text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
tuukatae ushoga na ndoa za jinsi moja 1 | gazeti la jamhuri
siku za karibuni nchi za afrika zimetamkiwa na wakubwa matajiri wa nchi za magharibi kupokea tabia ngeni ya ushoga na ndoa za jinsi moja waziri mkuu wa uingereza david cameron amediriki hata kutishia kunyima misaada kutoka uingereza kwa nchi zile zitakazokataa siasa yake hiyo ya kutambua ndoa za jinsi moja
juzi juzi hapa kukasikika tena tamko la barrack obama rais wa marekani akitamka kulikubali wazo la ndoa za jinsia moja katika nchi yake wakubwa hawa wanataka kuingiza tabia ngeni kabisa ulimwenguni ya kuwa na ndoa za jinsi moja kwa kisingizio cha ustaarabu wa kisasa au wanaheshimu na kutekeleza haki za binadamu kama zilivyotangazwa na umoja wa mataifa (un)
sielewi fikra na azma ya wakubwa hawa wanapotaka mwanadamu wa leo karne ya 21 avunje amri ya mungu na atende kinyume kabisa na utaratibu wa mwenyezi mungu aliyeumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kwa mpangilio maalumu kadri ya matakwa yake
hawa wazungu walipokuja afrika walijidai kuleta mambo mawili ustaarabu wa kwao na ni kutuletea neo la mungu ndiyo dini ya kikristo kutekeleza malengo mawili haya walitumia njia mbalimbali katika utekelezaji wa malengo hayo walituletea pamoja na mila na desturi za kwao kama vile elimu ya darasani njia za uchumi wa kisasa na hata namna ya kuishi maisha ya kwao ulaya
historia inatuelimisha kuwa hapo zamani wazungu wote wakiishi maisha duni misituni na mapangoni wakiwinda wanyama wakati huo au enzi hizo walijulikana kwa majina kama barbarians au savages kumaanisha walikuwa washenzi na wasiostaarabika polepole waliboresha maisha yao wakaanza kujenga viwanda na miji na ustaarabu wa kisasa ukajengeka
walipofikia hali hiyo wakaanza kwenda nje ya ulaya kama marekani na afrika na asia kwa nia tofauti baadhi wakitafuta maisha bora zaidi baadhi wakitafuta biashara na baadhi wakieneza neno la mungu bara letu afrika liliitwa bara jeusi lililogubikwa na giza basi lilihitaji mwanga wa ustaarabu wa kizungu
wale walioleta biashara na kutaka kujipanua waliunda ukoloni na kujidai wanakuja kutustaarabisha (to civilize africans) na baadhi walikuja kuleta neno la mungu hawa walikuja kuleta uongofu (to evangelize africans) lakini wazungu wote walikuwa na imani ya ukristo
huku kwetu makundi yote hayo yalituita waafrika washenzi wasiostaarabika lakini kwa vile hatukuishi kama walivyoishi mababu zao mapangoni na misituni sisi hawakutuita barbarians au savages bali walituita natives maana yake wenyeji wenye aina ya ustaarabu wao lakini tunahitaji kupakiziwa ustaarabu mpya wa kigeni kutoka ulaya ndipo tuishi nao
watanzania tunajua kila kabila liliona kabila jingine ni geni kwake hivyo kila kabila walikuwa na namna ya kuwaita wageni wasiokuwa wa kabila lao mathalani kagera usipokuwa mhaya unaitwa nyamahanga kilimanjaro usipokuwa mchaga unaitwa chasaka dodoma usipokuwa mgogo basi unaitwa mkonongo
songea usipokuwa mngoni wewe ni mhenja na iringa kama siyo mhehe utaitwa mgenzi lakini majina yote hayo yanaonyesha ustaarabu wa mwafrika wa kutokumdhalilisha mgeni kama walivyokuwa wakifanya wazungu ulaya kuitana barbarian au savage ni jina la kudharau mtu asiye wa kabila lako
kwa kuwa wazungu wote walikuwa wa imani moja ya ukristo basi walituletea na desturi na utamaduni wa kuoana kikristo ndoa ya kikristo ni ya muungano wa mume mmoja na mke mmoja kujenga familia ya mungu yenye watoto na kuwa kaya au jumuiya katika kabila
kumbe msingi wa ndoa za wazungu umo katika biblia waliyotuletea kama agizo la mwenyezi mungu katika sura ya kwanza kabisa kitabu cha mwanzo tunakuta maneno haya mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu kwa sura yetu wakatawale samaki wa baharini na ndege wa angani na wanyama na nchi yote pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi(mwa 126)
mungu akaumba mtu kwa mfano wake kwa mfano wa mungu alimuumba mwanamume na mwanamke aliumba mungu akawabarikia mungu akawaambia zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi na kuitiisha (mw 127 28)
hivi ndiyo mwenyezi mungu aliumba watu wa jinsi tofauti mtu mwanamume na mtu mwanamke wenye viungo tofauti ili kutekeleza lile agizo lake la kuzaa na kuijaza nchi kwa imani yetu ya dini tunaamini kuwa mtu mume na mtu mke wakioana watatekeleza agizo lile la mungu kuzaa na kuongeza wanadamu katika dunia hii
basi utamaduni wa kikristo ni kuoana mtu mume na mtu mke ndiyo sababu viongozi wa dini walifundisha tusiwe na mitara ndiyo ukristo unavyotaka kimaadili mitara ni utamaduni wa kiasili wa kuwa na wake zaidi ya mmoja kumbe agizo la mungu ni mume na mke wala si wake
tulipokuwa tunaelimishwa shuleni elimu dunia lipo somo la elimu ya viumbe biolojia huko tulisema viumbe vyenye uhai vinaongezeka kwa kuzaana wanyama wadudu mimea panakuwapo na jinsi ya kiume na ya kike zote mbili
katika mimea sehemu zinazoitwa stamens katika maua zinakuwa za jinsi ya kiume kwa kitaalamu sehemu hii inaitwa androecium (neno la kigiriki aner kiume na oikos nyumba) sehemu hii inatengeneza chembe chembe au unga unaoitwa poleni
aidha katika ua kuna sehemu nyingine inaitwa carpels ambayo ni mfuko wa uzazi sehemu hii ni ya kike inaitwa kwa kitaalamu gynoecium (neno la kigiriki liitwalo gyne maana yake kike) hapo ndipo yanapotengenezwa mayai
ili mmea upate kuzaa matunda yenye uhai ndani yake kunahitajika ile pole kutoka sehemu ya kiume ije kuungana na yai kutoka sehemu ya kike gynoecium na kupatikana uhai katika matunda hapa tunaona maajabu ya mwenyezi mungu ambaye kwa utaratibu wake wa busara hata mimea ina jinsi mbili ili kuzaana na kueneza aina ya kiumbe hicho (propagation of species)
maajabu mengine ya muumba wetu ni pale alipoumba madini ambayo hayana uhai lakini kadiri ya mpangilio wa mungu kaweka upande mmoja nguvu za chanya na upande mwingine nguvu za hasi kwa lugha nyepesi ni nguvu dume na nguvu jike hii wale wote waliosoma elementary physics wanaikuta katika somo la magnetism
hapa kuna aina ya chuma (fe3o4) chenye ncha mbili tofauti ncha ya chanya (nyekundu) na ncha ya hasi (nyeusi) basi ukikaribisha ncha chana za vyuma viwili vyuma vile vitakimbiana (will repel) lakini ulogwe kukaribisha ncha chanya na ncha hasi mara moja vyuma vitavutana na kuungana (will attract each other)
maajabu haya katika sayansi ya magnetism yanathibitisha kuwa mungu ameumba jinsi mbili ili zivutane na kamwe ncha za nguvu ya aina moja hazitavutana basi kwa mtazamo wangu binafsi nalenga kuonyesha namna dunia kadiri ya maumbile yake mwenyezi mungu jinsi moja haiwezi kuelekeana pamoja isipokuwa jinsi zile mbili tofauti alizoumba mwenyezi mungu jinsi ya kiume na jinsi ya kike vina mvutano wa kukaa pamoja
sasa ndoa ya jinsi moja kuna mvutano gani hapo au ni tamaa za kimwili tu ni tamaa chafu hiyo isikubaliwe na isipokewe katika utamaduni wetu wa kiafrika agizo la mwenyezi mungu ni kuongezeka na kuijaza nchi ili hilo lifanyike lazima pawepo na jinsi ya kiume na ya kike ndipo kizazi kinaweza kutokea
nimeeleza kijuujuu sana kujaribu kuonyesha uozo wa ustaarabu wa wazungu kutaka kabisa kumsahihisha mungu wamejaribu kutengeneza kiumbe kwa kupitia chupa (clowning) na wamejaribu kuongeza uhai ili wasife lakini hayo yote siyo mpango wa mwenyezi mungu hivyo wazungu wameshindwa
sasa ndiyo wanajaribu kwenda kinyume kabisa cha maumbile kuhalalisha ndoa za jinsi moja huku ni kujaribu kumsahihisha muumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kanuni asilia za uumbaji (natural phenomenon) hazibadilishwi na viumbe vyovyote vya mungu isipokuwa mungu mwenyewe tu
previous dar es salaam ina viongozi wabovu sijapata kuona
next yah tulianza kusimama dede sasa tunabebwa | 2018-09-21T06:16:49 | http://www.jamhurimedia.co.tz/tuukatae-ushoga-na-ndoa-za-jinsi-moja-1/ |
made in kenya latest politics entertainment swahili feedback livescore submit video fighting alshabaab wakenya mabilionea mashuhuri wanaotoka katika kijiji kimoja
3742 chapisha twitter
5benson wairegi mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya britambenson wairegibenson wairegi ni bilionea kutoka kijiji cha rwathia na ni mkurugezi mtendaji wa kampuni ya britamwairegi na munga wanasemekana kumiliki hisa za mamilioni katika kampuni hiyo ya britamwawili hao watatoka katika kijiji kimoja cha rwathiamabilionea hao wamesemakana kupeana ajira kwa watu wengi nchini na hata nje ya nchi
picha za kipekee za barabara mpya ya outerring itakayoshinda thika superhighway
alfred mutua obama car nzula makosi daniel moi grace msalame habari zingine mfanya biashara tajika anaswa kwenye video akikiri mapenzi yake kwa raila na kumkashifu uhuru kenyatta
mfanya biashara tajika anaswa kwenye video akikiri mapenzi yake kwa raila na kumkashifu uhuru kenyatta jua mema yaliyomtendekea mwanamke aliyekatwa mikono na bwanake (picha) | 2017-02-21T16:36:17 | https://swahili.tuko.co.ke/191500-wakenya-mabilionea-mashuhuri-wanaotoka-katika-kijiji-kimoja.html |
halmashauri ya wilaya ya mufindi imetajwa katika orodha ya halmashauri 9 kati ya halmashauri 185 zinazofanya vizuri kwa uhuishaji wa habari kupitia tovuti yake hapa nchini
waziri wa habariutamadunisanaa na michezo mhdktharrison mwakyembe amebainisha hilo alipokuwa akifungua mkutano wa 14 wa mwaka wa maafisa mawasiliano serikalini jijini arusha
tulipokuwa tukizindua tovuti hizi mwezi machi 2017tulisisitiza tovuti hizi kutokuwa magofu bali majokofu ya habari hivyo tulizizindua tovuti hizo za mikoa pamoja na halmashauri ili kuongeza uwazi na uwajibikaji alisema dkt mwakyembe
amesistiza tovuti hizo zinatakiwa kuwa na taarifa sahihi na kwa wakati ili kutoa nafasi kubwa ya watanzania kuzipata na kujua serikali yao inafanya nini na kwa wakati gani
amewataka maafisa habari kuwajibika kwa kutoa taarifa za kiserikali kwa umma kwani kutokufanya hivyo ni kuwanyima wananchi haki ya kupata taarifa na atakaye zembea kutekeleza jukumu hilo atatakiwa kuwajibishwa kwa kwa mujibu wa sheria kanuni na taratibu za utumishi wa umma
sanjari na mufindi halmashauri nyingine zilizofanya vizuri ni kishapu mlele kinondoni ilala kibaha na mtwara mikindani
kikaoa kazi cha maofisa habarai mawasiliano na uhusino serikalini ufanyika kila mwaka kwa kuwakutanisha maofisa kutoka wizara mashirika ya umma tasisi na wakala wa serikali pamoja na halmashauri zote nchi kwa lengo la kufanya tathimini ya utendaji kazi pamoja na kuwajengea uwezo zaidi wa utendaji kazi
kuitwa kwenye usaili kazi ya ukusanyaji mapato april 30 2019
sekta ya afya mufindi yapata bodi mpy
jiepusheni na tabia ya kugushi mitihani mkurugenzi mufindi
makala tasaf mufindi kaya maskini
muongozo wa kutumia mfuo wa ffras
hati ya mishahara ya watumishi | 2019-05-25T05:13:55 | http://www.mufindidc.go.tz/new/tovuti-ya-mufindi-ni-miongoni-mwa-halmashauri-09-za-halmashauri-zinazofanya-vizuri-nchini |
tra yakusanya trilioni 1178 nijuze
shirika la afya duniani kufanya majaribio ya chanjo ya ebola
nyumbani kitaifa tra yakusanya trilioni 1178
katika kipindi cha miezi tisa ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia julai 2017 hadi machi 2018 mamlaka ya mapato tanzania (tra) imekusanya jumla ya shilingi trilioni 1178 ikilinganishwa na shilingi trilioni 1086 ambazo zilikusanywa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17 kiasi hiki ni sawa na ukuaji wa asilimia 846
katika mwezi wa tatu pekee tra imekusanya jumla ya shilingi trilioni 154 ikilinganishwa na mkusanyo ya mwezi machi 2017 ambapo ilikusanya shilingi trilioni 1 34 ambayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 1449
iliyopitaronaldo kuwa mchezaji bora wa miaka yote uefa
ijayowanaume nao waibuka kwa mkuu wa mkoa
afya na tiba may 21 2018
shirika la afya duniani (who) na serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya congo leo wamekuja na mbinu mpya ya kutoa chanjo ya majaribio dhidi | 2018-05-21T14:53:54 | http://www.nijuze.co.tz/kitaifa/tra-yakusanya-trilioni-11-78/ |
mpendwa msaikoloji nahitaji msaidizi kuhusu shida wa mchichana wangu kwa umri yake yeye ni mchichana ambayo anageuka mwanamke katika masomo yake anaendelea vizuri na kufanya michezo pia sasa wakati wa mwaka huu masomo imeanza kuwa ngumu na yeye ameamza kujisikia tofauti yeye ako wasiwasi na ana kama mawazo mazito mimi naona kwamba amekonda sana na pia ninachangaa kwanini anapima sana kitu anayokula anakataa kukula chakula aina nyingi kwasababu anasema yanaleta uzito mara nyingi hataki au anaepuka kufika kukula chakula zamani wakati alikuwa mdogo shida kama haya haikutokea pia muda wa kukula chakula pamoja kama familia ilikuwa muhimu kwake hata alikuwa mnene kidogo kaka yake na baba yake hata walimchokoza yeye kuhusu hii kitu hata bado mchichana wangu anapika chakula pia kwa familia sasa wakati yeye amekonda sana hata marafiki wetu wengi hawamjui yeye ni nani wakimkutana njiani siku moja nilistuka kukundua kwamba mwili wake ni mfupa na ngozi tu inabidi mimi niwe na wasiwasi na inabidi nifayne nini lakabu mama
mpendwa lakabu mama inawezekana kwamba stress na mawazo mazito inaweza kufanya kwenye maisha ya mwanamke kijana onyo kama haya mwanamke ambayo anatamani na ambayo anafanya kila kitu kwa kamilifu anataka kuwa na mtu mwenye timilifu katika katika kila kitu pia kukuwa na mtu mrembo inataka uwe mwembamba na kitu kwamba baba na wakaka wamechokoza yeye kuhusu kukuwa mnene namna kama haya inaweza kufanya kwamba mtu anataka kutoa uzito ya mwili ambayo hataki shida ni kwamba kutoa uzito inaweza kupita kiasi na inaanza kuwa kama kitu cha lazima kufanya wakati hali ya mchichana wenu imebadilika sana inabidi kufanya vipimo mbali mbali na itakuwa vizuri kama utaweza pamoja na mtoto wako kuenda kuona daktari inawezekana kwamba ni usumbufu ya kukonda lakini inaweza kukuwa sababu nyingine pia
wakati tunaongea kuhusu usumbufu ya kukonda inatokea wakati uzito ya mtu ni zaidi ya 15 chini ya uzito ya kawaida ya urefu hii pia tunaita kwa jina body mass index bmi na inabidi isiwe na zaidi ya 175 mnaweza kuhesabu pia kwa njia ya kugawa uzito ya mtu zaidi ya umri 16 kwa urefu cm2 mtu alijye na shida ya kukula anajaribu kuhesabu chakula na kuacha kukula chakula ambayo inaleta uzito pia mteja huweza kutapika chakula alichokula huweza kutumia dawa ya kuharisha au dawa ambayo inatoa maji ya mwili pia mgonjwa anaweza kufanya mazoezi ya mwili kupita kiasi kawaida mtu na shida anajisikia kama yeye ni mnene na anaogopa kupata uzito hii inafanya kwamba mtu anafanya uzito ya mwili chini ambayo anataka kufikisha hii kitu ni kwamba mtu anaona mwili yake vibaya kwasababu yeye haoni mwenyewe kamili na ukweli wakati uzito inapunguka sana siku za mwanamke inaweza kuacna kufika uzito ya mawazo ni kawaida pia na kwamba kitu inasonga kama ulieleza shida ya kwanza ni kupata mtu kuamini kwamba hali yake si sawa shida inafanana na mtu na shida na pombe katika shida kubwa inaweza kuwa ngumu kupata mtu kuamini na kuanza kufanya mabadiliko katika tabia ya kukula hii kitu cha kurekebisha uzito ya mwili ni kitu kimuhimu ya kufanya natoa shauri kwamba uongee kwa mchichana wako na ujaribu aende kwa daktari daktari wa kituo cha afya anakadiri kama inabidi kufanya hatua gani mwanzoni ni muhimu kwamba utakuwa pale pia kwasababu kupata picha cha kweli itakuwa ngumu kupata bila wewe kama inahitajikana mchichana wako anaweza kuenda kuona pia watu wengine wa hodari sasa kama mama uwe na macho sana ni muhimu kwamba usilete hali kuenda mbaya zaidi na ili shida ya kukonda iishe
msaikoloji | 2019-04-25T02:53:22 | http://mosaiikki.info/psykologi_fi.php?id=psyko_laihuus_hairio_sw |
home oxford university press east africa ltd
certificate geography sb 3 (revised edition)
certificate geography coursebook 3 has been revised refined and updated relevant statistical data that fluctuates from year to year has been updated to reflect the latest trends between the years 2010 and 2014 in keeping with the new way of testing geography
fani ya ushairi kwa shule za upili
fani ya ushairi kwa shule za upili ni kitabu kilichofanyiwa utafiti wa kina kuondoa dhana ya ugumu wa ushairi kitabu hiki kimeandikwa kwa utaalamu mkubwa ili kumfafanulia mwanafunzi utanzu wa ushairi kila kipengele cha ushairi
kiswahili sanifu 7 (toleo jipya )
toleo jipya la kiswahili sanifu 7 ni kimoja kati ya vitabu vilivyotolewa upya kwa shule za msingi kitabu hiki kina mpangilio mpya unaorahisisha matumizi kina mazoezi mapya na mitihani ya majaribio aidha utapata masuala ibuka kama vile mikasa ajira ya watoto afya teknolojia na mazingira
oxford advanced learners dictionary is the world's bestselling advanced learner's dictionary the oxford advanced learners dictionary 9th edition is much more than a dictionary its a toolkit for developing language skills and vocabulary
text book centre jomo kenyatta prize for literature 2015 (childrens category english) winner
mlemavu si mimi
jomo kenyatta prize for literature 2011 (youth fiction kiswahili) winner
jomo kenyatta prize for literature 2011 (childrens category english) winner
jomo kenyatta prize for literature 2013 (youth category english) winner | 2019-03-24T08:41:12 | https://oxford.co.ke/index.php/component/content/57?layout=blog |
kingereza cha tiffah ni zaidi ya baba yake utra video city look video with us
kingereza cha tiffah ni zaidi ya baba yake
author amaizing tv 1 год назад
504 like 64 dislike
zari tiffah na nillan utafurahi mwenyewe vurugu hazihishi ndani
tiffah na nillan baada ya kukutana na baba yao diamond platnumz
wcb president diamond platnumz reportedly flew to south africa on tuesday in an attempt to settle their differences with his baby mama zari hassan an excited zari announced diamonds presence via her snap chat after sharing a collection of gifts she had received from the father of her two kids
jionee mapenzi ya baba na mtotodiamond na tiffa mpaka raha
subscribe now on our youtube channel to be the first to hear about the latest news and updates on time #middle_simba #weareeverywhere
watoto 10 mastaa tanzania
ili uweze kuwa mmoja kati ya wengi wanaojishindia gari nyumba pikipikismartphone na pesa taslim karibu pia ujiunge kwa email yako katika site yetu kwa kubonyeza link hapa chini https//wwwcoinbasecom/join/5b1172883f61811631708a21 kumbuka kizuri kula na nduguyo subscribe kwa channel yetu kwa mengi yanayojili kila siku ngai tv kaa kistaa povu
mtoto mwenye kipaji cha kutangaza
ili uweze kuwa mmoja kati ya wengi wanaojishindia gari nyumba pikipikismartphone na pesa taslim karibu pia ujiunge kwa email yako katika site yetu kwa kubonyeza link hapa chini
https//wwwcoinbasecom/join/5b1172883f61811631708a21
kumbuka kizuri kula na nduguyo
mtoto wa staa kutoka bongo diamond platnumz kwa sasa kakua na anaongea kingereza safi kuliko baba yake ila tofauti nikuwa baba yake mtoto wa tandale na mtoto ni wa south huko kwa mzee madiba angalia ujionee mwenyewe
zari tiffah na nillan utafurahi mwenyewe vurugu hazihishi 3 мес назад
author wcb family 3 мес назад
tiffah na nillan baada ya kukutana na baba yao diamond plat 7 мес назад
jionee mapenzi ya baba na mtotodiamond na tiffa mpaka raha 6 мес назад
author middle simba 6 мес назад
watoto 10 mastaa tanzania 11 мес назад
author amaizing tv 11 мес назад
mtoto mwenye kipaji cha kutangaza 1 год назад
author godfrey msuya wa ukweli 1 год назад
tendo la ndoa kwa watu wanene by dr paul nelson 3 час назад
author paul mwaipopo 3 час назад
vituko vya princess tiffah ndani ya hii familia haviishi 11 мес назад
author wcb family 11 мес назад
utapenda jinsi watoto wa ivan don wanavyomlea princess tiffa 1 год назад
author wcb family 1 год назад
kumbe tiffah hajui kiswahili msikilize akiongea na bibi yak 1 год назад
kwenye video hii tiffah ni kama anamuambia diamond 'dad no 1 год назад
author simulizinasauti 1 год назад | 2019-01-19T08:14:23 | http://ulcity.info/watch/cjfwT_oYYI0 |
dhambi ya asili na matokeo yake kwa wanadamu na maumbile radio vatican
uchafuzi wa mazingira umesababisha madhara makubwa kwa mwanadamu kiasi hata cha kukosa furaha ya kweli katika maisha baraza la maaskofu katoliki tanzania linasema haya ni madhara ya dhambi ya asili reuters
ujumbe wa kwaresima maaskofu katoliki tanzania
waraka wa kitume furaha ya injili
dhambi ya kutotimiza wajibu
waamini wa dini mbali mbali wanapaswa kushikamana kulinda mazingira
mambo msingi ya kuzingatiwa katika utunzaji bora wa mazingira
onesho la kimataifa la expo 2017 astana kufungwa 10 septemba 2017
kardinali parolin tendeni wema msilipize kisasi
tunzeni mazingira kuepuka maafa kwa watu na mali zao
furaha ya upendo ndani ya familia ni dira na mwongozo wa familia
yaliyojiri kwenye ibada ya upatanisho wa kitaifa nchini colombia
yaliyojiri katika kongamano la iv la ekaristi takatifu kitaifa ghana
parokia ya kiabakari na mchakato wa kumwilisha huruma ya mungu
askofu msonganzila afafanua jubilei ya miaka 150 100 na 60 ya jimbo
mwaka wa padre tanzania uchambuzi wa malezi maisha na utume wake
mapambano dhidi ya saratani ya rushwa na ufisadi duniani
saratani ya rushwa na ufisadi inavyoisambaratisha jamii | 2017-10-21T17:42:28 | http://sw.radiovaticana.va/news/2017/03/29/dhambi_ya_asili_na_matokeo_yake_kwa_wanadamu_na_maumbile!/1302072 |
(showing articles 4621 to 4640 of 37939)
02/24/140016 _mchepuko wa posho w
02/24/140023 _milioni 50 za airte
02/24/140644 _wanafunzi wa chuo c
02/24/140646 _after party ya lady
02/24/140650 _wamiliki wa maeneo
02/24/140703 _ mkutano wa wataala
02/24/140717 _kumekucha tamasha l
02/24/141211 _mtemvu achangia sh
02/24/141215 _uzinduzi wa albamu
02/24/141227 _serikali kubadili m
02/24/141233 _waziri nyalandu aku
02/24/142001 _misaada kwa yatima
02/25/140024 _salma msangi kulik
02/25/140103 _vijana kuandaliwa k
02/25/140212 _tangazo la mkutano
02/25/140214 _makonda rasimu ya
02/25/140224 _ray c aanzisha asas
02/25/140333 _wananchi msiwe na h
02/25/140341 _zanzibar yaanza mat
02/25/140355 _article 2
older | 1 | | 230 | 231 | (page 232) | 233 | 234 | | 1897 | newer
02/24/140016 mchepuko wa posho wa bunge la katiba
02/24/140023 milioni 50 za airtel mimi ni bingwa kutolewa ijumaa
02/24/140644 wanafunzi wa chuo cha taifa cha utalii watembelea tbl dar
bia zikiwa tayari
makret ya bia yakiwa tayari kiiwandani hapo
02/24/140646 after party ya lady in red yafana
aidha katika halfa hiyo pia wageni na wadau waliofika walipata kushuhudia shoo fupi ya mavazi yaliyobuniwa na lucy warere wa tifu tifu fashions beda masai na asia idarous khamsini asia idarous aliwataja wadhamini waliodhamini halfa hiyo ni pamoja na times fm michuzi media group moblog dtv nyumbani lounge darling air g one media channel ten ctn na wengine wengi
02/24/140650 wamiliki wa maeneo ya biashara waombwa kutoa kipaumbele kwa wanawake wajasirimali
wamiliki wote wa maeneo ya biashara nchini wameombwa kutoa nafasi ya maeneo ya biashara kwa wajasirimali wanawake ili kumkomboa mwanamke kutoka katika dimbwi la umaskini na utegemezi moblog inaripoti
akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wajasirimali wanawake jijini dar es salaam leo mchana mwenyekiti wa tanzania handcraft association (tancraft) elihaika mrema amesema kuwa wanawake wafanyabiashara wadogo wana matatizo na changamoto kadhaa mojawapo ni maeneo ya kuuzia bidhaa zao
hata kama mjasirimali mwanamke ukimpa mtaji wa biashara na mafunzo changamoto kubwa ni kupata eneo la kuweza kuuza hiyo bidhaa yake aliyotengeneza kwa mikono yake mwenyewe amesema mrema
mwandishi wa kituo cha televisheni cha itv fatma almasi akiangalia moja ya bidhaa zinazotengenezwa na batiki wa pili kulia ni mwenyekiti wa tancraft elihaika mrema na wa tatu kulia ni mwandishi wa habari kutoka kituo cha televisheni cha channel ten bw salum mkambala
baadhi ya wajasiriamali wa dar free market wakionyesha bidhaa zao watanzania tuwaunge mkono wenzetu
baadhi ya wajasiamali wanawake tanzania wakionyesha moja ya kazi za uchoraji za ujasiriamali kwa wageni waalikwa baada ya chama cha wanawake wajasiriamali tanzania (tancratf) kuandaa mkutano na waandishi wa habari kulia ni glory matafu na kushoto ni jacqueline polycarp
picha hii inauzwa shilingi milioni 12 inapatikana kwenye jengo la biashara la dar free market lililopo barabara ya ali hassan mwinyi karibu na ubalozi wa kenya nchini ambapo wajasiriamali hao wanafanya biashara zao hapo kwa muda wa mwaka mmoja
fatuma amour kutoka kampuni ya famour designer akionyesha moja ya kazi za mikono yake
02/24/140703 mkutano wa wataalamu wa nchi zinazoendelea
mgeni rasmi bi angelina madete (wa tatu kutoka kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu kutoka nchi mbalimbali mara baada ya kufungua mkutano wa siku tatu wa kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi kwa nchi zinazoendea
bi pepetua latasi (kulia) mwenyekiti wa kamati ya wataalamu washauri kwa nchi zinazoendelea akiongoza kikao cha siku tatu katika hotel ya cotyard jijini dar es salaam kushoto ni bw motsomi maletjane kutoka sekretariet ya mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabianchi (unfccc)
katika jitihada za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi tanzania kwa mara ya kwanza imekuwa mwenyeji wa mkutano wa wataalamu wa nchi zinazoendelea dunia (least developed countries expert group leg)
akifungua mkutano huo naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais bi angelina madete amesema kuwa ni fursa nzuri kwa nchi ya tanzania kuratibu mkutano huu na kutoa wito kwa nchi zinazoendelea kupunguza uzalishaji wa gesi joto ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia athari za mabadiliko hayo
bi madete amesema kuwa athari za mabadiliko ya tabianchi ni kubwa katika nchi zinazoendelea hususan kiuchumi na kijamii na kupelekea ongezeko la umaskini maeneo yanayoathirika zaidi kwa sasa ni katika nyanja za kilimo uvuvi ufugaji na maisha ya kila siku kwa jamii za mijini na vijijini katika nchi zinazoendelea
aidha bi madete amesisitiza kuwa jitihada za pamoja zinahitajika katika kuhakikisha masuala ya mabadiliko ya tabianchi yanajadiliwa na kupatiwa ufumbuzi hususan katika nchi zinazoendelea
mkutano huo wa siku tatu unalenga kujadili mipango ya kitaifa ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi (national action plans nap) changamoto na athari za mabadiliko ya tabianchi katika nchi zinazoendelea
kwa upande mwingine mkurugenzi msaidizi ofisi ya makamu wa rais mazingira bw richard muyungi amesema kuwa nchi zinazoendelea zinaathirika zaidi na mabadiliko ya tabianchi kutokana na uzalishaji unaofanywa na nchi zinaoendea na pia uwezo mdogo wa nchi hizo katika kuyakabili na kuyahimili mabadiliko hayo katika mkutano huu wa siku tatu nchi wanachama watabadilishana uzoefu wa jinsi ya kukabiliana na changamoto hizo na kuainisha vyanzo vya mapato
mikutano hii ya leg inaendeshwa ikiwa ni moja ya makubaliano katika mikutano ya kila mwaka ya mabadiliko ya tabianchi ambayo hujulikana kama conference of parties cop nchi wanachama wa unfccc wanapaswa kuandaa mpango kazi wa kitaifa wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi (napa) na tanzania ilikwisha andaa mpango kazi huu tangu mwaka 2007
ili kurahisisha utekelezaji wa mpango kazi huu nchi wanachama pia wanatakiwa kuandaa mipango kazi katika wizara za kisekta mkutano huu umekutanisha wataalamu kwa lengo la kutoa muongozo na maelekezo katika kuandaa mipango kazi hii mkutano huu umeandaliwa na sekretarieti ya mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabianchi (unfccc) kwa kushirikiana na ofisi ya makamu wa rais mkutano huu umewakutanisha wajumbe zaidi ya hamsini kutoka nchi mbalimbali duniani
02/24/140717 kumekucha tamasha la kimataifa la 33 la sanaa na utamaduni bagamoyo
kikundi cha sanaa cha tasuba wakifanya vitu jukwaani kwenye moja ya tamasha hilo 2013 jukwaani
moja ya kikundi cha sanaa cha acrobat kikionyesha uwezo wao wa sanaaa hiyo 2013
moja ya mchezo wa igizo la hisia kali lililofanywa na walimu wa chu cha sanaa bagamoyo 2013
moja ya vikundi vya kigeni kutokka norway kikiwajibika jukwaani 2012
kumekucha tamasha la kimataifa la 33 la sanaa na utamaduni bagamoyo
kufanyika septemba 22 hadi 28
vikundi zaidi ya 40 vinatarajiwa kutoa burudani
wadau na wadhamini milango ipo wazi sasa
tamasha la kimataifa la sanaa na utamaduni bagamoyo ambalo kwa mwaka huu (2014) litakuwa la 33 ambapo linatarajia kulindima kwa siku saba kuanzia septemba 22 hadi 28 kwenye viunga vya chuo cha sanaa bagamoyo
tamasha hilo la 33 mwaka huu lenye kauli mbiu sanaa na utamaduni katika kukuza utalii limekuwa msaada mkubwa kwa wasanii na vikundi mbali mbali kujitangaza kitaifa na kimataifa pamoja na kutoa fursa za kibishara katika kipindi chote cha tamasha
kwa mujibu wa mwenyekiti wa tamasha hilo abraham bafadhil bura alieleza kuwa tayari mipango na maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea katika kufikia malengo huku akiwaomba wadau kujitoakeza na kudhamini tamasha hilo
milango ipo wazi hivyo kwa wadhamini kujitokeza na kuchangamkia fursa hii hadimu kwani tamasha hili ni kongwe katika ukanda huu wa afrika ya mashariki na afrika kwa ujumla alisema bura
na kuongeza kuwa tamasha hilo lenye mvuto wa kipekee ndani na nje ya tanzania limekuwa likipata umaarufu mkubwa kila mwaka kutokana na idadi kubwa ya watazamji wa ndani na wale wa kutoka mataifa mbali mbali duniani
kwa upande wake katibu wa tamasha hilo benjamini mahimbali alieleza kuwa tamasha hilo limekuwa na mafanikio ikiwemo ongezeko kubwa la watazamaji na vikundi vinavyoomba kufanya maonyesho
idadi ya watazamaji na imekuwa ikiongezeka kila mwaka huku kwa mwaka jana tulikuwa na wastani wa watazamaji elfu nne mia saba kwa siku (4700) ikiwemo wa rika zote alisema ben
na kuongeza kuwa wanatarajia ongezeko hilo kuwa kubwa zaidi kutokana na maboresho na mipango mbali mbali inayotarajiwa kufanyika mwaka huu
katika tamasha hilo maonyesho mbali mbali yanatarajiwa kuonyeshwa ikiwemo muziki wa aina tofauti ngoma maigizo sarakasi mazingaombwe na maonyesho kemkem ya sanaa na utamaduni wa mtanzania na ya mataifa mengine duniani
kwa upande wa fomu za kushiriki tamasha hilo ambalo kwa mwaka huu wanatarajia kupokea vikundi zaidi ya 40 zinatarajiwa kutolewa kwenye ofisi za chuo hicho pamoja na tovuti ya chuo (wwwtasubaactz)
au kwa mawasiliano na maulizo juu ya ushiriki na udhamini waweza kufika chuo cha sanaa bagamoyo (tasuba) au kupitia namba
+255(0) 715 472 745
+255(0) 655 840 405
+255(0) 754 310 425
+255(0) 712 683 408
02/24/141211 mtemvu achangia shil moja vicobaya mashine ya maji temeke
mbunge wa jimbo la temeke abbas mtemvu (aliyevaa miwani) akilakiwa na wanachama wa masdhine ya maji vicoba alipowasili kwa ajili ya sherehe ya kuitunisha mfuko wa vicoba hiyo iliyopo temeke dar es salaam mtemvu alichangia sh mil 1 (picha zote na kamanda wa matukio blog)
mtemvu akimkabidhi agnes mangula cheti cha kuhitimu mafunzo ya uwezeshaji wa mpango wa vicoba wakati wa hafla hiyo
mwanachama novatus sambi akikabidhiwa cheti baada ya kuhitimu mafunzo hayo
mtemvu akihutubia wakati wa hafla hiyo ambapo aliwaasa viongozi kutofuja fedha za vicoba na kwamba atakayethubutu atatiwa ndani na kutakiwa kurejesha fedha
mtemvu akihesabu fedha tayari kuichangia vicoba hiyo ya mashine ya maji
mtemvu akikabidhi mchangio wake
mmoja wa wageni waalikwa kwenye hafla hiyo akitoa ahadi ya mchango
02/24/141215 uzinduzi wa albamu ya extra bongo red carpet ya dar live
(picha abdallah mrisho/gpl)
02/24/141227 serikali kubadili mfumo wa uzalishaji ili kuleta tija katika sekta ya kilimo
waziri wa kilimo chakula na ushirika mhandisi christopher chiza akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo kuhusu mikakati mbalimbali ya wizara yake katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini kushoto ni naibu katibu mkuu wa wizara hiyo mhandisi raphael daluti na kulia ni mkurugenzi wa idara ya habari assah mwambene
na georgina misama maelezo
serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania imelenga kubadili mfumo wa uzalishaji ili kuleta tija katika sekta ya kilimo hayo yamesemwa na waziri wa kilimo chakula na ushirika mhandisi christopher chiza wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam
waziri chiza alisema kuwa katika mfumo huo maeneo makuu matatu ya kipaumbele ambayo ni kuwepo kwa mashamba makubwa ya uwekezaji yapatayo 25 kwa ajili ya kilimo cha mpunga na miwa kuwa na skimu za umwagiliaji 78 kwa ajili ya kilimo cha mpunga na maghala 275 ya mahindi kwa kutumia mfumo wa pamoja
ili kuendana na kasi ya mfumo wa matokeo makubwa sasa serikali imeajapanga kuondokana na kilimo cha mazoea na kujikita kwenye kilio cha kisasa hasa kwenye mazao ya kipaumbele ambayo ni mpunga miwa na mahindi alisema waziri chiza
waziri chiza alifanunua kuwa serikali imejikita kwenye uzalishaji wa mazao hayo ili kukabiliana na changamoto zilizo kwenye sekta hiyo ikiwemo mfumuko wa bei
ili kukabiliana na upungufu wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini waziri chiza alisema kuwa serikali imeidhinisha tani 23312 za chakula cha msaada ili kisambazwe kwa waathirika 828063 ambao walionekana kuwa na upungufu wa chakula katika wilaya 54 za mikoa 16
hifadhi ya taifa ya chakula hivi sasa ina tani 226769544 ambapo tani 226270862 ni za mahindi na tani 498682 ni za mtama ambapo kiasi hicho kinajumuisha tani 25452644 za mahindi kutoka msimu uliopita
02/24/141233 waziri nyalandu akunjua makucha awang'oa vigogo idara ya wanyamapori
waziri wa maliasili na utalii lazaro nyalandu leo ametangaza kuwang'oa vigogo wa ngazi ya juu katika idara ya wanyamapori akieleza kuwa ni kutokana na kutoridhishwa na utendaji wao
aidha hatua hii ni utekelezaji wa azimio la bunge lililotolewa tarehe 22 disemba 2013 lililotaka mkurugenzi wa idara ya wanyamapori kuwajibishwa kutokana na tuhuma za uzembe na ukiukwaji wa haki za binadamu katika operesheni tokomeza utekelezaji wa agizo hili unaanza mara moja nami namteua bwana paul sarakilya kukaimu nafasi hiyo ya mkurugenzi wa idara ya wanyamapori ya wziara ya maliasili na utalii kuanzia sasa
aidha ninamuondoka profesa jafari kidegesho katika nafasi ya mkurugenzi msaidizi wa matumizi endelevu ya wanyamapori na kumteua dr charles mulokozi kuchukua nafasi hiyo hali kadhalika ninamteua bwana julius kibebe kuwa mkurugenzi msaidizi uzuiaji ujangili na anachukua nafasi ya anayeenda kuwa kaimu mkurugenzi wa wanyamapori
02/24/142001 misaada kwa yatima na mapacha wanne yafika salama mbeya
02/25/140024 salma msangi kuliko unavyomjua na ulivyowahi kumsikia [interview]
02/25/140103 vijana kuandaliwa kuwa chachu ya maendeleo ya jamii
naibu katibu mkuu wa wizara ya habari vijana utamaduni na michezo pro elisante ole gabriel akifafanua jambo wakati alipokutana na mkuu wa kampuni ya tata africa holdings (tanzania) ltd kujadili jinsi watakavyoweza kushirikiana kuanzisha program ya kuwaendeleza vijana kwa maendeleo ya jamii kushoto ni bw prashant shukla mkuu ya kampuni hiyo na katikati ni mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha mzumbe pro shiv k tripathi ofisini kwake leo jijini dar es salaam
mkuu wa kampuni ya tata africa holdings (tanzania) ltd bw prashant shukla akielezea jinsi watakavyoweza kushirikiana na wizara ya habari vijana utamaduni na michezo kuwawezesha vijana kuleta maendeleo katika jamii kulia ni naibu katibu mkuu wizara ya habari vijana utamaduni na michezo pro elisante ole gabriel na katikati ni mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha mzumbe pro shiv k tripathi (picha zote na genofeva matemu maelezo)
na genofeva matemu (maelezo)
vijana kuandaliwa kuwa chachu ya maendeleo ya jamii
wizara ya habari vijana utamaduni na michezo kwa kushirikiana na kampuni ya tata africa holdings (tanzania) ltd imeadhimia kuanzisha programu ya kuendeleza maendeleo ya jamii kwa kutumia vijana waliopo katika ajira mbalimbali kwa kuwajengea uwezo utakaowawezesha kuleta maendeleo katika jamii yao
hayo yameafikiwa wakati naibu katibu mkuu wa wizara ya habari vijana utamaduni na michezo pro elisante ole gabriel alipokutana kwa ajili ya majadiliano ya awali na mkuu wa kampuni ya tata africa holdings (tanzania) ltd bw prashant shukla pamoja na mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha mzumbe pro shiv k tripathi ofisini kwake leo jijini dar es salaam
lengo kuu la majadiliano hayo ni kupata ufafanuzi wa awali na kutambua maeneo ambayo wizara itaweza kushirikiana na kampuni hiyo ili kuongeza ajira kwa vijana haswa ajira ya kujitegemea pamoja na kuwajengea uwezo vijana katika masuala ya ujasiriamali uongozi na ufundi makanika
programu itakayoanzishwa italenga vijana hususani wale wanaojihusisha na ufundi makanika madereva wa daladala pamoja na waendesha pikipiki kwa maana ya usalama wao usalama wa pikipiki na ujasiriamali utakaowawezesha kujipatia kipato na kuleta maendeleo katika jamii amesema pro gabriel
kwa upande wake mkuu wa kampuni ya tata africa holdings (tanzania) ltd bw prashant shukla ameiahidi wizara kushirikiana nayo bega kwa bega muda wote ili kuhakikisha kuwa tatizo la vijana mitahani linaisha na kuwa na vijana ambao wanauelewa na uwezo wa kuleta maendeleo katika jamii yao
naye mkurugenzi maendeleo ya vijana bw james kajugusi ameitaka kampuni hiyo kushirikiana na wizara kwa kuchukua fursa ya kuboresha karakana ya ufundi makanika iliyopo katika kituo cha vijana ilonga morogoro kama njia mojawapo ya kuwakomboa vijana na kuleta maendeleo
02/25/140212 tangazo la mkutano mkuu wa wadau wa pspf
tangazo la mkutano mkuu wa wadau
02/25/140214 makonda rasimu ya katiba imewasahau vijana
02/25/140224 ray c aanzisha asasi ya kuelimisha vijana na jamii juu ya madhara ya utumiaji wa madawa ya kulevya
02/25/140333 wananchi msiwe na hofuhakutakuwa na vurugu uchaguzi mdogo wa jimbo la kalengamkuu wa mkoa iringa
02/25/140341 zanzibar yaanza matayarisho ya uzinduzi wa jumuiya ya maradhi yasiyoambukiza
02/25/140355 article 2
24th 27th march 2014 morogoro tuition is tshs 500000/= per person apply info@imedtzorgor 0718942314 (ulrich) and
0754548248 (hellen) or visit us at mwalimu house 7th floor uhuru road ilala dar es salaam or wwwimedtzorgto pick the registration form | 2019-12-11T01:23:12 | http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p232.html |
kuelekea mechi ya azam vs kmkm soka stadium
kuelekea mechi ya azam vs kmkm
home » unlabelled » kuelekea mechi ya azam vs kmkm
na peter richard kabita 0765 178880
jioni ya leo zinakutana timu bingwa kutoka kila upande azam ni bingwa mtetezi tanzania bara huku kmkm akiwa bingwa mtetezi wa tanzania visiwani
hii itakuwa mechi yao ya pili kukutana baada ya kukutana mara ya kwanza kwenye mashindano ya klabu bingwa afrika mashariki maarufu kama kagame ambapo mpira ulimalizika kwa suruhu ya bila kufungama
kmkm inaingia kwenye mechi hii ngumu huku ikiwa na rekodi ambayo sio nzuri sana kiwango chao cha sasa sio kama kile cha zamani hata kwenye msimamo wa ligi kuu zanzibar inakamata nafasi ya nane ikizipita timu nne tu nyuma
japo ilidroo kwenye mechi yao na mtende kwenye mashindano haya ya mapinduzi bado wanakazi ngumu kukabiliana na wanalambalamba hao huku kocha mkuu wa kmkm shaban ramadhan tangu aondoke kocha ally bashiri amekuwa na matokeo yakutoridhisha kabisa
azam fc inaingia uwanjani bila ya wachezaji wake wengi tegemeo kwa sababu tofauti ikiwemo majeruhi itawakosa aishi manula gardiel michael beki pascal wawa mapacha kipre tcheche na bolou pamoja na mshambuliaji wao aliyekuwa na wastani mzuri wa kufunga kwa mechi za karibuni didier kavumbagu naye hato kuwepo
japo azam inakikosi kipana kukosekana kwa wachezaji wao hawa itakiwa tatizo kwa kiasi flani nategemea kumuona amri kiemba akianza leo kwenye safu ya ushambuliaji john boko atasimama mbele pamoja na matokeo ya nyuma ya azam sio mazuri sana kwani katika mechi tano za mwisho walizocheza azam kuanzia za kirafiki kule uganda hadi mechi yao ya mwisho ya kombe la mapunzi dhidi ya kcca walikuwa wamecheza mechi tano huku wakiwa wameshinda mechi moja tu waliyoifunga vaipers 31
wamefungwa mechi mbili na kutoka sare mechi mbili uku kwenye msimamo wa ligi ikiwa nafasi ya tatu nyuma mtibwa na yanga pamoja ma kutokuwa na matokeo mazuri bado azam inanafasi kubwa kuelekea mechi ya leo kwanza vipaji vya mchezaji mmoja mmoja benchi la ufundi ila inatakiwa kuwa makini na mshambuliaji kambi wa kmkm japo matokeo ni dakika 90 tusubiri tuone
posted by oscar oscar at sunday january 04 2015 | 2018-12-10T05:22:39 | http://sokastadium.blogspot.com/2015/01/kuelekea-mechi-ya-azam-vs-kmkm.html |
waukweli zaidi yao wadau mpo
wadau mpo
apo vip
posted by by waukweli at 928 pm
tumejaa tele kama pishi la mchele tunasubiri uhondo toka kwako | 2018-07-20T03:12:36 | http://waukweli.blogspot.com/2008/04/wadau-mpo.html |
the network nchi hatari kwa wanawake
nchi hatari kwa wanawake
afghanistan congo na pakistan zimetajwa kua nchi hatari sana kwa wanawake dunianiripoti ya shirika liitwalo trust law imethibitisha kuwepo kwa vitendo vya kinyanyasaji kwa wanawake ikiwemo ubakaji wa wanawake kila sikuindia na somalia zinafuata mkumbo na hatimaye kufanya idadi ya nchi hatari kwa wanawake kufika tanokwa mujibu wa ripoti hio congo imefikisha idadi ya wanawake 1150 wanao bakwa kwa siku
by rik kilasi on wednesday june 15 2011 labels trust law report ubakaji wanawake
kwikwi za facebook | 2018-03-23T01:22:05 | http://rijaki.blogspot.com/2011/06/nchi-hatari-ukiwa-mwanamke.html |
majina wa wapenzi wa jinsia moja kuchapishwa tanzania bbc swahili
http//wwwbbccom/swahili/habari39027155
kuna watu wanadhani vita dhidi ya ushoga ni ya mzaha ni vita kubwa na tutaishinda mtandao ni mrefu na nitaendesha operation kamata kamata aliandika kigwangala katika twitter wiki iliyopita
wapenzi 3 wa jinsia moja watakiwa kuripoti polisi tanzania
wengi katika twitter walimshutumu kigwangalla kwa kuendesha kampeni ya chuki dhidi ya kundi hilo la mashoga huku yeye akijibu natimiza wajibu wangu kama kiongozi msimamizi wa sheria na sera za nchi yetu | 2017-11-21T06:34:27 | http://www.bbc.com/swahili/habari-39027155 |
watu wanne wauawa katika msikiti wa quebec amerika rfi
canada uislam mauaji
na rfi imechapishwa 30012017 imehaririwa 30012017 saa 0654
canada kukabiliana na msimamo mkali wa
canada na ufaransa zashirikiana dhidi
shambulio katika mji wa ottawa | 2018-10-16T20:54:44 | http://sw.rfi.fr/amerika/20170130-watu-wanne-wauawa-katika-msikiti-wa-quebec |
prezida wa sudani omar albashir yaragabishije kwugara umuringoti utwara ibitoro ubivanye muri sudani yo mu bumanuko
prezida wa sudani omar albashir yaragabishije kwugara umuringoti utwara ibitoro ubivanye muri sudani yo mu bumanuko gicurasi 28 2013
prezida wa sudaniomar albashir sangiza
prezida wigihugu ca sudani omar albashir yaragabishije kwugara umuringoti utwara ibitoro ubivanye muri sudani yo mu bumanuko ukabijana mu buraruko mu kuvuga ko sudani yo mu bumanuko ishigikiye abarwanya ubutegetsi
prezida bashir yatangaje mwijambo yashikirije kuri televiziyo ejo ku musi wa mbere kwigihugu ca sudani kizokwugara uwo muringoti niyo sudani yo mu bumanuko yaha infashanyo iyariyo yose abarwanya ubutegetsi mu bice vyo ku rubibe vya kordofan yo mu bumanuko na blue nile no mu ntara ya sudani irimwo ibibazo ya darfur
ivyo prezida bashir yabitangaje ari kumwe nabategetsi babasirikare inyuma yuko igisirikare gitangaje ko casubiye kwigarurira igisagara ca abu kershola cari mu minwe yabarwanya ubutegetsi mu ntara ya kordofan yo mu bumanuko
sudani na sudani yo mu bumanuko vyarumvikanye ku vyerekeye gusubira kurekurira ibitoro kuva mu bumanuko bigaca mu buraruko mu kwezi kwa gatatu yamara umwuka mubi hagati yivyo bihugu bibiri bimaze igihe bidacana uwaka warasubiye kwiyongera
abarwanya ubutegetsi barateye ibisagara vyo mu ntara za kordofan yo mu buraruko na kordofan yo mu bumanuko mu kwezi kwa kane
sudani yatangaje kwabarwanya ubutegetsi baronka infashanyo itanzwe na reta yo muri sidani yo mu bumanuko ivyagirizo sudani yo mu bumanuko ihakana
ivyo bihugu bibiri ntivyacanye uwaka kuva sudani ironse intahe yukwikukira mu mwaka w2011 inyuma yingwano yamaze imyaka itari mike nigihugu ca sudani | 2017-05-26T07:27:25 | http://www.radiyoyacuvoa.com/a/1669515.html |
matukio na wanavyuo tcu yawatoa hofu wanavyuo udahili
tcu yawatoa hofu wanavyuo udahili
imeandikwa na jacquiline ngoya na mwani aeshi
ofisa habari mwandamizi edward mkaku
chanzop habari leo | 2017-08-18T10:52:25 | https://tzwanavyuo.blogspot.com/2017/07/tcu-yawatoa-hofu-wanavyuo-udahili.html |
bei ya mafuta inatisha | jamiiforums | the home of great thinkers
bei ya mafuta inatisha
discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by benno may 22 2011
tutaendesha magari kweli kwa bei hii ya mafuta bei inapanda sana what next
