text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
mima mars siwezi kumshirikisha vanessa kwa sasa celebrity swaggz i official website '+l+
home » mima mars » vanessa mdee » mima mars siwezi kumshirikisha vanessa kwa sasa
mima mars siwezi kumshirikisha vanessa kwa sasa
mimi mars kushoto akiwa na dada yake vanessa
msanii anayechipukia kutoka 'mdee music' mimi mars amefunguka na kuweka wazi kwamba hataweza kushirikiana na dada yake vanessa mdee katika kuandaa kazi ya pamoja kwa kipindi hiki kwa sababu ya mashabiki zake bado wanashindwa kutofautisha sauti zao
mars ambaye anafanya vizuri na wimbo mpya unaokwenda kwa jina la 'dedee' amesema kwa sasa yupo kwe wakati mgumu wa kujitofautisha na dada yake huyo kwai sauti zao zimekuwa zikiwachanganya mashabiki zao kiasi cha kuonekana kama vanessa
akizungumza na enewz ya eatv mars amesema kwamba mission yangu ni kujitahidi kubadilisha suala la kufanana na vanessa kwani mashabiki na watu wengine wamekuwa wakisema tunafanana uimbaji nadhani kwa sababu bado ni mapema hawajazoea kwani mimi ni mgeni lakini niyahakikisha nakuwa tofauti ila ikishindikana kubadilika nadhani watakuwa wameshazoea na hata kututofautisha wao wenyewe lakini niwe mkweli vanessa siwezi kufanya naye kazi sahivi mpaka watu waweze kututofautisha ili isije ikaonekana yeye ndo kaimba wimbo wote peke yake pia hatuwezi kuunda kundi moja la muziki bali tutaendelea kusaidiana na kuachia kazi huko mbeleni mimi mars
mima mars vanessa mdee | 2018-07-23T00:23:55 | http://www.celebrityswaggz.com/2017/06/mima-mars-siwezi-kumshirikisha-vanessa.html |
habari na matukio kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi mjini shinyanga chapigwa tafu na tigo
kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi mjini shinyanga chapigwa tafu na tigo
sehemu ya chakula mchele unga na maharage tani 39mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5kilichotolewa na kampuni ya mtandao wa simu za mkononi wa tigo kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wenye albinism cha buhangija mkoani shinyanga
wafanyakazi wa kampuni ya mtandao wa simu za mkononi wa tigo wakiwa kwenye picha ya pamoja na watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha buhangija mkoani shinyangabaada ya kuwapa msaada ambapo walitoa mcheleunga na maharage tani 39mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5 mkurugenzi wa tigo kanda ya ziwa ali maswanya akiwakabidhi sehemu ya msaada kwa watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha buhangija mkoani shinyangaambapo walitoa mcheleunga na maharage tani 39 mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5
watoto yatima na wenye albinism cha buhangija mkoani shinyangawakicheza kwenye tufe la tigo baada ya kupokea msaada wa chakulaambapo wafanyakazi wa tigo walitoa mchele unga na maharage tani 39 mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni watoto yatima na wenye albinism cha buhangija mkoani shinyangawakiwa wamevaa fulana za tigobaada ya kupokea msaada wa chakulaambapo wafanyakazi wa tigo walitoa mchele unga na maharage tani 39 mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5
mkurugenzi wa tigo kanda ya ziwa ali maswanya akizungumza na watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha buhangija mkoani shinyanga wakati wa kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea ambapo mcheleunga na maharage tani 39 mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5 kushoto ni meneja wa tigo mikoa ya shinyangatabora na kigoma kamara kalembo na meneja huduma kwa wateja kanda ya ziwa beatrice kinabo (kulia) | 2018-05-20T19:32:12 | http://www.kajunason.com/2015/12/kituo-cha-watoto-wenye-ulemavu-wa-ngozi.html |
sera ya wanyama wa huduma alcatraz cruises
jifunze zaidi kuhusu aina za wanyama wa huduma unaoruhusiwa onboard
wamarekani walio na ulemavu wa sheria hufafanua mnyama wa huduma kama mbwa yeyote wa kuongoza mbwa wa mawimbi au farasi wa pekee waliopewa mafunzo ya kufanya kazi au kufanya kazi kwa watu wenye ulemavu mifano ya kazi kama hizo au kazi ni pamoja na kuongoza watu ambao ni vipofu kuwatahadharisha watu ambao ni viziwi kuunganisha kiti cha magurudumu kuwatahadharisha na kulinda mtu ambaye ni kuwa na mshtuko kuwakumbusha mtu na ugonjwa wa akili kuchukua dawa eda sedative mtu na post matatizo ya mkazo wa maumivu (ptsd) wakati wa shambulio la wasiwasi au kufanya kazi nyingine
idara ya haki za marekani imeelezea wanyama wa huduma kama mbwa au farasi ndogo ambazo zinaelimishwa kibinafsi kufanya kazi au kufanya kazi kwa watu wenye ulemavu wanyama wa huduma wanafanya wanyama sio pets kazi au kazi ya mbwa au farasi ndogo imekuwa na mafunzo ya kutoa ni lazima kuwa na uhusiano mmoja moja na ulemavu wa mtu mbwa au farasi wa rangi ambao kazi yake ni kutoa faraja au msaada wa kihisia si kuhitimu kama wanyama wa huduma chini ya wamarekani na sheria ya ulemavu (ada)
mbali na vifungu kuhusu mbwa wa huduma kanuni za ada za malipo iliyorekebishwa na vifaa vipya tofauti kuhusu farasi ndogo ambazo zimekuwa na mafunzo ya kufanya kazi au kufanya kazi kwa watu wenye ulemavu
angalia nakala ya wamarekani ambao walikuwa na kanuni za sheria za ulemavu
wanyama hawa wa huduma wanaruhusiwa alcatraz island na juu ya gati 33 alcatraz kutua wanyama wa kufugwa au kipenzi haviruhusiwi katika eneo ama la | 2020-07-09T02:15:42 | https://www.alcatrazcruises.com/sw/service-animal-policy/ |
pu dining chairs china manufacturers & suppliers & factory
pu dining chairs mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 16 bidhaa kwa pu dining chairs)
mango wa mbao wa mango ya mango yenye mango wote pu
slim thabiti ya kuni sio tu muundo lakini pia inahakikisha utulivu wa kitanda bodi kubwa ya gorofa iliyo na mto wa pu ni rahisi na nzuri ili kuongeza thamani kwa seti kuna miguu ya chuma ya shaba kwa kila kitu maswali 1 wewe ni kiwanda au mfanyabiashara wa
nyumba kamili ya kuboresha dawa la kuishi sampuli
ili kuwa na chumba zaidi cha kuhifadhi na kufanya mitindo kamili ya nyumba iwe umoja zaidi utaftaji wa mipangilio inakuwa zaidi na maarufu hii ndio mfano wa kubinafsisha sebule chumba cha kulia na chumba cha jikoni maswali 1 wewe ni kiwanda au mfanyabiashara wa fanicha sisi ni kiwanda tunashughulika na
kitanda cha mfalme na mkubwa wa pu nyeusi
miguu ya chuma na bodi nene ya kitanda upande sio tu kubuni lakini pia inahakikisha utulivu wa kitanda cha mfalme pu kubwa ya pu ya ujazo wa juu hutoa hali ya kustarehe sana maswali 1 wewe ni kiwanda au mfanyabiashara wa fanicha sisi ni kiwanda tunashughulika na biashara fulani ya biashara kusambaza huduma za
pu dining chairs dining set dining room beige pu leather dining leining chair mwambaa wa walnut wood lining chair makeup dressing jedwali dressing mirror living room | 2019-12-08T23:04:05 | https://sw.taihuafurniture.com/dp-pu-dining-chairs.html |
hausigeli nilitega limbwata kwa baba mwenye nyumba likamnasa mama mwenye nyumba | mpekuzi
hausigeli nilitega limbwata kwa baba mwenye nyumba likamnasa mama mwenye nyumba
jina langu ninaitwa vumy
nilikuwa dada wa kazi ( hausigeli ) nikamtamani kimapenzi baba mwenye nyumba kwa sababu alikuwa na pesa na mali nyingi sana nilijua nikiwa nae kimapenzi basi shida zangu zote zitaisha
nikaenda kuomba ushauri kwa rafiki mmoja ambae akanielekeza kwa mganga mmoja wa kienyeji ili anipe dawa niweze kumkamata kichawi baba mwenye nyumba
rafiki yangu aliniambia mganga huyo ni hatari sana kwenye dawa za mapenzi na kwamba endapo nitafanikiwa kuonana nae basi huyo mwanaume nitamkamata na atafanya kila kitu ninacho kitaka
nilipo enda kwa mganga nikapewa dawa ya kumuwekea baba mwenye nyumba kwenye chakula anachokula
mganga akanipa sharti moja akaniambia nihakikishe hicho chakula hali mtu mwingine yoyote yule isipokuwa baba mwenye nyumba na ikitokea nikivunja sharti hilo nitapata madhara makubwa sana ambayo hakutaka kuyaweka wazi
hilo lilikuwa sharti rahisi sana kwangu kwa sababu mara nyingi baba mwenye nyumba huwa anarudi usiku na huwa anakula chakula chake peke yake na mara nyingi huwa anamkuta mke wake ameshakula na amelala
siku hiyo usiku mama mwenye nyumba akasema hali chakula kigumu atakunywa maziwa fresh tu ya moto
nikamtayarishia kama alivyo agiza wakati huo huo baba mwenye nyumba nikamuandalia ugali na nyama na maziwa mtindi na kuweka dawa niliyopewa na mganga kwenye nyama ili baba mwenye nyumba akila hiyo dawa anase na anipende
sijui kitu gani kilimvutia sijui ni harufu ya chaklula au alipatwa na njaa ghafla mama mwenye nyumba akaniambia amekipenda hicho chakulaanaomba nimpe ale halafu baba mwenye nyumba nimuandalie chakula kingine
nilichanganyikiwa lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kumpa chakula nilicho kiandaa kwa baba mwenye nyumba ambacho nilikuwa nimekiwekea limbwata ili baba mwenye nyumba anase
baada ya kumpa mama mwenye nyumba chakula nikaenda chooni na kumpigia simu mganga kumwambia kilicho tokea
nilivyo mpigia simu mganga akaniambia kwa ukali kwamba alinionya tangu mwanzo niwe makini na hiyo dawa na kuniambia nisubiri kitakacho nitokea
kesho yake asubuhi yule mama mwenye nyumba akaanza kuonyesha upendo na mapenzi ya hali ya juu sana kwangu kiasi nikaogopa mapenzi ya mama mwenye nyumba kwangju yalikuwa yanaongezeka saa hadi saa kiasi akawa anafanya vitu ambavyo mimi ndo natakiwa kuvifanya kama vile kuosha vyombo kufua nguo kupika nakadhalika
baada ya kama siku tatu hivi uzalendo ukamshinda akaamua kunitamkia laivu kwamba ananipenda sana na kwamba anataka tuanzishe uhusiano wa kimapenzi
nilimwambia siwezi kufanya hivyo sijawahi kufanya hivyo wala sitarajii kuwa katika mahusiano na mwanamke mwenzangu lakini wala hakuweza kunielewa
akaniahidi vitu vingi sanakunisomesha chuo kumlea na kumsomesha mtoto wangukunijengea nyumba kuninunulia gari mashamba viwanja kunifungulia akaunti benki na biashara
vyote nikakataa na kumwambia siwezi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mwenzangu
nilivyo ona usumbufu umezidi nikaamua kuondoka na kurudi nyumbani kwetu kijijini kondoa lakini kwa kuwa alikuwa anajua natoka sehemu gani kondoa na namba za simu za mama angu alikuwa nazo akanifuata hadi kondoa na kuniomba nirudi kufanya kazi kwake
akanipa hela nyingi na mama angu pia akampa hela mimi nikamwambia kuna mambo nayamalizia kijijini kondoa yeye arudi zake dar nitamfuata baada ya wiki moja akakubali kwa shingo upande
alivyo ondoka kijijini nikamwambia mama angu siwezi kwenda kwa huyo mwanamke kwa sababu nimeambiwa ni freemason sikutaka mama angu ajue kitu gani kinaendelea
ilivyo pita wiki moja sijaenda akaanza kusumbua kwa simu nikawa sipokei
akaanza kumsumbua mama angu na kumuomba anibembeleze nirudi kufanya kazi kwake
katika kumlainisha mama angu akawa anamtumia hela nyingi tu mpaka mama angu akahamia upande wa huyo mwanamke na kunishawishi niende kufanya nae kazi
kama hiyo haitoshi amemjengea nyumba mama angu kijijini na huwa anakuja kijijini kwetu linapotokea tatizo lolote la kifamilia au sherehe
yote hayo anayajua kwa sababu anawasiliana sana na mama angu
hiyo ilikuwa mwaka 2015 mwishoni lakini mpaka sasa hivi bado ananisumbua na nimeshamwambia kuwa sipo tayari kufanya upuuzi huo
yupo kama aliye changanyikiwa au aliye pagawa na pepo
amegombana na kutengana na mume wake kwa sababu yangu
kuna kipindi alikuwa ananipigia simu kunibembeleza niwe nae mbele ya mume wake
mume wake alipofariki ndugu walimzuia kushiriki kwenye mazishi kwa kumtuhumu kusababisha kifo cha mume wake
lakini bado ananinganania tu licha ya kumwambia mimi sipo tayari kufanya anavyo taka yeye
kuna kipindi nilirudi kijijini kulima ufuta na kukaa huko kwa miezi mitatu na yeye akaja kukaa kijijini na kuchukua mashamba alime ufuta lakini lengo lilikuwa kuwa karibu na mimi
katika kipindi chote hicho usumbufu ambao amekuwa akinipa ni mkubwa mno
amekuwa kama zezeta au mtu aliye pagawa hivi
nimejaribu kila njia ya kumkwepa huyu mama lakini imeshindikana
nimemwambia si awatafute wanawake wenye tabia hizo anasema ananitaka mimi na sio mtu mwingine yoyote yule
nimejaribu kwenda kwa mganga alio nipa hiyo dawa na kumwambia anitenganishe na huyu mwanamke amekataa kata kata anasema huo sio utaratibu wake wa kazi na kwamba uchawi huo ni wa maisha na hauwezi kubatilishwa kwa namna yoyote ile hadi naingia kaburini
utaisha nguvu pindi mmoja wetu atakapo itwa na mungu kwa hiyo nivumilie tu kwa sababu mimi ndio nilifanya uzembe
siwezi kuendelea kuishi katika hali ya usumbufu mkubwa kiasi hiki
tena mganga kaniambia halafu nina bahati kwa sababu kuna wengine huwa wanafanyaga uzembe dawa anakula baba mzazi au mtoto au kwa wanaume dawa anakula mama mzazi mtoto au dada ambao wengi wao huishia kukimbia nchi au hata kujaribu kujiua
kwa hivyo nishukuru walau nina bahati
nimejaribu kwenda kwa waganga na waganga lakini wapi
imeshindikana kumzuia mwanamke huyu asiendelee kuningangania
nimejaribu kuombewa kote imeshindikana
sasa ndugu zangu ninaomba msaada wenu nitumie njia gani ili kumfunga huyu mama asiendelee kunifuata fuata na kuniganda
au kuna njia yoyote inayo weza kutumika kumzindua huyu mwanamke na kumfanya arudi katika hali yake ya kawaida yaani ajitambue kwa sababu naona anae anya hivyo sio yeye ila ni huo uchawi nilio mlisha kwa bahati mbaya
jamani kama kuna mtumishi yoyote wa mungu anadhani anaweza walau kumuombea huyo mama ili arudi katika hali yake ya kawaida mimi nipo tayari kumuelekeza mahali anapoishi huyo mama aweze kufanya utaratibu wa kwenda kumuombea na kumrudisha katika hali yake ya kawaida
na kama kuna mtu anaweza kufanya maombi ya kumzuia huyo mama asiendelee kunifuatilia tafadhali sana naomba awasiliane nami
hata kama unajua mahali ninapo weza kupata msaada tafadhali nifahamishe
niandikie kupitia barua pepe yangu
vumiliasendeu@gmailcom | 2018-09-18T17:13:51 | http://www.mpekuzihuru.com/2017/11/hausigeli-nilitega-limbwata-kwa-baba.html |
afisa wa intelijensia wa tanapa aliuawa na mfanyakazi wake wa ndani kwa kukatwa panga wakati akinywa uji lekule blog | 2018-05-22T23:43:42 | https://sosteneslekule.blogspot.com/2015/12/afisa-wa-intelijensia-wa-tanapa-aliuawa.html |
imyigaragambyo ishyigikiye ubutegetsi bwa irani
ibyahinduwe nyuma 30122017
abigaragambya i tehran muri irani
muri irani abashyigikiye guverinoma bakoze imyigaragambyo kuri uyu wa gatandatu mu murwa mukuru tehran iyo myigaragambyo ibaye ku munsi wa gatatu abadashyigikiye leta bamaze bakora iyabo yakwiriye mu gihugu cyose
abantu basa n'aho ari bake barwanya leta bahuriye kuri kaminuza ya tehran gusa barutwaga kure cyane n'abandi babarirwa mu bihumbi baje kugaragaza ingufu za guverinoma
minisitiri w'ubutegetsi bw'igihugu yaburiye abakomeza kurwanya guverinoma abasobanurira ko abaza kwigaragambya batagomba kujya mu bikorwa binyuranije n'amategeko
za videwo zakwirakwiye ku mbuga mpuzambaga zerekanya abantu bazengurutse kaminuza baririmba indirimbo zirwanya guverinoma imyigaragambyo nk'iyo kandi yabaye mu mujyi wa mashad uri mu majyaruguru ashyira uburasirazuba bwa irani no mu yindi mijyi minini
ku rubuga rwe rwa twitter perezida w'amerika donald trump yamaganye itabwa muri yombi ry'abantu bigaragambya mw'ituze hari amakuru yari yatangajwe avuga ko abantu barenga 50 bafashwe mu minsi ibiri iyo myigaragambyo imaze ikorwa | 2018-08-18T10:08:08 | https://www.radiyoyacuvoa.com/a/4185692.html |
tuzo ya forbes africa ni ya kweli watu wenye nia mbaya wanataka kupotosha | jamiiforums
tuzo ya forbes africa ni ya kweli watu wenye nia mbaya wanataka kupotosha
kwanza kabisa kuna thread imewekwa hapa ikidai kuwa tuzo hizo ni za uongo huyo mtu analengo la kupotosha watu
nitajikita kitaalam zaidi
kuna kitu kinaitwa whois ambacho hutoa details za domain hebu check hapa
whois poy2016com
utakuta hiyo domain imesajiriwa na sid wahi na email yake ipo pale
sid wahi ni nani
taarifa zake hizi hapa
contributors sid wahi cnbc africa
yaani ni mmoja wa shareholders wa forbesafrica
ndugu zangu tuache propaganda za kitoto ni ujinga sana watu wazima wanajaribu kupotosha kwa siasa za maji taka namuomba jericko nyerere aache utoto haujengi katika nchi ya wastaarabu
kijana mmoja anayejiita yericko nyerere ameandika maandiko mfululizo ya kichekesho hivi leo kuhusu kuwemo rais john magufuli kwenye kinyanganyiro cha mtu mashuhuri africa kwa mwaka 2016
kwanza kutwa nzima alianza kwa kuupamba ukurasa wake wa facebook kwa viandiko vya kijinga kuwa hawezi kumpigia kura rais magufuli kwenye shindano hilo la mtu mashuhuri kwa madai anapambanishwa na watu wenye hadhi ndogo hivyo ni tuzo hiyo inamdhalilisha rais
muda si mrefu akageuka ghafla amekuja na andiko jipya linalodai kuwa hata hilo shindano ambalo rais magufuli ametangazwa kuwania tuzo halipo na halijawahi kuwepo bali taarifa hizo za shindano ni za kuunga unga upuuzi
andiko hili jipya siyo tu linadhihirisha ujinga uliotukuka na wivu mkubwa walionao wakosoaji wa rais magufuli kama yericko nyerere bali ni ishara kuwa wakosoaji hawa sasa wana msongo mkubwa wa mawazo juu ya mafanikio ya ndugu rais
jambo hili linaweza kuwaua haraka kabla hata ya siku ambazo mungu amewaandikia kuishi duniani
yaan yericko baada ya kuona andiko lake la mwanzo la kebehi na istizahi la kuwataka watu wasimpigie kura rais magufuli kwa sababu za kijinga limekosa mashiko kwa umma sasa ameamua kujipa kazi ya kulifuta kabisa shindano lenyewe kwa kudai halipo na halijawahi kuwepo huu ni upuuzi wa kiwango cha uprofessa
sikuwa na mpango kabisa wa kuandika chochote kuhusu maandiko ya yericko niliamua kumpuuza lakini nimegundua ujinga wa yericko unaweza kuambukizwa ni vyema kumrudisha shule
hivyo andiko hili linalenga kumrudisha yericko nyerere darasa la sita b shule ya msingi naminywili mkuranga ili ajifunze upya
tuingie darasani
[hashtag]#kwanza[/hashtag] tuzo la mtu mashuhuri wa mwaka barani africa ni nini (what is forbes africa person of the year)
[hashtag]#jibu[/hashtag]
tuzo ya forbes kwa mtu mashuhuri wa mwaka africa ni miongoni mwa tuzo nyingi zinazotolewa kikanda na jarida mashuhuri duniani la forbes kwa mtu fulani ambaye ametoa mchango wowote katika kanda aliyopo
tuzo kama hizo hutolewa pia na forbes barani asia na america kila mwaka
[hashtag]#tuzo[/hashtag] hii ipo na ilianzishwa lini
tuzo hii ipo na ilianzishwa rasmi mwaka 2012 kwa lengo la kumtunuku mwafrika yeyote aliyekuwa na ushawishi mkubwa hasa katika eneo la biashara na uchumi kila mwaka
watu walioteuliwa hushindanishwa kwa kupigiwa kura na mshindi ni yule aliyejikingia wingi mkubwa wa kura na hupewa tuzo katika dhifa rasmi inayoandaliwa katika mji wowote miongoni mwa miji katika nchi za africa mwaka huu itatolewa mwezi novemba mjini nairobi
[hashtag]#swali[/hashtag]
waafrika gani wamewahi kushinda tuzo hii katika miaka iliyopita
[hashtag]#jibu[/hashtag]
tangu kuanzishwa kwake mwaka 2012 waafrika kadhaa wameshinda tuzo hii ya forbes orodha yao ni kama ifuatavyo
1 2012 winner james mwangi ceo of equity bank kenya
2 2013 winner akinwumi adesina the then minister of agriculture in nigeria now head of the african development bank
3 2014 aliko dangote chairman and ceo of the dangote group nigeria
4 2015 mohammed dewji ceo of metl group tanzania
je ni watu wadogo ndo hushindanishwa
huu ni ujinga mwingine wa yericko nyerere ambao ni lazima afundishwe kuuepuka
tuzo hiyo inayo sifa za kuwashindanisha watu mashuhuri kuliko tuzo nyingine yoyote barani africa ukiondoa ile ya marais wastaafu ya mo ibrahim
mshindi wa mwaka jana wa tuzo hii mtanzania mo dewji alichuana na kuwabwaga watu wafuatao
nkosazana dlamini zuma rais wa kamisheni ya umoja wa afrika
rais wa nigeria muhammadu buhari
na arumna oteh makamu wa rais wa benki ya dunia
si hivyo tu rais magufuli anachuana mwaka huu pamoja na watu wengi yumo rais wa mauritius na taifa zima la rwanda (yaan nchi nzima ya rwanda)anachuana nayo halafu useme tuzo huhusisha watu wadogo
maneno hayo hutamka ikiwa tu hukupata chanjo za kifaduro pepopunda unyafuzi na dondakoo wakati wa utoto wako
maelezo hapo juu siyo tu yanajibu hoja za kichekesho za yericko bali pia yanaonesha ujinga na wivu usio msingi kutoka kwa wakosoaji wa rais magufuli kama yericko
[hashtag]#mwisho[/hashtag]
tunajua yericko nyerere hajawahi kumpenda rais magufuli na kwa jinsi alivyo haiwezi kutokea ammpende maana huenda rizki zake nyingi zimebanwa na ndugu rais
lakini muhimu zaidi katika hili ni kumtaka kuacha kusema uongo hata kwa mambo yenye ukweli kwa sababu za kijinga na wivu
watanzania wengi kwa mujibu wa takwimu wana imani na rais magufuli wataendelea kupiga kura na kwa mwendo ulivyo atashinda tuzo hiyo
hivyo hakuna haja ya watu wa aina ya yericko kunena uongo kupata umaarufu au kumdhoofisha rais
hila na ghiliba za aina hiyo zimepitwa na wakati na ni upumbavu mkubwa
ikiwa mtu humpendi na huwezi kusema mazuri yake kama yalivyo ni bora kukaa kimya maana lifa na fila havitangamani
ili kuondoa ujinga kichwani tembelea viungo tovuti (links) hizo hapo chini usome na upige kura
https//wwwgooglecom/amp/wwwforbescom/sites/mfonobongnsehe/2015/12/03/tanzaniasrichestmanmohammeddewjiisforbesafricasmanoftheyear/amp/client=msandroidtecno
reactions luwy barafuyamoto motochini and 10 others
19907 2000
namuomba jericko nyerere aache utoto haujengi katika nchi ya wastaarabu
jericko nyerere hawezi kuacha utoto wake ni wa kumvumilia tu basi
reactions luwy and motochini
post 18229936 said
hakuna chochote tangu lini forbes africa wakawatumia shareholders wake kumsaidia kazi okmbona taarifa zozote za forbes africa hazijawahi kutolewa na sid wahi
reactions mzee wa kijiwe pnc azarel and 2 others
hao ni vijana wa mzee mamvihawana lolote na ni 3 tu
siyo vizuri katika jamii inayoelekea kustaarabika watu wa nchi zingine wanatuona wapuuzi kama yeye anatakiwa abadilike aache kwenda kwa mihemuko
kuna watu wangapi sasa amewapotosha
siyo vizuri kuandika uongo
reactions luwy motochini and jmwaka
na licha ya propaganda zao asilimia za magufuli bado ni themanini na ushee
reactions luwy and jmwaka
far from there wrong way from here
tatizo lako ni ufinyu wa exposure ndio inakusumbua
kwani shareholder hawezi kuajiriwa na kampuni
nimekupatia link ifuatilie acha kulia lia kama huna akili nzuri
jitahidi kujielimisha kidogo na uache uzuzu
huyo nimeshaamua kumpotezea muda mrefu uliopita yaani sijui alipoteleaga wapi leo hii kaibuka na vijistori visivyo na mbele wala nyuma halafu makamanda wanammwagia sifa kwa uwezo wake wa kijasusi ha ha ha duniani kuna watu
reactions luwy
12965 2000
siwez kupoteza muda wangu na mambo ya kijingamnapoteza mda na mambo ya kipuuzi wakati dawa hospitalin hakuna
reactions pai mtimkav mtoto wa maskini and 1 other person
11427 2000
dahhadi 2020 wale maelfu ya marc na madc wa mzee watakuwa machizi 100
reactions mulhat mpunga and gemmanuel265
so what is the movie behind the scene series
after all kama ni mimi ningekataa kushirikishwa acheni kufanya mzaha na issue ya urais nyie it is the top job in the world yeye maguful calibre yake huwezi linganisha na hao wasiofahamika eti people of rwanda
btw hiyo tuzo ina faida gani hasa kipindi hiki et forbes africa
zaid ya hapo hao hao tuliokataa demokrasia yao na misaada yao leo ndio tunalilia watupe tuzo really
mlishajiuliza kwanin kuna forbes person of the year na forbes africa person of the year
tusiendeshwe hivyo jamani dahsi bora haya mambo tuwaachie tu twaweza
reactions sajo raynavero gut and 5 others
hizo dawa nenda kamuombe lowasa
reactions rich pol
nataniahongera magu kwa kupendwa
after all kama ni mimi ningekataa kushirikishwa acheni kufanya mzaha na issue ya urais nyie it is the top job in the world yeye maguful calibre yake sio hao wasiofahamika eti people of rwanda
btw hiyo tuzo ina faida gani hasa kipindi hiki et forbes africa tusiendeshwe hivyo jamani dahsi bora haya mambo tuwaachie tu twaweza
acha kulia lia wewe
sasa ndio umekanusha kitu gani nani kasema tuzo za forbes siyo za kweli uongo unaosemwa ni shindano hilo kwa sasa halipo
reactions mfukua makaburi and mulama
mimi nasubiri nione mwisho wa hii movie maana naona mapicha picha tu
shindano hilo kwa sasa halipo
lipo hapa na linaendelea vizuri tu
rais wa nchi anashindanishwa na wauza karanga wa nchi nyingine hlf mnashangilia anaongoza kapimweni akili zenu nyie kama ziko sawa angepambanishwa na marais kama uhuru kenyetta buhari santos nk lkn siyo watu wasiojulikana kwa lolote rais wa nchi anadhalilika mnashangilia
reactions khalidoun sajo mama kubwa and 6 others
acha ujinga wewe malcolm x feki rais wa mauritius ameenah gurib ni muuza karanga aliko dangote aliyewahi kushinda hiyo tuzo ni muuza karanga wewe kaa hapo hapo ufipa na roho yako ya korosho ulie tu
reactions freelancer songambele and jmc06
dc sabaya apaa kimataifa atunukiwa tuzo ya uongozi ya kimataifa jukwaa la siasa 37 thursday at 1232 pm
marekani maxence melo apata tuzo ya 'international press freedom' kutoka the committee to protect journalists (cpj jukwaa la siasa 191 nov 22 2019
maswali 20 kuhusu rais na tuzo za forbes poy 2016 jukwaa la siasa 44 nov 3 2016
tuzo ya forbes ni uongo wapotoshaji wakamatwe na kufikishwa mahakamani jukwaa la siasa 434 oct 26 2016
k wanachadema wanaendesha kampeni katika mitandao ya whatsapp magufuli ashindwe tuzo ya forbes 2016 jukwaa la siasa 374 oct 25 2016
marekani maxence melo apata tuzo ya 'international press freedom' kutoka the committee to protect journalists (cpj
maswali 20 kuhusu rais na tuzo za forbes poy 2016
tuzo ya forbes ni uongo wapotoshaji wakamatwe na kufikishwa mahakamani
wanachadema wanaendesha kampeni katika mitandao ya whatsapp magufuli ashindwe tuzo ya forbes 2016 | 2020-01-20T06:45:43 | https://www.jamiiforums.com/threads/tuzo-ya-forbes-africa-ni-ya-kweli-watu-wenye-nia-mbaya-wanataka-kupotosha.1139069/ |
sasa ndo nagundua kwanini sofapaka waliitaka yanga | jamiiforums | the home of great thinkers
sasa ndo nagundua kwanini sofapaka waliitaka yanga
discussion in 'sports' started by anselm sep 6 2012
pasipo kuweka hdharani mashaka yake kuwa kiwango cha simba sasa hivi hakiwezi kuwapa changamoto ya mazoezi ya nguvu kocha wa team ya sofapaka aliliambia gazeti 1 la michezo linalotoka katikati ya wiki kuwa kila mtu katika team yao amesikitika baada ya kusikia kuwa watacheza na simba badala ya mabingwa wa kusakata kabumbu ukanda mzima wa africa mashariki na kati na kule kwa waalikwa dar young africansalmaaruf kama yanga
ninakubaliana naye asilimia () 120unapomfunga mpinzani wako goli 3 bila aka 3 mtungi aka 3 yai aka 3 sifuri aka 3 sufuriaka 3 nini sijui etcetc ni dhahiri hakuna kipya ulichojifunza
poleni sofapaka kilicho wagharimu ni kitendo cha yanga kuwaa team inayokwenda na program za ulayax2 tofauti na hao wazee wa 3 bila
niki'recall tu 3 o dhidi ya azam 3 0 dhidi ya city stars ya nairobi 3 0 dhidi ya sofapaka ya kenya 3 0 dhidi ya nani sijui team ya maana itakayokuja
3 0 3 0 3 0my god
te teh teh uwiiiiii mbavu zangu mie dah anselm acha hizo bwana some tyme uwe unatumia na tafsida sa mambo gan bwana unawapa jamaa za 'uso' kihivyo aka kavukavu kwan ulikua hujui jamaa walikuwa wanatafuta gate collection money ya kuwalipa azam pesa yao iliobaki kwa cjui redondo but in the name of akuffo but c mbaya wapenzi na mashabiki wa msimbazi waliokuwa na hamu ya kumuona striker wao wameridhika
masikrodinga
3 0 3 0 3 0my godclick to expand
acha kudanganya wana jamii wewe anselm azam ilimfunga lini mnyama 3 bila ilikuwa 31 pia nairobi city stars ilikuwa 31 kwahyo ondoa hyo comment yako then uandike tena maana umeandika uongo
masikrodinga said
acha kudanganya wana jamii wewe anselm azam ilimfunga lini mnyama 3 bila ilikuwa 31 pia nairobi city stars ilikuwa 31 kwahyo ondoa hyo comment yako then uandike tena maana umeandika uongoclick to expand
mkuu acha kuweweseka swala mlikuwa mnanyukwa tatu tatu tena na vitimu dhaifu kweli cjui maharage alikuwa anawadanganyilishia toto kuwaletea vitimu vibonde kwenye ligi ya kenya ili mkivifunga mapovu yawatoke kwa wingi na vichwa viwajae badala yake mambo yanageuka matokeo yake mnaaibishwa nyumbani soooooo sad
simba sio siri mwaka huu andaeni package ya kutosha kwajili wa marefa lasivo itakua aibu yanga ilicheza ovyo gem na coastal union sio kwa kiwango kile cha simba leo kama nangalia sofapaka na sifa unted vile kama simba itachukua tena kombe mwaka huu basi timu ya taifa itajaza wachezaji vituko leo tupo187 mwakani tutakua tunaringanishwa ubora na sudani kusini
anselm nenden kaunda mkale tambuu na manjigili achaneni simba mbona kila wakati mapovu yanakutoka mdomoni
haya nimerekebisha mkuu ilikuwa boko 3 simba 1mungu ampe nini boko magoli yale yalimfanya apate nafasi ya kwenda kufanya majaribio southjamaa walivyoona boko kaifunga simba hatrick wakajua atakuwa ni van persie wa bongokumbe team yenyewe imebaki jina tu mwaka huu
yawezekana unatumia hewa chafu kufikiri 3 nikawaida katika mchezo wa mpira mbona nyie mlitobolewa 50 na msimbazi au math ni tatizo the nenda kwa mwalimu wako akufundishe which is greater5 and3 ebooo
timu imeshamshinda huyu msomali kabaki kubwabwaja tu
aka 3sinia
hawana timu haomaneno mengiii
mbona hau recall hii
msomali yupo bize na fiesta tabora na basora kiunoni
mbona hau recall hii nyie simba mmpata wimbo huo huo mbona unasahau thalathathalathathalathabado ligi haijaanza kichapo kinakuja kutoka kwa wafalme wa afrika mashariki yanga
nyie si mmepata wimbo
nyie si mmepata wimboclick to expand
na nyie mmepata nini ngonjera
mmebaki kuzungumzia historia sasa hvsubirini hiyo tarehe 3 october ifikendo mtalijua vizuri jeshi la belgium
simba mavi matupu
yaani kwa timu ile niliyoiona juzi walitomaswa 30 na sofapaka ni wazi kuwa hakuna jipya pale
mmebaki kuzungumzia historia sasa hvsubirini hiyo tarehe 3 october ifike
kweli aminia sana yangaclick to expand
mwaka wenu huu mnyama
hawa jamaa tokea walivyopakatwa na azam inaonekana wamenogewa na haka kamchezo hawataki kuacha | 2017-07-24T01:11:08 | https://www.jamiiforums.com/threads/sasa-ndo-nagundua-kwanini-sofapaka-waliitaka-yanga.319483/ |
mahakama mdee ana kesi ya kujibu mashahidi watano kumtetea mwanahalisi online
posted by mwandishi wetu may 28 2020 0 567 views
mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam imesema mbunge wa kawe (chadema) halima mdee anayekabiliwa na kesi ya uchochezi kwa kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya rais john magufuli ana kesi ya kujibu anaripoti mwandishi wetu dar es salaam(endelea)
uamuzi huo umetolewa leo alhamisi tarehe 28 mei 2020 na hakimu mkazi mkuu thomas simba
hakimu simba amesema mahakama hiyo imemkuta mdee na kesi ya kujibu na kwamba anatakiwa kuwasilisha utetezi wake mahakamani hapo
uamuzi huo umetokana na upande wa mashtaka kufunga pazia la ushahidi wake tarehe 20 februari 2020
mdee kupitia wakili wake hekima mwasipo amedai mteja wake atajitetea kwa kiapo na atakuwa na mashahidi watano
inadaiwa tarehe 3 julai 2017 katika makao makuu ya ofisi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) iliyopo mtaa wa ufipa wilaya ya kinondoni dar es salaam mdee anadaiwa kutamka maneno dhidi ya rais john magufuli kuwa anaongea hovyohovyo anatakiwa afungwe breki na kwamba kitendo ambacho kingeweza kusababisha uvunjifu wa amani
mdee alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza tarehe 10 julai 2017 na kushtakiwa kwa mashtaka ya uchochezi
mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam imesema mbunge wa kawe (chadema) halima mdee anayekabiliwa na kesi ya uchochezi kwa kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya rais john magufuli ana kesi ya kujibu anaripoti mwandishi wetu dar es salaam(endelea) uamuzi huo umetolewa leo alhamisi tarehe 28 mei 2020 na hakimu mkazi mkuu thomas simba hakimu simba amesema mahakama hiyo imemkuta mdee na kesi ya kujibu na kwamba anatakiwa kuwasilisha utetezi wake mahakamani hapo uamuzi huo umetokana na upande wa mashtaka kufunga pazia la ushahidi wake tarehe 20 februari 2020 mdee kupitia wakili wake hekima mwasipo amedai mteja wake&hellip
previous jk awakaribisha wanafunzi udsm autega uongozi dar
next faini mpya wagombea udiwani ubunge na urais hizi hapa | 2020-07-04T17:45:47 | http://mwanahalisionline.com/mahakama-mdee-ana-kesi-ya-kujibu-mashahidi-watano-kumtetea/ |
atobolewa macho kwa imani za kishirikina
kijana mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa jimbo la kaskazin magharibi mwa nigeria la bauchi anasema kuwa macho yake yalitolewa na watu waliotaka kuyatumia kwa ajili ya sababu za ushirikina
viungo vya mwili wa binadamu ambavyo hutumiwa katika imani za uchawi ama kwa ajili ya mazingaombwe hutolea kutoka kwa watoto nchini nigeria na mara nyingi watu wazima huwa hawaathiriwi
hussain emmanuel ambaye kwa sasa anatibiwa katika hospitali ya mji wa bauchi anasema shabulio lililomuacha bila uwezo wa kuona tena lilitokea wiki mbili zilizopita katika kijiji kilichoko eneo lisiloweza kufikiwa kwa urahisi la tafawa balewa
anasema alirubuniwa na watu wawili katika kijij cha marti kilichopo karibu na mto waliomshawishi aende kuogelea
bw emmanuel ambaye hufanya kazi yake ya kibinafsi kama fundi wa magari anasema alikuwa pamoja na watu hao wawili kwasababu mmoja wao alimuahidi kumpa kazi kusini mwa nigeria
lakini walipokwenda mtoni walimshabulia wakataka kumnyongana na mnyororona shingoni na baadae wakaamua kumgonga kiasi cha kupoteza fahamu
alipoamka hakuweza kuona ndipo alipopiga mayowe hadi alipookolewa na wapita njia ambao walibaini kuwa macho yake mawili yalikuwa yameondolea
polisi wanasema wanachunguza kisa hicho na hawakutoa kauli yoyote kuhusiana na sababu ya washukiwa hao kutekeleza kitendo hicho
washukiwa wote wawili bado hawajakamatwa | 2017-11-19T17:24:18 | http://rumaafrica.blogspot.com/2016/09/atobolewa-macho-kwa-imani-za-kishirikina.html |
wwwbukobasportscom la liga ronaldo kurejea real jumamosi bernabeu kukipiga dhidi ya osasuna
la liga ronaldo kurejea real jumamosi bernabeu kukipiga dhidi ya osasuna
cristiano ronaldo hajacheza mechi yeyote tangu julai 10 alipoumia kwenye fainali ya euro 2016 huko paris awakati nchi yake portugal ikiifunga france 10 na kutwaa ubingwa wa ulaya na yeye kucheza dakika chache za mwanzo na kuumizwa lakini jumamosi hii huenda akarejea tena uwanjani kwa mara ya kwanza baada ya kupona
msimu huu mpya ronaldo ambae ndie mchezaji bora barani ulaya hajacheza hata mechi moja ya klabu yake real madrid na alirejea mazoezini baada ya real kutwaa uefa super cup walipoibwaga sevilla mapema agosti na pia kuzikosa mechi mbili za la liga ambazo zote real walishinda mechi inayofuata kwa real ni jumamosi uwanjani kwao santiago bernabeu kwenye la liga watakapocheza na osasuna lakini kocha wa real zinedine zidane huenda akapanga kikosi mchanganyiko huku akiwa na jicho moja kwenye mechi inayofuata ya uefa champions ligi watakapocheza jumatano septemba 14 tena wakiwa nyumbani santiago bernabeu na sporting lisbon ikiwa ni mechi yao ya kwanza kabisa ya kundi lao ya mashindano hayo makubwa kabisa kwa klabu barani ulaya ambayo wao ndio mabingwa watetezi
huenda zidane akampa muda ronaldo uwanjani ili kumjenga polepole baada ya hivi karibuni kuzidisha kasi ya mazoezi baada ya kupona goti lake
kwenye la liga real barca na las palmas ndizo timu pekee zenye pointi 6 baada ya kushinda mechi zao zote 2 za kwanza za msimu mpya na ligi hiyo kusimama kwa wiki 2 kupisha mechi za kimataifa
2145 real sociedad v rcd espanyol
1400 celta de vigo v atletico de madrid
1700 real madrid cf v osasuna
1915 malaga cf v villarreal cf
1915 sevilla fc v las palmas
2130 fc barcelona v deportivo alaves
posted by faustine ruta at 112700 pm | 2018-03-18T21:34:25 | http://www.bukobasports.com/2016/09/la-liga-ronaldo-kurejea-real-jumamosi.html |
tafsiri maandishi yoyote kwa kutumia kamera ya simu yako
utaweza kutafsiri kwa haraka kwa kuelekezea kamera ya simu yako
oktoba 13 2019 212 um 13k wamesoma 2 comments
teknolojia imezidi kuchukua nafasi siku hizi sasa unaweza kuwa na simu yako tu na kuweza kufanya mambo mbalimbali ikiwa pamoja na hili la kutafsiri lugha yoyote kwa kutumia kamera ya smartphone yako
jumapili ya leo nimekuleta njia mpya ambayo unaweza ukawa ulikuwa huijui njia ambayo itakusaidia kuweza kutafsiri maneno mbalimbali kwa haraka bila kupoteza muda kwa kutumia kamera ya simu yako njia hii ni rahisi sana na kizuri ni kwamba unaweza kuendelea kutumia njia hii hata bila ya kuwa na internet mara baada ya kufanya hatua za awali lakini kwa kuanza ni lazima kuwa na internet angalau mb 200 ili kuweza kufanya hatua hizi za awali
kwa kuanza unaweza kufanya njia hizi kwa kutumia app mbalimbali lakini app ambayo mimi ningependa kukushauri ni app ya google translate app hii inapatikana play store lakini pia kuna baadhi ya simu ambazo zinakuja na app hii moja kwa moja ndani ya simu unaweza kuipata kwa kuangalia kwenye folder la google kama huna app hii basi unaweza kudownload kupitia link hapo chini
jinsi ya kuzuia sms mbalimbali za promosheni kwenye simu yako
baada ya kupakua na install app hizi vizuri kwenye simu yako sasa fungua apps hizi kisha fuatisha hatua kwa hatua kama ilivyo kama ndio mara yako ya kwanza unafungua app hii utaletewa sehemu yenye kutaka kuchagua ni lugha gani unataka kuwa unatafsiri mara kwa mara
kwa mfano unaweza kuletewa engilish kwenda spanish unachotakiwa kufanya kama unataka kuwa unatafsiri maneno ya kingereza kuja kiswahili basi chagua swahili kwenye sehemu yenye spanish kumbuka usisahau kuweka tiki kwenye sehemu ya translate offline kwani sehemu hii ndio itakusaidia kutumia app hii kutafsiri bila kutumia internet baada ya hapo bofya finished
baada ya hapo sasa utakuwa uko tayari kuanza kutafsiri maandishi yoyote kwa kautumia kamera ya simu yako sasa endepo unataka kutafsiri neno kwa kutumia kamera ya simu yako bofya kitufe cha kamera kisha elekezea kamera kwenye maneno unayotaka kutafsri na moja kwa moja utapa tafsiri yake
unaweza kuona hapo chini app hiyo ikiwa imefanya tafsiri ya baadhi ya maneno ya kingereza kuja kiswahili kutoka kwenye kioo cha kompyuta yangu
jinsi ya kutumia simu ya android kwenye kompyuta
kama unavyoweza kuona guys njia hii inafanya kazi vizuri sana na kama ulichagua ile sehemu ya translate offline basi app hii itapakua lugha unayotaka kutumia (mb 40 kwa kiswahili) kisha unaweza kuendelea kutumia app hii kutafsiri bila hata kuwa na internet kwenye simu yako
