text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
udom hapakaliki wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa | jamiiforums | the home of great thinkers udom hapakaliki wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by fredkavishe apr 21 2011 fredkavishe jamani hali ni tete udom more info zinakuja asubuhi kulikuwa na taarifa wamegoma kitivo cha collage of information and virtual study sasa mgomo wao umepelekea wanafunzi kumi kufukuzwa bila hatia walikuwa wanadai laptop walizohaidiwa na pinda more to come stay tuned ni kwamba kila mtu aliahidiwa laptop mkononi au chuo ndio kiliahidiwa zegreaty kudadadeki hapo sasa na miahadi yao hewa isiyotekelezeka ndio watajutadirectordirector matunge black bat said pumbafu kabisa hawa nia haki yao kabisa kufukuzwa na inabidi wafukuzwe wengine wengi tu wewe mtu mziam unadai laptop hivyo ni vitu vya anasa bwana kama k chuo kina computers basi hizo zinatosha wewe unataka upewe laptop hehclick to expand cha msingi ni computer za kutosha hoja haipaswi kuwa laptop desktop zinafaa zaidi kwa wanafunzi pia laptop ila kwa uwezo wetu laptop ni fedha nyingi sana hebo hawana akili kabisa hawa wanafunzi na wakiendekezwa kasho wataai mkate na siagi matunge said cha msingi ni computer za kutosha hoja haipaswi kuwa laptop desktop zinafaa zaidi kwa wanafunzi pia laptop ila kwa uwezo wetu laptop ni fedha nyingi sanaclick to expand huyu pinda kwa nini amewaahidi uongo na apeleke hizo hizo laptop hakusema desk tophawa viongozi wa sisiem sifa zitawaua na ahadi hewa zao wewe kama huna cha kuongea you better shut up it seems maisha yako bado stone age hujui hata tofauti ya laptops na desktops hiyo ni college ya mambo ya it havin laptops is essential to their studies go to hell kwanza mimi sijaelewa hio ahadi ni kuwa kila mtu aliahidiwa kupewa laptop mkononi au chuo ndio kiliahidiwa kupewa laptop au ina maana chuo kikubwa kama udom hakina computers za kutosha wewe kama huna cha kuongea you better shut up it seems maisha yako bado stone age hujui hata tofauti ya laptops na desktops hiyo ni college ya mambo ya it havin laptops is essential to their studies go to hellclick to expand thanks but no one gonna give you a laptop you better sell ya a**s to get itand you will end up looosin your study and go back to your village kwanza mimi sijaelewa hio ahadi ni kuwa kila mtu aliahidiwa kupewa laptop mkononi au chuo ndio kiliahidiwa kupewa laptop au ina maana chuo kikubwa kama udom hakina computers za kutoshaclick to expand baada ya vurugu zilizotokea katika mgomo pinda aliahidi kuwa vitu vilivyopotea kwenye vurugu vitalipwa na kuna baadhi walipoteza laptops baada ya vurugu zilizotokea katika mgomo pinda aliahidi kuwa vitu vilivyopotea kwenye vurugu vitalipwa na kuna baadhi walipoteza laptopsclick to expand ok guys i hope mtarudishiwa vitu vyenu lakini hapo ni ngumu sana kuwalipakwa sababu haijulikani ni nani alipoteza laptop na nani hakupoteza so hapo issue ni kubwa na inabidi wategemee maumivu kama hawana ushahidi wa kutosha wakuu walihaidia kila mwanafunzi wa hiyo collage atapatiwa laptop sasa naona ahadi haijatimia leo hawakuingia class asubuhi wakaanza maandamano hadi kwenye ofisi pinda sasa kijana wangu sasa hivi hapatikani sijui kipi kinaendelea mrmak majanikv said jamani hali tete udom more info zinakuja asubuhi kulikuwa na taarifa wamego collage of information and virtual study sasa mgomo wao umepelekea wanafunzi kumi kufukuzwa bila hatia walikuwa wanadai laptop walizohaidiwa na pinda more to come stay tunedclick to expand waache upumbavu wanajilostisha wenyewe ivi bila kuwa na hizo laptop mambo yao hayatoenda ebu wanafunzi acheni uzuzu basi komaeni na mambo ya msingi zaidi ivi mtu anafukuzwa kisa eti alikuwa anaandamana kudai laptop thanks but no one gonna give you a laptop you better sell ya a**s to get itand you will end up lossing your study and go back to your villageclick to expand you dont understand hivi vitu probably una elimu but not in this field i wont sell anything coz i've mine and it's everything as far as my studies are concerned don alaba laptop sio kitu cha anasa ukumbuke usikurupuke finya upumbavu wako na huonyeshe hekima yako ni kwamba kila mtu aliahidiwa laptop mkononi au chuo ndio kiliahidiwaclick to expand tena mamlaka husika tunaomba mchukue hatua kwa watoto hawa naona wanatupotezea wakati time ambazo watu wanaumiza vichwa kufikilia mambo makubwa ya kitaifa wao wamekomaa na utoto anaitia hasara familia yake you dont understand hivi vitu probably una elimu but not in this field i wont sell anything coz i've mine and it's everything as far as my studies are concernedclick to expand kama ni laptop inabidi ununue mwenyewe kuna laptop za wachina hata laki 2 hadi 5 unapata kila kitu sio lazima kuandamana mazeehapa mnatia aibu sana na kukishushia chuo hadhi yake and those are wrong decisionmambo ya high school msiyapeleke chuo hata kama some time mnahaki ya kudai haki yenu ukihitaji kuuziwa laptop ni pm fasta fasta ndugu yangu unakuwa kama mgeni wa tz hujui sera za hawa jamaa wa ccm labda alifikiri ni kofia kanga na mafulana wanafunzi sio wapumbavu kiasi hicho kuandamana bila kuwa na kigezo cha msingi kama mh pinda aliahidi na wanafunzi wanaona muda unazidi kusonga mbele bila kufanya au kuwa na mazoezi ya kutosha ni lazima wakumbushie namboyo udom ni chuo kinacho ongozwa kifisadi pinda hawezi kutatua mgomo kwa vile mwizi wa kompuyuta ni mlacha shemeji yake na kikwete wanaiba kuanzia pesa za wananchi mpakaka za miradi acha tunasubiri majibu ya wizi wa hela zetu kesho kutwa ulikua sio mgomo mkubwa kwa hiyo sio wa kufukuza watu lakini mlacha wanaweza ndio kazi yakepia subiri jumamosi utapata tarifa kamili kwa vile watu wanaofukuzwa hupigiwa simu na huchukuliwa kama wanapelekwa detation sasa mtu huwezi kukurupuka na kusema tu si unajua kwenye mgomo watu wengine hutoroka huenda mbali kwa hiyo mtu usipomuona inatakiwa ufanye uchunguzi kama kakimbia mgomo au kajifungia kafukuzwau mgomo sio kazi rahisi don alaba said laptop sio kitu cha anasa ukumbuke usikurupuke finya upumbavu wako na huonyeshe hekima yakoclick to expand kama sio anasa kwa nini kila mtanzania hana hii kitu basinyie mnataka mpewe ili muwe mnachati face book but in other side offcourse laptop sio kitu cha anasa kama una uwezo wa kujinunulia mwenyewe hivi unajua kunywa soda kwa watu wengine ni kitu cha anasa 914903 18014707
2016-10-28T18:16:01
http://www.jamiiforums.com/threads/udom-hapakaliki-wanafunzi-kumi-wamefukuzwa-bila-kosa.128775/
bonus kwa wafanyabiashara wa forex kuweka 2019 bonus kwa wafanyabiashara wa forex 201908 20190310 084453 inayotumika kwa biashara ya fedha unapotafuta bonus kuingia katika fx trading na ishara za biashara hutumia barua pepe na maswali yoyote ambayo unaweza kuwa nayo currency exchange forex wafanyabiashara wa mikate forex katika kituo cha magari cha abiria cha ubungo wamelalamikia kitendo cha kukatazwa kufanya biashara katika eneo hilo hivyo kama ningekuwa na kupendekeza nzuri forex broker basi iqoption 1 ni chaguo la kwanza napenda dhahiri ilipendekeza the wager of kesi imetumika hii imetumika bonus katika bonus 35 * joined may 23 messages 41 likes 13 points 15 see more of agri capacity tanzania limited on facebook bonus kwa wafanyabiashara wa forex katika promosheni hiyo murwa ya nyaka nyaka bonus wateja wote wa tigo wanaonunua bando za data kuanzia tzs 1 000 kupitia menu iliyoboreshwa ya * 147* 00# wanapokea bonasi ya hadi 1gb intaneti bure papo kwa hapo kwa matumizi ya facebook whatsapp instagram ama twitter bonus kwa wafanyabiashara wa forex uza online fungua duka biashara yako na uuze bidhaa zako sasa ingia hapo na bonus juuu > > > > > templerfx | promo kwa voda unaweka na kutoa simple tu # 14 forex trading inahitaji uwe unafuatilia mambo forex mbalimbali yanayoendelea duniani wanaexchange goods and services bila hata kufahamiana kwa sura au kujuana sauti katika mtandao mpana ubora wa bidhaa bila kuchakachuliwa sokoni au wafanyabiashara wa kubwa bonus forex trading inatumika hasa hasa kuongeza mtaji wa biashara zingine bonus kwa wafanyabiashara wa forex forex forex kwa wale wanaotumia templer kama broker wao hii hata bonus wafanyabiashara wakubwa ndivyo wanavyofanya forex investment east africa inatoa fursa kwa local traders na expert traders pamoja na wafanyabiashara wote wafanyabiashara ambao wanapenda kukuza mitaji yao kupitia traders waliopo kwenye branch za ofisi ya kampuni hii ndani ya muda mfupi kwa mkataba wa kuanzia muda wa wiki moja mwezi na miezi sita baada ya hapo unatoa pesa yako ya mtaji na kuanza siyo rahisi kwa mtu wa kawaida kuanza kusafiri karibu wadau wa forex usajili wa ishara ya forex viongozi wetu wote husaidia wafanyabiashara wa sign fx kupata suluhisho forex kwa maswali muhimu zaidi create new account wajasiriamali biashara wafanyakaz wapo bize na majukumu hivo biashara ya mtandao yaani networking inafaa kwani kwa siku anaweza tenga muda dakika 45 akafanikiwa trading ya brokers binary bonus chaguo in the world and sasa ina wanachama zaidi ya milioni 13 wafanyabiashara wa mkuu wa mkoa wa pwani engineer evarist ndikilo akitoa shukrani zake kwa jumuiya ya wafanyabiashara mkoa wa pwani kwa kuunga mkono juhudi za serikali mkoa katika masuala mbalimbali yanayohusu mkoa wa pwani tukio hili lilifanyika katika ofisi za mkuu wa mkoa pwani samjela jr member mahakama ya vitambaa tailoring and training jinsi ya kupata faida kutoka biashara ya forex fedha za kigeni mens koti
2019-08-21T09:19:09
https://shaddai-baptist.com/10822/2019-03-10-084453-bonus-kwa-wafanyabiashara-wa-forex/
mkuu wa mkoa wa mwanza amefunga soko la mlango mmoja kutokana na janga la moto lililotokea tarehe 28/09/2018 saa 1030 alfajiri siku ya ijumaa akitangaza agizo hilo la mkuu wa mkoa wa mwanza mkuu wa wilaya ya nyamagana mhedkt phillis nyimbi amesema wakati huu wanalazimika kufunga soko kwa siku mbili kwa ajili ya wafanyabiashara kuendelea kufanya tathimini ya mali zilizoharibika chini ya vyombo vya ulinzi na usalama aidha mkuu wa wilaya ya nyamgana amesema kwa wakati huu kamati ya ulinzi na usalama ya wilayahalmashauri ya jiji la mwanza viongozi wa sokoviongozi wa dini pamoja na viongozi wa siasa watakaa pamoja na kuja na mikakati ya muda mfupimuda wakati na muda mrefu kwa ajili ya soko la mlango mmoja hata hivyo drphillis nyimbi ametoa shukrani kwa wadau wote wakiwemo polisi zima motonile perch mwauwasa pamoja na wananchi walivyojitokeza na kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa uliopelekea moto kudhibitiwa kutokuendelea kuleta madhara makubwa moto ulianza kuwaka saa 1030 alfajiri ya leo kwenye mabanda ya mama lishe na mafundi cherehani na mabanda ya nguo na viatu kwa taarifa ya awali ya kamati ya tathimini imebaini kuwa maduka 23 kati ya 156 yameteketea na meza 55 kati ya 351 zimetekea zenye mali yenye thamani ya tsh 583134000 maduka mengi yalikuwa yakitumika kama stoo ya wafanyabiashara wa mlango mmoja mkuu wa wilaya akagua miradi jiji la mwanza lafaidika na vifaa vya uokoaji kutoka sukos naibu meya wa jiji la mwanza mhebhiku kotecha awapongeza wanafunzi wa shule ya msingi nyamagana baada ya matokeo
2019-02-18T22:42:39
http://www.mwanzacc.go.tz/new/soko-la-mlango-mmoja-lafungwa-hadi-tarehe-01102018
tarusawauwano weather forecast local and global weather service google™ current weather in tarusawauwano google™ tarusawauwano weather forecast temperature precipitation wind pressure humidity / iwate japan tarusawauwano map
2018-08-14T09:12:57
http://satellites.pro/weather/Tarusawa-uwano
the co blog sasa kila kitu kiko wazi zitto aanika uhusiano wake na diva wa clouds fm sasa kila kitu kiko wazi zitto aanika uhusiano wake na diva wa clouds fm kwa mara ya kwanza mbunge wa kigoma kaskazini zitto zuberi kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa clouds fm loveness malinzi diva na kufuta uvumi mzito uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao ni wapenzi mtangazaji wa clouds fm loveness malinzi diva zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha mkasi kinachorushwa na televesheni ya east africa ambapo alikanusha kuwa hana uhusiano wowote wa mapenzi licha ya kudaiwa kutungiwa wimbo na mtangazaji huyo kama ishara ya penzi laomh kama yeye amenitungia wimbo sijui lakini mimi sina uhusiano naye wowote wa kimapenzi alisema zittokatika mahojiano hayo mheshimiwa huyo alifungukia skendo nyingine inayomhusisha kutembea na staa wa bongo fleva mwasiti almasi na kudai hakuna ukweli wowote juu ya ishu hiyo mbunge wa kigoma kaskazini zitto zuberi kabwe alisema anaumia zaidi kusikia watu wanavyomhusisha kutembea na mwasiti kupitia mitandao ya kijamii wakati hakuna ukweli wowote ambapo msanii huyo wanaheshimiana na kufanya naye kazi kwa karibu ili kumsaidia katika harakati zake za muzikinaumia sana kusikia wakinisema na mwasiti wakati yule ni dada yangu na mbaya zaidi ni mtu ambaye mara kwa mara nimekuwa nikimsaidia katika shughuli zake za muziki hakuna kitu kingine zaidi ya ukaka na udada alisema zittoaidha mheshimiwa huyo mbali na kungumzia mikakati yake ya kisiasa katika kipindi hicho aliweka bayana kuwa ni baba wa mtoto mmoja kwa mkewe aliyemtaja kwa jina moja la jack wanamlea mtoto wao vizuri lakini suala la ndoa bado halijatimia
2017-05-24T02:25:04
http://calvin-obeld-blog.blogspot.com/2014/08/sasa-kila-kitu-kiko-wazi-zitto-aanika.html
habari na matukio dk magufuli chilolo waisambaratisha ngome ya tundu lissu singida mashariki dk magufuli chilolo waisambaratisha ngome ya tundu lissu singida mashariki mgombea urais wa tanzania kupitia ccm dk john magufuli akijinadi katika jimbo la manyoni mkoani singida wakati wa mkutano wa kampeni picha na richard mwaikenda kamanda wa matukio blog wananchi wakishangilia wakati dk magufuli akitoa ahadi mbalimbali kwa wananchi kuhusu elimu ya bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne utaratibu utakaoanza mwakani endapo wananchi wakimpa ridhaa ya kuongoza nchi mgombea urais wa tanzania kupitia ccm dk john magufuli akiombewa dua na imamu wa msikiti wa pumaramadhan khamis jimbo la singida magharibi baada kujinadi kwa wananchi waliouzuia msafara wake uliokuwa ukitoka wilayani manyoni kwenda singida mjini mjumbe wa kamati ya kampeni jimbo la singida mashariki diana chilolo akipongezwa na mgombea urais wa tanzania kupitia ccm dk john magufuli baada ya kusaidia kumnadi wakati wa mkutano wa kampeni katika jimbo hilo lililokuwa linaongozwa na mbunge tundu lissu wa chadema chilolo alimsambaratisha lowassa na tundu lissu kwamba hawastahili kuwa viongozi kwani hata katika majimbo yao hakuna maendeleo waliyoyafanya pia alisema afya ya lowasa haimruhusu kuongoza nchi wananchi wa ikungi wakishangilia wakati mgombea urais wa tanzania kupitia ccm dk john magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni katika jimbo la singida magharibi wananchi wakishangilia walipomzuia dk magufuli katika kijiji cha kintinku wilayani manyoni mama mkazi wa manyoni akishangilia baada ya kumuona dk magufuli katika mkutano wa kampeni mkazi wa manyoni mkoani singida akishangilia huku akiwa na mwanawe baada ya kufurahishwa na hotuba ya dk magufuli katika mkutano wa kampeni dk magufuli akisisitiza jambo alipokuwa akihutubia katika kutano wa kampeni mjini manyoni singida leopicha na richard mwaikendakamanda wa matukio blog mkazi wa manyoni akimshikilia mtoto ili amuone dk magufuli wakati wa mkutano wa kampeni mjini manyoni dk magufuli akimnadi mgombea ubunge jimbo la manyonimashariki daniel mtuka wakati wa mkutano wa kampeni mjini manyoni mgombea ubunge viti maalumu kupitia ccm mkoa wa singida akijitambulisha kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni wilayani manyonipicha na richard mwaikendakamanda wa matukio blog mgombea ubunge jimbo la singida kaskazini kupitia ccm nyalandu akiwasalimia wananchi katika mkutano wa kampeni mjini manyoni dk magufuli akijinadi kwa wananchi katika mkutano wa kampeni mjini manyoni wananchi wa itigi jimbo jipya la manyoni magharibi wakishangilia baada ya kumuona dk magufuli wananchi wakisikiliza kwa makini wakati dk magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini itigi manyoni dk magufuli akimnadi kwa wananchi mgombea ubunge jimbo la manyoni magharibi kupitia ccm yahya masale msanii wa muziki wa kizazi kipya tunda man akitumbuiza katika mkutano wa kampeni ikungi jimbo la singida mashariki dk magufuli (wa sita kushoto) akiwa jukwaani akiangalia wakati msanii tunda man akitumbuiza katika mkutano wa kampeni mjini ikungi singida mashariki temba na chege wakitumbuiza wakati wa mkutano wa kampeni ikungi jimbo la singida mashariki kikundi cha tot kikitumbuiza wakati wa mkutano huo mjumbe wa kamati ya kampeni jimbo la singida kaskazini diana chilolo akimpigia debe mgombea ubunge jimbo la singida mashariki kupitia ccmjonathan njau na dk magufuli wakati wa kampeni mjini ikungi dk magufuli akimnadi kwa wananchi mgombea ubunge jimbo la singida mashariki jonathan njau wakati wa mkutano wa kampeni mjini ikungi leo dk magufuli akimnadi kwa wananchi mgombea ubunge jimbo la singida magharibi eribaliki kingu wakati wa mkutano huo wa kampeni mjini ikungi mkazi wa kijiji cha puma mkoani singida akishangilia alipokuwa akikimbilia kumuona dk magufuli aliyezuiwa barabarani na wananchi wa eneo hilo ili awahutubie
2017-11-22T07:33:04
http://www.kajunason.com/2015/10/dk-magufuli-chilolo-waisambaratisha.html
fonti za salama za mtandao za 25 za mtandao wako whsr nyumbani > blog > online biashara > fonti za salama za mtandao za 25 za mtandao wako 144hisa iwe ni duka la ecommerce or blogg budding jambo moja ambalo tovuti zote zinafanana ni matumizi ya maandishi kwa maudhui kuweka mawazo juu ya maonyesho yako (au kubuni ya uchapaji) ni bila ya kushangaza muhimu wakati wa kuunda uzuri wa tovuti yako na kuhakikisha ufanisi wake hapa ni jambo unaweza kuwa na template ya wordpress ya kushangaza au kuweka picha zenye kushangaza kwenye tovuti yako jinsi ikiwa unatumia font isiyo ya msingi (au mbaya zaidi ya comic sans) basi utaendelea kuishi na tovuti ambayo inaonekana na inahisi unprofessional zaidi hukosa kwenye wingi wa uchapaji wa mtandao unaofaa ambao unapatikana mtandaoni bila shaka ikiwa unataka kuhakikisha kuwa font unachagua mizigo kwa uaminifu kwenye kompyuta nyingine unahitaji kuchagua salama ya salama ya mtandao kwa fonti zetu za salama za mtandao za 25 utakuwa na hakika kuwa na uchapaji wa wavuti wa kushangaza kwenye tovuti yako ambayo inafanya kazi wakati wote mwishoni mwa makala hii nini salama ya mtandao salama fonti za salama za wavuti ni fonts ambazo kawaida huwekwa kabla ya vifaa vingi kompyuta simu za mkononi tv za smart na vidonge kwa nini fonts salama za mtandao ni jambo katika ulimwengu bora unapaswa kuwa na uwezo wa kuchagua font yoyote unayotaka kwenye tovuti yako kwa kweli kuna vikwazo kwa aina ya fonts ambazo unaweza kutumia kompyuta nyingi na vivinjari vya wavuti huja na seti ya fonts ambazo zimewekwa kabla na wazalishaji hata hivyo miundo yao inaweza (na kwa kawaida) inatofautiana hakukuwa na safu ya kawaida iliyowekwa na wazalishaji wote tofauti ikiwa font uliyotumia haijasakinishwa kwenye kompyuta ya mtumiaji basi tovuti yako itabidi tu kurejea kwenye font ya generic ambayo wakati mwingine inaweza kuishi kama isiyoweza kusoma kwa wengine ili kuepuka hiyo wabunifu wa wavuti wamekuwa wakitumia fonti za core za mtandao kwamba microsoft iliyotolewa katika 1996 kama kiwango cha fonts nyingi za tovuti hifadhi ya fonts hizi hatimaye ikawa fonts salama ya wavuti kwa sababu bila kujali kompyuta fonts zitaonekana kwa salama kwenye tovuti yako je napaswa kutumia fonti za mtandao salama kwa tovuti yangu jibu fupi kabisa ikiwa unataka kuweka design na brand ya visual ya tovuti yako thabiti basi kutumia salama mtandao salama kuhakikisha kwamba tovuti yako inaonekana hasa kama wewe nia ya kuwa kwa kweli karibu tovuti yote leo hutumia aina fulani ya salama ya salama ya mtandao wasanidi wa wavuti daima kupendekeza kuchagua font salama ya mtandao ili kuepuka kuwa na fonts za kawaida kama vile times new roman zinaonekana wakati watumiaji wanapotembelea tovuti yako ikiwa hawana font maalum au desturi je ninaongezaje fonti za mtandao salama kuna njia kadhaa ambazo unaweza kutumia kuongeza vifungo hivi kwenye ukurasa wako wa wavuti lakini ikiwa huna programu au una uzoefu usio na kiufundi unaweza kuboresha nakala ya kanuni ya css ghafi kwa urahisi na kuwaweka moja kwa moja katika stylesheet yako mwenyewe kutumia fonts ikiwa bado haujui basi tu fuata hatua hizi rahisi rahisi weka faili yako ya kichwaphp nakili chanzo cha font / msimbo wa kawaida weka kificho juu ya faili yako ya kichwa weka stylecss yako weka msimbo wa font ili kubadilisha maandishi ya maandishi ya uchaguzi wako mwishoni mwao unapaswa kuwa na stylesheet inayoonekana kama hii viungo / chanzo fontscom / css font stack 11 njia ya njia ya njia 16 karne ya gothic 24 athari zana za font ili angalia zana za zana zipo mtandaoni ambayo unaweza kutumia ili uangalie na ufuatilie fonts tofauti ambazo unaweza kutumia kwenye tovuti yako ikiwa una shida ya kuchagua font au unataka tu kuchunguza aina gani za fonti salama za wavuti zinapatikana tovuti hizi ni chombo kikubwa cha kutumia jumuiya ya sifa jumuiya ya sifa hutoa tani ya rasilimali plugins ebooks viongozi video na hata msukumo juu ya chochote na kila kitu cha kufanya na uchapaji wao hata wana sehemu ambayo inakupa fonts maarufu zaidi zinazopatikana kwenye fonti za google na ambayo fonts ni bora kuunganishwa kwa kila mmoja nakala ya alama ikiwa unataka hakikisho la haraka la maandishi yako ingeonekana kama na font fulani nakala ya alama inakupa hakikisho la haraka kuhusu jinsi maandishi yako yangeonekana kwenye fonts nyingi mara moja tu aina neno au maneno kwenye bar yao ya mbele bonyeza kitufe na itaonyesha maandiko yako na fonts tofauti kama vile candara au lucida console whatthefont ni chombo ambacho unaweza kutumia kutambua na kutambua font uliyoyaona mtandaoni wote unapaswa kufanya ni kupakia tu picha ya font na whatthefont itavukatafuta kwenye database yao ili kukupa matokeo ya karibu zaidi ikiwa bado huwezi kupata font halisi unaweza hata kichwa kwao jukwaa la kuomba msaada yote yote kuhusu orodha ya font ikiwa wewe ni chochote kama mimi basi huwa unatumia muda mwingi kwenye wavuti kusoma na kutembelea tani za tovuti kwa sababu hiyo utaifahamu wakati tovuti itatumia uchapaji mzuri ili kuimarisha muundo wa visual wa tovuti unapotumia fonts salama za mtandao ambazo zinapendeza macho watumiaji wako watafurahi na wanapenda kurudi tena na hutumia maudhui yako zaidi kwa hiyo unasubiri nini anza kutumia fonts hizi na fanya tovuti yenye kushangaza kwa biashara yako
2019-06-24T14:29:20
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/blog/web-business-ideas/25-gorgeous-web-safe-fonts-for-your-website/
kwanini freeman mbowe anasemwa vibaya mara kwa mara | page 2 | jamiiforums kwanini freeman mbowe anasemwa vibaya mara kwa mara mtahangaika sana na mbowe ila hamtofanikiwa mbowe ni mwanasiasa makini sana mmesahau 15 trillion zilitafunwa na majizi ccm najiuliza kati ya wenyeviti wote wa vyama venye usajili wa kudumu hapa nchini ni mwenyekiti wa chama kipi anayeongoza kwa kusemwa vibaya kwaio chadema na ccm mnashindana kupiga mkwanja baada ya kumsikia waitara na wabunge wengi pamoja na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu chadema kumtupia lawama mwenyekiti mbowe na ufisadi na kumtuhumu kukiuka katiba ya chama cha hadema na kutumia madaraka vibaya nashangaa kuona vijana wapambanaji wa chadema na baadhi ya viongozi wamekaa kimia bila kusema chochote pia sijui kwanini makamanda hawahoji tuhuma za mwenyekit wao au yale maneno ya sumu haijaribishwi kwa kuonjwa ni kweli au makamanda wanajua hela hua zinaenda wapi so hayo yanayo ongelewa yanaonekana ni porojo tu na kwanini viongozi na wabunge wanaojitoa chadema moja kwa moja wanaitwa mamluki au kuvishwa lawama ya usaliti bila kuhoji kwanini wamejitoa ndani ya chama na sio kuanza kusema wamenunuliwa sababu kama kweli chadema wana viongozi wanaonunulika basi hawastahili kuwa viongozi wa nchi sababu wanaweza kununulika kwa bei rais na kuuza nchi kwa mabeberu pia hoja inayotumika kuficha ukwel ni hoja dhaifu sana huwezi sema kama walikua wananyanyaswa kwanini wasiseme wakati bado wapo chadema wanaosema ivyo wanakosa points tetezi sababu wote wamesema kujitoa ilihali bado wako chadema ndiyo maana waligoma kutokwenda bungeni so walikua bado wanachama na wabunge lakini wakagoma kwenda bungeni hii inaonesha kabisa kuchoka kuendelea kutumikia sababu huwezi sema wametoka chadema na kwenda kungine sababu ya madaraka sio kweli maana wanahama wakiwa wabunge na wanajua kabisa kua wakikosa udhamin wa vyama vyao wanakua sio wabunge tena hivyo wameamua kusema tu ukweli pia baada ya bunge kuvunjwa nina imani wabunge wengi wa chadema watajiengua time will tell makamanda njooni mtufafanulie hoja cdm wanapenda kujilinganisha na ccm wamesahau kuwa yabidi wawe tofauti ili kuleta matumaini kwa walioichoka ccm lakini wapi el alipokuwa akiandamwa na hoja ya richmond na kushindwa kujitetea/kuijibia hoja ile ilibaki kuwa na nguvu juu yake hadi leo mwamba nae kwa tuhuma anazopewa na yeye kuzinyamazia kimya walipa kodi tunasema aha huyu haya ameyatenda kweli reactions mzalendo iq1 wao wanaona ni sahihi kutenda kama yale tunayowalaumu nayo ccm na wana kiburi hasa lakini wajue wanayeyusha matumaini ya watanzania chadema ni watu makini ccm na dola yao inawatoa jasho mhangahikaji tatizo kubwa amegoma kupokea offer kuunga juhudi hapa naona kuna ukweli kidogo kwasababu mbowe ni kikwazo kikubwa sana kwa ccm sababu mbowe na chadema ni tishio kwa ccm ccm haiwezi kuhangaika na vyama visivyo tishio aka ccm b kama udp tlp nk ni tapeli wa kisiasa kama tapeli mpelekeni mahakamani basi dj ni illiterate hana kitu kichwani ni zero brain kafeli exams zote hakuna ajuae kasoma nini na shule gani na sote tunajua dj ana athari za matukio yake ya kuscratch cds na kushuka chini na kuingia kufanyiza mule members only kule bills basi dj iweje leo ghafla awe na akili ya kusema mambo yenye logic na maslahi kwa nchi wakati hana shule kazi anayoiweza ni kuifisadi saccoss yake tu na huyu ni sumu kubwa ni kiongozi wa genge la wakosoaji wapayukaji wasio na elimu huyu hapaswi kabisa kurudi bungeni anakopata jukwaa la kupayuka na kujizolea umaarufu pesa na nguvu ni bora wabunge kumi wa chadema washinde uchaguzi hawana madhara kuliko kichwa cha mtu mjinga na mpayukaji ccm ivunje kabati kampeni inoge atolewe maana kufa kwa nyoka (ufipa) ni nyoka (dj) kukatwa kichwa wakati ule kijana wetu wa mlimani akiwa kaiva kisiasa tukiwa jeshi la wasomi wenzake tulimpa support akagombea ubunge wa ubungo na kushindwa tukampa moyo apambane bila kuchoka siku zimeenda amekubali kukaa chini ya akili ndogo za dj na sasa kijana madini yameisha hana maajabu tena kiongozi huwa hakosi mapungufu sema kwakuwa amefanya mazuri mengi basis mapungufu sanyingine huvjmiliwa kama yanavumilika hoja zawizi wa mbowe zipelekwe takukuru kupitia kwa cag na hatua stahili zifuatwe kuelezea kwenye vyombo vya habari ni woga na mwendelezo was kuchafuana siasa tunazozikataa dj ni illiterate hana kitu kichwani ni zero brain kafeli exams zote hakuna ajuae kasoma nini na shule gani ndugai anaijua shule waliosoma nae pamoja mpigie simu tafadhali atakusaidia c freeman mbowe kwanini maridhiano sasa jukwaa la siasa 157 dec 10 2019 w kwanini lissu kanyamaza baada ya mwenyekiti wa chadema freeman mbowe kupata dhamana jukwaa la siasa 114 mar 11 2019 kwanini ccm wanaweweseka sana kuona maalim seif na freeman mbowe wanaendelea na nafasi zao za kuchaguliwa ndani ya cuf na chadema jukwaa la siasa 20 sep 26 2018 j kwanini kiongozi wa upinzani bungeni(kub) freeman mbowe hashiriki uzinduzi wa miradi mikubwa ya kitaifa jukwaa la siasa 112 mar 14 2018 e ccm kwanini mnataka makamanda edward lowassa freeman mbowe na frederick sumaye wajiuzulu siasa jukwaa la siasa 45 apr 17 2017 freeman mbowe kwanini maridhiano sasa kwanini lissu kanyamaza baada ya mwenyekiti wa chadema freeman mbowe kupata dhamana kwanini ccm wanaweweseka sana kuona maalim seif na freeman mbowe wanaendelea na nafasi zao za kuchaguliwa ndani ya cuf na chadema kwanini kiongozi wa upinzani bungeni(kub) freeman mbowe hashiriki uzinduzi wa miradi mikubwa ya kitaifa ccm kwanini mnataka makamanda edward lowassa freeman mbowe na frederick sumaye wajiuzulu siasa
2020-06-06T21:35:59
https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-freeman-mbowe-anasemwa-vibaya-mara-kwa-mara.1734511/page-2
waziri mkuu kassim majaliwa amjulia hali spika wa bunge jo ndugai | h@ki ngowi waziri mkuu kassim majaliwa amjulia hali spika wa bunge jo ndugai waziri mkuu kassim majaliwa na mkewe mary (wapili kulia) wakizungumza na spika wa bunge job ndugai (kulia) na kewe fatma mganga waziri mkuu kassim majaliwa na mkewe mary (wapili kulia) wakiagana na spika wa bunge job ndugai (kulia) na mkewe fatma mganga ndugai (wapili kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwa spika salasala jijini dar es salaam agosti 19 2016 kumjulia hali (picha na ofisi ya waziri mkuu) h@ki ngowi waziri mkuu kassim majaliwa amjulia hali spika wa bunge jo ndugai https//2bpblogspotcom/crb11_h58xk/v7hjmbxc6mi/aaaaaaadi8i/hmqvqkle3u8pusk7zynx57mwyqw1yb9qclcb/s640/imgs1626jpg https//2bpblogspotcom/crb11_h58xk/v7hjmbxc6mi/aaaaaaadi8i/hmqvqkle3u8pusk7zynx57mwyqw1yb9qclcb/s72c/imgs1626jpg http//wwwhakingowicom/2016/08/wazirimkuukassimmajaliwaamjulia_20html
2017-12-12T23:50:12
http://www.hakingowi.com/2016/08/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-amjulia_20.html
naibu waziri anthony mavunde azindua airtel fursa tunakuwezesha msimu wa pili jjini dar es salaam leo | bukobawadau skip to main | kampuni ya simu ya mkononiya airtel leo imezindua msimu wa pili wa mradi wake wa kuwawezesha vijana ujulikanao kama airtel fursa kwa lengo kuendelea kudhihirisha kutimiza dhamira yake kuendeleza huduma za kijamii nchini mradi wa airtel fursa ulizinduliwa mei 2015 ukiwa na lengo la kuwawezesha vijana kwa kuwapatia mbinu mbalimbali za biashara na vifaa vitakavyowawezesha kukuza biashara zao msimu wa kwanza wa airtel fursa umewawezesha vijana zaidi ya 2500 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 24 kupata mafunzo ya biashara na wengine 13 wafanyabiashara chipukizi wanaofanya vizuri zaidi kupokea vifaa vilikvyowasaidi kuboresha biashara zao na kutengeneza fursa zaidi kwa jamii inayowazunguka akiongea wakati wa uzinduzi mkurugenzi mkuu wa airtel sunil colaso alisisistiza dhamira ya kampuni yake kuwawezesha vijana na kutambua mchango walio nao katika kuendesha uchumi wa tanzania mradi huu wa airtel fursa unadhihirisha dhamira yetu ya kuwawezesha vijana wa kitanzania wenye malengo ya kuinua maisha yao na kutimiza ndoto zao msimu wa kwanza wa airtel fursa umetoa matokeo mazuri sana na tumefanikiwa kugusa maisha ya maelfu ya vijana wengi kutoka katika mikoa mbalimbali nchini katika msimu huu wa pili tunawekeza takribani shilingi billion moja ili kuweza kufikia vijana wengi zaidi ambao wako tayari kutumia fursa na vipaji vyao tutaendelea kuwapatia mafunzo ya kibiashara misaada ya vifaa na kuanzisha mfumo wakisasa wa mafunzo kupitia simu zao za mkononi alisema colaso akizindua rasmi mradi wa airtel fursa naibu waziri wizara ya kazi vijana na ajira anthony mavunde aliwapongeza airtel kwa kuanzisha na kuwekeza kwenye mradi huu mkubwa na kutoa wito kwa vijana kutumia fursa hii ili kuboresha maisha yao alisema mh mavunde nchi yetu ya tanzania imebarikiwa kwa kuwa na rasilimali zikiunganishwa pamoja na fulsa zinazoletwa na miradi kama hii yaairtel fursa ni wazi vijana wenye malengo dhahiri ya kujiendeleza wataweza kuboresha maisha yao napenda kuwahasa vijana wetu kutumia fursa hii na kufanya kazi kwa bidii serikali chini ya wizara yetu na itaendelea kushirikia airtel na kufanya kazi kwa pamoja huku ikiweka mazingira bora yatakayochochea vijeza ana kupata fursa ili waweze kuchangia katika kuendeleza uchumi wa nchi aliongeza mavunde (imeandaliwa na mtandao wa www habari za jamiicomsimu namba 0712727062) posted by
2016-12-05T00:27:56
http://bukobawadau.blogspot.com/2016/01/naibu-waziri-anthony-mavunde-azindua.html
habari na matukio kajunason asherehekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima wa kituo cha sos children's village tanzania kajunason asherehekea siku yake ya kuzaliwa na watoto yatima wa kituo cha sos children's village tanzania mmiliki wa kajunason blog cathbert angelo kajuna akiwagawia juisi watoto yatima wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwenye kituo cha kulelea watoto yatima cha kituo cha sos children's village tanzania mmiliki wa kajunason blog cathbert angelo kajuna pamoja na mwenyekiti wa tanzania blogger network (tbn) na mmiliki wa blog ya the habari bw joachimu mushi wakiwa kwenye pozi na watoto mwenyekiti wa tbn ni mmoja ya wageni waalikwa waliosindikiza picha ya pamoja picha na emmanuel masaka
2017-03-26T03:23:25
http://www.kajunason.com/2016/04/kajunason-asherekea-siku-yake-za.html
mr uk fridge dar es salaam | zoomtanzania mafriji na mafriza 2 apr 0935 utambulisho wa tangazo 1358875 tsh 560000 mr uk fridge low noisefast cooling mwanachama tangu 20 mac 38 total ads / 38 active ads
2019-10-24T02:23:49
https://www.zoomtanzania.com/sw/mafriji-na-mafriza/mr-uk-fridge-1358875
mchekeshaji maarufu duniani kevin hart akosa dili nono kisa kuwakashifu wapenzi wa jinsia moja zanzibar24 magazeti ya tanzania leo jumapili february 24 2019 mchekeshaji maarufu duniani kevin hart akosa dili nono kisa kuwakashifu wapenzi wa jinsia moja december 7 2018 wahida mchekeshaji maarufu duniani kutoka marekani kevin darnell hart alimaarufu kevin hart aliyezaliwa miaka 39 iliyopita katika mitaa ya philadelphia pennsylvania amekosa dili kutokana na vitendo vya ubaguzi usiku mtandao wa tweeter uliibuka na kuanza kumshambulia kevin hart kutokana na kauli zake hizo alizowahi kuzitoa hadi kufikia jamaa kuona basi isiwe kesi acha nifunguke na kufunguka kwake aliamua kujitoa au kujivua kwenye nafasi hiyo amabyo ilikuwa kama ndoto yake ya muda sasa ambayo ilikuwa ni kuwa host katika siku ya ugawaji wa tuzo za oscar 2019 na kubaini kuwa asingekuwa kikwazo cha furaha za watu siku hiyo ya utoaji tuzo endapo watu wakimuona ← rushwa ya ngono udsm yachukuwa sura mpya tgnp yatoa neno mkuu wa wilaya kaskazini b alizwa na maovu yanayotendeka kiwengwa →
2019-02-24T04:11:02
http://zanzibar24.co.tz/oscar-mchekeshaji-maarufu-duniani-kevin-hart-akosa-dili-nono-kisa-kuwakashifu-wapenzi-wa-jinsia-moja/
