.tanurulafikra24.com/2016/12/haya-ndiyo-maamuzi-ya-halmashauri-kuu.html
ministry of foreign affairs and east african cooperation may 2016 re position of legal adviser (director) at the organisation for the prohibition of chemical weapons (opcw) the ministry of foreign affairs and east african cooperation through its embassy in the netherlands has received a notification from the organization for the prohibition of chemical weapons (opcw) stating that the position of legal adviser (director) will be vacant in august 2016 the legal adviser will be responsible for the provision of legal advise to the director general of opcw the technical secretariat the policy making organs and states parties to the convention the ministry encourages qualified tanzanians to apply closing date for application is on tuesday 30th may 2016 posted by nje tanzania at 817 am no comments balozi haule akiongea na wachezaji wa timu ya taifa kulia ni kocha mkuu boniface mkwasa na wa pili kushoto ni mshauri wa timu abdallah 'king' kibadeni wachezaji wa taifa stars wakimsikiliza balozi haule balozi haule katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa stars posted by nje tanzania at 432 pm no comments waziri mahiga afungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje naibu katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi ramadhan muombwa mwinyi akimkaribisha waziri wa wizara hiyo mhe balozi dkt augustine mahiga kwenye mkutano wa baraza la wafanyakazi uliofanyika leo jijini dar es salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa julius nyerere mhe waziri mahiga akiwahutubia watumishi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki wakati wa ufunguzi wa mkutano wa baraza la wafanyakazi wa wizara katika hotuba yake aliwaasa watumishi kuwa waadilifu kufanya kazi kwa bidii kwa lengo la kuhakikisha shughuli za kidiplomasia zinafanyika kwa tija ikiwa ni pamoja na kuhakikisha sera ya mambo ya nje inatekelezwa na kuifanya tanzania kuendelea kupaa katika medani za kimataifa balozi ramadhan muombwa mwinyi akitoa taarifa ya utangulizi ya mkutano kwa mhe waziri viongozi wa tughetaifa pamoja na wafanyakazi waliohudhuria mkutano huo hawapo pichani pia alitumia fursa hiyo kumkaribisha mhe waziri ili aweze kufanya ufunguzi wa mkutano ambapo tukio hilo liliambatana na utoaji wa zawadi za wafanyakazi bora wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki sehemu ya wakurugenzi wakuu wa vitengo na watumishi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki wakifuatilia hotuba sehemu nyingine ya wakurugenzi wakuu wa vitengo na watumishi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki wakifuatilia hotuba mkurugenzi wa idara ya mashariki ya kati balozi abdallah kilima akitoa neno la shukrani kwa waziri mahiga kwa niaba ya wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki pamoja na kuahidi kufanyia kazi nasaha zilizotolewa balozi kilima alimpongeza waziri mahiga kwa kuwa kiongozi bora na wa mfano wa kuigwa na watumishi wote katika utendaji wa kazi mjumbe kutoka tughetaifa bw arcado nchinga pia alizungumza na watumishi wa wizara ambapo aliwahimiza kuendelea kufanya kazi kwa juhudi ikiwa ni pamoja na kuwakilisha nchi vizuri katika mataifa mengine mkurugenzi wa idara ya utawala na usimamizi wa rasilimaliwatu katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki bw nigel msangi akitoa taarifa ya wafanayakazi bora wa wizara wa mwaka 2015/2016 kwa waziri mahiga ambao walitunukiwa zawadi katika mkutano huo afisa habari katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki bw ally kondo ndiye aliyeibuka mfanyakazi bora na hodari wa iliyokuwa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa pichani akipongezwa na mhe waziri mahiga afisa tehama katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki bwsalum m nalolah ndiye aliyeibuka mfanyakazi bora na hodari wa iliyokuwa wizara ya ushirikiano wa afrika mashariki pichani akipongezwa na mhe waziri mahiga picha ya pamoja ya mhe waziri mahiga na wafanyakazi bora wa idara zote za wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki picha ya pamoja mhe waziri mahiga na wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki posted by nje tanzania at 357 pm no comments mkutano wa kimataifa kujadili utawala wa sheria kufanyika nchini mkutano wa kimataifa kujadili masuala ya utawala wa sheria kama chachu ya maendeleo endelevu unatarajiwa kufanyika katika hoteli ya hyatt regency jijini dar es salaam tarehe 1 na 2 juni 2016 mkutano huo ambao utafanyika katika ngazi ya mawaziri kutoka nchi mbalimbali za afrika utafunguliwa na waziri wa katiba na sheria mhe dkt harison mwakyembe (mb) na kuhudhuriwa na mawaziri kutoka nchi za afrika maafisa waandamizi wa serikali na wakuu wa taasisi mbalimbali za kimataifa mkutano huo unaolenga kuweka sera mikakati thabiti pamoja na kubadilishana uzoefu weledi na ujuzi miongoni mwa washiriki ili kuwawezesha kutekeleza malengo mapya ya dunia chini ya dira mpya ya umoja wa mataifa ya maendeleo ya dunia ijulikanayo kama agenda ya maendeleo endelevu ya mwaka 2030 yenye jumla ya malengo 17 malengo hayo yanarithi malengo ya milenia yaliyomaliza muda wake mwaka 2015 ikumbukwe kuwa mwezi septemba 2015 jumuiya ya kimataifa ilifikia makubaliano ya kihistoria kwa kupitisha agenda mpya ya maendeleo endelevu wakati wa mkutano maalum wa umoja wa mataifa uliofanyika mjini new york marekani katika mkutano huo wakuu wa nchi wanachama wa umoja wa mataifa walikubaliana kuwa na dira mpya ya maendeleo ya dunia ikilenga katika kutokomeza umaskini kulinda mazingira kupambana na mabadiliko ya tabianchi na kushirikisha makundi yote kwenye jamii katika masuala ya maendeleo mkutano huo wa siku mbili umeandaliwa na taasisi ya kimataifa ya maendeleo ya sheria (international development law organisationidlo) yenye makao yake makuu mjini roma italia kwa kushirikiana na serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania mkutano huo unatarajiwa kuhudhuriwa na washiriki takriban 70 kutoka ndani na nje ya tanzania na umejikita zaidi kwenye lengo namba 16 linalohimiza haki amani na jamii shirikishi dar es salaam 27 mei 2016 posted by nje tanzania at 311 pm no comments waziri mahiga apokea msaada wa magari ya kubebea wagonjwa kutoka korea kusini waziri wa mambo ya nje ushirikano wa afrika mashariki dkt augustine mahiga (aliye shikilia funguo za gari) akipokea ufunguo wa magari ya wagonjwa kutoka kwa balozi wa korea kusini nchini mhe song geum young yaliyotolewa serikali ya nchi yake waziri mahiga alitumia nafasi hiyo kuishukuru na kuipongeza serikali ya korea kusini kwa msaada huo ambo utatumika kwenye hospitali ya taifa ya muhimbili na hospitali ya rufaa ya bugando mwanza tanzania na korea kusini zina mahusiano mazuri ambapo korea kusini inaendelea kuisaidia tanzania kwenye sekta mbalimbali zikiwemo afyamiundombinu elimu na uchumi waziri mahiga akijaribisha moja ya magari aliyokabidhiwa na serikali ya korea kusini kupitia balozi young kushoto picha ya magari yaliyotolewa kwa msaada wa serikali ya korea kusini mkurugenzi wa idara ya asia na australasia katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi mbelwa kairuki (wa kwanza kushoto) mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya serikali na msemaji wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki bi mindi kasiga (wa kwanza kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na balozi wa korea kusini mhe song geum young mara baada makabidhiano ya magari kwa mhe dkt mahiga (hayupo pichani) hon dr susan kolimba deputy minister foreign affairs and east african cooperation dr susan kolimba holds the budget speech she is flanked by the eac secretary general hon amb liberat mfumukeko the deputy minister of foreign affairs and east african cooperation hon dr susan kolimba presents the budget speech to the house at back is the eala speaker rt hon daniel fred kidega posted by nje tanzania at 559 pm no comments tanzania na china kuendelea kuimarisha ushirikiano mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya serikali na msemaji wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki bi mindi kasiga akiwaonyesha waandishi wa habari kitabu kinachoelezea historia ya ushirikiano baina ya tanzania na china kwenye mkutano na vyombo vya habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa julius nyerere jijini dar es salaam sehemu ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano ambao bi kasiga aliwaelezea mafanikio ya ziara iliyofanywa na katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi aziz mlima nchini china ambapo pamoja na kufadhili shughuli mbalimbali za kiuchumi nchi hiyo pia imekubali kutoa ufadhili wa nafasi kumi za masomo ya kidiplomasia ambapo itatoa nafasi tano za mafunzo ya muda mrefu na tano za muda mfupi kwa kila mwaka ziara ya kikazi ya katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki nchini china katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt aziz mlima alifanya ziara ya kikazi nchini china kuanzia tarehe 15 19 mei 2016 kufuatia mwaliko wa wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kuimarisha mahusiano kati ya tanzania na china katika nyanja za siasa uchumi na utamaduni akiwa nchini china dkt mlima pamoja na mambo mengine alipata fursa ya kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa serikali na wa makampuni makubwa ya china ambayo baadhi yao yameshawekeza nchini na mengine yameonesha dhamira ya kuwekeza wakati wa mazungumzo na naibu waziri wa mambo ya nje wa china mhe zhang ming masuala mbalimbali yalijitokeza ikiwa ni pamoja na china kusisitiza dhamira yake ya dhati ya kukuza ushirikiano na tanzania katika nyanja ya uchumi kupitia uwekezaji kwenye sekta ya viwanda nishati na miundombinu china imeweka kipaumbele cha juu katika miradi ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo na eneo la viwanda pamoja na maboresho ya reli ya tazara na ipo tayari kuanza upembuzi yakinifu wa reli ya kati kwa upande wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo kampuni ya china ya merchant holding international (cmhi) ambayo imeingia ubia na serikali ya tanzania na mfuko wa oman kujenga bandari hiyo wapo katika hatua nzuri ya kukamilisha mazungumzo ya ubia wao ili waanze awamu ya kwanza ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo ndani ya mwaka huu wa 2016 kwa suala la ujenzi wa eneo la viwanda serikali ya china imebainisha kuwa ikwishatenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu wezeshi (barabara nishati ya umeme maji tehama) kuhusu reli ya tazara china imeahidi kuwa itaendelea kuipa kipaumbele cha juu reli hiyo kwa sababu inabeba historia ya mahusiano yake na afrika china imeridhishwa na mazungumzo ya wataalamu yaliyofanyika jijini dar es salaam hivi karibuni na kuahidi kufanyia kazi yaliyokubalika ikiwa ni pamoja na kutoa fedha kupitia itifaki ya 16 kwa ajili ya maboresho makubwa ya miundombinu ya tazara pamoja na kushiriki kikamilifu kwenye mikutano itakayofuata kuangalia namna bora ya kuendesha reli hiyo kwa ushirikiano na tanzania na zambia mkutano na mamlaka ya tumbaku katibu mkuu alikutana na kamishna wa state tobacco monopology bw lin chengxing ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia utekelezaji wa mkataba wa kuruhusu tumbaku ya tanzania kuingia soko la china uliosainiwa mwaka 2013 wakati rais wa nchi hiyo mhe xi jinping alipofanya ziara nchini bw lin alijulisha kwamba makampuni mawili ya chinahunan industries na shandong industries yamepewa jukumu la kuinunua tumbaku ya tanzania kwa ajili ya kufanya majaribio hadi hivi sasa wameshanunua tani 1500 ambazo zinahifadhiwa kwa kati ya miezi 24 hadi 30 (fermentation) kabla ya kutumika kuzalisha sigara matarajio yao ni kwamba sigara zitakazozalishwa na tumbaku ya tanzania itaingia soko la china mwaka ujao endapo soko la china litapendelea sigara hizo mahitaji ya tumbaku ya tanzania katika soko la china yataongezeka kwa kiasi kikubwa mkutano na chuo kikuu cha mambo ya nje dkt mlima alikutana na rais wa chuo kikuu cha mambo ya nje cha china prof qin yaqing ambapo walijadiliana namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya chuo hicho na chuo cha diplomasia cha hapa nchini katika majadiliano hayo walikubaliana kushirikiana katika tafiti na utoaji wa mihadhara aidha chuo hicho kimeahidi kutoa nafasi za masomo tano za muda mfupi na tano za muda mrefu kila mwaka kwa wakufunzi wa chuo cha diplomasia na watumishi wa wizara ya mambo ya nje chuo hicho kilianzishwa mahsusi kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa wa wizara ya mambo ya nje ya china na baadaye kilianzisha programu mbalimbali na kuchukua wanafunzi kutoka nje ya nchi dar es salaam 26 mei 2016
2017-11-18T15:42:17
http://foreigntanzania.blogspot.se/2016/05/
naibu waziri ulega asisitiza utengenezaji zaidi wa bidhaa za ngozi hapa nchini | masama blog home » news and updates » naibu waziri ulega asisitiza utengenezaji zaidi wa bidhaa za ngozi hapa nchini naibu waziri wa mifugo na uvuvi mhe abdallah ulega akipata maelezo ya mashine zinazofungwa kwenye kiwanda kutoka kwa mkurugenzi mtendaji wa kiwanda cha ace leather bw onorato garavaglia naibu waziri wa mifugo na uvuvi mhe abdallah ulega (katikati) akikagua na kupata maelezo ya mashine zinazofungwa kwenye kiwanda cha ace leather from michuzi blog https//ifttt/3af2mns thanks for reading naibu waziri ulega asisitiza utengenezaji zaidi wa bidhaa za ngozi hapa nchini
2020-04-09T06:45:26
https://www.masamablog.com/2020/01/naibu-waziri-ulega-asisitiza.html
wizara yaongeza udahili vyuo vikuu | jamiiforums | the home of great thinkers wizara yaongeza udahili vyuo vikuu monday 13 august 2012 2111 waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi dk shukuru kawambwa akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2012/13 bungenidodoma jana picha na emmanuel herman daniel mjema na habel chidawali dodoma serikali imetenga sh326 bilioni kwa ajili ya kugharimia mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi 98772 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2012/13idadi hiyo ya wanafunzi ni ongezeko la takriban wanafunzi 5596 ikilinganishwa na wanafunzi 93176 waliopata ufadhili wa bodi hiyo mwaka jana hayo yalielezwa jana na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi dk shukuru kawambwa wakati akisoma makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara yake kwa mwaka wa fedha 2012/13 “katika mwaka 2012/13 wizara kupitia bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu itatekeleza yafuatayo kutoa mikopo kwa wanafunzi 98772 wa vyuo vya elimu ya juu na kusimamia ukusanyaji wa marejesho ya mikopo ya sh18 bilioni kwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wadaiwa’’ alisema dk kawambwa waziri alisema kati ya wanafunzi 93176 waliopata mikopo kwa kipindi cha mwaka wa fedha uliopita 256 walikuwa wahadhiri ambao walikuwa wakisomea shahada za uzamili na uzamivu ndani na nje ya nchi alisema katika mwaka huu wa fedha wizara inakusudia kudahili wanafunzi 65000 wanaojiunga na vyuo vikuu kama hatua za kufikia lengo la wanafunzi 300000 kwenye taasisi ya elimu ya juu ifikapo mwaka 2015 alisema mipango mingine ni kuanza mchakato wa ujenzi wa ofisi za bodi ili kuongeza ufanisi katika kazi na kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu wajibu wa kuchangia elimu ya juu na urejeshaji wa mikopo waziri alisema wizara yake inaendelea kuongeza ufanisi katika usambazaji wa mitihani kwa kununua matrela mawili ya malori na magari madogo mawili kwa ajili ya ufuatiliaji na usindikizaji wa mitihani hiyo alisema kupitia baraza la mitihani la taifa wizara itasimamia mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa watahiniwa 1050000 wanaotarajia kufanya mtihani huo mwaka huu katika bajeti hiyo waziri kawambwa aliomba bunge liidhinishe matumizi ya sh7245 bilioni kwenye wizara hiyo kwa mwaka huu wa fedha ikiwamo ni fedha za matumizi ya kawaida mishahara na matumizi mengineyo kamati kodi zipitiwe upya serikali imeshauriwa kupitia upya utaratibu wa kodi zinazotozwa kwa taasisi binafsi za elimu nchini zikiwamo zinazotoa elimu ya msingi na sekondari ili kuzisaidia taasisi hizo kuongeza ufanisi katika utoaji wa elimu ushauri huo ulitolewa bungeni jana na mbunge wa viti maalumu (ccm) martha mlata wakati akiwasilisha taarifa ya kamati ya kudumu ya bunge ya huduma za jamii kuhusu bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kwa mwaka 2012/13 mlata alisema watu na taasisi binafsi za elimu nchini zimekuwa zikichangia juhudi za serikali katika kutoa elimu ya msingi sekondari na vyuo kwa kuzingatia miongozo ya wizara lakini zinakabiliwa na changamoto kubwa ya kodi “taasisi hizi zinakabiliwa na changamoto ya utozwaji wa kodi ikiwamo kodi za ardhi majengo mapato kodi ya kuajiri mwalimu au mfanyakazi asiye raia wa tanzania hali inayosababisha uendeshaji wa taasisi kuwa mgumu” alisema kamati hiyo pia imebainisha kuwapo kwa mgongano katika utekelezaji wa sera ya uchangiaji elimu hususan utoaji wa elimu ya msingi na sekondari hali inayosababisha baadhi ya wazazi kugoma kuchangia elimu kwa watoto wao madai ya upinzani kambi rasmi ya upinzani bungeni imeitaka serikali kuwarudisha vyuoni wanafunzi 285 wa vyuo vikuu waliosimamishwa masomo wakigomea utendaji mbovu wa bodi ya mikopo ya wanafunzi nchini msimamo huo uliwasilishwa bungeni jana na mbunge wa viti maalumu (chadema) susan lyimo wakati akiwasilisha maoni ya kambi hiyo kuhusu bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo 2012/13 kati ya wanafunzi hao 260 ni wa chuo kikuu dodoma (udom) na wanafunzi 25 ni wa chuo kikuu cha dar es salaam (udsm)
2016-10-27T13:00:36
http://www.jamiiforums.com/threads/wizara-yaongeza-udahili-vyuo-vikuu.307826/
lenzi ya michezo simba wamlilia shabiki aliyefariki kwa bao la kichuya simba wamlilia shabiki aliyefariki kwa bao la kichuya uongozi wa klabu ya simba umesikitishwa na kifo cha shabiki wa timu hiyo elius mweta aliyefariki dunia kwa mshituko baada ya winga shiza kichuya kufunga bao la ushindi kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopigwa juzi katika uwanja wa taifa mweta alifariki dunia baada ya kushangilia kwa nguvu hali iliyomfanya kupata mshituko wa moyo na kuanguka chini kabla ya kupoteza maisha muda mfupi baadae ofisa habari wa klabu hiyo hajji manara alisema uongozi umesikitishwa na msiba wa shabiki huyo na wanaungana na familia ndugu jamaa na marafiki katika kumuombea marehemu kwakuwa kila mmoja atapita katika njia hiyo tumesikitishwa sana na msiba wa shabiki wetu tunaungana na ndugu jamaa na familia katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo tukimuombea ndugu yetu apumzike kwa amani na uongozi wa simba tunaangalia jinsi ya kupeleka rambirambi zetu alisema manara marehemu mweta atazikwa kesho saa 10 alasiri kwenye makaburi ya kawe huku uongozi ukiyataka matawi yote ya klabu hiyo kwa jiji la dar es salaam kuperusha bendera nusu mlingoti siku ya kesho kumpa heshima shabiki huyo wakati huo huo manara alisema kikosi cha simba kimeingia kambini hii leo tayari kuivutia kasi timu ya mbeya city kwenye mchezo wa ligi ya vodacom utakaofanyika kwenye uwanja wa taifa dar es salaam jumamosi ijayo simba wanaingia kwenye maandalizi ya mchezo huo wakiwa na morali ya hali ya juu kutokana na ushindi wa mabao 21 walioupata dhidi ya wapinzani wao wa jadi yanga juzi na kuwazidi pointi tano kwenye msimamo wa ligi
2017-12-18T14:48:05
http://pallangyor.blogspot.com/2017/02/simba-wamlilia-shabiki-aliyefariki-kwa.html
habari fulani za ulimwengu | amuka mwezi wa 10 2014 soma katika afrikaans kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibengali kibulgaria kicheki kichichewa kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kidanishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifini kigiriki kigujarati kihiligaynon kihindi kihispania kiholanzi kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiitaliano kijapani kijeorjia kijerumani kikannada kikirigizi kikorasia kikorea kilitwania kimalagasi kimalayalamu kimarati kimasedonia kinepali kinorwe kinyarwanda kioromo kipolandi kipunjabi kireno kiromania kirundi kirusi kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kisetswana kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kiswahili kiswahili (congo) kiswedi kitagalog kitai kitamul kitelugu kitigrinya kitirke kitsonga kitwi kiukraini kiurdu kivietinamu kixhosa kizulu lingala sesotho (lesotho) mapolisi fulani wanatumia teknolojia ili kupunguza hatari wanapofuata motokari njia moja ambayo wanajaribu sasa ni vifaa vyenye kutumia hewa vilivyo kwenye sehemu ya mbele ya motokari zao vyombo hivyo vinarusha vitu vinavyoweza kutambuliwa na satelite kwenye motokari inayofuatwa vitu hivyo vinabana kwenye motokari hivyo mapolisi wanaweza kufuata motokari bila kuwa haraka sana inakadiriwa kama kila saa mwanamuke mumoja anauawa kwa sababu ya mabishano juu ya mali ya kuoa hata ikiwa serikali imekataza desturi ya kupana na kupokea mali hiyo katika 2012 wanawake zaidi ya 8200 waliuawa kwa sababu bwana ao familia yake iliona kuwa mali ya kuoa ambayo bibi alitoa ilikuwa kidogo vyombo vidogo sana vya kusaidia kutambua mwendo viliwekwa kwenye mbayuwayu watatu wa milima ya alps mahali wanatagia mayayi vilionyesha kama ndege hao waliruka bila kusimama kwa siku zaidi ya 200 wakati walikuwa wanahamia afrika hapo mbele iliripotiwa kama wanyama wa bahari tu ndio wangeweza kufanya hivyo washambuliaji wa mashua walishambulia mashua 179 pembeni ya pembe ya afrika kuanzia mwezi wa 4 2005 mupaka mwezi wa 12 2012 uchunguzi wa benki kubwa ya dunia unaonyesha kama washambuliaji hao walipewa dola milioni 413 ili kuachilia mashua habari fulani za ulimwengumwezi wa 10 2014
2018-01-19T19:28:46
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/g201410/habari-fulani-za-ulimwengu/
baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya rungwe yapitisha rasimu ya mapendekezo ya mpango wa bajeti kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 rasimu hiyo iliyowasilishwa na afisa mipango wa wilaya ya rungwe bihusana toni nakueleza kuwa rasimu hiyo imezingatia vipaumbele vya halmashauri ya wilaya ya rungwe kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kama vifuatavyo kuboresha miundombinu ya elimu afya na maji kuhamasisha wananchi na vikundi kujenga viwanda vidogo vya kati na vikubwa kuweka mazingira ya wilaya safi kwa kuzoa taka zinazozalishwa katika masoko kuboresha miundombinu ya biashara na masoko ili kujenga mazingira mazuri ya biashara na ukusanyaji wa mapato kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi wa ngazi zote ili kukuza uwajibikaji kushirikiana na wadau wa nje na ndani ya halmashauri katika shughuli za maendeleo ili kukuza mahusiano na sekta binafsi wananchi na wadau wa maendeleo kuboresha mazingira ya uwekezaji wilayani kwa kuboresha miundombinu ya uwekezaji ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii rasimu hiyo imegawanyika katika sehemu kuu tatu ambazo (i) mapitio ya utekelezaji wa mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018 ambayo ilionesha mchanaganuo wa vyanzo vya mapatomakisio ya mwaka 2017/2018 jumla ya kiasi kilicho pokelewa julai2017juni 2018 na asilimia ya mwaka husika katika utekelezaji wa mpango wa bajet i ya mwaka 2017/208 halmashauri ilipata mafanikio na changamoto kadhaa ambazo ziliongeza ufanisi /ubunifu katika utendaji kazi na kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi kwa wananchi (ii)mapitio ya mpango na bajeti wa mwaka wa fedha 2018/2019 hadi kufikia mwezi disemba 2018 kwa mwaka wa fedha 2018/2019 halmashauri ya wilaya ya rungwe ilipanga kukusanya na kutumia kiasi cha tsh 4630716319448 hadi kufikia mwezi disemba 2018 halmashauri imepokea kiasi cha tsh 2112198274585 sawa na 46 ya makisio yote utekelezaji wa miradi unaendelea kufanyika kulingana na mapokezi ya fedha za miradi hiyo aidha uhamisishaji unaendelea kufanyika kwa wananchi na wadau wengine wa maendeleo (iii)rasimu ya mapendekezo ya mpango na bajeti kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 imezingatia mambo mbalimbali ya muhimu ambayo ni dira ya taifa ya maendeleo 2025 mwongozo wa kitaifa wa uundaji wa mipango na bajeti kwa tasisi za serikali ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ya mwaka 20152020 mafanikio na changamoto za utekelezaji wa mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 ushauri na mipango kutoka kwenye kamati za maendeleo ya kata (kamaka) viwango vya ukomo wa bajeti vilivyotumika katika mwaka 2018/2019 na mpango mkakati wa halmashauri wa miaka mitano kuanzia 2015/20162019/2020 aidha afisa mipango alieleza kwamba katika mwaka wa fedha 2019/2020 halmashauri inategemea kukusanya na kutumia kiasi cha sh 4836444378200 vyanzo vya mapato ni serikali kuu mapato ya ndani na wahisanaidha mwenyekiti wa halmashauri ameeleza kuwa rasimu ya mapendekezo ya mpango na bajeti ya 20191/2020 imelenga kutekeleza huduma za jamii kwa wananchi kwaajili ya kupata mendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla alisema kama taifa litafanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya huduma za afya tutajikuta tunafanya mapinduzi makubwa sana katika miundo mbinu ya elimu na maji picha ya kwanza ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya rungwe mhezekiel mwakota (mwenye skafu ya njano) akifuatiwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya rungwe biloema ipeter (mwenye skafu ya bluu) wakiwa na katibu wa umoja wa wanawake (uwt) rungwe katika mkutano wa baraza maalum (pichani ni baadhi ya madiwani na wakuu wa idara wakiwa katika mkutano maalumu wa baraza la kupitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020)
2019-10-16T14:55:20
http://rungwedc.go.tz/new/baraza-la-madiwani-la-pitisha-rasimu-ya-mpango-na-bajeti-kwa-kipindi-cha-mwaka-wa-fedha-20192020
chadema yalalamika wafuasi wake wenye majeraha ya risasi kuendelea kusota mahabusu | malunde 1 blog home » siasa » chadema yalalamika wafuasi wake wenye majeraha ya risasi kuendelea kusota mahabusu chadema yalalamika wafuasi wake wenye majeraha ya risasi kuendelea kusota mahabusu siku 10 baada ya wanachama wa chadema kukamatwa na polisi eneo la mkwajuni wilayani kinondoni jijini dar es salaam chama hicho kimelalamika baadhi yao kuendelea kushikiliwa na polisi katika kituo cha oysterbay wakiwa na majeraha ya risasi bila kupatiwa matibabu wala kufikishwa mahakamani
2019-01-21T00:00:47
https://www.malunde.com/2018/02/chadema-yalalamika-wafuasi-wake-wenye.html
