text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
habari mseto blog kuundwa kwa kamati ya kuchunguza suala la kilichotokea clouds media waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe nape moses nnauye ameunda kamati ya watu watano kuchunguza suala la kilichotokea clouds media siku ya alhamisi pamoja na ijumaa usiku kamati hiyo imeundwa baada ya waziri nape kufanya ziara clouds media leo jumatatu 20/03/2017 na kuzungumza na uongozi wa clouds media kufuatia tukio la mkuu wa mkoa wa dar es salaam kutembelea ofisi hizo siku ya ijumaa usiku akiwa na askari wenye silaha kamati hiyo itaongozwa na mwenyekiti dkt hassan abbas mkurugenzi idara ya habari maelezo bw deodatusi balile makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri ndg jesse kwayu mhariri mtendaji gazeti la nipashe ndg mengida johannes kutoka wapo redio pamoja ndg mabel masasi kutoka mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) baada ya kamati hii kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kutoka pande zote mbili wizara itasema hatua itakazochukua
2017-08-22T10:54:14
http://francisdande.blogspot.com/2017/03/kuundwa-kwa-kamati-ya-kuchunguza-suala.html
online kuunganisha archives live past 100 vizuri tuma uhusiano wa mtandaoni online dating kwa wakubwa tips ya kupata mtu haki imetumwa na david uriarte | matumaini & fursa | 0 | by david uriarte | matumaini & fursa | 0 | upendo wa mtandaoni hauna tena unyanyapaa wa kijamii ambao ulifanyika hapo awali sasa ni moja ya
2020-01-19T18:52:03
https://livepast100well.com/sw/tag/online-dating/
kuelekea pambano la el clasico mjue isco kijana wa ajabu ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = ' kuelekea pambano la el clasico mjue isco kijana wa ajabu gareth bale kucheza jumapili mshambuliaji wa kimataifa wa real madrid gareth bale huenda akawemo kwenye kikosi chake kitakachomenyana na barcelona katika pambano la watani wa jadi el clasico la marudiano la ligi kuu ya soka nchini humo maarufu kama laliga mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 27 kutoka wales ameshindwa kucheza mechi 2 zilziopita kutokana na maumivu ya misuli lakini ameonekana kwenye mazoezi ya kikosi chake alhamisi iliyopita isco na mbwa wake aliyempachika jina messi barcelona watamkosa mshambuliaji wake wa kimataifa kitoka brazil neymar ambaye anatumikia adhabu baada ya kutolewa nje kwenye mchezo wa timu yake dhidi ya malaga aprili 8madrid ambayo ina mchezo mmoja mkononi inaongoza ligi hiyo ikifuatiwa na batcelona kwa tofauti ya pointi tatu el clasico mashabiki huchukiana wazi wazimc manaman mchezaji wa zamani wa real madrid akihojiwa na bbcradio 5 kuhusu mchezo huo alisema el clasico sio kama vile pambano la everton na liverpool au hata liverpool na manchester united hapa tunazungmzia ushabiki uliokubuhu mashabiki kwenye el clasico huchukiana timu hizi zinapokutana nilikuwepo pale wakati nachezea madrid ambapo luis figo alirushiwa kichwa cha nguruwe na shabiki anasimulia mc manaman palikuwa na askari wenye silaha wakimlinda kocha mkuu huku mitutu ikiwa imeelekezwa kwa watu kama ingekuwa uingereza hayumkini ungeshtushwa na hali hiyo na kwa vyovyote vile pambano hili huleta msisimko wa hali ya juu miongoni mwa washabiki alisema ni wakati wa isco kungaa yawezekana ana unazi na barcelona akimiliki mbwa mdogo aliyempa jina la messi na wakati wa majira ya joto wiki chache zilizopita alihusishwa kuwa na mpango wa kujiunga na vijana wa nou camp lakini sasa francisco roman alarcon suarez maarufu kwa jina la isco anaweza kuwa na jukumu kubwa la kuipatia real madrid faida kubwa kwenye mbio zake za kuwani kombe la la liga dhidi ya barcelona katika el clasico pale bernabeu real madrid inaingia mchezoni ikiwa mbele kwa pointi 3 dhidi ya hasimu wake barcelona na mchezo mmoja mkononi ushindi kwenye mechi hiyo ya jumapili utaiwezesha madrid kuwa na pointi sita mbele ya mpinzani wake ambaye atakuwa na michezo mitano (5) iliyosalia swali ni je isco ambaye hujulikana kama kijana wa ajabu (wonder boy) yuko tayari kuweka mizania miongoni mwa nyota wa galaxy hapo bernabeu kihistoria nyota ya kiungo huyo mshambuliaji isco ilianza kungara wakati akiichezea valencia kwa mara ya kwanza mwaka 2010 akiwa na umri wa miaka 18 na alizidi kupata umaarufu baada ya kuhamia timu yake ya nyumbani malaga wakati wa majira ya joto mnamo mwaka 2011 akiwa na vijana walioanza kungara pamoja akina javier saviola joaquin and roque santa cruz alikuwa muhimu wakati malaga ikiongozwa na manuel pellegrini iliingia kwenye fainali ya ligi ya mabingwa ya msimu wa 2012/13 ambapo ilifika hadi robo fainali kabla ya kutolewa na kwa kichapo cha mabao 20 wakati wa muda wa majeruhi dhidi ya borussia dortmund ya ujerumani kiwango cha isco kwenye mashindano hayo kilipelekea kupewa tuzo ya kijana wa dhahabu (golden boy) kwa mchezaji bora kijana barani ulaya lakini pia alingara kwenye mashindano ya kimataifa akiwa na timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 21 mwaka 2013 ambapo hispania iliibuka bingwa ilikuwa wazi kuwa ubora wake usingemuwezesha kuendelea kuchezea malaga kwani wakati wa majira ya joto 2013 real madrid na kusajiliwa kwa kitita cha euro milioni 23 kwa mkataba wa miaka mitano
2017-10-22T15:42:45
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/04/kuelekea-pambano-la-el-clasico-mjue.html
news alert chama kipya cha siasa chaanzishwa | jamiiforums | the home of great thinkers news alert chama kipya cha siasa chaanzishwa discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji dec 14 2007 chama kipya cha kisiasa cha aftp kimepata usajili wa muda leo mbele ya msajili wa vyama vya kisiasa chama hicho ambacho lengo lake ni kuwavutia wakulima kinajulikana kama alliance farmers party ambacho sasa hivi mwenyekiti wake wa muda ni said sudi said bw said akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupata usajili huo wa muda alisema kuwa tunawaendea wakulima kwa sababu wamesahauliwa na vyama vingi vilivyopo kwa mujibu wa sheria za vyama vya kisiasa chama hicho kipya kinatakiwa kizunguke ndani ya angalau mikoa kumi na kupata wanachama angalau 200 ili kiweze kupata usajili wa kudumu wasio wakulima hawatakiwi nadhani kama unawaunga mkono utakuwa unakaribishwa as a matter of fact nadhani hiki chama ni kinyume na sheria kwa sababu katiba inakataza kuunda chama kwa misingi ya kuhudumia watu wa kundi fulani tanzania labor party basi nacho kipo kinyume cha sheria kwa m isingi hiyo mhhhhhhhhhh kazi kweli kwelibaada ya kumiliki gazeti la raia mwema sasa wanakuja wanaanzisha chamaduh watz tumechoka na mavyama kibaotunataka vyama vicheche vyenye sera za kumkomalia nyani giladi bilaya kumtizama machoni tanzania labor party basi nacho kipo kinyume cha sheria kwa m isingi hiyoclick to expand labour party sidhani ni cha msingi wa labour kama unavyotaka iaminike na chenyewe kama ni kwa msingi wa watu wa kundi fulani chaweza kuwa na makosa hakuna mtu anayeweza kusema ana escape labor in one form or anotherukitaka kusema labor ina discriminate basi mpaka chama cha mapinduzi kina discriminate maana kuna watu hawaamini katika mapinduzi labor is ok kwa sababu haija specify a segment of the populationgranting one is of age and sane sasa kama wewe sio mfanyakazi na huna interest na mambo ya kazi (kazi being ukulima professional semi profession na non professional workers na hata ufanyabiashara) wewe utakuwa unafanya nini mhhhhhhhhhh kazi kweli kwelibaada ya kumiliki gazeti la raia mwema sasa wanakuja wanaanzisha chamaduh watz tumechoka na mavyama kibaotunataka vyama vicheche vyenye sera za kumkomalia nyani giladi bilaya kumtizama machoniclick to expand mkuu engineerhapa unamaana gani haswa yaani raia mwema wana mkono kwenye chama kipya huu utitiri wa vyama mpaka lini tayari tuna vyama vingi vya kisiasa tanzania hivi wamekosa chama ambacho sera za chama hicho zinashabihiana na chama chao mpaka waunde chama kingine sasa hivi mkakati uwe ni kuunganisha vyama ili kupata chama kimoja chenye nguvu na wanachama kila kona ya tanzania ili kuiondoa ccm madarakani hapo 2010 badala ya kuongeza utitiri wa vyama ambao hautasaidii chochote watanzania na vije tu katika soko la mawazo tutaona vyama makini ni vipi na dhaifu ni vipitunachotaka ni kujenga upinzani makini kwa kutumia haki za kikatiba kukataza kutokubali au kuchukia mtu kuanzisha chama wakati hujajua mchango wake utakuwaje ni sawa na kumkataa mtoto mchanga labda kuna nafasi ya kuongeza vitu vinavyokosekana katika upinzani but you also have a justified right to be cynical based on past experience jamaa mwenyewe said alikuwa anazungumza tu demokrasia haina kikomo mkiona kuna jamii ya watanzania ambao maslahi yao hayajatiliwa maanani na chama chochote basi anzisheni chama sioni kama ni tatizo kwana wana jf walivyosema ccm ni cha wanamapinduzi au cha wakulima na wafanyakazi kama kinavyojiita inagwa sasa hivi inaonekana kimewatosa wakulima na wafanyakazi na kuwaleta karamagis naona kinaweza kukubaliwa lakini wanajf naona ingekuwa ni jambo la maana kama tungejadili ili kuona kama kweli tanzania tuna haja na utitili wa vyama are we using democarcy or abusing it chama kinaweza kuwa cha wakulima lakini si kwa ajili ya kundi la wakulima tu na chama cha wakulima kinaweza kisiwe na hata mkulima mmoja kwenye ngazi za uongozi kinaweza kisiwe na wakulima hata kwenye safu ya wanachama jina la chama linaashiria nia ya chama makosa yatakuwepo kama wasio wakulima hawaruhusiwi kujiunga na kushiriki uongozi chama cha wakulima kinaweza kikawa tu ni chama ambacho mojawapo ya malengo yake makuu ni kutetea wakulima huhitaji kuwa mkulima ili kutetea wakulima kwetu sisi wakulima ni 85 ya watu wote chama cha wakulima si chama cha kundi moja la watu chama ambacho sii cha wakulima kitakuwa ni cha kikundi hicho cha 15 ya watu waliobaki na hiyo ni hitilafu sina uhakika kuhusu nia ya waanzilishi wa chama kipya inaweza kuwa ni kupata ruzuku inaweza kuwa ni kuugawanya upinzani zaidi kinaweza kuwa kimeanzishwa kwa siri na ccm yetu macho time will tell am nakubaliana nawe kabisa kuwa inawezekana kukawa na mkono wa ccm katika uanzishaji wa hiki chama kipya cha 'wakulima' hawa jamaa wanauhakika kuwa kuanzishwa kwa chama hicho kutachota na kugawa nguvu ya baadhi ya vyama vya upinzani na kuvidhoofisha hasa kwa wakati huu ambao dalili za umoja miongoni mwa vyama vikuu vya upinzani zinaonekana kutokana na vuguvugu la mageuzi ya kifikra kuenea miongoni mwa watz nimemsikiliza mwenyekiti wa muda hoja zake lakini mmh napata mashaka na dhamira yao engineer mohamed hebu fafanua hapa una maana said soud said ni mmimiliki wa gazeti la raia mwema au jenerali ulimwengu anahusika na kuanzisha chama hicho au una maana gani hebu weka wazi ama kama vidole vimeteleza pia tufafanulie jina la chama sio dili hata ujerumani kuna chama cha mazingira chama cha kijani na kadhaa wa kadhaa na wala haina maana kuwa wengine haviwahusu ila cha kujiuliza na kutaka kujua nn malengo yao ya kuanzisha chama jee kinaweza kuongeza fikra mbadala au ndio yale yale wanao uhuru kisheria kuanzisha chama na tusivize demokrasia tafadhali naomba kufahamishwa ktk hili huyu bwna said kaanzisha chama kama jumuiya au chama cha siasa maana kuna tofauti kubwa kimlengo kati ya vyama hivi tena nadhani itakuwa kiswahili kizuri zaidi ikiwa tutakuwa tukitumia neno jumuiya moja kwa moja badala ya kutanguliza neno chama tunapoanzisha hizi jumuiya mathalan jumuiya ya wakulima au jumuiya ya wafanyakazi badala ya chama cha wakulima au wafanyakazi neno chama litumike tu pale linapohusina na siasa zaidi haya ni mawazo yangu binafsi nadhani kama unawaunga mkono utakuwa unakaribishwa as a matter of fact nadhani hiki chama ni kinyume na sheria kwa sababu katiba inakataza kuunda chama kwa misingi ya kuhudumia watu wa kundi fulaniclick to expand kama hivyo ndiyo hata ccm ni chama cha wakulima na wafanyakazi bendera ya ccm inaliweka hili wazi
2017-01-24T13:18:03
https://www.jamiiforums.com/threads/news-alert-chama-kipya-cha-siasa-chaanzishwa.8069/
habari na matukio malaka ya bandari yashauriwa kuitupia jicho bandari ndogo ya kilwa masoko kaimu katibu mtendaji wa tume ya mipango bibi florence mwanri (mwenye kofia) akiambatana na timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka tume ya mipango watumishi wa bandari ndogo ya kilwa pamoja na maofisa kutoka halmashauri ya kilwa wakielekea ukaguzi wa maeneo mbalimbali katika bandari ya kilwa masoko afisa wa bandari ndogo ya kilwa masoko bw abubakar bashir akimuonesha kaimu katibu mtendaji sehemu iliyotengwa (haipo pichani) kwa ajili ya shughuli za uvuvi ili kuepusha muingiliano wa shughuli za bandari na shughuli zingine wengine ni bw senya tuni (kulia) na bw andrew aloyce wachumi kutoka tume ya mipango shughuli za uvuvi na usafiri wa boti zikiwa zimetengewa sehemu maalaum ili kuepusha mwingiliano na shughuli za bandari barabara inayoingia kwenye gati ya bandari ndogo ya kilwa masoko bandari ya kilwa masoko inaelezwa kuwa ipo katika mazingira mazuri kijiografia kwa kuwa eneo hilo la bahari halina upepo mkali unaoweza kuleta usumbufu wakati meli zinapotia nanga vile vile bandari hiyo ipo karibu na dar es salaam hivyo inaweza kutumika kusapunguza mlundikano wa mizigo katika bandari ya dar es salaam tofauti na bandari zingine bandari ya kilwa masoko inaelezwa kuwa na kina kirefu zaidi ambapo katika lango la lake kuna kina cha takribani mita 60 hivyo meli kubwa zinaweza kufika bandarini hapo bila kuingia gharama za uchibaji kwa ajili ya kuongeza kina
2018-05-27T21:46:11
http://www.kajunason.com/2016/12/malaka-ya-bandari-yashauriwa-kuitupia.html
kitabu siri 7 za kuwa hai leo | jacob mushi haya ni baadhi ya maoni machache niliyopata kutoka kwa watu ambao wamesoma kitabu hiki yaani ukianza kukisoma hutamani kuacha kwa jinsi kimebeba facts watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa kumbe yamo kwenye siri 7 za kuwa hai leo ushauri wangu kwa watanzania na wengine wanaoelewa kiswahili usikose nakala yako ya kitabu hiki kwenye library yako nyumbani thamani yake ni zaidi ya tsh 10000= utakayoitoa kukinunua hakika kitabadilisha maisha yako kuwa bora zaidi regula tarimo siri 7 za kuwa hai leo ni kitabu kinachotoa muongozo wa kuishi maisha ya kulitimiza kusudi lako kwa mafanikio na furaha jacob mushi amewasilisha kwa lugha inayoeleweka siri saba zitakazokufanya ujitambue na uanze kuwa hai kwa mtu yeyote mwenye kutaka kuishi maisha ya ushindi leo na kuacha historia nzuri napendekeza asome kitabu hichi daudi mwakalinga mkurugenzi/ceo wa kilimonet kitabu cha siri 7 za kuwa hai leo ni kitabu ambacho kila mtanzania hapaswi kukosa kukisoma nimekisoma na nimeona nguvu iliyoko ndani ya kitabu hiki pia nimeshuhudia watu wengi wakitoa sifa tele za kuweza kubadili maisha yao kupitia kitabu hiki napenda kusema kitabu hiki ni kama lulu kwa kila mtanzania kuweza kujifunza na kubadili fikra na maisha yake kocha wa maisha mwandishi na mjasiriamali mtunzi na mwandishi wa kitabu cha nguzo 3 za maisha email lazarosamweli41@gmailcom huwezi kusoma kitabu hiki kisha ukabaki kama ulivyo uwe unafanya kazi au hufanyi kazi uwe mfanyabiashara mjasiriamali au mwimbaji kama mimi ukisoma siri 7 za kuwa hai leo ni lazima utaongezeka kwenda hatua nyingne mwimbaji wa nyimbo za injili tanzania kinapatikana kwa mfumo wa softcopy kwa bei ya tsh 10000/= (elfu kumi) lipia kwenda namba tigopesa 0654 726 668 jina lilatokea jacob moshi ukishafanya malipo ya kitabu tuma jina la kitabu pamoja na email yako na utatumiwa kwenye email yako mara moja taggedjinsi ya kujua kusudi lako kufika kilele cha mafanikio kufikia ukuu kufikia ushindi mkubwa kugusa maisha ya wengine kuishi maisha bora kutambua kile mungu ameweka ndani yako kutengeneza na mungu wako siri na sababu za kuwepo hapa duniani watu sahihi watu wazuri
2020-02-18T16:00:29
https://jacobmushi.com/kitabu-siri-7-za-kuwa-hai-leo/
micharazo mitupu makubwa yaibuka kifo cha ebosse yadaiwa alipigwa ebosse siku alipokuwa akiipigiania roho yake ebosse enzi za uhai wake akiwajibika uwanjani imefahamika kuwa nyota wa kimataifa wa cameroon albert ebosse aliyefariki uwanjani wakati wa mechi ya ligi kuu ya algeria kuwa alipigwa na siyo kama alishambuliwa na kitu chenye nchi kali dimbani vipimo vipya vya uchunguzi vimedai kuwa mchezaji huyo aliyekuwa akiichezea js kabylie alifariki kwa kupigwa na sio kupigwa na kitu chenye ncha kali kama ilivyodaiwa hapo awali mshambuliaji huyo aliyekuwa na umri wa miaka 24 alifariki dunia agosti mwaka huu baada ya timu yake kufungwa katika mchezo wa soka matokeo ya uchunguzi uliofanywa na mamlaka za algeria ulibaini kuwa mchezaji huy alifariki dunia kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali kichwani lakini vipimo vipya vilivyofanyika kwa ombi la wanafamilia vimedai kuwa kifo cha ebosse kimetokana na kushambuliwa kwa kupigwa ikihisiwa kuwa katika chumba cha kubadilishia nguo ripoti hiyo ya andre moune inadai kuwa ebosse alijeruhiwa maeneo kadhaa katika mwili wake huku kukiwa na dalili za kupambana wakati akishambuliwa familia ya mchezaji huyo imesema itafikisha ushahidi huo mpya kwa shirikisho la soka la cameroon sambamba na shirikisho la soka la afrika kwa ajili ya hatua zaidi posted by badru kimwaga at 805 am
2018-07-22T06:55:29
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/12/mabkubwa-yaibuka-kifo-cha-ebosse.html
dj hukubali vidokezo (zinazozalishwa) nye countdown kwa djs vjs vilabu vya usiku 2018 sku dj drops 70 #46 jamii dunili za dj
2018-08-15T22:23:35
https://sw.nyecountdown.com/product/drop-46/
what plastic injection molding plastiki sindano ukingo ni mbinu kutumika kwa sura ya plastiki katika mfumo wa kitu wewe ni kwa lengo la kuzalisha wakati wa sindano ukingo mchakato polima thermoplastic ni hudungwa katika mold cavity ili kufanya hivyo chembe cha nyenzo joto hivyo soma zaidi » je nini cnc machining brass vya brass machining na faida kadhaa muhimu ikilinganishwa na machining vifaa vingine shaba akageuka sehemu na sehemu ni muda mrefu gharama ufanisi na hata kuunda muhuri stramare kwa fittings aidha shaba machining na sehemu kugeuka na high soma zaidi » progressive stampings maendeleo stamping ni njia ujumi ambayo inaweza imewazunguka kupigwa ngumi coining bending na njia nyingine kadhaa ya kubadilisha chuma malighafi pamoja na mfumo wa chakula moja kwa moja mfumo kulisha inasukuma ukanda wa chuma (kama unrolls kutoka coil) kupitia yote soma zaidi » kwa nini na wapi kutumia molds plastiki sindano mold plastiki sindano ni chombo yoyote yaliyotolewa katika yote au sehemu ya plastiki nyenzo (bila viwanda laminates thermosetting) na ambao plastiki inachangia kwa kiasi kikubwa kwa matumizi ya zana zana kama mbalimbali njia yote kutoka thos soma zaidi »
2019-12-16T07:11:12
http://www.chinacustomparts.com/sw/news/
mamie eisenhower wikipedia kamusi elezo huru mamie eisenhower akiwa katika ikulu ya marekani mamie geneva doud eisenhower (14 novemba 1896 1 novemba 1979) alikuwa mke wa raisjenerali wa zamani wa marekani bw dwight d eisenhower alianza kuwa mwanamke wa kwanza wa marekani kuanzia mwaka 1953 hadi 1961 mamie na eisenhower walioana mnamo mwezi julai ya mwaka wa 1916 mamie alizaliwa mjini boone iowa alikuwa mtoto wa mzee john sheldon doud babake na mamie alikuwa tajiri wa kutosha kwakuwa alikuwa anamiliki kiwanda cha kusindika nyama za kopo kuna kipindi familia ya mzee doud iliishi kidogo mjini pueblo colorado kisha familia ikahamia na kuweka makazi yake rasmi katika mji wa denver colorado wakiwa huko mamie na ndugu zake wengine wa kike watatu walikulia huko wakiwa katika mazingira ya mjumba mkubwa kabisa usio na kifani na nyumba ilikuwa na wahudumu wengi kupita kiasi ilipofika mnamo mwaka wa 1915 mamie alkakutana na bw dwight d eisenhower na kwa kipindi hicho bw eisenhower alikuwa na cheo cha luteni masaidizi katika jeshi mwaka uliofuatia katika siku ya wapendanao duniani wawili hao wakavishana pete ya uchumba na ilivyofika tar 1 julai ya mwaka wa 1916 wakajaaliwa kuoana mamie eisenhower kwenye internet movie database rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mamie_eisenhower&oldid=881971 last edited on 9 machi 2013 at 1252
2020-01-18T06:30:39
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mamie_Eisenhower
salewawomen´s clothingpants casual wholesale salewawomen´s clothingpants casual cheap shop now salewa fanes giau dry pants casual washed denim women´s clothingsalewa gore salewa melago co pants casual bronze brown women´s clothingsoftshell salewa salewa melago 2 co pants casual asphalt women´s clothingsalewa fleece salewa melago co pants casual garnet women´s clothingsalewa windstopper salewa la villa 2 co pants casual dark denim women´s clothingsalewa for salewa la villa co pants casual walnut women´s clothingsoft shell jacket salewa fanes giau dry pants casual premium navy women´s clothingsalewa salewa fanes chino pants casual black women´s clothingsalewa saleoutlet on salewa fanes giau dry pants casual tawny port women´s clothingsalewa kali salewa fanes giau dry pants casual oil green women´s clothingsalewa phantom salewa fanes valpar dry 2/1 pants short casual magnet women´s salewa sheet bend pants casual lullaby women´s clothingsalewa phantom ptx salewa la villa 2 co pants casual velvet red women´s clothingsoftshell salewa salewa melago co pants casual ebano women´s clothingsalewa sale salewa longgline pants casual turkish coffee women´s clothingsalewa softshell
2018-01-16T09:46:42
http://www.dcpbm.com/pants-casual-c-5_180_195.html
somo la uchunguzi kupanga kuendeleza na kuuza mabombatipscom | whsr nyumbani > blog > vidokezo vya mabalozi > [uchunguzi kifani] jinsi nilivyoendeleza na kuuuza mablozitipscom kwa $ 60000 kifungu kilichoandikwa na kevin muldoon imeongezwa jan 08 2019 sasisho na jerry low makala hii imechapishwa awali aprili 2013 viungo vilivyovunjika katika makala hii vimeondolewa bloggingtipscom imepitia mabadiliko mengi ya maudhui tangu chapisho hili lilichapishwa lakini wengi wa ushauri wa kevin katika makala hii bado ni muhimu nimeangalia na kusasisha makala hii januari 2019 viungo vilivyovunjwa viliondolewa na mawazo mapya yaliongezwa ili kukua kikamilifu na kuboresha blogu yako pia angalia makala yangu hapa utangulizi wangu wa blogu kwa nini blogu kuhusu blogu kuanzisha blog uundaji wa bloggingtipscom kuchukua kwa ngazi inayofuata nilijaribu kulipia pesa blog kuuza blogu maelezo ya jumla na kufunika ninasema daima kuwa blogu ni jambo rahisi kufanya lakini jambo ngumu kuu inachukua muda kwa blogger inayotaka kuacha tabia fulani mbaya hata watu ambao huchukua blogu haraka kufanya makosa mengi njiani mtu mpya kwa blogu anaweza kusoma vitabu kadhaa juu ya jinsi ya kujenga kukuza na kufanya mapato ya blog hata hivyo hakuna shaka kwamba basi watakwenda na kufanya makosa mengi ambayo vitabu hivyo vinashauriwa hii siyo jambo baya kama kutambua makosa yako na kujifunza kutoka kwao ni mojawapo ya njia bora za kuboresha njia moja bora ya kufundisha inapatikana ni utafiti wa kesi kwa kuchunguza matukio halisi ya maisha unaweza kujifunza nini cha kufanya na kile usichokifanya leo ningependa kuwasilisha masomo ya kesi ya retrospective bloggingtipscom blogu niliyoishi katika 2007 na baadaye kuuzwa katika 2010 inabakia mojawapo ya blogu nyingi za ushauri wa blogu kwenye mtandao kabla ya kuanzisha blogu mimi hasa nilifanya pesa mtandaoni kupitia vikao vya majadiliano na tovuti ndogo za maudhui kuanzisha tips za blogu zimebadili kabisa mwelekeo wa kazi yangu online tangu siku hiyo idadi kubwa ya mapato yangu imetoka kwenye blogu vitambulisho vya blogging ilikuwa blogu yangu ya kwanza kubwa na nilijitokeza kutoka kwa uuzaji wa blogu kwa uzoefu mwingi kwenye blogu kwa njia bloggingtips ilikuwa safari yangu kutoka kwa mchungaji na blogger mwenye ujuzi kwa hiyo ni blog kamili kwa ajili yangu kutumia masomo ya kesi kwa nanyi nyote natumaini kufurahia makala ) utangulizi wangu wa blogging blogging ina mizizi yake katika 90 marehemu hata hivyo haikuwa hadi katikati ya 2000s tulianza kuona tovuti za kibiashara kutumia majukwaa ya blogu ili kuchapisha maudhui mimi aina ya akaanguka katika blogging kwa ajali nilipokwenda nyuma kwa asia na australia katika 2003 niliunda tovuti ya sanaa kwenye marafiki na familia zangu nilitumia tovuti hii kupakia picha za safari zetu nilitembea katika 2004 na kidogo katika 2005 pia hata hivyo hakuwa mpaka 2006 kwamba nilikwenda safari ndefu tena safari hii ya mwezi wa 9 iliingia asia tena kabla ya kurudi australia kwa mwezi na kisha kuingia new zealand kwa miezi 6 (kuelekea uingereza kupitia ujapani na ujerumani) nilikuwa niliona miaka kadhaa kabla ya kuwa nimekuwa nikisema jambo hilo mara kwa mara kwa marafiki na familia katika barua pepe unaposafiri huna muda mwingi wa kukaa kwenye mikahawa ya mtandao kila siku kuandika barua pepe kwa hiyo nilihamisha nyumba ya sanaa kwenye folda ndogo na kisha kupakia script ya blogu kwenye mizizi ya kikoa hii imeniwezesha kuchapisha sasisho kwa kila mtu ilihifadhiwa kiasi kikubwa cha wakati nilijaribu majukwaa mengi ya mabalozi kabla ya kumaliza serendipity picha hapa chini inaonyesha jinsi blog ilikuwa msingi wakati ambapo mimi nilikuwa na tovuti za kitaalamu za kuangalia hata hivyo sikuwa na uhakika wa kutumia pesa au wakati wa kubadilisha muundo ikiwa ni marafiki na familia tu ambao walikuwa wakiangalia blogu yangu ya usafiri ilikuwa ya msingi ya kusema mdogo hata hivyo ilikuwa na kusudi kutokana na kiasi cha majukwaa ya blogu nilijaribu kwenye blogu yangu binafsi nimeanza kutumia majukwaa ya blogu kwa tovuti zingine za maudhui niliyopewa niliongeza blogu kwenye vikao vya majadiliano yangu ya poker na pia niliongeza kuongeza ambayo iliruhusu wanachama kuongeza blogu zao wenyewe baadhi ya tovuti zangu za zamani zilizotumia faili za tuli (yaani hazikutumia database) kwa hiyo nimeboresha tovuti hizo pia ili kusimamia maudhui kwa urahisi zaidi kwa nini blog kuhusu blogging licha ya kutumia programu ya blogu na vikao vyangu kwenye blogu yangu ya kusafiri na kama cms bado sijawahi kukimbia kwenye blogi kwa hiyo nilianza kufikiri juu ya kile nilichoweza kubandika kuhusu wazo langu la awali lilikuwa uzindua blogu ya kila siku kuhusu poker nilikuwa nikisoma blogs nyingi za poker wakati huo huo hivyo nilijua kuwa inaweza kuwa maarufu hatimaye niliamua kuongeza blogu ya poker kwa jumuiya yangu iliyopo ili kutumia faida ya trafiki huko kuangalia nyuma blogu ya poker ingekuwa na mafanikio zaidi ikiwa nimeianzisha peke yake kwani sikuwa na uwezo wa kuonyesha sasisho kwa wanachama wa jukwaa kwenye jukwaa lolote (yaani ni kiungo tu kwenye orodha hakuwa na kazi updates juu ya jukwaa) kuna blogu milioni kuhusu blogu leo kurudi katika 2006 hakuwa na watu wengi ingawa walihisi kuwa ilikuwa ya juu zaidi problogger ilizindua katika 2005 na ilikuwa ni blogu inayojulikana zaidi kuhusu blogu kwa wakati (bado ni leo) problogger katika 2006 blogu chache sana zilikuwa sawa na blog ya darren rowse wengi walikuwa wakitoa kile nilichokiona kuwa ushauri mbaya katika 2000 ya mapema nilikuwa nimekimbia tovuti kumi na mbili ambazo nilikuwa nimefanya dola ya wavuti wa wavuti tovuti hizi zilizingatia injini za utafutaji mitandao ya washirika zana za webmaster nk wakati nilikuwa mpya kwa wakati wa kuandika blogu kila siku nilikuwa nimetumia miaka kadhaa kuandika makala kuhusu kujenga trafiki kwenye tovuti seo na ushirikiano kwa hiyo nimeamua kuzindua blogu kuhusu blogu katika masomo mengi nilijiona kuwa na ujuzi sana kwa hiyo nilihisi kuwa nilikuwa na makali ya wanablogu wengine wengi ambao walikuwa wakizingatia mada rahisi nilikuwa ni mdanganyifu mdogo nilipokuwa ninafanya kazi kwa mtandao kwa miaka kadhaa kwa hatua hiyo maandishi yangu yalikuwa mabaya (aibu hivyo) kwa wazi nilibidi kufanya kazi juu ya tendo la kujiandikisha yenyewe niliandika jina la kikoa bloggingtipsorg juu ya 11 februari 2007 muda mfupi baada ya kusajili uwanja nilipoanza kuifanya kuhakikisha bloggingtipscom nilikuwa na macho yangu kwenye jina la com la jina tangu mwanzo nilijua kuwa ugani wa com ni rahisi zaidi kwa brand nilijua pia kuwa zaidi niliyoongeza blogu kwenye ugani wa org zaidi ya ugani wa com ingefaa kwa hiyo kulikuwa na hatari kwamba kwa kuzindua blogu mapema sana napenda kusukuma bei ya kikoa nilichohitaji na kuendelea kwa upande mwingine wa sarafu sikutaki kushikilia kuanzisha burudani nilikuwa na mawazo mengi ya kile nilichotaka kufanya na blogu na sikuhitaji kushikilia uzinduzi kwa miezi kwa sababu ya suala la kikoa kwa hiyo nilizindua blogu kwenye bloggingtipsorg mwezi mmoja baada ya 12 machi 2007 shukrani sikuhitaji kusubiri muda mrefu ili kuhamisha blogu kwa bloggingtipscom nilipata ugani wa com mwezi mmoja baadaye kwa $ 1250 uundaji wa awali ulikuwa na tambulisho fanya blogu yako kwenye ngazi inayofuata pia ilionyesha mascot ya cartoon yangu mwenyewe katika suti ya superman nilipozindua blogu nilikuwa nikiishi auckland new zealand kawaida yangu ilikuwa sawa kila siku napenda kuamka kuhusu 9 kunyakua kitu cha haraka kula na kisha kichwa kwenye mazoezi kwa saa mbili napenda kurudi na kufanya kazi kwenye bloggingtips kwa saa tano au 6 baadaye napenda mafunzo ya muay thai usiku kwa saa moja au zaidi kisha baada ya kula usiku napenda kufanya kazi saa machache zaidi kutoka mwanzo bloggingtips daima zilikuwa na kiwango cha juu cha kutuma siku kadhaa napenda kuchapisha makala tatu kwa siku kati ya mei na juni mimi na marafiki zangu tulikuwa tukienda new zealand kwa basi na haikuwezekana kwangu kuandika mara nyingi wakati nilipokuwa nikienda kwa hiyo nilipanga makala yangu yote mapema na kisha nikaandika kuandika zaidi ikiwa na wakati gani ningeweza zaidi ya maudhui yaliyochapishwa kwenye blogu ndani ya miezi minne au mitano ilikuwa imeandikwa na mimi mwenyewe (salama makala machache) kiwango changu cha kazi hakuwa na upungufu kuangalia kwa haraka archivestips archives inaonyesha mimi nilikuwa posted mara moja kwa siku wakati wa machi 2007 mnamo aprili nilichapisha makala za 60 na mei nilichapisha 71 ilianzisha blogi mkakati wangu wa uendelezaji wa miezi mitatu ya kwanza ulikuwa wazi kabisa chapisha makala nyingi pata maoni juu ya blogs sawa ili kuleta blogu yangu kwa tahadhari ya watu zaidi kuwa wavuti kwenye blogu za watu wengine na uacha maoni mazuri mgeni posting badilisha kila mtu ambaye alitembelea blogu yangu kwenye msajili mimi pia nilikuwa na mashindano machache ikiwa ni pamoja na moja mwezi juni 2007 kwa kushinda akaunti ya mwenyeji wa wavuti $ 100 kwa fedha na blogu niliyoinunua mwanzoni mwa 2007 uliozingatia microsoft zune pia nilikuwa na ushindani mwingine ambao waliruhusu wanablogu kushinda mascot yao wenyewe licha ya watu wengi hata hivyo zune ilikuwa mchezaji wa ajabu wa mp3 ilikuwa na mtumiaji mzuriinterface ambayo ilikuwa njia kabla ya wakati wake mapitio ya kulipwa yalisaidia kuleta washiriki wengi wavuti kwenye blogu kwa kushangaza nimepata tathmini kwenye blogu ya zac johnson blogger ambaye baadaye angeweza kununua blogu kutoka kwangu kwa kurudi kurudi kubwa kunatoka kwenye maoni yangu kwenye blogu ya john chow miezi michache baadaye niliandika juu ya uzoefu huu na mapitio ya kulipwa maelezo ya trafiki niliyopata kutokana na ukaguzi wa john chow kwa bahati mbaya kama mlo wa feedburner ulihamishiwa kwa mmiliki mpya wakati nilinunua blogu siwezi kukuonyesha takwimu yoyote juu ya ukuaji wa wanachama wakati huu mimi hata hivyo bado nina uwezo wa kupata baadhi ya vipimo kupitia google analytics kama unaweza kuona nilipokea kuhusu ziara za 1000 kutoka kwenye ukaguzi wa john chow nimekuwa na washiriki wengi wapya pia hata hivyo trafiki yangu ya kila siku imeshuka kwa ngazi sawa baada ya siku chache kuchukua hiyo kwa ngazi inayofuata katika majira ya 2007 nilileta katika bloggers nyingine nyingi kunisaidia kuandika maudhui ya blogu nilipokuwa nikiandika mara kwa mara mwenyewe mzunguko wa kufungua uliongezeka sana mnamo septemba kiwango cha kila mwezi kilikuwa karibu na makala za 90 kwa mwezi (3 kwa siku) blogu nyingi zaidi wakati wa makala zilizochapishwa makala 34 makala kwa wiki ilikuwa uamuzi mzuri wa kuchapisha maudhui mengi katika upinduzi labda si blogu kama vile mashable walijiweka wenyewe kwa njia ya kupiga kura kwa kiasi kikubwa mbinu hii inafanya kazi vizuri kwa tovuti za habari za habari hata hivyo hakuwa sahihi kwa blogu ya ushauri wa blogu kwanza kiasi kikubwa cha makala kilichochapishwa kilizidi kusoma wasomaji fulani nakumbuka watu wachache wanasema kwamba waligundua kuwa ni vigumu kukaa hadi sasa pili makala nyingi zilikuwa ni maneno ya 5001000 ya muda mrefu nyaraka zangu mara nyingi zilikuwa nyingi wakati mwingine maneno elfu chache kwa muda mrefu katika hatua tofauti za maisha ya tovuti nilikuwa karibu na daima au blogger wakiandika mara kwa mara kila blogger ilipangwa kuchapisha mara moja au mbili kwa wiki niliiweka ili waandishi wawe na uhuru wa kupanga maudhui kwenye siku zao zilizowekwa wenyewe mara kwa mara hii inarudi nyuma kama waandishi kuchapisha siku isiyofaa au wakati usiofaa kwa ujumla mfumo ulifanya kazi vizuri ingawa na ilihakikisha kwamba kuna angalau makala mbili zilizochapishwa kila siku hata kama mwandishi mmoja alikuwa mgonjwa mojawapo ya matatizo ya ratiba hii ya juu ya kutuma ni kwamba makala za vipengele ambavyo nilizitumia muda mwingi nikiandika mwenyewe wakati mwingine unapotea katika umati nadhani hii ilikuwa chini ya ujuzi wangu mwenyewe na blogging wakati huo katika miaka ifuatayo napenda zaidi ili kusisitiza makala bora kwenye blogu ikiwa nilipasa kurudi na kuzindua blogu tena ubora wa machapisho ni kitu ambacho ningeweka msisitizo zaidi ni vigumu kupata uhakika wako katika maneno ya 500 tu machapisho mengi yamegusa tu suala badala ya kuelezea somo kwa kina kwa hiyo ikiwa nilitakiwa kuanzisha blogu kama hiyo tena mtazamo wangu wa msingi ungekuwa kwenye kuchapisha makala nyingi za kina (kwa njia sawa sawa na mtandao wa uhifadhi wa mtandao ufunuliwa sasa) uundaji wa maandishi ya blogu licha ya kutumia majukwaa machache ya mabalozi katika siku za nyuma bloggingtips ilizinduliwa kutumia wordpress ilikuwa ni jukwaa nililoitumia katika maisha ya blogu na jukwaa ninaendelea kutumia kwa tovuti zangu zote za maudhui hadi siku hii kinachovutia ni kwamba blogu ilizinduliwa wakati nilikuwa mpya kwa wordpress nilikuwa nikijifunza mambo mapya kuhusu jukwaa na kupima programu mpya kwa hiyo bloggingtips ilikuwa daima katika hali ya mageuzi kama matokeo ya hili blogu ilikuwa na upya tena hii ilihakikisha kwamba blog daima iliendelea hadi tarehe na maendeleo ya karibuni katika wordpress nimeunda kila miundo yangu wakati wa mwaka wa kwanza baada ya kubuni ambayo ilitumiwa wakati wa uzinduzi nilitengeneza kubuni rahisi kutumia kitabu cha mapinduzi mandhari ya aina ya muundo ambayo iliundwa na brian gardner kwa njia nyingi mapinduzi yanaweza kuchukuliwa kuwa ni mtangulizi wa flagship yake mwanzo wa mkakati ni mfumo ambao mimi sasa unatumia blogu yangu binafsi na kwenye tovuti nyingi ndogo za maudhui ninazo alama ambayo nilitumia wakati wa uzinduzi iliundwa na mvulana aliyeumba mascot yangu sikukuwa shabiki wa alama hiyo (yeye mwenyewe alisema kwamba vyuo sio maalum) kwa hiyo nikamkaribia mwandishi wa picha david airey kwa ajili ya uingizaji wa kitaaluma nilipenda mtindo rahisi wa ujasiri ambao alikuja na nitaendelea kutumia alama kwenye blogu mpaka nilinunua (ambayo inaonyesha jinsi nilivyoipenda kama nilivyobadilisha kila kitu kingine) mashindano ya alama mpya ya kitaalamu kutoka kwa david airey katika 2008 nimepata upya kutoka kwa mtengenezaji wa kitaaluma bila ya farasi ilikuwa machapisho mengi yaliyomo na yaliyomo kwenye ukurasa wa nyumbani ilibadilishwa na vifungu ilikuwa pia na eneo la usajili ulioboreshwa juu ya barabara background nyeupe bado hata hivyo mandhari ni kidogo nyeusi mwaka uliofuata (2009) blogu ilipata upya mwingine wakati huu mike smith aliunda mpango wa desturi kwa ajili yangu kwa hatua hii nilikuwa na ujuzi wa kujua nini lazima na haipaswi kuingizwa katika miundo ya blogu bendera liliingizwa kwenye kichwa ili kuongeza viungo na viungo vya habari viliwekwa kwenye kilele cha ukurasa (ukurasa wa mawasiliano kuhusu nk) muundo wa kwanza ambao haukutumia background nyeupe kwa eneo kuu la maudhui yote katika yote nilifurahia miundo niliyotumia kwenye blogu sikuweza kuokoa dola elfu kumi na tano nilizohitaji kupata design ya kitaaluma niliyoiota ingawa miundo ilikuwa daima ya mtaalamu kuangalia jinsi nilijaribu kufanya tovuti kufanya mapato ya maandishi ya maandishi sio kitu nilichofanya kwa ufanisi (kurejea ni jambo la ajabu) katika maisha ya blog ilifanya fedha nzuri kwa njia ya viungo vya uhusiano na matangazo ya bendera pia ilifanya pesa nzuri kwa kupitia mapitio ya kulipwa kwa hiyo kwa sababu hiyo nilifanya vizuri blog ambapo nilishindwa kulileta mapato thabiti kupitia bidhaa za kuuza jambo la ajabu ni nilifanya bidhaa za kutolewa kwa kweli nilitoa bidhaa nyingi lakini nilitoa bidhaa nyingi mbali kwa bure kwa wale waliojiunga na jarida langu vitabu nilivyoandika ni mfano mzuri wa hili wote walikuwa tofauti kwa urefu moja ilikuwa ni kurasa za 48 nyingine ilikuwa ukurasa wa 63 mwingine ilikuwa mfupi sana mimi labda ni lazima nilinue vitabu ambavyo vilikuwa vilivyo juu ya kurasa za 50 kwa muda mrefu hata ikiwa ni kwa dola chache tu wakati huo nilikuwa nikifikiri zaidi muda mrefu kujaribu kuwafanya watu kujiunga na jarida langu ili nipate kushinikiza bidhaa za ziada zaidi baadaye nilitoa mandhari nyingi za wordpress kwa watumiaji wa wordpress pia katika mwaka wa kwanza nilitoa miundo michache ya msingi nitawaondoa hivi karibuni kutoka kwa kupakuliwa kama wordpress imeendelea hadi ambapo hawakufanya kazi tena na haikuwa na thamani ya muda wangu kuimarisha yao baadhi ya mandhari yalionyesha maarufu sana ikiwa ni pamoja na miundo ya mageuzi kimbunga na kanuni mandhari ya evolution ilikuwa maarufu sana ilikuwa ni mandhari inayofaa ambayo ilikuwa inapatikana katika bluu kijani au nyekundu mandhari hizi zote zilikuwa na kiungo kwenye mguu wa nyuma kwenye bloggingtips (mbinu maarufu kwa wakati huo) niliwashauri watumiaji waweze kuondoa viungo hivi ikiwa walitaka hata hivyo wengi walishika kiungo kama njia ya kusema shukrani kwa mandhari ya wordpress wazo lilikuwa kuhimiza watumiaji wengi wa wordpress kutembelea blogu ili kwamba wakati nilitoa mandhari ya wordpress ya kwanza ningekuwa na watumiaji wengi wa wordpress ili waweze kuingia ikiwa kumbukumbu inanifanyia haki nilianza kuuza mpango wa premium kwa njia ya bloggingtips yenyewe muda mfupi baadaye ningeanza kuuza miundo kupitia klabu ya mandhari ya blogu ya tovuti ilizinduliwa na mpenzi (sarah) tulipatia miundo minne katika klabu (zaidi ilipangwa) iligharimu $ 49 kwa upatikanaji wa miundo yote na ilikuja na msaada wa premium wateja wanaweza kununua mandhari moja kwa moja kwa $ 19 hata hivyo hawataweza kupata msaada wowote mipango haijakuwa na umri mzuri ingawa hawakuangalia nje ya mahali miaka minne iliyopita mandhari nne za wordpress zilifunguliwa kwenye klabu ya mandhari za blog klabu za mandhari zilikuwa za kuuza uanachama hata hivyo tuligundua haraka kwamba kutoa msaada mzuri ulikuwa ukitumia muda wasiwasi mkubwa ulikuwa unaendeleza mandhari mpya nilikuwa blogger / muuzaji na sarah alikuwa coder hakukuwa na muumbaji kwenye timu yetu tulinunulia miundo pamoja na kisha sara akahakikisha kuwa walikosa kwa usahihi kwa wordpress (alikuwa msanidi mkubwa wa wordpress) nilitumia upande wa uuzaji wa vitu na sisi wote tulifanya kazi kwa msaada mpango wetu ulikuwa ni kuimarisha faida zote kuwa na miundo mpya iliyopangwa hata baada ya miezi michache tuliamua kuhamia kwenye kitu kingine kwa hiyo tuliuza blogu na kugawanya faida hatukupoteza pesa yoyote kwa njia ya tovuti lakini ilionyesha kuthiriwa kwa muda kwa taarifa nzuri ilikuwa uzoefu mzuri wa kujifunza katika kuendeleza uzinduzi wa tovuti inayotendwa na mwanachama nilipaswa kufanya mambo tofauti kidogo na iliyotolewa zaidi ya bidhaa za habari au labda ilizindua mwanachama tu kozi ilikuwa uamuzi mbaya wa kuzindua duka la mandhari la wordpress nilikuwa na uzoefu mwingi na wordpress ingawa sikuwa muumbaji kwa hiyo sikuwa na udhibiti kamili juu ya chochote pengine ingekuwa na mafanikio zaidi ikiwa bloggingtips zilifanya pesa nyingi wakati huo kama nilivyoajiri wabunifu bora wa mradi huo hivyo kwa muhtasari bloggingtips alifanya pesa ok lakini inaweza kuwa na mengi zaidi mipangilio ya mablozi ilikuwa ilizindua na jukwaa la majadiliano kutoka siku ya kwanza sana vikao vilikuwa maarufu sana wakati mmoja lakini kutoka kwa mtazamo wa biashara ilikuwa ni taka kamili ya muda ilileta mapato ya zero na kuenea kiasi kikubwa cha muda wangu kulikuwa na bloggers kubwa katika jamii kwa bahati mbaya kulikuwa na wanablogu wengi wavivu pia watu wangepatia matatizo na kuomba msaada mimi mwenyewe au mwanachama