text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
michezo full shangwe blog home / michezo michezo habari za michezo 10 hours ago michezo sports nahodha na kocha wa zamani liverpool ronnie moran amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83 moran alichezea klabu hiyo mechi 379 kati ya 1952 na 1966 na alikuwa mfanyakazi aliyehudumia klabu hiyo kwa muda mrefu zaidi alipostaafu 1999 alijiunga na benchi la wakufunzi liverpool mwaka 1966 na mara mbili samatta ajiunga na wenzake taifa stars kuwavaa botswana na burundi 15 hours ago michezo sports nahodha wa timu ya taifa taifa starsmbwana samata amewasili rasmi hapa nchini tayari kwa ajili ya kujiunga na timu ya taifa kujiandaa na michezo miwili ya kimataifa ya kirafiki iliyo kwenye kalenda ya fifa baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa mwalimu julias kambarage nyerere jijini dar es salaam ijue historia ya wapinzani wa yanga kombe la shirikisho afrika wawakilishi pekee wa tanzania ambao ni timu ya yanga waliobaki katika michuano ya kimataifa baada ya kutolewa na zanaco fc na kudondokea katika kombe la shirikisho na kwa sasa wamepangwa kukutana na waarabu toka nchini algeria klabu ya mouloudia clud dalger hii kwa kipindi kirefu hasa katika soka la afrika pluijm akili zote kwa ngomakamusoko na msuva wanatua singida united kocha mkuu mpya wa singida united mholanzi hans van der pluijm amerudi kwake ghana huku akiacha orodha ya majina ya wachezaji anawaowahitaji ambao ni wazimbabwe donald ngoma thabani kamusoko na simon msuva wote kutoka yanga mholanzi huyo aliyesitishiwa mkataba na yanga kwa kile kilichoelezwa anguko la kiuchumi alisaini mkataba wa timu ya everton ya uingereza kutua nchini hivi karibuni 1 day ago michezo sports waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi dkt augustine mahiga akisalimiana na bw luca neghesti kutoka sportpesa tanzania leo ofisini kwake jijini dar es salaam bw neghesti amefuatana na wawakilishi wa timu ya mpira wa miguu ya everton ya nchini uingereza kumpa taarifa mhe waziri kuhusu bmt yatoa somo kwa wadau wa michezo na carlos nichombe baraza la michezo la taifa(bmt) limewataka wadau wa michezo mbalimbali hapa nchini kuacha kasumba ya kuwategemea wadau kutoka jiji la dar es salaam katika kuongoza shughuli za vyama vyao ofisa habari wa baraza hilo najaha bakari amesema kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wadau kuhisi kwamba watu tff yaitolea nje chipolopolo naalex mathiasdar es salaam shirikisho la mpira wa miguu nchini(tff) limekanusha taarifa zilizotolewa na shirikisho la soka nchini zambia(faz) juu ya uwepo wa mechi yao ya kirafiki iliyopaswa kupigwa machi 24 katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam mapema hii serikali yavishukia vyama vya michezo na carlos nichombe serikali imeendelea kuvisisitiza vyama vya michezo kuhakikisha vinafanya kazi zao kwa mipango ya kuendeleza michezo husika ili kuiwezesha nchi ya tanzania kupata washiriki wengi zaidi kwenye mcihuano ya kimataifa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo nape nnaye alisema kwa sasa tanzania imekuwa ikipeleka washiriki wachache kwenye yanga kukutana na wababe wa kiarabu toka algeria kombe la shirikisho afrika droo ya hatua ya mtoano ya kombe la shirikisho afrika imepangwa leo jumanne shirikisho la soka la afrika (caf) limetangaza kuwa yanga itacheza dhidi ya mc alger ya algeria katika hatua hiyo ya mtoano yanga ilitinga hatua hiyo baada ya kutolewa na zanaco ya zambia katika ligi ya mabingwa afrika naibu waziri habari utamaduni sanaa na michezo mhe anastazia wambura (kulia) akizungumza na wadau wa sekta ya utamaduni (hawapo pichani) walioshiriki katika kikao cha wadau tuzungumze kujadili namna ya kukemea vitendo vya mmomonyoko wa maadili nchini leo jijini dar es salaam kushoto ni kaimu mkurugenzi maendeleo ya utamaduni wizara ya mabingwa watetezi wa kombe la fa uingereza upande wa wawanawake kina dada wa arsenal waliwalaza wapinzani wao tottenham 100 na kufika robo fainali jumapili danielle van de donk alifungia wenyeji hao mabao matatu naye mshambuliaji wa zamani wa sunderland beth mead akafunga bao pia mechi yake ya kwanza kuchezea arsenal uongozi wa klabu ya yanga ya jijini dar es salaamumesema kwamba kwa sasa nguvu zao wanazielekeza kwenye michezo yao ya ligi kuu ya tanzania bara iliyosalia ukiwemo mchezo wao dhidi ya azam fc utakaopigwa siku ya tarehe moja ya mwezi wa nne mwaka huu katibu mkuu wa yanga charse boniphace maneno ya mashabiki yanavyoficha udhaifu wa vikosi na mfumo wa usajili imani kelvin mbagadar es salaam kuna msemo unaosema makocha huajiriwa ili kufukuzwa msemo maarufu sana ambao kabla ya kuutumia ni lazima ujichunguze mjadala unao endelea hv sasa kwa mashabiki wa yanga ni kuondoka au kubaki kwa kocha mkuu gl ktk kikosi hicho bahati mbaya mashabiki hawataki fact wala takwimu ila yanga kumjua mpinzani wake kesho kombe la shirikisho caf kesho ni siku ya jumanne shirikisho la mpira barani afrika caf linatarajia kutoa ratiba ya kuwania kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho ambapo timu ya yanga inatajua inakutana na timu ipi hii ni baada ya kuondoshwa ligi ya mabingwa droo hiyo itakayoanza kupangwa mchana katika mji wa cairo naibu wizara ya habari sanaa utamaduni na michezo anastazia wambura (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari dar es salaam leo kuhusu kongamano la maadili litakalofanyika kesho uwanja wa taifa kuanzia saa nne asubuhi kulia ni kaimu mkurugenzi idara ya sanaa leah kihimbi na katibu mtendaji wa baraza la sanaa ulimwengu aitosa taifa stars wakati timu ya mpira wa miguu ya tanzania taifa starskikitarajiwa kuingia kambini leo machi 19 2017 kwenye hoteliya urban rose dar es salaam kikosi hicho cha kocha salum mayanga kitamkosa thomas ulimwengu kutoka afc eskilstunaya sweden taarifa ambazo mayanga amezipata kutoka sweden ni kwamba ulimwengu kwa sasa yuko chini ya yanga yatupwa nje ligi ya mabingwa afrikasasa kucheza kombe la shirikisho 4 days ago michezo sports mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara timu ya yanga imengukia tena kwenye kombe la shirikisho afrika baada ya kutolewa katika michuano ya ligi ya mabingwa baada ya sare ya 00 na zanaco fc kwenye uwanja wa taifa wa mashujaa uliopo mjini lusaka zambia matokeo hayo yanamaanisha yanga 5 days ago michezo meneja mkuu wa mkwabi group of campainerskawkab hussein akuzungumza na waandishi wa habari leo kuhusu mashindano ya riadha ya tanga marathon yatakayofanyika aprili 15 mwaka huu ambayo yamefadhiliwa na kampuni hiyo kwa kuwekeza kiasi cha shmilioni 16 kushoto ni mratibu wa mashindano hayo juma mwajasho na kulia ni katibu wa mashindano ya majeshi kutimua vumbi kesho machi 18 zanzibar 5 days ago michezo sports mwenyekiti wa baraza la michezo ya majeshi tanzania (bamata) brigedia jenerali martin amos kemwaga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na mashindano ya vikosi vya ulinzi na usalama tanzania itakayoanza kesho mjini zanzibar baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa mwenyekiti wa baraza la michezo ya majeshi droo ya robo fainali ya europa leaguesamatta amkwepa mourinho atupwa hispania droo ya robo fainali imepangwa na kikosi cha krc genk anachokitumikia mbwana samatta kimepangwa kucheza na celta vigo ya hispania genk ambayo imewatoa gent kutinga hatua hiyo itaanzia ugenini dhidi ya celta moja ya timu matata za hispania kwa upande wa man united wao wataanzia ugenini nchini ubelgiji dhidi ya ratiba kamili ya champions leagueleicester city yapewa vigogo wa hispania 6 days ago michezo sports droo ya hatua ya robo fainali ya michuano ya uefa champions league msimu huu wa 2016/2017 imetolewa mchana huu huku mabingwa watetezi wa ligi kuu ya uingereza timu ya leicester city ikipangwa tena na timu toka hispania tazama ratiba kamili ya robo fainai ya champions league balozi wa tanzania atoa mkono wa ushindi kwa azam fc dhidi ya mbabane balozi wa tanzania nchini afrika kusini mh richard lupembe ameweka wazi kuwa azam fc ni moja ya timu zinazowatia moyo kama watanzania wanoishi nje ya nchi huku akiipa mkono wa ushindi kuelekea mchezo wa marudiano dhidi ya mbabane swallows ya afrika kusini lupembe alitoa kauli hiyo wakati alipoitembelea timu hiyo mourinhoubabe wa man united msahau manchester united hawako tayari kuwa timu babe kwa sasa na mashabiki wanafaa kusahau ubabe uliokuwa na timu hiyo enzi za sir alex ferguson meneja wa sasa jose mourinho ameambia bbc sport united walishinda mataji 13 ya ligi kuu ya uingereza chini ya ferguson lakini mourinho amesema kwa sasa ni vigumu samatta aifuata man united robo fainali europa league mbwana samatta ameweka rekodi nyingine kwa kuwa mtanzania wa kwanza kucheza michuano ya europa league hatua ya robo fainali samatta ameweka rekodi hiyo baada ya timu yake ya krc genk kufuzu baada ya sare ya bao 11 katika mechi ya pili ya hatua ya 16 bora leo katika mechi ya baada ya serikali kuingilia masuala ya mpirafifa yaifungia mali michuano ya kimataifa fifa imetangaza kuifungia nchi ya mali kushiriki michuano ya kimataifa kwa madai ya serikali kuingilia masuala ya soka waziri wa michezo wa mali housseini amion guindo aliamua kuunda kamati ya muda kuendesha shirikisho la soka la mali (femafoot) baada ya kuona uongozi uliokuwa madarakani kutokuwa sahihi lakini baada ya femafoot zanzibar rasmi yapata uanachama wa caf na fifa hatimaye kilio cha wazanzibara kimepata jibu baada ya mkutano mkuu wa 39 wa shirikisho la soka barani afrika (caf) unaoendelea mjini addisababa ethiopia umepitisha ombi la chama cha soka zanzibar (zfa) kuwa mwanachama rasmi wa caf ni jambo la kihistoria kwa zanzibar kwani safari hii ombi lao limepitishwa bila kupingwa hayatou apigwa chini urais wa caf na ahmad wa madagascar rais wa chama cha soka cha madagascar ahmad ahmad ameushtua ulimwengu wa soka baada ya kumbwaga issa hayatou ambaye alikuwa rais wa muda mrefu wa shirikisho la soka afrika na kushinda urais wa caf leo march 16 2017 uchaguzi uliomalizika addis ababa umempa ushindi ahmad ahmad baada ya kupata kura pluijm atua singida unitedamsajili mzimbabwe 7 days ago michezo sports kuna msemo unasema ukisema cha niniwenzako wanajiuliza watakipata lini baada ya kutupiwa virango na mabingwa watetezi ambaye alikuwa kipenzi cha mashabiki wa wana jangwani mholanzi hans van der pluijm hatimaye amejiunga na klabu ya singida united iliyopanda ligi kuu ya vodacom tanzania msimu ujao inasemekana aliyekamilisha suala nzima la usajili habari njema kwa mashabiki wa simba kuhusu ajibu na mkunde naalex sonna hatimaye zile kelele za mashabiki wa yanga kuhusu suala la kuwasajali wachezaji muhimu wa simba ambao mikataba yao ilikuwa inaelekea ukingoni ambao wameamua kukata mzizi wa fitini kwa kuongeza mikataba mipya katika klabu hiyo inayoongoza msimamo wa ligi kuu tanzania bara mwenyekiti wa usajili wa klabu ya simba rt kuendesha mafunzo ya makocha wa riadha kwa watoto(kids athletics) kozi maalumu ya mchezo wa riadha kwa watoto kids athletics inatarajiwa kufunguliwa kesho jijini dar es salaam ikishirikisha washiriki 24 kutoka tanzania bara na visiwani kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la riadha tanzania (rt) wilhelm gidabuday mpango huo maalumu wa kuzalisha wakufunzi wa riadha kwa watoto umewezeshwa page 1 of 3012345 » 102030last » find us on facebook video mpya
2017-03-23T00:20:30
http://fullshangweblog.com/home/category/michezo/
kuhamia dodoma ni kuwakomboa walipa kodi | gazeti la rai home latest news kuhamia dodoma ni kuwakomboa walipa kodi kuhamia dodoma ni kuwakomboa walipa kodi eneo la katikati ya mji wa dodoma miaka 43 iliyopita chama cha tanu kilichokuwa kinatawala tanzania bara kilifanya uamuzi wa kihistoria kupitia vikao vyake halali na kufanya tafakuri jadidi uamuzi wenyewe ulikuwa wa kuyahamisha makao makuu ya serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kutoka yalipo sasa hivi yaani dar es salaam na kuyapeleka dodoma uamuzi huo ulizingatia mambo mengi lakini moja ambalo lilizungumzwa sana ni kwamba dodoma ni katikati ya nchi kutoka katika kona takriban zote yaani kaskazini kusini mashariki na magharibi mantiki yake ni kwamba kwa sababu serikali kuu kati yake ni kutoa huduma kwa wananchi wote basi ni vyema huduma hiyo ikawa katikati ya nchi ili kila aiihitajiye asiwe mbali nayo bila shaka ulikuwa ni uamuzi wa busara sana ingawa yaliyojiri baada ya uamuzi huo ni historia ndefu sana ambayo itahitaji watafiti wa historia na masuala ya utawala wa siasa kututanabahisha hasa kwanini imetuchukua miaka 43 kufikia hapa tulipo na badala ya kuwa na serikali ikifanya kazi kutoka kituo kimoja tumejikuta tunaendesha serikali moja kutoka vituo vikuu viwili kutegemea msimu wa mwaka watu wanauliza maswali mengi ambayo majibu yake si rahisi kuyapata moja kwa moja bila shaka vizazi vijavyo vitauliza na kutaka majibu ingawa majibu yenyewe wanayo watu wa kizazi kilichopo sasa madarakani na watangulizi wao kwanini imetuchukua miaka 43 kufanya uamuzi wa kutenda kilichokuwa kimeamuliwa na ngazi ya juu kabisa ya kisiasa katika nchi ya utawala wa chama kimoja kwanini vyombo vya juu kabisa vya maamuzi katika utawala wa chama kimoja katika mazingira ya chama kushika hatamu kwelikweli vilifanya maamuzi makubwa na mazito na kuitangazia dunia nzima lakini utekelezaji wake ukasuasua kiasi cha kusababisha hasara kubwa kiuchumi na kuacha maswali mengi ya utashi wa kisiasa na kijamii wa utekelezaji wake wiki iliyopita hatimaye rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania john magufuli ameamua kutumbua jipu kubwa kuzidi yote nchini alitumia jukwaa kubwa kuzidi yote ya chama tawala kilichotokana na tanu na asp kutangaza si sera ya kuhama bali utekelezaji wa uamuzi wa kuhamia dodoma kwa wale waliokuwa wakifuatilia kwa karibu suala la kuhama kwa makao makuu ya serikali lilikuwa ni tamko la kushtukiza na ambalo hawakulitarajia kutolewa kwa staili hiyo rais magufuli hakusimama pale kuomba utekelezaji bali alitoa tamko la ahadi kwamba katika kipindi chake kilichobaki kabla ya 2020 serikali itakuwa imehamia dodoma kama vile hiyo haitoshi juzi katika sherehe za mashujaa ambazo zilifanyika dodoma kiongozi huyo alirejea kwa ufasaha zaidi kwamba katika kipindi cha miaka minne na miezi minne ambacho kimesalia katika uongozi wake wa miaka mitano hadi 2020 serikali yote itakuwa imehamia dodoma hilo likafuatiwa na tamko la waziri mkuu majaliwa kassim majaliwa kwamba yeye waziri mkuu atahamia dodoma ifikapo septemba mwaka huu tamko la waziri mkuu majaliwa limekuwa ni changamoto kwa mawaziri wengine ambao bila shaka itakuwa hayumkiniki wao kuendelea kuwa dar es salaam wakati mkuu wao wa kazi yupo dodoma moja kwa moja si kwa ziara ya kushiriki vikao kama ilivyozoeleka kwa miaka takriban 43 kwanini tunaupigia chapuo uamuzi wa kuhama kwa vitendo kwenda dodoma kwa nini tunasema kwamba kutokuhamia dodoma ni kitendo cha kukisaliti chama cha tanu na waasisi wake ambao walichukua madaraka baada ya uhuru na kufanya tafakuri na kuona ni muhimu kuyahamisha makao makuu ya serikali ili kuipeleka karibu na wananchi kwa miaka yote 43 tumekuwa tukiendesha serikali kutoka katika vituo viwili jambo ambalo kiuchumi limekuwa ni mzigo mkubwa sana kama tumekuwa tukilalamika kwamba gharama za kuendesha serikali yetu ni kubwa ni wazi kwamba moja ya sababu za kuongezeka maradufu kwa gharama hizo ni kuwa na vituo viwili vya uendeshaji wa serikali tuna ikulu mbili nyumba za kuishi mbili mbili za takriban kila kiongozi viongozi wakuu wana makazi kote kote na hili si jambo la busara sana kwa serikali ya nchi masikini kama tanzania wakati wa vikao vya bunge viongozi wakuu wa wizara huondoka na msururu wa wasaidizi wa ngazi mbalimbali na kuhamia dodoma kwa kufanya hivyo na kwa mujibu wa sheria za kazi hao wote wanaoandamana na hao wakubwa ikiwa ni pamoja na wakubwa wenyewe wanahesabiwa kwamba wapo nje ya kituo cha kazi kwa lugha nyingine ni kwamba viongozi na watumishi wote wa wizara wanaotokea dar es salaam kwenda dodoma wanahesabiwa kwamba wapo safarini na hivyo hulipwa posho zote stahiki za mtu anayekuwa nje ya kituo cha kazi aidha ofisi kama ya bunge inakuwa na shughuli dar es salaam na dodoma kwa wanaokuja dar es salaam kwa ajili ya vikao vya kamati mbalimbali za bunge wanahesabiwa kwamba kituo chao cha kazi ni dodoma na wanapokuja dar es salaam wanakuwa nje ya kituo hivyo bila shaka wanapata stahiki zote astahilizo mfanyakazi anapokuwa nje ya kituo ukiachilia mbali gharama hiyo ya uendeshaji ambayo ni kubwa na bila shaka imekuwa ikiwaumiza walipa kodi wa nchi hii pia kuna gharama inayolipwa na raia wanaotaka huduma za serikali na vyombo vyake kutokana na kuzagaa kwa huduma hizo chukua mfano mtu ambaye anataka kuanzisha biashara ya uvuvi anapokuwa anataka huduma ya serikali kuu anakumbana na nini kwanza wizara ya uvuvi ipo vetenari jirani na kituo cha tazara jijini dar es salaam akitoka hapo anapigwa uhamisho kwenda wizara ya biashara mtaa wa lumumba akitoka lumumba anatakiwa aende kwenye mazingira regent estate na akitoka huko apigwe danadana kwenda tfda huko external na pengine aishie kuambiwa arejee ubungo ambako tbs walipo na kadhalika ili mradi shughuli za serikali zimetapakaa kote katika jiji la dar es salaam ambalo lina msongamano mkubwa mno na unaofanya raia kuziona huduma za serikali yao kuwa ni adhabu tayari kuna hoja mbalimbali zinazotolewa na wachambuzi mbalimbali kuhusu gharama za kuhamisha shughuli za serikali wengine wanadai kwamba gharama hizo ni kubwa lakini hawajiulizi ni gharama kiasi gani inatumika katika kuendesha mifumo miwili inayofanana mmoja dar es salaam na mwingine dodoma pengine wanaohoji wanazo sababu za msingi wengine wanasema kwanini ni kiongozi huyu ndiye ameamua kuchukua uamuzi na kwanini waliotangulia hawakufanya hivyo jibu lake ni kwamba kila kitu kina wakati wake waliotangulia hawakuliona hilo kama kipaumbele lakini huyu ameamua kulishughulikia hilo kwa sababu ni wazi kabisa kwamba kuna gharama kubwa sana walipa kodi wanaibeba bila ya sababu yoyote ile dodoma ni tanzania na maendeleo yake yatasaidia kuifanya dar es salaam ipumue hivi sasa ni wazi dar es salaam imevimbiwa sana na kama hatua za makusudi kama hii ya kuhamisha shughuli za serikali hazitachukuliwa tena haraka ni wazi kwamba hata tujenge njia za juu nyingi kiasi gani mwisho wa siku litakuwa ni jiji la hovyo sana ambalo hata hiyo huduma ya serikali kuipata itakuwa ni mateso badala ya faraja dk gideon shoo +255 784 222 293 previous articleijue bodi ya parole na majukumu yake next articlemzee wa upako wanaotupinga kushikiri siasa ni mbumbumbu limbukeni
2019-09-22T19:03:44
http://www.rai.co.tz/kuhamia-dodoma-ni-kuwakomboa-walipa-kodi/
ubutaka bugurishwa archives mucuruzicom ikibanza kirimo inzu cyakubakwamo hoteli cyangwa apartment ahantu heza kicukiro 85000000frw ikibanza giherereye i gihara kigurishwa 4000000frw ibibanza byiza cyane bigurishwa 2000000 wahita wubakamo ikibanza kigurishwa kuri centre ya gihara (hafi plot for sale kigali gasabo kinyinya 1227s ikibanza kirimo inzu cyakubakwamo hoteli cyang inzu iherereye kicukiro muyange igurishwa 6000 inzu etage iherereye kimironko igurishwa 16500 ikibanza kirimo inzu cyakubakwamo hoteli cyangwa apartment ahantu heza kicukiro 85000000frw hari ikiba ikibanza kirimo inzu cyakubakwamo hoteli cyangwa apartment ahantu heza kicukiro 85000000frw hari ikibanza kirimo inzu giherereye ku kicukiro haruguru y'akarere icyo kibanza gifite 740 m2 kandi gih isambu igurishwa ingana na 1 hai rwamagana kuri 8000000frw isambu igurishwa ingana na 1 hai rwamagana kuri 8000000frw isambu igurishwa iherereye i rwamagana mun isambu igurishwa ingana na 1 hai rwamagana kuri 8000000frw isambu igurishwa iherereye i rwamagana munyiginya cyarukamba ingana na 1 ha irimo inzu y'ibyumba 2 irimo n'ikiraro cy'inka iragurishwa 8 ibibanza byiza cyane bigurishwa 2000000 wahita wubakamo ibibanza biherereye i nyamata i kayumba unyu ibibanza byiza cyane bigurishwa 2000000 wahita wubakamo ibibanza biherereye i nyamata i kayumba unyuze agahanda kigitaka ruguru ya station kuri kariyeri ni ibibanza byinshi cyane kuburyo uhitamo
2020-07-07T00:39:17
https://mucuruzi.com/category/buy-and-sell/ubutaka-bugurishwa/
natafuta nyumba ya kununua magomeni mapipa mikumi kagera dar | jamiiforums | the home of great thinkers natafuta nyumba ya kununua magomeni mapipa mikumi kagera dar wana jf natafuta nyumba ya kunua dar maeneo ya magomeni mikumi kagera au mapipa naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti kidogo je naweza kupata nyumba maeneo hayo kwa milioni 40naomba nisaidieni kabla sijavila visenti vyangu hivi ndugu sahau kwa hiyo 40msasa hv nyumba pale magomeni ya chini kabisa ni tshs 250m to ths 400m kama uko nguvu fika tuuu pale lango la jiji utapewa breaking news za nyumba zinazouzwa na bei zake kuanzia ujifanye huna haja ya kununua bali unataka mtafutia jamaa yako nyumba ipo barabarani magomeni mapipa bei milioni 80 kama upo tayari mpigie mwenye nayo +255784669533 maongezi hakuna walishakuja na milioni 78 jamaa akakataaa na changu cha juu uweke ok mkuu ndio kazi kwako
2018-01-19T14:19:48
https://www.jamiiforums.com/threads/natafuta-nyumba-ya-kununua-magomeni-mapipa-mikumi-kagera-dar.130211/
arsenal igira umukino mwiza n'umutoza mwiza abo nenga ni banyirayo perezida kagame bwizacom ahabanza » arsenal igira umukino mwiza numutoza mwiza abo nenga ni banyirayo perezida kagame by eng witty may 4 2018 may 4 2018 6 kigali ikipe y u rwanda amavubi yanganyije na guinea amahirwe akomeje kuyoyoka u bubiligi se wa vincent kompany yabaye umwirabura wa mbere ubaye meya
2018-10-17T14:37:45
https://bwiza.com/2018/05/04/arsenal-igira-umukino-mwiza-numutoza-mwiza-abo-nenga-ni-banyirayo-perezida-kagame/
semina semina semina kwa neema za bwana tunapenda kuwaalika watu wote katika semina ya neno la mungu itakayofanyika ruvu darajani (kibaha)semina hii ni semina ya urejesho na itafanyika kwa siku 6 ( kuanzia june 20juni 25)bwana ameandaa kitu kizuri na cha kipekee sana kwa ajili yako na yangu ndio maana umekutana na tangazo hili leo atakayehudumu atakuwa ni mch moses alu kutoka lagos nigeria ataakuwa na watumishi wenzake wengine (manabii) watakaohudumu pamoja naye wenye magonjwa na vifungo mbali mbali watafunguliwa kwa jina la yesukwa sababu hakuna linaloshindikana kwake uonapo tangazo hili mtaarifu na mwingine na zaidi ya yote jitahidi ujisaliji haraka ili mambo yote yatendeke kwa uzuri na utaratibu jiandikishe kwa wana kamati wetu mawasiliano yapo chini (1 wakorintho 1440) (pastor moses alu) kwa swali au kwa usajili tafadhali wasiliana nasi kwa namba hizi ''0762 129 233 au 0715 129 233'' ndg epimack damas nkungu bwana yesu kristo akubariki sanaaa mtu wa mungu posted by wingu la mashahidi at 44100 pm
2020-07-04T12:26:15
http://wanatai.wingulamashahidi.org/2019/05/semina-semina-semina.html
mkoa wa magharibi (kenya) wikipedia kamusi elezo huru kwa maana nyingine tazama mkoa wa magharibi mkoa wa magharibi (western province) ulikuwa mojawapo ya mikoa ya utawala ya kenya nje ya nairobi ukiwa mkoa mdogo zaidi kati ya mikoa ya kenya lakini pia mkoa wenye msongamano mkubwa wa watu ulipakana na uganda na mikoa ya kenya ya nyanza na bonde la ufa eneo lake lilikuwa km² 8285 pekee na wakazi 3569400 hivyo ulikuwa na zaidi ya watu 400 kwa kila kilomita ya mraba wakazi wa magharibi ni hasa abaluhya (waluhya) maadili ya quakers ni maarufu sana hapa makao makuu yalikuwa kakamega mkoa ulienea kutoka vilima vya bungoma mpakani wa uganda hadi tambarare karibu na ziwa viktoria mlima mkubwa wa pili wa kenya mlima elgon uko ndani ya eneo hilo kwenye mpaka wa uganda msitu wa kakamega ni kati ya misitu asilia ya mwisho wa kenya uti wa mgongo wa uchumi ni kilimo pamoja na kilimo cha kujikimu kuna pia mashamba makubwa ya chai na miwa kilimo na maliasili ni msingi wa viwanda vikubwa kama vile kiwanda cha sukari cha mumias au kiwanda cha karatasi cha webuye hata hivyo idadi kubwa ya wakazi ni maskini na wanaume wengi wamekwenda nairobi au kwenye hoteli za pwani kwa kazi ya ajira kulikuwa na wilaya nane mkoani butere/mumias butere kakamega kakamega lugari lugari teso malaba vihiga vihiga wilaya baada ya 2007edit majiranukta kwenye ramani 0°30′n 34°35′e / 05°n 34583°e / 05 34583 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mkoa_wa_magharibi_(kenya)&oldid=1041714 last edited on 18 agosti 2018 at 1415
2019-08-18T10:51:58
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mkoa_wa_Magharibi_(Kenya)
vigogo watafuna nchi | gazeti la jamhuri mawasiliano ya siri yaliyonaswa na gazeti la jamhuri yamebaini kuwa waliokabidhiwa jukumu la kulinda mali za umma ama wameziachia au kwa makusudi wameamua zitafunwe na wenye meno uchunguzi wa jamhuri unaonyesha kuwa wizara ya fedha kupitia barua mbili moja yenye kumbukumbu namba tyc/t/200/414/46 ya aprili 14 2009 na nyingine tyc/t/200/414/51 ililiandikia shirika hodhi la mashirika ya serikali (chc) kuwataka wasitishe uuzaji wa jengo hilo lenye ukubwa wa kuanzia mtaa mmoja hadi mtaa wa pili karibu na jengo la haidery plaza eneo la posta mpya mambo yalitulia hadi mei 4 2010 timu ya wataalamu wa serikali ikiongozwa na katibu mkuu wa wizara ya fedha ramadhan khijjah aliyekuwa mwenyekiti wa kikao ilipokutana hapa ndipo ulipofanyika uamuzi wa kuitia kitanzi serikali wengine waliohudhuria kikao hiki ni joyce mapunjo o n assery e mlaki m kejo na j w hellela ssss waliwakilishwa na sulaiman a sadiq (mb) na richard ndasa (mb) ingawa taarifa ya cag inasema haijulikani nani aliyewateua wajumbe wa serikali kufanya kazi hii taarifa hiyo inaongeza hatimaye waliamua ssss walipwe sh 96418849117 zinazohusisha sh milioni 130 walizolipa kama malipo ya awali sh 33418849117 zikiwa asilimia 20 ya riba tangu desemba 2003 hadi aprili 2010 na sh milioni 500 kama fidia ya usumbufu ikumbukwe kazi hizi zilipaswa kufanywa na chc na khijjah na sadiq si waajiriwa wa chc lakini wakaifanya kazi hiyo siku sita baadaye chc iliwaandikia wizara ya fedha ikieleza majumuisho ya maafikiano yaliyofikiwa kwenye kikao cha mei 4 2010 wakimuomba katibu mkuu khijjah awasilishe uamuzi wa kikao kwa waziri wa fedha hapa ndipo sanaa ilipotokea barua hii ilikuwa inaandikwa kwa katibu mkuu wa wizara ya fedha khijjah ambaye kwa bahati mbaya ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kikao kilichopitisha malipo hayo pili kama zilivyo taratibu wizara ya fedha ilipaswa kuwajibu chc barua hiyo lakini hadi leo hawajawahi kupewa jibu la barua hiyo la mwisho na kubwa kuliko yote bila kupitia chc wizara ya fedha iliamua kuwaandikia ssss hundi safi ya sh 96418849117 na waheshimiwa wawili waliotajwa wakavuta mkwanja ndasa alipohojiwa na jamhuri alikiri mlolongo huo kufuatwa ila akasema sisi tulifuata taratibu zote za zabuni na tukashinda lakini baada ya kuona muda umepita na wafanyakazi wanaendelea kuvutana na serikali tukaona hakuna sababu ya kuvutana na serikali ikitiliwa maanani kuwa sisi ni wabunge wa ccm serikali ilitwambia inataka kulitumia jengo hilo kujenga ofisi za serikali na kupunguza gharama ya kupanga majengo mengine sisi tukaona hili ni jambo jema lakini baadaye tukashangaa kusikia kuwa jengo hili limeuzwa kwa fida hussein kwa sh bilioni 3 tuliona huu ni uhuni mkubwa tuliondoka mimi na murad (saddiq) tukaenda kwa fida hussein na kumuuliza aliuziwaje jengo hilo akasema yeye alilinunua mnadani kwamba baada ya wafanyakazi kushinda kesi mahakama iliamuru liuzwe naye akawapo siku ya mnada akalinunua sh bilioni tatu tuliona huu ni uhuni tukaenda hadi wizara ya fedha kumuona mtu wa tr (msajili wa hazina) anaitwa masoud huyu tulivyomuuliza akauma midomo akasema mara serikali imekata rufaa hata yeye haelewi vizuri kinachoendelea tukabaki tunashangaa fikiria serikali imelipa sh milioni 964 kurejesha umiliki wa jengo hata kama haikufuata taratibu lakini pia mbali na fedha hizo kulipwa jengo limenadishwa na mahakama sasa analimiliki fida hussein si serikali huu ni wizi wa mchana lazima maafisa waliohusika watafutwe ili mali ya umma irejeshwe jengo lile lina thamani ya sh bilioni 15 kiwanja kipo katikati ya jiji la dar es salaam na ni kikubwa ajabu wabunge hatutakubali lazima kieleweke alisema zitto zitto aliyeanzisha hoja hiyo alipohojiwa na jamhuri alisema wabunge tumefanya kazi nzuri lakini napenda kuwakumbusha kuwa wasijisahau moto huu uwe wa kudumu na mawaziri walioteuliwa wajue hawana honey moon (fungate) kikao kijacho watapambana na bajeti wakati mawaziri wanaposulubiwa wakajipange wachape kazi nawapongeza wabunge kwa kazi nzuri waliyofanya na nawataka waiendeleze amesema previous orodha vigogo waliokalia kuti kavu yaanza kuvuja next anwani za makazi vitambulisho vya taifa vina umuhimu wa pekee tanzia mke wa mzee kingunge afariki dunia korea kaskazini yagoma kuharibu silaha
2019-03-21T16:05:13
http://www.jamhurimedia.co.tz/vigogo-watafuna-nchi/
serikali ya jpm yapewa darasa zito la viwanda | mtanzania home bungeni serikali ya jpm yapewa darasa zito la viwanda serikali ya jpm yapewa darasa zito la viwanda na mwandishi wetu      | mjadala ulioshuhudiwa bungeni wiki hii wakati wabunge wakipitisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya viwanda biashara na uwekezaji kwa mwaka wa fedha wa 2018/19 huenda ukawa umetoa darasa jingine jipya kuhusu agenda ya tanzania ya viwanda inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano mjadala wa sasa ambao umebeba hoja ambazo si mpya sana umechagizwa zaidi na migogoro ya mafuta na sukari iliyoibuka hapo kabla lakini pia kuporomoka kwa masoko nje ya nchi hoja zilizoibuliwa na mbunge wa kigoma mjini (actwazalendo) zitto kabwe ndani na nje ya bunge na baadaye mbunge wa nzega mjini (ccm) hussein bashe kuhusu viwanda uwekezaji gharama za kodi na kuporomoka kwa masoko nje ya nchi ndizo ambazo zinaweza kuthibitisha kile ambacho baadhi wanaona si tu kama darasa bali ushauri kwa serikali iliyojipambanua kuibeba agenda ya viwanda kauli ya ukali ya spika wa bunge job ndugai kwa mawaziri akiwataka kutoa majibu yanayoridhisha kuhusu mgogoro wa mafuta ya kula ulioibuka wiki hiii lakini pia akitaka utaratibu mpya wa safari za nje kwa mawaziri yote hayo yametoa taswira hiyo hiyo baadhi ya hoja ambazo wafuatiliaji hao wanaona hazipaswi kuendelea kuachwa au kupuuzwa katika kufanikisha agenda hiyo ya viwanda ni ile ya kufungamanisha sekta ya kilimo na viwanda ambayo zitto anaona ndiyo njia sahihi ya kutatua migogoro mingi ya kale ambayo imekuwa ikiibuka mara kwa mara ikiwamo sukari na mafuta ya kula akichangia bungeni wiki hii na katika andiko lake zitto ambaye amekuwa akieleza hoja hiyo tangu mwaka 2016 alisema huo ndio mkakati pekee wa kupambana na tatizo hilo kwani itaongeza thamani ya mazao ya wakulima na kuhakikisha viwanda vinavyoanzishwa vitategemea kwa kiasi kikubwa malighafi kutoka ndani ya nchi hasa bidhaa za kilimo katika hesabu zake anasema iwapo jambo hilo lingetekelezwa ziada ya sukari ambayo ingeuzwa nje ingeweza kuliingizia taifa fedha za kigeni dola za marekani milioni 500 sawa na asilimia 30 ya malengo ya mpango wa maendeleo kwa sekta ya viwanda wa kupata mapato ya fedha za kigeni kiasi cha dola za marekani bilioni tatu zitto alishangaa hoja hiyo kupuuzwa na kusema huo ndio msingi wa migogoro inayoshuhudiwa sasa kwani bado hakuna mpango wa taifa wa namna ya kufidia nakisi ya sukari itokanayo na uzalishaji mdogo wa bidhaa hiyo nchini matamko ya zuio ya rais yaliishia kuleta uhaba wa sukari na kupandisha bei kutoka sh 1800 mpaka sh 6000 katika maeneo mbalimbali nchini na tangu hapo bei ya sukari haijashuka tena imebaki kuwa 3000 kwa kilo alisema zitto alisema uhitaji wa sukari nchini ni mkubwa kwani mwaka 2016/17 utafiti uliofanywa na bodi ya sukari kwa kutumia kampuni ya lmc international ulibaini mahitaji ya sukari ni wastani wa tani 590000 na kati ya hizo tani 455000 ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na tani 135000 kwa matumizi ya viwandani lakini tayari mwaka 2018 nakisi hiyo ya mahitaji ya sukari imekua zaidi kuhusu mafuta ya kula zitto alisema serikali ingekubali ushauri wa mwaka 2016 isingetumia fedha nyingi ambazo alidai ni kiasi cha bajeti ya wizara ya maji 2018/19 ili kuagiza nje ya nchi alisema msingi wa tatizo la mafuta ya kula halina tofauti na lile la sukari kwani utatuzi wake si unafuu wa kodi kwa mafuta yanayoagizwa kutoka nje ambao serikali iliutoa kwa waagizaji nchini alisema unafuu huo ulivunja hamasa ya uwekezaji wa viwanda vya kuzalisha mafuta ya kula ndani ya nchi alisema wakati ule wa bajeti ya mwaka 2016/17 waliishauri serikali iondoe unafuu huo wa kodi inaoutoa kwa waagizaji wa mafuta ya kula kutoka nje ili kulinda na kunusuru viwanda vya ndani jambo ambalo lilitekelezwa mwaka huu na hivyo kupoteza zaidi ya mwaka na kuathiri viwanda vya ndani alisema kwenye uzalishaji wa ndani wa mafuta ya kula mwaka jana ulikuwa ni tani 180000 tu wakati mahitaji yalikadiriwa kuwa ni tani 400000 mpaka tani 520000 kwa mwaka alisema ili kujazia nakisi ya uzalishaji wa ndani wa mafuta ya kula nchi inatumia sehemu kubwa ya akiba yake ya fedha za kigeni kuagiza mafuta ya kula kutoka nje ya nchi alisema kwa wastani kwa mwaka taifa linatumia dola za marekani 340 milioni sawa na sh bilioni 782 ambazo ni zaidi ya bajeti yote ya wizara ya maji na umwagiliaji kwa mwaka 2018/19 ambayo ni sh bilioni 727 mbali na hayo kuhusu hali ya uchumi zitto alizungumzia biashara ya nje akisema kwa miezi 24 iliyopita serikali imesababisha hasara ya mauzo ya nje ya thamani ya dola bilioni moja akitolea mfano alisema mauzo ya tanzania nchini china yameporomoka kutoka dola milioni 356 mwaka 2016 hadi dola milioni 217 mwaka 2017 na japan yameporomoka kutoka milioni 140 hadi dola milioni 75 zaidi zitto alizungumzia kitendo cha tanzania kushindwa kuuza mbaazi dengu choroko na giligilani nchini india na hivyo kupoteza mamilioni ya fedha katika hilo zitto alimshauri waziri wa viwanda biashara na uwekezaji charles mwijage kutoka nje ya nchi kutatua matatizo kama hayo kauli hiyo ya zitto iliungwa mkono na spika wa bunge job ndugai ambaye alisema ni lazima mawaziri wasafiri akizungumzia mipango ya serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo kama vile reli barabara ndege madaraja mabomba ya gesi na mafuta zitto alionyesha wasiwasi fedha nyingi kuishia nje ya nchi alisema mradi wa reli ya kati kwa kiwango cha sgr unahitaji wastani wa sh trilioni 17 ili kukamilisha ujenzi wake kati ya dar es salaam na mwanza (1200km) na kwamba vitahitajika vyuma vya pua si chini ya tani 500000 kwa kipindi cha miaka michache ijayo alisema mataruma ya reli yataagizwa kutoka nje na kuletwa nchini na hivyo kuzalisha ajira nje ya nchi huku pia fedha za miradi hiyo zikienda nje ya nchi kama ilivyo kwenye fedha za mafuta ya kula na sukari katika hilo zitto alihoji iwapo serikali imeweka mikakati ya kufungamanisha maendeleo ya viwanda na miradi hiyo kwa maoni yake alisema jambo hilo lingeweza kufanyika nchini kwa kuwa kuna chuma kingi mchuchuma na liganga na makaa ya mawe ya kuchenjua chuma ili kupata chuma cha pua (steel) hivyo mradi wa reli ungeweza kuchochea maendeleo makubwa kwenye sekta ndogo ya migodi na viwanda vya chuma alisema tanzania ingeweza kuwa mzalishaji mkubwa wa chuma eneo la mashariki mwa afrika na maziwa makuu huku bidhaa za ngozi na mkonge zikitumika kutengeneza vitanda na viti vya mabehewa ya treni kwa upande wake mbunge wa nzega mjini bashe alisema mfumo wa kodi nchini umesababisha gharama za uzalishaji bidhaa kuongezeka na kudumaza mazingira rafiki ya uwekezaji aliitaka wizara hiyo kukutana na wizara ya fedha na mipango ili kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji yatakayomsaidia rais john magufuli kutimiza ndoto ya kuifanya tanzania kuwa nchi ya uchumi wa viwanda muujiza wa kwanza ulikuwa ni kuona namna gani wizara ya viwanda inaweza kuunganisha mambo matatu ambayo amekabidhiwa rais aliamua kwa makusudi kuunganisha biashara viwanda na uwekezaji ili kufikia lengo la mapinduzi ya viwanda lakini hadi leo tunazungumzia general tyre liganga na mchuchuma kuna matatizo ya msingi ya biashara lakini huoni kwenye mpango wetu namna ya kuyashughlikia alisema bashe alisema hakuna mpango unaoonesha kuondoa matatizo yaliyopo kwenye mifumo ya kodi miongozo na sheria katika kufanya biashara nchini previous articlemwijage adai uhaba wa sukari ni propaganda next articlerc mwanza ajipa siku 14 kutatua madai ya walimu
2018-11-13T02:26:49
http://mtanzania.co.tz/serikali-ya-jpm-yapewa-darasa-zito-la-viwanda/