orodha ya aina zhyryanka > bustani mti huu ambao utajadiliwa katika makala hii kwa nchi nyingi ni chache zhiryanka ni aina ya aina ya flora inayohatarishwa na inalindwa na sheria ulinzi wa kisheria wa mimea hii imechukuliwa nchini slovakia hungary poland ujerumani ukraine lithuania na latvia ili kuelewa zaidi kuhusu maisha ya zhyryanka ya mwitu kuhusu aina na majina yake soma maelezo yetu zhyryanka kawaida (pinguicula vulgaris l) toast alpine (pinguicula alpina l) toaster gypsum (pinguicula gypsicola) mgawanyiko wa mviringo (pinguicula cyclosecta) mchuzi wa morani (pinguicula moranensis) zhiryankajani la gorofa (pinguicula planifolia) vipande violet (pinguicula ionantha) crystal ya mafuta (pinguicula crystallina) zhiryanka kawaida ni mmea wa kudumu wa herbaceous wa jenasi zhiryanka familia ya bubylvestate ni muhimu tofauti na mimea mingine ya familia ya bubyl kila aina ya zhiryanka ina mizizi halisi hata hivyo hali muhimu kwa ukuaji wa zhiryanka ni hali nzuri ya hali ya hewa vinginevyo mmea hufanya mizizi dhaifu sana ambayo husababisha urahisi habitat maporomoko ya mvua na maporomoko katika sehemu za chini maeneo ya mvua na udongo mvua katika maeneo ya milimani usambazaji ulaya greenland iceland scandinavia alaska maua juniagosti maelezo mti huu una mizizi ya nyuzi (515 cm) urefu wa majani ni cm 525 majani ni basal (basal sessile) iko chini urefu wa 25 cm 12 cm pana ni rahisi kutambua mafuta ya kawaida kwa kikubwa rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya njano na ya kijani na pia ni fimbo na ndogo kwa majani ya kugusa inaonekana imara na ndefu (urefu wa 517 cm) calyx ina muundo wa nywele inflorescence moja petals wana rangi ya rangi ya zambarau uchunguzi wa majani ulifunulia wadudu wadogo wadogo na uchafu mdogo ambao ulionekana kuwa umesimama na uso wa jani zhiryanka ya kawaida na aina nyingine zote za mmea huu zinaenea na mbegu ni muhimu ikiwa unaamua kushiriki katika kilimo cha zhyryanka kwenye bustani yako au nyumbani ni muhimu kujua kwamba mmea huu ni vimelea (wasiwasi) fimbomafuta kaanga ni aina ya mtego wa wadudu maji na madini maalum yaliyomo katika majani huvutia wadudu wadogo wakati wadudu wanakusanya juu ya uso wa nyasi majani hupanda kutoka makali hadi katikati na kula wadudu alpine zhiryanka mmea mmoja una muda mrefu wa kuishi maelezo tofauti na zhyryanka ya kawaida pedicel ya mmea huu ni mfupi sana shina la rhizome hudhurungi mizizi ya adventitious ni rangi ya manjano na rosette moja ya majani chini urefu wa kupanda 515 cm majani ni mbadala yaliyo chini 45 katika sehemu moja hadi 4 cm ya kipenyo kuwa na tezi za kitambaa juu ya uso rangi ya majani inatofautiana na nyekundu ya kijani na nyekundu kwa nyekundu mtaa mmoja wa rangi ya jua nyeupe yenye rangi ya njano usambazaji na makazi mti huu ni thermophilic sana inatokea kwenye mteremko wa kusini na miamba katika eneo la katikati la arctic alpine zhiryanka ni aina ya zhiryanka ya ulaya na ya siberia iliyoenea katika mikoa ya kaskazini na yenye mlima maua kawaida bud moja mpya inafungua wakati wa msimu mmoja je unajua tofauti na aina nyingine zyryanka ya alpine ni vimelea vya nusu kiwanda kina chlorophyll na pia hupokea virutubisho kutoka kwa photosynthesis maelezo rhizome ni rahisi fupi lakini kuna mizizi ya filiform ya adventitiousmajani mengi ya basal yana muundo wa ciliary na sura ya mviringoumbo au ya rangi (158 cm urefu 235 mm kwa upana) pedicle imara maua ina tabia ya rangi ya zambarau corolla imegawanywa katika midomo ya juu na chini petals zambarau kipenyo cha corolla ni kutoka 2 hadi 25 cm usambazaji na makazi mexico ni nyumbani kwa mmea pia hupatikana huko brazil aina hii ya zhyryanka ilipatikana kwanza na kuchunguzwa mwaka wa 1910 karibu na kaburi ya jasi iliyoko san luis (1300 m juu ya usawa wa bahari) mnamo 1991 alipewa jina lake na kuanza kulima ulaya eneo la jasi zhiryanka inahitaji maelezo zaidi mazingira ya kawaida ya mmea huu ni milima ya miamba nyasi hupanda ama katika kamba za kioo au katika tabaka nyembamba za udongo ulioharibika inapendelea upande wa kivuli zaidi wa kilima unaoelekea upande wa kaskazini au kaskazinimagharibi kwani kuna uvukizi wa maji kutoka udongo ni chini na joto ni la chini hata hivyo wakati mwingine mimea inaweza kupatikana katika maeneo ya shady ya canyons ndogo wakati wa kavu (kutoka desemba hadi juni) mmea unapata unyevu tu kutoka kwenye misuli ya asubuhikati ya agosti na novemba kuna mvua za kawaida lakini kilima yenyewe pia huhifadhi unyevu ambayo hutoa mmea kwa kulisha zaidi maua juni hadi novemba (kulingana na unyevu wa udongo) bloom inaweza kuanza baadaye zhiryanka pande zotemgawanyiko aina rahisi ya zhiryanka maelezo inatofautiana na aina nyingine katika pande zote majani ya kijani ya sessile majani mengi hukusanywa katika shimo lenye wingi kipimo cha upepo ni sentimita 20 urefu wa pedicle ni cm 12 kipigo ni tete sana rangi ya rangi ya zambarau rhizome fupi rahisi na mizizi mingi ya adventitious thread mboga huu unahitaji madini kwa hiyo kama aina nyingi za zhyryanka mmea huu hutumia majani yake kama velcro kwa mtego wadudu (ili kuongeza lishe duni) usambazaji mexico ni mahali pa kuzaliwa kwa zhiryanka katika pori kudumu huongezeka katika misitu juu ya miamba ya chokaa na miti ya miti wakati mwingine inakua katika maeneo mengi ya misizi au tu kwenye nyufa kwenye miamba (upande wa kaskazini wa miamba) zyryanka moranskaya mmea wa kudumu wa kudumu maelezo katika majira ya joto mmea huunda rosette ya basal ya majani hadi urefu wa sentimita 10 ambayo hufunikwa na tezi za mucous kama aina nyingine zhiryanka ya morani hupatia wadudu mimea inayotokana na mwili wa arthropods ndogo hutumiwa kwa kuongeza virutubisho zilizopo katika udongo katika majira ya baridi morani zhiryanka hupoteza sehemu yake na huchukua aina ya mmea mdogo maua yana kivuli cha rangi ya zambarau au cha rangi ya rangi ya rangi ya zambarau iko kwenye shina la wima na urefu wa sentimita 25 mimea hupanda mara mbili kwa mwaka usambazaji na makazi aina hii ilipatikana kwanza huko mexico mwaka wa 1799 hadi leo mmea hukua mexico pamoja na guatemala zhuranka moranskaya hupandwa sana duniani kote je unajua ya aina zote za jenasi zhiryanka maarufu kwa kilimo katika mazingira ya nyumbani ni zhiryanka moran hii ni sehemu kutokana na ukweli kwamba mmea una majani makubwa nyembamba nyembamba na yenye rangi ya rangi maelezo zhiryanka majani ya gorofa kutoka kwa aina nyingine hujulikana na rangi ya majani ya kina ya maroonsampuli zingine zinaweza kuwa na rangi nyepesi (kutokana na jua haitoshi) kipenyo cha bandari ni 125 cm urefu wa pedicel 12 cm maua ya majani ya majani yalikuwa na petals tano rangi ya petals inatofautiana na rangi ya zambarau ya karibu na nyeupe maua ni ndogo lakini yanaweza kufikia 2 cm kwa kipenyo kwa ajili ya maua kufungua petals yake mmea unahitaji jua kali kwa siku kadhaa ni jua kwamba majani ya nyasi hupata rangi nyekundu nyekundu habitat aina hii ya mwanamke mafuta hupenda makazi ya mvua sana unaweza kupata juu ya jani juu ya maeneo ya mvua kama vile mteremko mabwawa milima ya mvua usambazaji ilienea katika ulimwengu wa kaskazini aina hii ya zhyryanka inatoka marekani (kusini mashariki) mara nyingi hupatikana nchini france kipindi cha maua machi hadi aprili kulingana na joto vitisho mmea unatishiwa na kufuta tovuti kupungua kwa ubora wa maji na kila aina ya shughuli za binadamu valleus valleus nerilischnaya ni aina nyingine ya mimea isiyo na mazao ambayo ni ya familia ya vesiculate usambazaji na makazi kupanda mimea katika maeneo ya mawe na maeneo ya chokaa katika urefu wa mita 6001700 juu ya usawa wa bahari nyasi za kudumu hupenda mvua lakini maeneo yaliyohifadhiwa kutokana na mvua ya moja kwa moja zhirinka vallysenelistnaya imeenea katika milima ya hispania maelezo ua ni rangi nyekundu au rangi ya zambarau mara nyingi huwa nyeupe au rangi ya bluu maji ya corolla yana urefu wa mmeta 1522 majani ya basal yana kipenyo cha cm 125 urefu wa cm 12 rangi ya bandari ni terracotta kipindi cha maua biliaceae ya kawaida hupanda bloom mwezi mei au mapema mwezi juni kulima kilimo cha muda mrefu itakuwa kazi ngumu hali muhimu kwa ukuaji ni unyevu mzuri joto la chini na taa ya ultraviolet zyryanka zylelistnaya mmea wa kudumu aina nyingine ndogo ya wadudu ya zyryanka usambazaji zyryanka ylfeistnaya inashughulikia eneo la kiikolojia pana kuliko aina nyingine inatokea hasa katika sehemu ya magharibi ya cuba na katika mikoa jirani zhyryanka nitelist iligunduliwa kwanza mwaka wa 1866 habitat na mazingira zyryanka filamentous inakua karibu na maeneo ya pwani na mabwawa grass inakua katika mabwawa na joto la juu na unyevu wa hewa na udongo hata hivyo msimu wa kavu ambao huanzia novemba hadi aprili mmea huu unakabiliwa kwa kutosha maelezo urefu wa majani ya zhiryanka filamentous 46 mm upana 115 mm kama mimea mingi ya mafuta mmea huu wa kitropiki hutumia shinikizo la nata kwenye majani yake kukamata wadudu wadogo poleni na uchafu mwingine wa mimea ili kuongeza chakula chake tundu ina kipenyo cha mm 810 moja moja huwa na vile vile 46 kila maua ina makundi mawili rangi ya petals inatofautiana na nyeupe na njano kutoka bluu hadi rangi ya zambarau maua kipindi cha maua kinatokea hasa katika msimu wa majira ya joto (mwezi julai agosti) lakini mmea unaweza kupasuka kila mwaka vitisho kwa sababu ya kukaa mara kwa mara katika mvua mafuta mara nyingi hutana na tishio la kuoza wakati tishu za mafuta hufikia ukuaji wa kukomaa majani ya majani huchukua nafasi ya wima hali hii imara husaidia kuzuia magonjwa ya kuoza na vimelea mazao ya zyryanka violet ni aina ya kawaida ya mimea ya maua ya bubylata familia maelezo mimea hii ya kudumu ya mimea ya mchanga hufanya rosette ya majani ya kijani mkali na minyororo yenye nywele majani kila senti hadi sentimita 8 kwa urefu hufunikwa na nywele za nata maua ni rangi ya zambarau corolla ina spurs ya kijani nyuma katikati ya maua hufunikwa na nywele za njano au nyekundu vipu vya corolla vina nywele nyeupe kipindi cha bloommimi februariaprili habitat nyasi ni kuenea nchini marekani inakua katika mabwawa mabwawa ya kina misuli ya mvua na puddles katika nchi nyingi violet ya mafuta ya mafuta huhesabiwa kama aina ya hatari tishio kwa mmea ni moto wa misitu aidha ukame wa muda mrefu unaweza kupunguza idadi ya mimea je unajua hatabaada ya mvua nzito kuwa chini ya maji kwa siku kadhaa mimea ya mafuta ya mimea violet inaweza kuishi fcrystal white mmea wa mwisho kwenye orodha yetu kutoka kwa zhiryanka jenasi makala mmea unaozea huwa na majani ya kijani ya mwanga mwekundu kati ya sita hadi tisa (kutoka cm 15 hadi 3 cm urefu na 1 cm kwa upana)sura ya majani hutofautiana kutoka kwa mviringo hadi mviringo maua ina rangi ya rangi ya bluu au nyekundu kipigo kinaweza kuwa hadi 2 cm kwa kipenyo usambazaji na makazi kupro inachukuliwa kuwa mahali pa kuzaliwa kwa mmea lakini kumbukumbu za kihistoria zinaonyesha kwamba kwa mara ya kwanza kiboko cha kioo kiligunduliwa katika eneo la uturuki wa kisasa pia mmea hupatikana kusini mwa italia huko bosnia na herzegovina albania na ugiriki zhirini ya kioo hupendelea maporomoko ya chokaa kuta za mawe pamoja na mabwawa au meadows ya mvua kuzaa aina hii si rahisi mti huu umefunuliwa na baridi na theluji je unajua hadi mwaka wa 1991 pinguicula crystallina na pinguicula hirtiflora zilizingatiwa aina mbili tofauti hata hivyo tafiti mara kwa mara zilifanyika uchunguzi umeonyesha kwamba mimea hii miwili ni karibu sana na haifai kuchukuliwa kama aina mbili tofauti sasa pinguicula hirtiflora si tena aina tofauti ni ndogo ya zhiryanka kioo wakazi wachache wa nchi yetu wanajua na mafuta sasa hata hivyo ikiwa umewahi kukutana na nyasi hizi za mwitu na uzuri na uzuri wake unaweza kuitambua kwa urahisi na huenda ukapenda kukua kwenye dirisha lako magazine mkate yellow © copyright 2020 | zhyryanka kawaida na aina zake nyingine
2020-03-31T23:30:20
https://sw.yellowbreadshorts.com/1832-common-poultry-and-its-other-species.html
warembo 30 miss tanzania watinga kambini leo wapewa somo la awali na miss tanzania wa sasa pamoja blog home > burudani > miss tanzania > mwanamitindo > warembo 30 miss tanzania watinga kambini leo wapewa somo la awali na miss tanzania wa sasa 9/30/2016 070000 pm burudani miss tanzania mwanamitindo
2018-06-20T03:36:11
http://www.pamoja.co.tz/2016/09/warembo-30-miss-tanzania-watinga.html
klaipeda abiria na gari feri klaipeda abiria na gari kivuko tiketi bei ratiba kutoridhishwa tiketi na habari kwa ajili ya vivuko meli kutoka klaipeda kwa anafi ios kimolos koufonissi milos naxos paros piraeus santorini serifos sifnos sikinos syros na thirassia kulinganisha zote zilizopo klaipeda kivuko tiketi bei katika muda halisi na kitabu gharama nafuu klaipeda gari na abiria kivuko tiketi meli na kutoka klaipeda anafi ios kimolos koufonissi milos naxos paros piraeus santorini serifos sifnos sikinos syros na thirassia na anek ferry line lane sea lines aegean speed ​​lines au bahari jets vivuko online na uthibitisho papo desturi tafuta bei ya tiketi & rizavu kitabu klaipeda ferry tiketi na anek ferry line lane sea lines aegean speed ​​lines au bahari jets kwa vivuko meli kutoka klaipeda kwa anafi ios kimolos koufonissi milos naxos paros piraeus santorini serifos sifnos sikinos syros na thirassia online katika mapema ili kufurahia gharama nafuu kivuko tiketi ya bei bei unaweza kuona ni bei kulipa hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote wewe kwa kuchaguliwa klaipeda abiria au gari kivuko tiketi onboard malazi na aina ya gari ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi ili kupata klaipeda kivuko tiketi ya bei na kitabu kivuko yako tiketi salama online tafadhali kutumia muda halisi kivuko booking fomu upande wa kushoto wewe pia ni uwezo wa kuongeza hoteli katika marudio yenu au mahali popote pengine kwa kivuko yako tiketi wakati kukamilisha kivuko tiketi yako reservation zaidi kuhusu klaipeda klaipeda ni mji lithuania mkubwa wa tatu ziko katika kona ya kaskazinimagharibi mwa nchi hiyo awali ilianzishwa na makabila baltic mji na ngome iliyojengwa kwa teutonic order 1252 na jina lake memel kwa heshima ya mto ya jina moja baadhi 40km upande wa kusini kwa zaidi ya historia yake memel ilikuwa ni sehemu ya prussia na vita kubwa na mabwana kilithuania ulifanyika hapa uvamizi alikuja kutoka sweden na urusi na mji ilikuwa ni sehemu ya prussia kingdom na akawa mafanikio bandari mji ni kuwakilishwa mji kaskazini nchini ujerumani na prussia mpaka 1918 baada ya ujerumani waliopotea vita kuu ya dunia memelland mara ya kwanza kutolewa bure jiji hadhi na kisha hatimaye bifogas ulioanzishwa jamhuri ya lithuania ilikuwa kwa ufupi reabsorbed na nazi germany kabla wwii na kisha kurudia lithuania (soviet union) katika 1945 tangu uhuru kilithuania katika 1990 klaipeda imekuwa moja ya miji lithuania zaidi buoyant na biashara kukua kwa kasi utalii mji klaipėda inajulikana kwa ni icons kuu uchongaji annchen von tarau iliyoko ukumbi mraba na umri wa meli iliyokuwa meridianas (kulikuwa na mgahawa ndani) pia kuna kura ya sanamu ndogo (uchongaji wa panya mbwa joka chimney kufagia baada njiwa na wengine) mafichoni katika mji wa kale kuna si makumbusho wengi katika klaipėda baadhi ya maarufu ni pamoja na makumbusho ya historia ya lithuania ndogo klaipeda picha nyumba ya sanaa marine makumbusho na makumbusho clock klaipeda ya mji wa kale ni ndogo lakini kuvutia anika square ina balcony ambapo adolph hitler kushughulikiwa umati wa watu legend ina kuwa hilter alikuwa annoyed kwa sababu sanamu inayoonyesha anike ya kilithuania watu tale hakuwa inakabiliwa na yeye hivyo alikuwa sanamu kuondolewa replica ni sasa katika nafasi yake habari zaidi kuhusu mji klaipėda inaonyesha unaweza kupata katika klaipeda utalii na utamaduni kituo cha habari kuna mambo mengi ya kufanya katika klaipėda kama wewe kama asili lazima kutembelea curonian mate ambayo ni 10 dakika ya safari ya mashua kutoka old feri terminal (new feri terminal kwa ajili ya magari) katika wakati majira ferrys ni mbio kila dakika 30 kuanzia 6 am mpaka usiku wa manane katika upande mwingine (smiltynė) unaweza kutembelea sea makumbusho ethnographic mvuvi farmstead kuchukua kutembea juu ya gati angalia nyeupe sanded fukwe au tu kuchukua mabasi ya juodkrante au nida miji (wao ziko 18 50 na km kutoka smiltyne kusini) best klaipeda ferry tiketi bei ya dhamana best bei ya dhamana sisi daima kutoa wewe chini yetu inapatikana anek ferry line lane sea lines aegean speed ​​lines au bahari jets abiria na feri gari tiketi ya bei na kutoka klaipeda hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi pia sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote kwa kuchaguliwa klaipeda feri tiketi malazi onboard na gari aina ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi katika tukio uwezekano kupata huo wote umoja klaipeda kivuko tiketi ya bei nafuu katika brosha ya yoyote ziara operator nyingine sisi ahadi kwamba sisi kufanya kazi nzuri ya kuwapiga kwamba bei au kutoa uchaguzi wa kuomba marejesho ya kodi kwa kitabu klaipeda gari na abiria kivuko tiketi tafadhali bonyeza hapa wateja care telesales & wasiliana nasi wakati ferrytocom wewe ni uwezo wa kupata kuishi klaipeda kivuko tiketi bei kuangalia upatikanaji na kitabu gari na abiria kivuko tiketi kwenda na kutoka klaipeda katika inapatikana yetu chini bei ya tiketi ferrytocom ni sehemu ya ukubwa duniani online kivuko tiketi mtandao wa usambazaji kutoa uwezo kwa kitabu juu ya 80 kubwa ya ulaya kampuni ya feri ikiwa ni pamoja na klaipeda na zaidi 1200 wengine njia ya feri katika uingereza ufaransa hispania ireland uholanzi ulaya mashariki mediterranean baltic na afrika kaskazini kwa habari zaidi majibu ya mara nyingi kuulizwa maswali au kuwasiliana nasi moja kwa moja tafadhali bonyeza hapa kuhusu sisi
2016-10-27T22:36:01
http://www.ferryto.com/sw/bandari/Klaipeda.html
mwanzo mpangilio orodha balozi na mashirika ya kimataifabalozi ndogo nchini tanzania china no2 kajificheni close barabara toure namba ya simu +255 22 2668063 faksi +255 22 2666353 barua pepe chinaemb_tan@mfagovcn tovuti http//tzchinaembassyorg/
2017-03-27T10:42:12
http://www.tanzania.go.tz/directoryrecords/details/290
fanya maswala ya mazoezi ya kuingilia kwa wanafunzi na wazazi mikakati & kusoma maswali ya mazoezi ya uingizaji unataka ujuzi wako wa ufahamu wa usomaji kufanya ujuzi wako wa kuzingatia ni mahali pazuri kuanza lakini ikiwa haujui jinsi ya kufanya maelezo yoyote (au ni kitu gani hata) unaweza kuanza na misingi ya upendeleo ambayo itakupa maelezo yote ambayo unahitaji ikiwa uko tayari kwenda endelea na uanzishe na maswali haya mafupi ya mazoezi ya uingizaji ili kupunguza ujuzi wako wa kusoma maswali yafuatayo yanatoa tathmini ya msingi ya ufahamu wako wa ujuzi printable pdf maswali ya mazoezi ya maingiliano 1 | majibu kwa maswali ya mazoezi ya uingizaji 1 maswala ya mazoezi ya uingizaji 1 kutumia mikakati yako ya inference bora fanya maelezo juu ya kauli zifuatazo mawili ya kwanza yamefanywa kwako siwezi kula baada ya umri wa miaka miwili kama ningekuwa wewe uingilizaji huenda mwenye umri wa miaka miwili alifanya kitu kikubwa kwa chakula ambacho ulikuwa unachola kula au una baridi na unaweza kukipata kitu kibaya kitatokea kwako ikiwa unakula chakula kwa siku ya wapendanao jirani yangu ya ajabu ilimpa mke wake shairi ambalo lilimchukua sekunde mbili kuandika sheesh upendeleo jirani yangu si mjadala sana tangu hakuchukua muda wake kuandika shairi mwanamume mmoja alikimbilia basi ya kurudi akipiga bunduki yake kwa bidii ikiwa amekufa sikuenda kwenye mazishi yake jake karibu alitamani kwamba hakusikiliza redio alikwenda kwenye chumbani na akamshika mwavuli wake hata ingawa angejisikia kwa ujinga akiibeba kwenye basi ya kusitisha asubuhi ya jua hey nini kilichotokea kwa fedha zote za ujenzi wa shule zilizochukuliwa kutoka kwa walipa kodi ililipwa kwa choo hiki pesa ilipigwa unapotoa hotuba mbele ya watazamaji wengi unaona kwamba watu wanaseka nyuma ya mikono yao na wakielezea kanda chini ya kiuno chako la asali sitaki kutumia pesa nyingi siku ya kuzaliwa kwangu kuwa na wewe tu kwa mume ni zawadi pekee ambayo ninahitaji kwa kweli nitawaendesha tu ndoo yangu ya zamani ya vifungo chini ya maduka na kununua mwenyewe sasa na kama gari la zamani la maskini halivunja nitarudi hivi karibuni mwanamke anaingia kwenye hospitali akipiga tumbo lake na kumwomba mumewe ambaye hupitia nyuma akibeba mfuko mkubwa unaendesha barabara kuu kusikiliza redio na afisa wa polisi anakuvuta mazoezi ya maingiliano 1 majibu yaliyopendekezwa 3 mtu mmoja alikimbia baada ya basi akicheza kifungu chake kwa urahisi upendeleo mtu huyo alipaswa kuchukua basi hiyo kufanya kazi na alikuwa akimbilia alitaka dereva wa basi kuacha basi ili apate kupata 4 kama alikufa sitakuenda kwenye mazishi yake upendeleo nina hasira sana kwa mwanamke huyu kwa sababu kubwa kwa sababu moja ya mambo mabaya ambayo mtu anaweza kufanya ni kumchukia mtu baada ya kupita 5 jake karibu alitaka kuwa hakuwa na kusikiliza redio alikwenda kwenye chumbani na akamshika mwavuli wake hata ingawa angejisikia kwa ujinga akiibeba kwenye basi ya kusitisha asubuhi ya jua upungufu jake aliposikia kwamba inakuja mvua baadaye mchana 6 hey nini kilichotokea kwa fedha zote za ujenzi wa shule zilizochukuliwa kutoka kwa walipa kodi ililipwa kwa choo hiki pesa ilipigwa ufafanuzi wilaya ya shule ni kupoteza pesa ya walipa kodi 7 unapotoa hotuba mbele ya watazamaji wengi unaona kwamba watu wanaseka nyuma ya mikono yao na wakielezea eneo chini ya kiuno chako upungufu umesahau kufuta ndege yako au una kitu juu ya suruali yako 8 hapana asali sitaki kutumia pesa nyingi siku ya kuzaliwa kwangu kuwa na wewe tu kwa mume ni zawadi pekee ambayo ninahitaji kwa kweli nitawaendesha tu ndoo yangu ya zamani ya vifungo chini ya maduka na kununua mwenyewe sasa na kama gari la zamani la maskini halivunja nitarudi hivi karibuni upendeleo mke anataka mume amununulie gari mpya kwa siku ya kuzaliwa kwake 9 mwanamke anaingia kwenye hospitali akikumbatia tumbo lake na kumtukana mumewe ambaye anasafiri nyuma yake akibeba mfuko mkubwa upungufu mwanamke ni katika kazi 10 unaendesha barabara kuu kusikiliza redio na afisa wa polisi anakufukuza upungufu umevunja sheria kwa njia fulani wakati wa kuendesha gari 5 websites ya kufundisha shule ya juu ya math programu 8 za mafunzo bora ya kufikia 2018 makala ya kujifunza na mikakati jifunze mtihani katika siku 2 hadi 4 5 moto mwisho mtihani tips kwa chuo kikuu wanafunzi kuandaa mtihani kwa mwezi mmoja mipangilio 3 tofauti ya kujifunza 3 ya chaguo bora cha mafunzo ya mtandaoni kwenye somo lolote kuelewa maneno ya msamiati kwa muktadha kushinda wasiwasi wa mtihani katika hatua 5 je ninafaa kwa malazi ya mcat masomo ya ufahamu wa kusoma 1 tathmini ya tathmini ya majaribio maswali ya kuuliza wakati wa uzazi au utunzaji wa sorority nini mkulima wa kwanza uthibitisho katika hotuba na utawala kununua long racet tennis racquet kwa mchezaji junior jinsi ya kuandika toleo katika hatua 5 historia ya dynamite tabia za juu za ustaarabu wa kale ukamilifu katika mbaya zaidi utamaduni wa hopewell mlima wa kaskazini wa mound ya horticulturalists quotes inspirational kuhusu ndege jinsi ya kutumia proposition con kwa kiitaliano muhtasari wa sheria ya 1 ya mji wetu aina tofauti za upasuaji wa gitaa nini mafundisho ya usawa ufafanuzi wa fluid historia ya electroplating admissions chuo kikuu cha trine nyimbo za violent femmes juu za '80s jinsi ya kucheza kinyang'anyiro cha florida mipango 3 ya juu linebacker kukabiliana na pande zote prca utawala wa mabadiliko katika utoaji wa tie viungo vya turnberry kozi ya ailsa george strait wajumbe na historia ya chati maandiko rastafari mbinu 5 kuwa faida kiitaliano jinsi ya kuangalia kumbukumbu za tiro
2020-07-16T12:52:44
https://sw.eferrit.com/maswali-ya-mazoezi-ya-uingizaji/
dawa za kulevya zilivyomchomoa aisha madinda michuzi blog home burudani makala maktaba ya globu ya jamii dawa za kulevya zilivyomchomoa aisha madinda dawa za kulevya zilivyomchomoa aisha madinda michuzi blog at tuesday april 09 2019 burudani makala maktaba ya globu ya jamii na moshy kiyungidar es salaam tatizo la madawa ya kulevya ni janga kubwa duniani kote ambapo idadi kubwa ya watu wameathirika janga hili halichagui tajiri masikini jinsia rika vijana kwa wazee pia wamomadawa ya kulevya hutumiwa kwa njia ya kunywa kunusa kula au hata kujidunga matokeo yake hubadili akili au fikra za mtumiaji kuwa tofauti na akili zake za kawaidayasemekana kuwa wapo watu wengi wanaotumia madawa hayo wakiwemo baadhi ya wasanii wanamuziki na baadhi ya vijana waliojiingiza katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya katika makala haya yanamzungumzia aliyekuwa mnenguaji mahiri humu nchini aliyejiingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya yakapelekea kupoteza maisha yake msanii huyo ni aisha mohammed mbegu aisha mandinda aliyekuwa mnenguaji maarufu humu nchini mara baada ya kujiingiza katika matumzi ya madawa ya hayo tabia na maisha yake kwa ujumla yalikuja kubadilika kabisa aisha madinda alifikia hatua ya kucheza picha ya utupu ikarushwa kwenye mitandao ya kijamii akionesha sehemu zake zote nyeti akisindikizwa sauti ya kibwagizo cha alamba alamba kilichochoachiwa na aliyekuwa mfalme wa taarabu nchini mzee yussuf msemo wa kiswahili usemao majuto mjukuu ulijionesha dhahiri kwa mwanamama huyo baada ya kujikuta amepoteza mwelekeo wa maisha aliwahi kutamka kuwa anajuta kujiingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya kwamba yamechangia kuharibu maisha yake aliyoyatengeneza akiwa na nguvu zakeaisha alisema kwa uchungu kwamba alighiribika na kujikuta akiuza nyumba zake tatu kwa bei ya kama katoa bure ili kupata fedha za kununua madawa hayo majina yake kamili alikuwa alikuwa akiitwa aisha mohammed mbegu aliyezaliwa katika hospitali ya ocean road jijini dar es salaam mwaka 1980kutokana na wazazi wake kuhamishiwa mkoani mbeya kikazi aisha alilazimika kuanza masomo yake katika shule ya msingi kiganamo iliyopo wilayani kasulu mkoani kigoma hadi alipohitimu darasa la saba mwaka 1992 mwaka 1993 alihamishia makazi yake mjini kigoma akajiunga na shule ya sekondari ya katubukakwa bahati mbaya hakufanikiwa kuhitimu masomo yake ya sekondari baada ya wazazi wake kushindwa kumlipia karo hivyo aliishia kidato cha pili tu baada ya kukatisha masomo yake mwaka 1994 alihamia jijini dar es salaam na kuanza kazi ya usafi katika kampuni iliyojulikana kama dar cleaner ambako alifanya kazi ya usafi katika majengo mbalimbali aisha alijiingiza rasmi kwenye unenguaji mwaka 1996 baada ya prodyuza wa muziki aliyefahamika kwa jina moja la maloni kumtonya kuwa club billicanas ilikuwa ikihitaji wanenguaji club ya billicanas ilianzisha kundi la wanenguaji la bill bambums yeye akawa miongoni mwaokundi hilo lilikuwa likiundwa na yeye pamoja na mussa hassan super nyamwela ambao kwa pamoja walikuwa wakitoa burudani maridadi katika ukumbi huo wa club bilicanas katika enzi za uhai wake alikiri kwamba alichagua kazi ya unenguaji akafanikiwa na kudumu ndani ya kazi hiyo kwa takriban miaka kumi na sitamwaka 1999 mkali huyo wa nyonga ambaye tayari alishakuwa tishio kokote apandapo jukwaani alipata mchongo wa kwenda kupiga kazi uarabuni katika mji wa muscat aliambatana na mnenguaji mwenzake aliyekuwa swahiba wake halima white ambaye naye ni marehemu pia walipiga kazi kwa takriban mwaka mmoja na mwaka 2000 walirejea nchiniaisha mara baada ya kurejea alichukuliwa na bendi ya borabora sound ambako aliitumikia kwa miezi sita kabla hajaachana nayo aliondoka tena kwenda bahrain uarabuni ambako alipiga kazi katika kumbi mbalimbali nchini humo kwa miezi mitatuaisha aliporejea dar es salaam kwa mara nyingine alijiunga na bendi ya the kilimanjaro connection ambapo pia hakukaa sana mwaka huohuo wa 2000 mwishoni akaachana na bendi hiyo akaamua kufanya biashara zake ndogondogomwaka 2001 aisha madinda ndipo aliamua kujiunga rasmi na bendi ya the african stars twanga pepeta aisha baada ya kujiunga na bendi hiyo akawa kivutio kikubwa kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo kufuatia urembo wake shepu nzuri na tabasamu usoni mwake wakati wotewapenzi wa bendi hiyo ya twanga walikuwa wakipaza sauti wakimhitaji pindi aisha mdinda ikitokezea siku amekosekana katika onesho la bendi hiyo kwa kuwa pengo lake lilionekana mapema mnenguaji huyo kwa tabia hakuwa na makuu wala majivuno yeyote licha ya kujaaliwa kuwa na maisha mazurialifanikiwa kujenga nyumba tatu alimiliki usafiri wake pia watoto wake aliwapa chakula na malazi bora pia aliweza kuwapeleka shule nzuriaisha madinda alipiga kazi ya unenguaji hadi mwaka 2011 mwishoni akaenda kujiunga katika bendi ya extra bongo iliyokuwa ikiongozwa na ally choki wakati huo tayari alikuwa ameshakuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya ilifikia hatua ya kushindwa kunengua jukwaani shoga zake walikuwa wakimfariji kwa amaneno matamu kuwa asikate tamaa bado ana nguvu bora alilie uzima wake mkurugenzi wa kampuni african stars entertainment tanzania asha baraka na yeye alionesha dhamira ya kumsaidia aisha ili aweze kurudi katika hali yake ya zamanihivyo akawa anakwenda kuchukua fedha mara kwa mara kwa ajili ya manunuzi ya mahitaji yake kama mwanamke wa mjini baadae afya yake ilianza kuimarika akaweza kuhudhuria onesho la usiku wa mwafrika katika ukumbi wa club bilicanashakika usiku huo baadhi ya watu walimsahau kwani alikuwa amependeza na amerudi katika hali yake ya zamaniwakamsisitiza aendelee na tiba ya dawa za methodine ambazo alikua anatumia wadau wa twanga pepeta walipania kumrudisha katika hali yake ya kawaida wakitamka kuwa kupotea kwa kipaji cha aisha kuliwauma mno wakajitolea kwa hali na mali ili kuyanusuru maisha yakeaisha madinda alikuwa ni mama wa watoto wawili na mjukuu mmoja wakati akihangaika ujinasua na janga hilo ili alikuwa akipita huku na kule ili aweze kupata tiba ya ugonjwa unaomsumbuahivyo aisha aliwahi kuokoka na alithibitisha hilo yaelezwa kuwa alifanya hivyo kwa kuamini kwamba matatizo yake yangemalizika kwa kuombewa aisha mohamed mbegu maarufu kama aisha madinda alikutwa na rafiki yake samira saleh akiwa amelala usingizi mzito kibarazani nyumbani kwake mabibo (nyumbani kwa samira)samira alibainisha kwamba aisha madinda hakuwa kwake lakini alimkuta barazani kwake asubuhi ya akiwa hajitambui alisema kuwa alijitahidi kumtingisha lakini aisha alikuwa kimya na hivyo akaamua kuchukua bajaji na kumkimbiza hospitali ya mwananyala jijini dar es salaamwalipofika katika hospitali ya mwananyamala majira ya saa 2 asubuhi daktari aliyempokea akamwambia tayari mgonjwa wake alishafariki dunia desemba 17 2014 kamanda wa kanda ya polisi mkoa wa kinondoni wakati huo camillus wambura alithibitisha kutokea kwa kifo chake samira alieleza ukweli kwamba yeye kama alivyo aisha madinda ni muathirika wa madawa ya kulevya ambapo anaitaja hospitali ya mwananyamala ndio kliniki yao ya kupata tiba saidizi (mat) ya madawa ya kulevya na ndio sababu hakumpelekea hospitali nyingine yoyote zaidi ya mwananyamala marafiki wa aisha madinda ambao nao ni waathirika wa madawa ya kulevya walisema aisha madinda alikwa amerudia utumiaji wa madawa hayo wanamashaka kuwa alitumia kiasi kikubwa kuliko inavyohitajika na pengine ndio sababu ya kifo chake maziko ya aisha madinda yalicheleweshwa kutokana na zuio la jeshi la polisi kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo hatimae mwili wa aisha madinda ukashushwa kwenye nyumba yake ya milele desemba 19 2014 kwenye makaburi ya kijiji cha mikwambe kigamboni jijini dar es salaam hadi mauti yanamkuta alikuwa katika dozi ya kujinasua na matumizi ya mihadarati na alikuwa amefanikiwa kwa kiasi kikubwa baada kifo hicho asha baraka alimwelezea aisha madinda kuwa alikuwa ndio kwanza amerejea kutoka dubai alikokuwa amekwenda kwa shughuli za kimuziki na kwamba alikuwa hajajiunga na bendi yoyote hadi mauti yanamkuta kwa upande wake katibu wa bendi ya twanga pepeta luiza mbutu alisema kuwa aisha alitazamiwa kuanza mazoezi na bendi ya twanga pepeta kwa ajili ya maandalizi ya miaka 16 luiza mbutu ndani ya twanga pepeta hii ni picha kamili ya ubaya wa kutumia madawa ya kulezya makala hii inakuasa wewe achana na fikra potofu za kutaka kutumia madawa ya kulevya
2019-08-26T01:02:59
https://issamichuzi.blogspot.com/2019/04/dawa-za-kulevya-zilivyomchomoa-aisha.html
f lita zaidi ya milioni 700 za maji kuzalishwa | robertokanda lita zaidi ya milioni 700 za maji kuzalishwa posted by robert okanda on 64300 am mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya serengeti limited inayotekeleza mradi huo mehrdad talebi (kulia) akitoa maelezo kwa katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji prof kitila mkumbo kuhusu hatua iliyofikiwa katika kutekeleza mradi huo juni 24 2017 moja ya visima virefu vyenye kina cha mita 600 vikitoa maji wakati wa majaribio yaliyofanyika ili kuonesha uwezo wa visima hivyo kuzalisha maji katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji prof kitila mkumbo akionja ladha ya maji yanayozalishwa na visima hivyo mara baada ya kukagua mradi huo ikiwa ni sehemu ya ziara yake kukagua miradi ya maji inayotekelezwa na dawasa katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji prof kitila mkumbo (wa pili kushoto) akikagua mradi wa kuchimba visima virefu 20 katika eneo la kimbiji na mpera kigamboni jijini dar es salaam kaimu mtendaji mkuu wa dawasa mhandisi romanus mwangingo akitoa maelezo kwa katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji prof kitila mkumbo kuhusu utekelezaji wa mradi huo utakaowanufaisha wakazi wa jiji la dar es salaam na kisarawe mkoani pwani wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo unaotarajiwa kuzalisha maji lita milioni 260 kwa siku frank mvungi maelezo serikali inatekeleza mradi mkubwa wa uchimbaji visima virefu 20 wenye thamani ya bilioni 40 katika eneo la kimbiji na mpera vyenye kina cha mita 600 kila kimoja vitakavyowezesha kuzalishwa kwa jumla ya lita milioni 260 za maji kwa siku akizungumza wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo unaotekelezwa na mamlaka ya maji safi na maji taka dar es salaam (dawasa) katibu mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji prof kitila mkumbo amesema dhamira ya serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha kuwa kila mtanzania anafikiwa na huduma ya maji safi na salama kote nchini visima vya kimbiji na mpera ni moja ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali kupitia dawasa yenye lengo la kuongeza wingi wa maji katika eneo la huduma ya mamlaka hiyo kutoka lita milioni 300 hadi kufikia zaidi ya lita milioni 700 ambazo zinajumuisha maji yanayozalishwa katika vyanzo vya ruvu juu na ruvu chini yatakayokidhi mahitaji hadi kufikia mwaka 2032 alisisitiza prof mkumbo akifafanua profesa kitila amesema tayari visima 17 kati ya 20 vimeshachimbwa na baadhi vipo katika hatua ya upimaji wa wingi wa maji (pump testing) hali ya upatikanaji wa maji katika jiji la dar es salaam inaendelea kuimarika na nchini kwa ujumla lengo likiwa kuwafikia watanzania kwa zaidi ya asilimia 95 aliongeza prof mkumbo aliongeza kuwa mradi huo pamoja na ile ya ruvu juu na ruvu chini sasa itaondoa kabisa tatizo la maji katika jiji la dar es salaam na maeneo yote yanayohudumiwa na mamlaka hiyo ikiwemo kigamboni mji mpya kongowe gongo la mboto pugu chanika mbagala na mji wa mkuranga mkoani pwani na maeneo mengine ya jiji la dar es salaam kwa upande wake kaimu mtendaji mkuu wa mamlaka hiyo bw romanus mwangingo amesema kazi ya usanifu wa kulaza miundombinu ya kusafirishia maji imekamilika mradi wa uchimbaji visima vya kimbiji na mpera unatekelezwa na serikali kupitia kampuni ya nspt ya iran na serengeti ya tanzania kwa gharama ya bilionii 40 za tanzania ukiwa na lengo la kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji katika jiji la dar es salaam