lakini pia zipo app nyingine ambazo unaweza kuzitumia app hizo ni pamoja na microsofts translator camera translator pamoja na all translator unaweza kuzipata app hizi kupitia link hapo chini ili kusudi uweze kujaribu kutumia na hizo
kumbuka app zote hizi ni za mfumo wa android hivyo kama unatumia mfumo wa ios ni vyema kupakua app ya google translate ambayo inapatikana juu kabisa kwenye ukurasa huu basi hayo ndio maujanja niliyo kuandalia kwa siku ya leo kama unata kujifunza zaidi unaweza kutembelea ukurasa wa maujanja hapa pia kwa maujanja zaidi hakikisha una subscriber kwenye channel yetu ili kujifunza zaidi kwa vitendo
makala iliyopita jinsi ya kutengeneza tovuti ya link kupitia smartphone yako
makala inayofuata youtube channel bora za kujifunza kutengeneza apps na website
alex sangu says
oktoba 17 2019 at 753 um
maoni*naweza vipi kupata setting za internet katika simu yangu t728
oktoba 17 2019 at 853 um
ni simu ya kampuni gani | 2020-01-24T10:37:11 | https://tanzaniatech.one/2019/10/jinsi-ya-kutafsiri/ |
habari za karibuni kuhusu tetemeko la ardhi nchini nepal mashahidi wa yehova wanasaidia waathiriwa wa tetemeko la ardhi
kathmandu nepalmashahidi wa yehova kutoka bangladesh ujerumani india japani uswisi na marekani wanaendelea kuwasaidia waathiriwa wa tetemeko kubwa la ardhi lililoipiga nepal mnamo aprili 25 2015 na kuua maelfu ya watu kutia ndani shahidi mmoja wa yehova na watoto wake wawili tetemeko la pili lilipiga nepal mnamo mei 12 2015 mashahidi wamesema kwamba katika tetemeko hilo la pili hakuna washiriki wao wowote waliojeruhiwa sana mali zao kuharibiwa au kupoteza maisha
mashahidi wa yehova walitoa msaada wa chakula kwa waabudu wenzao na waathirika wengine wa tetemeko mara mbili kwa siku
siku moja baada ya tetemeko la kwanza kutokea wawakilishi kutoka ofisi ya mashahidi wa yehova ya nepal walitembelea kila kutaniko ili kujua mahitaji ya waathirika katika eneo la bonde la kathmandu eneo lililoathiriwa sana na tetemeko tetemeko hilo liliharibu kabisa nyumba 38 za mashahidi na nyingine 126 hazikuharibika sana mashahidi hao waliokosa makao walikaribishwa na kuishi kwa muda katika nyumba za waabudu wenzao nyumba za ibada zinazoitwa majumba ya ufalme na mahema yaliyowekwa katika maeneo yaliyokuwa wazi ofisi ya nepal ilianza kutoa msaada wa chakula na baada ya muda misaada zaidi kutoka bangladesh india na majiji ya yaliyopo nchini nepal ya birgunj damauli mahendranagar na pokhara halmashauri ya kutoa msaada inasimamia kazi ya kujenga makazi ya muda inayofanywa na mashahidi wajitoleaji kutoka india japani na nepal
wajitoleaji kutoka ofisi ya mashahidi wa yehova nchini nepal wakihifadhi misaada iliyofika kutoka jiji la birgunj nchini nepal
msemaji wa mashahidi wa yehova nchini nepal reuben thapaliya anasema hivi mbali na kuwapa msaada wa kimwili waathiriwa wa tetemeko tunajitahidi pia kuwapatia msaada wa kiroho tunawapa chakula maji makazi na msaada wa kiroho kuanzia mei 25 2015 gary breaux mwakilishi kutoka makao makuu ya mashahidi wa yehova alitembelea makutaniko na familia mojamoja zilizoathiriwa na tetemeko hilo mei 4 2015 bwana breaux alitoa hotuba iliyotegemea biblia katika programu ya pekee iliyounganishwa kwa njia ya video kwa makutaniko ya eneo hilo pia mei 5 2015 kenji chichii mwakilishi kutoka ofisi ya tawi ya mashahidi wa yehova nchini japani aliwasili nepal yeye pia alitembelea familia zilizoathiriwa na tetemeko hilo na akatoa hotuba zenye kutia moyo zilizotegemea biblia
gary breaux (kulia) mwakilishi kutoka makao makuu ya mashahidi wa yehova akikagua nyumba iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi
ofisi ya tawi ya mashahidi wa yehova nchini ujerumani iliunda timu ya madaktari mashahidi iliyokuwa na muuguzi mtaalamu wa unusukaputi upasuaji na mhudumu wa matibabu ya dharura wakiwa na dawa zilizotolewa na mashahidi kutoka bangladesh india na japani na vifaa vingine vya kufanyia upasuaji na kushughulikia wagonjwa mahututi timu hiyo kutoka ulaya ilishirikiana na halmashauri ya kutoa msaada ya nepal kutoa huduma ya tiba kwa wagonjwa katika majumba ya ufalme yaliyopo katika eneo lilikumbwa na tetemeko la ardhi
timu ya kutoa msaada ikiwa katika jumba la ufalme jijini kathmandu ambapo mashahidi walioathirika na tetemeko la ardhi wanapewa chakula na makazi
j r brown msemaji katika makao makuu ya mashahidi wa yehova anasema hivi bado tunaendelea kutoa msaada kwa kuwa tunatambua kwamba kwa kawaida waathirika wa janga lolote wana mahitaji mengi zaidi ya kupona kimwili tungependa kuwahakikishia waabudu wenzetu nchini nepal na wote waliokoka tetemeko hilo la ardhi kwamba tutaendelea kuwapatia msaada wa kiroho na kimwili tunawakumbuka na tunasali kwa ajili yao
nepal reuben thapaliya simu +977 9813469616
tetemeko kubwa nchini nepal | 2017-06-25T14:43:49 | https://www.jw.org/sw/habari/habari/kulingana-na-eneo/nepal/kuwasaidia-waathiriwa-wa-tetemeko/ |
mke aliyesilimu hataki kufuata mafunzo ya dini mara nyingine anasema yeye sio muislamu | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /mke aliyesilimu hataki kufuata mafunzo ya dini mara nyingine anasema yeye sio muislamu | 2020-07-14T05:28:16 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/2482 |
php scripts / miscellaneouspropanel wordpress theme options panel addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads
propanel ni rahisikwamatumizi code kuweka kwamba itawezesha wewe kuongeza nguvu options jopo yoyote wordpress theme kama wewe ni majira theme developer au tu beginner itabidi hakuna matatizo wakati wote kufanya kazi na propanel makala muhimu ni pamoja na imefumwa dashboard styling 10 nguvu aina chaguo uwezo kwa unlimited kurasa plugnakucheza setup (utasikia kuwa juu na kukimbia katika dakika) kabisa white label elimu mafunzo ya video sekta inayoongoza wateja support * ununuzi license extended kutumia plugin hii katika mandhari yako wordpress juu ya worldwidescriptsnet * aina chaguo ni pamoja na textfield textarea checkbox radio button image radio button rangi picker image kipakiaji dropdown orodha info sanduku viongozi kuona nini wateja wetu wa ajabu ni kusema kuhusu sisi siwezi kukuambia jinsi ya kusaidia heshima na utendaji timu hii ni mimi ni novice kamili na mara alikutana na kiwango cha huduma na msaada sijawahi wamekutana na tarehe kuendesha kampuni hii kwa ajili ya huduma bora ni zaidi ya mtindo wa biashara classic ni matokeo ya baadhi kusudi mbali zaidi au ujumbe wao kutekeleza yake mfano wa jinsi watu wanapaswa kutibiwa
sina kitu chochote lakini sifa kwa kweli mandhari awesome mandhari zaidi top support na excellent documentation bila shaka uzoefu bora yangu na mwandishi worldwidescriptsnet tarehe asante sana kuangalia mbele kwa kazi yako ijayo
pretty hisia na huduma kwa wateja kutoka truethemes mimi mara chache kuonekana kama baada ya huduma ya ununuzi kwa wateja yeye kweli watumiaji katika server yangu fasta faili na aliyenituma maelezo juu ya jinsi yeye fasta yake nafurahi alifanya purchaseif hii wewe ni kuangalia kwa mandhari kubwa na kubwa baada ya kununua huduma umepata guy haki hapa
asante sana kwa ajili ya fixing suala yangu hivyo haraka napenda tu kama kusema kwamba kampuni yako imetoa la kushangaza huduma kwa wateja / msaada kwa tarehe hiyo ina kweli barugumu mimi mbali (ni nadra sana katika biashara ya leo)
downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalicreated25 novemba 11badiliko la mwisho18 machi 14high azimiohapana sambamba browserskeywordsecommerce items wote admin chaguzi admin mazingira admin mfumo chaguzi jopo mandhari chaguzi mandhari wordpress chaguzi wordpress | 2017-06-22T12:12:37 | https://sw.worldwidescripts.net/propanel-wordpress-theme-options-panel-39650 |
michuzi blog waumini wa kanisa la efatha mjini songea wachangia damu ' if(imglength>=1) { imgtag = '
waumini wa kanisa la efatha mjini songea wachangia damu
waumini wa kanisa la efatha ministry lililopo katika manispaa ya songea mkoani ruvuma wamejitokeza kwa wingi kuchangia damu kwa watu wenye uhitaji wa damu ambapo zoezi hilo la kuchangia limefanyika kanisani hapo philipo guni ni baba wa kiroho katika kanisa hilo anasema kutokana na mateso mengi wanayoyapata ndugu zetu hususani akina mama wajawazito na watu wanaopata ajali ndicho kilicho wasukuma zaidihabari kamili hii hapa video yake | 2017-10-23T17:10:12 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/waumini-wa-kanisa-la-efatha-mjini.html |
vichekesho wanavyotumia wakenya baada ya uchaguzi wa marekani ▷ tukocoke
elections latest politics tuko tv swahili entertainment feedback second jubilee governor floored in nominations vichekesho wanavyotumia wakenya baada ya uchaguzi wa marekani
3706 share on facebook
aliyekuwa mwaniaji wa urais donald trump anatarajiwa kuwa kiongozi wa 45 wa marekani donald trumptrump tayari alikubali kuteuliwa rais wa marekani ilhali hillary clinton alikubali kushindwa vichekesho wanavyotumia wakenya baada trump kushindahabari nyingine hii ndiyo siku ya mwisho ya rais obama ofisini
vichekesho wanavyotumia wakenya baada trump kushindavichekesho wanavyotumia wakenya baada trump kushindawakenya wengi walitarajia hillary clinton kushinda vikiwemo vyombo vya habari na wataalam wa masuala mbali mbali ikiwemo siasavichekesho wanavyotumia wakenya baada ya uchaguzi wa kushtua marekani
watu wengi ulimwenguni hawakutarajia trump angeshinnda wakazi wengi wa marekani na wafuasi wa hillary clinton walionekana kubabaika wakati ilikuwa wazi kuwa trump alikuwa mbele ya clintonvichekesho wanavyotumia wakenya baada ya uchaguzi wa kushtua marekanivichekesho wanavyotumia wakenya baada trump kushindahabari nyingine utajiri wa donald trump ni mara 7 zaidi ya uhuruvichekesho wanavyotumia wakenya baada ya uchaguzi wa kushtua marekani
vichekesho wanavyotumia wakenya baada trump kushindawakenya hawakuachwa nyuma kutazama uchaguzi huo na kutoa maoni yao kuhusiana na zoezi hilo vichekesho wanavyotumia wakenya baada trump kushindaread english version read more
donald trump us election 2016 race donald trump vs hillary obama speaks on trump donald trump wife donald trump statue hot
prezzo kenya gloria muliro husband raila 2017 strategy sean andrew kibaki chris brown coming to kenya related news popular gospel singer survives a terrible road accident (photos)
fast rising gospel singer involved in a gory road accident (photos) mca who stripped to show solidarity with raila defeated in nominations | 2017-04-26T13:50:05 | https://www.tuko.co.ke/221336-wakenya-wafanya-utani-baada-ya-ushindi-wa-donald-trump-marekani.html |
straika wa mwanaspoti kwani simba leopards na yanga kuna nini mwanaspoti
straika wa mwanaspoti kwani simba leopards na yanga kuna nini
boniface ambani
yalikuwa mashindano mazuri ambayo yalihusisha klabu zetu kongwe za afrika mashariki za afc leopards gor mahia (kenya) na simba na yanga zatanzania
nachukua fursa hii kuzipongeza klabu za bandari kariobangi shark na mbao fc kwa kazi nzuri sana ambayo ziliifanya juzi tu katika mashindano ya sportpesa super cup yaliyoandaliwa jijini dar es salaam
klabu za yanga leopards na gor mahia ziliondolewa katika raundi ya kwanza simba ikimfunga afc leopards yanga ikipigwa na kariabangi sharks gor mahia ilibanduliwa na mbao fc katika hatua ya matuta
ni mara ya tatu sasa haya mashindano yanaandaliwa na mshindi wa mashindano ya kwanza na ya pili alikuwa gor mahia ya kenya
mshindi wa kwanza kwa mara ya tatu sasa ni kariobangi sharks kutoka kenya pia swali langu kwa watanzania kwenu mnaona sawa tu kila wakati kombe linaondoka dar es salaam likielekea nairobi
shida yenu kubwa na yafaa mbadilishe fikra hizi ni kwamba simba na yanga macho yao yote yanaangaliana tu simba kufungwa ni sherehe kwa yanga na yanga kufungwa ni sherehe kwa simba
nadhani bado tunaishi katika maisha ya kale timu lazima zibadilike na kuwa na maisha ya kisasa ukiona maandalizi ambayo viongozi wa yanga wanafanya wakati wanataka kucheza na simba ni makubwa sana utadhani timu inataka kucheza fainali ya kombe la dunia
wachezaji watapelekwa kwa hoteli za kifahari watalala new afrika kempinski na kadhalika au timu itapelekwa visiwa vya zanzibar unguja au pemba itafanya mazoezi kwa viwanja vizuri kila kitu wanachohitaji wachezaji wanapewa lakini ukiangalia maandalizi wakati wanapocheza na klabu nyingine inatia aibu sana
mechi ni mechi zote zina alama tatu tu lipi kubwa afrika ambalo simba na yanga zinaweza kujivunia yanga kumfunga simba ama yanga kumfunga al ahly ya misri kaizer chiefs ya afrika kusini asante kotoko ya ghana etoile du sahel ya tunisia lipi jambo kubwa
ukitaka kujitangaza ubabe katika bara hili la afrika lazima uwe mstari wa mbele lazima utikise afrika maandalizi ya hizi klabu mbili kwa ukweli ni duni wakati zinakutana klabu nyingine za afrika
wakati yanga inacheza na simba hapo ndipo sasa viongozi wote wa yanga wataenda kambini na kutoa ahadi kibao kwa wachezaji wafungeni simba tutawafanyia hivi na vile
mambo hayo yanayofanyika yanga na kwa upande wa watani zao simba ni vivyo hivyo
watapewa ahadi nzuri wakikalibia kucheza na yanga wachezaji watakula vizuri kwa hoteli ya kifahari na kupelekwa zanzibar
hivi mambo haya yataendelea hadi lini mara ya mwisho yanga kushinda mashindano ya kanda hii ni msimu wa 2009/2010 iliponyakua tusker cup pale tanzania
fainali ikiwa sofapaka na yanga hapo nikiwa mchezaji nikitokea katika benchi dakika 10 za mwisho na niliweza kuichinja sofapaka na kombe likabaki dar es salaam watanzania hasa viongozi wa simba na yanga hamuoni aibu kila kukicha kombe la sportpesa super cup linapanda ndege na mihela ikirudi kenya
nyie kwenu ni jambo la kawaida tu bahati mbaya hata ukitaka kumuoa binti bahati lazima umpambie kila kukicha tanzania imebaki na vijembe vya simba na yanga kuanzia asubuhi usiku hata hakuna kulala maisha ya soka yatakuwa hivyo hadi lini inafaa muamke
kitu cha pili tunafaa tujiamini na makocha wetu wazawa tazama kocha ben mwalala tazama kocha wa sharks tazama kocha wa mbao fc nilifurahishwa sana na hizo klabu na zote zilikuwa na wachezaji kutoka kanda yetu
kama mbao fc ikizidi kupiga lile soka ililolionyesha kwenye michuano hiyo itafika mbali ilionyesha uchu wa kushinda kombe ilipigana kwa udi na uvumba kumaliza namba nne sio mchezo na ni mara yake ya kwanza kushiriki mashindano haya makubwa afrika mshariki
wakati umewadia kwa viongozi wa simba yanga gor mahia na afc leopards wajifikirie angalau mahia haipo vibaya vile nikiangalia katika soka letu inawakiiisha kenya katika mashindano ya afrika na imekuwa ikifanya vizuri tu imeshinda taji la sportpesa super cup mara mbili
simba nayo iko kwenye ligi ya mabingwa afrika ilianza vizuri mchezo wa kwanza kabla ya kuharibu dhidi ya as vita pale dr congo lakini vipi kwa afrika mashariki simba yanga na afc leopards kulikoni
kazi nu kutamba mitandaoni lakini la msingi hatulioni tubadilike ubabe ni kushinda mataji ya afrika maandalizi ya kila mechi lazima yawe ya kweli usajili uwe wa juu bila hivyo miaka nenda miaka rudi nyimbo zitakuwa zilezile acha tujaribu mwakani mwakani hadi lini hongera kariobangi sharks kwa kutwaa ubingwa mwakani itakipiga na everton jijini nairobi ben mwalala na kikosi chake cha bandari hongera mbao fc endeleeni vivyo hivyo
kumbe manchester united iliandaa helikopta kwa ajili ya bale
7 soka kumbe manchester united iliandaa helikopta kwa ajili ya bale | 2019-03-19T04:52:00 | https://www.mwanaspoti.co.tz/kolamu/Kwani-Simba--Leopards-na-Yanga-kuna-nini-/1799590-4956280-ti4a6fz/index.html |
serikali yatoa agizo kwa marc na madc owm
home kitaifa taarifambalimbali serikali yatoa agizo kwa marc na madc
✔ habari pmo 2/05/2020 071500 pm
*yawataka wahakikishe waliohamishwa mabondeni hawarudi
ametoa agizo hilo leo (jumatano januari 5 2020) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kijiji cha kipindimbi wilaya ya kilwa mkoani lindi
serikali yatoa agizo kwa marc na madc habari pmo 20200205t191500+0300 50 stars based on 35 reviews *yawataka wahakikishe waliohamishwa mabondeni hawarudi waziri mkuu kassim majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya nchini wahakik | 2020-04-05T16:44:19 | https://wazirimkuu.blogspot.com/2020/02/serikali-yatoa-agizo-kwa-ma-rc-na-ma-dc.html |
hadithi za kuchekesha pdf by author milton rwabushaija last download was at 20160114 101541 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za kuchekesha book
hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu pdf by author david downie last download was at 20160910 423409 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu book
hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (english edition) [edición kindle] pdf by author david downie last download was at 20170230 155534 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (english edition) [edición kindle] book
hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) pdf by author david downie last download was at 20160714 141426 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) book
hadithi za mapokeo ya wairaqw pdf by author 0 last download was at 20170322 352804 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za mapokeo ya wairaqw book
hadithi za mapokeo ya wairaqw = iraqw folktales in tanzania / zimekusanywa na kuandikwa na shohei wada shirikiana na izudori owamara na daniel amsi tsila (a new unread copy) pdf by author wada shohei last download was at 20170305 084024 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za mapokeo ya wairaqw = iraqw folktales in tanzania / zimekusanywa na kuandikwa na shohei wada shirikiana na izudori owamara na daniel amsi tsila (a new unread copy) book
hadithi za mwitu motoo aliyelelewa na mbwa mwitu (maugli stories) (mowgli stories of a child raised by wolves) pdf by author mtoto aliyelelewa na (rudyard kipling) last download was at 20170404 072540 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za mwitu motoo aliyelelewa na mbwa mwitu (maugli stories) (mowgli stories of a child raised by wolves) book
hadithi za mzee kobe pdf by author 0 last download was at 20161230 171454 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za mzee kobe book
hadithi za ndege pdf by author 0 last download was at 20170314 175041 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za ndege book
hadithi za wairaqw wa tanzania pdf by author w d kamera last download was at 20170305 270836 this book is good alternative for hadithi za kizanaki download now for free or you can read online hadithi za wairaqw wa tanzania book
copyright © 2017 by repudiateus | skunx24580011 | 2018-05-25T07:06:35 | http://1wb.repudiate.us/emu23.html |
wilaya ya kazo wikipedia kamusi elezo huru
wilaya ya kazo
mahali pa wilaya ya kazo katika uganda
tovuti http//wwwkazogoug
wilaya ya kazo ni wilaya mojawapo ya mkoa wa magharibi uganda
orodha ya mito ya wilaya ya kazo
je unajua kitu kuhusu wilaya ya kazo kama historia yake biashara taasisi zilizopo watu au utamaduni labda unaona habari katika wikipedia ya kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa basi unaweza kuisaidia wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=wilaya_ya_kazo&oldid=1079962
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 21 agosti 2019 saa 1419 | 2019-09-19T04:02:18 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Wilaya_ya_Kazo |
ufaransa inapiga vita ukeketaji | masuala ya jamii | dw | 07122006
ufaransa inapiga vita ukeketaji
mwaka 1979 kwa mara ya kwanza nchini ufaranya kumeendeshwa kesi dhidi ya mwafrika aliyehamia nchini humu na aliyekuwa baba wa msichana aliyefariki dunia baada ya kukeketwa tukio hilo liliishtusha jamii ya kifaransa lilikuwa mwanzo wa juhudi nyingi dhidi ya ukeketaji
vifaa vinavyotumika kuwakeketa wasichana
bado lakini wasichana wanakeketwa katika nchi hii kwa sababu hiyo serikali ya ufaransa mwaka huu umeamua kuchukua hatua nyingine za kupiga vita desturi hiyo mbaya leo kunafanyika mkutano wa kwanza wa kuimarisha sera hiyo mpya
katika wimbo wake mpya mwimbaji maarufu wa ufaransa jeanne cherhal anaimba kuhusu maumivu wa msichana mmoja ambaye alikeketwa ni kitu kipya kabisa nchini humo kwa mfaransa mzungu kuimbia suala hilo katika nyimbo zake lakini anataka desturi hiyo mbaya ifutwe
pia ni lengo lake nafissatou fall tangu miaka 15 sasa mwanamke huyu wa kutoka senegal anapiga vita dhidi ya ukeketaji mjini le havre ambapo wahamiaji wengi wa kutoka barani afrika hukaa chini ya wenzake wasenegal bibi nafissatou fall ni mtu anayetia aibu lakini nafissatou havunji moyo tena juhudi zake zinaleta faida anasema bibi huyu najua kwamba kila ninachofanya ni kitu kizuri hivyo tuliweza kuwaokoa wasichana wengi kutokeketwa zamani wasichana wote walikeketwa kabla hawajafika umri wa miaka minne lakini leo hakuna hata msichana mmoja anayeingia shule akiwa na umri wa miaka sita ambaye anakeketwa kwa sababu hadi kufikia umri huu watoto wote nchini humu huchungzwa na madaktari hata hivyo inabidi tuendelee kupiga vita ukeketaji
kwa mujibu wa bibi nafissatou wazazi wanajua kwamba kuna sheria inayopiga marufuku ukeketaji kwa hivyo wanasubiri tu wasichana kufika umri ambapo hakuna hatari kukeketwa kwake kunaweza kugunduliwa na daktari wakizidi miaka 12 au 13 madaktari wa shule hawaruhusiwi tena kuwachungua wasichana kwenye mwili mzima huko sasa wazazi wanawapeleka wasichana nyumbani afrika na kuwakeketa huko au kunafanyika kabla ya harusi yao
yale yanayotokea mjini le havre yanatokea katika nchi mzima hasa ni wasichana kijana ambao ni wahanga wa desturi ya ukeketaji serikali ya ufaransa inaongeza jitihada zake za kuwalinda wasichana hawa kutokana na sheria mpya inayopiga marufuku matumizi ya nguvu dhidi ya wasichana na wanawake wasichana walikeketwa dhidi ya uamuzi wao wana haki ya kuwashtumu wazazi wake au wale wahusika hadi kufikia miaka 38 ´
sasa pia wasichana wa asili ya kigeni wananufaika kutokana na sheria hiyo vile vile madaktari hawalazimiki tena kukaa kimya ikiwa wamegundua kesi ya ukeketaji wa wasichana na serikali ya ufaransa inataka kuchukua hatua nyingine za kuwaelemisha jamii na kupiga vita ukeketaji
mwandishi suzanne kraus / maja dreyer
kiungo https//pdwcom/p/chlz | 2018-12-16T10:49:43 | https://www.dw.com/sw/ufaransa-inapiga-vita-ukeketaji/a-2928259 |
homa ya nguruwe yasambaa hadi ulaya | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 28042009
homa ya nguruwe yasambaa hadi ulaya
ulimwengu mzima unajiandaa kuchukua hatua madhubuti za kupambana na kuenea homa ya nguruwe iliyozuka nchini mexico virusi hivyo vinaripotiwa vimesambaa hadi barani ulaya ambako mtu mmoja ameambukizwa homa hiyo hatari
wakazi wa mexico wajihami kwa vichuja pua
kwa mujibu wa takwimu zaidi ya watu 149 wamefariki mpaka sasa mexico pekee shirika la afya ulimwenguni who kwa upande wake limetangaza kuwa ugonjwa huo umefikia kiwango cha hatari ya maambukizi kati ya binadamu na huenda ukasababisha janga
punde baada ya shirika la afya ulimwenguni who kutoa onyo hilo masoko ya hisa barani asia yanaripotiwa kutetereka mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyeripotiwa kufariki nje ya mexico japokuwa watu 50 wameripotiwa kuambukizwa virusi vya homa hiyo katika mataifa ya marekani sita huko canada na barani ulaya ambako mtu mmoja ameambukizwa nchini uhispania taarifa hizo zimethibitishwa na kamishna wa masuala ya afya wa umoja wa ulaya androulla vassilou aliyeeleza kuwa ''tumepokea thibitisho kutoka kwa idara ya afya nchini uhispania kuwa kuna mtu mmoja aliyeambukizwa virusi vya homa ya nguruwe katika eneo la umoja wa ulaya''
nguruwe wanaosambaza virusi vya homa hiyo hatari
homa ya nguruwe inaweza kutibiwa kwa haraka kwa kutumia dawa ya kupambana na virusi kwa mujibu wa shirika la afya ulimwenguni kwa upande wake limesisitiza umuhimu wa kujizatiti kuzuia virusi hivyo kusambaa zaidi ila limepinga hatua ya kuifunga mipaka ya mexico naibu mkurugenzi wa shirika hilo la who keiji fukuda amelielezea hilo ''mkurugenzi mkuu amependekeza kutofunga mipaka au kupiga marufuku safari zozote zilehata hivyo ni muhimu kwa wagonjwa kutosafiri''
kufuatia tangazo la shirika la who serikali kote ulimwenguni zimewashauri raia wao kutoizuru mexico pasipo sababu za msingi kadhalika kuimarisha uangalizi katika viwanja vya ndege vya kimataifa uingereza ufaransa ujerumani na marekani tayari zimewatahadharisha raia wao kutoizuru mexico inayotegemea pato la fedha za kigeni katika sekta ya utalii
japan imewashauri raia wake walioko mexico kurejea nyumbani kabla hali haijakuwa mbaya
china kwa upande wake imeahidi kutangaza taarifa zozote za watu walioambukizwa homa ya nguruwe pindi watakapozipata itakumbukwa kuwa mwaka 2003 serikali ya china ilijitahidi kubana maelezo yoyote yale kutangazwa baada ya homa ya mafua makali ya sars kuzuka
ulimwengu ulijifunza kutokana na jaa hilo dr malik peris ni mmoja wa wanasayansi waliohusika katika vita hivyoamesema ''somo moja tulilopata ni kwamba hospitali na vituo vya afya vinaweza kuwa chanzo cha kusambaa kwa virusi watu wana ufahamu mkubwa zaidi kwa sasa kwamba usafi ni jambo la msingi na virusi hivyo vinawezwa kusambazwa kwa mikono au kukohoa''
mlipuko wa homa kali ya mafua uliotokea mwaka 1968 nchini china ulisababisha vifo vya yapata watu milioni moja kote ulimwenguni raia wengi wa mexico wamelazimika kuvaa vichuja pua katika maeneo mengi nchini humo mikahawamajumba ya sinemaviwanja vya michezo na baadhi ya afisi za serikali vyote vimefungwa ili kuzuia virusi hivyo kusambaa shule nazo zimefungwa hadi ifikapo tarehe 6 mwezi ujao wa mei kulingana na maafisa wa afya wa mexico virusi vya homa hiyo havisambazwi kwa kula nyama ya nguruwe
mwandishi thelma mwadzaya rtre/afpe
tarehe 28042009
kiungo https//pdwcom/p/hfzb | 2019-09-20T14:42:53 | https://www.dw.com/sw/homa-ya-nguruwe-yasambaa-hadi-ulaya/a-4211387 |
mrisho's blog balozi wa tanzania nchini ujerumani mhe philip marmo amvisha cheo kanali wa jwtz jijini berlin | 2017-04-29T11:17:57 | http://abdallahmrisho.blogspot.com/2017/03/balozi-wa-tanzania-nchini-ujerumani-mhe.html |
mmh huyu mwalimu anatoa adhabu kwa wanafunzi au anaua joka tulonge
mmh huyu mwalimu anatoa adhabu kwa wanafunzi au anaua joka
posted by tulonge on july 16 2013 at 840
nimekutana na hii video sehemu ila nimeshindwa kutambua ni mwalimu wa shule ya nchi ipi sina hakika kama adhabu hii ni halali kutolewa kwa watoto hawa au la nguvu itumikayo ni balaa utadhani anaua joka na watoto wake huwa anawaadhibu hivi
comment by gratious kimberly on august 2 2013 at 2042
duhnoma kama sio maigizo basi hii ni balaaa mimi kwa harakaharaka nimeona hapo ni shule nchini kenyapale anapopiga kiboko cha kwanza anaogea lugha ya kiswahili cha kenya akisema nilisema nini
comment by mama malaika on july 27 2013 at 1059
mgao siamini ualimu ni kazi ngumu sana na ni professional muhimu sana kuandaa taifa la kesho ndio maana wenzetu mwalimu ana thaminika na mshahara wake unatosha kukidhi mahitaji ya lazima
huyu mwalimu akifundisha shule wanayosoma wanangu naona atafungwa jela miaka 100+ na kuvuliwa membership ya ualimu hata mie mzazi sirihusiwi kumpa mtoto adhabu hii wataalamu wanatuambia adhabu hizi zampa makovu mtoto (psychologically) ya kudumu mental and emotional state tunayokulia mazingira ya utotoni ndio hiyo yazaa tabia zetu ukubwani ukatili ndio source kubwa ya controlling behaviour lack of confidence & selfesteem
comment by jemadari mimi on july 25 2013 at 1405
kwa kweli c busara kwa mwalimu ama mzazi kutumia nguvu kupita kiasi kwa kumdhibiti mtoto au kijana wako tunajua kuwa vijana wetu hawa wasomi wa leo wana matatizo sana ya dharaukiburi na kujiona wanajua mambo zaidi ya walimu ama mlezi wake
mwalimu kama mwalimu ana wajibu wakurekebisha tabia ya mwanafunzi wake pale anapoona hayuko sawa kitaaruma na kimaadililkn adhabu ambazo walimu wanazitoa mara nyingi ni kubwa kuliko kosa lenyewemuda mwingine walimu na mwanafunzi uchapana makonde
comment by mgao siaminip on july 16 2013 at 1830
atakua anastress za mshahara mdogo maana walimu afrika wanalipwa kidogohawaheshimiwi halafu katikati ya mwezi pesa kalipa madeni halafu watoto wanazingua ataua
comment by sharifa mkumbaru on july 16 2013 at 1322
duuuuh kweli hii kali mwalimu maana ticha anavyowachapa wanafunzi kama vile anaua nyoka tabia hii inayofanywa kwa baadhi ya walimu si njema na wanastahili wapewe onyo kali
comment by jacquerin gideon makoyola on july 16 2013 at 1140
hiii ni balaa
comment by tulonge on july 16 2013 at 945
inaonekana kuna mwanafunzi alikua na cm yenye camera ndo akamrekodi angestukiwa angelijua jiji hasira zote zingemuishia yeye
comment by dixon kaishozi on july 16 2013 at 929
hahaaaaa kama konda wa daladala walivyozoea kuning'inia mlangoni matokeo yake wanajazia upande hahaaa
comment by tulonge on july 16 2013 at 905
yani anatumia nguvu nyingi sanaakiendelea hivi kwa miezi miwili atajazia mkono wa kulia kuliko wa kushoto
comment by dixon kaishozi on july 16 2013 at 850
huyu nae anafaa achapwe kwa staili hiyo hiyo aone utamu wake | 2020-02-22T04:41:07 | http://tulonge.ning.com/profiles/blogs/mmh-huyu-mwalimu-anatoa-adhabu-kwa-wanafunzi-au-anaua-joka?xg_source=activity |
shaffih dauda in sports simba ruvu shooting milioni 20 tu kweli mashabiki wamesusa wana simba wajipange upya
simba ruvu shooting milioni 20 tu kweli mashabiki wamesusa wana simba wajipange upya
mechi ya ligi kuu ya vodacom (vpl) kati ya simba na ruvu shooting iliyochezwa jana (machi 2 mwaka huu) imeingiza sh 20610000 ambapo kila klabu ilipata mgawo wa sh 4402492 wakati kodi ya ongezeko la thamani (vat) iliyolipwa ni sh 314389831
ni ukweli usiofichika kuwa mashabiki wa simba sc hawana imani tena na kikosi chao chini ya kocha wao raia wa croatia dravko logarusic kufuatia kukumbwa na matokeo mabaya mzunguko huu wa pili
katika mechi sita ilizocheza mzunguko huu wa pili simba imefungwa mechi mbili kutoka sare mbili na kushinda mbili
ilishinda mabao 40 dhidi ya rhino rangers ya tabora uwanja wa taifa ikatoka sare ya 11 na mtibwa sugar uwanja wa jamhuri ikafungwa 10 na mgambo jkt dimba la ccm mkwakwani tanga ikasafiri mpaka mbeya na kutoka sare ya 11 na mbeya city
baada ya mbeya ikarejea dar es salaam uwanja wa taifa na kufungwa mabao 32 na jkt ruvu hatimaye jana ikafanikiwa kupata ushindi wa pili dhidi ya ruvu shooting baada ya kuilaza mabao 32 huku mshambuliaji wake hatari amiss tambwe akifikisha mabao 19 baada ya kufunga mawili jana kipindi cha kwanza
simba na yanga ni klabu kongwe hapa nchini na zimejizolea mashabiki lukuki kila kona ya tanzania na nje ya tanzania
imekuwa ni suala la kawaida kwa timu hizi zinaposhuka dimbani mashabiki wake kufurika kwa wingi kuona namna vikosi vyao vinavyosakata kabumbu
mapato ya mlangoni yamekuwa muhimu sana kuendesha klabu za simba yanga kutokana na kuwa na mtaji wa mashabiki wengi zaidi ya klabu yoyote nchini
lakini kwasasa mambo yameanza kwenda kombo kwa simba mpaka mechi ya jana wamepata milioni 20 tu
haimaanishi mashabiki wameikimbia klabu yao bado ni mashabiki na wanachama hai lakini wameanza kususa kwenda uwanjani kuishangilia timu yao
hakika unaweza ukakubali hoja kuwa mashabiki wa simba wamepunguza kuipenda timu yao kwa dhati kufuatia kukumbwa na matokeo yasiyoridhisha
kwa upande wa yanga wamekuwa na uhakika wa kukusanya mapato makubwa kutokana na timu yao kuwa imara kupata matokeo mazuri mzunguko huu wa pili pia kusheheni wachezaji wenye mvuto zaidi klabuni hapo akiwemo mrisho ngassa haruna niyonzima khamis kiiza emmanuel okwi didier kavumbangu frank domayo na wengine wengi
sasa yanga inapoingia uwanjani ina uhakika wa kurudi na mamilioni wakati kwa watani wao wa jadi simba sc mambo yamekuwa magumu sana
ukiangalia matokeo ya simba wanayoyapata kwa sasa na morali ya wachezaji kuwa chini unaweza kujiridhisha kirahisi kuwa kuna tatizo katika klabu hiyo hakika mambo haya si bure
imewahi kuripotiwa kuwa wachezaji hawapewi masilahi yao kwa wakati na mara kadhaa wamekuwa wakisikika chini kwa chini kutoridhishwa na uongozi wa mwenyekiti wao ismail aden rage
siku za karibuni baadhi ya wachezaji wamekuwa wakilalamika kuwa wanavunjwa moyo na ubabaishaji wa uongozi wa rage
mbali na hilo baadhi ya wachezaji wamekuwa wakimtupia lawama kocha mkuu logarusic kuwa amekuwa mkali mno na kuwabebesha lawama nyingi pale timu inaposhindwa kung`ara
wachezaji wengi wanalalamika lakini hawana uwezo wa kusimama mbele ya waandishi na kuweka wazi matatizo yao wanaishia kusema usitaje jina langu kwa kuhofia mkono mrefu wa rage
ukali wa loga unawavunja moyo wachezaji wakidai kuwa kocha huyo angekuwa karibu nao kuwafariji wakati huu wa matatizo
wakati loga anawasili simba alisema wazi kuwa ni muumini mkubwa wa nidhamu kwa wachezaji
alisisitiza kuwa kwake wachezaji wote ni sawa kama mwanandinga wake atakuwa na kiwango cha juu atapangwa kikosi cha kwanza na kama atashuka kiwango atawekwa kando lakini lazima aadhibiwe kwa makosa yake ya kushuka kiwango
loga alisimamia nidhamu na kuwabana wachezaji wake na kushuhudiwa akikwaruzana na akina mwombeki owino issa rashid na wengineo
kukwaruzana nisemako si kukunjana mashati hapana bali ni kuondolewa kikosini na kurudishwa tena kwa madai ya kucheza chini ya kiwango
hivi karibuni iliripotiwa kuwa loga amekuwa mgumu wa kusikiliza ushauri kwa wasaidizi wake akiwemo kocha msaidizi seleman matola `veron` kitu ambacho kinaifanya simba ishindwe kufikia malengo
imekuwa ngumu kuamini haya yanayosemwa kwani hakuna kiongozi iliyethibitisha kuwa wachezaji hawalipwi masilahi mazuri au kuna mgogoro wa wachezaji na viongozi benchi la ufundi au makocha hawaelewani
wachezaji wa tanzania wengi wao hawapendi kubanwa sana na kocha anayefuatilia nidhamu zaidi anaonekana kuwa mbaya sana inawezekana ukali wa loga unawakera hivyo wanafanya kazi yao chini ya kiwango
tuachane na hilo kwani kwasasa ni ngumu kujua ukweli lakini madhara yake ni makubwa ikiwa ni pamoja na timu kukosa mapato ya mlangoni kama ilivyozoeleka
leo hii simba inacheza uwanja wa taifa na kuambulia milioni 20 na baada ya mgawo wanapata milioni 4 si jambo jepesi hata kidogo
kuna haja ya viongozi wa simba kuchunguza nini tatizo katika kikosi chao imani yangu ni kwamba wanajua sana kinachosumbua lakini si wepesi wa kukiri mambo kwenda kombo
kama wachezaji hawalipwi vizuri suluhisho ni kuwalipa vizuri tuwala halitachukua muda
lakini kama wachezaji wanashindwa kufanya vizuri kwasababu tu hawamtaki kocha loga kwa kutoridhishwa na ukali wake basi hapo maamuzi magumu yanahitaji kuinusuru klabu
kwa mashabiki wa simba bado wanaonekana kutokuwa na moyo wa uzalendo timu kufanya vibaya si sababu ya kususa kwenda uwanjani
kinachotakiwa ni kukaa pamoja wakiwa wanachama na kuzungumza ili kumaliza tatizo klabuni kwao
wala hawana haja ya kugoma kwenda uwanjani na kuipatia timu milioni 4 tu wakati walikuwa wazee wa mamilioni
mpira una matokeo ya ajabu leo unaweza kuwa bora kesho ukawa kibonde iko wapi manchester united ya ferguson licha ya ubovu wao kwasasa mashabiki wanaendelea kwenda uwanjani kuishangilia timu yao wakiamini itarudisha makali yake
mashabiki wa simba nendeni uwanjani kuishangilia timu yenu acheni lawama simba inategemea sana mapato ya mlangoni
simba iliyowafunga yanga mabao 50 ilikuwa `supa` sana mashabiki walikuwa wanajaa uwanjani na kuwashangilia akina kelvin yondan emmanuel okwi marehemu patrick mutesa mafisango na wengineo ambao hawapo kikosini kwa sasa
moyo ule unatakiwa kuendelea katika kipindi hiki kigumu kwa sasa simba imebadilika na pengine inahitaji kuaminiwa na kupewa muda
kama kuna matatizo ndani ya klabu yatamalizwa na wana simba wenyewe wala si kupelekana mahakamani au polisi
kila mwana simba analo jukumu la kumshauri mwenzake ili waendelee kuiamini timu yao na kuishangilia kama kawaida
hiki ni kipindi cha mpito tu itafika wakati mambo yatarudi kwenye mstari wake
nawasilisha | 2017-07-28T02:37:11 | http://shaffih.blogspot.com/2014/03/simba-ruvu-shooting-milioni-20-tu-kweli.html |
tunaishi katika majira ya kuwajibika kisheria ban | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa
17/10/2012 tunaishi katika majira ya kuwajibika kisheria ban
katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon ameuambia mjadala wa hadhara wa baraza la usalama la umoja wa mataifa kuhusu amani na haki kuwa majira ya sasa dunaini ni ya uwajibikaji bwana ban amesema viongozi wa kiimla na wababe wa vita ambao hutekeleza uhalifu hawawezi tena kuacha mamlaka na kupewa hifadhi salama ng'ambo bila kukabiliwa na mkono wa sheria
katibu mkuu amezungumzia ufanisi ulofikiwa na mahakama ya kimataifa ya uhalfu icc katika kipindi cha mwongo mmoja uliopita akisema kuwa kila mahakama hiyo inapoingilia kati kwenye kesi fulani iwe imetokana na mapendekezo ya baraza la usalama au vinginevyo hali hubadilika
amesema hali huenda itaendelea kubadilika hivyo wakati kesi zikichunguzwa waranti za kuwakamata washukiwa zikitolewa na wahalifu hao kukamatwa na kupelekwa the hague kufunguliwa mashtaka na kuhukumiwa na kuongeza kuwa kuwa kila mmoja ameona umuhimu wa mahakama hiyo ya icc inapofuatilia haki katika maeneo yote duniani | 2013-12-12T07:11:20 | http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2012/10/tunaishi-katika-majira-ya-kuwajibika-kisheria-ban/ |
chuo kikuu cha teofilo kisanji(teku) chapata rais wake ~ chimbuko letu
chuo kikuu cha teofilo kisanji(teku) chapata rais wake
chuo kikuu cha teofilo kisanji(teku)kimepata uongozi mpya kupitia uchaguzi mkuu uliofanyika chuoni hapo mapema mwezi huubaada ya viongozi wa awali kumaliza muda wakekwa mujibu wa katiba ya chuo hicho
rais mstaafu ambukeghe imani amemaliza kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wa chuo hicho akishirikiana na baraza lake la mawaziri
aidhatume ya uchaguzi iliteuliwa kusimamia uchaguzi huo ikiongozwa na mwenyekiti wake bwana emmanuel mkavengaambapo mchakato wa uchaguzi ulitangazwa mapema mwezi uliopita na watu kadhaa walijitokeza kugombea nafasi mbalimbali ikiwemo ya uraismakamu urais na wabunge
awali uchaguzi ulifanyika mei 29 na matokeo kutangazwa mei 30 mwaka huuambapo bwana godbless george alitangazwa kuwa mshindi wa ngazi ya urais