mwingine ingekuwa baada ya jibu la muda mrefu ambalo linaelezea kile walichohitaji kufanya mara kwa mara watu wangeuliza je huwezi tu kufanya hivyo kwangu njia hii ya uvivu wa nusu ya kufanya kazi online ilikuwa ya kusisimua sana hali hiyo ingeweza kutatuliwa kwa kuwapa wanachama malipo ya ada ya kushiriki na kupata msaada (kurejea mgomo tena) zac aliamua kuondoa vikao kutoka bloggingtips wakati alipununua tovuti wakati nilifikiri hii ilikuwa uamuzi mbaya lakini sasa ninaamini ilikuwa ni hoja nzuri wakati huo imekuwa inahusika na spammers zaidi ya mwaka jana au hivyo kwa sababu programu ya jukwaa haijasasishwa hata hivyo zac aliniambia hivi karibuni kuhusu mipango yake ya kuanzisha tena vikao vikao vilikuwa vilikuwa maarufu kwa bahati mbaya mara moja haikuwezeshwa tena ikawa na wasiwasi wa spammers angalia haraka katika spikes mbili za traffic wakati wa kuangalia stats za trafiki ya bloggingtips niliona spikes mbili kuu katika trafiki moja jumatatu 26 novemba 2007 na nyingine jumapili 19 julai 2009 nakumbuka mwisho huu kwa wazi kama unahusika na mwandishi na mchezaji stephen fry alipeleka tweet kwa wafuasi wake ambayo ilisababisha zaidi ya kumi na mbili elfu kutembelea makala juu ya blog ndani ya siku moja au zaidi ilikuwa ni uzoefu wa ajabu kuwa naye tweet kuhusu blogu yangu kama alikuwa mmoja wa celebrities maarufu zaidi kwenye twitter kwa wakati huo mara nyingi niona kuvutia kuona ni nini kilichosababisha upungufu mkubwa katika trafiki kiboko cha awali kilichosababishwa na makala ya bloggingtips yameorodheshwa kwenye jamii maarufu fark kwa sababu fulani jumuiya haikupenda makala yenye kichwa blog etiquette sheria ni rahisi rahisi na deborah ng kwa sababu yoyote blogu ilipokea wageni zaidi ya ishirini elfu kutokana na kiungo kwenye fark crazy ni huruma tu trafiki haikusudiwa ) kwa nini nimeamua kuuza matumizi ya blogging waablogi wengi wanaishia kuuza blogu zao wakati usiofaa wao ama kuuuza mapema sana na wanajikataa mfupi au wanashikilia kwa muda mrefu sana na kuona thamani ya blogu zao kwa sababu hazipatii tena siku zote nilikuwa na mipango ya muda mrefu ya bloggingtips ingawa nilikuwa nimezingatia kuuza blog mwishoni mwa 2008 wakati nilipoenda thailand kwa safari ya mwezi wa 3 kufanya muay thai na nilijua itakuwa vigumu kufanya masaa tano hadi sita ya mafunzo kwa siku na pia kudumisha blogu wakati wote niliamua dhidi ya kuuza ambayo ilikuwa ni uamuzi sahihi wakati huo mwaka mmoja baadaye mwishoni mwa 2009 nilianza kufikiria kuhusu kuuza tena hata hivyo sababu zangu za kufanya hivyo zilikuwa tofauti sikujaribu kuuza blogu kwa sababu ya vikwazo vya wakati nilikuwa nikifikiria kuuza kwa sababu nilitaka kufanya kitu kipya blogu ilikuwa inapata ziara elfu chache kwa siku na nilitengeneza pesa nyingi kupitia blogu kwa njia ya posts zilizofadhiliwa na bidhaa kitaalam kwa hiyo inaweza kuonekana kuwa ya ajabu hata kufikiri kuhusu kuuza blog wakati inaongezeka kwa haraka haraka blogu ilikuwa ni wastani juu ya uniques za kila siku za 2500 wakati zilipouzwa kweli ni nilikuwa nimechomwa nje nilikuwa na kuchoka na tovuti mimi nilikuwa kweli nilipouuza blogu hiyo ilikuwa na ukurasa wa 2500 wa maudhui kwenye tovuti niliandika zaidi ya elfu moja ya makala hizo kutokana na hili nilikuwa nimechoka juu ya kuandika juu ya tendo la blogu mipango ahead wakati huu ningekuwa tayari kupanga mipango ya blog yangu inayofuata (ambayo ingezingatia wordpress) nilipaswa kuanzisha blogu yangu ijayo wakati wa kuendesha bloggingtips kama ningeweza kuuuza blogu yangu mpya kwa msingi wangu wa mtumiaji bila shaka watu wengi wanaweza kusema kwamba ni lazima nilishike blogu muda mrefu na tu niajiri mtu kudumisha blogu kwangu dhana ilikuwa imevuka mawazo yangu hata hivyo nilikuwa na hisia wakati nilikuwa nimechukua blogu kwa kadiri nilivyoweza kuichukua nilijua kwamba blogu itaendelea kukua lakini sikuwa na hakika kwamba ningeweza kukuza blogu kwa kiwango ambacho nilitaka labda nilihisi jaded baada ya uzoefu wa uzinduzi wa blogthemesclub nilitengeneza uwekezaji wangu wa awali kwenye mradi huo lakini hiyo ilikuwa tu kwa sababu tuliamua kukataa hasara zetu na kuuza kabla ya kutumia muda zaidi kwenye tovuti uzoefu wote ulihisi kama nilijaribu na kushindwa zaidi ya hayo kuuza maua ya blogging inganipa mambo mawili wakati na fedha ni vigumu sana kuzindua blogu mpya wakati unafanya kazi kwa muda kamili juu ya mwingine na nilijua kwamba kuuza blog kunipa uhuru wa kutekeleza mawazo yote niliyo nayo kwa blogu yangu mpya nimeuza tovuti nyingi zaidi ya miaka (mamia) mimi kuangalia nyuma katika baadhi ya nje mimi kuuzwa miaka kumi iliyopita na kufikiri napenda mimi bado alikuwa na tovuti hiyo leo hali fulani wakati mwingine zinaelezea kile kinachotokea na tovuti ambazo tunazo na ninajisikia sana kwamba tovuti nyingi ambazo nimenunua zimeuza kwa wakati unaofaa ikiwa ni pamoja na bloggingtipscom kuuza blog mara nilipoamua kuuza bloggingtips niliorodhesha tovuti ya kuuza flippa sikuwa na kiasi kikubwa cha kupoteza kama sikuwa na bei niliyotaka ningezingatia blogu na kuiendeleza zaidi (pamoja na mara zote kulikuwa na uwezekano wa kuwa uuzaji utaficha blogu kwa watazamaji wapya) iliorodheshwa kwa kuuza mwisho wa 2009 tips za mablozi zilifanya chini ya dola elfu mbili kwa mwezi kwa wakati huo na zilikuwa na wanachama zaidi ya 8 wengi bloggers profile profile walipigwa ikiwa ni pamoja na yaro starak mnada unaweza bado kuonekana kwenye flippa kwa ukamilifu ikiwa unataka kujua kile nilichoandika katika orodha ya mnada mnada huo ulionekana kuwa maarufu na wajasiriamali wengi wa zabuni kushinda mnada hatimaye muuzaji wa kampuni zac johnson amefuta kitufe cha $ 60000 cha nunua sasa nilikuwa na bahati sana kwamba tovuti hiyo ilinunuliwa kwa mnunuzi mkubwa zac johnson alikuwa anajulikana kwa kuwa mshirika wa biashara na blogger alihakikisha shughuli salama na ya haraka na kiasi kikubwa cha pesa kutoka kwa uuzaji wa blogu kilikwenda kwa dhamana ya nyumba yangu tangu kuuza tovuti kwa zac nimeendelea kuwasiliana naye tunazungumzia mara kwa mara kwenye google kuhusu tovuti zetu na kusaidiana tu wakati tunaweza zac johnson anaendelea kuendesha bloggingtips hadi leo zac bado inaendesha bloggingtips ameweka timu yake mwenyewe kwenye blogu na inaendelea kuwa updated kila siku na zac na mwenyeji wa bloggers nyingine inayojulikana ninakuhimiza ukiangalia ikiwa haujawahi kusoma blogu hapo awali mipangilio ya mablozi ilikuwa kozi yangu ya mwaka tatu juu ya blogu niliingia katika mradi kama mchungaji wa mabalozi na nikatoka nje kwa mtazamo wazi juu ya nini blogging ni na si imekuwa ya kuvutia kwangu kuangalia nyuma wakati wa muda nilifanya makosa mengi njiani kwa mfano ningeweza kujiokoa muda mwingi bila kujaribu kujenga jumuiya kwenye vikao vya majadiliano walikuwa shida wakati mmoja kutokana na shida kali na spam niliwahimiza kila mtu ambaye alitaka kuondoka maoni kujiandikisha na blogu hii iliona maoni yaliyotoka sana na mimi haraka kuacha uamuzi wangu ilikuwa ni hoja mbaya sana kwa upande wangu kwamba nilihisi kulazimishwa kufanya kwa sababu wordpress haikuwa na kushughulikia spam vizuri wakati huo mimi si kuangalia nyuma kwa makosa niliyofanya na majuto mafanikio niliyokuwa nayo tangu kuuza bloggingtips ni sehemu kutokana na kufanya makosa wakati huo nilijifunza masomo mengi wakati wa miaka mitatu ambayo imekaa nami hadi siku hii inarudi kwenye kile nilichosema mwanzoni mwa makala hii unaweza kusoma vitabu vyote unavyotaka lakini njia bora ya kujifunza ni kujitupa huko kufanya makosa na kujifunza kutoka kwao kwa hiyo usiwe na wasiwasi ikiwa unafanya makosa mengi katika blogu jambo muhimu ni kutambua kile ulichofanya kibaya na hakikisha usifanye tena wakati ujao kama unaweza kuona kutoka kwenye utafiti huu wa kesi kila blogger huko nje amefanya makosa mengi kwenye safari yao ya kufanikiwa kwa hiyo usiruhusu shida ikimeshe njia yako ikiwa umefurahia makala hii nawahimiza kujiunga na blogi hii (siri ya uhifadhi wa mtandao imefunuliwa) kupitia facebook au twitter jerry ana mipango mingi ya tovuti na ninahakikisha kuwa utafurahia makala ambazo amekuhifadhi kwa ajili yenu nyote shukrani kwa ajili ya kusoma kifungu cha kevin muldoon kevin muldoon ni blogger mtaalamu mwenye upendo wa kusafiri anaandika mara kwa mara kuhusu mada kama vile wordpress blogging uzalishaji masoko ya mtandao na vyombo vya jamii kwenye blogu yake binafsi yeye pia ni mwandishi wa kitabu bora zaidi cha kuuza art of freelance blogging
2019-06-17T19:49:07
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/blog/blogging-tips/a-case-study-of-bloggingtips-com-planning-developing-and-selling-the-blog/
halmashauri ya wilaya ya kishapu kwa kushirikiana na shirika la relief for development society (redeso) imezindua mradi wa mafunzo yakutengeneza majiko sanifu kwa ajili ya kustahimili mabadiliko ya tabia ya nchi vijijini mafunzo haya yametolewa katika wilaya ya kishapu mkoa wa shinyanga ikihusisha wawakilishi 40 kutoka katika vijiji 4 ambvyo ni muguda kiloleli beledi mihama mafunzo haya yalilenga zaidi uhamasishaji wa ujenzi wa majiko sanifu na utumiaji wake majumbani ili kuimarisha na kulinda mazingira kupunguza matatizo ya kiafya kwa watumiaji kuwezesha jamii kuelewa malighafi na vifaa mbalimbali vinavyotumika kujengea majiko sanifu ili kuelimisha jamii juu ya majiko sanifu afisa utumishi wa halmashauri ya wilaya ya kishapu martin ndamo wakati wa kufungua mafunzo hayo aliwataka wawakilishi kuwa makini wakati wa mafunzo ili wakatoe elimu kwa jamii juu ya utengenezaji matumizi na umuhimu wa majiko sanifu kwa wanajamii katika vijiji vyao naye elizabeth pamphil ambaye ni afisa mradi redeso wakati wa mafunzo hayo alitoa elimu juu ya majiko sanifu ni banifu katika kutumia kuni au mkaa kwa kiasi kidogo katika kutoa nishati ya kupikia chakula kwa faida ya kulinda mazingira na misitu aina hizo ni pamoja na jiko mkombozi jiko okoa jiko duma na jiko chaga kati ya majiko hayo jiko okoa ni jiko ambalo limechaguliwa na mradi kwa kuwa ni rafiki zaidi kwa wanajamii mazingira kiuchumi kiufanisi kijinsia na afya kwa watumiaji aidha mtaalamu wa majiko sanifu mwalimu nyapi alitoa mafunzo juu ya vifaa na ujenzi wa majiko sanifu pamoja na jinsi ya kutengeneza majiko sanifu aina ya okoa ambapo wawakilishi waliopata mafunzo watakuwa wataalamu katika vijiji vyao na kuwawezesha kujikwamua kuichumi kupitia mradi huu
2020-03-28T09:19:43
http://kishapudc.go.tz/new/majiko-sanifu-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabia-ya-nchi
tanzia aliyekuwa meya wa jiji la dar es salaam dk didas masaburi afariki dunia dar es salaam yetu home » » tanzia aliyekuwa meya wa jiji la dar es salaam dk didas masaburi afariki dunia tanzia aliyekuwa meya wa jiji la dar es salaam dk didas masaburi afariki dunia meya wa zamani wa jiji la dar es salaam dk didas masaburi amefikwa na umauti jana majira ya saa tatu na nusu usiku katika hospitali ya taifa ya muhimbili alipokuwa amelazwa taarifa za kifo chake zimethibitishwa na ndugu yake dk makongoro mahanga ambaye alieleza kuwa familia ipo katika taratibu za awali za msiba huo na kwamba leo watatoa taarifa rasmi na taratibu nyingine taarifa za kifo cha dk masaburi ni za kweli ingawa sijaenda hospitali ninafanya mawasiliano na familia lakini taarifa kamili kuhusu msiba zitakuwa zikitolewa na msemaji wa familia ambaye tutamteua usiku huu na kesho (leo) tutaeleza kiundani alisema dk mahanga jana usiku marehemu pia aliwahi kuwa mbunge wa bunge la afrika mashariki (eala) mtandao huu unatoa pole kwa taifa kwa ujumla kwa msiba huu wa aliyekuwa kiongozi wa ngazi mbalimbali akiutumikia umma apumzike kwa amani amina blog archive august (192) july (200) june (71) may (57) april (42) march (112) february (104) january (93) december (172) november (191) october (163) september (130) august (140) july (158) june (174) may (171) april (148) march (205) february (212) january (260) december (105) november (128) october (146) september (120) august (171) july (121) june (120) may (100) april (87) march (49) february (70) january (115) december (93) november (65) october (121) september (92) august (143) july (165) june (145) may (179) april (170) march (209) february (214) january (273) december (145) november (153) october (165) september (106) august (94) july (127) june (46) may (54) april (25) march (47) february (51) january (89) december (99) november (114) october (204) september (160) august (125) july (33) june (56) may (137) april (189) march (73)
2017-08-17T11:25:56
https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2016/10/tanzia-aliyekuwa-meya-wa-jiji-la-dar-es.html
mtazamo halisi 20101031 posted by mtazamo at 600 am 0 comments hongera rais jakaya mkikwete na dkali shein dk jakaya kikwete pichani akipongezana na dk ali mohamed shein katik hafla ya kutangaza matokeo ya urais iliyomalizika hivi karibuni kwenye ukumbi wa karimjee jijini dar es salaam mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi nec jaji lewis makame ameweza kutoa majumuisho ya matokeo hayo na kutangaza rasmi kuwa dk jakaya mrisho kikwete aliyekuwa mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi ccm ameibuka mshindi kwa kupata asilimia 6717 na n ameteuliwa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kipindi cha miaka mitano makame alisema kuwa rais kikwete ameibuka mshindi baada ya kupata jumla ya kura milioni 5 276 827 ambayo ni sawa na asilimia 6117 ya watu wote waliopiga kura na kufuatiwa na mpinzani wake dk willbroad slaa kupitia chama cha chadema ambaye ameibuka na jumla ya kura mil2 271 941 ambayo ni sawa na asilimia 20 ya wapiga kura ambapo jumla ya watu waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa ni milioni 20 137 303 wakati walijitokeza kupiga kura walikuwa ni milioni 8 6261283 ambayo ni 42 ya waliopiga kura tunategemea toka kwenu kupunguza changamoto zinazolikabili taifa kama vile umaskiniujinga na maradhi bila kusahau ufisadiusafiri wetu ni ule ule ila aina ya gari hubadilika kutokana na mazingira na hali ya barabara posted by mtazamo at 1038 am 0 comments dkslaa historia ni mwalimu mgombea urais kwa tiketi ya chadema dkwillbrod slaa historia inatufundisha kuwa katika mbio za ushindani kuna kushinda na kushindwa na kutokukata tamaa kufikia lengo ulilokusudia unaweza kukubali lakini usikachekwani hii inasaidia sana katika kujipanga upya kwa kutizama nini sababu yakutofikia lengo kwanza kabisa nadiriki kukupongeza kama ni kiongozi pekee wa vyama vya siasa aliyeweza kufanikiwa kuleta idadi kubwa ya wabunge toka tanzania bara kwani hili litasaidia kutoa changamoto kwa chama tawala ccm kwa kweli unastahiki sifa kubwa kwa kuwa si mkamilifu ningependa kukumbusha historia ili kuepusha maswali juu yako ya kuwa ni mchanga kisiasa au unaendeleza chuki zisizokwisha nisingependa kusema kuwa una uchanga wa kisiasa kwa kuwa umelitumikia taifa katika ngazi mbali mbali na hasa kiti cha ubunge katika wilaya ya karatu kwa muda wa miaka 15 ni kuwa unakubalika hapo naweza kusema mheshimiwa dkslaa ni mpiganaji aliyekomaa bila kushindwa kwa muda wa miaka 15 na mwaka huu kuingia kwake katika mbio za urais kumeleta muamko mpya na kuzoa viti vya ubunge 24 kwa chama chake cha chadema lengo ni mabadiliko na kwa hilo hajakosa kwani roma haikujengwa siku moja nikiwa nina mifano ya kutosha ya hapa hapa nyumbani toka kambi ya vyama vya siasa hasa kupitia chama cha wanachi cuf na wagombea wao wa urais maalim seif shamad na profibrahim h lipumba toka mwaka 1995 hadi 2010 nikianza na z'bar ni maalim seif aliyeshindaana na marais wa 3 wa visiwani (dksalmindkkarume na hatimaye dkalimshein) kwa muda miaka 15kwa kipindi kirefu amekuwa ni alama ya upinzani z'bar licha ya chaguzi zenye mizengwe mingihatimaye kutokubaliana na matokeo mwaka huu 2010 maalim seif s hamad kafungua ukurasa mpya wa siasa za visiwani kwa kukubali matokeo tanzania bara ni profibrahim h lipumba amegombea urais kwa muda wa miaka 151995 alikuwa wa 3 kwa 6432000 alikuwa 2 kwa 1626 nyuma ya rais mstaafu benjamin w mkapa mwaka 2005 alikuwa 2 kwa 1168 nyuma ya rais jakaya mkikwete katika hali zote amekubali matokeoakiendelea kujiimarisha zaidi kisiasa licha ya kupandikizwa chuki za udini kwa chama chake na hatimaye kumkosesha kura za kutosha uchaguzi mkuu 2010 drjakaya kikwete 6117 drslaa 2634 lipumba 806 kufikia hapo nakupa hongera kwani ni asilimia ambayo kambi ya upinzani haijwahi kuifikia hii inaonesha kuna muamko mkubwa wa watanzania na ni wito kwa watawala wote kuwa ahadi ni deni mtu ukikope lazima ulipe nilichojifunza toka uchaguzi huu kama mheshimiwa dkslaa ataweza kusoma alama za nyakati akubali matokeo na ajipange upya kwani analo somo toka kwa walio mtangulia waswahili wana msemo usemao lisemwalo lipo kama halipo laja kashifa ulizo tuhumiwa imekuwa silaha kubwa ya kukumaliza ikiwa si wewe au ni nia mbaya ya wapinzani wako lazima ukemee vurugu na pia suala zima la udini ccm inajivunia kwa kuwa inakubalika na waumini wa dini zote posted by mtazamo at 955 am 1 comments labels chadema siasa
2018-02-19T04:01:23
http://mtazamojamii.blogspot.com/2010_10_31_archive.html
home electronics | nunuauzacom available kwa bei nzuri na nafuu vifaa vya umeme vyenye ubora hutojutia kuvinunua popote ulipo unaletewa kama ni mbali sana unatumiwa karibuni mpate huduma zetu ni nafuu sana welcome deki original tsh420000 free delivery kwa wateja wa dar utalipa ukishapokea bidhaa yako mkoani kunautaratibu maalum
2019-10-23T15:24:56
https://www.tanzaniaonlinemarket.com/category/electronics/home-electronics/
kamati ya bashe uvccm kupasua jipu leo dodoma ripoti yasakwa ihujumiwe | jamiiforums | the home of great thinkers kamati ya bashe uvccm kupasua jipu leo dodoma ripoti yasakwa ihujumiwe discussion in 'jukwaa la siasa' started by mwana mpotevu jun 3 2012 vigogo ccm wahaha kupata ripoti kamati ya bashe baadhi ya vigogo wa ccm na wale wa umoja wa vijana wa chama hicho (uvccm) jana walikuwa wakihaha kupata ripoti ya kamati iliyoundwa machi mwaka jana kutathmini namna ya kuuhuisha umoja huo inayotarajiwa kuwasilishwa leo katika kikao cha baraza kuu la uvccm taarifa kutoka ndani ya kikao ambazo zilithibitishwa na baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo maarufu kama &#8216kamati ya bashe' zilieleza kuwa vijana na vigogo wa chama hicho walikuwa na shauku ya kuiona ripoti hiyo ambayo inasemekana imesheheni mambo mazito kabla haijawasilishwa ili wajue namna ya kuizuia au kujipanga kwa kutoa maoni yao vyanzo vya habari kutoka ndani ya kikao hicho vililidokeza mwananchi jumapili kuwa ripoti hiyo inatarajiwa kuja na mageuzi makubwa ndani ya jumuiya ya vijana pamoja na ccm kwa ujumla na kwamba kutovuja kwa kilichopendekezwa humo kumeibua maswali mengi kwa wajumbe hata hivyo chanzo chetu kutoka ndani ya chama hicho kimedokeza kuwa moja ya mapendekezo ya kamati hiyo ni pamoja na kuutaka umoja huo kujisimamia na kuondokana na kuwa &#8216jumuiya ya kuimba iyena iyena' mengine ni pamoja na kuwa katika mageuzi makubwa ambapo wanataka jumuiya ambayo italeta mabadiliko ya kiuchumi pamoja na mikakati na misimamo ya ndani ya chama ambayo kwa sehemu inawagusa vigogo pia kamati hiyo inapendekeza uchumi wa nchi kumilikiwa na wazawa yaani wananchi washiriki katika kumiliki raslimali na kwamba kazi hiyo isiachwe kwa wawekezaji wa kigeni pekee kwa mujibu wa msemaji wetu hadi jana mchana kulikuwa na mgawanyiko wa makundi matatu katika baraza hilo kundi moja liliongozwa na mtoto wa kigogo ambaye ni mjumbe kutoka mkoa wa pwani huku kundi lingine likiwa ni vijana waliotumwa na uongozi kwa ajili ya kuhakikisha wanaunasa waraka huo kabla ya kuingizwa mkutanoni leo hii kundi la tatu ni lile linalojiita &#8216wapenda haki' ambalo ndilo linalojua nini kilichopendekezwa na kamati ya bashe na ndilo hasa lililoonekana kuwa na furaha kubwa huku likiapa kutotolewa taarifa hiyo hadi itakapowasilishwa leo ukumbini tumeapa na tuko tayari kuifia imani yetu hawa jamaa hawawezi kuiona ripoti hiyo maana kuna ujanja wanataka kuufanya na kurubuni wajumbe hivyo lazima tuwe makini na mambo hayo'' alisema mmoja wa wajumbe kauli ya msemaji huyo haikuwa na tofauti na kauli ya mwenyekiti wa kamati hiyo bashe ambaye jana alisema kuwa hakuwa na la kusema lakini akakiri kuwa kuna usiri mkubwa katika kamati yake kimsingi sisi tutaiwasilisha kesho (leo) saa 9 alasiri kwa hiyo naomba msubiri wala msiwe na haraka ndiyo maana unaona wajumbe wa kamati yangu hawaonekani sana pale ukumbini'' alisema bashe bila ya kutaja nini kilichomo ndani ya ripoti yao alisema kuwa wanaccm na vijana watarajie kuona mambo makubwa ambayo kimsingi yatakuwa na lengo kamili la kuujenga uvccm pamoja na ccm kwa jumla my take tusubiri mpasuko mwingine uvccm baada ya nec yao kupasuka pia malisa amesema kuwa sasa uvccm itaanza kujibu mapigo yote ya wapinzani maana wamechoka kuvumilia matusi ya wapinzani malisa hana jeur hiyo na kund laki kujibu mapigo mkuu watabak tu kupeawa hela na el alafu ujue kama viongoz wa kitaifa weng wa uvmagamba hawajui politics hata kidogo alafu n vilaza mno mwana mpotevu said malisa amesema kuwa sasa uvccm itaanza kujibu mapigo yote ya wapinzani maana wamechoka kuvumilia matusi ya wapinzaniclick to expand akapake poda huko hakuna jipya like father like son ndio kwanza namsikia huyo malisa ataanzia wapi badala ya kutekeleza yale maisha bora walio ahidi wananchi yeye anasubiri kujibu mapingo kweli ccm inafuga vichaa huyo malissa kweli fikra na akili zake ni sawa na za wengi ya wana ccm walivyohv wapinzani wanatukana au wanatoa hoja ambazo zinawagusa moja kwa moja wananchi hasa kutokana na hali halisi ya nchi ilivyokama ni matusi basi ccm wangeshnda kwa kishindo arumerumaisha ni magumu sanana wananchi are feeling the pinchinflation inatisharasilimali zinaporwa na kugawiwa bure tukwa nini wananchi wasiwaamini wapinzani kwa kuona wanawapa mwanga wa matumaini japo hawajashka dolawananchi hawana mpango wa kusikiliza matusi na porojokama uvccm wanawaza hivyo kwa nini wasianzishe kundi la taarabu tu hawa wasipojipanga wataishia kuwa waimba kwaya wa nec na cc kwa ujumlamwanzo wa mwisho wao unakaribiahayo mapendekezo kama hawatakubalioana kuungana na kuacha tofauti zaowana magwanda watawaapasua vichwa hadi 2015 wakiingia ikulu ndio kabisa uvnynym itajifia usingizini bila shida mpaka ifike 2015 hakika tutaona mengi ndani ya magamba taarifa kutoka ndani ya kikao ambazo zilithibitishwa na baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo maarufu kama ‘kamati ya bashe’ zilieleza kuwa vijana na vigogo wa chama hicho walikuwa na shauku ya kuiona ripoti hiyo ambayo inasemekana imesheheni mambo mazito kabla haijawasilishwa ili wajue namna ya kuizuia au kujipanga kwa kutoa maoni yao hata hivyo chanzo chetu kutoka ndani ya chama hicho kimedokeza kuwa moja ya mapendekezo ya kamati hiyo ni pamoja na kuutaka umoja huo kujisimamia na kuondokana na kuwa ‘jumuiya ya kuimba iyena iyena’ kundi la tatu ni lile linalojiita ‘wapenda haki’ ambalo ndilo linalojua nini kilichopendekezwa na kamati ya bashe na ndilo hasa lililoonekana kuwa na furaha kubwa huku likiapa kutotolewa taarifa hiyo hadi itakapowasilishwa leo ukumbini “tumeapa na tuko tayari kuifia imani yetu hawa jamaa hawawezi kuiona ripoti hiyo maana kuna ujanja wanataka kuufanya na kurubuni wajumbe hivyo lazima tuwe makini na mambo hayo’’ alisema mmoja wa wajumbe “kimsingi sisi tutaiwasilisha kesho (leo) saa 9 alasiri kwa hiyo naomba msubiri wala msiwe na haraka ndiyo maana unaona wajumbe wa kamati yangu hawaonekani sana pale ukumbini’’ alisema bashe my take tusubiri mpasuko mwingine uvccm baada ya nec yao kupasuka piaclick to expand kaaazi kweli kwelikumbe vijana kazi yao ni ndio mzeeeee huyo mtoto wa kigogo ni nanikutoka pwaniriz1 nini yaani na sisiem kuna wapigania hakina walio tayar kufanani asojua kuwa rasilimali not 4 ustume kibao zimeundwa hakuna jipya hapo hakuna jipya like father like sonclick to expand xactly mdau 'iyena iyena' yaani na sisiem kuna wapigania hakina walio tayar kufanani asojua kuwa rasilimali not 4 ustume kibao zimeundwa hakuna jipya hapoclick to expand wameshasema mtoto wa kigogo na mjumbe toka mkoa wa pwani wameshindwa nini kumalizia na jina tu maana kila kitu wameshakisema kassim awadh vp wakuu hiyo report inasemaje sasamwenye nakala atuwekee hapa uvccm ni kama kurugenzi ndani ya wizara flanisasa kuna kurugenzi inaweza kutoa taarifa kwa vyombo vya habari bila mtendaji mkuu wa wizara kujuaunajua maana ya kuhahawakiitaka taarifa wanaipata tuasikudanganye mtu hakuna kitu hapo bashe bado ana uchungu wa kuumbuliwa uraia maneno ya kutoa tamko kila siku tumewazoea hata ambao hatuna vyama tumezidi kujidhatiti na misimamo yetu hatuna vyama aaa sina chama na sitaki vipi hakuna update yoyote vipi hakuna update yoyoteclick to expand yaani nazifuatilia updates bila mafanikio
2016-12-11T06:11:26
http://www.jamiiforums.com/threads/kamati-ya-bashe-uvccm-kupasua-jipu-leo-dodoma-ripoti-yasakwa-ihujumiwe.272817/
rc makonda afunguka tena sakata la video chafu za amber rutty | mpekuzi rc makonda afunguka tena sakata la video chafu za amber rutty mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda amefunguka tena kuhusiana na video chafu za mrembo amber rutty na mpenzi wake lakini pia kuhusiana na ongezeko la mashoga katika jiji la dar es salaam akiongea na waandishi wa habari jana october 29 2018 rc makonda alisema kuwa amber rutty na mpenzi wake bado wapo lupango wakati wanasubiriwa kupandishwa kizimbani na kuweka wazi kuwa adhabu yao ni kifungo cha maisha jela au miaka 30 kama itatbitika wanafanya kinyume na maumbile tayari yule binti anayeitwa amber rutty pamoja na bwana yake wapo chini ya polisi tangu kipindi kile nilivyotoa maelekezo na niseme kuwa kosa lile liko wazi na sheria inasema ni aidha kifungo cha maisha au miaka 30 hiyo yote ni kuonyesha ni jinsi gani serikali isivyopendezwa na mienendo inayomomonyoa maadili ya taifa letu alisema makonda lakini pia rc makonda alitangaza vita na mashoga wote ambao wanajihusisha na shughuli za kufanya mapenzi kinyume na maumbile naomba nitoe fursa hii kwa wakazi wa dar es salaam namba yangu ya simu inafahamika nimepata taarifa kwamba kuna mashoga wengi sana kwenye mkoa wetu na mashoga hawa ndio kazi yao wanajinadi kwenye mitandao ya kijamii kwa hiyo nawaambia wananchi kama kuna shoga yoyote unamfahamu leo mpaka jumapili napokea taarifa zao blog archive march (291) february (687) january (716) december (596) november (590) october (652) september (570) august (635) july (678) june (638) may (684) april (711) march (611) february (486) january (506) december (438) november (426) october (440) september (398) august (446) july (390) june (354) may (375) april (317) march (291) february (307) january (371) december (366) november (351) october (363) september (340) august (403) july (384) june (421) may (486) april (499) march (478) february (404) january (444) december (375) november (317) october (335) september (271) august (250) july (284) june (352) may (325) april (345) march (383) february (339) january (341) december (246) november (239) october (310) september (289) august (369) july (313) june (322) may (333) april (260) march (294) february (251) january (205) december (262) november (240) october (262) september (278) august (226) july (284) june (256) may (262) april (245) march (238) february (168) january (236) december (164) november (134) october (219) september (303) august (376) july (539) june (551) may (827) april (562) march (258) february (149) january (146) december (127) november (173) october (269) september (205) august (734) july (411) june (241) may (8) april (20)
2019-03-19T03:42:36
http://www.mpekuzihuru.com/2018/10/rc-makonda-afungukaq-tena-sakata-la.html
azam waenda kenya kucheza mechi tatu za maana azam na kombe la mapinduzi baada ya kutwaa kombe la mapinduzi mwishoni mwa wiki visiwani zanzibar azam fc inatarajiwa kuondoka nchini alhamisi kwenda nairobi kenya kwa ziara ya wiki moja ya michezo ya kirafiki kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi kuu na kombe la shirikisho katibu mkuu wa azam fc nassor idrisa ameiambia bin zubeiry leo kwamba katika ziara hiyo watacheza mechi tatu za kujipima nguvu dhidi ya timu za sofapaka afc leopards na gor mahia kabla ya kurejea nchini januari 23 nassor alisema ziara hiyo ni maalum kwa ajili ya kuiweka sawa timu yao kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu ya bara na kombe la shirikisho afrika nassor amesema anaamini timu za kenya ni nzuri na zitawapa changamoto nzuri kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu na kuingia kwenye kombe la shirikisho tumekuwa katika programu ndefu ya maandalizi tangu desemba tukianzia kongo (drc) ambako tulicheza mashindano na kuchukua kombe tumetoka tumeingia kwenye kombe la mapinduzi tumeshiriki na kuchukua kombe na sasa tunakwenda kenyaalisema nassor katibu huyo alisema kikosi kizima cha azam kitakwenda kenya kwenye ziara hiyo na baada ya hapo timu itarejea tayari kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu chanzobongostazblog
2017-11-24T05:34:16
http://dinaismail.blogspot.com/2013/01/azam-waenda-kenya-kucheza-mechi-tatu-za.html
the ceo culinary artist tanzanian executive chef issa kapande wapenzi wa saladi salama kwa afya salad hizi huliwa kabla ya mlo kamili kama kitangulizi chemsha spinach au mchicha uive nusu tu kisha weka pembeni upoe kata vitunguu vidogo kwa urefu changanya mafuta ya maindi ili isaide ukiweka katika friji salad yako isigande weka chumvi kulingana na ladha yako weka maji ya limao au vinega ksiah changanya pamoja tayari kwa kula panga kama inavyoo onekana katika piachasalad hii ni asfi na salama kwa afya yako sald ya viazi na michirizi ya soseji za ng'ombe upande wa kulia mwanzo ni michirizi ya soseji jani la saladi na mwisho ni mchanganyiko wa viazi vilivyochemshwa vikaiva nusu vimechanganya na mayonaise kidogo na pili pili hoho na kitunguu kilichokatwa kidogo kidogo kwanza weka jani lako la salad kisha weka mchanganyiko wa viazi juu ya jani la salad hakikisha inakaa katika umbo la mlima ili kuvutia zaidi mwisho kabisa weka vipande vya nyanya freshi na kati kati weka michirizi ya soseji muhudumie mlaji ikiwa ya baridi kumbuka kuweka mayonaise kidogo sana kwa afya yako posted by issa kesu at 3/02/2010 124000 pm asante sana chefmaana unatufanya waume zetu wawahi kurudi kwa msosi wa nyumbanihahaha ila nilikua na swali na hizi salad ni muda gani muafaka wa kuliwani kabla ama baada ya mlo mkuuama ni wakati wowote jinsi ninavyopenda mapishi sijui nimepatwa na nini asante kaka majibu utapata leo ni mara yangu ya kwanza kufungua blog yako ni nzuri sana na inaelimisha kupita kiasi naomba unifundishe aina mbalimbali za utengenezaji wa salads za kula baada ya mlo au pamoja na mlo kaaazi kwelikwelitushindwe wenyewemaana mwalimu ameamua kutufundisha bure bila gharama yoyotekeep it up chef maana kwa jinsi navyopenda kupika jamani mimi ninachokuombea ni mungu akuzidishie zaidi na zaidi uwe na moyo huo huo wa kutoa mafunzo bila malipo kwa upande wangu nimefaidika sana hallow chef nimefurahi sana kupata mapishi kama haya nakushukuru sana na mungu akubariki sana mungu akulinde na magonjwa sarah arusha tuesday january 11 2011 80800 am asante sana chef mimi napenda sana kupika nimefurahi sana na mapishi yako mungu akulinde akuzidishie pale palipopungua asante tuesday january 11 2011 81900 am
2018-09-25T22:41:50
http://activechef.blogspot.com/2010/03/wapenzi-wa-saladi-salama-kwa-afya.html
tovuti bora za kutengeneza pesa za mashoga video za wapenzi wa jinsia moja la latin » chama »best pesa kutengeneza tovuti za mashoga lakini unajua nini kweli nilichomwa moto mara nyingi sana zamani ndio maana baada ya kujiandikisha na kutumia tovuti za watu wazima 78 kwa jumla naweza kusema kwa uaminifu kuwa najua kabisa wapi pa kwenda kwa wasichana wenye moto sana na tovuti za kuaminiwa zaidi kati ya tovuti 78 ambazo nimejaribu zaidi ya miezi kadhaa hizi ndio njia za juu ambazo ningependekeza sana tovuti ya hivi karibuni kukaguliwa katika crap takatifu wasichana ni ya kushangaza huduma ya wateja ni ya juu notch na ndio tovuti kubwa ya wavuti ulimwenguni kazi za wavu wa watu wazima kwa modeli za kiume na mashoga kazi za mfano wa gay cam | webcam 4 pesa fikiria juu yake mmoja wao ni mimi nasubiri masaa isitoshe kwa mtu kuingia kwenye chumba changu cha kuzungumza yote kwa sababu nilikuwa nikifanya kazi kwa wavuti ya cam na trafiki ya chini je ndivyo unavyotaka kwa sababu wacha niwe mwaminifu sehemu za cam za mashoga aina za kamera za kijinsia zinahitajika ikiwa wewe ni mfano wa cam unatafuta mahali pa kazi pa urafiki wa mashoga usiangalie zaidi guys wasichana na mifano ya transgender wote mnakaribishwa ikiwa ni muhimu kwako kupata kazi ya mashoga ambayo jamii ya lgbtq inasaidia mtandao wetu ndio unaoweza kujiunga tunafanya kazi na aina nyingi za wavuti za mashoga za waume za juu duos duos na wasichana wa kike kwenye wavu topchats ni tovuti ya hakiki ambayo inahifadhi tovuti bora za cam tunashughulikia kila kitu kinachohusiana na gumzo na kuifanya hii kuwa rasilimali tu ambayo utahitaji kuingiliana na watu mkondoni na kuzungumza na wasichana wote wa amateur na wataalamu kutoka ulimwenguni kote tunapata jaribu na kukagua tovuti za cam katika anuwai ya aina kukupa uchambuzi wa kina wa kila moja na maelezo yote muhimu ili uweze kupata kamili katika dakika tepe bora + pesa + kutengeneza + mashoga + cam + tovuti kijana wa chini ni mzuri video ya kusisimua sana wooooooow bora katika yanayopangwa 60 paladin twink xvideos moja kwa moja rafiki bora mashoga kuponda
2020-02-17T06:39:57
https://sw.360uz.info/party/4714-best-money-making-gay-cam-sites.php
burudan mwanzo mwisho majanga kope bandia zampofua macho mremboalikwenda saluni kubandikwa kwa supa glusoma zaidi hapa mkasa huu majanga kope bandia zampofua macho mremboalikwenda saluni kubandikwa kwa supa glusoma zaidi hapa mkasa huu ama kweli hujafa hujaumbika mrembo khadija omar mkazi wa kigogo dar amepata pigo kufuatia kupofuka macho alipokuwa akiwekwa nyusi bandia katika saluni moja iliyopo maeneo hayo muda mfupi mbele hali yangu ikawa mbaya zaidi ikabidi wazibandue kope lakini juhudi zao ziligonga mwamba kwa sababu walitumia gundi kali ikabidi nirudi nyumbanialisema khadija akaongeza nikiwa njiani macho yaliniuma sana na kuzidi kupoteza uwezo wake wa kuona ghafla nikaanguka chini akatokea msamaria mwema na kunipeleka nyumbani aliongeza khadija omar mkazi wa kigogo jumatatu iliyopita khadija aliruhusiwa kurudi kwake lakini akiwa hana uwezo wa kuona na kutakiwa kurejea tena hospitalini hapo baada ya wiki tatu kwa uchunguzi zaidi daktari mmoja wa ccbrt ambaye hakuwa tayari kutaja jina lake gazetini alisema khadija anaweza kuona kama zamani lakini itamchukua muda mrefu kutokana na madhara ya gundi ya supa glu iliyotumika
2018-02-20T05:20:04
http://burudan.blogspot.com/2013/11/majanga-kope-bandia-zampofua-macho.html
