text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
yezu me futumuna mwana ya mufwidi mosi ya mbanza naini | luzingu ya yezu kapu ya 37 yezu me futumuna mwana ya mufwidi mosi lufutumuku mosi na mbanza naini ntangu fioti na nima ya kubelula nsadi ya mfumu mosi ya basoda yezu me katuka na kapernaumi mpi me kwenda na mbanza naini yo kele na kitamina ya bakilometre kuluta 32 na sudiwesti ya kapernaumi yandi kele ve yandi mosi yandi ke kwenda ti balongoki na yandi mpi kibuka ya nene ya bantu ziku beto kele na nkokila ntangu bo me kuma na luyantiku ya mbanza naini bo me kutana ti bayuda mingi ke kwenda kuzika mvumbi bo ke nata mvumbi ya mwanabakala mosi yina bo ke kwenda kuzika na nganda ya mbanza mama ya mwana yina kele na mawa ya ngolo kuluta bantu yonso yandi kele mufwidi mpi ntangu yai mwana na yandi mosi kaka me fwa ntangu bakala na yandi fwaka yandi bikalaka ti mwana na yandi yina yandi vandaka kuzola mingi ya kieleka yandi vandaka ti bangwisana ya ngolo ti mwana na yandi sambu yandi vandaka ti kivuvu nde mwana na yandi ta tanina yandi mpi ta sadisa yandi na bilumbu ke kwisa kansi ntangu yai mwana yango me fwa nani diaka ta vandaka ti yandi mpi ta sadisaka yandi ntangu yezu me mona nkento yai yandi me wa mpasi na ntima sambu nkento yai kele na mawa ya ngolo mpi luzingu na yandi me kuma na mpasi yandi me zabisa nkento yina na mawete yonso mpi ti kivuvu nde bika kudila kansi yezu me sala diaka diambu ya nkaka yandi me pusana mpi me simba mbeto yina bo tulaka mvumbi (luka 713 14) ntangu bantu ya mbanza yina vandaka kudila me mona diambu yina bo me telema na mbala mosi yo fwete vanda nde bantu mingi me kudiyula nde mambu yai ke tendula nki mpi nki yandi ke zola kusala inki beto lenda tuba sambu na bantu yina ke sala nzietelo ti yezu bayina me monaka bimangu yina yandi me salaka mu mbandu kubelula bambefo mingi ziku bo me monaka ntete ve yezu me futumuna muntu ata bo me zaba nde bantu ya nkaka futumunaka bantu na ntangu ya ntama keti yezu mpi lenda sala yo (1 bantotila 171723 2 bantotila 43237) yezu me tuba ti kiyeka nde mwanabakala mono ke tubila nge nde telama (luka 714) mwanabakala yina me futumuka yandi me telema mpi me yantika kutuba yezu me pesa yandi na mama na yandi yina ke yituka kansi kele na kiese nkento yai kele diaka ve yandi mosi ntangu bantu me mona nde mwanabakala yai me vutuka na luzingu bo me kumisa yehowa mupesi ya luzingu bo me tuba nde mbikudi mosi ya nene me basika na kati na beto bantu ya nkaka me bakisa ntendula ya diambu ya mbote yina yezu me sala bo me tuba nde nzambi me tudila bantu na yandi dikebi (luka 716) nsangu ya diambu yai ya kuyituka me panzana na bambanza ya penepene mpi ziku na nazareti bwala yina yezu butukaka na bakilometre kiteso ya 10 na naini nsangu yango me kuma tii na yudea na sudi ya naini yoane mbotiki kele kaka na boloko mpi yandi ke tula dikebi ya mingi na mambu yina yezu ke sala balongoki na yandi bantu ke zabisa yandi nsangu ya bimangu yai yandi ta sala nki inki me salama ntangu yezu me kuma penepene ya mbanza naini yezu me wa nki mutindu sambu na mambu yina yandi me mona mpi yandi me sala nki bantu me sala nki ntangu bo me mona mambu yina yezu me sala mambu ya nene ya luzingu ya yezu na ntotokisalu ya nene ya kulonga yina yezu salaka na galilea (kitini 1) mambu ya nene ya luzingu ya yezu na ntotokisalu ya nene ya kulonga yina yezu salaka na galilea (kitini 2) mambu ya nene ya luzingu ya yezu na ntotokisalu ya yezu na galilea (kitini 3) mpi na yudea
2020-03-30T17:58:42
https://www.jw.org/kg/biblioteke/mikanda/yezu/kisalu-ya-kulonga-na-galilea/me-futumuna-mwana-ya-mufwidi-mosi-ya-mbanza-naini/
digidigi ni wanyamapori wadogo wa jenasi madoqua katika familia bovidae wanyama hawa ni miongoni mwa wanyama wadogo kabisa wa bovidae (kimo sm 3040 begani urefu sm 5070 na uzito kg 36) wanatokea savana kavu za afrika kusini kwa sahara jike ni mkubwa chache kuliko dume lakini dume ana pembe fupi na nyembamba wana ushungi kwa utosi unaoficha pengine pembe za dume rangi yao ni ya mchanga lakini mgongo una rangi ya majivu digidigi hula majani matunda na beri wanapata maji ya kutosha kutoka chakula chao kwa hivyo hawana haja ya kunywa
2019-08-20T14:03:12
http://kiwix.demo.ideascube.org/wikipedia.sw/A/Madoqua.html
wafungwa wa kitanzania walia njaa kenya | jamiiforums | the home of great thinkers wafungwa wa kitanzania walia njaa kenya watanzania zaidi ya 66 waliofungwa katika gereza la kamiti jijini nairobi nchini kenya wamelalamika kuteswa na kunyimwa chakula hivyo kuomba serikali ifanye utaratibu wa kuwarudisha nchini ili kumalizia vifungo vyao katika mazungumzo yao na gazeti hili kutoka nairobi wafungwa hao walidai kuwa wapo katika hali mbaya sana kiafya na mateso mengi ikiwa ni pamoja ya kutokuwa na chakula “kenya imetangaza baa la njaa na sisi watanzania tulioko jela tunanyimwa chakula na kuambiwa kuwa serikali ya tanzania imekataa kuuzia mahindi serikali ya kenya” walidai wafungwa hao walidai kwamba balozi wa tanzania nchini humo (hawakumtaja jina) hafiki kuwasaidia licha ya wapo kupeleka malalamiko yao tangu mwaka 2009 wakati wafungwa wengine kutoka nigeria uganda na ghana husaidiwa na balozi zao zilizopo nchini humo “tumepeleka taarifa za malalamiko yetu kwa balozi wetu tangu mwaka 2009 lakini hakufika kutusaidia na hatujui iwapo kahamishwa au katudharau” walilalamika wafungwa hao ambao hawakutaja makosa yaliyosababisha watupwe jela walidai kuwa katika gereza hilo la kamiti wako wafungwa 66 na wengine wako katika magereza ya naivasha na kisumu walidai kwa sasa kuna wafungwa wengi watanzania ambao ni wagonjwa na baadhi wanatakiwa wakafanyiwe upasuaji lakini wanaambiwa magereza ya kenya hayana fedha hivyo wasubiri ndugu zao watoe fedha ndipo wafanyiwe upasuaji wakati hawana ndugu humo aidha walidai wako watanzania wanaokufa kwa kukosa huduma za matibabu kutokana na kubaguliwa hivyo wanaomba serikali kuwarudisha nchini wamalizie vifungo vyao “tunaomba mheshimiwa jakaya kikwete atusaidie kupitia muungano wa afrika mashariki turudishwe tanzania kwani watanzania tuliopo magereza ya kenya tunanyanyasika sana…haki hakuna na tunabaguliwa sana kwani hata sasa kuna mtanzania mwenzetu amevunjwa mkono na askari na hajapatiwa matibabu yoyote” walidai wafungwa hao masikini huyo balozi mbona anakuwa na roho mbaya hivyo sasa kazi yake ni nini huko kenya navyoijua kenya ilivyo watakuwa wanateseka sana ndugu zetu masikini huyo balozi mbona anakuwa na roho mbaya hivyo sasa kazi yake ni nini huko kenya navyoijua kenya ilivyo watakuwa wanateseka sana ndugu zetuclick to expand kwani mabalozi ya tanzania yalyoko nje yanajua nin kilichoyapeleka huko zaidi ya kubweteka 2check washkaj wanavoteseka hapo sasa nadhani ingekuwa bora wange uliwa tu na polisi kama wakenya walivyofanywa pale moshi haina haja serekali ya kenya izidi kuwa host na kuwalisha bure nadhani ingekuwa bora wange uliwa tu na polisi kama wakenya walivyofanywa pale moshi haina haja serekali ya kenya izidi kuwa host na kuwalisha bureclick to expand bravo smatta ican see it in your face njaa kenya imetinga mpaka mpaka magerezani duh tatizo kwenye hayo magereza ya kenya hamna mtoto wa kigogo wa tanzaniakama angekuepo mtoto wa kigogo huyo balozi angechangamka mamayo zako mat*ko ya bibi yako mamayo zakoclick to expand mat*ko ya bibi yakoclick to expand kuna uhusiano gani na huu uzi hii habari inasikitisha sana kweli kabisa warudishwe hapa waje kwenye magereza yetu wamalize vifungo vyaowasiwatese mara 2 maana vifungo adhabu toshauchungu sana ndg zetu nadhani hii ishu ya ku export petty thieves kisha kutumikia kifungo kwenye nchi ya watu tunafaa kuimaliza kiurahisi wale wezi wangefanyiwa mob justice mara moja tumalizane nao ama police wangewapiga risasi walipowashika hamna haja ya kuwalisha na kuwapa hifadhi japo duni kwa mda mrefu na sote twajua kwa uvivu wao hawatalima mashamba ya serekali inavyotakikana kazi ni kulalamika kuwa hawajashiba ujamaa bana ngoja nianze na ww pambaffffff kenya imetangaza baa la njaa na sisi watanzania tulioko jela tunanyimwa chakula na kuambiwa kuwa serikali ya tanzania imekataa kuuzia mahindi serikali ya kenya walidai wafungwa haoclick to expand hii habari ingekuwa ya miaka hii pangechimbika hapa ukifika nyumbani kwenu muulize mama yako akupe bahasha nimekufungashia tusi lako ukifika nyumbani kwenu muulize mama yako akupe bahasha nimekufungashia tusi lakoclick to expand mamangu hapa anaingilia wapi mkuu ingawa hatukubaliana ki mawazo kunitusi haitamfaidi yeyote post yenyewe ni ya 2011 sijui mkuu emt ameipata akitafuta nini bado na simama na statement yangu ya awali wapigwe tu risasi hao wezi na wazungusha bakuli wabebwe na nairobi city council wamwagwe dar tushachoka eti chai ama breakfast ikulu ni zaid ya shilingi milion32 kwa siku iyo nikifungua kinywa tu hapo magogon angalia binadamu walivyo walafi na roho mbaya asiyefunzwa na mamayake ufunzwa jela
2017-04-28T06:31:17
https://www.jamiiforums.com/threads/wafungwa-wa-kitanzania-walia-njaa-kenya.152210/
yanga ipo pemba ikijifua kwa ajili ya mchezo wao na watani wa jadi simba zanzinews home michezo yanga ipo pemba ikijifua kwa ajili ya mchezo wao na watani wa jadi simba yanga ipo pemba ikijifua kwa ajili ya mchezo wao na watani wa jadi simba wachezaji wa timu ya yanga ya tanzania bara wakifanya mazoezi katika uwanja wa michezo gombani kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya timu ya simba mchezo huo utakaopigwa oktoba mosi katika uwanja wa taifa wa tanzania(picha na abdi suleiman pemba) kocha mkuu wa timu ya yanga hans van pluijm akiwa katika harakati zake za upangaji wa koni za kufanyia mazoezi katika uwanja wa michezo gombani katika kambi yao ya wiki moja kisiwani pemba(picha na abdi suleiman pemba) baada ya kuwasili kisiwani pemba jana mchana hatimae mabingwa watetezi wa ligi kuu ya tanzania bara timu ya yanga imeanza rasmi mazoezi yake leo katika kiwanja cha michezo gombani kisiwani pemba timu hiyo baada ya kufika kisiwani hapa iliweza kwenda moja kwa moja katika hoteli ya pemba misali sunset beachi iliyoko nje kidogo ya mji wa chake chake wesha ambako hoteli hiyo imezungukwa na bahari kikosi cha mabingwa hao wa tanzania bara wakiongozwa na kocha wao mkuu hans van pluijin na kocha msaidizi wa timu hiyo juma mwambusi na viongozi mbali mbali wa timu timu hiyo jana jioni iliweza kufanya mazoezi katika ufukwe wa bahari iliko hoteli hiyo kutokana na mazingira yake kuwa tulivu na ya kuvutia yanga iliweza kufika katika uwanja wa gombani saa mbili kamili za asubuhi kwa ajili ya mazoezi hayo yaliyotumia muda wa masaa mawili hadi saa nne kamili kumaliza timu hiyo ambayo ipo kisiwani pemba kwa ajili ya kujiandaa dhidi ya mahasimu wao wa karibu timu ya simba katika mchezo wao wa oktoba mosi mwaka huu yanga imekuwa na mafanikio mazuri kila inapowasili kisiwani pemba kwa ajili ya kambi yao kutokana na utulivu wa hali ya hewa na utulivu wa mazingira ya pemba hata hivyo timu hiyo haikutaka waandishi wa habari kupiga picha katika mazoezi yao pamoja na kutokuwa tayari kuzungumza na waandishi wa habari kutokana na mazoezi yao kufanya siri zaidi mmoja wa viongozi wao kwa masharti ya kutokutaka kutajwa jina lake gazetini alisema viongozi wakuu wamekataza waandishi wa habari kuchukuwa picha kwani wataweza kuharibu mipango ya mwalimu alisema timu hiyo itakuwepo kisiwani pemba kwa muda wa wiki moja huku wakitarajiwa kufanya mazoezi siku mbili kwa siku asubuhi na jioni ili kuwaweka wachezaji kuwa katika mazingira mazuri dhidi ya michezo yao ya mbele inayowakabili
2017-08-18T08:49:13
http://www.zanzinews.com/2016/09/yanga-ipo-pemba-ikijifua-kwa-ajili-ya.html
makubwa kutoka kwa wananchi wa mtwara | bukobawadau skip to main | makubwa kutoka kwa wananchi wa mtwara muoonekano wa jengo la mahakama ya mwanzo iliyochomwa moto usiku wa kuamkia leo nyumba ya mwenyekiti wa ccm mtwara ndugu sinani ikiwa imevunjwa tu vioo hii ndo nyumba ya mbunge hawa gasia iliyovunjwa vioo na kuchomwa moto kwa kile kinachoaminika kuwa ni kukua kwa mgogoro wa gesi mkoani mtwara na kusini kwa ujumla usiku wa kuamkia leo mahakama ya mwanzo katika manispaa ya mtwara mikindani imeteketezwa kwa moto pikipiki 17 magari 8 na nyumba kadhaa zapigwa moto wilayani masasi mbunge wa masasi (ccm) mariam kasembe hali ya kuzidi kupotea kwa utulivu ambao tanzania imekuwa ikijivunia kwa miaka mingi imeendelea kujidhihirisha leo baada ya vurugu kubwa kuzuka mjini wilayani masasi mkoani mtwara baada ya baadhi ya wananchi kufanya maandamano makubwa pamoja na kuchoma moto baadhi ya mali za viongozi chama na serikali kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni kuchoshwa na vitendo vya uonevu dhidi yao miongoni mwa mali zilizochomwa moto katika tukio hili ni pamoja na nyumba mbili za mbunge na waziri wa zamani bi anna abdallah moja iliyo katika eneo la mtambi na nyingine katika eneo la jeddah pamoja na nyumba ya mbunge wa sasa wa jimbo la masasi mariam kasembe kwa mujibu wa shuhuda wetu katika vurugu hizo chanzo cha fujo hizo kinaelezwa kuwa ni mzozo baina ya askari polisi na madereva wa pikipiki za kubebea abiria maarufu kama bodabora mzozo ambao ulianzia eneo la stendi ya mabasi mjini hapo kulikuwa na mzozo baina ya askari na waendesha bodaboda na ilikuwa katika eneo la stendi ya mabasi hapa masasi sasa baada ya mzozo huo ndio vijana wakaanza kujikusanya na kuanza maandamano hayo ambapo moja kwa moja walienda kuanza kufanya uharibifu huo ameeleza shuhuda wetu maandamano hayo ambayo yalishindwa kudhibitiwa na vyombo vya usalama mapema kabla hayajapamba moto yalielekea nyumbani kwa mama anna abdallah ambapo walichoma nyumba zake hizo mbili pamoja na kupora mali kadhaa zilizokuwa kwenye nyumba hizo kisha wakaelekea kwenye nyumba ya mbunge wa sasa wa jimbo hilo ambaye inadaiwa kuwa vijana hao wamesema amekuwa hawasikilizi wala kuonyesha kushughulikia matatizo yao hawakuandamana kwenda kwa mbunge kwa lengo la kwenda kupeleka malalamiko yao ili ayafanyie kazi bali kwenda kufanya hicho walichokifanya kwani wamekuwa wakidai kuwa mbunge wao ni muuza sura tu asiye na msaada wowote kwao wala jimboni kwao kwa ujumla ameendelea kueleza shuhuda wetu mbali ya hayo wananchi hao pia wamechoma moto ofisi ya maliasili ya wilaya ya masasi jengo moja katika ofisi za halmashauri ya wilaya hiyo ofisi za chama tawala nchini zilizoko wilayani huko aidha shuhuda huyo ameendelea kusema kuwa takriban pikipiki 17 na magari 8 vyote vikiwa mali ya serikali na watu binafsi vimeteketea kwa moto shuhuda huyo ameeleza pia kuwa wananchi hao walivamia gereza lililoko mjini hapo na kufungulia wafungwa waliokuwemo ndani ambao inadaiwa baadhi yao pia walijiunga na waandamanaji hao katika kuzidi kusababisha uharibifu kana kwamba vijana hao walikuwa wakijua wanachokifanya imeelezwa kuwa walifanya pia mpango wa kuharibu daraja linalounganisha wilaya yao na ile ya newala kwa lengo la kuweka kizuizi kwa askari waliokuwa wakitokea huko kuja kuongeza nguvu kukabiliana nao jitihada zaidi za kuwasiliana na mamlaka za kiusalama wilayani humo zinaendelea kufanywa na kikosi cha jukwaa huru na tutawajulisha wasomaji wetu wapendwa pindi mawasiliano yakikamilika source jukwaa huru posted by msiba wa komba matukio ya kuaga mwili rais dkt jakaya mrisho kikwete na mkewe mama salma wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu kapteni john kombambunge wa jimbo videowimbo wa wasanii wa kizazi kipya kumuaga john komba wasanii wa kizazi kipya waungana kuimba na kuifariji familia ya mhe john komba pamoja na watanzania kwa ujumla tazama video hapa chini zitto zuberi kabwe na hatima ya kisiasa kutokana na ulevi wa kivuli cha umaarufu tanzania na daniel ezekiel daniel zitto zuberi kabwe ni miongoni wa vijana wenye uwezo mkubwa sana wa kufikiriakuchambuakutegua mitegokuch anaitwa roderick lutembeka ni mzaliwa wa kijiji cha buganguzi kata buganguzi wilayani muleba mkoani kagera anatarajia kug ombea ubunge ni 'birthday party' ya rehema ridhiwani naam kubali au kataa bi rehema ridhiwani pichani ni miongoni mwa wanadada wenye majina makubwa mjini bukoba tuwe wote hadi matukio ya sh ajali mbaya yatokea iringa 42 wapoteza maisha mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza amethibitisha kuwa takribani watu 42 wamepoteza maisha na 23 wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea mwanasheria mkuu wa chama cha chadema tundu lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe baada shughuli ya kitchen party (mjuburo) wa bibie rukia nadhir rajabu kufanyika tar 19/4/2015 katika ya ukumbi wa linas mama amina sued kagasheki wa mtaa wa twiga (bilele ) mjini hapa anapenda kuwafahamisha na kuwaalika ndugu majirani na marafiki wa fami
2015-03-27T13:07:42
http://bukobawadau.blogspot.com/2013/01/makubwa-kwa-wananchi-wa-mtwara.html
kocha wa soka kuendeleza kucheza kutoka nyuma professional soccer coaching wachezaji 10 + eneo 1 / 2 field kufundisha wachezaji wa nje wa jukumu juu ya majukumu yao katika awamu ya kushambulia kuendeleza mwelekeo wa kushambulia kwa kutumia wachezaji wa nje wa flank katika mfano hapo juu ya timu ya kushambulia nyeupe inachanganya na kila mmoja kwa kutumia mchezaji wa flank kuunda fursa za kufanya kazi ya mpira hadi shamba na alama katika malengo ya lango kubadili majukumu ya kushambulia na kulinda baada ya dakika ya 10 vipengele vya kuanza upya vinaweza kuwa tofauti kocha anafanya kazi na timu ya kushambulia (kucheza nyuma) kutambua pointi muhimu za kuendeleza kucheza kutoka nyuma katika mfano hapo juu nafasi ya kuanzia ni doa katikati mtunzi (a4) hunashusha na huenda kupata nafasi ya kupata pesa ili kusaidia usaidizi vikwazo vya mahali kwenye nafasi za mwanzo za watetezi ikiwa wanajiunga na timu ya kucheza kutoka nyuma nyuma kwa haraka ninaanza nyuma ya nafasi ya kuanza ya njano nk timu za 2 zinashindana na kujaribu kujaribu kundi la kutetea timu kwa kufunga bao kundi la kushambulia linaonyesha kwa kucheza mpira kupitia malengo ya lango timu ya kulinda ina kugusa 7 pekee vikwazo vya kugusa vinaweza kuondolewa ikiwa ni lazima mchoro 2 utatulizi 17012015 hits 34009 kushambulia drills kazi darren pitfield 12112013 hits 23652 kushambulia drills kazi alexander trukan 15122011 hits 33768 kushambulia drills kazi darren pitfield 24012011 hits 22234 kushambulia drills kazi darren pitfield 31102010 hits 24111 kushambulia drills kazi darren pitfield 07092010 hits 25371 kushambulia drills kazi darren pitfield 19032010 hits 27505 kushambulia drills kazi darren pitfield 19032010 hits 30508 kushambulia drills kazi darren pitfield 16032010 hits 32322 kushambulia drills kazi darren pitfield 05102009 hits 19103 kushambulia drills kazi darren pitfield 15022009 hits 28664 kushambulia drills kazi darren pitfield 14012009 hits 23831 kushambulia drills kazi darren pitfield 14012009 hits 33296 kushambulia drills kazi darren pitfield
2019-09-21T01:10:10
https://sw.professionalsoccercoaching.com/attacking-functional-drills/coachdevelopingplay
maoni 294015x ufunuo 13 1010 kisha nikaona mnyama hufanya bahari na vichwa saba na pembe kumi na pembe kumi alikuwa na taji juu ya vichwa vyake majina ya makufuru mnyama niliyemwona alikuwa kama chui lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kinywa chake kama kinywa cha simba joka alitoa nguvu yake kiti chake cha enzi na uwezo mkuu mmoja wa vichwa yake inaonekana kama mortally waliojeruhiwa lakini jeraha lake la mauti lilipona nchi nzima amekwenda katika hofu katika mnyama na watu wakaliabudu lile joka ambaye alimpa huyo mnyama uwezo wake na wao wakamsujudu yule mnyama wakisema nani aliye kama huyu mnyama nani awezaye kupigana naye yeye got kinywa chake ambao ulisababisha lugha ya kiburi na unajisi na alipewa uwezo wa kutenda muda wa miezi arobaini na miwili akafumbua kinywa chake na kukufuru mungu na kuwatukana jina lake makao yake na wote wakaao mbinguni na ilipewa kupigana vita na watakatifu na kuwashinda yeye alikuwa amepewa mamlaka juu ya kila kabila watu lugha na taifa wao kuabudu wake wote wakazi wa dunia kila ambaye jina lake ni si ya uumbaji wa dunia imeandikwa katika kitabu cha uzima cha mwanakondoo aliyechinjwa kama mtu ana masikio na asikie ambaye ina kwenda mateka atachukuliwa mateka ambao wanapaswa kuwa waliuawa kwa upanga na upanga mmoja ni tafsiri ya unabii wa biblia muhimu kwa wale hatuwezi kwa njia yoyote ya upload maoni yao au chuki zao siyo lazima mzulia nini kila ishara ya kinabii tunaweza kufanya kama manabii wengi wa uongo ambao kutafsiri maandiko kama ni suti yao lazima kuruhusu biblia kutafsiri yenyewe katika makala yangu ya mwisho ni nani mpinga kristo sura ya danieli 7 ni utafiti uliofanywa na wahusika wote ni moja tu ya nguvu ambayo satisfies makala yote ya unabii ni papa system kulinganisha tu unabii wa biblia na historia na kuelewa kwa nini kanisa la roma kwa karne forbade kusoma biblia na kuteswa na kuuawa wale ambao wanaishi kwa kweli unene wa pembe kidogo kutambua wakatoliki haina mtu binafsi lakini mfumo wa kipapa watu wengi ambao kuambatana na kanisa la yesu kristo hakika upendo na moyo wangu wote kweli mungu anapenda watu seduction kitume kanisa katoliki mfumo basi kutokana na ujumbe wake ili tuweze kujifunza na kutambua onyo wa mungu kusikia sauti ya yesu na kumfuata mark ya wanyama na kona ndogo ya kitabu cha danieli ni sawa strikingly sifa misingi ya mnyama wa bahari ya ufunuo 13 bahari (maji) = taifa rangi (ufunuo wa yohana 1715) mnyama (mnyama) = mfalme au ufalme (daniel 717) 1 mnyama anaibuka kutoka bahari (ufunuo 1301) kisha nikaona mnyama bahari inaonekana mnyama katika unabii inawakilisha ya ufalme taifa au nguvu wakati mnyama kuongezeka kutoka baharini ina maana kuwa ni nguvu ambayo akaondoka katika eneo lenye wakazi wa wilaya ambapo idadi ya watu na mataifa na lugha 2 yeye ana pembe kumi na vichwa saba (ufunuo 1301) kisha nikaona mnyama hufanya bahari na vichwa saba na pembe kumi na pembe kumi alikuwa na taji juu ya vichwa vyao jina makufuru pembe katika unabii wa biblia kuwakilisha mfalme mkuu au ufalme (angalia danieli 724 na 821 ufunuo 1712) mnyama ina pembe kumi inaweza kupatikana hata katika sura ya saba katika kitabu cha daniel mnyama huyo daniel katika maono mara ya kirumi ambayo kuanguka katika majimbo mrithi kumi iliwakilishwa na pembe kumi ufunuo 179 kama wewe kuelewa mmoja ambaye ni hekima aliyopewa hivyo vichwa saba ni vilima saba ambayo mwanamke huyo na pia wafalme saba kulingana na biblia basi vichwa saba inawakilisha vilima saba ambayo ya mwanamke (au mji mkubwa) yapo roma sasa inajulikana kama mji huo ulikuwa umejengwa juu ya milima saba 3 sawa na wanyama wengine (ufunuo 1302) na yule mnyama niliyemwona alikuwa kama chui miguu yake kama paws dubu na kinywa chake kama kinywa cha simba daniel anaona ishara ya wanyama kuwakilisha himaya nne ilitawala dunia tangu yeye aliishi mpaka kuanguka kwa roma yeye anaona yao katika kubadili utaratibu wa mtume yohana ambayo ni kutokana na ukweli kwamba daniel mara kuangalia mbele ujao ( kuona alikuwa karibu 553 kk) lakini mtazamo wa mara kutoka genoa kwa kipindi cha (kuona alikuwa karibu 1996 ad) hivyo kuangalia nyuma danieli aliona ya nje ya kubeba simba na chui ambayo ni inajulikana kama yohana katika ufunuo 132 ya nne mnyama ni horrifying na kubwa na alikuwa na nguvu za kutisha kwa meno yake kubwa ya chuma ulaji na kusagwa raha ya kutembea chini miguu alitofautiana na wanyama wote kuwa kabla yake na alikuwa na pembe kumi (dan 77 b21) katika unabii wa danieli ya wanyama wanne simba kuwakilishwa babeli umediuajemi kubeba ugiriki na roma ya nne chui cub nini fulani ni kwamba tunaweza kupata kufanana wengi kati ya mfumo wa kirumi katoliki wa dini ya kidini na ya kipagani ya mamlaka hizo kanisa la roma antog na kuingizwa katika muundo wake na kuandaliwa njia nyingi za ibada na mitindo ya serikali ya ufalme wa kale ya ibada na sherehe kuchukuliwa kutoka vipindi kigiriki na babeli fomu ya msingi wa ibada zaidi sikukuu na sherehe ambayo kanisa katoliki anaona hata vyeo hutumiwa na papa wa sasa kama wale kutumiwa na dini ya kipagani mapema na monarchs baadaye inachukuliwa kuwa mwakilishi wa mungu na wakati mwingine katika miungu huo tatu crown zivaliwe kwa papa ni wa asili ya kiajemi mtu alikuwa taji ilitangazwa mfalme wa nchi mbinguni na underworld haishangazi kwamba pamoja na taji mara tatu ya papa wakidai kwamba cheo kipagani mpaka sasa wears papa na maaskofu katoliki na makardinari sawa nguo kama makuhani wa kipagani dagoni mungu pamoja bonnets katika sura ya vichwa samaki katoliki mafundisho kama vile watoto wachanga ubatizo iliyomwagika kwa ubatizo na mafundisho ya kutokufa sala kwa ajili ya wafu na ibada ya sanduku maombi repetitive kutumia rozari kujifunza juu ya kutokuwa na kiasi katika mateso purgatory na wa milele katika kuzimu na mafundisho ya wokovu kwa kazi uhalali wa hazina ya watakatifu wafu misa maadhimisho ya jumapili nk ni kuchukuliwa moja kwa moja kutoka babeli ya kale katika muda mfupi wakati wa karne ya 4 constantine sammanslagna upagani na ukristo alifungua mlango wa mafundisho ya uongo kwamba hatua kwa hatua na subtly jumuishi katika mfumo wa kidini 4 nguvu zake kiti cha enzi na uwezo mkuu kutoka joka (ufunuo 1302) joka akampa nguvu zake kiti chake cha enzi na uwezo mkuu biblia inataja joka katika ufunuo 20 2 akalikamata lile joka yule nyoka wa zamani ambaye ni ibilisi na shetani mnyama got sana kutoka kwa shetani kuna uwezekano ya pili ya tafsiri katika ufunuo 12 tunasoma kwamba joka kubwa jekundu na vichwa saba na pembe kumi (sifa sawa na mnyama wa nne wa danieli 7 na mnyama wa bahari ya ufunuo 13) na taji saba ya vichwa vyao wakasimama mbele ya mwanamke kujifungua na ulaji mtoto wake haraka kama kujifungua lakini wakati yeye kuzaa mtoto mtu ambaye watu wote foraging pau vunjwa mtoto wake kwa mungu na kiti chake cha enzi (ufunuo 1235 b21) ufunuo 191516 inaonyesha kwamba huyu ni mwana mtu ambaye ni foraging watu pau ni kristo nalo ni shetani tu bali pia ya uingereza kwa njia ambayo shetani alijaribu kumwua yesu wa watoto wachanga ambaye muda mfupi baada ya kuzaliwa kwa yesu aliamrisha mauaji ya watoto wadogo katika bethlehemu bila shaka ilikuwa ni mfalme herode ambaye alikuwa kiongozi wa dola ya kirumi hivyo tuna mwingine kidokezo mnyama wa bahari ya kupokea nguvu yake kiti cha enzi na uwezo mkuu kutoka roma na hata kutoka kwa shetani hii ni tabia kwa upapa ndiyo ni ukweli wa kihistoria kwamba upapa ni nguvu tu yaliyotokea na usurped nguvu ya roma muda mfupi baada ya kuanguka kwa dola ya kirumi kwa nini unafikiri kanisa hili inaitwa katoliki 5 ya watu mimi uta nchi yangu mbele ya (ufunuo 1348) na watu wake wakaliabudu lile joka ambaye alimpa huyo mnyama uwezo wake na nao wakamsujudu yule mnyama wao kuabudu wake wote wakazi wa dunia ukweli kwamba mnyama kutoka baharini na bado mimi uta wangu akapiga wenyeji wa nchi ina maana kwamba ni kujinyima na heshima ya mungu na stahi yake hivyo sio tu nguvu za kisiasa bali pia kwa nguvu za kidini nadhani ni wazi kuwa vatican hukutana sifa hizi kikamilifu sisi wote tunajua kuwa si tu na serikali lakini pia makanisa 6 wao wanazungumza kujigamba na kumkufuru mungu (ufunuo 13156) ​​got mdomo ambao ulisababisha hotuba ya kiburi na unajisi akafumbua kinywa chake na kukufuru mungu na kuwatukana jina lake makao yake na wote wakaao mbinguni je ni kashfa jan 10 1933 sisi si mawe kwa ajili ya tendo jema ila kwa ajili ya kashfa wayahudi wakamjibu wewe binadamu na kufanya ya mungu mwenyewe mark 2 7 nini yeye kuzungumza juu hii ni kashfa awezaye kusamehe dhambi ila mungu peke yake pale mnyama kutoka baharini alisema kuwa yeye vichwa jina la kashfa au kuzungumza makufuru ina maana kwamba kiongozi wa nguvu madai kuwa mungu duniani na yenyewe na uwezo wa kusamehe dhambi je tabia hii katika kesi ya upapa kusoma nukuu zifuatazo papa ina hadhi kubwa namna hii na hivyo kuwafanya wawe kwamba si tu mtu je kama mungu duniani mkuu wa pekee wa waumini katika kristo kiongozi wa wafalme na ukamilifu wa nguvu (lukio ferrari bibliotheca prompt 1793 ujazo vi papa ii p 2529) mungu hutenganisha wale papa wa roma ambaye huchukua vile kazi si binadamu tu lakini mungu wa kweli ilifutwa si binadamu bali mungu mamlaka (dekretal gregory ix kitabu 1 sura ya 73) sisi kusisitiza katika hii dunia badala ya mwenyezi mungu (big encyclical barua ya papa leo xii juni 1894) na mungu mwenyewe ni wajibu wa kutii mahakama na makuhani wao wa kusamehe au kusamehe kulingana na kama au kuhani anatoa absolution na penitents (liguori wajibu na heshima ya kuhani p 27) papa ina hadhi kubwa namna hii na hivyo kuwafanya wawe kwamba si tu mtu lakini kama mungu mwakilishi wa mungu ni pia ni mtawala wa kimungu na kaizari mkuu mfalme wa wafalme kama ingewezekana na malaika wanaweza kukosa katika imani yao au kufikiri kinyume na imani waweze kuhukumiwa na kuwatoa na papa (sehemu ya kanisa dictionary ferrari makala kuhusu papa) katika mifano hii tunaweza kuona kwamba upapa ni kujaribu kuchukua nafasi ya mungu na angepata haki ya kusamehe dhambi haki ambayo ni mungu peke yake haya ni aina ya juu ya kashfa 7 yeye vita dhidi ya watu wa mungu na nguvu juu yao (ufunuo 137) ukweli unabakia kuwa wa kihistoria upapa ni kifo cha takriban watu milioni 100 (wengine kuonyesha hadi milioni 150) ambao waliuawa kikatili mara nyingi ni njia tu kwa sababu walikataa kukubali mamlaka ya kanisa katoliki kanisa la kirumi kumwaga damu isiyo na hatia zaidi kuliko taasisi nyingine yoyote kwamba aliyewahi kuwepo katika watu (we lecky kupanda na ushawishi wa rationalism katika ulaya vol pili p32) ni ukweli wa kihistoria kuwa vita kuu ya ulaya alikuwa kwa msingi wa dini waprotestanti walikuwa kuteswa na roma ambayo yalisababisha vita wengi kwa madhumuni pekee kuharibu mageuzi shughuli walikuwa valdens albigen huguenot all wale waliokataa kukubali mafundisho ya kipapa na naendelea ukweli wa neno la mungu shetani amebadilisha mbinu kutoka mateso kwa watu wa mataifa mengine ambao hawakuwa kubeba matunda lengo (licha ya kifo cha wafuasi wengi mwaminifu wa yesu kristo wa kuendelea kuongeza) wakiongozwa na infiltrate ya kanisa ambayo imesababisha kupitishwa kwa desturi za kipagani na ushirikina na wengi maafikiano ukristo kuwa dini ya serikali na ya papa basi wengi zaidi duniani nguvu mtu akaanza kulazimisha utii kwa nguvu na kuwatesa wale waliokataa kumtambua mkuu wa kanisa 8 yeye alikuwa na nguvu baada ya miezi 42 (ufunuo 1357) na alipewa uwezo wa kutenda miezi arobaini na miwili yeye alikuwa amepewa mamlaka juu ya kila kabila lugha watu na taifa kuhusu muda huo huo tunasoma katika sura ya saba daniel ufunuo na katika sura ya 12 katika unabii wa danieli kipindi hiki ni kama ilivyoelezwa wakati nyakati na nusu wakati muda huo pia inaonekana katika ufunuo 1214 ufunuo 126 wakati huu kinachoitwa kama siku moja 60200 haya uchunguzi mbalimbali bado ni sawa wakati wa kipindi kibiblia mwezi ina siku 30 mwaka wa kibiblia wa siku 360 katika matokeo kwamba miezi 42 = 35 wakati (miaka) = 1260 siku katika hatua hii ni muhimu kutambua kwamba wakati wa unabii wa biblia anasema katika mifano basi siku moja inawakilisha moja ya unabii wa kweli (46 ezechiel katika mungu anasema mimi ila wewe kwa siku moja kila mwaka ) kutumia kanuni hii tunaweza 42 miezi wa ufunuo 13 kutafsiriwa kama miaka 1260 ikiwa kuongeza na 538 (mwanzo rasmi wa kanisa katoliki na serikali) 1260 miaka sisi kupata kwa ajili ya 1798 ya kama kwa hiyo inawakilisha mnyama wa bahari ya upapa tunapata ushahidi wa kihistoria kwamba katika 1798 ilikuwa radikalt mdogo wake nguvu historia ni wazi 10 machi 1798 hasa baada ya miaka 1260 uwezo wa kipapa napoleon bonaparte alimtuma wake mkuu louis alexandre berthier na jeshi lake na roma papa alikamatwa baada ya miezi 18 na kufa uhamishoni nchini ufaransa valencia tukio hilo kumalizika mamlaka ya kipapa kuhusu utekelezaji wa mamlaka ya papa 9 ya jeraha hilo lilikuwa limepona (ufunuo 1303) moja ya vichwa yake inaonekana kama mortally waliojeruhiwa lakini jeraha lake la mauti likapona mfumo wa kipapa chuma machi 10 1798 pigo kubwa na kupoteza uwezo wake wa kulazimisha utii wa nguvu zake katika 1798 mkuu berthier aliingia roma kufutwa kwa serikali ya kipapa na kuanzisha kidunia (encyclopedia britannica) imejaa unabii na ilikuwa hii pigo la mauti mateso na upapa kupona mwaka 1929 serikali ya italia kama nchi huru vatican papa tena akawa kiongozi wa kisiasa machi 9 1929 alisema watu wote ulimwenguni ni pamoja na sisi mambo ya nyakati ya san francisco kuchapishwa makala juu ya kusainiwa kwa mkataba katika ukurasa wa mbele wa toleo wake ni miongoni mwa maoni mengine mussolini na gaspari saini mkataba wa kihistoria ya muda mrefu kupona jeraha 10 ya nchi nzima ni katika pongezi kwa ajili ya mnyama (ufunuo 1303) the nchi nzima amekwenda katika ajabu na yule mnyama marehemu papa yohane paulo ii alikuwa na uwezo wa tilt moyo wa duniani hakuna shaka juu ya hilo ulimwengu wote walimfuata kwa mshangao mazishi yake ilikuwa na kuhudhuriwa na viongozi wa dunia zaidi ya mia mbili si tu ya kisiasa lakini pia ya kidini kipaumbele wa sasa wa papa benedict xvi ni mkutano wa kiekumeni inataka kuunganisha makanisa ya kikristo na dini nyingine duniani kama hali kuu ya kuunganisha kamili ni kisha kuwekwa juu ya kupitishwa kwa papa kama kichwa kama kiongozi wa uhuru wa makanisa yote mazungumzo haya yanaendelea na kazi ya kiekumeni inaendelea kwa haraka mbele kama yeye walimfuata mnyama kupanda kutoka bahari nchi nzima ni wazi kuwa hii ni nguvu kazi duniani kote na hakika tabia hii hukutana katoliki mfumo kanisa katoliki ni moja ya makanisa kadhaa duniani kote kulingana na ushahidi unaotolewa na sisi na biblia yenyewe ni mnyama wa kupanda kutoka bahari ya nguvu za kidini na kisiasa ambayo ilikuwa na mfumo wa kipapa maoni 204116x maoni 192877x maoni 369774x maoni 242787x maoni 292327x mnyama katika ardhi swamazinghopenet biblia unabii the mnyama kupanda kutoka baharini ufunuo 13
2019-04-22T06:30:08
http://www.sw.amazinghope.net/biblia-unabii-the-mnyama-kupanda-kutoka-baharini-ufunuo-13/
eneo lililo ongezwa katika kituo cha kuhudumia watu wenye maambukizi ya virusi vya korona limefikia hatua za mwisho ndani ya saa 24 01/04/2020 1620 eneo lililo ongezwa katika kituo cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya korona lenye ukubwa wa (2m250) limefikia hatua za mwisho ndani ya saa (24) kazi zote za hatua ya tano zinaendelea vizuri mhandisi bwana swalahu mahdi ameuambia mtandao wa alkafeel kua baada ya kitengo cha usimamizi wa kihandisi kuongeza utendaji wake hadi asilimia 200 kazi za hatua ya tano ambayo ndio hatua ya mwisho zinaendelea vizuri akaongeza kua sehemu iliyo ongezwa haikuwa katika ramani ya mradi hapo awali jengo hilo litakua sehemu ya mji wa imamu hussein (as) katika mkoa mtukufu wa karbala upo katika hatua za mwisho baada ya kuongeza utendaji hadi asilimia 200 kumbuka kua wanufaika wameomba kuongeza eneo lenye ukubwa wa (2m250) kwenye mradi eneo hilo halikuwepo kwenye ramani ya kwanza ambapo litajengwa sehemu za madaktari na kumbi za kutolea huduma pamoja na eneo la vyoo mafundi wameanza kujenga boma la chuma tangu jana asubuhi na wanatarajia kukamilisha ujenzi huo ndani ya muda mfupi
2020-05-27T02:56:01
https://alkafeel.net/news/index?id=10424&lang=sw
kifo cha kocha james siang'a ni pigo kubwa wengi wamlilia saleh jembe home » kimataifa » kitaifa » kifo cha kocha james siang'a ni pigo kubwa wengi wamlilia kufuatia kifo cha kocha wa zamani wa simba james sianga ambaye alifariki jana alfajiri nyumbani kwake bungoma nchini kenya baada ya kuugua kwa muda mrefu kumekuwa na simanzi zito kwa wadau wa soka wa kenya na tanzania sianga ni mmoja wa makocha waliopata mafanio makubwa alipokuwa akiinoa simba pia alikuwa na heshima kubwa katika soka la tanzania na afrika mashariki kwa jumla mara baada ya ofisa wa chama cha kefoca bob oyugi kutoa taarifa ya msiba huo baadhi ya wachezaji waliowafhi kufundishwa na jkocha huyo ambaye aliwahi kuchezea gor mahia luo union na timu ya taifa kenya harambee stars akiwa kipa walitoa maoni yao na kueleza kuguswa na msiba huo akimzungumzia kocha huyo ambaye pia aliwahi kuwa kocha wa moro united ya tanzania na express ya uganda kiungo wa zamani wa simba shekhan rashid alisema ni pigo kubwa kwa kuwa sianga alikuwa na umuhimu mkubwa katika soka la tanzania nakumbuka alikuwa akiniheshimu na kunipa sifa ya kuwa fundi kuna kipindi nilikuwa sipati nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza lakini kuna siku tulitakiwa kucheza na ismailia akaniambia nitaanza katika mchezo huo sababu ya kunianzisha aliniambia mimi ni fundi na kwa kuwa ismailia ina mafundi wengi ni vizuri fundi akacheza na mafundi wenzake nakumbuka hata katika mechi nyingi dhidi ya mtibwa sugar alikuwa akinipanga kuanza kwa kuwa kipindi kile aliamini mtibwa ina wacheaji wengi mafundi hakika dunia itamkubuka kwa mchango wake katika soka alisema shekhan naye kiungo mwingine wa zamani wa simba selemani matola alisema afrika yote imepata pigo kwa kuwa mchango wa sianga ulisaidia wachezaji wengi wa afrika na siyo wa kenya na tanzania tu sianga aliidakia kenya katika fainali za kombe la mataifa ya afrika mwaka 1972 na pia alikuwa kocha wa harambee stars mwaka 1999 na 2000 kabla ya kuhamia tanzania kufundisha simba mtibwa sugar moro united na timu ya taifa ya bara kwa muda mfupi mwaka 2002 akiwa simba sianga aliipa ubingwa wa klabu bingwa afrika mashariki na kati visiwani zanzibar mwaka 2002 akiwa na moro united oktoba 2004 sianga aliombwa kuinoa taifa stars lakini alikataa sianga pia aliinoa mtibwa sugar kabla ya kurejea kenya kuifundisha timu ya gor mahia sianga ndiye aliyeiwezeha simba kuitoa zamalek ya misri waliokuwa mabingwa wa afrika katika hatua ya 16 bora na kuingia hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa afrika baadhi ya wachezaji wa zamani wa simba waliofundishwa na sinaga ni primus kasonzo christopher alex shekhan rashid ulimboka mwakingwe said swedi ramazani wasso boniface pawasa victor costa lubigisa madata athumani machuppa seleman matola na emmanuel gabriel
2017-10-20T06:56:00
https://salehjembe.blogspot.com/2016/09/kifo-cha-kocha-james-sianga-ni-pigo.html
nigeriawasichana zaidi ya 100 waliotekwa nyara na boko haram wameachwa huru radio vatican baadhi ya wasichana wa dapchi nchini nigeria walioachiwa huru mara baada ya kutekwa nyara tangu 19 februari na boko haramu reuters unicef imepokea kwa furaha kubwa habari za kuachiwa huru watoto waliotekwa nyara na kikundi cha boko haramu tarehe 19 februari 2018 katika shule ya dapchi huko yobe kaskazini mashariki ya nigeria watoto hao tayari wako mikononi mwa familia zao na kwa mujibu wa habarizinazema kuwa wamerudi watoto zaidi ya 100 wasichanamwakilishi wa unicef nchini nigeria bwana mohamed malick fall anathibitisha kuwa ni furaha kubwa kuona watoto wamerud katika usalama wa familia zao na kuondoka katika mikono ya boko haramu bwana fall hata hivyo anaongeza kusema unicef inafanya kazi kwa dhati pamoja na ofisi ya waziri wa vijana katika serikali ya yobe ili kuweza kuwasaidia wasichana hao na familia zao kwa msaada unaohitajika kwa upande wake anasemakatika miezi iliyopita wasichana hao inawezekana wamepata mateso ya kimwili na manyanyaso ya ngono wanahitaji msaada mkubwa kwa upande wa familia na jumuiya nzima ili baadaye waweze kuhisi uhakika na kurudi tena shuleni aidha kama unicef pia inajaribu kufanya kazi na mashirika mengine ya kijamii ili kuhakikisha kila msichana anapokea matibabu binafsi ikiwa ni madawa na msaada wa kisaikolojia aidha wanaonesha masikitiko na uchungu mkubwa kwa wanafamilia ambao watoto wao hawakuweza kurudi nyumbani kwao pamoja na kusubiri uhakika kamili lakini taarifa zinaonesha kuwa wasichana watano wamekufa kwa njia hiyo anasisitiza kuwa mfuko wa watoto wa umoja wa mataifa wanashiriki msiba mzito wa familia waliopoteza watoto wao unicef inarudia kwa upya kutoa wito wao kwa wateka nyara boko haram wawachie wasichana wote waliopotea na mwisho bwana hall anabainisha kuwa mashule yote yanatakiwa kuwa na nafasi za usalama na kulindwa daima kwa maana tangu mwanzo wa mwaka 2009 zaidi ya walimu 2295 wameuwawa 19000 ni wakimbizi na karibia mashule 1400 yameharibiwa vituo vya msaada
2018-10-24T06:12:30
http://sw.radiovaticana.va/news/2018/03/22/nigeriawasichana_zaidi_ya_100_waliotekwa_nyara_na_boko_haram_wameachwa_huru!/1368084