serikali nyingine kama ulaya na marekani bei za mafuta zimeshaanza kupungua tangu wili mbili zilizopita nasikia marekani bei ya mafuta imepungua kwa cts 1015 na itaendelea kupungua zaidi sasa iweje bongo bei isipungue wakati nchi zinazotoa mafuta ni zile zile zinazouzia uyala na marekani
ndo tulivyoamua kuiingiza madarakani serikali isowajali wananchi wake juzi bunge la kenya limesitisha shughuli zake ili kujadili mfumuko wa bei bongo hii sijawahi kuisikia halafu mtu anavaa linguo la ccm na kuimba kipuuzi tu huku maisha yake magumu balaa anyways miafrika ndivyo tulivyo
hivi tatizo haswa ni nini mbona rwanda na malawi bei iko chini kidogo na yanapita hapa kwetu what is behind all these hapa nahisi kuna hidden agenda kuhusu hii
kwani hamjui wenye biashara za mafuta ndiyo hao hao waliopo madarakani haya yote ni kutokana na sera za magamba kukamua jasho la mwananchi mpaka aanguke kwa dehydration
ndo tulivyoamua kuiingiza madarakani serikali isowajali wananchi wake juzi bunge la kenya limesitisha shughuli zake ili kujadili mfumuko wa bei bongo hii sijawahi kuisikia halafu mtu anavaa linguo la ccm na kuimba kipuuzi tu huku maisha yake magumu balaa anyways miafrika ndivyo tulivyoclick to expand
it is true kwamba bunge la kenya lilijadili suala la kupanda kwa gharama za maisha lakini ilipokuja kwenye suala la hatua zinazopaswa kuchukuliwa hakuna chochote tangible kilichofikiwa ambacho kinatoa nafuu kwa mwananchi wa kawaida survey yangu ndogo katika suala hili accross east africa nimegundua kwamba malalamiko haya yanafanana na kote huko serikali zinalaumiwa kwamba hazijafanya lolote au hazijafanya la maana kuondoa hali hii wakati nakubali kwamba viongozi wanapaswa kuwa concerned na hali hii na kuonekana kwamba wanachukua hatua tunatakiwa kufahamu kwamba mengi ya matatizo haya (hasa hili la mafuta) ni tatizo kubwa zaidi ambalo serikali haiwezi kulimaliza kirahisi kenya walishusha kodi na hiyo ingeshusha mafuta angalau kwa shilingi 6 kwa lita lakini baada ya siku sita bei ikapande tena kwa shilingi sita na senti hata huko marekani bei ya mafuta bado iko juu hata kama kuna kupungua huko kidogo hata hivyo nakubali kwamba ewura na wizara wanapaswa kuendelea kutafuta namna bora ya kudhibiti hali hii inayowamaliza watanzania kwa namna ya ajabu sana
mimi nafikiri eneo ambalo serikali inaweza kufanya vizuri zaidi kuliko inavyofanya sasa ni kwenye suala la bei za vyakula na hasa kwa kuwadhibiti hawa wafanyabiashara ambao wakati mwingine wanapata nafuu nyingi za kodi lakini bado bei ziko juu na unafika wakati hujui kama huu ni wakati wa mavuno au la lakini suluhisho la tatizo hili siyo mikutano na maandamano maana ingekuwa ni hivyo basi spain ambako watu wanaendelea kuandamana hali ingekuwa tofauti hata walk to work ya besigye ilishachemsha kule uganda
nafasi ya kubadilisha mfumo wa utawala tulikua nayo tukakubali kuchakachuliwa
tusilalamike kwa lolote tuwaachie watukamue mpaka utumbo mwembamba they don care and why should they
serikali nyingine kama ulaya na marekani bei za mafuta zimeshaanza kupungua tangu wili mbili zilizopita nasikia marekani bei ya mafuta imepungua kwa cts 1015 na itaendelea kupungua zaidi sasa iweje bongo bei isipungue wakati nchi zinazotoa mafuta ni zile zile zinazouzia uyala na marekaniclick to expand
sahau kupungua kwa bei ya mafuta kwanini mafuta tunanunua kwa pesa za kigenisasa kama usd inapanda kwa wastani wa tzs 5 kwasiku kweli unategemea mafuta ya shuke bei
masebu ajiuzulu basi
mbopo acha siasa tunaongelea kupanda kta bei za mafuta bila udhibita ni jukumu la serikali kupunguza ukali huu wa maisha sio kazi ya upinzani naona umekimbilia kwenye maandamano ulikuwa unataka cdm ambao ndo unawazungumzia wafanye nini au wasifanye nini ili shlingi iimarike na mafuta yashuke bei
usiukimbie ukweli
usiukimbie ukweliclick to expand
kwa bahati mbaya sana hata ukiulizwa kwa nini shilingi yetu inashuka thamani hutakuwa na majibu ya kisayansi (kiuchumi) zaidi ya kulaumu tu serikali ukweli ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa kufanya juhudi kama nilivyodokeza (na kitaalam zaidi kwa weledi wao) lakini matatizo haya hayawezi kumalizwa wala mwananchi hawezi kupata nafuu kwa kuchochewa kwenye maandamano
kwa bahati mbaya sana hata ukiulizwa kwa nini shilingi yetu inashuka thamani hutakuwa na majibu ya kisayansi (kiuchumi) zaidi ya kulaumu tu serikali ukweli ni kwamba pamoja na kwamba serikali inatakiwa kufanya juhudi kama nilivyodokeza (na kitaalam zaidi kwa weledi wao) lakini matatizo haya hayawezi kumalizwa wala mwananchi hawezi kupata nafuu kwa kuchochewa kwenye maandamanoclick to expand
kwa mawazo yako ni kuwa politics has nothing to do with tanzanians life use your brain tupe hayo majibu ya kisayansi hapa
mya take politics ina interfere life la watanzania kwa 100
bado hujasema chochote kama mwananchi wa kawaida sihitaji kujua sababu za kisayansi wala kihistoria tumewaajiri ccm waiendeshe nchi hatutaki visingizio tunataka mabadiliko
sasa sema wewe unaridhika na hali ya maisha kwa maana ya gharama za bidhaa ikiwemo fuel na gas ukilinganisha na kipato cha mtanzania kama wewe ulipwa vialowance vya kifisadi usivihesabu haya nini kifanyike/kifanywe na cdm au kisifanywe ili gharama za maisha zibadilike
mya take politics ina interfere life la watanzania kwa 100click to expand
mkuu hawa akina mbopo ndo think tanks wa ccm na serikali yake
kwa hiyo mkuu tukae tu na kusubiri kufa
niambie mchumi uliyebobea serkaii itumie njia gani kupunguza bei ya chakula kama wewe ni mchumi serikalini basi toa ushauri interventions ambazo zinatakiwa ili thamani ya shilingi isishuke na uchumi usiporomoke haitoshi kulalamikia maandamano ni haki ya watz kuilalamikia serikali wao ndio wameiweka kutegemea upinzani wapite mitaani kuishangilia ni kutaka wapinzani wawe jumuiya xa ya ccm kufiki serikali
yaani kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta misele yote imekufa duuuuh na serikali ndiyo kwanza hailisemei hili hii limeenda mbali mpaka kupanda kwa bei ya vyakula
tutaendesha magari kweli kwa bei hii ya mafuta bei inapanda sana what nextclick to expand
mbona foleni barabarani hazipungui au kuna mahala watu wanapata mafuta ya bei poa
sahau kupungua kwa bei ya mafuta kwanini mafuta tunanunua kwa pesa za kigenisasa kama usd inapanda kwa wastani wa tzs 5 kwasiku kweli unategemea mafuta ya shuke beiclick to expand
ni kweli kwa takribani miaka mitatu sasa thamani ya shs imepungua saana kwa shs km 300400 sasa wewe wastani wa shs 5 kwa siku unautoa wapi au unaanzia wapi tuache uongo pale takwimu zinapoweza kutumika
mbopo unajichanganya mwenyewe how can the government control the food price while the fuel price is high naona umefikiria tu kwenye maandamano let think on the food chain toka chakula kinalimwa mpaka kinafika mezani kila hatua inaitaji sana mafuta mfano tukianzia na pembejeo ili zimfikie mkulima lazima zisafirishwe njoo kwenye kuvuna kunatumia mashine abazo zinaitaji mafuta usifikirie kilimo cha jembe la mkono mpobo hayo ni mawazo mgando ya sera mbovu za chama cha magamba from kuvuna njoo kwenye storage kuna vyakula kama nyanya vinaitaji cold room huu ni umeme ambao unataji mafuta njoo sasa kwenye transportation kutoka ruvuma mpaka sokoni kariakoo mafuta yataitajika in short mafuta ndo kila kitu na hapo nimejaribu kufupisha tu serikari kupanga bei ya mazao kwa mkulima ni kumtwisha mzigo mkulima ambao haustaili
je wenzetu wanafanya nini ndo tunakuja na ishu za ruzuku (subsidies) serikari lazima itoe ruzuku kwa wakulima kuanzia pembejeo nakadhalika pia bei ya mazao inaweza ikabaki vile vile lakini ni jukumu la serikari kuyanunua mazao kwa bei ya sokoni na kuwapunguzia wananchi kwa bei kubalika tusidanganyane hapa kama serikari ina nia kuna vyanzo vingi tu vya mapato ambavyo serikari ina weza kutumia ku cushion the increasing fuel price sema kwa vile chama chetu kina wazee ambao bado wanamawazo ya analog hawawezi kwenda sambaba na digital era hii kusema hili ni tatizo la ulimwengu mzima au afrika mashariki ni ukosefu wa kufikiri kama tuna taka tunaweza kuwa wa kwanza na wengine wakatufuata kwamba mbona tz wameweza bwana bwana tatizo ni kwamba ukiwa mwana magamba hata kufikiri tu akiri inakuwa na magamba na kitakacho toka ni magamba tuuuuuuuuuuuuuuu | 2017-07-22T12:55:47 | https://www.jamiiforums.com/threads/bei-ya-mafuta-inatisha.138040/ |
oidjemo yokuudifaeteyo lopamhepo | ouhamba wakalunga
jehova okwa kulika eembuto doshili youhamba
1 2 (a) omolwashike ovahongwa va li va kumwa (b) jesus okwa li ta popi kombinga yeteyo lilipi
ovahongwa vajesus ova li va kumwa eshi a li e va lombwela a ti yeluleni omesho eni nye mu tale omapya nhumbi a pya okuteywa ova li va yelula omesho nokutala oko jesus a li ta ulike ndele ova li ashike ve wete oilya italala inai fika okuteywa otashi dulika va li tave lipula kutya eteyo lilipi mbela opa li pe na eehani donhumba natango opo eteyo li fike joh 435
2 jesus ka li ta popi kombinga yeteyo loilya ponhele yaasho okwa li a longifa omhito oyo opo a honge ovahongwa vaye oilihongomwa ivali ya fimana i na sha neteyo lopamhepo sha hala kutya okuudifila ovanhu oilihongomwa oyo oilipi mbela opo tu mone enyamukulo natu ka konakoneni ehokololo olo moule
eshivo koilonga neudaneko lehafo
3 (a) omolwashike jesus a ti taleni omapya nhumbi a pya okuteywa (b) jesus okwa yelifa ngahelipi osho a li a hala okutya
3 jesus okwa li ta kundafana novahongwa vaye pexulilo lo 30 op popepi nodoolopa yovasamaria sikar ofimbo ovahongwa vaye va ya modoolopa okwa li a fyaala pondungu opo a li ta kundafana eeshili dopamhepo nomukainhu oo a li a uda ko diva efimano lehongo laye eshi ovahongwa va alukila kujesus omukainhu okwa li a ya diva musikar a ka lombwele ovashiinda kombinga yoinima itunhula oyo e lihonga ehokololo laye ola li la pendula ohokwe yovashiinda shaye vahapu nova li va ya meendelelo kondungu oyo va ka mone jesus eshi jesus a yelula omesho ta tale komapya oilya otashi dulika a mona ongudu yovasamaria ya finda kuye nomolwaasho a ti taleni omapya nhumbi a pya okuteywa ndele opo a yelife oshitwa osho kutya ita popi eteyo loilya ndele oshi na sha nokuudifila ovanhu okwa weda ko a ti ndele paife omuteyi oiimati ote i ongelele omwenyo waalushe joh 4530 36
4 (a) jesus okwa li a honga oilihongomwa yopavali ilipi i na sha neteyo (b) ohatu ka kundafana kombinga yomapulo elipi
4 jesus okwa li a honga oilihongomwa ivali ya fimana ilipi i na sha neteyo lopamhepo shotete oilonga oya endelela eshi jesus a popya eendjovo odo kutya omapya okwa pya okuteywa okwa li ta ladipike ovahongwa vaye va kufe ombinga moilonga opo a divilike nghee sha endelela okwa weda ko a ti paife omuteyi ta mono ondjabi onghee hano kava li ve na okwoongaonga molwaashi eteyo ola hovela nale oshitivali ovalongi ove na ehafo linene jesus okwa popya kutya omukuni nomuteyi otava ka hafa pamwe (joh 435b 36) ngaashi ashike jesus a li a hafa okumona ovasamaria vahapu ve mu itavela ovahongwa vaye navo otava ka kala ve na ehafo linene eshi tava ka longa oshilonga sheteyo nomutima aushe (joh 43942) ehokololo olo lomefelemudo lotete ola fimanenena kufye molwaashi otali faneke osho tashi ningwa kunena meteyo linenenene lopamhepo olo itali ka endululwa vali eteyo lokunena ola hovela naini oolyelye hava kufa ombinga mulo ohava mono oidjemo ya tya ngahelipi
ohamba yetu otai kwatele komesho oilonga inenenene yeteyo oyo itai ka endululwa vali
5 olyelye e kwetele komesho oilonga yeteyo oyo tai longwa mounyuni aushe nembo lehololo otali ulike ngahelipi kutya oilonga oyo oya endelela
5 memoniko olo la pewa omuyapostoli johannes jehova okwa holola kutya okwa nangeka po jesus a kwatele komesho oilonga yeteyo mounyuni aushe (lesha ehololo 141416) memoniko olo jesus okwa popiwa e na oshikoroni noshikashulifo oshikoroni shoshingoldo osho shi li komutwe waye otashi ulike konghandangala yaye e li ohamba tai pangele oshikashulifo sha twa osho shi li meke laye otashi ulike konghandangala oyo ta dana e li omuteyi eshi jehova a popya okupitila momweengeli kutya oilya yedu oya pya filu okwa li ta divilike nghee oshilonga sha endelela nopehe na omalimbililo efimbo leteyo ola fika kape na efimbo lokwoongaonga palombwelo lakalunga olo tali ti tuma oshikashulifo shoye jesus okwa tuma oshikashulifo shaye opo nee eteyo ola ningwa mounyuni sha hala kutya ovanhu kombada yedu ova hovela okwoongelwa emoniko olo litunhula nalo otali tu dimbulukifa omapya nhumbi a pya okuteywa mbela emoniko olo ole tu kwafela tu ude ko kutya onaini eteyo lomounyuni aushe la hovela heeno
6 (a) eteyo ola hovela naini (b) oilya yedu oya hovela okuteywa naini shi yelifa
6 molwaashi emoniko lajohannes olo li li mehololo 14 otali ulike kutya omuteyi jesus okwa djala oshikoroni (ovelishe 14) osha yela kutya okwa hangwa nale a nangekwa po e li ohamba mo 1914 (dan 713 14) konima yaasho jesus okwa li a pewa elombwelo opo a hovele oilonga yeteyo (ovelishe 15) oiningwanima oyo ya xunganekwa mehololo 14 otai ningwa palandulafano la faafana noiningwanima oyo ya tongwa mefaneko lajesus li na sha neteyo loilya omo a popya a ti eteyo olo exulilo lefimbo lounyuni onghee hano efimbo leteyo nosho yo exulilo lefimbo lounyuni oya hovela oshita mo 1914 okuteywa kwoilya kwo vene okwa ka hovela lwanima lwopokati opo mefiku leteyo ile tu tye konima eshi efimbo leteyo la hovela nale (mat 1330 39) mokutala kwaasho sha kundafanwa nale otu wete kutya eteyo ola ka hovela omido donhumba konima eshi jesus a hovela okupangela e li ohamba okudja mo 1914 fiyo opehovelo lo 1919 jesus okwa li ta koshola manga ovashikuli vaye ovavaekwa (mal 313 1 pet 417) opo nee oilya yedu oya li ya hovela okuteywa mo 1919 nopehe na okwoongaonga jesus okwa li a longifa omupiya omudiinini oo opo a li a nangekwa po a kwafele ovamwatate va mone kutya oilonga yokuudifa oya endelela shi fike peni natu ka taleni kutya oshike sha li sha ningwa po
7 (a) omakonakono elipi a li a kwafela ovamwatate va mone kutya oilonga yokuudifa oya endelela (b) ovamwatate ova li va kumikwa va ninge shike
7 oshungonangelo yoshiingilisha yajuli 1920 oya ti osha fa shi li ngaha kutya omakonakono oo a ningwa momishangwa otaa ulike kutya eongalo ola pewa oufembanghenda wokushiivifa etumwalaka louhamba pashihopaenenwa exunganeko lajesaja ola ka kwafela ovamwatate va mone kutya etumwalaka louhamba oli na okushiivifilwa ounyuni aushe (jes 496 527 6113) nonande kava li ve shii kutya ongahelipi oilonga oyo ya li i na okuwanifwa po ova kala ve na elineekelo kutya jehova ote ke va kwafela (lesha jesaja 591) molwaashi ovamwatate ova li va uda ko filufilu kutya oilonga oya endelela shi fike peni osha li she va kumika opo va tamunune mo oukalele wavo mbela ovamwatate ova li ve linyenga ngahelipi
8 oinima yopavali ilipi ovamwatate va li va uda ko mo 1921 shi na sha noilonga yokuudifa
8 oshungonangelo yoshiingilisha yadesemba 1921 oya ti omudo oo owa li wa denga mbada kukeshe umwe novanhu vahapu ova li va uda etumwalaka loshili momudo 1921 shi dulife omido da tetekela oshifo osha weda ko sha ti ashike natango ope na oilonga ihapu natu longeni nomutima u na ehafo didilika nghee ovamwatate va li va uda ko oinima yopavali ya fimana i na sha noilonga yokuudifa oyo jesus a pa ovahongwa vaye oilonga oya endelela nosho yo ovalongi ove na ehafo
9 (a) mo 1954 oshungonangelo oya li ya popya shike shi na sha noilonga yeteyo nomolwashike (b) omuvalu wovaudifi mounyuni aushe owa hapupala shi fike peni momukokomoko womido 50 da pita (tala oshimhungu ehapupalo mounyuni aushe)
9 momukokomoko wo 1930 nasha konima eshi ovamwatate va uda kutya ongudu inene yeedi dimwe otai ka tambula ko etumwalaka louhamba oilonga yokuudifa oya li ya xumifwa komesho shi dulife nale (jes 555 joh 1016 eh 79) oshidjemo omuvalu wovaudifi vetumwalaka louhamba owa li wa hapupala okudja po 41 000 mo 1934 fiyo 500 000 mo 1953 oshungonangelo yoshiingilisha ye 1 desemba 1954 oya ti oilonga inene yeteyo mounyuni aushe otai wanifwa omolwekwafo lomhepo yajehova nokeenghono deendjovo daye * sak 46
ehapupalo mounyuni aushe
ehapupalo lovakonakonimbibeli
oidjemo yeteyo oya xunganekwa momafaneko a twa
10 11 oinima ilipi ya divilikwa mefaneko li na sha nekulo lombuto yoshinapi
10 momafaneko aye e na sha nouhamba jesus okwa yelifa shi na sha noidjemo yoilonga yeteyo natu ka kundafaneni kombinga yefaneko lombuto yoshinapi naalo lonhafi nokutala unene tuu nghee omafaneko oo a wanifwa pefimbo eli lexulilo
11 efaneko lombuto yoshinapi omulumenhu okwa kuna ombuto yoshinapi ndele tai kulu tai ningi omuti oo hau ombo eedila (lesha mateus 1331 32) oshike sha divilikwa mefaneko eli shi na sha nekulo lombuto oyo (1) ekulo olo ola ningwa monghedi ikumwifi ombuto oyo inini i dulike keembuto adishe oya ninga omuti u na oitai ya kula (mark 431 32) (2) ekulo ola shilipalekwa eshi ya kunwa otai [kulu nw] jesus ka li a tya otashi dulika i kule ndele ponhele yaasho okwa ti otai kulu ekulo layo itali dulu oku iwa moshipala (3) omuti oo wa kula owa li wa nana ovatalelipo nova tungila mo eedila dokoshi yeulu otadi tungile momudile wao oinima oyo itatu otai faneke shike shi na sha neteyo lopamhepo olo tali ningwa kunena
12 efaneko lombuto yoshinapi otali faneke shike shi na sha neteyo lokunena (tala yo oshimhungu ehapupalo lovakonakonimbibeli)
12 (1) ekulo efaneko lombuto yoshinapi otali faneke etamunukemo loilonga yokuudifa etumwalaka louhamba nosho yo ekulo leongalo lopakriste okudja mo 1919 ovateyi ovaladi ova kala tava ongelwa meongalo lopakriste olo la tungululwa pefimbo opo ova li omuvalu munini ashike ova hapupala meendelelo oshidjemo ehapupalo lavo okudja pehovelo lo 1900 nasha fiyo okunena oli li oshinima shikumwifi neenghono (jes 6022) (2) eshilipaleko eongalo lopakriste ola kala tali kulu nokape na oo a dula oku li ya moshipala kashi na nee mbudi kutya opa kala pe na omapataneko e fike peni ombuto oya kala nokukula (jes 5417) (3) okutungila eedila dokoshi yeulu odo da tungila momuti otadi faneke ovanamitimadiwa omamiliyona va dja moilongo 240 lwaapo ovo va tambula ko etumwalaka louhamba ndele tava ningi oshitukulwa sheongalo lopakriste (hes 1723) kungaho ohava mono eendja dopamhepo epepelelo neameno meongalo lopakriste jes 321 2 5413
efaneko lombuto yoshinapi otali ulike kutya ovo ve li meongalo lopakriste ohava mono etulumuko neameno (tala okatendo 11 12)
13 oinima i na sha nekulo ilipi ya divilikwa mefaneko lonhafi
13 efaneko lonhafi eshi omukainhu a pilulila onhafi moufila onhafi oya pifa oufila aushe (lesha mateus 1333) oshike shi na sha nekulo osho sha divilikwa mefaneko olo natu ka kundafaneni oinima yopavali (1) ekulo olo ola eta po omalunduluko onhafi oye lihanena moufila fiyo aushe wa pya (2) ekulo olo ole lihanena apeshe onhafi oya pifa oufila woimbale itatu sha hala kutya oufila aushe oinima oyo yopavali otai faafanifwa ngahelipi neteyo lopamhepo olo tali ningwa kunena
14 efaneko lonhafi otali faneke shike shi na sha neteyo lokunena
14 (1) omalunduluko onhafi otai faneke etumwalaka louhamba noufila otau faneke ovanhu ngaashi ashike onhafi ya etifa po elunduluko eshi ya pilulilwa mumwe noufila etumwalaka louhamba nalo ohali eta omalunduluko momitima doohandimwe ngeenge ve li tambula ko (rom 122) (2) okulihana okulihana kwonhafi otaku faneke okutandavelifwa kwetumwalaka louhamba onhafi oya li ye lihanena oufila aushe sha faafana etumwalaka louhamba ola tandavela fiyo okominghulo dounyuni (oil 18) efaneko olo otali ulike yo kutya nomoilongo imwe omo oilonga yetu ya shilikwa etumwalaka louhamba otali tandavele ashike nonande oilonga yetu yokuudifa moitukulwa omo otashi dulika i xume komesho inashi didilikwa mo
15 jesaja 605 22 okwa wanifwa ngahelipi (tala yo oshimhungu jehova okwe shi ninga tashi shiiva epandja 93 nosho yo nghee ou munini a ninga oshiwana sha pama epandja 9697)
15 omido 800 fimbo jesus ina popya omafaneko oo jehova okwa li a xunganeka neendjovo dikonekwedi okupitila mujesaja shi na sha neteyo lopamhepo olo tali ningwa kunena nosho yo ehafo olo tali etwa keteyo olo * jehova okwa popya nghee ovanhu tava di kokule tava mbobolokele kehangano laye okwa popya shi na sha nomukainhu oo kunena ta faneke oshixupe shomuvaekwa kombada yedu a ti opo nee oto ke shi mona nokuyela moshipala molwehafo nomutima woye otau nuka pombada wa mbwalangadja osheshi oupuna wefuta otau uya kuove nomamona oiwana taa amekwa kuove (jes 601 4 5 9 yelakanifa nonw) eendjovo odo kadi fi tuu doshili kunena ovapiya vajehova ovo ve mu longela efimbo lile otava yela ile tu tye tava vilima kehafo eshi va mona nghee ovaudifi moilongo yavo va hapupala okudja komuvalu munini fiyo va ninga omayovi
omolwashike ovapiya vajehova aveshe ve na omatomheno okukala va hafa
16 17 omolwashike omukuni nomuteyi ve na etomheno lokuhafela pamwe (tala yo oshimhungu nghee oufo vavali va li va kuma omitima dovanhu vavali moamazon)
16 otashi dulika to dimbuluka osho jesus a li a lombwela ovayapostoli vaye a ti omuteyi oiimati te i ongelele omwenyo waalushe opo omukuni a hafe pamwe nomuteyi (joh 436) ongahelipi hatu hafe pamwe meteyo olo tali ningwa mounyuni aushe omeenghedi di lili noku lili natu ka kundafaneni nhatu domudo
17 yotete ohatu kala twa hafa okumona onghandangala oyo jehova ta dana moshilonga osho ngeenge hatu udifa etumwalaka louhamba ohatu kunu ombuto (mat 1318 19) ngeenge hatu kwafele umwe a ninge omuhongwa wakristus ohatu teya oiimati atusheni ohatu kala tu na ehafo linene okumona nghee jehova ha ningifa ombuto youhamba i mene ndee tai kulu (mark 427 28) eembuto dimwe odo hatu kunu ohadi ka mena konahiya nohadi ka teywa kuvamwe otashi dulika u na oshimoniwa sha fa shajoan omumwameme omukriste wokobritania oo a ninginifwa omido 60 da pita okwa popya a ti onda shakeneka oohandimwe ovo va lombwela nge kutya onda kuna eembuto momitima davo eshi nda li nde va udifila omido da ya eendombwedi dimwe oda ka konakona ombibeli navo noku va kwafela va ninge ovapiya vajehova noinandi shi shiiva onda hafa eshi ombuto oyo nda kuna ya ka kula noya li ya teywa lesha 1 ovakorinto 36 7
jehova okwe shi ninga tashi shiiva
jesus okwa ti eshi tashi nyenge ovanhu itashi nyenge kalunga (luk 1827) vahapu vomufye otwa shakeneka oimoniwa oyo tai koleke oushili weendjovo odo nonande vamwe ohava ningi eenghendabala da mana mo opo va xulife po oilonga yokuudifa jehova okwe tu kwafela tu dule okutwikila
zacharie elegbe (womido 66 a ninginifwa mo 1963) ota dimbuluka nghee okushilikwa kwoilonga yeendombwedi dajehova mubenin kwa li kwa kwafela ovamwatate okwa ti mo 1976 eshi twa li tu li ovaudifi 2 300 oilonga yetu oya li ya shilikwa nepangelo ola li la yandja elombwelo opo oshinima osho shi shiivifwe moradio momalaka aeshe omoshilongo ashike osho kasha li sha kwafa sha nonande ovakalimo mubenin ohava popi omalaka e dulife po 60 oradio oya li ashike hai udika momalaka atano eshi eshiivifo olo la ningwa momalaka aeshe omoshilongo ovanhu omayovi ovo hava di koitukulwa ye likalela osha li oshikando shavo shotete okuuda kombinga yeendombwedi ova li tave lipula kutya eendombwedi dajehova odo oolyelye nomolwashike oilonga yado ya shilikwa lwanima eshi twa ka fika koitukulwa oyo vahapu ova li va tambula ko oshili moule wefimbo lixupi paife mubenin omu na eendombwedi di dulife po 11 500
mariya zinich (womido 74 a ninginifwa mo 1957) okwa ti eshi nda li ndi na omido 12 oukwaneumbo wetu aushe owa li wa tembulwa moukraine tau twalwa kosiberia morusia nonande epangelo ola kendabala oku tu mweneka mosoviet union ashishe otwa kala ashike nokuhapupala okumona ehapupalo olo likumwifi nonande opa li omapataneko a kwata moiti osha kwafela nge ndi mone kutya eshi oshilonga shajehova kape na nande oumwe ta dulu oku shi ya moshipala omumwameme vali umwe wedina mariya (womido 73 a ninginifwa mo 1960) okwa ti eshi epangelo la twala ovamwatate kosiberia osha li sha yandja omhito kuvahapu ovo hava di koitukulwa ye likalela va udifilwe oshili
jesús martín (womido 77 a ninginifwa mo 1955) okwa ti pefimbo nde lihonga oshili mospania omwa li eendombwedi 300 mo 1960 omapataneko okwa li a kwata moiti epangelo ola li la tuma opolifi opo i kangheke oilonga yeendombwedi dajehova pefimbo opo otwa li hatu diladila kutya itatu ka dula okuudifila oshilongo ashishe onghundana iwa keshe umwe okwa li ta monika a fa e li omhinge nafye ashike paife mospania omu na eendombwedi 111 000 lwaapo okumona ehapupalo la tya ngaho nonande ope na omapataneko osha tomha nge filufilu ndi itavele kutya kekwafo lajehova kape na eshi tashi nyengana
18 etomheno lokukala twa hafa lilipi tali hangwa mo 1 ovakorinto 38
18 onghedi onhivali ohatu kala ovalongi va hafa ngeenge otwa kaleke momadiladilo osho paulus a popya eshi a ti ndele keshe umwe ota pewa ondjabi yaye mwene i fike poshilonga shaye mwene (1 kor 38) ondjabi otai yandjwa she likolelela koilonga ndele hakoidjemo yoilonga eshilipaleko olo itali hafifa tuu omitima daavo tava udifile moitukulwa omo mu na ovanhu ihava pwilikine naanaa momesho akalunga ondombwedi keshe oyo hai kufa ombinga nomutima aushe moilonga yokukuna otai imi shihapu nomolwaasho oi na etomheno lokukala ya hafa joh 158 mat 1323
19 (a) ongahelipi exunganeko lajesus olo li li mumateus 2414 tali tu pe etomheno lokukala twa hafa (b) oshike tu na okukaleka momadiladilo nonande inatu pondola pauhandimwe okuninga ovanhu ovahongwa
19 onhinhatu otwa hafa eshi tu shii kutya oilonga yetu otai wanifa po omaxunganeko diladila kunghee jesus a li a nyamukula ovayapostoli vaye eshi va li ve mu pula va ti onaini hano eshi tashi ka ningwa nedidiliko lokuuya kwoye nolexulilo lefimbo lounyuni olilipi okwe va lombwela kutya oilonga yokuudifa mounyuni aushe oya li tai ka kala oshitukulwa shedidiliko olo mbela okwa li ta popi shi na sha noilonga yokuninga ovanhu ovahongwa ahowe okwa ti evangeli eli louhamba otali udifilwa ounyuni aushe li ningile oiwana aishe ondombwedi (mat 243 14) nomolwaasho okukuna ombuto ile tu tye okuudifa kombinga youhamba oko ku li oshitukulwa shedidiliko eshi hatu udifa onghundana iwa youhamba otu na okukaleka momadiladilo kutya nonande inatu pondola okuninga ovanhu ovahongwa otwa pondola mokuyandja oundombwedi * kashi na nee mbudi kutya ovanhu otave linyenge ngahelipi ohatu kufa ombinga mewanifo lexunganeko lajesus notu na oufembanghenda wokukala tu li ovalongi pamwe nakalunga (1 kor 39) olo kali fi tuu etomheno liwa lokukala twa hafa
okudja kepito letango fiyo okokuningina kwalo
20 21 (a) malakia 111 ota wanifwa ngahelipi (b) oshike wa tokola okuninga po shi na sha noilonga yeteyo nomolwashike
20 mefelemudo lotete jesus okwa li a kwafela ovayapostoli vaye va mone kutya oilonga yeteyo oya endelela okudja mo 1919 okuyuka komesho jesus okwa li a kwafela ovahongwa vaye vokunena va ude ko yo oshinima sha faafana oshidjemo oshiwana shakalunga osha li sha tamununa mo nouladi oilonga yasho kape na nande oumwe a dula okuya oilonga yeteyo moshipala ngaashi sha xunganekwa komuprofeti malakia oilonga yokuudifa otai wanifwa po kunena okudja kepito letango fiyo okokuningina kwalo (mal 111) okudja kepito letango fiyo okeningino kokutya okudja koushilo fiyo okouninginino ovakuni novateyi otava longo nokuhafela pamwe kashi na nee mbudi kutya ove li peni kombada yedu natango meityo limwe vali okudja kepito letango fiyo okeningino kokutya okudja ongula fiyo onguloshi ile tu tye efiku alishe ohatu longo nelitulemo tu shii kutya oilonga oyo oya endelela
21 okutala kwaasho sha ningwa po omido 100 da pita kunghee okangudu kovapiya vakalunga ka hapupala noka ninga oshiwana sha pama omitima detu otadi nhuka pombada kehafo (jes 605 22) onghee hano ehafo olo nohole yokuhola jehova oo e li omwene weteyo nai tu linyengifeni atusheni tu twikile okukufa ombinga moilonga yeteyo linenenene olo itali ka endululwa vali luk 102
^ okat 9 opo u lihonge shihapu shi na sha nomido odo nosho yo omido omilongo da ka shikula ko oto ladipikwa u leshe embo jehovahs witnessesproclaimers of gods kingdom epandja 425520 olo la yelifa kombinga yaasho oilonga yeteyo ya pondola okudja mo 1919 fiyo 1992
^ okat 15 opo u mone ouyelele muhapu u na sha nexunganeko olo tala embo isaiahs prophecylight for all mankind ii epandja 303320
^ okat 19 ovakonakoni vombibeli vonale ova kala nale ve na eudeko loshili oyo ya fimanenena ozions watch tower yo 15 novemba 1895 oya ti ngeenge oilya inini otai dulu okwoongelwa oumbangi muhapu u na sha noshili otau dulu okumonika aveshe otava dulu okuudifa evangeli
ouhamba owa pondola shike shi na sha neteyo lopamhepo
omafaneko ombuto yoshinapi nonhafi okwe ku kwafela ngahelipi u dule okutwikila noukalele woye
omolwomatomheno elipi to dulu okukala ho hafele oukalele
nghee oufo vavali va li va kuma omitima dovanhu vavali moamazon
antônio simões omukulunhuongalo omukriste omudiinini oo e na omido 91 ota dimbuluka nawa nghee xe nahaukwe waxe va mona oshili okupitila moufo vavali ovo va nyanyangidwa keendombwedi dajehova okwa li a pula ovaenda vaye a ti omwa hala okuuda kombinga yasho ova nyamukula va ti heeno otwa hala antônio okwe va tala nohamu te limemesha ndele ta kala omutumba e va hokololele ehokololo laye
tate zeno okwa li omufita mongeleka yobaptist mo 1931 okwa li a ya kukamwe komoutukulwa ovo ve likalela moamazon a ka talele po omukainhu umwe oo a li oshilyo shongeleka yavo eshi a ya meumbo lomukainhu oo okwa li a mona mo oufo vopambibeli vavali omukainhu oo oufo okwa li e va hanga mongeleka ashike ka li e shii kutya olyelye e va fiya mo okafo kamwe oka li taka popi kombinga yoheli nakakwao oka li taka popi kombinga yenyumuko tate okwa li a kumwa kwaasho a lesha moufo ovo okwa li a dimbuluka diva kombinga yahaukwe waye (shuwala shaye) guilherme oo a li he mu lombwele luhapu ta ti inandi itavela momundilo woheli kalunga omunahole ita dulu okushita onhele ya tya ngaho molwaashi tate okwa li a halelela oku ka ulikila guilherme oufo ovo okwa londa mokawato ndele ta i molweendo leevili hetatu a finda komukunda wedina manaquiri oo wa li popepi noshilando manaus oko kwa li haku kala guilherme
konima eshi tate nahaukwe waye guilherme va konakona oufo ovo pamwe aveshe ova dimina kutya ei oyo oshili ova shangela diva koshitaimbelewa shomubrasilia tava pula oishangomwa tate okwa li a efa po oilonga youfita ndele aveshe nahaukwe waye tava hovele okuudifila ovanhu etumwalaka lombibeli moshitukulwa osho she likalela ovanhu ova li ve linyenga nawa onghee momanaquiri omwa li mwa totwa eongalo moule ashike womudo umwe moule wefimbo lixupi ovanhu 70 vomomukunda ova li hava kala pokwoongala neongalo olo olo la li la kula pefimbo opo mubrasilia omumwatate antônio okwa li a kanghama po kanini ndele ta pula ta ti mbela kashi hokwifa okuuda nghee etumwalaka louhamba le uya muamazon oshihokwifa neenghono oumbuto vavali vanini ovo va li ve lihana sha hala kutya oufo vavali vopambibeli ova li va fikifa oshili mofuka yaamazon noshidjemo opa li pa totwa eongalo olo tali xumu komesho kakele keongalo lokomanaquiri olo la kala mo omido 83 paife moshitukulwalongo shaamazonas shomubrasilia omu na omaongalo 143
nghee ou munini a ninga oshiwana sha pama
ou munigholi ota ka ninga eyovi naau minini ota ningi oshiwana sha pama ame omwene nda hala oku shi ninga diva pefimbo lasho (jes 6022) exunganeko olo ola wanifwa ngahelipi ongahelipi ewanifo lalo la li la kuma eendombwedi dopefimbo lonale mounyuni aushe
börje nilsson (womido 84 a ninginifwa mo 1943) okwa ti ohandi dimbuluka omumwatate umwe omuvaekwa oo a li omukokolindjila mo 1920 nasha eshi a li a pewa oshitukulwa musweden hanga etata loshilongo okwa li a dulika nokwa li a hovela okuudifa ka li tuu a hafa eshi oilonga yaye nosho yo yavakwao ovadiinini ya punikwa kunena omuvalu wovaudifi ou dulife po 22 000 nonande paife onda ninga omunamido onda hala okutwikila noudiinini moilonga yajehova olyelye e shi shii kutya jehova okwe tu tuvikilila omanangekonoupuna e fike peni
etienne esterhuyse (womido 83 a ninginifwa mo 1942) okwa ti kunena ohashi kumwifa nge ngeenge handi diladila kunghee omuvalu woshiwana shajehova mosouth africa wa hapupala okudja pe 1 500 mo 1942 fiyo wa konda po 94 000 okukala oshitukulwa shehangano olo linene otashi pameke eitavelo shili
keith gaydon (womido 82 a ninginifwa mo 1948) okwa ti okumona nghee omuvalu wovaudifi mobritania wa hapupala okudja po 13 700 mo 1948 fiyo wa ninga 137 000 lwaapo osha kwafela nge ndi mone kutya oshilonga eshi oshajehova oshilonga osho itashi dulu okuwanifwa po keenghono dopanhu ashike jehova oye ha longo oikumwifilongaex 1511
ulrike krolop (womido 77 a ninginifwa mo 1952) okwa ti konima yoita itivali younyuni omaongalo omundowishi okwa li a pamekwa komhepo yexwamo yeendombwedi odo da li de lididimikila omahepeko epangelo lonazi ovanhu ova li va pumbwa ehekeleko nafye otwa li hatu dulu oku va kwafela nopehe na okwoongaonga molwaashi inatu kufa ombinga moita oyo inyanyalifi onda mona nghee omhepo yakalunga ya kala nokuwilika oshiwana shaye oule womido 60 da pita kunena mondowishi omu na eendombwedi di dulife po 164 000 olo kali fi tuu etamunukemo likumwifi
mariya brinetskaya (womido 77 a ninginifwa mo 1955) okwa ti opo tuha kwatwe po onda li nda ninginifwa konguloshi momilaulu lwanima omushamane wange okwa li a kwatwa po ndele ta tuminwa kokamba yokokule molwaashi e li ondombwedi nande ongaho onda li nda twikila okuudifa nelungi momukunda wetu murusia novashiinda vamwe ova li va tambula ko oshili pefimbo opo otwa li ashike tu li eendombwedi dinini onda hafa eshi paife murusia tu li mo eendombwedi di dulife po 168 000
kimiko yamano (womido 79 a ninginifwa mo 1954) okwa ti mo 1970 eshi nda udile kutya otu li ovaudifi 10 000 mujapani kanda li handi dulu okufitikinina omahodi omolwehafo nosha li sha ningifa nge ndi udanekele jehova kutya onda hala okukala omudiinini kwoove mokukalamwenyo kwange akushe kunena ondi na ehafo linene eshi tu li ovaudifi ve dulife po 216 000
daniel odogun (womido 83) okwa ti eshi nda ninginifwa mo 1950 munigeria otwa li mo ovaudifi 8 000 ashike paife otu li 351 000 lwaapo ohashi kumu nge okumona ovanhu vahapu poyoongalele nohashi diladilifa nge omushangwa wahaggai 27 osho otashi ulike lela kutya jehova ota kakamifa oiwana nomamona oiwana otae uya kuye ohandi kendabala okuninga ngaashi handi dulu moilonga yokuudifa molwaashi oko onghedi omo handi dulu okutya ohandi ku pandula jehova
carlos silva (womido 79) okwa ti eshi nda ninginifwa mo 1952 mobrasilia otwa li mo eendombwedi 5 000 omudo oo otwa li tu na oshoongalele monhele yomaudano yomusão paulo monhele yokupaakinga oihauto omwa li ashike eehauto mbali omumwatate okwa ulika onhele i li popepi okapale kedina pacaembu ndele ta pula nge ta ti eshi wa tala mbela ope na ngoo efiku limwe hatu ka yada mo monhele oyo osha li tashi monika sha fa itashi shiiva ashike mo 1973 monhele oyo omwa li mwa ongala ovanhu 94 586 paife mobrasilia omu na ovamwatate novamwameme ve dulife po 767 000 oshihafifa lela okumona nghee omuvalu wetu wa enda tau hapupala
carlos cázares (womido 73) okwa ti eshi nda ninginifwa mo 1954 momeksiko otwa li mo ovaudifi 10 500 opa li omhumbwe inene yovalongi nomolwaasho nda li nda nangekwa po ndi li omupashukilishikandjo eshi nda li ndi na omido 21 osha li enangekonoupuna kwaame okumona nghee omushangwa wajesaja 6022 tau wanifwa paife omuvalu wovaudifi ou dulife po 806 000 nove na ovakonakonimbibeli ve dulife pemiliyona limwe osho kashi fi tuu oshinima shikumwifa neenghono | 2017-09-25T20:24:58 | https://www.jw.org/kj/oishangomwa/omambo/ouhamba-wakalunga/okuudifa/eteyo/ |
whatsapp faq kusanidi kupakua kiotomatiki
kusanidi kupakua kiotomatiki
media haitapakua kiotomatiki kamwe utahitajika kugusa kila faili ili uipakue
kumbuka ukipanga mipangilio ya kupakua kiotomatiki kwa kamwe video zako hazitapakuliwa kiotomatiki hata hivyo mara tu unapogusa kifungo cha kucheza video itaanza kucheza mara moja na kuendelea na mchakato wa kupakua kwenye usuli
media itapakuliwa kiotomatiki unapounganishwa kwenye wifi hotspot (km intaneti ya nyumbani)
jifunze jinsi ya kusanidi kupakua kiotomatiki kwenye android | windows phone | 2019-09-21T05:07:45 | https://faq.whatsapp.com/ko/iphone/28041114/?category=5245251&lang=sw |
naibu waziri masauni azindua kituo kinachotoa huduma za magari ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » » naibu waziri masauni azindua kituo kinachotoa huduma za magari
uvccm tanzania1228
watanzania wanaotumia vyombo vya moto wameaswa kufanya uchunguzi wa mara kwa mara kabla ya kuanza safari ili kuweza kupunguza ajali za barabarani
hayo ameyasema naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi hamad masauni wakati wa uzinduzi wa kituo cha kisasa cha kutoa huduma ya magari makubwa na madogo kilichopo magomeni mwembechai jijini dar es salaammasauni amesema kuwa kufanya uchunguzi wa magari katika kituo hicho kitasaidia kupunguza ajali za barabarani
amesema teknolojia inakua kwa kasi hivyo magari ya sasa yanatakiwa kufanyiwa uchunguzi wa kisasa kabla ya kuanza kwa safari katika kituo cha mwembe chaimasauni amesema superdoll wamekuwa wabunifu wa teknolojia ya kisasa ya katika vyombo vya moto ikiwa ni kuweka safari kuwa salama kwa safari zote
amesema kuwa kunzisha kituo hicho watakuwa wamesaidia ujenzi katika masuala ya usalama barabani na kuweza kupunguza ajali za barabaranimasauni amesema kuwa watashirikiana na superdoll na kampuni ya matairi ya michelin katika kufanya uchunguzi wa magari kwa teknolojia ya kisasa
kamanda wa kikosi cha usalama barabani naibu kamishina wa jeshi la polisi mohamed mpinga amesema superdoll wamekuwa wadau wa usalama barabarani na kuendelea kuwa wabunifu katika teknolojia mbalimbali
mkurugenzi mkuu wa kampuni ya superdoll tanzaniaseif a seif akimsikiliza kwa makininaibu waziri wa mambo ya ndani mhandisi hamad masauni katika hafla ya uzinduzi wa kituo kipya cha kutoa huduma kwa magari makubwa na madogo kilichopo magomeni mwembe chai jijini dar es salaam
msimamizi wa kituo cha kutoa huduma za magari cha mwembechai akitoa maelezo kwa waziri na viongzi mbalimbalipicha zote na humphrey shao wa globu ya jamii | 2017-09-22T17:00:36 | https://uvccmtz.blogspot.com/2016/10/naibu-waziri-masauni-azindua-kituo.html |
miss tanzania 2006/07 #wemaisaacsepetu
wiki moja baada ya akaunti ya mtandao wa kijamii wa instagram ya miss #tanzania 2006/07 wema isaac #sepetu kudukuliwa na wajanja wa mjini mrembo huyo anadaiwa kupigwa mamilioni
habari zilizolifikia dawati la gazeti hili zilieleza kuwa tangu mrembo huyo adukuliwe akaunti yake hiyo yenye wafuasi zaidi ya milioni tatu wajanja hao wamekuwa wakiitumia ndivyo sivyo kwa kuposti matangazo mbalimbali ya kibiashara ambapo wanachukua pesa bila ya wema kujua
gazeti hili lilifanikiwa kumpata meneja wa wema neema ndepanya na baada ya kuelezwa taarifa hizo alifafanua kuwa jambo hilo lipo mikononi mwao na kwamba kuna vijana wawili wanaofanya kazi kwa ukaribu na wema bestizo na mbunifu wa mavazi martin kadinda ambao wanafuatilia kwa ukaribu
gazeti hili lilimtafuta meneja wa mawasiliano wa mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) innocent mungy na baada ya kuelezwa kuhusiana na matapeli kutumia mtandao kumpiga wema mamilioni alisema
madee amchana nay wa mitego
matonya awataja wasanii wake waliofanya vizuri mwa
download audio stamina ft roma jay moe m
kim kardashian & kanye west their sex life h
justin timberlake mouthtomouth anyone
huu ndio ukweri wa mahusiano ya diamond na baba yake | 2018-05-23T16:57:05 | http://www.kwetubongo.co.tz/2018/02/wema-apigwa-mamilioni-ya-pesa/ |
king of pop michael jackson picha (31447435) fanpop
this michael jackson picha contains suti biashara biashara suti nyayo suti ya nguo seti seti ya nguo and tamasha there might also be suti mavazi mavazi kamili tailcoat mkia kanzu mikia nyeupe tie nyeupe tie na mikia suti ya mavazi mavazi ya kamili kanzu ya mkia tai nyeupe tai nyeupe na mikia tatu kipande suti slack suti and suti slack | 2019-10-15T22:05:27 | http://sw.fanpop.com/clubs/michael-jackson/images/31447435/title/king-pop-photo |
wakijua kisa cha alain mpela kuondoka bcbg | spoti na starehe
wakijua kisa cha alain mpela kuondoka bcbg
binafsi namkumbuka allain mpella kupitia verse zake kwenye albamu matata ya titanic ambapo ameimba sana humo bwana huyu mbali tu ya kuwa kiongozi wa bendi baada ya kumeguka kwa werasson na vijana wake na jb mpiana alikuwa akimuamini sana mpela
wengi wa mashabiki hawakujua chanzo halizi cha allain mpela kuondoka bcbg akaenda solo na majuzi alijaribu kugombea ubunge huko congo lakini hakufanikiwa na sasa karejea kwenye muziki tena leo tutaangalia kwa makini nini chanzo cha allain mpela kuondoka wenge bcbg
wenge walikuwa kwenye maandalizi ya kurekodi albamu yao ya anti tero wakati huo jb alikuwa anaota ndoto kuwa yeye ndio mpinzani wa koffi mopao alipotoa monde arabe (dunia ya waarabu) jb akaamua kuja na anti terorism kutokana na vuguvugu la ugaidi lililougubika ulimwengu wa kiarabu anti tero ambayo ilianza matarisho na tunzi zake hata kundi halijapanguka mipango iliyoendelea baadaye tena awali jb alipanga album hiyo iwe na nyimbo nyingi za alain mpela ambae alikua ni kiongozi wa bendi (chef de orchestre) pamoja na nyimbo za bendi ya vijana wadogo ya bcbg inayofahamika kama ppu (presidential protection unit) ambayo alain mpela aliipromote sana na mbili tatu za jb mpiana mwenyewe huku member wengine wakitakiwa kuweka tu vocals zao kwenye nyimbo za album hiyo bila wao kuwa na nyimbo hata mojaalain mpela alipewa chance ya kuweka nyimbo zake sita (6)
baada ya simu hiyo jb alikasirika sana na kumuona alain mpela kama bonge la msaliti kwa kuwa licha ya ukaribu wao na yeye kumchukulia kama mdogo wake aki share nae mambo mengi hakuwahi kumtonya chochote juu ya mazungumzo yake na koffi ambae alikua adui mkubwa wa jb wakati huo na jb ana kitu kimoja mpaka leo hakuna kitu asichokipenda kama usaliti hivyo basi kuanzia siku hiyo jb na mpela hawakua brothers tena inasemekana kuwa mpango huo uliratibiwa kwa karibu na didie kinuani ambaye alikuwa swahiba mkubwa wa koffi na adui wa jb mpiana
huu ulikuwa mwisho wa ule mpango wa kumpa nafasi mpela aweke nyimbo zake 6 kwenye antiterro jb akaufutilia mbali na badala yake akamuachia nafasi ya kuweka nyimbo zisizozidi tatu huku kukiwa na mipango ya kumvua u chef dorchestre
kiukweli alain mpela aliondoka wenge bcbg akiwa bado na mapenzi makubwa kwani kwenye moja ya show za wenge bcbg mpela alihudhuria na kila ilipofika verse yake alionyesha kukosa raha na wati fulani alitoa machozi na kuripotiwa na vyombo vya habari mapenzi yake kwa bcbg yangalipo
leo hii jb mpiana na koffi ni marafiki na hii ni baada ya uhasama kuhamia kwa werasson hizo ndizo fitna za muziki kama mpira tuu merci mingi wadau tukutane wakati mwingine nikuache uwe na wiki njema
nakuacha na kibao process mambika utunzi wake alain mpela toka albamu ya titanic ambayo kwangu ni moja kati ya albamu bora kabisa kupigwa na jb mpiana tangu waparanganyike na werasson
this entry was posted on sunday april 14th 2013 at 710 am and is filed under michezo you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed you can leave a response or trackback from your own site
4 responses to wakijua kisa cha alain mpela kuondoka bcbg
pls kaka nakuomba utuwekee picha za wasanii waliounga wenge bcbg na waliwai kuweka sauti kwenye nyimbo zao pia utuweke kibao danico
farid 4x4 says
bango bango balobakaa motu akokende
bango bango balobakaa afande akei
prince de la ville says
sio fans wa bcbg lakini huyu jamaa nampenda pia namkubali kwani hata mm sikupenda alipoondoka kwa jb mpiana kuna wakati nilikuwa naiga hata style yake anavyonyoayote ilikuwa kujifananisha nae ingawa mm si mwanamuziki ila shabiki wake tu
surely alain mpela has a unique style of singing and to me i believe alains styles can only go very well where there is jbaimelia and blaise bula i just miss these guys and this album has the best vocals
2207348 hits | 2017-10-21T04:54:08 | https://spotistarehe.wordpress.com/2013/04/14/wakijua-kisa-cha-alain-mpela-kuondoka-bcbg/ |
devotha life ~ wwwdevothaixqde
devotha life
wwwdevothaixqde
my nine monthy pregnant photo shooting
actress devotha alfred nine month pregnancy photo shooting
having a baby is like the beginning of all things wonder hope a dream of possibilities in a world
follow me instagram devotha alfred or mom_franjo_charly and like my facebook page devotha actress and for more updates about my latest movies friends news and more
nipe ushauri maoni yako hapo chini thanks
selfies and thanksfull quotes
i am what i am thanks to my mother my father my brother my sister my relative and all my friends because you have given me everything the education knowledge i have is thanks to them and for the life i have thanks to almight god