mwalimu ashushiwa kipigo kwa kumcharanga mapanga mwanafunzi wake siku ya krismasi simiyu yetu home » » mwalimu ashushiwa kipigo kwa kumcharanga mapanga mwanafunzi wake siku ya krismasi mwalimu ashushiwa kipigo kwa kumcharanga mapanga mwanafunzi wake siku ya krismasi kijana limbe akipata matibabu mwalimu pendo akipata matibabu mwanafunzi marco limbe(14) aliyemaliza darasa la saba mwaka huu katika shule ya msingi yitwimila iliyoko kata ya kiloleli wilaya ya busega mkoani simiyu amelazwa katika kituo cha afya busega mara baada ya kuchalangwa mapanga kichwani na mdomoni na mwalimu wake tukio hilo limetokea juzi majira ya saa 1130 jioni wakati mwanafunzi huyo alipokuwa akirejea nyumbani kwao akitokea katika malisho ya mifugoalipokaribia katika shamba la mwalimu pendo gabriel ndipo mwalimu huyo alimkamata kijana huyo na kuanza kumcharanga kwa panga na kusababisha kijana limbe kupoteza fahamu kwa muda wa masaa 6 shuhuda wa tulio hilo aliyejitambulisha kwa jina moja la manoga anasema ilikuwa kama mchezo lakini kumbe ni kweli kwani niliona mifugo ya limbe iliyokuwa ikielekea nyumbani na huku limbe akiwa nyuma ya mifugo hiyo katika barabara ambayo iko karibu na maeneo ya shule ghafla nilimuona mwalimu pendo wakishikana na kijana huyo na ndipo nikamuona akiwa na panga na kuanza kumcharangaalieleza nilikimbia katika tukio na kutoa msaada kwa wote lakini watu walijaa na kuanza kumshambulia mwalimu pendo kwa kumpiga ingawa jaribio hilo lilikwama baada ya mwenyekiti wa kijiji hicho mshemas bahai mwandishi wa habari hizi alikwenda katika kituo cha afya cha nyashimo na kujionea hali mbaya kwa kijana limbe ambaye alikuwa amepoteza fahamu kwa muda wa masaa 6 bila kujitambua na huku akiwa anaongezewa drip na kwa pembeni mwalimu pendo gabriel naye akipata matibabu ya jeraha lake kichwani ambalo alishambuliwa na wananchi na huku akiwa chini ya ulinzi wa jeshi la polisi mwenyekiti wa sogesca bahai mshemas alisema sikukuu krismasi imekuwa ni mbaya katika kijiji chake baada ya wananchi wenye hasira kali kufanya shambulio la kumshambulia mwalimu pendo kwa kosa la kumcharanga na panga mwanafunzi wake aliyekuwa akitokea kwenye malisho na kupita karibu na shamba lake la mahindi akitokea katika malisho hata hivyo alisema alifanikiwa kuwatuliza wananchi wa kijiji chake na kuanza kufanya mikakati ya kuwapeleka kituo cha afya ili wapate huduma za matibabu aliongeza kuwa walifika polisi na kuandikiwa barua ya kwenda kutibiwa wote wawili mwalimu pamoja na mwanafunzi kwa upande wake kaimu mganga mfawidhi wa kituo hicho cha afya dk ayubu ismail alithibitisha kuwapokea kwa majeruhi hao na kudai kuwa kijana limbe ndiye aliyekuwa na hali mbaya zaidi kuliko mwalimu pendo aliongeza kuwa kijana ameshonwa nyuzi 9 katika sehemu zake zote alizopatwa na majeraha na huku mwalimu akishonwa nyuzi 6 ni kweli limbe alikuwa ametokwa na damu nyingi sana na hivyo kumpelekea kupoteza fahamu kwa muda wa masaa 6 lakini hali yake inaendelea vizuri alisema dk ismail na shushu joel busega
2018-01-22T09:44:54
http://simiyuyetu.blogspot.co.uk/2016/12/mwalimu-ashushiwa-kipigo-kwa.html
zamaradi nina furaha kuliko kawaida kukutana na mtu huyu leo posted by zamaradi at 733 pm huyo jamaa acha yani anachekesha huyo balaa sema kazaliwa nchi siyo ingekuwa nchi za wenzetu wanaojali vipaji vya watu huyo ni tajiri balaa ndiyo hivyo bwana mie nilikuwa naendaga muongano na kibisa alikuwa huyo na jamaaa anaitwa blanco yani take usitake utacheka halafu majuta enzi hizo kila maigizo yake anaimba basi mie na mshikaji wangu tukawa tunamwita mitchun wa bongo namuusudu sana king majuto hivi zamaradi umeolewa wewe kweli uko deep ni kweli kwa kipindi hiko alikuwa kila akimaliza kuigiza lazima aimbe ha haa umenikumbusha mbali sana aisee kuhusu swali lako mimi sijaolewa ila nina mtu ninaempenda sana asante kwa kutembelea blog asante dada zamaradi kwakutuwekea habari ya king majuto hata kwa upande wagu namzimia sana huyu mzee kwa vichekesho vyake nina swali dada zamaradi je hiyo inayoonekana ni nyumba yake naje hawo watoto hapo ni wakwake ni hayo tu naomba jibu mpendwa ubarikiwe hapana hapo sio kwake ila ni sehemu tu waliyokuwa wakitumia kuigizia (location) na hata hao watoto sio wake kabisa nimeguswa sana na umenikumbusha mbali uliposema ulipomuona huyo mzee ulimkumbuka babapole sanapia nimefrahishwa na picha pamoja na maelezo ya ndugu zetu ulokuwa nao safarinihahaha
2017-08-21T14:10:36
http://zamaradimketema.blogspot.com/2011/05/nina-furaha-kuliko-kawaida-kukutana-na.html
shahidi wa kwanza katika kesi ya ubakaji india bbc news swahili shahidi wa kwanza katika kesi ya ubakaji india https//wwwbbccom/swahili/habari/2013/02/130205_india_rape image caption wanaharakati wakiteta kuhusu dhulma dhidi ya wanawake shahidi wa kwanza katika kesi kuhusu wanaume watano waliombaka na kumuua msichana mmoja nchini india ameanza kutoa ushahidi wake marehemu aliyekuwa na umri wa miaka 23 na mwanafunzi wa chuo kikuu alishambuliwa vibaya akiwa ndani ya basi katia mji mkuu wa india lakini alifariki baadaye kutokana na majeraha aliyoyapa shambulizi hilo liliwaghadhabisha watu wengi na kuzua mjadala kuhusu dhulma dhidi ya wanawake mmoja wa mashahidi wa kwanza kuwasili katika mahakama maalum inayosikiliza kesi hii ya ubakaji mjini delhi alikuwa rafiki ya marehemu aliyekuwa naye usiku wa shambulizi hilo aliletwa mahakamani akiwa kwenye kiti cha magurudumu kwani naye pia alichapwa vibaya sana washukiwa watano waliokamatwa wote walikataa kosa la mauaji ubakaji na kuharibu ushahidi katika eneo la shambulizi upande wa mashtaka unatarajiwa kuwasilisha mashahidi takriban themanini kuweza wakiwemo madaktari walimtibu marehemu nchini india na india na singapore ambako alipelekwa kwa matibabu kujaribu kukoa maisha yake kesi hii inafuatiliwa kwa karibu nchini india ambako ilisababisha maandamano makubwa kuhusu dhulma wanazotendewa wanawake na namna ambavyo polisi na taasisi za kisheria hudhughulikia uhalifu wa kijinsia
2018-09-25T01:50:49
https://www.bbc.com/swahili/habari/2013/02/130205_india_rape
ziara ya katibu mkuu maalim seif sharif hamad katika jiji la mwanza ~ g sengo ziara ya katibu mkuu maalim seif sharif hamad katika jiji la mwanza leo tarehe 23/5/2018 saa 10 jioni katibu mkuu maalim seif sharif hamad atawasili jijini mwanza na kupokelewa na wanachama na viongozi wa cuf wa ngazi mbalimbali za chama katibu mkuu ataongozana katika msafara huo na naibu katibu mkuu zanzibar mhe nassor ahmed mazrui na naibu mkurugenzi wa habari uenezi na mahusiano na umma mhe mbarala maharagande atakuwa mwanza kwa ziara ya siku tatu baada ya kupata mualiko kutoka kwa muungano wa klabu za waandishi wa habari tanzania (union of tanzania pres clubutpc) yenye makao yake makuu mkoani mwanza utpc kwa sasa ina klabu wanachama (press clubs) 28 toka tanzania bara na visiwani utpc kwa kushirikiana na vyombo vya habari inaendesha kipindi cha tujadiliane kinachowakutanisha waandishi wa habari kutoka katika redio zote zilizopo mkoani mwanza tv pamoja na magazeti na imekuwa ikiwaalika wageni kutoka serikalini asasi za kiraia na watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa kutoka hapa nchini pamoja na shughuli zingine kesho tarehe 24/5/2018 kuanzia saa 5 kamili asubuhi katika ukumbi wa hotel ya jb belmount jijini mwanza atashiriki katika kipindi maalumu cha tujadiliane katika kipindi hicho maalim seif atapata fursa kuelezea masuala mbalimbali ya kisiasa kiuchumi na jamii kwa ujumla na pia atapata fursa ya kuelezea dira ya cuf mwelekeo wa cuf mafanikio ya cuf changamoto zinazoikabili cuf na namna ya utatuzi wake katibu mkuu maalim seif atakutanishwa na waandishi wa habari wa jijini mwanza na mahojiano ya kipindi hicho yatarushwa mubashara live kupitia mitandao ya kijamii hususani facebook na pia yatasikika kupitia radio saut rfa kiss fm afya radio metro fm radio sengerema hsc living water ukombozi fc iqra fm kwa neema radio za jijini mwanza na safari fm ya mkoani mtwara pia kupitia facebook account ya julius mtatiro na links zingine mbalimbali na baadae katika vipindi vya television pamoja na kuwa uso kwa uso na jopo la waandishi wa habari jijini mwanza mahojiano hayo yatakayoongozwa na ndugu dotto emmanuel bulendu tunapenda kuchukua fursa hii kuwajulisha rasmi programu hiyo kwa ufuatiliaji na kama kuna masuala ambayo unahitaji maalim seif aulizwe usisite kututumia na au kumtumia mratibu wa kipindi hicho dotto bulendu kupitia akaunti yake ya facebook imetolewa leo tarehe 23/5/2018
2020-05-25T18:58:51
https://gsengo.blogspot.com/2018/05/ziara-ya-katibu-mkuu-maalim-seif-sharif.html
hakuna ubaya wowote kwa mtu kutaka kupendeza swala la kuonekana mzuri au kuwa mtanashati limekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu hususani upande wa dada zetu si kitu cha ajabu maana tangu enzi za mababu tunasoma katika historia jinsi mwanamke alivyosifiwa kwa uzuri na urembo wake mazoezi yanayokuza na kuyapa makalio na nyonga muonekano mzuri zoezi muhimu kuliko yote ambalo kwa bahati mbaya kinadada wengi hulikwepa ni zoezi lijulikanalo kitaalamu kama squarts yaani kuchuchumaa kwa kiswahili rahisi kufanya squarts waweza tumia uzito au waweza fanya squarts bila kutumia uzito wowote unachukua uzito unaoweza kuhimili na kuuweka mabegani (kumbuka uzito huu unatakiwa uwe umewekwa pande zote kwa uwiano sawa ukiunganishwa na bomba ambalo ndiyo unaliweka mabegani) simama wima miguu yako ikiwa imetengana kiasi halafu chuchumaa taratibu na kunyanyuka taratibu rudia mzunguko huu mara 6 mpaka 8 kwa kila seti na ni vema kufanya seti tatu mpaka tano kumbuka waweza fanya squarts bila kuwa na uzito wowote cha muhimu ni kuikutanisha mikono yako pamoja nyuma ya kichwa wakati wote unapokuwa unachuchumaa na kusimama kwa maelezo zaidi soma nyonga na umbo lililojengeka la ndoto yako zifahamu dalili za homa ya dengue dengue ni moja kati ya homa kali inayodhoofisha na kuambatana na maumivu makali kwa sasa hakuna kinga ya homa ya dengue njia pekee ya kuepuka ugonjwa huu ni kuzuia kuumwa na mbu anayesambaza homa ya dengue kwa maelezo zaidi kuhusu vipimo vyake na matibabu tafadhali soma hapa ufahamu ugonjwa wa homa ya dengue kumwimbia nyimbo au sauti za kumbembeleza humfanya mtoto aache kulia malezi ya mtoto ni moja ya vitu muhimu vya kujifunza ukiwa kama mzazi ni mara nyingi tumekuwa tukiona watoto wakilia bila kujua nini cha kufanya leo hii tudondoe njia moja wapo ya kumbembeleza mtoto akiwa tumboni mwa mama mara kwa mara mtoto alikuwa akisikia mapigo ya moyo ya mama hali hii ndiyo sababu kubwa ya watoto wengi kupendelea kubebwa na mama zao hata hivyo kuna aina nyingine za sauti zinazoweza pia kusaidia kumtuliza mtoto mzazi ama mlezi unaweza kujaribu kuweka muziki wa taratibu au kumuimbia mtoto nyimbo za kubembeleza kwa sauti ya chini sana unashauriwa kutokuweka miziki ya haraka au yenye sauti kubwa kwa sababu inaweza kumwondolea hali yake ya utulivu na hivyo kumfanya ashindwe kuacha kulia kwa makala iliyokamilika nenda hapa tendo la ndoa husaidia kupunguza ama kutoa msongo wa mawazo na kama tunavyojua kuwa msongo wa mawazo huchangia kupandisha sukari kwa mtu mwenye kisukari na pia hutoa au hupunguza hatari ya kupata shinikizo la damukasi ya mapigo ya moyo wakati wa tendo la inaweza kupunguza hatari ya kupata shinikizo la dawa na kupanda kwa sukariwataalamu wanasema sio tu kwa mtu mwenye tatizo la kisukari ila hii ni kwa kila mtukufanya tendo la ndoa kwa makala zaidi juu ya umuhimu wa tendo la noa kwa watu wenye kisukari temmbelea hapa shoga yangu vvu/ukimwi umeenelea kuwa ni moja kati ya changamoto kubwa katika sekta ya afya duniani haswa kwa nchi zinazoendelea kutokana na takwimu za shirika la afya duniani (who) inakadiriwa kuwa kuna watu milioni 369 wanaishi na virusi vya ukimwi duniani kote kwa siku za karibuni kumekuwa na matokeo chanya kwenye mapambano na ugonjwa wa ukimwi sasa hivi watu wenye virusi vya ukimwi (vvu) wanaishi maisha yenye afya njema na kwa muda mrefu kwa msaada wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya ukimwi (antiretroviral therapy (art)) pia matumizi sahihi ya dawa hizi husaidia kupunguza muendeleo wa uabukizaji kwa wengine ingawa kuna matokeo yote hayo chanya lakini bado kuna sehemu kubwa ya jamii bao haina uelewa juu ya ugonjwa huu hivyo tanzmed itakuwa inakuletea dondoo chache juu ya ugonjwa huu 1 vvu vinaweza kuambukizwa kwa njia mbalimbali kama kuambukizwa kwa mtoto mchanga wakati akiwa tumboni wakati wa kuzaliwa au kwa kunyonyeshwa na mama anayeishi na virusi vya ukimwi hivyo kabla na baada ya kuanza kubeba ujauzito inashauriwa kupima afya na kuhudhuria vyema kliniki kwa ajili ya vipimo na ushauri juu na njia za kuondoa maambukizi haya kujamiiana bila ya kinga na mtu mwenye virusi vya ukimwi kuwekewa damu yenye virusi vya ukimwi kushare vitu vyenye incha kali (sindano viwembe masjine za kuchorea tattoo mikasi nk) vilivyo na virusi vya ukimwi watumiaji wa madawa ya kulevya wapo kwenye hatari ya kuambukizana kwakuwa wengi hutumia sindano kwa pamoja matumizi ya vifaa vya upasuaji ambavyo havijafanyiwa usafi wa kuua virusi 2 jinsi ya kujikinga au kuzuia maambukizi ya virusi vya ukiwmi (vvu) kwa wengine hakikisha unatumia zana pindi unapofanya ngono nenda kapime na upate tiba ya magonjwa mengine ya zinaa kwani kuwa na magonjwa ya zinaa kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa virusi vya ukimwi pia kupima na kujijua mapema kunasaiia kulinda afya yako na kuzuia kuwaambukiza wengine hakikisha damuunayowekewa imepimwa na haina virusi vya ukimwi kutahiriwa kwa wanamume kunasaidia kupunguza maambukizi (soma makala juu ya faida za tohara hapa) matumizi ya mapema na yaliyobora ya dawa za kufubama makali ya virusi vya ukimwi (arv) husaidia kukufanya uishi na afya bora pia kupunguza maambukizi kwa wengine kuishi maisha yanayompendeza mungu kwa kuacha kuzini kabla na nje ya ndoa
2019-08-24T14:38:05
https://tanzmed.co.tz/afya/dondoo.html
chelsea vs man city | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'sports' started by master jay aug 12 2012 wadai hii game inapigwa muda gan kwa huku kwetu tz manake magazeti mengi yameandikwa muda tofauti tofauti sana aliyotoka jana jana na leoclick to expand vp ivanovic alifanya nn tenaclick to expand alimchezea rafu mbaya sana kolarov akalambwa straight red cardclick to expand balantanda shkamoo banaclick to expand
2017-04-26T10:40:39
https://www.jamiiforums.com/threads/chelsea-vs-man-city.306692/
natamani kipindupindu kifike ikulu mwanablogu idya utanyonyesha au utanyonyesha au mwanamke akiwa na mimba hapa marekani kati ya maswali ambayo atakumbana nayo akienda hospitali ni je una mpango wa kunyonyesha au kama umetokea nchi za ulimwengu unaiotwa wa tatu utabaki mdomo wazi swali hili alipoulizwa mama ukweli nilikuwa nikisema kwani mwanamke aliyejifungua anakuwa na maziwa ya nini maziwa ya mama si kwa ajili ya mtoto si ndio kanuni ya maumbile hiyo kumbe nilichokuwa sifahamu ni kuwa nchi zinazodaiwa kuendelea ni nchi ambazo hazijali afya ya mtoto wanawake wanajali kutunza maumbo ya matiti yao hawataki kunyonyesha asilimia ya wanawake wanaonyonyesha ni ndogo sana kunnyonyesha sio tendo linalofanywa hadharani ukinyonyesha hadharani watu watakukudolea macho kama vile hazimo wanyama ukiacha binadamu wananyonyesha watoto wao binadamu ndio viumbe pekee vinavyoamua kuwapa watoto wao maziwa ya wanyama wengine na sio maziwa yao na wakati huo huo tunadai kuwa binadamu tumeendelea kuliko ng'ombe au mbuzi mbona wao wana busara zaidi yetu kwa kuwapa watoto wao chakula chao posted by ndesanjo macha @ 7/10/2004 021800 pm 0 comments links to this post kumbe cia waongo wakubwa ushamba hotelini 1 kitwana chaurembo (ujumbe wako binafsi) ukimwi na laana toka kwa mungu klabu ambao wanaume wanakula wakiwa uchi kashfa kanisa katoliki mapinduzi ya zanzibar eti ni uhaini babu seya
2017-11-19T21:43:19
http://jikomboe.blogspot.com/2004/07/utanyonyesha-au.html
nunua ilio tumika jeep patriot silver gari ndani ya bulembu nchini hhohho cartsenga kuhusujeep patriot habari nimevutiwa na jeep patriot car iliopo hhohho bulembu nilio iona katika cartsengacom unaweza nitumia taarifa zaidi juu yake ahsante
2019-07-20T04:09:03
https://www.cartsenga.com/sw/ads/ad-jeep-patriot-hhohho-bulembu
una wageni wengi sana nyumbani kwakothiss ad solutionsoma carefully | jamiiforums | the home of great thinkers una wageni wengi sana nyumbani kwakothiss ad solutionsoma carefully discussion in 'jamii photos' started by saint ivuga jul 16 2011 lol umenikumbusha mbali sana mkuu mgeni siku ya kumi kwa mateke na magumi lol umenikumbusha mbali sana mkuu mgeni siku ya kumi kwa mateke na magumiclick to expand hahah bibie hapo umeenda mabli sana mkuu nilikuwa naimba hizi tenzi kumi kwa kichwa yaani wakati ule akili haijachakachuka angalia hiyo kitabu page inayofuata ndo inasema hivyona kapicha flani mgeni anatupiwa kakifurushi ka kijijini hahah bibie hapo umeenda mabli sanaclick to expand hiki si kitabu kinaitwa someni kwa furahaivuga una visa weweweka basi kurasa za bulicheka tujikumbushe mkuu nilikuwa naimba hizi tenzi kumi kwa kichwa yaani wakati ule akili haijachakachuka angalia hiyo kitabu page inayofuata ndo inasema hivyona kapicha flani mgeni anatupiwa kakifurushi ka kijijiniclick to expand hahah wewe dada yangu ni kichwa kweli kweli yaani umekumbuka page za hiki kitabu hahahah wewe ni mkali aisee aisee haka kakitabu nilikuwa nikikasoma huku nina njaa na imagine sahani ya mchelelol hiki si kitabu kinaitwa someni kwa furahaivuga una visa weweweka basi kurasa za bulicheka tujikumbusheclick to expand bila shaka nyie mabinti ni wa uwkeli vibaya sana mna kumbukumbu kiasi hiki kuna kisa cha kalumakenge nimeshakiweka kule kila baada ya mwaka mmoja nitakuwa naweka page moja hahah hahaah halafu leo ndo nashangaa kuwa utenzi wa kwanza ni mchele na panza sio panzi basi nikawa na imagine panzi kwenye kifuu kama itakuwa kadelicacy flani vile kama makange au nyama chomalol ngoja nikamsake kalumekenge manake dah hahah wewe dada yangu ni kichwa kweli kweli yaani umekumbuka page za hiki kitabu hahahah wewe ni mkali aiseeclick to expand bila shaka nyie mabinti ni wa uwkeli vibaya sana mna kumbukumbu kiasi hiki kuna kisa cha kalumakenge nimeshakiweka kule kila baada ya mwaka mmoja nitakuwa naweka page moja hahahclick to expand sasa huo ni uchoyoyaani kila mwaka mara mojaaaaah banaweka tuwakumbuke kina huihui na kabila lao la wagagagigikoko na kile kijumba cha bulicheka alichokijenga kwenye ile minazi minne kwa kutumia mezanilikuwa nikisoma hii natamani kweli niwe mimidahthose days bht saa hiyo una njaa umechafukaa ukiwaza huo mchele na panzihahaha kama nakuona aisee haka kakitabu nilikuwa nikikasoma huku nina njaa na imagine sahani ya mchelelolclick to expand hahaah halafu leo ndo nashangaa kuwa utenzi wa kwanza ni mchele na panza sio panzi basi nikawa na imagine panzi kwenye kifuu kama itakuwa kadelicacy flani vile kama makange au nyama chomalol ngoja nikamsake kalumekenge manake dahclick to expand hata mimi ndio nimeshtukia kuwa ni panzawatu tulikuwa tunalazimisha kuwa ni panzihivi panza itakuwa ni nini kinaitwa buricheka haaaaaah mke wa huihui alikuwa lizabeth eeh nilikuwa namtamania anavyopanda merikebulol those days unakaa unaimagine the world out there sasa huo ni uchoyoyaani kila mwaka mara mojaaaaah banaweka tuwakumbuke kina huihui na kabila lao la wagagagigikoko na kile kijumba cha bulicheka alichokijenga kwenye ile minazi minne kwa kutumia mezanilikuwa nikisoma hii natamani kweli niwe mimidahthose daysclick to expand kinaitwa buricheka haaaaaahclick to expand jamani paulni buricheka au bulichekana huyu si alikuwa mmoja wa mastar ndani ya hicho kitabuau niesahau bht saa hiyo una njaa umechafukaa ukiwaza huo mchele na panzihahaha kama nakuonaclick to expand king'asti kama ulikuwepoyaani navuta tu muda wa kwenda hm ufike nibebe kibegi changu huyoo nikifika hm hamna mchele wala nn sembe tumweeh old good daysafu kuna kimoja aliwekaga companero hapa cha juma na roza wageni wa siku hizi wakikuta tv kwako wanasogeza mbele siku za kukaa tena kama ndo unatabia ya kuwatoa out ndo kabisa na wakienda watasimuliana huko na kundi jingine linatia timu jamani paulni buricheka au bulichekana huyu si alikuwa mmoja wa mastar ndani ya hicho kitabuau niesahauclick to expand hujasahau mwanakwetu kitabu kinaitwa someni kwa furaha na bulicheka alikuwa character mkuu mule mke wa huihui alikuwa lizabeth eeh nilikuwa namtamania anavyopanda merikebulol those days unakaa unaimagine the world out thereclick to expand elizabeth alikuwa mke wa bulichekawalipokuwa wanasafiri(sikumbuki walikuwa wanaenda wapi) merikebu ikapata dhoruba ndio wakashtukia wametokezea kwenye kisiwa cha wagagagigikoko na mfalme wao ndio alikuwa anaitwa huihui (sijui kama nimekumbuka vizuri) mgeni gani anakaa siku 10 huyo mwenyeji mpe orodha ya vifaa vya ndani achangie gharama hataki akakae hotel tehe tehe
2017-01-20T12:07:28
https://www.jamiiforums.com/threads/una-wageni-wengi-sana-nyumbani-kwako-thiss-ad-solution-soma-carefully.155494/
akaunti za mafisadi bot zagundulika | jamiiforums | the home of great thinkers akaunti za mafisadi bot zagundulika discussion in 'jukwaa la siasa' started by jembajemba feb 17 2008 wakati moto wa sakata la utata wa kampuni ya kitapeli ya richmond ukiendelea kuwaka huku bunge likisubiri kwa hamu hatua zitakazochukuliwa dhidi ya watuhumiwa bomu jingine la ufisadi mkubwa uliofanyika kwenye akaunti ya madeni ya nje ya benki kuu ya tanzania (bot) limelipuka kufuatia vigogo kadhaa serikalini wakiwemo wastaafu kubainika walinufaika kwenye ufisadi huo habari za uhakika kutoka vyanzo vyetu ndani ya serikali viliambia majira jumapili kwamba tayari serikali kupitia vyombo vyake vya uchunguzi kwa kushirikiana na mataifa mbalimbali imegundua nyumba na hoteli za kifahari zinazomilikiwa na viongozi wa serikalini wafanyabiashara maarufu na viongozi mashahuri wastaafu walionufaika kwa namna moja au nyingine na ubadhirifu wa sh bilioni 133 za akaunti ya epa miongoni mwa mambo yaliyosaidia kubainika kwa mali hizo ni baada ya baadhi ya mataifa ya nje kuihoji serikali ya tanzania juu ya uwezo wa viongozi hao kuzimiliki uchunguzi wa kina na uliopata uthibitisho kutoka kwa maofisa wa ngazi muhimu wanaojua mchakato wa chini kwa chini unaofanywa kufuatilia zilikopelekwa fedha hizo pia umeeleza kuwa kuna mabilioni ya fedha za mafisadi hao zimenaswa kwenye akaunti mbalimbali za nje katika uchunguzi huo nchi zilizogundulika kuwa watuhmiwa wamewekeza miradi mbali na fedha ni pamoja na uswidi marekani ubeligiji dubai afrika kusini na nchi kadhaa zenye ushirikiano wa kibiashara na tanzania “mimi nawashangaa watu wanaohofia taarifa ya uchunguzi wa richmond wangejua kilichomo ndani ya taarifa ya epa wasingezungumza ninaamini wananchi wakijua majina yaliyomo kwenye taarifa ya epa wangetaka wawekwe kizuizini moja kwa moja wakati uchunguzi ukiendelea “unajua wakati rais alipozungumza kupitia kwa katibu mkuu kiongozi hakutaja majina ya vigogo waliohusishwa ni majina yanayotisha wamo viongozi waandamizi wakiwemo makatibu wakuu wa wizara kadhaa walioko serikalini na waliostaafu kilisema chanzo chetu habari hizo zilieleza kwamba licha ya vigogo wa serikali pia wapo wafanyabiashara maarufu nchini huku baadhi yao wakiwa tayari wametajwa kwenye ripoti ya richmond “uchunguzi wa serikali umefanyika kwa siri kubwa ndio maana hata bunge ilipoomba ripoti hiyo serikali haikutaka kutoa maelezo zaidi kwani kufanya hivyo kwa sasa kungevuruga uchunguzi unaoendelea serikali imeomba nchi kadhaa kutoa ushirikiano na tayari nchi husika zimeitikia kwa sharti kwamba iwe siri kubwa” kiliongeza chanzo chetu na kuthibitisha kuwa tayari baadhi ya akaunti hizo zimefungwa pamoja na taratibu zingine serikali inafanya uchunguzi kujua namna watuhumiwa hao walivyopata fedha zilizoko kwenye akaunti zao za nje pamoja na uwezo wa kujenga nyumba na hoteli za kifahari ambazo hata nchi husika zinashangaa uwezo wa watanzania hao http//wwwmajiracotz/kurasaphpsoma=tanzania&habarinamba=5704 hii inaonyesha wazi kuwa tanzania sio nchi maskini bali kuna watu wachache ambao wanafaidika na utajiri mkubwa ambo nchii hii unao mbali na wageni ambao kila leo wanavuna utajiri wa nchi hii lakini pia kuna watanzania wenzetu ambao hawana chembe ya huruma kwa watanzania wenzeo ambao hata mlo wa siku moja haujui kwa kweli inasikitisha na kuhuzunisha kuona watu wa sample hii mungu ibariki tanzania mungu ibariki africa mungu wanakamishe mafisadi wote ameen duh ndio maana hawataki kabisa kuitoa hiyo ripoti ya ukaguzi wa epa maana sirikali yote itaonekana imeoza kwa ufisadi hawa wabunge nao bado ni mabaradhuli watakubali vipi bunge liahirishwe hadi mwishoni mwa april wakati kuna tuhuma nzito za ufisadi ndani ya bot hii serikali yote ni kitu kimoja usanii mtupu kwa nini wanawaficha hawa mafisadi kwa nini wasiwaweke hadharani jamii ikawaona and then sheria kachukua mkondo wake ndugu yamgu jemba jemba hali ya mtanzania inasikitisha na kibaya zaidi ni kwamba wanaosababisha madhila haya ni wenzetu tena waliotujia na hoja tamu za namna wanavyofikiria kumuondoa mtanzania hapo alipokuwepo na kumpeleka sehemu nyingine na kweli wamefanya hvyo kwa kumpeleka kwenye dimbwi zaid la umaskini leo hii kandoro analia lia tumchangie fedha za madawati na madarasa ya shule anazojenga na ilhali huku hazina na kodi anazokamuliwa mtz zinaliwa na wajanja ambao kila kukicha wanabuni mbinu za kumuua mtz kusudi kama jana alipata mlo mmoja kwa siku kesho asipate hata uji kwa kweli inatia uchungu lakini tukumbuke kwamba ripoti ya epa ni tone la maji tu kati ya mengi ambayo yamefanywa na hawa hawa wanaojiita wazalendo wa nchi hii na kila ninaposema kikwete anafanya kweli watu hawanielewi anafanya kweli gani hakuna haja ya kumwogopa mhalifu eti ukimtaja utaharibu ushahidisasa kwani hao watu hawajijui kama kampuni zao zimetajwa tayari tena katika ukimya huu ndo wataweza kuharibu ushahidi maana wamepewa a period of 6 months kikwete anawachezea watanzania kinachofanyika kwa sasa ni juhudi za udi na uvumba kuwanasua washikaji zake akina kagoda agriculture na wengine wewe subiri tu utakuja kuona siku hiyo ripoti inasomwa acheni habari za magazetini kama kweli ilikuwa siri mbona imeshatoka nani mwenye account hizo ambaye kwa taarifa kama hii atakuwa bado amelala akizubiri report ya epa ifikishwe bungenihakuna siri tanzania isipokuwa kuna kubebana majina sii hoja hoja na ushahidi ni kiasi gani cha fedha zipo huko na zimeokolewa jk na serikali yako kama utafanya kweli fanya hizi habari za kusubiri ziara ya bush mara sijui nini hali kinachopotea ni zaidi ya msaada huo hatuwezi vumilia chakula kinapoa mkubwa maswala ya kusubiri mgeni aondoke watu ndio kwanza wanashiba jikonina tonge likisha ingia tumboni kitakacho bakia ni lawama tupukinyesi hakiliki wala kuhesabika wakuu hiii ngoma bado ni mbichi sana time will tell maana pia kuna wafadhili wetu ambao wanataka kujua waliojiuzulu na wanaotuhumiwa watishia kufanywa nini unajua mimi nachoshindwa kuelewa ni kwamba pamoja na kuwa ngoma hii nzito lakini hawa watu tuliwafahamu toka mkapa aondoke madarakani na wengine as soon as hizi scandal zimetokea tuliwataja kwa majina yao lakini jk akasema leteni ushahidi akapewa bado hakuamini kwa madai kuwa ni tetesi na walikuwepo washabiki kibao leo majina yameisha julikana na hadithi ni ile ile kama tulivyoweka madai yetu toka 2006 bado tunaambiwa tusubiri wakijenga habari kibao za kuepusha hasira za wananchi hali hakuna mashtaka yoyote yaliyokwisha wekwa kisheria tutasubiri ikiwa mashtaka tayari lakini hizi habari za upelelezi kuendelea wakati uchunguzi tayari umeisha kamilika ni kuwabeba baadhi ya watuthey are not stupid mkuu kuihama nchi sii swala zito waliweza miaka ya nyerere na pili wengi wao hawana asili ya pale jamani nawammbieni kuwa sidhani kama kuna lolote la maana litakalofanyika dhidi ya watuhumiwa maana hili la richmonduli limefanyika kusudi kurudisha heshima ya bunge kwa wananchi (ripoti ya redet) na vilevile chama chawala kinajaribu kutoa kafara (zaka) za kuteketezwa ili iwe harufu nzuri kwa ushindi ujao ila hizo hela hazitorudi na wahusika watapewa respect kama mlivyoanza kuona wanavyomiminiwa sifa ya kuamua kujiuzulu baada ya kutuhumiwa sisi tunataka hela zetu zirudi ili mwalimu kasongo kule mvuti alipwe mshahara wake kwa time na mjomba wangu malingumu apate pensheni yake kwa wakati sisemi kuhusu zahanati na huduma zake sisemi kuhusu pembejeo na nishati nasema kuhusu hela kurudi na zifanye jambo la maana au la huu ni utapeli mchana kweupeeee kikwete mwenyewe anahusika na ufisadi kwa nini hawa majira wasimtaje tu mkapa na ma goons wake kikwete hawezi kum prosecute mkapa wala lowassa kwa sababu na yeye ana issues kibao vita dhidi ya rushwa tanzania haiwezi kufanikiwa mpaka ccm ing'olewe waanze kuwafilisi akina lowasa rostam mramba chenge nk then tutajua wapo serious otherwise mazingaombwe tu kweli ipi hii ya kuja bushrichmond au epa nasema huu ni mtihani mgumu sana kwa jk na sisi wadanganyika tunasubiri kusikiahizi habari za magazeti tunazishukuru kwani ndiyo ambazo zinatufumbua macho kubwa hapa ni nani kahusika na jina lake litajwe adharani na tujue kachukuliwa hatua gani na mwaisho fedha zetu zirudi we zomba wwnaona umetumwa na chama cha mafisadi kuja kuwatetea hukuhuwa wanakulipa sh ngapi sasa tunataka kuona hawa mafisadi wanatupwa gerezani waanze na lowassa na kundi lake halafu sumaye na kundi lake oooh gosh my god nitapiga mluzi chooni nashindwa nianzie wapi tokana na hasira niliyokuwa nayo ninachomuomba rais na serikali yake ni kwamba wafanye kazi waliyopewa na watanzania na wala wasifanye vinginevyo watanzania wengi wamepoteza kabisa matumaini na serikali tokana na kukumbatia wezi na majangili wa uchumi wa nchi yetu kauli ya rais aliyosema eti tumwache mkapa amestaafu tusimchunguze katika ufisadi aliofanya akiwa ikulu na hili la kuchelewesha kuwachukulia hatua wezi wa fedha toka bot na mafisadi wa richmond linatupa uelewo sisi watanzania kwamba serikali inahusika na upuzi huu ama imeubariki upuzi huu hatuna imani na serikali yetu tena mwaka 2010 tuipeleke serikali hii makaburini nashindwa kuelewa mantiki aliyotumia rais ya kuogopa kumchunguza king of zamunda aka mkapa kwa ufisadi alioufanya akiwa ikulu wezi na mafisadi wakubwa wanajulikana hakuna sababu ya kudanganyana eti mpaka miezi sita ya uchunguzi kwanza pole kwa kazi uliyoifanya kukusanya taarifa lakini bado umetuacha njia panda hatuelewi ni kiasi gani cha fedha kimekwapuliwa katika akauti ya epa na kila akauti ya kila fisadi ina kiasi gani cha fedha mafisadi hao ni akinani jaribu kuwa muwaziukifafanua haya yatasaidia watu wafanye maamuzi magumu duh bado inajadiliwa hili
2018-01-23T08:59:20
https://www.jamiiforums.com/threads/akaunti-za-mafisadi-bot-zagundulika.10037/
riwaya kali ya kusisimuasin sehemu ya kwanza (01) | mpekuzi riwaya kali ya kusisimuasin sehemu ya kwanza (01) kila mwanachuo ndoto zake ni kuweza kupata ajira nzuri sana kwa kile alicho kisomea kwa miaka mingi sana kipindi alipo kuwa chuoni ila mambo ni tofauti sana kwa kijana evans shika elimu ya masters of business administration international business aliyo isoma katika chuo cha ifm inamfanya azidi kutesaka sana katika swala zima la kutafuta ajira kila ofisi aliyo weza kupeleka maombi ya kuajiriwa ana kataliwa na kujikuta ana zidi kukumbana na maisha magumu sana yaliyopo katika jiji la dar es salaa lukas rafiki yake wa karibu alimuita huku akimtazama usoni mwake niambie kaka nina mazungumzo muhimu nahitaji kuongea na wewe kmaa unaweza kunipatia muda wako basi nakuomba tuzungumze sawa kaka tuzungumze tu evans alizungumza huku akikaa kitako kitandani na kumtazama lukas aliye kalia stuli moja iliyomo ndani ya geto hilo lidya ni mjamzito na hapa ninavyo zungumza kwao wametambua hilo na baba yake ameamua kumfukuza mungu wangusasa utafanya nini kaka sina jinsi zaidi ya kumleta hapa kaka nilazima niishi naye kwa maana hakuna namna mmmm kaka sasa kweli tutaweza kuishi watatu geto moja ahaa kaka hatutaweza mimi naona kwa sasa uweze kujitafutia maisha mengine ndugu yangu usinifikirie vibaya au kuhisi kwamba nina kufukuza nyumbani kwangu hapana ila shemeji yako ndio huyo ana kuja na kwakweli sikujipanga kabisa kuhimili maisha ya kuhudumia watu wawili maneno ya lukas yakamstua sana evans mapigo yake ya moyo yakaanza kumuenda kasi huku kijasho kikianza kumtiririka usoni mwake hakika toka alipo maliza chuo na kukosa ile mikopo ambayo wanapatia kwa ajili ya kujikimu maisha yake yamekuwa magumu sana kiasi cha kujikuta akipata hifadhi kwa rafiki yake lucas ambaye naye kwa sasa amekabiliwa na majukumu mazito sana kaka wewe ni mwanaume ninakushauri hembu jishikize kwenye vibarua vidogo vidogo japo upate vimiambili mia tatu vya kukukimu haya maisha ya kusema utafute kazi hizi ambazo mwisho wa siku unatoka hola huoni kwamba una jicheleweshea malengo yako maneno ya lucas hayakuweza kuleta matumaini wala faraja kwa evan ambaye hatambui ni wapi atakapo kwenda kila akijaribu kulichanganua hili jiji la dar es salaam hakika hana ndugu wa kuweza kuishi kwake evans evans sijui umenielewa nilicho kuambia yaa nimekuelewa kaka kuna ishu nyingi sana hapa mjini tazama mimi ninaosha magari japo elimu yangu ni form four ila kidogo nina pata mia mbili mia tatu bro changamka hapa ni mjini usiamini sana kwenye maswala ya vyeti kaka evan taratibu akanyanyuka kitandani akachukua begi lake la nguo pamoja na begi lake la mgongoni akafungua begi la mgongoni na kuhakikisha kwamba bahasha yenye vyeti vyake ipo salama alipo jiridhisha akalifunga na akalivaa mgongoni na kumtazama lukas nashukuru kaka kwa kipindi chote ulicho weza kunivumilia kwa kukaa humu ndani nitaufanyia kazi ushauri wako nashukuru sana kaka kamata hii buku tano itakusaidia japo hata kwa chakula cha mchana huu na usiku evans akautazaama mkono wa kulia wa lukas unao mpatia kiasi hicho cha pesa kisha taratibu akaipokea na kuiweka mfukoni mwake poa kaka ila nakuomba usinifikirie vibaya wala usiogope kaka nimekuelewa na ninaelewa hali uliyo nayo ndugu yangu nashukuru sana kwa kuweza kulitambua hilo lukas akanyanyuka kisha wakakumbatiana evans akatoka ndani ya chumba hichi akasimama eneo la nje la chumba hichi akayatazama mazingira ya nyumba hii iliyopo tandale kwa tumbo taratibu akaanza kukatiza kwenye vichochoro vya nyumba hizi huku kichwani mwake akiwa na mawazo lukuki kila anavyo jaribu kumfikiria mama yake na mdogo wake wa kike walipo mkoni kigoma anashindwa kabisa kupata ujasiri wa kurudi kwao kwani ufukara wa nyumbani kwao ndio umemfanya aweze kusoma kwa juhudi ili kujikomboa kwenye umasikini huo siwezi kurudi kigoma evans alizungumza mwenyewe huku akiendelea kukatiza kwenye vichochoro vilivyo jaa maji machafu hii ni kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha kwenye jiji la dar es salaam evans akiwa katika chochoro moja ghafla akakutana na kundi kubwa la wahuni likiwa limebananisha dada mmoja aliye shika deli lililo jaa maandazi jamani maandazi yangu hayo ninauza musiyafanye hivyo dada huyu alilalama huku akiwa amebananishwa ukutani huku wahuni wengine wakiendelea kuyatafuna maandazi hayo bila hata ya kumuonea huruma tulia wewe kama hutaki tuyale tutakupa kifi** ambacho hujawahi kukipata toka uzaliwe muhini mmoja alizungumza huku akimnyooshea panga la usoni dada huyo wewe mseng** una kodoa kodoa nini macho au unataka na wewe tuje kukupak** hapo muhuni mwengine alizungumza huku akimnyooshea evans kisu katika maisha yake yote evans amekuwa ni mtu ambaye hapendelei kushuhudia mwanamke ana nyanyasika mbele ya macho yake kushikwa shikwa kwa dada huyu kukazirudisha kumbukumbu zake miaka kumi na mbili iliyo pita kipindi akiwa na miaka kumi na mbili marehemu baba yake alikuwa akimtesa sana mama yake na kumpa kipigo kizito mithili ya mwizi mzee shika alisifika kwa ulevi na ubabe katika kijiji chao alikuwa ni mtu mwenye roho katili sana asiye jali utu wa mtu mwengine si mama yake tu aliye kuwa akishushiwa kipigo bali hata yeye mwenyewe alikuwa akibamizwa kisaswa sawa chuki na hasira juu ya mateso anayo yapata mama yake yakatengeneza tabaka baya sana moyoni mwa evans dhidi ya baba yake usiku wa siku moja kama kawaida baba yake alirudi akiwa amelewa chakari kitendo cha mke wake kuchelewa kumfungulia mlango ikawa ni kosa kubwa sana kwake alimkamata mke wake na kuanza kumpiga bila ya huruma huku mama evans tumboni mwake akiwa ni mjamzito vilio vya mama yake akiomba msaada kwa watu vikamfanya evans kuvuta shoka alilo liweka chini ya kitanda chake na kutoka chumbani kwake huku akiwana hasira sana akaelekea kilipo chumba cha mama yake kwabahati nzuri akakuta chumba cha wazazi wake kikiwa wazi akaingia ndani na kumkuta mama yake akiwa amelala sakafuni huku akiendelea kushindiliwa mangumi ya uso na mzee shika shetani wa hasira na ujasiri akamjaa evans moyoni mwake akanyanyua kishoka hicho na kumpiga nacho baba yake usogoni na kikazama karibia nusu na kusababisha damu nyingi sana kuanza kutapakaa ndani ya chumba hicho evans mwanangu umeniua