text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
mimba za umri mdogo zashika kasi pemba zanzibar24
november 10 2017 november 11 2017 chumba cha habari
shehan amesema katika matokeo hayo tofauti kwa upande wa mimba za umri mdogo kwa mwaka 2017 katika maeneo ya mazingwa chakechake kijana salum yussuf (25) alimpa ujauzito mtoto mwenye umri (16) mkaazi wa semewani chakechake jina linahifadhiwa
magazeti ya tanzania leo jumamos november 11 2017
hata hivyo kamanda huyo amesema mtuhumiwa wa kosa hilo alikiimbia na jeshi la polisi linaendelea kumtafuta na kumpeleka kwenye vyomo vya sheria ili kujibu shitaka lake linalomkabili
kwa upande wa kesi za kutorosha shehani amesema siku ya taarehe 06 mwezi huu 2017 mtuhumiwa aliejulikana kwa jina moja la yussuf wa tironi mkoani alimtorosha msichana wa tironi (16) alie chini ya wazazi wake ambapo ni kosa kisheria na mtuhumiwa huyo ameshakamatwa
nae mtuhumiwa aliejuilikana kwa jina moja la ishaka alimtorosha msichana (17) alie chini ya ungalizi wa wazazi wake wote wakaazi watironi mkoani na mpaka sasa mtuhumiwa huyo anatafutwa na jeshi la polisi ili kujibu tuhuma zinzomkabili
kamanda shehan amesema mpaka sasa kwa wiki hii jumla ya matukio matatu yamefikishwa mahakamani yakiwemo ya utoroshaji mimba za umri mdogo na ubakaji
ametowa wito kwa wazazi na walezi kwadhibiti watoto wao walio na umri mdogo kuanzia miaka kumi na sita hadi ishirini hususan kipindi cha sikukuu kufuatana na watu wazima ili kupunguza vitendo vya udhalilishaji vinavyokithiri siku hadi siku
nafda hindi
← tatizo la maji lazorotesha shughuli za wananchi mtendeni
zoezi la utafiti wa mafuta laendelea vizuri unguja → | 2018-07-18T05:02:14 | http://zanzibar24.co.tz/2017/11/10/mimba-za-umri-mdogo-zashika-kasi-pemba/ |
rc tabora awakabidhi wazazi wa watoto waliokuwa wamepotea mbeya
aliwataka wito kwa wazazi kuwa karibu na watoto wao badala ya kuwategema wasaidizi wa kazi ndio watumike kuwalea muda mwingi ili kujiepusha na majanga kama haya
aidha mwanri aliwashukuru wananchi jeshi la polisi kwa ushirikiano wao waliouonyesha na kupelekea kupatikana kwa watoto hao wakiwa na afya njema
alisema wake mmoja akiwa na miaka mitano na mwingine mwaka mmoja na nusu walipotea wakati yeye na mkewe wakiwa wamekwenda sokoni kununua mahitaji na waliporudi ndipo walipobaini hawapo nyumbani kwao
mama wa watoto haozuhura kaswaalisema bado haamini na kwamba alipota taarifa za watoto wake kupotea alikuwa akilia na kumuomba mungu muda wote
wakati huo huo mtuhumiwa anayedaiwa kuwatorosha watoto wawili wa mkoani mbeya na kumtelekeza mtoto mmoja nyumbani kwa mtu eneo la chechemi katika manispaa ya tabora hawa ally anashikiliwa na jeshi la polisi
afisa ustawi wa jamii mkoa wa tabora baraka makona alisema kuwa mtuhumiwa huyo alimuachia mtoto mkubwa mwenye umri wa miaka mitano kwa nyumba ya mkazi wa chemichemi kwa madai anaenda na mdogo ili kumtafutia matibabu na kuahidi kurudi baadaye | 2020-01-18T17:18:20 | http://tabora.go.tz/new/rc-tabora-awakabidhi-wazazi-wa-watoto-walikuwapotea-mbeya |
concessionarie nissan vicenza nissan vicenza navara vicenza pathfinder vicenza auto vicenza macchina vicenza suv vicenza giappone | 2018-02-23T02:12:26 | http://locale.automania.it/Concessionarie_Nissan_Vicenza-p1561360-Vicenza_VEN.html |
mufti simba afariki dunia | mtanzania
home habari kuu mufti simba afariki dunia
mufti simba afariki dunia
sheikh mkuu wa tanzania mufti shaaban issa bin simba (78) amefariki dunia jana asubuhi katika hosptali ya tmj jijini dar es salaam
kifo hicho cha mufti simba ni pigo kubwa kwa waislamu na taifa kwa ujumla
akizungumza na waandishi wa habari jana sheikh wa mkoa wa dar es salaam alhad mussa salum alisema kifo cha kiongozi huyo kimetokea huku akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya tmj
alisema mufti simba alikuwa akiugua kwa muda mrefu maradhi ya sukari na shinikizo la damu
sheikh mkuu amefikwa na umauti leo (jana) asubuhi saa moja katika hospitali ya tmj alikokuwa amelazwa kwa ajili ya kupewa matibabu ya maradhi ya sukari na moyo yaliyokuwa yakimsumbua alisema
sheikh salum alisema mwili wa marehemu umetolewa hospitali ya tmj na kupelekwa hospitali ya jeshi lugalo kwa ajili ya kuhifadhiwa
alibainisha kwamba waislamu wa jiji la dar es salaam walitarajiwa kukusanyika kwa ajili ya kufanya mkesha wa kumsomea dua katika eneo la makao makuu ya baraza la waislamu tanzania (bakwata) kinondoni
wosia wake
wakati bakwata wakitoa kauli hiyo mtoto wa marehemu suleiman issa alisema baba yao atazikwa leo mkoani shinyanga
alisema uamuzi huo umefikiwa na kikao cha familia pamoja na kuzingatia wosia wa marehemu
mwili wa marehemu utasafirishwa leo (jana) kwenda shinyanga na kuzikwa kesho (leo) saa 10 na hili linatokana na wosia aliouacha marehemu kwa mke wake ambaye alitaka pindi atakapofariki asicheleshwe kuzikwa alisema issa
alivyoanza kuugua 2008
juni 13 mwaka 2008 mufti simba alirejea nchini akitokea india alikokuwa akitibiwa ambapo alifanyiwa upasuaji mkubwa wa mguu wa kulia ambao ulikatwa
akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya bakwata mufti simba alisema akiwa hospitali nchini india alifanyiwa upasuaji mkubwa baada ya mguu wake wa kulia kuoza kutokana na kushambuliwa na bakteria ambao awali alisema hajui namna walivyoingia mguuni
hata hivyo baadaye alisema ana wasiwasi huenda bakteria hao waliingia kupitia majeraha mengi aliyokuwa nayo mguuni
nimerudi ni mzima nina afya njema nina uwezo wa kula na madaktari wana matumaini alisema mufti simba ambaye hata hivyo alikanusha uvumi kwamba amekatwa mguu ingawa hakuuonyesha kwa viongozi wala waandishi wa habari waliohudhuria mapokezi hayo
nimepewa miezi mitatu ya mapumziko nisifanye kazi ngumu baadaye nitarudi india alisema mufti simba
jk amlilia
rais jakaya kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa waislamu wote nchini na bakwata kutokana na kifo cha mufti simba
amemwelezea marehemu kama mwalimu katika jamii ambaye alikuwa na uzoefu wa hali ya juu na mwenye kupenda dini yake na kuitumia kwa manufaa ya jamii iliyomzunguka
kifo kinaleta huzuni hata hivyo kifo hakizuiliki hatuna budi kukikubali na ni wajibu wetu kumwombea sheikh mkuu kwa mola wetu ampe mapumziko ya milele alisema rais kikwete katika salamu zake za rambirambi kupitia kwa sheikh wa mkoa wa dar es salaam salum
nawaombea subra wana familia ndugu jamaa waislamu wote na wanajamii kwani mufti alikuwa kiongozi katika jamii yetu kamwe mchango wake hautasahaulika katika jamii yote kwa ujumla na hakika sote tutamkumbuka alisema rais kikwete katika taarifa yake iliyotumwa na ikulu
mufti simba alijiunga na bakwata mwaka 1968 na amekuwa mwalimu wa chuo katika mikoa mbalimbali ikiwamo mwanza na bukoba na mwaka 1970 alikuwa sheikh wa mkoa wa shinyanga
alikuwa na uzoefu mkubwa ndani ya bakwata na aliwahi kukaimu nafasi ya mufti kwa siku 90 baada ya kifo cha mufti hemed bin jumaa bin hemed mwaka 2002
lowassa atuma rambirambi
kutokana na msiba huo mkubwa wa kiongozi huyo wa waislamu nchini waziri mkuu wa zamani edward lowassa ametuma salamu za rambirambi kwa katibu mkuu wa bakwata sheikh suleiman lolila
lowassa alisema amepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha mufti simba
alisema marehemu mufti simba katika uhai wake alikuwa kiungo muhimu katika kudumisha amani upendo na mshikamano kwa taifa
kifo chake si pigo kwa waislamu tu bali kwa watanzania wote hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ambapo busara hekima na uwezo wake mkubwa kidini vilihitajika sana
nawapa pole ndugu jamaa na waislamu wote kwa msiba huu mkubwa mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi amina alisema lowassa katika taarifa iliyotumwa na msemaji wake elizabeth missokia
dk mukangara
naye waziri wa habari vijana utamaduni na michezo mheshimiwa dk fenella mukangara ametuma salamu za rambirambi kwa bakwata na waislamu wote kutokana na kifo cha mufti simba
katika salamu hizo dk mukangara amesema ni jambo la kusikitisha kumpoteza kiongozi huyo ambaye bado taifa lilikuwa likimuhitaji hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu
waziri huyo ameongeza kuwa mufti simba atakumbukwa kwa upole unyenyekevu wake na kutopenda makuu
wakati wa uhai wake marehemu alikuwa tayari kumsikiliza kila mtu bila kujali dini au kabila lake alisema
dk migiro
waziri wa katiba na sheria dk asha rose migiro naye ametoa pole kwa watanzania na waumini wa dini ya kiislamu nchini kwa kuondokewa na shekhe mkuu wa tanzania mufti simba
dk migiro alisema amepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha kiongozi huyo mkubwa wa dini hapa nchini
natoa pole kwa wanafamilia na waumini wa dini ya kiislamu nchini kwa kifo cha mufti simba natoa pole pia kwa watanzania wote kwa kifo cha kiongozi muhimu katika taifa letu alisema
alisema kifo cha mufti simba kinadhihirisha kwamba kila nafsi itaonja mauti na kumtaka mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
chadema waomboleza
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimesema kimepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa taarifa za msiba wa mufti simba
akitoa salamu za pole na rambirambi kwa waumini wa dini ya kiislamu na watanzania kwa ujumla baada ya kupata taarifa za msiba huo mwenyekiti wa chadema freeman mbowe alisema mufti simba atakumbukwa kwa jinsi alivyokuwa akisimamia kauli zake mara kwa mara huku akisisitiza ushirikiano ndani ya jamii ya watanzania bila kujali tofauti zao katika itikadi za dini
mara kwa mara mufti simba amesikika akiwaambia watanzania si waislamu pekee aliokuwa akiwaongoza kiroho hata wale wanaoamini katika madhehebu tofauti umuhimu wa kudumisha ushirikiano miongoni mwa dini mbalimbali na makundi mengine katika jamii ikiwa ni mojawapo ya misingi ya kuimarisha umoja wa taifa letu
naungana na waislamu wote nchini katika wakati huu wa kuomboleza kifo cha kiongozi huyu wa kiroho kwa niaba ya uongozi wa chadema wanachama wapenzi na wafuasi natoa salamu za pole kwa familia ndugu jamaa marafiki bakwata viongozi wa kiroho nchini na watanzania wote ndani na nje ya nchi walioguswa na msiba huu mzito alisema mbowe
alisema mwenyezi mungu awatie nguvu wote na kuwafanyia wepesi wakati huu mgumu wa majonzi ya msiba huo
tec wamzungumzia
katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki tanzania (tec) raymond saba amesema mufti simba atakumbukwa na baraza hilo katika majukumu na misimamo yake katika kutekeleza mambo mbalimbali ambayo yanalenga imani za dini zote
alisema tec wamepokea kifo hicho kwa mshtuko na hawana budi kumuenzi katika mambo yake mbalimbali ikiwamo mchango wake katika taifa na jamii kwa ujumla na mahusiano ya dini mbalimbali
mungu ampe usingizi wa amani mzee wetu na dua njema tunamwombea daima tutamkumbuka kutokana na kazi yake ya kuwaunganisha waumini wa dini zote kwa pamoja hili ni pigo kwetu na baraza la waislamu tanzania kwa ujumla alisema saba
aliongeza kuwa mambo mazuri aliyoyafanya mufti simba yanafaa kuenziwa na jamii nzima kwani alikuwa ni kiongozi asiyependa kuyumbishwa na mwenye misimamo thabiti yenye nia ya kujenga dini imara na kuwakutanisha waislamu na wakristo kwa pamoja
pia aliwaomba waumini wa dini mbalimbali kushirikiana kwa pamoja kumwombea mufti simba katika safari yake mpya aliyoianza
historia yake bakwata
alichaguliwa kuwa mufti mwaka 2002 baada ya kifo cha mtangulizi wake sheikh hemed bin jumaa bin hemed
katika kinyanganyiro cha uchaguzi huo uliofanyika mjini dodoma katika chuo cha biashara (cbe) kulikuwa na ushindani mkubwa kati yake na marehemu sheikh sulemani gorogosi pamoja na profesa juma mikidadi
sheikh gorogosi alifariki dunia juni 27 mwaka 2009
moja ya kauli kubwa ambayo itakumbukwa ya mufti simba baada ya kumalizika kwa mkutano huo wa uchaguzi ni ile aliyowaeleza wajumbe waliohudhuria kuwa vichwa visivyosikia atavipiga marungu iliyokuwa ikiwalenga wale waliokuwa wakiivuruga bakwata
mwaka 2006 mufti simba aliahidi kuifanyia mabadiliko makubwa bakwata ili iweze kuwanufaisha waislamu wote nchini
akizungumza baada ya swala ya ijumaa katika msikiti wa mtoro jijini dar es salaam alisema kumekuwapo na malalamiko mengi yanayowahusu baadhi ya viongozi wa baraza hilo na aliahidi kuchukua hatua za kulisafisha
mufti simba pia aliahidi kuufanyia marekebisho muundo wa baraza hilo kurekebisha idara ya elimu kuanzisha mfuko wa mufti kwa ajili ya kusomesha yatima na wajane pamoja na ujenzi wa ofisi za kisasa makao makuu ya baraza hilo ambao tayari umetekelezwa
bakwata iliyomilikishwa na serikali mali za iliyokuwa taasisi ya waislamu ya afrika mashariki (east africa muslim) mwaka 1968 ni moja ya taasisi za kidini nchini iliyopata bahati ya kumiliki mali na vitegauchumi vikubwa
habari hii imeandaliwa na shabani matutu aziza masoud na christina gauluhanga dar es salaam
previous articlekinana serikali irahisishe upatikanaji leseni wilayani
next articlewasaka urais ccm wapigana vikumbo mikoani
mkemia atoa ushahidi kesi ya shamim mwasha na mumewe | 2020-05-27T06:47:36 | http://mtanzania.co.tz/mufti-simba-afariki-dunia/ |
shibuda ccm imejaa wachumia tumbo | jamiiforums | the home of great thinkers
shibuda ccm imejaa wachumia tumbo
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mungi jan 2 2012
mbunge wa jimbo la maswa magharibi john shibuda (chadema) amesema chama cha mapinduzi (ccm) kimejaa viongozi ‘wachumia tumbo' ambao hawana muda tena wa kufanya kazi ya kutekeleza ahadi yao ya kuwatumia wananchi
akihutubia wananchi juzi kwenye viwanja vya kituo kikuu cha mabasi mjini hapa shibuda alisema kuwa ccm inaongozwa na wanyonyaji hivyo akamtaka mkuu wa mkoa wa shinyanga ali nassoro rufunga kuacha tabia ya kutumia madaraka yake kuwatisha wananchi hasa wanaoshabikia vyama vya upinzani
shibuda alisema tabia ya rufunga ya kuweka mbele suala la ‘ukada' wake wa ccm wakati wa kutimiza wajibu wake ni la hatari na kumtaka aelekeze fikra zake katika kuwatumikia wananchi wa mkoa wake sambamba na kuwaondolea kero zinazowakabili
alielezea kusikitishwa kwake na taarifa alizopewa na wananchi kwamba pamoja na rais jakaya kikwete kuwapelekea mkuu mpya wa mkoa badala ya yule aliyestaafu brigedia jenerali dk yohana balele lakini mkuu huyo mpya ameonesha dalili za wazi za kukitumikia zaidi ccm badala ya wananchi
shibuda aliongeza kuwa pamoja na kwamba wakuu wa mikoa ni wajumbe katika kamati za siasa za ccm lakini wanapaswa kuwajibika moja kwa moja kwa wananchi bila kuwabagua kwa itikadi za vyama vyao vya siasa na kwamba kinyume chake itakuwa ni uvunjaji wa katiba ya nchi na viapo walivyoapa
kutokana na hali hiyo shibuda alisema mkuu wa mkoa hapaswi kutoa vitisho vya aina yoyote kwa wafuasi wa vyama vya upinzani kwa vile anapaswa kuwatumikia wote kama watanzania na walipa kodi katika nchi hii
kwa kweli nimesikitishwa sana na taarifa kwamba mkuu wetu mpya wa mkoa amekuwa akijisifu kuwa yeye ni mmoja wa makada wazuri wa ccm lakini mimi naamini kufanya hivyo anakosea na kama ni kweli basi anavunja kiapo chake pale alipoapishwa na rais jakaya kikwete
sidhani kama anaielewa vema ccm kama ni kweli aliyasema hayo niliyoelezwa ni vizuri basi akaitisha mdahalo kati yake na mimi ili tuweze kukaa na kuizungumzia ccm kwa undani kuliko anavyofanya hivi sasa haielewi ccm kama mimi ninavyoielewa alisema kuongeza
leo hii ccm halisi haipo bali imebaki ccm ya wachumia matumbo si kwa ajili ya kuwatumika watanzania aandae mdahalo awakusanye na makada wengine wote kuanzia makatibu kata makatibu wa wilaya na kamati nzima ya siasa waje tuelezane tuwape nafasi wananchi waweze kuelewa ni yupi kati yangu na yeye anayeielewa vema ccm alijigamba
mbunge huyo alisema kuwa muda wa watanzania kutishwa hivi sasa haupo bali kinachotakiwa ni utekelezaji wa ahadi walizoahidiwa wakati wa kampeni za uchaguzi si vinginevyo
mbunge wa jimbo la maswa magharibi john shibuda (chadema) amesema chama cha mapinduzi (ccm) kimejaa viongozi wachumia tumbo ambao hawana muda tena wa kufanya kazi ya kutekeleza ahadi yao ya kuwatumia wananchi
shibuda alisema tabia ya rufunga ya kuweka mbele suala la ukada wake wa ccm wakati wa kutimiza wajibu wake ni la hatari na kumtaka aelekeze fikra zake katika kuwatumikia wananchi wa mkoa wake sambamba na kuwaondolea kero zinazowakabili
kwa kweli nimesikitishwa sana na taarifa kwamba mkuu wetu mpya wa mkoa amekuwa akijisifu kuwa yeye ni mmoja wa makada wazuri wa ccm lakini mimi naamini kufanya hivyo anakosea na kama ni kweli basi anavunja kiapo chake pale alipoapishwa na rais jakaya kikwete
sidhani kama anaielewa vema ccm kama ni kweli aliyasema hayo niliyoelezwa ni vizuri basi akaitisha mdahalo kati yake na mimi ili tuweze kukaa na kuizungumzia ccm kwa undani kuliko anavyofanya hivi sasa haielewi ccm kama mimi ninavyoielewa alisema kuongeza
leo hii ccm halisi haipo bali imebaki ccm ya wachumia matumbo si kwa ajili ya kuwatumika watanzania aandae mdahalo awakusanye na makada wengine wote kuanzia makatibu kata makatibu wa wilaya na kamati nzima ya siasa waje tuelezane tuwape nafasi wananchi waweze kuelewa ni yupi kati yangu na yeye anayeielewa vema ccm alijigamba
mbunge huyo alisema kuwa muda wa watanzania kutishwa hivi sasa haupo bali kinachotakiwa ni utekelezaji wa ahadi walizoahidiwa wakati wa kampeni za uchaguzi si vinginevyo source gazeti la tanzania daima 02/01/2012
hongera shibuda kwa kuweka mambo hadharani
huyu bwana hata huwa simwelewi anaamka au analala
shibuda alihamia chadema baada ya kumwagwa na ccm aliyokuwa akihubiri siku zote kuwa anaipenda na hata kugombea urais kwa tiketi ya ccm hakuna asiyejua kwamba alipokosa kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kwa ccm ndipo akaona tumbo lake litakosa chochote kitu na akaamua kwenda chadema yeye ndiye mchumia tumbo huyu
sijui lolote labda
shibuda huku chadema upo uhamishoni muda ukifika utarudishwa kwenu ccmhata hivyo hongera umeongea points kwa mara ya kwanza
poposiyo popokinyongasiyo kinyongayaani simwelewi kabisahivi shibuda ni mpinzani
pamoja na kutoeleweka kwake mara nyingiila kwa hili kasema real yuko sahihi kabisa mzee magale
shibuda anajua anachokifanya kumbukeni ni toka akiwa ccm leo hii anajipya gani sijui wanaomshangaa leo utakapofika utimilifu wa wakati tutajua
kweli mwaka mpya na mambo mapya ya muda
katika vita mbinu huwa hazifanani na maisha ni vita (tafakari) kwani maisha ni lazima yaendelee
kigeugeuclick to expand
ni kwelisijua anasimamia upande gani
huyu bwana si sisiemu huyu au naota ninachokiona hapa kahama lini tena toka ccm
huyu ni kigeugeu but kwa hili atakuwa kaona mweziameongea ukweli
walau hapa kaongea kiupinzani upinzani kuliko kauli zake za hapo awali
tapeli wa kisiasa
yule kasema kweli lakini kwanini iwe leolabda mwaka mpya na mambo mapya yawezekana kwenye payroll ya ccm wameikatisha
hii picha nzuri sana inafanana sana na shibuda | 2017-04-27T02:10:00 | https://www.jamiiforums.com/threads/shibuda-ccm-imejaa-wachumia-tumbo.208257/ |
tanzania results from #20
mzozo wa sukari nchini tanzania ni njama ya makusudi
4 sha'aban 1437 | jumatano 11 mei 2016
katikati mwa februari 2016 serikali ya tanzania ilitangaza rasmi kuwa haitaruhusu wafanyi biashara kuagiza sukari nchini isipokuwa wakiwa na leseni maalumu kutoka ikulu hatua hiyo ilichukuliwa kwa msingi wa kile kinachoitwa 'kuvilinda viwanda vya ndani vya sukari' | 2020-06-02T13:23:44 | http://hizb-ut-tahrir.info/sw/index.php/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari/tanzania.html?start=20 |
karibu mlima sayuniuwanja wa uwazi na ukweli kuhusu masuala yote ya kibiblia na ukristo tbn founder paul crouch dies at age 79 after chronic heart problems
posted by mtade at 517 am | 2017-08-21T21:38:58 | http://sayuni.blogspot.com/2013/12/tbn-founder-paul-crouch-dies-at-age-79.html |
rais dktjohn pombe magufuli katika hafla ya kumwapisha waziri mkuu | sunday shomari
home habari rais dktjohn pombe magufuli katika hafla ya kumwapisha waziri mkuu
previous articlemiss tanzania 201415 kukabidhiwa bendera ya taifa namkuu wa mkoa wa dar
next articlemazishi ya kamanda wa chadema mawazo bado kizungumkuti
droo ya kwanza ya ya jaza mafuta na ushinde kutoka gapco | 2018-01-19T21:33:46 | http://sundayshomari.com/rais-dkt-john-pombe-magufuli-katika-hafla-ya-kumwapisha-waziri-mkuu/ |
mwakiteleko aaagwa na idadi kubwa ya haijapata kutokea | jamiiforums | the home of great thinkers
mwakiteleko aaagwa na idadi kubwa ya haijapata kutokea
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by pascal mayalla jul 25 2011
mwili wa aliyekuwa mhariri mkuu wa gazeti la rai na mhariri mtendaji msaidizi wa new habari corporation limited danny mwakiteleko aliyefariki dunia juzi alfajiri katika taasisi ya mifupa muhimbili (moi) dar es salaam umeagwa rasmi leo nyumbani kwake tabata jijini dar es salaam na maelfu ya waombolezaji ikiwemo idadi kubwa ya waandishi wa habari kwa kiwango ambacho haijapata kutokea
takwimu za kiwango kikubwa ambacho hakijawahi kutokea kati ya misiba ya wanahabari niliobahatika kuihudhuria hivyo idadi hiyo ni kwa mujibu wangu niliyovyowashuhudia mimi binafsi na sio kwa utafiti takwimu wala hojaji bali ni massive press turn out turn out hiyo ni uthibitisho kuwa danny alikuwa mtu wa watu
turn out hiyo imehusisha kwanza wahariri toka vyombo vyote vya habari jijini waliovalia sare rasmi kundi kubwa la waandishi na watangazaji toka vyombo vyote vya habari jijini idadi kubwa ya maofisa habari toka wizara idara na mashirika mbalimbali pamoja na idadi kubwa ya waandishi wakongwe toka enzi za radio tanzania na magazeti yakiwa ni daily nuwes na uhuru pekee
idadi hiyo kubwa ya waandishi pia imejumuisha baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari na wakurugenzi wa mawasiliano mbalimbali wakiongozwa na mkurugenzi wa mawasiliano muhimu kuliko wengine wote
mwakiteleko anatarajiwa kuzikwa kesho kijijini kwao rugombo mwakaleli mkoani mbeya mwakiteleko ameacha mjane winifrida na watoto caro (13) na vanessa (11) mungu aipumzishe roho ya danny mwakiteleko mahala pema peponi apumzike kwa amani
picha kwa hisani ya globu ya jamii
wadau mbalimbali msibani
wahariri wakiwa tayari kutoa mwili wa marehemu
safari inaanza
[td]mbunge wa bumbuli mh january makamba akitoa heshima zake[/td]
[td]askari akiaga kijeshi[/td]
askari akiaga kijeshi
ankal na wapiganaji wakimuaga danny[table=class trcaptioncontainer align center]
[td=class trcaption]abdallah majura mkurugenzi mtendaji wa sports fm na hassan mhelela wa bbc[/td]
mkuu wa kurugenzi ya habari ikulu bw salva rweyemamu akiwa na wanahabari wenzie katika msiba wa danny mwakiteleko huko tabata chang'ombe jijini dar ambpoe baada ya heshima za mwisho mwili wake umesafirishwa leo kuelekea mwakaleli tukuyu kwa mazishi
wanahabari wakibadilishana mawazo
wabahabari wakiwa msibani umati wa wanahabari wanasiasa ndugu jamaa na marafiki msibani
mwenyekiti wa jukwaa la wahariri absolom kibanda akiongea na badra masoud wa tanesco na usiah mkoma wa un
wahariri waandamizi msibani
majonzi saluti kwa danny mwakiteleko toka kwa wafanyakazi na mkewe hospitali ya jeshi lugalo
wahariri wakiwa wamejipanga tayari kubeba mwili wa marehemu kuupeleka garini
marafiki wa karibu na marehemu angetilleh osiah msoud sanani nna juma pinto
wahariri wakisubiri muda
wadau toka kila nyanja walikuwepo msibani
mpiganaji athumani hamisi na wadau wengine wapo
[table=class trcaptioncontainer]
[td=class trcaption]waziri wa habari vijana utamaduni na michezo dkt emmanuel nchimbi akiongea na salva
wazee wa familia na viongozi wa dini wakiwa msibani
wadau msibani
mkuu wa wilaya ya kigoma mh john mongella akiongea na mkurugenzi mtewndaji wa new habari corporation bw bashe (kati) na bw john nchimbi msibani
majonzi na vilio vyatawala
eric shigongo na wadau wengine msibani
beka tall (shoto) na beka hendsam (kati) wakiwa na kaka john bwire
msafara unaanza
[td=class trcaption]mhariri mtendaji wa mtanzania bw deo balile (suti) akiwa na wapiganaji wenzie
jeneza latolewa nje
mke na watoto wa marehemu wakiaga
mpiganaji athumani hamisi akimuaga danny
mwenyekiti wa jukwaa la wahariri absolom kibanda akitoa heshima zake za mwisho
thanx pasco
tunawatakia safari njema na hatimaye kamanda apumzike kwa amani
nini hasa unataka ku address mtoa mada ndio watu wengi wamejitokeza so
mbona ameshajibu kwenye post yake
hii inaionyesha ni jinsi gani danny alikuwa mtu wa watu na mchapakazi hodari tutamkosa sana kwenye fani
nini hasa unataka ku address mtoa mada ndio watu wengi wamejitokeza somix with yoursclick to expand
kapwani please be an avarage human with just a little humility
ist post updated with photos | 2017-07-25T19:31:33 | https://www.jamiiforums.com/threads/mwakiteleko-aaagwa-na-idadi-kubwa-ya-haijapata-kutokea.158211/ |
wafadhili wa mcknight wanaweza kupata majibu ya haraka kwa maswali ya kawaida na mchakato wa maombi na utoaji taarifa wanaweza pia kufikia zana za mawasiliano na miongozo ya jinsi ya kushiriki habari za ruzuku ya hivi karibuni pia tunaunganisha na wafadhili wa habari wanaomba nafasi ya mkutano mcknight
shirika la mcknight foundation hivi karibuni lilitangaza mabadiliko kwa baadhi ya programu zake za utoaji wa ruzuku
ikiwa unatafuta habari juu ya mabadiliko haya na jinsi zinavyoweza kuathiri ruzuku yako tafadhali rejelea yetu tangazo la hivi karibuni na ukurasa wa rasilimali ya mabadiliko ya grantmaking
ruhusu application na reporting
shida la kuingia kwa akaunti
nina matatizo ya kuingia kwenye akaunti ya mtandao wa shirika ninafanya nini au ninaweza kuwasiliana nani
ikiwa umesahau nenosiri lako bofya umesahau nywila kwenye ukurasa wa kuingilia akaunti na ufuate papo
ikiwa unahitaji kuhamisha barua pepe ya akaunti yako bofya maswali kwenye ukurasa wa kuingilia ili kutuma barua pepe ukiomba mabadiliko kutoa jina la shirika lako login ya sasa ya akaunti ya barua pepe na barua pepe mpya
jinsi ya kuanza programu mpya
ninaanzaje programu mpya
kuanza programu mpya bofya weka maombi kwenye ukurasa unaofaa wa programu kwenye tovuti ya mcknight kwa mipango ya mwaliko pekee fuata kiungo kilichotolewa katika mwaliko wako wa barua pepe
kurudi kwenye programu iliyoendelea bado bofya ingia kutoka nyumbani kwa mcknight kupata akaunti yako
ufafanuzi usawa na uingizaji wa fomu ya watu
fomu ya habari ya usawa usawa na kuingizwa ni nini
soma hii chapisho la blogu kujifunza zaidi kuhusu kwa nini mcknight ni kukusanya data ya idadi ya watu kama sehemu ya mchakato wa maombi ya misaada
uhakikisho wa fomu ya habari ya dei inapatikana kwa wafadhili wanaotarajiwa kwa madhumuni yako ya kupanga tafadhali usijaze fomu hii ya pdf ya sampuli njia pekee ya kuwasilisha data ni kupitia mfumo wa programu ya mtandao kwa kuongeza tungependa kuelezea hili karatasi ya ncha kutoka umoja wa d5 kama uwezekano wa rasilimali moja kwa wale ambao wanaanza kufikiri juu ya mchakato wa ukusanyaji wa data ya idadi ya watu yetu tovuti inatoa rasilimali za ziada kwenye dei
tunaelewa kwamba si kila mtu atakayeweza kutoa taarifa hii mara moja na kuna chaguo kwa waombaji kutoa hali ya kazi yao tunawahimiza wafadhili kuanza kuongea ndani ya bodi zao na wafanyakazi kuhusu jinsi tofauti usawa na kuingizwa (dei) vinavyocheza katika shirika na jamii
kuthibitisha maombi ya maombi
ninawezaje kujua kama mcknight alipokea maombi yangu au anaandika
mfumo wa mtandao huzalisha moja kwa moja barua pepe kwa anwani ya mmiliki wa akaunti kila wakati programu au mahitaji yanahifadhiwa au imewasilishwa
ingia kwenye akaunti yako na uchague ama maombi au mahitaji tab chagua matumizi yaliyotumwa au mahitaji yaliyotumwa kutoka kwenye orodha ya kushuka orodha ya vitu vilivyowasilishwa itaonekana chini ya bar nyekundu
mahitaji ya taarifa
je ninawezaje kupata ripoti gani na lini
ingia kwenye akaunti yako na uchague kichupo cha mahitaji chagua ama mahitaji mipya au katika mahitaji ya maendeleo kutoka kwenye orodha ya kushuka orodha ya mahitaji ya wazi itaonekana chini ya bar nyekundu na tarehe (s) zinazofaa
jinsi ya pakia attachments
nina shida kupakia viambatisho vinavyohitajika je ninaweza tu kusajili viambatisho vyangu kwa mtu huko mcknight
kutoka ndani ya fomu ya maombi au mahitaji chagua maswali ili uongeze msaidizi wa programu / msimamizi na maswali ya msaada wa kiufundi usitumie vifungo vya barua pepe moja kwa moja kwa mtu yeyote katika mcknight vifungo vyote vya programu na mahitaji lazima ziwasilishwa kupitia mfumo wa mtandaoni
mwongozo wa mawasiliano
mcknight logo matumizi na mwongozo wa brand
naweza kupata nakala ya alama yako je ni bidhaa gani na miongozo ya mtindo wa rangi
unaweza pakua faili iliyosaidiwa zenye chaguo zote za sasa za alama za mcknight alama inapatikana katika rangi mbili (nyekundu na nyeusi) mwelekeo mawili (pana na wima) na aina tatu za faili (eps jpg na png) zaidi ya vigezo hivi hakuna tofauti katika kuonekana kwa alama au tiba inaruhusiwa
waumbaji wanaofanya kazi kwenye miradi ya mawasiliano ya mcknight wanapaswa kushauriana miongozo ya brand ya mcknight mwongozo unajumuisha miongozo muhimu na mahitaji kuhusiana na matumizi ya alama fonts palette ya rangi na mambo mengine ya utambulisho wa visual wa mcknight
lugha ya boilerplate
tungependa kuandika toleo la vyombo vya habari au taarifa kuhusu ruzuku yetu mpya tunawezaje kuelezea foundation ya mcknight
tafadhali kumbuka kwamba takwimu ya mali na utoaji wa fedha inatofautiana kidogo kila mwaka
misaada ya matangazo muda mchakato na ubia
je kuna miongozo au vikwazo juu ya jinsi tunaweza kushiriki habari za ruzuku yetu ya mcknight
