text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
nundu ya ngamia in nairobi | pigiame
nundu ya ngamia
22 oct 1048
gomongo anakusanya mchanga na kuubeba mgongoni kila mara licha ya kuonywa na rafiki yake niko anadai kwamba mzigo huu ni kumbukumbu ya maisha yake ya jangwani je mzigo huu unamwathiri vipi baadaye | 2018-12-15T08:38:41 | https://www.pigiame.co.ke/books/nundu-ya-ngamia-1197121 |
ccm yapunguza idadi ya wajumbe wa nec na cc yateuanaibu katibu mkuu na viongozi wengine wa juu wa chama hicho ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
ccm yapunguza idadi ya wajumbe wa nec na cc yateuanaibu katibu mkuu na viongozi wengine wa juu wa chama hicho
katibu mkuu wa ccm taifa abdulrahman kinana akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kwa kikao hicho cha nec jijini dar es salaam (picha na ikulu)
necpdf by khalfan said on scribd | 2018-07-16T06:46:43 | http://khalfansaid.blogspot.com/2016/12/ccm-yapunguza-idadi-ya-wajumbe-wa-nec.html |
jalada la buntesnachrichtendienst haki za binadamu na sanaa ya mwanga na ∴ pixelhelper foundation
huduma ya akili ya kupendeza | 2020-08-14T17:49:51 | https://pixelhelper.org/sw/tag/buntesnachrichtendienst/ |
maafa ya zanzibarccm yasitiaha kampeni igunga | chimbuko letu
home » »unlabelled » maafa ya zanzibarccm yasitiaha kampeni igunga
maafa ya zanzibarccm yasitiaha kampeni igunga
chama cha mapinduzi (ccm) kimesitisha kampeni zake za uchaguzi mdogo jimbo la igunga kwa mfululizo wa siku tatu za maombolezo kutokana na msiba mkubwa wa kitaifa wa vifo vya watanzania zaidi ya 270 vilivyotokea usiku wa kuamkia juzi kufuatia kupinduka na kuzama kwa meli ya mv spices islander eneo la nungwi kati ya visiwa vya unguja na pemba kampeni za chama hicho zitazendelea kesho kutwa jumatano tarehe 14 92011 anaripoti victor makinda kutoka igunga | 2018-01-17T15:23:15 | http://www.chimbukoletu.com/2011/09/maafa-ya-zanzibarccm-yasitiaha-kampeni.html |
taiincubator dar es salaam | zoomtanzania
utambulisho wa tangazo 1493909
mwanachama tangu 8 jun '15 2 total ads / 1 active ads | 2019-09-22T04:39:43 | https://www.zoomtanzania.com/sw/vifaa-vingine-vya-kielektroniki/taiincubator-1493909 |
akaunti ya mambe kimambi ya instagram ikionyesha ujumbe huu
tanzania inajaribu kuzuia maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika alhamisi ambayo yameitishwa kupitia mitandao ya jamii kupinga kitendo cha kuzuia uhuru wa kuendesha siasa na uhuru wa vyombo vya habari
rais john magufuli tangia achukue madaraka miaka mitatu iliyopita inadaiwa kuwa ameendelea kuingilia kati uhuru huo wa wanasiasa na vyombo vya habari
maafisa wa polisi wamewaonya wananchi kutokushiriki katika maadamano mitaani katika nchi hiyo ya afrika mashariki moja ya nchi za afrika ambazo zina amani zaidi maandamano pia yameandaliwa kufanyika kuelekea katika balozi za tanzania nchi za nje ikiwemo ubalozi wa tanzania mjini washington ambapo takriban dazeni za watu waliandamana mapema jumatano asubuhi
baadhi ya watu hao walikuwa wameficha nyuso zao wakati wakiuzunguka ubalozi huo huku kukiwa na mvua ya rasharasha wakiwa wamebeba mabango yaliokuwa yameandikwa magufool must go
kila mtu anamuogopa rais na utawala wake amesema mange kimambi mwanaharakati wa kisiasa anayeishi california ambaye amekuwa akihamasisha maandamano kutoka katika akaunti yake ya mtandao wa instagram kwa hiyo nimekuja hapa kuonyesha mshikamano wangu na kuwaunga mkono wao waendelee kusimamia haki zao na kufanya juhudi ya kumuondoa katika madaraka
balozi wa tanzania marekani wilson masilingi hakuweza kupatikana kutoa maelezo yake kwa voa
maandamano yenyewe hasa yamepangwa kufanyika alhamisi siku ya kuadhimisha sikukuu ya muungano wa tanzania sikukuu hiyo inaadhimisha kuungana kwa nchi mbili tanganyika na zanzibar mwaka 1964
siku ya jumanne polisi tayari walikuwa wanafanya mazoezi katika mitaa ya mjini moshi ambako ni ngome kubwa ya chama cha upinzani chadema vyombo vya habari vimeripoti
mjini dar es salaam makao mkuu ya zamani ya tanzania mkuu wa polisi sweethbert njewele amesema vyombo vya usalama vilikuwa vinajiandaa kuingia mitaani lakini kwa mujibu wa gazeti la the citizen tovuti ya habari alikuwa amewahakikishia kikundi cha wafanyabiashara jumatano kuwa hakutakuwa na maandamano kila mtu aendelee na shughuli zake kama kawaida
ubalozi wa marekani umetoa ilani jumanne ukishauri kuwa maafisa wa serikali ya tanzania walikuwa wameonya kuwa kutakuwa na madhara makubwa kwa waandamanaji na siku za nyuma polisi walikuwa wametumia mabomu ya machozi na risasi za moto kuvunja maandamano
onyo hilo pia limesema kuwa serikali ya marekani imezuia peace corps wanaojitolea nchini kote kutotoka nje [alhamisi] lakini hakuna mmarekani yoyote mwengine aliyeko nchini kikazi ametakiwa kujizuia nyumbani kwake
magufuli tangu achukue madaraka mwaka 2015 ameanzisha mabadiliko magumu ya kiuchumi na kuwakamata wanaojihusisha na rushwa pia amezifuta leseni na shughuli za vyombo vya habari ambazo zimekuwa zikionekana kuwa zinakosoa utawala wake
ijumaa iliyopita mamlaka ya mawasiliano tanzania imetoa amri kwa wanaendesha mitando ya jamii kuomba leseni kwa kulipa dola za marekani 900 au watakabiliwa na faini na kifungo cha hadi mwaka moja wamiliki hao wamepewa muda hadi mei 5 kuwa wamesajiliwa
mmoja wa wakosoaji wakuu wa magufuli ni kimambi ambaye anaishi los angeles mama huyo mwenye umri wa miaka 38 na watoto watatu anatumia akaunti yake ya instagram kukosoa serikali ya tanzania rais wake na maafisa wa serikali na kuwahamasisha wafuasi wake milioni 18 kuandamana alhamisi nchini tanzania na pia katika balozi za nchi hiyo duniani kote
magufuli ameonya kuwa vyombo vya usalama vitawashughulikia wote watakao shiriki katika maandamano hayo ambayo ni kinyume cha sheria
baadhi ya watu wameshindwa kushiriki katika siasa kwa kufuata sheria wanapenda kuona maandamano kila siku mitaani waache waandamane na watanitambua kuwa mimi ni nani rais amesema katika mkutano wa hadhara mapema mwezi machi huko kaskazini magharibi ya tanzania shirika la habari la reuters limeripoti
nje ya ubalozi wa tanzania mjini washington jumatano kimambi alilitaja jina la rais wa kwanza wa tanzania
mwalimu nyerere aliwahi kusema kuwa ikiwa kuna kiongozi ambaye hafuati utawala wa sheria na kuheshimu katiba ni jukumu letu kumdhibiti amesema hata kama ikimaanisha kuwa utalipa gharama kubwa kwa kukabiliana na hatari yoyote ile bila ya kujali vitisho vinavyotolewa na utawala huo
siku ya jumanne kimambi alidai kuwa kupitia mtandao wake wa instagram kuwa wawakilishi wa shirika la upelelezi wa makosa ya jinai (fbi) na idara ya polisi ya los angeles ilimfuata akiwa uwanja wa ndege los angeles wakati akijitayarisha kupanda ndege wakimtahadharisha juu ya usalama wake huko washington
aliweka picha za business card za fbi na lapd zilizokuwa katika sehemu ya meza ndogo ya kwenye ndege ikiwa na majina na namba za mawasiliano pia aliandika kuwa anatetemeka kutokana na vitisho hivyo
laura eimiller msemaji wa ofisi ya fbi los angeles ameiambia voa kuwa ni kinyume cha sera ya taasisi hiyo kuthibitisha au kuzungumzia iwapo fbi imefanya jambo kama hilo
kimambi alikuwa akimuunga mkono kwa nguvu zote magufuli wakati wa uchaguzi mwaka 2015 lakini baada ya kuchukua madaraka alimgeukia kwa hatua rais alizochukuwa kupiga marufuku vyama vya siasa kujishughulisha na siasa na kwa kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya shughuli za bunge
tcra yatekeleza sheria mpya | 2019-02-19T15:39:11 | https://www.voaswahili.com/a/mange-kimbambi-awakumbusha-watanzania-wasia-wa-nyerere/4365473.html |
hatupokei fedha kutoka kampuni za vinywaji na vyakula kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza dkt chan | habari za un | 2018-02-25T23:16:09 | https://news.un.org/sw/story/2012/11/331832-hatupokei-fedha-kutoka-kampuni-za-vinywaji-na-vyakula-kudhibiti-magonjwa |
sheria inayobishwa imebatilishwa ufaransa | matukio ya kisiasa | dw | 29022012
sheria inayobishwa imebatilishwa ufaransa
bendera ya ufaransa na uturuki zapeperushwa baada ya baraza la katiba kubatilisha sheria dhidi ya wanaobisha kama kulifanyika mauwaji ya halaiki ya waarmenia
taarifa kutoka kasri la rais huko elysée inasema tunanukuurais anazingatia uamuzi uliopitishwa na anatambua masikitiko na huzuni za wale waliokaribisha kwa mikono miwili sheria hiyo ilipopitishwasheria iliyokuwa imelengwa kuwahifadhi dhidi ya wale wanaokanusha mauwaji hayo ya halaiki
baada ya mswaada huo ulipopigiwa kurauturukimwanachama wa jumuia ya kujihami ya nato ikasitisha ushirikiano wa kisiasa na kijeshi pamoja na ufaransaserikali ya ankara iliahidi kuchukua hatua kali zaidi pindi sheria hiyo ingeidhinishwa
rais nicolas sarkozy amekuwa tangu mwanzo akijaribu kutuliza mvutano huo katika wakati ambapo mswaada wa sheria ulikuwa ukibishwa hata miongoni mwa wanachama wa serikali yake
rais nicolas sarkozy (kushoto) na rais serge sarkisian wa armenia wakizuru kumbusho la mauwaji ya halaiki ya waarmenia huko yerevan
uamuzi wa baraza la katiba umekosolewa na baraza linalosimamia mashirika ya watu wenye asili ya armenia nchini ufaransalinadai baraza la katiba limesalim amri mbele ya shinikizo la uturuki
uturuki daima imekuwa ikikataa kutumiwa neno mauwaji ya halaikikwa mujibu wa wana historia waarmenia milioni moja na nusuwaliuliwa huko anatolia kati ya mwaka 1915 na 1917
mada zinazohusiana recep tayyip erdogan pkk marine le pen francois fillon uturuki
maneno muhimu ufaransa uturuki waarmenia mauwaji ya halaiki
kiungo http//pdwcom/p/14bps | 2018-01-21T05:26:49 | http://www.dw.com/sw/sheria-inayobishwa-imebatilishwa-ufaransa/a-15775122 |
makala news and entertainments 07/01/2013 08/01/2013
written and posted by steven mruma at saturday july 06 2013 1528 comments
waziri mahiga ampokea waziri wa nchi wa uingereza ambaye yupo ziarani nchini *waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki mhe balozi dkt augustine mahiga akizungumza na waziri wa nchi anayeshughulikia masuala ya a | 2017-08-23T10:10:12 | http://stevenmruma.blogspot.co.uk/2013/07/ |
dalili za kiama kurasa 2
matembeleo 12451
pakua 857
matembeleo 12451 / pakua 857
kuangamia kwa miji mikuu
vita na majanga miongoni mwa mambo aliyoyasema mtume kuhusiana na zama za mwisho ni hili
miji mikuu itaangamia na itakuwa kana kwamba haikupata kuwepo hapo kabla (almuttaq alhindi al burhan fi alamat al mahadi akhir al zaman)
kuangamia kwa miji mikuu iliyozungumzwa katika hadithi hii kunatukumbusha maangamizi ambayo yanatokea hivi leo kutokana na vita na majanga mbali mbali ya asili silaha za kisasa za nyuklia madege ya kivita mabomu makombora na zana nyingine za kisasa zimesababisha maangamizi yasiyosemeka
zana hizi za hatari zimeleta kiwango kikubwa cha maangamizi ambacho dunia haijapa kukiona hapo kabla kwahakika miji mikuu ndio imekuwa malengo makuu ya mashambulizi na imekuwa ikiathirika zaidi kutokana na maangamizi haya maangamizi yasiyo na mfano ya vita ya pili ya dunia ni kielezeo cha haya kwa kutumika bomu la atomic katika vita kuu ya dunia miji ya hiroshima na nagasaka iliangamizwa kabisa
kutokana na mabomu mazito miji mikuu ya ulaya na miji mingine mikubwa imepata kiwango kikubwa cha hasara buku la marejeleo (encylopedia britannica) linaelezea hasara iliyosababishwa na vita kuu ya pili ya dunia katika miji ya ulaya maangamizi yaliyotokea yameigeuza sehemu kubwa ya ulaya kuwa kama taka taka na ilimalizwa na mabomu ya moto bara bara zilijaa mashimo matupu sura ya nchi ilikuwa giza tupu njia za reli zikaharibiwa na kutofanya kazi madaraja yalibomolewa na bandari zilijaa meli berin anasema jenerali lusias d clay naibu gavana wa jeshi katika ukanda wa post war german lilikuwa kama jiji la wafu
kwa kifupi maangamizi ambayo yalisababishwa na vita ya pili ya dunia yanashabihiana kabisa na hadithi ya mtume (saww) sababu nyingine ya maangamizi ya miji mikuu ni majanga ya asili ni ukweli wa kitakwimu kuwa zama tunazoishi hivi leo zimeshuhudia kuongezeka kwa idadi na madhara ya majanga ya asili katika miaka kumi iliyopita majanga ya asili yaliyosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa yalikuwa ni mambo ambayo hayakuwahi kutokea
maangamizi umasikini mauaji machafu kuongezeka sababu nyingine ya maangamizi katika miji ni majanga ya asili kulingana na takwimu zama zetu zimeshuhudia ongezeko la idadi na ukubwa wa majanga ya asili katika kipindi cha miaka kumi iliyopita kulikuwa na majanga yaliyosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa haya yalikuwa ni majanga ya aina yake
hatari kubwa ya uchafuzi wa hali ya hewa unaosababishwa na viwanda ni tishio kwa dunia nzima viwanda vinavuruga urari wa angahewa ya dunia na kuongeza mabadiliko ya hali ya hewa mwaka 1998 ulikuwa ni mwaka wa joto kali sana duniani tangu rekodi za hali ya hewa zianze kuwekwa kwa mujibu wa maelezo ya kituo cha taarifa za hali ya hewa cha marekani idadi kubwa ya majanga yaliyotokana na hali ya hewa ilikuwa mwaka huo wa 1998
kwa mfano kimbunga kimeelezewa na wachunguzi wengi kuwa ndio janga baya mno la kimaumbile lililoikumba amerika ya kati katika miaka michahe iliyopita vimbunga dhoruba tufani na majanga mengine yameleta maangamizi katika bara la amerika na katika sehemu nyingine kadha wa kadha za dunia mbali na hayo mafuriko nayo yameleta maangamizi katika maeneo kadhaa ya watu aidha mitetemeko ya ardhi volkeno nayo pia yamesababisha maangamizi makubwa hivyo basi maangamizi yote haya yaliyotokea katika miji ni ishara muhimu
mitetemeko ya ardhi hapana shaka kuwa katika historia hakuna majanga ya asili ambayo yamewaathiri watu kwa kiasi kikubwa kama mitetemeko ya ardhi mitetemeko ya ardhi hutokea mahali popote na wakati wowote kwa karne zote mitetemeko ya ardhi imesababisha maafa na hasara kubwa ya mali kwa sababu hii tetemeko la ardhi ni janga linalohofiwa mno hata teknolojia ya karne ya ishirini na ishirini na moja imeweza kwa kiasi kidogo sana kuzuia uharibifu wa tetemeko la ardhi
tetemeko la ardhi la mwaka 1995 kule kobe laweza kuwa somo kwa wale wanaodhani kuwa teknolojia itaweza kudhibiti maumbile itakumbukwa kuwa tetemeko hili la ardhi lilitokea bila kutarajiwa kwenye eneo kubwa la viwanda na usafirishaji licha ya ukweli kwamba lilidumu kwa sekunde ishirini tu kama lilivyoripoti gazeti la time bado lilisababisha hasara ya dola bilioni 100 kadhalika tetemeko la ardhi ndani ya bahari lililofahamika kama tsunami fukweni mwa nchi za indonesia thailand na ukanda mzima wa pwani ya asia lilikuwa la aina yake kupata kutokea katika historia ya mwanaadamu
katika miaka michache iliyopita mitetemeko mikubwa ya ardhi imetokea mara kwa mara na ndio matishio makubwa ya maisha ya watu duniani kote tukiangalia takwimu zilizokusanywa na kituo cha taarifa za matetemeko ya ardhi cha amerika mwaka 1999 tunaona kuwa mitetemeko ipatayo 20 832 ilitokea sehemu mbali mbali duniani matokeo yake watu wanaokadiriwa kufikia 500000 walikufa matukio yote haya yanakumbushia maneno ambayo mtume (saw) aliyasema miaka 1400 iliyopita kiama hakitasimama mpaka pale mitetemeko ya ardhi itakapotokea mara kwa mara (bukhari)
katika qur'an kuna aya kadhaa zinazobainisha uhusiano kati ya mitetemeko ya ardhi na zama za mwisho sura ya 99 inaitwa suratil zil zaala ambayo maana yake ni mtikisiko au tetemeko la ardhi sura hii yenye aya nane inaelezea mtetemeko mkubwa wa ardhi na inasema kuwa kufuatia mtetemeko huo siku ya hukumu itakuwa imefika watu watafufuliwa makaburini na kutoa hesabu ya amali zao kwa mwenyezi mungu na kupata malipo yao hata kwa jambo dogo sana walilolifanya
itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemesho wake mkubwa na itakapotoa ardhi mizigo yake na binadamu akasema (wakati huo) (oh) ina nini leo ardhi siku hiyo itatoa habari zake zote kwa kuwa mola wake ameifunulia (ameiamrisha kufanya hayo) siku hiyowatu watatoka (makaburini) vikundi vikundi ili waonyeshwe vitendo vyao basi anayefanya wema hata kwa kiasi cha uzito wa mdudu chungu ataona jazaa yake na anayefanya uovu hata kwa kiasi cha uzito wa mdudu chungu ataona jazaa yake (9918)
kwa mujibu wa ripoti ya shirika la chakula duniani (fao) mwaka 2000 watu milioni 826 duniani kote hawapati chakula cha kutosha kwa maneno mengine mmoja katika kila watu sita ana njaa katika miaka kumi iliyopita dhulma katika mgawanyo wa kipato imeongezeka kwa kiwango kisichosemeka
takwimu za sasa zinaonyesha yale ambayo mtume (saww) aliyasema juu ya kuongezeka kwa umasikini katika hadithi inabainishwa kuwa umasikini na njaa ni miongoni mwa dalili za kipindi cha kwanza cha zama za mwisho
masikini wataongezeka (amal al diin al qazwin mufid al ulum wa mubid al humum) kipato kitagawanywa kwa matajiri tu hakuna mafao kwa masikini (tirmidhi) ni dhahiri kuwa kipindi hicho kilichobashiriwa na mtume (saww) kinawiana na hali ya wakati wetu wa leo tukiangalia karne zilizopita tunaona kuwa shida na tabu zilizoletwa na ukame vita na majanga mengine zilikuwa za muda mfupi na ziliishia katika eneo moja moja lakini umasikini na shida za leo ni za kudumu na sugu kwa hakika mola wetu ni mwingi wa rehma yeye hadhulumu watu lakini kwa sababu ya ukosefu wa shukurani wa wanadamu na maovu wanayoyafanya umasikini na tabu vimeongezeka kwa hakika hali ya mambo ya kusikitisha inaonesha wazi kuwa dunia imetanzwa na uchoyo na ubinafsi
kuporomoka kwa maadili kushamiri kwa ushoga na ukahaba katika zama zetu za leo kuna janga kubwa linalohatarisha uhai wa jamii ulimwenguni mithili ya virusi vinavyoua mwili janga hili linasababisha msiba mkubwa wa kijamii janga hilo ni mmomonyoko wa maadili ambayo husaidia kustawisha jamii ushoga ukahaba uhusiano haramu wa kijinsia kabla ya ndoa na nje ya ndoa filamu za ngono picha za ngono unyanyasaji wa kijinsia na ongezeko la maradhi ya zinaa mashindano ya kukaa uchi maarufu ulimbwende uuzaji na utumiaji wa vileo na dawa za kulevya miongoni mwa vijana ni miongoni mwa ishara kubwa za kuporomoka kwa maadili
hadithi zinazozungumzia dalili za siku ya mwisho zinatupa maelezo ya kina juu ya wakati ambao dalili hizi zitadhihirika twaweza kufahamikiwa kutokana na hadithi za mtume (saww) kuwa awamu ya kwanza ya zama za mwisho ni kipindi ambacho kitaonekana kuwa cha kidinidini lakini kumbe ni kipindi ambacho kitaikataa kabisa dini ya allah na maadili ya qur'an
zifuatazo ni dalili zilizotajwa na mtume (saww) karne 14 zilizopita dalili ambazo zinathibitika wazi wazi katika wakati tulionao kwa mujibu wa qur'an mtume (saww) anasema kuwa watu wake wameitelekeza qur'an
karibia ya kusimama kwa saa kutakuwa na zama ambazo elimu ya (qur'an) itatoweka na giza totoro litagubika (bukhari)
utakuja wakati wa uma wangu ambapo hakutabaki chochote kilichobaki katika qur'an isipokuwa sura yake ya nje tu na hakutabaki chochote cha uislamu isipokuwa jina lake tu na wao watajiita kwa jina hili ingawaje ni watu w aliombali kabisa na uislamu (ibn babuya thawab ula'amal) mfano umetolewa katika suratil jumaa aya 5
mfano wa wale waliopewa taurat kisha hawakuichukua kwa ktuitumia ni kama punda anayebeba vitabu vikubwa vikubwa
hapana shaka kuwa aya hii inatoa onyo kwa waislamu ikiwakumbusha kuwa wajihadhari wasije wakatumbukia katika dhambi ileile nzito qur'an imeshushwa kama kitabu cha muongozo ambao watu waufuate
mtume (saww) kasema kuwa licha ya ukweli kuwa qur'an itasomwa lakini elimu na hekima iliyomo ndani yake hatazingatiwa hii ni dalili nyingine ya ule wakati wa zama za mwisho
utakuja wakati juu ya umma ambapo watu watasoma qur'an lakini haitakwenda kokote isipokuwa itaishia kwenye makoo yao (haitaingia nyoyoni) (bukhari)
mtume wa allah alisema jambo fulani kisha akasema utatokea wakati ambapo elimu haitakuwepo tena aliuliza ziyadi ewe mtume wa allah itatowekaje elimu licha ya ukweli kuwa tutakuwa tukiisoma qur'an na kuwafundisha watoto wetu kuisoma na watoto wetu nao watawafundisha watoto wao kuisoma hadi siku ya kufufuliwa hapo mtume akasema je mayahudi na wakristo hawasomi taurati na biblia na kutotenda kwa mujibu wa yale yaliyomo humo (ahmad ibn majah tirmidhi)
watu kuitumia dini kwa malengo ya kidunia na kujivika ngozi ya kondoo waonekane wema kufuata maadili ya wayahudi na wakristo ni dalili moja wapo ya kiama kuwa baadhi ya waislamu watafuata nyendo za wayahudi na wakristo tena watawaiga kimasonge mtume (saww) kasema
muumini na kafiri mtume wa mwenyezi mungu kasema
kutozingatia halali na haramu dalili nyingine ya kiama ni kuwa watu hawatazingatia yaliyoharamishwa na mwenyezi mungu katika qur'an mtume (saww) kasema utafika wakati ambapo mtu hatojali kama vitu avipatavyo ni vya halali au ni vya haramu (bukhari)
wanazuoni wenye nyuso mbili mtume (saww) kasema
katika zama za mwisho baadhi ya watu wanaokubalika kama wanazuoni watakuwa wanafiki kweli kweli wenye nyuso mbili mbwa mwitu watasoma katika zama za mwisho wale watakaoziona zama hizo waombe nusra kwa mwenyezi mungu kutokana na uovu wa wanazuoni hao kutakuwa na mafisadi kweli kweli unafiki ndio utakaoshitadi (tirmidhi nawadil al usul)
mtume (saww) kasema
katika zama za mwisho kutakuwa na watu wachache sana wanaoweza kuitwa waumini utafika wakati kwa watu wangu ambapo misikiti itajaa watu lakini watakuwa hawana muongozo sahihi (ibn babuya thawab ul a'mal hadith moja inasema kuwa waislamu wa kweli watalazimika kuficha imani zao na kufanya ibada kwa siri
na aombe thawabu kwa allah yule asomaye qur'an kwa sababu katika zama za mwisho kutakuwa na watu wengi watakaosoma qur'an na kutafuta malipo kwa watu wengine (tirmidhi) dalili nyingine ni kuwa qur'an itasomwa kwa ajili ya kujifurahisha (kujiburudisha) tu kama vile wimbo
bila shaka kitakuja kipindi ambacho hakuna hata mtu mmoja atakayesalimika na riba endapo mtu ataepuka riba kwa njia ya moja kwa moja basi hatoweza kuukwepa moshi (athari) utakaotokana nayo kwa kiasi fulani athari zake zitamfika tu (imesimuliwa na abu huraira)
kwa hali hiyo hakuna mtu ambaye anaweza kudai kuwa yeye amesalimika na riba maadam mfumo wa uchumi wa taifa haukusalimika na riba basi sote tunahusika na jambo hili hivyo hadithi ya mtume (saww) inawafikiana kabisa na mazingira yetu
matukio yote ya kuporomoka kwa jamii tunayoyashudia hivi leo tayari yalikwishabashiriwa na mtume (saww) karne 14 zilizopita mtume (saww) amesema kuwa miongoni mwa dalili za zama za mwisho ni pale watu watakapokabiliana na vita na mabadiliko ya kijamii (ahmad diyaal diin al kamush khanawi ramuzi al ahadith) zifuatazo ni hadith zinazohusiana na awamu ya kwanza ya zama za mwisho
dalili nyingine ya zama za mwisho ni kuwa vijana watakuwa waasi na mapenzi na heshima kati ya vijana na wazee vitapungua wakati wazee watakapokosa huruma kwa vijana na wakati vijana watakapokosa heshima kwa wazee watoto watakapokuwa na jazba basi hapo hukumu ipo jirani
udanganyifu na ulaghai yatakuwa mambo ya kawaida (allama safarini ahwal yaum al qiyama) rushwa itaitwa zawadi na itaonekana kama halali tu (ammal al diin al qazwini mufid al ulumi wa mubid al humum) mtume (saww) kasema mauaji yataongezeka sana katika zama za mwisho kiama hakitasimama hadi pale mauaji yatakapozidi (bukhari)
mtume muhammad(saw) kama sote tujuavyo aliishi karne kumi na nane zilizopita kumbukumbu za historia zinaonesha kuwa wakati qur'an ilipofunuliwa jamii ya waarabu haikuwa na teknolojia ya kuwawezesha kufanya tafiti za dunia au ulimwengu
kwa sababu hiyo kuna tofauti kubwa kati ya kiwango cha sayansi na teknolojia cha wakati wa alioishi mtume (saww) na wakati huu wetu tofauti hii ilianza kuwa kubwa hasa zaidi mwanzoni mwa karne ya ishirini kielezeo cha wazi cha hilo ni mageuzi makubwa ya kiteknolojia yanayoonekana katika wakati wetu huu ambayo hayakupata kuonekana sio tu wakati wa mtume bali hata katika miongo michache iliyopita licha ya tofauti hiyo bado katika karne ya saba mtume(saw) alizungumzia mambo mengi ya hakika juu ya maisha hapa tutaziangalia hadithi zinazoelezea kiwango cha maarifa ya sayansi na teknolojia katika zama za mwisho tutaona kuwa yale aliyoyabainisha mtume (saww) karne kumi na nne zilizopita yanadhihirika leo
elimu tofauti kubwa inayobainika kati ya krne za 20 na 21 na zama zilizopita ni kuongezeka kwa mwamko wa elimu huko nyuma uwezo wa kusoma na kuandika ulihodhiwa na watu wachache lakini kuanzia mwishoni mwa karne ya ishirini unesco na taasisi za serikali pamoja na mashirika binafsi yamefanya kazi kubwa ya kusambaza elimu
kwa mujibu wa ripoti ya unesco kiwango cha elimu ya kujua kusoma na kuandika kilifikia asilimia 774 mwaka 1997 kiwango hiki ni kikubwa mno mtume (saww) aliielezea hali hii kama ni dalili mojawapo ya zama za mwisho mwamko wa elimu(literacy) utaongezeka pale hukumu inapokaribia(ahmad diyaaldinalkhamush khanawi ramuzalahadith) i
teknolojia ya ujenzi dalili nyingine ambayo mtume (saww) ameitaja kuhusiana na zama za mwisho ni ujenzi wa maghorofa marefu
hakutakuwa na hukumu hadi pale maghorofa marefu sana yatakayojengwa(imesimuliwa na abu huraira) kiama hakitasimama mpaka watu washindane kujenga maghorofa marefu (bukhari)
tukiingalia historia ya usanifu majengo na uhandisi tunaona kuwa maghorofa mengi marefu yalianza kujengwa na mwishoni mwa karne ya kumi na tisa maendeleo ya teknolojia kuongezeka kwa matumizi ya chuma cha pua na matumizi ya kambarau(lifti za kupandia maghorofani) kumeongezeka kasi ya ujenzi wa maghorofa maghorofa marefu yameshamiri kweli kweli hivi leo alichokisema mtume (saww) katika hadithi kinadhihirika wazi wazi watu na mataifa yanashindana kuongeza maroshani ya ghorofa
teknolojia ya usafiri katika historia yote kumekuwa na uhusiano kati ya maendeleo na mawasiliano jamii ambazo zimeweza kujiwekea miundo mbinu bora ikiwa ni pamoja na mifumo bora ya usafiri zimejipatia maendeleo akizungumzia dalili za zama za mwisho mtume (saww) kayataja maendeleo ya usafiri kiama hakitasimama hadi muda utakapopita upesi upesi (bukhari) masafa ya mbali mno yatafikiwa kwa muda mfupi (ahmad musnad)
ujumbe unaobebwa na hadithi hiyo unadhihirika wazi wazi hivi leo katika zama hizi masafa ya mbali yanafikiwa kwa muda mfupi tu madege magari na treni ni vyombo vinavyoweza kusafiri masafa ya mbali kwa muda mfupi huko nyuma safari za masafa marefu zilichukua miezi qur'an pia inavielezea vyombo hivi
na amewaumbia farasi na nyumbu na punda ili muwapande na (wawe) mapambo na ataumba vipano) msivyovijua (68)
hebu tuutafakari huu usemi wa muda utapita upesi upesi katika ile hadithi ya kwanza kwa kuzingatia yale tuliyoyaeleza ni wazi kama mtume (saww) alivyonena kuwa katika zama za mwisho kazi zitafanywa kwa muda mfupi kuliko zilivyokuwa zikifanywa huko nyuma
kwa kweli maendeleo ya sayansi yamewezesha mambo mengi kutimizwa kwa muda mfupi zaidi hadithi hiyo hiyo inathibitisha jambo hili kiama hakitakuja kabla muda kupungua mwaka uwe kama mwezi mwezi uwe kama wiki na wiki iwe kama siku (tirmidh)
mathalani zama zilizopita mawasiliano ya kimataifa yalichukua majuma mengi lakini sasa yanafanyika kwa sekunde tu kwa tovuti na teknolojia nyinginezo za mawasiliano kurahisishwa kwa mawasiliano kumewezesha chombo cha anga cha marekani kutumwa katika sayari mars zaidi ya maili milioni 106 ambacho hivi kinaendelea kuleta taarifa mbali mbali za kiuchunguzi duniani pamoja na picha kwa muda mfupi sana
katika zama za nyuma bidhaa zilifika kule zilikopelekwa baada ya safari ndefu za miezi hivi leo zinafika mapema kabisa hivi sasa mamilioni ya vitabu yanaweza kuchapwa kwa muda uliotumika kuchapwa kitabu kimoja karne chache zilizopita katika masuala ya afya na njia za utayarishaji wa vyakula hapahitajiki tena muda mrefu wa kushughulikia kutokana na teknolojia ya sasa
unaweza kutoa mifano mingi mno hata hivyo tumalizie hapa kwa kusema kuwa dalili zote alizozieleza mtume (saww) katika karne ya saba zinaonekana wazi wazi hivi sasa dalili nyingine aliyoitaja mtume (saww) ni kuongezeka kwa biashara kama iliyoripotiwa na ibn mas'uud(ra) biashara inakwenda pamoja na maendeleo ya teknolojia na usafirishaji wa kisasa umeiwezesha kila nchi duniani kujenga uhusiano na ushirikiano wa karibu wa kibishara na nchi nyingine
baadhi ya hadithi za mtume (saww) zimeelezea teknolojia ya leo ya mawasiliano
saa ya mwisho haitafika kabla jumbe hajasemeshwa na fimbo yake (tirmidh)
tukiiangalia hadithi kwa makini twaweza kuona ukweli uliomo ndani yake katika zama zilizopita fimbo ilitumika kuendeshea wanyama wa kupanda hasa hasa ngamia na farasi hapa tunaona mtume (saww) hapa tunaona mtume (saww) ametumia tamathali
hebu tujiulize ni kitu gani kinachosema ambacho twaweza kukilinganisha na fimbo kwa sifa za maumbile jibu la kwamza laweza kuwa simu au vyombo vingine vya mawasiliano vyombo vya mawasiliano visivyotumia waya kama vile simu za mkononi na simu za upepo kama sattilaiti ni vyombo vya hivi karibuni kabisa kwa kuvitazama vyombo tutaona wazi wazi kule kutimia kwa bishara ya mtume (saww) iliyotolewa miaka 1400 iliyopita kwa hivyo huu ni ushahidi kuwa zama zetu ziko jirani na siku ya hukumu katika hadithi nyingine mtume (saww) anaelezea maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano
hakutakuwa na hukumu mpaka sauti ya mtu imsemeshe yeye mwenyewe(hadi mtu asemeshwe na sauti yake(mukhtasar tazkira allama qurtubi) ujumbe wa hadithi hii unathibitika hivi leoili mtu aisikiye sauti yake kwanza hurekodiwa na kisha kusikilizishwa teknolojia ya kunasa na kutoa sauti ni ya karne ya ishirini huu ndio ulikuwa mwanzo wa maendeleo ya sayansi ambayo ndio imezaa vyombo vya mawasiliano na habari unasaji wa sauti sasa umefikia kiwango cha juu kutokana na matumizi ya kompyuta
kwa kifupi vyombo vya elektroniki vya hivi leo kuna vipaza sauti ambavyo vimewezesha mtu kujinasa na kujisikia sauti yake mbali ya kanda za rekodi na vionesho vya picha(video) hii inadhihirisha kuwa hadithi ya mtume iliyonukuliwa hapo imetimia kwa hiyo hii ni dalili nyingine ya kiama si hadithi hizo tu bali kuna ishara nyingine zilizotajwa na hadithi zifuatazo
mkono utanyooshwa kutoka angani na watu watautazama na kuuona(ibn hajar haythami alqawl al mukhtasar fil alamat al mahdi al muntanzir dalili ya siku hiyo mkono kunyooshwa angani na watu kuacha kuangalia(almuttaqil al hindi alburhan fi ahmad almahdi akhir alzaman)
ni dhahiri kuwa neno mkono katika hadithi hiyo limetumika kwa tamathali katika zama zilizopita neno hili huenda halikueleweka zaidi lakini ikitazamwa teknolojia ya leo kauli yaweza kutafsiriwa kwa namna nyingi kwa mfano televisheni ambayo imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya leo pamoja na kamera na kompyuta zaweza kubeba tafsiri ya kauli hiyo
neno mkono yawezekana limetumika likiwa na maana ya uwezo yaweza kuwa na maana pia taswira zinazotoka angani kwa sura ya mawimbi ambayo ni televisheni
sauti itamwita mtu kwa jina lake na hata watu wa magharibi na mashariki watasikia (ibn hajar haythami al qawl al mukhtasar fi alamat ala mahdi al muntazar) sauti hii itavuma itaenea duniani kote na kila kabila litaisikia kwa lugha yao wenyewe(almuttaq al hindi al burhani fi alamat al mahd akhir al zaman)
sauti kutoka mbinguni ambayo kila mtu ataisikia kwa lugha yake (almuttaq al hindi al burhani fi alamat al mahd akhir al zaman) hadithi hapa zinataja sauti ambayo itasikika dunia nzima na kwa lugha ya kila mtu ni dhahiri hii ina maana ya radio televisheni simu za mikononi na nyenzo nyingine za mawasiliano huu ni muujiza kwamba mtume(saw) alitaja maendeleo ambayo hayakufikirika katika kipindi cha miaka mia moja tu iliyopita mfasiri maarufu badiuzzaman wakati akifasiri hadithi hizi alieleza kuwa zimebashiri kimiujiza kuja kwa radio televisheni na vyombo vingine vya aina hiyo
kuzuka kwa manabii wa uongo inafahamika kuwa katika kipindi chote cha historia kumekuwa na manabii wengi wa uongo katika hadithi inabainishwa kuwa manabii wa uongo watazuka kabla ya siku ya hukumu saa ya mwisho haitafika kabla ya kuja kwa madajali(wadanganyifu) thelathini kila mmoja akijitambulisha kama nabii wa allah(abu dawood) kwa kutumia fursa ya matazamio ya waislamu na itikadi ya dini ya kikristo kuwa nabii isa au yesu atarejea idadi kubwa ya watu wadanganyifu wamejitokeza kudai unabii
kumbukumbu zinaonesha kuwa manabii wa uongo walianza kujitokeza katika miaka ya 70 ifuatayo ni baadhi ya mikasa iliyotokana na madai ya unabii yaliyojitolewa na watu mbali mblia katika nchi mbali mbali maafa ya moto david koresh na wafuasi wake wapatao 74 katika eneo la waco texas walikufa kwa kujiwasha moto
wiki moja kabla ya hapo maeneo mawili ya uswisi na moja nchni canada walikufa jumla ya wafuasi 53 wa jouret wakiwemo na watoto wao polisi katika nchi hizo mbili wanafanya uchunguzi kujua kama vifo hivyo ni vya kujiua kuuawa au yote mawili kutokana na imani za ajabu
sun myung moon mwasisi wa kanisa la unification anadai yeye ni masihi aliyekuja kwa mara ya pili kanisa la unification lilianzishwa rasmi na moon mnamo mwaka 1954 moon anadai kuwa mwaka 1936 yeye alipokuwa na umri wa miaka 16 yesu alimtokea upande wa mlimani kaskazini magharibi mwa korea na kumwambia kuwa mungu amemchagua kwa kazi ya utume wa kusimamisha ufalme wa mbinguni na ardhini
zaidi ya watu 1000 wahofiwa kufa baada ya kugundulika kwa makaburi mengi zaidi nchini uganda hao walikuwa wafuasi wa mtu aliyedai kuwa nabii kibwetere zaidi ya watu 900 wafuasi wa dhehebu moja walikutwa wamekufa pamoja katika msitu wa amerika kusini watu wote waliokufa walikuwa wafuasi wa mchungaji jim jones kiongozi wa hekalu mjini san francisco
qur'an pia inaeleza kuja kwa mnabii wa uongo na ni nani dhalimu mkubwa kuliko yule amtungiyae uongo mwenyezi mungu au mwenye kusema nimeletewa wahyi na hali hakufunuliwa chochote na yule asemaye nimeteremsha(ufunuo) kama ule aliouteremsha mwenyezi mungu na kama ungewaona madhalimu watakapokuwa katika mahangaiko ya mauti na malaika wamewanyooshea mikono(kuwaambia) zitoeni roho zenu leo mtalipwa adhabu ifedheheshayo kwa sababu ya yale mliyokuwa mkizifanyia kiburi aya zake(ungeona namna gain wanavyopapatika) (693)
kama inavyoelezwa katika aya hiyo watu hawa wazushi kwa hakika watapata malipo yao kwa uongo waliozusha hapana shaka kuwa utafika wakati ambapo uongo wote wa manabii wa uongo utafutiliwa mbali mtume(saw) akasema kuwa baada ya warongo hawa kuondoka ndipo isa (sa) atakapokuja tena
kama tulivyoeleza kurasa za nyuma kuwa qur'an inatufahamisha kurejea kwake duniani na kwamba waislamu na wakristo kwa hamu wanasubiri ujio wake kuna hadithi chache za mtume (saww) mwanazuoni wa kiislamu shawkani kasema kuwa kuna hadithi 29 zinazoelezea kurejea kwa issa na kwamba maelezo yaliyomo katika hadithi hizi hayawezi kupotoshwa(ibn majah)
kuna jambo moja muhimu linalotujia kutokana na haithi hizi kurejea kwa isa kutatokea awamu ya pili ya zama za mwisho na ndio itakuwa ishara muhimu(dalili kuu) ya siku ya hukumu hadithi zinazohusiana na jambo hili ni hizi
saa ya mwisho haitafika mpaka muone mshuko wa issa (as) mwana wa mariamu (muslim) naapa kwa yule ambaye roho yangu iko mikononi mwake mwana wa maryamu muda si mrefu atashuka miongoni mwenu (waislamu) kama mtawala mwadilifu wa haki(bukheri)
saa haitasimama hadi pale atakaposhuka mwana wa maryamu miongoni mwenu kama mtawala mwadilifu(bukhari) mtume (saww) anatueleza kile atakachofanya isa pale atakaporejea unapowadia wakati wa kifo chake isa atakuwa ameonekana tena duniani kwa kipindi cha miaka 40(abu dawuud)
isa (as) mwana wa maryamu atashuka kutawala kwa miaka arobaini kwa kitabu cha allah na kwa sunna yangu hadi anapokufa (almuttaqi al hindi al burhani fi alamat al mahdi akhir al zaman)
sifa za zama bora zilizoelezewa kwa kina na mtume (saww) ni dalili muhimu ya siku ya hukumu kipindi hicho kinachoitwa golden age kitakuwa bora kwa sababu ya kule kulinganishwa kwake na pepo kwa maelezo ya mwanachuoni wa kiislamu
umma wangu utapata hali bora katika zama hiyo ambayo mfano wake haujapata kuonekana hapo kabla (ibn majah) umma wangu wa wema na wabaya utaneemeshwa neema ambazo haukupata kuziona kabla (almuttaq al hind al burhan fi alamat al mahd akhira zaman)
hadithi nyingine inaelezea utajiri wa zama hizo katika kipindi hicho ardhi itatupa nje hazina yake (ibn hajar haythami alqawli al mukhtasar fii alamat al mahdi al muntazar) hadithi nyingine zinaelezea kuwa miaka ya mashaka na huzuni itakwisha hakuna mtu atakayekuwa katika shida hakuna mtu atakayetakiwa kutoa zaka
toeni zaka kwani utakuja wakati ambapo mtu atakwenda na zaka yake huku na kule asipate mtu wa kuipokea (bukhari) kwa hakika bidhaa zitakuwa nyingi na zitamwagika kama maji lakini hakuna atakayeziokota(al halimi) sifa nyingine ya zama bora itakuwa ni kushitadi kwa haki na ukweli utakuwa wakati ambapo sheria na haki zitachukua nafasi ya hofu mfarakano na dhuluma
kama tunavyosema katika hadithi dunia itajaa haki badala ya ukandamizaji na mateso (ahmad diya'al din al kamushkanawi ramuz al ahadithi) miongoni mwa sifa bora za kipindi hicho ni kunyamaa kwa silaha(kutulia kwa milio ya silaha) kutoweka kwa uadui migogoro na kukoma kwa misambaratiko ya kijamii badala yake kutashamiri urafiki na mapenzi miongoni mwa watu kiasi kikubwa cha pesa kilichotumika kugharimia vita na viwanda vya silaha sasa kitawekezwa kwenye chakula afya maendeleo utamaduni na mambo yatakayoleta furaha kwa watu wote
sifa nyingine ya kipindi hiki cha neema itakuwa ni kurejea katika misingi ya dini ya mwenyezi mungu kama ilivyofundishwa na mtume (saww) zile sheria na mila zilizobuniwa baada ya uislamu zitaondoshwa tafauti za waislamu katika kuitekeleza dini yao zitakoma
baada ya zama bora tunaposoma habari za mitume katika qur'an tunaona kuwa kanuni ya mwenyezi mungu imefanyakazi katika zama zote jamii zinazomkadhibisha mtume wa mwenyezi mungu na kumpiga vita basi huishia kuangamizwa lakini wale wanaomtii mtume hupata neema nyingi za kidunia na ustawi wa kiroho ambao dini sahihi huwaletea lakini baada ya kupita mitume hawa baadhi ya watu huanza kukengeuka na kuikanusha dini sahihi kuanza kuishirikisha na mwenyezi mungu
mifarakano na migongano hutokea kwa kweli watu wa jamii hizi wamejikuta wakiangamia kwa mikono yao wenyewe kanuni hapana shaka itafanya kazi katika zama za mwisho mtume (saww) amebainisha kuwa kiama kitakuja baada ya kifo cha isa(as) na mwishoni mwa zama bora kama tulivyosoma
baada ya yake (nabii isa) siku ya hukumu itakuwa jambo la muda mfupi mbele (ahmad diy'aal din al kamushkanawi ramuz al ahadith) siku ya hukumu itakuja baada yake (nabii isa) ( ahmad diy'aal din al kamushkanawi ramuz al ahadith
hivyo tunaona kuwa muda mfupi baada ya kifo cha isa (as) watu duniani watakuwa waovu na wataitupa dini sahihi ule wingi wa mali katika zama bora utawazuzua na hivyo kuharibikiwa hapa twaweza kusema kuwa katika mazingira haya ndipo kiama kitakapotokea lakini allah ndiye ajuaye | 2019-12-16T08:45:27 | http://alhassanain.org/swahili/?com=book&id=86&page=2 |
muhubiri deya kizimbani kwa ubakaji uk bbc swahili
muhubiri deya kizimbani kwa ubakaji uk
http//wwwbbccom/swahili/habari/2013/10/131030_deyaubakajishtml
image caption muhubiri deya amekataa kurejea kenya kwa hofu ya kutotendewa haki
mhubiri mkenya aliyedai kuwa na uwezo wa kuwatunga mimba wanawake kimiujiza kupitia kwa maombi ameshitakiwa kwa makosa ya ubakaji nchini uingereza
polisi walisema kuwa gilbert deya mwenye umri wa miaka 61 alishitakiwa wiki jana kwa kosa la ubakaji kosa lengine la jaribio la kumbaka mwanamke pamoja na kumnyanyasa kimapenzi msichana mwenye umri wa miaka 14
deya apokuwa kenya alidai kuwa anaweza kuwasaidia wanawake wenye matatizo ya kupata watoto kuweza kushika mimba baada ya kuwaombea
kwa mujibu wa jarida la the guardian nchini uingereza mhubiri huyo alishitakiwa siku ya ijumaa kwa makosa matatu na kuzuiliwa kwa muda katika mahakama moja mjini london akisubiri kusikilizwa kwa kesi yake tarehe nane mwezi novemba
deya alitoroka nchini kenya alipokuwa anasakwa kwa madai wa kuwaiba watoto huku akiwahadaa wanawake kuwa angeweza kuwatunga mimba kwa kuwaombea
mkewe ambaye walikuwa wanashirikiana naye kwa kashfa hiyo alipatikana na na hatia ya wizi wa watoto na kwa sasa anatumikia kifungo chake nchini kenya
hata hivyo mnamo mwaka 2011 waziri wa mambo ya ndani uingerezatheresa may aliamuru mhubiri huyo kurejeshwa kenya baada ya mahakama kukataa ombi lake la rufaa kukataliwa akitaka asirejee kenya