ukawa waipopoa bot bungeni mwanahalisi online ukawa waipopoa bot bungeni posted by faki sosi june 1 2016 0 1388 views kambi rasmi ya upinzani bungeni inatilia mashaka uwezo na dhamira ya benki kuu (bot) kufanya ujasusi wa miamala ya fedha anaandika faki sosi ni katika kuzuia utakatishaji wa fedha sambamba na uwezo mdogo wa kitengo kinachoshughulika na masuala hayofinancial intelligence unit (fiu) ambacho kinazuia utakatishaji wa fedha hayo yameainishwa katika hutuba ya kambi rasmi ya upinzani bunge iliyosomwa na david silinde naibu msemaji mkuu wa kambi hiyo katika wizara ya fedha na mipango katika hotuba ya mapato na makadirio ya fedha kwa mwaka wa fedha 2016/17 silinde amesema kuwa kambi ya upinzani haina imani na kitengo hicho na kuwa (fiu) haina uwezo wa kufanya uchunguzi wala kuendesha mashitaka dhidi ya utakatishaji wa fedha haramu jambo ambalo ni mwanya unaotumiwa na watu waovu na mafisadi kama ilivyokuwa katika wizi wa mabilioni ya rada wizi wa fedha kwenye akaunti ya tegeta escrow na wizi wa fedha katika mkopo wa serikali dola milioni 600 kutoka stanbic bank amesema kuwa serikali imeunda kitengo cha fiu ambacho kina mamlaka ya kiutawala pekee na huishia kufanya uchambuzi wa taarifa za miamala ya fedha na kuziwasilisha ama jeshi la polisi au pccb wakati huo huo pccb inalazimika kupitia kwa mkurugenzi wa mashitaka (dpp) ili atoe ruhusa ya kufungua mashitaka ameleeza kuwa mfumo wa (fiu) ya tanzania ni administrative model (mfumo wa kiutawala) wakati mfumo imara zaidi ni ule wa judicial model (mfumo wa kimahakama ) ambao unakiongezea nguvu kitengo hicho cha kuzuia miamala ya biashara haramu za kutakatisha fedha hata hivyo kambi rasmi ya upinzani bungeni inaishauri serikali kuimarisha kitengo cha fiu kwa kukiundia mfumo wa judicial model ili kuepuka aibu ambayo taifa letu imekuwa ikiipata hasaa aibu kubwa iliyotupata nchini uingereza ili kuwana na uwezo wa kurudisha fedha za zilizoibiwa kwa njia ya kifisadi wakati kazi kama hiyo ingeweza kufanywa na vyombo vya hapa nchini endapo vingeimarishwa kama ambavyo kambi rasmi ya upinzani bungeni inavyoshauri kuimarisha kitengo cha fiu kambi rasmi ya upinzani bungeni inatilia mashaka uwezo na dhamira ya benki kuu (bot) kufanya ujasusi wa miamala ya fedha anaandika faki sosi ni katika kuzuia utakatishaji wa fedha sambamba na uwezo mdogo wa kitengo kinachoshughulika na masuala hayofinancial intelligence unit (fiu) ambacho kinazuia utakatishaji wa fedha hayo yameainishwa katika hutuba ya kambi rasmi ya upinzani bunge iliyosomwa na david silinde naibu msemaji mkuu wa kambi hiyo katika wizara ya fedha na mipango katika hotuba ya mapato na makadirio ya fedha kwa mwaka wa fedha 2016/17 silinde amesema kuwa kambi ya upinzani haina imani na kitengo hicho na kuwa (fiu) haina uwezo wa kufanya uchunguzi wala&hellip previous serikali yakiri uhaba wa fedha next utata dhamana ya wabakaji ulawiti dakawa
2018-07-20T20:12:09
http://mwanahalisionline.com/ukawa-waipopoa-bot-bungeni/
mkutano wa kilele wa jumuiya ya madolacommonwealth | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 11122007 mkutano wa kilele wa jumuiya ya madolacommonwealth mkutano wa viongozi wakuu wa taifa na serikali wa jumuiya ya madolacommonwealth unafunguliwa leo katika mji mkuu wa ugandakampala mada kuu zikiwa pakistan na zimbabwe mkutano huo utakaofunguliwa na malkia wa uingereza elizabeth wa pili unatarajiwa miongoni mwa mengine kufikia uamuzi wa kuikubali rwanda kuwa mwanachama mpya au la ombi la rwanda ambayo ni mzungumzaji kifaransa la kutaka kujiunga na jumuiya ya madola inayoyakusanya hasa mataifa yaliokua zamani makoloni ya uingereza linaungwa mkono na serikali ya uingereza yenyewe na hayo yamethibitishwa na afisa mmoja wa ngazi ya juu aliyesema kwamba kwa mtazamo wao rwanda ni mshirika mwenye nguvu barani afrika mbali na rwanda tayari msumbiji ambayo ni koloni la zamani la ureno ni mwanachama wa jumuiya hiyo na pia kamerun kunakozungumzwa lugha zote mbili kiingereza na kifaransa kama lugha rasmi moja kubwa katika masharti ya kujiunga ni kukitambua kiingereza kuwa lugha nyongeza rasmi kuheshimu haki za binaadamu na msingi ya demokrasia lakini utaratibu wa kufikia kukubaliwa uwanachama unaweza kuchukua miaka kadhaa rais paul kagame wa rwanda alikuweko kampala jumanne kabla ya mkutano huo wa viongozi na kuambia mkutano wa kibiashara kwamba uchumi wa nchi yake hauwezi kuendelea ikiwa itajiweka tu katika ushirikiano wa kikanda au wa bara hilo pekee mbali na uwanachama wa rwanda masuala mengine makuu yanayotarajiwa kuugubika mkutano huo wa kilele ni zimbabwe na pakistan katika suala la zimbabwe ambako mgogoro wa kisiasa kati ya serikali ya rais mugabe na chama kikuu cha upinzani movement for democratic changemdc bado unaendeklea huku pande hizo zikiwa katika mazungumzo ya kusaka suiluhisho yanayoongozwa na afrika kusini kiongtozi wa mdc morgan tsvangirai aliwasili kampala kujaribu kuwarai viongozi wa nchi wanachama kumshinikiza rais mugabe ili suluhisho la haraka lipatikane na zimbabwe irudi kuwa sehemu ya jamii ya kimataifa tsvangirai akasisitiza kwamba mgogoro wa zimbabwe unahitaji mshikamano wa jamii ya kimataifa kwa upande mwengine wadadisi wanasema kuwa utakua pia ni nafasi kwarais yoweri museveni kuiweka nchi yake katika aramani na kuvutia wawekezaji na kukuza utalii lakini kitakachomulikwa pia kandoni mwa hali hiyo ni suala zima la demokrasia na haki za binaadamu katika taifa hilo la afrika mashariki tayari chama kikuu cha upinzani forum for democaratic change fdc kimesema hiyo ni nafasi ya kuuzindua ulimwengu kuhusu kukandamizwa kwa uhuru wa raia nchini uganda hoja hiyo pamoja na hayo inapingwa na msemaji wa museveni tamale mirundi aliyesema kuheshimiwa haki za binaadamu nchini uganda kunaonekana wazi na mfano mmoja wapo ni kuwa hata wapinzani wameruhusiwa kuandamana wakati wa mkutano huo hata hivyo itakumbukwa kwamba mnamo mwezi aprili mwaka huu askari wa usalama waliivamia mahakama kuu na kuwakamata watuhumiwa wa mashitaka ya uhaini ambao tayari mahakama iliamuru waachiwe kwa dhamana huku askari hao wakiwapiga mawakili likiwa tukio la pili la aina hiyo kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka miwili museveni aliyekua akizingatiwa kama kizazi cha uongozi mpya barani afrika mnamo miaka ya nyuma aliwavunja moyo wengi nchini mwake na nchi za nje alipoongoza kampeni ya kubadilishwa katiba 2005 ili kumruhusu kuendelea kuwa rais bila ya kipingamiza cha muhula maalum mkutano huo wa kilele wa jumuiya ya madola utamalizika siku ya jumapili kiungo https//pdwcom/p/cqkv
2018-10-18T05:12:58
https://www.dw.com/sw/mkutano-wa-kilele-wa-jumuiya-ya-madola-commonwealth/a-2962763
147 al´ayyaashiy upotoshaji wake wa kumi wa ala´raaf | firqatu nnajia al´ayyaashiy amesema jaabir amesema nilimuuliza abu ja´far ni lini kiongozi wa waumini alipewa jina hilo akasema ninaapa kwa allaah kwamba aayah isemayo وَإِذْ أَخَذَ رَبُّكَ مِن بَنِي آدَمَ مِن ظُهُورِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَأَشْهَدَهُمْ عَلَىٰ أَنفُسِهِمْ أَلَسْتُ بِرَبِّكُمْ pindi mola wako alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao na akawashuhudisha juu ya nafsi zao [na akawauliza] je mimi siye mola wenu[1] imeteremshwa namna hii وَإِذْ أَخَذَ رَبُّكَ مِن بَنِي آدَمَ مِن ظُهُورِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَأَشْهَدَهُمْ عَلَى أَنفُسِهِمْ أَلَسْتَ بِرَبِّكُمْ و أن محمدا رسول الله نبيكم و أن عليا أمير المؤمنين pindi mola wako alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao na akawashuhudisha juu ya nafsi zao [na akawauliza] je mimi siye mola wenu kwamba muhammad mtume wa allaah nabii wenu na kwamba ´aliy kiongozi wa waumini allaah akampa jina hilo la kiongozi wa waumini jaabir amesema abu ja´far alinambia ee jaabir lau wajinga wangelijua ni lini ´aliy alipewa jina kiongozi wa waumini basi wasingelimpora haki yake nikasema ni lini aliitwa hivo akasema ni pale aliposema jaabir ninaapa kwa allaah kwamba namna hii ndivo muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) alivyokuja nayo allaah amemtakasa abu ja´far kutokamana na uongo huu wa wazi kumzulia allaah na kitabu chake ambao unajulikana mpaka na wale wasiokuwa wasomi hata jaabir pamoja na uongo wake hawezi kuthubutu kusema uongo namna hii uongo kama huu unatoka kwa baatwiniyyah kama al´ayyaashiy na mfano wake wahalifu wameongeza katika aayah و أن محمدا رسول الله نبيكم و أن عليا أمير المؤمنين kwamba muhammad mtume wa allaah nabii wenu na kwamba ´aliy kiongozi wa waumini nyongeza kuhusu muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ni sitara na udanganyifu malengo ni kwamba na mimi ni kiongozi wa waumini wako wapi mitume na manabii wengine ni kwa nini allaah hakuchukua fungamano kutoka kwa wanaadamu kwamba wao ni mitume na manabii wa allaah kwa nini achukue ahadi kwao tu juu ya kwamba waamini kuwa ´aliy ndiye kiongozi wa waumini jawabu kwa mujibu wa baatwiniyyah ni kwa sababu yeye ni bora kuliko manabii na mitume shani ya mambo ni uongo tu na ukafiri wenye kupandiana wameharibu maana ya aayah inayothibitisha tawhiydurrubuubiyyah na tawhiydululuuhiyyah ili tu waweze kutakasa msingi wa uongo wao makanusho yao na uadui wao dhidi ya maswahabah wa muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) aayah hizi zimeteremshwa makkah quraan ilisomwa na wanaume wanawake waungwana watumwa na watoto kipindi ambacho mtume wa allah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa hai je hivi wote walikubaliana juu ya kufutwa kwa misitari ni kwa nini basi ´aliy hakuirudisha mahala pake stahiki ni kwa nini hakuyasema hadharani yale yaliyofutwa kwani yeye si ndiye alikuwa kiongozi wa waumini na jeshi lilikuwa chini yake [1] tafsiyr al´ayyaashiy (2/41) marejeo alintiswaar li kitaabil´aziyz aljabbaar uk 208209 imechapishwa 19/09/2018 147 al´ayyaashiy upotoshaji wake wa kumi wa ala´raaf al´ayyaashiy amesema jaabir amesema nilimuuliza abu ja´far ni lini kiongozi wa waumini alipewa jina hilo akasema ninaapa kwa allaah kwamba aayah isemayo وَإِذْ أَخَذَ رَبُّكَ مِن بَنِي آدَمَ مِن ظُهُورِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَأَشْهَدَهُمْ عَلَىٰ أَنفُسِهِمْ أَلَسْتُ بِرَبِّكُمْ pindi mola wako alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao na akawashuhudisha juu ya nafsi zao [na akawauliza] je mimi siye mola wenu[1] imeteremshwa namna hii وَإِذْ أَخَذَ رَبُّكَ مِن بَنِي آدَمَ مِن ظُهُورِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَأَشْهَدَهُمْ عَلَى أَنفُسِهِمْ أَلَسْتَ بِرَبِّكُمْ و أن محمدا رسول الله نبيكم و أن عليا أمير المؤمنين pindi mola wako alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao na akawashuhudisha juu ya nafsi zao [na akawauliza] je mimi siye mola wenu kwamba muhammad mtume wa allaah nabii wenu na kwamba ´aliy kiongozi wa waumini allaah akampa jina hilo la kiongozi wa waumini jaabir amesema abu ja´far alinambia ee jaabir lau wajinga wangelijua ni lini ´aliy alipewa jina kiongozi wa waumini basi wasingelimpora haki yake nikasema ni lini aliitwa hivo akasema ni pale aliposema وَإِذْ أَخَذَ رَبُّكَ مِن بَنِي آدَمَ مِن ظُهُورِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَأَشْهَدَهُمْ عَلَى أَنفُسِهِمْ أَلَسْتَ بِرَبِّكُمْ و أن محمدا رسول الله نبيكم و أن عليا أمير المؤمنين pindi mola wako alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao na akawashuhudisha juu ya nafsi zao [na akawauliza] je mimi siye mola wenu kwamba muhammad mtume wa allaah nabii wenu na kwamba ´aliy kiongozi wa waumini jaabir ninaapa kwa allaah kwamba namna hii ndivo muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) alivyokuja nayo allaah amemtakasa abu ja´far kutokamana na uongo huu wa wazi kumzulia allaah na kitabu chake ambao unajulikana mpaka na wale wasiokuwa wasomi hata jaabir pamoja na uongo wake hawezi kuthubutu kusema uongo namna hii uongo kama huu unatoka kwa baatwiniyyah kama al´ayyaashiy na mfano wake wahalifu wameongeza katika aayah و أن محمدا رسول الله نبيكم و أن عليا أمير المؤمنين kwamba muhammad mtume wa allaah nabii wenu na kwamba ´aliy kiongozi wa waumini nyongeza kuhusu muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ni sitara na udanganyifu malengo ni kwamba na mimi ni kiongozi wa waumini wako wapi mitume na manabii wengine ni kwa nini allaah hakuchukua fungamano kutoka kwa wanaadamu kwamba wao ni mitume na manabii wa allaah kwa nini achukue ahadi kwao tu juu ya kwamba waamini kuwa ´aliy ndiye kiongozi wa waumini jawabu kwa mujibu wa baatwiniyyah ni kwa sababu yeye ni bora kuliko manabii na mitume shani ya mambo ni uongo tu na ukafiri wenye kupandiana wameharibu maana ya aayah inayothibitisha tawhiydurrubuubiyyah na tawhiydululuuhiyyah ili tu waweze kutakasa msingi wa uongo wao makanusho yao na uadui wao dhidi ya maswahabah wa muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) aayah hizi zimeteremshwa makkah quraan ilisomwa na wanaume wanawake waungwana watumwa na watoto kipindi ambacho mtume wa allah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa hai je hivi wote walikubaliana juu ya kufutwa kwa misitari و أن محمدا رسول الله نبيكم و أن عليا أمير المؤمنين kwamba muhammad mtume wa allaah nabii wenu na kwamba ´aliy kiongozi wa waumini ni kwa nini basi ´aliy hakuirudisha mahala pake stahiki ni kwa nini hakuyasema hadharani yale yaliyofutwa kwani yeye si ndiye alikuwa kiongozi wa waumini na jeshi lilikuwa chini yake [1] tafsiyr al´ayyaashiy (2/41) mhusika ´allaamah rabiy´ bin haadiy almadkhaliy mfasiri firqatunnajiacom marejeo alintiswaar li kitaabil´aziyz aljabbaar uk 208209 imechapishwa 19/09/2018 http//firqatunnajiacom/147alayyaashiyupotoshajiwakewakumiwaalaraaf/ 145 al´ayyaashiy upotoshaji wake wa tisa wa ala´raaf wed 2 muharram 1440ah 1292018ad
2018-10-17T15:01:13
http://firqatunnajia.com/147-al-ayyaashiy-upotoshaji-wake-wa-kumi-wa-al-araaf/
chadema blog uk 2012 mwenyekiti wa chadema uk mr christopher lukosi amevuliwa madaraka na kusitishwa uanachama kwa hiyo uongozi wa chadema uk kwa baraka za watetezi wa haki ya kweli (chadema tz) unawatangazia umma watanzania kokote mlipo kwamba kuanzia leo tarehe 12/12/12 mr christopher lukosi amevuliwa rasmi uongozi na amesitishwa uanachama kutokana na kutokidhi mengi ya yaliyotajwa hapo juu uongozi wa muda wa chadema uk unapenda kuwakumbusha wana kamati wote kwamba kutakuwa mkutano kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa kudumu tarehe 24th november 2012 jumamosi saa kumi na moja (1700pm) jioni karibu na barking stationpahala pa mkutano ni pale pale mkutatano wa chadema uk
2017-09-25T15:05:47
http://chademauk.blogspot.co.uk/2012/
mwanzo wananchi elimu serikali ya tanzania imeanzisha juhudi nyingi za marekebisho ya sera na muundo ili kuimarisha ubora wa elimu na kuhakikisha elimu ya msingi kwa wote ili kuimarisha uhusiano kati ya elimu inayotolewa katika ngazi zote za maendeleo ya uchumi na jamii nchini tanzania elimu ina athari kubwa na muhimu kwa maendeleo ya kijamii na binadamu hasa katika kufuta ujinga wa kutojua kusoma kuandika na kuhesabu umaskini uzazi na afya ya mama na mtoto elimu ya msingi ndicho kiwango cha elimu chenye athari kubwa kwa matokeo ya kijamii inachangia takriban asilimia 60 ya jumla ya athari ambayo inahalalisha zaidi uhalali wa juhudi endelevu kuhakikisha kuwa watoto wote wa tanzania wanamaliza angalau elimu ya msingi na elimu inauhusiano mkubwa na mahitaji ya soko la ajira viwango vya juu vya elimu huwezesha kipato kikubwa mshahara wa wafanyakazi wenye elimu ya sekondari ni muhimu zaidi na hivyo kuonyesha kuwa kuna upungufu mkubwa wa watu wenye sifa za elimu ya sekondari pia kuna uhusiano mkubwa kati ya mafunzo ya ufundi stadi na ajira ya wahitimu wa vyuo kwa jumla mapato ya wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi unalingana vizuri na watu waliojiajiri wenye elimu ya msingi au sekondari sehemu hii inaainisha taarifa kamili zinazohusu huduma za elimu kuanzia shule za awali hadi chuo kikuu mitaala ya elimu na jinsi gani wanafunzi wanaweza kupata taarifa za majibu ya mitihani mikopo ya elimu ya juu jinsi ya kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi elimu ya mahitaji maalum elimu ya awali elimu ya msingi elimu ya sekondari elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi ukaguzi wa shule elimu ya ualimu elimu ya juu elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu tume ya vyuo vikuu tanzania distance education waliochaguliwa kujiunga na elimu ya juu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne(csee) matokeo ya mtihani wa taifaacsee na ualimu matokeo ya mtihani wa taifa wa darasa la saba chanzo kamati ya taarifa za tovuti kuu ya serikali taarifa hizi zilirekebishwa 20151001 160758 inafaa sana 4 7 jumla rahisi kiasi 3 si rahisi kabisa 2
2018-04-26T09:11:40
http://www.tanzania.go.tz/home/pages/14
habari za kimataifa habari | december 7 2018 645 am serikali ya burundi imeliagiza baraza la haki za binadamu la umoja wa mataifa lifunge ofisi yake iliyoko katika mji mkuu wa nchi hiyo bujumbura katika kipindi cha miezi miwili ijayo msemaji wa ofisi ya haki za binadamu ya umoja wa mataifa ravina shamdasani hii leo amewaambia waandishi wa habari mjini geneva kuwa ni kweli walipokea barua jana jumatano ya kutakiwa kufunga ofisi zao na kuondoka bujumbura lakini amesisitiza kuwa uamuzi huo umewasikitisha mno na wangelipenda kuendelea kushirikiana na burundi hatua hii inajiri miezi michache baada ya aliyekuwa kamishna wa haki za binadamu wa umoja wa mataifa zeid raad alhussein kuitaja burundi kama moja ya machinjio ya kuogofya ya haki za binadamu duniani burundi ilisimamisha ushirikiano wake na ofisi hiyo ya un tokea oktoba mwaka 2016 burundi imekuwa ikighadhabishwa na hata kukosoa ripoti za umoja wa mataifa ambazo kila mara zimekuwa zikiielezea kidole cha lawama serikali ya bujumbura kwa ukandamizaji na machafuko yanayoshuhudiwa nchini humo tangu rais pierre nkurunziza agombee muhula mwingine wa urais kinyume cha sheria mwaka 2015 watu 1200 wanaripotiwa kuuawa katika ghasia na machafuko hayo tokea wakati huo hadi sasa
2019-03-23T09:43:04
http://www.ibn-tv.com/sw/2018/12/burundi-orders-un-to-close-human-rights-office-in-bujumbura/
wanawake na watoto wanaishi zaidi leo hii kuliko awali who/unicef | habari za un mama na mwana katika kituo cha kitaifa cha afya kwa ajili ya mama na mtoto ulaanbaatar mongolia(septemba 4 2015) kwa mujibu wa mashirika hayo tangu mwaka 2000 vifo vya watoto vimepungua kwa karibu nusu au theluthi moja sababu kubwa ikiwa ni kuimarika kwa huduma za afya kwa wote katika nchi zinazompa kila mmoja huduma za afya zilizo nafuu salama na za kiwango cha juu wanawke na watoto huishi na kunawiri amesema dr tedros adhanom ghebreyesus mkurugenzi mkuu wa who bado makadirio mapya yanaonyesha kuwa watoto milioni 62 walio chini ya umri wa miaka 15 walikufa mwaka 2018 na zaidi ya wanawake 290000 walikufa kutokana na matatizo wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua mwaka 2017 dkt doris chou ni kutoka kitengo cha afya ya uzazi na utafiti who « kile tunachoshuhudia ni kwamba wanawake bado wanafariki kwa sababu kama vile kuvuja damu wakati wa kujifungua shinikizo la damu wakati wa kujifungua au maambukizo yatokanayo na ujauzito lakini kile ambacho tunashuhudia ni kwamba idadi ya vifo vya wanawake kutokana na magonjwa walionayo tayari vimeongezeka hii ni hali ijulikanayo kama ahtari zisizo za moja kwa moja za ujauzito na hizi ndizo ngumu zaidi kwa wahudumu wa afya kukabiliana nazo kwa sababu ni ngumu kuzipata na kuzigundua kwa jumla ya watoto wote waliofariki milioni 53 walifariki wakati wa miaka mitano ya kwanza ya uhai wao huku karibu nusu ya vifo hivyo vikitokea wakati wa mwezi wa kwanza wa kuzaliwa wanawake na watoto wachanga ndio wako kwenye hatari wakati na mara tu baada ya kuzaliwa takriban wanawake wajawazito milioni 28 na watoto wachanga hufariki kila mwaka au mtoto mmoja kwa kila sekundi 11 wengi kutokana na sabauabu zinazoweza kuzuilika kwa mujibu wa makadirio mapya watoto hukumbwa na hatari ya juu zaidi ya kufariki wakati wa mwezi wa kwanza hususan ikiwa wamezaliwa mapema sana au wakiwa wadogo sana wakiwa na matatizo wakati wa kuzaliwa au kama wamepata maambukizi thuluthi moja ya vifo hivi hutokea wakati wa siku ya kwanza na karibu robo tatu hutokea wakati wa wikiwa mwaka wiki ya kwanza pekee sehemu tofauti duniani kuzaliwa ni wakati wa furaha lakini pia kwa kila sekunde 11 kuzaliwa kwa mtoto ni mkasa kwa familia alisema henrieta fore mkurugenzi mku wa unicef ukosefu mkubwa wa usawa duniani makadirio pia yanaonyesha ukosefu mkubwa wa usawa kote duniani huku wanawake na watoto walio kusini mwa jangwa la sahara wakikumbwa na hatari kubwa ya kufariki kuliko sehemu zingine zote viwango vya vifo wakati wa kujifungua viko mara 50 zaidi juu kwa wanawake kusini mwa jangwa la sahara na watoto wao wakiwa mara 10 i ya kufariki wakati wa mwezi wao wa kwanza ikilinganishwa na katika nchi za kipato cha juu mwaka 2018 mmoja ya watoto 13 katika nchi za kusini mwa jangwa la sahara walikufa kabla ya mwaka wao wa tano ikiwa hii ni mara 15 zaidi juu kuliko ile hatari inayowakumba watoto barani ulaya ambapo ni j mmoja tu kati ya wato 196 walio chini ya miaka 5 hufariki wanawake katika nchi za kusini kwa jangwa la sahara hukumbwa na hatari ya 1 kwa 37 kufariki wakati wa ujauzito au wakati wa kujifungua ambapo hatari ya mwanamke kufariki ulaya ikiwa ni 1 kwa 6500 kusini mwa jangwa la sahara na kusini mwa asia huchukua asilimia 80 ya vifo vya akina mama na watoto duniani hatua zilizopigwa dunia imepiga hatua kubwa katika kupunguza vifo vya watoto na akina mama tangu mwaka 1990 kuna kupungua kwa asilimia 56 ya vifo vya watoto walio chini ya miaka 15 kutoka milioni 142 hadi milioni 62 mwaka 2018 nchi zilizo mashariki na kusini mashariki mwa asia zimepiga hatua kubwa zaidi zikiwa na kupungua kwa asilimia 80 ya watoto walio chini miaka mitano na kuanzia mwaka 2000 hadi 2017 vifo vilipungua kwa asilimia 38 katikati na kusini mwa asia belarus bangladesh cambodia kazakhstan malawi morocco mongolia rwanda timorleste na zambia ni baadhi ya nchi ambazo zimeonyesha hatua kubwa katika kupunguza vifo vya watoto na kina mama afya ya uzazi|vifo vya mama na mtoto|who|unicef
2019-10-16T15:35:48
https://news.un.org/sw/story/2019/09/1068282
anwani hapana 168 mashariki ya yinggang road shanghai china matukio ijayo 20192020 katika shanghai kituo cha taifa cha maonyesho na kituo cha makusanyiko (necc) bookingcom (bonyeza ↑ alama ya google hapo juu ili uone kwenye ramani ya google bonyeza hapa kama ramani ya google haifanyi kazi nchini china) jumla ya rmb 16 bilioni katika uwekezaji kituo cha taifa cha maonyesho na mkataba (shanghai) ni kituo cha maonyesho kikubwa kilichojengwa na wizara ya biashara ya china na serikali ya manispaa ya shanghai na eneo la jumla la ujenzi wa mita za mraba milioni 147 kati ya mraba milioni 127 mita ni juu ya ardhi inajumuisha ukumbi wa maonyesho necc plaza majengo ya ofisi na hoteli ya juu ya mwisho kutoa huduma zinazozingatia maonyesho makusanyiko matukio biashara ofisi ya ofisi na malazi ukingo wa jengo la necc huchochea msukumo kutoka kwa clover nne ya jani isiyofaa na yenye kushangaza na kituo cha biashara kinachofanya msingi wa msingi na ukumbi wa maonyesho kama majani kuchanganya na mambo mengi ya kichina na dhana ya kubuni ya mpangilio wa mhimili wa uwiano ni moja ya majengo ya kihistoria huko shanghai
2019-12-14T13:08:25
https://www.cantonfair.net/sw/location/5-shanghai-national-exhibition-and-convention-center-necc
divaloness ajibu tuhuma za kujiuza hyatt hotel baada ya chat kuvuja akichati na danga | mishe mishe media » divaloness ajibu tuhuma za kujiuza hyatt hotel baada ya chat kuvuja akichati na danga divaloness ajibu tuhuma za kujiuza hyatt hotel baada ya chat kuvuja akichati na danga kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram ameandika haya hapa #regrann from #divathebawse lol jaman wanawake wana mambo hahaha anyways unaambiwa alietengeneza chat zangu za so called kudanga kwenye system ya cyber crime anaitwa mirry au maarufu kama tzshade sijui nini anaishi dubai alichat na mwenzie akaenda whatsapp yangu ya biashara na ku crop kisha kuunganisha chat zake aka edit ila pia akasahau crop vizuri adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake like yoh that number is public sweetheart na iko all over yangu binafsi ya smart nahisi aliikosea na alipokosea ni kusema rafiki yangu tammy sijui yaan umebugi man sinaga rafiki wa kike na siendag mahotelini mie afu unapenda kiki na jina langu eeh damn it babe erm acha obsession zako lol una hate sana like si ndo kwanza yaan maisha murua na vodacom yaan mungu anashusha tu baraka zake fyi hyatt siujui ata mlango wake ulivyo lamada nako napapita tu double tree yeah das ma chillin session n nalipia mwenyewe nikienda for bidness meeting mi silipiwi ovyo v2 ww yaan umepuyanga kwa zile chat asa dola 1000 to 1500 nisingekuwa nafanya kazi till late basi mana huo mtelemko ata vat sikatwi like yoh umepuyangaa kudanga ain't ma shit get well soon hahahahahaha +971 56 233 3028 namba hio ndo yake unaambiwa
2017-04-26T21:33:13
http://www.africanmishe.com/2016/10/divaloness-ajibu-tuhuma-za-kujiuza.html
kifo cha george floyd maandamano yafanyika miji tofauti marekani licha tahadhari ya kutotoka nje kutangazwa rswahili waandamanaji waliingia mitaani kuelezea hasira yao kufuatia kifo cha george floyd amri ya kutotoka nje imetangazwa katika miji kadhaa nchi marekani kukabiliana na ghasia zilizosababishwa na kilo cha mtu mweusi aliyekamatwa na polisi amri ya kutotoka nje imetangazwa katika miji tofauti nchi marekani kukabiliana na ghasia zilizosababishwa na kilo cha mtu mweusi aliyekamatwa na polisi lakini amri hilo imepuuzwa katika maeneo mengi huku maduka yakiibiwa magari yakichomwa moto na majengo yakiharibiwa polisi wa kukabiliana na ghasia wamekuwa wakitumia vitoa machozi na risasi za milita kuwatawanya waandamanaji rais trump ametoa wito wa utulivu kufuatia kifo cha george floyd laking amesema hataruhusu magenge ya wahalifu kutumia kifo hicho kutekeleza vitendo vya uhalifu afisa aliyehusika na kifo hicho ambaye tayari amefutwa kazi ameshitakiwa kwa mauaji ya bw floyd aliyekuwa na umri wa miaka 46 mjini minneapolis derek chauvin 44 anatarajiwa kufikishwa mahakamani siku ya jumatatu bw chauvin alionekana katika kanda ya video akipiga goti kwenye shingo la floyd kwa dakika kadhaa huku floyd akisikika akisema kuwa hawezi kupumua maafisa wengine watatu waliokuwepo wakati wa tukio hilo pia wamefutwa kazi fataki zililipuka karibu na mstari wa polisi wakati wa maandamano atlanta hii inafuatia kesi maarufu ya mauaji ya michael brown mjini ferguson eric garner mjini new york na kesi nyingine zilizowasilishwa mahakamani na vugu vugu linalojulikana kama black lives matters lakini kwa wengine mauaji hayo yametoa nafasi ya kuangazia kwa unadani kadhia ya ubaguzi na kutengwa kwa jamii ya weusi hali ambayo imeshuhudiwa kwa miaka mingi sio tu mjini minneapolis pekee maandamano yatanda kote marekani kudai haki waandamanaji polisi wapambana baada ya kifo cha mtu mweusi marekani nini kinachofanyika katika maandamano ya sasa maandamano makubwa yamefanyika katika karibu miji 30 nchini marekani yalikuwa ya amani siku ya jumamosi lakini baadae yaliguka kuwa ya vurugu mji wa los angeles ulioathiriwa zaidi na ghasia hizo gavana wa jimbo la california gavin newsom alitangaza hali ya hatari katika mji huo na kuagiza kupelekwa kwa walinzi wa kitaifa kikosi maalum cha wanajeshi wa kukabilianna na ghasia za ndani ya nchi mji huo umewekwa chini y amir ya kutotoka nje kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na moja unusu asubuhi maduka kadhaa yameibiwa yakiwemo maduka maarufu ya melrose na fairfax huku kanda za videozonaswa kutoka angani zikionesha baadhi ya majengo yakiteketea baaada ya kuchomwa motoyakiwaka moto mamie ya watt wamekamtwa kwa kukiuka agio la ktotoka nje maya eric garcetti amaesema hizi ni vurugu mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa tangu maandamano ya mwaka 1992 ambayo yalisababishwa na kuondolewa mashitaka polisi katika kichapo cha rodney king polisi wamesambazwa mitaani huku mioto ikiwaka katika los angeles ambayo imewekwa katika hali ya tahadhari ya kutotoka nje hakujaripotiwa ghasia usiku kucha mjini minneapolis ambako george floyd aliuawa maafisa 700 wa ulinzi wa kitaifa wanaongoza shughuli ya kuhakikisha amri ya kutotoka nje inazingatiwa gazeti la star tribune linaripoti kuwa hali imetulia katika mji huo ikilinganishwa na haiku uliotangulia kwa siku ya pili mtawalio makundi makubwa ya waandamanaji yalikabiliana na majesty ya ulinzi nje ya ikulu ya marekani mini washington dc indianapolis ni moja ya miji iliyoshuhudia maandamano ya amani nyakati za mchana lakini yaligeuka kuwa ya vurugu baadae mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi lakini polisi wamesema hakuna afisa yeyote aliyefyatua risasi licha ya amri ya kutotoka nje kutangazwa mjini philadelphia polisi 13 walijeruhiwa huku watu watu karibu 35 wakikamatwa huku maduka yakiporwa magari ya polisi yakichomwa moto na nyumba kacha kuharibiwa amri ya kutotoka nje pia imetangazwa katika miji ya miami portland na louisvilleniongoni mwa miji mingine japo amri hiyo imepuuzwa katika baadhi ya maeneo san francisco nadir mii wa hivi punned kuweka amri ya kutotoka nje iliyotangazwa na meya london jumapili baada ya mii huo kushuhudia visa vya ghasia na uporaji mwendesha mashtaka akizungumzia makosa ya mauaji na kuua bila kukusudia george floyd alikufa vipi ripoti inasema kwamba bwana bwana chauvin aliweka goti lake juu ya shingo ya bwana floyd na kumkandamiza kwa dakika 8 na sekunde 46 karibia dakika tatu ambapo bwana bwana floyd hakuamka tena karibia dakika mbili kabla ya kuondoa goti lake maafisa wengine waliangalia kiganja cha mkono cha bwana floyd ikiwa bado mapigo ya moyo yapo lakini hawakuona chochote alipelekwa katika kituo cha matibabu kaunti ya hennepin kwa kutumia ambulansi na kusemekana kwamba amekufa karibia saa moja baadae akiwa katika ikulu ya marekani ijumaa rais donald trump alitaja tukio hilo kama baya zaidi kutokea na kusema kwamba amezungumza na familia ya bwana floyd aliyoieleza kama familia ya watu wazuri mno alisema ametoa wito kwa idara ya haki kuharakisha uchunguzi iliyotangaza ijumaa wa kutathmini ikiwa kuna ukiukaji wowote wa haki uliotekelezwa katika kifo cha bwana floyd rais alisema pia wanaopora mali za watu hawastahili kuharibia wengine wengi ambao wanafanya maandamano yao kwa njia ya amani awali alielezea wanaopora mali kama wahuni wanaokosea heshima kumbukumbu ya bwana floyd aidha mtandao wa kijamii wa twitter umemshtumu bwana trump kwa kusifia ghasia katika ujumbe wake alioandika uporaji wa mali ukianza ufyatuaji wa risasi unaanza mgogoro wa trump na twitter waendelea kutokota watu wamechukulia vipi tukio hili familia ya bwana floyd na wakili wake benjamin crump ilisema kukamatwa kwa floyd kunaruhusiwa lakini hilo limepitwa na wakati familia hiyo ilisema inataka mshtakiwa ashtakiwe kwa makosa ya mauaji kiwango cha kwanza pamoja na kukamatwa kwa maafisa wengine waliokuwepo taarifa hiyo pia inataka mji huo kubadilisha sera yake ikisema leo familia ya george floyd inalazimika kuelezea kwa watoto wake kwanini baba yao aliuawa na polisi kupitia video iliosambaa mtandaoni aliyekuwa rais wa marekani barack obama pia nae alitoa maoni yake na kusema hili halistahili kuwa jambo la kawaida kwa marekani ya 2020 katika taarifa yake aliongeza ikiwa tunataka watoto wetu kukua katika taifa lenye maadili ya juu tunaweza na nilazime tuwe na maadili mema ← maandamano yatikisa miji kadhaa ya marekani kupinga ukatili virusi vya corona makamu wa rais wa sudan kusini wani igga atangaza kuwa na virusi →
2020-07-02T15:20:03
http://rswahili.com/kifo-cha-george-floyd-maandamano-yafanyika-miji-tofauti-marekani-licha-tahadhari-ya-kutotoka-nje-kutangazwa/
ccm yateua 'mafisadi' kufadhili kikwete 2010 | gazeti la mwanahalisi miongoni mwao wamo watatu ambao wamekuwa wakituhumiwa kwa ufisadi mara kwa mara na wako katika kundi ambalo lilipachikwa majina ya watafuna nchi na mafisadi papa makamba alipoulizwa kuhusu uteuzi wa wajumbe hao alisema vikao vya sekretarieti ni mambo ya siri mimi ndiye mwenyekiti alipobanwa zaidi akangaka ni nani kawaambia mambo ya ndani ya sekretarieti huyo kawapa umbea alipoelezwa kuwa ni yeye aliyevujisha siri kwa kumweleza mmoja wajumbe waliopendekezwa makamba alisema nani huyo kama kuna mtu kawapigia simu kuwaeleza kuwa tulijadili ajenda hiyo katika vikao ambavyo mimi ni mwenyekiti basi kaeneza umbeya mpigieni tena wajumbe hao waliopendekezwa na sekretarieti wanasubiri kuidhinishwa na vikao vya kamati kuu (cc) na halmashauri kuu (nec) ya ccm baadhi ya wajumbe walimkumbusha makamba kuwa yeye ndiye amekuwa akikanusha ufisadi wa ccm kwa nguvu zote lakini uteuzi huu unaoingiza baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi katika orodha ya wafadhili wa chama unaweza kusimika dhana kwamba ccm ni chama cha mafisadi mbunge mmoja wa ccm alinumkuu mjumbe wa kikao cha sekretarieti hiyo akisema wakati wote ambapo ajenda hiyo ilipokuwa inajadiliwa makamba alikuwa akitolea macho kila aliyekuwa anaonekana kupinga mapendekezo yake ni rostam huyo huyo anayedaiwa kuwa mwasisi wa kampuni ya kagoda agricultural ltd iliyosajiliwa 29 septemba 2005 na ndani ya siku tano baada ya kusajiliwa ilichotewa sh 308 bilioni kutoka akaunti ya madeni ya nje (epa) ya bot toleo na 282 makamba sitta chadema slaa kikwete lowassa richmond cuf ccm mkapa rostam pinda chenge uchaguzi dowans
2019-06-16T15:49:45
http://mwanahalisi.co.tz/ccm_yateua_mafisadi_kufadhili_kikwete_2010
abbas na shaheen merali kuanzia ndoa hadi kuwa wazazi by abbas na shaheen kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha kiingereza kiitwacho from marriage to parenthood sisi tumekiita kuanzia ndoa hadi kuwa wazazi ni muhimu kutaja nukta fulani fulani ambazo zinaweza zikazuka katika akili ya msomaji pale anapopitia kile kiwango kikubwa cha taarifa kilichokuwepo kwanza mapendekezo fulani yanaweza kuonekana kuwa maalum sana na mafinyu kama yale ya nyakati ambazo mtu anapaswa na pale ambapo hapaswi kushika mamba hata hivyo ni lazima ikumbukwe kwamba uislam sio dini ngumu na mapendekezo haya hayapo ili kuweka vizuizi visivyo na lazima juu yetu bali kwa usahihi zaidi mapendekezo haya yanawekwa pale kwa faida yetu na muumba ambaye anatujua vizuri sana kuliko tunavyojijua sisi wenyewe 3 swali rakaa mbili kwa nia ya mustahab qurbatan ilallah kujisogeza karibu na allah (swt) (swala inayopendekezwa kwa ajili ya kutafuta radhi za mwenyezi mungu) ikufuatiwa na swala ya mtume 1 mtu anapaswa kujiepusha na kufanya aqd au ndoa wakati wa qamar dar akrab pale mwezi unapopita kwenye eneo la nge (scorpio) kanuni hii haiungwi mkono na shia wote mtarjuma siku iliyofuata wakati mtukufu mtume (saww) alipoiona ile suti ya zamani mwilini mwa hadhrat fatimah (as) yeye alimuuliza kwa nini hukuvaa ile suti mpya hadhrat fatimah akajibu niliitoa kumpa mtu mwenye haja mtukufu mtume (saww) akasema kama ungevaa ile suti mpya kwa ajili ya mumeo ingekuwa vizuri na yenye kufaa sana hadhrat fatimah (as) ali jibu akasema hili nimejifunza kutoka kwako imesimuliwa vilevile kutoka kwa imam assadiq (as) ama katika dunia hii au katika akhera mtu hajawahi na wala hatawahi kupata starehe yenye burudani zaidi kuliko mahusiano ya kijinsia na wanawake na hakika haya ndio maelezo ya maneno ya allah (swt) ndani ya quran katika surat aali imran aya ya 14 yeye ambapo anasema watu wamepambiwa kupenda matamanio pamoja na wanawake na watoto halafu yeye akasema hakika watu wa peponi hawapendelei sana katika starehe za pepo zaidi kuliko nikah2 si chakula wala vinywaji ambavyo vina buru dani kama hiyo kwao3 imam assadiq (as) anasimulia kwamba mtukufu mtume (saww) alizungumza na mmoja wa masahaba zake katika siku moja ya ijumaa na akamuuliza je umefunga leo yule sahaba akajibu hapana mtume (saww) akamuuliza tena je umetoa chochote leo kama sadaka akajibu hapana mtukufu mtume (saww) akamwambia basi nenda kwa mke wako na hiyo ndio sadaka hasa kwake yeye4 katika hadithi nyingine imam assadiq (as) anasimulia kwamba mtukufu mtume (saww) alimwambia mtu mmoja wewe umefunga leo akajibu akasema hapana mtume (saww) akamuuliza je umekwenda kutembelea mgonjwa yoyote akajibu hapana mtukufu mtume (saww) akamuuliza je umekwenda kusindikiza jeneza akajibu hapana mtume (saww) akamuuliza je umetoa chakula kwa mtu masikini akatoa majibu ya kinyume tena mtukufu mtume (saww) akamwambia nenda kwa mke wako na kumwendea mke wako ni sadaka (mwendee ili upate malipo kwa ajili ya matendo yote hayo)5 imesimuliwa kutoka kwa imam assadiq (as) mabibi watatu walikwen da kwa mtukufu mtume (saww) kulalamika mmoja wao akasema mume wangu huwa hali nyama yule mwingine akasema mume wangu hanusi manukato na wala hatumii manukato na yule wa tatu akasema mume wangu mimi hasogei karibu na wanawake (yaani hajishughulishi na kujamiiana) mtukufu mtume (saww) akiwa hana furaha katika namna ambayo kwamba joho lake lililobarikiwa lilivyokuwa likiburuzika ardhini aliondoka na kwenda msikitini na akiwa juu ya mimbari alimtukuza mwenyezi mungu na kisha akasema ni nini kimetokea kwamba kikundi cha wafuasi wangu hawali nyama au hawatumii manukato au hawawaendei wake zao ambapo mimi ninakula nyama ninatumia manukato na pia ninamwendea mke wangu hii ndio sunnah yangu na mtu yoyote anayekwenda kinyume na sunnah hii huyo hatokani na mimi7 imam assadiq (as) vilevile amesimulia mke wa uthman bin madhun alikwenda kwa mtukufu mtume (saww) akasema ewe mjumbe wa mwenyezi mungu kila siku uthman anafunga na wakati wa usiku anajishughulisha katika swala mtukufu mtume (saww) akaokota makubazi yake na kwa hasira akaenda kwa uthman (kiasi kwamba hakun goja kuvaa makubazi yake) na akamkuta katika hali ya swala kwa vile uthman alimuona mtume (saww) aliiacha swala yake mtukufu mtume (saww) akamhutubia akasema allah hakunituma mimi kuwa sufii (anayejitenga peke yake) ninaapa wallahi kwamba hilo limenichochea mimi kwenye dini hii safi yenye imani halisi na rahisi mimi ninafunga ninaswali na ninakwenda kwa mke wangu na yeyote anayependa desturi yangu ni lazima ashikamane na sunnah yangu na mwenendo wangu na nikah8 ni sunnah yangu9 imesimuliwa kutoka kwa imam ali (as) wakati yeyote kati yenu anapotaka kulala na mke wake basi asimharakishe kwani wanawake wanayo mahitaji pia10 ni muhimu kwa mume kutambua kwamba hamu ya kujamiiana ya mwanamke inachukua muda mrefu kujionyesha yenyewe lakini mara inapokuwa imevutika inakuwa na nguvu sana ambapo kwa mwanaume ni rahisi anapata ashiki haraka sana na vilevile anaweza kuridhishwa haraka sana mwisho inatia moyo kuona kwamba umuhimu uliowekwa na uislam juu ya kuridhika kwa wote mwanaume na mwanamke ni kiashirio cha wazi cha uadilifu na wema wa mwenyezi muntu (swt) kwa kweli imerudia kukaririwa ndani ya qurani kwamba mwanaume na mwanamke waliumbwa kutokana na nafsi moja11 na huu ni mfano mmoja tu wa hili imesimuliwa kutoka kwa mtukufu mtume (saww) usijishughulishe katika kujamiiana na mkeo kama kuku bali kwanza kabisa jishughulisha katika kutiana ashiki kwa unyegereshano pamoja na mke wako na kuchezeana naye halafu ufanye mapenzi naye14 imesimuliwa pia kutoka kwa mtukufu mtume (saww) starehe na michezo yote haina maana isipokuwa kwa mitatu tu upanda farasi kurusha mishale na unyegereshano na mke wako na hii mitatu ni sahihi15 imam akajibu hakuna tatizo kwa sharti kwamba hatumii kitu chochote mbali na viungo vya mwili wake (asitumie kitu cha nje cha ziada) halafu tena imam akaulizwa kuna tatizo lolote kufanya ngono ndani ya maji imam akajibu hakuna tatizo 20 wanawake ni mashamba yenu basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna muitakayo (albaqarah 2223) hata hivyo imam assadiq (as) katika tafsiri yake juu ya aya hiyo ya qurani hapo juu anasimulia kwamba madhumuni ya aya hii ni kwamba kujamiiana hakuna budi kufanyika kutokea mbele kwani sababu ambayo kwamba mwanamke katika aya hii amefananishwa na shamba linalotoa mavuno (kutokea juu ya udongo) ambao ni kama tu kule mbele kwa mke kwa sababu huku ndiko ambako kwamba mtoto hutokea kupatikana na kuja ulimwenguni humu26 abuu basiir anasimulia kwamba yeye alimuuliza imam kwamba ni nini hukmu ya mtu anayemwendea mke wake nyuma imam alilichukulia tendo hili kutokubalika na akasema kaa mbali na nyuma kwa mkeo na maana ya aya hii tukufu ya surat albaqarah hapo juu sio kwamba unaweza kumwingilia mkeo kutokea popote unapotaka bali haswa ni kwamba huna budi kufanya ngono na kwa hiyo maana ya aya hiyo ni kumkurubia mkeo kwa wakati wowote uupendao kufanya hivyo27 imesimuliwa katika hadithi nyingine kutoka kwa assakuni kwamb imam ali (as) aliwapita wanyama wawili waliokuwa wakijamiiana mahali njia ya watu wengi imam aligeuka mbali nao ikaulizwa ewe amirulmuminin kwa nini uligeukia pembeni mbali nao imam (as) akajibu akisema sio sahihi kwamba mkaribiane katika njia ya watu kama wanyama hawa kitendo kama hicho kimekatazwa na kifanyike mahali ambapo si mwanaume au mwanamke awezaye kuona 38 imam akajibu akasema endapo atamwacha kwa kiasi cha miezi minne hilo linahesabiwa kama ni dhambi43 imesimuliwa kutoka kwa imam assadiq (as) mtu yoyote atakayeona mwanamke na akavutiwa naye ni lazima aende kwa mke wake na aka jamiiane naye kwa sababu kile ambacho yule mwanamke mwingine ana cho na mke wako pia anacho na mtu asimwachie nafasi shetani katika moyo wake na endapo mtu hana mke ni lazima aswali swala ya rakaa mbili amtukuze sana allah (swt) na kumswalia mtume kumtakia rehma yeye na kizazi chake na amuombe mwenyezi mungu amjaalie kumpa mke muumini na mchamungu na kwamba yeye allah (swt) amfanye asiwe mwenye kuhitaji yaliyoharamishwa45 muawiyah ibn umar anasimulia kwamba yeye alimuuliza imam assadiq (as) ni nini kinachoruhusiwa kwa mwanaume wakati mwanamke anapokuwa kwenye hali ya hedhi imam akajibu akasema mbali na sehemu zake za siri (yaani mwili wote uliobakia isipokuwa sehemu zake za siri tu) 46 ni muhimu kutambua kwamba haipendekezwi kujishughulisha na ngono baada ya kwisha kwa hedhi hata hivyo kama ni lazima mwanamke anapaswa kuoga kwanza49 mwenyezi mungu analieleza hili katika muen delezo wa aya hiyo hapo juu na wanapokuwa tohara basi waingilieni kama alivyokuamuruni mwenyezi mungu (albaqarah 2222) na kama wakiona kipande cha mbingu kikianguka husema ni mawingu yanayobebana (attuur 5244) 57 1 kujamiiana mwanzoni mwa usiku iwe wakati wa kiangazi ama wa kipupwe kunasababisha madhara kwenye mwili kwa sababu wakati huo tumbo na mishipa ya damu kwa kawaida inakuwa imejaa kujamiiana kunaweza kusababisha chango (msokoto wa tumbo bila kuharisha) kupooza (kwa uso) jongo (gout) mawe na kutiririka kwa mkojo henia na udhaifu wa macho69 kwa hiyo kushughulika katika kujamiiana mwishoni mwa usiku kunapendekezwa zaidi kwa ajili ya kudumisha mwili wenye afya njema kwani kuna mwelekeo wa dhahiri kwamba wakati huo mtu hatakuwa na tumbo lililojaa prev life under the grace of ethics next a commentary on prayer