ruzuku inapaswa kujisikia huru kushiriki habari za tuzo za ruzuku shughuli zinazoungwa mkono na ruzuku na matokeo ya programu na matokeo kugawana taarifa kuhusu shughuli zako zinazoweza kusaidia kuimarisha kuonekana kwa masuala muhimu kudumisha au kuongeza kasi nzuri na kuhamasisha matumizi mengi ya mazoea bora na masomo yaliyojifunza
kwa tangazo la kwanza la ufadhili sisi kwa ujumla tunaomba kwamba wafadhili wanasubiri hadi baada ya mcknight kusambaza matangazo yake mwenyewe ya ruzuku kuhusu mwezi mmoja baada ya kupitishwa kwa bodi sisi ni wazi kufanya tofauti ya busara wafadhili wanaotaka kutangaza mapema kwa lengo fulani la kimkakati wanapaswa kuwasiliana na mwanachama wa timu ya mawasiliano (612) 3334220 au mawasiliano@mcknightorg
zaidi ya hapo juu foundation haizuii jinsi au wafadhili watangaza fedha za mcknight wafadhili hawatakiwi kututangaza kama mfadhili ingawa tunadhani foundation ya mcknight itaorodheshwa kati ya wafadhili wengine wa sasa ikiwa inafaa ukurasa huu una viungo kwa alama yetu taarifa ya boilerplate na mwongozo wa viwango vya picha
mcknight hatarajii kuchunguza au kupitisha vyombo vya habari vya kujitegemea vya wafadhili au vifaa vya masoko kwa ombi la ruzuku hata hivyo tunaweza kuthibitisha uwakilishi sahihi wa mcknight au ruzuku katika vifaa vyako
kwa ushirikiano mkubwa unaoendelea au mikakati zaidi ya mawasiliano na vifaa tafadhali wasiliana na mcknight communications moja kwa moja mawasiliano@mcknightorg
jinsi tunavyoshirikisha habari kuhusu misaada
mcknight hushirikije habari kuhusu misaada iliyoidhinishwa kwa umma
kuhusu mwezi baada ya kibali kibali wafanyakazi wa mcknight watatuma barua pepe kila mtoa taarifa rasmi ya fedha zilizoidhinishwa barua hiyo itaelezea upeo wa kazi iliyofadhiliwa akibainisha vikwazo vyovyote na kutaja matarajio ya foundation kwa taarifa za baadaye na / au malipo ya ziada katika takribani wakati huo huo mcknight hutoa tangazo la ruzuku ambalo linatoa ruzuku chache na misaada yote inapatikana katika database ya ruzuku
kwa kila msaada habari zifuatazo zinatolewa
kiasi cha fedha zilizoidhinishwa
mwaka umeidhinishwa
maelezo ya mstari wa msaada wa ruzuku
eneo la mpango wa mcknight husika
anwani ya wavuti ya shirika ikiwa imetolewa na mchango
jinsi ya kukaa updated juu ya mcknight news
ninawezaje kukaa sasa juu ya habari na maendeleo katika mcknight
kama msaada shirika lako ni mpenzi muhimu na mwenye thamani kwa mcknight sisi mara kwa mara tunashiriki matangazo ya foundation ikiwa ni pamoja na maendeleo maalum ya shamba habari katika maeneo ya programu ufahamu kutoka kwa wafanyakazi wetu na maelezo kuhusu ripoti mpya za utafiti na fursa mpya
ili kufikia wewe tunaweza kutumia anwani yoyote ya barua pepe ambayo shirika lako hutoa kama sehemu ya mchakato wa maombi yako ya ruzuku ikiwa kuna mabadiliko kwa wafanyakazi husika tafadhali wasiliana na timu ya utawala wa misaada apply@mcknightorg wafanyakazi wa ziada au washirika wanaweza pia kujiandikisha kwenye tovuti yetu pata maandishi ya ehabari ya mcknight
tafadhali hakikisha kuongeza anwani zifuatazo kwenye orodha yako ya watumaji salama apply@mcknightorg na mawasiliano@mcknightorg
kwa kuongeza hakikisha kufuata yetu juu yetu twitter na facebook akaunti baada ya kufuata yetu kwenye facebook bofya angalia kwanza kwenye ukurasa wetu au usanie msingi wa mcknight katika upendeleo wako wa habari za kulisha ili kusaidia kuhakikisha kuwa machapisho yetu yamefikia kwenye habari zako
ikiwa bado haujapata habari za mcknight tafadhali sungia kwa orodha yetu ya barua pepe
nafasi ya mkutano
ni aina gani za nafasi za kukutana zinapatikana kwa matumizi
kuleta watu pamoja ili kuimarisha mahusiano na kukuza mawazo mapya ni muhimu kwa kuendeleza malengo yetu ya programu ikiwezekana tunafanya nafasi ya mkutano inapatikana kwa wafadhili na mashirika ya washirika maelezo kamili ya nafasi ya mkutano na ramani za chumba uwezo wa a / v na mipangilio maalum inapatikana hapa
naweza kuona orodha ya maswali yaliyoulizwa mara kwa mara kuhusu maombi ya nafasi ya mkutano
ili kusaidia na vikundi vinavyofanya maombi ya chumba tumekusanya majibu kwa maswali ya mara nyingi huulizwa wanaweza kutazamwa hapa
usaidizi wa kuingia
wafadhili wa sasa wanaweza kufikia akaunti yao hapa
hati hii inajumuisha viwango muhimu na mahitaji kuhusiana na matumizi ya alama fonts palette ya rangi na mambo mengine ya utambulisho wa visual wa mcknight
pakua mwongozo
pakua logos | 2020-01-23T21:15:16 | https://www.mcknight.org/sw/grants/for-grantees/ |
waziri mkuu azindua meli mbili zilizonunuliwa na serikali itungi kyela mkoani mbeya | thenkoromomatukio | 2017-08-22T07:05:44 | http://matukioyetu.blogspot.com/2017/07/waziri-mkuu-azindua-meli-mbili.html |
sera hii ya faragha hutoa jinsi livepast100wellcom inavyotumia na kulinda maelezo yoyote ambayo hutoa livepast100wellcom wakati unatumia tovuti hii
livepast100wellcom ni nia ya kuhakikisha kwamba faragha yako inalindwa je tunapaswa kukuomba kutoa maelezo fulani ambayo unaweza kutambuliwa wakati unatumia tovuti hii basi unaweza kuhakikishiwa kuwa itatumiwa tu kwa mujibu wa taarifa hii ya faragha
livepast100wellcom pia inajulikana kama habari za mawasiliano ya live live 100 standing llc inaweza kupatikana kwenye ukurasa kuwasiliana anwani yetu ya tovuti ni https//livepast100wellcom
livepast100wellcom inaweza kubadilika sera hii mara kwa mara kwa kuboresha ukurasa huu unapaswa kuangalia ukurasa huu mara kwa mara ili uhakikishe kuwa unafurahia na mabadiliko yoyote sera hii ni ya ufanisi na imesasishwa mwisho juni juni 22 2018
nini sisi kukusanya
tunaweza kukusanya taarifa zifuatazo
jina na kazi ya jina
mawasiliano ya habari ikiwa ni pamoja na anwani ya barua pepe
idadi ya watu habari kama vile postcode upendeleo na maslahi
taarifa nyingine muhimu kwa tafiti mteja na / au inatoa
mafunzo uliyojiandikisha
mafunzo majibu yako maoni faili
unapotununua kutoka kwetu tutakuomba kutoa habari ikiwa ni pamoja na jina lako anwani ya bili anwani ya usafirishaji anwani ya barua pepe namba ya simu kadi ya mkopo / maelezo ya malipo na maelezo ya akaunti ya hiari kama jina la mtumiaji na nenosiri tutatumia habari hii kwa
tuma habari kuhusu akaunti yako na utaratibu
jibu kwa maombi yako ikiwa ni pamoja na kurejeshwa na malalamiko
mchakato wa malipo na kuzuia udanganyifu
ikiwa ungependa kuunda akaunti tutahifadhi jina lako anwani barua pepe na namba ya simu ambayo itatumiwa kuzalisha checkout kwa maagizo ya baadaye
tutahifadhi maelezo ya utaratibu kwa wakati usio na kipimo kwa madhumuni ya kodi na uhasibu hii ni pamoja na jina lako anwani ya barua pepe na anwani za bili na usafirishaji
tutahifadhi pia maoni au ukaguzi ikiwa umechagua kuacha
nini cha kufanya na taarifa ya sisi kukusanya
sisi kuhitaji taarifa hii kuelewa mahitaji yako na kutoa huduma bora na hasa kwa sababu zifuatazo
rekodi ya ndani kushika
tunaweza kutumia habari kwa kuboresha bidhaa na huduma zetu
tunaweza mara kwa mara kutuma barua pepe ya kutangaza bidhaa mpya inatoa maalum au habari nyingine ambayo tunafikiri unaweza kupata kuvutia kwa kutumia anwani ya barua pepe ambayo una zinazotolewa
mara kwa mara tunaweza kutumia maelezo yako kuwasiliana na wewe kwa madhumuni ya utafiti wa soko tunaweza kukuwasiliana na barua pepe simu fax au barua tunaweza kutumia habari ili kuifanya tovuti yetu kulingana na maslahi yako
tunajihakikishia kuhakikisha kwamba taarifa yako ni salama ili kuzuia ufikiaji usioidhinishwa au ufunuo tumeweka taratibu zinazofaa za kimwili za elektroniki na usimamizi ili kulinda na kuhifadhi habari tunayokusanya kwenye mtandao
kamba isiyoonyeshwa iliyoundwa kutoka kwa anwani yako ya barua pepe (pia inaitwa hash) inaweza kutolewa kwenye huduma ya gravatar ili uone ikiwa unatumia sera ya faragha ya huduma ya gravatar inapatikana hapa https//automatticcom/privacy/ baada ya idhini ya maoni yako picha yako ya wasifu inaonekana kwa umma katika mazingira ya maoni yako
data ya kibinafsi inachukuliwa unapowasilisha fomu ya kuwasiliana kwenye tovuti hii takwimu zilizokamatwa kwa ujumla ni anwani ya ip jina na anwani ya barua pepe data iliyoshikwa inachukuliwa milele na inaweza kutumika kwa madhumuni ya masoko
jinsi sisi kutumia cookies
cookie ni faili ndogo ambayo huomba ruhusa kuwekwa kwenye gari ngumu ya kompyuta yako mara unakubaliana faili imeongezwa na kuki husaidia kuchambua trafiki ya wavuti au inakuwezesha kujua wakati unapotembelea tovuti fulani vidakuzi kuruhusu programu za wavuti kukujibu kama mtu binafsi programu ya wavuti inaweza kuendesha shughuli zake kwa mahitaji yako kupenda na kutopenda kwa kukusanya na kukumbuka habari kuhusu mapendekezo yako
tunatumia vidakuzi vya logi za trafiki ili kutambua kurasa zenye kutumiwa hii inatusaidia kuchambua data kuhusu trafiki ya ukurasa wa wavuti na kuboresha tovuti yetu ili kuifanya kwa mahitaji ya wateja tunatumia tu habari hii kwa madhumuni ya uchambuzi wa hesabu na kisha data huondolewa kwenye mfumo
kwa ujumla biskuti kutusaidia kutoa kwa tovuti bora na kuwezesha sisi kufuatilia ambayo kurasa wewe kupata manufaa na ambayo huna kuki hakuna njia inatupa upatikanaji wa kompyuta yako au taarifa yoyote kuhusu wewe zaidi ya data kuchagua kushiriki pamoja nasi
unaweza kuchagua kukubali au kukataa cookies mtandao wengi browsers moja kwa moja kukubali kuki lakini unaweza kawaida kurekebisha browser yako mazingira ya kushuka cookies ukitaka hii inaweza kuzuia kutoka kwa kuchukua faida kamili ya tovuti
tovuti hizi zinaweza kukusanya data kuhusu wewe kutumia vidakuzi kuingiza ziada ya kufuatilia tatu na kufuatilia ushirikiano wako na maudhui yaliyoingizwa ikiwa ni pamoja na kufuatilia mwingiliano wako na maudhui yaliyoingia ikiwa una akaunti na umeingia kwenye tovuti hiyo
viungo na tovuti nyingine
tovuti yetu inaweza kuwa na uhusiano na tovuti nyingine ya riba hata hivyo mara una kutumika viungo haya kuondoka tovuti yetu unapaswa kutambua kwamba hatuna udhibiti wowote juu ya tovuti nyingine kwa hiyo hatuwezi kuwajibika kwa ajili ya ulinzi na faragha ya habari yoyote ambayo wewe kutoa wakati maeneo ya kutembelea maeneo hayo na vile si serikali na kauli hii faragha unapaswa zoezi tahadhari na kuangalia taarifa ya faragha husika na tovuti katika swali
tovuti hii inatumia google analytics kufuatilia trafiki ya tovuti data iliyokusanywa inafanywa kwa njia ambayo wageni hawawezi kutambuliwa
nani kwenye timu yetu ina upatikanaji
wanachama wa timu yetu wanapata habari unazozotolewa watawala wote na wasimamizi wa duka wanaweza kufikia
toa taarifa kama kile kilichoguliwa wakati ilinunuliwa na
maelezo ya wateja kama jina lako anwani ya barua pepe na maelezo ya kulipa
kudhibiti taarifa yako binafsi
unaweza kuchagua kuzuia ukusanyaji au matumizi ya habari yako binafsi katika njia zifuatazo
wakati wewe ni aliuliza kujaza fomu katika tovuti kuangalia kwa sanduku kwamba unaweza bonyeza zinaonyesha kwamba hawataki habari kutumiwa na mtu yeyote kwa madhumuni ya moja kwa moja masoko
ikiwa umekubaliana hapo awali kwa kutumia maelezo yako ya kibinafsi kwa madhumuni ya uuzaji wa moja kwa moja unaweza kubadilisha akili yako wakati wowote kwa kuandika au kutuma barua pepe juu yetu mawasiliano ukurasa
sisi bila ya kuuza kusambaza au kukodisha taarifa yako binafsi tatu isipokuwa sisi na ruhusa yako au ni kwa mujibu wa sheria kufanya hivyo tunaweza kutumia taarifa yako binafsi kwa kutuma habari kuhusu uendelezaji wa tatu ambao tunadhani unaweza kupata kuvutia kama wewe kutuambia kwamba unataka hili kutokea
ikiwa ungependa nakala ya habari uliyopewa kwako tafadhali wasiliana nasi
ikiwa unaamini kwamba habari yoyote tunayokutegemea sio sahihi au haijafikiri tafadhali tuandikie au tutumie barua pepe haraka iwezekanavyo tutaweza kurekebisha mara moja maelezo yoyote ambayo yameonekana kuwa yasiyo sahihi | 2019-12-06T16:31:42 | https://livepast100well.com/sw/faragha-sera/ |
zanzibar ni kwetu rais dk shein safarini uingereza katika ziara maalum
rais dk shein safarini uingereza katika ziara maalum
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kushoto) alipokuwa akiagana na viongozi wakuu wa vikosi vya ulinzi zanzibar katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa abeid amani karume akiondoka nchini kuelekea uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu
[picha na ikulu] 06/07/201
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kushoto) alipokuwa akiagana na wazee wa chama cha mapinduzi ccm zanzibar katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa abeid amani karume akiondoka nchini kuelekea uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu
[picha na ikulu] 06/07/2018
mke wa rais wa zanzibar mama mwanamwema shein (kushoto) alipokuwa akiagana na wazee wa chama cha mapinduzi ccm zanzibar katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa abeid amani karume akiondoka nchini akiungana na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein kuelekea uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kushoto) alipokuwa akiagana na katibu mkuu kiongozi dktabdulhamid yahya mzee katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa abeid amani karume akiondoka nchini kuelekea uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kushoto) alipokuwa akiagana na mkuu wa mkoa wa mjini magharibi mheayoub mohamed mahmoud katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa abeid amani karume akiondoka nchini kuelekea uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu
viongozi mbali mbali wakimpungia mkono wakati rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa abeid amani karume akiondoka nchini kuelekea uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu | 2018-07-20T23:58:46 | https://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2018/07/rais-dk-shein-safarini-uingereza-katika.html |
kinshasa yasuta madai ya waasi wa m23
afrika kinshasa yasuta madai ya waasi wa m23 mara ya mwisho imepitiwa aprili 30 2013
msemaji wa serikali ya drc m lambert mende
serikali ya jamhuri ya kidemokrasi ya congo imekanusha madai kuwa imejiondoa kwenye mazungumzo ya amani ya kampala baina yake na kundi la waasi la m23 ikisema waasi ndiyo waliojiondoa kwenye mazungumzo hayo
msemaji wa serikali ya congo lambert mende ameiambia sauti ya amerika kuwa mazungumzo hayo hayaendelei vyema kwa sababu waasi hao wanadai mambo yasiyowezekana
mende alikuwa anajibu madai yaliyotolewa jumapili na kiongozi wa m23 betrand bisimwa kiongozi huyo aliiambia sauti ya amerika kwamba serikali haionyeshi nia ya kuendelea na mazungumzo ya kampala na kwamba maafisa wake katika ujumbe wa kampala wamerejea kinshasa alisisitiza kuwa waasi wa m23 ndiyo waliojiondoa kwenye majadiliano na kwamba wajumbe wa serikali wangali kampala
mwandishi wa idhaa ya kiswahili ya sauti ya amerika austere malivika anasema baadhi ya wajumbe wa serikali wangali kampala na kiongozi wa ujumbe huo waziri wa mambo ya nje raymond tshibanda alikutana na mpatanishi wa mazungumzo hayo kutoka uganda siku mbili zilizopita baada ya kupitia kampala akielekea addis ababa kutoka kinshasa
m23 hawajakanusha kuwa walikuwa na wajumbe wawili tu kwenye mazungumzo ya kampala mwishoni mwa wiki wajumbe hao wamekutana mara mbili tu mwezi huu lakini mkutano huo sio wa moja kwa moja bali kupitia kwa mpatanishi wa uganda
pande zote mbili zaonekana kutofautiana sana juu ya maswala nyeti bisimwa alisema jumamosi ikiwa serikali haipo tayari kuwasamehe wapiganaji wa m23 ina maana kuwa haitaki amani na kwamba ikiwa serikali ya kinshasa haitaki kuwajumwisha wapiganaji wa kundi hilo katika jeshi la kitaifa hilo pia litakuwa tatizo kuu
mende alisema serikali ipo tayari kutoa msamaha kwa wapiganaji na kujumwisha wapiganaji wa vyeo vya chini katika jeshi lakini sio makamanda wa kundi hilo alisema kinshasa haiwezi kutoka msamaha wa jumla kwa kundi zima la m23 kwa sababu linajumwisha wahalifu wa kivita na wengine waliofanya ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu | 2017-04-28T13:54:39 | http://www.voaswahili.com/a/kinshasa-yapinga-madai-ya-waasi-wa-m23/1651444.html |
jicho langu maumivu ya jino unaandikiwa kupima malaria
jicho halikwenda kwenye zahanati hiyo ya serikali kwa ajili ya kuvinjari la hasha bali ni kwa sababu ya kuuguliwa lilinasa mambo mengi nikakumbuka wimbo uliopigwa na kundi la muziki wa bongo fleva la wagosi wa kaya
wimbo huo si mwingine bali wa wauguzi ngoja nikumegee mistari kadhaa ya wimbo huo baada ya hapo nitakueleza ni kwa nini nilikumbuka wimbo huo wauguzi wauguzi madaktari na manesi wauguzi taratibu jamani haya tutaonana wabaya haya
ninyi wauguzi wa afya ni watu wa muhimu kwa jamii tatizo baadhi yenu mna kiburi kazini inabidi mfundishwe ukarimu moyoni hamkufundishwa mtukane wagonjwa matusi ya nguoni
naanza na manesi nyie manesi mna nyodo mnataka mgonjwa awanyenyekee kama watoto kaeni mkijua kazi ya nesi ni kama wito maisha ni magumu bwana ndiyo maana mmekimbilia unesi
haikatazi kazi kidogo muwe na interest (maslahi) sindano mnatushindilia mpaka zinaparalaizi mguu hili swali naiuliza wizara ya afya naomba mnijibu mapema kabla hata sijafa kodi zinazolipwa hospitali zinafanya kazi gani hakuna mafeni watu wanajipepea magazeti
haiwezekani bwana huduma tunazichangia mbona hazijainuka sometimes (wakati mwingine) madaktari hawaonekani akija kuonekana pombe imejaa kichwani badala ya panadol atakuandikia sasa unatazama huyu daktari gani
ngoja nisaidie kuongeza mistari mingine ambayo jicho langu lilibaini kwenye zahanati hiyo ya serikali limebaini utekelezaji wa sera ya afya juu ya utoaji huduma bure kwa mtoto mwenye umri wa chini ya miaka mitano umebaki kwenye karatasi
huduma ya bure inayopatikana ni kusikilizwa na daktari tena wakati mwingine mgonjwa anasikilizwa na daktari mwenye kisirani asiye na upendo wala imani ukishaandikiwa kufanyiwa vipimo na majibu yakatoka sana sana dawa utakayopata bure ni panadol
hizo nyingine utaambiwa kajitegemee kwa kununua kwenye maduka ya dawa siyo mara ya kwanza kwa jicho langu kushuhudia hali hii hakuna dawa umegeuka wimbo usiokuwa na mwisho kwenye zahanati nyingi tena ndani ya jiji la dar es salaam
pamoja na watoto kuwekwa kwenye kundi la wanaopata tiba bure inapofika suala la dawa tofauti na panadol jibu ni nenda kanunue kwenye duka la dawa jibu hili huwakumba pia wanaotibiwa kwa bima
suala la kujiuliza mgawo wa dawa na vifaa tiba hutolewa wakati gani kama kila anayekwenda kwenye zahanati za serikali huambiwa hakuna dawa isipokuwa panadol
au dawa zinazopofikishwa kwenye zahanati ndio hugeuzwa biashara kwa watu kwenye maduka ya dawa hakika wagosi wa kaya wako sahihi kuhoji juu ya kodi tunazochangia kwa kusema haiwezekani bwana huduma tunazichangia mbona hazijainuka
licha ya ukosefu wa dawa hoja ya wagosi wa kaya juu ya aina ya madaktari pia ina mashiko wapo madaktari na wauguzi ambao hawana wito isipokuwa wanafanya kazi hiyo ili mradi tonge liende kinywani
wengine hata kwa mwonekano wao wanajibainisha kuwa walipotea njia kuingia kwenye taaluma hiyo mfano ni daktari ambaye jicho langu lilimuangaza nilipokwenda kwenye zahanati hiyo kupata huduma
sitakosea kumhukumu kwamba hakupaswa kufanya kazi hiyo bali angepewa kazi nyingine hususani ya kuuza sura daktari gani tena mwanaume anayetumia mkorogo
ana umri wa makamo lakini amejichubua ngozi ni mweupe pee kasoro maeneo sugu kama viwiko na vidole ndivyo vinamsaliti na kutambulisha kwamba ana weupe wa kununua
nilipomuona nikakumbuka namna ambavyo wataalamu wa masuala ya afya ikiwemo mamlaka ya chakula na dawa (tfda) wamekuwa wakisisitiza jamii kuachana na matumizi ya kemikali kubadili ngozi
nikajiuliza je huyu daktari imemtokea kwa bahati mbaya au ni kwa makusudi jibu analo mwenyewe lakini ukweli ubaki kwamba daktari huyu hana ubavu wa kushauri mtu juu ya afya ya ngozi hususani aliyeathirika kwa kujichubua
ukiacha suala hilo la kujichubua ambalo ni lake binafsi kwenye huduma daktari huyo pia haoneshi kabisa kama ana wito na kazi hiyo ukifika tu mlangoni kabla hata ya kukaa unapokewa kwa kuulizwa tatizo
kabla hujaongea tayari ameshakuandikia vipimo vya malaria na haja ndogo usishangae una maumivu ya jino ukaandikiwa kupima malaria daktari akishaandika vipimo huna nafasi tena ya kuelezea historia ya ugonjwa
huyu ndiye daktari aliyepewa dhamana ya kusikiliza na kutoa tiba sahihi kwa mgonjwa kwake saikolojia ya mgonjwa kaiweka kando badala yake anatoa huduma kiafande
kinachosikitisha ni kwamba jamii imechukulia kero hizo kwenye zahanati vituo na hata hospitali za umma kuwa ni sehemu ya maisha yao wamekubali kupatiwa huduma katika mazingira hayo magumu hakika hii ni hatari kwa sekta nyeti kama hii ya afya
twessige@yahoocom | 2020-07-08T23:01:20 | https://habarileo.co.tz/habari/jicho-langu-maumivu-ya-jino-unaandikiwa-kupima-malaria.aspx |
strawberry marshal maelezo ya agrotechnology mbalimbali na kilimo jordgubbar
strawberry marshal ni moja ya aina na matunda makubwa
wapanda bustani wengi wanapendelea aina hizo za kuzaliana kwani inawezekana kuvuna zaidi na kwa urahisi zaidi kutoka kwenye kichaka kimoja kuliko kucheza na berries ndogo kwenye vichaka kadhaa
historia ya aina ya jordgubbar kuzaliana marshal
tofauti marshal matokeo ya kazi ya breeder marshall huella mwanasayansi alileta jordgubbar zinazofaa kwa kulima kaskazini mashariki mwa massachusetts ambako alifanya kazi strawberry marshal ililetwa kwa umma mwaka 1890 na haraka ikapata umaarufu kama aina ya baridikali yenye utendaji mzuri wa matunda
mwishoni mwa vita kuu ya pili jordgubbar ilishinda masoko ya ulaya na japan
maelezo ya aina ya marshal
strawberry marshall ina misitu kubwa ya misitu safu sahani kubwa rangi ya kijani mabua yenye nguvu na sawa aina mbalimbali ni za kipekee katika suala la kukabiliana na hali ya kukua baridiimara na hupunguza joto vizuri ni mwishoni mwishoni huzaa matunda kwa muda mrefu na huzaa sana
vitambaa vya rangi nyekundu na uso wenye shina vina ladha tamu na harufu nzuri strawberry marshal hana ndani ya vidonda mchuzi wake ni juicy kidogo huru unene wa matunda ni hadi gramu 90
kutokana na wiani wa kawaida wa matunda aina hiyo haiwezi kusafirishwa sana inapaswa kuwa makini sana wakati wa usafiri matunda mengi yanaonekana katika mwaka wa kwanza wa maisha ya mmea kisha mavuno hupungua kidogo lakini sio wazi
strawberry marshal katika maelezo ya aina ni kutambuliwa kama berry zima ni sawa na yanafaa kwa ajili ya matumizi safi kwa uhifadhi mbalimbali kufungia na matibabu ya joto kwa safu
je unajua berry tu katika asili mbegu zake ziko nje hii ni jordgubbar katika ulimwengu wa mimea mbegu hizi huitwa karanga kwa mtiririko huo jordgubbar mashimo mengi
kwa jordgubbar ya marshall unapaswa kuchagua maeneo ambayo yanapangwa vizuri na jua na ardhi inapaswa kuwa yenye friable iliyojaa udongo ni bora kuchagua virutubisho na upungufu mzuri wa unyevu ngazi ya chini ya ardhi haipaswi kuzidi 1 m
ni muhimu haipendekezi kupanda mimea ya jordgubbar kwenye mteremko wa upande wa kusini wa njama ambapo theluji inakauka haraka sana ikicheza mmea na kuidhirisha kufungia
kabla ya kupanda jordgubbar ni muhimu kuandaa njama na miche ambayo inahitajika kwa maendeleo mazuri ya mazao ulinzi wake kutokana na magonjwa na kama matokeo mavuno mazuri
kabla ya utaratibu wa kupanda kuchimba udongo kinafanyika katika eneo lililochaguliwa kulingana na muundo wa udongo hufanya kiasi cha humus na mchanga kwa mfano juu ya udongo wa peat kilo 6 cha humus na kilo 10 cha mchanga kwa kila mraba 1 zinahitajika juu ya udongo wa udongo kilo 10 cha humus kilo 12 cha mchanga na kilo 5 cha machujio yaliyooza
maandalizi ya miche yamepunguzwa ili kuzuia maambukizi ya mfumo wa mizizi mizizi ya mmea mdogo huingizwa katika suluhisho la permanganate ya potasiamu (mwanga mwembamba) kwa dakika tano hadi saba kisha kuosha kwa maji safi
sawa ya kupanda miche strawberry marshal
kwa jordgubbar marshall spring mapema ni wakati mzuri wa kupanda wakati wa kupanda katika vuli mavuno yanaweza kushuka kwa kiasi kikubwa ikiwa hata hivyo utaratibu ulifanyika wakati wa kuanguka basi inapaswa kupandwa siku za baadaye kuliko siku kumi na nne kabla ya kuanza kwa baridi kali
wakati wa kupanda kutokana na uwezo wa vichaka kukua kwa nguvu wao hupandwa kwa njia ya kutetemeka na kuacha umbali wa angalau 25 cm katika siku zijazo misitu ya watu wazima haitaingiliana na mifumo yao ya mizizi itasambazwa kwa uhuru
teknolojia ya kilimo ya jordgubbar kukua marshal
kuangalia jordgubbar marshal huanza muda mrefu kabla ya kupanda hasa na kwa uchaguzi wa watangulizi wa haki hizi ni karoti vitunguu vitunguu parsley na bizari strawberry inakua vizuri baada ya mchicha mboga radishes na celery
si matunda mabaya baada ya mimea ya maua tulips marigolds daffodils ikiwa njama ni udongo mbaya inapaswa kupandwa utamaduni badala ya kampuni ya haradali na phacelia
ni muhimu huwezi kupanda jordgubbar baada ya nyanya eggplants pilipili (tamu) viazi na matango
strawberry marshal ni sugu kwa magonjwa lakini maadhimisho ya mzunguko wa mimea yatasaidia kinga ya mimea na kuruhusu kuendeleza na kuzaa matunda
jordgubbar wanahitaji kumwagilia kutoka siku za kwanza za mei yaani wakati wa ukuaji wao wa kazi kumwagilia ni muhimu mara kwa mara hadi mavuno utaratibu huu unafanywa asubuhi au jioni ili matone ya unyevunyevu kwenye majani kuenea katika jua kali wala kuchoma tishu za mimea
nchi karibu na vichaka inapaswa kuwa huru kila wakati kama mizizi inahitaji oksijeni na unyevu juu ya udongo udongo uliojaa matunda itakuwa duni au sio kabisa
ikiwa ni wakati wa mboga za jordgubbar ni bora kutumia mbolea za kikaboni kwa kuwa mazao haya ni maridadi sana na sio kubadili na kipimo cha madini ya mimea mmea unaweza kuchomwa
uizalishe kwa vifaa vya kikaboni kama vile slurry infusion ya mbolea ya kuku infusion ya magugu nettle ash ash jordgubbar inapaswa kulishwa wakati wa kukua maua na malezi ya matunda
je unajua katika jiji la nemi (italia) tamasha iliyotolewa kwa jordgubbar hufanyika kila mwaka bakuli kubwa katika mfumo wa bakuli ni kujazwa na jordgubbar na kumwaga champagne wageni wote wa likizo na wanaopita tu wanaweza kujaribu hii kutibu
strawberry marshal daima imekuwa inayojulikana na mazao yake kutoka kwenye kichaka kimoja kawaida hukusanya hadi kilo moja na nusu ya berries wanaibuka mapema mwezi juni inashangaza kwamba katika latitudes yenye hali ya hewa kali na ya joto mazao mawili na matatu yanaweza kuvuna
matunda ya aina hii ni kubwa na ya kitamu na rangi ya sukari ya mchanganyiko bila voids ni muhimu kukusanya mazao katika hali ya hewa kavu mchana berry ya mvua haitashifadhiwa na asubuhi mara nyingi kuna umande kwenye matunda matunda ya marshal ni ya wiani wa wastani hivyo wakati wa kusafirisha ni muhimu kutunza urahisi wa mavuno
strawberry ni matunda ya jua na ya afya yanayoinua na aina moja ya berries yake nyekundu nyekundu ni muhimu safi juisi yake ni kitamu wakati waliohifadhiwa jordgubbar huhifadhi mali zao zote na matunda yanaweza kuhifadhiwa kavu au kuhifadhiwa kama matunda yaliyopendezwa | 2019-09-18T15:44:18 | https://sw.lezgka.ru/1844-characteristic-strawberry-marshal-planting-and-care.html |
uncategorized page 72 dizzimonline
rais dkt john magufuli afanya uteuzi mdogo wa mawaziriampiga chini nape nnauye
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli amefanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri na kumteua waziri mpya wa habari na michezo katika mabadiliko hayo mhe rais magufuli amemteua prof palamagamba aidan john mwaluko kabudi kuwa read more »
azam fc wakiri kufanyiwa figisu figisuwaweka wazi kilichowakumba swaziland
klabu ya azam fc imesema wanasubiri ripoti ya kamishana wa mchezo wao wa marudiano wa kombe la shirikisho afrika dhidi ya mbabane swallows juu ya vurugu zilizotokea katika mchezo huo uliopigwa machi 19 uwanja wa taifa wa somhlolo nchini read more »
msanii wa kizazi kipya 'shilole' anayetamba na wimbo wake wa 'hatutoi kiki' amefunguka kuwa hapendi kuzungumza lugha ya kiingereza pasipo sababu kwakuwa ametumia gharama kuilipia lugha hiyo na hivyo hakuna wa kumpangia kuizungumza akiongea east africa radio kwenye kipindi cha read more »
madee akumbuka shuka kumeshakucha wanafungwa kwakusingiziwa kesi
kutokana na mfululizo wa matukio yanavyoendelea hapa nchini hususani kwenye sakata la vyombo vya habari na rc makonda huenda ikawa ni chanzo cha rais wa manzese rapa madee kupata funzo la kuamini kuwa kuna watu wanaofungwa kwa kesi za read more »
msanii wa hip hop kutoka tanzania tammy the baddest amemuunga mkono diamond platnumz kwa kufungua mtandao wake wa wasafi dot com kama jitihada za kuukomboa muziki wetu wa bongo fleva akiongea na dizzimonline tammy amesema kuwa anaheshimu kitu ambacho diamond read more »
manchester united uso kwa uso na manchester city
klabu kubwa za uingereza manchester city na man city watakutana na manchester united kwenye mechi ya kirafiki ya kujiandaa kwa msimu mpya nchini marekani tarehe 20 julai ingawaje uwanja utakaochezewa mechi hiyo bado haujatajwa mechi hiyo derby ya kwanza ya read more »
msanii wa muziki wa bongo fleva snura mushi amefunguka kuwa licha ya uanamuziki wake kamwe hawezi kuwaruhusu wanawe wawe wanamuziki kwani havutiwi na changamoto zilizomo snura akiwa na watoto wake snura ambaye ana watoto wawili amesema matarajio yake ni kuona watoto read more »
hakuna mtu yeyote mpenda burudani ambae atasita kununua album ya diamond platnumz ambayo hata ya yeye mwenyewe amesema itakuwa ni moto wa kuotea mbali na tayari mamilioni ya watu wanaisubiri kwa hamu kupitia ukurasa wake wa instagram diamond platnumz ameanza read more »