wasiwasi ulizuka 2004 mara tu baada ya kipindi kimoja cha bbc radio 4 cha udadisi kwa jina face the facts kupeperusha hewani shughuli zilizofanywa na deya | 2017-11-19T14:35:31 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2013/10/131030_deya-ubakaji.shtml |
burudan mwanzo mwisho msechu video ya 'kibudu' nitaifanya kenya
msechu video ya 'kibudu' nitaifanya kenya
hatimaye ngoma inayokwenda kwa jina la kibudu liyoimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini peter msechu imeanza kutamba katika vituo mbalimbali vya redio kutokana na ujumbe wa mashairi yaliyomo ndani yake
mbali ya kutamba na kibao hicho mkali huyo alishawahi kutamba na kibao chake cha relax kumbe ambavyo vilifanya vizuri zaidi mbali na kuwa na vibao vingi ambavyo vilimtambulisha katika tasnia ya muziki huo
akizungumza na habari mseto jijini dar es salaam msechu alisema katika kazi hiyo kamshirikisha mkali wa muziki huo ally nipishe na kwamba tayari imeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio
alisema kibao hicho kakitengeneza katika studio ya ufundi production chini ya mtayarishaji wake mahiri fundi samuel
naomba mashabiki wangu wakipokee vizuri kibao hicho ambacho natarajia kukifanyia video yake nairobi kenya alisema
msechu aliwataka mashabiki wake wakae mkao wa kula kwa ajili ya video hiyo ambayo anatarajia kuitoa mwinzoni mwa mwezi ujao ikiwa ni pamoja na nyimbo nyingine nyingi zinazofuata
posted by super d (mnyamwezi) at 1143 pm | 2018-06-25T13:31:36 | http://burudan.blogspot.com/2013/08/msechu-video-ya-kibudu-nitaifanya-kenya.html |
mzee chilo afunguka sababu ya bongo movie kujikita kwenye tamthilia | raha za walimwengu
home » »unlabelled » mzee chilo afunguka sababu ya bongo movie kujikita kwenye tamthilia
mzee chilo afunguka sababu ya bongo movie kujikita kwenye tamthilia
muigizaji mkongwe nchini mzee chilo abainisha kuwa soko la filamu lipo ila filamu inachukua muda mrefu kuliko tamthilia na ndiyo maana wamehamia huko ila bado wanafanya filamu
pia mzee chilo aliyeanza kupata umaarufu kupitia tamhilia ya jumba la dhahabu ameeleza wamehamia huko pia ni suara la bajeti kwani filamu inachukua bajeti kubwa kuliko tamthilia | 2017-12-13T09:16:57 | http://www.rahatupu.us/2017/12/mzee-chilo-afunguka-sababu-ya-bongo.html |
china yahimiza uvumbuzi na maendeleo endelevu katika sekta ya sayansi na teknolojia china radio international
china yahimiza uvumbuzi na maendeleo endelevu katika sekta ya sayansi na teknolojia
(gmt+0800) 20181128 170626
naibu waziri wa sayansi na teknolojia wa china bw xu nanping amesema kushikilia maendeleo endelevu ni maoni ya pamoja ya dunia nzima china itaendelea na mawazo ya kuhimiza uvumbuzi mageuzi na ufunguaji mlango na maendeleo endelevu katika sekta ya sayansi na teknolojia na kufuatilia zaidi kuboreshaji maisha ya wananchi na mazingira
ajenda ya maendeleo endelevu ya mwaka 2030 ya umoja wa mataifa ilianzishwa rasmi mwaka 2016 ajenda hiyo inataka nchi mbalimbali duniani zichukue hatua ili kutimiza malengo ya maendeleo endelevu ya jamii uchumi na mazingira duniani ikiwa moja kati ya nchi zilizosaini ajenda hiyo mwaka jana china ilitangulia kutoa ripoti kuhusu hali ya utekelezaji wa ajenda hiyo nchini humo ambayo ilijumuisha hatua zilizochukuliwa na uzoefu uliopatikana naibu waziri wa sayansi na teknolojia ya china bw xu nanping anasema
zamani tulikuwa na njia nyingi tangu mwaka 2015 tuligeuza kuhimiza maendeleo endelevu kupitia uvumbuzi umoja wa mataifa umeitisha mikutano ya ngazi mbalimbali ya pande zenye maslahi katika uvumbuzi wa sayansi na teknolojia kuhimiza maendeleo endelevu kupitia uvumbuzi na sasa yamekuwa maoni ya pamoja
katika miaka ya hivi karibuni china imetoa kipaumbele katika uvumbuzi wa sayansi na teknolojia mkutano mkuu wa 19 wa chama cha kikomunisti cha china ulitoa mawazo kwamba uvumbuzi ni injini kuu ya maendeleo bw xu anasema
je kwa nini sayansi na teknolojia ni muhimu sana nchini china kwa kweli hali hii inatokana na fikra ya jumla kuhusu maendeleo ya uchumi na jamii serikali inaunga mkono uvumbuzi kwa nguvu kubwa kwani uvumbuzi ni sehemu muhimu ya maendeleo ya china tunapaswa kutoa kipaumbele katika uvumbuzi na kuuchukulia kama injini kuu ya maendeleo yetu
bw xu pia amesisitiza kuwa uzoefu wa zamani umetutahadharisha kuwa kuzingatia tu kasi ya maendeleo ya uchumi kunaweza kuleta matatizo mbalimbali ya kijamii na kimazingira kuhakikisha uwiano wa maendeleo ya uchumi na jamii ni mabadiliko makubwa zaidi ya itikadi kwa serikali ya china katika miaka ya hivi karibuni kwa kufuata moyo wa kujenga jumuiya yenye hatma ya pamoja china inatilia maanani zaidi maendeleo endelevu na hili pia ni jukumu la pamoja la binadamu anasema
suala la uwiano wa kasi ya maendeleo na mazingira pia ni suala linalofuatiliwa zaidi na watu na kupaswa kutatuliwa kwa njia mwafaka katika miaka ya hivi karibuni tunajitahidi kupunguza uwezo wa uzalishaji ambao unasababisha uchafuzi wa mazingira hili ni jukumu letu kwa watu wa china na watu wa dunia nzima kuhusu shughuli hizo naona china inapaswa kushirikiana na idara husika za umoja wa mataifa ili kutekeleza vizuri zaidi mawazo ya maendeleo na kuratibu maendeleo ya uchumi na jamii | 2019-02-19T07:51:07 | http://swahili.cri.cn/141/2018/11/28/1s180563.htm |
jk akutana na mchezaji samuel eto'o jijini dar leo habari na matukio
home habari habari na matukio habari picha kitaifa michezo jk akutana na mchezaji samuel eto'o jijini dar leo
jk akutana na mchezaji samuel eto'o jijini dar leo
kajunason at october 13 2018 habari habari na matukio habari picha kitaifa michezo
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akisalimiana na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya cameroon na vilabu vya barcelona chelsie na intermilan ambaye sasa anakipiga katika klabu ya fc qatar samuel eto'o aliyemtembelea leo ofisini kwake masaki jijini dar es salaam
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akiwa katika mazungumzo na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya cameroon na vilabu vya barcelona chelsie na intermilan ambaye sasa anakipiga katika klabu ya fc qatar samuel eto'o aliyemtembelea leo ofisini kwake masaki jijini dar es salaam
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akipokea jezi yenye jina la mchezaji huyo ambaye pia ni balozi wa bia ya castle lager samuel eto'o aliyemtembelea leo ofisini kwake masaki jijini dar es salaam
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akipeana mkono na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya cameroon na vilabu vya barcelona chelsie na intermilan ambaye sasa anakipiga katika klabu ya fc qatar samuel eto'o aliyemtembelea leo ofisini kwake masaki jijini dar es salaam
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya cameroon na vilabu vya barcelona chelsie na intermilan ambaye sasa anakipiga katika klabu ya fc qatar samuel eto'o (kulia kwake) na balozi wa bia ya castle lager hapa nchini ivo mapunda (kushoto kwake) pamoja na ujumbe walioambatana nao
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akiagana na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya cameroon na vilabu vya barcelona chelsie na intermilan ambaye sasa anakipiga katika klabu ya fc qatar samuel eto'o aliyemtembelea leo ofisini kwake masaki jijini dar es salaam
rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt jakaya mrisho kikwete akimtambulisha msanii dokii kwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya cameroon na vilabu vya barcelona chelsie na intermilan ambaye sasa anakipiga katika klabu ya fc qatar samuel eto'o aliyemtembelea leo ofisini kwake masaki jijini dar es salaam
habari habari na matukio habari picha kitaifa michezo
habari habari na matukio habari picha kitaifa michezo | 2019-06-18T03:05:30 | https://www.kajunason.com/2018/10/jk-akutana-na-mchezaji-samuel-etoo.html |
arnie gizzle usiulizee ebony fm inabang niaje
usiulizee ebony fm inabang niaje
hapa ni baadhi ya ebony fm crew wakibadilishana ideas za hapa na pale mwana bonge la radio station frm iringa town the leading radio station in southern highland usiulizee unabashaaaaaaaaaaaaaaaa just feel the difference
hili si ndo ndinga lao daaaaaaaaaaaah (ob van) kokote pale wapiga mzigo mwanzo mwisho na watu wanakubali ukifika iringa town huna haja ya kuuliza burudani kuanzia malive band disco n clubs yaani ni full entrtainment mwanzo mwisho
wanatishaaaaaaaaaaaaaaaa unabishaaaaaaaaaaaaaa
posted by anold g nyambelwa at tuesday march 16 2010
mandhari ya tanzania tuitangaze kimataifa kupitia video crazy gk
sister farida wa radio uhuru atunae tena
tid wa kwanza kujitoa tunzo za kili 2010
my homie welcome 2 da hood
vuja jasho ya dr o on air
unawasoma pretty boyz wanavyo bang town
about jml da big bank mail man
this friday on 2po pa1 ya ttv with arnie g
sam tibba the general alipopiga tour mt kilimanj
yakuzza mob big time in this game
week end yangu ilianza hivi j'mos
modeling industry in bongo
the hiphop & freestyle icon in town
a night in film
barley tupo pah more jah
welcome 2 our office daaaaah
vote or 4 vanessa mdee
pipi on the show 2daywith arnie gizzle
pendo wa madee hatunaye tena duniani
preety boyz watimba kwa kishindo kwenye game
pipii asema ni mwendo wa video mwanzo mwisho
tippo zizzou hakana kutimua wasanii wake
obama hayuko mbali kwenye wezere | 2018-02-21T09:30:01 | http://arniegizzle.blogspot.com/2010/03/usiulizee-ebony-fm-inabang-niaje.html |
unaifuata kazi ya sasa ya mungu | injili ya kushuka kwa ufalme
1 kama huwezi kuifuata nuru ya leo basi umbali umefunguka katika uhusiano wako na munguhuenda hata ukawa umevunjwana huna maisha ya kiroho ya kawaida uhusiano wa kawaida na mungu hujengwa juu ya msingi wa kukubali maneno ya mungu leo je una maisha ya kiroho ya kawaida je una uhusiano wa kawaida na mungu wewe ni mtu anayeifuata kazi ya roho mtakatifu
2 kama unaweza kufuata nuru ya roho mtakatifu leo na unaweza kufahamu mapenzi ya mungu ndani ya maneno yake na kuingia katika maneno haya basi wewe ni mtu ambaye hufuata mkondo wa roho mtakatifu kama hufuati mkondo wa roho mtakatifu basi wewe bila shaka ni mtu asiyefuatilia ukweli roho mtakatifu hana nafasi ya kufanya kazi ndani ya wale ambao hawana hamu ya kujiendeleza wenyewe na kutokana na hayo watu hao hawawezi kamwe kukusanya nguvu zao na kila mara wao huwa baridi
3 leo wewe hufuata mkondo wa roho mtakatifu wewe uko ndani ya mkondo wa roho mtakatifu je umeibuka kutoka kwa hali baridi wale wote ambao huamini katika maneno ya mungu ambao huchukulia kazi ya mungu kama msingi na hufuata nuru ya roho mtakatifu leowao wote wako ndani ya mkondo wa roho mtakatifu kama wewe huamini kwamba maneno ya mungu ni kweli na sahihi kwa dhahiri na kama wewe huamini maneno ya mungu bila kujali kile yeye husema basi wewe ni mtu ambaye hufuatilia kuingia katika kazi ya mungu na kwa njia hii utatimiza mapenzi ya mungu
iliyotangulia:mungu anafika kati yetu kwa kimya
inayofuata:binadamu wamekoma kuwa kile atakacho mungu | 2020-01-24T16:38:42 | https://sw.kingdomsalvation.org/follow-God-s-current-work-lyrics.html |
hekima za badi umeme waligawa baraza la mawaziri
umeme waligawa baraza la mawaziri
baraza la mawaziri katika moja ya vikao vyake chini ya rais jakaya mrisho kikwete ikulu jijini dar es salaam
wanyosheana vidole kumtafuta mchawi
kauli tofauti zinazotolewa na viongozi wa serikali akiwamo rais jakaya kikwete na baadhi ya mawaziri kuhusu suala la mgawo wa umeme zinaonyesha kutokuwapo uwajibikaji wa pamoja katika baraza la mawaziriuchambuzi uliofanywa na gazeti hili kuhusu sakata la tatizo sugu la mgawo wa umeme nchini unebaini kwamba kauli za viongozi hao wa serikali hawana sauti ya pamoja hivyo kuongeza utata katika kulipati ufumbuzi wa kudumu suala hilo nyeti
wengi wa wa walizungumzia sula hilo wamekuwa wakimnyoshea kidole waziri wa nishati na madini william ngeleja kuwa kiini cha tatizohata hivyo gazeti hili limebaini kuwa mgongano huo unatokana na makundi mawili yanayotarajia kushiriki mbio za urais 2015 ambayo kila moja limekuwa likijaribu kutafuta umaarufu kisiasa na kujijengea himaya kwa umma
suala la umeme
akiwa katika maonyesha ya sabasaba rais kikwete alimkingia kifua waziri wake wa nishati na madini william ngeleja kuhusu mgawo wa umeme akisema tatizo hilo limetokana na mvua na serikai haina namna ya kufanya
rais alifafanua kwamba hakuna miujiza ambayo serikali inaweza kufanya ili kumaliza tatizo hilo kwani mabwawa yanayotegemewa kuzalizsha umeme yamekaukakwa mujibu wa rais kikwete haikuwa sahihi kumtuhumu ngeleja kwa tatizo la ukame ambalo ni la mungu na si la serikali yakerais kikwete alirudia kauli hiyo alipokuwa nchini afrika kusini wakati akizungumza na idhaa ya kiswahili ya shirika la utangazaji la uingereza (bbc) kuhusu tatizo la umeme nchini
kauli ya pinda
hata hivyo kauli hiyo ya rais imeonekana kupishana na ile iliyotolewa bungeni na waziri mkuu mizengo pinda wakati akijibu swali la kiongozi wa upinzani bungeni freeman mbowe aliyehoji kwa nini serikali isikubali ushauri wa kuunda kikosi kazi kwa ajili ya kushughulikia tatizo la umeme
tofauti na maelezo ya rais pinda alisema haoni umuhimu wa kufikia hatua hiyo kwa vile serikali haijashindwa kutatua tatizo la umemetatizo letu ni hii mipango ya dharura lakini kuhusu mipango ya muda mrefu ya kumaliza tatizo la umeme serikali haijashindwa naomba mheshimiwa mbowe ipe serikali muda inaweza kulitatua tatizo hilo alisema
naye waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki samwel sitta akiwa mkoani mbeya aliweka bayana kwamba tatizo la umeme linatokana na uzembe serikalini
sitta alisema tatizo la mgawo wa umeme nchini limetokana pamoja na mambo mengine ikwiamo serikali kutojipanga vizuri kuwekeza katika nishati ya umemesitta alisema yapo maeneo mengi ya msingi ya kimkakati ikiwemo maporomoko ya maji ya stigler's ambayo hayajapewa kipaumbelewaziri sitta aliweka bayana kwamba miaka ya nyuma wakati wa serikali ya mwalimu nyerere mradi huo wa stigler's haukuwa umepewa uzito kwa sababu ya mahitaji madogo lakini sasa mahitaji ni makubwa
alienda mbali akisema tatizo la umeme siyo ukame kama inavyoelezwa bali ni mikataba ya kifisadi na uzembe hivyo kusisitiza kuwa wote waliofikisha nchi ilipo kupitia mikataba hiyo washitakiwe
waziri ngeleja
waziri ngeleja alipopewa shinikizo la kujiuzulu baada ya bajeti yake kukataliwa alisema kwamba hawezi kufanya hivyo kwa kuwa umeme sio tatizo lake pekee bali serikali nzima ya awamu ya nnengeleja alisisitiza kuwa kama ni suala la kuwajibika basi serikali nzima inapaswa kufanya hivyo na sio yeye peke yakengeleja alijitetea kwamba tatizo kubwa linalosumbua katika suala la umeme ni bajeti finyu ya serikali
kwa upande wake waziri wa fedha na uchumi mustafa mkulo alipinga kauli ya ngeleja akisema a ipo miradi mingi ambayo waziri huyo wa nishati na madini angeweza kuibua kupitia wizara yake kwa ajili ya kumaliza tatizo la umeme
mkulo alisema wapo wawekezaji wengi wakiwemo kutoka china ambao wako tayari kuwekeza nchini bila kuhitaji hata shilingi moja ya serikali ambao ngeleja angeweza kuwatumia lakini hakufanya hivyo
alitoa mfano kuwa walipotembelea china hivi karibuni walikutana na baadhi ya wawekeza ambao walisema wako tayari kuja nchini kuwekeza katika sekta ya umeme bila kudia chochote kutoka serikali ya tanzania na kwamba ngeleja analijua hilo
kashfa ya rada
mbali ya umeme pia mawaziri wa rais kikwete wameonyesha kupingana kauli katika mambo muhimu kwa taifa likiwamo sakata la ununuzi rada
kwa muda mrefu viongozi serikali wamekuwa wakieleza kuwa hakuna mtu anayehusishwa na kashfa hiyo nchini lakini wiki iliyopita waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bernard membe aliweka bayana kuwa watuhumiwa wa sakata hilo nchini wapo
membe alisema mwishoni wakati akifanya majumuisho ya hoja ya bajeti ya wizara yake kwamba hana mamlaka ya kuwataja watuhumiwa wa rada lakini wapokwa mujibu wa membe mamlaka ya kutaja watuhumiwa yako chini ya waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora (mathias chikawe)
majibu ya chikawe
wakati membe akimtupia zigo hilo chikawe alijibu akisema hakuna mashitaka yeyote dhidi ya mbunge huyo wa bariadi magharibikwa mujibu wa chikawe hakuna ushahidi wowote unaonyesha kwamba chenge ana kesi ya kujibu
kuhusu sakata la rada sitta na naibu waziri dk harrison mwakyembe pia walishawahi kuingia kwenye malumbano na waziri chikawe kuhusu malipo ya sh 94 za tuzo ya kampuni ya dowans kabla ya suala hilo kupelekwa mahakamani
katika sakata hilo chikawe ambaye pia alionekana kuikingia kifua dowans aliwataka mawaziri hao ( sitta na mwakyembe) kuacha kuzungumza mambo nje ya vikao vya baraza la mawaziri
hata hivyo sitta alijibu kwamba hakuna mtu ambaye angeweza kumfunga mdomo katika sakata hilo kwani msimamo wake ilikuwa ni kupinga malipo hayo ya dowans
habari hii kwa hisani ya gazeti la mwannchi
posted by amani bila ya heshima na kipato ni kazi bure at wednesday july 27 2011 | 2019-02-23T06:49:05 | http://darusi2008.blogspot.com/2011/07/umeme-waligawa-baraza-la-mawaziri.html |
utakapojua hujui ndipo utakapojua tuwanyonge viongozi wa umma
tuwanyonge viongozi wa umma
baada ya kukithiri kwa ufisadi serikalini wananchi wengi wamekuwa wanahoji tufanye nini nadhani huu ni wakati mwafaka tuanze kujadili majibu ya swali hili pendekezo langu la kwanza ni hili hapa linaendelezwa hapa
posted by ansbert ngurumo at 416 pm
maoni yangu nimetoa kwenye stori
tuanze na list of shame ya dk slaa
wakati umefika hawa jamaa waondoke kama hawataki kuondoka kwa hiari tuna uwezo wa kutumia nguvu ya umma au chochote kinachoweza kutusaidia waondoke hawana faida kwa taifa ni hasara tupu
tuanze na rais akishaondoka huyo wengine watafuata mkondo wa maji yeye ndiye kigingi kinacholinda mafisadi wasishughulikiwe katina inampa rais madaraka mkubwa lakini hana uwezo wa kuyatumia kuondoa uozo kwenye serikali yake
kikwete anawalinda mafisadi wenzie sasa sisi wananchi tunaoteseka tuna jia nyingi tunazowezakuzitumia kuhakikisha kuwa hawa mafisadi wanawajibikka moja ni hii wananchi walioitumia ya kuwazomea viongozi mafisadi popote watakapoonekana kwenye hadhara hii ni mbinu effective sana na iliwakosesha raha sana viongozi wa ccm kuwazomea kutaonesha kwamba hatukubaliani nao na hivyo itawalazimu kuachia ngazi na hii isibague hata jakaya azomewe kwani yeye ndio mhimili wa hawa mafisadi baadae ikishindikana kuwanyonga is another good option kwani vitendo vyao vinawanyonga wananchi polepole' bottomline ni kwamba wote tutakufa
lazima aondoke huyo kikwete tunataka mbowe awe rais wetu kisha ikulu uhamie bilicanas na waliotaka kusomea upadre na kuacha wawe mawaziri
wewe mchangiaji uliyepita una mawazo mafu maana si ya kitoto hata watoto wangekuwa na la kuandika lenye kuonyesha umakini wao watu wengine kumbe mmelaaniwa ndiyo maana hatuendelei hoja ya ngurumo imesimama imara hata mkicheza ngoma za kitoto mjue tu kuwa hazikishibora hayo uliyosema ungemwambia salva rweyemamu mkurugenzi wa mawasiliano ikulu ujinga mtupu ngurumo usife oyo endelea kuwatwanga vibaka hawa umma wa watanzania uko nyuma yako
ngurumo hao wachangiaje wenye makengeza ya akili wasikuzuie kufanya vitu vyako tuko nyuma yako
mwarobaini said
ni kwa kuelezana ukweli tu ndiyo nchi yetu inaweza kunusurika na ulaji uliyokithiri
watanzania waache kulalamika vijiweni sasa umefika wakati wa kutumia kura kuadabisha vyama ambavyo vinaendekeza ulaji
unaota kwelihivi nnjii hii apewe mchaga itakuwa nchi makabila maarufu kushika uongozi bongo ni hadithi
obama apanda clinton ashuka
spichi 'tamu' ya raila odinga
intelligence officer in media attack scam in tanza
mugabe kama kibaki | 2018-03-20T19:28:09 | http://ngurumo.blogspot.com/2008/04/tuwanyonge-viongozi-wa-umma.html |
rais museveni awania tena uongozi nchini uganda
matukio afrika rais museveni awania tena uongozi nchini uganda agosti 06 2015
rais wa uganda yoweri museveni akikagua gwaride alipowasili bungeni kuhutubia kuhusu hali ya kitaifa katika mji mkuu kampala juni 4 2015
hivi karibuni katika makao makuu ya chama tawala cha nrm nchini uganda kulifurika wafuasi ambao walikuwa wakimsubiri kwa hamu kubwa rais yoweri museveni aliwasili nyakati za mchana bwana museveni alilakiwa na umati mkubwa na kuchukua fomu na kuthibitisha rasmi azma yake ya kupeperusha tena bendera ya urais kupitia nrm
bwana museveni anawania awamu ya tano ya uongozi anasema ilikuwa ni uamuzi ambao yeye na wanachama waasisi wa nrm waliufanya pamoja bwana museveni ni mgombea pekee ndani ya chama cha nrm
kinyang'anyiro cha urais uganda
//wwwvoaswahilicom/a/musevenimbabaziugandauraisbukenya/2904100html
hiyo ni kwasababu mpinzani wake amama mbabazi ameamua kuwania urais kama mgombea huru mbabazi amesema kwamba wakati bado ni mwanachama wa nrm chama kinahitaji kujiangalia tena chenyewe akikishutumu kuingilia kati ugombea wake
uamuzi wa bwana museveni kuwania tena unakuja katikati ya matamshi ya karibuni ya rais wa marekani barack obama kwa umoja wa afrika kuwa hakuna mtu anatakiwa awe rais wa maisha makamu rais wa zamani wa uganda gilbert bukenya anakubaliana na hilo akisema bwana museveni ni vyema afahamu hilo
lazima ajue matokeo lazima afahamu kwamba hatuwezi kuruhusu udikteta lazima afahamu kwamba watu wamechoshwa na kiongozi wa muda mrefu ambaye alikuwa akiwaeleza wengine kwamba wamekuwepo kwa muda mrefu wakati ambapo hawakukaa kwa zaidi ya miaka 10 anaelezea bukenya
hata hivyo pongezi nyingi zinakwenda kwa uongozi wa bwana museveni kwa kuleta uthabiti na ukuaji wa uchumi mfuasi wa muda mrefu na msaidizi wa naibu rais duncan abigaba anaelezea kwanini
watu wanampongeza kwa kuleta amani na usalama kwasababu hakuna hata wakati mmoja katika nchi hii katika historia ya nchi ambapo kulikuwa na amani kwahiyo watu hivi sasa hawana wasi wasi wanasema ndiyo hatuna fedha mifukoni lakini museveni ametuletea amani na ninaweza kuitumia amani ninavyotaka kwahiyo museveni ni vyema abakie anasema abigaba
wakati kinyanganyiro cha kuwania urais cha museveni kiko wazi mbabazi bado kuna giza kuna uvumi kwamba atajiunga hapo baadaye na democratic alliance ushirika wa vyama vya siasa vya upinzani ushirika nao unasema wako wazi kumpokea mbabazi ingawaje mitaani bado ana kazi kubwa ya kufanya kuweza kuibeba bendera ya democratic aliance | 2017-02-22T03:59:44 | http://www.voaswahili.com/a/museveni-mbabazi-uganda-urais-bukenya/2904000.html |
kifaru mweusi mkongwe zaidi afariki nchini tanzania taifa leo
na mashirika na charles wasonga
kifaru anayesadikiwa kuwa mkongwe zaidi duniani alikufa nchini tanzania akiwa na umri wa miaka 57
fausta ambaye ni kifaru mweusi wa kike alionekana kwa mara ya kwanza katika eneo la ngorongoro crater mnamo 1965 akiwa mwenye umri wa miaka mitatu
aliishi hapo kwa muda wa miaka 54 lakini baada ya matatizo ya kiafya na ukongwe ulisababisha kuhamishwa kwake hadi katika hifadhi fulani ambako amekuwa akipokea utunzi maalumu
fausta hakujaaliwa uwezo wa kupata watoto hali ambayo ilichangia wataalamu wa utunzaji wanyamapori katika eneo la ngorongoro kukisia ndiyo ilisababisha kuishi kwake kwa miaka mingi
mnamo mwaka wa 2016 kifaru huyo alianza kupoteza uwezo wa kuona kando na kuuguza majeraha aliyopata baada ya kushambuliwa na fisi
wanyamapori kama vile chui walianza kumshambulia na ndipo akapata vidonda vingi kamishna dkt freddy manongi kutoka mamlaka ya hifadhi eneo la ngorongoro (ncaa) aliambia wanahabari
kufikia mwaka wa 2016 ilitubidi kumwondoa msituni na kumweka chini ya utunzaji maalum akaongeza
dkt manongi aliongeza kuwa siku ambayo fausta alifariki kifaru mwingine alizaliwa yaani mnamo desemba 27 2019
kwa kawaida vifaru huishi katika mazingira ya msituni kwa kati ya miaka 37 na 43 au hadi miaka 50 wakiwa wakifungiwa
vifaru weusi wanasemekana kukabiliwa na hatari ya kuangamia idadi yao inapungua kwa sababu huuawa na wawindaji haramu wakitaka kuuza pembe zao
kenya yaipongeza uchina kuendeleza marufuku ya pembe za kifaru
shinikizo zaisukuma uchina kuendeleza marufuku ya pembe za vifaru | 2020-02-19T14:03:31 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=43789 |
cars online michezo
pimp viper my
pimp gari yangu
watoto coloring ya gari
cars mater kuwaokoa
vimumunyishaji magari
kucheza michezo mikokoteni online kisha kutumbukiza mwenyewe katika ulimwengu wa kasi na uhuru pamoja na wahusika cartoon kupita misheni kushiriki katika mashindano na kushinda
mada ya michezo ni aidha kuvutia au hapana mtazamo huu ni pamoja na wale ambao alicheza katika mengi ya michezo hakika mara nyingi hutokea kwamba mchezo ama haina njama kama vile au ni rena rasmi kwa mfano michezo yote juu ya cartoon cars kuwa karibu hakuna uhusiano wa eneo filamu hapa ni kuchukuliwa ishara rena nje ya wahusika lakini tukio hilo hana vipasavyo cartoon kama utawala kucheza magari unaweza mbio katika banal na gari yoyote katika nyekundu na default kuchukuliwa makvinom hivyo mchezaji ni kuangalia kwa jambo moja na inapata kughushi halisi baada ya mchezo kucheza magari itavutia ni humanized picha za magari na mchezaji badala ya mbio banal kuingizwa tu jina lake baada ya shujaa lakini mbinu hii huleta faida fulani baada ya yote kwa mashabiki wa katuni ya watoto ni muhimu sana hata basi kwamba mchezo ni jina lake baada ya tabia zao favorite basi ni kwamba kama ilivyotarajiwa lakini ni jina lake baada ya makvina ambayo ina maana kwamba itakuwa kucheza zaidi ya magari michezo puzzles kuongeza online ya kila aina iwezekanavyo idadi kama hiyo ya puzzles na kwa makvinom na kampuni itakuwa na uwezo wa kupata maeneo machache ni kwamba harry potter anaweza kusema katika ghana hii na mikokoteni wakati utofauti licha ya watazamaji watoto cartoon ni kubwa sana kuna unpretentious na kucheza kwa wanandoa wa safu na kuna puzzles kubwa ni kubwa kuliko ukubwa wa screen ya kompyuta yote inategemea si tu juu ya mchezaji ujuzi lakini pia katika umri wake baada ya yote watoto ni wakati mwingine si uwezo si sumu hoja zao za anga kufikia mfumo huo wa kimataifa wa mahusiano kama puzzle kubwa kwa hiyo kucheza mchezo unaweza mikokoteni na watu wazima baada ya makvin na marafiki walijenga wahusika pretty humanized hivyo puzzles na stack picha zao nzuri kwa kila mtu na mbio akishirikiana na wahusika haya ni sehemu ya michezo hii mara kwa mara racing hivyo kufurahia si tu mashabiki wa cartoon tunaweza kusema kwamba kucheza mikokoteni online kuruhusu kila mtu ingawa kwa muda mrefu kuongeza puzzle katika njia zote za shida unahitaji kutumia online kwa masaa hivyo una nafasi sisi wamekusanyika michezo yote juu ya mada hii hapa hasa juu ya ukurasa huu wa tovuti yetu hapa unaweza kucheza online kwa ajili ya magari ya bure na hakuna usajili na usumbufu mwingine kufungua uhusiano wowote na mchezo wa hapa na wewe ni racing juu ya gari anasa nyekundu juu ya barabara au kufuatilia mashindano au kupata pamoja na marafiki kuongeza juu puzzle kubwa na makvinom mtoto wako favorite | 2019-12-07T12:45:16 | http://sw.itsmygame.org/cars-game_tag.html |
swahili na waswahilipamoja daima
muendelee na jumapili vyemaburudaniangela chibalonza yahwe uhimidiwe na nyinginena siku kama ya leo bibi na bwana isaac walifunga ndoa [happy anniversary] siku kama ya leo bibi na bwana isaac[isaacrachel]tuliungana na kuwa mwili mmoja[tulifunga ndoa]
tuna mshukuru sana mungu katika yote na tunazidi kujiachilia mikononi mwakesi kwa uwezo wetu wala akili zetuni mapenzi yake/kwa neema tuu
wapendwa natumaini jumapili inandelea/ilikuwa njemamungu azidi kuwabarikikuwainuakuwalindakuwaponyakuwatendeakuwafarijikuwapa amanikuwapa furahakuwaunganisha na kuwafunulia
ndipo samweli akatwaa jiwena kulisimamisha kati ya mispa na sheni akaliita jina lake ebenezeriakisema hata sasa bwana ametusaidia
neno la leo1swamweli7117
hivyo wafilisti walishindwawasiingie tena ndani ya mipaka ya israeli na mkono wa bwana ulikuwa juu ya wafiristi siku zote za samweli
swahili na waswahili mbarikiwe wote
natumaini jumapili inaendelea vyemaburudaniswahilli worship songs
wapendwanatumaini jumapili inaendelea vyemaiwe yenye imanitumainibarakafuraha na amani
na wale waliotumwa waliporudi nyumbaniwakamkuta yule mtumwa ni mzima
neno la leoluka mtakatifu7110
alipokwisha kuyamaliza maneno yake yote masikioni mwa watualiingia kapernaumu
swahili na waswahilimbarikiwe wote
wapendwa/waungwanasiku kama ya leo 1998
familia ya isaacmungu alitubariki/kutujaalia mtoto wa kikesandraneemaumekuwa na endelea kuwa baraka kwetu
tunamshukuru sana mungu kwa baraka hii na tunazidi kumtukuza katika yotetunayaweka maisha ya sandraneema mikononi mwake mungu
azidi kukua kiroho/kiimanikimaadilikimokimaarifa
azidi kuwa baraka kwetu sisi wazazi nawalezindugujamaamarafikimajiraniwakubwa kwa watoto na jamii nzima
shukrani sana kwa wote tunaoshirikiana katika malezimaombi/sala/dua na katika yote yanayochangia maisha ya binti yetumungu baba azidi kuwabariki na kuwaonngezea kila lililo jema
hongera sana da'sandraneema katika siku yako hii muhimu
hongera kwa kumaliza vyema gcse's na tunakitakia kila la heri katika alevels[sixth form]
ukawe kichwa na si mkiatunakupenda sana na tunakuunga mkono katika safari yako njema ya maishamungu ndiyo kila kitu katika maisha yakoubarikiwe mno
happy birthday sandra[sendondole]wakomamababamdogo wakotraceysarah[isaac family]
mungu wetu ni mwema sana
swahili na waswahili rachel siwa ninawapenda wote
kati ya juni 25 na julai 6 jiji la washington dc lilikuwa mwenyeji wa maonyesho ya kila mwaka ya yanayohusu maisha a watu na jamii mbalimbali
mwaka huu nchi ya kenya ilishirikishwa wakionyesha utamaduni wao na changamoto za kuzidumisha katika zama hizi za sayansi na teknolojia
kwanza production ilipata fursa ya kutembelea maonyesho hayo na kuzungumza na baadhi ya washiriki wa maonyesho hayo ambapo walieleza mengi ya kufurahisha
zaidi ya washiriki 100 kutoka nchini kenya walikuja hapa jijini kuonyesha mambo mbalimbali kama kutengeneza vyungu kwa ufinyanzi uchongaji vinyago mapambo ya shanga useremala nakshi za majengo ujenzi wa majahazi mapishi muziki na mengine yanayotunza utamaduni wa nchi hiyo
maelezo ya ujenzi na sehemu za jahazi (dhow) toka kwa ali skanda aliyetoka lamu kenya
na mtangazaji mkongwe abdushakur aboud mbele ya jahazi lililoletwa kwenye makumbusho ya hapa washington dc kutoka lamu nchini kenya
mtaalamu wa mapambo yatokanayo na shanga na usimamizi wa filamu nchini kenya emmah irungu
mwandishi wa habari kutoka kenya bmj mureithi
mahojiano
tumalizie jumapili hii na pastor donis and nnunu nkone singing with their children
wapendwanatumaini mungu anazidi kuwabariki na mnaendelea vyema na jumapili hii
iwe njemayenye heribarakaneematumainiutuwemafadhilishukrani na amani
neno la leotumsikilize pastor donis na familia yake
shukrani sana na mungu azidi kuwabarikidonisandnnunu nkoneswahili na waswahilimbarikiwe wote
tuendelee na jumapili hii vyemaburudanifuraha choir london tuimbe wimbo (muda tutakwenda nyumbani)na nyingine
wapendwa natumaini jumapili hii inaendelea vyemaiwe yenye amanibarakafurahaupendofadhili shukranutukufu tumrudishie mungumkimshukuru babaaliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuruneno la leowakolosai1129nae alituokoa katika nguvu za gizaakatuhamisha na kutuingiza katika uflame wa mwana wa pendo lale
cite summer conference 2014
hi i'm rachel siwa and i'am bloggerphotographerevent planner http//swahilinawaswahiliblogspotcouk/kama kuna lazaidi nitumie kupitia email rasca@hotmailcouk pamoja sana
maelfu ya watanzania wajitokeza kumzika kanumba jijini dar pata na [video]
safari ya mwisho ya mpendwa wetu kanumbasisi tulikupenda lakini mungu amekupenda zaidiulale kwa amani picha kwa masaada wa
wapendwa vipi watoto na kusogelea tvkumekuwa na dhana kwamba watoto hasa wa afrika wakikaa karibu sana na tv wanaonekana/kuwaita washamba
wapendwaumeshawahi kukutana na baadhi ya wanawake wenye mimba za vituko wengine hawapendi kuogakuchana/kusuka nywele yaani hawajipe
siku kama ya leo dada nadia nyembo alizaliwa
siku kama ya leo familia ya bibi na bwana nyembo fundikira walipata mtoto wa kike na wakamwita nadialeo dada nadia ametimiza miaka 2
kamanda kova afichua siri ya mabenki kuvamiwa asemadharau za wamiliki wa benki ndio tatizosoma zaidi hapa
[image http//3bpblogspotcom/hegkr3beahu/u85uqutheei/aaaaaaaf4sg/nnqgo7t4kh0/s1600/3jpg]kamishina wa polisi kanda maalum ya daresalaam suleimani kova
obama planning to give 'millions of illegal immigrants work permits and save them from deportation
president obama said late last month that he would act
jamhuri ya dominica yateketeza silaha
jamhuri ya watu dominica imeteketeza silaha za moto zaidi ya laki mbili
was your ramadan accepted ~ sheikh said rageah
vitabu nitakavyoonesha katika tamasha la afrifest agosti 2
kila mwaka wakati wa tamasha afrifest ninakuwa na meza ambapo naonesha vitabu vyangu na machapisho mengine meza ya vitabu huwavuta watu waje hapo kwa kawa
maoni juu ya mpinga kristo atakavyokuwa
wokovu wa baadaye wa israel kweli kuu kukubalika kwa kristo kama masihi kutaleta matokeo ya kupandikizwa tena mstari wa kukumbuka na hao pia wasipokaa
shukrani za dhati kwa bi zainab wa said kwa chakula ki tamu
eid mubarak kwa wadau wote wa mtaa kwa mtaa blog
napenda kuwapa mkono wa eid el fitr wadau wote wa libeneke la mtaa kwa mtaa blog popote pale walipo duniani
eidmubarak li
unaona nilikwambia mume wangu zuzu
jamaa kaingia ghafla chumbani kwake akamkuta mkewe kajifunika mashuka na mwanaume mwingine
*jamaa* mke wangu mimi hiki sasa unafanya nini na huyu mwanaume
kilimanjaro band yawatakia idd njema
*siku ya idd mambo salender kama kawaida kuanzia saa nne usiku* 7 hours ago
official statement team libe for dmv community president 2014 suspends campaigns for eid celebration
*to respect muslim and eid celebration we team libe for dmv community president 2014 have suspended our campaign today monday july 28 2014 until july
unahitaji wristbands
nyinginezo jiachie chagua enjoy pinterest stylebiashara mitumba mitumba mitumba ya jumlabiasharaa perfum zinauzwaaaperfume zinauzwaa lamos beaut
choko choko za ajira kindugu zazua balaa wizara ya mambo ya ndani
rais kikwete akutana na mkurugenzi mkuu wa shirika la nguvu za atomiki amjulia hali jaji lewis makame
*[image d92a2407]*
*rais dktjakaya mrisho kikwete akimkaribisha mkurugenzi mkuu wa shirika la kimataifa la nguvu za atomiki(iaea) dktyukiya amano
muhimu kwa kukumbushana nia kubwa ya funga ilikuwa kutujenga imani zetu
news alert baada ya kuonekana kupeana nafasi kindugu sasa serikali yasitisha ajira mpya katika idara ya uhamiaji
mimi hapa
muke ya slay
nawapenda mnooooooo
wabunge wetu wadaiwa kupigana huko malaysiakisa binti na kusutana whatsapp
vurugu bungeni (picha haihusiani na habari hii)
*dar/dodoma* wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania wanadaiwa kupigana huko malaysia baada ya
katika pitapita zangu kama kawaida nikakutana na hii baada ya kusoma nikaona si mbaya kama nikiiweka hapa maana tusinyimane elimu na mafunzo katika maisha
tribal marks at what point does it go from culture to child abuse
*when we look at this pic there's nothing traditionally or culturally wrong with it tribal marking has been happening for centuries and it's accepted b
hii ilitokea laivu
soldiers deployed in dabanga northern cameroon as part of a reinforcement of military forces against nigerian islamist group boko haram yaounde (reuter
longo longo za wasanii wa kibongokumbe ney wa mitego hana nyumba 3 kama alivyotamba
*miezi miwili iliyopita msanii ney wa mitego alianika utajiri wa ajabu zikiwemo nyumba nne na gari moja ya kisasa nissan murano akichezesha taya na mwan
magazeti ya leo jumatatu julai 282014
bofya hapa kusoma magazeti mengine pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https//wwwfacebookcom/pages/pamojapure
tukumbushanemarehemu mandela enzi za uhai wake akipokea buti alizoziacha nyumbani kwa marehemu swai nsilo
tafca mbeya wachaguana kujaza mapengo
mbeya tanzania chama cha makocha mkoani mbeya (tafca)kimepata uomgozi mpya kwa kuwachangua katibu mkuu wa chama hicho na viongozi wengine wanne kwa nia ya
muendelee na jumapili vyemaburudaniangela chibalonza yahwe uhimidiwe na nyinginena siku kama ya leo bibi na bwana isaac walifunga ndoa [happy anniversary]
*siku kama ya leo bibi na bwana isaac[isaacrachel]tuliungana na kuwa mwili mmoja[tulifunga ndoa]tuna mshukuru sana mungu katika yote na tunazidi kuj
assalamu 'alaykum wa rahmatullaah wa barakaatuh
jumatatu inshaaallah ni tarehe 1 shawwaal 1435h (28 july 2014) na ndio siku kuu yetu ya iydulfitwr
shamo tower ndio mahali pa kuwepo sikukuu hii
kutoka lukwangule blog
msanii wa injili bahati bukuku (40) ni miongoni mwa majeruhi watatu wa ajali ya gari iliyotokea iliyotokea leo katika barab
mambo ya alikiba na diamond
*na sifael paul*
hatimaye kwa mara ya kwanza staa the big name wa bongo fleva ndani na nje ya bongo ali saleh kiba ameibuka na kumlipua hasimu wake na
nyakaho's kitchen party
*bride nyakaho kissike*
*event kitchen party*
*venue jk hall lamada*
*color**
mashauzi classic kuzindua albam mpya idd mosi
*kikundi cha taarab cha mashauzi classic chini ya uongozi wake isha mashauzi siku ya idd mosi kitafanya onyesho la uzinduzi wa albamu yake mpya ya
busta rhymes ajiondoa ymcmb aeleza sababu za kutoka kwake
[image video busta rhymes ajiondoa ymcmb aeleza sababu] busta rhymes ametangaza kujiweka kando la label ya ymcmb baada ya kufanya nao kazi kwa kipindi
abba kundi la muziki toka sweden lililowahi kutingisha dunia
mbele toka kushotoagnetha na annifrida nyuma bjorn na benny kundi la abba lilianza mwaka 1972 na lilikuwa ni la vijana wanne wa kiswidi agnetha fältsko
tunapenda kuwatangazia kua kua makabati ya mdf kwa ajili ya maduka ya nguo yanauzwabei nzuri mjo na yako piece 7 yanahitaji finnishing tuuwasilia
maimartha amsuta mtu kwa keki shampeni na sare ya madira sikiliza kisa hapa
wenyewe wamesema kuwa namna waliyoifanya wamemsuta mtu kitechnology mpya kutokana na namna yao mpyaunaweza kudhani ni filamu lakini maimartha ameamua ku
[image http//blacklikemoicom/wpcontent/uploads/2013/08/14/blackwomenfriends640x325jpeg]
*ukichekewa na mashosti wake kama hivi basi ujue umelamba
diamond // davido // iyanya // t pain // 2face // flevour na wengine kutumbuiza jumamosi hii afrimma awards
ujumbe mzuri sananaupenda sana
i feel so blessed knowing that i am blessed with loving friends who make it a point on day like this to remind me th
mitindo africaabroad/ng'ambo[vitenge na michanganyo]ethical fashion initiative /africamalaysia international fashion show 2014
thanksafricamalaysia international fashion showand pulsemediafashion's channel
watoto wetu leomovie ya leolifesize (2000) full movie [family fun day 02/08/14]
*wazazi/walezi na watoto wangu wapendwanimatumaini yangu wote mnaendelea vyema*
*kwa wale wanaofunga poleni na swaum[ramadhani njema]watoto hapa uk /n
''ingekuwa vipi'' mwanafa (revisited and rereleased)
[image ingekuwa vipirevisited and rereleased]
ingekuwa vipirevisited and rereleased
mwanafa [real name hamis mwinjuma] is without a doubt one of the
mwanamke uwe na kifua
mwanamke lazima uwe na kifua kifua cha kuweka kutunza mambo yako ya ndani na mambo ya familia yako kifua cha kuweza kuchambua kipi cha kutunza kipi cha
mwaka huu
pishi la ndizi nyama staili ya mchemsho hapa nimetumia ndizi mzuzu
mahitaji nyama robo ndizi mzuzu mbichi 5 vitungu maji na swaumu giligilani vijani vichache rosemary vijani vichache bay vijani vichache chumvi olive oil ki
katika ibada kkkt kijitonyama
jumapili iliyopita tarehe 2907292014 kama ilivyo ada ya jumapili za mwisho wa mwezi usharikani kijitonyama huwa na ibada ya kusifu na kuabudu na maombe
buy and repair your dream car here (trading as real motor zambia repair workshop open)
*buy and repair your dream car (real and quality used cars from real motor japan_(wwwrealmotorjp/facebookrealmotorzambiabranch) at real motor zambia b
taarifa ya kisomo kuhusiana na msiba wa mtoto wa bwana rashid omari njenga(mwenyekiti msaafu wa jumuiya ya watanzania japan)bwana rashid omari njenga
jumuiya ya watanzania roma ambayo ndio ilichukua jukumu la kusimamia harusi hii inapenda kuwashukuru wale wote walioshiriki kwenye maandalizi ya harusi p