i have lived pain and my life can tell i only deepen the wound of the world when i neglect to give thanks the heavy perfume of wild roses in early and the song of crickets on summer humid nights and the rivers that run and the stars that rise and the rain that falls and all the good things that a good god gives
when you rise in the morning give thanks for the light for your life for your strength give thanks for your food and for the joy of living if you see no reason to give thanks to god the fault lies in yourself
follow me instagram devotha actress and like my facebook page devotha actress and for more updates about my latest movies friends news and more
nigerian stlye 8 pose fashion quotes
nachukia sana vita tujiepushe na uchochezi tuombee amani nchi yetu hasa kipindi hiki cha uchaguzi
leo tunacheka na kufurahi sababu ya amani
nachukua nafasi hii kuanza kumshukuru mungu muumba mbingu na nchi kwa afya na uzima alionipa kufikia siku ya leo kuweza kuandika haya nayotaka kuyandika natumai pia ndugu zangu wote mu wazima wa afya
dhumuni la kuandika makala hii fupi ni kuomba watanzania wenzangu tuelewe ni kipindi gani tulichopo na nini tunatakiwa kufanya mimi binafsi nachukia sana vita vita ni kitu kibaya sana na nchi zetu nyingi za kiafrika zinaingia kwenye machafuko na kupekea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na sababu kubwa udini siasa rushwa na mengineo mengi mwaka huu tunalekea kwenye uchaguzi mapema mwezi ujao mpaka sasa tumeona vifo vya ndugu zetu wengi kutokana na siasa kama congo burundi nigeriauganda libya nk
mi binafsi sina chama but kutokuwa na chama sio sababu wote mliojiandikisha mpige kula ni haki ya kila mmoja
lakini pia tumeona mambo mengi yakiendelea hasa kutokana na kampeni zinazoendelea na hasa kupitia kampeni hizi watu wengine wanatumia nafasi hii kupandikiza chuki za kidini na kiasasa na hata kikabila ndugu zangu ombi langu kwenu kama watanzania tujaribu kujiepusha kabisa na uchochevu wa aina yoyote uhuru tulionao wa kuongea na kutumia social media tusivuke mipaka na kusababisha uchochezi bali tusimamie haki na kutzuia kumwagika kwa damu zisizo na hatia na wale wanaofanya vitendo hivi tafadhalini ndugu zangu tuache haraka na mapema iwezekanavyo kwani madhala yake ni makubwa mno na siku zote wanaoathilika zaidi ni wanawake na watoto ndio wahanga wakubwa tuangalie mifano ya nchi za jirani ambazo zinapigana wenyewe kwa wenyewe mfano mzuri hapo burundi tu juzi juzi tuliona machafuko hayo yalivyoua watu
let be one umoja ni nguvu
haijjalishi kuwa wewe upo chama gani ndugu yangu fanya kampeni safi tuepuke uchochevu wa aina yoyote na tupige magoti kwa mungu wetu tuombe amani vita ni vibaya tukiangalia pia hata hali ya syria kwa sasa inatisha watu wakubwa kwa watoto wanawake kwa wanaume wanakuwa wakimbizi kuikimbia nchi yao wenyewe jamani tusiombe machafuko yatokee nchini kwetu ni hayo tu kwa leo ni maombi yangu leo uchaguzi wetu ufanyike na kumalizika kwa amani na haki na chama kitakachoshindwa kikubali kwa amani na kushirikiana kujenga nchi badala ya kupandikiza chuki na uchochevu utakaopelekea madhala makubwa kwa sisi wote mungu ibariki tanzania mungu ibariki afrika
team tanzania team amani team maendeleo
jipatie dashiki /makenzi na vitu vya kiafrika kwa bei rahisi kabisaa
karibu uweze kujipatia dashiki / makenzi na vitu mbalimbali vya kiafrika original kabisa kwa bei nzuri na kwa haraka tunauza kwa nchi zote za ulaya popote pale ulipo tutakutumia kwa bei nzuri na zinapatikana kwa rangi mbalimbali na kama kuna kitu kutoka afrika unakipenda pia unaweza kuwasilina na sisi tukakuletea kama vya kuvaa na hata vyakula karibu
mizigo imeshaanza kutumwa toa oda yako mapema upendeze
packed very well and safe ready to go
african men & women hippie dashiki shirt blouse top for sale in color red black blue purple white orange green burgundy turquoise fuchsia yellow maize with multicolors dashiki print one size fit all
traditional hand dye dashiki top shirt blouse this gorgeous dashiki top made of 100 soft cotton comes from one size fit most with two pockets both men and women love these dashikis for their uniqueness comfort and easy wash and wear care good for any african heritage party festival or black history month but you can wear from church party & wedding to any party from lounging around to shopping around be comfortable yet stylish
contact unaweza kulipa kwa bank transfer paypall western union
facebook devotha alfred
email devothadashiki@gmailcom
phone +495253975410
phone (whatsup) +4915210664290
fax +495253975409
chriss brown rocks in dashiki/ makenzi
actor abou twaleb ndani ya dashiki kushoto na kulia chriss brown ndani ya dashiki enjoy summer time order yours now
actress devotha alfred rocks in dashiki
when you buy dashiki material you can make any stlye you want
cute lady rock buy your material and make any fashion you want
get any colour you want we have good quality at fear price jipatie rangi yoote uipendayo ya mashati kwqa bei nzuri na material mazuri
get your material and make your own design
we have different colours make your order now to make your own design
also we have these tshirt in different colours and good price pia jipatie mashati haya kila rangi ka bei nzui
pia tunauza kanga na vitenge aina mbalimbali nzito na nyepesi vinakuja kwa oda maalumu toa oda yako kwa mda mchache itakufikia
we accept paypall bank transfer western union
contacts email devothadashiki@gmailcom
attending germany wedding
love is friendship that has caught fire it is quiet understanding mutual confidence sharing and forgiving it is loyalty through good and bad times it settles for less than perfection and makes allowances for human weaknesses conglatulation my dear jasmina for new chapter you open in your life
however each one of you also must love his wife as he loves himself and the wife must respect her husbandephesians 533
days out long hair
https//wwwyoutubecom/watchv=vadxb11g_lo
summer joint part 2014
naamini kuwa mawazo yana nguvu zaidi kuliko maarifa hadithi kwamba ina nguvu zaidi kuliko historia ndoto ina nguvu zaidi kuliko ukweli matumaini kwamba daima hushinda uzoefu kicheko ni tiba pekee kwa huzuni na naamini kwamba upendo una nguvu kuliko kifo
picha zote za filamu ya chozi langu ziko hapa na trela from ngg and tao in holland
chozi langu ni filamu ya kiswahili inayowahusu marafiki wawili vijana devotha alfred (naomi ) na blandine baada ya frank lubeba na blandine kuoana na kuwa na ndoa ya furaha lakini maisha yake (devotha)naomi anakuwa na wivu baada ya kusikia rafiki yake waliopoteana kwamda mrefu ameolewa ndipo anapozamilia kutumia kila njia kuvunja ndoa hiyo na kummiliki mume wa rafiki yake je devotha atafanikiwa na je atatumia njia gani fuatilia trela uone zaidi
filamu hii inaletwa kwa ushirikiano wa kampuni ya tao films ya denmark na ngg film production ya holand actors frank lubeba blandine wakengo devotha alfredalex bikorimana bethlehem zelalem gaby kihota king gen sandrine princeantoinette rossi adelaya solange remmy etc
devotha na beth wakati wa mapokezi nchini holland
frank na devotha on set
franks and blandine on set
solange on set
adelaia on set
blandine na devotha on pose
blandine on set
fun time blandine beth alex na devotha
mapema baada ya kufika holland tukipata chakula cha mchana asante sana kwa actress beth chakula kitamu tulienjoy sana
devotha na ngg president alex bikorimana wakiwa wameshika film mpya ya ngg why facebook kama bado hujapata nakala yako wahi sasa wasiliana na nggfilm prtoduction ndani ya facebook
antoinete on set
gabi kiota on set
remmy on set
director aly dex lulinda
kuweza kuangalia trailer bonyeza hapa chini pia maoni ushauri wako
vinakaribishwa pia waweza like coment au kushare
facebook page like tao films
nggproduction
hizi ndio picha za behind the scene na full 2 episode selling my soul drama
selling my soul ni tamthilia inayousu vita kati ya jini aliempenda mwanadamu lakini mwanadamu huyo ana mpenzi wake ambaye ni polisi sasa vita vingi vitatokea kati ya agent camila na jini ashuu kugombea penzi la dida huku mama wa dee nae akija juu kuwa hamtaki camila ka kuwa amekulia ulaya na kudai wasichana waliokulia ulaya maadili yao si mazuri kuwa mkwe wake je nani atashinda na kitu gani kitamfanya camila auze nafsi yake kwa shetani na upande a pili tunaona kisa kipya cha chausiku na mpenzi wake gavana ambao wanagombana kisa pesa ya matumizi je penzi lao litadumu au vishawishi vya pesa vitapoteza penzi la kweli la gavana kwa chausiku endelea hivi na visa vingi
gavana akiwa na mpenzi wake chausiku
chausiku akidai pesa ya shoping
jini ashuu akimchombeza dee dida ili awe mpenzi wake
mama mkwe ronet
camila dee dida na chausiku
to watch chozi langu trailer https//wwwyoutubecom/watchv=epwhkuup7ly
youtube like and subscribe devotha media
facebook page devotha mediattps
blogwwwdevothaixqde/
music copyrigty
mapenzi hayana siri dee brown wizy
mpenzi jini by zanto
salari nameless
ntakusubiri jux
passport love short film
from location kutoka location
news habari
still pictures picha
trailers na video clips | 2016-10-26T17:04:55 | http://devotha.ixq.de/ |
vukani mungu akitaka kukuangamiza wakati mwingine anakunyima nuru
na koero mkundi at 715 am
kweli mungu ana silaha nyingi na vifaa vya kila namna ila ndio hivyo twajifanya twajua kila kitu tuna nguvu tuna utawala tunahata hivyo hatushukuru
changamoto ninayojiuliza hivi hawa wengine walioko mungu hajataka kuwaangamiza tu wao ni wema zaidi ya hawa jamaa inchanganya wakati mwingine
kwanini uumbe binadamu halafu uwaangamize
swali la kitururu limetulia mungu kamwe hawezi angamiza msichanganye ya mbingu na dunia eti ni mungu | 2017-11-18T06:19:42 | http://koeromkundi.blogspot.com/2011/06/mungu-akitaka-kukuangamiza-wakati.html?showComment=1309060424073 |
serikali kusimamia makubaliano na taasisi ya bill and melinda gates ili kukuza sekta ya mifugo | mpekuzi
serikali kusimamia makubaliano na taasisi ya bill and melinda gates ili kukuza sekta ya mifugo
naibu waziri ulega amesema hayo jana (01022019) jijini dodoma alipotembelewa na ujumbe kutoka taasisi ya bill and melinda gates katika ofisi za wizara hiyo na kubainisha kuwa serikali inahakikikisha mpango mkakati wa maendeleo ya mifugo tanzania unatekelezwa na kuishukuru taasisi hiyo kwa kutoa mchango mkubwa katika mpango huo | 2019-08-25T17:42:35 | http://www.mpekuzihuru.com/2019/02/serikali-kusimamia-makubaliano-na.html |
jacob zuma a man of the people | jamiiforums | the home of great thinkers
jacob zuma a man of the people
discussion in 'jukwaa la siasa' started by goodrich jun 8 2012
ni mwanasiasa ambaye hupenda kujichanganya na watu wake lakini pia huwa hakubali ngoma impite bila kuicheza
he's the president who marries women's left and right using government taxes to maintain the high end maintanence of the new ones in the president houses is it a shame or a sham or too much education with vigorously traditional belief exploitation
he's the president who marries women's left and right using government taxes to maintain the high end maintanence of the new ones in the president houses is it a shame or a sham or too much education with vigorously traditional belief exploitationclick to expand
huo ni utamaduni wa wazulu
huo ni utamaduni wa wazuluclick to expand
yeah ni utamaduni wao lakini kwanini anaiwekea serikali ya south africa mzigo wa kubeba hao wanawake
1 hajasema nani ni 1st wife kwahiyo anawarotate kwahiyo wote wanatittle hiyo moja
2 kila mmoja amepewa nyuma na tax payers are the one who are feting their bills those are mansions why not him
3 they get all government support and stipend as the 1st wife
sasa kama unaoa kiutamaduni fanya hivyo lakini usiiweke nchi yako ndio walipaji wa fahari yako kwenye katiba yao
haijasema chochote ndio maana anafanya hivyo
unajua wana pia baraza la machief hilo linaongelea suala hilo lakini baraza la machief sio kila kitu kiko kwenye katiba
bunge lao linaogopa kuliongelea kwa sasa wanataka kubadilisha lakini hawata fanya hivyo wakati huyu rais yuko madarakani south africa wana system ya ajabu lakini hata wazulu wenyewe hawfurahishwi kumbuka buthelezi
yeye ni mzulu na ana wake zaidi ya watatu mandela alisisitiza awe na one official wife na alifanya hivyo wengine wote
aliwaacha mzuzu | 2017-07-22T03:28:40 | https://www.jamiiforums.com/threads/jacob-zuma-a-man-of-the-people.276183/ |
ulinzi wa watotomotu proprio ya papa francisko na sheria mpya ya vatican | vatican news
ulinzi wa watotomotu proprio ya papa francisko na sheria mpya za serikali ya vatican ndiyo maana ya misingi mipya iliyopo katika hati hizo tatu zilizotolea tarehe 29 machi 2019
ulinzi wa watotomotu proprio ya papa francisko na sheria mpya ya vatican
mfumo mpya wa kisheria katika mji wa vatican umewekwa ili kuzuia na kupambana na unyanyasaji dhidi ya watoto na watu katika mazingira magumupapa anasema kristo mwenyeweamekabidhi utunzaji na ulinzi wa wadogo na wasio jiteteaanayempokea mmoja kati ya hawa walio wadogo kwa jina languananipokea mimi
ulinzi wa watoto motu proprio ya papa francisko na sheria mpya za serikali ya vatican ndiyo maana ya misingi mipya iliyopo katika hati tatu zilizotangazwa na baba mtakatifu francisko kwa ajili ya vatican na kanisa la roma tarehe 29 machi 2019 katika motu proprio juu ya ulinzi wa watoto na watu waathirika kanuni mpya iliyotolewa kwa ajili ya mji wa vatican na kupanulia kwa kanisa la roma na miongozo ya kichungaji ambayo ipo katika hati hizo tatu zilizotiwa sahini na baba mtakatifu franciskoambazo zinafuatia mara baada ya mkusanyiko wa marais wa mabaraza ya maaskofu duniani uliofanyika mwezi februari mjini vatican kwa maana nyingine ni kusema kuwa hati hizi zinakilisha tunda kwanza la mkutano huo
hati hizi ya ulinzi wa watoto motu proprio ya papa francisko na sheria mpya za vatican na kanisa la roma
hizi ni sheria kanuni na maelekezo muhimu hasa zaidi yanatazama hawali ya yote mji wa vatican tu mahali ambapo idadi kubwa ya mapadre na watawa wanahuduma lakini pia kuna watoto wachache licha ya kufikiriwa na kuandikwa kwa ajili ya hali halisi moja ya dunia mahali ambapo sehemu kubwa la viongozi wakuu wa dini pia watawala na wanasheria hati hizi tatu zina maelekezo yanayo fanana na ambayo yanazingatia vigezo zadi vya hali ya juu vya kimataifa katika motu proprio moja ya hati ambayo ni muhimu yenye sahini ya papa baba mtakatifu francisko anaelelezea shauku zake na kati ya hizo anathibitisha kwamba kuwe na ukomavu wa kutambuzi wa kutoa taarifa juu ya manyanyaso kwa vongozi wakuu husika na kushirikiana nao katika shughuli za kuzuia na kuthibiti hata hivyo sababu iliyo mfanya awe na uamuzi wa kutia sahini yeye binafsi hata katika sheria ya ccxcvii na miongozo na mbayo kwa mtazamo rahisi ingeweza hata kutangazwa moja kwa moja tu na tume ya serikali ya vatican na makamu wa mji wa vatican ni kutaka kuonesha thamani yake kuu ambayo inatakiwa katika kanuni hizo hati ya kwanza kati ya tatu ni sheria mpya mahali ambao unafafanuliwa kwenye hatua ya kwanza na iliyo wazi ambayo ni kubwa kwa ajili ya aina ya watu waathirika kulinganisha na wadogo
mambo mengi mapya katika hati hizi ni mengi kwa mfano
inasema ni mwathirika kila mtu ambaye yupo katika hali ya ugonjwa kutojiweza kimwili au kiakili au kokosa uhuru binafsi hata wakati mwingine kuwa na vizingiti vya uwezo wa kutambuliwa au thamani na kwa maana nyingine kukosa ulinzi mambo mengi mapya katika hati hizi ni mengi kwa mfano kuna kipengele kipya kwamba tangu sasa na kuendelea hualifu wote wote unaojihusisha na manyanyaso ya wadogo na si tu yale na siyo tu kuhusu ngono lakini pua mifano ya mateso lazima ifuatiwe katika ofisi hata ile ya kukosa kutoa taarifa kwa upande huo inakuwa kosa jambo jipya la pili lipo katika utangulizi unaojifafanua kuelezea kuhusu miaka hata hivyo inabiki kukumbusha kuwa hawazungumzii juu ya kanuni za sheria bali sheria ya hukumu ya mji wa vatican mahali ambapo hapajawahi kuanzishwa kwa gombo la rocco iliyotangazwa nchini italia katika kipindi cha kifashisti na ambalo ni gombo la hukumu ya zanardelli ambayo uhalifu huu ulikuwa unaelezea juua ya miaka minne ya uahalifu
habari nyingine mpya muhimu inahusu wajibu wa kutoa ripoti na maagizo kwa afisa wa umma ambaye anaweza kutoa ripoti ya ukiukwaji wa mamlaka ya mahakama ya vatican mahali ambapo inaweza ikawa imepata habari na ufahamu bila kuathiri muhuri wa sakramenti yaani siri ya kukiri hii ina maana kwamba wote ambao wapo katika serikali kuu ya vatican na kuendelea hata kati ya wafanyakazi wa kidiplomasia katika huduma ya ubalozi wanajukumu la la shughuli ya umma (zaidi ya asilimia 90 ya watu wanaofanya kazi katika vatican au kwa baba mtakatifu) wataadhibiwa wakati wa kushindwa kuripoti mabadiliko makubwa zaidi na muhimu ni uanzishwaji na taasisi katika mji wa vatican katika kitengo cha idara ya afya na usafi wa vatican ya huduma ya kusindikiza waathirika wa manyanyaso ambayo itaendeshwa na mtaalam
waathirika watakuwa na mtu na mahali pa kwenda kutafuta msaada wa matibabu na kisaikolojia kwa mwenye sifa inayo faa
kwa njia hiyo waathirika watakuwa na mtu mahali pa kwenda kutafuta msaada wa matibabu na kisaikolojia kuwafahamu haki zao na jinsi ya kufanya zipatikane habari pia nyingine ni kuhusu uteuzi na kuajiriwa kwa wafanyakazi wa nyuma kuu a ya roma nawanawa wachaguliwa kulingana na uwezo wa kuhakikisha ulinzi wa watoto na hatimaye mwongozo wa kichungaji wa mji wa vatican inaweza kuonekana kama hati fupi ikilinganishwa na maandishi ya baadhi ya mabaraza ya maaskofu lakini ni lazima ikumbukwe kwamba kuna parokia mbili tu mjini vatican na watoto wanaoishi ndani ni wachache tu
mwongozo huo unaoelekezwa kwa mapadre mashemasi na waalimu wa seminari ndogo ya pio x makuhani wa parokia na wachungaji wa parokia mbili kwa watawa wa kike na kiume ambao wanaishi ndani ya vatican pia na wote wanaofanya kazi yoyote ile na ya kiwangomtu binafsi au chama ndani ya jumuiya ya kanisa la mji wa vatican hata hivyo umefafanua kwa mfano kwamba watu hawa lazima waonekane daima wazi kwa wengine mbele ya watoto na kwamba imekatzwa kisheria kuanzisha uhusiano wowote wa upendeleo na mtu mdogo kumgeukia mdogo kwa namna ya kutisha au kushiriki katika tabia isiyofaa kama vile kushauriana kimapenzi kumwomba mtoto kuweka siri kumpiga picha au kutengeneza filamu bila idhini ya maandishi ya wazazi wake na mengine zaidi
makamu wa vatican kuanzia sasa na kuendelea analazimika kutoa taarifa
makamu wa vatican kuanzia sasa na kuendelea analazimika kutoa taarifa kwa wahamasishaji wa haki kwa kila habari kuhusu unyanyaswaji lakini siyo uzushi kama tahadhari kuondoa mhalifu wa madai ya unyanyasaji kutoka katika shughuli za kichungaji na yeyote atakaye bainika na makosa ya manyanyaso ataondolewa majukumu yake mjini vatican kama ni padre atawekwa katika michakato yote ya kisheria mabyo tayari ipo hati zilizotolewa sasa na kutangazwa mwishoni mwa mkutano wa maaskofu mwezi februari zitafuatiwa na kuchapishwa kwa upande wa baraza la kipapa la mafundisho tanzu ya kanisa mhutasari wa kitabi dhidi ya kupambana na unyanyasaji kwa ajili ya kanisa zima duniani na kuundwa kwa mifumo ya njia za kusaidia majimbo yenye kuwa na upungufu wa watu walio na taaluma ya kushughulikia kesi hizi hatua ya baba mtakatifu francisko kwa maana hiyo ni wazi na ya usahihi kwamba ulinzi wa watoto na watu walio katika mazingira magumu ni sehemu muhimu ya ujumbe wa kiinjili ambapo mama kanisa na waamini wake wote wanaitwa kueneza ulimwenguni kote
29 march 2019 1356 | 2019-05-21T15:26:43 | https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2019-03/ulinzi-wa-watoto-motu-proprio-ya-papa-francisko-na-sheria-mpya.html |
taasisi ya vijana ya tyva na iri zatoa elimu ya katiba kwa vijana wa pemba na unguja ~ g sengo
taasisi ya vijana ya tyva na iri zatoa elimu ya katiba kwa vijana wa pemba na unguja
wednesday november 23 2016 habari no comments | 2018-07-22T06:47:36 | http://gsengo.blogspot.com/2016/11/taasisi-ya-vijana-ya-tyva-na-iri-zatoa_23.html |
abdallah luwanje na shedrack ignas watambiana kupigana katika mpambano wa kufugua mwaka januar 2 /2016 ~ machellah blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
posted by michael machellah on 1039 pm
akizungu wakati wa kusaini mikataba hiyo mratibu wa mpambano uho rajabu mhamila 'super d' amesema kuwa mabondia walio wasainisha kuwa ni shedrack ignas atakaepambana na abdallah luwanje na
hassan salumu atakabiliana na
hassan mgosi nae shomari mirundi atapambana na husein mbonde na ramadhani maonya atakumbana na said faraji wakati kelvin majiba atakumbana na ibrahimu hamis mabondia wengine walio saini ni mohamed muhunzi na mohamed kashinde
abdallah pazi 'dula mbabe' atakumbana na zumba kukwe
mpambano huo ulioandaliwa na kampuni ya butamanya general tredes and boxing promotion
imeandaa mpambano huo kwa ajili ya kukuza viwango vya mabondia chipkizi na kuimalisha zaidi wale wenye uwezo kwa ajili ya kuwapatia mipambano mbalimbali ya ndani na nje ya nchi | 2018-04-23T13:14:29 | http://machellah.blogspot.com/2015/12/abdallah-luwanje-na-shedrack-ignas.html |
ubora wa kazi zangu unajulikana hivyo sihitaji kujitangaza kama wafanyavyo mastaa uchwarozamzam | habari24
home » bongo movie zamzam » ubora wa kazi zangu unajulikana hivyo sihitaji kujitangaza kama wafanyavyo mastaa uchwarozamzam
ubora wa kazi zangu unajulikana hivyo sihitaji kujitangaza kama wafanyavyo mastaa uchwarozamzam
written by juma mpekuzi on thursday november 1 2012 | 75100 am
msanii wa filamu za kibongo asiye na matukio ya ajabu zamzam salim zamzam amedai kuwa haoni sababu ya kutangaza anataka kulipwa kiasi gani katika kila filamu kwani anaamini ubora wa kiwango chake ndio jibu sahihi kwa waandaaji kwani hataki ufuata mkumbo kama wale ambao kila siku wanajitangaza wakati ukitazama viwango vyao si vya kutisha
sasa umeibuka mtindo kwa kila msanii anayejiona staa kutangaza dau analotaka kulipwa katika filamu wakati wengine hajawafikia hatua hata ya kuitwa professional actor/actress au kufikia kiwango cha kujulikana hata afrika mashariki
msanii huyo aliongea na mtandao huu katika mahojiano mafupi na ndipo aliposema kuwa huwa anakaa na kuwaza ni kitu gani kitakachomfanya alipwe pesa nyingi katika kila filamu anayocheza na jibu ambalo huwa analipata ni kuongeza ubunifu katika kazi anazofanya
alisema kuwa wasanii wanaotangaza kutaka kulipwa kiasi fulani cha pesa ni wale ambao wanajiona mastaa kwa sababu ya kutokea kila siku kwenye vyombo vya habari huku wengine wakitokea kwa mambo ya ajabu basi tayari wanajiweka kwenye ubora wa hali ya juu
aliongeza kuwa ameshacheza filamu nyingi na zote zimempa umaarufu ikiwemo lovers island na nyingine kibao lakini hajafikilia hatua ya kutangaza dau la kulipwa kwani anaamini waandaaji watamtumia kwenye filamu zao kutokana na kiwango chake na si urembo wake au kujulikana kwa sababu ya skendo
mara nyingi huwa napenda kujituma kwa sababu hiyo ndiyo njia ambayo itanifanya mimi niweze kulipwa pesa nyingi katika kila filamu ninazofanya na sidhani kama nikijulikana sana kwa kupitia skendo ndo naweza kubadilisha maisha yangu na kutaka nilipwe kiasi fulani au kwa sababu ya uzuri nitalipwa kulingana na kiwango changu kwenye kazi alisema | 2019-02-19T17:40:22 | https://www.habari24.com/2012/10/wa-kazi-zangu-unajulikana-hivyo.html |
haya ndiyo maamuzi ya baraza kuu cuf |
hakinaumma / january 5 2012
naibu katibu mkuu (bara) julius mtatiro
baraza kuu la uongozi la taifa la the civic united front (cuf chama cha wananchi) limemaliza kikao chake cha siku moja katika hoteli ya mazsons mjini zanzibar limepokea tuhuma zinzowakabili viongozi na wanachama 14 wa chama kutoka kamati ya utendaji ya taifa
hadi saa 9 jana jioni lilisikiliza tuhuma za watano kati ya watuhumiwa ambao ni
2doyo hassan doyo (mjumbe wa baraza kuu la uongozi taifa tanga)
3shoka khamis juma (mjumbe wa baraza kuu la uongozi taifa pemba)
4juma said sanani (mjumbe wa baraza kuu la uongozi taifa unguja)
5yasini mrotwa (mjumbe wa baraza kuu la uongozi taifa mbeya)
baraza kuu liliwasomea tuhuma zao watano hawa na kuwapa nafasi ya kujitetea kwa sababu wao ni viongozi wa baraza kuu(viongozi wa kitaifa wa chama) kwa mujibu wa kifungu cha 10 (5) cha katiba ya chama
uamuzi wa kuwafukuza uanachama viongozi hao wanne umeungwa mkono na wajumbe 23 kati ya 25 wa tanzania bara na wajumbe wote 22 wa zanzibar
wajumbe 2 wa tanzania bara hawakukubaliana na uamuzihuo
baada ya kutoa maamuzi juu ya wanachama hao 5 ambao ni viongozi wa kitaifa baraza kuu la uongozi taifa liliendelea na kikao na kuwahoji watuhumiwa wengine waliobakia baada ya mahojiano baraza kuu lilitoa maamuzi juu yao kama ifuatavyo
• waliovuliwa uongozi ni
1 doni waziri aliyekuwa mwenyekiti wa wilaya ya ilala
2 masaga masaga aliyekuwa katibu wa wilaya ya ilala
3 mohamed albadawi aliyekuwa mwenyekiti wa wilaya ya ilala
4 haji nanjase aliyekuwa mwenyekiti wa wilaya ya nachingwea
• waliopewa karipio kali kwa mujibu wa kifungu cha 64 (5) (b) huku mienendo yao ikiendelea kuchunguzwa kati ya kikao hiki na kikao kijacho cha baraza kuu la uongozi la taifa ni
5 kirungi amir kirungi mwanachama
6 tamim omar tamimu mwenyekiti wa cuf mtaa wa mkunduge kata ya tandale kinondoni
7 ayubu musa kimangale mwanachama
• ambao hawakukutwa na hatia yoyote na kwamba waliingizwa katika kadhia hii kimakosa na kwamba baraza kuu limewapa pole kwa usumbufu walioupata kutoka na kuhusishwa na njama za kukidhoofisha chama ni
8 yusuph mbungiro mkuu wa kitengo cha oganaizesheni na uchaguzi wilaya ya temeke
9 ahmed issa mwanachama
baraza kuu la uongozi taifa linamtaka mwanachama yeyote aliyefukuzwa au kuonywa au kuvuliwa uongozi iwapo hajaridhika na maamuzi ya baraza atumie fursa ya kikatiba kukata rufaa mkutano mkuu wa taifa na sio vinginevyo
kukiuka katiba ya chama ambayo imeundwa na ndiyo inawaunganisha wana cuf wote ni makosa makubwa na hayatavumilika
baraza kuu linawataka watanzania wote kuendelea kuiunga mkono cuf kama chama pekee kinachofuata maadili na hakisiti kuchukua hatua pale ambapo taratibu ziunavunjwa na litaendelea na msimamo huo hata pale ambapo cuf itakabidhiwa kazi ya kuwaongoza watanzania
haki sawa kwa wote
january 5 2012 in habari mbalimbali
← lazima suk itafune jongoo kwa meno 2012
taifa lapitia kipindi kigumu cha maafa → | 2018-02-18T06:35:48 | https://hakinaumma.wordpress.com/2012/01/05/maamuzi-ya-baraza-kuu-la-uongozi-la-cuf-taifa-juu-ya-wanachama-14-waliokiuka-miiko-ya-uongozi-na-uanachama-ndani-ya-chama-cha-wananchi-cuf/ |
utamuwabikini videos view and free download with any format mp3mp43gp
posted 9 month ago by mapenzi mo
utamu wa bikini
utamu wa bikini video watch and download with mp43gp formatyou can convert online utamu wa bikini video to mp3 for free download
subscribe kwaajili ya daily videos
explore more related video for utamu wa bikini
utamu wa mauno ya bikini
utamu wa mauno ya bikini video watch and download with mp43gp formatyou can convert online utamu wa mauno ya bikini video to mp3 for free download
description warning 18+ usisahau ku subscribe na ku like miuno tv ili uwe wa kwanza kupata video taamu za utaamu
explore more related video for utamu wa mauno ya bikini
posted 3 week ago by wakubwa tv
posted 6 month ago by youtuber i
utamu wa tanga ni shangaaa
utamu wa tanga ni shangaaa video watch and download with mp43gp formatyou can convert online utamu wa tanga ni shangaaa video to mp3 for free download
explore more related video for utamu wa tanga ni shangaaa
posted 8 month ago by habari mse
utamu wa kuma yangu ni balaaa
utamu wa kuma yangu ni balaaa video watch and download with mp43gp formatyou can convert online utamu wa kuma yangu ni balaaa video to mp3 for free download
explore more related video for utamu wa kuma yangu ni balaaa
nyege zavuka na kujitoa utamu kwenye koc
nyege zavuka na kujitoa utamu kwenye kochi video watch and download with mp43gp formatyou can convert online nyege zavuka na kujitoa utamu kwenye kochi video to mp3 for free download
usisahau kubofya hill neno subscribelinalo onekana hapo ili kujinga na channel hii asante
explore more related video for nyege zavuka na kujitoa utamu kwenye kochi
where is veerana ki jasmineutamu wa bikinimakao yetu kwaya ya mt kizito makuburihindi movie songs fullerton hoteldemu wa kihindi anavyojiachilia kwa huyu mzee ii 2018 iigrachi_tu y yowwwfanabccomoda paccysong free qurani wazifa downloadcartoon in bembasat bkalauandroid song mysore | 2018-09-22T03:30:04 | http://www.anyformat.net/videos/utamu-wa-bikini |
trump na rais moon jaein wakutana white house mjengwablog
rais donald trump amekutana na rais wa korea kusini moon jaein kwenye ikulu ya marekani kujadili uwezekano wa kuziondoa silaha za nyuklia za korea kaskazini viongozi hao wamekutana wakati ambapo pana wasiwasi huenda mkutano kati ya rais trump na kiongozi wa korea kaskazini kim jong un wa mwezi ujao ukavunjika
hata hivyo trump amesema anaamini kuwa kim jong un ana dhamira ya kweli juu ya kuziondoa silaha za nyuklia nchini mwake lakini rais huyo wa marekani alikwepa kujibu maswali kuhusu mkutano wake na kiongozi huyo wa korea kaskazini unaopangwa kufanyika tarehe 12 mwezi ujao wakati huo huo rais wa korea kusini moon jaein amesema hatma na mustakabali wa rasi ya korea unategemea mazungumzo baina ya trump na kim jong un
← previous story rais kagame afanya ziara ufaransa
next story → watatu walioambukizwa virusi vya ebola waruhusiwa kutoka hospitali | 2019-01-16T19:08:46 | http://mjengwablog.com/trump-na-rais-moon-jae-in-wakutana-white-house/ |
raisi wa mchezo wa kick boxing zanzibar ameitaka s m z kuunga mkono mchezo huo | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
mkurugenzi maendeleo ya michezo bw makoye nkenyenge (kulia) akiwatambulisha viongozi wa mchezo wa base ball na soft ball tanzania kwa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison mwakyembe (wapili kushoto) walipomtemtembelea kumkabidhi hati ya kutambuliwa na shirikisho la dunia la mchezo huo jana jijini dar es salaam waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison mwakyembe (wapili kushoto) akipokea hati ya utambulisho wa mchezo wa base ball na soft ball
wadau kikapu dar waomba sapoti kufufua mchezo huo
wadau mbalimbali wa mchezo wa basketball
wanahabari toka vyombo mbalimbali wakiwa katika
man united yaifunga arsenal 3 2 magoli ya mchezo huo yapo hapa
ligi kuu ya uingereza (epl) imeendelea kwa michezo miwili iliyopigwa jioni ya leo jumapili
mchezo uliovuta mashabiki wengi wa soka ni manchester united iliyowakaribisha arsenal na mchezo huo kumalizika kwa wenyeji man united kuibuka na ushindi wa goli tatu kwa mbili
magoli ya man united yalifungwa na mchezaji chipukizi marcus rashford katika dakika ya 29 na 32 na baada ya magoli hayo danny welbeck aliifungia arsenal goli moja katika dakika ya 40 na kwenda pumziko wakiwa mbili kwa
waamuzi wa mpira wa miguu wajipanga kuzitendea haki sheria 17 za mchezo huo
kamati ya waamuzi visiwani zanzibar kupitia mwenyekiti wao issa ahmada hijja jogoo amesema wamejipanga vyema kusimamia sheria 17 za soka hasa katika mzunguko huu wa mwisho ambao unatarajiwa kuanza rasmi kesho kutwa jumatano
amesema wamejipanga vyema kulinda heshma yao na kila timu ipate haki yake lakini pia ameviomba vilabu kuyakubali matokeo na si kuwatupia lawama wao
tumejipanga vyema na sina wasi wasi wowote na vijana wangu kwenye mashindano ya mapinduzi walichezesha vizuri na | 2019-02-17T08:22:56 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/raisi-wa-mchezo-wa-kick-boxing-zanzibar-ameitaka-s-m-z-kuunga-mkono-mchezo-huo |
simu casino | express casino | up to £200 doubled on 1st deposit + £ 5
best casino ukaguzi simu casino phonemobilecasinocom kuweka what you win moja na ya pekee best uk online simu ya mkono simu kamari site express casino new £ / € / $ 5 free zaidi
visa mastercard maestro pay by phone neteller skrill paysafecard trusty bora
best casino ukaguzi simu casino phonemobilecasinocom kuweka what you win
moja na ya pekee best uk online simu ya mkono simu kamari site express casino new £ / € / $ 5 free
ni wewe kuangalia kuwa baadhi ya kujifurahisha baada ya utaratibu yako ya kila siku ya kazi vipi kuhusu baadhi ya kamari wasio na hatia lakini haki katika ncha za vidole kulia nyumbani na juu ya smartphone yako jinsi gani sauti hii yote
vizuri hapa ni kuanzisha bora online simu casino yako mwenyewe sana express casino ambayo ni bora uingereza casino also a real money casino which offers you a tonne of games and tons of entertainment
kuangalia kati nini express casino popular simu casino inatoa cheza sasa
kupata pesa yako marudufu tarehe 1 amana + kufurahia wazimu of 100 bonus kila jumatatu
hii ni online kamari tovuti ambayo ina online casino simu kasinon mkononi online poker mkononi inafaa online michezo ya bure na hivyo zaidi sehemu bora ya express casino ni kwamba inatoa inatoa wengi pamoja hivyo huwezi kuwa na shell nje sana na kulipwa pia wakati huo huo tovuti hii inatoa casino kulipa kwa muswada simu pamoja na amana na inafaa simu muswada huo na casino michezo
casino no amana bonus online casino free bonus na inatoa nyingine
wao kutoa inatoa mengi ya uendelezaji na mafao ya kuongeza nafasi yako ya kushinda wana 100 £ / € / $ 200 karibu bonus
hivyo express casino ni simu casino ambayo ana mambo mengi ya kutoa pamoja na furaha wana inafaa mkononi online bure kifungu na casino hakuna sehemu amana pamoja basi ni nini kusubiri kwa ziara expresscasinocom leo
new casino bonus michezo ni
hii casino simu ina watu wengi michezo mingi ambayo unaweza kuvinjari kupitia na kisha kuchagua moja ungependa kucheza na kushinda hiyo ni pamoja na blackjack poker roulette inafaa online bure online mkononi poker na hivyo zaidi express casino fahari kubwa katika sadaka tu bora ya michezo na burudani kwa wewe
wana timu ambayo ni kujitolea na kusaidia kutatua masuala yoyote kwamba unaweza kuwa kuhusu tovuti hii simu casino na michezo yake wao ni inapatikana kwa kuzungumza na kupitia simu au unaweza email yao
wao pia ni inapatikana kwa njia ya kuishi chat pia zaidi unaweza angalia tovuti ambayo ni expresscasinocom ambayo itakuwa mwongozo wewe zaidi kama jinsi ya kutatua matatizo yako
amana kwa njia ya simu bill inafaa na casino game ya malipo na pesa
hii casino simu ina aina ya chaguzi za kuchagua kutoka linapokuja suala la mashirikiano au amana ya fedha uchaguzi ni tofauti sana na unaweza daima kujaribu chaguzi mpya
wana casino hakuna mpango amana pamoja unaweza kutumia neteller au skrill kufanya malipo zaidi fedha za elektroniki shughuli ni pia kuchukuliwa huduma ya vizuri unaweza pia mikopo au debit kadi yako ya kufanya shughuli yoyote fedha kama visa au mastercard ni uchaguzi maarufu sasa
wana nzuri huduma kwa wateja
tani za michezo kwa kuchagua kutoka
mafao mbalimbali na suti haja yako
rahisi malipo chaguzi za kutosha
ni inapatikana wakati wowote na katika mahali popote
daima unaweza kupata hiyo kupitia smartphone yako yenyewe
hii tovuti ya simu casino ni userkirafiki sana
express casino ni maarufu sana katika uwanja wa online kamari
wakati mwingine unaweza hataruhusiwa kufanya malipo katika sarafu tofauti
lugha inaweza kuwa kikwazo kwa baadhi ya watu
muda apate kuruka mbali wakati wewe ni kuwa sana ili kuweka akilini kwamba bila kuwa na kuacha wakati mwingine
hivyo express casino ni mpya furaha njia ya kujiingiza katika mara moja kwa wakati wakati wewe ni kuchoka na alisisitiza nje na kazi yako ya kawaida utaratibu pia ni njia kuu ya kufanya mawasiliano mpya na kutumia muda na rafiki yako pia wakati wewe ni kucheza michezo pamoja
zaidi unaweza pia kuwa na chaguzi nyingi rahisi kwa ajili ya malipo ambayo ni salama
simu casino blog kwa phonemobilecasinocom kuweka what you win
roulette pay na bill simu | slots ltd | kucheza
mfukoni fruity simu ya mkono simu casino amana bonus + 10 | 2017-12-11T17:08:56 | http://www.phonemobilecasino.com/sw/mapitio/simu-casino-expresscasino-com/ |
jacqueline wolper awachana wanaume wote wadangaji ghaflatanzania
jacqueline wolper awachana wanaume wote wadangaji
msanii wa bongo movie na mfanyabiashara maarufu jacqueline wolper amewafungukia na kuwatolea povu wanaume wote ambao wanapenda kudanga
kudanga ni neno linalotumiwa sana hapa bongo ambalo linaweza kumaanisha kuchuna buzi ambapo linawalenga hasa wadada wengi wa mjini ambao wanapenda miteremko katika maisha lakini sahivi mambo yamebadilika kwani hata wanaume wanatuhumiwa sana kwa kudanga
wolper amewatolea uvivu wanaume wote ambao wana kawaida ya kuchuna wanawake zao ambao kwa hivi sasa ni maarufu kama vibeni10 ambapo wolper amewasihi wawe makini maana wakiendekeza kudanga basi wataishia kuwa mahouse boy
wolper alifunguka hayo na kurusha dongi hilo kupitia ukurasa wake wa instagram ambapo aliandika
naomba mjifunze kitu wanaume wadangaji mnadanga au mnadangwa mwisho wa siku unageuka houseboy kwa unayoenda kupambana nayosio kila unachokiona kipo kama unavyokiona
baada ya ujumbe huo kusambaa mitandao ilianza kuenea kuwa hilo lilikuwa ni dongo ambalo wolper alimrushia mpenzi wake wa zamani anaye julikana kama brown ambaye alikuwa ni kiben10 cha wolper ambapo alikuwa analelewa na wolper na kuhudumiwa kila kitu lakini baadae walikuja kuachana
wolper hivi sasa ana maisha mengine na ameshakuwa mchumba wa mtu baada ya kuvalishwa pete na mwanaume wake anayeitwa engine ambaye ni msanii wa bongo fleva
ombada february 13 2018 at 117 pm
damaris february 13 2018 at 118 pm
don february 13 2018 at 118 pm
risper february 13 2018 at 118 pm
wanaume ni wale wale
jones february 13 2018 at 119 pm
msanii wa bongo movie na mfanyabiashara maarufu jacqueline wolper amewafungukia na kuwatolea povu wanaume wote ambao wanapenda kudanga kudanga ni neno linalotumiwa sana hapa bongo ambalo linaweza kumaanisha kuchuna buzi ambapo linawalenga hasa wadada wengi wa mjini ambao wanapenda miteremko katika maisha lakini sahivi mambo yamebadilika kwani hata wanaume wanatuhumiwa sana kwa kudanga loading wolper amewatolea uvivu wanaume wote ambao wana kawaida ya kuchuna wanawake zao ambao kwa hivi sasa ni maarufu kama vibeni10 ambapo wolper amewasihi wawe makini maana wakiendekeza kudanga basi wataishia kuwa mahouse boy wolper alifunguka
tour ya vee na jux kuanzia mwanza mwezi huu
harmonize na sarah warudisha mahaba jukwaani
maoni ya viongozi kuhusu mkono wa eid wa diamond kwa wana tandale
jibu la navy kenzo kuhusu ndoa yao
hata fid q anafanya kiki katika muzikimaster jay
nahrel ajibu swala la kupotea katika music production | 2018-06-19T06:37:36 | http://www.ghafla.com/tz/jacqueline-wolper-awachana-wanaume-wote-wadangaji/ |
hadubini myoscope mauaji ya norway ukatili dhidi ya haki ya kuishi
posted by chib at 24711
huyu jamaa anahitaji uchunguzi mkali wa kisaikolojia huenda anaweza akatusaidia sana kama binadamu sisi ili tuelewe ni chombo gani hasa tunaobeba juu ya mabega yetu kile kinachozungukwa na masikio yaani
asante kwa picha mkuu asante kwa kunivutia ili nisome stori la sivyo nilikuwa naikwepa kwa pilikapilika zangu nyingi kortini za huku afrika kusini
sasa hicho kidevu chake ndio mtindo mpya wa vichaa huko norway au mimi nimepitwa na wakati lol
7/25/2011 042500 am
huyu yeye hawezi kuita gaidi
mungu wabariki watu norway na uwaokoe na majanga haya
dhambi aliyotenda kwa wanorway kamwe haitasahaulikacha ajabu wanasema endapo atapatikana na hatia ya hayo mauaji atatumikia miaka 21 jela what is 21 yrs kwa muuaji kama huyu that means akitoka atakuwa na umri wa miaka 53umri ambao bado atakuwa ni kijana mwenye nguvu zake kufanya uhalifu wa aina yoyote tenana hebu fikiria wale waliopoteza ndugu zao rafiki watoto zao na hata wale walionusurika watakuwa wakimuona akikatiza mitaa bila wasiwasianyway let`s wait and see | 2017-11-25T11:31:51 | http://ebchib.blogspot.com/2011/07/mauaji-ya-norway-ukatili-dhidi-ya-haki.html |
primary questions from hon yosepher ferdinand komba (2 total)
mhe sophia h mwakagenda (kny mhe yosepher f komba) aliuliza
hospitali teule ya wilaya ya muheza ilianzishwa miaka ya 1980 kwa ushirikiano kati ya kanisa la anglikana na serikali imekuwa ikihudumia wagonjwa wengi ndani na nje ya wilaya ya muheza hivyo kuzidiwa na uwezo wa kuhudumia na vifaa tiba
(a) je ni lini serikali itaipatia hospitali teule gari la kubeba wagonjwa ili kuboresha huduma na kuokoa maisha ya watanzania
(b) je nini mkakati wa serikali katika kumaliza changamoto ya wahudumu wa afya katika hospitali hiyo
mheshimiwa naibu spika kwa niaba ya mheshimiwa waziri wa nchi ofisi ya rais tamisemi naomba kujibu swali la mheshimiwa yosepher ferdinand komba mbunge wa viti maalum lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo
(a) mheshimiwa naibu spika katika mipango na bajeti halmashauri ina mpango wa kununua gari la wagonjwa aina ya land cruiser hard top kwa ajili ya hospitali teule ya wilaya ya muheza katika mwaka wa 2017/2018 lenye thamani ya shilingi milioni 200 kwa sasa huduma za usafiri wa dharura (rufaa) kwa wagonjwa zinatolewa kwa kutumia magari ya kawaida yaliyopo kwenye halmashauri
(b) mheshimiwa naibu spika ili kutatua changamoto ya watumishi hospitalini hapo halmashauri katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 imeidhinishiwa kibali cha watumishi 133 wa kada mbalimbali za afya watumishi hawa watakapoajiriwa baadhi yao watapangwa katika hospitali teule ya wilaya ya muheza ili kupunguza tatizo lililopo la uhaba wa watumishi aidha katika mwaka wa fedha 2016/2017 halmashauri imepanga kuwaendeleza watumishi 24 ili wapate sifa na ujuzi unaotakiwa katika utoaji wa huduma za afya katika hospitali hiyo
mhe yosepher f komba aliuliza
tatizo la maji mkoa wa tanga ni kubwa licha ya kuwa na vyanzo vingi vya maji viongozi wa serikali kwa nyakati tofauti wamekuwa wakitoa ahadi mbalimbali lakini hakuna hatua za makusudi za kutatua tatizo la maji
(a) je ni lini serikali itapeleka maji kupitia mradi wa manga/magoroto ambao ulianza tangu mwaka 1970
(b) je ni lini serikali itatatua changamoto ya uchakavu wa miundombinu hasa mabomba na mipira katika mradi wa kicheba na kwemhosi
mheshimiwa mwenyekiti kwa niaba ya waziri wa maji na umwagiliaji naomba kujibu swali la mheshimiwa yosepher ferdinand komba mbunge wa viti maalum kama ifuatavyo
mheshimiwa mwenyekiti mradi wa maji magoroto ulijengwa mwaka 1977 na ulilenga kuhudumia wakazi wapatao 8000 katika mji wa muheza na maeneo yanayozunguka mji wa muheza hivi sasa mradi huu unahudumia wakazi wapatao 30834 walioko katika mji wa muheza idadi hii ni kutokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012
mheshimiwa mwenyekiti kutokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu mradi huu hautoshelezi mahitaji katika mji wa muheza ili kuondoa tatizo mradi wa dharura utakaogharimu shilingi bilioni 26 unaendelea kutekelezwa kwa kutoa maji eneo la pongwe taratibu za kumpata mkandarasi zinaendelea na kazi inatarajiwa kuanza mwezi juni 2017
mheshimiwa mwenyekiti mradi wa maji katika kijiji cha kwemhosi ulitekelezwa na serikali kwa gharama ya shilingi milioni 225 na ulikamilika mwezi juni 2013 mradi huu unafanya kazi kama ulivyosanifiwa ila kwa sasa mradi huo umeharibiwa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha aidha mradi wa maji wa kicheba ulijengwa mwaka 1999 na kanisa katoliki ambapo hivi sasa miundombinu yake imechoka mradi huu utaendelea kukarabatiwa na serikali kwa kushirikiana na jumuiya ya watumiaji maji katika eneo la kicheba kadri fedha zitakavyopatikana | 2017-08-17T09:29:52 | http://parliament.go.tz/polis/members/358/primary-questions |
mwanzo | malezi ya watoto katika uislamu | books on islam and muslims | alislamorg
belief & creed education & society history & politics laws & worship quran & hadith spirituality & philosophy mwanzo
ametaja abu daud katika isnadi yake kutoka kwa usama kwamba nilikwenda kwa mtume (saw) naye alikuwa ameketi na maswahaba zake nao walikuwa (wametulia) kama kwamba kuna ndege juu ya vichwa vyao nikawatolea salaam kisha nikaketi wakaja mabedui kutoka huku na huko wakasema ewe mtume wa mwenyezi mungu je tunaweza kujitibu | 2017-02-28T06:53:53 | https://www.al-islam.org/node/24923 |
yamukatha fc a sindanapo otonamende yokondjola kundana oshiwambo newspaper
home omaudhano yamukatha fc a sindanapo otonamende yokondjola
yamukatha fc a sindanapo otonamende yokondjola
ondjolanando omutenya ogwa li gwa tsa kesipa pethimbo lyomatango omanene shika ina shi sitha uunye oosipana ndhoka dhali tadhi undula okatanga kokoompadhi pondjola moshitunda shuukwaluudhi sho otonamende ndjoka ha yi dhanwa aluhe pehulilo lyomumvo yali ya galukile ishewe mondambo
oosipana dhili 25 odhali dha kuthombinga oshikando shika muudhano mboka wali wa totwapo mo 2008 okukondjela okapandi koodola 25 000