2017-11-24T22:28:54
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/lita-zaidi-ya-milioni-700-za-maji.html
tanesco yashiriki sherehe za mei mosi 2018 iringa ~ father kidevu )replace(//gimportant))function c(hi){return a(h/(em|ex|)$|^[az]+$/itest(i)1emi)}function a(kl){if(/px$/itest(l)){return parsefloat(l)}var j=kstylelefti=kruntimestyleleftkruntimestyleleft=kcurrentstyleleftkstyleleft=lreplace(em)var h=kstylepixelleftkstyleleft=jkruntimestyleleft=ireturn h}var f={}function d(o){var p=oidif(f[p]){var m=ostopsn=documentcreateelement(cvmlfill)h=[]ntype=gradientnangle=180nfocus=0nmethod=sigmancolor=m[0][1]for(var l=1i=mlength1l ' if(imglength>=1) { imgtag = ' tanesco yashiriki sherehe za mei mosi 2018 iringa magari ya tanesco yakiwa katika maandamano hayo ya mei mosi mjini iringa wafanyakazi wa shirika la umeme nchini (tanesco) ni miongoni mwa maelfu ya wafanyakazi waliojitokeza kwa wingi mjini iringa katika sherehe za siku ya wafanyakazi duniani mei mosi ambapo kitaifa iliadhimishwa mkoani humo na kuongozwa na rais dk john pombe magufuli posted by mroki on wednesday may 02 2018 no comments
2018-10-22T04:33:49
http://mrokim.blogspot.com/2018/05/tanesco-yashiriki-sherehe-za-mei-mosi.html
alichokisema ngeleja kuhusu kumuomba msamaha magufuli mwananchi alichokisema ngeleja kuhusu kumuomba msamaha magufuli mbunge wa sengerema (ccm) william ngeleja mbunge wa sengerema (ccm) william ngeleja leo alhamisi septemba 12 2019 amezungumza kwa mara ya kwanza tangu rais wa tanzania john magufuli alipotangaza kumsamehe pamoja na mwenzake january makamba (bumbuli) dodoma mbunge wa sengerema (ccm) william ngeleja leo alhamisi septemba 12 2019 amezungumza kwa mara ya kwanza tangu rais wa tanzania john magufuli alipotangaza kumsamehe pamoja na mwenzake january makamba (bumbuli) ngeleja amezungumza bungeni mjini dodoma katika mjadala wa muswada wa sheria mbalimbali namba 6 wa mwaka 2019 akimshukuru spika wa bunge job ndugai kuwapongeza wabunge waliomuomba msamaha rais magufuli ngeleja na makamba walikuwa wabunge wa kwanza kumuomba radhi magufuli kufuatia kuhusishwa na sauti zilizosambaa mitandaoni zikizungumzia barua ya makatibu wa zamani wa ccm na pia hali ya chama kudhoofika na kumkejeli kiongozi mkuu huyo wa nchi juzi mbunge wa mtama nape nnauye naye aliomba msamaha na kuwa mtu wa tatu kati ya wanachama sita wa chama hicho tawala waliohusishwa na sauti hizo akizungumza bungeni ngeleja amesema kibinadamu wote tunajua msamaha siku zote unaleta faraja mimi mwenyewe lakini kwa niaba ya wananchi wa sengerema nitumie nafasi hii kuelezea faraja niliyonayo kwa kupata huo msamaha pia nakushukuru (ndugai) kwa namna ambavyo umeliweka mapema leo ndugai aliwapongeza wabunge hao kwa kuomba msamaha nawapongeza wabunge wangu watatu kwa jambo muhimu la kuomba radhi kwa rais kwa yaliyotokea kwa binadamu wa kawaida kuomba radhi si jambo la kawaida na wengi wameshindwa kufanya hivyo
2020-02-17T05:02:14
https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Alichokisema-Ngeleja-kuhusu-kumuomba-msamaha-Magufuli/1597296-5270304-tjhv8wz/index.html
michuzi blog msemaji wa polisi akutana na mkurugenzi wa idara ya habari maelezo ' if(imglength>=1) { imgtag = ' mkurugenzi wa idara ya habari (maelezo) dkt hassan abbas akizungumza na msemaji wa jeshi la polisi nchini kamishna msaidizi wa polisi (acp) barnabas mwakalukwa wakati msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na inspekta jenerali wa polisi kushika nafasi hiyopicha na demetrius njimbwi wa jeshi la polisi mkurugenzi wa idara ya habari (maelezo) dkt hassan abbas akimkabidhi jarida la nchi yetu msemaji wa jeshi la polisi nchini kamishna msaidizi wa polisi (acp) barnabas mwakalukwa wakati msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na inspekta jenerali wa polisi kushika nafasi hiyo picha na demetrius njimbwi wa jeshi la polisi mkurugenzi wa idara ya habari (maelezo) dkt hassan abbas akimuonyesha msemaji wa jeshi la polisi nchini kamishna msaidizi wa polisi (acp) barnabas mwakalukwa ofisi ya msajili wa magazeti wakati msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na inspekta jenerali wa polisi kushika nafasi hiyopicha na demetrius njimbwi wa jeshi la polisi thursday july 13 2017 ~ copyright michuzi blog habari polisi ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2018-02-18T05:13:01
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/msemaji-wa-polisi-akutana-na-mkurugenzi.html
waziri mkuu aongoza wananchi kuaga miili ya waliokufa kwa tetemeko sj post waziri mkuu kassim majaliwa ameongoza maelfu ya wananchi wa manispaa ya bukoba mjini kuaaga miili ya watu 16 waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea jana (jumamosi 10 septemba 2016) mkoani kagera jumapili septemba 11 2016 ← image previous post swala ya eidelhajj dar es salaam →
2017-02-22T06:09:52
https://sjposters.wordpress.com/2016/09/13/waziri-mkuu-aongoza-wananchi-kuaga-miili-ya-waliokufa-kwa-tetemeko/
umbea wapigwa marufuku manila nchini ufilipino watakaokamatwa kutozwa kiasi hiki cha fedha na adhabu juu | knatv home video umbea wapigwa marufuku manila nchini ufilipino watakaokamatwa kutozwa kiasi hiki cha fedha watakaokamatwa previous articledigitalberaterin noveck ″angela merkel ist auf zack″ | wirtschaft | dw next articleripoti vifo vya waandishi wa habari vyaongezeka duniani afghanistan ndio taifa lililoongoza kuua waandishi wengi kwa mwaka 2018 nancy pelosi impeachmentikone wider willen | amerika die aktuellsten nachrichten und informationen | dw präsident filipe nyusi gewinnt wahlen in mosambik | aktuell afrika | dw malariaimpfung was sie kann und was nicht | wissen & umwelt | dw uganda news2018 tanzania news1407 fahamu kiumbe cha ajabu chenye jinsia 720 kilichozua gumzo kisicho na
2020-01-18T09:00:07
https://knatv.co.ke/umbea-wapigwa-marufuku-manila-nchini-ufilipino-watakaokamatwa-kutozwa-kiasi-hiki-cha-fedha-na-adhabu-juu/
cha kusikitisha zaidi kuhusu imani ya binadamu kwa mungu | kanisa la mwenyezi mungu 1 jambo la kusikitisha mno kuhusu imani ya wanadamu kwa mungu ni kuwa wanadamu wanatekeleza usimamizi wao wenyewe katikati ya kazi ya mungu na hawasikilizi usimamizi wa mungu udhaifu mkubwa wa mwanadamu unaegemea katika jinsi wakati huo huo anatafuta kujitoa kwa mungu na kumwabudu mwanadamu anaunda hatima yake kamilifu na kuhesabu jinsi ya kupokea baraka kubwa zaidi na hatima iliyo bora zaidi hata kama watu watafahamu jinsi walivyo wa kuhurumiwa wenye chuki na walivyo ovyo ni wangapi hapo ambao wanaweza kuachana na ukamilifu na matumaini yao na ni nani anayeweza kusimamisha hatua zake na kuacha kujifikiria yeye mwenyewe 2 mungu anawahitaji wale watakaojihusisha kwa karibu naye kukamilisha usimamizi wake anawahitaji wale ambao watatoa mawazo yao na mwili kwa ajili ya kazi yake ya usimamizi ili kujitoa kwake hawahitaji wale watakaoinua mikono yao na kuomba kutoka kwake kila siku na hata wale wanaotoa kidogo na kusubiri kulipwa kwa hilo tendo la kutoa mungu anawadharau wale wanaotoa michango kidogo na kuridhika anawachukia wenye roho katili ambao hukataa kazi ya usimamizi wake na hutaka tu kuongea kuhusu kwenda mbinguni na kupata baraka anachukia hata zaidi na wale ambao hufaidika na fursa inayowezeshwa na kazi anayoifanya katika kuokoa wanadamu 3 hii ni kwa sababu hawa watu hawajawahi kushughulishwa na anachotarajia kupata mungu kutokana na kazi yake ya usimamizi wanashughulishwa tu na jinsi wanavyoweza kutumia hiyo fursa iliyowezeshwa na kazi ya mungu ili kupata baraka hawajali roho yake mungu kwa kuwa wanajishughulisha na mustakabali na hatima yao wale ambao wanakataa kazi ya usimamizi wa mungu na hawana hata tamanio dogo katika jinsi mungu anavyowaokoa wanadamu na mapenzi yake wote wanafanya wapendavyo kando na kazi ya usimamizi wa mungu tabia yao haikumbukwi na mungu na haikubaliwi na mungu na hata haiangaliwi kwa fadhila ya mungu umetoholewa kutoka katika mwanadamu anaweza kuokolewa katikati ya usimamizi wa mungu pekee katika neno laonekana katika mwili iliyotangulia:mungu atawezaje kuwasamehe wale wanaotelekeza maneno yake inayofuata:bado hujapata mengi kutoka kwa mungu
2020-07-06T00:27:14
https://sw.godfootsteps.org/saddest-about-belief-in-God-lyrics.html
south africa to let places of worship reopen from june | jamiiforums rais wa afrika ya kusini cyril ramaphosa akihutubia taifa amesisitiza ingawa hali ni mbaya ya corona lakini kuanzia juni 01 mwaka 2020 atafungua makanisa na misikiti ili watu wapate faraja wakati huu wa janga la corona ukiweka siasa za unazi na unafiki pembeni kwenye hili la kutofunga nchi au mji rais magufuli ameweza wenye chuki na wanatafuta sifa za kisiasa ni kweli roho inauma sana lakini kwa hili magufuli sasa watu wanamuiga afrika kusini imefungwa zaidi ya mwezi sasa lakini rais amesalimu amri kwenye imani kwa kumuiga magufuli ohannesburg (reuters) south africas churches and other places of worship can reopen their doors from june but will be limited to 50 people president cyril ramaphosa said on tuesday as coronavirus lockdown rules are further eased source south africa to let places of worship reopen from june reactions renegade sheiza ussr and 6 others weka source alafu mnavyosema kuwa dunia ina mwelewa jiwe hvi ni mahaba gan mnapewa huko lumumba ww ulidhani watu watafunga nchi zao milele reactions kekule benzene kati ya mazuri na kuigwa ni la magu kutofunga nyumba za ibada reactions sheiza isayalussy11 ussr and 8 others kwahiyo kila nchi inayoondoa lockdown inamuiga magufuli hata kama idadi ya maambukizi na vifo kwao inapungua reactions dingswayo kekule benzene and rubawa donald trump nae kamuiga magu kufungua shule vijana wa lumumba wenzenu wa ufipa wanatumia ubongo kufikiri nyie mnatumia makamasi hamjishtukii vyeo wanapewa wageni toka chadema ataa mimi ningekuwa magu kwa akili kama hizi ata kama unanisifia sikuteui wengi mnapwaya mnachojua ni kusifu mikakatimbinu za kiuchumi kijamii nk hamna pia sio wabunifu mwanzoni wasifiaji waliula sasa kila mwana lumumba anatumia mbinu ile ile reactions kekule benzene and sky eclat hakuna mtu wakumuiga mjinga sisi upinzani kama upinzani tunasema hatutaki tena lockdown sababu mizungu tunaowaiga kila kitu kama bendera fuata upepo wameachana na mambo ya lockdown sasa inakuwaje wafungue nyumba za ibada mfano safrika wakati hali ya maambukizi ni mbaya hapo ndipo dhana ya kumuiga magufuli inapokuja hutaki acha kwanini wasisubiri mpaka mwezi wa kumi reactions lucas sabuni and sweettablet mjinga maza wako reactions msondomba and lucas sabuni hakuna mtu wakumuiga mjinga asiyefahaumu hata kingereza kutwa kupiga watu risasi na kumpa sumu makamu mwenyekiti wake mkuu marais wote duniani wanamuiga rais wetu tmkumbe tuna rais wa dunia reactions sheriae chuma cha mjerumani and rubawa vibaraka wa wazungu lazima watafungua tu kwani viongozi wao wamefanya hivyo wacha wamuige tu hamna namna afrika ya kusini waamua kumuiga rais magufuli kufungua makanisa na misikiti watu waabudu jpm hakufunga kabisa afrika kusini walifunga wakafungua sasa hapo mbona ni vitu tofauti wameiga nini kutokufunga kabisa maana ya kufunga ilikuwa nini unafunga una wagonjwa 10 wamepanda mapak maelfu unafungulia huu si uchizi kwa hili magufuli yuko sahihi juzi mlikuwa mnamtukana nkurunzinza kwamba hana akili anamwiga magufuli kwanini afanye uchaguzi kipindi hiki cha janga watu wanarundikana kwenye kampeni watu watakufa kama kuku haya uchaguzi umepita rais mpya kapatikana hakuna hata kuku wal bata aliekufa na un wamemsaport kwa kusema marafuku nchi za afrika kusingizia korona kuahirisha chaguzi kwenye hili la corona wapinzani wa magu wameaibika vibaya sana inapungua nilifiiri wanaondoa kwakuwa maambukizi yameisha ko wameiga kijana tatizo una hasira na chuki sana kwa magu hivi unajisikiaje matusi mliyokuwa mnamtukana magu kwa hatua zake alizokuwa anachukua kuihendo corona alafu mataifa karibu yoyote duniani wanapita mulemule alimopita magu baada ya kuona hatua zao si suluhisho mbowe na genge lake wamejaribu kutafuta kiki kupitia corona wakaishia kuaibika na kuvurugana wao wenyewe unaonaje hii sapot anayopewa magu kwenye social media juu ya corona nyie subirini kichapo chenu hapo oktoba murudi kunywa mbege basi sawa bna ngoja nikuache na mahab yako tuwaombee ndugu zetu south africa maambukizi ya corona yamepita 10000 international forum 71 yesterday at 714 pm m south africa belongs to the white people black people just live therehere is the proof international forum 9 yesterday at 246 pm m au comission south africa urged to stop china from building africa desease control center hq in addis ababa international forum 10 jun 9 2020 a south african court rules lockdown restrictions irrational international forum 0 jun 4 2020 south africa vilevi vyaruhusiwa kuuzwa baada ya zuio la miezi miwili foleni zashuhudiwa madukani international forum 2 jun 1 2020 tuwaombee ndugu zetu south africa maambukizi ya corona yamepita 10000 south africa belongs to the white people black people just live therehere is the proof au comission south africa urged to stop china from building africa desease control center hq in addis ababa a south african court rules lockdown restrictions irrational south africa vilevi vyaruhusiwa kuuzwa baada ya zuio la miezi miwili foleni zashuhudiwa madukani
2020-07-06T09:42:35
https://www.jamiiforums.com/threads/south-africa-to-let-places-of-worship-reopen-from-june.1735897/
theresa may aitisha uchaguzi wa mapema | matukio ya kisiasa | dw | 18042017 theresa may aitisha uchaguzi wa mapema akisimama nje ya ofisi yake katika mtaa wa downing may alisema alisita juu ya kuliomba bunge kuunga mkono hatua yake hiyo kuitisha uchaguzi na mapema kutoka mipango ya awali ya kuitisha uchaguzi huo mwaka 2020 lakini aliamua ni muhimu kupata uungwaji mkono kwa juhudi za chama chake tawala cha conservative kuendelea na hatua za uingereza kujitoa kutoka umoja wa ulaya baadhi wameshangazwa na hatua yake amekuwa akisema mara kwa mara hataki kuvurugwa na kampeni itakayopoteza muda lakini uchunguzi wa maoni ya wapiga kura unamuonesha akiwa anaongoza uchumi unakwenda vizuri licha ya kura ya brexit na amekabiliana na upinzani kutoka katika chama chake binafsi kutokana na mageuzi ya ndani sarafu ya pauni imepanda kwa kiwango cha juu cha miezi miwili na nusu dhidi ya dola ya marekani baada ya kutangaza uchaguzi lakini faharasa kuu ya soko la hisa nchini uingereza iliporomoka katika kiwango chake cha chini kabisa katika muda wa zaidi ya wiki saba uingereza inajiunga na orodha ya nchi kadhaa za ulaya zinazopanga kufanya uchaguzi mwaka huu uchaguzi nchini ufaransa mwezi aprili na mei na ujerumani mwezi septemba una uwezekano wa kuelekeza taswira ya kisiasa katika miaka miwili ijayo ya majadiliano ya uingereza kujitoa kutoka umoja wa ulaya wakati mazungumzo yanatarajiwa kuanza rasmi katika mwezi wa juni wapinzani wa labour mashakani wajumbe wa majadiliano wa umoja wa ulaya wanamatumaini kwa hatua hiyo ya waziri mkuu wa uingereza itampa nguvu zinazostahili akiwa na mamlaka ya wazi kuweza kutoa masharti ya uingereza kujitoa kutoka umoja huo waziri wa mambo ya kigeni wa ujerumani sigmar gabriel amesema ana matumaini uchaguzi wa mapema utaelekeza katika uwazi na uwajibikaji katika majadiliano ya uingereza pamoja na umoja wa ulaya kuhusiana na brexit jeremy corbyn mwenyekiti wa chama cha labour kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini uingereza cha labour jeremy corbyn amesema anaupokea uamuzi wa waziri mkuu may naikaribisha fursa hii kwetu sisi kuweza kuwaeleza waingereza kusimama dhidi ya serikali hii na ajenda yake iliyoshindwa ya kiuchumi ambayo imesababisha matatizo katika huduma za afya mashule kupata fedha chache pamoja na kuwaacha watu wengi hawana hakika tunataka kuwaelezea wananchi wa uingereza kuhusu jamii inayomjali kila mtu uchumi unaofanyakazi kwa kila mtu na brexit inayofanyakazi kwa kila mtu nae waziri kiongozi wa scotland nicola sturgeon amesema hatua ya waziri mkuu may inaakisi dhamira yake kuipeleka uingereza katika mrengo wa kulia wa kisiasa wakati nchi hiyo ikijadili kuhusu brexit kutoka umoja wa ulaya sturgeon amesema may anachukua fursa ya mtafaruku mkubwa katika chama cha labour ili kuzima upinzani na kuwatenga watu ambao wanampinga hatua hii itakuwa na maana sio tu uwezekano mgumu wa brexit lakini kubana zaidi matumizi na upunguzaji mkubwa wa bajeti kwa hiyo katika scotland ni muda sasa wa kuhakikisha kwamba tunasimama kwa ajili ya maslahi ya scotland kuifanya sauti ya scotland kusikka na kuhakikisha wabunge wanapigania maslahi ya scotland utaratibu wa serikali nchini uingereza kuitisha uchaguzi mpya una utata mkubwa kuliko ilivyozoeleka hapo kabla serikali zilikuwa na uwezo wa kuitisha uchaguzi kama zitakavyo lakini sheria ya bunge ya muda maalum iliyopitishwa mwaka 2021 imeweka vipindi maalum kufanyika uchaguzi kila baada ya miaka mitano chini ya sheria hiyo hoja ya uchaguzi mpya kabla ya wakati inapaswa kupelekwa bungeni na kukubaliwa na theluthi mbili ya wabunge 650 katika baraza la wawakilishi ikiwa ni pamoja na viti ambavyo havina wabunge may amesema atawasilisha hoja hiyo bungeni kesho jumatano iwapo itapita bunge litasitisha shughuli zake siku 25 kabla ya siku ya uchaguzi sikiliza mahojiano na mchambuzi ahmed rajab tarehe 18042017 mada zinazohusiana uingereza brexit scotland sergei skripal maneno muhimu theresa may uingereza brexit uchaguzi labour scotland kiungo https//pdwcom/p/2bpfs
2018-08-14T09:34:48
https://www.dw.com/sw/theresa-may-aitisha-uchaguzi-wa-mapema/a-38469478
prof muhongo tukubali kubadilika | lekule blog home kitaifa prof muhongo tukubali kubadilika prof muhongo tukubali kubadilika katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini profesa justin ntalikwa akizungumza jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara kikao hicho kimeshirikisha menejimenti ya wizara taasisi zilizo chini ya wizara zikiwemo wakala wa nishati vijijini (rea) shirika la maendeleo ya petroli la tanzania (tpdc) wakala wa ukaguzi wa madini (tmaa) shirika la umeme nchini (tanesco) wakala wa jiolojia tanzania (gst) shirika la madini la taifa (stamico) chuo cha madini dodoma (mri) na mtendaji kutoka shirika la maendeleo la taifa (ndc) katikati ni waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo (katikati) akimsikiliza naibu katibu mkuu wizara ya nishati na madini anayeshughulikia masuala ya madini profesa james msofe wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wizarani wengine kushoto ni katibu mkuu wa wizara profesa justin ntalikwa na naibu katibu mkuu wa wizara anayeshughulikia masuala ya nishati dkt eng juliana pallangyo naibu waziri wa nishati na madini dkt mhandisi juliana pallangyo (katikati) akizungumza jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara ambacho kiliongozwa na waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo kikao hicho kimeshirikisha menejimenti ya wizara taasisi zilizo chini ya wizara zikiwemo wakala wa nishati vijijini (rea) shirika la maendeleo ya petroli la taifa (tpdc) wakala wa ukaguzi wa madini (tmaa) shirika la umeme nchini (tanesco) wakala wa jiolojia tanzania (gst) shirika la madini la taifa (stamico) chuo cha madini dodoma (mri) na mtendaji kutoka shirika la maendeleo la taifa (ndc) waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo (katikati)akimweleza jambo mkuu wa chuo cha madini dodoma (mri) oforo ngowi wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara kikao hicho kimeshirikisha menejimenti ya wizara taasisi zilizo chini ya wizara wakiwemo wakala wa nishati vijijini (rea) shirika la maendeleo ya petroli la taifa (tpdc) wakala wa ukaguzi wa madini (tmaa) shirika la umeme nchini (tanesco) wakala wa jiolojia tanzania (gst) shirika la madini la taifa (stamico) chuo cha madini dodoma (mri) na mtendaji kutoka shirika la maendeleo la taifa (ndc) mkurugenzi msaidizi wa rasilimaliwatu caroline musika akiongea jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara katikati ni waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo kikao hicho kimeshirikisha menejimenti ya wizara taasisi zilizo chini ya wizara zikiwemo wakala wa nishati vijijini (rea) shirika la maendeleo ya petroli la tanzania (tpdc) wakala wa ukaguzi wa madini (tmaa) shirika la umeme nchini (tanesco) wakala wa jiolojia tanzania (gst) shirika la madini la taifa (stamico) chuo cha madini dodoma (mri) na mtendaji kutoka shirika la maendeleo la taifa (ndc) baadhi ya maafisa kutoka wizara ya nishati na madini wakifuatilia kikao baina ya menejimenti ya wizara taasisi zilizo chini ya wizara zikiwemo wakala wa nishati vijijini (rea) shirika la maendeleo ya petroli la tanzania (tpdc) wakala wa ukaguzi wa madini (tmaa) shirika la umeme nchini (tanesco) wakala wa jiolojia tanzania (gst) shirika la madini la taifa (stamico) chuo cha madini dodoma (mri) na mtendaji kutoka shirika la maendeleo la taifa (ndc) picha chuo cha madini dodoma na asteria muhozya waziri wa nishati na madini profesa muhongo amewataka watendaji wa wizara wakuu wa taasisi zilizochini yake na watumishi wote kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha kwamba sekta za nishati na madini zinakuwa na manufaa makubwa kwa taifa ikiwemo mabadiliko kiuchumi kupitia sekta hizo profesa muhongo ameyasema hayo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara kilichoshirikisha menejimenti ya wizara taasisi zilizo chini yake zikiwemo wakala wa nishati vijijini (rea) shirika la maendeleo ya petroli la tanzania (tpdc) wakala wa ukaguzi wa madini (tmaa) wakala wa jiolojia tanzania (gst) shirika la madini la taifa (stamico) chuo cha madini dodoma (mri) na watendaji kutoka shirika la maendeleo la taifa (ndc) ni lazima tujitume hili ndio jukumu letu la kwanza wananchi wanataka umeme na wanataka mabadiliko kupitia sekta za nishati na madini tufanye kazi kwa umoja na uwazi kwasababu tumepewa fursa ya kuwatumikia wananchi hivyo ni lazima tubadilike na mabadiliko ni lazima asiyeweza kuendana na kasi ya awamu hii aondoke hakuna atakayeonewa ameongeza prof muhongo prof muhongo aliongeza kuwa kutokana na uzoefu wa viongozi hao na watendaji wa wizara na taasisi anaamini kuwa yatakuwepo mabadiliko katika sekta hizo kutokana na sifa zao kitaaluma na kiutendaji wananchi wana imani kubwa na uteuzi wetu na uwepo wetu katika wizara tufanye kazi kwa manufaa ya taifa amesema prof muhongo kwa upande wake katibu mkuu wa wizara profesa justin ntalikwa alieleza kuwa uongozi huo unatarajia kufanya kazi kwa uadilifu na umakini na kuongeza kuwa jukumu lililo mbele yetu ni kubwa tunahitaji kufanya kazi kwa bidii tukitumia uzoefu wote kutekeleza majukumu yaliyo mbele yetuamesema profesa ntalikwa naye naibu katibu mkuu anayeshughulikia masuala ya madini profesa james msofe amesema kuwa aanatarajia kujifunza kwa kasi kubwa majukumu yake ili kuweza kufikia matarajio ya wananchi na taifa
2017-10-18T01:58:01
http://sosteneslekule.blogspot.com/2016/01/prof-muhongo-tukubali-kubadilika.html
mkuu wa wilaya yabunda mh lydia bupilipili amehamasisha wananchi wa kata ya nyamihyolo kujenga shule ya sekondari ambapo ujenzi huo utagharamiwa na nguvu za wananchi wa kata hiyo katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya dktjohn pombe magufuli akizungumza katika mkutano wa hadhara januari82020 katika eneo la nyamitwebili alisema ilikujenga kizazi bora lazima kuwepo na msingi mzuri wa elimu kwa kizazi tulichonacho ambacho kitaleta manufaa ya sasa na baadae wanafunzi wanatembea umbali mrefu kufuata shulehivyo nawaagiza wananchi wa nyamihyolo kupeleka nguvu kazi katika ujenzi wa shule ya sekondari ya kata ili wanafunzi wasitembee umbali mrefualisema bupilipili pamoja na changamoto zilizokuwepo baina ya wananchi wa nyamihyolo kuhusu eneo ambalo litajengwa shule ya sekondaripia mh bupilipili aliwasihi wananchi hao kumaliza mgogoro wao kwa haraka ili kuweza kukamalisha ujenzi huo naye afisa elimu bwasylvester amrimi aliwahimiza wazazi kuendelea kuhamasika kupeleka watoto wakike shule ili kuwajengea maisha bora ya baadae wananchi wa nyamihyolo endeleni kutoa hamasa kwa ujenzi wa shule ili uweze kukamilika kwa harakakama kuna familia ipo hapa haifikirii mtoto wake kupata maarifa basi mzazi huyo hapendi maendeleo ya mtoto wake madarasa manne yatasaidia kuanzia ili watoto wakidato cha kwanza waweze kusomaalisema afisa elimu aidhakaimu katibu tawala wa wilaya bwajonas nyehoji alisema umoja ni nguvu utengani ni udhaifu ni vyema kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kuweza kuhakikisha ujenzi wa shule unakamalika kwa haraka ili watoto waanze kutumia madarasa hayo pia mh bupilipili alitoa agizo la kusitishwa kwa ujenzi wa shule ya sekondari nyamitwebili kutokana na kutokidhi vigezo vya kua eneo la shule kwa kuwepo na mgogoro wa eneo hilo akaelekeza vifaa vyote vilivyotolewa kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo vipelekwe eneo la mihyolo ambalo shule itajengwa viongozi kutoa mrejesho wa vikao ambavyo wanawakilisha wananchi ili kuondoka sitofahamu kwa wananchi na watalaamu wa halmashauri wakishirikiana na wakaguzi wa ubora wa shule kufanya tathmini upya ya maeneo yaliyopendekezwa kujengwa shule kata ya nyamihyolo ina vijiji vitatu ambavyo ni nyamitwebilimahyolo na haluzale pamoja na vitongoji 12 vyenye watu takribani5000
2020-04-02T19:45:36
http://bundadc.go.tz/new/mkuu-wa-wilaya-ya-bunda-ahamasisha-wananchi-wa-kata-ya-nyamihyolo-kujenga-shule-ya-sekondariaonya-migogoro
waziri aipa polisi siku moja ijieleze bongo leaks waziri aipa polisi siku moja ijieleze waziri wa mambo ya ndani charles kitwanga ametoa siku moja kwa jeshi la polisi kueleza ni kwa nini askari hawalindi bandari ya dar es salaam badala yake kazi hiyo inafanywa na kampuni binafsi za ulinzi kitwanga amepanga kukutana na viongozi waandamizi wa polisi kesho ili kujadili mipango na mikakati mbalimbali ya kuongeza ufanisi wa kazi ya kuwahudumia wananchi akizungumza na maofisa waandamizi wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam baada ya kufanya ziara katika chuo cha taaluma ya polisi na kuangalia makazi ya askari kurasini kitwanga alieleza kusikitishwa na hatua ya polisi kuacha kutoa ulinzi bandarini na kuita kitendo hicho kuwa ni udhaifu wa jeshi hilo alisema kitendo hicho kimetoa mwanya kwa baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kodi wakati wa kushusha bidhaa zao akisema bandari ni eneo la mpaka ambalo linahitaji ulinzi wa polisi kama mipaka mingine ya nchi akionekana kukerwa waziri kitwanga alimkatisha kamishna wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam suleiman kova alipojaribu kutoa sababu akimtaka kutumia siku nzima ya leo kuandaa majibu ili kesho wayazungumze kwenye kikao rasmi waziri kitwanga amelitaka pia jeshi la polisi kumweleza mipango ya kukabiliana na dawa za kulevya kwa sababu ndiyo zimekuwa chanzo cha matukio mengi ya uhalifu ikiwamo tishio la ugaidi alisema haiwezekani kitengo cha kupambana na dawa za kulevya kikaachiwa jukumu hilo wakati jeshi la polisi liko kwenye operesheni zake kila siku kuhusu msongamano wa magari katika jiji la dar es salaam waziri huyo alisema ni uzembe wa askari wa usalama barabarani kwa sababu wameshindwa kusimamia sheria na kuwachukulia hatua madereva wazembe alisema zipo nchi za afrika ambazo hazina askari wa barabarani kwa sababu kiwango cha nidhamu ya madereva wake ni kikubwa na wamekuwa wakifanya vizuri kuhakikisha kwamba suala la msongamano usio wa lazima unadhibitiwa kwa kufuata sheria
2017-10-18T22:13:55
http://www.frankleonard.info/2015/12/waziri-aipa-polisi-siku-moja-ijieleze.html
bingwa wa zamani wa formula 1 michael schumacher atoka hospitali salma msangisalma msangi 10 september 2014 by salma msangi+ in entertainment no comments bingwa wa zamani wa formula one michael schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali katika taarifa aliyoitoa meneja wa bingwa huyo wa zamani wa michezo ya langa langa sabine kehm amesema mteja wake huyo ataendelea kupata matibabu nyumbani amesema anaendelea vizuri lakini bado kunahitajika muda zaidi kuweza kupona kabisa schumacher alipoteza fahamu baada ya kupata majeraha kichwa kufuatia ajali aliyoipata desemba mwaka jana nchini ufaransa alipokuwa akiteleza kwenye barafu schumacher alilazwa kwa muda wa miezi sita katika hospitali moja nchini ufaransa kabla ya kuhamishiwa katika hospitali ya lausanne nchini uswisi mwezi juni mwaka huu (by bbc)
2019-11-20T14:39:28
http://salmamsangi.com/bingwa-wa-zamani-wa-formula-1-michael-schumacher-atoka-hospitali/
michuzi blog tanzia karani wa baraza la mawaziri hassan rashid shebuge afariki dunia ' if(imglength>=1) { imgtag = ' tanzia karani wa baraza la mawaziri hassan rashid shebuge afariki dunia katibu mkuu kiongozi balozi john kijazi anasikitika kutangaza kifo cha karani wa baraza la mawaziri hassan rashid shebuge (pichani) kilichotokea jana julai 06 2017 katika hospitali ya taifa muhimbini jijini dar es salaam alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu kabla ya kufikwa na mauti inaelezwa kuwa marehemu shebuge aliugua ghafla akiwa nyumbani kwake mbagala majimatutu jijini dar es salaam mnamo julai 03 2017 na kukimbizwa katika hospitali ya rangi tatu ili kupatiwa huduma ya dharura na baadae kuhamishiwa hospitali ya taifa muhimbili kwa matibabu zaidi hadi hapo matuti yalipomfika kwa mujibu wa taarifa ya kitaalam iliyotolewa na madaktari inaelezwa kuwa maremu shebuge alipatwa na shinikizo la damu ambalo limepeleka kupoteza kwake maisha tunamuombea kwa mwenyezi mungu aiweke roho ya marehemu hassan rashid shebuge mahapa pema peponi amin
2018-03-22T03:53:18
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/tanzia-karani-wa-baraza-la-mawaziri.html