mwanzo 22 | biblie ku enternete | tafsiri ya ulimwengu mpya soma katika afrikaans chibemba kiajemi kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibulgaria kicheki kichichewa kichinois cantonais (traditionnel) kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kichitumbuka kidanishi kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifiji kifini kiga kigiriki kigun kihiligaynon kihindi kihispania kiholanzi kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiisoko kiitaliano kijapani kijeorjia kijerumani kikaonde kikazath kikiribati kikirigizi kikorasia kikorea kikrioli cha haiti kikuyu kilitwania kiluba kiluvale kimalagasi kimalayalamu kimalayi kimalta kimasedonia kimyama kinepali kinorwe kinyarwanda kiosete kipangasinan kipolandi kireno kireno (ureno) kiromania kirundi kirusi kisamoa kisango kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kisetswana kishona kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kisranan tongo kiswahili kiswahili (congo) kiswedi kitagalog kitai kitamul kitatar kitigrinya kitirke kitok pisin kitongien kitsonga kituvalu kitwi kiukraini kiuzbek kivietinamu kiwaraywaray kixhosa kiyoruba kizulu kongo lingala luga ya ishara ya amerika luganda otetela sesotho (lesotho) tshiluba tétoum dili mwanzo kutoka mambo ya walawi hesabu kumbukumbu la torati yoshua waamuzi rutu 1 samweli 2 samweli 1 wafalme 2 wafalme 1 mambo ya nyakati 2 mambo ya nyakati ezra nehemia esta yobu zaburi mezali muhubiri wimbo wa sulemani isaya yeremia maombolezo ezekieli danieli hosea yoeli amosi obadia yona mika nahumu habakuki sefania hagai zekaria malaki matayo marko luka yohana matendo waroma 1 wakorinto 2 wakorinto wagalatia waefeso wafilipi wakolosai 1 watesalonike 2 watesalonike 1 timoteo 2 timoteo tito filemoni waebrania yakobo 1 petro 2 petro 1 yohana 2 yohana 3 yohana yuda ufunuo 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 mwanzo 22124 abrahamu anaambiwa amutoe isaka (119) uzao wa abrahamu utaleta baraka (1518) familia ya rebeka (2024) 22 kisha mambo hayo mungu wa kweli akamujaribu abrahamu+ na akamuambia abrahamu naye akajibu mimi huyu 2 kisha mungu akamuambia tafazali chukua mwana wako isaka+ mwana wako wa pekee mwenye unapenda sana+ na ufunge safari kuenda kwenye inchi ya moria+ na kule umutoe kuwa toleo la kuteketezwa juu ya mulima mumoja kati ya milima yenye nitakuonyesha 3 kwa hiyo abrahamu akaamuka asubui sana na akatandika punda wake na kuchukua watumishi wake wawili pamoja na isaka mwana wake akapasua kuni kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na kisha akasimama na kufunga safari kuenda mahali kwenye mungu wa kweli alimuonyesha 4 siku ya tatu (3) abrahamu akainua macho na kuona kwa mbali mahali pale 5 sasa abrahamu akaambia watumishi wake ninyi mubakie hapa pamoja na punda lakini mimi na kijana huyu tutaenda kule na kuabudu na tutarudia hapa kwenye muko 6 kwa hiyo abrahamu akakamata kuni kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na akazibebesha isaka mwana wake kisha akakamata moto na kisu* katika mikono yake na wote wawili wakaenda pamoja kwa miguu 7 kisha isaka akamuambia abrahamu baba yake baba yangu naye akasema ndiyo mwana wangu kwa hiyo isaka akaendelea kusema hapa kuko moto na kuni lakini kondoo kwa ajili ya toleo la kuteketezwa iko* wapi 8 abrahamu akajibu mwana wangu mungu mwenyewe atatoa kondoo kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ na wote wawili wakaendelea kutembea pamoja 9 mwishowe wakafika mahali mungu wa kweli alikuwa amemuonyesha na abrahamu akajenga mazabahu pale na akapanga kuni juu yake akamufunga isaka mwana wake mikono na miguu na kumutia kwenye mazabahu juu ya zile kuni+ 10 kisha abrahamu akanyoosha mukono wake na kukamata kile kisu* ili amuue mwana wake+ 11 lakini malaika wa yehova akamuita kutoka mbinguni na kusema abrahamu abrahamu naye akajibu mimi huyu 12 mwishowe akasema usimuue kijana huyo na usimutendee jambo lolote kabisa kwa maana sasa ninajua kwamba unamuogopa mungu kwa kuwa haukunikatalia mwana wako mwana wako wa pekee+ 13 basi abrahamu akainua macho na pale tu mbele yake kulikuwa kondoodume mwenye alikuwa amekamatwa kwa pembe zake katika miti midogomidogo* kwa hiyo abrahamu akaenda na kumukamata kondoodume huyo na kumutoa kuwa toleo la kuteketezwa pa nafasi ya mwana wake 14 abrahamu akaita mahali pale yehovayire* ndiyo sababu mupaka leo watu wangali wanasema katika mulima wa yehova mambo ya lazima yatatolewa+ 15 na malaika wa yehova akamuita abrahamu mara ya pili kutoka mbinguni 16 na kusema ninaapa kwa jina langu ni vile yehova anasema+ kwa kuwa umetenda jambo hilo na haukunikatalia mwana wako mwana wako wa pekee+ 17 hakika nitakubariki na hakika nitafanya uzao wako ukuwe mwingi* kama nyota za mbinguni na kama chembe za muchanga pembeni ya bahari+ na uzao wako utariti* mulango mukubwa wa* maadui wake+ 18 na kupitia uzao wako*+ mataifa yote ya dunia yatajipatia baraka kwa sababu umesikiliza sauti yangu+ 19 kisha mambo hayo abrahamu akarudia mahali watumishi wake walikuwa na wakasimama na kurudia pamoja beersheba+ na abrahamu akaendelea kuishi beersheba 20 kisha mambo hayo abrahamu akaambiwa angalia milka pia amemuzalia nahori ndugu yako wana+ 21 usi muzaliwa wake wa kwanza buzi ndugu yake kemueli baba ya aramu 22 kesedi hazo pildashi yidlafu na betueli+ 23 betueli akamuzaa rebeka+ milka alimuzalia nahori ndugu ya abrahamu watoto hao wanaume munane (8) 24 suria wake* mwenye jina lake lilikuwa reuma yeye pia alimuzalia watoto wanaume teba gahamu tahashi na maaka ^ ao kisu cha kuchinjia ^ ao eko ^ ao kichaka ^ maana yake yehova atatoa yehova ataishugulikia ^ tnn mbegu yako ikuwe nyingi ^ ao mbegu yako itariti ^ ao miji ya mwanzo 22
2019-07-22T01:32:47
https://www.jw.org/swc/vichapo/biblia/nwt/vitabu/mwanzo/22/
zambia ushindani ripoti sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi zambia ushindani ripoti
2019-09-18T18:15:12
https://sw.tradingeconomics.com/zambia/competitiveness-index
cathelin makanya charles usisahau kushare/kumtumia kwenye mitandao ya kijamii hapa chini ili cathelin asome ujumbe wako bofya andika ujumbe mpya kumuandikia na wewe mtu wako ujumbe kama makanya charles alivyomwandikia cathelin
2019-07-23T00:48:47
http://www.ackyshine.com/pole-mpenzi:477
mkurugenzi mkuu wa msd atumbuliwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania john magufuli amemteua brigedia jenerali dkt gabriel sauli mhidize kuwa mkurugenzi mkuu wa bohari ya dawa (msd) uteuzi wa brigedia jenerali dkt mhidize umefanywa mei 03 2020 kabla ya uteuzi huo brigedia jenerali dkt mhidize alikuwa mkuu wa hospitali ya jeshi la ulinzi la wananchi tanzania (jwtz) lugalo jijini dar es salaam uteuzi huo mpya umejiri baada ya rais magufuli kusema kuwa sampuli kadhaa ambazo hazikuwa za binadamu zilitumwa katika maabara ya taifa ili kupima ubora na usahihi wa majibu ya mashine hizo katika vipimo vya ugonjwa huo na kuleta majibu yaliyoacha maswali mengi kwakuwa sampuli hizo zilipewa majina ya binadamu na kupelekwa bila ya wataalamu wa maabara kujua kuwa si za bidanamu sampuli ya oili ya gari ilipewa jina la jabiri hamza na haikukutwa na corona sampuli ya tunda la fenesi ilipewa jina la sara samuel majibu yake hayakukamilika sampuli ya papai iliitwa elizabeth na kukutwa na coronaamesema rais magufuli alisema sampuli ya ndege aina ya kware pia ilikutwa na corona pamoja na mbuzi lazima ugundue kuna mambo ya ajabu yanafanyika nchi hii ama wahusika wa maabara wamenunuliwa na mabeberu ama hawana utaalamu jambo ambalo si kweli kwa kuwa maabara hii imetumika sana katika magonjwa mengine ama zile sampuli zinazoletwa maana vifaa vyote vinatoka nje hivyo lazima kuna kitu fulani kinafanywa amesema magufuli magufuli amesema kutokana na taarifa hizo anaamini kuna watu ambao walipewa majibu yasiyo sahihi kwamba wana maambukizi ya virusi vya corona lazima kuna watu wameambiwa positive lakini si wagonjwa wa corona na inawezekana wengine wakafa kwa hofu papai lile lipo halijafa linaiva tu mbuzi yule yupo tu hajafa fenesi lile lipo tu labda lije kuozakwa hiyo natoa wito kwa watanzania msiwe na hofumbona mafua yamekuwepo lakini haya ni makali nayo yatapita aidha rais magufuli amesema kuwa amewasiliana na madagascar baada ya kupokea barua rasmi kutoka nchi hiyo iliyoeleza kuwa wamegundua dawa ya corona na kusema kuwa atatuma ndege madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona brigedia jenerali dkt mhidize amechukua nafasi ya laurean rugambwa bwanakunu ambaye uteuzi wake umetenguliwa leo hii
2020-06-04T07:01:33
http://startv.co.tz/startvweb/index.php/kitaifa/836-mkurugenzi-mkuu-wa-msd-atumbuliwa
soka letu linamhitaji haji manara | gazeti la jamhuri soka letu linamhitaji haji manara jamhuri february 25 2020 soka letu linamhitaji haji manara20200225t091757+0000 michezo huenda kassim dewji ni miongoni mwa viongozi wachache wa simba wakiwa sehemu ya watendaji wa simba mbili zilizofanya maajabu kuliko simba ya manara jumamosi ya novemba 26 1993 wakati desre koume na jean ball boli zozo wanainyima simba ubingwa wa caf kwa magoli yao ya dakika za 17 na 77 waliyoifungia stella abdjan dewji alikuwa katibu mwenezi (nafasi inayofanana na ya manara kwa sasa) wakati simba inatinga robo fainali ya ligi ya mabingwa (klabu bingwa ya afrika) mwaka 2003 kwa kuivua ubingwa zamaleki ya misri dewji alikuwa katibu mkuu nafasi kubwa zaidi ya aliyonayo manara lakini kwa vyovyote vile umaarufu wa haji manara wa simba iliyofika hatua ya makundi ni mkubwa kuliko umaarufu wa kassim dewji wa simba ya kizazi cha dhahabu alama ya haji manara ndani ya simba itachukua muda mrefu kufutika kuliko ya dewji na wengine ndiyo inawezekana ukasema umaarufu wa manara dhidi ya dewji unachagizwa na nyakati za teknolojia alizonazo haji lakini ni wakati huu huu wa haji manara tunawaona wasemaji wa timu nyingine wakishindwa kuna wasemaji wengi tu wa klabu kubwa wanaonekana kama wamelala nafikiri haji mwenyewe ana mchango mkubwa katika hili kuliko nyakati na teknolojia kuna uwezakano watu wengi wa ukanda wa afrika mashariki haumfahamu josep vives wa barcelona lakini wanafahamu kuhusu haji manara unaweza hata kushangazwa na idadi ya followers wa instagram kati ya vives wa barcelona na manara wa simba wakati vives ana followers wasiozidi elfu mbili manara ana followers zaidi ya milioni mbili haitashangaza kuona waafrika wengi wanalijua jina la haji manara kuliko mkuu wa idara ya mawasiliano wa manchester city simon heggie haji ana usemaji wa soka la uswahilini mpira wa miguu ni mchezo wa watoto wa kimaskini ambao wengi wanapatikana uswahilini manara anaturudisha kwenye somo la aina /makundi ya watu kuna aina nne za makundi ya binadamu zinazoweza kugawanywa kwenye makundi madogo manne hivyo kuleta makundi 16 aina mojawapo ndani ya hizo 16 ni debaters hili ni kundi la watu wabunifu wa njia za kudumisha utulivu kwenye mazingira ya kazi hata kwa kutengeneza uongo wenye faida ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo ni watu wasiojali wanaumiza kiasi gani hisia za wengine ili tu wanaonekana wanachosema ni sahihi hutaka kufanana na logicians kwa tabia ya kutumia nguvu kubwa kuwalinda wanaowaamini lipo kundi jingine linaitwa adventures ni aina ya watu wanaopenda kufaidi maisha kwa gharama yoyote ile wanapenda kueleweka kwao maisha ya wengine si muhimu sana ilimradi ya kwao yanakwenda vizuri haji sunday ramadhani manara de la boss ni mchanganyiko wa debater na adventure haji yupo tayari kugombana na yeyote kwa ajili ya simba (rejea bifu lake na shafii wakati ule wa underdog) yupo tayari kuwanyima furaha wengine kwa sababu ya simba wakati simba inatafunwa na kashfa zilizoibuliwa na kabwili wakati simba inafunga magoli ya utata katika mechi mfululizo wakati boss wa klabu hiyo anatishia kususa wakati simba inaruhusu goli karibu kila mechi pamoja na yote hayo manara ameendelea kuilinda simba kupitia mdomo wake na kuonekana ni klabu bora zaidi ni wakati huu yanga wana morisson anayetembea juu ya mpira ni wakati huu yanga wanashinda mechi mbili mfululizo kwa kiwango bora kabisa ni wakati huu yanga wana haruna niyonzima ni wakati huu yanga inatoa bonasi ya milioni kumi kwa wachezaji wake kwa kila mechi inayoshinda pamoja na yote haya bado yanga inaishi maisha ya kinyonge kwa sababu ya mdomo wa haji manara soka linataka watu wa aina yake ni mswahili mno utafikiri hajazaliwa ulaya mpira wa miguu ni mchezo unaopaswa kuzungumzwa sana zahera na maurnho moja ya uimara wao ni pamoja na midomo yao wakati mwingine midomo hutumika kama silaha kwenye mchezo huu kwenye mechi iliyopita ya watani wa jadi haji alizunguka kwenye vyombo vya habari akihitahadharisha yanga kuhusu namna nzuri ya kucheza na simba nyakati za mazuri ya yanga yangekuwa simba mitandao ya kijamii ingesimama morrison angekuwa mchezaji wa simba kutembea juu ya mpira ingekuwa habari kubwa hata kuikaribia ya ugonjwa wa corona haruna niyonzima kama angesajiliwa simba kwenye mitandao ya kijamii pangechimbika huoni hilo likifanywa na wasemaji wengine nguvu ya haji imeleta hofu kwenye midomo ya wasemaji wengi unaituliza simba kwenye pressure leo hakuna shabiki wa simba anayemkumbuka patrick aussems kwa sababu ya mdomo wa manara anakera huku anafurahisha anaudhi huku analiwaza anakasirisha wakati huohuo anachekesha anatania huku anasema kweli anakuchukiza lakini hukomi kutembelea akaunti yake kuna uwezakano 70 ya followers wa akaunti zake za mitandao ya kijamii ni yanga anaowakera 0629500908 « wageni wanakuja wanaondoka makocha wa kwetu wapo tu banana kama baba yake (2) »
2020-04-10T03:18:41
https://www.jamhurimedia.co.tz/soka-letu-linamhitaji-haji-manara/
takukuru yaanza kutoa ushahidi kesi ya rushwa vigogo tff bingwa takukuru yaanza kutoa ushahidi kesi ya rushwa vigogo tff no comments on takukuru yaanza kutoa ushahidi kesi ya rushwa vigogo tff ofisa uchunguzi kutoka taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini (takukuru) sosthenes kibwengo amedai vigogo wa shirikisho la soka tanzania (tff) waliomba rushwa ya sh milioni 25 ili wagawane na vigogo wenzao mgawo ulikuwa wa makundi matatu kundi la kwanza sekretarieti ya tff sh milioni 10 uhamiaji sh milioni tano na kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji sh milioni 10 kibwengo alidai jana alipokuwa akitoa ushahidi katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu mkazi mkuu huruma shahidi akiongozwa na wakili wa serikali leonard swai vigogo hao wa tff wanaotuhumiwa kuomba rushwa kwa viongozi wa klabu ya geita ni rais msaidizi wa tff juma matandika na kaimu mkurugenzi wa mashindano wa shirikisho hilo martin chacha shahidi alidai februari 4 mwaka huu salum kulunge na constantine morandi ambao ni viongozi kutoka chama cha soka mkoa wa geita na klabu ya geita walifika tff kwa ajili ya kusikiliza rufaa ya mchezaji mohammed jingu wa timu ya polisi tabora ambaye aliwekewa pingamizi kuwa si raia wa tanzania hivyo usajili wake ulikuwa batili viongozi hao walifuatilia kwa sababu geita ililingana pointi na polisi tabora katika kundi c uamuzi ungekuwa mbaya kwa jingu wao wangefaidika kwa timu yao kupanda daraja februari 4 walikutana na washtakiwa ambao waliomba rushwa ya sh milioni 25 ili iwe kishawishi cha kutoa uamuzi kwa faida yao viongozi hao wa geita walirekodi mazungumzo yote sh milioni 25 zilizoombwa zilikuwa zigawanywe katika makundi matatu kundi la kwanza sekretarieti ya tff sh milioni 10 uhamiaji sh milioni tano na kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji sh milioni 10 alidai ofisa huyo alidai walipofanya uchunguzi walipeleka tape kwa katibu mkuu wa tff kwa ajili ya kuisikiliza kutambua sauti na katibu huyo alizitambua sauti za washtakiwa upande wa jamhuri katika kesi hiyo walidai wana mashahidi 10 na vielezo ikiwemo hiyo tape upande wa utetezi ulidai una mashahidi wanne mahakama iliahirisha kesi hadi desemba 5 mwaka huu kwa mujibu wa hati ya mashtaka washtakiwa wanakabiliwa na kosa moja la kuomba rushwa kinyume cha sheria ya kuzuia rushwa wanadaiwa februari 4 mwaka huu makao makuu ya tff wakiwa waajiriwa wa tff waliomba rushwa ya sh milioni 25 kutoka kwa salum kulunge na constantine morandi kama kishawishi kwa tff na idara ya uhamiaji tanzania kutoa uamuzi dhidi ya klabu ya mpira wa miguu polisi tabora ili kuisadia klabu ya geita kupanda katika ligi kuu tanzania lwandamina aonyesha vitu adimu yanga lwandamina ataka viwanja vitatu yanga
2020-05-26T13:40:43
http://www.bingwa.co.tz/takukuru-yaanza-kutoa-ushahidi-kesi-ya-rushwa-vigogo-tff/
fighters of life check muonekano wa leo nyumbani kwa baba wa mtangazaji aliyepigwa risasi na mchumba wake ambaye pia alimuua mama yake kwa risasi check muonekano wa leo nyumbani kwa baba wa mtangazaji aliyepigwa risasi na mchumba wake ambaye pia alimuua mama yake kwa risasi picha na hudgu ng'amilo prepared and posted by
2017-06-29T00:22:24
http://folclassic.blogspot.com/2013/10/check-muonekano-wa-leo-nyumbani-kwa.html
panga la jpm haliwezi kuacha mawaziri salama makala | mwananchi panga la jpm haliwezi kuacha mawaziri salama kama kipimo kitakuwa ni wizara ya nishati na madini ambayo mawaziri wote tangu awamu ya tatu wamekumbwa na msukosuko hakuna waziri wa sasa au zamani atakayebaki salama inawezekana ukawa ni mzuri wa sura mchapakazi lakini kama utakuwa umetajwa katika ripoti yoyote inayoonyesha taifa kuingia hasara utaondoka na sifanyi hivi kwa kumwonea mtu ni kauli ya rais john magufuli baada ya kupokea ripoti za uchunguzi wa uchimbaji na biashara za almasi na tanzanite kauli hiyo inaakisi utaratibu wake aliojiwekea katika utendaji wa rais magufuli katika awamu yake ripoti hizo ziliwasilishwa na kamati mbili zilizoundwa na spika wa bunge job ndugai kuangalia uchimbaji usimamizi na udhibiti wa almasi na tanzanite baada ya ripoti hizo kuwasilishwa waziri katika ofisi ya rais tamisemi george simbachawene amelazimika kujiuzulu baada ya kutajwa kwamba akiwa waziri wa nishati na madini aliwahi kuridhia mabadiliko katika mauzo ya kampuni uchimbaji tanzanite na utoaji wa leseni kinyume na utaratibu mwingine ni naibu waziri wa ujenzi edwin ngonyani naye aliandika barua ya kujiuzulu baada ya kamati ya almasi kusema aliwahi kuzuia serikali kununua mgodi wa almasi kwa dola milioni 10 na kuikosesha serikali zaidi ya dola milioni 300 fedha ambazo zilienda kwa kampuni iliyonunua hisa mtikisiko huo umekuja wakati vumbi la waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo halijatua rais magufuli alitengua uteuzi wa muhongo baada ya kudaiwa kusababishia taifa kukosa mapato yake kupitia biashara ya usafirishaji wa makinikia ya dhahabu hawa wote wameondolewa katika nafasi hizo kwa makosa waliyohusishwa nayo katika uongozi wa wizara hiyo wahenga walisema ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia maji msemo huo unawagusa mawaziri wengine wanaoongoza wizara nyingine na hata wale waliowahi kuziongoza wizara hizo kwamba wakati wowote kaburi litakapofukuliwa hakuna atakayebaki salama mzimu wa nishati na madini kumbukumbu zinaonyesha ni simbachawene pekee ndiyo alikuwa ameshikilia rekodi ya kuondoka wizara ya nishati na madini bila mawaa lakini baada ya kujiuzulu siku nne zilizopita wizara hiyo imefuta rekodi hiyo tangu uongozi wa awamu ya tatu nne na tano madarakani simbachawene aliyeongoza wizara hiyo kwa kipindi cha miezi 10 tu tayari amejiuzulu baada ya kutajwa na ripoti ya kamati maalum ya bunge kuhusisha katika kashfa ya biashara ya tanzanite simbachawene amefanya wizara hiyo kufikisha idadi ya mawaziri sita walioingia na kutoka kwa kashfa wizara hiyo hii inatokana na ukweli kwamba kwa miaka ya karibuni mawaziri wote wa nishati madini tangu uongozi wa awamu ya nne 2005 dk ibrahim msabaha nazir karamagi william ngeleja profesa sospeter muhongo george simbachawene wote wameondoka kwa kashfa za umeme pia yupo daniel yona aliyekuwapo wizarani hapo katika awamu ya mwisho ya uongozi wa rais benjamini mkapa kabla ya rais jakaya kikwete kuchaguliwa 2005 yona aliyedumu kwa miaka miwili baadaye aliishia jela kwa kashfa ya zilizohusu mikataba na kampuni ya ms alex stuwart iliyopewa zabuni ya kuhakiki malipo tanzania iliyostahili kutokana na mauzo ya madini waliofuata kwa mujibu wa kumbukumbu katika wizara hiyo januari hadi oktoba 2006 wizara hiyo iliongozwa na dk ibrahim msabaha ambaye baadaye alihusishwa na kashfa ya richmond na kulazimika kujiuzulu oktoba mwaka 2006 hadi 2008 wizara hiyo ikawa chini ya nazir karamagi ambaye alikutana na joto la kashfa ya richmond kuanzia mwaka 2008 hadi 2012 kibarua cha wizara hiyo kikakabidhiwa kwa william ngeleja lakini naye aliondolewa katika nafasi hiyo na sakata la mawaziri mizigo na baadaye akiwa nje akakutwa na mgawo wa james rugemalira kwenye sakata ya tegeta escrow nafasi hiyo kuanzia mwaka 2012 hadi mwaka 2014 ilijazwa na profesa sospeter muhongo aliyeondolewa kwa mara ya kwanza kwa kuhusishwa kwenye mzimu wa escrow januari mwaka 2015 rais kikwete alimteua george simbachawene kabla ya kurejeshwa rais john magufuli kumrejesha profesa muhongo lakini akalazimika kumwondoa tena katika sakata la makinikia akizungumzia hali hiyo mtafiti mwandamizi wa taasisi ya utafiti (repoa) dk abel kinyondo anasema tatizo linalojitokeza katika wizara hiyo ni unyeti wa rasilimali zake kuwa chini ya uamuzi wa kiongozi mmoja anatoa mfano akisema mikataba inayoingiwa katika sekta ya madini ni ya muda mrefu na hivyo kushawishi mwekezaji na waziri mwenye dhamana kutumia njia za kona waziri anaingia wizarani akijua hataweza kukaa milele na yeye ni binadamu anayeweza kuingiwa na tamaa anajikuta ameshawishika kuingia mikataba itakayomnufaisha kwanza yeye anasema dk kinyondo anasema udhaifu katika wizara hiyo unachagizwa na katiba na sheria zinazotoa mamlaka makubwa kwa waziri mwenye dhamana badala ya kuweka mfumo utakaokuwa na taasisi mbalimbali zinazoshiriki katika upitishaji wa maamuzi ya mwisho norway hakuna kiongozi mmoja anayeweza kubadilisha au kupitisha maamuzi ya mwisho ndani ya kampuni ya usimamizi wa rasilimali ujerumani hakuna mwanasiasa anayeweza kuingia taasisi ya fedha na kufanya jambo fulani hata sisi ilitakiwa waziri awe sehemu tu ya uamuzi wa mwisho yaani tuwe na hatua mbalimbali za uhakiki wa mikataba sheria zinazopitishwa na maamuzi ya mwisho anasema dk kinyondo anasema katika mazingira ya mfumo huo hakuna waziri au kiongozi atakayeweza kuingiza udhaifu katika usimamizi uthibiti na uendeshaji wa rasilimali za nchi msingi anaoweka jpm mkurugenzi wa taasisi ya fordia bubelwa kaiza anasema usafi anaouzungumzia rais magufuli hauishii kwa mawaziri waliopo madarakani bali hata kwa mawaziri wastaafu na wabunge wa chama hicho atawajibishwa ndiyo maana akasema hata bunge liangalie vizuri kanuni zake kwa wale wanaotajwa tajwa ili bunge litoe mapendekezo na chama chake kitaangalia namna ya kuwachuja kaiza anasema ni jambo jema kujiwekea viwango na utaratibu wa viongozi anaofanya nao kazi mwanaharakati huyo katika sekta ya rasilimali za madini anasema kinachomsaidia ni mfumo alioanza kuweka kupitia sheria mpya ambazo zitalazimisha viongozi na mawaziri wapya wanaokuja wasiweze kumwangusha kwa mfano sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba 7 ya mwaka 2017 imeondoa mamlaka kwa waziri katibu mkuu na kamishna wa madini katika usimamizi na udhibiti wa madini na badala yake mamlaka hayo imepewa kamisheni ya madini itakayokuwa na wataalamu kutoka sekta mbalimbali hii ni hatua nzuri inayoondoa tamaa za kiongozi mmoja ndani ya wizara ya madini kuamua kwa maslahi yake anasema hata hivyo kaiza anasema changamoto ilijitokeza katika mfumo uliokuwapo ambao ulikuwa wa kujinufaisha kwa viongozi wengi rais alijua wapya hawatamletea matatizo ndiyo maana alitumia muda mrefu kuchuja wale wenye dosari na kuchukua wasiojulikana anasema kuhusu hatma ya mawaziri wa zamani mchambuzi huyo anasema itakuwa ni vigumu kupona endapo rais atapita kila wizara kwa kipindi cha miaka mitatu aliyobakiza kila wizara na kaburi lake kwa sasa ziko wizara 18 na kila moja tunaweza kusema ina kaburi lake ambalo likifukuliwa hatujui nani atakayepona matatizo haya yamekuwa yakiibuliwa na mara nyingi na ripoti ya ofisi mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali (cag) na nyingine za kamati zinazoundwa na bunge kuchunguza masuala mahususi mathalan licha ya kuondolewa kwa kashfa ya ulevi bungeni wakati huohuo lilikuwa sakata la lugumi lililoibua shinikizo la kungolewa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani charles kitwanga baada ya wizara yake kuhusishwa na zabuni tata ya mradi wa ufungaji wa vifaa vya mawasiliano kwenye vituo vua polisi aidha ripoti ya mwaka 2014/ 2015 iliyowasilishwa aprili mwaka jana cag mussa juma assad iliibua uozo zaidi kwenye halmashauri taasisi za serikali na mashirika ya umma ikibainisha kuwa nchi ina tatizo kubwa zaidi ya watu wachache ambao wamekuwa wakishughulikiwa na serikali ya rais magufuli ripoti hiyo iligusa taasisi zilizowahi kuwa chini ya wizara ya elimu afya ardhi ujenzi mambo ya nje na nyinginezo kama tume ya taifa ya uchaguzi (nec) pia ripoti hiyo inabainisha kuwa mapendekezo mengi ambayo cag amekuwa akiyatoa kwa takribani miaka saba sasa hayatekelezwi cha kujiuliza ni je hivi yakitekelezwa nani atabaki salama
2018-06-22T16:44:19
http://www.mwananchi.co.tz/Makala/Panga-la-JPM-haliwezi-kuacha-mawaziri-salama/1597592-4093102-txk5vgz/index.html
nyumbani ushirika overseas development institute (odi) fellowship scheme 2019/2021 for young professionals (£21000/year salary) mwisho wa maombi desemba 2nd 2018 aina ya mkataba n / a mshahara gbp 21000 (gbp 23000 in the second year) plus accommodation allowance eneo overseas development institute masaa full time mpango huo una malengo mawili kutoa serikali za nchi zinazoendelea na wachumi wa ngazi ya juu na wachambuzi wa takwimu ambapo kuna pengo katika uwezo wa ndani na kutoa wanauchumi wa daraja na wataalamu wa takwimu za uzoefu wa kazi katika nchi zinazoendelea the scheme places young and highly motivated wachumi na wasomi in public sector posts in developing country governments on twoyear contracts applicants can apply for either uchumi na / au takwimu streams provided they are suitably qualified waajiri wa kawaida ni wajibu wa • kulipa mshahara sawa na kile kinacholipwa kwa taifa lililoajiriwa na wenye sifa na uzoefu sawa • kuhakikishia washirika wanapokea msaada katika kupata vibali vya kazi na kibali vya usalama ambapo inahitajika odi ni kawaida inayohusika na • uteuzi wa wenzake tarehe ya kufunga 02 desemba 2018 mahojiano february 1118 2019 tathmini ya february 1118 2019 makala zilizotanguliarise up call for applications youth champions initiative for young people (fully funded to california usa) makala inayofuatachuo kikuu cha ghenn udhamini wa uzamili 2019 kwa wagombea kutoka nchi zinazoendelea kujifunza nchini ubelgiji (fedha)
2018-12-16T05:22:21
https://sw.opportunitiesforafricans.com/overseas-development-institute-odi-fellowship-scheme-2019-2021/
bodi ya mikopo yaanza kupokea maombi ya mikopo kutoka kwa wanafunzi kwa mwaka wa masomo 20152016 mzizima 24 home kitaifa bodi ya mikopo yaanza kupokea maombi ya mikopo kutoka kwa wanafunzi kwa mwaka wa masomo 20152016 bodi ya mikopo yaanza kupokea maombi ya mikopo kutoka kwa wanafunzi kwa mwaka wa masomo 20152016 185900 kitaifa edit mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo bw george nyatega
2018-06-25T19:24:59
http://www.mzizima24.com/2015/05/bodi-ya-mikopo-yaanza-kupokea-maombi-ya.html
vikao viwili mpya burudani na michezo sayansi na teknolojia habari na habari vikao viwili mpya burudani na michezo sayansi na teknolojia machi 23 2012 28 mai 2016 christophe ili kuwezesha kusoma vikao na baadhi ya mada muhimu tumefungua vikao viwili vipya (sub) ambazo ni jukwaa la sayansi na teknolojia uzinduzi wa jukwaa burudani michezo wakati wa bure mfano wa mada yenye kazi sana (+ majibu ya 1000) yamehamia jukwaa la sayansi mageuzi ya kibiolojia na nafasi ← mfumo wa biofuel bfs na blue petroleum one biofuel ya microalgae kwenye rtltvi thesis juu ya mwako mwingi na maonyesho yake na rémi guillet →
2018-12-16T22:48:04
https://sw.econologie.com/deux-nouveaux-forums-loisirs-sports-sciences-technologies/
waziri mpango aeleza deni la taifa liko chini ya ukomo wa hatari habari 360 waziri mpango aeleza deni la taifa liko chini ya ukomo wa hatari akizungumza na wanahabari leo jijini dar es salaam waziri wa fedha na mipango dkt philipo mpango ameeleza mwenendo wa hali ya uchumi na utekelezaji wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2017/2018 katika kuangalia ukomo wa deni hili ambao uko chini inaonesha kuwa deni hili ni himilivu katika kipindi cha muda wa kati na muda mrefu alisema dkt mpango mambo muhimu ya kujiridhisha nayo ni kwamba mikopo inayokopwa itumike katika kujenga uwezo zaidi wa kuzalisha mali na huduma nzuri kwa watanzania alisisitiza dkt mpango vilevile riba za dhamana za serikali zilishuka kutoka wastani wa asilimia 1556 katika nusu ya kwanza ya mwaka 2016/2017 hadi asilimia 876 mwezi novemba 2017 na kuongeza kuwa serikali inatarajia kasi ya ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi itaanza kuimarika ← previous story serikali yasikia kilio cha wadau wa sekta ya uwindaji wa kitalii nchini next story → polisi dsm matukio ya kiuhalifu yamepungua mwaka 2017
2018-03-17T06:13:48
http://www.habari360.co.tz/waziri-mpango-aeleza-kuwa-deni-la-taifa-liko-chini-ya-ukomo-wa-hatari/
wated yawakutanisha wanasheria kujadili dhana nzima ya maendeleo endelevu habari24 home / uncategories / wated yawakutanisha wanasheria kujadili dhana nzima ya maendeleo endelevu wated yawakutanisha wanasheria kujadili dhana nzima ya maendeleo endelevu baadhi ya washiriki wa mjadala huo uliofanyika jijini dar es salaam wakiongozwa na katibu wa dhirika la wated nchini bi mariam matui katikati pamoja na mwanasheria damas ndumbaro na pembeni ni aisha bade wakifurahia jambo baada ya mjadala huo (picha na msaka habari) shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na maendeleo ya wanawake na jamii kwa ujumla la women action towards economic development wated leo wameendesha majadiliano maalum na wanasheria mbalimbali nchini kwa lengo la kujadili kwa pamoja dhana halisi ya maendeleo endelevu ambayo yalizinduliwa na wakuu wa nchi mbalimbali mwaka jana ambayo moja kati ya malengio yake lengo ka 16 ni maswala ya uhuru wa sheria na upatikanaji wa sheria katika kuyafikia malengo ya maendeleo endelevu picha ya pamoja ikiwaonyesha washiriki wakuu wa mjadala huo wakiwa ni wwataalam mbalimbali hususani katika fani ya sheria kutoka katika maeneo mbalimbali wengine wakiwa ni mawakili wa kujitegemea nchini majadiliano hayo yalilenga kuwawezesha na kujenga uelewa mkubwa kwa wanasheria mbalimbali ili waweze kutambua wao kama wanasheria wana wajibu gani katika kuwasaidia wananchi na mtu mmoja mmoja kuweza kuyafikia hayo maendeleo endelevu yanayotajwa katika malengo hayo imani kaduma moja kati ya wanasheria waliopata nafasi ya kutoa michango yao leo mariam matui ni katibu wa shirika la wated tanzania na anaeleza kuwa sababu kubwa ya kuamua kufanya majadiliano hayo ni kutokana na ukweli kwamba bado kuna haja kubwa ya kuhusisha jamii hususani wanasheria waweze kufahamu kwa kina malengo hayo kwakuwa wanasheria ndio wanaosaini na kuandika na kuandaa mikataba mbalimbali hivyo kama wanasheria wakiwa na uwezo wa kuyadadavua kwa kina hayo maendeleo endelevu itasaidia nchi zetu hususani tanzania kuweza kuyafikia maendeleo hayo damas ndumbaro akichangia katika mjadala huo imani kaduma ni moja kati ya wanasheria ambao walipata nafasi ya kuchagia mawazo yake katika mjadala huo uliofanyika jijini dar es salaam ambapo katika mchango wake ameeleza kuwa pamoja na tanzania kuonekana kuwa ina mifumo mizuri ya kutufikisha katika malengo hayo ya maendeleo endelevu lakini bado chagamoto kubwa imebaki katika swala la uongozi ambapo swala la matumizi mabaya ya madaraka limekuwa moja kati ya vizuizi vikubwa katika mataifa mengo barani africa likiwemo tanzania ya kuyafikia malengo hayo dr giles dzousa ni mtaalam wa governance katika ardhi sakata la rushwa pia limetajwa kama moja kati ya mambo yanayorudisha nyuma juhudi za kuyafikia malengo ya maendeleo endelevu katika mataifa mengi ya kiafrikamwanasheria mkongwe nchini dr damas ndumbaro ameeleza kuwa nchini tanzania maswala kama migogoro ya ardhi katika vijiji mbalimbali imekuwa ikichangiwa kwa kiasi kukubwa na maswala ya rushwa ambapo pamoja na viongozi wa vijiji kujua kuwa wanawahujumu wananchi wamekuwa wakirubuniwa kwa pesa na wageni na kujikuta wakiwauzia maendeo ya vijiji ambayo mwishoni huzua migogoro mikubwa na isiyokwisha mshauri wa serikali ya tanzania kutoka umoja wa mataifa un dr chitralekha massey akichangia jambo katika majadilinao hayo katika majadiliano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ubalozi wa uingereza jijini dar es salaam yaliwakutanisha wadau mbalimbali wa maswala ya kisheria wakiwemo washauri wan chi kutoka umoja wa mataifawanasheria wenye uzoefu pamoja na viongozi wa shirika hilopicha nyingine za tukio hilo unaweza kuendelea chiniasante wated yawakutanisha wanasheria kujadili dhana nzima ya maendeleo endelevu reviewed by habari24 tv on 120200 pm rating 5
2017-08-17T06:02:27
http://habari24.blogspot.com/2016/05/wated-yawakutanisha-wanasheria-kujadili.html
picha yaliyojiri mkutano wa mh msigwa nassari bananga wawasha moto | jamiiforums | the home of great thinkers picha yaliyojiri mkutano wa mh msigwa nassari bananga wawasha moto discussion in 'jukwaa la siasa' started by kamandamakini oct 8 2012 leo mbunge msigwa akisindkizwa na mbunge wa arumeru mashariki mh nassari aka dogo janja wamepiga mkutano wa nguvu iringa mjini katika mkutano huu kada wa zamani alie vua gamba na kuvaa gwanda pia alikuwepo ndugu bananga mkutano ulihudhuriwa na wakazi wengi wa mji wa iringa na vitongoji vyake huku wananchi wengi wakionekana kuvutiwa na viongozi hawa akiongea na wananchi wajimboni hapa mbunge nassari ameweza kuwaeleza wanairinga kwamba jimbo la iringa nawananchi wake walikua na mchango mkubwa katika kumfanya yeye apate ubunge kwakile alicho dai kwamba mbunge wao msigwa alifanya kazi kubwa katika ushindi huo akikiongea kwa nafasi yake mh msigwa ameendelea kuwa taka wananchi wa iringa wawapuuzee na kudharau propaganda za wanaccm ambao wanajaribu kudanganya na kuleta fitina zisizo na msingi katika hatua nyingine ameweza kugawa zawadi kwawatoto wa shule walio jitokeza mkutanoni hapo ikiwa ni pamoja na madaftari kalamu na lula pia ametoa jezi na mipira kwa timu zilizo kuwa zime muomba mkutanoni hapo kwa upande wake kamanda bananga amewaeeleza wana iringa kuwa mbunge waliyemchangua hawakukosea kwani umakini wake unadhihirika wanachi waliweza kupata fursa yakuuliza maswali na pia kutoa michango na kero zao ili mh msigwa awezekuwakilisha vyema bungeni moja ya swali lililokuwa gumu kwa mh msigwa ni lile lililoulizwa na mtoto alietaka kujua ni kwanini rais kikwete aliweza kutoa rambi rambi ya million 10 kwenye msiba wa steve kanumba na kushindwa kutoa rambirambi yoyote kwenye msiba wa marehemu daudi mwangosi mwisho wananchi waliweza kumchangia mjane wa mwangosi kiasi cha zaidi ya laki mbili chanzomh peter msigwa blog chademason member good work m4c ndio ukombozi wa kweli messages 26326 nimependa how kila kitu kilivyo fanyika yaani maelezo na picha kwa umati huu ccm bye bye chadema iringa 1jpg chadema iringa 2jpg ni katika mkutano wa mbunge wa iringa mjini peter msigwa na wananchi wake ambao pia ulihudhuriwa mbunge wa arumeru joshua nasari mtoto huyo alihoji ni kwanini kikwete alitoa milion 10 kenye msiba wa kanumba lakini akashindwa kutoa hata sent 5 kwenye msiba wa mwangosi swali hili livuta hisia za mamia waliohudhuria mkutano huo ambao baadae walikoshwa na majibu ya mh nasari ambaye alijibu kuwa kanumba alikuwa msanii na kikwete ni msanii hivyo kikwete alikuwa akimchangia msanii mwenzake katika mkutano huo pia mh nasari aliongoza harambee ya kumchangia mjane wa marehemu mwangosi ambapo alishika bakuli na kuzuka nalo uwanja mzima akichangisha fedha hadi kwa maaskarili waliokuwepo uwanjani pamoja na hayo yote alishiriki ktk kugawa vifaa vya michezo kwa timu za mpira wa miguu za manispaa ya iringa na pia kugawa vifaa vya shule kwa wanafunzi wote wa shule za msingi waliohudhuria ktk mkutano huo asante kwa taarifa mkuu mpaka kieleweke mia mie nina jibu kwanini kikwete alichangia msiba wa kanumba 10 mil na hakuchanga hata senti msiba wa mwangosi na majibu yenyewe ni haya 1 yeye ni mzee wa kuseek attention na kupenda kusifiwa kwa mazuri tuhivyo basi msiba wa kanumba ulikuwa sehemu mwafaka kwa yeye kujipatia sifa kwani ulikusanya watu wengi wa rika tofauti na nafasi mbalimbali katika nchi hii kutoka maskini asiyekuwa na uhakika na mlo wa siku mpaka matajiri wanaokula na kusaza 2vyombo vingi vya habari vilikuwa busy kufanya coverage ya tukio lile kuanzia televisheni ya ccm (tbccm) mpaka vyombo makini vinavyoaminiwa na watanzania wengi kama itv hivyo lengo lake la kuuza wema wake /ukaribu wake na watu wote bila ubaguzi lilitimia kirahisi 3mwangosi(marehemu) aliutwa na mauti akiwa kwenye harakati za kufanya coverage ya mkutano wa cdm hivyo kwake huyo ni upinzani kwani waandishi wake kama kina issa michuzi huwezi kuwakuta katika matukio kama hayo yasiyokuwa na bahasha za khaki 4kwakuwa mwangosi(marehemu) alipatwa na umauti katika tukio la vurugu za polisi dhidi ya chama cha upinzani basi msiba huo haumuhusu yey kama mwenyekiti wa chama cha ccm wapinzani ambao ni cdm washughulike na tatizo lililompata kada waona kuthibitisha hilo hajawahi kutoa tamko lolote kuhusu mauaji haya ya kinyama ya mwandishi huyu wa habari 5marehemu kanumba alikuwa maarufu kuliko marehemu mwangosimwangosi amekuwa maarufu baada ya kuuwawa kinyama wakati kanumba alikuwa maarufu akiwa hai kwa maana ya kujulikana na watanzania wengiso umaarufu wa marehemu hawa wawili umeleta tofauti hiyo ya reaction ya mr kikwete kwao hapo ritz amesuhuzika na roho yake maana huwa anapenda sana picha za mikutano ziwekwe kama kiwakilishi hongera makamanda ukombozi hu karibu wale wanaofanya kazi nchi hii wanajulikana wavivu wako majuu wanakokotwa na farasi kuwakumbusha utoto wao msigwa amekuwa mfano wa kuigwa katika kumtetea mnyomnge mungu amjalie afywa njema aweze kuendeleza mapapambano 2015 hadi tanzania ikombelewe kiukweli ukombozi na uhuru wa kweli unakaribia big up m4c nimependa hapo kweye kugawa vifaa vya shule keep it up waheshimiwamagamba wao wanawaza tumbo tu ndo maana wanagawa ubwabwa kwa sana bahati risiki said ↑ mkuu ivi kunatofauti gani kati ya ule mkokoteni unao kokotwa na farasi na ule wakwetu shinyanga unaokokotwa na pundaau kwasababu wao wameweka gurudumu za ghuta sisi tumeweka za gari zilizotumikaau na yeye anataka kuitwa mzeee wa farasi amakweli chadema ni noma mikutano ya ccm ikihudhuriwa na watoto huwa wanakuwa wamekuja kuwashangaa akina khadija kopadiamond nklakini kwa chadema wanakuja kuuliza maswali yenye hojakweli ccm kwishney jib la kwanini kijwete alichangia mil 10 kwanye msiba wa kanumba na kuchangia hata senti kwa msiba wa mwangosi 1 msiba wa kanumba ulikuwa ni neutral political death while wa mwangousi ulikuwa na political smail ambapo serikari ya ccm + polisi wanatuhumiwa kuhusika 2 msiba wa kanumba ulikuwa na populality na easy kwa jk kutafuta huruma ya watanzania kwa chama chake it was easy to attract political sense from the mass chadema wana gawa vifaa vya shule pamoja na jezi lakini kikwete nimeona picha juzi anakabiziwa jezi namba 77 halafu utaona mikataba atakayo saini au gharama aliyotumia akiwa huko du kamchangia msanii mwenzake mch msigwa huna sehemu katika moyo wako ya kumsitiri dhaifu ama kweli umemuweka hadharani james chapacha said ↑ yeye na ally choki hawana tofauti ccm choka mbayaaaaa cmd pamoja amakamanda kazi ni moja tu kuweka wananchi kwenye mstari ili 2015 ushindi daima