habari kamili *hapa*
harusi ya mbunge joshua nassari na anande nnko yafana
msafara wa gari chache majira ya saa 230 ulianza safari katika viwanja vya
everyone from any country is welcome for more visit https//wwwfacebookcom/pages/tanoladies/461997213867804
our lovely sunday
today was just a normal family day nothing special but because of our rear sunny weather here in finland its nice to go out and enjoy it whenever its a bi
siagi ya karanga katikati ya nanasi na beat root
mara nyingi watu hutumia siagi ya karanga (peanut butter) kwenye mkate au kama kionjo kwenye mboga ya majani leo nitakufundisha kutumia siagi ya karanga
may findpretty
happy springenjoy
have wonderful day and god bless everything you do check o
kipindi cha familia siku ya wanawake duniani
photo credits happyholidays2014comkaribu katika kipindi cha familia kutoka jamii production
kipindi hiki kilirushwa moja kwa moja (live) jumamosi machi 8
nani alisema
all 31 images via here
ni nani huyu aliyesema rangi za kazi za mikonofanicha au mapambo mengi ya kutoka afrika yawe na rangi ya kahaw
wacha movie iendeleeee
kwa mujibu wa wema on istagram kama picha na caption yake inavyosema kuwa ana expect hheheheh sisi tunasubiri tu movie iendelee lol
* rais dkt jakaya kiwete akiingia ritz calton hotel wakati alipowasili washington dc kwa kuendelea na ziara yake ya nchini marekani aliyoanzia kwenye m
african festival akarenga 2013
*my booth*
*my girls*
kwa wale ndugu jamaa na marafiki ambao mngependa kusoma chuo uingereza (uk) hasa coventry university mnaweza soma maelezo hayo hapo chininimeona si vibay
tamasha la wakongwe wa muziki wa injili tanzania
[image dscf1079]
samahani kwa hii pichakwa wengine kama kamala inaweza kuwa ishu
rangi ya hiko kibanda ni nyeupe kakini sasa ni rangi tofautizingati
kwa sababu ya upekee na
unaionaje dublin kupitia jicho langu
leo nimepata bahati ya kutembea kidogo katika jiji la dublin gari linalotumika kumwezesha mgeni kusafisha macho picha @bwaya majengo ya zamani y
sajuki aiga dunia
artist of the art of film and theater in tanzania juma kilowoko al maaruf
*sajuki* has died this morning at the muhimbili national hospita
kuelekea makalala
tuesday 06 december 2011 2031 [image http//wwwmwananchicotz/images/stories/mwananchilogojpg]siyo siri tena tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwan
the kangaroo court reopenable by virtue of misguided highcourt judge southwoods order 10 november 2010 order with the help of lindiwe sisulu who cowardly | 2014-07-29T04:36:29 | http://swahilinawaswahili.blogspot.com/ |
rais magufuli kuzindua baraza la taifa la biashara (tnbc) mei 6 2017 | mtaa kwa mtaa blog
katibu mtendaji wa baraza hilo mhandisi raymond mbilinyi akizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam juu ya uzinduzi wa baraza la taifa la biashara ambapo litakuwa ni baraza la tatu katika kipindi cha awamu ya tano chini ya rais dkt john magufuli kulia ni mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya sekta binafsi nchini (tpsf) godfrey simbeye
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe magufuli anatarajiwa kuzindua baraza la tatu la taifa la biashara (tnbc) mei 6 mwaka huu ambapo pia kutafuatiwa na mkutano wa kumi wa baraza hilo
baada ya uapisho desemba 2015 rais magufuli alianza kukutana na kundi la wafanyabiashara nchini hata hivyo mwezi august 2016 rais magufuli aliteua wajumbe 20 kutoka serikalini na 20 kutoka sekta binafsi kuunda baraza hilo
akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam katibu mtendaji wa baraza hilo mhandisi raymond mbilinyi amesema mada zitakazo kuwepo katika mkutano huo ni zingatia ukuaji wa kilimo ukuaji wa viwanda na ushiriki wa sekta binafsi katika ujenzi wa viwanda pia namna ya kuboresha majadiliano kati ya sekta binafsi na sekta ya umma ili kuwa karibu
amesema juhudi nyingi zinafanyika na serikali katika kuboresha mazingira ya biashara ikiwa pamoja na kuunda kamati iliyokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu inayoangalia maboresho ya mazingira ya biashara nchini pia kuwepo na kamati nyingine muhimu iliyopo chini ya wizara ya viwanda biashara na uwekezaji inayoangalia maboresho ya kisera
kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya sekta binafsi nchini (tpsf) godfrey simbeye ametoa wito kwa mawaziri kufanya majadiliano na sekta binafsi katika sekta zao ili kuangalia changamoto zipi zinakwamisha uwekezaji ambao utatupeleka katika uchumi wa viwanda ifikapo 2025 pia amewataka wakuu wa mikoa kufanya mabaraza ya biashara mikutano ya mabaraza ya biashara kuleta hali ya mazingira ya uwekezaji nchini
mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya sekta binafsi nchini (tpsf) godfrey simbeye akitoa ufafanuzi kuhusiana na mawaziri kufanya majadiliano na sekta binafsi katika sekta zao ili kuangalia changamoto zipi zinakwamisha uwekezaji
sehemu ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo jijini dar es salaam | 2017-10-21T19:42:43 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/04/rais-magufuli-kuzindua-baraza-la-taifa.html |
merkel ujerumani haitopeleka silaha yoyote nchini uturuki | matukio ya kisiasa | dw | 17102019
merkel ujerumani haitopeleka silaha yoyote nchini uturuki
kuhusu mchakato wa uingereza kujiondoa umoja wa ulaya kansela merkel amesema kwamba licha ya muungano kujiandaa kwa ajili ya brexitisiyo na makubaliano lakini watafanya majadiliano hadi dakika ya mwisho na kwamba hadi sasa wako katika njia sahihi ingawa makubaliano bado hayajafikiwa
kumekuwa na harakati katika siku za hivi karibuni harakati muhimu upande wa uingereza umeonyesha utayari wa kujadiliana na kubainisha mapendekezo kwahiyo tuko nia bora kuliko awali lakini leo lazima nisema wazi kwamba bado hatujafikia lengo alsema merkel
katika mkutano na waandishi wa habari jumatano mjini toulouse huko ufaransa merkel na rais emmanuel macron walisema kwamba wanatarajia makubaliano kufikiwa katika mkutano unaokuja wakati tarehe ya mwisho ya uingereza kujiondoa umoja wa ulaya ikikaribia matumaini yanazidi kuongezeka kufikia suluhisho la kisiasa na maelezo kamili ya kisheria yakitatuliwa baadae
bunge la uingereza tayari limeshaikataa mara tatu mikataba tarajiwa hata kama mkataba utatolewa wiki hii hatua katika bunge la uingereza zinaweza kumaanisha kucheleweshwa tena kwa uingereza kujiondoa umoja wa ulaya oktoba 31
kansela merkel na rais emmanuel macron walipokutana mjini toulouse ufaransa
hakuna kupeleka silaha uturuki
merkel pia alizungumzia operesheni za kijeshi za uturuki zinazoendelea kaskazini mwa syria akisisitiza kuwa ujerumani haitopeleka silaha ya aina yoyote nchini uturuki mara kadhaa katika siku za hivi karibuni nimeihimiza uturuki ikiwemo mazungumzo binafsi na rais wa uturuki kukomesha operesheni za kijeshi dhidi ya jeshi la kikurdi la ypgna nasisistiza tena
uturuki ilianzisha operesheni hizo wiki iliyopita ikayalenga majeshi ya kikurdi yanayoungwa mkono na marekani baada ya uamuzi wa marekani wa kuondoa askari wake katika mpaka
uvamizi wa uturuki nchini syria na namna umoja wa ulaya ulivyolipokea suala hilo ni masuala yatakayotawala pia mazungumzo ya viongozi wa muungano huo mjini brussels umoja wa ulaya ambao umekuwa na mahusianob ya karibu na uturuki katika masuala kadhaa kama vile uhamiaji na biashara imejizuia kuweka vikwazo
mada nyingine zilizo kwenye ajenda ya mkutano wa kilele ni pamoja na majadiliano juu ya mfumo wa bajeti ijayo ya muda mrefu ya umoja wa ulaya inayomalizika mwishoni mwa mwaka
pia macedonia ya kaskazini na albania zinasubiri kauli kutoka umoja huo ikiwa zinaweza kuanza mazungumzo ya kujiunga baada ya mawaziri wa umoja wa ulaya kushindwa kufikia makubaliano juu ya hatua inayofuata kufuatia upinzani kutoka kwa ufaransa
merkel amesema atazishawishi nchi ambazo bado zina upinzani kuhusu kuanzisha mchakato wa mazungumzo ya nchi hizo mbili kujiunga na umoja wa ulaya
bado hakuna suluhisho lililofikiwa katika kutafutia ufumbuzi vipengee muhimu vinavyosababisha mkwamo katika mazungumzo ya brexit kati ya umoja wa ulaya na uingereza wakati viongozi wakuu wakijiandaa kukutana (16102019)
uturuki yaendeleza mashambulizi dhidi ya wakurdi syria
ndege za kivita za uturuki na makombora zimeyashambulia maeneo ya wanamgambo wa kikurdi kaskazini mashariki mwa syria (11102019)
mada zinazohusiana angela merkel uturuki recep tayyip erdogan pkk bunge uchaguzi ujerumani 2017 bundeswehr akp aleppo
maneno muhimu bundestag kansela wa ujerumani angela merkel uturuki syria
kiungo https//pdwcom/p/3rqlq | 2019-11-15T12:15:50 | https://www.dw.com/sw/merkel-ujerumani-haitopeleka-silaha-yoyote-nchini-uturuki/a-50866748 |
ukurasa wa 830 kirusi kinachoua ndoto za wengi kwa haraka kisima cha maarifa
ukurasa wa 830 kirusi kinachoua ndoto za wengi kwa haraka
magonjwa yanayosababishwa na vizuri ni magonjwa ambayo huwa yana changamoto sana kwa sababu vizuri huwa wanasambaa haraka na pia ni wagumu kutibika hii ni kwa sababu vizuri wanaweza kuwa kama viumbe hai na wakati mwingine wakawa kama siyo viumbe hai yaani wakawa kama jiwe tu dawa zinazotengenezwa kuua zina uwezo wa kuua viumbe hai kwa sababu huenda kuingiliana na mfumo wa maisha na kuukatisha hivyo kupelekea kifo sasa kirusi kikijiweka kwenye hali ambayo siyo ya kiumbe hai dawa inashindwa kufanya kazi
lengo langu siyo kukuambia kuhusu dawa za virusi bali kukueleza kirusi ambacho kimekuwa kinaua ndoto za wengi kirusi hichi kinasambaa kwa kasi sana na pia ni kigumu kuua
kirusi ninachozungumzia hapa ni hofu hofu huwa inasambaa kwa kasi ya ajabu na hofu ikishaingia kwenye vyombo vya habari ni kama moto umewekwa mafuta kwa kuwa zama hizi tunazoishi kila mtu ana uwezo wa kutoa habari kupitia mitandao ya kijamii basi hofu imezidi kuwa kirusi mkali kwa sababu mtu mmoja anaweza kuwa na hofu zake akaanza kuzisambaza na baada ya muda mfupi kila mtu ameshaambukizwa hofu
ubaya wa hofu pia ni ngumu kutibu kwa sababu unakuwa umeimiliki yaani hofu inaanzia ndani yako mwenyewe hata kama umesikia tu kwa wengine unajipa nafasi kwenye hofu hiyo na kuona namna mambo yatakavyokuwa hatari kwa upande wako hilo linakufanya ushindwe kupiga hatua kabisa kwenye maisha yako
soma hivi ndivyo unavyoua ndoto zako kubwa za mafanikio
kuondokana na hofu hizi zinazoua ndoto za wengi ni sawa na kuondokana na magonjwa ya virusi kinga ni bora kuliko tiba hivyo jikinge na hofu za wengine usikubali watu wakupandikize hofu zao hivyo kuwa makini sana na vyombo vya habari unavyofuatilia na pia aina ya marafiki unaokuwa nao kwenye maisha ya kawaida na hata kwenye mtandao kaa mbali na watu ambao muda wote wanatengeneza tu hofu hata kama mambo ni mazuri wanaanza kutengeneza hofu kwamba baadaye yatakuwa mabaya
← 💥 #tafakari ya leo unapozama utatu wa udhibiti →
one thought on ukurasa wa 830 kirusi kinachoua ndoto za wengi kwa haraka
james medard august 17 2017 | 2019-07-17T22:02:13 | http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2017/04/09/ukurasa-wa-830-kirusi-kinachoua-ndoto-za-wengi-kwa-haraka/ |
shein rangers sports club september 2010
ilivyokuwa baada ya shein rangers kuchukua ubingwa wa kinondoni
hivi ndio ilivyokuwa baada ya timu ya shein rangers kuchukua ubingwa wa yosso mkoa wa kinondoni ilikuwa ni furaha tupu uwanjani hapo
posted by shein rangers sports club at 1018 am no comments links to this post
wakati wa maandalizi ya fainali
wachezaji wa timu ya shein rangers wakiwa katika maandalizi siku ya mchezo wa fainali ligi ya yosso kinondoni
posted by shein rangers sports club at 1119 pm no comments links to this post
salam maalum toka kwa mwalimu
mwalimu mkuu wa timu ya shein rangers sc rashidi said wa kwanza kulia mwenye flana ya kijani ametoa salam maalum za pongezi kwa wachezaji viongozi na wapenzi wa shein rangers kwa mshikamano na ushirikiano wao kwa kipindi chote cha mashindano mpaka kuwa mabingwa wapya wa kinondoni
pia amewaomba wachezaji wake kutojiona kuwa ndio wameshafika kwa kuwa mabingwa na kinachotakiwa ni kuongeza bidii ya mazoezi ili kuonyesha umma kuwa kweli wao ni mabingwa wa kinondoni
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu shein rangers mshikamano daima
posted by shein rangers sports club at 1004 pm no comments links to this post
shein rangers yawa mabingwa wapya wa kinondoni
timu ya shein rangers sc leo asubuhi wameweza kutwaa ubingwa wa soka mkoa wa kinondoni kwa vijana wadogo baada ya kuichapa timu ya star rangers ya kimara kwa penati 4 3 mchezo huo uliokuwa na kasi na wa kuvutia ulifanyika katika uwanja wa kinesi jijini dar es salaam mpaka dakika 90 zinamalizika timu hizo zilikuwa zimefungana bao 1 1
posted by shein rangers sports club at 447 am 2 comments links to this post
fainali ipo pale pale
ile fainali ya kusaka bingwa wa soka mkoa wa kinondoni kwa vijana hatimaye imewadia mchezo huo wa fainali ambao hapo awali ulihairishwa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa waandaaji sasa itapigwa jumapili ya kesho tarehe 26 septemba 2010 katika uwanja wa kinesi kuanzia saa 300 asubuhi
mchezo huo utakutanisha bingwa mtetezi star rangers ya kimara na shein rangers ya sinza timu hizo zilikuwa kundi moja katika michezo ya awali ambapo katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligi zilipokutana zilitoka sare ya bao 1 1
posted by shein rangers sports club at 1255 am no comments links to this post
mambo ya fainali yanaenda vizuri
mwalimu wa timu ya shein rangers akiwa katika hatua za mwisho mwisho kuandaa kikosi chake kitakachocheza kesho fainali ligi ya yosso kusaka bingwa wa soka mkoa wa kinondoni kwa vijana
posted by shein rangers sports club at 1251 am no comments links to this post
maandalizi ya fainali yapamba moto
maandalizi ya mchezo wa fainali kusaka bingwa wa soka mkoa wa kinondoni yamepamba moto kwa upande wa shein rangers kwa mujibu wa mwalimu wa timu hiyo rashid said mpaka sasa kila kitu kinaenda sawa
maandalizi ya fainali
wachezaji wa timu ya shein rangers wakiwa katika maandalizi ya mchezo wa fainali ligi ya wilaya ya kinondoni itakayochezwa siku ya tarehe 26 septemba 2010
posted by shein rangers sports club at 946 pm 2 comments links to this post
shein rangers kucheza fainali ligi ya wilaya ya kinondoni
siku ya jumapili tarehe 26 septemba 2010 kutafanyika mchezo wa fainali ligi ya yosso wilaya ya kinondoni mchezo huo utakutanisha bingwa mtetezi star rangers ya kimara na timu ya shein rangers ya sinza
kwa mujibu wa waandaaji wa mashindano hayo chama cha michezo kwa vijana wilaya ya kinondoni mchezo huo utachezwa katika uwanja wa kinesi urafiki na kama kutakuwa na mabadiliko ya uwanja taarifa zitatolewa mapema
posted by shein rangers sports club at 1202 am no comments links to this post
vijana wa twalipo camp
wachezaji wa timu ya twalipo camp wakimsikiliza mwalimu wao wakati wa mapumziko walipocheza na timu ya taifa ya wanawake twiga stars katika uwanja wa karume
posted by shein rangers sports club at 304 am no comments links to this post
timu ya kcsc ilipopata ugeni mzito
mkuu wa wilaya ya kinondoni jordan rugimbana (wa pili kutoka kushoto waliosimama katika picha ya juu ) akiwa na wageni wengine waalikwa pamoja na viongozi na wachezaji wa kikosi cha pili cha timu ya soka ya kituo cha michezo cha kijitonyama chipukizi katika moja ya shughuli za kimichezo kwenye uwanja wa bora kijitonyama katika picha ya chini ni kocha wa kijitonyama chipukizi jastin ngwaya (wa pili kutoka kulia waliosimama) akiwa na wachezaji wa kikosi cha pili
posted by shein rangers sports club at 129 pm no comments links to this post
twiga stars wajaribu na twalipo camp
timu ya taifa ya soka ya wanawake ya tanzania (twiga stars) jioni ya leo imepimana ubavu na timu ya twalipo camp (kituo cha soka kinachomilikiwa na jeshi la wananchi tanzania) katika mchezo mzuri na wa kuvutia uliochezwa katika uwanja wa karume ikiwa ni sahemu ya maandalizi kwa timu ya twiga kwa ajili ya fainali za afrika kwa wanawake nchini afrika kusini katika mchezo huo timu ya twalipo ilishinda bao 4 0pamoja na twiga stars kupoteza mchezo huo ilionyesha mchezo mzuri na wa ushindani
picha ya juu wachezaji wa timu zote mbili wakisalimiana kabla ya kuanza mchezo na picha ya chini ni wachezaji wa twiga stars baada ya mchezo huo
posted by shein rangers sports club at 1146 am no comments links to this post
waamuzi wa mchezo huo walikuwa ni watoto
picha ya juu ni mwenyekiti wa chama cha soka cha wanawake lina mhando (kulia mwenye miwani) akiwapongeza waamuzi hao watoto baada ya kumudu vyema pambano hilo na picha ya chini ni kocha mkuu wa timu ya taifa ya wanawake (twiga stars) charles mkwasa akisalimiana na waamuzi hao kabla ya mchezo waamuzi hao watoto walikuwa kivutio kwa wadau wa soka waliojitokeza katika uwanja wa karume jijini dar es salaam
posted by shein rangers sports club at 1132 am no comments links to this post
sasa unaweza kuchangia mada ndani ya kurasa maalum ya shein rangers katika facebook
blog ya shein rangers inapenda kuwataarifu wadau wake kuwa pamoja na kuanzisha kurasa yake maalum katika mtandao mkubwa na maarufu duniani wa facebook pia imeanzisha sehemu maalum ndani ya ukurasa huo ambayo wadau wa michezo wataweza kuchangia mada mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya mpira wa miguu na michezo mingine nchini tanzania
jinsi ya kuweza kuchangia mada mbalimbali ukishaingia katika ukurasa maalum wa shein rangers katika mtandao wa facebook utaenda sehemu iliyoandikwa discussions na ukiingia hapo utakuta mada (topic) ya siku na utaweza kushiriki nasi kwa kuchangia mada husika kwa wakati huo
umoja ni nguvu utengano ni udhaifu shein rangers mshikamano daima
posted by shein rangers sports club at 1240 am 2 comments links to this post
kikosi cha pili cha shein rangers
timu ya kikosi cha pili ya shein rangers sc baada ya mazoezi katika uwanja wa tp afrika sinza
posted by shein rangers sports club at 1154 pm no comments links to this post
mtibwa 1 yanga 1
ligi kuu ya soka tanzania bara iliendelea jana katika viwanja mbalimbali pichani anaonekana kipa wa mtibwa shaban kado akiwa makini golini kwake katika mchezo kati ya mtibwa sugar na yanga mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa jamhuri mjini morogoro ambapo uliisha kwa sare ya 1 1 mjini mwanza simba iliichapa ruvu shooting ya pwani bao 2 1 katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa ccm kirumba na azam ikalala kwa kagera sugar bao 1 0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa kaitaba mjini bukoba
posted by shein rangers sports club at 1105 pm no comments links to this post
shein rangers kujipanga upya
baada ya kutofaya mazoezi ya uhakika kutokana na kuwa katika mwezi mtukufu wa ramadhani timu ya shein rangers sc imeanza kujipanga upya ili kujiweka katika hali ya kawaida kimichezo wachezaji wote ambao walikuwa hawajaripoti mazoezini wanatakiwa kufika mara moja kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya kirafiki na mchezo wa fainali ligi ya yosso wilaya ya kinondoni
posted by shein rangers sports club at 1051 pm no comments links to this post
siku shein rangers walipokipiga na azam fc
hii ni picha ya kumbukumbu siku timu ya shein rangers sc (jezi za njano) ilipokipiga na azam fc katika uwanja wa chuo kikuu cha dar es salaam
posted by shein rangers sports club at 310 am 2 comments links to this post
mrembo geneviene emanuel (katikati pichani) usiku wa kuamkia leo ametawazwa kuwa miss vodacom tanzania 2010
posted by shein rangers sports club at 628 am no comments links to this post
mazoezi ya timu ya shein rangers kuendelea kesho baada ya kusimama kwa ajili ya kusheherekea sikukuu ya iddi pichani ni kocha mkuu wa shein rangers akiwa na vijana wa chini ya miaka 14 mazoezini
uongozi na wachezaji wa timu ya shein rangers unawatakia waislam na watu wote dunia sikukuu njema yenye upendo na amani eid mubarak
kipindi chote cha sikukuu uongozi wa timu ya shein rangers umetoa mapumziko kwa wachezaji wote hadi siku ya jumatatu tarehe 13 septemba 2010 siku ambayo mazoezi yataanza rasmi
hapa ilikuwa wakati wa mapumziko
kocha mkuu wa timu ya shein rangers sports club rashid said akitoa maelekezo kwa wachezaji wake katika mmoja ya michezo yake katika uwanja wa kinesi jijini dar es salaam
posted by shein rangers sports club at 317 pm 2 comments links to this post
shein rangers 1 star rangers 0
timu ya shein rangers imeichapa timu ngumu ya star rangers ya kimara bao 1 0 katika mchezo mkali wa kirafiki uliofanyika katika uwanja wa tp afrika sinza siku ya tarehe 04 septemba 2010
bao pekee la shein rangers lilitiwa kimiani na mshambuliaji wake hatari maharaj lal bulu katika mchezo huo mkali nyota wa mchezo alikuwa golikipa wa shein rangers muntasir dawood baada ya kufanya kazi kubwa ya kuokoa michomo ya wachezaji wa star rangers
siku shein ilipoichapa midizini 3 0
picha hii ni ya siku za nyuma siku timu ya shein rangers ilipoichapa timu ya midizini fc bao 3 0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa katika uwanja wa urafiki
posted by shein rangers sports club at 1159 pm 1 comment links to this post | 2018-03-21T13:03:37 | http://sheinrangers.blogspot.com/2010/09/ |
july 4 2019 mwanahalisi online
moses mseti july 4 2019 1867 views
waziri wa maliasili na utalii dk khamisi kigwangala ameweka wazi kuwa sekta ya utalii ni moja kati ya sekta muhimu nchini katika ukuaji wa uchumi wa taifa kutokana na sekta
faki sosi july 4 2019 2227 views
upande wa jamhuri umewasilisha hoja zao katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu juu pingamizi la upande wa utetezi kuhusu kupokelewa kwa kielelezo cha kamera na tape mbili za video kwenye
mwandishi wetu july 4 2019 2116 views
mali za kampuni ya mbowe limited inayomilikiwa na mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) freeman mbowe zimapangwa kupigwa mnada jumamosi wiki hii anaripoti mwandishi wetu (endelea) kwa
tanzania interpol kuchunguza kutekwa msaidizi wa zitto
regina mkonde july 4 2019 1751 views
jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam limesema litashirikiana na shirika la polisi la kimataifa (interpol) kuchunguza tukio la kupotea na kupatikana kwa raia wa kenya raphael ongangi anaripoti
mwandishi wetu july 4 2019 2112 views
mwandishi wetu july 4 2019 1776 views
kijana mmoja ambaye hakutajwa jina anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani dodoma kwa tuhuma za kumlawiti mama yake mzazi anaripoti mwandishi wetu (endelea) taarifa hiyo imethibitishwa na kamanda wa jeshi
faki sosi july 4 2019 1731 views
wema sepetu mwigizaji na mshindi wa mashindano ya urembo mwaka 2006 amekamatwa tena leo tarehe 4 julai 2019 na jeshi la magereza muda mchache baada ya mahakama kumwacha huru anaripoti | 2019-10-24T02:40:47 | http://mwanahalisionline.com/2019/07/04/ |
bajeti 2017/18 wasomi waonya | gazeti la rai
nyumbani habari bajeti 2017/18 wasomi waonya
bajeti 2017/18 wasomi waonya
april 27 2017 719 0 kushiriki
bunge la bajeti ya mwaka 2017/18 linaendelea na vikao vyake mjini dodoma kwa wizara mbalimbali kusoma mwelekeo wa bajeti ya mwaka ujao wa fedha huku bajeti kuu ikitarajiwa kusomwa juni 15 mwaka huu
bajeti hiyo ambayo inakadiriwa kufikia kiasi cha sh trilioni 316 tayari imeonekana kukosolewa na makundi ya kada mbalimbali kwa hoja kuwa upo uwezekano mkubwa wa kutokutekelezeka
hoja ya kutokutekelezeka inanawirishwa na kukwama kwa kiasi kikubwa cha bajeti ya mwaka wa fedha wa 2016/17 unaofikia kikomo julai 30 mwaka huu
baadhi ya wasomi wa uchumi wameliambia rai kuwa ipo haja kwa serikali kubadilika na kuandaa bajeti yenye namba ndogo inayotekelezeka kuliko inavyofanya sasa ambapo ina namba kubwa lakini haitekelezeki kutokana na kutegemea fedha nyingi za wafadhili
mhadhiri mwandamizi wa shule kuu ya biashara kutoka chuo kikuu cha dar es salaam profesa humprey moshi alisema hakuna cha ajabu kwani hata miaka 15 iliyopita bajeti zote zilizokuwa zikiwasilishwa zilikuwa hazitekelezeki kwa sababu asilimia kubwa ya makusanyo hayafikii kiwango cha bajeti
alisema fedha zinazoenda kwenye wizara hazifiki hata asilimia 80
bajeti ya kwanza ya magufuli ilitupa matumaini baada ya kutenga fedha za maendeleo kwa asilimia 38 kutoka nane hadi 10 bahati mbaya katika utekelezaji hata ile bajeti ya maendeleo imetekelezeka kwa asilimia ndogo hivyo tatizo kubwa bajeti inayosomwa leo inakwenda kutekeleza ile ya mwaka jana
tuwe na bajeti ambayo inatekeleza walau kwa asilimia 80 kwa sababu asilimia 100 haiwezekani hivyo tuwe na bajeti ya kweli kwa kuangalia hali ya uchumi na makusanyo pia tupunguze utegemezi kwa wafadhili kwa sababu hii ya kutegemea nayo inaturudisha nyuma kenya wanategema asilimia 5 tu kutoka kwa wafadhili wakati sisi ni asilimia 35 hadi 50
ili kupiga hatua rais anatakiwa kuthubutu na kupitia ile mikataba mibovu ya madini na gesi na kuifanyia marekebisho kwa sababu tumeshapoteza madini mengi ila sasa inabidi kuwa na mikataba ambayo inakubalika ile ambayo inaruhusu rasilimali za umma lazima iende bungeni ichangiwe kwa mfano liberia wameshaanza haya mambo ya siri ndio rushwa na kujenga ubinafsi baada ya kutekeleza haya yote ndio tutakuwa na bajeti ya kweli
prof semboja
akifafanua kwa kina kuhusu hofu iliyopo juu ya kukwama kwa bajeti ya mwaka wa fedha 2017/18 mhadhiri wa chuo cha dar es salaam profesa hadji semboja alisema licha ya kwamba namba kwenye hesabu ni zilezile ila huwa zinaleta tafsiri mbalimbali kwa mwanataaluma
bajeti ya mwaka jana na mwaka huu kuna mkazo wa maendeleo na kwa namna rais alivyo amekuwa na mkazo kwenye uwekezaji wa miundombinu mwenyewe anajua kusimamia kufuatilia na kufanya tathmini katika bajeti moja ya mambo muhimu ni hayo
kosa ambalo lilitokea mwaka jana lilifanywa na waziri mwenyewe naona iwapo angeelewa taaluma ya bajeti asingefanyaje vile kwanza bajeti ya kawaida ni tofauti na bajeti ya maendeleo kwani ya kawaida ukisema siku wiki mwaka inakua vilevile kwa sababu watu wanalipwa kwa mwezi posho na kusafiri ilivyopangwa ndivyo ilivyotekelezwa tofauti na bajeti ya maendeleo kwa mfano ujenzi wa reli una awamu nne kubwa kwanza usanifu na maandalizi mbalimbali huwa hela haihitajiki nyingi sana ya pili ndipo unapoanza kuhitaji fedha kama asilimia 30 hadi 40 awamu ya tatu ndio unanunua mashine kubwa kama treni vichwa na ya nne ambayo ni ya mwisho ni matumizi madogo ya kumalizia mradi
sasa fedha zilizotumika ni sawa na fedha zilizotengwa kwa mradi lakini sio kwamba fedha zote zilizowekwa zilitakiwa kutumika mara moja kuna tafsiri potofu kuna tatizo la watanzania kuishi kama mr zero balance kwamba chochote tulichopanga mwaka huu lazima kitumike chote hapana
lazima tujifunze kuwa kuna bajeti ya maendeleo ambayo kuna fedha mbazo zitapangwa mwaka huu zitatumika mwaka kesho zinatakiwa ziwe saved kwa matumizi ya mwaka kesho kwa hiyo si kosa la watanzania kutafsiri ni kosa la waziri ameshindwa kujieleza kwamba kile kilichokuwa kinahitaji kwa matumizi ya maendeleo ni sahihi kuna ambacho kimepangwa si lazima kiwepo leo
hata hivyo hatujazoea kufanya vitu vya maendeleo tulizoea kuwa kilichopangwa lazima kitumike chote hatuwezi kugawa treni leo wakati hujaweka reli
ninachoona ni kwamba miradi hii tutatekeleza na hakuna haja ya kukosa fedha za kutekeleza hatuna sababu ya kukosa fedha za maendeleo kwenye ile miradialisema prof semboja
kwa mujibu wa dk mpango bajeti ya mwaka huu 2017/18 fedha za maendeleo zimeongezeka kutoka trillion 118 mwaka 2016/2017 mpaka kufikia shilingi trillion 119 kwa mwaka huu mpya wa bajeti 2017/2018 ambapo ni sawa na wastani wa asilimia 38 ya bajeti yote tarajiwa
dk mpango alibainisha vikwazo vilivyochangia kukwama kwa bajeti inayoishia mwezi juni kuwa ni mwamko mdogo wa kulipa kodi matumizi hafifu ya mashine za risisti za kielektroniki (efds) na kuchelewa kupatikana kwa mikopo yenye masharti nafuu na ya kibiashara kutoka nje
sababu nyingine ni majadiliano ya muda mrefu yaliyosababisha kuchelewa kupatikana fedha za washirika wa maendeleo
akiwasilisha bajeti pendekezwa dk mpango alisema hadi kufikia februari 2017 makusanyo yote ya serikali yalikuwa sh trilioni 1537 sawa na asilimia 79 ya malengo kati yake mikopo ya ndani sh trilioni 35 sawa na asilimia 78 ya malengo misaada na mikopo nafuu sh trilioni 125 sawa na asilimia 40 ya malengo
dk mpango alisema mikopo ya kibiashara kutoka vyanzo za nje ilitarajiwa kuwa sh trilioni 21 lakini hadi sasa hazijapatikana
kusuasua huko kumeelezwa kusababisha hofu kwa serikali ambayo baadhi ya wachumi pia wameeleza kuwa hata bajeti ya mwaka huu 2017/18 haitakuwa na jipya kutokana na wasaidizi wa rais ambao ni mawaziri na makatibu wakuu kushindwa kusimamia weledi wa taaluma zao
katika mwaka 2017/18 serikali imepanga kutumia jumla ya sh trilioni 32946 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo kati yake sh trilioni 19782 zitatengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ambapo sh trilioni 7206 ni kwa ajili ya mishahara ya watumishi wa serikali na taasisi za umma na sh trilioni 9723 ni kwa ajili ya kulipia deni la taifa lililoiva
aidha matumizi ya maendeleo yatakuwa sh trilioni 13164 sawa na asilimia 40 ya bajeti yote ambapo fedha za ndani ni sh trilioni 9960 sawa na asilimia 76
sura ya bajeti
kwa mujibu wa dk mpango bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 inatarajiwa kuwa jumla ya sh trilioni 32 zitakazokusanywa na kutumika katika kipindi hicho
waziri huyo alieleza kuwa mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa sh trilioni 20872 sawa na asilimia 63 ya mahitaji yote kati ya mapato hayo serikali inalenga kukusanya mapato ya kodi ya jumla ya sh trilioni 18097 sawa na asilimia 87 ya mapato ya ndani
mapato yasiyo ya kodi sh trilioni 2022 na mapato kutoka vyanzo vya halmashauri yanatarajiwa kuwa sh bilioni 7533
serikali inategemea kukopa kiasi cha dola za kimarekani milioni 900 (sh sh trilioni 2080 kutoka vyanzo vya nje vyenye masharti ya kibiashara na sh trilioni 4434 zinazotarajiwa kupatikana kutokana na mikopo ya ndani kwa ajili ya kulipia hatifungani na dhamana za serikali zinazoiva sh trilioni 1859 sawa na asilimia 15 ya pato la taifa ni mikopo mipya ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo
pia washirika wa maendeleo wanatarajiwa kuchangia sh trilioni 37 kati yake sh bilioni 4963 ni misaada na mikopo nafuu ya kibajeti (gbs) sh trilioni 2821 ni misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sh bilioni 3824 ni misaada na mikopo nafuu ya mifuko ya pamoja ya kisekta
rais kenyata arusha dongo
katika mazungumzo yake hivi karibuni nchini kenya rais wa nchi hiyo uhuru kenyatta alizitupia dongo bajeti ya tanzania na uganda kwa kudai kuwa zinategemea fedha za wafadhili katika kushughulikia masuala ya afya na elimu huku bajeti ya nchi yake ikijitegemea
pamoja na mambo mengine rais kenyatta alisema amefanya mengi na anataka kuona wataalamu wanafanya kazi zao
nataka wataalamu wafanye kazi zao na kwa kufanya hivyo kenya ndio nchi pekee katika ukanda wa afrika mashariki ambayo bajeti yake ya matumizi ya kawaida kwa asilimia 100 inatokana na makusanyo ya ndani na si midaada ya wafadhili
tunawalipa waalimu wetu tunawalipa watoa huduma za afya tunawalipa watumishi wetu tofauti na tanzania na uganda ambazo karibu asilimia 40 ya bajeti zao hugharamiwa na wafadhili
sisi hapa hakuna shilingi ya mzungu inayowalipa walimu katika kenya hii ni kitu ambacho tunajivunia kwa sababu tuna watu sahihi tumewaweka kufanya kazi sahihi alisema rais kenyatta
tweet makala ya awaliubunifu wa kiteknolojia unavyoibeba exim bank katika kuwahudumia wateja wakemakala ijayocuf lipumba yawakuta makubwa rai newspaper makala kuhusianazaidi kutoka kwa mwandishi
habari taifa stars donda sugu habari eac itaweza kugusa maisha ya wachovu habari mashishanga rais magufuli si malaika hakuna maoni
nato imesababisha mamilioni ya wakimbizi kutoka syria october 1 2015 tatizo si mfumo ni uongozi april 28 2016 ccm inastahili kupumzishwa october 1 2015 visitor counter
last 24 hours 2601
last 7 days 17140
last 30 days 68519 | 2017-06-24T15:39:33 | http://rai.co.tz/2017/04/27/3765/ |
rapa kutoka marekani future adata na hip hop ya afrikaafunguka haya | celebrity swaggz i official website
home » »unlabelled » rapa kutoka marekani future adata na hip hop ya afrikaafunguka haya
rapa kutoka marekani future adata na hip hop ya afrikaafunguka haya
rapa kutoka marekani future amesema hip hop inayofanywa na wasanii wa afrika ni nzuri kwani inawavutia wasanii wengi wakubwa wa marekani kuisikiliza
future amesema hip hop ya afrika inaelezea uhalisia wa mazingira inasound nzuri pia hata midundo yake inavutia kuisikiliza
hip hop ya afrika inasound vizuri sana inavutia kuisikiliza kwani imejaa ubunifu na huwa naingia studio kusikiliza midundo yake kuona kama ninaweza kufanya kituamesema future
hata hivyo rapa future baada ya kunogewa na midundo ya kiafrika amethibitisha kuwa tayari amefanya kolabo na wizkid kutoka nigeria | 2017-08-16T13:08:35 | http://www.celebrityswaggz.com/2017/07/rapa-kutoka-marekani-future-adata-na.html |
dira yangu mwelekeo wa siasa za tanzania baada ya uchaguzi mkuu 2010
ukizitizama siasa za kiafrika ukabila haukwepeki tangu juzi nimetizama wabunge wakiapishwa huku wakiwa wamesindikizwa na ndugu na hata vikundi vya kikabila utadhani mwisho wa siku matokeo ya utendaji wao yatawafikia wanakabila wenzao yuko bwana mmoja amejadili jinsi siasa zetu zilivyojaa ukabila
huku tukiwa tumemaliza uchaguzi ni wazi kuwa ccm imethibitisha kuwa ni chama ambacho ni nguva wa kisiasa pamoja na kutotegemea tena hekima za nyerere lakini bado ccm inapeta
kudhihirisha kuwa ccm itaendelea kutawala kwa miongo kadhaa hebu ona jinsi ambavyo itakavyoweza kutawala siasa za tanzania hadi 2030
posted by innocent kasyate at 1020 pm | 2017-08-23T04:08:13 | http://funguajicho.blogspot.com/2010/11/mwelekeo-wa-siasa-za-tanzania-baada-ya.html |
msaada wenu wa ushauri mhimu sana | jamiiforums | the home of great thinkers
msaada wenu wa ushauri mhimu sana
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by dr chris mar 29 2012
nina mwanangu kachaguliwa secya lwangwa pcm baada ya mahangaiko nimefanikiwa kujuwa shule ipo rungwe mbeya ni km kadhaa ktoka mj wa tukuyu ila hawa ndiyo wanaenda kuanza yaani shule ilikuwa na olev pekee mwaka huu ndiyo wanaenda kufungua kimsing kijana alikuwa na uwezo wa wastan kwani alkuwa na div1 p17 sasa bac kwa uzoefu wenu wana jf shule inayoanza inaweza kumpeleka kijana mbele au ndy bac kapoteza malengo yake nifanyeje kumsaidia nasubili michango yenu nawasilisha
mkuukama una kauwezo kidogojifunge mkanda umpeleke kijana shule ya private
kufaulu si shule bali ni juhudi za mwanafunzi
jitahidi umuhamishe dogo kwa kuwa shule ni mpya huwezi kujua ina kiwango cha ufaulu kiasi gani mara shule kama hizo walimu walewale wa 0level ndo watawafundisha hawa alevel hivyo kunakuwa na uchache wa walimu husika
duhhata mie pia broda wangu kafaulu hukoila sahv anaenda private hyo shule hata haifai kabsa yan ndo kwanza wanaanzsha alevel eti
kufaulu si shule bali ni juhudi za mwanafunziclick to expand
ni kweli ila kama mazingira yatam support shule iko porini(huwezi kupata company ya wanafunzi jirani mbadilishane material wala walimu wa masomo ya ziada)haina maktaba wala vitabu vya kiada na ziada vya kutoshahaina walimu wa kutosha hapo juhudi za mwanafunzi zitamvusha
ni kweli ila kama mazingira yatam support shule iko porini(huwezi kupata company ya wanafunzi jirani mbadilishane material wala walimu wa masomo ya ziada)haina maktaba wala vitabu vya kiada na ziada vya kutoshahaina walimu wa kutosha hapo juhudi za mwanafunzi zitamvushaclick to expand
mkubwa kuna shule naku pm yupo dogo amefaulu kwa kiwango cha juu peke yake shule nzima na anayemfuatia ana div iii ya mwisho na hyo shule ipo porini kwelikweli
nina mwanangu kachaguliwa secya lwangwa pcm baada ya mahangaiko nimefanikiwa kujuwa shule ipo rungwe mbeya ni km kadhaa ktoka mj wa tukuyu ila hawa ndiyo wanaenda kuanza yaani shule ilikuwa na olev pekee mwaka huu ndiyo wanaenda kufungua kimsing kijana alikuwa na uwezo wa wastan kwani alkuwa na div1 p17 sasa bac kwa uzoefu wenu wana jf shule inayoanza inaweza kumpeleka kijana mbele au ndy bac kapoteza malengo yake nifanyeje kumsaidia nasubili michango yenu nawasilishaclick to expand
huko anaenda kupoteanaawaulize walioianzisha rungwe sec kilichowakuta
tafuta shule iliyopo mjini mkuubinafsi nimesoma pcm na najua mazingira yapi ni yanampasa mwanafunzi wa mchepuo huukumbuka mchepuo huu ni 100 sayansi hivyo huambatana na elimu kwa vitendo practicalssasa sijui hiyo shule imeandaliwa vipi kufacilitate practicals
pili location ya shule sidhani kama itavutia waalimumaana kwa aliyefika tukuyu atakubaliana nami | 2016-12-04T08:34:52 | http://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wenu-wa-ushauri-mhimu-sana.241499/ |
magonjwa yanayoweza kutibiwa kwa mbegu ya parachichi utafiti timheaven
home / afya / magonjwa / utafiti / magonjwa yanayoweza kutibiwa kwa mbegu ya parachichi utafiti
magonjwa yanayoweza kutibiwa kwa mbegu ya parachichi utafiti
by chief hope on january 23 2018 in afya magonjwa utafiti
parachichi ni tunda linalopendwa na watu wengi haswa kwa jinsi lilivyo na virutubisho vingi lakini hata hivyo wataalamu wa afya wameeleza kuwa mbegu iliyo katikati ya parachichi ambayo hutupwa ndio yenye virutubisho maradufu kuliko tunda lenyewe
imeelezwa na american chemical society kuwa ndani ya mbegu hiyo vipo virutubisho ambavyo vinaweza kuwa dawa ya magonjwa ya saratani magonjwa ya moyo na kuzuia kukua kwa seli za uvimbe mwilini
inakadiriwa kuwa duniani kote takriban tani milioni 5 za maparachichi zinazalishwa kila mwaka kiwango ambacho kinaweza kutumika kuleta mapinduzi katika sekta ya afya na dawa kama kutakua na teknolojia nzuri ya kutumia mbegu hizo
category afya magonjwa utafiti | 2018-06-22T15:01:27 | https://www.timheaven.com/2018/01/magonjwa-yanayoweza-kutibiwa-kwa-mbegu.html |
maoni ya dr slaa kukamatwa kwa dkt mashinji na viongozi wengine wa chadema | udaku special
maoni ya dr slaa kukamatwa kwa dkt mashinji na viongozi wengine wa chadema
nimesoma kwa umakini taarifa ya kukamatwa na kupelekwa kituoni katibu mkuu wa chadema na viongozi wengine wa ngazi ya mkoa na kanda kule mbamba bay wakiwemo wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tz mara kadhaa viongozi wa vyama mbali mbali pia wamekamatwa nimeshindwa kuelewa hasa tatizo la msingi ni nini kwa kuwa taarifa zinatolewa kwenye mitandao ya jamii ki ushabiki zaidi hivyo mtu yeyote makini mwenye nia ya kulisaidia taifa au kwa kushauri au kukemea anashindwa kwa kuwa facts za msingi haziwekwi wala kujadiliwa wala na mtoa thread/post au hata na wachangiaji namshukuru mkurugenzi kibatala wakili msomi mallya na wasaidizi wake mara kadhaa wamejaribu kutoa ufafanuzi katika hatua ya kesi lakini bila facts za matukio ni wazi katika hatua hiyo siyo jukumu lao kutoa facts kwa kuwa itaharibu kesi yao
hata hivyo baada ya kusoma mara kadhaa taarifa ya matukio haya nimepaswa kurejea political parties act ( re 2002) na kanuni zake zote
1) kimsingi watu wengi wanaamini kuwa vyama vya siasa viko huru kufanya mikutano ya ndani bila kutoa taarifa ( notice) taarifa kwa mamlaka husika ya police katika eneo kifungu cha 11 (17) chahusika hii ni imani iliyojengwa visivyo na utaratibu huu usipofuatwa wahusika hulalamika kuwa wanakandamizwa na kunyimwa haki za kidemokrasia na yote yanayoendana na hayo
ili sisi tusioegemea upande wa chama chochote bali ni wapenzi wa taifa na kwa taifa lolote katika ulimwengu wa leo vyama imara ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kisiasa ninaomba mwenye facts za matukio haya atuwekee ili tuweze kujadili with objective and unbiased observations ebu tuachane na kauli zisizojengwa katika misingi ya kisheria kuwa mikutano ya ndani haihitaji utoaji wa taarifa ni kweli mikutano ya vyama vya siasa iwe ya nje au ya ndani haihitaji kibali cha yeyote wakiwemo polisi ( hukumu ya mahakama kuu)
2 pamoja na maelezo hayo kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa niliyotaja hapo juu mamlaka ya polisi katika kudhibiti vyama vya siasa yapo pale pale iwapo utaratibu wa kisheria ikiwa ni pamoja na utaratibu uliowekwa na sheria na kanuni haukufuatwa utaratibu huo ni pamoja na kutoa notice ( taarifa) kwa mamlaka husika ya polisi katika eneo husika