2020-05-29T09:44:49
https://en.rafed.net/article/kuanzia-ndoa-hadi-kuwa-wazazi
majadiliano ya mtumiajigreenman wikipedia kamusi elezo huru majadiliano ya mtumiajigreenman mr accountable (majadiliano) 2125 4 desemba 2009 (utc) rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=majadiliano_ya_mtumiajigreenman&oldid=332129 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 4 desemba 2009 saa 2125
2019-08-25T02:56:07
https://sw.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:Greenman
bunduki 13 zanaswa familia ya mbunge | gazeti la jamhuri watu kadhaa wakiwamo wenye nasaba na mbunge wa mbarali mkoani mbeya haroon mulla (ccm) wamekamatwa katika operesheni maalumu wakituhumiwa kujihusisha na ujangili katika operesheni hiyo inayoongozwa na kikosi kazi kinachovishirikisha vikosi vya ulinzi na usalama bunduki 13 za aina mbalimbali zimekamatwa kwa ndugu zake mulla mtoto wa mulla anayetajwa kwa jina la fahad ni miongoni mwa waliokamatwa na idadi kubwa ya bunduki bunduki zilizokamatwa zimetajwa kuwa ni riffle na nyingine za kivita pamoja na risasi zake mtuhumiwa mwingine ambaye ni ndugu wa mulla ametajwa kwa jina moja la pirmohamed jina hilo ni la ukoo vyanzo vya habari vimeiambia jamhuri kuwa silaha hizo zimekamatwa maeneo mbalimbali miongoni mwao zikifukuliwa ardhini katika makazi ya wanaukoo hao zinadaiwa kutumiwa katika matukio mbalimbali ya ujangili likiwamo la hivi karibuni ambalo mmoja wa wanaukoo hao alikamatwa akiwa na nyara za serikali katika tukio hilo lililotokea takribani wiki mbili zilizopita mahakama mkoani mbeya ilimtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya sh milioni 137 mshitakiwa huyo alilipa faini hiyo na hivyo kumwezesha kunusurika na kifungo cha miaka 20 jela silaha zilizokamatwa zinadaiwa kutumika kuua wanyamapori katika mapori kadhaa nchini lakini matukio mengi yakiwa yanafanywa katika hifadhi ya taifa ya ruaha iliyoko katika mikoa ya nyanda za juu kusini ruaha ndiyo hifadhi kubwa nchini ikiwa na ukubwa wa kilometa za mraba 20300 inafuatiwa na serengeti yenye ukubwa wa wastani wa kilometa za mraba 14000 katibu mkuu wa wizara ya maliasili na utalii gaudence milanzi ameithibitishia jamhuri kuwa kazi ya kuwasaka na kuwakamata watuhumiwa wa ujangili inaendelea vizuri ingawa sijapata ripoti kamili ya watuhumiwa waliokamatwa hadi sasa nakuhakikishia kuwa kazi inakwenda vizuri kabisa hii kazi siyo mbarali tu bali ni maeneo mbalimbali nchini tusubiri ripoti ya polisi kwa sababu wao ndiyo wenye mandate (mamlaka) ya kulizungumzia suala hili shughuli zinaendelea kama kawaida amesema meja jenerali milanzi ameulizwa juu ya kukamatwa kwa mpemba baada ya kuwapo taarifa kwamba aliyekamatwa si mpemba halisi na kwamba mhusika mwenyewe kakimbilia nje ya nchi si kweli mpemba amekamatwa hapa hakuna pa kukimbilia rais katangaza vita dhidi ya ujangili kwa hiyo hakuna mahali anapoweza kukimbilia mtuhumiwa tukashindwa kufika kumkamata amesema kasi ya mapambano dhidi ya ujangili imekolezwa na agizo la rais john magufuli alipozuru wizara ya maliasili na utalii kumshuhudia mpemba aliyekamatwa akiwa na nyara za serikali kamanda wa polisi mkoa wa mbeya dhahir kidavashari amesita kuingia kwenye undani wa kukamatwa kwa kina mulla akijitetea kwa kusema yeye si msemaji wa kikosi kazi anasema kikosi hicho kimeundwa nje ya eneo lake la kazi hiyo ni kazi maalumu ya kitaifa hivyo wapo watu maalumu wanaohusika kuitolea taarifa mimi siwezi kabisa kuzungumzia kikosi hicho na kazi yao amesema sacp kidavashari mkuu wa operesheni za polisi makao makuu ya jeshi la polisi dcp jackson nyambabe ameulizwa na jamhuri na kusema kuwa taarifa hizo zinaweza kutolewa na kaimu mkurugenzi wa makosa ya jinai (dci) robert mkomangwa kaimu dci mkomangwa ameulizwa na majibu yake yakawa kwamba kutokana na ugeni wake katika ofisi hiyo hana taarifa zozote za kukamatwa kwa bunduki hizo sina muda mrefu ofisi hii mimi bado mgeni suala hilo linashughulikiwa na wizara ya maliasili na utalii wanaweza kukwambia kinachoendelea huko lakini ingekuwa vyema ukawasiliana na rpc wa mbeya maana ni eneo lake la kazi anajua kinachoendelea amesema mbunge wa mbarali mulla ameombwa na jamhuri kutoa ufafanuzi wa tuhuma zinazomgusa yeye na familia yake lakini amesema asingependa kuzungumzia suala hilo kutokana na kuwa mikononi mwa vyombo vya dola alipoulizwa inakuwaje familia yake inaelezwa kumiliki kiasi hicho cha bunduki na kujihusisha na ujangili akasisitiza kuwa kuna utaratibu unaochukuliwa pamoja na baadhi ya vitu kufanyika hivyo asingependa kuingilia utaratibu huo kwa kuzungumza jambo lolote naomba nisiingilie yanayoendelea kufanyika na kwa sababu suala hili lipo mikononi mwa vyombo vya dola ni vyema tukaliacha kama lilivyo maana kuna vitu vinafanyika sitaki kuingilia we fahamu kuna utaratibu unachukuliwa upo njiani amesema mulla rais magufuli akiwa makao makuu ya wizara ya maliasili na utalii (mpingo house) barabara ya nyerere jijini dar es salaam alioneshwa pembe 50 za ndovu zilizokamatwa pamoja na magari yaliyotumika kubeba nyara hizo watuhumiwa wanane wanaodaiwa kuhusika kwenye mtandao wa biashara haramu ya pembe za ndovu walitiwa mbaroni kwenye operesheni hiyo rais magufuli alifahamishwa kukamatwa kwa jangili maarufu nchini anayefahamika kwa jina la mpemba ambaye amekuwa akisakwa na vyombo vya dola kwa muda mrefu kumekuwa na taarifa kwamba mpemba halisi hajakamatwa wapemba katika biashara hii wapo wawili yupo mpemba kinara zaidi ambaye hata rais alidhani ndiye aliyekamatwa huyu mpemba kinara ana majina mengi jina lake ni abdulkadir aka mbarouk sheikh mpemba huyu ni mfanyabiashara kariakoo anamiliki maghorofa kadhaa na anaishi kariakoo mtaa wa manyema amesema mtoa taarifa wetu mkuu wa ushirikiano wa polisi kimataifa (interpol) hapa nchini sacp gustavus babile ameulizwa juu ya taarifa za kutoroka kwa mpemba lakini amesema habari hizo ni ngeni kwake juni mwaka huu vijana wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa mpemba walikamatwa wakiwa na kilogramu 600 za pembe za tembo walikamatwa eneo la msakuzi dar es salaam mpemba anatajwa kuwa na ushirikiano wa kiuhalifu na baadhi ya wanasiasa maarufu miongoni mwao akiwa ni mbunge katika moja ya majimbo dar es salaam kwa sasa jamhuri inalifadhi jina lake serikali imeunda kikosi kazi cha kupambana na ujangili kilichogawanywa katika kanda mbalimbali nchini rais magufuli amewahakikishia watanzania kuwa mtandao wote wa majangili utavurugwa na hakuna atakayesalimika amewaagiza viongozi wa wizara ya maliasili na utalii pamoja na vyombo vyote vya dola nchini kuwakamata watuhumiwa wote wa ujangili bila kujali vyeo umaarufu jinsi rangi kabila wala dini rais akiwa wizarani hapo alisema nawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoifanya na ninawahakikishia kuwa ninawaunga mkono chapeni kazi wakamateni wote wanaojihusisha na biashara hii haramu hakuna wa kumbakiza awe mkubwa au nani kamateni wala msijali cheo chake umri wake dini yake kabila lake umaarufu wake sheria ni msumeno watafuteni wote mpaka watu wakiona tembo wawe wanakimbia wenyewe ili tuokoe wanyama wetu ambao wanaendelea kuteketezwa hapa mmekamata pembe 50 maana yake tembo 25 wameuawa haiwezekani maliasili yetu ikawa inapotea hovyo hovyo kwa sababu ya watu wachache wenye tamaa ya kutaka utajiri wa haraka haraka kuhusu kukamatwa kwa mpemba rais magufuli alisema kuwa angeshangaa iwapo kikosi hicho kisingeweza kumkamata kutokana na umaarufu wake na kuwa ni mtu anayefahamika kwa kujihusisha na biashara hiyo kwa kipindi kirefu mpemba hilo ni jina lake analolitumia katika harakati zake za biashara ya ujangili ili asitambulike yuko mwingine pia anajiita mangi wa kabila fulani lakini siyo majina yao halisi alisema rais magufuli amemteua mkuu wa jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) jenerali (mstaafu) george waitara kuwa mwenyekiti wa bodi wa shirika la hifadhi za taifa (tanapa) 3384 total views 2 views today previous ripoti ya rushwa ya jaji warioba 20 next wadau waombwa kusaidia mchezo wa kuogelea
2018-09-19T09:31:00
http://www.jamhurimedia.co.tz/bunduki-13-zanaswa-familia-ya-mbunge/
kampuni ya agricom africa yawapiga msasa wafanyakazi wake juu ya matumizi ya trekta mpya aina ya kubota l 4508 mtaa kwa mtaa blog home biashara kampuni ya agricom africa yawapiga msasa wafanyakazi wake juu ya matumizi ya trekta mpya aina ya kubota l 4508 kampuni ya agricom africa yawapiga msasa wafanyakazi wake juu ya matumizi ya trekta mpya aina ya kubota l 4508 othman michuzi february 06 2020 biashara kampuni ya agrocom africa imeendesha mafuzo kwa wafanyakazi wake juu ya namna ya matumizi sahihi ya trekta mpya na za kisasa za kampuni ya kubota kutoka nchini japan ambazo zitaanza kuuzwa na kampuni hiyo hapa nchini ambapo wafanyakazi hao waliweza kupata mafunzo ya darasani na kwa vitendo pia pichani ni mkufunzi kutoka kampuni ya kubota kazunori sasaki akitoa mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye tawi la agricom melela mkoani morogoro leo mmoja wa mafundi wa kampuni ya kubota ya nchini japan hiroshi iwashita akiwaonyesha baadhi ya wafakazi wa kampuni ya agrocom namna betri ya trekta aina kubota l 4508 inavyotakiwa kufungwa wakati wa mafunzo maalum ya matumizi ya trekta hizo yaliyoandaliwa na kampuni ya agrocom africa muonekano wa trekta mpya aina ya kubota l 4508 za nchini japan zikiwa tayari kwa kazi mbalimbali za kilimo baadhi ya mafundi na wafanyakazi wa kampuni ya agrocom africa wakiwa katika mafunzo ya vitendo posted by othman michuzi at february 06 2020
2020-07-16T13:05:22
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/02/kampuni-ya-agricom-tanzania-yawapiga.html
amanda und eduard ein in briefen (sophie mereau ) 9783843082792 kununua kitabu home > utafutaji > 9783843082792 vitabu vyote kwa 9783843082792 linganisha kila kutoa 9783843082792 () au 3843082790 isbn (kuweka mbadala) 3843082790 9783843082792 maneno muhimu amanda und eduard sophie mereau fiction & literature 9783843082792 kupata vitabu vyote inapatikana kwa namba yako isbn 9783843082792 linganisha bei haraka na kwa urahisi na kuagiza mara moja inapatikana nadra vitabu vitabu kutumika na mkono wa pili vitabu vya kichwa amanda und eduard ein in briefen kutoka sophie mereau zimeorodheshwa kabisa
2017-09-23T16:14:21
https://ke-sw.diebuchsuche.com/vitabu-isbn-9783843082792.html
n'dour wa senegal azindua televisheni bbc news swahili n'dour wa senegal azindua televisheni https//wwwbbccom/swahili/habari/2010/09/100902_senegal_youssou_televisheni mwanamuziki wa miondoko ya pop kutoka senegal youssou n'dour amezindua rasmi kituo chake cha televisheni baada ya kusumbuana na serikali ya nchi hiyo kwa miaka miwili mwanamuziki huyo tayari anamiliki kampuni yake binafsi inayoshughulikia vyombo vya habari huko dakar inayokusudia kuipinga serikali ya nchi hiyo waandishi wanasema kituo hicho kipya tfm kitaonyesha masuala ya kiutamaduni baada ya serikali kumnyima leseni ya kuonyesha mambo mengine tofauti bw n'dour kwa sasa ana matumaini ya kuzifikia nchi jirani image caption youssou n'dour mwandishi wa bbc wa afrika magharibi aliyopo dakar thomas fessy alisema mwanamuziki huyo ana matumaini ya kampuni yake kuwa shirika kuu la habari eneo hilo la magharibi ya afrika kituo chake cha redio kilichozinduliwa miaka saba iliyopita kina mafanikio makubwa na ina wasikilizaji wengi katika mji mkuu wa dakar mhariri wa redio hiyo allassane samba diop ambaye atafanya kipindi kimoja katika televisheni hiyo ya tfm (television future medias) aliiambia bbc kwamba utamaduni inawanyima nafasi ya kufanya vipindi vingi alisema bado itakiruhusu kituo hicho kuandaa masuala ya kijamii kisiasa na kiuchumi tfm ni televisheni ya tano ya kibinafsi nchini humo youssou n'dour aliimba na kutoa hotuba kuadhimisha uzinduzi huo katika ulimwengu ambao watu zaidi wanaathiriwa na nguvu ya picha na kasi ya habari nina furaha kusema kwamba serikali ya senegal imechukua uamuzi sahihi tarehe 11 mei 2010 kuruhusu tfm kufanya matangazo ushawishi wa kisiasa mashabiki walifurahia uzinduzi huo mshabiki mmoja saliou diouf tunaomba mungu aibariki televisheni yaketunamtakia kila la kheri tukiwa na matumaini huku tukimshukuru mungu atafanikiwa kwa yale aliyoyakusudia na televisheni hii mtafaruku wa leseni ulianza rasmi kutokana na namna televisheni hiyo itakavyodhaminiwa rais wa senegal abdoulaye wade awali alisema leseni ya kurusha matangazo imekataliwa ili kuzuia watu wa kigeni kutoa ushawishi wa sera zao mwandishi wa bbc mjini dakar tidiane sy alisema bw n'dour alitumia umaarufu wake kama mwanamuziki kuwakusanya maelfu ya wafuasi kumwuunga mkono na hatimaye akafikia muafaka na serikali mwandishi wetu aliongeza bw n'dour alisema hivi karibuni kwamba hatowania urais lakini atamwuunga mkono anayegombea urais katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika mwaka 2012
2018-07-23T18:22:57
https://www.bbc.com/swahili/habari/2010/09/100902_senegal_youssou_televisheni
kesi bbc swahili zinazohusiana imebadilishwa 1 machi 2014 saa 0946 gmt 26 wahukumiwa adhabu ya kifo misri mahakama nchini misri imewahukumu watu 26 adhabu ya kifo kwa kuanzisha kikundi cha ugaidi 27 februari 2014 bintimfalme hispania ahojiwa mahakamani bintimfalme wa hispania amehojiwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi zinazomhusisha na biashara za mume wake pervez musharraf alazwa hospitali kiongozi wa zamani wa pakistan pervez musharraf amelazwa hospitali kwa kile kinachoshukiwa kuwa ni matatizo ya moyo tanzania 12 mahakamani kwa ukeketaji wanawake 12 wanaotuhumiwa kuwafanyia ukeketaji wasichana 21 wamefikishwa mahakamani wilayani same kilimanjaro mjomba wa kiongozi wa korea kaskazini amenyongwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na kupinga mapinduzi watuhumiwa wanne wa shambulio la westgate nchini kenya wamenyimwa dhamana kwa kuhofia usalama na kuvuruga kesi watuhumiwa wa shambulio la westgate nchini kenya wanyimwa dhamana kuhofia usalama na kuvuruga ushahidi mwanamuziki mahiri nchini tanzania nguza viking atabakia jela maisha yote baada ya ombi lake la kubatilishwa hukumu kutupwa wafuasi wa mohammed morsi wafungwa wafuasi kumi na wawili wa rais wa misri aliyeng'olewa madarakani mohammed morsi wamehukumiwa kifungo cha miaka 17 jela kila mmoja
2014-03-10T10:45:05
http://www.bbc.co.uk/swahili/topics/kesi/
waziri wa mambo ya nje wa ujerumani maas ziarani afrika | matukio ya kisiasa | dw | 03092019 waziri wa mambo ya nje wa ujerumani maas ziarani afrika waziri wa mambo ya nje wa ujerumani heiko maas ameanza ziara ya siku nne barani afrika huku sudan ikiwa nchi mojawapo atakayotembelea maas anakuwa mwanadiplomasia wa kwanza wa ngazi ya juu wa ulaya kukutana na uongozi mpya wa nchi hiyo maas amesema kwamba sudan ipo katika mabadiliko ya kihistoria na kwamba wanataka kuunga mkono uongozi mpya katika jukumu zito la kuifungua milango ya nchi kufanya mageuzi na maandalizi ya uchaguzi wa kidemokrasia aidha ameongeza kwamba huu ni wakati wa sudan kutumia nafasi hiyo kupokea uungwaji mkono kutoka jumuiya za kimataifa maas ataitembelea pia jamhuri ya kidemokrasia ya congo jumanne jioni ambapo miongoni mwa mambo mengine atapata taarifa za ujumbe wa kulinda amani wa umoja wa mataifa monusco pamoja na mapambano dhidi ya ugonjwa wa mripuko wa ebola maas ataitembelea kivu ya kaskazini ambayo imeathiriwa vibaya na ugonjwa huo mada zinazohusiana sudan heiko maas maneno muhimu heiko maas sudan jamhuri ya kidemokrasi ya kongo kiungo https//pdwcom/p/3ouxl 10062019 taarifa ya habari asubuhi 10062019 waziri wa mambo ya nchi za kigeni wa ujerumani heiko maas yuko tehran kuupigia debe mkataba wa nyuklia wa iran // watu wanne wauawa ktika makabiliano ya vikosi vya usalama na waandamanaji nchini sudan // na mamia kwa maelfu ya wakaazi wa hong kong waandamana dhidi ya mswada utakaoruhusu watuhumiwa kupelekwa china bara
2019-10-21T03:01:56
https://www.dw.com/sw/waziri-wa-mambo-ya-nje-wa-ujerumani-maas-ziarani-afrika/a-50266237
waziri kalemani amkabidhi ofisi waziri wa madini angellah kairuki habari za jamii home / unlabelled / waziri kalemani amkabidhi ofisi waziri wa madini angellah kairuki aliyekuwa waziri wa nishati na madini dkt medard kalemani akimkabidhi ofisi waziri wa madini angellah kairuki wanaoshuhudia katikati ni naibu waziri wa madini stanslaus nyongo kulia kwadkt kalemani ni naibu waziri wa nishati subira mgalu na wa kwanza kushoto ni kaimu katibu mkuu prof james mdoe aliyekuwa waziri wa nishati na madini dkt medard kalemani (katikati mbele) waziri wa madini angellah kairuki (katikati mbele) naibu waziri wa nishati subira mgalu (kushoto) naibu waziri wa madini stanslaus nyongo (kushoto kwa waziri angellah naibu waziri wa nishati katibu mkuu prof james mdoe wakifuatilia kikao kati ya viongozi hao na wajumbe wa menejimenti wa iliyokua wizara ya nishati na madini aliyekuwa waziri wa nishati na madini dkt medard kalemani (kulia aliyekaa) waziri wa madini angellah kairuki kushoto(aliyekaa) wakiweka saini nyaraka za makabidhiano ya wizara wanaoshuhudia ni naibu waziri wa madini stanslaus nyongo naibu waziri wa nishati subira mgalu na kaimu katibu mkuu prof james mdoe (wa kushoto naibu waziri wa madini stanslaus nyongo (aliyesimama) akieleza jambo wakati wa kikao kati ya vingozi hao na menejimenti ya iliyokuwa wizara ya nishati na madini aliyekuwa naibu waziri wa wizara ya nishati na madini dkt medard kalemani amemkabidhi ofisi waziri wa madini angellah kairuki walioshuhudia makabidhiano hayo ni naibu waziri wa nishati subira mgalu naibu waziri wa madini stanslaus nyongo kaimu katibu mkuu wa wizara za nishati na madini prof james mdoe na naibu katibu mkuu wa wizara dkt mhandisi juliana pallangyo vilevile dkt kalemani ametumia fursa hiyo kuwaaga na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompa waliokuwa watumishi wa iliyokuwa wizara ya nishati na madini akizungumza wakati wa makabidhiano hayo dkt kalemani amempongeza kairuki kwa kuchaguliwa kwake kuwa waziri wa kwanza mwanamke wa wizara ya madini na kumweleza kuwa watanzania wana matumaini makubwa na mabadiliko ya wizara na kuongeza kuwa pamoja na majukumu mengine analo jukumu la kuhakikisha anaendeleza mikakati ya serikali ya kuendeleza uanzishwaji migodi mipya hususan ya madini ya viwandani kama graphite naye waziri kairuki amesisitiza suala la ushirikiano kwa watumishi wa wizara husika ili hatimaye kuwezesha sekta husika kuwa na mchango zaidi kwa taifa na hatimaye watanzania waweze kunufaika zaidi na rasilimali hiyo kwa upande wake naibu waziri wa madini stanslaus nyongo amesema kuwa viongozi wa wizara husika wanao wajibu wa kuonesha mchango wa madini katika pato la taifa hivyo amesisitiza uwepo wa ushirikiano kati ya viongozi na watumishi wa wizara ili wajibu huo utekelezwe
2019-01-18T11:10:58
http://www.habarizajamii.com/2017/10/waziri-kalemani-amkabidhi-ofisi-waziri.html
waziri mwakyembe azindua maelezo online tv mjini dodoma jiachie waziri mwakyembe azindua maelezo online tv mjini dodoma jiachie home > habari za kitaifa > waziri mwakyembe azindua maelezo online tv mjini dodoma waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mheharrison mwakyembe akizungumza na menejimenti ya wizara ya habariutamadunisanaa na michezo(hawapo pichani) na kuipongeza idara ya habari kwa kuwa wabunifukulia kwake ni naibu waziri wake anastazia wamburakatibu mkuu profelisante ole gabriel na mkurugenzi mkuu idara ya habarimaelezo dkthassan abbas picha na daudi manongimaelezododoma item reviewed waziri mwakyembe azindua maelezo online tv mjini dodoma rating 5 reviewed by ahmad michuzi
2017-09-26T18:07:56
http://michuzijr.blogspot.com/2017/04/waziri-mwakyembe-azindua-maelezo-online.html
ukimya wako utakuongezea heshima ya ndoa ukimya wako utakuongezea heshima ya ndoaby sports june 9 2012posted in habari za mahusiano na mahaba kama kawaida tumekutana katika kona yetu ya mapenzi na uhusiano ili kujuzana mawili matatu leo nataka nilijibu swali la dada yangu mmoja ambaye amekuwa hana raha kutokana na hawala wa mumewe kumtumia ujumbe wa matusi kila kukicha pia wengine wakifikia hatua ya kumtangazia kuwa wana ujauzito wa mumewe amekuwa akikosa raha kila siku kutokana na vitimbi anavyofanyiwa na wanawake hao alichosema kila akimuuliza mumewe humwambia aachane nao lakini anachoshukuru upendo wa mumewe ambaye ni dereva wa pick up upo vilevile aliniomba ushauri kwani wanawake hao wamekuwa wakimkosesha amani ndani ya moyo wake kwanza nampa pole dada yangu kwa yote yaliyomsibu juu ya hao wanawake waliokosa heshima na kushindwa kujua thamani ya ndoa kabla sijamjibu ningependa kuwahabarisha wanawake wote wanaoingilia uhusiano wa watu wajaribu kuziheshimu ndoa za watu si busara kumtukana mke wa mtu jiulize kama ungekuwa wewe ungefanyaje wengi wenu huwa hampendi ndoa na kutanguliza starehe mbele na kufanya mgeuzwe chombo cha starehe na si mwanamke wa kukaa na mumewe pia nataka nieleze kitu kimoja kwa muolewaji ni kosa kubwa kujibizana au kutukanana na mtu aliye nje ya ndoa yako ni kumpa kichwa na kuamini ameweza kukuchokoza na ukaguswa niwape siri wote walio ndani ya ndoa wanaopata matatizo ya kusumbuliwa na hawala wa waume zao wachukulieni kama mbu walio nje ya chandarua wasio na uwezo wa kuwauma zaidi ya kupiga kelele siku zote kelele za mbu hazikunyimi usingizi ushauri wangu kila anapotokea mtu wa kukutukana kwa vile tu wewe umeolewa na yeye kuachwa solemba usijisumbue kwa lolote jiepushe naye kwa kukaa kimya usimjibu kwa vile wewe umeshapata ukimya wako ni pigo zito kwake kuliko kutukanana muache abwabwaje mwisho wake atachoka kama mbu nje ya chandarua mwisho nazungumza na wanaume msiojua thamani ya mwanamke ndani ya ndoa ni kosa kubwa kumlinganisha mkeo na hawala kufanya hivyo ni kumdhalilisha mkeo mkomeshe hawala yako ili amheshimu mkeo kwani kama yeye angekuwa bora ungemuweka ndani mwanaume mwenye tabia hizo ni zaidi ya mnyama hafai kuwa baba wa familia kama ulikuwa bado una tamaa zako za mwili kwa nini ulikimbilia kuoa mjengee heshima mkeo ambaye ana dhamana kubwa mbele ya mungu kwako wewe uliye nje ya ndoa heshimu ndoa ya mwenzako kuiba penzi si kibali cha kuingilia ndoa ya mtu usiwe hayawani uliyekosa mkia tukutane wiki ijayo vpl who's online7 visitors online now2 guests 5 bots find us on facebook habari za filamu na wasanii filamu ya love and power ya kanumba yaingia mtaani leo
2013-05-25T23:04:39
http://www.dullonet.com/sports/2012/06/09/ukimya-wako-utakuongezea-heshima-ya-ndoa/
happy birthday jembe langu bin zubeiry sports online happy birthday jembe langu bin zubeiry sports online mwanzo > untagged happy birthday jembe langu mwandishi mwandamizi wa bongostazblogspotcom prince akbar leo anatimiza miaka 30 tangu azaliwe wazazi wake baba na mama yake (mahmoud & dina) tunampongeza tunamtakia heri baraka na maisha marefu pamoja na mafanikio kwa baraka za mungu atimize ndoto zake mungu amuepushie chuki na husda za wanadamu amuongoze kuwa mwadilifu mwema kiongozi mwenye subira upendo inshaallah ampende allah na mtume wake saw amin item reviewed happy birthday jembe langu rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-05-28T02:17:00
http://www.binzubeiry.co.tz/2012/07/happy-birthday-jembe-langu.html
salamu za kiuchumi mwaka 2015 | gazeti la jamhuri jamhuri january 21 2015 salamu za kiuchumi mwaka 201520150306t104710+0000 ndugu wasomaji wa safu hii na gazeti hili nawasalimu kwa salamu za upendo hongera kwa kuwezeshwa na mungu kuuona mwaka huu mpya wa 2015 pasipo kujali hali zenu katika maeneo yote ninaamini lipo tumaini kwa mwaka huu ni takribani wiki nne (tangu mwaka jana mwishoni) sikuwamo safuni sababu kubwa ya kuadimika kwangu ilikuwa ni kujipa muda wa kutafakari kazi yote niliyoifanya kwa mwaka uliopita na kujipanga kwa ajili ya mwaka huu mpya katika kipindi ambacho sikuwapo hewani nilikuwa na kazi ya kutathmini makala moja baada ya nyingine kati ya zote nilizoandika mwaka uliopita kupitia maoni yote ya wasomaji waliowasiliana nami pamoja na kutengeneza mpango kazi wa mwaka huu lakini pia niliutumia muda huo kwa ajili ya kupumzika na kupumzisha ubongo kimsingi kuandika makala (hasa hizi za kiuchambuzi) na ikiwa lengo ni kuwa na makala bora inahitaji kufikiri na kuumiza kichwa kweli kweli kuandika kila wiki makala yenye mawazo mapya kwa mwaka mzima ni kazi inayohitaji bidii muda na akili nyingi ndiyo maana mwanzilishi wa kampuni ya ford na mbunifu wa magari ya ford henry ford amepata kusema hivi kufikiri ndiyo kazi ngumu kuliko zote duniani ndiyo maana ni wachache tu wanaojishughulisha nayo kuna wakati ambao kuandika sentensi moja yenye uhakika katika makala inahitaji niwe nimepitia vitabu hata vitano achilia mbali majarida vipindi vya televisheni na mitandao mbalimbali ya intaneti maana yake ni kwamba kabla sijaandika wazo fulani ni lazima nijiridhishe nilitafiti na kuona wengine wanasema nini nijue uhalisi wake kwa sasa (current status of the issue) ndipo mimi nione ninasimama wapi kwa jinsi hii utagundua kuwa kuandika makala si suala la kuchukua kompyuta na kuanza kubofya la hasha kuna kusoma kwingi kuna kutafiti kwingi kuna kufuatilia kwa kina lakini kubwa kuliko yote kuna kufikiria namna ya kupanga na kuwasilisha mawazo na maarifa ninayoyapata kwa kusoma na kutenda kwa mfano mwaka uliopita nimesoma vitabu 49 (arobaini na tisa) na kati ya hivyo chenye kurasa chache ni kurasa 51 kiitwacho breaking the cure of poverty kilichoandikwa na dk c willium gwilian katika hivyo 49 chenye kurasa nyingi kilikuwa cha 'the antiques of the jews' ambacho kina kurasa 2190 (elfu mbili mia moja na tisini) ambacho kimeandikwa na flavius joephus na kutafsiriwa (kwenda kiingereza) na willium whiston kati ya nilivyosoma vimo pia vya 21 'success secrets of self made millionaires' cha brian tracy 'how successful people think' cha john c maxwel 'maximize your destiny' cha david o oyedepo na vingine lakini kipo kitabu cha 50 ambacho nimekisoma na kukirudia mara kwa mara kiitwacho ni wakati wako wa kung'aa ambacho kimeandikwa na mimi mwenyewe unaweza kushangaa inakuwaje nasoma kitabu changu mwenyewe ukweli ni kwamba kuna wakati ninapopitia hata makala zangu nilizoziandika mimi mwenyewe huwa ninazishangaa sana kwa sababu kuna mambo huwa najifunza kwa hiyo hata katika kitabu changu licha ya kukiandika ninapokipitia kila wakati kuna jambo najifunza ama linaimarika ndani yangu ukiacha vitabu hivyo pia nimekuwa na utamaduni wa kusoma magazeti na majarida yahusuyo biashara kutoka duniani kote ili niwe 'current' kwa mfano kila wiki ni lazima nisome gazeti la 'the east african' hasa katika kurasa za biashara ili nijifunze mwenendo wa biashara za afrika mashariki lakini pia kupitia mtandao wa intaneti ni lazima nisome kila toleo la gazeti la 'forbes' ili kutambua kinachoendelea katika ulimwengu wa biashara duniani pote ipo mitandao mingine mingi ambayo ni lazima nidumu kuipitia kwa ajili ya kujiongeza kwa upande wa televisheni vipo vituo viwili vilivyojikita mahsusi kwa masuala ya biashara na uchumi pekee ambavyo huwa navifuatilia kwa ukaribu sana bloomberg tv na cnbc tv mchungaji mmoja amepata kusema kwamba ikiwa chaneli hizi zinashika nyumbani mwako basi mungu yumo nyumbani mwako kwa sababu hutakosa mawazo ya kibiashara na wala hutakuwa nyuma hata kidogo katika ulimwengu wa kibiashara kiuwekezaji na kiuchumi blomberg lp kampuni inayomiliki bloomberg tv pamoja na utitiri wa vyombo vingine vya habari inakadiriwa kwamba ndiyo inayoongoza kwa kumiliki sehemu kubwa ya taarifa za biashara dunia nzima hivyo unaweza kuuona umuhimu wa kufuatilia vyombo hivi kwa nini nimeeleza rekodi zangu binafsi kuhusu kujifunza kuna mambo makubwa mawili mosi mtakumbuka kuwa mwaka jana niliandika makala kadhaa zinazosisitiza umuhimu wa watu (hasa wanaotaka kuwa na uchumi imara) kutafuta taarifa na maarifa chanya nilisema wanaofanikiwa siku zote wanayo namna fulani ya kufikiri inayowasaidia tena nikasema fikra (zozote) ni matokeo ya taarifa unazozijaza ubongoni mwako hivyo kupitia rekodi yangu hii (ya vitabu ninavyovisoma tv ninazoangalia magazeti ninayopitia nk) unaweza kupata picha ya taarifa gani uanze ama uendelee kuzijaza ubongoni mwako jambo la pili ni kwamba ninataka ufahamu kuwa safu hii imejengwa juu ya misingi imara ya utafiti kupitia kusoma kwa bidii kutenda kwa bidii kutazama kwa umakini na kupembua kwa uangalifu mkubwa hata kama ni mtu mmoja tu aliyenufaika na safu hii kwa mwaka mzima wa 2014 hiyo kwangu mimi ni furaha na ushindi kwani ninatambua kuwa kujitaabisha kwangu si bure akiwepo mtu mmoja tu aliyebadilisha fikra kwa makala zangu anatosha sana kuamsha sherehe na shangwe kubwa kule mbinguni kwa mungu ingawa siandiki kwa manufaa ya kifedha thawabu zitokanazo na mbingu kufurahi najua hazitakosa kunimiminia baraka kila upande maishani mwangu mwaka 2015 tena ninaendelea na kazi ya uchambuzi kupitia makala ambayo mara zote mimi naitazama kuwa ni utume wa kuwaonesha watu njia ziwapasazo kupita kiuchumi hii siyo kazi rahisi sana kwa sababu huwezi kuwaonesha wengine usikokujua ni lazima uwe na uhakika nako ndipo uwaambie watu twende ama nendeni nilijifunza kuandika makala kupitia mambo ya siasa (niliandika makala yangu ya kwanza mwaka 2006 nikiwa kidato cha tano) wanaofuatilia makala zangu tangu zamani wanakumbuka kuwa nilikuwa nikiandika sana kuhusu siasa baada ya kujitathmini nikagundua kuwa kuandika siasa nimevamia mraba wa wengine kwa sababu mraba wangu mimi ni huu wa uchumi na biashara hadi leo ninachambua kwa uhuru sana habari hizi za biashara na uchumi kuliko siasa au mambo mengine leo hii ukiniambia niandike makala ya kiasiasa ninaweza kuandika lakini ninaamini haitapendwa na wengi haitapendwa kwa sababu ili makala ya siasa ionekane 'bomba' [ni lazima] iwe na sifa mojawapo ama zote katika tatu mosi ibebe skendo pili ibebe malalamiko au ibebe ukosoaji wa 'za uso' tangu niwepo katika mraba wa biashara na uchumi nimepoteza kabisa roho ya malalamiko nikitazama mwenendo wa nchi naangalia mambo(issues) na siyo watu kwa maana hii ndio maana ninasema nikiandika makala ya siasa inaweza isiuze nimekupa mfananisho huo ili kukazia jambo nililolisema hapo juu ya kwamba ili uwaoneshe watu njia ya kuiendea kiuchumi inabidi uwe umeshaijua siasa zina uelekeo wake na biashara na uchumi vina mwelekeo unaojitegemea ili uchambuzi ninaouleta hapa uwe na tija ni lazima uwe umeanza kunisaidia mimi mwandishi kwanza nikisema utamaduni wa kuweka akiba ni jambo zuri maneno hayo yanakuwa na nguvu zaidi ikiwa tu na mimi ninajiwekea akiba 'pointi' yangu ni kwamba mimi binafsi nimejenga utamaduni na malengo ya kuandika mambo niliyoyathibitisha walau kwa vitendo na utafiti wa kina nafahamu mengi sana kutoka vitabuni lakini siwezi kuandika kila kitu kwa sababu yapo mengi sana ambayo nimegundua hayana tija (unapplicable) ukweli ni kwamba nikikuelekeza biashara ambayo nimeshawahi kuifanya inakuwa na msaada mkubwa kwako kushinda biashara ambayo nimeisoma tu vitabuni nikikuelekeza mfumo wa kufikiri ulionisaidia unakuwa na matokeo mazuri zaidi kwako kuliko kuandika nadharia pekee kutoka vitabuni kwa jinsi hii mwaka huu 2015 nimeweka lengo la kuandika makala zitakazowainua watu kiuchumi kwa vitendo kwa jinsi hii mwaka huu nategemea kuzalisha wafanyabiashara wapya na kuwakuza wanaoendelea hii ndiyo kazi niliyonayo mwaka huu lengo hili litakwenda sambamba na kuwatembelea wasomaji wa safu hii mikoani safari zangu hizi siziiti kama semina bali ninaziita kama mazungumzo siendi kufundisha bali nakwenda kujadiliana na kushirikishana maarifa ujuzi na uzoefu katika maeneo ya biashara uwekezaji na uchumi wa kifamilia naamini msomaji kuna kitu unakifahamu ambacho mimi sikifahamu nami huenda ninacho usichokifahamu tunapokutana kama wawili ama kama kundi ni lazima tutoke hatua moja kwenda nyingine safari za awamu ya kwanza nitaanzia mkoani lindi kisha nitakwenda dodoma geita na kumalizia dar es salaam kuna maeneo nitaonana na mtu mmoja mmoja (walionialika) na kuna mahali nitakutana na makundi ya wanavyuo wanasaccos wafanyakazi wanaojiandaa kustaafu wafanyabiashara na vijana wa vyama vya siasa kote huko itakuwa ni 'nondo' za biashara miradi na uchumi popote ulipo nitakakofika waweza kuwasiliana nami kwa ajili ya ratiba ili ukiwa na nafasi ama ukitaka kundi lako (ama wewe) kuungana na kuzungumza nami upate nafasi hiyo natazamia kushirikisha na kujifunza mambo mengi katika safari hizi hivyo usisahau kunialika katika mji biashara taasisi kampuni ama kikundi chako « tanzania nchi kubwa inavuka kibaha tumerudi mtandaoni samahani kwa kupotea mwezi mzima »
2019-11-17T03:27:19
http://www.jamhurimedia.co.tz/salamu-za-kiuchumi-mwaka-2015/
nyumbani2017januari15 (jumapili) siku januari 15 2017 denizli teleferik na bağbaşı plateau wanasubiri holidaymakers denizli teleferik na bağbaşı plateau kusubiri kwa watumiaji wa likizo teleferik na bağbaşı ambayo ilifunguliwa na manispaa ya metropolitan mwaka jana na imekuwa moja ya rangi ya lazima ya maisha ya kijamii katika jiji hilo tangu siku ya kwanza [zaidi ] uzuri ulipanda juu ya mesh waya huko samsun ulipigwa na tram simun gaza tram akaruka juu ya mesh ya wire wilaya ya ilkadim ya samsun akivuka matundu ya waya kuvuka reli ambapo tram mchanga ilipigwa na kijana mdogo wa 16 aliyejeruhiwa vibaya kama matokeo ajali saa [zaidi ] leo katika historia 15 januari 1883 mersintarso line tarih historia leo 15 januari 1883 mkataba wa mstari wa mersintarsus ulibadilishwa ujenzi utaanza na kukamilika katika miaka ya 25 15 januari 1919 nchi za entente zilikubaliana kuwa [zaidi ]
2020-01-18T17:38:23
https://sw.rayhaber.com/2017/01/15/
wengine hack vyombo vya archive for the others jamii imetumwa na admin 2 maoni off juu ya gta v pc hack tool unlimited cash imetumwa na admin maoni off juu ya snapchat hack tool shusha no mapumziko ya gerezani imetumwa na admin add comments imetumwa na admin maoni off juu ya bitcoin mkoba hack nintendo eshop kanuni generator imetumwa na admin maoni off juu ya chaturbate hack token generator chaturbate token hack generator if you search for a way to add tokens in to your chaturbate account we have good news for you now with chaturbate token hack generator you can easy add unlimited tokens in to your account baada ya siku chache ya kazi sisi kumaliza zinazoendelea hack kutisha is free [] ukurasa 1 ya 812345»mwisho »
2019-02-20T07:47:14
http://www.morehacks.net/category/others/?lang=sw
uingereza casino bonus misimbo online £ 1000 amana bonus kasino online slots free spins na mikataba cash | livecasinoie bonus mizunguko slots free bonus kuweka what you win slots mkono £ 1000 bonus uingereza simu slots site cool play casino £ 2000 bonus online nyumbani » uingereza casino bonus misimbo online £ 1000 amana bonus kasino cool play casino online £ 200 jisajili bonus mikataba top simu ya slots casino tathmini online uingereza casino bonus misimbo kupata bonasi mega hadi £ 1000 awesome uingereza casino misimbo bonus katika bonusslotcouk kama wewe ni katika kasinon online wewe pengine ukoo na codes casino ziada uingereza kama wao tumekuwa karibu kuanzia mwanzo wa uchezaji kamari kwa kweli wewe pengine iliingia idadi nzuri ya namba kwa kubadilishana bure inatoa fedha bonuses karibu na upya mafao hata hivyo kama bado fanya hivyo bado na huna wazo nini misimbo hii ziada ni kuturuhusu kujadili kuhusu hilo kucheza michezo ya kushangaza katika slotjar casino leo top uingereza casino bonus misimbo online codes ziada hizi zinaweza kupatikana kutoka tovuti casino na yanafaa kuingizwa wakati wa kufanya amana ni muhimu kutambua kwamba kila casino ina mbinu tofauti kwa mfano wapate kuwaita ziada yao kama kitu kingine kama vile msimbo wa kuponi jiunge code ya ofa hizi ni nafasi zote kushangaza ya kuchukua faida ya una kuingiza nambari ili kupata mkataba na casino mpenzi slotjar casino inatoa £ 5 free + £ 200 katika ishara mafao kuangalia kati yetu top uingereza casino bonus misimbo kasino chini $€ £ 5 + £ € $ 200 bonus cash slotjar international casino tathmini kucheza € $ £ 805 za simu za slots mikopo kufurahia juu uingereza casino michezo topslotsitecom tathmini kucheza € £ 5 za simu za simu slots roulette & blackjack bonus + up coin falls amana mechi bonus kwa £ 500 tathmini kucheza goldman casino £ 1000 slots bonus site tathmini kucheza cool play casino kucheza awesome michezo na 200 casino bonasi £ tathmini kucheza kunyakua 100 karibu bonus hadi £ 100 lucks casino tathmini kucheza slotpagescom 100 karibu bonus up £ 200 tathmini kucheza kupata £ 5 plus hadi £ 500 za simu za utafutaji slotfruity tathmini kucheza simu vegas 100 karibu bonus up £ 200 + 10 free spins na 1 amana tathmini kucheza express casino 100 karibu bonus up £ 200 + £ 5 extra tathmini kucheza £ 5 hakuna amana + £ 500 amana mechi casinoukcom tathmini kucheza barua casino £ $ € 5 free juu awali amana plus 100 up £ € $ 200 karibu bonus tathmini kucheza kujiunga all british casino & get 20 comp spins juu starburst slots hakuna amana tathmini kucheza pound slots karibu 100 bonus hadi £ 200 tathmini kucheza slots mkono uk casino bonus misimbo kama mchezaji una jizoeshe na yafuatayo ni muhimu sana kwamba wewe kuelewa nini wewe ni kujiandikisha kwa kumbuka kanuni ya ziada bado ni aina ya amana ya ziada ya hiyo ina maana kuwa bado atahitaji kufuata sheria na masharti ya jirani yake kuna mifano ambapo kanuni ya ziada hayahitaji hiyo ina maana kutakuwa na baadhi kasinon online kwamba kutoa hizi moja kwa moja wakati kuweka nambari ni bora kwa nakala tu na kuweka it kwa kufanya hivyo ningependa kuondoa uwezekano wa makosa kufanya kama ilivyo kwa namba nyingine codes ziada pia kuwa kumalizika muda wake ili kupata zaidi codes uptodate siku zote aina na mwaka huu wa wakati wa kutafuta hizi misimbo ya ziada ni tofauti na bonuses hakuna amana kwa a moja hakuna ziada ya amana inawapa wewe kupata kiasi fulani cha fedha au bure spin bila ya haja ya amana chochote kwa upande mwingine kanuni ya ziada ni kipengele ambapo itabidi aina katika kanuni ili kupata nafasi ya ziada uingereza casino bonus misimbo matangazo hizi ni baadhi ya mambo muhimu ambayo unapaswa kujua kuhusu misimbo ya ziada tu ingawa inaweza kuwa ni kidogo utata hasa kama wewe ni beginner usijali ingawa bado ni kazi wao si kwamba sana kutumika tena tovuti nyingi tu baada ya wao kama njia ya kufuatilia matangazo yao zaidi ya hayo kutokana na ukweli kwamba kasinon wamefanya mambo rahisi mara nyingi utasikia tu kukaribishwa na idadi fulani ya inatoa maalum wakati wa mzunguko hii inaweza kuwa kwanza amana kutoa pili amana kutoa nakadhalika misimbo si muhimu katika hili pamoja na kwamba itakuwa bora zaidi kama wewe kujua jinsi mambo haya kazi kama hutaweza kujua wakati unaweza haja yake kucheza na ziada yako katika slotjar casino sasa uingereza casino bonus misimbo blog kwa ajili bonusslotcouk
2017-11-24T05:44:24
http://www.bonusslot.co.uk/sw/codes-uk-casino-ziada/