2018-01-24T11:54:37
https://www.jamiiforums.com/threads/picha-yaliyojiri-mkutano-wa-mh-msigwa-nassari-bananga-wawasha-moto.335078/
2011 october 24 mo blog home / 2011 / october / 24 sabodo atoa msaada wa kuchimba visima singida mjini 24 october 2011 by admin featured singida yetu 0 comments pichani juu na chini ni naibu katibu mkuu wa ccm (bara) john chiligati (kushoto) akikabidhi hundi ya sh milioni 70 kwa mwakilishi wa kampuni ya [] continue reading » shein aapishwa kushiriki vikao vya baraza la mawaziri 24 october 2011 by admin featured uncategorized 0 comments rais wa zanzibar mheshimiwa dr ali mohammed shein rais wa zanzibar mheshimiwa dr ali mohammed shein ameapishwa na jaji mkuu wa tanzania kwa ajili ya [] continue reading » mbio za mwenge wa uhuru mkoani singida katika picha 24 october 2011 by admin featured singida yetu 0 comments mkuu wa mkoa wa dodoma dkt rehema nchimbi akiwa amebeba mwenge wa uhuru juzi kwenye hafla ya makabidhiano kwenye kijiji cha lusilile mpakani mwa mikoa [] continue reading » kilele cha wiki ya wizara ya mambo ya nje jijini dar es salaam 24 october 2011 by admin events & promotions featured 0 comments bendi ya shule ya sekondari jitegemee ikitoa burudani mbele ya wageni waalikwa kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam wanafunzi wa shule ya [] continue reading » inspiration of the day maya angelou 24 october 2011 by admin featured uncategorized 0 comments if i am not good to myself how can i expect anyone else to be good to me maya angelou we teach people how to [] continue reading » kapoeira dance @ russian cultural centre 24 october 2011 by admin events & promotions featured 0 comments makamu wa balozi wa brazil nchini mhe ronaldo vieira akiwakaribisha wageni katika maonyesho ya mchezo wa kapoeira yaliyofanyika jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki []
2013-06-18T21:38:40
http://dewjiblog.com/2011/10/24/
waziri mkuu atoa saa 48 wafanyakazi 80 kutimuliwa | maswayetu blog waziri mkuu atoa saa 48 wafanyakazi 80 kutimuliwa waziri mkuu kassim majaliwa ametoa saa 48 kwa ofisa utumishi wa halmashauri ya manispaa ya temeke kuwa amewaondoa kazini watumishi 89 wanaofanya kazi katika halmashauri hiyo kwa mikataba amewatahadharisha pia watendaji wa halmashauri zote nchini kutotumia fedha za miradi zinazopelekwa na serikali kinyume na malengo kutokana na kuimarishwa kwa mfumo wa ufuatiliaji wa matumizi yake na thamani ya miradi itakayojengwa aliyasema hayo alipozungumza na watumishi na watendaji wa manispaa hiyo huku akiweka bayana kwamba halmashauri hiyo inaongoza kwa kuwa na watumishi wa mikataba jambo ambalo ni kinyume cha taratibu za utumishi akiendelea na mkutano huo ghafla waziri mkuu alimsimamisha kaimu ofisa utumishi wa halmashauri ya manispaa ya temeke zaituni hassan na kumuuliza idadi ya watumishi wa mikataba katika halmashauri hiyo ambapo ofisa huyo alijibu kuwepo kwa watumishi 89 jibu hilo lilimfanya waziri mkuu kuhoji sababu ya kuwepo kwa idadi kubwa hiyo na kujibiwa kuwa hatua hiyo ilitokana na wengi wao kukosa sifa za kuajiriwa huku akisema wengi wao ni madereva zaituni aliendelea kumwambia waziri mkuu kwamba mwaka jana halmashauri ya manispaa ya temeke ilitangaza nafasi za kazi na kuwataka watumishi hao kuomba lakini walishindwa kufikia vigezo vilivyowekwa na kusababisha halmashauri kuendelea kuwatumia bila kuwaajiri pamoja na maelezo hayo waziri mkuu alieleza kushangazwa na hatua ya kutokuwepo kwa madereva waliohitimu kidato cha nne ambao wangeweza kuajiriwa hata hivyo ofisa utumishi huyo alimwambia waliopo wana elimu ya kidato cha nne lakini hawana vyeti vya mafunzo ya udereva kutoka chuo cha elimu na mafunzo stadi (veta) majaliwa alieleza kuwa wanaotakiwa kuajiriwa kwa mikataba ni walimu wa masomo ya sayansi na watendaji wa mitaa hivyo kama madereva hao hawana sifa ni vyema wakaondolewa kwa vile wanaziba nafasi za watu wenye sifa za kuajiriwa alisema kutokuajiriwa ni moja ya sababu za kuwepo watumishi hewa hivyo alisema hadi kufikia julai 30 mwaka huu ofisa utumishi huyo awe amejiridhisha kuhusiana na sifa za watumishi hao ili wasio na sifa waondolewe na wenye sifa waajiriwe huku akisema zoezi hilo lifanyike katika idara zote alimtaka kuanza taratibu za kumuomba katibu mkuu wa utumishi kibali cha kuwaajiri watumishi hao na kusema ametoa nafasi hiyo kwa kuwa watumishi wengi katika halmashauri hawana mwelekeo mzuri kutokana na kutoajiriwa hivyo wasio na sifa waondoke ili watafutwe wenye nazo akizungumzia fedha zinazopelekwa katika halmashauri waziri mkuu alisema kila fedha inayoingia katika halmashauri itakuwa na maelekezo ya matumizi na mkurugenzi atalazimika kutoa nakala ya maelezo hayo na kumpatia mkuu wa wilaya ili ajue matumizi ya kila shilingi na thamani ya miradi alisema baada ya kumaliza uteuzi wa viongozi mbalimbali sasa serikali inaanza kupeleka fedha za maendeleo katika halmashauri zote ili utekelezaji wa shughuli za maendeleo uendelee
2017-01-18T20:18:31
http://www.maswayetublog.com/2016/07/waziri-mkuu-atoa-saa-48-wafanyakazi-80.html
lema 'aichana' idara ya usalama wa taifa | jamiiforums | the home of great thinkers lema 'aichana' idara ya usalama wa taifa discussion in 'jukwaa la siasa' started by n00b sep 1 2011 kama idara ya usalama wa taifa jeshi la polisi wanafikiri wao wana nguvu sana wanapaswa kujua kwamba wanajidanganya kama wanataka kujua nguvu zao zina uwezo kiasi gani wasafiri kwenda kuiuliza idara ya kijasusi ya libya kama ilimsaidia gadaffi asipinduliwe kwenye nchi aliyoingoza kwa miaka zaidi ya 40 alidai lema endelea >>> fikrapevu | lema 'aichana' idara ya usalama wa taifa seen and noted lema ni kamanda wa ukweli hababaiki wala hamumunyi maneno kama jk huyu jamaa anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi anaitwa nani huyo msaidizi wa mkuu wa usalama wa taifa arusha tuanze naye yeye kwanza mungu atusaidie tanzania tanzania ulikuwa na amani lakini tunaona kidogo kidogo umeanza kuishiwa na amani je tanzania unatupeleka wapi kuanzia jumatatu tutaendesha &#8216movement' ambayo hawajawahi kuiona na wakiendelea hivi pengine ukombozi wa nchi unaweza kuanzia arusha alidai hii statement si ya kupuuzia wana arusha wanawaaminia mkilianzisha sisi wa mwanza tutaitikia haraka sana mb wa arusha mjini godbless lema leo amefanya kikao na waandishi wa habari na kulaani kitendo cha polisi kushirikiana na usalama wa taifa huku akimtaja bwana mombo afisa msaidizi usalama wa taifa mkoa kuhusika ktk njama za kuwafungulia kesi wanachama wa chadema na huku lengo kuu na mkakati ukiwa ni yeye hivi karibuni jeshi la polisi mkoani arusha limewahoji viongozi wa chadema bwana emanuel kombe katibu mwenezi na ephata nanyaro mwenyekiti wa wilaya arusha mjini kwa tuhuma za kupanga mauaji dhidi ya meya feki wa arusha cha kushangaza ni kwamba watu hao wanaodai kuwa walihusika kwenye vikao hivyo ndio hao waliofanya maandamano kumpinga nanyaro na mb lema siku ya tarehe 6/8/2011 wakimshutumu mh lema kwa msimamo wake dhidi ya kutokubaliana na muafaka wa na leo wanasema walikuwa na kikao na mh lema na nanyaro tarehe 11/8/2011 cha kupanga mahuaji dhidi ya meya wa kichina hebu fikirieni inawezekana vipi ukapanga mipango ya aina hii na adui yako lakini hata hivyo mh lema amesema yuko tiyari hata kupoteza\maisha yake kwa ajili ya kutetea umma wa watanzania na kuomba serikali imchunguze bwana mombo kwani ni afisa usalama anayeishi maisha ya anasa sana nilishasema siku nyingi watanzania wanachoka na sasa kamba karibu inakatika hopedenis member time will tell wajameni msijali hata chembe ni bora ikatikehakuna haja yakuendelea kuishikilia tanzania hali ni tense ni kama majani ya nyika yanasubiri mtu wa kuanzisha cheche kidogo tu moto ulipuke arusha is a bomb that need single spark nafikiri arusha siku moja itakuwa banghazi ya tanzania maana chadema inatafutiwa kila sababu ili iangushwe lakini hawataweza maana watu wa arusha sasa hivi wako tayari kwa lolote niliona siku ya mkutano wa chadema ulifanyika mwezi uliopita ombi langu kwa usalama wa taifa wasitumiwe na vyama kutuharibia nchi ukiisoma hii habar unabak unashangaamauaji ya nyamongo hatujasikia polis wala afisa wa usalama wa taifa toka makao makuumambo ya kipuuz kama haya wanahangaikanadhan maofisa wa serikal wanaitumia chadema kama chanzo chao cha poshokwasababu wanajua lazima watatakiwa kusafiri kujifanya wanakifuatilia hakika hata nami naamini ukombozi utaanzia hapa arusha na siyo kwingine na tukae na 2subirie kwanini watanzania tuwe kwenye hali hii na wakati maslahi yote muhimu yapo tusubiri na tuone mwisho wa hawa mafisadi ni wapi ukombozi ni sasa nadhani signature yangu itakuwa sahihi natilia sana mashaka umakini wa huyu mheshimiwa hasa pale anapotaka kulinganisha tz na libya au watz na walibya nadhani atakuwa anafanya makosa makubwa sana kama si kujidangaya niangalizo tu ccm na serikali yake wanapaswa kuwa proactive na kuanza kuchukua hatua madhubuti za kuleta mabadiliko makubwa ya kijamii vinginevyo wakiendelea kusubirisubiri watajikuta wamechelewa kama madikiteta wa tunisia misri na libya mabadiliko lazima yaje tena yanakuja kama mafuriko ya maji ccm wakijifanya kichwangumu yatawakumba bila huruma nimehojiwa kwa zaidi ya saa 7 tena ni mkuu wa upelelezi mkoa wa arusha (rco) akiwa na maofisa kutoka dar es salaam makao makuu ya polisi katika maelezo yangu bado nilikana sina ugomvi na gaudence sijahusika na madai ya kupanga kumuua niliwaambia sintamtambua kamwe kwa nafasi aliyonayo alisema nanyaro na kuongeza tunaushahidi katika kuhojiwa kwangu kwamba usalama wa taifa jeshi la polisi wanahusika kwani wameonyesha uwazi wa kuwatisha viongozi wa chadema martine luther king mwanaharakati wa kimarekani aliwahi kusema kama hakuna jambo lolote binadamu yupo tayari kufa kwalo huyo binadamu hastahili kuishi chadema tuna amini uchaguzi wa meya arusha ulikuwa ni batili hilo tutaendelea kuliamini mpaka mwisho alidai nanyaro hilo nimeamini hata mimi hayo yalinikuta japo siyo kuhojiwa bali vitisho kutoka kwa moja wa usalama wa taifa akaniambia kwa kitendo changu cha kuendelea kuwahamasisha vijana kupokea kadi za chadema anaweza kunihamisha ninapoishi kwa kuwa ni nyumba za serikali waachaeni wafanye kazi zao nchi hii ya utawala wa sheria
2018-01-19T10:37:13
https://www.jamiiforums.com/threads/lema-aichana-idara-ya-usalama-wa-taifa.168916/
kigwangala mbona kimya | jamiiforums | the home of great thinkers kigwangala mbona kimya discussion in 'jukwaa la siasa' started by princedy sep 12 2012 wiki iliyopita tuliambiwa kuwa mh kigwangala baada ya kushauriana na watu wake wa karibu angefanya maamuzi siku ya jumanne ambayo ni jana mbona kimya ameghairi je kuna taarifa zozote za maamuzi yake hayo unasubiria meli airport tangu lini mwana ccm akaweza kufanya maamuzi kama alivyoahidi kasoma majira ya nukta na alama za nyakatiangeitisha jana press conference angekosa airtime na coverage maana jana waheshimiwa(wanahabari) walikua wanaandamana ebu tumpe mda leo ni jumanne ya mwakani kaka ana kalender ya kichina stay tuned hii ndio bongo tangu lini mwana ccm akaweza kufanya maamuzi kama alivyoahidiclick to expand huyu jamaa anadanganyika pale anaposikia 'wabunge vijana' kama mnyika zitto lema wenje mdee nk na kudhani kuwa naye anaweza kujiunganisha humo hajui kuwa yeye ni kidimbwi cha kuchezea watoto wa u7 (chini ya miaka saba) alafu wenzie ni level ya mito maziwa na hata bahari kwamba alipata ubunge baada ya watu potential kama lucas serilii na mizengwe kwa ndugu yetu 'msomali' hana ujanja wa kuitisha press conference labda ya kumtukuza 'rais' wiki iliyopita tuliambiwa kuwa mh kigwangala baada ya kushauriana na watu wake wa karibu angefanya maamuzi siku ya jumanne ambayo ni jana mbona kimya ameghairi je kuna taarifa zozote za maamuzi yake hayoclick to expand thubutu mshahara wa udaktari haumtoshi unasubiria meli airportclick to expand ha ha ha ha ha ha mkuu naomba nikupe salute hii ni comment ya wiki hapa jf naendelea kucheka hapa ila serious hayo maneno matatu yanatosha kumdescribe huyo mnafiki nilishasema kitambo hapa jf kwamba hamis ni mnafiki wa kutupwa mungu anazidi kuuonyesha unafiki wa huyu jamaa 0 people likes so wana jf mlikuwa kabisa mnatarajia dr kigwa kufanya maamuzi magumu seriously huo ukimya ndio maamuzi magumu yaliyosemwa
2017-01-20T20:09:36
https://www.jamiiforums.com/threads/kigwangala-mbona-kimya.322380/
sehemu za magari za atlkswagen atlas lfotpp 2018 atom volkswagen kugundua 8inch display navigation screen mlinzi 2018 volkswagen atlas 65inch display screen mlinzi 2018 volkswagen atlas gari accessory center console sanduku kuhifadhi armrest matumizi maalum kwa ajili ya toleo la marekani
2020-07-04T13:07:48
https://sw.lfotpp.com/makusanyo/volkswagen-atlas-auto-sehemu
pasta maarufu adaiwa kusambaratisha ndoa ya mwanariadha david rudisha ▷ tukocoke pasta maarufu adaiwa kusambaratisha ndoa ya mwanariadha david rudisha david rudisha huenda yuko taabani rudisha na mkewe liz naanyu hawatabasamu baada ya mkewe kumtembelea pasta wa nigeria kuna tetesi kwamba amemzimia pasta na alikuwa nigeria vilevile kuleta juju mshindi mara mbili wa olympic 800 champion david rudisha mwanamume ambaye amemudu kuepuka kashfa kwa sasa anagonga vyombo vya habari baada ya tetesi kuibuka kuwa anakabiliwa na matatizo ya ndoa tukocoke imefahamu kwamba matokeo duni ya rudisha katika mashindano ya diamond league mjini shanghai mnamo mei 13 na stockholm juni 16 yanatokana na maswala anayodaiwa kukabiliwa nayo na mkewe liz naanyu david rudisha picha na hisani kwa mujibu wa ripoti huenda naanyu ana uhusiano wa kimapenzi na pasta wa nigeria naanyu alimtembelea pasta huyo katika kanisa lake afrika magharibi jambo ambalo halikumfurahisha rudisha rudisha aliondoka katika boma lake eldoret baadaye na kuhamia iten naanyu alipofikiwa kuzungumzia swala hilo tukocoke inaweza kuthibitisha kwamba alikasirika na kushtumu wanahabari dhidi ya kujaribu kuharibu ndoa yake mbona mnataka kila mara kuchapisha habari hasi kuhusu familia yetu hili ni suala la siri mnapanga kuanguka kwa david alihoji kwa hasira haijalishi ninakoenda tafadhali achaneni nami alisema kabla ya kukata simu wanariadha wengine wanadai kwamba wawili hao wanaonekana pamoja katika hafla wakijaribu kufanya mambo kuonekana kuwa sawa huku baadhi ya jamaa wa familia wakidai pia kwamba mkewe alikuwa nigeria kuleta hirizi za kumtuliza habari nyingine haufai kumbusu mpenzi wako kwa namna hizi 5 (picha) anahofia kuwa mwanzo wake mbaya katika kalenda ya riadha na mashindano yanayoendelea ya mbio za diamond league yamechangiwa na uchawi ambao huenda amerushiwa zilisema duru hata katika facebook utagundua kwamba picha pekee wanazochapisha ni mmoja wao akiwa na watoto lakini kamwe hawaonekanai pamoja kama mke na mume jirani aliyezungumza na vyombo vya habari alisema si kawaida kwa wanandoa kukaa mbalimbali hasa wakati rudisha anafanya mazoezi eldoret na iten aliondoka boma lake na tunafamishwa kuwa yuko iten alisema mugabe quotes places to visit in nairobi yamoto band members crb clearance list of kenyan companies by sector wafanyikazi waliohusika kwenye sakata ya kadiwia wataadhibiwa vikali safaricom lilian muli apongezwa mitandaoni kwa kujifungua mtoto mvulana
2018-07-23T07:54:23
https://kiswahili.tuko.co.ke/244535-pasta-maarufu-adaiwa-kusambaratisha-ndoa-ya-mwanariadha-david-rudisha.html
mawaziri wa fedha wakutana washington marekani | habari za un mawaziri wa fedha na viongozi wengine kutoka kote duniani wanakutana mjini washington dc marekani katika mkutano wa kila mwaka unaoandaliwa na benki ya dunia na shirika la fedha duniani imf miongoni mwa wale wanaohudhuria mkutano huo ni katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon ambaye amesema anataraji mkusanyiko huo wa viongozi wa ngazi ya juu utageuzwa kuwa uungaji mkono wa ngazi ya juu wa malengo ya maendeleo ya milenia kabla ya mkutano huo bwana ban amesema mambo manne muhimu yataangaziwa kwanza ni elimu hii ni moja ya uwekezaji wenye busara zaidi tunaoweza kufanya kwa ajili ya siku zijazo pili mabadiliko ya tabia nchi na maendeleo endelevu na nishati endelevu tatu umaskini tumepiga hatua kubwa lakini bado kuna kazi nyingi ya kufanya na ni lazima tuchukue hatua katika kipindi hiki nne mchango wa benki za maendeleo wakati wa mkutano huo rais wa benki ya dunia jim yong kim katibu mkuu ban kimoon na mwakilishi maalum wa umoja wa mataifa kuhusu elimu gordon brown wataongoza kikao cha mawaziri kuhusu elimu kwa wote ili kujadili hatua zinazoweza kuchukuliwa na serikali na wadau ili kuwapeleka watoto wote shule na kuboresha matokeo ya elimu africa|americas|asia|economic development|europe|habari za wiki|middle east|un affairs sg
2018-02-22T07:14:14
https://news.un.org/sw/story/2013/04/343732-mawaziri-wa-fedha-wakutana-washington-marekani
enyi waislamu waokoeni watoto wa yemeni wanaouawa hizb ut tahrir tanzania enyi waislamu waokoeni watoto wa yemeni wanaouawa tangazo la majibu ya kuonekana kwa mwezi mpya wa baraka wa ramadhani ya mwaka 1440 hijria may 11 2019 mnamo tarehe 21/11/2018 taarifa kutoka taasisi ya kiingereza iitwayo (save the children) ilieleza kwamba kiasi cha watoto wapatao 85000 wenye umri wa chini ya miezi mitano wanakadiriwa kupoteza maisha katika kipindi cha miaka mitatu ya vita ndani ya yemeni idadi hii ni sawa na jumla ya watoto wa chini ya miaka mitano katika mji wa birmingham mji wa pili kwa ukubwa ndani ya british taarifa hiyo haijumuishi waliouliwa wakiwa umri juu ya miaka mitano na wale waliouliwa kwa mabomu na miili yao kukatwa mapande mapande au wale waliofanywa miili yao ifanane na mashetani kwa sababu ya njaa na maradhi ya mlipukovipi kama uingereza marekani na nchi za kimagharibi kwa pamoja wangepoteza namba kubwa ya watoto wao kwa kuuwawa kama walivyouwawa watoto wa yemeni jamii ya kimataifa itasimama upande gani kwenye suala hili la kupoteza watoto lakini watoto wa yemeni wamekuwa kama yatima mbele ya watu makatili hawana yeyote anayewapazia sauti na kuwatetea wamekuwa kama sahani ya chakula ambayo mataifa yameikusanyikia hii ni moja ya sura ovu ya inayofanywa washirika wa marekanindani ya yemeni kibaya zaidi na chenye kutia aibu ni kwamba wale wanaotumika katika kupambana na kuuwa kusababisha njaa na kuharibu makazi ya watu wayemeni ni wale ambao wanaudugu wadamu imani lugha na dini hizo ni washirika zilizoungana katika mkakati wa kuuhalalisha utawala wa raisi hadi ni kwa upande mmojana upande mwengine kuna irani ambao wao wapo upande wa jeshi la ma mahouth hayo yote hufanywa kwa malengo wa kupata utawala na kuvuna utajiri vita nchini yemeni inakaribia kutimiza miaka minne tanga kuanza kwake ambapo raia wasio na hatia ndo waathirika wakubwa mwezi uliopita umoja wa mataifa ulionya kuwa million 14 ya raia wa yemeni wanatarajiwa kukabiliwa na njaa wakati ambapo yemeni wanautajiri mkubwa sana kiasi cha kuifanya iwe kama kama lulu ya mashariki ya kati yemeni ina hazina kubwa ya miamba muhimu kwa ajili ya matumizi ya kutengenezea malighafi kwa ajili ya ujenzi na pia inautajiri wa chokaa na ni nchi ya pili yenye hazina kubwa ya gesi ya asili ndani ya uarabu ambapo kwa utajiri huo ingeweza kutatua tatizo hilo la balaa la njaa magonjwa ya mlipuko umasikini na kukosa makazi madini (dhahabusilvamafuta) kilimo/ufugaji na uvuvi vinatosha kuifanya yemeni kuwa ni taifa kubwa tishio kiuchumi pia kijografia ipo katika mlango unaounganisha pande mbili za kivuko inayoitwa bab almandab strait ambacho kina unganisha mashariki na magharibi kibiashara utajiri huu ndo uliopelekea nchi za kimagharibi ziimezee mate kiasi cha kuiharibu na kuisababishia maangamivu watu wanakufa kwa njaa kila baada ya dakika kumi إِذَا مَرَّ بِكُمْ أَهْلُ الْيَمَنِ يَسُوقُونَ نِسَاءَهُمْ، وَيَحْمِلُونَ أَبْنَاءَهُمْ عَلَى عَوَاتِقِهِمْ، فَإِنَّهُمْ « » مِن ي، وَأَنَا مِنْهُمْ pindi wakiwapitia watu kutoka yemen wakiwa wameambatana na wanawake huku wakiwa wamewabeba watoto zao mabegani mwao basi fahamuni hakika mimi nimejaa vifuani mwao na wao wamejaa kifuani mwangu (kwa mapenzi) [ameisahihisha attabarani na hasan isnad] hali ya yemeni na watu wake na juu ya yote yanayowafika ni hali yennye kuhuzunisha na isiosahaulika wanauliwa mbele yetu na tunaumia sana kama waislamu tumeacha mafundisho ya mtume wa allah aliyotufundisha katika hadithi nyingi sana ambazo aliwasifia watu/waislam wa yemen nakuwaombea dua mara kadhaa aliposema اللَّهُمَّ بَارِكْ لَنَا فِيْ شَامِنَاوَيَمَنِنَا ewe allah ibariki miji ya sham na yemeni ni khilafah kwa njia ya utume ndio yenye uwezo wa kupambana na makafiri pamoja na washirika wao nakuziainisha njama zao dhidi ya yemeni na kuzuia maangamivu wayafanyayo dhidi ya waislamu na raia wa yemeni na kuizuia mikono ya waislamu kutapakaa damu za waislamu wenzao na kukomesha mapigano ya waislam wao kwa wao kwa kuondoa visababishi vinavyopelekea vita nakuifanya yemeni iwe na amani na ubora mtume (saw) amesema mji umefunguliwa ushindi kutoka kwa allah umefika watu wa yemeni wamefika akasema mtu ewe mtume wa allah niwapi hao watu wa yemeni akasema ni watu wenye mioyo laini na mizuri imani ipo kwao hekima ipo kwao na fiqh ipo kwao
2019-06-25T12:43:57
http://hizb.or.tz/2019/01/05/enyi-waislamu-waokoeni-watoto-wa-yemeni-wanaouawa/
habari na matukio ccm yalaani maalim seif na cuf kutangaza ushindi ccm yalaani maalim seif na cuf kutangaza ushindi akizungumza na waandishi wa habari jioni hii naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar vuai ali vuai amesema kitendo cha maalim seif kujitangaza mshindi kimekiuka sheria ya uchaguzi na kuhoji dhamira ya kiongozi huyo kufanya hivyo ni tukio la kushitusha sana na hatujui malengo ya kitendo hiki au anataka kuitia nchi katika mtafaruku alihoji vuai na kuitaka zec itekeleze majukumu yake kwa kuzingatia katiba na sheria katika mkutano huo vuai alieleza kusikitishwa kwake na baadhi ya matukio yaliyotawala uchaguzi huo ambayo aliyaeleza kuwa yalilenga kukihujumu chama hicho ili kuharibu ushindi wa wagombea wake ccm ni chama kikubwatujiulize kama tukio hili lingewakuta wenzetu wa cuf ingekuwaje kwa nini vitambulisho vyetu vipotee katika eneo lenye wapiga kura wengi zaidi kuliko sehemu nyingie yeyote zanzibaralifafanua vuai na kuongeza kuwa wajibu wa kutii sheria ni wa kila mtu na kila chombo hivyo isingekuwa busara kwa ccm kukaa kimya kwa yaliyotokea
2017-10-23T02:25:54
http://www.kajunason.com/2015/10/ccm-yalaani-maalim-seif-na-cuf.html
jukwaa la wanawake watafiti wanasayansi nimr watoa hamasa kwa wanasayansi chipukizi wakike dar es salaam yetu home » » jukwaa la wanawake watafiti wanasayansi nimr watoa hamasa kwa wanasayansi chipukizi wakike wanafunzi rozina robert wa kidato cha sita mchepuo wa sayansi (pcb) shule ya sekondari tambaza (kulia) na janeth vegula wa kidato cha kwanza sekondari ya canossa wakifuatilia hamasa waliyokuwa wakipewa bofya hapa kusoma zaidi
2017-08-20T17:32:32
https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2016/10/jukwaa-la-wanawake-watafiti-wanasayansi.html
waumini wa kanisa la anglinaka dar es salaam wamkataa askofu mokiwa | mtanda blog home / kitaifa / slider / waumini wa kanisa la anglinaka dar es salaam wamkataa askofu mokiwa juma mtanda 245 pm kitaifa slider edit waumini wa kanisa la anglikana dayosisi ya dar es salaam wameunga mkono uamuzi wa askofu mkuu wa kanisa hilo dk jacob chimeledya kumvua uaskofu askofu wao dk valentino mokiwa kwa maelezo kuwa kugomea uamuzi huo ni uasi kwa viongozi wa juu wa kanisa hilo wanadai kuwa ukaidi wa askofu juu ya uamuzi wa askofu mkuu kumwondoa madarakani ni kukubali athari za kisheria ambazo zinaweza kutokea kwa dayosisi na yeye mwenyewe binafsi kwa kuendelea kujipa mamlaka ya askofu wakati akifahamu kuwa mamlaka hayo yameondolewa kwake sisi waumini wa kanisa la anglikana tanzania dayosisi ya dar es salaam tunamuunga mkono askofu wetu mkuu kwa uamuzi aliochukua wa kumvua uaskofu dk mokiwa na hivyo tunamwomba mkristo mwenzetu huyu aheshimu uamuzi wa mamlaka yake ya juu ili na wengine waweze kujifunza kwake kama kiongozi linasema tamko hilo ambalo lilisomwa jana na kiongozi wa walei wa dayosisi ya dar es salaam sylvester haule katika kanisa la magomeni haule alisema vitendo vinavyoendelea ndani ya dayosisi hasa baada ya uamuzi wa askofu mkuu ambavyo baadhi ya makasisi/ mashemasi na wainjilisti wanavifanya pasipo kujua kiini cha tatizo havina afya na hatima njema kwa dayosisi yao vitendo hivyo ni utovu wa hali ya juu sana wa nidhamu na viapo vyao vya utii sisi kama wakristo tunazidi kumwomba mungu awafumbue macho ili waweze kuona nia njema ya askofu wetu mkuu ya kuisaidia dayosisi yetu na kanisa alisema haule alifafanua kuwa kundi linaloumuunga mkono dk mokiwa hadi kushindwa kumheshimu askofu mkuu wa kanisa angalikana tanzania ni uasi wa hali juu dhidi ya mamlaka za juu za kanisa hilo na athari zake zitakuwa kubwa kwa dayosisi hiyo kwetu tunaona huu ni uasi wa hali ya juu kutokea ndani ya kanisa letu mtu yeyote yule alitarajia kuwa makasisi au maaskofu wenye kumjua mungu vizuri wangesimama nasi katika maombi ya kuliombea kanisa badala ya kuendelea kushindana kulivuruga kanisa linasema tamko hilo waumini hao wamesambaza tamko hilo ambalo jana walilisoma katika kanisa la anglikana magomeni kwenda kwa dk chimeledya ambaye ni askofu mkuu wakristo makanisa yote ya anglikana dayosisi ya dar es salaam msajili wa vyama vya kijamii na mtendaji mkuu wa wakala wa usajili ufilisi na udhamini (rita) alisema kuwa kikatiba uaskofu sio ajira na hivyo hata baada ya kuteuliwa askofu anapewa hati ya uaskofu na sio barua ya ajira kama ilivyo kwa waajiriwa alifafanua kuwa askofu mkuu akitangaza kutomtambua askofu hiyo inatosha kwa askofu husika kutambua hali yake haule alisema athari ya ukaidi wa kutotii mamlaka na kuendelea na jukumu la uaskofu ni pamoja na uwezekano wa mhusika kusababisha dayosisi kutumbukika jimboni na hatima yake kutengwa aliongeza kuwa kwa kuwa dayosisi ya dar es salama ni sehemu ya kanisa la angalikana tanzania na haina katiba au cheti chake cha usajili masuala mengi ya kisheria yanayohusu mali na madeni ya kanisa yanaweza kuathirika kwa kuwa kwa kukosa kibali cha bodi ya wadhamini hatua ya kungangaania madaraka kunaweza kusababisha mhusika kushtakiwa kwa kupitisha uamuzi wakati akijua kuwa yeye sio askofu kikatiba alisema haule mokiwa bado halali mara baada ya dk chimeledya kutangaza kumvua uaskofu dk mokiwa kutokana na kugoma kujiuzulu kama alivyoshauriwa katibu mkuu wa dayosisi ya dar es salaam padri jonathan senyagwa alitangaza kuwa hawatambui uamuzi huo kwani umekiuka taratibu za kanisa hilo pia halmashauri ya kudumu ya kanisa hilo imemwandikia askofu mkuu dk chimeledya na kumweleza kuwa dk mokiwa bado ni askofu halali kwa mujibu wa kanuni na kwamba dayosisi ya dar es salaam haina mgogoro na askofu wake kama inavyodaiwa na askofu mkuu tanzania katibu wa sinodi ya dar es salaam jerome napella katika barua yake hiyo alisema kilichopo ni uvamizi wa dayosisi ya central tanganyika inayoongozwa na dk chimeledya dhidi ya dayosisi ya dar es salaam inayoongozwa na dk mokiwa jambo ambalo linaiumiza dayosisi ya dar es salaam nao mashemasi na wainjilisti wa dayosisi ya dar es salaam ambao ni wachungaji wa makanisa 15 yaliyoko ndani ya dayosisi ya dar es salaam walitoa tamko na kueleza kuwa watu wanaomshutumu dk mokiwa wanapandikiza chuki na uchochezi ndani ya dayosisi yao na kuwataka waache mara moja sisi mashemasi na wainjilisti tunameshimu na kumtii askofu wa dayosisi yetu ya dar es salaam ambaye pia ni rais wa baraza la makanisa barani afrika harakati zinazoendelea sasa za kuvuruga huduma yake hatuziungi mkono na wala hatuzikubali inasema sehemu ya tamko hilo ambalo limesainiwa na wainjilisti 15 utetezi wa kat katibu mkuu wa kanisa anglikana tanzania (kat) mchungaji chinyongole alisema kwamba uongozi wa kanisa hilo hauna chuki na dk mokiwa na taratibu za kumwondoa madarakani zimefuata dk mokiwa alivyopinga dk mokiwa baada ya habari za kungolewa kwake kutangazwa kwenye vyombo vya habari aliitisha mkutano na waandishi wa habari na akasema kuwa mgogoro katika dayosisi hiyo ni wa kutengenezwa na hauna uhalisia mambo mengi ya kutengenezwa yametengenezwa huko baa sinza na kusainiwa barabarani humo mimi mwenyewe desemba 18 mwaka juzi niliwaita watu hawa nikae nao lakini walikimbia alisema mokiwa dk chimeledya akataa malumbano baada ya kauli ya dk mokiwa askofu mkuu dk chimeledya alisema hayuko tayari kuendeleza malumbano wala mgogoro alisema alishatoa taarifa yake na inatosha
2017-10-18T05:51:24
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/01/waumini-wa-kanisa-la-anglinaka-dar-es.html
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mhe selemani jafo amewataka wakuu wote wa mikoa na wilaya nchini kuhakikisha wanaanzisha kituo kimoja cha huduma one stop center kwa ajili ya wawekezaji
2018-08-14T14:21:55
http://tamisemi.go.tz/new/jafo-aagiza-uanzishaji-wa-one-stop-center-kwa-ajili-ya-wawekezaji
rais dktjohn pombe magufuli awaapisha katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki skauti mkuu wa tanzaniaoktoba 32018 | blogu rasmi ya ofisi ya rais ← rais dktjohn magufuli amuapisha dktdamas ndumbaro kuwa naibu waziri wa mambo ya nje akutana kuagana na balozi wa misri nchiniseptemba 292018 rais dkt john pombe magufuli apokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi watano watakaowakilisha nchi zao hapa nchini ikulu jijini dar es salaamoktoba 42018 →
2020-02-29T10:52:36
http://blog.ikulu.go.tz/?p=28655
kiongozi wa mbio za mwenge atembelea maduka kuhakiki bei ya mabati baada ya kuhisi udanganyifu kijukuu cha bibi k | habari na matukio uncategories kiongozi wa mbio za mwenge atembelea maduka kuhakiki bei ya mabati baada ya kuhisi udanganyifu
2018-12-16T13:18:18
http://www.kijukuu.com/2018/09/kiongozi-wa-mbio-za-mwenge-atembelea.html
tarehe ya kuwekwa october 12th 2018 kamati ya uchumi uongozi na mipango imewataka wananchi wa halmashauri ya wilaya ya itigi kuchangia miradi ya maendeleo katika maeneo yao kamati hiyo inayoongozwa na mh ally j minja na mwenyekiti wa halamshauri ya wilaya ya itigi imewataka wananchi hao pale ilipotembelea miradi ya maendeleo katika kata na vijiji mbalimbali katika halmashuri ya wilaya ya itigi kamati hiyo ilifanya ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo kwa kuanzia kata ya idondyandole kijiji cha mbugani kwa kukagua na kujionea mradi wa ujenzi wa zahanati ambao mradi huo unatokana na nguvu za wananchi kata ya aghondi kamati ilitembelea pia mradi wa ujenzi wa zahanati katika kijiji cha mabondeni ambapo kwenye mradi huu wananchi wameanza kwa kujitolea kuchimba msingi kwa ajili ya kuanza ujenzi wa zahanati hiyo hata hivyo kamati iliendelea na ziara yake hiyo kwa siku ya kwanza katika kata ya ipande katika kijiji cha damwelu na kukagua na kujionea ujenzi wa shule shikizi ya mgamboo pamoja katika kata ya tambukareli kamati ilitembelea katika shule ya msingi mji mpya na kujionea ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na ofisi 1 ya walimu pia kata hiyo ya tambukareli kamati ilitembelea shule shikizi kihanju kamati pia ilitembelea mradi wa ujenzi wa shule ya msingi mitundu b na kuona ujenzi wa matundu 22 ya vyoo katika kata hiyo ya mitundu kamati pia ilitembelea mradi wa maji wa pump ya mkono kamati ya fedha uongozi na mipango ilimazia ziara yake katika kata ya kalangali kijiji cha tulieni na kujionea ujenzi wa vyumba madarasa pamoja na ujenzi wa zahanati kamati ya uongozi na mipango iliendelea na kutembelea miradi siku pili kwa kutembelea miradi katika kata ya kalangali mwamagembe na kata ya rungwa katika kata ya mwamagembe kamati ilimbelea ujenzi wa shule shikizi itumba shule shikizi wila na shule shikizi ngilimalole pamoja na kutembelea ukarabati wa kituo cha polisi mwamagembe na kutembelea eneo ambalo kata ya mwamagembe inapendekeza kujengwa kwa shule sekondari pia katika kata ya rungwa kamati ilitembelea ujenzi wa bwawa la rungwa ukarabati wa kituo cha polisi rungwa ujenzi wa pump ya mkono ya maji pamoja na ujenzi wa daraja la gwata kamati ya fedha uongozi na mipango ikipokea taarifa ya ujenzi wa pump ya mkono katika kata ya mitundu halmashauri ya wilaya ya itigi mwenyekiti wa kamati ya fedha uongozi na mipango na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya itigi mh ally j minja akimtwisha mwananchi ndoo ya maji ujenzi wa matundu ya vyoo ya katika shule ya msingi msingi mitundu b kamati ya fedha uongozi na mipango ikipokea taarifa ya ujenzi wa madarasa shule ya msingi tulieni katika kata ya kalangali mwenyekiti wa kamati ya fedha uongozi na mipango mh ally minja akizungumza na wanafunzi katika shule ya msingi kalangali
2019-01-16T16:16:35
http://itigidc.go.tz/new/wananchi-wa-halmashauri-ya-wilaya-ya-itigi-watakiwa-kuchangia-miradi-ya-maendeleo-minja
fighters of life baby madaha amekuwa njia panda kwenye swala la kuwa na hiv baby madaha amekuwa njia panda kwenye swala la kuwa na hiv msanii wa filamu bongobaby madaha amefunguka kwamba siku akianza kuona dalili za ugonjwa wa ukimwi ndani ya mwili wake atakunywa sumu kwa kuhofia kuchekwa na jamii akiongea na mwandishi wetumadaha amedai kuwa kwa sasa anaamini hana ngoma maana siku zote hutumia kinga (kondom) ili asiambikizwe gonjwa hilo japo hana uhakika asilimia zote maana hiyo ni mipango ya mungu siukatai ugonjwa huo kwa kuwa sijui ni lini naweza kuupata hasa ukizingatia kwamba mimi bado ni kijana mbichi ambaye bado nahitaji kuifurahia duniaalisema baby madaha katika mazungumzo hayo madaha anadai kwamba mpaka sasa hakuna mpenzi wake yeyote aliyekufa kwa ngoma ingawa wapo waliofariki kwa maradhi ya kawaida na ajali nikijua tu nina ngoma ni lazima ninywe sumu ili kukwepa balaa la wabongonajitahidi kujilinda ili nisiudake mapemaalisema madaha madaha anadai kwamba kitendo cha yeye kujiua mapema kitasaidia kuwaondolea wasiwasi wasanii wenzake ambao wataanza kujiuliza maswali mengi kuhusu watu aliowahi kutoka nao kimapenzi nitawasaidia wasanii wengine ambao nimewahi changia nao mabwananajua wataumia sana lakini ndo hivyo tena hakutakuwa na jinsi sijasema nina ukimwihapananimesema kwamba ikitokea maana watu hawakawii kupindisha manenomadaha prepared and posted by abuubakari nasibu at 113400 am
2018-02-24T12:06:13
http://folclassic.blogspot.com/2013/07/baby-madaha-amekuwa-njia-panda-kwenye.html