contributions by hon rose kamili sukum mhe rose k sukum mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana kwa kunipa fursa hii naomba na mimi niwe mmojawapo wa kujadili hotuba na mpango wa bajeti wa ofisi ya rais tamisemi mheshimiwa mwenyekiti nikianza na tawala za mikoa na utawala bora kinachonisikitisha ni kwamba kabla sijajadili kwanza habari ya bajeti suala la utawala bora haupo kabisa kwa tamisemi upo kwa maandishi tu kusema kwamba wanaridhika na kuhakikisha kwamba kwa wakati muafaka wananchi wanapata taarifa zao kwa ubora zaidi na pia kusimamia vyema utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo mheshimiwa mwenyekiti simlaumu sana waziri wa tamisemi bali namwambia kwamba watendaji wako au maafisa masuuli katika halmashauri mbalimbali hawako vizuri wao hawatekelezi ipasavyo suala la utawala bora wananchi katika halmashauri mbalimbali hawana taarifa kabisa hata ya miradi yao ya maendeleo hawana taarifa ya fedha ambazo zinafikishwa huko je utawala bora hapo uko wapi mheshimiwa mwenyekiti lingine pia kwenye suala la utawala bora inatugusa sisi wabunge wote wa viti maalum ninashindwa kuelewa huo waraka uliotolewa na waziri wa wakati huo ambao siujui kwamba wabunge wa viti maalum hawaruhusiwi kuingia kwenye kamati ya fedha ndani ya halmashauri zao ambazo wanahudhuria hii inawagusa wabunge wote sio mimi peke yangu ni kwa nini hatuhudhurii hizo kamati za fedha naomba kutambua hilo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti mheshimiwa kairuki uko hapo wewe ni mwanamke na ni viti maalum umeteuliwa kuwa waziri kwanini sisi kama wabunge hatuhudhurii kwenye kamati za fedha ambazo ziko kwenye halmashauri zetu napenda kujua kwanini msibadilishe utaratibu huo ambao haufuati utawala bora mheshimiwa mwenyekiti hii imesababisha katika halmashauri nyingi saa nyingine waheshimiwa wabunge hawaingii mbunge wa viti maalum angekuwepo maeneo hayo ni wazi kabisa angekuwa mdhibiti wa fedha na mali ya halmashauri yetu husika au mali ya wananchi mheshimiwa mwenyekiti kwenye suala la utawala bora pia naomba sana tamisemi kubadilisha taratibu kuhusu wenyeviti wa vijiji na serikali yao kuweza kupewa posho au angalau hata msharaha kidogo ili waweze kufanya kazi vizuri kusimamia miradi ya maendeleo kwenye vijiji vyetu mheshimiwa mwenyekiti sasa niende kwenye suala la ofisi ya rais tamisemi kuhusu kuomba tuidhinishe makadirio ya shilingi trilioni 6023 kwa ajili ya mpango wa maendeleo na makadirio ya fedha kwa mwaka huu wa 2016/2017 mishahara tu pamoja na matumizi mengineyo imekwenda kiasi cha shilingi trilioni 44 lakini fedha za maendeleo ni shilingi trilioni 16 tu ukigawanya hizi fedha za maendeleo kwa mikoa 26 kwa wilaya 139 kwa tarafa 562 kwa kata 3963 kwa mitaa 4037 kwa vijiji 12545 na vitongoji 64677 maana yake wastani wake kwa ujumla kila timu itapata shilingi 1866360995 tu mheshimiwa mwenyekiti hebu mwangalie kwenye suala la maendeleo kama hizi fedha zinakidhi haja kwenye taarifa yao ya fedha wameonesha kwamba wamepewa mikoa kadhaa wamepewa vijiji kadhaa au wamepewa wilaya kadhaa ina maana fedha za maendeleo hazitoshi hata kidogo mimi nadhani ifikie mahali sasa kwamba sisi kama wabunge waangalie tamisemi waweze kupata fedha za kutosha ili waweze kukidhi haja ya wananchi kwa ajili ya miradi ya maendeleo mheshimiwa mwenyekiti nilienda mbali kidogo kuhakikisha kwamba hebu hata hizi fedha za maendeleo zimekwendaje nikachambua programu za maendeleo kadhaa nikaenda kwenye programu ya maendeleo ya barabara vijijini kasma ya 4170 unakuta kwamba wameomba fedha shilingi bilioni 2247 hizi hela ukiangalia kazi yake ni kuratibu na kutekeleza mpango kufungua barabara za vijijini ambazo hazipitiki ambayo hela yake sasa ukiangalia kwenye mchanguo huoni ni vijiji gani ambavyo wanastahili kufungua hizo barabara na ni hela kiasi gani haikuoneshwa pia kwenye matengenezo ya barabara maeneo ambayo ni korofi kwenye barabara za halmashuri haioneshi ni barabara za halmashauri gani ni barabara ya wapi ni ya kijiji gani haioneshwi kabisa sasa sisi kama wabunge tunaidhinisha nini tunatakiwa tujue tuidhinishe kitu ambacho tunajua kama inaenda kwenye wilaya ile au kama inaenda kwenye halmashauri fulani basi ifahamike kwamba ni halmashauri kadhaa safari hii wamepata labda ninyi mkapate mwaka 2018 (makofi) mheshimiwa mwenyekiti lazima tuangalie kwa undani pia nilienda moja kwa moja kwenye programu nyingine ambayo ni kasma ya 3280 programu ya maji safi na usafi wa mazingira vijijini mheshimiwa mwenyekiit fedha zimeombwa kuidhinishwa ni shilingi milioni 412 tu hatuna maji hatuna fedha za kutosha kwenye halmashauri zetu hatuna visima leo ni shilingi milioni 412 ni kufanya ufuatiliaji wa miradi tathmini kuratibu shughuli na kuratibu vikao vya kitaalam (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sisi tunahitaji vikao vya kitaalam au tunataka visima vya maji sasa tunapitisha nini naomba mkarekebishe hapa tena fedha zenyewe zinatoka nje fedha za ndani hazipo tunafanyaje miradi itaendeleaje ina maana kwamba watanzania bado wataendelea kukosa maji mheshimiwa mwenyekiti mimi natokea hanang wanahanang tuna upungufu mkubwa sana wa maji hata fedha ulizozipeleka mheshimiwa waziri safari iliyopita hakuna maji unaenda gehandu hakuna maji sijui galangala hakuna maji na fedha nyingi zimeenda unaenda garoji hakuna maji hata mjini katesh yale maji ambayo yametengenezwa na mfuko wa rais nayo hayapo saa hizi visima vipo tu kama sanamu kwa hiyo watu wanaenda kuabudu sanamu hakuna maji mheshimiwa mwenyekiti mheshimiwa waziri lazima hilo mliangalie pia kwa upande wa tamisemi mtafanya nini kuhusu masuala ya maji na fedha hizi tunazoziidhinisha sasa hivi shilingi milioni 412 kweli ni za kufuatilia au tunahitaji visima vya kutosha mheshimiwa mwenyekiti nasikitishwa na suala la elimu ukiangalia tunasema kwamba tunapata elimu bure kupunguza tu ile ada lakini michango ni mikubwa sana nafikiri ifikie mahali sasa tamisemi tuangalie suala la michango ile ya ziada ambayo itawasaidia wanafunzi wetu mheshimiwa mwenyekiti kuna mbunge amesema watu walikuwa wanakwenda na maakuli chakula cha nyumbani kipindi hiki magonjwa yako mengi mwanafunzi hawezi kwenda na chakula kutoka nyumbani kwao kitakuwepo kipindupindu sijui na ugonjwa gani sijui na kitu gani inatakiwa wanafunzi wale mahali pamoja mimi nadhani sasa serikali ifikie mahali kwamba muangalie suala la chakula shuleni itolewe na serikali hiyo ndiyo kupunguza adha kwa wazazi kwa ajili ya wanafunzi wao (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kingine kikubwa zaidi ni hela za mmes huu mpango wa hela za mmes na mmem tunaomba mwangalie utaratibu wa hela za mmem na mmes siyo kupitia tena kwa wakurugenzi halafu eti mtendaji wa kata ndio anasimamia hizo hela ziende moja kwa moja kwenye shule sasa zinavyoacha kwenda kwenye shule wengine wanaanza kumega kidogo kidogo ambapo ukifika hazipo shuleni tena kwa walimu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naomba kuzungumzia suala la afya hospitali zetu hazina dawa uchakachuaji umekuwa mkubwa mheshimiwa mwenyekiti pamoja na kutumbua majipu lakini nashindwa kuelewa mnasema kwamba tusimtaje mheshimiwa rais hapa huyu mheshimiwa rais anachelewa kutumbua wakurugenzi kwenye halmashauri zetu na wengine wanaokula fedha (makofi) mhe rose k sukum mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana mhe rose k sukum mheshimiwa mwenyekiti migogoro ya mipaka na shughuli za kibinadamu ndani ya hifadhi za wanyamapori sababu za mifugo kuingia kwenye hifadhi husababishwa na viongozi na watumishi wa maliasili kwa kuwanyang‟anya maeneo yao kuwa maeneo ya hifadhi bila kuwafidia maeneo mengine mheshimiwa mwenyekiti kuanzisha mapori tengefu mapori ya akiba na ushoroba maeneo hayo yote ni vijiji vilivyopimwa kwa ajili ya wananchi wanaopakana na hifadhi bila kuwa na utaratibu unaoeleweka kwa wizara ya ardhi maliasili kilimo na mifugo tamisemi na wizara ya maji kamwe hamtapata suluhisho la wafugaji na wakulima wanaozunguka hifadhi nashauri kuwa na kikao cha pamoja kutafuta suluhisho la kupatikana kwa ardhi ni kuwa na mpango wa kupatikana maeneo ya wafugaji na wakulima siyo kazi ya kuwakamata na kuwaua wao na mifugo yao tupeni mpango wa kumaliza tatizo hili mheshimiwa mwenyekiti kuhusu sheria namba tano ya mwaka 2009 (sura 283) sheria hii inazungumzia upande mmoja wa hifadhi je maeneo mliyoongeza kwa kuwaghilibu viongozi wa vijiji kwa kutumia viongozi wa wilaya na mkoa inawagusa wapi sheria hii inawanyanyasa wafugaji kwa kuwanufaisha viongozi wa wilaya na kamati zao za usalama na mikoa kwa kulazimisha kutolewa rushwa au kukandamiza wafugaji kulipa faini hii mifano imefanyika tarangire katika vijiji vya ayamango galapo mkungunero sangasanga lulenge pori la wamimbiki utengule huko kilombero north safari na kadhalika hii sheria ifanyiwe marekebisho mheshimiwa mwenyekiti lugha za kuudhi kauli aliyoitoa waziri wa maliasili na utalii mheshimiwa jumanne maghembe katika mahojiano yaliyofanyika katika vipindi vya itv dakika 45 ni lugha ya maudhi na dharau kwa wafugaji (a) mapato yatolewayo na maliasili na utalii ni asilimia 225 huwezi kufananisha na mifugo ambayo hutoa mapato ya kiasi cha asilimia 45 akifananisha kuwa ukiwa na shilingi nne na ukiwa na shilingi 22 utachukua shilingi ngapi hiyo ni dharau je ng‟ombe wanaochinjwa tanzania haijachangia kutokuagiza nyama kutoka nje hiyo siyo dola (b) wafugaji hukaa nyuma ya mikia ya ng‟ombe zao tu je waziri alitakaje kuna style nyingine za kufuga ng‟ombe (c) ng‟ombe wote walioko mipakani mwa hifadhi wana magonjwa kama kimeta homa ya mapafu na kadhalika hivyo nyama zao hazifai kwa kuliwa je waziri anaweza kutoa ushahidi wa magonjwa hayo kwa mifugo yote inayochinjwa mhe rose k sukum mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana nami kwa kunipa fursa hii niweze kuchangia hotuba ya waziri wa maji kwa wizara yetu hii muhimu ambayo ni nyeti sana kwa viumbe vyote ambavyo vimeumbwa duniani mheshimiwa mwenyekiti kwanza kabisa nianze kusema kwamba maji ni uhai maji ni uhai kwa viumbe vyote vilivyoko hapa duniani maji ni uhai kwa maana ya kwamba bila maji vifo vinaweza kutokea ukiugua kitu cha kwanza unapewa maji kwa drip hayo ni maji bila maji mtakuwa na njaa kali sana nchini ndiyo maana ya kusema ni uhai pia bila maji hutakuwa na viwanda vyovyote wala hutakuwa na maendeleo yoyote ya kutengeneza barabara wala hutakuwa na maendeleo ya aina yoyote endapo maji hayatatiliwa mkazo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti waziri wetu engineer anajua na nimeshamsumbua mara nyingi safari iliyopita kuhusu suala la maji lakini kwa kweli walikuwa wanajaribu kujitahidi lakini nahisi kwamba waziri wewe kama waziri hutaweza kuleta hizi hela za bajeti bajeti uliyotenga bilioni 915 haina kazi yoyote kwa sababu hata bajeti iliyopita safari iliyopita haikufanya kazi mheshimiwa mwenyekiti nadhani sasa ifike mahali wizara ya maji waziri mkuu wizara ya fedha tamisemi kwa sababu nao wanapitishiwa fedha nendeni kwa rais mkaombe hela hatuna haja ya sisi kuzungumza habari ya bilioni mia tisa hapa kwa sababu haitoshelezi sasa kama haitoshelezi tunaongelea nini nadhani tuache nendeni kwanza mkafanye hiyo kazi halafu mrejeshe hapa kwamba hela tumeongezewa uchukuzi wanapewa trilioni mbili mahali ambako uhai tunautegemea bilioni 900 tunazungumza nini sasa hapo naona tunapoteza muda tu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti barabara haiwezi kutengenezwa bila maji hakuna kiwanda kinatengenezwa hamna maji pale sasa kama barabara haiwezi kutengenezwa hawa wanapewa hela kubwa halafu maji wanapewa hela ndogo hii ni dharau kubwa kwa kweli (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naungana na hotuba ya kambi rasmi ya upinzani kuhusu suala la uanzishwaji wa wakala wa maji vijijini ukweli ni kwamba wakala huyu atafanya kazi na wewe wizara utakuwa na mahali pa kukamata fedha zote zinazokwenda vijijini hutumika vibaya maafisa masuuli wameona kwamba fedha za maji sasa ndio duka lao ndiyo mahali pao pa kupata mitaji kwa sababu kuna wizara mbili wizara ya maji inazungumza habari ya mradi wao kutoka wizarani tamisemi nayo ina mradi wa maji unakwenda pale kwenye halmashauri dbyd lakini nao hawafuatilii kwa hiyo imeonekana lile ndio duka lao ambalo wanafanya matumizi makubwa yasiyofaa (makofi) mheshimiwa mwenyekiti nimezungumza hivi kwa sababu kwa wilaya ya hanang naomba kuzungumzia masuala ya programu ya usafi wa maji na mazingira mpaka sasa hivi ninapozungumza hapa zaidi ya 4000757000/= zimekwenda pale lakini ukiambiwa miradi ile ya vijiji 10 mheshimiwa waziri ambayo anasema ni asilimia 80 kwenye taarifa yao ni vijiji saba tu ambavyo vimepata maji kati ya vijiji 96 mheshimiwa mwenyekiti wilaya ya hanang ina vijiji 96 vijiji saba tu hiyo ni asilimia 70 kweli au mnawadanganya watanzania kwa asilimia hakuna maji siyo kwamba ile wilaya haikuwa na waziri ilikuwa na waziri mimi nina mashaka mawaziri hamuwezi hilo twendeni kwa rais atupe maji ndiye anayeweza hakuna mtu mwingine (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naungana na kambi ya upinzani kuhusu uanzishwaji wa wakala kwa maana ya kwamba fedha zetu zisimamiwe vizuri kwenye maandishi utaambiwa kwamba wamechagua vijiji 15 lakini vijiji havina maji saa hizi ukiondoka waziri nenda hanang utakuta hata pampu za maji hazipo hata hivyo vijiji saba mwananchi hana maji pampu za maji mbovu ni hali mbaya kabisa kwa hiyo ni lazima kuangalia ni jinsi gani tuweze kuokoa hela za watanzania na hela zinazotokana na misaada mbalimbali kutoka nchi za wenzetu wanaotusaidia (makofi) mheshimiwa mwenyekiti wilaya ya hanang ishponga ilipewa milioni 209 hawana maji ya kutosha ukiangalia value for money hakuna kilichofanyika waziri wa tamisemi msaidie waziri wa maji kwamba hela kule zinaliwa bure garawja ilipewa bilioni moja na point moja ya kutengeneza mradi wa maji hayo maji bado hayajakamilika mpaka leo kwenye vitabu vyao vimeonesha maji yamekamilika kumbe bado hela zote zimetumika (makofi) mheshimiwa mwenyekiti fedha nyingine mogitu mradi wa kateshi na mogitu ni mradi mmoja lakini utakuta wanasema mradi wa mogitu umetumia milioni 578000/= halafu mradi wa kateshi umetumia milioni 867 sasa mradi wa kateshi na mradi wa mogitu ni mmoja ambapo kuna hela za rais pale pia milioni 390 huo mradi mpaka sasa hivi bado haujakamilika watu wa kateshi hawajapata haya maji ambayo yanatokea mogitu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti unaambiwa kupitisha kalavati tu zimetumika milioni mia mbili sijui na kitu eti kuchimba barabara halafu kupitisha bomba chini milioni mia mbili na kitu tunataka mheshimiwa waziri aende akahakikishe kwamba hizi fedha pia zinatumika vibaya ndiyo maana tunakosa maji watu wa hanang hawana maji ni vijiji vichache tu vilivyopata maji (makofi) mheshimiwa mwenyekiti unakwenda basotu tunatumia maji ya ziwa ni chanzo cha maji kizuri lakini yale maji hayako salama hayako salama kwa sababu mashamba ya ngano yanayolimwa yanapigwa dawa ya kuua wadudu maji yote yanaelekea kwenye hilo ziwa wananchi wanatumia yale maji hayako kwa njia ya bomba ni wizara ipi inayoweza kuwasaidia wale wananchi wa basotu hanang waweze kupata maji safi na salama ambayo hawapati kansa kama inavyofanyika sasa hivi mheshimiwa mwenyekiti nikizungumzia suala la hanang suala la irrigation scheme ya irrigation imepelekwa hanang iko kweli kwenye kijiji cha endagau lakini fedha zake zote pia zimetumika milioni 410 zimetumika vibaya na tunahitaji irrigation kwa hali ya juu saa hizi ni kweli umetupitishia hela kuja kule lakini nani msimamizi kama hakuna wakala ndiyo maana tunasema kuwe na wakala wa kusimamia miradi ya maji kwenye vijiji kwa sababu ya upotevu wa fedha nyingi sana za serikali sasa sisi tutalia waziri analia kila mtu analia kwa ajili ya maji kumbe ni fedha zinatumika vibaya pia kwa asilimia100 kwa hiyo mheshimiwa waziri tunaomba hili aliangalie sana (makofi) mheshimiwa mwenyekiti lakini suala la irrigation ukweli ni kwamba fedha mlizotenga bilioni 35 ni ndogo sana mnategemea kutengeneza mradi wa irrigation wa hekta laki nne hekta laki nne utazipataje kama hela ni hizi bilioni 35 hazitatosha kwa ajili ya irrigation kwa hiyo hatuna budi kuongeza kwa sababu tuna mabonde mengi sana ili kuondoa njaa nchi hii hatuna budi kutenga hela za kutosha kwa ajili ya irrigation ili kuondokana na njaa leo tunakosa sukari wakati kuna irrigation ya kutosha tuna mabonde ya kutosha peleka hela ya kutosha wananchi walime miwa ili waweze kutengeneza sukari yao hakuna haja ya kuagiza nje ya nchi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kuhusu mabonde mabonde nchi hii yameelekezwa kusini zaidi lakini wamesahau pia kaskazini zinahitajika sana fedha za kutosha tunaomba muelekeze kule pia kwa ajili ya irrigation kuweza kupeleka hela za kutosha sio lazima kupata hizi naomba sana hili liangaliwe (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naomba kuzungumzia suala hasa la upotevu wa fedha nimejaribu kwenda tamisemi mara nyingi nimejaribu kwenda ofisini kwa mheshimiwa waziri lakini hakuna anayesaidia kuhusu upotevu wa hela za hanang milioni 540 za maji mpaka sasa hivi hazionekani zimeelekea wapi atatusaidiaje watanzania wanahanang ili milioni 540 za maji zionekane zimeelekea wapi tunataka taarifa hizi anapowind up atwambie kwamba tutapata wapi hizo hela zilizopotea (makofi) mheshimiwa mwenyekiti mwisho naomba sana kumwomba mheshimiwa waziri u mhe rose k sukum mheshimiwa naibu spika nashukuru sana nami kupata fursa hii ili niweze kuchangia taarifa ya kamati kuhusu hesabu serikali za mitaa pamoja na pac kwanza kabisa niombe wabunge wote tukubali kupokea maoni au mapendekezo yaliyotolewa na kamati ili kuweza kuyafanyia kazi (makofi) mheshimiwa naibu spika kamati ya hii ya laac ina kazi ngumu sana wote tutambue kabisa kwamba halmashauri zetu zote zinatakiwa zikaguliwe na kamati ya laac kila mbunge hapa ana halmashauri yake nadhani haya maoni yanamgusa kila mtu mheshimiwa naibu spika nianze kuzungumzia suala la ugumu na usugu wa matatizo ambayo yako kwenye halmashauri na yote yanatokana na kwamba sasa hivi serikali yetu ambayo haitaki kusikia imesema ina ufinyu wa bajeti kama kuna ufinyu wa bajeti umebana hizo fedha ili uweze kufanya jambo kama hawakaguliwi si ndiyo wizi unaongezeka kama unaongezeka nani anaweza kuwabana kama kamati ya laac au pac haitapewa mafungu ya fedha ili kwenda kutembelea miradi yote ambayo inafanyiwa kazi na halmashauri zetu au na wizara mbalimbali (makofi) mheshimiwa naibu spika ucheleweshaji wa fedha katika halmashauri zetu umesababisha baadhi ya miradi kutokamilika miradi hiyo haikamiliki kwa sababu fedha zinapochelewa kwa kuwa baadhi ya maafisa masuuli na wakuu wa idara waliopo kwa tamaa waliyonayo basi hutumia fedha zile halafu wanasubiri za mwaka unaofuata kwa hiyo hili ni tatizo kubwa ambalo lipo la serikali kuchelewesha hizo fedha za maendeleo nao wanachangia hilo mheshimiwa naibu spika nadhani ifikie sasa mahali serikali ikubali kwamba fedha zikitolewa zitolewe kwa wakati ili maendeleo ya watu yaweze kufanyika ndicho tulichokiona kwenye kamati ya laac tulipokuwa tunaendelea kukagua kwamba ucheleweshaji ule unasababisha maafisa masuuli kula hizo fedha bila kutumia utaratibu unaofaa mheshimiwa naibu spika lingine maagizo kutoka ngazi ya juu yamesababisha ubadhirifu wa fedha au kutumia fedha ambazo haziko kwenye bajeti katika halmashauri zetu utakuta mkuu wa mkoa anawaagiza wakatumie fedha kwenye mafungu ambayo yeye hausiki kupitisha hiyo bajeti dc naye anaagiza das anaagiza ras anaagiza na kuchukua fedha kwenye ukaguzi huo tumeona kwamba kuna rc alikuwa anaagiza fedha zitumike kwenye sehemu ambayo haipaswi kutumika mheshimiwa naibu spika kwa hiyo huo ndiyo ubadhirifu mmojawapo ambao tumeugundua kwenye kamati ya laac tunaomba haya maagizo yanayotoka juu basi wawe na mafungu yao ya fedha mnataka kutengeneza madawati mtuambie fedha iko wapi ili wakatengeneze madawati siyo unaagiza watengeneze madawati halafu hakuna fedha kwenye bajeti ni ngumu sana kufanya hiyo kazi kwenye halmashauri zetu (makofi) mheshimiwa naibu spika suala lingine sisi kamati ya laac mmepata taarifa kwamba tumekagua halmashauri 66 sababu ya kukagua halmashauri 66 ni ukosefu wa fedha tumeshindwa kwenda kukagua hata miradi ya maendeleo kati ya halmashauri 164 ni halmashauri 66 tu ndiyo zimekaguliwa je ubadhirifu unaoendelea kufanyika kwenye zile halmashauri zilizobaki ni kiasi gani cag pia amekosa hizo fedha je kama cag hajaenda kukagua ile miradi ya maendeleo ubadhirifu unafanyika kwa kiasi gani (makofi) mheshimiwa naibu spika tukumbuke suala value money wanasema fedha zimekwenda kuchimba kisima visima ni hewa zimeenda kujenga sekondari sekondari ni hewa zimeenda kutengeneza barabara barabara ni hewa na hakuna anayekwenda kukagua waziri wa tamisemi unafahamu kabisa wewe peke yako hutoshi kwenda kukagua hizo halmashauri zote lazima tusaidiane leo mnabana hizo fedha je tunafanyaje sasa na fedha zimetumika vibaya na hakuna miradi ya maendeleo iliyofanyika (makofi) mheshimiwa naibu spika udhaifu na udhibiti wa mkaguzi wa ndani mkaguzi wa ndani yuko chini ya internal auditor general lakini huyu mkaguzi wa ndani kwa masuala ya kiutawala yuko chini ya ded hebu niambieni atawapeni taarifa iliyo sahihi kweli kama yuko chini ya ded matokeo yake yule mkaguzi wa ndani anashikwa anaambiwa ukitaka usafiri ukitaka hela usitoe taarifa inabidi asizitoe je tunafanya nini kuhusu huyu mkaguzi wa ndani mheshimiwa naibu spika nashauri katika halmashauri zetu mkaguzi wa ndani asiwe chini ya mkurugenzi au afisa masuuli kwa sababu taarifa hazitolewi mpaka wagombane wakishagombana na mkurugenzi ndiyo unapewa taarifa kwamba kuna fedha imeliwa au kuna kitu fulani kimefanyika nashauri kwamba mkaguzi wa ndani awe chini ya internal auditor general na taarifa zake ziende pale na utaratibu wa shughuli zake zote utoke kule au awe chini ya cag kuliko kuwa chini ya mkurugenzi wa halmashauri zetu mheshimiwa naibu spika suala lingine ambalo napenda kulizingumzia kazi ya ufuatiliaji na usimamizi ni ngumu sana na kubana matumizi pia inahitajika lakini kamati zote kutotembelea miradi hatufanikiwa kamati ya pac na laac kama hazitatembelea miradi hatutaweza kufanikiwa kwa jambo lolote tumeona wote tuliokuwepo kwenye hizo kamati kwamba kama hatukwenda kutembelea tunaangalia taarifa ya kwenye makaratasi hatutafanikiwa mheshimiwa naibu spika afisa masuuli anaweza kuwa mjanja suala la risiti zinaweza kuandikwa zikaletwa hapo na akawa na hati safi lakini kumbe kule kwenye kazi hakuna kilichofanyika kwa hiyo nadhani sasa suala la ufuatiliaji kama lipo tunatakiwa sisi kama kamati ya laac kama kamati ya pac au wabunge wote kwa ujumla kutembelea miradi ili kuhakikisha kwamba miradi inafanywa vizuri (makofi) mheshimiwa naibu spika kingine ambacho kimeonekana zaidi ni kwamba wakati bunge linaendelea na halmashauri zinaendelea na vikao vyao hiyo imesababisha sehemu kubwa sana ya wabunge kutokujua mapato na matumizi yanayofanyika kule hata mfuko wa jimbo imeonekana wazi kabisa mbunge hajui fedha zake zimetumikaje na hata akiuliza anaambiwa hela zimeshatumika zimefanya kazi zingine kama mfuko wa jimbo unaweza kutumika wabunge mna kazi gani kama hamuwezi kudhibiti mapato na matumizi ya halmashauri zetu au ya serikali kwa ujumla kwa hiyo tunatakiwa kupata hiyo fursa ili kuweza kufanya kazi ya usimamizi wa halmashauri zetu (makofi) mheshimiwa naibu spika nilichokigundua zaidi kwenye halmashauri zetu pamoja na kwamba tuna manunuzi yasiyozingatia sheria lakini pia kuna watu ambao wanatumia nafasi zao kuingiza mikono yao pale mkuu wa mkoa anakwambia umtumie mkandarasi huyu mimi ndiyo nawaagiza na mkandarasi hajatimiza wajibu wake je hamuoni kwamba tunatumia fedha za umma vibaya tunawalalamikia sana maafisa masuuli kutofanya kazi yao vizuri lakini sehemu kubwa ni maagizo yale yanayotoka kwa sababu ni mkubwa anamuagiza mkurugenzi haya yametokea maeneo mengi kwenye halmashauri zetu mheshimiwa naibu spika kubwa zaidi suala la wakurugenzi ambao hawaelewi utaratibu wa halmashauri imekuwa ni tatizo kubwa uteuzi wa juzi tu umefanyika julai lakini kilichotokea kwenye halmashauri ya hanang mfano kuna watumishi wamekula fedha shilingi bilioni 12 na uchunguzi umefanywa na mkuu wa mkoa na imebainika fedha hiyo kuliwa lakini kwa kuwa mkurugenzi haelewi maskini ya mungu ametoka tfda hajui masuala ya halmashauri akapewa ushauri na wale waliotumia ile fedha kwamba hawa watumishi waliokuwa hiyo fedha tunashauri warudi kazini wateremshwe vyeo siyo wachukuliwe hatua mheshimiwa naibu spika ukiona suala kama hilo ujue kwamba hawa wakurugenzi wapya wanahitajika aidha wakapewe semina au waende shule ambayo itawasaidia kujua ni namna gani watakavyoweza kuendesha hizo halmashauri kwa sababu kama unashauriwa na mtumishi wa chini yako uliyemkuta pale ambaye na yeye amehusika kwenye kutumia hizo fedha halafu na wewe unaishauri council kwamba hawa watumishi adhabu yao ni kuteremshwa cheo wamekula shilingi bilioni 12 hebu niambie kwa nini wale wa kagera wameshtakiwa kwa rais wakati yule wa hanang aliyekula shilingi bilioni 12 anaambiwa aendelee na kazi kwa hiyo kuna mambo ya kufanya ili kuweza kuisaidia serikali hii (makofi) mhe rose k sukum mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana kunipatia fursa hii niweze kuchangia wizara hii ya kilimo ambayo ni muhimu kwa jamii nzima mheshimiwa mwenyekiti nasikitika sana kuona kwamba serikali haitambui umuhimu wa sekta ya kilimo mifugo na uvuvi kinachonisikitisha zaidi ni kwamba mhimili huu una maisha ya watanzania wote ukiangalia kwa ndani kabisa karibu 98 wanategemea chakula kwenye wizara hii ya kilimo na pia 80 wanategemea ajira na 95 raw material ina maana kwamba hii wizara ndiyo wizara mama kwa sababu wategemezi wake ni wengi mno lakini bado inaonekana kwamba hii wizara haifai kwa kupewa 3 ya miradi ya maendeleo sababu ni nini nashindwa kuelewa waziri hebu atuambie wamepigwa sindano gani ya ganzi hampati hata kufumuka (makofi) mheshimiwa mwenyekiti huwezi kwenda wizara ya viwanda kama hukutumia wizara ya kilimo juzi waziri wa mambo ya ndani amesema kiatu chake kinangara kwa ajili ya ngozi kwa hiyo wanategemea mifugo mimi sijui kwa nini hatuoni hali halisi ya wizara hii tumeona kabisa mawazo yaliyotolewa na kamati mawazo yaliyotolewa na kambi ya upinzani bungeni yanawaelekeza ni nini cha kufanya naomba sana muiangalie sana wizara hii kwa sababu ni muhimu sana (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kuna jambo ambalo linanitia wasiwasi nalo ni uwekezaji usio na tija sijui kama ametembelea maeneo yote ya uwekezaji serikali hii hii ya awamu ya tatu ilibinafsisha mashamba mengi sana ikiwemo wilaya ya hanang mashamba ya nafco naomba niyatolee mfano yalibinafsishwa na serikali hii lakini hakuna tija mashamba ya ngano leo tunazungumza habari ya ngano inaagizwa nje wakati kuna mashamba ya nafco yalikuwepo kule wamepewa wawekezaji matokeo yake mwekezaji huyo amepewa shamba la gidagamowd amelima ekari 4000 kati ya ekari 16300 shamba la setchet amepewa ekari 16330 amelima ekari 3800 shamba la murujanda amepewa ekari 12455 amelima ekari 6000 maana yake ekari zaidi ya 30585 hazijalimwa nayo ni mgogoro kwa sababu maeneo ambayo hayajalimwa wananchi wanaingia kulima wengine wanaingia kufuga (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naomba kuuliza hawa wawekezaji ambao hawana tija kwa nini msiondoe yale mashamba kutoka kwenye mikono yao mkayarejesha kwa wananchi kwa nini yabaki kwao yana faida gani wakati wewe ndiyo waziri wa kilimo kwa nini asitoe kauli hiyo ya kurudisha mashamba hayo kwa wananchi kwa nini waziri hakutembelea muda wote haya mashamba ya hanang kwa ajili ya kutoa kauli mimi napenda kujua hilo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa kweli ni vibaya sana kama mashamba yanakuwepo pale halmashauri haina tija haipati hela ya mapato ya ndani lakini serikali nayo haipati kitu chochote mmebinafsisha kila kitu hakuna chochote tunachopata yale mashamba yalikuwa ni maeneo ya wafugaji waliyonyanganywa na serikali hii hii naomba hili liangaliwe sana kwa undani na nataka majibu yake (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kingine ni mgogoro wa ardhi kati ya wakulima na wafugaji pamoja na maliasili hii ni kero kubwa mheshimiwa waziri nafikiri pia naye yupo kwenye ufugaji kama sijakosea lakini naibu waziri alikuwa mkurugenzi wa pingos na mwanasheria wetu alikuwa anatufundisha ni jinsi gani tutapata haki kwa wafugaji mbona amejisahau au huko ndani kuna nini kama yeye ndiye alikuwa mwalimu wetu leo tena hakuna kinachofanyika wafugaji wanakufa wakulima wanakufa kutokana na migogoro ya ardhi ni nini mnachotakiwa kufanya (makofi) napenda kujua na wewe mwenyekiti ulikuwepo bunge la kumi mwezi novemba ilitolewa hoja bungeni kamati ikaundwa wakaleta taarifa yao februari 2015 ya kwamba kuna migogoro na inatakiwa itatuliwe kwenye taarifa aliyoitoa mheshimiwa waziri nzuri sana kwamba tayari wameunda timu inafanya kazi sasa hiyo timu tangu 2015 na 2016 haijafanya kazi halafu imetengeneza sera itawasilishwa kwenye baraza la mawaziri itawasilishwa lini kama mwaka jana haikufanyiwa kazi na mgogoro uko watu wanakufa hivi hiyo timu yenu ya wataalam au wanatoka nje kwamba hawakufika ndiyo wamefanya kazi sasa hivi mimi naomba tuelewe kama ni wataalam wa tanzania muda wote huo kwa nini hawakufanya hiyo kazi na watu wanaendelea kufa huu mgogoro ni mkubwa sana na mnasaobabisha ni nyie serikali kwa kweli kwa sababu watu wengine wanauawa na polisi watu wengine wanauwawa na askari wa wanyamapori ni mateso makubwa sana tunataka ardhi tengefu iwepo haraka iwezekanavyo kuondoa migogoro hii mheshimiwa mwenyekiti lakini ardhi hii inatakiwa nini mnasema kwamba halmshauri wakatenge watatenga wapi wilaya ya hanang mmechukua heka zaidi ya laki moja watatenga sehemu gani ili wafugaji wao wabaki pale ni ngumu sana kwa hiyo lazima muangalie ninyi wenyewe na waziri tembea hebu kaangalieni ninyi wenyewe siyo kutuma wataalam pekee yao wafanye kazi kwenye eneo husika siyo kufanya kazi ya mezani mheshimiwa mwenyekiti suala lingine ambalo napenda kulizungumzia ni taarifa inayotolewa hapa bungeni kuhusu idadi ya mifugo waliopo tanzania naomba kujua hii sensa ilifanyika lini mimi ni mfugaji ukiniambia ngombe milioni 284 ndiyo wako tanzania ni kweli yaani unakubaliana na hilo mbuzi milioni 16 kondoo milioni tano kuku wa asili milioni 37 hii ni taarifa ya hapa dodoma au ni ya tanzania nzima mimi sielewi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti mimi mwenyewe sijaona sensa imefanyika nyumbani kwangu mimi ni mfugaji sijaona aliyekuja nyumbani kwangu kufanya sensa ya ngombe sasa mtuambie hii taarifa yenu mliitoa wapi au mnaongezaongeza tu kama vile asilimia ya kuzaliwa na kadhalika mimi nashangaa sana nina uhakika ngombe wako wengi kondoo wako wengi hata hao kuku ni wengi mno nafikiri hizi ni taarifa za mjini lakini siyo za kule ambako tunafuga mifugo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kama kweli tutakubaliana na wizara hii maana yake sisi kila wakati tunasema jamani tuongeze bajeti halafu tukimaliza kuongea na kulalamika tukitoweka hapa ndani mkirudi mnasema hii bajeti ipite naomba kujua kuna matatizo gani ni kwa nini tunashindwa kuelewana mawaziri ninyi mkishaacha uwaziri mkija huku nanyi mnalia sasa tunashindwa kuelewa mtuambie kuna nini huko ili tusaidiane tuweze kupata manufaa kwa ajili ya kilimo mheshimiwa mwenyekiti masuala ya kusifiana mimi leo nitamsifia sana mheshimiwa rais magufuli mheshimiwa rais magufuli alipokuwa shinyanga akasema kwamba afadhali mazao yapande bei ili wakulima tufaidike na sasa yamepanda bei mnalia nini wakulima tunafaidika nunueni debe kwa shilingi 30000 ndiyo kazi hiyo maana yake yeye ndiyo kasema sasa tusipomsifia na yeye kwa kutupandisha sisi bei tutamsifia nani sasa na ninyi mnaanza kulalamika leteni mahindi bei ishuke ishuke kwenda wapi mlikuwa mnatuumiza wakulima bei ya mahindi shilingi 5000 kwa debe na shilingi 20000 gunia sasa hivi tunapata shilingi 150000 si raha yetu tumepata faida kuliko wafanyabiashara peke yao kwa hiyo tunataka hiyo bei iendelee ili tuweze kupata manufaa (makofi)
2018-01-20T11:26:51
http://parliament.go.tz/contributions/341
je unataka kujua kama ndoa yako/mpenzi wako ni wa kweli leo leo | jamiiforums | the home of great thinkers je unataka kujua kama ndoa yako/mpenzi wako ni wa kweli leo leo discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by lexaid feb 14 2012 wana jf kusisitizia hoja alietoa ndugu mutabuzi yesterday kuhusu ndoa na mahusiano ya sasa naomba kila mmoja mwenye ndoa and partner humu ajaribu zoezi la kubadilishana simu (mobile phones) na mpenzi wake kwa siku ya leo tu muone vichefuchefu halafu tuweke matokeo humu jamvini naamini 90 or more will be shocked mkuu sio siku nzima lisaa limoja tu latoshanusu ya ndoa zitakuwa zitaharibika beyond repair kweli mkubwa hiko ni kipimo sahihibig up ila mm siwezi fanya hiyo kitu kweli mkubwa hiko ni kipimo sahihibig up ila mm siwezi fanya hiyo kituclick to expand si unampenda mtu wako na ni valentine wako wana jf kusisitizia hoja alietoa ndugu mutabuzi yesterday kuhusu ndoa na mahusiano ya sasa naomba kila mmoja mwenye ndoa and partner humu ajaribu zoezi la kubadilishana simu (mobile phones) na mpenzi wake kwa siku ya leo tu muone vichefuchefu halafu tuweke matokeo humu jamvini naamini 90 or more will be shockedclick to expand mie nilimwachia mke wangu simu yangu mwezi mzima na ndoa haijavunjika simu siyo tatizo katika ndoa tatizo ni matumizi ya hiyo simu unatakiwa uwe na limit kwenye kugawa namba zako kuna watu wanatumia namba ambazo wake/waume zao simu zake hawajawahi ziona nimefanya hivyo na nimelock simu zote siziingie wala sms kwahiyo ni kama anatembea na mche wa sabuni kuna watu wanatumia namba ambazo wake/waume zao simu zake hawajawahi zionaclick to expand kazi yoote hii maisha yenyewe mafupi wengine watapelekwa hospital kwa mtindo huo huko ni kutiana majaribuni kwanini haya yote lakini hii mbona sio dawa watu wana simu zaidi ya moja ukiamwachia simu unawahi kuwaalert mashost simu tu hata password za email zangu akitaka nampa pia simu tu hata password za email zangu akitaka nampa piaclick to expand na password yako ya jf na fb acheni kabisa mnatafuta presha za bure ebu wenye ndoa tuendelee kuwa wavumilivu kubadilishana simu muda huu utachanganyikiwa bure kubadilishana simu hakutsaidia zaidi ya yote kutabomoa familia na kusababisha watoto kuhangaika kwa kifupi huwezi kumchunga binadamu mwenzako ni mungu peke yake ndiye aonae sirini ni kuombeana msiingie majaribuni na password yako ya jf na fbclick to expand jf & fb na hata gmail i'm clean buddyi don't need to worry
2016-12-07T15:01:03
http://www.jamiiforums.com/threads/je-unataka-kujua-kama-ndoa-yako-mpenzi-wako-ni-wa-kweli-leo-leo.223645/
wwwbukobasportscom waziri wa michezo aridhishwa na ukarabati uwanja wa nyamagana jijini mwanza kampuni ya mafuta moil yaonesha nia ya kuweka majukwaa itakumbukwa kwamba nyasi bandia kwa ajili ya uwanja huu zilikwama bandarini kwa muda mrefu baada ya tff kutakiwa kulipiwa kodi ya zaidi ya shilingi milioni 32 hali ambayo ilisababisha utekelezaji wake kusuasua waziri nape nhauye amesema serikali itaendelea kuboresha viwanja mbalimbali nchini ikiwemo kushirikiana na makampuni mbalimbali ili kukarabati viwanja vilivyopo ili tanzania iwe sehemu bora hata kwa mataifa mengine kufika kwa ajili ya mazoezi na michezo mbalimbali hususani ya mpira wa miguu posted by faustine ruta at 35900 pm
2017-11-23T05:35:09
http://www.bukobasports.com/2016/11/waziri-wa-michezo-aridhishwa-na.html
imechapishwa tue aug 7th 2018 simba day kuunguruma kesho mapema bethsheba wambura na elizabeth joachimdar es salaam tamasha la tisa la klabu ya simba liitwalo simba day linalotarajiwa kufanyika kesho kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam kuanzia saa 600 mchana akizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano wa timu hiyo haji manara amesema tamasha hilo litaanza mchana kwa mechi kati ya simba queen na timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya simba manara alisema baada ya mechi hiyo kutakuwa na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali ikiwamo na bendi ya twanga pepeta kesho tamasha la simba day litaanza mapema kabisa tutaanza saa 600 mchana kwa mechi ya timu za simba ya wanawake na vijana amesema manara baada ya mechi na burudani ndio utafuata utaratibu wa utambulisho wa wachezaji na kisha jioni kutakuwa na mechi yao ya kirafiki dhidi ya timu ya asante kotoko kutoka nchini ghana itakayochezwa jioni kwa upande wao manahodha wa timu zote mbili emos frimpong (asante kotoko) na aishi manula (simba sc) wamesema wamejiandaa vya kutosha na wako tayari kwa ajili ya mechi hiyo ya kirafiki simba ni timu kubwa si tu kwa tanzania bali africa kwa ujumla japo mechi hii ni ya kirafiki ila ni mechi ngumu tunafurahi kuwa hapa ila mashabiki waje kwa wingi kushuhudia mtanange huu amesema frimpong emos frimpong kwa upande wake manula amesema tulipokuwa uturuki tulifanya mazoezi ya kutosha tumejiandaa vizuri kwa msimu mpya na mechi ya kesho na mchezo wetu wa kesho utakuwa mzuri tunawaomba mashabiki wa simba na tanzania wajitokeze kwa wengi kesho kwa sababu tunacheza na timu kubwa na ni nafasi yetu kujionesha na kuwazawadia mashabiki wetu amesema manula
2018-08-22T03:56:30
http://mtanzania.co.tz/simba-day-kuunguruma-kesho-mapema/
stori zilizopo katika kurasa za magazeti ya leo jumatano ya octoba 4 | sunrise radio 949 fm home habari mbali mbali stori zilizopo katika kurasa za magazeti ya leo jumatano ya octoba stori zilizopo katika kurasa za magazeti ya leo jumatano ya octoba 4 previous articlelemanassari na msigwa kuwakabidhi kazi takukuru next articlemagufuli atoa onyo kali kwa wakurugenzi walevi
2017-10-17T15:00:21
http://sunriseradio.co.tz/index.php/2017/10/04/stori-zilizopo-katika-kurasa-za-magazeti-ya-leo-jumatano-ya-octoba-4/
utafiti malazi ya sokwewatu ni masafi kuliko ya binaadamu maisha ya kiimani home / afya / utafiti malazi ya sokwewatu ni masafi kuliko ya binaadamu komaji 1 week ago afya leave a comment 4 views malazi ya sokwemtu ni masafi zaidi kuliko ya binaadamu malazi ya sokwe mtu ni masafi kuliko ya binaadam wanasayansi wamebaini viumbe hawa hujenga malazi kwa kutumia matawi na majani ya miti ambapo hulala malazi ya sokwe mtu ni mfano kwa mwanadamu kijana ambaye anaweza kuona vigumu kufuata mwanafunzi wa marekani wa shahada ya uzamivu megan thoemmes aliyeongoza jopo kukusanya sampuli za uchafu kutoka kwenye sokwe watu 41 katika bonde la issa nchini tanzania tunajua kuwa makazi ya binaadamu yana aina mbalimbali ya viumbe mfano takriban asilimia 35 ya vijidudu kwenye vitanda vya binaadamu vinatoka kwenye miili yetu wenyewe ikiwemo kinyesi kinywani na vijidudu vya kwenye ngozi tulitaka kujua ni kwa namna gani hali hii inaweza kufananishwa na sokwe hawaambao huandaa vitanda vyao kila siku ikilinganishwa na vitanda vya binaadamu sehemu za kulala ya sokwe zilikuwa na aina mbalimbali za wadudu matokeo ambayo hayakutarjiwa katika misitu ya kitropiki hata hivyouwezekano ni mdogo sana kwa sokwemtu kupata uchafu kinyesi kinywa au bakteria kwenye ngozi hatukuona vijidudu kwenye malazi ya sokwe mtu jambo lililoshangaza kidogo alieleza bi thoemmes kutoka chuo cha north carolina walishangazwa na walichokigundua walipojaribu kusafisha malazi ya hao chimpanzee kuondosha viroboto na chawa waliokuwepo watafiti wanasema vitanda vya sokwe watu ni visafi zaidi kuliko vya binaadamu ingawa viumbe hawa hutumia zaidi ya nusu siku kitandani wanasayansi wamegundua kuwa malazi ya sokwewatu nchini tanzania yana kiasi kidogo cha kinyesi na bakteria kuliko magodoro ya binaadamu majumbani kwa sababu viumbe hawa huhama malazi kila usiku previous kura ya maamuzi ya kuongeza muda wa muhula wa rais yafanyika burundi next wanasayansi wafanikiwa kuhamisha kumbukumbu baina ya konokono saratani ya kizazi yaathiri wanawake 466000 zaidi ya wanawake 466000 duniani wengi wao wakiwa katika nchi zinazoendelea ikiwemo tanzania huathirika na kijana aponzwa na adolf hitler nchini austria ikulu yateua wenyeviti wa bodi
2018-05-25T07:06:06
http://maishayakiimani.or.tz/?p=19026
filime victoria & abdul yageze hanze ahabanza ›› amakuru ›› amakuru ya sinema ›› filime victoria & abdul yageze hanze by editor | oct 19th 2017 2124 victoria & abdul ni filimi yasohotse kuwa 17 ukwakira 2017 kuri ubu yageze ku isoko aho abayishaka bashobora kuyigura ikinwa mu buryo bwo gukina no gusetsa yayobowe na stephen frears yandikwa na lee hall iyi filimi kandi ni inkuru yimpamo yanditswe na shrabani basu mu gitabo cye kitwa victoria & abdul aho avuga ku rukundo rwari hagati yumwamikazi wa united kingdom victoria nuwari umugaragu we abdul karim abdul karim umusore muto ukomoka mu gihugu cyubuhinde ahitwa agra muri iyi filimi ategekwa kujyana numwamikazi victoria mu bwongereza nkikimenyetso cyo kumushimira umwamikazi we ahita agaragariza abdul urukundo rudasanzwe ndetse nyuma akaza no kumuzamura mu ntera amugira umurinzi we uhagarariye abandi kugira ngo victoria age abasha kumarana na abdul wari umurinzi we igihe kinini yakunze kujya amusaba kumwigisha imwe mu mikino itandukanye nibindi bijyanye nidini rya islam harimo no kumwigisha ikorowani no gusoma iduwa mu gihe victoria yakomeje gufata abdul nkumwana we bagenzi be bo ntibabyishimiraga kuko bagiriraga ishyari ryinshi abdul ariko ntibyabuza victoria gutumiza umugore wa abdul nawe akabasanga mu bwongereza ku bwamahire make mu mwaka w1901 umwamikazi victoria yaje gupfa maze umuhungu we edward vii yima ingoma ahita yirukana abdul numugore we basubira mu buhinde aho abdul nawe yaje gupfira mu mwaka w1909 filimi victoria & abdul bigaragara ko irangira abdul apfukamye imbere yigishushanyo cyumwamikazi victoria giherereye taj mahal ndetse akanasoma ibiganza byicyo gishushanyo bigaragara nkikimenyetso cyicyubahire abdul yahaga umwamikazi victoria itariki yashyizwe hanze 13 ukwakira 2017 (mu buhinde itariki yemerewe gutangira gukinwa ni 17 ukwakira 2017 ni filime yayobowe na stephen frears ikaba imara 1h 52 min sura inkuru za abdul karim
2018-06-18T02:11:44
http://inyarwanda.com/articles/show/FilmNews/filime-victoria-78307.html
maahadi ya qurani katika atabatu abbasiyya tukufu yaendesha mradi wa mubalighi wa qurani miongoni mwa miradi inayolenga kufundisha utamaduni wa kitabu cha mwenyezi mungu katika nyoyo za vijana ni mradi wa qurani unao endeshwa na maahadi ya qurani tukufu chini ya atabatu abbasiyya kupitia idara ya utafiti na masomo ya qurani katika kituo cha maarifa ya qurani kuifasiri na kuichapisha ambao ni mradi wa kiimani ulio pewa jina la (mubalighi wa qurani) mradi huu unalenga kuandaa mubalighaat (walinganiaji) wa kike wa uislamu asilia unao tokana na mafundisho ya kitabu (qurani) na kizazi kitakatifu wamechaguliwa kujiunga na mradi huu zaidi ya wanafunzi (50) kutoka katika semina za majira ya joto (kiangazi) mwaka (2018m) mradi utachukua miezi minne ambapo watafundishwa masomo mbalimbali kuhusu qurani tukufu ikiwa ni pamoja na (kuhifadhi qurani tukufu fiqhi aqida akhlaqi na sira) kila siku ya juma mosi katika wiki maahadi imesha andaa walimu walio bobea katika fani za qurani tukufu watakao simamia mradi huu pamoja na kuandaa magari yatakayo waleta na kuwarudisha wanafunzi majumbani kwao kwa ajili ya kulinda usalama wao na imeandaa kila kinacho takiwa katika mradi kwa ajili ya kuwavutia zaidi wanafunzi
2020-02-17T10:20:15
https://alkafeel.net/news/index?id=7331&lang=sw