weusi wasaini dili nono la mamilioni na airtel
ni faraja kubwa sana kuona makampuni makubwa ya kibiashara yanawekeza kwa kutoa mashavu kwa wasanii wetu wa tanzania kwani tumeona dili kibao kwa wasanii wazawa zikimiminika na awamu hii ni zamu ya weusi kampuni weusi jana kupitia ukurasa wa read more »
yanga ipo mbioni kumnasa kiungo huyu machachari wa mbeya city
klabu ya yanga yapiga hodi mbeya city kwa kutaka kumsajili kiungo wao machachali ambae mkataba wake utafikia tamati mwishoni mwa msimu kama hatasaini na klabu hiyo kutoka jijini mbeya kiongozi mmoja mwenye ushawishi mkubwa ndani ya klabu ya yanga amethibitisha read more »
drakes new album has set a record for the best first day on spotify edging out ed sheeran who held the title for a mere two weeks the toronto hiphop star on saturday dropped more life a 22song collection that read more »
ukimuuliza swali rapa wakazi kati ya wanawake wa bongo na wanawake wa kenya ni wepi wanaongoza kuwa na mapenzi ya dhati na muziki wa hip hop basi jibu lake bila shaka yoyote itakuwa ni warembo wa kenya wakazi kupitia ukurasa read more » | 2018-07-21T17:22:54 | http://dizzimonline.com/category/uncategorized/page/72/ |
mashahidi wa yehova | orodha ya mawasiliano kuhusu mambo ya kisheria katika saint martin | jworg habari za kisheria | 2018-04-21T04:16:10 | https://www.jw.org/sw/habari/kisheria/taarifa-kwa-ajili-ya-wanasheria/idara-sheria/saint-martin/ |
maisha michael owen nje kwa msimu mzima
michael owen nje kwa msimu mzima
mshambulizi wa klabu ya soka ya manchester united ya uingereza michael owen akiwa na matatizo ya misuli ya paja tangu mechi ya ushindi wa magoli 21 ya kombe la carling dhidi ya aston villa hataweza kucheza tena msimu huu
mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga bao la kusawazisha katika mechi hiyo ya wembley lakini alipatwa na matatizo ya misuli alipokuwa akiukimbilia mpira katika kipindi cha kwanza kujeruhiwa kwa owen kumempotezea matumaini yote ya kushirikishwa katika timu ya england
meneja wa manchester united sir alex ferguson amesema kwamba kinyume na walivyofikiria hapo awali hali ya owen ni mbaya zaidi na kwa kiasi fulani alisema huenda hayo yalitokana na uwanja wa wembley owen ambaye ana mwaka mmoja uliosalia katika mkataba wake wa miaka miwili na man u awali alitazamiwa kupumzika kwa wiki chache tu atafanyiwa upasuaji jumatatu
posted by ismado at 500 pm | 2018-06-20T17:20:28 | http://maishani.blogspot.com/2010/03/michael-owen-nje-kwa-msimu-mzima.html |
mnyanya wikipedia kamusi elezo huru
(elekezwa kutoka nyanya)
minyanya
oda solanales (mimea kama mnavu)
familia solanaceae (mimea iliyo na mnasaba na mnavu)
jenasi solanum
spishi s lycopersicum
mnyanya (solanum lycopersicum) ni mmea wa familia solanaceae ambao daima hutambaa na ambao hukuzwa kwa makusudi ya kutumiwa na watu matunda yake yanaitwa nyanya kwa aina nyingi sana nyanya huwa na rangi nyekundu pindi inapoiva nyingine zina rangi ya manjano au machungwa mnyanya huwa na urefu wa mita 13 na huwa na shina laini ambalo mara nyingi hujibebelesha kwenye mmea mwingine majani huwa na urefu wa sentimeta 125 na petali 59 majani ya shina la nyanya huwa na vinyweleo maua huwa na upana was m 12 rangi ya manjano na majani matano na huvunwa kwa mwaka mmoja
11 uingereza
asili ya mnyanya ni amerika ya kusini na historia huonesha kuwa mimea hii ilianzia huko peru mimea hiyo ya mwanzo ndiyo imekuja kuwa na aina hizi tulizonazo leo za nyanya spishi moja ilisafishwa mpaka meksiko kwa ajili ya matumizi ya binadamu ushahidi unaonyesha kuwa hapo awali ulikuwa tunda dogo lenye rangi ya njano
neno la kiingereza tomato lenye maana ya nyanya limetoka ana nsha ya manati lomatl mtaalamu wa mmea wa kifaransa joseph pitton de tournefort alitoa jina la kisayansi lycopersion esculum kwa nyanya na wakati huo nyanya ilifikiriwa kuwa ina sumu ndiyo maana ilipewa jina la mito lenye maana ya tunda la mbwa mwitu watu wa acret na wengine wanaanza kutumia nyanya kwenye mapishi yao wakti huo ikilimwa huko peru mnamo mwaka 500kk baadaye nyanya zilizobadilika na kuwa laini kubwa kutoka kwenye mboga laini na kuanza kushamiri huko amerika ya mwanzo huaminika hii ndiyo asili ya nyanya tunazotumia sasa
kulingana na andrew smith aliyeandika kitabu cha the tomato in america nyanya zilianza sehemu za miinuko ya magharibi ya kusini mwa amerika hata hivyo anasema hakuna ushahidi wa kuonesha kuwa nyanya zilikuwepo na hata kuliwa huko peru kabla ya wahispania hawajavamia nyanya huko hispania baada ya utawala wa wahispania huko amerika wahispania walisambaza nyanya kwenye makoloni yake yote mpaka kusini mwa asia na baadaye asia yote wahispania walipeleka nyanya ulaya pia nyanya zilikuwa nzuri sana huko mbarka wa mediteranean na kilimo chake kilianza rasmi mnamo 1540 nyanya zilianza kuliwa rasmi na huko hispania mnamo 1600 mwaka 1692 kilipatikana kitabu kinachoaminika kuwa kilichapishwa huko naples kilichokuwa kikielezea mapishi yaliyohusika nyanya kama kiungo
nyanya zilikuwa hazizalishwi huko uingereza mpaka 1590 kulingana na smith miongoni kati ya wakulima wa mwanzo alikuwa ni john geral daktarikinyozi kitotou geraldss iteneal kilichochapishwa mapema 1597 kilizua mjadala wa kwanza kuhusu nyanya huko uingereza gereld alijua kuwa nyanya zinaliwa huko hispania na italia lakini aliamini majani yake yana sumu na tunda lake (nyanya) ni salama na hadi kufikia miaka ya 1200 watu wengi walikuwa tayari wanakula sana nyanya
afrika ya kati[hariri | hariri chanzo]
nyanya ziliingia katika kilimo cha mashariki ya kati kupitia john barker mnamo 17991825 mnamo karni ya 19 matumizi yake makubwa yalikuwa bado ni kama kiungo na ndio iliyokuwa pekee ikitumika katika maeneo yale nyanya ziliingia mashariki ya kati kutumia njia mbili njia ya kwanza ni kupitia uturuki na armenia na njia ya pili ni kupitia familia ya mfalmw ya qajar iliyokuwa mara kadhaa ikisafiri kuelekea ufaransa
utambuzi wa kwanza wa nyanya huko amerika uliripotiwa na william salmon mnamo 1710 aliyesoma nyanya zilikuwa huko ambako leo kunajulikana kama south carolina inawezekana zikawa zimeletwa kutoka karibea na mpaka sasa watu kadhaa kuona nyanya kama kuwa zina sumu na ni hatari kula na hutumika sana kama mmea na mapamo zaidi
nyanya nyekundu
nyanya mzima na iliyokatwa
nyanya aina ya cheri (matungule)
matungule ya rangi mbalimbali
matungule njano yenye umbo la pea
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mnyanya&oldid=1018925
mnavu na jamaa
mimea ya mazao
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 17 novemba 2017 saa 1933 | 2019-12-10T03:12:53 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Nyanya |
kampeni za udiwani songea hebu cheki jinsi abwao alivyofunika | jamiiforums | the home of great thinkers
kampeni za udiwani songea hebu cheki jinsi abwao alivyofunika
discussion in 'jukwaa la siasa' started by dullo mar 23 2012
mwenyekiti wa chadema wilaya ya songea peter mboya akiwasalimia wananchi wa kata ya lizaboni wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya sokoni wa kumsaka diwani wa kata hiyo ambapo chama hicho kimemsimamisha alanus mlongo
mwenyekiti wa jimbo la songea ambaye ni diwani wa kata ya majengo idd abdalah akizungumza kwenye mkutano huo
mwenyekiti wa chadema mkoa wa ruvuma joseph fuime akinada sera za chama hicho kwenye kampeni za uchaguzi zinazoendelea kata ya lizaboni
kutoka kulia ni mwenyekiti wa chadema wilaya ya songea peter mboya mgombea wa udiwani wa kata ya lizaboni alanus mlongo mbunge wa vitimaalum na mjumbe wa kamati kuu ya chadema chiku abwalo katibu wa chadema mkoa wa ruvuma dorphini ghazia wakimsikiliza kwa umakini mwenyekiti wa chadema mkoa wa ruvuma joseph fuime hayupo pichani wakati wa mkutano wa kampeni zinazoendelea kwenye kata ya lizaboni
wananchi wakisikiliza viongozi wakati wa mkutano wa kampeni wa chadema kata ya lizaboni uliofanyika kwenye viwanja vya sokoni
mbunge wa vitimaalum na mjumbe wa kamati kuu ya chadema taifa chiku abwalo akiwahutubia wananchi wa kata ya lizaboni waliofika kwenye viwanja vya sokoni kusikiliza mkutano huo
picha zote kwa hisani ya stephano mango songea
shida hawana vitambulisho vya kupiga kurahii ndio shida peekee
moto huu wa cdm wa kuuzima kwa hapa tza hayupo aliyesema cdm ni chama cha msimu nadhani jibu analipata sasa
big up mama yetu mhe chiku abwao salam za ukombozi toka chadema zifike kwa kila mwananchi katika kila kijiji kote bara na visiwani
hakuna kulala mpaka ukombozi toka kwa mafisadi upatikane vijana wenzetu hapo songea pamoja na bavicha kazi iendelee tena kwa ushirikiano mkubwa ajabu mpaka mafisadi waduwazwe
unanikumbusha kale kawimbo kanako imba pole samaki pole peopleeeeesssssssssssssss
cuf wameweka mgombea
plan ahead to get aheadmkuu 2015 wote watakuwa navyotusikatishwe tamaa na matokeo ya hizi chaguzi za sasa hivielimu ya uraia ni muhimu sana kwa sasa pengine kuliko kutwaa jimbo au kata kwa kipindi hiki
hii inatia moyo taratibu tunakaribia kwenye ukombozi wa kweli wa nchi hii
tweve said ↑
tatizo huu moto wa chadema ni kama wa karatatasi unaowaka kwa kasi na baada ya muda mfupi unazimika hii ina maana kuna mwamko mkubwa wa watu kwenda kuwasikiliza viongozi mbalimbali wa chadema wanapohutubia kwenye majukwaa na wanasisimka kwelikweli wanaposikia maneno matamu ya wapiga kampeni lakini inapofika wakati wa kupiga kura wanakuwa wameshapoa na hata hamu ya kwenda kupiga kura zenyewe inakuwa haipo upande wa ccm ina wapiga kura ambao wala hawaendi kwenye mikutano ya kampeni lakini siku ya kupiga kura wanakuwa wa kwanza vituoni kwa ajili ya kupiga kura kwa mtu aliyeteuliwa na chama chao kuwa mgombea yaani wapiga kura wa ccm wanapigia kura chama kwa mazoea na hawahitaji kusisimuliwa kwa hotuba zilizojaa maneno matamu matamu ni mtazamo wangu tu
uchokozi huu
hao wanaoukataa ukweli watabaki hivyo hivyo tu maana kama mtu anabisha hata ushahidi wa picha basi ni hatari
nimependa vazi la mgombea udiwani hasa huo mkanda
kwa kweli mama huyu chiku abwao ni mchapa kazi hakuna mfano wake
laiti ukuu wa wilaya isingekua ni miliki haki na hifadhi ya wanaccm peke yao huyu mama anazo dalili zote za kuweza kusaidia taifa kuhamasisha wananchi zaidi na zaidi kujiletea maendeleo kuliko hawa wengine ambao kwao ukuu wa wilaya ni ufalme tu wa mtu kujikweza nayo bila tija kwa taifa
ccm ni wezi wa kura full stop
tazama hii halafu linganisha na mtazamo wako
2010 kura o
2011 kura 23000 halafu tume ya uchaguzi na kila kitu ni cha ccm piga picha 2015 nakura za ccm zimepungua
chadema wanakubalika sana songea safi sana
tupo pamoja makamandakwa pamoja tutashinda vita hi
miaka hii ya sasa kazi ipo ccm kaa tayari
magamba mlivinunua na kuviteketeza ndio maana mmegoma kuandikisha wapiga kura wapya | 2018-01-23T16:16:24 | https://www.jamiiforums.com/threads/kampeni-za-udiwani-songea-hebu-cheki-jinsi-abwao-alivyofunika.237395/ |
tathmini ifanyike kwa wanaojihusisha na malezi ya watoto tif
posted by abdulrahim barahiyaan in imaan media december 21 2017
wadau wanaojihusisha na malezi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu pamoja na yatima na watu wanao ishi na vvu wametakiwa kufanya tathmini mara kwa mara juu ya huduma hiyo wanayo itoa lengo likiwa ni kuifahamisha jamii juu ya changamoto wanazo kumbana nazo katika utoaji huduma hiyo
kauli hiyo imetolewa na kaimu mkurugenzi wa manispaa ya morogoro ignas sanga wakati akizungumza na wadau hao juu ya kujadili namna bora ya kutoa huduma bora kwa watoto waishio katika mazingira magumu yatima pamoja na watu wanao ishi na maambukizi ya vvu
aidha kaimu mkurungezi huyo ameongeza kuwa kuna kila sababu ya kukaa wadau mbalimbali watoto na watu waishio na vvu lengo ni kuweza kujadili namna bora ya kutoa huduma hiyo kwa jamii
kwa upande wake mwakilishi kutokea kituo cha kulelea watoto ya tima kilicho chini ya taasisi ya the islamic foundation ustadhi nuru muhamad amesema kuwa kituo cha imaan orphanage center kilionzisha kwa lengo la kusaidiana na serikali namna ya kupunguza watoto wa mitaani na waishio katika mazingira magumu
wakiwasilisha ripoti zao mbele ya kaimu mkurugenzi wadau mbalimbali wa masuala ya watoto waishio katika mazingira hatarishi pamoja na wale wa utoaji elimu juu ya watu wanaoishi na vvu wamezitaja baadhi ya changamoto ambazo ni kikwazo katika kazi zao
mkutano huo uliyo andaliwa na shirika lisilo la kiserikali la (sji) na kuwashirikisha wadau mbalimbali wa masuala ya watoto waishio katika mazingira magumu yatima pamoja na vituo vya kutoa elimu juu ya watu waishio na maambukizi ya vvu ulikuwa na lengo la kuwa kumbusha wadau hao juu ya kufanya tathimini wa kazi wanao ifanya
islamicftz tathmini tif yatima 20171221
previous uzinduzi wa msikiti al gafar
next mji wa jerusalem ni milki ya nani 2 | 2018-09-24T15:26:41 | http://islamicftz.org/imaanmedia/tathmini-ifanyike-kwa-wanaojihusisha-na-malezi-ya-watoto/ |
mika 4 | biblia na internet | libongoli ya mokili ya sika
4 mpe ekosalema mpenza boye na eleko ya nsuka ya mikolo+ ngomba+ ya ndako+ ya yehova ekopikama makasi likoló koleka nsɔngɛ ya bangomba mpe ekotombwama mpenza likoló koleka bangomba mike+ mpe bato ya bikólo bakosopana kuna+ 2 mpe bikólo mingi bakokende mpenza mpe bakoloba ete bóya+ tómata na ngomba ya yehova mpe na ndako ya nzambe ya yakobo+ mpe akolakisa biso banzela na ye+ mpe tokotambola na banzela na ye+ mpo mobeko ekobima na siona mpe liloba ya yehova na yerusaleme+ 3 mpe akokata mpenza makambo na kati ya bato ya bikólo ebele+ mpe akosembola makambo+ etali bikólo ya nguya oyo ezali mosika+ mpe bakotula mipanga na bango ete ekóma bitimweli ya mabele mpe makɔnga na bango ete ekóma makwangola ya kokata matiti+ bakotombola mopanga te ekólo moko mpo na kobunda na ekólo mosusu mpe bakoyekola etumba lisusu te+ 4 mpe bakofanda mpenza moto na moto na nse ya nzete na ye ya vinyo mpe na nse ya nzete na ye ya figi+ mpe moto ata moko te akozala mpo na kolɛngisa bango+ mpo monɔkɔ mpenza ya yehova ya mampinga elobi yango+ 5 mpo bato ya bikólo nyonso ɛɛ bango bakotambola moto na moto na nkombo ya nzambe na ye+ kasi biso ɛɛ biso tokotambola na nkombo ya yehova nzambe na biso+ mpo na ntango oyo etyami ndelo te ɛɛ seko na seko+ 6 na mokolo yango yango nde liloba ya yehova nakoyanganisa ye oyo azalaki kotɛnguma+ mpe nakosangisa esika moko oyo apalanganaki+ ɛɛ ye oyo namonisaki mpasi 7 mpe oyo azalaki kotɛnguma nakokómisa mpenza ye litiká+ mpe ye oyo abwakamaki mosika nakokómisa ye ekólo moko ya makasi+ mpe yehova akoyangela mpenza bango na ngomba siona uta sikoyo mpe mpo na ntango oyo etyami ndelo te+ 8 mpe mpo na yo ee ndako molai ya etonga libondo ya mabele ya mwana mwasi ya siona+ yango ekoya tii epai na yo ɛɛ boyangeli ya liboso ekoya mpenza+ bokonzi ezali ya mwana mwasi ya yerusaleme+ 9 sikoyo mpo na nini ozali kokoba koganga makasi+ mokonzi azali nde na kati na yo te to mopesitoli mpenza na yo akufi mpo mpasi ekanga yo lokola oyo ya mwasi oyo azali kobota+ 10 ee mwana mwasi ya siona zalá na mpasi makasi mpe bundá na kobota lokola mwasi oyo azali kobota+ mpo sikoyo okolongwa na sité mpe ekosengela ofanda na zamba+ mpe ekosengela oya tii na babilone+ kuna nde okobikisama+ kuna nde yehova akosikola yo na lobɔkɔ ya banguna na yo+ 11 mpe sikoyo bikólo mingi bakoyanganisama mpenza mpo na kobundisa yo baoyo bazali koloba ete akóma mbindo mpe miso na biso etala siona+ 12 nzokande bango bayebi makanisi ya yehova te mpe bakangi ntina ya mokano na ye te+ mpamba te akoyanganisa mpenza bango esika moko lokola molɔngɔ ya mbuma oyo bakati sika oyo etyami na esika ya kotutatuta mbuma+ 13 ee mwana mwasi ya siona tɛlɛmá mpe tutá ndenge batutaka mbuma+ mpo nakobongola liseke na yo ekóma ebende mpe nakobongola basabo na yo ekóma motako mpe okonikanika mpenza bato ya bikólo mingi+ mpe okokómisa ekila mpe okokabela mpenza yehova litomba na bango oyo ezwami na ndenge ya mabe+ mpe biloko na bango okokabela nkolo ya solosolo ya mabele mobimba+ | 2017-08-23T08:18:05 | https://www.jw.org/ln/mikanda/biblia/bi12/mikanda/mika/4/ |
matukiomichuzi mrembo laura kwai atwaa taji la ttcl miss higher learning institutions 2016
baadhi ya maofisa na wafanyakazi wa ttcl ambao ni wadhamini wakuu wa shindano la ttcl miss higher learning institutions 2016 wakipiga picha na balozi wa ttcl glory gidion mara baada ya kumaliziki kwa shindano hilo baadhi ya maofisa na wafanyakazi wa ttcl ambao ni wadhamini wakuu wa shindano la ttcl miss higher learning institutions 2016 wakipiga picha na balozi wa ttcl glory gidion mara baada ya kumaliziki kwa shindano hilo | 2016-12-07T10:31:44 | http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/09/mrembo-laura-kwai-atwaa-taji-la-ttcl.html |
job opportunity at rijk zwaan tanzania sales manager | jobs in tanzania
july 11 2019 eac jobs local nafasi za kazi others un
check hii >> status downloader for whatsappvideo and photo downloader from insta &fb
soma hii>>hii si yakukupita mdau jinsi ya kudownload whatsapp status za marafiki zako bila wenyewe kujua video na picha kutoka facebook na instagram
ajira ngo development eac local manager nafasi za kazi netherlands others people responsible salary travel | 2019-11-13T10:44:11 | http://www.tanzania.jobsportal-career.com/2019/07/11/job-opportunity-at-rijk-zwaan-tanzania-sales-manager/ |
kila mtu katika maisha on instagram
пусеты бижутерия 学祭 最高 ダンス colorida e feliz com خروج الإمام إلى comand comandă mercedes انا حبيبي دائما دايما بس يا من حلو مع بعض كل و منه هو مع من lasportiva oldbutgold اي تقرأ قراءة repost 친구 간지럼 다렉 직장인 태풍 제주 السلام عليكم مساكم الزهيري scary movie love happy argento milano silver 925 ネイル nail cachette ジェルネイル 雨天 雨鞋 下雨天 拖鞋 山 緑 写真 光 menggunakan pensil
kila mtu katika maisha
wema sepetu dar es salaam tanzania nguvu ya mahusiano
je ni watu gani unapenda wewe katika sehemu ya maisha yako ya baadae lazima uchague sio kila mtu anaweza kuwa katika sehemu ya maisha yako ya baadae #nimependasanahayamaneno @hpolepole je ni watu gani unapenda wewe katika sehemu ya maisha yako ya baadae lazima uchague
sio kila mtu anaweza kuwa katika sehemu ya maisha yako ya baadae
#nimependasanahayamaneno @hpolepole
hapo pa mwanamke kuona hana pa kwenda na hajui ataishije kisha mapemzi yameisha mwanaume hakutaki unalazimika kubaki hapo uuumie kisa utaishije kauli hizi za sina msaada ndo huwa zinanifadhaisha sana sana sanaaaaa natamani kila mwanamke angelijua umuhimu wa kujitegemea hapo pa mwanamke kuona hana pa kwenda na hajui ataishije kisha mapemzi yameisha mwanaume hakutaki unalazimika kubaki hapo uuumie kisa utaishije kauli hizi za sina msaada ndo huwa zinanifadhaisha sana sana sanaaaaa natamani kila mwanamke angelijua umuhimu wa kujitegemea kiuchumi hata kabla na baada ya mapenzi
japo wapo wanaofikiri napotosha wanawake kwa kuwahimiza kufanya kazi wasimame kiuchumi acha wafikiri mimi sirudi nyuma kinamama umaskini ni mbaya sanaaaa ukiwa maskini utafanya mambo usiyotaka kufanya
pesa siyo kila kitu lakini ni kifaa muhimu katika maisha epuka sana maisha ya kumtegea mtu ni mabaya mno tunaweza kujitegemea kiuchumi hivyo tujiandae mapema
katika maisha kila watu unaokutana nao kuna kusudio la wewe kukutana nao wapo baadhi watakao kuumiza na wapo watakao kufunza pia wapo watakao kufanya uwe mtu bora ishi kwa wema na kila mtu kadri uwezavyo katika maisha kila watu unaokutana nao kuna kusudio la wewe kukutana nao wapo baadhi watakao kuumiza na wapo watakao kufunza pia wapo watakao kufanya uwe mtu bora ishi kwa wema na kila mtu kadri uwezavyo
discipline is always attractive/nidhamu kila siku inavutia nidhamu ni bidhaa adimu miongoni mwa watu lakini nidhamu inavutia sana na inafungua milango mingi sana hata ambayo iliyokuwa imefungwa kwa kufuri na funguo kutupwa bali hujuvnjwa na watu huweza kuingia ndani kwa kuwa na nidhamu discipline is always attractive/nidhamu kila siku inavutia
nidhamu ni bidhaa adimu miongoni mwa watu lakini nidhamu inavutia sana na inafungua milango mingi sana hata ambayo iliyokuwa imefungwa kwa kufuri na funguo kutupwa bali hujuvnjwa na watu huweza kuingia ndani kwa kuwa na nidhamu
watu wengi wanaweza wakadhani inatoka kwenye nyumba unayoishi gari unaloendesha mavazi unayovaa nywele ulizonazo hapana nidhamu ni uwezo wa kufanya jambo zuri bila kujali matokeo yake kujituma kuishi kwenye makubaliano kufuata misingi sahihi inayokubalika katika taasisi husika au maisha yako mwenyewe
ukiwa na nidhamu hata gari lako hela zako na vitu vyako utakuwa na nidhamu kubwa juu ya matumizi ambayo hayatakuwa na kero upande wa pili
hatuitaji kuwa na matajiri ili tuwe na nidhamu bali tunaitaji kuwa na nidhamu ili tuwe matajiri
mwili hutenda na kupata kile ambacho akili yako inaamini/a body achieve what you're mind believe on
ukiwa na nidhamu wewe unavutia bila kuchosha usoni mwa walimwengu nidhamu ni msingi mkubwa wa ukuu kwa kila aliye mbele yako haijalishi ni mdogo au maskini utu wa mtu hauna udogo wala umaskini kila mtu anahaki ya kujisikia yeye ni wathamani na kujaliwa mbele ya wengine
nidhamu ni ufunguo wa njia na milango iliyofungwa maishani/discipline is always attractive
credit @charlesnduku
assalam alkm kila unapoamka salama jikute una mifano ya maeneo matatu utafaulu (1) jikute wewe ni kama mwanajeshi aliepo kambini kula kulala na yote yanayokuzunguka humo utatii amri ya mkuu wa jeshi na sheria zote hivyo unapoamka tambua yakupasa kutii na kufuata amri za allah kula assalam alkm kila unapoamka salama jikute una mifano ya maeneo matatu utafaulu (1) jikute wewe ni kama mwanajeshi aliepo kambini kula kulala na yote yanayokuzunguka humo utatii amri ya mkuu wa jeshi na sheria zote hivyo unapoamka tambua yakupasa kutii na kufuata amri za allah kula unalofanya mpk kutembea kwako na kuongea kwako (2) ujikute km mtu aliewekwa tena mbele ya jaji kwa kutakiwa kujitetea kukiri kosa na kuomba msamaha hivyo uamkapo kabla kuongeza jambo lolote omba tawfiyq ya allah akuwezeshe na leo usimkosee akusamehe ysliyopita na akuondoshee adhabu nk (3) jione sasa umepelekwa shamba na mwenye shamba shamba lina kila aina ya matunda yanayoliwa na yasiyoliwa yanafurahisha na yanayokera yanayopendeza na yanayichukiza nk mwenye shamba kakuzungusha shamba lote na kakuelekeza kilichokibaya na kizuri kisha akasema shamba langu nimelilima kwa gharama kubwa na kupanda matunda hayo ya kila aina kwa maana yangu chukuwa humo kila kitakachokusaidia mwako usichukuwe kit aka choking hey d uendako nami niko pembeni nakuelekeza hapa fuata maelekezo hivyo basi mtume aliposema dunia ni shamba kwa ajili ya akhera aliamanisha kuwa maisha yetu tufanye yataksyotusaidia akhera tuchume matendo mema tuache matendo mabaya na tufuate maelekezo yake katika maisha yetu yote ndio pamoja na kumfata mtume muhammad saw quran karim na warithi wa mtume wetu mungu awawie radhi insha allah shukran mungu mjuzi zaidi
changamoto vikwazo na mazingira magumu vipo kila mahali kila mtu anakumbana navyo kwa sehemu yake maisha hayatoishia hapa kwasababu ya mazingira uliyonayo ni lazima maisha yaendelee kuiyandaa kesho bora ni lazima uwanze leo sote tunajua ya kwamba elimu ni msingi wa kutengeneza changamoto vikwazo na mazingira magumu vipo kila mahali kila mtu anakumbana navyo kwa sehemu yake maisha hayatoishia hapa kwasababu ya mazingira uliyonayo ni lazima maisha yaendelee kuiyandaa kesho bora ni lazima uwanze leo sote tunajua ya kwamba elimu ni msingi wa kutengeneza mazingira bora kwa maisha ya badae itakupa chaguo bora mzazi wetu ni elimu lazima tuamini katika elimu kwa maisha ya baadae
joseph m mosi
giving back to community 2017 at watoto wetu tanzania orphanage center kimara suka
iscotanzania
katika maisha usikubali watu wakuendeshe hisia zakoukiwa ni mtu wa kusikiliza kila unachoambiwa bila kuchuja utajikuta unagombana na kila mtu tambua kuwa dunia tunayoishi kila mtu ana mapungufu yake hakuna aliyekamilika g9t my people @nataliamakeup1000 @petefarasi9 katika maisha usikubali watu wakuendeshe hisia zakoukiwa ni mtu wa kusikiliza kila unachoambiwa bila kuchuja utajikuta unagombana na kila mtu tambua kuwa dunia tunayoishi kila mtu ana mapungufu yake hakuna aliyekamilika g9t my people @nataliamakeup1000 @petefarasi9
foleni ilikuwa kubwa sana kila mtu alifurahi nakukupongeza kwahatua kubwa na jambo heri lakufunga ndoa pa1 na mdogo wako pia na mm nimeonelea siku ya leo ni siku nzuri yakukufikishia salamu za pongezi baada ya foleni kupungua karibuni katika maisha yandoa karibuni katika chama cha kodi foleni ilikuwa kubwa sana kila mtu alifurahi nakukupongeza kwahatua kubwa na jambo heri lakufunga ndoa pa1 na mdogo wako pia na mm nimeonelea siku ya leo ni siku nzuri yakukufikishia salamu za pongezi baada ya foleni kupungua karibuni katika maisha yandoa karibuni katika chama cha kodi ya meza karibuni katka hadhi yakuitwa baba wafamilia mm kakaenu nimewatangulia nnamwaka wa 14 sasa ndani ndoa nnakauzoefu kidogo lkn sisemi nimefanikiwa sana ila namuomba mw/mungu atuweke tuzeeke pa1 na mama nassir niwatakie kila la heri furaha yenye fanaka katika ndoa zenu sasaivi mkiwa mnatoka kwenda kwenye harakati zetu za majukwaani ni lazima muhakikishe mnagonga visa kwa mwandani then ndio mnatoka lazma utoke kwa kibali cha mwandani wako yangu ni hayo tu kila kher wadogo zangu @officialalikiba @officialabdukiba @abdukiba
nina amani kwenye moyo wangu kwasababu naishi kwa kumtegemea allah peke yake na pia naishi yale maisha ninayotaka mimi ninayofurahishwa nayo mimi siishi kwa ajili ya mwanadamu yeyote yule na simwogopi mwanadamu yeyote yule katika maisha kila mtu ana past life kila mtu ameshafanya stupid nina amani kwenye moyo wangu kwasababu naishi kwa kumtegemea allah peke yake na pia naishi yale maisha ninayotaka mimi ninayofurahishwa nayo mimi siishi kwa ajili ya mwanadamu yeyote yule na simwogopi mwanadamu yeyote yule katika maisha kila mtu ana past life kila mtu ameshafanya stupid mistakes au bad decisions lakini usikubali kuwa mfungwa wa mapungufu au makosa yako hata watu wakijua siri zako ok so wanajua then come shoot me 😂😂😂😂😂 zinawasaidia nini wao je hawana past life je hawafanyi makosa tena labda yao ni worse than yours (usitake hata kujua ) feel free to express your life acha kujijengea ukuta wa kuwaogopa wanadamu na midomo yao ingekuwa inakunyima rizki sawa au unakosa usingizi sawa kama hukosi vyote pressure ya nini ya kusemwa tu chaiiiiiii mimi nasema sema mpaka uhamishe mlima kilimanjaro uje samora avenue kweli hapo nitajua una kipaji 😂😂😂😂😂😂
wallahi siku ninayo panick ni ile nikienda benki nikakuta masifuri yamepungua bado sijafikia malengo kwa muda muafaka naweza kuondoka na miguu nikasahau hata kama niliingia na gari benki 😂😂😂😂😂😂
ishi maisha yako kwa ajili yako na fanya yale kwa furaha ya moyo wako only god can judge you
natamani ujue ni jinsi gani nakuthamini kias gani nakupenda na kukuheshimu kias gani upo na thamani kubwa ndani ya moyo wangu zannele roho wangu umenifanya nivimbeeeeee kila nikiingia china na dubaiaddis ababa umenifanya niwe mwenyeji china kama naenda kkoo🤣 ulinishika mkono natamani ujue ni jinsi gani nakuthamini kias gani nakupenda na kukuheshimu kias gani upo na thamani kubwa ndani ya moyo wangu zannele roho wangu umenifanya nivimbeeeeee kila nikiingia china 🇨🇳 na dubaiaddis ababa umenifanya niwe mwenyeji china kama naenda kkoo😂🤣 ulinishika mkono na kunifunza vitu vya msingi mpaka leo hiii nayaishi maneno yako na kuwashika mikono wengne kuwazimisha china 🇨🇳 bila hiyana mtu pekee daily unaniombea mema na still bado wewe ni mshauri wangu uzuri wako unaendana na roho yako my lovly sis ntakulipa nn mimi😭 nawaza daily nikulipe nini mimi kwa hisani yako wewe dada ni malaikaaaaaaaaaaaa🙌 nahofia sana kukupoteza katika maisha yangu nakupenda sana zannele wangu happy birthday my lov sisteriiiiii @zanellebongoladieswear
nikiwa zanzbar niko nyumbani niko kwa baba ahsante kwa ukarimu wako umekua mtu mwema kwangu kila siku na mwalimu mzuri unayenionesha njia na kunielekeza mengi katika maisha usinichoke 🏻 mh mkuu wa mkoa mjini magharib hon rc @ayoubmahmoud_ mungu akuweke tuzidi kukutizama nikiwa zanzbar niko nyumbani niko kwa baba ahsante kwa ukarimu wako umekua mtu mwema kwangu kila siku na mwalimu mzuri unayenionesha njia na kunielekeza mengi katika maisha usinichoke 🙏🏻 mh mkuu wa mkoa mjini magharib hon rc @ayoubmahmoud_ mungu akuweke tuzidi kukutizama na kunufaika na busara zako
happy birthday kwako mtu mkalii mwenyezi mungu akujalie kila la kheri katika maisha yako godad enjoy yo day mderp ) @freemanrichard happy birthday kwako mtu mkalii mwenyezi mungu akujalie kila la kheri katika maisha yako godad ♥ enjoy yo day mderp ) @freemanrichard
shabaha kuu ya @actwazalendo ni kuhakikisha kuwa utajiri wa nchi unatumika kuboresha maisha ya watu na kuchochea uwezo wao katika kuchangia kujenga uchumi shirikishi ambapo kila mtu ana fursa sawa za maendeleo @adoshaibu @doromankaa shabaha kuu ya @actwazalendo ni kuhakikisha kuwa utajiri wa nchi unatumika kuboresha maisha ya watu na kuchochea uwezo wao katika kuchangia kujenga uchumi shirikishi ambapo kila mtu ana fursa sawa za maendeleo @adoshaibu @doromankaa
kwenu mabinti neno nitakuoa lisikuzuzuelisikupe kiburilisikufanye ukajisahaulisisababishe ukawa kiziwi kwa kutokusikiliza ushaurilisikufumbe macho na kusababisha usione uharibifu ulio mbele yako na wala lisikufanye bubu na kukuzuia kuongea unapopaswa kuongea kwasababu kwenu mabinti neno nitakuoa lisikuzuzuelisikupe kiburilisikufanye ukajisahaulisisababishe ukawa kiziwi kwa kutokusikiliza ushaurilisikufumbe macho na kusababisha usione uharibifu ulio mbele yako na wala lisikufanye bubu na kukuzuia kuongea unapopaswa kuongea kwasababu unaogopa utaachika