osipana yamukatha oyo yali ya wayukamo ongependasindani konima sho yali ya dhengemo bm football club medhingoloko lyahugunina noku toolapo okapandi ko n$ 7 500 ekopi noombandi dhoshingoli osipana yo bm football club oye ya pehala etiyali moka ya toolapo okapandi n$ 5 500 noombandi dhoshisiliveli omanga op1 football club ali eya pehala etitatu nolya hugunina moka ali a hekelekwa nokapandi ko n$ 3 500 noombandi dhoshikushu
omukwateli komeho guudhano mbuka pinehas iipinge okwa ti oyali ya tala omaudhano gethike lwopo 22 okuza esiku lyotango sigo esiku edhingoloko lyotango lyeya pehuulilo
okwa ti uudhano mbuka owe ende noku koka sho ngashiingeyi wa ninga ehukamugongo lyuudhano moshitopolwa shamusati nota ti okuna ehalo opo ya kale haya taamba oosipana dhaza kiitopolwa yilwe moshilongo
ndika olya li ethimbo ewaanawa opo mboka yena oshinakugwanithwa shosipana yopashigwana ye ye ya konge iitalenti oshoka aamati oya li ta ya undula etatanga moshili pinehas ta holola
uudhano mbuka owali wa yambidhidhwa koongesefa ngaashi okambwa trading onambula investment koloko loungejsa cc niikathi complex ppf cc na wonder investment
pinehas okwa gandja ekwashilipaleko kutya uudhano mbuka natango otawu tsikile noonkondo omumvo nguka naakalimo na ya kale ya tegelela oshindji
previous articlemambo5 boxing academy ta yi kongo aagundjuka
next articleneville tjiueza a joina african stars | 2018-09-23T10:26:49 | https://kundana.com.na/2016/01/22/yamukatha-fc-sindanapo-otonamende-yokondjola/ |
vuai cuf wanafanya maandalizi kimyakimya zanzibar yetu
posted on february 24 2016 by zanzibariyetu
vuai cuf wanafanya maandalizi kimyakimya
naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar vuai ali vuai
zanzibar naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar vuai ali vuai amesema ana matumaini makubwa kuwa cuf watashiriki kwa hiari uchaguzi wa marudio utakaofanyika visiwani hapa machi 20 kwa kuwa wanafanya maandalizi kimyakimya
vuai aliliambia gazeti hii katika mahojiano maalumu hivi karibuni kuwa anawafahamu vyema viongozi wa chama hicho kikuu cha upinzani visiwani hapa kuwa wana tabia ya kubadilibadili uamuzi
hata hivyo naibu katibu mkuu wa cuf zanzibar nassor mazrui alisema chama chake kinaendelea kushikilia msimamo wa kutoshiriki uchaguzi huo wa marudio kwa kuwa biashara ilikwisha tangu oktoba 25 2015 wakati uchaguzi mkuu ulipofanyika nchini
uchaguzi wa marudio uliitishwa tena januari 22 mwaka huu na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi zanzibar (zec) jecha salum jecha baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu oktoba 28 2015 akisema kulikuwa na uvunjwaji wa sheria na taratibu za uchaguzi
vuai alisema mbali na cuf vyama vyote vya upinzani vilivyotangaza kususia uchaguzi wa marudio vitashiriki kikamilifu tofauti na watu wanavyofikiri kwa kuwa sheria na katiba pia vinawataka kufanya hivyo
naamini cuf watashiriki uchaguzi nawajua sana wale ndugu zangu kwa taarifa tulizo nazo wanafanya maandalizi ya chinichini ili siku wakiibuka iwe kama shtukizo tunawakaribisha alisema na kuongeza
tunajiandaa tukijua cuf wanashiriki uchaguzi sisi tunajua hivyo ama wanashiriki uchaguzi ama wanafanya jambo jingine tutalijua mbele
alisema mfano mzuri wa cuf kubadili mtazamo ni kitendo cha mgombea wake wa urais maalim seif sharif hamad alivyoomba maridhiano baada ya matokeo ya uchaguzi huo kufutwa kuwa wa kwanza kujitoa na sasa anaomba tena vikao vya maridhiano kwa kutoa masharti
imani ya vuai kwa cuf kushiriki uchaguzi na vyama vingine vilivyotangaza kususia inaenda sanjari na tamko la jecha alilotoa juzi kuwa hadi sasa vyote 14 vitashiriki uchaguzi huo kwa kuwa hakuna hata kimoja kilichofuata taratibu za kisheria kujitoa
jana mazrui aliendelea kupigilia msumari msimamo wao kuwa anayedai cuf itashiriki uchaguzi ni mwongo na hakuna maandalizi yoyote ya chinichini
alisema amefanya ziara hivi karibuni na wanachama wote viongozi na wagombea waliokuwa wakishiriki uchaguzi mkuu wanaunga mkono uamuzi wa chama kutoshiriki uchaguzi wa marudio
sisi tumeshaiandikia barua zec wataoe majina ya wagombea wetu kwenye uchaguzi wa marudio wao hawataki tumewaachia ccm wafanye uchaguzi wao wachague serikali yao sisi tutabaki kuwa waangalizi tu na hakuna jambo lolote baya ambalo tunapanga kwa sababu biashara tulishaimaliza oktoba 25 alisema mazrui
katika mahojiano hayo vuai alisema maandalizi ya ccm katika uchaguzi huo wa marudio yanaendelea vizuri kwa kufuata taratibu zote zilizotangazwa na zec alipoulizwa iwapo wanaridhia uamuzi wa zec kutangaza uchaguzi wa marudio bila kampeni vuai alisema ccm wamesikitishwa kwa sababu unawabana kuwakumbusha wananchi sera zao lakini hawana namna zaidi ya kutii mamlaka hayo yaliyopo kisheria
kwa mujibu wa sheria tume ina nguvu ya kuratibu uchaguzi na sisi tulishatoa maelekezo kwa wanachama wetu kuwa tunatii taratibu na maagizo yote ya tume alisema tangu jecha atangaze kufutwa kwa uchaguzi wa mwaka jana baadhi ya vyama vya siasa takriban 10 vikiongozwa na cuf vilitangaza kujitoa kushiriki uchaguzi wa marudio
hali hiyo imekuwa ikizua hofu huenda ccm ikabaki peke yake katika kinyanganyiro hicho na kupunguza uhalali wa kisiasa kwa mgombea wa wake wa urais dk ali mohamed shein iwapo atashinda uchaguzi huo
hata hivyo vuai alisema ushiriki wa vyama vya siasa katika uchaguzi ni hiari kisheria na kikatiba hivyo siyo lazima vyote vishiriki akiongea kwa kujiamini alisema katiba ipo wazi na kwamba dhamira ya kila chama cha siasa ni kushika dola hivyo anaamini vyama vyote vina malengo hayo pia
hata kama vikiwepo vyama viwili au kama vyote vikijitoa lakini kwa sababu vyote vilishaweka wagombea tukienda kwenye uchaguzi bila kujitokeza aliyeshinda uchaguzi atatangazwa
baada ya matokeo ndiyo tutajua kitakachofuata kwa mujibu wa sheria na iwapo kuna kasoro na kwa kuwa baraza la wawakilishi litakuwepo litatafuta namma ya kutatua utata huo alisema vuai
alisema suala hilo bado halina haja ya kulifanyia utabiri kwa kuwa uchaguzi bado na vyama vyote viliweka wagombea hivyo uwezekano wa ccm kubaki pekee yake hautakuwapo
alipoulizwa iwapo anaridhishwa na sababu za kurudiwa uchaguzi huo alisema kwa hali ilivyokuwa taratibu nyingi na sheria zilivunjwa na ccm walitoa malalamiko ya mawakala wao kunyimwa vitambulisho tangu saa 400 asubuhi siku ya uchaguzi wa mwaka jana
previous postprevious kwa nini jecha anavikwepa vyombo binafsi vya habari
next postnext zanzibar inahitaji mchango wa cuf kufikia amani ya kudumu
muonekano wa jumba la treni ndio huo
wanawake walioolewa mke mwenza wapasua
serikali kusimamia utunzaji mazingira
hakuna mtu atakaeachwa nyumacastico
zaeca yamnasa ofisa ustawi wa jamii kwa tuhumza rushwa
1982945 hits | 2018-07-20T20:29:09 | https://zanzibariyetu.wordpress.com/2016/02/24/vuai-cuf-wanafanya-maandalizi-kimyakimya/ |
vita vikali vyazuka mjini garissa kati ya duale na mpinzani wake ▷ tukocoke
vita vikali vyazuka mjini garissa kati ya duale na mpinzani wake
10137 chapisha kwa facebook
wafuasi wa mbunge wa garissa townshipaden duale walikabiliana na wa mpinzani wake mkuu inasemekana wafuasi wa duale walianzisha vurugu wakati wa mkutano wa farah maalimhakuna majeruhi yaliyoripotiwa kutokana na vurumai hiyowafuasi wa kiongozi wa wengi katika bunge na mbunge wa garissa mjini aden duale na wafuasi wa farah maalim walikabiliana vikalialhamis aprili 20habari nyingine mwigizaji katika kipindi cha papa shirandula atuma ujumbe huu kwa serikali kumhusu joho vita vyazuka vikali vyazuka mjini garissa kati ya dualena mpinzani wakehabari nyingine bei ya mkoba wa mtangazaji maarufu betty kyalo itakuacha kinywa wazi iliripotiwa kuwa wafuasi wa duale walivuruga mkutano wa mpinzani wake maalim ametangaza kuwania kiti cha ubunge cha garissa mjini na anatarajiwa kumenyana na duale
maalim alikuwa amezuru garissa kwa shughuli ya kufanya kampeni uchaguzi mkuu unapowadiainasemekana wafuasi wa duale walianza kwa kuimba nyimbo za kumkashifu maalimu na kutatiza mkutano wakefarah maalimhabari nyingine bintiye size 8 ahamia chumba cha kulala ambacho ukubwa wake utakushangaza kulingana na shahidi aliyezungumza na tukocokewafuasi wa wanasiasa hao walikabiliana vikali
maafisa wa polisi walilazimika kuingilia kati ili kuthibiti halihakuna aliyejeruhiwa kwenye vurumae hiyotazama habari zaidi kutoka tukocokeread english version una maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke read more
aden duale on cord farah maalim ditches odm farah maalim for garissa mp moto
chris brown tour in kenya mcheza bonus maina kageni daughter akothee kids waweru mburu citizen habari zingine ni furaha au ni mshtuko mca azirai muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi | 2017-04-29T09:19:50 | https://swahili.tuko.co.ke/237749-vita-vikali-vyazuka-mjini-garissa-kati-ya-duale-na-mpinzani-wake.html |
gazeti letu la udaku jf | jamiiforums | the home of great thinkers
gazeti letu la udaku jf
discussion in 'jf chitchat' started by tanmo dec 7 2011
kutokana na kwamba jf imeweza kuwa mtandao mkubwa ambao imetokea kuwepo hata masupastaa wake nadhani ni muda mwafaka kwa wajasiriamali tukaanzisha gazeti letu ambalo litakuwa linatoa habari kuhusu watu maarufu wa jf nina imani tutapata soko
hebu fikiria vichwa vya habari kama siwezi kuchangia mada bila kuvuta msuba king'asti
sitaki mwingine wa sasa ananitosha nazjaz
nyani ngabu abaka tena madaktari wasema tatizo lake linatibika
kongosho aapa kunywa sumu iwapo atamkosa the boss
mzee mwanakijiji afumaniwa na agel msoffe wakiwa katika mkao wa hatari
marafiki zangu wote ni wanafiki lizzy
ninamzimia sana invizibo mamndenyi
mzee mtambuzi akiri kumsaliti mkewe mara kumi
nimashatembea na wanawake 1000 bishanga
figanigga aka mzee wa mia apata kimwana mpya asema ndoa ni kabla ya mwaka mpya
kumbe na usista duu wake wote husninyo anaishi kwa mikopo
the finest agonganisha vimwana mwenyewe aingia mitini tifu zito latokea
nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka mitatu babu asprin asilimia kubwa ya waumini wangu ni wanawake rev masanilo
paw amlima ban washawasha kwa kulog off kila mara
saint ivuga anyang'anywa mke
hivyo ni kwa uchache tu wazo hilo kwa yeyote ambaye yuko interestedi awasiliane na mimi tuanze utaratibu wa kulisajili gazeti letu kabla ya mwaka mpya
63 people likes
salute mkuu ahahaaakwa kuongezea
invisible afumaniwa na mke wa paw
the finest afumwa gesti na faiza fox
nyani ngabu achezea kichapo chooni airport alikuwa anamtorosha mke wa krolokwin yo yo amvalisha pete ya uchumba smile
ashadiii arudi jukwaani kwa mbwembe barabara zote zafungwa
asprini afumaniwa tena na baamedi walikuwa uchi kaunta mchana kweupeeeeee
rejao aula ikuluritz atupwa wizarani
malaria sugu kampokea yesu jangwani arudisha vibuyu vyote vya uchawiasema alirithi kwa jirani yake
the boss aoa tena mke wa pili azua balaa harusini
lizzy aachika tena kwa the finest sasa ajichimbia kwa mr rocky mke wa mr rocky aja juu
afrodenzi alilia penzi lake na nyani ngabu asema watu wanamloga
fesi buku na cantalisia wamgombania figaniga mzee wa mia bilcanas
bishanga afumaniwa na mwanafunzi kwenye garini mtoto wa baba mwenye nyumba wake
mamndenyi arudi kwa mumewe asema hawakukutana vichochoroni wapambe jinyongeni
dr riwa afumaniwa na mama mjamzito adai alikuwa anamkanda tumbo mtoto kakaa vibaya
mzizimkavu afumwa live na kizee usiku wa manane uchi adai alikuwa anamfundisha tiba asilia
invisible aachia ushuzi kwenye kikaowadhamini wajitoa kusaidia jamii forums alimwa barua ya kuachishwa kazi
aminata amwibia mzungu hoteliniajichimbia south kwasaint ivuga
nasjaz adai wanaume wa bongo hawajui mapenzi sasa hv kujichimbia uarabuni tu
rejao afanyiwa plastic surgery ya masaburi madaktari wakosea wamdunga sindano ya cement
kizaazaa jf mod array achoka kusoma pm aziachia kwa member wote pm zaanikwa hali tete jf watu wote walog off waja na id mpya
nitaendelea badae
mkuu umenivunja mbavu
tanmo akamatwa na noti bandia
yoyo amvalisha pete ya uchumba smileclick to expand
smile alilia penzi la yo yo elia said
tanmo akamatwa na noti bandiaclick to expand
elia afumwa gesti na mke wa mtu
i got really screwed this time
this is really funny
yule gwiji wa kupiga ban anayejulikana kwa id ya paw karushiwa vilago vyake na kupigwa marufuku kuonekana kwenye ofisi za jf haiwezani mtu ampige ban mke wangu halafu awe anajipitisha mbele yangu akijichekesha na mimi nikamwangalia tu nimemfukuzia mbali akatafute forum yake alisikika invisible akilalamika wakati anaongea na figganigga kwa njia ya simu nimejaribu kumpigia simu paw lakini simu yake ikapokelewa na mwanadada aliye jitambulisha kwa jina la dena amsi na kusema paw yupo nje ya nchi mia
haaaaaaa rejao ala shavu ikulu haaaaaaaaa mwita25 apokelewa kwa shangwe chadema feis buku amtongoza king kong iiiwashawasha kashindwa kulog off kwa kumshangaa husninyoritz atoswa kwenye kura za maonikatavi arudiana na la azizi wake
this is really funny click to expand
afrodenzi anunuliwa gari na mod lol
yule gwiji wa kupiga ban anayejulikana kwa id ya paw karushiwa vilago vyake na kupigwa marufuku kuonekana kwenye ofisi za jf haiwezani mtu ampige ban mke wangu halafu awe anajipitisha mbele yangu akijichekesha na mimi nikamwangalia tu nimemfukuzia mbali akatafute forum yake alisikika invisible akilalamika wakati anaongea na figganigga kwa njia ya simu nimejaribu kumpigia simu paw lakini simu yake ikapokelewa na mwanadada aliye jitambulisha kwa jina la dena amsi na kusema paw yupo nje ya nchi miaclick to expand
mkuu tutakuajiri uwe miongoni mwa waandishi hebu tuma siivii yako kwa smile halafu tutakupigia simu
feis buku amtongoza king kong iiiclick to expand
king kong iii atuma salamu kwa feis buk kupitia chit chat
smile alilia penzi la yo yo elia afumwa gesti na mke wa mtuclick to expand
ha ha haaaaa atokea dilishani ajifunga kitenge kuua so
el toro je
invisible kugombea urais 2015
el toro jeclick to expand
el toro akamatwa na tv ya paw iliyopotea wiki mbili zilizopita
duh haya bwana nyie nichafueni tu
sumu sinywi na simwachi ng'o
afrodenzi anunuliwa gari na mod lolclick to expand
hahahahah hii imetulia kwa kweli
hahahalolnimecheka sana yaelekea smile unafanya kazi kwenye moja ya magazeti ya udaku hapa nchini
mmmh hii imekaa vizuri manake hata yale maheiniovaaliyoniachia joji bushi sikuileee kule moshi yameondoka yote
director 1 kucheza filamu na jack bauer | 2016-12-06T08:33:13 | http://www.jamiiforums.com/threads/gazeti-letu-la-udaku-jf.200523/ |
serengeti yaanza vibaya afcon
timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 serengeti boys jana ilianza vibaya michuano ya kombe la mataifa afrika baada ya kufungwa mabao 54 na nigeria kwenye uwanja wa taifa dar es salaam
katika mechi hiyo iliyokuwa na mabao mengi timu zote zilicheza kandanda safi na kama vijana wa serengeti wangezidisha umakini walikuwa na uwezo wa kutoka sare na wenzao ama kushinda
matokeo hayo yanaiweka serengeti kwenye wakati mgumu kwani sasa italazimika kushinda mechi mbili zilizosalia dhidi ya angola na uganda ili ifuzu nusu fainali na kukata tiketi ya fainali za kombe la dunia
mabao ya serengeti jana yaliwekwa kimyani na edmund john akifunga mawili kelvin john na morice ibraham wakifunga bao moja moja
kwa upande wa nigeria mabao yao yalifungwa na olatomi olaniyan wisdom ubani aliyefunga mabao mawili huku akinkunmi amoo na ibraheem jabaar wakifunga bao moja moja
mechi hiyo ilianza kwa kasi na nigeria wakianza kupoteza nafasi mbili za wazi ikiwemo ile ya dakika ya kwanza ambapo wisdom uban alishindwa kumalizia kufunga akiwa amebaki na kipa wa serengeti boys
nigeria walianza kuutawala mchezo huo kwa kufanya mashambulizi langoni mwa tanzania katika dakika 20 za mwanzo na kupata bao la uongozi likifungwa olaniyan lakini na serengeti kusawazisha dakika moja baadae kupitia kwa john aliyeunganisha vizuri pasi ya domonic william
nigeria waliendelea kulishambulia lango la serengeti na uban alirejea tena wavuni kwa kuifungia bao la pili dakika ya 29 baada ya kuwalamba chenga walinzi wa serengeti na kuuweka mpira wavuni
nigeria waliendelea kulisakama lango la serengeti katika dakika ya 36 ambapo amoo aliifungia bao la tatu baada ya kutumia vyema udhaifu wa walinzi kwa kumlamba chenga na kufunga kipa wa serengeti boys mwinyi yahya
john alifunga bao la pili kwa serengeti boys akipiga shuti kali lililomshinda kipa wa nigeria seleman shaibu
dakika ya 56 morice abraham aliisawazishia serengeti bao la tatu kwa mkwaju wa penalti iliyotolewa na mwamuzi baada ya edso mshirakandi kuangushwa ndani ya eneo la hatari
mwamuzi alitoa penalti ya pili kwa serengeti iliyofungwa na john dakika ya 59
wakati serengeti wakidhani wamemaliza kazi dakika ya 72 nigeria walisawazisha bao hilo la nne baada ya uban kuchonga mpira wa faulo uliokwenda moja kwa moja kwenye nyavu za serengeti
kitendo cha kusawazisha bao hilo kiliwapa nguvu vijana wa nigeria ambapo dakika ya 78 jabaar aliifungia bao la tano kwa shuti kali | 2019-04-20T00:54:30 | https://habarileo.co.tz/habari/2019-04-155cb427ce548ff.aspx |
rais wa msumbiji awatimua mawaziri wanne dewjiblog
rais wa msumbiji filipe nyusi amewafukuza kazi mawaziri wanne akiwemo waziri wa mambo ya nje na waziri wa nishati
kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na ofisi ya rais nyusi inaeleza kwamba hakuna sababu zilizotajwa ambazo zimechangia kufukuzwa kazi mawaziri hao pia taarifa hiyo haikutaja mawaziri walioteuliwa kujaza nafasi hizo
mawaziri waliofukuzwa ni leticia da silva klemens ambaye alikuwa waziri wa nishati oldemiro baloi aliyekuwa waziri wa mambo ya nje pamoja na waziri wa viwanda na biashara na wa kilimo na usalama wa chakula
rais magufuli apongezwa kwa kuwasamehe babu seya
africa online avanti waboresha kasi ya upakuaji taarifa mtandaoni afrika mashariki | 2018-01-18T05:28:02 | http://dewjiblog.co.tz/rais-wa-msumbiji-awatimua-mawaziri-wanne/ |
ule mkataba wa tff na diamond trust ishu iko hivi saleh jembe
» ule mkataba wa tff na diamond trust ishu iko hivi
ule mkataba wa tff na diamond trust ishu iko hivi
benki ya diamond trust (dtb) leo imesaini kuingia mkataba na shirikisho la soka tanzania (tff) kudhamini ligi kuu soka tanzania bara (vpl) kwa msimu wa mwaka 2016/2017 | 2017-01-20T16:04:42 | http://salehjembe.blogspot.com/2016/09/ule-mkataba-wa-tff-na-diamond-trust.html |
transcripts are not allowed | jamiiforums | the home of great thinkers
transcripts are not allowed
discussion in 'nafasi za kazi na tenda' started by ropam may 31 2012
hivi employer anaposema hataki transcriptina maana anataka cheti gani cha chuo au ndo ile leaving certificate for once nilihisi lile tangazo la kazi la serikali limekosewahasa pale kwenye masharti ya kuomba kazi kipengele cha 8 kwa transcriptprovisional result etc hazitapokelewa
wanataka vile vyeti kamili vinavyotolewa na baraza la mitihani
wanata vyeti halisi vya sekondar mpaka chuo na si result 3p or transcript or maelezo ya aina yoyote yanayosimama badala ya vyeti
transcrit ni vielelezo ambavyo mara nyingi hutumika kuelezea sifa za mtu kielimu wakati vyeti havijatoka
how about universities' transcriptactually they have not specifiedmsaada please
how about universities' transcriptactually they have not specifiedmsaada pleaseclick to expand
ndikwega haziruhusiwi kama hauna subira mpaka utakapopata na hiyo ndo hasara ya chuo kutokutoa cheti mapema
wanata vyeti halisi vya sekondar mpaka chuo na si result 3p or transcript or maelezo ya aina yoyote yanayosimama badala ya vyeticlick to expand
mkuu vyeti vya chuo vipojemi huwa najua hii trancsript yangu ndo cheti koz ndo kina matokeo na mchakato wote wa kiacademia kile cheti kingine ni cha award tu nipeni mwanga hapa ndugu zangu
1 kuna post kama za tutorial assistants vigezo uwe na gpa kuanzia 38 so ukiweka cheti 2 cha chuo ambacho kinaonyesha class/grade tu watajuaje kuwa umemeet vigezo 2 kwa mfano nikaambatanisha vyote (cheti na trancript) kutakuwa na tatizo kweli hapo wadau
naomba mnijuze tafadhali wadau
they need only cheti na sio transcripts or result slips or any kind of testimonials whatsoever just bring us yr vyeti and not otherwise
mkuu vyeti vya chuo vipojemi huwa najua hii trancsript yangu ndo cheti koz ndo kina matokeo na mchakato wote wa kiacademia kile cheti kingine ni cha award tu nipeni mwanga hapa ndugu zanguclick to expand
unataka mwanga upi nawewe utak kuelewa thats why kikaitwa transcript na kingne kikwaita certificate they nid a certificate elewa
dont complicated issues guyswanataka basically 3 certificates form 4form 6 na cha chuo incase una cha proffessional bodi ndo unakiongezathts ol
wangekubali transcript maana sioni kama zina tatizo
sasa sisi wengine chuo chetu bado hakijatoa hivyo vyeti kwa hiyo ndo tumekosa hizo kazi jamani mi naona wangekubari tu hata statement of results tu au transcript hivyo vyeti badae vikitoka watavipata2
ndo inabid mpungue mana 2ko weng wa toka mwaka juz kitaa
transcript ndio zinakuwaga more descriptive kuliko vyeti provisional results are plainly not acceptable by any standards sasa sijui zaidi maana nchi hii kila kitu chaenda kinyumenyume
transcript ndio zinakuwaga more descriptive kuliko vyeti provisional results are plainly not acceptable by any standards sasa sijui zaidi maana nchi hii kila kitu chaenda kinyumenyumeclick to expand
tz kinachowezekana hakiwezekani na visivyowezekana ndivyo vinawezekanani katika kutaka kukomoana tu
kuna cheti mdaumfano udsm huwez kukipata hadi upate transcriptna siku ya kufata cheti uende na transcript yako
tz kinachowezekana hakiwezekani na visivyowezekana ndivyo vinawezekanani katika kutaka kukomoana tuclick to expand
utakuta wazo limetolewa na mtu mmoja tuwametoka kwenye experience sasa wapo hapo kwenye vyetiila walonavyo wavifate vyuoni mwao bhana
ndo inabid mpungue mana 2ko weng wa toka mwaka juz kitaaclick to expand
aiseepole sana mdauulisomea nini hasa
na wapi
ni nchi gani wanaotumia transcript badala ya certificate kama huna cheti subiri tu vitoke sio kutoa lawama zisizo na msingi | 2016-10-22T01:57:21 | http://www.jamiiforums.com/threads/transcripts-are-not-allowed.271590/ |
nyayo za binadamu wa kale zilizogundulika ulaya
you are athome»africa»nyayo za binadamu wa kale zilizogundulika ulaya huenda zikabadili historia ya binadamu
by nickson on september 6 2017 africa
nyayo zinazoaminika kuwa ni za binadamu wa kale zimegunduliwa katika kisiwa cha crete barani ulaya uvumbuzi huu huenda ukabadili historia ya binadamu wa kale
nyayo hizo zilizogundulika huko crete
habari hii imepokewa kwa mitazamo tofauti tofauti kwa makundi tofauti kwa kuwa kwa miaka mingi imekuwa ikiaminika binadamu wa kale kabisa waliishi afrika hasa maeneo ya afrika mashariki
nyayo hizi mpya zimegundulika katika kisiwa kidogo cha trachilos huko crete zipo jumla ya nyayo 29 ambazo zina ukubwa tofauti tofauti kuanzia milimita 94 hadi milimita 223 nyayo hizi zinaosadikiwa kuwa zimekuwako ardhini kwa miaka milioni 57 ni ushahidi tosha kwamba kile kilichokuwa kinajulikana miaka na miaka huenda kisiwe cha ukweli
nyayo zilizogunduliwa afrika
tayari mijadala imeibuka hasa juu ya uhalali wa ushahidi huu lakini wanasayansi hao wamesisitiza juu ya uhalali wa njia waliyotumia kujiridhisha kwamba nyayo hizo zilizoachwa ni nyayo za binadamu wa kale
ingawa wapo wanaobeza chapisho hili lakini wanasayansi hawa wawili kwa pamoja wamekwisha chapisha machapisho ya kisayansi karibu 600 ambayo yanahusiana na nyanyo za binadamu wa kale hii inamaana kwamba sio tu wanaelewa wanacho kisema bali kuna uwezekano mkubwa wakawa sahihi kwa asilimia 100
uvumbuzi huu huenda ukabadilisha historia ambayo imekuwa ikifahamika kwa miaka mingi mahali ambapo binadamu wa kale aliishi hata hivyo bado kazi kubwa inatakiwa kufanywa juu ya tafiti zaidi ili kupata taarifa zaidi juu ya nyayo hizo na pengine walau utafiti kuona kama kuna mabaki mengine yanaweza kupatikana ili yaweze kutoa taarifa zaidi
uvumbuzi huu hata hivyo umekuja miezi michache baada ya uvumbuzi mwingine ambapo kuligunduliwa masalia yenye umri wa miaka milioni saba ya jino la mnyama ambaye anafanana na nyani masalia ya mnyama huyu ambaye amepewa jina la el graeco ndiyo masalia yenye umri mkubwa zaidi
hii inapelekea baadhi ya wanazuoni kufikiri kwamba pengine binadamu wa kale aliishi ulaya
jisomee chapisho kuhusu uvumbuzi huu hapa
soma pia drones zatumika kulinda tembo tanzania
startimes kutoa huduma bure za matangazo ya televi | 2017-09-23T05:37:18 | http://teknokona.com/2017/09/06/nyayo-za-binadamu-wa-kale-zimegundulika-ulaya/ |
obama picha ya osama haichapishwi bbc swahili
obama picha ya osama haichapishwi
http//wwwbbccom/swahili/habari/2011/05/110505_obama_osama
haki miliki ya picha agency
image caption rais obama amesema picha za mwili wa osama huenda zikachochea chuki
rais barack obama ameamua kuwa picha za osama bin laden aliyeuwawa siku ya jumatatu zisichapishwe
maafisa wa marekani wamekuwa wakijadili iwapo wachapishe picha za mwili wa bin laden kukabili habari za uongo kuwa hakuuawa
lakini bw obama anaamini kuwa picha hizo huenda zikazua hisia kali akisema '' sisi hatutaki kuonyesha picha hizi kama kikombe cha kujivunia cha kumwonyesha kila mtu
kiongozi huyo wa al qaeda alipigwa risasi katika uvamizi jumatatu iliyopita na vikozi maalum vya marekani kaskazini mwa pakistan
mwandishi wa bbc mjini washington amesema kuwa rais obama ameamua wazi kuwa kutoa picha hizo hazina thamani yeyote kwani huenda ikatishia maisha ya raia
bw obama amefichua uamuzi huo wakati wa mahojiano na kituo cha televisheni cha cbs
uamuzi huo ulifikiwa wakati maafisa wa marekani walianza kuchunguza habari kwenye kompyuta simu za rununu na vifaa vingine vya kuhifadhi habari ambavyo vilipatikana wakati wa uvamizi huo katika eneo la abbottabad ambapo bin laden alikuwa amejificha
mwanasheria mkuu wa marekani eric holder amesema serikali hiyo inatarajia kuongeza majina mengine kwenye orodha ya magaidi wanaotakikana na marekani kufuatia habari walizopata katika nyumba ya bin laden
laini mbili za simu na euro 500 ($745 £450) zilipatikana zime shonelewa kwenye nguo ya bin laden kana kwamba angehitajika kutoroka kwa haraka
wakosoaji wameelezea wasiwasi wao kuhusu uhalali wa oparesheni hiyo baada ya marekani kubadilisha maelezo kuhusiana na kuuwawa wa bin laden akiwa ajajihami kwa silaha | 2017-12-16T20:46:25 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2011/05/110505_obama_osama |
kipimajoto cha corona chawapagawisha wananchi mwanahalisi online
posted by mwandishi wetu 18 days ago 0 550 views
kipima joto kilichotolewa na kampuni ya qwihaya general enterprises co ltd kimesababisha wananchi wanaofanya kazi stendi ya mafinga wilayani mufindi mkoani iringa kusimamisha shughuli zao kwa muda ili wapime joto la miili yao anaripoti mwandishi wetu mafinga(endelea)
wananchi hao wakiwepo wapiga debe na wafanyabiashara ndogondogo walimteua mwenzao akajifunza kukitumia na baadae walipanga foleni wao ili kila mmoja apime na kujua hali ya joto la mwili wake
kifaa hicho tenki la kuhifadhia maji na vitakasa mikono ni miongoni mwa misaada iliyotolewa na kampuni hiyo katika mwendelezo wa kampeni yake ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (covid19) katika mji wa mafinga
akikabidhi msaada huo meneja wa kampuni ya qwihaya ntibwa mjema amesema stendi ni kati ya maeneo yenye mikusanyiko ambayo watu wanapaswa kuwa makini kwa kufuata taratibu za afya
wakizungumza baada ya kupokea msaada huo baadhi ya watu wanaofanya kazi stendi walishukuru kwa msaada huo kwa sababu hawakuwa na vifaa vya kujikinga
hili tenki la maji likijaa tutatumia bila kujibana na hiki kipima joto kinaongeza hadhi ya eneo letu ndio cha kwanza kuletwa amesema mmoja wa wapiga debe frank kalinga
kwa upande wake ramadhani aliiomba serikali kudhibiti mlundikano wa watu kwenye magari ya vijijini kujilinda na ugonjwa huo
qwihaya ni kampuni inayomilikiwa na mzalendo leonard mahenda ikimiliki viwanda vya kutengeneza mbao mkoani iringa na kigoma
kipima joto kilichotolewa na kampuni ya qwihaya general enterprises co ltd kimesababisha wananchi wanaofanya kazi stendi ya mafinga wilayani mufindi mkoani iringa kusimamisha shughuli zao kwa muda ili wapime joto la miili yao anaripoti mwandishi wetu mafinga(endelea) wananchi hao wakiwepo wapiga debe na wafanyabiashara ndogondogo walimteua mwenzao akajifunza kukitumia na baadae walipanga foleni wao ili kila mmoja apime na kujua hali ya joto la mwili wake kifaa hicho tenki la kuhifadhia maji na vitakasa mikono ni miongoni mwa misaada iliyotolewa na kampuni hiyo katika mwendelezo wa kampeni yake ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (covid19)&hellip
previous dk ndugulile azungumzia kutumbuliwa kwake
next amuua mama yake anywa damu yake | 2020-06-04T01:47:43 | http://mwanahalisionline.com/kipimajoto-cha-corona-chawapagawisha-wananchi/ |
sare kwa sharps boys na volcano fc kinyago yainyeshea locomotive 40 taifa leo
timu ya sharps boys na volcano fc kila moja iliyeyusha pointi mbili muhimu huku kinyago united ikivuna magoli 40 mbele ya locomotive fc kwenye mechi za ligi ya kysd kwa wasiozidi umri wa miaka 14 iliyosakatiwa uwanjani kysd kamukunji nairobi
mohamed ali alifungia sharp boys huku volcano fc ikisawazisha kupitia victor mugambi na kumaliza ubishi wa nani mkali
mabingwa wa taji hilo kinyago united iliingia mzigoni ikilenga kutesa na kunasa alama tatu muhimu ili kujiongezea matumaini ya kufanya kweli msimu huu
chipukizi hao walinasa ushindi huo kupitia henry thiery aliyepiga hat trick naye nahodha wake samuel ndonye aliitingia goli moja
kocha wa lehmans abdulrahman ali akishaurina na wachezaji wake tayari kukabili pro soccer academy kwenye mechi za ligi ya kysd kwa wasiozidi umri wa miaka 14 ugani kysd kamukunji nairobi lehmans ilizoa ushindi wa mezani baada ya wapinzani kuingia mitini picha/ john kimwere
tulikubali yaishe raundi hii lakini wapinzani wetu watarajie kivumbi kikali kwenye mechi za mkumbo wa pili kocha wa sharp boys boniface kyalo alisema
kufuatia matokeo hao kinyago ingali kifua mbele kwa alama 18 nne mbele ya sharp boys baada ya kusakata mechi sita na saba mtawalia
nayo tico raiders ilizabwa mabao 21 na young achievers wakati lehmans fc ilituzwa pointi tatu bila jasho ikiwa ni ushindi wa mezani baada ya wapinzani wao pro soccer academy kuingia mitini
magoli ya young achievers yalifumwa kimiani na giovan clinton naye brain opiyo alitingia tico raiders bao la kufuta machozi kwenye matokeo hayo pumwani ajax iliilaza pumwani foundation mabao 20 gravo legends ilirarua young elephant kwa magoli 51 fearless fc ililimwa mabao 20 na masa nayo fearless academy ilitoka nguvu sawa bao 11 na state rangers | 2020-07-08T23:14:43 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=34734 |
majimui ya watu wa utamaduni wahadhiri wa mashairi na fasihi ya kifarsi washairi vijana na magwiji wa tungo za kishairi wa iran pamoja na washairi kadhaa kutoka nchi za india pakistan afghanistan tajikistan na azerbaijan leo (jumatano) wameonana na ayatullah udhma sayyid ali khamenei kiongozi mualdhamu wa mapinduzi ya kiislamu ya iran katika usiku wa kuamkia siku ya kuzaliwa karimu ahlul bayt imam hasan al mujtaba alayhis salaam
katika mkutano huo ayatullah udhma khamenei ametoa mkono wa baraka na fanaka kwa mnasaba wa kukumbuka siku tukufu ya kuzaliwa imam hasan al mujtaba alayhis salaam na kusema kuwa tungo za kishairi zina taathira kubwa na zisizo na mfano na ni utangulizi wa kuweza malenga kubeba majukumu yao mazito vile vile amesisitizia udharura wa tungo za kishairi kuilinda wazi wazi na kifakhari kambi ya haki mbele ya kambi ya batili na ubeberu wa vyombo vya kipropaganda vya kambi hiyo ya batili ulimwenguni
ameongeza kuwa tungo za kishairi za mapinduzi ya kiislamu ni tungo zilizojikita katika jambo hilo na zinatumikia malengo ya mapinduzi ya kiislamu yaani uadilifu umoja mshikamano heshima ya taifa na maendeleo ya kila upande ya nchi pamoja na kujenga watu walio bora
ayatullah udhma khamenei amegusia pia uwezekano wa kutumiwa kama upanga wa ncha mbili chombo chenye taathira kubwa yaani tungo za kishairi imma kutumika katika upande wa kumuongoa mlengwa au kwa ajili ya kumtumbukiza kwenye maangamizi na kuongeza kuwa leo hii kutokana na kupanuka na kuenea vyombo vipya vya kuwasiliana na watu wengi kwa wakati mmoja baadhi ya watu wana nia ya kupotosha tungo za vijana na kuzitoa katika anga yake nzuri ya hamasa na ya kimapinduzi na kuzisukuma upande wa kutumikia utamaduni muovu ulio mbali na matukufu ya kibinadamu na ulioathiriwa na ghariza za kijinsia kujinufaisha binafsi na kusifia mambo ya dhulma
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu amewasifu baadhi ya malenga vijana kutokana na kusimama kwao kidete katika kukabiliana na anga hiyo mbaya na kusisitiza kuwa kusimama huko kidete kunaonesha ni namna gani vijana hao wanajali majukumu yao na leo hii utungo wowote wa kishairi ulio dhidi ya dhulma na unaotumikia malengo ya umma wa kiislamu ikiwa ni pamoja na tungo zinazohusiana na matukio ya yemen bahrain lebanon ghaza palestina na syria huingia katika orodha ya tungo zenye hekima
vile vile amesema kuwa ni jambo lisilo na maana kumtaka malengo asijali wala asiwe na upande katika suala la kulingania haki na kupambana na batili katika tungo zake na kusisitiza kuwa kama malenga na msanii hatokuwa na upande katika vita vya haki na batili ajue kuwa amepoteza kivitendo kipaji na neema aliyopewa na mwenyezi mungu na kama atatumia kipaji chake kutumikia kambi ya batili basi ajue kuwa huo ni usaliti na jinai
ayatullah udhma khamenei amegusia pia kumbukumbu za mashambulio ya silaha za kemikali za eneo la sardasht (yaliyofanywa na utawala wa zamani wa iraq) na dhulma kubwa liliyofanyiwa taifa la iran na kusema kuwa huo ni moja ya mifano muhimu na ya kusikitisha mno ambayo inabidi iakisiwe duniani kupitia lugha ya kishairi na kuongeza kuwa vyombo vya habari duniani na ambavyo vinadhibitiwa na marekani uingereza na wazayuni utaviona baadhi ya wakati vinazusha makelele makubwa ulimwenguni kwa kuuliwa mnyama mmoja tu lakini katika upande wa pili vinanyamazia kimya jinai kama hiyo (ya sardasht) na jinai nyingine mfano wake kama vile mashambulizi wanayoendelea kufanyiwa hivi sasa wananchi wa yemen na mashambulio ya miaka ya huko nyuma dhidi ya ghaza na lebanon
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu aidha amewauliza malenga hao kwa kusema mtu mwenye heshima na utu anapaswa kufanya nini mbele ya kambi inayofanya jinai na uafiriti wote huo
ameitaja hatua ya malenga vijana nchini iran ya kuonesha radiamali ya haraka kuhusu matukio hayo kuwa ni hatua nzuri na yenye thamani kubwa na kuongeza kuwa ni matumaini yangu tungo za kishairi za mapinduzi ya kiislamu ambazo kwa hakika zinatumikia shabaha na malengo matukufu ya mapinduzi ya kiislamu yaani uadilifu utu ubinadamu umoja na mshikamano uungwana na heshima ya kitaifa maendeleo ya kila upande ya nchi na zenye kujenga watu walio bora zitazidi kunawiri siku baada ya siku
vile vile ayatullah udhma khamenei ameelezea kuridhishwa kwake na maendeleo ya wazi wazi ya tungo za kishairi nchini iran katika kipindi cha baada ya mapinduzi ya kiislamu na kusema kuwa wigo wa tungo za kishairi nchini iran ni mpana sana hasa kwa kuzingatia historia inayong'ara kongwe na iliyojaa fakhari za sekta hiyo katika historia ya iran na kuongeza kwamba vyombo husika kama vile vyombo vya serikali asasi za masuala ya kiutamaduni pamoja na shirika la sauti na televisheni la jamhuri ya kiislamu ya iran (irib) vyote hivyo vinapaswa kutekeleza vizuri majukumu yao katika kadhia hiyo
mwanzoni mwa hotuba yake kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu amewausia waislamu kutumia vizuri baraka za mwezi mtukufu wa ramadhani na kuzisafisha nyoyo kutokana na uchafu na kuzidi kunyenyekea mbele ya mwenyezi mungu mungu na kujipinda kwa ibada na kusoma kwa wingi qur'ani na dua za mwezi huu mtukufu
kabla ya hotuba ya kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu malenga 20 wamepata fursa ya kusoma tungo zao zenye maudhui tofauti mbele ya ayatullah udhma sayyid ali khamenei kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu | 2018-01-21T06:39:28 | http://swahili.khamenei.ir/index.php?option=com_content&task=view&id=1531&Itemid=60 |
jpm ampa shavu dkt kashillilah dar24
jpm ampa shavu dkt kashillilah
2 years ago comments off on jpm ampa shavu dkt kashillilah
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli amefanya mabadiliko katika safu ya makatibu wakuu naibu makatibu wakuu na wakuu wa mikoa kwa kuteua kupandisha vyeo na kuhamisha vituo vya kazi
katika taarifa iliyotolewa na katibu mkuu kiongozi balozi john kijazi imesema kuwa rais dkt magufuli ameteua na amewapandisha vyeo naibu makatibu wakuu 4 na kuwa makatibu wakuu wapya na ameteua naibu makatibu wakuu wapya 7 na wengine kuhamishiwa katika vituo mbalimbali vya kazi
aidha katika nafasi ya manaibu wapya waliopata nafasi ni pamoja na aliyekuwa katibu wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania thomas kashillilah ambaye nafasi yake ilichukuliwa na stephen kigaigai sasa amekuwa naibu katibu mkuu wizara ya kilimo
video madini risasi katika rangi yatanjwa kuwa tatizo kwa afya za watoto
udart yasitisha kutoa huduma za usafiri jijini dar
mafuriko yasababisha kufungwa kwa barabara jijini dar
katibu mkuu (utumishi) laurian ndumbaro
naibu katibu mkuu dorothy mwaluko
katibu mkuu mhandisi joseph kizito malongo
naibu katibu mkuu bi butamo kasuka phillipo
naibu katibu mkuu dkt thomas didimu kashililah
naibu katibu mkuu (utawala) bi susana mkapa
katibu mkuu prof simon s msanjila
katibu mkuu meja jen projest a rwegasira
katibu mkuu meja jen gaudence s milanzi
katibu mkuu dorothy mwanyika
naibu katibu mkuu (viwanda) ludovick j nduhiye
naibu katibu mkuu (biashara na uwekezaji) prof joseph buchwaishaija
naibu katibu mkuu (maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto) bi sihaba nkinga
katibu mkuu bi suzan paul mlawi
naibu katibu mkuu nicholaus b william
dkt kigwangallah apiga marufuku kamata kamata pori tengefu
korea kaskazini yaiachia meli ya korea kusini | 2019-06-26T03:43:49 | http://www.dar24.com/jpm-ampa-shavu-dkt-kashillilah/ |
michuzi blog rc arushamrisho gambo ashiriki maadhimisho ya miaka 50 ya utume kanisa la waadventista wa sabato arusha
rc arushamrisho gambo ashiriki maadhimisho ya miaka 50 ya utume kanisa la waadventista wa sabato arusha
rais magufuli viongozi wa dini hamasisheni wananchi walipe kodi viongozi
wa dini nchini wameombwa kuhamasisha waumini wao kufanya kazi kwa bidii
na kulipa kodi ili kuongeza kasi ya kuleta maendeleo katika taifa la tanzania na pia wametakiwa kuhamasisha waumini wao kuhakikisha wanadai risiti kila wanapoenda kununua bidhaa au kupata huduma mbalimbali kauli
hiyo ilitolewa jana mjini hapa na mkuu wa mkoa wa arusha mrisho mashaka gambo kwa niaba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dr john joseph pombe magufuli aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 50 ya utume wa kanisa la waadventista wa sabato akizungumza
na waumini na viongozi wa kanisa hilo lililopo burka mjini hapa mkuu wa mkoa arusha gambo alisema watanzania wanalojukumu la kufanya kazi kwani hata vitabu vya dini vimeelekeza kuwa mtu asiyefanya kazi na asile na mafundisho hayo ya dini yanaendana na falsafa ya hapa kazi tu mhe
gambo aliendelea kusisitiza kwamba kutokana na maelekezo hayo ya vitabu
vya dini ni wazi kwamba kila mtu anatakiwa kufanya kazi kwa kadiri ya uwezo aliopewa na muumba ili apate riziki hatua itakayowezesha pia kupunguza wategemezi katika taifa letu akizungumza katika maadhimisho hayo rc gambo kwa niaba ya rais magufuli alisisitiza kuwa ni
vyema kwa kila mmoja wetu kufanya kazi na kulipa kodi kwa yule ambaye hatalipa kodi ajue kwamba anaikosesha nchi yake mapato ambayo yangeweza kutumika kuendesha shughuli mbalimbali za maendeleo pia tutambue kwamba huduma zote ni gharama na zinatokana na kodi tunazolipa hivyo katika serikali ya awamu ya tano asiyefanya kazi na asile na zaidi ya hapo asiyelipa kodi ni vyema akafahamau kwamba analirudisha taifa lake nyuma niwaombeni sana viongozi wa dini muhamasishe waumini walipe kodi kwa mustakabali wa taifa letu kwa
upande wake makamu mwenyekiti wa kanisa la waadventista wa sabato ulimwenguni mch geofrey mbwana akitoa somo fupi wakati wa maadhimisho hayo alisema amefurahishwa sana na uteuzi wa mhe gambo na ana imani na vijana kwa sababu vijana wakati wao ni sasa na pia ni taifa la leo hivyo
wakipewa nafasi kama hii hudhihirisha vipawa vilivyomo ndani yao na bila shaka mkoa wa arusha utakua mkoa kielelezo kwa taifa hili kanisa
hili la sabato katika tanzania lilianzishwa katika kijiji cha giti kilichopo mamba miamba huko same mnamo mwaka 1903 na kuendelea kukua katika mji wa shirati mara na kisha kufika arusha na kuanzisha kanisa la
burka mwaka 1966 likiwa na jengo moja dogo na waumini nane tu hivi
sasa kanisa hili lina majimbo mawili na waumini zaidi ya 500000 tanzania kanisa hili pia wanamiliko chuo kikuu kimoja shule za sekondari 17 msingi 11 na shule za awali 11 pia kanisa hili lina hospital moja kituo cha afya kimoja na zahanati 28 rc gambo aliendelea kuwaomba viongozi mbalimbali wa dini wazidi kumuombea na kumtia moyo mhe rais katika kazi yake ngumu na kubwa anayoifanya kwa maslahi ya taifa haswa kusaidia wanyonge ambao kwa muda mrefu hawakuwa sehemu ya agenda kubwa ya serikali pia waendelee kuwasisitiza wanasiasa
watambue kuwa wakati wa siasa umekwisha ni vyema mhe rais akapewa nafasi ya kuwatumikia watanzania kwa yale aliyoyaahidi kupitia utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi na watakutana tena kwenye siasa mwaka 2019 2020
mkuu wa mkoa wa arusha mhe mrisho gambo(katikati) akikata utepe kama ishara ya maadhimisho ya maiaka 50 ya utume burkakushoto ni mch mchungaji eliasi ijiko na kulia ni askofu godwin godwin lekundayomkuu wa mkoa wa arusha mhe mrisho gambo akiwasilisha hotuba ya mgeni rasmi kwa viongozi wa kanisa na waumini wa kanisa la waadventista wa sabato katika picha ya pamoja ni mkuu wa mkoa wa arusha mhe mrisho gambo(katikati) na viongozi wa kanisa la waadventista wa sabato
kutoka kulia ni mchungaji eliasi ijiko akimuonyesha mkuu wa mkoa wa arusha mhe mrisho gambo vitabu na majarida mbalimbali yanayochapishwa na taasisi za kanisa la wasabato tanzania mkuu wa mkoa wa arusha mhe mrisho gambo(kushoto) akiendelea kutembelea mabanda ya maonyesho katika maadhimsho ya miaka 50 ya kanisa la wasabato burka mkuu wa mkoa wa arusha mhe mrisho gambo(katikati) akiongozwa na vijana wakubwa wa skauti kwenda kukagua mabanda ya taasisi za kanisa la waadventista wa sabato tanzania thursday september 08 2016
june 2017 (967) | 2017-06-25T15:28:49 | https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/rc-arushamrisho-gambo-ashiriki.html |
sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona page 3
sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona
topic sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona
5th june 2012 2013
zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake
1 mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga wapo wanawake ambao hupenda kuiga kile kinachofanywa na wanawake wenzake na kudhani hivyo ndivyo anavyopaswa kuwa mwanamke mwenye tabia hiyo huwa hana mvuto kwa mwanaume kwani atakuwa ni mwana mke fake
2 mwanamke anapaswa kuwa mtiifu na mwenye heshima na pia mwenye busara mwanamke hapaswi kuwa na kiburi na kutaka kuota mapembe ndani ya mahusiano heshima na utiifu haimaanishi kuwa tayari kunyanyaswa hapana mwanamke anapaswa ampe mpenzi wake ama mumewe heshima inayotakiwa kama kichwa cha mahusiano yenu
3 mwanamke anapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea hapa utata idogo wapo wale wanaoamini kuwa mwanamke anapaswa kutegemea kila kitu toka kwa mwenza wake lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuwa na uhusiano na mwanamke ambaye anaweza kusimama kwa miguu yake na kujitegemea pia
4mwanamke lazima awe anajiamini naam hapa haimaanishi kuwa anatakiwa kuwa kiburi na mbishi hapana isipokuwa mwanamke anapaswa aonyeshe kujiamini kwa kile anacosema na anachotenda kujiamini kunamfanya mwanaume ajue kuwa ana mpenzi ama mke ambaye anaweza kukabiliana na mikwaruzo mbalimbali inayohitaji hoja na utetezi
5 mwisho mwanamke anapaswa kuwa na mvuto hapa haimaanishi kuwa mrembo saaaana hapana ina maana kuwa mwanamke anapaswa kuwa nadhifu kila wakati ili kumfanya mwanaume apende kuwa nawe na avutiwe kuwa nawe wakati wote
sifa hizi tano akiwa nazo mwanamke basi atambue fika kuwa mwanaume atavutiwa nawe na uhusiano wenu unaweza kudumu na kudumu na kudumu unaweza kuongeza sifa nyingine hapa chini