a) iwapo utaratibu wa kutoa taarifa umefuatwa mamlaka ya polisi hayawezi kukataza mkutano ulioombwa ( wa ndani au wa nje) isipokuwa kwa sababu zilizotajwa ndani ya sheria
b) taarifa za kiinteligensia au kugongana mikutano ya vyama ni sababu mojawapo ya mamlaka husika kuzuia mkutano uliotolewa taarifa lakini mamlaka hiyo inatakiwa kutoa siku/ muda mwingine au hata eneo lingine/ uwanja mwingine mkutano huo unapotakiwa kufanyika hili ni hitaji la kisheria na siyo hisani ya mtu au kiongozi yeyote
3) kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa vyama vya siasa vina haki ya kufanya mikutano ya kisasa ya ndani na ya hadhara kwa lengo la kutafuta wanachama haina mantiki kuwa na ndoa ambayo wana ndoa hao wanawekewa masharti wasipate watoto kwa utaratibu ulioko ndani ya masharti ya taratibu zilizoko katika imani iliyowaunganisha katika ndoa hiyo kufanya hivyo ni kumaliza kizazi cha wana ndoa hao mimi siamini na sijaona mahali popote decree ( amri ya rais) inayozuia mikutano ya vyama ya nje wala ya ndani aliyeiona aniwekee humu jukwaani hivyo siamini kabisa kama kuna katazo la rais ukiacha matamko ya kisiasa kauli ya rais si sheria na haiwezi kuvunja sheria iliyotungwa na bunge ( sheria na 5 ( re 2002 ni sheria halali iliyotungwa na bunge) ninaamini kabisa kama kuna amri yeyote ya rais chama makini kingeli challenge amri hiyo chini ya vipengele vya sheria vya prerogative orders za certiorari prohibimus na mandamus wanasheria wanajua vizuri matumizi ya sheria hizo katika kudhibiti matumizi mabovu ya mamlaka ya kuiongozi yeyote hivyo tusitafute majibu mepesi katika udikteta ni muda mwafaka sasa kutafuta majibu sahihi penginepo
4) ni wazi kabisa na nimemsikia waziri wa mambo ya ndani akitamka mara kadhaa kuwa mikutano ya vyama ( ya hadhara na ya ndani ) haijapigwa marufuku alimradi utaratibu unafuatwa ni kwa msingi huu ningependa sasa wapenzi wa vyama kuanza kubana viongozi wao kujua kama kweli taratibu zote zilizowekwa na sheria zimefuatwa katika maandalizi ya mikutano ya vyama vya siasa tukumbuke sheria yetu ya vyama vya siasa ni ya 1992 ( re as amended 2002) na kanuni zake na tukumbuke sheria inayoongoza jeshi la polisi ni za 1959 ( kama sikosei sijacheki na marekebisho madogo madogo kadhaa yakiwemo ya 2002) hivyo rais aliyeko madarakani kwa kutambua uwepo wa sheria hizo na kuzisimamia kama alivyoapa kusimamia katiba na sheria hawezi kulaumiwa tangu ameingia madarakani siku takriban 600 zilizopita rais aliyepo chini yake hapajatungwa sheria yeyote ya kudhibiti vyama na wala hakuna marekebisho yaliyofanyika labda kama yamenipita pembeni basi nielimishwe katika hali hiyo tusipende kutafuta majibu mepesi kishabiki bila kufanya utafiti wa kina wa tatizo linalosibu taifa na demokrasia yetu
5) ni kweli pia kuwa polisi kwa kutumia sheria za zamani zisizoendana na wakati na bila waendesha kesi wa serikali ( kama ilivyo desturi katika kesi nyingi) kufanya maandalizi mazuri kesi nyingi zinazofunguliwa chini ya kinachoitwa kesi za uchochezi ( ambazo mimi mwenyewe kama mbunge wa karatu na katibu mkuu wa chama nilifunguliwa) au hasiendelei au hatimaye hushindwa mahakamani kwa kukosa maandalizi hafifu ya prosecutors au kwa kesi zenyewe au ukamataji kukosa misingi ya kijinai katika mazingira halisi ya leo ni wazi kesi hizi huchafua siyo tu jina la serikali iliyoko madarakani bali pia sifa nzuri ya taifa letu ni muhimu maofisa polisi kutimiza majukumu yao kwa umakini mkubwa na uangalifu mkubwa na hasa kufuata misingi ya kisheria na kulinda sheria za nchi bila kufanya mambo kwa kumpendeza mtu yeyote awaye taifa ni letu sote mambo yakiharibika sote tutaumia pamoja na mamlaka zenyewe za polisi kwani leo uko kwenye madaraka kesho atakuwepo mwingine
6) maelezo kuwa chama tawala kinafanya mikutano ( ya ndani au ya nje) haiwezi kuwa hoja yenye nguvu kwani kama wametimiza hitaji la notice inayohitajika kisheria kama utaratibu wa kisheria unavyotaka lazima wapige mbiu au wawatangazie nani kafanya utafiti kwenye ma faili ya mamlaka husika kuwa hawakufuata utaratibu wa kisheria hii ni hoja dhaifu sana kuhalalisha kutotafakari na kufanya utafiti katika wa kina
nimalizie tu kwa kusema kuwa inauma kila siku kuona viongozi wa vyama wakikamatwa na baada ya muda kuachiwa mahakamani ni dhahiri kuna dosari mahali au waliokamata hawakuwa makini au walikuwa wakitaka kumpendeza au wanajipendekeza kwa malengo wanayojua wenyewe au kama nilivyoeleza waendesha mashtaka wa serikali dpp na wasaidizi wake wakiwemo na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali hawajiandai vizuri
kwa kumalizia nirudie tena kuwa wakati ufike sasa wapenzi wa vyama na wapenda demokrasia kwa ujumla tusipende sana kujadili mambo kwa ushabiki bali tuanze kuwa na critical analysis ya hali inayokabili demokrasia yetu na kuanza kuhoji viongozi wetu wa vyama viongozi wawe wazi kama wamefuata taratibu za kisheria au wamezoea kufanya mambo kwa mazoea tu hakuna mahali popote sheria inapotamka kuwa mikutano ya ndani ya vyama haihitaji notice wala mamlaka ya polisi hasa vifungu vya 43 44 etc vya police ordinance ( kama sijakosea) havijarekebishwa wala kuondolewa hivyo vikitumika tusilalamike bali tuwalalamikie viongozi wetu kwa kutokuwa proactive vifungu hivyo vilivyotungwa wakati wa ukoloni vifanyiwe marekebisho ya msingi ili demokrasia ya kweli iweze kujenga msingi katika taifa letu wanasheria wa vyama ningelipenda wawasaidie wapenzi wa vyama katika kutoa elimu ya msingi lakini pia kuwashauri vizuri pia viongozi badala ya kusubiri kesi mahakamani
lebo dr slaa
umeshindwa kuongea nao chadema mojs kwa mojabado unabifu moyonihaijaishakama kweli unaupendo dhati na taifa ungerudi na ungerudi chadema ni watu wachache sana duniani watakuwa na moyo dhatihata mataifa makubwa ya nchi za ulaya na marekani ingawa wanapata misukosuko mingi hawafanyi ulichokifanya sbabu ya kutokuteuliwawengi wsnajipiga moyo kuhakikisha taifa kwanza nakuheshimu lakini umeiangusha pia chadema na familia yako binafsikama unamoyo mzuri na nia njema ya nchi ungeyaeeka yote pembeni na kurudi chadema kukimbia si solutionuhodsri ni kusomama wima kwa ulichopanda mpska kizae matunda huu ndio uzslendo wa hali ya juuunajua wazi serikali inakosea kwa hilibadala ya kulaani unacheza
umekuwa padre umejiuzuru mke wsko na watoto umejiuzuru chama umejiuzuru nilikuheshimu kabla ubinafsi cheo umeviweka mbele ya maadili umekimbia badala ya kulijenga taifa ungekuwa shupavu shujaa na mwenye nguvu na makini busara mvumilivu ungekubali kushuka cheo kubaki na kusaidia taifa watu wangekuona unamoyo upo nao na huenda ungekuwa na hadhi zaidi once you are a quieter you eill always quiltthat you have demonstrated your selfbadala ya kuwa mkweli unachagua kudharalisha watuyour weakness | 2017-09-26T10:52:29 | http://www.udakuspecially.com/2017/07/maoni-ya-dr-slaa-kukamatwa-kwa-dkt.html |
home uncategorized kompyuta youtube jinsi ya kupakua video kutoka youtube kwa simu janja na kompyuta
youtube imetengenezwa kwa ajili ya kuangalia video kwenye mtandao bila kuzipakua na kutunza kwenye simu diski ngumu au kompyuta kuna muda inakubidi utunze video fulani na hujui njia ya kupakua basi hii ni kwa ajili yako
simu janja ya android
tubemate ni programu nzuri na inayokidhi hitaji la kupakua video kwa wenye simu janja za android google hawapendi programu zote zinazopakua video kutoka youtube kwa hiyo tubemate haiwezi kuwepo kwenye google play tembelea tovuti ya tubemate kwa simu yako kupakua apk ya kuweka kwenye android
jinsi ya kutumia ni rahisi baada ya kupakua bofya na uweze kuiweka kwenye programu za simu janja (installing) ukiifungua baada ya kumaliza itakuletea scrini yenye sehemu ya kuandika andika link ya video ilipo kisha itafunguka na kuleta vionjo vya vya muonekano (quality) kuchagua kuhusu video hiyo
simu janja ya iphone
ingia kwenye app store na upakue programu janja inayoitwa documents ni kwa ajili ya meneja ya mafaili ya simu janja za iphone
jinsi ya kuitumia ni kwa kuingia kwenye video uliyoipenda kwa kivinjari cha safari na bofya share na copy hiyo link ingia kwenye programu ya documents angalia kitufe chenye muonekano wa kivinjari fungua tovuti ya savefromnet na paste ile link uliyocopy kutoka kwenye kivinjari cha safari chagua ukubwa na muonekano utakaopendelea baada ya hapo video itaweza kupatikana kwenye documents ihamishe kwenye kwenye camera roll
kompyuta yenye os x au macos (macbook au imac)
hapa ni rahisi kwa utumie programu ya macx youtube downloader baada ya kupakua programu hiyo ni kuweka link na kisha uchague ukubwa na muonekano pia unaweza kupata programu hiyo kwa wenye kompyuta za windows hapa
kompyuta yenye windows
hapa zipo nyingi sana ni upendeleo wako mwenyewe ipi itakufaa idm ni nzuri kuliko zote kutokana na urahisi wake ila itakupa siku 30 za kuitumia bure na kuomba malipo (crack zipo nyingi) kuangalia orodha ya programu zote tembea tovuti hii
sasa ni muda wako kutumia maujanja hayo niliyokupa na kama unaswali usisite kuuliza nitakujibu ahsante
previous articleskype microsoft wamebadilisha muonekano wote wa programu hiyo
next articlesamsung yawadhihaki iphone katika tangazo lao jipya | 2018-08-15T07:52:33 | https://swahilibytes.co.tz/youtube-jinsi-ya-kupakua-video-kutoka-youtube-kwa-simu-janja-na-kompyuta-zote/ |
utanguzi
kabla sijatoa maelezo machache kuhusu madhehebu za kishia itakuwa muhimu sana kuzitazama zile tabia za ushia kama anavyosema mwanachuoni mkuu wa kishia sheikh al mufid kuwa tabia muhimu sana za ushia ni
(a) kumfuata hadhrat ali bin abi talib [a] kumpenda na kumkubali kuwa ni kiongozi wako
(b) kuamini kuwa yeye ndiye mrithi wa mtukufu mtume [s] aliyestahili kushika madaraka mara tu baada ya kufariki kwake na kuwa wale waliojifanya makhalifa kabla yake hawakuwa makhalifa hata kidogo
kwa vile jina la attashaiyu lina maana hiyo iliyota jwa hapo juu linatumika tu kwa alimamiah na al jarudiyah (kimadhehebu kidogo cha zaidiyah ambacho siku hizi kiisha kufa) kuzitofautisha na madhehebu zote za ummah wa kiislamu kwa sababu ni madhebu hizi mbilitu zitimizazo maana hiyo na mutazilah bakriyah khawarij na hashawiyah wako nje ya maana hii kwa sababu hawaitimizi maana hii kama tulivyoieleza
soma kitabu kiitwacho awa'ilulmaqalat cha sheikh muhammad bin annuman almufid toleo la pili la mwaka 1370 hijiriyah kilichochapishwa mjini qum (iran) uk 4
sasa hebu yalinganishe maelezo hayo ya neno shia yaliyotolewa na mwanachuoni wa kishia (aliyeishi katika karne
4 hijiriya) mwenye sifa kama za shaikh almufid na yale yaliyotolewa na adui wao ibn hazm (aliyeishi katika karne ya 5 hijiriya) yasemayo yule akubalianayena mashia kuwa 'ali ni mbora zaidi miongoni mwa watu wote wa pili kutoka kwa mtume na kuwa yeye (ali) na dhuria wake baada yake ni wenye kuhusika zaidi na uimamu kuliko ye yote yule ni shia (soma kitabu kiitwacho 'kitabu almilalwannihal' cha ibn hazm uk 32 kamakilivyonakiliwa na bwana j n hollister katika kitabu chake kiitwacho the shia of india kilichotolewa na lucaz & co london uingereza 1953 uk4)
ibn hazm hatambui kuwa kwa ufafanuzi wake huo hata imamu ahmad bin hambali angelikuwa shia kwa sababu aliuamini ubora wa hadhrat ali [a] (kuwa ni wa pili) baada ya mtukufu mtume [s]kama asemavyo mwanawe abdullah
nalimuuliza baba yangu kuhusu maoni yake juu ya ubora alisema abu bakr na umar na uthman kisha kwa vile alinyamaza nilimuuliza ewe baba vipi kuhusu ali bin abi
talib alijibu yeye ametokana na ahlulbait watu wengine hawawezi kulinganishwanaye (soma kitabu kiitwacho yanabiulmawaddah uk 253 cha shaikh alislam hafiz suleiman albalakhi alqanduzi alhanafi)
ukweli ni kuwa imani ya ubora wa hadhrat ali [a] na dhuria wake na kufikiria kuwa waliustahili uimamu hakumfanyi mtu kuwa shia mpaka mtu huyo aamini kuwa walikuwa maimamu hasa achilia mbali madai ya wadai wengine wa uimamu
alimamiyah
neno alimamiyah lina maana ya kile kikundi cha mashia ambao vile vile huamini kuwa ni lazima na ni wajibu kuwepo imamu kila wakati na kuwa imefahamika kutokana na nass (tangazo la mtume au imamu aliyetangulia kuhusu mrithi wake) iliyo wazi kabisa na ambao huiamini 'ismat (utakatifu) wa maimamu na kuwa kila imamu alikuwa mbora katika matendo yote mema na ambao huamini kuwa baada ya imamu husain [a] uimamu uliendelea katika kizazi chake (soma kitabu cha shaikh almufid tulichokitaja hapo juu uk 7)
maadhehebu za kishla
kama ilivyoelezwa hapo juu mashia wamegawanyika mafungu mawili imamiyah na jarudiyah kwa sababu wote wanaamini kuwa hadhrat ali [a] ndiye khalifa wa kwanza na mrithi wa mtukufu mtume [s] kufuatana na nass yake kabla sijatoa maelezo zaidi kuhusu madhehebu hizi itamsaidia msomaji kuzitazama baadhi ya madhehebu za zamani ambazo sasa zimekufa
1) kaisaniya
hawa waliamini kuwa bwana muhammad bin ali (anayefahamika sana kwa jina la lbnul hanafiya) alikuwa imamu wa nne baada ya nduguye husain shahidi wa karbala waliamini kuwa ibnulhanafiya alikuwa hai na yeye ndiye mahdi aliye tabiriwa na mtukufu mtume [s] na atadhihirika tena karibu na siku ya kiyama
kundi hili lilikufa baada ya kufariki kwake abu hashim (mwanawe ibnul hanafiya) aliyeuwawa kwa sumu na hisham bin abdul malik mfalme wa ukoo wa bani umayyah
haifahamiki kama waliwahi kuandika kitabu cho chote kuhusu imani yao ya kimadhehebu hakuna maandishi yo yote yaliyoonekana katika mashariki ya kati yanayohusu mafundisho yao sasa miaka 1300 baada ya kusahauliwa kwao mwandishi ataona shairi la kiswahili hapa katika pwani ya afrika ya mashariki lithibitishalo kuwa makaisaniya waliamini kile kidaiwacho na wanachuoni wa kisunni na kishia kuwa walikiamini (soma kitabu kiitwacho uteuzi wa sayyidina husain bin ali maelezo kuhusu uteuzi huo yalichapishwa (kwa kiingereza) katika gazeti letu 'the light' vol vi no 1 na mwandishi wa makkah makala iitwayo some evidences of shi'ite connection with with early history of east africa maelezo yake machache yamechapishwa (kwa kiingereza) kama nyongeza katika kitabu kiitwacho ibn battuta in black africa kilichoandikwa na bwana said hamdun na professor noel king na kutolewa na rex collings london uingereza mnamo mwaka 1975)
2) annawusiya
hawa waliamini kuwa imamu wa sita jaafar sadiq alikuwa mahdi na imamu wa mwisho madhehebu hii ilipewa jina la muanzilishi wake bwana abdallah bin nawus ilikufa mara tu baada ya kuanzishwa kwake
3) alfathiya
hawa waliamini kuwa imam wa baad ya lmamu wa sita ni mwanawe mkubwa bwana abdullah alaftah cheo kilichoipa jina madhehebu hiyo hawa nao walipotea mara moja
4) alwaqifiya
waliamini kuwa imamu wa saba musa alkadhim alikuwa imamu wa mwisho na ndiye mahdi hawa nao hadi katika zama za imamu wa tisa muhammad taqi [a] walikuwa
weshamalizika
pia yalikuweko makundi mengine machache yaliyozuka na kufa mara moja bila ya kuacha kumbukumbu zo zote zile makundi haya hayakuwa na uhusiano wo wote na dini wala historia
sasa twazijia zile madhehebu za kishia zilizoko siku hizi
1) ithnaashariya
wao ni na wamekuwa wakibakia kuwa kikundi kikubwa cha kishia ulimwenguni katika mashariki ya kati na asia ya kusini mashariki kila jina 'shia' linapotumika huwana maana ya kundi hili tu inabidi makundi mengine yajitambulishe kwa majina mengine ithnaasharia wanawaamini maimamu kumi na wawili wakianzia na ali na kumalizia na muhammad almahdi ambaye wanamwamini kuwa yu hai na atadhihiri tena kabla ya siku ya kiyama orodha ya maimamu wote kumi na wawili imetolewa hapa chini ili kumpasha habari msomaji
1 ali bin abi talib (almurtada [a])
2 hasan bin ali (almujtaba [a])
3 husain bin ali (sayyidusshuhada [a])
4 ali bin husain (zainul abidiin [a])
5 muhammad bin ali (albaqir [a])
6 jaafar bin muhammad (alsadiq [a])
7 musa bin jaafar (aikadhim [a])
8 ali bin musa (arridha [a])
9 muhammad bin ali (attaqi [a])
10 ali bin muhammad (annaqi [a])
11 hasan bin ali (alaskari [a])
12 muhammad bin hasan (almahdi [a])
wafuasi wa kikundi hiki wanapatikana iran iraq pakistani uhindi bangladesh shamu lebanon kuwait muungano wa falme za kiarabu bahrain uarabuni ya saudia burma thailand indonesia urusi tanzania kenya uganda somalia zaire malagasy ungazija uingereza kanada umarikani (usa) nk
pia wanaitwa imamiya na jaafariya wakati mwingine maadui zao huwaita rafidhi
2) ismailiya
wanaamini kuwa uimamu baada ya imamu jaafar sadiq ulichukuliwa na mwanawe ismail maismailiya wamegawanyika tena katika madhehebu ndogo mbili
(a) maagha khani
hawa hufahamika zaidi kwa jina la maismailiya hapa afrika ya mashariki na sehemu nyinginezo ingawa vitabu vya kidini huwaita nazariya wanamwamini mtukufu karim aga khan iv kuwa ni imamu wao wa 49
(b) mabohora
katika elimu ya kidini wanaitwa mustalawiya wanaamini kuwa imamu wa 21 yu katika ghaib (haonekani) na yu hai kwa wakati huu kiongozi wa jamii yao anaitwa dai mutlaq daimutlaq wa sasa (wa 52) ni mtakatifu burhanuddin wa bombay uhindi
sasa twawajia jarudiya wao ni madhehebu ndogo ya zaidiya
zaidiya wamegawanyika makundi matatu
(a) aljarudiya
hawa ni wafuasi wa bwana abuljarud wanaamini kuwa mtume [s] alimteua ali bin abi talib kuwa mrithi wake lakini sio kwa kumtaja jina kufuatana na imani yao mtume [s] alizitaja tu zile sifa njema (za lazima kwa khalifa kuwa nazo) ambazo hazikupatikana kwa mtu ye yote yule mwingine ila hadhrat ali [a] baada ya hadhrat ali [a] hadhrat hasan [a] na hadhrat husain [a] ni maimamu wao baada ya hadhrat husain [a] waislamu wamepewa uhuru wa kuchagua wenyewe imamu wao chini ya masharti ya kuwa ukhalifa usitoke mikononi mwa dhuria wa bibi fatima [a]
(b) sulaimaniya
hawa ni wafuasi wa bwana suleiman bin jarir wanasema kuwa mtume [s] hakumchagua mtu ye yote kuwa khalifa wake si kwa jina wala kwa sifa njema kufuatana na imani yao abu bakr (ra) na umar (ra) walikuwa makhalifa wa haki lakini ukhalifa wa bwana uthman (ra) haukusihi
(c) batiriya
hawa ni wafuasi wa bwana batir aththumi ambaye imani yake ilikuwa sawa na ile ya sulaimaniya ila kuwa tu hawakusema cho chote kuhusu kusihi au kutosihi kwa ukhalifa wa bwana uthman (ra)
mwanachuoni wa kisunni sharif jurjani ameandika hivi
mazaidiya walio wengi ni mutazila katika mambo ya elimu ya kidini na wanamfuatia imamu abu hanifa katika sheria za kiislamu (soma kitabu kiitwacho sharhulmawaqif cha sharif jurjani)
maneno haya yamethibitishwa na mwanachuoni wa kishia bwana khwaja nasiruddin tusi ambaye ameendelea kusema
mazaidiya wanauamini ukhalifa wa ali hasan na husain lakini hawauamini uimamu wa ali bin husain kwa sababu hakupigana vita (kama nilivyoeleza hapo mwanzoni imani hii si imani ya mazaidiya wote ni wale mazaidiya walio jarudiyah tu wauaminio uimamu wa ali hasan na husain) (badala yake) wanaumini uimamu wa mwanawe mwingine bwana zaidi kwa sababu alipigana dhidi ya ukhalifa usio sahihi kufuatana na imani yao ukatatifu sio jambo muhimu kwa imamu maimamu wawili wanaweza kuchaguliwa kwa wakati mmoja katika sehemu zenye taabu ye yote yule mwenye sifa hizi tano anaweza kuwa imamu
(1) nilazima atokane na dhuria wa bibi fatima [a]
(2) lazima awe na elimu kubwa ya sheria za kiislamu
(3) lazima awe mchamungu
(4) lazima awe shujaa
(5) kama mtu mwenye sifa hizo nne zilizotajwa hapo juu akiwaita watu kwenye dini ya mwenyezi mungu kwa upanga basi atakuwa imamu (soma kitabu kiitwacho qawaidul aqaid cha sheikh khwaja nasiruddin tusi
katika maandishi yangu yaliyotangulia nimeandika kuwa mazaidiya si mashia wala masunni bali ni kikundi kilicho baina ya madhehebu hizo mbili maelezo haya ni sahihi kufuatana na mazaidiya wa siku hizi wahusikavyo kwa kuwa wao ni mutazila kiimani na hanafiya katika sheria za kiislamu ni haki wahesabiwe kuwa wao ni madhehebu pekee
wasomaji wataona kuwa maelezo hayo hapo juu hayajumlishi imani ya madhehebu ya jarudiya lakini majurudia wamepotea miaka mingi iliyopita na ni jambo la kupendeza kuona kwamba shaikh mufid nae hawahesabu mazaidiya wa siku hizi pamoja na madhehebu za kishia kwa sababu hawakubali kuwa ali ni khalifa wa kwanza licha ya madai yote mengineyo
mpaka hapa tumekwishaelezea kuhusu madhehebu tatu za kishia zilizopo na tano zilizokufa shaikh mufidi (aliyefariki mnamo mwaka 413 hijiriya) ameorodhesha idadi ya madhehebu 14 katika shia baadaye madhehebu moja tu zaidi imetokea yaani baina ya nazariya na mustalawiya hivyo idadi ya madhehebu za kishia imefikia 15 ambazo kati yao tatu tu ndizo zilizopo siku hizi nyinginezo zote zimekufa mara baada ya kuanzishwa kwao baadhi yao kama vile kaisaniya zimekuwepo kwa muda wa miaka 60 hadi 70 kisha zikafa
katika msingi huu tunastaajabu sana tunapoona katika vitabu vya mabwana sharistani na maqrizi madhehebu za kishia ambazo hazikuwepo ila kwa kubuniwa tu katika fikara za waandishi hao jambo linaloumiza zaidi ni kule kuyakubali tu maandishi ya hayo bila ya kufikiria kulikofanywa na waandishi wote waliotokea baadaye sisi mashia pia tunahusika katika hali hii kwa kadri waandishi wa kizungu wahusikavyo kwa sababu vitabu vyetu havikuwa vikipatikana kwa urahisi katika lugha za kiulaya lakini ni udhuru gani uwezao kutolewa na waandishi hao ambao lugha yao ilikuwa au ni kiarabu kiajemi au kiurdu vitabu vyetu inauzwa kwa wingi sana katika maduka ya vitabu katika nchi za mashariki ya kati uhindi na pakistan hakuna kilicho siri katika madhehebu yetu kila kitu kimeelezwa wazi wazi kabisa lakini labda waandishi hao wafikiria kuwa njia mzuri ya kujifunzia imani ya kikundi fulani ni kwa kutovitazama kabisa vitabu vya kikundi hicho na badala yake kuendelea kunakilitena na tena kile kilichoandikwa na adui wa zamani kuhusu kikundi hicho japo iwe adui huyo yeye mwenyewe hakukijua kile alichokuwa akikiandika
nikitoa mifano fulani fulani
bwana maqrizi amesema katika kitabu chake kiitwacho alkhutat makundi ya marafidhi (mashia) ni karibuni 300 ambayo kati ya hayo 20 yanafahamika sana (kama ifahamikavyo siku hizi hata hayo 20 ni udanganyifu mtupu hata shah abdulaziz dehlawa naye katika kitabu chake kiitwacho tuhfaiithnaashariya ameifanya dhama yake kupotea amedai kuwa zilikuwepo madhehebu 67 za kishia na alipoziorodhesha alitoa 61 tu kisha alipokuwa akizitaja hizo madhehebu 20 za kubunia anasema zurariya ambao ni wafuasi wa zurarah bin a'yun walisema kuwa imamu baada ya imamu jaafar sadiq ni mwanawe abdallah na baadaye walimkataa abdallah na wakasema kuwa imamu baada ya imamu jaafar ni musa bin jaafar
kisha anaendelea kuhesabu madhehebu ya kumi ni zurariyah wafuasi wa zurarah bin ayun yeye aliamini kuwa mwenyezi mungu hapo mwanzoni hakuwa mjuzi wa yote wala muweza wa yote na baadaye alijipatia sifa hizi
lakini bwana zurarah ni sahaba maarufu sana wa imamu wa tano na wa sita alifariki mjini kufa (iraq) mnamo mwaka 150 hijiriya muda kidogo baada ya kusikia habari za kifo cha imamu wa sita jaafar saadiq [a] alimtuma mwanawe aitwaye ubaid kwenda madina kwenda kuchunguza ni nani aliyemrithi wa imamu wa sita lakini ugonjwa wake uliendelea hivyo akaichukua qur'ani mikononi mwake na akasema ewe mwenyezi mungu hakika imamu wangu ni yule mwana wa jaafar bin muhammad ambaye uimamu wake unathibitishwa na hii qur'ani kisha bwana huyu akafariki soma vitabu hivi (1) kamaluddinwatamamun nimah cha shaikh as saduq (2) alfihrist cha shaikh attusi nakala ya mwaka 1961 miladiya kilichochapishiwa mjini najaf iraq uk 100 (mwishoni mwa ukurasa huo) (3) tafsir ya aiyyashi juzuu ya kwanza uk 27)
bwana zurarah hakuanzisha madhehebu yo yote ile hakuuamini upuuzi uliohusishwa naye kuwa yu mwanzilishi wa madhehebu ya kubunia ya kumi lakini ilimbidi maqrizi aonyeshe kuwa zilikuwepo madhehebu mashuhuri 20 katika ushia hivyo alizibuni madhehebu na imani zao lakini kwa bahati mbaya hakuweza kubunia majina mapya na hivyo ilimbidi airudie kuitaja madhehebu ya zurariyah mara ya pili
(hata kama kwa ajili ya mabishano haya tukichukulia kuwa kwanza bwana zurarah aliuamini ukhalifa wa abdallah alaftah na kisha akamrudia imamu musa alkadhim [a] itakuwa na maana tu kuwa bwana huyu alikuwa fathiya ambaye baadaye alikuwa lthnaashariya lakini vipi imani yake hiyo inaweza kujengwa na kuwa madhehebu mpya ya zurariyah je bwana marqizi anataka kusema kuwa iliwabidi wafuasi wote wa madhehebu hii ya kubunia kumwamini abdallah na kisha baadaye katikati ya maisha yao ilibidi wabadili na kumwamini imamu musa alkadhim [a]
vile vile ameibunia madhehebu ya hishamiya ambayo ameitumia mara tatu kwa imani tofauti tofauti vile vile pamoja na kubunia huku ni madhehebu ya yunusia ambayo ameiorodhesha mara mbili kisha ameiorodhesha madhehebu moja iitwayo shaitaniya lakini hapa ubuniaji wake umewapanua mawazo baadhi ya watu vipi baada ya kuihesabu madhehebu hii ya kubunia miongoni mwa madhehebu za kishia kisha anaihesabu tena miongoni mwa madhehebu za mutazila
na kinachoshangaza zaidi ni kuwa wale waanzilishi wa kubunia wa madhehebu zote hizo za kubunia ni watu wale wale waliokuwa na ambao ni miongoni mwa nguzo za imani sahihi ya kishia ni sawa kabisa na kuzihesabu madhehebu 12 za wakristo wa mwanzoni kabisa zilizopewa majina ya wanafunzi 12 wa yesu na kuzipa imani nyingine zilizo tofauti na mafundisho ya yesu
kwa vile waandishihao wasiokuwa mashia hawakuzielewa wazi wazi tabia muhimu za ushia waliihesabu pamoja na madhehebu za kishia hata ghulat yaani wale wanaomwamini ali au imamu ye yote yule mwingine kuwa ni mungu au mdhihiriko wa mungu hawakufahamu kuwa maana ya ushia ni kuamini kuwa ali ni mrithi wa kwanza wa mtume wa mwenyezi mungu hivyo (hadhrat ali [a]) huja baada ya mwenyezi mungu na mtume wake wala sio kuwa yeye (hadhrat ali [a]) yu mungu kwa usemi mwingine ni kuwa tofauti iliyopo kati ya usunni na ushia si dhati ya ali bali ni cheo cha ali lakini wale waandishi wasiokuwa na ujuzi wa jambo hili walifikiria kuwa ye yote yule aliyelichukulia jina la ali vyo vyote vile alikuwa shia na hiyo ndiyo sababu ya pigo lililoandikwa katika vitabu vyao
ili kuiweka kumbukumbu hii katika utaratibu mzuri na nakili kutoka katika vitabu vya fiqah ya kishia
hakuna shaka yo yote kuwa ghalat>na nawasibi na khawarij ni najisi (sio johara) (soma kitabu kiitwacho alurwatulwuthqa cha sayyid kadhim yazdi kitabuut taharat na vitabu vingine vya fiqah ya kishia)
na kama kitu cha waqf kinatolewa kwa matumizi ya mashia kitatumika kwa imamiya na jurudiya na fathiya na ismailiya na nawusiya na waqifiya na kaisaniya (soma kitabu kiitwacho sharayeulislam cha bwana muhaqqiq kitabulwaqf na vitabu vingine vyote vya fiqah ya kishia] | 2020-08-10T21:50:56 | http://www.al-shia.com/html/swa/shia/madhehebu/ |
nini hatma ya brexit | matukio ya kisiasa | dw | 23102019
nini hatma ya brexit
moja ya maswali yakujiuliza katika sakata la brexit ni waziri mkuu wa uingereza anaweza kukubali kushindwa mara ngapi bunge la uingereza limeukataa mpango wa serikali wa kujadili kupitiabunge sheria zinazotekeleza makubaliano ya brexit ndani ya siku tatu pekee matokeo yake boris johnson aliachana na ombi lake la kuendelea na mpango wa brexit
mivutano hii kati ya waziri mkuu na wabunge inasababisha kushindwa kuwa na uwezekano wa kukamilisha makubaliano ya kujitoa na umoja wa ulaya kabla ya muda uliopangwa oktoba 31
kifungu cha sheria kinachomtaka waziri mkuu johnson kutoiruhusu uingereza kujitoa kwenye umoja huo bila ya makubaliano kinachojulikana kama ben act kinatumika tena hii ikimaanisha tarehe iliyokuwa imepangwa kwa uingereza kujiondoa umoja wa ulaya si suala la mjadala tena kwa sasa umoja wa ulaya hauna budi kuamua haraka juu ya ombi la waziri mkuu mtukutu lililotumwa mjini brussels kwa umoja huo kupitia barua zisizo na sahihi jumamosi iliyopita
kifungu hicho cha sheria cha ben act kinaitaka uingereza kuomba muda wa miezi mitatu zaidi kuna mashaka kidogo iwapo umoja wa ulaya utaruhusu kuongezewa muda huenda wakatoa muda mfupi ama mrefu zaidi rais wa baraza la ulaya donald tusk na nchi 27 wanachama wa umoja huo kasoro uingereza wanalifikiria hilo
uamuzi unaweza kutolewa ndani ya siku kadhaa zijazo ama labda katika mkutano wa kilele mjini brussels johnson ameshatangaza kuwa hatohudhuria katika mashauriano hili si jambo rasmi wala lenye kuwa na umuhimu waziri mkuu huyu ambaye ameendelea kupatwa na mapigo bado anataka uingereza ijitoe kwenye umoja huo ifikapo oktoba 31 lakini huenda ni vizuri zaidi akaondoka madarakani na kutoa nafasi kwa mtu mwingine kurithi cheo chake
boris johnson analenga uchaguzi
wakati huohuo johnson analenga kuwa na uchaguzi mpya wa bunge ambalo kwa maoni yake halifai anataka kutambuliwa kama mteule anayelinda haki za watu kulazimisha uchaguzi huu ambao una uwezekano wa kusababisha kupigwa kura ya maoni kuwa mgumu ama kuufuta mchakato wa brexit chama cha conservative kina njia mbili pekee
spika wa bunge la uingereza john bercow katika moja ya mijadala ya brexit
ya kwanza ni kwa johnson kuliomba bunge tarehe ya uchaguzi lakini hii itahitaji kupata theluthi mbili ya wabunge walio wengi jambo ambalo si rahisi njia ya pili ni kujiuzulu ama anaweza kuondolewa madarakani kwa kura ya kutokuwa na imani naye baada ya hapo itakuwa ni lazima uchaguzi ufanyike iwapo bunge la nchi hiyo lililo na mgawanyiko mkubwa halitakuwa na makubaliano juu ya mkuu mwingine wa serikali
hata hivyo kunazidi kuwa na mkanganyiko na ni wazi kwamba mchakato wa uingereza kujitoa umoja wa ulaya utaahirishwa kwa muda huku hali ya sintofahamu ikiendelea kutawala kati ya uingereza na umoja huo
mwandishi riegert bernd
rais wa baraza la umoja wa ulaya donald tusk amesema atapendekeza kwa viongozi wa umoja huo kutoa muda mwingine wa ziada kwa ajili ya brexit masaa kadhaa baada ya wabunge kukataa juhudi zake kuidhinisha brexit (23102019)
waziri mkuu wa uingereza ametishia kuachana na makubaliano ya brexit aliyofikia na umoja wa ulaya na kuelekeza nguvu katika maandalizi ya uchaguzi mpya ikiwa bunge mjini london litapiga kura kuyakataa makubaliano hayo (22102019)
maneno muhimu brexit boris johnson unterhaus großbritannien
kiungo https//pdwcom/p/3rlkb | 2019-12-14T18:18:52 | https://www.dw.com/sw/nini-hatma-ya-brexit/a-50947421 |
kitambi ugonjwa pekee wenye heshima katika jamii za kiafrika | jamiiforums
kitambi ugonjwa pekee wenye heshima katika jamii za kiafrika
thread starter banned do
pamoja na kuwa ni ugonjwa unaotokana na kuzidisha kula lakini jamii nyingi za kiafrika zimekuwa zikiutafuta kwa hali na mali ili kuweza kupata heshima kwenye jamiimtu mwenye ugonjwa huo hupewa kipaumbele na kuonekana bora kuliko wengine katika jamiiwakati mwingine kitambi hutumika kama kipimo cha mafanikio ya mtu
watu wanaweza kukuona wa ajabu kama una mali lakini hauna ugonjwa huu ambao wakati mwingine huitwa utapiamlo au obesityunaweza kukosa hata mke na mambo ya muhimu kama haujabahatika kuwa na hilo gonjwa la kujaa mwili na tumbo
je watu hawajui kuwa kiambi ni ugonjwa au wanajitoa ufahamu
reactions wakugoogle patience123 barafu and 1 other person
wivu tu unakusumbua
reactions beka mpole and banned do
huwa nikiona picha za wazee kwenye magazeti nacheka sana unakuta mkuu wa polisi au jeshi ana kitambi hadi anashindwa kutembea
reactions tangawizi wakugoogle banned do and 2 others
kuna baadhi ya nchi duniani hapa ukiwa na kitambi sahau kupata mchuchu ukiwa na kitambi unaonekana mjinga mbele ya jamii mpenda kubukanya (kula hovyo) na usiejali afya yako
tena afadhali kitambi hicho uwe nacho mgeni walau wataogopa au watakunyooshea vidole kwa siri ukiwa mwananchi ndio una kitambi utaishi kwa tabu sana ukiumwa hata kidonda cha mguuni ukienda hospital tegemea kuchanwa ukimkuta doctor aliyepinda kuwa kwanini umeuachia mwili mpaka uwe hivyo
kuna baadhi ya nchi watu wanene hasa uliotokana na kula kula wanaishi kwa shida sana mbele ya jamii zao
wanaposema tupo nyuma tupo nyuma kweli kwetu jambo la kawaida kumkuta daktari na kitambi huku ughaibuni unaweza kutembea hospital zote mpaka miguu kutokea mabegani usimkute daktari wa namna hiyo
zamani kabla sijaja kuelimika huku nilikuwa naona kitambi mswano tu nilipokuja huku na kuelimishwa madhara yake nikajiona mjinga hivi sasa hata iweje siwezi kukiruhusu kwenye mwili wangu
reactions kauzu12 griffin2 wakugoogle and 9 others
banned do said
pamoja na kuwa ni ugonjwa unaotokana na kuzidisha kula lakini jamii nyingi za kiafrika zimekuwa zikiutafuta kwa hali na mali ili kuweza kupata heshima kwenye jamiimtu mwenye ugonjwa huo hupewa kipaumbele na kuonekana bora kuliko wengine katika jamiiwakati mwingine kitambi hutumika kama kipimo cha mafanikio ya mtuwatu wanaweza kukuona wa ajabu kama una mali lakini hauna ugonjwa huu ambao wakati mwingine huitwa utapiamlo au obesityunaweza kukosa hata mke na mambo ya muhimu kama haujabahatika kuwa na hilo gonjwa la kujaa mwili na tumboje watu hawajui kuwa kiambi ni ugonjwa au wanajitoa ufahamu
kama ni ugonjwa basi bara la amerika na ulaya wanaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi
dawa ikipatikana hukohata kwetu huku afrika itafikatena ianze kwa wagonjwa wa afrika ya kusini maana nayo kuna idadi kubwa ya wagonjwa (wake kwa waume)
ila kama ni ugonjwa unao sababishwa na ziada ya chakula
naona ni ugonjwa wa kujivunia
reactions banned do
tena watu wakikuona na kitambiutasikia bro naona mambo yako si habatugawane basi hizo za atm
badala ya kumpa pole mgonjwawatu wanampongeza mgonjwa na ugonjwa wake
hii hali imehamia kwa wamamasiku hizi wadada wana vitambi mpaka unaogopamibiakitimotomakuku ya kuloweka kwenye mafuta katika vijiwe vya chipschips za mafuta ya korie na transfoma nk
watu wanafikiri junk foods ndio ufahari na alama ya maisha bora
reactions kauzu12 griffin2 kalamzuvendi and 4 others
wewe kaa ivyo ivyo na ukimbau mbau wako unataka tufanane dunia nzima
reactions banned do and mgodo visa
reactions nyamuswa and banned do
ha ha ha nasikia kwa wazee wa pwani hata busha ni ugonjwa wa heshima
reactions beka mpole 1kush africa banned do and 1 other person
mkuu kinapatikana vipi kitambi
reactions 1kush africa and mgodo visa
huo kama kweli ni ugonjwa basi ni janga la dunia nzima sio afrika tu
papaa2
kula vizr yan namaanisha usiruke ata mlo mmja na hakikisha unashiba
papaa2 said
maisha haya ukitokwa na kitambi unakaribisha wakopaji
reactions griffin2 banned do and mapunye
kwamba hata njaa ikija tuna akiba sio
umetisha
uwe na uhakika wa kula milo mitatu heavy (ya nguvu kabisa)
alafu ujenge tabia ya kula ubuge vichopochopo ambavyo utahakikisha njaa kwako inakuwa ni hadithi
unaisikia tu kwa wenzako
yaani kula kwako kunakuwa ni kwa kutimiza ratiba tu
ukimudu hilo (maana yake linahitaji fedha ya ziada)
utatuletea mrejesho
wivu ganigonjwa ambalo hata bilgate hataki kulisikia
reactions kauzu12
kalamzuvendi said
issue ni pesa kaka siyo mafuta yasiyokuwa na mpangomuangalie billgate au matajiri wengine
tena heshima kubwa sanaaaaa
kula bila mpangilio na kunywa hovyohovyo
kitambi ni ugonjwa wa akili jf doctor 73 apr 12 2018
inakuaje mpaka mtu anapata kitambi jf doctor 6 may 6 2020
aliyefanikiwa kuondoa kitambi naomba anishauri jf doctor 52 dec 11 2019
dawa ya metformin yaweza kusaidia 'kuunguza' kitambi na kupunguza unene jf doctor 0 jul 31 2019
kitambi ni ugonjwa wa akili
inakuaje mpaka mtu anapata kitambi
aliyefanikiwa kuondoa kitambi naomba anishauri
dawa ya metformin yaweza kusaidia 'kuunguza' kitambi na kupunguza unene | 2020-07-14T22:48:21 | https://www.jamiiforums.com/threads/kitambi-ugonjwa-pekee-wenye-heshima-katika-jamii-za-kiafrika.1263234/ |
discussion in 'love connect' started by kachanchabuseta nov 8 2010
ndugu zangu habari za saa hizi
najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu
jamani naomba msaada wenu bila kubezana
awe wa kike umri kuanzia miaka 3540
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela
natanguliza shukuraniclick to expand
vigezo vyote ninavyoila hapo kwenye bluu ndio patanishindamimi na pesa dam dam
utampata
vigezo vyote ninavyoila hapo kwenye bluu ndio patanishindamimi na pesa dam damclick to expand
linganisheni avator zenu kwanzajokinsmilebig
petra hizi za huku hazinaenea bado hahah smilebigwink2
ndugu yetu wewe dini gani maana dada zetu lazima watauliza hilo na umri wako na wa watoto pia hakuna mzaa hapa ni katika kukusaidia kuuza tenda
kamuone mama big
mwanzo uliishi mchumba wa kiume ufafanuzi kwenye bold blue
mwanzo uliishi mchumba wa kiume ufafanuzi kwenye bold blueclick to expand
ndiosmilebigsoory kwa kumjibia
linganisheni avator zenu kwanzajokinsmilebigclick to expand
haiyaaaamweeeehili nalo nenommmhhisrael
kila la kherihippiehippie
mkuu umeachwa umeachika au umeacha au hujawahi kuoa bali kuwowa hayo pia ni maswali ya ziada kutoka kwa mtafutwa jiandae
sasa asiwemchumaji utampata wapi labda nenda iswagiloli huko hat mia tano utapatayield
dah i imekaa poa
mimi nina watoto wa5
nilikuwa namtafuta mwenza wangu pia
bas tuchekiane
haya kila la heri jk
mbona watu wengi wamekuwa wakitafuta wachumba jf kulikoninono
aiyaa huyu mtu atakuwa kashazeeka maana umri anaoutaka ni 35+ yrs he kibabu kinatafuta kibibi kila la heri
umejitambulisha vizuri sana
nakutakia kila lakheri
mimi niko nje ya umri huo
kwa hiyo nimetoka
mbona watu wengi wamekuwa wakitafuta wachumba jf kulikoninonoclick to expand
wanadhani jf ndo sokon au mton unaweza tu kuopoa kwa urahisimtu anasoma post zako afu anakupimia tu like uyu ninikimwambia ivi itakuwa poaso wameona weng umu na wanapima kwa post so wanazani watakubaliwa
itabidi asikubane sana kuhusiana na hilo labda amaanisha ya kuwa alikwishachuma za kutosha wewe ni kwenda kuzitafuna tu na ikibidi uje na wanandugu wote mkasherehekeeeeeeeee | 2017-01-18T22:32:59 | https://www.jamiiforums.com/threads/natafuta-mchumba.86145/ |
tanzaniya iratangazwa nivyo onu iyagiriza kuri korea ya ruguru | abisezerano
accueiltanzaniya iratangazwa nivyo onu iyagiriza kuri korea ya ruguru
tanzaniya iratangazwa nivyo onu iyagiriza kuri korea ya ruguru
umushikiranganji wimigenderanire ya tanzaniya namakungu dr augustine mahiga arahakana ibirego vya onu
ubutegetsi bwa tanzaniya bwavuze ko butangazwa nivyo onu ibwagiriza mu kuba yashize ico gihugu ku rutonde rwibikorana ubudandaji na korea ya ruguru
ari mu nama nibigo vyitangazamakuru i dar es salaam umushikiranganji wimigenderanire ya tanzaniya namakungu dr augustine mahiga yavuze ko hari imigenderanire ivyo bihugu vyari bifitaniye kuva mu mwaka wi 2014 ariko ngo muri kino gihe tanzaniya yaragabanuye imigenderanire yivyashara niyimibano nico gihugu
« ntaco dupfa na korea ya ruguru ariko ibikogwa vyico gihugu mu gukora ibigwanisho bibangamira akarere si vyiza ku mutekano wamakungu nivyo vyatumye dutangura kugabanya iyo migenderanire » niko dr mahiga yabwiye abamenyeshamakuru
umushikiranganji mahiga yongeye avuga ko iyo migenderanire ku vyubudandaji yariho imbere yuko ico gihugu gifatigwa ibihano numuryango mpuzamakungu onu
uwo mushikiranganji yavuze ko yimirije kuja mu nama mpuzamakungu ya onu aho ngo yipfuza gukoresha ako karyo akavugana nakanama kajejwe umutekano ka onu kuri ico kibazo
onu yafatiye ibindi bihano korea ya ruguru
tanzaniya nubuganda biri ku rutonde rwibihugu biriko birakogwako itohoza na onu ko bitubahiriza ibihano igihugu ca korea ya ruguru cafatiwe
akanama kajejwe umutekano ka onu kavuga ko kariko karatohoza ku makuru avugwa ko tanzaniya yagize amasezerano ya gisirikare na korea ya ruguru yimiliyoni zamadolari 125i
← burundi ambassade ya kenya iremeza ko hari abafunzwe ku bijanye niterabwoba
tuniziya abigeme baba islamu bemerewe kwubakana nabo bipfuza → | 2018-07-22T10:27:12 | https://abisezerano.com/2017/09/15/tanzaniya-iratangazwa-nivyo-onu-iyagiriza-kuri-korea-ya-ruguru/ |
wapiganaji wa is waliosalia mosul kuuawa balozi wa marekani mcgurk asema bbc swahili
http//wwwbbccom/swahili/habari39252442
wanajeshi wa iraq sasa wanadhibiti maeneo ya mashariki mwa mosul
mwanabalozi wa marekani anayehusika katika kuongoza operesheni ya pamoja na ya majeshi dhidi ya wapiganaji wa islamic state (is) nchini iraq amesema wapiganaji wa kundi hilo waliosalia mjini mosul watauawa
brett mcgurk ametoa onyo hilo baada ya wanajeshi wa iraq kuteka njia pekee iliyokuwa ikitumiwa na wapiganaji hao kuondoka au kuingia mji huohii ina maana kwamba wapiganaji wa kundi hilo waliosalia mjini humo wamekwama