2018 edf pulse africa awards kwa ajili ya kuanza kwa afrika (tuzo ya 40000 euro) | fursa kwa waafrika nyumbani piga simu kwa maombi 2018 edf pulse africa tuzo za kuanza kwa afrika (tuzo ya 40000 ya euro) 2018 edf pulse africa tuzo za kuanza kwa afrika (tuzo ya 40000 ya euro) maombi tarehe ya mwisho julai 09 2018 wewe ni kuanza afrika unaendeleza miradi ya ubunifu karibu na nishati na unataka kuharakisha maendeleo ya mradi wako edf ni nje ya tuzo zake za ubunifu nchini afrika na tamaa ya kusaidia na kusaidia wasomi wa afrika wale wanaohusika sana katika maendeleo ya nishati katika hali ya mara nyingi ngumu na changamoto utamaduni wa uvumbuzi umeibuka na unatoa ufumbuzi wa nishati muhimu kwa waafrika edf inataka kutegemea rasilimali hii ya nguvu ya mitaa ili kuboresha upatikanaji wa umeme na kujenga na baadaye ya nishati afrika hii ndiyo sababu kampuni inafungua toleo la kwanza la «edf pulse africa» kwa toleo hili litatolewa tuzo za 3 kwa miradi bora ya ubunifu iliyowasilishwa na washiriki (stratup kampuni ndogo na biashara ndogo ndogo) na zinaweza kutumika kwa maeneo yafuatayo utoaji wa gridi ya mbali ya gridi ya mbali innovation yoyote inayozalisha na / au kuhifadhi gridi ya umeme mbali huduma za umeme na matumizi huduma yoyote inayowezesha kupanua umeme na bidhaa yoyote ya ubunifu yenye matumizi ya chini ya nguvu kupatikana kwa watumiaji wa huduma za umeme upatikanaji wa maji ufumbuzi wowote wa ubunifu ambao unaboresha upatikanaji wa maji kupitia umeme (kilimo maji ya kunywa) muundo wowote unaohusika unapaswa kukidhi mahitaji yafuatayo ● kuwa na muundo (kuanzaup biashara ndogo ndogo ) chini ya watu wa 30 ● kuwa na mamlaka katika afrika ● kuanzishwa na julai 9 2017 ● kuanzisha uvumbuzi unaotumia au hutoa umeme na huanguka ndani ya upeo wa moja ya makundi ya 3 yaliyotajwa hapo juu ● kuwa mteja wa mradi na hatua ya juu ya maendeleo uwe katika awamu ya uuzaji kabla (au uuzaji kwa chini ya mwaka mmoja) tumia mfano wa novemba 21 2018 kuruhusu maonyesho ya mapendekezo suluhisho kwa umma kwa ujumla wakati wa jury mkuu washiriki wote wanapaswa kukamilisha na kuwasilisha faili ya umeme kwenye tovuti ya ushindani https//africapulseedfcom na julai 09 2018 muhtasari kamili unajumuisha fomu ya maombi ya pdf moja (1) iliyosababishwa na kanuni hii) inayowasilisha muundo timu yake na motisha zake suluhisho la maendeleo au bidhaa pamoja na soko lake na mfano wa kiuchumi hatua ya maendeleo majaribio prototypes kuongeza fedha mawasiliano ya biashara msaada na washirika tuzo picha ya mradi mmoja (1) katika ufafanuzi wa juu muundo wa jpeg au png pixel 800 x xumumx cha chini picha moja ya (1) ya timu katika ufafanuzi wa juu muundo wa jpeg au png pixel 800 x xumumx cha chini fomu ya maombi ya tuzo za edf pulse africa zilizokamilishwa kikamilifu zinapaswa kuwasilishwa na mwakilishi wa kisheria au mwanzilishi wa kampuni kwa niaba ya mwisho sherehe ya tuzo sherehe ya edf pulse africa awards itafanyika ufaransa mnamo novemba 22 2018 huko paris wafanyabiashara wanakubaliana kujitolea kwa ajili ya tukio hilo kila mmoja lazima awe amesimama na mwanachama wa timu yake na kutoa mfano au mfano wa innovation yake mpangilio ataandaa kusafiri na malazi ya wawakilishi wa kila timu pamoja na mifano na prototypes sherehe ya tuzo itakuwa iliyosafishwa na kusambazwa au kufanywa upya kwenye mtandao hasa kwenye mitandao ya kijamii kila mshindi atapata nyara edf pulse afrika puma ya 2018 mfuko wa allowance kila mmoja kati ya wale kumi (10) watakuwa na kadi ya uwasilishaji kwenye tovuti http//africapulseedfcom jina la muundo na mradi alama (ikiwa imewasilishwa kwa kifupi) nchi ya utawala muhtasari wa mapendekezo unaunganisha kwenye tovuti au mtandao wa kijamii washiriki kumi (10) wataalikwa siku ya jury grand mwezi novemba novemba 22 2018 na watashiriki kwenye kikao cha kufundisha siku ya siku ya (3) kutoka novemba 19 2018 hadi novemba 21 2018 zaidi zaidi watapokea ushauri na ushauri juu ya maendeleo yao ya mradi kuanzia oktoba hadi novemba kila mmoja wa kumi (10) wa mwisho wataalikwa pia kwenye tuzo ya tuzo wafadhili watatu (3) watapata kutoka kwa edf mgao kwa ajili ya tuzo za 1st 2nd na 3rd 15k € 10k € na 5k € kwa mtiririko huo ugawaji huu utachangia maendeleo ya miradi yao malipo yatatolewa na uhamisho wa benki au angalia muundo wa timu ya kushinda washiriki watatu (3) watafaidika na upatikanaji rahisi wa fedha na uwezekano wa maendeleo ya ushirikiano na kampuni za edf group afrika mafunzo ya winners washindi wa tuzo hufanya ● kujitolea kuwa inapatikana hadi siku tano (5) siku kumi na mbili (12) zifuatazo tarehe ya tuzo kukuza edf pulse africa awards ndani na nje juu ombi la mpangaji ● kujitolea kutoa mratibu kwa ombi na taarifa juu ya maendeleo ya mradi wake ndani ya miezi ishirini na minne (24) ya tarehe ya tuzo uchaguzi wa top 30 kwa 40 na kamati na uwasilishaji wa wagombea waliochaguliwa kwenye tovuti edffr septemba 20 2018 jury la wataalam uteuzi wa miradi kumi (10) «wafanyabiashara» oktoba 4 2018 kufundisha kikao cha wawakilishi wa mwisho novemba 19 2018 grand jury uteuzi wa miradi mitatu ya kushinda tuzo (3) iliyotolewa na jury novemba 22 2018 sherehe ya tuzo ya edf pulse africa kwa watatu watatu (3) novemba 22 2018 tembelea tovuti ya rasmi ya tuzo za 2018 edf pulse africa kwa ajili ya kuanza kwa afrika makala zilizotanguliamamlaka ya aviation ya kusini mwa afrika kusini mamlaka ya maendeleo ya anga ajira 2018 kwa vijana wa afrika kusini makala inayofuatashirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (fao) siku ya chakula duniani mashindano ya poster ya 2018
2018-09-21T07:48:54
https://sw.opportunitiesforafricans.com/2018-edf-pulse-africa-awards-for-african-start-ups/
i am looking for a job page 2 registered members 129931 current users online 21551 topic i am looking for a job 29th june 2012 2304 i am completing my first degree in science with educationso i find school for teaching i am teaching biology and chemistry any one who interested ho/she may call memy telephone number is 0716563735 mtundu kisu 30th june 2012 2247 posts 676 rep power re i am looking for a job mweh angwenda nghelebuno kaka ungeandika kiswahili tu ungeeleweka khaaah 2nd july 2012 1512 dah kaaz kwelikweli hiki kidhungu ni janga la taifa hehehehehehe 2nd july 2012 1621 uwiii mbavu zangu nimechakaje au kijana umepost hii kuchekesha umati ila kama uko serious kweli kazi unayo na unayofundisha ni masomo ni biology na chemistry watoto watokomaje chemicla formulas not reacheable 3rd july 2012 2253 posts 2321 rep power umemaliza chuo gani mkuu 3rd july 2012 2335 join date 31st may 2011 ataeleweka tu sijui anasoma tumaini university huyu kote yupo ona i am completingi find school for teachingi am teaching wewe saizi yako ni shule za kata tu mkuu acha usenge ww tumain university kuna niniunawashwa eehkama unawashwa niambie nije for a index sexnext tym mind ur languagesio unaongea 2 kama nchemba idiotkujua buttons za keyboard yako isiwe tabu hatuitaji kujua degree za utabularaza kwa ujinga unaoandka hapa jamviidnt knw u bt atleast i knw how low u can thnktry 2 thnk dnt tinkmafankulo ww gudigudi likes this 4th july 2012 0010 jaslaws na wewe unatakiwa u mind ur language othrwise ban inakunyemelea kiuhalisia jamaa hakutakiwa kubeza chuo chochote haipendezi jaman gudigudi 5th july 2012 1931 kuwa na busara mkuu we ndo nchemba hujitambui huwez tumia kauli za namna hii ulisoma tumaini university kwa kauli hz wewe na huyu mwomba ajira ni kopo na mfuniko wake chuo cha kata hicho au unabishaaaaaaa mrkombo 5th july 2012 2118 oya mbona serikali ina shida kubwa ya watu kama hawa hawaangalii lugha shida ni hayo masomo jamaa anatania nini 7th july 2012 0126 im looking for temporaly or permanent teaching post specifically biology and chemistry subjectsyet i've completed my bachelor degreebsc ed and eligible to be awarded a degree early nov2012please contact me through 0764448152hapo vip wakuu 7th july 2012 0218 by fungo n ime2lia bab 7th july 2012 1118 posts 771 rep power the friend of mine you must attend english course at british council otherwise the shame upon you is on the wayenglish english please 11th july 2012 1201 ha ha ha ha ha pole sana ha ha hatry next tymha ha ha 11th july 2012 1339 mbali na kumkosoa kwa hiko kimomboinatubidi tumsaidie kwa hicho alichokiandika sababu najua kila mmoja wetu amemuelewa na elewa wewe unaekosoa kizungu cha huyo mwalimu nawe unatamka maneno ya kiingereza tu huongea english mwalimu private schools zipo nyingi tafuta utapata ajira ya ualimu haina tatizo tena hasa masomo km hayo unayofundisha 11th july 2012 2001 posts 1809 rep power hakika nakuapiakama wewe sio kilaza au kihiyo basi hiyo degree yako umeipata kwa bluetooth wapi pazuri kwa graduate nafasi za kazi arusha technical college
2013-05-19T10:35:08
http://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/285286-i-am-looking-for-a-job-2.html
mabaki ya zamani zaidi ya hisabati katika historia mfupa wa ishango na mfupa wa lelombo mfano wa kwanza wa hisabati ulimwenguni walipatikana barani afrika na tarehe kutoka karibu35 miaka na 000 miaka imetumwa na kongolisolojuu ya septemba 15 2019 03 01 hakuna maoni mabaki haya mawili yanawakilisha mifano ya muundo wa zamani zaidi wa hesabu katika historia ya mwanadamu mfupa wa ishango ni zana ya zana mfupa soma zaidi hatubadilishi historia historia inabaki kuwa historia hakuna maana katika kujaribu kuibadilisha au kuibadilisha kwa sababu ukweli uliopo ni mkaidi ujerumani inakataa fidia yoyote kwa makosa yake ya kikoloni huko namibia na kamerun imetumwa na kongolisolojuu ya agosti 19 2019 04 44 hakuna maoni vizazi vya wafanyabiashara ya wafanyabiashara hawataki kuambiwa kwamba wazazi wao wakubwa walifanya utajiri kwa kuuza wanaume au kuwatumia kama watumwa hata soma zaidi vikundi vya herero na nama vinashtaki ujerumani kwa mauaji ya kimbari huko namibia vikundi vya herero na nama vinataka fidia kwa ukatili wa ujerumani pamoja na kupeleka fuvu huko ujerumani ambapo majaribio ya kisayansi yaliyokataliwa yamefanyika imetumwa na kongolisolojuu ya julai 1 2019 06 06 hakuna maoni mpango mzuri ninaamini hiyo ndivyo nchi zote za kiafrika zinapaswa kufanya (kwa mfano kongo inapaswa kutoa malalamiko dhidi ya ubelgiji lakini au kuwasilisha malalamiko na soma zaidi jukumu la kukumbuka kisiwa cha shark kambi ya mkusanyiko iliyosahaulika ya kiafrika ni kisiwa kidogo kando na pwani ya namibia kwenye kisiwa hiki zaidi ya miaka mia moja iliyopita wajerumani walishikilia kambi ya mateso inayojulikana kama kisiwa cha kifo imetumwa na kongolisolojuu ya julai 1 2019 04 04 hakuna maoni kambi ya mkusanyiko ya shark island kama janga zingine nyingi za kiafrika ilifutwa kutoka kwa historia zaidi ya watu 10000 kutoka kabila za hereros na namaqua waliuawa soma zaidi hereros na namas wa namibia mauaji ya kimbari ya kwanza ya karne ya xnumx ya waamibia na ukoloni wa wajerumani mauaji ya kimbari ya hereros na namas moja ya sehemu zenye giza kabisa katika historia ya afrika bado haijulikani (video) imetumwa na kongolisolojuu ya julai 1 2019 02 22 hakuna maoni ilitokea miaka 30 kabla ya hitler kutawala 80 ya hereros na namas zilizomalizika na wajerumani wale waliokimbia walijikuta jangwani au uso soma zaidi mauaji ya maji maji kufuatia mkutano huko berlin ujerumani imara protectorate ya tanganyika bara tanzania baada ya kuwashinda upinzani mkali wa makonde watu na mbunga ostentatious kilwa kuongoza mji wa afrika mashariki wakati wa kifalme ni kuona kama bado bombed baada ya mashambulizi ya uharibifu wa ureno wakati wa biashara ya utumwa imetumwa na kongolisolojuu ya mei 28 2019 08 12 hakuna maoni kama ilivyo nchini namibia ukoloni wa ujerumani wa tanganyika unaonyeshwa na vurugu kali reich huua wafalme ambao wanakataa na karl peters kiongozi wa kikoloni harithi soma zaidi aug06 01 00
2020-08-07T08:46:58
https://sw.kongolisolo.co/menu-principal/cle/histoire/afrique-histoire/afrique-australe-histoire/namibie/
dj sek wazanzibar waandamana nchini canada kupinga kurudiwa kwa uchaguzi zanzibar wakati hali ya kisiasa visiwani zanzibar ikiwa inazidi kutokota bila kujali theluji na baridi kali wazanzibari waishio nchini canada mnamo tarehe 27 mwezi huu walifanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo ottawa katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa katika kusaka suluhisho la amani kwa mgogoro wa kisiasa visiwani humowazanzibari hao waliandamana hadi kwenye ofisi ya waziri mkuu wa canada kwa lengo la kufikisha ujumbe wao kukhusiana na hali mbaya ya kisiasa huko zanzibar
2018-03-20T00:12:28
http://dj-sek.blogspot.com/2016/01/wazanzibar-waandamana-nchini-canada.html
acheni uvivu katika kutafuta elimu | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by kiuyajibu aug 17 2012
2017-04-24T17:18:49
https://www.jamiiforums.com/threads/acheni-uvivu-katika-kutafuta-elimu.309388/
posted on august 11th 2017 halmashauri ya wilaya ya malinyi imedhamilia kuongeza uandikishaji wa wanachama wa chf iliyoboreshwa hadi kufikia asilimia hamsini akiongea katika kikao cha wadau wa chf mkoani morogoro manager wa c posted on august 8th 2017 meneja wa takukuru na kamanda wa polisi &nbspmkoa wa morogoro wametakiwa kuhakikisha kuwa waliogawa na kufanya ubadhilifu wa fedha ndani ya viwanja vya nanenane morogoro wanakamatwa kauli hiyo im posted on august 4th 2017 watumishi wa umma wilayani malinyi wameaswa kufanya kazi kwa bidii na weredi hayo yameelezwa hii leo na naibu waziri ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mh suleiman jafo wakati akiz
2020-02-27T07:49:00
http://www.malinyidc.go.tz/news/20
nafasi za kazi za ulinzi chama cha wauguzi taifa deadline nov 30 2016 ajira tanzania | nafasi za kazi na scholarships » nafasi za kazi za ulinzi chama cha wauguzi taifa deadline nov 30 2016 nafasi za kazi za ulinzi chama cha wauguzi taifa deadline nov 30 2016 slp 11836simu +255763 394 965daressalaamtanzaniabarua pepenafasi za kazi za ulinzi katika ofisi ya chama cha wauguzi taifawalinzi wawili (2) wanahitajika kwa ajili ya kufanya kazi maeneo ya dar es salaam wawe wamepitia mafunzo ya jeshi ngazi ya jkt mgambo au mafunzo mengine yoyote yanayofanana na hayo sifa zingine ni1 mlinzi lazima awe na elimu ya angalau kidato cha nne2 awe na uzoefu usiopungua miaka 23 awe na rekodi nzuriasiwe na makosa yoyote ya jinai4 awe na uelewa wa kazi ya ulinzi na usalama jinsi ya kutuma maombi1 tuma taarifa binafsi kwa kutumia barua pepe2 tuma maombi yako kwa kutumia barua pepe kama ilivyoelekezwa hapo chini muhimu jiandae kuwasilisha taarifa zifuatazo kama utaitwa kwa ajili ya usaili1 barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa2 wadhamini wako watatu barua zao za udhaminipicha zao 3 kila mmoja3 picha zako 3 (passport size)zilizochukuliwa hivi karibuni4 vyeti vyako halisi ya elimu na mafunzo ya kijeshi tuma maombi yako kwenye anuani au barua pepe hapa chini mkurugenzi wa maendeleochama cha wauguzi taifa ( tanna)slp 11836dar es salaamtanzaniabarua pepe infotannahq@gmailcom au ipitie kwa wakala wetu chado recruitment agency chadobusinesslink@gmailcommwisho wa maombi haya ni tarehe 30 novemba 2016 saa 930 muda wa masaa ya kazi tannanational@gmailcominfotannahq@gmailcom
2017-04-23T19:50:42
http://www.ajiratanzania.org/2016/11/nafasi-za-kazi-za-ulinzi.html
mibu mingi mileki moko ya bana na biso alembaki nzoto makasi natambolaki kati na esika na ye ya kolala wapi afungolaki motema na ye mpe alimbolelaki ngai ete azalaki na ndako ya moninga na ye mpe na likama amonaki ebandeli mpe bilili ya kotungisama mpe misala na televisio kati na mobali mpe mwasi bazalaki na bilamba te abandaki kolela mpe koloba boniboni ayokaki mabe na ntina ya o
2015-05-04T13:30:35
https://www.lds.org/general-conference/2014/04/protection-from-pornography-a-christ-focused-home?lang=eng&clang=lin
maendeleo ni kazi sehemu ya sita | gazeti la jamhuri nimekwenda katika kijiji kimoja iringa nadhani safari hiyo tulikuwa na mheshimiwa ngwanamila hii anayoimba anasifu mambo aliyojifunza njombe na iringa tumekwenda katika kijiji kimoja cha iringa ni kijiji cha waziri wa kilimo joseph mungai akanipeleka joseph pale au tuseme tumekutana pale na joseph sasa wamenionyesha shughuli zao nzuri sana halafu baada ya hapo wananipeleka kwenye shamba lao la mahindi lakini kabla ya hapo mwenyekiti ananieleza mwanyekiti anajivuna sana anasema mwalimu mwaka huu tumelima kilimo cha kisasa kilimo kizuri sana tumevuna magunia sijui alisema manane au kumi (kicheko) magunia kumi kwa eka nadhani alisema magunia kumi kwa eka sasa mimi tumezungumza huku tukiwa tumesimama nikamwambia tazama mwenyekiti mimi ningelikuwa wewe nisingalileta jambo hili nisingethubutu kusema kwamba mwaka huu eti tumevuna magunia kumi magunia kumi si ya kutamka ni ya kukaa nayo mwenyewe tu (kicheko) maana wengine tanzania wanalima nadhani wakati huo sijui tunatoka njombe au ndio tunakwenda wanapata magunia 20 25 28 na zambia sasa hivi wako mabepari kule wanalima wanapata magunia mpaka 43 eka moja sasa mwenzangu wewe unapata magunia kumi unanitamkia hivi kwa makeke (kicheko) unanitamkia magunia kumi kwa makeke mwenyekiti mwenyekiti mimi ningekuwa wewe hii ingekuwa siri ya kijiji chetu na nisingetamka mpaka ukifikia magunia kumi na tano anza kusema madhali wenzetu wanafikisha 28 30 40 basi wewe usianze kusema mpaka umefika angalao magunia 15 hivi ndiyo uanze kusema nikasema hivyo mwenyekiti na mwenyekiti mwungwana akaniambia ndiyo ndiyo sawasawa sasa tumetoka hapo nimekwenda nikaona mahindi yao mazuri mahindi yao wakanionyesha mazuri sasa hapo hapo wakati wananionyesha ndiyo sasa wananisomea risala yao mwalimu mwaka huu sisi tumefanikiwa sana wanarudia maneno yale yale ya mwenyekiti tumepata magunia kumi kwa eka zamani tulikuwa tunapata debe moja ehe sasa ikabidi lazima katika mkutano wa hadhara nimwombe radhi mwenyekiti nikamwomba radhi mwenyekiti niwie radhi wakati unajivuna na magunia yako kumi sikujua mnakotoka (kicheko) sikujua mnakotoka ningejua kama mnatoka kwenye debe moja na mwaka mmoja tu mmefika kwenye magunia kumi ningekusifu sana mwenyekiti nisingekulaumu basi hivyo ndivyo ilivyo katika nchi nimetembelea mikoa wa mtwara ananitembeza bwana shamba bwana shamba wa kijiji ananitembeza ananionyesha mahindi wameyapanga panga anajivuna sana ananitembeza hivi bwana shamba siyo mwenyekiti bwana shamba ananiambia kwamba mwaka huu magunia manane mwalimu tumefika sasa wewe ni bwana shamba nikamwuliza akasema ndiyo magunia manane sasa kwa nini unanisifia magunia manane akasema tulikuwa tunapata gunia moja hapa kwa eka kwa hiyo ndiyo hiyo wananchi nawaambieni kwamba anaweza mtu akaridhika na magunia yake manane haya akaridhika na magunia yake kumi kwa sababu kwa kweli hujui kilimo cha leo kinaweza kikafika wapi kwa hiyo nasema nawaombeni viongozi wa tanu kwanza mtambue kwamba tuko nyuma ajabu katika kilimo nyuma kabisa hatuna shamba zuri mahali popote ah labda nikisema hivyo naongeza chumvi viko vishamba viko vishamba vizuri vizuri mahali lakini tanzania yenyewe haina mashamba mazuri hata kidogo haina na hilo ni jambo la kutambua sasa nasema kwamba tumeanza kupiga kelele tumeanza kujaribu kutimiza masharti ya kilimo sasa sijui wenzangu wangapi mmesoma mwongozo ule wa siasa ni kilimo maana mle yamo maelekezo mepesi sana ambayo yanaweza kufuatwa na kila watu mahali pao wenye mahindi mahali pao wajitahidi kujua habari za mtama wenye mtama mahali pao wajitahidi kujua habari za mahindi wenye kahawa mahali pao wajue sasa sijui waheshimiwa humu tumejitahidi na nasema tumefanya na ghasia nyingi tumefanya katika kujaribu kuelekeza sasa sijui wenzangu mko darasa la ngapi la kilimo bora maana huku kipofu anakwenda anamwongoza kipofu mwenzake mwishowe mnaweza kutumbukia shimoni sasa sijui wenzangu mmefika wapi mbolea tumeanza kutumia mwaka 1971 tulitumia mbolea tani 41850 lakini matumizi yetu ya mbolea yaliongezeka mwaka huu tunasikia kutumia karibu tani thelathini elfu zaidi tunakisia kutumia tani 71300 tunacho kiwanda hakitoshi lakini makisio waliyoniambia ni kwamba mwaka huu wanaweza kutengeneza mbolea kiasi cha tani laki moja katika kiwanda chetu kile cha tanga sasa sijui tutapata maelezo ya kinaganaga mbele ya safari lakini mbolea imeanza kutumika na nadhani wananchi wengi wameanza kuelewa mbolea kidogo zamani mbolea ikitupwa unampa mtu mbolea halafu anatupa karibu hapa katika matembezi yangu nadhani mlisikia katika redio nikafurahi sana nikasikia watu wameanza kuibiana mbolea nikafurahi sana (kicheko) hakuna wizi umepata kunifurahisha kama wizi huo (kicheko) wizi mwingine wote unaniudhi lakini kwamba zamani watu unawapa mbolea wanatupa wengine wanafanya chokaa wanapakia majumba yao wanafanya chokaa halafu mnafika mahali wanaanza kuibiana mbolea nikiona tumepiga hatua kweli kweli ya maendeleo watu wameanza kuelewa mbolea hata dawa hizi za kunyunyizia za pamba na zingine watu wameanza kuzielewa vizuri sana hata hizi mbegu bora kina ngwinamila wanaanza kuimba hybrid ngwinamila zamani alikuwa hajui hybrid sasa anajua habari ya hybrid anaweza kuimba habari ya hybrid (kicheko) kwa hiyo hatua tumepiga lakini ni hatua kama ingekuwa kilimo ni darasa na zamani hizo tulikuwa ni kama mtu asiyesoma kabisa ama mtu yumo katika kidarasa kile tunachoita cha vidudu sasa inawezekana tuko darasa la kwanza la kilimo lakini tumeanza kuingia katika darasa la kwanza la kilimo hilo waheshimiwa ingawa limechukua muda mrefu ni hatua ya mazao sasa msingi wetu mmoja msingi wetu mmoja tuliosema wa kuweza kuharakisha maendeleo tulisema ni vijiji maana tulisema maendeleo haya yana utaratibu wake hata hayo tunayosema shule zahanati na mengineyo maji mtampelekea mzanaki porini vilimani wazanaki hukaa kaa vilimani zamani zile wakigombana na wamasai basi wanapenda kila mmoja anatafuta mahali pake anajipachika kwa kuwaogopa wamasai mpaka sasa wamo vilimani huko sasa leo tunataka maendeleo ya kisasa wapeni maji sasa mzanaki huyu mtampitishia maji kilimani utayapeleka kwa dawa gani kwa hiyo tulikubaliana vizuri sana kwamba kwa kweli jama tuishi pamoja jambo la kuishi pamoja ni la muhimu kabisa tumeanza kuzungumza habari ya kuishi pamoja siku nyingi sana nimewaomba wakubwa wanichapishie tena hotuba niliyopata kuitoa kwa wabunge mwaka 1962 hotuba yangu ya kwanza baada ya wananchi kunichagua kuwa rais wa nchi nilitoa hotuba hotuba yangu ya kwanza kabisa nilieleza sana habari ya kuishi pamoja katika vijiji sasa ninawaomba ichapwe mpewe wananchi make nayo tena mfukoni (makofi) inaeleza mambo mengi lakini inakumbusha mambo ya kuishi pamoja vijijini mwalimu nyerere 20180117 previous nukuu sehemu ya 329 next ndugu rais tunaichekelea hali ya nchi ilivyo kama mazuzu
2018-05-24T04:08:39
http://www.jamhurimedia.co.tz/maendeleo-ni-kazi-sehemu-ya-sita/
barua ya kighoma malima kujiuzulu amlaumu kikwete | page 8 | jamiiforums | the home of great thinkers page 8 of 18 1 ← 6 7 8 9 10 → 18 matungiza said ↑ umetukanwa na wenye akili kutukanwa ni nini watu wasio hatia wanchinjwa wanuawa na sasa kibiti watu wanuawa kila uchao na wenye imani butu na laiti kwa mwenendo wake kama angekuwepo sidhani kama taifa lingekuwa hili tulilonalo sasa aliligeuka taifa sikubaliani na dhuluma dhidi ya kundi lolote lakini pia sitaki kuamini kwamba hamtaki kuona kuwa historia ndio iliyoleta madhara makubwa kwa jamii ambazo mwarabu alizipitia na laiti kama tutakubaliana kurekebisha hili ambalo kwa hakika kwa sasa kuna juhudi kubwa zinafanyika kuboresha shule za seminary za kiislam hii itasaidia sana sana kuweka uwiano katika maeneo mengi ya kiutawala tuangalie tulipojikwaa sio tulipoangukia mwisho tunahitajiana sana na hatuna sababu ya kutunishiana misuli tanzania ni yetu sote tumezaliwa hapa na tutazikwa hapa mungu wabariki watanzania wote pasipo kujali imani zao maana wote wanatafuta njia sahihi ya kukufikia amen messages 12109 likes received 16438 sio kwa maana hiyo the man was radicalising young muslims that's why god never let him prosper he acted accordingly this is tanzania bwana acha ushamba kifo sio adhabu kingekuwa adhabu watu wema wangeishi milele messages 27329 likes received 7469 kwahiyo god akamuona malima ni hatari kuliko hata kina baghdad au kina bush mawazo yako yakikulima sana mkuutena alieshia darasa la tatu malima alikufa kwa ugonjwa kama wanavyokufa viumbe wengine wazo kuwa eti mungu aliona anawaradicalise watu akaamua kumchukua ni wazo la kijinga sana na la mtu asie na elimu wala uelewa wa mambo of all the people dunia hii ndo mungu wako akamchagua malima na wewe umeona pumba zakejamaa yuko too low watu kama hawa wanafaa kule facebukhuku anajichoresha na kuonyesha upstair ni empty alakumbe wewe ndo uko radicalised maana hata unachoongea hasa hakieleweki hebu futa povu ongea kwa hatua na utuwekee hizo tuhuma tuzione maana unaenda holela hueleweki guasa amboni said ↑ huyu alikuwa gavana kaburi lake lipo pale malapa zamani zamani kweli kiongozi mkubwa kama governor akazikwe malapa siku hizi wasiotaka kuzikwa vijijini kwao kama muslim unazikwa makaburinya kisutu na christian kinondoni makapuku wanaambiwa makaburi yamejaa lakin kila siku watu wanazikwa terrible teens member jk lol rip malima wakati huo rais akiitwa mtukufu rais ila nakumbuka rais mwinyi alipoingia madarakani alipiga marufuku kuitwa mtukufu filadelifia toto member hivi bado kuna great thinker wanaamini jk alikuwa mdini ndivyo walivyo aminishwa hawawezi badirika hadi vizazi vyao vitaamini hivyo guasa amboni jfexpert member pana mengi ya kujifunza waqt umeenda wapi scropion_master member only julius k nyererendo anaweza kumatch uwezo wa kisiasa wa jkhe is the master of tz politics chaza said ↑ huyu ndiye aliyejitahidi kuondoa mfumo kanisa na kujuana wakati wa kusahihisha mitihani atakumbukwa kwa kuanzisha namba badala ya majina angalau ilileta ahuenijapo tatizo halikwishalabda ndo udini ausemao jamaahuo wa kuficha majina hili suala la namba kwenye mitihani naona lina ushabiki usio na ukweli hivi unajua namba kwenye mitihani zilianza kutumika lini badala ya jina mkapa alipoingia ndiyo alikataa kuitwa mtukufu mwinyi hadi anaondoka alikuwa akiitwa mtukufu rais ali hassan mwinyi messages 10954 pamoja na usungura wake kwenye politics lakini jk ana ubinaadamu sana yaani kama uliwahi kumgusa positively katika maisha yake basi hakunyimi fadhila once the chance comes mwandosya alipewa uwaziri usio na wizara maalum huku afya yake ikiwa dhoofu bin hali el pamoja na kufanyiwa figisu lakini alipewa mazingira afanye siasa ( jk angetaka basi el hata kampeni asingefanya kwa raha mustarehe) sio fadhila hiyo ni njia mmojawapo ya kummaliza adui yakokumbuka licha ya kuwa na ugomvi huko nyuma lakini mwandosya alimsaidia sana jk kupata kura nyingi sana mbeyanafikiri ndio mkoa ambao jk alipata kura nyingi sana we mwehu walisepa wakina yesu tena kwa kifo cha aibu huku kavaa chupi sembuse kighoma malima economy jfexpert member kweli wewe jamaa unachuki mbaya sanahufai hata kidogo kuwa mtanzani kilaza wewe dilekeni jfexpert member unaposema ni mdini una maana gani joshua_ok jfexpert member likes received 2186 tumaini obedi said ↑ kama sijasahau huyu jamaa ndiye aliye wabana serikali kuwepo na mfumo wa watahiniwa kuwa na namba baadala ya kutumia majinaakidai kuwa waislamu walikuwa wanaonewa kwenye usahihishwaji wa mitihani na baraza la mitiniwaislamu wanamukumbuka sana jamaa aliwabanaje serikali kwani alishawahi kuwa waziri wa elimu na enzi zile bunge chama kimoja kulikuwa kunakubanana kweli hebu pitia vitabu vyako vya historia vizuri udini wa huyu jamaa she pondwa mchuchu tu topics 1065641 members 412090 posts 23249138
2017-09-19T20:44:29
https://www.jamiiforums.com/threads/barua-ya-kighoma-malima-kujiuzulu-amlaumu-kikwete.1253388/page-8
malaika wa kisaikolojia wa kila siku nambari kusoma kwa chakra alhamisi 30th machi 2017 usomaji wa akili wa mtandaoni online masomo ya akili > video > malaika wa kisaikolojia wa kila siku nambari kusoma kwa chakra alhamisi 30th machi 2017 malaika wa kisaikolojia wa kila siku nambari kusoma kwa chakra alhamisi 30th machi 2017 megan machi 30 2017 videotagged ujumbe wa malaika malaika kuamka ufahamu wa pamoja mungu viongozi hig kundalini bwana utambuzi wa awali psychic roho tarotc majani ya twin ulimwengu3 maoni kwenye malaika wa kila siku wa saikolojia nambari kusoma kwa chakra alhamisi 30th machi 2017 anuka hadi 25 off saa tonasket psychic okoa hadi 5 off huko fresno psychic machi 30 2017 katika 4 57 am oh hiyo ndio ninayohitaji sana asante xi atatabasamu na kukumbatia mizigo leo x natamani kufurahi na kufurahi x kuhisi ni ufunguo katika taswira niliandika matakwa yangu kwa sasa na moja iliyoonyeshwa katika miezi ya 12 ambayo ilikuwa nyumba yangu x asante mpendwa ludmila wolff anasema usomaji mzuri asante
2019-11-12T14:12:32
https://sw.psychicbonus.com/daily-psychic-angel-number-chakra-reading-thurs-30th-march-2017/