mzee shika alizungumza huku akianguka chini na kupoteza uhai wake hapo hapo kofi zito alilo pigwa dada huyo muuza maandazi likamtoa evans kwenye dimbwi zima la mawazo akashuhudia jinsi wahuni hao wanavyo mchania nguo dada huyo huku wengine wakimshika shika maeneo ya siri pamoja na maziwa yake muacheniii nimesema evans alizungumza kwa ujasiri na sauti ya juu wahuni hao wapatao sita wakamtazama kwa sekunde kadhaa kisha wakaanza kuangua kicheko cha dharau na kejeli mchekini huyu matak** ametokea wapi muhini mmoja alizungumza huku akianza kumsogelea evans taratibu evans akaweka begi lake chini na kujiandaa kwa lolote ambalo linaweza kujitokeza muhuni huyu aliye shika kisu mkononi mwake akamvamia evans ila evnas hakuwa mjinga wala mzembe akamtandika ngumi nzito ya kichwa na kumfanya jamaa huyu kupepesuka na kuanguka chini wezake wakajawa na hasira na wakagairi zoezi la kumbaka mwanamke huyo wakamvamia evans kwa pamoja na kuanza kupambaba naye wingi wao ukamfanya evans ashindwe kabisa kuwakabili wakamtembezea kichapo huku mmoja wao akimkita kisu cha tumboni na kumfanya evans kuanguka chini oya mwana umeua msala msala huu mmoja wao alizungumza mara baada ya damu nyingi zilizo toka tumboni mwa evans kumrukia mwilini mwake wakanza kuchanguka huku wakibeba mabegi yake yote mawili ya evans wakiamini kwamba ndani ya mabegi hayo wana weza kupata chochote kitu mwanadada huyo akaanza kupiga kelele za kuomba msaada kwa watu kwani evans anaendelea kutokwa na damu nyingi sana mwilini mwake wasamaria wema wakajitokeza na kuanza harakati za kumpa msaada evans ambaye tayari amepoteza fahamu zake evans akafikishwa kwenye hospitali ya mwananyamala nesi mmoja aliuliza huku akiwatazama watu hawa alio mleta hapa hospitalini amevamiwa na wahuni dada muuza maandazi alijibu huku jasho na machozi yakimwagika muna pf3 ya askari hatuna dada tunaomba mutusaidie sasa hatuwezi kumtibu mgonjwa aliye vamiwa bila ya kibali kutoka polisi akitufia hapa hamuoni kwamba itakuwa ni hatari kwetu dada nipo chini ya miguu yako nakuomba mumpokee nipo tayari kwenda kuitafuta hiyo sijui pp3 polisi ila nakuomba mumtibu huyu kijana dada muuza maandazi alizungumza huku akimpigia nesi huyu magoti ushawishi wa watu wengine walio msaidia evans ukaulainisha msimamo wa nesi huyu na kujikuta akikubaliana nao na kuwaomba wahakikishe kwamba wana tafuta kibali cha matibabu kutoka polisi nashukuru nashukuru sana dada dada muuza maandazi alizungumza huku akitoka baru ndani ya hospitali hii na kuelekea kituo cha polisi akafanikiwa kufika polisi na kuelezea hali nzima ya tukio lilivyo tokea afande mwahila aliuliza huku akimtazama dada huyu mwanayamala hospital unaitwa nani dada naitwa magreth hao vijana walitumia silaha gani kuwashambulia visu na mapanga hao ni panya road wanarudi tena ehee askari mwengine alizungumza huku akimtazama magreth usoni mwake magreth hakuweza kujibu jambo lolote zaidi ya kukaa kimya akaandikiwa ruhusa hiyo na kurudi hospitali ya mwananyamala akamkabidhi nesi hati hiyo na matibabu ya evans yakazidi kuendelea sasa mgonjwa amepoteza damu ya kutosha benk yetu ya damu hapa hospitalini ime kwisha kama unaweza kumchangia japo chupa moja itakuwa ni vizuri sana kwani kwa sasa mgonjwa yupo kwenye chumba cha upasuaji nipo tayari nesi basi jaza hii fomu hapa majina yako matatu kisha nifwate magreth akasoma fomu hiyo ya kuchangia damu alipo ridhishwa na maelezo yaliyo andikwa kwenye fumo hiyo akajaza kilicho hitajika kisha akafwatana na nesi hiyo magreth akapimwa hiv na kwa bahati nzuri akakutwa yupo salama sasa unaweza kuchangia damu nesi huyo alizungumza huku akianza taratibu za kutoa kiasi cha damu mwilini mwa magerth ila mgonjwa atapona ehee tuombe mungu kwani kwa sasa yupo kwenye chumba cha upasuaji madaktari wandelea na kazi ya kumuhudumia ehee jehova shusha muujiza wako mgonjwa aweze kupona damu ya yesu kristo ikamuangazie magreth alijikuta akipiga maombi na kumfanya nesi huyu kumshangaa mgonjwa ni nani yako ni mpita njia mpita njia tu ndio una muombea hivyo mimi nilidhani ni kaka yako au ndugu yako kumbe mpita njia maneno ya nesi huyu yakauumiza moyo wa magreth ila hakuhitaji kumjibu chochote zaidi ya kuendelea kumlilia na kumuomba mungu wake kimoyo moyo madaktari wakazidi kujitahidi kwamba wana fanya upasuaji wa kukitoa kisu alicho chomwa evans tumboni mwake upasuaji huo ukafanikiwa kuisha salama ndani ya masaa mawili evans akapelekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi huku akiwa hajitambui kabisa nina weza kumuona mgonjwa wangu dokta magreth aliuliza swali huku akiwa amesimama nje ya chumba cha wagonjwa mahututi hapana kwa sasa huwezi kumuona kwani hali yake haijawa sawa ila anaweza kupona hilo ni jambo la kumuomba mungu ila kwa sisi tumeweza kuikamilisha kazi yetu hatua inayo fwata ni hatua ya mungu dokta mkama alimjibu magreth kwa sauti ya upole huku akimtazama usoni mwake nifwate ofisini kwangu dokta mkama na magreth wakaongozana hadi ofisini na wakaka kwenye viti vilivyomo ofisini humo mgonjwa wako ana itwa nani magreth akaka kimya huku akimtazama dokta mkama mbona kimya ahaasimfahamu mgonjwa humjui mbona ume muhangaikia kwa kiasi kikubwa sana ikiwa mtu umtambui bila ya huyu kaka mimi sasa hivi wala nisinge kuwa nimekaa mbele yako na kujibu maswali unayo niuliza alijitolea kupamabana na kundi la wahuni wa panya road ili kuweza kuyaokoa maisha yangu magreth alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake okay nimekuelewa je upo tayari kubeba gharama za kutibiwa kwa mgonjwa au kuna namna nyingine labda ya kuwasiliana na ndugu zake wakakusaidia magreth akakaa kimya huku akitafakari kwaufupi maisha yake naye ni magumu sana biashara ya kutembeza maandazi mtaani ndio inayo mfanya aweze kuishi katika jiji hili la dar es salaam japo na uzuri wa kipekee alio barikiwa na mungu ila haitaji kuutumia uzuri wake huo kuwa kigezo cha kujipatia kipato kwa njia ya umalaya wa kujiuza sawa nitakuandikia gharama zote hapa ambazo tumeweze kuzitumia katika kumuhudumia mgonjwa wako na tutakupigia bei ya yeye kulala icu kwa siku moja magreth akakaa kimya huku akimtazama dokta mkama jinsi anavyo endelea kucharaza kwa peni karatasi iliyopo mezani mwake dokta mkama alivyo maliza kuiandika karatasi hiyo akaipitia kwa kuisoma kama kila alicho kiandika ni sahihi kisha akamkabishi magreth taratibu magreth akatupia macho yake kwenye karatasi hiyo moyo ukampasuka kwani gharama iliyo andikwa kwenye karatasi hiyo ni kubwa na toka kuzaliwa kwake hajawahi kumiliki kiasi hicho cha pesa haya sasa mambo ndio yameanza evans hali yake ni tete kitandani msaada wake wa mwisho ni magreth ambaye naye uwezo wake ni duni je ni wapi magreth atakapo weza kupata kiasi hicho kikubwa cha pesa endelea kufatilia kisa hiki cha kusisimua usikose sehemu ya 02
2020-07-06T18:06:54
http://www.mpekuzihuru.com/2020/05/riwaya-kali-ya-kusisimuasin-sehemu-ya.html
402 317 80 likes mutyama shasmoe 9inone and 32 others 407 324 80 likes sadiki abdallah kagyabukama7 kandoro2017 and 7 others saidyahyasultan likes senator hans mzee wa ngada and dr sajjad fazel vidonda vya tumbo hutokana na tatizo la acidity ni muhimu kujuwa kwanza kama unayo acidity pekee au umeambiwa na daktari kwamba unayo vidonda vya tumbo kama unayo vidonda vya tumbo unaweza kuwa na bakteria ya hpylori madawa zake ni tofauti na mtu aliyokua na acidity pekee je uliambiwa nini na daktari likes sadiki abdallah jephta2003 senator hans and 6 others 13746 4158 280 nini kinasababisha mtoto kulia usiku hasa alie na chini ya miezi mi2 likes machuchu likes machuchu kibongo one shushushu_mchokozi and 23 others mkuu hivi ni kweli kisukari ni ugonjwa ambao unarithi/unakuwepo kwenye ukoo fulani likes sadiki abdallah kipapi and dr sajjad fazel 2481 2385 280 dawa ya fangasi wa sehemu za siri walioingia mdomoni au kwenye ulimi na kuleta hali kama mtu aliyeungua uji au chai kwenye ulimi lakini hakuna maumivu hata kidogo likes samcezar ladypeace dank and 2 others 2502 1323 280 naomba unisaidie kwa mtoto asiyependa kula umri 1 na miez 3 nichukue hatua gani na ipi lishe nzuri ya kumkuza dawa ya fangasi kwenye mdomo ni miconazole oral gel inabidi upakae mdomoni kutwa mara mbili likes tabash yamashta stevemollel mkoroshokigoli and 3 others papatunde jr said kuna aina mbili ya kisukari aina ya kwanza ya kisukari (type 1 diabetes) unaweza kurithi kama mtu anaugonjwa huu kwenye familia yake basi anaweza kuipata kwa kurithi na ni lazima atunze maisha yake (ulaji bora na mazoezi) aina ya pili ya kisukari (type 2 diabetes) siyo wakurithi hilo linatokana na jinsi mtu anavyoishi maisha yake pekee likes sadiki abdallah kambi7 senator hans and 10 others nilitaka kufahamu dawa zingine za kumaliza tatizo la typhoid likes issa mweusi and dr sajjad fazel 338 108 60 ninatatizo la meno je ntapata dawa ya kutibu meno likes vegetarian and dr sajjad fazel sam dimpoz naomba kuuliz inawezekan mtu akatumia vidonge vya kutoa mimba na baada ya mda akablidi ila baada cku kadhaa mimba ikawa bado haijatoka msaada please likes nyemanze and dr sajjad fazel sam dimpoz said niyo inawezekana sema haitokei sana mara nyingi huwa mimba inatoka lakini pia inakwenda na stage ya mimba iliyofika case kama hiyo inatokana mara chache sana ni muhimu kama mtu anatatizo hilo akwende kwa daktari wafanye ultrasound kuhakikisha mambo yako sawa likes dtj senator hans rgforever and 1 other person tatizo aina gani meno inauma au kuna tatizo na dalili zingine pia mara nyingi dawa inaoitwa quadrajel inasaidia kwasababu inatibu tatizo la vimelea kuchubuka na kuondoa maumivu hii dawa ni yaku pakaa kutwa mara mbili lakini ni vizuri ukamuone daktari wa meno ili tatizo ijulikane likes innovator97 and nyemanze mwalimu ntuntu 195 152 60 dawa ya kutoa kitambi both for men and women likes ngomeni22 dr sajjad fazel and nokchuno 691 375 80 ndugu yangu ana tatizo la watoto kufia tumboni kabla ya kuzaliwamimba ikifika miezi tisa unakuta mtoto ameshafariki je tatizo hilo afanyeje je anaweza kuzalishwa mapema kabla ya mimba haijafika miezi tisa imeshatokea mara mbili pia akiwa mjamzito anakosa hamu ya kulahuwa anakula kidogo sana kwa muda wote wa ujauzito likes bizzle for shizzle and dr sajjad fazel habari mkuu tumbo linakata sana hasa nikishamaliza kula na kunywa kimiminika chochote maumivu yanakua makali sàna kushoto na kulia karibu na kiuna pia naomba unijuze dawa ya tumbo kujaa gesi likes asseyfredy senator hans and dr sajjad fazel 10576 7786 280 hivi dr sometimes najisikia kama nawashwa tumboni kwa ndaniitakuwa ni nini likes dukebryshere senator hans nyemanze and 1 other person
2018-09-20T02:11:08
https://www.jamiiforums.com/threads/mtaalamu-wa-dawa-na-tiba-ninakaribisha-maswali-kuhusu-magonjwa-tiba-na-dawa.1073655/
serikali yakaripia wawekezaji waliouwa viwanda mwanahalisi online stella manyanya naibu waziri wa viwanda biashara na mazingira posted by mwandishi wetu march 16 2019 0 1485 views serikali imesema iko mbioni kutaifisha viwanda vyote ilivyovibinafsisha kwa watu binafsi lakini wameshindwa kuviendeleza anaripoti mwandishi wetu (endelea) injinia stella manyanya naibu waziri wa viwanda na biashara ameiambia kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda biashara na mazingira kuwa serikali haitavumilia muwekazji aliyeshindwa kuendesha kiwanda alichouziwa naibu waziri alitoa kauli jana jijini arusha wakati kamati hiyo ilipotembelea kiwanda cha bia cha tanzania breweries limited (tbl) alisema serikali ilipoamua kubinafsisha viwanda vyake ilifanya hivyo ili kuleta ufanisi haikubinafsisha viwanda ili kugeuzwa maghara ya kuhifadhia mizigo na au kufugia mbuzi ama kuviuwa naibu waziri manyanya amesema watu wote waliokabidhiwa viwanda kwa njia ya ubinafishaji lakini wakashindwa kuviendeleza watanyanganywa viwanda hivyo na kukabidhiwa watu wengine au vitarejeshwa serikalini kamati ya bunge ya viwanda biashara na mazingira ipo jijini arusha kwa ajili ya kukagua miradi ya maendeleo na kutembelea idara na taasisi za serikali zilizoko chini ya wizara hizo mwenyekiti wa kamati hiyo ni murad sadiq mbunge wa mvomero mkoani morogoro kauli ya waziri ilitokana na maombi ya uongozi wa kiwanda cha tbl kukadhiwa eneo ambalo lilikuwa linatumiwa kwa ajili ya kiwanda cha nguo cha kiltex kwa mujibu wa taarifa zilizopo kiwanda hicho kiliuzwa kwa mfanyabiashara mmoja mashuhuri jijini dar es salaam katika hotuba yake hiyo injinia manyanya alisema serikali inapaswa kuhakikisha viwanda vilivyopo vinaimarishwa na vingine vinajengwa ili kutoa ajira kwa wananchi baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walisisitiza kuwa ni sharti serikali ihakikishe kuwa eneo hilo linakabidhiwa kwa kiwanda serikali imesema iko mbioni kutaifisha viwanda vyote ilivyovibinafsisha kwa watu binafsi lakini wameshindwa kuviendeleza anaripoti mwandishi wetu (endelea) injinia stella manyanya naibu waziri wa viwanda na biashara ameiambia kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda biashara na mazingira kuwa serikali haitavumilia muwekazji aliyeshindwa kuendesha kiwanda alichouziwa naibu waziri alitoa kauli jana jijini arusha wakati kamati hiyo ilipotembelea kiwanda cha bia cha tanzania breweries limited (tbl) alisema serikali ilipoamua kubinafsisha viwanda vyake ilifanya hivyo ili kuleta ufanisi haikubinafsisha viwanda ili kugeuzwa maghara ya kuhifadhia mizigo na au kufugia mbuzi ama kuviuwa naibu waziri manyanya amesema watu wote waliokabidhiwa viwanda kwa&hellip previous muuaji msikitini new zealand alijaza silaha kwenye gari lake next prof lipumba amaliza kazi amngoa maalim seif
2019-07-22T14:04:24
http://mwanahalisionline.com/serikali-yakaripia-wawekezaji-waliouwa-viwanda/
uchebe fake amkera shilole | zotekali blog uchebe fake amkera shilole 0 0 thursday 7 september 2017 msanii wa muziki wa bongo fleva shilole amemua kumtolea uvivu mtu anayetumia jina la mpenzi wake wanaozusha stori za kuachana hatua hiyo msanii wa muziki wa bongo fleva shilole amemua kumtolea uvivu mtu anayetumia jina la mpenzi wake wanaozusha stori za kuachana hatua hiyo imekujaa baada ya mtu mmoja katika mtandao wa instagram kutengeneza akaunti yenye jina la mpenzi wa mrembo huyokigori kwa kuandika vitu vinavyashiria wapo katika mgogoro wa kimapenzi plzzz plzzzzz mchumba wangu hana acount yeyote instagram naombeni mnaotumia jina la mchumba wangu sipendi maana mnaandika vitu ambavyo havipo kaka wa watu hata mambo ya mitandao na wala hajui mambo ya insta plzzzz ww unaetumia jina la uchebe vibaya mungu anakuona @official_uchebe acha uongo tafuta folowas kwa njia nyingine ok na acount ya mchumba wangu ni hii @uchebe1 hizo zingine hatuzijui mkomeee ameandika shilole katika mtandao wa instagram kumekuwa na tabia ya watu kutengeneza akaunti fake za mstaa katika mitandao ya kijamii jambo linaloweza kuhatarisha usalama wa watu hao na kusababisha kuto aminika pindi wakitoa taarifa jambo ambalo limelalamikiwa na mastaa wengi entertainment shilole uchebe zotekali blog uchebe fake amkera shilole http//zotekaliblogcom/wpcontent/uploads/2017/09/20986773_164852140747270_4061219262897848320_njpg http//wwwzotekalicom/2017/09/uchebefakeamkerashilolehtml
2017-12-12T00:34:59
http://www.zotekali.com/2017/09/uchebe-fake-amkera-shilole.html
kuhusu alama za ufaulu kidato cha sita jamiiforums tetesi kuhusu alama za ufaulu kidato cha sita iyo yote hawataki kuwapa wanafunzi wengi mikopo 18179 2000 zangu hazitakusaidia kufaulu jambo la msingi sana achana na mbunye /papunchi soma hizo alama ni za kawaida sana kwa mtu aliyemakini na mambo ya shule ila ukiwa kiguu na papunchi /mkunyange hizo alama utazisikilizia kwa wenzio agreed hazitanisaidia lakini weka au weka namba yako ya mtihani tuangalie bila jina aitoweza kuwa ivyo niwatu tu wameongea saw v111 said hazina shida mbona nilichojifunza vijana wa siku hizi wanataka mteremko waambie wasome waache kucheza perfect wasome wasicheze lakini weka zako tuone kama ulifika huko na hivyo ulikuwa huchezi madogo wakaze kuitafuta b nikazi sana kwa wazee pcm kipindi nasoma majina ni mubashara hakuna vya namba jambo la msingi sana utaona wenzako wana 1 3 ndiyo utaelewa kuwa hizo alama ni za kawaida sana sasa wewe endelea kupiga domo kwenye mitandao matokeo yatakuonesha walioweza kupata 139 kali ndiyo utakumbuka kwa machozi huu muda we ulipata ngapi kwanini hamsemagi ukwel mnakera sana kuanzia mwaka jana ilikua hivyo hivyo stupid people ka ww they exists only in tz kwahyo unahisi sababu ya kufeli ni mapenzi kuna watu wanasoma ktk facilities mbovu i repeat stupid ha ha ha mkuu nimecheka mpaka nimekatika maini grade za kawaida sana hizo tatizo wanafunzi hapo tanzania kutwa nzima wanashinda kwenye mkunyange na papunchi kisha wanategemea wafaulu pole sana mkuu kwa kukatika maini ila hizo grade ni za kawaida sana nimesoma nje hizo ndiyo grade hata hapo africa misri wanatumia hicho kipimo na bado watoto wanafaulu sasa hapo tanzania kwa nini washindwe wakati masomo ni yaleyele level ni iyo hiyo tusiendekeze watoto kuwa vilaza huku tukishangilia ngoja hiyo ndiyo itawakomesha kabisa kurukaruka mitaani itapungua na hiyo itasaidia kupunguza vilaza kwenye elimu ya juu nimesikia eti alama za ufaulu ni kama zifuatazo by ndalichako bungeni c 7074 d 6169 e 5160 s 3550 f 034 tusubiri kama ni kweli kuna kutu kimejificha kitajulikana with time nasikia eti na muda wa kufanya mtihani umebadilika kwa waingereza mkuu nitakuuliza source ya hii taarifa sijaioa necta na pia kutakuwa na kitu cha ajabu kama mwaka wa jana 2016 walibadilisha na mwaka huu wafanye hivyo tena halafu baada ya kupandisha viwango vya kuingia chuo kikuu last year hii itakuwa disaster (hata kama kuna wanao fikiria kuwa ni kitu cha kawaida) pia tutakuwa watu wa ajabu kubadilisha sheria wakati mchezo una endelea hata kama walifanya hivyo last year wao wabadilishe madaraja ya ufaulu yawe ambayo wanafunzi wengii wameyapata ili watanzania wapate elimu ya chuo vikuu tuwe na wasomi wengi nchi yetu iendeleevyuo vikuu ni ving sana kwa madaraja hayo vitakosa wanafunzihata hivyo kuwa na elimu siyo kwamba ndio kigezo cha kufanikia kimaisha mbona kuna watu wengi hawana elimu ya madarasa ya juu sana km high schools au vyuo vikuu lkn wana mafanikio makubwa kimaisha na kwa miundombinu ya shule zetu za kiserikali hayo madaraja ya ufaulu ni magumu wanafunzi kuyapata kwa hiyo ni vizuri warekebishe hili suala ili vijana wakapate elimu ya chuo kikuu kwa manufaa ya taifa letunchi hii ni tajiri sana serikali ifanye kweli ktk hzo alama za ufaulu ma xform 6 wafaulu wawape mikopo wakapate elimu ya chuo kikuu yote ni ubatili mtupu mnalilia kua wanyonywaji reactions giriadabirusha jomakibu weka namba ya mthihan wa kidacho cha 6 nitizame matokeo yako cos ninawasiwasi na ufaulu wako jomakibu said kama aliishia form 4 tena kwa alama ya bashite je threads 1314203 members 504836 posts 31819118
2019-07-17T13:33:55
https://www.jamiiforums.com/threads/kuhusu-alama-za-ufaulu-kidato-cha-sita.1279721/page-2
serafim kusoma kwa maandishi ya kiroho online masomo ya akili > psychics live > serafim megan januari 25 2019 psychics live1 maoni juu ya serafim kuhusu serafim psychic serafim ina uzoefu wa miaka 2530 kwa kutumia uwezo wa akili ili kuwasaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi psychic serafim hivi karibuni imesaidia wanachama wa 1 na masomo ya akili na mafunuo ya angavu oranum ushuhuda chini hufunua kile ambacho wengine wamesema juu ya usahihi na uelewa wa serafim kama psychic online soul na mwili healermuse psychocatalyst kukuza uwezo wako kukusaidia kujua ni nani wakati mwingine inaweza kuwa chungu lakini kama daktari wa upasuaji anapaswa kuchukua mambo fulani kutoka kwako ili kukuponya serafim atafanya hivyo kwa ujuzi na uzoefu wa zaidi ya miongo kadhaa ya utafiti na mazoezi ya 3 ikiwa ni pamoja na masomo na mazoezi ya hypnotherapy na pia serafim akawa mfanyakazi wa kugusa wagonjwa baada ya kujifunza ngazi za 3 za healing touch huko hawaii na kufanya mazoezi katika hospitali ya malkia ya hawaii upungufu wa wakati halisi wa matatizo halisi ya afya ulifanyika mara kadhaa lakini kwa watu wengi inachukua muda na kuhusika binafsi katika mchakato wa uponyaji kwanza ya mwili wako wote wa kiroho lazima upokee basi miili yako ya akili na ya mwili itafuatilia tutafanya hivyo wakati huo huo usisahau kwamba ziara ya daktari wako wa kawaida ni lazima kuthibitisha kwamba uponyaji hutokea au ilitokea kama muse serafim itakusaidia kukumba hifadhi zako za siri na kupata msingi wa tamaa zako kwa sababu tu tamaa yako halisi huwashawishi tamaa na matendo yako kama serafim ya psychocatalyst kama kichocheo cha kawaida cha kemikali kitashiriki katika mmenyuko wa psyconishati kuharakisha muda wa 100 afya na furaha hazigawanyika imeandikwa na brendap14
2019-12-06T13:35:23
https://sw.psychicbonus.com/serafim/
mavugo tambwe kwangu ni cha mtoto tu welcome to hamisiofficial you are here home / sports / mavugo tambwe kwangu ni cha mtoto tu mavugo tambwe kwangu ni cha mtoto tu nyota huyo mpya aliyesaini mkataba wa miaka miwili ametamba kuwa yeye ni tishio kuliko amissi tambwe ambaye ni maarufu kwa kucheka na nyavu mshambuliaji mpya wa simba laudit mavugo amesema amejipanga kuifanyia mambo makubwa klabu hiyo kumzidi mrundi mwenzake amissi tambwe anayeichezea yanga mavugo ameiambia goal amepata taarifa kuwa tambwe ndiye mshambuliaji anayeogopewa kwenye ligi ya tanzania kwa ufungaji na kusema ametua kwa ajili ya kumpoteza mshambuliaji huyo aliyewahi kuwa mfungaji bora wa ligi ya vodacom mara mbili akiwa na timu za simba na yanga namfahamu tambwe ni mchezaji mwenzangu wa timu ya taifa ya burundi intamba murugamba lakini uwezo wake wa ufungaji bado hajanifikia naahidi kumpoteza katika kipindi cha misimu miwili ambayo nimesaini hapa amesema mavugo mshambuliaji huyo aliyefunga bao moja kwenye mchezo wake wa kwanza kuichezea simba amekuwa tumaini kubwa la mashabiki wa simba kufuatia kuonyesha kiwango bora katika mchezo wake wa kwanza wa utambulisho hamisi shehe pada 0521 komentar
2017-08-19T20:40:01
https://hamisishehe.blogspot.com/2016/08/mavugo-tambwe-kwangu-ni-cha-mtoto-tu.html
hoja na vioja vya vcudsm | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by vutankuvute oct 12 2012 jana ulifanyika mkutano baina ya makamu mkuu wa chuoudsm almaarufu kama vcprofrwekaza sympho mukandara na wafanyakazi wote wa chuo hicho washirikiambao ni wafanyakaziwalitoa hoja mbalimbali ambazo zilikumbana na majibu ya vioja vya makamu mkuu huyo wa chuo 1hoja nyumba ya makamu mkuu wa chuo ambayo haikaliwi na mtu yeyote lakini inalindwa na kukarabatiwa kwa gharama kubwa iwekwe mikononi mwa mhadhiri au mfanyakazi mwingine ili aweze kuitumiahii ni kwasababu prof mukandara anaishi kwenye hekalu lake kule makongo juu jibukihoja la vc nyumba ile kwasasa inatumika kama ukumbi wa 'functions' mbalimbali 2 hoja nafasi za kiutawala kuanzia na makamu mkuu wa chuo na manaibu wake sasa zishikwe na watu wenye weledi wa uongozi na uzoefu uliotukuka badala ya maprofesa ambao wameshindwa kuonesha ufanisi wao jibukihoja la vc acha kazi hapa udsm ukaipate kwenye chuo na namna uitakayo 3 hoja responsibility allowance(imenishinda kuitafsiri kwa kiswahili) ziwe zinatolewa kwa wafanyakazi wa kada ya chini badala ya wa juu kwakuwa wachini ndio wanaolundikiwa kazi na wakuu wao jibukihoja la vc hiyo haiwezekani 4 hoja kwanini mishahara ilipandishwa kiholela na chuo ikiwa hazina hawana taarifa na sasa inashushwa jibukihoja la vc kaiulizeni serikalisisi tulifanya hivyo kwa nia njema kabisa wanajf pimeni na mjionee wenyewe hiyo hoja ya kwanza kwani bodi (senate) ya chuo inalionaje hilo ni kwa vipi uamuzi wa kubadili matumizi ya nyumba ya vc kuwa ukumbi ulifikiwa hayo ndo majibu mnayoyastahili na unafiki wenu huwa nashangaa sana ninapoona maprofessor wazima wanalalamika ooh sijui mishahara inachelewa mara oooh ppf mara ooh mishahara hailipwi kwa haki yaani na nyie mnakuwa watu wakulalamika sisi walimu wa secondary au primary huku tufanyeje kumbe maana tulijua nyie wasomi ndiye mnayejua haki zenu za msingi na namna ya kuzitetea nasikia sehemu nyingine ofisi yenye meza tatu na viti sita inatumiwa na wafanyakazi 20 really wafanyakazi wa university hao na wanafundisha na kufanya research sitarajii kitu chochote kizuri kutoka kwenye institution ya aina hii hata sisi walimu wa secondary huku tuna unafuu angalau kila mwalimu ana meza yake nawashangaeni sana nyie wasomi wa siku hizi tangu afe chachage basi hakuna kipya kinachoendelea udsm yaani sasa hivi shida ninazokutana nazo mimi huku uswekeni ni sawa tu na za kwenu muache kuja kulalamika hapa chukueni hatua nyie ndo chachu ya mabadiliko ya nchi hii kama nyie hamuwezi kusimamia haki zenu za msingi mnategemea sie ambaye hatukwenda shule tutafanyaje mmekubali kudharauliwahayo ndo majibu mnayostahilikutwa maneno vitendo hakunahongera sana vc ningependa kujua kama huyu vc wenu aliyeamua kukaa nyumbani kwake badala ya nyumba ya chuo kama analipwa allowance yeyote inayohusiana na kukaa kwake nyumbani kwake kwavile chuo kimempatia nyumba ya kuishi na yeye kaamua kuishi kwenye nyumba yake hastahili kulipwa hata senti moja na kama analipwa huo ni wizi anakiibia chuo alimuuwa prof chachage ili atawale nadhani damu yake ionamtafuna kuuwa ili utawale si mchezo hivi walimvumilia tu na majibu haya mbofu mbofuhakyananiyaani hawakumpopoa mawe au hawakumwachia hicho kikao jeuri ya madaraka ni mbaya sana kiongozi anapaswa kuwa mtumishi majibu hayo yanafanana na ya jk jamani chuo changuumefikia hatua hii prof mkandara ni jeuri sana yule mzee bora prof luhanga arudishwe vc ana busara sana prof mathewmkandara jumba lake la makongo ni zaidi ya ikulu sijui hela alitoa wapi kulijenga kama kweli huyo mkandara sijui katoa majibu mepesi na ya kejeli namna hiyo naona hawana tofauti na prof mlacha dvcpfa wa pale udomna hawa nadhani kiburi chao kinajengwa na ****** mwenyewe wateule wa ****** wengi ni dhaifu katika uongozi kama yeye mwenyewe yani inakera sana huyu ni rafiki yake wa karibu na ndio maana anajibu kwa jeuri kwasababu anajua mkweree hawezi kumfanya kitu ndio uswahiba wenyewe huo unaoua nchi hii mlachamkandara na kikwete wote ni wale walewanawekwa kwenye vyuo kukandamiza hakikuna watu weng wana taaluma ya uongozi lakini wanawaacha na kumpa mlacha mtaalamu wa kiswahili nasikia sehemu nyingine ofisi yenye meza tatu na viti sita inatumiwa na wafanyakazi 20 really wafanyakazi wa university hao na wanafundisha na kufanya research sitarajii kitu chochote kizuri kutoka kwenye institution ya aina hii hata sisi walimu wa secondary huku tuna unafuu angalau kila mwalimu ana meza yake nawashangaeni sana nyie wasomi wa siku hizi tangu afe chachage basi hakuna kipya kinachoendelea udsm yaani sasa hivi shida ninazokutana nazo mimi huku uswekeni ni sawa tu na za kwenu muache kuja kulalamika hapa chukueni hatua nyie ndo chachu ya mabadiliko ya nchi hii kama nyie hamuwezi kusimamia haki zenu za msingi mnategemea sie ambaye hatukwenda shule tutafanyaje[/quote] sasa wewe kama hujeenda shule huko sekondari umefikaje mmhhizi sasa porojombona wadau wakubwa wa maswala ya elimu ya juu nchini wanadai mzee wa watu chachage alijifia kwa maradhi haya ya siku hizipamoja na kupenda kwake kuvuta sana sigara surprised no sad yes sishangazwi na majibu yake he's a confirmed arrogant dumb ni kielelezo cha hasara ya kuteua watu kwa kujuana au kwa ukada huyu prof hafai hata kusimamia kitengo kidogo hapa udsm ndio maana pia roho mbaya na majungu vimetia mizizi miongoni mwa wafanyakazi very sad githeri jfexpert member nakubaliana na hoja zako 100 percent aibu sana kwa wasomi kutosimamia na kuhoji haki zaoumewapa ukweli duh mkuu kama uwezo wangu umeishia kwenye kufundisha secondary tu nitajilinganisha na hao maprofessor mbele yao mimi ni kama sikwenda shule kabisa prof mukandala hakika anajeuri ya ajabuinatokana na kubebwa sijui hata maprof wenzie wanamchekea kwanini sasa hivi chuo amafanya kama banda la kuku wake anaamua anachotaka kwani hujui huyo vc ni kabila gani
2018-01-18T06:39:22
https://www.jamiiforums.com/threads/hoja-na-vioja-vya-vc-udsm.336871/
chadema kama toyota | jamiiforums | the home of great thinkers chadema kama toyota discussion in 'jukwaa la siasa' started by kijakazi sep 28 2012 miaka michache iliyopita kampuni kubwa ya kutengeneza magari duniani toyota ilipata matatizo kwa kutengeneza magari ambayo yalikuwa na matatizo ya clutch na kusababisha wateja wao kupata ajali na wengine kupoteza maisha katika kujitetea raisi wa kampuni hiyo kubwa na maarufu duniani bw aichio toyoda alisema nafikiri ilikuwa mbele ya senate ya marekani yafuatayo toyota grew too quickly quite frankly i fear the pace at which we have grown may have been too quick na akaendelea zaidi kwa kusema toyota's priority has traditionally been the following first safety second quality and third volume these priorities became confused je kuna mahusiano yoyote au fundisho lolote lile chadema inaweza kuona hapo kati yao na toyota ninanchomaanisha ni kwamba je chadema wanakwenda kasi sana ambapo kasi yao kama vile kampuni ya toyota inaweza kuwafanya wachanganye mambo hasa kwenye mpangilio wa priorities ambapo toyota walizichanganya na wakati mwingine badala ya kuanza na safety wao wakaanza na volume au badala ya quality wao wakaenda na volume na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa toyota pamoja na kuwa kwamba mwanzoni walifanikiwa sana ulichosahau kusema ni kwamba toyota walichukua hatua hima kurekebisha kasoro na sasa hivi wamerudi tena kwenye top 3 auto maker duniani mh yetu macho chadema ni chama makini kama ulitegemea watachanganya mambo nafikiri utasubiri sana kamwe hatuwezi kufuga wanafiki ili kupata umayer hongera kamati kuu hongera cdm tatizo ni clutch tu wakibadili hiyo moto palepale kk jipange sana two incompatible and incomparable entities two incompatible and incomparable entitiesclick to expand kwa nini unaweza kuelezea sijaelewa hizo clutch za chadema zimachanganywa wapi au mwanza mkuu nonesenseclick to expand a typical stupid chadema member who would not know how to face challenges of the future ata wakiwa kama toyota ni afadhali kuliko awa boko aharumu ccm nimeshindwa kulink idea yako ya clutch na chadema au chadema tusema ni automatic mfano wako utakuwa na maana itabidi mjipange sanaraia tumeshasanuka hata mje vipi mtaramba galasa mi sijakuelewa kabisa huo mlinganisho wako nafikiri hapa umechanganya mamboje yawezekana unaongelea nccrmageuzi au labda cuf kumbuka chadema haikukimbilia kutaka kukamata dola kwa vipindi viwili 1995 na 2000 ni miaka zaidi ya kumi toka kuanzishwa kwake chadema ilipoamua kumsimamisha mgombea wa uraisi toka wakati huo nyota ya chadema imezidi kupanda (angalia 2005 na 2010) wakati vyama vingine vikiendelea kuporomoka ngoja tuache porojo tutumie takwimu vyamavyasiasajpg hakika chama lazima kiwe na kitengo makini intelligence ili kuepuka mamluki kama akina shibuda from what i know is everywhere you go you have got a big chance of finding the next car to be toyotasame can be seen with cdm the next balozi would be cdmthe next bendera ni cdm the next ruling party would be cdm hakika chama lazima kiwe na kitengo makini intelligence ili kuepuka mamluki kama akina shibudaclick to expand hii ndio tz badala wakafananye inteligensia nje na kuweka mamluki kwa majiraniz etu kama zamani ili tushinde kazi kuchungulia ndugu zaokuchungulia waingioa ktk choo na babafu ya familia ndio huku kujikuta wakichungulia wazazi na dada zao shibuda nalo litakaa katk jamii likijisifu kuwa limeweza fnaya kitu ch akungamiza cdmhistoria italialaani hadi kaburi lake lipigwe radina si yeye mwenyewe kuna wengi wanafahamika chadema kama toyota ccm kama bajaji
2017-04-29T23:29:16
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-kama-toyota.330505/
wanje atafuta soko la kadi za chadema nje ya nchi | jamiiforums | the home of great thinkers wanje atafuta soko la kadi za chadema nje ya nchi discussion in 'jukwaa la siasa' started by tata mura oct 17 2012 tata mura katika hali ya kutaka kushindana na safari za kikwete nje ya nchi sasa chadema wao wamebuni njia mbadala za kutuma muwakirishi wao nje ya nchi kwa kupiga kambi huko na kutumia pesa nyingi za ruzuku kwa kufanya biashara mugando ya kuuza kadi ya chama moja kwa tshs 200000=/ huku matumizi ya mjumbe huyo kwa siku ni zaidi ya million moja na nusu ya kitanzania wanje tangu nimsikie nje ya nchi akiuza kadi za chama ni siku nyingi je matumizi yake ni sawa na alichokiendea huko ama ndo kujikomba kwa watawala wetu wa zamaini ukoloni noma wenje anapima upepo kama chama chake kikishinda kwa bahati mbaya nae akateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ataweza kutumia fedha iposavyo wa london hata kikwete akienda wanajaa sana ni uzalendo wa nyumbani na ushirikiano kwa ngeni yeyote bila kujali itikadi zao hata akija mjumbe wa tlp atapokelewa vizuri kwa ushabiki uliotukuka hapa tunacho kiangalia ni kuogopa aibu ya kukashifiwa na wenzetu kuwa ndugu yenu aliwatembelea wala hamkumsapoti hivyo nawaomba chadema msivimbe vichwa sana kwa hili la mjumbe wenu kupokelewa vizuri na michango tuliyompa tushirikiane kujenga nchi yetu siyo kuibomoa tata mura said tushirikiane kujenga nchi yetu siyo kuibomoaclick to expand ikibomolewa na ccm sawa ila cdm ambao hata hawana wazo hilo makelele wenje anapima upepo kama chama chake kikishinda kwa bahati mbaya nae akateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ataweza kutumia fedha iposavyo view attachment 68433 wa london hata kikwete akienda wanajaa sana ni uzalendo wa nyumbani na ushirikiano kwa ngeni yeyote bila kujali itikadi zao hata akija mjumbe wa tlp atapokelewa vizuri kwa ushabiki uliotukuka hapa tunacho kiangalia ni kuogopa aibu ya kukashifiwa na wenzetu kuwa ndugu yenu aliwatembelea wala hamkumsapoti hivyo nawaomba chadema msivimbe vichwa sana kwa hili la mjumbe wenu kupokelewa vizuri na michango tuliyompa chadema hawawezi kuvimba vichwa maana hawalindwi na ccm hawajaolewa na wala hawaishi kwenye manukato ya ikulu vimbeni nyie kichwa cuf mlioolewa bila hata mzazi wenu (ie watanzania wote) kujua halafu chadema hawali posho kama unavyosema maana wakienda sehemu kazi inaonekana vyama vyote kama ni kuolewa kama unavyosema ndivyo basi hata chadema kimeolewa na ccm bila wewe kujua kigoma kulikuwepo uongozi wa kubadilishana miaka mitano mitano kati ya chadema na ccm au kuolewa unakosema ni kwa namna ipi kama kupewa pesa ya kimaendeleo vyama vyote hupewa na ccm iliyopo madarakani juzi juzi nilisikia chadema wanalalamika kuwa wamecheleweshewa pesa yao na mume wao na walipopewa sikusikia tena wakisema tumepewa kumbe pesa haihusiani na kuolewa tutoe kauli za kujenga siyo juzi tu moshi mliunganga na ccm kukiondoa chama cha tlp kwenye nafasi ya kaimu meya ama hili hamjaolewa tapeli hula kilaini kulingana na maneno yake
2017-01-21T13:20:09
https://www.jamiiforums.com/threads/wanje-atafuta-soko-la-kadi-za-chadema-nje-ya-nchi.339761/
mkutano wa 20 wa siku ya bima yaiunga mkono uchumi viwanda global publishers mkutano wa 20 wa siku ya bima yaiunga mkono uchumi viwanda september 18 2017 by global publishers rais wa taasisi ya bima tanzania bosco bugali akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa 20 wa siku ya bima nchini uliofanyika mwisho wa wiki jijini tanga mkutano huo uliandaliwa na taasisi ya bima tanzania ambapo mada kuu ya mwaka huu ilikuwa ni bima nguzo ya viwanda kamishna wa bima abdallah saqware akizungumza katika mkutano wa 20 wa siku ya bima nchini uliofanyika mwisho wa wiki jijini tanga picha ya pamoja ya wadau wa sekta ya bima nchini wakiwa na mkuu wa mkoa wa tanga martine shigela (aliyekaa wa tatu kulia) katika mkutano wa 20 wa siku ya bima nchini uliofanyika mwisho wa wiki jijini tanga mkutano huo uliandaliwa na taasisi ya bima tanzania tanga taasisi ya bima tanzania imesherehekea mkutano wa 20 wa siku ya bima nchini kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serikali katika ufufuaji wa viwanda vya zamani nchini mkutano huo ulioandaliwa na taasisi ya bima tanzania pia ulikutanisha wadau mbalimbali kutoka sekta ya bima wa ndani na nje ya nchi wizara mbalimbali na taasisi za umma na sekta binafsi mwishoni wa wiki jijini tanga raisi wa taasisi hiyo bosco bugali alisema taasisi hiyo inatambua umuhimu wa ujenzi wa viwanda vipya pamoja na ufufuaji wa viwanda vya zamani kwani viwanda huleta mabadiliko kiuchumi na maendeleo kwa binadamu aliongeza kuwa huduma za bima zinajumuisha jitahada ambazo serikali inafanya katika kukuza uchumi kwenda hatua nyingine nayo serikali imeipongeza taasisi ya bima tanzania kwa kuandaa mkutano huo na kutoa wito kwa makampuni ya bima yaliyopo nchini kutanua wigo wa huduma zake kwa kutoa huduma kwa mashirika yanayokuja kufanya uwekezaji wa viwanda ili kumudu ushindani wa soko hilo kimataifa na kuwanufaisha wananchi walio wengi wakiwamo wakulima wafugaji wavuvi na wajasiliamali wadogo waziri wa fedha na mipango dr philip mpango alitoa wito huo kupitia hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na mkuu wa mkoa wa tanga martine shigela iwapo makampuni ya hapa nchini yataweza kutoa huduma ya bima katika uwekezaji mkubwa unaotarajiwa kufanyika nchini ni wazi kuwa licha ya kukuza biashara kuongeza ajira lakini faida kubwa itabaki tanzania na hayo ndiyo matarajio ya rais wetu john magufuli alisema kamishna wa bima nchini dr baghayo saqware alisema ni mara ya kwanz kwa mkutano huo kufanyika nje ya dar es salaam tangu mwaka 1987 na kwamba itakuwa ikifanyika mikoani lengo likiwa ni kufuata karibu fursa za kiuchumi ziliko alisema wadau wa sekta ya bima walioshiriki mkutano huo pia waliweza kutembelea kiwanda cha saruji cha rhino mapango ya amboni na hospitali ya bombo ambako walitoa msaada kwa wagonjwa tira iit wazindua mfumo wa kimtandao wa huduma za