usisahau akili zakousiuache msimamo wakousiugawe moyo wako pasipostahili na wala usimwamini kila mtu kwani usipokuwa makini utaishia kupata maumivu na makovu yasiyofutika kamwe katika maisha yako badala ya furaha na hiyo ndoa 'utaisikia kwenye bomba' na kuanza kuwachukia wanaume kumbe tatizo ni lako mwenyewe maziwa fresh yaweza kufanana na tui la nazi kwa muonekano wa haraka haraka ila ladhaubora na matumizi yake hayafanani kamwe jifunze kutofautisha kabla hujaumia ~ni ushauri tu~
ringo_octavian
hekima na busara 1 watu wenye mafanikio na ufanisi huwa na sifa mbili midomoni mwao tabasamu na ukimya tabasamu husaidia kutanzua matatizo vile ukimya husaidia kuepuka matatizo lkn sio ukimya ule mpaka kuchukiza 2 unaweza kuchanganya sukari na chumvi pamoja ila hekima na busara 1 watu wenye mafanikio na ufanisi huwa na sifa mbili midomoni mwao tabasamu na ukimya
tabasamu husaidia kutanzua matatizo vile ukimya husaidia kuepuka matatizo lkn sio ukimya ule mpaka kuchukiza
2 unaweza kuchanganya sukari na chumvi pamoja ila sisimizi huchkua sukari tu na kuondoka nayo na kuacha chumvi chagua marafiki wema lkn sio wema sepetu (joke's) katika maisha yako ili uyaboreshe na kuyaona kuwa ni matamu
3 ukishindwa kufanikisha ndoto zako badilisha mbinu mimi binafsi nimeamua kubadili mbinuusibadilishe mola wako
4 kumbuka daima miti hupukutisha majani yake ili istawi zaidi haibadilishi mizizi yake
5 hutafika uendako iwapo utakatisha safari ili umrushie jiwe kila mbwa anayekubwekea njiani
6 wenye kukuchukia hawatakosa la kusema hata wakuone unatembea juu ya bahari watasema ni kwa sababu hujui kuogelea hata kama utacheza ngoma juu ya bahari basi watakushutumu kuwa unawarushia vumbi
7 panga kuishi kwa amani na utulivu kwa kushughulikia mambo yako kwa nguvu zako mwenyewe hutakuwa mtumwa wa mtu (kataa kuwa kaa) #teamcm
8 kumbuka daima usitiane miereka na nguruwe mtachafuka wote wawili ila nguruwe atafurahi na kuona raha
9 kumbuka daima usibishane na mjinga hata werevu watashindwa kutofautisha nani ni mjinga kati yenu (nawachora)
follow @ampromotiongroup
almas mzambele boss of all bosses
hbd ney g nakutakia kila la kheri katika maisha yako na mafanikio yakoallah akufanyie wepesi kw kila jambo unalomuomba yey pamoja na family yakowe ni mtu muhimu san [email protected] @neygoba22 @neygoba22 @thabeetmchezaa @salimgoba4 @canaanmuggy255 @suma_ngaga1 @kim_ynjan hbd ney g nakutakia kila la kheri katika maisha yako na mafanikio yakoallah akufanyie wepesi kw kila jambo unalomuomba yey pamoja na family yakowe ni mtu muhimu san [email protected] @neygoba22 @neygoba22 @thabeetmchezaa @salimgoba4 @canaanmuggy255 @suma_ngaga1 @kim_ynjan @mkwizu_jr @yuku_pipo @bishop5star @bichuka_jr
mushi_dizalo1
#repost @wasafitv • • • • wimbo huu wa @walterchilambotz #onlyyou ukawe moja kati ya wimbo utakaokupa nguvu zaidi katika maisha yako na wiki hii itakayoanza kwa kila unachokifanya kila siku kinachompendeza mungu sasa unaweza kuangalia nyimbo mbalimbali za kumtukuza mungu kupitia #repost @wasafitv
wimbo huu wa @walterchilambotz #onlyyou ukawe moja kati ya wimbo utakaokupa nguvu zaidi katika maisha yako na wiki hii itakayoanza kwa kila unachokifanya kila siku kinachompendeza mungu
sasa unaweza kuangalia nyimbo mbalimbali za kumtukuza mungu kupitia @wasafitv kabla na baada ya kwenda kanisani
na unaweza kumtakia mtu wako wa karibu salamu za jumapili hapa 👇
#sanaaimezaliwaupya #hiiniyetusote #tumewasha #happysunday
maisha yanabadilika kila wakati usimdharau wala kumuumiza mtu yeyote katika maisha sababu wote hatujui kesho yetu #mrkiongozimoro #mrkiongozitour @petefarasi9 mua @nataliamakeup1000 shoes @ladies_choice1 maisha yanabadilika kila wakati usimdharau wala kumuumiza mtu yeyote katika maisha sababu wote hatujui kesho yetu #mrkiongozimoro
shoes @ladies_choice1
katika maisha ili ufanikiwe inabid uwe na nidhamu na kazi yako uwe na heshma na kila aliye mbele yako ogopa kutomthamin mtu yeyote aliyejitoa kuchangia mafanikio yako kwa hali yoyote ilemdogo wangu @_kusah_ nakuona mbaliii xana ila izo ziwe nguzo zakowewe ni star ️ una sifa zote za katika maisha ili ufanikiwe inabid uwe na nidhamu na kazi yako uwe na heshma na kila aliye mbele yako ogopa kutomthamin mtu yeyote aliyejitoa kuchangia mafanikio yako kwa hali yoyote ilemdogo wangu @_kusah_ nakuona mbaliii xana ila izo ziwe nguzo zakowewe ni star ⭐️🌟 una sifa zote za kisanii kila dalili ya mafanikio ipo wazi mungu bariki cc @_kusah_ @dyna_rwiza @bonga_officiall @dilailat @harmonize_tz @yogobeats @wolf_tz @meebrownofficial @slim_cheed @bayuukhan_tz #mkongo 🔥🔥🔥
abdulkakinga
hata hali iwe ngumu vipi katika maisha usiwe mtu wa kukata tamaa kirahisi jikaze kwani kila lenye mwanzo always kuna mwisho wake kuwa mtu wakutabasamu wakati wote kwani hukuongezea cku za kuishicku njema hata hali iwe ngumu vipi katika maisha usiwe mtu wa kukata tamaa kirahisi jikaze kwani kila lenye mwanzo always kuna mwisho wake kuwa mtu wakutabasamu wakati wote kwani hukuongezea cku za kuishicku njema
mich_mich2015
ukiacha na kipaji kikubwa ulichobarikiwa na mwenyezi mungu unanidhamu ya hali ya juu hiyo pia ni silaha kubwa ulionayo katika mapambano ya maisha yako yote unaupendo kwa kila mtu bila kujali wewe ni nani ingelikua mtu mwengine ata tabia ingeshabadilika lakin kwako uko tofauti sana ukiacha na kipaji kikubwa ulichobarikiwa na mwenyezi mungu unanidhamu ya hali ya juu hiyo pia ni silaha kubwa ulionayo katika mapambano ya maisha yako yote unaupendo kwa kila mtu bila kujali wewe ni nani ingelikua mtu mwengine ata tabia ingeshabadilika lakin kwako uko tofauti sana toka nimekujua pale nlipokosea ata usingeniambia na ungefanya kama aah lazima ni maind lakin hukushindwa kuniambia tena kiupendo kwangu kitu kikubwa sana @mbosso_ dua yangu kubwa nnayo kuombea uzidi kufika mbali kupitia kipaji chako🛫 #pichayake
munilyofficial
nakupa tahadhari juu ya nenomaisha elewa sio kila mtu anaye cheka na kufurahi na wewe ukadhania ndiye rafiki utu wao umo katika macho lakini nafsi zao zimebeba husda uadui uchawi choyochukiwivufitna na roho mbaya furaha zao kukuona unaharibikiwana hasira zao kukuona nakupa tahadhari juu ya nenomaisha elewa sio kila mtu anaye cheka na kufurahi na wewe ukadhania ndiye rafiki
utu wao umo katika macho lakini nafsi zao zimebeba
husda uadui uchawi choyochukiwivufitna na roho mbaya furaha zao kukuona unaharibikiwana hasira zao kukuona umefanikiwa wangapi uliwaamini ukawapenda ukawasaidia ukawaona ndugu ukawapa siri zako na leo ndio maadui zako wakubwa
kweli maisha ni watuna watu ndio maisha lakini kuwa muangalifu nao sana maana mioyo yao inavuja damu kutokana na mafanikio yakomungu akulinde usiku na mchanaasubuhi na jioni
mua @khadijarozella
dressedby @jokhasimba1
photographed @mashughulimedia
asante mungumwanangu kafikisha miaka minne leoheri ya siku ya kuzaliwa #alvinthedon tokea umeingia katika maisha yetu umekuwa ni baraka kubwa kwetumungu baba akukuze katika kimouwe na maadili mema na uzingatie sana masomo shuleniuwe na heshima kwa kila mtu nakupenda asante mungumwanangu kafikisha miaka minne leoheri ya siku ya kuzaliwa #alvinthedon tokea umeingia katika maisha yetu umekuwa ni baraka kubwa kwetumungu baba akukuze katika kimouwe na maadili mema na uzingatie sana masomo shuleniuwe na heshima kwa kila mtu nakupenda sana mwanangukama nakuona muda wa cake 🎂🎂🎂😀😀😀🎉🎼🎻🎵 cc @kajunasonblog
unaweza mpenda mtu sana ukampa kila kitu anachotaka kwako hata ambavyo hakuvitegemea ukamfanyia ila mkosaji ni mkosaji tu sio kila mtu atatambua thamani ya uwepo wako na unapoamua kuondoka katika maisha yao haimanishi unamchukia ila kuna wakati inabidi uwaache mtu aendelee kujiharibia unaweza mpenda mtu sana ukampa kila kitu anachotaka kwako hata ambavyo hakuvitegemea ukamfanyia ila mkosaji ni mkosaji tu sio kila mtu atatambua thamani ya uwepo wako na unapoamua kuondoka katika maisha yao haimanishi unamchukia ila kuna wakati inabidi uwaache mtu aendelee kujiharibia maisha yake bila kukudidimiza na wewe kisa mapenzi upendo haupotei kirahisi ila dharau na kibri kumchosha mtu haswa mtu asiyekuwa na imani na wewe au kujiona bora zaidi ajili labda yeye tajiri haijalishi wakuseme vibaya vipi ili kufurahisha nafsi zao wajionyeshe ni mwema kwa watu ila mwisho wa siku ndani ya nafsi zao watabaki kutambua wema wakoukarimu na upendo wako na mwishowe atatambua thamani yako pale watakapoona unampa mwengine upendo uliowapa wao hiyo ndio wahenga walisemaga unapoteza almasi kwa kuokota mawe #deleted 💔
nyakati fulani nyuma nilisikia hadithi fulani ya kweli kabisa kutokea japo ya kuumiza kweli but ndio life palikua na this guy he had a normal life tu wakati anakua u know sio maisha ya kulalamika wala ya kufurahia just where u can afford ur daily meal maisha ya kawaida kabisa nyakati fulani nyuma nilisikia hadithi fulani ya kweli kabisa kutokea japo ya kuumiza kweli but ndio life
palikua na this guy he had a normal life tu wakati anakua u know sio maisha ya kulalamika wala ya kufurahia just where u can afford ur daily meal maisha ya kawaida kabisa ambapo sometimes kufulia ni kawaida sana kukosa mahitaji muhimu inatokea kuna muda anapata pia kutokana na hali ya maisha na uchumi alisoma had kidato cha nne tu then maisha ya kawaida kabisa yakaendelea
maisha ya mapenzi na mahusinao
basi he fell in love once or twice lakini katika watu wote aliotokea kuwaalika katika maisha yake hakukuwahi kutoka msichana ambae alikua wa ndoto zake unajua kila mtu anakua na aina ya mtu anaemuhitaji kwenye maisha wengine wana base kwenye muonekano wa nje wengine elimu wengine sauti wengine mwendo wengine kipato ilimradi tafarani tu
basi the guy alikua na mahitaji fulan ya ki moyo sana like sio muonekano wala sauti he just needed a soulmate mtu ambae he can look at and say this is what i have been praying for
wanasema dunia hadaa ulimwengu shujaa
katika mizunguko tu ya maisha the guy met this girl they fell in love and the girl was all this guy was ever praying for unfortunately the girl alikua kwenye mahusiano mengine na bahat mbaya zaidi alikua na asili ya kiarabu where by kwa maisha na makuzi ya familia yake ilikua lazima aolewe na muarabu mwenzie yani mtu mwenye asili ya kiarabu kama yeye
as i said this girl alikua kwenye mahusiano na mwanaume wa kiarabu(same race) lakini pia she loved this nigga(the black guy)
siwezi kujua more like why aliamua kuanzisha mahusiano na huyu mkaka mweusi while she had mahusiano mengine
so this love was hoooot but the guy(black guy) fell kwa huyu mdada zaidi yani alimpenda kweliiiii like sooo much(mind you mkaka alikuja kujua kuwa mdada ana mwanaume mwingine wa race yake (muarabu) but then he was madly in love with this chick what was he to do he decided to hold on to her hoping labda siku moja he would get to spend the rest of his life with huyo mdada inaendelea
busara ni mtaji mkubwa sana unaozidi kukujenga kila siku katika maisha yako usiliache hilo happy birthday rafiki yangu @barnabaclassic mtu mwenye gold yako najua the album is above levels aiseeee wish you all the best kuanzia kazi familia na kila kinachokuzunguka @barnabaclassic busara ni mtaji mkubwa sana unaozidi kukujenga kila siku katika maisha yako usiliache hilo
happy birthday rafiki yangu @barnabaclassic mtu mwenye gold yako najua the album is above levels aiseeee wish you all the best kuanzia kazi familia na kila kinachokuzunguka @barnabaclassic ❤️💋🎊🎉🎁🎁🎁🎁
ni kweli kabisa kuna mitihani ya kukabiliana nayo ila mitihani ya ndoa inayohusu manyanyaso na ukatili siwezi kukabiliana nayo hata kidogo kuna changamoto za kusuluhisha lakini siyo za ukatili wa kijinsia kama nilivyosema nimevumilia hali ngumu ya maisha lakini ni kweli kabisa kuna mitihani ya kukabiliana nayo ila mitihani ya ndoa inayohusu manyanyaso na ukatili siwezi kukabiliana nayo hata kidogo kuna changamoto za kusuluhisha lakini siyo za ukatili wa kijinsia
kama nilivyosema nimevumilia hali ngumu ya maisha lakini vipigo tabia za kunirudia nyumbani asubuhi dharau na kuniumiza kihisia na kimwili hapanaaaaaaaaa for what and for who
kiukweli mimi natamani kila mwanamke athamini utu wake ili asiruhusu kabisa mtu achezeee hisia zake na mwili wake kivyovyote vile nasema ivi mwanamke anaeumizwa kwenye mahusiano kiakili kihisia au kimwili asepe fastaa kuna maisha baada ya ndoa🙄
kuendelea kuvumilia ukatili ni kuupa nafasi zaidi ukatili wa kijinsia kila kukicha katika maisha yetu na jamii yetu leo anaanza na kibao kimoja kesho atamalizia na kisu anakutoa roho mie kibao kimoja tuu nimeandamani dunia nzima🙌🙌🙌🙌
kwa wanaume mliozoea kutesa wanawake zenu au wanawake mliozoea kutesekea kwenye ndoa zenu mtapata tabu sana kunielewa lakini sina habareeeeeeeeee
sijali kazi yangu siyo kuangalia unanielewa vipi natoa elimu utanielewa baadae #superwoman
usiwe mtu wa kukata tamaa katika maishakwani kila dhiki huja na faraja yake na mwenyezi mungu siku zote hampi mja wake jambo asiloliweza kila mtihani katika maisha huja na majibu yake so inategemea jinsi gani utaujibu mtihani wako ili upate matokeo yaliyobora katika tatizo linalokukabili usiwe mtu wa kukata tamaa katika maishakwani kila dhiki huja na faraja yake na mwenyezi mungu siku zote hampi mja wake jambo asiloliweza kila mtihani katika maisha huja na majibu yake so inategemea jinsi gani utaujibu mtihani wako ili upate matokeo yaliyobora katika tatizo linalokukabili
mtu alikuja kwa mtume wa mwenyezi mungu (swalla allaahu alayhi wa salam) na akasema ewe mtume wa mwenyezi mungu nani miongoni wa watu wote anastahiki uhusiano wangu wa karibu mtume akajibu mama yako yule mtu akauliza tena kisha nani mtume akamjibu mama yako yule mtu akauliza mtu alikuja kwa mtume wa mwenyezi mungu (swalla allaahu alayhi wa salam) na akasema ewe mtume wa mwenyezi mungu nani miongoni wa watu wote anastahiki uhusiano wangu wa karibu mtume akajibu mama yako yule mtu akauliza tena kisha nani mtume akamjibu mama yako yule mtu akauliza tena kisha nani mtume akamjibu mama yako yule mtu akauliza tena kisha nani mtume akamjibu baba yako[iii] hadhi ya mwanamke katika uislam ina cheo kikubwa na iliyo na taadhimu na taathira yake ni kubwa mno katika maisha ya kila muislamu kwa kweli mwanamke wa kiislamu ni mwalimu wa kwanza katika kujenga jamii njema ikiwa kama atafuata mwongozo kutoka katika kitabu cha allaah na sunnah ya mtume (swalla allaahu alayhi wa sallam) na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili (tumemuusia) nishukuru mimi na wazazi wako ni kwangu mimi ndiyo marudio [surah luqmaan 3114]
mazoo1993
ulikuwa mtu muhimu saana katika maisha yetu ya jamii pia na ulinijenga saana katika maisha ya uvumilivu kumcha mungu kuheshim kila mtu sito acha kukuombea baba yetu kipenz ilikuwa cku kama ya leo ulipoenda mbele ya khakiila ilikuwa kudra zake allahkila jambo alipangalo allah linamakusudi ulikuwa mtu muhimu saana katika maisha yetu ya jamii pia na ulinijenga saana katika maisha ya uvumilivu kumcha mungu kuheshim kila mtu sito acha kukuombea baba yetu kipenz ilikuwa cku kama ya leo ulipoenda mbele ya khakiila ilikuwa kudra zake allahkila jambo alipangalo allah linamakusudi yakehatuna budi kumshukuru allah
amkuya
#sikia mtu anapokufanya wewe kama wa akiba msaidie kupunguza akiba yake kwa kumuondoa kwenye maisha yako muda mwingine wewe nawe lazima uwe na ujasiri wa kuonyesha kuwa haujali bila ya kuangalia ni kwa kiasi gani unajali kwa sababu inatokea muda mwingine mtu anakuona huna #sikia
mtu anapokufanya wewe kama wa akiba msaidie kupunguza akiba yake kwa kumuondoa kwenye maisha yako
muda mwingine wewe nawe lazima uwe na ujasiri wa kuonyesha kuwa haujali bila ya kuangalia ni kwa kiasi gani unajali
kufanya hivyo siyo kwamba unajisikia au unaringa hapana bali ni kwamba unajiheshimu na zaidi unarudisha hadhi thamani na utu wako
usitarajie kuona mabadiliko yoyote chanya katika maisha kama bado umezungukwa na watu wenye mawazo hasi juu yako na wasioongeza thamani katika maisha yako
usiwape nafasi watu wa muda mfupi katika maisha yako fahamu thamani uliyonayo na usikubali kupokea kidogo au kutopokea kabisa wakati unastahili kupokea vikubwa
leo acheni tu niongee kwakweli kuna mambo mengine yanakera hivi jamani mtu hawezi kuishi bila kumchafua mwenzio na pia bora ungemchafua kwa ukweli ni uzushi mtupukwanini mtu upoteze mda wako kumuongelea mwenzio au kuchunguza maisha ya mwenzio yako tunayajua sana tumekunyamazia leo acheni tu niongee kwakweli kuna mambo mengine yanakera hivi jamani mtu hawezi kuishi bila kumchafua mwenzio na pia bora ungemchafua kwa ukweli ni uzushi mtupukwanini mtu upoteze mda wako kumuongelea mwenzio au kuchunguza maisha ya mwenzio yako tunayajua sana tumekunyamazia au sisi ndo atuna midomo ya kuongea au wewe ni mkamilifu sana kwenye hii dunia kushinda wenzako usipende kumfanyia mwenzako kitu ambacho na wewe hupendi kufanyiwa nimekukosea nini mpaka uanze kunipakazia ivialaf jinsi mungu alivowaajabu wote unaowaambia maneno kuhusu mimi wananirudishia na kukusema juu pia huyo unayemtuma atudadisi naye pia hakuna alotuficha wewe mtu tatu niache na maisha yangu sina nilichokukosea kwanini huo mda unaotumia kuachafua wenzako usitumie kutafuta mafanikio katika maisha yako kwanini utake mvua ya mawe wakati unanyumba ya makuti utaumbuka bure den ukitaka kumuaribia mtu chunguza kwanza so unakurupuka tu najua mdomo wako auna breki ila jifunze na mungu alivokuwa wa ajabu kila kukicha mambo yanazidi kuwa mazuri sifa na utukufu zimrudie mungu wa mbinguni anayenipa pumza na kunilinda kila kukicha pia akubariki wewe uzidi kubwabwaja
since 2014 mpk leo miaka 4 now tangu niingie katika maisha yako' maisha yako kila siku kwangu najifunza vingi sana maana uwezi kujifunza kwa mtu anaesifiwa kwa kila kitu siku zote darasa linapatikana kwa akosolewae hata kwa kidogo afanyacho watakuja watazunguka wataenda watarudi since 2014 mpk leo miaka 4 now tangu niingie katika maisha yako' maisha yako kila siku kwangu najifunza vingi sana maana uwezi kujifunza kwa mtu anaesifiwa kwa kila kitu siku zote darasa linapatikana kwa akosolewae hata kwa kidogo afanyacho
watakuja watazunguka wataenda watarudi ilaa ni wewe tu unajua thaman yako kwangu na mimi najua thamani yako katika maisha yangu
ninachomuomba mungu tuwe pamoja hivi hivi uanze wewe au mimi ilaa najua ntaanza mimi coz me si mdogo😋😎😉 (joke) but all in all mungu atupe mwisho mwema tabasamu na furaha viendelee siku zote za maisha yetu
ilaa nakuombea kila siku mungu azidi kukuzidishia kila siku najua huu mwaka lazima haters wakae kimyaa na mimi nataka wasiongee tena ntakupenda siku zotee roho yangu mimi oooh 😮 shit 😊😊😋💕 guess what 😉 ur my momy happy's mother's day my forehead kiss 😘 @wemasepetu @wemasepetu @wemasepetu
thanks for video @zamaradi_replies
papaa on tuesdaykuelekea hatma ya mafanikio katika maisha ziko njia nyingi sana zinazoweza wasaidia watu kufanikiwa wapo watu kwa kusoma kwao wanafanikiwa wapo watu ambao wakifanyabiashara wanafanikiwa wengine wakiwa viongozi wa dini wanafanikiwa wengine wakiwa waajiriwa papaa on tuesdaykuelekea hatma ya mafanikio katika maisha ziko njia nyingi sana zinazoweza wasaidia watu kufanikiwa wapo watu kwa kusoma kwao wanafanikiwa wapo watu ambao wakifanyabiashara wanafanikiwa wengine wakiwa viongozi wa dini wanafanikiwa wengine wakiwa waajiriwa wanafanikiwa wengine wakifanya network marketing wanafanikiwa hakuna njia moja tu ya mafanikio duniani
zipo njia ambazo mimi binafsi nilitumia zimenifikisha hapa wakati huo huo kuna mtu angeweza fatisha hatua zangu zote nilizopitia pengine asingekuwa hapa nilipo mimi sasa wengine wangefanikiwa sanaaa na wengine wangepata tabu sana mungu humtengenezea kila mtu njia yake
mwanadamu akinywa maziwa pale anapobainika kuwa amekunywa sumu basi maziwa yale yatakata nguvu ya sumu kwa mwanadamu lakini unadhani ngombe akinywa sumu maziwa yale yak wake yatamsaidia kukata ile simujambo lile lile akilifanya mtu mwingine anafanikiwa na mwingine anapoteza kabisa uelekeo katika maisha
mafanikio ni neno mtambuka sana ambalo mkanganyiko wake ndio unaopelekea kuwa na maana zaidi ya moja na kuwa na njia zaidi ya moja
kwenye maisha nimewahi naona watu wakifanya maamuzi kwa kusisimka na kugharimu maisha yao inawezekana alikwenda mahala ukasikia mtu anasema niliacha kazi sijui nikaanza uza ubuyu ndo nikafanikiwa usisimke na shuhuda za watu kuhusu njia walizotumia amin amin nakuambia ukikurupuka ukaacha kazi ukaingia mtaani utaanza kuwa tapeli mpya wa mjini usifanye maamuzi ya kukurupuka kwa sababu tu umesikia fulani alifanya hivi na hivi akafanikiwa
utafiti wa mwanzo uliowahi kufanyika nchini marekani katika baadhi ya kaya (kila nyumba) ulionyesha tv nyingi nchini humo utumia masaa ya 7 na dakika 40 kila siku zikiwa zimewashwa (yaani zipo on) na badae walipofatilia kwa kina katika nchi yote ya marekani wakakuta wastani wa watu wa utafiti wa mwanzo uliowahi kufanyika nchini marekani katika baadhi ya kaya (kila nyumba) ulionyesha tv nyingi nchini humo utumia masaa ya 7 na dakika 40 kila siku zikiwa zimewashwa (yaani zipo on) na badae walipofatilia kwa kina katika nchi yote ya marekani wakakuta wastani wa watu wa marekani utumia masaa 4 kila siku katika kutazama tv ambapo ni sawa na siku 61 kwa mwaka mzima
watafiti wanasema hiyo inasababisha kijana anayekuwa amefikisha miaka 18 nchini humo anakuwa tayari ametazama matukio 200000 (laki mbili) yanayohusiana na machafuko na vurugu pamoja na kutazama matukio 16000 ya mauaji mtu anapofikia umri wa miaka 65 wastani wa wamarekani wengi wanakuwa wametumia miaka 9 na 30 (tisa na nusu) katika kutazama tv
angalia ni wapi unapowekeza zaidi kwenye maisha yako huwezi kufanikiwa nje ya pale unapopatolea muda mwingi kila siku nakushauri jifunze kutumia muda wako kwenye vitu vyenye kukuongezea thamani zaidi kuliko kula muda wako kwenye maisha ukiwa mwenye maono na ndoto kubwa utatumia muda mwingi kwenye kujisomea vitabu kuliko tv yako
ukiwa mwenye maono na ndoto kubwa utatumia muda wako mwingi kukaa na mungu katika maombi ili kupata nguvu za mungu na mpenyo kuliko kukesha kwenye tv kuangalia tamthilia au movies ni vizuri utumie muda wako mwingi kwenye tv kwa ajili ya kuangalia mambo yenye kukuongezea thamani ndani yako kuliko yale yasiyo na tija maishani mwako
je muda wako umewekeza wapi zaidi ni kwenye tv au social medias turn off your tv take your books and read it | 2020-03-29T15:21:53 | https://mulpix.com/instagram/kila_mtu_katika_maisha.html |
makabila ya kisomali yakataa wito wa alshabaab kufadhili vita vyake sabahionlinecom
makabila ya kisomali yakataa wito wa alshabaab kufadhili vita vyake
viongozi wa makabila ya somalia na maafisa wameulaani wito wa karibuni wa alshabaab wa kuyataka makabila kujiunga na vita vya kundi hilo na kugharamikia shughuli zake za kigaidi
wakiwa wamepungukiwa na fedha wapiganaji wa alshabaab wamekuwa wakiwarubuni raia wa somalia kugharamikia operesheni zao pichani juu wapiganaji wa alshabaab wakisimama kulinda mkutano karibu na mogadishu mwaka 2009 [mustafa abdi/afp]
serikali ya somalia kutoa zawadi kwa wanaotoa taarifa kuhusu alshabaab
alshabaab kuwaua wanachama wake kunaashiria matatizo makubwa
usafirishaji nje haramu wa mkaa unazalisha mapato makubwa kwa alshabaab
wasomali wakataa wito wa kufanya vurugu wa alzawahiri
makabila ya somalia yameteseka kwa ukatili na vitendo vya kihalifu vya alshabaab na sasa makabila yote yamejua vizuri kwamba alshabaab ni maadui wao na adui wa amani maendeleo na ustawi alisema mohamed hassan haad kiongozi wa kabila la hawiye moja ya makabila na lilitopakaa sana katika maeneo ya kati ya somalia
makabila hayo pia yametambua kuwa alshabaab wamekuwa kikwazo wa watu wa somalia na ndio maana makabila ya kisomali hayawezi kuwa washirika wa kundi hili au kukubali wito kutoka viongozi wake alisema
hapo juni 18 kiongozi wa alshabaab ahmed abdi godane ajulikanaye pia kama mukhtar abu zubair aliyataka makabila ya kisomali kujiunga na kile alichokiita jihadi baadaye hapo tarehe 23 juni kiongozi wa alshabaab katika mkoa wa shabelle ya kati yusuf sheikh isse anayefahamika pia kama kabakutukade aliwataka viongozi wa makabila ya kisomali na wafanyabiashara kuchangia uwezo wa kujilinda na juhudi zake za kuyalinda maeneo yaliyo kwenye udhibiti wake
haad aliiambia sabahi kwamba wito wa viongozi wa alshabaab kuunga mkono na kufadhili harakati zao za kijeshi si kitu kipya tunayataka makabila ya somalia kutokutoa aina yoyote ya msaada kwa makundi yenye misimamo mikali yaliyokataa amani alisema kinyume chake tunayahamiza makabila hayo kupigana dhidi ya alshabaab
kiongozi wa kikabila sultan mohammed saeed pia aliwataka wananchi kusimama dhidi ya kundi hilo lenye mafungamano na alqaeda
tunawataka raia wanaoishi kwenye maeneo yaliyo chini ya udhibiti wa waasi kuanza wimbi la upinzani na kukataa matendo ya kikatili ya kundi hilo la siasa kali aliiambia sabahi
tunayahimiza makabila haya kuanzisha mapinduzi dhidi ya alshabaab wakifuata mfano wa mapinduzi katika nchi za kiarabu tuna hakika kwamba makabila haya yanaweza kuliondosha kundi la siasa kali la alshabaab kwenye maeneo yao ikiwa wana nia ya kweli na madhubuti ya kufanya hivyo alisema
saaed alisema makabila yanaweza kutekeleza jukumu muhimu katika vita dhidi ya alshabaab kwa kuisaidia serikali kuwafurusha wanachama wake katika maeneo yao na kupenyeza taarifa kwa vyombo vya usalama kuhusiana na harakati za kundi hilo
alshabaab wawabughudhi wenyeji
hussein mohamud osoble kamanda wa wanamgambo wanaoiunga mkono serikali wa ahlu sunna wal jamaa alisema alshabaab daima imekuwa ikiwaghilibu na kuwafanyia matendo ya kigaidi wananchi wamekuwa wakitoza kodi kubwa kwa makabila yanayoishi kwenye maeneo wanayoyadhibiti katika mkoa wa kati wa galgadud alisema wanamgambo wameweka faini kwa koo na wenyeji kuanzia dola za kimarekani 6000 hadi 9000 kwa mujibu wa ukubwa wa ukoo katika sehemu ya mashariki ya mkoa wa galgadud kwa lengo la kugharamikia shughuli zao za kigaidi
osoble alisema wenyeji hawana hiari ila kulipa fedha hizo kwa kuhofia matokeo mabaya
mchambuzi wa masuala ya kisiasa abdiqadir muse anasema alshabaab inayatoka kodi makabila kwa sababu vyanzo vyao vya kifedha vimekauka kutokana na kupoteza udhibiti wa miji na maeneo muhimu yaliyolipatia mapato kundi hilo
kwa kuwa alshabaab imepoteza maeneo na miji mingi muhimu kwa miezi michache ya hivi karibuni kundi hilo liko kwenye hali ngumu na haliwezi kuwalipa wapiganaji wake kwa sababu ya upungufu wa fedha muse aliiambia sabahi
kwa kuanza kukauka kwa vyanzo vyake vya fedha kundi hilo limeanza kutumia njia ya kutoza kodi na faini kubwa kwa makabila
kuutafsiri vibaya uislamu kuhalalisha wizi
mbunge mohamed omar gedi alisema alshabaab imeanza kuiba mifugo kutoka kwa wananchi huko juba kwa kisingizio cha zakkat
wanamgambo hao wa siasa kali huiuza mifugo sokoni kwa kugharamikia mashambulizi yao ya kigaidi dhidi ya watu wa somalia alisema tabia hii ni ushahidi wa wazi kwamba matendo ya wanamgambo hao wa siasa kali hayana uhusiano na uislamu kwa sababu uislamu unakataza kuiba mifugo kutoka kwa watu masikini na kutumia fedha kugharamikia vita dhidi ya watu
gedi alisema alshabaab yametumia njia nyingine kadhaa kugharamikia shughuli zake za kigaidi kama vile kuteka nyara wageni kwa ajili ya kupata fedha za kikomboleo na kushirikiana na maharamia wa kisomali
sheikh ahmed dhiisow anayeongoza baraza la maulamaa la somalia alisema alshabaab haina madaraka ya kidini ya kukusanya zakkat alisema alshabaab inautafsiri vibaya uislamu na ni waasi wa kiitikadi na ndio sababu wanachama wake wamekuwa wakijivunia kutangaza kwamba wao ni tapo la alqaeda nchini somalia
kile kinachofanya alshabaab nchini somalia hakiweza kuitwa jihadi dhana ya jihadi ni kuwapa nguvu wanyonge kuwalinda waislamu na kueneza uislamu sio kuwadhalilisha waislamu na kuwalipua kwa mabomu watu wasiokuwa na hatia dhiisow aliiambia sabahi
(jumla ya kura 24)
osman xaaji
august 17 2012 @ 094604pm
ugaidi unaonesha tabia ya watu wanaoabudu shetani na kuumwa wendawazimu na hii ndio sababu moja inayoongoza kwa umuhimu wa mashirikiano katika kushughulikia ugaidi na aina zake zingine kwa sababu hii umuhimu wa mazungumzo ya kidini katika jamii ili kuwaamsha watu kutokana na hatari za ugaidi na kuushughulikia kiakili suluhisho sio kupambana na ugaidi katika uwanja wa vita tu bali pia kufanya juhudi za pamoja kwa jamii nzima rasmi na vyombo vya habari ili kufikia fikra potofu na kuonesha na kutambua uongo kwa vizazi aina nyingi za ugaidi zinatupelekea kupambana nao kwa nguvu sana kwa kina na uaminifu bila ya kupumua au unafiki
jeremiah jeremy
july 6 2012 @ 064803am
tuwang'oe alshabaab moja kwa moja
kenn mutuma
july 4 2012 @ 044545am
hali inapwaya | 2013-05-23T05:14:26 | http://sabahionline.com/sw/articles/hoa/articles/features/2012/07/03/feature-02 |
chadema wazungumzia masharti mapya ya mikopo elimu ya juu millardayocom
chadema wazungumzia masharti mapya ya mikopo elimu ya juu
chama cha demokrasia na maendeleo chadema kupitia kwa waziri kivuli wa wizara ya elimu sayansi na teknolojia suzan lyimo amedai baadhi ya masharti ya mikopo ya elimu ya juu inaimarisha dhana ya ubaguzui na matabaka katika utoaji wa elimu ya juu nchini
lyimo amesema kuwa masharti hayo yanayomtaka muombaji wa mkopo kuwa chini ya miaka 30 kuomba mkopo akiwa amemaliza kidato cha sita au awe na sifa linganifu kama diploma ndani ya miaka mitatu mpaka kipindi cha kuomba mkopo huo