mazao ya silage ya juu na maandalizi ya kulisha viazi siloing ni mchakato mzuri wa microbiological na biochemical kwa kuhifadhi molekuli ya juicy silaha inaweza kupatikana kwa kuvuta yaani ni canning bila oksijeni hii ndiyo mbinu maarufu zaidi ya manunuzi tumia mchanga wa kijani wa mimea ya herbaceous inayofaa kwa ajili ya kujenga malisho kwa mifugo na kuku tumia jua nafaka vichwa vya viazi mizizi na wengine silo inahitajika katika kilimo kwa sababu moja rahisi ina vyenye virutubisho na mali ya chakula ni chakula cha thamani kwa wanyama silagi inaboresha digestion ambayo husaidia mifugo na kuku kukua makala hii itakuambia kuhusu kujenga silo nyumbani silage ya mahindi ina mkusanyiko mkubwa wa nishati ya kubadilishana ambayo hufikia 12 mj kwa kilo 1 inapunguza mzigo kwenye mwili wa mifugo na kuku bila kupunguza thamani ya nishati ya chakula chao protein ya mahindi ina digestibility ya chini (37) wengi wao haugawi katika rumen ya wanyama kwa amonia lakini hutengana katika utumbo kwa namna ya amino asidi hivyo ni wanga wanga wa mahindi hutolewa kabisa na mifugo na kuku kuongeza viwango vya glucose kutokana na hili kiwango cha uzalishaji wa maziwa katika ng'ombe kinaongezeka na wanyama wadogo hupata uzito bora zaidi na kwa kasi pia wanga ina athari ya manufaa juu ya kuimarisha kimetaboliki ni muhimu kiasi cha asidi za kikaboni kinaathiri uwezekano wa ndama waliozaliwa kwa ajili ya maandalizi ya nafaka ya silage iliyopandwa katika awamu ya kupasuka kwa nafaka imevunjwa hadi 5mm sehemu ya nafaka nzima haipaswi kuzidi 5 ikiwa silo imevunjwa vizuri basi itakuwa na asidi lactic na hakutakuwa na asidi ya butyric asidi ya lactic inabadilika sukari ndani ya asidi za kikaboni na silage inachukuliwa na mifugo na kuku kabisa kusaga kwa ukubwa uliotakiwa utawasaidia mchanganyiko wa kujitengeneza lakini mara nyingi hutumiwa njia ya tofauti ya nafaka ya nafaka juu ya ardhi ndani ya kina au nusukina mimea ni kuchukuliwa kuwa mahali bora kuhifadhi nafaka silage mara nyingi hutumiwa hapo juuchini kwa sababu michakato ya kuchimba chakula ni bora zaidi ya utaratibu katika kesi hii uwezekano wa mafuriko na maji ya chini ni kupunguzwa wakati wa kuchagua mtaro unahitaji kuzingatia vipimo vyake kwa urefu (sio chini ya m 3) na upana (umechaguliwa kuzingatia teknolojia ya uchimbaji wa malisho) silo huondolewa kila siku na safu ya cm 40 katika upana wote fanya vizuri zaidi siku 10 kabla ya kuanza kuifungua mfereji unahitaji kusafishwa kupasuliwa kupigwa nyeupe kutoka nyimbo za ndani na zilizopigwa masi ya silage lazima iwe pekee kutoka kwa upepo kutoka wakati unapowekwa katika kuhifadhi kujaza teknolojia inapaswa kuzingatia kukomesha kwa haraka na kukamilika kwa kuwasiliana na rasimu chini unahitaji kuweka safu ya majani ya unga (50 cm nene) kisha uijaze na silo umati wa alama lazima iwe muhuri mara kwa mara karibu na kuta silo inapaswa kufunikwa na ulinzi wa tatu safu ya kwanza ni filamu nyembamba na elastic kunyoosha pili ni filamu ya polyethilini nyembamba (inaweza pia kufunikwa na wavu wa kinga kulinda silo kutoka makaburi) ya tatu ni wakala wa uzito mkubwa fermentation ya silage huendelea hadi wiki 6 lakini ni bora kushikilia silage ya nafaka kwa wiki 8 tangu asidi ya asidi inapojengwa wakati wa wiki hizi mbili hii huongeza utulivu wa aerobic wa silo ni muhimu ikiwa kufungua silo kabla ya muda hii itasababisha matatizo yasiyofaa kwa namna ya kuingiza ndani ya oksijeni baada ya wiki 8 za kufuta unaweza kuchagua silage mbinu sahihi ya uteuzi ni kama ifuatavyo baada ya sampuli uso laini unabaki katika kesi hii oksijeni ndogo huingia kwenye silo na inapokanzwa hakuna ikiwa unashikilia sheria zote zilizotajwa hapo juu basi kuzingatia nafaka itakuwa bora na ubora wa juu sleeves za polymer pia zinaweza kutumiwa siloing huanza baada ya sleeve kujazwa asidi wakati huo huo hupungua haraka na hii inakuwezesha kudumisha kulisha ubora wa juu siloing inaboresha ufanisi wa malisho na ufanisi wa kulisha na pia huathiri ufanisi wa gharama za uzalishaji wa maziwa katika mashimo ya silage kuhifadhi chini ya kiuchumi kuliko katika sleeves gharama zote zinalipwa kwa muda kwa sababu ya kuhifadhi ubora wa chakula katika sleeves kulisha nafaka mahindi haylage massa ya kudumu alfalfa na wengine huvunwa kuna faida nyingi za sleeves vile hasara ya chini ya virutubisho kutokana na kukomesha mara moja ya uingizaji wa hewa hakuna upotevu wa silage kwenye tabaka kali na la uso wa molekuli ya silage kunywa kamili ya maji ya silage katika tank kutokana na faida zilizotajwa hapo awali ni salama kusema kuwa kuhifadhi silage katika hoses za polymeri ni kuchukuliwa kuwa njia nzuri bila hewa kuingia kulisha je unajua mboga ina vipengele 26 vya meza ya mara kwa mara na haipoteza mali zake muhimu hata wakati wa makopo ni matajiri katika asidi polyunsaturated mafuta ambayo husaidia kuzuia saratani inapunguza kiwango cha cholesterol kali inaboresha utendaji wa ini na matumbo silage ya silika uchunguzi wa wanasayansi ulionyesha kwamba kuingilia kwa alizeti katika awamu tofauti za mimea inaonyesha matokeo tofauti ya michakato ya microbiological ikiwa unakusanya mimea mwanzoni mwa maua basi wakati wa unyevu wa juu fermentation ya silo inafanyika haraka kuliko ikiwa mavuno hufanyika katika awamu ya kukomaa ni muhimu kutambua kwamba kuzingatia mmea huu mwanzo wa maua husababisha kupungua kwa maudhui ya sukari kwa mara 10 wakati upotevu wa protini ni 10 katika awamu ya kukomaa mbegu kiwango cha sukari kinapungua mara 5 na kupoteza kwa protini ni 8 thamani ya lishe ya wingi wa kijani katika awamu ya maua vitengo vya kulisha 023 katika awamu ya mbegu zilizopuka 025 vitengo vya kulisha kwa kilo katika silo iliyokamilishwa tunaweza kufuata mfano huo katika awamu ya maua na katika awamu ya ukomavu ya mbegu thamani ya lishe ya silage ni 15 ya juu na kiasi cha protini kilipungua kwa 40 kwa kila kitengo cha malisho kwa hiyo tunapendekeza kusafisha ya alizeti kwa silage mwanzo wa maua lakini kabla ya hayo unahitaji kupanda ulizeti inafanywa katika fomu safi au imechanganywa na mboga mazao ya mapema hutoa kiwango cha juu cha mchanganyiko wa kijani na pia inakuwezesha kumaliza mazao kabla ya kuvuna mazao ya nafaka wakati wa mavuno ya alizeti kiwango cha maji katika mboga ni 80 na thamani ya lishe ya vitengo vya kulisha 013 na 12 g ya protini kwa kilo 1 pia mmea una sukari 2 na kwa unyevu wa 87 kiwango cha chini cha sukari ni karibu 16 pia ni muhimu kupunguza unyevu kufikia 70 na hii inaweza kufanyika kwa kuongeza 10 ya chakula cha kavu na kisima wakati wa silage ikiwa unaongeza mbaazi kwa silo ya alizeti basi unaweza kufanya bila vikwazo pia huvuna vizuri nafaka wakati unaweza kupata chakula cha juu ambacho kinaweza kutolewa kwa wanyama na nguruwe je unajua kwa mujibu wa kitabu cha kumbukumbu cha guinness maua makubwa ya maua yaliyoandikwa ulimwenguni ni 82 cm (kanada) na ulizeti uliopandwa na m heijimh huko uholanzi urefu wake ulikuwa karibu mita 7 ikiwa umekwisha kuchelewa na kusafisha mmea umbo unaosababishwa sana na majani kavu na kuanguka hii inasababisha kuharibika kwa ubora wa teknolojia na kulisha ya alizeti na kupunguza mavuno ya virutubisho kwa eneo la kitengo ikiwa unaamua kutumia alizeti kama mazao baada ya mavuno ni bora kuanza majani ya kuvuna na shina mwanzo wa budding majani yana kiwango cha juu cha protini isiyosababishwa (hadi 300 g kwa kilo 1) kiasi kikubwa cha maji katika suala hili malisho hutolewa vizuri na inahitaji kuongeza tamaduni za mwanzo wa tamaduni safi whey wanachangia ukuaji wa haraka wa silage whey hutumiwa kulingana na maudhui ya unyevu wa silage unahitaji kufanya lita 30 kwa kila tani 1 ili kupata silage ya ubora kutoka kwa alizeti unahitaji kukata shina sawasawa na kwa uangalifu na kuharibu misa ya silage vizuri ili kuondoa kupoteza kwa juisi safu ya kukata majani (50 cm katika unene) inapaswa kuwekwa chini ya kuhifadhi uzito lazima ufunikwa na filamu juu mafuta ya sukari ambayo tunapendekeza kutumia kama silo ina kiwango cha juu cha sukari na ni silage mpaka kukomaa kwa nafaka silage kutoka kwa mmea huu sio duni kwa nafaka kabla ya kuwekewa silo unahitaji kusafisha wakati wa unga wa unga kwa wakati huu umwagaji wa mbolea ya mimea una kiwango cha juu cha umboli kiasi kikubwa cha maji na mavuno mazuri ya vitengo vya kulisha kuweka mimea katika fereji inapaswa kupambwa (1 2) na kisha kuunganishwa kikasha ni kukamilika kwa safu ya juisi ya kijani molekuli 8090 cmkutoka hapo juu silo lazima kufunikwa na filamu na dunia ni bora kutumia majani wakati wa kuingiza bila shaka inakuwezesha kuimarisha rasilimali za kulisha kwa kiasi kikubwa hupunguza kupoteza kwa virutubisho vya mimea inaboresha ladha hauhitaji matumizi ya vihifadhi na imewekwa katika mfereji kwa hali yoyote ya hali ya hewa tunaweza pia kukupa teknolojia ya kuingiza yasiyo ya taka chini ya mfereji unahitaji kuweka tani 100 za majani tampu na kupata safu ya hadi m 1 juu yake huweka mimea na unyevu wa 70 kisha ni kubadilishwa na majani katika tabaka la 2 1 silo inakua kwa muda wa miezi 2 ina lignin na silika zaidi kuliko katika mahindi je unajua nyasi ya majani imeongezeka kwa ajili ya kulisha wanyama na majani yake hutumiwa kwa ajili ya uzalishaji wa karatasi bidhaa za wicker ua na paa inawezekana kufanya silage kutoka kwa ulaji ambayo itakuwa na 67 mj ya nishati ya lactation tatizo pekee ni kwamba lina vitu visivyohitajika vinavyoathiri ladha ya maziwa na afya ya wanyama sasa tunageuka moja kwa moja kwenye mbinu ya kuwekewa canola kwa kuzingatia haraka ambayo hapo awali umevunjwa imewekwa kwenye rundo la kawaida na kunyoosha upepo kwenye awamu ya kwanza mpaka misa ya silage itakapowekwa wakati wa mchana canola ya ardhi hupoteza maji mengi ambayo inahitaji kukusanywa na kuondolewa kiasi cha molekuli ya silage kimepunguzwa sana hivyo baada ya kukusanya juisi unahitaji kuifunga kwa makini pia haruhusiwi kuongeza joto katika wingi kwa siku 3 haipaswi kuzidi 40 ° c hii inasababisha kupungua kwa protini na sukari katika silo kwa 30 sababu kuu za ongezeko la joto la silage ya upesi ni maskini kiwango cha juu cha unyevu na alama ya muda mrefu silage ya haraka inapaswa kupewa wanyama kuchanganya na silos nyingine (nyasi nafaka alizeti) hii inapaswa kufanywa kwa sababu silage ya rapia ina misombo ya sulfuri na wanyama hawana kula tu je unajua aina mbili za resini hutumiwa kutoka kwenye raha ambayo hutumika katika utengenezaji wa wino kwa magazeti ya uchapishaji alfalfa ni vigumu sana kwa silage lakini ikiwa utafanya hivyo utawapa wanyama ugavi wa protini teknolojia ya uvunaji wa silo huanza na ukusanyaji wa alfalfa fanya vizuri wakati wa budding wakati huu alfalfa ina mkusanyiko mkubwa wa virutubisho nyuzi zisizo na nyuzi (280 g kwa kilo 1 ya suala kavu) pia ina mengi ya lignin na mmea hupoteza digestibility yake haraka sana ndiyo maana alfalfa inapaswa kuvuna katika awamu ya ukuaji na urefu wa kukata moja kwa moja (40 mm) unaweza kutumia vihifadhi wanapaswa kuongeza ongezeko la nyuzi tunageuka kwa sheria zinazohitajika kwa kutuliza alfalfa ya kwanza ni kwamba mmea unapaswa kuwa na kiasi cha wastani cha suala kavu (3540) wilting pili huchukua saa 40 na si zaidi uwezo wa alfalfa kwa kuhakikisha ni kuamua na maudhui ya sukari ya sukari katika maji kwa sukari tunamaanisha wanga wao ni vyema kwa fermentation wakati wa mchakato wa ensiling sukari hubadilishwa na asidi ya fermentation kwamba wao huhifadhi silage tunapendekeza kukusanya alfalfa wakati wa budding kwa sababu wakati huu maudhui ya virutubisho ni kama ifuatavyo mchanga mweusi 120 g / kg ni kiwango cha juu cha majivu na protini isiyosababishwa ambayo hufanya mchakato wa dharura kuwa vigumu mchakato tunapendekeza matumizi ya vihifadhi vinavyo na bakteria ya fermentation ya lactic kama vile forsi ya bonsilage katika kesi ya kutumia vihifadhi kiwango cha asidi hupungua na maudhui ya protini hutabiri alfalfa ni bora kwa silage na vipengele vingine kwa mfano mahindi beet sukari au samazi hii itaimarisha ladha ya kulisha na wanyama hawatapuuza pua ya mfereji vipande vyote viwili vinapaswa kuchanganywa na sawasawa kuwekwa kwenye chombo pia unaweza kuongeza molasses (3) hii itatoa alfalfa silage ladha nzuri na harufu kuongeza majani kwa silage kutoka alfalfa itapunguza unyevu na kuboresha fermentation ya silage unahitaji kuchanganya kilo 200 cha majani na kilo 800 cha alfalfa ya kijani silo unayopata itakuwa na nusu ya uzito kavu wa majani na hii inapunguza digestibility ya kulisha alfalfa inapaswa kupigwa na kushoto juu ya rollers kwa wilting wakati huu mmea unapaswa kupunguza unyevu kwa asilimia 60 kisha nyasi ni chini ya mkulimaji wa forage baada ya hapo alfalfa imewekwa katika mfereji na kushoto kwa miezi 12 pia unahitaji haraka kujaza silo ni bora kufanya hivyo katika hali ya hewa isiyo na hewa isiyo na hewa ili usipoteze jambo la kikaboni bima nzuri huzuia upatikanaji wa hewa na maji unaweza kutumia filamu ya plastiki na juu yake unahitaji kumwaga dunia huru siloing ya vikombe ikiwa unafikiri juu ya kile kingine cha silage kinafanywa basi ujue kwamba mazao ya meloni atafanya unaweza kutumia malenge maji ya mvua zukini au melon wanahitaji kukatwa vipande vipande na safu kali na kuongeza majani 25 kisha mchanganyiko unapaswa kupitishwa kupitia cutter ya silage kuwekwa na uhifadhi wa silage unafanywa kwa njia sawa na tamaduni zilizopita bado unaweza vikombe vya makopo katika mashimo ya silage lakini unawaongezea asilimia 3 ya chumvi kulisha hii ni mzuri kwa nguruwe na ng'ombe lakini hutumiwa kama kuongeza kwa chakula cha msingi mifugo lazima ihifadhiwe intact bila ya baridi na katika storages maalum kavu baada ya kuweka matunda yote kwa kuifunga unahitaji kuifunika kwa nyasi zilizoharibiwa je unajua kwa kweli malenge ni berry na moja ya ukubwa duniani matunda yake yanaweza kupima kilo kadhaa vipande vya viazi huchukuliwa kuwa bidhaa za kulisha kidogo thamani ya chakula 02 vitengo vya malisho kwa kilo 1 na 22 g ya protini kitu pekee ambacho kinaweza kupunguza thamani ya lishe ya silage ni uchafuzi na ardhi unapokwisha kupiga ni vizuri kuunganishwa na inaweza kuvumilia kupoteza ubora wakati wa kuingiza bila kifaa cha mfereji ikiwa bado unaamua kutumia vidole vya viazi kwa silage kuzingatia ukweli kwamba sukari ndani yake itapungua weka mazao ya mizizi mazao ya mizizi pia yanajumuishwa katika mazao ya silage chakula hiki kinafaa kwa nguruwe na kuku kulisha mboga mboga mboga ni nzuri malighafi kwa ajili ya kujenga unga wa vitamini katika kuanguka unaweza kutumia viazi vya silage katika fomu ya kuchemsha au mbichi katika mashimo au mitaro mboga mboga huosha na kununuliwa kisha malisho yamewekwa kwenye fereji na imeunganishwa mafuta mengi ya jua na juisi yanatoka wakati huu ili kulinda juisi tunapendekeza uweke safu ya majani chini na povu haipaswi uji wa mboga lazima uingizwe 60 cm chini ya kuta za mfereji povu hukaa katika siku 3 baada ya hapo unahitaji kupakia viazi kidogo vilivyokatwa na kisha ufunika wakati kuchemsha ni muhimu kwa mvuke mizizi iliyoosha na kuwapiga kisha bila kusubiri viazi kwa baridi kuiweka kwenye ngazi ya mfereji kiwango na kompakt unaweza pia kuongeza karoti 10 au mboga baada ya kuhifadhiwa kabisa wingi lazima ufunikwa kwa uangalifu boti ina sukari 119 protini 117 mafuta 2 fiber 105 kalsiamu 13 fosforasi 03 bev 52 carotene 132 mg je unajua viazi zinaweza kuchukuliwa kama mmea wa sumu kwa sababu berries zake ni sumu sana kwa wanadamu kwa sumu ni ya kutosha kula vipande 12 ili kupata poison na solanine kwamba mizizi ya viazi hujilimbikiza kwa nuru unahitaji kula kuhusu kilo ya mizizi ya viazi ya kijani isiyo na rangi ya kijani unaweza kuandaa feeds bora kwa msaada wa kuzunguka hii ni haylage ambayo imeandaliwa kutoka kwa mimea ya mimea ya nafaka mavuno huanza wakati wa unga wa nafaka (unyevu 60) mimea ina virutubisho vingi na chini ya fiber kuliko haylage ya alfalfa lakini silage hii inakumbwa kwa urahisi na wanyama kabla ya kuanza kuvuna silage au kutupa nafaka ni muhimu kufafanua faida ya teknolojia hii ambayo ni katika ukweli kwamba mchanganyiko huu inakuwezesha kutumia uwezo kamili wa kibiolojia wa uzalishaji wa mazao ya nafaka pia ni faida ya kuandaa spin ya nafaka kwa kutumia mchanganyiko wa malisho kuwa maudhui ya unyevu wa mchanganyiko wakati wa kukusanya katika awamu ya kukomaa ya wax ni 63 wakati wa kukomaa mimea ina kiasi cha kutosha cha virutubisho wanga na protini nyingi ili kuandaa silage sahihi unahitaji kufuta nafaka nyingi hii inaweza kufanyika kwa msaada wa nyaya maalum za mvutano baada ya kuwekewa mchakato wa fermentation kutokana na upungufu wa haraka wa upatikanaji wa hewa unaweza kujikinga na kupoteza virutubisho unaweza pia kutumia kihifadhi bitasil inawezekana kutekeleza nje ya nafaka kwa njia ya kulisha baada ya miezi 46 je unajua ya aina sita za nafaka za mianzi mmea wa juu na kati ya mimea yote ya dunia na kuongezeka kwa kasi nyumbani katika asia ya kusinimashariki mianzi imetengwa kwa urefu wa mita 50 shina yake majani mashimo yamegawanywa na vipande vipande kama nafaka zote ni hadi sentimita 40 za kipenyo mchanganyiko wa mchanganyiko ni pamoja na vipengele kama vile mboga za mizizi ambayo inamaanisha kuwa kufanya silage kutoka kwao sio ngumu kwa kuongeza unaweza kutumia karoti maboga viazi beets maharagwe ya kijani nafaka taka ya nafaka majani yaliyokatwa unga wa mbegu na viungo vingine set hii itatoa thamani kubwa ya lishe ya silage kama itakuwa na sukari wanga vitamini na protini aidha virutubisho katika silo ya pamoja ni bora kuhifadhiwa katika kuhifadhi silo hiyo huliwa na wanyama kila mwaka na hauhitaji maandalizi ya ziada kabla ya kulisha thamani ya lishe ya silage iliyochanganywa katika vitengo 1 vya chakula vya kilo 1 025 silo ya ubora ina asilimia 18 ya asidi ya lactiki na asidi ya asiyri uwezeshaji wa chakula lazima iwe kama silage hufanya asilimia 50 ya chakula cha nguruwe kabla ya kuwekewa silage kwenye mfereji ni muhimu kuhakikisha uhifadhi wa juisi ya silage ya juisi ikiwa kinachovuja hupoteza virutubisho vingi kutoka kwenye malisho chakula tofauti kinahitajika kuchanganywa na kujazwa kwenye chombo cha silo kwenye tabaka mwishoni mwa alama ya alama unahitaji kufunika silo kwa filamu isiyopigwa hewa au tairi sasa kwa kuwa unajua nini silo ni ni rahisi kwako kufanya haki fuata mapendekezo na utapata chakula cha lishe kwa wanyama na ndege
2019-09-17T12:26:15
https://sw.lezgka.ru/2113-forage-silage.html
baada ya didier kavumbagu huyu ndie mchezaji mwingine aliyesaini azam millardayocom baada ya didier kavumbagu huyu ndie mchezaji mwingine aliyesaini azam timu ya azam bado inaendelea na usajili wake wa wachezaji ambapo baada ya didier kavumbagu aliyekua akiichezea yanga kupewa mkataba wa mwaka mmoja sasa wamemuongeza mchezaji mwingine kikosini azam fc frank domayo ndio kiungo mpya aliyesainiwa na azam fc kwa mkataba wa miaka miwili na kujiunga na mabingwa wapya wa tanzania bara pichabin zubery ← previous story umeuona utani uliosambazwa kuihusu chelsea inayocheza na atletico madrid leo next story → msikilize mbwiga wa april 30
2020-01-27T07:22:12
https://millardayo.com/azam999/
tpdc cup sasa rasmi songo songo | mtaa kwa mtaa blog mashindano yajulikanayo kama tpdc bonanza yenye lengo la kuboresha na kuimarisha afya ya wakazi wa songo songo ushirikiano pamoja na kujenga vipaji vya michezo kwa vijana wa kike na kiume yanayodhaminiwa na shirika la maendeleo ya petroli tanzania (tpdc) yamezinduliwa rasmi tarehe 13 novemba 2017 mgeni rasmi wa uzinduzi wa mashindano hayo ambaye ni meneja mawasiliano wa tpdc marie msellemu ameeleza kuwa shirika limefarijika sana kufanikiwa kuzindua mashindano ya michezo ya mpira wa miguu na pete katika kijiji cha songo songo kwa malengo ya kujenga afya bora kwa kuwa michezo ni nyenzo bora ya kuepuka magonjwa mengi yasiyoambukiza kuibua vipaji vya michezo kujenga na kuimarisha uhusiano bora kati ya tpdc na wananchi meneja mawasiliano tpdc akieleza umuhimu wa mashindano ya tpdc cup katika kuboresha afya na uhusiano bora bi msellemu amefafanua kuwa kuwepo kwa kiwanda cha kuchakata gesi asilia na visima vya gesi asilia katika kijiji hicho kunaifanya tpdc kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali za maendeleo ya jamii ya kijiji hicho hivyo kwa kuanzishwa kwa mashindano hayo ambayo yatakuwa ya kifanyika kila mwaka ni moja ya sehemu ya utekelezaji wa wajibu wa tpdc kwa wananchi wa songo songo aidha meneja wa mawasiliano ameongeza kuwa mashindano haya yataambatana na zoezi la upimaji afya ambalo litaanza tarehe 23 hadi 25 novemba 2017 kwa wananchi wa songo songo ambalo linatarajiwa kujenga uelewa zaidi wa masula ya afya kwa wananchi wa songo songo na kuweza kujiepusha na maradhi mbalimbali na hivyo kujenga jamii imara yenye afya na nguvu ambayo itaweza kuendesha shughuli za kiuchumi zitakazo jenga na kuimarisha uchumi wa kijiji na taifa kwa ujumla meneja wa kiwanda cha kuchakata gesi asilia cha songo songo na mgeni rasmi wa uzinduzi wa mashindano ya tpdc cup wakisalimiana na timu ya mpira wa miguu ya black rhino kabla ya kuanza kwa mechi yao dhidi ya heroes awali meneja wa kiwanda cha kuchataka gesi asilia ndugu kondoro nteminyanda akiwa anamkaribisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano hayo alieleza kuwa uhusiano katika ya shirika na jamii ya wananchi wa songo songo ni muhimu kwanza kwasababu wote tunategemeana katika shughuli zetu za kila siku na ili kiwanda kiweze kifanye kazi yake kwa ufanisi kinahitaji mahusiano bora kati ya shirika na wananchi na hivyo shughuli kama hizi za kijamii zinazodhaminiwa na shirika pamoja manufaa mengine lakini ni muhimu saana katika kujenga na kuendeleza ujirani mwema na ushirikiano wenye tija katika ya kijiji na kiwanda kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha songo songo alieleza kuwa ni furaha ya pekee kwa kijiji kwa ushirikiano unaotoka tpdc haswa katika kuanishwa kwa mashindano hayo ya michezo ambayo imeleta hamasa kubwa na furaha kwa wananchi wa songo songo mgeni rasmi akizindua rasmi mashindano ya tpdc cup katika uwanja wa mpira songo songo tarehe 13 novemba 2017 ndugu zangu wachezaji wa timu zetu pamoja na mashabiki nawaomba tushiriki mashindano haya kwa kufuata sheria za uendeshaji wa michezo za fifa na mamlaka nyingine za michezo ili tucheze kwa amani furaha na upendo hadi mwisho wa michuano na aliyeshindwa akubali kushindwa ili tumpe hamasa tpdc kuweza kuendelea kudhamini mashindano haya kila mwaka alifafanua mwenyekiti wa kijiji aidha pamoja na kulishukuru shirika mwenyekiti aliomba michezo hiyo pamoja na zoezi la upimaji wa afya liwe la kudumu kama walivyopokea taarifa hapo awali uzinduzi huo ulishuhudia pambano kali lililozikutanisha timu za black rhino na heroes ambapo hadi mwisho wa mchezo timu black rhino ilifanikiwa kuitupa nje ya mashindano timu ya heroes kwa ushindi wa gori moja kwa sifuri katika mashindano hayo mshindi wa kwanza wa mpira wa miguu atapata zawadi ya mbuzi jozi moja ya jezi na mipira minne mshindi wa pili atapata jozi moja ya jezi na mipira miwili na mshindi wa tatu atapata jozi moja ya jezi na mpira mmoja kwa upande wa mpira wa pete mshindi wa kwanza atapata jozi moja ya jezi na mipira miwili na mshindi wa pili atapata jezi jozi moja pekee pamoja blog thursday november 16 2017
2018-02-19T07:51:58
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/11/tpdc-cup-sasa-rasmi-songo-songo.html
wengi wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala hayawiki iliyopita tuliona faida zinazopatikana kutokana na ulaji wa korosho ambapo tuliona ambavyo mtu anaweza kujiepusha na magonjwa hatari ya moyo na hata kuongezeka kwa uzito kwa kula korosho tu halikadhalika karanga nazo zinafaida zaidi ya hizomagonjwa ya moyokama ilivyokuwa kwa korosho karanga nazo ni chanzo kizuri cha mafuta mazuri aina ya monounsaturated fats ambayo yanatiliwa mkazo kutumiwa kwa afya ya moyo kwa mujibu wa utafiti watu wanaokula karanga mara kwa mara hupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo (cardiovascular heart disease) kwa asilimia 21aidha katika taarifa iliyochapishwa kwenye jarida moja la uingereza la journal of nutrition ambako kuna matokeo ya taarifa nne za utafiti imeonesha pia watu wanaotumia karanga mara kwa mara angalau mara nne kwa wiki hujipa kinga nyingine dhidi ya ugonjwa wa moyo (coronary heart disease) kwa zaidi ya asilimia 37mbali ya kuwa na mafuta mazuri yanayotoa kinga kwenye moyo karanga pia hasa za kukaanga zinaelezwa kuwa na kiwango kikubwa cha virutubisho vinavyotoa kinga ya mwili (antioxidants) kuliko hata kile kinachopatikana kwenye tunda la epo na karotiili kupata kinga hiyo dhidi ya aina hizo mbili za ugonjwa wa moyo ambao unatesa watu wengi duniani na kugharimu pesa nyingi kwa matibabu unashauriwa kula karanga pamoja na bidhaa zake kama vile peanut butter angalau kijiko kimoja cha chakula mara nne kwa wikikinga dhidi ya kiharusiugonjwa mwingine hatari unaosumbua watu wengi hivi sasa ni kiharusi au stroke lakini unaweza kujikinga nao kwa kuwa na mazoea ya kula karanga tu utafiti umeonesha kuwa karanga ina kirutubisho aina ya resveratrol ambacho hupatikana pia kwenye zabibu na mvinyo mwekundu (red wine)kwa mujibu wa utafiti uliofanywa maabara na kuchapishwa kwenye jarida la kilimo na kemia ya chakula (journal of agricultural food chemistry) umeonesha kuwa kirutubisho hicho huimarisha utembeaji wa damu kwenye mishipa inayokwenda kwenye ubongo kwa kiasi cha asilimia 30kinga dhidi ya kansa ya tumbofaida nyingine inayoweza kupatikana kwenye mwili kutokana na ulaji wa karanga ni kinga dhidi ya ugonjwa wa saratani ya tumbo kwa mujibu wa utafiti uliofanywa unaonesha kuwa virutubisho vya folic acid phytosterols phytic acid (inositol hexaphosphate) na resveratrol vinavyopatikana kwenye karanga huweza kutoa kinga dhidi ya ugonjwa wa saratani ya tumbozaidi utafiti huo umeonesha kuwa ulaji wa karanga hata mara mbili tu kwa wiki una uwezo wa kupunguza uwezekano wa kupatwa na saratani ya tumbo kwa asilimia 58 kwa wanawake na asilimia 27 kwa wanaumekwa maelezo hayo kuhusu faida za karanga mwilini bila shaka chakula hiki kinapaswa kupewa kipaumbele katika orodha ya vyakula tunavyokula kila siku na hakika mungu ametupenda sana kwa kutupa kinga dhidi ya maradhi yote yanayotukabili kwa njia ya vyakulatuonane tena wiki ijayo asante sana kwa habari nzurinapenda sana karanga lakini sasa ntazipangia ratiba nzuri ya kulavipi hazitaharibu mpangilio wa ratiba yangu ya kupunguza uzitonipo katika mkakati wa kupungua uzito kidogo najihisi siko sawa baada ya kufumuka baada ya operationdisminder ubarikiwe sanadisminder greetings obat perangsang | obat kuat | alat bantu sex i came across the serach engine and find your website you have great and nice blog thanks for sharing god bless youjual kondomobat perangsang wanita video waziri nchemba afungua gereza la kitengule kagera july 16 (11)
2017-07-22T10:48:06
http://abdallahmrisho.blogspot.com/2010/03/zijue-faida-za-ajabu-za-karanga.html?showComment=1269333448891
mbunge wa jimbo la nyasa ambaya pia ni naibu waziri wa viwanda miundombinu na uwekezaji mhandisi stella manyanya amesema hatawavumilia wakuu wa shule wote wavivu watakaosababisha kushuka kwa taaluma katika shule zao katika halmashauri ya wilaya ya nyasa aliyasema hayo jazi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika katika viwanja vya shule ya msingi songambele iliyoko katika kijiji cha songambele kata ya kihagara akiwa katika ziara ya siku tatu ya kukagua shughuli za maendeleo kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika kata ya kihagara wilaya ya nyasa mbunge manyanya alifafanua kuwa inapendeza kuona nyasa inakuwa na walimu wabunifu na wanaojali miundombinu ya shule na kuitunza vizuri kwa kuwa itamvutia mwanafunzi ili aweze kujifunza na kusoma kwa bidii na hatimaye kufaulu masomo yake katika ngazi mbalimbali aliongeza kuwa hatakuwa na msamaha kwa mwalimu yeyote au kiongozi yeyote wa serikali atakayekuwa mzembe shuleni kufundisha wanafunzi na kutoitunza miundombinu ya shule badala yake aliwahamasisha wazazi walezi na wananchi kwa ujumla kujenga miundombinu mizuri katika shule zao ili kuwavutia wanafunzi ili waweze kujifunza kwa juhudi na maarifa niwapongeze sana ndugu wananchi wa kijiji hiki cha songambele kwa juhudi kubwa mnazozifanya za kujenga miundombinu ya madarasa katika shule hii ya songambelemimi kama mbunge wenu niko karibu sana na nyie na kwa kuwa nimefika lazima niseme ukweli nimefarijika sana kuwa nanyi leo na kuona madarasa yaliyojengwa kwa nguvu zenu hali hii inatia moyo na ninawaagiza walimu wote katika jimbo langu kuwa wanatakiwa kuitunza na kuilinda miundombinu hii aidha walimu wanatakiwa kupandisha zaidi ufaulu wa wanafunzi katika masomo yao natamani nyasa iwe ya viwango alisema mbunge manyanya wananchi wa kijiji cha songambele kata ya kihagara walimpongeza sana mbunge wao kwa kuwajali na kuwatembelea kila anapopata nafasi na kuwaletea miradi ya maendeleo ya ujenzi wa madarasa umeme barabara katika hatua nyingine mbunge manyanya alichangia tsh 1000000/= (milioni moja) kwa ajili ya kuunga juhudi zilizofanywa na wananchi za kujenga vyumba viwili na ofisi na amechangia mifuko sabini ya simenti kwa ajili ya ukarabati wa madarasa hayo na kuwataka wananchi hao kuendelea kujenga muindombinu inayohitajika katika shule hiyo
2019-07-22T03:12:15
http://nyasadc.go.tz/new/mbunge-nyasa-kuwatumbua-wakuu-wa-shule-wavivu
tuwe na maamuzi yetu wazanzibari | zanzibar ni njema atakaye na aje tuwe na maamuzi yetu wazanzibari wakili awadh ali said akichangia mjadala wa katiba mpya ya tanzania katika kongamano lililofanyika kwenye ukumbi wa eacrotanal mjini zanzibar kongamano la kudajadili katiba mpya ya tanzania linaloendelea kufanyika zanzibar limechukua sura mpya baada ya wanasheria na wananchi kuishauri serikali ya mapinduzi zanzibar kuunda tume yake ya kukusanya maoni badala ya kutumia tume ya pamoja ya muungano wito huo umetolewa jana washiriki mbali mbali wakati wakijadili mada kuhusu katiba za tanzania na zanzibar changamoyo juu ya mianya na utata uliopo iliyowasilishwa na katibu wa baraza la wawakilishi ibrahim mzee ibrahim katika ukumbi wa eacrotanal mjini unguja mwanasheria maarufu zanzibar awadh ali said amesema zanzibar haitonufaika na mjadala wa marekebisho wa katiba ya muungano kama tume itafanya kazi hiyo ya kukusanya maoni tanzania bara na zanzibar kutokana na wananchi wake ni wachache kulinganishwa na tanzania bara kwa msingi huo alisema ili haki itendeke na kupata maoni ya mustakabali wa muungano juu ya muundo na aina ya muungano ni vyema kukawa na tume mbili zitakazofanya kazi hizo moja upande wa tanzania bara na nyengine zanzibar serikali ya mapinduzi zanzibar iunde tume yetu ya kukusanya maoni kwa sababu tupo wachache na tukiwa katika mkumbo wa pamoja hatutanufaika kulinga na mazingira ya zanzibar alisema mwanasheria huyo huku akipigiwa makofi na washiriki wa kongamano kuonesha kuwa wanamuunga mkono alisema zanzibar ina mambo mengi ya kujadili kuhusu maslahi ya zanzibar ikiwemo suala la jumuiya ya afrika mashariki kutokana na kuwa kuna mambo ambayo hayamo katika orodha ya mambo ya muungano kama afya utalii na kilimo na ndio maana ipo haja kwa zanzibar kuwa na ushiriki katika jumuiya hiyo ili iweze kutetea ipasavyo maslahi yake naye ahmed omar khamis alisema rais wa kwanza zanzibar mzee amani karume hakuwa na mchango mzuri katika kuandaa makubaliano ya muungano na ndio maana kero nyingi zinajitokeza baada ya kutozingatiwa maslahi ya kisaisa na kiuchumi hata hivyo alisema kwamba ili marekebisho ya katiba yalete faida na kuondoa kero zilizopo hivi sasa lazima kuwe na tume zitakazoweza kufanya kazi tofauti ikiwemo tume ya maoni ya zanzibar na tume ya maoni ya tanzania bara alisema tume zilizopita ikiwemo ya jaji kisanga na jaji nyalali zilifanya kazi za kukusanya maoni kuhusu muungano lakini hadi sasa hakuna utekelezaji wowote uliofanyika kutokana mambo hayo yalitawaliwa na ujanja ujanja na kutahadharisha lazima umakini uwepo katika suala hilo tunaweza tukaletewa tume hapa kama zile za kina jaji kisanga na jaji nyalali zikatembea tanzania nzima kukusanya maoni na matokeo ya tume hizo tukaja kuuambiwa asilimia 80 wamesema hivi na asilimia ishirini ndio wamesema hivi kwa hivyo bila ya shaka kwa kuwa sisi kidogo tutaonekana ni wachache kwa hivyo jambo la msingi hapa kuundwe tume itakayokusanya maoni kule tanzania bara na sisi tuwe na tume yetu ambayo ikusanye kwa mujibu wa idadi yetu alisema kijana huyo akichangia katika mjadala huo omar mussa makame alisema katiba ya muungano inahitaji kuangaliwa kwa umakini kwa vile sio mwafaka rais wa zanzibar kula kiapo cha kutii na kulinda katiba ya muungano wakati amechaguliwa kwa katiba ya zanzibar rais wa zanzibar mbali na kuapishwa kulinda katiba ya zanzibar na ya jamhuri ya muungano hulazimika kula kiapo mara mbili cha kulinda na kutetea katiba ya muungano akiwa kama waziri asiyekuwa na wizara maalumu katiba baraza la mawaziri la muungano akiwasilisha mada yake katibu wa baraza la wawakilishi ibrahim mzee ibrahim alisema vifungu vingi vya jamhuri ya muungano wa tanzania vina kasoro na kutoa mfano rais wa jamhuri ya muungano anateuwa mawaziri kwa kushauriana kwa kushirikiana na waziri mkuu bila ya kushauriana na makamu wa kwanza wa rais au rais wa zanzibar ambayo ni sehemu ya muungano wa tanganyika na zanzibar aidha alisema kwamba katiba hiyo ya jamhuri ya muungano imempa uwezo rais wa jamhuri ya muungano kuteuwa mawaziri kutoka zanzibar na kuwapa madaraka katika wizara ambazo hazihusiani na masuala ya muungano jambo ambalo linahitaji kujadiliwa katika marekebisho hayo ya katiba mpya mzee alisema utata wa katiba katika jamhuri ya muungano pia upo katika ibara ya 64 wakati bunge la jamhuri limepewa uwezo wa kutunga sheria zitakazotumika hadi zanzibar wakati katiba ya zanzibar ibara ya 132 imeweka wazi hakuna sheria itakayotungwa ambayo haihusiani na masuala ya muungano kutumika zanzibar hadi itakaporidhiwa na baraza la wawakilishi katibu huyo wa baraza pia alitoa mfano wa wizara ya mambo ya ndani na wizara ya ulinzi kuwa yapo mambo ndani ya wizara hizi hayamo katika orodha ya mambo ya muungano kama vile kikosi cha zima moto magereza na jeshi la kujengwa taifa jkt lakini wizara hizo zimekuwa zikiongozwa na wazanzibari na kusimamia mambo ambayo hayamo katika orodha ya mambo ya muungano alisema hizo ni kasoro za kikatiba ambazo zinahitaji kuangaliwa pamoja na kesi za uchaguzi zinazohusu wabunge ambapo masharti ya katiba yameweka kesi hizo zisikiliziwa na mahakama kuu ya tanzania wakati suala la mahakama halipo katika orodha ya mambo ya muungano na kila upande ina mahakama kuu yake mjadala huo wa katiba mpya unayatarishwa na jumuiya zisizokuwa na kiserikali na suala la urais wa zanzibar kuwa makamu wa rais wa muungano limekuwa likichukua nafasi kubwa katika mjadala huo kwa wajumbe baada ya wananchi wengi kupinga marekebisho ya 11 ya katiba yaliofuta wadhifa huo jumuiya zisizokuwa za kiserikali zilizoandaa kongamano hilo ni jumuiya ya waandishi wa habari za maendeleo zanzibar (wahamaza) jumuiya wa wanasheria zanzibar(zls) kituo cha huduma za cheria zanzibar (zlsc) na taasisi ya utafiti wa historia ukanda wa bahari ya hindi zanzibar (ziori) ← majambazi kumi wakamatwa zanzibar sheria inaniruhusu kuwa jajihamid → one response to tuwe na maamuzi yetu wazanzibari said k h march 22 2011 at 1029 am reply → ni ukweli usiopingika kwamba zanzibar imekua ikipoteza haki zake nyingi ndani ya makucha ya kinachoitwa muungano nasema hivi kwa sababu hicho kinachoitwa muungano kimekua ni zaidi ya silaha hatari ya kuikandamiza na hatimaye kuimaliza kabisa zanzibar suala zima la katiba katiba ambayo ni ya jamuhuri ya muungano jamuhuri ambayo isingekuwepo pasi na kuunganisha mataifa mawili yaliyokua huru ambayo ni tanganyika na zanzibar bila kujali ukubwa au udogo wa kijografia au wingi na uchache wa watu wa mataifa hayo sasa iweje kuundwe tume moja ambayo itajumuisha maoni ya wakaazi wa jamuhuri hii kwa pamoja bila shaka ipo haja ya wazi ya kuundwa tume mbili ya zanzibar na ya bara na kukusanya mawazo ya watu husika na kuyapigia majumuisho kulingana na idadi ya watu husika ili tuweze kujenga taifa lenye katiba isiyoegemea upande mmoja kinyume cha hivyo katiba hiyo itakayotungwa italeta maana zaidi tukiiita katiba ya tanganyika badala ya katiba ya mungano
2017-01-24T02:59:04
https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2011/03/19/tuwe-na-maamuzi-yetu-wazanzibari/
uchaguzi mkuu drc eu yalaani balozi wake kufurushwa drc bbc news swahili https//wwwbbccom/swahili/habari46699321 image caption polisi walipambana na wafuasi wa upanzi mashariki mwa drc alhamisi muungano wa ulaya umeukosoa uamuzi wa jamhuri ya demokrasi ya congo kwa kumfukuza balozi wake kabla ya uchaguzi muhimu nchini humo siku ya jumapili amri ya kumtaka bart ouvry kuondoka ndani ya saa 48 ni kinyume kabisa na sheria msemaji wa eu alisema dr congo ilisema ilichukua uamuzi huo kulipiza vikwazo alivyowekewa mgombea wa chama tawala emmanuel ramazani shadary maandalizi ya uchaguzi huo yamekumbwa na ghasia image caption wafuasi wa martin fayulu wakiandamana mjini beni siku ya alhamisi wafuasi wa upinzani walivamia kituo cha ebola kwenye mji ulio mashariki wa nchi wa beni kupinga uamuzi wa tume ya uchaguzi wa kuahairisha uchaguzi kwenye miji mingine miwili hadi mwezi machi ghasia pia zilizuka kwenye miji miwili ngome za upinzani ya goma na butembo iliyo yote mashariki mwa nchi kichanga cha siku 6 chapona ebola tume ya uchaguzi ilisema uchaguzi kwenye miji wa beni butembo na mji ulio magharibi wa yumbi utaahirishwa hadi machi kwa sababu ya ukosefu wa usalama na mlipuko wa ugonjwa wa ebola eneo la mashariki umesababisha vifo vya zaidi ya wtu 300 image caption maafisa wa uchaguzi wamekuwa wakifanyia majaribio mashine kabla ya uchaguzi kipi kilisababisha kuzuka mzozo wa kidiplomasia vikwazo kwanza vilitangazwa dhidi ya bw shardary mwaka 2017 kwa ukiukaji wa haki za binadamu ikiwemo hatua kali dhidi ya upinzani tarehe 10 desemba mawaziri wa eu waliongeza vikwazo hivyo vikiwemo vya kuzuia mali na marufuku ya kusafiri kwa bw shardary na watu wengine 13 kwa kuhujumu uchaguzi na ukiukaji mwingine wa haki za binadamu siku ya alhamisi waziri wa mashauri ya nchi za kigeni nchini drc leonard she okitundu alisema serikali ilikuwa imeitaka eu kufuta vikwazo hivyo hadi baada ya uchaguzi lakini ilikataa
2019-07-18T04:54:45
https://www.bbc.com/swahili/habari-46699321
ana crowne plaza kanazawa (japan) 163 showamachi 9208518 kanazawa ishikawa japan wwwihgcom/crowneplaza/hotels/us/en/ishikawa/qkwja/hoteldetail have questions get answers from ana crowne plaza kanazawa or yelujp users visitors havent asked any questions yet accommodationhotelhotel in kanazawashihotel near kanazawashiluxury hotel 163 showamachi kanazawa ishikawa 111 tamagawacho kanazawa ishikawa 151 honmachi 2chome zip 9200853 kanazawa ishikawa 1244 katamachi kanazawa ishikawa search results related to ana crowne plaza kanazawa 222289companies
2018-06-19T13:54:42
http://www.yelu.jp/company/222523/ANA_Crowne_Plaza_Kanazawa
profesa mbarawa awashtukiza shirika la posta ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = ' profesa mbarawa awashtukiza shirika la posta posted by khalfan said on 0905 waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasilianoprofesa makame mbarawa akiwasili ofisi za posta kuu ya shirika la posta maeneo ya posta mpya wakati alipofanya ziara ya kushtukiza dar es salaam leo kulia ni postamasta mkuu fortunatus kapinga(picha zote na kassim mbaroukwwwbayanablogspotcom) waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano profesa makame mbarawa (kushoto) akipatiwa maelezo na meneja wa posta mkoa wa dar es salaam margret mlyomi (katikati) wakati alipofika katika ziara ya kushtukiza kwenye ofisi za shirika la posta posta kuu jijini dar es salaam leo kuangalia shughili mbalimbali zinavyofanyika ofisini hapo mkuu wa kitengo cha usalama cha shirika la posta tanzania george mwamgabe (kushoto) akimpatia maelezo waziri profesa mbarwa kuhusu mambo ya usalama kwenye mtandao wa shirika hilo kulia ni kaimu meneja mkuu wa shirika la posta shughuli za biashara janeth msofe waziri profesa mbarwa akimsikiliza mteja wa shirika hilo mhandisi nungu allanus kutoka dit kuhusu ubora wa utoaji huduma wa shirika waziri profesa mbarwa (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa msaidizi meneja wa fedha na huduma wa shirika hilo wakati alipotembelea kitengo kipya cha kutolea huduma mbambali za kifedha cha jamii centre katika mwenyekiti wa bodi ya shirika dk harun kondo waziri profesa mbarwa (kushoto) akimweleza jambo meneja wa posta mkoa wa dar es salaam margret mlyomi (katikati) wakati akitembelea posta kuu maeneo ya posta mpya jijini dar es salaam leo wakati wa ziara hiyo kulia ni mkuu wa kitengo cha usalama cha shirika la posta tanzania george mwamgabe mwenyekiti wa bodi ya shirika la posta dk harun kondo (katikati) akimweleza jambo waziri profesa mbarawa akitembelea vitengo mbalimbali vya ofisi za posta kuu jijijini katika ziara hiyo kaimu postamasta mkuu wa shirika la posta tanzania (tpc) fortunatus kapinga akizungumza wakati waziri profesa mbarawa alipokutana na wafanyakazi na kuzungumza nao makao makuu ya shirika hilo wakati akimaliza ziara yake hiyo mwenyekiti wa bodi ya shirika la posta dk harun kondo (kulia) akizungumza kabla ya kumkaribisha waziri profesa mbarawa kuzungumza na wafanyakazi makao makuu ya shirika hilo wakati wa kumaliza ziara yake hiyo waziri profesa makame mbarawa akizungumza na wafanyakazi wa shirika la posta makao makuu ya shirika hilo wakati wa ziara yake hiyo ofisa mwandamizi wa shirika la posta makao makuu david hango akizungumza wakati akimweleza waziri profesa mbarawa baadhi ya changamoto zinazolikabili na kukwamisha shirika hilo katika kupiga hatua za kimaendeleo mmoja wa wafanyakazi wa shirika hilo kutoka chama cha wafanyakazi cha tewuta ahmed kaumo akimweleza waziri profesa mbarawa baadhi ya changamoto ambazo angependa kuwa na kikao cha pamoja cha viongozi wa shirika hilo na wa chama hicho cha wafanyakazi katika kukabiliana nazo ili kulikwamua shirika hilo mmoja wa wafanyakazi wa shirika hilo upande wa masoko joyce kagose akimweleza waziri profesa mbarawa changamoto mbalimbali zinazolikabili shirika hilo mmoja wa wafanyakazi wa zamani wa shirika hilo akimweleza kwa uchungu waziri profesa mbarawa jinsi changamoto wanazozipata kutoka kwa baadhi ya watendaji wa shirika hilo ambao hujifanya wasomi na kuwazarau wale wa zamani kutokana na elimu zao waziri profesa makame mbarawa (katikati) akisikiliza maelezo yaliyokuwa yakitolewa na wafanyakazi hao waziri profesa makame mbarawa akijibu baadhi ya hoja na ushauri wa wafanyakazi wa shirika hilo wakati wa ziara yake hiyo
2017-08-20T23:09:29
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/01/profesa-mbarawa-awashtukiza-shirika-la.html
rais dkt magufuli akutana na viongozi wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki tanzania leo ikulu jijini dar es salaam | jamhuri ya muungano wa tanzania rais dkt magufuli akutana na viongozi wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki tanzania leo ikulu jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipokea kitabu cha muongozo wa sala toka kwa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga kulia ni makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt flavian kasalla na kushoto ni katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima baada ya viongozi hao wapya tec kumtembelea rais magufuli ili kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa katika mazungumzo na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga makamu wa rais wa baraza lhilo dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa tec dkt charles kitima viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mkono na makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt flavian kasalla huku rais wa tec askofu gervas john nyaisonga (wa pili kushoto) na katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima wakiangalia baada ya viongozi hao wapya wa kanisa kumtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga (katikati) na makamu wa rais wa baraza hilo dkt flavian kasalla wakimsikiliza katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima walipotembelea ikulu leo jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mkono na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga na makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima baada ya viongozi hao wapya wa kanisa kumtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mkono na katibu mkuu wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt charles kitima akiwa na rais wa baraza hilo askofu gervas john nyaisonga na makamu wa rais wa baraza hilo dkt flavian kasalla viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 (picha na ikulu) ← maagizo mazito ya waziri jenista kwa katibu mkuu mpya wizara ya kazi rais dkt magufuli akutana na viongozi wa jumuiya ya kikristo tanzania →