wapiganaji wa is wamedhibiti mji huo wa pili kwa ukubwa nchini iraq tangu 2014lakini wanajeshi wa iraq wamefanikiwa kuteka maeneo makubwa ya mji huo katika operesheni ya kijeshi iliyodumu kwa miezi kadhakwa sasa wanajeshi hao wakisaidiwa na marekani wamefanikiwa kudhibiti maeneo yote ya mashariki mwa mji huo kupitia vita hivyo vilivyoanza machi 5wamefanikiwa pia kuwafurusha wapiganaji hao kutoka sehemu muhimu upande wa magharibi wa mji huo ikiwa ni pamoja na makao makuu ya baraza la mji pamoja na makumbusho makuu ya mosul
amnesty polisi wanakiuka haki iraq
mapigano makali yaliendelea mwishoni mwa wiki na bw mcgurk aliwaambia wanahabari mjini baghdad jumapili kwamba usiku wa kuamkia siku hiyo wanajeshi wa iraq walifanikiwa kuteka barabara ya mwisho iliyokuwa inadhibitiwa na isaliongeza wapiganaji waliosalia mosul watauawa mjini humo kwa sababu wamekwama sasakwa hivyo tumejitolea sio tu kuwashinda wapiganaji hao mosul bali pia kuhakikisha hawawezi kutorokameja jenerali maan alsaadi mkuu wa kikosi cha wanajeshi wa iraq cha kukabiliana na ugaidi alisema wanajeshi wa serikali sasa wanadhibiti zaidi ya theluthi moja ya magharibi mwa mosulalisema anaamini mapigano yatakuwa rahisi kuliko mashariki mwa mosul vita ambavyo vilichukua siku 100 kukamilikamapigano yalianza oktoba na wanajeshi wa iraq wakafanikiwa kushinda is mwezi januari
maelezo zaidi kuhusu taarifa hii wanajeshi wa iraq waingia mosul 1 novemba 2016 is wanatumia ndege zisizo na rubani iraq kuangusha maguruneti 19 januari 2017 iraq kuondolewa kwenye orodha ya trump ya zuio la wahamiaji 7 machi 2017 swahili navigation | 2017-07-21T23:14:34 | http://www.bbc.com/swahili/habari-39252442 |
straika balotelli nimewatoa waingereza lakini bado wananipenda
balotelli nimewatoa waingereza lakini bado wananipenda
mario balotelli wa italia akifunga penalti yake dhidi ya kipa joe hart wa england wakati wa kupigiana matuta katika mechi yao ya robo fainali ya uefa euro2012 kwenye uwanja wa olimpiki juni 24 2012 mjini kiev ukraine
mario balotelli hana mpango wa kurejea italia baada ya fainali za euro 2012 hata kama atarudi akiwa shujaa wa taifa
mshambuliaji huyo amesema atabaki manchester city ambako amesema mashabiki wanampenda
jambo hilo lipo licha ya mchango wa balotelli katika kuitoa timu ya taifa ya england katika robo fainali ya euro wikiendi iliyopita
man city waliipa inter milan paundi milioni 22 kwa ajili ya kumsajili balotelli mwaka 2010 lakini sasa klabu za italia linachuana kutaka kumrejesha nyumbani
alipoulizwa kama atahama balotelli alisema kurudi nyumbani sasa nitarejea manchester
mashabiki wa man city daima wananihitaji licha ya kwamba wao ni waingereza na nimesaidia kuitoa timu yao ya taifa
baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mechi ya nusu fainali dhidi ya ujerumani balotelli anajiandaa kucheza mechi kubwa zaidi maishani mwake dhidi ya hispania katika fainali ya euro 2012 kesho | 2018-05-28T04:56:17 | http://straikamkali.blogspot.com/2012/06/balotelli-nimewatoa-waingereza-lakini.html |
waziri jafositaki ukanjanja katika ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi luis kamera yangu ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
posted by augusta njoji on 909 pm in kitaifa | comments 0
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa(tamisemi) selemani jafo akiwa na viongozi wa mkoa wa dar es salaam na wilaya ya ubungo katika ukaguzi wa eneo la ujenzi wa stendi ya mbezi luis
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa(tamisemi) selemani jafo akikagua mipaka ya eneo la ujenzi wa stendi ya mbezi luis
viongozi mbalimbali wakisikiliza maelekezo ya waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa(tamisemi) selemani jafo kuhusu ukaguzi wa eneo la ujenzi wa stendi ya mbezi luis
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa(tamisemi) selemani jafo akipata maelezo ya eneo linalotarajiwa kujengwa stendi ya mabasi ya kisasa ya mbezi luis
waziri wa nchi ofisi ya raistawala za mikoa na serikali za mitaa(tamisemi) selemani jafo amewaonya watu ambao ni makanjanja wa miradi ya maendeleo kwamba hatasita kuwachukulia hatua kali za kisheria huku akisema hatarajii kuwaona katika mradi wa stendi ya mabasi ya mikoani inayotarajiwa kujengwa mbezi luis jijini dar es salaam
jafo ameyasema hayo alipotembelea eneo linalotarajiwa kujengwa stendi hiyo eneo la mbezi luis jiji dar es salaam
ujenzi wa stendi hiyo unatarajiwa kuanza kujengwa miezi michache ijayo baada ya jiji la dar es salaam kupata fedha sh bilioni 50 kutoka serikali kuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayotekelezwa chini ya ofisi ya rais tamisemi
akizungumza katika eneo hilo jafo amesema kuna baadhi ya watu wanapoona miradi mikubwa kama hiyo huwa wanapanga mikakati ya kuhujumu au kujipatia fedha kwa kufanya ufisadi
wataofanya hivyo waelewe wazi hawatabaki salama amesisitiza waziri jafo
aidha jafo amesisitiza kauli ya rais dkjohn magufuli aliyoitoa wakati akizindua stendi ya mabasi ya msamvu kwamba katika ujenzi wa stendi zote lazima zizingatie mahitaji ya wadau mbalimbali hususan mama na baba nitilie ili waweze kujipatia fedha kutokana na uuzaji wa chakula
naye mkurugenzi wa jiji la dar es salaam zipora liana amemuahidi waziri jafo kwamba stendi hiyo itakuwa ya mfano barani afrika kwani itajengwa kisasa zaidi | 2019-07-20T20:23:48 | http://www.kamerayangu.co.tz/2018/05/waziri-jafositaki-ukanjanja-katika.html |
chadema nccr kwa hali hii hamjengi viongozi kuwa na madaraka zaidi ya moja mnakuwa mnafanana na ccm | jamiiforums | the home of great thinkers
chadema nccr kwa hali hii hamjengi viongozi kuwa na madaraka zaidi ya moja mnakuwa mnafanana na ccm
discussion in 'jukwaa la siasa' started by ntamaholo jan 13 2012
suala la kiongozi mmoja kulundikiwa vyeo kiasi kwamba anapotakiwa kuhudhuria mialiko sehemu tofauti tofauti inakuwa ngumu kwake kuhudhuria na hivyo kutuma mwakilishi limekuwa sugu hapa nchini kwa mda mrefu tumekuwa tukijadili kwa mda mrefu kuwa tunahitaji watu wawajibikaji sio wasaini posho pekee tu
kwa mda mrefu na nyakati tofauti viongozi na wapenzi wa vyama vya upinzani na mimi nikiwemo tumekuwa tukipinga suala la mtu kuhodhi madaraka tofauti na hivyo kuwa na nafasi nyingi kitu kinachopunguza utendaji na uwajibikaji wao
tumepinga kitendo cha mtu kuwa mbunge halafu anapewa ukuu wa wilaya/mkoa tumepinga tabia hiyo na vyama vyetu vimekuwa vikilisemea hilo
ezekiel wenje na moses machali ni wabunge wanaotakiwa kuwatumikia wananchi kwa nafasi waliyonayo kitendo cha vyama vyao kuwateua na kuwapa nafasi nyingine ndani ya chama ni udhaifu wa wateuaji na kuendeleza anacho kifanya mkuu wa kaya kuwateua rafiki zake kushika nyazifa mbalimbali ili hali tayari wana majuku mengine
kwa kuwa kuna watu waligombea nafasi mbalimbali hasa ubunge na wananchi wengi wakaonesha kuwa na imani nao ni mda sasa wa kuwazoesha na kuwapa cv kuwaandaa kuingia 2015 wapewe nafasi hizo ambazo wabunge hawa kina zitto mnyika wenje machali na wengine wamejilimbikizia kukubali kuzitumikia nafasi hiyo ni ishara ya uchu wa madaraka ambayo wanaionesha wakati hawajapewa nchi wakipewa nchi hali itakuwa mbaya zaidi kuliko hata ccm wanavyafanya leo
kwa pamoja tuwakemee waache hulka hiyo ya kujilimbikizia kazi kama vitenzi vya kiswahili
aaah huo ni mtazamo wako potezea
aaah huo ni mtazamo wako potezeaclick to expand
ni sahihi kabisa ni mtazamo wangu wewe mtazamo wako ni upi
thanks in advance mode mmeiweka vizuri
hivi hamnaga kazi ya kufanya kila dakika chademachadema
hoja za kuokoteza hizo mkurugenzi wa mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa wa chama ni vyema akawa mbunge ufanisi wa kazi yake unategemewa kukifaidisha chama bungeni pia sasa sidhani kama kumchagua mtu toka mtaani ambaye haingii bungeni kama kutakuwa na manufaa kama ambayo yanapatikana kwa mkurugenzi akiwa mbunge pia
naikupe mfano wa migongano ya kauli ndani ya chama chenu cha ccm kati ya nape na wabunge wa ccm hii ni sbb ya kutokuwa na mjumuisho wa majukumu sikatai kuwa ni kweli kuna umuhimu wa kugawana majukumu lkn tunapaswa pia kuangalia ni majukumu yepi tunayozungumzia huyu wenje tayari ana diplomatic passport na uelewa wa shughuli za bunge kwa hiyo naamini ni msemaji mzuri wa chama nje ya mipaka yetu zaidi ya asiyeshiriki shughuli za bunge 1 people likes
ok haiko mbaya chagua wewe unataka cheo kipi
hivi hamnaga kazi ya kufanya kila dakika chademachademaclick to expand
hata wewe umedhihirisha ulichokiandika eti chadema chadema
kwani katiba inaruhusu kumteua yeyote ndani ya chama na kumpa cheo cha kiserikali
naikupe mfano wa migongano ya kauli ndani ya chama chenu cha ccm kati ya nape na wabunge wa ccm hii ni sbb ya kutokuwa na mjumuisho wa majukumu sikatai kuwa ni kweli kuna umuhimu wa kugawana majukumu lkn tunapaswa pia kuangalia ni majukumu yepi tunayozungumzia huyu wenje tayari ana diplomatic passport na uelewa wa shughuli za bunge kwa hiyo naamini ni msemaji mzuri wa chama nje ya mipaka yetu zaidi ya asiyeshiriki shughuli za bunge click to expand
haya naunga mkono hoja kwa huyu wenje je mnyika zitto nafasi wanazomiliki zinawafaa wao pekee tu wengine hasa wale walioshiriki kuwania ubunge wakashindwa kwa hila za ccm hawawezi kupewa nafasi hizo ili wazitumie kujenga chama katika maeneo yao
kwani katiba inaruhusu kumteua yeyote ndani ya chama na kumpa cheo cha kiserikaliclick to expand
kwa ccm inaruhusu na mifano ipo mingi lakini kwa wanamapinduzi inakuwa aibu kuzomea ccm wakati na wewe unafanya hivyohivyo watanue wigo
ok haiko mbaya chagua wewe unataka cheo kipiclick to expand
mtanzania/mtanganyika vyeo
naunga mkono hoja ni hoja yenye mashiko hivi ni kwa nini watu warundikiwe vyeo wakati kuna wengine wanaweza kufanya kazi hizo tena kwa ufanisi suala hili halipo tu kwenye vyama vya siasa lakini pia serikalini kila siku hakuna ajira wakati mtumishi mmoja ana vyeo vinne au vitano kwa wakati mmoja tubadilike kuanzia leo kwa kujiraumu kwanini hatukubadilika jana suala hili ni muhimu na wala lisiusishwe na siasa maana ni ufa kati ya nyufa tulizonazo
kwa ccm inaruhusu na mifano ipo mingi lakini kwa wanamapinduzi inakuwa aibu kuzomea ccm wakati na wewe unafanya hivyohivyo watanue wigoclick to expand
cheo sio zawadi bali ni uwezo wa kiutendaji na wala cheo sio nguo kwamba ngoja niijaribu kama hainitoshi nitaivua
naunga mkono hoja ni hoja yenye mashiko hivi ni kwa nini watu warundikiwe vyeo wakati kuna wengine wanaweza kufanya kazi hizo tena kwa ufanisi suala hili halipo tu kwenye vyama vya siasa lakini pia serikalini kila siku hakuna ajira wakati mtumishi mmoja ana vyeo vinne au vitano kwa wakati mmoja tubadilike kuanzia leo kwa kujiraumu kwanini hatukubadilika jana suala hili ni muhimu na wala lisiusishwe na siasa maana ni ufa kati ya nyufa tulizonazoclick to expand
mkuu humu ndani ukisoma btn the line washabiki=wabomoaji utawajua na wapenzi=wajengaji utawajua aksante kwa kuliona hili
cheo sio zawadi bali ni uwezo wa kiutendaji na wala cheo sio nguo kwamba ngoja niijaribu kama hainitoshi nitaivuaclick to expand
umetafakari kabla hujaandika au umeandika tu unaweza kutoa mifano ya watu wenye utitiri wa vyeo na kuchambua utendaji wao acha ushabiki jibu kwa kujenga mkuu | 2017-01-22T14:47:12 | https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-nccr-kwa-hali-hii-hamjengi-viongozi-kuwa-na-madaraka-zaidi-ya-moja-mnakuwa-mnafanana-na-ccm.211822/ |
november | 2008 | utaiinua misingi ya vizazi vingi (isaya 5812)
kuomba sawasawa na mapenzi ya mungu
waraka wa novemba
biblia katika kile kitabu cha 1 yohana 514 inasema na huu ndio ujasiri tulionao kwake ya kuwa tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yakeatusikia tafsiri ya kiingereza inasema and this is the confidence that we have toward him that if we ask anything according to his will he hears us
ndani ya msatari huu kuna nafasi mbili ambazo muombaji yoyote ni lazima azijue
nafasi ya kwanza ni kwa yule anayeomba (position ya muombaji)
kipengele cha kwanza kinasema na huu ndio ujasiri tulionao kwake sasa ukiiweka hii sentensi kwenye umoja itasomeka hivi na huu ndio ujasiri nilionao kwake neno ujasiri nilionao linawakilisha nafasi ya muombaji mbele za mungu je huyu muombaji yukoje anaombaje anaomba saa ngapi anaombea wapi nk
ukisoma 1 yohana 321 biblia inasema wapenzi mioyo yetu isipotuhukumu tuna ujasiri kwa mungu hukumu ya moyo ndani ya mtu ndio taa wakati unaomba moyo wako usipokuhukumu maana yake taa yako inawaka na kati yako na mungu kuna mawasilano yaani unakuwa jasiri kwenda mbele za mungu kimaombi
moyo wako ukikuhukumu maana yake taa yako haiwaki na kati yako na mungu hakuna mawasilano mazuri na hivyo huwezi kuwa na ujasiri kwenda mbele za mungu kimaombi bila kwanza kutengeneza na mungu wako mara nyingi hukumu ya moyo inasababishwa na mtu kutokutii maagizo ya bwana mungu wake na hivyo kupelekea mahusiano kati yao kuwa mabaya
nafasi ya pili ni kwa yale anayoomba
kipengele cha pili cha andiko kuu la somo hili kinasema ya kuwa tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake atusikia ukiweka hii sentensi pia kwenye umoja itasomeka ya kuwa nikiomba kitu sawasawa na mapenzi yake anisikia maneno nikiomba kitu sawasawa yanawakilisha mfumo wa maombi ambao muombaji anautumia wakati wa kuomba
je anaomba nini kwa nani na katika mamlaka gani haya ndiyo maswali yanayozaliwa kutokana na sehemu ya sentensi hii siri hii imeelezwa vema kwenye yeremia 2912 inayosema ikiwa mtaniita mtakwenda na kuniomba ndipo nitwasikiliza ili uweze kuielewa vizuri nafasi hii ya pili nakusihi rejea ujumbe wa namna ya kumuuita kwenda na kumuomba mungu ili akusikilize ndani ya blog hii kwa kubonyeza category ya mafundisho ya neno la mungu
jifunze yafuatayo kutoka kwenye ujumbe huu
ü wito wa mungu kwako ni kuomba sawasawa na mapenzi yake
ü unaweza ukaomba kitu sahihi lakini usiombe sawasawa na mapenzi yake
ü unaweza ukaomba sawasawa na mapenzi yake lakini usiombe kitu sahihi
ü katika kila ombi unalopeleka kwa mungu liwe la kwako kanisa au nchi nk kuna mapenzi ya mungu ndani yake hivyo kabla hujaomba taka/tafuta kujua nini mapenzi yake kwa hayo unayotaka kuyaombea
ü nafasi yako kama muombaji na mfumo wa maombi unaoutumia ni muhimu sana kwa mungu katika kujibu maombi yako
ü mapenzi yake juu yako katika nyanja hii ya maombi yamefungwa kwenye nafasi yako kama muombaji na pia mfumo wa maombi unaoutumia wakati wa kuomba
ü suala sio kuomba bali ni kuomba sawasawa na mapenzi yake kwa maana ya kukaa kwenye mkao ambao una ujasiri kwamba anakusikia na pia unatumia mfumo/mkakati ambao yeye (mungu) anataka uutumie
neema ya kristo na iwe pamoja nawe
posted in nyaraka | 1 comment » | 2017-08-19T11:18:43 | https://sanga.wordpress.com/2008/11/ |
yaliyo jiri mkoani ruvuma na mkongwe wa habari adam nindi shukrani kwa waziri steven wasira
familia ya selina osimundi fussi inapenda kutoa shukrani kwa waziri mh steveni wasira kwa moyo alio uonyesha kwa mtoto selina osimundi fusi [aliye vaa gauni la blue ] kwa juhudi za kuweza kushugulia akiwa hospitali ya mhimbili ili mtoto huyo selina aweze kwenda kutibiwa nchini india kutokana na moyo wake kuonekana ukiwa na tundu ambalo lina mfanya kuwa dhaifu
mtoto selina osimundi fussi [4] mkaazi wa songea kama anavyo onekana kwenye picha ni mzaifu wa moyo kwa kipindi kirefu hivi sasa alishindwa kupata matibabu kutoka na ukwasi wa familia yake baba yake mzazi alifariki baada ya kuonana na mkuu wa mkoa wa ruvuma saidi thabiti mwambugu aliweza kusafirishwa hadi dae es salaam ambako alikutana na mtu wa mungu siteven wasira ambaye alijitolea kwa hali na mali ili kuhakikisha mtoto selina ana kwenda kutibiwa
mara baada ya juhudi za mh siteven wasira kulionekana upungufu wa nyaraka za kusafilia ndipo juhudi ilipo chukuliwa kumrudisha songea ili aweze kupata paspoti mh waziri wasira akishirikiana na mkuu wa mkoa wa ruvuma saidi thabiti mwambungu amemhakikishia asia saidi kanduru mama wa mtoto selina osimundi fussi kuwa mtoto huyo ata weza kupata tiba huko nchini india ndugu na jamaa tumuchangie mama huyu ili fedha hizo zimsaidie mtoto kwa mawasiliano zaidi tumia nomba 0755 731 234 au 0755061588
posted by adam mzuza nindi at 919 am | 2017-12-17T00:36:51 | http://songeahabari.blogspot.com/2013/05/shukrani-kwa-waziri-steven-wasira.html |
shaffih dauda in sports maoni kuhusu usajili wa okwi mmeifikiria ruhusa ya angalizo kutoka fifa kuhusu okwi
maoni kuhusu usajili wa okwi mmeifikiria ruhusa ya angalizo kutoka fifa kuhusu okwi
emmanuel okwi mshambuliaji huyo wa kimataifa wa uganda ameruhusiwa kuichezea klabu yake ya yanga na shirikisho la soka ulimwenguni fifa awali okwi alizuiwa kuiwakilisha yanga na kamati ya sheri na hadhi ya wachezaji ilimsimamisha kwa muda mchezaji huyo kuitumikia yanga ili kuulizia fifa uhalali wa mchezaji huyo kuichezea yanga majuzi fifa wametoa taarifa kuwa okwi anaweza kuichezea klabu yake mpya kwa sasa ila wakisema kuwa sheria itachukua mkondo wake endapo mchezaji huyo ataonekana ni tatizo katika ' ukungu' uliotawala katika usajili wake
je okwi anapaswa kuichezea yanga msimu huu ndiyo kama walivyosema fifa okwi amepewa ruhusa ila kitendo cha yanga kumtumia kinaweza kuwaletea matatizo katika siku za mbele endapo itabainika okwi alifanya udanganyifu katika klabu yake ya awali etoile du salehe ya tunisia ambao bado wanasisitiza kuwa mchezo huyo ni mali yao na hawajui alipo tangu mwezi mei 2013
tff katika mtego
wao wenyewe tayari wamesema kuwa watakaa na kulipitia suala hilo katika mtazamo wa ndani ya nchi shirikisho hilo la soka nchini limesema kuwa ruhusa ambayo fifa wametoa katika matumizi ya okwi kwa wakati huu wameikubali umejaribu kujiuliza itakuwaje siku za mbele mchezaji huyo akionekana ni tatizo
itavuruga mpira wa tanzania hasa endapo yanga watakuwa wamemtumia katika michezo ya ligi kuulabda kwa vile kuna kumbukumbu kubwa mbaya kuhusu uvunjifu wa kanani na sheria mbalimbali katika soka la tanzania yanga wakamtumia kwa kigezo cha kutumia udhaifu huo hata kama itakuja kugundulika kuwa mchezaji huyo ni ' batili kwao' ila sheria iliwafunga katika suala la kumcheza mchezaji hasiyetakiwa katika mchezo wakati wa mchezo dhidi ya coastal union misimu miwili iliyopita walipoteza ushindi katika mchezo mgumu kisa ilikuwa kumchezesha nadir haroub aliyekuwa na adhabu ni tofauti na suala hili la okwi ila wakati mwingine ni lazima tahadhari ichukuliwe mapema
tff kusema kuwa watalitazama vizuri suala hili kwa ndani ya nchi kutokana na matatizo ambayo yanaweza kuja kutokea katika soka la tanzania endapo okwi atacheza michezo yote ya timu yake ya yanga na kuisaidia kushinda na baadae ikagundulika kuwa mchezaji huyo alikiuka mambo mengi na kuingia mitini bila taarifa yanga itakuwa katika nafasi gani je sheria ikishikilia mkondo wake itamaanisha nini je itakuwaje kuhusu matokeo yake kiushabiki okwi ataanza kuitumikia yanga haraka sana ila kwa manufaa ya soka la tanzania ni lazima jambo hili lichunguzwe kwa kina kabla mchezaji huyo hajaanza kuichezea yanga katika ligi ya ndani
wammchezeshe tu katika michuano ya kimataifa kama wanahitaji kufanya ujinga wa kufikiri kimantiki ni kweli tupo tayari kuvuruga mpira wa tanzania kwa makosa ya mchezaji wa ng'ambo huwezi kuona athari zake kwa sasa sababu wote tumekuwa tukisukumwa mtazamo wa ' tambo na majisifu' wale mashabiki wa yanga wamekuwa wakiwapiga vijembe mashabiki wa simba baada ya kupewa ruhusa ya angalizo kumtumia okwi wamejitahidi kuweka hisia zao zote kwa mganda huyo huku nao wakiwasukuma viongozi wao ' kuwa kama noma na iwe noma okwi aichezee timu yao' na acheze sasa ila wasije kuwatumpia lawama viongozi wao siku wakiambiwa kuwa kutokana na matumizi ya mchezaji huyo katika michezo ya ligi kuu nafasi ya yanga ni hii
unayakumbuka ya jamal malinzi na victor costa
yanga walimsaini victor costa kutoka simba bila ruhusa ya klabu yake baadaye jamal malinzi rai wa sasa wa tff akiwa kiongozi wa juu wa klabu yake ya yanga aliingia uwanjani na victor costa na mchezaji huyo alikuwa amevaa jezi namba tano yenye jina la dewji nini kilikuja kutokea costa aliishia kuoneshwa kwa mashabiki wa mashabiki wa timu hiyo waliokuwa katika michuano ya mapinduzi cup huko zanzibar na aliporudi dar es salaam akaonekana katika mazoezi ya simba akiwa na jezi namba tano yenye jina la malinzi ilimaanisha nini
tambo za viongozi wa juu wa klabu za simba na yanga kassim dewji kwa upande wa simna na malinzi kwa upande wa yanga ulikuwa ni wakati ambao hata viongozi wa juu wa mpira wa tanzania walikuwa wakifanya kazi yao kwa mapenzi ya klabu zao je tunapaswa kuishi katika dunia yenye fikra kama hizo hadi wakati huu suala la okwi ni tofauti na lile la costa na lipo mbali na lile na nadir ila malinzi anaweza kutumia historia ya adhabu aliyoipata katika utawala wake yanga hasa baada ya kuwaadaa mashabiki wa timu yake kwa kuwadanganya kuhusu usajili wa costa pia anaweza kuchukulia adhabu ambayo tff waliisimamia wakati yanga walipomtumia nadir walikatwa pointi na kumaliza katika nafasi ya tatu
msimamo wangu kuhusu suala hili upo palepale kuwa bado hakuna uthibitisho wa moja kwa moja kuhusu suala la uhamisho wa okwi hila muda bado umebaki kidogo tu ili jibu hili kufumbuliwa kwa uhakika wenzentu hawazungumzi etoile wapo kimya fifa wametoa ruhusa ya angalizo caf wamemruhusu tff wanatafakari duuh huyu okwi ni zaidi ya wachezaji wote tanzania ila asifikie hatua ya kuharibu soka la tanzania katika siku za mbele caf ni wajanja waliitega tp mezembe na kuiondoa kimizengwe miaka mitatu iliyopita wapotoa ruhusa kwa mchezaji hasiye halali wakairudisha mashindanoni w casablanca ambayo iliitoa simba na kufika hadi fainali na kufungwa na esperance
subiri baada ya gemu ya yanga na wale waarabu nguvu iendane na fikra pia mapenzi kila mtu anayo kwa suala la okwi simba ipo karibu pia hila kwa sasa haliwahusu naisubiri jezi namba 25 ya yanga kwa hamu kubwa okwi ni mtihani au mtego kwa utawala wa malinzi tusubiri tuone kwa kuwa uchunguzi wa kitaalamu unaendelea hivi ile miezi sita ya fifa inamalizika lini okwi mwenyewe kafunga mdomo je anatambua kosa lake au hapendi kuzungumzia mambo yaliyopita unakumbuka ila makala ' yanga wamemnunua wapi emmanuel okwi' sasa nauliza mmeifikiria ruhusa ya angalizo kutoka fifa kuhusu okwi ata macho yanapenda kutazama vitu vizuri ila vitu vibaya pia huonekana
anonymousfebruary 15 2014 at 1224 pmhapa umakini wahitajika mimi binafsi sitopenda kuona soka la tanzania likiharibiwareplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 1238 pmmaelezo yako yana hoja ndani yake kama ingekua ni kwenye mfumo wa usajili wa kawaidasababu mchezaji hawez uzwa bila ridhaa ya timu yakeswali la kujiulizaokwi alikuja yanga akitoka etoile au villakama ni villa umeshawah jiuliza villa walimpata wapi okwikibali cha okwi walikipata wapilakini jiulize piacafshirikisho la mpira africa lilimpitisha okwi kucheza timu ipilakini pia fifa waliombwa na tff kupitia utaratibu upi na wao wamejibu kitu ganiemmanuel okwi aliruhusiwa na fifa kucheza villammeshawauliza fifa mipaka ya ruhusa yao kwa villa ilikua wapina kama villa walimuuza kwa yanga walimuuza kwa ruhusa ya aliye wapa au walimuuza tuu bila kumtaarifu aliyewapaambaye ni fifareplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 104 pmkaka angalizo lako ni zito sana sema tunatawaliwa na kukidhi kiu ya mashabiki badala ya kutathmini kwa kinareplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 109 pmmy take on okwi's transfer================================================>>>fifa issued provisional permit for okwi to play for villa>>>fifa assured fufa on transfer compliance of okwi to yanga from villa bearing in mind that fifa were aware of okwis saga with his former club etoile du sahel if okwis contract with etoile du sahel is still in enforceable what were the bases of fifa issuing provisional permit for etoile du sahel player (okwi) to serve for another club (villa)>>>again fifas players status panel has recently authorized tff to register okwi for yanga while taking this course fifa had since then been dealing with complaints from simba on payment disputes on signing fees as payable or to be paid by etoile du sahel and another complaints are etoile against okwi for contractual nonperformance and okwi against etoile du sahel for club s failure to meet its contractual liability to pay the salaries and other monies as per contract>>>with all these complaints still under fifa proceedings for verdict fifa has upheld okwis transfer to yanga>>>@shaffih_dauda was supposed to ask himself these questions before alerting otherwise tff on this saga is it conceivable that fifa has been authorizing okwi transfer from tunisia to villa and then to yanga without justifiable reasons and with blind eyes on the lodged complaints at their office does shaffih k dauda want to assert that fifa has decided this issue while knowing that okwi has valid contract with etoil du sahel till 2016 but fifa opted to ignore the contract if this the case do they play their role as the world football governing body have they considered irreperable loss as would result for its future verdict to retransfer okwi back to etoile du sahel verily for serious entity like fifa they might have satisfied themselves on all these questions and that is why in different occasions and circumstances their answer for fufa and tff have remained unchanged with regards to okwi status quo on transfer sagareplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 121 pmleo ndo umeandka nac kama jana ipo haja ya kutafakarireplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 148 pmsubiri matusi kwa wapenzi wa yangareplydeletepius nkwalefebruary 15 2014 at 214 pmilo angalizo liko wapitupe basi hiyo nakala tuione kwanini unaficha barua kama unataka kutuweka sawatuache porojo fifa sio wajinga kama hao tff na walopokaji kama nyiereplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 317 pmmliingia kwenye web site ya etoile du saile ktk list ya wachezaji wake walioidhinishwa na fifa umeliona jina la emmanuel okwi au mna interest zenu pigeni tena simu etoile du saile muongee nao vizuri maana mna mna jua kazi kuliko fifa poleni mtakonda sana mwaka huureplydeletealcheraus@sautfebruary 15 2014 at 442 pmwatanzania si wanajua na tunaye rais wa soka mwenye kupenda maendelo ya sokareplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 519 pmbaraka hivi unadhani watu wote wanayo mkononi hiyo barua kutoka fifa iliyo mruhusu okwi kucheza yanga sasa tutachangia vipi mawazo yako kwanza chapisha hiyo barua halafu tuache tuisome halafu tutatoa maoni yetu vinginevyo siye tunakuona kama ni mpinzani wa uamuzi huo kutoka katika chombo cha juu kabisa cha kusimamia mpira wa miguureplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 1012 pmprovision transfer waliyotoa fifa kwa villa kwasabab dirisha la usajili lilikuwa limefungwa sasa iv yanga wako halali kumtumia sema inamuwia vigumu shafii kula matapishi yake na ndoto yake feki eti atarudishwa simba kumbukeni issue ya yondani huyu jamaa alisema yanga wameingia mkenge wakafurahi sana kwenye kipindi chao sports xtra lkn what hapenedreplydeleteanonymousfebruary 15 2014 at 1044 pmshaffih na wengineo ambao bado wana hofu na ruksa ya fifa kwa kutafsiri vinginevyo walikwisha kuwa na msimamo huo hata kabla fifa hawajatoa ruksa tuwaache kama walivyo yanga wana baraka zote tena za maandishi toka fifa caf na tff kuhusu kumtumia okwi wasiwasi wa watani ni namna yanga inavyoimarika na hivyo kutishia their clubreplydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 109 amkwa akilin zenu mliopst makala hii mko feki kimawazo na uchambuz wenumara nyingi shafii dauda umekuwa mjuajihuku uchambuzi wenu haufanikiwimnatakiwa kusomea saikolojia ya mpirana sio kuibuka from now wherebarua si ipokuna angalizo ganiyanga imemsajiri okwi toka villa na haijui kama okwi alicheza etole du saheluhamisho wa yanga uko sahihiumewauliza fifa katika sakata la okwi hapa nchini hakuna aliyechambua ukweli hadi leohapo ndio mjue nyie mnaojidai wachambuz wa mpira hapa bongo wote hamjui sokaviongozi wa yanga walivyosema ndio matokeo/maamuzi ya fifa yalivyotokaunatupa mifano ya kitoto halafu unajikanusha wewe mwenyeweukiwa mwanasheria si utafungisha watukama maamuzi haya yako kimaandishiyanga wamchezeshe okwisuala la okwi kusajiriwa yanga limekwishacafwanamtambua okwi ni mali ya yangafifa wanamtabua okwi ni wa yangawatz wanajua hivyoila wewe unamashakausiandike usichokifahamu0783540994replydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 844 amukiandika kwa kufuata unavyoona wewe ni sawa kwa sbb kila mtu anaruhusiwa kutoa maoni au mawazo yake akiwa huru kwa mujibu wa katba ya nchi hiitatizo lipo kwenye namna ya kulifikisha wazo au hoja husika mahala sahihi na wakti muafakaukiandika kwa interest zako tu tena zikiwa hazina mashiko weledi tunalishangaawaandishi wengi wa tz wavivu kutafuta habari za uhakika zaidi ya kukopi na ku paste habari kutoka kwenye mitandao usiyo rasmisuala la okwi linataka ufafanuzi yakinifu na wenye nukushi kadhaasikuamini kabisa barakakuna makosa mengi sn kwenye nyingi ya habari au taarifa zako broreplydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 244 pmdhamana mliyobeba ni kubwa sana lakn angalizo langu kwenu mkumbuke kukanusha huu upotoshaji wenu maana km huyo mdhamini wako shaffih anakjikuta akiongea non sense kwa uelewa wake mdogo mclazimishe watu washeinde kupitia vi article vyenu vicvyo na maana huna hata uwezo wa kutafsiri kisheria page moja tu ya transfer laws iliyopo fifa ama kwa vile tanzania mna uhuru wa vyombo vya habari ndo kila mkihisicho mnaandika tuwaache tff wafanye kazi yao km wanaridhia acgeze atacheza na kama hawataridhia hadi pale kesi itapoisha basi haina tatizo lakn c nyinyi kutoa prior decision kwa mabo yacyowahusunotenyinyi ni waandishi wa habari za michezo c watafsiri wa sheria wala kanuni za fifa kuna watu wapo wanalipwa kwa kazi hiyo msifanye kazi kwa mazoeareplydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 249 pmhiyo barua ya angalizo ya fifa ndo naickia kwakoreplydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 337 pminaonekana etoile du saile kuna maonevu flani imemfanyia okwi hasa katika makubaliano yao ya mkataba fifa ikaliona hilo ndo maana imeendelea kutoa maamuzi yanayoashiria kama kumlinda okwi etoile du saile nao roho zao kama vile zinawasuta hivi kwa walicho mfanyia okwi ambacho wao wenyewe wanajua ndo maana wapo kimya huku wakifanya harakati za kuwalipa simba fedha zao pia fifa wameona kesi ya okwi na etoile inaonekana waz okwi ndo mwenye haki na kwakuwa kutoa maamuz itachukua muda ikaona imruhusu okwi andelee kucheza mpira kwa kigezo cha kulinda kiwango chakereplydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 717 pmtatizo wote hao hawajui sheria zinazoendana na usajiliwanajaribu kuandika kwa mtazamo wao wa kimbumbu ili waonekane wanajuwa kuchambua masuala ya soka okwi sio mpumbavu alipoamua kuachana na etoel du sahel ninyi mnaojifanya kujuwa uchambuzi muulizeni lawyer wa okwi au okwi mwenyewe juu ya hili sualahalafu nendeni fufa fifa tff yanga etoel du sahel pia na chama cha football tunisia then leteni uchambuzi wenu suala hili limekaa kisheria zaidi sio kama mnavyochambua ninyi mnatuchosha wachangiajimnaonekana hamuelewi mnachokifanya zaidi ya kulazimisha mawazo yenu yaonekane ya maanareplydeleteyunusfebruary 16 2014 at 839 pmnafkiri hujalielewa angalizo la fifa ni kwanza suala la simba halipo fifa suala lililopo fifa ni la okwi na etolle du salle ambalo halijatolewa maamuzi hivyo fifa imetoa angalizo kwa matokeo ya shauri hilo na kwa kuwa wameruhusu elewa kwamba ruhusa ya fifa ni kanuni tayarichochote kitakacho tokea mbele basi matokeo ya yanga hayata athiriwa soma vizuri ruhusa hiyo nafikiri utaelewareplydeleteanonymousfebruary 16 2014 at 923 pmafadhali muwaambie hao makanjanja wanasoma kwenye mitandao halafu wanajipanga eti wachambuzi thubutuuuuuuu they are empty headed ushabiki wa kihuni tu studio sijui mwenye nayo naye ni kabila lake huyu jamaareplydeleteanonymousfebruary 17 2014 at 920 amhivi huyu mtu angekuwa mwandishi wa habari halisi si angesubiri tff itoe uamuzi kwanzakwa nini aningilia suiala ambalo liko mikononi mwa tff ana maslahi gani kwenye usajili wa okwi yanga kiasi kwamba atenge nafasi kubwa ya blog yake kuzungumzia suala hili ambalo mwamuzi wa mwisho ni tffanataka kutuonyesha kwamba iwapo angefanikiwa kushinda katika uchaguzi wa tff huu ndio utaratibu ambao angeutumia kulazimisha maamuzi yafanyike jinsi anavyotaka yeyeau anafanya hivi kibiashara ili blog yake ionekane ina wasomaji wengi na kuvutia watu kutangaza biashara zao kwenye blog yakenwashauri wachangiaji sasa tusitishe kuchangia mada hii kwani tunageuzwa mtajireplydeleteanonymousfebruary 17 2014 at 859 pmkaka boss wenu rage kasema anakupongeza kwa juhudi zako ulizoonyesha za kusema kuwa eti fifa inawatega tff na yanga anyway tunasubiri kuona utabiri wa nabii shafih dauda ukitimiareplydeleteadd commentload more | 2017-07-25T14:31:18 | http://shaffih.blogspot.com/2014/02/maoni-kuhusu-usajili-wa-okwi.html |
uhusiano gani kati ya kuota meno na kuharisha kwa mtoto mdogo | jamiiforums | the home of great thinkers
uhusiano gani kati ya kuota meno na kuharisha kwa mtoto mdogo
discussion in 'jf doctor' started by mgombezi aug 30 2012
katika malezi yangu kuna wakati mtoto huharisha (kinyesi kilichochanganyika na ute mzito au malenda) na nimekuwa nikiambiwa nisimpe dawa na hiyo hutokana na kuota meno hawa waliokuwa wakitoa ushauri huu nilishindwa kuwauliza sababu bali leo nimeamua kuleta katika jukwaa hili kwamba kuna uhusiano gani wa kitabibu au maumbile kwa mtoto kuota meno na kuharisha
kwakweli hata wangu ameugua kuhara hivi karibuni then nikaona meno hayo nilimpeleka hsptal hakupewa dawa
mkuu turudi kwenye mila mfunge jino la mbuzi alivae shingoni hata uguwa wala kuharisha na meno yataota faster huwezi amini so its up to you yes to buy my idea or ignorea s 465
mkuu turudi kwenye mila mfunge jino la mbuzi alivae shingoni hata uguwa wala kuharisha na meno yataota faster huwezi amini so its up tu you yes to buy ana idea or ignorea s 465
jino la mbuzi linapatikana wapikwenye nyama chomasi watanishangaa sana wale jamaa
tuma kijan akakuombe ni bonge ya dawa unless mtoto atawasumbua sana ile ni bonge ya tiba tuma kijana yapo mengi tu mtaani siyo issue kivile hakuna atakaeshanga bhana
du wewe ni wa pande za kule kwetu nini hahaha umenikumbusha mbali sana
wakukaya ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaa
nnachofahamu wakati meno ya mtoto yanaanza kuota yeye mwenyewe huwa anahisi yanawasha kukabiliana na hilo kila anachoona kinamfaa anaingiza mdomoni ili ajikune sasa mazingira ya mikono mara nyingi sio safi sana ndo yanamsababishia hali hyo
katika kipindi mtoto anaota meno huwa inaambatana na homa kali mafua kukooa na wakati mwingine mtoto uharisha katika kipindi hiki mtoto umaliza kinga ya mama yake aliyokuwa anahitumia na kuanza kujitengenezea yeye mwenyewe ya kwake vitu vingi sana huwa vinamdhuru katika kipindi hiki na kwa sababu muda huu uota meno huwa zinahusishwa na teething symptoms
cha muhimu ni kumpeleka katika kituo cha tiba ili aweze kupata matibabu yaliyo sahihi na yenye uhakika wa kutibu magonjwa yanayoambatana na uotaji wa meno
wazazi wetu waliishi kwa imani zaidi kwani maarifa yalikuwa bado hayajakuwa kama wakati tulionao sasa swali langu ni kwamba kuna uhusiano gani kati ya kuota meno na kuharisha mtoto wangu ameharisha juzi kwa siku moja tu na hata tulipojaribu kutafuta dawa tulishauriwa kuangalia hali inavyoendelea kwa siku ile kweli siku ya pili hakuendelea kuharisha hii inanipa tafsiri kwamba haukuwa ugonjwa so what is the logic
mtoto wangu aliharisha siku moja tu na bila tiba yeyote aliacha kuharisha siku inayofuata hii imenipa tafsiri ya kwamba hakuwa na infection yeyote na kama alikuwa na infection je kinga yake tu ya mwili ilitosha kumaliza tatizo | 2018-01-18T04:37:26 | https://www.jamiiforums.com/threads/uhusiano-gani-kati-ya-kuota-meno-na-kuharisha-kwa-mtoto-mdogo.315707/ |
kanisa la muhubiri anayetembea angani limefungiwa nchini botswana millardayocom
kanisa la muhubiri anayetembea angani limefungiwa nchini botswana
leo january 11 2018 nakusogezea stori kutokea botswana ambapo kanisa la muhubiri bushiri raia wa malawi limelifungiwa na serikali ya nchi hiyo muhubiri huyo ambaye anadaiwa kutembea angani
serikali ya botswana imethibitisha kufungwa kwa kanisa la bushiri la christian gathering church ecg mjini gaborone mara kadhaa kutokana na wasiwasi kuhusu fedha za miujiza
katika mtandao maarufu nchini malawi wa malawi24 wametoa ripoti kuwa kanisa hilo lilipinga uamuzi wa kufungiwa mahakamani mwaka mmoja baada ya muhubiri huyo kupigwa marufuku kuingia nchini humo
hatahivyo waziri wa botswana edwin batshu alitangaza mwezi aprili 2017 kwamba bushir atahitaji kuwa na visa ili aweze kuingia nchini humo licha ya raia wa malawi kutohitaji kibali hicho na kwa sasa anaishi afrika kusini
serikali ya botswana imetangaza kuwa kanisa hilo litafungwa kabisa huku gazeti hilo la botswana limepokea barua inayoeleza kuwa kibali cha kanisa hilo kimefutwa kutokana na kutumia fedha za miujiza ambapo ni kuvunja sheria za taifa hilo
bushiri ambaye ana zaidi ya likes milioni 23 katika mtandao wa facebook na ambaye alivutia umati mkubwa wa kuweza kujaza uwanja wa fnb mkesha wa mwaka mpya bado hajatoa tamko lolote
alishatuhumiwa mwaka uliopita baada ya kubainika alikuwa akiwatoza kati ya dola 80 hadi 2000 waumini wake waliotaka kula naye chakula cha jioni
← previous story rais magufuli amefanya uteuzi huu leo
next story → mahakamani kilichosababisha aveva ashindwe kufika mahakamani leo | 2018-01-18T21:36:22 | http://millardayo.com/mabusf/ |
makinda atumbua wakurugenzi 9 nhifwadaiwa kuhusika na ufujaji wa mabilioni ya pesa 2jiachie official site
panga hilo pia limewapitia yujin mikongoti (mifuko ya afya ya jamii) ally othman (tehama) rehani athuman (tafiti na masoko) makala (sheria) na jackson burula (manunuzi) waziri wa afya ummy mwalimu alisema kuwa anafahamu kuwepo kwa mtikisiko huo na kwamba majukumu yote alimwachia mwenyekiti wa bodi anne makinda
taarifa hii imekuja ikiwa ni miezi michache imepita tangu mhasibu wa nhif mkoa wa mara francis mchati kusimamishwa kazi akihusishwa na upotevu wa shilingi bilioni 3 mtuhumiwa alikabidhiwa kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa ambayo inaendelea na uchunguzi kwa hatua nyingine za kisheria
item reviewed makinda atumbua wakurugenzi 9 nhifwadaiwa kuhusika na ufujaji wa mabilioni ya pesa | 2017-04-29T11:24:25 | http://www.2jiachie.com/2016/07/makinda-atumbua-wakurugenzi-9.html |
ethiopia yatangaza kutoshiriki mazungumzo marekani kuhusu ujenzi wa bwawa linalochota maji mto nile ambalo misri inalinga vikali | malunde 1 blog
home » habari » ethiopia yatangaza kutoshiriki mazungumzo marekani kuhusu ujenzi wa bwawa linalochota maji mto nile ambalo misri inalinga vikali | 2020-07-15T05:03:55 | https://www.malunde.com/2020/02/ethiopia-yatangaza-kutoshiriki.html |
swahili time josiah kibira university in bukoba
this summer president jakaya kikwete was in bukoba to attend the 100 anniversary of the lutheran church in the area as part of those festivities josiah kibira university college was dedicated in his speech kikwete noted that it was about time for bukoba to have a university since bukoba people are known to be nshomile (booksmart) and yet had no university in the area the comment was all in good fun the crowd reciprocated with a weak cheer and laughter to see the abbreviated version of that speech click here to read more on the college click here
nshomirekwani kikwete ana utani na wahaya
wahaya wameelimika wanapenda sana elimu wakati mwalimu aliopopumbaza watu na kusema eti watu wasiongee english ni kasumba wao waliendelea kuongea