kufuatia ushindi huo tume ilipokea rufaa kutoka kwa baadhi ya wagombea rais pamoja na makamu wake wana itikadi ya vyama hali iliyopelekea tume kutengua matokeo hayo na kuitisha uchaguzi upya baada ya kupata maoni kutoka kwa uongozi wa chuo
bwana steven lespidius alichaguliwa baada ya kupata kura 454 na kuwashinda myombo mawazo na swebya hongera ambao wote walipata kura 193 wakati kura 109 ziliharibika na jumla zilipingwa kura 949
kiti cha makamu rais alichanguliwa deus petro na wote kuapishwa juni 14 mwaka huu katika ukumbi mpya wa teku na mwanasheria wa wilaya ya mbeya prosper msivala ambapo aliwataka viongozi hao kuongoza wenzao kwa mujibu wa katiba ya chuo hicho
kwa upande wake mkuu wa chuo profesa tuli kasimotokufanya kile kilichowaleta chuoni hapobadala ya kujihusisha na masuala ya siasa na kuvionya baadhi ya vyama vya siasa kutoingilia katika chuo hicho kupenyeza siasa kwani kwa kufanya hivyo ni kuwatenganisha wanachuo na kwamba wao wapo kama familia moja
hata hivyo amemalizia kwa kusema utawala utatoa ushirikiano ili kudumisha mshikamano chuoni hapo | 2017-12-13T09:20:51 | http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/06/chuo-kikuu-cha-teofilo-kisanjiteku.html |
waziri mwigulu nchemba azindua nyumba za makazi ya askari magereza gereza kuu arusha | mtaa kwa mtaa blog | 2018-02-21T05:22:39 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/08/waziri-mwigulu-nchemba-azindua-nyumba.html |
serikali inaendelea kusajili vyama na vilabu vya michezo kwa wanawake zanzinews
home habari matukio serikali inaendelea kusajili vyama na vilabu vya michezo kwa wanawake
serikali inaendelea kusajili vyama na vilabu vya michezo kwa wanawake
na shamimu nyaki whusm | 2020-02-23T01:44:58 | http://www.zanzinews.com/2019/09/serikali-inaendelea-kusajili-vyama-na.html |
mtoto kushindwa kulala siri ya kumfanya alale afya bora kwa mtoto
siri ya kumfanya mtoto alale vizuri
mtoto akilala vizuri ndio anakua na afya njema wakati watoto wana style tofauti za kulala na mahitaji tofauti basi kuna baadhi ya vitu ambavyo ntakuelekeza unaweza kujifunza na kuvifanyia kazi
chagua mda mzuri wa kulala
ni vema kuchagua ni mda gani mzuri kwa yeye kulala wataalamu wanashuri saa moja au saa mbili ni mda mzuri wa mtoto kulala kama akizidisha hapo basi anaweza sumbua kidogo kulala
fuata mda
ukishachagua mda wa kumlaza mtoto ni vema ukawa unaufata mda huo wa kulala kwa sababu ukiendelea kufanya hivyo mtoto wako ataanza kuzoea huo mda na kwa sababu hiyo basi atakuwa hasumbui wakati wa kulala
muandae mtoto
watoto wadogo wanatakiwa kuandaliwa mapema kabla ya kwenda kulala kuna ile njia ambayo wakina mama wengi wanaitumia kuwa mtoto kabla hajalala kwanza anaoga pili unampa chakula au kama ni maziwa na kisha unamlaza analala kwa hiyo kama unataka mtoto wako alale saa mbili basi saa moja na nusu unaanza kumuandaa mapema ili iwe rahisi kwake kulala
mpeleke kitandani kabla hajasinzia
hii ni kwamba inatakiwa wakati mwingine umlaze mtoto kitandani kabla hajasinzia kabisa hii ni kwa sababu anatakiwa kujifunza kulala mwenyewe na kupitiwa na usingizi mwenyewe kuliko akiwa ameshalala ndio unamlaza kitandani kwa hiyo kwa kumpeleka kitandani kabla hajasinzia kabisa unakua pia unamfundisha jinsi ya kujilaza mwenyewe maana sisi tunautaratibu wa kumbeba mgonogni mpaka anasinzia ndio maana unakuta mtoto amekula vizuri ila kulala mpaka umuweke mgongoni wakati unaweza kumlaza kitandani ajifunze
acha tabia ya kumlisha kama njia ya kumlaza
hii ni njia wakina mama wengi huwa wanaitumia yaani unakuta mama anatumia njia ya kumyonyesha mpaka analala wakati mwingine kwa kweli huwa inasaidia maana ndio inamfanya mtoto analala ila kuna wakati mama unatakiwa kuacha hii tabia mtoe mtoto wako hapo muweke kitandani ajifunze kulala mwenyewe inasaidia sana kama ukianza kumfundisha mtoto wako kulala mwenyewe na sio mpaka uwe nae karibu mda wooote
kuna wakati mtoto anaweza kuwa amechoka saana kwa hiyo unakuta anachelewa kulala kwa hiyo jinsi ya kudeal na mtoto wa aina hii jaribu kumpeleka mtoto wako kitandani mapema kabla ya mda wa kulala ili asichoke sana na kutumia mda mwingi akiwa macho
previous article mama baada ya kujifungua
next article dalili za uti | 2019-07-16T09:06:18 | http://www.afyaborakwamtoto.com/siri-ya-kumfanya-mtoto-alale-vizuri/ |
mtakatifu gaspar del bufalo mfano bora wa uinjilishaji unaojikita katika ushuhuda na utakatifu wa maisha | vatican news
mtakatifu gaspar del bufalo alijitahidi kusikiliza na kujibu kilio cha damu kwa watu wa nyakati zake (vatican media)
mtakatifu gaspar del bufalo tangu mwanzo aliamua kuwa mmisionari na akashika msimamo huu hadi kuufikia utakatifu gaspar alifaulu kumwiga kristo kwa kulinganisha uhodari wa kibinadamu na neema ya mungu wito wake uliojitokeza tangu kuzaliwa kwake uliimarishwa na kukomazwa hadi upeo wa utakatifu kwa njia ya mazingira na watu aliokutana nayo
na padre walter milandu cpps roma
utangulizi mtakatifu gaspari del bufalo mwanzilishi wa shirika la wamisionari wa damu azizi ya yesu (17861837) ndugu mpendwa ninakukaribisha katika kipindi hiki ili kuweza kuyatambua japo kwa kifupi maisha na utume wa mt gaspari katika kanisa na katika shirika kwa kawaida sikukuu za watakatifu katika kanisa huwa tunazisherehekea au siku ya kuaga kwao dunia yaani siku wanayozaliwa mbinguni au tarehe ya kutangazwa kwao watakatifu n amara chache siku ya kuzaliwa kwao duniani hata hivyo sikukuu ya mt gaspari huwa tunaisherehekea kila mwaka tarehe 21 mwezi oktoba kila mwaka tarehe hii haina uhusiano wowote na siku ya kuzaliwa kwake duniani wala mbinguni maana aliaga dunia tarehe 28 desemba 1837 na wala haina uhusiano na siku ya kutangazwa kwake mtakatifu maana alitangazwa mtakatifu tarehe 12 mwezi juni 1954 tarehe hii ilipangwa baada ya makubaliano hasa kuondoa mwingiliano wa sikukuu au sherehe nyingine katika kanisa
mfano tarehe 28 desemba ni sikukuu ya kanisa ya watoto mashahidi ukiachilia mbali kwamba tarehe 6 januari ni sherehe ya epifania au tokeo la bwana pia tarehe 12 juni mara kadhaa huingiliana na sherehe ya moyo mtakatifu wa yesu kutokana na heshima aliyonayo mt gaspari katika kanisa la roma kanisa hilo kwa miaka kadhaa lilikuwa likiadhimisha sikukuu ya mt gaspari tarehe 4 januari kutokana na makubaliano ndani ya shirika ya kuadhimisha sikukuu ya mt gaspari siku ya tarehe 21 oktoba nalo kanisa la roma likakubali kwamba tarehe hiyo iwe sikukuu ya
mt gaspari alizaliwa roma tarehe 6/1/1786 mama yake aliitwa anunciata na baba yake alitwa antonio alikuwa na kaka yake aliyeitwa luigi kutokana na ukweli kwamba alizaliwa akiwa na afya dhaifu wazazi wake waliogopa kwamba angeweza kuwa mhanga wa ugonjwa wa kifua kikuu kwahiyo siku iliyofuata yaani tarehe 7 januari alibatizwa kwa akipewa majina yote matatu ya mamajusi toka mashariki ya mbali yaani gaspari melkior na baltazari
wazazi wa mt gaspari walikuwa ni wakristu wenye imani thabiti wakiishi na kuyashika vema mafundisho ya kanisa kila siku walihudhuria misa takatifu katika kanisa liitwalo kanisa la yesu lililopo karibu na mahali walipokuwa wakiishi katika kanisa hili kuna masalia ya mkono wa mt fransisko ksaveri ambaye alikuwa ni mmisionari maarufu aliyefanya kazi kubwa ya uinjilishaji huko india kutokana na afya dhaifu aliyokuwa nayo gaspari mara nyingi aliugua akiwa na miezi 20 tu alishambuliwa vibaya na ugonjwa wa ndui (small pox) na alikuwa katika hatari ya kupata upofu wa macho madaktari walikiri kuwa hawakuwa na uwezo wa kuutibu ugonjwa kwa njia ya kisayansi
mama yake gaspari alimweka mwanaye chini ya maombezi ya mtakatifu fransisko xsaveri ili aweze kupona haikuchukua muda mtoto gaspari alipona baada ya gaspari kupata ufahamu mama yake alimsimulia juu ya kuponywa kwake kwa muujiza kupitia maombezi ya mt francisko xsaveri tangu alipotambua hilo gaspari akajenga upendo wa pekee na ibada kubwa kwa mtakatifu huyu kwa maisha yake yote kila mara alipopiga magoti na kusali mbele ya altare ya mtakatifu huyu alisikia mvuto wa pekee wa kuwa naye mtakatifu alipoanzisha shirika la wamisionari wa damu takatifu mt gaspari aliliweka chini ya usimamizi wake na akataka mt fransis ksaveri awe mfano wa umisionari kwa wanashirika wote
maisha na utakatifu wa gaspari una msingi wake madhubuti katika malezi aliyoyapata ndani wa familiya yake aliwaheshimu na kuwasilikiza wazazi wake na kutoka kwao hasa kwa mama yake alijifunza mambo mengi yaliyojenga utu na dhamiri yake kama mwanadamu wazazi wake hawakulenga kumpa elimu ya kidunia tu bali hasa mafundisho yenye kuijenga imani yake ya kikristu mama yake ndiye alikuwa katekista mkuu mama huyu aliapa mbele ya mungu kufanya analoweza ili kumlea na kumuongoza kuwa mkristu wa kweli alimfundisha sala na mafundisho mbalimbali ya msingi katika imani ya kikristu mambo yote ya imani aliyoyaishi gaspari yalikuwa na chimbuko lake katika malezi toka kwa wazazi wake
tangu akiwa mtoto mama alimpeleka gaspari katika misa takatifu na alikuwa na tabia ya kumwongoza kwenye altare yenye yesu msulibiwa mtoto gaspari alionekana kuingia katika tafakari ya kina juu ya jambo hilo kinyume cha umri wake mara kadhaa alibaki akitafakari kanisani na mama aliwajibika kumwondoa kwa nguvu wakati wa misa gaspari alikuwa na umakini wa pekee n amara nyingi alionekana kupiga magoti mbele ya yesu ekaristi siku alipoungama kwa mara yake ya kwanza mtoto gaspari aliweza kumshangaza muungamishaji wake kwa jinsi alivyokuwa na dhamiri ya pekee mpaka kumfanya kusikia uchungu mkubwa kutokana na dhambi alizofanya na kwa kushindwa kutimiza kile ambacho alipaswa kufanya
mama yake alipoziona hizi alama kwa mtoto wake alimshukuru mungu kwa zawadi ya mtoto huyu na bila shaka alijiuliza nafsini mwake kwamba atakuwa mtu wa namna gani atakapokuwa mtu mzima kama jinsi ambavyo watu walijiuliza juu ya maneno na matendo aliyoyafanya yesu akiwa mdogo mama yake alikubali kushiriki kikamilifu n aule mpango ambao mungu alimpangia mwanaye
tangu akiwa mdogo gaspari tangu akiwa mdogo alisikia ndani yake sauti ikimwita kama jinsi sauti ya mungu ilivyomwita samweli katika hekalu alipompokea yesu ekaristi kwa mara ya kwanza hamu hiyo iliongezeka na akaamua kujikabidhi kwa mungu mjomba wake ambaye alikuwa ni padre wa shirika la msalaba mtakatifu naye alikuwa ni chachu katika kuifuata njia hiyo wakati ulipofika alijiunga na seminari ya jimbo na roma akiwa na umri wa miaka 11 tu alikuwa na bidii kubwa katika sala masomo na malezi yote aliyazingatia sana na alikuwa ni mfano wa kuigwa na wengine vazi la kanzu alilovaa kwake ilikuwa ni ishara na wajibu wa kuishi utakatifu alikumbwa na majaribu na magumu mengi katika safari yake ya wito ikiwa ni pamoja na matatizo ya kifamilya katika hayo yote alijifunza kusali mapenzi yako yatimizwe
maisha yake kama padre tarehe 12 machi 1808 gaspari alipata daraja la ushemasi hatimaye tarehe 31 julai mwaka huohuo wa 1808 gaspari alipewa daraja la upadre akiwa ni padre wa jimbo la roma je gaspari alikuwa padre wa namna gani alikuwa na upendo mkubwa sana kwa mungu na alipenda kusali na kutafakari mbele ya yesu ekaristi jambo hili hakulianza akiwa padre bali tangu alipokuwa mdogo pamoja na tafakari mbele ya yesu ekaristi alitafakari sana juu ya safari nzima ya mateso ya yesu na juu ya damu iliyomwagika msalabani kwa ajili ya wokovu wa watu wote tangu akiwa mdogo tafakari juu ya mateso ya yesu ilikuwa ni sehemu ya maisha yake ya kila siku
alisoma na kuyaiga maisha ya watakatifu mbalimbali wa kanisa mbali na mt fransisko ksaveri alisoma vitabu mbalimbali juu ya maisha ya watakatifu aloys gonzaga mt alphonsus maria de ligouri kumuiga kristo na alikuwa na ibada ya pekee kwa mama bikira maria alikuwa na huruma na upendo wa pekee kwa masikini aliwasaidia kadiri alivyoweza jambo hili alilifanya tangu akiwa mdogo na kila alipolifanya alisema na kwa ajili ya kumpa heshima bikira maria mara nyingi alikubali kujinyima chakula alichopaswa kula ili awape masikini waliokuja karibu na nyumba yao wakati mwingine mama yake alimkaripia juu ya kujinyima huko lakini yeye alijibu akisema kwamba wale masikini wana njaa zaidi ya yeye hakika gaspari alikuwa na huruma kubwa kwa masikini
tangu mwanzo akiwa mdogo alionesha moyo mwema na wenye ukarimu kwa wenye shida kinyume cha watoto wengi ambao huonesha tabia ya ubinafsi katika kuwagawuia wengine mambo yao sambamba na hilo mara nyingi aliwatembelea wagonjwa katika hospitali mbalimbali tangu akiwa mdogo aliguswa na shida za watu aliutumia muda huo pia kujifunza juu ya mahangaiko ya watu na alitafuta kila njia kuwasaidia katika kanisa la mt galla kulikuwa na kituo kikubwa kwa ajili ya kuwasaidia masikini na wagonjwa ambapo yeye na mapadre wengine walitoa huduma katika matendo hayo ya huruma gaspari alifanikiwa kuuishi ukristo kwa kuitikia neno la yesu linalosema kuwa kila mlilowatendea ndugu zangu hawa wadogo mlinitendea mimi na kila msilowatendea ndugu zangu hawa wadogo hamkunitendea mimi
kama padre gaspari alikuwa na upendo mkubwa kwa kanisa na alibaki mwaminifu kwa kanisa daima mwaka ambao alipadirishwa ndiyo mwaka ambapo kanisa lilipata matatizo na mateso makubwa chini ya utawala wa napoleone wa ufaransa aliyevamia roma na miji mingine ya italia mwaka 1808 akitaka kanisa na uongozi wake kutii mamlaka yake maaskari wa baba mtakatifu walitekwa na baba mt pius wa vii akatiwa gerezani makadinari na maaskofu wengi wakafukuzwa roma watawa nao hawakusalimika walifukuzwa toka kwenye nyumba zao na mali zao zikataifishwa napoleone alipunguza alipunguza idadi ya parokia na aliruhusu idadi ndogo tu ya waseminari katika seminari za majimbo shule ziliendeshwa kijeshi na vijana walipewa mafunzo ya kijeshi je nini kilitokea baada ya hapo nakukaribisha katika kipindi kijacho ili kuona ni namna gani mtakatifu alikabiliana na hali hiyo
mtakatifu gaspar
20 october 2018 1444
tanzia askofu gabriel mmole amefariki dunia kuzikwa 21 mei 2019
askofu mkuu renatus nkwande ushoga utoaji mimba & ukoloni
kardinali parolin kanisa linataka kudumisha amani & umoja wa kidugu
papa francisko utuopoe maovuni ni msingi wa sala ya kikristo
papa francisko majadiliano ya kidini yakuze amani duniani | 2019-05-21T21:35:37 | https://www.vaticannews.va/sw/church/news/2018-10/mtakatifu-gaspar-del-bufalo-shirika-wamisionari-damu-azizi-yesu.html |
2 vamakwerhu ripfumelo leri mi nga na rona eka hosi ya hina yesu kreste ku vangama+ ka hina a ri fambisani ni swiendlo swa xihlawuhlawu+ a hi swona ke 2 hikuva loko munhu la veheleke swingwavila swa nsuku etintihweni ta yena a ambale swiambalo leswi hatimaka a nghena enhlengeletanweni+ ya nwina ivi ku nghena+ xisiwana lexi ambaleke swiambalo leswi thyakeke 3 kambe mi va ni tintswalo+ eka la ambaleke swiambalo leswi hatimaka kutani mi ku wena tshama laha ndhawini leyinene kutani eka la nga xisiwana mi ku wena yimisa sweswo kumbe tshama lahaya vunavelweni bya milenge ya mina 4 ma tihambanisa hi mintlawa exikarhi ka nwina+ naswona se mi vaavanyisi+ lava endlaka swiboho swo homboloka+ a swi tano ke 5 yingisani vamakwerhu lava rhandzekaka xikwembu xi hlawule lava nga swisiwana+ hi langutelo ra misava leswaku va fuwa+ eripfumelweni ni ku va vadyandzhaka va mfumo lowu xi wu tshembiseke lava xi rhandzaka+ a hi swona ke 6 kambe nwina mi tsongahate xisiwana vafuwi va mi tshikelela+ naswona va mi kokela emahlweni ka tihuvo+ ta nawu a hi swona ke 7 va sandza+ vito lerinene leri mi vitaniweke+ ha rona a hi swona ke 8 kunene loko mi hanya hi ku landza nawu+ wa vuhosi hi ku ya hi tsalwa leri u fanele u rhandza warikwenu kukota loko u tirhandza+ mi endla kahle swinene 9 kambe loko mi hambeta mi kombisa xihlawuhlawu+ mi endla xidyoho hikuva nawu+ wa mi tshinya leswi mi nga lava tlulaka nawu 10 hikuva mani na mani la hlayisaka nawu hinkwawo kambe a teka goza leri hoxeke emhakeni yinwe u hundzuke mutluri wa yona hinkwayo+ 11 hikuva loyi a nga te u nga tshuki u endla vuoswi+ u tlhele a ku u nga tshuki u dlaya hi vomu+ kutani loko u nga byi endli vuoswi kambe u dlaya swi nga ri enawini u hundzuke la tlulaka nawu 12 hambetani mi vulavula ni ku endla hi ndlela leyi fanaka ni leyi va endlaka ha yona lava nga ta avanyisiwa hi nawu wa vanhu+ lava ntshunxekeke 13 hikuva loyi a nga hanyiki hi tintswalo u ta kuma vuavanyisi byakwe lebyi nga riki na tintswalo+ tintswalo ta khana eku avanyisiweni 14 swi pfuna yini vamakwerhu loko unwana a ku u ni ripfumelo+ kambe a nga ri na mintirho+ ripfumelo rero a ri+ nge nwi ponisi a hi swona ke 15 loko makwenu a swerile naswona a pfumala swakudya leswi ringaneke swa siku+ 16 kambe unwana wa nwina a ku eka yena famba hi ku rhula u kufumela u xurha kambe a nga nwi nyiki swilaveko swa miri wa yena swi pfuna yini ke+ 17 xisweswo na rona ripfumelo loko ri nga ri na mintirho+ ri file hi vurona 18 nilokoswiritano unwana u ta ku wena u ni ripfumelo mina ndzi ni mintirho ndzi kombe ripfumelo ra wena handle ka mintirho mina ndzi ta ku komba ripfumelo ra mina hi mintirho+ ya mina 19 wa kholwa leswaku ku ni xikwembu xinwe a hi swona ke+ u endla kahle swinene kambe madimona ma kholwa ma tlhela ma rhurhumela+ 20 kambe xana wa khathala ha swona ku tiva leswaku ripfumelo handle ka mintirho a ri tirhi xiphukuphuku ndziwena 21 xana abrahama tata+ wa hina a nga vuriwanga la lulameke hikwalaho ka mintirho endzhaku ka ku nyikela isaka nwana wa yena ealitarini+ 22 wa swi vona leswaku ripfumelo ra yena a ri tirhisana ni mintirho ya yena naswona hikwalaho ka mintirho ya yena ripfumelo ra yena ri endliwe ri va leri hetisekeke+ 23 naswona ku hetiseke tsalwa leri nge abrahama u ve ni ripfumelo eka yehovha hikwalaho ka sweswo swi hlayiwe eka yena leswaku i ku lulama+ kutani a vuriwa nakulobye+ wa yehovha 24 ma swi vona leswaku munhu u ta vuriwa la lulameke+ hikwalaho ka mintirho+ ku nga ri hikwalaho ka ripfumelo ntsena+ 25 hi mukhuva lowu fanaka xana na yena rahava+ lowa nghwavava a nga vuriwanga la lulameke hikwalaho ka mintirho endzhaku ka ku amukela varhumiwa hi malwandla kutani a va humesa hi ndlela+ yinwana ke 26 kunene tanihi leswi miri lowu nga riki na moya wu feke+ xisweswo ni ripfumelo leri nga riki na mintirho ri file+ | 2019-12-08T06:17:11 | https://www.jw.org/ts/layiburari/bibele/bi12/tibuku/yakobo/2/ |
rais dkt magufuli afanya ziara ya kustukiza gereza la ukonga jijini dar es salaam leopiga marufuku uuzwaji wa sare za majeshi kwa watu binafsi | tanuru la fikra blognews
home uncategories rais dkt magufuli afanya ziara ya kustukiza gereza la ukonga jijini dar es salaam leopiga marufuku uuzwaji wa sare za majeshi kwa watu binafsi
tanuru la fikra 114100 am add comment edit | 2017-10-18T09:18:37 | http://www.tanurulafikra24.com/2016/11/rais-dkt-magufuli-afanya-ziara-ya.html |
kuwait uwekezaji wa moja
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi kuwait uwekezaji wa moja
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=kuwaitfordirinv&v=202008032300v20200716&lang=all&h=300&w=600&ref=/kuwait/foreigndirectinvestment' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/kuwait/foreigndirectinvestment'>tradingeconomicscom</a>
urari wa biashara ya 176000 209000 706590 2530 kwd milioni [+]
sasa akaunti ya pato la taifa 890 1270 5457 24219 asilimia [+]
uagizaji 225000 259000 280700 44000 kwd milioni [+]
mauzo ya nje 401000 468000 885540 64750 kwd milioni [+]
capital mtiririko 746900 738900 2117200 2233700 kwd milioni [+]
fedha kutoka nje 124700 107100 132600 94300 kwd milioni [+]
gold akiba 7900 7897 8051 7872 tani [+]
mafuta ghafi uzalishaji 208800 219100 376800 000 bbl/d/1k [+] | 2020-08-04T04:01:25 | https://sw.tradingeconomics.com/kuwait/foreign-direct-investment |
kiwingu mazungumzo ya yemen | matukio ya kisiasa | dw | 07122018
wawakilishi wa serikali ya yemen na waasi wa houthi walio kwenye uhasama mkubwa walishambuliana kwa maneno jana alhamisi wakati wa siku ya kwanza ya mazungumzo yaliyofikiwa kwa tabu na umoja wa mataifa ambao umeyataja kuwa magumu lakini yenye umuhimu
mazungumzo ya nchini sweden baina ya pande hizo mbili ni ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili iliyopita juu ya mzozo ambao umeitumbukiza yemen taifa masikini la kiarabu kwenye baa kubwa la njaa na hali mbaya kabisa ya kibinadamu
siku ya kwanza ya mazungumzo ya sweden ilitawaliwa zaidi na kila upande kutaka masharti yake yazingatiwwe kwa umakini na kupewa kipaumbele
katibu mkuu wa umoja wa mataifa antonio guterres alizitolea wito pande zote mbili kutoweka masharti kabla ya kuanza kwa mazungumzo hayo yanayofanyika kwenye kitongoji kidogo cha rimbo kaskazini ya mji mkuu wa sweden stockholm yatakayodumu kwa muda wa wiki moja
safari bado ni ndefu kufikia amani
mjumbe maalum wa umoja wa mataifa kwenye mzozo wa yemen martin griffiths amesema mazungumzo hayo yametoa nafasi muhimu lakini alijizuia kufafanua kuwa ni awamu ngapi za mazungumzo zitahitajika kabla ya kufikia mwisho wa uhasama kati ya serikali na waasi wa houthi
hata hivyo upande wa waasi umesema una wasiwasi juu ya dhamira ya mazungumzo hayo na kuwa wa bado unatathmini umuhimu wa kuendelea kushiriki
msemaji wa waasi wa houthi mohammed abdelsalam alikiambia kituo kimoja cha televisheni kuwa wataamua leo ijumaa ikiwa mazungumzo ya stockholm yana nia ya dhati ya kumaliza mzozo uliopo au la
mazungumzo ya sweden yatatawaliwa kati siku chache zijazo na hatma ya mji wa bandari wa hodeida ambao umekuwa kitovu cha mapigano kati ya waasi na vikosi vya serikali vinavyoungwa mkono kijeshi na muungano wa saudi arabia
mapigano yanahofiwa yamesababisha kiasi raia 150000 kukwama bila msaada wa chakula na matibabu na mjumbe wa umoja wa matiafa kwa yemen amesema wanalenga kumaliza mapigano kwenye mji huo wa bandari ambao ndiyo lango la kuingiza kiasi asilimia 90 ya mahitaji yote nchini yemen
waasi waliwatesa wafungwa
wakati huo huo shirika la habari ya assosciated press limeripoti kuwepo ushahidi kuwa waasi wa houthi wamefanya vitendo vya ukatili na utesaji kwa wafungwa waliokuwa wakiwashikilia
ushahidi huo unajumuisha rikodi za utesaji na ukatili uliotendwa na waasi dhidi ya wafungwa ikiwemo kuwachapa viboko usoni kuning´inizwa wakiwa wamefungwa kamba sehemu za siri na kuchomwa kwa kutumia tindikali
zaidi ya visa 1000 vya mateso vilivyofanywa na waasi kwenye magereza ya siri ikiwemo vifo vya raia 126 vilivyotokana na unyanyasaji vimerikodiwa
mwandishi rashid chilumba/afp/ap
maneno muhimu yemen sweden waasi wa kihouthi hodeidah martin griffiths
kiungo https//pdwcom/p/39dru | 2018-12-16T10:20:04 | https://www.dw.com/sw/kiwingu-mazungumzo-ya-yemen/a-46627218 |
diary yangu baada ya dhiki faraja52
baada ya dhiki faraja52
nikiwa nimejipumzisha kwenye hoteli baada ya shughuli nzito ya mahakamani nilijilaza kitandani na kiuweli akili yangu yote kwa muda huo ilikuwa ikimuwaza mdada mdada ambaye alitaka tuongee naye kipindi kesi ikiendelea lakini ikashindikana kwani mpelelezi naye alikuwa na mazungumzo na mimi ikabidi nimtumie mdada ujumbe wa maneno kuwa nipo na mpeleleziana maongezi na mimi na akajibu
fanya uonavyo ila uwe makinibasi hatukuweza kuongea naye tena kwa siku hiyo kwani yeye aliondoka mapema na sikujua anakwenda wapi au litaka kunimbia nini nikabakia kwenye mahakama nikifuatilia hiyo kesi kwani hata mpelelezi naye aliondoka kama alivyoniambia kuwa kaitwa na wakubwa zake nikawa najaribu kukumbuka mazungumzo yangu na mpelelezi huyo
hawa watu siwaelewi wanataka nini ukweli umeshabainika wao wanaufukia hii kweli sio haki mambo kama haya hayataki siasaakasema
ukweli upi huo bosi unaotaka kufukiwa wakati mahakama ipo kwa ajili ya hilo nikamuuliza na hilo neno bosi likamfanya aniangalie machoni na kusema
bosi wako sio mimi bwanaakasema huku akionyesha kwa mkono kuwa niache hilo neno
aaahkwa hivi sasa wewe ni bosi wangu ila mimi nauliza kuhusu hiyo kauli yako ulivyosema wanataka kuufukia ukweli ni akina nani na ni ukweli gani huo nikamuuliza
we acha tulakini anyway nitajua huko mbele kwa mbele usijali kazi zetu hizi zinakutana na mitihani mingi unaweza kupoteza muda wangu mwingi halafu watu wengine wanakuja kuingilia na kusema hayo mambo yamalizwe kienyeji akasema
watu kama akina nani nikauliza
unajua kwa hali kama hii udhalimu hautaishani lazime tufike mahali tuseme sasa basi wadhalimu washugulikiwe bila kujali huyu ni nanivinginevyo tukiendelea hivi kupindishapindisha mambo tutaleta mtafaruku katika jamii na wananchi hawatakuwa na imani na viongozi waoakasema
kwanini unasema hivyo kwani hao wakubwa wako ni akina nani sio hao hao polisi nikamuuliza
mimi ni mpelelezi wa kazi maalumu sio lazima nishirikiane na polisingoja mimi niende ila ule mpango wangu wa kuongea mimi na wewe bado upo pale pale ni vyema tukawa kitu kimoja ili kuukomesha huu udhalimu nafahamu ni kazi nzito hasa pale siasa zinapojichomeka lakini haki ni haki tu kama sheria inasema hivi huwezi ukasema sio hivi kwa vile huyu ni mwenzetu hilo halipoakasema
oh unajua nimekuwa na wakati mgumu sana mimi maana watu ninaokuwa nao karibu ambao nawaona ni marafiki zangu wamekuwa kama wananitega hakuna anayetaka kuniambia ukweli wa moja kwa mojainafikia mahali hata sijui ninachokifanya mwisho wa siku nashindwa hata kujua nimwambia nani nininikasema
tumia akili yako na kagua nafsi yako kwanza kwa kujiuliza je hilo ninaloambiwa ni sahihikama sio sahihi nahitajika kufanya nini pili je hilo nitakalofanya mimi ni la haki je ningelitendewa mimi ingekuwaje je jamii itaneemeka nini na hilocha muhimu usiwe mbinafsi wa maamuzi ya kijamiiakasema
sijakuelewa mkuunikasema
utanielewa tu cha muhimu tuwe pamoja kivitendo tenda kwanza niliyokuambia na majibu yake utayaona baadayeakasema na kuangalia pale alipokuwa ameketi mdada ambaye kwa muda huo alikuwa hayupo akasema
nilikuona kama mlikuwa mnawasiliana na mdada kwa macho kuna miadi ya kukutana naye leo akaniuliza
hapanaalinionyesha ishara kuwa anatoka nikasema
hivyo tu basi akaniuliza
ndio hivyo tu mkuu kwani vipi nikasema
sawa kama unahitajia kuonana naye nenda mkaonane lakini naona yeye keshaondoka mtakutana huko hotelini auakasema kama anauliza
hapana sina cha kuongea naye kwasasana sijui kama atakuja hotelini siku hizi ana mambo yake mengi hatunani mara kwa mara sasa ngoja mimi nikasikilize kinachoendelea kwenye hii kesi maana naona itachukua muda tofauti na nilivyofikirianikasema
yah ndio hivyo tatizo ni kuwa hii kesi imeshaingiliwa maana imegusa masilahi ya watu na hapo hapo siasa imeingia na kuweka kambiitikadi zimeshika hatamu na hili litamfanya huyo mlinzi aozee jela huenda bila hata hatiaakasema
siasa za chama gani maana hapo sioni mtizamo wowote wa kisiasanikasema
kwenye masilahi kila mtu anatafuta kinga na hao mafisadi kinga yao kubwa ni kwenye siasa sio lazima awe wa chama fulani lakini porojo zikizidi na sheria ikawekwa pembeni hiyo ni siasa akasema
kumbe ni hivyonikasema
hapo tatizo ni ubinafsi kwa mtizamo wa hao watu kwa vile wapo majumbani kwao wanapulizwa na viyoyoziwanaona hayo wanayoyaamua ni rahisi tuhuyo si atakaa jela tu baadaye tutamtoa lakini hawaoni athari za kibinadamu huyu mtu ana familia yake inahangaika huku na kulehaya huyo mtu mwenyewe anaathirika kisaikolojia kiafyahilo halionekani kwasasa maana mwenye shibe katu hatamtambua mwenye njaaakasema
je hakimu hana mamlaka ya kuingilia kati na kuona haki ikitendeka haraka iwezekanavyo nikauliza
hakimu anakwenda kutokana na muendesha mashitaka kazi yake ni kuona haki inatendeka kwa ushahidi vielelezo na mashahidi kama muendesha mashitaka atakuwa ananunua muda kutokana na shinikizo fulani yeye anaweza asijue lolote na hataweza kuhukumu tuakasema
je wewe una mpango gani kwa hili kama hao wakubwa zako wakiamua watakavyo na sio kwa jinsi haki ilivyo kutokana na uchunguzi wako wewe utafanya nini kwanini usisimame mahakamani na kutoa huo ushahidi wako ili haki itendeke nikamuuliza
nitajua huko mbelekwa hivi sasa ni lazima nikamlishe upelelezi wangu haraka iwezekanavyo nikimaliza hiyo kazi ninachohitajika ni kuwakilisha kazi hiyo kwa mkubwa wangu kazi yangu imekwishaakasema
oh kumbe huwezi kuuatilia tena kuwa hayo uliyogundua yamefanyiwa kazinikasema
majukumu yangu yana mipaka yake mimi nimetimiza wajibu wangu hata hivyo nitauma sana kama watafanya kinyume cha uchunguzi wangu lakini siwezi kuingilia katihata hivyo mimi nina imani kuwa haki na ukweli wakati wote una nguvu zaidi ya dhulumaakasema
ni kweli lakini mimi nina mashaka na hilomaana pesa na utajiri unaweza ukaitengeneza haki ikawa vingine na ukweli ukawa tofautinikasema
ni swala la muda sikukatalii kwa hilosiku hizi propaganda potofu zinasikika sana kuliko ukweli ni kweli na ndio maana hadi sasa dunia haina amani watu wanauwana ovyo na kila anayepata mwanya wa kujaribu kuelezea kilio chake anajikuta kwenye wakati mgumu ndio maana wengine wanaamua kutumia kinga za namna kwa namna wengine hufikia kutumia hata imani zao za dini kufikisha ujumbe waona ukiangalia ni mambo yao binafsi tu sio dini lakini wameona ndio sehemu sahihi ya kufikisha ujumbe wao na wale wahusikaa kama sio sahihiakasema
ndio wengine wanafikia kuua watu wasio na hatia nikamuuliza
hilo ni kosa kubwa sana wanalolifanyadhuluma inamfanya mtu aingiwe na chukikeshakata tamaa anachotaka yeye kwa muda huo ni kulipiza kisasi na hali hiyo inamgeuza mtu kuwa mnyama na hata kufanya unyama zaidi ya yale aliyofanyiwaakasema
haiwezekani ili iweje sasa nikauliza
ndio hivyo kwa muda huo akili imeshagandahasira chuki ndivyo vimemtawala hajali atakachokifanya na hapo jamii haitaweza kumuelewa tena na hilo ndilo kosa kubwa katika harakati zozote unatakiwa uweke jamii yako mbele ufanye jambo kwa masilahi yaobaadaye watakuelewa tu japokuwa jamii inaweza kupotoshwa na propaganda potofu na hata kukuona wewe unayetetea masilahi yao ni mbayaakasema
sawa bosi naona wewe ni mwanaharakati sasa ngoja mimi niende ndani kusikia ni nini kinachoendelea kwenye hii kesinikasema
sawa wewe sikiliza tutapashana habari japokuwa mimi nafahamu ni kitu gani kitaongelewa hapo leo na mamuzi ya leo ni niniakasema huku akiondoka
nakusikiliza wewenikasema
sawa tupo pamojaila ukumbuke ahadi yetuakasema
ahadi gani nikamuuliza
ya kuniambia ukweli wote tukikutana mimi na wewe ujiandae kwa hilo kama utaongea na mdada kwanza mimi sijui cha muhimu ni kuniambia ukweli sizani kama wewe utafurahi mtu ateseke au ahukumiwe kisivyo halalihata kama kuna shinikizo la namna gani lakini sheria ni lazima ishike mkondo wake akasema na kundoka
nikiwa bado kitandani nikiwaza mara bosi akanipigia simu kuwa anataka tuonane naye ofisini kwake kesho yakenilifurahi sana kusikia sauti yake na hakuwa na muda mwingi wa kuongea naye kwenye simu na mimi nikamkubalia kuwa nitafika ofisini kwake kesho yake asubuhi ili baadaye nikitoka hapo nikutane na mpelelezi
kesho yake asubuhi nikajiandaa kama mtu anayekwenda kazini na walinzi wakaniuliza na kwenda wapi nikawaambia nimeitwa na bosi wangu ikabidi wawasiliane na wahusika na baadaye nikaruhusiwa nikisindikizwa na walinzi wawili ili kuhakikisha kuwa kweli nakwenda huko kulikohitajika
nilipofika ofisini wafanyakazi wengi waliniangalia kwa bashasha na hata hivyo sikuweza kuongea nao kwani ratiba na muda haukuniruhusu nikaingia moja kwa moja kwa bosi wangu kabla ya hapo nilikutana na mhasibu aliyepewa kukaimu nafasi yangu tukabadilishana maneno mawili matatu halafu nikaingia ofisini kwa bosi
mhasibu pole sana na matatizo yaliyokukuta kiukweli yamenikwaza sana hata mimi kama ujuavyo mimi nilishakuandaa uwe mtu wangu lakini ghafla haya yanatokeasiwezi kukulaumu sanalakini kwa namna nyingine wewe mwenyewe umechangia akasema
kwa vipi bosi nikauliza
hujiamini na huna msimamonikuambie ukweli kwenye maisha ya kujitegemea kujiamini na kuwa na msimamo ni kitu muhimu sana maana wewe sasa hivi utakuwa na familia yako sasa kama hujiamini kama huna msimamo hutaweza kuiendesha fanilia yakona halikadhalika katika kazi utakuwa kiongozi wa kampuni au kundi fulani kama hujiamini na kama huna msimamo utayumba na kampuni au kundi hilo halitaweza kusimama kwenye lengo lenuunanielewa hapoakasema
kwahiyo mimi siwezi hayo au nikauliza
kuweza unaweza ila kuthubutu inakuwa ngumu kwakowengi wanapoteza muda wao wanahindwa kuendelea kwasabbu ya kuogopa kuthubutunaona hata wewe ni hivyo hivyoamuapale unapoona ni sahihi na utajuaje kuwa ni sahihi ni kutoana na taaluma yakoau sio kama huna utaalamu na hicho kitu unauliza utaelewa na hapo utaweza kufanya jambo kwa kujiaminimatokeao yake utayaona au sioakasema
sawa bosi naona mimi nina bahati ya kukutana na walimu kila hatua nakutana na wakufunzi wa namna moja au nyingine nashukuru sana bosinikasema
nimekukosa sana tena sana wewe na mdada hasa niliposikia mumepata akzi nzuri japokuwa mdada alinificha kuwa na yeye atakuwa kwenye kazi kwenye vitengo hivyo hivyo lakini nilikuja kuambiwaakasema
mbona mimi hilo sijuinikasema
kazi siku hizi ni kujuanakubebanaakasema huku akicheka na akainua kichwa kuniangalia huku akisema
niliposikia hivyo kuwa mumepata kazi sehemu nyeti kama hizo nilifurahi sana niliona kuwa huenda itakuwa ni neema kwenulakini kwa taarifa nilizozipata baadaye inaonekana kama kuna mchezo mchafu unaotaka kuchezwa kwa kukutumia wewe hebu niambie vyema ni kitu gani kinachoendelea akaniuliza bosi huku akiniangalia moja kwa moja usoni
bosi kiukweli hata mimi hadi sasa sijaelewa ni kitu gani hasa kinachoendelea na zaidi ya hayo hadi sasa sijaelewa mustakabali wa maisha yangu kwani hata hiyo ajira yenyewe niliyoahidiwabado sijakabidhiwa na nilichoambiwa hivi karibuni ni kuwa hilo litafanyika baada ya kesi inayotukabidli kuisha kwani kuna watu wameweka pingamizinikasema
mhasibu unakumbuka toka awali nilishakuambia uwe makini na mdadasio kwamba namuona mdada ni mtu mbaya hapana yeye ni mtu mzuri licha ya mapungufu yake kibinadamuunajua nikuambie ukweli hata mimi bado sijamuelewa sana mdada japokuwa nimeishi naye na ni mfanyakazi wangu lakini ana mambo mengi ya chini kwa chini mpaka unafikia mahali simuaminiamini ni kweni ni mfanyakazi wangu na baba yake ni mwenza wangu katika biasharalakini kwa hali ilivyo sasa naona ni heri aende huko anapokwenda sitamuweza tenaakasema
kwahiyo hata mimi umefurahia kuondoka kwangu nikamuuliza
wewe hapana nilishakufahamu na nilijua nikikaa na wewe hatua kwa hatua nitakujenga uwe mtu wa kuweza kushika hatamu lakini mdada akakuteka mawazonikajaribu kukushauri lakini hukutaka kunisikia ndio tatizo hapoakasema
bosi mbona mimi nilijaribu sana kukusikia na nikajitahidi kufanya hivyo lakini mengi yaliyotokea naweza kusema sio kusudio languyametokea tu ili iwe sababunikasema na bosi akatikisa kichwa kama kukataa na mimi nikaendelea kuongea
bosi kwa ushahidi wa kutetea hoja yangu hebu angalia kifo cha mtoza ushuru kilivyotokea je mimi nilijua hilo litatokea mimi na wewe tulikwenda kumsaidia mdadakama unakumbuka kwenda kwangu kwa mdada ni kutokana na makubaliano yangu mimi na wewe kwa nia kumsaidia mdada na tulikwenda wote ulipoondoa tu ndio hayo yakatokeanikasema
hayo ni matokea ya matendo yenu ya nyumana kama hayo mauaji yansingelitokea nahisi kuwa ungebadilika kabisa ukawa kama atakavyo mdadalakini mauaji hayo yamezuia kila kituakasema
bosi mbona uanaongea kama unafahamu mambo mengi kumhusu mdadanikasema
mhasibu hebu niambie kuna kitu gani alichokufanyia mdada hadi ukawa mtumwa wakesizani kama unafanya yote hayo anayoyataka yeye uyafanye kwa utashi wakonahisi kuna shinikizo jingine hebu niambie ili tuweze kwenda sawa kama bado unaniamini kama mshauri wako akaniuliza
bosi hakuna kitu mimi na mdada tumezoeana kikawaida tuna mengi aliyonifanyia baadaye nilikuja kugundua kuwa ulikuwa ni mzaha tuili niwe karibu na yeye nahisi alinihitaji mimi niwe mwenza wake ndivyo mtizamo wangu ulivyo hata hivyo bado sijakubaliana na yeyenikasema na bosi akawa ananiangalia tu hasemi neno nikaendelea kuonga
bosi nikuambie ukweli ukiwa na mdada kama humjulii vyema unaweza kuhisi vinginevyo kuwa huyu binti ni muhuni ana tabia mbaya anaringalakini sivyo hivyo nimekuja kugundua kuwa mdada ni binti mnzuri tuana utani mwingi na ni mtu wa kuona mbali kimaendeleobosi kiukweli mdada hajanifanyia kitu kibaya cha kunifanya hivyo kuwa niwe mtumwa wake hapana mengi ninayofanya nayafanya kwa hiari yangu tu nikasema
siaminihayo ninayoyasikia kweli kupenda ni kubayaunajua mhasibu nakuuliza haya kwasababu nimeongea na baba mkwe wako na kanilalamikia sana kuwa wewe umebadilika kabisa tofauti na jinsi alivyokuwa akikuamini na hata hicho cheo yeye ndiye aliyekuhangaikiaunalielewa hilo akawa kama ananiuliza
baba mkwe wako alitegemea kuwa utakuwa upande wake ndio maana akakupigia debe ili ukipate lakini umemgeuka na kumsalitiumekuwa upande wa mdada mdada ambaye kutokana na kauli ya baba mkwe wako mdada kawa adui ayke mkubwasijui kwa vipiakasema
bosi mimi sijafanya lolote baya ninachoshangaa ni baba mkwe wangu kuyasema hayo kwa watu wengine badala ya kuniita mimi mwenyewe tukayaongeanikamueleza yangu kwa upande wangumimi bado namthamini kama baba mkwe wangu na ninajali juhudi zakendio maana nikakubali hicho cheonikasema
je ni kweli kuwa wewe na mtoto wake mumeshavunja uchumba wenu akaniuliza
nani kakuambia kuwa tumevunja uchumba wetu mimi na bintibado mimi nafahamu kuwa huyo binti ni mchumba wangu ikizingatiwa kuwa binti ni mama wa mtoto wangunikasema
walioniambia ni baba mkwe wakona pia nikiwa naongea na mdada alisema hivyo hivyo niliongea nao kwa wakati tofautikwahiyo hata kama wewe hutaki kuniambia ukweli lakini ukweli nimeshaufahamusijui ni kitu gani kinachoendelea kati yenu watatu wewe mdada na huyo binti lakini kwa hayo mnayoyafanya mjue mnamuumiza sana huyo mzeeakasema
lakini mimi siyafahamu lolote bayanikasema kiunyonge
sajajua zaidi nilitaka kupata ukweli kutoka kwako lakini naona hilo halitawezekana hamna shidaakasema
bosi ukweli ndio huo mimi sijavunja uchumba wangu na huyo binti kama wamefanya wao mimi sijuinikasema
haya hamna shida ila ninachotaka kukuambia kwa sasa ni kuwa kutokana na hali inavyoendelea kwasasa na sijui ni nini hatima ya kesi yetu mimi nimeonelea tufikie hatua nikutambue kuwa wewe sio mfanyakazi wangu tena japokuwa hilo tulishaliongelea kwa mdomolakini sasa nataak tulifanye kisheria unafahamu tena taratibu za kikasi ningelifurahi uwe nami lakini hilo naona halitawezekana tenaakasema
bosi mimi naona unipe mudamimi bado nataka kufanya kazi hapa kwako huko wanapotaka kunipeleka naona kama wanataka kunitega tunikasema