2019-01-16T01:59:22
http://blog.maelezo.go.tz/rais-dkt-magufuli-akutana-na-viongozi-wa-baraza-la-maaskofu-wa-kanisa-katoliki-tanzania-tec-ikulu-jijini-dar-es-salaam/
jana mlimtegemea manji leo mtengenezeni manji wa kesho kandanda | the world of football jana mlimtegemea manji leo mtengenezeni manji wa kesho martin kiyumbi april 15 2018 no commentyanga sc mpira ni pesa hii kauli ina maana kubwa sana ingawa sisi tunaichukulia kawaida kwa sababu tumezoea kuchukulia vitu kawaida katika ukawaida usio wa kawaida mpira unatengeneza pesa nyingi sana kama ukiamua kuwekeza pesa akili na muda kwenye mpira vitu hivi vitatu vina umuhimu mkubwa katika uwekezaji wa mpira biashara kwenye mpira ili upate faida naaaam faida ya kwenye mpira hupatikana kwa kuweka pesa muda na akili hakuna kitu chenye mafanikio makubwa ambacho kinahitaji muda mfupi kila kitu chenye mkondo mkubwa wa mafanikio huitaji uwekezaji wa muda ndiyo maana hata biashara ya kuuza wachezaji inahitaji muda biashara hii haipo hapa tanzania hasa hasa kwenye vilabu vyetu vikubwa wao walianzisha klabu kwa ajili ya kununua wachezaji tu ni aghalabu kusikia simba au yanga imeuza wachezaji nje au ndani ya nchi kwa faida kubwa hata ukisikia hiyo huwa ni bahati mbaya kwa sababu hakuna mipango ya kuonekana kwenye hii biashara mzee akilimali akiteta jambo na manji hawana hata mascout ambao wangetumika kwa ajili ya kusaka vipaji vikubwa nchini ili waviendeleze kwa manufaa ya timu (ndani ya uwanja) na manufaa ya klabu ( kuwauza) wanategemea kugombania na simba au azam fc pale manungu hii ni vita ya watu wasio na akili ndiyo maana hawana hata mipango ya kuibua wachezaji vijana mipango yao ya kuibua wachezaji wenye umri mdogo kuanzia miaka sita (6) huishia kwenye karatasi na hakuna uhalisia wowote waliouonesha kupitia mipango yao kuibua vipaji kutoka kwenye umri mdogo kuna faida kubwa sana kwa sababu vipaji hivi hukua katika mazingira ya msingi sahihi ya mpira msingi ambao utawezesha kuwa na ukuta imara katika vipaji vya wachezaji na timu kwa ujumla mchezaji aliyekulia mazingira kama haya ni rahisi kumuuza nje na kupata pesa ndefu ambazo zitasaidia timu ni ngumu kukuta timu yenye mazingira ya kuuza wachezaji kuwa na vilio vya njaa na hiki kitu kinahitaji uwekezaji wa muda uwekezaji wa muda huenda sambamba na uwekezaji wa akili unavyofikiria ndivyo unavyojitengeneza wewe mwenyewe ulivyo sasa hivi ni matokeo ya ufikiriaji wako unapoona muda huu yanga inakosa pesa za miezi minne za kumlipa mwalimu george lwandamina ni matokeo ya ufikiriaji wa viongozi waliopita na wasasa nembo yao ni kubwa mno kibiashara lakini wameshindwa kufikiria namna ya kuitumia nembo yao kibiashara ili iwe inaingiza pesa kubwa kuna vitu vinaweza kuonekana ni vidogo lakini vina matokeo makubwa sana mfano wapenzi wa yanga ni watu wanaoipenda yanga kutoka moyoni huwa wanaiunga mkono kwa hali na mali lakini watu hawa hawajatengenezewa mazingira yatakayowafanya wao wanufaike na timu inufaike wapenzi hawa wana familia ndani ya nyumba kuna vitu vingi sana vinahitajika ili vipendezeshe nyumba mlangoni pazia ni kitu cha msingi sana kwenye nyumba yoyote yanga imeshindwa kuingia mkataba na wabunifu wa mapazia ambao watatengeneza mapazia yenye nembo ya yanga hata kama mapazia haya yasipokuwa ya rangi ya njano na kijani hata yakiwa na rangi nyeupe lakini yawe na nembo ya yanga nembo shabiki wa yanga atajivunia kununua hawa watu tutawafanya wasiende kununua mapazia ambao hata hatujui yametengezwa na nani zulia la mlangoni ni muhimu sana ukiingia ndani utakutana na kapeti kapeti ambalo litakuwa limebeba samani zenye nembo ya yanga kiasi kwamba kuanzia kwenye zulia kapeti viti kabati mpaka vikombe na sahani viwe na nembo ya yanga bidhaa hizi zinawafaa watu wenye hali ya juu na chini mazingira haya ukiwatengenezea utawapa nafasi ya kuzidi kukunufaisha wewe kupitia nembo yako kubwa na siku wakienda uwanjani watengenezee skafu jezi na uwauzie hili tushaimba sana nafurahia muda huu wanaelekea kwenye mabadiliko ya uendeshaji wa timu hii itasaidia timu iwe ze kujitegemea na kuachana na hulka ya kumtegemea mtu yanga kujiendesha kibiashara kwa kujitegemea ni kitu chenye afya kuliko kuiendesha timu kwa kumtegemea mtu yusuph manji kaondoka timu imetetereka wachezaji hawalipwi mshahara kocha kaondoka kwa sababu hajalipwa miezi minne wafikirie na jinsi ya kuongeza wadhamini ambao watakuja kupunguza gharama za uendeshaji mfano wakiingia makubaliano na gym ili wachezaji wake wawe wanafanya mazoezi ya gym hii itakuwa na faida kwao yanga na mmiliki wa gym kwa kutangaziwa bidhaa yake kuna namna nyingi za kufikiria kibiashara kama akili yako ukiamua kuiwekea mwanga ndani yake na ukifanikisha hapo utakuwa umemtengeneza manji wa kudumu kwenye klabu (mfumo imara wa mapato ya klabu) na kuachana na tabia ya kumtegemea mtu binafsi tuzisahau milioni 600 tuwaze jua la kesho martin kiyumbi april 19 2018 ndani ya miaka mitatu yanga imefanikiwa kuingia katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani afrika mara mbili miaka 09 days 21 hrs 40 mins 46 secs
2018-04-19T15:19:16
http://www.kandanda.co.tz/2018/04/15/jana-mlimtegemea-manji-leo-mtengenezeni-manji-wa-kesho/
camano island wa apartments with 2car garage realtorcom® camano island wa apartments with 2 car garage 1188 ne riksen way oak harbor wa 98277 1188 ne riksen way oak harbor wa 98277 9575 padilla heights rd anacortes wa 98221 9575 padilla heights rd anacortes wa 98221 3218 rucker unit upper ave unit 1 everett wa 98201 3218 rucker unit upper ave unit 1 everett wa 98201 9731 padilla heights rd anacortes wa 98221 9731 padilla heights rd anacortes wa 98221 216 126th st se # b everett wa 98208 216 126th st se # b everett wa 98208 33987 hood canal dr ne kingston wa 98346 33987 hood canal dr ne kingston wa 98346 1314 124 pl se everett wa 98208 1314 124 pl se everett wa 98208 114 100th ave ne lake stevens wa 98258 114 100th ave ne lake stevens wa 98258 12025 38th ave se everett wa 98208 12025 38th ave se everett wa 98208 30875 state route 20 apt j1 oak harbor wa 98277 30875 state route 20 apt j1 oak harbor wa 98277 2311 highland ave everett wa 98201 2311 highland ave everett wa 98201 84 small ln coupeville wa 98239 84 small ln coupeville wa 98239 1471 sw 10th ave oak harbor wa 98277 1471 sw 10th ave oak harbor wa 98277 920 138th pl sw everett wa 98204
2020-02-23T06:35:56
https://www.realtor.com/apartments/Camano-Island_WA/with_garage2ormore
kulisha kiwanja kwa nguruwe aina muundo kanuni za matumizi wazalishaji bora mapishi ya kufanya mikono yao nyumbani mifugo kulisha kiwanja kwa nguruwe aina na kupikia nyumbani kulisha kwa pamoja kwa ufanisi kutatua tatizo la lishe ya nguruwe ni tofauti katika muundo na ubora wa utengenezaji kwa mahitaji ya kulisha na muundo wao bora kwa wanyama wa umri tofauti wasoma zaidi katika makala hiyo kulisha kulisha nguruwe kulisha pamoja kama jina lake linavyoonyesha ni mchanganyiko wa virutubisho muhimu vya wanyama vitamini macrona microelements ambayo hatimaye inakuwezesha kuunda chakula bora kwa nguruwe za umri na mifugo tofauti chakula cha polnoratsionny kilicho na viungo ambavyo ni muhimu kwa ukuaji na maendeleo ya mifugo ya nyama ya nguruwe ina uwezo wa kuchukua nafasi ya aina nyingine za chakula je unajua nguruwe zinachukua nafasi yao ya haki katika viongozi wa juu zaidi ya kumi ya wanyama duniani mbele ya mbwa na uwezo wao wa akili kulisha nguruwe kwa njia ya kulisha kuna faida kwa namna ya akiba kubwa wakati wa kufanya kazi kwa ajili ya maandalizi ya chakula cha kawaida usawa wa vipengele ambayo inaruhusu kufanya chakula kamili cha mnyama kuhifadhi rahisi kwa joto la kawaida idadi kubwa ya bidhaa mbalimbali kwenye soko cons kulisha na kulisha ni gharama ya kutosha ya bidhaa bora hatari za kulisha nguruwe na mchanganyiko wa chakula cha bei nafuu ambayo inaweza kuwa na vipengele vigumu kwa wanyama kuponda haiwezekani wakati mwingine kupata aina bora ya kulisha kiwanja hivi sasa hata kwa uchaguzi mkuu katika soko soma pia kuhusu chakula na teknolojia sahihi ya kulisha nguruwe muundo wa chakula kwa asilimia mbalimbali ya viungo na viwango vyao tofauti katika aina tofauti za kulisha wanyama muundo wao wa msingi ni kimsingi aina moja kulisha kwa ajili ya kulisha wanyama wazima watu mara nyingi hujumuisha unga wa alizeti nyama na mfupa unga wa alfalfa chaki ya kulisha upangaji kulisha kwa makundi ya nguruwe hutofautiana tu katika utungaji lakini pia katika sehemu ndogo wao hutolewa mchanganyiko wa malisho tu kwa namna ya ardhi yenye harufu au granule ikageuka kuwa uji mwembamba na joto la angalau + 35 ° c kulisha pamoja kwa nguruwe hujumuisha chachu ya kula kulisha mafuta mikato ya pamoja inatofautiana katika fomu zote ambazo zinazalishwa na matumizi yao yaliyopangwa kwa namna ya kutolewa bidhaa katika swali ilitolewa kwa fomu ya gumu na kwa njia ya granules aina hii ya bidhaa inatofautiana kwa kiwango cha kusaga ambayo ni kubwa katikati hapa jukumu la nafaka la bidhaa hasa linalofaa kwa wanyama wadogo chakula cha kavu hutolewa kwa nguruwe ama fomu ya asili au kuchanganywa na maji wakati mwingine chakula kavu huongeza malisho ya juisi ni muhimu kwa kuingizwa kwa malisho huru katika mchango wa nguruwe ni muhimu kutoa wanyama na upatikanaji wa maji ya kunywa bure aina hii ya bidhaa haifai tofauti na utungaji kutoka mchanganyiko wa malisho ya kutosha kwani granules hupatikana kwa kuchanganya mchanganyiko huo huo kwa njia ya extruder wanyama huchukua pellets kwa haraka kwa kuwa ni rahisi zaidi kwao kufanya hivyo lakini kuna mapungufu kulingana na ambayo vidogo vya nguruwe haipaswi kuwa zaidi ya 8 mm kwa kipenyo na 10 mm kwa watu wazima ili kwenda kwa kujaza viungo vya kulisha pamoja vinagawanywa katika rationing kamili kujilimbikizia ration kamili tayari chini ya jina inaweza kuwa alisema kuwa aina kamili ya mlo wa malisho hutimiza kikamilifu haja ya viumbe vya wanyama kwa virutubisho na hauhitaji nyongeza yoyote inalenga aina hii inajulikana kwa mkusanyiko katika muundo wake wa protini vitamini na madini na ni nyongeza kwenye orodha kuu ya wanyama yenye nafaka je unajua kusaga nguruwe kwa kweli huficha hadi ishara 20 tofauti ambazo zinatumia habari kutoka kwa mtu binafsi hadi kwa mtu binafsi viwango vya matumizi kwa wastani kiwango cha matumizi ya kila siku ya malisho ya pamoja ya nguruwe ni nguruwe hadi umri wa miezi 2 1000 g nguruwe za miezi 3 1500 g wanyama wa umri wa nusu 2000 g vipimo vya mafuta ya miezi 8 kwa hali ya nyama 3400 g wanyama wenye umri wa miezi 8 wenye mafuta kwa mafuta 3000 g wanawake kabla ya kuunganisha kwanza 2300 g wanawake wajawazito 3700 g wanawake wakati wa lactation hadi 6400 wapangaji wa juu katika meza ya rating ya wazalishaji wa uongozi wa mifugo nchini urusi kati ya viongozi ni makampuni cherkizovo prioskolye bezrkbelgrankorm gap rasilimali nyeupe ndege charoen poppand chakula agrobelogorie miongoni mwa kiwanja hulipa wakati wa kujibu swali ambalo ni bora simama kwa umaarufu purina (purina) purina ina soya na unga mafuta ya mboga kutoka kwa mafuta ya kuban vitaminimadini tata ambayo ni pamoja na vitamini zote muhimu na macromicronutrients kk55 ni chakula cha kujilimbikizia kinachotimiza mahitaji ya mifugo ya nguruwe katika sehemu ya nishati vitamini na madini na linajumuisha matawi ya ngano mchanganyiko wa nafaka madini na kikundi cha vitamini mlo wa pk55beam hutengenezwa kwa ajili ya ukuaji wa haraka na kwa mafuta ya nyama ya nguruwe kutoka kwa kilo 40 hadi 120 kupunguza muda wa mafuta na kuimarisha digestion ya upeo utungaji wa msingi wa malisho uliwasilishwa chakula cha nyama unga wa chokaa mafuta ya mboga chumvi ya meza paizi ya p54 ck8 ni kulisha kamili katika pellets kwa ajili ya nguruwe fattening kwa hali ya mafuta katika umri wa miezi 4 hadi 8 utungaji wa bidhaa hutolewa kwa fomu punguzo la p54 kichocheo cha chakula cha mchanganyiko nyumbani bei ya kutosha ya mchanganyiko wa kuchanganya ubora hufanya wafugaji wengi wa mifugo kuandaa bidhaa peke yao kwa kuwa mmiliki kila anajua panya zake vizuri yaani kiasi cha kila mmoja hula ni wastani gani wa matumizi ya chakula cha kila siku ni kiasi gani kinachohitajika kwa kila nguruwe na kiasi gani mtu hula kabla ya kuchinjwa ni rahisi kwake kuhesabu na kukusanya fomu bora ya kulisha kwa kila mnyama tunakushauri kusoma nini joto katika nguruwe huchukuliwa kuwa kawaida kwa wastani viungo vya kulisha kwa asilimia vinatolewa shayiri 40 mahindi 30 ngano au ngano 95 mfupa wa nyama na samaki 6 unga wa nyasi 5 mbegu 5 soya au unga wa alizeti 3 chaki ya chakula 1 chumvi 05 kwa kuongeza kila kilo cha bidhaa kinaongeza sulfate ya zinki 01 g sulfate ya chuma 01 g sulphate ya manganese 0015 g kaboni ya shaba 0015 g kloridi ya cobalt 0005 g iodidi ya potasiamu 0002 g pia aliongeza premixes muhimu kwa mujibu wa maagizo yaliyomo video jinsi ya kupika chakula kwa nguruwe hatua kwa hatua maelekezo ya kupikia ili kujibu swali la jinsi ya kufanya chakula bora na mikono yako mwenyewe na jinsi ya kuitoa unahitaji kuamua kusudi lake kwa nguruwe mchanganyiko wa malisho hufanyika tofauti na kwa watu wazima chakula cha kulisha nyama kinatofautiana na bidhaa kwa kuleta nguruwe kwa hali ya mafuta kwa kuongeza unaweza kuandaa chakula kilichochomwa kwa kutumia njia ya chachu pia kuna chakula cha mlo na mchanganyiko wa malisho maandalizi ambayo unapaswa kujua jinsi ya kuiba mchakato wa kupikia bidhaa nyumbani kwa mara nyingi ni yafuatayo viungo vya nafaka ni chini ya crusher ya nafaka kisha viungo vilivyobaki vinaongezwa kwenye molekuli iliyosababisha mchanganyiko umechanganywa kabisa na mkono kwa mvuke za nguruwe maji ya kuchemsha hutiwa ndani ya malisho na bidhaa hiyo imesalia kwa muda wa masaa kadhaa nyumbani unaweza kufanya malisho ya granular hata futa vipengele vya nafaka vya mchanganyiko wa baadaye na uvike vizuri saga yao kwa grinder ongeza viungo vilivyobaki na kuchanganya mchanganyiko ongeza maji ya joto na kuondokana na mchanganyiko na kuiletea hali ya mchungaji kisha kuchanganya mchanganyiko kwa njia ya grinder ya nyama na kusababisha malisho pamoja pamoja kaanga granules ni muhimu nguruwe haipaswi kupewa chakula kwa joto chini +30°c na juu +35°c jinsi ya kulisha nguruwe kulisha ili kuamua nini chakula kina na nini sehemu zake zinafanywa mtu anapaswa kuamua kusudi lake vijana wa nguruwe inashauriwa kulisha nguruwe na sehemu ndogo ndogo ya kulisha au mshirika wao wa granulated ni diluted na maji ya joto na kuletwa kwa mushy hali ambayo inachangia kuimarisha bora ya chakula na kukua kasi ya wanyama fikiria ni kiasi gani cha kulisha unahitaji kukua nguruwe chakula cha watu binafsi hutegemea umri wao wanyama hadi umri wa miezi miwili wanahitaji hadi kilo 1 ya kulisha kila siku kisha kabla ya umri wa miezi sita nguruwe zinapaswa kupewa kila siku na kilo 15 cha mchanganyiko wa malisho kulisha wanyama wazima hutegemea kile wanachopandwa mlo wa nguruwe zilizopandwa kwa nyama hutofautiana na orodha ya wanyama wa mwelekeo wa greasy wanyama wenye umri wa miezi 8 ambayo hupandwa kwa nyama kwa siku hutoa wastani wa kilo 34 cha chakula nguruwe za umri huo lakini hupunguza mafuta huzaa kilo 3 kwa siku mlo maalum katika wanawake wajawazito na katika nguruwe zinazolisha vijana wao fikiria kiasi cha kupanda mjamzito kula kwa siku na ni kiasi gani kinachohitajika kwa kupanda wakati wa lactation mlo wa wanawake wajawazito umeongezeka hadi kilo 37 na nguruwe zinazolisha nguruwe hadi kilo 64 kulisha pamoja kuharakisha kilimo cha nguruwe za nguruwe na kuboresha ubora wa nyama na mafuta hupatikana kwa urahisi katika uzalishaji wa kibinafsi nyumbani
2019-09-18T13:49:35
https://sw.lezgka.ru/7809-compound-feed-for-pigs-types-and-cooking-at-home.html
masharti ya zaka za mali ya biashara suali ni yapi masharti ya mtu kuwajibika kutoa zaka za mali ya biashara jawabu masharti ya kulazimika mtu kutoa zaka ya mali ya biashara 3 iwe imekusudiwa kwa lengo la biashara na hii ni kwamba iwe imekusudiwa kama kuchuma kwa kauli ya mtume ﷺ إنما الأعمال بالنيات] رواه البخاري ومسلم] [hakika ya matendo ni kwa niya ya mtu] [imepokewa na bukhari na muslim]
2020-04-07T19:31:31
http://uongofu.com/index.php/mafundisho/layout/fiqhi-ya-ibada/mlango-wa-zaka/617-masharti-ya-zaka-za-mali-ya-biashara?switch_to_desktop_ui=ftp:/ameghiniana:
2019 mitsubishi pajero sport gls qe my19 4x4 dual range (grey) for sale in berwick berwick mitsubishi #a6920 mmaguks10kh005591
2019-08-24T07:50:03
https://www.berwickmitsubishi.com.au/new-cars/for-sale/mitsubishi/pajero-sport/2019/gls/qe-my19-4x4-dual-range/977267
azao resort and spa uroa hifadhi hoteli sasa samahani azao resort and spa imeuzwa unaweza badilisha tarehe au chagua hoteli nyingine kuchukuliwa uwanja wa ndege sefu ya kuhifadhia vitu udobi huduma za chumbani bar/lounge kifungua kinywa mgahawa pool bar hoteli paje hoteli kiwengwa hoteli bwejuu hoteli pongwe hoteli dongwe hoteli chwaka azao resort and spa paradise beach resort coconut tree village beach resort mermaids cove beach resort & spa sunbright uroa white villa
2020-02-18T06:54:39
https://travel.jumia.com/sw-tz/tanzania/o25518/azao-resort-and-spa-uroa
naibu katibu mkuu wizara ya maliasili dkt aloyce nzuki afungua warsha ya kukusanya maoni ya kuboresha rasimu ya sera mpya ya misitu ya mwaka 2016 kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya kati mjini dodoma jiachie naibu katibu mkuu wizara ya maliasili dkt aloyce nzuki afungua warsha ya kukusanya maoni ya kuboresha rasimu ya sera mpya ya misitu ya mwaka 2016 kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya kati mjini dodoma jiachie home > habari za kitaifa > naibu katibu mkuu wizara ya maliasili dkt aloyce nzuki afungua warsha ya kukusanya maoni ya kuboresha rasimu ya sera mpya ya misitu ya mwaka 2016 kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya kati mjini dodoma item reviewed naibu katibu mkuu wizara ya maliasili dkt aloyce nzuki afungua warsha ya kukusanya maoni ya kuboresha rasimu ya sera mpya ya misitu ya mwaka 2016 kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya kati mjini dodoma rating 5 reviewed by ahmad michuzi
2018-07-16T10:54:08
http://michuzijr.blogspot.com/2017/07/naibu-katibu-mkuu-wizara-ya-maliasili.html
amri said apewa jukumu maalum mbao fc | shaffihdauda home kitaifa amri said apewa jukumu maalum mbao fc malengo yetu tumeshamwambia mwalimu (amri said kulia pichani juu) ligi ikiisha tuwe katika 5 bora au tusitoke kwenye 10 bora lakini pia katika fa tufike nusu fainali ikibidi fainali previous articlerobinho afunguka real madrid walivyoikomoa chelsea kupitia man city next articleengland vs switzerland kwanini sekunde 25 za mwanzo zitaoneshwa kwa black & white
2018-09-23T06:34:27
http://shaffihdauda.co.tz/2018/09/11/amri-said-apewa-jukumu-maalum-mbao-fc/
rwebangira blog msaada tutani ktk bongo pix msaada tutani ktk bongo pix habari ya kazi mkubwa wa bongopix sisi hapa ni dullonet ni wanamtandao wenzako katika ulimwengu huu wa mawasiliano kutoka dullonet tunatuma ombi letu kwako kwa kuomba kupewa links katika blog yako ili nasi tuweze kufahamikazaidi na kupata wasomaji wa website yetu ya wwwdullonetcom ambao tunajihusisha na mambo ya habari mchanganyiko na kutoka vyombo mbalimbali duniani zaidi tunategemea kusikia toka kwako mwanamtandao wenzetu na pia tunatanguliza shukrani kwako kwa kuchukua muda kusoma email hii dullonet team bp haina noma na hilo karibuni sana real cool sitewape kifua 815 pm gmt+3 mama mbavu zangu weeee
2017-08-20T11:48:00
http://bongopicha.blogspot.com/2008/11/msaada-tutani-ktk-bongo-pix.html
rc awapiga marufuku wafanyabiashara wasio na vitambulisho you are athome»habari360»rc awapiga marufuku wafanyabiashara wasio na vitambulisho by noreply@bloggercom (muungwana blog 5) on may 21 2019 habari360 na mpitanjia dodoma mkuu wa mkoa wa dodoma dkt binilith mahenge amewapiga marufuku wafanyabiashara wote wasio kuwa na vitambulisho kuendelea kufanya biashara katika maeneo yote mkoani humo aidha wafanyabiashara waliokwisha nunua vitambulisho wametakiwa kuhakikisha wanakuwa navyo katika sehemu zao za kazi muda wote huku wakuu wa wilaya na wakurugenzi wakipaswa kusimamia suala hilo sambamba na kutoa elimu kwa wafanyabiashara hao dkt mahenge ameyasema hayo hii leo wakati wa ziara aliyoifanya katika soko la bonanza na changombe jijini dodoma iliyokuwa na lengo la kugagua na kujionea hali ya wafanyabiashara walio na wasio na vitambulisho pia kuhusu suala la usafi wa soko mkurugenzi wa jiji godwin kunambi amesema kila sehemu wakubaliane na viongozi wao namna ya kufanya lakini kwa hivi sasa mfanyabiashara atakaye kata kitambulisho hatotakiwa kulipia gharama ya shilingi mia mbili iliyokuwa ikichukuliwa kama tozo ya halmashauri nao wafanyabiashara hassan farahan na joyce mushi wakizungumza na chombo hiki wamempongeza rais magufuli kwa uamuzi wa kuwatambua kupitia vitambulisho hivyo na kuahidi kuyatekeleza maelekezo ya mkuu wa mkoa katika ziara hiyo wafanyabiashara wengi wameonekana kutokuwa na vitambulisho ambapo hata hivyo baada ya kupewa elimu wameahidi kununua kwa manufaa yao binafsi previous articlezimamoto yatoa ufafanuzi kuhusu mafunzo ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa shule za msingi na sekondari next article rais magufuli aiagiza ucsaf kuiwezesha miundombinu ya mawasiliano ttcl noreply@bloggercom (muungwana blog 5) udom 2019/2020 announcement for students admitted into different study programmes at udom without multiple admissions for the 20192020 academic year video yanga yaitishia nyau township rollers baada ya kutua botswana ''tunaka ushindi'' zanzibar yavamiwa na mamba balozi dkt slaa atema cheche
2019-08-21T00:22:02
https://habarimpya.com/featured-2/noreplyblogger-com-muungwana-blog-5/rc-awapiga-marufuku-wafanyabiashara-wasio-na-vitambulisho
wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge viwanda biashara na mazingira wametoa wito huo kwenye zira ya kujifunza kujifunza shughuli mbalimbali za uhifadhi wa vyanzo vya maji katika bonde hilo na kutaka elimu zaidi itolewe juu ya faida mbalimbali za bonde hilo mkoani morogoro mbunge wa moshi vijijini ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo anthony komu amesema eneo la bonde la kihansi ni kubwa lakini ni eneo dogo tu lililohifadhiwa hivyo kutoa nafasi kwa wananchi kufanya kilimo kinachoharibu vyanzo vya maji naye mbunge wa viti maalumu mkoa wa tabora bi hawa mwaifunga amesema ziara hiyo imemuongezea uelewa na umuhimu wa kuhifadhi mazingira na utunzaji vyanzo vya maji kwani kabla alikuwa anasikia tu kama hadithi awali akitoa historia ya bonde hilo lenye utajiri wa viumbehai adimu mratibu wa mradi huo bi amina kibola amezishukuru taasisi mbalimbali za serikali zikiwemo tawiri vyuo vikuu vya sua na udsm kwa kushirkiana na ofisi ya makamu wa rais kuhakikisha ustawi wa mradi wa kihansi kwa muda mrefu sasa nemc imekuwa mstari wa mbele kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali na wadau wengine kuhakikisha vyura wa kihansi ambao walikuwa hatarini kupotea kutokana na shughuli za kibinadamu wanakuwa salama na kurudi katika mazingira ya asili ya bonde hilo
2018-02-18T22:03:42
http://startv.co.tz/kitaifa/246-watanzania-waombwa-kushiriki-katika-utunzajia-wa-vyanzo-vya-maji-na-uhifadhi-wa-mazingira
zitto hana mpango na chadema msase november 6 2017 patrick habari 0 msemaji wa chama cha act wazalendo addo shaibu amesema kiongozi wa chama hicho ambaye pia ni mbunge wa kigoma mjini zitto zuberi kabwe hana mpango kabisa wa kurudi chadema licha ya kuwa na harakati kama zao na kuomba ushirikiano wao addo shaibu ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha east africa breakfast kinachorushwa na east africa radio na kusema kwamba licha sasa hivi act wazalendo kimeamua kuendeshwa kiharakati kama ilivyo chadema na licha ya kutaka kuunganisha nguvu katika baadhi ya mambo ambayo yataupa ushindi upinzani lakini ifahamike kuwa hana mpango wa kurudi huko tunajua kwa nini zitto aliondoka alikuwa na mgogoro na chadema na ndio sababu ya kuanzisha act wakitazama lugha yake kwamba wapinzane tushirikiane wanaona kama lugha yake na chadema imekuwa haina tofauti mazingira ya kisiasa ndio yanalazimika hivyo mambo wanayoyapitia chadema na sisi tunayapitia inalazimisha lugha iwe ya pamoja hatuwezi kuunganisha vyama na nakuhakikishia zitto hana mpango kwa sasa wa kurudi ndani ya chadema amesema addo shaibu hivi karibuni zitto kabwe alisikika akiomba ushirikiano kutoka kwa vyama vya upinzani hususan chadema ili kuweza ksuhinda kwenye chaguzi ndogo ndogo za udiwani zinazokuja na kuibua hisia kuwa huenda chama hicho sasa kinataka kujiunga na chadema kuwa pamoja chadema watia neno jimbo la nyalandu
2017-12-13T20:39:59
http://msase.com/2017/11/06/zitto-hana-mpango-na-chadema/
free thinking badwill ni mfano wa wezimiwa wetu baada ya taasisi ya tupo kula na kuipamba rushuwa (takokuru) kumtia mbaroni mwizimiwa ommy badwill kwa kutaka kupokea rushuwa kijiwe kimekaa kama kamati kusukuti hali ikoje awali kijiwe kilitaka kumjadili ben makapu aliyekuja na mpya kuwaambia mapaparazi mjini arusha wamuache kwani ana matatizo yake hata hivyo badala yake dk mpemba amekuja na mada nyingine ya wezimiwa wetu akiwa amebeba nakala ya gazeti hili analianzisha yakhe mie nchi hii wallahi yanshinda kabla ya kuelezea dukuduku lake dk mbwa mwitu anaingilia dk mbona hueleweki kwani nchi yakushinda kama ilivyomshinda nk miaka saba iliyopita dk mpemba anakatua mic wala siongelei huyu mie naongelea huyu mtuhumiwa mla rushwa aliyepewa kura kumbe ala rushwa ala kumbe kumbe unaongelea huyu mwezimiwa ommy badwill mbona wapo wengi sema mwizi ni yule akamatwaye kwenye tendo dk mbwa mwitu anatongoa dk mipawa hataki kuachwa nyuma anakwanyua mic nkwingwa kumbe hujui kuwa wengi wa waliojaa mjengoni ni wezi wa kawaida sema hawajakamatwa hivi wale walioghushi vyeti vya kitaaluma wadhani nini kama si wezi wa kawaida wanaotumia sifa wasizokuwa nazo kupewa mshiko profesa dk mfilisofe anakwanyua mic kuweka mambo sawa kutokana na utata wa suala hili ambapo wengi wanaona kama ni gereshabwege kumkamata mwizimiwa usemayo dokta mipawa ni kweli wezi wako wengi kuliko huyu badwill kosa lake ni kufichua mchezo mchafu ambao umekuwa ukiendelea kwa miaka mingi nyie mlidhani hii mikataba ya kijambazi inasainiwa bure wanaofanya hivyo si kwamba ni wajinga bali waroho ambao wamegeuka wapumbavu kutokana na kutumia matumbo kufikiri badala ya vichwa kabla ya kuendelea dk maneno anachapia profesa dokta mfilosofe usiogope sema wanatumia masaburi kufikiri kama yule jamaa wa site anayetumia masaburi kufikiri hadi anaigawa udau na mzee mkaidi lion dk mipawa hapa umetoa bonge la pwenti maana kama tutachunguza vipato vya hawa jamaa wengi wataishia gerezani kama siyo geresha ya takokuru hivi mtu kama ewassa analipwa marupurupu ya ustaafu upi wakati aliiingiza kaya kwenye balaa kutokana na richmonduli yake tulisahau kuwajulisha kuwa kijiwe kimetembelewa na wageni toka mjengoni ambao ni livingjiwe lushindo aka bwana matusi sofi lion tutajitahidi kila kikao tukaribishe baadhi ya watendaji au wahusika lau kwa dakika chache tusikie mawazo yao hivyo naona nao wanapaki mashangungu yao na kutia guu baada ya kushuka na kukaa kwenye benchi profesa dk mfilosofe anawapa brifingi ya kilichokuwa kikiendelea anaanza wapendwa wageni wetu wezimiwa na mafisi sorry mafisadi sorry mashufaa tulikuwa tukijadili jinsi mwenzenu alivyonyakwa na takokuru akivuta njuluku za rushuwa je mna msimamo gani sofi anadaka mic hata kabla ya profesa dk mfilosofe hajamaliza kwanza wewe huna adabu unawezaje kutuita sisi wezimiwa badala ya waheshimiwa mafisi na mafisadi wakati ni viongozi wako kabla ya kuendelea lushindo anamwingilia hawa ni matokeo ya makosa tuliyofanya kuwaruhusu kuwa na uhuru wa kusema ila mkiendelea hivi mjue askari magereza watawachanja chale kwenye makalio yenu ili mshike adabu hamtachanjwa kwa nia ya kugangwa bali kufundishwa adabu na huko hakuna huruma ya profesa maji mafupi huku povu likimtoka anaendelea wewe unayeitwa msomi usijifanye mtoto wa mjini hujui kitu sisi tumeishafanya kila kitu hapa mjini hadi magerezani tumeishafanyiwa kila mchezo mchafu amini akiwa anapokoma kila mtu anaanza kuguna kwa kinyaa na aibu kugundua kuwa jamaa ni mtoto si riziki anayekiri mwenyewe hadharani kufanyiwa mchezo mchafu profesa dk mgosi machungi anaamua kuokoa jahazi wagosi tikubaiane timekuja hapa kuongeea wizi wa badwill na takokuru mambo ya mmeishafiwa astaghafiiai kawambie wake zenu kama huna mke kwambie mwenzie sofi changubaka maana yeye ni open cheque baada ya livingjiwe lushindo na sofi changubaka lion kuona mambo yamekuwa magumu waliamua kutoka mkuku kupanda mashumbwengu yao huku tukiwazomea na kuwarushia viatu kama siyo dk mpemba kuingilia kati nilitaka niamke na kunyonga mtu hadharani bahati yao dk mpemba alinizuia na ninamheshimu baada ya hao wajalaana kuishia tuliendelea na kijiwe kama kawa profesa dk mfilosofe aliendelea kutoa dozi nimewashika pabaya kiasi cha kuongea kimasaburisaburi anyway hayo tuyaache kimsingi ni kwamba hiki kilichofanyika yaweza kuwa vita mitandao maana yake nini ni kwamba wengi japo si wote wanakula rushuwa na hawakamatwi kutokana na ukweli kuwa katika kaya hii hakuna walarushuwa kama takokuru wenyewe ukitaka kujua nimaanishacho kaangalie mimali waliyojirundikia kwani hatuwajui wakati tukiwa tunatafakari pwenti za profesa mfilosofe dk mchunguliaji ambaye alikuwa hajalonga muda mrefu alikwanyua mic mambo yote tisa kumi ni pale badwill angekuwa mbunge wa upingaji kile kijimama cha makidamakida kingekuwa kimeishapitisha hukumu ya kumvua ubunge kwa vile kobe wote wana magamba ni kobe gani atamvua gamba mwenzake wakati wote wanayo hata hao vihiyo na vilaza waliojazana mjengoni wanalindwa na kuwa wanachama wa magamba wangekuwa wa magwanda wangeishatimuliwa zamani gani hukusikia juzi nepi mapepe pale janguani akiwafunga kamba watu kuwa watamshughulikia kwa vile amefichua siri kubwa ya chama cha magamba alidakia dk meneno hapa hakuna cha kumshughulikia kama waliwashindwa akina endelea chenga mustaafu mkulu na majambawazi wengine tunaowajua waliokwiba mabilioni huyu watakuwa wanamwonea kwa vile huenda yuko kwenye mtandao tofauti na wakuu aliongezea dk mipawa nami sikuona haja ya kujivunga nilikwea mic na kusema mnakumbuka daudi kafulia aliwaambia huyu jamaa na wenzake walivyo vibaka wakamtumia yule mtoto si so jimmy kumbatia kutaka kumtimua ingawa naye alikuwa na tamaa zake za kisiasa tukiwa tunaendelea kutongoa mistari si yule mara tukaona minjago inakuja kwetu kututimua wakidhani kuwa sisi ni wanauamsho tulikimbiaje chanzotanzania daima juni 13 2012
2017-03-27T10:40:09
http://mpayukaji.blogspot.com/2012/06/badwill-ni-mfano-wa-wezimiwa-wetu.html
balozi wa ujerumani kajisikiake na hotuba hii ya jkuhuru jamiiforums balozi wa ujerumani kajisikiake na hotuba hii ya jkuhuru thread starter ferreg akiwa ktk maazimisho ya uhuru uwanja wa uhuru kikwete alimsema vibaya sana hitrer ambaye amekuwa ni mfano wa kuigwa nchini ujerumani kwa maana ya real model kwanini rais wetu anapotoka hivi ni kwa nini anajiingiza ktk ujinga huu jamani tutafakari kwa kina hitler na nazi party yake wanakuwa condemned dunia nzima kwa sbb ya sera zao za kibaguzi dhidi ya jamii nyingine sawa alifanya mazuri kwa ujerumani lakini mabaya yalikuwa mwngi na hayakukubali na hayakubaliki dunia ya leohe was a dictator wewe ndio umepotokana wewe ndio mjinga kwa kusapoyo nazism and dictatorship shule haijakusaidia mkuu 43029 18090 280 hitrer 5559 2919 280 aliyafanya hayo ili taifa la ujerumani liwe imara na ligopwe kiuchumi na kijeshi hitler alikuwa shujaa tuachane na propaganda za waingereza na wamarekani hajui hata kuandika hitler huyu jamaa ni kilaza ndio nimesema kuna mazuri ameyafanya lakini ubaguzi aliokuwa nao unamfanya asiwe mfano wa kuigwa sio kubagua tu hadi kusababisha mauaji(achana na holocoust idea yake ya kutaka kutawala ulimwengu kulisbbsha tuingie kweny vita ya kwanza ya dunia) pitia kwenye sources mbali mbali ujue sera za nazism 14453 3124 280 hako ka pimbi kanasema ati alikuwa role model ferreg said akiwa ktk maazimisho ya uhuru uwanja wa uhuru kikwete alimsema vibaya sana hitrer ambaye amekuwa ni mfano wa kuigwa nchini ujerumani kwa maana ya real model kwanini rais wetu anapotoka hivi ni kwa nini anajiingiza ktk ujinga huu ungekuwa umesoma mein kampf usingeleta hii thread unashabikia watu usiowajua yaani shule zikifungwa threads 1251598 posts 29777513
2019-01-22T06:08:21
https://www.jamiiforums.com/threads/balozi-wa-ujerumani-kajisikiake-na-hotuba-hii-ya-jk-uhuru.570272/
studyguide for investment valuation by isbn 9781428824553 kununua kitabu vitabu > utafutaji > 9781428824553 vitabu vyote kwa 9781428824553 linganisha kila kutoa isbn 9781428824553 () au 1428824553 katika lugha ya kiingereza rico publications vereinigte staaten von amerika mpya € 3365 + meli € 198 = € 3563(bila wajibu) kutoka kwa muuzaji/antiquarian greatbookprices [56873923] westminster md usa maoni ya muuzaji greatbookprices [56873923] westminster md usa namba ya oda ya jukwaa abebooksde 11459963761 data kutoka 08/14/2014 1820h isbn (kuweka mbadala) 1428824553 9781428824553 isbn 9781428824553 () au 1428824553 katika lugha ya kiingereza academic internet publ 01/07/2014 paperback mpya € 2815 + meli € 299 = € 3114(bila wajibu) kutoka kwa muuzaji/antiquarian paperbackshopus [8408184] secaucus nj usa maoni ya muuzaji paperbackshopus [8408184] secaucus nj usa namba ya oda ya jukwaa abebooksde 3332710600 isbn 9781428824553 () au 1428824553 katika lugha ya kiingereza rico publications vereinigte staaten von amerika paperback mpya € 4486 + meli € 1623 = € 6109(bila wajibu) kutoka kwa muuzaji/antiquarian citi retail [9235530] lowfield heath crawl united kingdom maoni ya muuzaji citi retail [9235530] lowfield heath crawl united kingdom namba ya oda ya jukwaa abebooksde 8972999672 isbn 9781428824553 () au 1428824553 katika lugha ya kiingereza academic internet publishers united states paperback mpya kupata € 3867(bure meli bila wajibu) kutoka kwa muuzaji/antiquarian the book depository [54837791] gloucester uk united kingdom maoni ya muuzaji the book depository [54837791] gloucester uk united kingdom namba ya oda ya jukwaa abebooksde 11684146674 isbn 9781428824553 () au 1428824553 katika lugha ya kiingereza academic internet publishers paperback mpya € 5715 + meli € 355 = € 6070(bila wajibu) namba ya oda ya jukwaa abebooksde 10798480067 data kutoka 07/13/2015 1209h kupata vitabu vyote inapatikana kwa namba yako isbn 9781428824553 linganisha bei haraka na kwa urahisi na kuagiza mara moja inapatikana nadra vitabu vitabu kutumika na mkono wa pili vitabu vya kichwa studyguide for investment valuation by isbn 9780471414902 kutoka cram101 textbook reviews aswath damodaran zimeorodheshwa kabisa
2018-07-21T13:52:26
https://ke-sw.diebuchsuche.com/vitabu-isbn-9781428824553.html
gutter cleaning in elbe wa | call 8442446240 gutter cleaning in elbe wa full gutters can also greatly alter the appearance of your home's exterior and make it an eyesore clogged gutters can even sprout weeds if you don't want to deal with these consequences hiring gutter cleaning guys gutter cleaning company in elbe wa is a great idea you won't have to get your hands dirty and you can count on the gutter cleaning experts to get rid of all the excess dirt and leaves that are clogging up your gutter cleaning your gutters with gutter cleaning guys in elbe wa for gutter cleaning in elbe wa call gutter cleaning guys on 8442446240 home » wa » gutter cleaning in elbe adna wa anderson island wa ashford wa auburn wa black diamond wa bucoda wa burton wa camp murray wa carbonado wa centralia wa cinebar wa dupont wa east olympia wa eatonville wa enumclaw wa fox island wa goose prairie wa graham wa hobart wa kapowsin wa la grande wa lacey wa lakebay wa longmire wa mckenna wa milton wa mineral wa morton wa mossyrock wa olalla wa olympia wa orting wa pacific wa packwood wa puyallup wa rainier wa randle wa redondo wa rochester wa roy wa salkum wa seahurst wa silverlake wa spanaway wa steilacoom wa tacoma wa toledo wa tumwater wa wilkeson wa yelm wa 98330 98047 98558 98576 98580 98010 98540 98013 98503 98355 98531 98649 98585 98929 98387 98356 98398 98565 98304 98001 98333 98430 98022 98533 98303 98596 98360 98522 98328 98055 98352 98025 98597 98589 98359 98348 98323 98530 98570 98438 98395 98582 98579 98344 98354 98051 98371 98327 98385 98397 98349 98338 98593 98062 98031 98564 98321 98439 98377 98336 98467 gutter cleaning experts in elbe wa
2019-01-21T21:38:49
http://www.guttercleaningguys.com/wa/gutter-cleaning-in-elbe/
misa tanzania yawanoa wanahabari kanda ya kaskazini juu ya sheria mpya ya huduma za habari | mtaa kwa mtaa blog misa tanzania yawanoa wanahabari kanda ya kaskazini juu ya sheria mpya ya huduma za habari afisa habari na utafiti wa taasisi ya vyombo vya habari kusini mwa afrika tawi la tanzania (misatan) sengiyumva gasirigwa akizungumza na waandishi wa habari wa kanda ya kaskazini juu ya sheria mpya ya huduma ya habari leo kwenye mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya impala jijini arusha baadhi ya wanahabari kutoka mikoa ya tanga arusha manyara na kilimanjaro wakishiriki katika warsha hiyo inayofanyika katika hoteli ya impala jijini arusha baadhi ya wanahabari wanaoshiriki warsha hiyo picha na dixon busagaga
2017-12-11T02:07:40
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/04/misa-tanzania-yawanoa-wanahabari-kanda.html
neno la mungu humwongoza mtu kuishi maisha mapya | maisha yetu ya kanisa yanapendeza sana | kanisa la mwenyezi mungu gawa 134 worship and praise dance | wale wanaompenda mungu kwa dhati wote ni watu waaminifu | the kingdom of christ is paradise for the honest (swahili subtitles) swahili gospel song video shukrani na sifa kwa mwenyezi mungu | god guided me to a new life swahili worship song unapoufungua moyo wako kwa mungu | seeing the love of god new swahili gospel worship song mpenzi wangu tafadhali nisubiri | kukaa katika upendo wa bwana best swahili gospel worship song njoo mbele ya mungu mara kwa mara | uso kwa uso na mungu wimbo wa sifa upendo wa kweli wa mungu | haleluya msifuni mungu (korean song swahili subtitle) 2018 best african worship song miaka elfu mbili ya kungoja | karibu kurudi kwa bwana yesu neno la mungu humwongoza mtu kuishi maisha mapya | maisha yetu ya kanisa yanapendeza sana upendo wa mungu huushinda moyo wa mwanadamu | wimbo wa kifuasi cha dhati (video rasmi ya muziki) maisha mapya katika ufalme papa hapa hivi sasa tuungane pamoja (video rasmi ya muziki) mfululizo wa video za muziki 501 maisha yetu ya kanisa yanapendeza sana mwenyezi mungu mwenye mwili tunaimba nyimbo za sifa kubwa kwako wewe hutuleta katika maisha ya ufalme sisi watu wa ufalme tu katika karamu yako ya fahari tukifurahia maneno yako tukitakaswa upotovu wetu neno lako hutuongoza na sisi kukufuata kwa karibu ni neema ya mungu kwamba tabia yetu ya kishetani imetupiliwa mbali sisi hufurahia neno la mungu na kuishi maisha mapya mbele zake kutunza moyo wa mungu kumpenda yeye kwa dhati kumshukuru na kumsifu kumini kwamba neno la mungu ni ukweli na linaweza kutupa maisha sisi hufanya ushirika kuhusu neno la mungu na kuuelewa ukweli na roho mtakatifu akifanya kazi juu yetu twajimimina mbali sisi wenyewe kuwa sahili na wazi na kufanya mazoezi ya kuwa mtu mwaminifu ukweli hutufanya kuwa walioachiliwa na huru ukijaza moyo wetu na furaha maisha yetu ya kanisa yanapendeza sana na watakatifu wote wamekuwa hai sisi hufanya ushirika juu ya ukweli na kusaidiana na maisha yetu hukua kwa kasi kukubali hukumu kutenda ukweli na kuishi katika neno la mungu ishi kwa kudhihirisha uhalisi wa ukweli kutosheleza moyo wa mungu sisi ndugu huratibu kwa mpangilio na sote tuna furaha sisi huwasilishiana maneno ya mungu na kushiriki matukio tukitekeleza majukumu yetu kwa uratibu kutii kweli kuingia uhalisi na kumfanya mungu aridhike kuishi katika upendo wa mungu sisi humsifu mungu milele