karibu mlima sayuniuwanja wa uwazi na ukweli kuhusu masuala yote ya kibiblia na ukristo november 2007 november 27 2007i know how to be abased and i know how to abound everywhere and in all things i have learned both to be full and to be hungry both to abound and to suffer need i can do all things through christ who strengthens me (philippians 41213) turkmenistanpastor released from prison vom sources / forum 18 newson november 9 baptist pastor vyacheslav kalataevsky was released after eight months in prison according to the voice of the martyrs contacts kalataevsky and his family are thankful for the prayers and support of believers around the world forum 18 news reports government officials have warned pastor kalataevsky not to meet for worship with fellow believers pastor kalataevsky told forum 18 officials summoned me for what they said was a conversation but at the end presented me with a prewritten statement saying that i agreed not to meet with my fellow believers all it lacked was my signature but i refused to sign it both on my behalf and on behalf of my wife the forum 18 report added although kalataevsky's congregation does not oppose state registration in principle officials kept telling him that his congregation does not have enough adult citizen members to apply for registration they added that unregistered religious activity including people meeting together for worship in homes is banned praise god for pastor kalatatevsky's release from prison ask god to protect his family and congregation as they face scrutiny and pressure from the government psalm 271 isaiah 5417azerbaijanimprisoned pastor required to pay for necessities in prison vom sources / forum 18 newspastor zaur balaev's friends and family are said to be shocked by the financial demands he is facing in prison according to vom sources pastor balaev is required to pay for hot water to wash or do laundry and cook his food his family is allowed to visit him only after paying a considerable amount zaur's wife was allowed to stay with him for three days for his birthday but as she was leaving the prison she said i am shocked by the conditions and the sum spent because i was forced to pay for everything according to forum 18 news officials deny payment was demanded the state pays for everything including food said mehman sadykov spokesperson for the justice ministry such reports don't correspond with reality pray for strength for balaev and his family during this time pray their appeal will be successful pray that balaev will be a testimony to other prisoners demonstrating the love and power of christ philippians 419 3 john 2indiachristians attacked church building destroyed vom sourceskarnatakaon november 18 pastor siddarama gokhavi (60) and six other christians were beaten by bajrang dal activists who attacked them as they were worshiping in ananda nagara karnataka the attackers vandalized the building burned bibles and chanted slogans against christians the militants included a senior police officer pastor gokhavi and his wife rekha were injured in the attack along with five others the attackers accused the christians of coercing hindus into becoming christians praise god there were no serious injuries in the attack pray those responsible for the attack will come to recognize the love and grace of god and turn to him in faith pray for the continued ministry of this house church psalm 91 romans 811chhattisgarh state on november 19 hindu militants attacked a church tied up and beat the pastor unconsciousness and burned down a recently constructed church building in manduwa in chhattisgarh state india there are no reports on the present condition of pastor sudharu the hindus accused the church of being involved in the conversion of tribal people in the region according to reports missionaries in this remote area face regular threats from hindu militants pray for the continued witness of this church pray for healing for pastor sudharu as he recuperates from the assault psalm 23 psalm 10720 jamani wapendwa hivi ukitaka kujua nani wawe kwenye list ya 50 top church leaders or pastors teachersapostles evangelists or prophets tutatumia kigezo gani 1wingi wa watu2uwezo wa kufanya miujiza ishara na ajabu3uwezo wa kufundisha na kuwafanya watu wanafunzi wa yesu4uwezo wa kifedha/ mali5muda mwingi au miaka mingi katika utumishi6maisha matakatifu yenye ushuhuda 7kujulikana sana ndani na nje ya mipaka ya tanzaniaau ni nini jamani wapendwahebu tusaidieni hapabaadhi ya picha za watumishi wa mungu tanzaniaapostle maboya(ni kati ya watumishi waliokuwa wakijitambuisha kama mtume miaka ya mwanzo kabisa ya 90kipindi hicho ukisikia mtu anajiita mtume ilikuwa si jambo la kawaida kama ilivyo siku hizi)pia ni mwanzilishi wa kanisa la revival assemblies of god tanzania mama getrude rwakatare ni mmoja kati ya wachungaji wachache tanzania wenye uwezo mkubwa kifedha pia ni kati ya watanzania matajiri wakubwaanamiliki shule za st marry's internationalni mwanzilishi wa huduma/kanisa la mikocheni b assemblissies of godni mchungaji mwanamke mwenye mafanikio zaidi hapa nchini mwalimu christopher mwakasegeni mmoja kati ya waalimu wa injili maarufu hapa nchini ambaye huduma yake ya uwalimu inakusanya watu wengi sana katika mikutano na makongomani anayofanya sehemu mbalimbali hapa nchinianaongoza huduma ya new life crusade/ new life in christ mchungaji christopher mtikilani mchungaji wa kanisa ambalo wengi hatulijui jina lakeila ni mmoja kati ya wachungaji maarufu sana hapa nchini kwa miaka mingi hasa kuanzia miaka ya mwanzoni mwa 90ni mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani hapa tanzania na ni mpigania haki mashuhuri sana kwa miaka mingiameshakamatwa mara nyingi sana na kushikiliwa na hata kufungwaamewahi pia kuishinda serikali mahakani mara kadhaa na amejizolea umaarufu sana kwa uwezo wake wa kuongea bila uwogapia ni muhubiri na mwalimu wa miaka mingi wa injili askofu zakaria kakobe wa full gospel bible fellowshipni mmoja kati ya wachungaji maarufu sana hapa nchinianafahamika kwa kuwa na pengine kanisa la kiroho la mahali pamoja kubwa zaidi kwa idadi ya watu pengine kuliko mtumishi mwingine hapa nchiniibada zake za kwenye tv za miujiza kwa miaka mingi zinawavutia wengi mtume veron fernandez wa agape ministryni mmoja kati ya watumishi wa kwanza kabisa kuhubiri katika television na kumiliki kituo cha television hapa tanzaniaanamiliki kituo cha atn kituo cha kwanza cha kikristo hapa tanzaniaamejipatia umaarufu mkubwa sana kwa mahubiri yake ndani na nje ya nchi askofu moses kulola wa evangelist assemblies of god tanzaniani mmoja kati ya watumishi waliotumika muda mrefu zaidi pengine kuliko wengi tunaowaona siku za leoametumika kwa karibu miaka 60 akihubiri injili kutoka vijijini hadi mijini hapa nchini na nje ya nchiaina ya injili yake na style ya mahubiri yenye kupenya ndani ya nafsi imekuwa ikiwagusa sana watu wengini muhubiri pengine mwenye watoto wengi wengi wa kiroho kuliko yeyote aliyewahi kutokea tanzaniakanisa lake limesambaa karibu kila kona ya tanzania nabii geordavie wa geordavie ministry iliyoko arusha ni mmoja ya watumishi wanaokuja kwa kasi sana hapa nchini hususani mjini arushahuduma yake ya uponyaji na miujiza imekuwa ikipata umaarufu mkubwa sana hapa nchini askofu sylivester gamanywa wa wapo mission na huduma ya hakuna lisilowezekanani mtumishi wa kwanza kumiliki kituo cha radio cha kiroho hapa tanzania (wapo radio fm) na gazeti la kwanza la kipentekoste (msemakweli)amejizolea umaarufu mkubwa kwa ibada zake za maombezi anazoziendesha na huduma ya hakuna lisolozekanapia ni mwenyekiti wa baraza la makanisa ya kipentekoste tanzania (pct)amejizolea umaarufu serikalini hadi kuteuliwa kwenye tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi naomba ieleweka kwamba hawa waliotajwa hapa kwa picha haina maana ndio top gospel preachers/ watumishi wakubwa kabisa hapa tanzania bali ni mfano tu wakiwakirisha wengine waliopo hapa nchini hivi karibuni kumekuwa na mjadala mkali wa kiimani jijini dar es salaam baina ya redio mbili maarufu zenye mwelekeo wa kipentekosteradio hizo ni praise power fm na wapo radiosuala lenyewe lilianza baada ya mchungaji mmoja kijana anayekuja juu hivi sasa mwenye kanisa lake katikati ya jiji la dar alipoiponda imani ya kuombea watu kwa kutumia vitambaa akisema kuwa kufanya hivyo ni sawa na kutumia hirizi kitu ambacho biblia imekikatazaakihubiri katika radio wapo fm mchungaji huyo aliyeonekana kuungwa mkono na askofu mmoja maarufu anayemiliki mojawapo ya radio hizo pia alipinga vikali matumizi ya imani za sumaku na kuwanywesha watu mafuta kwa upande mwingine wahubiri mbalimbali wanaoonekana kumuunga mkono mchungaji mwingine maarufu jijini anayemiliki mojawapo ya radio hizo ambaye anadaiwa kutumia vitambaa kuendesha maombi huku baadhi ya watu mbali mbali wakikiri kupokea miujiza uponyaji na mibaraka tele kupitia vitambaa hivyo wakishuhudia kupitia radio hiyo walikuwa katika mjadala mkali wiki 2 zilizopita wakitoa ushahidi wa kimaandiko kuwa hata mtume paulo aliviombea vitambaa na kuwapelekea wagonjwa wakaponywahali hiyo imeleta mgawanyiko miongoni mwa waamini huku tume maalume iliyoundwa na umoja wa makanisa ya kipentekoste nchini (pct) ikiwa inasubiriwa kwa hamu kubwa kutoa ripoti yake kuhusu imani potofu zinazodaiwa kuwepo nchini tanzania hususani jijini dar es salaamkitu cha kujiuliza hapa ni nini majibu au matokeo ya maswali ambayo tume hiyo imejiuliza na kutazamiwa kuyatoa ifikapo mwezi wa 12 mwaka huu huwa najiuliza sana wakati mwingine inawezekana vipi mtu ananena kwa lugha na wakati huo huo bado ni mtenda maovu mkubwatunao wengi makanisani kwetu utaona mtu ananena kwa lugha kirahisi rahisi lakini wakati huo huo anakuta ni mzinifu mwongo mla rushwa na mtoa rushwaa na kadhalikahili linanisumbua sana akili yangu vom news and prayer update october 30 2007and my god shall supply all your need according to his riches in glory by christ jesus(philippians 419)eritreagospel singer helen berhane granted asylum in denmark vom sourceseritrean gospel singer helen berhane who was released from prison in november 2006 after being detained in eritrea for two years without charge has been granted asylum in denmark berhane and her daughter arrived in denmark on october 19 after spending 11 months in sudan her health remains extremely poor due to the physical suffering she experienced during her detention she cannot walk without assistance during berhane's detention she was held for extended periods of time in shipping containers and tortured several times by authorities in an effort to force her to recant her faith thank god that berhane has found a safe place to live praise him for her faithfulness pray for god's continued protection and provision for her ask him to give her direction and wisdom so she can continue serving him pray for believers in eritrea who face persecution and suffering for the sake of their faith in jesus christ psalm 8411 psalm 119105pakistanchristian homes demolished in pakistan vom sourceson october 19 local muslims demolished homes belonging to three christian families in the village of lobhana near lahore pakistan according to the voice of the martyrs' contacts more than 70 armed villagers moved in with tractors and began destroying the homes vom contacts said they demolished and looted three homes and only stopped when the police arrived some of the christians attacked reported that the muslims threatened to kill them vom contacts added that the land where some of the demolished homes were located had been given to the christian families by the pakistani government more than 10 years earlier however some local muslims claimed the land intending to build a cemetery pray for god's protection for christians in this area ask him to provide resources for these families to rebuild their homes pray the testimony of these believers will draw nonbelievers especially their attackers into the knowledge of jesus christ psalm 6819 proverbs 35 6nigeriamuslim officials dismiss christian school librarian compass direct newssixteen months ago muslim officials forced asabe ladagu a christian widow to leave her job as a librarian the incident occurred after she and others requested land to build a chapel in the capital city of borno state in northern nigeria according to compass direct news muslim administrators at ramat polytechnic forced ladagu into early retirement without pay ladagu told compass we were branded dangerous people because we were christians i have been forced out of office now for 16 months not retired and not on staff roll of ramat polytechnic other christian brethren too have either been forced out or have been the subjects of witch hunts pray for god's provision and protection for ladagu and other christians in northern nigeria ask god to use their testimonies to draw nonbelievers into fellowship with him philippians 419 psalm 271indonesiaimprisoned christians sentenced vom sourcesthe remaining christian leaders imprisoned in april have been sentenced to five years in prison they were imprisoned after a video recording of them praying for muslims was leaked to islamic organizations according to the voice of the martyrs contacts in indonesia the defendants have been found guilty of abusing the quran and the judge sentenced them to five years in prison their lawyers are planning to appeal this decision in east java high court in surabaya pray for those in prison and their families ask god to give them boldness and wisdom as they face these difficult challenges joshua 19 philippians 413
2017-06-28T19:19:40
http://sayuni.blogspot.com/2007/11/
 transponder habari kwa 23082017 satellite na iptv kupokea juu ya android openelec enigma2 na libreelec na guru · 23082017 satellite televisheni alionekana mara kwa mara kama mfuko na vituo «bbs tv» «bbs channel 2» «habari 1st lanka» «channel one maldives» 1 tv afghanistan» na wazi testkarty 11605 v 43200 7/8 zina njia manor na hifadhi katika alama aliongeza uandishi int 12613 v 5000 1/2 dvbs2 sasa juu ya vigezo maalum matangazo «eryal tv» somalia 12207 r 27500 3/4 dvbs2 / 8psk hakuna matangazo mfereji eco tv channel home yako yeye alionekana katika 12322 r 27500 3/4 dvbs2 / 8psk mpeg4 katika pakiti ntv plus vostok encoded katika viaccess tv channel a1 bosnia hd yeye alionekana katika 11843 v 27500 3/4 dvbs2 wazi 12169 r dvbs2 27500 3/4 «cnn international» deutshe wimbi» (dw) «france 24 kushoto tricolor tv ultra kirusi uliokithiri top secret gone c 12169 r dvbs2 / hevc tring digital vizion plus hd (albania) maambukizi sasa bila kificho (1142700mhz polv27500 fec5/6 sid1 pid501[mpeg4] /502 kialbeni) tring digital rtv 21 junior ni nyuma 1142700mhz polv27500 fec5/6 sid126 pid3340[mpeg4]/3341 kialbeni (conax) tring international ni nyuma 1142700mhz polv27500 fec5/6 sid151 pid1511[mpeg4]/1512 kialbeni (wazi) 12322 h 27500 3/4 kuingia radionorba tv «tg norba 24» imeendelea utangazaji juu ya 11541 na v 11642 h mtiririko 12399 h sr imebadilishwa kuwa 27500 ya 29700 2/3 dvbs2 / 8psk i imefungwa tricolor tv kwa 35 zaidi ya 2 500 maeneo ya maharamia russia kubwa digital tv operator tricolor tv inaendelea kampeni mafanikio dhidi ya uharamia katika urusi na cis katika nusu ya kwanza 2017 katika mpango wa operator imefungwa zaidi 520 rasilimali internet ulianzishwa 10 jinai na 10 mambo ya utawala matokeo ya kupambana na uharamia shughuli tricolor tv kwa nusu ya kwanza 2017 mwaka katika juhudi za kukabiliana na vitendo haramu na watu binafsi uhusiano ruhusa kwa huduma ya televisheni ya digital kwa kufunga vifaa pirated na programu hasidi maafisa wa kutekeleza sheria walimkamata zaidi ya 90 vitengo ya vifaa vya maharamia (62 maharamia mpokeaji 23 smartcards 3 kompyuta binafsi na 2 programu na kriptografia moduli nk vifaa) ulianzishwa 10 kesi za uhalifu katika urusi na cis nne zikiwa inajulikana mahakama katika tatu ya imani hizi mahakama ya kuhukumiwa chini ya kanuni ya jinai kutokana msisimko na mamlaka ya utekelezaji wa sheria 2016 mwaka wa mambo katika hatua ya uchunguzi wa awali kwa 6 miezi 2017 mwaka ilikuwa 18 ya kesi za uhalifu nne wao katika nchi cis tricolor tv inaendelea kupambana na maeneo ya uharamia sadaka ya kupata kinyume cha sheria satellite tv channels katika nusu ya kwanza 2017 kwa ombi la operator imezuiliwa zaidi 520 rasilimali internet kwamba 106 kubwa katika kipindi kama hicho mwaka jana hivyo na 2014 kwa zaidi ya mwaka mmoja umezuiwa 2 500 maeneo ya maharamia tricolor tv pia inaendelea kukandamiza ukiukaji wa hakimiliki na haki zinazohusiana katika nusu ya kwanza 2017 kutokana na ukaguzi uliofanywa na wafanyakazi wa tricolor tv pamoja na wawakilishi wa ofisi ya mambo ya ndani na wizara ya mwendesha mashtaka ulianzishwa 10 kesi za makosa ya kiutawala hii ni zaidi kuliko mwaka jana na watatu kati yao tayari adjudicated kabla vyombo vya sheria bado 23 kauli kuhusu kuleta na majukumu ya kiutawala kumbuka kwamba b2bsehemu ya soko kulipatv imefikia katika 2016 mwaka 153 bilioni rubles na kukua kwa kiwango juu ya soko kwa ujumla katika miaka ijayo kwa wastani 102 mwaka (taarifa za uchambuzi shirika la tmt consulting) matokeo haya yamewezeshwa ikiwa ni pamoja na shukrani kwa mapambano ufanisi dhidi waendeshaji na ukiukaji wa hakimiliki na haki zinazohusiana hivyo mtejamsingi wa taasisi za kisheria tricolor tv mwisho wa nusu ya kwanza 2017 mwaka juu ya kuongezeka 60 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana tofauti ni ikumbukwe ukiukwaji katika uwanja wa hakimiliki na haki zinazohusiana uliofanywa na cable na iptvwaendeshaji kinyume cha sheria rebroadcast maudhui tricolor tv hivyo katika nusu ya kwanza 2017 hundi kuhusiana na 11 waendeshaji kama sehemu ya kazi kwa madai moja operator kuacha vitendo haramu hata katika heshima ya kampuni za kadhaa kazi inaendelea kuimarisha msimamo wa soko wa leseni ni moja kwa moja na ufanisi wa hatua dhidi ya uharamia the 2016 na vyama sekta na wawakilishi wa serikali kuweka mbele idadi ya mipango ya sheria yenye lengo la kuboresha mifumo ya rasilimali locking kutoa upatikanaji wa maudhui unlicensed hatua hizi ni nia ya kuchochea matumizi ya bidhaa za kisheria katika urusi maendeleo ya huduma kwa aina ya video juu ya mahitaji na soko digital kwa ujumla kumbuka kuanzia juni 2017 wateja wa kubwa russian alama ya televisheni ya digital wanaweza kupata ili kuona filamu karibuni katika lilipimwa sana satellite huduma cinemas tricolor tv bila uhusiano wa internet elizabeth kapralova mkurugenzi mahusiano ya umma tricolor tv imeonekana katika mazoezi invincibility kwamba uharamia ni hadithi kulipatv urusi soko anasimama imara juu ya miguu yake radhi kuona kuwa moja ya hali ya karibuni maendeleo ya mauzo ya kampuni viwanda wataalam wanatabiri ukuaji katika sehemu hili lilifanywa shukrani inawezekana mapambano kazi dhidi ya ukiukwaji wa haki za ya kuonyesha umma hata hivyo ukuaji wa zaidi ya soko kuhusiana na ikiwa ni pamoja na na kuanzishwa kwa huduma usio sambamba unaweza kusababisha kuibuka kwa vitisho mpya waendeshaji mamlaka ya kutekeleza sheria wenye haki na mashirika ya sekta lazima kuunganisha juhudi zao za kuzuia majaribio ya uharamia kuharibu leseni televisheni soko 13° e tg norba 24 na radionorba tv kusimamishwa utangazaji kutoka chaguzi zamani 21 agosti mwaka huu na idadi transponder 81 спутника eutelsat moto ndege 13b (130° e) katika mzunguko 12322 ghz pol h (sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) vituo viwili italia kuwa kufungwa tg norba 24 na radionorba tv (kwenye tovuti yao inapatikana kadi ya mtihani hutoa taarifa kuhusu mabadiliko ya vigezo ya kiufundi ya vituo wote) ni kutaja thamani ya kwamba utangazaji tg norba 24 kuendelea na transponders mbili № 72 mzunguko 12149 ghz sakafu v (sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) ni utangazaji pengine katika siku chache zijazo pia akageuka mbali na idadi 18 satellite eutelsat moto ndege 13b (130° e) katika mzunguko 11541 ghz sakafu v (sr 22000 fec 5/6 dvbs / qpsk) kwa upande wake radionorba tv sasa inapatikana kwa idadi transponder 157 спутника eutelsat moto ndege 13e (130° e) katika mzunguko 11642 ghz pol h (sr 27500 fec 3/4 dvbs2 / 8psk) kutokana na ukweli kwamba transponder kazi katika dvbs2 kiwango station inapatikana tu kwenye kupokea hd a1 rtv network jukwaa juu ya satellite yahsat 1a (525° e) fec kuongezeka thamani 2/3 kwa 3/4 baada ya kubadilisha fec imeongezeka uwezo wa jumla ya multiplex a1 rtv network unajumuisha vituo vingi hd na sd katika lugha mbalimbali spanish english albanian kiarabu na kifaransa vituo zifuatazo zinapatikana katika mfuko fta a1 balkan hd a1 world hd a1 islam hd albanian a1 a1 exclusive hd a1 sports hd a1 liberation tv hd a1 media hd a1 mir hd a1 bosnia hd euro loveworld hd loveworld mena hd loveworld asia hd maisha tv uhispania hd face tv hd 11 television hd albayane hd tv divine love hd tv ecclesia tv hd sa tv hd la one tv hd и sd программы nay mziki tv afya tv poy tv и afro tv bidhaa vipimo a1 rtv network yahsat 1a (525° e) mzunguko 11843 ghz pol v sr 27500 fec 3/4 dvbs2 / 8psk operator ikomg (iko media group) ni mipango ya kuzima vituo vyote fta kutoka idadi transponder 9 спутника eutelsat moto ndege 13с 13 ° e operator ikomg (iko media group) ni mipango ya kuzima vituo vyote fta kutoka idadi transponder 9 спутника eutelsat moto ndege 13с (13° e) katika mzunguko 11373 ghz pol h (sr 27500 fec 5/6 dvbs / qpsk) uwezo zitatumika kwa ajili ya usambazaji wa vituo niche ambayo tu 10 ikiwa ni pamoja na 2 radio all itaonekana katika vyombo mbadala dvbs freedom tv nour tv wesal haq gali kurdistan sahar sd 24tv radio eviva и rdk radio дублируются через iko media group на tp5 на частоте 11296 ghz pol h (sr 27500 fec 5/6 dvbs / qpsk) mwingine es kituo cha televisheni imekuwa kunakiliwa na mtoa moja kwenye tp14 (11470 ghz sakafu v sr 27500 fec 5/6 dvbs / qpsk) kwa upande mwingine orient news akaenda tp51 (11747 ghz pol h sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) спутника eutelsat moto ndege 13с (13° e) vitendo kuhusishwa na harakati ya njia kufanyika kwa karibu miezi miwili kuanzia tarehe ya mpito 1 julai mwaka huu orient news channel juu tp51 24matangazo ya tv kwenye masafa wote mapema sana kama media broadcast satelaiti operator mipango ya kutolewa moja ya transponders yao na kuchagua kwa huduma zingine za (kwa mfano hd na 4k) kwa miezi kadhaa inawezekana kuchunguza harakati ya njia tp155 (11604 ghz pol h sr 27500 fec 5/6 dvbs / qpsk) спутника eutelsat moto ndege 13b (13° e) alieleza bel'skaya kwa nini porn ni bora ya kituo kwanza hata picha za uchi waaminifu vituo russian tv ya muhimu kwamba moja ahadi na kuonyesha tofauti kabisa alisema katika mpango met kuzungumza kwa baltkom radio mkuu mhariri wa toleo la urusi ya sekta ya televisheni cable guy yana belskaya terrestrial televisheni nchini urusi ni kupoteza ardhi lakini kufanya kila kitu si kutoa watazamaji offhewa njia kwa hiyo programu hizi zote kilio hamu ya kuua mpinzani wako mimi kusoma hadithi ajabu watoto wa shule uliyofundishwa kutumia video na akawa mwalimu maarufu ambayo mara kwa mara kumvua nguo katika ubao na akapiga maneno katika hadithi hii mapema au baadaye watazamaji kuelewa kuwa na mwisho yeye hakuwa undress na kisha watu kuchagua zaidi kuwazuia lakini walimu kitaaluma on tv kitu kimoja alisema bel'skaya pia ikilinganishwa maudhui ya urusi mipango ya shirikisho kwa picha za uchi mimi binafsi si kama mambo ambao kujifanya kwamba wana mambo mengine kwa hiyo napenda porn sababu gani hasa nini ahadi picha za uchi ni zaidi waaminifu nini kufanya juu ya tv si haki wanasema kwamba mpango huu habari na taarifa ni kweli lipo hisia tu aidha hasi mapema au baadaye itakuwa kupata uchovu wa luli alisema bel'skaya football matangazo katika vkontakte walikuwa kulinganishwa katika suala la watazamaji na televisheni live matangazo ya michezo miwili ya raundi ya kwanza ya kombe la hispania kutazamwa katika jamii ya vkontakte sisi zilizokusanywa juu ya 16 milioni na 850 maelfu ya mitazamo takwimu hizi zilikuwa kulinganishwa na mechi tv ambao chanjo ya mechi mbili katika kipindi cha agosti spanish super cup (real alicheza na barcelona) ilikuwa 15 milioni na 1 watu milioni ni taarifa na kommersant kulingana na wawakilishi wa vkontakte mechi barcelona na betis inaonekana 16 mara milioni ambaye alikuwa anatembea nyuma yake kupambana deportivo na real 850 elfu hata hivyo baadhi ya watumiaji wanaweza kuanza tukio mara kadhaa na kila kukimbia huhesabiwa kama mtazamo kwa ujumla mechi watched juu ya 12 milioni watumiaji mtandao jamii shirika la telesport ambayo inamiliki haki ya kuonyesha ubingwa wa hispania nchini urusi sisi kuitwa utendaji juu ya wastani ya kila siku ya vituo vya michezo kampuni hii pia ikilinganishwa takwimu na cska mchezo watazamaji na spartacus ambao ulifanyika 12 agosti na alikuwa 928 elfu kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa omd azimio vadim melnikov matangazo mapato kwa mechi kati ya barcelona na betis inaweza kufanya 156 milioni rubles hata hivyo tafsiri walikuwa si matangazo ni nia ya kuongeza katika raundi ya pili vkontakte kwa kushirikiana na teleport matangazo ya mechi ya kihispania michuano katika jamii ya nguvu michezo maoni vasily utkin hadithi ijayo transponder habari kwa 25082017 hadithi uliopita transponder habari kwa 22082017
2018-07-15T19:39:40
https://hdbox.ws/sw/sat-tv-novosti/4748-transpondernye-novosti-za-23-08-2017.html
paul biya kutawazwa katika hali ya mvutano cameroon cameroonsiasausalama imechapishwa 06/11/2018 0759 rais wa cameroon paul biya reuters/philippe wojazer rais wa cameroon paul biya mwenye umri wa miaka 85 ambaye yupo madarakani kwa muda wa miaka 36 anatarajiwa kutawazwa jumanne wiki hii kwa muhula wa saba mfululizo bw biya anatawazwa katika hali ya mvutano kufuatia utekaji nyara wa wanafunzi 79 katika eneo linalozungumza kiingereza linaloendelea kukumbwa na machafuko rais aliyechaguliwa nchini cameroon paul biya atatawazwa leo jumanne saa 1100 mchana (sawa na saa1000 mchana saa kimataifa) ofisi ya rais imetangaza katika taarifa yake meya wa mji wa yaoundé amewatolea wito wakazi wa mji huo kuja kwa wingi kumuunga mkono rais paul biya kwa kazi kubwa ambayo anatarajia kufanya kwa muhula mwengine sherehe za kutawazwa zitafanyika katika jengo la bunge sherehe hizi zinafanyika siku moja baada ya watu 82 ikiwa ni pamoja na wanafunzi 79 walitekwa nyara na watu wenye silaha wasiojulikana katika mji wa bamenda mji mkuu wa kaskazini magharibi mwa jimbo linalozungumza kiingereza watu waliojihami kwa silaha walivamia shule ya presbyterian secondary school inayomilikiwa na kanisa la kiprotestanti zoezi la kuwatafuta mateka limezinduliwa kwa mujibu wa chanzo cha serikali katika video ya daikika sita vijana kumi na moja wenye umri wa miaka kumi na tano mmoja baada ya mwengine wamejitambulisha kwa kiingereza na kusema wametekwa nyara na kundi la amba boys wanaharakati kutoka jimbo linalozungumza kiingereza ambao wanataka jimbo lao kuwa taifa huru tutaanzisha shule zetu binafsi hapa tutaishi pamoja na kupigania ambazonia taifa ambalo wanaharakati hao wanaotarajia kuunda amesema mmoja wa watekaji nyara aliyejificha uso kwa mujibu wa shirika la habari la afp katika mkoa huo wa kaskazinimagharibi naibu mkuu wa wilaya ya noni pia alitekwa nyara siku ya jumapili camerooneusiasausalama umoja wa ulaya wamtaka paul biya kurejesha umoja na mshikamano cameroon cameroonbiyasiasanyumba cameroon kumjengea nyumba ya kifahari jaji aliyemtangaza rais biya mshindi cameroonuchaguziusalama matokeo ya uchaguzi wa urais kutangazwa jumatatu hii cameroon
2020-07-06T18:28:16
http://www.rfi.fr/sw/afrika/20181106-paul-biya-kutawazwa-katika-hali-ya-mvutano-cameroon
kristoforo kolumbus wikipedia kamusi elezo huru kristoforo kolumbus (elekezwa kutoka kristoforo kolombo) jahazi ya santa maria imejengwa tena kwa mfano wa jahazi ya kolumbus miaka 500 iliyopita msanii alichora picha hii mwaka 1893 akitaka kumwonyesha kolumbus jinsi alivyofika amerika mwaka 1492 ramani ya safari nne za kolumbus kristoforo kolumbus (kwa kiitalia cristoforo colombo kwa kihispania cristóbal colón kwa kilatini columbus genova 1451 valladolid 20 mei 1506) alikuwa mfanyabiashara na mpelelezi aliyegundua njia ya usafiri kati ya hispania na amerika mara nyingi aliitwa mzungu wa kwanza wa kufika amerika lakini baadaye imejulikana ya kwamba waviking walitangulia kufika amerika ya kaskazini mnamo mwaka 1000 ila jitihada zake zilianzisha njia ya mawasiliano ya kudumu kati ya amerika na mabara mengine tofauti na safari zote zilizovuka bahari kabla yake mipango ya kolumbus[hariri | hariri chanzo] nia ya kolumbus ilikuwa kugundua njia ya kufika uhindi kwa kuelekea magharibi sababu yake ilikuwa hali ya siasa ya wakati wake njia zote za mawasiliano kati ya ulaya na uhindi zilitawaliwa na waislamu bei za bidhaa zote zilizofika ulaya kutoka uhindi zilikuwa ghali sana kwa sababu ya vituo vingi vya biashara kati ya uhindi na ulaya kolumbus alitaka kufika uhindi kwa meli bila kupitia maeneo ya waislamu upande wa mashariki alitaka kufanya majaribio kama dunia ilikuwa kweli tufe ya mviringo jinsi walivyoanza kufundisha wataalamu ni lazima kuwe na njia kufika mashariki kwa kuelekea magharibi alijua taarifa ya msafiri marco polo aliyewahi kufika uchina akaona bahari kubwa upande wa mashariki kolumbus aliamini ya kwamba bahari ile ingekuwa ileile ya atlantiki inayoanza upande wa magharibi ya ulaya hakutegemea ya kwamba angekuta nchi mpya kabisa kati ya ulaya na uhindi nchi hii mpya ilikuwa bahati yake katika mipango yake alifanya kosa la kukadiria umbali kati ya ulaya na asia kuwa mdogo mno akiba za chakula na maji katika jahazi zake zisingetosha kufika uchina kukuta nchi mpya njiani ambayo hakutegemea kulimwokoa safari ya mwaka 1492[hariri | hariri chanzo] kolumbus aliondoka hispania kwa jahazi tatu tarehe 3 agosti 1492 tarehe 12 oktoba 1492 alikanyaga mara ya kwanza eneo la amerika katika kisiwa kimoja kisichojulikana ni kipi kwa hakika katika funguvisiwa ya bahama akaendelea hadi kuba na kisiwa cha dominica akarudi hispania mwaka 1493 alipofika kwenye visiwa vya karibi katika amerika ya kati aliamini ya kwamba hivi vilikuwa visiwa vya kihindi akaviita uhindi wa magharibi na wakazi kwa lugha ya kihispania indio yaani wahindi hadi kifo chake hakutaka kukubali ya kwamba nchi hii haikuwa uhindi wala sehemu yoyote ya asia ila kitu kipya safari tatu za baadaye[hariri | hariri chanzo] kwa jumla kolumbus alifanya safari nne hadi amerika mwaka 1498 katika safari yake ya tatu alifika mara ya kwanza kwenye bara lenyewe katika mdomo wa mto orinoco katika venezuela kwa jumla alipoteza jahazi 9 katika safari zake rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=kristoforo_kolumbus&oldid=1007386 waliozaliwa 1451 waliofariki 1506 wapelelezi kutoka italia wapelelezi wa amerika ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 30 julai 2017 saa 1221
2020-07-06T05:40:00
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kristoforo_Kolombo
cuf yawanasa live ccm wakinunua vipande vya kupigia kura bububu | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by duble chris sep 15 2012 wamkamata muuzaji mgombea (bhaa) walinzi wake na dereva watimua mbio jana tarehe 14/9/2012 ikiwa zimebaki siku mbili kabla ya siku ya upigaji kura kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa jimbo la bububu ccm wanaonekana kutegemea rafu na michezo michafu kama mtaji wa kutafutia ushindi kikosi maalum cha operation na mipango ya uchaguzi wa bububu cha cuf kilipokea taarifa jana kiasi cha saa 2 usiku kutoka kwa mmoja ya wanafamilia ambae baba yake mzazi alikataa katakata kumuuzia mgombea wa ccm (bhaa) kipande chake cha kupigia kura kwa thamani ya shilingi laki moja baada ya kupokea taarifa hizo kikosi hicho maalum kilianza operation yake ya kumsaka kila kipembe mgombea wa ccm na wenzake ambao kwa usiri na ustadi mkubwa walikuwa kazini kununua vipande vya kupigia kura mara taarifa kuhusu sehemu ambayo zoezi la kununua vipande vya kupigia kura linaendelea ilipatikana gari la cuf lenye kikosi hicho maalum lilivamia kwa ghafla eneo la tukio kiasi cha saa 5 na dakika kadhaa usiku na kumfuma mgombea wa ccm mlinzi wake na dereva wakiwa wote wamesimama pembeni ya gari lao wakiendelea kupatana mpiga kura kura (jina linahifadhiwa) ili kununua kipande chake vamia kamata wote haraka haraka piga picha piga picha watie katika gari kauli ya kamanda wa kikosi hicho maalum ilisikika kishindo hicho cha ghafla kiliwashtua wote waliokuwa wakiuziana vipande vya kupigia kura na kupatwa na mfadhaiko mkubwa wakiwa hawaamini kinachotokea mgombea wa ccm mlinzi wake na dereva kwa haraka mno walijilenga katika gari wakawasha na kukimbia huku wakimuacha mteja wao peke yake akifadhaika na kujikuta mikononi mwa wana operation wa cuf haya yakitendeka mpiga picha maalum wa operation hii akiendelea na kazi yake kijana huyo aliingizwa katika gari la cuf na kuelekea kituo cha polisi hata hivyo baada ya kusikiliza maelezo ya mpiga kura huyo wana operation wa cuf walimsamehe na kumpa onyo kali ccm wamefadhaika na hawana imani wala matumaini ya kuweza kuutumia mchezo wao wa wizi wa kupigisha kura kumi kumi na kuleta watu kutoka maeneo mengine kuja kupiga kura cuf wameapa kumkata kichwa mtu yeyote atakaethubutu kusogea kituoni kwa ajili ya kupiga kura na ilhali si mpiga kura wa jimbo hilo jambo hili limewatia hofu wapiga kura hewa waliopangwa kwa kazi hii wakiwemo wale waliotumika kusaidia kuiba jimbo hilo katika uchaguzi wa 2010 vijana hao kutoka nje ya bububu wanaohofia kupoteza maisha yao wamekataa kata kata kusogea kituoni kwa ajili ya kusaidia wizi wa jimbo hilo baada ya kufeli kwa mikakati iliyozoeleka ccm sasa wameamua kuupa nguvu kubwa mpango wa kununua vipande vya kupigia kura kiasi kikubwa cha fedha kimetengwa kwa ajili kufanikisha ununuzi wa vipande vya kupigia kura kwa bei ya shilingi laki moja kwa kipande kimoja uchaguzi mdogo wa jimbo la bububu unatarajiwa kufanyika kesho jumapili tarehe 16/09/2012 huku kampeni za cuf zikifungwa rasmi leo na mwenyekiti wa cuf taifa mhe profesa ibrahim haruna lipumba hahahahaha magamba bhaaaana magamba na cuf tunajua walishafunga ndoa kitambo sasa kuna shida gani wakuu hii imekaaje tena ya kukata watu vichwa naomba tuijadili nayo hivi huko wenzetu hawana sheria sijui nitumie lugha gani ili nieleweke bila ban ukweli ni kwamba ukiona mke wako anagombea sahani la pilau na wewe kisha anagundua mbinu zako za kutaka kumzidi vinyango za nyama ujue kakuchoka na hana jinsi la sivyo angekupa taraka ukizingatia ndoa yenu ni matokeo ya shinikizo kutoka kwa walezi wako na wa mkeo kwani wazazi mzazi wako amekufa na wa mkeo yu hai pumba tupu hakuna mchele pumba tupu hakuna mcheleclick to expand zomba kwani vipi ina maana kati ya cuf na ccm wewe uko upande gani lol saafi sana cuf yaani hapo mmeandelea kuwaumbua hawa mumiani wa siasa za tanzania ila kwa nini msijitoe kwenye ile nanihi yenu si mnawaona walivyo mafidhuli lakini sijui nitumie lugha gani ili nieleweke bila ban ukweli ni kwamba ukiona mke wako anagombea sahani la pilau na wewe kisha anagundua mbinu zako za kutaka kumzidi vinyango za nyama ujue kakuchoka na hana jinsi la sivyo angekupa taraka ukizingatia ndoa yenu ni matokeo ya shinikizo kutoka kwa walezi wako na wa mkeo kwani wazazi mzazi wako amekufa na wa mkeo yu haiclick to expand huo mfano ni mzuri na sahihi (relevant) katika context ya siasa za tanzania tendwa msajili wa vyama futa ccm kwa rafu hizo maake kinahatarisha amani visiwani zanzibar maake wameanza kutishiana kukata vicbwa hi hatari kwa msitakabari wa taifa cuf na ccm ni mtu na nduguye hakuna ushindani hapo wao wa unguja sisi wabaratehteh kila mcheza kwao unaogopa kukatwa kichwa au unaogopa kuwa sasa watu wanajua kuwa chama chako ni cha kukata watu vichwa wakuu hii imekaaje tena ya kukata watu vichwa naomba tuijadili nayo hivi huko wenzetu hawana sheria click to expand hii ndio dawa ya ccm iliyobaki wakiiba chinja finish job hata huyu raia aliyeshikwa akiuza kipande angekatwa hata vidole viwili ili ajifunze hivi kwanini chadema hawakushiriki uchaguzi wa bububu au kwa kuwa huko hakuna makanisa jussa alisema kweli kaka zomba nataka niwahi nyumbani nikaangalie ile filamu ambayo inawafanya muwe vichaa hivi mke anaweza kumkamata mume kwa sababu mume anadokoa mboga jikoni kaka zomba nataka niwahi nyumbani nikaangalie ile filamu ambayo inawafanya muwe vichaaclick to expand umeipenda na unarudia kuiangalia au ndio mara ya kwanza kwenda kuiangalia umeipenda na unarudia kuiangalia au ndio mara ya kwanza kwenda kuiangaliaclick to expand mara ya kwanza nimeipata kwa rafiki yangu mara ya kwanza nimeipata kwa rafiki yanguclick to expand nikaribishe na mie nije tuone pamoja nikaribishe na mie nije tuone pamojaclick to expand kaka zomba utanivunjia tv yangu bure na uwezo wa kununua nyingine sina nitakutolea copy nikutumie mkuu uangalie ukiwa kwako
2017-07-28T13:39:30
https://www.jamiiforums.com/threads/cuf-yawanasa-live-ccm-wakinunua-vipande-vya-kupigia-kura-bububu.324032/
kamati ya bunge yaipongeza dawasa/dawasco kwa kazi nzuri ya kusimamia miradi ya maji sufianimafoto home habari kamati ya bunge yaipongeza dawasa/dawasco kwa kazi nzuri ya kusimamia miradi ya maji ziara ya kamati hiyo ilianzia makao makuu ya dawasa ambapo kamati ilipokea taarifa ya utendaji ya dawasa na dawasco na kasha walipata fursa ya kutembeela baadhi ya miradi hiyo ambayo ni ujenzi wa matenki makubwa ya kuhifadhia maji ya changanyikeni salasala vituo vya kusukuma maji vya makongo na salasala kusoma zaidi bofya hapa
2019-01-20T03:45:56
http://www.sufianimafoto.com/2018/01/kamati-ya-bunge-yaipongeza.html
1858 je ni muhimu je inaweza kusubiri kisima cha maarifa 1858 je ni muhimu je inaweza kusubiri maswali hayo mawili yatakuokoa na mambo mengi sana kama utachukua muda wa kujiuliza kabla hujafanya maamuzi yoyote hasa ya manunuzi hebu fikiria umetoka nyumbani kwenda kwenye shughuli zako hukupanga kununua chochote lakini unarudi nyumbani una furushi kubwa la vitu ulivyonunua ukiulizwa kwa nini umenunua utajibu ulikutana na ofa ambayo kama ← #tafakari ya asubuhi mwili akili na roho tafakari ya usiku usiuonee mwili huruma →
2020-05-31T19:30:12
https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/02/01/1858-je-ni-muhimu-je-inaweza-kusubiri/
karibu mlima sayuniuwanja wa uwazi na ukweli kuhusu masuala yote ya kibiblia na ukristo upentekoste tanzania na mafanikio ya kiuchumi zamani kulikuwa na msemo watu wanataniana utakuwa maskini kama panya wa kanisani msemo huo kwa sasa hauna maana tena hasa miongoni mwa wapentekoste hapa tanzania ambapo ilionekana kuwa ukiwa umeokoka basi wewe ni maskini wa kutupwamafundisho na injili ya mafanikio (najua kuna watu hawapendi hili neno la injili ya mafanikio but kwa leo naomba mvumilie maana hata yesu alitumia muda mwingi kuhubiri injili ya mafanikio) zimewasaidia wapentekoste wengi hasa kuanzia miaka ya mwanzo ya 90 na kuendelea kwani wengi wameamka kiuchuni na kufanikiwa kwa kuwa wamekuwa wakiyatendea kazi mafundisho ya yesu kristo mwokozi wa ulimwengutukiachilia mbali tofauti zetu za kimafundisho na kitheolojia baina ya makanisa ya kipentekoste hakuna ubishi kuwa kuna watumishi ambao ni mfano wa kuigwa kwa kazi zao njema hasa katika jamii yetuwachache kati ya hao ni hawa hapa mtume & nabii josephat mwingiraefatha ministry (efetha bankfirst pentecostal bank in tanzaniatrenet tv stationlarge agricultural plantaions) mchunga dr getrude rwakataremikocheni b assemblies (st marry's international schools and collegesfirst pentecostal highly reputable for middle & high class education systems in tanzania praise power fmradio stationfirst pentecostal pastor to be elected as member of parliament) askofu sylvester gamanywawapo mission (first pentecostal news paper in tanzaniafirst pentecostal wide spread fm radio in tanzaniamost reputable pentecostal pastor by the government) mtume fernandesworld agape ministries (first pentecostal tv station in tanzaniahas many viewers accross africa)
2016-12-10T07:00:06
http://sayuni.blogspot.com/2010/07/upentekoste-tanzania-na-mafanikio-ya_08.html
questions to the prime minister from hon flatei gregory massay (1 total) mheshimiwa spika serikali imefanya uhakiki wa watumishi ambao wana vyeti fake sasa baada ya uhakiki huo wengine wameacha vituo vya afya na zahanati zetu kule sasa swali langu je lini mtaajiri sasa ili watu wetu kule wapate huduma hasa kwenye maeneo ya afya ambako watumishi wameshaacha kazi kutokana na kwamba walikuwa wana vyeti ambavyo havistahili kuendelea kuwepo ahsante waziri mkuu mheshimiwa spika naomba kujibu swali la mheshimiwa flatei massay mbunge wa mbulu kama ifuatavyo mheshimiwa spika ni kweli kwamba tumepitisha zoezi hili la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wetu na uhakiki huu baada ya kuwa tumekamilisha tulipata makundi matatu kundi la kwanza ni wale wenye vyeti fake moja kwa moja kundi la pili ni wale wenye vyeti vinavyotumika na zaidi ya mtu mmoja lakini kundi la tatu uko utata wa majina ambao umejitokeza kwenye vyeti hivi ambavyo wao wamepata nafasi ya kukata rufaa sasa wote hawa wameacha pengo kwa sasa na ndilo ambalo mheshimiwa mbunge amelizungumzia lini tunatoa ajira mheshimiwa spika mheshimiwa rais wetu dkt john pombe magufuli ametoa nafasi za ajira zaidi ya 50000 ili kuziba mapengo haya ambayo yamejitokeza kwa wenye vyeti fake lakini vilevile ili kuongeza tu ajira kwenye sekta nyingine kwa lengo la kuboresha utoaji huduma kwenye sekta mbalimbali mheshimiwa spika tayari vibali vimeshatolewa na wizara ya utumishi tumeanza na idara ya elimu tumesha ajiri walimu wa masomo ya sayansi wamekwenda kwenye vituo tumetoa pia nafasi kwenye sekta ya afya na vibali hivi vitaendelea kutolewa kadri ya nafasi ambazo mheshimiwa rais ameahidi kwa watanzania mheshimiwa spika ninaamini rais wetu mpendwa kwa ahadi yake nafasi hizi ataendelea kuzitoa ili tuzibe mapengo na kuboresha pale ambako kuna upungufu mkubwa na sasa ajira hizi zitaenda kitaaluma zaidi ili kuweza kuleta ufanisi mkubwa kwenye sekta y ajira ahsante
2019-09-15T17:00:09
http://parliament.go.tz/polis/members/183/pm-questions