usijali cha muhimu ni nini kesi yenu itasemazaidi siwezi kukubeba maana hata mzazi hubeba mtoto wake mwisho wake anashindwa kumbeba tena anahitajia huyo mtoto atembee mwenyewesasa naona umekuwa unaweza kutembea mwenyewe au sioakasema
bosi sikatai na nisamehe sana kwa kutokuwa mtiifu sana kwako lakini kiukweli mimi nimejitahidi sana na nimekuwa nikifanya yote yale uliyonishauri hata hivyo nakiri kila binadamu ana mapungufu yake huenda mimi kutokana na udhaifi wangu sikuweza kufikia lengo kama ulivyotaka nahitajia muda nilikuwa naomba usichukue hatua zaidihadi hii kesi iishemaana hata hicho cheo cheneywe kina mizengwenikasema
mhasibu kama ingelikuwa ni mimi mwenyewe nisingelichukua maamuzi haya lakini ujue kampuni yangu sipo mwenyewe nina wenzangu wawekezaji wenza na wao wana kauli zao na kwa pamoja kwa nia njema wameamua hivyokwahiyo siwezi kwenda kinyume na waowewe kwasasa pigania haki yako na kesi hiyo ipite mengine yatafuata baadayeakasema
oh naona kama naanza kutupwa maana kama baba mkwe keshaanza kunishutumu na kuniona sifai na hata kuvunja uchumba wangu na binti yake nahisi mabaya zaidi yataniandamasasa na wewe tena ambaye nilishakuona kama mzazi wangu umeamua kunitupa sijui hatima ya haya yote itakuwajenikasema
cha muhimu ni kupambana vumilia shida vumilia matatizo ukiwa katika msimamo thabiti wa haki na ukwelijitahidi sana kusimamia hayo nina uhakika kama kweli upo kwenye kutenda haki ukawa mkweli utafanikiwa kwani walisema wahenga baaada ya dhiki mara nyingi huwa ni nini akauliza na mimi nikamwangalia huku nikitamani kulia na mwishowe nikasema
ni farajana hapo simu yangu ikaliaalikuwa mdada akinipigia
nb tumalize tusimalize
wazo la leo mungu hana kasoro katika uumbaji wake na kila jambo kalifanya kwa makadirio yake inakuwa ni ajabu binadamu kuanza kukashifiana kutokana na maumbile ambayo mtu hakuyaomba kazaliwa hivyo kajikuta yupo hivyo wewe unamcheka wewe unamkashifu ina maana gani hapo ni kuwa wewe unampinga mwenyezimungu kumbuka aliyekupa wewe ndiye huyo huyo aliyemnyima huyo unayemcheka na kumkashifu utakuja kuulizwa mbele ya hukumu | 2017-10-22T22:39:14 | http://miram3.blogspot.com/2014/05/baada-ya-dhiki-faraja-52.html |
fighters of life tazama picha iliyosambaa ikionesha jinsi aunt ezekiel akionesha anavyofanya romance live na mpenzi wake kumlipa wema na diamond
aunt ezekiel afata nyayo za wema sepetu na diamond the platnumz ni jana
tu tuliona diamond the platnumz na wema sepetu waliamua kuachia picha ikionyesha huku wakinyonyana ndimi basi na aunt yake akaona isiwe shida na yeye huko alipo dubai akaamua kufanya yake kwa kufanya mapenzi
na mpenzi wake na baada ya hapo akaamua kufotoa picha huku wakinyonyana ndimi na kuficha sura ya mwanaume wake haya hao ndio wasani wetu na ndo vioo wa jamii sijui wadau mnasemaje | 2017-03-26T03:28:18 | http://folclassic.blogspot.com/2014/05/tazama-picha-iliyosambaa-ikionesha.html |
mchungaji 'aliyejiselfie na mungu' amtaka mch lukau amfufue mandela global publishers
mchungaji aliyejiselfie na mungu amtaka mch lukau amfufue mandela
march 1 2019 by global publishers
mchungaji mmoja nchini afrika kusini paseka motsoeneng maarufu kama pastor mboro ambaye alishawahi kudai kuwa alifika mbinguni na kupiga picha na mungu (kwa kutumia simu selfie) amempa changamoto mchungaji mwenzake raia wa congo dr alph lukau anayeishi nchini humo ambaye hivi karibuni alijinasibu kumfufua marehemu
mchungaji mboro amefika mbele ya kanisa la mchungaji lukau na kumuomba mungu awasamehe wachungaji wote waongo huku akisema amefika kanisani hapo kwa sababu anaona injili ya mungu inachezewa huku akimtaka kama kweli ana uwezo wa kufufua basi amfufue muasisi wa taifa hilo nelson mandela
nimefika hapa kujua ukweli hii miujiza ni uongo na kama si uongo nipe kidhibitisho wacha tuongee kama watu wa mungu hii siyo sahihi kwa niaba ya wachungaji wote na watu wa mungu waongo wote tusamehe amesema pastor mboro huku akiwa pembeni ya gari lake la kifahari bmw i8 | 2019-05-23T02:46:57 | https://globalpublishers.co.tz/mchungaji-aliyepiga-selfie-na-mungu-amtaka-mch-lukau-amfufue-mandela/ |
siku kuu ya b maria kutolewa hekaluni & siku ya watawa wa ndani print | vatican news
tarehe 21 novemba siku kuu ya bikira maria kutolewa hekaluni & siku ya watawa wa ndani (vatican media)
maadhimisho kwa mwaka 2018 yanabeba uzito wa pekee kwani hii ni siku maalum ya kutafakari makuu ya mungu yanayofunuliwa kwa njia ya maisha ya watawa wa ndani matunda ya neema kwa kanisa baba mtakatifu francisko anasema watawa ni nguzo ya sala kwa ajili pamoja na kanisa
kanisa kila mwaka ifikapo tarehe 21 novemba linaadhimisha siku kuu ya bikira maria kutolewa hekaluni sanjari na maadhimisho ya siku ya watawa wa ndani waamini wanakumbushwa kwamba kanisa ni nyumba ya sala na ibada mahali ambapo mafumbo matakatifu yanaadhimishwa ili kumtukuza mwenyezi mungu na mwanadamu kupata wokovu maadhimisho haya kwa mwaka 2018 yanabeba uzito wa pekee kwani hii ni siku maalum ya kutafakari makuu ya mungu yanayofunuliwa kwa njia ya maisha ya watawa wa ndani matunda ya neema kwa kanisa
baba mtakatifu francisko anasema watawa ni nguzo ya sala kwa ajili pamoja na kanisa watawa wa ndani wanaendelea kulitajirisha kanisa la kristo kwa matunda ya neema na huruma inayobubujika kutoka kwa mwenyezi mungu hii ni siku ya kuendelea kutafakari kuhusu katiba ya kitume ya baba mtakatifu francisko vultum dei quaerere yaani kuutafuta uso wa mungu iliyotiwa mkwaju kunako mwaka 2016 kwa ajili ya wamonaki wa mashirika ya taamuli pamoja na hati elekezi ya utekelezaji wake cor orans iliyotolewa na baraza la kipapa la mashirika ya kitawa na kazi za kitume ambalo tarehe 21 novemba 2018 limeandaa kongamano kwa ajili ya watawa wa mashirika ya ndani
baba mtakatifu ametoa ruhusa kwa wamonaki 300 kutoka mashirika ya utawa wa ndani kushiriki katika kongamano fursa ya kusikiliza tafakari zitakazotolewa na viongozi wa baraza shuhuda kutoka kwa watawa wa ndani pamoja na kushirikishana uzuri wa maisha ya taamuli changamoto na matumaini kwa siku za usoni hii ni siku ya sherehe na shukrani kwa mwenyezi mungu kwa zawadi ya maisha ya taamuli yanayolitajirisha na kuupamba uso wa kanisa kongamano hili litahitimishwa kwa ibada ya misa takatifu itakayoongozwa na kardinali joao braz de aviz mwenyekiti wa baraza la kipapa la mashirika ya kitawa na kazi za kitume
baba mtakatifu francisko katika katiba ya kitume ya vultum dei quaerere yaani kuutafuta uso wa mungu kwa ufupi anasema kuna haja ya kudumisha majiundo makini umuhimu wa tafakari ya neno la mungu vigezo muhimu kwa jumuiya ya kimonaki ili kuweza kujitegemea pamoja na uwezekano wa kuunda shirikisho la wamonaki ndani ya kanisa leo tungependa kukazia kwa namna ya pekee kuhusu tema mbali mbali zilizotolewa na baba mtakatifu francisko ili kusaidia mchakato wa tafakari ya kina kuhusu maisha ya kitaamuli ndani ya kanisa
tema ya kwanza ni majiundo makini awali na endelevu bila kushikwa na kishawishi cha kutafuta idadi na mafanikio na kwamba malezi yanahitaji muda na nafasi kubwa zaidi yaani kati ya miaka tisa hadi kumi na miwili baba mtakatifu anasema tema ya pili ambao ni muhimu sana ni sala kwani hiki ni kiini cha maisha na utume wa wamonaki na wala si hali ya mtawa kujiangalia mwenyewe mwaliko ni kupanua wigo ili kuweza kuwakumbatia watu wengi zaidi hasa wale wanaoteseka na kusumbuka katika maisha yao hawa ni wafungwa wakimbizi wahamiaji watu wanaoteswa na kudhulumiwa familia zenye madonda na makovu ya maisha watu wasiokuwa na fursa za ajira maskini wagonjwa na waathirika wa dawa za kulevya wamonaki wanapaswa kusali na kuombea binadamu ili kweli jumuiya za kitawa ziweze kuwa ni shule ya sala inayorutubishwa kwa kashfa ya msalaba
tema ya tatu na ya nne ni neno la mungu ekaristi takatifu na upatanisho baba mtakatifu anapenda kutoa kipaumbele cha pekee kwa tafakari ya neno la mungu chemchemi ya maisha ya kiroho na kiungo makini cha maisha ya kijumuiya changamoto na mwaliko wa kuhakikisha kwamba neno la mungu linamwilishwa katika uhalisia wa maisha ya wamonaki tafakari ipewe kipaumbele cha pekee kwa mtawa mmoja mmoja na jumuiya katika ujumla wake ili kutambua na kumwilisha mapenzi ya mungu katika maisha yao
wamonaki wawe makini kusoma alama za nyakati ili kungamua mapema mambo yanayoweza kuwapeleka mbali na mapenzi ya mungu tafakari ya neno la mungu haina budi kumwilishwa katika matendo kwa kujisadaka kwa ajili ya wengine katika upendo baba mtakatifu anawataka wamonaki kuadhimisha fumbo la ekaristi na sakramenti ya upatanisho kwa kuwa na mwendelezo wa ibada ya kuabudu ekaristi takatifu toba na wongofu wa ndani ni mahali muafaka pa kutafakari uso wa huruma ya mungu na msamaha ili kuwa kweli ni manabii na mitume wa huruma ya mungu na vyombo vya upatanisho msamaha na amani mambo ambayo ulimwengu unahitaji sana kwa nyakati hizi
tema ya tano na ya sita ni maisha ya kidugu na uhuru wa wamonaki kama njia ya kujisadaka kwa ajili ya mungu kristo na kanisa lake na huu ni mtindo wa uinjilishaji baba mtakatifu anawataka wamonaki kuendelea kukua na kukomaa katika maisha ya kijumuiya yanayofumbata umoja wa kidugu jumuiya inazaliwa inakua na kukomaa kwa kujikita katika umoja na wote hiki ndicho kielelezo cha tasaufi ya umoja na kutegemeana ushuhuda makini katika ulimwengu mamboleo unaosheheni kinzani mipasuko na ukosefu wa usawa
inawezekana na inapendeza kuishi kwa umoja na katika upendo licha ya tofauti za kizazi majiundo na tamaduni tofauti hizi anasema baba mtakatifu ni tunu muhimu sana zinazotajirisha maisha ya kijumuiya kwani umoja katika mshikamano hauna maana ya kufanana hapa wamonaki wanahamasishwa kuwaheshimu na kuwathamini wazee pamoja na kuwapenda vijana ili kuweza kuweka uwiano kati ya kumbu kumbu ya sasa na mambo yajayo kwa siku za usoni katika jumuiya husika
baba mtakatifu akigusia kuhusu uhuru wa wamonaki anasema hapa inawezekana kuwa na udumifu umoja na taamuli ya jumuiya moja lakini kwa upande mwingine hali hii isiwafanye kutowategemea wengine au kujitenga na wala wasikumbwe na ugonjwa wa kujiamini mno
shirikisho na wamonaki wa ndani ni tema ya saba inayojadiliwa na baba mtakatifu francisko katika waraka wake wa kitume kuutafuta uso wa mungu shirikisho hili linakuwa ni muundo mbinu wa umoja kati ya monasteri zinazoshirikiana karama moja lengo ni kukuza na kudumisha taamuli katika monasteri sanjari na kusaidia majiundo pamoja na mambo msingi ya shirikisho lenyewe ni matumaini ya baba mtakatifu kwamba pendekezo hili litafanyiwa kazi tema ya nane ni wamonaki wa ndani alama ya umoja wa dhati kati ya kanisa na mchumba wake kristo eneo hili linafumbata maisha ya taamuli na utume wa nje ambao ni kawaida tofauti na ule wa ndani lakini tofauti hizi zinapaswa kuangaliwa kama ni utajiri mkubwa kwa shirika husika
tema ya tisa inayojadiliwa na baba mtakatifu katika waraka wake huu wa kitume ni kazi hapa anapenda kuunganisha sala na kazi yaani ora et labora kwa kuonesha uaminifu na majitoleo ya dhati bila kumezwa na tabia ya walimwengu wa nyakati hizi bali waoneshe ari na moyo wa taamuli hapa kazi inapaswa kutambuliwa kuwa ni mchango katika kazi ya uumbaji huduma makini kwa binadamu na mshikamano na maskini kwa kuwa na uwiano mzuri wa ushirikiano katika masuala haya yanayotekelezwa kila siku ya maisha
tema ya kumi inajikita katika ukimya kuwa ni usikivu unaopata mwanga kutoka katika neno la mungu ni kielelezo cha utupu wa ndani ili kuunda mazingira ya kupokea neema na baraka kutoka kwa mwenyezi mungu huu ni ukimya unaomsikiliza mungu na kilio cha binadamu bikira maria ni mfano bora wa kuigwa aliyefaulu kulipokea neno kwa sababu alikuwa ni mwanamke mkimiya na ukimiya wake ulisheheni utajiri wa upendo
tema ya kumi na moja ni njia za mawasiliano ya jamii baba mtakatifu anatambua na kuthamini maendeleo ya sayansi na teknolojia ya mawasiliano duniani na mchango wake katika uundaji wa mawazo na mahusiano ya watu duniani vyombo vya mawasiliano ni muhimu katika majiundo na mawasiliano ya kijamii lakini hapa wamonaki wanapaswa kuwa na kiasi katika matumizi ya vyombo hivi vya mawasiliano ya kijamii ili visiwe ni sababu ya kukwepa wajibu wa maisha ya kijumuiya kukosa mwelekeo kuathiri wito au kuwa ni kikwazo katika maisha ya taamuli
nikira maria watawa
20 november 2018 1404
janga la moto kanisa kuu la notre dame mwaliko kwa papa francis
ijumaa kuu 2019 tafakari ya njia ya msalaba colosseo roma
pasaka ya bwana 2019 salam za mattarella kwa papa francisko
pasaka ya bwana 2019 kesha la pasaka nchi takatifu alama
pasaka ya bwana 2019 ujumbe wa pasaka urbi et orbi matumaini | 2019-04-22T00:18:02 | https://www.vaticannews.va/sw/vatican-city/news/2018-11/siku-kuu-bikira-maria-hekaluni-siku-watawa-ndani-2018.print.html |
rais sarkouzy afrika | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 27072007
rais sarkouzy afrika
rais nicolas sarkozy wa ufaransa anaezuru sasa senegal amechambua sera za nchi yake kuelekea afrikaamewataka waafrika kuweka upande ukoloni na kuangalia mbele
rais nicolas sarkozy wa ufaransa akiwa katika ziara yake ya kwanza barani afrika tangu kuwa raisametoa sura ya ushirika inaopanga ufaransa kuwa nao na bara la afrikaakiwa katika kituo chake cha pili cha ziara hiisenegalrais sarkozy amelitaka bara la afrika kuacha kuegemea mno enzi iliopita ya ukoloni na ijitolee kuheshimu utawala bora
alipendekeza kile alichokiita eurafricaushirika baina ya ulaya na afrika ili kupambana na athari mbaya za utandawazi na kuhimiza maendeleo
katika hotuba yake kwenye chuo kikuu cha dakarrais wa ufaransa alikiri athari mbovu zilizotokana na ukoloni hatahivyo alisema ukoloni si chanzo cha maovu yote yaliozuka afrika miaka 50 baadae
rais sarkozyanaefahamika kwa msimamo wake mkali juu ya uhamiajisera ambazo zimemfanya asipendeze machoni mwa waafrika wengi amelitaka bara la afrika kujitwika dhamana ya kukabiliana na rushua na vita visivyokwisha barani humoakasema na ninamnukulu
mnataka aina nyengine ya utandawaziutakaokuwa na ubinadamu zaidihaki zaidi na kanuni zaidiufaransa pia yataka hivyo alisema rais sarkozyakaongeza mkiamua kufuata demokrasiauhuruhaki na sheriabasi ufaransa iko upande wenu
rais wa ufaransa ambae nchi yake iko nyuma wakati huu katika kujipatia soko la afrika na mikataba ya maliasili ukilinganisha na wapinzani wake wapya barani humochina na india aliwaonya waafrika kuchukua hadhari wasianguke mateka
kile ufaransa itakacho afrika aliongeza rais sarkozy ni maendeleo ya pamojakile ufaransa itakacgo afrika ni kuiona inajiandaa kwa kuanza kwa eurafricausuhuba kati ya ulaya na afrika hatima ya pamoja inayoyasubiri mabara haya mawili
hotuba ya rais sarkozyiliotangulia yale mapatano yaliopelekea kuachwa huru kwa wale wauguzi wa kibulgaria nchini libya wiki hiiimeonekana na baadhi ya wanabalozi ni kufungua pazia la sera mpya za ufaransa kuelekea afrika
wanafunzi wengi waliosikiliza hotuba ya sarkozy walikasirishwa wakidai ilichukua mlio wa kuwafunza waafrika nini cha kufanya ilisikika kana kwamba akitaka kuwafunza waafrika historia
rais sarkozy alikwepa kijanja kabisa kulizungumzia swali nyeti la uhamiajimaalfu ya wasenegali hujasiri kufa kila mwaka baharini wakielekea visiwa vya canary katika marekebu ili kutafuta maisha mema
sarkozy alisema inachotaka ufaransa ni kutunga pamopja sera ya uhamiaji na afrika ili waafrika waweze kukaribishwa ufaransa na ulaya kwa heshima na taadhimaakawataka wale waafrika waliohamia ufaransa kurejea afrika kutoa ujuzi wao mpya waliojipatia
kuchaguliwa kwa sarkozy kama rais wa ufaransa kulitazamiwa kuleta mabadiliko makubwa katika uhusiano kati ya paris na makoloni yake ya zamani na hasa kuachana na mtindo wa ufaransa wa kungangania kuwabakisha madarakani viongozi wa kiafrika bila kujali wanakanyaga demokrasia au la
ufaransa na senegal zimetiliana pia saini makubaliano ya kukuza raslimali za ufaransa nchini senegal kutokana na mashindano yanayozidi na dola nyengine kama vile za kiarabuindia na china lakini pia marekani
ziara ya rais sarkozy barani afrika ilianzia libya na kutoka senegal anaelekea gabontajiri kwa mafuta huko atakuwa na mazungumzo na rais wa muda mrefu omar bongo baadae hii leo
kiungo https//pdwcom/p/cb2q | 2018-08-19T08:05:56 | https://www.dw.com/sw/rais-sarkouzy-afrika/a-2902370 |
bishop mushemba final farewell to his last journey held at kanisa kuu (kkkt) bukoba | bukoba wadau
bishop mushemba final farewell to his last journey held at kanisa kuu (kkkt) bukoba
baba askofu fredrick shoomkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt)leo tarehe 15april 2020 ameongoza ibada ya mazishi baba askofu mstaafu dr samson mushemba yaliyofanyika katika kanisa kuu la kkkt bukobapichani askofu shoo akikabidhi rambirambi kwa wanafamilia ya baba askofu mushemba
pamoja na kuwa askofu mkuu wa kkkt nchini pia drsamson mushemba aliwahi kuwa akofu wa awamu ya tatu dayosisi ya kaskazini magharibi bukoba tangu 1984 hadi 2000akiongoza ibada ya mazishi askofu mkuu wa kkkt dk frederick shoo alisema askofu mushemba hakufanya kazi kwa ajili ya kanisa tu bali kwa jamii nzima ya watanzani
mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi serikali na dini mbalimbali watu mashuhuri na viongozi wa vyama
jeneza lenye mwili wa baba askofu mstaafu dr samson mushemba likiwasili viwanja la kanisa kuu bukoba
msafa ukielekea ndani ya kanisa kuu kwa ajili ya ibada na mazishi ya wa askofu dk samson mushemba aliyewahi kuwa mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt) umezikwa nje ya kanisa kuu la bukoba mjini huku viongozi mbalimbali wakisema enzi za uhai wake alikuwa mfano wa kuigwa kutokana na utumishi wake kugusa maisha ya wengi
dk mushemba ambaye alifariki dunia aprili 9 mwaka huu wakati akipatiwa matibabu hospitali ya ndolage kamachumu alizikwa jana katika kanisa hilo dayosisi ya kaskazini magharibi huku mazishi yake yakihudhuriwa na viongozi wa mbalimbali wa dini na wananchi kutoka maeneo mbalimbali
askofu shoo wakati wa ibada amesemaunaweza kuwa mtumishi lakini ukawa si mfuasi wa kristo katika tabia yako matendo na mwenendo wako mzima mfuasi wa kweli wa yesu anamtii bwana na mwokozi wake anamfuata huyu yesu kristo alikuwa mtu mnyenyekevu mtu mtii kwa bwana kama baba mchungaji askofu mkuu wa kanisa na kiongozi akawa mtu wa maombi alisema dk shoo
ma yudesi rafiki wa familia ya marehemu askofu mushemba akifuatilia ibada
kutoka jimbo la karagwe salaam za rambirambi zikitolewa
rev modest pesha pichani katikati akifuatilia kinachojiri mazishi ya askofu samson mushemba
mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania dk fredrick shoo na askofu wa kanisa la kiinjili la kilutheri (kkkt) dayosisi ya kaskazini magharibi jimbo kuu la bukoba dk abelnego mushahara
katibu mkuu wa dayosisi ndugu kigembe akitoa ufafanuzi kulingana na ratiba
muonekano wa jeneza lenye mwili wa askofu (mstaafu) wa kkkt dkt samson mushemba wa dayosisi ya kaskazini magharibi #bukoba
askofu wa kanisa la kiinjili la kilutheri (kkkt) dayosisi ya kaskazini magharibi jimbo kuu la bukoba dk abelnego mushahara
viongozi mbalimbali wa chama na serikali wameweza kushiriki mazishi hayo
katibu mkuu wa dayosisi ndugu kigembe
taarifa kutoka hospitali ya ndolage kufuatia kifo na sababu kuhusu umauti wa askofu mushemba
taswira mbalimbali ibada ya mazishi ikiendelea
sheikh kakwekwe wa bakwata
mhashamu askofu dederius rwoma wa jimbo katoliki la bukoba
askofu methodius kilaini ambaye ni askofu msaidizi wa jimbo katoliki bukoba akitoa salaam za rambirambi msiba wa baba askofu mstaafu samson mushemba
muendelezo wa matukio ya picha salaam za rambirambi zikiendelea
viongozi mbalimbali maaskofu na masheikh wakifuatilia kinachojiri
bwana kandanda bwanika ni miongoni mwa waombolezaji walioshiriki ibada ya mazishi hayo
neno kutoka kwa mkuu wa mkoa wa kagera brigedia jenerali marco gaguti
neno la familia likitolewa na mtoto wa marehemu mushema josephat mushemba alisema baba yao alipenda kuwa na uhusiano na watu wote na hata alipostaafu alichagua kuishi kijijini huku akiwasaidia watu mbalimbali
hakuwa na ubaguzi kwa watoto hakuwa na ubaguzi wa dini nyumba ya baba imekuwa ni nyumba ya watu wa dini zote tuliishi na watu wa aina mbalimbali na kabila mbalimbali
baba yetu alilikuwa tayari kuomba msamaha kwa watu wote hasa kwetu sisi watoto pale alipokuwa amekosea au kumkwaza yeyote kwa mfano miaka 10 iliyopita alimpelekea ndugu yake kitenge sasa yule ndugu yake alichukia sana na kusema (yaani ndugu husika) kwanini unaniletea kitenge akamrushia baba hakusema chohote aliondoka na kukiacha baba alianza kulia akasema muende mumlete yule mama alipo nimuombe msamaha kabla sijafa
ninachokumbuka ni kwamba baba alimuomba kaka yetu mkubwa ajaribu kumtafuta kumfuata yule mama kusudi amuombe msamaha baba akasema mpelekeeni sh 50000 za chakula alizokuwa akidaiili nafsi ya mzee ipate kulidhika na huyo ndo baba yetu tunavyomjua sisi wanae
askofu shoo akiongoza ibada amesemaunaweza kuwa mtumishi lakini ukawa si mfuasi wa kristo katika tabia yako matendo na mwenendo wako mzima mfuasi wa kweli wa yesu anamtii bwana na mwokozi wake anamfuata huyu yesu kristo alikuwa mtu mnyenyekevu mtu mtii kwa bwana kama baba mchungaji askofu mkuu wa kanisa na kiongozi akawa mtu wa maombi
jeneza lenye mwili wa baba askofu samson mushemba aliyezaliwa wa juni 30 1935 ameacha mjane watoto saba wajukuu 22 na kitukuu kimoja
taswira mbalimbali ndani ya kanisa kuu la kkkt bukoba
dean mstaafu rwankomezi na revlugemeleza wa kanisa kuu pichani kulia wakishiri
dean jackson mushendwa pichani kulia akiwa na maaskofu wakati wa mazishi
askofu fredrick shoomkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt)akiweka shada la maua kwenye kaburi la askofu mushemba
mkuu wa mkoa wa kagera brigedia jenerali marco gaguti akiweka shada la maua pamoja na mwenyekiti wa ccm mkoa wa kagera mama costancia buhiye
watoto wa marehemu askofu mushemba wakiweka shada la maua
askofu wa dayosisi ya karagwe ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt) dk benson bagonza akiwa tayari kuweka shada la maua
askofu wa dayosisi ya karagwe ya kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt) dk benson bagonza mara baada ya kuweka shada la maua
viongozi wa baraza kuu la waislam (bakwata) wamewakilishwa na sheikh kakwekwe akiweka shada la maua pamoja sheikh hashim kamugunda mwenyekiti wa jumuiya ya imamu shafii mkoa kagera
mzee godwin rwezaula katibu mkuu mstaafu akiweka shada la maua
mbunge wa muleba kusini profesa anna tibaijuka mama anna tibaijuka akiweka shada la maua
pia yupo aliyekuwa kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam kamishna mstaafu alfred tibaigana kama anavyo onekana pichani akiweka shada la maua kwenye kaburi la baba askofu mushemba
askofu rwoma na askofu kilaini wakiwa tayari kuweka shada la maua
askofu methodius kilaini na mhashamu askofu dederius rwoma
revlugemeleza na dean jackson mushendwa wakikamilisha kwa kuweka bango lenye ujumbe katika kaburi la baba askofu mushemba
raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa aman
bwana josephat mushemba mtoto wa marehemu askofu mushemba pichani kushotokatikati ni rafiki yake jamal kalumuna wakiwa na jamaa wa karibu na familia
bi jennifer murungi na kibira pichani
viwanja vya kanisa kuuulipozikwa mwili wa baba askofu samson mushemba
katibu wa ccm mkoa kagera katika picha na mzee pius ngeze
ndugu msheshe meneja wa elct hotel bukoba akitoa ufafanuzi kuhusiana na masuala ya menu kwa watu wote walioweza kushiriki mazishi ya askofu samson mushemba
mzee muganyizi zachwa pichani kulia akitete na bi jeniffer
mzee godwin rwezaula mara baada ya shughuli ya mazishi ya baba askofu mushemba
watoa huduma ya kwanza
kijana mwesiga akiwajibika usalama wa nje ya kanisa
asnath askari akiwajibika eneo la usalama wa parking
hapa ni maeneo ya kyetema bukoba wakati msafara ukitokea kamachumu nyumbani kwa marehemu baba askofu mushema
msafara huo ukiongozwa na patrick kaimukilwa pichani
wakati msafara wenye mwili wa baba askofu mushemba ukitokea nyumbani kwake kijijini kamachumu kuelekea kanisa kuu bukoba baba askofu dk mushemba lifariki dunia aprili 9 mwaka huu akipatiwa matibabu hospitali ya ndolage kamachumumuleba mazishi yake yamefanyika katika viwanja vya kanisa dayosisi ya kaskazini magharibi bukoba
maeneo ya rwamishenyemsafara ukielekea mjini kati
posted by bukobawadau at 1136 am | 2020-08-09T20:36:36 | https://www.bukoba-wadau.com/2020/04/mazishi-ya-askofu-samson-mushemba.html |
cuf wakataa suluhu na profesa lipumba | mpekuzi
cuf wakataa suluhu na profesa lipumba
chama cha wananchi (cuf) kimesema hakitafanya mazungumzo kusaka suluhu na mwenyekiti wake profesa ibrahim lipumba anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa na kwamba kipo tayari kwa lolote hata kama kitafutiwa usajili
aidha chama hicho kimesema hakijutii kumkaribisha na kumuunga mkono edward lowassa ambaye aliteuliwa kugombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya chadema na kuwakilisha umoja wa katiba ya wananchi (ukawa)
hayo yamesemwa na naibu mkurugenzi wa habari na uenezi wa cuf mbarala maharagande kujibu madai yaliyotolewa na profesa lipumba alipokuwa akifanya mahojiano na kituo kimoja cha televisheni hapa nchini
katika mahojiano hayo profesa lipumba alidai kuwa mgogoro uliopo ndani ya chama hicho kwa sasa hautamalizwa na mahakama pekee bali viongozi wa pande zote mbili wanatakiwa kuzungumza lakini maharagande amesema haiwezekani kwa vile lipumba alishakwisha kukivuruga chama na hafai tena kuendelea kuwa kiongozi
lipumba anasema tukae tulimalize suala hili kwa kuongea sisi wenyewe jambo hilo haliwezekani kwa kuwa kama kupandikiza chuki uhasama uharibifu wa chama miongoni mwa wanachama na viongozi ameshafanya na kufanikiwa hilo kwa baadhi ya wanachama na viongozi wake na kuharibu taswira ya chama kwa jamii amesema maharagande | 2018-03-24T14:00:50 | http://www.mpekuzihuru.com/2017/02/cuf-wakataa-suluhu-na-profesa-lipumba.html |
vyuo vya polisi vyapewa mikakati | lemutuz
home news vyuo vya polisi vyapewa mikakati
vyuo vya polisi vyapewa mikakati
previous articlenec yatangaza tarehe za uchaguzi ukonga na monduli
next articlewaziri lugola alizindua baraza jipya la taifa la usalama barabarani
rais mstaafu jakaya kikwete afunguka kinachoikwamisha afrika | 2018-09-25T23:59:57 | https://lemutuz.com/2018/08/04/vyuo-vya-polisi-vyapewa-mikakati/ |
masudi djuma yavuze ukuri kuri kakule mugheni fabrice uri gukora imyitozo muri simba sc | eachamps rwanda
masudi djuma yavuze ukuri kuri kakule mugheni fabrice uri gukora imyitozo muri simba sc
nyuma yuko bigiye bivugwa ko kapiteni wikipe ya kiyovu sports kakule mugheni ubu arimo kubarizwa mu ikipe ya simba sc ubuyobozi bwa kiyovu bukavuga ko yaba arimo gukora imyitozo kuko ari mu kiruhuko masudi djuma utoza iyi kipe yemeje ko kakule ari umwe mu basore azaba yifashisha mu mwaka wimikino utaha
tariki ya 9 nyakanga 2018 nibwo amakuru yamenyekanye ko uyu musore wumukongomani ari kubarizwa mu gihugu cya tanzania aho ibinyamakuru byaho byavugaga ko yagiye mu ikipe ya simba sc
ubuyobozi bwa kiyovu sports bwari bwatangarije eachamps ko ayo makuru ntayo buzi ndetse ngo niba anariyo ari mu kiruhuko kuko batanze ikiruhuko ku bakinnyi bose
aganira nitangazamamkuru masudi djuma umutoza wa simba sc yavuze ko kakule yaje kubafasha kuko ari umukinnyi wumuhanga kandi ko atari no mu igeragezwa yanahishuye ko ari we wamuzanye muri simba sc
yagize atikakule ndamuzi bihagije kuko namutoje imyaka 2 ninjye wamusabye ko yaza kuko hari kinini mbona yadufasha ntabwo ari umukinnyi wo kuza gukora igeragezwa ndamuzi neza iyo nza kuba mushidikanyaho mba mvuga ko ari we wizanye iyo ari mu kibuga buri wese aba abona ko ari umukinnyi iyo adafite imvune aba ari umukinnyi mwiza kandi muzabibona
gusa uyu mutoza ntiyigeze avuga ku masezerano yuyu mukinnyi muri simba sc kakule ubu asigaranye umwaka umwe wamasezerano muri kiyovu sports akaba yaherukaga gutozwa na masudi mu mwaka wimikino wa 2016/2017 muri rayon sports
13/jul/ 20181 month ago | canisius kagabo | 2018-08-18T13:54:18 | http://www.eachamps.rw/article/5911/Masudi-Djuma-yavuze-ukuri-kuri-Kakule-Mugheni-Fabrice-uri-gukora-imyitozo-muri-Simba-SC.html |
urithi wa johnny hallyday hatimaye makubaliano kati ya wanufaika t mov relay
urithi wa johnny hallyday hatimaye makubaliano kati ya wanufaika
by alexis wayan on agosti 1 2020
urithi wa johnny david hallyday kuruka mara ya mwisho laeticia
njia zote kwa conflict
david hallyday ajibu laeticia hallyday wiki chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano na laura smet yeye anatangaza kukataliwa urithi wake na anataka kurekebisha moja ya taarifa zake
karibu mwezi baada ya kumalizika kwa mzozo wa urithi wa johnny hallyday na mahojiano aliyopewa na mjane wake kwa paris mechi ni zamu ya david hallyday kutoa toleo lake la ukweli katika le figaro ijumaa hii julai 31 wakili wake pierrejean douvier alielezea mambo kadhaa ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya wazee wa mwimbaji na mama mkwe wao
mwishowe aliambia paris mechi julai 16 kuwa na alitoa haki za msanii david kutoka kwenye albam damu kwa damu na kichwa cadillac ' lakini hiyo sio sahihi kabisa kulingana na baba ya ilona na emma smet ikiwa alijitolea kwake david hallyday aliyeuza hisa zake kwa dada yake mnamo juni hakukubali katika safu wima za figaro pierrejean douvier alinukuu maoni haya david akiwa tayari mwandishi wa wimbo huu na kichwa hiki hakutamani kupokea haki za mtangazaji haki za wahariri ni za universal ambayo haijawasiliana nayo kwa mchango kama huo »
mpango wa kifedha lakini hakuna maridhiano
laeticia hallyday alitangaza mnamo julai 3 kuwa yeye na laura walikuwa wamefikia makubaliano baada ya miaka kadhaa ya vita halali furahi mama ya baadaye kuwa mkono wa kunyoosha alitegemea kwamba makubaliano hivi karibuni atapanana na david hallyday kufuatia hotuba ya mama wa jade na joy kwamba laura smet hakuthamini anagawanya tangazo lake mwenyewe anathibitisha kukataliwa kwa taulier na hajakusudia kufanya amani na laeticia hallyday chanzo https//wwwgalafr/l_actu/news_de_stars/heritagedejohnnydavidhallydaymoucheunedernierefoislaeticia_452677
stephen tataw nahodha wa zamani wa simba asiye na sifa anakufa kutokana na ugonjwa
mathayo mcconaughey anaandika kumbukumbu zake | 2020-08-05T11:01:25 | https://sw.teles-relay.com/2020/08/01/urithi-johnny-hallyday-hatimaye-makubaliano-kati-ya-wanufaika/ |
pakua injini za majaribio ya ifp
pakua injini ya majaribio ya ifp
ripoti ya kazi ya vitendo katika shule ya uhandisi ensais kwenye injini ya majaribio yenye vigezo vinavyolingana
kusudi la tp
lengo la tp hii ni kuonyesha ushawishi juu ya tabia ya injini ya joto ya vigezo vya 3 ya mipangilio ya msingi
tajiri
mapema juu ya kupuuza
uwiano wa compression
majaribio ni ya kweli kwenye parameter ya kutofautiana nyingine ya 2 imefungwa tutaonyesha kwa kila parameter ushawishi unao
matumizi maalum
mavuno ya jumla
hizi ni vipimo vingine vinavyofanyika na wazalishaji kwenye benchi ya mtihani wakati wa awamu ya mwisho ya kubuni ya injini ili kuamua mipangilio ya udhibiti wa umeme (curve mapema curve sindano )
bila shaka wao huzingatia vigezo vingi zaidi kama vile upinzani wa joto
itifaki ya majaribio
tp hufanyika kwenye injini moja ya silinda ya majaribio ya taasisi ya kifaransa ya petroleum ifp ambayo tuna uwezekano wa marekebisho yafuatayo
marekebisho ya utajiri (mgonjwa)
marekebisho mapema ya kupuuza (mzunguko wa coil ya moto)
marekebisho ya uwiano wa compression (kichwa cha kubadilishakiwango cha silinda kichwa kwa kutafsiri)
njia iliyoendelea imefanywa na uvunjaji wa froude hydraulic kwa kasi ya mzunguko tunapata nguvu moja kwa moja nguvu inayotolewa hutolewa na viwango vya hewa na mafuta ya mtiririko kwa mtiririko huo uliofanywa na kipigo kilichopo kwenye bomba la hewa la kuingiza hewa (tofauti ya shinikizo kati ya pembe na shimo katika mm ya safu ya maji) na kwa kipimo cha muda wa mtiririko (kupewa kiasi cha mia ya 100 iko kwenye mstari wa mafuta)
pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika) injini ya majaribio ya ifp
← pakua kitanda cha mtihani wa injini kujifunza kujifunza
mfupa wa majimaji pampu ya kiikolojia na kiuchumi → | 2019-01-20T09:54:06 | https://sw.econologie.com/telechargement-moteur-experimental-ifp/ |
ariana grande tamasha manchester uwanja pengine kujiua mashambulizi martin vrijland
nyumbani » mkuu » ariana grande tamasha manchester uwanja pengine kujiua mashambulizi
ariana grande tamasha manchester uwanja pengine kujiua mashambulizi
imewekwa mei 23 2017 in mkuu |
maoni ni nje kwa tamasha la ariana grande manchester uwanja pengine ni mashambulizi ya kujiua
inaonekana kama mlipuko usiku uliopita wakati wa tamasha ya ariana grande kwenye uwanja wa manchester wapi watu wa 22 walipoteza maisha yao alikuja na 59 walijeruhiwa matokeo ya mashambulizi ya kujiua katika siku za nyuma kumekuwa na mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kwa haraka kuwa mengi yalikuwa mabaya hivyo kwamba hoax inaweza kuzungumzwa katika kesi hii kuna karibu kila mara picha ndogo kupata hukupa hisia kwamba shambulio hili limefanyika karibu mara moja picha za smartphone zilijitokeza hiyo pia ni ya kawaida kwa sababu kila mtu ana kitu kama hicho katika mfuko wao kwa mashambulizi mengine kama vile wale wa uwanja wa ndege wa zaventum au kwenye ukumbi wa michezo ya bataclan hii haikuwa daima kesi kwa kweli ni ya kutisha kwamba hii inatokea na inaonekana kwamba tumefikia hatua ya kuwa watawala wanaendelea na njia za 9 / 11 kama za ugaidi wa kibinafsi ugaidi huo ni kujitegemea ni kama tayari kama pua kwa kila mtu anayefanya utafiti wake katika kesi ya 9 / 11 kulikuwa na kazi ya ndani nini kinakuwa wazi kwa kila mtu huko nje utafiti mkubwa kufanya na si hofu ya unyanyapaa msanii wa njamaen
kwa kuwa kwanza unapaswa kuona picha kubwa hiyo inakuja na ujuzi wa historia (isiyofutwa) inakuja na kutambua kuwa saudi arabia ni hali ya visa ya kiisuni hii inaweza kuondokana na matukio ya kipindi 1916 / 1917 ambapo kabila la waarabu liliandaliwa kuhifadhi ardhi kwa ajili ya nchi ya israeli na kushambulia wattoman kabila hili lilisaidiwa na uingereza na | 2020-07-15T18:46:43 | https://www.martinvrijland.nl/sw/kumbukumbu/kila-kitu/Ariana-kubwa-tamasha-manchester-uwanja-uwezekano-wa-kujiua/ |
ms kay konishi
konishi & nagaoka
akasaka yamada building 5f
2218 akasaka minatoku
kaykonishi@gmailcom
kkonishi@konishinagaokacom
tel +81355448091
fax +81355448098 | 2020-08-04T22:49:46 | https://ficpi.org/public-profile/1667 |
uchunguzi malaria ya afrika yaanza kupinga madawa
vimelea vya malaria vinavyoua watu wengi afrika vimeonyesha kukinzana na madawa mengi yenye nguvu yaliyoko sokoni watafiti huko london walieleza hapo ijumaa (tarehe 27 aprili) makala zinazohusiana
waziri wa uingereza kwa afrika awapongeza wanaolimpiki wa somalia
mawaziri wa mambo ya nje wa kenya na uturuki wajadili ushirikiano wa nchi zao
kenya kupigania kuandaa michezo ya olimpiki 2024
wanasayansi wamegundua ukinzani huo katika dawa dhidi ya malaria katika uchunguzi wa damu kutoka wagonjwa 11 kati ya 28 ambao waliugua baada ya kutembelea nchi za afrika chini ya jangwa la sahara hayo ni kwa mujibu wa machapisho katika jarida la malaria la biomed central
ukinzani huo katika majaribio ya maabara kwa kawaida hupelekea kuwepo kwa ukinzani pia katika baadhi ya nyakati kwa mgonjwa alisema mkuu wa utafiti huo sanjeev krishna kwa mujibu wa afp hilo linaweza kumaanisha kushindwa katika matibabu bado tuna haja ya kutathmini zaidi
ukinzani huo wa madawa kwa matibabu kumeibua wasiwasi kuhusu madawa kutokuwa na nguvu kwa wagonjwa hasa katika nchi za afrika chini ya jangwa la sahara ambako aslimia 50 ya vifo vinavyotokana na malaria hutokea kila mwaka
kwa mujibu wa shirika la afya duniani kulikuwa na vifo 655000 vya malaria mwaka 2010 malaria ni ya tano kwa kusababsha vifo vya kawaida katika nchi zinazoendelea | 2013-05-19T18:41:30 | http://sabahionline.com/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2012/04/27/newsbrief-07 |
tanzanian blog awards good news dar es salaam bloggers circle
good news dar es salaam bloggers circle
pamoja na kuwa tunasubiri umoja wa watanzania wote ufunguliwe tena lakini nimefurahi kupokea email kutoka kwa blogger ambaye yupo da es salaam wao wamejitahidi na kuanzisha community yao inaitwa dar es salaam bloggers circle
kwa wale bloggers mliopo dar es salaam mnaweza kupitia hiyo facebook page yao na kuangalia ni jinsi gani unaweza kujiunga kwenye circle yao kama kuna fee na kama umekidhi masharti ya community yao basi waandikie watakueleza zaidi
kama kuna bloggers wengine wa kitanzania popote pale mlipo na mna community yenu basi msisite kuileta hapa ili tuwatangazie watanzania wengine wafahamu kuna bloggers wengi wanatafuta mahali pa kucall home lakini hawapaonihivyo kama zipo communities zingine za watanzania please do so
twashukuru kwa taarifa hiitwashukuru kwa taarifa hii
just to let you know there's no fee to join the dar es salaam bloggers' circle simply attend one of the meetings (which take place on the 3rd wednesday of every month at cine club in mikocheni at 630pm) and that's it you're part of the circle )
ohand the dbc facebook page can be found at <a href=http//wwwfacebookcom/darblogcircle>facebookcom/darblogcircle</a> i look forward to seeing you all at one of our 2012 meetings ) | 2018-12-13T19:15:01 | http://tanzanianblogawards.blogspot.com/2011/09/good-news-dar-es-salaam-bloggers-circle.html |
skott101 usomaji wa akili wa mtandaoni
online masomo ya akili > psychics live > skott101
megan machi 23 2017 psychics live1 maoni kwenye skott101
kuhusu skott101
skychx skott101 ina uzoefu wa miaka 1015 ya kutumia uwezo wa psychic kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi skychx skott101 hivi karibuni imewasaidia washiriki wa 4 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika oranum ushuhuda hapa chini unaonyesha kile wengine walisema juu ya usahihi na usikivu wa skott101 kama saikolojia ya mkondoni