unataka kumuacha mke mkorofi fanya hivi | jamiiforums | the home of great thinkers unataka kumuacha mke mkorofi fanya hivi ​kuna wanaume ambao wametokea kuoa wanawake ambao wana tabia mbaya ninaposema kuwa na tabia mbaya sina maana ya mwanamke kuwa malaya maana hiyo ni fasili rahisi ya tabia mbaya kwa watu walio wengi ninaposema tabia mbaya nina maana kwenda kinyume na matarajio ya mume na pengine hata kwenda kinyume na matarajio ya jamii mwanamke ambaye ana tabia kama ghubu mdomo mdomo (mkosoaji) mtapanyaji wa mali mpenda makuu na tabia nyingine za aina hiyo ni mwanamke ambaye kwa kiasi kikubwa anaweza kumsababishia mume matatizo ya kimwili na kisaikolojia mwanamke wa aina hii anaweza hata kuathiri makuzi ya watoto na kuathiri uhusiano na mume na watu wengine waliyo karibu yake kama mwanamke wa aina hii ameolewa na mume mweledi ndoa inaweza isiyumbe sana lakini hii ina mipaka na kiwango chake angalizo sishauri watu kuachana lakini nashauri watu kujua kwamba ndoa zenye mashaka makubwa ni hatari kwa afya na maisha yao utambuzi na kujitambua hivi 'ghubu' maana yake haswa ni nini naanza self diagnosislol imetulia sananilifanya busara kumuacha mke wangu alikuwa na tabia ulizozitaja hivi 'ghubu' maana yake haswa ni nini naanza self diagnosislolclick to expand ghubu maana yake ni tabia ya mtu kutoridhika na mlalamishi (kunung'unika kusiko isha)hata akosewe jambo dogo tu kwake litakuwa kubwa auas ipolalamikia hili atalalamikia lile ilimradi keroooo kerooooo keroooo zisizoisha mkuu@king'asti thanks boss kinyume cha ghubu itakuwa kususa manake kama kero ipo kila siku ukaamua kunyamaza na kuipotezea na kutouliza kabisa isije ikaitwa kiburi mfano unamlalamikia mwenza say kwa tabia ya ulevi kuchelewa nyumbani ama ufujaji mali anakubali atabadilika then kesho anarudia ukiamua kunyamaza tu na kuendelea na alternative inakuwaje thanks boss kinyume cha ghubu itakuwa kususa manake kama kero ipo kila siku ukaamua kunyamaza na kuipotezea na kutouliza kabisa isije ikaitwa kiburi mfano unamlalamikia mwenza say kwa tabia ya ulevi kuchelewa nyumbani ama ufujaji mali anakubali atabadilika then kesho anarudia ukiamua kunyamaza tu na kuendelea na alternative inakuwajeclick to expand ukiamuwa kunyamaza utaitwa wewe ni kiburi hahahahah bora kunyamza kuliko kusema mkuu king'asti kwa hiyo bora kiburi sio (ama kususa) hehehe hii taasisi ngumu sana ila sometimes coping alternatives zinazotafutwagwa huwa zina madhara haya dr endelea kuelimisha jamiilol ukiamuwa kunyamaza utaitwa wewe ni kiburi hahahahah bora kunyamza kuliko kusema mkuu king'asticlick to expand kuna situation unamuacha mwenza afu kimoyomoyo anashangilia manake nae alikuwa anakupigia hesabu aanze kutoka kwa mguu wa kulia ama kushoto lol imetulia sananilifanya busara kumuacha mke wangu alikuwa na tabia ulizozitajaclick to expand kwa hiyo bora kiburi sio (ama kususa) hehehe hii taasisi ngumu sana ila sometimes coping alternatives zinazotafutwagwa huwa zina madhara haya dr endelea kuelimisha jamiilolclick to expand hata kidini unatakiwa unyamze uvumilie usiwe mjeuri uwe mwenye tabia nzuri kunyamazni bora kuliko kuambia wewe una ghubu king'asti mh kama hali ikiwa hivi ni bora kuachana kwa kweli maana kuishi kwa stress na mtu nayo yataka moyo vipi mwanamke anayetaka kumwacha mwanaume mkorofi wanaume huwa tunajihesabia haki sana kuna wanawake hubadilika tabia kutokana na tabia mbaya ya mwanaume niliwahi shuhudia rafiki yangu mmoja alichoka na gubu na maneno mpaka akawa analala sebureni alipochoka akamtimua mwanamke isee hizo ni tabia mbaya sana zilizoelezwa hapo juu jamaa alikuwa anaishi kama mgonjwa hivi kumbe ni mzima ila makelele na malalamiko yasoisha ndo yalikuwa yanamnyong'onyesha sent from my blackberry 8520 using jamiiforums kumbe huwa unaacha binti yangu sikupi vipi mwanamke anayetaka kumwacha mwanaume mkorofi wanaume huwa tunajihesabia haki sana kuna wanawake hubadilika tabia kutokana na tabia mbaya ya mwanaumeclick to expand mkuu hapo nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kumbe huwa unaacha binti yangu sikupiclick to expand tehe tehe kwanza nimeshtuka hujui malezi mkuu hapo nakubaliana na wewe kwa asilimia zoteclick to expand kuna wanawake wanaishi na waume zao kwa kuwavumilia na kuwachukulia sana mfano 1 kuna wanaume ni walevi wa kupindukia kila akitoka kazini ni kupitia bar na kurudi nyumbani saa nane za usiku 2 kuna wanaume wamehalalisha kuwa na mahusiano ya nje ya ndoa kwamba hiyo ni haki yao 3 unavuta sigara ndani (chumbani) wakati mkeo havuti sigara 4 nyumbani hautoi pesa ya matumizi ya kutosha lakini wewe unajiachia kwa supu na nyama choma wanaume tusipende kuwanyooshea tu wanawake vidole kwanza mimi naamini mwanaume anayeshindwa kuishi na mwanamke mmoja wapo basi hawezi kuishi na mwingine kwa sababu kila mwanadamu ana mazuri na madhaifu yake bali jambo la msingi ni kila mmoja kumtambua mwenzake na kuishi kwa akili vile vile ni muhimu kufahamu kwamba ndoa ina hatua 3 kuachana na wazazi kuambatana na kuwa mwili mmoja hatua ya pili huwa na changamoto nyingi na kila mmoja huhitaji mwenzake kubadilika kitabia kama yeye anavyotaka na hasa wanaume huwa tunahitaji wanwake ndio wabadilike bila ya sisi nasi kujichunguza malaki 21416 kuna maneno kama haya yafuatayo usimuache mke wa ujana wako kwa maana mimi bwana nachukia kuachana labda kama unafundisha kwa mtazamo wa kishetani hapo itakuwa sawa lakini kwa upande wa mungu utakuwa unapotosha ukweli hizo bolds na red zimenisomba ulijuaje wangu tulisoma pamoja wazazi walifanya kazi ofisi moja dah kaz kwel hizo bolds na red zimenisomba ulijuaje wangu tulisoma pamoja wazazi walifanya kazi ofisi moja dah kaz kwelclick to expand
2017-01-19T00:21:14
https://www.jamiiforums.com/threads/unataka-kumuacha-mke-mkorofi-fanya-hivi.314405/
wakurdi washikilia bwawa muhimu iraq bbc news swahili wakurdi washikilia bwawa muhimu iraq https//wwwbbccom/swahili/habari/2014/08/140818_bwawa_iraq image caption bwawa hili ni muhimu kwa shughuli za uzalishaji wa umeme nchini iraq chanzo cha habari cha kikurdi kimeiambia bbc kwamba wapiganaji wake wa peshmerga wameliweka katika himaya yao bwawa muhimu lililopo kaskazini mwa iraq kutoka mikononi mwa wapiganaji wa kiislamu huku ikulu ya marekani ikisema kuwa mashambulizi ya ndege zake katika eneo hilo hayatakoma kwa kuwa zinalinda maslahi yake nchini humo baruan muhuza ameandaa taarifa zaidi chanzo hicho kimesema kuwa wanajeshi wa kikurdi wanajaribu kusafisha eneo lenye madini na mabomu ya kutegwa ambayo yameachwa mahala hapo na kikundi cha wapiganaji wa himaya ya kiislamu mashambulizi yao ya chini ya ardhi yamekuwa yakiunganishwa na msaada wa vikosi vya askari wa marekani ambao wanatoa ulinzi wa anga taarifa ya wizara ya ulinzi ya marekani imesema makundi kumi na nne ya wanamgambo hao yametimuliwa mchan wa jumapili na ndege za kivita za marekani zikiwemo zile zisizo na rubani usiku wa kuamkia leo ikulu ya marekani imesema itaendelea na mashambulizi ya anga kama ilivyoamuriwa na rais wa nchi hiyo barack obama ikiwa ni mkakati wa sera ya marekani ya kulinda watu na mali zake zilizopo iraq maafisa wa white house wamesema bwawa lililo kombolewa ni muhimu kwa maji na umeme na kwamba endapo lingeachwa kwa wanamgambo hao na kulifumua kingo zake lingesababisha mafuriko kwenye mji wa mosul na pengine hadi jijini baghdad mahala ambapo kuna ubalozi wa marekani waziri wa mambo ya nje wa iraq anayeondoka madarakani hoshyar zebari ameiambia bbc mjini baghdad kuwa wapiganaji wa himaya ya kiislamu wameleta changamoto kubwa kwa iraq na kwamba ni tishio kwa dunia
2018-06-19T08:53:07
https://www.bbc.com/swahili/habari/2014/08/140818_bwawa_iraq
dk mandai kitunguu si kiungo cha mboga tu lakini ni tiba pia zifahamu hapa faida zake kitunguu si kiungo cha mboga tu lakini ni tiba pia zifahamu hapa faida zake kitunguu maji ni moja ya kiungo ambacho wengi wetu hukitumia sana karibu kila siku hasa katika shughuli za jikoni lakini kiungo hiki pia ni tiba kwa matatizo ya afya zetu mtaalamu wa tiba asili tabibu abdallah mandai anaeleza kwamba unapotwanga gramu thelathini ikiwa na pilipili manga saba na kisha kumpatia mgonjwa mwenye tatizo la kutapika na kujisikia vibaya pamoja na kuharisha humsaidia sana kupona tabibu mandai anaendelea kueleza kwamba kwa wale wenye shida ya haja ndogo (mkojo) kuuma anaweza kuponda kiasi cha gramu sita ya vitunguu na baadaye kuchemsha katika nusu lita ya maji na kuiacha ichemke hadi pale itakapo pungua nusu ya ule ujazo wote kisha apatiwe mgonjwa anywe aidha mtaalam huyo anabainisha kwamba matone ya maji ya kitunguu ni dawa ya sikio na kusaidia kuondoa milio yote ya sikioni na tatizo hilo litaacha mbali na hayo matatizo mengine yanayoweza kutatuliwa na kiungo hiki ni pamoja na kikohozi vidonda vya tumbo ngozi figo pamoja na tumbo ambapo tabibu mandai anasema kuwa kwa tatizo la kikohozi kinachotakiwa kufanyika ni kuchukuwa kitunguu maji kimoja kikubwa na ukikate kate kwenye maji kisha chemsha maji hayo kwa dakika tano na baadaye mgonjwa anywe kijiko kikubwa kimoja kutwa mara tatu yaani asubuhi mchana na jioni kwa ushauri zaidi mpigie simu tabibu mandai kwa simu namba 0716 300 200 0784 300 300 0769 400 800 au barua pepe dkmandaitz@gmailcom
2017-08-20T00:17:46
http://www.dkmandai.com/2015/10/kitunguu-si-kiungo-cha-mboga-tu-lakini.html
aapolisi ya mangwa po sho ya teya oompango dhepato mosa new era live home \ front page news \ aapolisi ya mangwa po sho ya teya oompango dhepato mosa aapolisi ya mangwa po sho ya teya oompango dhepato mosa 20200421 101956 1 months ago johannesburg iilyo 12 yopolisi yasouth africa (saps) mwa kwatelwa gumwe gwopolisi yoreserved force oya li ya mangwa po mehuliloshiwike molwa anuwa uulingilingi osho wo ekayulonyanga dhomilandu dhonational disaster management yamwe oya li ya mangwa taya nu mondingosho omupopiliko gwopolisi vish naidoo okwa ti oyendji yomaakalekipo yooveta oya kala nokulonga nawa mokukaleka po omilandu ndhoka dha tulwa po omipe noya li ya teya shoka ya gana sho ya teya oompango ndhoka opolisi momushangwapitithi oya ti kutya aapolisi yatano nagumwe ngoka taya longo okuza monamahadi police station mophutuhaditjhaba mofree state oya li ya mangwa po sho ya li anuwa ya nu iikolitha mondingosho yimwe aapolisi yahamano ya za kobrooklyn nasilverton police station mopretoria oya li ya tulwa miipandeko molyomakaya konima sho iilyo yehangano lyokukeelela uulingilingi mompunmalanga ya li ya yakelwa ko kutya aanamebelwa yopolisi oya kutha ongundu yaantu oshimaliwa shi vulithe por30 000 mboka ya li ya piti peinda lyopolisi lyomoondjila moshiningwanima oshititatu oshilyo shopolisi shimwe osha li sha mangwa po sho sha li sha gongele aantu mokamba yopolisi mososhanguve aanambelewa mbaka oya patululiwa iipotha moshiningwanima sha yoolokaomulumentu nomukiintu oya li ya mangwa po mogauteng sho ya teya oondjindikila ndhoka dha tulwa po shika osha li sha ningwa mondjila onene yon12 sho omulumentu a li a kambadhala okupita nomukiintu meholamo okuza koshitopolwa shimwe mokuya kushikwawo omulumentu nguka ehauto lye olya li lya kankamekwa peinda lyopolisi lyomoondjila nokuhadhwa nomukiintu okwa li a adhika kombuta mbaka yaali anuwa oya adhika yu uka kompumalanga okwa li ta ende kee na opelemeta omanga omukiintu a li a mangwa po sho a itaala a yakelwe mo moshitopolwa shimwe home \ front page news \ aapolisi ya mangwa po sho ya teya oompango dhepato mosa new era live 17 hours ago 2208 0 17 hours ago 530 0 17 hours ago 904 2 17 hours ago 1985 0 17 hours ago 3338 0
2020-06-02T00:59:20
https://kundana.com.na/posts/aapolisi-ya-mangwa-po-sho-ya-teya-oompango-dhepato-mo-sa
imechapishwa 03/03/2020 0839 vikosi vya serikali ya syria vikisaidiwa na jeshi la wanaanga la urusi vimedhibiti eneo la kimkakati la saraqeb shirika la haki za binadamu syria osdh limeliambia shirika la habari la afp muhammad haj kadour / afp vikosi vya utawala vya damascus vinadhibiti tena saraqeb tangu jumatatu machi 2 saraqeb ni eneo la kimkakati nchini syria rais wa uturuki recep tayyip erdogan anatarajiwa kuzuru moscow alhamisi machi 5 recep tayyip erdogan anatarajia kupata mkataba wa kusitisha mapigano kutoka kwa mwenzake wa urusi vladimir putin recep tayyip erdogan anaendelea kuongeza shinikizo na kutishia kufungua mipaka yake kuwaruhusu wahamiaji na wakimbizi kutoka syria wanaotafuta hifadhi katika nchi za umoja wa ulaya jeshi la syria liliingia saraqeb jumatau wiki hii eneo ambalo linapatikana kwenye karibu na barabara mbili muhimu kusini mashariki mwa mji wa idleb saraqeb imedhibitiwa mara kadhaa katika wiki za hivi karibuni vikosi vya serikali na baadaye makundi ya waasi kwa msaada wa uturuki wiki iliyopita na sasa hivi imerudi kudhibitiwa na vikosi vya serikali ya bashar al assad urusi imetangaza kwamba vitengo vya askari jeshi vimepelekwa saraqeb hali ambayo inaonyesha kuwa sasa moscow inadhibiti eneo hilo kulingana na shirika la haki za binadamu nchini syria osdh askari zaidi ya 90 wa serikali wameuawa katika mashambulizi ya anga ya uturuki tangu siku ya ijumaa pamoja na wapiganaji 10 wa hezbollah mkutano kati ya marais wa urusi na uturuki umepangwa kufanyika alhamisi machi 5 huko moscow recep tayyip erdogan amesema atataka vita visitishwe nchini syria vladimir putin na recep tayyip erdogan wanaunga mkono pande hasimu nchini syria lakini wameweza kuongea na hata kushirikiana katika miaka ya hivi karibuni syriauturukiusalamasiasa syria ankara yajibu baada ya vifo vya askari wa uturuki syria waasi wanaoungwa mkono na ankara wadhibiti mji ulio karibu na idlib
2020-04-09T12:55:07
http://www.rfi.fr/sw/mashariki-ya-kati/20200303-jeshi-la-syria-ladhibiti-saraqeb-erdogan-aitishia-ulaya
124 ackyshine minisites | best of 2019 04 nov 2018 0410 makala zilizoandikwa na melkisedeck leon shine wengi wetu tunashindwa kutofautisha mavazi ya sehemu husika mfano ofisini michezoni na yale ya usiku na sehemu nyinginezo leo nitagusia vazi la ofisini kwa akina dadasoma makala yote uhitaji mkubwa wa walaji pamoja na urahisi wa kuzalisha zao hili katika maeneo mbalimbali nchini umewezesha wakulima kupata soko zuri na kujiongezea kipato kwa urahisi zaidisoma makala yote habari ya mama aliyeuguliwa ghafla na mtoto wake majira ya saa 2 usiku mtoto alibanwa na kifua(asthma) hali ilikuwa mbaya na mama akaenda kuomba msaada kwa jirani yake aliyekuwa na gari akamjibu gari haina mafuta akaenda kwa mchungaji ili amsaidie akamjibu nina wachungaji toka usa hivyo sitaweza kuwaacha peke yao mama hakuwa na jinsi aliamua kumbeba mtoto ili amuwahishe hospitali akiwa na hofu asije kufa kama baba yake aliyefariki miaka michache kwa ugonjwa huosoma makala yote pamoja na faida hizi za matumizi ya wavuti kwa watu wa malika mbambali wavuti unazo hasara pia mbali na athari za kimaadili matumizi ya wavuti yanaweza kutokeza hasara na athari za kiafya hasa kwa vijana wasichana wengi hasa wale wanaotoka katika familia zenye uchumi mzuri na wazazi wasomi hukabiliwa na athari za kiafya kijamii na kimaadili zinazotokana na matumizi mabaya ya wavuti endapo tahadhari hazitachukuliwasoma makala yote magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge icho sehemu ilio athirika na chunusi kwa muda wa dakika 1520 au mpaka ikauke na kisha suuza kwa maji yasiwe ya moto unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapo ona athari ya chunusi imepoteasoma makala yote haya ndio mambo ninayoyafahamu kuhusu tanzaniasoma makala yote 7 epuka vyakula vifuatavyo kama unasumbuliwa na chunusi kila mara navyo ni pamoja nasoma makala yote kisimi kwa kuvivuta au kutoboatoboasoma makala yote wanawake wengine wanapata vidonda vya tumbo lakini haya hayana uhusiano na vidonge vya kuzuia mimba vyanzo vya vidonda vya tumbo mara nyingi ni maambukizi yatokanayo na msongo wa mawazo kula vyakula vyenye mafuta mengi na viungo vingi au kuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia baadhi ya dawa huathiri tumbo kama vile asprini na ndiyo maana sio kila mtu anashauriwa kuzitumia vidonge vya kuzuia mimba havisababishi vidonda vya tumbosoma makala yote watu wengi wameanguka katika mtego huu wa ibilisi na kujikuta wakifanya mambo ya aibu wanapokuwa sehemu zao za siri iwe ni chumbani au bafuni wanaume wamejikuta wakipiga punyeto (mastubation) na wanawake wakijisaga ( wanatumia mikono yao na viungo vyao vingine kama njia ya kujikidhi hali zao za tamaa mbaya waliloziamsha wao wenyewe) haipaswi kamwe kuwa hivyo biblia inasema tusiyachochee wala kuyaamsha mapenzi mpaka yatakavyoona yenyewe (wimbo ulio bora 27 35) naomba tufuatane pamoja kwenye somo hili muhimu sana ambalo litakuweka huru mbali na utumwa wa fikra za kingonosoma makala yote 🌟 mesejibombatamuzamahaba 🌟 furahiamhengakwavideos 🌟 verygoodtalesforyou 🌟 pichaunazopenda 🌟 hilarioustalesforyou • 08 apr 2018 1336 08 apr 2018 1336 ago vichekeshonapicha vitukovyaijumaa • 04 jan 2017 1241 04 jan 2017 1241 ago videos cheki huyu alivyomtishia mwenzake na karai • 11 may 2018 1130 11 may 2018 1130 ago featuredjokes funnyfridaytales • 15 mar 2015 0454 15 mar 2015 0454 ago wiki je kwa nini inatokea kuzaa mtoto mlemavu • 01 jun 2017 1001 01 jun 2017 1001 ago mypictures 17 • 18 apr 2018 1609 18 apr 2018 1609 ago funnypictures truly enjoyable pictures for your friends • 16 feb 2018 1219 16 feb 2018 1219 ago featuredsms smsnzuritamuzamahaba • 18 apr 2018 0522 18 apr 2018 0522 ago funnypictures definitely entertaining pictures online • 20 dec 2016 0221 20 dec 2016 0221 ago vichekesho cheki nilichomfanyia huyu dereva tax • 02 dec 2015 0042 02 dec 2015 0042 ago habari tanzania kurudishiwa dola za kimarekani milioni 6 kutoka stanbic tanzania kupitia kampuni ya egma • 30 apr 2018 1219 30 apr 2018 1219 ago jokes which is faster heat or cold • 26 sep 2017 2325 26 sep 2017 2325 ago featuredkatoliki ujumbe wa msingi wa imani • 08 jan 2015 1942 08 jan 2015 1942 ago wiki hatua za jinsi ya kuanzisha mradi wa nyuki • 02 mar 2015 1217 02 mar 2015 1217 ago wiki watu wanaoua albino wanapata faida gani • 23 apr 2015 0936 23 apr 2015 0936 ago wiki nyumba ya kulelea vifaranga • 27 jun 2016 0435 27 jun 2016 0435 ago pichazakuchekesha picha zilizosambaa na kuvuma leo • 13 dec 2018 0348 13 dec 2018 0348 ago pichabomba bangi mbaya sana cheki huyu jamaa anahokifanya sasa • 18 apr 2018 0339 18 apr 2018 0339 ago funnypictures definitely hilarious pictures forever • 18 aug 2017 2334 18 aug 2017 2334 ago vichekeshonapicha peruziwahenganakituko • 24 nov 2016 0437 24 nov 2016 0437 ago pichanzuri hizi • 28 sep 2015 0221 28 sep 2015 0221 ago mahusiano ishara za uhakika za mtu yeyote anayekupenda kimapenzi hata kama hajakwambia • 24 oct 2016 1304 24 oct 2016 1304 ago adsgn soma makala za elimu sayansi na tekinolojia • 08 jan 2015 1622 08 jan 2015 1622 ago wiki jinsi ya kulima karanga • 30 may 2018 0509 30 may 2018 0509 ago jokes what do a car and an elephant have in common • 08 oct 2016 1030 08 oct 2016 1030 ago katekisimu dini ni nini • 30 jan 2017 1429 30 jan 2017 1429 ago videos kwa watumiaji wa vyoo vya sinki cheki kilichotokea hapa kwenye choo hii ni hatari • 24 jan 2017 1044 24 jan 2017 1044 ago videos wanawake wengine ni shida cheki anachofanya hapa sasa • 19 mar 2018 0648 19 mar 2018 0648 ago sms meseji ya kumkumbusha mpenzi wako kuwa unampenda • 19 mar 2018 0713 19 mar 2018 0713 ago sms meseji ya kumtumia dia wako kumuonyesha jinsi unavyompenda • 26 jun 2016 0138 26 jun 2016 0138 ago pichabomba wachawi walivyokamatwa wakiwa wanaenda kuwanga wakiwa wamepanda nyungo kila mmoja na ungo wake • 14 feb 2017 0907 14 feb 2017 0907 ago videos mbio za mabonge sasa cheki hapo nani mkali • 12 may 2018 0622 12 may 2018 0622 ago featuredjokes currentfridaytales • 26 may 2015 0501 26 may 2015 0501 ago taf maana ya kuushinda ulimwengu • 01 mar 2017 0926 01 mar 2017 0926 ago vichekesho sababu ya girlfriend 👧 kuniblock • 21 aug 2017 0918 21 aug 2017 0918 ago katolikif makalazadinizakikristu • 11 mar 2015 1556 11 mar 2015 1556 ago wiki kumbadilisha mtu aliyeathirika na dawa za kulevya • 11 may 2017 1230 11 may 2017 1230 ago adssd slide4 • 06 aug 2017 0325 06 aug 2017 0325 ago pichanzuri chekawahenganapicha • 15 feb 2017 1815 15 feb 2017 1815 ago vichekesho angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu • 11 may 2018 1123 11 may 2018 1123 ago featuredjokes funnyweekendposts • 13 may 2018 0635 13 may 2018 0635 ago featuredjokes latestweekendtales • 18 apr 2018 0443 18 apr 2018 0443 ago funnypictures really entertaining pictures online • 18 apr 2018 1519 18 apr 2018 1519 ago funnypictures good enjoyable pictures for your mother • 12 jun 2016 0409 12 jun 2016 0409 ago pichanzuri kalizamwaka • 21 oct 2016 0355 21 oct 2016 0355 ago katekisimu watawa wanashika mashauri gani ya kiinjili • 16 feb 2017 0646 16 feb 2017 0646 ago featuredvideos videos bomba za kuburudisha za wiki • 08 aug 2017 1621 08 aug 2017 1621 ago featuredkatoliki mafundisho muhimu ya imani katoliki • 06 aug 2017 0032 06 aug 2017 0032 ago pichanzuri peruzipichakwamhenga • 13 may 2018 0620 13 may 2018 0620 ago featuredjokes latestweekendposts • 07 jul 2017 1712 07 jul 2017 1712 ago mapishinalishe jinsi ya kutengeneza biskuti ya keki kavu (shortcake) • 22 jul 2017 1650 22 jul 2017 1650 ago vichekeshobomba vichekeshonawahenga • 11 may 2018 1225 11 may 2018 1225 ago featuredjokes awesometalesforall • 11 jul 2019 1824 11 jul 2019 1824 ago masomoyamisa masomo ya misa ijumaa julai 12 2019 juma la 14 la mwaka • 02 feb 2017 0758 02 feb 2017 0758 ago katolikimusic nikiziangalia mbingu ni kazi ya vidole vyako • 09 sep 2018 0822 09 sep 2018 0822 ago adssd f52 • 17 apr 2018 1218 17 apr 2018 1218 ago funnypictures definitely funny pictures for your husband • 23 aug 2017 0744 23 aug 2017 0744 ago adssd v10 • 08 oct 2016 1417 08 oct 2016 1417 ago katekisimu maisha ya mtoto yesu huko nazareth yanatufundisha nini • 18 apr 2018 1619 18 apr 2018 1619 ago funnypictures truly enjoyable pictures online • 21 sep 2017 0630 21 sep 2017 0630 ago mapishinalishe mapishi ya viazi mbatata vya nazi kwa nyama ya ng'ombe • 05 feb 2017 0919 05 feb 2017 0919 ago videos angalia kilichompata huyu mtoto aliyeachwa uchi haya ndiyo madhara ya kuwaacha watoto bila nguo • 12 may 2018 1743 12 may 2018 1743 ago featuredjokes recentfridaygags • 12 apr 2018 1910 12 apr 2018 1910 ago pictures looking at your old pictures • 27 jun 2019 1256 27 jun 2019 1256 ago urembonamitindo uvaaji wa tai na maana yake • 28 sep 2016 0142 28 sep 2016 0142 ago mahusiano sababu ya wasichana wengi kutoolewa ni hizi 29 dec 2016 1358 29 dec 2016 1358 ago katekisimu sakramenti ya ekaristi ni nini soma zaidi 20 dec 2016 0221 20 dec 2016 0221 ago vichekesho cheki nilichomfanyia huyu dereva tax soma zaidi 12 may 2018 0715 12 may 2018 0715 ago featuredjokes veryfunnyjokesforyou soma zaidi 08 apr 2018 1317 08 apr 2018 1317 ago vichekeshonapicha vichekeshovyadisemba soma zaidi 01 feb 2016 0910 01 feb 2016 0910 ago mahusiano mambo yakuzingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa soma zaidi 09 jan 2017 0048 09 jan 2017 0048 ago vichekesho wanaume wote ni waaminifu soma zaidi 07 jan 2017 1828 07 jan 2017 1828 ago videos wanyama wenye akili ya kufundishwa soma zaidi 08 jan 2015 2136 08 jan 2015 2136 ago wiki jinsi ya kumlisha ng'ombe aongeze maziwa soma zaidi 28 oct 2016 0451 28 oct 2016 0451 ago vichekesho staili nyingine za michepuko ni shida soma zaidi 17 apr 2018 1726 17 apr 2018 1726 ago funnypictures categorically hilarious pictures for this week soma zaidi 26 aug 2017 0348 26 aug 2017 0348 ago adds je una ndugu mliopotezana mtafute hapa soma zaidi 07 nov 2016 0602 07 nov 2016 0602 ago katekisimu uchafu ni nini soma zaidi 02 mar 2015 1231 02 mar 2015 1231 ago wiki jeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa albino soma zaidi 13 feb 2015 0454 13 feb 2015 0454 ago wiki je wasichana wana viungo gani vya uzazi na kazi zake ni zipi soma zaidi 23 jul 2016 1323 23 jul 2016 1323 ago mahusiano makundi manne ya watu duniani soma zaidi 08 aug 2017 1618 08 aug 2017 1618 ago featuredkatoliki mafundisho muhimu ya katoliki soma zaidi 08 apr 2018 1313 08 apr 2018 1313 ago vichekeshonapicha vichekeshovyakileotuu soma zaidi 19 aug 2017 1410 19 aug 2017 1410 ago vichekeshonapicha jioneevitukokwawahenga soma zaidi 20 mar 2018 1305 20 mar 2018 1305 ago mix 17 things you need to consider when yo want to break up and let someone down gently soma zaidi 29 sep 2018 0939 29 sep 2018 0939 ago habari usiyoyajua kuhusu shambulio la kigaidi la septemba 11 2001 huko marekani soma zaidi 06 aug 2017 0027 06 aug 2017 0027 ago pichanzuri peruziwahengapicha soma zaidi 05 apr 2018 1926 05 apr 2018 1926 ago vichekeshobomba vihojavyakuwaadisia soma zaidi 08 apr 2018 1345 08 apr 2018 1345 ago vichekeshonapicha vitukovyakushare soma zaidi 21 nov 2016 0557 21 nov 2016 0557 ago vichekeshonapicha tizama soma zaidi 12 may 2018 1733 12 may 2018 1733 ago featuredjokes worthgagsever soma zaidi 14 nov 2015 0201 14 nov 2015 0201 ago bibhath loti na binti zake (watoto wa loti walivyozaa na baba yao) soma zaidi 12 may 2018 1601 12 may 2018 1601 ago featuredjokes mostamazingweekendjokes soma zaidi 16 feb 2018 1226 16 feb 2018 1226 ago featuredsms mesejinzurizamapenzi soma zaidi 16 feb 2017 0550 16 feb 2017 0550 ago featuredvideos videos hizi zisikupite kwa siku ya leo soma zaidi 05 apr 2018 1749 05 apr 2018 1749 ago vichekeshobomba vitukovyawanawakenawanaume soma zaidi 08 jan 2015 2125 08 jan 2015 2125 ago wiki jinsi ya kuhifadhi mayai soma zaidi 04 aug 2017 1652 04 aug 2017 1652 ago videoskali chekamhengakwavideos soma zaidi 11 nov 2017 1247 11 nov 2017 1247 ago _default peruzi zaidi soma zaidi 05 apr 2018 1908 05 apr 2018 1908 ago vichekeshobomba vihojavyawakakanawadada soma zaidi 01 mar 2017 1022 01 mar 2017 1022 ago mahusiano ushauri kwa mwanamke anayetafuta mwanaume ili upate mume sahihi soma zaidi 08 oct 2015 0219 08 oct 2015 0219 ago vichekesho alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga soma zaidi 04 aug 2017 2353 04 aug 2017 2353 ago videoskali chekivideosmhenga soma zaidi 28 oct 2017 0450 28 oct 2017 0450 ago sms sms nzuri ya kumtumia mume wako soma zaidi 13 jan 2017 0557 13 jan 2017 0557 ago katekisimu yatupasa nini kwa wenye daraja takatifu soma zaidi 08 feb 2017 1210 08 feb 2017 1210 ago videos huyu jamaa kapata wenge michezo mingine waachie wenyewe soma zaidi 22 oct 2016 0453 22 oct 2016 0453 ago katekisimu mbona watoto wachanga hawawezi kuelewa kinachofanyika wakati wa ubatizo halafu wanabatizwa soma zaidi 02 jun 2019 0428 02 jun 2019 0428 ago mapishinalishe jinsi ya kufanya kupunguza unene wa mwili kwa haraka soma zaidi 16 feb 2017 1327 16 feb 2017 1327 ago featuredvideos videos bomba za kuburudisha mwezi huu soma zaidi 08 jun 2015 1506 08 jun 2015 1506 ago sala kuomba kifo chema soma zaidi 09 jan 2018 1648 09 jan 2018 1648 ago mypictures 74 soma zaidi 24 jul 2016 2354 24 jul 2016 2354 ago mahusiano fahamu nguvu zako za kuzaliwa soma zaidi 26 oct 2019 1823 26 oct 2019 1823 ago masomoyamisa masomo ya misa jumapili oktoba 27 2019 dominika ya 30 ya mwaka c wa kanisa soma zaidi 12 may 2018 1327 12 may 2018 1327 ago featuredjokes mostfunniestfridayposts soma zaidi 18 oct 2016 1546 18 oct 2016 1546 ago katekisimu tunatambuaje maandiko matakatifu kati ya maandishi yote ya binadamu soma zaidi 07 jul 2017 1722 07 jul 2017 1722 ago mapishinalishe jinsi ya kuandaa biskuti za siagi na jam soma zaidi 02 feb 2017 0830 02 feb 2017 0830 ago katolikimusic wateule wa bwana karibuni mezani kwake soma zaidi 17 apr 2018 1608 17 apr 2018 1608 ago funnypictures good hilarious pictures forever ever soma zaidi 12 may 2018 1608 12 may 2018 1608 ago featuredjokes mostamazingweekendposts soma zaidi 07 may 2016 1345 07 may 2016 1345 ago vichekeshobomba vichekesholive soma zaidi 26 jun 2019 1606 26 jun 2019 1606 ago masomoyamisa masomo ya misa alhamisi juni 27 2019 juma la 12 la mwaka soma zaidi 22 jan 2017 1340 22 jan 2017 1340 ago videoskali videoszawakubwa soma zaidi 01 may 2018 0435 01 may 2018 0435 ago jokes why did the skeleton cross the road soma zaidi 08 jun 2015 0832 08 jun 2015 0832 ago katoliki katoliki maswali na majibu soma zaidi 12 may 2018 0630 12 may 2018 0630 ago featuredjokes goodpostsforyou soma zaidi 28 jan 2017 0159 28 jan 2017 0159 ago videos angalia huyu mwalimu kilichompata akiwa darasani aibu kweli kweli soma zaidi 23 jan 2017 0056 23 jan 2017 0056 ago videos angalia hawa watoto wanacheza na bunduki hatari kweli kweli soma zaidi 01 feb 2016 0930 01 feb 2016 0930 ago habari dondoo muhimu soma zaidi 01 mar 2015 0506 01 mar 2015 0506 ago wiki kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa soma zaidi 18 apr 2018 1713 18 apr 2018 1713 ago funnypictures definitely enjoyable pictures for funny soma zaidi 21 aug 2017 0332 21 aug 2017 0332 ago katolikif ujumbewadiniwawakristo soma zaidi 18 apr 2018 0413 18 apr 2018 0413 ago funnypictures best entertaining pictures forever ever soma zaidi 26 oct 2017 0559 26 oct 2017 0559 ago sms sms ya kutuma kwa mpenzi wako asubuhi soma zaidi 17 apr 2018 1542 17 apr 2018 1542 ago funnypictures worthy funny pictures for your happiness soma zaidi 21 sep 2017 0804 21 sep 2017 0804 ago mapishinalishe mapishi ya kabichi soma zaidi 29 oct 2019 1313 29 oct 2019 1313 ago catholicanswers catholic priests cant be married soma zaidi 26 sep 2017 2323 26 sep 2017 2323 ago featuredkatoliki nukuu za leo za dini katoliki soma zaidi 30 apr 2018 1214 30 apr 2018 1214 ago jokes why did the man take his clock to the vet soma zaidi 28 sep 2017 0130 28 sep 2017 0130 ago featuredkatoliki ujumbe wa sasa wa dini katoliki soma zaidi
2019-11-12T09:06:30
http://www.ackyshine.com/mypictures:124
harbinder seth avuliwa ukurugenzi | moto moto news harbinder seth avuliwa ukurugenzi huku akikabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi harbinder sing sethi ameondolewa katika orodha ya wakurugenzi wa kampuni ya kufua umeme ya independent power tanzania (iptl) uamuzi wa kumuondoa seth katika ukurugenzi umefikiwa na bodi ya wakurugenzi ambayo pia imemvua madaraka ya kuwa mwenyekiti mtendaji wa iptl baada ya kushindwa kushiriki na kuhudhuria mikutano ya bodi seth anadaiwa kushindwa kuhudhuria vikao vya bodi bila kuruhusiwa na wakurugenzi wenzake kwa miezi sita mfululizo tangu juni 19 2017 alipokamatwa na kushitakiwa hayo yamo kwenye taarifa iliyotolewa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa iptl ambroce lugenge wakati akitoa muhtasari wa maazimio yao wakati wa mkutano mkuu wa tatu uliofanyika aprili 10 mkutano huo ulikuwa na ajenda kuu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili kampuni hiyo na uendeshaji wa mambo yanayohusu iptl sethi anakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi utakatishaji fedha na kuisababisha serikali hasara ya dola22198 milioni za marekani na sh3095 bilioni katika mahakama ya hakimu mkazi kusutu bodi ilijadili kuhusu kesi namba 27 ya 2017 ya uhujumu uchumi inayomkabili ndugu harbinder sing sethi na athari yake kwa kampuni muundo wa kiutendaji wa kampuni ikiwemo na uongozi udhibiti na ushushaji wa gharama pamoja na uwepo wa kesi mbalimbali mahakamani dhidi ya kampuni au ya kufunguliwa na kampuni alisema lugenge taarifa hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana ilisema bodi ilimtunuku sethi ukurugenzi wa heshima kwa msingi kuwa aliongoza kampuni hiyo kutoka katika hatari ya kufilisiwa kutokana na kesi iliyokuwa imefunguliwa na kampuni ya vip engineering and marketing kati ya mwaka 2002 hadi 2013 kutokana na uamuzi huo sethi hataruhusiwa kwa namna yoyote ile kushughulikia masuala yanayohusu kampuni hiyo au kuingia makubaliano yoyote kwa niaba ya kampuni bodi imeelekeza uongozi mpya hasa menejimenti kuwafikia wadau ikiwa ni pamoja na serikali ili kuangalia namna bora ya kutatua madai yote dhidi ya kampuni ikiwemo hasara inayodaiwa kusababishwa na ndugu sethi kwa mamlaka husika iliyopelekea kukamatwa na kushtakiwa kwake ibebwe na kampuni na kuyatafutia ufumbuzi kwa masilahi ya umma alisema lugenge katika taarifa hiyo pia alisema bodi imeagiza menejimenti mpya kukaa na mamlaka ya mapato ya tanzania (tra) ili kubaini kodi stahiki na kuweka mazingira bora ya kuzilipa haraka iwezekanavyo baada ya kubaini kiasi kisicho na pingamizi lugenge katika taarifa hiyo alisema bodi hiyo imemteua joseph makandege kuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo ili kuongoza uboreshaji kiutendaji uteuzi ulioanzia aprili 10 alisema katika mkutano bodi ilijadili na kufikia maazimio katika vipengele vingine 10 vya ajenda ambavyo vilikuwa vinachangia kwa kiasi kikubwa kuamua mwelekeo na hatima ya kampuni hiyo
2019-01-22T13:36:19
http://www.motomotonews.com/2018/05/harbinder-seth-avuliwa-ukurugenzi.html
bot kutoa noti ya shilingi 1000 ni baada ya malalamiko kutoka kwenye familia ya hayati baba wa taifa | kareny blog home » habari » bot kutoa noti ya shilingi 1000 ni baada ya malalamiko kutoka kwenye familia ya hayati baba wa taifa
2018-01-21T16:39:18
http://sungwakareny.blogspot.com/2014/10/bot-kutoa-noti-ya-shilingi-1000-bure-ni.html