2018-12-15T23:00:59
https://sw.godfootsteps.org/videos/our-church-life-is-so-lovely-mv.html
wazazi wa kenya kinacho wafanya wajulikane zaidi | africaparent wazazi wa kenya ni baadhi ya wazazi wanao kuwa makini zaidi na ulezi bora kuna baadhi ya mambo ambayo haya kubaliki kamwe kama vile kuingia nyumbani usiku ama kuto soma kwa bidii mambo unayo weza kujihusisha nayo ukiwa na wazazi wa kenya wazazi ni watu wa maana maishani mwetu kama umebarikiwa kuwa na mzazi mmoja ama wote wawili shukuru maulana kwa wale waliowapoteza wazazi wao pokea rambi rambi unaweza kuongea na kuomba ushauri kutoka kwa mzazi wako ama mlinzi wako unapotatizika maishani wanakupa moyo unapo patana na matatizo maishani juma alizaliwa nchini kenya na kulelewa mji wa mombasa alipofika umri wa miaka 10 darasa la tano alianza kumea pembe na kuwa mgumu alianza kukosa kwenda shule siku zote punde tu wazazi wake walipo enda kazini alirudi kitandani na kuendelea kulala jambo hili liliendelea kwa muda hadi walimu wake walipo anza kushangaza kinacho endelea alikua ameanza kufeli mtihani na hapo awali alikuwa analiongoza darasa lake walimu walimpigia mamake rununu na kumwuliza kinacho endelea kwani mtoto wake haendi shuleni mamake juma alipigwa na butwaa kwani wakati huu wote alidhani mwanawe anajiunga na darasa kama wanafunzi wengine alimpigia bwanake simu na kumjulisha lililo kuwa likiendelea walimwadhibu juma aliye waeleza kuwa alikua anakosa kwenda darasani ili aende bichi siku iliyo fuata alirudishwa shuleni na wazazi wake na kuadhibiwa na walimu kwa kukosa kuenda shuleni tutayaangazia baadhi ya mambo ambayo unaweza kujihusisha nayo ukiwa na wazazi wa kenya masomo ni muhimu ukiwa na wazazi wa kenya hakuna kujadili kuhusu umuhimu wa masomo unapaswa kwenda shuleni na kujitahidi ukiwa mchanga kuna uwezekano hautapenda shule sana na utahitaji msukumo kutoka kwa mzazi ili uende shuleni katika nchi zingine una pewa mawaidha ya umuhimu wa kusoma ila nchini kenya unachapwa viboko ili uone umuhimu wa kusoma unapelekwa shuleni kwa lazima wanaamini kuwa bila masomo hauna maisha mema pia wazazi wengine hawakufika kiwango cha juu cha masomo kwa hivyo wana kuadhibu ili uende shuleni na ujitahidi upate kiwango cha juu cha masomo kuingia kwa nyumba kabla ya saa moja usiku maadili ni jambo ambalo wazazi wengi wa kenya wanafuatilia wana imani kuwa ifikapo saa moja jioni unapaswa kuwa kwa nyumba kuwa nje wasaa huu ni ishara kuwa umekomaa na umeanza kupotoka ki maadili pia wana amini kuwa unaji husisha na mambo mabaya wakati wa hapo zamani ungefika kwa nyumba usiku ukiwa msichana ungefukuzwa ama kuadhibiwa pia wazazi wangekupeleka kwa babu na nyanya yako ili upewe ushauri kuwatii wazazi wako unapo tumwa wazazi wana tarajia utaenda uliko ambiwa uende hata kama ulikuwa na jambo lingine ulikuwa unafanya wanatarajia utaacha uliyo kuwa uki yafanya na ufuate maagizo yako kukawia sana kabla ya kufanya ulicho ambiwa ni ishara kuwa umeanza kumea pembe na hufuati wazazi wako kuamka mapema kufanya kazi za nyumba wazazi wa kenya wanapenda kutumia maneno ya kejeli unapo lala sana kama vile kiongozi ame amka hii ni kukukejeli kama njia ya kuonyesha ulicho fanya si sawa una stahili kuamka mapema kutayarisha kiamsha kinywa ama kusaidia kufanya kazi zingine za nyumba kama vile kuosha nyumba kuosha vyombo kupika chai na kadhalika kuamka ukiwa umechelewa haikubaliki kujitahidi maishani jitahada ni muhimu maishani ukiwa na wazazi wa kenya unajua kuwa jambo lingine la kufanya ila kutia bidii katika mambo unayo yafanya wana sisitiza jambo hili kutoka umri mchanga wanakupea kazi za nyumba unazo faa kumaliza kwa muda walio kwambia pia unakua ukijua kuwa usipo jitahidi na kufanya kazi hautapata lishe jambo hili lina kufanya kutia bidii ile upate chakula siku hiyo kukuwa na maadili haya wanasaidia kutoa uzembe maishani unajua kuwa hakuna mtu atakaye kuokoa maishani mbali ni bidii yako itakayo kupa maisha bora na kukusaidia kupata vitu vyote unavyo vitamani maishani kutoka ukiwa na umri mdogo unafunzwa kugawa vitu ulivyo navyo na marafiki na watoto wengine walioko karibu nawe vitu kama chakula peremende ni vibaya mzazi akikuona ukikula peremende peke yako na aliye karibu nawe hana wana weza kuadhibu kwani huko ni kujipenda na kuto jali masilahi ya mwenzako unapaswa kuwapenda walio karibu yako na kuwagawai vitu ulivyo navyo hii imesaidia kusisitiza umuhimu wa kuwapenda jirani kuwajalia mema na kuwatunza hayo ni baadhi ya mambo unayo weza kuelewa ukiwa mtoto wa mzazi wa kenya ni maadili haya yanayo wasaidia watoto wao kuwa bora kwa jamii read also hospitality 10 bora za kujifungua nchini kenya tafadhali nakuomba usimbusu mtoto wangu akiwa angali mchanga
2020-01-25T14:17:14
https://www.africaparent.com/wazazi-wa-kenya/65092852_324869118430610_580715157928280064_n-3
mabango yenye uso wa rihanna uliojeruhiwa mwaka 2009 yatumika kuipinga show ya chriss brown huko sweden | ubuyu mabango yenye uso wa rihanna uliojeruhiwa mwaka 2009 yatumika kuipinga show ya chriss brown huko sweden rihanna anaweza kuwa ameshamsamehe chris brown kwa kumpiga miaka mitatu iliyopita lakini kuna watu mjini stockholm sweden bado hawajamsamehe kwa mujibu wa website moja ya nchini sweden alour se mabango yenye picha ya mpenzi wake wa zamani na chris zinazoonesha alivyojeruhiwa usoni kutokana na kipigo hicho yamebandikwa kwenye mitaa kadhaa mjini humo kupinga show yake ya november 19 chris bado yupo kwenye probation kwa miaka miwili mingine kutokana na kumpiga vibaya rihanna mwaka 2009 chris na rihanna hivi karibuni wamerudisha urafiki wao kiasi cha breezy kumpiga chini mpenzi wake karrueche tran ili tu kuwa karibu na muimbaji huyo wa diamonds kwa mujibu wa interview ya hivi karibuni kupitia facebook live chat na andy cohen rihanna alisema hana uhusiano wa kimapenzi na chris chriss brown
2017-02-22T19:55:24
http://www.ubuyublog.com/2012/11/mabango-yenye-uso-wa-rihanna.html
hafla ya kuapishwa kwa wajumbe wa baraza la tisa la wawakilishi zanzibar | jestina george home / news / hafla ya kuapishwa kwa wajumbe wa baraza la tisa la wawakilishi zanzibar hafla ya kuapishwa kwa wajumbe wa baraza la tisa la wawakilishi zanzibar spika wa baraza loa wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid akitowa maelezo kwa wajumbe wateuli kwa ajili ya kuanza kula kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi baada ya kuanza kwa baraza hilo waheshimiwa wakimsikiliza spika wa baraza la wawakilishi kabla ya kuaza zoezi la kuapishwa wajumbe wa baraza kwa ajili ya kuaza kazi yao waliotumwa na wananchi kuwawakilisha wakwanza mhe rashid ali abdalla jimbo la amani na mhe mihayo juma n'hunga jimbo la dole wajumbe wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa baraza wakifuatilia utaratibu wa kuaza zoezi la kuapishwawakwanza mhe amina iddi mabrouk (viti vya wanawake) mhe nadirabdullatif yussuf (jussab) mwakilishi wa chaani na mhe abdalla maulid diwani wa jimbo la jangombe waheshimiwa viti vya wanawake wakifuatilia zoezi hilo wakati wakimsikiliza spika akitowa maelezo ya utaratibu wa kuapishwa waheshimiwa wakiwa ukumbi wa mkutano wa baraza wakimsikiliza spika mhe zuberi ali maulid spika wa baraza la wawakilishi zanzibar akimuapisha mwakilishi wa jimbo la mahonda mhe balozi seif ali iddi akishuhudia katibu wa baraza la wawakilishi zanzibar dk yahya khamis hamad spika mhe zuberi ali maulid akimkabidhi nyezo za kufanyika kazi katiba ya zanzibar katiba ya tanzania na kanuni ya baraza la wawakilishi mhe balozi seif ali iddi baada ya kula kiapo ya utii cha baraza la wawakilishi mwakilishi wa jimbo la mwanakwerekwe zanzibar mhe abdalla ali kombo akiapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mwanasheria mkuu wa serikali zanzibar mhe said hassan said akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishin zanzibar mwakilishi wa jimbo la jangombe zanzibar mhe abdalla maulid diwani akiapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi mhe zuberi ali maulid mhe ali khamis bakar akiapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa jimbo la kwahani zanzibar mhe ali salum haji akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zubri ali maulid na katibu wa baraza dk yahya khamis hamad mwakilishi wa jimbo la kijitoupele zanzibar mhe ali suleiman ali (shihata) akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa nungwi zanzibar mhe ame haji ali akila kiapo mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa viti vya wanawake mhe amani iddi mbarouk akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar wakati wa zoezi hilo la kuapishwa wajumbe wa baraza kwa ajili ya kuaza kazi rasmin mwakilishi wa viti vya wanawake mhe asha abdalla mussa akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mbele ya spika wa baraza la wawakilishi mhe zuberi ali maulid na katibu wa baraza dk yahya khamis hamad mwakilishi wa viti vya wanawakake mhe bahati khamis kombo akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa nafasi za wanawake mhe bihindi hamad khamis akiapa mbele ya spika wa baraza la wawakiolishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mhe chum kombo khamis mwakilishi kupitia viti vya wanawake akitia saini hati yake ya kiapo baada ya kuapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa jimbo la tumbatu zanzibar mhe haji omar kheri akila kiapo mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mjumbe wa baraza la wawakilishi mhe hamad abdalla rashid akila kiapo mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mjumbe wa baraza la wawakilishi kupitia nafasi za wanawake mhe hamida abdalla issa akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa jimbo la kwamtipura zanzibar mhe hamza hassan juma akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mhe haroun ali suleiman wa jimbo la makunduchi zanzibar akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mjumbe wa baraza la wawakilishi mhe harusi said suleiman akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa jimbo la welezo zanzibar mhe hassan khamis hafidh akila kiapo cha baraza la wawakilishi zanzibar mbele ya mhe sipa wa baraza la wawakilishi zuberi ali maulid na katibu wa baraza dk yahya khamis hamad mwakilishi wa baraza la wawakilishi kupita nafasi za wanawake hidaya ali makame akila kiapo chake mbele ya spika wa baraza la wawakilishi mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa jimbo la mtoni zanzibar mhe hussein ibrahim makungu akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mbele ya spika wa baraza mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa jimbo la chwaka zanzibar mhe issa haji ussi (gavu) akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi wakati wa zoezi la kuapishwa wawakilishi wapya wa baraza la tisa la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa jimbo la muyuni zanzibar mhe jaku hashim ayoub akitia saini hati yake ya kiapo baada ya kuapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid na katibu wa baraza dk yahya khamis hamad mjumbe wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe juma makungu juma akila kiapo mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mjumbe wa baraza la wawakilishi kupitia nafasi za wanawake mhe khadija omar kibano akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa jimbo la malindi zanzibar mhe mohammed ahmada salum akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid na katibu wa baraza dk yahya khamis hamad mwakilishi wa jimbo la mpendae zanzibar mhe mohammed said mohammed dimwa akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mbele ya mhe spika zuberi ali maulid mjumbe wa baraza la wawakilishi kupitia nafasi za wanawake mtumwa suleiman makame akila kiapo chake cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mhe mussa ali mussa akilia kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mjumbe wa baraza la wawakilishi mhe mussa foum mussa akila kiapo cha utii mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa nafasi za wanawake mhe mwanaasha khamis juma akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi kupitia nafasi za wanawake mhe mwanaidi kassim mussa akila kiapo cha utii mjumbe wa wawakilishi kupitia nafasi za watu wenye ulemavu mhe mwantatu mbaraka khamis akiapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mwakilishi jimbo la dimani zanzibar dk mwinyihaji makame mwadini akila kiapo cha baraza la wawakilishi mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa jimbo la chaani zanzibar mhe nadir abdullatif yussuf (jussab) akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar wakati wa zoezi hilo la kuapishwa wajumbe wapya wa baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa jimbo la kikwajuni zanzibar mhe nassor salim ali jazira akiapo mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mhe omar sheif abeid akiapa mbele ya spika wa baraza la wawakilishi zanzibar mhe zuberi ali maulid mwakilishi wa viti vya wanawake mhe panya ali abdalla akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi zanzibar mwakilishi wa jimbo la amani zanzibar mhe rashid ali juma akila kiapo cha utii cha baraza la wawakilishi mbele ya spika wa baraza la wawakilishi mhe zuberi ali maulid
2018-12-11T14:15:39
http://www.jestina-george.com/2016/04/hafla-ya-kuapishwa-kwa-wajumbe-wa.html
imechapishwa mon sep 4th 2017 kimataifa / siasa / slideshow | na mtanzania digital raila hatuko tayari kugawana madaraka na wezi kiongozi wa upinzani nchini kenya raila odinga amesema muungano wake wa nasa hautagawana madaraka na aliowaita wezi siku mbili baada ya mahakama ya juu kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais wa mwezi uliopita uchaguzi mpya utaitishwa ndani ya siku 60 tangu kutolewa kwa uamuzi huo wa mahakama raila alikuwa akipuuza madai yaliyotolewa na rais uhuru kenyatta na naibu wake william ruto kuwa amelenga kushinikiza kuundwa kwa serikali ya ushirika tunataka serikali nzima tutashinda uchaguzi wa rais na tutashinda mapema hatuwezi kugawana madaraka na wezi kenyatta achana na wakenya alisema katika mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya masinde muliro huko mathare jana katika mkutano huo raila alisindikizwa na mgombea wake mwenza kalonzo musyoka kiongozi wa chama cha anc musalia mudavadi na seneta wa bungoma moses wetangula raila ambaye pia aliwania urais mwaka 1997 2007 na 2013 bila mafanikio alirudia kauli yake kuwa baada ya uamuzi wa mahakama hawatashiriki uchaguzi wa marudio bila makamishna wapya wa tume huru ya uchaguzi na mipaka (iebc) ijumaa alitoa wito kwa makamishna wa iebc kujiuzulu na kushtakiwa mahakamani kwa uhalifu na kusababisha hasara kwa taifa hata hivyo kenyatta kwa upande wake amesisitiza uchaguzi ufanyike chini ya tume ile ile vinginevyo mahakama ya juu nayo ivunjwe kwa kile alichodai kuwa ya kihalifu ijapokuwa kenyatta aliahidi kuheshimu uamuzi wa mahakama licha ya kutokubaliana nao amekuwa akiishambulia huku akiwaita majaji kuwa ni wakora aidha wakati akihutubia mkutano katika kaunti ya nakuru juzi alisema raila anafahamu atashindwa vibaya hivyo anachotafuta sasa ni kuingia madarakani kwa mlango wa nyuma kabla ya kusafiri kwenda nakuru awali kenyatta alihutubia mkutano wa magavana maseneta wawakilishi wanawake na madiwani waliochaguliwa kwa tiketi ya chama chake cha jubilee ikulu mjini hapa katika mkutano huo alisisitiza kutokubaliana na hukumu hiyo akitolea mfano kuwa wingi wa viongozi hao wa kuchaguliwa kupitia chama chake ni ushahidi tosha kuwa alishinda uchaguzi wa agosti 8 hii mahakama imekula njama na watu hawa ambao hawana nia na uchaguzi wanachotaka si kingine zaidi nusu mkate alisema akimaanisha serikali ya ushirika aidha alitangaza kuwa timu yake haina muda wa kupoteza bali kuendelea na kampeni nchi nzima uamuzi wa mahakama ya juu wa ijumaa iliyopita kwamba iebc ilifanya madudu ulibatilisha ushindi wa rais kenyatta ambao ulihusisha pengo la kura milioni 14 dhidi ya raila hukumu hiyo inaanzisha mchuano mpya baina ya kenyatta (55) na mwanasiasa mkongwe raila (72) na shinikizo baina ya pande mbili limeshaanza kupanda
2018-06-18T01:36:24
http://mtanzania.co.tz/raila-hatuko-tayari-kugawana-madaraka-na-wezi/
michuzi blog michuzi tv rais dkt magufuli alipopokea ripoti ya pili ya kamati ya uchunguzi wa makinikia ' if(imglength>=1) { imgtag = ' michuzi tv rais dkt magufuli alipopokea ripoti ya pili ya kamati ya uchunguzi wa makinikia
2018-01-16T09:15:46
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/06/michuzi-tv-rais-dkt-magufuli-apokea_12.html
mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan online kucheza kwa huru mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan unachezwa 2246 kucheza mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan online maelezo ya mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan megan kuzaliwa na mama yake mpendwa aliamua kutibu binti yangu yeye kununuliwa yake mengi ya nguo mpya badala yake jaribu juu yake kucheza mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan online kiufundi na tabia ya mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan aliongeza 10022012 mchezo unachezwa 2246 mara michezo kama mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan mapishi mama unaua uturuki fairy mama amd binti mama gorgeous kuwa vijana mama mama super mavazi mama tamu mavazi mama mbwa kwenda shule na mama download mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan embed mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan katika tovuti yako zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan kuingiza mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo zawadi kutoka kwa mama yangu kwa megan pia alicheza katika mchezo
2018-04-26T03:33:20
http://sw.itsmygame.org/999969938/gift-for-megan-from-a-mother_online-game.html
'nilihofia mugabe angeuawa kama gaddafi' msaidizi wake asema image captionmsemaji wa zamani wa robert mugabe amesema kiongozi huyo wa zamani alitaka kuondoka madarakani kwa masharti yake msemaji wa rais wa zamani wa zimbabwe robert mugabe amesema alikuwa na wasiwasi kwamba raia nchini humo wangemburura na kumuua kiongozi huyo kama ilivyotokea nchini libya wakati wa wiki ya mwisho madarakani bw mugabe alikuwa amewekwa kwenye kizuizi kwake nyumbani baada ya jeshi kuchukua udhibiti wa serikali baadaye aliondolewa kikamilifu kutoka madarakani nilianza kufikiria picha sawa na za muammar gaddafi george charamba ambaye ni msemaji wa zamani wa bw mugabe amesema alikuwa anazungumza na tovuti ya kibinafsi nchini zimbabwe ya daily news 'mamba' aliyegeuka kumuuma mugabe huku akikumbuka siku za mwisho za utawala wa mugabe wa miaka 37 charamba anasema kiongozi huyo wa miaka 93 alitaka kuondoka madarakani kwa masharti yake na kwamba alikuwa ametahadharishwa kuhusu hatari iliyokuwepo baada ya jeshi kuchukua udhibiti wa nchi na maandamano kuzuka mugabe alipokuwa anazuiliwa katika makao yake ya kifahari ya blue roof mazungumzo kuhusu mustakabali wake yalikuwa yanafanyika kati ya majenerali makasisi wa kanisa katoliki wasaidizi wake wa kisiasa na wajumbe kutoka afrika kusini bw charamba anasema maafisa wa jeshi waliwafahamisha kwamba maelfu ya waandamanaji waliokuwa wanamtaka mugabe angejiuzulu kulikuwa na uwezekano wangetaka kumfikia mugabe binafsi ingewezekana kwa sababu wanajeshi hao walitwambia 'hatuwezi kuwafyatulia risasi raia ambao wanaandamana dhidi ya rais na kummwaga damu charamba amenukuliwa na tovuti ya daily news kiongozi wa zamani wa libya muammar gaddafi alikamatwa na kisha kuuawa mwaka 2011 baada ya maandamano na maasi ambayo yalifikisha kikomo utawala wake wa miongo minne
2018-05-22T15:16:31
http://richard-mwaikenda.blogspot.in/2018/01/nilihofia-mugabe-angeuawa-kama-gaddafi.html
bahati nzuri habari hii ilitoka wakati wa ziara yao mkoani tabora watu wa tabora walitumia fursa hii kumtumia salamu rais jakaya kikwete kupitia kwa kinana wakitaka atimize ahadi yake ya kujenga bomba la maji toka ziwa nyanza nadhani wangemwendea angesema hakuna fedha ya kufanya hivyo wakati serikali yake ikisifika kwa upuuzi wa kuacha wageni waje wachote na kwenda kujitajirisha wao na nchi zao wakati watu wetu na taifa letu wakiendelea kutopea kwenye umaskini wa kutengenezwa na watawala wavivu wa kufikiri kama aliyeanzisha msemo huu kujitoa kimasomaso na kukwepa uwajibikaji kinana aliwarushia lawama viongozi wa afya akisema viongozi hawa ni wazembe wamangimeza na warasimu wanaokwamisha maendeleo ya wananchi nakwenda kushikana nao mashati ni lazima wasajili zahanati hizo ama kweli nyani haoni nonihino lake kuna wazembe kama viongozi wa juu wa taifa wanaoruhusu uchumi wetu kunufaisha majambazi wa kimataifa wanaoshirikiana nao sikutegemea lolote toka kwa kikwete kwa kujua fika yeye ndiye mzizi wa balaa hili hakuna kilichokera kama kugundua kuwa deni la taifa limeumka huku tukipoteza pesa ambayo ingeweza hata kulilipa tena pesa yenyewe tuliyopoteza ndani ya miaka kumi tu japo nyerere alisema uchumi tunao tumeukalia unaweza kuongeza akili tunazo lakini hatuzitumii na kama tunazitumia basi ni vibaya na mbaya jiulize taifa linapoteza mabilioni kiasi gani kwa kulipa wafanyakazi hewa walioghushi wasiofanya kazi bali kubabaisha na matumizi mengi ya kipumbavu kama ilivyogundulika hivi karibuni ambapo tiketi za ndege za wakubwa kwenda kutanulia nje zililanguliwa mara 16 na serikali ikaendelea na wimbo wake wa kuleta maendeleo kwa watanzania mnaleta maendeleao au maangamio jiulize ni wahalifu kiasi gani toka asia na kwingineko wamegeuza tanzania kichaka cha kufanyia uovu wao mmojawapo wa hivi karibuni ni yule anayejidai kununua iptl wakati ni mwizi wa kawaida jokes aside global financial integrity (gfi) the usbased international financial overseer says in its latest report that from 2002 up till 2011 bongo lost $1873 billion true the hanky panky of losing zillions proves my belief that bongos richer save that its poor bongo or brain if boozers can get a soul to man their affairs with just common sense to think and act sanely chances of forging ahead are big looking at how much boozers lose annually i found that for just ten years they lost more than their internal and external debts put together at the time the current cabal of eaters came to clout i won't wonder to hear that bongos contributing to the economies of india singapore and switzerland hugely while this simian biz goes on boozers head is always globetrotting under the pretext of begging it is only recently boozers discovered that their man doesn't aim at begging but soliciting per diem had they had a sane head he'd have manned the hunk wisely and pay himself even bigger sums than the peanut he gets from per diem given that theres a lack of common sense boozers are making less important things important as important ones are made less important this reminds us of the epic foolish monitor that used to run to the lake to avoid shower or the foolish fish that used to beg for water while it lives in the lake all the same wonder not when you see a guy in an expensive suit kow tow before donors begging while he allows more dosh than he begs to be stashed abroad know somethings wrong upstairs if you wake me up in the middle of the night and ask why bongos a begging hunk ill look in your eyes straight and tell you to go to hell or to go and tell it to the birds bongo is not supposed to languish in begging methinks the reasons what mzee ben makapid call being lazy at thinking something hes good at though he did see it on others he sold everything at a throwaway price what followed is disaster so to speak other crooks came in and finished his job of ruining the hunk evidently you can see it on how all types of criminals thieves and thugs dope peddlers and drug barons became tycoons overnight and nobodys questioning them how many rich thieves do you know that screwed the hunk up to become billionaires rib cracker india this year won a trophy of open defecation not to dig medicine or chimba dawa but just downloading in the bush indias 600 million defecators compared to africa that has more cellphones than toilets for the first time africas beaten in this mess what development in underdevelopment i cant imagine seeing a boozer doing his things in a bush while talking on phone banda reaping what she sowed its obvious that outgoing malawi president joyce hilda mtila bandas poised to lose however when banda took the reins of power after the death of her forerunner bingu wa mutharika as a woman she received a lot of palms not just as a hard worker but just as a woman before banda and her liberian counterpart ellen johnson sirleaf came to power theres a mysticalcummythical belief that female presidents are less corrupt thus having one on the helms might save the country she mans from corruption again after the duo displayed their true selves and the way they run state affairs the belief slowly dissipated banda just like sirleaf didn't bring in any fresh air for the duo proved beyond doubts that corruption knows no sexual characteristics our take on this longstanding racisms triggered by what happened in arusha recently where remandees decided to strip naked protesting the release of two folks dharam patel (26) and nivan patel (20) charged with drugrelated crimes it is sacrilegious to note that such crimes committed by crime stoppers to prove our point apart from using what transpired in arusha recently well adduce more examples to show how racisms been covertly and overtly institutionalized refer to tax holidays many foreign investors enjoy in a begging hunk the minister responsible for revenues has more discretion than he or she needs as if this hunks his or her mothers i've nary heard anywhere the minister of dosh offering any tax reprieve to hoi polloi whats going on does it mean that these overprotected investors are in bed with our biggies so as to be allowed to exploit us and get away with it those thinking im fabricating this should refer to the nowfamous tendency whereby investors change the names of their biz after every five years in order to get more tax holidays you can refer to oftname changers such as sheraton movenpick kempinski and many more as this goes on our paupers are overtaxed so as to feel the pinch as it recently occurred in kibaigwa where coolies decided to square it with their member of parliament job nduguy whom were told narrowly survived a beating from them so too you can refer to how our matching guys aka wamachinga are brutalized by city militia in dar and other cities and town while this is going on particularly in dar indian dukawallahs enjoy maximum protection they pose in their national housing houses and laugh at the exercise of humiliating our jobless youths why harassing chingas while were the ones who created their unnecessary predicaments chingas situation's doom and gloom so to speak what adds up to chingas pangs and twangs is the mantra of saying that our govts there to deliver better life for all whos this all if our matching guys are always crucified as if theyre aliens in their hunk isn't this divide and rule or lugardism as it used to be known at colonial times kwa vile mlevi amekuwa akiwaibia na kuwatapeli walevi hasa wanapompa ofa au kumkopesha asirudishe njuluku basi ataanza kuangua kilio kila akikutana na anayemdai badala ya kumlipa fweza unamlipa fedheha ya michozi kama kinamna badala ya kutatua tatizo ambao kwa mlevi ni deni au kutoa huduma kwa kinamna na sirikali ya rafiki yake unamwaga chozi na wajinga na walevi wanakuamini kuwa unawamaindi wakati unawafool you better fool them before they fool you for if they fool you without fooling them youll end up in trouble like muamar gaddafi they fooled that they used to love while they actually loved to hate him up till they butchered him like kibaka the way they wish they should treat you the one they love to hate and fool that they love kwa unyambilisi wangu hili sitafsiri otherwise mniahidi kuwa mtaacha ukondoo na unjiwa na ukijiko na uupawa kijicho huchota chakula lakini huwa hakili sawa na upawa kondoo hujifanya mtiifu hata kwa mchinjaji wake huku njiwa akijifanya hayamhusu wakati yanamhusu hata hivyo hivi ni vitu na hayawani si walevi wanadamu kama nyinyi ni matusi ya nguoni mwanadamu kutenzwa kama kitu au hayawani kwa vile michozi inalipaningeshauri hata wale mafwisadi papa waliotuhumiwa hivi karibuni kujichotea bilioni 200 kwenye akaunti ya scrow iliyogeuka screw wamwage michozi walevi watawaonea huruma waendelea kutesa na kupiga njuluku nyingine kama hawana akili nzuri hata yule karasinga gabacholi anayejifanya kuinunua iptl wakati ni tapeli wa kawaida akistukiwa anaweza kumwaga chozi na mambo yakaisha au vipi ndugu zangu akina sossie muongo benny ndururu elyakim maswi saada mkuyati na freddie werema mpo yaani mmeamua kufuata nyayo za akina basiri mlamba na david balalii kwa kuchonga epa nyingine siyo huwa najiuliza sipati jibu sijui kamana walevi wote na wadaganyika huwa wanajiuliza swali hili kwani njuluku huwa zinaibwa karibu na kuelekea uchaguzi wa uchafuzi wa uchakachuaji kama hakuna mkono wa nambari wahedi na madingi wake majizi it is too boring to evidence such megalomia every year nawashauri mkipata jukwaa la kujieleza mmwage michozi kama kinamna ili wale mnaowaibia wawaonee huruma na kudhani hamna hatia mara hii mmesahau akina yuda iskarioti walivyomwaga chozi wakati ndiyo hao waliomsaliti mwana wa adamu siyo mwanikumbusha mlevi mmoja aliyefumwa na bi wa mwenyewe tena amekumbatia akamwaga michozi na kudai walikuwa wakionyesha mshikamano
2017-04-28T20:01:09
http://mpayukaji.blogspot.com/2014/05/
kwanza tv page 73 hatuchuji habari marufuku kuwatoa wananchi maeneo ya hifadhi rais magufuli rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe magufuli ameagiza kusitishwa mara moja kwa zoezi la kuviondoa vijiji na vitongoji vinavyodaiwa kuwepo sehemu kubwa ya maisha yake felix tshisekedi yalikuwa yanafunikwa na kivuli cha baba yake etienne kiongozi mkongwe machachari wa upinzani aliyekuwa akiingizwa gerezani na kutolewa kuna haja ya kura kuhesabiwa upya kongo drc taasisi nyingine ya afrika inernational conference of the great lakes region cigrl imeshauri jumatatu kura za uchaguzi wa urais huko jamhuri ya kidemokrasi ya man city yapunguza gepu la pointi dhidi ya liverpool gabriel jesus alifunga mabao mawili na kuwawezesha manchester city kuwalaza wolves mabao 30 na kupunguza uongozi wa liverpool kileleni hadi alama nne city hawakuweza kurejelea watu watatu wamefikishwa mahakamani nchini zimbabwe wakishtakiwa kuiba mkoba uliokuwa na $150000 (£117600) pesa taslimu mali ya rais wa zamani wa taifa hilo robert mugabe mkuu wa wilaya ya hai mkoani kilimanjaro lengai ole sabaya amemnyanganya ofisi ya ubunge mbunge wa jimbo hilo freemani mbowe na kuwapa idara ya uhamiaji mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam inatarajia kuanza kusikiliza ushahidi wa mashahidi 15 katika kesi ya uchochezi na kusababisha chuki ndani ya jamii waziri wa mambo ya nje ya uturuki mevlut cavusoglu amesema nchi hiyo haibabaishwi wala kutiwa kiwewe na kauli ya vitisho vya rais donald trump kwamba mahakama nchini tanzania imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na vyama vya upinzani nchini humo kupinga muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa
2020-07-10T19:54:58
https://kwanzatv.co.tz/page/73/
kuelewa uislamu na waislamu the islamic bulletin uislamu ina maana gani kaba ni nini nguzo tano za uislamu ni gani waislamu wakiomba katika yerusalemu nje dome ya ro ck tu kwa kusema hakuna mungu isipokuwa mungu na muhammad ni mtume wa mungu neno la kiarabu islam linamaanisha kuwasilisha na linatokana na neno linalomaanisha amani katika mazingira ya kidini ina maanisha kuwasilisha kamili na mapenzi ya mungu mohammedanism kwa hivyo si sawa kwa sababu inaonyesha kwamba waislamu wanaabudu muhammad badala ya mungu allah ni jina la kiarabu la mungu ambalo hutumiwa na waarabu waislamu na wakristo pia hapana pamoja na wayahudi wao huenda nyuma hadi kwa nabii na baba abrahamu na manabii wao watatu ni moja kwa moja alishuka kutoka wanawe muhammad kutoka mkubwa ismail na musa na yesu kutoka kwa isaac ibrahimu alianzisha makazi ambayo leo ni mji wa makka na akajenga kaba ambayo ndiyo waislamu wote hugeuka kuangalia wakati wao huwa wanaomba kaba ni mahali pa ibada ambapo mungu aliamuru ibrahim na ismail kujenga zaidi ya miaka elfu nne iliyopita jengo lilijengwa la mawe juu ya kile wengi wanaamini palikuwa tovuti ya awali ya mahali patakatifu palioanzishwa na adam mungu alimshauri ibrahimu kuita watu wote kutembelea mahali hapa na wakati mahujaji huenda huko siku hizi huwa wanasema katika huduma wako ee bwana katika kukabiliana na wito wa ibrahimu muhammad alikuwa muumini wa dini na kwa muda mrefu alichukia uhuni wa jamii yake na akawa na tabia ya kutafakari mara kwa mara katika pango la hira karibu kilele cha jabal alnur mlima wa nuru karibu makka the prophets mosque madina kuba inaonyesha mahali ambapo nyumba yake ilisimama na pale yeye alizikwa mara tu alipoanza kusoma maneno alisikia kutoka gabriel na kuhubiri ukweli ambao mungu alikuwa wazi kwake na kundi dogo la wafuasi wake walipitia mateso na uchungu ambayo ilikua kali hata katika mwaka 622 mungu aliwapa amri kuhama tukio hili hijra uhamiaji ambao wao walitoka makkah wakielekea mji wa madina baadhi maili 260 kaskazini ndio mwanzo wa kalenda ya kiislamu miongoni mwa sababu wa kuenea kwa uislamu kwa haraka na kwa amani ilikuwa ni unyenyekevu wa mafundisho yake islam wito kwa imani katika mungu mmoja tu anayestahili ibada pia inawafundisha watu kutumia madaraka yao ya akili na uchunguzi katika miaka michache ustaarabu mkubwa wa vyuo vikuu vilikuwa vikistawi kwa mujibu wa mtume kutafuta elimu ni wajibu wa kila mwanaume na mwanamke wa kiislamu awali ya mawazo ya magharibi mashariki na wa mawazo mapya na ya zamani yaliyoleta maendeleo makubwa katika tiba hisabati fizikia unajimu jiografia usanifu sanaa fasihi na historia mifumo mingi muhimu kama vile algebra namba kiarabu na pia dhana ya sifuri (muhimu kwa maendeleo ya hisabati) yalipitishwa kwa ulaya ya zamani kutoka uislamu vyombo vya kisasa ambavyo vilikuwa vya kufanya uwezekano wa safari ya ulaya ya ugunduzi vilianzishwa ikiwa ni pamoja vifaa vya kuonyesha njia na ramani nzuri za kuongoza njia hii kufungua sura ya qurani fatiha ni muhimu katika sala ya kiislamu ina asili ya qurani na somewa wakati kila maombi https//wwwislamicbulletinorg/wpcontent/uploads/2019/08/al_fatiha18mp3 mungu hana huruma kwa mtu ambaye hana huruma kwa wengine hakuna mwenye anaamini ya kweli mpaka awe anatakia ndugu yake chochote yeye anataka mwenyewe yule anaye kula na kushiba kabisa wakati jirani yake anakaa bila chakula si muumini mfanyabiashara mkweli na mwaminifu huwa ana husishwa na manabii watakatifu na mashahidi mwenye nguvu si mwenye abishaye na wengine na kuwaangusha chini kwa kweli mwenye nguvu ni yeye ambaye udhibiti mwenyewe katika hasira mungu huwa hahukumu kwa mujibu wa miili yenu na sura ila yeye anaangalia nyoyo zenu na vitendo vyenu mtu mmoja alipokuwa akitembea njiani aliskia kiu sana alipofikia kisima aliteremka ndani yake akanywa maji hadi akatosheka halafu akarudi juu aliona mbwa aliyekuwa ametoa ulimi wake nje akijaribu kulamba matope ili kutuliza kiu yake huyo mtu alipomuona mbwa alikuwa ana hisia kiu sawa na yeye aliteremka kwa kisima tena na kujaza kiatu chake na maji akapatia mbwa kunywa mungu alimsamehe dhambi zake kwa kitendo hiki mtume aliulizwa mtume wa allah sisi tutalipwa kutenda wema kwa wanyama alisema kuna malipo kwa wema kwa kila kilicho hai shahada lililoandikwa juu ya mlango wa ottoman topkapi palace (makumbusho ina joho iliyovaliwa na mtume miongoni mwa hazina nyinginezo) istanbul hakuna mungu anayestahili kuabudiwa isipokuwa mungu na muhammad ni mtume wake hili tangazo la imani linaitwa shahada tamko rahisi ambalo waamini wote hutaamka kwa kiarabu sehemu ya kwanza ni la ilaha illa llah hakuna mungu ila mungu ilaha (mungu) inaweza kutaja kitu chochote ambacho tunaweza kujaribiwa kuweka katika nafasi ya mungu mali nguvu na kadhalika kisha huja illa llah isipokuwa mungu chanzo cha viumbe sehemu ya pili ya shahada ni muhammadun rasulullah muhammad ni mtume wa mungu ujumbe wa mwongozo umefika kupitia mtu tu kama sisi https//wwwislamicbulletinorg/wpcontent/uploads/2019/08/sh_swahili_trimmp4 https//wwwislamicbulletinorg/wpcontent/uploads/2019/08/adhan_makkah18mp3 3 zaka moja ya kanuni muhimu ya uislamu ni kwamba vitu vyote ni vya mungu na kwa hivyo huyo utajiri umeshikiliwa tu na binadamu katika imani neno zakat lina maanisha usafishaji na ukuaji mali yetu husafishwa kwa kuweka kando uwiano kwa wale wanaohitaji na kwa kupogoa mimea hii kukata mizani husaidia mapya kuendelea mcha mungu pia hutoa kama vile yeye au yeye amtakaye kama sadaka na anafanya hivyo ikiwezekana kwa siri ingawa neno hili linaweza kutafsiriwa kama hiari upendo ina maana pana mtume akasema hata mkutano ndugu yako kwa moyo mkunjufu uso ni upendo mtume akasema kusaidia ni lazima kwa kila muislamu akaulizwa je iwapo mtu ana kitu mtume alijibu yeye anapaswa kufanya kazi kwa mikono yake mwenyewe kwa manufaa yake na kisha kutoa kitu nje ya mapato hayo katika upendo maswahaba wakauliza je iwapo yeye ana uwezo wa kufanya kazi mtume akasema yeye lazima asaidie watu maskini na wanaohitaji maswahaba akauliza zaidi je iwapo yeye hawezi kufanya hata hivyo mtume akasema anatakiwa kuwaomba wengine kufanya mema maswahaba walisema je iwapo yeye anakosa hiyo pia mtume akasema anatakiwa kuangalia mwenyewe asifanye uovu hiyo ni upendo pia hija ya mwaka kwenda makkah hija ni wajibu tu kwa wale ambao wana uwezo wa kufanya hivyo kimwili na kifedha hata hivyo zaidi ya watu milioni mbili huenda makka kila mwaka kutokana na kila kona ya dunia kutoa fursa ya kipekee kwa wale wa mataifa mbalimbali ili kukidhi mtu mwingine ingawa makkah daima hujazwa na wageni hija ya kila mwaka huanza katika mwezi wa kumi na mbili wa mwaka kiislamu (ambayo ni ya mzunguko wa jua nishati ya jua si ili hijja na ramadhani huanguka wakati mwingine katika majira ya joto wakati mwingine katika majira ya baridi) mahujaji huvaa nguo maalum mavazi ambayo huondoa tofauti ya kuwa na fedha na utamaduni ili wote kusimama sawa mbele ya mungu ibada ya hijja ambayo ni ya asili ibrahimu ni pamoja na kuzunguka kaba mara saba na kwenda mara saba kati ya milima ya safa na marwa kama alivyofanya hajiri wakati wa kutafuta kwake kwa maji kisha mahujaji husimama pamoja katika bonde pana ya arafa na kujiunga katika maombi kwa msamaha wa mungu katika kile mara nyingi mawazo ya kama hakikisho ya hukumu ya mwisho qurani inasema mungu hakukatazi kwa upande wa wale wanao kupigeni si kwa imani [yako] wala kukupeleka wewe nje ya nyumba yako unafaa kuwa na huruma na uadilifu kwao kwa mungu huwapenda wafanyao haki (quran 60 8) waislamu huheshimu na stahi yesu na wakisubiri kuja kwake kwa pili wao wanamuona kama moja ya mkubwa wa wajumbe wa mungu kwa wanadamu waislamu kamwe hawasemi jina yake tu kama yesu lakini kila mara wanaongeza maneno amani iwe juu yake quran inathibitisha kuzaliwa kwake na bikira (sura ya quran ni haki mary) na maria hujulikana kama mwanamke safi katika viumbe vyote quran inaeleza annunciation kama ifuatavyo tazama malaika akasema mungu amekuteuwa na akakutakasa na akakutukuza kuliko wanawake wa mataifa yote o maria mungu anakubashiria ya neno toka kwake ambaye jina lake litakuwa masihi isa mwana wa mariamu kuheshimiwa katika dunia na akhera na miongoni mwa walio karibishwa kwa mungu naye atazungumza na watu kutoka utoto wake na katika ukomavu nao watakuwa watu wema alisema mola wangu mlezi vipi nitakuwa na mwana ambapo mtu aliyenigusa alisema hata hivyo mungu huumba mapenzi anapo hukumu jambo anasema kwa hilo kuwa na ni (quran 3 4247) hakika mfano wa isa kwa mwenyezi mungu ni kama mfano wa adam alimuumba kwa udongo kisha akamwambia `kuwa basi akawa (quran 359) nimekuja na ishara kutoka kwa mola wako mimi kufanya kwa ajili yenu na udongo kama ilivyokuwa sura ya ndege na kupumua ndani yake na inakuwa ndege kwa idhini ya mungu na ninawaponesha vipofu na wakoma na ninawafufua maiti kwa idhini ya mungu kwa kushuhudia sheria ambayo alikuwa kabla yangu na kufanya halali wewe ni sehemu ya kile kilichokuwa haramu ninyi nimekuja na ishara kutoka kwa mola wako kwa hiyo unafaa kumcha mungu na kutii mimi (quran 3 5o) mwenye kumuamini hakuna mungu ila mungu peke yake bila mshirika kwamba muhammad ni mjumbe wake kwamba yesu ni mtumishi na mjumbe wa mungu neno lake akampulizia maria na roho vikiwemo kwake na kwamba pepo na moto ni kweli atakuwa na kupokelewa na mungu kwenda mbinguni (hadith kutoka bukhari) yule kamilifu zaidi katika imani miongoni mwa waumini ni yule aliye bora kwa namna na mkarimu kwa mke wake dini ya kiislamu iliwekwa kwa jamii zote na wakati wote na hivyo inaangalia mahitaji tofauti za kijamii hali inaweza kutoa kibali kuchukua mke mwingine lakini haki iwe imetolewa kwa mujibu wa quran tu kwa masharti kwamba mume anawatenda wote kwa haki zaidi ndoa za kiislamu si sakramenti lakini mkataba rahisi wa sheria ambao mpenzi yoyote ako na huru ya kuongeza masharti ndoa za forodha hivyo inatofautiana sana kutoka nchi moja hadi nyingine matokeo yake talaka si kawaida ingawa si haramu kama kimbilio la mwisho kwa mujibu wa uislamu hakuna msichana wa kiislamu anaweza kulazimishwa kuolewa kinyume na matakwa yake wazazi wake watamuonesha tu vijana ambao wanafikiri wanaweza kuwa wanafaa katika ulimwengu wa kiislamu hakuna nyumba zile za watu wazee tatizo la kuwatunza wazazi wa mtu katika kipindi hiki kigumu zaidi cha maisha yao huchukuliwa kama heshima na baraka na fursa ya ukuaji mkubwa wa kiroho mungu anauliza kwamba tusiombee wazazi wetu lakini tutende kwa huruma zaiditukikumbuka kwamba wakati tulikuwa watoto wanyonge wao walipenda sisi wenyewe akina mama ni hasa kuheshimiwa mtume alifundisha kwamba peponi liko katika nyayo za mama wakati wao hufikia umri wa makamu wazazi wa kiislamu hutibiwa kwa huruma kwa wema na kutokuwa na ubinafsi mola wenu mlezi ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila yeye na kuwa mwema kwa wazazi kama mmoja au wote wawili wamefikia umri wa makamu na wewe usiwahi sema uff kwao au chide yao lakini kusema nao katika suala la heshima na wema kuwatendea kwa unyenyekevu na kusema bwana wangu wahurumie kwa sababu walinihudumia wakati mimi nilikuwa mdogo (quran 17 2324) kama ukristo uislamu hukubali mapigano katika ulinzi binafsi katika ulinzi wa dini au kwa upande wa wale ambao wametolewa kwa nguvu kutoka nyumbani kwao huwa imetoa sheria za kupambana vikali ambazo ni pamoja na makatazo ya kudhuru raia na dhidi ya kuharibu mazao miti na mifugo kama waislamu huona hivyo dhuluma itakuwa ni ushindi katika ulimwengu kama watu wema hawakuwa tayari kuhatarisha maisha yao katika njia ya haki qurani inasema wanapigana katika njia ya mungu dhidi ya wale ambao hupambana na wewe lakini wala msianze uadui mungu hawapendi warukao mipaka (quran 2 190) wakiomba amani kisha kutafuta amani na kumwamini mungu kwa yeye ni mwenye kusikia na mwenye kujua kila kitu (quran 861) vita hiyo ni mapumziko ya mwisho na ni chini ya hali ya ukali zilizowekwa na sheria takatifu mrefu jihadi likiwa na maana mapambano na waislamu wanaamini kwamba kuna aina mbili za jihadi wengine jihadi ni mapambano ndani ambayo kila mtu mshahara dhidi tamaa egotistic kwa ajili ya kufikia amani ya ndani ingawa rahisi sana kuliko sheria malazi na kufuatiwa na wayahudi na wakristo wa kwanza kanuni ambayo waislamu huchunguza inakataza matumizi ya nyama ya nguruwe au aina yoyote ya kinywaji cha kulevya mtume hufundisha kwamba mwili wako una haki juu yako na matumizi ya chakula safi na uongozi wa maisha ya afya huonekana kama majukumu ya kidini ombeni mungu kwa hakika [wa imani] na ustawi kwa baada hakika hakuna mtu anapewa zawadi yoyote bora kuliko afya uhuru wa dhamiri ni yaliyowekwa na quran yenyewe hakuna kulazimisha katika dini (quran 2 256) enyi watu sisi tulikuumbeni kutokana na nafsi moja mume na mke na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili muweze kuja kujua mtu mwingine hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu mbele za mungu ni kubwa zaidi ya wewe katika ucha mungu mungu ni mwenye kujua wote wanafunzi wa anawajua enyi watu sisi tuliwaumba kutokana na nafsi moja mume na mke na tumekujaalieni kuwa na mataifa na makabila ili muweze kuja kujuana hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu mbele za mungu ni kubwa zaidi ya wewe katika ucha mungu mungu ni mwenye kujua mwenye khabari university msikiti wa al azhar katikati ya kujifunza tangu 969 ad al khulafa al rashidin msikiti (nchi ya malkia sheiba)