nilizaliwa 1987 katika massachuetts mbaya zaidi katika miaka kumi nilianza kugundua usahihi wangu katika kuhisi wakati kitu mbaya kitatokea niliiweka kwangu kwa sababu ni ya kutisha wakati wako katika umri mdogo basi katika ujana wangu nilianza kwenda na mtiririko wa kuelewa ndoto zangu maono na upande mwingine kuwasiliana nami nina wazo la nguvu sana mponyaji empim im clairvoient naweza kuongea na malaika na kutabiri ujauzito na vifo
naishi katika neveda nimekuwa nikifanya usomaji kwa marafiki na jamaa kote nchini nikutana na wageni mara nyingi ambayo im ilimaanisha kusaidia kimwili huwa huwa na watu wanakuja kwangu kwa uponyaji ninahisi hisia za watu kwa nguvu sana hata ikiwa hawajui jinsi wanavyojiona na huwa napenda kushtua watu sana kwa hivyo sasa niliamua kujiunga na oranum kwa matumaini ya kusaidia maelfu ya watu zaidi na hata wewe unayo zawadi na nataka kuishirikisha nisaidie kukusaidia kupata majibu na dhamira unayotamani natumai kuzungumza na wewe hivi karibuni hadi hapo hapo mungubless | 2019-12-11T16:57:56 | https://sw.psychicbonus.com/skott101/ |
ccm inaanguka polepole kama dola ya warumi | gazeti la jamhuri
ccm inaanguka polepole kama dola ya warumi
mwaka 476 kabla ya kristu kuna historia ya pekee katika dunia ya sasa mwaka huu dunia ilishuhudia kuanguka kwa dola kuu ya warumi (rome empire) iliyokuwa imetawala siasa za ulaya kwa millennia moja yaani miaka 1000 dola hii ilikuwa ikiongozwa kwa imani za miungu (polytheistic) na inaelezwa kuwa iliangushwa na ujio wa dini ya wakatoliki waliokuwa wakiamini katika mungu mmoja (monotheistic)
sababu hii inatajwa mno kutokana na wimbi kubwa jinsi dini ya wakatoliki wa roma walivyopata umaarufu na kutawala siasa za ulaya wakati huo ilifika mahala wafuasi wa dini katoliki wakasulubiwa kwa imani yao hadi alipokuja mfalme constantine aliyezuia uhalifu huo
ukiangalia kwa kina ukatoliki katika roma hakukua kwa sababu nyingine ukatoliki ulikuwa kutokana na mateso na manyanyaso waliyopata wananchi wa kada ya chini wafalme wa roma waliokuwa wakiamini katika miungu walianza maisha ya anasa wakafikia mahala wakawa na fedha nyingi wakaweza kuwa na vijakazi hadi 300 kwa familia moja ya kifalme ya roma
sitanii kodi zikatozwa kwa wingi kugharimia sherehe na harusi za kifahali za wafalme hitaji la msingi kwa binadamu chakula bei yake ikaenda juu kwa kiwango cha kutisha wananchi wakawa hawana chakula rushwa ikatamalaki ubabe wa wafalme ukazidi kuongezeka magonjwa yakaongezeka kwani huduma ya maji afya na elimu ni sawa na vile zilikoma
kila mfalme alichukuliwa kama mungu ndani ya roma na hiyo ndiyo dhana ya kuamini katika miungu wengi dini katoliki iliona ni vyema kuwaunganisha wanyonge kupitia imani ikahubiri mungu mmoja imani moja dini katoliki ikahubiri mgawanyo sawa wa mapato upendo kuheshimiana usawa mbele ya sheria usawa wa ajira kutoingiliwa katika imani haki ya kuishi kutotumikishwa kama vijakazi na mengine mengi
wakatoliki hawa walianza kuhubiri ulipaji wa kodi kwa staha walidai uwajibikaji walihoji kodi zikilipwa zinatumikaje zinagharamia huduma za jamii au anasa binafsi kama harusi za kifahari huku watoto wakifa kwa njaa watu wazima wakichukuliwa mateka na kutumikishwa kama vijakazi kwa nia ya kuganga njaa
sitanii mwaka 313 kabla ya kristo mfalme constantine alizuia matesho dhidi ya wafuasi wa kanisa katoliki kuepusha shari aliamua kuigawa roma katika tawala mbili mashariki na magharibi mfalme constantine aliwabakiza wakatoli roma italia na wapagani waliokuwa wakiamini katika miungu wakaenda katika mji aliouita jina lake constantinople ambayo ni istanbul (uturuki) ya sasa
falme ya roma iliendelea kuzungumza kilatini na hawa wakabatizwa na kuwa wakatoliki safi ambao wengi waliamini katika amri 10 za mungu zisemazo (1) mimi ni bwana mungu wako usiabudu miungu wengine (2) usilitaje bure jina la mungu wako (3) shika kitakatifu siku ya mungu (4) wahesimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani (5) usiue (6) usizini (7) usiibe (8) usiseme uongo (9) usitamani mwanamke asiye mke wako na (10) usitamani mali ya mtu mwingine
ukiziangalia amri hizi ziliwekwa kwa nia ya kurejesha maadili katika jamii zililenga kurejesha utu wa watu zililenga kuzuia vurugu na ubabe katika jamii zililenga kuleta usawa wananchi walizikubali wakaziona ni mkombozi wao kwa maana hata wale waliobaki istanbul ambako walikuwa wakizungumza kigiriki walivutiwa na yaliyokuwa yakiendelea roma kwa waliokuwa wanazungumza kilatini wakaongoka huo ndio ukawa mwisho wa dola ya roma
hata yesu alipokuja duniani wanafunzi wake wakamuuliza mwalimu ni ipi iliyo amri kuu kuliko zote yesu akawambia ni upendo kwa maana ukimpenda jirani yako huwezi kumwibia ukimpenda jirani yako huwezi kumzini mtoto wake ukimpenda jirani yako huwezi kumzini mke wake ukipenda jirani yako huwezi kumtusi huwezi kumdhihaki huwezi kumkejeli au kumtoza kodi isiyo halali
sitanii kichwa cha makala hii kinasema ccm inaanguka polepole kama dola ya warumi nimewaza sana kabla ya kuandika makala hii nimefikiria historia nikarejea enzi za watumwa vijakazi na watwana katika miji ya athens (ugiriki) sparta (ugiriki) na constantinople (uturuki)
miji hii yote ilikuwa sehemu ya dola kuu ya warumi walikuwa wakiishi katika maisha ya sherehe wakubwa hawa walimiliki mapande ya ardhi kuliko mtu yeyote katika dunia ya sasa nimetangulia kusema hapo awali kuwa wafalme walitoza kodi kwa ajili ya kuendesha starehe zao na familia moja ikafikia kumiliki vijakazi hadi 300
nikivuta hisia na kuangalia kinachoendelea hapa kwetu hakuna tofauti chama tawala kimetugeuza vijakazi kodi ya mafuta ya zinapanda kwa wakubwa kukutana kwenye sherehe tu wakakubaliana sasa kodi za daladala bila hata kupitia bungeni zimepanda mara mbili bila mashauriano kwa kuwa wakubwa wamependa iwe hivyo
fedha zetu zilizokuwa zinabishaniwa katika akaunti ya escrow zimetolewa na kugawiwa kwa wakubwa na wazee wakakabidhiwa viroba waliozipokea wameanza kutukejeli wakati chenge anajiita joka msaka fedha tena lenye makengeza na akiitia bilioni 1 vijisenti profesa anna tibaijuka anatwambia anatumia sh milioni 10 kununua mboga ya siku mbili
brother jay james rugemalira anatwambia sh bilioni 125 alipewa ni vijipesa vya ugoro mnikulu shaban gurumo anasema hakumbuki alivyotumia sh milioni 80 maana kwa utajiri wake anatoa fedha mfuko wa kulia na kuweka wa kushoto kiasi hakujua kama kiasi hicho cha fedha kiliingia kwenye akaunti yake
sitanii kama ilivyokuwa katika dola ya warumi kama wewe hukuwa sehemu ya mtandao wa wafalme hataka kama ungekuwa na akili kiasi gani ilitosha kukuita kijakazi ukakosa sifa ya kuwa kiongozi viongozi walikuwa wanakaa kwenye sherehe bila hata kupiga kura wanateuana nani aongoze dola
leo tunashuhudia hata kama wananchi wanakupenda kiasi gani kama hukubaliki katika kilinge cha wafalme ndani ya kamati kuu ya ccm ujue wakubwa wanaamini hata wakileta shati litachaguliwa tu tena bila kuhoji hata swali moja abdulrahman kinana katibu mkuu wa ccm anakumbuka shuka kumekucha
sitanii kinana anasema hakuna mtu ambaye jina lake litakatwa kama anakubalika kwa wananchi rejea kilichotokea kwenye serikali za mitaa watu wameuza nyumba kwa ajili ya kuhonga wapate ujumbe wa serikali za mitaa waliokuwa pangu pakavu wakatoshwa wakapitishwa wenye nazo
ukisikiliza siasa za majukwaani wengi wanasema wanapingana na mafisadi lakini kumbe wanaandaa mrija wa kunyonya pasi kusumbuliwa wiki iliyopita nikiwa katika kipindi cha agenda 2015 cha star tv nilisema kuwa rushwa ilipofikia sasa si ufa bali ni dirisha
mtazamani mmoja akaniletea ujumbe akasema si dirisha bali ni geti tena la kupitishia malori wakubwa wanatumia rushwa kuanzia ngazi ya mtaa ukienda hospitalini unaambiwa wazi kuwa kama huna fedha utakufa unaona watoto shuleni walimu wanawadai dambwe na inafika mahala hata shule za binafsi wazazi wanakolipa hadi sh milioni 2 bila soni walimu wanadai watoto walipie masomo ya ziada (tuition)
sitanii ukiangalia kimantiki ni sawa na kusema walimu wanaofundisha kwenye shule za serikali wanakwambia wakubwa tayari wamechukua chao kwenye madini na kila pahala hivyo nao ni zamu yao kuchukua dambwe kutoka kwa wazazi ajira zinapatikana kwa undugu si kwa nani anaelewa nini
binafsi sitaki kuishia kulalamika tutafanya kosa la mwaka ikiwa tukimchagua rais asiye na maono nasema bila kujali ni chama gani anatokea rais ajaye lazima atueleze akichaguliwa atafutanyia nini hatutaki rais anayetokana na kamati kuu za vyama eti kwa sababu tu ni mwenzao ana sura nzuri au atawalinda
tulipofika sasa hatuhitaji kushangazwa na uamuzi wa wachache tunapaswa kuwa na rais anayesimama akasema saruji itakuwa shilingi ngapi akishika dola nidhamu ya utumishi wa umam itakuwaje elimu yetu itagharimiwaje bei ya bati na misumari itakuwa shilingi ngapi na si rais wa kusema ilani ya chama inasema
kama alivyofanya mfalme constantine tusema kubaguana kwa misingi ya vyama dini kabila nani anaunga mkono falsafa za nani sasa kukome leo inawezekana hata wewe unavyosoma makala hii badala ya kufikiria ujumbe uliomo unaanza kuwazi huenda huyu kwa mstari au mshororo huu anampigia debe wasira makamba hapana mrema
kwa tanzania tunapaswa kutoka hapo maisha ya kubahatisha yalikuwa enzi za ujima mchezo wa wakubwa kukwepa kodi wadogo wakabanwa mbavu usitishwe tufika mahala sasa nchi yetu iseme kwa sauti nzito na ya wazi kuwa madaraka ya kupeana kama zawadi yakome
viongozi wenye kutaka kutuongoza wasimame waombe wenyewe si sisi tutumie kauli eti wapigakura wamuombe mtu kugombea udiwani ubunge au urais huyu tutakayemuomba kugombea ikiwa yeye hana wazo au hajapata kufikiri kushika wadhifa husika mwisho wa siku asipotekeleza lolote hatuwezi kuwa na swali kwake
tukimhoji kwa nini hakututumikia vyema anaweza kusema mliniomba kugombea urais lakini hamkunipa vitendea kazi na mawazo jinsi ya kuifanya kazi ya urais rais barrack obama wa marekani alisimama akawambia wamarekani nichagueni nitoe bima ya afya kwa kila mmarekani leo wamarekani wote wana bima ya afya
sitanii hivi kweli leo watanzania bado tunayo dhana ya kuchaguliwa kiongozi hata baada ya viongozi wetu kutukejeli na kutamba kwa utajiri ambao hawakupata kuwekeza jasho bali unatokana na kodi zetu kwamba fedha za escrow ni jasho la mama anayewasha kibatari kijijini si siri
leo unakutana na mtu mzima ambaye ulidhani ana akili timamu anatumia muda wake kukupigia simu na anasema wazi kuwa fedha za escrow hazikuwa mali ya watanzania unamuuliza kama hazikuwa mali ya watanzania kwa nini zilifunguliwa akaunti maalum hadi mgogoro uishe anasema hayo tuyaache
unapombana maswali zaidi anadiriki tena kijinga kabisa kukwambia kuwa hata kama unataka kumfurahisha huyo kwa kuandika hivyo uhalisia hauko hivyo sitaki kukosa adabu lakini nadhani kama isingekuwa gazeti ni kumbukumbu ya kudumu katika jamii ningemvurumishia tusi moja la nguvu
sitanii enyi vijakazi watanzania wenzangu mnaozalisha wakachota wenye nyadhifa wafalme na kuturejeshea makombo amkeni amkeni tupinge ubaradhuli huu nchi hii ni yetu sote tuamke tudai haki zetu kama walivyofanya waroma waliokuwa malofa tusikubali kuamriwa na wachache wenye kulinda masilahi yao
kimsingi zimenikera mno kauli za viongozi hawa kutukejeli sijajua kwa nini hadi sasa gurumo bado ni mnikulu huyu mwenye jukumu la kutunza mali za ikulu hajatueleza kama anafanya biashara leo anatukejeli kuwa sh milioni 80 hakupata taarifa kama ziliingia kwenye akaunti yake
wakati umefika tujiandikishe kwa wingi hii ndiyo silaha kuu tuliyonayo mkononi sishauri tuchukue mkondo wa warumi waliopigana vita siku tatu na kuiangusha dola hii bali nashauri oktoba mwaka huu yeyote aliyeweka jina lake kama hatimizi matarajio usione soni kumpigia mgombea wa ccm kama wewe ni mpinzani ikiwa unaona anafaa na vivyo hivyo wewe mwanaccm usisite kumpigia kura mgombea wa upinzani ukiona ccm wamekuuzia mbuzi kwenye gunia
sitanii na nahitimisha uamuzi tutakaoufanya oktoba mwaka huu utaendelea kufanya kazi kwa miaka 10 ijayo tukichagua mateso na hata baada ya kushuhudia aina ya viongozi tulionao viongozi wasiojua shida zetu viongozi wenye kuamini kama mikate imeisha tule keki hakika tutajuta uamuzi uko mikononi mwetu tukajiandikishe kwa wingi shahada ya kura iwe silaha yetu oktoba mungu ibariki tanzania
previous nauli za daladala kushuka machi 18
next rais ajaye na hatima ya tanzania (1)
jaji mkuu aongoza zoezi la upandaji miti katika kiwanja cha mahakamadodoma | 2018-11-19T03:42:03 | http://www.jamhurimedia.co.tz/ccm-inaanguka-polepole-kama-dola-ya-warumi/ |
ni watu wangapi wa dini watakaorudi kwa mungu katika maafa | injili ya kushuka kwa ufalme
watu wengine husema mwishowe ni watu wangapi ndani ya jamii za dini wataweza kumwamini mwenyezi mungu soma zaidi kuhusu maneno ya mwenyezi mungu na utajua kwa sasa lango la neema halijafungwa bado na hatujafika wakati wa maafa makubwa hasa wakati wa maafa makubwa kutakuwa na watu wengine ndani ya jamii ya dini wanaorudi kwa mungu kwa viwango mbalimbali hii ndiyo sababu huwezi kuamua kwa sasa wale wote ndani ya dunia ya dini wasiomkubali mwenyezi mungu lazima waangamie bado kuna muda kiasi katika wakati huu unajua ni nani katika jamii za dini ambaye atamkubali mungu na nani hatamkubali mungu hili ni jambo ambalo hatuwezi kuona vizuri ni mungu pekee anayejua hata hivyo tunapoeneza injili na kushuhudia kuhusu mungu kwa watu wa dini tunapata kwamba wanakataa hili wote wanampinga na kumshutumu mwenyezi mungu je sote hatujaona hili na kwa hiyo kueneza injili kwa watu wa dini ni vigumu sana hili linaamua kwamba wale walio ndani ya dunia za dini ambao hatimaye watarudi kwa mwenyezi mungu ni wachache sana kwa idadi hii ni kwa sababu wanazuiwa vikali na wachungaji wazee na fikira za dini wamedanganywa kwa kina na uenezaji wa habari hasi hawana mioyo ya kutafuta ukweli na kuchunguza njia ya kweli je hili si kweli ukienda katika eneo la dini kueneza injili utakutana na yafuatayo kwanza utakataliwa na kukumbushwa makosa yako pili utaaibishwa tatu utashambuliwa kwa pamoja au kukejeliwa na kushutumiwa hata kutakuwa na watu watakaokupiga picha bila idhini yako na kuionyesha kwa wengine wote ndani ya kanisa na kusema mtu huyu amekuja kueneza injili ya mwenyezi mungu hakuna mtu anayepaswa kumpokea hivi ndivyo jinsi dunia ya dini inamtendea yeyote anayekuja kueneza injili ya mwenyezi mungu katika siku za mwisho hili linaonyesha nini dunia ya dini kwa muda mrefu imefanya kazi kama ngome imara ya wapinga kristo na imekuwa sehemu ya nguvu ovu za shetani hata hivyo huwezi kusema kwamba hakuna mtu kutoka dunia ya dini anayeweza kuokolewakuna wale wanaoweza kuokolewa ni kwamba tu ni wachache sana sana kwa idadi
umetoholewa kutoka katika mahubiri na ushirika kuhusu kuingia katika maisha juzuu ya 132
watu wengine wanauliza kwa nini unasema kwamba hakutakuwa na watu wengi kutoka ndani ya dini wanaokubali kazi ya mungu kabla ya maafa makubwa sidhani hilo ni jambo la hakika kutoka ndani ya waumini wa enzi ya neema ndani ya kanisa lolote wengi wao wako hapo kufuatilia ukweli kwa kweli au kula mkate wake hadi washibe tu watu wengi wako hapo ili kula mkate wake hadi washibe tu je hakuna watu wengi ambao wamepagawa na pepo wanaoongea kwa ndimi kupokea ufunuo kuona maono kuponya magonjwa kufukuza pepo na kuonyesha miujiza wale ambao wamepagawa na pepo wanaunda sehemu wale wanaokula mkate wake hadi washibe tu wanaunda sehemu na wengine ambao ni wapinga kristo na waovu wanaochukia ukweli pia wanaunda sehemu na tena kuna watu waliokanganywa ambao hawana ufahamu hata kidogo wa ukweli punde tunapoondoa makundi haya ya watu wale waliobakia ambao wanapenda ukweli watakuwa wengi je hata watajumuisha asilimia kumi kwa jumla la haiwezekani je hii si hali halisi ya mambo kwa hiyo wale walio ndani ya jamii ya dini ambao wataweza kurudi mbele za mungu kabla ya maafa makubwa ni idadi ndogo sana ya watu hawatajumuisha walio wengi hata kidogo kwa sababu watu walio ndani ya dini wanaopenda ukweli daima wamekuwa wachache sana kwa idadi huu ni ukweli kamili na hausemwi bila msingi
umetoholewa kutoka katika mahubiri na ushirika kuhusu kuingia katika maisha juzuu ya 133
iliyotangulia:kwa nini mungu atawaweka wale wanaokataa kumkubali mwenyezi mungu katika maafa | 2020-07-03T20:22:45 | https://sw.kingdomsalvation.org/turn-back-to-God-in-disasters.html |
mpango huo wa kubana matumizi unanuiwa kuipa nafasi kubwa ugiriki kupokea mkopo wa euro bilioni 130 kuokoa uchumi wake kutoka kwa umoja wa ulaya na shirika la kimataifa la fedha duniani licha ya waandamanaji kuchoma jengo moja la cinema maduka na hata mabenki huku na kupambana vikali na vikosi vya kukabiliana na ghasia kupinga mpango huo wa matumizi bado wabunge walipiga kura na kupitisha mpango huo
kulingana na spika wa bunge philippos petsalnikos kati ya wabunge 278 ni 199 waliopiga kura ya ndio na wengine 74 kupinga mpango huo hata hivyo serikali hiyo ya muungano imewasimamisha kazi mara moja wabunge 43 wa vyama viwili vya waziri mkuu wa ugiriki lucan papademos waliokwenda kinyume na mpango huo kutoka chama cha kisoshalisti cha pasok na kile cha mrengo wa kulia cha new democracy
mpango wa kubana matumizi uliopitishwa na bunge hilo usiku wa kuamkia leo unajumuisha kupunguza mishahara ya wafanyakazi kwa asilimia 22 na pia kupunguzwa kwa malipo ya uzeeni jambo ambalo limewakasirisha sana waandamanaji
kwa upande wake wizara ya afya imeripoti watu 54 kujeruhiwa waziri mkuu lucas papademos amelaani ghasia hizo na kusema kamwe ghasia hzitakubalika katika nchi hiyo ilio na demokrasia
baada ya bunge la ugiriki wa kuunga mkono hatua zaidi za kubana matumizi thamani ya sarafu ya euro ilipanda katika masoko ya hisa ya asia na leo asubuhi
kiungo http//pdwcom/p/142o6 | 2018-01-20T21:06:16 | http://www.dw.com/sw/ugiriki-yaidhinisha-hatua-za-kubana-matumizi/a-15738830 |
dira yetu mchungaji mtikila aagwa rasmi diamond jubilee
mchungaji mtikila aagwa rasmi diamond jubilee
rais kikwete aongoza mamia kuaga mwili wa marehemu mchungaji christopher mtikila ukumbi wa karimjee jijini dar es salaam leo jumatatu oktoba 7 2015
wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk jakaya mrisho kikwete makamu wake dk mohammed gharib bilal na makamu wa kwanza wa rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar maalim seif hamad wamejitokeza leo kwenye viwanja vya karimjee jijini dar es salaam kutoa heshima zao mwisho kwenye mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa democratic party mchungaji christopher mtikila
rais kikwete (katikati) akiwa kwenye msiba huo kabla ya kuuaga mwili wa mchchristopher mtikila sambamba na viongozi wengine
rai wa jamhuri ya muuungano wa tanzania dk jakaya kikwete akisaini katika kitabu cha maombolezo
makamu wa rais dk mohamed gharib bilal akisaini kwenye kitabu cha maombolezo
marehemu mtikila alikuwa mwanasiasa mkongwe aliyefariki dunia kwa ajali ya gari oktoba 4 mwaka huu katika kijiji cha msolwa chalinze mkoa wa pwani wakati akirejea dar es salaam kutokea njombe alikokuwa amekwenda kufanya mkutano wa kampeni
viongozi wa vyama vya siasa taasisi na mashirika mbalimbali yalipata fursa ya kutoa shukurani zao za pekee kuzungumzia historia ya marehemu enzi za uhai wake ambapo kila mmoja alimzungumzia mchungaji mtikila alivyokuwa kiongozi shujaa mwenye maamuzi na kusimamia kile alichokuwa akikiamini
akitoa salamu za rambirambi msajili wa vyama vya siasa nchini jaji francis mutungi amesema kuwa marehemu ameacha pengo kubwa kwa chama cha dp kwani alikuwa kiongozi aliyekuwa akisimamia haki na kile alichokuwa akiamini na alikuwa hapindishwi na mtu yeyote na alikuwa ni mmoja wa wanaharakati wa haki za binadamu
alisema kuwa mtikila alikuwa mwanaharakati asiyependa maandamano mwenye kuchukua maamuzi ya kwenda mahakamani kwa ajili ya kupata haki anayoitaka na ndiye alikuiwa mwanzilishi wa kudai mfumo wa vyama vingi mwaka 1992
mwili wa marehemu umesafilishwa kwenda ludewa njombe ambapo wakazi wa mkoa huo watapata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kabla ya kuzikwa anatarajiwa kuzikwa kesh
posted by freedom of press at 1435 | 2017-10-23T18:39:22 | http://dirayetu.blogspot.com/2015/10/mtikila-aagwa-rasmi-diamond-jubilee.html |
gor mahia mabingwa wa sportpesa super cup 2017 wawatandika fc leopards bao 30 | mtaa kwa mtaa blog
mabingwa ma mashindabo ya sportpesa super cup 2017 timu ya gor mahia kutoka nchini kenya wakishangilia ushindi wao na kombe la ubingwa huo baada ya kuwatandika wapinzani wao fc leopards mabao 30 katika mchezo uliomalizika hivi punde katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam
mabingwa ma mashindabo ya sportpesa super cup 2017 timu ya gor mahia kutoka nchini kenya wakishuhudia nahodha wao akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya dola elfu 30 baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano hayo kwa kuwatandika wapinzani wao fc leopards mabao 30 katika mchezo uliomalizika hivi punde katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam
timu ya gor mahia ya kenya imetwaa ubingwa wa kwanza wa mashindano ya sportpesa super cup baada ya kuwasambaratisha wapinzani wao afc leopards kwa mabao 30 kwenye uwanja wa uhuru
kwa ushindi huo gor mahia imepata nafasi ya kupambana na timu maarufu ya ligi kuu ya uingereza everton fc julai 13 kwenye uwanja wa taifa jijini
kwa ushindi huo gor mahia ilizawadiwa sh milioni 62 za tanzania huku afc leopards ikiambulia shilingi milioni 22 kwa kushika nafasi ya pili
mabao ya timotho otieno katika dakika ya 60 olivermaloba katika dakika ya 76 na john ndirangu katika muda wa nyongeza yalitosha kuinyamazisha afc leopards kwenye fainali hiyo iliyokuwa ya kusisimua
dalili za ushindi kwa gor mahia zilionekana tokea mwanzoni mwa mchezo huo ambapo mshambuliaji wake hatari medie kagere alikosa baola wazi baada ya pasi nzuri ya georgeodhiambo
baada ya kosa kosa hiyo afc leopards ilikuja juu na kukosa nafasi tatu za kufunga kupitia kwa gilbert fiamenyo allan katerega na mangoli benard mshambuliaji hatari wa gor mahiamedie kagere aliibuka kuwa mfungaji bora wa mashindano hayo kwa kufunga mabao manne
othman michuzi sunday june 11 2017
labels michezo soka | 2018-01-24T00:08:19 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/06/gor-mahia-mabingwa-wa-sportpesa-super.html |
mkurugenzi wa vipindi wa clouds media group (cmg) ruge mutahaba amefariki dunia jana usiku nchini afrika kusini alikokuwa akipatiwa matibabu
ruge alipelekwa nchini humo mwishoni mwa mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na matatizo ya figo
kutokana na kifo hicho rais john magufuli jana usiku alituma salamu za rambirambi kwa familia yake na kusema amepoteza kijana wake muhimu katika tasnia ya habari nchini
rais magufuli katika rambirambi hiyo aliyoitoa pia kupitia kwenye mtandao wa kijamii wa tweeter alisema nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha kijana wangu ruge mutahaba daima nitakukumbuka kwa mchango wako mkubwa katika tasnia ya habari burudani na juhudi za kujenga fikra za maendeleo kwa vijanapoleni wanafamilia ndugu jamaa na marafiki mungu amweke mahali pema amina
taarifa za msiba ruge zilitangazwa rasmi na millad ayo katika kipindi cha amplifier kikiendelea clouds jana usiku
wakati ayo akiendelea na kipindi hicho ndipo taarifa za msiba huo zilipokuja na kulazimika kutangaza kuwa kipindi hicho kimeishia wakati huo baada ya kupata taarifa za msiba huo|
tunaomba radhi kwa sasa kipindi cha amplifier kwa leo kitaishia hapo tumepata taarifa za kushtusha ambazo zimemjeruhi kila mmoja humu ndani na kubadilisha hali ya hewa alisema na kuongeza
mmoja wa waasisi na mkurugenzi wa wa vipindi na uzalishaji clouds media group ruge mtahaba ametutoka leo (jana) huko afrika kusini alikokuwa amekwenda kwa matibabu mioyo yetu imejeruhiwa sana tutaendelea kuwapa taarifa zote pumzika kwa amani alimaliza
mmoja wa wafanyakazi wa clouds hassan ngoma aliiambia nipashe kwamba msiba wa ruge uko mikocheni karibu na shule ya fezza nyumbani kwa baba yake mzazi
alisema taarifa walizozipata ni kuwa ruge alifariki jana saa moja jioni
jumatatu iliyopita mdogo wa ruge mbaki mutahaba akihojiwa kwenye kipindi cha 360 cha clouds tv alisema ruge alianza kuumwa mwaka jana
akizungumza kwenye kipindi hicho mbaki alisema gharama za matibabu afrika kusini ni kubwa kwa siku inaweza kufikia sh milioni tano hadi sita na hadi wakati huo zaidi ya sh milioni 600 zilikuwa zimeshatumika
kuhusu historia ya kuumwa kwake mbaki alisema ruge alianza kuumwa mwaka jana na kabla ya kupelekwa afrika kusini alilazwa hospitali ya kairuki mikocheni jijini dar es salaam na baadaye alipelekwa nchini india
jopo la madaktari kutoka hosptali ya kairuki na muhimbili wakasema apelekwe afrika kusini kwa sababu ni karibu ila matibabu ya huko yana gharama kubwa alisema na kuongeza
ila msaada ni kubwa ukianza na mheshimiwa rais magufuli alishatoa msaada mkubwa sana na anakuwa akipiga simu kujua hali yake kila wakati ila kule gharama ya matibabu ni kubwa kwa siku inaweza kufika milioni tano mpaka sita alibainisha
mbaki alisema mwezi aprili mwaka jana alianza kuumwa bila kujua ni tatizo la figo na mwezi uliofuata ndipo alipopata majibu ya hospitali kuwa anasumbuliwa na figo
alisema baada ya kufika india walimwambia figo zake hazina ulazima wa kubadilishwa
india hakukaa muda mrefu alirejea tanzania na kuendelea na matibabu lakini baadaye hali ikabadilika mara ya pili akalazwa kairuki kutokana na hali yake ilivyokuwa ilipofika mwezi septemba mwaka jana madaktari wakapendekeza apelekwe afrika kusini alisema
alisema baada ya kufika afrika kusini mambo mengine yakaibuka yanayohusiana na figo hivyo madaktari wakawa wanatibu siyo tu figo na mengine
katika kipindi chote alichokwenda tangu septemba hadi sasa madaktari wamekuwa wakitibu siyo tu masuala ya figo wakati mwingine presha alisema
aliongeza kuwa kinachotia moyo yale yaliyokuwa yanasababishwa na figo yametulia changamoto ni kumrudisha kwenye hali yake ya kawaida kwa sababu amekaa hospitali muda mrefu hivyo kwa sasa amekuwa mgonjwa wa kumsaidia kupata nafuu hali yake siyo mbaya inaridhisha ikilinganishwa na awali alisema
tahadhari wakopaji benki | 2019-12-15T08:02:01 | https://www.ippmedia.com/sw/habari/ni-majonzi |
raia mwema nguruwe nguruwe kila pahala meli yawezaje kwenda
makala nguruwe nguruwe kila pahala meli yawezaje kwenda ayub rioba toleo la 232 28 mar 2012 leo safu hii ina hadithi fupi kuhusu uhuru na kujitegemea ni hadithi niliyotunga kuenzi nusu karne ya uhuru wa nchi za afrika hadithi hii ni ya kutunga lakini endapo itatokea majina ya wahusika maeneo na matukio yakafanana na hali halisi kokote kule barani kwetu basi ninakiri kwamba itakuwa imetokea tu bila kudhamiriwa (coincidence)
siku moja wanyama waliokuwa utumwani walipewa uhuru kutoka kwa madhalimu waliokuwa wakiwamiliki na kuwatumikisha siku hiyo walifurahia mno na kwa kipindi cha juma zima walifanya karamu ya kula na kunywa na kushangilia wote walijiona wamoja na kwamba walikuwa sawa baada ya sherehe za uhuru wakadhamiria kuanza safari ndefu ya kurejea nyumbani kwao ili kule wakajitawale na kujitegemea
ilikuwapo meli kubwa ya kutosha kuwabeba wote ili kuwarejesha ngambo ya bahari ambako ndiko asili yao ilikuwa ni safari muhimu sana ambayo kwa hakika kila mnyama aliyekuwa na akili timamu alitamani kuifanya
lakini siku ya safari ikafika likatolewa tangazo la kuwataka wanyama wote kuingia melini ghafla wakatimka nguruwe kwa kasi zote na kuingia melini kwanza na kule wakaelekea kila pahala palipoonekana nyeti katika chumba cha nahodha wakajaa kule chumba cha injini wakajaa katika stoo ya melini wakajaa katika jiko la melini wakajaa katika chumba cha mawasiliano ya simu wakajaa katika jukwaa la kupigia muziki wakajaa katika chumba cha mitambo ya sinema wakajaa na katika chumba cha madaktari wakajaa nguruwe nguruwe kila pahala
wanyama wengine wakaanza kuuliza inakuwaje nguruwe wamejaa maeneo yote nyeti ya meli hadi chumba cha nahodha kana kwamba wao wanajua kila kitu ikiwamo kuendesha meli nguruwe wakakaa kimya na kila walipoulizwa jambo wao wakazidi kukomaa pale walipo walipoambiwa haya basi washeni meli tuanze safari wao wakawa wanaguna tu ikafika wakati nguruwe wakaona kelele za wanyama wengine ni karaha na kadhia kwao
wakaanza kujibu mashambulizi hapa hatutoki tunajua mna wivu sana na bado wanyama wakatumia kila njia ya ushawishi wa maneno lakini wakakwama ikafika pahala madhalimu wakawasogelea na kuwauliza kulikoni mbona meli haiondoki au mmeghairi safari ya kurudi kwenye ukombozi wenu
wanyama wale wakawashitakia nguruwe kwa madhalimu mkuu si mnawaona nguruwe wamegomea katika vitengo vyote nyeti ikiwamo chumba cha nahodha na wanyama wanaojua unahodha wameshindwa kuingia mle ndo maana tumeshindwa basi madhalimu wakawashauri wanyama wale kwamba waanzishe mfumo wa kukalia maeneo nyeti kwa zamu na kwamba madhali nguruwe walikwishawahi vitengo basi ilikuwa hawana budi kumalizia vipindi vyao na kwamba baada ya zamu ya nguruwe basi ingelikuja zamu ya wanyama wengine kama nyani au sokwe ambao walikuwa na uwezo wa kuendesha meli lakini amkani si shwari tena kumbe madhalimu wale baada ya kuona wanyama wenyewe wanahadaika mara moja wakaanza mawasiliano na nguruwe nguruweee hakikisheni mnakomaa hapo hapo hata zamu yenu ikiisha tutawalinda nao nguruwe kusikia hivyo wakafurahi kweli kweli
lakini kipo kitu kimoja walichokisahau nguruwe wale kwamba kila mnyama alikuwa na faida na umuhimu wake kutokana na kipaji chake tofauti na wengine ilikuwa ni suala la wanyama wote kukaa pamoja na kufanya majadiliano ili kufikia makubaliano ni mnyama gani atoe mchango gani kwa kadiri ya kipaji chake na hatimaye safari ianze na wote wasafiri kwa starehe hadi katika ngambo ya ukombozi wao
kwa kifupi tu ni kwamba walichokihitaji nguruwe wale ilikuwa ni raha binafsi hawakujua injini inawashwaje hawakujua meli inaendeshwaje au kuongozwaje hawakujua chakula kinapikwaje hawakujua muziki unapigwaje hawakujua sinema inawashwaje hawakujua wagonjwa wanatibiwaje hawakujua mawasiliano ya simu melini yanafanywaje matokeo yake maisha yakaanza kuwa magumu kwa wanyama wote wakiwamo nguruwe wenyewe
mara nguruwe wale wakaanza kuguguna chochote kilichokuwa mbele yao wale waliokuwa katika chumba cha rubani wakaanza kuguguna usukani wakaguguna vikorombwezo vya kuongozea meli wakaguguna makochi mwisho walipomaliza kuguguna kila kitu wakaanza kuguguna meli yenyewe
waliokuwa stoo wakatafuna chakula chote kule walipokimaliza wakaanza kuguguna vyombo vilipomalizika wakaanza kuguguna ukuta wa meli waliokuwa jikoni wakaanza kuguguna sufuria wakaguguna jiko wakaguguna vyombo na walipomaliza wakaanza kuguguna meli yenyewe waliokuwa chumba cha madaktari wakaanza kuguguna dawa wakaguguna vifaa vya maabara wakaguguna mashuka wakaguguna magodoro walipomaliza wakaanza kuguguna ukuta wa meli
waliokuwa chumba cha injini wakaanza kunywa mafuta yakaisha wakahamia katika vikorombwezo vya injini wakaguguna wakamaliza wakaguguna kila kigugunika na walipovimaliza vyote wakahamia katika ukuta wa meli
muda wote nguruwe walipokuwa wakiguguna kila kilichokuwa chini yao wanyama wengine walikuwa wakiwasihi kuacha kufanya hivyo ili walau zamu ya nguruwe ya kukaa katika vitengo itakapomalizika wanyama wengine wenye ujuzi wakiingia katika vitengo husika safari ianze rasmi
kadiri nguruwe walivyozidi kukaa katika vitengo vile bila ujuzi uliohitajika na huku njaa ikiongezeka sambamba na hamu ya kuguguna ndivyo walivyozidi kuwa wakali matokeo yake kila mnyama aliyehoji kulikoni nguruwe walipata kisingizio cha kumtafuna na yeye
matokeo yake badala ya wanyama kuendelea kukosoa nao taratibu wakaacha wakawa wabeuaji nao wakaanza kutafuna au kuguguna kilichokuwa mbele yao na wanyama wakubwa kama simba wakaona sasa ipo haja ya kuwatafuna wanyama wadogo walio jirani nao wanyama kama nyati ikabidi watafune manyoya ya nyani wakiyafananisha na nyasi wanyama wengine wakajiunga na nguruwe katika kushambulia ukuta wa meli panya na fuko wao kwa vile walikuwa wadogo kiumbile wakaanzia kuguguna sakafu ya meli
wakati huo huo nguruwe wale kwa vile walikwishatengeneza matumbo makubwa sana na kwa vile walichokijua kuliko kingine chochote ni kuguguna na kugugunisha wakaanza kurejea tena kwa madhalimu kuwaomba japo vigugunio na kwa vile walikwishaweka nadhiri nao kwamba wataendelea kukalia vitengo wakawa wakiwadondoshea makombo ambayo nguruwe walikula kwa kujificha
mara meli ile ikaanza kuegemea upande na wakati huo maji yakawa yakiingia ndani kwa wingi madhalimu wakaingilia kati dhalimu mkuu akawaambia wanyama tuliwaambia katu hamuwezi kujitawala nyie angalieni sasa si tu kwamba mmeshindwa kuwasha meli na kusafiri zenu mmeshindwa hata namna ya kushauriana na kutumia vipaji vyenu ili mfanikiwe katika jambo dogo tu la kuwasha meli na kuondoka hapa pwani ya utumwani dhalimu mkuu akameza fundo la mate kisha akaendelea
angalia kwa mfano nguruwe yeye uwezo wake mkubwa ni kuzalisha samadi ya kutosha kwa ajili ya kupata gesi na nishati ya kutumia katika meli akangangania katika vitengo asivyovimudu mwangalie sokwe hodari wa kuendesha meli lakini kajibanza kule kwenye deka haya nyani ilibidi akwee katika mlingoti wa meli kupandisha bendera lakini angepita wapi mwangalie sungura na masikio yake hodari kweli kwa mawasiliano ya simu lakini yule kalaliwa na nguruwe anapumua kwa taabu nguruwe nguruwe kila pahala
mwangalie kiboko yeye bingwa wa mambo ya stoo lakini hakupata pa kupenya kabakia mguu mmoja ndani ya meli mwingine nje mwangalie simba yeye ndiye bingwa wa kuwasha na kuhudumia mitambo yote ya injini lakini alishindwa kabisa kushuka kule chumba cha injini mara dhalimu mkuu akatizama juu kisha akashusha uso wake na kuendelea
mwangalie nyoka pale yeye ni daktari bingwa wa mabingwa lakini kakosa kabisa pa kujipenyeza kwa vile nguruwe wamekwishajaa mle dispensari mwangalie chui ni bingwa wa kupika na kuhakikisha kila aliye katika meli anapata chakula lakini yuuule kwenye deki kule mwangalie tembo ni kiongozi mwenye busara sana na angeliwasaidia mno katika majadiliano kufikia mwafaka lakini yeye ndo hata hiyo meli yenyewe ameshindwa kupanda nguruwe nguruwe kila pahala mmeshindwa kutumia vipaji vyenu katika uhuru na sasa tunawarejesha utumwani tukawasimamie sasa itabidi mteremke katika meli ile mrejee nchi kavu kwa sababu kama mnavyoona inaweza kuzama muda wowote nanyi mkiwamo
ndipo wanyama wale wakalia na kusaga meno kwa sababu tu eti waliponzwa na ulafi na ubinafsi wa nguruwe nguruwe nguruwe kila pahala meli yawezaje kwenda tufuatilie mtandaoni
meli ya iran rais mstaafu atajwa meli za iran vigogo zanzibar wahusishwa meli ya kinana gumzo bungeni manahodha wetu wamepindua meli hatuendelei maoni ya wasomaji
hadithi fikirishi kuhusu
permalink submitted by robert ndila (not verified) on fri 20120330 0851 hadithi fikirishi kuhusu viongozi wa afrika
hiviafrika imelaaniwa napata taabu kulielewa hilo hasa kutokana na matukio ya viongozi wake
goodluck ayoub
ayoub mfano wa hadithi hii
permalink submitted by subi (not verified) on sat 20120331 1943 ayoub mfano wa hadithi hii kwa maisha ya nchi ya mbayuwayu wenye domo kaya kutwa kucha imeniacha nawaza mengi safari kweli haijaanza watu wanakazana kutafuna tu kaazi kwei kwei
hadithi tamu sana yenye
permalink submitted by nguna (not verified) on sat 20120331 2316 hadithi tamu sana yenye ukweli
hii serikali kweli haina huruma na haidhamini wananchi wake inaelekea gpsa imetekwa na mafisadi papa ambao wanataka kuwanyima fursa wafanya biashara wenye mitaji midogo kujiendeleza 12 hours 43 sec yametolewa maoni mengine 1 ziada makala pendwa
» akaunti ya kigogo tanesco yazuiwa waandishi wetu 27766 » meseji za komredi lowassa zanaswa mwandishi wetu 27453 » spika waziri mkuu wamuonya kikwete mwandishi wetu 24470 » mambo hadharani waandishi wetu 21790 » wamo vigogo wawili wastaafu mwandishi wetu 20820 ziada kura ya maoni | 2013-05-24T20:26:07 | http://www.raiamwema.co.tz/nguruwe-nguruwe-kila-pahala-meli-yawezaje-kwenda |
pichaz mastaa wa bongo waamia katika magauni ya kuburuza | zotekali blog
hellow karibu katika ulimwengu wa mitindo hapa zotekaliblog leo nataka tutazame kuhusu magauni ya kuburuza yanavyowapagawisha mastaa wetu h
hellow karibu katika ulimwengu wa mitindo hapa zotekaliblog leo nataka tutazame kuhusu magauni ya kuburuza yanavyowapagawisha mastaa wetu hapa bongo
zotekali blog pichaz mastaa wa bongo waamia katika magauni ya kuburuza
http//zotekaliblogcom/wpcontent/uploads/2017/09/1240x300jpg
http//wwwzotekalicom/2017/09/pichazmastaawabongowaamiakatikahtml | 2018-01-18T17:54:41 | http://www.zotekali.com/2017/09/pichaz-mastaa-wa-bongo-waamia-katika.html |
ukweli kuhusu tevez aliyekatwa uume wake baada ya kuwazulumu madawa ya kulevya wenzake harakati za mtanzania
» ukweli kuhusu tevez aliyekatwa uume wake baada ya kuwazulumu madawa ya kulevya wenzake friday january 30 2015
ukweli kuhusu tevez aliyekatwa uume wake baada ya kuwazulumu madawa ya kulevya wenzake 139 am
basi jeff akamrubuni tevez kuwa njoo kuna kazi tevez akaingia mzima mzima akaenda hadi pretoria wiki iliyopita na kufikia kwa jeff katili na
kupata mapokezi mazuri kama kawaida baada ya kufika walitoka kwenda matembezi kwazulu natal wakiwa huko walifikia kwa washkaji zao wa kibongo lakini kwenye nyumba ambayo ilikuwa kama holi haina chochote ndani chini lilitandikwa karatasi la nailoni ili kuepusha damu isitapakae alibanwa juu ya mzigo na mtesaji mkubwa alikuwa jeff katili mwenyewe ambaye ni mdhamini tevez hajang'olewa jicho bali alipigwa ngumi hadi jicho likaenda ndani ngumi ya mtoto wa kiume | 2016-12-05T12:28:13 | http://berthamollel.blogspot.com/2015/01/ukweli-kuhusu-tevez-aliyekatwa-uume.html |
barubaru karibu tanzania | jamiiforums | the home of great thinkers
barubaru karibu tanzania
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by hm hafif dec 4 2009
napenda kuchukua nafasi hii adhimu sana kuwafahamisha kuwa dr hamza ( barubaru) anatarajiwa kufika dar es salaam leo jioni akiongozana na mkewe na mtoto wao kwa mujibu wa simu aliyonipigia akiwa anatoka dubai
napenda kumkaribisha nchini kwetu kwa masiku atakayojaaliwa kukaa kwa mijibu wa mwenyewe dr hamza angependa kuonana na members wengi itakavyokuwa hapa dar zanzibar morogoro na mwanza
kwa idhini yake akifika tu na akiniruhusu nitaweka namba yake atakayokuwa anaitumia hapa nchini
karibu sana dr hamza
hee