passport zipo tele vitambulisho vya taifa vya nini | jamiiforums | the home of great thinkers passport zipo tele vitambulisho vya taifa vya nini discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by jay one dec 18 2011 hadi leo ukiniuliza vitambulisho vya taifa ni vya nini jibu ni sijui sbb passport ndio kitambulisho worldwide kinajulikana nasisitiza huwezi kwenda nje ya nchi ukasema nina kitambulisho cha taifa hakuna atakaye kuelewa passport ipo kwenye system ukienda nayo popote wanajua kuwa ni halali it's computerized worldwide naona hapa tunapoteza fedha nyingiiiiii kama sikosei bajeti ya 2010/11 ilitengewa tshs 324 billions just kwa vitabulisho hii ni unnecessary expenditure imagine tungeboresha passport kila mwananchi apate ingekuwa rahisi ndio system ya dunia nzima na ingetumika kama kitambulisho halali kwa shughuli za kiataifa na kimataifa jamani fedha hizi i feel sorry nategemea wewe ukanushi ujio wa vitambulisho vya taifa bali thread yako ni swali la mzunguluko kwa kitu ambacho ukielewi na unahitaji ukielewe passport ni hati ya kusafilia na kujitambulisha kitaifa na kimataifa na vitambulisho vya uraia ni kujitambulisha kitaifa ambacho kinabeba dhamana ya jina lako mahali pa kuzaliwa kwako kitongoj kijiji wilaya pamoja na mkoa hususani cha muhimu zaidi katika kitambulisho cha uraia ni (residence) sehemu unayoishi yaani mtaa na namba ya nyumba hapo inamaanisha kwa chochote kitakachotokea kutambulika ni rahisi na mara moja kwa kupiga kura utatumia kitambulisho chako cha uraia kwa sababu vitakuwa tayari vipo katika computer na mifumo mingi ya kiofisi itakuwa rahisi kukufikia bila ya wewe kuhangaika katika maofisi kama kulipa kodi pamoja na mambo mengi ambayo yanaweza kukufikia kwa wakati na si wewe peke yako mpaka wale wa vijijini ikija serikali ya cdm tutazidi kufungua zaidi akili zetu na kuweka urahisi wa matumizi ya mfumo mzima kwa raia wote kupitia vimbulisho vya uraia mkuu unawezaa ukawa hujamuelewa mleta mada au naye sio mtaalamu sana we kupresent mada kama tulivyo wengi wetu lakini hoja yake ni ya msingi zaidi ya unavyodhani ukiingia na kutafuta humu jamvini zipo thread nyingi na zina taarifa muhimu sana juu ya hili suala la vitambulisho vya kitaifa huu mradi unavyopambwa hauna tofauti sana na richmond kama wengi wetu tulivyoshindwa kujua kilichokuwa nyuma ya pazia watu wanaongelea 'matatizo ya umeme' lakini kumbe wana lao jambo hivi vitambulisho vya taifa havina tofauti na birth certificate ya rita driving license tin certificate passport ya kusafiria kitambulisho cha mpiga kura nk ambavyo vyote vinatolewa na serikari hoja ya mleta mada hapa (kama naelewa) ni kuwa kwa vile sasa ni wakati wa teknologia hizi data zote za hivyo vitambulisho nilivyogusi ninawekwa kwenye database sasa badala ya kuwa na 'vidatabase' kila ofisi ya serikali hiyohiyo vinavyotunza taarifa zinazofanana kwa kila kitu ni kwa nini wasijenge (develop) database moja yenye taariza zote kama nchi za wenzetu ninachotabiri juu ya mtadi wa vitambulisho vya taifa baada ya 'wadau'kula 10 (kama sio 75) wataurudisha huu mradi kwenye kitengo kingine kwa maana hiyo ni bora hizo billion wangepewa rita (vizazi na vifo) sasa na kujenga uwezo na hivyo kuwa taasisi inayostahili kuchukua hili jukumu watu na viongozi wanajua hili lakini nia na nafsi zao ndio mbaya ismathew said ↑ (residence) sehemu unayoishi yaani mtaa na namba ya nyumba hapo inamaanisha kwa chochote kitakachotokea kutambulika ni rahisi na mara moja kwa kupiga kura utatumia kitambulisho chako cha uraia kwa sababu vitakuwa tayari vipo katika computer na mifumo mingi ya kiofisi itakuwa rahisi kukufikia bila ya wewe kuhangaika katika acha ushamba pasipoti haiwezi kuwa mbadala wa kitambulisho cha taifa hujaona vipindi vya nida kwenye vyombo vya habari mkuu hata wewe ni kama sijakuelewa kwani logic yako hapa nini sasa ubora wa vitambulisho au mradi wa watu(richmundi) mimi pia ni miongoni wa wale wanaopenda kwamba ikiwezekana kila mtanzania awe na passport lakini siamini kama passport pekee ndiyo suluhu utambulisho wetulakini pia siamini kwamba passport ndiyo mbadala wa vitambulisho vingine kwa mfano umesema nchi za wengine passport ndiyo kila kitu siamini kama passport inaweza kuwa mbadala driving lecensehii ni profesional certificate kama nyingine kwani nini maana ya hati ya kusafiria(passport) hiki ni kitambulisho kama vingine utofauti wake ni kwamba yeyewe inatambulika worldwide issue ya kwamba imeunganishwa na mtandao sio hoja kwa sababu inatumika kimataifa ni lazima iwe katika mfumo unaowezesha kutambulika popote duniani kwa mantiki hiyo mimi sioni kama hiki ndicho hasa watanzania kwa ujumla wake wanahitaji sana kama ni database hata hivyo vitabulisho vya uraia vinaweza kuwekwa na kila mwenye nacho akwa anatambulika kitaifa kwa mtazamo wangu hitaji la kwanza la raia sio hati ya kusafiria bali kitambulisho cha uraia afahamike kwanza nyumbani kisha uwekwe utaratibu mzuri sasa wa kupata passport kwa yule anayeihitaji usiwepo urasimu kama ilivyo sasa mimi sioni kama kutakuwa na hivyo 'vidatabase' ulivyosema kwanza vya kazi gani kwenye databse kutakuwa na jina la 'xx' taarifa zote zinazohitajika zitapatikana chini yake hata hiyo passport na vitu vingine kama anavyo vitawekwa pale ugumu uko wapi je tumeishajiuliza gharama ya kuteneza hizo passport zinazotambulika kimataifa tumelinganisha na gharama ya hivyo vitambulisho vitakavyotengenezwa prioritize kwanza hii ni hisabati rahisi tu jamani sina maana kwamba hakuna uwezekano wa kutengeneza passport kwa kila mtanzania la hasha ila sioni mantiki ya kuanza na passport badala ya vitambulisho vya hapa nyumbani kwanza kimsingi hapa tujadili iwapo mahitaji ya watanzania kwa sasa kama ni pasport au vitambulisho vya uraia habari ya ufisadi ni nyingine maana hata kama tukiamua kutengeneza passport kama ufisadi upo ni upo tu sidhani kama passport zinashindikana kufisadiwa mahangu senior member kiukweli mwanajamii forum mwenzangu achilia mbali passport hebu fikiria maamuzi ya kuanzisha mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) wakati tuna rita ( registration insolvency and trusteeship agency) rita inajua taarifa nyingi za kuzaliwa kwa mtu ilikuwa ni busara kabisa na kuokoa fedha za walipa kodi kuanzisha kurugenzi ya vitambulisho vya taifa ndani ya rita sioni kama mtu anaweza kuja na hoja ya kunipinga kuwa hatukuwa na sababu ya kuanzisha mamlaka/wakala mpya nchi hii zama hizi maamuzi yanafanywa kiholela tu bila kufikiria saizi tanzania tuna wakala na mamlaka nyingi lakini maendeleo bado tuko nyuma utategemea wakala au mamlaka inapoanzishwa in kuja kuboresha ufanisi eneo husika kumbe ni kuleta urasimu zaidi we subiri vitambulisho vya taifa uone urasimu wake hizo form ukisoma utaona mtu wa rita anatakiwa uhamiaji anatakiwa je nida itawezaje kuthibitisha uraia wa mtu bila kupta taarifa rita kama ndivyo si tungewaachia rita tu kufanya kazi hiyo matokeo ya nida itakuwa kama bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (heslb) kushindwa kujua hali ya uchumi wa wazazi wa mwombaji jamani tanzania tujikomboe kifikra sio kila tunachoshauriwa na wafadhili au wabia wa maendeleo ( wakoloni wa kisasa) tukubali lets change our thinking
2018-01-23T15:00:51
https://www.jamiiforums.com/threads/passport-zipo-tele-vitambulisho-vya-taifa-vya-nini.203875/
kituo cha uzazi wa uzazi wa karibu unakaribisha sasisho za sheria za sheria za urembeshaji 'za zamani' za new york ivfbabble the kituo cha uzazi mzazi imepongeza mabadiliko yaliyopendekezwa kwa sheria za uhafidhinaji za new york ambazo hapo awali zilikuwa zimepiga marufuku mazoezi hayo kutoka kwa serikali tangu 1992 asante kwa gavana wa new york andrew cuomo na seneta wa mfadhili mwenza brad hoylman kura ya muswada wa kuhalalisha surrog iko karibu new york michigan na louisiana ni majimbo matatu tu yaliyosalia ambayo yalipiga marufuku uwazi kabisa katika majimbo mengine yote surrogacy inaruhusiwa lakini chini ya hali maalum katika baadhi ya majimbo wenzi wa ndoa tu ndio wanaolindwa na sheria lakini katika majimbo mengine mtoto lazima ahusiane na vinasaba na angalau mzazi mmoja katika prosurrogacy majimbo kama california na nevada yeyote anayetaka kuwa mzazi anatambuliwa kama mzazi bila kujali ndoa au kiunga cha maumbile kwa mtoto anayemuunda hivi majuzi jimbo la washington washington dc na jimbo la new jersey zote zimepitisha bili kupitisha ujasusi kuruhusu usafirishaji wa kibiashara kufanya kazi katika jimbo kubwa la new york ni njia nzuri ya kuwasaidia wanandoa duni na mashoga kuunda familia zao hivi karibuni new yorkers hawatalazimika kubeba mzigo wa ziada wa kusafiri kwenda nchi tofauti wakati mwingine kote nchini ili tu kuanzisha familia yao wapinzani wa unyonyaji mara nyingi husema kwamba mtoto sio bidhaa ya kuuza au kuwa surrogacy ni unyonyaji wa wanawake maskini ambao wanakata tamaa ya kiuchumi na wanalazimishwa kufanya vitendo vya ujasusi wakati ujasusi haujafanya mazoezi katika nchi kama kambodia india na thailand wakala wa zamani zaidi wa uchunguzi duniani ni kituo cha uzazi wa uzazi (csp) surrogacy inafanya kazi wakati inafanywa kitaaluma csp imekuwa ikiwasaidia wanandoa duni na mashoga kuunda familia zao kwa zaidi ya miaka 38 kwa wakati huo csp imeadhimisha kuzaliwa kwa watoto zaidi ya 2500 hapana mama mzazi katika programu yao imebadilisha mawazo yao juu ya kumrudisha mtoto kwa wazazi wake sahihi na wenye upendo kwa kweli zaidi ya asilimia 55 ya mama zao wanaozaliwa hurejea kwa safari ya pili ya surrogacy kusaidia familia zao za kwanza kuwa na mtoto wa pili au kusaidia familia nyingine kusherehekea furaha ya uzazi csp ina wataalam wa afya ya akili wa muda wote ambao wanawasaidia mama zao wa kike wakati wa safari ya surrogacy wazazi na mama mama wa kike wanawakilishwa na ushauri wa kisheria tofauti wakati wote wa ujauzito korti kuu ya california ilizingatia hoja kwamba malipo ya unyonyaji ni malipo kwa mtoto na ilihitimisha kuwa fidia iliyolipwa kwa mama mzazi sio malipo kwa mtoto na sio malipo badala ya kujisalimisha kwa haki ya mzazi badala yake mahakama katika uamuzi muhimu wa johnson v calvert (5 cal 4th 846 (1993)) ilishikilia kwamba malipo kama haya yanamaanisha kumlipa fidia ya huduma yake katika kumjuza mtoto na kufanya kazi kwa maneno mengine na kama inavyosemwa kawaida katika mikataba ya surrogacy malipo ni kwa shida ya mama surrogate maumivu mateso usumbufu gharama za kuishi na kwa msaada wa mtoto kabla ya kuzaliwa hii inaungwa mkono zaidi na masharti yetu ya kiwango cha malipo ambayo humpa mama mzazi malipo kwa malipo yaliyolipwa juu ya ujauzito badala ya kuwa malipo ya jumla na malipo kama hayo hayapewi masharti juu ya afya ya mtoto uwazi huleta furaha kubwa kwa wote wanaohusika surrogacy ni juu ya familia moja kusaidia kuunda familia nyingine katika ulimwengu huu tunaishi ambamo fadhili za wanadamu mara nyingi hupungukiwa hii ni uwanja wa furaha kubwa kwa wote wanaohusika mmoja wa akina mama wetu aliyemwuliza aliulizwa kwanini alitaka kuzaa mtoto kwa mtu mwingine alisema karen synesiou wa csp na alisema mimi siwezi kutafuta tiba ya saratani au kuwa daktari na kuokoa maisha walakini ninaweza kusaidia wanandoa mmoja kuwa familia nimebeba ujauzito vizuri tumemaliza familia yetu wenyewe hii naweza kufanya ninaweza kuleta mabadiliko kuchukiza mara nyingi ni hamu ya akina mama wanaojifungua na wanapomrudisha mtoto wamebeba kwa upendo kwa miezi tisa mikononi mwa mzazi hamu hiyo inakamilika akina mama wa kike wanajivunia sana kwamba walijitolea kumsaidia mtu mwingine kwa njia muhimu sana kwa niaba ya wakazi wote duni na mashoga wa new york asante moyoni kwa gavana cuomo wafuasi wote wa muswada huu na kwa raia wa new york asante ili kujua zaidi juu ya kituo cha uzazi mzazi bonyeza hapa tags kituo cha uzazi mzazi csp gavana wa new york andrew cuomo sheria ya uhafidhina wa new york ilipendekeza mabadiliko mtihani mpya wa damu unaovunjika unaweza kugundua endometriosis
2020-07-13T20:47:53
https://sw.ivfbabble.com/2019/04/center-surrogate-parenting-welcomes-updates-antiquated-new-york-surrogacy-law/
19 may pitia hizi highlights za magazeti ya michezo kutoka ulaya na tanzania | shaffihdauda home kimataifa 19 may pitia hizi highlights za magazeti ya michezo kutoka ulaya na 19 may pitia hizi highlights za magazeti ya michezo kutoka ulaya na tanzania ishu ya kocha ni pasua kichwa kwa simba mchakato wa kumpata mrithi wa nafasi ya aliyekua kocha wa timu ya simba mserbia goran kopunivic ni swala linaloumiza kichwa uongozi wa yanga akizungumza na gazeti la nipashe rais wa simba evans aveva amesema kwamba bado viongozi wanaendelea na mchakato wa kumpata kocha mpya lakini aliweka wazi kwamba mchakato huo unawaweka kwenye wakati mgumu kutokana na vipengele ambavyo wanakutana navyo kwa makocha wanaowataka nipashe michezo limeandika hakuna mapinduzi ndani ya yanga uongozi wa yanga umesema hauko tayari kuona mapinduzi yananafanyika ndani ya klabu hiyo kutokana na kikundi cha watu wachache wanaotaka madarakapia ametangaza kuwa francis kaswahili kuwa sio mwanachama wa klabu hiyo habari kutoka nipashe michezo mtanzania afanya majaribio na timu ya seria a mshambuliaji haji ungando ametua katika timu ya atlanta inayoshiriki ligi kuu ya nchini italy serie a kufanya majiribio ya siku 10 baada ya timu hiyo kuvutiwa nae kinda huyo aliwavutia scouts wa atlanta akitokea kwenye kituo cha kukuzia vipaji jaki sports academy na hivi sasa anaendelea kuangaliwa na makocha wa timu hiyo limeandika mtanzania michezo majimaji kusajili wawili kimataifa uongozi wa timu ya majimaji unatarajiwa kusajili wachezaji wawili wa kimataifa ili kuimarisha kikosi chake kitakachoshiriki msimu ujao wa ligi kuu ya vodacom akizungumza na mtanzania michezo kocha wa majimaji hassan bainyai alisema wachezaji hao watatoka nchi za jirani malawi na zambia ligi ya kick boxing yazinduliwa ligi ya mabingwa ya michezo ya kick boxing imezinduliwa rasmi juzi kwa michezo miwili kufanyika huku wapiganaji zaidi ya 30 wanashiriki katika ufunguzi wa ligi hiyo uliwakutanisha hamisi mwanyiko kutoka tanga dhidi ya ramadhani mshana na mrisho ally na ally chande mratibu wa ligi hiyo kaseba alisema ligi hiyo ilisimama kwa muda lakini imeanza rasmi habari na majira michezo james milner kupotezea ofa ya liverpool midfielder james milner mwenye miaka 29 anategemewa kuopotezea ofa ya liverpool ya kulipwa pound 165000 kwa wiki ili kujunga na arsenal mchezaji huyo ni raia wa england na habari imeandikwa na gazeti la daily star gary neville aipa ushari man united mchezaji wa zamani wa man united gary neville amesema club yake imtumia kipa david de gea kwenye mabadilishano ya kumsaini mchezaji gareth bale mweye miaka 25 ambae yupo kwenye wakati mgumu ndani ya real madrid na mashabiki wao limeandika gazeti la the sun real madrid wanajipanga kutoa uamuzi kuhusu carlo ancelotti real madrid inajipanga kutoa taarifa kuhusu ishu ya kocha kwenye timu yao kitakacho zungumziwa hasa ni kuhusu carlo ancelloti kuendelea kuifundisha timu hiyo au la japokua carlo mwenyewe anapanga kuendelea kufundisha timu hiyo liverpool wanamtaka mchezaji huyu baada ya kuondokewa na legend wao steven gerrard liverpool inaendelea kufanya harakati za kukiimarisha kikosi chao hivi sasa liverpool inafanya harakati za kumsajili mchezaji kutoka bosnia edin dzeko habari na gazeti la mail previous articletimu bora ya epl 2014/2015 iliyopendekezwa na carragher neville wewe unaonaje next articlemourinho asema barcelona na real madrid zingekua england maisha yao yangekua magumu
2018-09-20T20:05:21
http://shaffihdauda.co.tz/2015/05/19/ssd3424/
cuf watishia kujilipua | jamiiforums cuf watishia kujilipua kama hili ni kweli basi hawa cuf wanataka kutuletea balaa kubwa sana mwenendo wa mambo visiwani zanzibar unazidi kuwa wa mashaka baada ya wafuasi wa chama cha wananchi (cuf) kutangaza kuwa wataanza kujivisha mabomu ya kujitoa muhanga kama njia ya kumshinikiza rais jakaya kikwete kusaini makubaliano ya mazungumzo ya muafaka sambamba na hatua hiyo ya kutisha pia wamewataka wafanyabiashara kutoka kisiwani pemba kutosafirisha mazao ya chakula kwenda katika kisiwa cha unguja hatua hiyo ni tishio kwa wakazi wa unguja wanaotegemea chakula kutoka pemba na iwapo itatekelezwa itasababisha maelfu ya wakazi wa kisiwa hicho kukabiliwa na baa la njaa wito wa kujitoa muhanga kwa wana cuf kama njia ya kukabiliana na manyanyaso waliyodai kuyapata kutoka serikali ya mapinduzi ulitolewa na mwimbaji wa utenzi saidi hamad mbele ya viongozi wakuu wa chama hicho huku akishangiliwa na umati wa wanachama hicho wakati akisoma utenzi baada ya kumalizika kwa maandamano ya amani ya kuishinikiza ccm kusaini makubaliano ya muafaka hamad alisema wana cuf wako tayari kujivika mabomu ya kujitoa muhanga kutokana na manyanyaso na maumivu ya ubaguzi wanayofanyiwa na serikali baada ya hamad kumaliza kusoma utenzi huo mbunge wa viti maalumu wa cuf rizik omar ambaye alisoma risala mbele ya viongozi wa cuf alisema wapemba wote wanapaswa kususia kupeleka chakula unguja katika risala hiyo wanachama wa cuf wanawaonya wakazi wote wa pemba kuwa atakayekwenda kinyume cha uamuzi huo wa kutopeleka chakula unguja atatengwa kwa vile atadhihirisha kuwa hana umoja na wenzake na hajali maovu wanayofanyiwa wapemba na smz hatua hiyo iwapo itatekelezwa inaweza kuwa madhara makubwa zaidi kwa kuwa kisiwa cha unguja kinategemea sehemu kubwa ya mazao na matunda kutoka pemba sambamba na hilo wafuasi wa cuf pia wametakiwa kutotumia meli za serikali za mv mapinduzi na mv maendeleo katika safari wanazozifanya kati ya visiwa vya unguja na pemba ilidaiwa na msoma risala huyo kuwa wapemba wanapaswa kugoma kutumia usafiri wa meli hizo kwa sababu zimekodishwa kwa mama wa kiongozi mmoja wa smz na mkataba wake ni wa kutatanisha madai mengine ya kuwepo kwa migomo hiyo yaliyosomwa katika risala hiyo ni wapemba kutengwa katika nafasi za ajira serikalini na kwenye taasisi za umma pamoja na kutopatiwa nafasi za masomo na uongozi kama vile wao si sehemu ya zanzibar au jamhuri ya muungano akizungumza katika mkutano huo makamu mwenyekiti wa cuf machano khamis alisema anaunga mkono uamuzi wa wananchi wa pemba ingawa atakuwa mmoja wa waathirika wa mgomo huo alisema mgomo huo ni hatua nzuri kwa vile ni moja ya njia za mapambano ya kupigania haki na kukataa kudhulumiwa katibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamad alisema chama hicho kimefunga mlango wa mjadala na ccm juu ya suala la muafaka na kutangaza masharti yanayopaswa kutekelezwa kabla ya kurejea katika meza ya mazungumzo aliyataja masharti hayo kuwa ni rais jakaya kikwete kuwakutanisha na rais amani abeid karume kama alivyofanya kwa rais mwai kibaki na kiongozi wa upinzani raila odinga wakati aliposhiriki mazungumzo ya mgogoro wa kisiasa wa kenya alisema kumkubali katibu mkuu wa ccm yusuf makamba ni kupoteza muda na kuendeleza fani ya usanii ya ccm kwa sababu makamba hana kauli wala uamuzi katika chama hicho ambacho kila siku kinabadili kauli zake alisema iwapo rais kikwete atashindwa kutimiza sharti la kwanza basi anapaswa kuhakikisha makubaliano ya pande mbili zilizokuwa zikishiriki mazungumzo ya muafaka yanatekelezwa kwa kusainiwa na wahusika na utekelezaji wake kuanza mara moja kwamba njia hizo ndizo pekee zinazoweza kuinusuru zanzibar isitumbukie kwenye matatizo makubwa zaidi kwa upande wake prof ibrahim lipumba aliuambia umati wa waandamanaji hao kuwa amesikitishwa na kitendo cha viongozi wa serikali waliolazimika kuachia madarakani kwa tuhuma za kukiuka maadili ya uongozi kupokelewa kwa mbwembwe majimboni kwao mfano wa mashujaa alisema viongozi wa serikali na ccm wilaya kumpokea aliyekuwa waziri wa miundombinu andrew chenge kwa karamu nono za nyama choma na pombe ni kuwakebehi watanzania walioiweka serikali ya ccm madarakani lipumba alisema katika nchi inayozingatia misingi ya utawala bora viongozi wanaokabiliwa na shutuma za aina yoyote hawapaswi kurandaranda mitaani bali wanapaswa kuwa chini ya uchunguzi na wanapothibitika kutenda kosa huwa wanafikishwa mahakamani mara moja alimkumbusha rais kikwete kutekeleza ahadi aliyoitoa bungeni ya kuwashughulikia mafisadi na kuinusuru nchi na watu wenye nia ya kuhujumu rasilimali za nchi kwa kuweka mbele tamaa zao wakati cuf wakiendelea kulia na ccm katibu mkuu wa chama hicho tawala yusuph makamba leo anatarajia kukutana na waandishi wa habari kuzungumzia maendeleo ya mazungumzo yao kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na naibu katibu mkuu wa ccm (bara) george mkuchika ilieleza mkutano huo ni muhimu kwa mustakabali wa zanzibar na nchi kwa ujumla wakati ccm wakitarajia kutoa maendeleo ya mazungumzo hayo cuf wao walishaweka wazi msimamo wao kuwa hawatakubali kufanya mazungumzo na ccm kwani hatua waliyofikia ilipaswa iheshimiwe cuf walisema katika mazungumzo yaliyomalizika hivi karibuni walikubaliana namna ya kumaliza tatizo hilo lakini kikao cha ccm kilichoketi butiama kiligoma kukubali mapendekezo hayo ccm katika kikao chake iliweka wazi msimamo wake kuwa suala la muafaka au serikali ya mseto linapaswa kujadiliwa na wananchi wote na wala si chama au kundi la watu fulani msimamo huo uliwakera zaidi cuf kiasi cha wabunge wao kuamua kutoka nje katika mkutano wa kumi na moja wa bunge mjini dodoma kwa lengo la kushinikiza ccm kukubali mazungumzo waliyokubaliana katika mkutano wa muafaka aidha cuf iliamua kufanya maandamano nchi nzima kupinga uamuzi wa butiama na kuwataka wananchi washirikiane nao kama ishara ya kukuza demokrasia hapa nchini zanzibar imekuwa na mgogoro wa kisiasa tangu kufanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 na makubaliano mawili ya muafaka ya hapo awali kukwama huku watu kadhaa wakipoteza maisha katika machafuko yaliyowahusisha wafuasi wa cuf na vyombo vya dola hayo ndio mambo ya akili kweli hawa ndio tuwaachie nchi watawale sasa jee watawaambia pia wahame unguja warudi pemba maana wanachekesha sana hawa watu na wavae mabomu na vifaru warudi kwenye mazungumzo wazungumze sio vitisho na upuuzi siasa za vitisho hazijatatua matatizo leo hii israel na palestina licha kulipuana na kuuana wamefikia karibu kwenye suluhisho la mgogoro wao kwa kiasi gani kuna mambo mengine ni mazuri kutia hamasa lakini haya manufaa yoyote yale mh kuna kaharufu huko cuf kuna mtu tu anataka kuwafanya cuf waonekane kama terrorists sasa kwa akili hii ndio wataweza kuongoza nchi kwa kweli hebu fungueni macho ninyi nchi inauzwa nyie mnapoteza muda wenu kutaka kujiua ili nani aumie sasa ama kweli give them the longest rope and they'll hang themselves waacheni tu wajiripue hiyo ni danganya toto tu subutu hawa jamaa wa cuf kamwe hawawezi kujilipua ndio kusema kama ibrahimu lipumba akiweka sera zake endapo atakapokuwa raisi na wapinzani wa wakati huo watapinga uongozi wake lipumba kweli atajilipua kama hawa jamaa wanavyotaka kujilipua nani ajilipue thubutu labda kama wanazungumzia 'kujilipua' kwa kuchana passport na kuukana uraia hiyo wanaiweza sana i am alittle bit confused about these guys(cuf) i am sorry i sometimes consider them as terrorists and sometimes kama wapigania haki haiji kichwani kiongozi mkubwa kama huyo aanze kututishia kuwa cuf wanataka kujilipua kwanza kabisa huyu jamaa inabidi afunguliwe kesi ya jinai na pili watafutwe hao jamaa watakao jilipua na wawekwe ndaini na baadae hiki chama kifutiwe kabisa usaji sababu uhaini kama huu hatuukalibishi kabisa hapa ktk visiwa vyetu vya znz mie ningeshauri hawa cuf wakaungane na wenzao akina alqaeda akiongozwa na bosi wao osama wadituletee fujo hapa visiwaniinshallar nadhani wakitaka kujilipua wajifungue vyumbani mwao wao na watoto wao halafu waweke matangazo nje tutajilupua saa fulani siungi mkono sula la watu kujiua lakini kila mtu tanzania yuko frustrated kivyake jambo forums mnko frustrated na mnatumia internet kuonyesha hilo wapemba (cuf) nao wanatathmini jinsi gani watakavyonyesha frustration yao who knows maybe watawala wetu wakiona damu inamwagika wanaweza kustuka kidogo upande wa wapemba nao nadhani its about time wakaachana na kujenga ma ghorofa ya mabilionioni kariakoo na kuchangia serikali ya ccm mpaka dola milioni moja wakati kule pemba hakuna kitu cha maana wanachoijenga ukweli ni kuwa si kazi ya wananchi kujenga hospitali au bara bara lakini surely kama wapemba wangaanza kujenga viwanda na nyumba kwao inamaana kutakuwa na employment kwa wakazi wake kama wameamua kuwa kujilipua ndio njia iliyobasi then be it mimi nishachoka na political system yetu ya ngojera kila kukicha serikali inayo pesa za kulipia vita comoros lakini haina pesa za kujenga bara bara pembahalafu wakitaka kujitenga wanaambiwa eti wao ni wabaya mwenendo wa mambo visiwani zanzibar unazidi kuwa wa mashaka baada ya wafuasi wa chama cha wananchi (cuf) kutangaza kuwa wataanza kujivisha mabomu ya kujitoa muhanga jarida hili linapotosha 1 wapi hapo inaonyesha 'wafuasi' wamesema hivyo zaidi ya mfuasi mmoja muimba tenzi 2 huyo mwimbaji ana nguvu ya kutoa tamko la cuf au kutumbuiza 3 waandishi waliwauliza wasemaji wa cuf kuhusu hilo au wameliachia achia jambo linaning'inia hewani ili waje kutudanganya 'cuf wametoa tamko' 4 pia nipe nukuu ya hata sentensi moja ya maneno yake mwenyewe usinitafsirie peke yake tafadhali ndugu muhariri jamani hawa waandishi ni waongo wachovu hawana hiyo taaluma hata kama wameenda shule za uandishi mimi sio cuf lakini nataka ukweli kwanza kabla sijajadili lolote bongo hakuna media ujinga mtupu hizi ndizo siasa za seif hamad toka nimfahamu hivi kwa nini tusiweze kusoma alama za nyakati hivi katika migogoro katika visiwa vya zanzibar wamekufa wangapi lisemwalo lipo kama halipo basi jueni linakuja mkuu ni vizuri kusema lakini siasa za ccm ni mbaya sana hata kuliko hizo za cuf huna haja ya kujiuliza kujua wenzako wamegafirika vipi ktk hili tutatue tatizo lililopo mbele yetu hawa cuf wanataka haki haki ktk bahadhi ya nchi haiwezi kuja bila kuidai wakati mwingine kutumia nguvu kila mtu ana uhuru wa kusema lolote kulingana na jinsi anavyoguswa swala hili ni very sensitive i don't support hawa jamaa kujilipua kwani hawezi solve tatizo bali nashangaa kwa nini jk anaweza kuwa kinyonga na kugeuka maamuzi ya mkamba na seif nimepata siki more than 95 ya wabunge wa pemba ni cuf sasa najiuliza jee ni haki kwa chama chenye wabunge zaidi 95 ndani ya pemba kutokuwa na wawakilishi ndani ya serikali wakati jk and ccm plays politic wapemba wanashindwa kupata matibabu wanashindwa kupeleka watoto wao kwenye shule bura sababu tuu walichagua cuf kwenye general election pemba hata umeme ni tabu mafuta ni tabu na pemba ndio wakulima wakuu wa visiwani kule i support swala zima la kutokutuma chakula unguja however i condem swala la kujilipua mabomu kabla hujamlaani seif hebu kwanza take time kuisoma pemba if you can just travel to pemba i bet ukirudi utabadilisha imani yako nzima i don't support maalim on certain things lakini i do understand jinsi anavyoihangaikia zanzibar mambo yatamshinda kikwete amepandishwa mkenge na akina karume ambae ameenda marekani kuweka kampeni ya waunguja nao wadai serikali yao kwa wanaoweza au kusikia habari za waunguja nao wakidai unguja iachane na bara na pemba watu wagawane mbao wafike pwani au jahazi litazama habari tulizozipata kutoka sauti ya amerikavoazikiwahoji maalwatani wa kiunguja/zanzibar zimewafurahishwa na kuunga mkono hatua za wananchi wa pemba kwa kudai serikali kamili ya jamhuri ya jazira/pembapamoja na kuichimba petrol kwa nafasi yao na kujiunga na opec na sisi waumguja tunawaunga mkono kwa hilo na tuko nyuma kufuata nyayo zao kwa kudai serikali kamili ya unguja/zanzibar bila ya shirikisho la bara au pemba kwani hatua hiyo litaisaidia unguja katika kupunguza tatizo la ardhiambayo imevamiwa na wageni kwa fujo na mimi mtanganyika naliunga mkono hilo ni lini mtatuondolea mzigo wa umeme na ruzuku toka kwenye hazina yetu pemba na unguja sio sawa na arusha na mara cha msingi jamani jiondoeni wenyewe kwani nilikuwa nawaonea huruma kusema muungano uvunjike mmechukua biashara huku na mmechukua viwanja huku tanganyika jitengeni mrudi kwenu mtuachie ardhi yetu ni afadhali mjiunge opec tanganyika tunawatia aibu kwa ngozi nyeusi nafikiri umefika wakati ambao watu wamefikia mwisho wa uvumilivu na hili linatokea kwa binadamu yeyote au kiumbe yeyote kwani hata paka unaweza kucheza nae lakini akishindwa kuvumilia na akaona unamchezea bila mpangilio atakuparura na kukutoa mikwaruzo na damu kukumwagika seuze binadamu ambae huweka tamaa kwamba pengine uchaguzi utakaokuja kutakuwa na amani lakini si hivyo makundi ya ccmzanzibar yamekuwa yakiwashukia wapemba chini ya ulinzi wa vyombo vya dola wakiwatesa na kuwanajisi ndugu zao mbele ya wanafamilia jambo ambalo ni unyama wa mwisho ambao binadamu anaweza kuutenda kwa aliehai na anaetazama kinachofanyika hayo yamepita pemba katika wakati wa uchaguzi mkuu wa ccm na si jambo la siri waliokufa wapo waliowekwa vilema wapo walionajisiwa wapo na waliotizamishwa wapo sasa wewe unaekaa na kusema wanachotaka kukifanya hakitaleta matunda kwa hali ilivyo wapemba hawana haja ya matunda safari hii msipoangalia watakufa na mtu kama walivyoondoka na mapolisi na wengine kuwakata vichwa basi kwa wapemba hayo mambo ya kujilipuwa naamini kabisa si jambo linalowashinda kwani sasa wanamsemo hakuna walilobakisha ila hilo la kufa na mtu kwa mikanda ya baruti umesikia sasa wameshaambizana mpemba atakaepanda meli za serikali hiari yakewapemba ni fighters ambao ugonvi wanauweza kinachowatuliza ni hizo nguvu za chama cha cuf lakini cuf sasa inaonekana kubwaga manyanga na hapa tanganyika haya mambo ya unyanyasaji hayapo mbali si yameshaanza kwenye uchaguzi wa kiteto hiyo ndio ccm inapolinda mlo kwa hali yeyote na utawala wa ccm unajulikana wangapi wameangamia chini ya utawala wa ccm utasikia mtu kapelekwa lugalo mbona wengine hawapelekwi huko wanasafirishwa nchi za nje tena kwa fedha ya serikali pemba ni mwamko wa wanaoipinga dhulma ya ccm ndani ya taifa hili tajiri hakuna sababu ya mtanzania kufana kulala na njaa na pemba hilo ndilo wanalolipigania god will show them the light to fight to the last drop of their blood lakini ccm will never ever gain support to the peoples of pemba land cuf sasa yatishia kuwafukuza wabunge wake kwa kutochangia shs 1250000 kila mwezi kama mbunge lipumba na sakaya watishia kuwanyima mafao yao jukwaa la siasa 7 feb 24 2020 aliyewahi kuwa mkurugenzi wa mipango na uchaguzi chadema erasto tumbo ajiunga na cuf jukwaa la siasa 1 yesterday at 1239 pm naibu katibu mkuu wa cuf zanzibar ahamia chadema jukwaa la siasa 17 sunday at 925 pm cuf tunatarajia uchaguzi mkuu utakuwa wa uhuru na haki yeyote atakayetutikisa tutamwangusha kama papai mtini jukwaa la siasa 12 sunday at 215 pm zanzibar 2020 mkutano mkuu wa taifa wa chama cha wananchi (cuf) umempitisha mussa haji kombo kuwa mgombea wa urais zanzibar kwa tiketi ya cuf jukwaa la siasa 34 jul 28 2020 cuf sasa yatishia kuwafukuza wabunge wake kwa kutochangia shs 1250000 kila mwezi kama mbunge lipumba na sakaya watishia kuwanyima mafao yao naibu katibu mkuu wa cuf zanzibar ahamia chadema cuf tunatarajia uchaguzi mkuu utakuwa wa uhuru na haki yeyote atakayetutikisa tutamwangusha kama papai mtini zanzibar 2020 mkutano mkuu wa taifa wa chama cha wananchi (cuf) umempitisha mussa haji kombo kuwa mgombea wa urais zanzibar kwa tiketi ya cuf
2020-08-05T07:51:55
https://www.jamiiforums.com/threads/cuf-watishia-kujilipua.13204/
umri gani mwanaume anapaswa kua na mpenzi | jamiiforums | the home of great thinkers umri gani mwanaume anapaswa kua na mpenzi discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by komredi ngosha may 29 2012 leo naomba ufafanuzi juu ya hili ni katika umri upi unafaa mwanaume kua na mpenzi pia anapaswa awe amejiandaaje binafsi nina miaka 26 bado sijafikiria hata kua nae na naona poa 2 mwanaume unatakiwa ukisha fika miaka 20 uwe tayari kuoa na ukichelewa sana basi una miaka 25 kama unaona poa endelea hivyo hivyo ukifikisha 30 uanataka kuoa uombe mtu awe anakutongozea kama unaona poa endelea hivyo hivyo ukifikisha 30 uanataka kuoa uombe mtu awe anakutongozeaclick to expand ngoja nimalize chuo mwaka huu 2tacheki mbele ya safari jitazame vizuri kaka unavyojisikia sio kawaida ngoja nimalize chuo mwaka huu 2tacheki mbele ya safariclick to expand shaurilo miaka 55 nafikiri kuna tatizo somewhere 26 years na still unajisifia kuwa single au ndugu yetu tuwe na wasi wasi nafikiri kuna tatizo somewhere 26 years na still unajisifia kuwa single au ndugu yetu tuwe na wasi wasiclick to expand kwa imani yangu ya dini niko sawa jitazame vizuri kaka unavyojisikia sio kawaidaclick to expand unasema isijekuwa ana undugu na kina cameroon eeh miaka 55click to expand hehehehe mbavu zangu badili tabia u have made my evening ebo kwa imani yangu ya dini niko sawaclick to expand sasa mkuu kama unaamini ktk imani yako ya dini siye watuulizia nini si ufuate misingi ya imani yako inavyoelekeza eboo funga ndoa mwaya wote wanaokupa angalizo ni wazinzi wazoefu wapotezee amini unachokiamini kwani yesu pamoja na miaka yake 34+ mbona hakufanya zinaa na mbona mpaka leo vidume vinakiri hakuna mwanaume kama yeyedont fall just stand where you areila nakuombea uje upate mke mwema asikuumize moyo wako bali akupe starehemy congrats to you some people wa jf hua hawaelewekihua naona vijana waliopo kwenye 20s' wakiomba ushauri kuhusu mapenzi mnawatoa mbio mnawaambia wasome umri badosasa huyu mbona mnamuona abnormal some people wa jf hua hawaelewekihua naona vijana waliopo kwenye 20s' wakiomba ushauri kuhusu mapenzi mnawatoa mbio mnawaambia wasome umri badosasa huyu mbona mnamuona abnormalclick to expand purple umeona eeheee vigeugeu hawa hawana lolote funga ndoa mwaya wote wanaokupa angalizo ni wazinzi wazoefu wapotezee amini unachokiamini kwani yesu pamoja na miaka yake 34+ mbona hakufanya zinaa na mbona mpaka leo vidume vinakiri hakuna mwanaume kama yeyedont fall just stand where you areila nakuombea uje upate mke mwema asikuumize moyo wako bali akupe starehemy congrats to youclick to expand kuwa na mpenzi haina maana mngonoke kwani huyo mke atampata na kumfahamu siku hiyo hiyo ya harusi purple umeona eeheee vigeugeu hawa hawana loloteclick to expand nimeona my dearsome jf members are unpredictableleo wanasema hivi kesho vile biggirl 26 na huna hamu ya kua na mpenziwe utakua ni mtu wa puli sanamaana watu wa namna hiyo hawapendagi mademu kuwa na mpenzi haina maana mngonoke kwani huyo mke atampata na kumfahamu siku hiyo hiyo yaharusi[/quote] lizzy mamy wewe ukisema mpenzi unakuwa unamaanisha nini kama si mwenzi wa kungonokakuna aliposema yeye hana marafiki wa kikeau unataka kuniambia marafiki wa kike wanaitwa wapenzi hapo kwenye high light ndio haswa inatakiwa iwe hivyoit was planned to be like that by our creator weather you are believer or non believerclick to expand usinchekeshe kwahiyo siku ya harusi ataenda mjini/sokoni/bar/shuleni/kanisani/msikitini akamate binti yeyote na kwenda kumuo
2017-01-17T05:27:42
https://www.jamiiforums.com/threads/umri-gani-mwanaume-anapaswa-kua-na-mpenzi.270725/
ushirikiano wa maendeleo uhifadhi wa hati mwandishi wa eu mwandishi wa eu lebo ushirikiano wa maendeleo ya maendeleo kupambana dhidi ya hiv / aids uzinduzi wa mpango kuimarishwa action katika eu na nchi jirani kwa 2014 2016 leo (14 machi) tume ya ulaya kuweka mbele mpango wa utekelezaji juu ya vvu / ukimwi ambayo prolongs na hadi zilizopo eu hatua katika eneo hili kujenga juu ya mafanikio ya mpango wa utekelezaji 2009 2013 mpya action plan inaweka kipaumbele cha juu katika kutunza hiv / aids juu katika ajenda za kisiasa kukabiliana na unyanyapaa unaohusiana na vvu na ubaguzi na kufikia []
2019-07-21T11:30:45
https://sw.eureporter.co/tag/development-co-operation-instrument/
yemi alade mahaba niue | pro24 yemi alade mahaba niue mtandao wa jaguadacom umeandika stori inayomuhusu mwanamuziki yemi eberechi alade kutoka nigeria aliweka wazi kwamba yupotayari kumkisi na kutoka na chriss brown kama mtu na mpenzi wake yemi alade ambeye ameshinda tuzo ya mwanamuziki bora wa afrika magharibi kwa mwaka 2015 alisema chriss brown ni mtu ambaye sitokua na kipingamizi nae na nipotayari kulala nae na kufanya yetu kwenye kitanda kimoja pia alimtaja kama mwanamuziki beyonce kama rolemodel wake huku akiwatetea wanamuziki wanaotoka na watu wao wa karibu wanaosimammia kazi zao mfano meneja na msanii akisema kwamba mapenzi ni maamuzi ya mtu hivyo si kitu cha ajabu mwanamuziki huyo ambaye alitoka na wimbo wake wa john huku kwa sasa ngoma yake ya kissing ikiendelea kufanya vizuri kwenye vyombo mbalimbali vya habari pia alisema katika maisha yake ya kila siku anapenda sana kunywa maji kula matunda na kutabasamu mara kwa mara
2018-03-19T14:45:51
http://pro-24.blogspot.com/2015/05/yemi-alade-mahaba-niue.html
ukadirifu nahodha wa kilimanjaro ii ahojiwa polisi zanzibar zanzibar wakati watu saba wakiwa bado hawajaonekana baada ya boti ya kilimanjaro ii kupata ajali na abiria kuzama baharini nahodha wa chombo hicho alitoa taarifa za uongo kuhusu ajali hiyo imefahamika akizungumza na gazeti hili mkurugenzi wa mamlaka ya usafiri baharini (zma) mhandisi abdi omar maalim alisema taarifa iliyotolewa na nahodha katika kituo cha mawasiliano zilikuwa za uongo na hivyo kusababisha kazi ya uokozi kuchelewa alisema baada ya boti hiyo kupigwa wimbi abiria waliokuwa wamekaa juu waliteleza na kutumbukia baharini lakini nahodha katika ripoti yake alisema hakuna abiria waliotumbukia alisema hata alipotakiwa kupewa msaada na kituo cha mawasiliano cha zanzibar alisema hahitaji kwa sababu vitu vilivyotumbukia bahari ni vifaa vya uokozi na mizigo nahodha alitoa taarifa za uongo na kusababisha zoezi la uokoaji kutokufanyika kwa wakati mwafaka baada ya kutokea ajali hiyo alisema mhandisi maalim alisema ajali hiyo ilitokea saa 330 asubuhi lakini kazi ya uokoaji ilianza alasiri baada ya kupokea taarifa kutoka kwa abiria kuwa wenzao wamezama baharini baada ya meli kupigwa na wimbi waziri wa miundombinu na mawasiliano rashid seif suleiman amesema nahodha wa chombo hicho alianza kuhojiwa na polisi juzi alisema kazi kubwa inayofanyika sasa ni kutafuta watu ambao bado hawajaonekana na baada ya kukamilika ataamua kama kuna haja ya kuunda tume ya kuchunguza ajali hiyo alisema baada ya uhakiki wa majina ya abiria waliosafiri na boti hiyo wamegundua kuwa jumla ya watu 15 walizama baharini baada ya boti kupigwa na wimbi na kusababisha injini kuzimika waziri seif alisema hadi jana maiti tano zimepatikana na watu watatu wameokolewa msimamizi mwandamizi wa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya mnazimmoja vuai jabir hassan aliwataja marehemu kuwa ni rashid said ali (11) mkazi wa ilala dar es salaam akram khamis issa (11) wa mwanakwerekwe masoud hamad (30) wa wete pemba nushra khamis (9) na fatma asir khamis (18) wa magogoni wilaya ya magharibi unguja aliwataja waliookolewa kuwa ni ali maulid haji (mwanakwerekwe) ali salum ali (pemba) na mahir ali issa (mwanakwerekwe) wakati huohuo huduma za usafiri kati ya unguja na pemba zimesitishwa kwa muda kutokana na kuchafuka kwa hali ya hewa katka bahari ya hindi habari zilisema hatua hiyo ni ya kiusalama
2017-07-22T14:42:04
http://ukadirifu.blogspot.com/2014/01/nahodha-wa-kilimanjaro-ii-ahojiwa.html
periplus ya bahari ya eritrea wikipedia kamusi elezo huru periplus ya bahari ya eritrea majina mahali na njia za biashara katika periplus periplus ya bahari ya eritrea ni kitabu cha mwongozo kwa ajili ya mabaharia kilichoandikwa mnamo mwaka 70 bk periplus ni neno la kigiriki linalomaanisha tendo la kuzunguka baharini kwa merikebu bahari ya eritrea ni jina la kale kwa ajili ya bahari ya shamu pamoja na bahari hindi jina hilo lilitungwa na watu wa nchi za mashariki ya bahari ya mediteraneo na misri waliotumia lugha ya kigiriki miaka 2000 iliyopita kitabu hicho kimeandikwa na mwenyeji wa aleksandria / misri uliokuwa mji mkubwa wakati ule na kitovu cha biashara ya kimataifa kati ya dola la roma afrika ya mashariki na bara hindi kitabu cha periplus kinaeleza mabandari kuanzia misri hadi afrika ya mashariki kwa upande moja na hadi bara hindi kwa upande mwingine kinataja majina ya mabandari bidhaa zilizopelekwa huko na bidhaa zilizopatikana kila mahali pia kuna habari za kando juu ya watu watawala na mila zao maelezo ni mengi kuhusu pwani ya eritrea na somalia hadi pembe la afrika kuelekea kusini majina ya mabandari ni machache mwisho wa eneo lililojulikana ni mji wa rhapta katika nchi za azania rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=periplus_ya_bahari_ya_eritrea&oldid=939370 jamii bahari ya hindihistoria ya afrikaafrika ya mashariki urambazaji българскиcatalàdeutschελληνικάenglishesperantoespañolفارسیsuomifrançaisfryskgalegobahasa indonesiaitaliano日本語latinalietuviųമലയാളംnederlandsnorsk bokmålpolskiportuguêsрусскийsvenskaதமிழ்ไทยукраїнська中文 edit links ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 31 januari 2015 saa 1949
2017-03-30T08:56:40
https://sw.wikipedia.org/wiki/Periplus_ya_Bahari_ya_Eritrea