krisimas inaposhehekewa na watanzania milioni saba tu | rundugai blog home » jamii » krisimas inaposhehekewa na watanzania milioni saba tu krisimas inaposhehekewa na watanzania milioni saba tu mwaka 1950 nchi yetu ilikuwa na idadi ya watanzania wapatao milioni saba ni kwa mujibu wa takwimu za kisayansi takwimu hizo zinabainisha ifikapo mwaka 2050 nchi yetu itakuwa na watanzania wapatao milioni mia moja hii leo idadi ya watanzania inakadiriwa kuwa milioni arobaini na tano tafsiri yake tukianza na hili la krismas tunaona kuwa mwaka 1950 kulikuwa na idadi ya watanzania milioni saba tu waliosheherekea kuzaliwa kwa yesu kristo na hata sherehe nyingine za kidini zilisheherekewa na idadi hiyo ya watanzania maana kubwa ya taarifa hizo za kisayansi ni ukweli kuwa wakati huko nyuma ilisemwa kuwa ili tuendelee tunahitaji vitu vinne ardhi watu siasa safi na uongozi bora tunapaswa sasa kutafakari upya kwamba tulidhani kuwa ardhi tunayo ya kutosha hapana huko tunakokwenda ardhi yetu itakuwa ndogo sana kwa idadi kubwa ya watanzania watakaoongezeka hivyo basi moja ya tishio la nchi kuendelea ni kukua kwa kasi kwa idadi ya watu bila kuwa na mipango thabiti ya kuhakikisha kuna udhibiti wa rasilimali za nchi na kuwaandaa watu wanaoongezeka kwenye misingi bora ya elimu na uhakika wa huduma muhimu kama vile afya kwamba kikubwa kinachohitajika kukabiliana na changamoto za kuongezeka kwa idadi ya watanzania miaka 50 ijayo ni kuwa na siasa safi na uongozi bora na hakika siasa za ovyo ovyo huzaa uongozi wa ovyo ovyo na uongozi wa ovyo ovyo ndio utakaopelekea watanzania milioni mia moja watakaoishi miaka 50 ijayo waione nchi yao kuwa ni mahali pagumu zaidi pa kuishi inahusu kuwa na siasa safi na uongozi bora utakaokuwa na uwezo wa kufanya maamuzi magumu ya kuhakikisha rasilimali za nchi hii ikiwamo ardhi zinalindwa kwamba zinalindwa kwa ari ya kizalendo ili watanzania wa kesho na kesho kutwa wapate hakika ya uhai wao na maisha yenye staha kwenye nchi waliyozaliwa inahusu kuwa na mipango madhubuti ya baadae kuingalia tanzania kwanza na si majina ya watu na vyama vyao vya siasa ambavyo kimsingi ni vya kupita tu na ili tuelewe hatari ya huko tunakokwenda tuna lazima na hasa kwa viongozi wetu kuwa na uelewa wa hali halisi ya sasa kwa maisha ya watanzania walio wengi nitatoa mfano hai majuzi hapa nikiwa njiani kwenda iringa kutokea bagamoyo nilisimama kwenye moja ya vitongoji vya bagamoyo ili kununua embe dodo akina mama wale wakarimu walinipokea kama mwenzao bei ya dodo niliyotajiwa ilinifanya pia nitafakari sana niingiwe na huzuni pia maana ni ukweli kuwa mama yule anaanza kuzitafuta dodo zinakotoka kisha anazipanga pale chini mchangani bei ya dodo kubwa kabisa ni shilingi mia sita nilinunua dodo saba na hesabu ya dodo saba ikampa tabu sana mama yule akaniomba nimsaidie hesabu ya haraka nikamwambia ni shilingi 4200 kwenye noti ya elfu tano niliyompa alihitaji kunirudishia shilingi mia nane nikamwambia aitunze chenji hiyo akashukuru lakini wakati akinifungia dodo zangu akaniongeza dodo mbili hivyo kimsingi aliniongeza dodo za thamani ya shilingi 1 200 hivyo ile mia nane niliyomwachia haikuwa na faida kwake unafanyaje njiani niliwaza juu ya tunakokwenda kama nchitujiulize hivi rasilimali zetu za nchi ikiwamo madini gesi na mafuta tunayoambiwa tunayo kwa wingi yatamsaidia vipi mama yule wa bagamoyo mwuza embe dodo ambaye yumkini hajui kusoma kuandika na kuhesabu na idadi yao inazidi kuongezeka takwimu zinasema asilimia 39 ya watanzania milioni 45 hawajui kusoma kuandika na kuhesabu na hawa wanawaririthisha nini watoto wao ukweli unabaki kama krismas ya mwaka 1950 ilisheherekewa na watanzania milioni saba na ya leo inasheherekewa na watanzania milioni 45 basi krismasi ya mwaka 2050 itasheherekewa na watanzania milioni mia moja na tujiulize le je watanzania hawa wa mwaka 2050 ambao ni watoto na wajukuu zetu watakuwa na cha kusheherekea naam kila kizazi na jukumu lake tafakarichukua jukumu la kizazi chako heri ya krismas filed under jamii on sunday december 23 2012
2019-06-20T11:53:18
https://rundugai.blogspot.com/2012/12/krisimas-inaposhehekewa-na-watanzania.html
nchi yetu kuvamiwa | jamiiforums | the home of great thinkers nchi yetu kuvamiwa discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by idumu jul 9 2009 habari wana jf hivi sisi kama watz tunatafakari vipi kuhusu kujaa kwa wachina nchini wakenya hivi wewe mtz waweza kwenda china kirahi tu na ukaishi hili suala hata kama ni uwekezaji mchina anauza mtumba hawa jamaa wakizaana hapa bongo tutakoma kuwaondoa itakuwa taabu pembe za ndovu zinapotea kama jana uliona itv pembe za ndovu zinaibiwa hiv hiv/ hongera kwa polisi kuwakamata je wewe kama kiongozi wa uhamiaji na usalama wa taifa mnafanya nini ili tuikoe hii nchi yetu jamani bless maoni yangu jana nilikuwa nasoma gazeti la raia mwema makala ya johnson mbwambonilivutiwa na hoja yake kwamba serekali ya china ina sera ya kuwasambaza raia wake sehemu mbali mbali duniani hasa afrika kwasababu hawana mahali pa kuwaifadhi wizara ya kazi ajira na wizara ya mambo ya ndani zinahitajika kuchukuwa hatua haraka kukabiliana na ongezeko la wageni wanaovamia ajira na fursa za watanzania mi nahisi tusipowadhibiti ipo siku watatuchezea mpaka masharubu yetu mara zote watanzania tumekuwa tukisubiri athari za globalisation hamjazuiwa kwena china nendeni muone kama mnaweza nchi kama ya canada ili kuwa accomodate hawa jamaa hata atm machine zinaandikwa kichina wako wengi hamna mfano tubadilishe mifumo yetu ya elimu viongozi wawe serious ili tuwe competent dunia ya sasa hatutaweza kuwa kisiwa japo ukweli unabaki palepale kosa lilishafanyika hatukuwa tayari kuingia dunia hii ya globalisation mpaka sasa inaonekana hatuko tayari hii ni kuwa na viongozi vipofu wenye kufuata matakwa ya watu wa dunia ya kwanza hatujawahi kujisimamia na kamwe haitakuja kuwa hivyo ukiwafukuza hawa wachina au kuwawekea ngumu athari yake kwa sasa itaonekana umeshawahi kujiuliza kwa nini kwenda nchi za ulaya na amerika ni kazi sana lakni wao kuja kwetu ni rahisi ka kwenda sokoni hii athari haitakiwi inatakiwa kujadiliwa kitaifa lakinitu iwapo na sisi tupo tayari kubadilika kuchagua viongozi wenye vision ccm walishauza nchi hii siku nyingi sana tangu enzi za mwinyi nyio wachekeeni dawa ni kuwa na vitambulisho vya uraia kukomesha wakenya na wageni wote kuvamia nchi uhamiaji wae makini sana katika kutoa permit kwa wageni wanaokuja kufanya kazi we have to have an east african spirit mimi naamini hilo tanzania geographically ilitengenezwa na wakoloni for their convinience it was not our will ndio maana makabila kama wamaasai wakuria wadigo wajaluo wamegawanywa kabila la wadigo limeanzia toka momabasa pale likoni ferry mpaka tanga wajomba shangazi wamezagaa nchi zote mbili na believe you me mji wa mombasa una watanzania wengi sana from my perspective zaidi ya nusu ya wakaazi wa mombasa (kenya) ni watanzania au wana asili ya tanzania au wana undugu na tanzania miaka ya sabini wahaya wengi wakina mama walimiminika mombasa na mpaka leo hawajarudi wengi wao walienda kufanya biashara ya kuuza miili yao maeneo ya bondeni kwa kitsao msufi mkavu mwembe kuku etc wazee wengine walienda mombasa kwa sababu ya hali ya kiuchumi bongo ilikuwa mbaya enzi hizo za kupanga foleni kununua maziwa hawa walioenda mombasa walipofanikiwa walibeba ndugu zao kwa fujo tena sana watangazaji redio wengi pia walikimbilia kenya vijana wa tanga na dar es salaam walienda mombasa kuzamia meli enzi hizo miaka ile bahari ya mombasa ilikuwa imesheheni meli (ubaharia ulikuwa dili) wachagga nao walienda mombasa wakijifanya wao ni wataveta maana wanafanana kiaina askari polisi wa kenya kutoka maeneo bara hawezi kutambua tofauti ya mchaga na mtaveta wapare nao walipofika kenya wanajifanya wao ni wataita mdigo wa kenya na mdigo wa tanzania hata mimi nashindwa kumtofautisha kwa kifupi watanzania walipokuwa kenya (mombasa) walipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa wenyeji kiasi kwamba waliweza kujumuika nao na kujifanya wakenya believe you me most of the natives of mombasa wako nairobi sasa hivi maana wengi wao ni wasomi kwa hiyo wengi waliobaki mombasa ni watu wenye asili ya tanzania maana nyakati zile hawakutilia maanani mambo ya shule walienda mombasa kuepuka utaka uliokuwa unawasonga mombasa kiuchumi sio kama ile ya zamani imeshuka kweli most of the people are migrating to nairobi kuna viwanda kadhaa vimefungwa ikiwemo cha bia (eabl) wamaasai huwa wanapita border bila passport nimeshaona kwa macho yangu do you think you can know the difference between a kenyan maasai and a tanzanian maasai nafahamu sana muingiliano wa makabila ya sehemu za mwambao kwa uhakika movement ya watu kati ya kenya na tanzania haiwezi kudhibitiwa hata kidogo kuna uhusiano mkubwa wa hali ya juu mpende msipende udugu ni mkubwa kuna makabila mengi yamehusishwa hapa wadigo maasai wakurya wajaluo (watavetachagga) (waparewataita) waarabu nao wamechanganya nchi zote mbili usiwahau wahindi in my perspective we should think as east africans najua wengi wanawaogopa wakenya then this shows explicitly that we are not competent in what we are doing the proctectionism until when
2016-10-25T21:04:19
http://www.jamiiforums.com/threads/nchi-yetu-kuvamiwa.33318/
mikarafuu 110 yachomwa moto na watu wasiojulikana zanzinews home habari matukio mikarafuu 110 yachomwa moto na watu wasiojulikana mikarafuu 110 yachomwa moto na watu wasiojulikana othman maulid 911 pm mikarafuu isiyopungua 110 imechomwa moto na watu wasio julikana katika kijiji cha michikichini shehia ya chonga wilaya ya chake chake mkoa wa kusini pemba huku ikikisiwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 85 (picha na abdi suleiman pemba) mikarafuu isiyopungua 110 imechomwa moto na watu wasio julikana katika kijiji cha michikichini shehia ya chonga wilaya ya chake chake mkoa wa kusini pemba huku ikikisiwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 85(picha na abdi suleiman pemba) mmoja ya mikarafuu iliyochomwa moto na watu wasiojulikana katika kijiji cha michikichini shehia ya chonga ukiwa umeanguka baada ya kuteketea vibaya kwa moto huo(picha na abdi suleiman pemba)
2018-06-21T00:28:44
http://www.zanzinews.com/2017/09/mikarafuu-110-yachomwa-moto-na-watu.html
michuzi blog breking nyuuuuzzzzz ndege yapata ajali mbwewe breking nyuuuuzzzzz ndege yapata ajali mbwewe habari zilizoingia sasa hivi kutoka eneo la mbwewe mkoani pwani muda mfupi uliopita ni kwamba kuna ajali ya ndege ndogo ya jeshi yenye namba 9119 ambayo imegongana na gari la watalii la kampuni ya african tours baada ya kutua kwa dharura katika barabara kuu ya dararusha habari zinasema rubani aliamua kuishusha barabarani baada ya kupata matatizo ya kiufundi wajkati ikiwa katika mruko wa kawaida wa mazoezi hivyo baada ya kutua barabarani ndege iliivaa gari hiyo ya watalii ambalo lilipinduka inasemekana rubani ameshaondolewa ndegeni wakati juhudi zinafanywa kuondoa abiria wawili walionasa kwenye ndege hiyo hivi sasa hali ya rubani inasemekena ni ya kukatisha tamaa hakuna aliyekufa kwenye gari ya watalii vikosi vya dharura vya jeshi la ulinzi na polisi viko eneo la tukio hivi sasa na kipaumbele ni juhudi za kuisogeza pembeni ndege hiyo ambayo kwa sasa imeziba kabisa barabara na kusababisha foleni ndefu kila upande wa barabara hasa wa mabasi ya abiria na malori ya mizigo yanayohudumia barabara ya dararusha tuesday june 29 2010 maoni 9 kuna maoni 9 mpaka sasa duh bongo noma ajali kila sehemu barabarani majini sasa ni colabo ndege zinaanza kugonga magari mdau umeniacha hoicolabo sioduhmichuzi yani comment za humu yepthat's africa anything its possible falling plane from the sky like rain kweliiii god's must be crazy in africawaiting for falling snowno worry in africaedwin urasa tuleteeni picture mkiwezamdauusa ajali za ndege kugonga magari sio kitu kipya kwa sababu huku us hutokea pilot aki lose engine anatua kwenye highway kwa sababu airport iko mbali ni tukio jipya kwa huko tanzania imeshatokea texas na hata illinois actually chicago midway airport ambapo jet ya southwestern ili over shoot ni kugonga fence na kusimama barabarani baada ya kugonga gari ni ajali lakini sio kitu kipya aleyfex colabomani umeniacha hoi kwaa kwaaa eeh mdau umechizi ati collabo we anony ndege kutua barabarani wala sio kitu kipya hapa tanzaniamiaka michache iliyopita ndege ndogo ilishawahi kutua barabarani dodoma njia kuu ya dodoma/dar kilomita chache kabla ya kufika kiwanja cha ndege cha eapot ya dodoma lakini haikuleta madhara colaboduh january 2015 (590)
2015-01-25T03:47:24
http://issamichuzi.blogspot.com/2010/06/breking-nyuuuuzzzzz-ndege-ya-jeshi.html
mashariki mwa kongowarranti yatolewa na icc kumkamata ntaganda | matukio ya afrika | dw | 15052012 mashariki mwa kongowarranti yatolewa na icc kumkamata ntaganda mahakama ya kimataifa ya icc imetoa waranti za kuwakamata jenerali bosco ntaganda aliyeasi jeshi la jamhuri ya kidemokrasi ya kongo pamoja na kiongozi mkuu wa waasi wa rwanda wa chama cha fdlr sylvestre mudachumura jenerali jean bosco ntaganda atafutwa hiyo ni waranti ya pili kutolewa na icc kwa ajili ya kumkamata jenerali bosco ntaganda nini hasa kinatakiwa kufanywa ili wababe hao wa kivita washikwe jibu lipo kutoka kwa mwandishi wetu john kanyunyu kutoka goma mashariki mwa kongo (kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini) tarehe 15052012 maneno muhimu mashariki mwa kongowarranti yatolewa na icc kuwakamata ntaganda na mudachumura kiungo http//pdwcom/p/14vjt
2017-09-26T02:07:42
http://www.dw.com/sw/mashariki-mwa-kongowarranti-yatolewa-na-icc-kumkamata-ntaganda/a-15951575
hatua mbili zilizotangazwa na serikali dhidi ya gazeti la mwanahalisi millardayocom hatua mbili zilizotangazwa na serikali dhidi ya gazeti la mwanahalisi baada ya kutolewa kwa onyo dhidi ya gazeti la mwanahalisi na kuagizwa kuomba radhi gazeti hilo liliandika barua ya mhariri na kuomba radhi kutokana na kumuhusisha rais magufuli kwenye kichwa cha habari isiyomuhusu sasa leo february 01 2017 imetolewa taarifa kupitia kwa mkurugenzi wa idara ya habari maelezo dr hassan abbasi ikiwa ni baada ya kuipata barua ya mwanahalisi kuomba radhi taarifa ya leo imeainisha hatua mbili zilizotangazwa dhidi ya gazeti hilo wachapishaji na wahariri wa gazeti la mwanahalisi wanapewa onyo kali na hatua kali zaidi zitachukuliwa iwapo wateendeleza uandishi unaokiuka maadili ya kitaaluma na sheria za za nchi kwa kuwa habari husika ilichapishwa kwenye ukurasa wa mbele katika toleo lililopita mhariri anaagizwa bila kukosa achapishe barua ileile ya kuomba radhi katika ukurasa wa mbele katika tolea lijalo la february 6 2017 la gazeti la mwanahalisi umepitwa ayotvmagazeti madudu matokeo kidato cha nne ruzuku ya cuf sarakasi tupu bonyeza play hapa chini related itemstza habari ← previous story videofupi diamond katuonyesha kipisi cha video mpya aliyomshirikisha mmarekani neyo next story → miji 10 duniani inayotajwa kuongoza kwa vurugu afrika upo mmoja soma na hizi video serikali yaongea kilichosababisha watanzania kuondolewa msumbiji video rais magufuli ampigia simu neema na kuongea nae kwenye loud speaker video nje ya mahakama kuu baada ya kesi ya mbowe wema sepetu pembeni join 19824 other subscribers ayotv (2169) magazeti (1934) michezo (3615) zaidi (2837)
2017-02-24T03:37:49
http://millardayo.com/mwah65/
orkeeswa kidedea michezo ya shule spoti starehe™ orkeeswa kidedea michezo ya shule arusha shule ya kimataifa ya orkeeswa imeibuka bingwa wa jumla wa mashindano ya michezo kwa shule za kimataifa nchini mwaka huu yaliyofanyika jijini arusha juzi jumapili katika mashindano hayo yaliyoshirikisha jumla ya shule 12 orkeeswa ilishinda jumla ya vikombe 14 na medali sita (6) za dhahabu katika michezo nane tofauti ambayo ni soka mpira wa pete riadha raga mpira wa kikapu kuogelea wavu na kurusha tufe vikombe hivyo 14 ambavyo orkeeswa imetwaa vimetokana na ushindi katika michezo saba waliyoibuka mabingwa kama timu na medali hizo sita zimetokana na ushindi wa mchezaji mmoja katika mchezo wa riadha kwa mbio za kilomita sita (6) na kilomita nne (4) meneja maendeleo wa shule ya orkeesa tunu makamula alisema mafanikio hayo yametokana na maandalizi waliyoyafanya kwa muda mrefu wanafunzi wetu wamekuwa wakijiandaa ipasavyo kwa ajili ya mashindano haya kutokana na ushirikiano na juhudi zao pamoja na makocha wao leo tumeona zikilipa na vijana wetu kushinda makombe alisema makamula mbali na orkeesa shule nyingine zilizoshiriki ni hopac dis feza uwc arusha uwc moshi st constantine arusha meru rafiki academic international school isamilo isz nunua gazeti la championi na ijumaa wikienda kirahisi zaidi hapa nunua gazeti la championi na ijumaa wikienda kirahisi zaidi hapa december 16 2019 by tetesi za soka ulaya jumatatu tarehe 16122019 ljungberg nuno pellegrini white maja coutinho image caption freddie ljungberg amewataka wakuu wa arsenal kuamua haraka mtu wanaemtaka kuwa wao magazeti ya tanzania leo ijumaa desemba 13 2019 magazeti ya tanzania leo ijumaa desemba 13 2019 december 13 2019 by global publishers kmc mbao ngoma bado ngumu basata yaitaka miss utalii kufuata sheria
2019-12-16T07:59:01
https://spoti.co.tz/orkeeswa-kidedea-michezo-ya-shule/
ommykiss serikali kuondoa gharama za kuunganisha umeme serikali kuondoa gharama za kuunganisha umeme wizara ya nishati na madini imesema inaangalia uwezekano wa kuondoa gharama anazotozwa mwananchi wa kawaida pindi anapokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme kutoka shirika la umeme tanzania (tanesco) akijibu swali la nyongeza la mbunge wa ilemela athony diallo (ccm) aliyetaka kujua serikali inachukua hatua gani za kuwapungizia wananchi mzigo huo naibu waziri wa nishati na madini adam malima alikiri kuwepo tatizo hilo na kusema serikali inaliangalia mheshimiwa spika ni kweli kumekuwepo na malalamiko haya kwa kipindi kirefu mno sasa umefika wakati ambao tutashauriana na mamlaka husika ili kuondoa tatizo hili alisema waziri malima alisema katika utaratibu huo wateja wa shirika hilo wamekuwa wakitakiwa kununua waya na vitu vingine hata kabla ya kufungiwa umeme utaratibu huu umechukua muda mrefu mno si utaratibu mzuri unapaswa kuangaliwa upya kwa manufaa ya watanzania wote alisema waziri malima alikuwa akijibu swali la msingi lilioulizwa na mbunge wa shinyanga mjini dk charles mlingwa (ccm) kwamba tanesco itapeleka lini umeme katika vijiji vya kizumbi vitongoji vya nhelegani na bugayambelele alisema katika maeneo hayo kuna transfoma mbili ambazo zinahudumia wateja watano tu na mashine moja ya kusaga ya chuo kikuu cha ushirika alisema kutokana na hali halisi iliyopo sasa ya uwezo wa serikali haitakuwa rahisi kugharamia mahitaji yote ikiwa ni pamoja na kupeleka umeme kwenye shule za sekondari alisema utaratibu uliopo ni kuainisha upelekaji au kufikisha huduma hii kwa shule pale ambapo kazi inakuwa sehemu ya mradi wa kusambaza umeme mwandishi ommykiss saa 718 am
2017-09-26T07:10:44
http://ommykiss.blogspot.com/2010/04/serikali-kuondoa-gharama-za-kuunganisha.html
kuhamia nyumba kimataifa orodha ya shughuli moja ya kimataifa orodha ya kuhamisha orodha ya uhamiaji wa kimataifa mambo unayohitaji kufanya ili uhamishe nchi za nje kusonga kimataifa ni vigumu kuna kazi nyingi zaidi unayohitaji kufanya ili kujiandaa kuhamia kuwa mara nyingi ni vigumu kuweka wimbo ikiwa unasafiri ng'ambo tumia orodha hii kama mwongozo wa kukusaidia kupitia hoja ngumu kukutana na rasimu ya uhamiaji hata kama unapokea vibali vya kazi au visa vya nchi kupitia mwajiri wako ni wazo nzuri kuanzisha mkutano na afisa wa uhamiaji wasiliana na ubalozi wa ndani au ubalozi wa habari au ikiwa unajisonga mwenyewe bila msaada wa mwajiri huenda unahitaji kuajiri mwanasheria wa uhamiaji kukusaidia kupitia mchakato wa visa uhakikishe kuwa unajua sheria za uhamiaji na uandikishe kuhusu muda uliowekwa (kwa kuwasilisha fomu) muafaka wa wakati (muda gani unaruhusiwa kuingia nchini) na sera zinazohusu kuingiza bidhaa za nyumbani na fedha kusanya nyaraka zinazohitajika hakikisha wanachama wote wa familia wana hati za pasipoti hadi sasa nyaraka zingine ambazo unapaswa kupata ni vyeti vya kuzaliwa (ni wazo nzuri kuwa na nyaraka za fomu ndefu pamoja na ukubwa wa mkoba) leseni ya sasa ya dereva leseni za kitaaluma na kadi za uanachama pamoja na vyeti vya ndoa vyeti vya kupitishwa kumbukumbu za shule matibabu rekodi nk kusanya kumbukumbu za shule kupata vikwazo unaohitajika angalia na mtoa huduma wa afya yako wa ndani au kliniki ya afya ya kusafiri ili kuona ni vipi ambavyo unahitaji kabla ya kusafiri nchi zingine zitatoa taarifa hii kwenye tovuti zao hata hivyo kliniki ya afya ya usafiri itatambua vizuri kile kinachopendekezwa na kumbuka kuweka kumbukumbu nzuri za shots unazopokea na kuziongezea kwenye rekodi utakayokusanya na kuchukua nawe kupata vyeti vya afya kwa pets kulingana na wapi unakwenda wanyama wa kipenzi wanaweza kuhitaji nyaraka za afya ni wazo nzuri ya kutafuta mahitaji ya kuingia kwa kipenzi kabla ya kuhamia nchi zingine zinaweza kuhitaji kuwa mnyama wako awe mgawo au kipindi cha karantini inaweza kuwekwa kama mnyama wako hana hati sahihi ninapendekeza kujenga orodha ya mahitaji ya kuingiza nchi kisha kuzungumza na vet yako vidokezo vya kuhamisha wanyama wa pets wilaya jinsi ya kuruka pets yako angalia sheria za ushuru angalia na mhasibu wako au ofisi yako ya serikali za mitaa kuhusu sheria za kodi utahitaji kujua sera za serikali yako ya sasa pamoja na nchi unayohamia ni wazo nzuri kuwa tayari bima ya afya ya ununuzi kuhamia nchi nyingine kwa kawaida inamaanisha kuwa chanjo ya huduma za afya yako haiwezi kupanua nje ya nchi mataifa mengine na mipangilio ya huduma za afya itakuwezesha ufikiaji wa siku fulani lakini kwa kawaida hautakuwa pana pata kabla ya kuhamisha ili wewe na familia yako uwe bima pata fomu za custom kwa bidhaa za kaya na pets ikiwa unatumia mwendeshaji kuhamisha vitu vyako kwenye nchi nyingine mwendeshaji atatoa fomu sahihi za desturi hata hivyo ni wazo nzuri ya kuangalia na ubalozi au ubalozi kwa fomu zinazohitajika ili kuhakikisha una nyaraka unayohitaji kupata vitu vyako mpaka mpaka utahitaji fomu zote za kuingia na kuingia kwa hiyo angalia kila mmoja ikiwa unasafirisha gari wanyama wa kipenzi au vitu vingine ambavyo kampuni yako ya kuhamia haitahamia unahitaji fomu maalum ambazo ubalozi wa eneo au tovuti ya serikali rasmi ya serikali inaweza kutoa panga kwa ufikiaji wa fedha kabla ya kuhamia hakikisha upeo wa benki yako au taasisi ya kifedha kuhusu kufikia fedha zako wakati nje ya nchi mabenki fulani yana matawi au matawi yanayohusiana na nchi nyingine na hivyo iwe rahisi kuhamisha fedha au ukiamua kuwa utahamia fedha zako zote kwenye benki ya kigeni tafuta jinsi ya kupanga uhamisho banking ya mtandao inafanya iwe rahisi kwako kudumisha upatikanaji wa ndani wakati ukiishi ng'ambo uliza benki yako kwa habari zaidi vidokezo vya benki ya kimataifa kwa watu wanahamia kando ya nchi kununua mwongozo wa kusafiri na ramani kabla ya kuhamia tafuta kwa uangalifu mahali utakapohamia mbali na kutafiti habari mtandaoni napendekeza kununua manunuzi ya nchi na mji kabla ya kuondoka sio tu mwongozo unaokupa maelezo muhimu kama vile maeneo ya hospitali mabalozi na ofisi za fedha za kigeni lakini pia ni utangulizi mkubwa wa maisha yako mapya pata tayari kuishi katika nchi nyingine hii ni kazi kubwa sana lakini nilitaka kuingiza ni kama wengi wetu kusahau kwamba baadhi ya maandalizi bora unaweza kufanya wakati wa kuhamia nchi nyingine ni kujiandaa kihisia kwa hoja angalia viongozi zifuatazo kukusaidia kurekebisha na kujiandaa kwa hoja yako ya kimataifa jinsi ya kubadilisha mpito kidogo utamaduni wa mshtuko ni nini ikiwa unayohamia nchi nyingine pata maelezo ya jinsi ya kuhamisha mambo yako maeneo mkubwa ya kuondoa nchi pata visa iliyofaa kuishi mexico vidokezo vya kuhamia na kuishi merida mexico jinsi ya kuandaa pakiti kupata kazi na uhamia nchi nyingine wafanyabiashara wa chumba cha kulala 11 unahitaji vipokezi vya upikaji jinsi ya kuweka chumba cha kulia cha kidogo mawazo ya samani sababu za juu mimea yako haizi bloom matukio ya bajeti ya bure ya kutoka kutoka kwa microsoft njia za kijani za kutumia borax kwa kusafisha jinsi ya kupata leak katika pool au spa vidokezo vya kufulia ambavyo kila mtu anapaswa kujua fedha ya dollar plant (lunaria)
2020-05-28T16:02:02
https://sw.insterne.com/orodha-ya-kuhamisha-orodha-ya-uhamiaji-wa-kimataifa/
yamoto bendi yavunjika rasmi kila mmoja kivyake bendi ya muziki ya yamoto bandi na na andrew carlos | uwazi |makala dar es salaam kwa mara ya kwanza usiku wa jumapili septemba 21 mwaka 2014 katika anga la burudani bongo ndani ya uwanja wa taifa wa burudani dar live jijini dar nilipata kushuhudia uzinduzi rasmi wa bendi mpya kabisa ya muziki ya yamoto bandkatika usiku huo walitambulisha kwa mara ya kwanza wimbo wao wa kwanza ulioitwa yamoto niliyeweza kumfahamu kwa harakaharaka alikuwa ni dogo aslay lakini vichwa vingine vilivyounda bendi hiyo (beka one enock bella na maromboso) sikuwahi kuviona popote nilimsifu sana bosi wao said fella kwa kile alichokuwa amethubutu kukifanya miezi michache mbele yamoto band ikawa imara na kuwa miongoni mwa bendi za vijana zinazotikisa katika muziki wa bongo fleva staili yao ya kupeana nafasi kila vesi ilikuwa ya kipekee na hata ubora wa sauti ya kila mmoja ilikuwa kivutio kikubwa masikioni mwa mashabiki wao yamoto walileta hamasa kubwa kwa wasanii wa bongo fleva na makundi mengi ya vijana ambayo yaliibuka yakiwemo ruby band ocean classic na mengine kibao ambayo yapo mengine yaliyokuja kupotea ukiweka mbali umaarufu waliojizolea ndani ya muda mfupi yamoto wamefanikiwa kutoa nyimbo nyingi zilizoweza kutazamwa na mamilioni ya mashabiki katika mtandao wa youtubemkurugenzi wa mkubwa na wanawe ambaye pia ni mmiliki wa yamoto band said fella akiongea na wanahabari wakati akitambulisha nyumba mpya watakazomiliki yamoto band kulia ni asha baraka miongoni mwa nyimbo hizo ni nitakupwelepweta su mama cheza kwa madoido nisambazie raha nitajuta na nyingine nyingi licha ya kufanya vizuri wakiwa kama kundi na shoo zisizo na idadi za nje ya nchi kwa sasa madai yaliyopo mezani ni kwamba bendi hiyo haipo tena kama zamani yamoto imebaki jina lakini wanaoiunda wamesambaratika mara ya mwisho kwao kufanya shoo ya hadharani kwa pamoja ilikuwa aprili 26 mwaka huu katika sikukuu ya muungano iliyofanyika mkoani dodomayapo madai ya chinichini kuwa hata mualiko huo wa kwenda kutumbuiza walibembelezana mmojammoja na hawakuwa tena pamoja kundini ilidaiwa kuwa chanzo cha kugawanyika kwa bendi hiyo ni ubinafsi unaofanywa na kiongozi wao fella akisemekana kumpendelea zaidi aslay kuliko enock maromboso na beka mbali na upendeleo huo hata zile nyumba walizoahidiwa kupewa inadaiwa kuwa ahadi hiyo imeyeyuka baada ya kusambaratika nyumba za wasanii wa yamoto band kila mmoja kwa sasa yupo kivyake aslay anadaiwa kubaki na fella wakati beka maromboso na enock kila mmoja amepata menejimenti nyingine zinazosimamia muziki wao na tayari wapo waliotoa nyimbo na wengine bado wapo studio uwazi showbiz ilifanikiwa kuonana na beka flavour ambaye yupo chini ya menejimenti mpya ya mtu anayefahamika kwa jina la siraji ambapo projekti yake ya kwanza ni wimbo wa libebe beka anafunguka kuwa hawapo pamoja kwa sasa ambapo aslay amebaki kwa mkubwa fella lakini kwa upande wa maromboso naye amepata menejimenti nyingine na enock yupo tu hajapata menejimenti yoyote aslay huyu hapa kwa upande wa aslay ambaye ameshaachia nyimbo tatu tangu aipe mgongo yamoto (angekuona usiitie doa na mhudumu) anakiri kuwepo katika wakati mgumu wa bendi hiyo na kwamba kuna kipindi ilifika wakakwama ndiyo maana walirudi nyuma kifupi watambue tu kuna vitu fulani tulifanya mchanganyiko ambavyo siwezi kuvisema vikaturudisha tena nyuma anasema aslay fella naye huyu hapa fella ambaye ndiye mkurugenzi wa mkubwa na wanawe ambayo chini yake ipo yamoto anaweka wazi kugawanyika kwa bendi hiyo kwamba ameamua kila mmoja awe kivyake tumeruhusu kila mmoja afanye kazi yake hata wewe mwandishi ukitaka mmoja unaweza kupata tumesoma alama za nyakati na kuona sasa hivi muziki wao umezidi kuwa mgumu halafu nao wanataka masilahi mazuri wamekua sasa kama wameweza kukaa kwa zaidi ya miaka mitatu kuna wakati nao wanataka kuonekana wakubwa wao walipokuja walikuja wakiwa mmojammoja (solo) tukaona tumchukue aslay awatangaze wenziye kama kundi vilevile ukiangalia hata raymond naye alikuwa mkubwa na wanawe tukaona tumruhusu afanye kivyake sasa hivi kama unavyomuona sasa hivi muziki wa bendi unaonekana kabisa unapoelekea siyo sasa siyo kulazimisha ilimradi waonekane ni bendi fulani wakati wanaweza kufanya solo mtu akihitaji kundi anaweza kuwachukua mtu anaweza kuja kuhitaji msanii mmoja afanye shoo na siyo kundi inakuwa rahisi anasema fella kuhusiana na madai ya kuwanyima nyumba alizowaahidi fella anasema unajua watanzania wengi hawaamini watu wanaokaa muda mrefu wakifanya mmojammoja wanajua wamegombana mbona shoo ya dodoma walikwenda kama wamegombana mbona walienda pamoja hawajahamia kwa sababu hakujachangamka kama mjini ila pakichangamka watahamia mbona chegge ana nyumba yake nilimpa huku kwangu kilungule kipindi kile na nature lakini hajahamia hadi leo ina maana naye amedhulumiwa
2017-06-28T00:26:36
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2017/05/yamoto-bendi-yavunjika-rasmi-kila-mmoja.html
kanumba na tuzo ya heshima | bongo celebrity kanumba na tuzo ya heshima june 4 2008 filed under filamu/moviesinemaswali kwa jamiitelevisiontuzo bongocelebrity @ 154 pm muite steven kanumbahapa ilikuwa wiki iliyopita wakati wa utoaji wa tuzo za vinara wa filamu tanzania waandaaji wa tuzo hizo walimpa kanumba tuzo ya heshima kutokana na mchango wake katika maendeleo ya filamu nchini tanzaniakuna watu wanakubaliana na uamuzi huo wa waandaaji wa tuzo hizo na kuna ambao hawakubaliani wakisema kwamba ni mapema mno kwa kanumba kupewa tuzo ya heshimawewe unasemaje mwingine aliyepewa tuzo ya heshima ni ngumbagwe misayo au maarufu kama theaukitaka kusoma mahojiano tuliyowahi kufanya na steven kanumba siku za nyumabonyeza hapa photo/amrisho 44 responses to kanumba na tuzo ya heshima chris says june 4 2008 at 339 pm hivi mzee jangala mzee small mama haambiliki majuto pwagu na pwaguzi ( pwagu najua ashakufa) lkn hao wote wameshakufa inamaana mchango wao hao watoa hizo tuzo hawakuuona na watoaji hizo zawadi enzi za udogo wao walikua hawabanduki redioni wakati wa kipindi cha akina jangala na hao wengine na utakuta hata huyo kanumba labda kati ya hao mmoja wao ndiyo alomvutia kuingia hiyo sanaa labda criteria hatuzijui walizotumia ila binafsi hakustahili kbs ufisadi kila mahala umetawala tatizo nililoliona ni kwamba mpewa tuzo ni unprofessional na mtoa tuzo ni hivyo hivyo ushabiki tu na personal interest zimetumika na ninafikiri wameangalia zaidi hawa akina kanumba wameanza wika time za luninga while wale walikua time za redio wa luninga wanajulikana sana cuz theyre noticeable mitaani kuliko wa enzi za redio proffesionals ilibidi wapewe hiyo kazi binafsi wameanza vibaya hizo tuzo zao doa hilo ni kubwa sana maana hata kama hao wakongwe walishakufa tuzo wangepewa hata wanafamilia reply pearl says june 5 2008 at 157 am chris mi nakuunga mkono tena sana tuhili swala la tuzo za heshima mi sijakubaliana nalo and i am very sorry to say thatm nadhani it was suppose to go beyond kwasababu kuna hao watu walioanza muda mrefu kuigiza kama aliowataja ndugu chris hapo juukuna kina bishagawaridi aisharichie hawa pia walikua watu wa mwanzomwanzo kuonekana kwenye runingathough walikua wanaigiza tamthilia lakini wameleta hamasa na mchango mkubwa sanajamani hivi kweli watu kama hawa hawajachangia lolote kwenye fani hii ya uigizaji nani alikua haangalii mambo hayo those days kuna wengine mbali na kanumba ambao pia walistahili tuzo ya heshima jamani halafu mi nadhani hili zoezi wangeweza hata kuwashirikisha wananchi hata ktk kupiga kura kwa sababu wananchi ndo wanaziangalia kazi za hao watu kwahiyo we are in the good position to judgeif at all we were involved at first place all in all to me the heshima awards haijaniimpress naona kama kuna mtu anafanyiwa promotion wkt hajadeserve mi ni hayo tu jamani reply juma mpongo says june 5 2008 at 346 am kwa mujibu wa maelezo ya waandaaji mimi naona ni sawa kumpa kanumba wamesema kuwa kwa 2007/2008 sasa hao akina jangala kwa mwaka huo uliolengwa na waandaaji wamefanya kitu gani tuache chuki binafsi jamani kanumba amefanya mengi katika filamu kwa kipindi hicho kilichotajwa na waandaaji tuache kasumba ya kuon a wazee pekee wakipewa tuzo za heshima yaani ni kama kusubiri mtu afe ndo umsifu alikuwa mwema hongera waandaaji reply amina says june 5 2008 at 405 am chris umemaliza kila kitu nilichotaka kusemaasante sananawewe kanumba tuoneshe ile tuzo yako ya hollywood ipo wapi reply blaggada says june 5 2008 at 422 am tatizo ufisadi umeenea kila mahali ona sasa yaani mnawaacha wakonge kina mzee smallmajutobi chau mnawapa kinakanumba waj uzi au mmesahaun mambo yao nini ac heni izo kaeni chini mfikilie kabla ya kutoa tunzo hizo reply mimi says june 5 2008 at 431 am sijapenda mkao wake well jamaa anakipaji ktk kuigiza ila ningependa kumsahuri aachane kabisa na habari ya kuimba maana anasauti mbaya sana reply jennas says june 5 2008 at 521 am chris umenibamba mana nilivyoanza kusoma hoja yako nilivyoona kuna marehemu katika listi yako nilipania kukuambia hata wanandugu napewe tuzo wawekewe ndani ama hata kwenye kaburi lake kwa kazi aliyoifanya akiwa hai pili me cjaona kazi kubwa sana waliyoifanya hadi kupewa hizo tuzo mana hata kama ni za wachanga basi kuna wakongwe zaidi ya kanumba kama kina bishanga na kina waridi cjui ambao ndiyo walianza mwanzo mwanzo ila kama nikuwapokonya basi ningekuwa wa kwanza kwenda kuwapokonya niwakabidhi watu wazima na cyo wauza sura mnawalewesha misifa mapema hawa wauza sura hawa wasanii wanaochipukia ndiyo maana hawaachi madharau kwa wakongwe wa filamu kwanza sifatiliagi hizo filamu zao ngoja tu ninyamaze zangula muja de la vida hivi mzee pwagu amekufa ama ni mama hambiliki ndiyo alikufaga reply paka la jikonil says june 5 2008 at 526 am kiufupi hawa watoa tunzo hawajui watendalo wamepotea katika njia ya uwokovu wa sanaa na walegee na washindwe hivi huyu kanumba amechangia nini katika sanaa ya filamu tanzania hawajawaona kina mzee small majuto ambao wapo hai wangetoa tunzo hiyo hata kwa familia ya mzee jongo ili kumuenzi wangeona haifai basi wangempa hata bishanga ingetosha kwa mpango huu tutafika kweli mdau paka la jikoniuk reply pearl says june 5 2008 at 629 am juma mpongo ni hivi mwaka huu ila sikumbuki ni mwezi gani ila fifa ilikua inatoa tuzo ya heshima ya mwanamichezo bora aliyechangia ktk fani ya michezo 2007/2008 unajua nani ndo alipokea ilikua ni pele sasa kwani pele bado anacheza mpirahiyo sasa ndo tuzo ya heshimakwavile hii tuzo ya waigizaji ndo inaanza nchini kwetu it was proper to recognize hata waigizaji wa zamani kwa kuthamini mchango wao ktk fani hii reply catherine says june 5 2008 at 750 am namuunga mkono ndugu yangu jumaacheni chuki nyie wote ni watanzaniahao watu wa zamani walikua na filamu au tamthiliyanafikiri hizo tuzo zilikua za filam na siyo tamthiliyana vigezo walivyotoa inampasa kanumba kupewa tuzo kwani ameitangaza tz kwa kiasi flani naamini ataitangaza zaidi kwani bado ana nafasi kubwa tukubalini mabadiliko watanzania muungeni mkonosidhani km majumbani mwenu mnaangaliaga kazi za hao mnaowasema reply matty says june 5 2008 at 809 am hata kama ni ustar nywele nazo zinakalikiti ausamahani kama nakuingilia maungoni chris mtani wangu unapatikana wapi maana kichwa kimetulia ile mbaya umemaliza everything kwakweli reply mla vumbi orijino says june 5 2008 at 908 am chris umemaliza kila kitu mtu wangu sina la kuongeza reply kamanzi says june 5 2008 at 918 am ndugu juma mpongo hata kama walihusisha 2007/8 pekee mi bado nadhani akina kingwendu wapo more relevant kwa jamii ya kitanzania kuliko warembo kama kanumba wanaudhi sana hawa watu yaani utakuta filamu imejaa kizaramo lakini inaitwa kwa kidhungu eti copy fake pastors stranger nk kama iko kidhungu mwakimanya kwanini msikitumie moja kwa moja kwanza wana recycle filamu za kinigeria tu hawana lolote mafisani wa kisanii hawa hakuna namna nyingine ya kuwaelezea nalaza kesi yangu mpaka hapo reply dullah says june 5 2008 at 940 am mi nadhani tuzo imetolewa katika tasnia ya filamu na katika mwaka 2007/08 hapo ni sawa kukataa kumpa tuzo ricardo kaka ya 2007/08 eti kwa kuwa pele alicheza vizuri kipindi hicho mi naona tatizo ni la waandaaji kwani ilibidi kuweka kategori ya watu hao kina mjee jongo ya mfano n sidhani kuwa kanumba aliwapangia wamuandalie kategory ili ashinde big up kanumba ukipendeza muuza sura mbona sasa unafanikiwa acheni mipasho nyie kama vipi mkajiunge na jahazi tot au hat watoto wa kandoro wanahitaji vipaji vyenu reply pyupyu says june 5 2008 at 1018 am nafikiri kigezo kikubwa walichotumia hapa ni kuona nani kawika zaidi kipindi hii cha luninga kama alivyo sema chris pia ni mara ngapi huyo mhusika ametokea kwenye hizo filamu sabini na mbili walizo zikusanya basi kama ni hivi haitaleta maana kwa mana ni wengi watajitahidi kutokea kwenye filamu ama kujitanga zaidi hata kwa njia zisizo sahihi ilimradi waonekanemwisho wa siku waonekane wana mchango mkubwa sana kwenye hii sanaa labda hatuelewi walikuwa wanamaanisha nini haswa walipokuwa wanasema tuzo ya heshima watufafanulie ni vigezo gani wanavyotumia kumpatia mtu tuzo ya heshima waliofariki ni mzee jongobi hambilikimzee pwaguzi na mzee keto kama sikosei reply jbigy says june 5 2008 at 309 pm kama walivyosema chrispaka la jikoni nk bongo usanii uongo unprofessionalism na ubabaishaji havitaisha pia filamu nyingi nilizoziona wanadesa toka nigeria na west na hivyo hata ham ya kuziangalia haipo kabisa bora waigizaji wa zamani na wachekeshaji ambao wanaonesha mambo ya jamii ya tz watu kama jongo(marehemu) waigizaji