>>>tunapendekeza marekebisho ya masharti haya ikiwa ni pamoja na kuundwa kwa tume maalumu ambayo itaangalia changamoto katika mfumo wetu wa elimu kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu tume hii pia iangalie jinsi tutavyoweza kugharamia elimu ya juu suzan lyimo
ulikosa chadema wafunguka azimio jingine la kamati kuutazama kwenye hii video
← previous story mwenzake akamwambia huyu piga risasi mke asimulia alivyopigwa risasi na polisi
next story → maamuzi ya mahakama kuu kuhusu cuf kupewa ruzuku | 2017-11-21T06:12:36 | http://millardayo.com/4sds/ |
azam yaendelea na makamuzi ya maandalizi ya ligi kuu msimu ujao mtaa kwa mtaa blog
home michezo azam yaendelea na makamuzi ya maandalizi ya ligi kuu msimu ujao
zaynab zubeir july 14 2017 michezo
wachezaji wa azam wakiwa katika mazoezi leo asubuhi ikiwa ni katika maandalizi ya msimu ujao chini ya kocha mkuu wa azam fc aristica cioaba na iddy cheche
wachezaji wa azam wakiwa katika mazoezi ya viungo leo asubuhi ikiwa ni katika maandalizi ya msimu ujao chini ya kocha mkuu wa azam fc aristica cioaba
posted by zaynab zubeir at july 14 2017 | 2018-11-19T00:02:37 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/07/azam-yaendelea-na-makamuzi-ya.html |
usiwe mwepesi kutoa ushauri kwa mtu | mtanzania
home makala usiwe mwepesi kutoa ushauri kwa mtu
umewahi kuombwa ushauri na mtu ulijisikiaje ilikuchukua muda gani kutoa ushauri ulioombwa tunaombwa ushauri na rafiki ndugu jamaa au mtu mwingine yeyote aliyefikiri tunaweza kumsaidia kupata ufumbuzi wa changamoto inayomkabili
tunaombwa ushauri na watu wanaotafuta ufumbuzi kwenye mahusiano yake ya ndoa mapenzi urafiki utendaji wa kazi imani na masuala mengine ya kimaisha ingawa hatuwezi kukiri moja kwa moja wengi wetu tunafurahi kuombwa ushauri
unapoona watu wanakufuata kwa ushauri mara nyingi ni dalili kuwa watu wanaona kitu cha ziada ambacho pengine si wengi wanacho unapoombwa ushauri unajisikia kuwa mtu muhimu katika jamii
mtu mwenye uzoefu zaidi maarifa zaidi ujuzi zaidi na hata uelewa zaidi ya watu wengine ndiye anayeombwa ushauri kwa sababu hiyo tunakuwa wepesi kushauri
lakini hebu jiulize unajisikiaje ukimpa mtu ushauri na akaupuuza chukulia mtu amekuja kwako akaomba umshauri namna ya kutatua changamoto fulani katika maisha
umempa ushauri ukiamini kuwa akiutumia tatizo lake litapata ufumbuzi kwa mshangao unakuja kugundua baadaye kuwa hakutumia ushauri wako ungejisikiaje
nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa mwaka wa mwisho shuleni niliwahi kumshauri kijana mmoja kuachana na mchumba wake urafiki na ukaribu wetu ulinisukuma kumtahadharisha kuhusu tabia ya msichana aliyekuwa anapanga kumwoa baada ya masomo yetu
nilimfahamu msichana huyo na sikufikiri angefaa kuwa mke wa rafiki yangu wa karibu kwa hiyo bila kufikiri sana na bila kujua nini kilikuwa kinanisukuma kutoa ushauri ule nilimwendea rafiki yangu na kumweleza ninayoyajua kuhusu mchumba wake kwa matumaini kuwa angefanya maamuzi ya kuachana naye ushauri wangu haukupokelewa vizuri
kuona hajachukua hatua za kutosha ilibidi nitafute muda mwingine niweze kumpa ufafanuzi wa kina na kisha kumshauri moja kwa moja kwamba mchumba yule hakuwa anamfaa
pengine kwa kulinda urafiki wetu yule bwana alinishukuru kwa kumwambia ukweli ambao hakuwa anaujua na hatimaye baadaye aliniarifu kuwa amefanya uamuzi wa kuachana na mchumba wake huyo kusikia hivyo nilijisikia vizuri kwamba nimeeleweka
wakati huo nilifikiri ile ilikuwa furaha ya kuona rafiki yangu ameepuka hatari niliyokuwa naiona lakini leo hii ninaamini ile ilikuwa furaha ya kujiona mtu muhimu mwenye busara zinazoweza kusikilizwa na mtu angu wa karibu
nafikiri hiki ndicho kinachotokea tunapotoa ushauri kwa watu tunajisikia watu wenye uzoefu uelewa ujuzi weledi zaidi
lakini wakati mwingine inakuwa kinyume kama ilivyotokea kwangu miezi michache baada ya kumaliza masomo yetu nikasikia rafiki yangu anamwoa mchumba yule yule aliyekuwa amekubali kuachana naye tukiwa shuleni
nilijisikia vibaya nikamwona rafiki yangu yule kama msaliti kwa nini kuukataa ushauri wangu kulimaanisha ule weledi ujuzi uzoefu niliokuwa nimefikiri ninao kuna mtu ameupuuza
kwamba hakufanyia kazi kile nimemshauri maana yake amenidharau huenda na wewe umewahi kukutana na matokeo kama hayo katika harakati za kutoa ushauri usiohitajika kwa watu
lakini pia si mara zote unachomshauri mtu hukataliwa wakati mwingine unaweza kumshauri mtu jambo akalifanyia kazi kama ulivyomshauri lakini likamletea matatizo
chukulia umemshauri rafiki yako afanye biashara ambayo kwa uzoefu wako haitamwangusha rafiki yako anakuamini na kweli anaianzisha
miezi michache baadaye anakufuata kuwa amepoteza fedha zake kwa sababu biashara uliyomwambia ingemlipa imekufa utajisikiaje
namfahamu mwalimu mmoja mzoefu aliyemshauri mwanafunzi wake akasome masomo ya sayansi kwa kidato cha tano na sita moyo wa mwanafunzi yule ulikuwa kwenye masomo ya biashara
lakini kwa sababu mwalimu alikuwa amemshawishi kusoma sayansi na alikuwa anafaulu ilibidi akasome masomo ya fizikia kemia na hisabati
miaka miwili baadaye matokeo ya kidato cha sita yalipotoa mwanafunzi alimletea mwalimu mrejesho kuwa ameshindwa mtihani na maisha yake yameharibika
hiyo ndio hasara ya kutoa ushauri unaoleta matokeo mabaya kwa uliyemshauri
nimejifunza kutokutoa ushauri kwa mtu hata kama ninaweza kuwa na uelewa wa kile anachokihitaji kuliko yeye lakini bado siwezi kuelewa undani wa mtu kiasi cha kuamini ninaweza kumwambia nini cha kufanya na kweli kikafanya kazi
kuepuka kumwingiza kwenye matatizo yanayoweza kutokana na ushauri wangu nimejifunza kumpa taarifa kumweleza mtu jambo ninalodhani linaweza kumfungua macho badala ya kumwambia nini cha kufanya
kuliko kumwambia mtu aachane na mchumba wake kwa mfano ninaweza kumweleza matokeo ya kuishi na mtu mwenye tabia fulani badala ya kumwelekeza mtu maamuzi anayopaswa kuyachukua kuhusu maisha yake ninaweza kumpa taarifa zitakazomsaidia kufanya maamuzi yeye mwenyewe
badala ya kumfanya mtu ajione hawezi kufanya kitu bila kushauriwa ninamsaidia kujiamini ili aweze kuyatazama mambo kwa upana wake na kisha achukue maamuzi atakayowajibika nayo yeye mwenyewe unakubaliana na funzo hilo
je inawezekana kumpa mtu taarifa bila kumshauri nini cha kufanya
na christian bwaya mhadhiri wa saikolojia chuo kikuu cha kikatoliki mwenge (mwecau) twitter @bwaya simu 0754870815
previous articlewananchi wajengwe kisaikolojia kukabili corona
next articlemadai tume huru ya uchaguzi yanavyopata msukumo mpya | 2020-05-31T17:21:51 | http://mtanzania.co.tz/usiwe-mwepesi-kutoa-ushauri-kwa-mtu/ |
ttcl waja na ttcl pesa nawapongeza kwa hatua hii | jamiiforums
ttcl waja na ttcl pesa nawapongeza kwa hatua hii
thread starter mzalendo39
naiona nchi yangu tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya ttcl kuja na huduma ya kifedha
hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano
hongera rais magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza
[hashtag]#tanzania[/hashtag] kwanza# team mzalendo#
reactions richard fekifeki princess ariana and 15 others
reactions frank lion mtazamo soso j and 3 others
big up tutafika tu hongera jpm pamoja na wasaidizi waaminifu na waadilifu kwa serikali
reactions mtazamo soso j come27 and 1 other person
ipo kwenye menu tayari
mdogomdogo mwisho tutafika
reactions mtazamo rasilimali watu ipogolo and 1 other person
wamekumbuka shuka alfajiri wamezidiwa coverage na halotel kampuni ya serikali lakini imelala sana labda jpm akiisukuma ingawa kuna watu baada ya miaka 10 wanaweza kuiua dawa yake ijisajiri kwenye dse ili watu waimiliki kwa walau 35
reactions mad max kutatabhetakule fekifeki and 6 others
wajitahidi kua na mawakala ili tupate laini zao maana hazipatikani kirahisi
kiufupi wajitahidi kusambaza huduma
reactions mad max king jumer jephta2003 and 1 other person
nawapa kongole kwa kupiga hatua
waweke na huduma zingine kama za malipo ya bilinetc nitakuwa mteja wao maana kwa sasa sina mbadala wa hawa waliopo wote wapigaji
reactions mkombengwa fekifeki come27 and 1 other person
wakomae tu kwenye data huko kwingine watafeli kama walivyofeli zantel
reactions kunguni wa ulaya mtazamo blackt and 3 others
no inatakiwa 51 iuzwe kwa umma ili iendeshwe full kibiashara bila stress za kisiasa pale watakapokuwa na full maamuzi yanayotegemea utashi tu wa viongozi
reactions come27 and ipogolo
wao ndo serikali dawa wawe na huduma bora wapige promo na wajiweke chini upande wa gharama za huduma kwa miaka kadhaa watasogea tu
reactions come27 rasilimali watu and ipogolo
tatizo la zantel mambo ya dini naona kama yanaendekezwa sana
anyway ttcl pesa naona kama jina lefu wangeita tu t pesa
reactions the monk kahigwa fekifeki and 17 others
dullynho
wameanzisha bilacode za t pesa
bado hili shirika lina safari ndefu sana kuweza kuwa na ushindani thidi ya makampuni mengine kwa sababu kuu moja wafanyakazi wake wengi wanaelimu ndogo na uelewa mdogo jambo ambalo linasababisha maendeleo yake kuwa na kasi ya kinyonga mpaka watakapostaafu wote walioingia kufanya kazi kwa uzoefu na sio elimu hapo ndipo ttcl itafufuka rasmi
reactions brazuca mjamaa1 michael paul and 2 others
ttcl kuanza sio kufika ila mnabidi mkimbie haswa twajuwa sababu zilikuwa kufanya kazi kwa mazoea na kutokuwa makini ila mkimbie haswa maana kila kitu mnacho kazi kwenu
reactions dadaake and mjamaa1
hawa sijui wapoje
ilipaswa kuwa hivyo
lakini yote na yote
tuwapo pongezi kwa kurudi
reactions rasilimali watu and mkaruka
ttcl wagawe line bure watapata wateja
kununua 2000 watu wanaona kero
pongezi kwenu kwa kweli
changamoto ipi unayopata pindi unatumia mtandao wa ttcl habari na hoja mchanganyiko 68 jul 1 2020
ttcl hamuendi mbinguni habari na hoja mchanganyiko 3 jun 23 2020
ttcl mna tatizo gani leo siku ya 6 kila nikijaribu kutuma sms zinagoma habari na hoja mchanganyiko 10 jun 14 2020
wangapi mlipitia huku tulipokuwa watoto tuliharibu sana miundo mbinu ya ttcl habari na hoja mchanganyiko 2 may 27 2020
nimejitahidi kuwa mzalendo lakini internet ya ttcl ina spidi ya kobe habari na hoja mchanganyiko 12 apr 25 2020
changamoto ipi unayopata pindi unatumia mtandao wa ttcl
ttcl hamuendi mbinguni
ttcl mna tatizo gani leo siku ya 6 kila nikijaribu kutuma sms zinagoma
wangapi mlipitia huku tulipokuwa watoto tuliharibu sana miundo mbinu ya ttcl
nimejitahidi kuwa mzalendo lakini internet ya ttcl ina spidi ya kobe | 2020-07-10T00:31:30 | https://www.jamiiforums.com/threads/ttcl-waja-na-ttcl-pesa-nawapongeza-kwa-hatua-hii.1272092/ |
tahariri tcra izimulike blogs uchwara na kuzichukulia hatua kali | sunday shomari
home karibu tahariri tcra izimulike blogs uchwara na kuzichukulia hatua kali
tahariri tcra izimulike blogs uchwara na kuzichukulia hatua kali
previous articletip top connection na bongo fleva zimepata huu msiba mkubwa leo
next articledavid kanumba afunga ndoa atlanta georgia | 2018-02-23T04:37:05 | http://sundayshomari.com/tahariri-tcra-izimulike-blogs-uchwara-na-kuzichukulia-hatua-kali/ |
kusafiri kwa psychic bob magick kitamaduni cha utakaso kusoma kwa maandishi ya kiroho
online masomo ya akili > video > safari ya psychic bob magick dini ya utakaso
megan huenda 19 2017 videotagged magick magick inaelezea kati mediums psychic maadili kiibada s spell kusafiri msafiri kusafiri wicca wiccan waumini wa dini mchawi uchawi mchawi2 maoni kusafiri kwa psychic bob magick dini ya utakaso
hey tubies kukusanya pande zote kama ninaendelea mfululizo wangu kwenye travel magick leo sisi kuchunguza ibada rahisi kwa ajili ya utakaso wa watu maeneo na vitu
vitabu vya shadows na maelekezo http//wwwrarewiccaspellscom/
vitabu vya psychic bob http//wwwroberthickmancom/bookshtml
mei 19 2017 katika 6 54 pm
mimi tu nimemaliza ujumbe kutoka rose nilifurahia sana
yay ni psychic bob | 2020-01-20T03:26:32 | https://sw.psychicbonus.com/psychic-bobs-travel-magick-ritual-of-purification/ |
madrid yatete kombe la mabingwa wa ulaya baada ya kuinyuka juve mabao 41 ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
madrid yatete kombe la mabingwa wa ulaya baada ya kuinyuka juve mabao 41
siku moja kabla ya pambano la fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya mwaka 2017 almaarufu kama uefa champions league kocha mkuu wa real madrid mfaransa zinedine zidane alimwagia sifa lukuki mshambuliaji wake kutoka ureno christiano ronaldo kuwa anajua kulisakata kabumbu pengine kuliko yeye (zidane) wakati akicheza na kwamba anaamini ronaldo ataiongoza vema safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kuibuka mshindi na kutwaa kombe hilo dhidi ya juventus ya italia usiku wa kuamkia leo juni 4 2017 mjini cardiff wales
ama kwa hakika hivyo ndivyo ilivyokuwa christiano ronaldo akipachika mabao mawilicasemiro bao moja na marco asenso bao moja na hivyo madrid kuibuka na ushindi mnono wa mabao 41 bao la juventus lilipachikwa wavuni na mandsukic ambaye alifunga bao zuri la ksuawazisha
ushidni huo unaifanya madrid kuwa timu ya kwanza barani ulaya kufanikiwa kulitete taji lake la mabingwa ulaya na juventus kwa mara ya kwanza inakubali kipigo kikubwa cha mabao katika mchezo wa fainali katika historia yake
hata hivyo mshambualiaji wa juventus alilambwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya njano mara mbili kwa kumchezea vibaya tena kwa makusudi mlinzi sergio ramos na hivyo kuwalazimu kucheza pungufu uwanjano japo kwa dakika chache za kipindi cha lala salama | 2017-08-20T08:02:47 | http://khalfansaid.blogspot.com/2017/06/madrid-yatete-kombe-la-mabingwa-wa.html |
mkuu wa mkoa wa dar paul makonda adondosha chozi mbele ya wana habarini ya ripoti ya kutobolewa macho kikatili ndugu saidi na scorpion kusema hataweza kuona tena | tanuru la fikra blognews
home uncategories mkuu wa mkoa wa dar paul makonda adondosha chozi mbele ya wana habarini ya ripoti ya kutobolewa macho kikatili ndugu saidi na scorpion kusema hataweza kuona tena
mkuu wa mkoa wa dar paul makonda adondosha chozi mbele ya wana habarini ya ripoti ya kutobolewa macho kikatili ndugu saidi na scorpion kusema hataweza kuona tena | 2018-07-23T13:44:49 | http://www.tanurulafikra24.com/2016/10/mkuu-wa-mkoa-wa-dar-paul-makonda.html |
ndege ya marekani yatunguliwa nchini iraq na dola ya kislaam waendelea kuutwa miji zaidi
tuesday august 19 2014 221302 in warbixinno/qorallo xul ah by super admin
habari kutoka nchini iraq zinaeleza kuwa vikosi vya mujahidina wa dola ya kislaam wamepambana vikali na wavamizi wa misalaba kutoka amerika pamoja na wanamgambo wa murtadina
baada ya mapigano makali yaliofanyika mkoa wa neynawaa mujahidina wa dola ya kislaam kwa uwezo wa allah wamefanikiwa kuchukua ghanima za magari za kivita kutoka kwa wanamgambo wa bashmaar na pia wamewachukua mateka wanamgmbo wa ki'almaani wapatao 150
duru zinaarifu kuwa kikosi cha anga cha mujahidina wa dola ya kislaam wamefanikiwa kuutungua ndege za kivita inayomilikiwa na mal'uni utawala wa amerika
taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao za kijamii ilisema kuwa afisa aliyekuwa akiendesha ndege hiyo amekamatwa ambaye alikuwa mmarekani lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka upande wa mujahidina wa dola ya kislaam
upande mwingine ndege iliyokuwa ikimilikiwa na wanamgambo wa kishia imetunguliwa nje ya mji wa tikrit mkoani salahudiinsiku ya jana vikosi mbalimbali vya kivita viliwaka motovikosi vya mujahidina wamepata mafanikio makubwa kwenye mapambano ya nje ya upande wa kusini mwa mji wa baghdaad
mitandao zinazoripoti kwenye mapigano ya nchini iraq zimethibitisha kuwa mujahidina wamefanikiwa kuuteka bonde la al ladifiyah na kuangusha ndege za kivita
taarifa rasmi iliyotolewa na dola ya kislaam khususan wilayatul islamiah ya neynawaa ilitoa bishara kwa waislaam na kufafanua habari za mwisho kuhusiana viwanja vya mapambano ya jihadi ya mkoa huo na maeneo waliofikia vikosi vya mujahidina na yale ya kitaghuti
vikosi vya dola ya kislaam inayodhibiti maeneo makubwa ya iraq na syria wamekanusha habari iliyoenezwa kuwa mujahidina wamepoteza eneo la mto iliyo je kidogo na mji wa muusil ambapo siku chache zilizopita waliuchukua kutoka kwa wanamgambo wa bashmaar walio vibaraka
rais wa marekani barack obama alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini washington amesema wanajeshi wa angani wa us wamewarahisishia wanamgambo wa kikurdi kuchukua eneo la mto wa maji iliyo nje ya mji wa muusilinaonekana wazi markani sasa anapigana mmoja kwa mmoja na mujahidina wa iraq tangu miaka ya 2011 ambapo ilikuwa siku wanajeshi wa marekani walipoikimbia iraq
visits 206161
visits 125583
visits 122961
visits 104477
visits 103964
visits 79433
visits 69786 | 2020-07-03T09:32:51 | https://somalimemo.net/articles/739/Ndege-ya-Marekani-yatunguliwa-nchini-Iraq-na-Dola-ya-Kislaam-waendelea-kuutwa-miji-zaidi |
wananchi singida wambeba mbunge wasukuma gari lake msumba news blog
wananchi singida wambeba mbunge wasukuma gari lake
mbunge huyu hana wa kumlinganisha naye amejitahidi sana kutuletea maendeleo katika kata yetu yenye vitongoji vitano vya kaugeri mdughuyu mlandala mpugizi na mwaru
kwa kazi hii kubwa iliyofanyika hatuna wasiwasi ccm itapata ushindi mnono ambao haujawahi kupatikana katika uchaguzi wowote tuliowahi kuufanya alisema makangale | 2019-12-13T00:04:13 | http://www.msumbanews.co.tz/2019/07/wananchi-singida-wambeba-mbunge.html |
boss ngasa official website sentensi 3 zinazotajwa kawaida ambazo mwanamke hapaswi kabisa kumwambia mmewe/mchumba )f==urlmyprofile&&
tazama jinsi mke wa mjomba akifanya mapenzi na shangazi yake wote jinsia ya kike bofya hapa kuitazama video video mtoto mzuri kama huyu anatafta nini kueka picha zake za uchi mtandaoni
videomc pilipili huenda akaozea jela baada ya kumtania rais na lemutuzi
picha za uchi za aunt ezekiel zavuja nimeshikwa live nikiwa na chupi ya house girl mkononi picha za uchi za shilole zaenea
shilole amlipia kodi ya nyumba nuh mziwandamke afunguka video of day
sentensi 3 zinazotajwa kawaida ambazo mwanamke hapaswi kabisa kumwambia mmewe/mchumba sentensi 3 zinazotajwa kawaida ambazo mwanamke hapaswi kabisa kumwambia mmewe/mchumba wednesday may 31 2017
ulimi ni kiungo muhimu sana kwenye maisha ya binadamu neno moja linaweza kujenga au kubomoa ukuta mkubwa wa ndoa uliojengwa kwa gharama kubwa ya uvumilivu uaminifu na upendo
hivyo ni jambo muhimu sana kukumbushana japo kwa machache baadhi ya sentensi zinazotumika mara kwa mara na kuonekana kuwa za kawaida lakini
zinaweza kuwa chanzo cha kuvunja ndoa au kuvuruga uhusiano uliostawishwa kwa gharama kubwa
leo nitagusia sentensi tatu za kawaida kabisa ambazo hutumiwa na baadhi ya wanawake bila kufahamu kuwa zinaweza kuwa chanzo kikuu cha kuutafuna uhusiano wao
mama yangu alinionya kuwa utanifanyia hivi
sentensi hii inaweza kumfanya mmeo kuwaza mengi sana kuliko ulivyomaanisha wewe pale unapotaka kumkosoa kwa alichokifanya kwanza atagundua kuwa una watu wengi nyuma yako ambao wanakusaidia kumfikiria hasi
kibaya zaidi unapomuweka kwenye kundi hilo mama yako ambaye yeye anamheshimu sana hii linaaweza kupelekea mchumba au mme wako kutokumuamini mama yako na kuanza kumuona kama adui wa uhusiano wenu unadhani mama yako akiwashauri jambo atalichukuliaje hata kama ni zuri
unafikra kama za baba yako (unapomkosoa)
bila shaka unafahamu ni kiasi gani wanaume huwaheshimu sana na kuwaamini
sana baba zao ambao wamewashauri mengi hadi walipofika hapo hata kama huwa anakueleza baadhi ya fikra au mawazo ya baba yake asiyokubaliana nayo usidhubutu kabisa kumtolea mfano kumuonesha kuwa na wewe unamchukulia hivyo mzazi wake
kukosoana ni suala zuri katika maisha ili kurekebishana lakini angalia njia nzuri ya kupinga hoja ya mwenzi wako kwa ustaarabu kuepuka kumkera
hivi lini utapata kazi mpya
swali hili sio baya lakini kwa jinsi lilivyoulizwa lina kila dalili za kuleta shida sana kwenye fikra za mumeo/mchumba wako kwanza atajua ni kiasi gani unafikiria vibaya kuhusu maisha yenu hasa kiuchumi ni bora kumwambia mume wangu ninakuombea sana upate kazi mpya ni ujumbe uleule lakini jinsi ulivyofikishwa unatofautiana sana
picha za uchi za aunt ezekiel zavuja nimeshikwa live nikiwa na chupi ya house girl mkononi jamani leo ni siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiumenimekaa nalo moyoni naona niwashikirikis
shilole amlipia kodi ya nyumba nuh mziwandamke afunguka june 22 2017 kupitia xxl ya clouds fm mtangazaji soudy brown ametusogezea u heard ambayo inamuhusu mwimbaji wa bongofleva nuh mziwan | 2017-06-29T14:19:23 | http://www.bossngasatz.com/2017/05/sentensi-3-zinazotajwa-kawaida-ambazo.html |
katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa kijiji cha olkokola wanaonyesha kukataa kata kata kupokea mradio wa maji wa vijiji vitano unaotegemewa kutekelezwa ndani ya kijiji chao kwa madai kuwa mradi huo umesanifiwa kutumia vyanzo vyao vya maji vya tiasilele na nadung'oro na kuwa wananchi hawana uwezo wa kulipia gharama za maji
jambo la kusikitisha zaidi hata wanawake wa olkokola wanaotumia muda mwingi kuchota maji wamekuwa mstari wa mbele kukataa mradi huo wa maji licha ya kauli mbinu na mipango ya wizara ya maji na umwagiliaji ya mtue mama ndoo na lengo la kuhakikisha maji yanapatikana umbali usiozidi mita 400 na mwanamke
wananchi wa hao wamekataa kupokea mradi huo kwenye mkutano wa kijiji licha ya kuwa timu ya watalamu wa halmashauri ya arusha kuwaelezea namna mradi utakavyotekelezwa na juu ya sera ya serikali ya mwaka 2002 na sheria namba 12 ya mwaka 2009 ya kulipia huduna ya maji
aidha wananchi wanapaswa kufahamu kuwa rasilimali maji ni mali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kulingana na sheria namba 11 ya mwaka 2009 kifungu cha 10 hivyo mtu yoyote anaruhusiwa kutumia kwa mujibu wa sheria
mradi huo wa maji unatekelezwa kwenya vijiji viwili na vitongiji vitatu kupitia shirika la wateraid kwa ufadhili wa idara ya maendeleo ya uingereza 'dfid' kwa mwaka wa fedha 2017/2018 | 2018-09-20T16:59:17 | http://www.arushadc.go.tz/new/wananchi-wa-kijiji-cha-olkokola-wahitaji-elimu-zaidi-juu-ya-uchangiaji-gharama-za-maji-na-umiliki-wa-vyanzo-vya-maji |
blogu ya mtanzania halisi | just another wordpresscom weblog
karibuni kikaoni
karibuni kwenye blogu ya mtanzania halisi
hii ni blogu ambayo itaanzisha mjadala endelevu kuhusu mustakabali wa watanzania kisiasa kijamii na kiuchumi pamoja na kwenye ulingo wa sayansi na teknolojia
mnakaribishwa kuandika makala za kuchochea mijadala endelevu hata kama mijadala hiyo itawagusa baadhi ya wadau semeni wazi wazi bila woga huu ndio msingi wa blogu hii
kwa wale wenye taarifa za ufisadi na hawataki majina yao yatokee humu ndani wanaweza kunitumia mimi taarifa hizo na nikazipost humu ndani nitawaelezeni baadaye jinsi ya kutuma taarifa hizo
posted in maelezo | 2018-01-21T02:47:00 | https://mtanzaniahalisi.wordpress.com/ |
dj sek gari yagonga mnazi huko kibele unguja na kuukata waangukia gari dereva apona
gari yagonga mnazi huko kibele unguja na kuukata waangukia gari dereva apona
dereva wa gari hili z 511 fg ambaye inaaminika ni askari wa jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (tpdf) (jina halikupatikana) ameponea chupuchupu baada ya mifumo ya usalama ya gari hili ilipofanikiwa kufyatua puto mara tu baada ya gari hili kukosa mwelekeo na kugonga mnazi
ajali hii imetokea katika kijiji cha kibele wilaya ya kati mkoa wa kusini unguja na inaaminika kuwa dereva huyo alishindwa kuidhibiti gari ndogo aina
ya toyota spacio kutokana na mwendo kasi ambayo ilihama barabarani na kugonga mnazi ambao uliangukia gari na baadae gari kuwaka moto
dereva alitolewa ndani ya gari akiwa amebanwa na puto (air bags) zilizofyatuka na kuokoa uhai wake alipata majeraha madogo ya kuchubuka kwenye mikono yake iliyokuwa inavuja damu
posted by dj sek at 754 am | 2018-02-20T03:27:09 | http://dj-sek.blogspot.com/2015/11/gari-yagonga-mnazi-huko-kibele-unguja.html |
arsenal kujipima nguvu na palace | michezo | dw | 10042017
arsenal kujipima nguvu na palace
mlinzi wa arsenal per mertesacker
ligi ya england premier league arsenal london ina kibarua dhidi ya crystal palece leo jioni (10042017) na mtihani mkubwa kwa kocha wao aserne wenger wakati timu hiyo iliyoko katika nafasi ya 6 na pointi 54 ikiwania kurejea katika timu bora nne na kufuzu kucheza katika champions league msimu ujao mafanikio ya arsenal leo yatatuliza mzuka wa mashabiki ambao wanataka kocha huyo aachie ngazi baada ya kupata matokeo yasiyoridhisha msimu huu katika ligi ya nyumbani na pia michuano ya kimataifa
kocha wa everton ronald koeman
jana jumapili (09042017)everton ilichafua rekodi ya kocha craig schakespeare wa leicester city kwa kuirarua timu hiyo kwa mabao 42 leicester ilishinda michezo mitano mfululizo ya ligi baada ya kumfuta kazi kocha aliyeitawaza timu hiyo bingwa wa premier league kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo februari mwaka huu kufuatia matokeo mabaya ambayo yaliiweka timu hiyo karibu na kushuka daraja
mchezaji wa leicester city riyad mahrez
sunderland ilishindwa kuhimili vishindo vya manchester united kwa kukubali mabao 30 chelsea ikaimarisha nafasi yake ya uongozi kwa ushindi wa mabao 31 dhidi ya bournemouth man city ikapata ushindi wa mabao 31 dhidi ya hull city na liverpool ikaimarisha nafasi yake ya kucheza michuano ya champions league msimu ujao kwa ushindi wa mabao 21 dhidi ya stoke city
real madrid inakaribia kutawazwa mabingwa wa la liga kwa mara ya kwanza katika muda wa miaka mitano baada ya kutoka sare ya bao 11 na atletico madrid barcelona ilishangazwa na kipigo cha kushitua dhidi ya malaga kwa mabao 20 na pia kadi nyekundu kwa nyota wao neymar
fc barcelona suarez na messi
edson cavani alipachika wavuni mabao 2 na kutengeneza bao moja lingine wakati paris saint germain ikipata ushindi wa mabao 40 dhidi ya guingmp na kuendelea na mbio za kuifukuzia monaco katika ubingwa wa ligi ya ufaransa
nice ambayo inatengana na psg kwa pointi moja ikiwa katika nafasi ya tatu ilipata ushini wa mabo 21 dhidi ya lille siku ya ijumaa wakati bao la radamel falcao liliipa ushindi monaco wa bao 10 dhidi ya angers siku ya jumamosi
ligi ya mabingwa barani ulaya champions league inaingia katika hatua yake ya robo fainali kesho jumanne na jumatano katika mkondo wa kwanza ambapo borussia dortmund ya ujerumani inaikaribisha monaco ya ufaransa katika uwanja wa signal iduna park mjini dortmund na ni timu hizi zinazoelezwa kuwa viwanda vya vijana chipukizi wanaotengenezwa kuwa nyota barani ulaya
djibril sidibe wa monacob akishangilia bao
fc barcelona nao watakuwa uwanjani kesho wakipambana na juventus turin ikiwa ni pambano linaloonekana kuwa marudio ya fainali ya msimu wa mwaka 2014 / 2015
kwa upande wa michuano ya kombe la shirikisho barani afrika klabu ya soka ya tanzania young africans ilifanikiwa kuiangusha mouloudia alger ya algeria kwa bao 10 jana jumapili wakati tp mazembe ya jamhuri ya kidemokrasi ya congo iliiangusha js kabylie ya algeria kwa mabao 20 enugu rangers ya nigeria itatoka sare ya mabao 22 na zesco utd ya zambia kcca ya uganda ikaiangusha al maery ya misri kwa bao 10 rivers united ya nigeria itapambana na rayon sport ya rwanda aprili 15
maneno muhimu premier league la liga arsenal arsene wenger
kiungo https//pdwcom/p/2b0zw
bayern yatota gladbach yapaa yaiwinda dortmund 26112018
borussoa moenchengladbach yasogea katika nafasi ya pili katika bundesliga ikiiwinda borussia dortmund bayern munich yatota majdala kuhusu kocha nico kovac wapamba moto kuna minong'ono ya jina la arsene wenger | 2018-12-16T17:44:15 | https://www.dw.com/sw/arsenal-kujipima-nguvu-na-palace/a-38373036 |
mahusiano na mapenzi | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mjombajona apr 20 2011
unapompa mwnamke kilakitu halafu anakusaliti hadharani bilakificho pamoja na kashfa kibao kama mwanaume rijali utafanyajeteeth
mjombajona
you have to understand that kilakitu is subjective in your mind you maybe thinking unampa everything wakati kwake yeye anaona unavyompa havitoshi and/or is nothing zilch so kama mwanaume rijali just read between the lines and move on it is clear that she does not appreciate nor feel for you what you are hoping that she does
you have to understand that kilakitu is subjective in your mind you maybe thinking unampa everything wakati kwake yeye anaona unavyompa havitoshi and/or is nothing zilch so kama mwanaume rijali just read between the lines and move on it is clear that she does not appreciate nor feel for you what you are hoping that she doesclick to expand
oouchclick to expand
ha why oouch care to share your thoughts
ha why oouch care to share your thoughtsclick to expand
you just kept in 100
unapompa mwnamke kilakitu halafu anakusaliti hadharani bilakificho pamoja na kashfa kibao kama mwanaume rijali utafanyajeteethclick to expand
huyo atakuwa hana mapenzi na wewe u have just to move on kama alivyosema nemo
kwa maana kama anaelewa thamani yako kwake hawezi fanya hayo
unamaanisha nini unaposema kila kitu hili ndio tatizo la wanaume wengi wanafikiri fedha magari majumba na anasa za dunia ndio mapenzi kumbuka hivyo unavyompa sivyo alivyovifuata kwako kama ni fedha hata yy anaweza kuitafuta kama kitanda hata kwao kipo eeeh hembu fikiri kuna kitu kimoja anakosa kutoka kwako ama anakipata lakini hakimtosholezi that's why ameamua kuchapa lapa ili kukuonyesha kuwa alichokua anategemea kwako hakukipata na amekipata kwa mtu mwingine
haya swali kwenu wanaume marijali mngefanyanini nasubiri kuona