2019-01-21T04:15:09
https://globalpublishers.co.tz/172433-2
aliyewahi kuwa mbunge wa arumeru mashariki joshua nassari kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) amejiunga chama cha mapinduzi (ccm) akizungumza katika mkutano wa kupokelewa na viongozi wa ccm mkoa wa arusha nassari amesema kuwa amejiunga chama hicho ili kujiweka katika upande mmoja na wale wanaoitakia nchi hii maendeleo wengine wanasema nassari anautaka ubunge niwaambie sijatangaza nia mahali popote na sijaja ccm kutangaza nia nimetafakari pia jamii wazee wa meru na marafiki waliofanya nikawa mbunge mdogo kuliko wote nchi hii wameniambia naona ccm huku kunafaa haikuwa kazi rahisi kufanya haya maamuzi ya kuja ccm yale yote mnayotaka kuyasikia na kuyaona kutoka kwangu mtayasikia na kuyaona hata kama sio leo sababu kubwa iliyonileta ccm ni kuwa naipenda nchi yangu nassari amesema ameamua kuiweka nchi yake mbele haijalishi watu wapo watakaomtukana au watakaosema hili na lile kuhamia kwake kwenye chama hicho lakini haitamrudisha nyuma zaidi ya kuwashukuru watu wa meru kwa kumuamini kwa mihula miwili mfululizo nikiwa mbunge mdogo kuliko wote hapa nchini watanzania wanaokwazwa kwa kuona nimeingia ccm ambao walitamani kuendelea kuniona upinzani naomba mnisamehe siwezi kuendelea kuwa mnafiki roho yangu imekataa sijatangaza nia na huenda nisichukue fomu mkisema tunataka tukupe sehemu hayo tutaongea baadayealisema nassari aidha nassari amesema amekuwa akifanya siasa za kiungwana siku zote na tayari ameshaandika barua kwa uongozi wa chadema kiukweli naishukuru chadema ilinichukua nikiwa mdogo wakanisikiliza wakaona kuna potential ndani yangu nawashukuru kwa kunilea nitakuwa mjinga kama sitoikumbuka historiajoshua nassari nassari ameongeza kuwa serikali ya rais john magufuli imefanya mambo mengi ambayo amekuwa akiyapigania kama vile kuboresha elimu huduma za afya na ujenzi wa miundombinu pamoja na kuiwezesha tanzania kufikia uchumi wa kati hivyo hakuna sababu yoyote ya kumpinga joshua nassari alivuliwa ubunge wake machi 2019 kutokana na kutohudhuria mikutano mitatu ya bunge mfululizo bila ruhusa kitendo ambacho ni kinyume na sheria
2020-08-10T09:01:52
http://startv.co.tz/startvweb/index.php/kitaifa/917-sijaja-ccm-kutangaza-nia-joshua-nassari
queen latifah atoa neno kwa nicki minaj taarifa za rapa nicki minaj kutaka kustaafu kufanya muziki zinazizima duniani kote huku wadau wengi wakitoa maoni yao kuhusiana na tamko hilo alilolitoa hivi karibuni queen latifah (pichani) ambaye ni kati ya marapa bora wa kike wa muda wote alihojiwa na mtandao wa tmz kuhusiana na anachokiona kutokana na uamuzi huo wa nicki ambapo kwa upande wake alibariki uamuzi huo na kusema haoni cha kupinga kutokana na ukweli kuwa nicki amefanya makubwa kupitia muziki wake kama ni kweli ameamua kufanya hivyo tu muache afurahie kile alichoamua tumuache apumzike kwa amani na upendo kwani amefanya makubwa mno katika muziki alisema latifah lakini akasisitiza kuwa ana amini mwanadada huyo ipo siku atarejea tena katika tasnia hiyo lakini niwaambie kitu kimoja kama uliwahi kuwa rapa basi utabaki kuwa hivyo kwa miaka yote ipo siku atarudi tu mwacheni kwanza aishi maisha yake kwa sasa kwa upendo na amani aliyoichagua alisema latifah huku akitabasamu miamba ulaya yaanza mbio ligi ya mabingwa hatua ya makundi ya ligi ya masaa 20 yaliyopita paris ufaransa masaa 20 yaliyopita kigali rwanda masaa 21 yaliyopita kampala uganda
2019-09-18T03:21:57
https://habarileo.co.tz/habari/2019-09-115d78985eca594.aspx
tanzania imo kwenye onelaptop program | jamiiforums tanzania imo kwenye onelaptop program thread starter fundi mchundo 4783 1250 naiweka hii hapa kwa vile wengi wetu huwa hatuchezi mbali na hapa hivi tanzania imo katika huu mradi wa one laptop per child kama hatumo kwa nini tunasita 12073 2000 najua waswahili watasema laptop ni bei mbaya bei yake ni us$100 tu hatumo kwenye hiyo program priority yetu ni kupata wawekezaji wengi zaidi imepanda inauzwa dola 200 tu nadhani wengi tutalinganisha bei hii na ya mitumba iliyojaa hivi kweli hatuwezi kujitahidi tupate angalau moja kwa kila shule 3740 1225 tukiwa tunaongelea open source taarifa kwa watakaofaidika kuna mbadala wa microsoft office hapa http//wwwopenofficeorg/ inaweza kufanya kila kitu unachoweza kufanya na microsoft office kwa bure pundit thanks mradi wa laptop hatumokuna nchi zishabook hizo tangu kutangazwa kwakehasa algeriasie mitumba inatufaa lkn si kwa watoto hizo onelaptop zinawafaa watotolet say std 1 to 7 hata kama tumo ktk mradi tutakwama ktk umeme kwani hadi sasa hatuna umeme wa uhakika ndo ile kesi ya celtel kupatikana hadi vijijini je umeme nao upo unakwenda charge simu kwa mjumbe au kibosile mliemuuzia mazao yenu 5591 2000 hivyo vilaptop si lazima vitumie umeme unaomaanisha aidha ni betri au hasa solar energy niliandika kuhusu hii project muda mrefu kidogo uliopita katika thread ya high speed internet connection(and wireless) in tanzania seems no one had eyes to see itor time to look at it tatizo letu ndio hilo tunapenda mno siasa 1 watanzania jamani hizi lap top mnamaanisha kwa watoto wanfunzi wa mijini au vivijini 2 do we need such laptop wakati watoto wetu hawana uhakika na mlo shuleni na madarasa ni ya tope na kuezekwa kwa nyasi na hakuna hata waalimu we need to set our invetment in education priorities right tatizo microsoft hawauzi mojamoja kama dvd za jumanne iddi wanaingia mkataba na nchi husika thailand wamesema zao ziwe na internet connection ili class asignment ziwe online libya wamesema zao ziwe na solar energy zifae hata vijijini nasikia udsm asignment bado wanaprint nakufanya binding eti nikweli ila kwa habari nilizozipata mwishoni mwa mwaka jana 2007 wizara ya elimu ikipata msaada kutoka kwa microsoft waliwagawia ma afisa elimu wa wilaya zote za tanzania laptop kila mmoja wao na kuwapa seminar iliyofanyika bagamoyo nafikiri mwendo sio mbaya ingawa tupo mbali sana na dunia inavyokwendasasa sijui hii wakina kayumba lini itawafikia ila kwa habari nilizozipata mwishoni mwa mwaka jana 2007 wizara ya elimu ikipata msaada kutoka kwa microsoft waliwagawia ma afisa elimu wa wilaya zote za tanzania laptop na kuwapa seminar iliyofanyika bagamoyo nafikiri mwendo sio mbaya ingawa tupo mbali sana na dunia inavyokwenda kwa bahati mbaya hii imekuwa ndiyo kawaida yetu top down economics badala ya kulenga watumiaji ukiingia ofisi za serikali mabosi wengi wana laptop na pcs ( wengine mbili mbili) lakini barua bado wanadictate kwa sekretari hawana email address na hawajawahi kuingia kwenye internet isipokuwa pengine zile sehemu sehemu watoto na vijana ndio wana udadisi na uelewa wa haraka haraka wa teknolojia mpya hawa ndio huu mradi wa one laptop inawalenga si kompyuta ya kukaa ofisini kwa mwalimu mkuu itakayotumika siku shule itakapotembelewa na wageni waalikwa microsoft na intel ( intel wamejitoa sasa hivi kwenye mradi wa onelaptop)wana mradi wao wa classmate kompyuta ambayo ni aghali zaidi us $ 350 na inatumia ms office products onelaptop kama ilivyoelezwa kabla inatumia opensource products lakini pengine kigugumizi kinatokana na ukweli kuwa hakutakuwa na study tour na semina nyingi kama tutachagua onelaptop sasa hao maafisa elimu watakula wapi fm sasa umeanza kuleta point unafikiri mradi huu kwetu tutaufanikishaje angalau tuanze na wanafunzi wa university kwani wengine wa mba bado wanaandika asignment kwenye madaftari nadhani tunaweza tukamshauri profmsola tukaanza na university students kama pilot project waachane na kutumia ruled paper mambo ya odm na pnu tuyaache kwanza sidhani kama huu mradi umelengwa kwa hao wa university ni vigumu child kuwa university intel has started to sell it india for $500 yes thatz true 500 dollarsit was all marketing to get the government and schools to buy intel products shame on you intel 2940 1500 halafu itatumiwa na nanimwalimu mkuu au ni bora kuwa nazo katika baadhi ya shulezitakazostahilikuliko kuzisambaza moja kwa kila shulehaitaleta maana hao wa mba hawahitaji hizikwani ni za watoto wa shule hiyo mibaba na mimama ina hela za kununua hata pc za usd 1000 ukitaka kujuafanya iwe lazima kwa mba kuwa na pcutaona mradi kama huu unatakiwa uwe kwa shule za msingi na labda o'level nimecheki bbc leo intel imeachana na mradi huo wa 100$ laptop hebu cheki hii link http//uknewsyahoocom/rtrs/20080104/totukintelolpcb86c26b_1html 2359 2000 hizo laptop ziko za betri za kujaza kwa kusokota kwa mkono nielewavyo rwanda na burundi wamo kwenye mradi lakini sisi hapana kuna kuwawekea internet connection kwenye nchi isiyo na maktaba za mikoa na wilaya kama ya kwetu basi huu mradi ni muhimu sana maktaba ya jumla ni internet kwa sasa itabidi serikali iwe na sera zitakazosukuma upatikanaji wa internet cafes nyingi na kila wilaya ili ziwe ndiyo maktaba za shule zinazoanzishwa report ya undp yaitaja tanzania kuwa na low human development index habari na hoja mchanganyiko 1 today at 831 am magufuli is driving tanzania further from human rights habari na hoja mchanganyiko 5 yesterday at 1016 pm serikali izibane hotel zote za kulala tanzania zinaibia wateja habari na hoja mchanganyiko 142 yesterday at 336 pm b ruksa makampuni binafsi tanzania kununua mabehewa ya reli habari na hoja mchanganyiko 21 friday at 1132 pm tanzania yataka hatua udhibiti athari tabianchi habari na hoja mchanganyiko 0 friday at 829 am report ya undp yaitaja tanzania kuwa na low human development index magufuli is driving tanzania further from human rights serikali izibane hotel zote za kulala tanzania zinaibia wateja ruksa makampuni binafsi tanzania kununua mabehewa ya reli tanzania yataka hatua udhibiti athari tabianchi threads 1367440 members 521741 posts 33398242
2019-12-15T08:32:15
https://www.jamiiforums.com/threads/tanzania-imo-kwenye-onelaptop-program.8666/
msemo wa wahenga majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo unaweza kufupisha masahibu aliyopitia rebeca samuel (siyo jina lake halisi) na kumfanya sasa aishi akijuta maisha yake yote yaliyobaki halikadhalika usemi kwamba ujana ni maji ya moto unamhusu pia mwanamke huyu ambaye sasa anaelekea utu uzima kama utasoma makala haya hadi mwisho mkasa wa rebeca mwanamke huyu mrembo msomi mwenye shahada ya mawasiliano ya umma anakiri kwamba kutotulia kwake alipokuwa msichana anayetikisa wanaume kila anakopita kulimfanya ajiingize katika matukio ambayo yamempa ugumba na sasa anajuta anauguza kidonda alichojisababishia miaka 16 iliyopita na sasa ameamua kutoa mkasa wake hadharani ili pengine ukasaidia wasichana wadogo yasije yakawakuta yaliyomkuta anaamini masahibu yake yalichangiwa na wazazi kutompa taarifa mapema kuhusu madhara ya kujiingiza katika mapenzi kabla ya muda sambamba na ushauri mbaya wa marafiki zake alipokuwa akisoma chuo kikuu cha mtakatifu augustine (saut) kilichoko jijini mwanza kwa kifupi anasema wapambe nuksi walimshauri kutoa mimba ya miezi mitatu kienyeji hatua ambayo licha ya kukaribia kumtoa roho ilisababisha kizazi chake kuharibika na hivyo madaktari kukiondoa ili kunusuru maisha yake lakini ikawa chanzo cha kuandamwa na machozi yasiyokoma ni hatua hiyo iliyosababisha ndoa zake mbili muhimu sana kwake kuvunjika na kumwachia ukiwa ninatamani niwe kwenye ndoa kama wengine lakini imeshindikana nikiona watoto wa wenzangu na kugundua kwamba kwangu haiwezekani tena kuzaa wakati nilipata mimba kadhaa nikawa ninazinyofoa nalia sana anasema rebeca katika mahojiano maalumu na mwandishi wa makala haya jijini mwanza anaongeza nilipokuwa chuoni nilitoa mimba kadhaa lakini mimba ya mwisho ndio ilitaka kuchukua uhai wangu niliharibika kizazi na nilipopelekwa hospitali huku nikiwa nimeshaanza kuoza madaktari walishauri kutoa kizazi ili kuokoa maisha yangu rebeca mwanamke mwenye wajihi mrefu mweupe na mwenye umbo namba nane kama wengi wanavyopenda kuwaita wasichana wa aina hii na mwenye miguu iliyojazia au miguu ya bia kama wengine wanavyoita anasema uzuri wangu uliniponza nikawa limbukeni lakini tamaa ya pesa kutoka kwa wanaume pia imenifikisha hapa anapoulizwa kufafanua kuhusu tamaa ya pesa rebeca anasema ingawa anatokea katika familia yenye kipato cha kati alipokuwa chuoni alitamani kuishi maisha ya juu kama baadhi ya wasichana wenzake wanaotoka familia tajiri nilitamani kumiliki vitu vya gharama ikiwemo gari na fedha lakini ili kuvipata nilijikuta natumbukia kwenye mahusiano na wanaume tofauti tofauti hadi waume za watu anasema rebecca ambaye mwaka huu ametimiza umri wa miaka 42 lakini angekuwa na uwezo anatamani kalenda ingebadilika arudie ujana arudi chuoni halafu aishi maisha ya kutoendekeza tamaa na ghiliba za wanaume oh haiwezekani mimba iliyotaka kumuua anasimulia kwamba alipokuwa mwaka wa pili chuoni hapo alianzisha urafiki na mume wa mtu ambaye alikuwa akimpa pesa ya kutakata licha ya kutotaka kuzaa kabla ya kuolewa jambo ambalo limengewaudhi pia wazazi wake buzi lake hilo pia lilikuwa halitaki kusikia habari ya mtoto nilipogundua nina mimba tena ya mume wa mtu nilijua kwanza angeikataa na kuwa hata chanzo cha kuachana na mimi lakini pia nilihofia kuchekwa na wanafunzi wenzangu hususani wanaume niliokuwa ninawadengulia kwa kifupi sikuwa tayari kuzaa nikaamua kuitoa anasema anafafanua kwamba hata wazazi wake aliamini wangelimwona malaya na kufikiria kusitisha kumlipia masomo ya chuo kama mimba hiyo ingedhihirika anasema marafiki zake wa karibu pia walimshauri kutoa na kuna huyu aliyemhimiza kuchemsha cocacola na kunywa ili kuitoa hiyo mimba mbadala wa hilo marafiki hao walimshauri kutumia kijiti cha muhogo chenye utomvu niliona rahisi ni kuchemsha soda nilinunua chupa mbili za coca cola na kuchemsha kisha nikanywa baada ya saa mbili nikaanza kuona damu zinatoka nyingi mabonge kwa mabonge rafiki yangu mwingine akanipa dawa iliyonisaidia kukata damu anasema hata hivyo anasema hali yake ilianza kubadilika siku hadi siku wakati huo akiwa hosteli na ilipofika siku ya tano baada ya tukio lile la kutoa mimba alianza kuumwa tumbo sana tumbo lilikuwa linabana na kuachia baadae nikaanza kutoa harufu mbaya hali ilipokuwa mbaya nikalazimika kurejea nyumbani ili kupelekwa hospitali ambako ndipo wazazi wakagundua kwamba nilikuwa nimetoa mimba anasema anasema awali alidhani anapelekwa chumba cha upasuaji ili asafishwe lakini habari mbaya ambayo hataisahau maishani mwake ni kuelezwa kwamba kizazi kilikuwa kimeharibika na ili kunusuru maisha yake ni lazima kitolewe ile sauti kwamba kizazi changu kimeharibika huwa inajirudia hadi leo masikioni mwangu ninaishi na donda hilo la moyo ambalo limegoma kuondoka anasema ingawa aliaibika kwa wazazi wake baada ya kugundua alitoa mimba huku yule mwanamume aliyechangia kutoa mimba naye akimkimbia maisha yaliendelea akafanikiwa kuhitimu chuo rebeca anasema aliajiriwa na kampuni moja kama ofisa mawasiliano na kisha akapata mchumba wakafunga ndoa kubwa mwaka 2005 ambayo ilitikisa jiji la mwanza lakini bila kuthubutu kumwambia mumewe kwamba alishatolewa kizazi kuanzia siku ya ndoa nilikuwa ninajiuliza sana maswali itakuwaje mume wangu atakapotaka mtoto na mimi nilidhamiria nisimwambie kitu anasema anasema katika kipindi cha miaka saba walichoishi na mumewe huyo ambaye rebeca anasema alimpenda sana aliwajengea wazazi wake nyumba na kumfungulia yeye biashara ya uhakika anayoendelea nayo hata sasa anasema kuna siku mumewe alitaka wakapime ili kujua tatizo ni kwa nini mtoto hapatikani akawasiliana na yule daktari aliyemtoa kizazi akimpanga kwamba atakapokuja na mumewe basi amsaidie kuonesha kwamba hana tatizo lolote labda ni mungu hajapenda apate mtoto licha ya kumwahidi fedha yule daktari aligoma kabisa akasema hawezi kushiriki katika dhambi hiyo na kwamba taaluma na maadili yake ya kazi hayamruhusu kutoa majibu wa vipimo vya uongo ikabidi nizue dharura za uongo tusiende kupima anasema na kuongeza kwamba tangu siku hiyo akawa anaendelea kuzua dharura za uongo kila wanapopanga kwenda kupima anasema baada ya kupiga chenga kwa muda mrefu anahisi mumewe alipata taarifa kwa wapambe nuksi kwamba kuna shida kubwa kwa mkewe na hivyo siku moja akamlazimisha kwamba ni lazima waende hospitali kupima akawa hana tena namna ya kukwepa mithili ya mbio za sakafuni ambazo hazifiki mbali aliniambia huwezi kila siku ukadai una shughuli nyingi kwa jambo linalotunyima furaha katika ndoa yetu anasema na kuongeza kwamba walipokwenda kupima licha ya kujaribu kutaka kumpanga daktari aliyehusika kumpima bila mafanikio ikabainika dhahiri kwamba alishatolewa kizazi muda mrefu na hivyo hawezi kuzaa anasema daktari alimwambia mumewe asisumbuke kumaliza fedha zake kusaka matibabu nje ya nchi kwani yeye hana tatizo na una uwezo wa kumpatia mwanamke mimba isipokuwa tatizo liko kwa mkewe kwa sababu inaonekana alishaondolewa kizazi jamani sitaki kuikumbuka hii siku ilikuwa siku ya alhamisi naichukia siku hii ni kipindi kirefu kimeshapita lakini ni tukio lilioacha maumivu makubwa ndani ya moyo wangu nilitamani ardhi ipasuke niingie nguvu ziliniisha jasho likanitoka mume wangu akanishika mkono na kunipeleka kwenye gari tukarudi nyumbani njiani hakuna aliyeongea na mwenzake machozi yalikuwa yananimwagika kama bomba kukimbiwa na mumewe siku nzima baada ya kutoka hospitali hatukuongea na mume wangu kwa siku mbili alikaa kimya kama hakuna kilichotokea lakini siku hiyo ya tatu alirudi usiku akiwa kalewa na ndipo akataka nimweleze ukweli kuhusu kilichotokea hadi nikatolewa kizazi anasema anasema alipokosa majibu huku akibaki kumwomba radhi alimwona mumewe akibeba nguo na vitu vyake muhimu akaondoka akamwachia gari moja alilomnunulia na nyumba ambayo ndio anaishi hadi sasa yeye alienda kujenga nyumba nyingine na ndiko anakoishi ameshaoa na ana watoto wawili sasa anasema kuolewa tena mwaka 2016 alikutana na baba mwingine wa makamo aliyekuwa kafiwa na mkewe kwa ugonjwa wa saratani na kumwachia watoto wawili huyu sikumficha alipotaka tufunge ndoa nikamweleza ukweli kwamba sina uwezo wa kuzaa na yeye akasema watoto wawili alio nao wanamtosha hata mwaka haikuisha maneno maneno ya ndugu zake yakawa mengi na yeye akaanza kunibana nimwambie kwa nini nilitolewa kizazi kwa kweli nilisimangwa sana hadi yakanishinda anasema rebeca ambaye sasa hafikirii kuolewa tena nimeachika kwa mume wangu mpenzi mume aliyenipenda kwa moyo wake wote alinidekeza alinithamini na hakutaka nipate shida alinipa kila nilichokihitaji biashara hii unayoiona (duka la nguo) alinifungulia yeye si hii tu nina biashara nyingine ya vitu vya elektroniki amewajengea wazazi wangu nyumba lakini nilishindwa kumzalia mtoto aliyekuwa akimhitaji sana pesa na mali si kitu furaha ya ndoa ni watoto kuna muda roho inaniuma sana nikikumbuka watoto niliowatoa nikiwa chuo anasema anatoa mwito kwa wazazi kuwa makini na watoto wao na kuwaeleza madhara ya kujiingiza katika mahusiano kabla ya muda na pia kuwahimiza kutumia kinga ikitokea wakajiingiza katika masuala ya mapenzi anasema kama angebahatika kupata mtoto hivi sasa kitu ambacho angefanya ni kuzungumza naye kumtaka asijiingize katika masuala ya mapenzi na ikitokea akapata tatizo kama alilopata yeye asithubutu kutoa mimba vichochoroni kwani kuna hatari nyingi ikiwemo kifo takwimu za kutisha takwimu za mwaka 2016 zinaonesha kuwa vifo vya wajawazito vilikuwa 556 kati ya vizazi hai 100000 katika utafiti wawakilishi wa kwanza kitaifa kuhusu matukio ya utoaji mimba na huduma baada ya kuharibika kwa mimba nchini iligundulika kwamba utoaji mimba kwa siri hutokea mara nyingi na huchangia kwa kiasi kikubwa kwenye vifo vya wajawazito utafiti huo uliofanywa na watafiti kutoka taasisi ya guttmacher iliyoko marekani kwa kushirikiana na taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (nimri) pamoja na chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi muhimbili (muhans) katika utafiti huo iligundulika kwamba takribani mimba 405000 zilitolewa nchini ndani ya mwaka 2013 nyingi zikitolewa kwa taratibu ambazo si salama na kuhatarisha maisha ya wanawake katika utafiti huo uliofanyikia kwenye vituo vya afya na kufanya mapitio ya taarifa za idadi ya watu na uzazi iligundulika kwamba takribani wanawake 66600 walipewa huduma baada ya kuharibika kwa mimba kwenye vituo vya afya kutokana na matatizo yaliyotokana na utoaji mimba usio salama ndani ya mwaka 2013 hata hivyo utafiti ulionesha kwamba karibu wanawake 100000 ambao walipata matatizo ya aina hiyo hawakupata matibabu sahihi waliyoyahitaji hata hivyo kwa kutambua kuwa utoaji mimba usiokuwa salama ni chanzo kikuu cha vifo vya wajawazito serikali imepanua wigo wa upatikanaji wa huduma baada ya kuharibika kwa mimba katika kipindi cha mwongo mmoja uliopita takwimu zilizopo pia zinaonesha kwamba kiwango cha kitaifa cha utoaji mimba nchini tanzania ni wanawake 36 kwa kila wanawake 1000 walio kwenye umri wa uzazi na kinafanana na viwango vya nchi nyingine za afrika mashariki hata hivyo viwango vya utoaji mimba vinatofautiana kwa kanda ambapo viwango vya juu ya utoaji mimba vipo katika kanda ya ziwa ambapo ni wanawake 51 kwa kila wanawake 1000 na nyanda za juu kusini yenye wanawake 47 wanaotoa mimba kwa kila wanawake 1000 kiwango cha chini kiko zanzibar ambapo ni wanawake 11 kwa kila wanawake 1000 viwango hivyo tofauti vya utoaji mimba huhusishwa kimsingi na utofauti katika viwango vya matumizi ya njia za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa sambamba na uwezekano wa wanawake kuamua kutoa mimba baada ya kupata mimba zisizotarajiwa mbali na huduma baada ya kuharibika kwa mimba wanawake wa kitanzania wanahitaji upatikanaji bora na kamilifu wa huduma mbalimbali za njia za uzazi wa mpango na ushauri kuhusu uzazi wa mpango ili waweze kufanya uamuzi sahihi anasema godfather kimaro mtafiti kutoka nimri ndani ya mwaka 2013 wanawake wa kitanzania walipata mimba zisizotarajiwa zaidi ya milioni moja ambazo kati yake asilimia 39 ziliishia kwenye kutolewa anasema anasema kukabiliana na mahitaji yasiyokidhiwa ya uzazi wa mpango kutapunguza kiwango cha mimba zisizotarajiwa na hivyo kupunguza uhitaji wa kutoa mimba na vifo na majeruhi ambayo mara nyingi hutokea baada ya taratibu zisizo salama anahimiza umuhimu wa kujumuisha utoaji wa huduma za uzazi wa mpango kama sehemu ya huduma baada ya kuharibika kwa mimba na kushauri kila mwanamke anayetibiwa kutokana na matatizo yanayohusiana na kutoka kwa mimba apewe ushauri wa kina na nyenzo za uzazi wa mpango naye daktari wa magonjwa ya wanawake kutoka kliniki ya serikali ya mama na mtoto iliyopo makongoro mkoani mwanza john chacha anasema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 30 wengi wao wakiwa ni wanafunzi wa shule ya sekondari na vyuo ndio wanaokumbwa zaidi na tatizo la utoaji mimba usio salama anasema wengi wanatumia njia za kienyeji ikiwemo dawa za kuzuia damu wakati wa kujifungua aina ya misoprostol bila kufuata taratibu na kuishia kupata maambukizi kwenye kizazi wengine wanakuja hapa wameshatoa mimba huko kwa njia wanazozijua wenyewe kwa sababu kimsingi ni kosa kisheria kutoa mimba kwa sababu ambazo si za kiafya wanapofika hospitalini jukumu letu la kwanza ni kuokoa maisha yao tatizo wengi huja wakati mambo yameshaharibika sana wengine huja tayari damu imeshabadilika na kuwa usaha hatua kama hii ni mbaya kwa sababu kizazi kinakuwa kimeshaoza na mtu anakuwa anatoa harufu janga hili ni kubwa ingawa halionekani sana machoni pa wengi kuna vitu vya ajabu vinafanyika watu wanafundishana namna ya kujitibu lakini hawajui kila mtu na mwili wake na mazingira yake pia anasema daktari bingwa kutoka in gender health ambaye pia ni mwanachama wa chama cha madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake (agota) anna temba anahimiza familia kujitahidi kutoa elimu kwa watoto wao kuhusu madhara ya kujihusisha katika mapenzi yasiyo salama ukiachilia mbali sababu nyingine kama umasikini kushindwa kujitetea (kubakwa) sababu kubwa inayoongoza kusababisha utoaji mimba usio salama ni upungufu wa habari za afya ya uzazi uhaba wa elimu katika jamii inayowazunguka ikiwamo wanafamilia kutotoa elimu kwa watoto anasema temba mganga mkuu mkoa wa mwanza dk thomas rutachunzibwa anasema madhara ya utoaji mimba kwa njia za kienyeji ni pamoja na kuipatia serikali hasara ya kumtibu mhusika kwa sababu wengi huwa katika hali mbaya ambapo huhitaji huduma ya dharura ikiwemo kuongezewa damu madhara mengine anasema ni kupata ugumba na wakati mwingine vifo kutokana na utoaji mimba ambapo bakteria kuingia sehemu wasiyohusika na kusababisha madhara mengi yanayosababisha kizazi au eneo kubwa la tumbo kuoza wengi huishia kutolewa kizazi na baadhi yao hufa kabisa kwa sababu wakifanya mambo hayo huona aibu kusema mapema na matokeo yake kizazi huzidi kuathirika au kuathiri mfumo mzima wa tumbo anasema anasema mwanza ni miongoni mwa mikoa ya kanda ya ziwa ambayo ina idadi kubwa ya vifo vya wajawazito na vingi vinatokea kwa wajawazito wanaotumia mitishamba kuharakisha uchungu wakati wa kujifungua ikiwemo utoaji mimba kwa kutumia mitishamba ambao usio salama abadani
2019-12-14T23:21:34
https://habarileo.co.tz/habari/2019-11-125dca87a4c7529.aspx
cuf yalia uandikishaji mdogo zanzibar mtanzania home habari kuu cuf yalia uandikishaji mdogo zanzibar cuf yalia uandikishaji mdogo zanzibar christina gauluhangadar es salaam chama cha wananchi (cuf) kimesema kimesikitishwa na vikwazo vya uandikishwaji mdogo wa wapiga kura zanzibar kwakuwa vinaweza kuchangia kuwanyima haki wapiga kura wakati wa uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba alisema kimsingi tume ya uchaguzi zanzibat (zec) inaandikisha daftari jipya la wapiga kura ambao wanatakiwa kuwa na vitambulisho vya ukaazi zan id mpya lakini wengi hawajapewa alisema ukosefu wa vitambulisho vya zan id itachangia kuwanyima fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu ujao na kusababisha uiingie dosari kwa kuwa utakuwa si huru na haki kwa mfano idadi ya walioandikishwa jimbo la konde ni 4331 ukilinganisha na wapiga kura 9299 walioandikishwa uchaguzi wa mwaka 2015 jimbo la wete mwaka 2015 walioandikishwa walikuwa 8574mwaka huu hadi sasa wameandikishwa 3597alisema lipumba alisema wananchi wengi wenye sifa ya kuandikishwa kuwa wapiga kura wamenyima fursa hiyo baada ya kunyimwa vitambulisho tunaweza kuamini sababu za kisiasa zimechangia watu hawa kunyimwa vitambulisho baba wa taifamwalimu julius nyerere alieleza haki ndiyo msingi wa amani wazanzibar wana haki ya kupiga kura na kuchagua wawakilishi wanaowataka alisema alisema baraza kuu la uongozi la chama hicho limeitaka zec kuwaandikisha wananchi wenye sifa bila kujali ubaguzi ili kuwa na orodha ya wapiga kura ambao ni halali pia limeagiza kamati tendaji ya taifa kuharakisha mchakato wa kutoa kalenda ya mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa wanachama watia nia wa nafasi mbalimbali kwa tanzania bara na visiwani alisema mbali ya mazingira mabaya ya kisiasa yaliyopo hivi sasa chama hicho kitasimamisha wagombea katika nafasi mbalimbali za uongozi katika hatua nyingine aliiomba serikali kushirikiana na jumuiya za kimataifa hasa shirika la afya duniani (who) kuandaa mkakati madhubuti wa kukabiliana na mlipuko wa virusi vya covid19 alisema tayari benki ya dunia shirika la fedha la kimataifa (imf) na benki ya maendeleo ya afrika (adb) imetangaza kuwapo kwa mifuko ya dharura ya kukabiliana na ugonjwa wa virusi hivyo previous articlekcmc kujenga maabara ya corona next articlewalioachiwa sakata dawa za serikali wakamatwa tena bashiru afunguka mgombea urais zbar kampeni ya kuzuia watoto kucheza kamari yazinduliwa vijana wana kila sababu ya kumuunga mkono jpm 2020
2020-07-10T02:08:46
https://mtanzania.co.tz/cuf-yalia-uandikishaji-mdogo-zanzibar/
halmashauri ya nyasa yatekeleza agizo la dc nyasa halmashauri ya wilaya ya nyasa imetekeleza agizo la mkuu wa wilaya ya nyasa bi isabela chilumba la kuanzisha soko la samaki katika eneo la fisheries wilayani hapa kwa kipindi cha siku saba mkuu wa wilaya ya nyasa alitoa agizo hilo octoba 30 mwaka huu wakati akiongea na wavuvip amoja na wachuuzi wa mazao ya uvuvi kwa lengo la kutatua changamoto ya kutokuwa na soko la samaki wilayani nyasa uchunguzi uliofanyika na mwandishi wa habari hizi umebaini kabla ya kutimia siku saba za agizo hilo soko la samaki lilikuwa limeshaanza katika jengo la karakana ya kutengenezea boti ambalo lilikuwa halitumiki wavuvi wengi wa mbambabay wamefurahia uwepo wa soko hili ambalo limetatua changamoto kero ya kutokuwa na sehemu maalumu ya kuuzia samaki iliyokuwa inawakabili wavuvi na wachuuzi wa samaki mkuu wa idara ya mifugo na uvuvi wilaya ya nyasa bernard semwaiko amethibitisha kuanza kwa soko hilo la samaki mjini mbambabay na leo amefanya kikao na uongozi wa kamati ya soko la samaki mbambabay kwa lengo la kutatua changamoto zingine katika soko hilo la samaki wafanyabiashara wa samaki wamempongeza mkuu wa wilaya ya nyasa bi isabela chilumba na uongozi wa halmashauri nyasa kwa kuanzisha soko la samaki na kuhakikisha kuwa wafanyabiashara wanatekeleza majukumu yao bila kikwazo chochote imeandaliwa na netho csichali kaimu afisa habari nyasa0767417597 invitation for quotations of construction of district hospital may 19 2020 invitation for quotations of suply local material for construction of district hospital may 19 2020 tangazo la kusudio la kunyang'anywa kwa viwanja kwa wamiliki wilayani nyasa september 30 2020 tangazo la kuuzwa kwa viwanja wilayani nyasa september 30 2020 maendeleo ya mradi wa panda miti kibiashara nyasa waridhisha wazazi nyasa watakiwa kuchangia chakula mashuleni kamati ya ccm yaridhishwa na ujenzi wa veta nyasa kamati ya siasa mkoa wa ruvuma yaridhishwa na mradi wa bwalo nyasa
2020-07-12T04:31:39
http://nyasadc.go.tz/new/halmashauri-ya-nyasa-yatekeleza-agizo-la-dc-nyasa
kangi lugola naye kumenoga sasa makala swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//5056612/medres/2302461//73n70fz//kangi+picjpg kangi lugola naye kumenoga sasa imepakiwa thursday april 4 2019 at 1416 dodoma namba moja alisema rudini nyumbani kumenoga akiwapigia debe kampuni ya mawasiliano ya simu (ttcl) lakini jana waziri wa mambo ya ndani kangi lugola akaibuka na rudini nyumbani kumenoga kwa aina yake eti wanawake warudi nyumbani kumenoga na kuacha kushabikia watu wa nje hee hata hayo mambo nayo kumenoga tofauti na nje vipi mura huyu jana bwana wakati wabunge wanajadili maswali mjengoni ilifika zamu ya mbunge tauhida cassian gallos akauliza swali lake kuhusu raia wa kigeni ambao wanapewa vibali vya kufanya kazi nchini lakini wanawazalisha watanzania na kuwaachia watoto licha ya majibu mengi si akaibuka lugola na kuanza kuwapa darasa wanawake wa kitanzania kuwa wasipende kuwashabikia wanaume wa kigeni kwani hata wanaume wa tanzania wanafaa kwanza ni kosa kwa mujibu wa sheria kama mtu anazalisha mtoto halafu anamuacha lakini humu bungeni kuna wakati watoto waliletwa na wakawa wanafana na watu fulani kingine niwakumbushe wanawake wa kitanzania warudi nyumbani kumenoga alisema
2019-07-16T07:55:52
http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/Kangi-Lugola-naye-kumenoga-sasa-/1310220-5056604-3wmurgz/com.coremedia.starterkit.cae.contentbeans.standard.CMChannelImpl$$%5Bid=1310220%5D
nuru the light then and now christine mosha irene kiwia tbt seven mosha tbt irene yuko simpo sana hadi rahaila seven huwa nashindwa kuelewa ngozi ya sura yake ina shida gani na kwenda ulaya kote ameshindwa kuihudumia ngozi yakeila nampenda yuko bize na kazi zake may 18 2017 at 137 pm susan kuna wakati lazma uwe compassionate na kitu mwenzako hawezi kukifix for example a skin condition ni kitu huwezi ficha na unaweza kuta her condition iko very hard kukitreat instead njoo na idea au solution mpenzi o just show compassion and yes seven is a hardworker tena mno kwa hilo umepatia mtu ambaye hajakaa ulaya huwa ni mwepesi sana wa kujisemea mambo asiyoyajua kuna watu wengine wanajikubali kama walivyo jinsi anavyoonekana na watu sio priority seal ana makovu makubwa usoni na ana hela ndefu he can do anything but chose to be as he is namfahamu seven wala nikukutana naye hata hiyo hitilafu siioni hujafa hujaumbika dada suzanacintea asante wote kwa majibu ila sikuwa na nia mbaya na mie sio mtaalamu wa mambo ya ngozi may 19 2017 at 838 am
2017-05-25T20:13:31
http://nuruthelight.blogspot.com/2017/05/then-and-now_18.html
gharama za kusajili alama za biashara na huduma (nembo) | elimu ya biashara ujasiriamali na uongozi biashara na ujasiriamalialama za biashara tafsiri ya maneno alama za biashara (trademark trademark trade mark) ni jina au nembo iliyobuniwa na kutambulika kisheria kutambulisha bidhaa fulani miongoni mwa bidhaa shindani alama za huduma (servicemark servicemark service mark) ni jina au nembo iliyobuniwa na kutambulika kisheria kutambulisha huduma fulani miongoni mwa huduma shindani alama ya biashara au huduma inaweza kuwakilishwa kwa jina tu nembo tu au zote mbili gharama za kusajili gharama za kusajili alama za bishara au huduma brela (gharama hizi ni pamoja na gharama za brela) gharama kuu ni shs 150000/= gharama za kurudia baada ya masahihisho ni shs 50000/= mteja anawajibika kisheria na alama za biashara au huduma mteja antakiwa kutoa taarifa zote pamoja na alama za biashara au huduma ndani ya siku 5 zikipita siku tano gharama ya shs 50000/= itahusika sababu za marekebisho taarifa zilizotolewa zina kasoro usajili umekataliwa na brela kwa sababu zilizo nje ya agent mfano wa barua ya kuomba kazi/maombi ya kazi 44363 views hatua 26 za kufuata katika kuanzisha biashara ndogondogo 12365 views gharama za kusajili kampuni brela 6873 views barua ya maombi ya kazi kupitia email (barua pepe) 5084 views jinsi bora na rahisi ya kuandaa na kuandika risala 3563 views service gharama za kusajili alama za biashara na huduma (nembo) huduma gharama za kusajili alama za biashara na huduma (nembo)
2020-02-18T21:35:50
https://www.kivuyo.com/gharama-za-kusajili-alama-za-biashara-na-huduma-nembo/
imaam kutoa khutbah ya ijumaa bila ya kusimama katika mimbar ukurasa wa kwanza > imaam kutoa khutbah ya ijumaa bila ya kusimama katika mimbar maswali swalah ya jamaa [1] assalaamu alaikum wrwb mimi nina swala moja ambalo sijapata jibu na naomba munijibu ili nipatekuelimika na inshaallah mwenyezi mungu atuongoze kwa mema amin swali langu ni hili je inafaa imam kutoa khutba ya ijumaa bila kusimama juu ya mimbar shukran kwa swali lako kuhusu masala ya mimbar ambayo hutumiwa na khatwiyb wakati anapokhutubia waumini siku ya ijumaa mwanzoni alipohamia mtume (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) madiynah na kufaradhishwa swalah ya ijumaa alikuwa anakhutubia waumini akiwa amesimama na huku ameegemea kwenye gogo la mtende wakati huo hakukuwa na mimbar hivyo kumlazimu mtume (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) kusimama tu mbele ya maswahaba zake akatokea swahaba mmoja ambaye alimpatia rai mtume (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) kuwa ingekuwa bora lau angesimama juu ya kitu akiwa anatoa khutba kwa waumini mtume (swalla allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) aliikubali rai hiyo hivyo kutengenezwa mimbar ambayo aliitumia kuanzia wakati huo makhalifa pamoja na maswahaba wengine waliokuwa wakitoa khutba wakawa ni wenye kuitumia na ikawa inatumia mpaka hivi leo katika misikiti yetu na tunaposema mimbar si lazima ziwe ni mimbar zile kubwa maana yake ni kitu tu ambacho kitamfanya imaam awe juu hivyo kinaweza kuwa kiti au kifaa chengine cha kusimamia imaam wakati wa khutba lakini ikiwa hakuna kifaa hicho cha kusimamia imaam naye akawa anakhutu bila kusimama juu ya chochote khutba yake itakuwa sawa na swalah yenu ya ijumaa itakuwa hivyo hivyo ila tu ikiwa hakuna cha kusimamia inambidi imaam kama ada akae baada ya khutba ya kwanza kisha asimame tena kukamilisha khutba ya pili hivyo suala hilo lisikutie wasiwasi kabisa source url http//wwwalhidaayacom/sw/node/2049 [1] http//wwwalhidaayacom/sw/taxonomy/term/76 [2] https//wwwaddtoanycom/share#url=http3a2f2fwwwalhidaayacom2fsw2fnode2f2049&amptitle=imaam20kutoa20khutbah20ya20ijumaa20bila20ya20kusimama20katika20mimbar