wa mambo hayo na vikundi vingine haijawahi kutokea kupewa tuzo kwa mchango wao leo hii hizi movie za kukopy toka nigeria na kwingineko zinaonekana bab kubwa mimi ntaendelea kucheki za original(toka nigeria na west) hadi hapo watakapotoa vitu vinavyoakisi mazingira ya nchi ya tanzania ufisadi ni donda ndugu reply cecy says june 5 2008 at 922 pm duh i respect mtoaji maoni wa kwanza big upcant say much bali kukuunga na maoni yako its true ukizungumzia sanaa za maigizo lazima uzungumzie hao watu reply kiberiti moto unawaka says june 5 2008 at 1033 pm cris i respect you comments thank you reply amina says june 6 2008 at 304 am duhchris kawa supastaa humu leohatarimatty upo wapi reply annie says june 6 2008 at 426 am jamani nadhani hajaelewa hiyo tuzo ya heshima kapewa vp ila kifupi alistahili kupata hiyo tuzo maana wamesema hiyo tuzo wanatoa kwa mwaka 2007/2008 waliofanya vizuri sasa wangempa jangala mwaka 2007/2008 kafanya lipi jamani lkn ingekuwa miaka ileeeeeeeee labda reply chris says june 6 2008 at 914 am amina lmao lakini wanaosema tuzo ni za 2007/2008 nawashangaa ndo maana kanumba na thea hawakuwemo in either of the lists na wamepewa tuzo ya heshima kwa mchango wao wa fani husika na si kwa mwaka 2007/08 swali la kujiuliza inamaana mchango wao unazidi hao wakongwe reply mtukwao says june 6 2008 at 113 pm jamani tusiige kila kitu bila kujua maana or what is the history/story behind it watanzania tupendane na tuelezane ukweli si tu ktk siasa bali hata katika mwonekano wetu sisi wenyewe ktk macho ya watu mie nikitaka kumjaji kwa kutumia hiyo picha na ukilinganisha na tunzo aliyopata haviendani kabisa hilo pozi haonyeshi kama ni mwingizaji bali anaonekana kama ni model wa mavazinakama ni muigiaji then he looks unproffessional actor pili mapozi la simu mh labda kama ulikuwa unapromote tigo which i doubt anaonekana mwoga wa camera with low selfesteem then wabongo tujitahidi kuvaa simple but smart/ sexy mavazi mengine ni vurungu machoni pa watu hata kama ni mazurihayo ni yangu kwa leo reply total knockout says june 6 2008 at 118 pm hongera kanumba reply jmbigy says june 6 2008 at 259 pm mtu kwao umeongea nlotaka kuongeanashkuru pia tulishaamini kwamba ili kitu kiwe right basi tufate wanachofanya mataifa ya magharibi mi nahisi ndo chanzo cha mavazi ya kanumba otherwise basi anatangaza mavazi tatizo letu hatujui kuwa simple but clean and sexy kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo juu hata hivyo nampa hongera kanumba kwa kuigiza reply matty says june 7 2008 at 508 am amina nipo mtu wangu nashukuru umelitambua hilo sasa itabidi tufanye kafunction kafupi kakumpongeza chris humu ndani kwa point zake nzuri jamani hata shule mtu akiwa wa kwanza kwenye mtihani si kuna kautaratibu kakumpongezaau makofi kidogo nk amina hii parrrrrtyyyy itafanyikia kwa dan pale darajan na mweka hazina ni wewe edwin ndaki atakuwa mlangoni maana ni mtu wa miraba 4 mimi na kekuu tutakuwa wasambaza mitungi (ulanzi) binti mzuri atakuwa anakaribisha wageni tetetetetetet chris unasemaje mtani wangu juu ya hili wazo gervas uko wapi reply chris says june 7 2008 at 513 pm infwakti matty kokubanza hilo litakua wazo zuri sana kuna vituko sana humu bc aiseeee sema itakua lini unajua matty kuna akina amina sasa yule amina mpya ndo awe mgeni rasmi hahahahaaaaa reply rose says june 8 2008 at 655 pm tuache utani jamani kanumba ni handsome bwanakama ningepata bahati ya kuwa karibu naesijuiila kinachonishangaza ni kwanini ni mpole sanamara kibao anaandikwa ktk vyombo vya habari lakini hasemi chochote ina maana hasikii auhongera kwa tuzo ya heshima hakika wewe ni nembo ya film tanzania i love urosemikocheni reply poty says june 8 2008 at 703 pm yuko busy kaka wa watu hana mda huo nimewai kupishana nae street za posta akiwa ktk gari lake yaaani full tinted na yeye aliposhuka kavaa miwani watu kibao wakimshangilia akiwapungia mkono huku akiingia ktk duka la nguo ila nimegundua kitu rose kwa kanumba ana aibu sana ndio maana huwa ni mtu wa kujificha ficha nampa big up kwa ma movie yake ni noma hasa hili la point of no return alilopiga na wema sepetu hakika anastahili tuzo ya heshima reply lomy says june 8 2008 at 708 pm hongera steven kanumba no matter what u re a winner reply cute says june 8 2008 at 711 pm i love uuuuuuuuuuuu kanumbacongrats reply amina says june 9 2008 at 357 am hata mi nilitaka kusema hilo sutina micheni famba ya ninimwe reply matty says june 9 2008 at 436 am mhchris umesema hapa kuna kina amina wangapimaana mimi sikuwepo kipindi fulani kileeeeeeeeeeee mimi niliyemzoea ni amina original wa tokea kile kipindi kileeeeeeeeee haya hii party itakuwa mwisho wa mwaka tukijaaliwa inshaalah reply bintimzuri says june 9 2008 at 949 am haha mtu kwao nimecheka umeongea pointi matty wageni hawatapungua kama ndo ivo reply neema says june 9 2008 at 627 pm you look good hommi next time dont sit like that and i dont want to hear you somebody its me hommie reply amina says june 10 2008 at 342 am matty mi ndo amina original humukwani huyo mwingine katokea wapihebu ajisalimishe haraka reply kekue says june 10 2008 at 546 am matty umejichagulia kwenye usambazaji mitungi ninajua sababu tehe tehe reply matty says june 11 2008 at 314 am hahahahahahaha amina chris huyo anasema kuna kina amina mimi nikajua may be wapo wengi lakini all in all mimi nakujua wewe originaltuko pamoja mtu wangu kekuu we haya unajua nini sasakwani sector ya mitungi sio nzuri reply catherine says june 11 2008 at 652 am jamani warembo taratibu na kanumba wa watu huyo mtachapwashauri zenucomment zisivuke mipaka tafadhalihaya gold zenu ziko wapi nyie mnaosema anavaa mafambapunguzeni majungu midomo mirefu km nywele za kibrasilnyie hayo mabati yenu hamuyaonina mtapata tetenas soon nawaambieni reply maryciana says june 11 2008 at 239 pm amina wewe si ndio amina yusuf aka gal power auu hahahahahaahhaha reply masumbuka says june 12 2008 at 401 am kwasababu suala la utoaji tuzo za filamu hapa nchini linaonekana kuwa suala geni ni vyema na busara kwa waandaaji wa tamasha hilo kubuni utaratibu utakao wawezesha waigizaji wote wa zamani waliojitokeza kuwa mashuhuri na kupata sifa kubwa katika kuiendeleza fani hiyo hapa nchini watambulike rasmi kwa mchango wao kitaifa kwa kupewa tuzo maalum kila mmoja kwa mchango wake ili hata utoaji huo wa tuzo hizo katika miaka ya mbele utakapo fanyika kile kiporo cha kuwa na kundi la waanzilishi wa fani hiyo hapa nchini kutotambulika kitaifa na kupewa heshima yao kwa kupewa tuzo za kitaifa kitafutika na dosari hiyo haitakuwepo tena nawatakia mafanikio mema kanumba ni muigizaji mzuri na amejitahidi vya kutosha katika kuwajibika katika fani yake kumpa tuzo ni kumtia hamasa zaidi ili afanye bora zaidi na kwa wenzake nao pia wawajibike zaidi reply matty says june 12 2008 at 709 am kwako catherine usizuie watu kutoa mitazamo yao humu sawakila mmoja anaomtazamo wake katika picha inayowekwa hapa kumbuka picha moja maana elfu sasa sioni sababu ya wewe kutuambia tunamidomo mirefu howwewe wakwako mfupisi unyamazehakuna anayebabaika na huyo muigizaji hapo juu watu wanasema kile wanachokiona reply xxx says june 12 2008 at 100 pm tuzo ya heshima wanapewa wazee walioanza hizi ishu sio mtoto wa juzi kanumba na thea walibidi wapewe wa zamani na hao waliotangulia mbele za haki wangepokelewa hata na ndugu zaonamuunga mkona cris kwa asilimia 100 pia mdau aliehoji mbona pele anaendeleaga kupewa tuzo mpaka leo kanumba muongo na hiyo tuzo ya holiwood yake kama ingekuwa kweli wabongo na misifa yao angeishai advertise magazeti yote tungeiona reply amina says june 13 2008 at 348 am we bc bana tu reply bintimzuri says june 16 2008 at 241 pm catherine u came out a bit harsh
2016-12-08T18:13:46
https://bongocelebrity.wordpress.com/2008/06/04/kanumba-na-tuzo-ya-heshima/
morata hoi kante na jorginho wangara | shaffihdauda home ligi epl morata hoi kante na jorginho wangara morata hoi kante na jorginho wangara chelsea wamefanikiwa kuifunga klabu ya huddersfield town mabao 30 na kumpa maurizio sarri ushindi wa kwanza katika ligi kuu ya england akiwa na the blues chelsea wamepata uongozi kupitia ngolo kante baada ya shambulizi la kushutukiza pamoja na jorginho kuongeza bao la pili baadae pedro dakika 10 kabla ya sarri kuondoka uwanjani kifua wazi baadhi ya wachezaji wamefanya vizuri na waliofanya vibaya waliofanya vizuri ngolo kante ujio wa jorginho maurizio sarri na mfumo wa sarrismo utamfanya ngolo kante kubadilisshiwa majukumu tofauti na hapo awali ngolo kanté ana mabao manne tu tokea aajiunge na ligi kuu england 2015/16 37 michezo 1 goal 2016/17 35 michezo 1 goal 2017/18 34 michezo 1 goal 2018/19 1 michezo 1 goal baada ya antonio rudiger aliokoa mpira kwenye eneo lake la hatari kabla ya jorginho ya kuhamisha mpira kwa pedro ambaye alimpasia willian aliyepiga krosi kabla ya kante kuzamisha mpira wavuni chelsea wamebadilika sana kwa namna wanavyocheza kante amecheza dimba la juu na amecheza vizuri zaidi kuliko bakayoko aliyezoeleka kucheza nafasi hiyo kante leo alicheza upande wa kulia akisaidia na pedro na alicheza vizuri kama mchezaji amabye amekuwa akitumika nafasi hiyo sarri amekuwa na tabia ya kibadislisha wachezaj nafasi zao za uwaja na kufanya vyema pia amefeli alvaro morata huenda tatizo sio gundu la jezi wala nini alvaro morata ndani ya chelsea mambo yake sio mazuri kabisa anacheza kwa kujivuta kama laudt maurizio sarri bado anamwamini morata ndio maana amekubali kuruhusu michy batshuayi kwenda kwa mkopo valencia upokeaji wake wa pasi ni mbovu uwezo wake wa kutoa pasi ni mbovu uwezo wake kuficha mpira umekuwa mdogo yaani anakosa kila kitu uwanjani mwisho wa siku sarri akwaruhusu willian na pedro kuingia wenyewe langoni na kujaribu kufunga kwa jitihada zao baada ya kuona morata anayumba amefaulu jorginho huko tunakoenda bila shaka baada ya kante na eden hazard basi jorginho anaonhezeka kwenye kundi la wachezaji muhimu wa chelsea mwanzoni jorginho alipotea baada ya viungo vya hudders kujaa katikati david luiz akachukua uamuzi wa kucheza mipira mirefu kabla ya jorginho kufanikiwa kumiliki dimba lake kisawasawa jorginho amepoteza mipira minne tu kati ya 66 na kumfanya kuwa na wastani 939 zaidi ya mchezaji yeyote katika mchezo wa leo amefeli ross barkley ross barkley hatuwezi kusema amecheza vibaya sana leo dhidi ya huddersfield lakini hajafanya makubwa hajaonesha kwamba anahitaji nafasi kwa juhudi zote alicheza kawaida hajachangamka kabisa ametulia kana kwamba ni mchezani mwemye namba ya uhakika matteo kovacic yupo benchi na bola shaka akirudi ataongezeka dimba la kati pamoja a kante na jorginho hivyo hakuna nafasi kabisa kwa barkley ambaye bado atapata ushindani mkubwa kutoka kwa ruben loftuscheek amefanikiwa terence kongolo dakika 30 za mwanzo chelsea waliteseka sana kwa kwa huddersfield iliyokuwa chini ya kamanda terence kongolo kongolo amejiunga na hudders kwa mkopo kabla ya kumchukua moja kwa moja huyu mwanume kongolo amewashikilia haswa morata pedro na willian kwa muda na kuwafanya watafute mpira kwa tochi chelsea fc imekuwa timu ya tatu kupata alama nyingi za ugenini 925 @manutd 802 @chelseafc 800 @arsenal previous articlewaandishi wa habari wanafanya kazi katika mazingira magumu next articlenamheshimu okwi etoo kanisumbua kimataifacannavaro
2018-09-20T05:41:14
http://shaffihdauda.co.tz/2018/08/11/morata-hoi-kante-na-jorginho-wangara/
sa okwa hala okutula ovanailonga mopenzela diva new era live home \ front page news \ sa okwa hala okutula ovanailonga mopenzela diva 20190712 114459 8 months ago minista e lile po ovanailonga vepangelo senzo mchunu okwa holola pefimbo a li ta nyamukula omapulo mopaliamende kutya oshimhungulonga shaye otashi tale kutya otashi longifa omukalo ulipipo opo shi shunife pedu oshimaliwa hashi longifwa kepangelo meendjabi dovanailonga vepangelo nosha mona kutya okutula ovanhu mopenzela kuyele oku li shimwe shomwaayo tava dulu okuninga mujuli wodula ya dja ko oshimhugulonga eshi osha li sha tya ovanailonga vepangelo ve li pepipi li dule peedula 60 otava ka pewa ondjabi ya wedwa po onga etwomukumo opo ve liyambele okudja moilonga diva eshi osha ningilwe ashike osha eta opo omafaneko mivalo oshimaliwa a pitilile neebilona r30 ooshikondo eshi osha ti otashi ka twa omukumo ovanhu opo va ye diva moshipundi shoukulupe tashi shi ningi nokuweda ko oshimaliwa koshimaliwa shavo shopenzela vali otashi ka talulula omukalo oo hau longifwa kepangelo okufuta eendjabi dovanailonga nonande epangelo ina li holola kutya oilonga yovanhu ve fike peni tai ka kumwa koshinima eshi oshikundaneki shobusiness today osha lopota kutya ngeenge epangelo otali dilaadila okufikifa omavalulo eendjabi depangelo poshimaliwa shi fike peebiliona r30 osha hala kutya ola pumbwa oku shi shunifa pedu neebiliona r10 naashi otashi ti kutya ovanhu ve li omayovi ovo tava ka dja moilonga home \ front page news \ sa okwa hala okutula ovanailonga mopenzela diva new era live 2 days ago 3886 0 2 days ago 7229 0 2 days ago 5497 0 4 days ago 9025 2 days ago 7229
2020-03-29T11:26:47
https://kundana.com.na/posts/sa-okwa-hala-okutula-ovanailonga-mopenzela-diva
hapa ndio kila kitu vijana watano wachaguliwa majaribio ya azam fc u17 zanzibar vijana watano wachaguliwa majaribio ya azam fc u17 zanzibar kama ulimisi taarifa ya majaribio ya wazi ya mwisho ya azam fc kwenye msako wa kusaka vijana wenye umri chini ya miaka 17 (u17) yaliyofanyika visiwani zanzibar ndani ya uwanja wa amaan mwishoni mwa wiki iliyopita
2017-07-22T14:43:25
http://heavytalio.blogspot.com/2016/11/vijana-watano-wachaguliwa-majaribio-ya.html
wastara abanwa arudishe michango ya sherehe kabla ya ndoa kuvunjika 2jiachie official site wastara abanwa arudishe michango ya sherehe kabla ya ndoa kuvunjika mwigizaji nyota wastara juma es salaam siku 15 baada ya ndoa ya mwigizaji nyota wastara juma na mbunge wa jimbo la donge (ccm) sadifa juma kuvunjika hali imekuwa tete kufuatia marafiki jamaa na baadhi ya wasanii wa sinema za bongo waliotoa michango yao kufanikisha sherehe ya ndoa (harusi) ya wawili hao kumtaka staa huyo kurudisha fedha zao fuatana na risasi mchanganyiko makini kilichokuwa karibu na kamati ya maandalizi ya sherehe hiyo (jina lipo) kimeliambia gazeti hili kuwa baadhi ya waliochanga fedha hizo wameanza kuulizia utaratibu wa kurudishiwa mkwanja wao baada ya ndoa ya wawili hao waliodumu kwa siku 61 tu kuparaganyika bonyeza hapa kusikia chanzo yaani wastara sijui ana matatizo gani wakati mwingine unaweza kukufuru na kusema ni mtu wa majanga ndoa imevunjika sasa waliomchangia wanadai michango yao kazi kwa dada yake naima ambaye alikuwa mweka hazina walishalipia baadhi ya vitu unadhani itakuaje sherehe ilipangwa kufanyika kwenye ukumbi wa my fair plaza (jijini dar) na najua hapa mjini huwezi kuupata ukumbi bila kulipa advance sijui kama watarudishiwa hapo ni pagumu kidogo risasi mchanganyiko liliwasaka baadhi ya mastaa walioshiriki vikao vya awali kwa sharti la kutotajwa majina yao walisema ni vyema kama wangerudishiwa fedha zao kwa sababu lengo halijatimia mimi sioni sababu ya wastara kuendelea kukaa na fedha zetu arudishe tu si unajua siku hizi hali ni mbaya siyo rahisi kuiacha pesa ikaenda tu mimi nitamwambia wastara najua ataelewa alisema mmoja wa mastaa hao huyu amshukuru mungu mmoja wa mastaa hao alimshukuru mungu kwamba hakuchanga hata senti tano kwani ahadi aliyotoa ilikuwa ni ya mkwanja mrefu na hajui ingekuaje kama angeomba kurejeshewa shosti wake aweka bayana naye rafiki wa karibu wa wastara ambaye alikuwa mstari wa mbele kwa kila jambo alisema pamoja na unafiki wa baadhi ya mastaa waliomchangia pesa fedha hizo hazitarudishwa badala yake wataangalia kitu cha kufanya ili kutimiza azma iliyodhamiriwa mimi nawashangaa ambao wanadai kurudishiwa michango hivi mwenzetu yuko kwenye matatizo tunadai vipi pesa tungempa nafasi kwanza maana huwezi jua hali inaweza kupoa na ndoa yao ikarudi kama kawa ile ni ndoa ya kiislam bwana alisema rafiki huyo dada wa wastara na mwanaye naima ni dada wa damu wa wastara ambaye ni mweka hazina wa zoezi la uchangishaji fedha kwa shughuli hiyo gazeti hili lilimtafuta kupitia simu yake ya mkononi lakini katika hali isiyotarajiwa ilipokelewa na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mwanaye alipoulizwa sehemu alipo mama yake badala ya kujibu alitaka kufahamu chanzo cha mama yake kupigiwa simu na aliposomewa mashitaka ya mama yake alisema hawezi kuongelea suala hilo hadi awepo mwenyewe ambapo hakusema sehemu alipo wastara juma na aliyekuwa mumewe sadifa juma huyu hapa wastara mwenyewe juhudi za kumtafuta wastara ili kusikia anavyolizungumzia jambo hilo naye hakuweza kupatikana lakini kupitia kundi alilojiunga nalo katika mtandao wa whatsapp gazeti hili lilinasa sauti yake akizungumzia ishu hiyo asalam alaikum nawashukuru wote mlionipa moyo na kunizuia kuongea kuhusu ndoa yangu maana ningeongea mengi lakini pia namshukuru mungu kwa kunijalia afya njema kwani mpaka sasa napumua ipo siku nitaongea mengi kabla sijaaga dunia nimemuomba dada yangu leyla turudishe michango ya watu kwa sababu sipendi kuendelea kusemwa vibaya kama ninavyosikia tutahakikisha tumerudisha michango yote kwa kila aliyechanga hata hivyo nawashukuru wote mlioandika ujumbe kuwa nisirudishe michango kwa vile mtaendelea na malengo mliyopanga kiukweli maneno yenu yamenipa faraja na nimeamini kuwa mnanipenda wastara na mumewe sadifa juma walifunga ndoa miezi miwili iliyopita tukio ambalo baadhi ya watu walio karibu walisema ni mojawapo ya ndoa zitakazokabiliwa na changamoto kubwa hasa baada ya kudaiwa kuwa jambo hilo lilifanywa kwa haraka isiyotarajiwa tangu kufungwa kwa ndoa hiyo kumekuwa na misuguano midogomidogo ya kawaida kujitokeza katika ndoa kabla ya wiki mbili zilizopita zilipoibuka taarifa kuwa wawili hao wamebwagana mtalaka wake amfungia kazi ijumaa iliyopita mtalaka wa wastara sadifa ndiyo alipanga kupeleka talaka nyumbani kwa staa huyo tabata dar akawachukua baadhi ya watu wake wa karibu wakiwemo ndugu tayari kwa safari lakini kabla hajawasha gari lake kwa ajili ya safari aliona ni vyema akampigia simu dada yake wastara naima kumwambia kwamba anakwenda na talaka mkononi maana wastara mwenyewe hayupo hapa mjini cha ajabu sasa dada huyo alisema ametoka nyumbani kwa hiyo kama anapeleka talaka akamwachie mtu yeyote atakayemkuta kilisema chanzo hicho mtalaka huyu hapa juzi risasi mchanganyiko lilimpigia simu sadifa na kumuuliza kama alikumbana na hali hiyo ambapo alisema mimi nilishawaambia ijumaa nakwenda kupeleka talaka nilimpigia simu dada yake akasema hayupo eti kama ni talaka nikamwachie yeyote sasa talaka utamwachiaje yeyote kwa hiyo sikwenda chanzo risasijumatano gpl item reviewed wastara abanwa arudishe michango ya sherehe kabla ya ndoa kuvunjika
2017-01-17T17:09:46
http://www.2jiachie.com/2016/04/wastara-abanwa-arudishe-michango-ya.html
job opportunities at tanroads january 2018 | kijiwe cha wasomi home » ajira ajira 2018 ajira zetu government jobs kazi 2018 kazibongo nafasi za kazi arusha nafasi za kazi tanzania public sector tanroads tayoa vijana jobs zoom tanzania » job opportunities at tanroads january 2018 thanks for reading job opportunities at tanroads january 2018 labels ajira ajira 2018 ajira zetu government jobs kazi 2018 kazibongo nafasi za kazi arusha nafasi za kazi tanzania public sector tanroads tayoa vijana jobs zoom tanzania
2019-02-17T04:43:38
https://www.kijiwe.co.tz/2018/01/job-opportunities-at-tanroads-january.html
michuzi blog michuzi tv bar ya vamponji forest jijini mbeya yanusurika kuteketea kwa moto ' if(imglength>=1) { imgtag = ' michuzi tv bar ya vamponji forest jijini mbeya yanusurika kuteketea kwa moto tuesday july 18 2017 ~ copyright michuzi blog habari michuzi tv ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2017-09-24T19:23:17
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/michuzi-tv-bar-ya-vamponji-forest.html
birthday ya papaa cherie del patria jb mpiana live | spoti na starehe birthday ya papaa cherie del patria jb mpiana live hii ni live concert iliyofanyika siku ya birthday ya papaa sherii jb mpiana june 2 mwaka huu 2012humo mtawaona watu wa jb mpiana wa ukweli kama mtu mmoja anaitwa patric bolonya (bologna) ambao ataonyesha jeuri yake ya pesa kwa jb on stageall in all ilikua ni siku nzuri sana kwa jb na wana bcbg wote duniani angalia ma pendejee waukweli wanavyo tumia dolali katika video hii jb mpiana anawaburudisha mamia ya mashabiki wake kwa kibao omba hii ni thumba ambayo binafsi naipenda sana katika albamu ya soyons serieux kuna wimbo unaitwa bolognia na jb alimuimbia huyu bwana patrick bolognia na hapa utaona wakati anauimba jamaa ndio akapanda kumtunza this entry was posted on sunday september 2nd 2012 at 306 pm and is filed under michezo you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed you can leave a response or trackback from your own site 3 responses to birthday ya papaa cherie del patria jb mpiana live mbona mke wa jb mpiana hakuwepo alikuwepo sema hajaonekana steven nshiga says papaa cherii aza kotroooko
2018-04-27T08:37:53
https://spotistarehe.wordpress.com/2012/09/02/birthday-ya-papaa-cherie-del-patria-jb-mpiana-live/
matumla alipoweka rekodi ya mtanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa dunia bin zubeiry sports online matumla alipoweka rekodi ya mtanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa dunia bin zubeiry sports online mwanzo > maktaba ya bin zubeiry > matumla alipoweka rekodi ya mtanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa dunia matumla alipoweka rekodi ya mtanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa dunia bondia rashid matumla akiinua mkono kufurahia taji la ubingwa wa dunia wa wbu baada ya kumshinda paolo pizzamiglio juni 6 mwaka 1999 nchini italia katika pambano la uzito wa welter wakati huo matumla alikuwa chini ya kampuni ya djb promotions iliyokuwa inamilikiwa na ndugu dioniz na jamal malinzi jamal sasa ni rais wa shirikisho la soka tanzania (tff) na dioniz mwenyekiti wa baraza la michezo la taifa (bmt) item reviewed matumla alipoweka rekodi ya mtanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa dunia rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-02-26T04:06:14
http://www.binzubeiry.co.tz/2015/11/matumla-alipoweka-rekodi-ya-mtanzania.html
spika ndugai akutana na kiongozi wa chama cha kikomunisti cha urusi na kiongozi wa bunge la nchi hiyo mtazamo news home home habari spika ndugai akutana na kiongozi wa chama cha kikomunisti cha urusi na kiongozi wa bunge la nchi hiyo
2017-11-23T09:08:46
http://www.mtazamonews.com/2017/10/spika-ndugai-akutana-na-kiongozi-wa.html
chama kikuu cha ushirika kagera (kcu) chafafanua kuhusu malipo ya awali ya kahawa ya wakulima habari za jamii home / habari / chama kikuu cha ushirika kagera (kcu) chafafanua kuhusu malipo ya awali ya kahawa ya wakulima
2018-09-21T00:55:36
http://www.habarizajamii.com/2018/04/chama-kikuu-cha-ushirika-kagera-kcu.html
engumba astana na ntango ya kala bato ya kazakhstan bazalaki kofanda esika moko te lelo oyo bato mosusu ya kazakhstan oyo babatelaka bibwɛlɛ batambwisaka yango na bisika oyo esengeli na kotalela bileko balekisaka eleko ya molunge na bangomba esika oyo malili ezali mpe matiti ezali mingi na nsima soki eleko ya malili ekómi pene bakitaka na bibwɛlɛ na bango na mboka na esika ya molunge bato mosusu ya kazakhstan bafandaka na bingumba oyo etongami malamu kasi mimeseno bilei mpe bikeko na bango mingi emonisaka bomoi ya bankɔkɔ na bango oyo bazalaki kofanda esika moko te bato ya kazakhstan balingaka maloba ya ntoki banzembo mpe miziki oyo babɛtaka na bibɛtɛli ya mboka na bango yourte ndako ya hema oyo bankɔkɔ na bango bazalaki kofanda ntango bazali kotambolatambola ekómá elembo oyo emonisaka limemya oyo banamboka bapesaka na mabele ya mboka na bango babateli ya mpate basepelaka kosalela ba yourte mpe mbala mingi bato oyo bafandaka na bingumba minene basalelaka mpe yango na milulu ya ntina baturiste mpe basepelaka kosalela ba yourte na kati ya yourte ezalaka na batapi mpe mayemi ndenge na ndenge oyo basi ya kazakhstan basalaka na kati ya yourte bato ya kazakhstan oyo bafandaka na bamboka babɔkɔlaka bampunda na monɔkɔ ya kazakhstan ezali na maloba soki 21 mpo na kobenga mpunda mpe mokomoko ezali na ndimbola na yango ezali mpe na maloba koleka 30 mpo na kolobela langi ya mpunda mokomoko kopesa moto mpunda oyo ezali na nzoto malamu mpe na ntalo mingi ezalaka likabo moko ya motuya mingi na bamboka bilenge mibali bayekola kotambwisa mpunda ntango bazali naino bana mike bilei ya banamboka ya kazakhstan ezangaka mosuni te mpe mbala mingi batyaka bikelakela te mpo na kobakisa elɛngi ya bilei koumiss masanga oyo esalemi na mai ya mabɛlɛ ya mpunda ezali masanga oyo bato ya kazakhstan balingaka mingi balobaka ete esalisaka moto azala nzoto makasi mpe etongaka nzoto ezali na elɛngi lokola shubat masanga oyo esalemi na mai ya mabɛlɛ ya kamela biro ya batatoli ya yehova oyo ezali na engumba almaty eyambaka bapaya oyo bayei kotala yango motindo moko ya nkoi oyo efandaka na bisika ya malili mpe emonanaka mingi te elekisaka eleko ya molunge na bangomba ya kazakhstan mitindo 36 ya fololo babengi tulipe ekolaka na kazakhstan mpe mayemi mingi ya kala ya ekoló kazakhstan ezalaka ya fololo yango mai ya laki balkhash na kazakhstan ezalaka mungwa na ɛsti ya laki yango kasi na wɛsti ya laki yango ezalaka na mungwa te tii lelo bato mingi ya kazakhstan bakangaka banyama na lisalisi ya bampongo mpe bandɛkɛ mosusu oyo balakisá mosala yango bato ya kazakhstan balakisaka bampongo oyo ezalaka ekɛngɛ ndenge ya kokanga banyama yango ezali motindo ya mpongo oyo balingaka mingi mwa ekɔti oyo balatisi mpongo esalaka ete ndɛkɛ yango ebanga bato te minɔkɔ oyo elobamaka mingi kazakh russe bato 17 563 000 mbokamokonzi astana klima eleko ya molunge mpe eleko ya malili
2018-02-24T12:40:31
https://www.jw.org/ln/mikanda/bazulunalo/lamuka-no5-2017-sanza-ya-10/mobembo-na-kazakhstan/
april | 2014 | spoti na starehe werrason ambaye anapendwa sana hasa na vijana amekuwa akijaza sana kwenye show zake huko congo huku ngome yake kuu ikiwa kitongoji cha bandal (hii ni mahala kama kinondoni) huko watoto wote wa mujini wanapatikana mwenyewe anajiita president de taut le chegee rais wa machokoraa na wenyewe wanampenda sana kiufupi ni mtu wa watu wote matajiri mpaka masikini angalia hapa tamasha lililoandaliwa na vodacom huko drc akiwa jukwaa moja na shaggy you are currently browsing the spoti na starehe blog archives for april 2014
2019-04-20T10:47:25
https://spotistarehe.wordpress.com/2014/04/
video avaa dera la mkewe baada ya kupigiwa simu ya pesa ghafla | | swahili times video avaa dera la mkewe baada ya kupigiwa simu ya pesa ghafla januari watu wengi huuona kuwa ni mwezi mgumu hasa kwa vile ndio watu wametoka kwenye sikukuu za mwisho wa mwaka na unapoanza tu mwezi huu basi majukumu kibao yanakuandamana wale wa kulipa kodi basi ndio mwezi huu watoto wanafungua shule baada ya likizo unatakiwa kurudi kazini na wengine ndio kipindi cha kuandaa mashamba kwenye suala la uchumi watu hushikika ile mbaya kiasi kwamba wakipata michongo ya fedha basi wanahakikisha haipotei kituko hiki kimetokea uswahili ambapo jamaa amevaa dera la mkewe kwa furaha baada ya kupigiwa simu ya pesa uswahilini ni sehemu ambayo inaongoza kwa vituko ugomvi na maneno ya shombo wahenga walisema kuishi kwingi ndio kuona mengi haraka haraka haina baraka hii misemo inamaanaisha ukiishi sehemu tofauti tofauti utaona vitu vingi na kujifunza pia haraka haraka haina baraka hii imebeba maana ya kwamba ukienda haraka unaweza kukosea au kusahau kitu muhimu tazama kisa chote hapa chini bunge laweka hadharani ushahidi kuhusu fedha za matibabu ya tundu lissu yasome hapa magazeti ya leo jumatatu septemba 25 2017 staili 3 za kujamiiana ambazo ni hatari kwa wanaume uwekezaji wazidi kushamiri tanzania serikali bado ina shauku ya kufungia vyombo vya habari tef wabunge wavutana muda wa rais kukaa madarakani zitto nimekuwa kama mwendawazimu ndege ya atcl yakwama ikiwa safarini mwanza breaking serikali yalifungia gazeti la mwanahalisi live diamond platnumz na hamisa mobeto haya unapaswa kuyajua archives select month september 2017 (187) august 2017 (373) july 2017 (388) june 2017 (353) may 2017 (412) april 2017 (390) march 2017 (386) february 2017 (380) january 2017 (460) july 2016 (83)
2017-09-25T06:10:47
http://swahilitimes.com/video-avaa-dera-la-mkewe-baada-ya-kupigiwa-simu-ya-pesa-ghafla/
ufafanuzi wa soko la forex | blog fxcc posts tagged 'maoni ya soko la forex' wakati pointi ya kidole oktoba 18 11 • maoni ya 8622 • maoni ya soko • 1 maoni wachunguzi wa soko na wachambuzi wa kuandika kwa ft bloomberg na reuters wanapenda kujaribu kujaribu kuandika hadithi ya kiuchumi kuhusu data dhaifu bila 'kulaumu' ulaya oh naona uchumi wa china umeongezeka kwa jinsi ebay sniping inaweza kufunua afya ya kweli ya sekta ya rejare uingereza oktoba 18 11 • maoni ya 8335 • maoni ya soko • 2 maoni miongoni mwa 'matibabu' nyingi nilizozidi ili kushika kidole changu cha biashara cha siri cha kidole kidogo chini ya kazi katika siku za mwanzo za biashara yangu ya fx ilikuwa bay sniping kwa bargains ningependa kuwa na orodha ya vitu muhimu na mara moja nimefungwa chini kiasi gani je unachukua hundi oktoba 17 11 • maoni ya 5676 • maoni ya soko • maoni off kwa kiasi gani je unachukua hundi kiasi gani cuánto cuesta je unachukua hundi ¿toméis los checks nini inaweza tu kuelezewa kama uchovu uchokozi inaonekana kuwa na maendeleo ya masoko na maoni ya soko ya pili katika mfululizo wa muda mrefu wa mikutano ya kiuchumi ya jumla imepangwa mgogoro wa eurozone comedy of errors oktoba 14 11 • maoni ya 6680 • maoni ya soko • 2 maoni pamoja na hali ya mzunguko wa matukio ya kiuchumi ya sasa ni vigumu sana kuendelea na matukio ya mabadiliko ya sura kwa mfano sio kawaida kwa wafuatiliaji kuchanganyikiwa kama anayefanya nini katika comedy hii ya ikiwa mti huanguka katika msitu na hakuna mtu anayeisikia hufanya sauti oktoba 14 11 • maoni ya 8089 • maoni ya soko • 1 maoni ikiwa mti huanguka msitu na hakuna mtu aliye karibu kuzisikia je hufanya sauti ni wazo la filojia ya filojia ambayo huwafufua maswali kuhusu uchunguzi na ujuzi wa ukweli je kuna kitu chochote bila kujulikana seneti ya marekani inahitajika utafiti wa yin yang na stop stop ping pong oktoba 13 11 • maoni ya 7398 • maoni ya soko • 1 maoni pengine senate ya marekani inahitaji kuangalia juu ya maana ya neno diktat kabla ya kujaribu kutoa sawa na moja ya washirika wake wa biashara kuu dhahabu ni adhabu kali au makazi yaliyowekwa kwenye chama kilichoshindwa na mshindi au uumbaji wa ayubu au mazao mbaya zaidi oktoba 12 11 • maoni ya 9422 • maoni ya soko • 2 maoni sherehe ya marekani ilipitisha sheria jana ili kuruhusu makampuni kutafuta fidia kutokana na mtazamo wa utawala wa marekani kwamba yuan dhaifu ni kuumiza uwezo wa marekani wa kuuza nje bidhaa za kichina zilizouzwa pia ina gharama kubwa zaidi jean claude juncker anatoa masoko yao kuondoa bacon toasties moment oktoba 11 11 • maoni ya 3475 • maoni ya soko • maoni off juu ya jean claude juncker inatoa masoko yao kuondoa bacon toasties moment nini uharibifu tu wakati soko limeanza kununua maelezo kutoka kwa mshikamano wa merkozy pamoja na mwenyekiti wa mawaziri wa fedha za eneo la euro jeanclaude juncker akisema (mwishoni mwa jioni wakati wa mahojiano ya televisheni ya austria) kwamba je ufungulia je ya vidudu inaweza kuleta keg poda oktoba 10 11 • maoni ya 7632 • maoni ya soko • 2 maoni kuomba kwa kuchanganya vielelezo viwili katika kichwa nimezingatia tatu (sanduku la pandora linaweza kuingizwa kwa urahisi) lakini matukio mawili tofauti ya siku za hivi karibuni yamepiga karatasi ya kugusa ni mfano wa tatu moja downgrade ya moody uk banks siku baada ya qe inatangazwa oktoba 7 11 • maoni ya 3315 • maoni ya soko • maoni off juu ya downgrade uingereza benki ya siku baada ya qe inatangazwa kabla ya mkutano wa kilele wa g20 uliopangwa kufanyika kwa watumishi wa eu na waandaaji wa sera wa novemba watakuwa na shinikizo la kuunda na hatimaye kuthibitisha makubaliano kuhusiana na mwelekeo na kutengeneza mfuko wa uokoaji wa eurozone utachukua simoni maughan
2020-04-10T12:55:50
http://blog.fxcc.com/sw/tag/forex-market-commentaries
raha za pwani blog sherehe za miaka 39 ya ccm za zinduliwa tabora sherehe za miaka 39 ya ccm za zinduliwa tabora naibu waziri wa afya dkhamis kigwangalla hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na naibu waziri wa afyamaendeleo ya jamiijinsiawazee na watotodkthamisi kigwangwalla wakati akizungumzaa na wafanyakazi wa bohari ya dawa(msd)pamoja na wale wa hospitali ya mkoa ya mount meru dkt kigwangwalla alisema serikali ya awamu ya tano yenye kaulimbiu ya hapa kazi tuhaitawavumilia watumishi wa aina hiyo na kama wapo basi waanze kujipima kabla rungu la dola halijawafikia aidhaalisema suala la upatikanaji wadawa kwa wananchi na kwa bei nafuu ni moja ya mambo yaliyopewa kipaumbele katika serikali ya awamu ya tanowananchi wanatakiwa kupata dawa sahihikwa bei nafuu na kwa wakatindo maana serikali imeamua kufungua maduka ya dawa ya ndani ya hospitalihii ni moja ya malengo yaliyoainishwa kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha malibu hatahivyo aliongeza kuwa katika kudhibiti upotevu wa draws nchiniserikali imeanza kutekeleza uwekaji nembo ya got katika vidonge vyotena mimi nawapa changamoto ya kuweka mkakati wa kuweka rangi maalum 'colour code'kwa dawa zote zinazokuwazimenunuliwa na serikalisambamba na huo mkakati wenu wa nemo licha ya hivyo aliwataka wakuu wa hospitalivituo vya afya pamoja na zahanati wasipokee dawa bila kuwepo kwa kamati ya afya ambayo ndio wawakilishi wa wananchi wa mahali husika ili kusiwepo na udanganyifu na kwenda kwenye mfumo usio rasmi pamoja na kuzibandika dawazilizopokelewa kwenye mbao za matangazo aliitaka bohari ya dawa(msd)kukamilisha uwekaji nembo dawa zilizosalia na wawe na utaratibu wa kusimamia na kukagua kama dawa zaserikali zimefikahadi sasa vidonge vipatavyo 65 vimekwishawekewa nembo ya got mwenyekiti wa ccm mkoa wa tabora hassan wakasuvi akipanda mti nje ya ofisi ya chama dktkigwangwalla akivalishwa nguo za kimila na wanachama wa ccm kabla ya kupanda kwenye jukwaa
2017-07-25T06:53:40
http://saidpowa.blogspot.com/2016/02/sherehe-za-miaka-39-ya-ccm-za-zinduliwa.html
mrema asema bungeni haendi kubeba zege ni alipoulizwa kuhusu umri wake na ubunge | jamiiforums | the home of great thinkers mrema asema bungeni haendi kubeba zege ni alipoulizwa kuhusu umri wake na ubunge discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by lady sep 8 2010 mgombea ubunge kupitia tiketi ya tanzania labour party (tlp) agustine lyatonga mrema katika jimbo la vunjo moshi vijijini amesema kwamba kazi ya ubunge siyo sawa na kazi ya kubeba zege ambayo itawahitaji vijana na siyo watu wazima kama yeye mgombea huyo aliyasema hayo katika kipindi cha mchakato jimboni kinachorushwa na runinga ya tbc1 kilichofanyika chuo cha ualimu marangu hivi karibuni ambapo mrema aliulizwa swali na mwananchi mmoja aliyetaka kujua kutokana na umri wake mkubwa na madai kwamba ni mgonjwa je ataweza mikikimikiki ya kuwahudimia wananchi hao vyema kama wakimpa nafasi ya kuwa mbunge “bungeni hatuendi kubeba zege” alianza kujibu mrema na kuwafanya watu waliohudhuria mdahalo huo kulipuka kwa vicheko na kuendelea kutamba kwa kusema kwamba yeye anaijua kazi hiyo vizuri sana tofauti na wagombea wengine kwa kuwa aliwahi kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 10 hivyo anapaswa kupewa kura za wananchi wa jimbo hilo la vunjo “watu wanasema sijui mrema anaumwa mtu huwezi kukwepa kuumwa hata dk slaa (dkt willibrod slaa mgombea urais wa chadema) aliumwa pale alipoanguka bafuni na kuumia mkono sijui nini si mnaniona au kama mnaona mimi ni mgonjwa muulizeni mke wangu kama kweli mimi ni mzima au mgonjwa…” alisema mrema na kumfanya mwendesha kipindi hicho shaaban kissu kumkatisha kwa kumwambia kuwa inatosha mbali na mrema wagombea wengine waliojitokeza katika mdahalo huo ni pamoja na john mrema wa chadema na crispine robert meela wa chama cha mapinduzi (ccm) ambao nao kama ilivyokuwa kwa mrema walipata fursa ya kutangaza ilani za vyama vyao
2017-07-23T20:57:17
https://www.jamiiforums.com/threads/mrema-asema-bungeni-haendi-kubeba-zege-ni-alipoulizwa-kuhusu-umri-wake-na-ubunge.72894/