kweli nemo you keep on the chase wastage of your precious time move on guy wamejaa mabinti wenye adabu wanatafuta wachumba tena kwa magoti wanamuomba mungu labda hujui mahali pa kutafutia ndg yangu au vipi 0 people likes
udhalilishaji dahhh
lakini yategemea na we
ulikuwa unafanya nini
sikubaliani na mtu yeyeto kudharauliwa
kiasi hicho lakini kuna wengi wenye short temper
kuna kitu kimekosekana kwenye story yako
ulifanya au ulimfanyia nini
ni vigumu sana kusema unampenda mtu unampa
kila kitu halafu akudhalilishe hadharani
labda awe hana akili timamu
aaa kumbe ni kwa wanaume rijali
ila kabla sijatoka ni hivi
we ukiona hivi mwenzako anaona vile
we wadhani wampa kila kitu kumbe hata nusu yake hujafika
jamani wanaume mnatakiwa muelewe kuwa material things doesn't count kama kila kitu kwa most of women
if you don't show her tlc hata kama umempa nini hatoridhika kamwe na hatimaye atafute mtu wa kumpa anachokikosa kutoka kwako
pole kijana onyesha mapenzi usitumie hiyo lugha ya kila kitu kwa mwanamke anayetaka mapenzi( doesn't include gold diggers though) kutoka kwako
soma hii ni signature ya swetdada nimeipenda sana
don't cry for someone who can't cry for youclick to expand
haswaaaa
ckia mjombajona ilikupata ushauri wenye kukujenga ungeweka historia yako na yeye wazi kama chanzo cha usaliti mlikutana katika mazingira gani ni mkeo au ni mchumba nk umefanikiwa kumpa everything laki hujampa utu huenda ulikuwa unamsimanga na vitu unavyompa wanawake wenye upendo wa dhati huwa hawaangalii vitu bali wanaangalia utu jiweke wazi upate ushauri mzuri
patamu hapo unamwona mtu priority kumbe wewe ni viceversa kwakeusikute kazoea kupokea anakuzingua yani hakupendi haridhiki/tosheki nk zinaweza kuwa sababu
mjombajona umesema anakusaliti hadharani bila kificho na kashfa kibao ningependa kujua hizo kashfa ni zipi
hivi kuna mtu anaweza kumpa mwenzie kila kitu mhh
hivi kuna mtu anaweza kumpa mwenzie kila kitu mhhclick to expand
sred klosed reason mleta mada katumia lugha ya uongo kufikisha ujumbe
reference post ya shosti hapo juu ambayo pia inakubalika kusimamia ushahidi mahakamani
mjombajona umesema anakusaliti hadharani bila kificho na kashfa kibao ningependa kujua hizo kashfa ni zipiclick to expand
labda ameambiwa ana kibamia au kipenseli khaaaaa tape2
labda ameambiwa ana kibamia au kipenseli khaaaaa tape2click to expand
ahaa ahaa mbona hiyo sio kashfa bana
kila kitu ndiyo nini au unamaanisha nini no one on this planet can give another human being kila kitu | 2016-12-05T19:11:15 | http://www.jamiiforums.com/threads/mahusiano-na-mapenzi.128307/ |
mkapa akikata ishus davos | jamiiforums | the home of great thinkers
mkapa akikata ishus davos
discussion in 'jukwaa la siasa' started by nyani ngabu oct 6 2007
habari zenu wandugu nilikuwa nimepotea kidogo lakini sasa nimerudi warehouse kulikuwa na push ya inventory kwa hiyo nilikuwa napiga double shiftsi mnajua tena kazi zetu hizi za mabox
haya katika pekua pekua yangu nikakutana na hii video kwenye youtube ya world economic forum ambayo mkapa alishirikiyeye ndio mzungumzaji wa kwanza furahieni last edited by a moderator jan 4 2016
mazee nyani karibu tena
yaani nimecheck ile opening remarks ya bwmjamaaa pamoja na mambo mengine anayosemwa humujamaa ni kichwa alikuwa naelewa matatizo yetuna sio simple answers kama ya jk ie i don't know
hivi bwm alisomea kitu gani vile
keep watching until midpointhe talks again about the mechanisms that are in place for poverty reduction and the responsibilities that we (the poor countries) bearvery impressive
hivi bwm alisomea kitu gani vileclick to expand
mazingaombwe teh teh teh teh kwi kwi kwi
1acknowledging bill gates for fullfilling his promises
2lets put the money where our mouths are
3very simple logic of eliminating debt servicing and poor nations will be able to use the same money to fight against malaria etc etc
4challenge to our developing countries is to transparently put down mechanism of how and what we collect in terms of revenues and how and what we use
5we project our budgets depending on our revenues and other bilateral reliefs
hiyo point namba 4sijui yeye mwenyewe bwm alifanya juhudi gani kuhakikisha hilo linakuwepo
hivi hizo $1million zilizochangwa kuna mtu anajua fate yake
mkapa amesomea language chuo kikuu makerere lakini suala hapa si fani gani umesomea bali kama una moyo kujituma kujifunza masuala mapya
yaani nimecheck ile opening remarks ya bwmjamaaa pamoja na mambo mengine anayosemwa humujamaa ni kichwa alikuwa naelewa matatizo yetuclick to expand
ohhh yah alikuwa akielewa matatizo yetu na dawa ya kuyatatua akatuapatia serikali tuliyonayo sasa ya akina karamagi
nilichofurahia katika video hii ni pale mwanadada mmoja fasta sana alivyoguswa na hoja za mzee ben on the spoti mwanadada akaanzasha harambee ya papo kwa papo kumpiga tafu ben kupambana na malaria tz
kufumba na kufumbua dola milioni moja zikapatikana
ben uwongo mbaya ngeli anaijua
halafu si ndo alikuwa mwandishi wa nyerere zamani
inawezekana hotuba za nyerere za ngeli enzi hizo zilikuwa zinakubalika kwa sababu ya ben
ni mcheza sinema sharon stone huyo(basic instincts)
bravoooooooooooooo mkapa
mkuu fmes sikatai hayo maneno yalitoka kwa bwmsoma swali langu vizuri nafikri utaelewa zaidi ninachosemaje unakumbuka satement ya jk kuwa mwacheni mzee wa watu apumzikeunajua mtandao ulishamuhakikishia bwm safe heavenmengine nafikir unayafahamu vyema zaidi kumbuka historia ya membe na jk walikotokea
kwa hiyo ni muuza lugha kama wanaijeria
kwa hiyo ni muuza lugha kama wanaijeriaclick to expand
ndio maana yake haswa
huyu ni kiongozi mbaya na hatari sana kuliko jk ambaye hajui anachokifanyaclick to expand
ni kweli jk hajui anachokifanya siamini katika hili wote bwm and jk wote ni mvinyo wa zamani
che nkapa anatisha kama ngomalakini kama ngoma yenyewe hana lolote la maana zaidi ya maangamizi kaaaaaazi kweli kweli
upo umuhimu wa kutafakari nafasi za hawa marais wastaafu naona sifa kibao hapa lakini naamini dakika hii unaweza kupata tafakuri nzito juu ya haya yaliyosemwa na mkapa na uhalisia wa sasa
haya katika pekua pekua yangu nikakutana na hii video kwenye youtube ya world economic forum ambayo mkapa alishirikiyeye ndio muzngumzaji wa kwanza furahieni [media]davos annual meeting 2005 funding the war on poverty youtube[/media]click to expand
thanks tor this
ukibahatia kupata na za rais kikwete tafadhali utuwekee au pia kwa yeyote ambaye ana access nazo itakuwa bomba naona audience wanamkubali zaidi lula wa brazil
mkuu nimeinagalia hii clip mpaka mwisho kwa kweli ni udhalilishwaji wa hali ya juu wazungu wanatuona kama vituko fulani vile mfano yule mwanamke aliyeanza kufanya harambe hapohapo ya kumchangia mkapa mimi nimeangalia nikiwa peke yangu lakini nilikuwa natafuta pa kujificha kwa aibu ni aibu kwa kweli hata sipati picha wantuonaje
jamani atakaye pata kamuda aangalie hii mpaka mwisho utajifunza kitu tu lazima
21100081 | 2017-05-29T20:48:47 | https://www.jamiiforums.com/threads/mkapa-akikata-ishus-davos.6007/ |
hawa ndio wana hip hop walioingiza fedha nyingi zaidi mwaka huu cash kings dar24
hawa ndio wana hip hop walioingiza fedha nyingi zaidi mwaka huu cash kings
jarida la forbes limetoa orodha ya wana hip hop matajiri zaidi orodha inayofahamika kwa jina la hiphop kings list ambayo inamuonesha p diddy katika nafasi ya kwanza akiingiza dola za kimarekani milioni 60
katika orodha hiyo iliyotolewa jana (septemba 22) p diddy anaonekana kuingiza kiasi kikubwa cha fedha kupitia biashara zake anazofanya nje ya muziki ikiwa ni pamoja na revolt tv biashara ya nguo zake za sean john biashara ya maji na kinywaji kingine cha ciroc vodka
jay z anashika nafasi ya pili katika orodha hiyo akiwa ameingiza dola milioni 56 ambapo kiasi kikubwa kinatoka kwenye ziara ya muziki ya on the run aliyofanya na mkewe beyonce knowles pamoja na kampuni ya roc nation
p diddy $60 million
diego costa ahukumiwa kwa kosa la kupiga
burudani/habari 7 days ago | 2020-07-12T12:50:57 | http://dar24.com/hawa-ndio-wana-hip-hop-walioingiza-fedha-nyingi-zaidi-mwaka-huu-cash-kings/ |
wanawake wilayani longido mkoani arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi za serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu
rai hiyo imetolewa na katibu wa chama cha mapinduzi ( ccm) mkoa wa arusha musa matoroka wakati akizundua mashina nane ya wakereketwa wa umoja wa wanawake (uwt) katika kata ya longido ambayo ni kata mama ya chadema wilayani hapa
mashina haya yamejengwa makada wa ccm mbalimbali ndani ya kata ya longido chini ya umoja wa wanawake (uwt) kwa hiyo niwakumbushe wananchi wa mkoa wa arusha ambao walikuwa wamepoteza kadi zao za kupigia kura au kuhama makazi yao na ambao walikuwa hawajafikisha miaka 18 wakati wa uandiskishwaji jitokezeni kwa wingi kujiandikisha amesema matoroka
amesema kuwa wanawake wana uwezo wa kuongoza sawa na wanaume hivyo ni vyema wakagombea nafasi mbalimbali za uongozi bila kuhofia mila na tamaduni za jamii ya kifugaji ambazo zinaonekana kuwa kandamizi kwa wanawake
wanawake haswa mnaotoka jamii za kifugaji naomba mgombee nafasi hizi ni muhimu sana na sisi tutawaunga mkono achaneni na dhana potofu kuwa wanaume peke yao ndiyo wanaotakiwa kugombea nafasi hizi amesema matoroka
matoroka ameeleza kuwa kila mwananchi ana haki ya kugombea na kuchaguliwa hivyo ni vyema wananwake wakajitokeza kwa wingi kuanzia ngazi ya kitongoji hadi tawi pamoja na nafasi za wajumbe wa serikali ya kijiji
matoroka alitumia fursa hiyo kuwataka wanawake kujiunga kwenye vikundi na kuvisajili ili wawze kukopa asilimia nne ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi
amesema lengo la serikali la kutoa mikopo hiyo kwa wananwakevijana na watu wenye ulemavu ni kwa sabau ni makundi muhimu katika jamii haswa katika kukuza uchumi wa familia
mikopo hii inatolewa asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri wanawake wanapewa asilimia 4vijana 4 na watu wenye ulemavu asilimia 2 alifafanua matoroka
kuhusu uboreshaji wa daftari la wapiga kura amesema zoezi hilo litaanza rasmi katika mkoa wa arusha juni 18 mwaka huu hivyo ni vyema kila mwananchi ambaye kadi yake ina tatizo au umri wake ulikuwa haujafika wakati wa uandishwaji pamoja na waliohama makazi wajakitokeza kwa wingi kujiandikisha ili wapate haki ya kupiga kura katika uchaguzi ujao
amesema kila mwananchi ana haki ya kuchagua kiongozi hivyo ni vyema wananchi wasiokuwa na vitambulisho vya kupigia kura wakajiandikisha ili wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaoona wanaweza kutatua changamoto na kuharakisha maendeleo katika maeneo yao
awali katibu wa ccm katika wialya hiyo simba gaddafi amesema lengo la uzinduzi wa kampeni hiyo ya longido ya kijani ni kuhakikisha ccm inachukua mitaa yote ya wilaya hiyo katika uchaguzi wa serikali za mitaa
tunaposema kampeni ya kijani siyo kuvaa nguo za kijani tuu na kupeperusha benderaazima yetu ni kuhakikisha ccm inashinda mitaa yote katika uchaguzi wa serikali za mitaa
naye katibu wa uwt wilaya ya longido judith laizer amesema wanawake wilaya ya longido wamedhamiria kuhakikisha kuwa ccm inashinda kutokana na serikali kuwaondolea kero mbalimbali ikiwemo maji na huduma za afya
tunaishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kutuletea maji mradi mkubwa kutoka wilaya ya ya siha wenye thamani zaidi ya shillingi billion 15 na ujenzi wa hospital ya wilaya ambao unaelekea kukamilika serikali imetupa shillingi billion 15 na wamesema wanatuongezea shillingi million mia tano kwa ajili ya kumaliza hospital yetu amesema laizer | 2019-12-12T13:40:17 | https://www.ippmedia.com/sw/habari/wanawake-waitwa-kugombea-nafasi-za-uongozi-ccm |
kituo cha kutibu ebola butembo chashambuliwa unicef yafunguka | habari za un
manusura wa ebola akiwa anamhudumia mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miezi 6 kwenye kituo cha matibabu huko beni drc ambacho kinapata usaidizi kutoka unicef
taarifa hiyo inazungumzia shambulio la jumatano kwenye kituo hicho kinachoendeshwa na madaktari wasio na mipaka msf ambapo afisa mmoja wa polisi aliuawa na kituo kuchomwa moto
mkurugenzi mtendaji wa unicef henrietta fore ametuma salamu za rambirambi kwa familia na ndugu wa mtumishi huyo pamoja na msf akisema kituo hicho kinahudumia watoto na familia zao
hili ni tukio la pili ndani ya wiki moja ambapo bi fore amepongeza shirika la afya ulimwenguni who msf na alima na mashirika mengine kwa kuendelea kuhudumia wananchi katika mazingira magumu
kila siku wafanyakazi wa unicef na wadau wetu wakiwemo wahudumu wa afya kwenye vituo vya matibabu na jamii wanafanya juhudi za kishujaa kuokoa maisha ya watoto na watu wazima ambao wameathiriwa na ebola amesema bi fore
amesema kazi hiyo inafanyika dhidi ya kikwazo kikubwa ambacho ni mlipuko wa pili kwa ukubwa kwenye historia ya jamhuri ya kidemorkasia ya congo drc na kwamba ni jambo la kusikitisha kuwa kuna watu ambao wanaska kupora watoto haki yao ya msingi ya kuishi
mkurugenzi mtendaji huyo wa unicef amesema njia pekee ya kutokomeza ebola ni kwa wahudumu wa afya unicef wadau kuweza kufanya kazi kwa usalama kwenye jamii zilizokumbwa na ugonjwa huo ikiwemo maeneo ya ndani zaidi
amesisitiza kuwa vituo vya afya katu havipaswi kuwekwa rehani kwa kukosesha usalama mashariki mwa drc
zaidi ya watu 800 nchini drc wameathirika na ebola katika mlipuko huu hivi kairbuni zaidi ulioanza mwezi agosti mwaka jana ambapo 500 kati yao wamefariki dunia
hata hivyo kwenye maeneo kama mangina beni komanda ugonjwa umedhibtiwa kwa kiasi kikubwa ambapo zaidi ya watu 250 wamepona na 800000 wamepatiwa chanjo dhidi ya ebola
unicef|ebola|butembo|henrietta fore|drc
mauaji haya ya kinyama na utekaji drc lazima vikomeguterres
vituo viwili vya kutibu ebola katwa na butembo vyafungwa visa vipya 6 vya ebola vyaripotiwa | 2020-01-26T14:14:39 | https://news.un.org/sw/story/2019/02/1048292 |
dakine slayer knee pads dakine goggle stash accessories bozeman sunglassesdakine grom backpack dakine hawaii competitive price
home >> dakine >> sunglasses >> accessories >> dakine goggle stash accessories bozeman sunglassesdakine grom backpackdakine jewelpretty and colorful
dakine goggle stash accessories bozeman sunglassesdakine grom backpackdakine jewelpretty and colorful
dakine photo backpacks dakine sunglasses accessories dakine goggle stash accessories bozeman sunglassesdakine grom backpack dakine photo backpacksnewest
dakine wendy hats lil buck / turtledove kids´ clothingdakine helipro | 2018-05-23T16:31:20 | http://www.britishrenewableshydro.com/dakine-goggle-stash-accessories-bozeman-sunglassesdakine-grom-backpackdakine-jewelpretty-and-colorful-p-3875.html |
meli ya titanic yaanza kujengwa upya | azizi computer doctor
wengi wa watu nchini china wanapendelea ujenzi wa majengo makubwa ya kihistoria na magari kadhaa yenye muonekano wa alama ya uchina kama ishara ya kuonyesha ufanisi wao katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali duniani
lakini basi tena wachina ni watu katika jamii wanaopenda kufanya mambo makubwa na tofauti na ni wazalishaji wa vitu vingi vya hapa leo duniani sasa wachina wanatengeneza meli kubwa kwa mfano wa meli maarufu ya titanic
meli ya titanic iliyozama mwaka 1914 karibu karne moja iliyopita na kuua watu karibu elfu moja sasa kampuni kutoka uchina ya star investment group katika mkoa wa sichuan itatumia dola za kimarekani 165 milioni katika kujenga upya meli mfano wa titanic
meli hiyo mpya ya wachina itafanana kabisa na meli ya titanic iliyozama vibaya kwenye kina cha bahari karne moja iliyopita meli hiyo itajengwa kwa ushirikiano na kampuni ya serikali ya china ship building corporation ya wuchang inatumika kama sehemu ya hifadhi ya makumbusho katika mkoa wa sichuan
katika meli hii ya replica ni ishara ya uvumbuzi uliotukuka kutoka kwa wachina na watazamiwa kuingiza mamilioni ya fedha kama riba kutokana na alama ya titanic duniani | 2018-03-21T03:08:13 | http://azizicompdoc.blogspot.com/2014/01/meli-ya-titanic-yaanza-kujengwa-upya.html |
hayatou woga na udikteta tanzania sports
28th march 2020 last update at 208 pm
*mbinu zake zimemwengua anouma kugombea
*wadau waunganishe nguvu ili kutengua kanuni
*hayatou kwa nini asipingwe
*ni woga wake uliomngoa mpinzani wake
*tusipokuwa makini udikteta huu unakuja kwenye vyama vyetu
wakati dunia ikibadilika na sekta ya michezo ikikua afrika imebaki kwenye giza baada ya kuendekeza mgombea wa urais wa shirikisho lake asipingwe
issa hayatou aliyeongoza shirikisho la soka afrika (caf) tangu 1987 ndiye anasimama jumapili hii kutetea kiti chake
ingekuwa hakuna wagombea wengine waliojitokeza hayatou angekuwa na haki ya kuendelea lakini tatizo ni kwamba wapo na mbaya zaidi hayatou raia wa cameroon mwenyewe amewaengua
rais huyo anayeonekana sasa kuwa kama wa maisha alitumia nguvu nyingi na ushawishi wa wajumbe kutoka nchi mbalimbali kujihakikishia ulaji
raia wa ivory coast jacques anouma alikuwa ameomba kugombea urais wa caf lakini kikao cha shirikisho hilo kilichotiwa shinikizo na hayatou nchini ushelisheli kilimwengua kwa kanuni zake tata
kuondolewa kwake ni kama kashfa ambapo shirikisho la soka ivory coast lilimpitisha kupeperusha bendera yake lakini kanuni mpya ya caf inasema ni wajumbe wenye nguvu ya kupiga kura tu wanaweza kugombea urais wa caf
viongozi wengi wenye maono na busara akiwamo rais wa shirikisho la soka tanzania (tff) leodeger tenga walipinga kwa nguvu kanuni hiyo lakini kampeni za hayatou zilishatia sumu wajumbe kutoka kanda nyingi za afrika wakapitisha kanuni hiyo
hapakuwa na busara ya kujibania watu wachache uwezo wa kugombea nafasi hiyo kubwa na muhimu kwa maendeleo ya soka afrika na duniani kwa vile wapo wengi wenye uwezo walio nje ya wateule hao wapiga kura wa caf
anouma ni mmoja wa wawakilishi wa kamati ya utendaji ya shirikisho la soka duniani (fifa) ambapo kwa wadhifa huo anaingia kamati ya utendaji ya caf lakini hana haki ya kupiga kura
eti kigezo hicho tu kinamnyima sifa ya kuwania urais wa caf kiasi cha kufanya hayatou mwenyewe agombee je hayatou anaingia tena kwenye uongozi jumapili hii akiwa na mapya gani
kwa umri wake wa miaka 66 na kulewa madaraka miaka yote hiyo 25 atabaki kuongoza kwa mazoea wakati soka yetu inahitaji kiongozi chipukizi mwenye mawazo mapya na anayeendana na sayansi na teknolojia
walau ile kubadilisha mtu pale kwenye kiti kunaweza kusaidia kuleta mambo mapya kwa mwelekeo mpya wa nahodha chomboni
kumzuia anouma (60) au wengine wenye sifa kama yeye kuwania urais wa caf ni mambo yaliyopitwa na wakati
huo ni uamuzi usioheshimu soka ya afrika na hivyo wadau wanatakiwa wasikate tamaa waendelee kukusanya nguvu hata hayatou akisharudi madarakani ili kutengua kanuni hiyo siku zijazo
chama cha soka cha liberia kilifanya vyema kupinga kanuni hiyo kwa kwenda mahakama ya usuluhishi wa michezo (cas)
nyota bado ilimwangukia hayatou hata hapo kwa sababu mahakama iliwataka liberia kwenda kumaliza kwanza ngazi zote za rufaa ndani ya caf kabla ya wenyewe kufikia kutoa uamuzi
cas hatimaye ilihitimisha kwamba anouma anatakiwa kufuata kanuni za caf na kwamba kanuni hizo zinamnyima sifa ya kugombea isipokuwa hadi pale zitakapobadilishwa
bahati mbaya ni kwamba tarehe ya uchaguzi imefika ni jumapili hii machi 10 na wajumbe wameshafika marrakech morocco kwa kile kinachochukuliwa kama ni kupitisha tu jina labda itokee maajabu walikatae
haiingii akilini jinsi mjumbe wa fifa anavyokosa sifa za kuongoza soka barani afrika na kwamba hiyo ni kashfa kubwa mno na lazima hatua zichukuliwe kutengua kanuni hiyo
mbinu kama hizi zimeididimiza soka ya afrika kwenye nchi nyingi na ni aibu kwamba zinaendelea kupanda hadi ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa soka
ni bahati mbaya kwamba hata kwetu tff sumu hiyo imeingia hivyo kwamba mtu mmoja tu anafikia kupitishwa kwa ajili ya kugombea urais wakati wapo wengi wenye uwezo wa kufanya kazi hiyo
tujaribu kuepuka fitna hizi za michezo za kuenguana kwa sababu ni kuua vipaji na kuzima ndoto za kuibuka fikra za mageuzi ya kisoka kwa maendeleo
kwa nini wanawaogopa wagombea watarajiwa wenye nguvu kiasi hicho wakati umahiri wao unahitajiwa na wadau katika kuikuza soka tanzania afrika na duniani
nashindwa kuelewa kwa nini hayatou na wengine wenye mawazo kama yake wasiwapokee wenye uwezo mzuri na wafanye kazi pamoja ikiwezekana wawapishe madarakani
kama ajenda zao ni nzuri wapiga kura watawachagua kama si nzuri watawakataa lakini haikubaliki kuwaengua kwa kanuni kwenye kikao cha watu wachache tu
ile tabia ya baadhi ya viongozi wa afrika kukatalia madarakani hadi wafie humo sasa inaingia kwenye shirikisho ongozi la soka barani kwa kuwakata miguu mapema watu wenye uwezo na kipaji ili wasifikie kiti cha uongozi
ifike mahali caf na baadhi ya mashirikisho ya soka afrika yaache kuongozwa na watu ambao huwa hawaulizwi wala kuwajibika kwa lolote zaidi ya kufurahia mishahara au posho na safari nyingi kutoka fifa
tags caf cameroon fifa hayatou issa hayatou ivory coast liberia tanzania | 2020-03-28T11:52:06 | https://www.tanzaniasports.com/hayatou-woga-na-udikteta/ |
manji kafanya aliyofanyiwa muro nani anamlinda | jamiiforums | the home of great thinkers
manji kafanya aliyofanyiwa muro nani anamlinda
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by lunyungu dec 17 2011
manji amgeuzia kibao aliyeibua upya kagoda
mwanaharakati maarufu nchini kainerugaba msemakweli ameelezea kusakwa kwake na jeshi la polisi ili akamatwe akisema kuwa kumetokana na kufunguliwa jalada katika kituo cha polisi cha mabatini kijitonyama jijini dar es salaam na mfanyabiashara yusufu manji
manji ambaye ni miongoni mwa watu waliotajwa kuhusika katika kashfa ya kampuni ya kagoda agriculture limited anadai kuombwa na msemakweli rushwa ya sh milioni 100 ili aachane na harakati zake za kufuatilia kashfa inayoikabili kampuni hiyo
kagoda inatuhumiwa kukwapua sh bilioni 40 katika akaunti ya malipo ya madeni ya nje (epa) ndani ya benki kuu ya tanzania (bot) kwa njia za kifisadi
akizungumza na nipashe msemakweli ambaye kitaaluma ni mwanasheria alisema taarifa za manji kufungua jalada hilo zimefika kwa mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (dci) kamishna robert manumba
alisema jalada hilo lipo mikononi mwa kamishna msaidizi wa polisi (acp) salum kisai wa ofisi ya dci makao makuu ya jeshi la polisi
msemakweli alisema katika jalada hilo manji anadai kuwa aliombwa rushwa hiyo na msemakweli novemba 25 mwaka huu
ni kwamba manji alikwenda kituo cha polisi kijitonyama akasema eti tarehe 25 mwezi wa 11 nilimuomba anipe rushwa ya sh milioni 100 ili niachane na mambo ya kagoda alisema msemakweli
hata hivyo alisema tarehe ambayo manji ameitaja kituo cha polisi kuwa walionana na kumuomba hiyo rushwa yeye hakuwapo dar es salaam
alisema tarehe hiyo alikuwapo mjini bukoba mkoani kagera hivyo akasema madai ya manji ni uzushi mtupu
tarehe 12 mwezi wa 11 nilitoka dar es salaam kwenda bukoba kupitia mwanza alisema msemakweli
alisema tangu novemba 13 alikuwa bukoba na novemba 22 alikata tiketi kwa ajili ya safari ya kurudi jijini dar es salaam
msemakweli alisema novemba 29 aliondoka bukoba na aliwasili dar es salaam asubuhi ya siku iliyofuatia (novemba 30)
hata simu yangu ilisoma tarehe 22 mwezi wa 11 nilikuwa bukoba alisema msemakweli
alisema alipofika jijini dar es salaam alionana na kamishna manumba na kumueleza mkasa wote wa kusakwa kwake na polisi wa kituo cha mabatini kijitonyama kuhusiana na tuhuma zilizopelekwa na manji dhidi yake
msemakweli alisema kamishna manumba alimthibitishia kuwa yote alimueleza ni ya kweli kwa kuwa taarifa za kufunguliwa kwa jalada hilo na manji alikuwa tayari anazo
alisema baadaye kamishna manumba alimtuma acp kisai kufuatilia suala hilo katika kituo hicho
msemakweli alisema baadaye kamishna manumba aliagiza jalada hilo liondolewe katika kituo hicho na kupelekwa makao makuu ya polisi
acp kisai akalichukua jalada hilo akalipeleka makao makuu ya jeshi la polisi baadaye akamuagiza mkuu wa kituo cha polisi mabatini kijitonyama nisikamatwe mpaka dci atakapoagiza alisema msemakweli
dci robert manumba
nipashe iliwasiliana na kamishna manumba ili kujua hatua zilizokwisha kuchukuliwa na polisi kuhusiana na tuhuma za manji zilizomo kwenye jalada hilo alisema kwa kifupi mpigie msemaji wa jeshi la polisi
msemaji wa polisi
msemaji wa jeshi hilo nchini mrakibu msaidizi wa polisi (asp) advera senso alipoulizwa na nipashe kwa njia ya simu jana alimtaka mwandishi kuonana naye ofisini kwake
hata hivyo mmoja wa maofisa waandamizi wa makao makuu ya jeshi hilo alithibitisha jalada hilo kuwapo ofisini kwao na kusema linaendelea kufanyiwa kazi
tulipata malalamiko kutoka kwa msemakweli tukaitisha jalada kutoka kijitonyama tukakuta kweli tukawaambia kijitonyama wasimkamate msemakweli mpaka upelelezi wa suala hili ukamilike kwa sababu kuna mambo tunazungumza naye hivyo isije ikawa mambo haya yanapandana kwa hiyo jalada linafanyiwa kazi tunaendelea na upelelezi alisema afisa huyo ambaye hakutaka kutaja jina lake kwa vile yeye si msemaji wa polisi
habari za polisi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai wa kituo hicho kumsaka kwa zaidi ya wiki mbili ili wamkamate msemakweli zilipatikana kutoka kituo cha mabatini kijitonyama desemba 12 mwaka huu
msemakweli alithibitisha kutafutwa na polisi lakini siku hiyio alikataa kuzungumzia undani wa suala hilo badala yake aliomba kupewa muda atakapokuwa katika nafasi nzuri ya kulizungumzia kwa undani baada ya kuwasiliana na wahusika
msemakweli ni mmoja wa mashahidi muhimu katika uchunguzi mpya wa sakata la wizi wa fedha za epa unaoendelea chini ya kikosi kazi (task force) ambacho polisi wamo ndani yake
siku hiyo kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni charles kenyela alipoulizwa kuhusiana na tuhuma hizo alisema raia kutafutwa na polisi ni jambo la kawaida kwa kuwa ni sehemu ya jeshi hilo kukamilisha upelelezi wa taarifa ambazo zinakuwa zimefika kituoni
msemakweli ndiye aliyeibua upya sakata la kagoda kwa kuwasilisha kwa mkurugenzi wa mashitaka (dpp) eliezer feleshi ushahidi unaowahusisha watu kadhaa ambao alikabidhiwa dci manumba ambao alianza kuufanyia kazi
hadi sasa haijafahamika ni watu wangapi wamekamatwa ama kuhojiwa kuhusiana na sakata hilo pamoja na kuwa ni dhahiri kwamba vigogo wengi hawajaguswa jambo linalozidi kuwapa jeuri ya kuendelea kuwatisha watoa taarifa
wiki iliyopita dci manumba katika mkutano na waandishi wa habari uliokuwa umeitishwa na inspekta jenerali wa polisi (igp) said mwema alipoulizwa suala la ushahidi wa msemakweli na kashfa ya kagoda ilikofikia alisisitiza kuwa uchunguzi bado unaendelea
kagoda ilichota sh bilioni 40 katika wizi wa epa wa jumla ya sh bilioni 133 zilizokwapuliwa na kampuni kadhaa yakiwamo mengine hewa
kumekuwa na woga mkubwa wa kuwachukulia hatua wamiliki wa kagoda ingawa baadhi ya wamiliki wa kampuni nyingine zilizochota fedha za epa wamefunguliwa kesi mahakamani na wengine wamekwisha kuhukumiwa vifungo
msemakweli aliwasilisha kwa dpp rundo la nyaraka ambazo alidai zinafichua kwa kina wamiliki wa kagoda ingawa kumekuwa na juhudi kubwa ndani ya serikali za kuficha wamiliki halali wa kampuni hiyo
hawana ubavu wa kumkamatamambo yamekwekwa hadharani mapema hivyo hawatathubu maana wataumbuka
msemakweli be very ver very careful hao watu wanamtandao mkali sana usimwamini mtu yoyote usile hoteli yaani hata sijui itakuwaje
lakini be very very careful
nani anamlinda manji kwa nini dharau hii na manyanyaso kwa wazalendo
ukweli utajulikana tu hata wakifichaipo siku mambo haya yatakuwa wazi na sheria itachukua mkondo wake
wewe shembagosheria ipi itachukua mkondo sheria ya magambasahau ilo ushaona mwenye pesa anafungwa tz
jina la manji nimeisoma kwenye list of shame
nani anamlinda manji kwa nini dharau hii na manyanyaso kwa wazalendo click to expand
mkuu pesa ukiwa nayo inakupatia kila aina ya ulinzi na hata wa kukufanyia unavyotakaisipokuwa kifoteh teh teh tehhii ndo bongo dasalaam
manji katumia mbinu ya kitoto kwweli
kwa nini manumba na watu wake wanakataa kuwashirikisha takukuru katika suala hili hili ni suala la rushwa manji kalipeleka kijitonyama moja kwa moja kama kesi ya kuku kufungua mashitaka bila kuwashirikisha takukuru takukuru wanajaribu kulifuatilia lakini wanazungushwa na ofisi ya dci hawajajua kwa nini je polisi wanaogopa nini kama kweli hilo suala limeletwa na manji na wao hawana mkono wao hapo milioni 100 siyo rushwa ndogo hiyo (ingawa kwa manji ni senti za juice tu kwa rushwa)
ile kesi ya muro ilijulikana toka mwanzoni ni njama za kova na vijana wake na hata takukuru hawakuwa na kasi nayo sana (mnakumbuka ushahidi wa video aliyosema kova anao na wataonyesha mahakamani na siyo kwa waandishi wa habari) hili la msemakweli na manji linagusa masuala ya epa ambayo takukuru dci dpp na tiss tayari wanachunguza na ushahidi mwingine wa msemakweli uko kwao namwaminia manumba ila katika hili itabidi awe macho sana asije akaingizwa mkenge na vijana wake kwa mgongo wa manji
manji katumia mbinu ya kitoto kwweliclick to expand
angetumia mbinu ipi mkuukama hii ni ya kitoto
angetumia mbinu ipi mkuukama hii ni ya kitotoclick to expand
why mabatini postsheria inasemaje kuhusu ufunguaji wa kesi kama hizi
yapni kwa sababu anajua wazi kuwa wa tz pamoja na viongozi wao wengi ni kama tu watoto
[font=arialmt sansserif]mwanaharakati maarufu nchini kainerugaba msemakweli ameelezea kusakwa kwake na jeshi la polisi ili akamatwe akisema kuwa kumetokana na kufunguliwa jalada katika kituo cha polisi cha mabatini kijitonyama jijini dar es salaam na mfanyabiashara yusufu manji[/font]