2020-01-21T14:38:23
https://www.islamicbulletin.org/?page_id=1509&lang=sw
afrika kusini yatoa waranti kwa washtumiwa wa mauaji ya karegeya afrika rfi afrika kusini rwanda paul kagame na rfi imechapishwa 10092019 imehaririwa 10092019 saa 0737 afrika kusini yamuita nyumbani balozi afrika kusini kayumba nyamwasa afrika kusini na rwanda zimo mbiyoni
2019-11-15T20:20:13
http://sw.rfi.fr/afrika/20190910-afrika-kusini-yatoa-waranti-kwa-washtumiwa-wa-mauaji-ya-karegeya
matukio @ michuzi blog muendesha bodaboda kutoka kibiti ajinyakulia milioni 140 za tatu mzuka pichani kulia ni muendesha boda boda magembe daniel akiwa na mama yake mzazi mama magembewakiwa wameshika mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 140 baada ya kuibuka mshindi wa mchezo wa kubahatisha tatumzuka hivi karibuni magembe ambaye ni mkazi wa kibitirufiji anamshukuru mama yake mzazi kwa kumlea vizurikama vile haitoshi anamshukuru zaidi kwa kumnunulia piki piki na kuifanyia biasharaanasema na ndi maana mara baada ya kupata taarifa kuwa nimeshinda mchezo wa tatumzukamtu kwanza kabisa kumtaarifu alikuwa ni mama yake mzazi kuwa ameshinda mchezo wa kubahatisha wa tatumzukaanasema mama yake hakuamini lakini alimtia moyo yakuwa na subira zaidi ili kubaini kama ni kweli ama la vijana wenzangu ninaofanya nao kazi wamenisihi nituliekwa sababu mara nyingi baada ya kuipata fedha nyingi vijana hukengeukanilijiwekea nadhiri kuwa nikipata fedha nyingi ntafanya biashara zangulakini ndoto yangu kubwa ni kujenga nyumba kubwa ambayo ntaishi na familia yanguingawaje bado sijaoaaliongeza kusema magembe pichani kulia ni afisa mkuu wa masokotatu mzuka sebastian maganga akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha kijana mwendesha boda bodamageme daniel aliyejinyakulia kitita cha shilingi milioni 140 za tatumzuka hivi karibuni jijini dar pichani kushoto ni afisa mkuu wa masokotatu mzuka sebastian maganga akiwa pamoja na kijana mwendesha boda bodamagembe daniel aliyejinyakulia kitita cha shilingi milioni 140 za tatumzuka hivi karibuni jijini dar
2020-07-12T03:37:11
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/04/muendesha-bodaboda-kutoka-kibiti.html
round round qinguan apple home > bidhaa > round round qinguan apple (jumla ya 24 bidhaa kwa round round qinguan apple) round round qinguan apple mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china sisi ni maalumu round round qinguan apple wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka china ya jumla round round qinguan apple na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu mojawapo ya round round qinguan apple bidhaa za kuongoza kutoka china jining fuyuan fruits and vegetables co ltd round round qinguan apple jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa round round qinguan apple jumla kwenye jining fuyuan fruits and vegetables co ltd na kupata ubora wa juu round round qinguan apple moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china round round qinguan apple na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2019-07-24T05:55:14
http://sw.fuyuanfv.com/dp-round-round-qinguan-apple.html
majibu ya maswali yanayozua utata kuhusu imani na mafundisho ya kanisa katoliki ackyshine | best👍of😂2018💯 biblia ni mkusanyiko wa vitabu mbalimbali vinavyohusu kazi ya mungu ya kuwakomboa mwanadamu biblia iliundwa kwa kukusanya vitabu vya dini vya wakristo hapo awali na kuunda kitabu kimoja kwa maana hii ni kwamba biblia ni vitabu teule vya dini na hivyo vipo vitabu vingine vya dini ambavyo havikuwekwa kwenye biblia kwa hiyo basi wakristo wa kwanza walichagua vitabu kadhaa na kuviweka pamoja na kisha kuvita biblia biblia ni mkusanyiko wa vitabu muhimu tuu vya dini mpaka kufikia enzi za mitume hii ndiyo sababu kwa nini wakatoliki wana vitabu vingi kuliko madhehebu mengine yaani sababu ni kwamba madhehebu mengine walivitoa vitabu vingine vilivyounda biblia na wakatoliki waliweka vitabu vingine vya dini kwenye biblia hapana biblia sio mafundisho pekee ya mungu hii ni kwa sababu sio mambo yote aliyofanya na kusema mungu yaliandikwa sasa basikama roho mtakatifu ni yuleyule na kazi zake ni zile zile za tangu mitume kwa nini hatukubali kuwa anafanya kazi mpaka sasa kupitia watu wa mungu kwa nini tunakataa mafundisho yao kwa nini tunashindwa kuelewa kuwa biblia haikuwa mwisho wa neno la mungu nimekuzawadia biblia takatifu agano jipya pdf hii ina vitabu vyote vya agano jipya nimekuzawadia rozari ya mama bikira maria pdf hii ina mwongozo wa namna ya kusali rozari takatifu ya mama bikira maria ee bwana fadhili zako zikae nasi 👉bofya hapa zaidi nimekuzawadia novena ya roho mtakatifu pdf hii ina mpangilio wa sala litani na nyimbo kwa siku zote tisa
2018-06-19T10:20:24
http://www.ackyshine.com/katolikihome:majibu-ya-maswali-ya-utaka-kuhusu-imani-na-mafu
ford dealers in auburn washington (wa) auto dealer directory washington (wa) ford dealers in auburn this list of ford dealers located in auburn washington (wa) is believed to have been correct at the time of posting if your auburn washington ford dealership is not listed here or you see an error in your listing you may tell us about it here standard listings are free but they are neither guaranteed nor warranteed federal way wa kent wa puyallup wa sumner wa renton wa tacoma wa lakewood wa gig harbor wa mercer island wa issaquah wa bellevue wa seattle wa port orchard wa roy wa bainbridge island wa enumclaw wa redmond wa kirkland wa bremerton wa kenmore wa eatonville wa fall city wa bothell wa north bend wa belfair wa mountlake terrace wa yelm wa lynnwood wa poulsbo wa edmonds wa monroe wa everett wa shelton wa olympia wa gold bar wa snohomish wa marysville wa centralia wa morton wa chehalis wa elma wa port townsend wa thorp wa arlington wa toledo wa port angeles wa oak harbor wa aberdeen wa
2018-12-12T11:58:34
http://autodealerdirectory.us/wa_s_ford_m12m_auburn_c_madd.html
yaliyo jiri mkoani ruvuma na mkongwe wa habari adam nindi mambo mhimu katika maisha kuzaliwakubatizwakupata kipaimara na kuoamwisho kifo bwana harusi na bibi harusi wakiwa katika mlango wa kanisa la mji mwema manspaa ya songea bi harusi cristina ngonyani akiwa tayari kutia sahihi cheti cha ndoa kuonyesha kuridhia kuolewa na na staniley matembo bwana harusi staniley matembo akitia sahihi katika cheti cha ndoa kuridhia kumwoa cristina ngonyani hapo bwana harusi staniley matembo akitia sahihi mbele ya padri kukubali kumwoa cristina ngonyani padiri wa mji mwema akitoa vyeti kwa bwana harusi na bi harusi vyeti hivyo bwana hapo ndoa tayari hebu angalia bi harusi na bwana harusi wanavyo furahia ndoa bi harusi cristina ngonyani kulia akiwa amekaa na bwana wake satiniley matembo wakiwa kanisa la mji mwema siku aliyo funga ndoa staniley matembo kulikuwa na ndoa zisizo pungua tatu vinubi vinanda na nyimbo ni moja ya kumushkuru mungu kwa kufanikisha ndoa za watu wa hao hi kufunga ndoa katika kanisa la mji mwemani maharusi walio wa maharusi wakipiga picha ya pamoja na padri wa mji mwema mara baada ya kutoa baraka moja ya furaha ya maharusi ni kuona tabasamu ya watu walio wasindikiza harusi ni njia moja ya kukubaliana kuwa uta ishi na mwenzio bila kinyongo na wote kuwa mwili mmoja huku watu wakishudia kama unavyo waona hawa hapa hapo ni nyumbani mji mwema wakiingia kwenye nyumba yao chini kukiwa kumetandikwa kanga ishara ya upendo hiyo ni harakati ya kuingia nyumbani mjimwema mapacha wakiongoza msafara wa harusi harusi ni mafunzo kwa watoto hapo staniley matembo akiwa na bi harusi cristina matembo akiwa na mapacha wao wakisindikiza harusi mara baada ya kutoka kanisani bwana harusi staniley matembo alipokelewa kwa furaha nyumbani kwake mjimwema akiwa na bi harusi ceistina ngonyani posted by adam mzuza nindi at 340 am mambo mhimu katika maisha kuzaliwakubatizwakupat upandaji wa miti madaba mradi wa upandaji miti vijiji vya wino ifinga na m
2017-10-22T09:52:17
http://songeahabari.blogspot.com/2016/11/mambo-mhimu-katika-maisha.html
huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao ackyshine minisites | best of 2019 majibu ya mkato ya kuchekesha kutoka kenya😂
2019-08-25T15:39:38
http://www.ackyshine.com/vichekesho:huu-ndio-uchawi-unaweza-kufanyika-siku-mpenzi-wak
maseneta waitwa ikulu kabla ya hoja ya kumfurusha kindiki kujadiliwa taifa leo maseneta 55 wa mirengo ya jubilee na upinzani ijumaa wameitwa katika ikulu ya nairobi kuafikiana kabla ya hoja ya kumwondoa naibu spika kithure kindiki kujadiliwa na kuamuliwa miongoni mwa maseneta waliohudhuria mkutano huo ni wale sita ambao walikwepa mkutano wa awali ulioitishwa na rais uhuru kenyatta wao ni millicent omanga falhada iman naomi waqo victor prengei mary seneta na christine zawadi ambao wameitwa kufika mbele ya kamati ya nidhamu ya jubilee ili waadhibiwe hata hivyo licha ya kuhudhuria mkutano huo wa ikulu seneta wa meru mithika linturi amedinda kuunga mkono hoja hiyo akisema sharti nipewe orodha ya makosa ya kindiki niyachunguze kwanza kabla ya kufanya uamuzi mnamo alhamisi kiranja wa wengi irungu kangata aliwatumia ujumbe maseneta wote 38 wa jubilee wakitakiwa kuhudhuria kikao maalum cha seneti na kuunga mkono hoja ya kumwondoa kindiki wale ambao watakosa kuhudhuria kikao hicho wanaweza kupewa adhabu ambayo inaweza kujumuisha kufurushwa kutoka jubilee kulingana na kipengee 17 (2) na (3) kwa mujibu wa katiba ya chama hicho msimamo wa chama ni kwamba kimepoteza imani na naibu spika na hivyo kinataka aondolewe kwa hivyo sharti uhudhurie kikao maalum cha seneti na upige kura kulingana na msimamo wa chama bw kangata akasema katika barua yake tafadhali zingatia kuwa msimamo wa chama katika suala hili ni kuunga mkono hoja hiyo barua hiyo ikaongeza kutokana na tishio hilo wengi wa maseneta waliokuwa katika kambi ya naibu rais william ruto wamebadili msimamo na kuamua kuunga mkono mrengo wa rais upande wa dkt ruto umeachwa na idadi ndogo ya maseneta ambao hawawezi kubatilisha uamuzi wa kumfurusha kindiki mrengo huo unahitaji idadi ya maseneta 23 kuangusha hoja hiyo ya kangata
2020-06-04T12:21:55
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=52216
video madereva wa zamani wa dc kilolo wazungumzia vituko vya bosi wao news africa now home tanzania video madereva wa zamani wa dc kilolo wazungumzia vituko vya bosi wao video madereva wa zamani wa dc kilolo wazungumzia vituko vya bosi wao iringa baada ya mkuu wa wilaya ya kilolo mkoani iringa asia abdalah kunyooshewa kidole na waziri mkuu kassim majaliwa akidaiwa kutumia vibaya madaraka yake madereva wake wawili wa zamani wamemuelezea kiongozi huyo septemba 27 majaliwa akizungumza na watumishi wa halmashauri ya kilolo bila kumuonea aibu alimsema asia hadharani kuwa anatumia madaraka yake vibaya na hana uhusiano mzuri na watumishi wa ofisi yake alisema tangu ateuliwe mwaka 2016 watumishi 14 wakiwamo madereva 10 wamehamishwa vituo vya kazi na wengine aliwafukuza au kuwaweka ndani na hata waliopo hawana raha na wanaomba kuhamishwa mmoja wa madereva hao (jina tunalo) aliyewahi kumuendesha asia kwa mwaka mmoja alisema mkuu huyo wa wilaya hana staha katika matamshi kwa wasaidizi wake ikiwamo kutoa lugha chafu pia hana uhusiano mzuri na watu wengi unajua taratibu za kiongozi yeyote zinajulikana asubuhi mnapeana taratibu za kazi lakini unakwenda kwa kiongozi anaingia kwenye gari bila kukupa utaratibu wowote hasemi mnakwenda wapi alisema dereva huyo haya unakwenda ofisini kwake hakupi utaratibu wowote wa kazi na kama mnasafari hakuambii mnapoenda ukimuuliza akipenda anakujibu mkato muda mwingine hakujibu alisema dereva huyo ambayo sasa yupo ofisi nyingine ya serikali dereva huyo alisema sasa hapo unakuwa huelewi lolote kukutolea lugha chafu kwake si kesi na hata akiwa kwenye gari na watu wengine kukutusi kwake ni kawaida alisema kwa muda aliomuendesha asia alifanya kazi kwa uvumilivu na kumchukulia kama alivyo na hakuwa na uwezo wa kumfanya lolote kwani alikuwa bosi wake hana mawasiliano na dereva muda wowote unatakiwa uwe standby ninachojua unatakiwa uandaliwe ili ujiweke sawa lakini unaweza kumpeleka nyumbani kwake akifika tu anashuka na kwenda ndani hata neno ahsante kwa dereva hakuna alisema tangu aanze kuendesha viongozi wa kiserikali amewaendesha wakuu wa wilaya wanne kwa vipindi vinne tofauti hakuwahi kukorofishana wala kutofautiana kwa lolote na hadi sasa wapo hai wanakutana na wamekuwa kama ndugu dereva mwingine ambaye pia tunamhifadhi jina alisema kuwa na kiongozi kama yule ni mateso bora uache kazi utakuwa huru haiwezekani kila muda unakuwa kama mtumwa kutukanwa ni kawaida hadi dereva mwenzetu mmoja alichapwa makofi sasa mtu mzima na familia yako unaaga unakwenda kazini halafu familia inasikia baba kachapwa makofi alisema kitendo cha kuondolewa ofisini kwake na kupelekwa taasisi nyingine alifurahi na sasa anafanya kazi kwa uhuru kama mtumishi mwajiriwa anatambua wajibu na majukumu yake kwa mkuu wake wa kazi alipofuatwa jana kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani ambayo kimkoa yalifanyikia viwanja vya kichanganikihesa iringa ili kuzungumza hayo asia alijibu kwa maneno machache si mmeshaandika sasa mnataka niseme nini nyie mmeshaandika na endeleeni kuandika mnachojisikia alisema huku akiingia kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo previous articlemagufuli afanya mabadiliko nec ateua wakurugenzi watendaji 10 next articlemalika haqq baby daddy revealed is it tristan thompson
2019-10-15T18:24:55
http://newsafricanow.com/2019/10/01/video-madereva-wa-zamani-wa-dc-kilolo-wazungumzia-vituko-vya-bosi-wao/
bunge la senate kupigia tena kura mswada wa uchumi | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 01102008 bunge la senate kupigia tena kura mswada wa uchumi bunge la senate nchini marekani limeafikiana kuupigia kura tena mswada unaolenga kuokoa soko la fedha kiongozi wa chama kilicho na uwakilishi mkubwa kwenye bunge la senate seneta harry reid mpango huo unazimia kutumia dola bilioni mia saba kuiwezesha serikali kununua taasisi za fedha zinazokabiliwa na matatizo ya fedhakwa mujibu wa kiongozi wa chama kilicho na uwakilishi mkubwa katika bunge la senate harry reid hatua hiyo imeungwa mkono na bunge hilo kwa minajili ya kuokoa uchumi wa marekanirais george bush kwa upande wake amesisitiza umuhimu wa kuchukua hatua za dharura rais bush alisisitiza kuwa lengo la hatua hiyo ni kulinda maisha ya raia wa marekanihapo jana baraza la wawakilishi la marekani lilipinga mswada wa kuidhinisha dola bilioni mia saba kwa lengo la kuokoa jahazi la uchumi wa nchi hiyomswada huo ulipingwa zaidi na wabunge wa chama cha republikanbunge la marekani congress lilifungwa hapo jana kwasababu ya sherehe za mwaka mpya wa kiyahudi rosh hashanah kiungo https//pdwcom/p/fs03
2019-10-22T16:45:45
https://www.dw.com/sw/bunge-la-senate-kupigia-tena-kura-mswada-wa-uchumi/a-3682555
msimamizi mifuko ya hifadhi asema hali nzuri mwanahalisi online mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya udhibiti ya mifuko ya hifadhi ya jamii tanzania (ssra) irene isaka msimamizi mifuko ya hifadhi asema hali nzuri posted by jabir idrissa september 28 2014 0 4922 views mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya udhibiti ya mifuko ya hifadhi ya jamii tanzania (ssra) irene isaka amesema si kweli kwamba mifuko ya hifadhi ya jamii ina hali mbaya kifedha ingawa amekiri kuwa yapo matatizo katika uendelevu wake lakini serikali iko macho ili mifuko hiyo isifikie kuonekana ina hali mbaya kiasi cha kuwa hatarini kufilisika ni kweli kama serikali inadaiwa fedha nyingi na baadhi ya mifuko lakini kinachodaiwa ni fedha ahadi ya fedha si mikopo amesema siyo kwamba serikali imekopa kwenye mifuko hii fedha inazoelezwa kuwa inadaiwa hizi ni fedha ambazo serikali inawajibu wa kuzitoa kama mchango wa wafanyakazi wake tukizungumzia fedha ambazo serikali imetoa udhaini kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambazo mikataba ya utoaji lazima iheshimiwe mifuko inaendelea vizuri alisema isaka ameeleza hayo mbele ya wahariri wa vyombo vya habari nchini waliokuwa katika ziara maalum ya kukagua miradi ya shirika la taifa la hifadhi ya jamii nchini (nssf) eneo la kigamboni dar es salaam katika ziara hiyo wahariri walijionea miradi mikubwa ya uwekezaji ya ujenzi wa daraja la kigamboni lililo katika asilimia 60 ya kukamilika pamoja na mradi ya nyumba 3400 za kisasa eneo la dege ambayo nssf inaiendesha kwa ushirikiano na serikali na sekta binafsi ilikuwa katika majadiliano ya miradi hiyo ndipo hoja ya hali ya mifuko ya hifadhi ya jamii ilichukua sehemu kubwa ya mjadala huku wahariri wakiporomosha maswali kwa mkuu wa ssra mamlaka iliyoanzishwa kwa ajili ya kusimamia uendeshaji wenye nidhamu wa mifuko hiyo isaka alisema uamuzi wa kuanzisha mfumo mpya wa ukokotoaji mafao ya wastaafu katika mifuko hiyo ni moja ya hatua za kuwezesha mifuko hiyo kuwa na viwango vinavyofanana vya ukokotoaji vinavyonufaisha wananchi wanaotoa michango katika mifuko alisema moja ya majukumu ya ssra social security regulatory authority ni kuhakikisha mifuko inakuwa endelevu inayotoa mafao mazuri hapohapo kuhakikisha kwamba maslahi ya wafanyakazi katika haki zao yanalindwa kwa kuwa wao ndio wachangiaji wa mifuko haiwezekani sisi tuwe pale kuibeba serikali kila jambo pamoja na kuwa hata sisi ni taasisi ndani ya serikali hata sheria ya kuwepo kwetu imelenga kusaidia mifuko kuendeshwa kwa ufanisi na wafanyakazi walindwe haki zao kwa jukumu hili tunakwenda vizuri na nyinyi vyombo vya habari mnatusaidia sana alisema katika mada aliyotoa kwenye semina alisema nssf ndio mfuko wenye hali nzuri na unaotoa mafao mazuri zaidi nssf linaendesha mradi wa ujenzi wa daraja la kigamboni kutokea eneo la kurasini kwa kujumuisha na barabara ya kilomita moja kwa kushirikiana na serikali ambayo imedhamini asilimia 40 nssf yenyewe inagharamia mradi kwa asilimia 60 gharama za mradi huo unaojengwa na kampuni ya ace ya misri kwa ahadi kuwa ukamilike julai 2015 ni dola 235 milioni mradi wa nyumba 3400 za kisasa unatekelezwa chini ya mpango wa ubia kati ya kampuni binafsi na nssf wahariri wamesifia miradi hiyo miwili kama uwekezaji wenye viwango vya kimataifa kwa kuwa urejeshaji wa fedha zilizotumika umejengewa utaratibu unaoeleweka nyumba zinazojengwa dege zitauzwa kwa wahitaji kwa utaratibu utakaoanza mwezi ujao kila moja itauzwa kwa kati ya dola 90000 na 240000 na yeyote atakayehitaji bila ya kujali ni mtanzania au la atauziwa akitimiza masharti previous 2015 mwaka wa kulia waliojisahau next bunge maalum lisipuuze maoni ya wananchi zbar itafakari kauli ya polepole maalim seif mzee moyo wakinukisha zanzibar maalim seif wamepanga kunikamata mbowe wenzake hakijaeleweka makonda kama si njaa ningejiuzulu kifo cha dilunga chashtua tasnia ya habari serikali askofu msiogope kubadilisha katiba askofu ruwaichi atolewa icu jpm ampiga kijembe lissu jpm hizo ni kelele za chura hazinizuii chadema lissu ananukia 2020 viongozi actwazalendo mbaroni kwa kufungua matawi bila kibali serikali yakanusha uwepo ugonjwa wa ebola bunge laahairishwa maswali 123 yaulizwa musiba lugola waingia vitani uhifadhi magereza ni kwa mujibu wa sheria masauni serikali yamchoka musiba yamfananisha na tapeli walemavu watakiwa kuwa wabunifu ujerumani tanzania zaingia makubaliano ya afya rais magufuli amfuta kazi mkurugenzi mkuu tiss zitto azidi kusota kisutu mbowe wenzake wabanwa wakutwa na kesi ya kujibu habari zilizopita select month september 2019 august 2019 july 2019 june 2019 may 2019 april 2019 march 2019 february 2019 january 2019 december 2018 november 2018 october 2018 september 2018 august 2018 july 2018 june 2018 may 2018 april 2018 march 2018 february 2018 january 2018 december 2017 november 2017 october 2017 september 2017 august 2017 july 2017 june 2017 may 2017 april 2017 march 2017 february 2017 january 2017 december 2016 november 2016 october 2016 september 2016 august 2016 july 2016 june 2016 may 2016 april 2016 march 2016 february 2016 january 2016 december 2015 november 2015 october 2015 september 2015 august 2015 july 2015 june 2015 may 2015 april 2015 march 2015 february 2015 january 2015 december 2014 november 2014 october 2014 september 2014 august 2014 july 2014 november 2013 october 2013 september 2013 july 2013
2019-09-17T18:48:43
http://mwanahalisionline.com/msimamizi-mifuko-ya-hifadhi-asema-hali-nzuri/
29 / 09 / 2018 rayhaber | raillynews nyumbani2018septemba29 (jumamosi) siku septemba 29 2018 kampuni ya mabasi ya istanbul metropolitan municipality (imm) ilishinda zabuni ya uwanja wa ndege wa 3 gharama za kusafiri za kaunti zimekuwa na uhakika kulingana na umbali kutoka kwa mistari ya basi utatozwa kati ya 12 na 30 lira miaka ya 6 ya biashara [zaidi ] rais wa kwanza wa reli za kirusi anaelezea wageni waliojitayarisha kwa putin na yeltsin kuzingatia hali zote za usalama za gari zilizotayarishwa kwa mazungumzo ya rais wa kwanza wa reli ya urusi waziri wa zamani wa barabara gennadiy fadeyev rais wa urusi vladimir putin kwa ombi la chombo cha ulinzi cha shirikisho (fso) [zaidi ] tcdd itafanya kupiga dawa katika upeo wa kupambana na nyasi katika reli ankara istanbul kayseri nigde eskişehir ankara na konya katika kawaida reli mistari na vituo 17 oktoba yenye kasi ya treni (yht) katika mstari na kituo cha 1018 dawa kwa ajili ya kudhibiti magugu katika oktoba ya kufanya [zaidi ] manispaa ya metropolitan inafanya uwekezaji kila mmoja ili kufanya usafirishaji wa kayseri uwe mzuri zaidi moja ya uwekezaji muhimu kabisa ulioletwa kwa kayseri jenerali hulusi akar boulevard mustafa kemal paşa boulevard na aşık veysel [zaidi ]
2020-01-18T17:44:36
https://sw.rayhaber.com/2018/09/29/
video kisa caf kocha wa simba mapema alia ratiba ngumu mwanaspoti ratiba hiyo ya caf imetibua kalenda ya simba day pamoja ratiba ya mechi za ligi kuu bara ambazo simba inatakiwa kucheza mapema hivyo italazimika kubadilishwa afrika kusini kocha wa simba patrick aussems amelalamikia ratiba ya mwanzo wa msimu itakuwa ngumu kwake kwa sababu imekwenda tofauti na mipango yake kauli ya kocha huyo wa simba inakuja baada ya shirikisho la soka afrika (caf) kutoa ratiba ya mechi za awali za ligi ya mabingwa jana na simba ikitakiwa kucheza mechi ya awali agosti 911 simba itaanza ugenini dhidi ud songo ya msumbiji katika mechi itakayochezwa kati ya agosti 911 na marudiano itakuwa kati ya agosti 2325 2019 akizungumzia suala hilo kocha aussems alisema alitarajia mechi hizo zitaanzwa kuchezwa septemba lakini imekuwa kinyume natakiwa kufanya kazi ya ziada kutokana na ratiba hiyo baadhi ya programu nimeanza kubadilisha ratiba ya mazoezi ili kujaribu kwenda na wakatialisema aussems katika mazoezi yake leo jumatatu aussems alitumia muda mwingi kuwafanyisha wachezaji mazoezi ya nguvu ambapo walikimbia na kucheza kwenye koni simba inaendelea na mazoezi nchini afrika kusini kwa ajili ya kujiandaa na mechi za ligi kuu na mashindano ya kimataifa katika ligi ya mabingwa afrika endapo simba itashinda mechi yake dhidi ya ud songo na kusonga mbele na kucheza dhidi ya mshindi wa mechi ya big bullets na fc platinum kati ya septemba 1315 2019 na marudiano septemba 2729 2019 katika ratiba hiyo yanga itaanzia nyumbani kwa kucheza dhidi ya township rollers timu waliyokutana nayo mwaka 2018 katika michuano hiyo na vijana wa jangwani kutolewa kwa kufungwa jumla ya mabao 21 ikilala nyumbani kwa bao hizo na kwenda kutoka suluhu ugenini mshindi wa yanga na township rollers atafuzu kwa raundi ya pili na kucheza na mshindi wa mechi kati ya green mamba ya eswatini au zesco united ya zambia mshindi wa mechi hizo za pili inafuzu moja kwa moja kwa hatua ya makundi ya mashindano katika kombe la shirikisho afrika mabingwa wa kombe la fa azam itaanza ugenini dhidi ya fasil kenema ya ethiopia kati ya agosti 911 2019 mshindi wa azam dhidi ya fasil kenema atacheza na mshindi wa mechi kati ya triangle united (zimbabwe) dhidi ya rukinzo (burundi) katika raundi ya pili kmc inashiriki kwa mara ya kwanza mashindano hayo ikiwa chini ya kocha jackson mayanja itakuwa nyumbani kuikaribisha as kigali (rwanda) anayoichezea haruna niyonzima aliyeachwa na simba msimu huu mshindi wa kmc na as kigali atacheza na mshindi wa mechi ya proline (uganda) dhidi ya masters security (malawi)
2019-09-22T06:42:36
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/1799484-5205846-o5bwaw/index.html
alcatraz michango ya vita vya wenyewe kwa wenyewe alcatraz cruises alcatraz michango ya vita vya wenyewe kwa wenyewe posted kwenye desemba 4 2017 aprili 11 2020 na mtumiaji tangu mwanzo wa vita vya wenyewe kwa wenyewe serikali ya marekani ilalichukulia fort alcatraz kuwa moja ya ngome imara na ya nguvu zaidi katika nchi nzima kama uvumi alikuja mwanga kwamba mashabiki wa kusini walikuwa mipango ya tofauti san francisco na mali yake kutoka muungano fort alcatraz eneo la ulinzi la pwani likawa muhimu zaidi mfululizo wa matukio katika fort alcatraz vielelezo baadhi ya mambo ya kupendeza ya vita pamoja na baadhi ya ndovu ones wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe kitengo kipya cha pitted kaka dhidi ya kaka na kugeuza marafiki wa zamani na washirika katika maadui fort alcatraz kuwa ni njia ya kisiasa kuonyesha jinsi vita na uvumi unavyoitwa katika jeshi la watu wengine kuwa ni suala la utii kwa mujibu wa kanali albert sidney johnston kamanda wa idara ya pacific jeshi la marekani nimesikia majadiliano ya kijinga kuhusu jaribio la kukamata ngome za serikali chini ya ulinzi wangu tukijua haya nimejitayarisha kwa dharura na nitaulinda mali ya marekani na kila rasilimali kwa amri yangu na kwa tone la mwisho la damu katika mwili wangu kanali albert sidney johnston wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe kinaelezea hadithi ya kulazimisha kuhusu wajibu na uaminifu wakati wa wartime johnston aliyezaliwa kentucky na kukulia huko texas alihudumu katika majeshi matatu tofauti jeshi la texas jeshi la marekani na jeshi la nchi za muungano jefferson davis rais wa umoja wa mataifa anachukuliwa johnston kuwa afisa wa jeshi bora nchini marekani ifikapo januari 1861 wakati bado mwanachama wa jeshi la umoja johnston alikuwa na malipo na uteuzi wa kamanda wa idara ya pacific katika california moja ya majukumu yake mengi ni pamoja na ulinzi wa fort alcatraz licha ya uzoefu mkubwa wa kijeshi wa johnston na uwezo wa uongozi mizizi yake ya kusini na ushirikiano na jefferson davis kudhoofisha imani ya umma katika ahadi yake ya kulinda golden gate kutokana na mashambulizi ya kusini wengi wa san francisco raia ambao walihoji uaminifu wake wakieneza uvumi kwamba makundi ya wenyeji yalikuwa yalinaribia kutafuta msaada wake katika kushambulia mji hata hivyo wakati kanali johnston alitumikia jeshi la muungano alifanya kwa uaminifu wajibu wake wa kutuliza kitisho cha vita vya ndani na kulinda san francisco kwa kuogopa shambulio la benicia arsenal aliamuru uhamisho wa bunduki na risasi kwa alcatraz ya usalama johnston pia aliamuru kuongeza kasi ya ujenzi wa nafasi ya fort na kudai kwamba wao nafasi ya bunduki yake ya kwanza vyema kulinda dhidi ya mashambulizi kutoka mji kanali johnston alielekeza wale walio chini yake kudumisha utulivu miongoni mwa raia wa san francisco na kutoa vikosi vya ziada ili kulinda nafasi zao dhidi ya majaribio yoyote ya kuwakamata wakati jeshi la muungano lilikuwa na imani kwamba kanali johnston hawezi kufanya chochote dishonorable waliogopa kwamba alikuwa bado ni hatari sana kwa ushawishi wa kusini mnamo aprili 1861 kanali johnston aliondolewa makala yake baada ya kurejea kusini johnston alikubali tume kama jumla katika jeshi la wanajeshi na kufa katika vita vya shilo kama mmoja wa mashujaa wakubwa wa muungano tishio la kwanza kwa usalama wa california lilitokea mwezi machi 1863 serikali ya muungano ilikuwa na taarifa kwamba kundi la makundi ya maadui waliokuwa na mashabiki wa kutoa taarifa jm chapman kuitumia kukamata meli ambayo ingeweza kuvamia biashara katika pasifiki na kutishia kuweka vikwazo vya bandari na kuweka kuzingirwa kwa ngome hata hivyo mipango ya makundi walikuwa vilitegua wakati wa meli yao nahodha kujivuna kuhusu mpango wao katika tavern wakati wa usiku chapman alikuwa na meli jeshi la marekani liliwakamata meli hiyo iliwakamata wafanyakazi na kutoa chapman kwa alcatraz ambapo ukaguzi umebaini cannons risasi vifaa na kumi na tano watu kujificha mmoja wa watu hawa wafransisko maarufu wa san alikuwa na karatasi zilizosainiwa na umoja wa rais jefferson davis kuhakikisha kuwa tume ya afisa wa jeshi la wanamaji kama zawadi kwa ajili ya njama hii ya mtu badala ya kuwa makundi heroes viongozi watatu wa kirama walikamatwa kama wasaliti na kufungwa katika alcatraz basement ya mara kwa mara wakati wa uchunguzi baada ya kesi ya haraka na kuhukumiwa kwa uhaini waliachiliwa kifungo cha miaka kumi alcatraz na msamaha kutoka kwa rais lincoln unionists katika san francisco walishangazwa na tukio hilo na kuwa na hofu kwamba makundi mengine yalikuwa wanapanga sana miongoni mwao mnamo oktoba 1863 kivita wasiojulikana aliingia san francisco bay kwa sababu kulikuwa hakuna upepo bendera hung limp na watu katika mashua safumltdaiwa meli meli haikuongoza kuelekea san francisco inapowasili lakini badala yake alifanya njia kuelekea kwenye kisiwa cha malaika na silaha za kijeshi na jeshi la majini afisa jeshi katika alcatraz alikuwa na wajibu wa kuhakikisha kwamba hakuna kivita adui aliingia bay kapteni william a winder post kamanda aliamuru alcatraz artillery na moto malipo tupu kama ishara kwa ajili ya meli kuacha boti za safumliliendelea kuunganisha meli kisha kisha akaagiza watu wake moto kuwa ni ganda la wazi kuelekea kwenye upinde wa meli changamoto ya kujisalimisha kwa mamlaka ya mahali pale meli ilisimamishwa na kujibu kwa bunduki ambayo winder alithibitisha ilikuwa ni wakati wa bunduki 21 kupitia moshi alcatraz hatimaye vikosi vya kijeshi vinaweza kuona bendera ya uingereza ya hms sutlej bendera ya admiral john kingkuja alcatraz waliitikia na kuwasalimu kwa kurudi mara baada ya ujumbe walikuwa kubadilishana badala ya risasi kama kamanda mkuu wa pacific bahari ya royal squadron kingkuja aliandika kwamba alikuwa na hasira katika mapokezi yake huko san francisco kapteni winder alielezea matendo yake kwa kusema mwelekeo wa meli ulikuwa wa kawaida sana nilieleza wajibu wangu wa kumleta na kuifanya tabia yake kamanda wa marekani wa idara ya pacific mkono winder na alijibu kuwa kingkuja alikuwa na kupuuzwa na taratibu imara kwa ajili ya kuingia bandari ya kigeni wakati wa vita winder baadaye alipata barua ya kukumbusha mpole kutenda kwa tahadhari wengi san franciscans pongezi hatua winder kujua kwamba uingereza kubwa maria muungano kutokana na kiburi kwa alcatraz kubwa ya ngome fort alcatraz kamanda nahodha winder mamlaka alibainisha commercial wapiga picha bradley na rufolson kuchukua picha ya kisiwa katika majira ya joto ya 1864 wapiga picha walikuwa kina sana kukamata 50 maoni tofauti ya kisiwa hicho ikiwa ni pamoja na citadel kizimbani kambi za askari na kila barabara na bunduki katika kisiwa hicho ili kukabiliana na gharama za wapiga picha chapa za picha hizo zilikuwa portfolios na kuuzwa kwa umma kwa $200 seti hata hivyo idara ya vita katika washington dc haikuwasifu kwa ajili ya jitihada na kiburi chake katika makala yake lakini badala yake aliuliza nia ya winder kwa sababu baba yake alikuwa afisa katika jeshi la makundi katibu wa vita aliamuru chapa zote na nyingine kuwa na kuchukuliwa kama tishio kwa usalama wa taifa baadaye kapteni winder kwa unyenyekevu aliomba uhamisho wa hatua san jose kidogo ulinzi post juu ya bara baadaye jina jipya fort mason mbali na kugawanya taifa vita vya wenyewe kwa wenyewe wakati mwingine umegawanyika familia hasa katika majimbo ya mpaka wa maryland missouri na kentucky ambako kiasi cha sheria cha kisheria lakini hisia za umoja zilikuwa na nguvu familia ya kapteni william a winder alikuwa mfano mmoja na ahadi yao kwa muungano kutupwa i ya tuhuma juu ya kamanda wa fort alcatraz gazeti moja la ndani lilisema kuwa wakati jeshi alcatraz kapteni winder alikuwa kulisha wafungwa waasi uliofanyika huko juu ya mafuta ya ardhi na kutoka kwa mabamba ya fedha chuku hii iliyochapishwa ilikuwa ni madai maarufu sana kwa sababu baba yake brigedia jenerali john h winder alishtakiwa katika kaskazini kama afisa wa mawasiliano mwenye dhamana ya mfungwa wa kambi za vita kwa wanajeshi wa muungano kambi mbaya kwa sababu ya posho ya karibu na njaa na hali mbaya wawili kati ya kapteni william winder wa nusu ya ndugu walikuwa pia makapteni katika nafasi za wafanyakazi kwa ajili ya jeshi wakati binamu yake ya pili brigedia jenerali charles s winder alikufa katika kupambana na mkuu wa brigedi maarufu ya stonewall kitengo cha wasomi mara moja aliamuru na stonewall jackson mwenyewe kutokana na idadi ya makundi katika familia ya kapteni winder ilikuwa si ajabu kwamba ukosoaji vyema katika kuamka bradley na rulfolson picha fiasco kwa uhakika kwamba alcatraz ngome iliimarisha na kikosi ambacho afisa wake alikuwa na dhamana ya winder kukemewa na kunyenyekezwa kapteni winder alitafuta uhamisho na jeshi alimpangiwa kwa amri ya mason wa fort kwa ajili ya salio la vita muda mfupi baadaye alijiuzulu tume yake hata hivyo katika miaka ya baadaye winder alipokea ushuhuda kwa huduma yake ya uaminifu kutoka kwa idadi ya maafisa wenye ushawishi mkubwa ikiwa ni pamoja na kamanda wa idara ya california brigedia jenerali george wright ambaye aliandika nilikuwa na uhakika kabisa juu ya uaminifu wake kwa serikali wakati wa ukaguzi wa kawaida niliufanya wa alcatraz wakati wa amri yake mimi daima kupatikana kila kitu katika utaratibu kamili zaidi na hali ya kuridhisha mfumo wake wa ishara ya alarm ili kuzuia mshangao na maandalizi ya jumla ya kukutana na dharura yoyote kuwa na maarifa ya kina ya wajibu wake na wajibu wa ulinzi wa muhimu zaidi wa bandari na mji wa san francisco (kutoka kwa ripoti katika toleo 1894 nambari kikongamano) wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe kaa na umoja wa nchi walionekana kuwa na uwezekano wa kushinda jeshi la marekani lilikuwa tayari kujishughulisha na rasilimali zaidi za pwani ya pacific mwisho wa umwagaji damu ulikuja mbele wakati kundi jenerali robert e lee alijisalimisha jeshi lake kwa jenerali ulysses s grant katika appomattox mahakama house huko virginia tarehe 9 aprili 1865 tofauti na habari ya mwanzo wa vita ambayo ilichukua siku kumi na mbili kufikia california juu ya farasi habari ya mwisho wake kufikiwa san francisco kupitia telegraph mji huo uliibuka katika sherehe kubwa huku raia wakishaukiri mitaani na bunduki hizo kutoka katika ngome nyingi kuzunguka bay chini ya wiki moja baadaye juu ya aprili 15 mwingine telegraph alikuja kuleta furaha kidogo habari mauaji ya rais ibrahimu lincoln wakati huu mji ulishuka kwenye machafuko magenge ya umoja wa kitaifa ulioporwa ofisi za gazeti la jamii ya wenyeji na kuwashambulia raia wengi walidhani kuwa ni wafuasi wa serikali jeshi amri artillerymen kutoka fort alcatraz mjini ili kudumisha utaratibu kuzuia kufanya fujo na kumwadhibu yeyote ambaye alikuwa na ujasiri wa kutosha kufurahi katika janga hilo watu waliokuwa na makundi katika california ambao waliadhimisha kifo cha lincoln walikamatwa na kufungwa jela alcatraz wakati wa kipindi cha maombolezo rasmi ya jiji alcatraz betri ni kupewa heshima ya kutuma kanuni nususaa risasi juu ya bay kama ishara ya huzuni ya taifa posted katika historia
2020-08-07T20:45:59
https://www.alcatrazcruises.com/sw/blog/2017/12/04/alcatrazs-contributions-civil-war/
hiki hapa chanzo cha kifo cha kaka yake eric omondi hot clip new video funny keclipscom home / mboggo media / hiki hapa chanzo cha kifo cha kaka yake eric omondi hiki hapa chanzo cha kifo cha kaka yake eric omondi subscribe ili kuendelea kupata story za town kila siku hizi ndizo picha za uchi za rihana alizopiga bustani ya mashairi mwambao huapala hawaiian hula archi bongo fc | chizika na s kumbe bombardier ni maumivu kwa mtanzania kiasi hiki mwongozo kwa mfugaji utengenezaji wa vyakula hotuba inayomtesa mbowe na viongozi wa chadema hii hapa joining instructions za shule mbalimbali kwa jamhuri ya muungano wa tanzania glossary managing with al page hiki hawaiian definition haki kapasi hiki ha mavava haki kapasi united kingdom hoki japanese hike japan hoki japanese restaurant hikipanta hike kapalua hike apache falls hikihaku hike japan april hoki japanese atlanta iki japanese restaurant hoki japanese restaurant atlanta hakijapalvelut helsingin yliopisto hoki japanese restaurant atlanta ga iki japanese meaning hike apache national forest az with water iki japanese iki japanese restaurant menu hike appalachian trail hike napa 1002erick omondi alivyovunja watu mbavu zari all white party 207mchekeshaji eric omondi awashangaza wengi alipowasili kasarani kenya kwa aina yake 827good news hiki hapa kivuko kipya mwanza tazama kilivyoshushwa majini 422chindoman haikupangwa ( official music video) 449cheki mtanzania alivyounda gari la ajabu 131ukweli kuhusu ommy dimpoz kunusurika kifo south africa/ugonjwa 437mzee wa bwax ft khadija kopa mshamba wa kameraofficial music video liveranmase 22 septembre 2018 gwo debat cho sou tout sakap pase ayiti 200bungoma dead man walks 601mwizi on time 229wasanii 10 masikini bongo 201comedian eric omondi loses brother 353je wajua maajabu zaidi ya dunia 915eric omondi how to be joho 805eric omondi vs gustavo wrestling 1015eric omondi anchors news with betty kyalo 711mjini shule 344mchekeshaji eric omondi alivyovamia stage kucheza salome na diamond 224majonzi sababu za kifo cha mzee majutomaneno ya mwisho kabla ya mauti kumkuta 225rambo eric omondi on mission to rescue beauty queen