positive thinker la makisi albabu and 1 others like this
6th june 2012 0646
hayo yote yanawezekana kwa mwanamke kuwa nayo ila hakuna mkamilifu unaweza muona ana sifa zote ila maybe sio mzur wa sura wala umbo sasa vip ana faa au hafai sifa 5 hazijakamilika na nyinyi men wa saiv huwa mtu akawa anatenda hayo yote ili kuwin penzi na kukutuliza bwana wake ila ana endup kuwa **** na just freak shit muna muona mshamba na muna sababisha changes ya mwanamke kuwa vyengine sasa
umeonaa eeh bt mwanamke akiwa hvyo mwanaume akaenda opposite yy ndy mshamba na wajanja watamzd kete mda c mrf
6th june 2012 0815
re sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona
kweli ni muhimu kuwa na sifa hizi lakini malezi mapokeo na kipato kwa wanawake nitatizo kubwa sana
hahahahahahaha umejipambanua bajabiri
mdau naaamits reliable and so fast with absence of conflicts
6th june 2012 1038
unakamilisha usemi mmoja kuwa raha ya mapenzi ni ku**joa
pale nafata utelez tuutamu nnao mwenyewe
6th june 2012 1039
mkuu huo usemi sio sahihi vinginevyo basi mastabesheni ingekuwa ndio kila kitu maana shughuli pale inaisha kama ulivyosema
pale unafata natural utelezi
by kijana15
maelezo namba 2 yanawashinda wanawake wengi lol
mh wke weng au wko 2 ndo yanamshnda
posts 8862 rep power
likes received4886
isipokuwa mimi tu ndo ninaiweza
6th june 2012 1732
6th june 2012 2133
hahahahahaaha charminglady ya kweli hayo
7th june 2012 0047
kweli lakn kwa jamii ye2 ya sasa na hawa wanawake kipengele #2 nathan kinakuwa kikwazo kwa walio wengi
7th june 2012 0340
by albabu
ndio maana wanapigwa vibuti kila siku kwa viburi vyao na kuota kwao mapembe hasa wale wanaojiona ni wasomi
albabu likes this
7th june 2012 0428
salute kwenu wote publisher amefanya kazi kubwa sana ya kuandaa hii hoja kwa mdau mmoja naomba ni mwambie kuwa mapenzi yanahusisha watu 2 hivyo ponyeto siyo mapenzi
7th june 2012 1535
smartnesstunaicheki sanana appearance(shape)
7th june 2012 1546
7th june 2012 1623
word mkuu
7th june 2012 1624
marida nikiangalia profile photo yako nahisi utakuwa unamiss sifa moja kuu kati ya hizo tano hahahahahaha
7th june 2012 1652
awe na hofu ya mungu/ mpenda dini na akubali kuwa chini ya mume wakeawe anapenda watoto na awapende ndugu wa pande zote awe anava nguo zenye heshima asiwe mzururaji ovyo
[quote=mwana mpotevu4011285]marida nikiangalia profile photo yako nahisi utakuwa unamiss sifa moja kuu kati ya hizo tano hahahahahaha
ipi hiyo
7th june 2012 2200
ipi hiyo[/quote]
oh sor avatar
in love its about teamwork | 2013-05-23T14:39:45 | http://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/273986-sifa-kuu-tano-za-mwanamke-ambazo-mwanaume-anatarajia-kuziona-3.html |
popa matumula kapumzike frank odoi
kapumzike frank odoi
picha ya oktoba 2009 (kutoka kushoto) mchoraji kutoka ghana marehemu frank odoi daryl cagle wa marekani na mimi
nilizipokea kwa mshtuko mkuu habari za kifo cha mchoraji wa kighana aliyekuwa akiishi na kufanyia shughuli zake nchini kenya bw frank odoi kutokana na ukweli kuwa kifo hicho kilichotokea kwa ajali ya gari kilikuja siku moja tu baada ya kuwa tumewasiliana kwa simu akiwa nairobi
nilimfahamu odoi ambaye alifahamika sana miongoni mwa wachoraji wakongwe wa michoro ya machapisho nchini tanzania katikati ya miaka ya '90 jijini dar es salaam wakati huo katuni zake ikiwemo ya you drive me crazy zikiwa zinachapishwa katika baadhi ya machapisho hapa nchini katika mfululizo wa katuni hizo za you drive me crazy bw odoi alikuwa akisawiri mitafaruku inayotokea katika uendeshaji na usalama barabarani leo mauti yake yamesababishwa na ajali za barabarani alizokuwa akizisawiri
lakini ilikuwa ni wakati wa tamasha la pili la utamaduni wa mwafrika (pan african cultural festival) lililofanyika algiers algeria kwa majuma matatu julai 2009 ndipo nilipokuja kujenga urafiki na mchoraji huyu mcheshi na rafiki
katika zaidi ya wachoraji 20 tulioalikwa kushiriki katika tamasha hilo lililojumuisha sanaa na tamaduni anuwai za kiafrika ni mimi odoi na mchoraji wa kinaijeria anayeishi uingereza tayo fatunla ndio pekee tuliotoka nchi zinazozungumza kiingereza (kimataifa tanzania huwekwa miongoni mwa nchi zinazozungumza kiingereza) hivyo tulikuwa karibu sana hasa ukizingatia tayo alichelewa kuwasili
ni wakati huu aliponipatia na kutia saini kwa ajili yangu nakala ya kitabu cha komiki yake maarufu ya akokhan
nilikutana tena na odoi oktoba mwaka huo huo jijini hapo hapo algiers safari hii tukiwa tumealikwa kushiriki katika maonyesho ya kimataifa ya komiki toka wakati huo mimi na odoi hatukupotezana tuliwasiliana sana kwa barua pepe na aliniwezesha kuchora katuni kadhaa katika machapisho ya jarida la pop ed linalochapishwa na unfpa nchini kenya
kwa karibu mwaka mzima sasa mimi na odoi hatukuwa tumewasiliana bila shaka kutokana na harakati za kimaisha lakini alhamisi ya 19/04/2012 siku mbili kabla ya kifo chake odoi aliwasiliana nami na safari hii kwa mara ya kwanza akivunja utaratibu wa kuwasiliana kwa barua pepe
alinipigia
tuliongea sana na akaahidi kunipigia tena siku inayofuata kuhitimisha kilichofanya anipigie ijumaa (yaani siku moja kabla mauti ya ghafla kumfika) odoi ka alivyoniahidi alipiga na kunitaarifu kuwa pana barua pepe atanitumia punde na akanitaka nimpe mrejesho pindi nitakapokamilisha yaliyomo katika baruapepe hiyo
kila kitu kilikwenda sawa saa kumi kasorobo kwa mujibu wa kumbukumbu ya simu yangu (simu ambayo niliitazama tena mara baada ya kupata taarifa ya mauti yake ya ghafla) nilimpigia kumpa mrejesho na kisha tukaongea kidogo mambo mengine ya kikazi
katika ngoma ya sikio langu la kushoto sikio ambalo kwa kawaida ndilo nnalolitumia kusikilizia simu ningali nnaikumbuka sauti ya odoi ikihitimisha mazungumzo nami kwa kuniambia okay popa
isingeweza kusambaa kichwani mwangu kwamba nilikuwa ninamsikia frank odoi kwa mara ya mwisho kwamba siku inayofuata (jumamosi 21/04/2012) katika moja ya barabara za nairobi ajali ya gari ingekuja kukatisha ghafla maisha ya mchoraji huyu mwenye kipaji bashasha mahoka kemkem na aliyekipenda kinywaji chake
frank odoi nenda kapumzike kwa tuliosalia na kukufahamu utaishi fikrani mwetu na kazi zako zitabaki kuwa kumbukumbu ya kudumu ya ulichoifanyia jamii yako | 2018-01-23T03:38:07 | http://pkamtu.blogspot.com/2012/04/kapumzike-frank-odoi.html |
mishka 1/2 tone kw crew heather | natterjacks
home › mishka › mishka half tone keep watch crewneck sweatshirt heather
mishka half tone keep watch crewneck sweatshirt heather
view | buy mishka watch dog polo aqua
view | buy mishka bike mop tee black | 2017-03-25T07:58:50 | http://www.natterjacks.com/mishka-half-tone-keep-watch-crewneck-sweatshirt-heather-p8705 |
kudhibiti umebaini uingereza kufunikwa juu ya kikatili kenya mauaji | indepthafrica
oh dis ebola business thoughts on current responses to the virus by pippa page oh dis ebola business was a familiar exclamation in sierra leones krio language home » uncategorized » kudhibiti umebaini uingereza kufunikwa juu ya kikatili kenya mauaji kudhibiti umebaini uingereza kufunikwa juu ya kikatili kenya mauaji
by indepthafrica in uncategorized dec 1st 2012 0 comments 52 views kamwe kabla ya kuonekana files juu mtego wa uingereza kikatili wa kikoloni wa kenya tumekuteremshia jitihada za haraka za kuficha mauaji ya wafungwa wasiokuwa na silaha wakati wa maandamano ya mau mau
eleven wafungwa katika kambi kizuizini hola walikuwa kikatili clubbed kwa kifo na kadhaa kujeruhiwa na zaidi walinzi gerezani machi 3 1959 baada ya walikataa kazi
mmoja wa wakenya watatu wazee ambao mwezi uliopita alishinda mahakama kuu tawala na sue serikali ya uingereza kwa uharibifu juu ya mateso anadai yeye alipigwa fahamu wakati wa tukio hilo
pamoja na hakuna ushahidi mkubwa mno ambaye ameshafunguliwa mashitaka
kutisha nyaraka awali siri kuonyesha kwamba maafisa wa kikoloni wa uingereza alikataa kutambua watu binafsi wanaohusika na alijaribu lawama juu ya vifo vya wafungwa kunywa maji mengi mno
kambi ya gereza alikuwa mmoja wa kujengwa wengi wakati wa mapigano katika ambayo waasi watuhumiwa waliwekwa kizuizini na vikosi vya kikoloni ya uingereza mara nyingi katika hali mbaya
muda mfupi kabla ya vifo hola mpango amekuwa iliyoandaliwa na mamlaka ya kikoloni kuruhusu wafanyakazi gerezani kwa kutumia nguvu ya kufanya kazi kama wafungwa wao walikataa ofisi ya nje files iliyotolewa na hifadhi ya taifa kuonyesha
prison afisa walter coutts aliiambia uchunguzi ndani ya vifo hola kwamba wafungwa ama alipenda wenyewe kwa kifo au wamekufa kutokana na kunywa maji mengi mno
lakini msaidizi rasmi ukoloni wa kenya johannes ezekieli alisema aliona kambi kamanda michael sullivan kusonga kati ya vikundi vya walinzi gerezani na inaweza kuona kikamilifu vizuri nini kinaendelea
maoni bw ezekieli walikuwa punguzo kwa mwanasheria mkuu eric griffithjones ambaye alikuwa msimamizi wa mashitaka ya jinai kama alikuwa kwa nguvu watuhumiwa kuwa na uhusiano na kenya mzalendo mwanasiasa wa upinzani tom mboya
baada ya postmortem mitihani umebaini vifo walikuwa unasababishwa na vurugu kamishina wa magereza ambaye mamlaka mpango wa kutumia nguvu alidai kuwa yeye alikuwa amewaonya kulikuwa hatari
ili kufanya mambo mabaya mwanasheria mkuu unasababishwa ghasia nchini uingereza baada ya kutangaza kwamba hakuna mashtaka iweze kuletwa dhidi ya watu wowote
alisema katika barua ya siri ya katibu mkuu wa kenya hakuna ushahidi ilikuwa inapatikana kwa kuanzisha kama yeyote na kama ndivyo nini majeruhi alikuwa yatolewayo na kumpiga katika swali au juu ya nani
vifo hola ilionyesha mwanzo wa mwisho wa kusimamishwa na uingereza juu ya maandamano ya mau mau kama mamlaka ya kikoloni ilianza kufunga makambi ya gereza kuzunguka kenya katika miaka iliyofuata
kenya alitangaza uhuru kutoka uingereza tu zaidi ya miaka minne baada ya vifo hola tarehe 12 desemba 1963
tenga serikali files pia iliyotolewa kwa mara ya kwanza leo kuonyesha kwamba ukoloni maafisa katika cyprus alikuwa kuzingatiwa kuzalisha adventure vitabu comic na mbio mashindano ya insha katika miaka ya 1950 kama sehemu ya jitihada propaganda na kuacha vijana wameasi dhidi ya utawala wa uingereza
kupro alishinda uhuru kutoka uingereza mwaka 1960
tagged cyprusgovernment of the united kingdomholaindepthafricakenyamaumau mau uprisingnews in swahilitom mboyawalter coutts search | 2014-09-03T00:07:00 | http://indepthafrica.com/kudhibiti-umebaini-uingereza-kufunikwa-juu-ya-kikatili-kenya-mauaji/ |
home jamii matukio miundombinu matukio mitaani zenj
taa za kuongozea magari katika barabara ya mkunazini zikiwa haziruhusu kupita kwa magari baadhi ya madereva hupuuza taa hizo kwa kutaka kuwahi kukatisha inahitajika kutoa elimu ya matumizi ya taa hizo kwa madereva ili kuepusha ajali
inahitajika kutowa elimu kwa wananchi na watumiaji wa barabara katika maeneo ya mji wa unguja kuepusha ajali na athari nyenginezo kwa kupuuza alama za kuongozea magari katika barabara hizo kama inavyooneka hapa ni kila mtu anataka kuwahi huku taa za kuongozea magari zikiwa bado kuruhusu kutumika kwa watumiaji wa gari katika makutano ya barabara ya mkunazini michezani | 2018-04-20T12:33:31 | http://www.zanzinews.com/2016/08/matukio-mitaani-zenj.html |
nay wa mitego anyoosha mikono kwa mzazi mwenzake | jestina george
leo ni siku ya tano toka afariki na kuzikwa aliyekuwa kapteni wa timu ya taifa ya rwanda hamad ndikumana ambaye pia alikuwa ni mume wa m
home / uncategories / nay wa mitego anyoosha mikono kwa mzazi mwenzake
baada ya nay wa mitego kuchezea kichambo kutoka kwa mzazi mwenzake ambaye ni muigizaji wa filamu nchini skyner ally kwa madai ameshindwa kuwa baba bora kwa mtoto wake rapper huyo ameamua kunyoosha mikono juu
kupitia mtandao wa instagram hitmaker huyo wa wapo ameonekana kuguswa na maneno aliyomfungukia mzazi mwenzake na sasa ameahidi kupeleka fedha za matumizi kwa mtoto wake huyo
si kwa kichambo kile jamaniiiiii huh jamani inatosha basiii povuuu nitapeleka matumiziiiii nawapenda sana awa watoto wanguu wasiopeleka matumizi ya watoto #wapo ameandika nay katika mtandao huo
chanzo cha skyner kuamua kumshushia kichambo hiko mzazi mwenzake [nay] ilitokana na rapper huyo kuweka picha kwenye instagram ya mwanae na kuandika my lovely daughter #munie mungu akulinde akuepushe na mijanaume mijangili maana hii bastola nimenunua kwa ajili yao wakianza tu ujinga wao na vunja miguu yao happy birthday to you my munie
hapo ndipo muigizaji huyo alipoamua kutumia fursa hiyo kupitia mtandao huo huo kwa kuandika ujumbe mrefu uliosomeka
thats face you make when you see your daddy jina anakufanyia promotions na kudanganya watanzania kama oooh my twin sijui nanunua pisto hata chupi unayovaa hajui thamani yake maskini nimevumilia sana its 5 years now nimejiskia kutapika na nimetapikaa am done mungu wa mbinguni nakuomba unijaalie maisha marefu uwezo nizidishie riziki uzima wa afya nikuleee mwanangu aje akuone baadae inshallah umekuja kuwa waziri wa nchi & raisi wa nchi then alete pua yake
endelea na drama zako ila please shobo na mwanangu sitakiplease unapost picha za mtoto wangu za ninishobo dundo zanini sitaki shobo na mwanangu koma kama ulivyo komaaaje wababa anaojisifu kama wanapenda watoto wao then hata hawajui mtoto anakula nini anasoma wapi anavaaa nini wapooooooo drama nyingi sana mtandaoni halafu i love you nyingi hana analofanya wapooooooooo am done
hakuna anayejua thamani yako zaidi yangu hata huyo anayejita babako hana analolijua kuhusu wewe si shule malazi wala chakula kutwa kucha kukupost na kuongopea jamii kama anakujali ninayehangaika nimie nakuhakikishia na kumuomba mola wangu anijaalie uhai nguvu uwezo riziki nizidi kukulea kwa nguvu zangu inshallah nakuonea gere sana umepata mama bora na sio bora mama uko mikono salama mwanangu wa uchungu happy birthday my happiness | 2017-11-24T14:47:53 | http://www.jestina-george.com/2017/04/nay-wa-mitego-anyoosha-mikono-kwa-mzazi.html |
misiba yawa mtaji wa kisiasa page 2
registered members 131396
current users online 30073
topic misiba yawa mtaji wa kisiasa
23rd september 2012 0925
posts 7201 rep power
last edited by zemarcopolo 23rd september 2012 at 1501
23rd september 2012 1936
re misiba yawa mtaji wa kisiasa
nimeguswa sana na hii picha hapa chini je wewe unajua wakati mwingine 'what goes around comes around' kama ambavyo wahenga walivyopata kunena na ukweli kama huo ndio kama hivi umejidhihirishia hapa chini ukatili kitu kibaya sana
23rd september 2012 1939
mimi pia nimeguswa sana na ukatilii huu wahusika wote wanastahili kuchukuliwa hatua kali za kisheria
23rd september 2012 1941
mkuu umeingizwa mkenge na ze marcopolo yeye yupo pale anatumikia dini anazusha na kurubuni kila mtu amuonaye ingekuwa taarifa hii haijulikani angeichafua cdm kwa uzushi wake wao hela walizoendea msibani ghana malawi na ethiopia kwa nini hawakuzitumia kwa maendeleo hapa nchini cdm wakienda msibani nongwa wasipoenda nongwa sababu za udini ukabila na ukanda zitatafutwa mpaka zipatikane
last edited by tenende 24th september 2012 at 0755
23rd september 2012 1951
jk alivyoenda kwenye msiba wa kanumba sikusikia hizi chokochoko
23rd september 2012 2001
hakwenda kutundika bendera ya chama cha siasa
kwa hisani ya mtu wa tanzania hahahhahahahahahaha
23rd september 2012 2003
by tenende
mkuu umeingizwa mkenge na ze marcopolo yeye yupo pale anatumikia dini anazusha na kurubuni kila mtu amuonaye ingekuwa taarifa hii haijulikani angeichafua cdm kwa uzushi wake wao hela walizoendea msibani ghana malawi na ethiopia kwa nini hawakuzitumia kwa maendeleo hapa nchini cdm wakienda msibani nongwa wasipoinda nongwa sababu za udini ukabila na ukanda zitatafutwa mpaka zipatikane
wewe mbona uko desperate sana hapa swala la udini ukabila na ukanda limetoka wapi jaribu kutulia chini and take some deep breaths take it easy tunajenga nyumba moja ya nini kugombania fito
23rd september 2012 2010
hekima na busara za vijana wa ccm ndizo zilizo sababisha kutokumwagika damu msibani hapo kwani wananchi wengi walikuwa wameshachukizwa na vurugu hizo za chadema tuliwasihi greengard wetu wawe wapole na watumie hekima zaid ili watofautiane kimaadili mbele ya jamii na vijana wa chadema vijana wa ccm walifanikiwa kwa hilo
kamanda juma tembo na mwenyekiti suzan kiwanga na wana cdm woote wa mkoa wa morogoro mkipigwa na green guard au mwana cdm akiuawa watafuteni viongozi wa green guard hawa wafuatao beatrice massawe na huyu ze marcopolo mtambueni mapema ili mjue pa kuanzia
23rd september 2012 2018
kweli kuku mgeni hakosi kamba mguuni
23rd september 2012 2020
mahangaiko tu hayo myoyoni hawana raha mkuu kwani kila wanachoona kinawashangaza walikua wapi kukifanya
23rd september 2012 2030
ze marcopolo ungekuwa unazungumza haya maneno kutoka moyoni mwako usingeingiza uzushi hatari kwa amani ya nchi yetu hata kama unatafuta watu waichukie cdm huwezi kuzusha kuwa waligawa chakula kwa kuwauliza wewe ni chama gani ukileta propaganda za kijinga tutakujibu sawa sawa na ujinga wako udini ukanda na ukabila niliozungumzia najua wote mnajua ni propaganda hatari mnayoitumia kudhoofisha vyama vya siasa najua kama mgekuwa serious kutafuta umoja na mshikamano hizi propaganda msingezileta
23rd september 2012 2130
mkuu soma vizuri habari and mind the punctuation hayo unayonilaumu siyo maneno yangu wapi nimesema kuna mtu aligawa chakula kwa kuuliza affiliation ya chama
again swala la udini ukabila na ukanda limetoka wapi
23rd september 2012 2231
tangu lini mnajenga nyumba moja
umesahau wewe unajenga nyumba yako na mkeo wakati wengine wanajenga taifa
dont push for credits that you havent earned buddy
tenende likes this
23rd september 2012 2242
sawa mkuu nimekusoma tuko pamoja
23rd september 2012 2251
mie si mgeni na utaratibu huo na tena nimefanya mara nyingi sana ukiweza fuatilia hata hivyo msimamo uliouweka hauna tofauti na maneno ya huyo uliyemtambulisha kuwa mdau pili source ni mdau huyo mdau yeye haijui jamii forum mpaka umletee post ya kishabiki namna hii post hii ulipokuwa unaileta mbona hujaonesha msimamo wako kuhusu mambo machafu kama green guard kupiga watu kweli nia yetu iwe kuchochea watu wapigwe ndugu yangu wewe ni mtanzania mwenzangu nakuheshimu ila mawazo yako ya leo siyakubali
23rd september 2012 2258
tenende its ok kutokukubaliana na mawazo yangu ya leo ni vizuri kujadili tofauti zilizopo katika fikra zetu ili tuweze kuzitambua tofauti hizo na kujifunza kuziheshimu pale inaposhindikana kubadilishana
23rd september 2012 2310
bado hata haya utayakana kuwa si maneno yako unadhani cdm wao wajinga wajipeleke msiba usiowahusu u ccm wa mama wa marehemu hauifanyi cdm kuwa chama kinachovamia misiba fuatilia ujue cdm walimfuata nani usilete ushabiki
last edited by tenende 23rd september 2012 at 2333
23rd september 2012 2312
bado hata haya utayakana kuwa si maneno yako uandhani cdm wao wajinga wajipeleke msiba usiowahusu uccm wa mama wa marehemu hauifanyi cdm kuwa chama kinachovamia misiba
tenende unadhani ni jambo sahihi kwa washabiki wa chadema kwenda kupeperusha bendera za chama msibani
23rd september 2012 2353
ni sahihi kabisa kwanza asante kwa maoni yako bendera za chama zinaweza kutumika pale ambapo aliyefariki au mzazi wake ni mwanachama wa chama husika hata kitaifa aliyekuwa kiongozi wa kitaifa au mwakilishi wa taifa bendera ya taifa hutumika morogoro marehemu alikuwa mtoto na pande mbili za wazazi ni ccm na cdm msiba huu haukuwa wa kugombea bendera wala mavazi ya ushabiki wa vyama bali mgogoro huo uliibuka kutokana na vyama viwili kupingana huu si msiba wa kwanza kwa vyama vyote viwili kuwa na magari na mavazi ya vyama na tena utaratibu huu utaendelea kuwepo hili linakuwa kosa iwapo mtu atapeleka bendera za chama msiba usiomhusu lakini huu wa morogoro asidanganye mtu kuwa ccm pekee walikuwa na haki ccm walikuwa na haki kwenda kumfariji yule mama lakini si sawa kugombea ukuu wa msiba
24th september 2012 0006
any way ze marcopolo huu si ugomvi wala kazi ya kutafuta mshindi mimi sioni shida mtu akiishambulia ccm cdm au cuf kwa udhaifu wake lakini si uzushi nashukuru kwa mchango wako
24th september 2012 0130
thanks at least we are agreeing on one thing
that is why i ma not a politician coz my family comes first i hate politicians who pretend to put country first and support the oppressors with all their ability and yet they think their conscious is clear
tanzania haiwezi kukua kiuchumi bila mafia wa kiuchumi wezi mafisadi na weledi | 2013-05-24T11:44:16 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/327843-misiba-yawa-mtaji-wa-kisiasa-2.html |
kumbe jairo hakuanza mwaka 2010/2011 | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'jukwaa la siasa' started by kibakwe jul 24 2011
imebainika uchotaji wa mamilioni ya fedha katika idara na taasisi za umma zilizoko chini ya wizara ya nishati na madini kugharamia shughuli zinazohusiana na gharama za bajeti ya wizara hiyo ulianza mwaka 2004
matumizi mabaya ya fedha hizo za umma yamebainika kipindi ambacho katibu mkuu wa sasa wa wizara hiyo david jairo amesimamishwa na ikulu kwa kupewa likizo ya malipo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni dhidi yake
jairo anakabiliwa na tuhuma za kuwaandikia barua wakuu wa idara zote zilizoko chini ya wizara yake ili watoe fedha kwa ajili ya kusaidia kupitishwa kwa bajeti ya wizara hiyo fedha ambazo zinatafsiriwa kwamba zilikuwa ni kwa lengo la kutoa rushwa kwa wabunge
kafulila ashtaki kwa jk
mbunge wa kigoma kusini david kafulila(nccr mageuzi) jana aliliambia mwananchi jumapili kuwa amemwandikia barua rais jakaya kikwete akitaka uchunguzi utakaofanywa na mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali katika wizara ya nishati na madini uanzie miaka ya mitano iliyopita
nimemwandikia barua rais kikwete maana inaonekana kuwa huu mchezo wa kuchota fedha za umma katika wizara hii umeanza tangu 2008 alisema kafulila ambaye pia aliwahi kuwalipua baadhi ya wabunge wenzake akiwatuhumu kwamba waliomba rushwa katika halmashauri ya handeni mkoani tanga
kafulila katika barua yake ambayo pia mwananchi limeiona alisema anakubaliana na hatua za awali za kumchunguza jairo lakini anapendekeza ufanyike uchunguzi mpana kwani mtindo si kwa mwaka huu pekee bali hata miaka iliyopita katika wizara hiyo na nyingine nchini
napenda kupendekeza kwako kuwa suala hili lifanyiwe uchunguzi mpana kwa kuwa upana wa kashfa hii ni zaidi ya mwaka mmoja wa fedha 2011/2012 ni zaidi ya katibu mkuu mmoja david jairo na pengine ni zaidi ya wizara moja ya nishati na madini katika hicho kinachoelezwa kuwa ni kusaidia uwasilishaji wa bajeti inaeleza sehemu ya barua hiyo
katika barua yake kwa rais na kutoa nakala kwa waziri mkuu mizengo pinda spika wa bunge anne makinda mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali (cag) ludovick uttoh na mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa (takukuru) kafulila anasema ana ushahidi unaothibitisha baadhi ya tuhuma hizo
uzoefu wa jairo
kwa mujibu wa nyaraka ambazo mwananchi limeziona hii ni mara ya pili kwa jairo akiwa katibu mkuu katika wizara hiyo kuandika waraka wa kuomba fedha kutoka kwenye idara husika kwa ajili ya kusaidia mchakato wa maandalizi na uwasilishaji wa bajeti bungeni
kwa mujibu wa nyaraka hizo mei 12 mwaka jana jairo akiwa katibu mkuu aliandika waraka kwenda kwa aliyekuwa kaimu mkurugenzi mkuu wa shirika la umeme tanzania (tanesco) stephen mabada akitaka lichangie sh20 milioni ili kusaidia kile alichokiita ‘gharama za kukamilisha mpango na bajeti ya wizara 2010/2011 na uwasilishaji wake bungeni
barua kama hiyo pia iliandikwa kwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya udhibiti wa maji na nishati (ewura) haruna masebu ambaye taasisi yake iliombwa kuchangia sh25 milioni wakati yona killagane ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la maendeleo ya petroli nchini (tpdc) taasisi yake ilitakiwa kuchangia sh20 milioni
kwa mujibu wa barua hizo gharama husika kwa ajili ya kazi hiyo ya kibajeti ilikuwa ni sh1866 milioni hivyo kuzitaka idara zote kwa pamoja kuchangia kiasi cha sh90 milioni wakati wizara ilibaki na jukumu la kuchangia kiasi cha sh966 milioni
hata hivyo jumla ya fedha zilizoombwa kutoka ewura tanesco na tpdc ni sh65 milioni ikimaanisha kuwa ipo idara au taasisi nyingine ambayo pia iliombwa kuchangia kiasi kilichobaki cha sh25 milioni
gharama hizi kubwa zimesababishwa na kupanda kwa gharama za posho kutoka sh60000 mpaka sh200000 sh50000 hadi sh150000 na sh30000 hadi sh100000 kwa wenyeviti na makatibu wajumbe na sekretarieti sawia inaeleza sehemu ya waraka huo uliondikwa na jairo na kuongeza
kwa kuwa bajeti ya wizara ya 2009/2010 ilikadiriwa kwa viwango vya zamani ni dhahiri wizara haiwezi kubeba gharama hizi peke yake hivyo inashauriwa wizara igharamie 96626000 na wadau muhimu wa wizara wagharamie 90000000
barua hiyo haifafanui kuhusu wenyeviti makatibu wajumbe na sekretarieti ambao wanapaswa kulipwa posho hizo
mwananchi limethibtisha kuwa utaratibu huo wa kuchota fedha umekuwepo kwa muda mrefu kwani mwaka 2008 na 2009 wizara hiyo iliandika barua kwa ajilia kutaka ichangiwe ili kughramia shughuli za kibajeti
julai 5 2008 aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini arthur mwakapugi aliandika wakara kwa dk idris rashid aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa tanesco mkurugenzi mkuu wa wakala wa nishati vijijini (rea) lutengano mwakahesya na killagane wa tpdc akitaka mchango wa kile alichoeleza kuwa ni
kuchangia gharama za hafla fupi baada ya mawasilisho ya bajeti ya wizara bungeni dodoma
katika waraka wake huo mwakapugi alitaka kila taasisi kuchangia kiasi cha sh5 milioni hivyo kufanya jumla yake kuwa sh15 milioni kwa lengo la kugharamia tafrija husika
juni 19 2009 mwakapugi aliandika waraka mwingine kwenda tanesco rea na tpdc akitaka michango kwa ajili ya kile alichokieleza katika barua yake kuwa ni fedha kwa ajili ya kuwezesha uwasilishaji wa hotuba ya bajeti ya 2009/2010 bungeni dodoma kazi ambayo anasema katika barua hizo kwamba gharama zake ni sh170461500
kama ilivyo desturi maofisa taasisi na mashirika yaliyo chini ya wizara hujumuika katika kutoa michango yao hasa katika hoja zote zinazojitokeza katika maeneo husika ili kufanikisha zoezi hilo gharama mbalimbali huhitajika zikijumuisha posho za vikao uchapishaji wa vitabu uchapishaji kwenye magazeti vyakula na vinywaji posho za safari na mafuta kwa washiriki inaeleza sehemu ya barua
barua hiyo inabainisha kuwa msingi wa kutaka kuchangiwa ni kutokana na hali mbaya kifedha katika wizara hivyo na kuwataka tanesco kuchangi sh40 milioni rea sh30 milioni na tpdc sh40 milioni
likizo ya jairo
katibu mkuu kiongozi philemon luhanjo ambaye ni mkuu wa utumishi wa umma aliwaambia waandishi wa habari mjini dodoma alhamisi wiki hii kuwa jairo ambaye yuko chini yake analazimika kwenda likizo kuanzia juzi ili kupisha uchunguzi wa awali ambao unalenga kubaini iwapo ametenda kosa la kinidhamu kwa mujibu wa sheria zinazoongoza utumishi wa mmma
mbunge wa kilindi (ccm) beatrice shellukindo ndiye aliyemlipua jairo bungeni julai 18 2011 wakati akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya nishati na madini akisema amekusanya fedha kiasi cha sh1 bilioni kutoka idara 21 zilizopo chini ya wizara yake fedha zisizo na maelezo
nimeanzisha uchunguzi wa awali kwa lengo la kupata ukweli kuhusu tuhuma hizo wakati uchunguzi huo ukiendelea katibu mkuu wizara ya nishati na madini amepewa likizo ya malipo kupisha uchunguzi wa awali alisema luhanjo na kuongeza
hatua zitakazochukuliwa hapo baadaye zitategemea matokeo ya uchunguzi wa awali
licha ya mchakato wa hatua dhidi ya mtumishi huyo wa umma ambaye ni mteule wa rais kupitia katika mchakato mrefu mwishoni mwa mchakato huo anaweza kushushwa cheo kupunguzwa mshahara kufukuzwa kazi kuachishwa kazi au kurejeshwa kazini kwa kutegemea matokeo ya taratibu zitakazofuatwa
luhanjo alisema jairo analazimika kwenda likizo kwa kuwa tuhuma dhidi yake ni nzito zingekuwa tuhuma nyepesi ningeruhusu aendelee na kazi wakati uchunguzi huo wa awali ukifanyika lakini tuhuma hizi ni nzito mno hivyo lazima aende likizo ili kupisha uchunguzi huo alisema luhanjo
alisema uchunguzi dhidi ya jairo kwa kuwa unahusu masuala ya fedha utafanywa na ofisi ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali (cag) ambayo inatakiwa kikamilisha kazi yake katika muda wa siku kumi kisha kuiwasilisha kwake kwa hatua zaidi
taarifa ya luhanjo ambayo ni taarifa rasmi ya serikali inatofautina na kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na waziri mkuu mizengo pinda kwamba suala la kuchukua kwa hatua dhidi ya jairo linamsubiri rais kikwete ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini afrika ya kusini
likes received 8579
aliekutwa na ngozi ndie kaua chuilengo la story hiyo ni ku crowd the deck
upo wasiwasi kwamba yakifunuliwa yote yaliyokuwa yanatendeka kwenye mawizara na idara zakenchi itayumba na huenda amani itatoweka
''siku za mwizi ni 40''
unapomdaka mwizi leo jua kwamba kuna nyingine 39 huko nyuma alizoiba ambazo hukufanikiwa kumshika/kumkamata
weweeee nchi itayumba ni nani wa kuiyumbisha kwani haya ambayo yameshajulikana ni madogo unafikiri ingekuwa nchi nyingine kuna mtu angevumilia huu ushenzi na utapeli tukubali sisi watanzania ni mabwege mtozeni tu uvivu na woga ndio sifa zetu kuu
kichi member
rais ndiye aliyemuagiza jairo asanye fedhwa
napinga kwa nguvu zote ufujaji wa hela kwa kisingizio cha kupitisha bajeti hata hivyo tusikubali kupigwa changa la macho kwamba ni jairo pekee ndiye amekuwa anafanya hivyo for years wizara wamekuwa wanapitisha bajeti kwa mtindo huu na wabunge wetu hasa wenyeviti wa kamati wameneemeka vilivyo uchunguzi usiwe kwa jairo ili kwa wao wabunge kwanza kujua nani amekula nini
hii ya jairo imechanganyika na personal conflicts toka kwa mahasimu wake tusidanganyike
ni lazima tuelewe scope ya uchunguzi huu lengo hapa ni kupata ukweli kuhusu tuhuma za jairo katika tukio la hivi karibuni na siyo kufumua yaliyopita labada hiyo ifanyike kwe nia ya kumuonyesha kwamba amekuwa akifanya hivyo na kunufaika binafsi in any case bilioni 1 za sasa ni nyingi sana na hazina maelezo
napinga kwa nguvu zote ufujaji wa hela kwa kisingizio cha kupitisha bajeti hata hivyo tusikubali kupigwa changa la macho kwamba ni jairo pekee ndiye amekuwa anafanya hivyo for years wizara wamekuwa wanapitisha bajeti kwa mtindo huu na wabunge wetu hasa wenyeviti wa kamati wameneemeka vilivyo uchunguzi usiwe kwa jairo ili kwa wao wabunge kwanza kujua nani amekula nini hii ya jairo imechanganyika na personal conflicts toka kwa mahasimu wake tusidanganyike
nakubaliana na wewe kabisa mkuu ingewezekana kuitisha special audit kwa wizara zote tungeweza kufahamu mengi na kuokoa fedha nyingi za umma zinazopotea kwa hongo mwaka hadi mwaka
sasa napata uelewa kwanini katika bunge la tisa wabunge walimjia juu dr hosea pale alipowatuhumu kupokea posho zaidi ya moja kwa kikao kimoja kwa jinsi walivyozoea kulipwa posho kibao wakati wa vikao vya kamati za bunge ambapo inaelekea hata makatibu wa kamati wamehusika kupokea posho hizo haramu ndiyo sababu walikuwa wakali sana walipoelezwa ukweli na hawakuwa tayari kuzikosa
iko haja kwa takukuru kulichunguza kwa undani jambo hili kwa kuanzia na taarifa ya januari makamba aliyepata kuwatuhumu baadhi ya wajumbe wa kamati ya nishati na madini kuwa walipokea hongo ili waipitishe bajeti ya wizara ya nishati na madini kwenye ngazi ya kamati pamoja na mapungufu iliyokuwa nayo
tukiamua inawezekana
jamani nadhani haya maneno yana busara na maono ndani yake japo ccm wanatabia ya kubeza kila lisemwalo na upinzani sehemu ya barua ya kafulila (mbunge) aliyomwandikia jk inasomeka hivi
napenda kupendekeza kwako kuwa suala hili lifanyiwe uchunguzi mpana kwa kuwa upana wa kashfa hii ni zaidi ya mwaka mmoja wa fedha 2011/2012 ni zaidi ya katibu mkuu mmoja david jairo na pengine ni zaidi ya wizara moja ya nishati na madini katika hicho kinachoelezwa kuwa ni kusaidia uwasilishaji wa bajeti
je unadhani kwa kasumba ya majibu ya kuwasafisha watuhumiwa wa matumizi mabaya ya pesa za upa cag atakuja na jipya
kusema tanzania ina amani ni upumbavu na watakaokusikiliza pia ni wapumbavu amani haipo ila kuna uvumilivu tu
ndiyo sababu pinda alizuilwa hadi bw mkubwa arudi toka south hapa tatizo ni zaidi ya jairo ni mfumo mzima wa serikali ya ccm
kwa mtazamo wangu naona bunge livunjwe na takukuru ivunjwe ikiwezekana na katiba hiwe suspended (hadi hiyo mpya hiwe tayari)
kweli mkuu wa nchi ana mapungufu fulani fulani kama binadamu yeyote aliye kiumbe wa mwenyezi mungu lakini bunge ni muhimili na takukuru ni taasisi ambazo bila ubaguzi zimeshiriki moja kwa moja katika huu ubadhirifu yani bunge kubariki mfumo huu wa rushwa na takukuru kutokupambana nao kwa vitendoyani wao takukuru ni kurusha lawama kwa mahakama dpp hadi kwa rais(wikileaks et al)
sasa kwa sie wana kabumbu defence (taasisi za umma) ni muhimu zaidi kuliko kuwa na striker kama tores au babatov( rais)
kafulila banaaa aliyekuwa anakagua wizara ni nani si ni cag huyuhuyu taarifa mmeshaletewa bungenitena umebahatika kuletewa ya mwaka wa noti uliopita husomagi
kila mwaka cag ndiye anayekagua hizo idara zote na hajawahi kuona mapungufu yoyote na hata ktk wizara kiujulma wake anaona shwari tu afu leo anapewa kazi ya kukagua tena kweli tz kuna uvumilivu na sio amani kama wengi tunavyoaminishwa
[td=class createdate]sunday 24 july 2011 0556 [/td]
yabainika jairo alihusika miaka miwili kafulila awashtaki kwa jk
kwa mujibu wa nyaraka hizo mei 12 mwaka jana jairo akiwa katibu mkuu aliandika waraka kwenda kwa aliyekuwa kaimu mkurugenzi mkuu wa shirika la umeme tanzania (tanesco) stephen mabada akitaka lichangie sh20 milioni ili kusaidia kile alichokiita gharama za kukamilisha mpango na bajeti ya wizara 2010/2011 na uwasilishaji wake bungeni
viongozi wa nchi hii wanawakatisha tamaa wa tanzania kwa kiasi kikubwa sana
natamani uchunguzi huu unaohusu fedha za umma ungeweka wazi hadidu rejea (terms of reference) kwa watu wote ili rasmu yake iweze kuboreshwa kabla cag na takokuru hawajaingia mzigoni naungana pia na wengine hapo huu wanaopendekeza zifukuliwe wizara zote najua this has always been the practice pita maeneo ya new dodoma hotel nyakati za jioni baada ya wizara kupitishiwa bajeti yake ukaone kufru hela hizi huwa za umma lakini unaambiwa wafanyakazi wanapongezana kwa bajeti yao kupita psuufuuuuuu with what motives
lukenza senior member
kumbe ndiyo maana huwa wanasema mheshimiwa spika naunga mkono hoja kwa 100 | 2018-01-20T17:38:45 | https://www.jamiiforums.com/threads/kumbe-jairo-hakuanza-mwaka-2010-2011.157729/ |
mandela kuenziwa katika ibada kubwa | matukio ya kisiasa | dw | 07122013
dunia inaendelea kuomboleza kifo cha mzee nelson mandela jana rais wa afrika kusini jacob zuma alitangaza siku 10 za maombolezo kwa mandela aliyefariki alhamis usiku akiwa na umri wa miaka 95
maelfu ya watu wameweka maua kuonyesha mapenzi yao kwa mandela
ikulu ya marekani imesema kuwa rais barack obama na mkewe machelle watakwenda afrika kusini wiki ijayo kuungana na viongozi wengine wengi wa dunia katika ibada ya kumuaga nelson mandela obama ambaye mwenyewe ni rais wa kwanza mweusi wa marekani ataambatana na watangulizi wake wawili george w bush na bill clinton ambao pia watasindikizwa na wake zao
rais obama ataongoza ujumbe wa marekani kwenye ibada ya kumkumbuka mandela
mwili wa mandela utawekwa katika jengo la serikali kwa muda wa siku tatu kutoa fursa kwa wananchi wa afrika kusini kutoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi waliyempenda baadaye mwili wake utasafirishwa kwenda kuzikwa mahali alipokulia mandela qunu
ibada ya kumkumbuka mandela
jana maelfu ya raia wa afrika kusini kutoka matabaka yote na rika zote walishiriki katika ibada ya pamoja ya dini mbali mbali ambayo ilifanyika mjini cape town mahali ambapo mandela alitoa hotuba yake ya kwanza baada ya kuachiwa huru kutoka jela
mayor wa jiji la cape town patricia de lille alisema katika ibada hiyo kuwa watu wa mji huo weusi kwa weupe wahidi na wenye damu mchanganyiko wanaungana kwa mshikamano kumuenzi nelson mandela na kukumbuka mchango wake kwa nchi yao
watu wa matabaka yote wamesononeshwa na kifo cha kipenzi wa dunia nelson mandela
askofu mkuu wa zamani wa kanisa la angikani nchini afrika kusini desmond tutu ambaye kama mandela naye ni mshindi wa tuzo ya nobel ya amani akijipangusa machozi ya huzuni alimsifu mandela na kusema alikuwa alama ya umoja tangu alipoachiwa huru kutoka gerezani
kifo cha mandela chaiunganisha dunia
nchi kadhaa ulimwenguni zilitangaza maombolezo kwa kifo cha nelson mandela bendera zilipeperushwa nusu mlingoti katika baadhi ya nchi hizo zikiwemo za kiafrika marekani ufaransa na uingereza na kwenye makao makuu ya umoja wa mataifa mjini new york
india ilitangaza siku tano za maombolezo na mnara maarufu wa mjini paris eiffel ulimeremeta kwa rangi za bendera ya afrika kusini kwa heshima ya madiba
pande zenye misimamo tofauti kihistoria zimezungumza kwa sauti moja kumsifu mandela wapalestina na israel dalai lama na china marekani na iran wote wamemsifu kuwa mtu aliyetetea haki na usawa
ibada ya kumuaga nelson mandela ambayo itafanyika jumanne ijayo kwenye uwanja wa mpira mjini johannesburg inatarajiwa kuwa mojawapo ya mikusanyiko mkubwa ya watu maarufu kuwahi kutokea
maneno muhimu mandela maombolezo ibada afrika kusini
kiungo https//pdwcom/p/1aubt | 2019-10-23T15:56:08 | https://www.dw.com/sw/mandela-kuenziwa-katika-ibada-kubwa/a-17277259 |
john mnyika hotuba ya kambi rasmi ya upinzani wizara ya nishati na madini
mheshimiwa spika tunajadili sekta za nishati na madini wakati taifa likiwa kwa mara nyingine tena kwenye tishio la mgawo wa umeme pamoja na serikali kukanusha kwamba hakutakuwa na mgawo wa umeme tunajadili mapitio ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2011/2012 wakati kwa mara nyingine tena kukiwa na mvutano baina ya watendaji waandamizi wa wizara ya nishati na madini na taasisi zake wakiwa katika mvutano ambao umeambatana na kutuhumiana hadharani kupitia vyombo vya habari juu ya tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka tunajadili makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya nishati na madini kwa mwaka 2012/2013 wakati kukiwa na tuhuma za vigogo wa serikali kuingiziwa fedha kifisadi katika akaunti zao za nchini uswisi na makampuni ya nje ya utafutaji na uchimbaji wa madini mafuta na gesi asili huku viongozi wa dini wakiwa wamezindua ripoti juu ya ukwepaji kodi na upotevu wa mapato kwa serikali unaogusa pia makampuni kwenye sekta za nishati na madini (the one billion dollar question)
mheshimiwa spika namuomba kila mmoja wetu atafakari kwa ukweli wa nafsi na nafasi yake tumefikaje hapa kama taifa na kwa pamoja tukubaliane kuwa wabunge tuwajibike kuisimamia serikali kuhakikisha maazimio yote ya bunge kuhusu sekta za nishati na madini ya miaka mbalimbali yanatekelezwa kwa haraka na kwa ukamilifu naamini iwapo maazimio ya bunge juu ya mkataba baina ya tanesco na kampuni ya richmond development company llc yangetekelezwa yote na kwa wakati toka mwaka 2008 maazimio ya bunge juu ya uendeshaji wa sekta ndogo ya gesi asili ya mwaka 2011 yangezingatiwa yote na kwa haraka maazimio kuhusu uhalali wa utaratibu wa wizara ya nishati na madini kuchangisha fedha kwa ajili ya kupitisha bajeti bungeni ya mwaka 2011 yangechukuliwa kwa uzito unaostahili taifa lingeepushwa kurudia mijadala ile ile kuhusu wizara hii hii mara kwa mara aidha kambi rasmi ya upinzani inatoa mwito kwa bunge kupitisha maazimio ya kutaka uwajibikaji wa serikali kwa kushindwa kutekeleza maazimio ya bunge kwa ukamilifu na kwa wakati
aidha pamoja na mabadiliko ya mawaziri manaibu waziri makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara ya nishati na madini na taasisi zake ya mara kwa mara rais ashauriwe kutumia nguvu zake za kikatiba za ibara ya 33 34 35 na 36 kuwezesha hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wote waliotuhumiwa kwa ufisadi uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka kwa mujibu wa maazimio ya bunge na taarifa mbalimbali za serikali ili kurejesha misingi ya uadilifu na uwajibikaji katika sekta za nishati na madini
tuchangie mjadala wa sekta hizi nyeti tukikumbuka maneno ya hayati mwalimu nyerere katika kitabu chake cha tujisahihishe cha mwaka 1962 nanukuu lakini woga unaweza kutokana na tamaa ya kila binadamu kupendwa na binadamu wenzake sisi wote tunayo tamaa hii au sivyo tusingekuwa binadamu woga huu huweza ukamfanya mtu kuvumilia maovu hasa kama maovu yale yanatendwa na walio wengi kwa walio wachache au yanatendwa na wakubwa kwa wadogo kwa kuogopa kuwaudhi wengi tunawaacha watende makosa bila kuwasahihisha wasije wakatuchukia huu ni ubinafsi mbaya sana
mheshimiwa spika kambi rasmi ya upinzani ilipitia kitabu cha pili cha matumizi ya kawaida ya wizara ya nishati na madini (volume ii supply votes) fungu la 58 kwa mwaka wa fedha 2011/2012 na kubaini kwamba ilikuwa ni bajeti ya mgawo mkubwa wa posho na ufujaji ya zaidi ya shilingi bilioni 79 ya posho na matumizi mengine yasiyo ya lazima kambi rasmi ya upinzani iliitaka serikali ifanye marekebisho kwenye bajeti ili fedha hizo zipunguzwe na kuelekezwa kwenye kuongeza ujenzi wa miundombinu wa chuo cha madini dodoma na kuongeza kiwango cha fedha katika mfuko wa wachimbaji wadogo wa madini aidha yako matumizi mengine ya ujenzi wa maofisi na gharama kubwa za kisheria yaliyopaswa kuhamishiwa katika miradi muhimu ya maendeleo ikiwemo ya umeme vijijini kwa kuwa wizara iliahidi kuufanyia kazi ushauri wa kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza kiwango cha fedha kilichookolewa kutokana na kutekeleza ushauri huo na kutoa pia maelezo ni kwanini katika makadirio ya mwaka 2012/2013 pamejitokeza kwa mara nyingine tena matumizi yasiyokuwa ya lazima
kusuasua kwa utekelezaji wa mpango wa dharura wa umeme
mheshimiwa spika ikumbukwe kwamba mpango wa dharura ulipowasilishwa bungeni tarehe 13 agosti 2011 serikali ilieleza kuwa imepanga kuongeza mw 572 ifikapo mwezi disemba 2011 kati ya hizo mw 150 ilikuwa zizalishwe kupitia makubaliano baina ya shirika la hifadhi ya jamii (nssf) na tanesco ilitarajiwa kuzalishwe mw 50 septemba mw 50 oktoba na mw 50 novemba 2011 kimsingi kauli iliyotolewa bungeni kuwa mitambo ilikuwa imepatikana haikuwa ya kweli hivyo ahadi ya kupata umeme huo ilikuwa hewa mpaka sasa hakuna hata mw moja ambayo imezalishwa kwa ushirikiano kati ya nssf na tanesco ujumbe ulipotumwa marekani kwenda kuona mitambo iliyokuwa inaelezwa kwamba ipo haikukuta mitambo yoyote walikuta kampuni ambayo haikuwa na uwezo kama ilivyokuwa kwa richmond development llc timu hiyo ya wataalamu ilibidi kwenda ufaransa nako ikakosa mitambo ya dharura hivyo fedha nyingi za umma zimetumika kufuatilia ahadi hewa na umeme mpaka sasa haujapatikana na taifa limerejea kwenye utegemezi wa mitambo ya kukodi ya gharama kubwa ya umeme kwa sababu ya udhaifu na uzembe wa kiutendaji hivyo si kweli kwamba mpango wa dharura wa umeme umetekelezwa kwa mafanikio ya asilimia 645 kama inavyodaiwa na serikali kwa kupunguza lengo lilopitishwa bungeni bali mpaka sasa umetekelezwa kwa asilimia 476 tu katika muktadha huo serikali inabidi ieleze kwa ukweli ni kwa vipi mgawo wa umeme utaepukwa kwa kuzingatia pia barua ya mwenyekiti wa bodi ya tanesco kwa rais yenye kueleza uwepo wa tishio la mgawo wa umeme
mheshimiwa spika kambi rasmi ya upinzani tulitahadharisha kwamba mpango wa dharura wa umeme na ununuzi wa mafuta kwa ajili ya kufua umeme isitumike kama mwanya wa ufisadi na kuzalisha richmond nyigine inaelekea kansa hii ndani ya serikali inayoongozwa na ccm ya kuachia dharura ziendelee kwa manufaa ya wachache imesambaa kwa kiwango cha kuwa vigumu kutibika isipokuwa kwa mabadiliko ya mfumo mzima wa utawala katika siku za karibuni kumekuwapo na malalamiko kutoka kwa wazabuni ambao wamekosa zabuni ya kuiuzia tanesco mafuta ya kuendeshea mitambo ya kufua umeme ya iptl kutokana na uamuzi wa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini eliakim maswi wa kuipatia zabuni kampuni ya puma energy (tz) ltd (zamani ikiitwa bp (tz) ltd) ambayo inamilikiwa na serikali kwa asilimia 50 licha ya malalamiko ya wazabuni hao kambi rasmi ya upinzani bungeni inafahamu kwamba kuna kampeni kubwa imefanywa na inaendelea kufanywa ndani na nje ya bunge hili tukufu ili uamuzi huu wa katibu mkuu maswi ubatilishwe kwa maslahi ya makampuni hayo na wapambe wake wa ndani na nje ya bunge lako tukufu aidha wanaoendesha kampeni hiyo wanashinikiza katibu mkuu maswi ajiuzulu kwa kile kinachoitwa kitendo chake cha kukiuka sheria ya manunuzi ya umma