hali tete msumbiji | matukio ya afrika | dw | 19062018 hali tete msumbiji shirika hilo la kutetea haki za binadamu la human rights watch linasema kuwa mamia ya familia zimetoroka vijiji vyao baada ya wanachama wa makundi yanayodaiwa kuwa ya kiislamu kuteketeza nyumba zao kwenye mashambulio ya usiku watafiti wa shirika la human rights watch walizuru kijiji cha naunde kilichoko mjini mucojo katika wilaya ya macomia baada ya shambulio lililofanywa mwezi juni tarehe tano na kushuhudia nyumba 164 magari matano na maelfu ya mifugo walioteketezwa wakaazi wanatoroka vijijini wakaazi walisema kuwa waliotekeleza kitendo hicho walichoma pia msikiti ikiwemo nakala za quran na mikeka ya swala na kumchinja kiongozi wa kiislamu ndani ya msikiti huo aidha watafiti hao waliona watu wengine wakibeba virago vyao huku wakitoroka kijiji hicho shirika la human rights watch pia lilizungumza na wakaazi wa kijiji ambacho kilishambuliwa kwenye kisa cha hivi karibuni cha mwezi juni tarehe sita tarehe 12 duru kadhaa katika wilaya za macomia na quissanga zilithibitisha kuwa watu walikuwa wangali wanatoroka kwa hofu ya mashambulio zaidi mashambulio yameathiri wanawake na watoto msumbiji mwanakijiji mmoja katika kijiji cha naunde alisema kuwa walioshambulia walimkamata kiongozi wa kijiji alipogundua kuwa walikuwa wakimtafuta alijaribu kutoroka lakini mmoja wao alimkamata na kumkata kichwa mbele ya watu msururu wa mashambulio katika mkoa wa cabo delgado ulianza mwezi oktoba mwaka 2017 wakati kikundi kilichojihami kinachotuhumiwa kuwa cha waislamu kuvamia vituo kadhaa vya polisi katika wilaya ya mocimboa da praia na kusababisha hofu na ujio wa wanajeshi wengi baada ya shambulio hilo mamlaka nchini msumbuji yalifunga misikiti saba na kuwazuia zaidi ya watu 300 bila ya kuwashtaki wakiwemo viongozi wa dini na wageni ambao wanasemekana kuwa na mahusiano na mashambulio katika wilaya za palma na mocimboa da praia ian levin anahudumu na shirika la human rights watch anasema kuna suala la haki za binadamu ambalo ni muhimu kwa uthabiti na utajiri wa muda mrefu kwa taifa la msumbiji ni muhimu kwa serikali kufanya uchunguzi kwa vyombo vyake vya usalama kwa njia huru vyombo vya usalama vinakiuka haki za binadamu wanajeshi waliotumwa katika mji wa mucojo baada ya shambulio katika kijiji kilichoko karibu cha naunde wameliambia shirika la human rights watch kwamba tangu mwezi aprili wamewatia nguvuni zaidi ya watuhumiwa 200 walio na mahusiano na makundi yanayotekeleza mashambulio na kuwakabidhi kwa maafisa wa polisi wanajeshi hao walisema kuwa watuhumiwa hao walikataa kufichua nia yao ya kutekeleza mashambulio ama hata kutaja majina ya viongozi wao rais filipe nyusi akimsalimu kiongozi wa upinzani afonso dhlakama 2015 vyombo vya usalama nchini msumbiji vina makubaliano na shirika la kimataifa linaloshughulikia haki za wanasiasa na kupinga mateso dhidi ya watu wanaozuliwa pamoja na mikataba mingine ya kimataifa ambayo msumbiji imesaini makubaliano hayo yanazuia mauaji ya kiholela na mateso dhidi ya watu wanaoshikiliwa watuhumiwa wanaozuiliwa wanastahili kushtakiwa na kuhukumiwa mbele ya jaji haraka iwezekanavyo ama kuachiwa huru kikundi kinachotuhumiwa kutekeleza mashambulio hayo kinaitwa alsunna wa jama'a na alshabab lakini hakuna ushahidi wa kuvihusisha na kikundi kama hicho nchini somalia wanaharakati nchini humo wameliambia shirika la human rights watch kuwa zaidi ya nyumba 400 zimeteketezwa katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita na kuwafanya watu kupoteza makaazi katika wilaya tatu mwandishi shisia wasilwa https//wwwhrworg/africa/mozambique maneno muhimu msumbiji hrw mashambulio al shabaab kiungo https//pdwcom/p/2zqzj
2019-01-20T19:40:52
https://www.dw.com/sw/hali-tete-msumbiji/a-44292783
ofisi ya mkuu wa mkoa rukwa tarura watakiwa kushughulikia maeneo korofi msimu wa mvua posted by mkoani rukwa at 900 am
2020-06-01T01:37:49
https://rukwareview.blogspot.com/2019/12/tarura-watakiwa-kushughulikia-maeneo.html
wanawake waislam marekani waweka historia uchaguzi baraza la wawakilishi novemba 08 2018 washindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa katikati ya awamu ilhan omar (kushoto) na rashida tlaib (kulia) uchaguzi wa katikati ya awamu 2018 nchini marekani umeweka historia moja wapo ikiwa kuchaguliwa kwa wanawake wa kwanza wa kiislam ihlan omar na rashida tlaib wademokrati kuingia katika baraza la wawakilishi omar mwenye umri wa miaka 36 alikuja minnesota miaka 20 iliyopita baada ya kukimbia vita nchini somalia na kukaa katika kambi ya wakimbizi nchini kenya kwa miaka minne mwakilishi huyo amemshinda kirahisi mpinzani wake mrepublican jennifer zielinski katika jimbo ambalo lina wademokrat wengi omar aahidi kupambana na trump omar ameahidi baada ya kuchaguliwa kupambana na sera za rais donald trump aliyekuwa ameanzisha sera za kuzuia watu kuja marekani sera hizi ni za hatari nadhani ziko kinyume kabisa na thamini za taifa hilinatumai kwenda washington na watu ambao tuna mawazo sawana kumwajibisha kwa sera anazoleta za hofu na mgawanyiko amesema mwakilishi huyo mabadiliko ya kutumia siasa kama chombo cha kuleta mafanikio ndio ambayo yamenipa nguvu ya kuingia katika siasa na kupanua demokrasia yetu imfikie kila mtu na kugombea kiti hiki ili kuleta sera ambazo zitasaidia watu amesema mhamiaji mwenye asili ya somalia ilhan omari mhamiaji mwenye asili ya somalia ametokea afrika kuingia congress miongoni mwa chaguzi zinazoangaliwa kwa karibu sana na wahamiaji hapa marekanini ule wa jimbo moja la uchaguzi la minnesota ilhan omar aliweka historia mwaka 2016 alipoingia katika baraza la wawakilishi la jimbo la minnesota na kuwa mmarekanimsomali wa kwanza kuwa mbunge katika jimbo hilo ambalo lina idadi kubwa ya jamii wa wamarekaniwasomali katika mwaka 2018 ambapo idadi ya wanawake wanaogombania viti wameweka rekodi omar amewatia moyo wanawake wengi waislam katika taifa hili ikiwa ni pamoja na hodan hassan ambaye anagombania kiti katika baraza la wawakilishi la jimbo na minnesota mwanamke mwengine muislam pia katika kinyanganyiro hicho cha uchaguzi wa katikati ya awamu mwanamke mwingine muislamu rashida tlaib kutoka detroit naye ameshinda kuingia katika baraza la wawakilishi mwandishi wa voa anaripoti kuwa sababu ya wanawake wengi kugombea ni mbili kwanza ni ile #metoo vuguvugu la kupinga unyanyasaji wa kingono na pili ni donald trump ambaye alichaguliwa akiwa na tabia na anaendelea na tabia ya kutoheshimu wanawake kwa sababu hizo mbili zimepelekea wanawake wengi kutaka mabadiliko na njia moja ni kugombania ofisi za umma uchaguzi huu wa katikati ya awamu unafanyika wakati marekani iko katika mgawanyiko mkubwa wa kisiasa wachambuzi wanasema kuwa wanasiasa wanatakiwa kuleta umoja na kueneza ujumbe wa kuunganisha watu spika ayatupilia mbali madai ya trump michael cohen akiri kuvunja sheria za kampeni ya uchaguzi marekani kampeni za uchaguzi zapamba moto marekani trump adai wademokrat watavuruga nchi walinzi wa clintons obama wakamata vifurushi vinavyo shukiwa ni bomu uchaguzi 2018 historia ya uchaguzi wa katikati ya awamu marekani siku ya upigaji kura marekani wademokrat wadhibiti baraza la wawakilishi new zealand kupiga marufuku bunduki rashasha mafuriko yaua 300 kusini mwa afrika kampeni za uchaguzi wa wabunge zaendelea congo habari mbalimbali za duniani kwa ufupi
2019-03-21T09:33:09
https://www.voaswahili.com/a/wanawake-waislam-waweka-historia-uchaguzi-baraza-la-wawakilishi/4649554.html
ni zamu ya watanzania kufaidika na hii kila mwezi millardayocom ni zamu ya watanzania kufaidika na hii kila mwezi benki ya bancabc tanzania ambayo ni kampuni tanzu ya atlas mara leo imeendelea kudhihirisha ubunifu wake katika huduma zinazowanufaisha wateja wake baada ya kutangaza kuzindua akaunti mpya ya izze ambayo ni rahisi kufungua na haina makato yeyote ya mwezi kwa kupitia akaunti ya izze ya bancabc mteja anahitaji kuwa na kitambulisho cha taifa tu kilichotolewa na nida ili kufungua akaunti hiyo na atapata riba hata akiwa na kianzio cha shilingi elfu kumi (tshs10000/) akizungumza leo jijini dar es salaam wakati wa kuzindua akaunti hiyo mkurugenzi wa biashara na wateja wadogo na wakati wa benki bancabc joyce malai leo kwenye soko la biashara watu wengi wanaangalia sehemu watakayo nufaika kuwekeza fedha zao na yenye uhakika wa kupata faida/manufaa kadhaa uhakika wa kupata faida au manufaa ni moja ya malengo muhimu kwa kila mtanzania vile vile kufungua akaunti ya benki kwa siku hizi imekuwa ikichukuliwa kama hatua ngumu yenye kuhitaji muda na zaidi inaonekana kama inalenga watu wenye kipato kikubwa malai aliongeza kuwa akaunti ya izze ni rahisi kufungua kama ilivyo jina lake mteja anahitajika kuwa na kitambulisho cha taifa tu na haina kiasi chochote cha kuanzia haina makato ya mwezi na muhimu zaidi ni kwamba mteja anapata riba kila mwezi ikiwa ana salio kuanzia shilingi elfu kumi (tshs 10 000/) au zaidi kwenye akaunti yake akaunti hii imeunganisha kwenye mtandao wetu wa bancabc mobi kupitia ussd (*150*34#) na app kwa hivyo mteja haitaji kila mara kutembelea matawi yetu kwa ajili ya kuweka au kutoa hela vile vile mteja anaweza kutumia akaunti yake kupitia machine za atm zenye nembo ya visa mawakala wa bancabc pamoja na internet banking mteja wa izze akaunti atapata huduma hizi zote za kibenki kwa masaa 24 siku saba za wiki ← previous story baada ya mbunge kuingia kila kona na mabango jimboni kwake next story → umoja wa wabunge wa kupambana na malaria na magonjwa ya ukanda umewasili nchini
2019-11-15T07:39:50
https://millardayo.com/hy676yhq2/
mitambo ya quantum inakuwezesha kuona kujisikia na kugusa chembe (2 suenee ulimwengu 2 12631x 22 11 2018 msomaji wa 1 mada fizikia ya quantum jamii sayansi na teknolojia nishati ya bure hebu turudi kwenye kile ambacho ni mechanics na jinsi tunavyoweza kuitumia maoni yasiyoonekana sawa kwa hiyo unasikia kahawa umekaribia macho yako tayari kwa mchana wao huwa na kuacha mwanga unapofikiri juu yake chembe za mwanga zinaingia kwenye uso wako na macho yako iliondoka miaka milioni iliyopita iliyopita katikati ya jua wakati baba zetu walianza kutumia moto jua halitatuma hata chembe zinazoitwa photoni ikiwa hazihitajika kwa jambo moja lile linaweza kuwa msingi wa harufu yetu tunamu ya quantum kuhusu 150 ya mamilioni ya kilomita hutenganisha sun na dunia photoni huchukua dakika nane tu kushinda umbali huu wengi wa safari zao hufanyika ndani ya jua ambapo photon kawaida inatumia mamilioni ya miaka kujaribu kutoroka habari ni basi naendelea katikati ya nyota wetu ambapo hidrojeni ni kuhusu 13 mara denser kuliko risasi na fotoni unaweza kusafiri sehemu tu infinitesimally kidogo cha pili kabla ya kufyonzwa ioni za haidrojeni ambayo kisha moto photon kusafiri kutoka jua nk baada bilioni mwingiliano huo hatimaye hutokea photon juu ya uso wa jua ambao umekuwa unaangaza kwa mamilioni ya miaka mechanics ya quantum (© jay smith) photoni haitatokea kamwe na jua halitaweza kuangaza kama usambazaji wa quantum haukuwa jua na nyota nyingine zote huunda mwanga na fusion ya nyuklia kuvunja ions hidrojeni na kujenga heliamu kwa mchakato ambao hutoa nishati kila pili jua hugeuka hadi kuhusu 4 ya mamilioni ya tani za misa ions ya hidrojeni pekee kama protoni moja huwa na mashtaka mazuri ya umeme na yanakabiliana kwa hiyo wanaweza kuunganisha jinsi gani kwa kiasi cha kuunganisha asili ya wimbi la protoni huwawezesha wakati mwingine kwa urahisi kama mawimbi yanayounganisha na uso wa bwawa hiyo mawimbi mwingiliano protoni hutolewa kutosha karibu ili nguvu ya ziada kama vile nguvu ya nguvu za nyuklia inayofanya tu katika umbali mdogo sana inaweza kushinda repulsion umeme wa chembechembe protoni kisha kuanguka na kutolewa photon moja macho yetu ni nyeti sana kwa picha macho yetu yamebadilika kuwa nyeti sana kwa picha hizi baadhi ya majaribio ya hivi karibuni yameonyesha kwamba tunaweza hata kuchunguza picha za kibinafsi ambayo hutoa chaguo la kuvutia je watu wanaweza kuchunguza kesi maalum ya mashine za quantum je hiyo ina maana kwamba mtu kama photon au kiti cha elektroni au schrödinger mwenye bahati mbaya amekufa na hai wakati huo huo ikiwa anahusika moja kwa moja katika ulimwengu wa quantum je uzoefu huo ungeonekanaje jicho la mwanadamu hatujui sababu imekuwa walijaribu anasema rebecca holmes fizikia katika los alamos maabara ya taifa katika new mexico miaka mitatu iliyopita yeye alisoma katika chuo kikuu cha illinois huko urbanachampaign holmes alikuwa katika timu ya kuongozwa na paul kwiat ambayo ilionyesha kuwa watu wanaweza kuchunguza uangazavyo mfupi wa mwanga yenye fotoni tatu katika 2016 iligundua kuwa mashindano ya kundi la wanasayansi ikiongozwa na mwanafizikia alipas vaziriovou katika chuo kikuu rockefeller katika new york iligundua kuwa watu kweli kuona fotoni hata moja tunaona hata hivyo uzoefu huo hauwezi kuelezewa kwa usahihi vaziriová alijaribu kuona photon mitiririko na aliambia jarida nature ' ni kama kuona mwanga ni karibu hisia katika hatihati ya ndoto vipimo vya quantum majaribio hivi karibuni majaribio ya holmes na vaziri wanatarajiwa kuchunguza kile ambacho watu wanajua wakati picha zinawekwa katika nchi maalum za quantum wanafizikia wanaweza kwa mfano kuunganisha photon moja kwa kile wanachokiita superposition ambapo kuna picha wakati huo huo katika maeneo mawili tofauti holmes na wafanyakazi wenzake wameunda jaribio linalohusisha matukio mawili ili kujaribu ikiwa watu wanaweza kuelewa moja kwa moja upangilio wa photoni katika hali ya kwanza photon moja ingeweza kufikia upande wa kushoto au wa kulia wa retina na mtu angeona upande wa retina photon iliyojisikia katika hali ya pili photon itawekwa katika superposition superum ili kuruhusu kufanya hivyo inaonekana haiwezekani wakati huo huo kuruka upande wa kulia na wa kushoto wa retina ya jicho je mtu anaweza kupata pande zote mbili za retina au ingekuwa ushirikiano wa photon katika jicho unasababishwa na kuanguka ikiwa ndivyo ingekuwa mara nyingi kwa haki kama upande wa kushoto kama nadharia inaonyesha rebecca holmes anasema kulingana na mechanics ya kiwango cha kiwango photon ya superposition haipaswi kuonekana tofauti na kweli ya photon iliyotumiwa kwa nasibu kwa kushoto au kulia ikiwa inageuka kuwa baadhi ya washiriki wa majaribio waliona kweli photon kwenye maeneo yote mawili wakati huo huo je ina maana kwamba mtu mwenyewe alikuwa katika hali ya wingi rebecca holmes anaongeza inaweza kusema kuwa mwangalizi alikuwa peke yake katika hali ya kiasi kidogo lakini hakuna mtu aliyejaribu bado hivyo hatujui ndiyo sababu tunaweza kufanya jaribio hilo unajua njia yako mwenyewe sasa hebu turudi kikombe cha kahawa unahisi mug kama kipande cha nyenzo imara kuwasiliana na ngozi ya mkono wako lakini ni udanganyifu tu hatuna kamwe kugusa kitu chochote angalau si kwa maana ya vipande viwili viwili vya jambo ambalo hugusa zaidi ya asilimia 999999999999 ya atomi ina nafasi tupu na karibu yote ya molekuli iliyozingatia msingi unaposhika kikombe na mikono yako inaonekana kuwa yake nguvu inatokana na upinzani wa elektroni katika kikombe na kwa mkono electroni wenyewe hawana kiasi kabisa ni tu vipimo vya sifuri dhahiri ya shamba hasi ya malipo ya umeme ambayo inakaribia atomi na molekuli kama wingu sheria za utaratibu wa quantum ni mdogo kwenye viwango maalum vya nishati karibu na atomi na molekuli kwa mkono unapokwisha kikombe unasukuma elektroni kutoka ngazi moja hadi nyingine na inahitaji nishati ya misuli ambayo ubongo unatafsiri kama upinzani wakati kugusa kitu imara hisia yetu ya kugusa inategemea mwingiliano mzuri sana kati ya elektroni karibu na molekuli ya mwili wetu na molekuli ya vitu tunayogusa kutokana na habari hii ubongo wetu unajenga udanganyifu kwamba tuna mwili mkali unaozunguka ulimwengu unaojaa vitu vingine vilivyo imara kuwagusa haitoi hisia halisi ya ukweli inawezekana kwamba hakuna maoni yetu yanayohusiana na yale yanayotokea kweli donald hoffman neuroscientist utambuzi katika chuo kikuu cha california irvine anaamini akili na akili zetu tolewa kuficha asili ya kweli ya hali halisi si kufunua yake maoni yangu ni kwamba ukweli chochote ni ngumu sana na inachukua muda mwingi na nishati ya kuitumia kulinganisha picha ya ulimwengu katika ubongo na interface ya kielelezo kwenye kompyuta hoffman inalinganisha picha ya ujenzi wa dunia katika ubongo wetu na interface ya graphical kwenye skrini ya kompyuta icons zote za rangi kwenye skrini kama vile kikapu pointer ya mouse na faili ya faili hazihusiani kabisa na nini kinaendelea ndani ya kompyuta wao ni machache tu kurahisisha ambayo inaruhusu sisi kuwasiliana na vifaa vya umeme kwa mujibu wa mtazamo wa hoffman mageuzi yamebadilika ubongo wetu kufanya kazi kama interface ya graphic ambayo haina kuzalisha dunia kabisa kwa uaminifu mageuzi haina msaada wa maendeleo ya mtazamo sahihi inatumia tu nini inaruhusu kwa ajili ya kuishi kama hoffman anasema fomu inatawala ukweli hoffman na wanafunzi wake wa shahada ya kwanza wamekuwa wakijaribu mamia ya maelfu ya mifano ya kompyuta katika miaka ya hivi karibuni ili kupima mawazo yao kwa kufuatilia fomu ya maisha ya bandia inayopinga rasilimali ndogo kwa hali yoyote viumbe vinatayarishwa kupendekeza fitness wakati hali halisi si sawa na yale yaliyofanywa kwa mtazamo sahihi kwa mfano kama mtu viumbe ujenzi kwa usahihi wanaona kwa mfano jumla ya kiasi cha maji sasa katika mazingira na anaendesha katika viumbe ambayo ni zimerekebishwa kuhisi kitu rahisi kwa mfano mojawapo ya kiasi cha maji zinahitajika kuendelea kuishi hivyo wakati mwili mmoja unaweza kuunda aina sahihi ya ukweli mali hii haiongeza uwezo wake wa kuishi utafiti wa hoffman ulimfanya awe na hitimisho la ajabu kwa kiwango ambacho tunatunzwa ili kudumisha uhai hatuwezi kuzingatia ukweli hatuwezi kufanya hivyo nadharia ya quantum mawazo yake kukubaliana na kile baadhi fizikia kuonekana kama wazo kuu la dhana ya quantum mtazamo wa hali halisi si lengo kabisa hatuwezi kujitenga na ulimwengu ambayo sisi kuchunguza hoffman anaona maoni haya kikamilifu nafasi ni muundo wa takwimu na vitu vya kimwili nio wenyewe miundo ya data tunayotengeneza ninapoangalia kilima naunda muundo huu wa data kisha mimi kuangalia mahali pengine na kuvunja muundo huu wa data kwa sababu mimi sihitaji tena kama kazi ya hoffman inavyoonyesha hatujawahi kushughulikiwa na maana kamili ya nadharia ya kiasi na kile anachosema kuhusu asili ya ukweli planck mwenyewe kwa maisha yake yote amekuwa akijaribu kuelewa nadharia ambayo ameisaidia kuunda na daima aliamini katika mtazamo wa lengo la ulimwengu unaojitegemea kwetu mara moja aliandika juu ya kwa nini aliamua kujitolea kwa fizikia dhidi ya ushauri wa mwalimu wake ulimwengu wa nje ni kitu cha kujitegemea na mwanadamu ni kitu kimoja kabisa na kutafuta sheria ambazo hutumika kwa hili inaonekana kwangu kuwa ni uzoefu wa kisayansi ulioinuliwa zaidi labda itachukua karne nyingine kabla ya mapinduzi mengine ya fizikia inathibitisha kama alikuwa sahihi au mbaya kama profesa wake philip von jolly tags umeme fizikia ya quantum moto jua mwanga ulimwengu maisha mitambo ya quantum 8800x msomaji wa 1 mitambo ya quantum inakuwezesha kuona kujisikia na kugusa chembe (sehemu ya 1) maoni ya 2 juu ya mitambo ya quantum inakuwezesha kuona kujisikia na kugusa chembe (sehemu ya 2) ilona anasema 23112018 katika 01 46 andrei tjunjaev wasomi wa kirusi watatoa watumwa wake wasiotii na lasers mpya na msukumo wa kisaikolojia 23112018 katika 01 07 studený el sasa kutoka kwa jiko la kuingiza tovuti ni hivi sasa watumiaji wa 165 online
2020-04-09T19:34:47
https://sw.suenee.cz/kvantova-mechanika-umoznuje-videt-citit-a-dotknout-se-castic-2-dil/
> waziri wa elimusayansi na teknolojiaavutiwa na chuo cha ufundi arusha msumba news blog home matukio waziri wa elimusayansi na teknolojiaavutiwa na chuo cha ufundi arusha waziri wa elimusayansi na teknolojiaavutiwa na chuo cha ufundi arusha waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako(wa pili kulia)akimsikiliza kaimu mkuu wa chuo cha ufundi arusha(atc)dk masudi senzia juu ya miradi ya upanuzi wa chuo hicho inayoendelea kazi ziara ya siku moja aliyoifanya mei 92018 waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako(katikati)akiwa na watumishi wa chuo cha ufundi arusha(atc) akikagua moja ya karakana ya mitambo inayofanyiwa ukarabati waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako(katikati)akiwa pamoja na kaimu mkuu wa chuo cha ufundi arusha(atc)dk masudi senzia(kulia) na makamu mkuu wa chuo hichodk erick mgaya katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya upanuzi wa chuo hicho waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako(kulia)akikagua moja ya makontena yenye vifaa mbalimbali kwaajili ya mafunzo kwa wanafunzi wa chuo cha ufundi arusha(atc) waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako(kushoto)akiangalia kiungo cha bomba kwenye karakana ya wanafunzi wanaosoma kozi fupi kwaajili ya kuwa sehemu ya mafundi watakaojenga bomba la mafuta kutoka hoima nchini uganda hadi bandari ya tanga waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako(wa pili kulia)akimsikiliza kaimu mkuu wa chuo cha ufundi arusha(atc)dk masudi senzia katika ziara aliyoifanya kwenye chuo hicho kukagua shughuli mbalimbali zinazoendelea waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako akiwa katika moja ya maabara ya chuo hicho wafanyakazi wa chuo cha ufundi arusha wakimsikiliza waziri wa elimusayansi na teknolojiaprofesa joyce ndalichako
2018-11-19T18:30:07
http://www.msumbanews.co.tz/2018/05/waziri-wa-elimusayansi-na.html
maalim na usaliti kwa uamsho mzalendonet annurvya kale dhahabu maalim na usaliti kwa uamsho written by shamuhuna // 01/12/2012 // habari // maoni 19 kwanza assalamu alaykum wanamzalendoama baada ya salamu kwa wingi wa majonzi na huzuni nawasilisha lawama zangu kwa makamu wa kwanza wa raisi mh maalim seif sharifu hamad wengi mtashangaa kwa nini nimlaumu maalim kwa kuwasaliti masheikh na maimamu wetu wapendwa kuwataja wachache sheikh farid na sheikh mselem namlaumu maalim kwa sababu anauwezo wa kuwatoa kwenye madhila haya yanayowasibuvilevile anao uwezo wa kukemea waliopo chini yake juu ya huu udhalimu wanaofanyiwa masheikh wetuhasa ukitilia maanani mahakama ipo chini ya waziri wa cuflakini maalim kimya kabisa yaani haumii wala haoni uchungu masheikh walikuwa watetezi wakubwa wa maalim mtake msitakevilevile walikuwa wana msimamo mmoja na cuf wa kuwa na zanzibar hurukuwafunga ni kuwapunguzia nguvu wapigania uhuru wa zanzibartumeona bara lipumba akikemea kukamatwa hovyo kwa masheikh lakini huku zanzibar cuf na maalim wote wapo kimyaau kwa sababu na yeye ni sehemu ya serikalikwa hiyo na yeye ni sehemu ya uovuanaogopa kuisema serikali atakuwa anajisema mwenyewe nimalizie kwa kumuomba maalim seif aingilie kati masheikh wetu waachiwe mabona karume alisema waziwazi bila wogayeye anaogopa niniau anaogopa shein atamtimuahaya ni madaraka ya kidunia tuhayana maslahi yeyote kwetumaalim baba fungukahaki sawa kwa wote
2017-04-27T05:07:48
http://mzalendo.net/habari/maalim-na-usaliti-kwa-uamsho.html
rc shigella mgeni rasmi tanga city marathon jumamosi wiki hii mjini tanga ~ father kidevu )replace(//gimportant))function c(hi){return a(h/(em|ex|)$|^[az]+$/itest(i)1emi)}function a(kl){if(/px$/itest(l)){return parsefloat(l)}var j=kstylelefti=kruntimestyleleftkruntimestyleleft=kcurrentstyleleftkstyleleft=lreplace(em)var h=kstylepixelleftkstyleleft=jkruntimestyleleft=ireturn h}var f={}function d(o){var p=oidif(f[p]){var m=ostopsn=documentcreateelement(cvmlfill)h=[]ntype=gradientnangle=180nfocus=0nmethod=sigmancolor=m[0][1]for(var l=1i=mlength1l ' if(imglength>=1) { imgtag = ' rc shigella mgeni rasmi tanga city marathon jumamosi wiki hii mjini tanga mratibu wa mashindano ya riadha ya tanga city marathon juma mwajasho kulia akitetea jambo na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya kuelekea mashindano hayo jumamosi wiki hiikushoto ni meneja wa mkwabi super market ya jijini tanga ambao niwaandaaji wakuu wa mbio hizokawkab hussein na katibu wa chama cha riadha mkoani tanga (rt) hassan mwagomba katibu wa chama cha riadhaa mkoa wa tanga (rt) hassan mwagomba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uwepo wawashiriki kutoka visiwa vya shelisheli unguja na pemba ambao watapat afursa ya kuonyesha umahiri wao kulia ni meneja wa mkwabi super marketya jijini tanga ambao ni waandaaji wakuu wa mbio hizokawkab hussein meneja wa mkwabi super market ya jijini tanga ambao ni waandaaji wakuu wa mbio hizo kawkab hussein akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano huu kuhusiana na zawadi zitakazotolewa msimu huu sehemu ya medali zitakazotolewa kwenye mashindano hayo mkuu wa mkoa wa tanga martine shigella ametarajiwa kushuhudia mashindano ya riadha ya tanga city marathon msimu wa piliyanayotazamiwa kufanyika jumamosi wiki hii mjini hapa akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mashindano hayo juma mwajasho alisema maandalizi yamekamilika kwa asilimia kubwa huku baadhi ya washiriki wakithibitisha kushiriki alisema katika mashindano hayo msimu huu watazamia washiriki zaidi ya600 ambapo washindi watakabidhiwa zawadi mbalimbali zikiwemo medali ambazo zimeandaliwa na wadhamini wa mashindano hayo aidha alisema mashindano hayo yatashirikisha wakimbaji kwenye umbali wa kilomita 2110 na 5 ambapo wataanzia mbio hizo kwenye eneo la mkwabi super market kuzunguka maeneo mbalimbali jijini tanga na kuishia eneo hilo lakini kwa mara ya kwanza washiriki wote watakaoshiriki mashindano hayo watapewa medali na mgeni rasmi kwenye mashindano hayo kwa upande wake katibu wa chama cha riadhaa mkoa wa tanga (rt) hassan mwagomba alisema mashindano hayo pia yatashirikisha washiriki kutoka visiwa vya shelisheli unguja na pemba ambao watapata fursa yakuonyesha umahiri wao alisema njia zitakazopitia mashindano hayo zimeboreshwa zaidi kiusalama kwa wakimbiaji ili kuweza kuepukana na adhari zinazoweza kujitokeza wakati yakiendelea naye kwa upande wakemeneja wa mkwabi super market ya jijini tanga ambao ni waandaaji wakuu wa mbio hizokawkab hussein alisema msimu huo wameboresha mashindano hayo kwa kutoa zawadi kwa mshindi wa kwanza hadi wa kumi alizitaja zawadi zinazotolewa kuwa ni mshindi wa kwanza km 21 atapata700000 wa pili 500000 huku mshindi wa tatu akipata 300000 huku wengine kuanzia wa nne hadi wa kumi watapata kifuta jasho cha 50000 hata hivyo alisema katika kilomita 10 mshindi wa kwanza atapata 250000 wa pili 150000 na wa tatu 100000 huku washindi wa kuanzia nafasi ya nne mpaka 10 watapewa 30000 pia kutakuwa na vituo maalumu kwaajili ya kutoa huduma ya maji kwa wakimbiaji (habari kwa hisani ya blog ya kijamii ya tanga raha) posted by mroki on friday march 30 2018 no comments rais magufuli azindua mwaka mpya wa kimahakama (siku ya sheria) jijini dar es salaam leo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe joseph magufuli akihutubia wakati wa uzinduzi wa mwaka mpya wa mahakama katika si rais magufuli amteua doto kua katibu mkuu wizara ya fedha na mipango katibu mkuu mpya wa wizara ya fedha na mipango bw doto m james rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli l rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa na maafisa na viongozi wengine mbalimbali akikata utepe kuzindua r appointment to the chairman vice chairman and board members of the tanzania communication regulatory authority (tcra) the united republic of tanzania ministry of works transport and communication appointment to the chairman vice chairman and blog archive august 2018 (4) july 2018 (1) may 2018 (22) april 2018 (36) march 2018 (45) february 2018 (17) january 2018 (91) december 2017 (50) november 2017 (46) october 2017 (43) september 2017 (19) august 2017 (22) july 2017 (37) june 2017 (41) may 2017 (37) april 2017 (47) march 2017 (58) february 2017 (34) january 2017 (59) december 2016 (73) november 2016 (125) october 2016 (111) september 2016 (122) august 2016 (158) july 2016 (145) june 2016 (168) may 2016 (153) april 2016 (141) march 2016 (149) february 2016 (106) january 2016 (141) december 2015 (138) november 2015 (141) october 2015 (164) september 2015 (192) august 2015 (130) july 2015 (193) june 2015 (172) may 2015 (148) april 2015 (129) march 2015 (163) february 2015 (171) january 2015 (155) december 2014 (156) november 2014 (99) october 2014 (143) september 2014 (184) august 2014 (136) july 2014 (132) june 2014 (90) may 2014 (105) april 2014 (130) march 2014 (132) february 2014 (123) january 2014 (122) december 2013 (94) november 2013 (128) october 2013 (148) september 2013 (130) august 2013 (151) july 2013 (155) june 2013 (185) may 2013 (201) april 2013 (133) march 2013 (173) february 2013 (183) january 2013 (226) december 2012 (226) november 2012 (230) october 2012 (212) september 2012 (206) august 2012 (273) july 2012 (276) june 2012 (275) may 2012 (281) april 2012 (245) march 2012 (241) february 2012 (200) january 2012 (146) december 2011 (162) november 2011 (127) october 2011 (189) september 2011 (167) august 2011 (149) july 2011 (193) june 2011 (141) may 2011 (97) april 2011 (69) march 2011 (84) february 2011 (18) january 2011 (33) december 2010 (29) november 2010 (50) october 2010 (51) september 2010 (79) august 2010 (107) july 2010 (100) june 2010 (105) may 2010 (114) april 2010 (150) march 2010 (157) february 2010 (113) january 2010 (73) december 2009 (31) november 2009 (74) october 2009 (56) september 2009 (65) august 2009 (107) july 2009 (41) june 2009 (17) may 2009 (28) april 2009 (14) march 2009 (55) february 2009 (51) january 2009 (51) december 2008 (50) november 2008 (19) october 2008 (7) september 2008 (24) august 2008 (52) july 2008 (85) june 2008 (57) songwe kamilisheni ujenzi kwa wakatnaibu waziri kwandikwa promosheni ya unlock castle lite yaanza kuwa gumzo jijini dar es salaam nmb bank yaja kivingine sasa unaweza kujifungulia akaunti popote pale waziri jenista mhagama aitaka cma kuongeza kasi ya utatuzi wa migogoro ya kikazi uchukuzi sports yakabidhi vikombe vya mei mosi
2018-08-16T05:46:15
http://mrokim.blogspot.com/2018/03/rc-shigella-mgeni-rasmi-tanga-city.html
wanandoa waomboleza watoto saba mtoto news wanandoa waomboleza watoto saba wanandoa waomboleza watoto saba baada ya ongezeko la vifo kutokana na mafuriko kuongezeka hadi idadi ya 42 huko barabara ya pokot magharibi kaapel yaranyang akitazama yaliyobaki mwa kijiji chake huku akiwa amekumbwa na huzuni uchungu na sura za ombolezi akikumbatia kisa kilichoendea kupoteza uhai kwa watu 42 amepoteza watoto saba katika maporomoko ya ardhi ambayo yalisababisha vifo na uharibufu katika kata ya pokot magharibu siku ya ijumaa usiku si yeye tu bali bali kuna mamia walioweza kunusuruka kutokana na maporomoko ya ardhi yalinyatia usiku wa maneno na kuwapokonya wapendwa wao na mali yao janga hilo lilielekeza shida zisizo za kawaida na kukata tamaa na matumaini katika vijiji vitatu ulikua wakati mgumu kwetu tulipokuwa tunatazama mafuriko hayo yakiteka watoto wetu pamoja na wanakijiji wengine bila kuwa na suluhu yoyote alisema akiwa kwenye kambi ya makeshift ambayo waathirika walihamishwa huku wakingoja habari kuhusu wapendwa wao kwa yaranyang ijumaa iliyopita ni siku ambayo hatawai isahau kwani waliondoka pamoja na familia yake kijiji cha muino cha wadi ya tapach wakaelekea jimbo la pokot kusini kwa sherehe ya kanisa lakini kabla tu ya saa sita usiku baba ya wanane aliwaambia watoto wake wasaba warudi nyumbani na hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya mwisho kuwaona alibaki nyuma na mkewe pamoja na mtoto wake wa umri wa mwaka mmoja usiku huo wakiwa bado kanisani watoto hao saba wenye umri wa miaka kati ya minne na kumi na tatu walikuwa miongoni mwa watu zaidi ya 42 waliopoteza uhai wao kutokana na mafuriko hayo salamu za rambirambi kwa familia hiyo ya bwana yarayang na familia zote ambazo zimekuwa waathirika wa mafuriko hayo source https//wwwpdcoke/news/national/couplemourns7childrenaspokotlandslidetollrisesto4214430/ tags childrendeathsfloodskenyalandslidesinpokotsavethechildren
2020-05-25T01:51:13
https://www.mtotonews.com/uncategorized/wanandoa-waomboleza-watoto-saba/
kingunge anazeeka vibayani vema apumzishwe ~ kulikoni ughaibuni kingunge anazeeka vibayani vema apumzishwe kingunge ngombale mwiru proufisadi alliance kingunge ngombale mwiru ni mkingwekiumrikisiasa na kimadarakajapo umri si kigezo muhimu cha kuwa na busaraukongwe katika fani flani unatarajiwa kuambatana na busaralakini hali si hivyo kwa kingungekuna nyakati baada ya kifo cha nyerere baadhi ya watu walitarajia kuwa kingunge angefanikiwa kuendeleza mema ya mwalimu hasa kwa vile tuliaminishwa kwamba mwanasiasa huyu (kingunge) ana damu ya ujamaa kiasi cha kuachana na mambo ya imani ya kidinituliambiwa dini ya kingunge ni ujamaa pamoja na mapungufu ya hapa na palenyerere anaendelea kukumbukwa kwa jitihada zake za kujenga jamii yenye kukaribia usawa na kuchukia unyonyajisijui kingunge akifa tutamkumbuka kwa lipi zaidi ya kuzeekea kwake kwenye siasa pasipo tija na hili jukumu jipya alilojipachika la ubaba wa taifa wa mafisadikingunge ni mnafiki mkubwa kwa vile wakati anadai kuwa viongozi wa kanisa wangeufyata laiti mwalimu angekuwa haisijui yeye kingunge angemwambia nini anaposimama kidete kutetea mafisadi haya ndio madhara ya kuviacha vikongwe madarakani hadi vinapoteza uwezo wa kufikirina huyu ni mshauri wa kiongozi wa nchikama uwezo wake binafsi wa kufikiri umefikia kikomo atawezaje kumshauri mtu mwingineachilia mbali kiongozi wa nchi kwanini adai waraka wa kanisa utawagawa watanzania lakini akae kimya pale chama chake cha ccm kilipocheza karatatatu ya kisiasa kilipoahidi (katika manifesto yake ya uchaguzi 2005) uanzishwaji wa mahakama ya kadhi kwa waislambinafsisina tatizo na uanzishwaji wa mahakama ya kadhi iwapo mambo flani muhimu yatazingatiwalakini kwa uendeshaji wa mambo kwa mtindo wa zima motoau pata poteani dhahiri uamuzi huo wa mahakama ya kadhi unaweza kulipeleka pabaya taifanarudiatatizo sio uanzishwaji au kuwepo kwa mahakama hiyobali ni ubabaishaji wa viongozi wetu katika kushughulikia uanzishwaji na uwepo wake pasipo kuathiri umoja wa kitaifa na kikongwe huyu (kingunge) mbona yuko kimya hadi leo baada ya chama chake kusuasua katika utekelezaji wa ahadi hiyo ya uanzishwaji wa mahakama ya kadhikama uamuzi wa ccm kutaja katika manifesto yake juu ya suala hilo ulikuwa hatari (kwa mujibu wa wanaodhani hivyo)kitendo cha chama hicho kurushiana mpira kila kinapoulizwa na waahidiwa (waislam) kuhusu utekelezaji ni cha hatari zaidi tatizo la kingunge kuhusu waraka wa kanisa haliko kwenye kile anachodai kuijua vizuri nchi yetu bali wasiwasi wake kwamba pindi waraka huo ukitekelezwa kwa vitendo basi yeye na mafisadi anaowatetea watakuwa katika wakati mgumukwa lugha nyinginekingunge anatetea maslahi ya tabaka alilomo na analoliwakilisha (mafisadi) hivi ni lini umewahi kumsikia kingunge akikemea ufisadihivi kanisa lingetoa wapi wazo la kujana waraka huo laiti kikongwe hiki cha siasa kingesimama kidete kuendeleza harakati za mwalimu kupambana na unyonyajibadala ya kutueleza yeye anafanya nini kuhakikisha nchi inakwenda vizuri anakimbilia kukosoa wengine kuwa wanataka kuipeleka nchi pabaya halafu inakera zaidi kumskikia babu huyu akijifanya kama yeye ndio mwenye hatimili ya historiamwelekeo na chochote kuhusu tanzaniaeti anakemea wenzake wanaodakia hoja pasipo kujua vema tumefikaje hapatumefika hapa tulipo kwa sababu ya watu kama kingungewanafiki waliojifika kwenye ngozi wa kondoo wakati wa mwalimu kumbe ni mbwa mwitu wa kifisadi waliokuwa wakisubiri mwalimu aondoke kwenye ulingo wa siasa kisha watufisadi kingunge ni mtu hatari sanana asipodhibitiwa ataiingiza nchi katika machafukokishajizeekeahajali litakalotukumba kwa vile ashachuma vya kutosha na anamsubiri muumba amrejeshe mbele ya haki (na huko atakuwa na maswali lukuki ya kujibu atapokutana na mwalimu)ni muhimu kwa wanaomlea kikongwe huyu wakamhurumia kwa kumpatia pumziko harakala sivyo atazidi kulikoroga mungu ibariki tanzania na waangamize mafisadi na watetezi waohususan wale wanaotaka ligi na wachunga kondoo wako
2017-08-21T21:23:54
http://www.chahali.com/2009/08/kingunge-anazeeka-vibayani-vema.html