2018-09-22T15:55:16
http://keclips.com/ke-play/Keclips-hiki-hapa-chanzo-cha-kifo-cha-kaka-yake-eric-omondi-KeprNDJLN9bcg.html
bomba katika facebook ya milioni 700 + watumiaji na kama locker pro kama locker pro anaongeza tani ya makala nguvu kwamba pigo awali kama locker nje ya maji kuruhusu wewe kuongeza maelfu ya mashabiki anapenda na trafiki kijamii na karibu hakuna kazi anapenda zaidi = zaidi traffic = zaidi $$$$ kujenga kijamii vyombo vya habari kuwepo super juu ya usiku na kuifungia yote au sehemu tu ya posts yako facebook ni kuthibitika trafiki chanzo na inaweza kujenga mrefu ukuaji wa muda kwa ajili ya tovuti yako lock maudhui yoyote unataka nyuma kama au kushiriki button watumiaji wanaweza si kuona maudhui mpaka kifungo ni taabu html picha mkono audio kiwango cha nk hakuna njia ya kuona maudhui mpaka kama / share button ni taabu postlocker kipengele utapata moja kwa moja lock kila post / ukurasa kwenye tovuti yako unaweza pia kuchagua kuwatenga / tu kufuli kurasa fulani haki kutoka jopo admin pamoja na nguvu tinymce toolbar plugin kwamba utapata kujenga kama makabati bila kuandika line moja ya kanuni unlimited idadi ya kama makabati kwa kila ukurasa shortcodes kazi ndani ya makabati kwa mfano kama maudhui lock ina shortcodes shortcodes wale bado kazi mara moja bidhaa ni unlocked pamoja na dashboard kupeleleza na kufuatilia kamili kwamba utapata kuona ambaye ni liking / kugawana nini na kile kurasa wao ni kufungua yaliyomo kwenye kila locker zinaweza kuhifadhiwa umeboreshwa pamoja na 8 tofauti locker mandhari rangi msaada kwa ajili ya all facebook api locales tu kuingia nchi yako kanuni na kifungo kama itakuwa inavyosema locale yako ajax mipangilio / jopo admin matumizi mpya html5 toleo la facebooks kama button kwa ajili ya kufuatilia kuimarishwa kuthibitika kuongeza tani ya mashabiki na kuleta mizigo ya trafiki kijamii na maeneo yako pamoja na nyaraka kamili na maelekezo kazi juu ya vifaa vyote ios5 iphone ipad na itouch + wengi android devices mkuu kwa free download maeneo upatikanaji wa bidhaa premium unlocks tutorial vifaa vya downloads uwezekano ni kutokuwa na mwisho * version 20 imepakiwa 2013/08/14 aliongeza share kifungo msaada kwa makabati na baada locker aliongeza kifungo cover msaada css updates facebook api updates tracking updates dash widget na kuripoti updated na share msaada wengi kidogo fixes mdudu na maboresho mazingira new jopo 15 agosti 13 sambamba browsers ecommerce items wote locker content maudhui facebook jquery kama kama kifungo kama locker kama kufungua plugin kijamii kijamii vyombo vya habari virusi wordpress
2017-08-21T21:30:04
https://sw.worldwidescripts.net/facebook-like-locker-pro-for-wordpress-40605
maisha na mafanikio anaomba ushauri afanyeje aweze kuokoka na hili janga lebo jinsi ya kuyaokoa maisha ifikapo hatari simpo akate tawi au majani apambane na nyoka ambaye ni kiumbe dhaifu kuliko wengine kuliko kuchukua hatua nyingine tofauti na hiyo kifo cha nyoka kinaweza kuchukua muda mrefu ikilinganishwa na mamba simba na maji ukimungúnya nchale ukitema nchaleby salumu kaka mhango ushauri wako nimeukubali maana hapo simba anasubiri kitoweo vilevile mamba naye kaka salumuhuo usemi nimejifunza kitu maana ni mara ya kwanza kuusikia ahsante
2017-10-23T17:16:51
http://ruhuwiko.blogspot.com/2016/05/anaomba-ushauri-afanyeje-aweze-kuokoka.html
uchumi wa china waendelea kwa utulivu katika mwezi wa aprili china radio international uchumi wa china waendelea kwa utulivu katika mwezi wa aprili (gmt+0800) 20180515 182628 ofisi ya habari ya baraza la serikali ya china leo imefanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu hali ya maendeleo ya uchumi wa china katika mwezi aprili msemaji wa idara ya takwimu ya china amesema hali ya uchumi wa china katika mwezi wa aprili iliendelea kwa utulivu na china ina uwezo na mazingira ya kudumisha mwelekeo mzuri wa maendeleo ya uchumi msemaji wa idara ya takwimu ya china bi liu aihua amesema mwezi uliopita hali ya uchumi wa china ilidumisha mwelekeo mzuri anasema kwanza shughuli za uzalishaji haswa wa viwanda ziliongezeka katika miezi minne iliyopita thamani ya uzalishaji viwandani iliongezeka kwa asilimia 96 ikilinganishwa na mwaka jana wakati kama huu huku thamani ya mauzo ya bidhaa ikiongezeka kwa asilimia 97 bi liu aihua alipozungumzia hali ya ajira amesema watu wasio na ajira imekuwa chini ya asilimia 5 katika mwezi uliopita na kupungua kiasi ikilinganishwa na mwaka jana wakati kama huu wakati huo huo kiwango cha bei ya bidhaa kimeongezeka kwa kiasi kinachofaa kuhusu hali ya uchumi katika robo ya pili bi liu aihua amesema china ina uwezo na mazingira i ya kudumisha mwelekeo mzuri wa maendeleo ya uchumi anasema kwanza kwa hali ya jumla china imeendelea kuboresha muundo wa uchumi na uhusiano wa utoaji na mahitaji pili mapato ya watu wa hali mbalimbali vinaongezeka na imani ya makampuni na masoko kuhusu hali ya uchumi inaongezeka bi liu aihua amesema china ina soko kubwa zaidi duniani inakamilisha miundombinu yake haswa reli na barabara za mwendo kasi na kiwango cha akiba ya pesa ya wananchi katika benki ni cha juu hali hizo zinahakikisha uchumi wa china unaendelea vizuri
2019-01-18T04:54:01
http://swahili.cri.cn/141/2018/05/15/1s174625.htm
amuuwa mtoto kwa kumchapa fimbo mwingine auwawa kwa kuchomwa moto akituhumiwa ujambazi mkazi mmoja wa kata ya nyasho katika manispaa ya musoma aliyefahamika kwa jina la yohana msafiri (38) amemuuwa mtoto wake veronica yohana kwa kumchapa na fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake desemba 23 na kupelekea kifo chake akiwa njiani kupelekwa hospitali baada ya kuzidiwa na maumivu katika taarifa yake kwa vyombo vya habarikamanda wa jeshi la polisi mkoani mara absalom mwakyoma alisema tukio hilo lilitokea majira ya saa 5 usiku katika maeneo hayo ya nyakato ambapo chanzo cha kuchapwa viboko kwa mtoto huyo na matatizo ya kifamilia alisema mzaza wa mtoto huyo anashikiliwa na jeshi la polisi kutokana na tukio hilo ambapo amedai mara baada ya kukamilika kwa upelelezi mzazi huyo atafikishwa mahakamani kuweza kujibu tuhuma zinazomkabili kutokana na tukio hilo kamanda mwakyoma amewataka wazazi kuangalia adhabu mbadala ambazo wanaweza kuwapa watoto pale wanapokuwa wanafanya makosa katika kuwafunza na sio kuwa na hasira ambayo inaweza kupelekea madhara mengine makubwa zaidi wazazi lazima waangalie adhabu mbadala ambazo zinapaswa kupewa watoto pale wanapofanya makosa maana kwanza ifahamike hawa ni watoto na yaale wanayoyafanya ni kutopkana na utoto wao hivyo iwepo busara katika kutaka kutoa adhabu kwa watoto wetualisema kamanda mwakyoma katika tukio lingine kamanda huyo wa jeshi la polisi mkoani mara alisema mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la gogogo anayekadiliwa kuwa na umri kati ya mika 40 na 45 mkazi wa bunda aliyekuwa akiishi kata ya nyakato mshikamano katika manispaa ya musoma aliuwawa kwa kushambuliwa na kuchomwa moto kwa kudaiwa anahusika katika matukio ya ujambazi kamanda mwakyoma alisema wananchi wanapomuhisi mtu anashiliki katika matukio ya uhalifu ni vyema kutoa taarifa polisi na si kujichukulia sheria mkononi kwani hata kama mtuhumiwa anashiliki anapokamatwa anaweza kutoa taarifa ambazo zinaweza kuwapata watu wengine ambao anashiliki nao katika matukio hayo alisema kujichukulia sheria mkononi ni kosa kwa mujibu wa sheria na atakaye kamatwa kutokana na kosa la kujichulia sheria mkononi atafikishwa mahakamani kutokana na kosa hilo na kutoa tahadhari kwa wananchi kuacha tabia hiyo kwani haifai na sheria hairuhusu kujichukulia sheria mkononi
2018-02-19T10:02:11
http://shommibinda.blogspot.com/2012/12/amuuwa-mtoto-kwa-kumchapa-fimbo.html
the superstars tz binti atorokea uingereza kukwepa kuolewa na mfalme mswati iii kushoto tintswalo ngobeni katikati sherehe za kimila ambapo mfalme huchagua mke kati ya wasichana hao kulia mflame mswati iii tintswalo ngobeni mwenye umri wa miaka 22 alitimkia uingereza kutoka taifa hilo la kusini mwa afrika akiwa na umri wa chini ya miaka 18 baada ya kuvuta hisia za mfalme huyo milionea mtawala maarufu mkandamizaji kwa maisha yake ya anasa ikiwa ni sehemu ya mila za swazi mfalme mswati iii mwenye umri wa miaka 45 ameruhusiwa kuchagua mke mpya kila mwaka tintswalo ambaye sasa anaishi mjini birmingham alikuwa na umri wa miaka 15 tu wakati mfalme huyo alipofanya harakati zake baada kumuona kwenye jumba la kifalme la mke wake wa nne langangaza binti huyo alisema 'alitishika' pale alipogundua dhamira zake za ndoa wake zake wamewekwa kwenye majumba yao wakizingirwa na walinzi na hakika hawawezi kwenda kokote isipokuwa tu mfalme akisema hivyo kitu pekee wanachofanya ni kwenda marekani mara moja kwa mwaka wakati mfalme huyo anapowapatia posho kwa ajili ya manunuzi tintswalo alikuwa amelazimishwa kuachana na maisha ya starehe kwenye shule moja ya bweni huku shangazi yake ambaye alikuwa mlezi wake mkuu akisuka mipango ya kutorokea uingereza kuungana na mama yake ambaye alihamia mjini birmingham miaka mitano kabla akimtoroka mume wake mnyanyasaji sikuwa na jinsi alisema hakuna aliyewahi kumwangusha mfalme huyo au kuthubutu kumdharau hivyo nikatoweka tu tangu kuwasili nchini uingereza tintswalo amekuwa sauti ya upinzani dhidi ya utawala kandamizi za swazi ambapo vyama vya upinzani vya siasa vimefungiwa na wanaharakati wamekuwa wakikamatwa mara kwa mara au kushambuliwa hatahivyo shughuli kuu za tintswalo ikiwamo maandamano ya kila wiki nje ya ubalozi wa swazi mjini london akiwa na kikundi cha swazi vigil zimesikika kwa mamlaka hizo nchini kwake na sasa anaamini yuko kwenye hatari kubwa zaidi kuliko ilivyowahi kutokea alisema hivi karibuni nilipata taarifa kwamba watu wametumwa kutoka swaziland kuja kunikamata jambo ambalo hakika linanitisha mno kama nikirejea nitakamatwa au mbaya zaidi huku pale kuna watu ambao wanateseka kupigwa au kuuawa kwa kujihusisha na siasa tintswalo sasa anaishi katika mashaka ya kuweza kurejea nchini swaziland baada ya ombi lake la kwanza la hifadhi ya kisiasa nchini uingereza mwaka 2007 kukataliwa mwaka 2011 mwezi uliopita alikamatwa na kupelekwa kwenye kituo cha kushikilia wahamiaji baada ya miezi 18 ya kuripoti kila wiki katika mamlaka hizo hatahivyo baada ya shinikizo kutoka tuc na ofisi ya mbunge wa birmingham kupitia chama cha labour roger godsiff tintswalo aliachiwa na sasa amekata rufaa wizara ya mambo ya ndani godsiff alisema juzi tumefurahishwa mno wanasheria walifanikiwa sana katika kuwezesha kutazamwa upya kwa kesi ya ngobeni baba huyo wa watoto 27 mfalme mswati iii alikuwa mgeni kwenye harusi ya william na kate na pia kwenye sherehe za miaka 50 ya malkia wakati wa majira ya joto mwaka jana mke wa sita wa mfalme huyo alitoroka kutoka kwenye jumba hilo harimu mwaka jana akielezea miaka kadhaa ya 'machungu na udhalilishaji wa kimwili' uliofanywa na mume wake msemaji wa wizara ya mambo ya ndani alikataa kuzungumzia chochote posted by thesuperstars at 1146 pm
2017-12-16T07:16:35
http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/05/binti-atorokea-uingereza-kukwepa.html
teknolojia waziri makamba azindua kamati ya kitaifa ya matumizi salama ya bioteknolojia ya kisasa jijini dar wazalendo 25 blog home habari jamii kilimo matukio teknolojia teknolojia waziri makamba azindua kamati ya kitaifa ya matumizi salama ya bioteknolojia ya kisasa jijini dar teknolojia waziri makamba azindua kamati ya kitaifa ya matumizi salama ya bioteknolojia ya kisasa jijini dar gadiola emanuel march 02 2016 habari jamii kilimo matukio teknolojia tags # habari # jamii # kilimo # matukio # teknolojia posted by gadiola emanuel gadiola emanuel at march 02 2016 labels habari jamii kilimo matukio teknolojia
2018-06-25T11:38:39
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/03/teknolojia-waziri-makamba-azindua.html
kiss daniel sio msanii wa gworldwide tena sababu ni label yake seetheafricanlink home / music / news / nigeria / kiss daniel sio msanii wa gworldwide tena sababu ni label yake kiss daniel sio msanii wa gworldwide tena sababu ni label yake mwanamuziki kiss daniel wa nigeria ametangaza mabadiliko ya uongozi anaofanya nao kazi na rasmi ameipiga chini label gworldwideiliyokua ikisimamia kazi zake na badala yake amehamia flyboy inc ambayo ni ya kwake mwenyewe kiss daniel amethibitisha hayo kwenye maongezi na pulsetv kwa kudai anaamua kuondoka gworldwide ili kusogea zaidi kuikuza label yake na taratibu zote zinazohusu muziki wake hazitahusiana na uongozi wa zamani ngoma ya kiss daniel inayofanya poa kwa sasa ni yeba unaweza kuicheki hapa
2018-06-20T20:59:02
http://www.seetheafrica.com/2017/11/KissDaniel.html
ni nani hawa wapanda farasi wanne wa ufunuo swali ni nani hawa wapanda farasi wanne wa ufunuo jibu wapanda farasi wanne wa ufunuo wameelezewa katika ufunuo sura ya 6 aya 18 wapanda farasi wanne ni maelezo ya mfano wa matukio tofauti ambayo yatafanyika katika nyakati za mwisho farasi wa kwanza wa utabiri ametajwa katika ufunuo 62 nikaona na tazama farasi mweiupe nay eye aliympanda an uta akapewa taji naye akatoka ali akkishinda tena apate kushidna huyu farasi wa kwanza kuna uwezekano kuwa aanamrejelea mpinga kristo ambaye atapewa mamlaka na kushinda wote wanaompinga adui wa kristo ni wafananishwaji uongo wa kristo wa kweli ambaye pia atarudi juu ya farasi mweupe (ufunuo 191116) mpanda farasi wa pili wa ufunuo anaonekana katika ufunuo 64 akatoka farasi mwingine mwekundu sana naye aliyempanda alipewa kuiondoa amani katika nchi ili watu wauane naye akapewa upanga mkubwa mpanda farasi wa pili inahusu vita vya kutisha vitakavyo tokea katika nyakati za mwisho farasi wa tatu ni kama ilivyoelezwa katika ufunuo 656 inasema na tazama farasi mweiusi nay eye aliyempanda ana mizani mkononi mwake nikasikia kama sauti katikati ya hao wenye uhai wane ikisema kibaba cha ngano kwa nusu rupia na vibaba vitatu vya shayiri kwa nusu rupia wala usiyadhuru mafuta wala divai mpanda farasi wa tatu wa ufunuo inahusu njaa kubwa itakayotokea kuna uwezekano kama matokeo ya vita vya kutoka mpanda farasi wa pili mpanda farasi wa nne anatajwa katika ufunuo 68 nikaona na tazama farasi wa rangi ya kijivujivu nay eye aliyempanda jina lake ni mauti na kuzimu akafuatana naye nao wakapewa mamlaka juu ya robo ya nchi waue kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni na kwa hayawani wa nchi farasi wa nne wa ufunuo ni ishara ya kifo na uharibifu inaonekana kuwa mchanganyiko wa farasi aliyepita farasi wa nne wa ufunuo huleta vita zaidi na njaa kali pamoja na mapigo ya kutisha na magonjwa je la ajabu zaidi au labda kutisha ni kwamba farasi wa nne wa ufunuo ni mtangulizi wa hukumu mbaya zaidi ambayo itakuja baadaye katika dhiki (ufunuo sura ya 89 na 16)
2018-08-16T23:35:29
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Farasi-wanne-wa-ufunuo.html
ba nsangaji i boba bengidila leza wa nsangaji1 temote 111 | kiteba kya mulami ba nsangaji i boba bantu badi na leza wabo yehova​ñimbo ya mitōto 14415 ñimbo 44 125 le i bika byotufwaninwe kulonga pa kwikala na nsangaji ya bine le i ngikadilaka itukwasha twikale na nsangaji mwanda waka tubwanya kwikala na nsangaji nansha shi tudi mu makambakano 1 mwanda waka batumoni ba yehova i bantu ba nsangaji (tala kifwatulo ku ngalwilo) batumoni ba yehova i bantu ba nsangaji ponso pobebunga pamo ekale ku kupwila ku bitango nansha ke ku mafetyi besambanga koku basepa mwanda waka badi na nsangaji uno muswelo i mwandatu bayukile yehova leza wa nsangaji bamwingidilanga ne kulonga bukomo bwa kumwiula (1 temote 111 ñimbo ya mitōto 1611) yehova ye nsulo ya nsangaji o mwanda usaka netu twikale na nsangaji kadi witupanga bubinga buvule bwa kwikadila na nsangaji​kupituluka 127 musapudi 312 13 2 3 (a) le kwikala na nsangaji kushintulula bika (b) mwanda waka tubwanya kukomenwa kwikala na nsangaji 2 le abe nobe le udi na nsangaji kwikala na nsangaji i kwiivwana biyampe kusangela bobe būmi nansha kuloelelwa bininge bible ulombolamba boba beselwe na yehova bo babwanya kwikala na nsangaji ya bine inoko mwanda waka tubwanya kukomenwa kwikala na nsangaji mu ntanda ya dyalelo 3 tubwanya kukomenwa kwikala na nsangaji potudi mu ngikadilo mikomo kimfwa shi muntu otusenswe wafu nansha kupangwa mu kipwilo shi tubelubula nansha kutalulwa pa kaji kadi tubwanya kukomenwa kwikala na nsangaji shi mu njibo mwetu kemudipo ndoe pa mwanda wa ñuma ya kyaba kyonso shi betuzawila kudi bakwetu ba ku kaji nansha ba ku masomo nansha shi tupangwapangwa ne kukutwa pa mwanda wa yehova otwingidila nansha padi i kubela tubwanya kwikala na misongo ya zenzeka nansha kunyoñama pa mutyima ino tuvulukei amba yesu kidishitu mwine wa nsangaji kadi umo kete wa lupusa lukatampe nansha muludiki usenswe kusenga bantu ne kwibakwasha bekale na nsangaji (1 temote 615 mateo 112830) mu busapudi bwa ku lūlu yesu wātelelemo ngikadila ibwanya kwitukwasha twikale na nsangaji nansha shi tudi na makambakano mavule pa mwanda wa ntanda ya satana yotushiketemo ketubwanyapo kwikala na nsangaji pampikwa yehova 4 5 le tukalonga bika pa kwikala na nsangaji ne kwiilama 4 kintu kibajinji kyātelele yesu kyo kya mvubu mpata wānenene amba ba nsangaji i boba bayukile amba kudi byobasakilwa ku mushipiditu mwanda bulopwe bwa mūlu i bwabo (mateo 53) shi tuyukile amba kudi byotusakilwa ku mushipiditu tukajingululamba tusakilwa kuyuka leza ne amba tusakilwa bukwashi ne buludiki bwandi le tukalombola kino namani i na kwifunda bible kukōkela leza ne kutūla butōtyi botumutōta pa kifuko kibajinji mu bwetu būmi kulonga bino bintu kuketukwasha twikale na nsangaji kikulupiji kyotukulupile amba milao ya leza isa kufikidila panopano kikaningilako kadi lukulupilo lwa nsangaji lotutana mu bible luketukankamika​tetusa 213 5 shi tusaka kwikala na nsangaji nansha shi tubatanwa na bika mu būmi tufwaninwe kuningija nyeke kipwano kyetu na yehova mutumibwa polo wālembele amba sangalai mafuku onso mudi mfumwetu kadi nkanena monkamba sangalai (fidipai 44) pa kupwana bininge na yehova tufwaninwe kwikala na tunangu twa bwine leza kinenwa kya leza kinenamba wa nsangaji i yewa muntu utana tunangu ne muntu utambula kusansanya i mutyi wa būmi ku boba bakweteto kadi boba bakwatyijeto baketwa bu ba nsangaji​nkindi 313 18 6 le i bika bikwabo byotufwaninwe kulonga pa kwikala nyeke na nsangaji 6 inoko pa kusaka twikale nyeke na nsangaji i biyampe twingidije nyeke byobya byotwifunda mu bible yesu wālombwele mvubu ya kulonga namino paānenene amba shi muyukile bino bintu mwi ba nsangaji shi mulongabyo (yoano 1317 tanga yakoba 125) kino kidi na kamweno shi tusaka kuvuija bisakibwa byetu bya ku mushipiditu ne kwikala nyeke na nsangaji ino i musweloka otubwanya kwikala na nsangaji byokudi bintu bivule bikokeja kwitujimijijayo tutalei bidi bintu bikwabo byānenene yesu mu busapudi bwa ku lūlu ngikadila ituletela nsangaji 7 le boba badila madilo babwanya kwikala na nsangaji namani 7 ba nsangaji i boba badila madilo mwanda bakaseñwanga (mateo 54) tubwanya kwiipangulamba le boba badila madilo babwanya kwikala na nsangaji namani yesu kādipo wisambila pa muntu yense udila madilo bantu bavule babi badilanga madilo nansha kwikala na bulanda mwanda batanwanga na makambakano avutakanya ñeni mu ano mafuku a mfulo makomo ne mwa kulongela (2 temote 31) inoko betele mutyimanka abo bene pa kyaba kya yehova o mwanda kebasakengapo kupwana nandi kadi kebabwanyapo kwikala na nsangaji yesu wādi wisambila pa boba bayukile amba kudi byobasakilwa ku mushipiditu badilanga madilo mwanda bamonanga bantu bavule bapela leza nansha kwiendeja mu muswelo usaka leza kadi bayukile amba i babipyamambo kadi bamonanga bintu bibi bilongeka mu ino ntanda yehova umwene bano bantu badila madilo a binebine wibasenga na kinenwa kyandi ne kwibapa nsangaji ne būmi​tanga ezekyele 511 94 8 le kwikala na ngikadila italala kubwanya kukukwasha namani wikale na nsangaji 8 ba nsangaji i ba ngikadila italala mwanda bakapyananga ntanda (mateo 55) le kwikala na ngikadila italala kubwanya kukukwasha namani wikale na nsangaji bantu bavule badi na kibengo ne bukalabale bine bibwanya kuleta makambakano mavule ino shi abefunde bubine bashintanga ne kuvwala bumuntu bupya ke balombola kisanso kya mutyima wa lusalusa kanye kwityepeja kutalala ne kitūkijetyima (kolose 3912) ku mfulo baikala mu ndoe kipwano kiyampe na bakwabo ne kwikala na nsangaji kadi kinenwa kya leza kilaile amba bakapyananga ntanda​ñimbo ya mitōto 37810 29 9 (a) le yesu wādi ukimba kunena bika paānenene amba ba ngikadila italala bakapyananga ntanda (b) mwanda waka boba badi na nzala ne kyumwa kya boloke babwanya kwikala na nsangaji 9 le yesu wādi ukimba kunena bika paānenene amba ba ngikadila italala bakapyananga ntanda bashingwe māni bakapyananga ntanda kitatyi kyobakeiludika bu balopwe ne bu babitobo (kusokwelwa 206) midiyo ne midiyo ya bantu bakwabo kebadipo na lukulupilo lwa kwenda mūlu bakapyananga ntanda kitatyi kyobakekalapo nyeke ne nyeke bakekala babwaninine mu ndoe ne na nsangaji bano bantu bonso bo bānenene yesu amba ba nsangaji i boba badi na nzala ne kyumwa kya boloke (mateo 56) kyumwa kyabo kya boloke kikapwa kitatyi kikatalula yehova bibi byonso (2 petelo 313) mu ntanda mipya bantu boloke bakekala na nsangaji kadi kebakadilapo monka madilo pa mwanda wa bibi bilonga bantu babi​ñimbo ya mitōto 3717 10 le kwikala ba lusa kushintulula bika 10 ba nsangaji i ba lusa mwanda bakafwilwanga lusa (mateo 57) kwikala ba lusa i kwikala na kanye lusalusa ko kunenamba kwivwanina muntu ususuka bulanda inoko lusa lulombanga bivule kupitakotu kwikala na kanye bible ufundijamba kwikala na lusa i ne kulongapo kintu mwanda wa kukwasha bakwetu 11 le kyelekejo kya mwine samadia muyampe kitufundija bika 11 tanga luka 103037 kyelekejo kya yesu kya mwine samadia muyampe kilombola mwine mushintulwila kwikala na lusa mwine samadia wāivwanine muntu wādi ususuka lusa ne bulanda ne kino kyāmutonwene amukwashe yesu pa kupwa kuleta kino kyelekejo wānenene amba enda nobe ukalongenka nankyo nanshi tubwanya kwiipangulamba le nami noñanga namino le noñanga mwālongele mwine samadia muyampe shi bakwetu basusuka le noñangapo kintu mwanda wa kwibakwasha kimfwa le mbwanya kukwasha banunu mu kipwilo bakishala nansha bana badi na bambutwile kebengidilapo yehova le mbwanya kwisamba mu muswelo usenga boba banyoñame pa mityima mwanda wa kwibasenga​1 tesalonika 514 yakoba 127 badikila kukwata mulangwe wa kukwasha bakwenu ukemwena nsangaji ilupukako (tala musango 12) 12 mwanda waka twikalanga na nsangaji shi tudi na lusa 12 mwanda waka twikalanga na nsangaji shi tudi na lusa shi tukwatyilwa bakwetu lusa nabya tupānanga kadi yesu wānenene amba kupāna kwituletelanga nsangaji bubinga bukwabo i buno amba tuyukile amba tusangajanga yehova (bilongwa 2035 tanga bahebelu 1316) mulopwe davida wēsambīle pa muntu wa lusamba yehova ukamulamanga ne kumupandija ukatelwa bu wa nsangaji pa ntanda (ñimbo ya mitōto 411 2) shi tukwatyilwa bantu lusa ne kanye nabya yehova nandi uketufwila lusa kadi tubwanya kwikala na nsangaji nyeke ne nyeke​yakoba 213 kikadile ba mutyima utōka tō na nsangaji 13 14 mwanda waka kwikala ba mutyima utōka tō kudi na mvubu 13 yesu wānenene amba ba nsangaji i ba mutyima utōka tō mwanda bakamonanga leza (mateo 58) pa kwikala ba mutyima utōka tō tufwaninwe kulama milangwe ne mutyima utōka nansha wampikwa disubi kino kidi na mvubu shi tusaka yehova etabije butōtyi bwetu​tanga 2 kodinda 42 1 temote 15 14 boba ba mutyima utōka tō babwanya kwikala mu kipwano kiyampe na yehova mwine wānenene amba ba nsangaji i boba bakenda minkukumba yabo (kusokwelwa 2214) le kukenda minkukumba yabo kushintulula bika ku bene kidishitu bashingwe māni kushintululamba yehova wibamwene bu ba kubulwa disubi ukebapa būmi bwa kubulwa kufwa momwa mūlu kadi bakekala na nsangaji nyeke ne nyeke ku kibumbo kikatampe kya bantu bakulupile kwikala pano pa ntanda kushintululamba yehova i mwibape mukenga wa kwikala balunda nandi mwanda wibamwene bu boloke bible unenamba i bakende minkukumba yabo ne kwiitōkeja mu mashi a kana ka mukōko​kusokwelwa 79 13 14 15 16 le ba mutyima utōka tō babwanya kumona leza namani 15 yehova wānenene amba i kutupu muntu ubwanya kumona ami kadi ekale mūmi (divilu 3320) penepa le ba mutyima utōka tō babwanya kumona leza namani kishima kya kingidiki kyalamwinwe bu kumona kibwanya kufunkila pa kufwatakanya kwivwanija nansha kuyuka nanshi kumona leza kushintulula kuyuka mwaikadile ne kusanswa ngikadila yandi (efisesa 118) yesu wāiwile ngikadila ya leza mu muswelo mubwaninine o mwanda wānenene amba yewa ense umona ami wamone ne tata mwine​yoano 1479 16 kadi tumonanga leza potwimwena muswelo waetukwasha mu būmi bwetu (yoba 425) ne kadi tubwanya kumona nansha kuta mutyima ku bintu bya kutendelwa bilaile yehova kulongela boba balamine butōki bwabo ne kumwingidila na kikōkeji ino bashingwe māni abo bamonanga yehova mpala na mpala pobasangulwa ne kwenda mūlu​1 yoano 32 tubwanya kwikala na nsangaji nansha shi tudi mu makambakano 17 mwanda waka boba baleta ndoe badi na nsangaji 17 kadi yesu wānenene amba ba nsangaji i boba baleta ndoe (mateo 59) shi tubadikila kukwata mulangwe wa kwikala mu ndoe na bakwetu tukekala na nsangaji mwanā bwanga yakoba wānenene amba kipa kya boloke kikunwanga mu ndoe mwanda wa boba baleta ndoe (yakoba 318) nanshi shi ukolelwanga kwiivwana na muntu kampanda mu kipwilo nansha mu kisaka nabya zenza yehova akukwashe wikale muntu uleta ndoe ebiya yehova ukakupa mushipiditu wandi ujila mwine ukakukwasha ulombole ngikadila ya bwine kidishitu kadi ukekala na nsangaji yesu wālombwele mvubu ya kubadikila kukwata mulangwe mwanda wa kuleta ndoe paānenene amba ebiya shi uleta kyabuntu kyobe ku kisōkelo ino kwinekwa ubavulukamba mwanenu udi nobe mwanda shiya kyabuntu kyobenka kwinekwa ku meso a kisōkelo taluka wende dibajinji kapwane bidi na mwanenu kupwa joka ulambule kyabuntu kyobe​mateo 523 24 18 19 mwanda waka bene kidishitu basangalanga nansha shi bapangwapangwa 18 mwi ba nsangaji shi bantu bemufutulula ne kwimupangapanga ne kwimunenena bintu bibibibi bya bubela bya miswelo yonso pa mwanda wa amiwa le i bika byādi bikimba kunena yesu wābwejejeko amba sepelelai ne kusangala bininge mwanda mpalo yenu i mikatampe mūlu kepantu e monka mobādi bapangilapangila ne bapolofeto bēmubadikidile (mateo 511 12) pobākupile batumibwa ne kwibapeleja kusapula abo bataluka ku meso a sanedini benda basangele na bubine kebāsangedilepo kukupilwa ino bāsangele mwanda [bāmwekele] bu bantu bafwaninwe kufutululwa pa mwanda wa dijina dya yesu​bilongwa 541 19 dyalelo nadyo bantu ba yehova bōmininanga na nsangaji pobapangwapangwa mwanda wa dijina dya yesu (tanga yakoba 124) pamo bwa batumibwa ketusangelangapo kususulwa nansha kupangwapangwa ino shi tukōkele yehova nyeke uketupa bukankamane botusakilwa pa kūminina tulangulukilei bidi pa myanda yatene ba henryk dornik ne mwanabo mu kweji 8 1944 batuminwe mu komponi ka masusu boba badi bebapangapanga banenene amba i bikomo kwibanekenya balonge kintu kampanda kususulwa pa mwanda wa leza wabo kwibaletelanga nsangaji henryk wanenene amba nansha byonkyadipo nsaka kususulwa kususuka na bukankamane ne bulēmantu pa mwanda wa kulamata yehova kwaundetele nsangaji ubwejako amba milombelo ya kininga yaumfwenyenye kudi yehova ebiya nandi welombola bu mukwashi ukulupilwa 20 mwanda waka tusangedile kwingidila leza wa nsangaji 20 shi yehova leza wa nsangaji witusangedile nabya netu tubwanya kwikala na nsangaji nansha shi tupangwapangwa tulwibwa na kisaka tubela nansha shi tubanunupa (1 temote 111) kadi tubwanya kwikala na nsangaji mwanda leza wetu mwine kabwanyapo kubepa i mwitulaye bintu bivule bya kutendelwa (tetusa 12) kitatyi kikafikidija yehova milao yandi ketukavulukapo nansha dimo makambakano otudi nao dyalelo na bubine ketubwanyapo kufwatakanya ne pa mfulo muswelo ukalumbuluka būmi mu paladisa ne motukekadila na nsangaji bine tukaloelelwanga bininge mu bungibungi bwa ndoe​ñimbo ya mitōto 3711
2019-05-21T07:32:19
https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/mapepala/kiteba-kya-mulami-kya-kwifunda-kweji9-2018/ba-nsangaji-i-boba-bengidila-leza-wa-nsangaji/
malale hamsini apewa shavu ruvu shooting | boiplus » malale hamsini apewa shavu ruvu shooting malale hamsini apewa shavu ruvu shooting uongozi wa timu ya maafande wa ruvu shooting umeingia makubaliano na kocha malale hamsini kuifundisha timu hiyo kipindi cha mzunguko wa pili wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara kocha malale tayari amewasili kambini mabatini ambapo jumatatu desemba 5 ataanza rasmi majukumu aliyokabidhiwa ya kukinoa kikosi hicho kama kocha mkuu ofisa habari wa wa ruvu shooting masau bwire alisema uongozi umefikia maamuzi ya kumchukua kocha huyo kutokana na uwezo wake mzuri wa kufundisha mpira kama unavyopambanuliwa na mafanikio makubwa katika timu alizowahi kuzifundisha malale ni kocha mzuri sana ameifundisha timu ya jku kwa mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuipandisha hadi ligi kuu ya zanzibar mwaka 2013 msimu wa 2014 ikiwa mikononi mwake ilishika nafasi ya pili katika ligi hiyo ya zanzibar aliifikisha timu hiyo nusu fainali ya mashindano ya kombe la mapinduzi pia aliiwezesha kutwaa ubingwa wa mashindano ya majeshi mwaka 2013 jijini dar es salaam alisema masau mzunguko wa pili wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara msimu wa 2015/16 alikwenda kuifundisha ndanda fc ambayo ilimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi ya msimu huo ikiwa ya pili kutoka mwisho lakini akaiwezesha timu hiyo kumaliza ligi ikiwa nafasi ya saba aidha uongozi wa ruvu shooting ulisema kwamba malale akiwa na timu ya jkt ruvu msimu huu wa ligi mbali na timu hiyo kutokuwa katika nafasi nzuri ya msimamo ameiwezesha timu hiyo kuonesha ubora wa kucheza mpira wa kufundishwa tunaimani malale ni kocha mzuri kwa ushirikiano wake na msaidizi wake seleman mtungwe ambaye naye ni kocha bora mwenye viwango timu yetu itakuwa imara na bora zaidi itakuwa tishio na tutafanya vizuri mno katika msimu huu wa ligi alisema masau malale ambaye pia ni kocha msaidizi wa timu ya taifa ya zanzibar zanzibar heroes alianza rasmi kazi ya ukocha mwaka 2004 akiifundisha kwa mafanikio makubwa timu ya ngome ya fuoni na baadaye timu ya faru ya jumbi
2017-01-18T10:04:10
http://boiplus.blogspot.com/2016/12/malale-hamsini-apewa-shavu-ruvu-shooting.html
18 mbaroni vurugu za iringa kufuatia vurugu azilizojitokeza mkoani iringa jana baina ya jeshi la polisi na wananchi katika eneo la mji wa ilula kijiji cha dinginayo wilayni kilolo askari watano wamejeruhiwa na raia wawili huku mwananmke mmoja kaipoteza maisha kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani iringa pudensia protas amethibitisha kutokea kwa vurugu hizo zilizotokea majira ya sane asubuhi na tayari jeshi la polisi linawashikilia watu 18 kwa mahijiano na zaidi vurugu hizo zilisababisha kifo cha mwananmke mmoja aliyejulikana kwa jina mwanne mtandipamoja na uharibifu wa mali za jeshilapolisi ikwemo garipikpiki na uvunjifu wa jengo la polisi kwa kuvunja vioo aidha kamanda amesema kuwa fujo hizo zilisababishwa na operesheni kuhusu uuzaji wa pombe za kienyeji na makosa mbalimbali kwa wananchi huku akiwataka wananchi kutokujichukulia sheria mkononi ili kuepusha majanga kama hayo hata hivyo katika vurugu hizowananchi wamegomea polisi mwili wa mwanamke huyo aliyefariki kutokana na vurugu hizo na kwa shinikizo la kuachiwa kwa watuhumiwa 18 waliokamatwa na jeshi la polisi
2018-03-18T21:28:16
https://www.ajirazetu.com/blog/news/18-mbaroni-vurugu-za-iringa
serengeti boys kuwasili cameroon kwa mchezo wa kirafiki mmedia tz '+g+ home » michezo » serengeti boys kuwasili cameroon kwa mchezo wa kirafiki serengeti boys kuwasili cameroon kwa mchezo wa kirafiki timu ya taifa ya tanzania ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 'serengeti boys'i inataraijiwa kuwasili katika jiji la yaounde nchini cameroon kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya kikosi cha vijana wenye umri huo huo cha cameroon vijana hao ambao ni tegemeo la taifa katika michuano hiyo mikubwa kabisa barani afrika watacheza michezo miwili dhidi ya cameroon mjini yaoundé katika mchezo wa mwisho wa kujipima nguvu 'serengeti boys' imepata ushindi wa magoli 21 dhidi ya gabon ambao ni wenyeji wa michuano ya afcon u17 2017 mechi hiyo ilipigwa nchini morocco
2017-09-20T20:11:57
http://massackymedia.blogspot.com/2017/04/serengeti-boys-kuwasili-cameroon-kwa.html
tume ya uchaguzi yaridhia kuhamishwa kwa vituo 46 vya kupigia kura kinondoni habari za jamii home / siasa / tume ya uchaguzi yaridhia kuhamishwa kwa vituo 46 vya kupigia kura kinondoni dotto mwaibale 328 am siasa
2018-02-20T15:25:34
http://www.habarizajamii.com/2018/02/tume-ya-uchaguzi-yaridhia-kuhamishwa.html
kikapu jeraha la mkono kumuweka stephen curry nje kwa miezi mitatu | sportpesa scores & news tanzania kikapu jeraha la mkono kumuweka stephen curry nje kwa miezi mitatu california marekani majangaa habari mbaya kwa mashabiki wa timu ya mpira wa kikapu ya golden state warriors ni kwamba staa wao stephen curry atakuwa nje ya uwanja wa takribani miezi mitatu au zaidi curry alivunjika mkono wa kushoto katikati ya wiki hii wakati timu yake ikipokea kichapo kutoka kwa phoenix suns na sasa ataiacha timu hiyo kwenye wakati mgumu zaidi california marekani majangaa habari mbaya kwa mashabiki wa timu ya mpira wa kikapu ya golden state warriors ni kwamba staa wao stephen curry atakuwa nje ya uwanja wa takribani miezi mitatu au zaidi baada ya kufanyiwa operesheni ya mkono timu hiyo imeanza msimu vibaya kwa kufungwa michezo mitatu kati ya minne walioshuka dimbani msimu huu kuondoka kwa kevin durant aliyetimkia brooklyn nets mwisho wa msimu uliopita na kuumia kwa klay thompson kuliiyumbisha warriors ambapo staa aliyebaki akitegemewa alikuwa ni curry peke yake amabaye naye sasa ameumia kwa mujibu wa ratiba ya nba curry anatarajia kurudi uwanjani kipindi ambacho kutakuwa na mechi za all stars huko chicago ligi kuu bara tutegemee nini kwenye mechi za ligi wikiendi hii cecafa wanawake kenya waisukuma uganda mdomoni kwa kilimanjaro queens ligi kuu bara yanga kuwapigisha kwata jkt tanzania leo fuatilia dondoo
2019-11-22T11:01:43
https://www.sportpesanews.com/tz/posts/post/Kikapu-Jeraha-La-Mkono-Kumuweka-Stephen-Curry-Nje-Kwa-Miezi-Mitatu/27183
mjadala bila ya mshindi | matukio ya kisiasa | dw | 03052007 mjadala bila ya mshindi ngumi kali lakini bila ya kupigwa knockout hivyo ndivyo lilivyoandika gazeti moja la hapa nchini baada ya mjadala kati ya wagombea wawili wa kiti cha rais nchini ufaransa uliotangazwa jana kupitia televisheni mwanasiasa wa chama cha kihafidhina nicolas sarkozy na mshindani wake wa kisoshialisti bi segolene royal walibadilishana maneno makali na zaidi ya wafaransa millioni 20 waliwasikiliza mechi ya maneno mita mbili huu ni umbali kati ya wagombea wawili katika studio ya televisheni ambamo walijadiliana juu ya malengo yao ya kisiasa umbali kati ya sera zao lakini ni mkubwa zaidi sio msoshialisti segolene royal wala mgombea wa kihafidhina nicolas sarkozy walishinda katika mjadala huo walisema wadadisi wa mambo ya kisiasa badala yake wote wawili waliwavutia wale wapigaji kura ambao tayari walishafanya chaguo lao mamillioni ya wafaransa lakini hawakuamua bado watamchagua nani ni mara ya kwanza na ya pekee mjadala huo wa hadhara kufanyika kati ya wagombea hawa wawili wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini ufaransa kwa mujibu wa wataalamu wa uchaguzi nicolas sarkozy aliweza kutopoteza utulivu wake licha ya kuwa sarkozy anasemekana kuwa ni mchokozi wakati huo huo msoshialisti bi royal alionyesha ujuzi katika sekta mbali mbali baada ya kukosolewa hapo kabla kwamba anakosa ustadi masuala yaliyozungumiwa yalihusu kila sehemu ya siasa ikiwa ni ajira sera za elimu au usalama wa ndani katika suala la kodi wagombea hawa wawili walikuwa na mawazo tofauti kabisa katika suala la kodi nitazipa kipaumbele kodi zinazohusiana na mazingira nataka kutekeleza mageuzi ya kodi zinazohusu ajira katika sekta ya mazingira haya aliyasema bi segolene royal mshindani wake nicolas sarkozy alizingatia hasa kuweka masharti ya ujumla ya kodi iwapo nitachaguliwa kuwa rais wa nchi nataka malipo ya kodi yasizidi nusu ya mishahara bi royal alimshutumu sarkozy kwa kutoweza kutuliza ghasia nchini ufaransa licha ya sera zake kali dhidi ya wafanya fujo sarkozy lakini alijitetea kwa hoja ya vitendo vya uhalifu vimepungua kwa asilimia 10 katika miaka tano iliyopita watetezi hao walikubaliana katika suala la kulipa mshahara wa chini lakini walitofautiana katika maoni juu ya muda wa kazi ambao nchini ufaransa ni saa 35 kwa wiki msoshialisti royal alisisitiza kuwa muda huu wa kazi ni ushindi wa kijamii sarkozy kwa upande wake lakini alisema kufupisha muda wa kufanya kazi kuliathiri vibaya uchumi katika duru ya kwanza ya uchaguzi tarehe 22 aprili sarkozy alipata asilimia 31 ya kura na segolene royal alimfuata akipata karibu asilimia 26 kulingana na kura za maoni sarkozy bado anaongoza
2017-11-19T12:36:44
http://www.dw.com/sw/mjadala-bila-ya-mshindi/a-2926209
doreen kessy wikipedia kamusi elezo huru doreen kessy ni mkuu wa operesheni katika kampuni ya ubongo inayojihusisha na utoaji wa elimu kwa njia ya katuni[1][2] doreen pamoja na wenzake watano waasisi wa kampuni ya ubongo waliamua kuanzisha ubongo ili kutoa mchango wao katika kupunguza tatizo la ukosefu au ueneaji wa elimu kwa watoto barani afrika[3] wanaamini kuwa kwa kutumia katuni hizi zitatoa mchango mkubwa katika kuwaelewesha watoto hivyo kuwapunguzia kazi kubwa walimu[4] inakadiriwa kuwa familia 64 milioni katika nchi 31 afrika wanatazama na kujifunza kutokana na katuni za ubongo kids kila wiki [5] 3 uanaharakati doreen ana shahada ya uzamili ya biashara na utawala pia ana shahada ya kimataifa ya biashara na uchumi kutoka katika chuo kikuu cha liberty kilichopo virginia marekani [6] kabla ya kuanzisha na kufanya kazi katika kampuni ya ubongo doreen aliwahi pia kufanya kazi katika mashirika ya international justice mission wells fargo and smile africa na pia aliweza kubuni programu za kupunguza umaskiniambazo zinatumika nchini zimbabwe na zambia [7] uanaharakatiedit ni mwanaharakati wa elimu ambaye anajaribu kuleta mapinduzi katika elimu kwa watoto wa afrikakufanya masomo yenye dhana kuwa ni magumu kwa kuyafundisha kwa njia ya katuini ili wanafunzi waweze kuyapenda na kuelewa kwa urahisi [8] ameshiriki pia kama mmoja wa waigizaji kwa kuigiza sauti ya kiingereza ya ngedere katika katuni za ubongo kids [9] kessyni miongoni mwa wavumbuzi 8 walio tunukiwa tuzo katika tuzo za elimu zilizo kuwa zikitolewa na umoja wa afrika(the au education innovation prizes) dakar senegal 10 oktoba 2018[10] ↑ http//vfhugorg/wpcontent/uploads/2018/01/biosofacumeneastafricafellowsfor2018cohortpdf ↑ http//wwwfinlandortz/public/defaultaspxcontentid=336675&contentlan=2&culture=enus ↑ https//wwwforbescom/sites/ehrlichfu/2015/08/01/educatingkidsacrossafricathroughalocalcartoonshow/#1a587b6a237a ↑ https//wwwweforumorg/agenda/2018/08/younggloballeadersyouthday/ ↑ https//wwwcrunchbasecom/person/doreenkessy#sectionoverview ↑ https//auint/en/pressreleases/20181010/teninnovatorspitchaueducationinnovationprizes je unajua kitu kuhusu doreen kessy kama wasifu wake habari za maisha au kazi yake rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=doreen_kessy&oldid=1090222 last edited on 25 oktoba 2019 at 1757
2020-05-25T13:01:42
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Doreen_Kessy
dj sek tazama pichajose mourinho anaswa akipiga misele mitaa ya london tazama pichajose mourinho anaswa akipiga misele mitaa ya london paparazi wamenasa picha za kocha josee mourinho akiwa anaranda mitaa ya london huku akiwa na watu wake wa karibuwengi wanatabiri ni kama ndio dili la kwenda manchester limeiva
2018-07-19T09:07:55
http://dj-sek.blogspot.com/2016/02/tazama-pichajose-mourinho-anaswa.html