mheshimiwa spika kwa mujibu wa nyaraka ambazo kambi rasmi ya upinzani bungeni inazo tarehe 10 juni 2011 aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa tanesco william mhando alimwandikia mtendaji mkuu wa wakala wa ufilisi vizazi na vifo (rita) iliyokuwa inasimamia ufilisi wa iptl kumtaka aendeshe mitambo ya iptl ili kufua mw 100 za umeme ili kuweza kuondoa mgawo wa umeme uliokuwa unaendelea sehemu mbalimbali nchini nyaraka hizo zinaonyesha kwamba mara baada ya kupata barua hiyo tarehe 24 juni 2011 mtendaji mkuu wa rita alimwandikia barua mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya umma (ppra) akimwomba mwongozo na ushauri juu ya utaratibu wa manunuzi ya mafuta ya kuendeshea mitambo ya iptl kwa dharura
mkurugenzi mkuu wa ppra alitoa mwongozo kwa rita kwa barua yake ya tarehe 28 june 2011 ambapo aliielekeza rita itumie mamlaka yake chini ya kanuni ya 42 ya kanuni za manunuzi ya umma zinazohusu bidhaa kazi na huduma zisizokuwa na ushauri elekezi na mauzo ya mali za umma kwa tenda gazeti la serikali na 97 la mwaka 2005 (public procurement (goods works nonconsultant services and disposal of public assets by tender) regulations government notice no 97 of 2005) kanuni hiyo inamruhusu afisa masuhuli kuamua namna ya kufanya manunuzi kwa dharura bila kujali mipaka ya mamlaka yake endapo kwa kufanya hivyo kutahakikisha uchumi na ufanisi wa manunuzi hayo na endapo ataona ni kwa manufaa ya umma kwamba bidhaa au kazi zenye thamani inayozidi mamlaka yake zinunuliwe kama suala la dharura
mheshimiwa spika licha ya ukweli kwamba mafuta ya bp yalikuwa na bei ndogo ikilinganishwa na bei ya oryx tarehe 27 septemba 2011 mkurugenzi mtendaji wa tanesco alisaini mkataba wa kununua mafuta kutoka oryx kwa bei ya dola za marekani 92698 au shilingi 150170760 kwa tani aidha wiki moja kabla ya hapo yaani tarehe 21 septemba mkurugenzi mtendaji huyo alikwishasaini mkataba mwingine na kampuni ya camel oil kwa bei ya dola za marekani 90524 au shilingi 146648880 kwa tani kama inavyoonekana mikataba yote miwili ilikuwa na gharama kubwa zaidi kwa tani kuliko bei ya bp hata hivyo mkataba wa bp ulikatishwa na tanesco ikaanza kununua mafuta ya kuendeshea mitambo ya iptl kutoka kwa makampuni ya oryx na camel oil
mheshimiwa spika kwa upande mwingine kumekuwa na taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari kwamba mkurugenzi mtendaji mhando hakutendewa haki aliposimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi juu ya utendaji kazi wake nyingi ya taarifa hizo zimetolewa bila kuwa na faida ya kuangalia nyaraka zinazohoji uadilifu na uaminifu wa mkurugenzi mtendaji mhando
mheshimiwa spika mkurugenzi mkuu mhando ni mkurugenzi na mwanahisa wa kampuni binafsi inayoitwa santa clara supplies co ltd ya dar es salaam wakurugenzi wengine ni mke wake eva stephen william ambaye ni mkurugenzi mtendaji na watoto wao kwa mujibu wa taarifa ambazo kambi rasmi ya upinzani bungeni inazo mnamo tarehe 20 desemba 2011 santa clara supplies iliingia mkataba na tanesco ambapo santa clara supplies ilikubaliwa kuwa mgavi wa vifaa vya ofisini vya tanesco kwa gharama ya shilingi 884550000 mkataba huu ulisainiwa na mkurugenzi mtendaji mhando kwa niaba ya tanesco na mkewe eva martin william kwa niaba ya santa clara supplies aidha barua ya tanesco iliyoitaarifu santa clara supplies kwamba imepatiwa zabuni hiyo iliyoandikwa tarehe 24 novemba 2011 ilisainiwa na mkurugenzi mtendaji mhando
mheshimiwa spika sheria ya maadili ya viongozi wa umma inaelekeza kwamba kiongozi wa umma hatajiweka katika hali ambayo maslahi yake binafsi yatagongana na wajibu wake kama kiongozi wa umma aidha kuhusiana na uwazi kwa wananchi viongozi wa umma watawajibika kutekeleza wajibu wao kwa umma na kuendesha shughuli zao binafsi kwa namna ambayo itaonekana na kuthibitika kuwa ni wazi na umma na haitatosheleza kwao kutekeleza wajibu wao kwa kufuata sheria tu vile vile kuhusiana na utoaji wa maamuzi viongozi wa umma watatekeleza wajibu wao kufuatana na sheria na kwa maslahi ya umma zaidi ya hayo kuhusiana na maslahi binafsi viongozi wa umma hawatakuwa na maslahi binafsi ambayo yanaweza kuathiriwa na maamuzi ya serikali wanayoshiriki katika kuyafanya mwisho kuhusiana na maslahi ya umma pale wanapochaguliwa au kuteuliwa viongozi wa umma watapanga masuala yao kwa namna itakayozuia migongano ya maslahi ya wazi iliyojificha au inayoonekana kuwepo na pale ambapo migongano hiyo inatokea kati ya maslahi binafsi na maslahi ya umma basi itatatuliwa kwa kuangalia zaidi maslahi ya umma
mheshimiwa spika kwa kuzingatia ushahidi huu wa maandishi kambi rasmi ya upinzani bungeni inamtaka mbunge yeyote wa chama chochote cha siasa chenye uwakilishi ndani ya bunge lako tukufu anayefuata imani yoyote ya dini aseme kama kwa mujibu wa vifungu hivi vya sheria ya maadili ya viongozi wa umma mkurugenzi mtendaji mhando ana sifa za kuitwa kiongozi mwadilifu wa umma hivyo pamoja na uchunguzi wa kawaida unaoendelea kambi rasmi ya upinzani bungeni inamtaka mkurugenzi wa mashtaka aamuru hatua za uchunguzi wa kijinai zichukuliwe dhidi ya mkurugenzi mtendaji mhando kuhusu tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka
mheshimiwa spika kambi rasmi ya upinzani tuliitaka serikali katika mwaka wa fedha 2011/2012 itoe taarifa kuhusu utekelezaji wa mpango wa uboreshaji wa utendaji wa shirika la umeme (tanesco) sanjari na kutoa ripoti ya tathmini ya utekelezaji wa mpango maalum wa kurekebisha hali ya kifedha ya shirika (20062010) hata hivyo katika mwaka husika wa fedha utendaji wa tanesco na hali yake ya kifedha imeendelea kususua huku ukigubikwa na tuhuma za ubadhirifu na udhaifu wa kiutendaji hali ambayo imepelekea pia mkurugenzi mtendaji na maafisa wengine waandamizi kusimamishwa na kuchunguzwa kambi rasmi ya upinzani inaona kwamba hali hii ni matokeo ya udhaifu katika uteuzi na usimamizi wa serikali kwa mashirika ya umma na inataka uwajibikaji kutokana na hali hiyo kudumu kwa muda mrefu kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali iwaeleze watanzania ni mikataba mingapi mibovu yenye kuipa mzigo mkubwa wa kifedha tanesco na kuongeza gharama kwa wananchi imefanyiwa mapitio katika mwaka wa fedha 2011/2012
mheshimiwa spika kwa upande mwingine udhaifu wa kutokutekeleza mipango ya uzalishaji wa gesi na makaa ya mawe kwa wakati umesababisha utegemezi mkubwa kwenye matumizi ya mafuta katika mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura takribani nusu ya umeme unaozalishwa nchini hivi sasa unazalishwa kwa kutumia dizeli mafuta ya ndege na mafuta mazito hali ambayo imeongeza mahitaji makubwa ya uagizaji wa mafuta toka nje ya nchi hii imesababisha mahitaji makubwa ya fedha za kigeni kwa ajili ya kuagiza mafuta na hivyo kuchangia katika kuporomoka kwa thamani ya shilingi aidha ongezeko kubwa la uagizaji toka nje limeathiri urari wa biashara na hivyo kuchangia katika mfumuko wa bei hivyo watanzania hivi sasa wanabeba mzigo wa kupanda kwa bei za bidhaa na gharama za maisha kwa ujumla kutokana na ufisadi kwenye mikataba ubadhirifu katika matumizi uzembe katika uongozi na upungufu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya serikali kwenye sekta ya nishati
kutokana na hatimaye serikali kuzindua ujenzi wa bomba la gesi katika mwaka wa fedha 2012/2013 na ahadi ya wizara ya nishati na madini kuwa ujenzi huo utakamilika katika kipindi cha miezi kumi na nane ijayo kambi rasmi ya upinzani inataka serikali kutoa kauli ya uhakika kwa taifa je katika kipindi hiki cha mpito imeweka mikakati gani ya kuhakikisha mitambo ya kufua umeme iliyopo inayotumia gesi itapata gesi inayohitajika kuliondoa taifa katika upungufu wa umeme
mheshimiwa spika uchambuzi wa kambi rasmi ya upinzani kuhusu makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012 ulionyesha uwezo mdogo na kasi ndogo ya kufikisha umeme vijijini kwa upande wa wakala wa umeme vijijini (rea) kasi ndogo ya kusambaza umeme ilielezwa pia mijini kutokana na idadi kubwa ya maombi ya wananchi wanaotaka kufungiwa umeme huku shirika la umeme (tanesco) likiwajibu kuwa halina uwezo kwa sasa mpaka lipate miradi kambi rasmi ya upinzani ilitaka ufanyike ukaguzi wa kiufanisi kuhusu utekelezaji wa miradi ya usambazaji wa umeme hivyo serikali inapaswa kueleza iwapo ukaguzi husika ulifanyika na hatua zilizochukuliwa na serikali katika kuongeza kasi ya usambazaji wa umeme
mheshimiwa spika kambi rasmi ya upinzani imesikitishwa na kasi ndogo ya serikali wakati wa utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2011/212 kuhusu kupunguza gharama wanazotozwa wananchi za kuunganishiwa huduma ya umeme suala ambalo linapunguza kasi ya uunganishwaji wa umeme bado tumeendelea kupokea malalamiko toka kwa wananchi wanaotakiwa na tanesco kulipia nguzo na gharama nyingine za kuunganishwa umeme kwa viwango ambavyo ni vigumu kwa wananchi wa kawaida kumudu hivyo tunaitaka serikali ieleze hatua za ziada inazokusudia kuchukua pamoja na kutekeleza maoni yetu ya kutaka tanesco ibadili mfumo wa ankara ili kuruhusu kuingiza kwa mteja gharama hizo kidogo kidogo katika kipindi hiki cha mpito aidha kambi rasmi ya upinzani inawahimiza wananchi kutumia kanuni za sheria ya umeme zilizotolewa kwenye gazeti la serikali tarehe 4 februari 2011 (gn 63) ambazo kifungu cha nne kinaeleza namna mteja atakavyofidiwa na kampuni ya usambazaji pale ambapo mteja anajigharamia mwenyewe kuvutiwa umeme ili fursa hiyo iweze kutumika ipasavyo hata hivyo kanuni hizo zinahitaji pia kufanyiwa marekebisho kwa kuwa zimeweka mkazo katika fidia kutolewa kutokana na malipo ya wateja wengine badala ya mapato ya shirika kwa ujumla wake
mheshimiwa spika tarehe 15 julai 2011 kambi rasmi ya upinzani kuwa nchi yetu imejaliwa utajiri wa gesi asilia katikati ya lindi la umasikini wa wananchi na kwamba taifa letu lina fursa ya kuwa nchi kiongozi katika gesi afrika na kushindana kimataifa ikiwa tutaweka mstari wa mbele upeo umakini na uadilifu katika sekta ya nishati kuepusha laana ya rasilimali hata hivyo mapitio ya utekelezaji kwa mwaka wa fedha 2011/2012 yanaonyesha bado serikali haichukui hatua thabiti kushughulikia ufisadi na udhaifu wa kiuongozi katika sekta ndogo ya gesi asili hivyo hatua za haraka zisipochukuliwa katika mwaka wa fedha 2012/2013 na kuendelea rasilimali inaweza kuwa chanzo cha migogoro na kuhatarisha pia usalama wa nchi
mheshimiwa spika mradi mkubwa wa maendeleo ambao umepangwa katika mwaka wa fedha ni ujenzi wa bomba la gesi kutoka mtwara mpaka dar es salaam ambapo kwenye kasma 3162 umetengewa kiasi cha shilingi 93000000000 huku kiwango kingine cha fedha za mradi huo kikitarajiwa kupatikana kutokana na mkopo kutoka nje kutokana na unyeti wa mradi huo kwa mustakabali wa nchi na maisha ya wananchi wa sasa na baadaye kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kuwasilisha bungeni na kuweka wazi kwa umma mkataba wa mradi husika ili bunge liweze kuishauri na kuisimamia serikali kuanzia katika hatua za awali kuhakikisha kwamba maslahi ya taifa yanalindwa katika hatua zote na pia wananchi wananufaika kutokana na fursa za uwekezaji huo mkubwa aidha pamoja na ujenzi wa mitambo miwili ya kusafishia gesi asili mnazi bay na songo songo kama sehemu ya mradi huo kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza ni miradi ipi inayoambatana na mradi huo ambayo imepangwa kuwanufaisha wananchi wa mikoa ya lindi na mtwara ikiwemo kuharakisha utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa mw 300 mtwara na mw 230 wa somanga fungu (kilwa)
mheshimiwa spika pamoja na ujenzi wa bomba la gesi kambi ya rasmi ya upinzani inasisitiza mradi wa kujenga kiwanda cha kujaza gesi kwenye mitungi (lpg) na mradi wa usambazaji wa gesi dar es salaam pamoja na mradi wa matumizi ya gesi kwenye magari inayotekelezwa na shirika la petroli nchini (tpdc) inapaswa kuongezewa rasilimali katika mwaka wa fedha 2012/2013 kuanza kwa utekelezaji wa mradi kwa ajili ya viwanda vichache na kaya 57 za eneo la mikocheni ni hatua ndogo ukilinganisha na mahitaji hivyo utekelezaji kwa mwaka wa fedha 2012/2013 upanuliwe wigo ili kuhusisha pia kuwezesha taasisi zingine mathalani chuo kikuu cha dar es salaam kuweza kuunganishwa katika mtandao wa matumizi ya gesi asili hatua hii itapunguza pia matumizi ya umeme katika maeneo yenye kuweza kutumia gesi na kubakiza umeme mwingine utakaoweza kutumika kwenye maeneo ikiwemo ya viwandani yenye upungufu wa nishati mbadala
mheshimiwa spika tarehe 15 julai 2011 kwa niaba ya kambi rasmi ya upinzani iliitahadharisha serikali kwamba muswada wa sheria ya fedha uliopitishwa na bunge tarehe 22 juni 2011 usingeweza kupunguza ugumu wa maisha kwa wananchi kwa kuwa serikali haikupunguza mzigo mkubwa wa kodi badala yake iliweka kipaumbele katika kupunguza tatizo la uchakachuaji kwa kuongeza mzigo mkubwa wa kodi katika mafuta ya taa matokeo yake ni kwamba katika mwaka wa fedha 2011/2012 kiwango cha kodi kwenye bei ya mafuta ya petrol hakikupungua kodi katika dizeli ilipungua kwa kiwango cha shilingi 99 huku mafuta ya taa yakiongezeka kodi kwa shilingi 358 kwa lita na kuongeza mzigo wa gharama za maisha kwa sababu ya udhaifu wa serikali na vyombo vyake katika kudhibiti uchakachuaji kwa kusimamia utawala wa sheria
aidha kama sehemu ya mchakato wa kupunguza gharama za mafuta kufuatia mabadiliko ya kodi tozo na mfumo wa uingizaji wa mafuta serikali ieleze imefikia hatua gani katika mwaka wa fedha 2011/2012 kufanya mapitio ya mkataba baina ya ewura na kampuni ya global fluids international (t) ltd kuhusu ufanisi na gharama za kuweka vinasaba na kuleta vifaa maalum vya kupima ubora (xrf)
mheshimiwa spika hali hii ndiyo iliyokwamisha kwa miaka mingi kuanza kwa mfumo wa uagizaji na uingizaji wa mafuta ya pamoja (bulk procurement system) ili kupunguza gharama hata hivyo hata baada ya kuanza kwa utaratibu husika katika mwaka wa fedha 2011/2012 tija ya kutosha ya mfumo huo haijapatikana kutokana na udhaifu wa kimfumo kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza sababu za kutokurejesha hifadhi ya taifa ya kimkakati ya taifa ya mafuta (national strategic oil reserve) pamoja na kutokukamilisha mchakato wote wa kufufua kampuni ya taifa ya mafuta (copec) kinyume na ahadi ya wizara ya nishati na madini ya mwaka 2011 aidha ni kwa nini serikali haikununua hisa za kampuni ya bp kwa kiwango cha kuwa na umiliki wa asilimia 100 (100) ili kuongeza miundombinu ya uhifadhi na usambazaji wa mafuta kwa uchumi na usalama wa nchi kwa upande mwingine wizara ya nishati na madini ieleze hatua mahususi ilizochukua katika mwaka wa fedha 2011/2012 za kulinda maslahi ya nchi katika kampuni ya tiper ambayo serikali ina hisa 50 katika hatua za uingizaji na uhifadhi wa mafuta
mheshimiwa spika kwa mujibu wa ripoti ya hali ya uchumi wa taifa katika mwaka 2011 thamani ya mauzo ya madini nje ilikuwa dola za kimarekani 196523 milioni ikilinganisha na dola za kimarekani 153693 milioni mwaka 2010 sawa na ongezeko la asilimia 279 hii ilitokana na kupanda kwa bei ya dhahabu katika soko la dunia hata hivyo mchango kwenye pato la taifa umekuwa ni asilimia 33 tu miaka karibu mitatu toka kutungwa kwa sheria mpya ya madini mwaka 2010 udhaifu wa serikali katika kusimamia utawala wa sheria unapaswa kuondolewa kwa bunge kupitisha maazimio ya kuisimamia serikali kulinusuru taifa dhidi ya hali hii ambayo utajiri wetu unaendelea kuondoka kwa pamoja na hatua zingine kuwezesha mwingiliano baina ya sekta ya madini na sekta nyingine za kiuchumi katika nchi
mheshimiwa spika wakati umefika sasa kwa serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya tathmini ya utekelezaji wa mapendekezo ya tume/kamati mbalimbali ambazo ziliundwa na serikali kwa nyakati mbalimbali kwa kutumia fedha nyingi za walipa kodi lakini mapendekezo yake bado hayajatekelezwa kwa ukamilifu wake kwa miaka mingi serikali inazo taarifa za makampuni makubwa ya madini kutumia sehemu kubwa ya uwekezaji wao kama mkopo (debt financing) na kutumia mianya hiyo ya kisheria na kimikataba kuwezesha wamiliki na wanahisa kupata faida mapema kuliko kuweka mtaji kwa kuwa riba ya mikopo huondolewa katika kukokotoa kodi
mheshimiwa spika katika nchi yetu tuna migodi mikubwa mbalimbali kati yake sita ilianzishwa kati ya mwaka 1998 2009 kwa ajili ya kuzalisha dhahabu ambayo ni golden pride mine (1998) geita gold mine (2000) bulyanhulu gold mine (2001) north mara gold mine (2002) buhemba gold mine (2002) na tulawaka gold mine (2005) buzwagi gold mine ( 2009) buhemba gold mine walifunga uzalishaji mwaka 2006 mheshimiwa spika migodi yote hii waliwasilisha upembuzi yakinifu serikalini kabla ya kuanza uzalishaji na kuonyesha kuwa watalipa kodi ya makampuni (corporate tax) lakini mpaka sasa ni michache tu ambayo imeanza kulipa shilingi bilioni 3218 kutoka resolute tanzania limited na shilingi bilioni 14552 kutoka geita gold mine limited tu pamoja na makampuni haya kunufaika na kupanda kwa bei ya dhahabu kwenye soko la dunia kwa zaidi ya mara tatu kuanzia mwaka 2002 na wakati huohuo makampuni haya yakiendelea kuweka uwekezaji mkubwa kwenye miradi yao kutokana na umuhimu wa sekta hii nitaeleza japo kwa kifupi kuhusiana na baadhi ya migodi hiyo mmoja mmoja
mheshimiwa spika mgodi wa bulyanhulu ambao mwanzoni ulitarajiwa kuwa na maisha ya miaka 15 na walitarajia kuzalisha ounces 400000 za dhahabu kwa kila mwaka ila wamekuwa wakizalisha ounces 65 milioni za dhahabu kwa gharama ya kuzalisha ounce 1 kwa dola 130 aidha walitegemea kuzalisha madini ya shaba (copper) ounces 726 milioni na madini ya fedha ounces 5 milioni na kwa sasa umri wa mgodi ni miaka 25 yaani muda umeongezeka kwa kipindi cha miaka 10 zaidi mgodi wa bulyanhulu uliwekeza kiasi cha dola 550 milioni kwa mchanganuo wa kuwa dola 300 milioni kwa uwekezaji wa awali kabla ya kuanza uchimbaji na dola 250 milioni kwa shughuli za uendeshaji wa mgodi mgodi huu ulitegemea kuzalisha kiasi cha dola 900 milioni kutokana na uchimbaji na uuzaji wa madini ya shaba (copper) pekee na mapato ya dhahabu yalikuwa yamewekewa ukomo wa dola 300 kwa ounce tuu pamoja na kuwepo kwa badiliko la bei kwa zaidi ya mara tatu yaani sasa ni dola 950 kwa ounce moja ilikadiriwa kuwa mrahaba wa asilimia 3 uliotegemewa kulipwa serikalini ni kiasi cha dola 58 milioni na fedha zilizopaswa kulipwa moja kwa moja serikalini zilikadiriwa kuwa ni dola 64 milioni (mrahaba dola 58 milionimrahaba wa moja kwa moja direct dividend dola 2 milioni na kodi ya zuio ya dola 4 milioni) mgodi wa bulyanhulu kwa sasa umeweza kuongeza hifadhi ya dhahabu kutoka tani 1364 milioni na kufikia kiwango cha tani 3605 milioni mwaka 2007 kiwango ambacho ni asilimia 90 zaidi ya kiwango kilichokadiriwa wakati wa kusaini mikataba na kuanza uchimbaji mpaka mwaka 2007 mgodi huu ulilipa kiasi cha dola 2654 milioni kama mrahaba kwa serikali na hawajalipa kodi ya makampuni
mheshimiwa spika kuhusu mgodi wa geita gold mine mgodi huu ulianzishwa kwa gharama inayokadiriwa kuwa dola 152 milioni kwa ajili ya uwekezaji wote ambao ulifanywa kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na gharama za kuendeleza uchimbaji kwenye mgodi husika mgodi hu ulikuwa umeweka malengo ya kifedha kwa bei ya dola 300 kwa ounce na kuwa thamani halisi (npv) ni dola 100 milioninet cash flow dola 201 milioni mrahaba dola 30 milionikodi ya makampuni dola 13 milionikipindi cha kurejesha gharama miaka 5 na gharama za uzalishaji ni dola 181 kwa ounce kwa mwaka 2000 mapato halisi yalikuwa dola 14 milioni na hii ilitokana na ukweli kuwa kulikuwa na uzalishaji mdogo na pia bei iliyokuwa imetarajiwa ya dola 350 kwa ounce haikupatikana ila ilikuwa dola 279321 kwa ounce moja mwaka 2004 mapato halisi yalikuwa zaidi ya mara nne ya matarajio nah ii ilitokana na uzalishaji kuwa mkubwa na bei ya dhahabu kuongezeka kwani likikuwa dola 409271 kwa ounce ikilinganishwa na ukadiriaji wa dola 350 kwa ounce uliokuwa umewekwa awali ila kwa ujumla ni kuwa mapato halisi ya mgodi huu kuanzia mwaka 2001 yamekuwa yakiongezeka mara dufu kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji na bei ya dhahabu kuendelea kupanda kwenye soko la dunia mpaka mwaka 2007 mgodi huu ulikuwa haujalipa kodi ya makampuni pamoja na uzalishaji kuongezeka na kuwa mara mbili zaidi ya matarajio na bei ya dhahabu kuwa kubwa mara tatu zaidi ya matarajio kwenye soko la dunia na hii iliufanya mgodi huu mapato yake kuongezeka zaidi ya mara tatu na mgodi uliendelea kutangaza kuwa unapata hasara na haujaweza kurejesha uwekezaji uliofanywa
mheshimiwa spika kuhusu mkodi wa tulawaka katika mgodi huu uwekezaji uliofanywa ulikadiriwa kuwa ni dola 346 milioni na gharama za uendeshaji zilitarajiwa kuwa dola 325 kwa uzalishaji wa ounce 1 thamani halisi (npv) dola 9507 milioninet cash flow dola 29 milioni mrahaba dola 5367 milioni na kipindi cha kurejesha gharama miaka 4(pay back period) na walitarajia kulipa kodi ya makampuni mwaka 2008 ya dola 28 milioni kwa mwaka 2004 hapakuwa na uzalishaji na hivyo hapakuwa na mapato yeyote ila kwa mwaka 20042007 mapato halisi ya mgodi huu yamekuwa asilimia 725 ya zaidi ya makadirio ya awali yaliyowekwa mpaka mwaka 2007 mgodi huu haukuwahi kulipa kodi ya makampuni pamoja na ukweli kuwa uzalishaji ulikuwa asilimia 7 chini ya matarajio ila mapato halisi yaliongezeka kwa asilimia 725 zaidi ya matarajio yaliyowekwa
mheshimiwa spika kwa taarifa hizi tunaweza kuelewa kuwa uzalishaji halisi wa dhahabu kwenye migodi hiyo mitano kuanzia mwaka 1999 2007 ulikuwa 8388 milioni ounces ukilinganisha na matarajio yaliyowekwa awali kuwa ni kuzalisha 6882 milioni ounces ambacho ni asilimia 2188 zaidi ya matazamio ya awali umri kwa ajili ya uzalishaji wa migodi hii umeongezeka kwa wastani wa miaka 4 kwa kiwango cha chini na miaka 10 kwa kiwango cha juu na hii ilitokana na kugundulika kwa machimbo mapya ya dhahabu pamoja na kuongezeka kwa teknolojia ya kisasa zaidi kwenye tasnia hii
mheshimiwa wa spika mapitio yaliyofanywa na mamlaka ya ukaguzi wa madini (tmaa) kuanzia mwaka 20042008 nchini yalionyesha kuwa mgodi wa tanzaniteone tanzanite mine (ttm) umekuwa ukilipa mrahaba kwa kutumia viwango vya awali vya makadirio ambavyo viliwekwa wakati mgodi huu ukianzishwa nchini halikadhalika ripoti hiyo inaonyesha kuwa kampuni hii imekuwa ikitoa taarifa za zisizokuwa za kweli juu ya mauzo yaliyofanyika nchini na kwenye makampuni makubwa nje ya nchi ili kuweza kukwepa kulipa mrahaba stahiki serikalini tathmini hiyo ya ukaguzi 3 inaonyesha kuwa kwa kipindi hicho kiasi cha dola 427 milioni kiliongezeka zaidi kulingana na kiwango kilichotangazwa nchini na kampuni hiyo hii maana yake ni kuwa kiasi cha dola 21 milioni kilichopaswa kulipwa kama mrahaba serikalini hakikulipwa kama inavyotakiwa kwa mujibu wa sheria ya madini kifungu cha 93 (the mining act cap 123) suala hili ni kwa mujibu wa barua iliyotumwa kwa meneja wa kamapuni ya tanzanite one iliyoandikwa tarehe 02102009 yenye kumbna da23/168/01 iliyoandikwa na aliyekuwa kamishina wa madini mhedalali kafumu akiwataka wawekezaji hao kulipa hata hivyo deni hilo halikulipwa kwa wakati kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza hatua ilizochukua huu ya kampuni hiyo aidha tunaitaka serikali kutoa maelezo ya kina kuhusu kuhamishwa kwa umiliki wa kampuni hiyo kwa kuzingatia kwamba baada ya kutungwa kwa sheria ya madini ya mwaka 2010 serikali iliahidi kwamba uchimbaji katika eneo hilo ungeachwa kwa wachimbaji wadogo wadogo
kambi ya upinzani inaitaka serikali kuweka hadharani ripoti na taarifa zote zilizowahi kutolewa kuhusiana na uwekezaji katika uchimbaji wa madini nchini kuanzia mwaka 1995 hadi 2010 na kama serikali imefaidika na nini kutokana na uwekezaji huo
pili tunahitaji mikataba yote iwekwe hadharani kwani kutokana na taarifa hizi ni hakika kuwa mikataba yetu ni mibovu sana na tunalipotezea taifa mapato mengi na hivyo kuendelea kudidimiza uchumi wa taifa
mheshimiwa spika kutokana na kuendelea kuporomoka kwa thamani ya shilingi ya tanzania kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza hatua iliyofikiwa katika kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa ya kutaka wizara ya nishati na madini ishirikiane kwa karibu na wizara ya fedha katika kuweka mikakati na usimamizi wa kuhusisha sekta ya madini katika kuimarisha fedha yetu wakati umefika sasa wa kuwezesha benki kuu kutunza sehemu ya hifadhi yetu ya fedha za kigeni katika mfumo wa madini ya dhahabu hivyo wizara ya nishati na madini ishirikiane na benki kuu kuweka mfumo wa kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo na pia kutoza sehemu ya mrabaha wa dhahabu kwa ajili ya uhifadhi kama ilivyoshauriwa na kambi rasmi ya upinzani pamoja na kamati mbalimbali za bunge kambi rasmi ya upinzani inasisitiza kwamba utaratibu huu uende sambamba na kusimamia mfumo wa kuhakikisha kwamba makampuni hayo yanatunza sehemu kubwa ya fedha za nje (walau 60) kwenye benki za ndani ili kusaidia kudhibiti kuporomoka kwa shilingi ya tanzania
mheshimiwa spika wwa kuwa katika mwaka wa fedha 2011/2012 wakala wa jiolojia (gst) aliendelea na utekelezaji wa mradi wa kutambua maeneo ya madini wizara ya nishati na madini ieleze iwapo utekelezaji wa mradi huo ulienda sambamba na kufanya tathmini ya kina (mineral appraisal) ya madini yetu ili kupendekeza mabadiliko ya kisheria na kimikataba ambayo yatawezesha utajiri wa madini yetu kutumika kama mtaji na dhamana katika hatua ya kuhakikisha taifa letu linanufaika na rasilimali zake kama ilivyopendekezwa na kambi rasmi ya upinzani aidha ni kiwango gani cha mapato kilichopatikana kwenye mwaka wa fedha 2011/2012 kutokana na kuiwezesha gst kutoza malipo kwa mujibu wa sheria ndogo (establishment order) iliyounda wakala husika ili kulinda maslahi ya taifa kuhusu matumizi ya ramani na ripoti za utafiti na uchunguzi huo katika mwaka wa fedha 2012/2013 ukaguzi maalum (special audit) ufanyike kuhusu mfumo wa utoaji leseni za utafutaji na uchimbaji wa madini nchini ili kudhibiti uporaji (grabbing) unaoendelea katika rasilimali muhimu za taifa
mheshimiwa spika tarehe 15 julai 2011 tulitoa tahadhari juu ya maamuzi ya serikali ya kuendelea na hatua za mbele katika utafutaji na uchimbaji wa madini ya urani bila kukamilisha maandalizi ya kisera kisheria kikanuni na kitaasisi yanayohitajika suala ambalo linaachia mianya ya upotevu wa mapato kwa taifa kama ilivyokuwa kwenye madini mengine na pia linaweza kuhatarisha usalama aidha kambi ya rasmi ya upinzani ilitaka maelezo ya kina kuhusu mauzo na mabadilishano ya umiliki yaliyofanyika baina ya kampuni ya australia (mantra resources) na kampuni ya urusi ya armz uranium holding kampuni tanzu ya rosato mauzo hayo yamehusisha kuhamishiana umiliki wa maeneo ya tanzania mkuju river (mbamba bay) na bahi kaskazini (dodoma) kambi rasmi ya upinzani inatambua kwamba mamlaka ya mapato tanzania (tra) ilifanya ufuatiliaji juu ya suala hilo hivyo wizara ya nishati na madini inapaswa kueleza kiasi gani cha fedha kimefanikiwa kupatikana na ni hatua zipi serikali imechukua kwa makampuni mengine ya madini mafuta na gesi asili yaliyofanya mauziano katika mwaka wa fedha 2011/2012
mheshimiwa spika kufuatia kushamiri kwa migogoro baina ya wafanyakazi na wawekezaji katika sekta ya madini kambi rasmi ya upinzani inapendekeza wizara ya nishati na madini iweke mfumo wa mashauriano na wizara nyingine ili kuharakisha utatuzi wa migogoro husika aidha kumekuwepo na wimbi la malalamiko ya wafanyakazi walioachishwa katika migodi wa bulyankulu kampuni ya caspian katika mgodi wa mwadui shinyanga masuala ambayo yanahitaji ushirikiano wa wizara na mamlaka mbalimbali katika kuyashughulikia aidha wizara ya nishati na madini itoe maelezo kuhusu taarifa zilizotolewa bungeni tarehe 13 aprili 2012 kuwa wafanyakazi ikiwemo wa migodini kupitia vyama vyao walihusishwa kutoa maoni yaliyopelekea kufutwa kwa fao la kujitoa (withdrawal benefits) suala ambalo chama cha wafanyakazi wa migodini (tamico) kimelikanusha kwa kuwa ufafanuzi uliotolewa mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa hifadhi ya jamii (ssra) kwa barua yenye kumb na ae/164/334/vol ii/2 umekataliwa katika migodi mbalimbali wizara ya nishati na madini imechukua hatua gani kuepusha migogoro iliyoanza kujitokeza baina ya wafanyakazi wa migodini na serikali kufuatia kupitishwa kwa vifungu husika vya sheria vyenye kuagiza mafao kutolewa baada ya kufikisha umri wa hiyari wa kustaafu wa miaka 55 au umri wa lazima wa miaka 60
mheshimiwa spika kambi rasmi ya upinzani ilihoji tarehe 15 julai 2011 kuhusu tuhuma za kampuni ya new almasi (1963) limited kuchimba almasi kwa miaka 35 mkoani shinyanga licha ya muda wa leseni yake na 224 kwisha na leseni yenyewe kufutwa katika rejesta ya leseni za madini taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba mkataba kati ya new almasi (1963) ltd uliingiwa kinyemela kwa lengo la kuwezesha uchimbaji wa almasi kuendelea katika eneo hilo kinyume cha sheria na ili kuendeleza wizi wa rasilimali ya nchi yetu mamia ya wananchi waishio maeneo jirani na eneo la new almas wamekuwa wakinyanyaswa kwa miaka mingi na vyombo vya dola kama vile polisi mahakama na vyombo vya utawala kwa madai kwamba ni wavamizi wa eneo la leseni ya new almasi kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali ieleze hatua ilizochukua kwenye mwaka wa fedha 2011/2012 kuichunguza kampuni hiyo uhalali wa shughuli zake za uchimbaji almasi katika eneo la luhumbo kiasi cha almasi iliyochimbwa kwa kipindi chote tokea tarehe 1 juni 1965 hadi tarehe 8 mei 2000 na zilizokoenda fedha zilizotokana na mauzo ya almasi hiyo aidha serikali ifafanue utaratibu wa kisheria ambao uliiruhusu williamson diamond ltd kuendelea kuchimba almasi katika eneo la luhumbo pamoja na utata juu ya uhalali wa leseni katika eneo hilo
mheshimiwa spika makadirio ya matumizi na mpango wa bajeti ya wizara ya nishati na madini kwa mwaka wa fedha 2012/2013 ni shilingi 641269000 ikilinganishwa na shilingi 538 514071000 zilizotengwa wa wizara mwaka 2011/2012 baada ya kufanyika kwa uhamisho wa fedha bajeti hiyo imeongezeka kwa shilingi 102755658000 sawa na ongezeko la asilimia 19 hata hivyo ongezeko hili ni dogo ukilinganisha na mahitaji yaliyotajwa na mpango wa taifa wa miaka mitano
mheshimiwa spika makadirio ya mapato kwa upande wa makisio ya makusanyo ya maduhuli kwa mwaka 2012/2013 ni shilingi 193007543000 kati ya makusanyo hayo jumla ya shilingi 173702263000 zitakusanywa na idara ya madini shilingi 19 217277000 zitakusanywa na idara ya nishati na petroli na shilingi 88003000 zitakusanywa na idara ya utawala na usimamizi wa rasilimali watu kambi rasmi ya upinzani inataka wizara ya nishati na madini ichukue hatua zaidi za kuongeza mapato kwa kifungu cha 2001 cha idara ya madini kasma 140101 ya ada za madini na kasma 140353 ya mrabaha kwa pamoja maeneo hayo yakiongezewa usimamizi kwa mujibu wa matakwa ya sheria ya madini ya mwaka 2010 na kanuni zake yana uwezo wa kulipatia taifa kiasi kisichopungua bilioni 200 katika mwaka wa fedha 2012/2013 aidha wizara ya nishati na madini itoe maelezo iwapo matarajio ya makusanyo katika sekta ya nishati na petroli kifungu cha 3001 hususani kasma 140274 yanajumuisha marejesho ya mapato ya mauzo ya gesi asili yaliyopunjwa kati ya mwaka 2004 mpaka 2010 kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali izingatie kuwa mapato katika shughuli za tpdc za utafiti wa mafuta pamoja na mauzo ya gesi asili yanaweza kabisa kuongezeka ziada ya makadirio ya makusanyo ya bilioni 19 tu iwapo udhibiti katika gharama na ukaguzi wa mikataba utaongezeka katika mwaka wa fedha 2012/2013 pia ili kuongeza mapato kwa serikali na tpdc kambi rasmi ya upinzani inataka mrabaha wa asilimia 12 kwenye gesi uanze kutozwa kwa mujibu wa sheria na isitishe mara moja utaratibu wa baadhi kuachiwa kutokulipa malipo husika kwa mujibu wa wa sheria mapitio ya kitabu cha mapato yameonyesha kwamba wakati kwenye kifungu cha 2001 cha madini kuna mrabaha hakuna kasma hiyo kwenye kifungu 3001 kinachohusika na gesi na mafuta
mheshimiwa spika matumizi ya kawaida yanaombewa jumla ya shilingi 110078 868000 kati ya fedha hizo shilingi 17 292 347000 ni kwa ajili ya mishahara (p e) ya wizara na mashirika yaliyo chini yake na shilingi 92786 521 000 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo (oc) kambi rasmi ya upinzani inatoa rai kwa wabunge na bunge kuungana pamoja kabla ya kupitisha matumizi haya makubwa ya kawaida kwenye matumizi mengineyo pamoja na kuitaka wizara ya nishati na madini kubana matumizi kwa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima serikali itakiwe kutoa maelezo ya kina kuhusu matumizi ya kifungu cha 1005 cha kitengo cha sheria ambacho kina kasma ya 229900 ambayo kwa mwaka wa fedha 2012/2013 kimetengewa kiasi cha shilingi 4000000000 kama gharama za utetezi wa serikali katika kesi ya iptl ikiwemo kwa ajili ya kuilipa kampuni ya mkono &co advocates izingatiwe kwamba katika mwaka wa fedha 2011/2012 serikali ilifanya uhamisho wa fedha wa kiasi cha shilingi bilioni 10 kwa ajili ya gharama za kuendesha kesi zilizopo mahakamani zinazoihusu wizara kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza jumla ya fedha zilizotumiwa na wizara kati ya mwaka 1995 mpaka 2011 kwa ajili ya kulipa makampuni binafsi ya uwakili kwenye kesi kubwa za kitaifa na za kimataifa pamoja na kutaja orodha ya makampuni hayo aidha serikali ieleze mkakati wa kudhibiti ongezeko la gharama za kisheria ambazo ni mzigo mkubwa kwa mashirika ya umma na wananchi walipa kodi kwa kuwa yamekuwepo mazingira ya kesi kuendelezwa kwa muda mrefu na kugeuzwa kuwa vitega uchumi vya watu wachache mifano ya kesi zilizodumu kwa muda mrefu ni ya iptl ambayo serikali inawakilishwa na mkono and co advocates na ile ya dowans ambayo serikali imekuwa ikiwakilishwa kwa nyakati mbalimbali na rex attorneys
mheshimiwa spika mwaka 2011 benki ya standard hongkong ambayo ni mdeni mkuu katika sakata la iptl ilifungua kesi ya madai katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi (icsid case na arb/10/20) inayodai kiasi cha dola za kimarekani milioni 225 pamoja na riba katika kuendesha kesi hiyo katika muendelezo wa serikali kampuni ya uwakili ya mkono ilipewa zabuni ya kuitetea serikali katika shauri hilo na kwa kujiamini iliishauri serikali kuwa kesi hiyo kama serikali tungeshinda pamoja na wanasheria wengine kuwa na maoni kinzani kuhusu suala hilo lakini kutokana na uroho na kutaka maslahi binafsi kwa kampuni ya mkono inaishauri serikali isifanye usuluhishi nje ya mahakama ya icsid wakati wadai kupitia kwa mfilisi wa mali na madeni za iptl wanakubali kusuluhishwa nje ya mahakama
katika biashara hiyo ya kulazimisha kampuni hiyo iliitumia kampuni ya mkono &advocates kuandika barua ya kusudio la kuishtaki tmaa kama itashindwa kuilipa kampuni ya asia business channel kiasi cha paundi za kiingereza 35500 kwa kazi ambayo majadiliano yalikuwa hayajafikia hatua ya mwisho kambi ya upinzani inajiuliza kampuni hii kweli ni ya wazalendo au ni ya watu ambao wanasukumwa na dhamira ya kufilisi rasilimali za watanzania
mheshimiwa spika miradi ya maendeleo imetengewa jumla ya shilingi 531 190 861000 kati yake shilingi 431190 861000 ni fedha za ndani na shilingi 100000000000 ni fedha za nje kati ya hizo kifungu cha 2001 cha madini kimetengewa katika kasma 3152 shilingi 240000000 tu tena za nje kwa ajili ya uwazi katika tasnia ya uziduaji (tanzania extrative industries transparency initiatives teiti) hivyo kutokana na umuhimu wa asasi hiyo katika kuweka mfumo wa uwazi katika usimamizi na uvunaji wa rasilimali za madini mafuta na gesi asili ni muhimu kiwango cha fedha kikaongezwa na kuhakikisha kwamba sheria ya teiti inatungwa katika mwaka wa fedha 2012/2013 aidha taarifa zote tatu za teiti (reconciliation reports) ziwasilishwe na kujadiliwa bungeni kwa upande mwingine bunge lisikubali kupitisha kiasi cha shilingi 40000000000 kinachoombwa kwenye kasma 3160 kwa ajili ya kulipia madeni ya kiwira (kcpl) mpaka uhakiki ufanyike juu ya uhalali wa viwango vya madeni husika kwa kuwa mradi mzima uligubikwa na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka
mheshimiwa spika kwa upande wa miradi ya maendeleo ya nishati na petroli kifungu cha 3001 kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali itoe maelezo kuhusu sababu za kutekelezwa taratibu kwa mradi wa tedap (kasma 3132) ambao iwapo utaharakishwa utakuwa na mchango katika kuboresha mfumo wa gridi pamoja na kuhamasisha matumizi ya nishati jadidifu kama vyanzo mbadala katika uzalishaji umeme nje ya gridi aidha pamoja na nyongeza ya fedha za miradi ya maendeleo kwa ajili ya wakala pamoja na mfuko wa umeme vijijini (rea/ref) (kasma 3113) kambi rasmi ya upinzani inasisitiza umuhimu wa kuongeza kiwango cha fedha za ndani ili kufikia bilioni 150 ili kuharakisha kasi ya uzalishaji na usambazaji wa umeme vijijini pia kutokana na kasi ndogo ya usambazaji wa umeme pamoja na kuondoa kodi katika vifaa vya umeme wa jua serikali ieleze hatua ilizochukua katika kuweka mazingira wezeshi kwa vifaa vya umeme wa dharura kuweza kupatikana kwa urahisi mathalani vifaa vya kuhifadhia umeme (invertors) kupitia kasma 3147 wizara ya nishati na madini inaomba 47959861000 kwa mwaka wa fedha 2012/2013 kwa ajili ya kununua mafuta ya kuendesha mitambo ya dharura hivyo ni muhimu maelezo yakatolewa kuhusu matumizi ya fedha za mafuta ya mitambo ya dharura kwa mwaka wa fedha 2011/2012 ili kujenga uhalali wa matumizi ya mwaka huu wa fedha
mheshimiwa spika wizara ya nishati na madini inaomba shilingi 62000000000 kwa ajili ya mradi wa kuboresha mifumo ya umeme katika jiji la dar es salaam (kasma 3154) pamoja na mradi huo kuweka mkazo katika kufunga transfoma kubwa zaidi na njia kubwa za umeme za msongo wa kv 33 kwa ajili ya wateja wakubwa wa katikati ya jiji mradi uweke mkazo pia katika usambazaji wa umeme pamoja na kuongeza nguvu ya umeme katika maeneo ya pembezoni ya jiji la dar es salaam izingatiwe kwamba matatizo ya miundombinu ya umeme katika jiji la dar es salaam kutoendana na kasi ya ongezeko la mahitaji ya umeme hayapo katikati ya jiji pekee bali pia yapo maeneo ya pembezoni yenye ongezeko la wakazi na vitega uchumi mbalimbali baadhi ya maeneo hayo ni pamoja na malambamawili kwembe goba matosa msakuzi kingongo na mengineyo katika manispaa mbalimbali za jiji la dar es salaam aidha wizara ieleze iwapo kiasi cha 10000000000 kilichotengwa ajili ya kulipa fidia wananchi wanaoishi katika maeneo hatarishi yanayozunguka mitambo ya kuzalishia umeme ya ubungo kitatosha kukamilisha kazi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/2013 ili kuepusha uwezekano wa gharama kuongezeka kutokana na riba ya kuchelewa kufanya malipo kama ilivyotokea kwa miaka iliyopita
mheshimiwa spika katika mwaka wa fedha 2012/2013 na kutokana na mpango wa dharura wa umeme uliopitishwa bungeni tarehe 13 agosti 2011 serikali imepanga kuanza utekelezaji wa miradi ya mw 240 kinyerezi ambao umetengewa shilingi 5000000000 katika kasma 3163 na mw 150 kinyerezi ambao umetengewa shilingi 13000000000 katika kasma 3164 hata hivyo kwa miradi yote hiyo serikali iko katika hatua ya majadiliano na kufunga mikataba ya mikopo na kampuni za sumitomo na jacobsen wakati ambapo michakato ya miradi hiyo ilianza toka mwaka 2009 kambi rasmi ya upinzani inarejea kuitaka serikali kutangaza matatizo ya nishati ni janga la taifa ili kuweka mfumo wa dharura wa kushughulikia kwa haraka kwa usimamizi wa uongozi mkuu wa nchi tofauti na sasa ambapo miradi hiyo inachukuliwa kuwa ni ya kawaida chini ya wizara ya nishati na madini aidha kambi rasmi ya upinzani inataka uhakika toka kwa serikali iwapo mitambo hiyo inayotarajiwa kutumia gesi itakamilika lini na iwapo itapata nishati husika kwa wakati na kwa uhakika kwa kuzingatia kuchelewa kuanza kwa ujenzi wa bomba la gesi pia serikali itaje miradi mingine ya nyongeza ambayo utekelezaji wake unakusudiwa kuanza katika mwaka wa fedha 2012/2013 ili kufidia pengo la mwaka wa fedha 2011/2012 na kuhakikisha kwamba kila mwaka wastani wa mw 360 za mitambo isiyokuwa ya kukodi zinaingia katika gridi ya taifa katika kipindi cha utekelezaji wa mpango wa taifa wa miaka mitano
mheshimiwa spika mpango wa taifa wa miaka mitano (2011/2012)
mheshimiwa spika ili kutekeleza miradi iliyosalia kwa wakati kambi rasmi ya upinzani inarudia kuitaka wizara ya nishati na madini kueleza mazingira wezeshi ambayo yanakusudiwa kuandaliwa ili miradi ifuatayo iweze kupata rasilimali kwa wakati na makubaliano kukamilishwa mapema iringamchuchuma na ngaka (makaa ya mawe300) kiwira (mw 200) singida (upepo) na morogoro/iringa ruhudji (maji mw 358)
mheshimiwa spika ni aibu kwa taifa kuendelea kutegemea vyanzo ambavyo vilianzishwa na serikali ya awamu ya kwanza iliyoongozwa na hayati mwalimu nyerere na awamu zilizofuata sio tu zimeshindwa kuongeza kasi ya kuzalisha umeme bali pia zimeshindwa kukarabati mitambo hiyo na hivyo kuzalisha chini ya kiwango taarifa ya hali ya uchumi ya mwaka 2010 ilionyesha kwamba vituo vya kuzalisha umeme vilikuwa vikifua umeme kwa wastani wa 535 tu ya uwezo wake hivyo kambi rasmi ya upinzani inaitaka pia serikali kueleza imechukua hatua gani kwa mwaka 2011/2012 na inapanga kuchukua hatua gani za dharura kwa mwaka wa fedha 2012/2013 kuhakikisha uwezo wa vyanzo vilivyopo kuzalishaji unaongezeka sanjari na kupunguza upotevu wa umeme kutokana na ubovu wa mifumo ya usafirishaji na usambazaji
mheshimiwa spika ili kujiandaa kitaalamu kama taifa kwa mipango kabambe ya gesi wakati nchi ikisubiri sera ya gesi sheria ya gesi na mpango kabambe wa gesi (gas master plan) vinavyopaswa kuwasilishwa katika mkutano wa tisa wa bunge pia kambi rasmi ya upinzani inataka wizara ya nishati na madini ieleze hatua iliyofikiwa katika kukamilisha mtaala wa uhandisi wa gesi na mafuta ili fani hizo ziweze kutolewa kwenye chuo cha madini dodoma aidha wakati wa kuhitimisha mjadala wa mpango wa mpango wa taifa wa miaka mitano tarehe 14 juni 2011 serikali ilikubali pendekezo la kuanzisha chuo kikuu cha mtwara hata hivyo hicho hakijaingizwa kwenye mpango wa taifa wa miaka mitano toleo la mwezi juni 2012 kifungu cha a15 kambi rasmi ya upinzani inaitaka serikali kueleza ni hatua zipi zitaanza kuchukuliwa kwenye mwaka wa fedha 2012/2013 na wizara ya nishati na madini kwa kushirikiana na mamlaka nyingine zinazohusika kuwezesha kuanzishwa kwa chuo kikuu hicho muhimu ambacho kitatoa mchango mkubwa kwa taifa katika masuala ya mafuta na gesi na bidhaa zitokanazo na gesi na mafuta
ii ujenzi wa miundombinu ya gesi uwe unazingatia mahitaji ya muda mrefu ili kupunguza gharama na kuondokana na uhaba na uharibifu wa maliasili mfano bomba la songosongo liliwekwa bila kuzingatia mahitaji asili ya gesi na hivyo kujikuta kuwa wanashindwa kusafirisha gesi ya kutosha kutumiwa na wahitaji wote
iii tuwekeze kwenye kuwapa elimu na maarifa vijana wa kitanzania na haswa kwenye sekta ya gesi ili waweze kupata utaalamu wa jinsi ya kusimamia sekta hii kama ambavyo nchi majirani zetu wa uganda na msumbiji wamefanya kwa kuwapeleka vijana wao nje ya nchi ili kupata utaalamu juu ya uendeshaji wa sekta hii
vi vile vile tudhibiti makampuni ya ulinzi kutoka nje kuwa na silaha kali kali kwa kujenga uwezo wa jeshi letu la majini (navy) ili liwe na kikosi maalumu kwa ajili ya kulinda meli za kutafuta mafuta na gesi na makampuni haya yatozwe tozo maalumu ni hatari sana makampuni ya kigeni kuwa na masilaha makubwa ndani ya ramani ya nchi yetu
mheshimiwa spika ili kudhibiti hali hii ya ukwepaji kodi na kuongeza mapato ya serikali katika mwaka wa fedha 2012/2013 kambi rasmi ya upinzani inarudia kuitaka wizara ya nishati na madini ieleze hatua mahususi ambazo itazichukua kutekeleza mapendekezo yafuatayo kutunga sheria ya kuhakikisha kwamba mikopo kwenye makampuni ya uwekezaji wa madini katika mahesabu ya kodi isizidi 60 ya mtaji kutunga sheria kuhakikisha kwamba riba ya mikopo kwenye makampuni yanayohusiana haitaondolewa kwenye mahesabu ya kodi kufanya marekebisho ya sheria kuhakikisha kwamba kodi ya mtaji (capital gains) inatozwa katika mauziano ya makampuni yote ya madini ambayo mali zake au uwekezaji wake uko nchini hata kama mauziano hayo yamefanyika nje ya nchi kwa kuzingatia kuwa mapendekezo yaliyoingizwa kwenye muswada wa sheria ya fedha wa mwaka 2012 hayakuzingatia kwa ukamilifu msingi wa mapendekezo yaliyotolewa na kambi rasmi ya upinzani mwaka 2011
mheshimimiwa spika kambi rasmi ya upinzani inapenda kuhitimisha kwa kusisitiza kwa mara nyingine kwamba kwa sehemu kubwa matatizo katika sekta za nishati na madini yamechangiwa na sababu za kibinadamu za kutowajibika ipasavyo kisera kimaamuzi kiusimamizi na kiutendaji kwa viongozi wa kiserikali wenye dhamana na watendaji wengine na hivyo kusababisha ugumu wa maisha kwa wananchi na kuathiri uchumi wa nchi