2020-08-03T20:04:19
http://www.alhidaaya.com/sw/print/2049
jamvi wabunge waonekana kutoelewa makubaliano ya uhuru na raila yanakoelekea taifa leo huku mwafaka kati ya rais uhuru kenyatta na kiongozi wa upinzani raila odinga ukiendelea kuibua hisia mseto imebainika kuwa wabunge wa pande zote mbili hawaelewi mwelekeo utakaochukua wachanganuzi wa masuala ya kisiasa sasa wanaelezea hofu kwamba huenda hali hii ikalemaza juhudi za kuafikiwa kwa masuala muhimu yaliyoangaziwa katika taarifa ya pamoja iliyotiwa saini na viongozi hao akiwasilisha hoja ya kuhimiza wabunge kukumbatia maelewano hayo jumatano kiongozi wa wachache katika bunge la kitaifa john mbadi alisema wawili hao walikubaliana kuhusu masuala yenye umuhimu kwa maendeleo ya nchi lakini akaeleza sisi kama wafuasi wao tumekubali kuunga mkono mipango ya kuchochea maendeleo nchini kwa hivyo tunasubiri mapendekezo hayo ili tuyajadili na kuyaelewa kabla ya kuyapitisha bw mbadi hata hivyo alioorodhesha masuala amabayo yamekuwa yakiibuliwa na muungano wa upinzani nasa tangu 2017 kama vile haki katika uchaguzi uhuru wa idara ya mahakama ukabila ridhaa kwa wahasiriwa wa fujo za kisiasa vita dhidi ya ufisadi na kupigwa jeki kwa ugatuzi kama yatakayoangaziwa katika mazungumzo hayo mwenzake upande wa jubilee aden duale naye alionekana mwenye ufahamu finyu kuhusu misingi na muundo wa mwafaka huo kiongozi huyo wa wengi akasema wakati huu muafaka huo ungali mchanga tungali kushuhudia mengi tumeonyeshwa ukurasa mmoja tu kiranja wa wachache junet mohammed ambaye aliandamana na bw odinga kwa mkutano na rais kenyatta katika jumba la harambee nairobi machi 9 pia hakutoa mwanga kuhusu yaliyojiri katika mkutano huo katika bungeni hili mimi niliyepewa nafasi ya kipekee ya kuandamana na kinara wetu katika mkutano huo nilisikiza yote na nikaridhika kabisa akasema bila kuelezea wenzake yale aliyoyasikia bw martin andati sasa anasema kauli za wabunge hao wandani wa karibu wa rais kenyatta na bw odinga zinaonyesha wazi kuwa wao pia hawaelewi mambo mengi kuhusu muafaka huo hii ni kwa sababu ya maandalizi ya mkutano huo yalifanywa kwa siri kubwa hali iliyopelekea vinara wengine wa nasa kulalamika walidai walifaa kuhusishwa anasema japo wakenya wote wanakubali mkutano kati ya raila na uhuru ulipoesha joto la kisiasa nchini kufuata utata uliotokana na pande zote mbili zinafaa kutoa mwongozo utakaotumiwa kuendeleza mazungumzo kuhusu masuala yaliyoorodheshwa kwenye taarifa yao ya pamoja bw andati anasema ukosefu wa mwongozo mahususi kuhusu mwelekeo ambao ushirikiano kati rais kenyatta na bw odinga utachukua kutimiza malengo yao ndio ulichangia kioja kilichoshuhudiwa bungeni jumanne alasiri mbunge wa mavoko patrick makau (wiper) aliamua kuketi kwenye kiti kilichotengwa mahsusi kwa kiongozi wa wachache bw mbadi alisema alichukua hatua hiyo baada ya kile alichodai kuwa hatua ya odm kujiunga na jubilee baada ya raila kama kiongozi wake kuelewana na rais kenyatta baada ya odm kujiunga na jubilee chama change cha wiper ambacho ndicho cha tatu kwa ukubwa kimeniteua kuwa kiongozi wa wachache hii ndio maana niliketi katika kiti hicho aliwaambia wanahabari baada ya spika justin muturi kumfurusha nje kwa kukaidi amri ya kumtaka ampishe bw mbadi mwenzake wa makueni daniel maanzo pia aliamua kukalia kiti cha bw junet (kiranja wa wachache) kwa sababu hiyo hiyo ya odm kujiunga na jubilee hata hivyo aliondoka upesi kabla ya kuadhibiwa na spika muturi kwa sababu raila kama kiongozi wa odm hakuwahusisha wenzake kalonzo musyoka (wiper) musalia mudavadi (anc) na moses wetangula (ford kenya) katika mkutano wake na kiongozi wa jubilee rais kenyatta tunaamini kuwa amejiunga na jubilee hii ndio maana niliketi katika kiti cha junet na mwenzao makau akaketi katika kiti cha mbadi anaeleza mbunge huyo ambaye ni wakili bw maanzo anasema wiper itaunga mkono mazungumzo yatakayoendeshwa chini ya mpangilio unaoeleweka na kuwekewa mihimili ya kesheria na kujumuisha wadau wote hakuna nusu mkate ni ufasiri aina hii uliomsukuma bw duale kufafanua kuwa mwafaka kati ya rais kenyatta na bw odinga haumaanishi kwamba kuna mipango ya kubuniwa kwa serikali ya mseto kati ya jubilee na odm hakuna nusu mkate hapa na chama cha odm hakijamezwa na jubilee kama inavyodaiwa sisi kama jubilee tunataraji odm kupiga msasa utendakazi wa serikali huku ikishirikiana nasi kusukuma ajenda ya maendeleo kwa manufaa ya wakenya anasema mbunge huyo wa garissa mjini anashauri vyama tanzu katika nasa kukoma kumkaripia bw odinga kwa kufuatua uamuzi wake wa kufanyakazi pamoja na rais kenyatta viongozi hawa wawili wameamua kuzika tofauti zao kwa ajili ya kuliunganisha taifa wiper ford kenya na anc ambao ni wenye hisa wadogo katika nasa wanapaswa kuheshimu uamuzi huu wa odm anasema kwa upande wake mchanganuzi wa masuala ya kisaisa bw odoyo owidi anasema kukanganyikiwa huku kwa wanasiasa kunaweza tu kuondolewa ikiwa afisi kuu iliyobuniwa kushirikisha mazungumzo hayo itaanza kufanya kazi na kwa uwazi wakili paul mwangi na balozi martin kimani walioteuliwa kuongoza afisi hiyo kwa ushirikiano na washauri wengine wanafaa kuanza kazi na watatekeleza majukumu yao kwa uwazi la sivyo hali hii ya wanasiasa kuendelea kurusha cheche za maneno huku na kule bado itaendelea anasema akionya kuwa huenda hali hiyo ikavuruga malengo ya muafaka huu huu mkutano wa jumba la harambee ulikuwa ni wa watu wawili sisi kama wiper hauutambui wala kufahamu yaliyojadiliwa anasema kauli yake inaungwa mkono na naibu kiongozi wa anc bw ayub savula ambaye anasema vyama tanzu ndani ya nasa viko tayari kuipa odm talaka kwa kushirikiana na jubilee jamvi uhuraila
2020-08-05T05:44:57
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=3123
swahilivilla nfl washington redskins wazidi kutia aibu wapenzi wao nfl washington redskins wazidi kutia aibu wapenzi wao jana katika mchezo wa nfl american football ndani ya jiji la arlington texas washington redskins ilishindwa kuwafunga dallas cowboys kwao na kuaacha wapenzi watimu hiyo hoi bin tabaani mchezaji wa dallas cowboys quarterback jon kitna akijaribu kuvamia na kuingia kwakasi kwenye mstari wa goli huku mchezaji wa washington redskins' carlos rogers kumbana mbavu katika mchezo wa nfl football jana jumapili dec 19 2010 dallas cowboys walitoka mikono juu kwa pwenti 3330 dhidi ya washington redskins
2013-05-22T14:11:10
http://swahilivilla.blogspot.com/2010/12/nfl-washington-redskins-waziku-kutia.html
ujiji rahaa halmashauri nchini zakumbushiwa wito wa kununua dawa za kuua viluwiluwi vya mbu wa malaria posted by khamisi musa at 416 am
2017-11-23T09:12:00
http://ujijirahaa.blogspot.com/2017/05/halmashauri-nchini-zakumbushiwa-wito-wa.html
iran yasema iko tayari kusafirisha madini ya uranium nje | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 03022010 iran yasema iko tayari kusafirisha madini ya uranium nje msimamo mpya wa iran unazitia wasiwasi nchi za magharibije ni msimamo wa dhati au porojo za kawaida za nchi hiyo zilizozoeleka iran imesema iko tayari kusafirisha madini yake ya uranium nchi za nje kwa ajili ya kurutubishwatamko hilo limetolewa na rais wa nchi hiyo mahmoud ahmedinejad wakati ambapo nchi za magharibi hii leo zimekutana kwa lengo la kujadili jinsi gani ya kuiwekea vikwazo vigumu zaidi nchi hiyo kufuatia hatua yake ya kuendelea na mipango yake ya kinuklia rais wa iran mahmoud ahmedinejad alitangaza msimamo huo mpya hapo jana usiku hali ambayo imeonekana kama ni kulegeza kamba kuelekea nchi za magharibitamko la rais wa iran linatofautiana sana na misimamo ya hapo awali iliyotolewa pia na viongozi wengine wa juu wa jamhuri hiyo ya kiislamu akihojiwa katika kituo cha taifa cha televiesheni jana usiku rais ahmedinejad bila shaka yoyote alionekana moja kwa moja kuunga mkono mapendekezo ya umoja wa mataifa akisema ''sina tatizo na suala la kusafirisha madini ya uranium kwa ajili ya kurutubishwa katika nchi za njenataka ushirikiana wa dhati'' iran inatuhumiwa kutumia viwanda vyake vya kinuklia na vyombo vya anga kutengeneza silaha za atomiki hata hivyo katika matamshi yake hakusema wako tayari kusafirisha kiasi gani cha madini hayo kwa ajili ya kurutubishwa hasa ikizingatiwa kwamba hilo ndilo suala muhimu kutokana na mapendekezo ya umoja wa mataifa ya kutaka nchi hiyo isafirishe asilimia 70 ya madini hayo halikadhalika haijafahamika kama matamshi hayo ya rais ndio msimamo jumla wa serikali au ni maoni yake ambayo sio mara ya mwanzo kuyatoa nchi zenye nguvu zikiongozwa na marekani zinaitaka iran ikubaliane na mpango wa umoja wa mataifa na kusafirisha madini yake ya uranium katika nchi za urussi na ufaransa ili yarutubishwe na kuondoa wasiwasi kwamba nchi hiyo inalengo la kutengeneza bomu la nuklia baraza la usalama linaitaka iran isafirishe asilimia 70 ya madini yake ya uranium yarutubishwe nje ya taifa hilo nchi hizo za magharibi leo zinakutana kujadiliana kuhusu kuiwekea vikwazo vikali zaidi nchi hiyo ya iran kutokana na ukaidi wake kuelekea mpango wake wa kinuklia rais wa marekani barack obama akizungumzia juu ya suala hilo ameionya iran kwamba muda unayoyoma na inabidi ionyeshe kwa vitendo msimamo wake vinginevyo itakabiliwa na hatua kaliobama amesema ''iran inavunja sheria zinazotakiwa kufuatwa na kila nchihali hiyo inatishia usalama wa eneo zima pamoja na ulimwengu kwa jumla'' iran ambayo ilikubali kimsingi kuzingatia mapendekezo ya umoja wa mataifa wakati wa mkutano wa mwezi oktoba baadae ilionekana kuukataa mpango huo na kusema kwamba inapendelea zaidi madini hayo yarutubishwe katika ardhi yake iran ilitoa muda wa hadi mwishoni mwa januari kwa nchi hizo zenye nguvu kujibu mapendekezo yakelakini sasa mambo yanaonekana kuelekea mkondo tofauti baada ya rais ahmedinejad kutamka kinyume na msimamo wa awali china ambayo mwanachama wa kudumu katika baraza la usalama la umoja wa mataifa na mshirika wa iranc jana imesema bado kuna nafasi ya kuzungumza na iran kuutatua mzozo huo wa kinuklialakini kwa upande mwingine marekani imesema inatumai kuishawishi china na nchi zingine nne zenye nguvu siku kadhaa zijazo kuhusu suala hilo la iran na haja ya nchi hiyo kuwekewa vikwazo wakati huohuo iran imefanikiwa kufyetua salama satellaiti yake aina ya kavoshgar 3 iliyotengezwa nchini humoroketi hiyo iliyokuwa imebeba chombo maalum cha majaribio inauwezo pia wa kurudisha data muhimu ardhini kutoka angani mwandishi saumu mwasimba/afpe mhariri mohammed abdulrahman kiungo https//pdwcom/p/lqjc
2019-10-14T09:01:29
https://www.dw.com/sw/iran-yasema-iko-tayari-kusafirisha-madini-ya-uranium-nje/a-5205966
anti bettie tatizo ni kwamba ananiaibisha kila mara nikiwa naye faragha mwananchi anti bettie tatizo ni kwamba ananiaibisha kila mara nikiwa naye faragha anti habari yako niokoe nakaribia kuachana na mpenzi wangu kutokana na namna anavyopiga mayowe tukiwa faragha nashindwa nifanyeje maana haelewi kiasi nimecheka anapiga yowe tena siyo anaugulia kwa mahaba au unamuumiza kuugulia kuzungumza zungumza namna unavyojisikia wakati wa faragha ni jambo zuri na linaamsha mshawasha wa kuendelea na mlilokusudia ila hili la huyu mpenzi wako ndiyo jipya anza na mbinu ya kawaida baada ya vurugu zote ukiona amekolea na anakaribia kuanza mayowe mpe denda na ufanye hivyo muda wote hadi mtakapoamua kuahirisha fanya hivi bila kuacha na mara zote mnapokuwa faragha anaweza kujaribu kukutoa usikubali kwa sababu lengo ni kudhibiti mayowe yake mkiahirisha shughuli hiyo mweleze kuwa utafanya hivyo mara zote hadi atakapopunguza mayowe na kuugulia kimahaba kingine punguza majonjo inawezekana ni miongoni mwa wanawake wanaokolewa sana na hayo mambo hivyo nenda naye taratibu ukiona amekolea unapunguza dozi hatua kwa hatua ila jambo zuri ni kuendelea kumsisitiza kuwa umechoka fedheha zake na namna zinavyohatarisha uhusiano wenu kwa kuwa hujafunga naye ndoa inawezekana anazidisha heka heka kukuhamasisha umuoe unaonaje ukianza mikakati ya ndoa kuliko kuruhusu uhawara sugu sitaki kuzaa naye familia yake haijielewi nimeolewa huu mwaka wa tatu ninampenda mume wangu lakini sitaki kuzaa naye kutokana na tabia za familia yake walevi waongo na wezi nahisi nitaanzisha kizazi kitakachopata taabu waswahili waliwahi kusema ukilipenda bogapenda na ua lake hivyo kama umempenda kweli mumeo huna budi kuwapenda na kuwaheshimu ndugu zake halafu umeolewa na familia hao watoto unaizalia familia au unajizalia wewe na mumeo kuwa na adabu acha kudhihaki familia za watu mpaka umefunga naye ndoa bila shaka uliridhika na tabia zake na familia yake hayo unayoyaleta sasa ni dharau na utovu wa nidhamu wa hali ya juu zungumza haya maneno uliyoyaandika kwa nguvu halafu ujisikilize wewe mwenyewe kama unachokisema ni sahihi au unapotoka tuliza akili linda ndoa yako na inawezekana wewe ndiyo ukawa chanzo cha kuwabadili hao unaowaita wezi walevi na waongo muombe mungu pia akupe kizazi chema unaweza kukataa kuzaa na familia hiyo ukaenda kuzaa kwa wenye maadili lakini uzao wako ukawa chanzo cha laana kwenye familia hiyo eti nikimsomesha mwanamke atanikimbia kuna binti tumependana na nimempenda zaidi kutokama na jinsi anavyopenda kujiendeleza kielimu miongoni mwa makubaliano yetu ni pamoja na kumsomesha ngazi ya stashahada rafiki zangu wananitisha kuwa mwanamke hasomeshwi na nikifanya hivyo kabla ya ndoa ua baada atanikimbia unachotakiwa kuangalia ni namna mlivyopendana na uaminifu wa kila mmoja kwa mwenzake kumsomesha au kutofanya hivyo siyo kipimo cha mapenzi kama utamsomesha iwe kwa mapenzi yako na si makubaliano au lazima kuhusu hao rafiki zako wanaosema mwanamke hasomeshwi hawapo sahihi kwa sababu wapo wanawake waliwasomesha wanaume na waliwaacha solemba hivyo suala la usaliti baada ya kufanyiwa kitu fulani siyo la wanawake peke yao hata wanaume wapo wanaofanya hivyo haimaanishi mkisomeshana hata mkishindwana tabia mnganganiane nakukumbusha penzi imara ni la mtu na mpenzi wake likiingiza marafiki ni igizo na siyo uhusiano tena
2020-03-31T01:07:24
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/johari/Tatizo-ni-kwamba-ananiaibisha-kila-mara-nikiwa-naye-faragha/1597406-5283888-krswjg/index.html
imetumika nissan 2005 automatic arusha mjini arusha 27 ago 0932 imetumika toyota 1999 automatic bagamoyo pwani 194 dar es salaam 44 imetumika nje ya nchi 203 automatic
2019-10-17T17:36:47
https://www.zoomtanzania.com/sw/hatchback?p=5
previous sessions | sunrise radio 949 fm video miili ya wanafunzi ikiwekwa kwenye magari ya jeshi la video maamuzi ya serikali baada ya kuona ile video walimu wakimpiga 30 washikiliwa kwa tuhuma za mauwaji ya watafiti wa kazi ni kazi segment inaletwa kwako na mtangazaji wa kipindi cha ulipitwa na kipindi cha hii leo chenye mkusanyiko wa habari na
2017-11-23T03:30:38
http://sunriseradio.co.tz/index.php/previous-sessions/
swahili time halahala na utapeli huo posted by chemi chemponda at 732 pm micky monkey said nini kilitokea after hiyo it's probably kanumba lying again
2019-11-12T21:57:38
http://swahilitime.blogspot.com/2008/01/halahala-na-utapeli-huo.html
dkt ndugulile afungua kituo cha kutoa huduma shufa (one stop centre) wilayani kahama mkoani shinyanga sufianimafoto home afya habari dkt ndugulile afungua kituo cha kutoa huduma shufa (one stop centre) wilayani kahama mkoani shinyanga
2018-11-14T02:23:52
http://www.sufianimafoto.com/2018/02/dkt-ndugulile-afungua-kituo-cha-kutoa.html
viongozi wapya wa umoja wa ulaya watarajiwa kuhimiza uhusiano kati ya umoja huo na china china radio international viongozi wapya wa umoja wa ulaya watarajiwa kuhimiza uhusiano kati ya umoja huo na china (gmt+0800) 20190709 180757 mkutano maalumu wa wakuu wa umoja wa ulaya uliofanyika wiki iliyopita uliteua viongozi wanne wa umoja huo waziri mkuu wa ubelgiji bw michel atakuwa mwenyekiti wa baraza la ulaya waziri wa ulinzi wa ujerumani bi ursula von der leyen atakuwa mwenyekiti wa tume ya umoja wa ulaya mwenyekiti wa shirika la fedha duniani bi christine lagarde kutoka ufarasa atakuwa mkuu wa benki kuu ya ulaya na waziri wa mambo ya nje wa hispania bw josep borrell fontelles atakuwa mwakilishi mwandamizi wa umoja wa ulaya anayeshughulikia sera za diplomasia na usalama hivi sasa umoja wa ulaya unakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo suala la wakimbizi nguvu ya kisasa inayojali fikra kali za umma kukwama kwa brexit kudidimia kwa uchumi na mvutano wa kibiashara na marekani hivyo kuimarisha na kuongeza ushirikiano na china ni mwekeleo wa juhudi za kidiplomasia ya umoja wa ulaya mwaka huu rais xi jinping na waziri mkuu wa china bw li keqiang kwa nyakati tofauti walifanya ziara barani ulaya kwenye mkutano wa 21 wa wakuu wa china na umoja wa ulaya uliofanyika aprili pande hizo mbili zilisisitiza kusukuma mbele zaidi uhusiano wa kiwenzi kati yao katika mambo ya amani maendeleo mageuzi na ustaarabu na kupanga kwa pamoja ajenda ya ushirikiano baada ya mwaka 2020 china na umoja wa ulaya zina lengo la pamoja katika kulinda amani duniani kutokana na ongezeko la vitendo vya kujilinda kibiashara na upande mmoja china na umoja wa ulaya zinatetea kulinda utaratibu wa kimataifa ambao kiini chake ni umoja wa mataifa kuunga mkono kutatua migogoro ya kikanda kwa njia ya mazungumzo na kuhimiza kwa pamoja amani utulivu na maendeleo endelevu duniani katika masuala ya ongezeko la uchumi na mageuzi china na umoja wa ulaya pia zina maslahi mengi ya pamoja umoja wa ulaya umekuwa mwenzi mkubwa zaidi wa kibiashara wa china kwa miaka 15 mfululizo ambapo china pia ni mwenzi mkubwa wa pili wa kibiashara wa umoja huo kutokana na mvutano wa kibiashara unaochochelewa na marekani pande hizo mbili zinapaswa kushirikiana ili kulinda utaratibu wa pande nyingi na biashara huria katika mazungumzo ya ustaarabu ushirikiano kati ya china na umoja wa ulaya pia unaongezeka mwezi machi mwaka huu rais xi alipofanya ziara barani ulaya alifikia makubaliano mengi na viongozi wa italia ufaransa na monaco katika mambo ya utamaduni michezo elimu utalii na sekta nyinginezo hivi sasa dunia inakabiliwa na mabadiliko makubwa na maslahi ya pamoja ya china na umoja wa ulaya zinaongezeka kwa mfululizo china inapenda kushirikiana na viongozi wapya wa umoja huo kuinua zaidi kiwango cha uhusiano wa wenzi wa kimkakati kati ya pande hizo mbili katika miaka mitano ijayo
2019-07-17T23:40:38
http://swahili.cri.cn/141/2019/07/09/1s187131.htm
wakili jacob sarungi kuagwa kesho alphaigogocom wakili jacob sarungi kuagwa kesho may 17 2020 alpha igogo leave a comment *advocate jacob emmanuel sarungi *dear memberit is with deep regret that we inform you of the untimely death of tls member advocate jacob emmanuel sarungi roll number 4666 who passed away on friday 15th may 2020 in morogoro *after being involved in car accident* *last respects* for the late advocate jacob emmanuel sarungi will be held on *monday 18th may 2020 from 1700hrs at his residence mbagala majimatitu saku street dar es salaam* thereafter the *burial services will take place at rorya utegi village mara region on wednesday 20th may 2020*members who wish to attend the last respects and burial in honor of our dearly departed friend and colleague should dressed in bibs and robes *may the almighty god rest his soul in eternal peace* regards |tanganyika law society secretariat kwa taharifa kutoka ndani ya familia na kama ilivyo andikwa na jumuiya ya wanasheria wa tanzania yakwa wakili jacob sarungi ataagwa kesho mchana masaa ya africa mashariki kisha mwili wake kusafirishwa kwenda kijijini utegi wilaya ya rorya mkoa wa mara ambapo atalazwa katika nyumba yake ya milele katika makaburi ya familia nitaendelea kuweka kumbukumbu hizi kadri nitavyokuwa nazipata asanteni previous posttanzia pumzika kwa amani advocate jacob sarungi
2020-05-28T14:53:18
http://www.alphaigogo.com/wakili-jacob-sarungi-kuagwa-kesho/?shared=email&msg=fail
san antonio mitsubishi cars & vehicles for sale | ebay classifieds (kijiji) page 1 $229882012 mitsubishi outlander sport sport utility sesan antonio trucks vans & suvsposted 05/21/13$85002006 mitsubishi raidersan antonio carsposted 05/17/13$93882007 mitsubishi eclipse 2dr car gssan antonio carsposted 05/09/13$199902009 mitsubishi eclipse convertible gtsan antonio carsposted 05/08/13$124002009 mitsubishi lancer 4dr sdn man desan antonio carsposted 04/30/13$175992011 mitsubishi endeavor crossover lsharper carsposted 04/26/13$174952011 mitsubishi outlander sport sport utility sesan antonio trucks vans & suvsposted 04/20/13$149002011 mitsubishi galant 4 dr sedan fesan antonio carsposted 04/18/13$10001998 mitsubishi eclipse spyder gssan antonio carsposted 04/05/13$85002006 mitsubishi raider durocrosssan antonio trucks vans & suvsposted 03/31/13 $99952007 mitsubishi eclipse 2dr coupe gs gscorpus christi carsposted 05/21/13$89802004 mitsubishi diamante 4dr car lscorpus christi carsposted 05/21/13$158882011 mitsubishi endeavor awd 4dr lshouston otherposted 05/20/13$159882012 mitsubishi eclipse hatchback gshouston carsposted 05/20/13$149812012 mitsubishi eclipse 3dr cpe auto gs cruise control tachometerhouston otherposted 05/19/13$189882011 mitsubishi outlander sport 4d sport utility sekingwood trucks vans & suvsposted 05/18/13$59822007 mitsubishi eclipse 3dr cpe sportronic auto gsaustin carsposted 05/17/13$129752007 mitsubishi raider 4x2 double cab ls lscorpus christi trucks vans & suvsposted 05/17/13$49911996 mitsubishi 3000gthuntsville carsposted 05/16/13$149992009 mitsubishi lancer 4dr sdn man de dehouston carsposted 05/14/13$140002007 mitsubishi raiderseabrook trucks vans & suvsposted 05/13/13$40002003 mitsubishi lancer oz rally 111k (290 1960 copperfield)houston carsposted 05/10/13
2013-05-25T07:48:48
http://sanantonio.ebayclassifieds.com/cars-vehicles/?q=mitsubishi&catId=100027&output=gallery
nadeem sarwar noha 20012010 | nadeem sarwar noha 201920 ~ nadeem sarwar noha 2019 ~ farhan ali waris noha 2020 ~ farhan ali waris nohay 201920 ~ hasan sadiq noha 201920 ~ hasan sadiq noha 2020 ~ irfan haider noha 201920 ~ irfan haider noha 2020 ~ ali safdar noha 201920 ~ ali safdar noha 2020 ~ mir hasan mir noha 201920 ~ mir hasan mir noha 2020 ~ safdar abbas noha 201920 ~ safdar abbas noha 2020 ~ mesum abbas nohay 201920 ~ mesum abbas noha 2020 ~ raza abbas zaidi nohay 201920 ~ raza abbas zaidi noha 2020 ~ shadman raza noha 201920 ~ shadman raza noha 2020 home » nadeem sarwar noha 20012010 nadeem sarwar noha 20012010 nadeem sarwar noha 2001 aa mere piyare hussain download acha kia baba jo mujh ko download are o o sham waloon download chalye madeena download ghazi alam tera uncha rahe ga download quran wo kitab he download ya ali mola haider mola download ye chand tare download zuljinah download nadeem sarwar noha 2002 aao ek kam kareen karbala download me ye nahi kahti ke download ya fatima zahra download yasrab nazar aaya download karbala na bhooleen ge download utho hussain ko download shahzadealbara download jese pinjre me band download raj matam kar download nadeem sarwar noha 2003 1 duekumail download 2 waqterukhsat download 3 koi ho to chale download 4 sakeena kahani suno download 5 mere sar pe lillah download 6 alam abbas ka download 7 pala baba jana download 8 zindan se reha hogaye download 9 ek piyase ki jang download nadeem sarwar noha 2004 01 shah ast hussain download 02 amma achi amma mera download 03 aesa alam he kahan download 04 zakhmi zuljinah download 05 ma bulati he ae hussain download 06 neend aae gi rat download 07 subah aashoor teri download 08 ya nabiyallah ya download 09 jo bhi masroof e salam download nadeem sarwar noha 2005 01 ya hussain download 02 on mohammad merey download 03 abbas hamara hay download 04 bhai shabbir fe aman download 05 jesey jesey raat download 06 musafiranemusibat download 07 chotey sey sin main download 08 jao key na ab der karo download nadeem sarwar noha 2006 hai sughra bata download hum dekhain gay download hum hongay kahin download khanjar qareeb download kon qatil tha download mujhe pedal chalna download poat sah baba download wah meray abbas download nadeem sarwar noha 2007 nadeem sarwar noha 2008 abbas bulata hai download ban mein sath sath ho download buss ya hussain download han yeh hai sher sham download hey hey qasim download mujh pay kyu band download saraban saraban download yeh maa kaha thi download nadeem sarwar noha 2009 abbasasnaablotke download bibiyaanrehgain download mainrahonyana download matameshabbiras download muslimdiyan download naromaulaas download salaamabbasasyamuala download yaaliasyahussainas download yehmaahemuharram download nadeem sarwar noha 2010 abbas aa jao download achchay mere baba download ae azadarehussaini download fatima zehra ka bhara ghar download haye mere hussainohasan download jahan hussain wahan laillaha download kiya mataam hussain jao download meda haq banrda download yadekal khair download nadeem sarwar nohay mp3 free download 2009nadeem sarwar 2001noha2018noha mp3 download 2010nadeem sarwar nohay mp3 free download 2010nadeem sarwar abbas aa jao bhai mp4hd videonadeem sarwar ka noha 2001 ka mp3 downloadnaseem sarwar nuha 20001nadeem sarwar matammp3 nadeem sarwar 2001
2020-01-20T00:45:22
https://noha.alemohamed.com/nadeem-sarwar-noha-2001-2010/
bakuli スワヒリ語 ヘブライ語 翻訳と例 検索ワード bakuli (スワヒリ語 ヘブライ語) yesu akajibu atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa na viumbe vyote hai baharini vikafa kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao eufrate maji yake yakakauka na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki kisha malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama giza likauvamia utawala wake watu wakauma ndimi zao kwa sababu za maumivu kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi hekaluni ikisema mwisho umefika ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo wanafiki mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyang'anyi na uchoyo affliction (英語>アフリカーンス語)marathi essay on my mother (英語>ヒンズー語)allah knows how much i love you (英語>タガログ語)oom pah (ドイツ語>英語)tu nos esperas (スペイン語>英語)ma phupho ban gayi (ヒンズー語>英語)aguijars (スペイン語>簡体字中国語)chi cerca trova (イタリア語>スペイン語)ushtar (アルバニア語>イタリア語)naka piring ang isang mata (タガログ語>英語)i salute you (英語>フランス語)فیلم سوپر خاله الکسیس (フランス語>英語)tanktourismus (ドイツ語>英語)pinalitan na tao (タガログ語>英語)nar (英語>ロシア語)i would love (英語>タガログ語)குடியரசு தலைவர் (タミル語>英語)short story about senior citizens (英語>ヒンズー語)γραμματέας (ギリシア語>ドイツ語)english ng naninilip (タガログ語>英語)uitgewisseld (オランダ語>デンマーク語)50 jodi padagalu examples in kannada (英語>カンナダ語)just keep on praying (英語>タガログ語)carcinogen meaning (英語>タガログ語)soar (英語>ウェールズ語)
2020-08-14T08:05:43
https://mymemory.translated.net/ja/%E3%82%B9%E3%83%AF%E3%83%92%E3%83%AA%E8%AA%9E/%E3%83%98%E3%83%96%E3%83%A9%E3%82%A4%E8%AA%9E/bakuli
daktari majibu ya uti hayatoki ndani ya muda mfupi hali yako kiafya siyo nzuri na unahisi una malaria kutokana na kuwa na dalili zote za ugonjwa huo unaamua kwenda zahanati kupata vipimo vya afya unakutana na foleni ya wagonjwa hivyo unafuata utaratibu wa kwenda kumuona daktari kisha unachukuliwa vipimo na kupelekwa maabara ndani ya saa moja ukiwa umekaa kwenye benchi huku umeshika tama anakuja muuguzi kukuita ili uende kuchukua majibu yako kwa daktari ambayo yanaonyesha una maambukizi ya njia ya mkojo (uti) hakika ugonjwa huu umekuwa maarufu siku hizi kwa kuwa wengi wanaokwenda katika baadhi za hospitali zahanati au vituo cha afya kupata tiba huambiwa wana uti huenda hiyo ndiyo sababu ya kushamiri kwa biashara ya kuuza dawa za ugonjwa huo kwenye baadhi ya zahanati na vituo vya afya utafiti uliochapishwa miaka kadhaa iliyopita na asina pacific journal of tropical medicine umeonyesha kuwa zahanati na vituo vya afya binafsi hulenga kuuza dawa kama chanzo cha mapato badala ya kuangalia afya ya mteja(mgonjwa) kwa mujibu wa utafiti huo vituo vya afya na zahanati binafsi huongeza malipo kwa mgonjwa kwa kumuandikia sindano za ugonjwa huo wagonjwa wasemaje wagonjwa saba kati ya 10 waliohojiwa na gazeti hili kwenye vituo vya afya viwili na zahanati sita waliopimwa afya kutokana na kusumbuliwa na homa waliambiwa vipimo vyao vimeonyesha wana uti hee huu ugonjwa umeningangania kila nikijisikia vibaya nikipima nakutwa na uti na dawa ninazopewa ni hizi hizi ciprofloxacinanasema zulfa zayd ambaye ni miongoni mwa wagonjwa waliohojiwa na gazeti hili nilihama zahanati na huku nako nimekutana na yale yale kilichobadilika ni aina ya dawa huku nimepewa ciplo nimechoka jamani agness shao aliyekuwa akipima afya kwenye zahanati iliyopo maeneo ya kinondoni anasema anajua ugonjwa wake ni huo nikijisikia vibaya nakwenda kupima kwa ajili ya kujiridhisha lakini najua kabisa huu ndiyo ugonjwa wangu kwa sababu tunatumia choo kimoja watu wengi anasema shao wataalamu wa afya wazungumza mganga mkuu wa serikali profesa muhammad kambi anasema waliopewa mamlaka ya kulinda afya za wananchi wanaonekana kulisahau jukumu lao na kwa kufanya hivyo wanahatarisha maisha ya wananchi tumekuwa tukisema mara nyingi hatua za kupima maradhi hayo kwanza unaupima mkojo na unaweza kupata mabadiliko ya mkojo kwa kupima kipimo cha kwanza ukahisi ni uti ilihali kitaalamu ni lazima kujiridhisha kabla ya kutoa uamuzi wa majibu kwa mgonjwaanasema profesa kambi anaongeza kuwa mkojo unapopimwa unaweza kuonyesha kuwa kuna bakteria ili kujiridhisha kama ni wa ugonjwa huo lazima wale bakteria waoteshwe hatua hiyo kitaalamu inaitwa (culturing bacteria) ili upate majibu sahihi kipimo hiki huchukua saa 48 kwa uchache hadi 72 tofauti na hapo majibu hayo si sawa tunakemea kila siku kumpa mtu dawa za ugonjwa asiokuwa nao ni kumtia usugu kwa sababu ukifanya na kipimo cha kuotesha bakteria kinakupa na mwelekeo wa dawa gani atumie kwa kuhisi hisi lazima utampa isiyokuwa sahihi anasema profesa kambi daktari godfrey materu wa kituo cha afya cha arafa kilichopo maeneo ya temeke dar es salaam anasema kuna wagonjwa wanakwenda kupima wakiwa na majibu yao kichwani kuna wakati tunalazimika kutoa elimu kwa sababu wagonjwa huja na majibu ya magonjwa yao kichwani wanapoambiwa hawana homa wanakasirika na kwenda kupima mahali kwingine kuna wakati nilinusurika kufukuzwa kazi kwenye zahanati fulani baada ya kumueleza mgonjwa aliyekuwa anapata homa kuwa hana malaria uti wala typhoid badala yake ana uchovu akanywe maji na apumzike muda mrefu anasema dk materu anafafanua kuwa mgonjwa alikuwa anamfahamu mwenye zahanati ndipo alikwenda kumwambia kuwa hakupimwa ipasavyo aliambiwa (na mwenye zahanati) aje siku inayofuata na asilipe apimwe na daktari mwingine (alipopimwa) alikutwa na uti nyingi na malaria wadudu watano na kununua dawa pale pale na aliondoka kwa furahaanasema kutokana na vipimo hivyo kutofautina na vyake bosi wake alimfokea na kumuona kama mtu anayetaka kumfukuzia wateja sipingani na hilo lakini nashauri wagonjwa wawaamini wataalamu wa afya badala ya kuja na majibu ya homa zao kwa madai wanajijua anashauri dk materu utaratibu wa vipimo vya uti mkuu wa mafunzo kutoka chuo kikuu cha kcmc profesa alfred mteta anasema ili kujua kama mtu ana uti au la mkojo wake unatakiwa kupita kwenye vipimo saba anasema vipimo hivyo vikibainisha kuwapo kwa bakteria ndiyo wataoteshwa kupata uhakika kama ni maradhi hayo au la na itafanyika kwa saa 48 au 72 kinachofanyika sasa ni biashara badala ya huduma hawa wenye hizi zahanati wanalenga zaidi kuuza dawa wanasahau kuwa kazi yao ni kulinda afya za watu na siyo kuwaumiza kumpa mtu dawa kwa ugonjwa asiokuwa nao ni kuufanya mwili uwe sugu na usikubali matibabuanasema profesa mteta anasema uti inaanza na dalili kwa mgonjwa ikiwamo kuhisi maumivu au moto kwenye njia ya mkojo na kukojoa mara kwa mara baada ya dalili hizo mgonjwa akisikilizwa na kupimwa na daktari hufanyiwa pia vipimo vya maabara kipimo cha kwanza na cha muhimu sana ni urinalysis ambacho pamoja na mambo mengine mkojo wa mgonjwa huzungushwa kwenye mashine maalumu (centrifuge) halafu huangaliwa kwenye darubini anasema profesa mteta akielezea zaidi anasema lengo ni kuangalia kama kweli kuna ushahidi wa uti hasa uwapo wa white cells na red cells (seli nyeupe na nyekundu) nyingi vilevile huangalia uwapo wa bakteria katika mkojo pamoja na aina nyingine za seli na vijidudu anasema akizungumzia hatua ya pili anasema ni kuufanyia ule mkojo culture yaani kuotesha na kutambua aina ya vidudu vilivyo kwenye mkojo hii ya culture huendana na sensitivity test yaani vile vidudu vilivyoota hujaribiwa kwenye maabara ni dawa gani itafaa kuvitibu hatua zote hizi zinachukua saa 48 hadi 72 lakini zinampa daktari uhakika wa uwapo wa uti na matibabu gani yatolewe yaani antibiotic gani na kwa dose gani na muda gani huo ndiyo utaratibu ambao sasa unavunjwa na baadhi ya watu wasio na weledi kwenye taaluma ya afya ambao huchukua njia ya mkato na kubambikiza wateja uti ili kuwauzia dawa tu anasema profesa mteta pia anasema wagonjwa wanaweza kuathirika na antibiotics hizo na vilevile dawa holela husababisha usugu wa vijidudu kwa antibiotics
2019-03-24T15:11:43
https://www.mwananchi.co.tz/Daktari--Majibu-ya-UTI-hayatoki-ndani-ya-muda-mfupi/1596774-5026062-2m2yoqz/index.html
huu ndio msimamo mpya wa serikali kuhusu misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini home timheavencom tim heaven home news huu ndio msimamo mpya wa serikali kuhusu misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini huu ndio msimamo mpya wa serikali kuhusu misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini chief hope june 22 2016 news by chief hope at june 22 2016
2017-08-18T16:17:20
http://www.timheaven.com/2016/06/kodi.html
chencan gm3560t big size 5 axis molding cnc router mchakato center uchina shandong chenan mashine chencan gm3560t big size 5 axis molding cnc router mchakato center gm3560t ni chencan binafsi maendeleo 5 xis machining katikati na spindle nguvu ukubwa kubwa ya kazi kasi ya haraka usahihi juu na kwa muda mrefu kuinua wakati 1 kupitisha kompyutawasaidiwe kubuni kufikia mashine ya optimum miundo design by gantry zinazohamishika na hali ya kudumu ya meza mashine yote ni svetsade na kuimarisha chuma muundo kuimarisha mbavu ni svetsade ndani taratibu nyingi za matibabu msamaha wa dhiki sana kuboresha rigidity mashine yote na kusindika na joto matibabu matiko kuhakikisha kuwa utulivu ni bora si rahisi kuwa deformed 2 z mhimili kupitisha usahihi tbi usahihi mpira screw na zima z na kiasi spindle sahani kutumia kubuni nzito kuruhusu usahihi juu na utulivu wakati kazi kwa ajili ya vifaa kuu 3 guide reli na rafu kufunikwa ndani ya vumbi uthibitisho vumbi ushahidi kubuni kuwaweka safi 4 z mhimili kutumia dual nitrojeni mizani silinda kubuni ambayo kwa ufanisi inapunguza motor ya upakiaji nguvu na kupanua huduma ya maisha ya mashine ya hakuna mashine haja ya matumizi ya hewa shinikizo 5switzerland hes5 mhimili mfumo wa kudhibiti na usb uhusiano na kudhibiti dirisha mfumo wa kufanya kazi zaidi rahisi na kudhibiti baraza la mawaziri na marekani joto kubadilishana mfumo 6 t yanayopangwa kutupwa kazi meza utaratibu matiko matibabu ya juu si rahisi kuwa deformed urefu mkubwa moja meza kipande ni 2m ili fit katika chombo 7 nyingine kubuni na vipuri tunatumia bidhaa ya juu kama vile auto mfumo oil mfumo auto mafuta ukungu auto spindle baridi mfumo kwa chiller ujerumani igus cable mbele ya kinga & mlango wa nyuma design wote kuhakikisha mashine yote na bora utendaji • xyz kazi ukubwa 3500mm * 6000mm * 2200mm • spindle italia 24kw spindle (a ± 120 ° c ± 360 °) na kuweka nzima 5 mhimili mzunguko kichwa • spindle kasi 24000rpm / m • meza kutupwa chuma meza • uswisi num servo motor na mfumo gari • uswisi hes5 mhimili mfumo wa kudhibiti na mali 5 mhimili kazi • xy mhimili zilizoingizwa msokoto rafu na maambukizi pinion • chombo magazine linear aina chombo magazine na mmiliki 8 chombo • mfumo nitrogen nyumatiki 1 die sekta any uchongaji ya alumini povu plastiki pvc mbao mashine na vifaa vingine vya laini metali 2 sekta mold any aina ya gari mold boti mold mold foundry anga mold mold dia nk 3 bamba usindikaji sekta insulation alumini plastiki na kemikali pcb hoja ya gari mwili akainama kufuatilia nyota bodi ya kupambana na maalum epoxy resin abs pp pe na nyingine carbon mchanganyiko awali sf1530a5sfive axis processing center
2019-04-24T22:03:19
http://www.sdcncrouter.com/sw/chencan-gm3560t-big-size-5-axis-molding-cnc-router-process-center.html