michuzi blog shirikisho la mpira uefa yakabidhi mipira 60 kigoma ' if(imglength>=1) { imgtag = ' shirikisho la mpira barani ulaya (uefa) kwa kushirikiana na kampuni ya kutengeneza magari ya chivrolet ya marekani imewakabidhi mipira 60 kwa ajili ya soka la watoto walio chini ya miaka 12 kwa shirika la umoja wa mataifa unhcr la kuhudumia wakimbizi katika kambi ya nduta iliyopo wilaya ya kibondo na kakonko kwenye kambi ya mtendeli zote za mkoa wa kigoma akithibitisha hilo juzi mkuu wa unhcr kibondo dost yousafzai alisema wamepokea mipira hiyo kwa nia ya kuwaunganisha na kuthaminiana baina ya watanzania na warundi katika tasnia ya michezo hususani katika soka la mpira wa miguu kwa watoto waishio kambini kwa kuwa wafrika wote ni ndugu alisema pamoja na uefa na kampuni hiyo kutoa kwa ajili ya kambi hizoshirika la unhcr wametoa mipira 20 kwa ajili ya vijiji vinavyoishi karibu na kambi ya nduta ya kibondo na mipira 20 kwa vijiji vinavyoishi jirani na kambi ya mtendeliili waratibu wa chama cha mpira wilayani humo wagawe kwa timu hai ili kuimarisha michezo baina ya raia na wakimbizi akipokea mipira hiyo kwa niaba ya wanakijiji katibu wa chama cha mpira kibondo james evalist alisema kwa leo anachukua mipira 10 tuna mipira miwili aliikabidhi kwa timu ya birutana ambayo inashiriki mashindano ya mechi za ujirani mwema baina ya burundi na tanzania huku mipira 10 ikisalia kwa mkuu wa unhrc mipira ya watoto haihimili vishindo kwa timu za wakubwa siikatai na nawashirikisha wanamichezo wa kibondo lakini kama mmeamua kutusidia mlete mipira inayokidhi mahitaji ya timu za wakubwa lakini tunaomba mturekebishie uwanja wa mpira kwa kuwa uwanja uliopo ni una kokoto tupu alisema james naye kaimu mkuu wa makazi kambi ya nduta jesca ntaita alitoa mwito kwa watanzania na warundi wanaoishi katika makambi ya wakimbi kufuata taratibu za nchi kwa kuwa kuna baadhi ya watanzania huingia makambini kwa vibali vya warundi na warundi vivyo hivyo thursday october 20 2016 ~ copyright michuzi blog michezo ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2018-01-19T01:36:47
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/shirikisho-la-mpira-uefa-yakabidhi.html
micharazo mitupu mpya diamond afunguka kilichomponza vurugu za ujerumani kilichotokea ni kwamba saa kumi alfajiri ndio promota alimpeleka diamond kwenye ukumbi kunakofanyika show kwa nini ilitokea akamchelewesha nini kilitokea baadae hizi hapa chini ni kauli za diamond mwenyewe kama alivyohojiwa na mtandao huu
2017-08-22T20:47:14
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/09/mpya-diamond-afunguka-kilichomponza.html
success in positive thinking michezo dar es salaam ndoto za timu ya taifa ya tanzania taifa stars kufuzu kushiriki fainali za kombe la dunia 2014 huko brazil zilifutika jana kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam baada ya kukubali kichapo cha mabao 42 kutoka kwa ivory coast kwa matokeo hayo katika kundi c ivory coast imefikisha pointi 13 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine katika kundi hilo hivyo imeingia raundi ya tatu wakati morocco ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi nane wakati tanzania ipo nafasi ya tatu ikiwa na pointi sita na gambia inashika mkia ikiwa na pointi moja taifa stars imebakisha mechi moja dhidi ya gambia itakayochezwa huko banjul mwezi septemba pia ivory coast imebakisha mechi dhidi ya morocco itakayochezwa huko abidjan katika mechi jana taifa stars ilipata bao la kuongoza katika dakika ya 1 ambalo lilifungwa na amri kiemba kwa shuti kali la karibu akiwa ndani ya 18 baada ya mabeki wa ivory coast kusuasua kuondoa mpira wa tik taka uliopigwa na mbwana samatta
2018-01-23T19:46:41
http://amanse201.blogspot.com/p/sports.html
raia wa kigeni kortini kwa dawa za kulevya fukuto la jamii home unlabelled raia wa kigeni kortini kwa dawa za kulevya wakili mganga alidai kuwa washtakiwa wote wanakabiliwa na mashtaka mawilishtaka la kwanza ni la kula njama kuingiza dawa za kulevya nchini tanzania katika kipindi cha machi 4 mwaka huu na septemba 26 mwaka janakatika maeneo tofauti bila kibali cha serikali ya tanzania washtakiwa hao ambao ni raia wa nigeria pakstani na afrika kusini kwa pamoja walitenda kosa hilo la kula njama na kuingiza dawa za kulevya hapa nchini mganga alidai kuwa shtaka la pili ni la kusafirisha dawa hizo kuja hapa nchini kinyume na kifungu cha 16(11)b(i) cha sheria ya kuzuia dawa za kulevya ya mwaka 2002 kuwa machi 4 mwaka huu huko kunduchi mtongani jijini dar es salaam washtakiwa wote waliingiza nchini gramu 81000 aina ya heroin yenye thamani ya sh 2835000000 hata hivyo washtakiwa hao hawakutakiwa kusema chochote kwasababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kuisikiliza kesi hiyo kwani mahakama kuu ndiyo yenye mamlaka ya kusikiliza kesi kwa upande wake wakili wa washtakiwa hao sheiyo aliomba mahakama itoe amri ya kuwataka polisi warejeshe simu za washtakiwa ili washtakiwa hao ambao ni raia wa kigeni waweze kuzitumia kuwasiliana na ndugu zao hata hivyo hoja hiyo ilipingwa vikali na wakili wa serikali biswalo mganga ambaye alidai kuwa ombi hilo alijaletwa chini ya kifungu chochote cha sheria na kuongeza kuwa kifungu cha 38 cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 2002 inawaruhusu polisi kushikilia vitu vya mshtakiwa ambavyo wanaamini vinaweza kuwasaidia kwenye upelelezi wa kesi husika na kwamba mahakama hiyo haina mamlaka ya kutoa amri wakusikiliza kesi hiyo akitoa uamuzi wake kuhusu ombi hilo la wakili wa washtakiwa hakimu mkazi siyani alisema mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo na kwamba na ndiyo maana baada ya upande wa jamhuri ulivyomaliza kuwasomea mashtaka washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu chochote na kumhoji wakili huyo wa washtakiwa kuwa kama washtakiwa hao wanahitaji simu hizo ili waweze kuwasiliana na ndugu zao je washtakiwa walimpataje yeye aje kuwatetea mahakamani wakati tayari simu zao zilikuwa zimeishaanza kushikiliwa na jeshi la polisi na akaairisha kesi hiyo hadi machi 21 mwaka huu itakapokuja kwaajili ya kutajwa februali 23 mwaka huu serikali ilifikisha mahakamani hapo raia wanne wakiwamo raia wawili wa pakstan wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama na kusafirisha kilo 179 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 62 wakati huo huohakimu mkazi wa mahakama ya kisutu gabriel mirumbe jana alishindwa kuendelea kusikiliza kesi ya kuomba rushwa ya shilingi milioni 10 inayomkabili aliyekuwa mtangazaji wa shirika la utangazaji la taifa(tbc1) jerry murro na wenzake kwasababu ya naibu mkurugenzi wa mashtaka nchini boniface stanslaus kushindwa kutokea mahakamani hapo kwasababu alikuwa akiiudhulia kesi nyingine mahakama kuu hakimu mirumbe alisema kesi hiyo ilikuwa imepangwa kuanza kusikilizwa jana na leo na akaiarisha hadi leo ambapo jamhuri italeta mashahidi wake ili waweze kuendelea kutoa ushahidi wake chanzogazeti la tanzania daima la machi 8 mwaka 2011 raia wa kigeni kortini kwa dawa za kulevya reviewed by mshappiness katabazi on 653 pm rating 5
2017-12-18T18:41:04
https://katabazihappy.blogspot.com/2011/03/raia-wa-kigeni-kortini-kwa-dawa-za.html
kamati ya bunge ya viwanda biashara na mazingira yatembelea chanzo cha maji ifunda mtaa kwa mtaa blog home habari kamati ya bunge ya viwanda biashara na mazingira yatembelea chanzo cha maji ifunda othman michuzi march 19 2018 habari
2018-12-16T23:34:25
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/03/kamati-ya-bunge-ya-viwanda-biashara-na.html
ukurasa wa kwanza > udenda ni najisi source url http//wwwalhidaayacom/sw/node/3365 [2] https//wwwaddtoanycom/share#url=http3a2f2fwwwalhidaayacom2fsw2fnode2f3365&amptitle=udenda20ni20najisi3f
2019-10-20T15:14:44
http://alhidaaya.com/sw/print/3365
mbunge mteule na mhubiri atuma picha zake akiwa uchi katika jukwaa la whatsapp ▷ tukocoke mbunge mteule na mhubiri atuma picha zake akiwa uchi katika jukwaa la whatsapp 18315 share on facebook mbunge mteule katika bunge la kaunti la vihiga anakabiliwa na wakati mgumu kuelezea alivyotuma picha hizo kwa jukwaa la kikundi fulani la watsapp mbunge huyo rhoda ofumu ambaye ameolewa alituma picha yake akiwa uchi pamoja na mwanaume ambaye akujulikana katika kikundi hicho siku ya ijumaa tarehe 28 oktobarhoda ofumualituma picha hizo kwa kikundi cha whatsapp cha vihiga development saa 912 usiku siku hiyo ya ijumaa yasemekana kuwa rhoda alitoweka machoni pa watu baada ya tukio hilo na amekuwa akiongea kupitia kwa msemaji wake katika bunge hilohabari nyingine binamu wa rais uhuru kenyatta kathleen kihanya akana kuhusika katika sakata ya wizara ya afyamitandao ya kijamii kulingana na msemaji wake kuna mtu aliyetumia simu yake kutuma hizo picha kwani rhoda hajui jinsi ya kutumia mitandao ya kisasahabari nyingine polisi wamsaka mwanaume kwa kusambasa virusi vya ukimwi kwa makusudi eldoretmtu alichezea simu yake ni kiongozi wa kanisa na hawezi tuma vitu kama hizo kwa mtandao ameolewa na ana watoto waliokomaa alisema kwa mujibu wa the starwabunge wa kike katika kaunti hiyo wamepanga kuandaa mkutano jumatatu tarehe 31 oktoba ili kusukuhisha suala hili wenyeji walimwomba mbunge huyo kujiuzulu kwa kuwaletea aibu kubwa kama jamiipicha hisaniread the english version read more vihiga county news hot chris brown coming to kenya kcb mpesa samia barry vincent ateya tsc promotions related news this nyabururu girls kcse candidate needs your help urgently after she suddenly lost her hearing legs (photos video) oh no nyabururu girls kcse candidate's dreams in tatters after being struck by a mysterious illness (photos video) barcelona fc is hiding 4 terrible secrets and here they are joey muthengis brother also becomes a tv host this is what comedian njugush is doing to save his marriage what njugush has been forced to do to save his marriage maina kageni exposes carol radull's on air
2017-04-29T07:28:10
https://www.tuko.co.ke/220490-mbunge-wa-kike-taabani-kwa-kusambaza-picha-zake-akiwa-uchi.html
kongamano la wanawake wa kiislamu wilayani ngara | bukoba wadau kongamano la wanawake wa kiislamu wilayani ngara wanawake wa kiislamu wametakiwa kutambua umuhimu wao katika dini ikiwa ni pamoja na kulinda maadili kwa kuzingatia mafundisho ya mwenyezimungu na mtume mohamadi saw wito huo ilitolewa juzi na kiongozi wa waislamu wilayani ngara mkoani kagera shekhe rajabu abdallah msabaha wakati akifungua kongamano la wanawake wa kiislamu linalofanyika kwa siku tatu katika mtaa wa benaco ulioko wilayani ngara shekhe msabaha alisema kuwa wanawake wanao wajibu wa kujifunza dini yao kwa kuhakikisha wanafuata na kuzingatia maadili mema ili kuweza kurithisha vizazi vinavyotoka katika migongo na matumbo yao alisema malezi na maadili mema katika familia yanategemea wanawake kwani ndio walimu wa kwanza kuwafunza watoto katika kufuata misingi inayokubalika katika jamii waliyomo na dini yao kwa asilimia kubwa akina mama ni walezi wa watoto tunao wazaa hivyo mkipata elimu ya dini kwa hakika mtaisambaza kwa familia na watoto kuwa na maadili ya kiislamu kisha kupatikana nusura kutoka kwa allah sw alisema sheikh rajabu kwa upande wake imamu athumani abubakari ally kutoka msikiti wa istikama ulioko ngara mjini aliwahimiza wanawake hao kufanya ibada za dini yao bila kujivunia ibada zinazofanywa na waume ama watoto walioko katika familia alisema kuwa wanawake wanatakiwa kupata elimu ya kufanya ibada katika taratibu na misingi ya dini hasa kujua namna ya kusali sala mbalimbali na masharti yake ili kuepuka kufuata matendo bila elimu inayotakiwa mafundisho ya qurani ambayo ni kitabu cha allah na hadithi za mtume saw ni kuhakikisha wanawake na wanaume wanakuwa na maadili kwa misingi ya imani ya dini pamoja na kuvaa mavazi ya kusitiri miili kiislamualisema athuman ally aidha mwenyekiti wa wanawake wa kiislamu wilayani ngara bi zaria mohamudu alisema malengo ya kongamano hilo ni kuwafunza wanawake kuzijua haki zao kidini na kwenye jamii na kuondoa vitendo vya kunyanyasika kwenye familia alisema kuwa jambo lingine ni kuhakikisha wanapata elimu ya ujasiliamali na kujikwamua kiuchumi kwa kutumia misingi inayokubaliwa na dini ya kiislamu kwa kuepuka kutoa na kuchukua mikopo yenye riba kongamano hilo lilihudhuriwa na wahadhiri wa kiislamu kutoka wilayani ngara na wilaya nyingine mkoani kagera pamoja na waliotokea mwanza na nairobi kwa kutoa mada za ndoa taraka na mirathi kwa wanawake na haki zao katika familia na shaaban nassibu ndyamukama
2018-01-20T06:49:22
http://www.bukoba-wadau.com/2014/02/kongamano-la-wanawake-wa-kiislamu.html
ukitaka kugombana na mtu serikali dai haki yako | jamiiforums | the home of great thinkers ukitaka kugombana na mtu serikali dai haki yako discussion in 'jukwaa la siasa' started by dosama jan 7 2012 hivi ni kwa nini nchi hii na hasa za kiafrika na kiarabu mwananchi au mfanyakazi anapodai haki yake hutishiwa au hufukuzwa kwa mfano madaktari wa muhimbiliwalimu nk na majibu yao ni yale yale tunashughurikiatupo katika upembuzi yakinifutunatarajia kuwalipa hivi wanajua hao wanawatumikisha wanaishije wanakula wapi kubwa zaidi mwisho wa siku wanakusanya kodi toka kwake na ushetani wao zaidi wanatumia kodi hiyo hiyo kuna vitu tunavifanya hata shetani anatushangaa tena haki yenyewe kama ni deni ndiyo kabisaaaaaa acheni jamani yaliyowahi kunikuta ndiyo maana kuna kuwa na despute nyingi za interest & rights kwa nchi nyingi za kibongo serikali imejaa vibaka na majambazi tena haki yenyewe kama ni deni ndiyo kabisaaaaaa acheni jamani yaliyowahi kunikuta ndiyo maana kuna kuwa na despute nyingi za interest & rights kwa nchi nyingi za kibongo serikali imejaa vibaka na majambaziclick to expand na wahuni madaktari kufukuzwa ni meseji kwa waajiriwa wengine wote wa serikali kama walimu polisi nk kwamba utakapo dai haki yako kwa mgomo ama maandamano jua kuwa utafukuzwa why because serikali ina ukata ile mbaya na chama kinachoongoza kinapoteza umaarufu at every minute kuingiza siasa kwenye mambo nyeti kama hayo ni kuweka rehani afya za watanzaniahao wanasiasa wakiugua kidogo tu wanakimbizwa india kwa hela inayotokana na kodi zetusasa hawa wanaojitahidi kuwahudumia hawa wavuja jasho ambao ndo walipa kodi wananyanyaswa kulipwa haki yao na wanapoidai kwa nguvu wananyanyaswa kwa nguvu zaidi my take kuna haja wadau wote wa afya kuwapa support hawa vijana ili kutoiruhusu serikali kuendelea kudharau taaluma na wanataaluma na kukumbatia siasa na wanasiasa
2016-10-27T11:07:26
http://www.jamiiforums.com/threads/ukitaka-kugombana-na-mtu-serikali-dai-haki-yako.210059/
chato wabadili muda wa kazi kwa watumishi wote kufanya usafi asubuhi | jamiiforums | the home of great thinkers chato wabadili muda wa kazi kwa watumishi wote kufanya usafi asubuhi discussion in 'jukwaa la siasa' started by kichomiz mar 15 2012 mwenzenu katika mihangaiko yangu ya kusaka mkate wa kila siku leo nimeshangazwa na sheria za wilaya ya chato au sijui ni tanzania nzimana sijui hii sheria bunge la jmt lilikaa lini na kuipitishanimeamka leo asubuhi mida ya saa 200 na kuelekea dukani kununua mswaki nikashangaa kuona maduka yote yamefungwa nilipouliza wenyeji wakaniambia hapa chato kila alhamisi watu hawatakiwi kufanya shughuli zao mpaka ifike saa nne unusu hali kadharika na usafiri ni hivyo hivyo nilipouliza kwa nini nikaambiwa eti imeteuliwa kuwa ni siku maalum ya usafi kwa sasa niko hapa halmashauri napo shughuli hazifanyiki maofisi yamefungwa mpaka ufike muda husikanilipohoji nikaambiwa hii ni sheria ya mkuu wa wilaya na ukibainika unafanya kazi faini ni tsh 100000 na wanasema inamwezi mmoja sasa je hiii sheria ni kweli ipo kwenye sheria za jmt au ni maamuzi binafsi na je serikali haioni kama inapoteza mapato kwa kwa kupoteza masaa 4 ya kazi je na hawa wafanya wanaosababishiwa hasara ya mapato yaowanaweza kuwashitaki na kudai fidia elimu ya uraia bado inahitajika sana maeneo kama haya mimi mwenyewe mimi naona sawa tu kama ni sheria inayohusu chato jaribu kudadisi zaidi kama madiwani wa chato walikaa wakakubaliana sheria hiyo iwepo miji mingi nchini ni mchafu ili kujenga utamaduni wa kufanya usafi na kutotupa taka hovyo inabidi kujiwekea taratibu kama hizo matunda yake utakuja kuyaona muda si mrefu huoni kwamba watu wanapoteza masaa mengi ya mapatoni kwa nini wasingepanga siku ambazo si za kazi kama wenyeji wa hapo wameona ni sawawaache wakae siku moja watapata akili na wao wanalalamikasaa hizi ndio wanaanza kufungua maofisi na wafanya biashara wanafungua biashara zao nadhani huwa kuna sheria ndogo ndogo ambazo either halmashauri au manispaa inaweza kujiwekea kufanikisha malengo yao lakini hili la mpaka sa nne is too much jamani inahitaji maboresho if at all is true kitu kama hki nmekutana nacho ngara mkoani kageraila wao mwsho ni saa 3 hata siku moja huwezi ukalazimisha suala la usafi kwa nguvu nitapita mwakani kushuhudia usafi wa chato uefikia wapi nao ni kila alhamisi wanafanya hivyo cha kushangaza zaidi ni kufunga kazi kwa masaa manne na nusualafu ni kila alhamisi hii haijakaa sawa kabisa haina maana kufanya kazi na kurundika uchafu bila kuuondoa na kuuchoma ni sheria nzuri japo kwenye utekelezaji ndio kunaleta kizungumkuti lakini vipi kuhusu hayo masaa ya kazime naona ingekuwa nzuri kama wangeipanga siku ambayo si ya kazi kaka dj member napenda kufahamu jambo moja muhimu je ni amri kutoka kwa mkuu wa wilaya au ni mapendekezo ambayo wananchi wameyapokea na kuyafanyia kazi kwa utaratibu waliojiamulia kwa vikao husika kwa maoni yangu kutokana na tabia mbaya tuliyojijengea wa tz wengi(si wote) hatufanyi kitu kwa ridhaa zetu hasa usafi na utunzaji mazingira ndio maana miji/mikoa mingi ni michafu na maendeleo ni duni ukiuliza kila mtu atatupa lawama sehemu/mamlaka fulani bila kujali yeye mwenyewe amewajibika vipi katika hilo kuhusu muda wa kazi kidogo hapo inatakiwa busara itumike kutokana na mazingira mahalia na shughuli zao za uzalishaji mali zikojeingawa nina wasiwasi kidogo kuwa sehemu nyingine utakuta mtu aneyelalamika ni mchezaji wa pool table kutwa nzima nje ya grocery fulani kama tulivyozoea kuwaona baadhi ya vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa wanavyofanya sehemu nyingi ya nchi hii hivi sasa otherwise big up mkuu wa wilaya na jopo lako kwa maamuzi/amri sahihi kwa jamii husika hizo ni taratibu walizojiwekea kwani wana chato wamelalamika hata tanga nakumbuka enzi za kalembo kuna kipindi walikua na utaratibu kama huo sijui kama bado unaendelea jambo la kawaida ukifika rwanda wana siku maalum ya usafi hadi rais anaukua mtaani kufanya usafi kaka dj said ↑ mkuu we unaona ni sahihi kupoteza masaa manne na nusu ya kaziuje utembelee haya maeneo uone usafi wenyewe hawajajiwekea ila wamelazimishwawangejiwekea wasingelalamika wakuu hii ni sheria ambayo naona mkuu wa mkoa bwmassawe ameamua kuiweka kwa mkoa mzima maana alianza nayo alipokuwa mkuu wa wilaya ya karagwe na ilikuwa ni kwa wilaya hiyo tu kusema kweli usafi wa wilaya uliboreka sana maana unafanywa maeneo yote na kusimamiwa na viongozi wote wa mitaa/vitongoji/kata kwa suala hilo la muda hapo tunaweza kupendekeza upunguzwe kama inatekelezeka sio mbaya hawa potezi masaa manne kikawaida ofisi sinafunguliwa saa mbili na wateja kwa huduma nyingi zinaanza saa tatu hivy kiukweli kuna saa moja tu waache wajaribu na tuwapime kwa mafanikio yao kama yatakuwa wazuri tutaiga na kuboresha kwani miji ni michafu mno bila sababu taratibu zingine bana ni shida tundo maana tunazidi kuwa masikini cku hadi sikuhv masaa 4 na nusu bla kufanya kazi kv biashara na kufungua ofisi ni hasara ya mapato ya mamilionusafi ni jukum la kila mtu bila kulazimishwakwangu mm sheria kama hii haifai kwa mustakabal wa nchi yetu
2018-01-16T12:17:40
https://www.jamiiforums.com/threads/chato-wabadili-muda-wa-kazi-kwa-watumishi-wote-kufanya-usafi-asubuhi.233895/
buy kitchenaid range spacer to kitchenaid range oven door hinge from repairclinic kitchenaid range spacer to kitchenaid range oven door hinge page 1 100 200 300 400 500 600 700 800 900 1090 1100 1110 1120 1130 1140 1150 1160 1170 1179 1180 1181 1182 1183 1184 1185 1186 1187 1188 1189 1190 1191 1192 1193 1194 1195 1196 1197 1198 1199 1200 1201 1202 1203 1204 1205 1206 1207 1208 1210 1220 1230 1240 1250 1260 1270 1280 1290 1300 1400 1500 1600 1700 1800 1900 2000 2100 2713 grid is 1 inch square kitchenaid range spacer kitchenaid range side trim piece kitchenaid range side panel kitchenaid range shelf support compatible brands whirlpool kitchenaid kenmore hardwick montgomery wards ge amana kitchenaid range shaft seal kitchenaid range seal compatible brands kitchenaid whirlpool kenmore maytag roper jenn air inglis kitchenaid range roller kitchenaid range receptacle kitchenaid range pressure regulator kitchenaid range power cord compatible brands amana kitchenaid maytag whirlpool kenmore estate admiral kitchenaid range polish kitchenaid range overlay kitchenaid range oven rack compatible brands kitchenaid whirlpool jenn air maytag estate roper kenmore kitchenaid range oven door spring page 1 100 200 300 400 500 600 700 800 900 1090 1100 1110 1120 1130 1140 1150 1160 1170 1179 1180 1181 1182 1183 1184 1185 1186 1187 1188 1189 1190 1191 1192 1193 1194 1195 1196 1197 1198 1199 1200 1201 1202 1203 1204 1205 1206 1207 1208 1210 1220 1230 1240 1250 1260 1270 1280 1290 1300 1400 1500 1600 1700 1800 1900 2000 2100 2713 repaircliniccom kitchenaid range spacer to kitchenaid range oven door hinge
2013-05-18T18:36:35
http://www.repairclinic.com/buy/3/indexc1194.html
davido ahairisha kufanya show kisa lilommycom home nigeria music davido ahairisha kufanya show kisa davido ahairisha kufanya show kisa mtigatheboy / 1041 mkali davido adeleke aka davido kutoka nchini nigeria ametangaza kuwa anavunja show ambayo ilibidi ifanyike davido alitangaza kupitia snapchat na kuandika ''to all my fans expecting me at felabration im sorry i will not be performing anymore i promise to make it up i love you guys everyone stay prayed up i love each and everyone of you following the snap about the cancellation was another which said mathew 54 which reads blessed are those who mourn for they will be comforted referencing his 2 friends dj olu and tagbo who both passed recently'' akimaanisha kuwa ''kwa mashabiki zangu wote wanaonitarajiasamahanisitafanya show tenanaahidi kuifanyanawapenda sanakila mmoja aendelee kuombanawapenda kila mmoja wenu' inayofuata ni snap ambayo ni ya kuvunja show ''mathew 54''ambayo inasemakheri ya wale wanaoomboleza kwa sababu watafarijiwa'' aliandika davido kwa kuhusisha kifo cha marafiki zake wawili dj olu na tagbo pia mkali davido amezigawa tuzo zake ameandika kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya kupokea ushindi wa tuzo za muziki za africa muzik magazine awards & music festival (afrimma) davido ametoa ushindi huo kwa marafiki zaake tagbo na dj olu waliofariki wiki kadhaa zilizopita tuzo aliyoipata afrimma na kuzigawa award awards chart charts davido music nigeria nigeria music
2018-05-25T12:36:14
http://www.lilommy.com/2017/10/davido-ahairisha-kufanya-show-kisa.html
kwa rasimu hii ccm inakufa jamiiforums kwa rasimu hii ccm inakufa thread starter manyerere jackton 2402 808 280 wadau wale tuliofuatilia vema mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba jaji warioba ni wazi kwamba kwa mapendekezo ya rasimu ccm inakufa kuruhusu wagombea binafsi kuanzia kitongoji hadi taifa kunatoa mwanya kwa wanaccm wengi wasiopenda yanayoendelea ndani ya chama hicho wawe huru kuamua pa kwenda aidha mapendekezo haya ya katiba mpya yanaleta utaifa zaidi ya uchama sioni ccm watachomoka vipi sijui wengine mna mtazamo gani likes mchonga ehud matola and 8 others tuwe watulivu hadi tutakapoisoma rasimu yotei in full wewe nawe unajifanya mwandishi lakini uandishi wako uko shallow kupita maelezo nyie ndio maripota wa matukio halafu mnajiita wandishi wadau wale tuliofuatilia vema mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba jaji warioba ni wazi kwamba kwa mapendekezo ya rasimu ccm inakufa kuruhusu wagombea binafsi kuanzia kitongoji hadi taifa kunatoa mwanya kwa wanaccm wengi wasiopenda yanayoendelea ndani ya chama hicho wawe huru kuamua pa kwenda aidha mapendekezo haya ya katiba mpya yanaleta utaifa zaidi ya uchama sioni ccm watachomoka vipisijui wengine mna mtazamo gani sasa mkuu wewe unapenda wachomoke au wasichomoke mimi nataka wasichomoke weka chuki binafsi pembeni tujadili mambo ya msingi heri ninayejifanya mwandishi kuliko anayefanywa kwa kuwa hayuko shallow likes kaa la moto alles and raia fulani humo kwenye red ni kipengele cha ngapi cha rasimu ya katiba mpya haya majibu ni kwa malebarali tu likes sg8 mtazamo okw boban sunzu and 5 others umefuatilia lakini hujaelewa kitundio mana kagazeti chako uchwara kanaandika udaku na hao ndio waandishi wetu hapo anapiga mahesabu ya kupiga dili kwa wagombea lugha tu hiyo we jamaa sikujua kama u zezeta kiasi hiki huyu mleta mada ni mweupe wala usihangaike kujibizana naye utapoteza muda wako buresaizi yake ni hawa vijana wetu ambao matokeo yao ni mabaya ww ulitaka aandikaje yeye kaandika short and clear andika ww nasi tusome mkubwa mzima ovyoova likes kaa la moto matola and anjnr 12498 2648 280 ndio kaburi la ccm limechimbwa leo likes matola and ukombo mongi umeongea pointi nzuri sana nasikia huyu ni mwandishi wa habari ni kweli kama ni kweli basi kazi tunayo watanzania kuwa na wanahabar wa upeo wa huyu 4774 336 180 hapa sitaongea mpaka niisome na siku hiyo lazima nikeshe huu uzi ushaharibiwa na mkeshaji the great camp na mwanzisha uzi manyerere jackton bila kujua kaingia kwenye mtego wa kuharibu thread yake likes kaa la moto anjnr the great camp and 2 others 3274 800 280 mkuu niko peke yangu na laptop yangu lakini nimecheka sana usitafute huruma hapa jadili hoja nimesema kwa rasimu hii kama tutapata katiba mpya kwa mapendekezo yaliyomo ccm itakuwa inakabiliwa na kifo kama una maoni tofauti yaweke hapa kashfa na vijembe si mambo ya waungwana likes sem2708 platozoom raia fulani and 3 others mgombea binafsi itaikoa ccm kwani watakaotoka ccm sio lazima wakimbilie upinzani kama sharti la kuwa mwanasiasa hili lina faida hata kwa wale watakaopenda kuachana na vyama vya upinzani na kuwa huru badala ya kwenda ccm
2019-03-26T13:59:51
https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-rasimu-hii-ccm-inakufa.462176/
natasha g movies galleries teenax videos and movies related searches natasha sasha blonde natasha g by voronin natasha shy natasha g met art met art natasha s sasha iveta b natasha d natascha natasha marley iveta natasha b vika chiara russian atena a natasha nice danae a masha sashablonde nastya katya dasha natalia sasha fucks dasha altea eufrat nikky case marketa melisa a chiara a femjoy natasha p ivana fukalot olga corinna liz vicious danae
2018-03-17T06:29:37
http://www.teenax.tv/free/movies/natasha/g.html
juu ya utendaji kipepeo uchina tianjin tanggu twt valve awali groove kipepeo next juu ya utendaji mara mbili flange kipepeo electrohydraulic inaendeshwa butterfly valve iliyoongezwa spindle butterfly valves iliyoongezwa spindle kaki butterfly valves lug aina butterfly valve lug aina flange butterfly valve pneumatic kuendeshwa butterfly valve bei butterfly valve cha pua usafi dn150 butterfly valve soft muhuri flange butterfly valve wafers mwisho aina butterfly valves double flange kipepeo
2020-04-02T00:46:46
http://www.twtvalvecn.com/sw/high-performance-butterfly-valve.html
mashamba yawananchi yaliyo porwa na mzungu kinyenze yalipuliwa kwa moto | video ya ugomvi wa drake na chris brown waziri mkuu aongoza kikao cha sensa dodoma mashamba yawananchi yaliyo porwa na mzungu kinyenze yalipuliwa kwa moto differentsourcestz latest news cars entertainment gaming latest news travel vacation video leave a comment habari za hivi punde kutoka kijiji cha kinyenze wilaya ya mvomero mkoani morogoro zinadai kuwa mashamba ya wananchi yaliyo na minazi migomba miwa na mazao mengine ya kudumu yaliyo porwa na mwekezaji wa kizungu kwa kuzungushiwa uzio yanateketea kwa moto mkubwa chanzo cha moto huo inasemekana ni walizi wa mzungu huyo ambao huingia shambani humo mara kwa mara na kuiba mazao mashambani humo ndio wamesababisha moto huo ambao utaleta hasara kubwa hivi karibuni mbunge wa mvomero na naibu waziri wa habari utamaduni michezo na vijana amos makala aliitisha mkutano wa kutatua mgogoro huo uliodumu kwa miaka miwili sasa lakini mkurugenzi wa mvomero aliahirisha kikao hicho kwa madai ya kuambiwa na dc wa mvomero hadi alijue tatizo hilo kwa undani ndipo ashiriki mkutano na wananchi kuchomwa kwa mashamba hayo huenda kukaleta mzozo mkubwa baina ya wananchi na mwekezaji huyo
2018-02-18T01:11:26
https://infosourcestz.wordpress.com/2012/06/16/mashamba-yawananchi-yaliyo-porwa-na-mzungu-kinyenze-yalipuliwa-kwa-moto/
meneja kizimbani kwa kutapeli milioni 536 za camel oil | home hatimaye suu kyi apokea rasmi tuzo yake ya nobel ni miaka 21 baada ya kutunukiwa mahakama ya misri yafuta bunge la nchi hiyo yadai uchaguzi wa bunge ulikiuka katiba meneja kizimbani kwa kutapeli milioni 536 za camel oil june 17 2012 differentsourcestz latest news anime arts gaming kuwa latest news travel vacation leave a comment polisi mpelelezi yohana (kulia) akimpeleka mahakamani mtuhumiwa wa wizi wa shilingi 53620178 mali ya kampuni ya mafuta ya camel ya mjini singida bw jumapili mussamtuhumiwa jumapili akiwa ameketi katika chumba cha mahakama cha mkoa mjini singida akisubiri kesi yake kutajwa meneja wa kituo cha mafuta cha camel oil com ltd kilichopo kibaoni singida mjini jumapili mussa (47)ameburuzwa mbele ya mahakama ya hakimu mkazi mjini singida akituhumiwa kutenda makosa mawili likiwemo la kumwibia mwajiri wake shilingi milioni 536 mwendesha mashitaka mwanasheria wa serikali maria mdulugu alidai mbele ya hakimu wa mahakama ya hakimu mkazi ruth massamu kuwa kati ya januari nane na juni 30 mwaka huu katika muda usiofahamika mshitakiwa jumapili alikula njama ya kuandaa nyaraka badia kuhusiana na malipo ya zaidi ya shilingi milioni 536 kwa nia ya kumdanganya mwajiri wake alisema mshitakiwa jumapili alitenda kosa hilo huku akijua wazi kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria mshitakiwa jumapiliamekana makosa hayo yote mahakama hiyoimempa mshitakiwa mashariti ya dhamana ikiwa ni kuwa na wadhamini watatu wenye mali isiyohamishika yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 536 wakati mwandishi wa habari hizi akiondoka mahakamani hapo ndugu na jamaa wa mshitakiwa jumapili walikuwa wakiendelea na taratibu ya kumwekea dhamana kwa kipinid hicho mshitakiwa jumapili tayari alikuwa ameishapelekwa mahabusu ya gereza la wilaya ya singida hatimaye suu kyi apokea rasmi tuzo yake ya nobel ni miaka 21 baada ya kutunukiwa mahakama ya misri yafuta bunge la nchi hiyo yadai uchaguzi wa bunge ulikiuka katiba month viewers 695448 hits
2017-04-23T23:30:13
https://infosourcestz.wordpress.com/2012/06/17/meneja-kizimbani-kwa-kutapeli-milioni-53-6-za-camel-oil/
wizara ya mifugo na uvuvi yatoa vitendea kazi vya mazao ya mifugo | jamhuri ya muungano wa tanzania wizara ya mifugo na uvuvi yatoa vitendea kazi vya mazao ya mifugo news may 29 2020 0 comment na prisca libaga maelezo / arusha wizara ya mifugo na uvuvi imetoa vitendea kazi vya mazao ya mifugo kwa wachunaji wa ngozi kwenye machinjio yote ya mkoa wa arusha kwa ajili ya kuongeza thamani na kuboresha uchunaji wa ngozi akikabidhi vifaa hivyo kwa kaimu katibu tawala wa mkoa wa arusha kwa niaba ya wachunaji hao mkurugenzi wa masoko na uzalishaji felix nandonde alisema kuwa kwa kipindi kirefu ngozi zimekuwa zikiharibiwa ubora wake kwa matumizi ya vifaa visivyo na ubora kwa mujibu wa nandonde wizara ilitoa mafunzo ya siku moja kwa wachunaji wa ngozi wa mkoa huo ili kuboresha thamani ya ngozi ikiwemo kutoa leseni kwa kila mchunaji na vifaa hivyo kwa lengo la kuongeza ubora kwenye kazi zao baadhi ya vitendea kazi hivyo ni visu vya kisasa ambavyo vimetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa na wamepanga kuvitoa kwa wachunaji wa mkoa wa arusha na nchini kwa ujumla kwa kipindi kirefu sekta ya uchunaji nchini imekuwa ikionekana haina mwenyewe lakini sasa kupitia serikali ya awamu ya tano imeanza kutambulika kwa lengo la kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya mifugo alisema nandonde akizungumza mara baada ya kupokea vifaa hivyo kaimu katibu tawala wa mkoa wa arusha david lyamongi aliipongeza wizara hiyo kwa kutoa mafunzo kwa wachunaji pamoja na vitendea kazi hivyo wizara ya mifugo na uvuvi imetoa vitendea kazi hivyo kwa wachunaji wa ngozi kwenye machinjio yote ya mkoa huo kwa ajili ya kuongeza thamani na kuboresha uchunaji wa ngozi akikabidhi vifaa hivyo kwa kaimu katibu tawala wa mkoa huo kwa niaba ya wachunaji mkurugenzi nandonde alisema kuwa kwa kipindi kirefu ngozi zimekuwa zikiharibiwa ubora wake kwa matumizi ya vifaa visivyo na ubora ← rais magufuli akagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa ofisi za ikulu chamwino matukio katika picha waziri mkuu bungeni →
2020-07-07T14:45:45
http://blog.maelezo.go.tz/wizara-ya-mifugo-na-uvuvi-yatoa-vitendea-kazi-vya-mazao-ya-mifugo/
rais kikwete awaapisha wakuu wa mikoa na mabalozi wapya bongo leaks rais kikwete awaapisha wakuu wa mikoa na mabalozi wapya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa jakaya mrisho kikwete nov 05 amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa mikoa na kuwahamisha wengine sita na watatu wengine kupangiwa kazi nyingine wakuu wapya wa mikoa hao ni pamoja na bi halima omari dendego ambaye amekuwa mkuu wa mkoa wa mtwaradkt ibrahim hamisi msengi ambaye amekuwa mkuu wa mkoa wa katavibi amina juma masenza ambaye amekuwa mkuu wa mkoa wa iringa na bwana john vianney mongella ambaye nae amekuwa mkuu wa mkoa wa kagera wakuu wa mikoa ambao wamehamishwa vituo vya kazi ni pamoja na bwn magesa s mulongo ambaye atakua mkuu wa mkoa wa mwanza kutoka arushadkt rehema nchimbi ambaye anakwenda mkoa wa njombe kutoka dodomabwana ludovick john mwananzila anakwenda tabora kutoka lindikepteni (mst) anseri msangi anayekwenda mkoa wa mara kutoka njombe na mhandisi everist ndikilo ambaye anakwenda arusha kutoka mwanza wengine walioapishwa leo ikulu ya dar es salaam na rasi jakaya kikwete ni pamoja na mhe samwel william shellukindo kuwa balozi na msaidi wa rais masuala ya diplomasiadkt yohana budeba kuwa katibu mkuu wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuviinjinia mbogo futakamba kuwa katibu mkuu wizara ya maji mbali na hao pia wengine ni dkt donan mmbando kuwa katibu mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamiimhe jack mugendi zoka kuwa balozi wa tanzania nchini canada pia mhe charles pallangyo kuwa katibu tawala wa mkoa wa geita na bw adoh stephen mapunda kuwa katibu tawala wa mkoa wa arusha
2017-12-13T20:56:43
http://www.frankleonard.info/2014/11/rais-kikwete-awaapisha-wakuu-wa-mikoa.html
hivi ni kweli boom halitoshi | jamiiforums | the home of great thinkers hivi ni kweli boom halitoshi discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by andrew jr apr 26 2012 shukrani kwa serikali angalau kufanya maisha yasiwe magumu vyuo vikuu wakatupa tuhela twa kujikimu kuna siku nlikuwa mitaa fulani nikasikia mtu analalamikahawa wana vyuo jaman hawaridhiki na mahela yote hayowew ungemwambiaj mwana jf shukrani kwa serikali angalau kufanya maisha yasiwe magumu vyuo vikuu wakatupa tuhela twa kujikimu kuna siku nlikuwa mitaa fulani nikasikia mtu analalamikahawa wana vyuo jaman hawaridhiki na mahela yote hayowew ungemwambiaj mwana jfclick to expand hivi nyumbani kwenu hakuna choo cha kujisaidia ni kweli haitoshi kwan kwenu we unatumia sh ngap kwa sku kwa sisi tuliosoma kwa 2500 kwa siku na wale wa uswazi tutaona linatosha ila wenzetu wa leo waliopo vyuoni wanaopata 7500 kwao halitoshi huwezi pata majibu sahihi hapakila mtu atavutia kamba kwake
2017-07-25T14:45:28
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-ni-kweli-boom-halitoshi.257406/
dogo janja awataka weusi kuzungumza na tiptop kama kweli wanamtaka | saluti5 ')+else if(null=(o=rmatch(/(youtube\/|youtubecom\/(watch\(*&)v=|(embed|v)\/))([^\&\\'>]+)/gi))){var v=o[0]match(/^*((youtube\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\))\v=([^#\&\]*)*/)v&&11==v[7]length&&(s='')}else s=''i=''l=rreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=s+''+d++lsubstring(0gsummarylength)+''+i+} » dogo janja awataka weusi kuzungumza na tiptop kama kweli wanamtaka dogo janja awataka weusi kuzungumza na tiptop kama kweli wanamtaka tetesi za kutakiwa na kundi la weusi mkali wa wimbo kidebe abdulazizi abubakar dogo janja ameutaka uongozi wa kundi hilo kukutana na uongozi wa kundi la tiptop wazungumze kuhusu suala hilo sijui lolote kuhusu taarifa hizo lakini kama weusi wananitaka wakae chinbi waongee na uongozi wangu kwasababu mimi niko chini ya tiptop sina mamlaka ya kufanya lolote ila kama wananitaka wazungumze maana mimi na weusi ni marafiki alisema dogo janja huyo yuko chini ya tiptop yenye maskani yake manzese na kwa sasa kundi hilo lipo kimya tangu waachie wimbo wao wa pamoja ridhiki
2017-01-21T02:11:23
http://www.saluti5.com/2016/11/dogo-janja-awataka-weusi-kuzungumza-na.html
suala la wizi na ujambazi kwa wakazi wa bunju beach sasa kubakia kuwa historia | mtaa kwa mtaa blog suala la wizi na ujambazi kwa wakazi wa bunju beach sasa kubakia kuwa historia suala la wizi na ujambazi kwa wakazi wa bunju beach kubakia kuwa historia baada ya jeshi la polisi wilaya ya kinondoni kuahidi kujenga kituo cha polisi kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua askari zaidi ya 40 hayo yamebainishwa na kamanda wa polisi wa mkoa wa kinondoni acp suzan kaganda alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuzindua umoja wa wakazi wa bunju bunju beach community support rpc kaganda amesema kuwa wezi na majambazi wamekula kwao na kuongeza kuwa suala la ulinzi na usalama ni la kila raia kwa mujibu wa sheria awali akisoma risala ya jumuiya hiyo makamu mwenyekiti wa jumuiya ya kusaidiana ya wakazi wa bunju (bunju beach community support) vanessa milinga alisema kuwa jumuiya hiyo ilianzishwa mwaka 2005 ikiwa na lengo la kuimarisha ulinzi na usalama wa mali na familia za wakazi wa bunju beach akizungumzia historia ya bunju beach community support mmoja wa waanzilishi wa jumuiya hiyo profesa joas rugemalila amesema kuwa umoja huo umeanzishwa kwa lengo la kuimarisha ulinzi shirikishi usalama amani na maendeleorpc wa kinondoni suzan kaganda akizungumza na wanajumuiya ya bunju beach community support wakati wa hafla ya kujumuika pamoja kwa wanajumuiya hao hivi karibuni jijini dar es salaamkutoka kulia ni diwani wa kata ya bunju mhe phocas nato ocd kawe john malulu na mwenyekiti wa jumuiya hiyo bw kheri nassor missingamakamu mwenyekiti wa jumuiya ya wakazi wa bunju beachbunju beach community support bi vanessa milinga akisoma risala ya jumuiya hiyo wakati wa hafla ya kujumuika pamoja kwa wanajumuiya hivi karibuni jijini dar es salaamrpc wa kinondoni suzan kaganda akipeana mkono na makamu mwenyekiti wa jumuiya ya wakazi wa bunju beach (bunju beach community support) bi vanessa milinga mara baada ya kumkabidhi risala wakati wa hafla ya kujumuika pamoja kwa wanajumuiya hao hivi karibuni jijini dar es salaam kutoka kulia ni diwani wa kata ya bunju mhe phocas nato na mwenyekiti wa jumuiya hiyo bw kheri nassor missingamuasisi wa jumuiya ya bunju community support profesa joas rugemalila (kushoto) akigonga cheers na rpc wa kinondoni suzan kaganda wakati wa hafla ya kujumuika pamoja kwa wanajumuiya hao hivi karibuni jijini dar es salaam kutoka kulia ni diwani wa kata ya bunju mhe phocas nato na mwenyekiti wa jumuiya hiyo bw kheri nassor missingarpc wa kinondoni suzan kaganda wakigonga cheers wakati wa hafla ya kujumuika pamoja kwa wanajumuiya hao hivi karibuni jijini dar es salaam kutoka kulia ni diwani wa kata ya bunju mhe phocas nato na mwenyekiti wa jumuiya hiyo bw kheri nassor missinga
2017-01-16T19:24:21
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2016/10/suala-la-wizi-na-ujambazi-kwa-wakazi-wa.html
10 | december | 2018 | blogu rasmi ya ofisi ya rais rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiagana na bw marcandre fredette mkurugenzi mkuu masuala ya kimataifa wa canada alipotembelea na kuzungumza nae ikulu jijini dar es salaammazungumzo ambayo pia waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi dktagustine mahiga alihudhuriadesemba 102018
2020-06-04T04:09:29
http://blog.ikulu.go.tz/?m=20181210
hii ni yenu wanaume edusportstz mahusiano hii ni yenu wanaume hii ni yenu wanaume bymafekecheon14 februaryinmahusiano mwanaume asie jua kumbembeleza kumdekeza mkewe na asie kuwa mbunifu katika mapenzi huyo ni mwanaume butumwanamke pamoja na mambo yote utakayomfanyia iwe ni kumpa pesa kumvisha nguo za gharama kiasi gani kumpa zawadi za aina gani na mambo mengine yanayofanana na hayokama utashindwa kumbembelezakumdekeza na kuwa mbunifu katika suala la mapenzi lazima atakuona butuwanaume wengi wanazani pesa zao mali zao majumba yao ni funguo ya kumridhisha mwanamke na akampenda kuliko mwanaume mwinginendugu yangu wee jidanganye tu ipo siku kijana wako wa ndani ndie atakuwa anamridhisha mkeo kwa kila kituipo siku dereva wako au dereva wa mkeo atakuwa ndie mwanaume anae mridhisha mkeo kwa kila kitu labda ni waambie kitu wanaume ambao mnaona kuwa mwanamke ukishamuoa basi tena umeisha maliza kila kitumy brother jifunze kushughulika sana kwa mkeo ubunifu katika mapenzi unamtengenezea hisia kali mkeo za kuendelea kukuwaza kila iitwayo leokingine pia hata dini inasema kuwa mwanaume amrizishashae mkewe hasa katika suala la mapenzi huyo ni mwanaume bora kuliko sasa wewe ni nani ambae hutaki kumridhisha mkeo jambo jingine ni kumdekeza na kumbembeleza mkeo hili ni jambo ambalo lina ongeza amani na furaha katika moyo wa mwanamkehili jambo linaweza kumfanya mkeo akawa ana matamanio zaidi ya kimapenzi kwakona hili jambo pia linaweza kumfanya mkeo akawa karibu zaidi nawewe pesa zako zitaridhisha tu tamaa ya mwanamke na si moyo wakendio maaana unaweza kukuta mwanamke mumewe anapesa mali na majumba ya kutosha na bado akawa atulii pesa ya mumewe kuhonga mwanaume ili airidhishe tu nafsi yakeapate penzi lenye kukidhi au kukonga moyo wake#kibonde