cdu chashinda uchaguzi wa bunge wa jimbo la hesse | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 19012009 cdu chashinda uchaguzi wa bunge wa jimbo la hesse uchaguzi huo unatoa sura ya jinsi uchaguzi mkuu wa septemba utakavyokuwa nchini ujerumani ''kiongozi wa cduhesseroland koch baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi'' chama cha kansela angela merkel nchini ujerumani cha christian democratic cdu kimepata ushindi katika uchaguzi wa jimbo la hesse katika uchaguzi huo muhimu chama hicho kimejishindia asilimia 37 ya kura takriban zote baada ya ushindi huo waziri mkuu wa jimbo hilo roland koch anayeongoza chama hicho kwenye jimbo la hesse amesema kwamba anamatumaini ya kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya muungano na washirika wao wa chama cha fdp matokeo hayo ya uchaguzi uliofanyika jana yameonyesha kwamba wahafidhina wamefanya vizuri zaidi kuliko ilivyokuwa katika uchaguzi wa mwaka jana huku chama cha social demokratic spd kikishuka umaarufu ambapo kilipata asilimia 24 chama hicho kimeshuka kwa pointi asilimia 13 ikilinganishwa na mwaka jana miongoni mwa vyama vidogo chama cha fdp kimejizolea asilimia 16 ya kura huku chama cha kijani the greens wakiwa na asilimia 14 na mrengo wa shoto wakizoa asilimia 5 uchaguzi huo wa bunge uliotakiwa kufanyika miaka mitatu ijayo uliiitishwa mapema kufuatia mvutano wa kisiasa uliosababishwa na uchaguzi uliopita ambapo vyama vyote vikuu vilishindwa kupata wingi bungeni wa kuunda serikali kiungo http//pdwcom/p/gb7d
2018-06-23T12:49:26
http://www.dw.com/sw/cdu-chashinda-uchaguzi-wa-bunge-wa-jimbo-la-hesse/a-3955949
rais dkt magufuli akutana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (dfid) mhe penny mordaunt ikulu jijini dar es salaam leo kajunason | presstz your number 1 source of aggregated online content rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkaribisha waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuonesha albamu ya picha waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt inayoonesha shule ya sekondari ya ihungo iliyobomolewa kabisa na tetemeko la ardhi mkoani kagera lililotokea septemba 10 2016 ambayo imejengwa upya na serikali ya uingereza kupitia mpango wake wa maendelo ya elimu kupitia ukaid/dfid picha hizo zinaonesha shule hiyo baada ya tetemeko wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi siku ya mwaka mpya wa 2017 na inavyoonekana sasa baada ya kujengwa upya mhe mordaunt ambaye yuko nchini kwa ziara ya kikazi alimtembelea rais dkt magufuli akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimpa zawadi ya kinyago cha umoja waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mikono na na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke aliyeongozana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana pia na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy aliyeongozana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke walipomtembelea ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiongea na wanahabari kuishukur serikali ya uingereza kwa misaada yake mbalimbali ikiwemo shilingi bilioni 307 kwa kuunga mkono juhudi zake za kuopambana na rushwa pamoja na kuboresha sekta za afya na elimubaada ya kukutana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 picha na ikulucopyright 20072017 @kajunason blog
2018-08-20T03:14:44
http://presstz.net/rais-dkt-magufuli-akutana-na-waziri-wa-maendeleo-ya-kimataifa-wa-uingereza-dfid-mhe-penn-40137727
shibuda ampigia debe jk ashinde urais | jamiiforums | the home of great thinkers shibuda ampigia debe jk ashinde urais discussion in 'jukwaa la siasa' started by malafyale jan 22 2010 mbunge wa maswa john shibuda (ccm) amebadili msimamo wake na safari hii ameibuka na kumpigia debe rais jakaya kikwete akizungumza wakati wa ziara ya rais kikwete mkoani shinyanga juzi mbunge huyo machachari alisema tanzania ina bahati kwa kuwa na kiongozi kama rais kikwete ambaye ametekeleza ahadi zake nyingi kwa wanashinyanga na watanzania kwa jumla aidha shibuda alimtakia mema rais kikwete akisema kuwa mungu atamjalia kwa sababu ya tabia yake ya kujali wananchi kwa kutimiza ahadi ambazo alizotoa mwaka 2005 wakati akijinadi kwa wananchi kuomba kura “huyu ni rafiki yangu mtani wangu na swahiba wangu ambaye hatukukutana kwenye mkutano mkuu wa ccm ninamjua amefanya mengi na namwombea kwa mwenyezi mungu amjalie mafanikio zaidi aliyepewa na mwenyezi mungu hapokonyeki” alisema shibuda juzi wakati akizungumza kwenye sherehe za uzinduzi wa programu ya kilimo kwanza kwenye kiwanda cha pamba cha aldawi kilichoko lalago wilayani maswa shibuda aliwaeleza mamia ya wananchi waliohudhuria sherehe hizo kuwa baadhi ya ahadi ambazo zilitolewa na rais kikwete ama moja kwa moja ama kupitia ilani ya chama cha mapinduzi (ccm) tayari zimetekelezwa “tuna bahati ya kuwa na kiongozi kama wewe uliahidi kutengeneza barabara na umefanya hivyo wakati tulipokabiliwa na njaa serikali yako ilitupa msaada wa chakula wakati bei ya pamba yetu iliingia matatizo uliingilia kati na kuhakikisha kuwa wakulima wetu wanaendelea kulipwa kulingana na jasho lao sasa unatoa mbegu za ruzuku za pamba na madawa ya ruzuku ya pamba” alisema shibuda na kuongeza “tunakupongeza kwa kuimarisha demokrasia na utawala bora nchini unahangaika dunia nzima kutafuta jinsi gani nchi yetu inavyoweza kusaidiwa wewe siyo mtu wa kukaa ofisini kupokea majungu ya watu unahangaika kwa ajili ya nchi yetu kwa ajili ya watu wako julai mwaka jana naye mama salma alikuja hapa kuunga mkono juhudi zetu za maendeleo akatoa vitanda na shuka kwenye hospitali yetu na fedha za kusaidia vikundi vya saccos” shibuda alisema mama salma wakati wa ziara hiyo ya siku tatu mkoani shinyanga alizindua programu hiyo kauli ya shibuda ya kusifu utendaji wa rais kikwete inaonyesha kuwa huenda akasitisha msimamo wake wa siku nyingi kuwa atajitokeza kuchukua fomu za kugombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu kupitia ccm shibuda alichukua fomu za uteuzi wa mgombea urais kupitia chama tawala katika uchaguzi wa mwaka 2005 lakini jina lake lilichujwa na kikao cha kwanza cha kamati kuu (cc) hivi karibuni shibuda alisema kuwa atachukua fomu tena wakati ukifika kuchuana na rais kikwete ingawa kwa mujibu wa utaratibu wa ccm rais kikwete ndiye anayepaswa kuwa mgombea wa kiti hicho hadi hapo atakapomalizia muhula wake wa pili oktoba 2015 nipashe ilipowasiliana na shibuda jana jioni ili atoe ufafanuzi kama atasitisha nia yake ya kugombea urais alisema kwa kifupi bila kufafanua kuwa tanzania hakuna siasa za kuchafuana alisisitiza kwamba kama mtu amefanya vizuri ni vema kumsifu na si kuendesha visa na chuki “ mimi si muumini wa siasa za chuki… simvai mtu wala sing’oi mtu kwa sababu si muhogo” alisema na kueleza kuwa hawezi kukaa kimya kama yapo mazuri ya kumsifu rais kikwete haki ya mamaa maradhi yote ugua lkn umaskini usiombeepampja na kuonekaa na nia thabiti ya kumpinga jk kwenye sanduku la kura baadae mwaka huu mbunge wa maswe john shibudakatepetatayari maana anajua akifanya hivyo kamati kuu itamshughulikia na atakosa tena mshahara wa ubunge unaomfanya aishi njaa ni mbaya sana jamani i dont think amebadili mawazo haya ni yale yale matatizo yetu ya siku zote na ya waandishi wa habari shibuda kasema huyu ni rafiki yangu mtani wangu na swahiba wangu ambaye hatukukutana kwenye mkutano mkuu wa ccm kusema huyu ni rafiki yangu si kubadili msimamo hata kama wana mitizamo tofauti sikutegea aseme huyu ni adui yangu tatizo liko kwetu zaidi kuelewa nini hasa lengo la mleta habari “ mimi si muumini wa siasa za chuki… simvai mtu wala sing’oi mtu kwa sababu si muhogo” alisema na kueleza kuwa hawezi kukaa kimya kama yapo mazuri ya kumsifu rais kikwete kwangu mimi maneno kama haya hayaoneshi kuwa amebadili mawazo labda wenzagu shibuda sijakuelewa kabisaaaaa wakuu mlitegemea kipya chochote kutoka kwa shibudahana lolote na bado ataendelea kumpigia debe siku zote muungwana ama kweli ukistaajabu ya mrema na sheikh yahya utayaona ya shibudahabari ndo hiyo period watoto wa mjini huwa wanasema ndio imetoka hiyo kaput mtandao ni kitu kingine kabisa hawa watu hawashikiki huyu juzi tu alikuwa anatwambia anaanza mkakati wa kumrushia madongo kikwete leo kabadilisha mawazo naye ameshakuwa mshangiliaji wa kikwete yale madongo yote aliyotaka kuyarusha sijui kimetokea nini mpaka kimembadilisha mawazo yake usifanye mchezo kushikishwa bulungutu ambalo hujawahi kuliona tangu uzaliwe unaweza kabisa kuweweseka na hata kupata uchizi wa aina fulani huyu jamaa kaweweseka na sasa kikwete kishasafishiwa njia ya 2010 nyeupeeee cheyo anampigia debe kikwete mrema anampigia debe kikwete chadema hawaelewani wanaadhiriana na kufukuzana kila kukicha kwa hiyo rais wa tanzania 2010 kishajulikana na hana mpinzani sasa kizungumkuti bado kiko zenj labda karume naye atapigiwa magoti ili asikubaliane na wazo la cuf na ccm zenj ili aingie tena kwenye awamu ya tatu ili kuunda serikali ya mseto nakupenda sana tanzania i dont get it sijaona katika maneno yake aliposema hatagombea kwani si unaweza kumsifu mtu na bado mkachuana kama shibuda ataamua kubadilika basi ataamua kivyake lakini haya maneno siyo universal ushahidi wa madai haya jamani hatuna diplomasia well well well well let me see je shibuda ana cheo serikalini kama vile uwaziri au ukuu wa mkoa kama hana then i don't know why kama anacho then i don't know why the future is here that is why i dont rally behind any politician in tanzania they keep changing their thoughts more than chameleon changes its color that is why i dont rally behind any politician in tanzania they keep changing their thoughts more than chameleon changes its colorclick to expand huyu shibuda alikuwa analia njaa tu kapiga kelele mpaka kundi la mtandao likamsikia na kuamua kutibu njaa yake sasa anapiga makofi na vigelegele kama shibuda ataamua kubadilika basi ataamua kivyake lakini haya maneno siyo universal ushahidi wa madai haya jamani hatuna diplomasiaclick to expand tatizo tumezoea sana siasa za uaduimkipingana na mtu kisiasa ni marufuku kuzungumza mazuri yake this is damn wrong huyu ni rafiki yangu mtani wangu na swahiba wangu ambaye hatukukutana kwenye mkutano mkuu wa ccmclick to expand shibuda amejisemea ukweli mtupu uswahiba huendana na tabia kushabihiana bila shaka walikutana kwenye miziki na starehe zingine enzi zile msimshangae shibuda labda tishio la sheikh yahaya limemwingia kaona kuliko kuondoka duniani nijitoe kwenye haya mambo mmmh kweli siasa ni mchezo mchafu huyu bwana keshaogopa mkwara wa sheikh yahya na akachanganywa zaidi na juhudi za kina mrema na cheyo kumpigia debe jktime will tell anajihakikishia chakula 2010ninyi mtaendelea na blah blah weeeeeemwenzenu yupo kimaslahi zaidi yaani nyinyi mlipanda chelewa mkadhani itachipua minazi sidhani kama ni mbaya mgeni ajapo nyumbani ukamkirimia na kumpamba hata kama unaelewa udhaifu wakeni wageni wangapi ambao wamekluja nchini na kutumwagia sifa lukuki lakini baada ya hapo wanatugeuka juzi amekuja drogba akaulizwa unakiona vp kiwango cha tanzania katupamba kuliko jinsi tunavyojielewashibuda ni mtu mzima na shinyanga ni nyumbanikaribu mgeni na mwenyeji asifu kaogopa kufa huyo shibuda akijitoa na kumfagilia jk basi (let me borrow a word from makamba) mwehu
2017-01-25T01:37:44
https://www.jamiiforums.com/threads/shibuda-ampigia-debe-jk-ashinde-urais.50757/
tiser waja na mwarobaini wa migogoro ya ardhi mvomero | masama blog home » news and updates » tiser waja na mwarobaini wa migogoro ya ardhi mvomero tiser waja na mwarobaini wa migogoro ya ardhi mvomero picha ya pamoja baada ya kumaliza semina iliyowakutanisha wajumbe wa balaza la ardhi kata ya dakawa na wasuruhishi wa mabalaza ya ardhi mkurugenzi wa taasisi ya tanzania initiative for social and economic relief ( tiser) otana nicholus akisalimia na mzee bwana philipo kipuyo mjumbe wabalaza la wasuruhishi kata ya dakawa licha ya rais wa jamuhuri ya mungano wa tanzania dk jonh pombe magufulikumuagiza mkuu wa mkoa wa morogoro mhe loata ole sanare kuhakikishaanamaliza migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika mkoa wamorogoro baada ya kuapishwa kuwa mkuu wa mkoa huo lakini imeonekanaelimu ya matumizi bora ya ardhi ndio kikwazo kikubwa kwa wananchi hayo yamebainika baada ya asasi isiyo ya kiserikali ya tanzania initiative forsocial and economic relief ( tiser) linashughurikia utatuzi wa migogoro ya ardhikati ya wakulima na wafugaji pamoja na jamii kwa ujmla kufanya semina katikakata ya hembeti wilayani mvomero mkoani morogoro yenye lengo la kupeanauzuefu wa utatuzi wa migogoro ya ardhi semina hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kata ya hembetiwajumbe wa balaza la ardhi kata ya dakawa wasuruhishi wa mabalaza ya ardhi kutoka katika kata hizopamoja na wawakirishi kutoka taasisi ya tiser katika semina hiyo wasuruhishi wa mabalaza ya ardhi wamesema kuwa wanaishukuru taasisi ya tiser kwa kuwapatia semina ambayo imewajengeauwezo mkubwa katika kutatua migogoro ya ardhi katika vijiji vyao kwani awali hawakuwa na uwezo mkubwa katika utatuzi wa migogoro hiyohivyo wataendakufainyia kazi na wanaamini migogoro ya ardhi itaisha katika vijiji vyao hata hivyo wameimba serikali kushirikiana na asasi mbalimbali katika kuwaelimisha wananchi hususani wakulima na wafugaji juu ya athari za migogoro ya ardhi katika jamii kwa upande wake bwana philipo kipuyo mjumbe wa balaza la wasuruhishi kataya dakawa lakini pia anatokea katika jamii ya wafugaji amesema kuwa tiserimewasaidia kutatua migogoro ya ardhi katika kata hiyoambapo kwa sasawakulima na wafugaji wanakaa kwa amani na familia zao zinaweza kuona(kuchumbiana baaina ya familia ya mkilima na mfugaji) na kuishi pamoja aidha amesema kuwa mbinu zilizotumika katika kutatua migogoro hiyo ni pamoja na kuwakutaisha wakulima na wafugaji pale mgogoro unapotokea jambo ambalo limesaidia kumaliza kabisa migogoro katika kijiji chao nae mkurugenzi wa taasisi ya tiser bwana otana nicholus amesema kuwa mladi wa kutatua migogoro ya ardhi na kudumisha amani wilaya ya mvomro unalengo la kumaliza kabisa swala la migogoro ya ardhi katika wilaya ya mvomero ambapo kwa sasa mladi huo unatekelezwa katika vijiji mbalimbali ikiwemo milamahembetidakwa sokoine mpaparuhindo na mkambalaaidha amesematiser imeona mvomero kuna migogoro ndio maana wamejikita wilayani humo ili kutoa elimu kwa wananchi juu ya migogoro ya ardhi from michuzi blog https//ifttt/2xn6zzp thanks for reading tiser waja na mwarobaini wa migogoro ya ardhi mvomero
2020-06-01T17:15:38
https://www.masamablog.com/2019/11/tiser-waja-na-mwarobaini-wa-migogoro-ya.html
wakali hawa watabaki kibongobongo sana ni jux ben pol nay na wengine wengi 2jiachie official site wakali hawa watabaki kibongobongo sana ni jux ben pol nay na wengine wengi muziki wa bongo fleva kwa miaka ya hivi karibuni umekuwa na mafanikio makubwa kiasi kwamba kwa baadhi ya wasanii umekuwa ni ajira rasmi inayowafanya kupiga mkwanja mrefu na hata kuajiri wasanii wenzao pamoja na vijana wengine wanaotafuta mkate wao wa kila siku mbali na mafanikio hayo na kuwa chimbo la kutengeneza mkwanja muziki huu umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana wasanii kila kukicha wanakomaa kuandaa kazi nzuri na bora ikiwemo audio na video ili ziweze kuchezwa mpaka kwenye vituo vya nje tena vikubwa kabisa na kuonekana ulimwenguni kote hiyo ndiyo sababu akina joh makini diamond platnumz ali kiba vee money na wengine wengi wanaofanya vizuri wamewashirikisha akina chidinma aka ko mr flavour davido p square na wengine wengi wenye majina makubwa ili tu kufanya kazi zao zipenye zaidi nje ya mipaka ya bongo afrika mashariki na kati hata kutikisa afrika magharibi na ughaibuni kwa jumla kwa wapenzi wa burudani watakumbuka moja ya vitu vilivyompa sifa ay ilikuwa ni kutoka na kutafuta wasanii wakubwa wa kufanya nao kazi akiwemo sean king stone jambo lililomfanya pia kuwa miongoni mwa wasanii wa mwanzo kabisa kutoka afrika mashariki kuorodheshwa kwenye baadhi ya tuzo kubwa pamoja na jitihada hizo lakini vipi kwa wasanii hawa kwa nini wamekubali kuwa wa hapahapa wengine wana zaidi ya miaka mitano kwenye gemu na wanafanya vizuri bongo kwa nini hawasogei kiukweli kwa mwendo walionao watasugua sana belle 9 mpenda burudani gani asiyemjua mkali huyu kutoka moro kutokana na kipaji alichonacho kiukweli jamaa anajua sana na wapo watu wengine hufikia hatua ya kusema hakuna kama yeye bongo kwa upande wa wasanii wa kuimba kwa upande wa kolabo belle 9 amefanya nyingi sana za ndani na amekuwa daraja la mafanikio kwa baadhi ya mastaa wanaomshirikisha ili kukuza majina yao vipi kwa upande wake kwa nini anashindwa kutafuta watu wa nje wanaomzidi status na kupiga nao kazi ili wamsogeze mbele zaidi kila mara amebaki kuwa mtu wa ahadi tu kuwa atafanya kazi za kimataifa lakini utekelezaji unakuwa ziro ben pol kolabo yake kubwa ya nje ben pol amefanya na wasanii kutoka kenya avril na nameless kama kuna nyingine basi zitakuwa kapuni kwa upande wa uwezo ukweli ni kwamba ben pol ana uwezo mkubwa sana ndiyo maana amefanya kazi na wasanii wengi wakubwa bongo lakini ndiyo hivyo tena bado kwa wasanii waliotusua na wenye mafanikio jamaa anaonekana underground kwa sababu tu hajajichanganya na kuupeleka muziki wake kimataifa barnaba ni kati ya wasanii wenye muda mrefu kwenye gemu la muziki bongo maana anakaribia kufikisha miaka kumi akifanya bongo fleva kwa waliomfuatilia kuanzia mwanzo watakubaliana nami kuwa brnaba wa wimbo wa njia panda si huyu wa sasa kila mara uwezo wake umekuwa ukipanda na kufanya ngoma kali zinazopendwa na kila mtu bongo ni miaka kadhaa tu iliyopita mwanamuziki wa dansi mwenye jina kubwa ulimwenguni fally ipupa kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) alipokuja bongo alisifia uwezo wake na kuhitaji kupiga naye kazi lakini uongozi wake ukambania pamoja na kufanya kazi na jose chameleone wa uganda lakini barnaba amebaki kuwa wa hapahapa na ukweli ni kwamba kama anahitaji kupiga hatua zaidi ya hapo alipo anatakiwa kujitengenezea network ya mashabiki ikiwemo kupiga kolabo na wasanii wakubwa kutoka nje ili tu apate mashabiki wapya watakaomsikiliza kupitia wasanii atakaofanya nao kazi nay wa mitego kwa upande wa muziki wa kibiashara jamaa anajua amefanya mengi kwenye gemu la muziki wa bongo fleva amerap na kuimba mpaka mchiriku ili tu kuonesha kuwa muziki kwake mbali ya kuwa ni kazi lakini anauweza hata hivyo mafanikio ya nay yameishia kugota kwenye kingo za kuta za afrika mashariki amebaki kuwa mtu wa maneno kuwa atafanya kolabo na wasanii wakubwa lakini hatimizi ahadi kiukweli kwa mtindo huu nay atasugua sana na anafeli kwa sababu ili kufika mbali ni lazima afanye kazi na wasanii ambao watamtanulia fun base yake jux hayuko mbali na wasanii waliowekwa kwenye orodha hii jamaa anaweza muziki wimbo wake wa wivu unafanya vyema kwenye media na ni kama wimbo wa taifa kwa akina dada wengi kwa namna moja au nyingine unaweza kusema jux tayari soko la muziki bongo analo mkononi na ili kufanikiwa zaidi ya hapo alipo anatakiwa kufanya kitu cha ziada ambacho hajawahi kufanya mojawapo ikiwa kupiga kolabo na wasanii wa nje ili kumtengenezea jina zaidi mbali na hivyo wasanii hawa wote wataendelea kusugua na kuwa wasanii wa ndani tu na kushindwa kutikisa kimataifa 1237 am item reviewed wakali hawa watabaki kibongobongo sana ni jux ben pol nay na wengine wengi
2016-10-24T23:35:50
http://www.2jiachie.com/2016/09/wakali-hawa-watabaki-kibongobongo-sana.html
kunako 'faragha' hili limekaaje | jamiiforums | the home of great thinkers kunako 'faragha' hili limekaaje discussion in 'jf doctor' started by sheshejr may 1 2012 wakati wa kudo sex jaman mwenzenu huwa natokwa na jasho jingi kupitilza mwil mzima hadi shuka huwa znakuwa ka zmemwagiwa maji ivi leo nina bed match nimetoka bafuni baada ya 3rd scoring kuuacha mwil ukiwa tepe tepe kwa jasho suluhisho kwa hili ni nn baba ashrat jinsia gani wewe peleka jf doctor jipake mapowderrrrr kama masanja mkandamizaji mama ashrat jipake mapowderrrrr kama masanja mkandamizajiclick to expand mtoa mada inawezekana shughuli yako ni pevu ukikimbia/fanya mazoezi inakuwaje dogo acha papara uwapo mzigoni hiyo shughuli haitaki miguvu wala kupaniki wala nini piga mzigo taratibu ongezea na feni kwa pembeni halafu utaniambia dogo acha papara uwapo mzigoni hiyo shughuli haitaki miguvu wala kupaniki wala nini piga mzigo taratibu ongezea na feni kwa pembeni halafu utaniambiaclick to expand dah mwenzio huwa napatwa na spidi ghafla mambo yanapokaribia kujipa baba ashrat mie me mama ashrat said mtoa mada inawezekana shughuli yako ni pevu ukikimbia/fanya mazoezi inakuwajeclick to expand pocbly huwa ni pevu in acordance to feedback ninayoipata hata nikpga tiz huwa sion tofaut hiyo ni hali ya kawaida kwa mwili wenye mafuta mengihat ukipiga zoezi lolote jasho ka umemwagiwa majimie mwenyewe nna hiyo hali mpaka dr alinshauri nisijipake mafut yeyote na bado nang'aa ka andazi so don worry huon kuwa itanicost sana kila tym/mshndo niwe naweka mapowderrr gaspery lasway said hiyo ni hali ya kawaida kwa mwili wenye mafuta mengihat ukipiga zoezi lolote jasho ka umemwagiwa majimie mwenyewe nna hiyo hali mpaka dr alinshauri nisijipake mafut yeyote na bado nang'aa ka andazi so don worryclick to expand duh nimekupata mkubwa kawaida ila jihadhari wahitaji chumba chenye hewa yakutosha na uwe na maji ya kunywa yakutoshala sivyo ipo siku utakaukia 'kifuani' kawaida ila jihadhari wahitaji chumba chenye hewa yakutosha na uwe na maji ya kunywa yakutoshala sivyo ipo siku utakaukia 'kifuani'click to expand maji humfanya mtu atokwe sana na jasho wakati wa kudo sex jaman mwenzenu huwa natokwa na jasho jingi kupitilza mwil mzima hadi shuka huwa znakuwa ka zmemwagiwa maji ivi leo nina bed match nimetoka bafuni baada ya 3rd scoring kuuacha mwil ukiwa tepe tepe kwa jasho suluhisho kwa hili ni nnclick to expand usikute hata unapofikia mshindo unaishia na kujamba kabisa kama sio kujinyea kwani bao la pili unachukua mda gani au unakua na firaha sana unapoahidiwa mechi mpaka unapitilizaebu jaribu kufanya kama jambo la kawaida na wala usiweke kwenye akili yako lile neno atanitambua leo halafu uangalieakaa mpaka shuka zinakua kama zimetiwa maji unatwanga makopa au mpunga mwenzetu pole pole utamumiza huyooo hata mimi kama wewe ni matokeo ya shughuri kuwa byee buhahahahaha we balaa sasa mapowder jasho si ndio itazidi inawezekana kijana anakula mzigo kama anampa adhabu kwa mpenzi ndio maana inakuwa hivyo usikute hata unapofikia mshindo unaishia na kujamba kabisa kama sio kujinyeaclick to expand hahahahahaha hii balaaaa
2017-04-24T00:03:42
https://www.jamiiforums.com/threads/kunako-faragha-hili-limekaaje.259923/
utunzaji bora wa kuku wa kisasa ufugaji utunzaji bora wa kuku wa kisasa november 5 2015 january 27 2017 augustino chengula 0 comments ufugaji wa kuku kuku wa kisasa ni kuku maalum ambao wamezalishwa kwa madhumuni ya nyama au kutaga mayai ufugaji wa kuku wa kisasa unahitaji utaalamu maalumu uzalishaji wa kuku hawahuweza kufanywa na mfugaji mwenyewe kwa kutotolesha vifaranga au kununua vifaranga kutoka kwenye kituo au mashamba ya kutotolea vifaranga utotoaji wa vifaranga utotoaji wa vifaranga hufanywa na kuku au mashine maalum za kutotolea vifaranga kuna aina mbili za mashine zinazotumika zaidi nazo ni mashine inayofanana na meza mashine zilizo kama meza kwa kawaida ni ndogo na zina uwezo wa kuchukua mayai machache kuanzia hamsini hadi mia tano mashine hizi huitwa flat table incubators na zina sahani kubwa za mraba ambamo huwekwa maji pia hutumia maji ya moto au hewa yenyejoto kati ya rnashine hizo zipo zinazotumia umome au mafuta ya taa mashine za aina ya masanduku au makabati makubwa ya chuma au mbao mashine zinazofanana na masanduku au makabati hutumia umeme mashine hizi ambazo huchukua mayai mia tano au zaidi huitwa cabinet machines na hutumia mapanga boi katika kuingiza na kutolea hewa zina namna ya kuangalia joto sahihi na kugeuza mayai na hujirekebisha zenyewe mayai huwekwa kwenye chano za kuatamia upande mpana huelekea juu na ule uliochongoka huelekea chini kugeuzwa kwa mayai hufanyika kwa kuzilaza upande kidogo chano zenye mayai hayo chumba chenye mashine za uanguaji chumba cha kuwekea mashine kijengwe kwa matofali ya saruji na vile vile kisiribwe kwa saruji ili kuzuia kubadilika kwa hali ya joto mayai yanayofaa kwa kuanguliwa na mashine mayai hayo yatokane na kuku wazazi waliopimwa damu na kuthibitishwa kuwa hawana magonjwa yanayoweza kurithiwa na vifaranga mayai yawe safi na yenye uzito kati ya gramu hamsini hadi gramu sabini vile vile yasiwe na nyufa mchongoko mkali au ya mviringo baada ya kukusanya mayai yaache yapoe kwa usiku mmoja yakiwa juu ya chano za mayai baadaye yahifadhi kwenye chumba kisichopitisha upepo chenye nyuzijoto kati ya 128 hadi 156 za sentigredi unyevunyevu wenye asilimia 75 hadi 80 na kisichopitisha upepo mayai yanayokusudiwa kuhifadhiwa zaidi ya juma moja yawekwe kwenye chano sehemu zilizochongoka zikielekea chini mayai yaliyowekwa katika hali hiyo hayahitaji kugeuzwa uendeshaji na utunzaji wa mashine mashine itumike kufuatana na maagizo ya mtengenezaji washa mashine kwa saa 12 hadi 24 kabla hujaweka mayai baada ya kuwasha mashine hakikisha kuwa vifaa vyote vinafanya kazi sawasawa weka mayai kwenye mashine sehemu pana ikielekea juu kama unatumia mashine inayofanana na meza anza kuyageuza mayai saa 24 baada ya kuyaweka kwenye mashine mayai yageuzwe mara tatu kwa siku hadi kufikia siku ya tisa katika mashine inayofanana na sanduku au kabati mayai hayahitaji kugeuzwa kwa mkono utambuaji wa mayai yasiyofaa kuanguliwa ufanyike baada ya siku tisa na ya kumi na tano katika mashine inayofanana na meza katika mashine inayofanana na kabati utambuaji ufanyike baada ya siku kumi na nane mayai ya kuanguliwa yakichunguzwa kwenye mwanga baada ya siku tisa yataonyesha mishipa ya damu kando ya kiini hali hiyo hujitokeza zaidi baada ya siku kumi na tano na kumi na sita mayai yasiguswe wala mashine kufunguliwa siku tatu kabla ya kuanguliwa baada ya siku ishirini vifaranga hao watolewe kwa uangalifu ili wasipigwe na baridi wakati wa kuwahamishia kwenye sehemu ya kulelea vifaranga wote dhaifu na waliochelewa kutotolewa hawafai kukuzwa vifaranga wapelekwe kwenye chumba maalum kwa ajili ya kukaguliwa ili kuondoa walio na vilema wasiokauka vitovu na manyoya vifaranga kwa ajili ya mayai watenganishwe na vijogoo na wapatiwe chanjo baada ya hapo wawekwe kwenye makasha tayari kwa kuuzwa au kupelekwa kwenye sehemu ya kukuzia kabla ya kuweka mayai mengine ya kuanguliwa katika mashine ni lazima kusafisha vyano na mashine na kufukiza dawa inayopendekezwa kama vile potassium permanganate au formalin 40 matayarisho kabla ya vifaranga kuwasili vifaranga walelewe katika chumba maalum hadi umri wa majuma manne chumba kitayarishwe siku kumi na nane kabla ya vifaranga kuwasili matundu yote yaliyo kwenye sakafu dari madirisha na ukuta yazibwe kama chumba hicho kina sakafu ya saruji kisafishwe kwa maji ya moto na baadaye kinyunyizie dawa kama vile rhino au dettol ya kuua wadudu ikiwa chumba hicho hakina sakafu ya saruji toa takataka kisha mwagia chokaa ili kuyaweka mazingira katika hali ya usafi na kuzuia wadudu waharibifu yasafishe hadi kufikia upana wa mita mbili au zaidi kuzunguka banda katika chumba watakamofikia vifaranga tengeneza sehemu maalum ya kulelea sehemu hiyo maalum inatakiwa iwe na umbile la duara itengenezwe kwa kutumia karatasi gumu waya wenye matundu madogo au majamvi mduara huhifadhi joto huzuia upepo na huzuia vifaranga wasiende mbali na chanzo cha joto mduara wa kulelea vifaranga kama chumba ni kidogo unaweza kuweka vizuizi kwenye kona za chumba hicho ili vifaranga wasijikusanye katika sehemu hizo tandaza makapi ya mazao mbali mbali maranda au nyasi kavu katika kina cha sentimita 7 hadi 10 funika na karatasi ili kuzuia vifaranga wasile makapi na wasipate vumbi tabaka hili linasaidia kuhifadhi joto kuzuia harufu mbaya kunyonya unyevunyevu na kupunguza uwezekano wa vifaranga kupatwa na magonjwa vifaa vya joto vifaranga wanaweza kupatiwa joto kwa kutumia vyombo vya umeme taa za chemli au jiko la mkaa taa ya umeme njia nzuri na rahisi ya kulea vifaranga ni kwa kutumia taa kubwa nyekundu za umeme (wati 200 au 275) au tumia kipasha joto (heater) taa moja ya umome inatosha kulea vifaranga mia moja thelathini katika sehemu za joto na vifaranga mia moja katika sehemu za baridi mwanzoni taa iwekwe umbali wa kati ya sentimita 35 hadi 37 kutoka sakafuni unavyeza kurekebishajoto kwa kupandisha au kushusha taa unapaswa kuwa na jiko la mkaa au taa ya chemli kwa tahadhari ya umeme kukatika jiko la mkaa unapotumia jiko la mkaa ni lazima uhakikishe kwamba mkaa unaotumia hautoi moshi na chumba kina hewa safi na ya kutosha weka jiko juu ya matofali ili kuzuia vifaranga wasiliguse taa ya chemli kama utatumia taa ya chemli iweke juu ya matofali ma izungushiwe waya ili kuzuia vifaranga wasiiguse taa moja inatosha kutoajoto kwa vifaranga hamsini hakikisha kwamba taa hiyo haivuji na unayo akiba ya mafuta ya kutosha usitie mafuta mengi kwenye taa ili kuepuka kulipuka kwa taa vifaa vya joto vianze kufanya kazisaa tatu au zaidi kabla ya vifaranga kuwasili ili chumba kipate joto la kutosha vile vile ni muhimu kutayarisha madawa na chakula siku moja kabla ya kuwasili vifaranga uagizaji wa vifaranga ni muhimu mfugaji ufahamu mahali pa kupata vifaranga wa mayai au wa nyama wenye sifa zifuatazo · wawe na nguvu na afya nzuri · wawe wamekauka vizuri baada ya kuanguliwa · wawe wamepata chanjo kuzuia magonjwa mbali mbali · wasiwe na vilema au magonjwa yoyote agiza vifaranga kutoka katika mashamba au vituo vya kutotolea vifaranga vinavyotambulika kama vile interchick co ltd (dar es salaam) pol italia (dar es salaam) kazmin (dar es salaam) kibo poultry (moshi) arusha poultry farms (usa river arusha) na marungu farms (tanga) mapokezi ya vifaranga baada ya vifaranga kuwasili kutoka kwenye vituo vya kutotolea wapelekwe moja kwa moja hadi kwenye sehemu maalum ya kulelea mara tu vifaranga wakiwasili masanduku yaingizwe ndani na yawekwe moja moja na siyo moja juu ya lingine vifaranga wakaguliwe wahesabiwe na kisha wawekwe katika sehemu maalum ya kulelea vifaranga wapewe maji safi endapo watakuwa wamechoka wapewe maji yaliyochanganywa na sukari laini au glukosi kiasi cha vijiko viwili vya chakula katika lita tano za maji vile vile ongeza mchanganyiko wa vitamini kama vile vitox baada ya saa tatu hadi nne wapewe chakula maalum cha kuninginizwa kwa kamba ili kuwapatia vitamini madini na protini na kuzuia tabia ya kudonoana hakikisha chumba ni kisafi na hakina unyevunyevu wakati wote unyevu husababisha ugonjwa wa baridi ambao hufanya vifaranga wajikunyate na kutetemeka na wanaweza kufa ghafla joto ni muhimu katika uhai wa vifaranga katika juma la kwanza joto lihalostahili katika sehemu ya