mheshimiwa spika natambua kwa shukrani mchango wa viongozi wenzangu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) makao makuu mkoa wa kinondoni kanda maalum dar e salaam jimbo la ubungo na wa kambi rasmi ya upinzani bungeni katika wajibu wa kuwatumikia watanzania na kuhamasisha mabadiliko katika taifa letu hali tete na tata ya sasa inatutaka tuwe na mshikamano zaidi mpaka kieleweke
mheshimiwa spika nawashukuru baadhi ya viongozi katika mamlaka mliotambua kwamba siasa siyo uadui na kunipa ushirikiano kwenye serikali kuu wizara ya nishati na madini manispaa ya kinondoni katika kamati ya nishati na madini na wabunge wengine kwa ujumla katika kutekeleza majukumu ya kibunge kwa manufaa ya taifa letu na watu wote
mheshimiwa spika baada ya kusema hayo naomba bunge lako lijadili mapitio ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012 na makadirio ya matumizi ya wizara ya nishati na madini kwa mwaka wa fedha 2012/2013 kwa kuzingatia maoni tuliyoyatoa ya kuongeza bajeti ya wizara husika kupokea mapendekezo ya kuzingatiwa katika muswada wa sheria ya fedha wa mwaka 2012 na kupitisha maazimio mahususi ya kuhakikisha sekta za nishati na madini zinachangia kikamilifu katika kuinua uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya wananchi
john mnyika (mb) msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani wizara ya nishati na madini 27/07/2012
posted by john mnyika at 313 am
jk lusajo said
good job jembewaanike wote tuwajue kaka
lemburis kivuyo said
ungetuwekea na hiyo hotuba kuu ili tuweze linganisha
martin samwel said
tumewatuma kufanya kama hayoendeleeni na msimamo huohuo | 2018-03-18T04:12:18 | http://mnyika.blogspot.com/2012/07/hotuba-ya-kambi-rasmi-ya-upinzani.html |
wakala ametaja sababu iliyomnusuru kipa wa chapecoense kuwepo katika ajali ya ndege millardayocom
wakala ametaja sababu iliyomnusuru kipa wa chapecoense kuwepo katika ajali ya ndege
headlines za ajali ya ndege iliyokuwa imebeba msafara watu 72 wa timu ya chapecoense ya brazil na wahudumu 9 kuelekea colombia kucheza mchezo wa kwanza wa fainali ya sudamericana dhidi ya atletico nacional ya colombia kupata ajali ndio habari ambayo inaripotiwa kwa kiasi kikubwa
moja kati ya wachezaji wachache wa chapecoense waliosalimika kuwepo katika ajali hiyo ni kipa wa zamani wa sporting cp ya ureno marcelo boeck ambaye amejiunga na chapecoense mwaka huu akitokea sporting
wakala wa nyota huyo amesema golikipa huyo angekuwa sehemu ya msafara wa watu 72 wa timu waliokuwa katika safari hiyo sema mchezaji huyo alikuwa kapewa ruhusa maalum ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa november 28 2016
← previous story maamuzi ya timu iliyokuwa icheze na chapecoense fainali kabla ya kupata ajali
next story → maamuzi waliyofikia vilabu vya soka brazil baada ya timu ya chapecoense kupata ajali na kufariki | 2018-02-22T14:42:20 | http://millardayo.com/iko79chap/ |
messi ronaldo wakiteleza tu kane kapeta bingwa
nyumbani michezo kimataifa messi ronaldo wakiteleza tu kane kapeta
messi ronaldo wakiteleza tu kane kapeta
kwa sasa katika ulimwengu wa soka kuna wachezaji wawili ambao wanautikisa ulimwengu kwa kupata mafanikio ya hali ya juu wakiwa na klabu zao na hata timu za mataifa wanayotoka
nyota hao ni mastraika cristiano ronaldo ambaye anaichezea real madrid na timu ya taifa ya ureno na lionel messi wa barcelona ambaye pia ni nahodha wa timu ya argentina
kwa sasa mastaa hao kwa jina jingine unaweza kusema ndio roho ya timu za taifa na klabu zao kutokana na kuwa tegemeo kwa kila kitu ikiwamo kuzipachikia mabao
mbali na hilo pia vinara hao wawili ndio wamekuwa wakikabana koo katika kunyakua tuzo mbalimbali ulaya na za dunia
hata hivyo kwa sasa kuna nyota ambaye hategemewi na wengi kama anaweza kuwafunika vigogo hao lakini anaweza kufanya hivyo jambo ambalo litawashangaza wengi
staa huyo ni harry kane ambaye kwa sasa anakuja kwa kasi ya ajabu ambayo pengine mastaa hao hata wakimfunika kwa kubeba tuzo lakini anaweza kuwafunika katika kipengele cha kucheka na nyavu
hadi sasa kane ameshafunga mabao matano katika mechi tatu zilizopita wakati akiichezea england na akiwa na umri wa miaka 24 ameshafunga mabao 125 akiwa na timu yake ya tottenham na nchi yake wakati messi alifunga 203 na ronaldo 137 wakati wakiwa na umri kama huo
rekodi hiyo ndiyo pia ilimfanya kocha wa timu ya taifa ya england gareth southgate kusema wazi kwamba kane tayari ameshawasha moto kuwafukuzia vinara hao na huku akisema kuwa hata iwe roho mbaya ya kocha wa hispania julen lopetegui
nilikuwa na mwingiliano fulani na julen lopetegui kwenye mchezo ambapo alikuwa akizungumzia jinsi nilivyokuwa na bahati ya kuwa na harry anavyocheza yeye yupo kwenye kiwango cha hali ya juu lakini pia ana mawazo ya kutaka kuwa mchezaji bora anasema southgate
leo (juzi) asubuhi alikuwa anafahamu idadi ya mabao atakayofunga kwenye mchezo na vilevile idadi ambayo ronaldo na messi wanayo kwa sasa anapigania kuwa mchezaji bora na kwa nini isiwe hivyoanahoji kocha huyo
anasema kuwa anamwamini mno staa huyo kutokana na kuwa amewahi kufanya kazi naye kitambo tangu akiwa timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 2 na kwamba atamtumia kadri iwezekanavyo
anasema ni lazima amzungumzie nyota wake huyo kutokana na kuwa bado ana umri wa miaka 24 hivyo bado kuna mambo mengi yatakuja kutoka kwa straika huyo
alan shearer alikuwa na umri kati ya miaka 25/26 wakati alipokuwa mfungaji bora miaka 96 harry bado yupo hatua za mwanzo katika kibarua chake lakini ufungaji bora wa ligi katika kipindi cha miaka miwili unapatikana kwa haraka hivyo harry ana nafasi kubwa ya kufikia huko anasema kocha huyo
makala ya awaliabydad nilimfanyia kazi ali kiba kujitangaza wcb wakanipenda
makala ijayokisa cha yamoto band kuvunjika kimya kimya | 2017-09-24T21:20:28 | http://bingwa.co.tz/2017/09/05/messi-ronaldo-wakiteleza-tu-kane-kapeta/ |
27 aprili 2016 / by admvip016 / no comments
inatangazwa kuwa imefungwa kwa muda mfupi bofya hapa ili uone mahudhurio huko madrid
tania kijana kihispania anasindikiza huko madrid
kupima 95 6092
miswada uzuri wa uso na mwili
mwili wa kashfa uso wa mesmerizing uzuri macho zumaridi kimalaika kuangalia velvet ngozi laini na laini radiant vijana
mwanafunzi wa chuo na poise elimu na huduma bora kuonyesha huruma zake wakarimu dispensing colloquially
kusafiri kusoma biking
yeye ni mdogo sana na anaishi ufisadi kuwaka na ubunifu asili na mtazamo mpenzi kuona wake kufurahia moja ya satisfactions kubwa
hi mimi nina tania mkazi spanish msichana katika madrid mimi kuchanganya masomo yangu na kukutana hapa na pale mimi niko matumaini na furaha mtu ambaye anapenda kukutana na watu na kushiriki wakati wa burudani kwa kawaida kama tulikuwa peponi katika kisiwa faragha lakini tu kuwa muda mimi matumaini ya kuwa na kuridhika ya kushirikiana na wewe adventure hii tania kisses
spanish kusindikizwa blonde
maelekezo ambayo priori inatoa tania
viwango tania
* sisi kuanzishwa sehemu hii tania
(iliombwa na email) hi napenda tu kama kueleza hisia zangu za kuridhika kwa tania kisses xxxxx
* mkutano 2 wakati katika hotel de madrid
(ujumbe whatsapp) wapendwa maria tu kuwaambia kwamba siku nyingine nilikuwa pamoja tania katika madrid na nilitaka kuwapongeza moja ya bora nimekuwa amewahi kuwa na pongezi na kwamba kushika ngazi pia shukrani xxxx
* mkutano 1 saa nyumbani katika madrid
(simu wito) good mchana ilikuwa hivyo mkutano maalum jana na tania satisfies mimi kukuambia kuwa mimi hawajawahi mwingi kwa upendo vile jambo ambalo kamwe kusahau shukrani xxxx
* picha ya tania kusindikiza inapatikana ni posted kwenye mtandao kwa busara katika kesi yoyote kutoa kwa picha fulluso | 2018-06-18T05:49:52 | https://sw.desire-vips.com/escorts/joven-escort-espanola-madrid-tania/ |
ujira wa wanawake bado ni kitendawili ripoti
ripoti mpya ya shirika la kazi duniani ilo kuhusu kiwango cha mishara inaonyesha kuwa ongezeko la mishahara kote duniani kwa mwaka 2017
picha @iom
nchini iraq wanawake na wasichana kutoka kila aina ya maisha wanasalia katika hatari kubwa ya kufanyiwa ukatili iwe majumbani shuleni na katika maeneo ya umma
wanawake bado wanalipwa ujira mdogo kuliko wanaume dunianiilo
ripoti mpya ya shirika la kazi duniani ilo kuhusu kiwango cha mishara inaonyesha kuwa ongezeko la mishahara kote duniani kwa mwaka 2017 lilikuwa chini sana tangu mwaka 2008 na wanawake bado wanalipwa ujira mdogo kuliko wanaume
un women cape verde
baadhi ya watu hunyimwa hazi yao ya kumili ardhi ibara17 udhr70
tamko la haki za binadamu la umoja wa mataifa mwaka huu wa 2018 linatimiza miaka 70 tamko hilo lina ibara 30 na leo inamulikwa ibara ya 17 inayozungumzia haki ya mtu kumiliki mali yeye mwenyewe au kwa ushirika na mtu mwingine au wengine
@ocha/matteo minasi
janga la njaa yemen ndio baya zaidi kusababishwa na binadamu katika historiaunfpa
1 novemba 2018
mkurugenzi wa shirika la umoja wa mataifa la idadi ya watu duniani unfpa kanda ya eneo la waarabu amesema baa la njaa linalonyemelea nchini yemen linaweza kuwa ndio baya zaidi kuchangiwa na binadamu katika historia ya karibuni
sauti 1'24 orodha
picha unhcr/maktaba/eduardo soteras jalil
ukiwa na kiongozi mvumilivu utakula mbivujane kamau
kongamano la kimataifa la wanawake viongozi kutoka barani afrika lilokuwa linafanyika mjini bujumburaburundi limekunja jamvi kwa kuwahamasisha wanawake kujitokeza mstari wa mbele kuchangamkia nyadhifa mbalimbali za uongozi nana mustakhbali wa mataifa yao hili ni moja ya malengo muhimu ya maend
idadi kubwa ya wanaosafirishwa kiharamu ni wanawake na wasichana mtaalam
baraza la usalama la umoja wa mataifa linapaswa kuhakikisha kuwa wanawake wanachukua nafasi kubwa ya mchakato wa kujenga amani kama njia ya kuzuia usafirishaji haramu wa watu na kuepusha utumikishaji kablawakati na hata baada ya migogoro
maneno tu bila vitendo hayatasaidia ushiriki wa wanawake kwenye ujenzi wa amani guterres
25 oktoba 2018
baraza la usalama la umoja wa mataifa leo limekuwa na mjadala wake wa wazi wa kila mwaka kuhusu wanawake amani na usalama likiangazia zaidi jinsi uwezeshaji wanawake kiuchumi na kisiasa kunaweza kuimarisha amani
habari za un oktoba 14 2019 | 2019-10-15T02:17:36 | https://news.un.org/sw/tags/wanawake/date/2018 |
matukiomichuzi rais magufuli ahudhuria mazishi ya kaka wa rais mstaafu jakaya kikwete kijijini msoga | 2016-12-02T17:57:04 | http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/03/rais-magufuli-ahudhuria-mazishi-ya-kaka.html |
1 nyakati 19 | biblia kwenye mtandao | tafsiri ya ulimwengu mpya
1 nyakati 19119
19 na ikawa kwamba baadaye nahashi+ mfalme wa wana wa amoni akafa na mwana wake akaanza kutawala mahali pake+
2 ndipo daudi akasema nitamwonyesha fadhili zenye upendo+ hanuni mwana wa nahashi kwa sababu baba yake alinionyesha fadhili zenye upendo+ basi daudi akatuma wajumbe ili kumfariji kwa sababu ya baba yake na watumishi wa daudi wakaingia katika nchi ya wana wa amoni+ kwa hanuni ili kumfariji
3 hata hivyo wakuu wa wana wa amoni wakamwambia hanuni je daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji je watumishi wake hawakuja kwako+ ili kuchunguza kwa ukamili na kufanya mapinduzi na kuipeleleza nchi+
4 kwa hiyo hanuni akawachukua wale watumishi wa daudi+ akawanyoa+ akakata nusu ya mavazi yao mpaka kwenye matako yao+ akawaacha waende zao+
5 baadaye watu wakaenda wakamwambia daudi kuhusu wale watu naye akatuma watu mara moja kwenda kuwapokea kwa sababu watu hao walikuwa wamefedheheshwa sana na mfalme akaendelea kusema kaeni katika yeriko+ mpaka ndevu zenu ziote kabisa ndipo mrudi
6 baada ya muda wana wa amoni wakaona kuwa wamenuka+ machoni pa daudi na hanuni+ na wana wa amoni wakatuma talanta 1000 za fedha+ ili kukodi magari+ na wapandafarasi kutoka mesopotamia na kutoka arammaaka+ na kutoka soba+
7 basi wakajikodishia magari 32000+ na mfalme wa maaka na watu wake+ ndipo wakaja na kupiga kambi mbele ya medeba+ nao wana wa amoni wakakusanyika kutoka katika majiji yao wakaja sasa kwa ajili ya vita
8 wakati daudi aliposikia habari hizo akatuma haraka yoabu+ na jeshi lote na wanaume wenye nguvu+
9 nao wana wa amoni wakaanza kutoka wajipange katika vikosi vya vita kwenye mwingilio wa jiji na wale wafalme+ waliokuwa wamekuja walikuwa peke yao uwanjani
10 yoabu alipoona mashambulio yamekuja juu yake kutoka upande wa mbele na kutoka upande wa nyuma mara moja akachagua baadhi ya wanaume bora katika israeli na kuwapanga ili wakutane na wasiria+
11 na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa abishai+ ndugu yake ili wajipange kukutana na wana wa amoni+
12 naye akasema ikiwa wasiria+ watakuwa na nguvu mno kuliko mimi basi wewe utaniokoa+ lakini ikiwa wana wa amoni watakuwa na nguvu mno kuliko wewe mimi pia nitakuja kukuokoa+
13 uwe na nguvu+ ili tujionyeshe kuwa hodari kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya majiji ya mungu wetu+ naye yehova atafanya yaliyo mema machoni pake mwenyewe+
14 ndipo yoabu na watu waliokuwa pamoja naye wakasonga mbele kuwaelekea wasiria vitani+ nao wakakimbia+ kutoka mbele yake
15 basi wana wa amoni wakaona kwamba wasiria wamekimbia nao pia wakakimbia+ kutoka mbele ya abishai ndugu yake kisha wakaingia ndani ya jiji baadaye yoabu akaingia yerusalemu+
16 wasiria walipoona kwamba wameshindwa+ mbele ya israeli wakatuma wajumbe na kuwatoa wasiria waliokuwa katika eneo la ule mto+ na shofaki mkuu wa jeshi la hadadezeri akiwa mbele yao
17 daudi alipoletewa habari hiyo akakusanya mara moja israeli wote na kuvuka yordani akaja kwao akajipanga kupigana nao+ daudi alipojipanga katika vikosi vya vita ili kukutana na wasiria wao wakaanza kupigana naye
18 lakini wasiria wakakimbia+ kwa sababu ya israeli na daudi akaua kati ya wasiria waendeshagari elfu saba na watu 40000 wanaoenda kwa miguu naye akamuua shofaki mkuu wa jeshi+
19 wakati watumishi wa hadadezeri walipoona kwamba wameshindwa mbele ya israeli+ wakafanya amani mara moja na daudi wakaanza kumtumikia+ na siria hawakutaka kujaribu tena kuwaokoa wana wa amoni+
1 nyakati 19
https//wwwjworg/finderdocid=1011452&book=13&chapter=19&wtlocale=sw&srcid=share
mailtobody=soma biblia kwenye mtandao0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d101145226book3d1326chapter3d1926wtlocale3dsw26srcid=share⊂ject=soma biblia kwenye mtandao | 2017-02-27T01:02:08 | https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/bi12/vitabu/1-nyakati/19/ |
kauli ya mama yake diamond kuhusu hali ya kifedha swahili times
kauli ya mama yake diamond kuhusu hali ya kifedhaudakuby mwandishioctober 31 20166930share share thislicha ya mwanamuziki nasibabdul maarufu diamond platnumz kuelezwa kuwa ana utajiri mkubwa mama yake mzazi sanura kassim maarufu sandra imedaiwa kuwa anaishi maisha magumu kiasi cha kupaki gari lake kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kukosa mafuta
kama lilivyoandika gazeti la kiu inaelezwa kuwa mama ya diamond sasa hayuko vizuri kama alivyokuwa awali kwa baadhi ya huduma zimesitishwa kutoka kwa mwanae kutokana na hali ya kifedha kuwa mbaya miongoni mwa huduma zilizositishwa ni pamoja na fedha kwa ajili ya kusuka nywele mara kwa mara fedha za manunuzi ya vitu vinywaji vya bei ghali na kupungua kwa fedha za matumizi mengine
imeelezwa kuwa chanzo cha kusitishwa kwa huduma hizo ni baada ya kupungua kwa fedha anazoingiza diamond baada ya hali mitaani kuwa ngumu kutokana na hali hiyo mama diamond akapaki gari yake aina ya passo kwani sasa hana misele mingi ya kumuingizia tena fedha
gazeti hilo liliendelea kueleza kuwa hata marafiki waliokuwa karibu na mama huyo wameanza kumkimbia baada ya hali kuwa ngumu huku ndugu wakichekelea kwa madai kuwa wakati mama huyo mambo safi alikuwa akiwapuuza na kuwaona hawana maana
aidha mama diamond alipoulizwa kuhusu taarifa hizi zilizozagaa mitaani alikanusha na kusema kuwa bado mwanae huyo anaendelea kumhudumia kama mwanzo na mambo ni mazuri hivyo habari kuwa wamefilisika ni umbea mtupu
comments tagsdiamond platnumzdiamond platnumz na mama yakemama yake diamondnaseeb abdulnasib abdulsandra michaelsanura kassim
previous articletaarifa makamu wa rais atoa onyo kwa next articlesababu za wadau mbalimbali kutaka muswada wa home siasa madiwani wa misungwi watoa tamko kuhusu kutumbuliwa kwa mbunge wao kitwanga may 23 2016 nyingine ripoti ya mkuu wa mkoa wa arusha mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi october 8 2016 nyingine taarifa muhimu kutoka bodi ya mikopo kwa walionufaika na mikopo november 14 2016 swahili times live swahilitimes live | 2017-01-24T23:19:57 | http://swahilitimes.com/kauli-ya-mama-yake-diamond-kuhusu-hali-ya-kifedha/ |
bifu la uwoya na flora mvungi kupitia xxl ya b12 | jamiiforums | the home of great thinkers
bifu la uwoya na flora mvungi kupitia xxl ya b12
discussion in 'celebrities forum' started by jaguar jul 2 2012
uwoya amchana live mpenzi wa flora mvungi ie hbaba kwamba hafai katika mapenzi kwa sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6 flora mvungi naye akaja juu na kudai kwamba maneno ya uwoya ni maneno ya mkosaji na akadai zaidi kwamba hbaba hana tatizo katika mapenzi na yuko fiti ile mbayawakati malumbano yakiendeleadada mmoja akapiga simu clouds fmakakataa kutaja jina lake lakini naye akazidi kuchagiza kwamba hbaba si lolote si chochote katika ulingo wa malovey doveyana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tuhaya ndio mapenzi ya mastar wa kibongo
mhhh makubwa
ujinga of so called our superstars
halafu wakiandikwa kwenye magazeti mama zao wanalalamika
ah ah si nilisoma kwe makorokocho h baba kamalizia kuwa uwoya amezoea kuliwa kiboga ndo maana alimuacha
hao ni mastaa vicheche
wakajambe vumbi kule vocha wakubwa
shule muhimu jamani hakuna qt ya primary hawa wakaanza shule
ushuzi mtupu
ptuuuuuuuuuuuuuuuuuu
hata mi nilihisi hivyowhy uwoya atoe povu namna ile kisa hbaba yuko na na dada flora mvungi
tatizo la hawa mastar wetu wa bongo elimu ni 0 hata elimu ya maisha nayo imewapitia pembenihivi hakuna ngo's zinazoweza kujitolea kuwafundisha at least na wao wapate kitu kichwaniyani wanajibishana ujinga kwenye media na wanaona sawa tuwhat a shamekha
kwa hiyo irene uwoya akicheka anajamba
hebu mwenye namba zake za simu na anitupie kwa inbox
ndo waimba kwaya wa kanisa gani hao jaman
sioni sababu ya uwoya kumkashif h baba jee yeye ni hodari kiasi gani kwenye mapenzi unyago gani alipitia mpaka amuone mwenzie hajui vyovyote itakavyo kua h baba ni mwanamme yeye ni mwanamke anaonyesha nini jamii kua anaorodha ya wanaume alolalanao na yupi anajua yupi hajui mapenzi mshenzi wa maadili na anawatukanisha wazazi wake
qixima mqiqa senior member
redio imejaa mashoga na wanamegwa kama mboga upuuzi huo ndio wa kuongea ktk radio
i said it and and will say it again louder 'tanzania celebrities are damn cheap and immature' luckly not all of them
tuliwonda senior member
macelebrities wabongo bwanahadi huruma
huwa nawaonea huruma sana wazazi wa hawa wanaojiita eti star sijui huwa wanajisikiaje watoto wao wanapotoa upuuzi wao wanaoufanya hadharani poleni sana wazazi wa wanaojiita celebrities wa bongo kwa aibu mnayopewa na vizazi vyenu
wasanii wa bogo vituko vingi
xxl mnapenda sana umbea na kupalilia bifu za wasanii then after mnajifanya wasuruhishi shame on u | 2018-01-21T20:59:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/bifu-la-uwoya-na-flora-mvungi-kupitia-xxl-ya-b12.286650/ |
kuchangia jitihada za utunzaji mazingira sbl yapanda miti 1000 kilimanjaro mwanaharakati mzalendo
in kilimanjaro
kama hatua ya kuchangia katika jitihada za utunzaji wa mazingira pamoja na vyanzo vya maji mkoani kilimanjaro kampuni ya bia ya serengeti serengeti breweries limited (sbl) kwa kushirikiana na taasisi ya the kilimanjaro project imezindua kampeni ya kupanda miti elfu moja mkoani humo
mjumbe kutoka ubalozi wa uingereza nchini tanzania akishiriki zoezi la upandaji miti lililondaliwa na kampuni ya serengeti breweries ltd mkoani kilimanjaro
miti hiyo imepandwa katika kiwanda cha sbl kilichopo pasua katika wilaya ya moshi na mingine imepandwa katika wilaya ya mwanga
akizungumza wakati wa zoezi la upandaji miti mkurugenzi mtendaji wa sbl mark ocitti amesema sbl imeamua kuongeza jitihada za uhifadhi wa mazingira si tu katika maeneo yaliyo chini ya sbl bali katika maeneo mbalimbali nchini tanzania
huu ni udhihirisho tosha kwamba sbl imejidhatiti na iko tayari kushirikiana na wadau wengine katika kutekeleza miradi yenye kuleta tija kwa jamii zetu amesema ocitti
zoezi la upandaji miti linakuja huku kukiwa na wito kutoka jumuiya ya kimataifa juu kupunguza uzalishaji wa hewa ya ukaa kwa kuongeza juhudi za uhifadhi wa misitu ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi na hivyo kuyaweka mazingira katika hali ya usalama kwa vizazi vya sasa na vijavyo
mpango huu wa sbl unaenda sambamba na sera ya kampuni katika kurudisha kwa jamii sehemu ya faida na umejikita zaidi katika utoaji wa huduma bora ya maji safi kupitia mradi uitwao water of life (wol) mpango kwa ajili kuwasaidia wanafunzi kupata ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kuwasaidia wakulima wa ndani hususani wa vijijini pamoja na mpango wa kuhamasisha unywaji pombe kistaarabu
zoezi la upandaji miti limehudhuriwa na balozi wa uingereza nchini tanzania sara cooke pamoja na mwakilishi wa waziri mkuu wa uingereza kitengo cha biashara andrew rosindell ambao walikuwa ziarani kiwandani hapo
tags sblserengetiutunzaji wa mazingira
video baada ya kupata majeraha ya misuli messi aanza mazoezi madogo madogo
mufti tanzania bakwata haitavumilia kunyanyaswa na kuvunjiwa heshima | 2020-01-25T10:46:34 | https://mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/08/kuchangia-jitihada-za-utunzaji.html |
shule ya sekondari makongo yamuenzi baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere kwakutoa misaada hospitali ya mwananyamala issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content
shule ya sekondari makongo yamuenzi baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere kwakutoa misaada hospitali ya mwananyamala
na karama kenyunko blogu ya jamii katika kumuenzi baba wa taifa mwalimu julius nyerere shule ya sekondari ya makongo imefanya shughuli mbalimbali katika hospital ya mwananyamala ikiwa ni pamoja na kufanya usafi kuchangia damu na kutoa kutoa msaada wa maji
shughuli hiyo imeanza kwa maandamano na imeongozwa na mbunge wa kinondoni abdallah mtulia kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo daniel chongolo
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutembelea hospitali hiyo na kukabidhi misaada mbali mbali mkuu wa shule ya makongo kanalibyuda kitinya amesema kuwa lengo kubwa la kufanya zoezi hilo ni kuwafundisha wanafunzi wa shule hiyo uzalendo kama baba wa taifa alivyokuwa akifundisha ambae alikuwa anasisitiza uzalendo katika nchi
tunawafundisha vijana wetu uzalendo ili wafahamu kwamba ukiwa kijana unajukumu la kujitoa kwa ajili ya jamii inayokuzunguka kwani ninaimani kama tukiwafundisha na wakaelewa basi wataendelea kuelimisha wenzao na kujitoa siku hadi siku katika continue reading > | 2019-10-17T22:55:16 | http://presstz.net/shule-ya-sekondari-makongo-yamuenzi-baba-wa-taifa-mwalimu-julius-kambarage-nyerere-kwaku-55783303 |
wazazi wasaidieni watoto wenu wasitawishe imani kwa mungu | funzo
enyi vijana nanyi mabikira pia na walisifu jina la yehovazab 14812 13
kwa nini ni muhimu sana kuwafahamu watoto wako vizuri
unaweza kutumiaje mifano kwa njia yenye matokeo unapowafundisha watoto wako
kwa nini unapaswa kuwa mwaminifu mwenye subira na umtegemee yehova katika sala unapowasaidia watoto wako
1 2 (a) wazazi wanakabili changamoto gani na wanaweza kushughulika nayo jinsi gani (b) tutachunguza mambo gani
wenzi fulani wa ndoa nchini ufaransa walisema hivi tunamwamini yehova lakini hilo halimaanishi kwamba watoto wetu watamwamini pia waliongeza hivi imani si kitu unachoweza kurithi watoto wetu huisitawisha hatua kwa hatua ndugu mmoja nchini australia aliandika hivi huenda kumsaidia mtoto wako asitawishe imani ndiyo changamoto kubwa zaidi utakayokabili unapomlea unahitaji kutumia maandalizi yote yanayopatikana unaweza kuhisi kwamba mtoto wako ameridhika na majibu unayompa kisha anakuuliza tena swali lilelile huenda majibu yanayomridhisha mtoto wako leo yasimridhishe kesho inaelekea kwamba kuna habari ambazo utahitaji kurudia mara kwa mara
2 ikiwa wewe ni mzazi je nyakati nyingine unahisi kulemewa na daraka la kuwasaidia watoto wako wasitawishe na kudumisha imani yenye nguvu kwa kweli hatuwezi kutimiza daraka hilo kwa kutumia hekima yetu wenyewe (yer 1023) lakini tunaweza kufanikiwa tukimwomba mungu atuongoze fikiria mambo manne unayoweza kufanya ili uwasaidie watoto wako wasitawishe imani (1) wafahamu watoto wako vizuri (2) wafundishe kutoka moyoni (3) tumia mifano inayofaa (4) uwe na subira na umtegemee yehova katika sala
wafahamu watoto wako vizuri
3 wazazi wanaweza kuigaje mfano wa yesu wanapofundisha
3 yesu hakuogopa kuwauliza wafuasi wake kile walichoamini (mt 161315) iga mfano wake waombe watoto wako waeleze hisia zao hasa mnapokuwa mmestarehe hilo linahusisha kuzungumzia mambo ambayo huenda hawana uhakika nayo au mambo wanayotilia shaka ndugu mmoja mwenye umri wa miaka 15 nchini australia aliandika hivi mara nyingi baba huzungumza nami kuhusu imani yangu na kunisaidia kutafakari yeye huniuliza hivi biblia inasema nini je unaamini inachosema kwa nini unaiamini anataka nimjibu kwa maneno yangu mwenyewe badala ya kurudia maneno yake au maneno ya mama kadiri nilivyoendelea kukua ndivyo nilivyohitaji kuboresha majibu yangu
4 kwa nini ni muhimu kuchukua kwa uzito maswali ambayo watoto wako wanauliza toa mfano
4 ikiwa mtoto wako anatilia shaka fundisho fulani usiudhike na kuanza kutetea mambo unayoamini kwa subira msaidie atafakari kuhusu jambo hilo baba mmoja alisema hivi chukua kwa uzito maswali ambayo mtoto wako anauliza usiyapuuze au kuyaepuka kwa sababu hujihisi huru kuyazungumzia kwa kweli mara nyingi maswali ya unyoofu kutoka kwa mtoto huonyesha kwamba anajali na anataka kuelewa hata alipokuwa na umri wa miaka 12 yesu aliuliza maswali mazito (soma luka 246) kijana mwenye umri wa miaka 15 kutoka denmark anakumbuka hivi niliposema kwamba nina shaka ikiwa dini yetu ni ya kweli wazazi wangu walikuwa watulivu ingawa huenda walikuwa na wasiwasi kunihusu walijibu maswali yangu yote kwa kutumia biblia
5 wazazi wanaweza kuonyeshaje kwamba wanachukua kwa uzito imani ya watoto wao
5 jitahidi kufahamu vizuri mawazo hisia na mahangaiko ya watoto wako usifikiri kamwe kwamba wana imani eti kwa sababu wanahudhuria mikutano ya kikristo na kushiriki utumishi wa shambani pamoja nawe muwe na mazungumzo ya kiroho katika shughuli zenu za kila siku sali pamoja na watoto wako na vilevile kwa ajili yao jaribu kutambua majaribu ya imani wanayokabili na uwasaidie kukabiliana nayo
fundisha kutoka moyoni
6 kukazia kweli za biblia moyoni mwa wazazi kunaweza kuwasaidiaje wawe walimu bora
6 akiwa mwalimu yesu alifikia mioyo kwa sababu alimpenda yehova neno lake na pia aliwapenda watu (luka 2432 yoh 746) wazazi wakiwa na upendo kama huo wataifikia mioyo ya watoto wao (soma kumbukumbu la torati 658 luka 645) hivyo wazazi iweni wanafunzi wazuri wa biblia na machapisho yanayotegemea biblia pendezwa na uumbaji na makala katika machapisho yetu zinazozungumzia uumbaji (mt 626 28) mkifanya hivyo mtaongeza ujuzi wenu uthamini wenu kwa yehova na mtaboresha uwezo wenu wa kuwafundisha watoto wenuluka 640
7 8 moyo wa mzazi unapojaa kweli za biblia matokeo yatakuwa nini toa mfano
7 unapojaza moyo wako kweli za biblia utatamani kuzizungumzia pamoja na familia yako jitahidi kufanya hivyo kila wakati na si tu mnapotayarisha mikutano ya kikristo au wakati wa ibada ya familia isitoshe mazungumzo hayo hayapaswi kulazimishwa bali yanapaswa kujitokeza kwa njia ya kawaida kama sehemu ya mazungumzo ya kila siku wenzi fulani wa ndoa nchini marekani hutafakari kumhusu yehova wanapofurahia uumbaji au aina fulani ya chakula wakiwa familia wazazi hao wanasema hivi tunawakumbusha watoto wetu kuhusu upendo wa yehova na jinsi alivyofikiria mapema kila kitu alichotuandalia wenzi wa ndoa nchini afrika kusini huzungumzia maajabu ya jinsi mbegu huota na mimea inavyokua wanapotunza bustani yao wazazi hao wanasema hivi sisi hujitahidi kuwasaidia binti zetu waheshimu uhai na waone jinsi ulivyo tata sana
8 mwana wake alipokuwa na umri wa miaka kumi hivi baba mmoja nchini australia alitumia fursa ya kutembelea jumba la makumbusho kumsaidia aimarishe imani yake kwa mungu na uumbaji baba huyo alisema hivi tuliona maonyesho ya viumbe wa zamani wa baharini jamii ya athropodi tulistaajabu kuona kwamba viumbe hao ingawa tayari wametoweka walikuwa wenye kuvutia tata na walikuwa na viungo vyote sawasawa kabisa na viumbe tunaowaona leo kwa hiyo ikiwa mnyama mmoja aligeuka na kuwa mnyama tata zaidi kwa nini viumbe hao wa zamani tayari walikuwa tata sana ni somo ambalo lilinivutia sana na nikazungumza na mwanangu kuhusu mambo niliyojifunza
tumia mifano yenye matokeo
9 kwa nini kutumia mifano huwa na matokeo mazuri na mama mmoja alitumia mbinu hiyo jinsi gani
9 mara nyingi yesu alitumia mifano iliyochochea kufikiri iliyofikia mioyo na kuwasaidia watu kukumbuka (mt 1334 35) kwa kawaida watoto huwa na uwezo mzuri wa kuwazia hivyo wazazi tumieni mifano kwa wingi mnapofundisha mama mmoja nchini japani alifanya hivyo wavulana wake wawili walipokuwa na umri wa miaka minane na mwingine miaka kumi aliwafundisha kuhusu angahewa la dunia na jinsi ambavyo yehova alilitengeneza kwa makini ili afanye hivyo aliwapa maziwa sukari na kahawa kisha akamwomba kila mmoja wao amtayarishie kahawa alieleza hivi walikuwa makini sana walipokuwa wakiitayarisha nilipowauliza kwa nini walikuwa makini kiasi hicho walisema kwamba walitaka iwe jinsi ambavyo mimi hupenda nilieleza kwamba mungu alichanganya aina mbalimbali za hewa katika anga letu kwa njia hiyohiyo ili zitufae mfano huo uliwafaa kwa sababu ya umri wao na uliwachochea zaidi kuliko kuwafundisha kijuujuu tu hakuna shaka kwamba walikumbuka somo hilo kwa muda mrefu
unaweza kutumia vitu vya kawaida kuimarisha imani ya mtoto kuhusu mungu na katika uumbaji (tazama fungu la 10)
10 11 (a) unaweza kutumia mfano gani kumsaidia mtoto wako asitawishe imani kwa mungu (tazama picha mwanzoni mwa makala hii) (b) ni mifano gani ambayo umeona kuwa yenye matokeo
10 unaweza pia kutumia maagizo ya upishi ili kumsaidia mtoto wako asitawishe imani kwa mungu jinsi gani baada ya kuoka keki au kupika maandazi eleza umuhimu wa maagizo ya upishi halafu umpe mtoto wako tunda na umwulize hivi je ulijua kwamba maagizo yalihitajika ili kutengeneza tunda hili kisha kata tunda hilo na umpe mbegu yake unaweza kusema kwamba maagizo yaliandikwa kwenye mbegu hiyo lakini kwa lugha tata kuliko iliyotumiwa kwenye maagizo ya upishi unaweza kumwuliza hivi ikiwa mtu fulani aliandika maagizo ya upishi wa keki ni nani aliyeandika maagizo ya kutengeneza tunda hili kwa mtoto mwenye umri mkubwa zaidi unaweza kueleza kwamba maagizo ya kutengeneza tunda na mti wenyewe yalikuwa sehemu ya habari iliyo ndani ya chembe za urithi mkiwa pamoja mnaweza kuchunguza mifano na picha kwenye ukurasa wa 10 hadi 20 wa broshua yenye kichwa maswali matano muhimu kuhusu chanzo cha uhai
11 wazazi wengi hufurahia kuzungumza pamoja na watoto wao kuhusu mfululizo wa makala zenye kichwa je ni kazi ya ubuni kwenye gazeti la amkeni au wanatumia sehemu hiyo kama msingi wa kuwafundisha watoto wadogo mambo rahisi kwa mfano wenzi wa ndoa nchini denmark walilinganisha ndege za abiria na ndege wa angani walisema hivi ndege za abiria zinafanana na ndege wa angani lakini je ndege za abiria hutaga mayai na kuangua ndege nyingine ndogo je ndege wa angani wanahitaji uwanja wa kutua na je kati ya sauti ya ndege za abiria na sauti za ndege wa angani ni sauti ipi iliyo bora kwa hiyo nani aliye na akili nyingi kati ya mtengenezaji wa ndege za abiria na muumba wa ndege wa angani maelezo kama hayo pamoja na maswali yanayofaa yanaweza kumsaidia mtoto asitawishe uwezo wa kufikiri na ajenge imani kwa mungumet 21012
12 mifano inaweza kuwasaidiaje watoto waiamini biblia
12 mifano inayofaa inaweza kuimarisha imani ya mtoto kuhusu usahihi wa biblia kwa mfano fikiria andiko la ayubu 267 (soma) unaweza kuonyeshaje kwamba andiko hilo limeongozwa na roho ya mungu huenda ukaamua tu kumwambia mambo hakika kuhusu andiko hilo lakini badala ya kufanya hivyo kwa nini usichochee uwezo wa kuwazia wa mtoto wako mweleze kwamba ayubu aliishi muda mrefu kabla ya darubini na vyombo vya angani kuvumbuliwa mwombe mtoto wako aonyeshe jinsi ilivyo vigumu kwa watu fulani kuamini kwamba kitu kizito kama vile dunia kingeweza kuninginia bila kutegemezwa na chochote mtoto anaweza kutumia mpira au jiwe kuonyesha kwamba vitu vizito haviwezi kuninginia pasipo na kitu somo kama hilo linaweza kukazia ndani ya akili ya mtoto kwamba yehova alihakikisha mambo hakika yameandikwa katika biblia muda mrefu kabla wanadamu hawajayathibitishaneh 96
toa mifano inayoonyesha thamani ya kanuni za biblia
13 14 wazazi wanaweza kukaziaje thamani ya kanuni za biblia moyoni mwa watoto wao
13 ni muhimu sana ukazie thamani ya kanuni za biblia moyoni mwa watoto wako (soma zaburi 113) kuna njia nyingi za kufanya hivyo kwa mfano unaweza kuwaomba watoto wawazie kwamba wanaenda kuishi kwenye kisiwa fulani kilicho mbali na wanahitaji kuchagua watu kadhaa wakaishi nao kisha waulize ni sifa gani ambazo kila mmoja wao anahitaji kuwa nazo ili wote waishi kwa amani na umoja pia unaweza kuzungumza nao kuhusu mwongozo wenye hekima unaopatikana katika andiko la wagalatia 51923
14 zoezi hilo linaweza kuwafundisha mambo mawili muhimu kwanza viwango vya mungu huchochea amani na umoja pili yehova anapotuelimisha sasa anatutayarisha kuishi katika ulimwengu mpya (isa 5413 yoh 173) unaweza kumsaidia aelewe mambo hayo kwa kutumia mambo yaliyoonwa katika machapisho yetu huenda ukatumia mfululizo wa makala zenye kichwa biblia inabadili maisha zinazochapishwa katika gazeti la mnara wa mlinzi au ikiwa kuna mtu kwenye kutaniko lenu ambaye amefanya mabadiliko makubwa maishani ili ampendeze yehova unaweza kumwalika awasimulie kisa chake mifano kama hiyo hufanya mtoto aelewe kwamba kanuni za biblia zina manufaa maishaniebr 412
15 unapaswa kuwa na lengo gani kuu unapowafundisha watoto wako
15 jambo kuu ni hili unapowafundisha watoto usitumie mbinu ileile jitahidi kutumia uwezo wako wa kuwazia chochea nguvu zao za kufikiri ukizingatia umri wao wasaidie wafurahie kujifunza na waimarishe imani yao baba mmoja alisema hivi usichoke kamwe kujaribu mbinu mpya za kufundisha mambo mliyojifunza zamani
uwe mwaminifu mwenye subira na umtegemee yehova katika sala
16 unapowafundisha watoto wako kwa nini ni muhimu kuwa na subira toa mfano
16 tunahitaji roho ya mungu ili tuwe na imani yenye nguvu (gal 522 23) kama ilivyo kwa tunda halisi muda unahitajiwa ili imani isitawi hivyo utahitaji kuwa mwenye subira na ustahimilivu unapowafundisha watoto wako baba ya watoto wawili nchini japani alisema hivi mimi na mke wangu tulitumia muda mwingi pamoja na watoto wetu tangu walipokuwa wachanga nilijifunza nao kwa dakika 15 kila siku isipokuwa siku za mikutano ya kikristo haikuwa vigumu kwetu na kwa watoto wetu kufanya hivyo kwa dakika kumi na tano mwangalizi mmoja wa mzunguko aliandika hivi nilipokuwa kijana nilikuwa na maswali na mashaka mengi ambayo sikuweza kuyaeleza kadiri muda ulivyopita maswali mengi kati ya hayo yalijibiwa kwenye mikutano funzo la familia au funzo langu la kibinafsi hiyo ndiyo sababu ni muhimu wazazi waendelee kuwafundisha watoto wao bila kukata tamaa
ili uwe mwalimu mwenye matokeo lazima neno la mungu liwe moyoni mwako kwanza (tazama fungu la 17)
17 kwa nini mfano mzuri wa wazazi ni muhimu na wenzi fulani wamewawekeaje binti zao mfano mzuri
17 bila shaka jambo muhimu zaidi ni jinsi unavyowawekea watoto mfano kupitia imani yako watoto wako watatazama mambo unayofanya na hilo litawasaidia sana kwa hiyo enyi wazazi endeleeni kujenga imani yenu acheni watoto wenu waone jinsi ambavyo yehova ni halisi kwenu wenzi wa ndoa huko bermuda wanapokuwa na mahangaiko wao husali pamoja na watoto wao na kumwomba yehova awaongoze na wanawatia moyo watoto wasali kibinafsi wanasema hivi huwa tunamwambia binti yetu mkubwa mtegemee yehova kabisa uwe na mengi ya kufanya katika utumishi wa ufalme na usihangaike kupita kiasi anapoona matokeo anatambua kwamba yehova anatusaidia hilo limemsaidia awe na imani yenye nguvu kwa mungu na katika biblia
18 wazazi wanapaswa kukumbuka jambo gani muhimu
18 ni kweli kwamba mwishowe watoto watahitaji kusitawisha imani yao wenyewe ukiwa mzazi unaweza kupanda na kutia maji ni mungu pekee anayeweza kuikuza (1 kor 36) hivyo mwombe akupe roho yake na ujitahidi kuwafundisha watoto wako wapendwa kwa kufanya hivyo yehova atakubariki sanaefe 64
https//wwwjworg/finderdocid=2016688&wtlocale=sw&srcid=share
mailtobody=wazazi wasaidieni watoto wenu wasitawishe imani0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d201668826wtlocale3dsw26srcid=share⊂ject=wazazi wasaidieni watoto wenu wasitawishe imani | 2016-12-06T18:28:44 | https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/mnara-wa-mlinzi-funzo-septemba-2016/wazazi-wasaidieni-watoto-wenu-wasitawishe-imani-kwa-mungu/ |
kashfa ya vigogo serikalini kujimilikisha hifadhi yenye madini handeni | jamiiforums | the home of great thinkers
kashfa ya vigogo serikalini kujimilikisha hifadhi yenye madini handeni
discussion in 'jukwaa la siasa' started by candid scope oct 12 2011
jumla ya hekta 7495 za msitu wa taifa wa magambazi uliopo katika wilaya ya handeni mkoani tanga eneo lenye utajiri mkubwa wa madini ya dhahabu linadaiwa kuuzwa kwa ajili ya uchimbaji wa madini hayo hifadhi hiyo ilitangazwa katika gazeti la serikali mwaka 1912 kabla ya uhuru na taarifa zake kuhifadhiwa katika jalada namba 658 wizara ya maliasili na utalii kashfa hii imekuja siku chache baada ya nipashe kuripoti kuwa baadhi ya vigogo wa idara ya maliasili walishiriki pia kuvusha wanyama pori hai bila ya kulipa kodi na kusababisha serikali kupata hasara zaidi ya sh milioni 170 katika uwanja wa ndege wa kilimanjaro (kia) hata hivyo kesi hiyo iko mahakamani moshi nipashe iliyotembelea eneo hilo imeshuhudia mitambo mikubwa ya uchimbaji dhababu na usafishaji dhababu ikiwa inafanya kazi usiku na mchana kwa zaidi ya miaka mitano sasa
wanaodaiwa kumiliki eneo hilo la hifadhi ni vigogo wa serikali na viongozi wa idara ya maliasili na utalii na walipoulizwa na nipashe baadhi ya viongozi wa wilaya ya handeni kwamba kwanini hawachukui hatua kwa nyakati tofauti walijibu kuwa `waulizwe wakubwa' wao baadhi ya viongozi walioulizwa kuhusiana na suala hilo ni kamanda wa kikosi maalum cha maliasili kanda ya kaskazini halifa munisi afisa maliasili wilaya hiyo hilbert temu mhifadhi misitu asili wilaya hiyo anatory masaka afisa maliasili mkoa wa tanga jonas mialla na mkuu wa wilaya hiyo seif mpembenwe
hata hivyo walisema wanayo dhamana ya kusimamia misitu na hifadhi za taifa lakini hifadhi ya magambazi walimtupia lawama mkurugenzi wa misitu na nyuki dk felician kilahama na waziri wa maliasili na utalii ezekiel maige naomba suala la magambazi usiniulize
naelekea kustaafu alisema kwa kifupi mkuu wa wilaya mpembenwe kwa upande wake munisi alisema si msemaji na mialla alidai wakubwa wake wanajua suala hilo na kutaka tuachane nalo huku temu akisema ameshaandika barua nyingi hazijibiwi nipashe ilimtafuta waziri maige ofisini kwake bila mafanikio lakini alipohojiwa dk felician kilahama alisema alipata taarifa za uharibifu huo hata hivyo alisema ametuma watu kutoka wizarani waje kupima eneo lililoharibiwa kufahamu mipaka yake
habari kutoka kwa baadhi ya wachimbaji hao wa dhahabu zilidai kuwa viongozi hao wa maliasili wamepewa kazi ya kutokuwakamata wachimbaji hao na mitambo yao ikiwemo kudhoofisha juhudi za mkurugenzi wa maliasili na nyuki dk kilahama ili asichukue hatua haraka kwa kumuogopesha kuwa wanaochimba hapo ni vigogo wa serikali viongozi hao wamepewa utetezi kuwa endapo itatokea wakahojiwa waseme hawajui mipaka ya hifadhi hiyo jambo ambalo limepingwa na hakimu mkazi mfawidhi wa wilaya ya handeni patrick maligana kuwa utetezi huo ni dhaifu kwani hata anayekata mti nje ya hifadhi bila ya leseni ana hatia
maligana alisema hata yeye anashangaa kuletewa wakulima kila siku na maliasili wakidaiwa wamekata miti bila ya leseni huku makatapila yakiwa ndani ya hifadhi ya taifa yakiangusha miti alisema hali hiyo imejenga chuki baina ya mahakama na wananchi handeni wakiwatuhumu mahakimu kuwa wanahusika sheria za maliasili ziko wazi ukikutwa ndani ya hifadhi au ukiwa na kesi ya maliasili wewe mshtakiwa ndio wa kutoa ushahidi kuwa hukuhusika
yale magreda wakiyaleta hapa na wahalifu wao ndiyo wathibitishe kuwa ile sio hifadhi ni mashamba yaoalisema
uchunguzi wa nipashe ambao pia umethibitishwa na afisa madini mkazi mfawidhi wa kanda hiyo philip ngeleja kampuni iliyopewa leseni ambayo iko kisheria ndani ya hifadhi hiyo kwa utafiti ni ya midlands minerals tanzania ltd novemba 7 mwaka 2007 ambapo leseni hiyo inaishia novemba 22 mwaka huu hata hivyo wachimbaji wengine wako kinyume cha sheria
mmh mmh haya hiki kizazi cha huu utawala ni mchwa wakimaliza dhahabu na almasimafuta na gesi wataanza kututafuna sisiinauma sana kuona wale waliopewa dhamana wanajinufaisha wenyewe utafikiri serikali imegeuka ngo duh hatari sana
duuh nchi yetu eti masikini lakini kila mahali kuna dhahabu
hakuna rais mbaya ambaye atatokea kuwa mhunimnafikimwizi na kigeugeu kama kikwetenamchukia zaidi ya shetani mkuu aliyemuasi mungukikwete ametumwa kuiua tanzania na vizazi vyakealaaniwe jk
dah hii nchi serikali imekufa wananchi wake vilaza kazi kweli kweli
nchi ya kitu kidogooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
ukitaka leseni ya kuchimba madini piga watu offfa za suti kutoka wool worth
kabisa ndugu yanguila naamini siku moja tutawawajibishayuko wapi gadafitailorkitajulikana tu
bora wamiliki hao watanzania kuliko barick na ggm au dowans wezi watupu
mpare akiwekeza basi atajenga kwetu na ndugu zake watapaka kazi hata ya kuosha vyombo
uvumilivu una kikomo chake na iposiku tutajutia ubinafsi wa viongozi wetu kwani yatakayojilia wote tutaathirika kwa haya sasa ni dhahiri sikio la kufa halisikii dawa na wanachoendelea kuimba wanasiasa wa upinzani kinazidi kuingia akilini mwa watanzania wengi sasa maana jitihada hizi za kupotosha ukweli kwa malengo ya kujaza matumbo ya wachache inazidi kutufanya serikali ya sasa tuikinai | 2018-01-17T22:54:25 | https://www.jamiiforums.com/threads/kashfa-ya-vigogo-serikalini-kujimilikisha-hifadhi-yenye-madini-handeni.181697/ |
vodacom kwanini mnatusumbua wateja wenu wiki hii | jamiiforums | the home of great thinkers
vodacom kwanini mnatusumbua wateja wenu wiki hii
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by gm7 nov 1 2009
natumaini wahusika wa makampuni ya simu hapa nchini tz wapo humuhumu ndani ya jf mtakubaliana na mimi kuwa vodacom wiki hii hadi sasa hivi ninapopost hii thread mtandao unasumbua kweli kweli
mfano unajaza vocha mara ya kwanza no answer mara pili hivo hivo na pengine mpaka mara ya tano ndipo vocha inakubali kuingia kwenye simu si hilo tu njoo kwenye kuangalia salio na penyewe mambo yale halafu hata kupiga simu na penyewe hivo hivo mara unapiga simu unaambiwa no network available au error in connection au mteja unayempigia hapatikani wakati uko naye hapo na simu iko on
vodacom vodacom vodacom why this happens
kama kuna tatizo si mtuambie au kama wateja wengi sana basi tuhamie mitandao mingine
hivi hii ni voda tu au mitandao kadhaa bongo
come one come all to tigo network
yeah kama hujawahi kuwa fundi rahis kulalamika hivyo
hata hivyo ubaya wa mawasiliano ni kumba wanatakiwa kukupa taarifa kwenye channel hiyo hiyo au waende kwenye habari maelezo
mimi sijaliona tatizo hilo na siku nzima nilikuwa kwenye cheka time nafikiri ni tatizo la eneo fulani
ahaaaaaaaaaa sasa nimekumbuka si unakumbuka wakati ule wa huduma ya chizika jinsi mtandao ulivyosumbua sasa tatizo hilohilo limerudi tena kwenye cheka time
mimi sijaliona tatizo hiloclick to expand
ukitaka kujua matatizo haya hebu tuulize sisi watoa huduma za simu adha tunayoipata yawezekana umebahatika kwa wakati huo haijakusumbua sio kuwa tatizo liko muda wote kuna wakati linakuwa halipo lakini vilevile likianza kusumbua nakwambia unaweza kubamiza chini simu yako ya kichina
hili tatizo hata mimi nmelipata wiki ya pili sasa network ya voda inasumbua mno unapiga simu haziendi ukiuweza kumpata mtu hamsikilizani kabisa unapoteza tu muda wako wa maongezi kama hawa voda wangekuwa wastaarabu wasingeanzisha cheka nao wakati wanajua mitambo haiwezi kuhimli