sanaa na wasanii tanzania historia ya muziki wa tanzania kama ilivyokuwa kwa binadamu wengine wakazi wa eneo ambalo hatimae limekuwa nchi yetu ya tanzania walikuwa na utamaduni wao utamaduni huu ulikuwa ukitofautiana kati ya kabila na kabila moja ya vipengele ilikuwa muziki kabla sijaendelea ni habari hii ni vizuri tukumbuke jambo moja ikiwa kitu hakiko katika utamaduni wa kundi la watu kitu hicho huwa hakina jina katika kundi lile nikiuliza unambie internet kwa kabila lako inaitwaje hutakuwa na jina hilo kwa kuwa hakuna kitu hicho katika utamaduni wa kabila lako hatukuwa na muziki katika makabila yetu kabla ya ujio wa wageni na hivyo hakuna kabila lenye tafsiri ya neno muziki lakini tuliimba tulicheza ngoma tulipiga vyombo mbalimbali ila tulikuwa na utamaduni mwingine kuhusu kitu hiki tunachokiita siku hizi muziki watafiti wanatuambia tulikuwa na ngoma ambayo tafsiri yake ni kubwa kuliko muziki ngoma ilikuwa ni chombo kile kilichotoa muziki ngoma ilikuwa shughuli yenyewe kwa mfano ngoma ya mavuno ngoma ya mashetani na kadhalika na pia tulicheza ngoma sina taarifa ya maandiko yenye kina kuhusu hali ya ngoma katika kipindi hicho lakini tunajua watu waliimba na kucheza ngoma kwa matukio mbalimbali hali ambayo inaendelea mpaka leo wajerumani ndio waliotuletea neno muziki na katika wakati wao ndipo kuliingia muziki wa bendi za askari na kuingizwa katika shule ya kwanza ya serikali wakati huo tanga school katika kipindi hiki pia mchango wa madhehebu mbalimbali kuingiza muziki na vyombo vya muziki vipya ulitoa mchango katika kuongeza kasi ya huu muziki mpya pengine unaweza ikasema kuwa kipindi hiki kwaya nazo zilianza kushika kasi hapa kama nilivyosema mwanzo neno kwaya pia ni jipya lililotokana na neno la kiingereza choir historia intueleza kuwa mjerumani hakufanya jitihada za kuzuia muziki wa kiasili hivyo basi muziki mpya na wa kiasili ulienda sambamba katika miaka ya mwanzoni ya 60 bendi ziliingia katika utamaduni wa kunakili nyimbo kutoka kongo kilichofanyika ni kuimba kiswahili tu kuna nyimbo kama napenda nipate lau nafasi mtoto wacha kupiga mayowe na nyingi sana ambazo zilikuwa ni za kunakili moja kwa moja nyimbo za kongo hali ilifikia kuwa mbaya mpaka bendi nyingine ziliingilia kati na kutunga nyimbo za kuwaasa wenzao watunge nyimbo zaokoma koma koma kaka wewe tunga zako ilikuwa baadhi ya maneno ya kuwafanya wanamuziki waliokuwa wakiiga waache kuiga lakini pamoja na haya kulikuweko na wanamuziki waliokuwa wakiangalia na kuiga nyayo kutoka nchi za magharibi na baadae wakichanganya vyombo na melody za kiasili na kuanza muziki uliojulikana kama afro rock na kuwa sambamba na nchi nyingine katika afrika katika kipindi hiki mwanasiasa mmoja aliwahi kupiga marufuku muziki wa bugi ambao ulikuwa ni maonyesho ya muziki ya mchana yaliyokuwa yakisha saa kumi na mbili na kwa kupiga marufuku muziki huo ilikuwa ni sawa leo upige marufuku wanamuziki wa kizazi kipya pengo aliloliweka halijaweza kujazwa tena miaka ya 80/90 katika kipindi hiki kulikuweko na mfumo wa utawala wa shughuli za utamaduni ambao pamoja na kuweko maafisa utamaduni wa wilaya maafisa utamaduni wa mkoa pia kulikuweko na baraza la muziki la taifa (bamuta) ambapo kulizaliwa vyama ambavyo vilifanya kazi kubwa katika kuunganisha wanamuziki kama vile chamudata na tanzania taarab association na itakuwa ni makosa kutotaja show iliyokuwa kubwa sana na iliyounganisha wanamuziki wa nchi nzima top ten show show hii iliyowezekana kwa ushirikiano wa basata umoja wa vijana radio tanzania halijawahi kutokea tena onyesho lenye ukubwa wa aina hiyo mpaka leo kuvurugika kwa mfumo wa uongozi wa utamaduni kwa kuwaondoa maafisa utamaduni walioko chini ya wizara ya utamaduni umeacha shughuli za utamaduni mkononi mwa wafanyabiashara pekee ambao kwao lengo ni kupata faida za kiuchumi matatizo na mtokeo ya kufa kwa utamaduni si lolote kwao serikali inatakiwa ichukue mzigo huu wa kufadhili ukuaji na uendelezaji wa utamaduni na kuacha shughuli za biashara ya kazi za sanaa kwa wafanya biashara by jfk at august 13 2012
2017-10-17T03:45:55
http://musicintanzania.blogspot.com/2012/08/historia-ya-muziki-wa-tanzania.html
jinsi ya kuunganisha com domain kwenye blogspot (custom domain on blogspot) | mpekuzi jinsi ya kuunganisha com domain kwenye blogspot (custom domain on blogspot) blogspot ni moja kati ya majukwaa maarufu yanayotumika kwa ajili ya kuwapa watumiaji uwezo wa kufikisha habari kupotia blog hapa tanzania blog nyingi sana zimepata umaarufu kupitia blogpost kuna blog kama mpekuzi na nyinginezo zimekuwa chachu sana kwa wana habari na kuwafanya nao kuanzisha blog zao unapojiunga na mtandao wa blogspot utaweza kutumia anuani yenye jina la kwao mfano freebongoblogspotcom matumizi haya siyo tuu yanakufanya uonekane haupo makini (kuna watakaosema ameshinwa hata kununua domain name kweli ataweza kuaminika) bali ni ngumu kukumbukika kwa watumiaji wako mfano unapomuambia mtu jina la website au blog yangu inaitwa freebongoblogspotcom kuna wengine wanaweza kuandika blogsport baala ya blogspot na pia kuna wengine hawatoitembelea kwa kudhani bado haujajiandaa mpaka unatumia vya bure hivyo basi moja ya njia unazoweza kutumia kuongeza uthamani wa blog yako ni kwa kutumia domain inayojitegemea (custom domain) na ukaingunisha na blogspot hivyo siku ya mwisho watembeleaji watatumia jina la domain yako domain hii mfano inaweza kuwa mpekuzihurucom mpekuziblogcom nk kwa kutumia domain kama hizi utaweza kuziunganisha na kuachana na matumizi ya jina la blogspot ili uweze kufanikisha hili hatua ya kwanza kabisa unatakiwa kununua domain name unaweza kupata domain yako kupitia hostigator hii ni kampuni kubwa na yenye uzoefu wa miaka mingi <<ingia hapa kuchek au kununua domain>> baaa ya hapo utatakiwa kusajili blogspot yako kwenye bloggercom na ukaanza kuziunganisha ==>>kupata domain ya kampuni yako website yako <<ingia hapa>>
2018-06-21T00:54:33
http://www.mpekuzihuru.com/2018/05/jinsi-ya-kuunganisha-cotz-domain-kwenye.html
gongamxcom | fainali za mabingwa wa kudunda kikapu 2017 zaendelea kurindima mwanza gongamx sunday july 23 2017 homeabout uscontact usnewsmusicfashionlifestylevideosadverts lifestyle kufuatia michuano ya mpira wa kikapu iliyozinduliwa na makamu wa raisi mhe samia suluhu hassan wiki zilizopita ameonyesha kuunga mkono zoezi hilo la kuwasaka wawakilishi lililofanyika katika mikoa mbalimbali sprite inaendelea kuibua hisia zaidi ikizileta pamoja zile timu zilizofuzu katika ngazi ya kimkoa kwenye fainali michuano ya kinyanganyiro hiko yalishaanza toka 12 na tayari baadhi ya timu zilishaanza kuchuana huku kila timu ikiwa na matumaini makubwa ya kuibuka bingwa wa kudunda kikapu kitaifa mwaka 2017 finali hizi zitaendelea kupigwa mkoani mwanza ndani ya viwanja vya chuo cha butimba hadi tarehe 14 huku timu zikicheza mfululizo kwa mtoano ambapo bingwa atapatikana maandalizi yakiwa yamepamba moto timu nazo zinaendelea kujinoa huku wachezaji wakijigamba kuwa mafahali katika finali hizo mshikemshike huu umewazoa mashabiki mbalimbali wa mpira wa kikapu kutoka mwanza na wengine kutoka mikoa ya jirani kuja kushuhudia finali hizi pia zinasindikizwa na burudani za kukata na shoka kutoka kwa wasanii mbalimbali wa muziki ambapo msanii dogo janja alitokelezea kuchangamsha mshabiki na pafomansi la kibabe washiriki wengine wakiwemo wadau wakubwa wa mpira wa kikapu nchini pia wamejitokeza kushuhudia nani ataibuka kinara lengo kubwa hasa la mashindano haya ni kuibua vipaji vya vijana katika michezo hususani mpira wa kikapu hapa nchini kuanzaia ngazi za chini hadi kitaifa na itakuwa ni fursa nzuri kwa vijana kujumuika pamoja na kuleta hamasa kwa vijana wengine kushiriki katika mchezo huu na hatimaye kuibua wachezaji mabingwa kitaifa hata kimataifa sambaza makala hiicomments commentsshare this on whatsapp 0 previous post young killer amalizana na joh makini baada ya kusema haya you may also like new audio belle 9 ft gnako give it to me hizi ndizo bei za viingilio eatv awards mlimani city desemba 10 december 06 2016 licha ya ngoma ya muziki kutikisa darassa asema haiwezi kuifikia too much 6115subscriber mupyamupya fainali za mabingwa wa kudunda kikapu 2017 zaendelea kurindima mwanza picha young killer amalizana na joh makini baada ya kusema haya 18 01 2017 darassa diamond ni zaidi ya simba 04 01 2017 nahreel afunguka kuhusu tuhuma za kuizua ngoma ya joh makini na davido 21 12 2016
2017-07-23T12:44:25
http://gongamx.com/fainali-za-mabingwa-wa-kudunda-kikapu-2017-zaendelea-kurindima-mwanza/
utubari tuzafunga amasaha 3 ya mugitondo ku ya 7 niya 10 mata the profile utubari tuzafunga amasaha () yanditswe na munyentwali jerome 23 / 03 / 2019 yasomwe na 332 mu kigniro nitangazamamakuru ku cyicaro gikuru cya polisi y urwanda kuri uyu wa 22 werurwe komisiyo yigihugu ishinzwe kurwanya jenoside yatangaje ko nyuma yimyaka 25 ishize jenoside yakorewe abatutsi ibaye ntawe wakagombye guhatirwa kuza kwibuka umuyobozi wiyi komisiyo yatangaje ko mu kwibuka ku nshuro ya 25 imirimo izakomeza usibye amasaha 3 ya mugitondo yibiganiro ku itariki 7 niya 10 mata aho utubari tuzafunga mu gihe abaturage bazaba bateraniye aho bazibukira banakurikirana ibiganiro byateguwe muri iki kiganiro nyunguranabitekerezo hagati yitangazamakuru cnlg polisi yigihugu nizindi nzego umunyamabanga nshingwabikorwa wa komisiyo yigihugu yo kurwanya jenoside dr jean damascene bizimana yavuze ko hari umubare munini wabantu bababazwaga no guhatirwa gufunga ibikorwa byubucuruzi bwabo ngo bajye kwibuka rimwe na rimwe bakaza kwibuka bijujuta dr jean damascene bizimana ati gufungisha ibikorwa byubucuruzi byabantu hari abo byababazaga kandi nyuma yimyaka 25 yose ntitwagombye kuba hari abo duhatira kuza mu biganiro byo kwibuka yongeye ho ati byumvikane neza utubari tuzaba dufunze mu gihe cyamasaha 3 ya mugitondo nabwo ni mu minsi ibiri gusa uwo ku itariki 7 hatangizwa icyunamo no ku itariki 10 mata muri aya masaha abaturage bose bazaba bakurikira ubutumwa buri mu biganiro byateguwe uyu muyobozi yumvikanishije neza ko amabwiriza yashyizweho avuga ko abafite ibikorwa nkamagaraje superi marishe cyangwa ubundi bushabitsi butari imyidagaduro bo batazafunga muri ya masaha 3 yavuzwe mu minsi ibiri yo ku itariki 7 niya 10 mata ugufunga kukazaterwa nubushake bwa buri muntu yibukije ko kandi mu cyumweru cyo kwibuka nta bikorwa byimyidagaduro nko gucuranga imiziki isanzwe no kubyina ubukwe nibindi bizabaho yashimangiye ko kwibuka ari igikorwa gikwiriye guhabwa agaciro kandi ngo iyo abantu bibuka abazize jenoside yakorewe abatutsi baba biyubaka bo ubwabo ubusanzwe ibikorwa byo kwibuka byamaraga iminsi irindwi uhereye tariki 07 mata buri munsi ikigoroba cyose nta kazi ka leta nakabigenga kakorwaga ibikorwa byose byubucuruzi nizindi serivisi byarafungaga abantu bakajya mu biganiro byo kwibuka aho bakorera cyangwa ku midugudu yabo drbizimana vuga ko kugabanya iminsi yo kwibuka atari ugupfobya jenoside yewe ngo si no guha urwaho abayipfobya mu kwibuka uyu mwakahazafungurwa ubusitani bwo kwibuka i nyanza ya kicukiro bwagenewe guha umutuzo abashaka kwibuka nta nkomyi no gutekereza byimbitse kuri jenoside yakorewe abatutsi dr bizimana jean damascene yavuze ko ingengabitekerezo ya jenoside yagabanutseho 87 kandi ngo imibare igaragaza ko nibyaha biyishamikiyeho byagabanutse ku kigero gishimishije
2020-04-01T01:40:35
http://theprofile.rw/spip.php?article465
uislamu nchini nigeria wikipedia kamusi elezo huru msikiti wa taifa wa abuja mjini abuja nigeria uislamu nchini nigeria una idadi kubwa ya waumini kuliko nchi yoyote ile katika afrika magharibi utafiti wa kituo cha pew research center unakadiria kuwa upo kati ya asilimia 485 (2010)[1] na 504 (2009)[2][3] kina cia wanakadiria kuwa asilimia 50[4] wakati bbc wanakadiria kati ya asilimia 50 (2007)[5] waislamu wa nigeria ni wa dhehebu la sunni wanaofuta mafundisho ya imamu maliki ambao pia hufuata utawala wa sheria ya kiislamu yaani sharia 2 waislamu kwa jimbo nchini nigeria 3 idadi ya waislamu kwa asili ya makundi ya watu nchini nigeria waislamu kwa jimbo nchini nigeria[hariri | hariri chanzo] waislamu idadi ya waislamu jumla ya kikanda kanda ya kaskazini 1 sokoto 3696999 989 3656332 9228 kanda ya kati 13adamawa 3168101 90 2851291 80 majimbo ya magharibi 21oyo 5591589 70 3914112 4994 majimbo ya kusini 29anambra 4182032 3 125461 2417 idadi ya waislamu kwa asili ya makundi ya watu nchini nigeria[hariri | hariri chanzo] hakuna makubaliano ya kutunga au kutunza taarifa za waumini wa dini nchini nigeria hata hivyo joshua project jamii ya kichungaji ya wainjilisti yenye kituo chake nchini marekani maarufu kama world mission inatoa takwimu zake yenyewe juu ya wingi wa waislamu kiasili nchini humo kama ifuatavyo[6] wahausa (27000000) wayoruba (14000000) wakanuri (6500901) wafulani (20000000) waegbira (1450000) wanupe ( 1430000) wabade (309235) wasonghai (259429) waarabu washuwa (204890) wabura (111823) waigala (301350) wazarma (76911) wabariba (65808) waesan (61529) wagbari east (40639) wagun (29373) watuareg (23442) waarabu wasyria wasomali (11722) wamaguzawa (11721) wamisri (651) ukristo nchini nigeria ↑ mapping the global muslim population (pdf) iliwekwa mnamo 13 march 2012 ↑ global christianity a report on the size and distribution of the worlds christian population (pdf) iliwekwa mnamo 20111229 ↑ cia the world factbook nigeria ↑ bbc nigeria facts and figures april 7 2007 ↑ joshua project nigeria retrieved october 19 2015 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=uislamu_nchini_nigeria&oldid=978947 dini nchini nigeria ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 26 juni 2016 saa 0735
2019-02-21T10:28:45
https://sw.wikipedia.org/wiki/Uislamu_nchini_Nigeria
maganga media hatuba ya rais kikwete tar 3062012 ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2 home » feature habari muhimu maganga media news » hatuba ya rais kikwete tar 3062012 hatuba ya rais kikwete tar 3062012 by emmanuel maganga jul 4 2012 bila ya shaka mtakuwa mmezisikia taarifa za tukio la kushtusha na kuhuzunisha la kukutwa maiti 43 za watu wasiojulikana zilizotupwa katika kichaka kilichopo kijiji cha chitego wilayani kongwa mkoa wa dodoma tarehe 26 juni 2012 pamoja na maiti hao walipatikana watu 84wakiwa hai lakini wote wakiwa wamedhoofu na baadhi yao wakiwa mahututi hatua za haraka zilichukuliwa kuwasafirisha watu hao hadi dodoma ambapo wale waliokuwa mahututi walifikishwa hospitali kuu ya mkoa wa dodoma kwa matibabu na wengine walihifadhiwa katika kituo cha kati cha polisi dodoma maiti 22 zilipelekwa dodoma na 21zilipelekwa morogoro kuhifadhiwa 2 posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara 3 madaktari wapatiwe nyumba grade a au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30ya mshahara 4 posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara 5 madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari 6 madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 350000/= kwa mwezi 8 hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya watendaji wakuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii jambo la nne walilokubaliana ni kuhusu viongozi kulazimisha kupewa rufaa ya kutibiwa nje walikubaliana mambo mawili kwanzakwamba maelekezo ya waziri mkuu mhe mizengo pinda kuwa madaktari wazingatie maadili ya kazi zao na kukataa kutoa rufaa kwa mtu asiyestahili awe kiongozi au asiwe kiongozi pili walikubaliana kuwa hospitali zilizopo ziboreshwe ili viongozi watibiwe hapa nchini ukweli ni kwamba kufanya hivyo ndiyo sera ya serikali nililieleza hili mwezi desemba 30 2005 katika hotuba yangu ya kuzindua bunge baada ya kuchaguliwa kwa mara ya kwanza kuongoza nchi yetu tumeiongeza sana bajeti ya sekta ya afya kutoka shilingi bilioni 300 2005/2006 hadi shilingi trilioni 12 mwaka 2011/12 na imekuwa ya tatu baada ya miundombinu na elimu tumeziimarisha hospitali za mikoa kwa vifaa tiba na wataalamu wa afya kazi inaendelea katika hospitali za wilaya tumewekeza katika hospitali ya muhimbili hospitali hiyo ilivyo leo sivyo ilivyokuwa miaka sita nyuma na kazi inaendelea hasa katika maeneo ambayo tunapeleka wagonjwa nje matunda yake yanaanza kuonekana kwa upande wa figo moyo kinywa na mipango inaendelea kwa upande wa ubongo na mishipa ya fahamu tunaendelea kuimarisha mafunzo ya madaktari na madaktari bingwa yote kwa nia hiyo hiyo hivi sasa chuo kikuu cha sayansi ya tibamuhimbili kinachukua wanafunzi wengi zaidi ya ilivyokuwa siku za nyuma na makazi mapya ya chuo yanaendelea kuandaliwa ili kuchukua wanafunzi wengi zaid mwaka 2005 tulikuwa na madaktari bingwa 46 mwaka huu tunao 520 jambo la pili ambalo wamekubaliana nusu nusu ni kuhusu nyumba za kuishi serikali imekiri wajibu wake wa kuwapatia madakari nyumba za kuishi aidha imeeleza mpango ulioanza wa kujenga nyumba 700 za madaktari kote nchini na kwamba hivi sasa ujenzi wa nyumba 90 unaendelea 50 katika mkoa wa mtwara na 40 katika mkoa wa rukwa mambo mawili hayakuwa na muafaka kabisa kati ya pande zetu mbili jambo la kwanza ni posho ya kuitwa kazini (on call allowance) kwanza sina budi kueleza kuwa serikali imekubali kuongeza posho hiyo tangu februari 2012 posho iliongezwa kutoka shilingi 10000/= hadi shilingi 25000/=kwa daktari bingwa (specialist) shilingi 20000/= kwa dakari mwenye usajili wa kudumu (registrars) na shilingi 15000/= kwa madaktari waliohitimu ambao wapo katika kipindi cha mafunzo kazini (interns) viwango hivyo vya posho vinatumika hivi sasa jambo la pili ambalo muafaka haukufikiwa baina ya serikali na madaktari ni kuhusu mshahara wa kuanzia kazi wa daktari madaktari wanataka uwe shilingi 3500000/= wakati serikali inasema kiasi hicho hatukiwezi serikali imeeleza utayari wake wa kuongeza mshahara kwa kati ya asilimia 15 mpaka 20 kama ambavyo itafanya kwa watumishi wote wa umma katika mwaka huu wa fedha kwa kiwango cha sasa cha mshahara wao daktari ataanzia kati ya shilingi 1100000/=na 1200000/= kutegemea kiwango kipi hatimaye kitaamuliwa madaktari wamekataa katakata na wamengangania shilingi 3500000/= mwaka 2004/2005 mshahara wa kuanzia wa daktari ulikuwa shilingi 178700/= mwaka 2005/ 2006 tuliupandisha na kuwa shilingi 403120/= tuliendelea kuupandisha mwaka hadi mwaka mpaka kufikia shilingi 957700/=wanazolipwa sasa kiasi hicho ni mara mbili ya mishahara ya watumishi wa taaluma nyingine wenye shahada ya kwanza wanaoanza kazi ambao kwa wastani hupata shilingi 446100/= sina budi kusisitiza kwamba tunapofanya hivyo tunaongozwa na uwezo tulio nao wa kulipa kwa sasa hatuwezi kuwaahidi kuwa tunao uwezo wa kuwalipa mshahara wa kuanzia wa shilingi 3500000/= na posho zote zile tukifanya hivyo malipo ya daktari anayeanza kazi yatakuwa shilingi 7700000/= kwa hakika kiasi hicho hatutakiweza si vyema kutoa ahadi hewa kwa watu tunaowaheshimu na kuwathamini kama walivyo madaktari hivi sasa matumizi ya mishahara ni asilimia 48 ya bajeti ya serikali kiwango hicho ni kikubwa mno uwiano mzuri ni kuwa na matumizi ya mishahara yasiyozidi asilimia 35 ya bajeti na asilimia 65zitumike kugharimia huduma na shughuli nyingine za maendeleo ya wananchi na taifa sisi tumezidi kwa asilimia 13 hivyo hatuna budi tukubali kujinyima kwa manufaa ya walio wengi
2018-12-19T02:23:08
http://maganga-resources.blogspot.com/2012/07/hatuba-ya-rais-kikwete-tar-3062012.html
upande wa pili wa maswali kwa dr ulimboka | jamiiforums | the home of great thinkers upande wa pili wa maswali kwa dr ulimboka discussion in 'jukwaa la siasa' started by pamokonunda jul 4 2012 ivi kwa haraka haraka najiuliza dr ulimboka alipigiwa cmu na abeid (as per dr deo statement) wakutane stereo na wao wanasema kwamba huyo jamaa wanamjua walikuwa wakifanya nae mawasiliano juu ya mgogoro wao baada ya hapo wakachange venue to kibona regarding to the situation the following are the question to be answered (i) kwanini wakutane sehemu kama izo na dr akiwa na mtu ambae sio kiongozi wa madr (ii) kwani jumuiya ya madactari hawana ofisi hadi wakutane bar (iii) kwanini dr ulimboka alikuwa anachukua yeye binafsi jukumu la kuongea na upande wa pili bila kushilikisha viongozi wenzake wa jumuiya nini kilikuwa kinaendelea hapa au ndo zana nzima ya you have to make me quite first so asto solve the problem comrade hapana shaka serikali ipo nyuma ya hili tukio jiulize swali hili hivi ni mtekaji gani wa kawaida amteke mtu kisha amtoe kucha na meno mambo haya hufanywa na usalama wa taifa na polisi kumfanya mtu afichue siri hawawezi kukwepa hapa mtoa maada unajaribu kkubrain wash watuu maswali kwako hivi kwa mtaamo wako unafikiri tangu mgomo uanze serikali haijajaribu kuuzima kwa kuwaweka vizuri viongozi wa mgomo na kama ilijaribu vipi walifanikiwa au walishindwa then hatua ya kumteka mtu na kumuua kujaribu kumzika akiwa hai etc maana yake nini kwa wewe mwenye uelewa thabiti kwa uelewa wangu mfupi ni kuwa jamaa wamejaribu njia zote chafu na za kisheria baada ya kushindwa ndio assissination ikawa the only option and just because they are thinking is so small assuming that if u will eliminate the ring leader then watakuwa wamesolve sasa yamewatokea puani na walilohusika cha moto watakiona lazima wakione cha mtema kuni kuanzi na kubwa la majambazi aka dhaifu comrade hapana shaka serikali ipo nyuma ya hili tukio jiulize swali hili hivi ni mtekaji gani wa kawaida amteke mtu kisha amtoe kucha na meno mambo haya hufanywa na usalama wa taifa na polisi kumfanya mtu afichue siri hawawezi kukwepa hapaclick to expand afichue siri gani si inajulikana kuwa jamaa ni kiongozi wa mgomo kwa uelewa wangu mfupi ni kuwa jamaa wamejaribu njia zote chafu na za kisheria baada ya kushindwa ndio assissination ikawa the only option and just because they are thinking is so small assuming that if u will eliminate the ring leader then watakuwa wamesolve sasa yamewatokea puani na walilohusika cha moto watakiona lazima wakione cha mtema kuni kuanzi na kubwa la majambazi aka dhaifuclick to expand mkuu umeuliza kabla ya kujibu kwa ni ishu kama hiyo ilipangwa kuzungumza baa je hao madaktari walikuwa wanajua wanaongea na mtu mwenye wadhifa gani katika serikali waliwahi kumuuliza yeye alikuwa amamuwakilisha nani kwa nini serikali umtume mjumbe mmoja tu kwa ishu muhimu kama hiyo wellnimehuzunishwa na yaliyomkuta lkn kweli tunatakiwa kujiuliza ilikuwaje jamaaa (dr) kulichukulia tatizo kama lake binafsi kama vile kukutana na mtu mida late haf mtaani tu why nat ofcn na mida mwafaka bado haueleweki mtoa hoga inaonekana haujelewa na wala hauna history kuhusiana ma mgomo wa madaktari huna hoja na inaonyesha huna ufahamu wa kutosha juu ya hoja uliyoileta wellnimehuzunishwa na yaliyomkuta lkn kweli tunatakiwa kujiuliza ilikuwaje jamaaa (dr) kulichukulia tatizo kama lake binafsi kama vile kukutana na mtu mida late haf mtaani tu why nat ofcn na mida mwafakaclick to expand hilo hata mi nimejiuliza na kingine huyu jamaa alikua sio mtumishi wa serikali je kwanini yeye ndio alipewa shuhuli ya kutetea maslahi ya madaktari waliojariwa na serikali ina maana hakuna daktari anayefanya kazi serikalini ambae ana uwezo wa kutetea haki zao kakaissue ya dr uli ni very conflicting mimi nilianzisha thread hapa niliyoiita ukweli mchungu na dr katolewa kafara kule maswali yoote haya niliyauliza kiufupi tuombe drapone atasaidia sanakujibu haya maswali huyu dr deo naye pia anamsaada mkubwa kwenye uchunguzi huu issue sensitive hizi mara wende stereo mara leaders ukisoma between the lines utaona kama hawa madaktari ndio walikuwa desparate zaidi kukutana na huyo jamaa nimesema hivi kwa kuzingatia attempts zilizofanywa na ma dr wetu hawa kukutana na huyo jamaa bila kutumia common sense (mnisamehe nimekosa neno zuri zaidi) kwa sababu kuu muhimu 1 time of the meeting usiku 2 location of the meeting kilabuni tunaamini kama madkatari zetu ni watu vipanga darasani basi tusaidieni kudadavua hizi hoja za mshangao tunaamini kama madkatari zetu ni watu vipanga darasani basi tusaidieni kudadavua hizi hoja za mshangaoclick to expand 1 kilabuni kwasababu ni open space 2 usiku kwa sababu ndo muda waliokuwa free mchana walikuwa msibani 3 yule mtu walikuwa wanamjua alikuwa ndo kiungo cha wao na serikali na pia hata kwenye mgomo wa kwanza walishirikiana nae afichue siri gani si inajulikana kuwa jamaa ni kiongozi wa mgomoclick to expand wakati anateswa alitakiwa kusema nani yupo nyuma ya mgomo yaana ametumwa na nani kuhamasisha mgomo tafakari chukua hatua swala hili halihitaji elimu ya darasani mkuu sasa hapo kwenye watu wengi namna hiyo mtu anaweza kuwa kidnapped bila mashahidi wengine kuwepo ambao walishuhudia tukio maana hapa stori ya kutekwa inasemwa na ulimboka na kuwa substantiated na daktari mwenzake/wenzake pasi na kuwepo independent party aliyeona mchezo mzima mimi narudia tena na tena ulimboka hakutekwa aliondoka na watu anaowafahamu vizuri akapanda nao kwenye gari sasa tuombe apone atuambie alikuwa na kina nani 3 yule mtu walikuwa wanamjua alikuwa ndo kiungo cha wao na serikali na pia hata kwenye mgomo wa kwanza walishirikiana naeclick to expand hao madaktari wachache walikuwa wabinafsi walitaka kutumia huo mgomo kwa maslahi yao wenyewe ndio maana hawawezi kuja mbele ya watu wakaelezea mambo yalivyokuwa na kilichotokea wanasubiri ulimboka apone wajipange nini cha kuongea ili stori zao zisipishane kwanini huyo dr deo haji mbele ya vyombo vya habari atuambie hasa nini kilitokea maana naona anakimbilia kwenda kusema kwa wanaharakati badala ya kwenda kwenye vyombo husika tafakari chukua hatua swala hili halihitaji elimu ya darasani mkuuclick to expand kwani hujui nani yuko nyuma ya mgomo yote ilikuwa ku divert attention jamaa wana motive nyengine tofauti kabisa pamokonunda said you have to make me quite first so asto solve the problemclick to expand hiki kiingereza cha wapimabwepande au pamokonunda naomba nikiri awali ya yote kwamba mimi si msemaji wa dr ulimboka naamini maswali yako yameelekezwa kwa dr ulimboka ambaye kwasasa anapigania uhai wake baada ya ufedhuli aliofanyiwa ambao kwa maswali yako naona unajenga hoja kwamba ni kosa lake yalioyomkuta/yaliyompata nakupa majibu kwa uelewa nilionao kama ifuatavyo i) kwanini wakutane sehemu kama izo na dr akiwa na mtu ambae sio kiongozi wa madr jibu ni kawaida ya watu kukutana sehemu zenye huduma mbalimbali kwa maongezi vikao kuanzia vya kazi hadi vya kijamii hufanyika na kuwakutanisha watu sehemu kama izo sehemu za bustani kama ilivyokua zamani zilee pale clock tower opposite karimjee(garden)mnazimmoja nk ambazo watu walikua wakikutana na kuongea kwasasa hazipo tena kuhusu kuandamana na daktari mwenzie ni hali ya kawaida sana wewe utakua tofauti na walio wengi kwa kutembea peke yako au na watu wa kada yako mfano kama wewe kiongozi viongozi wenzio 2 kwani jumuiya ya madactari hawana ofisi hadi wakutane bar jibu ni vyema ni nikakusaidia kukutafsiria maana ya jumuia ya madaktari jumuia wa madaktari ni mkusanyiko au jumuiko la watu wenye kada ya udaktari kwa kipindi fulani likiwa na ajenda ya pamoja mkusanyiko huu unaweza kutokea wakati wowote kikundi hiki kinapokutana na sio chama ambacho kinaongozwa na katiba kwa maana hiyo siyo lazima mkusanyiko wa namna hii kuwa na ofisi mahali popote hata chini ya mti panaweza kuwa mahala muafaka kwa kiongozi wa jumuia kukutana na watu mbalimbali ikumbukwe kiongozi wa jumuia kama hii ni kwa kipindi cha ajenda husika tu na sio kazi au jukumu la kudumu 3 kwanini dr ulimboka alikuwa anachukua yeye binafsi jukumu la kuongea na upande wa pili bila kushilikisha viongozi wenzake wa jumuiya nini kilikuwa kinaendelea hapa au ndo zana nzima ya you have to make me quite first so asto solve the problem jibukwasababu hakuna namna ya kuvua uongozi wakati unapokuwa kwenye shuguli binafsi yaani unaendelea kuwa kiongozi hata pale unapokutana na marafiki na watu mbalimbali ni kosa kufikiria kwamba kwa kila atakayekutana naye ni lazima awe ameambatana na viongozi wengine au hatakufikiria ni lazima afanye maongezi au maamuzi kama kiongozo na sio ulimboka the doctor as for your last statement in english i belive it reflects your thoughts rather than the situation that had envolved dr ulimboka with very sad consequences ni maswali ya msingi sana unayauliza yaani mwenyewe nakuna kuchwa kuhusu hilo nashindwa kuelewa hivi hawa ma dr walimchukulia mtu huyo kama nani hasa kwa ni muwakilishi wa serikali awasiliane nao peke yake nao wakamuamini huyo mtu ana cheo gani serikalini mpaka akutane na hawa jamaa usiku tena kilabuni
2017-04-25T19:02:23
https://www.jamiiforums.com/threads/upande-wa-pili-wa-maswali-kwa-dr-ulimboka.287771/
watoto wamwaga machozi mahakamani wakitoa ushahidi baba alivyomnyonga mama yao mbukuzi watoto wamwaga machozi mahakamani wakitoa ushahidi baba alivyomnyonga mama yao nililala lakini niliposhtuka nilimwona mshtakiwa akifanya hivi halafu hivi (alionyesha mahakama mikono ya mshtakiwa ilivyokuwa imeshika kichwa na kidevu na kukizungusha) mama alikuwa akipiga miguu kitandani na kutoa kelele kwa mbali god aliniambia nisipige kelele mimi nikanyamaza nikamwona akitoka nje sikujua kilichoendelea kwani niliendelea kulala hadi asubuhi alidai hussein siku hiyo sikumwona godfey na sikujua alikokwenda lakini baadaye nilisikia watu wakilia nyumbani kwetu ndugu zangu wakaniambia mama yetu mzazi amefariki (dunia) alidai shahidi huyo na kusababisha ndugu wa marehemu waliofika mahakamani kusikiliza kesi hiyo kuanza kutoa machozi usiku nilishtuka nikasikia mama na godfrey wanagombana mtoto wa mama mdogo alikuwa anaogopa nikamwambia yataisha sisi tulale tukabaki macho kitandani mtoto wa mama mdogo akabanwa na haja ndogo hivyo tukatoka nje kujisaidia alidai khadija sisi tulimjibu tunaenda kujisaidia akasema haya tuliporudi tukasikia godfrey akifungua mlango wa sebuleni na kutoka nje sisi tulijificha nyuma ya mlango wa sebuleni tulimsikia godfrey akimgongea mpangaji wa chumba cha nje na kumuuliza kama alisikia kelele yule mpangaji akamwambia hakusikia kelele alidai shahidi nilikuta mama kalala niliendelea kumwamsha bila mafanikio nikamfunua alikuwa hajavaa nguo nikamshika kifua kuona kama roho yake inadunda ilikuwa haidundi nikatoka nje nikipiga kelele mama mwenye nyumba aliniuliza nikamwambia mama yangu hahemi amefunikwa nguo majirani walikuja na kumwangalia wakasema atakuwa amezimia wakamvalisha nguo na kumpeleka hospitalini alidai mama pia alishawahi kunambia kwamba mwanangu nikifa godfrey ndiye kaniua alidai previous previous post rais kenyatta wa kenya kufanya ziara binafsi ya siku 2 katika wilaya ya chato mkoani geita kwa mwaliko wa mhe rais magufuli next next post taarifa kwa umma kutoka tcra kuhusu mawakala wanaosajili laini za simu
2019-12-06T04:24:20
https://mbukuzihuru.com/2019/07/04/watoto-wamwaga-machozi-mahakamani-wakitoa-ushahidi-baba-alivyomnyonga-mama-yao/
uchambuzi kwa nini serikali imeona hoja mapenzi ya jinsia moja tu mzalendonet uchambuzi kwa nini serikali imeona hoja mapenzi ya jinsia moja tu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dk augustine mahiga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini dar es salaam kushoto ni kaimu mkurugenzi wa idara ya amerika na ulaya jestas nyanmanga picha ya maktaba khalifa said mwananchi jumamosi disemba 22 2018 hatua ya bunge la umoja wa ulaya (eu) kutoa azimio kuhusu tanzania kwa kile bunge hilo imetaja kuwa ni kutokana na kukithiri kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na misingi ya utawala bora nchini tanzania bunge la eu limeibua mjadala huku maoni kinzani yakiendelea kusikika kati ya wale wanaoliunga mkono na wanaolipinga bunge hilo linaloundwa na wajumbe 751 kutoka nchi wanachama 28 za eu lilitoa azimio hilo la pamoja alhamisi ya wiki iliyopita ikiitaka serikali ya tanzania ifanyie kazi malalamiko yanayohusu hali ya uzorotaji wa haki za binadamu na uhuru wa kiraia nchini azimio hilo lililobeba mapendekezo 15 limeitaka serikali ya tanzania kujitafakari katika namna inavyoshughulikia suala la haki za binadamu na kuitaka ilinde mafanikio madogo yaliyokwisha fikiwa na tanzania katika eneo la kuheshimu haki za kiraia kwa wananchi wake pamoja na kunakiliwa kwa serikali azimio hilo pia limetumwa kwa mashirika mengi ya kimataifa yenye uhusiano na tanzania mpaka wakati wa kuandika makala haya serikali haijatoa majibu rasmi kuhusu azimio hilo huku waziri mwenye dhamana na mambo ya nje dk augustine mahiga akiliambia gazeti la mwananchi wiki iliyopita kwamba hayuko tayari kujibu chochote kwa sasa kwani anasubiri maelekezo kutoka kwa raisi john magufuli hoja za eu za azimio lenyewe wabunge hao wa umoja wa ulaya pamoja na mambo mengine wameitaka serikali kuondokana na sheria sera pamoja na vikwazo vingine vyote vinavyozuia uhuru maendeleo kamili ya watu na ambazo haziendani na mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu miongoni mwa sheria na vikwazo hivi ni pamoja na vile vinavyominya haki ya watu kujikusanya pamoja kwa malengo ya kisiasa na haki za akina mama na wasichana za kuishi maisha mazuri yasiyo ya bugudha huku wakiitaka serikali ibadilishe msimamo wake na kuwaruhusu wasichana wenye ujauzito kuendelea na masomo kufuatia taarifa za uwepo wa kesi zilizohusisha mashambulio dhidi ya waandishi wa habari watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja watetezi wa haki za binadamu na viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani azimio hilo lenye kurasa sita limeagiza kufanyika kwa uchunguzi huru katika matukio hayo ili wahusika wake waweze kuwajibishwa kisheria wabunge hao kwa umoja wao pia wametaka kufanyika kwa marekebisho ya baadhi ya vifungu katika sheria ya makosa ya mtandao kanuni za maudhui mtandaoni na sheria zingine kandamizi ili kuhakikisha uhuru wa watu kujieleza haijawahi kutokea hii ni mara ya kwanza kwa bunge hilo la eu kuwahi kutoa azimio kuhusu tanzania tangu kuanzishwa kwake mnapo mwaka 1993 wadadisi wa mambo wanabainisha kwamba hatua hiyo inaashiria umakini wa umoja huo ambao unajumuisha mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi duniani kama uingereza ujerumani ufaransa na italia katika mahusiano yanayozidi kuchafuka kati yake na tanzania uamuzi huo wa bunge hilo unakuja kufuatia tamko lililotolewa oktoba mwaka huu na eu likabainisha mzozo wake na tanzania kutokana na kile ilichokitaja kuwa ni kulazimishwa kuondoka kwa mwakilishi wake nchini tanzania roeland van de geer nchi wanachama wa eu kwa sasa zipo katika majadiliano na serikali katika kujaribu kurejesha mahusiano yao kufuatia mtikisiko unaoendelea kutokea baina ya pande mbili hizo huku nchi zingine kama vile denmark ikitangaza kuondosha msaada wa takribani dola milioni kumi za kimarekani (sh229 bilioni) ni katika mazingira kama haya ambapo waziri wa fedha na mipango dk philip mpango amenukuliwa na vyombo vya habari wiki hii akisema kwamba nchi inapita kwenye kipindi kigumu kutokana na wafadhili kupunguza kutoa misaada akizungumza katika mkutano kati yake na watoa huduma za serikali katika kukusanya mapato dk mpango alisema kwamba hali hiyo inatokana na wanaotoa misaada kuambatanisha masharti mengi ambayo ameyaita ya ovyo moja kati ya masharti hayo ya ovyo ni pamoja na lile linaloitaka tanzania kuhalalisha mapenzi ya jinsia moja kitu ambacho dk mpango amenukuliwa akisema nchi haiwezi kukubaliana nacho azimio pekee halitoshi kwa mujibu wa mkurugenzi wa mambo ya nje wa chama cha wananchi (cuf) ismail jussa azimio hilo la bunge la ulaya ilikuwa ni kitu cha kutegemewa kwa kuzingatia matukio ya hivi karibuni ambayo yamekuwa yakitokea tanzania jussa anasema hii inatokana na ukweli kwamba kuna mambo yameshakubalika kimataifa kama tunu za pamoja kama vile demokrasia na haki za binadamu ambazo kila mmoja katika jumuiya ya kimataifa anategemewa kuziheshimu na kuzifuata ni kile kile ambacho sisi ndani ya nchi tumekuwa tunakiomba lakini serikali imekuwa ikitupuuza anasema jussa zitto kabwe ambaye ni kiongozi wa chama cha actwazalendo ameliita azimio la bunge la eu kama malalamiko halali kutoka kwa chombo cha kimataifa ambacho kimekuwa ni rafiki yetu kihistoria kuhusu uminywaji wa haki za msingi katika nchi yetu zitto anabainisha kwamba suala la kufanyia kazi mapendekezo yaliyomo kwenye azimio au la ni la serikali kuamua lakini hiyo haibatilishi msingi wa hoja zenyewe zinazopendekezwa na azimio katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk vincent mashinji anasema kwamba azimio hilo limekuja kwa kuchelewa sana kwani lilitakiwa kuja mapema zaidi sisi kama chama tunaliunga mkono azimio hili anasema dk mashinji lakini azimio tu halitoshi linatakiwa lifuatiwe na usimamizi endapo kama serikali itaamua kulipuuza na kuendelea kukiuka haki za binadamu serikali ikae chini na eu lakini kwa mujibu wa mhadhiri wa masuala ya diplomasia kutoka kituo cha mahusiano ya kigeni (cfr) profesa kitojo profesa wetengere anasema kwamba azimio hilo halipaswi kuungwa mkono na yeye binafsi analipinga kwa nguvu zote anasema kwamba tanzania ni nchi huru yenye mila na desturi zake zinazoongoza ufanyaji wa mambo tofauti ni nani ana umiliki wa maana ya haki za binadamu nani anamiliki maana halisi ya uhuru wa vyombo vya habari utagundua kuwa hakuna mtu mwenye umiliki huo kila mtu yupo huru kuyapa maana maneno haya kulingana na mila na desturi anazozisimamia pamoja na mazingira ya nchi husika anasema profesa wetengere hata hivyo profesa wetengere ameishauri serikali ione ni jinsi gani inaweza kufanya mazungumzo na eu ili kuweka sawa mambo kuna umuhimu wa kukaa na kuongea serikali inahitaji kueleza kwa nini inafanya kile inachofanya si kukubali masharti bali kuongea na kujadiliana ili kufikia maelewano naye mbunge wa tarime vijijini john heche amekiita kitendo cha serikali cha kugusia mapenzi ya jinsia moja ni propaganda iliyokusudiwa kuwaficha wananchi kuujuwa ukweli wa jambo lenyewe akiandika katika ukurasa wake wa twitter heche ameitaka serikali kujibu hoja zote zinazosababisha nchi ikose sifa za kupata misaada kama ilivyokuwa zamani mwandishi anapatikana +255 716 874 501 upinzani watoa tamko zito kuhusu hali ya hamad rashid kuacha siasa adam mwakanjuki afariki duani hamad rashid aukokonea nsoo