kulelea ni nyuzi joto 35 za sentigredi joto hili hupimwa kwa kutumia kipima joto ambacho huwekwa sentimita nne hadi tano kutoka kwenye mduara kiasi hiki kipunguzwe kwa nyuzi joto mbili za sentigredi kwa kila juma hadi kufikia nyuzi joto 27 za sentigredi katika juma la tano angalia jedwali namba 2 jedwali na 2 1 35°c 2 33°c 4 29°c 5 27°c ikiwa huria kipimajoto unashauriwa uangalie tabia na mwenendo wa vifaranga kama vifaranga wakichangamka wakinywa maji vizuri na kutawanyika sehemu zote joto hilo linatosha joto linalotakiwa kama joto halitoshi vifaranga hujikusanya karibu na taa au hujirundika katika sehemu moja hivyo unashauriwa kuongeza joto kwa kuongeza idadi ya vifaa au nguvu ya joto kwa mfano umeme joto kidogo ikiwa joto ni kali sana utaona vifaranga wanakaa mbali na taa wakipanua mabawa yao na wakihema haraka haraka hali hii ikizidi huleta ugonjwa wajotojingi ambao husababisha vifaranga kuanguka chini hali hiyo ikitokea unashauriwa kupunguza idadi ya vyombo vya joto na kuwapa maji mengi ya kunywa baada ya majuma manne vifaranga watolewe kwenye sehemu maalum ya kukuzia na kupelekwa kwenye banda la kufugia kabla ya kuwahamisha tenganisha vijogoo kutoka kwenye kundi la vifaranga ikiwa vifaranga hivyo ni kwa ajili ya kuku wa mayai malezi ya mitemba na mitetea mitemba vifaranga wenye umri wa kuanzia majuma manne huitwa mitemba kuku wa umri huu wanahitaji chakula maalum cha kukuzia chakula hicho hupatikana katika vituo vinavyouza vyakula vya kuku ikiwa huwezi kupata vyakula nivyo tengeneza mwenyewe kwa kutumia aina mbali mbali za vyakula pamoja na kuwapa chakula hakikisha pia unawapa maji safi na ya kutosha kila kuku wanne hadi watano wanahitaji eneo la mraba wa mita moja epuka msongamano wa kuku wengi katika eneo dogo msongamano husababisha vifo kwa kukosa hewa vile vile husababisha kuku kudumaa kudonoana na kuchafuka kwa nyasi zinazotandikwa ndani mitemba ikifikia umri wa majuma kumi na sita wawekewe viota mitetea mitemba ikishafikia umri wa majuma kumi na nane huitwa mitetea mitetea waliodumaa na majogoo waondolewe katika kundi la mitetea bora zuia viroboto chawa na utitiri kwa kutumia dawa zinazoshauriwa na wataalamu ni muhimu kupunguza midomo ya mitetea ili wasidonoane mitetea hudonoana kutokana na upungufu wa protini msongamano mwanga mwingi na kukosa mazoezi ili kupunguza kudonoana ongeza protini ya asili ya nyama ninginiza majani mabichi wawekee bembea ndani ya banda na ongeza nafasi ya banda kulingana na idadi ya kuku kama tabia ya kudonoana aendelea punguza midomo ya juu kwa kutumia mkasi kisu panga au kifaa maalum kisu au panga liwe la moto jinsi ya kupunguza mdomo wa kuku kwa kutumia mkasi kuku wanapokaribia kutaga wanatakiwa wabadilishiwe chakula na kupewa chakula cha kutagia (layers mash) badala ya chakula cha kukuzia (growers mash) mabadiliko hayo ya chakula yasifanyike ghafla changanya chakula cha kukuzia na kutaga katika uwiano ufuatao juma chakula cha kukuzia chakula cha kutagia 18 sehemu 3 sehemu 1 19 sehemu 2 sehemu 2 20 sehemu 1 sehemu 3 21 sehemu 0 sehemu 4 sehemu hizo zinaweza kuwa katika vipimo kama kopo karai sahani kubwa ndoo au debe mfuko wa kilo 50 wa chakula cha kutagia unaweza kutumika kwa kuwalisha kuku 100 kwa siku nne kuku mmoja wa mayai anahitaji kilo 50 za chakula katika maisha yake yote hakikisha kuwa kuna maji safi ya kutosha wakati wote wasipewe chakula kingi kupita kiasi kwa sababu watanenepa na hawatataga mayai ya kutosha chakula kidogo husababisha kuku wasitage vizuri inashauriwa kuongeza majani mabichi ambayo ni laini ili kuku wapate vitamini madini na protini ya kutosha utagaji na ukusanyaji wa mayai kwa kawaida kuku huanza kutaga wanapofikia umri wa majuma ishirini na mbili kuku wa mayai aliyetunzwa vizuri anaweza kutaga mayai zaidi ya 250 kwa mwaka na kuku wa mayai ana nwezo wa kutaga vizuri kwa muda wa mwaka mmoja hadi mmoja na nusu tangu anapoanza kutaga mfugaji achunguze kuku mara kwa mara na kuwaondoa wasiotaga dalili za kuku wasiotaga ukiingia kwenye banda kuku huruka na kukimbia ovyo ukimshika ni mwepesi sana upanga wake umekauka na kupauka sehemu yake ya kutagia huwa kavu kuku asiyetaga vidole vitatu haviingii kwenye nafasi iliyoko kati ya mifupa miwili ya sehemu ya kutagia jinsi ya kukagua kuku asiyetaga vizuri ukusanyaji wa mayai ufanyike mara tatu au zaidi kwa siku ili kuzuia mayai yasichafuke yasipasuke na kuzuia baadhi ya kuku wasiatamie na kula mayai baada ya kipindi cha kutaga kuisha kuku wauzwe au kutumika kwa chakula kwani utagaji wao hupungua na hula chakula kingi matunzo ya kuku wazazi kuku wazazi ni wale wanaotaga mayai kwa ajili ya kutotolea vifaranga misingi ya matunzo ya kuku hawa haitofautiani sana na ile ya kuku wa mayai isipokuwa hulishwa chakula kwa kiwango maalumu kila siku au kila baada ya siku moja tangu wakiwa wadogo kuna utaratibu wa kuwapima uzito kila baada ya muda wa wiki mbili hadi tatu ili wasizidi uzito unaotakiwa katika juma la kumi na nane kuku wazazi walishwe chakula cha kuku wazazi (breeders mash) kama inavyoonyeshwa katika jedwali lifuatalo juma chakula cha kukuzia chakula cha kuku wazazi majogoo wanafugwa sehemu tofauti na mitetea lakini wanachanganywa na mitetea wanapofikia umri wa kuweza kupanda uwezo wao wa kutaga mayai ni mdogo ni chini ya mayai 200 kwa mwaka jogoo mmoja anaweza kupanda mitetea saba hadi kumi kwa wakati mmoja katika kundi la mitetea 7 hadi 10 kuwe na jogoo mmoja tunza majogoo ya ziada ili yatumike endapo baadhi ya majogoo wanaotumika watapatwa na matatizo ni muhimu kufuata maagizo ya uzalishaji gharama ya kununua kifaranga cha kuku wazazi ni kubwa zaidi ya vifaranga wa mayai ya biashara utunzaji bora wa kuku wa nyama kuku wa nyama wana uwezo wa kukua haraka huwa tayari kuuzwa au kuchinjwa baada ya muda wa majuma saba hadi nane kuku hao huwa na uzito wa nyama usiopungua kilo moja kwa muda mfupi kuliko kuku wengine matunzo ya kuku wa nyama yanafanana na ya kuku wa mayai tofauti ni hizi zifuatazo · majogoo na majike hawatenganishwi · huhitaji nafasi ndogo kuliko kuku wa mayai · wanalishwa chakula cha kunenepesha toka siku ya kwanza · wanakula chakula usiku na mchana · mifuko 8 hadi 10 inatosbeleza kuku 100 kwa majuma nane ← ugonjwa wa ndui kwa kuku (fowlpox) utunzaji wa nguruwe → october 1 2015 augustino chengula 0
2018-04-25T04:53:45
https://ufugaji.co.tz/05/15/26/59/918/kuku-2/mwanzo/admin/11/2015/
sautiyako sauti yako inasikilizwa » author » geofrey shao hatua muhimu za utayarishaji wa chakula in afya / by geofrey shao / on december 17 2016 / no comments chakula ni muhimu sana kwa binadamu na viumbe vyote duniani lakini jambo la muhimu linalo takiwa katika suala zima la chakula ni jinsi ya uandaaji wa chakula chenyewe uchafu wa chakula huweza kusababishwa na vimelea vya maradhi kutoka katika mazingira wanyama wadudu au binadamu ugomvi wa wazazi mbele ya watoto ni hatari kwa watoto hao in malezi / by geofrey shao / on december 10 2016 / no comments katika familia nyingi duniani suala la ugomvi sio kitu cha kushangaza kwa sababu ni kawaida kwa binadamu wanao kaa pamoja kugombana kutokana na sababu mbalimbali kujaribu ni hatua ya kwanza kuelekea mafanikio yako in maisha / by geofrey shao / on november 25 2016 / no comments kitendo cha kuchukua hatua na kuanza kufanya jambo ni moja kati ya uamuzi sahihi katika maisha ya mtu yoyote yule duniani watu wengi tumekwama hapa tunahitaji uhakika kwanza mambo ya kuzingatia ya kujenga penzi lako in mapenzi / by geofrey shao / on november 21 2016 / no comments maelewano katika mapenzi ni suala linalo kamilisha maisha halisi na maana halisi ya neno mapenziwatu wanaoishi kwa amani na furaha katika mapenzi yao wana nafasi kubwa sana ya kufikia malengo yao kama wapenzi kuliko wale wanaoishi katika uhusiano usiokua na maelewano jinsi ya kuchagua mtoto wa kiume au kike in uzazi / by geofrey shao / on november 19 2016 / 2 comments katika jamii nyingi za kiafrika swala la kutopatikana aina fulani ya watoto huwa ni sababu inayosababisha ndoa nyingi sana kuingia katika mafarakano na hata nyingine kufikia hatua ya kuvunjika eti kisa mama anazaa watoto wa kike tu au anazaa watoto wa kiume tu dhana na utandawizi usiwe chanzo cha vijana kukosa maadili in elimu / by geofrey shao / on november 16 2016 / no comments kamusi ya kiswahili sanifu toleo la pili (2010) imeeleza maana ya utandawazi kuwa ni mfumo wa uhusiano wa kimataifa katika nyanja mbalimbali kama biashara uchumi na siasa in mapenzi / by geofrey shao / on november 15 2016 / no comments
2018-01-16T07:23:04
http://sautiyako.net/author/geofrey-shao
kinyaiya's entertainment pombe si juice jama pombe si juice jama amini usiamini wapo watu wa aina hii wanaokunywa pombe zaidi ya huyu na wakafanya vioja zaidi ya huyu yaani ukishafikia kiwango hiki ndugu yangu umekwishaaa posted by kinyaiyas entertainment at 306 am hahahahahahahahaha jamani pombe pombe ukizidisha inakuwa noma
2018-02-21T20:38:59
http://kinyaiyas.blogspot.com/2010/10/pombe-si-juice-jama.html
juma hili tunaendelea kudodosa filamu ya mwamba ngoma na aliye kwenye safu hii juma hili si mwingine bali mwanamuziki wa nyimbo za injili (gospel) flora mbasha flora anaelezea yaliyojiri katika utengenezaji wa video yake iliyowahi kujiri pia katika albamu ya mseto wa wahapahapa video na wimbo wake umelala kwa mhusika anayekwenda kwa jina la tausi tazama video hii na kujionea wewe mwenyewe ni kipi kinachojiri pale 0 #88 loalfdak 20190924 0744 sample cialis pills buy buy cialis viagra cream viagra online 0 #87 hondile 20190924 0707 cialis order online cheap cialis generic cialis soft tab buy cialis 0 #86 joiniash 20190924 0322 cialis tabs 20mg cialis online uk generic cialis tadalafil cialis cost 0 #85 spease 20190921 1550 how to get a free trial of viagra viagra definition of cialis tablets cialis online 0 #84 upsewly 20190917 2202 alternative zyprexa cialis 20mg buy generic cialis viagra same day cialis generic buy cialis online cheap generic cialis overnight buy generic cialis online generic cialis 20mg ebay mexico buy cialis online cheap buy geneг‚в­ric ciaг‚в­lis cialis cheap shelf life cialis online pharmacy 0 #83 arrive 20190917 2151 metformin and foot pain cialis generic pills generic cialis online price comparison cialis 20mg buy cialis generic generic cialis 20mg online cialis buy soft cialis buy cheap cialis online cialis online pharmacy buy cialis cheap manufacturer cialis pills 0 #82 drieks 20190917 2050 canada cialis generic sudden hearing loss cialis buy cialis online buy cialis online cheap buy generic cialis online cost buy cialis online cialis generic generic for cialis cheap generic cialis order generic cialis onlin cialis cialis by mail order 0 #81 drurbkak 20190911 1539 buy generic cialis online sildenafil citrate buy generic cialis online cheap online female cialis ciali s buy cialis 0 #80 paliern 20190829 1055 buy cialis on line generic cialis buy cialis online pharmacy generic cialis loan services loans for bad credit 0 #79 shachek 20190829 1003 mexico cialis generic buy cialis online viagra or levitra or cialis online pharmacy cialis online ez cash loans for bad credit
2020-04-07T16:36:28
http://wahapahapa.com/index.php?option=com_content&view=article&id=527:flora-mbasha&catid=16:video-mhariri-category&Itemid=161
mbunge wa uganda bobi wine mvutano baina ya balozi wa uganda nchini marekani mull sebujja katende na mbunge robert kyagulanyi ulijitokeza jumatano wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha voa straight talk africa mjini washington marekani ambapo mbunge amemdadisi balozi ni kwa nini serikali ya uganda 'inawatesa' wananchi wake wakati wa mahojiano hayo kyagulani maarufu kama bobi wine katika madai yake ameishutumu serikali ya uganda kwa kuwatesa wananchi akionyesha yeye jinsi alivyoteswa baada ya kukamatwa na kikosi maalum cha kumlinda rais museveni huku kwa upande wake balozi katende akisisitiza kuwa uganda ni nchi inayo heshimu mfumo wa demokrasia sheria na haki za kibinadamu katika mahojiano hayo balozi katende na mbunge kyagulanyi maarufu kama bobi wine walitofautiana kuhusu hali ya siasa haki na sheria nchini uganda mbele ya mwendeshaji wa kipindi hicho shaka ssali bobi wine ambaye yupo nchini marekani kwa matibabu baada ya kupata majeraha akiwa mikononi mwa kikosi maalum cha jeshi kufuatia kukamatwa kwake huko arua mwezi agosti 2018 na kuteswa kwa upande wake balozi amekanusha kuwa uganda haiungi mkono mateso amesema kuwa chochote kilichomtokea wakati alipokamatwa vyombo vya usalama nchini uganda vinafanya uchunguzi juu ya madai ya bob wine juu ya mateso aliyo yapata na hivyo akitaka wasubiri matokeo ya uchunguzi huo mpaka yatakapo fikishwa mahakamani balozi katende amesema kinacho endelea uganda wale wapinzani ambao wana maoni tofauti ambao wameshindwa kuwashawishi wananchi kuwapa kura kuingia katika bunge wanaishia kufikiria kuwa njia mbadala iliyo bora ni kusababisha fujo na wapate ushindi kupitia machafuko ya kisiasa ameongeza kuwa bobi wine hana haki ya kuzungumza kwa niaba ya raia wa uganda kwa sababu anawakilisha jimbo moja tu na kwamba aliye na haki ya kuzungumza kwa niaba ya taifa hilo ni rais yoweri museveni lakini bobi wine alimkabili balozi katende akidai kuwa uganda inaongozwa kwa utawala wa kiimla usiomruhusu mtu yeyote kumkosoa rais museveni bobi wine alitaka kujua kutoka kwa balozi ni kwa nini yeye akiwa mwananchi wa uganda abambikiziwe kesi ya kumiliki bunduki mbili na risasi kadhaa na baadaye mashtaka yafutwe katika mazingira tatanishi bila kueleza nani mmiliki wa bunduki hizo na bunduki zenyewe kutoweka bobi wine pia alikanusha madai ya serikali ya uganda kwamba yeye na wenzake wanatumiwa na nchi za nje siko hapa kwa ajili ya kuwakilisha upinzani lakini ni kwa ajili ya wananchi wa uganda kwa taarifa yako sikiwakilishi chama chochote cha siasa hapa bali nina wakilisha wananchi wa uganda na hasa watu wa kizazi changu amesisitiza nafanya kazi yangu kwa ajili ya nchi yangu uganda nimezaliwa na kukuzwa katika mitaa duni nikiishi katika mabanda na mungu amenisaidia kufika hapa nilipo kwenye studio za voa kupitia msaada wa wananchi wenzangu bobi wine amesisitiza mwanasiasa huyo ameongeza nguvu hiyo ndio inayonifanya nizungumze kwa niaba ya raia wa uganda bila uoga wala upendeleo bila ya kujali anayeumizwa na ukweli wangu malengo yetu ni makubwa kuliko muhozi mtoto wa museveni hao wachache waliobahatika kuzaliwa katika maisha bora lengo letu ni kuwanufaisha walio wengi ambao wanaishi maisha ya shida wasichana niliozaliwa wakati moja nao wanakufa wakizaa vijana waliozaliwa katika zama zangu wanateseka gerezani bila kufikishwa mahakamani alisema bobi wine muda mfupi baada ya kipindi cha straight talk africa kuanza kupeperushwa umeme ulizimika sehemu kubwa nchini uganda na raia kubaki gizani hivyo kushindwa kufuatilia kipindi hicho shirika la umeme la uganda lilitoa tangazo kuwaarifu wateja wake kuwa umeme umekatika nchi nzima na shirika hilo linafanya juhudi za kuurejesha vyombo vya habari nchini uganda viliripoti baadaye kuwa huduma za umeme zilirejea muda mfupi baada ya baada ya kipindi cha straight talk kumalizika rais wa uganda yoweri museeveni anatarajiwa kuhutubia taifa jumamosi hii ikiwa mara ya pili katika kipindi cha wiki moja na mara ya nane tangu mbunge bobi wine alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini nchini humo uganda yakanusha madai ya bobi wine
2018-09-21T20:11:06
https://www.voaswahili.com/a/bobi-wine-amdadisi-balozi-kwa-nini-uganda-inawatesa-wananchi-wake/4569665.html
unganisha imependekezwa makala hii iunganishwe na wilaya tarafa na kata za kenya ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano chagua moja kati ya makala ili ibaki (kwa kawaida ile yenye jina sahihi zaidi) ingiza habari kutoka nyingine ondoa kasoro hifadhi kisha futa makala nyingine wilaya ya baringo (kabarnet)edit wilaya ya bomet (bomet)edit wilaya ya bondo (bondo)edit wilaya ya bungoma (bungoma)edit wilaya ya buret (litein)edit wilaya ya busia (busia)edit wilaya ya butere/mumias (butere)edit wilaya ya embu (embu)edit wilaya ya garissa (garissa)edit wilaya ya gucha (ogembo)edit wilaya ya homa bay (homa bay)edit wilaya ya ijara (ijara)edit wilaya ya isiolo (isiolo)edit wilaya ya kajiado (kajiado)edit wilaya ya kakamega (kakamega)edit wilaya ya keiyo (iten/tambach)edit wilaya ya kericho (kericho)edit wilaya ya kiambu (kiambu)edit wilaya ya kilifi (kilifi)edit wilaya ya kirinyaga (kerugoya/kutus)edit wilaya ya kisii kati (kisii)edit wilaya ya kisumu (kisumu)edit wilaya ya kitui (kitui)edit wilaya ya koibatek (eldama ravine)edit wilaya ya kuria (kehancha)edit wilaya ya kwale (kwale)edit wilaya ya laikipia (nanyuki)edit wilaya ya lamu (lamu)edit wilaya ya lugari (lugari)edit wilaya ya machakos (machakos)edit wilaya ya makueni (makueni)edit wilaya ya malindi (malindi)edit wilaya ya mandera (mandera)edit wilaya ya maragua (maragua)edit wilaya ya marakwet kapsowar)edit wilaya ya marsabit (marsabit)edit wilaya ya mbeere (mbeere)edit wilaya ya meru kati (meru)edit wilaya ya meru kaskazini (maua)edit wilaya ya meru kusini (chuka)edit wilaya ya migori (migori)edit wilaya ya mombasa (mombasa)edit wilaya ya mount elgon (mount elgon)edit wilaya ya moyale (moyale)edit wilaya ya murang'a (murang'a)edit wilaya ya mwingi (mwingi)edit wilaya ya nairobi (nairobi)edit wilaya ya nakuru (nakuru)edit wilaya ya nandi (kapsabet)edit wilaya ya narok (narok)edit wilaya ya nyamira (nyamira)edit wilaya ya nyandarua (ol kalou)edit wilaya ya nyando (awasi)edit wilaya ya nyeri (nyeri)edit wilaya ya rachuonyo (oyugis)edit wilaya ya samburu (maralal)edit wilaya ya siaya (siaya)edit wilaya ya suba (mbita)edit wilaya ya taitataveta (voi)edit wilaya ya tana river (tana river)edit wilaya ya teso (malaba)edit wilaya ya tharaka (tharaka)edit wilaya ya thika (thika)edit wilaya ya trans mara (kilgoris)edit wilaya ya trans nzoia (kitale)edit wilaya ya turkana (lodwar)edit wilaya ya uasin gishu (eldoret)edit wilaya ya vihiga (vihiga)edit wilaya ya wajir (wajir)edit wilaya ya west pokot (kapenguria)edit last edited on 13 juni 2018 at 1212
2020-01-19T19:32:50
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Wilaya_za_Kenya
makamu wa rais awapongeza wabunge katika sherehe za kuapishwa waziri mkuu wa awamu ya tano viwanja vya ikulu ndogo chamwino mjini dodoma habari24 home / uncategories / makamu wa rais awapongeza wabunge katika sherehe za kuapishwa waziri mkuu wa awamu ya tano viwanja vya ikulu ndogo chamwino mjini dodoma makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na kuwapongeza baadhi ya wabunge wapya wa bunge la 11 walipokutana kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 20 2015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akizungumza na mtoto majaliwa mtoto wa waziri mkuu mpya kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa akimpongezwa na mkewe baada ya kuapishwa rasmi leo kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino mjini dodoma leo nov 20 2015picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge wa viti maalum mkoa wa singida martha mlata kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge wa peramiho mhe jenister mhagama kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge wa viti maalum mkoa wa mjini magharibi asham abdallah juma kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge wa nzega hussein bashe kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge wa shinyanga mjini stephen masele kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge mchengerwa kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mbunge wa viti maalum kaskazini unguja angela malembeka kwenye viwanja vya ikulu ndogo chamwino wakati wa sherehe za kuapishwa waziri mkuu mpya wa awamu ya tano mhe majaliwa kassim majaliwa zilizofanyika leo nov 202015 mjini dodoma picha na omr makamu wa rais awapongeza wabunge katika sherehe za kuapishwa waziri mkuu wa awamu ya tano viwanja vya ikulu ndogo chamwino mjini dodoma reviewed by habari24 tv on 60400 am rating 5
2017-08-23T11:57:44
http://habari24.blogspot.com/2015/11/makamu-wa-rais-awapongeza-wabunge.html
kuchukuliwa uwanja wa ndege sefu ya kuhifadhia vitu udobi huduma za chumbani kunyoosha uhifadhi wa mizigo
2020-02-25T14:50:28
https://travel.jumia.com/sw-tz/tanzania/o18522/royal-zanzibar-beach-resort-nungwi
audio mbunge aomba bunge likubali kila mbunge akaonje jela japo miezi minne | eddy blog | edwinmoshi official blog audio mbunge aomba bunge likubali kila mbunge akaonje jela japo miezi minne april 6 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo wabunge walikuwa wakijadili mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kati ya wabunge waliopata nafasi ya kusimama ni pamoja na mbunge wa arusha mjini godbless lema ambaye amesema wakimaliza na sisi watakuja kwenu huku akiomba angalau wabunge wote wakaonje maisha ya jela msikilize vizuri hapo chini akieleza kwa kubonyeza play
2017-10-18T03:47:24
http://edwinmoshi.blogspot.com/2017/04/audio-mbunge-aomba-bunge-likubali-kila.html
pichadiamond platnumz na zari wabarikiwa kupata mtoto wa pili sammisagocom pichadiamond platnumz na zari wabarikiwa kupata mtoto wa pili rais wa wasafi na bongo fleva super star diamond platnumz na mpenzi wake zari the bosslady wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10 na dakika 35 alfajiri kwa saa za afrika mashariki jumanne ya december 6 2016 mtoto huyo wa pili wa diamond na zari amezaliwa kwenye hospitali ya netcare ya pretoria nchini afrika kusini mpaka sasa mtoto huyu hajapewa jina hizi ni post mbili za diamond kuhusu mtoto wake wa kiume related itemsdiamond platnumz ← previous story itazame hapa video mpya ya mkali wa singeli sholo mwamba ghetto next story → the weeknd aweka rekodi baada ya nyimbo zote 18 kutoka kwenye album yake kuingia kwenye chati za billboard hot 100 you may also like diamond platnumz na ommy dimpoz watupiana maneno makali mtandaoni videobiashara nyingine atakayoanzisha diamond platnumz hivi karibuni pichadiamond platnumz na tuzo zake tatu za afrima 2016
2017-01-19T14:56:21
http://www.sammisago.com/diamond-platnumz-98/
mtihani wa waamuzi makamishna septemba 5 kozi ya ukufunzi wa utawala ya fifa kufanyika desemba bin zubeiry sports online mtihani wa waamuzi makamishna septemba 5 kozi ya ukufunzi wa utawala ya fifa kufanyika desemba bin zubeiry sports online mwanzo > untagged mtihani wa waamuzi makamishna septemba 5 kozi ya ukufunzi wa utawala ya fifa kufanyika desemba mtihani wa waamuzi makamishna septemba 5 kozi ya ukufunzi wa utawala ya fifa kufanyika desemba rais wa tff jamal malinzi kushoto akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya fifa ya urefa israel mujuni karibuni mjini dar es salaam item reviewed mtihani wa waamuzi makamishna septemba 5 kozi ya ukufunzi wa utawala ya fifa kufanyika desemba rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-07-15T11:18:39
http://www.binzubeiry.co.tz/2014/08/mtihani-wa-waamuzi-makamishna-septemba.html
bei kikomo za mafuta aina ya petroli kuanzia jumatano tarehe 4 oktoba 2017 bei kikomo za mafuta aina ya petroli kuanzia jumatano tarehe 2 agosti 2017 mwanzo habari utaratibu mpya wa uwasilishaji wa michango kwa mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) waandishi nhif tarehe ya habari 20170505 nukuu namba rejea ya malipo na kuitumia wakati wa kufanya malipo halisi (actual payment) kwenye benki ya nmb kupitia njia zake mbalimbali za ukusanyaji fedha (cash collection channels) ikiwemo njia ya simu za mkononi (mobile payment) kaunta za matawi ya benki hiyo nk chanzo kamati ya taarifa za tovuti kuu ya serikali taarifa hizi zilirekebishwa 20170505
2017-10-22T19:27:11
https://tanzania.go.tz/news/news_details/156
kampeni ya nyumba ni choo yafungwawasio na vyoo kupigwa faini shinyanga | malunde 1 blog home » habari shinyanga » kampeni ya nyumba ni choo yafungwawasio na vyoo kupigwa faini shinyanga kampeni ya nyumba ni choo yafungwawasio na vyoo kupigwa faini shinyanga mkuu wa mkoa wa shinyanga zainab telack wakati akifunga kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira maarufu kama nyumba ni choo baada ya mkoa wa shinyanga kubainika kuwa na kaya zisizokukwa na vyoo 7100 serikali imesema itaanaza kuawachukulia hatua kali za kisheria watu watakaobainika kutokuwa na vyoo kwa kuwatoza faini ya shilingi laki tano ifikapo disemba 31 mwaka huu kauli hiyo imetolewa jana na mkuu wa mkoa wa shinyanga zainab telack wakati akifunga kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira maarufu kama nyumba ni choo iliyofanyika kwa mikoa sita ya kanda ya ziwa iliyofanyika wilayani kahama amesema ni lazima mkoa huo ufikie asilimia 100 ya ujenzi wa vyoo bora kabla ya disemba 31 mwaka huu hivyo tayari maagizo yameshatolewa kwa viongozi wa ngazi zote juu ya namna ya kutekeleza agizo hilo kwa wananchi ili kuhakikisha suala la ujenzi wa vyoo linapatiwa ufumbuzi wa haraka shinyanga ni mkoa tajiri sana kwa kuwa rasilimali nyingi za madini aina ya dhahabu almasi na mazao mbalimbali hivyo ni aibu kusikia bado kuna kaya ambazo hazina vyoo na wakazi wake wanaendelea kujisaida vichakani licha ya kupatiwa elimu juu ya ujenzi wa vyoo bora na serikalialisema telack sambamba na hilo telack amewaagiza wakuu wote wa shule za msingi na sekondari mkoani humo kuhakikisha wananunua sabuni na ndoo za kuwekea maji kwaajili ya wanafunzi kunawa mikono baada ya kutoka vyooni ili kuzuia kupata bacteria wanapotoka vyooni kwa upande wake mratibu wa kampeni ya taifa kutoka wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto anyitike mwakitalima amesema takwimu za ujenzi wa vyoo bora zinaonyesha kuwepo kwa mwamko wa watu kujenga vyoo katika mkoa ambayo wameitembelea baada ya uhamasishaji huo uhamasishaji huo katika mikoa ya kanda ya ziwa timu ya uhamasishaji inayoongozwa na mrisho mpoto itaelekea katika mikoa mingine ambayo bado ina changamoto yavyoo lengo likiwa ni kuzifikia halmashauri zote nchini alisema mwakitalima kampeni ya taifa ya usafi wa mazingira maarufu kama nyumba ni chookwa kanda ya ziwa katika imetembelea halmashauri 43 kata 181 na vijiji 877 kati ya 4400 katika mikoa ya mara mwanza geita simiyu shinyanga na ilianza mei 25 mwaka huu mkoani kagera mratibu wa kampeni ya taifa kutoka wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto anyitike mwakitalima akizungumza mkuu wa wilaya ya shinyangajasinta mboneko akizungumza
2019-11-15T05:40:55
https://www.malunde.com/2019/09/vyoo.html
russian ruble kwa guatemalan quetzal kiwango cha ubadilishaji umoja wa mataifa data viwango vya kubadilishana katika 17/11/2019 0400 russian ruble kwa guatemalan quetzal kiwango cha fedha za leo russian ruble thamani katika guatemalan quetzal leo russian ruble kwa guatemalan quetzal kiwango cha fedha za leo 1 russian ruble (rub) sawa na 012 guatemalan quetzal (gtq) 1 guatemalan quetzal (gtq) sawa na 829 russian ruble (rub) gharama ya russian ruble katika guatemalan quetzal leo kiwango cha ubadilishaji halisi tunabadilisha kiwango cha ubadilishaji cha russian ruble kwenda kwa guatemalan quetzal kwenye ukurasa huu mara moja kwa siku wavuti inaonyesha dhamana ya wastani ya ubadilishaji wa russian ruble kuwa ya guatemalan quetzal kiwango cha ubadilishaji cha russian ruble hadi guatemalan quetzal ndio msingi wa benki na viwango vyao vya sasa vya ubadilishaji 1 russian ruble leo ni sawa na darasa la 012 guatemalan quetzal katika benki ya ulaya 1 russian ruble imekuwa ya bei rahisi na 0000231 guatemalan quetzal leo katika benki ya ulaya leo russian ruble imepungua zaidi dhidi ya guatemalan quetzal huko uropa leo 1 russian ruble gharama 012 guatemalan quetzal katika benki ya ulaya kubadilisha russian ruble kwa guatemalan quetzal russian ruble kwa guatemalan quetzal kuishi juu ya forex kubadilishana soko russian ruble kwa guatemalan quetzal historia kiwango cha fedha russian ruble kwa guatemalan quetzal kiwango cha ubadilishaji leo saa 17 novemba 2019 ni rahisi kulinganisha kiwango cha ubadilishaji cha russian ruble na guatemalan quetzal kwa siku chache zilizopita kwenye jedwali la viwango vya kubadilishana vya hivi karibuni kwenye ukurasa huu maadili ya viwango vya russian ruble hadi guatemalan quetzal kwa siku zilizopita zinaonyeshwa kwenye jedwali kwenye tovuti jilinganishe mwenyewe au uone habari ya usaidizi kwa kulinganisha kiwango cha ubadilishaji cha russian ruble hadi guatemalan quetzal ni muhimu kuona sio tu kiwango cha ubadilishaji wa leo lakini pia viwango vya jana na siku iliyopita 17112019 0120656 0000231 ↓ 16112019 0120887 0000444 ↑ 15112019 0120443 0000603 ↑ 14112019 011984 0000177 ↓ 13112019 0120017 0000385 ↓ 121 guatemalan quetzal gharama ya 10 russian ruble huko kiwango cha sasa cha ubadilishaji 603 guatemalan quetzal gharama ya 50 russian ruble huko kiwango cha sasa cha ubadilishaji 100 russian ruble sasa inastahili 1207 guatemalan quetzal bei ya 250 russian ruble kwa kiwango cha ubadilishaji ni 3016 guatemalan quetzal 1 russian ruble leo ni 012 guatemalan quetzal kulingana na kiwango cha ubadilishaji wa benki ya kitaifa 1 russian ruble imekuwa ya bei rahisi na 0000231 guatemalan quetzal leo kulingana na kiwango cha ubadilishaji wa benki ya nchi 121 gtq 603 gtq 1207 gtq 3016 gtq 6033 gtq 12066 gtq 30164 gtq 60328 gtq 829 russian ruble leo gharama 1 gtq kwa kubadilishana kiwango 5 guatemalan quetzal sasa ni 4144 russian ruble gharama ya darasa la 10 guatemalan quetzal katika russian ruble sasa ni sawa na 10 kununua 25 guatemalan quetzal kwa russian ruble leo unahitaji kulipa 20720 rub russian ruble kiwango cha ubadilishaji kinaanguka leo dhidi ya guatemalan quetzal gharama ya 1 russian ruble leo ni 012 guatemalan quetzal kama benki ya kitaifa ya nchi ilivyoanzishwa 829 rub 4144 rub 8288 rub 20720 rub 41440 rub 82880 rub 2 072 rub 4 14401 rub
2019-11-17T09:28:58
https://sw.moneyratestoday.com/convert-RUB-GTQ.html
msiwalazimishe wanafunzi waliofeli kurudia madarasa walimu waonywa taifa leo na waweru wairimu naibu kamishna wa kaunti ya isiolo mohammed maow amewaonya wakuu wa shule dhidi ya kuwalazimisha wanafunzi kuyarudia madarasa yao kutokana na matokeo mabaya bw maow alhamisi alisisitiza kwamba wanafunzi wote lazima wajiunge na madarasa mapya bila kujali iwapo walipita au la aliongeza kwamba kuwalazimisha wanafunzi kurudia darasani kumesababisha baadhi yao kuacha shule na kuingia kwenye ndoa za mapema walimu wakuu hawafai kuwalazimisha wanafunzi warudie darasa badala yake wanafaa waruhusiwe wajiunge na darasa linalofuatia bila kuzingatia kama walipita mtihani au la akasema bw maow alifichua kwamba maafisa wake watakuwa wakizuru shule zote za umma kuangalia sajili ya wanafunzi ili kuhakikisha wote wapo na wamejiunga na madarasa yanayofuatia afisa huyo ambaye pia alikuwa akizungumza mjini isiolo pia aliwaomba wazazi waheshimu agizo lake litakalohakikisha serikali inatimiza lengo lake la wanafunzi wote kuwa shuleni aidha alizitaka shule za kibinafsi pia kutowalazimisha wanafunzi kurudia darasa huku pia akiwaomba machifu kutembea nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha wanafunzi waliofanya mtihani wa kcpe mwaka jana wote wanajiunga na kidato cha kwanza wazazi lazima wahakikishe watoto wao wako shuleni na iwapo kuna masuala yanayoibuka basi wanafaa kunifahamisha ili tuone jinsi ambavyo wanafunzi watasaidiwa kuendelea na masomo yao akasema pia aliwaomba wazazi wafuatilie mienendo ya watoto wao kwa karibu ili kuwazuia kujiunga na makundi ya kigaidi au kuzamia matumizi ya dawa za kulevya wakati uo huo mkurugenzi wa tume ya kuwaajiri walimu(tsc) alex cheruiyot amewaonya walimu wakuu dhidi ya kuwaruhusu walimu ambao hawako kwenye sajili ya elimu ya tume kufundisha kwenye shule zao