tarehe iliyowekwa september 30th 2018 mkuu wa mkoa wa dodoma dkt binilith mahenge amewataka madereva mkoani wote katika mkoa wa dodoma kufuata sheria na kuheshimu alama za barabarani ili kuepukana na ajali zisizo za lazima aliyasema hayo katika hospitali ya mji kondoa baada ya kuwatembelea majeruhi wa ajali ya basi la kampuni ya emigrace lenye namba za usajili t 550 dfu lililokuwa likitokea babati kuelekea dar es salaam ajali iliyotokea mapema leo katika eneo la kolo kwa dino amesema kuwa kufuata sheria na kanuni za barabarani zitasaidia kuwaepusha na ajali kwa kuwa chombo hakisemi na kuwasihi kufanya maamuzi sahihi kunapotokea hitilafu zozote katika chombo ili kuokoa maisha ya abiria ajali hii inaonekana dereva hakuwa na mwendo mkali ila alichelewa kufanya maamuzi ya kulikwepesha gari katika eneo salama na kupelekea abiria kuumia na jeshi la polisi linafanya uchunguzi wote waliohusika kusababisha ajali sheria zichukuliwe dhidi yakealisema dkt mahenge aidha alimwagiza kamanda wa polisi wa wilaya ya kondoa kuweka trafiki katika eneo hilo lenye mteremko na kona kali ili kukagua magari yanayopita hapo na kuokoa maisha ya abiria na mali zao na kuwashukuru kamati ya ulinzi na usalama wakiongozwa na mkuu wa wilaya na watumishi wa hospitali ya mji kwa ushirikiano waliouonyesha katika kuokoa maisha ya abiria hao akiongea mkuu wa wilaya mhe sezaria makota alimwomba mkuu wa mkoa kusaidia upatikanaji wa fedha za kujenga kituo cha afya kolo na chumba cha wagonjwa mahutiti katika hospitali ya mji ili kuokoa maisha ya wanaopata ajali kwani ajali nyingi zinatokea katika eneo hilo naye mganga mfawidhi wa hospitali ya mji kondoa dkt florence hilary alisema kuwa walipokea majeruhi 35 ambapo majeruhi 10 waliruhusiwa 25 wamelazwa na wagonjwa 8 wapelekwa katika hospitali ya mkoa wa dodoma kwa matibabu zaidi
2018-12-14T03:31:37
http://kondoatc.go.tz/new/fuateni-sheria-na-alama-za-barabarani-dkt-mahenge
wenger aitamani uingereza | ishi kistaa home sports wenger aitamani uingereza wenger aitamani uingereza kocha wa arsenal arsene wenger amesema kuwa anatamani kuifundisha timu ya taifa ya uingereza kwa siku za baadae lakini kwasasa ataendelea kubaki katika klabu yake wenger amesema anatamani kuifundisha uingereza kwa siku za mbele kutokana na watu wake wa karibu kumshawishi kuchukua timu hiyo wenger mwenye umri wa miaka 66 kesho anatarajia kusheherekea miaka 20 tangu aanze kuifundisha arsenal wakati huo mkataba wake ukimalizika mwisho wa msimu huu chama cha soka nchini uingereza (fa) kinatafuta kocha mpya kufuatia kuondolewa kwa sam allardyce kutokana na kukumbwa na kashfa ya usajili baada ya uchunguzi uliofanywa na gazeti la telegraph big sam aliyerithi mikoba ya roy hodgson amedumu kwenye timu hiyo kwa siku 67 kabla ya kutimulia wiki hii ambapo ameiongoza uingereza kwenye mechi moja dhidi ya slovakia na kushinda 10 timu hiyo kwasasa inaongozwa na kocha wa gareth southgate ambaye ataiongoza katika michezo minne kabla ya kupatikana na kocha kamili mechi za uingereza zitakazoongozwa na southgate dhidi ya malta oktoba 8 slovenia oktoba 11 scotland novemba 11 november pamoja na mechi ya kirafiki dhidi ya uhispania novemba 15 previous articlekwa hili diamond platnumz anastahili kupigiwa makofi next articleinspekta haroun kuchia albam mpya yenye nyimbo 14 robben atundika duluga soka la kimataifa hattrick ya ronaldo yaiangamiza atletico madrid bernabeu
2020-07-07T23:26:56
http://www.ishikistaa.com/wenger-aitamani-uingereza/
imechapishwa 16/02/2015 0733 jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya congo lilizindua alhamisi januari 29 mwaka 2015 shughuli za kijeshi sokola2 ili kupokonya silaha waasi wa kihutu wa rwanda wa fdlr monusco ilikaribishwa uamuzi huo na kutangaza kwamba itatoa msaada wa vifaa kwa jeshi photo monusco/force rais joseph kabila wa jamhuri ya kidemokrasia congo amesema akisisitiza mbele ya mabalozi 21 wa jumuiya ya kimataifa nchini humo ikiwa ni pamoja na mkuu wa ujumbe wa umoja wa mataifa nchini drc kwamba nchi yake haihitaji tena msaada wa umoja huo ili kupambana na waasi wa fdlr katika mkutano ambao haukuashiria hali ya mazungumzo ya kawaida rais kabila amekosoa tabia ya mabalozi hao kuingilia masuala ya ndani ya nchi huku akitangaza kutohitaji tena msaada wowote wa kijeshi kutoka kwa askari wa kulinda amani nchini humo monusco juma lililopita ujumbe wa umoja wa mataifa monusco umetangaza kwa upande wake kusitisha msaada wowowte wa kijeshi kupambana na waasi hao ili kupinga uteuzi wa majenerali wawili wanaotuhumiwa kutekeleza vitendo vya uhalifu nchini humo tuhuma ambazo zinaendelea kutipiliwa mbali na serikali ya congo hatua ya kukataa msaada wa umoja wa mataifa inaweza kuwa njia moja wapo ya kutoanzisha operesheni halisi dhidi ya waasi wa fdlr iliyotangazwa kuzinduliwa mwishoni mwa mwezi januari na ambayo hadi sasa haijatekelezwa kulingana na vyanzo tofauti kufwatia msimamo huo wa serikali ya rais kabila monusco itakuwa kwenye nafasi ngumu ambapo mamlaka yake inahitaji kukabiliana na waasi wa kihutu wa rwanda na ambapo serikali ya congo inajikuta kubanwa na mamlaka hiyo ya umoja wa mataifa nchini humo baada ya kuridhia msaada wa umoja wa mataifa monusco yatangaza kuanzisha uchunguzi
2020-08-10T00:00:48
https://www.rfi.fr/sw/afrika/20150216-joseph-kabila-akataa-msaada-wa-un
9 ndzi vone yehovha a yime ehenhla ka alitari+ kutani a ku bana tinhloko ta phuphu leswaku tinyangwa ti ninginika u ti hubula etinhlokweni hinkwato ka tona+ kutani xiphemu xa tona xo hetelela ndzi ta xi dlaya hi banga a nga kona wa vona la balekaka loyi a nga ta baleka khwatsi naswona a nga kona eka vona loyi a balekaka loyi a nga ta pona+ 2 loko va cela esheol voko ra mina ri ta va teka kona+ loko va tlhandlukela ematilweni ndzi ta va xikisa kona+ 3 loko va tifihla ehenhla ka karimeli kunene ndzi ta va lavisisa kona kunene ndzi va teka+ loko va titumbeta emahlweni ka mahlo ya mina evuandlalweni bya lwandle+ ndzi ta lerisa nyoka kwale hansi yi fanele yi va luma 4 loko va ya evukhumbini emahlweni ka valala va vona ndzi ta lerisa banga kwale ri fanele ri va dlaya+ ndzi ta veka tihlo ra mina ehenhla ka vona hi vubihi ku nga ri hi vunene+ 5 kutani hosi leyi lawulaka yehovha wa mavuthu hi yena loyi a khumbaka tiko lerova ri noka+ vaaki va rona va ta rila+ kunene ri ta tlakuka ku fana na nayili hinkwaro ka rona ri mbombomela ku fana na nayili wa egipta+ 6 yena loyi a akaka swikhandziyo swakwe ematilweni+ ni muako wakwe ehenhla ka misava leyi a yi simekeke+ loyi a vitanaka mati ya lwandle+ leswaku a ma chulula ehenhla ka vuandlalo bya misava+vito rakwe i yehovha+ 7 xana a mi fani na vona vana va kuxi eka mina nwina vana va israyele ku vula yehovha xana israyele a ndzi nwi humesanga etikweni ra egipta+ ni vafilisita+ va huma ekreta na siriya a huma ekiri+ 8 waswivo mahlo ya yehovha hosi leyi lawulaka ma le henhla ka mfumo lowu nga ni vudyoho+ kunene u ta wu lovisa ehenhla ka vuandlalo bya misava+ nilokoswiritano yindlu ya yakobe ndzi ta yi lovisa hi ku helela+ ku vula yehovha 9 hikuva waswivo ndzi humesa xileriso naswona ndzi ta hlunguhla yindlu ya israyele exikarhi ka matiko hinkwawo+ hilaha munhu a hlunguhlaka sefo hakona lerova ku nga vi ni ribye leri welaka emisaveni 10 va ta dlayiwa hi bangavadyohi hinkwavo va vanhu va mina+ lava va nge khombo a ri nge tshineli kumbe ku fika eka hina+ 11 esikwini rero ndzi ta yimisa+ ntsonga+ wa davhida lowu wu weke+ kunene ndzi ta lunghisa mavangwa ya vona marhumbi ya wona ndzi ta ma pfuxa kunene ndzi ta wu aka ku fana ni le masikwini ya khale swinene+ 12 leswaku va dya ndzhaka ya leswi swi seleke swa edomu+ ni matiko hinkwawo lawa vito ra mina ri vitaniweke eka wona+ ku vula yehovha la endlaka leswi 13 waswivo masiku ma ta ku vula yehovha kutani murimi u ta rhangela mutshoveri+ loyi a pyanyaka madiriva u ta rhangela loyi a rhwalaka mbewu+ kutani tintshava ti ta thona vhinyo yo tsokombela+ switsunga hinkwaswo swi ta noka+ 14 kutani ndzi ta vuyisa vanhu va mina va israyele+ lava nga makhumbi va ta aka miti leyi lovisiweke va tshama eka yona+ va rima masimu ya vhinya va nwa vhinyo ya wona va rima mintanga va dya mihandzu ya yona+ 15 kunene ndzi ta va simeka emisaveni ya vona a va nge he simuriwi emisaveni ya vona leyi ndzi va nyikeke yona+ yehovha xikwembu xa wena u vurile
2019-12-06T23:45:07
https://www.jw.org/ts/layiburari/bibele/bi12/tibuku/amosi/9/
msimamo wa ligi kuu daraja la kwanza kanda ya unguja kwa msimu wa mwaka 2018/2019 zanzinews rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhejohn magufuli awasili nchini malawi na kuaza ziara yake ya kiserikali rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli na mwenyeji wake prof arthur peter mutharika wakiwasali rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhedktjohn magufuli awasili nchini malawi kwa ziara ya siku mbili ya kiserikali rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akishuka ndani ya ndege mara baada ya kuwasili katika uwanja home matukio michezo msimamo wa ligi kuu daraja la kwanza kanda ya unguja kwa msimu wa mwaka 2018/2019 msimamo wa ligi kuu daraja la kwanza kanda ya unguja kwa msimu wa mwaka 2018/2019 dc mshama adhamiria kuzifuta ngo 's za mifukoni na zinazofanya shughuli kibabaishaji *na mwamvua mwinyi kibaha * *mkuu wa wilaya ya kibaha mkoa wa pwani assumpter mshama amedhamiria kuyafuta mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (ngo's) w maadhimisho ya miaka 55 ya muungano wa jamuhuri ya muungano na tanzania kuadhimishwa kesho 26 april 2019
2019-04-25T10:43:46
http://www.zanzinews.com/2018/11/msimamo-wa-ligi-kuu-daraja-la-kwanza.html
wa9ja na mademu wa kibongo | jamiiforums | the home of great thinkers wa9ja na mademu wa kibongo discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mbogela oct 19 2009 siku moja katika blog fulani kulikuwa na mjadala mkali sana kuwa dada zetu wa kibongo (walioko mtoni/majuu) wanajiachia sana kwa watu wa afrika magharibi ambao (wawest) huja kuwatosa vibaya sana na wadada walijitetea kuwa wanashindwa kutoka na wabongo kwa sababu wabongo wanachenga nyingi sana hawaonyeshi kuwa mambo ya ndoa yapo wanapenda kutumia sana yaani yale mambo ya moja baridi moja moto na nyama choma sasa leo wakati napitia clips za big brother africa zimenikumbusha tena hii discussion kelvin (nigeria) amekuwa akimuomba elizabeth (tanzania) kwa karibu wiki tatu sasa (kila siku) na elizabeth ameonyesha msimamo wa kutokumuelewa mshikaji watu wengi wanasema elizabeth amekuwa ni mgumu kwasababu anajua yupo under camera lakini mambo yangekuwa yanafanyika nyuma ya pazia angekuwa ameshamfungulia mshikaji siku si nyingi pamoja na kumtafuta na kumwimbisha mtoto bado jamaa leo alimuudhi sana elizabeth kwa kumtamkia maneno ya kibaguzi yaliyomfanya (eliza) alie machozi http//betamnetcoza/mnetvideo/browsevideoaspxvid=19865 kelvin amejitahidi kubembeleza sana ili aweze kusamehewa lakini eliza alibaki na msimamo kuwa yameisha lakini hatakuja kusahau kelvin amebuy time ametafuta muda mwingine aje kuongea na mtoto tena na waweze kuyasuruhisha lakini elizabeth amezidi kuwa mgumu kwa kumwambia kelvin aachane naye na asimsumbue kelvin amejitahidi sana kuvumilia lakini hakusaidia kitu http//betamnetcoza/mnetvideo/browsevideoaspxvid=19929 lakini kilichonifurahisha ni usiku ulipofika muda wa kulala kelvin amekuja kumfunika elizabeth mablanket elizabeth amepigwa na butwa na kuonekana kutokufurahia kitendo hicho amefoka kwa kumuuliza kelvin anafanya nini kwani hamuelewi elewi lakini kinachonichekesha ni kelvin kuendelea na macare maana jamaa kashughurika weka mto sawa weka nywele za mtoto sawa kama vile hawajagombana mchana mwisho jamaa anamuuliza eliza kama kuna kitu anataka kama maji eliza aliyekuwa amechukia ameishia kucheka http//betamnetcoza/mnetvideo/browsevideoaspxvid=19916 nimefikia conclusion waacha wadada zetu waende huko west kama mambo yenyewe ndio hayo maana huyu jamaa anajua kabisa kuwa yupo under camera lakini hajali yeye anabembeleza mtoto najiuliza wanaume wangapi wa kibongo tungeweza kufanya hata nusu ya kelvin na mimi sioni kama jamaa anafanyia kamera naona uhalisia kabisa na feeling za kweli kwa elizabeth najua wapo watakaosema kuwa wapo wanaume wenye kuonyesha macare zaidi ya hii ya kelvin tukiachana na wapenzi kwa wana ndoa kuna appology kama ya kelvin kwa wanandoa hasa upande wa akina baba mkubwa mimi mfatiliaji sana wa big brother hasa big brother ya uk wanayofanya kila mwaka ila naona kwamba jamaa kevin ni kama mzungu kabisa maana hajali kabisa kama kuna camera wala nini yeye anafanya kilichompeleka na mule ndani watu wengi wanaogopa kufanya vitu kwa ajili ya camera sasa sijui camera wanaogopea niniila kevin nimemsifu sana yaanina naamini wakishakaa hata mwezi humo ndani watasahau camera mbogela nawe umedanganyika kirahisihuyo kelvin msanii tuanajua anachotafutakeshajua kuwa elizabeth anaogopa cameralakini mambo yangekuwa nyuma ya pazia alikwishamaliza kazi siku nyingielizabeth keshamzoea kelvin na anapenda vituko vya kelvinmuangalie vizuri anavyomtazama kelvin sio kama siku za mwanzoni halafu hawa washiriki wa mwaka huu mbona wanajificha ficha wakati wa kuoga bado naona wanaficha almasi zao ila wataziachia tu mida ikifikaso kigogo kaa mkao wa kula mida ndo hii mi nachelewa kwenda kazini walaaakh nione watoto hawa wakioga lakini wapidahhh si wakandamizane tu sisi wanaume ni wasanii than you think kumbe mnanijjijua tena tunaweza na kulia kabisa machozi kem kem lakini hakuna kitu apate kikojoleo basi kazi dah kigogo mwenyewe huyoooooowa ukweli yaniwanakupotezea hao ila kevin yuko fiti katika kubembelezaaanajifunza kweli kwake na wadau wamefarijikaaumebadilikaa mkuu nadhani shower hour imeondolewa haipo kwani dstv wana censor sana hii show ya mwaka huu nadhani hawaonyeshi kabisa kuoga wewe mzee wahi zako kazini tu ukirudi jioni mchungulie mama watoto wako inatosha ha ha ha mbona na sisi tunawakanyaga wanawake wa kiboboo na tunawaacha vilevile hadi wanatulilia sikonge why you do me like this ohh wewe unajidai too much chilli on your food go away bwanaa wanajijua sana kwani si hua wanafanya makusudi
2018-01-17T22:53:26
https://www.jamiiforums.com/threads/wa9ja-na-mademu-wa-kibongo.41468/
sepp blatter alazwa kwa tatizo la mshituko wa neva | boiplus blogspot » sepp blatter alazwa kwa tatizo la mshituko wa neva sepp blatter alazwa kwa tatizo la mshituko wa neva rais wa shirikisho la soka la kimataifa (fifa) sepp blatter amelazwa hospitalini kutokana na kupatwa mshituko wa neva blatter aliyesimamishwa kwa siku 90 kujishughulisha na masuala ya soka wakati akichunguzwa kwa kashfa za rushwa alilazwa hospitalini kwa ajili ya uchunguzi wa afya lakini sasa imeelezwa ataendelea kubaki huko mwanamichezo huyo aliyeongoza ulimwengu wa soka kwa miaka 18 mpaka sasa awali ilidaiwa alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo hivyo ikabidi apate huduma ya matabibu sasa imebainika ana tatizo la mshituko wa neva awali mwanasheria wake richard cullen alieleza juu ya uangalizi huo wa madaktari kutarajiwa lakini akasema alitarajia arejee nyumbani mapema kabla hali kubadilika na kutolewa maelezo tofauti hata hivyo watu wake wa karibu wameeleza hali yake si mbaya na anatarajiwa kurejea katika hali ya kawaida japokuwa atabaki hospitalini hadi mapema wiki ijayo msaidizi wake walter gagg amesema kwamba bosi huyo anatarajiwa kuwa mwenyeji wa hafla ya kukabidhi tuzo ya mwanasoka bora hapo januari 11 mwakani
2016-12-03T09:36:09
http://boiplus.blogspot.com/2015/11/sepp-blatter-alazwa-kwa-tatizo-la.html
mwanamke wa kwanza kukutwa na hatia ya mauaji ya kimbari nchini rwanda | jamiiforums | the home of great thinkers mwanamke wa kwanza kukutwa na hatia ya mauaji ya kimbari nchini rwanda discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by xpaster jun 30 2011 pauline nyiramasuhuko becomes first rwandan woman to be convicted of genocide the evidence presented by these survivors is among the worst encountered by this chamber the judges said it paints a clear picture of unfathomable depravity and sadism na slisura lake liko kopiraiti na iiraili mtoa roho flora huu ugomvi wa hawa jamaa unaujua kweli unajua kilichomuua prof mwaikusa kwa taarifa yako hakuna mahakama pale hapana nooo sijui kilichomdedisha banaaa
2018-01-18T04:52:40
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-wa-kwanza-kukutwa-na-hatia-ya-mauaji-ya-kimbari-nchini-rwanda.150592/
sudan kusini iko njiapanda hatma yake iko mikononi mwa wanasiasa unmiss | habari za un sudan kusini iko njiapanda hatma yake iko mikononi mwa wanasiasa unmiss sudan kusini iko njiapanda lakini bado kuna fursa ya kuepusha mwendelezo wa ghasia na mapigano amesema hilde johnson mwakilishi maalum wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa nchini humo na pia mkuu wa ujumbe wa umoja huo wa kulinda amani unmiss taarifa zaidi na joshua mmali katika salamu zake za mwaka mpya kutokajuba bi johnson amesema matarajio yote ya kuendeleza nchi hiyo kiuchumi yaliyofikiwa takribani mwezi mmoja uliopita katika kongamano la uwekezaji sasa yametumbukia amesema ni matumaini yake kuwa mwaka huu utarejesha matumaini ambayo yalianza kuonekana ndani ya taifahilochanga hata hivyo amesema mustakhbali wasudankusini uko mikononi mwa viongozi wa kisiasa rais salva kiir makamu wake wa zamani riek machar na wananchi kwa ujumla (sauti ya hilde) ninatoa wito kwa wananchi wote wa sudan kusini wasaidie kuleta utulivu wajizuie kutumia lugha ya uchochezi au chuki natoa wito kwa viongozi wa nchi hii changa na vyama vyote vya kisiasa vikundi pamoja na viongozi wa kijamii kujizuia na vitendo ambavyo vinaweza kuchochea vita vya kikabila na kuchochea ghasia nawasihi raia wote ninyi viongozi wa nchi hii kuzuia vitendo vyovyote vya ghasia dhidi ya jamii yoyote bila kujali ni nani na wanakotoka tayari pande mbili hizo zinazokinzana zimetuma wajumbe wao hukoaddis ababaethiopiakwa ajili ya mazungumzo yanayoratibiwa na nchi za igad shirika la umoja wa mataifa la kuratibu usaidizi wa kibinadamu ocha linasema hadi sasa zaidi ya watu 190000 wamepoteza makaziyaonchini humo hata hivyo waliofikiwa na misaada ni laki moja na elfusaba
2018-02-19T04:10:34
https://news.un.org/sw/story/2014/01/367682-sudan-kusini-iko-njiapanda-hatma-yake-iko-mikononi-mwa-wanasiasa-unmiss
magari ya iett yaliyo tayari kwa msimu wa baridi | rayhaber | raillynews [24 / 02 / 2020] ofisi ya ukuzaji wa magari ya ndani ya trnc ilifunguliwa 90 trnc nyumbaniturkeymkoa wa marmara34 istanbulmagari ya iett tayari kwa msimu wa baridi 09 / 12 / 2019 34 istanbul iett general highway taasisi mifumo ya magurudumu ya tiro headline mkoa wa marmara metrobus turkey zana za iett ziko fupi jumla ya magari ya 6 elfu 154 yaliyounganishwa na iett yalikuwa yamefungwa matairi ya msimu wa baridi ambayo yanafuata kanuni vipunyizi vilikaguliwa na antifreezes ziliongezwa kwa maji ya wiper mifumo ya joto katika magari ilibuniwa waya na mihuri katika mifumo inayoweza kuanguka ilikaguliwa moja kwa moja magari ya iett sasa yapo tayari kwa msimu wa baridi kwa kuanza kwa msimu wa msimu wa baridi mnamo desemba hitaji la matairi ya theluji katika magari ya biashara lilianza i̇ett basi inc na gari za 6 elfu 154 zilizounganishwa na biashara za basi la umma za kibinafsi zilitayarishwa kwa msimu wa baridi hatua zinazochukuliwa dhidi ya maporomoko ya theluji inayowezekana hufanywa kwa kushirikiana na manispaa ya metropolitan ya istanbul na akom akom inapiga kelele kujibu shida za kutoa papo hapo zinaendelea na masaa ya 7 ya masaa 24 yaliyoidhinishwa siku hiyo ni wilaya gani na vitongoji vilivyopata shida katika miaka iliyopita mistari njia mitaa na mitaa ambayo inaweza kuathiriwa na kuanguka kwa theluji imedhamiriwa kwa vidokezo hivi ambapo kipaumbele cha salting kiliamuliwa uwasilishaji wa mifuko ya chumvi kwenye majukwaa ulianza waandishi wa sasa wanakua kwanza kwa upande wa onyo la theluji ya hali ya hewa ilipangwa kwamba walindaji wa theluji walioteuliwa wataanza kufanya kazi huko 0300 usiku wachunguzi hawa watashirikiana na akom kutambua maeneo ambayo salting inahitajika kabla ya mabasi kuondoka na kuzuia wakati wa kupumzika line ya metrobus na mengi ya juu na chini ya kuzuia athari mbaya ya theluji pia ilichukuliwa hatua ndani ya wigo huu vifaa vya kulima theluji vitawekwa kwenye gari za kukabiliana na dharura za 3 kazi zinazopaswa kufanywa na jopo la theluji ya 21 na gari la suluhisho la 3 kwenye njia ya metrobus itafanywa na kurugenzi ya matengenezo ya barabara na i̇bb na i̇ett vituo vya kuimarisha chumvi viliundwa katika hatua ya 44 kando ya mstari wa 7 uliosababishwa na metrobus ili kuzuia abiria kuathiriwa na barafu kwenye vilima vya kupita na chini ya mifuko mifuko ya chumvi ilisafirishwa kwa vituo vya metrobus kutumiwa wakati inahitajika kwa kuongezea ndege za nyongeza zilipangwa na kituo cha usimamizi wa fleet ili kukidhi mahitaji ya kusafiri ya mishipa kuu ambayo inaweza kuongezeka kwa hali ya msimu wa baridi iett itatuma kadi za usafiri za bure za wazee kwenye anwani kituo cha usimamizi wa meli ya iett njia ya metrobus vituo vya metrobus
2020-02-28T17:15:41
https://sw.rayhaber.com/2019/12/zana-za-iett-ziko-fupi/
vijimambo ra apiga marufuku kutumia kangomba ra apiga marufuku kutumia kangomba mkuu wa mkoa wa lindi mhe godfrey w zambi akipewa maelezo na afisa vipimo juu ya mizani ya iliyoundwa na watanzania mkuu wa mkoa wa lindi mhe godyfrey zambi akielezwa athali za kutumia vipimo batili (kangomba)
2018-07-21T22:49:24
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2017/08/ra-apiga-marufuku-kutumia-kangomba.html
tamko la afrika kuhusu demokrasia chaguzi huru na utawala bora linatekelezeka rfi tamko la afrika kuhusu demokrasia chaguzi huru na utawala bora linatekelezeka imetangazwa tarehe 03022020 imehaririwa 04022020 saa 0851 nembo ya umoja wa afrika wikipedia imetimia miaka 13 tangu bara la afrika kuridhia tamko la demokrasia utawala bora na chaguzi huru za haki tunaangazia tamko hilo na wajibu wa viongozi na asasi za kiraia kukuza demokrasia barani afrika ungana na fredrick nwaka katika makala ya jua haki zako akizungumza na mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu lhrc ana henga un ukiukaji wa haki za binadamu wapungua kidogo drc libyaauunusalama mkutano wa au kuhusu mgogoro wa libya kufanyika alhamisi hii jumatatu 2 desemba 2019 mara kadhaa katika mataifa ya afrika kumeripotiwa matukio ya kuvunjika kwa uchumba baina ya mwanaume na mwanamke waliokuwa na matarajio ya kufunga ndoa je utaratibu jumatatu 25 novemba 2019 ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake huku vitendo hivyo badoi vikiripotiwa katika mataifa mbalimbali dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na wasichana huku kundi hili likikabiliwa na changamoto mbalimbali kama ndoa za utotoni kudhalilishwa makala ya jua haki zako wiki hii inaangazia haki za mwajiri na mwajiriwa kulingana na mikataba ya kimataifa kikanda na sheria za nchi mbalimbali ungana na fredrick
2020-02-25T16:09:31
http://sw.rfi.fr/afrika/20200203-tamko-la-afrika-kuhusu-demokrasia-chaguzi-huru-na-utawala-bora-linatekelezeka
meya wa jiji la dar es salaam atoa kongole kwa yanga simba na azam fc saleh jembe » meya wa jiji la dar es salaam atoa kongole kwa yanga simba na azam fc meya wa jiji la dar es salaam atoa kongole kwa yanga simba na azam fc meya issaya mwita meya wa jiji la dar es salaam issaya mwita charles naye ametoa ya moyoni kwa kuipongeza klabu ya yanga baada ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu tanzania bara yanga inayonolewa na mholanzi hans van der pluijm imefanikiwa kutetea ubingwa wake kwa mara ya pili mfululizo ambapo ubingwa huo ni wa 26 kwa klabu hiyo na kuifanya iweke rekodi ya kuwa klabu iliyotwaa ubingwa huo mara nyingi zaidi nchini katika taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari kutoka kwa meya huyo ilisema kuwa kuendelea kufanya vyema kwa yanga kwa kutwaa ubingwa huo kunaendelea kulipa sifa jiji la dar es salaam niipongeze yanga kwa kuweza kutwaa ubingwa wake kwa mara ya 26 tunafurahishwa na hili kwa kuwa mafanikio ya yanga ni ya jiji la dar es salaam nzima lakini nilikuwa nawatahadharisha kuwa wasiishie kwa kuonyesha kiwango tu walichonacho sasa wanatakiwa kukazana zaidi hasa katika upande wa michuano ya kimataifa ambayo wanashiriki kwa sasa ambapo huko wanatakiwa kuongeza nguvu alisema meya huyo wa dar alisema anaitakia klabu hiyo maandalizi mema katika mchezo wake wa kombe la shirikisho dhidi ya sagrada esperanca utakaopigwa leo jumatano angola ambapo anaamini klabu hiyo itaweza kufanya vyema na kusonga mbele katika hatua ya makundi
2017-01-17T14:57:38
http://salehjembe.blogspot.com/2016/05/meya-wa-jiji-la-dar-es-salaam-atoa.html
kambi ya stars yaongeza nguvu tanzania broadcasting corporation home michezo kambi ya stars yaongeza nguvu kambi ya stars yaongeza nguvu wachezaji watu wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi wameshajiunga na kambi ya timu ya taifa ya soka ya tanzania taifa stars iliyoko nchini afrika kusini wachezaji walioripoti kambini ni walinzi abdi banda anayecheza soka kwenye timu ya baroka fc ya nchini afrika kusini hassan kessy anayecheza soka nchini zambia kwenye timu ya nkana ranger pamoja na mshambuliaji rashid mandawa anayecheza soka nchini botswana wachezaji wengine wanaocheza soka nje ya nchi wanaotarajiwa kujiunga na kambi hiyo ni nahodha mbwana samatta wa genk ya ubelgiji nahodha msaidizi himid mao wa petrojet ya misri simon msuva anayecheza soka nchini morocco kwenye timu ya hassan difa el jajida na mshambuliaji shaaban idd chilunda anayecheza soka nchini hispania kwenye timu ya tenlif hii ni wiki ya pili tangu stars iweke kambi nchini afrika kusini kwenye mji wa bloemfontein uliopo kwenye jimbo la free state kwa lengo la kujiandaa na mchezo muhimu wa kufuzu kwa michuano ya afrika (afcon) dhidi ya lesotho mchezo huo utachezwa jumapili ijayo kwenye mji mkuu wa lesotho maseru ambapo taifa stars inatakiwa kushinda mchezo huo ili kufuzu kwa mara ya pili kwenye michuano hiyo ya mataifa ya afrika previous articlemanchester city mbabe kwa man u next articlemoto waendelea kuitesa california
2018-12-15T09:17:32
http://tbc.go.tz/michezo/kambi-ya-stars-yaongeza-nguvu/
mashindano ya mbio za baiskeli yafana kahama mohabmatukioblogspotcom home / unlabelled / mashindano ya mbio za baiskeli yafana kahama mashindano ya mbio za baiskeli yafana kahama mgeni rasmi naibu waziri wa utamaduni na michezo juma nkamia akihutubia maelfu ya wakazi wa mji wa kahama kwenye mashindano ya mbio za baiskeli ambayo yamefadhiliwa na mgodi wa african barrick gold mine buzwagi mbuge wa kahama jemes lembeli akitoa salamu kwa wakimbiza baiskeli kabla hajamkaribisha mgeni rasim naibu waziri utamaduni na michezo juma nkamia baadhi ya umati mkubwa uliojitokeza kuona mashindano ya mbio za baiskeli katika uwanja wa taifa kahama mshindi wa pili toka shinyanga akibidhiwa kikombe na mkuu wa wilaya ya kahama benson mpesya mshindi wa tatu toka mwanza mbio za baiskel akipokea fedha tasilmu laki saba toka kwa meneja wa mgodi wa buzwagi filber rweyemamu mkuu wa wilaya ya kahama benson mpesya akimpokeza mshindi wa tatu toka musoma na nyuma yake ni meneja wa mgodi wa buzwagi filber rweyemamu mwenye kofia nyuma ya mkuu wa wilaya ya kahama mshindi wa kwanza kwa mwanawake matha anthony ambaye alikibia kilometa 80 toka kahama hadi kijiji cha sungamile ambapo alipata fedha taslmu milioni moja mshindi wa pili seni konda toka shinyanga alinye na bahasha akibidhiwa na naibu waziri wa utamaduni na michezo juma nkami wa kati ana alishika medal ni makamu wa rais wa african barrick gold mine mshindi wa kwanza wa mbio za baiskeli masunga duba ambaye alikimbia kilometa 1565 toka kahama hadi tinde kwenda na kurudi ambapo alijinyakulia fedha taslmu milioni moja na nusu mkuu wa wilaya ya kahama benson mpesya akimbidhi mshindi wa mbio za baiskeli kwa mwanawake za kilometa 80 matha athony kujinyakulia milioni moja picha ya pamoja naibu waziri wa utamaduni na michezo juma nkamia mwenye kofia mbele ya mshindi wa pili mwenye bahasha mkononi seni konda ambaye alinyakulia kitita cha milioni moja mshindi wa pili wa mbio za baiskeli seni konda akinua mikono juu baada ya kukabidhiwa kikombe na fedha milioni anaye piga makofi ni makamu wa rais wa( abg)deo mnyika katika viwanja vya halmashauri ya kahama (marufu uwanja wa taifa ) mashindano ya mbio za baskel wilayani kahama mkoani shinyanga yazidi kutimuwa vumbi katika viunga mbalimbali wilyani humo yaliyodhaminiwa na kampuni ya uchimbaji wa madini african barick goldkupitia mgodi wa dhahabu buzwagi abg wakishirikiana na chama cha waendesha baiskel tanzania mashindano hayo yaliyokuwa pata shika nguo kuchanika kutafuta mshingi wa kwanza hadi wa ishirini kwa wavulana pamoja na wasichana ambapo yalikutanisha mikoa 6 ya kanda ya ziwa ambayo ni mara mwanza geitakagera simiyu pamoja na shinyanga katika mbio hizo za baiskeli zilizowakutanisha washiriki wa jinsia zote huku wavulana wakikimbia kilometa 1565 kutoka maeneo ya faphtom kuelekea manzeshe hadi shinyanga vijijini ambapo wasichana wakikimbia kilometa 80 kutoka maeneo ya faphtom kuelekea manzese hadi sungamile isakahuku wote kumalizia mashindano hayo katika barabara ya bijampola mjini kahama kwa upande wake katibu mkuu taifa chama cha waendasha baiskeli john machemba awali akizungumza katika ufunguzi wa mbio hizo wilayani humo amesema kuwa lengo la mashindano hayo ni kutafuta washindi 20 kutoka pande zote mbili kwa wanaume pamoja na wanawake ili kwenda kushiriki katika shindano lililoandaliwa huko mbeya litakalo shirikisha kanda 6 machemba alimtanganza mshindi wa kwanza kuwa masunga duba kutoka mwanza aliyekimbia masaa 4 na sekunde 3 huku akipata zawadi ya shillingi million 15 medali pamoja na kikombe huku mshindi wa pili akitajwa kuwa ni seni konda kutoka shinyanga huku akipatia tshmillion 1 na medali pamoja na kikombepamoja na mshindi wa 3 simon mbaluku kutoka simiyu akipatiwa tshlaki 7 huku mshindi wa 4 hadi wa 10 walipatiwa tshlaki 25 pamoja na wengine waliobaki ambao hawakuingia katika kumi bola walipatiwa tshlaki 15 ili kuwahamasisha kushiriki katika mashindano mengine kwa mwaka ujao kwaupande wake makamu wa rais wa kampuni ya uchimbaji madini african barick goldkupitia mgodi wa dhahabu buzwagi abgdeo mwanyika amesema kuwa kampuni hiyo inawajali wananchi huku lengo lake ikiwa ni kukuza vipaji mbalimbali ya vijana huku akiwataka kutumia fursa hiyo ili kutambua uwepo wawawekezaji katika maeneo yao nae naibu waziri wa habariutamaduni vijana na michezo juma nkamia ameitaka halmashauri ya mji wa kahama kutumia fursa hiyo ya wawekezaji kukuza vipaji mbalimbali ya vijana ikiwa ni pamoja na kubolesha mazingira ya michezo hususani uwanja wa michezo wa halmashauri hiyo pia ameutaka uongozi wa mgodi huo kushirikiana na ofisi yake katika kuulekebisha uwanja wa michezo wa halmashauri hiyo huku mgodi ukibolesha uzio(ukuta) na ofisi yake ikipandikiza majani ya bandia pamoja na kubolesha mazingira ndani ya uwanja huo mashindano ya mbio za baiskeli yafana kahama reviewed by mohab dominic on 2314 rating 5
2017-12-13T14:37:26
http://mohabmatukio.blogspot.com/2014/08/mashindano-ya-mbio-za-baiskeli-yafana.html
rais wa nigeria kurejea nchini leo baada ya matibabu uk mmedia tz '+g+ home » nigeria » rais wa nigeria kurejea nchini leo baada ya matibabu uk rais wa nigeria kurejea nchini leo baada ya matibabu uk rais muhammadu buhari wa nigeria anatazamiwa kurejea nchini humo leo baada ya mapumziko yake ya matibabu nchini uingereza yaliyoongezewa muda hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana mjini abuja na ofisi ya rais huyo rais muhammadu buhari anatarajiwa kurejea nchini kesho machi 10 2017 imeeleza taarifa hiyo na kuongeza kuwa kiongozi huyo anathamini dua na salamu za kumtakia heri alizotumiwa na wanigeria wa ndani na nje ya nchi buhari mwenye umri wa miaka 74 aliondoka nchini nigeria tarehe 19 januari kuelekea uingereza kwa safari ya matibabu awali alikuwa amepanga kubakia nchini humo kwa muda wa siku 10 lakini akarefusha safari yake hiyo baada ya kushauriana na madaktari wake rais buhari akiwa na askofu mkuu wa canterbury hustin welby london hivi karibuni maafisa wa serikali ya nigeria wamekataa kutangaza maradhi aliyonayo kiongozi huyo na hivyo kuzusha shaka na wasiwasi kuhusu afya yake katika vyombo vya habari vya nchi hiyo na mitandao ya kijamii ili kuondoa wasiwasi kuhusu ombwe la uongozi katika taifa hilo kubwa kiuchumi barani afrika serikali ya abuja ilikuwa imesisitiza kuwa buhari alimkabidhi mamlaka kamili ya kukaimu urais makamu wake yemi osinbajo kwa muda wote yeye akiwa mapumzikoni
2017-12-14T13:05:21
http://massackymedia.blogspot.com/2017/03/rais-wa-nigeria-kurejea-nchini-leo.html
vita vya vita vya star wars 2 archives gamingfanscom star wars battlefront 2 februari 18 2018 star wars battlefront 2 januari 1 2018 vita vya vita ii 101 jinsi ya kupanda up karibu tena kwenye uwanja wa vita ii 101 katika chapisho hili nataka kuzungumza juu ya ngazi katika star wars battlefront 2 mfumo wa juu wa ngazi unaweza kuwa vigumu kuelewa kama ulibadilishwa kutoka star wars battlefront 2 desemba 9 2017 vita vya vita ii 101 vidokezo vya mwanzoni karibu kwenye vita vya vita ii 101 katika chapisho hili nataka kukupa vidokezo vya mwanzo kwa vita vya 2 msimu wa likizo ina maana kuwa kutakuwa na wachezaji wengi wapya wanaofika kwenye mchezo na star wars battlefront 2 novemba 9 2017 mtt multi troop usafiri ufanisi wa kutisha wa ufanisi wa shirikisho la biashara mtt mammoth (multi troop transport) ni kikosi kikubwa cha silaha ambacho kinaweza kupoteza zaidi ya askari 100 wa vita vya droid katika ushindani wa nene star wars battlefront 2 novemba 7 2017 ufuatiliaji wa chini wa kiwango cha chini cha usafiri usafiri wa rugged uharibifu wa vifaa vya kupambana na silaha jamhuri ya mashambulizi ya mashambulio ya mvua imesimama mabomba ya laser na roketi ya malipo dhidi ya vikosi vya dhara za wawatenganishi muhtasari laat ni kuimarisha jamhuri katika star wars battlefront 2 mlipuko mlipuko wa blast fast paced inakaribisha wachezaji kuruka katika kufunga kwa kasi karibu na robo kupambana star wars battlefront 2 novemba 2 2017 nyota ya vita ya vita ya nyota 2 hatari ya mshambuliaji mshambuliaji mkuukupiga darasa la mshambuliaji ni darasa la nyotanyota katika star wars battlefront ii ya dice ni darasa lenye nguvu zaidi na ni kubwa kwa bomu linaloendesha meli kubwa lakini sio maana ya kupigana vita kamili ni star wars battlefront 2 novemba 1 2017 star wars battlefront 2 hatari ya interceptor class interceptor speedy darasa interceptor ni darasa starfighter katika dice ya star wars battlefront ii ni darasa la nuru zaidi na ni kubwa kwa vita vya ujinga na vifungo vya karibu ni darasa ambalo linafaa kwa star wars battlefront 2 oktoba 12 2017 kipindi cha vita cha 2 hatari overview mtaalamu vita vya 2 vitaleta mfumo wa darasa kutoka kwenye michezo ya awali kila kikundi kina madarasa manne hii ni hatari ya wataalam wataalamu wa hatari wataalamu wa wataalamu wanaajiri mitego ya mauti ili kuhamasisha majeshi ya adui yatangaza uwanja wa vita star wars battlefront 2 uncategorized oktoba 11 2017 vita vya 2 vita afisa vita vya 2 vitaleta mfumo wa darasa kutoka kwenye michezo ya awali kila kikundi kina madarasa manne hii ni hatari ya afisa hatari ya afisa katika maafisa wa amri huwafanya washirika wao wawe bora wanao ujuzi maalum
2018-02-19T18:03:31
http://gaming-fans.com/sw/category/star-wars-battlefront-2/
mwanzo 20 biblia takatifu [kiswahili biblia 1997] ibrahimu akaondoka huko kwenda nchi ya kusini akakaa kati ya kadeshi na shuri naye akatembea katika gerari ibrahimu akamnena sara mkewe huyu ni ndugu yangu basi abimeleki mfalme wa gerari akapeleka watu akamtwaa sara lakini mungu akamjia abimeleki katika ndoto ya usiku akamwambia umekuwa mfu wewe kwa sababu ya mwanamke huyu uliyemtwaa maana ni mkewe mtu basi abimeleki alikuwa hakumkaribia akasema ee bwana je utaua hata taifa lenye haki je hakuniambia mwenyewe huyu ni ndugu yangu na mwanamke mwenyewe naye alisema huyu ni ndugu yangu kwa ukamilifu wa moyo wangu na kwa kuwa safi mikono yangu nimefanya hivi mungu akamwambia katika ndoto nami nimejua ya kwamba kwa ukamilifu wa moyo wako umefanya hivi ndipo nami nikakuzuia usinitendee dhambi kwa hiyo sikukuacha umguse basi sasa umrudishe mwanamke kwa mtu huyo maana yeye ni nabii naye atakuombea upate kuishi bali usipomrudisha fahamu ya kwamba kwa hakika utakufa wewe na watu wote ulio nao abimeleki akaamka asubuhi na mapema akawaita watumwa wake wote akawaambia maneno hayo yote masikioni mwao nao watu hao wakaogopa sana kisha abimeleki akamwita ibrahimu akamwambia umetutenda nini nimekukosa nini hata ukaleta juu yangu na juu ya ufalme wangu dhambi kuu umenitenda matendo yasiyotendeka abimeleki akamwambia ibrahimu umeona nini hata ukatenda jambo hili ibrahimu akasema kwa sababu naliona yakini hapana hofu ya mungu mahali hapa nao wataniua kwa ajili ya mke wangu naye kweli ni ndugu yangu binti wa baba yangu ila siye mwana wa mama yangu ndipo akawa mke wangu ikawa hapo mungu aliponisafirisha kutoka nyumba ya baba yangu nikamwambia hii ndiyo fadhili yako utakayonifanyia kila mahali tuingiapo useme huyu ni ndugu yangu basi abimeleki akatwaa kondoo na ng'ombe na watumwa na wajakazi akampa ibrahimu akamrudishia sara mkewe abimeleki akasema nchi yangu iko mbele yako kaa upendapo naye akamwambia sara tazama nimempa ndugu yako fedha elfu itakuwa kifunika macho kwako mbele ya wote walio pamoja nawe nawe utakuwa na haki mbele ya watu wote ibrahimu akamwomba mungu mungu akamponya abimeleki na mkewe na wajakazi wake nao wakazaa wana maana bwana alikuwa ameyafunga matumbo ya watu wa nyumbani mwa abimeleki wasizae kwa ajili ya sara mkewe ibrahimu