2020-02-19T07:52:49
https://www.edusportstz.com/2020/02/hii-ni-yenu-wanaume.html
majira gazeti huru la kila siku wakulima 15 wajeruhiwa na wafugaji wakulima 15 wajeruhiwa na wafugaji wakulima 15 wa kijiji cha pingo katayaperawilaya ya bagamoyo mkoa wa pwaniwame jeru hiwa kwa kupig wanavituv yen yencha kali katikakipi ndi chajulaimo si hadi 15mw akahuukutok ananamivutan okatiyaona wa fugaj ihayoy amee lezw ana ofisa mtendaji wa kijiji cha pingo had ija salu mumbeleyak aimukamandaw apolisi mk oa wapwanijum a yuss uf kweny e mkutan ou l ioitishwanakuhudhuriw anawa tendajiwa vijijikata na waendesha pikipiki wach ali nzewilayan i bagamoy oalisemak uwakume kuweponamatuk i oyawakuli makupigwa n awaf ugajimatukio am bayoy ana tokanana wakulimak uw azuiawafu gaji wasi ingizem ifugokwe nye mashamba yawaku limahaohaliambay owafu gajihaohawatakiku am biwahivyo matuk ioyaaina h ii yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara lakini hatapale mtuhu miwaanapofikish wakwenyekituocha polisichal inzemudamfupi tunamuonamtu humiwa akiwa njehali ambayoinatuvunja nguvukwani tunatege meajeshi katika kuhakikisha usalama unapatik anaalisemamten dajihuyoal isemakuwakutokana nakukithir ikwamatuki oyaaina hiyowana nchi w amekosauv umilivuh ali a mbayoi naw ezakuhataris hausalamakwa waka zihaoam baoni ndu gukutokanana kushirik ianakatikash ugh ulimba limbaliza kimaend eleo nayeofisamtendaji wa kijiji cha buyuni kidawa bashiru alishaurikuand ali wemikuta noitayohusi shavion goziwa jeshi hilo jamiiyawa kulimana wafugajihus usanmach ifuwawaf ugaj i ikiwanilengo laku ma lizatatizo hilo hiihaliya mig on ganoka tiyakoo hizinadhani kama tun atakak uimaliz atu shirik ish e viongoziwa pol isi waku lima nawazee pamojan ajamiiyawafugaji hu susanmachifuwaokwani wa me kuwawakiw atii san a halihii inaweza ikawa ufumbuziwatatizo hilialisemabashir u akizungu mziahalihiy o kamand ajumaal isemakuwawatajipangakuha kikis hawanafanyam ikuta nokatika vijiji vyenye mi gonganokati yak oo hizoambavyovimekuwavikijikutavinamig ongano ambayo inaweza kupatiwa ufumbuzi
2019-09-16T00:36:04
http://majira-hall.blogspot.com/2013/07/wakulima-15-wajeruhiwa-na-wafugaji.html
other celebs | artists news in tanzania | page 9 ni muda mrefu mahusiano ya diamond na zari yameelezwa kutokuwa mazuri kutokana na muimbaji huyo kuhusishwa kutoka na warembo wengine kuna tetesi nyingi sana zimevuma kwenye mitandao ya kijamii hivi karibuni zikiwahusu diamond na zari huku tetesi hizo zikimhusisha diamond kusaliti mahusiano yake kwa kutoka na warembo wengine akiwemo hamisa mobetto na mrembo aliyetumika kwenye [] hiki ndicho chanzo cha bifu la vera na hudd mrembo kutokea pande za mombasa nchini kenya vera sidika ametoa sababu ya kuwa na bifu na mlimbwende mwenzake wa nchini humo huddah monroe bifu ambalo limeteka vyombo vya habari kwa muda mrefu akifunguka kwenye fnl ya east africa tv na radio vera sidika amesema wakati yeye akiwa mombasa huddah monroe tayari alishakuwa maarufu jijini nairobi [] vera sidika atoa angalizo kwa wasichana kuh mlimbwende ambaye anasumbua katika mitandao ya kijamii kutokana na shepu yake ya kibantu pamoja na kuweka matiti feki vera sidika amewakanya mabinti wengine kutofuata yale aliyoyafanya kwani wanaweza wakajiingiza kwenye matatizo akizungumza kwenye fnl ya east africa television vera sidika amesema yeye aliamua kujiongeza matiti yake ili awe na mwili unaoendana na jinsi alivyo kwenye [] picha zari ajiachia na mimba yake hizi ni baadhi ya picha za mpenzi wa diamond platnumz zarinah hassan zari the boss lady aizotupia mtandaoni kuonyesha mimba yake mastaa hao wanatarajia kupata mtoto wa pili na mpenzi wake mkali wa wimbo kidogo diamond platnumz yule mchungaji aliyejitokeza hivi karibuni kumuombea muigizaji wa sinema za kibongo wema sepetu daudi mashimo amedaiwa kuvurumishiwa matusi na mama wa staa huyo mariam sepetu alipokuwa akimpigia simu kumuombea kwa mujibu wa chanzo chetu mchungaji huyo anayeongoza kondoo katika huduma ya injili ya maumivu na uponyaji iliyopo mbezimsakuzi jijini dar anadaiwa kukutwa na dhahama hiyo [] koffi olomide akamatwa nyumbani kinshasa mwanamuziki maarufu kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo drc amekamatwa akiwa nyumbani kwake mjini kinshasa wiki iliyopita olomide alitimuliwa kutoka nchini kenya baada ya video kuonyesha akimpiga teke mnenguaji wake wa kike katika uwanja wa ndege wa jomo kenyatta baada yake kuwasili nchini humo lengo la ziara ya kenya alipangiwa kutumbuiza mashabiki wake bomas of [] joyce kiria superwoman wa wanawake li mtangazaji wa tv joyce kiria pamoja na crew ya kipindi chake wanawake live wamepata ajali wakati wakielekea mjini sumbawanga rukwa juzi jtano tulianza safari ya kuja sumbawanga toka kwa lengo la kumtembelea wankota binti shujaa asiekata tamaa kirahisi wala asieogopa changamoto na pia ilikuwa tukitoka kwa wankota ni safari ya kwenda mbeya kufanya kampeni ya [] mkali wa bongo fleva diamond platnumz ametupia picha hiyo hapo chini kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na kundi la p square pamoja na uongozi wake wakiangalia kazi hiyo kama kufanya mapitio na kuandika kuwa anasikia harufu ya hit song diamond platnumz ingawa hajaweka wazi lini kazi hiyo inatoka lakini kuna kila dalili kuwa kazi [] mkongwe wa bongo flava mwanadada mwasiti amefunguka na kusema kwamba wimbo wake mpya wa utabaki unaniangalia hauhusiani kabisa na maisha yake ya kimahusano na amesema huo ni wimbo kama nyimbo nyingine na kwamba yeye haimbi kwa kumlenga mtu hata hivyo mwasiti ameiambia enews kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtangazaji maarufu hapa nchini sam misago [] alikibaunaweza nichukia ukapenda muziki w msanii alikiba amefunguka na kusema kuwa muziki hauna siri na muziki hauna tofauti kati ya mtu na mtu kwani unaweza kuwa una chuki na yeye lakini akiimba muziki mzuri ukapenda kazi yake na kuimba alikiba alizidi kutoa ufafanuzi kuwa kama binadamu inawezekana ukatoa labda humpendi mtu fulani au msanii fulani kutokana na mambo yake lakini [] petitmansipo endless fame sina tatizo na aliyekuwa meneja wa wasanii walikuwa kwenye kampuni ya endless fame chini ya wema sepetupetitman amesema kuwa kwa sasa hayupo tena kwenye kampuni hiyo kutokana na matatizo ya kifamilia lakini hata tatizo na wema sepetu na kuwa wanaongea kama kawaida endless fame nilikuwa kama coordinator na pia nilikuwa meneja wa wasanii kwa sasa hivi nimesimama kufanya [] muimbaji mkongwe wa muziki nchini rehema chalamila ray c ijumaa hii amepelekwa life and hope & rehabilitation centre (sober house) iliyopo bagamoyo kwa ajili ya kusaidiwa kuanacha na matumizi ya madawa ya kulevya uongozi wa sober hiyo umethibitisha hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku moja toka aonekane katika video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii [] hemed phd afunguka madhara ya kutoka na sta muuza sura kwenye filamu za kibongo hemed suleiman hemed phd amefunguka kuwa japo ni staa na mtu maarufu tanzania lakini hata siku moja hajawahi kufikiri kuwa atakuja kujihusisha kwenye uhusiano wa kimapenzi na staa wa kike kutoka bongo kwa sababu anafahamu madhara yake akipiga stori na risasi jumamosi phd aliongeza kuwa madhara ya kutoka na [] ommy dimpoz afunguka kufungwa jela huko ma nyota wa bongo fleva na bosi wa lebo ya poz kwa poz pkp omary nyembo ommy dimpoz amesema moja ya matukio ambayo hawezi kuyasahau ni siku aliposwekwa lupango huko marekani kwa kosa la kutumia vibaya hati yake ya kusafiria akibonga na swaggaz hivi karibuni ommy dimpoz alisema alikuwa anatokea uingereza kwenda marekani viza aliyokatiwa na [] mwanamuziki wa r&b nchini tanzania rama d amekanusha vikali habari zilizotapakaa mtandaoni kwamba kwa sasa anatoka kimapenzi na mwanadada lady jay dee amesema wanaheshimiana sana na haiwezi kutokea kitu kama hicho daima hata hvyo rama d ameendelea kusema kwamba yeye anamfaham mpaka mpenzi wa mwanadada lady jay dee na kusema hata siku ya show [] video ray c apewa msaada na polisi ya baad msanii wa muziki rehema chalamila aka ray c usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya kinondoni manyanya almaarufu kinondoni kwa mpemba jijini dar es salaam baada ya kupiga makelele barabarani akidai anataka kutekwa muimbaji huyo mahiri ambaye ameathirika na matumizi ya madawa ya kulevya alidaiwa kufika katika eneo hilo na kuomba msaada [] shilole kunogesha hainaga ushemeji&# msanii wa nyimbo za singeli manfongo amefunguka ndani ya enews kuhusiana na wimbo wake mpya wa hainaga ushemeji ambao video qeen ni mwanadada shilolee manfogo ameiambia e news kwamba hakumshirikisha shilole katika video yake ili kuuwa winbo wa chura kama watu wanavyoongea bali yeye alimpigia simu mwana dada shishi na kumuomba amtafutie video queen wa [] picha muonekano mpya wa chid benz mkali wa hip hop hapa bongo chidi benz amefanikiwa kuirudisha afya yake baada ya kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya na hizi ni baadhi ya picha zake za hivi sasa ziklizoweka mtandaoni nunua filamu kutoka steps entertainment tunakufikishia popote pale ulipo piga namba hizi 0673 348 364 au 0754 256 489 kama unataka kuwa []
2020-01-21T14:56:19
https://www.bongomovies.com/category/other-celebs/page/9/
namwai sekondari yapaa shule ya sekondari namwai iliyopo tarafa ya siha magharibikata ya ngarenairobikijiji cha namwai imefanikiwa kupata tuzo ya ufaulu wenye mjongeo chanya katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017 tuzo hiyo imetolewa hivi karibuni na ofisi ya rais tamisemi kwa kushirikiana na wizara ya elimusayansi na tekinolojia katika kuelekea kuazimisha siku ya elimu kila mwaka kwa lengo la kutambua mafanikio ya shule katika ufaulu wa mitihani ya taifa akizungumzia tuzo hiyomkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya siha valerian juwal ameeleza kuwa serikali kupitia wizara ya elimu imetoa shilingi milioni 2 kama motisha kwa walimu na uongozi wa shule hiyo napenda kuwapongeza walimu wote wa shule ya namwai pamoja na uongozi mzima wa shule kwa kufanya kazi nzuri iliyotuletea sifa kubwa halmashauri yetu ya siha alisema juwal alieleza kuwakwa mara ya kwanza katika historia ya wilaya yetu shule ya sekondari namwai imefanikiwa kuboresha matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017 na kuwa miongoni mwa shule 138 hapa nchini zilizopata tuzo kwa kuboresha ufaulu kwa mujibu wa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 shule hiyo ilipata ufaulu wa matokeo hayo kwa asilimia 382 ambapo matokeo ya kidato cha nne ya shule hiyo kwa mwaka 2017 yalipaa hadi kufikia asilimia 805 matokeo hayo yanaonesha kuwa ufaulu katika shule ya sekondari namwai uliongezeka kwa zaidi ya asilimia 42 mwaka 2017 ukilinganisha na matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 wanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari namwai wakiwa darasani tayari kwa kuhudhuria vipindi vinavyoendelea leo tarehe 17082018 katika kuboresha ufaulu shule hiyo imeweka mikakati mathubuti ya kuhakikisha inaondoa daraja sifuri na kuongeza idadi ya wanafunzi watakaopata daraja la kwanza na la pili katika mitihani ya kitaifa shule ya sekondari namwai imekuwa shule ya pekee siha kupata tuzo hiyo na kuwa miongoni mwa shule 4 za mkoa wa kilimanjaro zilizopata zawadi ya kuboresha ufaulu hasa wa kuwa na mjongeo chanya wa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017
2019-06-16T18:57:49
http://www.sihadc.go.tz/new/namwai-sekondari-yapaa
kosa no 1 la kiafya watu bado wanalifanya elizabeth david home afya kosa no 1 la kiafya watu bado wanalifanya unakula vizuri vyakula vya mimea kama diet yako unausogeza mwili wako mara kwa mara una ratiba yako nzuri ya kufanya mazoezi ukienda shoping yako unanunua vitu vya organic na vya kienyeji kwa ajili ya kula kilicho safi umeponya moyo wako kutokana na tabia zako zote kiasi cha nguvu zako ziko vizuri mood yako na digestion yako iko vizuri mahusiano yako yapo vizurimaisha yako yamejawa na ucheshi stress unaidhibiti kama kawaida ni kitu gani hasa kinaweza kukosekana kama uko vizuri katika ufahamu wako inaonyesha uko makini kwa kila unachokiingiza ndani ya mwili wako inapokuja suala la chakula lakini unaweza kusema hivyo hivyo na katika virutubisho huenda wewe unapenda kutumia virutubisho kama vya multivitamin vitamin d3 omega3s ni vema kufahamu ukweli sio virutubisho vyote vimetengenezwa sawa vimewekwa hivyo ili kufikiria viko vizuri tangu hivi virutubisho kuwepo kwa ajili ya kusaidia afya za watu mchanganyiko wake ni salama na wenye kiwango cha juu kwa kuongezea hapo unafahamu hivyo virutubisho vimetengenezwa wapi vilikotengenezewa ndio deal kubwahasa inapokuja kudhibiti ubora wake na usalama una uhakika gani kama hivyo vimetoka katika mahali bora na salama kwa kusoma juu ya lable ni kitu gani hasa huwa unakiangalia kwenye virutubisho ni vitu vingi ndio huenda kitu cha muhimu sana ni lable lakini virutubisho vizuri vinatakiwa visiwe na ladha tamu au kuongezwa rangi kwa hio kwenye lable inatakiwa kuwepo vitu muhimu tu vinavyohitajika kwa mtumiaji sio ladha ya utamu kama utakachokiona kilichoandikwa kwenye lable ndicho ukikute ndani tafuta brand ambayo unaiamini ni bahati kama ukipata brand ambayo unaiamini hutakuwa mtu wa kufikiria sana utaokoa muda wako na utakuwa na ujasiri unapotumia ndani ya mwili wako na sio tu usalama lakini pia unapata faida ni vizuri kupata ushauri pia kabla ya kutumia lakini kumbuka sio washauri wote watakupa ushauri ulio kamili uwe na uhakika na mshauri wako asiwe ni muuza vidonge vya virutubisho ambavyo havina kiwango kizuri lakini kama utapata mshauri mzuri ni salama kwako na utakuwa na ujasiri wa kutumia furahia virutubisho vyako vilivyo na kiwango cha juu
2018-04-23T13:32:31
http://lizzdavid.com/kosa-no-1-la-kiafya-watu-bado-wanalifanya/
msekwa lowassa kuonja ukonga | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by indume yene dec 24 2008 habari katika mtanzania daima zinadai kuna uwezekano msekwa lowassa kisumo na wengine wakaonja ukonga kwa kukaidi mahakama habari zaidi soma hapa chini lowassa msekwa kortini • wadaiwa kukiuka amri ya mahakama kuu wasiwasi wa kuongezeka kwa idadi ya viongozi waandamizi walio madarakani na waliong’atuka wanaoweza kufikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali sasa umetawala jiji la dar es salaam kuibuka kwa wasiwasi huo kunatokana na hatua ya kampuni ya uwakili ya marando & mnyele ya dar es salaam kuwasilisha ombi katika mahakama kuu kitengo cha ardhi kutaka kukamatwa na kutupwa gerezani kwa vigogo kadhaa wa chama cha mapinduzi (ccm) kwa kosa la kukiuka amri ya mahakama ombi hilo lililowasilishwa na kampuni hiyo ya uwakili kwa niaba ya mteja wake ibrahim g alibhai linaiomba mahakama hiyo itoe amri ya kukamatwa baraza la wadhamini wa ccm na viongozi wengine kadhaa wa chama hicho kwa kosa hilo linaeleza kuwa alibhai ambaye ni mlalamikaji katika kesi ya msingi ya ardhi namba 81 ya mwaka huu anawashtaki wajumbe wa baraza la wadhamini wa ccm mwenyekiti wa ccm tawi la gerezani ismail idrisa katibu wa chama wa tawi hilo na mtu mwingine anayetajwa kwa jina la abdulrahman twalibu kwamba mlalamikaji anataka alipwe sh milioni 500 na ccm ambayo ilivamia nyumba yake namba 107 kitalu namba 11 block 53 iliyoko mtaa wa sikukuu dar es salaam bila kujali kama yeye ni mmiliki halali wa nyumba hiyo hati ya ombi hilo inawataja wadhamini wa ccm ambao mahakama inaombwa iamuru wakamatwe kuwa ni pamoja na waziri wakuu wastaafu wawili rashid mfaume kawawa jaji joseph warioba na edward lowassa ambaye alijiuzulu wadhifa huo mapema mwaka huu wengine wanaotajwa kuwa wajumbe wa baraza hilo ni makamu mwenyekiti wa ccm taifa pius msekwa ahmed ameir ally khadija jabiri peter kisumo job lusinde khamisi juma mkandara na juma ame juma hati ya maombi hayo ya mlalamikaji mahakamani inaeleza kuwa aliwasilisha maombi hayo juzi desemba 22 mwaka huu inaeleza mei 8 mwaka huu jaji wa mahakama hiyo alice chinguwile alitoa amri ya zuio dhidi ya wadaiwa wote mawakala wafanyakazi na watumishi kuacha kuendelea na ujenzi hadi shauri la msingi lililopo mahakamani hapo litakapomalizika hati ilieleza desemba 12 mwaka huu mlalamikaji alitembelea eneo husika na kukuta wadaiwa wakiendelea na ujenzi kinyume cha amri hiyo ya mahakama na kwamba wadaiwa wana mpango wa kukamilisha ujenzi wa jengo hilo ili waweze kulipangisha mlalamikaji alidai alipata taarifa za kuendelea kwa ujenzi huo kutoka kwa wakili wake mabere marando aliyeeleza kuwa kitendo hicho cha kukaidi zuio la amri ya mahakama ni kukiuka amri halali ya mahakama iliyotolewa mei 8 mwaka huu mlalamikaji aliiomba mahakama kuwakamata na kuwatupa gerezani wadaiwa wote bila kutoa adhabu mbadala ya faini kwa kukiuka amri hiyo alibhai alifungua kesi ya msingi chini ya kampuni ya mawakili hao katika mahakama hiyo aprili 14 mwaka huu dhidi ya wadhamini wa ccm na viongozi wa chama hicho akitaka alipwe sh milioni 500 kwa kuwa waliingia katika eneo hilo bila idhini yake kampuni ya mawakili hao ilieleza kuwa anayedharau amri halali ya mahakama kwa mujibu ya sheria ya mwenendo wa kesi za madai sura ya 33 ya mwaka 1966 anapaswa kutumikia kifungo cha miezi sita gerezani au kukamatwa kwa mali zakeclick to expand sasa mahakama inasubiri nini kujuka hatua mnatania nyie halafu nani atanipigia kampeni 2010 huo utakuwa mchezo wa kuigiza tu sisiemu kumkamata lowassa au msekwa ni ndoto kwa sasa kitu cha kwanza wanajua kuwa sisiemu inakabiliwa na uchaguzi mdogo kule mbeya vijijini na msekwa ni moja ya nguzo ya sisiemu inayotegemewa kwenye kampeni zao kumkamata msekwa nani atakwenda mbeya vijijini kupiga kampeni makamba hapendwi kule na ndiyo maana alipokuwa anafanya ziara zake aliishia iringa na kurudi dodoma kitu cha kwanza wanajua kuwa sisiemu inakabiliwa na uchaguzi mdogo kule mbeya vijijini na msekwa ni moja ya nguzo ya sisiemu inayotegemewa kwenye kampeni zao click to expand hamna lolote msekwa si nguzo ya chochote the guy is so poor kwenye kujieleza halafu busara zake za kijinga kweli na angekuwa nguzo si angeisaidia ccm kushinda tarime jaji amuru kawawa warioba lowassa wakamatwe nora damian jaji alice chinguile jana aliamuru mawaziri wakuu wa zamani rashid kawawa joseph warioba na edward lowassa na makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa wakamatwe kwa kukiuka amri ya mahakama jaji chinguile wa mahakama ya kazi alitoa amri hiyo jana kutokana na wanasiasa hao wakongwe kuwa wadhamini wa ccm ambayo inadaiwa kuendelea na ujenzi katika kiwanja kinachogambaniwa wakati kesi ya msingi ikiwa mahakamani jaji huyo pia ametaka wadaiwa hao wapelekewe maombi ya mdai ambaye ni mfanyabiashara ibrahim hussein alibah yaliyowasilishwa mahakamani hapo dhidi ya wadhamini hao na viongozi wengine wa ccm mbali na vigogo hao wa ccm amri hiyo ya kukamatwa inawahusu ahmed ameir ally khadija jabir peter kisumo job lusinde hamis mkandara juma ahmed juma na joseph warioba wanachama wengine wa ccm ni ismail idrisa (mwenyekiti wa ccm kata ya gerezani) fatuma abubakar (katibu kata ya gerezani) na abdulhaman twalibu mahakama pia imeagiza wadaiwa hao wasiendelee na ujenzi katika eneo husika linalobishaniwa hadi hapo maombi ya mdai huyo yatakaposikilizwa februari 4 mwakani jumatatu wiki hii mfanyabiashara huyo aliwasilisha maombi katika mahakama hiyo akitaka wadhamini hao na viongozi wengine wa chama hicho wakamatwe na kufungw miezi sita kutokana na kukiuka amri ya mahakama aidha mfanyabiashara huyo pia anataka mahakama ikamate na kuuza ofisi ndogo za ccm zilizo mtaa wa lumumba kama adhabu kwa kukiuka amri ya mahakama iliyotolewa mei 8 mwaka huu wadhamini hao wa ccm na viongozi wengine wa chama hicho wanadaiwa kukiuka amri ya mahakama hiyo iliyotolewa mei 8 mwaka huu na jaji chinguile ya kuwataka wasiendelee na ujenzi kwenye plot namba 11 block 53 nyumba namba 107 iliyoko mtaa wa sikukuu jijini dar es salaam hadi kesi ya msingi iliyo mahakamani itakapokwisha maombi hayo yameungwa mkono na hati ya kiapo ya mdai huyo ambayo inasema kuwa desemba 19 mwaka huu alitembelea eneo husika linalobishaniwa na kukuta wadaiwa wameanza shughuli za ujenzi kinyume na amri ya mahakama pia katika hati hiyo ya kiapo mdai anadai kuwa alipewa taarifa na wakili wake mabere marando kwamba watuhumiwa hao wana mipango ya kukamilisha ujenzi ili waweze kulipangisha jengo hilo mfanyabiashara huyo alifungua kesi mahakamani hapo aprili 14 mwaka huu dhidi ya wadhamini wa ccm na viongozi wengine wa chama hicho kwa madai ya kumuingilia katika eneo ambalo analimiliki katika maombi yake mfanyabiashara huyo anadai alipwe fidia ya sh500 milioni na wadaiwa kwa kuwa wameingia katika eneo lake bila idhini yake nani zaidi mahakama au ccm wakili mabere marando amempotosha mshitaki kwa kufungua kesi dhidi ya ccm makao makuu wakati issue ni ya ccm mkoa wilaya au tawi hao ni wadhamini wa ccm taifa ni kawaida ukikifungulia kesi mahakamana wadhamini ndio wanaowajibika bahati mbaya ccm sio trust fund ni chama chama ni mali ya wanachama na sio mali ya wadhamini huwezi kufanya attachment ya jengo la ccm lumumba kwa ajili ya mali ya tawi la ccm kariakoo japo jamaa anadai haki yake kisheria kwa mujibu wa katiba amri hiyo ya mahakama itatulizwa mahali pake na hakimu atagundua amechemsha sijajua wakili wa ccm ni nani wakili mabere marando amempotosha mshitaki kwa kufungua kesi dhidi ya ccm makao makuu wakati issue ni ya ccm mkoa wilaya au tawi hao ni wadhamini wa ccm taifa ni kawaida ukikifungulia kesi mahakamana wadhamini ndio wanaowajibika bahati mbaya ccm sio trust fund ni chama chama ni mali ya wanachama na sio mali ya wadhamini huwezi kufanya attachment ya jengo la ccm lumumba kwa ajili ya mali ya tawi la ccm kariakoo japo jamaa anadai haki yake kisheria kwa mujibu wa katiba amri hiyo ya mahakama itatulizwa mahali pake na hakimu atagundua amechemsha sijajua wakili wa ccm ni naniclick to expand nani zaidi mahakama au ccmclick to expand kama waliendelea na ujenzi huku wakijua kuna amri ya mahakama sina mengi nitasema poleni wazee kama haya ni majungu ya kisiasa basi wapigane wanavyoweza lakini haya jumatatu wiki hii mfanyabiashara huyo aliwasilisha maombi katika mahakama hiyo akitaka wadhamini hao na viongozi wengine wa chama hicho wakamatwe na kufungwa miezi sita kutokana na kukiuka amri ya mahakama hii inaonesha dhahiri miujiza isiyowezekana hata kama sheria ipo sijawai kusikia mdai atake wadaiwa wakamatwe na kwenda jela miezi sita atanaye kijikoclick to expand hii itakuwa amri ya pili ya mahakama kuu kama haitatekelezwa kisa kuna wana ccm wanahusika moja kwa moja mara ya kwanza ni kesi ya mtikila na mgombea binafsi na sasa hii ya wana ccm amri kama haitekelezwi neno utawala bora utakuwa hakuna tena na jk atakuwa anaji dharaulisha maana majaji ni wake yeye kawateua yeye wanatoa amri zina puuzwa na hapa ni pabaya walala hoi si wajinga wako macho wana angalia kuna siku haya tutaulizana kama si hapa duniani basi hata mbingunii am watching what will be the next move mbali na vigogo hao wa ccm amri hiyo ya kukamatwa inawahusu ahmed ameir ally khadija jabir peter kisumo job lusinde hamis mkandara juma ahmed juma na joseph warioba click to expand huyu nani huyu anataka kuharibu jina kubwa amri hii ina maana mkandara wewe ambaye uko hapa jf kumbe wewe ni ccm mkubwa na mdhamini sasa mwisho wako umefika haaa haaa haaa i wish yaani ningefurahi kupanda jukwaani kisutu maanake ningewamaliza wote mimi noma bob huyu nani huyu anataka kuharibu jina kubwaclick to expand wewe wewe bob kumbe noma kihivyodaah ngoja makanjanja wa jf wakutafute sasa na deal zako za viwanja ndani ya chama lol ho ho ho ho 0 people likes mkuu huyu ndiye hamisi mkandara anasema wee mwache huyo mabere marando namtafuta alaa tumwemsomesha huyu leo anataka kujifanya mjanja mjini tumemwingiza sisi na mke tumempamwacheee kibongo bongo atatulia tu hamna lolote msekwa si nguzo ya chochote the guy is so poor kwenye kujieleza halafu busara zake za kijinga kweli na angekuwa nguzo si angeisaidia ccm kushinda tarimeclick to expand ujue kuwa sisiemu ndiyo inaelekea kwenye sanda kabla ya kuanguka kifafa sisiemu inaamini kuwa msekwa ni moja ya nguzo zake ndiyo maana jk aliamua kumsogeza karibu kwenye uchaguzi mkuu ndani ya sisiemu kuna baadhi ya wanachama wa sisiemu wako makini lakini tatizo hawako mstari mmoja na wenye chama sisiemu inahodhiwa na wachache na ndiyo maana wale wanachama makini hawapewi nafasi za juu au za maana uchaguzi huu wa mbeya vijijini ni mtihani mwingine kwa viongozi wa juu sisiemu safari hii wameamua kumuweka kando makamba swali linakuja wakishindwa tena mbeya nani mwingine atawekwa kando uchaguzi huu utakuwa na mtikiso wa aina yake kuna watu wataweza kupoteza vitumbua vyao watch huu ni upuuzi asema jaji warioba mwandishi wetu disemba 24 2008 raia mwema muungwana ni vitendo waziri mkuu mstaafu jaji joseph warioba amezungumzia taarifa za kwamba anatakiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi akiziita taarifa hizo kuwa za kipuuzi zenye malengo maalumu akijibu hoja za kuwapo taarifa za kumatwa kwake zilizoenea kwa muda mrefu sasa jaji warioba katika mahojiano maalumu na raia mwema wiki hii alisema kwamba amepokea hadi ujumbe wa maandishi ukionyesha kwamba anatakiwa kukamatwa na kushitakiwa maneno hayo nimeyasikia kusema kweli kwangu mimi naona ni maneno ya kipuuzi anasema jaji warioba ambaye aliongoza tume ya kero ya rushwa mwaka 1996 tume ambayo hadi sasa imekuwa ikirejewa na watafiti mbalimbali duniani katika hali ya kujiamini jaji warioba alisema ilifikia mahali aliposafiri watu wakaamini kwamba amekwisha kukamatwa na hivyo baadhi ya watu wakawa wanaendeleza maneno ya kwamba atashitakiwa kama mwezi mmoja uliopita nililetewa maandishi yaliyokuwa katika mtandao kwamba mimi pamoja na viongozi wengine watatu tungekamatwa muda si mrefu pia nilipigiwa simu nyingi na kuletewa ujumbe wa simu baadhi ya watu walifika ofisini kuhakikisha kweli sijakamatwa hawakuamini niliyowaambia kwa simu alisema warioba na kuongeza mwanzo wa mwezi huu nilienda ghana wakati wa uchaguzi nilikuwa huko kwa majuma mawili niliporudi nilikuta kuna maneno mengi sana baadhi ya watu waliamini tayari nimekwisha kukamatwa kwa sababu hawakuweza kunipata kwenye simu wengine waliniambia kwamba wanazo habari za uhakika kutoka ofisi ya mkurugenzi wa mashitaka (dpp) kwamba kesi dhidi yangu imekamilika alisema kwa hakika anaona maneno hayo ni majungu yanayoenezwa na watu wenye ajenda binafsi alisema warioba msingi wa jambo hili ni kampuni ya kusafisha dhahabu ya mwananchi gold mwaka 2006 baadhi ya magazeti yaliandika habari ambazo iliziona kuwa ni kashfa tulipeleka kesi mahakamani kushitaki magazeti hayo na maandalizi yote ya mahakamani yamekamilika na kilichobaki ni kupangiwa siku ya kusikilizwa alisema jaji warioba alisema suala hilo lilijadiliwa pia bungeni kupitia kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma (poc) iliyobainisha kwamba hakukuwa na kashfa yoyote katika mradi huo wa kusafisha dhahabu na hivyo kuendelea kushangazwa na maneno yanayoendelezwa dhidi yake kuhusiana na mradi huo kinachonisikitisha ni kwamba mradi wa kusafisha dhahabu ulikuwa na manufaa makubwa kwa taifa kama mradi usingevurugwa dhahabu yote ya tanzania ingekuwa inasafishwa nchini tungeweza hata kusafisha dhahabu kutoka nchi jirani lakini kwa sababu ambazo mimi sizijui inaonekana wazi kuna watu wanataka mradi ufe alisema mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma (poc) mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe amekiri kujadiliwa kwa suala hilo katika kamati yake na akasema kwamba suala hilo lina matatizo ya kitaalamu zaidi ambayo hayamgusi jaji warioba na kwamba yuko tayari kumtetea mahali popote mwanasiasa huyo mstaafu ni kweli hili suala lilifika katika kamati yetu na kwamba wanaotaka kumshitaki jaji warioba kwa hili naona hawako sahihi nasema nitakuwa wa kwanza kwenda mahakamani ama popote kumdhamini jaji warioba na ikibidi kumtetea alisema zitto habari za ndani ya kamati ya poc zinaeleza kwamba suala la mwananchi gold lilitolewa ufafanuzi na gavana wa benki kuu ya tanzania (bot) profesa benno ndulu ambaye alielezea sababu za kukwama kwa mradi huo ambao ulilenga kusaidia wachimbaji wadogo na pia kusaidia kuongeza thamani dhahabu ya tanzania katika kikao hicho mbunge wa arumeru magharibi (ccm) elisa david mollel alitaka kujua kuhusiana faida ya bot katika hisa zake ndani ya kampuni ya mwananchi gold baada ya kuwekeza 272000000/ kwa miaka mitatu bila kupata faida na badala yake kampuni hiyo imekuwa ikiendeshwa kwa hasara gavana ndulu alisema madhumuni ya mwanzo serikali ilipoamua kushiriki kwenye kampuni hiyo ilikuwa ni kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo wakitarajia kuuza dhahabu yao kwa asilimia 85 ya bei ya soko la dunia ili faida itokane na tofauti baada ya usafishaji bodi yetu iliamua ya kuwa bot itasitisha ushiriki wake wa kwenye kampuni hii itataka ilipwe mkopo wake uliotoa kwa kampuni hii kwa shughuli na imepeleka taarifa hiyo kwa bodi ya mwananchi gold na matarajio yetu ni kwamba hii ni shughuli ambayo tutakuwa tumejiondoa alisema ndulu kuhusiana na sheria kuruhusu bot kufanya biashara gavana ndulu alikuliwa akisema kwamba wanaruhusiwa kuingia kwenye shughuli zozote za bullion ikiwa ni pamoja na vito vya thamani na dhahabu na kwamba si mara ya kwanza na pia hufanyika nchi nyingi duniani gavana aliwaambia wajumbe wa poc kwamba walitarajia usafishaji dhahabu ungefanyika kwa ufanisi mkubwa kutokana na kuamini kwamba wananchi watauza dhahabu kwa asilimia 85 ya bei ya dunia sasa huyo huyo mwananchi unataka kumsaidia anasema hapana mimi nataka asilimia 99 sasa kama faida yako ilikuwa itokane na hiyo difference inakuwa haiwezekani kwa hiyo sisi tumeona prospectively ingawa kampuni inaangalia uwezekano wa kupata mwekezaji atakayeingia labda katika down stream ya kutumia dhahabu kutengeneza vito na vitu kama hivyo lakini hili si eneo ambalo bot wangehusika alisema mbali ya bot kuwa na asililimia 35 ya hisa katika kampuni ya mwananchi gold limited kampuni nyingine zenye hisa ni mwananchi trust limited yenye asilimia 30 chimera limited asilimia 20 na ndc asilimia 15 mashitaka yanayotajwa tajwa dhidi ya warioba yanaelezwa kuweza kuwa na mkono wa kisiasa wenye lengo la kupunguza kasi ya kelele za ufisadi zinazoendelea kupigwa na wananchi na mwanasiasa huyo mstaafu kuonekana kuwa &#8216mwiba' kwa wanasiasa wa sasa hususan kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 hakuna aliyepatikana kuweza kuzungumzia kwa hakika kuhusiana na mashitaka dhidi ya jaji warioba ikiwa ni pamoja na mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) edward hosea kutopatikana wiki hii takukuru ndio wanaotajwa kuchunguza mradi wa mwananchi gold kwa muda mrefu sasa kwa upande wake dpp elieza feleshi hakuweza kupatikana pamoja na simu yake ya mkononi kuwa inaita mara kadhaa bila majibu na wakati mwingine kupokelewa na hatimaye kukatwa pamoja na watendaji hao kutopatikana mmoja wa maofisa waandamizi wa takukuru ameithibitishia raia mwema kwamba kati ya kesi kadhaa inazoandaa takukuru kesi ya mwananchi gold imo raia mwema imewahi kuambiwa kwamba baadhi ya wakurugenzi wa mwananchi gold kama yusuf mushi wamepata kutafutwa wahojiwe lakini ikashindikana kwa ugonjwa na kwamba mkurugenzi mwingine vulfrida mahalu katika siku za karibuni amehojiwa mara mbili na taasisi hiyo hakuna aliyepatikana kueleza undani wa mahojiano hayo mwanasiasa mmoja mkongwe ameliambia raia mwema kwamba kwa sasa warioba ni mmoja wa wanasiasa wanaoonekana kuwa mwiba kwa wanasiasa wa sasa kutokana na msimamo wake usiotetereka na kuwa mtu pekee asiye na makundi warioba anaonekana kuwa tishio kwa wanasiasa wengi kwa kuwa hatetereki na hana makundi na kwa kuwa kwake na mahusiano na wanasiasa wa makundi yote na hata wa upinzani na wasomi wengi anawatisha zaidi hilo inadaiwa haliwapendezi wengi na kwa kweli wanaweza kutafuta kitu cha kumdhibiti kabla ya mwaka 2010 alisema mwanasiasa huyo ambaye amekuwa ndani ya chama tawala kwa miaka mingi habari zinaeleza kwamba kesi zilizokwisha kufunguliwa mahakamani na nyingine zitakazofunguliwa zitalenga kushusha joto la kisiasa lililopanda kutokana na kuonekana kana kwamba watawala hawachukui hatua thabiti juu ya tuhuma za ufisadi zinazowakabili wanasiasa na matajiri kadhaa walio karibu na chama tawala wakati huu wa kuelekea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 kesi hizo zinatakiwa ziendelee hadi hata baada ya 2010 ili kutoa picha kwamba utawala umedhamiria kupambana na ufisadi hata kama kesi hizo zitakuwa zikitajwa tu na watuhumiwa hasa wale wa epa wakiwa wanaendelea na kesi hizo kesi hizo zitakuwa zikiendelea tu mahakamani kama ambavyo imekuwa ikiendelea nyingine ya aina hiyo ya aliyekuwa balozi wa tanzania italia profesa costa mahalu bila ya kuwa na mwisho kesi za hivi karibuni ambazo nazo zimeibua mjadala ni zile zinazowahusu mawaziri wa zamani wa mkapa daniel yona na basil mramba pamoja na aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha gray mgonja wote watatu walishitakiwa kwa mambo waliyoyafanya wakiwa serikalini na walisota rumande kwa siku kadhaa kabla ya kupata dhamana kwa nini matokeo ya kamati au tume ya warioba kuhusiana na rushwa haiwekwi wazi kina zitto na dr slaa tumieni mamlaka yenu kama bunge kuitaka hii ripoti iwekwe wazi
2017-07-22T13:18:37
https://www.jamiiforums.com/threads/msekwa-lowassa-kuonja-ukonga.22193/
mchenga vs tmt ni fainali ya kwanza kumjua mbabe wa sprite bball kings | mtaa kwa mtaa blog mchenga vs tmt ni fainali ya kwanza kumjua mbabe wa sprite bball kings
2017-10-22T02:33:42
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/08/mchenga-vs-tmt-ni-fainali-ya-kwanza.html
apps / windowsgoogle serp tool addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads jaribu mpya na kuboreshwa toleo la hapa maelezo chombo serp google ni chombo kwamba utapata kujua msimamo wa mtandao ukurasa wako katika cheo google kwa maneno predefined ni inapata baadhi metatag maelezo grabbing ni kutoka chanzo kanuni pamoja na kompyuta kufuatilia kwa kuangalia kama server ni juu au chini na graphics nzuri (angalia viwambo) hii ni seo chombo si anatumia google api http maombi tu maendeleo na visual studio 2010 (basicnet visual 2010) kamili na updated chanzo kanuni ni inapatikana kwa kununua makala juu ya v15 aliongeza baadhi ya majukumu iliyopita gui kwa kusoma rahisi metatag maelezo aliongeza 20 kwa max matokeo combobox aliongeza suport kwa 2 google urls nchi makala juu ya v14 kazi new inputbox uwanja anaokoa maadili yote ambayo yamekuwa searched aliongeza wazi uwanja orodha ya kifungo aliongeza kuangalia upatikanaji kazi na graphics makala juu ya v13 kazi new aliongeza nje ya xls faili aliongeza nje kwa csv faili keyword inputbox anaokoa maadili yote ambayo yamekuwa searched makala juu ya v12 meja upya & bugfix fasta regex parsing injini ajili ya utendaji bora msimamo kificho kwa matokeo single kuchimba aliongeza mwisho know nafasi ya kuweka aliongeza mchango kifungo katika kuhusu fomu aliongeza msaada kwa 56 google nchi url ya fasta safu tupu mdudu aliongeza icons bidhaa orodha makala juu ya v11 bugfix zisizohamishika mdudu katika orodha kuhesabu ambapo bidhaa ni si aliongeza msimamo httprequest kazi aliongeza httprequest umeisha utunzaji aliongeza 503 kosa utunzaji aliongeza 404 kosa utunzaji makala juu ya v10 kutolewa awali kutolewa kama kununuliwa bidhaa hii tafadhali kiwango it downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa11 julai 13badiliko17 februari 14sambamba os matoleowindows xp windows vista windows 7 windows 8 desktop windows 8 metromaombi runtimenet 3keywordsecommerce ecommerce vitu zote google nafasi cheo cheo kusahihisha cheo tracker search engine optimization search cheo seo serp
2017-06-23T03:36:58
https://sw.worldwidescripts.net/google-rank-position-checker-44238
ajali ya ndege yauwa 105 cuba rais aahidi uchunguzi | matukio ya kisiasa | dw | 19052018 ajali ya ndege yauwa 105 cuba rais aahidi uchunguzi cuba imeahidi kufanya uchunguzi kubaini sababu ya ajali ya ndege iliyouwa watu takribani 100 karibu na mji wake mkuu havana hapo jana rais mpya wa nchi hiyo miguel diaz canel aliitembelea sehemu ilikoanguka ndege hiyo na kusema matukio yote yatafanyiwa uchunguzi na ripoti itatolewa gazeti la serikali ya nchi hiyo la granma limesema kuwa watu watatu walinusurika katika ajali hiyo na kuongeza kuwa idadi kamili ya waliokufa ilikuwa 105 aidha gazeti hilo lilisema wahanga wengi walikuwa raia wa cuba lakini walikuwemo pia raia watano wa kigeni pamoja na marubani kutoka nje ya nchi ndege hiyo iliyopata ajali ilikuwa chapa boeing 737 inayomilikiwa na mexico jumla ya watu wanne wanawake watatu na mwanamme mmoja walipatikana wakiwa hai baada ya ajali hiyo lakini mwanamme huyo alifariki muda mfupi baadaye wanawake hao watatu bado wako katika hali mahtuti mada zinazohusiana boeing maneno muhimu cuba ajali boeing kiungo https//pdwcom/p/2xykf
2019-07-16T06:24:53
https://www.dw.com/sw/ajali-ya-ndege-yauwa-105-cuba-rais-aahidi-uchunguzi/a-43847557
mfungwa aruhusiwa kuoa nchini marekani bbc swahili http//wwwbbccom/swahili/habari/2014/11/141118_marriage_manson image caption charles manson mfungwa wa mauaji ya watu wengi nchini marekani aliyepata kibali cha kuoa mtu aliyeua watu wengi nchini marekani na kufungwa kifungo cha maisha charles manson mwenye umri wa miaka 80 ameripotiwa kupewa hati ya kuoana na mwanamke mwenye umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akimtembelea gerezani hati hiyo ya ndoa ilitolewa siku 10 zilizopita kwa manson na afton elaine burton limeripoti shirika la habari la associated press bi burton alihamia corcoran california miaka tisa iliyopita ili kuwa karibu na gereza la manson manson anatumikia kifungo cha maisha jela kwa kuua watu saba na mtoto mmoja ambaye hakuwa amezaliwa huko los angeles marekani mwaka 1969 waliouawa ni pamoja na mwigizaji aliyekuwa mjamzito sharon tate mke wa mwongoza sinema roman polanski haki miliki ya picha mansondirectcom image caption charles manson mfungwa mweye umri wa miaka 80 na mke mtarajiwa afton elaine burtonstar miaka 26 bi burton ambaye anajiita nyota ameliambia shirika la associated press kuwa ataoana na manson mwezi ujao hati hiyo imeripotiwa kudumu kwa siku 90 wote mtajua kuwa ni kweli itatokea ameliambia shirika hilo nampenda ameongeza kusema kiongozi huyo wa kidini na wafuasi wake wakijulikana kama familia ya manson aliwachoma visu na kuwaua kwa kuwapiga risasi watu saba huko los angeles katika siku mbilimwezi agosti 1969 katika jaribio la kutaka kuanza vita vipya vya matabaka ya rangi manson na wanawake watatu washirika wake walihukumiwa adhabu ya kifo kutokana na mauaji hayo lakini hukumu hiyo ilitolewa mwaka 1972 wakati jimbo la california lilipositisha kwa muda adhabu ya kifo mwaka 2012 manson alinyimwa parole yaani msamaha wa kuachiliwa na jopo la gereza la california ilikuwa mara ya 12 kwa manson kuomba kuachiliwa huru kwa matokeo hayo manson hastahili tena kuomba parole hadi mwaka 2027
2017-12-18T14:08:24
http://www.bbc.com/swahili/habari/2014/11/141118_marriage_manson
mchapishaji wa iphone 7 ya battery kwa ukarabati wa iphone china manufacturer maelezoiphone battery extenderhuduma ya battery ya iphonebattery ya iphone haipatikani home > bidhaa > betri ya iphone > iphone 7 battery > mchapishaji wa iphone 7 ya battery kwa ukarabati wa iphone mfano wa mfano iphone 7 battery iliyotengenezwa kwa ajili ya uingizaji wa betri ya masaa ya iphone 7 ya mah inachukua tishio la ti na seli mpya ya betri ya cobalt safi baada ya mzunguko mara 500 bado ina 80 angalau sisi pia hutoa betri ya iphone high capcity 2200 mah kwa mfano huu battery ya iphone wote tuna uthibitishaji wa ce rohs na fcc na dhamana ya mwaka 1 na huduma inayohusika baada ya mauzo yanafaa iphone apple 7 uwezo 1960mah voltage ndogo 435v wakati wa malipo 3hours features kwa maisha ya muda mrefu betri ya simu ya iphone 7 uwezo wa jumla ni 1960 mah ambayo ni sawa na awali100 inafaa simu yako hakikisha inafanya kazi vizuri jamii za bidhaa betri ya iphone > iphone 7 battery mchapishaji wa iphone 7 ya battery kwa ukarabati wa iphone wasiliana sasa kupata apple iphone 7 battery kubadilishwa wasiliana sasa moto ya kuuza lisimba polymer aple kubadilishana betri wasiliana sasa jinsi ya kuchukua nafasi ya betri ya iphone 7 wasiliana sasa bei ya betri ya iphone 7 bora zaidi wasiliana sasa apple iphone 7 betri ya awali wasiliana sasa iphone battery extender huduma ya battery ya iphone battery ya iphone haipatikani iphone battery saver iphone battery sita iphone 8 battery nje iphone battery orange iphone battery test
2020-06-07T09:22:34
https://www.hqqnbattery.com/sw/iphone-7-battery/56947565.html
makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi alipongeza shrika la umeme zanzibar zeco zanzinews home habari matukio makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi alipongeza shrika la umeme zanzibar zeco makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi alipongeza shrika la umeme zanzibar zeco meneja mkuu wa shirika la umeme zanzibar {zeco} nd hassan ali hassan kushoto akimkabidhi sampuli ya hundi ya shilingi 50000000/ makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi kwa ajili ya kuchangia mfuko wa sherehe za mapinduzi balozi seif kati kati akiupongeza uongozi wa shrika la umeme zanzibar {zeco} kwa uamuzi wake wa kusaidi nguvu za serikali katika kufanikisha vyema maadhimisho ya sherehe za kutimia miaka 55 ya mapinduzi ya zanzibar makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi alipokea hundi yenye thamani ya shilingi milioni 50000000/ iliyotolewa na uongozi wa shirika la umeme zanzibar {zeco} kwa ajili ya kuchangia mfuko wa sherehe za mapinduzi zinazofikia kilele chake kisiwani pemba meneja mkuu wa shirika hilo ndugu hassan ali hassan alimueleza balozi seif kwamba uongozi wa shirika lake umefikia hatua hiyo baada ya kuona uzito wa sherehe hizo ambapo serikali inalazimika kuungwa mkono ili kufanikisha vyema maadhimisho ya sherehe hizo akipokea hundi ya fedha hizo makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi ameupongeza na kuushukuru uongozi wa zeco kwa uamuzi wake wa kuiongezea nguvu serikali katika kufanikisha malengo ya sherehe hizo balozi seif alisema sherehe za mapinduzi ni za wazanzibari wote hivyo kitendo cha zeco kuchangia kwake kinastahiki kuigwa na taasisi nyengine za umma na hata zile binafsi leo mmeanza nyinyi zeco mnaoonekana kufungua njia kesho tutarajie taasisi nyengine kuiga mfano huo muhimu na mzuri katika mazingira ya taifa letu linalohitajika kujengwa na sisi sote alisema balozi seif makamu wa pili wa rais wa zanzibar aliwapongeza wataalamu na watendaji wa shirika la umeme zanzibar kwa uwajibikaji wao wa kusambaza huduma za umeme katika kila kona ya visiwa vya zanzibar jambo ambalo huleta faraja kwa jamii nzima balozi seif alisema inapendeza kuona hata visiwa vidogo vidogo vimeanza kupata huduma hiyo muhimu ambayo kwa maisha ya sasa sio hanasa bali ni nyenzo muhimu inayosaidia wananchi katika harakati zao za kiuchumi na maendeleo za kila siku
2019-01-17T07:16:42
http://www.zanzinews.com/2018/12/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar-mhe_31.html
mh festo mginamaafisa watendaji wa halmashauri ya mufindi ni majipu nitawatumbua tuakianza kuajiri mwanaharakati mzalendo ™ sebastian atilio 74700 pm by sebastian atilio muda 74700 pm
2018-07-17T22:40:42
http://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2017/06/mh-festo-mginamaafisa-watendaji-wa.html
rweyunga blog jon jones atwaa tena ubingwa wa ufc kwa ko jon jones atwaa tena ubingwa wa ufc kwa ko jon jones ametwaa tena ubingwa wa ufc wa uzito wa light heavyweight baada ya kurejea tena ulingoni tangu kupita mwaka mmoja kwa kumdunda kwa ko mpinzani wake daniel cormier katika raundi ya tatu pambano lao hilo la marudio baada ya kupita miaka miwili na nusu tangu wakutane kwa mara ya kwanza lilichezwa kwenye ukumbi wa honda center huko anaheim baada ya jones kuchonga kuwa yeye ni bingwa wa mabingwa katika historia ya mchezo wa ufc katika raundi mbili za kwanza mabondia hao walionyesha ushindani wa nguvu na mchezo mzuri wakipambana bila ya kushikana mara kwa mara lakini jones alitumia vyema teke alilompiga cormier raundi ya tatu kisha kumshambulia vilivyo na kumaliza pambano jon jones akimpiga teke daniel cormier lililochangia kumaliza nguvu jon jones akimshindilia ngumi mfululizo daniel cormier na kumaliza kabisa daniel cormier akibubujikwa na machozi wakati akihojiwa baada ya kudundwa
2018-03-20T15:49:26
http://rweyunga.blogspot.com/2017/07/jon-jones-atwaa-tena-ubingwa-wa-ufc-kwa.html
dr magufuli anahitimisha budget ya wizara ya ujenzi | jamiiforums | the home of great thinkers dr magufuli anahitimisha budget ya wizara ya ujenzi discussion in 'jukwaa la siasa' started by kimbunga jul 6 2012 namsikiliza dr magufuli akihitimisha uchangiaji wa budget ya wizara yake ameanza kupangua hoja moja baada ya nyingine akishuka na data anamshangaa mkosamali kwa kuwa hata akipewa anasema hakipo msikilizeni kama mnapenda anasema fire pale kutakuwa na barabara nane na siyo nne anasema barabara zinazojengwa hapa tanzania zingepelekwa rwanda basi wanyarwanda wasingepata mahala pa kulima nchi yote ingekuwa lami namna anavyoongea utadhani serikali inapiga kazi kweli we msikilize kwa makini kila bara bara anasema tunatarajia si kwamba ndio mpango au azimio ni kuijenga kwa rami mambo mengi ni wishful thinking anakuambia ccm oyeee chadema oyeee cuf oyeeee tlp oyeeee nccr oyeeee hilo ndo jembe la magamba lililobaki anakupa historia ya sheria ya hifadhi ya barabara tangia mwaka 1934 mnafiki tu huyo hana chochote ni mropokaji wa propaganda za ccm lazima atoe makilometa hapo na mavijiji ya uongo ili watanzania wamuaminiakili ndogo tuu huyo hana lolote mnafiki tu huyo hana chochote ni mropokaji wa propaganda za ccmclick to expand mkuu lakini naona anakubalika na hata wabunge wengi sana waliochangia hoja yake naona wamemkubali sana unataka afanye propaganda za cdm anamshangaa rweikiza kutoiunga mkono bajeti wakati hata wapinzani wameiunga mkono anasema barabara ya bamba bay haitawekwa kwa lami na huo ndiyo ukweli mkuu kimbunga asante kwa link hili lijamaa linachapa kazi tuache utani japo siyo hela yake ya mfukoni lakini amesimamia ipasavyo yupo makini anakupa historia ya sheria ya hifadhi ya barabara tangia mwaka 1934click to expand mie nimeshamchoka na mbwembwe zake bara bara haziendi zimesimama zinazofanyiwa kazi ni zile tu tulizo fadhiliwa hata ukisikiliza mchango ya wabunge wengi hata wa ccm wanalalamika pesa na mambo yaliopangwa mwaka jana hayajafanyika mkuu kimbunga asante kwa linkclick to expand mi hapa namchora kupitia kupitia tv card dr magufuli bwana anawajua hata wenyeviti wa vijiji anamhabarisha rweikiza masikini kumbe rweikiza kakosea na kudhani mkataba ulikuwa wa ujenzi kumbe siyo ni wa tamisemi duh magufuli mwacheni aitwe magufuli anaitaja katerero wabunge wanacheka jamaa anajitahidi sana wasiomkubali inabidi wamkubali tu lazima atoe makilometa hapo na mavijiji ya uongo ili watanzania wamuaminiakili ndogo tuu huyo hana loloteclick to expand akili ndogo magamba wote akili kubwa cdm lazima watawale magamba akili zimeganda yupo makiniclick to expand kumbe mkuu mungi nawe unaliona hilo jamaa amejipambanua tofauti na wengine kwa hakika ccm ingepata mawaziri watano tu kama huyu basi isingekuwa na tabu iliyonayo sasa anasema fire pale kutakuwa na barabara nane na siyo nne anasema barabara zinazojengwa hapa tanzania zingepelekwa rwanda basi wanyarwanda wasingepata mahala pa kulima nchi yote ingekuwa lamiclick to expand mkuu anasemaje kuhusu kampuni ya ujerumani strabag international kuhusu mradi wa mabasi yaendayo kasi
2016-12-03T19:49:15
http://www.jamiiforums.com/threads/dr-magufuli-anahitimisha-budget-ya-wizara-ya-ujenzi.288621/
makamu wa rais awahimiza wanafunzi wa kike nchini kusoma masomo ya sayansi dewjiblog makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan amewahimiza wanafunzi kote nchini kupenda kusoma masomo ya sayansi hasa watoto wa kike ili taifa liweze kujitosheleza kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini hasa wakati huu ambao taifa linaelekea kwenye uchumi wa viwanda makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan ametoa kauli hiyo katika hotuba yake kwenye mahafali ya pili ya wanafunzi wa kidato cha sita wa shule ya sekondari ya wama nakanyama jijini dar es salaam mahafali ambayo imehudhuriwa na wake wa marais wastaafu makamu wa rais amesema haitapendeza hata kidogo ajira nyingi nchini kuchukuliwa na wataalamu mbalimbali mataifa ya nje hasa kipindi hiki wakati serikali inahimiza ujenzi wa viwanda hivyo amesisitiza wanafunzi wajikite kwenye kusoma masomo ya sayansi ili taifa liweze kujitosheleza kwa ajili ya manufaa ya maendeleo ya taifa amesema katika kuhakikisha taifa lipata wanasayansi wengi serikali inaendelea na mpango wa ujenzi wa maabara na kununua vifaa vya maabara ili kuhamasisha wanafunzi wengi zaidi kupenda kusoma masomo ya sayansi kote nchini makamu wa rais pia amesisitiza kuwa serikali ya awamu ya tano inakusudia kuimarisha ufundishaji wa masomo ya teknolojia ya habari na mawasiliano tehama katika shule za sekondari na kujenga maabara za kompyuta nia ikiwa ni kuongeza wataalamu wa fani hiyo nchini kuhusu mila na desturi kandamizi kwa wanawake na wasichana zilizopo kwenye baadhi ya jamii nchini makamu wa rais ameitaka jamii kukomesha mila hizo na iwashirikishe wanawake katika mipango na mikakati ya maendeleo ya nchi kwani watakuwa ni chachu ya maendeleo katika jamii husika wote tunajua wanawake ni chachu na kiungo muhimu katika maendeleo ya jamii taifa na dunia kwa ujumla hivyo ni wajibu wa jamii kushirikisha wanawake katika kupanga na kutekeleza shughuli za maendeleo kote nchini amesisitiza makamu wa rais makamu wa rais pia ameipongeza taasisi ya wanawake na maendeleo wama kwa kujenga shule mbili za sekondari na kusomesha watoto wanaotoka kwenye familia maskini na yatima na kusema huo ni mfano wa kuingwa na wadau wengine wa maendeleo katika kusaidia kundi hilo ili watoto wanaotoka kwenye familia maskini nao waweze kuapata elimu itakayowasaidia katika maisha yao ya baadaye kuhusu changamoto zinazoikabili shule ya wama nakayama makamu wa rais ameahidi kushughulikia changamoto hizo ikiwemo uhaba wa maji ubovu wa barabara kuelekea kwenye shule hiyo na tatizo la uhaba wa mabweni kwa upande wake mwenyekiti wa wama na mke wa rais mstaafu wa awamu ya nne mama salma kikwete amesema aliamua kuanzisha taasisi hiyo ambayo inamiliki shule mbili mpaka sasa ili kusaidia watoto wa maskini na yatima kupata elimu bure ambapo mpaka sasa kuna idadi kubwa ya wanafunzi wanaliohitimu katika shule hizo ambao wamejiunga na masomo ya elimu ya juu mama salma kikwete ameshukuru ushirikiano mkubwa anaopata kutoka serikalini unaolenga kuhakikisha shule zinazoendeshwa na taaisisi hiyo ikiwemo ya wama nakayama zinafanya vizuri misri kuwekeza viwanda vya kutengeneza dawa za alphonce simbu anyakua nafasi ya 5 london warusi wapiga kura kubadili jina la mtaa kuwa donald trump ombi la rc wa tabora kwa makampuni ya ununuzi wa tumbaku nmb yaikabidhi msd milioni 25 kusaidia duka la dawa kwa jamii msaidizi wa wayne rooney ahukumiwa kifungo cha miezi 32 gerezani your inner child is calling get your copy online now rais obama amteua kwa mara ya kwanza muislam kuwa jaji mkuu nchini marekani mfuko wa pensheni ppf waendesha zoezi la uhakiki wa wastaafu
2017-11-20T05:52:55
http://dewjiblog.co.tz/makamu-wa-rais-awahimiza-wanafunzi-wa-kike-nchini-kusoma-masomo-ya-sayansi/
majeshi ya ufaransa na mali yapongezwa | matukio ya kisiasa | dw | 03022013 rais wa ufaransa francois hollande amesema kuwa majeshi ya nchi yake yatabakia nchini mali kwa muda mrefu iwapo yatahitajika kuendelea kupambana na waasi wenye itikadi kali za kiislamu kaskazini mwa nchi hiyo akizungumza kwenye mji mkuu wa mali bamako hapo jana (02022013) rais hollande alisema ugaidi umerudishwa nyuma lakini bado haujatokomezwa kabisa wakati majeshi ya ufaransa na mali yakiendelea na jitihada za kuukomboa mji wa kidal ngome ya mwisho ya waasi waliolitawala eneo la kaskazini mwa miezi 10 kabla ya majeshi ya ufaransa hayajaivamia nchi hiyo kijeshi rais hollande amewaambia wananchi wa mali kwamba ni muda kwa waafrika kuongoza operesheni za kijeshi lakini ufaransa haitawatenga na kuwaacha peke yao amesema ufaransa itakuwa bega kwa bega na mali kwa muda wote unaohitajika hadi hapo waafrika watakapoweza wenyewe kuongoza operesheni za kijeshi akiwa mjini timbuktu alikopokewa kama shujaa rais hollande aliwashukuru wanajeshi wa ufaransa na mali kwa juhudi zao za kuwaondoa waasi kaskazini mwa mali ingawa amekumbusha kuwa operesheni hiyo ya kijeshi bado haijamalizika rais wa mali amshukuru hollande rais wa mpito wa mali diancounda traore amemshukuru rais hollande kutokana na ufanisi wa wanajeshi wa ufaransa ambao amesema umelifanya eneo la kaskazini kukombolewa na kuwa huru rais francois hollande na rais diancounda traore mbali na rais traore kumshukuru rais hollande wakaazi wa mji huo pia wamemshukuru kiongozi huyo wa ufaransa na kuahidi kumshukuru milele ingawa wamemkumbusha kuwa amefanikiwa kuukata mti lakini bado ana jukumu la kuondoa kabisa mizizi ya mti huo marais hao wawili walizuru pia katika msikiti wa djingareybar mjini timbuktu uliojengwa kwa udongo miaka 700 iliyopita pamoja na maktaba ya ahmed baba kwa ajili ya mambo ya kale aidha walipozuru makaburi mawili ya maimamu ambayo waasi hao waliyaharibu mwezi julai mwaka uliopita kwa madai kwamba wanaabudu sanamu rais hollande amewaambia maimamu wa msikiti huo kuna haja ya kuuteketeza kabisa kwa sababu hakuna kitu kilichobakia ''tutayajenga tena mheshimiwa rais'' alisema irina bokova mkuu wa shirika la umoja wa mataifa la elimu sayansi na utamaduni (unesco) wakati rais huyo wa ufaransa yuko timbuktu majeshi ya ufaransa na mali yalipambana na waasi afisa mmoja wa jeshi la mali ameyasema hayo na kuongeza kuwa waasi waliitumia fursa hiyo kufanya mashambulizi yao wakitarajia kwamba wanajeshi wangelikuwa wameshughulika zaidi na kuwasili kwa rais hollande ufaransa na nia ya kukabidhi operesheni za kijeshi huku waasi wakiwa wamefurushwa kutoka miji yote mikubwa isipokuwa kidal uliopo kaskazini mashariki ufaransa ina nia ya kukabidhi operesheni za kijeshi kwa karibu wanajeshi 8000 wa afrika ambao wanawasili taratibu nchini mali na walioidhinishwa na umoja wa mataifa lakini kuna wasiwasi kuwa mali inahitaji msaada wa muda mrefu na huku makundi ya haki za binaadamu yakiripoti mauji yaliyofanywa na wanajeshi wa mali pamoja na waasi wenye itikadi kali za kiislamu shirika la human rights watch limesema kuwa wanajeshi wa mali wamewauwa kwa kuwapiga risasi watu wapatao 13 wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa waasi wenye itikadi kali za kiislamu katika mji wa sevare na kuitupa miili yao kwenye visima baadhi ya waliokumbwa na mkasa huo kabla ya majeshi ya ufaransa hayaijavamia mali kijeshi ni watu wa jamii wa kituareg na kiarabu kutokana na kuongezeka wasiwasi wa kuzuka mashambulizi zaidi watu wa jamii hizo wamekimbia katika eneo hilo la kaskazini mzozo wa mali umesababisha watu 377000 kuyakimbia makaazi yao wakiwemo 150000 ambao wameomba hifadhi ya ukimbizi katika mipaka ya mali taarifa hizi ni kwa mujibu wa umoja wa mataifa rais hollande amewatolea wito wanajeshi wa mali kuheshimu na kuzingatia haki za binaadamu wito ulioungwa mkono na rais traore ambaye pia ameahidi kuongoza mchakato wa maridhiano ya kitaifa na kurejea msimamo wake kwamba anataka kuitisha uchaguzi ifikapo julai 31 mwaka huu traore aipongeza timu ya mpira wa miguu ya mali timu ya taifa ya soka ya mali ama kwa upande mwingine rais wa mpito wa mali diancounda traore ameipongeza timu ya taifa ya mpira wa miguu ya mali baada ya kupata ushindi wa mabao matatu kwa moja ikiwa ni mikwaju ya penalti dhidi ya afrika kusini katika michuano ya kombe la mataifa ya afrikaafcon 2013 inayoendelea nchini afrika kusini timu hizo zililazimika kupigiana penalti baada ya mchezo kumalizika zikiwa zimetoka sare ya kufungana bao moja kwa moja amesema ushindi wa timu ya mali kuingia nusu fainali ambao ni ushindi wa kwanza tangu mwaka 1972 ni hatua ambayo imeongeza thamani na ufahari wa mali licha ya nchi hiyo kuwa katika mzozo amesema ushindi huo utaisaidia mali kurejea tena katika amani tarehe 03022013 mwandishi kabogo grace patricla mada zinazohusiana mali afcon marine le pen francois fillon maneno muhimu ufaransa mali hollande traore afcon kiungo https//pdwcom/p/17xcz
2019-10-16T17:53:08
https://www.dw.com/sw/majeshi-ya-ufaransa-na-mali-yapongezwa/a-16572263
kamal group brings newyear smiles to hundreds in artificial limb project dar es salaam over 100 people who lost their limbs in various accidents will now be able to walk again thanks to a multimillion shilling initiative by the dar es salaambased kamal group guided by indias bharat vikas parishad through their peoples empowerment foundation (pef) institutions donated 108 artificial limbs to some dar es salaam residents at the weekend during a brief event that was graced by the deputy minister of state in the prime ministers office (policy parliamentary affairs labour employment and youth and the disabled) mr anthony mavunde i dont have anything to give back to kamal group but allow me to say i am extremely delighted because after nine years i will now be able to walk again said ms mwanaisha mohammed speaking during the event the kamal group chairman mr gagan gupta said it was basing on its philosophy of growing with the community that the company launched the initiative of helping the people with disabilities three years ago we have set up a special unit that manufactures these artificial limbs at kamal steel as a way of cutting costs associated with the making of the productswe are doing this for the third year and we will continue doing so he said thanking the dar es salaam regional commissioner mr paul makonda for bringing the disabled people together so they could get the limbs in his remarks mr mavunde acknowledged the wonderful contribution of pef and kamal group to tanzanias social economic development and urged other companies to emulate through this kamal group is showing us that it is a good corporate citizen if every company can emulate this we in government will be happy with them this will then give us an impetus to further improve the business climate he said he said the government will meet with kamal group officials with a view to designing the best way to ensure that the artificial limb project reaches all the needy tanzanians across the country available data (help me with the source in line with your video clip) at least 36 million tanzanians have various forms of disabilities out of the number some 17 million have disabled parts including limbs and arms among others howver data from the tanzania association of the disabled show that it is only about 20 per cent who can actually get access artificial body parts such as limbs to access an artificial limb in a hospitals one needs up to sh3 million some of the disabled people celebrate after they received artificial limbs from the dar es salaambased kamal group during a brief event that was held at the weekend the deputy minister of state in the prime ministers office (policy parliamentary affairs labour employment and youth and the disabled) mr anthony mavunde (not in the picture) graced the event the deputy minister of state in the prime ministers office (policy parliamentary affairs labour employment and youth and the disabled) mr anthony mavunde (centre) presents an artificial limb to ms mwanaisha mohammed during an event where the dar es salaambased kamal group donated a total of 108 artificial limbs to the disabled people in the city at the weekend from left is a lecturer from mzumbe university dar es salaam campus dr coretha komba a kamal group director mr satyam gupta kamal group founder mr santosh gupta kamal group chairman mr gagan gupta and director mr sameer gupta a cross section of people with disabilities try their artificial limbs shortly after they were donated to them by the dar es salaambased kamal group during a brief event that was graced by the deputy minister of state in the prime ministers office (policy parliamentary affairs labour employment and youth and the disabled) mr anthony mavunde (not in the picture) during the weekend mkuu wa mkoa wa geitamhandisi robert luhumbi akisisita kwa wale ambao ni watumishi na viongozi kuacha kuendelea na tabia ya kushirikiana na wavuvi haramu sunday january 21 2018 ~ copyright michuzi blog habari ~ mtumie rafiki yako maoni 0 sunday january 21 2018 ~ copyright michuzi blog elimu ~ mtumie rafiki yako maoni 0 maandalizi ya ujio wa fifa yaanza waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dktharrison mwakyembe akizungumza na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano mkuu wa kimataifa wa shirikisho la mpira wa miguu duniani (fifa) (hawapo pichani) unaotarajia kufanyika nchini mwezi februari 2018 kuhakikisha maandalizi yanakuwa mazuri ili ujio huo uwezekuletea manufaa kwa taifa katika kikao kilichofanyika jana jijini dar es salaam wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano mkuu wa kimataifa wa shirikisho la mpira wa miguu duniani (fifa) wakisililiza maagizo ya waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dktharrison mwakyembe aliyokuwa akitoa katika kikao hicho kwa lengo la kufanikisha ujio huo wa kimataifa kuwa unaleta manufaa kwa taifa jana jijini dar es salaam baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano mkuu wa kimataifa wa shirikisho la mpira wa miguu duniani (fifa) wakifuatilia maelekezo yaliyokuwa yanatolewa na waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dktharrison mwakyembe katika kikao cha maandalizi ya ujio huo kilichofanyika jana jijini dar es salaamwapili kulia ni mkurugenzi wa idara ya maendeleo ya michezo kutoka wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo bw yusuph singo mkuu wa wilaya ya kibaha mkoani pwani assumpter mshama aliyesimama akizungumza jambo kuhusiana na masuala ya elimu bure (picha na mwamvua mwinyi) wilaya ya simanjiro mkoani manyara ambayo haina hospitali ya wilaya imejipanga huhakikisha inaanza mchakato wa ujenzi wa hospitali hiyo wilaya ya simanjiro iliyoanzishwa mwaka 1993 baada ya kugawanywa kutoka wilaya ya kiteto kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ina wananchi 178693 lakini hadi hivi sasa haina hospitali ya wilaya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo yefred myenzi aliyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo myenzi alisema viongozi na wananchi wa wilaya hiyo kwa pamoja wanapaswa kushikamana ili kuhakikisha wanafanikisha ujenzi wa hospitali hiyo ya wilayani alisema ameshakutana na wataalamu wa idara ya afya waliotoka ofisi ya rais tamisemi waliofika ofisini kwake na kupanga mipango ya kuanzisha hospitali ya wilaya hiyo sikubaliani na pendekezo la kukipandisha hadhi kituo cha afya orkesumet ili kiwe hospitali ya wilaya hapana tunapaswa kujenga hospitali ya wilaya na kituo cha afya orkesumet kitaendelea kufanya kazi yake kama kawaida alisema myenzi alisema tangu wilaya hiyo ya simanjiro ianzishwe haijawahi kuwa na hospitali ya wilaya hivyo huu ni wakati muafaka wa kuanza mchakato wa ujenzi wake diwani wa kata ya orkesumet sendeu laizer alisema anaunga mkono hatua ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo yefred myenzi kuanza ujenzi wa hospitali mpya ya wilaya na kutopandisha hadhi kituo cha afya cha orkesumet laizer alisema suala hilo ni maendeleo makubwa kwa wananchi wa kata ya orkesumet na wilaya ya simanjiro kwa ujumla kwani wilaya hiyo haijawahi kuwa na hospitali ya wilaya tangu ianzishwe mkazi wa wilaya hiyo meshack tureto alisema ujenzi wa hospitali hiyo itakuwa ni maendeleo mazuri kwa wananchi wa eneo hilo ambao hawana hospitali ya wilaya tureto alisema uanzishwaji wa hospitali ya wilaya itakuwa ni muendelezo mzuri wa maendeleo kwenye eneo la afya kwani mgonjwa ataweza kupata rufaa ya ugonjwa kwa ukaribu zaidi tofauti mkazi wa orkesumet baraka john alipongeza jitihada za myenzi kuanzisha mchakato wa ujenzi wa hospitali hiyo kwani anaamini mikakati hiyo itafanikiwa tunaposema uongozi wa ubunifu na unaoacha alama ni huu alioufanya mashine ya kazi myenzi kwani hospitali ya wilaya ni hitaji la muda mrefu kwa jamii ya eneo hili alisema john mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya simanjiro mkoani manyara yefred myenzi akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo kushoto ni makamu mwenyekiti wa halmashauri hiyo albert msole na katibu tawala wa wilaya hiyo zuwena omary makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya simanjiro albert msole akizungumza wakati akifungua kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo kulia ni katibu tawala wa wilaya hiyo zuwena omary na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo yefred myenzi mbunge wa jimbo la kasulu vijijini agaustine vuma ameahidi kufanya ziara ya kutembelea vijijini vyote vya jimbo hilo kwa lengo la kuangalia changamoto na kero zinazo wakabili wananchi amefafanua changamoto atakazokutanazo baada ya kuwasikiliza wananchi wake hatua itakayofuata ni kuzifikisha serikali zitatuliwe ili waendelee kufurahia uongozi wao uliopo madarakani vuma amesema hayo jana wakati akikagua miradi inayotekelezwa katika jimbo hilo ikiwemo mradi wa kituo cha afya cha nyakitonto kilichotengewa sh milioni 500 ambapo mpaka sasa ujenzi huo umekamilika kwa asilimia 70 mpaka sasa na fedha ilizo tumika ni shmilioni 290amefafanua vuma amesema serikali ya awamu ya tano ipo kwa ajili ya kutatua changamoto za wananchi na ndio maana raisdktjohn magufuli ameanza kuboresha sekta za afya kwa kutoa fedha katika vituo vya afyaameongeza lengo la fedha hizo ni kuhakikisha wananchi huduma za afya vizuri pamoja na kuwawezesha wananchi kuwa na afya njema tunamshukuru sana rais wetu kwa kuendelea kuwasaidia wananchi na sisi kama wawakilishi kazi yetu ni kuibua matatizo na kumpelekea aweze kuyatatua mpaka sasa tunaendelea kuboresha huduma za afya na nimeahidiwa kupewa fedha nyingine kwaajili ya kituo cha afya rusesa na fedha hizo zitaendelea kutolewa kwa kuwa ni utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi(ccm) amesema vuma kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya kasulu vijijini ambae pia ni diwani wa kata ya nyakitonto yohana mshita amesema wananchi wa vijiji vilivyo karibu na kata hiyo walikuwa wakiteseka kupata hudumaamesema wananchi wengine walikuwa wakilazimika kufuata huduma kasulu mjini na kusababisha kupoteza nguvu kazi lakini kwa sasa wataendelea kupata huduma karibu ameongeza fedha zilizotolewa zimetumika kujenga chumba cha upasuaji wodi za wagonjwa nyumba ya mganga na chumba cha kuhifadhia maitiamesema mpaka sasa kuna fedha nyingi zimebaki na wataendelea kuzihifadhi ili zitumike katika miradi mingine itakayo ibuliwa na wananchi nao baadhi ya wananchi akiwamo happynes dastan amesema wamekuwa wakililia kupata kituo cha afya karibu kwani walikuwa wakilazimika kufuata huduma za upasuaji wilaya ya kasulusasa tunauhakika wa kupata huduma za afya hapa hapa na kuendelea kufurahia huduma hiyo kwa karibuamesema amesema wanampongeza sana rais wa magufuli kwa kazi kubwa anayoifanya na shughuli ya kuwahudumia wananchi wanyonge kwa shida walizokuwa nazo mbunge wa kasulu vijijini agaustine vuma akikagua miradi inayotekelezwa katika jimbo hilo ikiwemo mradi wa kituo cha afya cha nyakitonto kilichotengewa sh milioni 500 ambapo mpaka sasa ujenzi huo umekamilika kwa asilimia 70 dkt mwakyembe aomba watanzania kusaidia matibabu ya wastara sunday january 21 2018 ~ copyright michuzi blog ~ mtumie rafiki yako maoni 0 mkurugenzi msaidizi na mratibu wa dawati la bunge la afrika kutoka ofisi ya bunge ndg lawrence makigi akisisitiza jambo wakati akitoa elimu kwa shughuli mbali mbali zinazofanywa na bunge la tanzania kwa shule za sekondari za musoma mjini katika tukio lililofanyika leo katika shule ya musoma sekondari iliyopo musoma mjini kulia ni afisa elimu wa manispaa ya musoma mjini ndg exavery ntambala na kushoto ni makamu mkuu wa shule ya sekondari musoma mwl kilonda salum katibu msaidizi uhusiano wa kimataifa kutoka ofisi ya bunge ndg james sapali akizungumza wakati akitoa elimu kwa shughuli mbali mbali zinazofanywa na bunge la tanzania kwa shule ya musoma sekondari pamoja na shule ya sekondari ya songe katika tukio lililofanyika leo katika shule ya musoma sekondari iliyopo musoma mjini mwanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya songe iliyopo musoma mjini akiuliza swali kwa maafisa kutoka ofisi ya bunge pale maafisa hao walipotembelea shule ya sekondari ya musoma kwa ajili ya utoaji wa elimu kwa shughuli mbali mbali zinazofanywa na bunge la tanzania katika tukio lililofanyika leo katika shule ya musoma sekondari iliyopo musoma mjini wanafunzi wa shule za sekondari za musoma na songe wakimsikiliza mkurugenzi msaidizi na mratibu wa dawati la bunge la afrika kutoka ofisi ya bunge ndg lawrence makigi (katikati) akizungumza wakati wa utoaji wa elimu kwa shughuli mbali mbali zinazofanywa na bunge la tanzania katika tukio lililofanyika leo katika shule ya musoma sekondari iliyopo musoma mjini wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya songe pamoja na shule ya sekondari ya musoma wakifuatilia maada inayotolewa na maafisa kutoka ofisi ya bunge wakati wa utoaji wa elimu kwa shughuli mbali mbali zinazofanywa na bunge la tanzania uliofanyika leo katika shule ya musoma sekondari iliyopo musoma mjini sekta binafsi imenituma kuleta pongezi kwa serikali inayoongozwa na mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo utambuzi wa kwamba sekta binafsi ni mbia muhimu wa maendeleo ya taifa letu alisema bw shamte serikali imepunguza pia mlolongo wa kodi kwa wakulima japokuwa kazi haijakamilika lakini mwanzo ni mzuri aliongeza bw shamtealieleza kuwa jitihada mpya na nzuri za kutatua changamoto za kodi kwa kampuni zinazojihusisha na biashara kati ya tanzania bara na visiwani na kuanza kufanya malipo kwa wakandarasi na watoa huduma wa ndani hatua ambayo wanaamini itakuza matumizi ya ndani na mzunguko wa fedha baadhi ya wafanyabiashara na wawekezaji walioshiriki mkutano wa tatu wa majadiliano kati ya wadau wa sekta binafsi na sekta ya umma uliofanyika mjini dodoma sunday january 21 2018 ~ copyright michuzi blog fedha na uchumi ~ mtumie rafiki yako maoni 0 na hafidh kido moshi kwa nafasi yangu ya msemaji wa timu ya coastal union 'wagosi wa kaya' ninatakiwa kusafiri na timu popote iendapo lakini kutokana na majukumu mengine nashindwa kutenda haya lakini nilijiapiza mechi baina ya wagosi na polisi tanzania iliyochezwa mjini moshi katika uwanja wa chuo cha ushirika lazima niende kwa bahati ikatokea dharura ya kifamilia nikapata ruhusa kibaruani nami nikahudhuria kwa wiki kadhaa sasa kumekuwepo na maneno kuwa rais wa shirikisho la soka tanzania (tff) anaikingia kifua coastal union kwa sababu ni mwenyeji wa tanga lakini pia aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za kiuongozi kwenye klabu hiyo kongwe ya jijini tanga iliyoanzishwa mwaka 1948 kama hiyo haitoshi ikaelezwa kuwa kikosi cha coastal union kinacheza soka kwa kubebwa waamuzi ambao wanapokea maagizo kutoka tff yamezungumzwa mengi itoshe tu kusema baadhi ya klabu zinazoshiriki ligi ya soka daraja la kwanza wamekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kudai coastal union inabebwa nimeamua kuja kushuhudia 'kubebwa' kwa coastal union naomba nitangaze maslahi kabla sijaendelea na andiko hili nililoliandika saa nane usiku wa kuamkia jumapili januari 21 2018 nikiwa chumba cha hoteli mjini moshi mkoa wa kilimanjaro mimi ni shabiki wa coastal union lakini pia ni mwanahabari hivyo naandika kwa jicho la kihabari lakini naweza kuteleza nikaweka unazi katika andiko hili nipo tayari kukosolewa na hata kuzodolewa ikiwa nitaandika uongo au kuongeza chumvi hadi naandika haya msimamo wa kundi b inayojumuisha timu nane yaani coastal union polisi tanzania jkt mlale kinondoni manicipal (kmc) mbeya kwanza mufindi united mawenzi market na polisi dar es salaam coastal union ilikuwa inaongoza kundi kwa jumla ya alama 22 ikifuatiwa na polisi tanzania (21) jkt mlale (21) kmc (19) mbeya kwanza (16) mufindi utd (12) mawenzi market (7) na polisi dsm (3) kwa namna yoyote ile polisi tanzania wameumizwa na suluhu tuliyowalazimisha katika uwanja wao hivyo walijiandaa kwa hali yoyote iwayo kuhakikisha tunawaachia alama tatu muhimu kwao ili kujihakikishia kupanda ligi kuu ya soka tanzania bara sunday january 21 2018 ~ copyright michuzi blog michezo ~ mtumie rafiki yako maoni 0 generali mabeyo aliwasili kilosa januari19 2018 majira ya jioni na kuungana na mwenyeji wake dkt kebwe stephen kebwe mkuu wa mkoa wa morogoro aliyepiga kambi wilayani humo kwa ajili ya mafuriko hayo kisha bila kujali mvua iliyokuwa inaendelea kunyesha muda wote wakatembelea baadhi ya maeneo yaliyoakuwa yamethiriwa ili kuona hali halisi ya mafuriko hayo hata hivyo alisema changamoto hiyo inatakiwa kuwe na mpango wa muda mfupi muda wa kati na muda mrefu amesema suluhisho la mpango wa mda mfupi ni kuwa na kazi ya dharura na kazi hiyo ya dharura inahitajika kuwepo na mpango wa dharura ambao ni kuokoa maisha ya watu waliozingirwa na maji ili wasiendelee kukosa huduma za kijamii na pia kuathiri afya zao kwa kunywa maji ambayo si salamapamoja na kuwepo kwa wazo la kurekebisha tuta la mto mkondoa ikiwa ni mpango wa muda wa kati ili maji hayo yafuate mkondo wake lakini pia generali mabeyo ameshauri kuangalia namna ya kupunguza kasi ya maji hayo kuanzia yanakotoka kwa kujenga mabwawa ikiwa ni mpango wa muda mrefu hata hivyo dkt kebwe ametoa ombi kwa mkuu huyo wa majeshi kupata nguvu kazi ya wananjeshi vifaa na utaalamu wao ili baada ya mvua hizi kupungua waendelee na kutafuta mbinu ya kuuongozo mto mkondoa uweze kupita katika sehemu yake ya awali na hivyo kutoathiri wananchi mali zao na miundombinu iliyopo eneo hilo mkuu wa mkoa wa morogoro dk steven kebwe akimuongoza mkuu wa majeshi ya ulinzi jenerali venance mabeyo kushoto na mkuu wa wilaya ya kilosa mh adam mgoyi katikati wakati walipokagua athari za uharibifu wa madaraja mashamba na nyumba za wananchi kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha wilayani kilosa mkoani morogoro mkuu wa mkoa wa morogoro dk steven kebwe akitoa maelezo kwa mkuu wa majeshi ya ulinzi jenerali venance mabeyo katikati na mkuu wa wilaya ya kilosa mh adam mgoyi kushoto wakati walipokagua athari za uharibifu wa madaraja mashamba na nyumba za wananchi kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha wilayani kilosa mkoani morogoro maji yakiwa yametapakaa kandokando ya reli ya kati na kusababisha uharibifu mkubwa wa reli mashamba pamoja na nyumba za wananchi madaraja yakiwa katika hatari ya kusombwa kutokana na mvua hizo waziri mkuu kassim majaliwa amtembelea mama maria nyerere na kutoa heshima kwenye kaburi la baba wa taifa waziri mkuu kassim majaliwa mkewe mary na mama maria nyerere wakiwapungia wananchi katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na waziri mkuu kassim majaliwa katika uwanja wa mwenge kijijini butiama januari 20 2018
2018-01-21T23:57:44
https://issamichuzi.blogspot.ca/
utoaji wa gesi za kaboni umeongezeka 2018 | masuala ya jamii | dw | 06122018 utoaji wa gesi za kaboni umeongezeka 2018 kwa mujibu wa ripoti hiyo ambayo ni mkusanyiko wa tafiti tatu kutoka mradi wa ulimwengu kuhusu gesi za kaboni utoaji wa gesi ya ukaa duniani umeongezeka kwa asilimia 27 kati ya mwaka 2017 na 2018 baada ya kuwa kiwango cha chini kwa miaka kadhaa iliyopita ripoti hiyo imetolewa wakati wanadiplomasia kutoka mataifa mbalimbali duniani wanakutana mjini katowice nchini poland kwa muda wa wiki mbili kwa mkutano wa mabadaliko ya tabianchi wa cop24 wawakilishi kutoka karibu nchi 200 wanajaribu kuweka mkakati wa kufikia malengo ya kupunguza kiwango cha uchafuzi kilichokubaliwa kwenye mkataba wa paris wa mwaka 2015 lakini wanasayansi tayari wamesema viwango vipya vya uchafuzi vinamaanisha itakuwa vigumu kufikia baadhi ya malengo mkataba wa paris unaweka masharti ya mataifa kufanya kazi pamoja kudhibiti ongezeko la joto ulimwenguni kuwa kati ya nyuzi 15 hadi 2 kwa kipimo cha selshesi ambacho ni kiwango cha joto kabla ya mapinduzi ya viwanda mwaka 1750 ahadi ni nyingi bila vitendo akizungumza kwenye mkutano wa cop24 mshauri wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi katika taasisi ya greenpeace jens mattias clausen amesema ripoti hiyo mpya imetoa mwanga zaidi kwa kile kinachojulikana kote duniani kuwa mabadiliko ya tabianchi ni kitisho cha wazi na ulimwengu lazima ufanye kazi haraka kupunguza viwango utoaji wa gesi ukaa akiwanyooshea kidole cha lawama wanasiasa ambao wamekuwa chanzo cha kile alichokiita mwendo wa konokono katika kupunguza matumizi ya nishati chafuzi mwakilishi huyo wa greenpeace amesema kuna wanasiasa wengi wanaosema mambo chungu nzima wanayotaka kufanya na mipango lukuki ya siku za usoni na mikakati ya kila aina waliyonayo lakini inapokuja vitendo hatuoni chochote kwa hiyo kimsingi hicho ndiyo tunakiomba wafanye mtu awe kiongozi na sio mwanasiasa tu viwango vya uchafuzi vimechangiwa zaidi na matumizi makubwa ya makaa ya mawe mafuta na gesi asilia na watafiti wameonya kuwa ongezeko la mahitaji ya nishati duniani linatishia mipango ya kupunguza utowaji wa gesi ya ukaa china na marekani vinara wa utoaji gesi ukaa takwimu za mwaka 2017 zinaonesha mataifa yanayongoza kwa utoaji wa gesi ukaa ni china kwa asilimia 27 marekani kwa asilimia 15 mataifa 28 ya umoja wa ulaya yanachangia kwa asilimia 10 na india viwango vya uchangiaji wake ni asilimia 7 baadhi ya wajumbe wanaoshiriki mkutano wa cop24 huko poland wamesema kulikuwa na majadiliano magumu jana wakati nchi zinazoendelea zilipotaka kupata hakikisho kuwa ikiwa zitaweka ahadi ya kupunguza utoaji wa gesi ya ukaa nchini tajiri zitakuwa tayari kulipia gharama za athari kwenye chumi za mataifa hayo masikini mwandishi rashid chilumba/dpa/reuters mada zinazohusiana cop23 poland maneno muhimu mabadiliko ya tabianchi gesi ya kaboni poland cop24 kiungo https//pdwcom/p/39amz kupanda miti kutapunguza mabadiliko ya tabia nchi utafiti 05072019 njia bora zaidi ya kupambana na ongezeko la ujoto duniani ni kupanda miti mingikadiri iwezekanavyo kwa mujibu wa utafiti uliotolewa na mwanasayansi mmoja wa uswisi utafiti mabadiliko ya tabia nchi ni kitisho kikubwa duniani 11022019 utafiti mpya ulioendeshwa katika nchi 26 na matokeo kuchapishwa jumatatu umebaini kuwa nchi nyingi zinaona mabadiliko ya tabia nchi kuwa kitisho kikubwa cha ulimwengu
2019-09-17T13:20:07
https://www.dw.com/sw/utoaji-wa-gesi-za-kaboni-umeongezeka-2018/a-46615355
tamko rasmi la kamati kuu ya chama cha actwazalendo kuhusu hali ya nchi kwa sasa | habari24 home » habari za kitaifa » tamko rasmi la kamati kuu ya chama cha actwazalendo kuhusu hali ya nchi kwa sasa written by vuvuzela on tuesday september 6 2016 | 124400 pm
2019-03-25T12:46:31
https://www.habari24.com/2016/09/tamko-rasmi-la-kamati-kuu-ya-chama-cha.html
supernatural viungo | stories reviews and zaidi on fanpop | page 265 11335992 viewers kuwa shabiki onyesha viungo vya supernatural (26412650 of 5823) imewasilishwa kwa mantap123 zaidi ya mwaka mmoja uliopita imewasilishwa kwa robi3bot zaidi ya mwaka mmoja uliopita inayopendelewa tv romantic couple vote for dean and cas imewasilishwa kwa eliza19 zaidi ya mwaka mmoja uliopita castiel my moyo will go on imewasilishwa kwa harrypotter148 zaidi ya mwaka mmoja uliopita
2019-11-22T05:59:20
http://sw.fanpop.com/clubs/supernatural/links/page/265
revelation chapter 6 swahili new testament bible kisha nikamwona mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo njoo mimi nikatazama na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo na mpanda farasi wake alikuwa na upinde akapewa na taji basi akatoka kama mshindi aendelee kushinda kisha mwanakondoo akavunja mhuri wa pili nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema njoo nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo mwekundu mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani watu wauane akapewa upanga mkubwa kisha mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema njoo nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo mweusi mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne nayo ilisema kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja lakini usiharibu mafuta wala divai kisha mwanakondoo akavunja mhuri wa nne nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema njoo nami nikatazama na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo rangi yake kijivu na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo na kuzimu alimfuata nyuma hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia wawaue watu kwa upanga njaa tauni na kwa wanyama wakali wa dunia kisha mwanakondoo akavunja mhuri wa tano nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa mungu na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa basi wakalia kwa sauti kubwa ee bwana uliye mtakatifu na mwaminifu mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa kisha nikatazama na wakati mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita kukawa na tetemeko kubwa la ardhi jua likawa jeusi kama gunia mwezi wote ukawa mwekundu kama damu nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake kisha wafalme wa duniani wakuu majemadari matajiri wenye nguvu kila mtumwa na mtu huru wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani wakaiambia hiyo milima na hayo majabali tuangukieni mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na mbali na ghadhabu ya mwanakondoo maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika nani awezaye kuikabili
2018-02-23T10:41:11
http://speedbibleonline.com/swahili/B66C006.htm