2020-01-18T20:50:00
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=44422
shamsa ford atupa dongo bongo movie | artists news in tanzania shamsa ford atupa dongo bongo movie msanii wa filamu nchini shamsa ford amewaponda baadhi ya wasanii wa bongo movie na kusema ukosefu wa elimu kati yao chanzo kikubwa tasnia hiyo kushindwa kuendelea na kupiga hatua kubwa na kudai wamekalia umbea chuki ushirikina na roho mbaya shamsa ford amesema hayo kupitia mtandao wake wa instagram na kudai kuwa anatamani muda ungekuwa unarudi nyuma ili aweze kubadili maamuzi yake na kuweza kusoma ili kupata maarifa zaidi kwani anaamini wasanii wengi wa filamu nchini wanashindwa kusonga kwenda kimataifa kwa kukosa elimu mama yangu alinikazania sana nisome kwa bidii wakati nipo shule ila nilipomaliza form 6 nikaona inatosha counter book la shule nikaona zito ila script ya movie nikaona jepesinatamani ningerudisha siku nyuma ningesoma kwa bidii hata kama ningetaka kuwa muigizaji basi ningekuwa muigizaji wa kimataifa mwenye maarifa moja ya vitu vikubwa vinavyoturudisha nyuma bongo movie ni elimu mtu aliyesoma na asiyesoma ni vitu viwili tofauti sasa sisi wenge wetu hatuna elimu kabisaa aliandika shamsa ford aliendelea kusisitiza kuwa wengi wao darasa 7526 wengine ndiyo kabisaa alijifunza kusoma na kuandika tu nakumbuka mwaka juzi nilimuona msanii wa nigeria genevieve akiojiwa cnn nikatamani niwe mimi wenzetu wamesoma ndiyomaana wametupita vitu vingi sana huku bongo movie kumejaa umbea chuki roho mbaya ushirikina mtu hata kama hujawahi kumkosea lakini akikaa na watu wanaokuchukia atakusema vibaya lakini pia ukijitenga useme uishi kivyako utaambiwa unalinga na vikao utaekewa yote haya ni kwasababu ya ukosefu wa elimu ndomaana watu wanaweza kupoteza muda kwa vitu vya kijinga alisisitiza shamsa ford dar es salaam moto umezuka katika ofisi za clouds media group na kusababisha television na []
2017-11-21T15:30:05
http://www.bongomovies.com/shamsa-ford-atupa-dongo-bongo-movie/
kivuko atumiacho aslay kuwavuka wasanii wengi ni uandishi | tizneez kivuko atumiacho aslay kuwavuka wasanii wengi ni uandishi ni wazi ukitaja listi ya wasanii ambao wameweza kuirudisha ile bongo fleva yenyewe ni aslay bongo fleva ilijaa uandishi mzuri mno tangu kuchipua kwakelakini miaka mitatu nyuma tumeona namna ya upepo mbaya wa nigeria fleva na south zikitawala zaidi na wasanii kusimamia hapo huku wakiamini yakuwa ndiyo muziki pendwa na muziki ambao unauza kiukweli yapasa tumpongeze aslay kwa kubadilisha nyekundu kuwa njano tangu aanze kufanya kazi kama msanii ambaye anajitegemea katika muda mfupi ameweza kutoa ngoma nyingi kwa wakati mfupi na wapo ambao wanasema ameweza tamba maana anatoa ngoma nyingi kwa wakati mmoja kwa hakika yapasa tuwashangae wasemayo hayo kwa maana kama anegetoa nyimbo zenye ladha mbaya na ladha ya nigeria ni wazi asingeweza kupata soko mbele ya mashabiki wa sasa ambao wanafuatilia muziki wa huko nigeria kuliko hata wanahabari na wasanii lakini katika mambo ambayo yalikosekana katika muziki huu ni uandishi hivyo mashabiki walichoka na uandishi mwepesi ambao inaonyesha namna ya msanii kutokufikiri kwa maana ya zile nyimbo ambazo wenyewe huita mizuka tu kwa maana ya tulikiwa studio ni wazi inaonyesha namna ya aslay alivyosoma mchezo na kuona yapasa awekeze kwenye uandishi ila aweze kuchukua soko lake na twaambieni sasa mtasikia nyimbo nyingi zenye uandishi mzuri kwa wasanii kuiga mfano mwema wa aslay
2018-02-23T21:56:43
http://tizneez.com/makala/kivuko-atumiacho-aslay-kuwavuka-wasanii-wengi-ni-uandishi/
haji yahya author at pbz bank author haji yahya haji yahya october 15 2019 no comments construction of kingamboni and tandika service centre haji yahya may 22 2019 no comments kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana benki ya watu wa zanzibar limited inawatangazia wale wote walioomba nafasi za kazi za mshika fedha kwa vituo vya kubadilisha fedha vilivyo chini ya benki ya watu wa zanzibar kuwa usaili wa ana kwa ana unatarajiwa kufanyika siku ya jumapili ya tarehe 26/5/2019 katika ukumbi wa mkutano wa wizara ya fedha na mipango zanzibar kuanzia saa 130 asubuhi wasailiwa wanaombwa kuja na vielelezo halisi vya vyeti vya vikiwemo vyeti vya kumalizia masomo kuzaliwa na kitambulisho cha ukaazi cha mzanzibar orodha ya wasailiwa kama ifuatavyo zuwena jaku hassan pili pongwe khamis jamila ame mohd ali makame ali abdillah wadi nahoda mgeni maulid mohamed amina khamis ussi salha mkubwa mahzei fatma ali said maulid ali makame juma mohd rashid fatma hassan haji ali mmanga bakari talha shukry zubeir salum abdulrahman nadhif nayla haruob mohammed nasra salum said mohd ali mbarouk mgeni abdalla mohd fatma tahir ally farhat haji khamis silima badru mbarouk omar abeid rashid abeid abdulhamid ali mmadi shaali yakoub juma samira khamis makame qullu hamza hussein patima muhamed makame omar ismail hamad mgeni salum mohd maryam juma omar khamis omar khamis huda gharib juma hamad saleh kombo fatma masoud khamis asrar mansab ali ali mbarouk ali aisha abdulrahman suleiman adila juma ally zubeda msabah ali yasmine ahmed suleiman wasila mussa ali maimuna abu khamis jina abdi juma iddi masoud tamin hamad vuai haji bikombo suleiman khamis ally imam ali arafat mohamed khamis abdulla ashraq mahmoud abdi khamis abdall riziki makame ame mohammed salum maulid zainab salim issa tatu yussuf said zuleikha mohamed ali zulekha rikebu wahabi yussuf marzouk yussuf sheha mmadi shamata shadiya bakar saad samira habib khamis said abdulla said raya said yussuf ali rahima ayoub haji patima makame kassim nadya mzee haji mudathir issa abdulla latifa mohamed salum khalfan rashid khalfan khairat mbarouk hamad juma hamad hamad hassan sheha hassan hababuu khamis bakari fatma rashid suleiman dhulfa khamis ali badali selemani mohamed asha hamad abdulla abdulazizi abubakar moh haji yahya april 18 2019 no comments list of candidates who selected for oral interview at ministry of finance conference at 830 am on 22th april 2019 juma ali othman nassor mwalim omar abdi haji abdi bank officer mpirani islamic 1 zulekha msabah hamad 2 yussuf ali said 3 salha mzee rajab 4 mohamed bakar khamis 5 halima abdalla muhamed 6 juma hamad ali 7 abdul mtiku msabah abdi 8 ismail yussuf ismail 9 hidaya bakari adam 10 asha hemed seif 11 khadija shaaban seif 12 fatma mohamed said 13 farhat salim amour 14 saadat juma saadat 15 mussa ramadhan talib 16 maimuna omar mohamed 17 asina omar haji 18 maryam salim omar 19 asha nassib ali 20 saada abdi mohamed 21 farashuu suleiman khalfan 22 khamis mohamed ali 23 abdalla omar othman 24 yusfa hemed mkumbaru 25 mwanajuma mussa ali 26 zakia abdulkarim ali 27 muzne zahid hamid 28 laila kai khamis bank officer chake chake convetional 1 omar mohamed omar 2 makame ali suleiman 3 lailat tahir ali 4 wadhha juma mohd 5 rashid adbi omar 6 masoud ulimwengu khamis 7 juma mohammadi rashid 8 hamad salum kombo 9 shikha mussa omar 10 masoud asaa ally 11 ikram abdalla makame 12 muumin amour ameir bank officer chake chake islamic saleh mtumwa masoud 2 anisa mbarak ahmeid bank officer mtwara convetional biubwa abdalla khatibu mwasiti iddi diwan mbaruku ally hassan adani said makiwa mohamedi subeya mwinyi abdulrahman m jumbe abdulrahman ahmeid kigomba 8 amne omar mohammed emmanuel raphael lameck 10 ibrahim mohamed salim 11 maryam said mussa 12 msekwa charles 13 rukia juma shaibu 14 suleiman as hamad 15 yahaya sharif abdalla 16 rosemary marcus mgombele 17 mwanakhamis zaid mandoa 18 yahya abdulwakil bank officer mtwara islamic 1 mariam said abdalla haji yahya april 17 2019 no comments the peoples bank of zanzibar (pbz) limited invites the below shortlisted candidates who applied to fill vacancy post of cashier for bureau de changes the written interview will be held in zanzibar at kiembe samaki a secondary school on saturday 20th april 2019 at 900 am all candidates should be come with the following documents zanzibar identity card or national identity card 1 ndg abdi khamis abdall 2 ndgabdillah wadi nahoda 3 ndg abdulaziz saleh twala 4 ndg abdulazizi abubakar mohammed 5 ndg abdulhamid ali mmadi 6 ndg abdulhamid rajab massoud 7 ndg abdulla ashraq mahmoud 8 ndg abeid rashid abeid 9 ndg aboubakar ali omar 10 ndg adila juma ally 11 ndg ahmed issa ali 12 ndg aisha abdulrahman suleiman 13 ndg ali hamad ali 14 ndg ali hassan gora 15 ndg ali makame ali 16 ndg ali mbarouk ali 17 ndg ali mmanga bakari 18 ndg ally imam ali 19 ndg amina abdalla hussein 20 ndg amina khamis hashir 21 ndg amina khamis ussi 22 ndg amina omar ali 23 ndg arafat mohamed khamis 24 ndg asha hamad abdulla 25 ndg asha kassim mbarouk 26 ndg asha khamis ujudi 27 ndg asha nassibu ali 28 ndg asha othman said 29 ndg asia mussa suleiman 30 ndg asina omar haji 31 ndg asmahan jelani ali 32 ndg asrar mansab ali 33 ndg asya soud khamis 34 ndg badali selemani mohamed 35 ndg badru kombo mwenvura 36 ndg badru mbarouk omar 37 ndg bahati juma ishak 38 ndg batuli zamir choum 39 ndg bikombo suleiman khamis 40 ndg bimkubwa bakar sharif 41 ndg biubwa abdalla khatib 42 ndg dhulfa khamis ali 43 ndg fadhila adballa said 44 ndg fahad fereji abdalla 45 ndg faki makame faki 46 ndg farhat haji khamis 47 ndg farhat haji khamis 48 ndg fatma abeid ahmeid 49 ndg fatma ali said 50 ndg fatma haji khatib 51 ndg fatma hassan haji 52 ndg fatma masoud khamis 53 ndg fatma mkuja khamis 54 ndg fatma mohamed khalfan 55 ndg fatma rashid suleiman 56 ndg fatma said salum 57 ndg fatma suleiman issa 58 ndg fatma tahir ally 59 ndg fatuma khamis salim 60 ndg ghania salum khamis 61 ndg hababuu khamis bakari 62 ndg haji abdalla salum 63 ndg haji juma haji 64 ndg haji mohd shaali 65 ndg haji sheha khamis 66 ndg hajra nassor said 67 ndg hamad abdalla othman 68 ndg hamad kombo hamad 69 ndg hamad saleh kombo 70 ndg hamad vuai haji 71 ndg hamida mussa said 72 ndg hanifa ame makame 73 ndg hasina bakari massoud 74 ndg hassan khamis hamad 75 ndg hassan sheha hassan 76 ndg haytham ibrahim mussa 77 ndg hindu rajab khamis 78 ndg huda gharib juma 79 ndg hudat hafidh mwinyi 80 ndg idarous yussuf said 81 ndg iddi masoud tamin 82 ndg ifadat hamad abdulla 83 ndg ishak jaku haji 84 ndg jabiri mohamed haji 85 ndg jamila ame mohd 86 ndg jamila juma kassim 87 ndg jina abdi juma 88 ndg juma hamad hamad 89 ndg juma mohd rashid 90 ndg kassim mtumwa kassim 91 ndg khadijja hakimu mohamed 92 ndg khairat mbarouk hamad 93 ndg khairat said khamis 94 ndg khalfan rashid khalfan 95 ndg khamis juma mohammed 96 ndg khamis omar khamis 97 ndg khamis shoka khalfan 98 ndg khudhaifat abdulla salum 99 ndg laila said mohd 100 ndg latifa mohamed salum 101 ndg latifa suleiman haji 102 ndg leluu haji nadhari 103 ndg libna abdala sarhan 104 ndg maimuna abu khamis 105 ndg makame khatib makame 106 ndg makame shabani ali 107 ndg mariam ali khamis 108 ndg mariam baraka ali 109 ndg mariam mohamed abdallah 110 ndg maryam juma omar 111 ndg maryam mjaka hamadi 112 ndg maryam yussuf mohd 113 ndg maulid ali makame 114 ndg mgeni abdalla mohd 115 ndg mgeni maulid mohamed 116 ndg mgeni salum mohd 117 ndg mohammed khamis ali 118 ndg mohammed salum maulid 119 ndg mohd ali mbarouk 120 ndg moza ali kassim 121 ndg moza issa ali 122 ndg mudathir issa abdulla 123 ndg muhammad khamis iddi 124 ndg munira mabrouk ali 125 ndg mussa ali mrisho 126 ndg mussa omar masoud 127 ndg muzna salum said 128 ndg mwanaidi soud ismail 129 ndg mwanajuma kassim hamza 130 ndg nadya mzee haji 131 ndg nasma said abdalla 132 ndg nasra hafidh othman 133 ndg nasra salum said 134 ndg nassor abubakar mohd 135 ndg nassra mohamed aduu 136 ndg nayla gharuob mohammed 137 ndg omar ismail hamad 138 ndg omar mselem abdalla 139 ndg patima makame kassim 140 ndg patima muhamed makame 141 ndg pili pongwe khamis 142 ndg qullu hamza hussein 143 ndg rabia juma simba 144 ndg rahima ayoub haji 145 ndg raya omar haji 146 ndg raya said yussuf 147 ndg riziki makame ame 148 ndg rukia khamis haji 149 ndg ruwayla suleiman zubeir 150 ndg sada khalifa hamadi 151 ndg safia ali himid 152 ndg said abdulla said 153 ndg said hamad bakar 154 ndg said muhammed ali 155 ndg saida issa abdulla 156 ndg salama juma salim 157 ndg salha mkubwa mahzei 158 ndg salima haji mwinyi 159 ndg salum abdalla kassim 160 ndg salum abdulrahman nadhif 161 ndg salum hussein idarous 162 ndg samira habib khamis 163 ndg samira haji abass 164 ndg samira khamis makame 165 ndg shaali yakoub juma 166 ndg shadiya bakar saad 167 ndg sharifa hakim mohd 168 ndg sharih khatib faki 169 ndg sheha hamad mohd 170 ndg sheha mmadi shamata 171 ndg shuweikha omar mussa 172 ndg suhayla hassan khamis 173 ndg suleiman ukasha habibu 174 ndg suweid saleh sheikhan 175 ndg talha shukry zubeir 176 ndg tatu yussuf said 177 ndg ussi ali ussi 178 ndg wadhiha juma mohd 179 ndg wahida ali hamadi 180 ndg wasila mussa ali 181 ndg yasmine ahmed suleiman 182 ndg yussuf marzouk yussuf 183 ndg zaina abbas juma 184 ndg zainab salim issa 185 ndg zubeda msabah ali 186 ndg zuhura khamis omar 187 ndg zuleikha mohamed ali 188 ndg zulekha rikebu wahabi 189 ndg zuwena jaku hassan haji yahya september 25 2018 no comments this is 2016 report haji yahya july 19 2018 no comments website service has return pbz would like to inform you that the online service has return please enjoy the service 757 pm 15 oct 2019 756 pm 15 oct 2019 1154 am 18 apr 2019 439 pm 17 apr 2019 supply of software october 15 2019 construction of kingamboni and tandika service centre october 15 2019 kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana may 22 2019
2019-11-20T07:49:42
https://pbzbank.co.tz/author/pbzadmin-2/
udadisi akiwa hoi aomba mahakama dakika 20 ili ajibu mashtaka ajali iliosababisha kifo cha dr simon eliezer temu ymca 19 march 2010 posted by temu abs at 124 pm subi september 18 2010 at 158 pm asante kaka chambi kwa taarifa hii nilikuwa namfahamu dk kwa kumwona tu mara kwa mara kumbe alifariki basi mungu na ampumzishe pema nimesikitishwa sana na kifo chake alikuwa mtu mwema na mkarimu sana inasikitisha hii tetemeka na fainting ilikuwa ya kweli au usanii kama ni ya kweli inaashiria mtu huyu alihusika hata kama atakana mara zote maana sasa akikumbuka tukio na unyama wa kuondoka bila kutoa msaada wala kuripoti polisi kisha kujificha na kuibuliwa huko alikojifichadamu ya mzee temu inamlilia mungu ebu haki itendeke tanzania ipone huyu ni mmoja ila wako wengi hasa wazee waliotendewa haya na hakuna mtu wa kumfuatilia mhusikathere is a great need of stopping such carelessness incidences @ anonymous ni kweli kabisa na hizi ndio nguvu kazi zetu watu wetu wenye mawaidha watu wetu wenye pilika pilika za kijamii na uchumi ndio wanakuwa njiani katika harakati za kifamilia na uchumi na ndio wanauliwa ovyo ovyo tuu na wahusika hawachukui hatua zozote za maana hadi leo hii kesi kwa mfano maamuzi nasikia ni bado mahakama wanasuasua na polisi wanarudisha nyuma upelelezi kama mchezo wa kuchelewesha na mtu yoyote anajua mambo ya tanzania ni wazi rushwa zinatembea tayari huu ni ujinga juu ya ujinga na ni kweli lazima tupinge haya mambo familia nyingi sana zinaathirika anonymous october 20 2011 at 1209 pm dana dana za kesi mmh sijui zitaisha lini hapa tz sytems zetu zinahitaji kurekebika san aili haki iweze kutendeka tena kwa muda muafaka sasa walau kuna ufuatiliaji ju ya ajali ila kama ni sustainable au nguvu ya soda bado ni kitendawili pasipo haki tutaendelea na umasikini wetu pamoja na kuzidi kupumbaza watu kiufahamu hata kufikia kuona hamna haja ya kufuatilia haki zao au kwa upande mwingine ulio mbaya kudai haki kwa nguvu mungu tuponye tz amen
2018-01-16T13:29:02
http://udadisi.blogspot.com/2010/09/akiwa-hoi-aomba-mahakama-dakika-20-ili_18.html
bora kufeli au kukosa mkopo | jamiiforums | the home of great thinkers bora kufeli au kukosa mkopo discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by rebo's sep 20 2012 habari zenu wadau mnaofurahia kupata mkopo na mnaosikitika mi nipo kwa wanaosikitika japo sio wengi sana ila naungana nao sababu na mi nimekosa mkopo jamani maumivu ni makali sana bora ningefeli2 sahv ningeshajpanga ktambo sjw hata la kufanya coz mi ni mtoto wa mkulima 2peana hata ushaur mimi nimekuelewa lakini pangilia lugha vizuri ili upate ushauri kwa watu wengine pia kukosa mkopo ni maumivu sana kama ulitegemea kupata na ukawa umekosa lakini usikate tamaa kwani unaweza jipanga ukatafuta pesa then ukasoma next time vyuo vipo tu tena utasoma kitu roho inapenda mshangi new member jaribu kuwa mvumilivu kwan maisha safari ndefu if not 2day may be 2morow kuwa mvumilizu mchuma janga hula na wa kwao hivi unafikiri kuwa watu wote duniani wamesoma kwa mikopo/ una div ngapi tuwasiliane tuone jinsi ya kukusaidia kama kweli umefaulu nacho weza kukushauri ni kwamba usikate tamaa mapema pia kumbuka kufaulu kwanza mikopo ngio inafuatia so jaribu kuchangisha ndugu jamaa na marafiki ili upate kusoma kama ikishindikana mtafute mbunge wa jimbo lako na umuelezee hali halisi ya kifedha ulio nayo nina uhakika atakusaidia nina div two ndg yangu ya 11 joh mcheshi member for real inaumami sioni haja ya mtu kupata 100 wakati wengine wanakosa kabisa ni bora tungegawana shida ila wote wanasoma ila mungu anamipango yake mkuu mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguliwa na hiz ndo challenge za maisha mkuu so usikate tamaa wewe ni shujaa rafiki zako na majirani wanajua kuwa ulifanya vizuri sema sasa ni ukiritimba wa serikali yetu na ahadi kedekede namwachia mungu polendugu but usikate tamaamapema kaka pole sana na wala usikate tamaa mimi nw naingia mwaka wa pili na mwaka jana nilikosa mkopo ilihali nilipata division 1 ya 9 na form 4 nikapata div 1 form 4 na nilisoma shule za serikali na maisha yangu yanaendelea chuon kama kawaida cha msingi we jipange usome ahsante sana kaka nawengine wote mnaoendelea kunipa moyo na ushauri napenda kusema kwamba nyinyi ndo rafiki zangu waukweli kwani rafiki zangu wameanza kukaa mbali nami coz nimekosa boom ila ntafuata ushauri wenu thanx all snagyguy member pole sana kaka tuko pamoja hata mi nimekosa ilhali nimepata div 2 ya 12 ila amini mungu bado yupo upande wetu hivi nasikiasikia tu kuna batch 2 ila sijaipata hata mimi pia unaweza kujaribu hlssf maana huwezi jua
2018-01-19T06:11:14
https://www.jamiiforums.com/threads/bora-kufeli-au-kukosa-mkopo.326599/
watakaohujumu miundombinu ya umeme maji kushtakiwa kwa uhujumu uchumi | mpekuzi watakaohujumu miundombinu ya umeme maji kushtakiwa kwa uhujumu uchumi jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam kwa kushirikiana na shirika la umeme (tanesco) mamlaka ya maji na majitaka mkoa wa dar es salaam (dawasco) na kampuni za simu imeanzisha operesheni ya kuwasaka wanaohujumu miundombinu ya kampuni hizo kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam lazaro mambosasa amesema operesheni hiyo imeanzishwa baada ya kuwepo kwa matukio kadhaa ya uhalifu kwa kutumia mitandao na uhujumu wa wa miundombinu ya dawasco na tanesco tumeanzisha operesheni hii maalumu ili kukabiliana na wahujumu uchumi kwa njia ya mitandao na kuharibu miundombinu ya kwa kujiunganishia maji na umeme kinyemela ilihali wakijua ni makosa na wanahatarisha afya zao watu wasio waaminifu wanatumia mafuta ya transfoma kukaangia chipsi ndiyo maana watu wanaumuka utakuta mtu shavu la kushoto halilingani na la kulia wanaojijua wamehujumu miundombinu hiyo wajisalimishe kabla operesheni haijawafikia tukiwakamata tutawatia mbaroni kwa kesi ya kuhujumu uchumi wa nchi amesema mambosasa kwa upande wa mkurugenzi wa dawasco cypriani luhemeja amesema kutokana na uhujumu huo mamlaka hiyo inapoteza asilimia 40 maji yanayozalishwa kwa sasa tunazalisha maji ya kutosha na tunatarajia hadi kufikia mwaka 2020 wananchi wote wa mkoa wa dar es salaam watapata maji ya kutosha amesema
2018-11-15T21:36:56
http://www.mpekuzihuru.com/2018/08/watakaohujumu-miundombinu-ya-umeme-maji.html
mapenzi ya dot com | jamiiforums | the home of great thinkers mapenzi ya dot com discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by igwe aug 10 2011 nipo hapa kijiweni kama kawaida nang'arisha viatuwashkaji kama kawaida wamejaa kijiweni wakilonga kila mtu alilonalo analiwasilisha na mijadala imepamba moto hapakwa kweli kijiweni kuna raha yake hata kama mishe2 za hapa si za kuingiza mihela mingi kama ya epa lakn kila kitu ni burudanimoja lililonifurahisha na kunishangaza ni hili etikuna jamaa ana mpnz wake wanayependana sana toka kitambosasa jana jion jamaa akiwa maeneo na washkaji akamuona demu wake kaongozana na jamaa mwingineikabidi amfuatilie ajue nini hatma yakedemu na jamaa wakaenda mpaka ghetto kwa mshikaji_hapo jamaa kapagawakashindwa akitinga home kwa jamaa_jamaa anaweza akamtoa nduki na bisibisi halafu itakua how come sababu hajamuoaikabidi asubiri sehem na washkaji wakemara sister duu anatokea anakutana na mshkaji anaaanza kulia eti shetan kamwingia hakua na nia ya kumsaliti mshkaji na kamwe hayuko tayari waachane sasa mimi nashindwa kuelewa huyu mdada amefanya haya yotetena kwa hiari yake halaf anasema eti shetanbado anampenda mshkaji wake na hayuko tayari waachanewana jf huu ndio mtindo mpya wa mapenzi duh huyo binti atakuwa anakapepo ka ngono sex itakuwa ndio mchezo aupendao duh mie ningekua ndio mshikaji sina shaka ningemtosa huyo manzi duh huyo binti atakuwa anakapepo ka ngono sex itakuwa ndio mchezo aupendao duh mie ningekua ndio mshikaji sina shaka ningemtosa huyo manziclick to expand umeona eeeeehyaani hata sielewi ni nini alikua anamaanisha kwanza hata kumsikiliza huyo dem ni ujinganimeamua kutumia hilo neno dem coz nimekereka usaliti nje nje tena akiwa na akili zake timamu kabisa halafu anamsingizia shetani looooh ukitaka sana uwe na haki zote anamsingizia shetani mbona hapo mi sisemi kitu maana ndo angekuwa wangu kabla hajanifikia kunielezea upumbavu wake anakula mawe kama stefano wa kwenye biblia mapenzi ya dot com siyo sawa na mapenzi ya poboxmapenzi ya dot com unashikilia roho mkononimia mapenzi ya dot com siyo sawa na mapenzi ya poboxmapenzi ya dot com unashikilia roho mkononimiaclick to expand hawa vijana bwanamhhh kazi wanayo sisi wa 1947 tulikuwa tunayasoma hayo mambo kwenye hekaya bana mapenzi ni kitu cha ajabu saana tukifuata logic morals kujisafisha kuji paint kua ni watu tupingao upuuzi au kua na multiple partners lazima tutaponda mdada but hadithi kama hizi inabidi uwajue wahusika na mahusiano yao since long na mazingira ya mahusiano yao kabla ya kujudge mimi ninavoelewa kulala na mtu mwingine ambae sio mpenzi wako (sometimes haimaanishi kua humpendi ulo nae thou ni tabia chafu na mbaya) nielewavo mimi ni tatizo zaidi kama mhusika ambae kafumaniwa anakua na don't care attitude au ku over do emotions za kujifanya kajutia enways don't know what to say bana mapenzi ni kitu cha ajabu saana tukifuata logic morals kujisafisha kuji paint kua ni watu tupingao upuuzi au kua na multiple partners lazima tutaponda mdada but hadithi kama hizi inabidi uwajue wahusika na mahusiano yao since long na mazingira ya mahusiano yao kabla ya kujudge mimi ninavoelewa kulala na mtu mwingine ambae sio mpenzi wako (sometimes haimaanishi kua humpendi ulo nae thou ni tabia chafu na mbaya) nielewavo mimi ni tatizo zaidi kama mhusika ambae kafumaniwa anakua na don't care attitude au ku over do emotions za kujifanya kajutia enways don't know what to sayclick to expand mbona hilo swali wanaliuliza wanawake siku zote nadhani wewe ni mwanamke pekee niliyemsikia akisema hivyo mbona hilo swali wanaliuliza wanawake siku zote nadhani wewe ni mwanamke pekee niliyemsikia akisema hivyoclick to expand genuinely don't know nisememe nini ila tu napenda kua realistic in most cases dc tatizo watu wanatafuta 'full package' ndio maana wanatanga tanga genuinely don't know nisememe nini ila tu napenda kua realistic in most cases dcclick to expand sawa ila karibu wanawake wote niliokutana nao hawaamini kwamba mwanamume anaweza kwenda kufanya sampling na testing huko nje na akawa bado anampenda wewe unatokea sayari ipi sawa ila karibu wanawake wote niliokutana nao hawaamini kwamba mwanamume anaweza kwenda kufanya sampling na testing huko nje na akawa bado anampenda wewe unatokea sayari ipiclick to expand sayari ya experience learning from mistakes loving heartbreaks observation great guy friends (with no benefits) and never regretting but learning from every thing nimepitia na walo pitia wa karibu yangu best remedy nina msemo fulani usipo jifunza kupitia kwa mistakes za wa karibu yako (jamii) utajifunza kwa kupitia mwenyewe mzee mwenzangu she is my lovebirdthat explains it all kwa wanaume na mimi nakubali kuwa sex na love ni vitu viwili tofauti kwa mwanamke naomba niwapinge ukiona msichana/mkeo katoka nje jua wazi huna chako kwa sababu kwa wanawake hiyo kitu ina involve feelings si tamaa ya mwili pekee unless wale wachache wenye pepo ambao they can't spend a night without au hao dot com ambao ni pesa ndo zinawafanya watembee hovyo but still hata kama ni pesa naendelea ku doubt kama msichana wa hivyo anakuwa anampenda mtu anayemcheat this is why wanawake wengi ni waaminifu sana except those who are kibiashara zaidi na nadhani ndio maana wanaume wengi hawana msamaha kwa msichana anayewacheat kwani wanajua hamna penzi tena and smart people learn from other people's mistakes nina msemo fulani usipo jifunza kupitia kwa mistakes za wa karibu yako (jamii) utajifunza kwa kupitia mwenyeweclick to expand hadi shetani anatushangaa tunavyo msingizia kesi now days
2016-12-06T18:07:27
http://www.jamiiforums.com/threads/mapenzi-ya-dot-com.162724/
hongeza waziri kwa kujiuzulu by mwandishi maalum 25th july 2012 juzi aliyekuwa waziri wa miundombinu na mawasiliano wa serikali ya mapinduzi zanzibar hamad masoud hamad alijiuzulu wadhifa huo ukiwa ni uwajibikaji wa kisiasa kutokana na ajali ya boti ya mv skagit iliyozama bahari ya hindi ikiwa safarini kutoka dar es salam kwenda zanzibar na kuua takribani 150 kati ya 290 waliokuwamo boti hiyo ilizama jumatano iliyopita (julai 18) umbali wa takribani kilometa 19 kutoka bandari ya malindi eneo la kisiwa cha chumbe saa 730 mchana ikiwa imeanza safari yake katika bandari ya dar es salam saa 600 mchana siku hiyo hadi sasa ni maiti 73 tu zimepatikana huku idadi watu waliyookolewa ikielezwa ni 150 ingawa taarifa zinasema kuwa huenda watu ambao hawajulikani waliko ni 67 kumekuwa na taarifa za kukanganya juu ya idadi hasa ya watu waliokuwa kwenye boti hiyo ajali hiyo ni ya pili kubwa kutokea visiwani huko waziri huyo akiwa na dhamana ya miundombinu na mawasiliano septemba mwaka jana meli ya mv spice islander ikiwa safarini kwenda pemba ilizama kwenye mkono mkali wa bahari ya hindi eneo la nungwi na kuua mamia ya watu katika janga la mwaka jana waziri masoud aliomba kupewa muda wa kujipanga kwani ndiyo kwanza alikuwa hata hajafikisha mwaka katika wizara hiyo kwa maana hiyo baada ya kutokea janga hili tena ametangaza kujiweka pembeni mwenyewe bila kusubiri kishinikizwa na yeyote kwa kutambua yaliyotokea chini yake ili kupisha uchunguzi ufanyike serikali ya zanzibar nayo imetangaza kuundwa kwa tume ya kuchunguza janga hili ili pamoja na mambo mengine kubaini chanzo chake kutazama kwa kina sheria ya usafiri wa baharini visiwani huko na ikibidi kurekebisha sheria iliyoanzisha mamlaka ya usafiri wa baharini zanzibar (zma) ili kuepuka na majanga kama hayo katika siku zijazo kutokana na kuruhusiwa kwa meli chakavu kusajiliwa tunampongeza masoud kwa kuungwana wake wa kutambua kuwa kisiasa anao wajibu wa kujiuzulu wadhifa huo kutokana na majanga haya ambayo yamekuwa yakiiandama sekta ya usafiri wa baharini zanzibar hakika masoud ameonyesha utamaduni mpya katika usimamizi wa majukumu katika ofisi ya umma ameonyesha bila kinyongo kwamba yanapotokea ya kutokea katika eneo lako la kazi uwajibikaji ni jambo la umuhimu bila kusubiri kusukwa sukwa na kushinikizwa ameonyesha mfano kuwa ofisi ya umma ni dhamana itakumbukwa kwamba mwaka huu rais jakaya kikwete alifanya mabadiliko makubwa ya baraza la mawaziri la serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania baada ya mawaziri wanane na naibu mawaziri wawili kushinikizwa na wabunge wajiuzulu kutokana na utendaji usioridhisha wizi wa mali ya umma na ubadhirifu katika maeneo waliyokuwa wanayasimamia ingawa mawaziri hao walikuwa wizara zao zikuwa zimetajwa kwa majina kwenye ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) ya mwaka 2009/10 ikionyesha madudu katika wizara zao hawakuwa radhi kujiuzulu wenyewe walingolewa katika mabadiliko ya baraza la mawaziri yaliyofanyika tumekumbusha kisa cha mawaziri hao ili kufananisha na alichokitenda masoud kuonyesha tofauti ya uelewa uadilifu na kutambua kuwa cheo ni dhamana inayoweza kuondoka kama mambo yatakwenda mrama kwenye usimamizi wa majukumu na uwajibikaji kwa ujumla huyu ameonyesha mfano na unatakiwa kuigwa na kuenziwa na wote wanaokalia ofisi za umma masoud amesema kuwa hakusubiri kushinikizwa amemrahisishia kazi rais wa zanzibar kwanza kuondoka ili nafasi yake ujazwe na mtu mwingine lakini pili kuiwezesha tume itakayoundwa kuchunguza janga hilo kuwa na uhuru wa kufanya kazi bila yeye (masoud) kuweka humo mikono yake huu ni uadilifu na ukomavu wa kisiasa ambayo kwa hakika unatakiwa kujengwa nchini pamoja na pongezi hizi tungependa wajumbe 10 wa tume hiyo walioteuliwa jana na smz kufanya kazi kwa bidii na uadilifu katika kuchunguza janga hili na mwishowe hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika tunakumbuka kuwa wakati wa janga la meli ya mv spice islander hatua za kisheria zilichukuliwa dhidi ya watumishi wa umma na wamiliki wa meli hiyo safari hii tungependa kuona hatua kali zaidi ili kwa kweli kuleta uwajibikaji kwa pande mbili zinazohusika na usafiri wa majini yaani serikali na wafanyabiashara wanaomiliki vyombo vya usafiri hatua hizi zitasaidia kuiponja nchi na majonzi ya kila mara
2013-05-23T05:09:24
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/mhs-onl/?l=44043