2018-09-20T23:54:42
http://www.beblia.com/pages/main.aspx?Language=Swahili&Book=1&Chapter=20
wwwbukobasportscom la liga ronaldo benzema bale waifanyia kitu mbaya sevilla cha bao 40 sasa waelekeza nguvu zao nou camp la liga ronaldo benzema bale waifanyia kitu mbaya sevilla cha bao 40 sasa waelekeza nguvu zao nou camp benzema akipongezwa baada ya kutuma salaam ya bao cristiano ronaldo alikosa penati lakini alimudu baadae kupachika bao wakati real madrid inaichapa sevilla 40 uwanjani santiago bernabéu hapo jana ushindi huo umeifanya real ambayo ipo nafasi ya 3 ikate pengo lao na timu ya pili atletico madrid kuwa pointi 1 tu huku barca wakiwa kileleni pointi 9 mbele ya atletico mechi inayofuata kwa real ni ile el clasico huko nou camp hapo aprili 2 bao nyingine za real zilifungwa na karim benzema gareth bale na rodriguez jese mbali ya ronaldo kukosa penati hata sevilla nao walikosa penati iliyopigwa na kévin gameiro huko estadio el madrigal mabingwa wa spain na vinara wa la liga fc barcelona wameumwaga uongozi wa 20 wa kipindi cha kwanza na kulazimishwa sare ya 22 walipocheza ugenini na villareal barca walitangulia kufunga bao 2 katika dakika za 20 na 41 wafungaji wakiwa ivan rakitic na penati ya neymar villareal walizinduka na kufunga dakika za 57 na 63 kupitia cedric bakambu na jeremy mathieu aliejifunga mwenyewe jana atletico madrid ambao wako nafasi ya pili nyuma ya barca walifungwa 21 wakicheza ugenini na sporting gijon licha ya kuongoza kwa bao la dakika ya 29 la antoine griezmann baada gijon kuibula kipindi cha pili na kupiga bao 2 kupitia antonio sanabria dakika ya 79 na lile la ushindi la dakika ya 89 la carlos castro
2017-10-21T01:20:38
http://www.bukobasports.com/2016/03/la-liga-ronaldo-benzema-bale-waifanyia.html
samaki mkubwa kiasi hiki | spoti na starehe samaki mkubwa kiasi hiki dada huyu akiwa ameshika mifupa ya samaki ambayo ililetwa na maji kando ya bahari ya hindi eneo la kimbiji kigamboni inasemekana samaki huyu ambaye jina limenitoka ni nadra kuonekana na mara nyingi huwa wanakufa pindi wakija kwenye kina kifupi cha maji advertisements this entry was posted on friday june 17th 2011 at 1140 pm and is filed under michezo you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed
2017-06-25T15:33:21
https://spotistarehe.wordpress.com/2011/06/17/samaki-mkubwa-kiasi-hiki/
20 most influential young people in tanzania page 3 20 most influential young people in tanzania registered members 137150 current users online 41493 topic 20 most influential young people in tanzania 27th july 2010 2135 1 emelda mwamwanga bang magazine 2 ridhwan kikwete uvccm 3 constantine magavilla zain 4 zitto kabwe chadema 5 elsie kanza state house 6 kelvin twissa zain 7 modesta mahiga professional approach 8 mwamvita makamba vodacom 9 professor j bongo flava 10 mwanakijiji ccj/cck 11 invisible jf 12 issa michuzi michuzi blog 13 eric shigongo global publishers 14 shyrose banji nmb 15 masudi kipanya wwwkipanyacotz 16 fina mango one plus communication 17 humprey polepole tanzania youth coaltion tyc 18 jerry silaa naibu meya ilala 19 lay jaydee machozi band 20 kitila mkumbo udsm last edited by companero 27th july 2010 at 2152 28th july 2010 1035 re 10 most influential young people in tanzania 3 constantine magavilla ametumia kipaji chake cha kuandika na kunena kuinfluence wananchi zaidi ya milioni 15 wanaotumia viselula huyu jamaa anainfluence ya nini jamanieeeh au na ww ni shabiki wakuwa serious bana 28th july 2010 1053 zion fafanua hapo kwenye dot dot umetuacha njia panda 28th july 2010 1101 kaka huyu mwanzilishi wa hii thread sijamuelewa kabisandomana namwambia awe seriuosunaposema mtu anainfluence yy mwenyewe lazma awe rolemodel ambae hata tabia zake zinajenga jamii esp vijana ss huyo aliemweka hapo sijui amemweka kiajeam confused my friend 28th july 2010 1104 nadhani hapo umemsahau nape huyu kijana kaichachafya sana ccm na uvccm na anakubalika january makamba mbona umemwacha muweke mzee yusuph bwana 28th july 2010 1106 vipi kuhusu kibonde ruge na kusaga wapo wale vijana wa the commedy kila kukicha wanatupa misamiati mipya 28th july 2010 1109 kwanini cmagavilla na sio kevin twisakevin 'kaiinua' tigo kiasi kwamba hao zain ambao wana huyo magavilla wakamchukua kwa kujua kuwa influence yake itawanufaishasasa unaweza vipi kumtaja magavilla kwenye viselula ukamsahau twisa na mwamvita ni maarufu voda lakini kuna vijana wengine[watz] more influential ndani ya vodalakini hawapendi kujitoa au kazi zao haziwafanyi watoke kwenye michuzi blog et al 28th july 2010 1117 posts 12487 rep power likes received5112 kuna watu wanarise into the occassion toka wakiwa wadogo sasa kama alikuwa teen wewe ukiwa primary school huoni atakuwa bado kijana au hujawahi kugongana na maticha wako wa mlimani na kushangaa kuwa hawazeeki kumbe walikuwa makinda wakati wanakufundisha primary muhidin issa alianza kufotoa picha za mitaani in early 1980s kwa hiyo atakuwa over 45sasa sijui ujana unaanzai wapi na kushia wapiat 42 unaweza kuwa raisi will take it that hapo ndio ujana unaishia 28th july 2010 1118 hongera sana kwao but in what basis criteria na factors umetumia kuwa evaluate na kuja na list kama ilivyopangwayoung hili neno young lina maana gani au scope yake ikoje kama ni umri mbona mtu kama mohamed dewji na wengine wengi hawamo wakati kwenye llist hapa kuna watu wanakaribia 50 28th july 2010 1126 kwahiyo heading ya thread in imply nini the meaning of the word young does not change with time or personality 28th july 2010 1133 watu wananshindwa kutoafautishau star na influence listi yangu ni 1 mai martha wa jesseuswazi ndio anayetengeneza trends za kina dada wa kawaidaform staili yake ya nywele to mkorogo kubali usikubali 2 ze komedihasa joti na masanja 3 tmk 4 dr ndodi ingawa sina hakika na umri wake 5 musa wa uswazi 6 lady jay dee yes she is a role model kwa wasichana wanaotaka kuwa wanamuziki/ classicana maendeleo 7 tuli mwambapacrdb 8 kelvin twisa sawa kabisa amefanya kazi ikaonekana 9 halima mdeepolitiki yuko fiti umri mdogo point kubwa anajiamini na uelewa wa anachokifanya 10zito kabwesame as halima 11pastor safarigood role model to young christians 28th july 2010 1135 kuna wauliza maswali ambao majibu yao yameshajibiwa hapo juu katika sehemu napoainisha sababu moja inayopelekea kila mmojawapo kuwa miongini mwa vijana 10 wenye mvuto/ushawishi zaidi nchini sasa ngoja nijaribu kujibu maswali mapya yaliyoibuka hapo juu kuhusu huyo mwanamasoko naongelea zaidi ushawishi wake katika kuwafikia watu wengi zaidi na zao lao zain hapo siongeli voda au tigo kuhusiana na suala la umri nimeshakubali hoja ndio maana kina michuzi nimeshawatoa kwenye hiyo 10 bora sina uhakika kuhusu shigongo kuwahusu hao ze komedi hapo siwezi kupinga vijana hao wanastahili sana hasa kwenye ushawishi wao wa kubadilia lugha tunayoitumia 28th july 2010 1137 28th july 2010 1203 12 maria sarungi compass communicationskwa mtazamo wangu huyu dada alianza kitambo kufanya production ya vipindi vya tv very creative sasa amekuja na miss universenafikiri watu wanaona inavyofanyika kwa umakini she knows what she is doing hawa influential young people ingekuwa vizuri kama kungekuwa na catergories business leadership media artists politicians community developmentnamna hiyo nafikiri pia usiangalie sana ukubwa wa jina angalia influence hivi ukisema uswazi leo tuna mgeni anaitwa xxx watakuja kumwangalia kumsikiliza au watukuwa wanahitaji maelezo zaidi ya huyo mtu 28th july 2010 1215 companero naamini baadhi ya watu uliowaweka kwenye list yako ni watu wanaojulikana na kuaminika kwa maandishi yao pekee mmoja wao ni mzee mwanakijiji najua umetaja moja ya kigezo kuwepo katika list kama kichwa cha habari kinavyo ashiria ni umri nachelea kujua umejuajuaje umri wa mwakijiji na ule wa invisible kutokana na yale unayo yasoma tu hapa mtandaoni na kwenye magazeti kwani kigezo cha umri umekitilia maanani na wenye umri uliozidi 40 umeamua kuwaondoa moja sijui umetumia feature gani ya search hapa jf na kuweza kupata umri wa huyo anayejiita invisible pili kwa kigezo cha kumjua mtu kutokana na kusoma mabandiko yake mengi mtandaoni umri wa huyo mwanakijiji umeshavuka 40 well thread hii inasema alizaliwa 1953 basi kama una vielelezo vingine vyovyote vile kupingana na hili naomba utuwekee ahsante 28th july 2010 1240 tankibovu ni kweli inabidi tuwaweke katika makundi ila kuna wale ambao mvuto/ushawishi wao unavuka mipaka na kugusa makundi yote kwa mfano mtu hawezi kusema obama anainfluence kwenye politics tu kwa kuwa influence yake inagusa mpaka kwenye biashara za wall street nk stevedii mwanakijiji yumo humuatajieleza mwenyewe ila kumbuka ushawishi wake sio kwenye maandishi tu fuatilia usaili wake na wenye nchi kuhusu invisible nimeshamtoa ila kwa uelewa wangu muasisi wa jf ni kijana mdogo tu na hivyo anastahili kabisa kuwa kwenye kundi hili la 10 28th july 2010 1346 posts 2560 rep power likes received655 jack pembapedeshee who just throws money aroundalways hitting the headlines and the darling of tanzanias tabloids 28th july 2010 1357 pia tumemwacha mnyika wa chadema is comming up kama very influencial figure 28th july 2010 1437 i was thinking of the same thingmust be the list is only for the most influential young people living in dar es salaam i must be living in a diffrent planetthat boy basketballerwho plies his trade in the united states is not in the listi would have thought just by keeping tanzania in the map he should top the list anyway i stand to be corrected 28th july 2010 1441 bado hujanishawishi mkuu 'kampanero'ingawa wewe kama wewe nakukubali sana tena sana kama prof(rip)ukifika mtwango tutafutane 28th july 2010 1454 kibonde na geralh hando clooooodsss fm jk usimwache mama salam kikwete baraza la mawaziri lijalo hivi chid benz ni memba wa la familia au tip top connection young african initiatives (yai tanzania) by mama in forum matangazo madogo last post 8th october 2010 1612 why most young people in kenya fear self employment last post 5th may 2010 1434 by the spit in forum habari na hoja mchanganyiko last post 1st april 2009 1751 tanzania a tale of two influential politicians by invisible in forum celebrities forum last post 18th april 2008 1319
2013-06-19T14:13:16
http://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/67978-20-most-influential-young-people-in-tanzania-3.html
ivi ndo kusema isidingo mpya imeanza au | jamiiforums | the home of great thinkers ivi ndo kusema isidingo mpya imeanza au discussion in 'jf chitchat' started by uncleuber sep 19 2012 mi nilikuwa nampigia pande bwana wakati ndik sasa ili angalau mama watoto wangu charminglady apate bedrest yake kwa amani wakati siku zinajisogeza sasa mlengwa hata habari naona mr mkiva kamuibukia elizabeth dominic kwa kasi 4g ndo kusema new tamthilia imeanza au ni ka documentary kafupi tu mi nilikuwa nampigia pande bwana wakati ndik sasa ili angalau mama watoto wangu charminglady apate bedrest yake kwa amani wakati siku zinajisogeza sasa mlengwa hata habari naona mr mkiva kamuibukia elizabeth dominic kwa kasi 4g ndo kusema new tamthilia imeanza au ni ka documentary kafupi tuclick to expand mbona hujanitaja mie niliyembikiri afu si unajua mtalaka hatongozwi eh kijana naona una uelekeo wa ku sail kwenye uncharted waterskwani ebu nieleze wewe unacheza nafasi gani kwenye hii tamthilia ambayo umeiandika umeiproduce umeidirect halafu ukaiedit me yangu majicho tu akha babu eeh sitaki kujipa presha bure nikasababisha miscarriage kijana naona una uelekeo wa ku sail kwenye uncharted waterskwani ebu nieleze wewe unacheza nafasi gani kwenye hii tamthilia ambayo umeiandika umeiproduce umeidirect halafu ukaieditclick to expand seriously i need to know youna mshawasha huo nimejikuta nikiupata toka nilivyosoma kuwa wewe ni verified user and who knows me yangu majicho tu akha babu eeh sitaki kujipa presha bure nikasababisha miscarriageclick to expand salama uko uliko wanaume wabayayaani amekusafirisha ukajifungulie kijijinilol seriously i need to know youna mshawasha huo nimejikuta nikiupata toka nilivyosoma kuwa wewe ni verified user and who knowsclick to expand like howgod knowshe is watching youhe he like howgod knowshe is watching youhe heclick to expand its a very difficult question to answer in front of hungry alliens its a very difficult question to answer in front of hungry alliensclick to expand you should've known better to put it here in openyou know where to go you should've known better to put it here in openyou know where to goclick to expand i love this messagevery soon i m going to take actionsthanks in advance for u r cooperation nini kinaendelea hapa nini kinaendelea hapaclick to expand ndio tanthilia mpya hiyovuta kiti ukae uitazame hao wanawindana kidogo kidogo haoooo mnawaona wambea wenzangu jamani haooo mi ni mtayarishaji na director pia ni script writer tu nadhani wasanii wote wenye majina makubwa makubwa wamo ndani ya series yetu mpya season ya kwanza ambayo inamshirikisha elizabeth dominic kama staa wa hii series mpya hao wanawindana kidogo kidogo haoooo mnawaona wambea wenzangu jamani haoooclick to expand si ndio mmekoma tunahamia chumbani sasa haooooooooooooooooo mbona hujanitaja mie niliyembikiri afu si unajua mtalaka hatongozwi ehclick to expand siku hizi anatongozwa tena kwa dau kubwa kuliko la awali siku hizi anatongozwa tena kwa dau kubwa kuliko la awaliclick to expand labda huko kwenu sidhani kama charminglady atanifanyia hivi maana nimetoka nae mbali tangu kipindi kile akiitwa charminggirl kumbe rafiki na wewe ni mgeni hapa yerusalemu kama mimi haya ngoja tuiangalie tu hiyo tamthilia kama alivyoshauri smiling saint haya ngoja tuiangalie tu hiyo tamthilia kama alivyoshauri smiling saintclick to expand dah umechelewa kidogo episode one iko mwishoni ndio unafika basi fuatilia episode two labda utaelewatrela ya episode tu ni kuwa atakuja hapa black nyau (@st paka mweusi) na kujitangaza kuwa tayari elizabeth dominic ni wake yaani usiogope uamuzi mzuri mwanangu charminglady mie na baba yako watu8 tunafurahi kukuona unatulia hasa kipindi hiki tunachosubiri kwa hamu mjukuu mumeo c6 juzi alipita nyumbani kutuona tulifarijika sana
2017-01-23T19:00:21
https://www.jamiiforums.com/threads/ivi-ndo-kusema-isidingo-mpya-imeanza-au.325709/
virtual dressing room 21/07/2018 0735 edt 6 siku left email template designer 6 siku left i need email template designer for email campaign details in chat utangazaji wa biashara ukitumia barua pepe ubunifu wa picha html psd hadi html kubuni tovuti need to write product description for bedding website 6 siku left video animation 6 siku left 2d animation sanaa ya vibonzo huduma ya video write me some product descriptions 6 siku left kuandika upya nakala article writing uandishi wa hati miliki maelezo ya bidhaa writing some css modifies on prestashop site 6 siku left css ubunifu wa picha graphics programming prestashop kubuni tovuti receiving products and packing in poland 6 siku left kiingereza kiingereza (kimarekani) usafirishaji & usafirshaji wa meli kupakia na kusafirisha shipping bookfinder 6 siku left api html php kubuni tovuti help us in data entry work 6 siku left
2018-07-21T11:42:31
https://www.freelancer.co.ke/projects/research/efficient-algorithm-for-outlier/
zotekali blog inawatakia heri ya pasaka zote kali media zotekali blog inawatakia heri ya pasaka sunday april 16 2017 0 comment events zotekali blog inawatakia wasomaji wake wote pasaka njema sherehekeeni siku hii muhimu kwa amani na upendo mungu awabariki sana na awalinde daima
2017-09-24T17:43:24
http://www.zotekali.com/2017/04/zotekali-blog-inawatakia-heri-ya-pasaka.html
peru state volleyball players among naia stat leaders sports hamburg reporter hamburg ia hamburg ia
2019-10-22T16:11:20
https://www.hamburgreporter.com/sports/20191010/peru-state-volleyball-players-among-naia-stat-leaders
israel yaonya silaha za syria kuangukia hizbullah | matukio ya kisiasa | dw | 09022012 israel yaonya silaha za syria kuangukia hizbullah watu 31 wameuwawa syria baada ya vikosi vya jeshi la rais bashar al assad kuushambulia mji wa homs huku israel ikionya juu ya uwezekano wa silaha za syria kupelekwa kwa kundi la hizbullah la lebanon kwa mujibu wa maelezo ya wanaharakati wa kambi ya upinzani mjini beirut idadi kubwa ya vifo hivyo vimetokea katika maeneo ya khalidiyeh na baba amr akithibitisha tukio hilo rami abdel rahman wa shirika la kutetea haki za binadamu la syria amesema mashambulizi hayo yaliyoanza siku ya jumamosi yamekwishaua zaidi ya watu 400 mpaka sasa mwanaharakati mwingine omar shaker ameliambia shirika la habari la ufaransa kwa njia ya simu kuwa wakazi wa jirani na homs wanajificha sehemu ya chini ya majengo yenye ghorofa kutokana na kutokuwepo na mahandaki ya kujihami na mashambulizi hayo kufuatia mauaji hayo katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon amesema umoja wa mataifa umeshasikia ahadi nyingi ambazo hazijatekelezeka hata katika kipindi cha saa 24 zilizopita ninaamini hali mbaya inayoshuhudiwa syria italiathiri eneo lote jirani na mpaka vitokee vifo vingapi ndio hatua ya kukomesha ukatili huu unaosababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe ichukuliwe amehoji ban kimoon wakati huo huo waziri wa ulinzi wa israel ehud barak amesema serikali ya nchi yake inachunguza kwa makini mwenendo wa jeshi la syria kwa lengo la kuhakikisha silaha zake hazisafirishwi nchini lebanon na kukabidhiwa kwa wapiganaji wa hizbullah askari walioasi jeshi la syria barak ametoa onyo hilo leo kupitia radio ya jeshi la israel akiongeza kuwa israel inaamini kuwa serikali ya bashar alassad itaangushwa wakati wowote kuanzia sasa taifa la israel linafuatilia kwa karibu mauaji yanayotokea syria ambapo watu zaidi ya 6000 wameuwawa na askari wanaomtii assad miezi 11 tangu maandamano ya kuupinga utawala wake yaanze serikali hiyo inayoongozwa na waziri mkuu benjamin netanyahu inahofia usalama wake kufuatia ghasia za syria na uwezekano wa taifa hilo la kiyahudi kuvamiwa na maelfu ya wakimbizi kuingia nchini humo kuokoa maisha yao awali katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon alililaumu jeshi la syria kwa kuendelea kutumia ukatili na kuua raia 69 hapo jana na akasema jumuiya ya nchi za kiarabu inapendekeza kutumwa kwa ujumbe wa pamoja ili kushuhudia mauaji hayo mjini homs nao mawaziri wa nchi za kiarabu wanatarajia kukutana hapo jumapili mjini cairo misri kujadili uwezekano wa kulitambua baraza la taifa la syria na namna ya kumaliza ghasia mwandishi pendo paul\dpa\afp damu inaendelea kumwagika nchini syria hasa baada ya rais assad kuimarishwa na kura za turufu za urusi na china kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa na ziara ya waziri wa mambo ya nje wa urusi sergei lavrov (08022012) mashambulizi mapya yaripotiwa syria vikosi vya syria hii leo (08022012) vimeyashambulia maeneo ya mkoa wa homs kwa siku ya tano mfululizo na kuwauwa karibu watu 47 eneo hilo ni kitovu cha maandamano ya kuupinga utawala wa assad (08022012) mada zinazohusiana mapinduzi ya arabuni bashar alassad umoja wa mataifa un mohammed mursi maneno muhimu un ban kimoon syria assad misri israel kiungo http//pdwcom/p/140ic
2017-11-20T23:55:47
http://www.dw.com/sw/israel-yaonya-silaha-za-syria-kuangukia-hizbullah/a-15730802
simba yaipumulia nyuma yanga bin zubeiry sports online simba yaipumulia nyuma yanga bin zubeiry sports online mwanzo > untagged simba yaipumulia nyuma yanga emeh izuchukwu akikokota mpira simba jana iliwabwaga wawakilishi wa tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho afrika (caf) prisons ya mbeya mabao 31 kwenye uwanja wa taifa dar es salaam kwa ushindi huo simba imepanda hadi nafasi ya pili nyuma ya watani wao wa jadi yanga baada ya kufikisha pointi 23 sawa na kagera sugar lakini wekundu hao wa msimbazi wanapanda kwa wastani wao mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa bao la kwanza la simba lilipatikana katika dakika ya kwanza mfungaji akiwa ni ramadhani chombo 'redondo' kabla ya yona ndabila kusawazisha katika dakika ya 27 wakati dakika ya 31 mussa hassan mgosi alifunga kwa mkwaju wa penalti uliotolewa na mwamuzi ahmed kikumbo wa dodoma baada ya redondo kuangushwa eneo la hatari emeh izuchukwu mshambuliaji wa simba kutoka nigeria aliifungia timu yake bao la tatu dakika ya 60 akiunganisha kona ya nassor said cholo ambayo iliwachanganya mabeki na kipa wa prisons kabla ya kumkuta mfungaji baada ya mechi hiyo kocha wa simba patrick phiri alisema kwamba wachezaji wake walicheza vizuri ndio maana walishinda kuondoka kwa henry joseph kumeweka pengo lakini naamini aziz ameziba alisema phiri kwa upande wake kocha wa prisons james nestory alisema licha ya wachezaji wake kucheza vizuri lakini makosa madogo madogo waliyofanya simba waliayatumia vizuri princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 thursday january 29 2009 item reviewed simba yaipumulia nyuma yanga rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-04-10T04:08:38
http://www.binzubeiry.co.tz/2009/01/simba-yaipumulia-nyuma-yanga.html
joh 21 | neno | step | baada ya haya yesu akawatokea tena wanafunzi wake kando ya bahari ya tiberia yeye alijionyesha kwao hivi yesu awatokea wanafunzi saba 1 baada ya haya yesu akawatokea tena wanafunzi wake kando ya bahari ya tiberia ▼ ▼ 211 yaani bahari ya galilaya yeye alijionyesha kwao hivi 2 simoni petro tomasi aitwaye didimasi yaani pacha nathanaeli wa kana ya galilaya wana wa zebedayo na wanafunzi wengine wawili walikuwa pamoja 3 simoni petro akawaambia wenzake mimi nakwenda kuvua samaki nao wakamwambia tutakwenda pamoja nawe wakatoka wakaingia ndani ya mashua lakini usiku ule hawakupata cho chote 4 mara baada ya kupambazuka yesu akasimama ufuoni lakini wanafunzi hawakumtambua kwamba alikuwa yesu 5 yesu akawaambia wanangu je mna samaki wo wote wakamjibu la 6 akawaambia shusheni nyavu upande wa kuume wa mashua yenu nanyi mtapata samaki wakashusha nyavu na tazama wakapata samaki wengi mno hata wakashindwa kuvutia zile nyavu zilizojaa samaki ndani ya mashua 7 yule mwanafunzi aliyependwa na yesu akamwambia petro huyu ni bwana simoni petro aliposikia haya akajifunga nguo yake kwa kuwa alikuwa uchi naye akajitosa baharini 8 wale wanafunzi wengine wakaja kwa ile mashua huku wakikokota ule wavu uliyojaa samaki maana hawakuwa mbali na nchi kavu ilikuwa yapata dhiraa 200 ▼ ▼ 218 dhiraa 200 ni kama mita 90 9 walipofika pwani wakaona moto wa makaa na samaki wakiokwa juu yake na mikate 10 yesu akawaambia leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi 11 simoni petro akapanda kwenye mashua na kuukokota ule wavu pwani ulikuwa umejaa samaki wakubwa 153 ingawa samaki walikuwa wengi kiasi hicho ule wavu haukuchanika 12 yesu akawaambia njoni mpate kifungua kinywa hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kumwuliza wewe ni nani kwa sababu walijua ya kuwa ni bwana 13 yesu akaja akachukua ule mkate akawapa na vivyo hivyo akawagawia pia wale samaki 14 hii ilikuwa mara ya tatu yesu kuwatokea wanafunzi wake tangu afufuke kutoka kwa wafu 15 walipokwisha kula yesu akamwuliza simoni petro je simoni mwana wa yohana unanipenda kweli kuliko hawa yeye akamjibu ndiyo bwana wewe unajua ya kuwa ninakupenda yesu akamwambia lisha wanakondoo wangu 16 yesu akamwambia tena simoni mwana wa yohana wanipenda petro akamjibu ndiyo bwana wewe unajua ya kuwa ninakupenda yesu akamwambia chunga kondoo zangu 17 kwa mara ya tatu yesu akamwuliza petro simoni mwana wa yohana unanipenda petro akahuzunika sana kwa kuwa yesu alimwuliza mara ya tatu unanipenda akamjibu bwana wewe unajua yote unajua ya kuwa ninakupenda yesu akamwambia lisha kondoo zangu 18 amin amin nakuambia ulipokuwa kijana ulivaa na kwenda unakotaka lakini utakapokuwa mzee utanyosha mikono yako na mtu mwingine atakuvika na kukupeleka usipotaka kwenda 19 yesu alisema haya ili kuashiria ni kifo cha aina gani petro atakachomtukuza nacho mungu kisha yesu akamwambia petro nifuate 20 petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na yesu akiwafuata (huyu ndiye yule mwanafunzi aliyeegama kifuani mwa yesu walipokula naye chakula cha mwisho na kuuliza bwana ni nani atakayekusaliti) 21 petro alipomwona huyo mwanafunzi akamwuliza yesu bwana na huyu je 22 yesu akamjibu ikiwa nataka aishi mpaka nitakaporudi inakuhusu nini wewe inakupasa unifuate 23 kwa sababu ya maneno haya ya yesu uvumi ukaenea miongoni mwa ndugu kwamba huyu mwanafunzi hangekufa lakini yesu hakusema kuwa hangekufa yeye alisema tu kwamba ikiwa nataka aishi mpaka nitakaporudi inakuhusu nini 24 huyu ndiye yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye ambaye ameandika habari hizi nasi tunajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli 25 lakini kuna mambo mengine mengi ambayo yesu alifanya kama yote yangeliandikwa nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa amen
2019-01-20T14:49:44
https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=Joh.21
diary yangu sikio la kufa halisikii dawa20 (hitimisho 2) sikio la kufa halisikii dawa20 (hitimisho 2) wakati tupo tunaongea na huyo mshauri nasahamara mlango ukagongwa na akaingia jamaa akiwa na koti refu na mkono kauweka mfukoni kuonyesha kuna kitu kakishikilia akasimama mlangoni kwa muonekano wake nilitambua kabisa huyo ni askari docta akamwangalia kama anataka kumuuliza ana shida gani nahisi hata yeye alishagundua huyo mtu ni nani au huenda anamfahamu lakini alivyoingia sio kistaarabu maana aligonga mlango mara moja halafu akaingia na dakitari akasema samahani bado nina wahudumia hawa unaweza kusubiria kidogo habari zenu na samahani mimi ni mtu wa usalama haraka akatoa kitambulisho chake hewani nyie wawili mnahitajika kituoni kuisaidia polisiakasema na mshangao ukatawala kila mtu akilini akiwaza lake hayo mtaambiwa huko mkifika simameniakasema huwezi kuja kutuamrisha hivyo tuna haki zetu kama raia tuambie kwanza kosa letu ni nini maana sisi tuna uhakika sio wahalifumwenzangu akasema hii ni amri halalimnahitajika kituoni simameni akasema kwa ukali akiwa ametowa karatasi nyingine yenye maelezo ya kuja kukamatwa kwetu hakutupa muda wa kuisoma alionyesha tu tulimwangalia docta ushauri naye alionekana kuwa na mashaka kidogo baadaye akasema hawa ni wateja wangu wamekuja na matatizo yao unapokuja na kuwakata mbele yangu sio taratibu nzuri basi ungelisubiria wakitoka kwa namna hii huoni unaniharibia biashara akasema dakitari haya mtaongea huko mbele na samahani dakitari kwa hilo sisi tunatumiza wajibu wetuutaambiwa ni kwaniniakasema tulibakia kwanza kimia hakuna aliyesimama mnasikia simameni twendempo chini ya ulinzi na lolote litakalokwenda kinyume na maagizo yangu litachukuliwa kama kukiuka amri halali ya serikaliakasema na mshauri nasaha akasema sawa nyie fanyeni anavyotaka ni kawaida kutokana na hilo tukio tutaongozana na mimi nitakwenda kuwatetea huko kituoniakasema na sisi tukawa hatuna jinsi tukatoka nje na kuwakuta jamaa wengine wanne hawa walikuwa na silaha kabisa nikaona sasa kuna tatizo tukawa hatuna namna tukaingizwa kwenye landrover na safari ya kwenda kituoni ikaanza tulipofika kituoni tukaandikisha majina na maswali machache ya kazi tunafanya na pale hospitli tulifuata nini tukawaambia tulifika kuulizia mgonjwa wetu huyo mgonjwa wenu ni nani wakauliza ni jamaa yetu tutukasema jina lake ni nani kwani hana jina si jmaa yenu mnamfahamu au sioakasema kwa ujumla hatufahamu jina lake ila tunafahamu kuwa alikuja hapo kutibiwa na bahati tumeambiwa hayupotukasema nyie watu wa ajabu mlikwenda hospitali kumuona mgonjwa ambaye hamumfahamu hata jina lake tusipotezeane muda jina lake ni nani akauliza tumekuambia kuwa hatufahamu jina lakeunataka tutunge jina la uwongotukasema kwanini sasa mliingia kwa huyo dakitari ushauri badala ya wodini akauliza kwasababu huyo mgonjwa hatumkuta ikabidi tufike kwa huyo mshauri tupate maelezo yaketukasema nduguhili ni jambo nyeti na msiposhirikiana nasi mnaweza kujikuta kwenye matatizo makubwa sanaakasema sasa sisi tushirikiane nanyi kwa lipihatujui tumekamatwa kwa kosa gani tunashindwa hata kujiteteatukasema huyo askari aliandika maelezo yake tukaambiwa tuingie kwenye chumba kimoja wapo tukaambiwa tusubirie humo dakitari nasaha yeye libakia nje akiongea na hao watu wa usalama baadaye sasa tukaanza kuitwa mmoja mmjoa na kukutana na jamaa aliyejitambulisha kuwa ni mpelelezi wa makosa ya ujasusi makosa ya ujasusi tukauliza ndio muelewe hivyo kuwa swala tunalolishughulikia ni nyeti na kwahiyo mnahitajika kutoa ushirikiano unaostahiki akasema na akaanza kuuliza maswali na kwa jinsi alivyo alikuwa akifahamu vyema kumuingia mtu kirafiki mpaka unajikuta unaongea yote anayoyahitajia baadaye akasema mnajua msione kama mnasumbuliwa lakini kwa hali kama hii inabidi kila anayehusika kwa namna moja au nyingine iwe kwa mawasilianoau kwa njia yoyoteinabidi ahojiwe na ushirikiano wenu ndio utakaotufanya tuweze kuikamilisha kazi yetu kwa harakaakasema kwahiyo tunaweza kuondoka tukauliza mimi nimemalizana nanyi siwezi kuwaambia muondoke subirini maagizo ya waliowakamata akasema na kuondoka tulirudishwa tena kwenye kile chumba kulikuwa na joto hewa nzitolakini tutafanyjewalikuwepo jamaa wengine wa makosa mbali mbali na tulipooona muda unakwenda tu hakuna kinachoelezewa ikabidi tuanza kupaza sauti hawa watu vipi jamanitukaulizana na baadaye akaja dakitari ushauri nasaha akasema kuwa mkuu wa kituo kasema hawezi kutuachia kwa leo kwani kuna uchunguzi unafanyika kwani inaonyesha tuna mahusiano ya mawasiliano na hao washukiwa washukiwa gani tukauliza ni pamoja na huyo mliyekuja kumuulizia kwa hivi sasa kile aliyekuwa na mawasiliano naye anakamatwa ni taratibu zaoakasema lakini ushahidi unaonyesha kuwa huyo mdada alituandikia barua pepe tu na alifanya hivyo ili kuelezea matatizo yake sasa sisi inakuwaje tuingizwe huko tukahoji hii ni kawaida kutokana na sheria hizi za makosa hayokwani huu ni uhalifu wa kimataifa hamuwezi kuachiwa mpaka wajirisizhe wenyewekuna mawasiliano yanafanyika kuangalia nyendo zenu zotemitandao yenu yote itachunguzwa akasema hiyo sio hakitukalalamika ndio sheria za ugaidi kwa hivi sasaakasema ugaidikwani hilo linaingilianaje na ugaidi tukauliza kwa mshangao ndio imegundulikana kuwa kundi hilo linahusiana na majasusi wa kimataifa ambao wamewekwa kwenye kundi la magaidi wa kimataifana huyo mliyemuuliza alikuwa akitumiwa na hao watu ama bila kujijua au anafahamu na yupo kwenye kutekeleza majukumu aliyopangiwaakasema mhh sasa hapo inanitia mashaka lakini huyo mtu alikuwa mgonjwa kweli na alihitajia huduma yenu kweli si kweli na mlihakikisha kuwa anaumwa inakuwaje docta tukauliza msijali inabidi mvumilia tu kidogo na subira huvuta heriakasema na tukawa hatuna jinsi jioni ikaingia mara usikuhakuna kinachoendeleaikabidi tulale hapo kituoni mbu na harufu mbaya usiombe kweli hujafa hujaumbika sikutarajia nitalazwa sehemu kama hiyo kukapambazuka kwa shidana asubuhi tukaambiwa tujisafi kupiga mswali kama unaotusibirie kuitwa kiujumla japokuwa nafanya kazi za kujitolea na unatakiwa uwe tayari kupata shida lakini siku hiyo nilikereka sana sikupendelea jinsi walivyotufanyia lakini tukawa hatuna la kusema kwani wao wamesimamia kwenye sheria hiyo ambayo haina cha kuulizwa baadaye tukaitwa ofisini kwa mkuu wa kituo na hapo tukakutana na maofisa watatu kila mmoja alikuwa akihoji mambo yanayomstahiki kuna wa maswali ya mtandao kuna wa maswali ya uhalifu kuna wa maswali ya kisheria huyo wa kisheria alijifanya kama mtetezi fulani wa haki lakini ndani ya kazi zao anauma na kupulizia ili tu isionakane tumeonewa maswali yao yalikuwa ni yale tulifika hapo hospitalini kumuona nani na kwaninije huyo mtu tunamfahamu na tulianza kufahamiana linini kwanini akatuandikia sisina kwanini tukaamua kumfuatiliatuna kibali gani cha kufanya hivyo je tulishawahi kufanya hivyo tena na kwananiyaani maswali chungu mbovu baadaye tukaambiwa tusubiria haikupita muda akaja jamaa mwingine ambaye naye ni askari upeleleziakawa anaongea nasi sasa kirafiki zaidi na alikuja na dakitari wetu wa ushauri huyu ni mwanausalama anayeshughulikia hilo tatizo la mdada na kundi hilo la kijasusiakasema dakitari ushauri nimeamua nimtambulishe kwenu ili muweze kumuuliza yote mnayohitajia kumuhusu huyo mdada kama anastahiki kuwaambia maana mimi sina kibali cha kuyaongea hayo kama nilivyowaambia sasa hivi hili jambo lipo mikononi mwao akasema na jamaa akasema ndugu zanguni kama mlivyoambiwa hili tatizo ni kubwa na ni la kimataifamsione kama mnasumbuliwadunia sasa ina mitihani mingina hili la ujasusi sasa hivi yatambulikana kama ni ugaidi limekuwa na sura nyingi sana akatulia nyie mnafanya kazi za uandishi mnatakiwa muwe makini sana na mnachokiandika na watu mnaowasiliana naokwani hawa wahalifu wanatumia kila nyanja kupenyeza mambo yao wana wataalamu wa kila fani na wengine mnaweza kujikuta mnatumiwa hata bila kujitambuahawa ni wachawi wa kisasaakasema akitabasamu kidogo maana wachawi wanaweza kumtumia mtu ambaye sio mchawi kutimiza malengo yao wewe usiku unachukuliwa hujijui unaenda kuwanga kwa nguvu za kichawi lakini wewe hujui na sio wewe mchawitunaambiwaga hivyoakasema kwahiyokwa hili swala mlilokuwa mkilifuatilia tafadhali mliache kabisahuko mnapokwenda ni kubayana bahati mbaya ni kuwa hata huyo mdada mwenyewe huenda alikuwa akitumiwa tu hajui kitu masikini sasa bado tunalifuatilia na tutahakikisha kuwa wote wanaohusika na kundi hilona lingiine kama lipo tutawakamata wote tunashirikiana na wenzetu wa ncho jiraniakasema unajua sisi hatuelewi afande tumehusishwaje na mambo hayo maana kazi yetu ni uandishi na uandishi hauna mipaka kuwa hili ni la hivi au vile tunachotakiwa ni kuielimisha jamii pale linapotokea tukio kwa mtindo huu hamuoni mtatufunga pingu huku mnataka tuandikekinyume nyumetukasema ni bora kwa hivi sasa muelewe hivyo kwani tupo kwenye mapambano na haya makundi haramuna sisi ndio tunaofahamu ni kwa namna gani inaweza kuleta madhara kama tutawapa uhuru huo wa kuandika kila kitu nyanja hii ya uandishi sasa hivi ni silaha kubwa inayotumiwa na hawa watu kwa propaganda potofu kuhofisha kupelekeana taarifa na vitu kama hivyo ndio ni vigumu sana kuisimamia hii fani maana nayo ina sheria zake lakini inapobidi ni lazima tuingilie katiakasema kwahiyo kwa hivi sisi ni bora msielewe zaidi itawasaidialakini hata hivyo inabidi niwaelezee yale yanayostahiki kuwaambia ili muwe na tahadhariakasema kundi hilo alilokuwa nalo huyo mdada lilikuwa ni wakala wa kundi la kimataifa la ujasusi ni magaidi kwa jina jingine maana ugaidi ni mpana sanatofauti na wengi mnavyofahamuakasema kundi hilo liliweka tawi lake huko kijijini na wapo sehemu mbali mbali wametawanya ki aina kutegemeana na fani za jamiiwapo hadi huku huku mjini nakadhalika sasa hilo la huko kijijini alipokuwa huyo mdada ni kundi lililopewa kazi ya kuuza madawa ya kulevya vingine vilitumika kama viini macho kundi hilo ili liweze kufanya kazi zao linahitajia pesa na pesa zao mara nyingi zinapatikana kwenye biashara haramu kama hizo au kuiba kutapelisasa kwa upande wa hilo kundi huko kijijini alipotoka huyu mdada wao walijitambulisha kama waigizaji watengenezaji filamu na vitu kama hivyohuku wanauza madawa wanaafnya biashara za ngono wakitengeneza kanda za ngononi vitu nyie mtaviona vya kawaida kwa hivi sasa lakini lengo lao ni pana zaidi huko mbele kizazi kinazoeajamii inaharibikajamii inakuja kujikuta ipo na vijana wasio na nguvu legevu walevi wamepandikiziwa sumu ya kuchukiana maana madawa hayo yana namna zakeyanaharibu mwili ubongo nguvu kizazihilo hamlioni kwa sasa lakini siku zinavyozidi kwenda ni hatari kweli kwelina hiyo ni mbinu nyingine ya kumshinda aduimaana sisi wanatuona ni maadui zao kwa vile hatuwaruhusu kufanya watakavyo dawa ni kuharibu nguvu kazi sasa hao waliopelekwa huko kijijini walipewa hiyo kazi ya kutafuta pesa na kuchunguza mambo mbali mbali yanayoendelea