ukiona hivyo ujue ya kuwa jk ameshindwa kufikia matarajio yao kwa maana nyingine kawaangusha hivi kweli hata ningekuwa mimi askofu mtu ambaye ni mkuu wa nchi anaposema hajui kwanini tanzania ni maskini ingali ina raslimali zote za kuifanya nchi eiendeleeutamuungaje mkono maisha ya walioko vijini na mijini yanazidi kuwa magumu kila siku idadi ya maskini inaongezeka kila kukicha unamuuliza baba mwenye nyumba anasema hajui kwanini pili ikumbukwe kuwa jk wezi wa pesa za epa waliwapa muda wa kurudisha ingali akina mramba yona na mgonja wakapelekwa mahakamani utamuungaje mkono hapo jk ni sheria au katiba ipi aliyotumia kuwapeleka mahakamani na wengine kutowapeleka hata wewe ungekuwa askofu usingerudia kauli ile zaidi ya kuomba toba kwa mwenyezi mungu hizo sifa unamwagia jk mwambie aende kwenye mdahalo na wagombea wenzie ili atetee kama kweli analo la kujivunia hata wabunge wake wamezibwa midomo sasa huyo askofu ujasiri atautoa wapi wa kumuunga mkono jk maaskofu ni kweli walifanya kosa kwa kusema jk ni chagua la mungu naamini wanajutia ile kauli kwa jinsi walivyowangusha watanzania lakini wanaccm hawakujitokeza kusema maaskofu wamefanya faulo kama ambavyo umejitokeza leo kuona hayo mapungufu hivi wangesema leo tena jk ni chaguo la mungu ungeandika hayo leo hii mtu akimuuliza jk maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi hana jibu zaidi atasema hamuoni gari zilivyo jaa dar es salaam kila mmoja ana gari ndo maana kuna msongamano mkubwa hayo ndo maisha bora huyo prof lipumba kama ana uzoefu kuliko wengine wewe ndiye uliyemuona isistoshe lipumba wanamjua toka akiwa mshauri wa uchumi wa rais mstaafu mwinyi uchumi wetu ulikuwa sana na mfumuko wa bei ulikuwa chini serikali haikufunga mashule kwa migomo watumishi hawakukopwa mishahara na watoto wengi walisoma na watumishi kama walimu na manesi hawakuacha kazi na mkapa alikuta hazina kuna pesa lundo na madeni ya nje kidogo hizi tungetarajia ziwe sifa za prof lipumba ambaye alikuwa mchumi wetu lakini yote niliyotaja hapo yalikuwa kinyume hizo ndizo kero za kipindi cha mwinyi mambo yalikuwa magumu kuliko kawaida kusoma kulikuwa hakuna maana tena wakati huo hivi hao maaskofu hawawezi kuona haya watanzania wote tunakubali kuwa adui wetu mkubwa ni rushwa na ufisadi ndani ya chama kimoja haiwezekani na hii imedhihirishwa na jk mwenywe katika kushughulikia hili hatuhitaji mtu mwenye ujasiri nusu kama wa jk tunahitaji mtu ambaye ni jasiri kweli ambaye anaweza hata kumtaja mkuu wa nchi kuwa mwizi bila woga mbele ya umma jk kwa wanaccm ndo jasiri kuliko wote suala la rushwa lakini ameshindwa kuimarisha uchumi wetu thamani na mfumuko wa bei unatisha tunarudi kwa mwinyi tena lakini dr slaa ni jasiri kwa watanzania wote pamoja na wanaccm ambaye alithubutu kutaja orodha ya watu 11 mafisadi wakuu wa nchi hii na jk akiwemo lakini mpaka sasa hajawahi kukanusha na hata wenzie waliotishia kwenda mahakamani tena wengine wana weredi ya sheria maarufu wameshindwa hata kunusa mlango wa mahakama sasa hao maaskofu watautoa wapi ujasiri wa kumuunga mkono huyo jk
hizi tafsiribaba askofu = dear bishop | 2017-03-30T06:47:51 | http://swahilitime.blogspot.com/2010/09/josiah-kibira-university-in-bukoba.html |
dk shein hana ubavu wa kuendesha serikali bila misaada maalim seif zaima media network
homehabaridk shein hana ubavu wa kuendesha serikali bila misaada maalim seif
april 10 2016 zanzibar daima habari 0
katibu mkuu wa chama cha wananchi (cuf) maalim seif sharif hamad amesema kuwa licha ya dk ali mohamed shein kujisifu kuwa hatategemea wafadhili wa kimaendeleo kiongozi huyo aliyeingia madarakani kwa uchaguzi wenye utata hana uwezo wa kuiendesha serikali yake bila ya misaada ya wahisani wa kimataifa
akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa hoteli ya hyat mjini zanzibar hivi leo (aprili 10) maalim seif ambaye yeye na chama chake wanaamini ndio washindi halali wa uchaguzi wa oktoba 25 mwaka jana alisema kwamba serikali iliyopita ambayo chama chake kilikuwa mshirika mdogo ilikuwa na nakisi kubwa ya fedha za matumizi ya kila siku kiasi cha kwamba wizara kadhaa zilikuwa zinapatiwa chini ya asilimia 30 ya mahitaji halisi
katika mkutano huo uliokusudiwa kutoa muelekeo wa cuf baada ya maazimio ya baraza lake kuu la uongozi wiki iliyopita maalim seif alisema chama chake kitatumia njia za amani na za kidemokrasia kushinikiza ipatikane haki ya wazanzibari
zaidi sikiliza hapo chini
ccm wanapenda namba lakini hawajuwi hesabu
march 13 2017 zanzibar daima jamii 0
wazazi wangu mervyn na auderey smithman walikwenda tanganyika mwaka 1946 baada ya vita kutokea katika serikali ya kikoloni ya muingereza baba yangu alikuwa na cheo cha luteni kanali katika jeshi la kikoloni la uingereza endelea
april 29 2016 zanzibar daima uchambuzi 0
watanzania wanaadhimisha miaka 52 ya muungano wao wa tanganyika na zanzibar hongera siku 104 nyuma kutoka sasa watanzania pia waliadhimisha miaka 52 ya mapinduzi ya zanzibar namshukuru mwenyezi mungu kwamba nimeshuhudia kwa macho yangu matukio endelea | 2019-01-19T20:39:04 | https://zanzibardaima.net/2016/04/10/dk-shein-hana-ubavu-wa-kuendesha-serikali-bila-misaada-maalim-seif/?shared=email&msg=fail |
contributions by hon anatropia lwehikila theonest (39 total)
mhe anatropia l theonest mheshimiwa naibu spika nakushukuru nitoe mchango wangu kwenye kamati yetu ya pac ambayo pia ni mjumbe nieleze masikitiko yangu na ya kamati kwa utendaji usioridhisha wa tra mwenyekiti amewasilisha vizuri sana na mimi nitaeleza pamoja na mambo mengine nitaeleza moja kati ya changamoto ambazo tulielezwa tra imekuwa na ufuatiliaji hafifu wa madeni ya kikodi tra kutofanyika mapitio ya kina ya miamala ya fedha ya makampuni mbalimbali ya kimataifa na dosari katiika ukusanyaji wa makusanyo ya kodi katika viwanja vya ndege tra kutowasilisha kwa wakati mapato inayokusanya kwa niaba ya taasisi nyingine tra ina ucheleweshaji usio na tija wa maamuzi ya rufaa ya kikodi uwepo wa madeni ya muda mrefu yasiyokusanywa huo ni mfano wa uozo mwingi ulioko tra (makofi)
mheshimiwa naibu spika huo ni mfano wa changamoto tra inayosababishia watu wengine tra inaposhindwa kukusanya kodi inatengeneza msururu wa kuleta changamoto kwa wananchi wadogo wadogo ambao wamekuwa wakiteswa na kukamatwa kwa ajili ya kuchangia michango mbalimbali utaambiwa michango ya zahanati michango ya shule michango ya shule za kata shule za misingi watoto wanakaa chini kwa sababu ya watu wazembe ambao wako tra sina uhakika kama ile bahati mbaya au ni makusudi kwa sababu kama tunaweza tukaajiri watu ambao tunadhani hawana uwezo maana yake hatutaki kukusanya hela ya kutosha na tunazidi kuwaletea changamoto wananchi wetu wa chini (makofi)
mheshimiwa naibu spika sasa katika auditing query za cag kwa mwaka 2017/2018 ameonesha kuna zaidi ya bilioni 974 kitengo cha kukusanya kodi za ndani yaani domestic revenue department kulikuwa na dosari alihoji cag wapi kilipo kiwango cha zaidi ya bilioni 679 na tra waliweza kuverify kiasi cha bilioni 56 tu lakini kwa walipa kodi wakubwa (large tax payers) cag alihoji kiwango cha bilioni 607 ikiwa ni pamoja na $ milioni 24 ambayo ni sawa kama na zaidi ya milioni 500 hizi ukiziweka pamoja unapata kiwango cha shilingi bilioni 974 kama nilivyokwisha eleza awali (makofi)
mheshimiwa naibu spika hizo hela zote zimekuwa zinahojiwa kwa mwaka 2017/2018 hizo hela ungeziweka pamoja kwa kiwango cha kujenga zahanati moja kwa shilingi milioni 244 ingejenga zaidi ya zahanati 3600 tutakuwa hapa tunasema wanawake wanakufa kwa kujifungua watoto wanakaa chini watoto wanapata mimba kwa kutembea umbali mrefu kufuata elimu katika maeneo kadha wa kadha kumbe tuwasababishia sisi changamoto kwa kuweka watu katika taasisi wasioweza kukusanya kodi (makofi)
mheshimiwa naibu spika lakini wakati mwingine najiuliza pengine hawa watu sio kwamba wana uwezo hafifu au inafanywa makusdi
naibu spika mheshimiwa anatropia kuna taarifa mheshimiwa dkt ashatu kijaji
naibu waziri wa fedha na mipango mheshimiwa naibu spika naomba kumpa taarifa mzungumzaji kwamba afahamu kwamba katika kipindi ambacho tra imeimarika kiutendaji kifanisi ni kipindi hiki na ndiyo maana mwezi wa 12 2019 tumekusanya zaidi ya trilioni 1976 kwa hiyo naomba alifahamu hilo huku akitambua hayo yalioneshwa kwenye taarifa ya cag 2017/2018 ambayo serikali tumeshaifanyia kazi kwa kiwango kikubwa na ndiyo maana tumeimarisha ukusanyaji wa mapato kwa hiyo wanapojadili aweze tu kusema sasa wapi tuboreshe zaidi kwa sababu madeni mengi tayari tumeshayakusanya mpaka sasa (makofi)
naibu spika mheshimiwa antropia theonest unapokea taarifa hiyo
mhe anatropia l theonest mheshimiwa naibu spika siipokei lakini nasikitika kwamba anakataa hata taarifa ya cag moja kati ya changamoto ambayo tutapata kama serikali ni pamoja na kutotaka kushauriwa au kusikiliza watu wengine wanasema nini (makofi)
mheshimiwa naibu spika ni mjumbe wa kamati
naibu spika mheshimiwa anatropia ngoja tuiweke vizuri kwa sababu taarifa ambayo bunge inajadili ni ya 2017/2018 kwa hivyo kwa mujibu wa kanuni zetu taarifa uliyokuwa unapewa ni ya kuhusu maboresho yaliyokuja baada ya hiyo taarifa kutoka una uhuru kikanuni wa kukubali au kukataa lakini sasa sio hoja tena ya waziri kwamba labda anakataa kupokea unachotoa mapendekezo alikuwa anakutaarifu yale ambayo serikali imeshafanya mpaka sasa mheshimiwa anatropia endelea na mchango wako
mhe anatropia l theonest mheshimiwa naibu spika katika mwaka 2017/2018 ni bajeti ya kwanza kuwa na deficit ya 197 almost asilimia 20 ya kukadiria ambacho hakitekelezeki kwa almost asilimia 20 kwa maana watu wana expectations au wanajua vyanzo vya mapato lakini hawaendi kukusanya fedha ni bajeti ya kwanza kuwa na nakisi kubwa ambayo ilikadiriwa bila kukusanywa nadhani waziri ana nafasi ya kujibu na atasaidia ni namna gani hizo changamoto ataweza kuzitatua katika kipindi kinachokuja (makofi)
mheshimiwa naibu spika hoja yangu ya pili ambayo ililetwa kwenye kamati ni juu ya kitu kinaitwa immigration immigration imeshaongelewa humu ndani zaidi ya mara moja na naiongelea imeletwa kwenye kamati yetu na imesababisha fungu husika kupata hati isiyoridhisha mtambo ulionunuliwa kwa ajili ya epassport haukuwahi kuwa recognized kwamba ulinunuliwa shilingi ngapi tender ilifanyika wapi ulikuwa na gharama gani lakini mkataba unahusu nini ametumbuliwa juzi mheshimiwa kangi lugola kwa sababu amesaini mkataba ambao haukuletwa bungeni nataka yeyote aniambie hapa mkataba uliongiwa kwa ajili ya kuleta mtambo wa immigration uliletwa bungeni (makofi)
mheshimiwa naibu spika nilikuwa mbunge hapa uliletwa kama tunaamua kufanya haki tusifanye double standard huo mkataba sisi kama kamati tumedemand uletwe na tuliwafukuza waliokuja kwenye kamati na jibu walilokuja nalo walisema haya maswali yanahusu usalama usalama hauwezi kuwa kichaka cha kuingizia hasara serikali hii (makofi)
mheshimiwa naibu spika kitu ambacho bado kinashock mtambo wenyewe hauko secure cag alituambia mtambo hauko secure mtu anaweza kuwa nyumbani kwake akawa anachapisha visa yuko china au kokote anatoa tu visa sehemu yoyote kwa hiyo sasa ni lazima mjue athari ambayo mnalisababishia taifa letu kama tunaamua kufichaficha mambo chini ya kapeti (makofi)
mhe anatropia l theonest mheshimiwa naibu spika kuwekeza katika utalii katika jiji la dar es salam jiji hili bado halijatumika vizuri katika sekta hii hasa utalii wa mji na maeneo ya kipekee mfano nyumba ya makazi ya zamani ya mwalimu julius kambarage nyerere jengo la salamander fukwe za bahari nakadhalika hii ni muhimu hasa kwa wageni wajapo jiji la dar es salaam kutokea nchi za nje mfano jiji la berlin ujerumani
mheshimiwa naibu spika kutengeneza ramani ndogo na mahsusi kwa maeneo ya kutembelea watalii kwa mfano ramani mahususi ya jiji la dar es salaam kuonesha maeno na vivutio vya utalii kuongeza na kuboresha vivutio vya utalii jijini dar es salaam mfano mto msimbazi ukitengenezwa vizuri kuruhusu maji kupita wakati wote kwa kuboresha kingo na kuondoa takataka itawezesha matumizi ya boti na watalii wataweza kuzunguka kupita eneo hilo tutapata fedha lakini na mazingira yataboreshwa
mheshimiwa naibu spika maeneo yote yanayopita kwenye maeneo ya hifadhi yawe na matuta kwa ajili ya kuwakinga wanyama pori dhidi ya kugongwa na gari kama inavyoendelea kwa sasa katika barabara ya morogoro mikumi na kitengulekaragwe sheria na kanuni kali kwa watakaogonga wanyama katika maeneo ya hifadhi ya wanyama kuendelea kutangaza vivutio vya utalii katika vyombo mbalimbali vya kimataifa kama cnn bbc na hata kudhamini matukio muhimu duniani kama olympic hata kwa kiwango kidogo kama rwanda na pl league ya uingereza | 2020-08-04T07:50:00 | http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/members/192/contributions |
ukarabati miundo mbinu kiini macho cha uchaguzi mkuu | jamiiforums | the home of great thinkers
ukarabati miundo mbinu kiini macho cha uchaguzi mkuu
mabarabara mengi ya jijini yako kwenye matengenezo yasiyo ya lazima wala plani ya kueleweka barabara ya old bagamoyo inatolewa lami na kukarabatiwa barabara hii kero yake kubwa huwa ni ufinyu zaidi kuliko ubora wa lami anyway inapigwa greda kufurahisha watumiaji je ni mkakati wa dhati au ndio yale 'mambo yetu' yamekaribia
ndo maana yake hiyo
hata sielewihii barabara ilitakiwa upanuzi kuwa njia nne toka pale morroco mpaka lugalo junction na new bagamoyo roadjust under 5kmssiku hizi jioni ni balaasasa kama inatiwa lami mpya kwa single lane then upanuzi ni mpaka lami hiyo ichakae15 years
mimi nilisikia hiyo barabara itaanza kutengezwa ili iwe njia nne mwezi novna hizo njia nne zitaanzia moroko mpaka njia panda wazommh sasa sijui ndio ujenzi umeanza au
mtukwao
hiyo ni new bagamoyo inayopitia mwengelugalo mbezi beachold bagamoyo inapita kule kwa mwalimumwinyikawe etcndio inakwanguliwanew bagamoyo ina hadithi nyingi sana
wizi mtupu na bado watu watawachagua wale wale walichosema msekwa na malecela kwamba wabunge wengi wa ccm wataanguka majimboni mwao si kweli ccm itaendela kutawala kwani wadanganyika wenyewe wameamua kudanganyika
mtaona mengi b4 2010 | 2018-01-24T10:23:05 | https://www.jamiiforums.com/threads/ukarabati-miundo-mbinu-kiini-macho-cha-uchaguzi-mkuu.45036/ |
indigofairy usomaji wa akili wa mtandaoni
online masomo ya akili > psychics live > indigofairy
megan machi 23 2017 psychics live1 maoni juu ya indigofairy
kuhusu indigofairy
indigofairy ya kisaikolojia ina uzoefu wa miaka 2 wa kutumia uwezo wa kiakili kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi kuzindua kisaikolojia hivi karibuni kumesaidia washiriki wa 7 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika oranum ushuhuda hapa chini unaonyesha kile wengine wamesema juu ya usahihi wa indigofairy na usikivu kama saikolojia ya mkondoni
psychic ya joto inayojali na ya urafiki nimekuwa nikisoma kadi za tarot na chumba cha enema tangu katikati ya 2005 wakati nimepata mikono yangu kwenye staha yangu ya kwanza ya ukumbi miezi michache baada ya kuzoea hii niliendelea kwenda kwenye kadi za tarot na zaidi ya kujifundisha nimepata uhusiano wa asili na kadi ambazo ninatumia miaka michache baadaye mwishoni mwa 2009 niliunganishwa na kiwango cha 1 reiki ambacho tangu sasa imekuwa mateso kwangu kwa sasa niko kiwango cha 2 katika reiki na pia ninatoa pesa reiki faery lite ray key crystal rose reiki na reiki ya kuzaa
bado ninatumia dawati la kwanza la chumba nilichomiliki uporaji wa sifa za doreen na fairies sio tu kutoa usomaji lakini pia kunisaidia kuungana na watu mara moja kabla ya kikao cha matibabu cha reiki dawati zingine ninazotumia ni ciro marchetti tarot ya gilded na rhiannon faulkner tarot ya faulkner na pia tafrija ya brian ambayo ni quirky ya kipekee hakuna njia mbadala ya karamu na kadi za malaika
kwa msaada wa hawa na viongozi wa roho yangu ninatazamia kuungana na wewe na kukusaidia kupata njia yako mbele zaidi waziwazi katika maisha haya jiunge nami kwa gumzo lakini usidanganyike kwa kufikiria kuwa blanketi nzuri ya fluffy na mug moto wa chai au kakao inamaanisha kwamba usomaji na ushauri nitoao utakuwa umejaa vitu vyenye kufurahi na vitu vyenye fluffy napeana njia rahisi ya uaminifu na nape kile ninachopokea kutoka kwa kadi
anuka hadi 70 oka hernando beach psychic
machi 23 2017 katika 9 20 am
yeye ni mzuri yeye ni faraja sana na ni angavu sana imeandikwa na parkernin | 2019-11-19T18:49:05 | https://sw.psychicbonus.com/indigofairy/ |
video haya ndiyo maneno ya roma baada ya kupatikana ~ kiwale blog
home » matukio » video haya ndiyo maneno ya roma baada ya kupatikana
wasanii hao walitekwa na watu wasiojulikana alhamisi hii wakiwa tongwe record na mapema jumamosi hii walionekana wakiwa oysterbay polisi
akiongea na waandishi wa habari akiwa mwananyamala hospitali muda mchache baada ya kufanyiwa vipimo na kuachiwa huru roma alisema kwa sasa anaendelea vizuri pamoja na wenzake | 2018-11-18T05:38:57 | https://kiwale11.blogspot.com/2017/04/video-haya-ndiyo-maneno-ya-roma-baada.html |
kwa hili la msondo ngoma wcb mmeniangusha bingwa
nyumbani maoni kwa hili la msondo ngoma wcb mmeniangusha
suala la hakimiliki ni jambo kubwa linalozingatiwa duniani kote umakini ni muhimu sana hasa pale unapotaka kunakili kitu ambacho tayari kimewahi kufanywa kabla yako
ndani ya sanaa kunakili kazi ya msanii wa zamani ni jambo la kawaida limeshafanywa na wasanii wengi tu lakini hufanywa kwa utaratibu ambao pande zote zitaridhiana
ni kosa kisheria kutumia au kunakili kazi ya mtu bila ridhaa yake ndiyo maana mtu anayeiba kinyemela akibainika hupigwa faini kubwa ili iwe fundisho kwa wengine wanaopenda kunakili na kubandika kazi za watu
lakini nimeshangaa niliposikia malalamiko ya baba wa muziki nchini bendi kongwe ya dansi msondo ngoma kuhusu lebo namba moja bongo wcb ikiitaka kulipwa fidia baada ya wasanii hao kunakili moja ya kazi yao ya sanaa bila ruhusa
bendi hiyo kongwe kupitia wanasheria wao (maxim advocates) wiki iliyopita iliiandikia barua lebo ya wasafi classic baby (wcb) inayomilikiwa na diamond platnumz ikitaka ilipwe shilingi milioni 300 huku ikionyesha dhamira ya kuishtaki isipofanya hivyo ndani ya siku saba kwa kosa la kunakili kionjo cha ala ya upepo (saxophone) kilichowahi kutumiwa na bendi hiyo katika wimbo wao unaoitwa ajali
agosti 25 mwaka huu diamond platnumz akishirikiana na wasanii wake wa lebo ya wcb ambao ni rayvanny rich mavoko queen darleen maromboso na lavalava walitoa wimbo unaoitwa zilipendwa ambao ndani yake katika dakika 455 hadi dakika 5 sekunde ya 10 kilichezwa kionjo cha saxophone ambacho kinafanana na kionjo kilichotengenezwa na kuchezwa na msondo ngoma katika dakika ya 638 mpaka dakika ya 652 ya wimbo wao wa ajali
wakili wa msondo ngoma mwesigwa muhingo kupitia barua hiyo aliitaka lebo ya wcb kuilipa bendi ya msondo ngoma kiasi hicho cha fedha kwa haraka iwezekanavyo huku nakala ya barua ikipelekwa baraza la sanaa la taifa (basata) na chama cha hakimiliki (cosota)
meneja wa bendi ya msondo ngoma said kibiriti alinambia hili suala si la kuliongelea kwenye vyombo vya habari kwani limekaa kisheria zaidi huku upande wa wcb wakiwa kimya mpaka sasa
malalamiko hayo ya msondo ngoma yamefanya nijiulize maswali kadhaa kama ina maana uongozi wa wcb chini ya mameneja sallam sk babu tale fella diamond platnumz hawajui suala ya hakimiliki
bila shaka wanafahamu ila sijui nini kilitokea mpaka wakaachia wimbo wa zilipendwa ukiwa na kionjo cha saxophone ambacho kiliupa umaarufu wimbo wa ajali wa msondo ngoma bila ridhaa ya wakongwe hao
wcb wanajua hilo ni kosa ndiyo maana nakumbuka mwaka jana walipotaka kuurudia wimbo wa maria salome ulioimbwa na saida karoli walimtafuta meneja wa zamani wa saida wakaongea naye biashara na kukubaliana kisha wimbo ukatoka
lakini pia kipindi ambacho wcb wanatoa wimbo wao wa zilipendwa kesi ya mwana fa na ay dhidi ya kampuni moja ya mawasiliano ilikuwa inarindima mahakama kuu ya tanzania ishu ikiwa ni hiyo hiyo ya hakimiliki
sasa iweje msanii mkubwa kama diamond platnumz ashindwe kuelewa kuwa kunakili kionjo kidogo tu kutoka kwenye kazi ya msanii mwingine ni kosa inatia aibu hiyo inaleta picha kuwa huwenda wcb hawathamini kazi ya kutukuka iliyowahi kufanywa na wakongwe wa msondo ngoma
naamini sakata hili litamalizika kwa pande zote mbili kuridhiana kwa kuwa ni wazi wcb wamefanya kosa huku msondo ngoma nao wakiitaka haki yao
makala ya awalisheria ya mtoto yakwama kumlinda lulu
makala ijayohongera ali kiba nandy kutuwakilisha vyema
azam fc tunaiheshimu kazi yenu ila | 2017-11-19T21:35:56 | http://bingwa.co.tz/2017/11/14/kwa-hili-la-msondo-ngoma-wcb-mmeniangusha/ |
berlinwanajeshi wa ujerumani kuendelea na mpango wa ″kudumisha uhuru″ kwa mwaka mmoja zaidi | habari za ulimwengu | dw | 10112006
berlinwanajeshi wa ujerumani kuendelea na mpango wa kudumisha uhuru kwa mwaka mmoja zaidi
rais vladamir putin wa urusi
bunge la ujerumani limepiga kura kuviruhusu vikosi vya jeshi la ujerumani kushiriki kwa mwaka mmoja zaidi katika operesheni inayoongozwa na marekani dhidi ya ugaidi ijulikanayo kwa jina la kudumisha uhuru
muda huo hata hivyo unazungumzia juu ya kupunguzwa idadi jumla ya wanajeshi kutoka 2008 na kusalia 1800
hivi sasa ujerumani ina wanajeshi 330 wanaopiga doria katika fukwe za somalia na yemen na wanajeshi 100 wa kikosi maalum kinachopambana na ugaidi nchini afghanistan
mtaalamu wa siasa za nje wa chama cha spd hansulrich klose anasema
hakuna asiyekuwa na shaka linapohusika suali la uamuzi wa kijeshi hata mimi nina shaka shaka lakini ninaamini kuzuia shughuli za kuendeleza amani kwa wakati huu tulionao usingekuwa uamuzi wa busara
vyama ndugu vya kihafidhina na washirika wao wa chama cha spd katika serikali inayoongozwa na kansela angela merkel wakisaidiwa na chama cha upinzani cha waliberali fdp wameidhinisha mpango huo kwa sauti 436 dhidi ya 101 huku chama cha walinzi wa mazingira na chama cha mrengo wa shoto wakijaribu kuzuia kwa hoja kuwa mpango huo unakwenda kinyume na makubaliano ya geneva
tarehe 10112006
kiungo http//pdwcom/p/ccu7 | 2017-12-15T12:37:52 | http://www.dw.com/sw/berlinwanajeshi-wa-ujerumani-kuendelea-na-mpango-wa-kudumisha-uhuru-kwa-mwaka-mmoja-zaidi/a-2909543 |
hoteli ya kncu yawaka kilimanjaro yetu
home » » hoteli ya kncu yawaka
hoteli ya kncu yawaka
hoteli ya kncu inayomilikiwa na chama kikuu cha ushirika mkoani kilimanjaro imenusurika kuteketea kwa moto baada ya sehemu ya majengo yake kuonekana yakiwa yameshika moto kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni hitilafu ya umeme
tukio la kuwaka kwa moto kwa hoteli hiyo kwenye baadhi ya vyumba vyake lilianza majira ya saa 420 jana hali iliyovuta umati wa watu wakishuhudia na kufanya juhudi mbalimbali za kuhakikisha kuwa jengo hilo linaokolewa
baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema kuwa waliona moshi ukitokea kwenye madirisha ya vyumba vya hoteli hiyo ambavyo vinakaliwa na watu binafsi ikiwemo ofisi za bumaco insurance ambalo moja ya dirisha lake lilionekana kutoa moshi mkubwa uliotanda jengo zima
mmoja wa wafanyakazi kwenye ofisi moja iliyopo kwenye hoteli hiyo ambaye hakutaka kutaja jina lake alisema yeye alikuwa akiweka waya wa kompyuta kwenye mfumo wa umeme ambapo aliona mlipuko mkubwa ambao hakuelewa umetokea wapi
kwa upande wake kamanda wa polisi mkoani hapa robert boaz alikiri kutokea kwa tukio hilo na kusema moto huo uliathiri zaidi sehemu ya ofisi ya bumaco lakini hasara nyingine zikiwa bado hazijajulikana
alisema moto huo mkali ulizimwa baada ya askari wa zima moto kuwahi eneo la tukio na kufanikiwa kuuzima kabla haujasambaa jengo hilo
hata hivyo alisema moto huo haukuweza kusababisha kifo zaidi ya mfanyakazi mmoja (hajajulikana jina) kwenye ofisi ambazo ziliathiriwa na moto huo kujeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili | 2018-03-19T18:27:30 | http://kilimanjaro-yetu.blogspot.com/2012/08/hoteli-ya-kncu-yawaka.html |
28 / 09 / 2017 | rayhaber
nyumbani2017septemba28 (alhamisi)
siku 28 septemba 2017
sahin introduced ıt gazibis system
mfumo wa gazibis ambao ulianzishwa na gaziulaş na umekuwa ukijaribu kwa muda ulianzishwa kwa raia na ushiriki wa meya wa gaziantep fatma şahin kuongeza utumiaji wa baiskeli na wananchi haswa kizazi kipya [zaidi ]
tülomsaş hufafanua
tulomsas painia wa mifumo ya reli anaingia angani baharini na sekta za ulinzi tülomsaş ambayo inafanya kazi kama mapinduzi ya haramia ray katika mifumo ya reli na iko karibu kuondoa utegemezi kwa nchi za nje [zaidi ]
mhandisi wa reli ya ufaransa alstom na kitengo cha reli ya nokia 'walijiunga na vikosi dhidi ya vitisho vinavyoongezeka vya wachina kuungana hii kunufaisha kampuni za kituruki ambazo zinasambaza bidhaa kwa ufaransa alstom na mtengenezaji maarufu wa gari moshi huko ufaransa [zaidi ]
uajiri wa tcdd 700
matangazo ya kuajiri tcdd yanatarajiwa matangazo ya kuajiri wafanyakazi wa tcdd 700 yaliyotangazwa na waziri wa uchukuzi ahmet arslan yanangojea kwa hamu na wagombeaji kuajiri wafanyakazi wa umma wa reli iko lini jamhuri ya uturuki [zaidi ]
jihadharini na uludag
uludağ ni moja wapo ya vituo muhimu vya utalii wa msimu wa baridi na asili uludağ moja ya vituo muhimu zaidi vya utalii wa msimu wa baridi na asili alionywa na gari la kebo jumba la 140 [zaidi ]
nini kilichotokea kwa mradi wa mto wa mto wa sumela
meya wa maçka koçhan alisema kuwa 3 haijafanya maendeleo katika mwaka huu kwa mradi wa ropeway ambao uliamuliwa kujengwa huko sumela monastery 3 miaka iliyopita [zaidi ]
hufanya kazi kwa başkentray haiziacha kasi
kazi za mradi wa başkentray ambayo itatenganisha mstari wa kitongoji na kasi ya juu na shughuli za kawaida za treni katika mji mkuu ankara na kutumikia viwango vya metro kwenye mstari wa sincankayaş inaendelea mchana na usiku mkuu wa tcdd [zaidi ]
mhandisi emir ömer özdemir ambaye alifanya kazi kama msaidizi msaidizi wa huduma ya msaada katika kurugenzi ya tcdd 5region alionesha kazi yake ya kusaidia karatasi ya 50 huko malatya gar kwa kipindi cha mwaka mmoja reli na [zaidi ]
kituo cha kisasa cha yht ilijengwa katika arifiye
kwa kasi ya mtandao wa kasi na reli ya haraka arifiye imejengwa ili kukidhi mahitaji ya abiria yanayoongezeka tcdd mkurugenzi mkuu i̇sa apaydın mkuu [zaidi ]
ankaraistanbul yht ili kupata kasi na toni ya 26
kazi inaendelea katika handaki ya t26 kati ya bilecikbozuyuk ya ankaraistanbul high speed railway line meneja mkuu wa tcdd i̇sa apaydın kazi ya ujenzi wa handaki ya t 26 inaendelea na uchunguzi apaydın kwa meneja mkuu [zaidi ]
njia za treni ya haraka kwa hatua ya bursa kwa hatua
bursaankara na bursa kati ya istanbul 2 saa 15 dakika na vituo vya usafiri vizuri hutoa mradi wa kufungaharaka katika bursa inaendelea kufanya kazi meneja mkuu wa tcdd i̇sa apaydın kazi ya ujenzi inaendelea [zaidi ]
kwa mujibu wa uamuzi uliochukuliwa katika mkutano kati ya ujumbe wa iran rai na tcdd mnamo 31 mei 2017 huko ankara wajumbe wa nchi hizo mbili waliungana tena katika 1819 septemba 2017 huko malatya meneja wa mkoa wa 5 kwa niaba ya tcdd [zaidi ]
itifaki ya ishara ya tariff ya usafiri katika btk reli line
waziri wa udh ahmet arslan waziri wa georgia wa maendeleo ya uchumi na endelevu giorgi gakharia rais wa azaba ya jaribio la cavit gurbanov mtihani uliofanywa kati ya tbilisikars chini ya mradi wa reli ya bakutbilisikars [zaidi ]
btk reli mradi katika kars abiria kwanza walikuwa kuja kutoka georgia
katika mradi wa kimataifa wa bakutbilisikars railway (btk) uliokamilika wakati wa mtihani 27 huduma ya kwanza ya treni kwa usafirishaji wa abiria kutoka georgia kwenda kars ilifanyika mnamo septemba 2017 kutoka kituo cha ahılkelek cha georgia hadi kars [zaidi ]
ulaya katika mashindano ya reli
mtayarishaji wa gari la moshi wa ufaransa aliye na kasi kubwa alstom anasemekana aliunganishwa na kitengo cha usafirishaji cha lg kubwa la ujerumani kwa kweli nokia walikuwa wametafuta washirika wa tarafa ya reli nchini uswizi na canada na alstom [zaidi ]
rayhaber 28092017 tender bulletin
tender ya mradi wa carte cable ya kartepe 28 national mradi wa treni traction injini ya mfumo wa manunuzi mwezi septemba (tüvasaş)
waziri wa uchukuzi masuala ya bahari na mawasiliano ahmet arslan reli ya bakutbilisikars baada ya gari la majaribio kuelekezwa kwa wananchi waliokusanyika kukutana naye arslan katika hotuba yake katika kituo cha kars haswa rais wa azerbaijan ilham aliyev [zaidi ]
mfanyakazi alijeruhiwa chini ya korodani wakati wa ujenzi wa mradi wa treni ya juu (yht) ambayo iliagizwa na kurugenzi mkuu wa reli ya jimbo la uturuki (tcdd) huko ankara katika sol news portal [zaidi ]
ahmet arslan waziri wa uchukuzi masuala ya bahari na mawasiliano alishiriki kwenye jaribio la ukaguzi katika mwelekeo wa tbilisikars ndani ya wigo wa mradi wa reli ya bakutbilisikars (btk) waziri arslan na vile vile ujumbe wa uturuki kwenye jaribio la mtihani kwenye tbilisikars line ki uchumi cha kijojia [zaidi ]
mstahiki meya wa sidun yusuf ziya yilmaz alikwenda japan kufanya uchunguzi kadhaa yusuf ziya yılmaz meya wa manispaa ya sidun metropolitan akikagua miradi ya reli na vituo nchini japan reli ya japan [zaidi ] | 2019-12-07T13:57:30 | https://sw.rayhaber.com/2017/09/28/ |
vitabu islamic | vitabu islamic maktaba | ilimu za quranit2
mwanzo \ vitabu \ ilimu za qurani \ tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 69
sura [ alanfaal ] aya [29] enyi mlio amini mkimcha mwenyezi mungu atakupeni kipambanuo na atakufutieni makosa na atakusameheni na mwenyezi mungu ni mwenye fadhila kubwa
sura [ alhadiid ] aya [21] kimbilieni msamaha wa mola wenu mlezi na pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi iliyo wekewa walio muamini mwenyezi mungu na mitume wake hiyo ndiyo fadhila ya mwenyezi mungu humpa amtakaye na mwenyezi mungu ni mwenye fadhila kuu
sura [ alahqaaf ] aya [15] na tumemuusia mwanaadamu awatendee wema wazazi wake wawili mama yake amechukua mimba yake kwa taabu na akamzaa kwa taabu na kuchukua mimba kwake hata kumwachisha ziwa ni miezi thalathini hata anapo fika utu uzima wake na akafikilia miaka arubaini husema mola wangu mlezi niwezeshe nishukuru neema zako ulizo nineemesha mimi na wazazi wangu na nitende mema unayo yapenda na unitengenezee dhuriya zangu hakika mimi nimetubu kwako na mimi ni miongoni mwa waislamu
sura [ albaqarah ] aya [264] enyi mlio amini msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na maudhi kama anaye toa mali yake kwa kuwaonyesha watu wala hamuamini mwenyezi mungu wala siku ya mwisho basi mfano wake ni kama mfano wa jabali ambalo juu yake pana udongo kisha likapigwa na mvua kubwa ikaliacha tupu basi hawatakuwa na uweza wowote kwa walivyo chuma na mwenyezi mungu hawaongoi watu makafiri
tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 69
vitabu vya kiislam katika mada zote kuhusu uislamu kwa mfanotarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 69 na wengine kusoma online na kushusha kwenye kompyuta yako kwa bure
tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 93
tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 29
tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 110
tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 23
tarjama ya almuntakhab katika tafsiri ya qur'ani 37 | 2018-03-17T04:28:30 | https://www.islamkingdom.com/sw/Vitabu/ilimu-za-qur-ani/tarjama-ya-ALMUNTAKHAB-katika-tafsiri-ya-Qur-ani-69 |
kuchapishwa 23 juni 2011
ziara ya wanafunzi wa sayansi kimu toka mwanza katika redio deutsche welle
kuchapishwa 06 mai 2011
wanafunzi wa domestic science toka mwanza watembelea wuerzburg mei 2011
wanafunzi wa wuerzburg shule ya domestic science wakisaidiwa na mwalimu wao waliandaa vifaa kama tauli vyenye majina ya wageni wao
wageni toka mwanza walipokelewa na kundi toka wuerzburg kwenye kiwanda cha ndege frankfort
mwalimu mkuu doris mehling (klaraoppenheimerschule) mwalimu homaira mansury (frankenwarte akademy) michael stolz (mwenyekitii wa mwanza ev) asumpta lattus (mtanzania atatafsiri) na wanafunzi wanne wa domestic science waliotembelea mwanza july 2010
wanafunzi toka wuerzburg watembelea mwanza (mwaka wa 2010)
mama evamaria barklindschwander akiwaonyesha wageni mji wa wuerzburg awaongoza kwenda sokoni huyu mama aongoza idara ya wuerzburg international katika utawala wa mji | 2019-02-20T09:14:52 | https://mwanza.de/index.php/sw/ziara-kufikia-wuerzburg |
> bunge lalilia walimu 100000 wapawe ajira msumba news blog
home matukio bunge lalilia walimu 100000 wapawe ajira
bunge lalilia walimu 100000 wapawe ajira
wakati serikali ikitangaza kutoa ajira mpya 49356 katika sekta zake zote mwaka ujao wa fedha bunge limeitaka kuajiri walimu wapya 113359 ili kutatua changamoto ya upungufu wa watumishi wa kada hiyo uliopo nchini kwa sasa
aprili 16 mwaka huu waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora kapteni mstaafu george mkuchika aliliambia bunge mjini hapa kuwa serikali itatoa ajira kwa idadi hiyo ya wataalamu wakiwamo walimu 16000 wa shule za msingi na sekondari 16000 katika mwaka wa fedha 2018/19
mkuchika alisema kada ya afya itakuwa na nafasi 15000 na nafasi zilizobaki zitakuwa ni kwa ajili ya kada zingine zikiwamo kilimo uvuvi mifugo vyombo vya ulinzi magereza uhamiaji watendaji na wanataaluma
huku serikali ikipanga kuajiri walimu 16000 kamati ya kudumu ya bunge ya huduma na maendeleo ya jamii imesema walimu wapya 113359 wanatakiwa kuajiriwa ili kutatua changamoto ya upungufu wa watumishi katika kada hiyo
akiwasilisha bungeni mjini hapa jana taarifa ya kamati kuhusu makadirio ya wizara ya elimu sayansi na teknolojia kwa mwaka ujao wa fedha mjumbe wa kamati hiyo hussein bashe alisema wamebaini kuna uhaba mkubwa wa walimu nchini
mbunge huyo wa nzega mjini (ccm) alisema kamati ina taarifa kuwa mahitaji ya walimu kwa shule za msingi nchini ni 273454 lakini waliopo ni 175946 hivyo kuwapo upungufu wa walimu 97508 sawa na asilimia 356 ya mahitaji
kwa upande wa sekondari bashe alisema kamati imebaini mahitaji halisi ni walimu 35136 lakini waliopo ni 19 285 hivyo kuwapo upungufu wa walimu 15851 (asilimia 451)
serikali haina budi kuchukua hatua za makusudi kuongeza ajira za walimu kunusuru taifa kwani walimu wengi wapo mitaani hawana ajira alisema bashe
alisema walimu ni nyenzo muhimu katika sekta ya ualimu lakini waliopo nchini hawatoshelezi mahitaji hali iliyosababisha kuzorota kwa elimu
pamoja na kuwa suala la ajira ya walimu lipo chini ya tamisemi (ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa) pale kiwango cha elimu kinaposhuka ni wizara hii (ya elimu) ndiyo inayoulizwa na hata kusemwa vibaya bashe alisema
aliongeza kuwa kamati yao imebaini tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine za kusini mwa jangwa la sahara bado inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa wahadhiri katika vyuo vikuu hususan wenye shahada ya uzamivu (phd)
wahadhiri hao wamekuwa wakihama kutoka katika utumishi wa ualimu na kwenda kutekeleza majukumu mengine nchini zikiwamo teuzi mbalimbali ambalo ni jambo jema sana alisema na kuongeza
kamati inaishauri serikali kuhakikisha inapata wahadhiri wengine wenye phd kwa kutenga fedha za kuwapeleka kusoma ili wakirudi watengeneze wasomi wengine ambao wataendelea kulitetea taifa letu maendeleo
kuhamishiwa msingi aliongeza kuwa kamati haiungi mkono uamuzi wa serikali kuwachukua walimu wa shule za sekondari kwenda kufundisha shule za msingi akieleza kuwa wanaona si sawa kwa kuwa kila ngazi ya ualimu ina miongozo na mafunzo yake mahsusi
si hivyo tu kitendo cha kumchukua mwalimu wa sekondari kwenda kufundisha shule ya msingi kimepokewa kwa hisia tofauti miongoni mwa jamii na walimu wenyewe kuhisi kuadhibiwa hivyo kushusha morali ya kufanya kazi alisema
bodi ya walimubashe pia alisema kamati yao inaona kuna haja serikali kuunda bodi ya taaluma ya walimu ambayo kama ilivyo kwa bodi zingine mfano ya makandarasi itakuwa na jukumu la kufuatilia ubora wa elimu inayotolewa na walimu kwa watoto
aliongeza kuwa kamati yao inaishauri serikali kutenga fedha za kutosha kwa idara ya ukaguzi ili kuiwezesha kutekeleza majukumu yake ya ukaguzi wa shule ambayo wamebaini kwa sasa hayatekelezwi ipasavyo | 2018-10-16T23:18:32 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/05/bunge-lalilia-walimu-100000-wapawe-ajira.html |
ujiji rahaa kamishna jenerali wa mamlaka ya mapato (tra) atembelea makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji
posted by khamisi musa at 1230 pm
baadhi ya maafisa waandamizi wa jeshi la zimamoto na uokoji kutoka kulia ni naibu kamishna billy mwakatage kaimu kamishana usalama dhidi ya moto fikiri salla mhasibu mkuu chakala kaimu kamishna wa operesheni christom manyologa na kamishana msaidizi hamadi muhando wakimfuatilia kwa karibu kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania bw charles kichere hayupo pichani alipofanya ziara katika jeshi hilo mapema leo asubuhi tarehe 06/04/2017
kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto na uokoaji thobias andengenye (kushoto) akimsindikiza kamishana mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania bw charles kichere (kulia) akiondoka makao makuu ya jeshi hilo alipofanya ziara mapema leo asubuhi(picha na konstebo joyceana benson) | 2018-03-22T00:14:16 | http://ujijirahaa.blogspot.com/2017/04/kamishna-jenerali-wa-mamlaka-ya-mapato.html |
aba rawons style mbeya update teku yapata rais
mbeya update teku yapata rais
aidhatume ya uchaguzi iliteuliwa kusimamia uchaguzi huo ikiongozwa na mwenyekiti wake emmanuel kavengaambapo mchakato wa uchaguzi ulitangazwa mapema mwezi uliopita na watu kadhaa walijitokeza kugombea nafasi mbalimbali ikiwemo ya uraismakamu urais na wabunge
steven lespidius amechaguliwa baada ya kupata kura 454 na kuwashinda myombo mawazo na swebya hongera ambao wote walipata kura 193 wakati kura 109 ziliharibika na jumla zilipingwa kura 949
kiti cha makamu rais alichanguliwa deus petro na wote kuapishwa juni 14 mwaka huu katika ukumbi mpya wa teku na mwanasheria wa wilaya ya mbeya prosper msivala akiwataka viongozi hao kuongoza wenzao kwa mujibu wa katiba ya chuo hicho
kwa upande wake mkuu wa chuo profesa tuli kasimotoamewataka kufanya kile kilichowaleta chuoni hapobadala ya kujihusisha na masuala ya siasa na kuvionya baadhi ya vyama vya siasa kutoingilia katika chuo hicho kupenyeza siasa kwani kwa kufanya hivyo ni kuwatenganisha wanachuo na kwamba wao wapo kama familia moja | 2018-04-21T21:03:12 | http://abarawonsstyle.blogspot.com/2012/06/mbeya-update-teku-yapata-rais.html |
ali mufuruki kutaka kuuza uwanja wa gymkhana | jamiiforums | the home of great thinkers
ali mufuruki kutaka kuuza uwanja wa gymkhana
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by basiasi oct 11 2012
pengine wengi awajui nani huyu ali mufuruki
ana vyeo vingi kwa ujumla ila ni mmoja wa aliechangia kuua atcl na moja ya mchezo uliomwondoa atcl ni kuuza ndege mbili za atcl ambazo baada ya miezi miwili akaatangaza wana lease ndege mbili toka ireland kilichofanyika wakatengeneza mkataba hamad mmoja wa aliekuwa mhusika wa kuuandika akauchomoa akapeleka engineering hee walipokuja kuangalia registration wanakuta moja ya ndege zinazokuja ni zile zile zilizouzwaaliposhtukiwa gafula akaanza kufukuza watu mwisho ikabuma
sasa huyu bwana majuzi amelaumiwa na mh malinzi kwa kutaka kuuza uwanja wa gymkhana na mbaya zaidi kwa kuwazunguka wenzio kumbe ameshaleta wawekezaji na wameshaangalia kila kitu ikawa imebaki kumalizana ndipo wahaya wakamuonyesha na sie tumeshtuka
sasa najiuliza hivi huyu bwana anawaza nini anapofikiria kuuza uza mali za watu ovyo jamani na kama mnakumbuka walimwaga kila kitu kuhusu uchafu wake najua uhusiano wake na mh rais mstaafu na ndie aliempa moyo kuendelea na uchafu wake akiwa madarakani
sif zimwendee mzee wetu malinzi kwa kusoma nykati niw achache sana wenye kuona mbali na kuanika hadharani kama ninyi jamani
huyu mtu ni wa kuogopa kabisa
atauzaje kama haimuhusu au mgao hawakuelewana na malinzi ndo mpango ukavurugika bongo kila mtu ana njaa mkuu hata wewe hujapata tu fursa
atauzaje kama haimuhusu au mgao hawakuelewana na malinzi ndo mpango ukavurugika bongo kila mtu ana njaa mkuu hata wewe hujapata tu fursaclick to expand
kuna kamsemoeveryone has a price
gymkhana ni club ya wanachama ambao huwachagua viongozi wao kwa utaratibu wa wanachama kuomba uongozi wanapochaguliwa wanatakiwa kuongoza kufuatana na katiba ya club na pale wanapokiuka matakwa ya wanachama wanachama wana haki ya kuwatimua