tigo express yourselfcome on all to tigo
ndugu nimekusoma mi nahsi kna over population baina ya makampuni hayo hasa tigo and now voda wameanza hako kamchezo
ukweli tunateseka na mtandaowao ila kwasababu tumezoe na voda tunaamini ndio ntandao pekee ulibaki tanzania mnge tufikiria wateja wenu wengine tunatese na hiyo cheka yenu wakati hata hatutumii kwani msingeweka huo usumbufu kwa wale wanao tumia huduma hiyo na sie wengine mkatuacha
tigo express yourselfcome on all to tigoclick to expand
mi nachojua voda huweza kukubali kuingia hasara ili kuwamaintain wateja wake especially corporate customers kila kampun ina strategies zake mf voda wamelenga wale wateja wakubwa tigo imelenga wateja wa kawaida sasa tigo kwa sasa inapata wateja wengi sana kutoka makampuni kama voda na zain coz wako cheap na wabongo wengi kwa sasa wamefulia uchumi umedorora ila kinachowasaidia tigo kwa sasa ni kile kitendo cha kujiunga na huwawei ambao wanapiga kazi kinoma alafu wanajitahidi kuiupgrade mitambo yao kumbuka tigo ndo waliokua nyuma kumiundo mbinu but toka wajiunge na hawa wachina wa huwawei mambo yamebadilika kwa kasi kiasi kwamba voda sasa hivi hawalali
voda jitahidini kuwajali hata corporate customers wenu mnatuvunja moyo kwa kweli nasikia mmeanza kupunguza watu kazi huu ni ushahidi tosha kwamba mambo ni magumu ol the best
hello jesca mambo vip
eeeh wewe mie kila siku nalia na celtel ni matatizo tupu yaani ningekuwa na uwezo wa kutumia mtandao usio wa kibongo ningefanya hivo
celtel unaweza kaa 2 days no network message haziendi unapiga simu inakwambia haipatikani kumbe iko on na huko kwa mhusika inaita sijui kazi zimewashinda
kama kuna tatizo si mtuambie au kama wateja wengi sana basi tuhamie mitandao mingineclick to expand
muda si mrefu nimetoka kwenye vodashop ya hapo mnara wa askari
nlienda ili niweke pesa kwenye account yangu ya m pesa
nimeshindwa nimeambiwa system inasumbua\
celtel unaweza kaa 2 days no network message haziendi unapiga simu inakwambia haipatikani kumbe iko on na huko kwa mhusika inaita sijui kazi zimewashindaclick to expand
njoo tigo
njoo tigoclick to expand
hakuna mtandao wenye afadhali si tigo wala nini yote sawa sema tigo gharama zake ziko chini ila wenyewe ni wasumbufu sana hasa ukitaka kukonnect mtandao mwingine
voda inasumbua mno esp kwenye kupiga unapata ujumbe error in connection network busy etc pia ilinihangaisha mno kwenye mambo ya mpesa unatuma salio hupati msg mpaka uwapigie customer care kuuliza kama transaction imefanyika wanakuambia transaction imefanyika ukimpigia uliyekuwa unamtumia salio anakwambia naye hajapata msg lakini akiangalia salio limeingia baada ya muda mfupi kabla hajaenda kuchukua hela kwa wakala eti salio limerudi tena kwangu hapo nilichoka sana ilibidi niwapigie tena maana nikitaka kuangalia salio nikiambiwa 'your request has been submitted' sipati jibu tena na salio halionyeshi nilipoambiwa kwamba salio limerudi tena kwangu nilianza process upya kutuma hatimaye nilifanikiwa hao ndio voda wa siku hizi
ukweli tunateseka na mtandaowao ila kwasababu tumezoe na voda tunaamini ndio ntandao pekee ulibaki tanzania mnge tufikiria wateja wenu wengine tunatese na hiyo cheka yenu wakati hata hatutumii kwani msingeweka huo usumbufu kwa wale wanao tumia huduma hiyo na sie wengine mkatuachaclick to expand
poleni sana na 'ntandao' wenu wa voda
tigo is all we all need zamani tulikuwa tunawacheka kwamba hawajasambaa sasa wapo kila kona
mtandao si kabila hameni tu 0 people likes
mbona mtandao wa tigo upo bomba tu mie voda nilihama zamani niliona mizinguo
ukitaka kujua tigo ndio mtandao unaohitajika kwa kila mtanzania pamoja na promotion zote zilizopo xtrema sms voice xtreme xtreme sms ucpime etc lakini bado mtandao unadunda tu hakuna network erroe wala pending request hata hivyo matatizo ya mtandao ni jambo la kawaida na kabla hujaamua kuhamia mtandao mwingine you real should have good reason for it | 2016-12-08T00:28:24 | http://www.jamiiforums.com/threads/vodacom-kwanini-mnatusumbua-wateja-wenu-wiki-hii.42573/ |
mama na mwana siri za kumfanya mwanao awe na akili bukua nae
siri za kumfanya mwanao awe na akili bukua nae
kama unataka mwanao awe smart aka msongo aka kipanga hakikisha unamsomea yap hata kama ni mdogo na haelewi kitu soma kitabu akusikilize actualy msomee tangu akiwa tumboni wanasema ile sound ya kusoma ni nzuri sana katika kumfanya mtoto awe concentrate
tafiti zinaonyesha kwamba watoto wanaosomewa home tangu wakiwa wadogo huwa ni rahisi sana kuelewa shule hivyo ni rahisi kujifunza
kusoma kunamfundisha mtoto vitu vingi maandishi maneno mapya matumizi ya maneno na pia inamfundisha kwamba information inatoka kwenye vitabu
mwekee vitabu kwenye kabati lake ili avizoee
mwonyeshe mtoto kwamba kusoma ni raha so usome kwa furaha unakumbuka vile vitabu vya series za someni kwa furaha
tafutia kusoma siku na saa maalum sio unakurupuka tu ili iwe kwenye ratiba yenu
sehemu ya kusomea iwe eneo maalum lenye utulivusio huku wengine wanaangalia tv huku na nyie mnahangaika kusoma
ongelea story mlizosoma pamoja sio mkifunga kitabu ndio imeishia hapo zifanye part ya maisha yenu hapo hatasahau kitu alichojifunza na ataenjoy sana kusoma
msomee mtoto kila siku ukiweza
there you gorudi wiki ijayo for siri nyingine
labels elimu malezi | 2018-02-19T21:52:29 | http://mamanamwana.blogspot.com/2012/06/siri-za-kumfanya-mwanao-awe-na-akili_20.html |
halmashauri msitoze kodi zilizofutwa kwenye madini ya chumvinyongo ministry of minerals
halmashauri msitoze kodi zilizofutwa kwenye madini ya chumvinyongo
na greyson mwase mtwara
naibu waziri wa madini stanslaus nyongo amezitaka halmashauri zote nchini kutokutoza kodi zilizofutwa kwenye madini ya chumvi ili wazalishaji wa madini hayo waweze kufanya kazi katika mazingira mazuri na kulipa kodi stahiki serikalini
mkuu wa gereza la kiwanda chumvi lililopo katika wilaya ya mtwara mkoani mtwara sp mohamed mkangumbe (katikati) akionesha moja ya mashamba ya chumvi kwenye ziara hiyo
naibu waziri nyongo ameyasema hayo leo desemba 12 2018 kwenye mkutano wake na wazalishaji wa madini ya chumvi kutoka katika chama cha wazalishaji wa madini katika mkoa wa mtwara (mtwarema) kilichofanyika kwenye ofisi ya afisa madini mkazi wa mkoa wa mtwara mjini mtwara ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku mbili katika mkoa huo yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini pamoja na kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini
alisema kuwa serikali ya awamu ya tano kupitia wizara ya madini iliamua kufuta baadhi ya kodi walizokuwa wanatozwa wazalishaji wa madini ya chumvi ambazo zilikuwa ni mzigo kwao na kushindwa kufikia malengo waliyojiwekea
ninaziagiza halmashauri zote nchini kutoza kodi kwa kuzingatia sheria zilizopo huku zikihakikisha kodi zilizofutwa kisheria hazitozwi tena alisema naibu waziri nyongo
akielezea mikakati ya serikali kupitia wizara ya madini katika kuwasaidia wazalishaji wa madini ya chumvi katika mkoa wa mtwara naibu waziri nyongo alieleza kuwa ni pamoja na kuangalia namna ya uanzishwaji wa kiwanda cha chumvi katika mkoa wa mtwara kwa ajili ya kuongeza ubora na thamani ya madini ya chumvi
katika hatua nyingine akizungumza na kikundi cha umoja wa vijana wanaojishughulisha na uchimbaji wa madini ya mchanga katika eneo la ziwani lililopo wilayani mtwara mkoani mtwara mbali na kupongeza kikundi hicho kwa kazi nzuri naibu waziri nyongo aliomba halmashauri ya wilaya ya mtwara kuendelea kukisaidia kikundi hicho kwa kuwapa mikopo ya fedha ili waweze kuzalisha zaidi
aidha aliwataka wakandarasi wanaopewa zabuni za ujenzi wa miundombinu ikiwa ni pamoja na majengo kununua mchanga na tofali kutoka katika vikundi vya wachimbaji wa mchanga katika mkoa wa mtwara ambao wanaendesha shughuli zao kwa mujibu wa sheria kwa lengo la kuwainua kiuchumi
naibu waziri wa madini stanslaus nyongo akikagua madini ya chumvi katika ghala la kuhifadhi madini hayo kwenye shamba la chumvi linalomilikiwa na jeshi la magereza la kiwanda chumvi lililopo wilayani mtwara mkoani mtwara
pia aliagiza ofisi ya afisa madini mkazi wa mkoa wa mtwara kuendelea kuwapa ushauri wa kitaalam wachimbaji wa madini ya mchanga ili kufanya uchimbaji uwe wenye tija na kuzingatia sheria na kanuni za madini zilizopo
wakati huohuo naibu waziri nyongo alifanya ziara katika shamba la chumvi linalomilikiwa na jeshi la magereza la kiwanda chumvi lililopo wilayani mtwara mkoani mtwara na kupongeza jeshi hilo kwa kazi nzuri | 2019-06-20T08:23:37 | https://www.madini.go.tz/halmashauri-msitoze-kodi-zilizofutwa-kwenye-madini-ya-chumvi-nyongo/ |
vijimambo malinzi na wenzake kula mwaka mpya mahabusu
malinzi na wenzake kula mwaka mpya mahabusu
kesi ya kutakatisha dola za marekani 375418 inayomkabili aliyekuwa rais wa shirikisho la soka tanzania (tff) jamal malinzi na wenzake imepigwa kalenda hadi januari 11 2018 baada ya upande wa jamhuri kudai bado haujakamilika
hata hivyo upande wa utetezi uliiomba mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam kuuamuru upande wa mashtaka kuharakisha upelelezi wa kesi hiyo
kesi hiyo ilitajwa jana na hakimu mkazi mkuu wilbard mashauri
wakili wa serikali mwandamizi leonard swai alidai kuwa upelelezi bado haujakamilika hivyo akaomba tarehe nyingine ya kutajwa
wakili wa utetezi nehemiah nkoko alidai kuwa kesi hiyo ni ya muda mrefu na kila siku wanaambiwa jalada bado lipo kwa mkurugenzi wa mashtaka (dpp)
hakimu mashauri alisema mahakama hiyo inafanya kazi ya kutafsiri sheria na kama itafanya vinginevyo itakuwa nje ya sheria
alisema kesi hiyo itatajwa januari 11 2018 na washtakiwa wataendelea kukaa mahabusu
washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni katibu wa tff mwesigwa selestine na mhasibu wa shirikisho hilo nsiande mwanga ambao wanakabiliwa na mashtaka 28 ikiwamo ya utakatishaji fedha ambazo ni dola za marekani 375418 | 2018-10-22T08:11:44 | http://lukemusicfactory.blogspot.com/2017/12/malinzi-na-wenzake-kula-mwaka-mpya.html |
download q chillah in hd mp4 3gp audio svoshopus
latest hd q chillah videos
chidi beenz feat q chief muda [official music video]
shilole ft q chillah lawama {official video}
q chillah azungumzia mtazamo wake juu ya chidbenz na maisha yake nje ya qs
enewz bob junior aongelea beef lake na q chillah na mr blue byser
q chief uhali gani(official video)
q chillah _ naogopa
q chillah nikilala naota hd audio
download exclusive hii ni sababu ya q chillah kutoa machozi kwenye xxl clouds fm full hd video song movie natok trailer download exclusive hii ni sababu ya q chillah kutoa machozi kwenye xxl clouds fm full mp4 video song movie natok trailer download exclusive hii ni sababu ya q chillah kutoa machozi kwenye xxl clouds fm full mp3 song download exclusive hii ni sababu ya q chillah kutoa machozi kwenye xxl clouds fm full 3gp video song movie natok trailer download bangla new natok movie all song hd mp4 3gp mp3 download exclusive hii ni sababu ya q chillah kutoa machozi kwenye xxl clouds fm full mp3 64 kbps 128kbps 192kbos 320kbps download exclusive hii ni sababu ya q chillah kutoa machozi kwenye xxl clouds fm album all video song and mp3 | 2017-10-19T08:49:05 | http://svoshop.us/category/q-chillah.html |
lenzi ya michezo polisi brazil wamkatamata mkuu wa kamati ya olimpiki ulaya patrick hickey blogroll
polisi brazil wamkatamata mkuu wa kamati ya olimpiki ulaya patrick hickey zikiwa
zimeshalia siku chache kabla ya kualizika kwa mashindano ya olimpili 2016 inayofanyika rio polisi nchini brazil wamemkamata mkuu wa kamati ya olimpiki ya ulaya patrick hickey kwa kosa la kuuza tiketi kinyume na
makubaliano
inaripotiwa
kuwa hickey alikamatwa na polisi baada ya kugundulika kuwa alikuwa akiuza tiketi za olimpiki kwa gharama kubwa tofauti na bei inayotakiwa
taarifa ambayo imetolewa na polisi wa nchi hiyo inaeleza kuwa wakati wakitaka kumkamata mtu hickey alijaribu kuwatoroka lakini walifanikiwa kumkamata wakati alipotaka kuwakimbia kutoka katika chumba chake na kuhamia chumba kingine cha hoteli
hivyo vyombo vya habari vya brazil vinaamini kuwa sababu ya kukamatwa hickey ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la olimpiki la irenland (oci) inahusiana na muireland mwenzake kebin james mallon ambaye alitiwa mbaroni na polisi siku ya ufunguzi wa michezo hiyo | 2017-04-27T20:42:57 | http://pallangyor.blogspot.com/2016/08/polisi-brazil-wamkatamata-mkuu-wa.html |
khutba kwa makhatibu wasiojua khutba
khutba sio kutoa darsa juu ya mimbari sio kutoa mawaidha sio darasa la kufundisha fiqhi sio ulingo wa mijadala ya kimadhhab sio ulingo wa mbwembwe za elimu na taaluma sio jukwaaa la kughani sauti nzuri na mahadhi ya sauti sio mimbari ya kuzungumza misimamo ya kimakundi au kifirqah na mwisho kabisa khutba sio kiriri cha simulizi za historia/taariikh
leo waislamu wamechoshwa na khutba za makhatibu wetu na kuishia kupiga usingizi kwa sababu makhatibu hawatoi khutba bali wanatoa darsa juu ya mimbari na wengine huenda mbali zaidi kwa kufanya ni jukwaa la malumbano labda tujiulize kwa nini makhatibu wetu hawawezi kutoa khutba dakika 15 kama ilivyotaka sheria kuwa khutba isizidi urefu wa swala ya ijumaa
je khutba ni nini
khutba ni kutangaza msimamo juu ya tukio jipya kwa umma wa kiislamu na kwa wasio kuwa waislamu ima kuunga mkono jambo kupinga jambo au kuanzisha agenda/kampeni maalumu na kuizindua rasmi juu ya mimbari sharti jambo lenyewe lisiwe ni jambo la kifiqhi au kimadhhab kwani fiqhi ni somo linalohitaji mtu kusomeshwa na sio kuambiwa ndani ya dakika 15 msikiti wa ijumaa wanahudhuria waislamu wa madhhab tofauti tofauti na lau khutba ikiwa ni juu ya swala au talaka au ndoa je utazungumza kwa mujibu wa madhhab ipi bali wapo makhatibu leo wanapanda juu ya mimbari siku ya ijumaa na mada ya usulul fiqhi au mustalahu lhadith somo ambalo khatibu mwenyewe halijui
leo khatibu yupo juu ya mimbari ananukuu aya au hadithi na kutaja namba za kurasa na mstari wa ngapi katika kitabu hii sio khutba bali haya ni mashindano ya watoto darasani kuwakomaza uwezo wa kuhifadhi khatibu anazungumza mada dakika 50 hatimaye anatangaza mada yaendelea wiki ijayo hiyo sio khutba bali ni darsa za wanafunzi katika maandalizi ya mitihani9
khutba ni kutangaza msimamo wa kiislamu juu ya hatua gani waislamu wa chukue juu ya kadhia husika katika jamii mfano kumezuka kipindupindu eneo la zanzibar tanzania khutba za ijumaa zilitakiwa kuangazia suala hili kwa mfano tukizingatia nukta/sura ifuatayo
uwezo na maamuzi ya allah(qadhaa)
uwezo na majukumu ya binadamu(uzembe na ufanisi)
hukmu ya muislamu anayekufa kwa kipindupindu
uozo na uzembe kwa watawala na nini walitakiwa kufanya kabla na baada ya kipindu pindu kutokea
kutoa pole walio fikwa na msiba na tahadhari juu ya ugonjwa huo
lakini la kushangaza na kusikitisha utamuona khatibu anapanda juu ya mimbar na mada ya fadhila za maulamaa na ilhali pembeni ya msikiti anaohutubia kuna zikwa ndugu watatu wa familia moja kwa sababu ya kufa kwa ugonjwa wa kipindupindu
asili ya mimbari za ijumaa ni jukwaa/ulingo wa kisiasa na misimamo na sio jukwaa/ulingo wa fiqhi na darsa za kimadhhab na ikiwa makhatib wetu hawajui siasa za kiislamu na pia siasa za kikafiri ili wazikosoe kwa kutumia kipimo cha siasa za kiislamu basi tutaendelea kusisinzia sana kwenye khutba
aidha ikiwa makhatib wetu ikiwa hawajui tofauti ya uchumi wa kiislamu na uchumi wa kibepari tutasinzia sana ikiwa makhatibu wetu hawajui dunia inaongozwa na mfumo aina gani tusubiri khutba za nguzo 17 za swala milango ya pepo na majina na aina zake lau makhatibu wetu hawajui tofauti ya hadhara na madaniya (mambo yepi tunaruhusiwa kuchukuwa toka kwa makafiri na yepi haturuhusuwi) tusubiri khutba za namna ya kuchagua mke bora au mume bora mwisho kabisa ikiwa makhatib wetu hawajui vipi kuurudisha uislamu utawale dunia leo tusubirini khutba za namna ya kufanya jimai baina ya mke na mume
khatibu anayepanda na karatasi (gazeti) kama anayetaka kusoma mapato na matumizi ya ulimwengu ya mwaka mzima kama hotuba ya bungeni hiyo sio khutba bali ni mawasilisho ya mapato na matumizi khatibu anayepanda mimbari na zigo la vitabu ili kutoa ushahidi huyu si khatibu bali yupo kwenye mdahalo nikimalizia natamka kwa unyenyekevu ewe khatibu rudisha hadhi na heshma ya mimbari ya al habib mustafa muhammad ibn abdullah saaw
ramadhani moshi othman (abu fathi)
more in this category « tuhuma za uwongo dhidi ya hizb ut tahrir kutoka redio/tv imani kwa nini uchamungu haufikiwi »
comment link tuesday 15 august 2017 1459 posted by brent
you by accident while i was searching on google for something else regardless i am here now and would just like to say thank you for a tremendous post and a
comment link monday 31 july 2017 2337 posted by arielle
everyоne loves what ʏou guys are up too this type of clever
work and coverɑge keep up the wonderful worкs guys i've you ցuys to my blogroll | 2017-09-24T15:30:42 | http://hizb.or.tz/index.php/analysis/ujumbe-wa-wiki/item/552-khutba-kwa-makhatibu-wasiojua-khutba |
historia yetu | kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania
dayosisi ya mashariki na pwani (dmp) ni moja ya dayosisi ishirini za kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt) dayosisi hiyo ilianzishwa na kusajiliwa mnamo 13 desemba 1962 na wakati huo ulijulikana kama sinodi ya uzaramouluguru mnamo desemba 1970 jina lilibadilishwa kuwa kkkt synod ya mashariki na pwani hadi desemba 1986 wakati ikabadilishwa kuwa kkkt dayosisi ya mashariki na pwani
shughuli za misioni katika maeneo ya pwani zilianza mnamo agosti 1887 wakati mmisionari johann jacob greiner kutoka misioni ya berlin alifika dar es salaam
dayosisi hiyo imepokea wito wake kutoka kwa mungu mwenyewe miongozi mingine ni kanuni za kkkt katiba ya dayosisi pamoja na katiba na sheria za nchi kwa kutimiza katiba na sheria za nchi kkkt dayosisi ya mashariki na pwani imesajiliwa kisheria kama shirika la kidini nchini tanzania na kupewa cheti cha usajili no10525 ya 25/8000
eneo la kazi yetui ni mkoa wa dar es salaam mkoa wa pwani na visiwa vya unguja pemba na mafia jiografia hii imetuweka katika jiji kubwa la dar es salaam ambayo ni kivutio kikubwa kwa watu kutoka sehemu mbali mbali za dunia
jiji ni kitovu cha kiuchumi cha nchi likiwa na nafasi nyingi kwa dayosisi na nchi yetu
kkktdmp inashirikiana na inafanya kazi kwa karibu na jamhuri ya muungano wa tanzania na shirika zisizo za serikali za ndani ya nchi pia inafanya kazi kwa kushirikiana au kwa uhusiano wa karibu na mashirika ya kimataifa na ya nchi kwenye bara za afrika asia ulaya na amerika | 2020-03-29T06:31:41 | https://www.kkktdmp.or.tz/sw/historia-yetu |
ni20waongozi20wa20chakula20cha20ear20ear20accessories20sehemu20katika20ardhi20ya20rhine maruti metal industries in rajkotgermany
4 products found with &aposni20waongozi20wa20chakula20cha20ear20ear20accessories20sehemu20katika20ardhi20ya20rhine&apos
products found with &aposni20waongozi20wa20chakula20cha20ear20ear20accessories20sehemu20katika20ardhi20ya20rhine&apos | 2018-10-24T05:43:44 | http://www.marutimetalgermany.com/productsearch/ni%20waongozi%20wa%20chakula%20cha%20ear%20ear%20accessories%20sehemu%20katika%20ardhi%20ya%20rhine/1 |
askofu mkuu mstaafu wa kanisa katoliki jimbo kuu la dar es salaam polycarp kardinali pengo amesema anafurahishwa na utendaji wa paul makonda na anaona mkuu huyo wa mkoa wa dar es salaam anafaa kurithi mikoba ya rais john magufuli
pengo (75) aliyasema hayo jana katika mkutano uliowakutanisha viongozi wa dini na makonda kuzungumzia mafanikio ya miaka minne ya uongozi wa rais magufuli katika jiji hilo
alisema kama wakiwapo vijana wengi wanaomsaidia kazi rais magufuli mfano wa makonda ni wazi kuwa hakutakuwa na haja ya kufikiria nani ataendeleza kazi nzuri zinazofanywa na rais huyo
tunajiuliza baada ya magufuli atakuwapo nani mkiwapo kama wa aina yako (makonda) wengi mimi nisingekuwa na shaka kwamba tungekuwa na watu gani wa kuendeleza kazi za magufuli alisema kardinali pengo
kiongozi huyo wa kiroho pia alisifu kazi aliyodai ni nzuri ya makonda kueleza miradi inayotekelezwa na serikali akifafanua kuwa mkuu wa mkoa huyo ameonyesha ni aina gani ya kiongozi anayemsaidia rais magufuli
makonda asante kwa kuniita katika uzee niliyonao ningekuwa nimechoka kukaa saa mbili ulizokuwa unaelezea kazi zinazofanywa na serikali lakini sikuchoka hata katika hali yangu ya uzee na hata ongeongeza saa nyingine moja ningekuwapo bila kukuomba ruhusa ya kutoka nje alisema
kardinali pengo alidai makonda ni moja kati ya wasaidizi bora walio pembeni ya rais magufuli na wanapomwombea aendelee wanaombea na vijana wa aina yake waendelee
na tunamwomba mwenyezi mungu atujalie viongozi wa aina yako wengi zaidi kwa maana hii rais ni mtendaji kazi lakini hawezi kufanya yote peke yake anahitaji watu chini juu na pembeni yake ambao wapo naye kwa ajili ya kumsaidia alisema
kardinali pengo pia alimpongeza rais magufuli kwa kazi anazozifanya tangu aingie madarakani na kuwashangaa watu aliodai wanamwita dikteta
katika mitandao kumezuka maneno kwamba rais wetu ni dikteta yale anayoyafanya anashughulikia kuendeleza vitu kuliko kuendeleza watu
wanaongelea juu ya kushughulikia vitu kuliko watu ni watu gani hao hawajashughulikiwa wakati mambo mengi yanafanyika kwa ajili ya watu
ni lugha ambayo kwa akili zangu za kizee siwezi kuelewa utakuwa unamshughulikia mtu kiasi gani kama unamfanya mtoto wake na mjukuu wake waende shule alihoji pengo
awali makonda alisema kasi ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo inayofanywa na rais magufuli inazidi maelekezo ya ilani ya chama cha mapinduzi (ccm)
kawafanya hata viongozi wa serikali wanaotumia hirizi kumtaja mungu kwanza mara nyingi ameweka wazi kuwa mambo yanavyokwenda kasi hata yeye mwenyewe anamshangaa mungu alisema
makonda alisema katika kukabiliana na tatizo la utiririshaji wa majitaka mkoa wa dar es salaam yuko kwenye mpango wa kuanzisha vituo maalum kwa ajili ya kuchakata maji taka na kuyarudisha kwenye matumizi
alikumbusha mpango wa kujenga kituo eneo la jangwani na kitagharimu sh bilioni 800 kituo hicho kinatarajiwa kukusanya majitaka kutoka maeneo ya kariakoo upanga posta na mitaa mingine ya katikati ya jiji hilo
katika mkutano huo makonda aliwaomba viongozi wa dini kuwakumbusha waumini wao kuwaheshimu watu walioapa kulinda nchi na usalama wao
alisema jeshi la polisi na majeshi mengine yanafanya kazi kubwa kuhakikisha mkoa unakuwa na amani huku ulinzi na usalama vikitawala
kulikuwa na ujambazi zamani watu walikuwa wanauawa ovyo wakati mwingine hata polisi walikuwa wanashambuliwa lakini sasa kazi kubwa imefanyika kuna utulivu hakuna panya roads wala wizi wa vifaa vya magari alisema
mikakati mingi iliwekwa na (lazaro) mambosasa (kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam) na wenzake na matokeo tunayaona jiji la dar sasa ni shwari makonda alitamba
hatimaye wabunge chadema wajisalimisha | 2019-12-07T14:27:18 | https://www.ippmedia.com/sw/node/71473 |
'dogo' msenegali alamba mkataba wa miaka mitatu lyon bin zubeiry sports online 'dogo' msenegali alamba mkataba wa miaka mitatu lyon bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za afrika > 'dogo' msenegali alamba mkataba wa miaka mitatu lyon
'dogo' msenegali alamba mkataba wa miaka mitatu lyon
kiungo mshambuliaji wa senegal ousseynou ndiaye amesaini mkataba wa mitatu kujiunga na timu ya ligue 1 ufaransa olympique lyonnais
mchezaji huyo kijana wa umri wa miaka 18 alisaini mkataba huo jana kutoka diambars fc de saly ambayo ni akademi ya soka nchini senegal
ndiaye amevutiwa mno na kusajiliwa na klabu hiyo ya ligi daraja la juu zaiid ufaransa na ana matumaini ya kuwa mfano
pamoja na hayo amekiri bado ana safari ndefu ya kwendanina furaha sana kusaini ol ni klabu kubwa ni ndoto kuwa hapa nataka kuwa mfano kwa watu niliowaacha nyuma senegal si rahisi kupata kupata mkataba wa mwanasoka wa kulipwa bado kuna hatua nyingi mbele yangu alisema ndiaye
item reviewed 'dogo' msenegali alamba mkataba wa miaka mitatu lyon rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
steve bruce reveals shock as thierry henry is linked with aston villa job steve bruce has revealed his shock at seeing thierry henry linked with his managerial post at aston villa quipping that it made him 'blurt out' his coffee | 2018-07-22T14:42:31 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/07/dogo-msenegali-alamba-mkataba-wa-miaka.html |
jimmy jindoki afunguka baada kupata shavu yanga lemutuz blog
jimmy jindoki afunguka baada kupata shavu yanga
shabiki na mwanachama kindakindaki wa yanga ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni mtandaoni jimmy msindo maarufu kama jimmy kindoki ameteuliwa nafasi ya ujumbe wa kamati ya hamasa ndani ya klabu hiyo
kamati hiyo yenye wajumbe 19 ni ya kudumu kwa ajili ya kuhamasisha kampeni mbalimbali ndani ya klabu hiyo ili iweze kufanya vizuri na kufikia malengo
akizungumza na eatv/ ea radio digital jimmy amesema kuwa sasa amepata rungu rasmi la kuisemea klabu hiyo mahali popote na kuahidi kupambana na mtu yoyote atakayethubutu kuichafua yanga
katika mwaka ambao uongozi wa yanga umetenda haki ni huu imempa nafasi mtu sahihi nilikuwa nafanya kazi nje ya mfumo na sasa nimeingia ndani rasmi hata mashabiki wanafurahishwa kuona hiki kitu amesema jimmy
wenzetu simba wameumia sana kitendo cha sisi kubakia kwenye klabu bingwa afrika na ndiyo maana kila siku wanahangaika kufanya kila kitu ili sisi tukwame sasa hivi wameufunga uwanja wa taifa na uwanja wa uhuru wameweka vitu vyao nawaambia wakavitoe ameongeza jimmy
kamati hiyo ya hamasa ya yanga imeanza kufanya kazi hivi sasa kuelekea mchezo wa klabu bingwa afrika kati ya yanga na zesco ya zambia utakaopigwa jumapili septemba 14 katika uwanja wa taifa
chuo kikuu cha zimbabwe waahirisha mahafali
harmorapa amjibu lulu diva suala la umri
waziri kamwelwe atoa tamko hili kwa wanaohusika kutoa taarifa za uwongo juu ya serikali
mkali wa masauti osacar nyerere alivyoteka watu akiwakumbusha baba wa taifa/magufuli
manispaa ya ilala yazidi kupendeza /meya atoa msaada ikiwemo shule ya mnazi mmoja
ugonjwa wamzuia wema kufika mahakamani
lewandowski ataja namba 9 zake hatari duniani 936 views
habari kubwa zilizotufikia leo mei 9 hatimaye trump asalimu amri amrudia 524 views | 2020-06-01T06:26:51 | https://lemutuz.co.tz/2019/09/11/jimmy-jindoki-afunguka-baada-kupata-shavu-yanga/ |
irene mwamfupe jamii rose muhando adaiwa kubwia unga
rose muhando adaiwa kubwia unga
stori mwandishi wetu huku mwenyewe akikanusha vikali kwamba hatumii nyota wa muziki wa injili bongo rose muhando bado anaandamwa na madai mazito kwamba anatumia madawa ya kulevya unga yanayomfanya kuwa hoi kiasi cha kushindwa kutokea kwenye matamasha mbalimbali anayolipwa fedha risasi jumatano linateremka nayo
nyota wa muziki wa injili bongo rose muhando
kwa mujibu wa vyanzo rose anadaiwa kutumia unga kiasi kwamba baada ya matumizi hujikuta akishindwa kufanya jambo lolote lile la kujitafutia mkate wake wa kila siku na ndiyo maana amekuwa akikwaa skendo za kupokea fedha za shoo halafu hatokei tu
watoa madai
hivi karibuni akina mama watatu walifika kwenye ofisi za global publisheers na kumtolea madai rose kuhusu tuhuma zanazomwandama kwamba amekuwa akiingia mitini na fedha za watu wanaomwita kwenye matamasha ya nyimbo za injili
sisi tunavyojua rose anatumia madawa wengine wanasema unga wengine wanasema sijui nini huko sasa akishatumia hayo madawa huwa yanamfanya awe kama amelewa na kushindwa kufanya lolote
huwa anafika hatua anashinda kitandani amelala tu na hawezi kutoka ndiyo maana mtu anaweza kumpa pesa asitokee kuimba kwa sababu anashindwa kutoka ndani kwake
kwa hiyo jamani si suala la kumwandika tu kwamba anaingia mitini na fedha za watu bali mumsaidie rose kama kweli mnampenda sisi wenyewe tunamwombea kwa mungu kila siku alisema mama mmoja kati ya hao waliofika lakini bila kutaja majina yao
madai sugu
madai ya kwamba rose anatumia madawa ni ya siku nyingi wengi wamekuwa wakisema wana uhakika wengine wanasema wanasikiasikia tu lakini hawana uhakika
mratibu wa tamasha la pasaka alex msama
magazeti ya global (ijumaa wikienda uwazi risasi jumatano amani ijumaa na risasi jumamosi) yameshapokea madai hayo kwa muda mrefu lakini kilichokuwa kikifanyika ni kuendelea kumchunguza msanii huyo kuhusu madai hayo
risasi laingia kazini kuchunguza
kufuatia madai ya akina mama hao waliojitambulisha ni waumini wa kutoka katika kanisa moja la kilokole jijini dar gazeti hili liliamua kuingia kazini kufanya uchunguzi ili kubaini ukweli au uongo wa madai hayo
watu wa karibu na rose
mtu wa kwanza kumtafuta ambaye gazeti hili liliamini kwamba anaweza kujua chochote kuhusu madai hayo ni mratibu wa tamasha la pasaka linalofanyika kila mwaka kwenye baadhi ya mikoa alex msama
msama mimi siwezi kusema ni kweli kwani sijawahi kumwona akitumia wala sijui kama ameathirika
risasi jumatano likamsaka katibu wa chama cha waimba injili tanzania (chawaita) stela joel mimi sijui kama unasema kuna watu wamekuja ofisini kwenu na kutoa madai hayo basi wamwombee lakini tutachunguza
risasi jumatano pia lilibahatika kuzungumza na mchungaji mmoja (jina tunalo) ambaye alisema ameshawahi kusikia taarifa hizo akamuuliza rose lakini alimkatalia kuwa si madai ya kweli
ila ninachojua mimi ni kwamba rose amekuwa akitumia dawa flani (akazitaja jina) hizi ni dawa zinazopatikana kwa njia ya sindano mara nyingi mtu akiwa hajiwezi kwa maana ya kushindwa kufanya kazi anachomwa hizi zinampa nguvu
niliwahi kusikia kwamba kuna daktari mmoja katika hospitali ya mkoa wa dodoma (akamtaja jina) huyu ndiye aliyekuwa akimchoma sindano zenye dawa hizo rose pale mwili unapokuwa dhaifu
baadhi ya madawa yaliyowahi kukamatwa
ila madhara yake sasa dawa ikiwa imekwisha mwilini mtu anakuwa mlegevu anahisi kizunguzungu au kulalalala kutokwa jasho jingi na kuhisi anaumwa kiasi kwamba ukimwona unaweza kusema ni teja ni dawa ghali sana kwa dozi moja nadhani ni shilingi laki sita alisema mchungaji huyo
akaongeza nasikia rose amefika mahali huwa anajichoma mwenyewe akipata dozi kwa hiyo kwa suala la kubwia unga nadhani alilikanusha
rose mwenyewe sasa risasi jumatano juzi lilimpigia simu rose lakini hakupokea hata baada ya kurudia kumpigia mara kadhaa likamtumia meseji na kumsomea mashitaka yote akajibu
samahani sana nawaomba mnipumzishe kuniandikanajua ni nani na kwa nini ananitenda hivyo ni kwa sababu anataka kunitumia kwa faida yake na ni mtu hatari sana kwangu na kwa taifa zima
mtu huyo anafanya haya ili kuniziba mdomo kwani najua siri zake nyingi na nzito nashindwa kusema ataniua
hata hivyo rose alipotakiwa kumtaja kwa jina mtu huyo ambaye risasi jumatano halimjui alikataa katakata akisema anaogopa
posted by nico trac at 924 pm | 2017-12-14T00:39:26 | http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2014/10/rose-muhando-adaiwa-kubwia-unga.html |
php scripts / images and mediaeasy video fetcher addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads
evf inakuwezesha kujenga tovuti yako vyombo vya habari kwa haraka na kurahisisha njia retrieve videos kutoka maeneo mengine hii pengine ni script rahisi umewahi kuonekana pia ni vizuri sana kumbukumbu (mengi ya maoni katikafile na mifano) ni kweli ni rahisi sana ni inahitaji tu parameter moja url kwa video kufanya kazi na kwa sasa ni inasaidia wengi watoa kubwa video (tazama orodha hapo chini) view live demo view hd screencast angalia demo kuishi au screencast ambayo inaonyesha makala yote
features jquery ajax pamoja (hakuna haja ya upya) fetches title maelezo picha tags embed kanuni na mipangilio ya faragha kuugeuza moja kwa moja viungo vyote kwa video new inasaidia mengi makubwa video watoa (tazama orodha) slug generator (kwa seo) clean kanuni (oop) advanced error management hatua kwa hatua guide na nyaraka mkono sites kama ya sasa kuna maeneo 16 mkono lakini dona € ™ t wasiwasi kuna zaidi ya kuja kama una maoni yoyote napenda kuwa na furaha kuchukua maanani
5mincom ( view mfano ) bliptv ( view mfano ) breakcom ( view mfano ) collegehumorcom ( view mfano ) dailymotioncom ( view mfano ) funnyordiecom new ( view mfano ) gametrailerscom new ( view mfano ) hulucom (tu katika marekani) ( view mfano ) justintv new ( view mfano ) metacafecom ( view mfano ) myspacecom new ( view mfano ) ustreamtv new ( view mfano ) veohcom new ( view mfano ) vimeocom ( view mfano ) screenyahoocom new ( view mfano ) youtubecom ( view mfano ) mahitaji php version inahitaji angalau php version 5 file_get_contents () kuwezeshwa na allow_url_fopen kuwezeshwa
integration unaweza pia urahisi kuunganisha script hii na yako script zilizopo tu kufuata mifano kujengwa katika na thatâ € ™ s hivyo kama unahitaji msaada wowote napenda kuwa na furaha ya kukusaidia
support kama una swali lolote kuhusu script hii unaweza wasiliana nami kupitia envato profile yangu
updates v12 aliongeza gametrailerscom funnyordiecom veohcom ustreamtv justintv myspacecom yahoocom aliongeza mpya nakalatomedia feature fasta mende madogo v11 aliongeza support kwa bliptv breakcom metacafecom kuboresha url uchambuzi downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalicreated2 septemba 12 badiliko la mwishokeywordsecommerce items wote 5min ajax collegehumor dailymotion fetcher grabber hulu kuingiza jquery video grabber video kuingiza vimeo youtube | 2017-02-25T18:10:05 | https://sw.worldwidescripts.net/easy-video-fetcher-41172 |
habari na matukio makamu wenyeviti wa ccm bara na zanzibar wamkaribisha mjumbe wa kamati kuu ya ccm rais dkt magufuli leo
makamu wenyeviti wa ccm bara na zanzibar wamkaribisha mjumbe wa kamati kuu ya ccm rais dkt magufuli leo
makamu mwenyekiti wa ccmbara philip mangula na makamu mwenyekiti wa ccmzanzibar rais dk ali mohammed shein wakimuonyesha kiti cha kukaa mjumbe wa kamati kuu ya ccm rais dk john magufuli walipoingia ukumbini kabla ya kuanza kikao cha kamati kuu ya halmashauri kuu ya ccm kilichoongozwa na mwenyekiti wa ccm dk jakaya kikwete katika ukumbi wa sekretarieti katika jengo la white house makao makuu ya ccm mjini dodoma leo kamati kuu hiyo ilikuwa ni kwa ajili ya kupendekeza jina la dkt magufuli kuwa mwenyekiti na baadae kuliwasilisha jina hilo kwenye halmashauri kuu ya taifa kwa ajili ya kupeleka kwenye mkutano | 2016-12-09T19:14:02 | http://www.kajunason.com/2016/07/makamu-wenyeviti-wa-ccm-bara-na.html |
dusit2d jaji mkuu maraga ajuta kwa ujumbe wake wa kuwafariji waathirika
mahakama inafeli katika kupambana na ugaidi wakenya wampasha maraga
maoni 1837
maraga aliungana na wakenya katika kuzifariji familia za walioathirika kwa njia moja au nyingine kufuatia shambulio la 14 riverside
hata hivyo ujumbe wake kwa familia hizo umepokelewa vibaya na wakenya ambao wamemkumbusha kuhusu kuachiliwa huru kwa mshukiwa wa ugaidi uliotekelezwa 2013 westgate
uamuzi wa korti ulifanywa siku moja kabla ya shambulio la kigaidi kufanyika jijini nairobi na watu 21 kuuwawa
baadhi wa wakenya wamemkemea vikali jajhi mkuu (cj) david maraga kuhusiana na kuachiliwa huru kwa washukiwa wa ugaidi wanaoshukiwa kuhusika na shambulio la 2013 westgate lililosababisha vifo vya watu 71
wakenya wangali na machungu kuhusu uvamizi uliotokea jumatano januari 15 katika hoteli ya dusitd2 wakenya wamemshambulia maraga kwa madai ya kukosa kutoa uongozi unaofaa katika idara ya mahakama
wakenya wamelaumu mahakama ikiongozwa na david maraga kwa kuwasaidia magaidi kufanya shughuli zao nchini kufuatia uamuzi wake kumwachilia huru mshukiwa picha ugc
hasira za wakenya kupitia twitter zilijiri baada ya maraga kutuma ujumbe wa pole kwa walioathirika kwa njia moja au nyingine kufuatia shambulio la eneo la 14 riverside
kulingana nao kuachiliwa huru kwa washukiwa wa ugaidi uliofanyika westgate siku moja kabla ya shambulio la juzi ni ishara ya kufeli kwa idara yake
naungana na wakenya katika kukashifu uvamizi uleotokea riverside jana (jumanne) risala zangu za rambirambi ziwaendee familia zilizopoteza wapendwa wao na afueni ya haraka kwa waliojeruhiwa nawapongeza maafisa wetu wa usalama na wengine wote waliosaidia kukabiliana na hali hiyo mungu ibariki kenya cj aliandika kupitia twitter
kulingana na jumbe nyingi za wakenya ujumbe wa cj haukupokelewa vyema kwani alikumbushwa kuhusu kuachiliwa huru kwa mshukiwa wa ugaidi siku moja kabla ya shambulio katika hoteli ya dusit lililosababisha vifo vya watu 21 na wengine 28 kulazwa hospitalini kwa majeraha mbalimbali
kupitia #judiciaryaidingterrorism wanaomshtumu maraga pia walilalamika kuhusu rais huyo wa mahakama ya juu zaidi na mahakama kwa jumla kwa kuchangia visa vya ugaidi ufisadi na maovu mengineyo
hapa ni sehemu ya majibu ya wakenya kwa maraga
hakimu mkuu wa mahakama nairobi francis andayi alimwachilia huru adan dheg mmoja wa washukiwa wa shambulio la 2013 westgate alidai hapakuwapo na ushahidi wa kutosha picha ugc
hakimu mkuu wa mahakama nairobi francis andayi mnamo jumatatu alimwachilia huru adan dheg mmoja wa washukiwa wa shambulio la westgate mwaka 2013 alidai hapakuwapo na ushahidi wa kutosha
kuachiliwa kwake kulizua suala kuu wakati uvamizi wa kigaidi ulipotokea nairobi siku iliyofuata
hata hivyo washukiwa watatu waliobakia kizuizini ahmed abdi liban omar na hussein mustafa walipatikana na hatia na wana kesi ya kujibu
wanne hao walishtakiwa kwa madai ya kushirikiana na magaidi na kuwa na silaha zinazohusishwa na alshabaab kesi hiyo itatajwa tena januari 21 2019
taxify kenya requirements how to check my driving licence is original vera sidika net worth william ruto children's names kmtc 2018 march intake | 2019-02-19T07:47:43 | https://kiswahili.tuko.co.ke/296308-mahakama-inafeli-katika-kupambana-na-ugaidi-wakenya-wampasha-maraga.html |
burudan mwanzo mwisho bondia mtanzania omari kimweri anayetesa australia kutoa sapoti ya mafunzo ya ndondi dar | 2018-03-21T20:39:03 | http://burudan.blogspot.com/2015/01/bondia-mtanzania-omari-kimweri.html |
nani kati ya hawa kazaa nje ya ndoa jamiiforums
nani kati ya hawa kazaa nje ya ndoa
thread starter nndu wa selote
ni jamaa zangu wa karibu mmoja ni x na mwingine y wote wana watoto na wote wameoa x ana mtoto ambaye kamzaa nje ya ndoa miaka mitano baada ya kuoa wakati y ana mtoto ambaye alimzaa miaka mitano kabla ya kuoa tatizo ni kwamba y anaona yuko sahihi kwa vile alizaa kabla ya kuoa na anamlaumu sana x kuwa ni mkosaji kwa kuzaa nje ya ndoa imekaaje hiyo wadau
kulaumiana kwao kuna effect yoyote katika maisha yako
when the eggs fall on the stone or stone fall on the eggs the end result is the same | 2019-03-25T14:34:45 | https://www.jamiiforums.com/threads/nani-kati-ya-hawa-kazaa-nje-ya-ndoa.472147/ |
news about voter register in kenya 2017 | read all 14 related news on tuko ▷ tukocoke
elections latest politics tuko tv swahili entertainment feedback raila 'gives' knut's wilson sossion a 'good' job voter register in kenya 2017 the surprisingly high number of aspirants who will be in the ballot paper
the surprisingly high number of aspirants who will be in the ballot paper meet this 39yearold presidential candidate who believes he can beat uhuru and raila in august(video)
meet this 39yearold presidential candidate who believes he can beat uhuru and raila in august(video)
mbunge na mwandani wa uhuru anaswa akisajili wapiga kura ndani ya ofisi za cdf
alshabaab releases conflicting statement on the theft of election material
mkenya mwingine aligundua anashiriki nambari yake ya id na mtu mwingine derrick devis ogayo alienda kujisajilisha kama mpiga kura alipopata id yake imetumika na
fauka ya hayo mchungaji huyo alisema tabia ya wapiga kura kukosa kutekeleza haki yao ya kidemokrasia ndiko kunakochangia viongozi wabaya kuingia mamlakani
machungu ya 2013 bado yamkeketa raila afichua kura zilizoibwa na uhuru
kiongozi wa cord raila odinga ameambia gazeti moja kwamba uhuru kenyatta aliiba maelfu ya kura katika uchaguzi mkuu 2013 uhuru alishinda kwa kuzoa kura 50+1
cord kutoa tangazo kubwa jumatatu kuhusu uchaguzi mkuu
viongozi wa cord watelekea mahakamani jumatatu desemba 19 kufuatia ujumbe wa tume ya uchaguzi kuhusu ukaguzi wa sajili ya wapiga kura waliotofautiana nao
wabunge wapanga kuahirisha tarehe ya uchaguzi ujao
wabunge katika mpango wao wa kisiri wanapanga kuahirisha siku ya uchaguzi kutoka mwezi agosti mwaka ujao japo wote wanadai wapo tayari kwa uchaguzi mwaka ujao
javelin great julius yego bereaved related tags
jubilee receives opposition defectors voter registration jubilee and cord politics mass voter registration iebc clerks biometric voter registration in kenya cord on iebc mass voter registration electronic vote counting iebc registration 2016 advertise with us tags categories privacy policy social | 2017-06-26T10:29:10 | https://www.tuko.co.ke/tag/voter-register-in-kenya-2017.html |
february 20 2016 zanzibar daima
kwa wale ambao hadi leo wana kasumba kwamba uislamu una uhusiano wa moja kwa moja na ugaidi kwa kuwa tu wengi wanaohusishwa na mashambulizi ya kigaidi wana majina ya kiislamu mehdi hassan ana jawabu rahisi endelea | 2019-07-16T18:15:39 | https://zanzibardaima.net/2016/02/20/ |
rwebangira blog kigongo cha jk
kigongo cha jk
tutenganishe uongozi na biashara ndugu wananchi jambo la mwisho ninalotaka kulizungumzia linahusu maadili ya uongozi nchini hususan napenda kulizungumzia suala la viongozi wa siasa mawaziri na wabunge kuwa pia watu wanaojihusisha na shughuli za biashara moja kwa moja upo ushahidi wa kuwepo migongano ya maslahi kwa baadhi lakini pia hata pale ambapo hakuna dalili za wazi hisia za kupata manufaa yanayotokana na nafasi zao hutawala matokeo ya yote hayo ni watu kupoteza imani na kutilia shaka uadilifu wa viongozi wetu ndugu wananchi nchi za wenzetu hasa zile za kibepari zinazo taratibu nzuri za kushughulikia hali hizo wenzetu wanao utaratibu unaomtaka mtu mwenye shughuli za kibiashara anapokuwa mbunge au waziri kuacha kujishughulisha na biashara zake unakuwepo utaratibu rasmi unaotambuliwa kisheria wa wadhamini wanaoendesha hizo shughuli bila ya yeye kujihusisha nazo anapoacha uongozi wa siasa kama atapenda atachukua tena mali yake na kuendelea na shughuli zakeni makusudio yangu kuwa utaratibu huu tuuanzishe hapa nchini viongozi wetu wachague kufanya jambo moja kwa wakati mmoja ama biashara au ubunge na uwaziri kwa ajili hiyo ni makusudio yangu kuanzisha mchakato wa kufanya marekebisho ya sheria ya maadili ya uongozi ili tuingize utaratibu huo ndugu wananchi ni jambo lenye maslahi kwa nchi yetu na litasaidia sana kujenga heshima ya viongozi wa umma mbele ya macho ya wananchi nafurahi kwamba suala hili tumelizungumza katika kikao maalum cha kamati kuu ya ccm tulichofanya dodoma juzi tarehe 29 januari 2008 na tumeelewana ni matumaini yangu kuwa sote tutaunga mkonomwisho nawatakia kila la heri kwenye shughuli zenu tuendelee kushirikiana kuijenga na kuiendeleza nchi yetu asanteni sana kwa kunisikiliza | 2017-11-25T11:16:55 | http://bongopicha.blogspot.com/2008/02/kigongo-cha-jk.html |
efg yapongezwa kufungua klabu za kupinga ukatili wa kijinsia soko la ilala boma jijini dar es salaam | libeneke la kaskazini
home / habari / matukio / efg yapongezwa kufungua klabu za kupinga ukatili wa kijinsia soko la ilala boma jijini dar es salaam
woinde shizza wednesday april 26 2017 habari matukio
hapa ndipo lulu anapo lala gerezani siku ya pili leo inakatika wakati ambapo mwigizaji nyota wa filamu nchini tanzania elizabeth michael 'lulu' akiwa nyuma ya nondo za gereza la segerea jij
habari zilizopo katika magazeti ya leo jumatano nov222017
mbunge mgaya awasaidia wanawake vyerehani 370 njombe
mbunge wa viti maalum mkoa wa njombe neema mgaya (katikati mstari wa mbele) akiwa na baadhi ya wanawake aliowakabidhi vyerehani 370
matukio (3770) habari (2543) burudani (459) siasa (378) michezo (176) biashara (163) utalii (82) matukio habari (26) habari matukio (20) afya (14) matukio burudani (12) matukio biashara (6) elimu (4) polisi (3) | 2017-11-24T20:14:35 | https://woindeshizza.blogspot.com/2017/04/efg-yapongezwa-kufungua-klabu-za.html |
tanzania yajitenga na trump kuhusu jerusalem cgfm
rais trump alisema kwamba ameamua ni wakati mwafaka kutambua rasmi jerusalem kuwa mji mkuu wa israel
bw trump alisema kutambua jerusalem kuwa mji mkuu wa israel ilikuwa ni kutambua uhalisia tu na akaongeza kwamba ndiyo hatua ya busara kuichukua
bw trump alisema marekani itaendelea kuunga mkono suluhu ya mataifa mawili taifa la waisraeli na wapalestina mataifa yote yakiishi pamoja kwa amani | 2019-01-16T02:25:22 | http://blog.cgfmradio.com/tanzania-yajitenga-na-trump-kuhusu-jerusalem/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.