[font=arialmt sansserif]manji ambaye ni miongoni mwa watu waliotajwa kuhusika katika kashfa ya kampuni ya kagoda agriculture limited anadai kuombwa na msemakweli rushwa ya sh milioni 100 ili aachane na harakati zake za kufuatilia kashfa inayoikabili kampuni hiyo[/font]
[font=arialmt sansserif]kagoda inatuhumiwa kukwapua sh bilioni 40 katika akaunti ya malipo ya madeni ya nje (epa) ndani ya benki kuu ya tanzania (bot) kwa njia za kifisadi[/font]
[font=arialmt sansserif]akizungumza na nipashe msemakweli ambaye kitaaluma ni mwanasheria alisema taarifa za manji kufungua jalada hilo zimefika kwa mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (dci) kamishna robert manumba[/font]
[font=arialmt sansserif]alisema jalada hilo lipo mikononi mwa kamishna msaidizi wa polisi (acp) salum kisai wa ofisi ya dci makao makuu ya jeshi la polisi [/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli alisema katika jalada hilo manji anadai kuwa aliombwa rushwa hiyo na msemakweli novemba 25 mwaka huu[/font]
[font=arialmt sansserif]ni kwamba manji alikwenda kituo cha polisi kijitonyama akasema eti tarehe 25 mwezi wa 11 nilimuomba anipe rushwa ya sh milioni 100 ili niachane na mambo ya kagoda alisema msemakweli[/font]
[font=arialmt sansserif]hata hivyo alisema tarehe ambayo manji ameitaja kituo cha polisi kuwa walionana na kumuomba hiyo rushwa yeye hakuwapo dar es salaam[/font]
[font=arialmt sansserif]alisema tarehe hiyo alikuwapo mjini bukoba mkoani kagera hivyo akasema madai ya manji ni uzushi mtupu[/font]
[font=arialmt sansserif]tarehe 12 mwezi wa 11 nilitoka dar es salaam kwenda bukoba kupitia mwanza alisema msemakweli[/font]
[font=arialmt sansserif]alisema tangu novemba 13 alikuwa bukoba na novemba 22 alikata tiketi kwa ajili ya safari ya kurudi jijini dar es salaam[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli alisema novemba 29 aliondoka bukoba na aliwasili dar es salaam asubuhi ya siku iliyofuatia (novemba 30)[/font]
[font=arialmt sansserif]hata simu yangu ilisoma tarehe 22 mwezi wa 11 nilikuwa bukoba alisema msemakweli[/font]
[font=arialmt sansserif]alisema alipofika jijini dar es salaam alionana na kamishna manumba na kumueleza mkasa wote wa kusakwa kwake na polisi wa kituo cha mabatini kijitonyama kuhusiana na tuhuma zilizopelekwa na manji dhidi yake[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli alisema kamishna manumba alimthibitishia kuwa yote alimueleza ni ya kweli kwa kuwa taarifa za kufunguliwa kwa jalada hilo na manji alikuwa tayari anazo[/font]
[font=arialmt sansserif]alisema baadaye kamishna manumba alimtuma acp kisai kufuatilia suala hilo katika kituo hicho[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli alisema baadaye kamishna manumba aliagiza jalada hilo liondolewe katika kituo hicho na kupelekwa makao makuu ya polisi[/font]
[font=arialmt sansserif]acp kisai akalichukua jalada hilo akalipeleka makao makuu ya jeshi la polisi baadaye akamuagiza mkuu wa kituo cha polisi mabatini kijitonyama nisikamatwe mpaka dci atakapoagiza alisema msemakweli[/font]
[font=arialmt sansserif]dci robert manumba[/font]
[font=arialmt sansserif]nipashe iliwasiliana na kamishna manumba ili kujua hatua zilizokwisha kuchukuliwa na polisi kuhusiana na tuhuma za manji zilizomo kwenye jalada hilo alisema kwa kifupi mpigie msemaji wa jeshi la polisi[/font]
[font=arialmt sansserif]msemaji wa polisi[/font]
[font=arialmt sansserif]msemaji wa jeshi hilo nchini mrakibu msaidizi wa polisi (asp) advera senso alipoulizwa na nipashe kwa njia ya simu jana alimtaka mwandishi kuonana naye ofisini kwake [/font]
[font=arialmt sansserif]hata hivyo mmoja wa maofisa waandamizi wa makao makuu ya jeshi hilo alithibitisha jalada hilo kuwapo ofisini kwao na kusema linaendelea kufanyiwa kazi[/font]
[font=arialmt sansserif]tulipata malalamiko kutoka kwa msemakweli tukaitisha jalada kutoka kijitonyama tukakuta kweli tukawaambia kijitonyama wasimkamate msemakweli mpaka upelelezi wa suala hili ukamilike kwa sababu kuna mambo tunazungumza naye hivyo isije ikawa mambo haya yanapandana kwa hiyo jalada linafanyiwa kazi tunaendelea na upelelezi alisema afisa huyo ambaye hakutaka kutaja jina lake kwa vile yeye si msemaji wa polisi[/font]
[font=arialmt sansserif]habari za polisi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai wa kituo hicho kumsaka kwa zaidi ya wiki mbili ili wamkamate msemakweli zilipatikana kutoka kituo cha mabatini kijitonyama desemba 12 mwaka huu[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli alithibitisha kutafutwa na polisi lakini siku hiyio alikataa kuzungumzia undani wa suala hilo badala yake aliomba kupewa muda atakapokuwa katika nafasi nzuri ya kulizungumzia kwa undani baada ya kuwasiliana na wahusika[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli ni mmoja wa mashahidi muhimu katika uchunguzi mpya wa sakata la wizi wa fedha za epa unaoendelea chini ya kikosi kazi (task force) ambacho polisi wamo ndani yake[/font]
[font=arialmt sansserif]siku hiyo kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni charles kenyela alipoulizwa kuhusiana na tuhuma hizo alisema raia kutafutwa na polisi ni jambo la kawaida kwa kuwa ni sehemu ya jeshi hilo kukamilisha upelelezi wa taarifa ambazo zinakuwa zimefika kituoni[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakweli ndiye aliyeibua upya sakata la kagoda kwa kuwasilisha kwa mkurugenzi wa mashitaka (dpp) eliezer feleshi ushahidi unaowahusisha watu kadhaa ambao alikabidhiwa dci manumba ambao alianza kuufanyia kazi[/font]
[font=arialmt sansserif]hadi sasa haijafahamika ni watu wangapi wamekamatwa ama kuhojiwa kuhusiana na sakata hilo pamoja na kuwa ni dhahiri kwamba vigogo wengi hawajaguswa jambo linalozidi kuwapa jeuri ya kuendelea kuwatisha watoa taarifa[/font]
[font=arialmt sansserif]wiki iliyopita dci manumba katika mkutano na waandishi wa habari uliokuwa umeitishwa na inspekta jenerali wa polisi (igp) said mwema alipoulizwa suala la ushahidi wa msemakweli na kashfa ya kagoda ilikofikia alisisitiza kuwa uchunguzi bado unaendelea [/font]
[font=arialmt sansserif]kagoda ilichota sh bilioni 40 katika wizi wa epa wa jumla ya sh bilioni 133 zilizokwapuliwa na kampuni kadhaa yakiwamo mengine hewa[/font]
[font=arialmt sansserif]kumekuwa na woga mkubwa wa kuwachukulia hatua wamiliki wa kagoda ingawa baadhi ya wamiliki wa kampuni nyingine zilizochota fedha za epa wamefunguliwa kesi mahakamani na wengine wamekwisha kuhukumiwa vifungo[/font]
[font=arialmt sansserif]msemakwili aliwasilisha kwa dpp rundo la nyaraka ambazo alidai zinafichua kwa kina wamiliki wa kagoda ingawa kumekuwa na juhudi kubwa ndani ya serikali za kuficha wamiliki halali wa kampuni hiyo[/font]
viongozi wenyewe wote wamenunuliwa kwa pesa za haohao matajiri kwanini wasiwalinde
kwa hili utaona kesi ya manji itakwenda haraka ili msemakweli hafungwe kabla ya maelezo yake hajafanyiwa kazi hii ndio tanganyika mwenye pesa sio mwenzio tena mhindi anatuibia na kutunyanyasa na pesa aliotuibia rais na timu yake wamewekwa mfukoni hapo usemi kitu uenda hata quality rostam nae yumo hilo jengo ni la watanganyika ni pesa zetu ndio iliyoijenga hata waseme nini ni pesa zetu walizoiba zitarudi tu hata kama sio leo lakini wajukuu watazirudisha tu lazima watafuatilia hizo mabilioni yaliyojenga quality yalitoka wapi kama ni mfanyabiashara ni biashara gani alikuwa anafanya je kodi alikuwa analipia sawasawa muda ukifika yote yatafunguka watalinda lakini yana mwisho hakuna aliejua rais wa ufaransa au wa misri watapatikana na makosa ivyo tujipe moyo hata tanganyika yana mwisho hata kama sio lakini itakuwa kesho
inasikitisha sana lakini ni wakati wa sisi wananchi kuamka hata kwa maandamano kuwahoji polisi wamefikishiwa taarifa na vielelezo juu ya kagoda mbona hayashughulikiwi hii inatosha kwanza kumpa support mtanzania mwenzetu kwa kujitahidi kutaka kulinda mali ya mtanzania lakini pia ingempa kusita huyu ambaye anamgeuzia kibao anayemtuhumu
watanzania its time to work up work up now until when you will stay just watching humiliation muwe wachungu na mali zenu nani wa kuwatetea otherwise
huyu jamaa sifa za kijinga kiherehere kitamponza
pesa fedha hela money
mzee una mawazo ya kizee
17977758 | 2016-10-26T04:27:59 | http://www.jamiiforums.com/threads/manji-kafanya-aliyofanyiwa-muro-nani-anamlinda.203546/ |
madiwani wataka walimu wabanwe mwanahalisi online
prof joyce ndalichako waziri wa elimu madiwani wataka walimu wabanwe
posted by christina haule december 6 2016 0
1063 views serikali imeombwa kuweka kipengele kitakachowabana walimu ili wakubali kuishi vijijini na kwenye mazingira magumu anaandika christina haule
na kwamba uwekwe taratibu kwa wanaotaka kusomea fani ya ualimu kukubali mazingira yoyote ya kazi vinginevyo wachukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakamani
kauli hiyo imetolewa leo na madiwani wa kata tofauti mkoani morogoro kwenye mkutano ulioandaliwa na asasi ya victory youth support organization (viyoso kwa ushirikiano na foundation for civil society (fcs)
ni baada ya kukutana na kujadili pia kuweka mikakati ya kuboresha elimu kwa kata zilizo pembezoni wilayani humo hususani kata ya kolero kasanga na bungu
avelin lucas diwani wa kata ya bungu na boniface banzi kata ya kasanga wilayani morogoro wametoa kauli hiyo na kwamba ikiwa hatua hiyo haitachukuliwa ifikapo mwaka 2018 vijiji nchini havitakuwa na wataalamu
amesisitiza kuwa endapo serikali haitakuwa na sera sambamba na sheria itakayowalazimisha watumishi hao kuishi na kufanya kazi katika maeneo hayo hali itakuwa ngumu zaidi
ni kama serikali haina meno ya kuwalazimisha watumishi wa umma wakiwemo walimu kuishi vijijini bila kujali visingizio vya uongo kama ugonjwa ndoa na vitisho vya kuacha kazi
itungwe sera na sheria itayowamba na kuwalazimisha kuishi mazingira hayo amefafanua lucas
madiwani hao wamesema endapo serikali itaweka moja ya kigezo cha kusomea fani fulani ni mwenye uwezo wa kuishi vijijini na mazingira magumu na atakayekiuka kushitakiwa tatizo la wataalamu wakiwemo walimu vijijini litaisha
mfano kata zetu hizi huku milimani shule yenye zaidi ya wanafunzi 700 ina kati ya walimu wawili hadi watatu ambao pia ni wazee na ni walimu wa kiume pekee wakati katika kada hii pia wanahitajika walimu wa kike kwa malezo bora ya watoto wa kike amesema lucas
serikali imeombwa kuweka kipengele kitakachowabana walimu ili wakubali kuishi vijijini na kwenye mazingira magumu anaandika christina haule na kwamba uwekwe taratibu kwa wanaotaka kusomea fani ya ualimu kukubali mazingira yoyote ya kazi vinginevyo wachukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakamani kauli hiyo imetolewa leo na madiwani wa kata tofauti mkoani morogoro kwenye mkutano ulioandaliwa na asasi ya victory youth support organization (viyoso kwa ushirikiano na foundation for civil society (fcs) ni baada ya kukutana na kujadili pia kuweka mikakati ya kuboresha elimu kwa kata zilizo pembezoni wilayani humo hususani kata ya kolero kasanga na bungu avelin lucas diwani wa kata&hellip
previous dk tulia ndio tatizo
next kkkt mashariki na pwani kwafukuta | 2017-01-23T16:55:35 | http://mwanahalisionline.com/madiwani-wataka-walimu-wabanwe/ |
rugaruga wa miramboedit
rugaruga kama wanajeshi wa kienyejiedit
polisi wa machifu wakati wa koloniedit
last edited on 20 septemba 2017 at 1412 | 2020-08-15T11:26:22 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Rugaruga |
startv tanzania live online | jamiiforums | the home of great thinkers
startv tanzania live online
discussion in 'entertainment' started by bagamoyo sep 1 2012
radio free africa tanzania*|* startv live startv live online
radio free africa tanzania ipo live online ktk linki hapo juu je wewe mwana jamiiforums popote ulipo duniani unaipata
habari hii nzuri imepatikana kwa hisani ya tovuti ya wavuti 01/sept/2012
source wwwwavuticom
radio free africa tanzania*|* startv live
startv ada estate dsm
ndugu wapenzi wa star tv tunaomba mtuwie radhi kwa kupotea hewani kwa masaa kadhaa bado tuko kwenye majaribio hivyo tunatatua hitilafu mbalimbali tunazokumbana nazo huku tukijitahidi kufanikisha dhamira yetu ya kurusha matangazo ya kudumu moja kwa moja kupitia mtandaoni kunradhi kwa kupotea kwetu na shukrani kwa kutuunga mkono kuangalia matangazo haya ndugu watazamaji la ziada ni kwamba kwa majaribio haya tunarusha picha za tv kwa quality ya chini ili kufanya tathmini mbalimbali tutaongeza quality mara tu baada ya kubainisha
source radio free africa tanzania*|* startv live
wamejitahidi sana na tbc nao wanatakiwa waige mfano huu
mrkumekucha
startvnawapongezeni sana kwa vipindi vyenu vizuri sana na mpo kitaifa(kusimamia maslahi ya nchi hii) zaidi pia hamna ubaguzi wa kiitikadimungu ibariki startvkissfm na rfa mtangaze habari bila woga kwa sababu mkificha ugonjwa kifo kitatuumbuanapenda sana kipindi cha 'tuongee asubuhibbcswahili na kila kipindiahsante sana star tv
nawashukuru sana kwa kuw ahewani
hata sisi wa madongo kuinama tunawapata vema
rekebisheni zaidi picha ikiwezekana tumieni ustreem kama wenzenu wa kenya
citizen tv live | kenyamojacom
big up na ni hatua nzuri na mfano wa kuigwa kwa tanzania
kabla sijaanza kuchungulia huko ninaomba mnitoe ushamba kidogohivi nikiangalia tv online itakuwa inakula kibundle changu kwa kiasi gani ninahitaji kuwa na bundle ya kiasi gani ili kufaidi matangazo ya tv online ama inakuwa ni dezo bin free
aisee swafi sana sasa nikiwa joib ntapata taarifa ya habari na ile siku ya alhamis pale saa nne kamili mpaka saa saba ile miziki yetu ya zamamni ntaifaudu mnooooo kupitia radio rfa
kabla sijaanza kuchungulia huko ninaomba mnitoe ushamba kidogohivi nikiangalia tv online itakuwa inakula kibundle changu kwa kiasi gani ninahitaji kuwa na bundle ya kiasi gani ili kufaidi matangazo ya tv online ama inakuwa ni dezo bin freeclick to expand
jibu lake ni muhimu kwa watu wengi siyo wewe peke yako
sijafanikiwa kuitizama kwani nipo kwa mobile
kwa mujibu wa mdau hapo juu amesema wameshusha upora wapicha ina maana hata ukiwa na package ya 50mb na speed yake ikawa ya 150kbps unaweza kutizama kwa mda wa dakika 3 (haya ni makisio yangu tu) hivi bado kuna watu mnatumia internet ya kupimiwa
dr am diallo (chair & ceo rfa) says august 26 2012 at 937 am
napenda kuwashukuru wasikilizaji wetu kwa kutuunga mkono katika juhudi zetu za kufikisha matangazo yetu mahali pote hapa duniani kupitia masafa ya fm am (mw) na internet (mtandao) kwa njia iliyo bora zaidi tunajitahidi tuwezavyo kuondoa dosari na changamoto zinazojitokeza za kiufundi na kiteknolojia kwa wasilizaji wetu walio nje ya tanzania hivi karibuni tutaweka fomu ya kuwawezesha kutuma salamu au ujumbe kwa ndugu na marafiki walio mbali na nyinyi
salamu au ujumbe utasomwa hewani ili uwafikie wahusika kwa hiyo tutaomba mtumie majina yanayojulikana kwa ndugu na marafiki zenu ili tuweze kuwaunganisha hususani wale ndugu/marafiki wasiofikika kwa simu baruapepe na njia nyingine za mawasiliano isipokuwa redio nawatakieni usikilizaji mzuri na karibuni kwa ushauri maoni kuhusu vipindi vyetu
source radio free africa tanzania*|* rfa live
bado haijawa vizuri maana picha zinakata kata alafu ubora wa picha hauridhishi
wajitahidi japo kuwafikia hawa wenzetu wa kenya ktn live kenya ustreamtv kenya's most authoritative leading private television station providing educative informative and most entertainment programm
kwa internet ya kupimiwa bongo nadhani inaweza kuwa expensive sana kwa sisi ambao internet hatupiwi na speed ni ya ajabu huku nje ni burudani tu
ebandio
mrkumekucha said
startvnawapongezeni sana kwa vipindi vyenu vizuri sana na mpo kitaifa(kusimamia maslahi ya nchi hii) zaidi pia hamna ubaguzi wa kiitikadimungu ibariki startvkissfm na rfa mtangaze habari bila woga kwa sababu mkificha ugonjwa kifo kitatuumbuanapenda sana kipindi cha 'tuongee asubuhibbcswahili na kila kipindiahsante sana star tvclick to expand
nawapongeza pia ila kwa kuwa wameamua kutuuzia kingamuzi chao cha continental kwa ghafla na kwa lazima sisi tusio na fedha kwa sasa tutavikosa vipindi vyao sijaona shida kama wangekaa kwa muda startimes na kutahadharisha kwenye tv yao kuwa baada ya muda wataondoka badala yake waliondoa test sign kuonyesha kuwa wamekuja kiukweli kushangaa kuwa hatutaviona vipindi vyao kwa sasa well ni kuangalia priorities kununua kingamuzi kwa sasa au kununua chakula cha familia nitaamua baadaye mkae salama maana vipindi vyenu kwa muda huu alamsiki
source wwwwavuticomclick to expand
mwanajf yoyote anayeweza kujua kama star tv wanapatikana online tafadhali anisaidie linkniko nje ya tz na ningependa kupata japo habari kutoka nyumbani nimejaribu link hapo juu lakini haijaweza kufungua
badala yake inanipa majibu haya
[h=1]this account has been suspended[/h]if you manage this site and have a question about why the site is not available please contact netfirms directly
kwa muda kama wa wiki moja hii website inatoa ujumbe huo huo wa this account has been suspended
kwa muda kama wa wiki moja hii website inatoa ujumbe huo huo wa this account has been suspendedclick to expand
startv live | startv
source radio free africa tanzania*|* startv liveclick to expand
[h=1]this site is temporarily unavailable[/h] if you manage this site and have a question about why the site is not available please contact netfirms directly
mbona bunge silioni
hii post mlitoa tar 30/08/2012 lakin leo may 12 2015 nilijaribu kuwatch start tv online bado quality ni ndogo sana mtaongeza lini | 2016-10-27T16:45:49 | http://www.jamiiforums.com/threads/startv-tanzania-live-online.316615/ |
download egyptair meli ya mwisho pakiti v12 fsx & p3d rikoooo
ukubwa 378 mb
downloads 287 836
created 09112011 031111
changed 12112013 224855
mwandishi kamili orodha ya mwandishi katika pakiti
12 / 11 / 2013 updated v12 correction a320 & 321 files aircraftcfg walikuwa si imewekwa
egyptair meli ultimate pakiti kwa fsx sp2 & p3d ni matokeo ya miezi ya kanisa uumbaji na muundo wa mafaili ili kukuza flight simulator jamii na freeware bora ya dunia pakiti hii ni kwa mbali ngumu zaidi ya flottor zote tayari wamekusanyika rikoooocom kama vile
emirates meli fsx & p3d
air france meli fsx & p3d
air france meli fs2004
juhudi maalum yalitolewa ili kurekebisha matatizo tayari yanajulikana kutoka packs uliopita kumi na mbili egyptair repaints ubora zimejengwa na rikoooo na kukabiliana na hali ya hiari fmc (flight kompyuta managment) kwa cockpits virtual ya airbus a320 na a321
wote mifano ni pamoja na gpws (ground ukaribu onyo system) na kengele mbalimbali kama vile benki angle upepo shear too low terrain dont kuzama na kadhalika + chombo tata kwa ajili ya kusimamia push back (2d jopo) + cabin mfumo annoucment (flightdeck) pamoja na sauti ya wahudumu (jopo 2d) sauti ya nahodha na sauti ya shughuli mbalimbali kama vile melodies halisi ya egyptair
katika 2011 fleet egyptair na egyptair express (cargo si pamoja) ilihusisha ya mifano kumi hasa airbus na boeing mfuko huu huonyesha kwa zaidi halisi wakati huo jumla ya 18 repaints ni mapendekezo kama vile rangi ya zamani na rangi mpya ya egyptair wote mifano ni pamoja na vifaa textures usiku madirisha headlights beacon alama nk na kwa cockpits virtual vilevile kila ndege ina sauti yake mwenyewe kulingana na aina ya injini mfano mwenyewe sifa zake kufuatia ndege na kadhalika kwa mfano boeing 777266er ni zimefungwa injini pw4090 (pratt & whitney) uaminifu tena
attention lazima perzinazohitajika kwa fsx
kabla ya kufunga egyptair meli ya mwisho pakiti kuhakikisha kwamba fsx sp2 (service pack 2) ni tayari imewekwa
fsxkuongeza kasi tayari ina sp2
kukimbia itakuwa si kazi kwa usahihi bila fsx service pack 2
kama huna kufunga fsx sp2 baadhi mfano 3d si kuonyesha kwa usahihi kama hapa chini
mfuko ufungaji ni rahisi sana bonyeza tu next
onyo hili ni faili kubwa 378 mb download inaweza kuwa kwa muda mrefu inapendekezwa kwamba matumizi download accelerator programu pause na resume katika breakpoint ili kuepuka mshangao unpleasant (ex flashget)
installer ni tu sambamba na windows si mac
katika chaguzi vasfmc na fsuipc inaweza kuwa imewekwa pamoja
egyptair kito cha misri
egyptair ni moja ya mashirika ya ndege ya kwanza katika dunia
ilianzishwa mei 1932 kampuni ya misri ndege kwa kweli ni ya saba ndege kampuni kujitokeza kutoka agosti 1933 egyptair inatoa ndege ya kibiashara kati ya cairo na alexandria kwenye ubao spartan miaka miwili baadaye meli ina kumi na mbili egyptair ndege de havilland zaidi
wakati wa vita kuu ya pili serikali ya misri requisitioned ndege na jina misr mashirika ya ndege
ten ndege mpya beach katika mbali na meli ya misrair katika 1946 na katika 1949 kununuliwa kumi misrair vickers vikings kabla ya utumishi wake kifaransa ndege languedoc mwaka mmoja baadaye
katika 1956 ndege wa misri misrair ilijiunga na syria mashirika ya ndege kuwa na falme za mashirika ya ndege au aau katika 1960 uaa anasimama nje kama kwanza mashariki ya kati ndege kutumia ndege (comet 4c) kwa ajili ya uzinduzi wa safari za ndege zake muda haul na kuunga mkono kimataifa trafiki hewa ndege kununuliwa misri boeing 707 1968 katika
katika 1971 syria mashirika ya ndege na misrair tenga ndege wa misri halafu huanza tena jina yake ya awali egyptair
julai 10 2008 egyptair ni sehemu ya star alliance (muungano kwa ukubwa duniani) egyptair alikuwa mmoja aitwaye bora ndege barani afrika afraa kampuni taarifa rekodi mapato ya jumla ya dola za marekani bilioni 1143 kwa mwaka wa fedha uliomalizika julai 31 2007 na kwa mujibu wa kampuni kutoka 2006 2007 kwa egyptair walibeba abiria zaidi ya milioni 65 (source wikipedia)
kivutio halisi
leo ndege egyptair walibeba zaidi ya 555 ndege ya kila wiki kutoka cairo na wengine wengi miji ya misri kwa 69 unafuu wa ndani (abu simbel alexandria assiut aswan hurghada luxor sharm elsheikh) na kimataifa d afrika mifano ni pamoja na casablanca tunis algiers tripoli banghazi asmara khartoum addis ababa entebbe nairobi lagos accra na kano
egyptair pia hutumika miji kadhaa za asia (bombay bangkok kuala lumpur singapore guangzhou beijing seoul tokyo na osaka) ulaya (oslo stockholm copenhagen moscow berlin london amsterdam brussels düsseldorf frankfurt munich vienna zurich paris geneva milan budapest kiev rome barcelona madrid lisbon istanbul athens na larnaca) na amerika ya kaskazini (new york / jfk na pia toronto / pearson kutoka 1 juni 2011)
egyptair ina maendeleo na kazi idadi kubwa ya vigezo ubora kwa abiria wake ili kukidhi mahitaji na mahitaji ya kila mmoja na hivyo kutoa kusafiri kweli bora (source wikipedia)
repaints egyptair wapya na wa zamani rangi kuundwa kwa rikoooo
145 jumla 16 129 darasa biashara + uchumi wa darasa
2 2(4 kujiendeleza)
3 3(6 kujiendeleza)
chini kazi ya autobrake kwa cockpit virtual sasa kazi juu ya wote airbus chini a320 na a321 virtual cockpit kwa ushirikiano hiari ya vasfmc (tazama fmc)
new vipengele na nyongeza kwa viwango juu ya airbus a3xx
ecams inaonyesha 5 mazungumzo kwa ajili ya flaps na slats
haki mouse click katika kona ya juu kulia ecams (juu slats na flaps) toggles kati ya kilo na lbs
kiwango configuration ni kilo
katika sehemu ya chini utaona ujumbe mbalimbali kuhusu muundo wa ndege
kwa exemple
upande wa kulia
taa landing spoilers silaha
mikanda ya kiti hakuna sigara hadhi autobrake (voir autobrake)
kutua gear chini na imefungwa kuvunja maegesho
pitot joto hydraulics
deice eng1 deice eng2 jenereta
deice mrengo onyo kama kuchukuaoff au kutua weigth ni ulizidi
hii ni tu mbali na ecams default na lazima kuongeza habari kuhusu hali ya joto tat na sat wakati zulu na serikali za mitaa
na jumla ya uzito wa ecams default
3 autoflare (kutoonekana)
pamoja na kipengele hiki autopilot wanapaswa kuwa na uwezo wa ardhi ndege kama autopilot ni switched aprili kasi wima ni kupunguzwa
kama radio urefu ni chini ya miguu 150
wakati 20 mguu autothrust ni kuweka zero ni muhimu kwamba kutia yako lever pia ni kuweka kwa sifuri vinginevyo kutia ni kuongezeka kwa
nafasi ya kutia lever yako
wakati vilele vilivyo juu ya miguu 20 unaweza kuanza kwenda karibu na kwa kupiga toga button juu ya ecu autopilot ni kuweka kupanda na kutia ni
ni muhimu kwamba wewe kuchagua sahihi kasi na flaps configuration kwa mbinu fainali
je si kusahau kuweka autobrake na kuweka lever yako kutia na sifuri kama majaribio katika amri unapaswa kuanza go kuzunguka ujanja
kama failles autopilot
4 sfcc slats na flaps control kompyuta (kutoonekana)
airbus ina 4 nafasi ya flap kushughulikia lakini 5 mazungumzo ya slats na flaps
kushughulikia pos slats / flaps nakala kuonyeshwa kwenye ecams hotuba
njia configuration 1 18 / 10 1 (kuchaguliwa moja kwa moja na sfcc kwa kasi> 140 knots)
1 18 / 1 f + f takeoff configuration (kuchaguliwa automaticcaly na sfcc kwa kasi <140 knots)
wakati takeoff configuration 1 + f sfcc retracts moja kwa moja flaps kwa 1 kama kasi ni kubwa kuliko 210 knots
sfcc seti moja kwa moja spoiler kwa nafasi silaha kama flaps ni kuweka na kasi ni kubwa kuliko 60 knots spoilers ni moja kwa moja imekanusha wakati
kasi ni chini 55 knots
kuvunja ni kuanzishwa kwa haki click mouse juu ya kifungo
juu ya ardhi unaweza tu kuchagua kifungo max na katika kesi hii rto (amekataa takeoff) programm kuvunja ni kuchaguliwa
katika hewa unaweza kuchagua lo / med / max
repaint egyptair umri wa rangi kuundwa kwa rikoooo
185 jumla 10 175 darasa biashara + uchumi wa darasa
screenshot ziada
268 jumla 24 244 darasa biashara + uchumi wa darasa
2 22 (6 kujiendeleza)
2 42 (8 kujiendeleza)
repaintegyptair rangi mpya kuundwa byrikoooo
301 jumla 36 265 darasa biashara + uchumi wa darasa
ndege hii (na nyingine yoyote) ni zinazotolewa na athari kubwa moshi akaumega contrails maji nyuma ya gurudumu moto injini moshi wakati magurudumu kugusa ardhi nk
repaintegyptair umri wa rangi iliyoundwa byrikoooo
260 jumla 12 24 darasa la kwanza + darasa biashara + 224 uchumi wa darasa
a340 imekuwa chini ya uangalizi wa pekee baadhi ya gauges kama ecam na autobrake wamekuwa hasa iliyopita kwa ajili ya a340 sauti ni kweli uzazi wa rollsroyes trent
repaint egyptair rangi mpya kuundwa kwa rikoooo
104 jumla 8 96 darasa biashara + uchumi wa darasa
3d mfano wa boeing b737566 hana cockpit virtual hivyo badala kufurahia superb 2d jopo
144 jumla 24 120 darasa biashara + uchumi wa darasa
viwambo supplémentaires
repaint egyptair rangi mpya kuundwa kwa textures rikoooo plus wa gsu
319 jumla 12 21 darasa la kwanza + darasa biashara + 286 uchumi wa darasa
2 32 (7 kujiendeleza)
3 42 (9 kujiendeleza)
346 jumla 49 297 darasa biashara + uchumi wa darasa
3 33 (9 kujiendeleza) 2 32 (7 kujiendeleza)
egyptair express ni ndege wa kikanda mjini cairo misri hiyo ilianzishwa mwaka 2006 kama kampuni tanzu ya kikanda ya egyptair na ilizindua ndege yake ya kwanza juu ya 1 2007 juni ina 12 170 embraer e
3d mfano wa boeing embraer e 170 hana cockpit virtual hivyo badala kufurahia superb 2d jopo
vasfmc ndege managment kompyuta
vasfmc ni bure mpango (wazi chanzo) kuundwa kwa alex wemmer kuiga kamili nusupro mazingira katika fms (flight management system) mpango huu inahitaji fsuipc (pamoja)
rikoooo ina ilichukuliwa gauges ya vasfmc kwa kuonyeshwa katika vc hata hivyo na si conflicte na viwango vingine katika vc baadhi yao tu imeondolewa kama vile kifungo juu ya autopilot wakati wewe kuruka na vasfmc kukumbuka kwamba vc tu kutumika kama mapambo
lazima kudhibiti a320 yako au a321 na jopo 2d tu
muhimu sana makini kusoma mwongozo mpango
kuwa na ufahamu kwamba vasfmc ni mpango nzito na inahitaji muda ili bootwhen wewe kuchagua airbus pamoja na vifaa fursa hii
kisakinishi ya rikoooo utapata moja kwa moja kufunga vasfmc 21 katika simulator yako na kabla ya kimeundwa kwa airbus a320 na a321 egyptair mfuko ni pamoja na navdata ya navigraph navdata airac 0609 2006 mwaka (bure)
chini ni 2d jopo (usiku)
mcdu na jopo kamili
vasfmc unaweza ajali fsx yako au p3d kama wewe huna kutosha bure ram & cpu katika kesi hii ni vyema si kufunga chaguo hili
link kwa baadhi videos tutorials vasfmc tutorials video
egyptair meli ya mwisho pakiti v12 fsx & p3d download
mkono 95 189
mkono 46 629
mkono 735 779
mkono 90 810
mkono 54 695
mkono 77 856
mkono 22 772
mkono 420 139 | 2018-03-23T01:11:58 | https://www.rikoooo.com/sw/downloads/viewdownload/63/478 |
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk ali mohamed shein atembelea mfano wa kambi ya skauti viwanja vya maisara suleiman wakati wa maadhimisho ya miaka 107 skauti zanzibar zanzinews
home habari matukio rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk ali mohamed shein atembelea mfano wa kambi ya skauti viwanja vya maisara suleiman wakati wa maadhimisho ya miaka 107 skauti zanzibar
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk ali mohamed shein atembelea mfano wa kambi ya skauti viwanja vya maisara suleiman wakati wa maadhimisho ya miaka 107 skauti zanzibar
zanzinewscom 1237 am
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk ali mohamed shein akipata maelezo kutoka kwa vijana wa skauti walioandaliwa kwa ajili ya kumfunga skafu ya skauti alipowasili katika viwanja vya maisara suleiman kuhudhuria hafla hiyo ya maadhimisho ya miaka 107 ya skauti zanzibar na kutembelea kambi ya mfano ya skauti wakiwa msituni kwa mazoezi yao
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedkali mohamed shein akifungwa kiskafu alipowasili katika viwanja vya maisara suleiman zanzibar kuhudhuria hafla ya maadhimisho ya miaka 107 ya skauti zanzibar | 2019-07-22T20:52:18 | http://www.zanzinews.com/2019/06/rais-wa-zanzibar-na-mwenyekiti-wa_54.html |