alhamdulilahi nimefika salama usalimini ila dar joto kali sana
mimi na familia yangu tumefikia nyumbani kwetu mtaa wa ali khan upanga dar es salaam insh'allah kesho tukipata namba ya simu ya tanzania nitaiweka hadharani ili niwasiliane na wenzangu wa jf sasa natumia namba yangu ya qatar kwa roaming
ila jioni nitakuwa msikiti qibratain kwenye swadaka ya alhaj hafif baada swala ya insha
nimekuwa busy sana na nashukuru wanajf watano nioeza kuonana nao na wale wengine niliopanga kuonana nao sasa natumia namba 0777 420000 ( hii ya kijana wangu ambaye ananitembeza na nipo nae kila pahala) 0 people likes
nimekuwa busy sana na nashukuru wanajf watano nioeza kuonana nao na wale wengine niliopanga kuonana nao sasa natumia namba 0777 420000 ( hii ya kijana wangu ambaye ananitembeza na nipo nae kila pahala) click to expand
yakheee karibu zero p*b
yakheee karibu zero p*bclick to expand
hahahaaaaaaa mopao bana una khatari weye
unataka kumklaribisha nakati ya zero p*b
inasikitisha sana wanaojiita great thinkers wana nipigia simu na kuanza kuporomosha mvua ya matusi
kwa kweli huu si uungwana mimi nimetoa namba nitakayokuwa naitumia tanzania kwa nia na madhumuni ya kutaka kujuana kufahamiana na hata kubadilishana mawazo lazima ifahamike kuwa mimi ni mtu huru sana ndio maana naweka jina langu kamili na hata namba yangu kwa nia husika
lakini penye wabaya na wazuri wapo pia nimeshukuru sana tena sana kwa wale ma member niliokutana nao na kubadilishana nao mawazo vile vile wale nilio ongea nao kwenye simu na kufahamianana vile vile wale tuliopanga ahadi ya kukutana lakini hatukuweza onana naomba mfahamu siku saba ni chache sana kukaa tanzania hususan kwa watu wa watu kama mimi kwani nimefika mwanza siku moja siku mbili zengibari na nyingine dar insh'allah tutawasiliana nikifika na nitawapm namba yangu ya qatar
lakini pia nawashukuru hata wale walionipigia na kunitusi mimi nawaombea tu kwa mola awape tarbia njema na hikma na busara katika makuzi yao
insh'allah kesho panapomajaaliwa naondoka kurejea doha nawashukuru wote na nawapenda wote
shukran sana nfugu yangu unajua mimi mgeni tena zero p*b ipo wapi au ile ya millenium tower
inshallah nitakuwa pale millenium tower chini kwenye corner ya chai/ kahawa nipigie tuonane
pole sana duktuur hamza
hao ni wale wachache wanajaribu kuharibu sifa za jf
pole ndugu baru baru usijali sana kwani penye wengi pana mengi
usafiri salama panapo majaaliwa uje tena
usafiri salama panapo majaaliwa uje tenaclick to expand | 2016-12-04T20:36:25 | http://www.jamiiforums.com/threads/barubaru-karibu-tanzania.45940/ |
ampas tahu bsf media maggot kilimo • yurie bsf
yurie | juni 11 2017 | kukuza magogots taka | 0 comments
ampas inajua media ya kilimo cha maggot ya bsf
kusambaza vyombo vya habari wapo njia ya kufanya vyombo vya habari vya kilimo vya magot kutoka taka ya haki ya tofu inahitajika ili matokeo yaliyopatikana yanaendana na matarajio vyombo vya habari kilimo cha magog dhahabu za tofu zinajulikana nchini indonesia katika baadhi ya maeneo ya vidonda inakuwa tatizo la uchafuzi wa mto ili uuzaji wa tofu za bei nafuu
faida za kutumia tofu dregs maggot ya vyombo vya habari ni
tofu taka ni rahisi kupata
dregs kujua bei ni nafuu
mifupa ya tofu ina maudhui bora ya virutubisho
inasaidia kutatua matatizo ya uchafuzi wa mto
tofu na massa
jua chakula kimoja chenye lishe na ina protini nyingi za mboga watu wa indonesia wanapenda tofu kwa sababu hupendeza vizuri na ni laini kwa ulimi kufanya tofu pia kutazalisha mabaki yaliyosindika kwa njia ya tofu
taka ya tofu hutumiwa kwa sehemu na wakulima kama ng'ombe nguruwe na mifugo mengine kwa sababu tofu ina protini ya juu hiyo ni kwa sababu wakulima wengi hutumia tofu ya mchanganyiko kama mchanganyiko wa sumu ya samaki na mifugo ya kuku
lishe na lishe ya tofu dregs
maji 5143
co chini ya ppm 1
zn ni zaidi ya 50 ppm
maudhui ya maji karibu na 857 hali safi
maudhui ya maji ya taka ya kavu ya tofu 105 145 yenye maudhui ya maji ambayo ni ya chini ya kutosha kufanya tofu inaweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu vyanzo vya tofu vinaweza kupatikana kwa urahisi na bei pia ni ya bei nafuu na kwa thamani yake ya lishe hufanya mchuzi wa tofu unaweza kuundwa katika mgawo wa chakula cha mifugo
shape na tabia
dhahabu za tofu ni mabaki ya tofu ambayo yana rangi nyeupe na harufu tofauti ya soya ambayo yana wanga mafuta na protini
jinsi ya kukuza magogots kutoka kwenye kumbukumbu kujua haki
kundi la 30 tofu
kilo cha 15 cow mbolea kuku nguruwe mbuzi
kundi la 10 bran
vipande vya 250 za sukari
mchoro wa 5 royko
changanya viungo vyote ndani ya ndoo na kuchanganya vizuri mpaka inakuwa mchanganyiko
funika mchanganyiko kwa kutumia majani ya ndizi
baada ya siku 13 baadaye nzizi zitakuja na kuweka mayai
jicho hili la bsf linachukuliwa na limewekwa kwenye chombo tofauti
kuvunja maggot baada ya magot ni karibu 23 kwa wiki
kumbuka ununuzi wa mchuzi wa tofu
wafugaji wengine wanaona vigumu kupata tofu kwa sababu wanapigana na wakulima wa nguruwe ng'ombe nk kuuza tofu pia ni mkataba na dhamana ya pesa
jinsi ya kufanya cages cheap & like bsf
maswali na majibu kwenye kilimo cha maggot ya bsf kwa chakula cha wanyama
mbegu za maggot ya bsf 1kg hivyo 100kg mbegu ya juu ya mbegu
mkulima wa magogu msaidizi wa black black fly the results most | 2019-07-20T22:00:35 | https://www.yuriebsf.com/sw/ampas-tahu-media-budidaya-maggot/ |
afrika kusini kidedea katika kupunguza maambukizi mapya ya vvu ripoti | habari za un
gloria ambaye anaishi na virusi vya ukimwi katika vitongoji vya khayelitsha mji wa cape town afrika kusini ambako kampeni ya kuchagiza uelewa wa ukimwi ilifanyika mnamo agosti 2007
tunahitaji kuchukua dharura ya usimamizi wa kisiasa ili kumaliza ugonjwa wa ukimwi alisema gunilla carlsson kaimu mkurugenzi mtendaji wa unaids
bi carlson amesema kuwa hii inaanza na uwekezaji mzuri na kile kinachangia nchi zingine kufanikiwa
amesema kumaliza ukimwi ni suala lilonawezekana ikiwa tutaangazia watu kuliko ugonjwa kujenga barabara kwa watu na meeneo yaliyoachwa nyuma na kutumia mbinu chini ya misingi ya haki za binadamu kuwafikia watu walioathiriwa zaidi na virusi vya ukimwi
ripoti hiyo inaonesha kuwa watu wazima na wapenzi wao huchukua nusu ya asilimia 54 na maambukizi mapya ya hiv kote duniani
mwaka 2018 watu wakiwemo wanaojidunga madawa mashoga na wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wengine watu waliobadili jinsia makahaba na wafungwa walichukua asilimia 95 ya maambuzia mapya ya vvu mashariki mwa ulaya na kati kati mwa asia na pia mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika
hata hivyo ripoti hiyo pia inaonesha kuwa ni chini ya asilimia 50 ya watu hao ndio walifikiwa na huduma za kuzuia vvu katika zaidi ya nusu ya nchi zilizoripoti hii inaonyesha kuwa watu hawa bado wanatengwa na kuachwa nyumba katika vita dhidi ya vvu
kote duniani watu milioni 17 waliambukizwa upya virusi vya ukimwi mwaka 2018 kupungua kwa asilimia 16 tangu mwaka 2010 ikiwa ni kutokana na hatua zilizopigwa eneo la mashariki na kusini mwa afrika
muelimishaji rika arafah akizungumza na kundi la wanafunzi wa shule huku akisambaza vifaa vya kuelimisha kuhusu vvu na ukimwi huko khartoum sudan
afrika kusini kwa mfano imepiga hatua kubwa na imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya vvu kwa zaidi ya asilimia 40 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa ukimwi kwa karibu asilimia 40 tangu mwaka 2010
hata hivyo kuna safari ndefu kwa maeneo ya mashariki na kusini mwa afrika eneo lilioathirika zaidi na hiv na pia kuna ongezeko la kutia wasi wasi katika maambukizi mapya ya vvu mashariki mwa ulaya na kati kati mwa asia katika asilimia 29 mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika asilimia 10 na amerika ya kusini asilimia 7
ripoti hiyo ilizinduliwa katika warsha moja ya kijamii huko eshowe afrika kusini na bi carlsson na david mabuza makamu wa rais wa afrika kusini
ripoti hiyo inaonyesha kuwa mwanya katika mahitaji ya ufadhili na upatikanaji wake unazidi kuwa mkubwa kwa mara ya kwanza ufadhili unaopatikana kupamba na ukimwi ulipungua sana kwa karibu dola bilioni moja
mwaka 2018 dola za kimarekani bilioni 19 zilipatikana kwa vita dhidi ya ukimwi upungufu wa dola bilioni 72 katika makadirio ya dola bilioni 262 zilizohitajika ifikapo mwaka 2020
katika kuendela na jitihada za kumaliza ugonjwa wa ukimwi unaids inawashauri washirika wote kuchukua hatua na kuwekeza ikiwemo ufadhili kamili kwa mfuko wa kimataifa kupambana na ukimwi kifuo kikuu na malaria kwa takriban dola bilioni 14
vifo vinavyotokana na ugonjwa wa ukimwi
vifo vinavyotokana na ugonjw wa ukimwi vinazidi kupungua huku huduma za matibabu zikiendelea kuongezeka na hatua zaidi zinapigwa katika kutoa huduma dhidi ya vvu na kifua kikuu tangu mwaka 2010 vifo vinavyotokana na ukimwi vimepungua kwa asilimia 33 hadi 770 000 mwaka 2018
mafanikio huwa ni tofauti kimaeneo kipungua kimataifa kwenye vifo vinavyohusiana na ukimwi imetokana kwa kiwango kikubwa na hatua zilizopigwa mashariki na kusini mwa afrika
mashariki mwa ulaya na kati kati mwa asia hata hivyo vivyo vinavyotokana na ugonjwa wa ukimwi vimeongezeka kwa asilimia 5 mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika kwa asiliamia 9 tangu mwaka 2010
karibu asilimia 82 ya wanawake wajawazito wanaoishi na vvu wanapata madawa ya kupunguza makali ya ukimwi ongezka la zaidi ya asilimia 90 tangu mwaka 2010
hii imechangia kupungua kwa asilimia 41 katika maambukizi mapya ya vvu miongoni mwa watoto huku kupungua zaidi kukishuhudiwa nchini botswana kwa asilimia 85 rwanda (83) malawi (76) namibia (71) zimbabwe (69) na uganda (65) tangu 2010
lakini kulikuwa na maambukizi mapya 160000 ya vvu miongoni mwa watoto kote duniani mbali sana na lengo la kupunguza maambukizi mapya miongoni mwa watoto hadi chini ya 40000 ifikapo 2018
mengi yanahitajika kufanywa kuongeza matibabu kwa watoto idadi ya takriban watoto 940000 walio na umri kati ya miaka 0 na 14 wanaoishi na vvu kote duniani mwaka 2018 ni karibu mara dufu idadi ya mwaka 2010
wanawake na wasichana waliobalehe
licha ya bado kuwepo pengo kubwa kati ya wanawake na wanaume wachanga huku wanawake wachanga wakiwa wameambukizwa kwa asilimia 60 kuliko wanaume wachanga wa umri sawa kumekuwa na mafanikio katika kupunguza maambukizi miongoni kwa wanawake wachanga
kote duniani maambukizi mapya ya vvu miongoni mwa wanawake wachanga walio na umri wa miaka kati ya 15 na 24 yalipungua kwa asiliamia 25 kati ya mwaka 2010 na 2018 ikilinganishwa na kupungua kwa asilimi 10 miongoni mwa wanawake wa umri mkubwa walio na umri wa miaka 25 na zaidi
kuzuia vvu
jamii husika zinaonyesha kuwa mbinu kadhaa zilizopo kwa kuzuia maambukizi ya vvu hazitumiki ipasavyo
kwa mfano matumizi ya dawa ya preexposure prophylaxis (prep) ya kuzuia vvu ilikuwa inatumiwa na takriban watu 300000 mwaka 2018 130000 kati yao wakiwa nchini marekani
nchini kenya moja ya nchi za kwanza za kusini mwa jangwa la sahara kuanza matumizi ya dawa ya prep kama program ya kitaifa karibu watu 30000 waliipaga dawa hiyo ya kujikinga mwaka 2018
mafanikio yamepatikana dhidi ya unyanyapaa unaohusu vvu na ubaguzi katika nchi nyingi lakini tabia za kibaguzi dhidi ya watu wanaoishi na vvu bado ziko juu
ripoti pia inasema kuwa kuna hitaji la dharura kupata suluhu la ubaguzi na vuzuizi katika kuzuia na kwa matibaua ya vvu kama hiyo haitoshi ripoti imesema kuwa tabia za kibaguzi dhidi ya watu wanaoishi na vvu ni za juu katika nchi nyingi kwenye nchi 26 zaidi ya nusu ya watu waliohojiwa walikiri kuwa na hisia za kibaguzi dhidi ya watu wanaoishi na vvu
unaids|gunilla carlsson|hiv|vvu|aids|ukimwi|afrika kusini | 2020-08-08T07:46:12 | https://news.un.org/sw/story/2019/07/1062041 |
habari na matukio tanzania forest services agency (tfs)
final_sops_for_opening_tourism_2020_booklet_a5_v2_spreed_print [4 mb]
wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 945274 iliyopo mashamba ya miti ya mtibwa na longuza mkoani morogoro na tanga mtawalia jumla ya meta
tangazo_la_mnada_wa_miti_ya_misaji_ [337 kb]
teak_auction [342 kb]
katika kipindi cha 2020/2021 wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) unategemea kuuza mazao ya misitu (miti/magogo) katika mashamba 11 ya miti ya kupanda wakala unakaribisha maombi ya uvunaji msitu kwa 2020/2021
tangazo_la_nafasi_za_kazi_ufundimpingo_house [584 kb]
bungeni dodoma 18 aprili2020 wabunge wanaounda chama cha wabunge marafiki wa mazingira (tapafe) wamepewa mafunzo ya kuwajengea uwezo wabunge juu ya usimamizi bora wa misitu ya asili iliyomo nchini akizungumza
mnada wa kuuza miti ya misindano (pinus spp) katika vitalu viliyoathiriwa na moto katika shamba la miti la sao hill tarafa ya kwanza wilayani mufindi tarehe ya mnada
wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 1600883 iliyopo katika mipaka ya misitu ya hifadhi ya kwani na tongwe wilayani muheza na msitu wa hifadhi
tangazo_la_mnada_ [134 kb]
auction_advert [213 kb]
wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 1459683 iliyopo mashamba ya miti ya mtibwa na longuza mkoani morogoro na tanga jumla ya meta za ujazo
tangazo_la_mnada_jan_2020 [542 kb]
the_sale_of_standing_teak_trees__jan_2020 [566 kb] | 2020-08-05T02:43:10 | https://www.tfs.go.tz/index.php/sw/resources/category/habari-na-matukio |
rais jakaya kikwete apokea cheti cha udaktari muhas jana kufuatia shahada aliyotunukiwa na chuo hicho mwaka 2010 | politiksi kurunzini
home habari kijamii rais jakaya kikwete apokea cheti cha udaktari muhas jana kufuatia shahada aliyotunukiwa na chuo hicho mwaka 2010
rais jakaya kikwete apokea cheti cha udaktari muhas jana kufuatia shahada aliyotunukiwa na chuo hicho mwaka 2010
rais jakaya mrisho kikwete leo ijumaa novemba 23 2012 amepokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa kampasi mbili za tiba ya afya vinavyojengwa katika chuo kikuu cha dodoma na mloganzila huko kisarawe ambavyo pia vitatumika kama hospitali hapa nchini
kwanza rais amepokea maendeleo ya ujenzi wa kampasi ya afya ya chuo kikuu cha dodoma kutoka kwa mkurugenzi wa mfuko wa afya ya jamii (national health insurance fund) nhif bw emmanuel humba
ujenzi wa kampasi hii umeshaanza na kufikia hatua ya juu na hospitali inatarajiwa kuanza shughuli zake rasmi mwaka 2015
kulingana na bw humba maandalizi ya kufanikisha uanzishaji wa chuo/ hospitali hiyo vimeshaanza ambapo baadhi ya wataalamu wakiwemo madaktari na watumishi wengine wako nchini na nje ya nchi kwa ajili ya masomo na mafunzo mbalimbali
chuo hicho kinatarajia kuwa na vifaa vya kisasa vya tiba vinavyokidhi mahitaji ya afya na elimu ya udaktari wa kiwango cha kimataifa
rais pia amepokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa kampasi ya mloganzila ambapo katika ujenzi na uanzishwaji wa kampasi hizi zote rais kikwete amesimamia kuanzia hatua za awali
kampasi ya mloganzila ambayo ni sehemu ya hospitali kuu ya muhimbili inajengwa kwenye eneo la ekari 3800 na itakua sehemu ya kutolea mafunzo kwa wanafunzi wa udaktari na huduma za afya lakini pia itakua sehemu ya kutolea matibabu ya maradhi yote makuu na ya kawaida nchini
ujenzi wa hospitali hii unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi januari 2013 na unatarajiwa kukamilika miaka miwili baada ya ujenzi
katika hafla hiyo makamu mkuu wa chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili prof ephata kaaya ametumia nafasi hiyo kumkabidhi rais kikwete cheti cha udaktari wa public health (honoris causa) kufuatia shahada aliyotunukiwa na chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi muhimbili disemba 2010 kwa kutambua mchango wa rais kikwete katika kuendeleza sekta ya afya nchini
akitoa taarifa hiyo ya maendeleo kwa rais kikwete prof kaaya amesema tayari wataalamu na wafanyakazi wanaotarajiwa kufanya kazi katika kampasi ya mloganzila wameshaanza mafunzo mara hospitali hiyo kubwa na ya kisasa itakapokamilika itakua na uwezo wa vitanda vya kulaza wagonjwa mia sita (600)
rais kikwete amewapongeza wataalamu wote kwa juhudi zao na kuwa ahidi kuwa lengo lake ni kuhakikisha nchi inaondokana na adha ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu
rais amesema moja ya lengo kubwa la serikali yake ni kutoa kipaumbele katika sekta ya afya ili kuhaklikisha watanzania wanapata huduma bora kupanua mafunzo ya afya na kuongeza wataalamu watakaoweza kutibu magonjwa yote makubwa hapa hapa nchini
rais amewaahidi watendaji wa kampasi zote mbili kuwa atahakikisha ujenzi wa huduma hizi muhimu kwa umma haukwami kwa sababu ya ukosefu wa pesa kwani ni jambo ambalo amedhamiria
23 novemba 2012
rais jakaya mrisho kikwete akiwa na cheti cha udaktari wa public health (honoris causa) kufuatia shahada aliyotunukiwa na chuo hicho mwaka 2010 kwa kutambua mchango wake katika kuendeleza sekta ya afya nchini sherehe hiyo fupi ilifanyika leo novermba 23 2012 ikulu jijini dar es salaam
rais jakaya mrisho kikwete katika picha ya kumbukumbu na waziri wa ardhi prof anna tibaijuka waziri wa afya na ustawi wa jamii dkthussein mwinyi na viongozi wa chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili baada ya kukabidhiwa cheti cha udaktari wa public health (honoris causa) kufuatia shahada aliyotunukiwa na chuo hicho mwaka 2010 kwa kutambua mchango wa rais kikwete katika kuendeleza sekta ya afya nchini leo
rais jakaya mrisho kikwete akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa kampasi ya afya ya chuo kikuu cha dodoma kutoka kwa mkurugenzi wa mfuko wa afya ya jamii (national health insurance fund) nhif bw emmanuel humba
rais jakaya mrisho kikwete na ujumbe wa wizara ya afya na mfuko wa afya ya jamii (national health insurance fund) nhif bw emmanuel humba leo ikulu jijini dar es salaam | 2018-07-18T03:01:22 | https://arusha255.blogspot.com/2012/11/rais-jakaya-kikwete-apokea-cheti-cha.html |
upimaji wa pgs ulielezea ivfbabble
tumekuwa tukipokea maswali mengi kutoka kwa wasomaji juu ya uchunguzi wa maumbile ya preimplantation (pgs) na tulitaka kujua zaidi na kwa hivyo tukamgeukia mtaalam mzuri wa embryologist danielle breen kwa majibu
swali la msomaji
swali nimekuwa na raundi mbili za ivf zilizoshindwa mizunguko yote miwili ilimalizika kwa kupoteza mimba ninaogopa kuwa na duru nyingine ya ivf ikiwa nitaacha vibaya tena je unafikiri niende kwa pgs je unafikiri maumbo yangu ni 'makosa' na kusababisha upungufu wa damu yangu je upimaji wa pgs ungesaidia je ninapaswa kuuliza mtihani huu
j kwanza samahani kusikia juu ya upotezaji wako na kuelewa kabisa hofu yako ya maumivu hayo mara ya tatu pgs ni wakati biopsy ya seli kutoka kwa kiinitete inachukuliwa ili kuangalia idadi ya chromosomes ambayo inayo utafiti juu ya bidhaa za mimba ambayo ina huzuni vibaya ilionyesha kuwa takriban 70 ya upungufu wa damu hii ilitokana na kukosekana kwa usawa wa chromosomal
kwa hivyo ingawa sio mimba zote ni kwa sababu ya ukiukwaji wa dalili za ugonjwa wa kupindukia upimaji wa pgs utahakikisha kwamba sababu inayowezekana ya kutofaulu kwa ujauzito au kupoteza huondolewa
mapendekezo yangu itakuwa kuzungumza na timu ya matibabu katika kliniki yako kwa wao kutumia mzunguko wako na historia ya matibabu kukushauri ikiwa wanafikiria pgs ni chaguo sahihi la matibabu kwako kwa mfano kwa kukagua viwango vyako vya ukuaji wa kichwa katika mzunguko wako wa zamani kama pgs inafanywa mara kwa mara mnamo siku ya 5 au 6 kwa hivyo embryos zako lazima zifikie hatua yahlambizo ili kupimwa
istilahi alielezea
upimaji wa pgs ni nini
pgs au iliyoitwa pgta hivi karibuni ni wakati biopsy ya seli kutoka kwa kiinitete hutolewa ili kuangalia idadi ya chromosomes ambayo inayo
(pgs inasimama uchunguzi wa maumbile ya preimplantation na pgtanasimama kwa upimaji wa jaribio la maumbile kwa aneuploidies)
pgs inaweza tu kufanywa kwa mizunguko ya matibabu ya uzazi inayojumuisha mkusanyiko wa yai kuchambua viini vilivyoundwa kwenye maabara kabla ya kuhamishwa kwa kiinitete kupangwa hii inawezesha uteuzi wa kiinitete na nafasi nzuri ya kuingiza na kufikia ujauzito mzuri na wenye afya kwa kuzingatia hali ya maumbile ya kiinitete pgs pia inepuka kutumia viinitete ambavyo vitashindwa kuingiza au kuunda mimba isiyo ya kawaida ambayo inaweza kupoteza mimba au kusababisha ubayaji wa fetasi
je unaweza kuelezea ni nini uhalifu wa chromosomal ikiwa kiinitete chako kina shida yoyote ya kongosho utafanya vibaya au utashindwa kuingiza
yai na manii kila mmoja huwa na vifaa vya maumbile vinavyohitajika kufanya mtoto wa kawaida mwenye afya pgs huangalia kwamba idadi iliyochangiwa na yai na manii kila mahali kwenye mbolea ongeza hadi nambari inayofaa na kamili
yai na manii inapaswa kuwa na chromosomes 23 kila moja wakati wa mbolea chromosomes hizi hutengeneza kutengeneza jumla ya chromosomes 46 kwenye kiinitete zilizowekwa kama jozi 23
mfano unaojulikana wa kosa katika nambari ya chromosome ambayo inaweza kusababisha ujauzito na kuzaliwa moja kwa moja ni down syndrome wakati kuna nakala 3 za chromosome 21 badala ya nakala 2 walakini wakati kuna makosa katika idadi ya chromosomes yote kiinitete kinaweza kushindwa kuingiza au kupotosha
utaratibu unafanywaje
biopsy kawaida hufanywa siku ya 5 au 6 katika hatua ya maendeleo ya maendeleo katika hatua hii kiinitete kina seli nyingi zaidi kwa hivyo mchakato wa biopsy wa kuondoa takriban seli 5 au hivyo zina athari ndogo kwa jumla ya seli ya kiinitete kilichobaki
sababu nyingine tunafanya utaratibu kwenye viunga vya hatua ya unyofu ni kwamba katika hatua hii kiinitete kitakuwa na idadi maalum ya seli molekuli ya seli ya ndani ambayo itaendelea kukua ndani ya mtoto na safu ya nje ya seli ambazo zingeendelea kwa placenta wakati wa utaratibu wa biopsy tunaweza tu kuondoa seli kutoka kwa safu ya trophectoderm kwa upimaji
katika kuandaa biopsy shimo ndogo kawaida hufanywa kwenye ganda la kiinitete kawaida kwenye d3 hii inahakikisha kwamba kiinitete kinapokua na kuwa mjinga safu ya nje ya seli huanza kutoroka (hatch) nje ya shimo hili ikifanya iwe rahisi kuondoa seli hizi kwa majaribio
utaratibu huo ni pamoja na kutumia darubini maalum ambazo zina vifaa vya micromanipulation iliyowekwa kwao na boriti maalum ya laser ambayo inaweza kutumika kutenganisha seli zilizo salama ili kuondoa sampuli ya upimaji mara tu seli zilizo na biopsied zimeondolewa unyofu yenyewe umehifadhiwa ili kuruhusu wakati muhimu wa upimaji wa maumbile kukamilika seli zilizo na biopsied pia zimehifadhiwa na kusafirishwa kwa maabara ya genetiki kwa uchunguzi vipimo vya jenetiki haziwezi kufanywa katika kliniki ya uzazi kwa sababu zinahitaji kuharibu seli ili kutolewa na mlolongo wa dna (chromosomes) iliyohifadhiwa ndani yao
kuna tofauti gani kati ya pgs na pgd
taratibu zote hizi ni pamoja na kuondoa seli kwa upimaji wa maumbile ya preimplantation
pgs ni pale 's' inasimama kwa uchunguzi na inafanywa kuangalia idadi ya chromosomes katika kiinitete hii ni sehemu ya zana ya uchunguzi kusaidia kuchagua viini kwa uwezo bora pgs mara nyingi hujulikana kama nyongeza ya mzunguko kwani wagonjwa wanaweza kuchagua kuwa na hii kama utaratibu wa nyongeza kujaribu kuongeza nafasi yao ya kuwa na uja uzito wa ujauzito / kupunguza nafasi zao za kupata ujauzito au kutofaulu
pgd ni pale 'd' inasimama kwa utambuzi na inafanywa ili kudhibiti hali ya maumbile ya kiinitete hii ni sehemu ya zana ya utambuzi kusaidia kuchagua viini bila hatari ya hali ya urithi pgd inatumika wakati mmoja au mmoja wa wazazi wanaoweza kujua kuwa ana hali ya maumbile katika damu yao ya familia ambayo wako katika hatari ya kupitisha kwa watoto wao pgd inahitaji kazi maalum maalum kabla ya uchunguzi wa kiinitete ili kuhakikisha kuwa upimaji umebadilishwa kwa watu binafsi na hali ambayo utambuzi ni uchunguzi
je unajuaje ikiwa kuumbwa kwa kiinitete kisichojulikana ilikuwa kosa la kutaka neno bora la mwanaume au la mwanamke
kwa njia ile ile ambayo hatuwezi daima kuunganisha ubora wa kiinitete kurudi kwa asili ya kiume au ya kike haijulikani kila wakati ikiwa chanzo cha kosa la maumbile ilikuwa manii au yai
walakini tunajua kuwa makosa na chromosomes ya mayai inahusishwa sana na umri wa kike kitu ambacho sio kila mtu anafahamu ni kuwa mwanamke huzaliwa na kila yai atakalokuwa nalo maana yake kuwa kila mwaka mwanamke ana umri mayai yake pia ni kuzeeka kwa bahati mbaya hii inamaanisha kuwa wakati mwanamke atakuwa na umri wa miaka 30 kwa wastani theluthi ya viini vilivyoundwa kutoka kwa mayai yake yatakuwa na ukiukwaji wa ugonjwa wa chromosomal hili ni kitu kilichoimarishwa na ushahidi kwamba hatari ya kutopona na dalili za downs huongezeka sana na uzee wa kike
kwa hivyo kwa wanawake wenye umri wa miaka 40 au zaidi kwa bahati mbaya chanzo kinachowezekana cha kosa la maumbile ni mayai ya mwanamke
ikiwa unaweza kujua ikiwa ni chini ya mwanaume au mwanamke je
ikiwa mzunguko na historia ya matibabu imeonyesha dalili kamili ya suala na manii au mayai na kusababisha ugonjwa wa kutokuwa na uke kuna chaguzi mbili
batching mzunguko wa pgs kwa biopsy embryos wengi iwezekanavyo kujaribu na kuboresha nafasi ya kupata kawaida embryos kwa kuhamishwa
chaguzi za uchangiaji wa gamete kama vile matumizi ya mayai ya wafadhili wape wafadhili wai wote nchini uingereza lazima wawe chini ya umri wa miaka 36 na kwa hivyo wana nafasi za chini za ukiukwaji wa kazi ya chromosomal
je ni nini kinachotokea ikiwa manii yote isiyo ya kawaida
kwa kusikitisha hii ni moja wapo ya hatari kubwa na pgs kwamba wewe hushindwa kutengeneza misokosuko na hakuna kinachofaa kupuuza au kwamba embusi zote zilizopitishwa zimethibitishwa kuwa sio kawaida
kliniki halali haziwezi kuhamisha kiinitete kisicho kawaida kwa sababu kiinitete cha kawaida kinapatikana kwa kukosekana kwa embusi yoyote ya kawaida kliniki nyingi bado zinaweza kushauri dhidi ya uhamishaji wa viini visivyo vya kawaida kwa sababu ya unganisho na upungufu wa damu na hatari ya kuharibika kwa uke
ushauri wote wa maumbile na ushauri / ushauri nasaha wa kliniki unapatikana kwa wagonjwa wote wanaopata pgs
je kuna njia ya kutengeneza maumbo mazuri wakati ujao kwenye raundi nyingine
athari muhimu zaidi kwa aneuploidy ya kiinitete (idadi isiyo sahihi ya chromosome) ni umri wa yai kwa hivyo nafasi nzuri ya kuongeza afya ya kiinitete ni kuzuia kuchelewesha kuanza familia kidogo sana kingine kinaweza kufanywa ili kuathiri afya ya yai kwani hufanywa kabla ya mwanamke hata kuzaliwa
uadilifu wa dna ya manii hufikiriwa kuathiriwa na sababu za kijamii na kimazingira mfano uvutaji sigara lishe joto la testicular nk na kwa hivyo kupunguza hizi ili kuboresha mgawanyiko wa dna ya manii inaweza kusaidia
je kuna hatari yoyote kwa kiinitete wakati mtihani unafanywa
utaratibu wa biopsy ya kiinitete umebadilishwa kwa kiinitete cha hatua ya unyofu ili kuhakikisha hatari ndogo na uharibifu wa kiinitete kwa wastani <5 ya watoto wachanga huharibiwa na utaratibu hizi kawaida hupunguzwa viini vya ubora ambavyo vilikuwa vigezo vya mpaka kwa utaftaji wa biopsy
je ni vipimo vingine mbadala ambavyo vinaweza kutathmini kiinitete kwa njia isiyoshangaza
hakuna embopyo biopsy ndiyo njia pekee sahihi ya kutathmini hali ya maumbile na uwezekano wa ujauzito
uporaji wa kiinitete umethibitishwa kuwa hauhusiani na matokeo ya maumbile na kwa hivyo hauwezi kubadilisha upimaji wa preimplantation
kuna utafiti unaoendelea juu ya utumiaji wa ufuatiliaji wa muda unaowezekana kujaribu kutambua alama za kiinitete ambazo zinaweza kuonyesha hali ya maumbile lakini hakuna hata moja kati ya hii ambayo haijakamilika tangu sasa
je huu ni mtihani ambao unaweza kuomba
pgs ni utaratibu muhimu wa nyongeza ambao unahitaji majadiliano ya kutosha na uelewa kabla ya kuanza wagonjwa wanaweza kuomba pgs lakini hii inapaswa kufanywa na mjumbe wa timu ya matibabu kuwa na uwezo wa kujadili kikamilifu faida na mapungufu ya mtihani katika uhusiano na kila mtu
vikundi vya wagonjwa ambavyo vina uwezekano mkubwa wa kufaidika na pgs
wanawake wenye umri wa zaidi ya miaka 40 kwa kutumia mayai yao
wanawake walio na historia ya upotovu wa 2 au zaidi
wanawake walio na historia ya ujauzito usio wa kawaida / kuzaliwa mara kwa mara
wanawake walio na historia ya majaribio mengi ya ivf yaliyoshindwa
ndio kwa sababu ya utaratibu maalum na usindikaji wa maumbile inaweza kuwa ada ya ziada juu ya gharama ya matibabu ya ivf / icsi kliniki zinaweza kusambaza bei kulingana na idadi kamili ya viini vilivyopigwa
ikiwa kijusi kinarudi kama kawaida lakini unayo historia ya kupotea kwa malezi ya kushindwa unapaswa kufanya nini baadaye
mara tu ukithibitisha viinilishi vya 'kawaida' na pgs kwenye uhifadhi basi kila juhudi lazima ifanywe ili kuhakikisha kwamba mzunguko wa uingizwaji waliohifadhiwa unaboresha ili kila kiwape nafasi nzuri ya kufanya kazi
maumbile yatakuwa tayari yamehifadhiwa kama paturu ya utaratibu wa biopsy hakuna haraka ya kuhamishwa katika kipindi cha muda uliowekwa hii inaruhusu kwa alama zozote za ziada au vipimo ambavyo vinaweza kupendekezwa kwanza kuhakikisha kuwa endometriamu inakubalika na iko tayari kujaribu na kuanzisha ujauzito
inashauriwa sana kuwa na uhamishaji wa kiinitete (set) kwa kutumia pgs iliyothibitishwa viinitete vya kawaida kwani hakuna faida ya kutumia kiinitete cha pili ambacho kitakuweka tu katika hatari ya mapacha
hatuwezi kushukuru bora danielle breen wa mto wa thames valley (sehemu ya ushirikiano wa uzazi) ya kutosha kwa maelezo yake ya ajabu na ushauri
je umetumia pgs je imekusaidia je unazingatia uchunguzi wa maumbile tungependa kusikia kutoka kwako kwa fumbo@ivfbabblecom au kwenye kijamii @ivfbabble
tags pgd pgs upimaji wa maumbile | 2020-07-05T23:07:05 | https://sw.ivfbabble.com/2020/02/pgs-testing-explained/ |
vituko vya zenj wachina wajitetea juu ya ujenzi wa chini ya viwango wa zanzibar airport(t2)
posted by che guevara mwakanjuki at 0954 | 2017-10-20T04:53:22 | http://kibunango.blogspot.com/2013/04/wachina-wajitetea-juu-ya-ujenzi-wa.html |
mtoto wa kitaa ngumi za nelson mandela open championship zafunguliwa kawe mtoto wa kitaa
ngumi za nelson mandela open championship zafunguliwa kawe bondia rashidi samvu kutoka kigoma kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na hafidhi kassimu wa ngome wakati wa mashindani ya wazi ya nelson mandela yaofanyika katika viwanja vya tanganyika packers kawe jijini dar es salaam
bondia part kimweri kutoka tanga kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na saidi jabir wa ngome dar wakati wa mashindani ya wazi ya nelson mandela yaofanyika katika viwanja vya tanganyika packers kawe jijini dar es salaam kimweri alishinda mpambano huo kwa pointi
fabian gaudence kushoto akipambana na hussein mnimbo wakati wa mashindani ya wazi ya nelson mandela yabayofanyika katika viwanja vya tanganyika packers kawe jijini dar es salaam gaudence alishinda mpambano huo kwa pointi
wa heshima katikati diwani wa kata ya kawe othumani kipete akiwa na viongozi wa shilikisho la mchezo wa ngumi za ridhaa nchini kulia ni rais
wa shilikisho hilo mutta rwakatare makamu wa rais lukelo willilo na mjumbe wa maendereo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini aisha vonialis
picha zote na wwwsuperdboxingcoachblogspotcom na mwandishi wetu mashindano ya mchezo wa ngumi yanayokwenda kwa jina la nelsoni mandela open championship yameanza kutimua vumbi katika viwanja vya tanganyika packers kawe jijini dar es salaam
akizungumzia mashindano hayo yalivyo na ubora wa ali ya juu makamu wa rais wa shilikisho la ngumi za ridhaa nchini 'bft' lukelo willilo 'amesema mashindano hayo kwa sasa yameboleshwa kwa kufuata taratibu za chama cha ngumi za ridhaa dunia
kwa sasa mabondia awavai kofia ngumu wanakuwa vichwa wazi hivyo wapenzi
wa ngumi weje waone mabadiliko makubwa katika ngumi za ridhaa ndio ambazo ni msingi wa maendeleo ya mchezo wa masumbwi nchini'
mabondia walikuwa wanavaa kofia lakini kutokana na mabadiliko sasa awavai kofia wanapigana vichwa wazi ambapo kwa kuanzia tumeamua kuweka mashindano haya kwenye viwanja vya wazi na ni bule tu akuna kingilio ili
kila mtu ajionee mabadiliko ya ngumi mashindano hayo yanayo husisha mikoa mbalimbali nchini
haya yatakuwa ya siku tano kuanzia jumatano mpaka jumapili na ngumi zinanza kupigwa saa kumi na moja mpaka saa mbili usiku ngumi ndio zitakuwa zikisha
ufunguzi huo bondia patrck kimweri wa tanga alishindwa kufurukuta mbele
ya said jabir wa ngome na rashidi samvu wa kigoma alipigwa kwa pointi na hafidhi kassimu wakati fabian gaudence akimsambalatisha hussein mnimbo posted by | 2017-06-25T13:53:05 | http://mtotowakitaa.blogspot.com/2014/02/ngumi-za-nelson-mandela-open.html |
sofapaka yaifanyia unyama sportive mwanaspoti
tue jul 17 223000 eat 2018
sofapaka yaifanyia unyama sportive
by john kimwere nairobi
sofapaka yailima sportive mabao 31 bila huruma
sofapaka youth fc imeinyuka salem sportive fc mabao 31 nayo mbotela youth iliidunga black mamba fc 21 kwenye mechi za ligi ya kaunti ya fkf tawi la nairobi east msimu huu sofapaka youth inayoendelea kutikisa mahasimu wao ikiwamo uprising fc ilizoa ufanisi huo baada ya kuchoma kiambiu warriors mabao 31 wiki iliyopita
mbotela youth fc chini ya kocha dennis arori ilitia kapuni alama tatu kutokana juhudi zake kelvin wambua na caleb ondimu ''sina budi kuwapongeza wachezaji wangu kwa kutwaa pointi tatu muhimu wiki moja baada ya kudondosha alama sita'' arori alisema na kuongeza kuwa wamo mbioni kupigana kwa udi na uvumba kuhakikisha wameibuka miongoni mwa nafasi bora mwaka huu
naye lucas maina aliifungia kiambiu warriors bao moja na kuibeba kuchuna ushindi wa bao 10 dhidi ya madiwa city fc kabla ya kukung'utwa mabao 80 na kariobangi south united kwenye patashika nyingine kipute hicho umoja rhinos fc ilipiga hatua ilipovuna ushindi wa mabao 31 dhidi ya country bus fc | 2018-12-13T21:23:23 | https://mobile.mwanaspoti.co.tz/spotikenya/Sofapaka-yaifanyia-unyama--Sportive/1764964-4667262-format-xhtml-vehvsx/index.html |
drian amuomba rais sassounguesso kuchukua hatua kwa kiongozi wa upinzani mokoko afrika rfi
congo brazzaville ufaransa denis sassou nguesso emmanuel macron jean yves ledrian
na rfi imechapishwa 04092019 imehaririwa 04092019 saa 0708
emmanuel macron akimpokea denis sassounguesso élysée septemba 3 2019 © ludovic marin / afp
rais wa congo denis sassounguesso amepokelewa jumanne septemba 3 katika ikulu ya elysee kwa chakula cha mchana na rais macron mazungumzo yao yaligubikwa na suala la mazingira na uchumi
kabla ya mkutano huo rais wa congo alikutana na waziri wa mambo ya nje wa ufaransa jeanyves le drian na walizungumzia masuala nyeti hususan hali ya kisiasa nchini congo
waziri jeanyves le drian amebaini kwamba amemuomba rais wa congo kuchukuwa hatua kwa mwanasiasa wa upinzani jeanmarie michel mokoko na watu wengine wanaofungwa
bw drian amesema nilimwambia nikisisitiza kuhusu suala hilo
maneno haya ya jeanyves le drian yamepokelewa shingo upande na ujumbe wa congo
jeanclaude gakosso waziri wa mambo ya nje wa congo amesema maneno haya nimeyapokea jinsi yalivyo lakini namfahamu vizuri jeanyves le drian na ninaweza kuthibitisha urafiki alio nao kwa rais sassou ni marafiki kwa hiyo wanaweza kuongea mambo mengi
akiulizwa iwapo kuachiliwa kwa haraka kwa mpinzani jeanmarie michel mokoko anayezuiliwa kwa miaka mitatu sasa inawezekana kwa upande wa rais sassou waziri wa mambo ya nje aw congo amejibu akisema sijui ni swali ngumu nisingependa kutoa maoni yoyote kwani suala hili liko mikononi mwa vyombo vya sheria ambavyo ninaheshimu | 2019-09-16T08:07:11 | http://sw.rfi.fr/afrika/20190904-drian-amuomba-rais-sassou-nguesso-kuchukua-hatua-kwa-kiongozi-wa-upinzani-mokoko |
1 exchange inukuu 18vf online
2 exchange inukuu 2rrf online
3 exchange inukuu 600519ss online
4 exchange inukuu aagiy online
5 exchange inukuu aapl online
apple inc 33636 $ 33359 $ 32995 $ 34612 $ +2591 ↑
6 exchange inukuu abbv online
abbvie inc 9552 $ 10012 $ 9910 $ 9661 $ 0704 ↓
7 exchange inukuu abt online
abbott laboratories 9014 $ 9022 $ 9175 $ 9275 $ +3747 ↑
8 exchange inukuu acgbf online
9 exchange inukuu acn online
accenture plc 21266 $ 21512 $ 21040 $ 21225 $ 058 ↓
10 exchange inukuu adbe online
adobe systems incorporated 40464 $ 40353 $ 41221 $ 41150 $ +5502 ↑
11 exchange inukuu agg online
12 exchange inukuu alizf online
13 exchange inukuu amgn online
amgen inc 229 $ 23368 $ 22640 $ 23260 $ +6016 ↑
14 exchange inukuu amt online
american tower corporation (reit) 26792 $ 26937 $ 27223 $ 26560 $ +0748 ↑
15 exchange inukuu amzn online
amazoncom inc 2 51426 $ 2 56839 $ 2 49527 $ 2 53302 $ +3287 ↑
16 exchange inukuu antm online
anthem inc 29747 $ 29106 $ 28855 $ 29101 $ 0598 ↓
17 exchange inukuu asmlf online
18 exchange inukuu avgo online
broadcom inc 33085 $ 33901 $ 33683 $ 32680 $ +144 ↑
19 exchange inukuu axp online
american express company 11116 $ 11277 $ 11250 $ 11340 $ 1294 ↓
20 exchange inukuu azn online
astrazeneca plc 5469 $ 5481 $ 5491 $ 5442 $ 3133 ↓
21 exchange inukuu ba online
the boeing company 21423 $ 21515 $ 22138 $ 22186 $ +9832 ↑
22 exchange inukuu baba online
alibaba group holding limited 22408 $ 22789 $ 22553 $ 22815 $ 1167 ↓
23 exchange inukuu bac online
24 exchange inukuu bachf online
25 exchange inukuu bayzf online
26 exchange inukuu bbl online
27 exchange inukuu bdx online
28 exchange inukuu bemrbk online
29 exchange inukuu bhplf online
30 exchange inukuu bkng online
31 exchange inukuu blk online
32 exchange inukuu bmlpj online
33 exchange inukuu bmy online
34 exchange inukuu bmymp online
35 exchange inukuu bpaqf online
36 exchange inukuu brhde online
37 exchange inukuu brka online
38 exchange inukuu btaff online
39 exchange inukuu btlsg online
40 exchange inukuu bud online
41 exchange inukuu bx online
42 exchange inukuu c online
43 exchange inukuu cat online
44 exchange inukuu cbauf online
45 exchange inukuu cci online
46 exchange inukuu chdrf online
47 exchange inukuu chgcy online
48 exchange inukuu chl online
49 exchange inukuu chtr online
50 exchange inukuu ci online
51 exchange inukuu cichy online
52 exchange inukuu cihky online
53 exchange inukuu cmcsa online
54 exchange inukuu cost online
55 exchange inukuu cpallrbk online
56 exchange inukuu crm online
57 exchange inukuu csco online
58 exchange inukuu cslly online