mufuruki asingeweza kuuza gymkhana club bila wanachama kufahamu huo ni uzushi kilichotokea ni kwamba mufuruki alifanya mambo ambayo majority ya wanachama wa club hawakuafikiana nayo na hivyo kuitisha mkutano na kuonesha kwamba majority ya members hawakuwa na imani na uongozi wake yeye badala ya kukubali verdict ya wenye club ambao ni members akawa anang'ang'ania kuwa yeye bado ni kiongozi hata baada ya vote of no confidence na worse akafungua kesi kutaka mahakama imrudishe kuwa kiongozi as if mahakama ndio iliyomchagua kuongoza club
king'ang'anizi cha kutaka kuongoza kwa nguvu club ndicho kinacholeta hisia za kuwa huyu bwana kutokana na historia yake ya biashara zake bila shaka alikuwa na lake jambo juu ya mustakabali wa club malinzi amechaguliwa kushikilia uongozi kwa muda na yeye ajue kuwa hiyo club ina members wake ambao wamempa ridhaa kuongoza kama vile wanavyotaka wao akienda kinyume chake tu he will also face the same fate | 2016-10-22T23:41:15 | http://www.jamiiforums.com/threads/ali-mufuruki-kutaka-kuuza-uwanja-wa-gymkhana.336281/ |
realvalue mt4 viashiria
nyumbani mt4 viashiria realvalue
realvalue is a metatrader 4 (mt4) kiashiria na kiini cha forex kiashiria ni kubadilisha kusanyiko historia data
copy realvaluemq4 to your metatrader directory / wataalam / viashiria /
how to remove realvaluemq4 from your metatrader 4 chati
makala iliyopitarealvalueextended
makala inayofuatama lock | 2017-10-22T13:48:08 | http://mt4indicators.com/sw/realvalue/ |
nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu | jamiiforums | the home of great thinkers
nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu
discussion in 'jf doctor' started by jatelo1 dec 12 2011
naomba mnisaidie kwa wale wanaofahamu nini madhara ya kula/kutumia sana karanga na korosho kwani nimekuwa natumia karanga au korosho zilizokaangwa kila siku sasa naomba kwa wale wenye ufahamu je ni nini madhara ya karanga na korosho kwenye miili yetu
korosho zina cholestral nyingi leading to hear disease bora utumie almond/lozi not roastef
karanga ambazo hazikukaushwa vizuri baada ya kuvunwa zinakuwa attractive kwa fungi ambao baadaye huzalisha aflatoxin ambayo husababisha saratani ya ini heri korosho kuliko karanga
korosho zina cholestral nyingi leading to hear disease bora utumie almond/lozi not roastefclick to expand
mkuu una uhakika na hiki ulichokiandika
wa wapi wewekorosho inakata cholestrolndio maana vibonge/vitambi huperform wanapozitumia
duu mkuu hapo kwenye karanga hunifikii mim huwa nakula daily kitambo nilikuwa asubuh nakunywa chai na karanga mbich robo na usiku nakula robo na juice sema nilikuwa nafanya sana zoezi
kama karanga na korosho noma mbona huko wanakozilima wasife watoto wanakula mpaka leo wamekuwa madingi na ma maza nabado afya pouwa
jamani jaribuni kutoa majibu ya uhakika kwasababu ukijibu vibaya watu tunatumia huu ushauri wenu
hapa tunahitaji wataalam
kama karanga na korosho noma mbona huko wanakozilima wasife watoto wanakula mpaka leo wamekuwa madingi na ma maza nabado afya pouwaclick to expand
hii logic ni ya hovyo sana na wabongo wengi wanaitumia sana kuhalalisha vitu vyenye madhara eti watu wamekula kwa muda mrefu ndio sababu ya kuendelea kutumia kwanza bongo matumizi ya vitu vingi yanatudhuru bila kujua kijijini kwa mfano watu wanakufa na magonjwa ya ajabu bila kujua chanzo coz hakuna wataalamu mimi ningeshauri forum hii tujitahidi iwezekanavyo kuachia wataalam na wengi tutafaidika mfano mwingine maeneo ya mjini kina mama wamepata biashara ya miogo mibichi wateja wanaamini kabisa kua inaongeza nguvu za kiume na manii but kumbe ina madhara makubwa
hii logic ni ya hovyo sana na wabongo wengi wanaitumia sana kuhalalisha vitu vyenye madhara eti watu wamekula kwa muda mrefu ndio sababu ya kuendelea kutumia kwanza bongo matumizi ya vitu vingi yanatudhuru bila kujua kijijini kwa mfano watu wanakufa na magonjwa ya ajabu bila kujua chanzo coz hakuna wataalamu mimi ningeshauri forum hii tujitahidi iwezekanavyo kuachia wataalam na wengi tutafaidika mfano mwingine maeneo ya mjini kina mama wamepata biashara ya miogo mibichi wateja wanaamini kabisa kua inaongeza nguvu za kiume na manii but kumbe ina madhara makubwaclick to expand
mkuu hebu tudokeze kidogo hapo kwenye mihogo kwan sie wengi tunaitafuna sana bila kujua mathara yake
hii ndo raha ya jf bana
kama ilivyokuwa kwa korosho karanga nazo ni chanzo kizuri cha mafuta mazuri aina ya ‘monounsaturated fats' ambayo yanatiliwa mkazo kutumiwa kwa afya ya moyo kwa mujibu wa utafiti watu wanaokula karanga mara kwa mara hupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo (cardiovascular heart disease) kwa asilimia 21
aidha katika taarifa iliyochapishwa kwenye jarida moja la uingereza la ‘journal of nutrition' ambako kuna matokeo ya taarifa nne za utafiti imeonesha pia watu wanaotumia karanga mara kwa mara angalau mara nne kwa wiki hujipa kinga nyingine dhidi ya ugonjwa wa moyo (coronary heart disease) kwa zaidi ya asilimia 37
source mrisho's blog zijue faida za ajabu za karanga
mihogo mibichi madhara yake nini
kila kitu kina madhara sijui itakuaje
kila kitu kina madhara sijui itakuajeclick to expand
duhmpaka mihogo mibichitumekwisha
mihogo ina athari gani
mihogo ikutegemeana na mahali ilipolimwa inaweza kuwa na sumu cyanide hii dio sababu haswa wachaga hawali mihogo kwani ule udongo wa kwao wenye volcanic nature una cyanide nyingi haswa mihogo mibivhi ni hatari zaidi
mihogo ina athari ganiclick to expand
owkey bandugu
mihogo ikutegemeana na mahali ilipolimwa inaweza kuwa na sumu cyanide hii dio sababu haswa wachaga hawali mihogo kwani ule udongo wa kwao wenye volcanic nature una cyanide nyingi haswa mihogo mibivhi ni hatari zaidiclick to expand | 2016-12-09T02:23:17 | http://www.jamiiforums.com/threads/nini-madhara-ya-karanga-na-korosho-kwenye-miili-yetu.202184/ |
amekamatwa kwa kukusanya bolts zilizovunjika ziliachwa na tcdd | rayhaber
kuendesha gari kwa kasi ya juu kwa kasi ya juu
mshahara wa ujenzi wa uwanja wa ndege mpya i kulip
wafanyikazi wa 300 wanaacha kazi kwenye uwanja wa ndege wa istanbul
kiwango katika dhuluma mbaya ya metrobus üst
likizo ya krismasi ya ulaya imeondoka bursaray bila swichi
robo ya kwanza ya kardemir ya mwaka na rekodi za uzalishaji
kardemir inacha mwaka wa 2017 na uzalishaji wa kumbukumbu
jamaa za wale waliokufa katika ajali ya treni ya çorlu kwenye njia ya reli
strike majani siku ya nne katika i̇zban
izban strike 7 aliondoka siku yake nyuma
wanariadha katika ziara ya mersin kushoto siku ya tatu nyuma
bursa t2 line ya tramu inachagua wananchi katika nafasi ngumu
wafanyikazi wa reli ya ufaransa una
usafirishaji wa line ya anafartalar yht line huko kayseri | 2019-12-08T07:56:35 | https://sw.rayhaber.com/2019/01/tcddnin-rusty-kuvunjwa-bolts/ |
masolo ya biblia yisaka azwi mwasi malamu site ya internet ya batatoli ya yehova
boyebi mwasi oyo bozali komona na elilingi oyo nkombo na ye rebeka mobali oyo azali koya kokutana na ye ezali yisaka rebeka akozala mwasi na ye yango ebandaki ndenge nini
abrahama tata ya yisaka azalaki na mposa ya kobalela mwana na ye mwasi ya malamu alingaki te ete yisaka abala mwasi ya kanana mpo bazalaki kosambela banzambe ya lokuta yango wana abrahama abengaki mosaleli na ye mpe alobi na ye ete kende kuna epai ya bandeko na ngai na harane mpe zwelá mwana na ngai yisaka mwasi kuna
mosaleli ya abrahama azwi bakamela zomi mpe asali mobembo ya molai ntango akómi penepene na mboka oyo bandeko ya abrahama bazali kofanda atɛlɛmi pene na libulu ya mai ezalaki na mpokwa ntango basi ya mboka bayaka kotoka mai bongo mosaleli ya abrahama abondeli yehova boye tiká ete mwasi oyo akotokela ngai mai mpe akotokela bakamela mai azala mwasi oyo oponeli yisaka
mosika te rebeka ayei kotoka mai ntango mosaleli asɛngi ye mai apesi ye na nsima atoki mai mosusu mpo na komɛlisa bakamela ezalaki likambo moke te mpo bakamela bamɛlaka mai mingi
ntango rebeka asilisi kotoka mai mosaleli atunaki ye nkombo ya tata na ye atunaki ye mpe soki akoki kolala na ndako na bango rebeka azongisi ete nkombo ya tata na ngai betuele mpe esika ya kolala ezali nzokande mosaleli ya abrahama ayebaki ete betuele azali mwana ya nahore ndeko ya abrahama yango wana afukamaki mpe atɔndi yehova mpo akambi ye tii epai ya bandeko ya abrahama
na butu wana mosaleli ya abrahama ayebisi betuele ná labana ndeko ya rebeka ntina ya mobembo na ye bandimi ete rebeka akende na ye mpe abalana na yisaka bongo ntango batunaki rebeka soki akokende alobaki nini alobaki ete nakokende na mokolo oyo elandi rebeka akei elongo na mosaleli ya abrahama na mokili ya kanana
bakómaki na mpokwa rebeka amoni mobali moko azali kotambola na esobe ezali yisaka yisaka asepelaki mingi komona rebeka banda sara mama na ye akufá elekaki mbula misato mpe yisaka azalaki naino na mawa kasi sikoyo yisaka alingi rebeka mingi mpenza mpe esengo na ye ezongi lisusu
ebandeli 24167
mobali ná mwasi oyo ozali komona na elilingi ezali banani
abrahama asalaki nini mpo azwela mwana na ye mwasi mpe mpo na nini asalaki bongo
ndenge nini nzambe ayanolaki na libondeli ya mosaleli ya abrahama
rebeka apesaki eyano nini ntango batunaki ye soki alingi kobala yisaka
eloko nini esalaki ete yisaka akóma lisusu na esengo
tángá ebandeli 24167
wapi bizaleli ya malamu oyo rebeka amonisaki ntango akutani na mosaleli ya abrahama na libulu ya mai (eba 241720 mas 3117 31)
ebongiseli oyo abrahama azwaki mpo na yisaka epesi bakristo ndakisa nini lelo oyo (eba 2437 38 1 ko 739 2 ko 614)
mpo na nini tosengeli koluka ntango mpo na komanyola ndenge yisaka asalaki (eba 2463 nz 7712 flp 48)
tosengeli kosala nini mpo tózala lokola rebeka tángá lisolo oyo mpe oyekola makambo mingi oyo etali ye | 2018-01-17T14:39:42 | https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/bible-stories/eteni-2-banda-na-mpela-tii-bayisraele-balongwe-na-ezipito/lisolo-16-yisaka-azwi-mwasi-malamu/ |
huku kwetu mambo ni motoooo bongo5com
huku kwetu mambo ni motoooo
yasini ngitu june 11 2018 1037 pm
zikiwa zimesalia siku 3 tu kuelekea katika mashindano ya fifa kombe la dunia 2018 nchini urussi dstv watakuwezesha wewe mteja wao kufurahia mechi zote 64 za michuano ya fifa
kombe la dunia 2018 live zikiwa kwenye picha angavu hd kupitia chaneli zake mpaka 6maalum zilizoandaliwa kwa ajili ya mchuano hii wateja wote wa dstv watafurahia mashindano haya kuanzia kifurushi bomba kwa sh19 000 tu
dstv pia imekuandalia matangazo ya moja kwa moja ya fifa kombe la dunia 2018 kwalugha ya kiswahili utakaoletwa kwenu na timu yetu mahiri ya wachambuzi nguli wa soka kutoka hapa nchini akiwamo oscar oscar maulid kitenge aboubakar liongo ibrahim maestro edoku mwembe bila kumsahau ephraim kibonde watakaokuletea matangazo haya live kutoka russia
kwa kuongezea dstv imekuleta ofa maalum kwa wateja wake wapya sasa wataweza kujiunga na dstv kwa shilingi 79000 tu na kupata seti ya dstv pamoja na kifurushi cha miezi miwili bure kitakachokuwezesha kushuhudia mashindano ya kombe la dunia live mechi zote 64 kupitia chaneli za supersport
mbali na ofa hiyo na kutangazwa kwa michuano hiyo kwa lugha ya kiswahili dstv inataka kuhakikisha kuwa wateja wanaweza kutazama dstv popote walipo wakati wowote kwa kutumia vifaa kama simu laptop na tablet download app yetu ya dstv now unaweza
kutumia hadi vifaa vitano tofauti ambavyo vyote huunganishwa na dikoda yako hivyo kuwawezesha wanafamilia kutazama vipindi tofauti wakiwa sehemu yoyote kwa kutumia vifaa vyao
video modeste kuhani hatujafika
msanii wa jagwa music jack simela na wenzake watano wazikwa morogoro | 2018-12-11T16:33:37 | http://bongo5.com/huku-kwetu-mambo-ni-motoooo-06-2018/ |
mbuzi wa tambiko aua watu watano wa familia moja | emmanuel shilatu breaking news blog
home » unlabelled » mbuzi wa tambiko aua watu watano wa familia moja
nbsiyo mbuzi wa tambiko kwenye habari hapa chini
habari hii imeandaliwa na mohamed hamad manyara na patricia kimelemeta dar es salaam shomari binda musoma mtanzania | 2017-12-11T02:21:17 | http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/05/mbuzi-wa-tambiko-aua-watu-watano-wa.html |
maisha atinga ukweni kulalamikia kipigo kutoka kwa mkewe
atinga ukweni kulalamikia kipigo kutoka kwa mkewe
mwanaume mmoja[35] mkazi wa mwananyamala kisiwani [jina linahifadhiwa] ameamua kwenda ukweni kumshitaki mke wake kutokana na kipigo anachokipata kutoka kwake
ilidaiwa na mmoja wa ndugu wa karibu na mwanaume huyu kuwa mke wake aliyetambulika kwa jina moja grace [27] alikuwa akimpa kipigo pindi anapomkera na yeye kudaiwa alikuwa akihofia kumpiga kwa kuhofia kumjeruhi
ilidaiwa kuwa alishawahi kupata kipigo kwa takribani mara mbili na kipigo cha mwishoni mwa wiki iliyopita ilidaiwa kuwa uvumilivu ulimshinda na kwenda kuripoti matukio hayo ukweni ili mke wake huyo aweze kurekebishwa
hata hivyo chanzo cha habari hii kilidai kuwa ndugu wakaribu walipomuuliza alikuwa anapigwa kwa kuzidiwa nguvu na mke wake huyo au ni kwa vipi mwanaume huyo aliwajibu kuwa hazidiwi nguvu ila kwa kuwa anampenda sana mke wake alikuwa anahofia kumpiga kwa kuwa angeweza kumjeruhi hivyo anaamua amuache tu
hivyo taarifa hiyo imeshafika ukweni na wazee wa familia wanapanga siku ya kukutana kumkanya binti yao huyo na kitakachojiri kitawajia zaidi
posted by ismado at 934 pm | 2017-10-23T02:31:53 | http://maishani.blogspot.com/2010/10/atinga-ukweni-kulalamikia-kipigo-kutoka.html |
serikali ya tanzania yapokea gawio la sh bilioni moja kutoka tpb bank mtangazaji
home / habari / serikali ya tanzania yapokea gawio la sh bilioni moja kutoka tpb bank
211 pm habari
waziri wa fedha na mipango dkt phillip mpango akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi bilioni moja kutoka kwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya benki ya tpb dkt edmund mdolwa katika hafla ya kupokea gawio hilo jijini dodoma benki ya posta imetoa gawio hilo ikiwa ni faida iliyopatikamna mwaka 2018
serikali ya tanzania imepokea gawio la shilingi bilioni moja kutoka benki ya posta tanzania (tpb) linalotokana na faida ya uwekezaji wake wa asilimia 83 ya hisa katika benki hiyo katika mwaka wa fedha 2018/19
akizungumza katika hafla hiyo dkt mpango aliipongeza benki hiyo kwa kutoa gawio kwa serikali na kuahidi kuwa fedha hizo zitatumika katika shughuli mbalimbali za maendeleo nchini huku akiitaka benki hiyo kuongeza wigo wa utoaji huduma ili kuwafikia wananchi hususani waishio vijijini pamoja na kutoa elimu kwa wananchi hao kuhusu umuhimu wa kuweka akiba kukopa sambamba na kurejesha mikopo kwa wakati
mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya tpb dkt edmund mndolwa alisema kuwa gawio hilo ni sehemu ya faida ya sh bilioni 172 kabla ya kodi ambayo benki yake imeipata katika mwaka wa fedha 2018/19 pia ameeleza kuwa benki hiyo itaendelea kutoa huduma bora ili kukidhi mahitaji ya wanahisa wake na wananchi kwa ujumla | 2020-01-24T20:36:55 | http://www.mtangazaji.com/2019/07/serikali-ya-tanzania-imepokea-gawio.html |
kalulunga blog barabara mbovu yawakimbiza wawekezaji mbeya
barabara mbovu yawakimbiza wawekezaji mbeya
meneja mkuu wa kiwanda cha tbl mbeya plant waziri jemedari
*wangeajili watanzania zaidi ya 200
ubovu wa barabara inayoelekea katika eneo maalum la viwanda mkoani mbeya (iyunga industrial area) umewakimbiza wawekezaji wa kampuni ya sab miller kutoka nchini uingereza kujenga kiwanda cha kuzalisha kimea cha kuzalishia vinywaji
akizungumza na mwandishi wa habari hii ambaye anatafiti na kuandika habari za viwanda miundombinu na ubunifu nchini meneja mkuu wa kiwanda cha tbl mbeya plant waziri jemedari alikiri wawekezaji hao kukataa kujenga kiwanda kutokana na ubovu wa barabara
jemedari alisema wawekezaji hao walitembelea kiwanda hicho ambacho kinachoongozwa na watanzania na kuhitaji kuwekeza zaidi lakini walikataa kufanya hivyo baada ya kuona ubovu wa barabara hiyo ambayo haizidi kilomita 3 kutoka barabara kuu
wawekezaji hao walitoka uingereza ambako ndiko makao makuu ya sab miller na kuja kuangalia kiwanda chetu ambacho ni cha 12 kwa ubora duniani kati ya 120 na kuhitaji kujenga kiwanda kwa ajili ya kimea lakini wakakataa kutokana na ubovu wa hii barabara na wanaenda kujenga mkoani iringa alisema jemedari
meneja huyo alisema kiwanda hicho kingejengwa eneo hilo kingeongeza ajira kwa watanzania zaidi ya 200 hasa wakazi wa mbeya kwasababu kingekuwa na mzunguko wa (shifti) nne
kwanza tuliulizwa kama tunalipa kodi serikalini tukawajibu kuwa
tunalipa vizuri wakauliza kwanini barabara haitengenezwi tukakosa jibu sahihi ndipo wakasema hawataweza kujenga kiwanda hicho tukakosa fursa alisema meneja huyo
alisema licha ya barabara hiyo kuwa mbaya hasa nyakati za masika wasema ukweli katika sekta ya viwanda wanawekwa kwenye kundi la wapinzani wa serikali wakati lengo lao ni kutoa dira sahihi kwa serikali ili kufikia lengo la tamko la rais dkt john magufuli kuwa na viwanda pamoja na kulinda soko la ndani
vibao vya kiwanda cha pepsi coca cola na tbl kama vinavyoonekana njia panda ya kwenda eneo la viwanda iyunga (ituta) mbeya mjini
meneja rasiliamali watu wa kiwanda cha pepsi kilichopo eneo hilo la viwanda edwin arbogast alipohojiwa kuhusu hasara wazipatazo kutokana na ubovu wa barabara hizo alisema anaomba asinukuliwe chochote kuepuka kusigana na serikali
diwani wa kata ya iyunga iliyopo ndani ya jiji la mbeya ambako ndiko lilipo eneo hilo maalum kwa ajili ya viwanda essau kalinga
alipoulizwa kuhusu barabara hiyo alisema tayari ipo kwenye mpango na mchakato wa kujengwa
barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha lami mwanzoni mwa mwaka kesho 2017 maana tayari ipo kwenye mpango mzuri wa ujenzi na mwaka huu tuliweka changarawe lakini bila mitaro ya kupitishia maji na kwa kweli imeanza kuharibika tena alisema diwani huyo
aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia nccr mageuzi mwalimu posian mwaiseje alisema ili kufikia lengo la uchumi wa kati kupitia viwanda ni lazima maarifa ya wataalam yashushwe kwa wananchi ikiwemo elimu kwa watu wazima
namaanisha kuwa bila elimu kwa mfumo wa kiswahili watanzania hawatakuwa na uelewa sawa hivyo ili kufanikiwa lazima kwanza watanzania wawe na maarifa sawa kupitia lugha ya kiswahili hapo tutaweza kwenda pamoja katika tamko la rais magufuli alisema mwaiseje
naye kamishina wa chama hicho mkoa wa mbeya daimon mwasampeta alisema barabara hizo hazitengenezwi kwasababu nia njema ya rais john magufuli kuhusu viwanda anayo mwenyewe huku watendaji wake wakiwa hawana dhamira hiyo
dhamira njema ya rais magufuli anayo mwenyewe sawa na kipindi cha mwalimu nyerere ambaye alikuwa na dhamira ya peke yake ya azimio la arusha huku wasaidizi wake wakimwitikia machoni na kuishi kibepari alisema mwasampeta
kwa upande wake makamu mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari za utalii na uwekezaji tanzania (tajati) christopher nyenyembe alipohojiwa alisema eneo la iyunga licha ya kwamba ni eneo lililotengwa kwa ajili ya viwanda lakini kwa sasa wananchi wanalima mahindi na maharage kwasababu serikali inaonyesha kuwa haina dhamira ya dhati kuweka miundombinu ya barabara katika maeneo ya uwekezaji mkubwa hasa viwandani
maeneo yale kuna kiwanda cha (malumalu) marmo coca cola pepsi tbl reli ya tazara imepita na bandari kavu (malawi cargo) ilikuwepo
mbeya wanaendelea kujenga barabara kwa kiwango cha kokoto katika maeneo mbalimbali cha ajabu ni kwamba barabara zinapelekwa katika vilabu vya pombe za kienyeji badala ya kujengwa katika maeneo yenye uwekezaji mkubwa ili vijana wapate ajira na serikali iendelee kupata kodi alisema nyenyembe
makamu mwenyekiti huyo wa tajati alisema wao kama waandishi wa habari za utalii na uwekezaji tanzania wanaiomba serikali itupie jicho katika ujenzi wa miundombinu ya barabara maeneo ya viwandani ikiwemo maji ya uhakika umeme wa uhakika na miundombinu imara ya maji safi na maji taka
aliyewahi kuwa makamu mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda na biashara katika bunge la 10 vick kamata aliishauri serikali kuweka kipaumbele katika suala la kutenga ardhi kwa ajili ya viwanda kwa kushirikiana na halmashauri za wilaya na mikoa ikiwa ni pamoja na kujenga miundombinu bora kama vile barabara reli maji umeme na mawasiliano
uchunguzi umebaini kuwa hali ya ubovu wa barabara ziendazo viwandani kama eneo la viwanda la iyunga mkoani mbeya ipo pia katika halmashauri ya moshi mkoa wa kilimanjaro katika barabara ya kwenda kiwanda cha bonite na kiwanda cha bia cha serengeti breweries mkoani kilimanjaro
baadhi ya madereva wa magari ya kampuni za tbl coca cola pepsi marmo granito waliohojiwa na mwandishi wa habari hii kwa ombi la majina yao kutoandikwa gazetini walisema kuwa wao wanalinda vibarua vyao lakini hali ya barabara ni moja ya kikwazo kikubwa
tunabeba vinywaji vikivunjika tunahesabiwa hasara sisi wakati
mivunjiko hiyo inatokana na kugongana kwa vinywaji gari zinapoyumba tunapokwepa mashimo yah ii barabara walisema baadhi ya madereva hao
hata hivyo uchunguzi umebaini kuwa mbali na barabara hiyo kuwa mbovu viwanda vilivyopo eneo hilo vinakabiliwa na tatizo la ukosefu wa umeme wa uhakika na serikali kushindwa kulinda soko la ndani ambapo bidhaa nyingi zinaingizwa nchini na kuuzwa bei sawa na zinazozalishwa katika viwanda vya ndani
imechapishwa na gordon kalulunga at 1011 am
kundi uchumi | 2018-07-20T08:51:42 | http://kalulunga.blogspot.com/2017/01/barabara-mbovu-yawakimbiza-wawekezaji.html |
rwebangira blog monday july 12
pweza paulo mikia 8 tabiri sahihi 8
pweza paul ambaye sasa anadaiwa kuwa na dhamani ya pound za uingereza 500000/ anaweza kuwa mdudu ghari na maharufu sana duniani kwa sasa pengine kuliko mnyama yoyote kwa karne hii
paulo mwenye umri wa miaka 2 ameombewa hifadhi ya kisiasa huko spain baada ya jamaa kutishia kumfanya tandori calmari
tabiri za paulo toka euro 2008 hadi woza 2010 kwa timu ya ujerumani na fainali za woza
opponentstagedatepredictionresultoutcome polandgroup stage8 june germany20correct croatiagroup stage12 june germany[2][21]12incorrect austriagroup stage16 june germany10correct portugalquarterfinals19 june germany32correct turkeysemifinals25 june germany32correct spainfinal29 june germany[2]01incorrectworld cup 2010opponentstagedatepredictionresultoutcome australiagroup stage13 june germany[30]40correct serbiagroup stage18 june serbia[30]01correct ghanagroup stage23 june germany[30]10correct englandround of 1627 june germany[31]41correct argentinaquarterfinals3 july germany[24]40correct spainsemifinals7 july spain[32]01correct uruguay3rd place playoff10 july germany[33]32correct
teamstournamentstagedatepredictionresultoutcome netherlands vs spain world cup 2010final11 july spain[34]01correct | 2017-07-26T18:53:54 | http://bongopicha.blogspot.com/2010_07_12_archive.html |
matukio @ michuzi blog rais wa dkt magufuli aapisha makatibu wakuu naibu makatibu wakuu na wakuu wa mikoa wapya
rais wa dkt magufuli aapisha makatibu wakuu naibu makatibu wakuu na wakuu wa mikoa wapya
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimpatia nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe adam kigoma malima kuwa mkuu wa mkoa wa mara ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe alexander pastory mnyeti kuwa mkuu wa mkoa wa manyara ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhejoackim leonard wangabo kuwa mkuu wa mkoa wa rukwa kabla ya uteuzi huu bw wangabo alikuwa mkuu wa wilaya ya nanyumbu na anachukua nafasi ya kamishna wa polisi zelote stephen ambaye amestaafu
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe joackim leonard wangabo kuwa mkuu wa mkoa wa rukwa
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhe robert gabriel luhumbi kuwa mkuu wa mkoa wa geita kabla ya uteuzi huu bw luhumbi alikuwa mkuu wa wilaya ya korogwe na anachukua nafasi ya meja jen ezekiel kyunga ambaye amestaafu
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe robert gabriel luhumbi kuwa mkuu wa mkoa wa geita
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhe bw gelasius gasper byakanwa kuwa mkuu wa mkoa wa mtwara bw byakanwa alikuwa mkuu wa wilaya ya hai na anachukua nafasi ya bi halima dendego
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe bw gelasius gasper byakanwa kuwa mkuu wa mkoa wa mtwara
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhebi christine solomon mndeme baada ya kumuapisha kuwa mkuu wa mkoa wa dodoma kabla ya kumbadilisha na kuwa mkuu wa mkoa wa ruvuma kubadilishana na dkt bilinith mahenge anayehamia dodoma ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhebisuzana mlawi kuwa katibu mkuu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhebisuzana mlawi kuwa katibu mkuu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhe dorothy mwanyika kuwa katibu mkuu wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi
vingozi wakati wa hafla ya kuapishwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhandisi joseph kizito malongo kuwa katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimmkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhandisi joseph kizito malongo kuwa katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha prof simon s msanjila kuwa katibu mkuu wizara ya madini
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha prof simon s msanjila kuwa katibu mkuu wizara ya madini
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha dkt thomas didimu kashililah kuwa naibu katibu mkuu wizara ya kilimoikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha naibu katibu mkuu (viwanda) ludovick j nduhiye (ataapishwa)
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha naibu katibu mkuu (viwanda) ludovick j nduhiye (ataapishwa)
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhe dorothy mwaluko kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akikabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe dorothy mwaluko kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhe butamo kasuka phillipo kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha mhe butamo kasuka phillipo kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha kuwa naibu katibu mkuu (biashara na uwekezaji) prof joseph buchwaishaija
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiweka sahihi katika hati yake ya kiapo baadavya kumuapisha kuwa naibu katibu mkuu (biashara na uwekezaji) prof joseph buchwaishaija
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha mhe nicholaus b william kuwa naibu katibu mkuu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli baada ya kumuapisha mhe nicholaus b william kuwa naibu katibu mkuu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha bi susana mkap a kuwa naibu katibu mkuu (utawala) wizara ya fedha na mipango
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkabidhi nyenzo baada ya kumuapisha bi susana mkap a kuwa naibu katibu mkuu (utawala) wizara ya fedha na mipango
waapishwa wakila kiapo cha miiko ya maadili ya vingozi wa umma
spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job ndugai akiongea machache
jaji mkuu wa tanzania profesa ibrahim juma akiongea
makamu wa rais mhe samia suluhu hassan akitoa nasaha zake
sehemu ya viongozi waandamizi wa nyanja mbalimbali wakimsikiliza rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli makamu wa rais mhe samia suluhu hassan spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job ndugai jaji mkuu profesa ibrahim juma na katibu mkuu kiongozi wakiwa katika picha ya kumbukumbu na viongozi wa mbalimbali pamoja na wale aliowaapisha ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli makamu wa rais mhe samia suluhu hassan wakiwapongeza viongozi aliowaapisha ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28
j47 na j488 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli makamu wa rais mhe samia suluhu hassan wakiwapongeza viongozi aliowaapisha ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mikoo na naibu waziri ofisi ya waziri mkuu sera bunge kazi vijana ajira na walemavu anayeshughulikia walemavu mhe stella alex ikupa akiwa na naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe juliana shonza
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimpongeza mhe nicholaus b william aliyemuapisha kuwa naibu katibu mkuu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28 2017 kulia ni mke wa mhe william bi foster mbuna
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiagana na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali ikulu jijini dar es salaam leo oktoba 28
wazira wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt augustine mahiga akiteta jambo na katibu mkuu mpya wa wizara hiyo prof adolf f mkenda (kati) na aliyekuwa katibu mkuu wizarani humo dkt aziz mlima picha zote na ikulu | 2018-10-21T19:39:52 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/10/rais-wa-dkt-magufuli-aapisha-makatibu.html |
dar es salaam | ismailinet heritage field
kikwete ampongeza aga khan 20070820
2007 august 20rais jakaya kikwete amesema serikali yake na watanzania wanathamini michango na miradi mbalimbali ya kijamii ambayo kiongozi mkuu wa madhehebu ya shia ismailia duniani mtukufu karim agha khan amewekeza katika nchini [mwananchi communication]
aga khan asifu uvumilivu wa kidini nchini 20070820 | 2020-07-06T23:17:28 | http://ismaili.net/drupal5/taxonomy/term/3857 |
wabunge kwenda misri kuishangilia taifa stars | mtanzania
home bungeni wabunge kwenda misri kuishangilia taifa stars
wabunge wametakiwa kwenda misri kuishangilia timu ya taifa ya tanzania taifa stars katika michuano ya mataifa ya afrika (afcon)
akizungumza leo mei 22 bungeni spika wa bunge job ndugai amesema timu ya bunge sc inaendelea kuratibu zoezi la kujiandikisha wabunge ambao wataenda kushuhudia fainali hizo
bunge sc wanaendelea kuratibu utaratibu wa wabunge na tutaenda misri tukiongozwa na mheshimiwa waziri mkuu wakati timu yetu ya taifa itakapoenda kucheza afcon amesema ndugai
tuchangie masuala ya nauli ni vyema wabunge tuonesha mfano kwa kujiandikisha kwa wingi na kuwahamasisha wengine na mipango iende haraka kwa sababu booking za hoteli zitajaa itabidi tufanye mapema tukijiandikisha mapema naamini itawapa moyo vijana wetu amesema ndugai
previous articlembwana samatta aibuka bungeni
next articlenyota nane yanga kuikosa mbeya city u20 kuokoa jahazi | 2019-06-17T15:21:48 | http://mtanzania.co.tz/wabunge-kwenda-misri-kuishangilia-taifa-stars/ |
huyu ndiye anayemfundisha mtoto wako uongo amka mtanzania
huyu ndiye anayemfundisha mtoto wako uongo
date may 14 2020author deogratius kessy 0 comments
tuna ile nadharia fulani inayosema fanya kama ninavyosema na siyo ninavyotenda kupitia nadharia hii wazazi wengi wamepoteza uaminifu kwa watoto wao
watoto wetu huwa wanajifunza kila kitu kutoka kwetu pale wanapokuwa wadogo ila sisi tunakua kama vile hatujali hilo tumekuwa na watoto ambao tabia zao haziendani kabisa na wazazi na mpaka muda mwingine mzazi anajiuliza hizi tabia mtoto amezipata wapi watu waliomzunguka mtoto wanachangia kujenga au kubomoa tabia ya mtoto wako
mwalimu wa kwanza wa anayemfundisha mtoto wako uongo ni wewe mwenyewe kivipi namfundisha mtoto wangu kusema uongo
jibu moja kwa kushindwa kutekeleza kile unachoahidi kwa mtoto wako tu
pili unamfundisha kwa maneno tu lakini matendo yako yanakwenda kinyume na kile unachosema
kwa njia hizi mbili tunakua tuna haribu kabisa watoto wetu kwa mfano ni wazazi wengi sana wanawaahidi watoto wao vitu ambavyo hawawezi kuvitekeleza na kama unavyojua watoto ni watu wenye imani kali chochote wanachoambiwa na mzazi wanaamini wanakwenda kupewa hivyo usipofanya unajenga uongo ndani yao na ndiyo maana hata baadaye mtoto anakuja kuwa mwongo wewe mwenyewe unashangaa kumbe mwalimu ni wewe mwenyewe
kuwa makini na kile unachoahidi katika malezi ya mtoto wako kwani kinakwenda kumjengea uaminifu au kubomoa
pili tenda kama ulivyosema kwa mfano hakuna kuangalia tv watoto huu ni muda wa kusoma unawaambia watoto wasome wewe unaangalia tv badala hata kusoma nao na wewe ushike kitabu usome bali unakuwa bize na tv ambapo wenzako wanaingiza siku na wewe unatakiwa kuitumia kwa manufaa ya mtoto wako
kipindi hiki cha corona wako wazazi ambao hawana hata muda na watoto wao licha ya kuwa nyumbani watoto hawasaidiwi kimasomo lakini utamkuta mzazi huyo huyo anajisifu yaani unajikuta unaangalia muvi mpaka unachoka muda wa tv anao lakini wa kujenga watoto hana baadaye watoto wakiharibika anakuja kutumia gharama kubwa tena na kulipa riba
ewe mzazi amka acha mambo ambayo hayamsaidii mtoto wako mlee mtoto vizuri katika njia ambayo hataicha hata akiwa mzee
muda mwingine simu inaita tunawaambia watoto wapokee simu na wajibu kuwa sema baba au mama hayupo ametoka ameacha simu wakati wewe uko hapo hapo je kwa mtindo huo huoni unakuwa unamfundisha mtoto uongo
mzazi ambaye maisha yake yanakuwa ni ya maigizo hata mtoto naye anakuwa hivyo hivyo nioneshe mzazi mwenye show off (kujionesha) nami nitakuonesha mtoto mwenye show off watoto wanakua vile ambavyo sisi tunakua
unamwabia mtoto usivute sigara halatu wewe mwenyewe unakua wa kwanza kumtuma akakununulie sigara na kuvuta mbele yake
unamwambia mtoto asiwe mlevi wakati wewe ni mlevi
unamwambia mtoto wako awe mwaminifu katika maisha ya ndoa wakati wewe siyo mwaminifu katika maisha ya ndoa
unawaambia watoto waamke mapema wakati wewe ni mvivu wa kuamka
hatua ya kuchukua leo mzazi kuwa kioo cha mtoto wako
fanya kile ambacho ni sahihi kufanya katika malezi ya watoto
fanyia kazi kile ulichojifunza hapa na ishi kwa uhalisia wala usiigize maisha maana hata watoto wako wanajua ukweli wa mambo ulivyo
hivyo basi wewe kama mzazi au mlezi unapaswa kuwa makini kuanzia kile unachoongea au kutenda kwa watoto wako kwani wewe ndiyo mwalimu mzuri wa kujenga au kubomoa kwa mtoto wako au hata wengine kuwa mfano bora wa kuigwa jenga familia yako iwe bora na tutakua na jamii bora
previous previous post hii ndiyo mbinu ya kisomi itakayokusaidia katika malezi ya watoto
next next post uchambuzi wa kitabu the war of art jinsi ya kushinda vita ya ndani ya ubunifu | 2020-05-29T23:35:09 | https://amkamtanzania.com/2020/05/14/huyu-ndiye-anayemfundisha-mtoto-wako-uongo/ |
huu ndio upofu wa kamati kuu ya ccm | gazeti la mwanahalisi
na mbasha asenga imechapwa 17 august 2011
miongoni mwa maamuzi ya kuchekesha ambayo yalifanywa na kamati kuu (cc) ya chama kilichopo ikulu chama cha mapinduzi (ccm) ilipokutana hivi karibuni ni kuitaka serikali kuhakikisha kwamba bei ya mafuta haipandi ovyo kwa kuwa inawapa wananchi ugumu wa maisha
pamoja na cc kutoa angalizo hilo hasa kuhusu bei ya mafuta ya taa hali ya soko la mafuta nchini imeendelea kuwa tete kuliko maelezo takribani wiki moja tu baada ya mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (ewura) agosti 2011 kutoa bei mpya elekezi ambazo zilishusha kwa kiasi bei ya nishati hiyo katika soko la ndani hali imegeuka na makali yameendelea kuuma wananchi kama kawaida
kutokana na maamuzi ya ewura ya kupunguza baadhi ya tozo kwenye mafuta ambazo zilikiwa zinanufaisha taasisi za serikali kama ewura yenyewe tiper shirika la maendeleo ya petroli (tpdc) shirika la viwango (tbs) mamlaka ya bandari (tpa) wakala wa vipimo na mamlaka wa usimamizi wa usafiri wa nchi kavu na majini (sumatra) nafuu iliyopatikana ilidumu kwa muda wa wiki moja tu
jumatatu wiki hii bei zilirejea tena juu kisa ewura wanasema ni mambo mawili moja kupanda kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia lakini kibaya zaidi kuendelea kudhoofika kwa sarafu ya tanzania
tangu mwaka 2005 sarafu imepoteza thamani yake kwa takribani asilimia 50 yaani wakati dola moja ya marekani mwaka 2005 ilikuwa ikibadishwa kwa sh 1000 takwimu za benki kuu ya tanzania (bot) zinaonyesha kwamba sasa thamani yake imefikia sh 1624 kwa dola moja
kwa maneno mengine ni sawa na kusema kwamba uwezo wa wananchi wetu wa kumudu mahitaji yao siku baada ya siku unaporomoka kutokana na kuzidi kuporomoka kwa thamani ya sarafu ya tanzania dhidi ya dola ya marekani
kwa muda mrefu watu wengi wamekuwa wanajiuliza ni nini hasa kinasababisha sarafu yetu kuyumba kwa kiwango hicho zipo sababu zinazotolewa na wadau mbalimbali juu ya kuyumba huko moja ni mahitaji makubwa ya dola ya marekani kwa ajili ya kuagiza vitu nje ya nchi ambavyo nchini havipatikani vitu hivi ni kama mafuta vipuri vya mitambo na mashine mbalimbali magari na vipuri vyake kutaja kwa uchache tu
lakini pia kuna sababu inayotolewa kwamba kwa muda mrefu tanzania imeporomoka kwa kiwango cha uuzaji wa bidhaa nje hizi hasa ni kama mazao ya biashara kama kahawa korosho katani pamba lakini pia kuna fedha za kigeni zinazoingia nchini kwa njia ya utalii njia zote hizi ni vyanzo vya fedha za kigeni nchini
zimetolewa sababu nyingi kuhusu kushuka kwa mauzo nje lakini hata kupungua kwa mapato ya utalii yakifungamanishwa na msukosuko wa uchumi duniani
hata hivyo kwa kiwango kikubwa si serikali au hata chama tawala ambacho kinaisimamia serikali wamekuwa radhi kueleza bayana kwamba matatizo haya ya kuyumba kwa kasi kwa sarafu ya tanzania ni matokeo ya kuzorota kwa uzalishaji kunakochangiwa hasa na mgawo wa umeme changamoto za umeme kwa muda mrefu zimekuwa ni kikwazo kikubwa cha uzalishaji
kwa mfano wakati kati ya januari 2005 na desemba sarafu ya tanzania dhidi ya dola iliporomoka kwa sh 11357 dhidi ya dola ya marekani kiwango cha kuporomoka kwa sasa kinatisha wa sasa shilingi kwa wiki moja tu inapoteza thamani yake kwa sh 3386 dhidi ya dola
hizi ni bei za bot na si za kwenye maduka ya kubadili fedha ambazo hata hivyo hali ni mbaya zaidi agosti 03 2011 siku bei mpya elekezi ya ewura inaanza dola moja ya marekani ilikuwa inabadilishwa kwa sh 158600 lakini ilipofika agosti 12 2011 yaani siku tisa baadaye dola moja ilikuwa inabadilishwa kwa sh 161986 hali ilikuwa mbaya zaidi ilipofika jumatatu wiki hii kwani dola moja ilikuwa ni sawa na sh 162417
haya yote yakitokea bei ya dhahabu katika soko la dunia inapaa kwa kasi ya ajabu kwa mujibu wa takwimu za bot bei ya onsi/wakia moja ya dhahabu alhamisi iliyopita yaani agosti 11 mwaka huu ilikuwa ikuzwa kwa dola za marekani 181329 bei hizi zimevunja rekodi kwa mwaka huu
cha kushangaza ni kwamba wakati kwa sasa tanzania inatajwa kama nchi ya tatu barani afrika kwa uzalishaji wa dhahabu baada ya afrika kusini na ghana dhahabu hii haionyeshi ikisaidia chochote kumarika kwa sarafu yetu
maelezo ya uzalishaji wa dhahabu yamethibitisha sawa kabisa na upatikanaji wa gesi asilia nchini itakumbukwa kwamba wakati harakati za kujenga bomba la gesi kuja dar es salaam ilijengwa dhana kwamba tatizo la umeme ni kama lilikuwa limefikia ukomo
kwa mshangao wa wengi si tu kwamba gesi asilia hajaweza kusaidia taifa hili kuandokana na adha ya mgawo wa umeme bali pia imethibitisha kwa mara nyingine kuwa wanaonufaika na rasilimali za nchi hii zinazovunwa ni makampuni ya uwekezaji gesi ipo ubungo dar es salaam lakini makali ya mgawo wa umeme ni kama kawaida tena kwa makali makubwa zaidi
ukweli huu unafanana na hali halisi ya uzalishaji wa dhahabu kwani wakati serikali ya awamu ya tatu inavutia wawekezaji wakubwa katika uchimbaji wa madini husasan dhahabu waliwajengea wananchi matarajio kwamba mambo yetu kama taifa yangebadilika
wananchi walijengwa hadi wakaamini kwamba uchimbaji wa madini hayo ungekuwa na maana kwa uchumi wao miaka zaidi ya 10 sasa kila kinachopatikana katika migodi hakionyeshi kusaidia uchumi wa nchi wala kusaidia kumarika kwa sarafu ya tanzania
ndiyo maana leo hii taifa lenye gesi asilia linalochimba madini ya dhahabu kwa kiwango kikubwa hivyo tena katika kipindi ambacho bei ya dhahabu iko juu mno katika soko la dunia linashindwa kabisa kuwaeleza wananchi wake ni kwa kiwango gani rasilimali hizi zinazovunwa na makampuni zimesaidia kuimarisha uchumi wake
ni kweli mafuta yanapaa bei katika soko la dunia lakini ni kweli pia kuwa dhahabu nayo inapaa bei katika soko hilo hilo cha ajabu taifa hili halina maelezo ni kwa nini basi sarafu yetu haipati nafuu kutokana na hali hiyo mbali ya mambo kuzidi kudidimia kila uchao
hili ndilo suala ambalo kamati kuu ya ccm ilipaswa kuiliza serikali yake ilipokuwa inatoa maagizo ya kutekelezwa na serikali hiyo ambayo kimsingi mambo yake yanazidi kuwa magumu siku hadi siku
masebu ewura ni marefa uwanjani