huko kijijinimnafahamu kile kijiji kina nini ni kwanini wakilenga waomnafahamu akauliza na kwa kweli hatukuwa tunafahamu chochote tukasema hatufahamu kijiji kile kinasadikiwa kuwa na madini mali asili nyingi sana zinapatikana eneo hilo serikali inafahamu hilo ina mikakati yake lakini hawa watu nao wana mikakati yao wanajua ni kwanini wanafanya hivyo kujiandaa kwa ajili ya kuja kuwekeza haponi mambo ambayo ukiyaangalia juu juu huwezi kuyatambua athari zake baadayeni watu wanaona mbali miaka miaambayo hata wao hawatakuwepo hivi niwaulize kama vijana pale eneo hilo na sio eneo hilo tu tuzungumzie nchi kwa ujumla nguvu kazi ikiathirika hivyo haina nguvu wagonjwa hawana elimukazi yao ni kubwia madawa kulewa kuiga iga mambo ya starehe tu wawekezaji wakafika kuwekeza ni nani atakuja kufanya kazi kwenye hayo makampuni akauliza ni wao na watu waotukasema eeeh ndio hivyomaana vijana watakuwa hakuna hawana nguvu hawana elimu wameathirika wagonjwa watakuwa ni wengina ukomo wa maisha yao utakuwa ni mfupi tu ni lazima wao watakuja na nguvu kazi zao au waagize sehemu nyingine na kwa maana hiyo wageni watajaa makazini tutamlalamikia naniakasema hili tunatakiwa kuliangalia kwa mbali zaidileo hii tunataka kuwekeza kwenye ardhiunajua kwenye hiyo ardhi kuna nini hawa wajukuu na vitukuu watakuta ninindio lengo lao huo ni mfano mdogo tulakini pia mali asili itachukuliwa bila ya kuwepo msimamizi mwenye uchungu wa nchi maana hakuna mzawa kwenye usimamizi wao hayo nyie hamyaoni kwasasa sisi watu wa usalama tunayajua hayo ndio maana tunafanya kazi yetu haya nyie kalieni starehe kuandika story za ngono mapicha ya ngono wenzenu wanawekeza kiakilibaadaye mnakuja kulalamikatuamuke jamani mfumo huo umetengenezwa kiakili msiponaswa kwenye madawa kwenye siasa mtanaswa kwenye vinywajiau kwenye vyakulahivi vyakula tunavyoagiza kutoka nje tujiulize kwanini hatulimi wenyewe samaki wapo wengi tu kwaninihumo humo kwenye makopo ya vyakula nk wenzenu wamewekezasasa nyie kalieni kupiga makofi kushangiliaakasema na sisi tukacheke kidogo sasa kwa hilohapo kijijini wao wakawa wanapitisha madawa kwenye makasha ya kanda za video kitaalamu zaidi huwezi kujua wanavyopaki hizo dawa kuna za kuelewesha kuna za kuharibu akili kuna za kupandikiza maradhi vijana wanalewa hawajijui wanashawishiwa kufanya machafu haya ndio wakawa kuendesha biashara za ngono na kuigiza video za ngono kisiri siri maana akili sio zao tenahata humu mjini yapo haya nadanganya sasa jaribu kutumia nguvu kuzuia mambo hayo usikie watu wakavyolalamikautaambiwa haki za binadamu hivi kufanya hivyo hukiuki haki za binadamu niwaulize nyieakasema haya yote ni mbinu na hatujuihakuna kitu kibaya kama kutawaliwa kifikiraelimu yetu ni ya kuiga iga tuhata kile tunachokifahamu ni kuiga tu wazee wetu waliweza kuwekeza na tungeliweza kuendeleza nguvu zao kitaalamu tungelikuwa mbaliviwanda hakuna vimekufa kwanini ilipangwa iwe hivyo waje wawekezajihayo yalifanyoka kitaalamu yote hayo kwa manufaa ya hao majasusijamii haijui majasusi hawa wa kimataifa ni wakatili sanawanaua bila huruma na kuua kwao ndio hiyo wanatumia madawa yasiyoweza kugundulikana mnajiona mnalewa kumbe mumekunywa sumumadawa haya haya ya kutibia wanapandikiza sumu ni ndogo lakini athari yake baadaye ni kubwani vitu vinafanyika kitaalamu sana haya huko maofisini kwenye makampuni hayo waliyowekeza wao wanatumia nguvu zenu kwa mshahara mdogo wananeemeka wao wakijua ukomo wa maisha yenu ni mdogo ukichoka unatafutiwa mbinu unafukuzwa wanaweka watu waohuko siwezi kuenda zaidi ila nawaombeni muamuke badilisheni mfumo wenu wa maisha tujitegemee hili nawaambia nyie waandishi ili muwe makini saidieni jamii kuwaelimisha andikeni yenye tija msiwe bendera tu kufuata upepo kila kitu cha nje mnaona ndicho bora yaani hata utamaduni hata kulahahahaakatikisa kichwa na kwa hili tukio la huyu mdadamkijifanya mnajua mkaanza kulifuatilia mjue mnaingia kwenye mdomo wa mamba hayo waachieni wataalamu wanaijua hiyo kazimaana mtaingia kwenye anga za hao watu wasio na ubinadamuna zaidi mtaishia kueneza uchafu wao bila hata nyie kutambua kama nyie mnaandika stori za ngono stori za kutumia madawa ya kuelevya kama vile ni jambo la kawaida mjue nyie mumeshakuwa wakala waomnaharibu jamiimnakiua kizazi kinachochipukia na ndio lengo laokwahiyo mnatumiwa hata nyie wenyewe kujijuana wasomaji wa mambo hayo ni wengina wengi wao ni vijana vijana hivi sasa wanaathirika kisaikolojia bila kujijuabadala ya kusoma vitu vya kuelimisha vyenye tijawakazalisha wakaleta maendeleo jamii ikaishi kwa maelewano na amani wao wanaishia kusoma vitu vya kuwaharibu kiakili hii mitandao ni moja ya nyenzo zao yapo mazuri lakini humo humo wameshaweka mambo yaomuwe makini jamanihiki mnachokifanya mtakuja kuulizwa na muumbaakasema lakini sisi lengo letu ilikuwa kuja kumuokoa mdadatukajitetea kumuokoa mdadahahahanyie mnaweza kumuokoa mdadamnataniaakasema akitukazia macho yenye mshangao huku akicheka kidogo kwa vipi hebu niambieni akauliza sasa sisi tungelifanya nini tukamuuliza huyo msingeliweza kuja kumuokoa hamngeliweza na hamuwezi kabisa msingeliweza hilo nawaambiaakasema una maana gani kusema hivyokwani imekuwaje kwa mdada samahani kwa hilo swali maana tutaondoka bado tukiwa na maswali mengi je imekuwaje kwake maana sisi hatukupoteza muda kufika hapa tukauliza kwanza jiulizeni hiyo barua pepe ilifika lini kwenu hiyo ya kutoka kwa mdadana leo ni siku ya ngapisasa mnaokoa nini hapoakasema kwanini unasema hivyomaana sisi tuliipata hiyo barua pepe jana usikuna asubuhi na mapema tukawahi kuja ili tuweze kuona kama tunaweza kumuokoatukasema tukio la huyo mdada limetokea lini ni wiki ya tatu sasaau sio docta wiki ya tatu leo mnakuja kumuokoa mdada hahahaili sasa muone wenzenu walivyo mbele yenuakasema na sisi tukabakia kuangaliana ina maanatukataka kujiuliza mumechelewa sana ndio maana nasema hamungeliweza kuja kumuokoampaka lengo lao litimie huenda kweli mdada aliwaandikia akijua mtaweza kufanya hivyo kwasababu hajui na kama mungekutana naye leo mkasema mumekuja kumuokoa ataona nyie ni wahuni tu wenzenu wapo mbele yenu kwa kila jamboakasema lakini hiyo barua pepe yaonyesha kabisa imetumwa muda huo na kufika kwetu muda huotuliichunguza kabla hatujafika hapa sisi tuna utaalamu huotukasema ndio maana tunawaambia sisi watu wa usalama tunajua ni nini tunachokifanya mtaona tunawaingilia kwenye kazi zenu lakini ni lazima tufanye hivyokwa masilahi ya jamii kwa masilahi ya vizazi vijavyo hata kama leo mtatuona wabayaakasema oh hii ajabu kabisahaiwezekani kwahiyo afande unataka kusema nini ina maana mdada hakuweza au imekuwaje kwa mdadayupo wapi tukajikuta tunauliza kile ambacho tumeambiwa tusifuatilie afande alituangalia kwa makini halafu akasimama na kutoa simu akapiga namba halafu akasema mleteni wazo la leo jamii zetu zinaharibiwa kwa mengi ipo mitihani ya kawaida na ipo mitihani ya ya kupangwa na watu kwa masilahi yao na hayo yamepangwa kwa mbinu za hali ya juu kweli inahitaji tafakuri la ziadakuna umamboleo unaoathiri tamaduni na fikira za watu nknia ni ili kuwanufaisha wenye tamaa zao watajirikie na wazidi kutawa kwa kutumia misemo kama ile ya walionacho waendelee kuwa nacho na wasio kuwa nacho wazidi kukosa hayo yapo na yanendelea tusipokuwa makini tutaishia kusindikiza na kuwapiga makofi wenzetu huku wakiendelea kuneemeka na huku wengine wanasafiri kwenda mwezini tuamuke
2017-10-23T11:19:03
http://miram3.blogspot.com/2016/03/sikio-la-kufa-halisikii-dawa-20.html
thenkoromo blog katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi atembelea mradi wa ujenzi nyumba za askari magereza ukonga jijini dar es salaam
2017-03-23T12:17:47
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2017/01/katibu-mkuu-wizara-ya-mambo-ya-ndani-ya.html
mbiu ya jamii sauti yetu hanang wapata mkopo wa matrekta yenye thamani ya zaidi ya shmil370 hanang wapata mkopo wa matrekta yenye thamani ya zaidi ya shmil370 hanang manyara wilaya ya hanang yaanza kupata matumaini ya utekeleza wa zoezi la mapinduzi ya kilimo kwanza mara baada ya benki ya uwekezaji tanzani (tanzania investment bank tib) kutoa mkopo wa trekta 9 zenye thamani ya zadi ya mil3708 kwa wananchama 9 kutoka chama cha kuweka na kukopa kwa saccos ya takauma akikabidhi trekta hizo jana kwa niaba ya waziri mkuu mstahafu wa awamu ya tatu mhfredrick summaye mkuu wa wilaya ya hanang bichristina mndeme mbele ya mbunge wa viti maalum mkoanwani manyara(chadema) birose kamili mwenyekiti wa saccos ya takauma bwonesmo kamili mkuu huyo alisema shughuli za maendeleo hazina itikadi hivyo sasa ni wakati wa kuchapa kazi tu na si vinginevyo bimndeme alisema trekta hizo 9 zinatakiwa kuleta maendeleo ya haraka ili kuleta tija katika kuongeza hali ya uzalishaji wa mazao mbalimbali ili wananchi waweze kuongeza kipato na hatimaye kuondokana na umaskini kupitia mapinduzi ya kilimo kwanza alisema sasa wakati umefika wananchi wa jimbo la hanang kuanza kuona matarajio yao halisi ya mapinduzi ya kilimo kwa kua tayari sasa wameanza kumiliki zana kubwa za kilimo na hatimaye taratibu baadaye wananchi wote wataanza kuondokana na jembe la mkonoambao uzalishaji wake haulingani na dhana kubwa kama trekta aidha alimpongeza mbunge wa viti maalum wa mkoa wa manayara mhe rose kamili (chadema) kwa kuwa mstari wa mbele katika kufuatilia mkopo huo hadi dakika ya mwisho na kufanikisha zoezi hilo ambapo aliahidi kushirikiana naye kikamilifu katika kuhakikisha kuwa wananchi wa hanang wanapata maendeleo ya haraka zaidi kupitia zana hizo za kilimo (trekta) kwa kile alichokidai kuwa ampe ushirikiano kwani maendeleo hayana itikadi shughuli za maendeleo zote hazina itikadi hivyo naomba tena nawaomba sana katika shughuli zetu za maendeleo itikadi zetu ziwekwe pembeni kabisa ili kuweza kusukuma gurudumu letu la maendeleo ya wilaya hanang kikamilifu kwani mara nyingi itikazi mbalimbali huwa zinakwammisha shughuli za maendeleo aidha lisema historia ya hanang hususani kata ya basotu imekua ikijulikana kama ni kijiji kinachoongoza kwa shughuli za kilimo hususani kilimo cha ngano mahindi maharagwe na alizeti hasa kwa kuzingatia ardhi yao ina ardhi yenye rutuba hivyo matrekta hayo yatakua chachu ya kulekeleza kauli mbiu ya mapinduzi ya kilimo kwanza katika wilaya ya hanang nimeambiwa na kusikia kuwa kati ya hayo matrekta 9 wanamke aliyejitokeza kukopa ni mmoja tu huku wananume wakiwa 8ni nafasi yetu sasa wanawake kuhakikisha tunakua mbele katika kupambana na umaskini kupitia vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa (saccos) na si vinginevyo naye mbunge huyo rose kamili alisema kuwa uhai wa mabadiliko ya kilimo kwanza yanategemea kulima kwa wakatiupatikanaji wa mbegu bora na mbolea iliyo na tija ili kuhakikisha mkulima anajikwamua kiuchumi kupitia kilimo kwanzahivyo kupatikana kwa matrekta hayo 9 ni matumaini mapya ya kuwakomboa wanachama wa saccos ya takauma na wananchi wengine kiujumla mhkamili alisema ni dhairi kuwa mapinduzi ya kijani kamwe hayawezi kuletwa na jembe la mkono bali kwa kilimo kutumia zana bora za kilimo cha kisasa kama vile matrekta na hivyo kuipongeza bodi ya tanzania intestiment bank (tib) kwa kua na imani na hiko chama cha kuweka na kukopa cha saccos ya mtakauma na hatimaye kupitisha hayo majina 9 akizungumzia changamoto mbalimbali hadi kufikia hatua hiyo ya kupatikana kwa dhana hizo za kilimo alisema kuwa ni pamoja na wanachama wa kuweka na kukopa (saccos) kuogopa kukopa kwa madai ya kupoteza fedha zaona huku wananchi wengi wakiogopa kabisa kujiunga na vyama vya kuweka na kukopa kama nchi yenyewe inadaiwa mawaziri na wabunge wote wanakopa sasa sijui nyie mnaogopa nini kukopa dawa ya deni ni kulipa na sio kuogopa kulipa hivyo hakikisheni mnakopa na kurejesha fedha hizo kwa wakatialisema rose kamili aidha changamoto nyingine kuwepo kwa baadhi ya viongozi wanaokatisha tama juhudi za wananchi kwa urasimu wao bninafsikwani wamekua na lugha chafu za uchochezi hata kufikia hatua ya kuwaandikia barua wakopeshaji (benki ya uwekezaji tanzania ) kuwa saccos ya takauma isipewe mkopoambapo hatua hiyo imesababisha idadi kubwa ya wakopaji kupungua tofauti na ilivyokua awali pia alisema gharama kubwa za ufuatiliaji wa mikopo imekua ni changamoto kwani wananchi wanalazimika kusafiri zaidi ya kilometa 1000 kwenda jijini dar es salaam kufuatilia mokopo hiyo huku gharama za usafiri zikiwa juu zaidi aidha bikamili alitumia nafasi yake katika kuwatahadharisha wanachma hao waliokopa wa saccos ya takauma kutambua kuwa mikopo hiyo inahitaji kurejeshwa kwa kile alichokidai kuwa ucheleweshaji au ukaidi wa marejesho utawanyima fursa wananchama wengine walio na lengo la kukopahivyo wametakiwa kuwa waminifu hata hivyo aliwataka wakopaji hao kutowalangua wateja wao (wakulima wengine) watakaotaka kulimiwa mashamba yao kwa kuwapandishia bei bali watumie bei za kawaida na zinazoweza kuwapa unafuu wakulima haohuku akishauri kwa wakopaji hao kutozitoa trekta hizo nje ya wilaya hiyo ya hanangkwani kufanya hivyo ni kuhatarisha usalama wa dhana hizo na hivyo kufanya ugumu wa urejeshaji wa mikopo hiyo ni matumaini yangu kuwa dhana hizi zitatumiwa kwa shughuli za kilimo kadri maelekezo kutoka kwa wataalamu na washauri juu ya kuvitumia kuvisimamia na kuvilinda ili viweze kufaa kwa shughuli za kilimo na kuweza kujikwamua katika wimbi la umaskini wa kipato na hatimaye kupiga hatua kubwa kimaendeleo hata hivyo aliwataka wana saccos hao kuhakikisha wanaongeza ushirikiano kuwa waadilifu na kuchapa kazi kwa nguvu ili kikundi hiko siyo tu kiweze kujikwamua kiuchumi bali kwa wananchi kiujumla katika wilaya ya hanangkwa kufanya hivyo saccos hiyo itakua ni mfano wa kuigwa miongoni mwa saccos zingine za mkoa wa manyarana hivyo kuwa chachu ya kurudisha heshima ya kilimo katika wilaya hiyo ya hanangambayo kwa miaka mingi imekua ikirudi nyuma naye kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha kuweka na kukopa saccos ya takauma bwonesmo kamili alisema idadi ya wananchama imeongezeka kutoka 60kufikia 121 ambapo kati yao wanaume ni 110 huku wanawake wakiwa 11 tangu kilipoanzishwa mwaka 2006 bwkamili alifafanua kuwa kila mwanachama ana kiasi cha shea y ashmil6150000 huku akiwa na akiba y ashmil43571000ambapo alibainisha kuwa chanzo cha mapato ni pamoja na ada ya kiingilioada ya adhabumalipo ya kuwa wanachama na riba inayotozwa kwenye mikopo inayotolewa kwa wanachama akizungumzia changamoto zinazowakabili alisema kuwa licha ya kujitahidi kwa kiasi kikubwa kwa chama kuhamasisha wanawake kujiunga na saccos lakini bado mwitikio huo umeshindikana kabisaambalo linatokana na hofu yaokatika kulipa mikopo kutokana na hali nguvu ya uchumi waliyonayo wanawakena hivyo bado inawasisitiza kujiunga ili kuweza kujikomboa kiuchumi na kupunguza umaskini kama si kumaliza kabisa hata hivyo alimpongeza mbunge huyo wa viti maalumu birose kamili kwa kuwaunganisha na tanzania investiment bank (tib)na chma cha wakulima tanzania kwa kuuwaunganisha katika mikopo kumwezesha mwenyekiti huyo pamoja na timu yake katika kufuatilia makampuni mbalimbali kwa ajili ya kupata mikopokadhalika kuwapeleka katika wasambazaji mbalimbali bila kuchoka kwa kutafuta unafuu wa bei na ubora wa trekta ambapo walifanikiwa kumpata mkurugenzi wa kampuni yakihelya auto tractor parts ltd bwlazaro kihelya maisha yamekosa maana kwangu ninaomba ushauri wako ninajua unaweza kunishauri tafadhali nisaidie japo kwa neno moja tu nipone na nelson faustin karibu mpenzi msomaji wa blog hii ya ohayoda leo ninakukarisha katika makala mpya tuliyoipa jina la m kutoka ukerewe hadi iramba historia maisha na tabia za wanyiramba na wanyisanzusehemu ya pili na amani paul kidarafa m u hali gani wanaohayoda popote mlipo duniani leo nipo kidarafa kijiji kilichopo katika wilaya ya iramba (sasa mk watumishi watakaokula fedha za chf wafukuzwe kazi na na wafikishwe mahakamanimajaliwa
2016-08-24T16:08:36
http://ohayoda.blogspot.com/2012/06/hanang-wapata-mkopo-wa-matrekta-yenye.html
makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu azindua wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliozinduliwa mkoani kilimanjaro zanzinews home habari matukio makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu azindua wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliozinduliwa mkoani kilimanjaro makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu azindua wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliozinduliwa mkoani kilimanjaro makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan akimsikiliza koplo faustina ndunguru kutoka makao makuu ya trafiki kitengo cha elimu ya usalama barabarani katika uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yaliyofanyika katika viwanja vya mashujaa manispaa ya moshi mjini mkoani kilimanjaro wengine pichani ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mhe anna mghwira (kushoto) na kulia ni kamanda wa polisi kikosi cha usalama barabarani kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi (sacp) fortunatus musilimu makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan akimsikiliza mkuu wa usalama na mazingira kutoka tanroads makao makuu bi zafarani madayi wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho yanayotoa elimu ya usalama barabarani katika uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yaliyofanyika katika viwanja vya mashujaa manispaa ya moshi mjini mkoani kilimanjaro mkurugenzi msaidizi usalama na mazingira kutoka wizara ya ujenzi na uchukuzi mhandisi joyce mbunju akimuelezea mheshimiwa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan namna wizara ilivyojipanga nakuja na mbinu za teknolojia ya kisasa katika kuhakikisha usalama barabarani unakuwepo wakati wote mwanafunzi wa darasa la 5 kutoka shule ya msingi muungano bi aisha ayoub akishiriki kuima nyimbo za kuelimisha masuala ya usalama barabarani akiwa mmoja kati ya wanafunzi waliotoka shule 10 za manispaa ya moshi mjini wakati wa uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani ambao umefanyika katika viwanja vya mashujaa ambapo makamu wa rais mhe samia suluhu hassan alikuwa mgeni rasmi (picha na ofisi ya makamu wa rais)
2017-12-13T16:49:52
http://www.zanzinews.com/2017/10/makamu-wa-rais-wa-jamuhuri-ya-muungano.html
misc unsigned bands belle 9 sumu ya penzi аккорды и текст войти через misc unsigned bands belle 9 sumu ya penzi аккорды и текст primanotaru » misc unsigned bands » belle 9 sumu ya penzi аккорды belle 9 sumu ya penzi (chords) by jryder790 cm fm d# a# (also throughout the song) ohhh ohhh yeahh ehhh cm fm d# a# penzi ni kitu ambacho kinaweza kukupa furaha maishani mwako cm fm d# a# vilevile penzi linaweza kukupa huzuni milele moyoni mwako cm fm d# a# ukashindwa kuelewani na ndugu rafiki hata na wazazi wako cm fm d# a# utakosa raha ya maisha hata kama una pesa cm fm d# a# vitalala viungo vyako kimawazo utakesha sumu ya penzi ukishailamba hata kwa maziwa huwezi kupona sio kwamba mi nakukataa ila moyo wangu unasita (moyo unasita) wazazi wangu watanishangaa nyumbani wewe ulishatoroka (ulishatoroka) ila moyo wangu unasita nyumbani wewe ulishatoroka cm fm d# a# ulinimwaga kama mchele kuku wanidonoe (mimi) cm fm d# a# ukanifunga mpaka kitanzi nani aniokoe (porini) laiti ningejua kuna dawa ya mapenzi ningejifunga nisipende maana mapenzi kwangu yamekuwa shubiri kwa wenzagu mitende kwa wenzagu mitende (yeahh) mi sihitaji mapenzi na wee mi sitaki mapenzi na wee ohh baby naomba unielewe mi sitaki mapenzi (sihitaji) na wee cm fm d# a# nachoweza kusema sihitaji mapenzi na wee cm fm d# a# mapenzi na wee (ihhh ihhh) sio kwamba mi nakukataa (mi nakukataa) wazazi wangu watanishanga (watanishanga) sio kwamba mi nakukataa (ohh ohh) ila moyo wangu unasita (ohh ohh) wazazi wangu watanishangaa (ohh ohh) nyumbani wewe ulishatoroka (ohh ohh) cm fm d# a# sio kwamba mi nakukataa aahh (mimi) cm fm d# a# wazazi wangu watanishanga aahh (mimi) cm fm d# a# sio kwamba mi nakukataa ahhh (ihhh ihh) wazazi wangu watanishanga ahhh (yeahh) belle 9 rocka tz records niko na triss misc unsigned bands belmonts diddledeedum (аккорды и текст)misc unsigned bands belmonts i need someone (аккорды и текст)misc unsigned bands ben udwin conscience calling (аккорды и текст)misc unsigned bands bengt ahlfors har du visor (аккорды и текст)misc unsigned bands bengt johansson ropa till gud (аккорды и текст) http//primanotaru/miscunsignedbands/belle9sumuyapenzichordshtm
2017-02-20T22:32:20
http://primanota.ru/misc-unsigned-bands/belle-9-sumu-ya-penzi-chords.htm
habari na matukio toyota brevis inauzwa toyota brevis inauzwa ipo kwenye hali nzuri sana reg # t 740 cug bei milioni 10 ipo kwenye hali nzuri kabisa na imeshalipiwa kila kitu kwa mawasiliano piga namba hii 0688 94 94 54
2017-10-19T14:35:09
http://www.kajunason.com/2015/11/toyota-brevis-inauzwa.html
mrpengo blog kijipu upele chatibika eneo la ilemi darajani jijini mbeya posted by fadhiri atick at 1201 am
2017-08-22T01:36:05
http://atickfadhiri.blogspot.com/2016/09/kijipu-upele-chatibika-eneo-la-ilemi.html
kamanda mambosasa ole wao watakaofanya maandamano dar | lemutuz home news kamanda mambosasa ole wao watakaofanya maandamano dar kamanda mambosasa ole wao watakaofanya maandamano dar mambosasa ametoa kauli hiyo leo jijini dar es salaam wakati akizungumzia mambo mbalimbali na ametumia nafasi hiyo kutoa rai kwa wananchi kutojihusisha na maandamano amefafanua kwenye mitandao ya kijamii kuna baadhi ya watu wanaitumia vibaya na sasa wameanza kuhamasisha maandamano kwa kupanga tarehe ambayo itakuwa aprili 26 mwaka huu polisi tumejipanga kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanakuwa salama na wanafurahia hali ya ulitulivu iliyopowale ambao wanataka kufanya maandano wahesabu hawana bahati na ndio maana tunaomba wananchi wasishiriki kwenye maandamano ambayo yameanza kuhamasishwa kupitia mitandao ya kijamiiamesema mambosasa amefafanua jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam linataka kuona wananchi wakiendelea na shughuli zao za kimaendeleo na wachache wenye kutaka kuvuruga amani iliyopo haitawavumilia previous articlemavunde aagiza wakurugenzi kupandishwa kizimbani jijini mwanza ni kwa kutojisajili na wcf next articleaweso aagiza wakandarasi wanaotekeleza miradi ya maji vizuri walipwe kwa wakati mbunge wa chalinze mheridhiwani kikwete afanya ziara kata ya talawanda na
2018-04-20T22:13:11
https://lemutuz.com/2018/02/27/kamanda-mambosasa-ole-wao-watakaofanya-maandamano-dar/
download muafaka mp4 & 3gp || mcodedhubcom download muafaka play in 3gp mp4 flv mp3 available in 240p 360p 720p 1080p video formats rais na naibu wake washindwa kufikia muafaka rais uhuru awashutumu wanaopiga vita muafaka wake na raila suluhu ya mgomokamati ya bunge yatoa muafaka mkutano wa naibu rais na magavana wakosa muafaka muafaka wa iebc mabunge yakosa muafaka kuhusu bajeti za kaunti sio wakati muafaka kunyoosheana vidole nani kahusika kumuua akwilina kigwangalla spoti hausinduda sichezi mpaka tufike muafaka jukwaa la ktn mwelekeo mpya baada ya muafaka wa uhuru na raila muafaka wa cord kinara wa nasa atetea muafaka wake na rais kenyatta muafaka wa rais kenyatta na raila mgomo wa wauguzi mgomo unaendelea bila muafaka waandamanaji sudan wasifu muafaka na jeshi muafaka wa maji katika kaunti ya kwale miaka 3 ya muafaka wa amani wa turkana na pokot dp ruto azidi kuupiga vita muafaka wa raila na uhuru matukio 2018 siasa za muafaka wa rais na raila zilivyotawala mgogoro kati ya wafugaji na pori tengefu la kigosi kufikia muafaka #5sports muda wa muafaka wa ole gunnar solskjaer kuachia ngaz gharama ya matibabu nchini wadau wa sekta tofauti washindwa kufikia muafaka viongozi wazidi kuunga mkono muafaka wa rais uhuru na raila viongozi wanawake waunga mkono muafaka wa rais na raila raila odinga awashutumu wanaopinga muafaka wake na rais kenyatta mwaka wa muafaka maadhimisho ya maamkuzi ya uhuru na raila kamati iliyotokana na muafaka wa rais na raila yapokea maoni bodi ya mikopo yawahakikishia wanavyuo kuwapa mikopo kwa wakati muafaka hakuna dalili za demokrati na trump kufikia muafaka wazee wa koo tofauti wakutakana kutafuta muafaka wa upatanisho wa kisiasa
2020-02-17T18:11:35
http://m.codedhub.com/search/muafaka.html
jk afunguka kinana kungatuka mtembezi home habari jk afunguka kinana kungatuka rais mstaafu wa awamu ya nne jakaya kikwete amesema wanaccm watamkumbuka daima katibu mkuu mstaafu wa chama hicho abdurahman kinana kikwete amesema kinana atakumbukwa kutokana na mchango wake mkubwa wa kukiimarisha chama hicho muda wote aliokaa kwenye nafasi hiyo kwenye ukurasa wake wa twitter kikwete alimpongeza kinana kwa kazi nzuri aliyokifanyia chama hicho na kumtakia mapumziko mema kikwete alitumia ukurasa huo kwa kuandika kwa heri kinana hongera kwa kazi nzuri daima tutakukumbuka hongera bashiru nakutakia kila la heri hongera ccm hongera mwenyekiti magufuli umoja ni ushindi kidumu chama cha mapinduzi licha ya kuwa katibu mkuu wa ccm kinana alikuwa meneja wa kampeni za ccm tangu mwaka 1995 kazi ambayo aliifanya kwa ufanisi hadi kuhakikisha ccm inaibuka na ushindi wa kishindo katika ubunge urais na udiwani mei 28 mwaka huu kinana alitangaza kungatuka katika nafasi hiyo baada ya kudumu nayo kwa miaka sita tangu alipoteuliwa mwaka 2012 baada ya kuachia nafasi hiyo mwenyekiti wa ccm john magufuli alimteua dk bashiru kushika nafasi hiyo na kuthibitishwa na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa (nec) ya chama hicho alhamisi ya wiki hii katika hafla ya makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika ofisi ndogo ya ccm lumumba kinana alisema amemkabidhi ofisi pamoja na kumtambulisha kwa watendaji na kumwonyesha kazi zilivyokuwa zikifanyika nimewaomba watendaji wakupe ushirikiano kama walivyofanya kwangu na waandishi nawaomba mpeni ushirikiano alisema kinana naye dk bashiru alisema kazi aliyopewa si ya siasa za majukwani bali ni kazi ya mtendaji ikiwamo kubuni mikakati ya kutekeleza maazimio ya kikao kazi niliyopewa si siasa za majukwani siasa za majukwani ni mwenyekiti wa chama akisaidiwa na makamu wake wawili mikoani kuna wenyekiti wa vyama wa wilaya na mikoa wabunge na madiwani alisema dk bashiru aliongezea kuwani marufuku kwa watendaji kufanya kazi ya mwanasiasa kazi ya kupiga siasa safi ni wale waliochaguliwa kwa miaka mitano mitano watendaji tumeteuliwa naweza kukaa nusu saa au mwaka mmoja kwa hiyo kama mtendaji hamtaniona kwenye majukwaa kwa sababu wako waliopewa dhamana ya kukaa kwenye majukwaa alisema kazi yake ni kubuni mikakati ya kutekeleza maadhimio ya kikao kutoa taarifa zake kusimamia maelekezo ya chama na kwamba masuala hayo sio ya kukaa jukwaani ni ya kukaa mezani aidha alisema kuwa jukumu alilokabidhiwa ni kwamba amekikuta chama kimeshaanza utekelezaji wa ilani na kwamba yeye atakwenda kuanzia alipokikuta kwa mfano mwaka 1992 wakati tunaanza mfumo wa vyama vingi na katika uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 chama cha mapinduzi kiliahidi kufanya utaratibu wa haraka ili kuhamia mkoani dodoma ukisoma ilani hilo utaliona alisema mwaka 1995 hatukuweza mwaka 2000 2005 2010 hatukuweza lakini 2015 tumeanza hicho ni kipaumbele cha utekelezaji tunazozitoa hata zile ambazo zinakuwa ziko nyuma nasikia kuna wengine wanasema kuhamia dodoma haikuwa kwenye ilani someni vizuri ilani mtaona tumelipanga tangu mwaka 1995 alisema dk bashiru alisema jukumu lake ni kutekeleza ilani ya chama na vipaumbele hivyo vipo kwenye ilani ambayo imewapa ridhaa ya kuongoza serikali zote mbili previous articlemuseven amwombea mwalimu nyerere kuwa mtakatifu next articlewabunge wamfagilia jpm kudhibiti rasilimali wanaume aina hizi wanawake wao huwa wanawachukia
2018-06-21T14:15:27
http://mtembezi.co.tz/2018/06/04/jk-afunguka-kinana-kungatuka/
inasemekana picha hizi za dada yetu na pacho mwamba zimevuja wakiwa mafichoni>>>ila ukweli wote huu hapa> utamu specially home » unlabelled » inasemekana picha hizi za dada yetu na pacho mwamba zimevuja wakiwa mafichoni>>>ila ukweli wote huu hapa> sunday 29 november 2015 inasemekana picha hizi za dada yetu na pacho mwamba zimevuja wakiwa mafichoni>>>ila ukweli wote huu hapa> 0143 <<next 6>> inasemekana picha hizi za dada yetu na pacho mwamba zimevuja wakiwa mafichoni>>>ila ukweli wote huu hapa> 20151129t0143000800 artikel terkait inasemekana picha hizi za dada yetu na pacho mwamba zimevuja wakiwa mafichoni>>>ila ukweli wote huu hapa>
2016-12-05T12:31:03
http://utamuutamu.blogspot.com/2015/11/inasemekana-picha-hizi-za-dada-yetu-na.html
dj sek rais wa tanzania dk magufuli aweka rekodi ya baraza la mawaziri rais wa tanzania dk magufuli aweka rekodi ya baraza la mawaziri rais john pombe magufuli amekuwa wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi kuanza nchini kutumia muda mrefu kutangaza baraza la mawazi kutokana na kile wasomi wachambuzi wa siasa kusema pengine anapata wakati mgumu kupata mawaziri watakaoendana na kasi yake katiba ya mwaka 1977 inamtaka rais kumteua waziri mkuu ndani ya siku 14 tangu alipoapishwa na kulipeleka jina lake bungeni lakini katiba hiyo ipo kimya kuhusu uteuzi wa mawaziri hivyo rais anaweza kutumia muda wowote wakati rais mstaafu benjamin mkapa alipoingia madarakani mwaka 1995 aliteua baraza la mawaziri novemba 28 siku tano baada ya kuapishwa jakaya kikwete alitangaza baraza la kwanza siku 14 baada ya kuapishwa na dk magufuli hadi sasa siku 25 zimepita tangu aapishwe novemba 5 mwaka huu hajafanya hivyo kazi ambazo rais magufuli ameanza kuzifanya bila mawaziri ni kuzuia safari za nje kuzuia sherehe za uhuru na kuanza kupambana na wabadhirifu wa fedha za umma wasomi hao wakilinganisha alichokisema kwenye hotuba yake ya ufunguzi wa bunge walisema kuwa ana njozi za tanzania aitakayo huku akieleza wazi kuwa anatambua kuna mawaziri wabunge wanakula rushwa na akibainisha wazi hana imani kama waliomo ndani ya ccm wanakula pia mhadhiri kutoka idara ya sayansi ya siasa ya chuo kikuu cha dar es salaam elijah kondi alisema kuwa sababu za magufuli kuchelewa kutaja baraza la mawaziri ikilinganishwa na serikali zilizopita inatokana na utendaji wa mawaziri wa serikali iliyopita wengi hawakufanya vizuri na baadhi yao hata ushindi wao wa ubunge una maswali mengi alisema tayari ana njozi za anachotaka kukifanya anapata wakati mgumu wa ni nani mtu sahihi wa kumsaidia kutimiza njozi zake hata ndani ya ccm baadhi yao hawaaminiki na amekuwa akisema hivyo mara nyingi alipozungumzia rushwa pia hakusita kuwahusisha walio ndani ya ccm japo siyo moja kwa moja inawezekana waliopo wengi anaona hawawezi kuendana na kasi yake pengine hata wale anaoona wana afadhali walishawahi kupata kashfa mbalimbali huku yeye akiwa na njozi za kuanza upya na watu wenye utashi wa mabadiliko ya kweli na ya wote alisema kondi profesa george shumbusho mhadhiri wa chuo kikuu cha mzumbe alisema rais anapata wakati mgumu kuteua mawaziri kutokana na changamoto alizozitaja siku ya kuzindua bunge kuwa nyingi na nzito zinazohitaji watu makini kuzitekeleza alisema analazimika kufanya upembuzi yakinifu kujua ni nani na atashughulikia eneo gani kama anavyotaka yeye liendane na kasi na utendaji wake ninachokiona anataka kuunda baraza makini hataki kurudi na kuhoji utekelezaji wa kazi kingine anahitaji aunde litakalokaa muda mrefu na kufanya utekelezaji badala ya kuunda lingine kwa muda mfupi alisema profesa shumbusho mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam mhadhiri mwandamizi ambaye ni mkuu wa idara ya sayansi ya siasa na utawala wa chuo kikuu huria tanzania (out) emmanuel mallya alisema anachukua muda kutaja baraza la mawaziri kutokana na kutaka litakalotambua anataka nini kifanyike katika serikali yake ambayo amekuwa akiitaja moja kwa moja kuwa ya magufuli alifafanua kuwa hataki kukurupuka na kujilaumu baadaye kutokana na utendaji usioridhisha unaoweza kujitokeza asipokuwa makini ndiyo maana anachukua muda na kujaribu kuonyesha ni jinsi gani inawezekana kusimamia vitu na vikaenda kwa kuangalia kasi yake unaona kabisa anapata wakati mgumu kupata viongozi watakaofanya kazi kwa lengo moja ya mageuzi na mabadiliko ndiyo maana anachukua muda ili akija nalo liwe makini alisema mallya mhadhiri wa idara ya sayansi ya siasa chuo kikuu cha dar es salaam richard mbunda alisema kwenye mitandao ya kijamii kuna utani unazunguka kuwa kwa kasi yake anaweza kufanya kazi hata bila kuwa na mawaziri ni utani lakini ukiuchunguza mara mbili unaona kabisa hata wananchi wameona anachokifanya na wanahitaji kukiona hicho kutoka kwenye baraza lake alisema alisema kasi yake na kubana matumizi alikoanza nako anahitaji kuwa makini kwa sababu alitamka anataka kuwa na baraza dogo la mawaziri alifafanua kuwa kwenye serikali ya awamu ya nne mwaka 2005 mawaziri na naibu wao idadi yao ilikaribia 60 wakitumia mashangingi yanayokula mafuta posho hivyo ili kudhibiti hilo atachukua muda pia ikiwamo kuvunja baadhi ya wizara kama ataona itafaa na kumsaidia anachotaka kukifanya chanzo mwananchi posted by video | jack i x brayban chaguo | watch/download
2017-01-19T12:59:09
http://dj-sek.blogspot.com/2015/11/rais-wa-tanzania-dk-magufuli-aweka.html
sumo idd mubarak idd imeshafika viungo ndio hivyo vinanunuliwa kupita kiasi yaani kuanzia leo ukipit amitaa ya ialal magomeni answar wameshaswali ni harufu ya pilau na biriani tu subiri keshi uswazi utakimbia shopping congo nayo imekolea vitu vimepanda bei kichizi idd mubarak wote ee hee vipi aliyevaa gauni la zambarau ni nanihii wako nini
2018-02-20T17:37:50
http://mpoki.blogspot.com/2008/09/idd-mubarak.html
stage 1 furniture phoenix arizona az mirrors furniture store sales statewide furniture sales in phoenix scottsdale glendale mesa tempe ahwatukee tucson flagstaff prescott lake havasu and sedona
2019-03-20T20:28:57
http://www.stage1furniture.com/phoenix-arizona/furniture/stores/index.php?CCategory=Mirrors
the co blog habari za kusikitisha kutoka gpaliyedai kanumba freemason adaiwa kufa ghafla mwili wa george kairuki haruni sanchawa na makongoro oging' taarifa zilizotufikia wakati tunakwenda mtamboni zinadai kuwa yule kijana aliyefahamika kwa jina la george nimayou ambaye siku za nyuma aliibuka na kudai marehemu steven kanumba alikuwa freemason amefariki dunia ghafla kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kilichoomba hifadhi ya jina kijana huyo alifariki dunia septemba 29 mwaka huu huko tabata jijini dar alikokuwa akiishi na kifo chake kinafananishwa na kile cha marehemu kanumba chanzo hicho kilidai kuwa siku ya tukio zilisikika kelele ndani ya chumba alichokuwa akiishi na baada ya muda alitoka mwanamke na kutokomea kusikojulikana hatukujua kilichotokea tulipoingia ndani tukakuta george amekufa ndipo taratibu za mazishi zilipofanyika kilidai chanzo hicho wakizungumzia tukio hilo baadhi ya watu wanaoishi eneo hilo walieleza kushangazwa na tukio hilo huku baadhi wakishindwa kuamini na kuhisi huenda alikuwa anarekodi filamu na sisi tunasikia tu kuwa eti kafariki lakini mbona msiba wenyewe hatukuusikia na hata picha za tukio zinaonesha watu wachache sana sisi tunahisi kuna kitu nyuma ya tukio hili hatuamini kuwa amekufa alisema mariam hassan wa tabata ijumaa wikienda lilizungumza na mmoja wa maofisa wa polisi mkoa wa ilala ambaye hakupenda jina liandikwe gazetini kwa kuwa si msemaji wa jeshi hilo ambapo alisema hawajapata taarifa ya tukio hilo na kwamba huenda ni uzushi hivyo waandishi wetu wanaendelea kuifuatilia kwa kina ikikamilika itaenda hewani posted by calvin obeld at 2304 diamond avua nguo stejini na kuonyesha makalio yak birthday ya mtoto samiati ramadhani kama inavyoon happy b'day chegge picha nne (4) zinazotoa tafsiri kati ya diamond na linah oliva twist remix phd ft mabeste mama kimbo official video baadhi ya kufuru za diamond platnumz yanga walipolambishwa sukari na kagera mjini bukob magazeti ya leo ndio haya na stori kubwa za michez dereva wa bodaboda na abiria wake wafariki papo ha ajipaka kinyesi kuwakwepa polisi mahakamani kisutu taarifa zikufikie kwamba hizi ndio picha 5 za excl umeshawahi kuwaza muonekano wa janet jackson ndani lucy stephano aula redds miss photogenic 2012 mwanafuzi wa kidato cha nne afanyia mtihani hospit yaliojiri katika magazeti ya leo tarehe 10/10/2012 soma jinsi binti wa miaka 16 zimbabwe alivyotiriri huu ni uzalendo atoa kali nyingine amwaga chozi b huu ndio unyama alionifanyia mke wangu msanii wa filamu bongo aonyeza tattoo zake kwenye wanachuo wanne walivyouwawa kikatili kimakosa waki ndugu wakristo wenzangu naomba muone kava la movie eneo dogo aslay anapowasaidia wazazi wake kujenga jokate mwegelo akiwa kwenye ala za roho clouds fm hivi ndivyo ilivyokuwa huko mbagala baada ya mtoto hapa na pale na camera yetu msibani mwanza nyumban
2017-11-18T04:43:47
http://calvin-obeld-blog.blogspot.com/2012/10/habari-za-kusikitisha-kutoka-gpaliyedai.html