59 exchange inukuu csuay online
60 exchange inukuu cvs online
61 exchange inukuu cvx online
62 exchange inukuu deo online
63 exchange inukuu dhr online
64 exchange inukuu dis online
the walt disney company 13032 $ 12973 $ 13155 $ 12680 $ 2123 ↓
65 exchange inukuu dtegf online
66 exchange inukuu el online
67 exchange inukuu enb online
68 exchange inukuu esalf online
69 exchange inukuu esocf online
70 exchange inukuu fb online
facebook inc 24070 $ 23692 $ 23811 $ 24082 $ +1726 ↑
71 exchange inukuu ffeu online
72 exchange inukuu fis online
73 exchange inukuu fisv online
74 exchange inukuu fiyy online
75 exchange inukuu fmx online
76 exchange inukuu gild online
77 exchange inukuu glaxf online
78 exchange inukuu googl online
alphabet inc 1 45394 $ 1 48719 $ 1 48681 $ 1 44712 $ 0664 ↓
79 exchange inukuu gpovf online
80 exchange inukuu gspa online
81 exchange inukuu gspd online
82 exchange inukuu gspk online
83 exchange inukuu hbcyf online
84 exchange inukuu hd online
85 exchange inukuu hdb online
86 exchange inukuu hesaf online
87 exchange inukuu hon online
88 exchange inukuu hsbcpa online
89 exchange inukuu ibdry online
90 exchange inukuu ibm online
91 exchange inukuu idcby online
92 exchange inukuu idexf online
93 exchange inukuu intc online
94 exchange inukuu intu online
95 exchange inukuu isrg online
96 exchange inukuu ivv online
97 exchange inukuu jd online
98 exchange inukuu jnj online
99 exchange inukuu jpm online
jpmorgan chase & co 11177 $ 11604 $ 11390 $ 11237 $ 5917 ↓
100 exchange inukuu kddiy online
101 exchange inukuu ko online
the cocacola company 5016 $ 5063 $ 5163 $ 4995 $ 1866 ↓
102 exchange inukuu kof online
103 exchange inukuu kyccf online
104 exchange inukuu lfc online
105 exchange inukuu lin online
106 exchange inukuu linf online
107 exchange inukuu lly online
108 exchange inukuu lmt online
109 exchange inukuu low online
110 exchange inukuu lrlcy online
111 exchange inukuu lvmhf online
112 exchange inukuu ma online
113 exchange inukuu mcd online
114 exchange inukuu mcnaf online
115 exchange inukuu mdlz online
116 exchange inukuu mdt online
117 exchange inukuu mmm online
118 exchange inukuu mo online
119 exchange inukuu mrk online
120 exchange inukuu mspa online
121 exchange inukuu mspe online
122 exchange inukuu msft online
microsoft corporation 18772 $ 18856 $ 18628 $ 19486 $ +2617 ↑
123 exchange inukuu mu7si online
124 exchange inukuu nee online
125 exchange inukuu nflx online
126 exchange inukuu nke online
127 exchange inukuu now online
128 exchange inukuu nppxf online
129 exchange inukuu npsny online
130 exchange inukuu nsrgy online
131 exchange inukuu nvda online
132 exchange inukuu nvo online
133 exchange inukuu nvs online
134 exchange inukuu ogzpy online
135 exchange inukuu orcl online
136 exchange inukuu pdd online
137 exchange inukuu pep online
pepsico inc 13846 $ 13405 $ 13824 $ 13827 $ +1239 ↑
138 exchange inukuu pfe online
139 exchange inukuu pg online
140 exchange inukuu pld online
141 exchange inukuu pm online
142 exchange inukuu pngay online
143 exchange inukuu ppruy online
144 exchange inukuu ptr online
145 exchange inukuu pukpa online
146 exchange inukuu pypl online
147 exchange inukuu qcom online
148 exchange inukuu qqq online
149 exchange inukuu rdsa online
150 exchange inukuu rhhby online
151 exchange inukuu rio online
152 exchange inukuu rlif online
153 exchange inukuu rtntf online
154 exchange inukuu rypjto online
155 exchange inukuu rypmto online
156 exchange inukuu rypqto online
157 exchange inukuu rypt online
158 exchange inukuu rypzto online
159 exchange inukuu sanpb online
160 exchange inukuu sapgf online
161 exchange inukuu sbux online
162 exchange inukuu sftbf online
163 exchange inukuu shop online
164 exchange inukuu siegy online
165 exchange inukuu snejf online
166 exchange inukuu snp online
167 exchange inukuu sny online
168 exchange inukuu spgi online
169 exchange inukuu spy online
170 exchange inukuu ssusg online
171 exchange inukuu syk online
172 exchange inukuu t online
173 exchange inukuu tbb online
174 exchange inukuu tcsbo online
175 exchange inukuu tctzf online
176 exchange inukuu td online
177 exchange inukuu tl0de online
178 exchange inukuu tmba online
179 exchange inukuu tmo online
180 exchange inukuu tmus online
181 exchange inukuu tot online
182 exchange inukuu toyof online
183 exchange inukuu tsla online
tesla inc 87762 $ 90546 $ 91715 $ 89081 $ 3106 ↓
184 exchange inukuu tsm online
185 exchange inukuu txn online
186 exchange inukuu un online
187 exchange inukuu unh online
188 exchange inukuu unlyf online
189 exchange inukuu unp online
190 exchange inukuu ups online
191 exchange inukuu v online
192 exchange inukuu valeba online
193 exchange inukuu vb online
194 exchange inukuu vlkpf online
195 exchange inukuu vrtx online
196 exchange inukuu vti online
197 exchange inukuu vz online
198 exchange inukuu wfc online
wells fargo & company 3319 $ 3275 $ 3290 $ 3303 $ 5661 ↓
199 exchange inukuu wmt online
200 exchange inukuu xom online
nukuu za hisa mkondoni sehemu ya tovuti allstockstodaycom ambayo tunaonyesha biashara halisi wakati wa hisa za kampuni kwenye kubadilishana kwa ulimwengu
tunatoa mtandaoni sifa muhimu zaidi za nukuu za hisa kama vile
bei ya hisa mkondoni kwenye kubadilishana duniani
mienendo ya nukuu ya hisa ya kampuni mkondoni
bei ya hisa wakati wa ufunguzi wa biashara kwenye kubadilishana kwa hisa leo
bei ya kufunga soko la hisa leo
bei ya chini ya hisa ya kampuni wakati wa siku ya biashara ya leo
bei ya juu zaidi ya kampuni wakati wa siku ya biashara ya leo
kwa kuongezea kushuka kwa kiwango cha juu katika kiwango cha ubadilishaji wakati wa biashara tunahesabu mabadiliko jumla ya bei ya hisa kama asilimia kwa siku moja ya ubadilishaji kwa leo
bei ya hisa mkondoni kwenye kubadilishana kwa ulimwengu
bei ya hisa mkondoni kwenye kubadilishana kwa ulimwengu kwa hisa zote za kampuni zilizouzwa leo angalau kwenye moja ya kubadilishana kwa ulimwengu
tunapata bei ya hisa mkondoni kutoka kubadilishana kwa ulimwengu na kuonyesha viashiria vyote kuu vya biashara katika jedwali la muhtasari wa bei ya hisa mkondoni
bei ya hisa ya kila kampuni ina sifa ya viashiria kuu tano kiwango cha mwanzo wa biashara bei ya hisa mwishoni mwa biashara kiwango cha juu na cha chini cha bei ya hisa ya kampuni wakati wa biashara leo na tabia ya mwisho mienendo mabadiliko katika bei ya hisa ya kampuni wakati wa siku ya biashara ya leo
kila safu kwenye meza ya pivot inalingana na kampuni moja nguzo za jedwali la bei ya hisa hutoa sifa zilizo hapo juu za nguvu za kiwango cha ubadilishaji kwa leo
nguvu za nukuu za hisa za kampuni mkondoni zinaonyeshwa kama asilimia na inamaanisha mabadiliko katika nukuu ya mwisho ya hisa ya kampuni kwa bei ya hisa ya hisa ya kampuni
ukuaji wa nukuu ya hisa unaonyeshwa kwa kijani na inaonyesha kuwa dhamana ya hisa ya kampuni imeongezeka wakati wa siku ya biashara ya kubadilishana
kushuka kwa nukuu kunaonyeshwa kwa riba nyekundu na inaonyesha kuwa thamani ya hisa wakati wa siku ya biashara kwa kubadilishana imepungua
bei ya hisa wakati wa ufunguzi wa biashara ya hisa leo
bei ya hisa wakati wa ufunguzi wa biashara kwenye soko la hisa ni bei ya kwanza ambayo biashara huanza thamani ya nukuu hii imedhamiriwa na mnada wa mwisho kwa kampuni hii na ni minada hii ya kubadilishana ambayo inatoa dhamana ya hisa za kampuni kwa kuanza kwa mnada unaofuata
bei ya hisa ya kampuni ya zabuni ya ufunguzi inachukuliwa kama msingi wa kuhesabu mienendo ya biashara ya leo
bei ya hisa ya kufunga soko la hisa leo
bei ya hisa mwishoni mwa biashara kwenye hisa ya leo ni bei ya manunuzi ya mwisho ya biashara kwa hisa ya hisa siku ya biashara ya leo bei hii inifunga biashara kwa bei ya hisa ya kampuni na ndio bei ya kuanzia ya hisa kwa kesho
bei ya chini kabisa ya hisa leo
bei ya chini ya hisa ya kampuni wakati wa siku ya biashara ya leo ni hiyo tabia ya biashara ya chini kabisa ambayo ilikuwa inauzwa kwa hisa ya hisa ya kampuni hiyo
bei ya chini kabisa ya biashara ya kubadilishana inachukuliwa kama msingi wa kuhesabu kuenea kwa bei ya hisa ya kampuni wakati wa biashara ya leo kwenye soko
bei kubwa zaidi ya kampuni wakati wa siku ya biashara ya leo ni dhamana kubwa ya sehemu ya kampuni ambayo ilikuwa kwenye kikao cha biashara ya kubadilishana leo
uwiano wa bei ya juu ya nukuu ya hisa kwa bei ya chini katika kikao cha leo cha biashara inatoa uelewa wa kuenea kwa thamani ya hisa za kampuni ya leo
nukuu za hisa ambazo zina utofauti mdogo katika bei ya hisa kwa siku ya biashara huchukuliwa kuwa hisa salama | 2020-06-05T17:18:05 | https://sw.allstockstoday.com/nukuu-za-hisa-mtandaoni.html |
#ehfg2016 forum ya afya ya ulaya gastein inazungumzia mahitaji mapya ya afya na kijamii katika kubadilisha jamii za ulaya eu reporter eu reporter
#ehfg2016 ulaya health forum gastein kujadili afya mpya na mahitaji ya kijamii katika kubadilisha jamii za ulaya
leo (30 septemba) wraps juu ulaya health forum gastein (ehfg) ambayo kukaribishwa mawaziri ngos wagonjwa maprofesa na wataalamu wa afya kuchunguza ufumbuzi wa kubadilisha mazingira ya ulaya idadi ya watu takwimu za watu na diversity katika ulaya new solutions for health ilikuwa mada ya 19th toleo la ehfg na mpango umba fursa ya kipekee kwa watu kutoka katika bara na zaidi ya kujadili matukio ulaya nzima ya wakazi kuzeeka na kuongezeka kwa uhamiaji katika zaidi ya vikao 15 na warsha shirikishi kufunika masaa 35 ya mjadala kwa zaidi ya 500 washiriki mandhari zifuatazo alichukua kituo chahatua
kutokuwa msingi ilifikia katika plenum ni kwamba ulaya ni wakati wa mabadiliko na cha uhakika njia mbele mahitaji ya kuwa kupatikana katika ufumbuzi kwamba kikamilifu kuunganisha masuala ya afya katika maeneo yote ya kutunga sera kutoka ajira na huduma za jamii katika miji na makambi ya wakimbizi
mbalimbali ulaya
leo mmoja katika watu saba ni wahamiaji badala ya mzigo juu ya mifumo ya afya washiriki walisisitiza fursa ambazo hutokana na kuongezeka kwa utofauti na uwezo wa kukabiliana na mengi ya hofu ya kuhusishwa na kuzeeka wakazi katika ulaya kama wahamiaji huwa na kuwa vijana afya na akiwa na umri wa kufanya kazi
hata hivyo wasemaji ikiwa ni pamoja na wawakilishi kutoka shirika la afya duniani ofisi za mikoa katika ulaya alisisitiza kuwa kujenga upya imani katika ulaya na mifumo yake ya kisiasa ni ya umuhimu muhimu utandawazi na kuongezeka kwa utofauti na utajiri ulaya lakini watu wameachwa nyuma katika uso wa kupanda harakati anayependwa na kuangukanje kutoka brexit huduma za kuboresha kijamii na zaidi ya jamii usawa ni muhimu
ulaya afya
watu wanaweza kuwa hai tena lakini hii siku zote haina maana wao ni afya ili kukabiliana na ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari kansa na maradhi ya moyo na mishipa katika watu wakubwa kama vile hali ya akili wengi ehfg washiriki walikubaliana juu ya haja ya mbinu zaidi ya jumla na mahesabu ya huduma za afya bora wanaohusishwa na jamii na ustawi mahitaji akionyesha kuleta wadau mbalimbali (kutoka kwa wanasiasa kwa wagonjwa kama vile madiwani na hata wanahistoria) kwa meza kuweka sera na mipango unaendelea nje
wengi ehfg washiriki kukataliwa adhabunaviza maono ya wakazi wa kuzeeka katika ulaya badala yake wasemaji kutoka tume ya ulaya na mgeni maalum paul krugman tuzo ya nobel katika uchumi yalionyesha fursa zinazotokana na anapozungumzia mtotoboomers katika ulaya 'fedha uchumi' ni ya tatu kwa ukubwa uchumi duniani na ina uwezo wa gari ukuaji na ajira katika kanda huduma za afya huduma nyingi hutumiwa na wazee tayari akaunti kwa karibu 10 ya wafanyakazi wa ulaya kutokana na wafanyakazi wenye ujuzi kwa kazi za mikono
ulaya smart
wazee ina maana mahitaji ya kijamii hautakuwa kupata ndogo lakini wanaweza kupata nadhifu warsha na majadiliano ya jopo kujadiliwa njia bora ya kutoa huduma ya afya kwa njia endelevu na nafuu wengi yalionyesha umuhimu wa ushirikiano wa umma na binafsi teknolojia mpya na sera zaidi ubunifu na ufanisi bora kukidhi mahitaji ya kijamii
2017 toleo la ehfg (46 oktoba) utakuwa jukwaa la 20th maadhimisho ya miaka ambayo kuendelea kujenga jukwaa kwa ajili ya majadiliano na kutoa msukumo kwa fikra mpya kuhusu kujenga maisha bora ya baadaye kwa afya ulaya
tags ehfg ulaya health forum gastein featured fullpicha gastein germany krugman paulo paul krugman fedha uchumi fedha mahitaji ya kijamii katika kubadilisha jamii za ulaya
jamii frontpage eu afya
« mawaziri kupitisha eu kuridhiwa kwa #parisagreement
#kazakhstan safu 52nd katika uhuru wa kiuchumi wa world index » | 2019-09-21T02:42:13 | https://sw.eureporter.co/health/2016/09/30/ehfg2016-european-health-forum-gastein-discusses-new-health-and-social-needs-in-changing-european-societies/ |
barua ya onyo ukikataa kuhesabiwa sensa | jamiiforums | the home of great thinkers
barua ya onyo ukikataa kuhesabiwa sensa
discussion in 'jukwaa la siasa' started by ndukidi aug 28 2012
barua ya msisitizo kwa ki english kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa obay
censerpdf
duh hii lugha ya malikia ni kiboko
duh hii lugha ya malikia ni kibokoclick to expand
acha tu wikolo mushi kajitahidi lakini kuonyesha msisitizo halafu sensa ikibuma tunalaumiana kumbe hatukueleweka
barua ya msisitizo kwa ki english kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa obayclick to expand
kidumu chama cha mapindizi
hiyo ndiyo lugha ya kisheriachezeya mwanasheria weye
kazi kweli kweli maana wanajaribu ku act kama wanafahamu sheria kumbe ndio patupu kabisa
pdf sijapata kibali cha kuisoma kupitia simu
hii ndiyo kazi ya elimu itolewayo na ccm kwenye shule zake za kata
kiingereza bandubandu lakini kaeleweka
tatizo ni hilo hilo la kulazimisha kuvaa suti ya malikia katika joto la dar es salaam je angetumia kiswahili asingeeleweka
tatizo ni hilo hilo la kulazimisha kuvaa suti ya malikia katika joto la dar es salaam je angetumia kiswahili asingeelewekaclick to expand
atatumiaje kiswahili wakati hotel nyingi za maeneo hayo ni za kitalii wataelewaje chezea ung'eng'e hapo mwisho wa yote
ninatamani walimu wote tanzania nzima wakapigwe msasa kwa muda wa miezi 6 hadi 12 kisha lugha ya kufundishia iwe kiingeleza kuanzia primary nina hakika tutapiga lugha gongana kwa muda wa miaka 2 baada ya hapo itakuwa powa kwa watanzania wote
hata hivyo ikumbukwe kuwa kufundishwa kwa lugha unayoijua huongeza uwezo wa kufikiri vizuri zaidi
machizi sikusoma nao tulikutana tu mtaani/ udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani x2/
haijalishi ulikua na wangapi bali wangapi uko naowashkaji ambao kosa lako lao wakati hauna mafao/wanaokufikiria wewe muda ambao/ wenzao walionao wanafikiria wengine ndo wanao/now
kha nimecheka hadi nimeshindwa kula sipati picha bosi wangu anaeishi pale coral village ameelewa nini kumbe ndio maana nilipomuuliza juzi kaishia kucheka tu
wangekuwa watu wengi wanapinga kuhesabiwaserikali ingefanya improvisationna ingetoa amri sensa ya waumini ifanywe lakini kwa vile ni watu kidogo wanabishabasi wanatishwakwa sababu serkali haitishwi nao mimi nilikuwa nalifikiria hili swala la sensakama yatakuwepo matatizo au vipi haikuelekea kama yanegeweza kutokea matatizo yoyote but when i asked myself''je mimi nitakuwa tayari kusebiwa na hawa atheists''i became very agitated in my mind nilikuwa nawaona kama ni maadui wa mwenyezi mungu in the endnilihesabiwa indirectlykwa mtu kutoa data zangukama ilivyokuwa katika sensa iliyopitaambayo pia sikuhesabiwa directly
udini haufaikwa wakristi kuwachukia waislamuau wasunni kuwachukia washia hapo nakubaliana na serikali lakini dini sio usunni au ushiadini ni mtu kuwa na vitendo vya kistaarabuno matter what is his religion na serikali ikisema haina diniwatu watakuwa na shaka kama watatendewa haki katika mahakama kuna matatizo makubwa ya rushwa katika nchi hiiand yet serkali inaweza kuthubutu kusema kwamba haina dini
watanzania wana dini hata kama serikali haina dini and this problem is not over mkuu wa wilaya kigomaalikuwa anasema leo anatoa last warning kwa wale waislamu waliojifungia katika msikitihawataki kuhesabiwa
solution ilikuwa kwa serikali kuwwaaambia hao watu kwambahaikujitayarisha kwa sensa ya dinilakini sensa ijayo watalifikiria hilo jambo
kwa sababu serikali haiwezi kulaumiwa kwa kukitoa kipengele cha dinihicho kipengeleswali la dini halikuwepo katika sensa zote
hii sensa mbona kama dili la ccm | 2016-10-21T00:47:37 | http://www.jamiiforums.com/threads/barua-ya-onyo-ukikataa-kuhesabiwa-sensa.314729/ |
benin rushwa index
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi benin rushwa index
uwezo wa matumizi 7630 6040 7830 4690 asilimia [+]
viwanda uzalishaji 1940 1070 4880 2920 asilimia [+] | 2020-02-21T22:33:47 | https://sw.tradingeconomics.com/benin/corruption-index |
mkopa yaipiga jeki shule ya sekondari sandula mbozi mkoani songwe | mtaa kwa mtaa blog
mkopa yaipiga jeki shule ya sekondari sandula mbozi mkoani songwe
wanafunzi wa shule ya sekondali sandula iliyopo wilayani mbozi imeepukana na changamoto za ukosefu wa umeme pindi wanapojisomea nyakati za usiku kwa kupatiwa msaada wa vifaa vya umeme wa jua 'solar' kutoka kampuni ya mkopa ikiwa ni mara ya pili kutoa msaada huo katika shule ya sekondari hiyo
msaada huo umefanyika katika shule ya sekondari sandula wilayani mbozi kwa mara ya pili na shule zingine zilizonufaika na msaada huo ni shule ya sekondari mwinyi iliyopo mkuranga mkoani pwani ikiwa ni kwa ajili kuongeza ufaulu katika shule hizo kwa kujisomea zaidi katika nyakati za usiku na kuondokana na matumizi ya vibatari vya mafuta ya taa
akizungumza baada ya kukabidhi vifaa vya umeme wa jua meneja mauzo mkopa richard machera amesema kuwa kwa shule ya sandula uligharimu zaidi ya sh milioni 49 kwa kununua taa za led sola 36 chajazasimu betri za kuhifadhi nguvu ya jua tisa (9) paneli tisa (9) tochi tisa (9) na redio za kisasa za sola tisa (9)
vifaa hivyo vimefungwa kwenye madarasa mawili ofisi ya mwalimu mkuu na mwalimu mkuu msaidizi pamoja na mabweni
mwalimu mkuu washule ya sekondari sandula witson mtafya amesema msaada huo utasaidia wanafunzi kupata muda wa ziada wa kujisomea na kufanya mijadala kwenye vikundi kwa fasihi zaidi na hatimaye ufaulu wao utaongezeka
meneja mauzo mkopa richard machera akikabidhi msaada huo vifaa vya umeme wa jua kwa mwalimu mkuu wa shule ya sekondari sandula witson mtafya katika viwanja vya shule ya sekondari sandula iliyopo wilayani mbozi mkoani songwe
wanafunzi wa shule ya sekondari sandula wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika viwanja vya shule ya sekondari sandula iliyopo wilayani mbozi
walimu wa shule wakiwa katika picha ya pamoja na meneja mauzo mkopa richard pamoja na wageni waalikwa wengine katika picha ya pamoja pamoja wakiwa katika viwanja vya shule ya sekondari sandula iliyopo wilayani mbozi
pamoja blog wednesday september 27 2017 | 2017-10-21T04:59:14 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/09/m-kopa-yaipiga-jeki-shule-ya-sekondari.html |
uganda katika mtazamo
idadi ya watu mnamo 2011 (inakadiriwa 000) 34509
eneo 241038 sq km
uwezekano wa uhai wakati wa kuzaliwa (wanawake na wanaume miaka) 554 / 538
jumlaya mapatoya kila mwaka (us$)* 1988 billion
mpangiliowa kiolezo cha maendeleoya binadamu ** 161 (kati ya 186)
chanzo un data *world bank ni **undp
wanachama wa mseto wa peace one day nchini uganda
mseto wa 'kupunguza ukatili nyumbani'
msetowa wanafunzi
african youth peace initiatives (uanzilishi mbali mbali wa amani wa vijana wa kiafrika)
mwanachama wa mseto wa shirika lisilokuwa la kiserikali
uanzilishi wa amani wa vijana wa kiafrika ni shirika lisilokuwa la faida linaloangazia vyanzo asilia vya ukatilina athari zake miongoni mwa jumuia kupitia katika kuimarisha miradi inayotokana na jumuia katika elimu afya mazingira na kilimo hali hii inatekelezwa kupitia katika kufanya uchunguzi kuwawezesha vijana kuwa na mbinu za kazi na kusaidia miradi mbali mbali kwenye jumuia kote nchini uganda na eneo pana zaidi la maziwa makuu
uanzilishi wa amani wa vijana wa kiafrika uliadhimisha siku ya amani 2013 kupitia kwa msururu wa shughuli ikiwemo mechi ya siku moja lengo moja kati ya wajumbe wa serikali ya manispaa na wanachama wa mashirika wa jumuia ya kiraia maombi ya amani kutoka katika mseto wa madhehebu upandaji miti maonyesho ya redio msafara wa amani kupitia kati kati ya jiji na ulikuwa na mziki densi na maonyesho ya kuigiza pamoja na warsha ya kimaeneo ya mazungumzo kuhusu amani mdahalo wazi uliowaleta pamoja washikadau kuweza kuzungumzia maswala makuu yanayozungukia amani | 2018-12-09T21:31:57 | http://www.peaceoneday.org/sw/drc/uganda |
vijimambo jkci yakaribisha wananchi kupima afya bure
jkci yakaribisha wananchi kupima afya bure
mkurugenzi mkuu wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) profesa mohamed janabi akiteta jambo na baadhi ya wafanyakazi wa taasisi yake alipotembelea maonesho ya 41 ya kimataifa ya biashara dar es salaam kushoto ni afisa uhusiano wa taasisi hiyo bi anna nkinda
daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) dkt bashir nyangasa akielezea namna upasuaji wa moyo unavyofanywa kwa mmoja wa mwananchi aliyetembelea banda la taasisi hiyo katika maonesho ya 41 ya kimataifa ya biashara dar es salaam (sabasaba)
wananchi wakipata huduma ya vipimo katika banda la taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) wakati wa maonesho ya 41 ya kimataifa ya biashara dar es salaam (ditf)
taasisi ya moyo ya jakaya kikwete imewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupima afya zao hasa magonjwa ya moyo katika msimu huu wa maonesho ya kimataifa ya 41 ya biashara ya dar es salaam yanayofanyika katika viwanja vya jk nyerere jijini dar es salaam
akizungumza katika viwanja vya maonesho hayo mkurugenzi mkuu wa taasisi hiyo prof mohamed janabi amesema kumekuwa na muitikio mkubwa sana kwa wananchi kutembelea banda lao ambapo amesema kuwa kwa siku takribani watu 700 wanafika katika banda hilo kwa ajili ya kupata huduma na ushauri
ni vizuri watanzania wakatumia fursa hii kufika hapa na watapatiwa baadhi ya vipimo na ushauri bure katika banda letu lililopo ndani ya viwanja vya sabasaba kwa kuwa dhamira ya serikali ya awamu ya tano ni kuwahudumia wananchi wake kwa kuhakikisha kuwa wanapata huduma zote za msingi zenye kiwango na ubora alisisitiza prof janabi
akifafanua prof janabi amesema taasisi hiyo imedhamiria kuwahudumia wananchi wakati wote wa maonesho na hata baada ya hapo wapo tayari kuwahudumia wale wanaohitaji huduma katika taasisi hiyo
taasisi ya moyo ya jakaya kikwete imekuwa ikitoa huduma za upasuaji wa moyo tangu kuanzishwa kwake hali inayosaidia kupunguza gharama zilizokuwa zinatumika kusafirisha wagonjwa kwenda nje ya nchi kwa matibabu kwa kipindi kirefu sasa | 2017-11-23T20:15:30 | http://lukemusicfactory.blogspot.com/2017/07/jkci-yakaribisha-wananchi-kupima-afya.html |
dr slaa ndani ya moshi juni 25 jumamosi na wanafunzi wa vyuo vikuu | jamiiforums | the home of great thinkers
dr slaa ndani ya moshi juni 25 jumamosi na wanafunzi wa vyuo vikuu
discussion in 'jukwaa la siasa' started by ngurati jun 23 2011
jumamosi ya tarehe 25 june 2011 dr slaa (phd) atakuwa moshi kwenye kongamano la chadema kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya moshi ataambatana na makamanda wengine wa chadema tafadhali tuwajulishe wanafunzi na wakazi wa moshi kujitokeza kwa wingi *i cant wait kumsikia tena rais wangu
vyuo vishiriki muccobs kcmc mtakatifu stephano mwika marangu etc*
habari nzuri sana hii
masahihisho ni june 25 2011 siku ya jumamosi
kila la heri vijana na raisi wetu wa moyoni
vp intelligensia imeruhusu
hahahahah inteligensiavyama vya siasa vimeanzishwa kwa sheria
ebwana hiyo marangu ni marangu ttc au marangu chuo kipi
dah nna ham na hyo siku usipime naombeni jameni wenye uwezo wa kuongea na mkubwa wetu phd slaa jamani asiache kuja kutusalimia arusha vyuo vikuu tunamsubiri atufikirie japo yawezekana akawa hajaiweka ratiba hii plz plz plz mwambien we love that tarented person our honorable president
mbona tha same day kua atakua duce unaweza tujuza hilo plz
kwa watakaokuwa tayari kwenda huko kuna watu wanaorganise usafiri utakaoanzia viwanja vya biafra karibu na chuo kikuu huria so ur warmly welcome to join n listen to ur presidaaa
kila jambo la heri huko moshi
naona a loser dk slaa atakuwa uwanja wa nyumbani
safi sanafanya kazi bila kuchoka
masahihisho ni june 25 2011 siku ya jumamosiclick to expand
tunaomba awe na ratiba ya kutembelea mikoa yote kuongea na wanafunzi pale penye vyuo vikuu
naona a loser dk slaa atakuwa uwanja wa nyumbaniclick to expand
nyumbani kwao ni karatumoshi siyo kwao au una maana nyingine mkuu
vyuo vishiriki muccobs kcmc mtakatifu stephano mwika marangu etc*click to expand
tusubiri maandamano kama kawa
jamani kuna thread imeletwa juzi inasema dk slaa atakuwepo ttc chang'ombe akifungua tawi la cdm duce tar 25 june 2011hii ya moshi tena mbona tunachanganyanakipi ni kipi
huyu bwashee naye ivi si awaache hao madogo wapige book mbona anataka kuwa force kuingia ktk siasa kwa hiyo list ya vyo ulivyotaja siwezi kuvishangaa sana kwani ni vya kanisa na slaa amejikita katika kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini ndiyo maana yeye utafutaji kura au support ume base makanisani we are watching all your movement
mllio karibu naye mwambieni akimaliza kuongea na wanafunzi vyuo vikuu vyote tanzania apange ratiba ya kuongea na wafanyakazi wooooote tz
samahanin wakuunaomba kueleweshwamoshi kuna vyuo vikuu au muanzisha thread anazungumzia college za ualimu kama marangu ttc na ile college ya ushirikanaomba kujuzwa hvo vyuo vikuu vilivyopo moshi | 2017-04-30T07:37:51 | https://www.jamiiforums.com/threads/dr-slaa-ndani-ya-moshi-juni-25-jumamosi-na-wanafunzi-wa-vyuo-vikuu.148542/ |
kunadiwa kwa ndumbaro jimbo la songea mjini kwazua gumzo kambi ya upinzani habari na matukio
home siasa kunadiwa kwa ndumbaro jimbo la songea mjini kwazua gumzo kambi ya upinzani
kunadiwa kwa ndumbaro jimbo la songea mjini kwazua gumzo kambi ya upinzani
kajunason at january 08 2018 siasa
na nathan mtega jamvi la habari songea | 2019-06-25T12:28:30 | http://www.kajunason.com/2018/01/kunadiwa-kwa-ndumbaro-jimbo-la-songea.html |
mambo 5 muhimu ya kufanya kabla hujalala leo amka mtanzania
siku ya leo ndio inaelekea kuisha na kwa siku nzima ya leo umepitia mambo mengi sana kuna mengi umefanikiwa kufanya leo na pia kuna ambayo umepata changamoto kubwa
hata kama siku yako ilikuwa mbaya kiasi gani kuna mambo mazuri uliyojifunza kwa siku hii
hapa kuna mambo matano muhimu unayotakiwa kufanya kabla ya kulala
1 fanya tathmini ya leo
fanya tathmini ujue umeitumiaje siku ya leo ni mambo gani umefanikiwa kufanya na ni yapi umeshindwa chukua kalamu na karatasi uandike mambo matatu uliyofanikiwa kufanya leo ambayo yamekusogeza kwenye mafanikio pia andika mambo matatu ambayo inabidi uyarekebishe
2 pangilia kesho yako
kabla ya kulala pangilia siku yako ya kesho andika mambo makubwa matatu unayohitaji kukamilisha kesho na uanze kuyafanyia kazi mapema kesho
3 pata muda wa kujisomea
tenga muda mchache wa kusoma kitabu ndio kusoma kitabu cha kawaida
4 lala mapema
kwa kawaida watu wengi huchelewa kulala kwa sababu ambazo sio za msingi inaweza kuwa kuangalia tv au movie kuperuzi mitandao mbalimbali na kadhalika ukilala mapema unaweza kuamka mapema ukiwa na nguvu
5 kaa mbali na mwanga wa vifaa
sasa hivi tunatumia vifaa vingi vinavyotoa mwanga mkali simu kompyuta tv hivi vinatoa mwanga mkali sana mwanga huu unakufanya uchelewe kupata usingizi hivyo ni vyema usitumie simu au kompyuta kitandani
anza kufanya mambo hayo matano leo na utaona mabadiliko kwenye maisha yako | 2017-10-23T20:35:05 | https://amkamtanzania.com/2014/09/22/mambo-5-muhimu-ya-kufanya-kabla-hujalala-leo/ |
home > matukio >
mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya mtoto nasra rashid (mtoto wa box) akifikishwa mahakamani kwa kusomewa shtaka lake upyaaaa mahakama ikafuta mashtaka ya kwanza yaani kula njama na unyanyasaji mpaka kesi ya mauaji
poli kila mahala wakihakikisha watuhumiwa hawa hawachomoki kamwe
wakazi wa mkoa wa morogoro nao hawakuwa nyuma nia ni kujua hawa mwenzetu wanaishia wapi na kesi yake hiyo iliyo pelekea kuudhalilisha mkoa wa morogoro
jiachie na jezi rasmi za timu zote 32 zinazokwenda brazil
kama upo au unaishi katika miji mikubwa duniani[na pengine hata ile midogo] bila shaka utakuwa umeshaanza kuona watu wakiwa wameninginiza bendera mbalimbali iwe katika nyumba zao au magari wengine wameshaanza kuvalia jezi mbalimbali za mataifa yao au yale wanayoyapigia upatu ni kwamba muda wa mashindano maarufu ya fainali za kombe la dunia 2014[fifa world cup 2014] ndio yapo pua na mdomo
endapo na wewe una mpango wa kuwa mshabiki wa ndani zaidihizi hapa ndizo jezi rasmi za timu zote zinazoteremka dimbani huko brazil kuanzia june 12 mpaka july 13 mimi nimeshachukua brazil kwa upande wa dunia na ghana kwa upande wa afrikawewe je
kama ulikua hujui hivi ndivyo viwanja 12 vitakavyowaka moto nchini brazil kuanzia tarehe 12 june 13 july 2014[photos]
maandalizi ya viwanja ni miongoni mwa mambo muhimu sana wakati wa maandalizi ya mashindano makubwa kama ya kombe la dunia la soka kuna vinavyofanyiwa marekebisho tu [renovation] na kuna vinavyojengwa kuanzia chini kabisa [brand new stadiums] yote ni kuhakikisha usalama wa mashabiki[security] na pia ubora wa mchezo wenyewethe beautiful game of soccer
pamoja na kwamba brazil wamekuwa wakilaumiwa kwa kutokwenda na wakati katika maandalizi hususani ya viwanja[tayari wafanyakazi kadhaa wamepoteza maisha wakati wa ujenzi] viwanja hivi 12 vinatarajiwa kuwa tayari kabisa kunako tarehe 12 june ili kusindikiza mpango mzima wa fifa world cup brazil 2014 jumla ya mechi 64 zinatarajiwa kupigwa mwaka huu
ujenzi au ukarabati wa viwanja hivi umedhaminiwa na brazil development bank mojawapo ya masharti waliyoweka wadhamini hawa ni kuhakikisha kwamba kila kiwanja kinakuwa cha kijani kwa maana ya kuzingatia masuala yote ya utunzaji mazingira kila uwanja lazima upate cheti cha leed [leadership in energy and environmental design] ambacho kinatambulika kimataifa na ambacho hutolewa na shirika lisilo la kiserikali la cbg (green building council) picha hizi hapa
unajulikana kama estádio governador magalhães pinto una uwezo wa kuingiza watu 62500 upo katika jiji/mji wa belo horizonte minas gerais jumla ya mechi 6 zitapigwa katika uwanja huu
jina kamili la uwanja huu ni estádio nacional mané garrincha una uwezo wa kupakia jumla ya watu 71000 upo katika jiji la brasilia df (federal district) ni miongoni mwa viwanja vipya kabisa vilivyojengwa maalumu kwa world cupjumla ya mechi 4 zitapigiwa hapa ikiwemo ya brazil na cameroon tarehe 23/6
huu unaitwa arena multiuso governador josé fragelli upo jijini cuiabá mato grosso unachukua jumla ya watazamaji 42900 jumla ya mechi 4 zitapigiwa hapo ni mpya
jina kamili ni estádio joaquim américo guimarães watu 43000 wanaweza kuingia kwa mkupuo jumla ya mechi 4 zitapigwa hapa upo curitiba paraná
jina kamili la uwanja huu ni estádio governador plácido aderaldo castelo una uwezo wa kuingiza jumla ya mashabiki 64800 upo fortaleza ceará uwanja huu ndio ulikuwa wa kwanza kukamilika katika maandalizi ya fainali za mwaka huu mechi 6 zitapigwa hapa ikiwemo ya wenyeji brazil dhidi ya mexico tarehe 17/6 na germany dhidi ya ghana tarehe 21/6
uwanja huu ambao dizaini yake ni kama kikapu unaitwa arena da amazônia una uwezo wa kubeba mashabiki 42300 upo jijini manaus amazonas ni miongini mwa viwanja vipya maalumu kabisa kwa fainali za mwaka huumechi 4 zitapigwa hapa ikiwemo ya england dhidi ya italy tarehe 14/6 na marekani dhidi ya ureno tarehe 22/6
complexo arena das dunas upo natal rio grande do norte una uwezo wa kuingiza mashabiki 42000mechi 4 zitapigiwa hapa ikiwemo ya ghana vs usa tarehe 16/6
huu unaitwa estádio josé pinheiro borda una uwezo wa kuingiza watu 56000 na upo porto alegre rio grande do sulndio uwanja mkubwa kushinda vingine vyote kusini mwa brazil mechi 5 zitapigwa hapa ikiwemo ya nigeria dhidi ya argentina tarehe 25/6
jina kamili la uwanja huu ni itaipava arena pernambuco una uwezo wa kuchukua jumla ya watu 46000 mechi 5 zitapigiwa hapa upo katika viunga vya recife pernambuco
hii ndio maracana jina lake kamili ni estádio jornalista mário filho ndio uwanja wa nyumbani wa timu za flamengo and fluminense hapa ndipo itakapopigwa fainali ya mwaka huu ikiwa ni mara ya pili kwa uwanja huu kuwa mwenyeji wa fainali ya kombe la dunia una uwezo wa kuingiza watu 78000 na jumla ya mechi 7 zitapigwa hapa upo katika jiji maarufu la rio de janeiro
jina la huu uwanja ni refu kidogounaitwa complexo esportivo cultural professor octávio mangabeira / itaipava arena fonte nova jumla ya mashabiki 55000 wanaweza kuingia uwanjani hapa kwa raha mustareheupo katika jiji la salvador bahia mechi 6 zitapigwa hapa ikiwemo ile ya spain dhidi ya netherlands tarehe 13/6 kama utakumbuka spain na netherlands ndio waliingia fainali mwaka 2010 kule afrika kusini na spain kuibuka bingwa wa dunia kwa ushindi wa goli 10
arena de são paulo / arena corinthians upo jijini sao paolo una uwezo wa kuchukua mashabiki 65800 hapa ndipo mechi ya ufunguzi itakapofanyikia ni kati ya wenyeji brazil dhidi ya croatia tarehe 12/6
waziri chikawe aungana na maafisawake kushangilia kupitishwa bajeti ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi bungeni dodoma
waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kulia) akipokea pongezi kutoka kwa katibu mkuu wa wizara hiyo mbarak abdulwakil (kushoto) na naibu katibu mkuu mwamini malemi (katikati) mara baada ya bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kuipitisha bajeti ya wizara hiyo katika bunge la bajeti linaloendelea mjini dodoma picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
mkurugenzi wa idara ya sera na mipango wizara ya mambo ya ndani ya nchi haji janabi (kushoto) akimpongeza naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi pereira ame silima (kulia) kwa kuyajibu kwa ufasaha baadhi ya maswali ya waheshimiwa wabunge na hatimaye bajeti ya wizara hiyo ya mwaka wa fedha 2014/15 kupita kulia kwa naibu waziri silima ni katibu mkuu wa wizara hiyo mbarak abdulwakil na naibu katibu mkuu mwamini malemi picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (wapili kulia) akimfafanulia mkuu wa jeshi la polisi nchini igp ernest mangu jinsi alivyoyajibu maswali ya waheshimiwa wabunge kabla ya kupitishwa bajeti ya wizara hiyo ya mwaka wa fedha 2014/15 picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kulia) wakipongezana na naibu waziri wa wizara hiyo pereira ame silima kwa kuyajibu maswali mbalimbali ya waheshimiwa wabunge na hatimaye bajeti ya wizara yao kupitishwa na bunge la bajeti linaloendelea mjini dodoma nyuma yao kulia ni katibu mkuu wa wizara hiyo mbarak abdulwakil na naibu katibu mkuu mwamini malemi picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
rais shein amkaribisha ikulu ya zanzibar waziri chikawe
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein (kulia) akimkaribisha ofisini kwake ikulu mjini zanzibar waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe mathias chikawe waziri chikawe alifika ofisini hapo kwa lengo la kujitambulisha kwa rais huyo baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi viongozi hao pia walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ulinzi na usalama wa tanzania bara na visiwani katikati ni naibu waziri wa wizara hiyo pereira ame silima (picha zote na felix mwagara wizara ya mambo ya ndani ya nchi)
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein (kulia) akimsikiliza kwa makini waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe mathias chikawe (katikati) alipokuwa akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika ikulu ya zanzibar leo waziri chikawe alifika ofisini hapo kwa lengo la kujitambulisha kwa rais huyo baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi viongozi hao pia walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ulinzi na usalama wa tanzania bara na visiwani kushoto ni naibu waziri wa wizara hiyo pereira ame silima (picha zote na felix mwagara wizara ya mambo ya ndani ya nchi)
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe mathias chikawe (watatu kushoto) naibu waziri wa wizara hiyo pereira ame silima (wapili kulia) mkurugenzi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa dickson maimu (wapili kushoto) kulia ni mkurugenzi wa vitambulisho vya taifa ofisi ya zanzibar vuai suleiman kushoto ni kamishna wa jeshi la polisi zanzibar hamdan omary makame waziri chikawe alifika ikulu ya zanzibar kwa lengo la kujitambulisha kwa rais shein baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi viongozi hao pia walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ulinzi na usalama wa tanzania bara na visiwani kushoto ni naibu waziri wa wizara hiyo pereira ame silima (picha zote na felix mwagara wizara ya mambo ya ndani ya nchi)
masood kipanya
wafuasi wa chadema wanaomuunga mkono zitto na wale wa uongozi wa juu jana walipambana tena mahakamani kwa ngumi na mawe kisha kusababisha watu wawili kujeruhiwapicha|maktaba
katika maombi hayo namba 1 ya mwaka 2014 zitto ambaye pia ni mbunge wa kigoma kaskazini aliiomba mahakama kuu kanda ya dar es salaam kuizua kamati kuu (cc) ya chadema kumjadili au kuchukua uamuzi wowote kuhusu uanachama wake
katika uamuzi wake jana mahakama kuu ilikubaliana na maombi na hoja za zitto na kutoa zuio kwa kamati kuu ya chadema na au chombo chake chochote cha uamuzi kumjadili na kutoa uamuzi wowote kuhusiana na uanachama wake hadi kesi yake ya msingi itakaposikilizwa na kuamuliwa
awali mawakili wa chadema wakiongozwa na mwanasheria mkuu tundu lissu na mkurugenzi wa katiba sheria na haki za binadamu peter kibatala walipinga maombi hayo wakidai kuwa hayajakidhi matakwa ya kupewa zuio la muda
matakwa hayo ni pamoja na kuwapo kwa mgogoro baina ya pande mbili hasara au madhara yasiyoweza kufidiwa na usawa katika athari kwa pande zote