2019-01-18T18:25:31
https://www.mzalendo.net/habari/uchambuzi-kwa-nini-serikali-imeona-hoja-mapenzi-ya-jinsia-moja-tu.html
soma ujumbe huu | jamiiforums | the home of great thinkers soma ujumbe huu discussion in 'uchaguzi tanzania' started by chimunguru sep 25 2010 kupitia email yangu ya kazini nimetumiwa ujumbe huu wakinge uwapendao na ccm vunja ukimya zungumza na mwenzio chagua chadema okoa taifa lako na mafisadi badili mfumo kwa kura yako ccm haikubaliki” kupitia email yangu ya kazini nimetumiwa ujumbe huu wakinge uwapendao na ccm vunja ukimya zungumza na mwenzio chagua chadema okoa taifa lako na mafisadi badili mfumo kwa kura yako ccm haikubalikiclick to expand haikubaliki kweli nimesambaza mkuu umeshahau kumalizia ujumbe huu unaletwa kwenu kwa hisani ya watu wabeckybeckybecky malizia mwenyewe haha huo ujumbe unasambazwa kama njugu sasa hivi tehe mafisadi lazima wang'oke mkuu ujumbe unatembea sasa kwenye maemail umeshahau kumalizia ujumbe huu unaletwa kwenu kwa hisani ya watu wabeckybeckybecky malizia mwenyeweclick to expand unaletwa kwenu kwa hisani ya watu wa mabadiliko ya kweli ni ujumbe mzuri sana ngoja nisambaze kwenda namba zote zizoko kwenye simu kupitia email yangu ya kazini nimetumiwa ujumbe huu wakinge uwapendao na ccm vunja ukimya zungumza na mwenzio chagua chadema okoa taifa lako na mafisadi badili mfumo kwa kura yako ccm haikubaliki”click to expand ungemalizia hivi ningefurahi zaidisambaza ujumbe huuusisambaze ukimwi kwa hisani ya watu wa karatu nani achague chama cha mafisadi
2016-10-23T23:49:12
http://www.jamiiforums.com/threads/soma-ujumbe-huu.75280/
the tragedy of king richard iii (large print 9780554263779 kununua kitabu home > utafutaji > 9780554263779 vitabu vyote kwa 9780554263779 linganisha kila kutoa 9780554263779 () au 0554263777 isbn (kuweka mbadala) 0554263777 9780554263779 kategoria taal & letteren letterkunde / meer geschiedenis en politiek meer / romans algemeen / toneel maneno muhimu books literature & fiction dramas & plays shakespeare literary kupata vitabu vyote inapatikana kwa namba yako isbn 9780554263779 linganisha bei haraka na kwa urahisi na kuagiza mara moja inapatikana nadra vitabu vitabu kutumika na mkono wa pili vitabu vya kichwa the tragedy of king richard iii (large print edition) kutoka shakespeare william zimeorodheshwa kabisa
2017-09-24T10:19:25
https://ke-sw.diebuchsuche.com/vitabu-isbn-9780554263779.html
sangara wa chadema kuhamia tanga sept 3 | jamiiforums | the home of great thinkers sangara wa chadema kuhamia tanga sept 3 discussion in 'jukwaa la siasa' started by sirjaphet aug 28 2012 [h=2][/h] jumanne agosti 28 2012 0542 na oscar assenga tanga chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya tanga mjini kinatarajiwa kufanya mikutano ya hadhara katika kata zote zilizopo wilayani hapa kuanzia septemba 3 mwaka huu katibu wa chama hicho wilaya ya tanga mjini khalid rashid aliliambia mtanzania jana kuwa mikutano hiyo ya kisiasa itakuwa na malengo mawili alisema lengo la kwanza ni kuelimisha wananchi kujiunga na chama hicho na kuimarisha matawi yao yaliyopo katika kata mbalimbali rashid alisema lengo la pili litakuwa ni kuwaandaa wanachama waliopo wilayani hapa kwa ajili ya ujio wa viongozi wa chama hicho taifa pamoja na wabunge katika operesheni sangara awamu ya pili alisema operesheni hiyo itaanza mwezi ujao katika mikoa mbalimbali hapa nchini ambapo itaanzia mkoani hapa na kuendelea nchi nzima ikiwa na lengo la kukiimarisha chama hicho katibu huyo alisema katika uhamasisha huo watahakikisha wanazungumza kuhusu kukichangia chama hicho kwa ajili ya zoezi la uhamasishaji wa wananchi kujiunga na chama hicho akizungumzia suala la sensa rashid alisema suala hilo ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi na hivyo wananchi wanapaswa kushiriki kikamilifu ili kuiwezesha serikali kupata takwimu halisi za wananchi wake “watanzania ni lazima wafahamu kuwa mchakato huo ni muhimu kwa maendeleo ya nchi hivyo wananchi waliopo hapa nchini hawana budi kuonyesha ushirikiano kwa makarani wa sensa” alisema wafike muheza wawafungue wale wabondei miaka 50 ya uhuru maji ya bomba ni jambo la anasa inatia uchungu sana wakati chanzo cha maji ya tanga kipo muheza lakini siasa inakwamisha zoezi hili safi sana m4c twanga kote kote kila kona maandalizi mema make sure vibali vinapatikana in time tusonge mbele aiseee babaangu naomba utupe update huku kwetu rombo watakuja lini mi na mke wangu 2nataka kuvua magamba maana yanawasha tanga hawapati kitu ni kama wanajisumbua karibu sn mtuletee tumaini jipya
2017-07-28T19:23:02
https://www.jamiiforums.com/threads/sangara-wa-chadema-kuhamia-tanga-sept-3.314550/
wachimbaji watelekeza madini na pikipiki na kukimbilia vichakani michuzi blog home habari matukio taarifa wachimbaji watelekeza madini na pikipiki na kukimbilia vichakani kamishna wa tume ya madini dkt athanas machiyeke akifukia shimo barabari ili kuwezesha magari yapite yaliyo kuwa yanaelekea mgodini kwa kwa lengo la kwenda kukagua shuguli za uchimbaji mwenye sakafu ni mkuu wa wilaya ya gairo na mwenye sare nyeupe ni askari wa usalama barabarani wilaya ya gairo sarehe rajabu mkambaku
2019-05-24T05:26:39
https://issamichuzi.blogspot.com/2019/04/wachimbaji-watelekeza-madini-na.html
maendeleo halisi hayapatikani afrika ila kwa ushirikiano wa kikanda | africaupya katibu mkuu msaidizi wa umoja wa afrika ahunna eziakonwa ndiye mkurugenzi mpya wa ofisi ya mkoa wa afrika wa shirika la umoja wa mataifa la programu ya maendeleo (undp) bi eziakonwa alikuwa amehudumu kama mratibu wa makazi wa umoja wa mataifa nchini misri uganda na lesotho katika mahojiano yafuatayo na kingsley ighobor kutoka afrika upya anajadili masuala muhimu yanayohusu maendeleo ya kiuchumi ya afrika ikiwemo uwezeshwaji wa wanawake na vijana na eneo la biashara huru afrika linalotarajiwa kuanza miezi michache ijayo hizi hapa nukuu fupi afrika upya katika toleo la hali ya uchumi wa dunia na matarajio ya 2018 la hivi majuzi ukuaji wa kiuchumi wa afrika wa 2019 umekadiriwa kuwa asilimia 34 ongezeko dogo la asilima 09 kutoka 2018 je mataifa yanafaa kufanya nini kuongeza kasi ya ukuaji wa kiuchumi ahunna eziakonwa uzalishaji wa chini ni tatizo kunafaa kuwa na upokezi wa uvumbuzi na teknolojia mpya ili kuongeza uzalishaji katika kilimo na biashara ndogondogo kilimo cha kisasa katika mataifa mengi ni cha kiwango cha chini kwa sababu bado kinatumia njia za kale mashine hazitumiki na sio kilimo cha biashara hiyo inamaanisha bado tuna nafasi kubwa hapo chumi za bara hili zingali telezi sana kwa bei za bidhaa katika somo la kimataifa kwa sababu hiyo suluhu ni kutumia njia mseto afrika lazima iwe na bidhaa mseto na kuongeza thamani kwa bidhaa zake za kimsingi ili kuzuia kupotea kwa ajira mwaka 2003 viongozi wa afrika walikutana maputo msumbiji na kukubaliana kuwekeza angalau asilimia 10 ya bajeti zao za kitaifa katika kilimo ni mataifa machache yaliyotimiza makubaliano hayo ni kwa nini baadhi ya mataifa hayawekezi pakubwa katika sekta ya kilimo miaka kumi na mitano tangu azimio la maputo ni mataifa saba tuburkina faso misri niger mali malawi senegal na zambia yametimiza lengo hili kwa hakika mataifa kama malawi yamezidisha lengo hili huku yakifikia asilimia 21 mwaka 2013 ikilinganishwa na kiwango cha wastani cha asilimia 31 ya afrika kusini mwa jangwa la sahara kuna masuala kadha yanayochangia uwekezaji duni katika kilimo barani afrika utekelezaji wa mpango wa marekebisho ya miundo barani ulipunguza fedha za kilimo ufadhili duni wa kimataifa wa kilimo unapunguza nafasi ya sera za matumizi ya kilimo nia duni ya kisiasa ya kuharakisha utoaji wa ruzuku kwa pembejeo kuongeza wafanyakazi wa ugani utafiti na miundomsingi wa vijijini na riba ya juu ya mikopo hupunguza upatikanaji wa fedha kwa wakulima wa mashamba madogo mageuzi ya ardhi ni muhimu ili kuzuia kugawiwa kwa mashamba kwa kusudi la kuinua mapato kutokana na mashamba makubwa serikali za afrika zinapaswa kupewa nafasi kuwa na sera za kuwekeza katika kilimo na kilimo cha biashara ili kuendeleza njia tofauti za kukuza kiuchumi ugawaji wa ardhi huathiri wanawake kwa kiasi kikubwa na kuna wanawake zaidi kuliko wanaume wanaohusika katika kilimo je haya ni masuala sababishi hilo ni moja ya matatizo ambayo niliyokuwa nikizungumzia awali sheria zinapaswa kukaguliwa upya ili kurekebisha baadhi ya matatizo haya kama ulivyosema katika mataifa mengine asilimia 80 ya wale wanaohusika katika shughuli za kilimo ni wanawake lakini hawana umiliki wa ardhi hawana haki za umiliki utafiti umeonyesha kuwa maendeleo ya afrika hayatapata mageuzi pasi na kuingiza wanawake katika uchumi rasmi ripoti yetu kuhusu maendeleo ya binadamu barani afrika (africa human development report 2016) iligundua kwamba chumi za afrika kusini mwa jangwa la sahara zimekuwa zikipoteza karibu $95 bilioni kila mwaka tangu 2010 kwa sababu ya pengo la jinsia katika soko la ajira wanawake tayari wako lakini kwa kiasi kikubwa wako katika uchumi usiorasmi na usiodhibitiwa kwa sheria hebu waza basi kama ukiachilia nguvu vipawa na kujitolea kwa wanawake mataifa yanaweza kufanya nini hasa ili kukabiliana na hali hiyo lazima tuondoe sheria zote zinazowazuia wanawake kuhusika na kujiunga katika uchumi rasmi wanawake wanahitaji harakati za uhamasishaji ili kuondolewa kutoka kazi za kitamaduni maadam waweze kuwa na wakati wa kuendeleza elimu yao na kuweza kushindana katika uchumi uwekezaji halisi wa kifedha kimakusudi ili kuunga mkono elimu ya wanawake ni muhimu uwezeshwaji kisiasa ni muhimu pia tumeshuhudia mataifa kama rwanda na misri yakichukua mwelekeo huu mwelekeo huu unapaswa kuwa kote katika sekta ya umma na binafsi harakati za kusawazisha usawa wa kijinsia za undp ambazo zimezinduliwa katika mataifa kama uganda yana lengo la kukuza usawa wa jinsia katika maeneo ya kazi wanawake huwa na sifa gani za kipekee naam ukiwauliza baadhi ya marais wa afrika ambao wamewateua wanawake watasema wanawake hawana ufisadi sana na unapata uwajibikaji zaidi katika matumizi ya rasilimali ukimwajiri mwanamke pia wanawake ndio wanaosimamia maisha ya familia zao katika mataifa mengi kiongozi anayejifanyia kazi ambaye anakumbana na hali halisi ya kila siku anaweza kufanya maamuzi yanayopendelea maendeleo ya mwanadamu kwa sasa mataifa 52 yametia saini mkataba wa makubaliano ya eneo la biashara huru la bara la afrika (afcfta) lakini mataifa 18 tu yametekeleza makubaliano hayo afrika inaweza kupata nini kutokana na eneo la biashara huru kila kitu sioni mustakabali wa maendeleo barani afrika bila ushirikiano fanifu wa kikanda huenda ni moja ya hatua muhimu sana ambazo bara hili limechukua kushughulikia kinaya chake cha soko ingawa idadi ya watu afrika ni zaidi ya bilioni 12 na inatarajiwa kufikia bilioni 25 kufikia 2050 masoko yetu ni madogo na yamegawanyika na hayana nafasi ya kushindana kimataifa yasiposhirikiana hivyo biashara kati ya mataifa ya afrika itaongeza ushindani wetu kwa mujibu wa biashara ya kimataifa je umoja wa mataifa unafanya nini ili kuhamasisha mataifa yaliyobaki nyuma kujiunga na afcfta umoja wa mataifa ukiongozwa na kamisheni ya uchumi ya afrika unalisaidia eneo la biashara huru shirika la undp linaamini kuwa mataifa yaliyobaki nyuma yanahitaji kupata habari zaidi kuhusu jinsi yatakavyoathirika ili yaweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu jinsi ya kushiriki kikamilifu katika mchakato huu tueleze kuhusu kazi ya undp barani afrika kwa sasa shirila la undp liko katika kila taifa la afrika tunajiona kama washiriki wa mataifa katika safari zao za maendeleo tunasaidia jamii kujenga fursa bora za maisha na tunasaidia vijana katika ujasiriamali na kufanya kazi na nchi kuondoa hatari kwenye mazingira ya uwekezaji mwaka wa 2017 tulitoa ripoti ya kwanza ya kina juu ya ukosefu wa usawa wa mapato afrika iliyopendekeza mkakati wa maendeleo unaoashiriwa na mti wa usawa na matawi manne makuu idadi ya watu misingi ya uchumi maendeleo ya binadamu na ukuaji katika miaka mitano iliyopita jitihada zetu za kuongeza upatikanaji wa umeme zimefikia waafrika milioni 335 katika jamii 3472 pia tunasaidia mataifa kuunda uti wa mgongo wa kisheria ili kutoa huduma na ukuaji wa uchumi mwishowe tunafanya kazi na washirika wa kiafrika kubadili taarifa za maendeleo ya bara hili na kulionyesha kama nyenzo ya ukuaji wa ulimwengu je unaweza kutaja taifa moja au mawili mlipopata mafanikio makubwa hadithi nyingi za mafanikio zinakuja akilini kama vile enterprise uganda shirika lililoanzishwa na undp zaidi ya miaka 20 iliyopita shirika hili kwa sasa ni taasisi ya kujitegemea yenye uwezo wa kusaidia taasisi kukua katika biashara nchini misri undp ilisaidia kuanzisha ubadilishanaji wa kwanza wa bidhaa ambao umeongezeka kuwa biashara ya mamilioni ya birr [hela za misri] na soko la hisa la ghana ni moja ya masoko bora zaidi barani afrika kutokana na tajriba yako ukifanya kazi afrika je una matumaini kuhusu mustakabali wa bara hili nina matumaini kwa sababu afrika inaendelea wakati ambapo kuna teknolojia mpya za kushangaza ambazo zinaweza kuharakisha ukuaji tazama maendeleo ya kidijitali kwa mfano ukitaka kutengeneza kadi za vitambulisho za raia unaweza kutumia teknolojia mara moja sasa kuna nafasi nyingi za kufadhili miradi ya maendeleo kuliko hapo awali na viongozi wengi wa afrika sasa wana ufahamu bora wa uwezo wa afrika
2019-09-19T17:17:59
https://www.un.org/africarenewal/sw/magazine/aprili-2019-julai-2019/maendeleo-halisi-hayapatikani-afrika-ila-kwa-ushirikiano-wa-kikanda
waziri wa afya ummy mwalimu amtembelea mtoto anna zambi ambae alipoteza wazazi wake wote wawili na wadogo zake watatu katika ajali | mpekuzi waziri wa afya ummy mwalimu amtembelea mtoto anna zambi ambae alipoteza wazazi wake wote wawili na wadogo zake watatu katika ajali
2020-01-26T01:47:45
http://www.mpekuzihuru.com/2019/12/waziri-wa-afya-ummy-mwalimu-leo.html
mkoa wa songwe wazindua mwongozo wa uwekezaji mtaa kwa mtaa blog home habari mkoa wa songwe wazindua mwongozo wa uwekezaji michuzi blog february 17 2020 habari waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki akitoa hotuba ya ufunguzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo mkuu wa mkoa wa songwe mhe brigjen (mst) nicodemas mwangela akitoa salamu za mkoa wake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo katibu tawala mkoa wa songwe david kafulila akitoa salamu na kuitambulisha meza kuu wakati wa uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo mtafiti mkuu mshiriki wa taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) dk hoseana lunogelo akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa esrf wakati wa uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo waziri wa kilimo ambaye pia ni mbunge wa jimbo la vwawa mh japhet hasunga akitoa salamu wakati wa uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo ofisa mwandamizi uhamasishaji na uwekezaji wa mamlaka ya ukanda maalumu wa uwekezaji (epza) nakadongo fares akizungumza wakati wa uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya uchimbaji dhahabu ya shanta gold mine romani urasa akitoa ushuhuda kuhusu uwekezaji waliofanya mkoani songwe wakati wa halfa ya uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki (wa pili kushoto) akizindua mwongozo wa uwekezaji wa mkoa wa songwe ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp wakati wa hafla ya uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo wanaoshuhudia tukio hilo ni kutoka kushoto ni katibu tawala mkoa wa songwe david kafulila mkuu wa mkoa wa songwe mhe brigjen (mst) nicodemas mwangela waziri wa kilimo ambaye pia ni mbunge wa jimbo la vwawa mh japhet hasunga mkuu wa mkoa wa ruvuma christina mndeme pamoja na mwenyekiti wa ccm mkoa wa songwe ndg elynico mkola waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki (wa tatu kushoto) akionyesha nakala ya mwongozo wa uwekezaji wa mkoa wa songwe ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp mara baada ya kuzindua wakati wa hafla ya uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo huo lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo wanaoshuhudia tukio hilo ni kutoka kushoto ni katibu tawala mkoa wa songwe david kafulila mkuu wa mkoa wa songwe mhe brigjen (mst) nicodemas mwangela waziri wa kilimo ambaye pia ni mbunge wa jimbo la vwawa mh japhet hasunga mkuu wa mkoa wa ruvuma christina mndeme pamoja na mwenyekiti wa ccm mkoa wa songwe ndg elynico mkola waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki akimkabidhi waziri wa kilimo ambaye pia ni mbunge wa jimbo la vwawa mh japhet hasunga nakala ya mwongozo wa uwekezaji wa mkoa wa songwe ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp mara baada ya kuzindua wakati wa hafla ya uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo huo lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo wanaoshuhudia tukio hilo ni ni katibu tawala mkoa wa songwe david kafulila pamoja na mkuu wa mkoa wa songwe mhe brigjen (mst) nicodemas mwangela waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki akimkabidhi mkurugenzi wa taasisi binafsi nchini tanzania (tpsf) godfrey simbeye nakala ya mwongozo wa uwekezaji wa mkoa wa songwe ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp mara baada ya kuzindua wakati wa hafla ya uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo huo lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki akiwa kwenye picha ya pamoja na mtafiti mkuu mshiriki wa taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) dk hoseana lunogelo aliyepokea cheti kwa niaba ya wadau wa maendeleo undp wakati wa halfa ya uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo wengine katika picha ni katibu tawala mkoa wa songwe david kafulila pamoja na mkuu wa mkoa wa songwe mhe brigjen (mst) nicodemas mwangela waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki akisalimiana na mtafiti mkuu mshiriki wa taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) dk hoseana lunogelo wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho kwenye uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo katikati mkurugenzi wa taasisi binafsi nchini tanzania (tpsf) godfrey simbeye waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) mh angellah kairuki akisikiliza maelezo kutoka kwa mkurugenzi wa taasisi binafsi nchini tanzania (tpsf) godfrey simbeye (katikati) wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho kwenye uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo kulia ni mtafiti mkuu mshiriki wa taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) dk hoseana lunogelo baadhi ya washiriki kutoka taasisi mbalimbali za sekta binafsi serikali pamoja na wananchi wa mkoa wa songwe walioshiriki uzinduzi wa kongamano la uwekezaji mkoa wa songwe lililoenda sambamba na uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji wa mkoa huo ulioandaliwa na esrf kwa ufadhili wa undp lililofanyika kwenye viwanja vya ccm katika halmashauri ya wilaya ya mbozi mkoani humo mkoa wa songwe umezindua mwongozo wa uwekezaji na kuhamasisha wawekezaji kuchangamkia fursa lukuki zilizopo mkoani humo uzinduzi huo ulifanywa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) angellah kairuki akimwakilisha waziri mkuu kassim majaliwa uzinduzi wa mwongozo huu unaonyesha dhamira ya kweli na utayari wa mkoa wa songwe kuvutia wawekezaji katika mkoa huu bado ninatoa rai kwa mikoa ambayo bado haijakamilisha miongozo wa uwekezaji kufanya hivyo alisema akizungumza kairuki alisema waziri mkuu kassim majaliwa mbali na kuwapongeza wanasongwe kwa juhudi walizofanya za kuandaa mwongozo aliagiza majumuisho na taarifa ya kongamano apelekewe kwa ufuatiliaji zaidi mkoa wa songwe una fursa nyingi sana za kiuwekezaji na hasa eneo la kilimo pamoja na kuwepo fursa nyingine kama madini ufugaji utalii nk mna mtaji mkubwa wa watu na hivyo hamna budi mkazitumia fursa hizo kubadilisha maisha alisema kairuki aliipongeza taasisi ya utafiti wa kiuchumi na kijamii (esrf) kwa kusaidiana na mkoa kuandaa mwongozo wa uwekezaji na kuhimiza uandaliwe utaratibu wa kufanya tathimini ya utekelezeji wa miongozo pamoja na makongamano ya uwekezaji yanayofanyika nchini aidha kairuki alilishukuru shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (undp) kwa kuendelea kushirikiana na serikali kufadhili uandaaji wa miongozo pamoja na miradi mingine ya maendeleo kairuki aliipongeza pia taasisi ya sekta binafsi tanzania (tpsf) kwa kufanya kazi bega kwa bega na uongozi wa mkoa wa songwe kuhakikisha kuwa fursa za kibiashara na uwekezaji zinatangazwa na pia kongamano la uwekezaji linaleta mafanikio yaliyokusudiwa nitakuwa mstari wa mbele kutangaza fursa zilizopo katika mkoa huu na pia naomba msichoke kujifunza kutoka katika mikoa mingine jitahidini pia kuwekeza katika miundombinu muhimu ili kuvutia wawekezaji zaidi alisema alisema tangu alipowasili mkoani songwe hajasikia malalamiko yoyote kutoka kwa wawekezaji wala wananchi na hivyo aliuomba uongozi wa mkoa kuendelea kufanya kazi karibu na wawekezaji ili kuongeza mapato na makusanyo ya serikali awali akimkaribisha mgeni rasmi katika kongamano hilo mkuu wa mkoa wa songwe brig gen nicodemas mwangela alisema mkoa wa songwe umeandaa kongamano lenye lengo la kutangaza fursa na vivutio vya uwekezaji vilivyopo katika halmashauri zote za mkoa wa songwe ili kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi brig gen mwangela alibainisha baadhi ya fursa akianza na fursa kubwa ya kilimo biashara hasa kilimo cha umwagiliaji ambapo hekta 18464 zimetengwa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wa matunda na mbogamboga uzalishaji wa mbegu ambapo kwasasa asilimia 70 ya mbegu inaagizwa nje ya nchi usambazaji wa mbolea na pembejeo za kilimo na vifaa vya kukaushia mazao ili kuondoa sumukuvu brig gen mwangela aliongeza mkoa wa songwe una fursa ya kuwekeza kwenya ranchi ambapo hekta 96434 zimetengwa wilayani songwe na momba pia aliwakaribisha wawekezaji kuzalisha chakula cha mifugo kuwekeza kwenye uvuvi na ufugaji samaki kufuga mifugo mashamba ya miti vitalu vya uwindaji makampuni ya usafiri na kuongoza watalii hoteli za kitalii kambi za watalii nk aidha katibu tawala wa songwe david kafulila alisema kwamba mkoa huo umejiandaa vyema kuwa lango kuu la mataifa ya sadc alisema asilimia 70 za bidhaa za zinatoka bandari ya dar es salaam zinapita tunduma katika mkoa wa songwe hivyo ni vyema wawekezaji wakafika eneo hilo ambalo tayari linahitaji kuwa na bandari kavu alisema atakayewekeza songwe atakuwa hazungumzii soko la watu milioni 60 bali anazungumzia soko la sadc la watu milioni 400 akiongea kwa niaba ya dkt tausi kida mkurugenzi wa esrf dkt hoseana lunogelo matafiti mkuu mshiriki wa esrf alisema esrf imesaidia uandaaji wa miongozo ya uwekezaji katika mikoa 25 ambapo mikoa 15 imekamilisha uandaaji wa miongozo hiyo na mikoa mingine 10 iko katika katika hatua mbalimbali miongozo hiyo imechambua na kuainisha fursa za uwekezaji zilizopo katika mikoa husika ili kuwavutia wawekezaji dkt lunogelo kwa niaba yake dkt tausi kida alisema kuwa miongozo ya uwekezaji ngazi ya mikoa itachangia katika mwongozo wa uwekezaji wa taifa pia aliongeza kwamba kama mwongozo huo unatumika ipasavyo utasaidia kwa kiasi kikubwa kuleta matokeo yaliyo kusudiwa na hasa kuboresha maisha ya wananchi esrf tutaendelea kushirikiana na mikoa katika utekelezaji wa miongozo hii hasa kwa kufanya upembuzi yakinifu (feasibilty studies) na kuandaa miongozo ya biashara (business plans) kwa baadhi ya fursa ambazo mikoa itapenda kuwekeza alisema dkt tausi kida katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na dk lunogelo kwa mujibu wa dk kida mwongozo huo wa uwekezaji una vipengele vikuu vitano (5) i) sababu za kuwekeza mkoa wa songwe ii) maelezo ya mkoa kwa ujumla iii) fursa za uwekezaji za kipaumbele iv) mazingira wezeshi na hatua za kufuata ukitaka kuwekeza na v) mawasiliano muhimu ya mkoa aidha mwongozo utakuwa unapatikana kwenye mitandao ikiwemo tovuti ya mkoa na esrf (wwwesrfortz/investphp) kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa tpsf godfrey simbeye aliipongeza serikali ya awamu tano chini ya rais john magufuli kwa kufanikiwa kubadilisha fikra miongoni mwa watumishi wa umma naomba niwe mkweli mheshimiwa rais magufuli amebadilisha kabisa fikra za watendaji na watumishi wa umma dhidi za dhana uwekezaji na biashara waziri kairuki amekuwa msaada mkubwa sana katika eneo la uwekezaji na biashara alisema simbeye alisema sekta binafsi ina imani kubwa na rais magufuli kupitia waziri wake kairuki ambaye kwa muda mfupi tangu ateuliwe ametembelea maeneo mbalimbali hapa nchini na kuzungumza na wawekezaji ameweza kukutana na wawekezaji na wafanyabiashara kuwasikiliza changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi wa haraka kama sekta binafsi tutaendelea kufanyakazi kwa karibu ili kufikia azma ya serikali ya kujenga uchumi wa kati wa viwanda ifikapo mwaka 2025 aliongeza aidha mmoja wa wadhamini wa kongamano hilo benki ya nmb kupitia ofisa mkuu wa wateja binafsi biashara ndogo na za kati filbert mponzi alisema benki hiyo imetoa jumla ya sh bilioni 22 katika mkoa wa songwe kwenye sekta ya kilimo hasa katika mazao ya kahawa mahindi na mengine yanayolimwa mkoani humo alisema kwa mwaka huu benki hiyo imeanza kufungua akaunti kwa ajili ya wakulima kufuatia wito wa serikali kupitia wizara ya kilimo kwamba wakulima wote lazima walipwe kupitia akaunti zao za benki aliongeza kuwa akaunti hizo zitafunguliwa bure ili wakulima wote waingie katika mfumo ambao uko rasmi bw mponzi alisema benki ya nmb imeanza kutoa mikopo kwa wajasiriamali yenye riba nafuu lakini hata yenye dhamana ambazo siyo rasmi ikiwa na lengo la kuwawezesha wajasiriamali wadogo wote wanufaike na mikopo yao alisema kutokana na mikopo hiyo wana imani watatokea wawekezaji wa kati hata wadogo songwe watakaoenda kupata mkopo katika benki hiyo katika uwekezaji wake ambao imetoa mikopo ya sh bilioni 400 kwa wajasiriamali wadogo na wa kati wafadhili wengine waliopata fursa ya kutoa neno wakati wa uzinduzi wa mwongozo ni pamoja na benki ya crdb pamoja na shanta mining uzinduzi wa mwongozo wa uwekezaji mkoa wa songwe ulienda sambamba na kongamano la uwekezaji ambalo lilianza tarehe 15 februari 2020 na kuhitimishwa tarehe 17 februari 2020 na mhe waziri mkuu mstaafu mizengo pinda baada ya mhe pinda kufunga rasmi kongamano hilo washiriki walipata fursa ya kutembelea maeneo mbalimbali ya uwekejazi mkoani humo pamoja na vivutio vya utalii posted by michuzi blog at february 17 2020
2020-05-31T11:01:33
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/02/mkoa-wa-songwe-wazindua-mwongozo-wa.html
utouh azungumzia cag kuitwa na spika makala swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//4927232/medres/2219174//13kg892//ludovickjpg utouh azungumzia cag kuitwa na spika mkurugenzi wa taasisi ya wajibu na aliyekuwa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) mstaafu ludovick utouh na cledo michael michael imepakiwa wednesday january 9 2019 at 1039 pande hizo mbili zinapaswa kuelewana kiutendaji ili zifanye kazi vizuri kuhusu udhaifu wa bunge mwakasaka alisema kwenye kamati za bunge ikiwamo ya hesabu za serikali za mitaa (laac) na ya hesabu za serikali (pac) wapo maofisa kutoka ofisi ya cag na wangeweza kuwasilisha mapendekezo ya ofisi yake kama amefanya uamuzi kwa kutumia mamlaka yake anaweza kupelekwa mahakamani kwa ajili ya judicial review (taratibu za kisheria) lakini kikubwa kinachotakiwa ni kuzingatia misingi ya utawala bora alisema dk kyauke
2019-01-22T04:29:39
http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/Utouh-azungumzia-CAG-kuitwa-na-Spika/1310220-4927230-wru2f6z/index.html
mwamasikakanisa liligomboa watumwa bagamoyo kwa fedha zake | jamiiforums | the home of great thinkers mwamasikakanisa liligomboa watumwa bagamoyo kwa fedha zake discussion in 'jukwaa la siasa' started by jokakuu aug 16 2009 i never knew about this hivi kuna wanahistoria wanaoweza kutuhabarisha zaidi kuhusu matukio kama haya ktk maeneo mengine ya tanganyika askofu mwamasika said kanisa likiona watu wanataka kurudi kwenye utumwa katika nchi yao lazima liseme nawataka wanasiasa waelewe kwamba hata utumwa katika nchi hii pale bagamoyo haukuondolewa na wanasiasa utumwa uliondolewa na wamisionari waliokuja kufundisha neno la mungu tena walifanya mambo ya ajabu kwa kununua watumwa kwa fedha zao ili waachiwe huru na wao wakaenda kuwafundisha kusoma na kuandika na baadaye wakawa maketekista waliorudi kufundish watu lazima tujue historiaclick to expand joka kuu mbona hii ni common knowledge nadhani tulikuwa tunafundishwa katika historia kama si darasa la sita na la saba basi ni mwanzoni mwa sekondari kwa sie tuliosoma zamani nikifikiri sana naweza hata kukumbuka baadhi ya majina ya wamisionari waliohusika lakini cha muhimu hapa ni kuangalia context aliyoukuwa akiizungumzia askofu tuna hiyo sehemu tu lakini hatujui nia ya hayo mazungumzo ilikuwa ni nini kama nia ni kuleta makanisa na misikiti kuchangia katika kuweka mikakati serikalini binafsi nasita kidogo maana kuna watu wegine ambao hawamo katika misikiti wala makanisa hivyo haitakuwa vyema kuchanganya dini na serikali nimekumbuka mmoja wao ni william wilberforce alikuwa ni evangelist tajiri hivi sisi enzi zetu tulifundishwa kuwa wamissionari waliamua kukomesha biashara ya utumwa kwa sababu biashara hiyo ilikuwa imepitwa na wakati baada ya mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) utaratibu ukawa badala wa watu weusi kufanya kazi huko ulaya waafrika walime mazao afrika na ulaya ziende bidhaa ndio maana baada ya biashara hiyo kukoma tukapata akina carl peters waliowadanganya akina chief mangungu na mikataba yao feki ( ambayo injirudia sasa hivi) na baadaye kuanzaishwa dutch ost africa company( not sure about the spelling) na eventually kuja kwa serikali (colonisation)
2017-07-26T21:21:55
https://www.jamiiforums.com/threads/mwamasika-kanisa-liligomboa-watumwa-bagamoyo-kwa-fedha-zake.36418/
rus 2018 brazil kwa ubelgiji watakiona cha mtemakuni | shaffihdauda home world cup rus 2018 brazil kwa ubelgiji watakiona cha mtemakuni rus 2018 brazil kwa ubelgiji watakiona cha mtemakuni kwa mtazamo wangu kuna uwezekano mkubwa ublegiji wakatushangaza wachezaji wake wengi wana morali kubwa nimesikiliza mahojiano ya kelvin na nimetazama na baadhi picha alizoweka kwenye kurasa zake (upande wa stori instagram) kdb anasema mwaka 2013 niliambiwa nikae benchi nisubiri muda wangu hapa alimaanisha jose mourinho mwaka 2014 nikaenda ujerumani watu wakasema nimepoteana hapa akiwalenga waandishi wa habari mwaka 2016 nikarudi england watu wakasema nimefanya makosa mziki wa england siuwezi nitafeli pia aliwalenga wale mashabiki waliokuwa kinyume na man city mwaka 2017 wakasema sina uwezo wa kulibeba taifa langu hapa aliwalenga watu walioibeza ubelgiji kwamba haiwezi kufanya vziru ukijaribu kuangalia hizi kauli zake utagundua anawalenga wale wote wenye chuki dhidi yake au wale waliojaribu kukwamisha jitihada zake kelvin pia anaamini kuwa zipo changamoto nyingi katika juhudi za kutimiza ndoto zake kitimu ubelgiji ni moja ya timu hatari zaidi licha ya kwamba watu wameipa nafasi kiduchu sana kelvin pia anasema kuwa yeye sio kwamba ana kiburi lakini anaamini kwamba ili uwe mchezaji mzuri ni lazima usikilize ushauri wa watu wengine lakini wachezaji wakubwa hufanya maamuzi yao wenyewe haamini kwamba lazima wakubalike na kila mtu ili wao wafanye vizuri lakini wao wanaweza kufanya makubwa na watu wakaanza kuwakubali ukiangalia kwa makini utagundua kelvin ana imani kubwa ndani yake ambayo inaleta hamasa kwa timu ubelgiji ina timu hatari zaidi tofauti na watu wengi wanavyoitizamia mimi nina imani ukiwa na hazard mwenye mabao 69 na asisti 46 kwenye michezo 208 ya ligi kuu england huku ligi ya ufaransa akiwa na mabao 21 na asisti 41 kwenye michezo 107 akisaidiana kdb mwenye asisti 46 za ligi kuu england na mabao 21 kwenye michezo 101 huku bundasliga akiwa na asisti 36 na mabao 23 katika michezo 85 kwa watu hawa na kwa uwezo mkubwa walio nao hasa hasa wa kucheza kitimu basi una uhakika wa kuifunga timu yoyote tena mbaya zaidi ukiwa una washambuliaji wawili hatari kabisa romelu lukaku mwenye magoli 51 kwenye michezo 85 ndani ya miaka miwili na dries martens mwenyewe magoli 56 kwenye michezo 96 ndani ya miaka miwili pia unataka nini cha ziada maanake hapo una washambuliaji wenye magoli 107 ndugu yangu kama brazil watafanikiwa kuvuka wakikutana na hawa jamaa wajiandae kisaikolojia mimi nilikuwa shabiki namba moja wa brazil lakini kwa sasa nahamisha mawazo yangu kama brazil watafanikiwa kuwatoa mexico halafu wakakutana na hawa wanaume utakuwa mchezo ambao utavutia zaidi lakini brazil watakiona cha mtemakuni previous articlerus 2018 takwimu za messi na ronaldo kombe la dunia next articlerus 2018 je yusuf wa tanga atampeleka modric nyumbani ismail july 1 2018 at 718 pm belgium mbele wa nawashambuliaji watatu hatari hazard tunampa miranda lukaku tunampa silva na batman au batshuai huyo unajua atakua na kisiki marcelo alaf belgium ukimzibiti kelvin de bruno inamaanisha hazardlukaku na batman amna magoli as washambuliaji wa brazilian watazuiwa na nani ukimzuia neymar continho anakutoboa ukimzuia conti casemiro anakukaza bado jesus fiminyo wrote hao ni wakazaji pole mkuu tutashuhudia fainali na yyte hatakaye pita ndo bingwa khalid july 4 2018 at 948 pm daaah yani we hamna kitu kabisa nemles july 3 2018 at 653 am commentmwenyej hofu kua brazil itatolea na belgium bac hana tofauti na petro alie mkana yesunyote mtarudi 2 kundininjr taratbu fomu na makar yamerud alikua nje ya pitch for 3 months na bado ni hatarii asee#brazil ndie bingwa na ubelgiji itatolewa na yule yule star man neymar jr leave a reply to nemles cancel reply
2018-09-20T22:00:27
http://shaffihdauda.co.tz/2018/07/01/rus-2018-brazil-kwa-ubelgiji-watakiona-cha-mtemakuni/?replytocom=8507
yanga vs gor mahia ni kama fainali bongosoka yanga vs gor mahia ni kama fainali mara ya mwisho kwa timu hizi kukutana katika ardhi ya tanzania ilikuwa ni mwaka 1996 miaka takribani 19 imepita kabla ya kukutana tena saa chache zijazo kwenye uwanja wa taifa dar es salaam hakuna shaka kila mpenzi wa yanga atakuwa na hamu ya kuwaona nyota kama donald ngoma haruna niyonzima simon msuva mlinzi nadir haroub canavaro amisi tambwe godfrey mwashiuya na deus kaseke kwa upande wa mafanikio yanga imefanikiwa kutwaa taji la kombe la kagame mara 5 mwaka 1975 1993 1999 2011 na 2012 benchi la ufundi la yanga linaongozwa na hans van pluijm akisaidiwa na charles boniface mkwasaa gor mahia imeundwa na vipaji vingi kama michael olunga meddie kagere mlinda mlango boniface oluoch na mlinzi george odhiambo kwa upande wa mafanikio mara ya mwisho kutwaa taji hili ilikuwa ni 1985 imefanikiwa kujinyakulia taji hili mara 5 mwaka 1976 1977 1980 1981 na 1985 benchi la ufundi la gor mahia linaongozwa na kocha frank nattal mchezo ndani ya dakika 90 nionavyo mchezo huu utakuwa mgumu kwa timu zote mbili mara ya mwisho kukutana katika ardhi ya tanzania yanga ilikubali kibano cha goli 40 kutoka kwa gor mahia ikumbukwe ulikuwa ni mchezo kuwania mshindi wa tatu hapo awali walipangwa kundi moja na mchezo baina yao ulimalizika kwa sare ya goli 11 mchezo huu utaamuliwa kwa kiasi kikubwa na nidhamu ndani ya uwanja kwa dakika zote 90 atakayeruhusu kufanya makosa ya kizembe anaweza akaadhibiwa wakati wowote pia itategemea jinsi ambavyo mabenchi ya ufundi ya timu zote zitakavyo waandaa wachezaji wao kimbinu kiakili na kisaikolojia vinginevyo hii ni kama fainali yanga atahitaji kulipiza kisasi huku gor mahia wakitaka kuanza vema michuano hiyo mpira ni dakika 90 tusubiri tujionee >makala hii imeandikwa na halidi abdulrahman kilichojiri dakika 90 za yanga vs gor mahia kimestahili matokeo ya yanga na gor mahia kagame cup ni ubunifu wa pluijm kuzishinda mbinu za stewart soma habari zaidi kuhusu gor mahia makala za halidi abdulrahman yanga
2019-08-17T23:59:40
https://bongosoka.com/yanga-vs-gor-mahia-ni-kama-fainali/