makamba pinda slaa uchaguzi cuf dowans ccm kikwete lowassa richmond sitta mkapa rostam chadema chenge | 2019-05-23T23:52:44 | http://www.mwanahalisi.co.tz/huu_ndio_upofu_wa_kamati_kuu_ya_ccm |
ku fambisiwa katinguluve
kuna milawu na maendlelo swotala swinene leswi lavaka ku landzeleriwa loko kufambisiwa tinguluve hiku komisa xikongomelo nkulu iku sivela kuhangalaka ka mavabyi naku hunguta ntshikelelo wa swifuwo loko swirikarhi swifambisiwa
ku sivela mimovha kuva yi hangalasa mavabyi yifanele ku basisiwa naku tlhela yi cheriwa na swidlaya switsotswana loko yingase tlhelela e purasini ra tinguluve eka tindzhawu leti swipimelo swa mavabyi swinga kona tinguluve tinge fambisiwi kungari na mpfumelelo kusuka eka dokodela wa swifuwo wa mfumo loko ku fambisiwa tinguluve leti vabyaka tifanele ku fambisiwa kuhambana na letinga vabyeki
ntshamiseko wa swifuwo
tinguluve tifanele loko swikoteka tifambisiwa loko dyambu ringaha hisi kambe hi xitalo ati tsakeli ku fambisiwa na vusiku swifuwo swifanele ku sirheleriwa eka dyambu kutitimela ngopfu moya wotitimela xikanwe na musi wa swofamba hiswona ndzhuti kungava lapi kumbe xinwana xotiya swifanele ku tirhisiwa loko swifuwo swifambisiwa himinkarhi leyi kufumelaka ya siku swinga pfuna na kutsakamisa tinguluve loko kuriku siku rero kuhisa ngopfu
laha hansi aku fanelanga ku rheta naswona laha matlhelo kufanele kuva kuri ehenhla nyana kusivela tinguluve tinga tluli emovheni tinguluve leti ringanaka hi sayizi na vukhale tifanele ti vekiwa hi ntlawa wunwe ku avanyisiwa laha xikarhi leswaku kuhambanyisiwa mintlawa leyi kuya hi kuhambana hambana ka tona kumbe ku hungutiwa nhlayo leyikulu kuya eka nhlayo leyintsongo ya mintlawa ku sivela kuva ti lwa naku karhatana
swivala naleswi swinga avanyisa laha ku vekiwaka tinguluve swifanele kuva swikulu kuringanela leswaku swifuwo hinkwaswo swita kota kutshama ehansi hinkarhi wunwe laha nguluve yinwe leyintsongo yi lavaka kwalomu ka xipesi xa 056 square meter kutani leyikulu yi lava kufika eka 074 square meters ha yinwe
loko tinguluve tititsona swakudya loko tiri eku fambisiweni tifanele kunyikiwa mati endzhaku ka 18 wa ti awara loko tifamba eka mpfhuka woleha kuya hi south african pork producers associations production manual pigs for profit vatsundzuxa vanwamapurasi leswaku vafanele ku layicha tinguluve loko tilava ku famba hikuva tinguluve ta lwa loko tinga tsakangi ngopfu ngopfu loko movha wuyimile sungula u kuma maphepha lawa lavekaka loko ungase layicha tinguluve
makhomelo ya swifuwo
nhlayiso wu fanele kuvakona loko ku khandziyisiwa swifuwo leswaku kutava na ntshikelelo wuntsongo leswi swinga endliwa hiku tirhisa vatirhi lavanga leteriwa ku layicha tinguluve hikuva va tirhisa mahanyelo yantumbuluko ya tinguluve kuva swiva pfuna xikanwe naku tirhisa ti ramps kuva tinguluve tikhandziya hikona leswingata pfumelela tinguluve kuva tifamba tintshunxekile kunghena e movheni
tinguluve xikombiso tifamba hiku olova loko tifamba tiri ntlawa swa olova kuti kombeta leswaku tifamba hi kwihi loko uri laha tikotaka ku vona kona pigs for proft yi tsundzuxa leswaku vafuwi vatirhisa catching noose eka tihlaya ta le henhla ta tinguluve loko va tifambisa hi yinwe yinwe unga ringeti kuva u fambisa ta xisati na ta xinuna letikulu hikuva ta tika kutlula munhu
ku anama na ku leha ka laha ku layichiwaka hi kona kufanele kuringana na movha lowungata layicha tinguluve leswinga tikaka ngopfu loko tinguluve ti layichiwa eka swofamba swohambana tinga tlakuriwa tinghena eka mimovha yotifambisa kambe leswi swinga tika xikanwe naku vanga ku vaviseka swifuwo swingaka swinga kokiwi hi milenge ku tlakuriwa kumbe ku khomiwa hi nhloko tindlelve kumbe ncila
vachayeri va mimovha leyi vafanele kuva kahle swinene eka swifuwo vafanele ku chayela kahle hi vukheta kusivela kuva swifuwo swiwa swi chayisana xikanwe naku vaviseka mimovha yifanele kuyimisiwa ntsena loko swifanerile naswona kufanele kuva na kungu leringa endliwa loko rendzo ringase sungula ngopfu ngopfu loko movha wo tshoveka endleleni kumbe kuva na swinwana swa xihatla vachayeri vafanele ku leteriwa leswaku vativa leswaku vafanele ku endla yini loko kuri na mahaka ya xihatla naswona vari na rinqingho leswaku vatakota kutihlanganisa na vanwana loko valava ku pfuniwa | 2020-01-19T14:52:00 | http://southafrica.co.za/ts/ku-fambisiwa-katinguluve.html |
china betri ya simu ya rununu batri ya simu mtengenezaji wa simu ya rununu
maelezobetri ya simu ya rununubetri ya simubetri ya simu ya mkononibetri ya rununu
home > bidhaa > betri ya simu ya rununu
makundi ya bidhaa ya betri ya simu ya rununu sisi ni wazalishaji maalumu kutoka china betri ya simu ya rununu betri ya simu wauzaji / kiwanda jumla ya bidhaa za juu ya r & d betri ya simu ya mkononi na viwanda tuna huduma kamili baada ya mauzo na msaada wa kiufundi anatarajia ushirikiano wako
brand mpya badala ya iphone 6 betri wasiliana sasa
siri ya lipolymer s7 edge huduma ya uingizaji wa betri wasiliana sasa
muda mrefu wa muda mrefu wa huawei lipolymer betri wasiliana sasa
uwezo kamili wa huawei p10 plus wa betri wasiliana sasa
batri ya huawei ya lithium polymer ambayo haiwezi kurejesha wasiliana sasa
huawei p10 inaweza kubadilishwa battery replacement wasiliana sasa
battery ya huawei p20 ya limer ya nje wasiliana sasa
37v betri ya liion polymer kwa huawei wasiliana sasa
jinsi ya kuchukua nafasi ya betri ya iphone kwa urahisi wasiliana sasa
betri 100 mpya ya iphone 7 inauzwa wasiliana sasa
betri inayopanuliwa ya liion polymer ya iphone 6s iliyopanuliwa wasiliana sasa
mpango wa juu wa betri ya iphone ya kiwango cha juu wasiliana sasa
uwezo mkubwa wa kukarabati apple iphone 6 betri wasiliana sasa
rechargeable liion polymer iphone betri amazon kuuza wasiliana sasa
sisi ni watengenezaji wa wataalamu wa liion betri ya simu ya rununu na uzoefu wa zaidi ya miaka 7 inayohusika katika batri ya iphone batri ya huawei batri ya samsung batri ya uwezo wa juu wa iphone vificha vya simu ya mkondo chaja ya wireless ya gari na nk
hadi mizunguko 800 betri yetu ya rununu ya rununu inachukua bodi ya ulinzi ya asili ya ic kuwa ya kudumu zaidi thabiti na salama
betri yetu ya simu ya mkononi imeundwa kwa fuse mara mbili kuzuia mzunguko mfupi mzunguko mfupi wa ahueni moja kwa moja na fuse ya chuma ya kumbukumbu
usalama watano hufanya simu ya rununu kushindana zaidi 1) uhifadhi nguvu wa nguvu 2) malipo ya haraka 3) usasishaji endelevu 4) salama kwa kutumia 5) ufanisi mkubwa
kiini simu battery badala antar otomatiki hightech uzalishaji ya kila siku ya betri fika vipande 12000 kila moja ya betri kupita kadhaa ya vipimo kali kiwango kasoro ni chini ya 3
kiini simu battery ina kazi nyingi ulinzi ambayo inaweza ufanisi kulinda betri na moja kwa moja kukatwa wakati ni kikamilifu kazi ya ulinzi chargedmultiple pamoja na joto la ulinzi ulinzi wa mzunguko reste ulinzi ulinzi pembejeo voltage vifaa juusasa ulinzi pato juu ya ulinzi wa sasa pembejeo ya kuzuia kurudi nyuma ulinzi wa shinikizo la betri
betri ya simu ya rununu betri ya simu betri ya simu ya mkononi betri ya rununu kesi za simu ya rununu | 2020-03-30T04:30:06 | https://www.hqqnbattery.com/sw/cell-phone-battery/ |
mchekeshaji mpoki amtupia dongo diamond platnumz | raha za walimwengu
home » »unlabelled » mchekeshaji mpoki amtupia dongo diamond platnumz
mchekeshaji mpoki amtupia dongo diamond platnumz
mchekeshaji wa kundi la original comedy mpoki ameamua kufanya utani kuhusiana na headquaters mpya za wcb baada ya kufanya vice versa na kile alichokipost diamond platnumz kwa kuonesha nyumba ya udongo katika page yake ya instagram na kusema ni studio za wachafu wakati diamond alisema ni studio za wasafi
mpoki aliandika caption inayosema tutaonana hii ndio headquarters ya wachafu fm na tv kama kawa tukutane sehemu ya kuosha magari tutaonana hivi karibuni | 2018-01-18T19:39:05 | http://www.rahatupu.us/2018/01/mchekeshaji-mpoki-amtupia-dongo-diamond.html |
dr slaa zingatia sana diet | jamiiforums | the home of great thinkers
dr slaa zingatia sana diet
discussion in 'jf chitchat' started by rosemarie jan 3 2012
nimesoma maisha ya mgombea urais wa marekani john maccain'huyu jamaa hajabadilika tangu tulivyomwona kwenye uchaguzi miaka minne iliyopita yuko vilevile'namwomba sana dr slaa azingatie sana diet kwa sababu tunamwitaji sana 2015 aongoze nchi yetu'sijui kama anakunywa pombe lakini namshauri aache kabisa'vilevile aache kula red meat yaani nyama ya ngo'mbe'ale zaidi mboga za majani na ajiepushe na mambo yanayoweza kumpa strees''ni mawazo yangu tu jamani
huyu mzee tatizo lake konyagi mwitu
big up mkuu ni wazo zuri tena sanaaa
nimesoma maisha ya mgombea urais wa marekani john maccain'huyu jamaa hajabadilika tangu tulivyomwona kwenye uchaguzi miaka minne iliyopita yuko vilevile'namwomba sana dr slaa azingatie sana diet kwa sababu tunamwitaji sana 2015 aongoze nchi yetu'sijui kama anakunywa pombe lakini namshauri aache kabisa'vilevile aache kula red meat yaani nyama ya ngo'mbe'ale zaidi mboga za majani na ajiepushe na mambo yanayoweza kumpa strees''ni mawazo yangu tu jamaniclick to expand
huyu mzee tatizo lake konyagi mwituclick to expand
japo sisi waafrica hatuzingatii sana diet nashauri afikirie kazi iliyo mbele yake'
ajitoe mhanga ili akumbukwe na vizazi vijavyo
ajitoe mhanga ili akumbukwe na vizazi vijavyoclick to expand
labda hana mtu wa kumpikia
awe na mtaalam kabisa atakayelipwa na chama kwa masuala ya afya
huu ushauri naomba uwafikie pia vigogo wa polisi wanatia aibu ni mitumbo yao
wazo zuri na kwakuwa huwa na pitia humu ataweza kusoma na kuzingatia ushauri huu
awe na mtaalam kabisa atakayelipwa na chama kwa masuala ya afyaclick to expand
yaani ni muhimu sana mkuu'tujue imebaki miaka mitatu na ushee'afya yake ilindwe sana kwa sababu ndio mtaji wetu
wazo zuriila hata kwa macho tumakamanda wa cdm wako fit na hakuna mwenye rekodi ya kuangukaanguka majukwaani
2015 zamu ya wenzetu tumegombea sisi sana sasa ni zamu ya mgombea kutoka zanzibar
2015 zamu ya wenzetu tumegombea sisi sana sasa ni zamu ya mgombea kutoka zanzibarclick to expand
mpaka 2015 muungano utakuwa ulishakufa'tuangalie zaidi nchi yetu tanganyika
unamaana dr anatumia supu ya mawe
angalau yeye anaonesha uzalendo kwa kutumia vya nyumbani kuliko zile suti za uk
habari na hoja mchanganyiko
labda hana mtu wa kumpikiaclick to expand
kula shavu hilo best
wazo la maana lakini sijui kama viongozi wa africa wanafatilia hili
wazo zuri sana hata kwa viongozi wengine wapigania haki hii ni muhimu sana
kuongoza nchi siyo swala sandakalawekwanza si wana nchi yao huku wanataka nini tena
angalau yeye anaonesha uzalendo kwa kutumia vya nyumbani kuliko zile suti za ukclick to expand
+kulipiwa hotel
mzee slaa yuko salama ki afya naamini na mazoezi anayafanya si mlevi na mla hovyo anatumia muda wake mwingi sana kusoma vitabu | 2017-01-22T01:55:57 | https://www.jamiiforums.com/threads/dr-slaa-zingatia-sana-diet.208746/ |
pluijm aelekeza mitutu msimbazi mtanzania
home michezo michezo kitaifa pluijm aelekeza mitutu msimbazi
pluijm aelekeza mitutu msimbazi
kocha mkuu wa timu ya yanga hans van pluijm amesema haofii lolote kuelekea mechi dhidi ya hasimu wake simba jumamosi hii kwenye uwanja wa taifa dar es salaam huku akitamba yupo tayari kwa vita ya kuwachakaza wekundu hao
msimu huu pambano hilo limetabiriwa kuwa litakuwa ni la kukata na shoka kutokana na timu hizo kupata matokeo ya ushindi kwenye mechi za ligi kuu ya vodacom tanzania bara (vpl) walizocheza mpaka sasa
yanga iliyo kileleni mwa ligi kuu kwa pointi tisa sawa na simba azam na mtibwa sugar zinazofuatia imeshinda mechi zake zote dhidi ya coastal union (20) tanzania prisons (30) na juzi ikailaza jkt ruvu 41 zote ikicheza uwanja wa taifa
pluijm aliliambia mtanzania kuwa anauchukulia kawaida mchezo huo na hata maandalizi yake atakayofanya ni sawasawa na yale atakayofanya wakati akicheza na timu nyingine
kwangu mimi ni mechi ya kawaida kama nyingine lakini huwa na mashabiki wengi zaidi vile vile ni kama vita kama usipoua basi utauliwa wewe tutafanya maandalizi yetu kawaida kama kwenye mechi nyingine
binafsi naamini ya kuwa tutacheza mpira wetu mzuri kwani timu inapofanikiwa kumiliki mpira kufanya mambo yote uwanjani kwa kasi na umakini tutaiweka simba pabaya na kuipa wakati mgumu kwenye mchezo huo alisema
mholanzi huyo tokea aanze kuifundisha yanga hajawahi kupata ushindi kwenye mechi zote mbili alizocheza dhidi ya simba alitoa sare ya bao 11 msimu wa 201314 kabla ya kufungwa 10 msimu uliopita mara zote hizo alikabidhiwa timu hiyo kwenye mechi za mzunguko wa pili
pluijm aligoma kuzungumzia rekodi yake hiyo mbaya dhidi ya simba akidai kuwa hiyo ni historia na sitaki kuangalia huko ninachoangalia ni hiki kilichoko mbele yangu niweke wazi kuwa siiogopi simba na hata timu nyingine yoyote lakini zote naziheshimu
hata hivyo pluijm akizungumzia ushindi wa mabao 41 dhidi ya jkt ruvu alisema bado vijana wake hawajacheza katika kasi anayoihitaji wamekuwa wakicheza kasi ya chini lakini akadai huo ni mwanzo tu na timu yake imekuwa ikiimarika kadiri siku zinavyosogea
previous articlesimba moto ligi kuu
next articletiffah wa diamond na zari awekwa wazi | 2020-08-03T23:57:23 | https://mtanzania.co.tz/pluijm-aelekeza-mitutu-msimbazi/ |
mshauri wa raila odinga aeleza kwa nini kuapishwa kwake kuliahirishwa ▷ tukocoke
mshauri wa raila odinga aeleza kwa nini kuapishwa kwake kuliahirishwa
maoni 15472
mshauri wa kisiasa wa raila odinga salim lone ametaja sababu ya nasa kuahirisha kumwapisha raila odinga jumanne desemba 12
lone anasisitiza kuwa sherehe haingeendelea wakati kalonzo musyoka aliyekuwa aapishwe kuwa naibu rais yuko nje ya nchi
lone pia anasema chama cha wiper kilikuwa kimeomba sherehe kuahirishwa hadi kalonzo arejee nchini kutoka ujerumani
mshauri wa masuala ya kisiasa wa raila odinga salim lone amesema na kufafanua sababu ya nasa kuahirisha sherehe iliyokuwa imepangwa ya kumwapisha raila odinga
ilivyoripotiwa awali na tukocoke raila alitazawima kuapishwa siku ya mashujaa jumanne desemba 12
hata hivyo upinzani nasa umetangaza kuiahirisha tarehe hiyo na mshauri mkuu wa kisiasa wa kinara mkuu raila odinga amefichua sababu ya kufanya hivyo
mshauri mkuu wa kisiasa wa raila odinga amefichua sababu ya nasa kuahirisha tarehe ya kumwapisha raila picha nasa/facebook
baada ya mashauriano ya ndani na wengine wa kitaifa na wa kimataifa uongozi wa nasa unawatangazia wafuasi wa nasa na umma kwa jumla kwamba sherehe ya kuwaapisha raila amollo odinga na kalonzo musyoka kuwa rais na naibu wake wa jamhuri ya kenya na kuzinduliwa kwa bunge la wananchi haitafanyika jumanne desemba 12 na imeahirishwa kinara katika nasa musalia mudavadi alisema kwenye kikao na wanahabari jumapili desemba 10 2017
akisema sababu kuu ya kuziahirisha sherehe za kumwapisha raila mshauri wake mkuu salim lone anasema haikuwa vyema kumwapisha raila huku naibu wake kalonzo musyoka akiwa nje ya nchi
sababu kuu ya kuahirishwa sherehe za kumwapisha raila yatajwa picha nasa/facebook
ujumbe wa lone mtandaoni amabo tukocoke imeusoma unasema chama cha kalonzo cha wiper kilikuwa mimeomba nasa kuahirisha sherehe hadi kalonzo arejee nchini kutoka ujerumani
''kuahirishwa kuapishwa kwa mshindi wa kura ya agosti 8 ni masikitiko makubwa kwa wakenya wengi lakini na kalonzo musyoka ambaye angeapishwa kuwa naibu rais akingali nje ya nchi na chama chake kikiomba kuahirishwi hadi arejee hatua hii ndio iliyokuwa imebakia pekee'' lone aliandika
hii ndio sababu ya kuapishwa kwa raila jumanne desemba 12 kuahirishwa picha nasa/facebook
kalonzo amekuwa ujerumani tangu oktoba 11 akimuuguza mke wake pauline kalonzo ambaye anapokea matibabu spesheli
licha ya kuwa mbali kalonzo ameendelea kusikika mno katika siasa za humu nchini hasa akichangia sana katika shughuli za nasa karibuni naibu rais huyo wa zamani aliandika mtandaoni na kusistiza angali nasa
check kcse results online mpesa charges 2018 kenya power alerts | 2018-07-19T21:03:56 | https://kiswahili.tuko.co.ke/260213-mshauri-wa-raila-odinga-aeleza-kwa-nini-kuapishwa-kwake-kuliahirishwa.html |
aika afungukia skendo za diamond kuwadhalilisha wanawake | lemutuz
home entertainment aika afungukia skendo za diamond kuwadhalilisha wanawake
msanii wa muziki wa bongo fleva anayetokea katika kundi la navykenzo aikah marealle ambaye hivi sasa pamoja na mpenzi wake nahreel wanafanya vizuri na ngoma yao ya katika amefunguka na kumuongelea diamond platnumz
aikah na nahreel wameonekana kuwa na ukaribu mkubwa na diamond hii ni baada ya kumshirikisha katika ngoma yao ya katika lakini kuna tetesi zilisambaa kuwa kundi hilo lina mpango wa kusainiwa chini ya wcb tetesi zilizokataliwa na navykenzo
lakini pia siku za hivi karibuni diamond amekuwa akinyoshewa sana vidole kwa tabia yake anayo tuhuma ya kumdhalilisha wanawake ambapo mashabiki walimjia juu kwa vitendo ambavyo vilimuonyesha kama hawaheshimu wanawake waliomzalia ambao ni mobetto na zari
aikah alihojiwa kuhusu tuhuma hizo za diamond kudhalilisha wanawake ambapo alifunguka kwa kusema
mimi huwa siwezi kumhukumu mtu na maisha yake na kila anachoamua kukifanya ila ni mtu ambaye nimekaa na diamond kwa nyuma ya pazia ambapo naona jinsi anavyoishi na watu vizuri hao wanawake wote mnaosema anawadhalilisha anaishi nao vizuri na anawajali
lakini pia aikah aliulizwa kuhusu mstari ambao umesikika kwenye wimbo huo ambapo diamond alimtaja hamisa kuhusu uchawi na matunguli
tena huo ndio ubunifu ambao unatakiwa katika muziki maana kitu kinapokuwa kinaongelewa halafu ukakiweka katika muziki ili kuburudisha watu inakuwa sio kitu kibaya sisi tuliona kawaida na ni njia ya kufanyabiashara na nina uhakika hata muhusika mwenyewe alipokisikia alikifurahia
aika amesisitiza kuwa hana tatizo na hamisa na ni mtu wake ambaye anachat naye mara kwa mara
previous articlemimi mars napenda sana mapenzi
next articlevanessa mdee amaliza bifu lake na mimi mars
msanii shetta kama haupotezi marafiki huwezi kukua
calisah nilishawahi kwenda kwa mganga
daimond ampa dili nono dudu baya | 2019-02-19T22:08:00 | https://lemutuz.com/2018/10/16/aika-afungukia-skendo-za-diamond-kuwadhalilisha-wanawake/ |
mabadiliko ya tabianchi yaleta zahma kwa mamilioni 2017un | habari za un
patricia espiona katibu mtendaji wa idara ya umoja wa mataifa inayohusu mabadiliko ya tabianchi (unfccc) katika mkutano wa tabianchi bonn ujerumani
hayo yametamkwa na mkuu wa idara inayohusika na mabadiliko ya tabianchi kwenye umoja wa mataifa unfccc bi patricia espinosa wakati wa kuanza kwa mkutano kuhusu mabadiliko ya tabianchi mjini bonn ujerumani
mkutano huu ambao umeanza leo jumatatu aprili 30 na kutarajiwa kumalizika mei 10 mwaka 2018 unawahusisha wajumbe wa serikali kutoka nchi mbalimbali ambao wanajaribu kuona jinsi gani ya kuharakisha utekelezwaji wa makubaliano ya paris ya mwaka 2015 kuhusu mabadiliko ya tabianchi
bi espinosa ameongeza kuwa ili kufanikisha mkutano kuhusu mabadiliko ya tabianchi wa cop24 ni muhimu mataifa yakaanza sasa kupanga mambo yatakayojadiliwa kwenye mkutano huo amesema kuwa hii itaunda msingi wa kazi za awamu ya pili ya mwaka 2018 na kusaidia kutoa matokeo mazuri
matokeo ya mkutano wa bonn ni muhimu mno kwani yataondoa mikingamo ya kuweka vitendoni hatua za kutekeleza mkataba wa paris maamuzi ya mwisho ni mwishoni mwa mwaka huu katika mkutano wa cop24 utakaofanyika nchini poland
kukamilisha mwongozo wa mkataba wa paris pia ni muhimu ili kutathmini ikiwa dunia inafuata dira ya kupata malengo ya mkataba ambayo miongoni mwa mengine ni kupunguza joto hadi nyuzi joto 2 huku ikipambana kuona kama inaweza ikasalia kwenye nyuzi joto 15
mabadiliko ya tabianchi|patricia espinona|mkataba wa paris|cop24|bonn ujerumani | 2019-12-07T11:48:23 | https://news.un.org/sw/story/2018/04/1013512 |
land rover range rover ii 46 v8 hse 224km 165kw 19942001 • dane techniczne • autocentrumpl
dane techniczne land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw
4553 cm³
224 km (165 kw) przy 4750 obr/min
land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224km 165kw (19942001)
jeep grand cherokee ii terenowy 47 i v8 220km 162kw 19982004 mitsubishi pajero iii terenowy 35 v6 gdi 202km 149kw 20002006 land rover range rover iii suv 44 v8 286km 210kw 20012005 land rover range rover iii suv 50 v8 510km 375kw 20102012
land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw
wybierz inny silnik 25 d 136 km 100 kw 39 v8 190 km 140 kw 40 185 km 136 kw 46 218 km 160 kw 46 v8 hse 224 km 165 kw
katalog nowych land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw
raporty zużycia paliwa land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw
opinie land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw
usterki land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw
dziennik kosztów land rover range rover ii terenowy 46 v8 hse 224 km 165 kw | 2018-07-19T23:01:38 | https://www.autocentrum.pl/dane-techniczne/land-rover/range-rover/ii/silnik-benzynowy-4.6-v8-hse-224km-1994-2001/ |
mobulu na lubumbashi mpo na kopamela eyoma likolo na bapaya na afique du sud
bato babale bozokaki na masasi mpe moko kati na bango akufi ntango bayike bakitaki obalabala basalaki eyoma na consulat ya afrika ya ngele #rsa mpe bapunzaki ndambo na ba compagnies na lubumbashi mpo na kopamela bitumba bizali kosalema na bapaya na afrique du sud kimya ezngi nsima na police kokit
koleka bato mitano bakufi na eyoma ya baye ya afrika ya ngele na bapaya
koleka bato mitano bakufi na eyoma bayike na afrika ya ngele (afrique du sud) bazali kosala epayi ya bapaya eyebisi bayi police
bayike babundisi bapaya na afrique du sud
bitumba mingi bisalami obalabala ba nkama na bana ya afrique du sud (afrika ya ngele) bakitaki onzela mpe bazali kobeta na somo bapaya kopunza to kotumba biliko ya baye ya bikolo bisusu na johannesbur pretoria engumba mokonzi mpe bingumba ebele bisusu
balandi ya dj arafat bafungoli nkunda mpe sanduku na ye nsima na bokundami
bituluku ya balandi ya alanga nzembo ya coupédécalé dj arafat bafungolaki nkunda mpe sanduku na ye mpe babandanaki kolongola ye bilamba nsima na bokundami na ye omokolo ya mposo na lilita ya williamsville na commune ya adjamé na abidjan na côte divoire
muyembe azwi mbano ya hideyo noguch africa
dr jeanjacques muyembetamfum azwi mbando ya edition ya misato ya hideyo noguch africa mpo na misala mya ye ya zebi (recherches) miye mibimisi mpo na mbala ya yambo nkisi ya kobikisa ebola
elenge ya mibu libwa azwamaki na ebola akufi na uganda
elenge mwasi ya mibu libwa oyo azwamaki lobi loleki na bokono ya ebola na ouganda akufi azalaki ya ekolo congo démocratique kasi asalaki mobembo na ouganda na mama wa ye mpe amonisaki bilembo ya ebola na bokomi na bango na mboka kasese na ouganda
moto ya mibale amonani na ebola na uganda
moto ya mibale azwami na virus ya ebola na uganda omokolo ya minei ezali elenge mwasi ya mibu libwa oyo awuti na rdc asalaki mobembo na mama wa ye le 28 août 2019 ekomi na liyebisi ministère ya mambi ya bokolongono ya uganda | 2019-09-17T04:38:12 | https://www.voalingala.com/z/5747?p=1 |
hôtel chenoua tipaza hifadhi hoteli sasa
samahani hôtel chenoua imeuzwa unaweza badilisha tarehe au chagua hoteli nyingine
udobi huduma za chumbani kunyoosha huduma za sherehe uhifadhi wa mizigo | 2020-02-18T03:52:48 | https://travel.jumia.com/sw-tz/algeria/o13568/hotel-chenoua-tipaza |
raia mwema kizungumkuti dowans
habari kizungumkuti dowans mwandishi wetu toleo la 170 26 jan 2011 kikwete atofautiana na ngeleja jaji werema sitta mwakyembe waombwa kutoa mwongozo
kwanza madai ya baadhi ya wabunge wa ccm wakati wa mjadala kwamba amejigeuza msemaji wa serikali katika baadhi ya masuala badala ya kubaki mshauri kati ya masuala ambayo ag aliyazungumzia kwa vyombo vya habari katika tafsiri inayotajwa kuwa alijigeuza msemaji (mkuu au mwisho) wa serikali ni suala la dowans na katiba mpya akisema dowans italipwa na katiba mpya hakuna isipokuwa marekebisho
suala la pili katika mawasiliano hayo na ag werema lilihusu uamuzi wa ofisi yake kutotaka kukata rufaa na badala yake kutaka dowans ilipwe endapo itasajili tozo (hukumu) yake mahakama kuu msingi wa maswali hayo ni uamuzi wa wabunge wa ccm waliokutana chini ya uenyekiti wa rais jakaya kikwete ubungo jijini dar es salaam januari 22 hadi 24 mwaka huu
inaelezwa kuwa rais kikwete wakati wa mjadala huo alionekana kuwapa nafasi sitta na mwakyembe kutoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu mianya ya kukwepa malipo hayo akitumia lugha ya watoe mwongozo sitta ambaye alikuwa spika wa bunge lililoshiriki mijadala ya richmond na dowans wakati mwakyembe akiwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya richmond na kusababisha kujiuzulu kwa aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa wanatajwa kujenga hoja zao kwa kuegemea zaidi uhalali wa dowans ambayo kimsingi imetokana na kampuni ya mfukoni ya richmond
sitta na mwakyembe ambao ni wanasheria kitaaluma kwa sehemu kubwa wanatajwa kufanikiwa kuwashawishi wabunge hao kuridhia azimio la kusaka fursa za kisheria ili kutolipa mabilioni hayo kwa dowans wengine wanaotajwa kuwapo katika harakati hizo kiasi cha kujitolea kupambana kisheria ili dowans ama isilipwe au malipo yapunguzwe ni mbunge wa musoma vijijini nimrod mkono
mbali na mkono mwingine aliyeshiriki kuzungumzia suala la malipo kwa dowans katika wigo wa kisheria ni aliyekuwa mwanasheria mkuu wa zamani andrew chenge ambaye wakati wa awamu ya tatu nchi iliingia mikataba mingi yenye utata pinda ajaribu kufukia mashimo
kati ya wizara alizopata kuongoza ni ujenzi na ile iliyokuwa wizara ya sheria na mambo ya katiba (sasa ni wizara ya katiba na sheria) kwa upande wake waziri ngeleja amekuwa katika nafasi hiyo kwa takriban miaka minne sasa kuanzia februari mwaka 2008
hata hivyo kauli ya waziri mkuu mizengo pinda kuwa suala hilo halitafikishwa bungeni kwa kuwa kufanya hivyo ni kwenda kujadili siasa wakati suala ni la kisheria zaidi ni kama inakwamisha ndoto za wanasiasa hao wa upinzani nchini mtiririko wa sinema ya dowans
hisia hizi zimewahi kupingwa na waziri ngeleja katika mkutano wake na waandishi wa habari mapema mwezi huu bali hali iko hivyo kutokana na tanesco kutaka kujimudu kiuendeshaji soma zaidi kuhusu
dowansngelejaweremamwakyembesitta tufuatilie mtandaoni
tanesco kuwalipa dowans giza nene rex attorneys ni kashfa kubwa zaidi ya dowans wakati ni mwafaka kwa mwanamke kuwa waziri mkuu mganda amshitaki katibu mkuu wa eac katika kesi ya aina yake toa maoni yako
2 days 5 hours yametolewa maoni mengine 1 ziada makala pendwa
» meseji za komredi lowassa zanaswa mwandishi wetu 28642 » akaunti ya kigogo tanesco yazuiwa waandishi wetu 28324 » spika waziri mkuu wamuonya kikwete mwandishi wetu 25316 » mambo hadharani waandishi wetu 22287 » wamo vigogo wawili wastaafu mwandishi wetu 21167 ziada kura ya maoni | 2013-06-19T03:19:27 | http://www.raiamwema.co.tz/kizungumkuti-dowans |
personalizzato la malinconia di haruhi suzumiya haruhi suzumiya costume (black) cosplay fu italy
la malinconia di haruhi suzumiya haruhi suzumiya costume (black) | 2016-12-03T00:20:21 | http://www.cosplayfu.it/product/Haruhi+Cosplay+(black)+from+The+Extravaganza+of+Haruhi+Suzumiya |
aliyemwagiwa tindikali na mpenzi wake awaburuza polisi mahakamani dar24
3 months ago comments off on aliyemwagiwa tindikali na mpenzi wake awaburuza polisi mahakamani
mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 33 aliyemwagiwa tindikali na aliyekuwa mpenzi wake amefungua kesi dhidi ya polisi wa jiji la leicester nchini uingereza akiwashtaki kwa uzembe
kwa mujibu wa mtandao wa mirror daniel rotariu alimwagiwa tindikali mwaka jana akiwa amelala kitandani tukio ambalo lilimsababishia upofu wa macho na kumlazimu kuhudhuria kliniki za macho kila wiki
ameeleza kuwa ameamua kuwashtaki polisi kwakuwa amebaini walipata taarifa mapema kuhusu mpenzi wake anayefahamika kwa jina la leong kununua tindikali kwa nia ya kumwagia mtu lakini hawakuchukua hatua yoyote
walipata taarifa mapema kuwa katie leong alikuwa ananunua tindikali mtandaoni lakini walifunika masikio kama hawakusikia na hawakufanya chochote rotariu amesema
hivi sasa ninaishi katika jela ya kiza kinene imeninyanganya uhuru wangu na uwezo wangu wa kufanya kazi imeondolea uwezo wa kuona sitaweza kumuona mchumba wangu wala mtoto wangu ameongeza
kitanda alichokuwa amelala rotariu na eneo lililoharibiwa na tindikali iliyompa upofu
polisi wa leicester wameliambia mirror kuwa wanafahamu kuhusu kuwepo kwa kesi hiyo dhidi yao lakini hawakutoa taarifa zaidi
leong na mpenzi wake mpya wa wakati huo mark cummings walishtakiwa kwa kushiriki kumwagia tindikali rotariu lakini jopo la majaji wa mahakama ya leicester lilimuondoa cummings na kumhukumu leong kifungo cha maisha jela kwa sharti la kutumikia kifungo chake kwa kipindi kisichopungua miaka 17
nicki minaj adaiwa kufunga ndoa kwa siri
habari 29 mins ago comments off on tbs yawataka wazalishaji kuchangamkia fursa
habari/siasa zetu 3 hours ago comments off on kwasasa hatuhitaji kuungwa mkono na mbunge yeyote cuf
habari 5 hours ago comments off on marekani yashusha rungu jingine kwa korea kaskazini
habari 6 hours ago comments off on cuf yaelezea itakavyorudisha ofisi zake zilizopakwa rangi ya act
habari 6 hours ago comments off on burundi wanafunzi wakamatwa kwa kuharibu picha ya rais | 2019-03-22T12:42:11 | http://dar24.com/aliyemwagiwa-tindikali-na-mpenzi-wake-awaburuza-polisi-mahakamani/ |
dafu wikipedia kamusi elezo huru
dafu iliyokatwa tayari kwa kunywewa
majimaji ya dafu
dafu ni nazi ambayo haijakomaa hadi hali ya koroma hivyo majimaji yake ni mazito zaidi na yanatumika kama kinywaji
katika mazingira mbalimbali maji ya dafu hutumika pia kama dawa kwa mfano kwa mtu mwenye kisukari tumbo la kuhara au upungufu wa homoni hususan zile zinazotengenezwa na kongosho kwa ajili ya kuuongezea mwili nguvu hata hivyo hakuna uthibitisho wa kisayansi
hivyo dafu lina umuhimu ila kama tunavyojua kilichozidi kina madhara ndivyo ilivyo hadi kwenye dafu kuna madhara ukinywa kwa wingi mno kwa mfano huko india wananywesha wazee wagonjwa lita kadhaa za maji hayo hadi wakafa
je unajua kitu kuhusu dafu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=dafu&oldid=1007631
last edited on 2 agosti 2017 at 1211 | 2020-01-20T16:17:34 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Dafu |
serikali yafafanua mkataba starmedia ruzuku viwanda vidogo kijukuu cha bibi k | habari na matukio
uncategories serikali yafafanua mkataba starmedia ruzuku viwanda vidogo
serikali yafafanua mkataba starmedia ruzuku viwanda vidogo
dodoma april 13 2018
serikali imefafanua hatua zilizochukuliwa kuhakikisha shirika la utangazaji tanzania (tbc) linafaidika na kampuni ya ubia ya starmedia huku ikisisitiza kuwa uongozi wa sasa chini ya rais john pombe magufuli umefanya mageuzi makubwa na ya kihistoria katika kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wa kati
wakizungumza mjini hapa jana katika mfululizo wa mawaziri kufafanua utekelezaji wa hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) dkt harrison mwakyembe waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo na mhe charles mwijage waziri wa viwanda biashara na uwekezaji wamesisitiza ripoti ya cag ni nyenzo muhimu kwao
dkt mwakyembe tbc sasa kufaidika na starmedia
akizungumzia hoja ya cag kuhusu mkataba wa starmedia waziri mwakyembe amewaambia waandishi wa habari kuwa changamoto kubwa iliyosababisha kampuni hiyo kutozalisha faida kwa miaka saba sasa ni udhaifu katika uendeshaji wa kampuni na baadhi ya watendaji wa zamani wa tbc waliotarajiwa kusimamia maslahi ya taifa kususa kujiuzulu na kuuacha uendeshaji chini ya wabia kutoka china
hata hivyo waziri mwakyembe ameongeza kuwa baada ya serikali kumwagiza cag kufanya ukaguzi ikiwemo pia yeye binafsi kuunda kamati maalum ya waziri kuchunguza mkataba wa starmedia sasa makubaliano yamefikiwa ili kuondoa dosari zote
baada ya majadiliano ya muda mrefu na wenzetu wa startimes group (kampuni mama yenye hisa nyingi katika ubia wa starmedia) wenzetu hatimaye wamekubali taarifa ya cag na mapendekezo yake yote alisema waziri mwakyembe
aliyataja baadhi ya makubaliano yaliyosainiwa ili kuigeuza starmedia kujiendesha kwa ufanisi zaidi kuwa ni pamoja na kufanyiakazi hoja zote za cag kuongeza wafanyakazi zaidi wa kitanzania katika menejimenti uwazi zaidi katika uendeshaji wa kampuni na kuanzia sasa bodi ya ubia inayoongozwa na mkurugenzi mkuu wa tbc kuwa ndio chombo cha juu cha uamuzi badala ya kusubiriwa maelekezo kutoka beijing china
aidha waziri mwakyembe ameeleza kuwa kwa kuwa kampuni hiyo haikuwa kutoa gawio kwa wanahisa wake kuanzia mwaka huu wakati kasoro zote zilizobainishwa na cag na kamati ya waziri zikifanyiwakazi starmedia itatoa ruzuku ya shilingi bilioni tatu (3) kwa tbc
kwa niaba ya serikali wizara yangu itafuatilia kwa karibu utekelezaji na haitasita kuchukua hatua kali za kisheria na kinidhamu kwa mtendaji wa upande wowote atakayekuwa kikwazo katika uendeshaji wa kampuni alisema
waziri mwijage tumeongeza bajeti kuinua wajasiriamali
kwa upande wake waziri mwijage akifafanua hoja mbalimbali zilizoelekezwa katika wizara yake alisema ameshaagiza hatua za haraka zichukuliwe kwa taasisi zote zilizo chini ya wizara yake kutekeleza hoja mahsusi za cag
kwa upande wa hoja ya mchango mdogo wa sekta ya wajasiriamali wadogo na wa kati nchini waziri mwijage amefafanua kuwa wakati lengo kuu ni ifikapo 2025 sekta hiyo kuchangia pato la taifa kwa asilimia 40 tayari kwa ushirikiano wa serikali na sekta binafsi inachangia asilimia 35 ambazo ni kubwa ikilinganishwa na nchi jirani
kwa kulinganisha mchango wa sekta hii kwa tanzania katika pato la taifa na nchi nyingine bado nchi yetu inafanya vizuri kwa kenya sekta hiyo inachangia takribani asilimia 25 uganda asilimia 20 afrika ya kusini asilimia 36 india asilimia 40 na malaysia 40 alisema
aidha waziri mwijage amesisitiza kuwa serikali ya awamu ya tano imefanya mageuzi makubwa katika utoaji wa mtaji kwa mfuko wa kuendeleza wajasiriamali (nedf) na shirika la kuendeleza viwanda vidogo (sido) ambapo mwaka jana mfuko huo ulipewa bajeti ya shilingi bilioni tano (5) mwaka huu bajeti iliongezwa hadi shilingi bilioni saba (78)
bajeti ya sido imeongezeka mpaka shilingi bilioni 268 kiasi ambacho ni cha kihistoria kwani hakijapata kutolewa na serikali kabla ya kuingia awamu ya tano
kama cag alivyobaini sekta hii ni uti wa mgongo wa taifa kulingana na uchangiaji wake katika pato la taifa na ajira kutokana na nafasi ya sekta hii katika kujenga taifa la uchumi wa kati ni mpango wa wizara kuendelea kuiongezea rasilimali zaidi alisema
katika mfululizo wa mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kufafanua utekelezaji wa hoja mbalimbali za cag jumatatu ijayo itakuwa zamu ya wizara ya kilimo na wizara ya mifugo | 2019-01-17T13:03:15 | http://www.kijukuu.com/2018/04/serikali-yafafanua-mkataba-starmedia.html |
serikali ya awamu ya tano imeshindwa kufanya vizuri sekta muhimu | sdm production media
home / gloria media / serikali ya awamu ya tano imeshindwa kufanya vizuri sekta muhimu
gloria matola 0020 gloria media
tangu rais mpya wa tanzania kuchaguliwa dkt john pombe magufuli umeisha mwaka bila kuonekana hata dalili ya maendeleo katika sekta muhimu zote nchini
wakitoa maoni wananchi na wadau mbalimbali wamelalamikia kuwa serikali ya awamu ya tano kushindwa kabisa kufanya mambo waliyo ahidi na badala yake kufanya mambo ambayo sio vipaumbele vilivyowaweka madarakani
katika serikali ya awamu ya tano elimu inazidi kuonekana kushuka zaidi licha ya juhudi za kuongeza madawati tu kupewa nguvu lakini uhaba wa walimu umekuwa changamoto kubwa huku serikali ikishindwa kabisa kuajiri walimu wapyapia vifaa vya kufundishia na kufuta baadhi ya posho za walimu kumefanya sekta hiyo kukosa muelekeo na kupunguza ufanisi wa watumishi wa sekta hiyowaziri wa elimu amekua tatizo kubwa kutokana na maamuzi ya kukurupuka bila kuangalia athari za maamuzi au taarifa zake anazotoa kwa vyombo vya habarikukosekana kwa malengo ya elimu piakwa serikali ya awamu ya tano kumefanya sekta ya elimu kuwa na uwezo mdogo wa kufanya vijana wanaohitimu kuweza kuisaidia nchi
suala la ajira pia limekuwa changamoto na tatizo kubwa ukizingatia hii ilikuwa ahadi ya mhrais kipindi cha uchaguzi kuwa ataajiri mapema zaidi mwaka 2016 lakini mpaka sasa hakuna dalili ya ajira za walimu na watumishi wa afyamikopo kwa wanafunzi imezidi kuwa kitendawili kuliko serikali zote zilizopitatanzania ya viwanda bado ni jipu kutokana na ukweli kuwa hakuna dalili yoyote ya tanzania hiyo huku viwanda ambavyo tayari vimeota mizizi kufungwa na vingine kuachisha kazi zaidi ya watanzania 30000(elfu thelathini)
hata hivyo serikali imejikita kufanya mambo ambayo hawakuwahi kuhaidi katika uchaguzi kama vipaumbele kama ununuaji wa ndegekuhamisha serikali dodoma na ujenzi wa mabweni na miundombinu ambayo haipo katika bajeti licha ya kuwa vitasaidia tanzania lakini si vipaumbele kwa wakati huuna kumaliza fedha za serikali huku hali ikizidi kuwa ngumu kwa mwananchi wa kipato cha chini | 2018-03-18T23:24:44 | http://sdmproductionmedia.blogspot.com/2016/12/serikali-ya-awamu-ya-tano-imeshindwa.html |
maafisa madini wakazi wa mikoa wamkosha waziri wa madini | mpekuzi
na tito mselemwm
waziri biteko ameyasema hayo julai 25mwaka huu jijini arusha alipokuwa akifunga mkutano wa katibu wa madini profesa simon msanjila na maafisa madini wakazi wa mikoa wenye lengo la kujadili mafanikio changamoto na namna ya kuzitatua kwenye sekta ya madini
amesema siri ya mafanikio makubwa katika wizara ya madini ni pamoja na ubunifu na uzalendo wa maafisa madini wakazi wa mikoa kwenye ukusanyaji wa maduhuli na kuwataka kuendelea kusimamia shughuli za uchimbaji na biashara ya madini kwa kufuata sheria ya madini pamoja na kanuni zake
nipende kueleza kuwa ninatambua mchango wenu mkubwa sana kwenye ukuaji wa sekta ya madini mmekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kodi mbalimbali zinalipwa serikalini hii imesaidia sana sekta ya madini kukuaamesema
katika hatua nyingine waziri biteko amewataka maafisa madini wakazi kutatua migogoro kwa kusimamia sheria na kusisitiza kuwa wasisite kuwasilisha changamoto kwa viongozi wa tume ya madini pale wanapokwama
aidha amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa kuendelea kushirikiana kwa kubadilishana uzoefu kwenye usimamizi wa shughuli za madini ili kuongeza tija kwenye utendaji kazi
naye naibu waziri nyongo akizungumza kwenye mkutano huo amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa kuendelea kushirikiana kwa karibu na wakuu wa mikoa wilaya taasisi nyingine pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuongeza ufanisi kwenye utendaji kazi wao
amewataka kila mmoja kuhakikisha anatimiza lengo la makusanyo ya maduhuli kwa mwaka wa fedha 20202021 alilopangiwa ili wizara iweze kuvuka lengo la mwaka husika
naye katibu mkuu wa wizara ya madini profesa simon msanjila mbali na kuwapongeza maafisa madini hao ameongeza kuwa imani kwa serikali kwa wizara ya madini imeongezeka mara baada ya kufanikiwa kukusanya maduhuli zaidi ya lengo lililowekwa awali
mtakumbuka mwaka jana tulisaini mkataba wa shilingi bilioni 106 na wizara ya fedha kwa ajili ya kuimarisha tume ya madini kwa kununua vifaa mbalimbali pamoja na magari ambapo zimezaa matunda endeleeni kuchapa kazi na tupo tayari kuwasaidia muda wowoteamesema profesa msanjila
wakati huo huo katibu mkuu wa madini prof simon msanjila amewapongeza maafisa hao na kueleza kuwa wamesababisha wizara kuaminiwa kutokana na kukidhi vigezo baada ya kufikia malengo ya makusanyo waliyoingia na wizara ya fedha mwezi aprili 2019 aliposaini mkataba na kupewa kiasi cha bilioni 106 ili kuimarisha tume ya madini
profesa idris kikula aliishukuru wizara ya madini kwa ushirikiano mzuri kwa tume ya madini hali iliyopelekea tume kufanya vizuri kwenye sekta ya madini
amesema kuwa changamoto zilizoainishwa katika mkutano husika zitaandaliwa vyema na kuwasilishwa ngazi za juu na utekelezaji wake kufanyika mara moja | 2020-08-14T03:32:56 | https://www.mpekuzihuru.com/2020/07/maafisa-madini-wakazi-wa-mikoa-wamkosha.html |
Subsets and Splits