kwa hiyo ninatoa zuio la muda kwa kamati kuu ya chadema na au chombo chake chochote cha uamuzi kwamba kisimjadili na kutoa uamuzi wowote dhidi ya mleta maombi kuhusiana na uanachama wake kusubiri kusikilizwa na kuamuriwa kwa kesi yake ya msingi alisema jaji utamwa
kabla ya kufikia uamuzi huo jaji utamwa alitupilia mbali hati ya kiapo kinzani ya chadema iliyotolewa na wakili kibatala baada ya kuwekewa pingamizi na wakili msando ambaye alidai kuwa katika hati hiyo kuna taarifa za kusikia ambazo hakueleza alipozitoa
baada ya jaji kutoa uamuzi huo zitto aliwafuata mawakili wa chadema na kupeana nao mikono kisha akaongozwa na walinzi wake kutoka nje ya ukumbi wa mahakama akipitia mlango maalumu unaotumiwa na jaji
zitto aliyekuwa amevalia suti ya kijivu na shati la michirizi myeupe na ya kijivu aliwasili mahakamani hapo saa 745 mchana akiongozana na walinzi wake binafsi (mabaunsa) wapambe na wakili wake
katika kesi hiyo anaiomba mahakama izuie chama hicho wakala wake na vyombo vyake vya uamuzi kumchukulia hatua zozote wala kumjadili kuhusiana na uanachama wake hadi hapo rufaa anayokusudia kuikata baraza kuu la chadema kupinga kuvuliwa nyadhifa zake itakaposikilizwa
wafuasi wa chadema wanaomuunga mkono zitto na wale wa uongozi wa juu jana walipambana tena mahakamani kwa ngumi na mawe kisha kusababisha watu wawili kujeruhiwa
wakati zitto akiwasili mahakama hapo wafuasi wake walikuwa wakiimba `zitto zitto kama mandela hali iliyowalazimu wafanyakazi wa mahakama kuingilia kati na kuwazuia
ulinzi katika eneo lote la mahakama uliimarishwa makundi ya polisi wa kawaida na wale wa kikosi cha kutuliza ghasia (ffu) waliokuwa na silaha pamoja na mabomu ya machozi walitanda sambamba na askari wa kikosi cha mbwa magari manane ya polisi na matatu ya maji ya kuwasha
pia ameshauri kuwa kama ana ndoto za kuwania urais ni vizuri akatafute vyama vingine kama ccm au cuf kwa kuwa ndani ya chadema kwa sasa hahitajiki
igp mpya akutana rasmi na katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi jana wakubaliana kuboresha huduma za jeshi la polisi
mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) ernest mangu (kushoto) akimfafanulia jambo katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mbarak abdulwakil (kulia) kuhusiana na masuala mbalimbali ya uboreshaji wa jeshi hilo wapili kushoto ni naibu katibu mkuu wa wizara hiyo mwamini malemi na naibu inspekta generali wa polisi abdulrahman kaniki igp mangu pamoja na naibu wake walikutana na katibu mkuu ofisini kwake jijini dar es salaam leo picha na felix mwagara wizara ya mambo ya ndani
katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mbarak abdulwakil (kulia) akimfafanulia jambo mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) ernest mangu (kushoto) kuhusiana na masuala mbalimbali ya uboreshaji wa jeshi hilo wapili kushoto ni naibu katibu mkuu wa wizara hiyo mwamini malemi na naibu inspekta generali wa polisi abdulrahman kaniki igp mangu pamoja na naibu wake walikutana na katibu mkuu ofisini kwake jijini dar es salaam leo picha na tatyana celestine wizara ya mambo ya ndani
katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mbarak abdulwakil (kulia) akiagana na mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) ernest mangu baada ya mazungumzo yao kuhusiana na masuala mbalimbali ya uboreshaji wa jeshi hilo wapili kushoto ni naibu katibu mkuu wa wizara hiyo mwamini malemi na naibu inspekta generali wa polisi abdulrahman kaniki igp mangu pamoja na naibu wake walikutana na katibu mkuu ofisini kwake jijini dar es salaam leo picha na tatyana celestine wizara ya mambo ya ndani
posted by tatyana celestine at 1036 | 2017-10-23T06:03:04 | http://tatyanacelestine.blogspot.com/2015/02/mtuhumiwa-wa-kesi-ya-mauaji-ya-mtoto.html |
vijana wiki ya mhenga na rooney imepita
imeandikwa na mroki mroki
imechapishwa 16 julai 2017
ah kila kona ni mhenga tu kila mtandao wa kijamii ukifungua unakutana na mhenga nami sina budi kuwasalimia wahenga mhali gani wazima ninyi
wahenga juma hili wametamba sana katika kila kona jambo lililopelekea gazeti hili toleo lake la juzi kutoa maana halisi la neno hilo mhenga bila shaka kwa wale ambao walikuwa hawafahamu maana sasa wamejua maana licha ya kuwa wahenga walisema asiye jua maana usimwambie maana lakini habarileo limetoa maana
mhenga ni mtu mwenye hekima na busara aghalabu huwa na umri mkubwa lakini hivi hadi uje kuwa na busara huko baadae ni lazima uwe umezifanyia maanadalizi hivi sasa kijana wa sasa ni mzee mtarajiwa
kwa tafsiri ya haraka kila mtu ni mhenga ila tu inategemea yupo na nani kama una miaka 18 na upo na watoto wa miaka 12 15 wewe ni muhenga ukiwa na miaka 40 na upo na vijana wa miaka 2030 wewe ni muhenga wao
sasa unatakiwa uwe na hekima na busara enzi za utoto wetu miaka ya 70 huko hadi miaka ya 80 mwishoni tulikuwa tukiwaona babu zetu na bibi zetu kuwa ni watu wenye busara na wenye kujua mambo mengi sana ya dunia hii hivyo ilitufanya kujenga mazingira watoto mtaani kujikusanya kwa babu nyakati za jioni wakati akiota moto na sisi kumsogezea kuni naye akitupa maneno ya busara na hadithi za za ujana wao
maneno hayo ndio baade na sisi tulikuwa tukiyasema kuwa ni maneno ya wahenga ah tuyaache hayo ya mhenga na wahenga ambayo yametawala lakini pia kuna hili la ujio wa timu ya everton ambalo ilitikisa mji
kiukweli mchezaji pekee niliyemfahamu alikuwa ni raia wa congo drc yannick bolasie na huyu ni kwa ukaribu tu wa congo na hapa kwetu lakini wayne rooney alipoamua kurudi nyumbani ndio sasa zikaamka shangwe na hamasa kila kona
haya rooney huyo kaja na kaondoka katuachia nini vijana au ndo katuachia kuvamia uwanja tu na kuondoka au tumejifunza aina ya uchezaji wake hivi ulikosa namna ingine ya kutafuta umaarufu hadi uamue kufanya ulivyo fanya ni hatari sana ila askari wetu shupavu nanyie muache kuangalia mpira na sasa muwageukie mashabiki na kuangalia maana lile doa kwenu mjisahihishe mimi naamini tumejifunza kitu na kitaleta mabadiliko hasa kwa vijana wasakata kabumbu | 2017-12-16T12:56:29 | https://habarileo.co.tz/index.php/safu/24078-vijana-wiki-ya-mhenga-na-rooney-imepita?tmpl=component&print=1&layout=default&page= |
dk mwele amjibu jpm situmiki mwanahalisi online
dk mwele malecela mkurugenzi wa vituo vya kudhibiti na kuzuia magonjwa afrika vya shirika la afya duniani (who)
posted by mwandishi wetu october 5 2019 0 9916 views
daktari mwele malecela mkurugenzi wa vituo vya kudhibiti na kuzuia magonjwa afrika vya shirika la afya duniani (who) amesema hatumiki anaripoti mwandishi wetu(endelea)
jana tarehe 4 oktoba 2019 kupitia ukurasa wake wa twitter dk mwele amesema iko siku watu wataujua ukweli kuhusu madai ya ugonjwa wa zika
dk mwele alisema hayo kutokana na kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu tukio lililotokea saa kadhaa baada ya rais john magufuli kumtuhumu kwamba alitumiwa kuichafua nchi
dk mwele amesema watu hao wanaomtukana na kumkebehi hawaufahamu ukweli na kwamba ipo siku wataufahamu
kuna watu mmevamia tl yangu na matusi na kebehi hamjui ukweli na badala ya kuuliza mnafyatua matusi iko siku mtaujua ukweli dk mwele ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter
malalamiko ya dk mwele kutukanwa yamekuja kufuatia madai ya rais magufuli kwamba kuna mtendaji wake ambaye hakumtaja jina alitumwa kutangaza kuwa tanzania kuna virusi vya zika ili kuzuia watalii wasije nchini
rais magufuli alieleza zaidi kuwa baada ya mtendaji huyo kutangaza uwepo wa zika alimfukuza kazi na kisha kupewa kazi na watu waliomtuma kuutangaza ugonjwa huo
kuna mtendaji wangu alitangaza kuwa kuna virusi vya zika nchini tanzania nikamfukuza usiku saa saba sikutaka kumchelewesha nilivyomfukuza tu wakampa kazi huko akawa bosi kumbe walimtuma kutangaza kuwa tuna ugonjwa huo ili watalii wasije nchini kwetu alisema rais magufuli
rais magufuli alimuondoa dk mwele kwenye wadhifa wa ukurugenzi wa taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (nimr) siku moja baada ya kutoa ripoti ya utafiti wa magonjwa
ripoti hiyo ilidai kwamba mikoa ya morogoro geita na magharibi wa tanzania kuna virusi vya ugonjwa wa zika
baada ya kuondolewa nimr dk mwele aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa mpango maalumu wa who wa kutokomeza magonjwa yasiyopewa kipaumbele (espen)
daktari mwele malecela mkurugenzi wa vituo vya kudhibiti na kuzuia magonjwa afrika vya shirika la afya duniani (who) amesema hatumiki anaripoti mwandishi wetu(endelea) jana tarehe 4 oktoba 2019 kupitia ukurasa wake wa twitter dk mwele amesema iko siku watu wataujua ukweli kuhusu madai ya ugonjwa wa zika dk mwele alisema hayo kutokana na kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu tukio lililotokea saa kadhaa baada ya rais john magufuli kumtuhumu kwamba alitumiwa kuichafua nchi dk mwele amesema watu hao wanaomtukana na kumkebehi hawaufahamu ukweli na kwamba ipo siku wataufahamu kuna watu mmevamia tl yangu na matusi na kebehi hamjui ukweli&hellip
previous jpm ampuuza mbunge ccm
next mawaziri hawajui kesho yao | 2020-02-25T01:55:49 | http://mwanahalisionline.com/dk-mwele-amjibu-jpm-situmiki/ |
yakobo 5 neno bibilia takatifu (snt) | biblica
yakobo 5 neno bibilia takatifu (snt)
1sasa sikilizeni ninyi matajiri lieni na kuomboleza kwa ajili ya huzuni inayowajia 2 utajiri wenu umeoza na mavazi yenu yameliwa na nondo 3 dhahabu yenu na fedha yenu vimeingia kutu na kutu yake itakuwa ushahidi dhidi yenu na itakula miili yenu kama moto mmejilimbikizia utajiri kwa siku za mwisho 4 angalieni ule ujira mliowadhulumu vibarua waliovuna mashamba yenu unawalilia na vilio vya wavunaji hao vimeyafikia masikio ya bwana wa majeshi 5 mmeishi duniani maisha ya anasa na kujistarehesha mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa 6 mmemhukumu na kum wua mwenye haki yeye hakuwapinga
snt yakobo 5 | 2018-04-23T21:30:23 | https://www.biblica.com/bible/snt/yakobo/5/ |
rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akutana na balozi japan nchini zanzinews
home habari matukio rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akutana na balozi japan nchini
rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akutana na balozi japan nchini
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akisalimiana na balozi wa japan nchini mhe masaharu yoshida alipokutana na na kufanya mazungumzo naye ikulu jijini dar es salaam leo novemba 22 2017 picha na ikulu | 2018-08-15T12:35:46 | http://www.zanzinews.com/2017/11/rais-wa-jamuhuri-ya-muungano-wa_22.html |
16 mar 2316
ina vyumba vitano vya kulala jiko kubwa sebure kubwa mahala pa kula na chumba cha runinga bei maelewano ukihitaji kuinunua piga simu whatsapp au sms sasa
5 bdrms town house in upanga
5 bed 5 bath ilala upanga magharibi dar es salaam
22 feb '19 1715
5 bedrooms 5 bathrooms back up generator 2 parking furnished | 2020-05-30T15:17:45 | https://www.zoomtanzania.com/houses-for-sale/dar-es-salaam?location=ilala-upanga-magharibi |
full shangwe blog page 30 habari za uhakika
waziri wa maji profesa makame mbarawa akiwa kwenye mradi wa milonje tunduru mkoani ruvuma waziri
na john walterbabati mkuu wa wilaya ya babati elizabeth kitundu amewataka wahitimu wa kidato cha
mbunge wa jimbo la bagamoyo alhaj dkshukuru kawambwa akitolea ufafanuzi kero alizofikishiwa na wak
mwananchi akiuliza maswali kutoka kwa afisa elimu habari na mawasiliano wa wakala wa vipimo (wma)bw
waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhekassim majaliwa anatarajiwa kufungua maonyesho
mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa kiliniki ya heameda dkreginald mengi akisalimiana na mkuu wa wilaya
na masanja mabula pemba wakazi wa vijiji kumi na mbili vinavyozunguka hifadhi ya msitu wa serikali
waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dk harrison mwakyembe akisoma kijarida cha hifadhi ya
waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dkt harrison mwakyembe akijaribu moja ya fulana aliz
mkurugenzi mkuu wa wakala wa barabara tanzania (tanroads) injinia patrick mfugale (kulia) aki
na sada salmin dar es salaam simba sc wamevuta kasi katika mbio za ubingwa wa ligi kuu ya tanzania
katibu mkuu wa wizara ya kilimo anapenda kuwataarifu ya kuwa wizara ya kilimo imepatwa na msiba wa w
waziri mkuu kassim majaliwa amemuagiza mkurugenzi wa jiji la dodoma bw godwin kunambi kubomoa uz
meza ya majaji ikijadili jambo wakati wa shindano la kusaka vipaji la tigo fiesta supa nyota mkoa wa
kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) bw charles kichere akiwakabidhi zawadi wanafunzi
na queen alexarusha wito umetolewa kwa shule mbalimbali za sekondari hapa nchini kujiwekea utaratib
baadhi ya maofisa elimu viongozi wa dini vyama vya siasa na walimu wakuu wa shule za sekondari wa
alex 2 weeks ago mchanganyiko 0
regina 2 weeks ago mchanganyiko 0
regina 2 weeks ago biashara 0
regina 2 weeks ago michezo 0
naibu katibu mkuu wizara ya elimu prof mdoe afanya ziara chuo kikuu mzumbe
naibu katibu mkuu wizara wa elimu sayansi na teknolojia profjames mdoe akiwasili na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa chuo kikuu mzumbe alipofanya ziara katika chuo hicho tarehe 1 oktoba 2018 makamu mkuu wa chuo kikuu mzumbe prof lughano kusiluka akitoa maelezo kuhusu maendeleo ya chuo kwa naibu katibu
morata aipatia ushindi chelsea michuano ya europa league
alex 2 weeks ago michezo 0
winga mbrazil willian (kushoto) akimpongeza alvaro morata baada ya kuifungia chelsea bao pekee dakika ya 70 katika ushindi wa 10 dhidi ya mol vidi kwenye mchezo wa kundi l michuano ya europa league usiku wa alhamisi uwanja wa stamford bridge london willian ndiye aliyetoa pasi ya bao picha zaidi soma hapa
arsenal yaichakaza 30 qarabag michuano ya europa league
matteo guendouzi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia arsenal bao la tatu dakika ya 79 katika ushindi wa 30 dhidi ya wenyeji qarabag usiku wa alhamisi uwanja wa taifa wa baku mabao mengine ya arsenal yamefungwa na sokratis papastathopoulos dakika ya nne na emile smith rowe dakika ya 53 picha zaidi soma hapa
alex 2 weeks ago burudani 0
the ngoma africa band aka ffu also known as anunnaki alien the most successfull african live band based in germany has been vastly gaining popularity through an extra ordinary rhythm bongo dance from tanzania and neighbouring east african countries which always drives the europeans funs crazy its more than two decades now that band has
pitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo oktoba 52018
alex 2 weeks ago magazeti 0
page 30 of 1265« first10202829303132»405060last »
news select category biashara (1778) blog (64) burudani (869) filamu (37) magazeti (513) mchanganyiko (16412) michezo (3274) mitindo (9) siasa (1129) teknolojia (167) tv (146) uncategorized (1179)
archives select month october 2018 (763) september 2018 (923) august 2018 (986) july 2018 (962) june 2018 (859) may 2018 (849) april 2018 (753) march 2018 (652) february 2018 (937) january 2018 (969) december 2017 (871) november 2017 (1050) october 2017 (1125) september 2017 (978) august 2017 (1117) july 2017 (930) june 2017 (936) may 2017 (982) april 2017 (801) march 2017 (921) february 2017 (801) january 2017 (964) december 2016 (956) november 2016 (1013) october 2016 (1039) september 2016 (885) august 2016 (787) july 2016 (12) june 2016 (21) may 2016 (17) april 2016 (11) march 2016 (10) february 2016 (9) january 2016 (6) december 2015 (19) november 2015 (13) october 2015 (9) september 2015 (17) august 2015 (17) july 2015 (14) june 2015 (17) may 2015 (19) april 2015 (23) march 2015 (19) february 2015 (29) january 2015 (19) december 2014 (41) november 2014 (13) october 2014 (13) september 2014 (11) august 2014 (14) july 2014 (8) june 2014 (11) may 2014 (8) april 2014 (9) march 2014 (6) february 2014 (6) january 2014 (8) november 2013 (1) july 2013 (1) june 2013 (3) april 2013 (1) march 2013 (1) january 2013 (2) december 2012 (2) october 2012 (1) september 2012 (4) june 2012 (1) february 2012 (1) june 2011 (1) january 2011 (1) december 2010 (1) september 1998 (1) june 1998 (1) july 1997 (1) november 1996 (1) august 302 (1) | 2018-10-22T03:35:18 | https://fullshangweblog.com/home/page/30/ |
je wewe kama kuangalia tv in english je wewe kama kuangalia tv meaning and swahili to english translation
home>words that start with d>do you like to watch tv>je wewe kama kuangalia tv (swahili to english translation)
what does je wewe kama kuangalia tv mean in english if you want to learn je wewe kama kuangalia tv in english you will find the translation here along with other translations from swahili to english we hope this will help you in learning languages
here is je wewe kama kuangalia tv meaning in english
anga ni mawingu sana
binti yako ni tamu
huu ni uzushi
je dhana ya chakula cha jioni wakati mwingine
je unayo mipango yoyote kwa kesho
mimi utakuwa kulipa kwa chakula cha jioni
nitakupigia simu wiki ijayo
siku yako iko vipi | 2018-10-17T07:06:54 | https://www.indifferentlanguages.com/translate/swahili-english/je,_wewe_kama_kuangalia_tv%3F |
mambo mazuri na makubwa yanakuja tulonge tembelea mara nyingi uwezavyo tulonge
posted by cha the optimist on september 18 2014 at 1722 in jamii
habari wana wa tulonge
ni matumaini yangu kuwa mu wazima napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha tu kuwa kuna mambo mazuri na makubwa yanakuja hapa tulonge kama kawaida yangu huwa nikiahidi lazima nitekeleze unachotakiwa kufanya ni kutembelea tulonge mara nyingi uwezavyo changia mijadala mara nyingi uwezavyo upload mapicha mavideo na kadhalika alika wadau wengi uwezavyo
cha nimesema mambo mazuri na makubwa yanakuja trust me kazi ni kwako
unaweza vilevile kuniachia namba yako ya simu hapa hapa
permalink reply by mama malaika on september 18 2014 at 1903
mie nasubiria hayo mambo mazuri na makubwa tulonge kafichwa wapi
permalink reply by cha the optimist on september 18 2014 at 1914
ha ha ha ha ha ha ha hatulonge itakuwa kaenda kujiandaa na kugombea ubunge kwao maana tanzania siku hizi kila mtu anataaka kuwa mwanasiasa
permalink reply by mama malaika on september 19 2014 at 1247
aenda gombea kwa babu yake tanga ha ha ha ha haaa
tanzania kuna tatizo kubwa sana sana la distribution of income inasikitisha kwani larudisha nchi nyuma sana wana siasa wanalipwa hela kubwa kuzidi professionals wafanyao kazi ngumu mazingira magumu njoo england family doctor wa kawaida tu wa zahanati ndogo ya sirikali apata mshahara na posho kubwa kwa saa limoja au siku moja kuzidi mbunge hapo house of commons tanzania kukifanyiwa marekebisho mishahara na posho basi hizo mbio za watu kutaka uana siasa zitapungua | 2019-09-15T08:46:51 | http://tulonge.ning.com/forum/topics/mambo-mazuri-na-makubwa-yanakuja-tulonge-tembelea-mara-nyingi |
hans poppe arejea kutoka ulaya na kusema usajili dirisha dogo safi kabisa bin zubeiry sports online hans poppe arejea kutoka ulaya na kusema usajili dirisha dogo safi kabisa bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za nyumbani > hans poppe arejea kutoka ulaya na kusema usajili dirisha dogo safi kabisa
mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba sc zacharia hans poppe amerejea usiku huu kutoka ujerumani alipokuwa kwa mapumziko na amesema kila kitu kinaenda vizuri kuhusu usajili wa dirisha dogo
mimi ni mwenyekiti wa kamati nilipoondoka wana kamati wengine walikuwepo na walikuwa wanaendelea kufanyia kazi maazimio na kwa taarifa nilizonazo kila kitu kinakwenda vizuriamesema poppe akizungumza na bin zubeiry mida hii
kapteni huyo wa zamani wa jeshi la wananchi tanzania (jwtz) amesema kwamba kocha patrick phiri alitoa mapendekezo yake juu ya wachezaji wa kusajili na yamefanyiwa kazi vizuri
hans poppe amerejea usiku huu kutoka ujerumani
nadhani baada ya siku mbili tatu hizi wapenzi wa simba sc watarajie kusikia habari nzuri kila kitu kinakwenda safi kabisaamesema
miongoni mwa wachezaji ambao wapo mawindoni simba sc ni mfungaji bora wa kenya kwa misimu miwili iliyopita mganda dan sserunkuma ambaye alikuwapo nchini siku nne zilizopita
inadaiwa baada ya mazungumzo na maafikiano sserunkuma anayechezea gor mahia ya kenya kwa sasa alirejea uganda mara moja na wakati wowote atarudi dar es salaam kusaini mkataba
item reviewed hans poppe arejea kutoka ulaya na kusema usajili dirisha dogo safi kabisa rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-01-19T05:53:56 | http://www.binzubeiry.co.tz/2014/11/hans-poppe-arejea-kutoka-ulaya-na.html |
indaba africa shule ya holywood yaagizwa kuwasomesha kwa mwaka mzima bure wanafunzi 69
shule ya holywood yaagizwa kuwasomesha kwa mwaka mzima bure wanafunzi 69
na mwandishi wa indabaafrica
naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi mh mlugo ameagiza uongozi wa shule ya sekondari ya holly wood ya wilayani mbozi kuwasomesha wanafunzi 69 wa kidato cha pili waliozuiwa na uongozi wa shule hiyo kufanya mitihani ya kuingia kidato cha tatu
katika uamuzi huo alioutoa juzi baraza la madiwani mbozi limeelezwa kuwa sambamba na hilo uongozi wa shule hiyo pia umepewa kalipio kwa maamuzi yake kinyume na maelekezo ya wizara hiyo
mkuu wa wilaya mbozi dr michael kadeghe akitoa ufafanuzi kwenye baraza hilo leo
baadhi ya madiwani na wataalamu wakifuatilia kikao hicho wa kwanza mbele ni mh samwel mtawa aliyeibuka na swali la papo kwa papo kuhusiana na wanafunzi wa hollywood waliozuiwa kufanya mitihani ya kidato cha pili
madiwani wakiwa wanafuatilia michango ukumbini
mwenyekiti wa halmashauri katikati na kofia akiwa na viongozi wa chama cha ccm kushoto kwake na kulia kwake ni kaimu mkurugenzi na mkuu wa wilaya aliyesimama
mwenyekiti wa halmashauri mh erick ambakisye minga na kaimu mkurugenzi dr charles mkombachepa
katika maswali ya papo kwa papo kwenye baraza la madiwani diwani wa kata ya isandula samwel mtawa alimuuliza mwenyekiti wa halmashauri hatua zilizochukuliwa kuwasaidia watoto 69 waliozuiwa kufanya mitihani ya kidato cha pili kutokana na kasoro za kutofikia wastani uliowekwa na shule hiyo kwenye mitihani ya mock na majaribio
akijibu swali hilo mwenyekiti wa halmashauri hiyo alisema mheshimiwa waziri amepokea malalamiko hayo na kuwasiliana na kamishna wa elimu ambapo ilishindikana kufanywa upya mitihani hiyo kwa mwaka huu na ikaelekezwa mitihani hiyo kufanywa mwakani
naye mkuu wa wilaya ya mbozi dr michael kadeghe alitoa ufafanuzi wa suala hilo alisema kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ilipokea taarifa za uongozi wa shule hiyo kuwazuia wanafunzi 70 kufanya mitihani ya kidato cha pili nailifikiwa maamuzi kwa shule hiyo kuzuiwa kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2013/2014
akitoa maelezo ya adhabu iliyotolewa na waziri mlugo mkuu huyo wa wilaya alisema waziri aliagiza uongozi wa shule hiyo kuwaghalimia wanafunzi hayo ada ya mwaka mmoja pamoja na mahitaji mengine ya shuleni hadi watakapofanya mtihani wao wa kuingia kidato cha tatu mwakani
aidha imeelezwa kuwa uongozi wa shule hiyo pia uliagizwa kughalimia ada za wanafunzi hao watakaoamua kuhamia shule nyingine kwa kipindi cha mwaka mmoja bila kujali gharama za shule hizo wanazokwenda
katika hatua nyingine mkuu huyo wa wilaya amekemea tabia iliyozuka kwa shule za sekondari binafsi kuweka utaratibu wa kuchuja wanafunzi kutokana na ufaulu wa mitihani ya ndani kwa lengo la kufanya mashindano ili zionekane shule hizo ni bora kitaifa
alisema wakuu wa shule hizo wanapaswa kuonyesha uwezo wao kwa kuwafundisha wanafunzi hadi kufaulu na siyo kuchuja wale wanaoshindwa kwenye mitihani ya majaribio na baadaye kuwafukuza kwenye shule zao | 2017-11-18T01:06:39 | http://dtwevetz.blogspot.com/2013/10/shule-ya-holywood-yaagizwa-kuwasomesha.html |
waziri mkuu majaliwa aweka jiwe la msingi katika kituo cha kupozea umeme 400/220/33kv shinyanga singida dodomana iringa awamu ya pili | masama blog
home » news and updates » waziri mkuu majaliwa aweka jiwe la msingi katika kituo cha kupozea umeme 400/220/33kv shinyanga singida dodomana iringa awamu ya pili
waziri mkuu majaliwa aweka jiwe la msingi katika kituo cha kupozea umeme 400/220/33kv shinyanga singida dodomana iringa awamu ya pili
waziri mkuu kassim majaliwa akiweka jiwe la msingi katika kituo cha kupozea umeme 400/220/33kv shinyanga singida dodoma na iringa awamu ya pili eneo misuna katika wilaya ya singida oktoba 52019
waziri mkuu kassim majaliwa akimsikiliza meneja mradi wa kituo cha kupozea umeme 400/220/33kv shinyanga singida dodoma na iringa awamu ya pili peter kigadye kabla ya kuweka jiwe la msingi la mradi huo eneo misuna katika wilaya ya singida oktoba 52019 (picha na ofisi ya waziri mkuu)
from michuzi blog https//ifttt/31q2zj8
thanks for reading waziri mkuu majaliwa aweka jiwe la msingi katika kituo cha kupozea umeme 400/220/33kv shinyanga singida dodomana iringa awamu ya pili | 2020-05-29T20:14:00 | https://www.masamablog.com/2019/10/waziri-mkuu-majaliwa-aweka-jiwe-la.html |
afghanistan serikali imetaka makampuni ya simu kuzuia mitandao ya whatsapp na telegram kwa sababu za kiusalama jamiiforums
afghanistan serikali imetaka makampuni ya simu kuzuia mitandao ya whatsapp na telegram kwa sababu za kiusalama
thread starter kunguru mjanja
kunguru mjanja
1973 3214 280
mamlaka ya afghanistan inayothibiti mawasiliano iliwaandikia wasambaza 'internet' nchini humo wiki hii na kuwataka kuzia huduma za meseji za whatsapp na telegram lakini hakuwa wazi mara moja kama walikubaliana
katika miaka ya karibuni matumizi ya mitandao ya kijamii imeibuka kwa kasi kubwa nchini afghanistan watumiaji wa mitandao ya kijamii na makundi ya haki za jamii walipokea habari na kuonyesha kutofurahishwa nazo na baadae barua iliyotumwa na mamlaka ya kuthibiti mawasiliano kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
baadhi ya ripoti za vyombo vya habari wakitoa mfano wa vyanzo ambavyo haijulikani walisema hoja hiyo iliamriwa na mkurugenzi wa taifa wa usalama ili kuzuia matumizi ya huduma za barua pepe zilizofichwa na taliban na vikundi vingine vya waasi
haikuwezekana mara moja kuthibitisha ripoti hizo
afghanistans telecoms regulator wrote to internet service providers this week ordering them to block the messaging services whatsapp and telegram but it was not immediately clear whether they had complied
likes polite
7531 9784 280
kila la kheri katika kusaka kwao huo usalama kupitia zuio la apps hizi
japo sidhani kama mchawi ni hizo apps wanazo sema walipokuwa wakiuwana hizo apps zilikuwepo chao
497 371 80
huku kwetu tunasubir malaika ashuke aje kuzima
16253 15358 280
tanzania nadhani wataiga mazuri kutoka afghanistan ya kublock mitandao ya kijamiii
ili muwe mna weka watu kwenye magunia na taarifa zisivuje
threads 1237112
posts 29278596 | 2018-12-14T19:11:31 | https://www.jamiiforums.com/threads/afghanistan-serikali-imetaka-makampuni-ya-simu-kuzuia-mitandao-ya-whatsapp-na-telegram-kwa-sababu-za-kiusalama.1347430/ |
***tshabalala amjumuisha kikosini pia aelezea bao lake bora kabisa huku akiliacha lile la
wakati beki wa kati wa yanga kelvin yondani akiwa miongoni mwa wachezaji wa timu hiyo waliokosa namba ya kudumu katika kikosi cha kwanza cha kocha mbelgiji luc eymael beki wa kushoto wa simba mohamed hussein 'tshabalala' ametuma ujumbe kwa viongozi na benchi la ufundi la mabingwa hao
watetezi wa ligi kuu bara kuwa anafaa kurejeshwa msimbazi
yondani kwa sasa amekuwa hana namba ya kudumu kwenye kikosi cha yanga chini ya eymael na hata mashabiki wa timu hiyo wameonekana hawana wasiwasi tena pindi anapokosekana uwanjani kutokana na kiwango cha kuvutia kinachonyeshwa na mghana lamine moro
akizungumza katika kipindi cha kuchati na mashabiki kwenye channel inayorushwa na klabu ya simba tshabalala alitaja kikosi chake bora huku kikiundwa na wachezaji karibuni wote wa timu yake ya simba kasoro yondani wa yanga na aboubakara salum 'sure boy' wa azam fc
aliowataja kutoka simba ni aishi manula shomari kapombe yeye mwenyewe yondani na erasto nyoni jonas mkude clautos chama meddie kagere john bocco na ibrahim ajibu
tshabalala alisema kuwa kati ya mawinga hatari ambao amewahi kukutana nao ni simon msuva mchezaji wa zamani wa moro united na yanga ambaye kwa sasa anacheza soka la kulipwa nchini morocco katika klabu ya difaa hassani el jadidi
hata wachezaji wenzangu niliokuwa nacheza nao kina hassan isihaka siku tunakwenda kucheza nao wananiambia kalale mapema ujiandae kwa sababu kesho una shughuli pevu na msuva na kweli 'kinachimbika' mmoja ni lazima siku hiyo asalimu amri iwe mimi au yeye alisema
alimtaja mchezaji aliyemvutia zaidi hadi kufuata nyayo zake na kuiga staili zake za uchezaji ni issa rashid 'baba ubaya' ambaye aliwahi kuichezea simba mwaka 2013 akitokea mtibwa sugar lakini alicheza kwa misimu miwili kabla ya kurejea tena mtibwa hadi sasa
nilikuwa namfuatilia sana kusema kweli niliiga vitu vingi kutoka kwake wakati huo mimi niko kwenye akademi ya azam fc baadaye nikaenda kagera sugar lakini kuna wakati fulani nikabahatika kucheza naye simba alisema mchezaji huyo ambaye pia anaichezea timu ya taifa ya tanzania taifa stars
kuhusu wakati wake bora kabisa kwenye soka alisema kuwa ni ule ambao timu yake ya simba ilifanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa afrika msimu uliopita
katika hali isiyokuwa ya kawaida ikidhaniwa kuwa goli lake bora angeweza kulitaja lile la kusawazisha dhidi ya as vita ya dr congo simba ikishinda mabao 21 tshabalala alisema bao lake bora ambalo hatolisahau ni lile alilofunga dhidi ya kagera sugar septemba 26 mwaka jana simba ikishinda kwa mabao 30 kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba
ni kwa sababu nilitumia akili sana kufunga niliuchukua mpira nikawaacha mabeki nikaingia ndani nikampa kagere akanirudishia kwenye njia nikaenda kufunga alisimulia mithili ya mtangazaji
alipoulizwa kama siku moja anaweza kuwa kocha wa mpira wa miguu alikataa na kusema kama akifanya kazi hiyo ataishusha daraja timu anayoifundisha
matola awafunda wachezaji ligi kuu | 2020-05-26T00:04:30 | https://www.ippmedia.com/sw/michezo%20yondani-avutwa-simba |
dr slaa azidi kupasua anga | jamiiforums | the home of great thinkers
dr slaa azidi kupasua anga
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by deodat oct 10 2010
kwa udadisi mwepesi niliofanya kwenye facebook pages za dr willbroad slaa na ile ya dr kikwete mpaka leo (jpili) slaa ana fans 11442 wakati kikwete ana fans 5019 (jakaya mrisho kikwete for 2010)
my take hata kama watumiaji wa facebook hawawakilishi idadi ya watanzania wote hiyo tofauti ya number of fans bado inatuambia kitu kikwete jiandae kukusanya kandambili na bakuli zako pale ikulu kwani kuna kila dalili slaa ndio atakuwa mkazi mpya wa hilo jengo takatifu
jakaya 5018ya kwangu niliweka ili niweze kukoment kwenye wall yake
tamati ni 31 oct
jakaya 5018ya kwangu niliweka ili niweze kukoment kwenye wall yakeclick to expand
ha ha ha jk jasho litamtoka mwaka huu
tamati ni 31 octclick to expand
siku ambayo watanzania watamwambia jk sasa basi
kila sehemu ni hivyo hivyo halafu redet wanakuja na utafiti wao wa kuchonga
kikwete jiandae kukusanya kandambili na bakuli zako pale ikulu kwani kuna kila dalili slaa ndio atakuwa mkazi mpya wa hilo jengo takatifuclick to expand
huu ndiyo ukweli wa jk na hakuna mwingine
kila sehemu ni hivyo hivyo halafu redet wanakuja na utafiti wao wa kuchongaclick to expand
redet na synovate sijui wanatumia sample za wanasisiemu so there is no realistic realistic ipo ndani ya mitandao kama jf fb na mingineyo hiyo ndio inawakilisha maoni halisi kwani mtu haoni aibu yuko alone anapost ktk mtandao so subiri uone mana kila njia inatumika kumuangusha slaa lakini dr wa ukweli slaa anazidi kukusanya watu please i need changes tupige kura kumuondoa jk madarakani
siku ambayo watanzania watamwambia jk sasa basiclick to expand
msema kweli oktoba 31
f2s said
redet na synovate sijui wanatumia sample za wanasisiemu so there is no realistic realistic ipo ndani ya mitandao kama jf fb na mingineyo hiyo ndio inawakilisha maoni halisi kwani mtu haoni aibu yuko alone anapost ktk mtandao so subiri uone mana kila njia inatumika kumuangusha slaa lakini dr wa ukweli slaa anazidi kukusanya watu please i need changes tupige kura kumuondoa jk madarakaniclick to expand
msihofu hizo ni njama za thithiem kudanganya umma methodology zinasemaje za hayo matokeo kati ya hao reseachers mbona hatucollide nao tutoe nasi maoni yetu
my take hata kama watumiaji wa facebook hawawakilishi idadi ya watanzania wote hiyo tofauti ya number of fans bado inatuambia kitu kikwete jiandae kukusanya kandambili na bakuli zako pale ikulu kwani kuna kila dalili slaa ndio atakuwa mkazi mpya wa hilo jengo takatifuclick to expand
idadi ni kubwa kuliko sample ya redet angalau wangetumia hii sample size hii ni 633 ya ile ya redet | 2017-01-20T01:54:41 | https://www.jamiiforums.com/threads/dr-slaa-azidi-kupasua-anga.77865/ |
apple lobo | october 2019
kuu apple lobo
ukubwa na ladha ya matunda sio vigezo muhimu zaidi vya kuchagua aina ya apple kwa hiyo kwenda kwa sapling hakikisha kujifunza vizuri vipengele vyake vyote hapa huelezwa kwa undani sifa za aina ya apple ya lobo faida na hasara za mti na matunda ya aina hii pamoja na viwango vya kutunza mti huu wa bustani
https//lezgkaru swlezgkaru © apple lobo 2019 | 2019-10-21T19:57:31 | https://sw.lezgka.ru/apple-lobo/ |
kama hii habari haikuengezwa chumvi basi wa tanzania tutateketea wengi | jamiiforums | the home of great thinkers
kama hii habari haikuengezwa chumvi basi wa tanzania tutateketea wengi
discussion in 'jf doctor' started by babylon dec 28 2009
sidhani kama ni maambukizi yaliyotokea ndani ya miezi hiyo mitatu bali ni watu waliokuwa nao tangu huko nyuma lakini wamegundulika katika kipindi cha miezi mitatu anyway sijui ni nini kifanyike manake hata udhibiti wa mambo haya ni mgumu sana labda guest house zote zifungwe manake wengi tunagawana ukimwi huko
that's too much huh
cosha member
jamani kwanza nawasalimuni wote mimi mgeni (new comer)
kwa hili tatizo la ukimwi nashauri tu tuache njia zetu mbaya (matendo maovu) na kumrudia mungu kama upo kwenye ndoa tulia na mwenzi wako huyo huyo tuache tamaa za kutaka huku na kule tutakwisha
hekimamoyoni member
buji unamaanisha au umesema amen tu kama desturi
wakuu hiyo idadi ni ndogo ukilinganisha na idadi ya watu waliopo katka chuo kimoja mjini mosh na maambukiz yanayorekodiwa kila mwez kupitia hospital kadhaa taarifa zinatishahasa baada ya wale watoto wa mama kik kuletwa pale kwa wing mwaka juz na jana yaan inasemeka kila watu 5 walipo 3 wamepata kitu mazee tujal afya zetu tujal wanaotuzunguka
ama kweli tumwombe mungu kwa sana kwa sababu ukimwi utatumaliza ee mungu tuongoze kukabiliana na hili janga
hekimamoyoni said ↑
nilidhani una hekima ya suleiman kumbe una hekima moyoni na moyo wa mwqanadamu ni machukizo machoni pa mungu
cosha said ↑
jamani kwanza nawasalimuni wote mimi mgeni (new comer)<br />
we unaweza kukaa ndoani
msani jfexpert member
guest mitaani kwetu ni zaidi ya nyumba za kawaida za watuhii inshu ni ngumu sanamadanguro kila sehemu na sio siri tena kwa mambo yanafanyika waziwazi
wacheni zinaa
ngoma isikie tu kwa mwenzako
wemba member
tuepuke mipango ya kando tule chakula mezani tena nyumbani tu
biashara ya kando imekuwa noma mazee
aliyeambukizwa last month anaanza dawa next month sema wamepimwa na kukutwa na maambukizi
nani alisema humu ndani kuwa hiv haileti ukimwi
hatari sana
hatari hatari acha sasa usiseme mpaka nimpate flani
ngangali member
kama hizo takwimu za miezi mitatu ni sahihi tumekisha ndugu zangu
watafiti wa kitanzania hao duh
kwani kuna mtu hafi ngoma ni kisingizio tu sema isikie kwa jirani tu walaji tujipe moyo hivyo | 2018-01-22T21:07:13 | https://www.jamiiforums.com/threads/kama-hii-habari-haikuengezwa-chumvi-basi-wa-tanzania-tutateketea-wengi.48301/ |
kibaha mji yatajwa kuongoza kwa maambukizi mapya ya vvu mkoani pwani msumba news blog
kibaha mji yatajwa kuongoza kwa maambukizi mapya ya vvu mkoani pwani
inaelezwa kuwa kati ya wilaya zinazoongoza kwa maambukizi makubwa ya vvu mkoani pwani ni kibaha mjini ikifuatiwa na mkuranga na chalinze
akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa pwani katika maadhimisho ya siku ya ukimwi kimkoa huko mwendapole kibaha mjikatibu tawala wa mkoa theresia mmbando aliwataka wakuu wa wilaya kushirikiana na wananchi kuweka mikakati na vipaombele ili kudhibiti maambukizi mapya ya vvu
aidha alisema mkoa huo unakabiliwa na baadhi ya changamoto zinazokwamisha juhudi za mapambano dhidi ya ugonjwa wa ukimwi ikiwemo kukosekana kwa mashine ya kupima wingi wa virusi vya ukimwi biashara ya ngonovigodoro na idadi ndogo ya vituo vya kutolea huduma ya kufubaisha vvu
theresia alibainisha pia ipo changamoto ya mila potofu katika jamiindoa za utotonimaegesho ya maloriuzinzibaadhi ya wana ndoa kutokuwa waaminifu na watu wanaojidunga madawa ya kulevya
hata hivyo alisemahadi kufikia 2017 takwimu za kiwango cha maambukizi ni 55 theresia alieleza licha ya hayo maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi miongoni mwa wanaumewanawake na vijana vijana wenye umri kati ya miaka 1549 ni mkubwa
mwaka huu januari oktoba maambukizi kwa wanaume yalikuwa 2944 kati ya wanaume 133832 waliopima maambukizi ya vvu sawa na asilimia 23
kwa wanawake yalikuwa ni 5145 kati ya wanawake 187222 waliopima maambukizi ya vvu sawa na asilimia 27 na kwa upande wa vijana kuanzia miaka 1524 maambukizi mapya ni 1020 kati ya 95559 waliopima sawa na asilimia 11alieleza theresia
nae mratibu wa masuala ya ukimwi kibaha mjini siwema cheru alisema halmashauri hiyo inahamasisha jamii kuendelea kupata ushauri nasaha na kupima vvu na kwa wale wanaogundulika na maambukizi ya vvu kupata ushauri na kuanzishiwa dawa za kufubaza vvu
siwema alifafanua pia kuhamasisha waviu kujiunga kwenye vikundi ili kurahisisha utoaji huduma na hadi sasa kuna vikundi 17 vya watu wanaoishi na ukimwi na vvu
kwa upande wake makamu mwenyekiti wa konga kibaha mjiniantonia mangoaliomba kupitia serikali za mitaa (tamisemi) itoe tamko kwenye halmashauri kutenga asilimia fedha za shughuli za ukimwi kama ilivyofanya kutenga asilimia 10 kwa ajili ya vikundi vya wanawakevijana na walemavu | 2019-12-07T09:42:12 | http://www.msumbanews.co.tz/2019/12/kibaha-mji-yatajwa-kuongoza-kwa.html |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.