bilioni 300 zaibiwa kimafia dar | jamiiforums | the home of great thinkers
bilioni 300 zaibiwa kimafia dar
discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by dark city mar 22 2010
habari za huo wizi zimeandikwa katika gazeti la mwananchi la leo http//wwwmwananchicotz/newsridsaspid=18659 kama ni kweli basi tz inatisha
habari za huo wizi zimeandikwa katika gazeti la mwananchi la leo http//wwwmwananchicotz/newsridsaspid=18659 kama ni kweli basi tz inatishaclick to expand
kwa faida ya wote
ni mara tatu ya wizi wa epadci manumba asema taarifa zinafanyiwa kazi ramadhan semtawa
watu wasiofahamika wameghushi nyaraka za malipo na kuiba zaidi ya sh300 bilioni katika benki tatu kubwa nchini na kusababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya fedha uchunguzi umeonyesha
kwa mujibu wa uchunguzi wa gazeti hili fedha hizo ziliibwa mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni kabisa mwa mwaka huu kwa njia ya mtandao wa kompyuta na kuhusisha wezi wa kimataifa ndani na nje ya nchi
tukio hilo ambalo ni kubwa kuwahi kutikisa sekta ya fedha nchini tangu uhuru mwaka 1961 limetokea katika kipindi cha takribani miaka miwili tangu serikali ianzishe kitengo maalumu cha intelejensia cha kufuatilia mzunguko wa fedha chafu (fiu)
licha ya kuwepo fiu ambayo iliundwa pamoja na sheria ya kupambana na fedha chafu ya mwaka 2007 uchunguzi wa mwananchi umebaini kutokea wizi huo mkubwa katika benki hizo
uchunguzi huo umebaini kwamba taarifa za awali zinaonyesha fedha hizo ambazo ni mara tatu ya zile za epa zilizoibwa katika benki kuu tanzania (bot) zilihamishwa kwa njia ya kompyuta kwa kughushi malipo kwenda kwa wahusika wa mtandao huo katika nchi za hong kong uingereza na marekani ambako polisi wa kimataifa wa nchini na wenzao wanahaha kuzichunguza
mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (dci) robert manumba alipoulizwa ofisini kwake jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki alithibitisha kuwepo taarifa za uhalifu huo lakini akaweka bayana hakuna ushahidi wa kiwango maalumu kilichoibwa hadi sasa
hizo taarifa zipo zinafanyiwa kazi ila haijathibitika ni kiasi gani cha fedha kimeibwa na benki zipi hasa kwa hiyo kusema ni sh300 bilioni au zaidi ya hapo si sahihi hakuna uthibitisho wowote alifafanua dci kamishna manumba
dci manumba aliongeza kwamba baada ya uchunguzi kukamilika polisi itatoa taarifa za kina sahihi na kwa wakati kwa wananchi na kusisitiza kwa sasa ngoja tufanye kazi hata hivyo dci manumba alionya na kuzitaka benki na watu wengine kuwa makini katika kuangalia usalama wa mali na fedha katika kipindi chote
unajua mambo ya uhalifu sisi tunajitahidi kukabiliana nayo lakini bado wengine wanaendelea kwa kutumia mbinu mbalimbali kwa mfano tunazuia watu wasibakwe lakini wanabakwa hii yote inaonyesha umuhimu wa watu kuwa makini alifafanua dci manumba
gavana wa benki kuu (bot) profesa benno ndulu alipoulizwa kuhusu sakata hilo alisema yuko nje ya nchi kikazi
niko sweden kikazi halafu hapa siwezi kukusikia vizuri wala kuzungumza vema kwani kuna shughuli ambayo nimehudhuria alisema profesa ndulu ambaye taasisi kuu ya fedha ya nchi ina wajibu wa kusimamia benki na taasisi zote za fedha nchini baadhi ya maofisa wa benki hizo ambazo majina yake tunayahifadhi wamethibitisha kukumbwa na uhalifu huo mkubwa na kwamba wameacha suala hilo mikononi mwa vyombo vya dola
ni kweli kuna vitenfo vya kughushi vimetokea katika benki yetu lakini hilo hatuwezi kulizungumzia kwa kina kwasababu liko mikononi mwa vyombo vya dola polisi wanaweza kulizungumzia hilo alifafanua ofisa kutoka moja ya benki iliyoibiwa kiasi kikubwa cha fedha karibu sh100 bilioni wakati dci kamishna manumba gavana ndulu na maofisa wa benki wakizungumzia hayo uchunguzi wa mwananchi umebaini kwamba fedha hizo ziliibwa mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni kabisa mwa mwaka huu kwa mujibu wa uchunguzi huo hadi sasa taarifa za awali zinaonyesha mpango huo mchafu umeanzia ndani ya benki kwa kuhusisha baadhi ya watu ambao ni wanamtandao na wezi wenzao nje ya nchi
mwananchi imebaini kwamba hadi sasa idara ya interpol tanzania kwa kushirikiana na wenzao wa nje wanafanya uchunguzi huo wa kina katika nchi za hong kong uingereza na marekani ambako taarifa za awali zinaonyesha fedha hizo zilikwenda
katika uchunguzi huo mwananchi imebaini kwamba baada ya mpango huo kufanywa nchini fedha hizo zinaonyesha zilihamishwa kwa njia hiyo ya kughushi kwenda nchi hizo
vyanzo hivyo vya habari za kiuchunguzi zilifafanua kwamba baadhi ya watu katika mabenki hayo ambao wanafahamu mzunguko wa fedha ikiwemo malipo ya ndani na nje wamepanga njama hizo na kughushi malipo kwa kushirikiana na mtandao mkubwa wa wezi wenzao wa nje ya mabenki ndani na nje
habari hizo za kiuchunguzi zinaonyesha kwamba wizi huo umetikisa mabenki hayo kiuchumi huku duru za kiusalama zikisema vyombo vya usalama vimekuwa makini kuangalia fedha hizo zimeingia mikononi mwa watu gani
mwananchi imebaini kwamba kiasi hicho kikubwa cha fedha kinaweza kuweka usalama wa taifa hatarini endapo kitakuwa kimeingia kwenye mikono ya watu ambao wana nia mbaya na nchi
ni kiasi kikubwa cha fedha kama kitakuwa kimeingia kwenye mikono ya watu hatari wanaweza kuhatarisha usalama wa nchi bilioni 300 si kitu kidogo kilisema chanzo kimoja kutoka moja ya vyombo vya usalama
kwa mujibu wa chanzo hicho kitisho kingine kinachoangaliwa hadi sasa ni iwapo fedha hizo zimeibwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa oktoba kwa ajili ya kundi fulani ikiwemo mafisadi kutaka kuzitumia kutimiza malengo yao
tunaangalia pia maana inawezekana ni mafisadi wakubwa ambao wanajua mzunguko wa fedha ndiyo wamekula njama na kutaka kuhujumu nchi kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu kilifafanua chanzo hicho ingawa haijathibitika lakini kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 kuliibuka ufisadi mkubwa katika bot ambao zaidi ya sh 133 bilioni ziliibwaclick to expand
kwa faida ya woteclick to expand
abdulhalim kila siku nalia na sera mbovu za kifedha walizoparamia ruksa na mkapa wale wote kwao uchumi ulikuwa ni sawa ndoto ya mchana mwinyi was and still is a frustrated teacher na hata last year alichapwa kofi na kijana anayepaswa kuwa mjukuu wake simply kwa kushindwa kuusoma mhadhara wakati mkapa akiwa ni mwandishi wa habari mlevi wa hovyo na mpenda wanawake japo bunduki haina risasi(ni baruti) tu dunia nzima hakuna nchi amabyo haina control on forex transactions its only tanzanianarudia this is only the tip of the iceberg na tutarajie mengi mpaka tutie akiliwe should borrow from the past on import licenceexport licence and harmonize bank transactions under the control of new bot vinginevyo inakula kwetu mkimwambia manumba what can he do with his very poorly motivated cops mkulo na swahiba wako kikwete acheni kuhudhria mdundiko na hitma hapa na ughaibuni pasueni bongo wacheni mchezo kwani kazi mbaya iatawasuta hata makaburini
abdulhalim kila siku nalia na sera mbovu za kifedha walizoparamia ruksa na mkapa wale wote kwao uchumi ulikuwa ni sawa ndoto ya mchana mwinyi was and still is a frustrated teacher na hata last year alichapwa kofi na kijana anayepaswa kuwa mjukuu wake simply kwa kushindwa kuusoma mhadhara wakati mkapa akiwa ni mwandishi wa habari mlevi wa hovyo na mpenda wanawake japo bunduki haina risasi(ni baruti) tu dunia nzima hakuna nchi amabyo haina control on forex transactions its only tanzanianarudia this is only the tip of the iceberg na tutarajie mengi mpaka tutie akiliwe should borrow from the past on import licenceexport licence and harmonize bank transactions under the control of new bot vinginevyo inakula kwetu mkimwambia manumba what can he do with his very poorly motivated cops mkulo na swahiba wako kikwete acheni kuhudhria mdundiko na hitma hapa na ughaibuni pasueni bongo wacheni mchezo kwani kazi mbaya iatawasuta hata makaburiniclick to expand
hata mi nashangaa hapa the whole thing sounds fishy miela yote hiyo kuibwa in a nick of very time kwenye uchaguzi 2010 je ni kweli tuna system hopeless kiasi fedha nyingi kiasi hicho inachotwa ktk kipindi kifupi
we are cursed and doomed to death
tanzania tunadekeza maovu hizi pesa zimeibiwa na watu wanaofanya kazi ndani ya benki zetu wakishirikiana na marafiki zao ndani na nje ya nchi hii imetokana na nchi kuwa na sera ya kulea na kukumbatia maovu katika sakata la epa richmond na kiwira serikali haijachukuwa hatua zozote za maana kuonesha kwamba matendo hayo ni machafu na wala wahusika hawakuchukuliwa hatua za aina yoyote sasa kwanini nao mabenka wetu wasifuate nyayo hizo za wizi ukiiba pesa za kutisha ndani ya tanzania utalindwa na kupewa heshima zote ndani ya nchi yetu
we are cursed and doomed to deathclick to expand
nilidhani wameanzisga tiss kwa ajili ya kudhibiti mambo kama haya what is happening jamani
you are right quite right halafu meghji alipokuwa waziri wa fedha alipiga marufuku makampuni kutoza dola za kimarekani kwenye ankara zao ila bado hakuna utelezaji yaani hii nchi ina sheria zisizokuw ana meno kabisa
nilidhani wameanzisga tiss kwa ajili ya kudhibiti mambo kama haya what is happening jamaniclick to expand
epa wameona aibu unafikiri pesa za uchaguzi wanatoa wapi jamani
hivi mnafikiri yule raisi alikuwa mjinga kusaini ule muswaadahiyo mwanzo
kidumu chama cha majambazi
ndugu yangu ukilaumu maraisi mwinyi na mkapa utakuwa hujawatendea haki sio kila uzembe walaumiwe maraisi huyo raisi atafanya mambo mangapi nchi hii kwani hana wasaidizi wakumsaidia ktk vitengo husika
kwanini hao wasaidizi wasilaumiwe
hizi benki ndio za kupaswa kulaumiwa na bot
mifumo yao ya kiutendaji ni mibovu kabisa
kwani hizo benki si zina wahusika wa hivyo vitengo vya forex transactions
kwanini wasibanwe hao wahusika moja kwa moja kuhusika na huo wizi
kama wao hawahusiki wataje nani kahusika
kwanini unamuona mwizi yule halafu unazunguka mbali kumtafuta nani kaiba
mambo ni very clear kitengo chochote uzembe ukitokea walio ktk hicho kitengo wanakamatwa
mfano liyumba alikamatwa sababu yeye ndio alikuwa mkuu wa kitengo cha bot kilichohusika na ufujaji wa pesa za ujenzi ktk majengo ya bot
mfano mfumo wa kiutendaji wa barlays benki unaniibia hata mimi mlalahoi vijipesa vyangu kwenye akaunti sembuse hayo majipesa makubwa yanayozagaa zagaa kwenye masefu yao
pia wote tuliona ktk magazeti wafanya kazi kibao wa barclays walikuwa na kesi ya kujibu kuhusika na kuibia benki na wateja sijui kesi yao ilikuja kuishia wapi
conclussion wakamatwe wakuu wa vitengo wabanwe mpaka wajikojolee wataje muhusika nani
china ukikutwa na kesi ya kuibia umma unanyongwa hadharani
uongoclick to expand
inawezekana hebu basi tupatie utamu zaidi hii nchi ni kama babu asiyeishiwa hadithi
modsziko threads tatu(3) za issue hiiwhy not merge them please | 2017-01-24T03:14:18 | https://www.jamiiforums.com/threads/bilioni-300-zaibiwa-kimafia-dar.56691/ |
hindi gwala masters engineering computers matrimony in saudiarabia find lakhs of saudiarabia gwala masters engineering computers brides / grooms bharatmatrimonycom
gwala mastersengineeringcomputers matrimony in saudiarabia
hindi gwala masters engineering computers matrimony in saudiarabia | 2019-12-12T11:31:10 | https://www.bharatmatrimony.com/hindi-saudi-arabia-gwala-masters-engineering-computers-matrimony-2214 |
bongo la biashara mila kali zilisukuma kina mama turkana wajipange taifa leo
kwa jamii ya wafugaji ya waturkana mwanamke haruhusiwi kuchinja mbuzi kondoo au ngombe anapohisi njaa
aidha haruhusiwi kuuza mifugo hao bila ruhusu ya mumewe au mwanamume mkuu katika familia hiyo
hiki ni kinaya kikuu kwa kuwa jamii hii tangu jadi inajulikana kuwa wakazi wengi wanamiliki mamia ya mifugo na wanawake wametwikwa majukumu ya kuhakikisha kuwa mifugo hao wanapata maji hata kutoka kwa mashimo marefu kwa maeneo yasiyo na mifereji au mito
hali hii ilisababisha arukudi arupe 31 mkazi wa kijiji cha morungole katika kaunti ndogo ya turkana magharibi kuanza kufuga kuku mwaka wa 2017 baada ya kutembelea rafiki yake mjini kakuma kilomita 20 kutoka kwake na kujua faida yake
nikiwa kwa rafiki yangu nilipata habari kuwa shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (fao) linatoa mafunzo ya jinsi ya kufuga kuku na baadaye kugawia watu kuku wa kienyeji alikumbuka
alikuwa miongoni mwa wakazi 200 eneo hilo ambao walipewa kuku 2000 ili wafuge
alieleza kuwa alipewa kuku saba kwenye mradi huo kwa vile hakuwa na uzoefu wa kufuga kuku
alitengeneza nyumba ya kuku kando na manyatta yake na baada ya miezi mitatu akaanza kupata faida ya mayai na nyama
kuku ni zangu sasa nikitaka nachinja ili watoto wangu sita wapate chakula kitamu mayai pia nawapikia na ni rahisi mgeni kuona tofauti ya watoto wangu ukilinganisha na wa jirani alisema huku akitabasamu
kuku walipoongezeka arupe alianza kupata hasara kutokana na nyoka na wanyama wengine wa msitu ambao walikuwa wanavamia kuku wake nyakati za usiku na wakitembea nje kutafuta chakula
kwa sababu ya bidii yangu nilipata ufadhili wa kujenga chumba cha kisasa cha kuku ambacho sasa kimeinuka mayai yangu yote vifaranga na kuku wangu sasa hawaliwi na wanyama wa msituni alisema baada ya kuhakikisha kuku wake wote 23 wameingia kwa chumba hicho kabla ya kufunga
alisema idadi ya kuku inaongezeka polepole kwa sababu yeye hupenda kuhakikisha kuwa familia yake ambayo iko eneo linalokumbwa na baa la njaa kila wakati wamepata chakula cha kutosha
huwa anachinja kuku ili watoto wapate chakula na pia kuuza mjini kakuma ili apate pesa za kununua chakula kingine kama mahindi maharagwe mboga na matunda
anauza kuku kuanzia sh700 hadi sh2000 kulingana na uzito wake yai moja ni sh15 na kwa sasa analenga kuwa mfugaji wa kuku bora kaunti ya turkana na kuku zaidi ya 1000
arupe sasa anatoa changamoto kwa akina mama katika kaunti hiyo kujihusisha na ufugaji wa kuku ili kupata faida ya nyama mayai na mapato wanapouzwa
kwa sasa ameanzisha kikundi kiitwacho morungole poultry women group ambacho wanachama wake wanatoka katika kijiji hicho na wanajihusisha na ufugaji wa kuku kila wakati wanachama wanapokutana huelimishana njia mwafaka za kuboresha mradi huo
mita 50 kutoka kwa arupe ni cymprose ekadeli ambaye kuku wake sita wanataga mayai na tayari anatarajiwa kupeleka kreti moja ya mayai ya kienyeji kwa hoteli moja mjini kakuma atakayopata sh480
mumewe arupe aruan edoket alihoji kuwa kwa miaka mingi alijua kuku kama ndege asiye na faida kama ndege wengine ulimwenguni
mimi kama mwanaume mturkana nimeishi nikijua kuwa nyama ya kuku ni kidogo sana ukilinganisha na mbuzi hii inafanya ufugaji wa kuku kuwa wa hasara sana lakini sasa nimeamini kuwa mwanaume akiruhusu mke kufuga kuku kuna manufaa ya chakula na pesa kama ninavyoshuhudia aruan alisema
aliongezea kuwa mbuzi anapochinjwa kuna sehemu nyingi ambazo wanawake hawastahili kula kulingana na utamaduni wa waturkana na kwa hivyo kuku imewapatia akina mama afueni kwa vile wanaruhusiwa kula chochote watakacho
mradi huo wa kuku ambao unafadhiliwa na umoja wa ulaya unalenga kushirikiana na serikali ya kaunti ya turkana wa kuhakikisha wakazi wanapata chakula cha kuwapa lishe bora na pia kuuza kupata mapato
afisa wa fao kaunti ya turkana david irura alisema kuwa shirika hilo lilianza na kuku wachache kwa wakazi ambao walipokea mafunzo ya kufuga kuku kwa sababu wengi ni mara yao ya kwanza kufuga kuku
uzuri wa kuku tuliopatiana ni kwamba wanataga mayai mengi wananenepa haraka na wanatakikana sana kwenye soko kakuma iko na soko kubwa la kuku kwa sababu kuna wakimbizi ambao wanaishi eneo hilo na pia wangependa kula kuku irura alisema
mradi huo umewawesha akina mama kama ekadeli kununua nguo zake na za watoto na pia kuwa na pesa za kutafuta matibabu | 2020-07-09T22:08:49 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=38978 |
msaada wa ku install silverlight | jamiiforums | the home of great thinkers
msaada wa ku install silverlight
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by erry dec 21 2011
natamani kuangalia movies through netflix ila napata kikwazo cha ku install silverlight kila mara naambiwa installation failed nikibonyeza info nakutana na hii message [h=2]message id 1622[/h]the installation log file could not be written verify that the temp folder exists and that you can write to it
unatumia os gani una rights za admin kwenye hiyo pc
bingley senior member
samahni wana jf ina maana ukiinstall hiyo silverlight na ukafungua netflix utaweza kuangalia movies online(streaming)
bingley said ↑
mkuu inavyoonekana hiyo site haipigi kazi huku kwetu nimejaribu kuicheki nikaambulia
[h=2]sorry netflix is not available in your country yet[/h][h=2]
ninatumia windows vista
nimejaribu kubadili umiliki wa admin hapo ndipo nimekwama kabisa nimefuata steps hizi zote lakini wapi
step 1 clear temporary files from computer
a click the start button type c\windows\temp and press enter
b clear the contents of this folder some files may not get deleted which is normal you may skip them
c click the start button temp and press enter clear the contents in this folder as well
d try to install silverlight if you are unable to install please proceed with step 2
step 2 run microsoft fixit
please use the below given link to run microsoft fixit to automatically resolve the issue
please restart the computer and open the link to install silverlight
if you are still unable to install silverlight let us enable the default admin account and try to install in that account
step 3 enable the default administrator account
please click on start > all programs > accessories > right click command prompt and choose run as administrator
then type the below given command and hit enter on successful completion of the command it will give you the message command completed successfully
step 4 enable silverlight addon
a click start please type inetcplcpl (without quotation marks) in the start search bar and press enter to open the internet options window
b please switch to the programs tab click manage addons
c at the left side of the window under show scroll down and select all addons
d highlight the addon microsoft silverlight make sure that the option enable has been selected
open the links below and check if you are able to view test videos
http//wwwmicrosoftcom/silverlight/iissmoothstreaming/demo/#/multicam
http//wwwmicrosoftcom/silverlight/iissmoothstreaming/demo/#/live
nagesh ug
v2nag@mssupportmicrosoftcom
microsoft windows 7 support professional
my working hours are 1100pm to 800am pst from tuesday to saturday and i can be contacted via email atv2nag@mssupportmicrosoftcom
if you have any feedback about my service please send an email to v2amarc@mssupportmicrosoftcom my manager amarnath would be very happy to receive your comments and suggestions
message id 1622 installation failed the official microsoft silverlightnet forums
hakikisha temp folder sio hidden na admin ana read write and execute right
nimejaribu kubadilisha admin lakini nimeshindwa kabisa still need help
umeshindwa vipi mkuu kwanza hao jamaa nadhani hiyo busness yao ni ya kulipia na ipo usa tu na nadhani pia wana cusutomer service may be best option wapigie simu au chat nao online wakueleze nn cha kufanya hiyo link niyo kueweka ukisoma comment za wadau wote na kuzifnyia kazi utavuka kuna comment moja mwishoni mwshoni inasema temp folder inakuwa hiden so inabid uitoe kwenye hidden google ujue jinsi ya show hidden folder kama vipi futa temp folder na recreate upya
nimekusoma mkuu barikiwa | 2018-01-17T10:01:55 | https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wa-ku-install-silverlight.204597/ |
mtangazaji wa ktn betty kyalo asisimua wengi kwa jinsi alivyonengua kiuno (video) ▷ tukocoke
made in kenya latest politics tuko tv swahili entertainment feedback livescore submit video mtangazaji wa ktn betty kyalo asisimua wengi kwa jinsi alivyonengua kiuno (video)
17646 chapisha kwa facebook
mtangazaji wa kituo cha ktn alifikisha miaka 28 siku ya jumanne tarehe 14 machi 2017 miondoko yake ya kudensi iliwaacha wengi waliohudhuria hafla hiyo ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa mdomo wazibetty kyalohabari nyingine gavana aliyeitwa mjinga na shetani na rais uhuru azungumzaakisherehekea siku yake ya kuzaliwa alipokuwa anafikisha miaka 28 matangazaji maarufu wa ktn betty kyalo aliamua kujiachilia na kunengua kiuno bila wasi wasi
katika video inayoenea mitandaoni ya kijamii betty anaonekeana akijifurahisha vilivyo kwa midundo ya muziki na kucheza katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwenye klabu cha kiza nairobipata hapa habari za tukocoke punde tu zinapochapishwahabari nyingine msanii jaguar aacha kazi aliyopewa na rais uhuru hii hapa sababu
lakini mumewe wa zamani dennis okari hakusema waziwazi kuwa anamtakia heri njema katika siku yake ya kuzaliwa huu ndio ulikuwa ujumbe wake alipoulizwabetty kyalo na mumewe wa zamani dennis okarihabari nyingine muigizaji tajika wa 'afrocinema' afariki (picha)
my message would be private why do you feel i have to share it with you no my comment is that my message is private hii hapa video yenyeweread english versionuna maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke read more
betty kyallo wedding betty kyallo betty kyalo betty kyallos family speaks betty kyakllo kyallo moto
victor wanyama salary syombua mwele prezzo kenya garlic under pillow grace msalame habari zingine uhuru na raila wapatana masaa kadha baada ya kura za mchunjo za chama cha jubilee kufeli
raila na uhuru wakutana ana kwa ana baada ya kusambaratika kwa kura za mchunjo za jubilee watu kadha wahofiwa kufariki baada ya kuhusika katika ajali mbaya salgaa | 2017-04-23T17:53:06 | https://swahili.tuko.co.ke/234029-mtangazaji-wa-ktn-betty-kyalo-asisimua-wengi-kwa-jinsi-alivyonengua-kiuno-vi.html |
tumkumbushe salamba anaweza kuwa simba au akamezwa na simba tanzania sports
14th october 2018 last update at 1039 am
kwa mara ya kwanza nimemuona namba 9 halisi haya ni maneno ya kocha wa mbeya city ranadhani nsanzurwimo baada ya mechi ya mbeya city na lipuli
shinyanga ndiyo sehemu sahihi ambayo unaweza kupata historia ndefu ya adam salamba mchezaji ambaye hatua zake zinavutia sana kuelekea kwenye njia za mafanikio
hakuna lifti yoyote aliyoitegemea mpaka sasa hivi kwenye njia yake ya mafanikio kupanda kwake ngazi ndiko kumekuwa siri kubwa ya mafanikio yake mpaka sasa hivi
hakutaka lifti yoyote kwenye njia yake ya mafanikio aliamini katika kupanda ngazi kwa sababu baba yake alimwambia hakuna njia ya mkato kufikia kilele cha mafanikio
lazima upande ngazi moja baada ya nyingine mpaka kufika pale unapopatamani ngazi yake ya kwanza ilianzia shinyanga sehemu ambayo amezaliwa na kukulia stand united pekee ndiyo waliotumika kama ngazi ya pili kwenye hatua za adam salamba hakudharau hatua zake hata alipotakiwa kwenda lipuli hakupuuzia kwa sababu aliona hiyo ni ngazi moja wapo ambayo anatakiwa kuipitia kufika anapopatamani
hakuiona yanga simba au azam fc wakati yupo stand united ila aliiona hatua ya tatu ya safari yake ya mafanikio hakuipuuzia ila aliiheshimu ipasavyo ndiyo maana alifanya vizuri na lipuli fc
alijitoa kwa uwezo wake na macho yenye tamaa yalimuona akawa lulu katika jiji la dar es salaam na leo hii yupo katika mitaa ya kariakoo
mitaa yenye taa nyingi zinazowaka muda wote ni vigumu kutambua rangi ya usiku na rangi ya mchana ni ipi hivo unaweza ukajikuta hujui kipi sahihi cha kufanya kwa wakati sahihi
ndiyo maana wachezaji wengi wanapofika kariakoo kitu kinachotakiwa kufanywa usiku wao hukifanya mchana na kitu ambacho kinatakiwa kufanywa mchana wao hukifanya usiku
usahihi wa maamuzi huwa ni mdogo na hii ni kwa sababu wengi huona kariakoo ndiyo kila kitu kwao kwenye maisha yao ya soka maisha yao ya soka hukamilika kipindi ambacho wao huwa wamefika pale kariakoo
kujishughulisha kwao huwa ni kwa kiwango kidogo sana kila ndoto zao za kipindi cha nyuma husahaulika wanapofika kariakoo
utakumbuka kipi wakati kila chombo cha habari kitaandika usajili wako kwa kukusifia na wakati mwingine utakuzwa na kufananishwa na wenzetu na kukubatiza jina la adam salamba drogba
hapa ndipo utajiona huna haja ya kwenda sehemu ambayo aliwahi kufika didier drogba kwa sababu jina lake utakuwa unalibeba wewe kichwa kitakujaa umaarufu utakulevya hata mazoezi hutoyataka tena
hutojituma tena kwa nguvu kwa sababu maono yako yatakuwa yamepotezwa na kalamu zetu zenye njaa ya hela kalamu ambazo zitakuandika kukusifia ili zipate hela na zitakuandika vibaya ili zipate hela pia
hutokumbuka tena kama ni muda sahihi kwako wewe kupata msimamizi wako (manager) mwenye maono na anayetamani kukiona kipaji chako kikifika mbali
msimamizi(manager) ambaye atakuwa na uwezo wa kukumbusha kipi unatakiwa kufanya na kwa wakati upi
msimamizi ambaye atakuwa anahusika kuangalia na kukumbusha kuhusu mpangilio wa mazoezi yako binafsi chakula unachotakiwa kula na muda wa kupumzika
msimamizi (manager) ambaye atakujenga namna ya kuongea na vyombo vya habari msimamizi ambaye atakutahadharisha kuhusu mambo ya nje ya uwanja ambavyo yanaweza kuharibu kipaji chako na maono yako
msimamizi(manager) ambaye atakukumbusha kila siku kuwa simba siyo sehemu ya kukaa muda mrefu ni sehemu ya kupita tu kuelekea kwenye kilele cha mafanikio hivo uwekezaji wa jitihada uwanjani ndiyo kitu cha msingi
kila mguu wako unapopokea mpira uwaze kufanya maamuzi ambayo yatakupeleka sehemu ambayo yupo mbwana samatta au simon msuva
kosa kubwa ni pale utakapojisahau na kuridhika na maisha rahisi ya kariakoo ni wakati mzuri kwa adam salamba kuongeza njaa yake ya mafanikio
kuwepo kwake simba kusimfurahishe sana na kusahau kuwa simba ni kama ngazi ya kupandia kwenda juu uwe mwanzo wa yeye kujituma kwa juhudi kubwa huku nidhamu ikiwa nguzo ya mafanikio makubwa
nidhamu ya kuheshimu ratiba yake binafsi ya mazoezi nidhamu ya kuheshimu ratiba ya timu nidhamu ya kuheshimu na kuelewana na wachezaji wenzake nidhamu ya kusikiliza maelekezo ya benchi la ufundi na nidhamu ya kufanya maamuzi bora akiwa uwanjani
huu ni wakati wake wa kuwinda swala kwa nguvu zote aruhusu njaa ya simba imvae ili awinde kwa hasira asiruhusu upole wa swala kwa sababu mwisho wa siku ataliwa na simba
tags salamba simba tanzania vpl | 2018-10-15T21:34:38 | https://www.tanzaniasports.com/2018/05/29/tumkumbushe-salamba-anaweza-kuwa-simba-au-akamezwa-na-simba/ |
fahamu kwa undani nadharia ya lockdown yoyo effect mchezo wa kujaza maji ndoo ilitoboka | jamiiforums
fahamu kwa undani nadharia ya lockdown yoyo effect mchezo wa kujaza maji ndoo ilitoboka
fahamu maji
yoyo ni kidude cha kuchezea ambacho kinakuwa na kamba kama ya spring ambacho kinashikwa mkononi na kuchezewa ambapo kinashuka chini na kupanda juu chenyewe
nadharia ya lockdown yoyo effect ni kwamba ni either uweke lockdown hadi wagonjwa wafike 0 kabisa (practically impossible) au usiweke kabisa kwasababu kila nchi hapo awali ilikuwa na 0 cases kwa hiyo lazima kulikuwa na yule mgonjwa wa kwanza kabisa (patient number 1) ambae ndiye alisababisha mlipuko wote katika nchi husika sasa kuondoa lockdown wakati kuna hata mgonjwa mmoja tu amebaki means the whole lockdown was use less maana huyo mmoja ataambukiza tena na lockdown itahitajika tena na baada ya kukaa lockdown miezi kadhaa idadi ya wagonjwa itashuka tena
ila kamwe haitafika 0 hivyo ili kunusuru uchumi itabidi tena muondoe lockdown ambapo wagonjwa wachache sana waliobaki wataanza kuusambaza tena na nchi itarudi tena lockdown kwa miezi kadhaa idadi ya wagonjwa itashuka tena na wataondoa tena lockdown ili watu wasife njaa na wagonjwa wachache sana waliobaki wataanza kuambukiza tena mlipuko utarudi tena hivyo lockdown tena itahitajika na hii ndio yoyo effect
au ukitaka kuepuka yoyo effect wewe usiweke lockdown ila chukua tahadhari za social distancing kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima kuvaa barakoa na kunawa na kusanitize mikono mara nyingi uwezavyo tembea hata na sanitizer mfukoni au ndoo ya maji na sabuni mgongoni ili mradi mikono iwe salama kuna mtu anaenda kuheshimika sana siku za usoni
south korea imekuwa nchi ya kwanza kupata yoyo effect baada ya kuondoa tu lockdown measures mlipuko umerudi tena na sasa wanajiandaa tena na raundi ya pili ya lockdown
sasa hivi uk wataingia kwenye yoyo effect wanasema hali ya uchumi imekuwa mbaya mno na hali haivumiliki tena kwahiyo itabidi watu warudi kazini huku wakichukua tahadhari ambazo hapa tz tayari tumezichukua na wanasema endapo wakiona hali ya maambukizi inarudi kuwa juu tena watafunga tena nchi na kuweka watu ndani kwa wiki kadhaa tena (yoyo effect) pia yoyo effect imeanza kuonekana wuhan case mpya 5 zimepatikana means hao watano watakuwa wameambukiza wengine wengi kwa sababu ni mgonjwa mmoja tu anahitajika kusababisha mlipuko
mshangao hadi uswizi watu wanapanga foleni ndefu kupokea chakula cha bure corona imeleta maajabu jamiiforums
reactions mkorinto joseph1989 eizyek and 6 others
vipi mzee baba ameshatoka chato
reactions licking wounds
nadharia ya lockdown yoyo effect ni kwamba ni either uweke lockdown hadi wagonjwa wafike 0 kabisa (practically impossible) au usiweke kabisa kwasababu kila nchi hapo awali ilikuwa na 0 cases kwa hiyo lazima kulikuwa na yule mgonjwa wa kwanza kabisa (patient number 1) ambae ndiye alisababisha mlipuko wote katika nchi husika sasa kuondoa lockdown wakati kuna hata mgonjwa mmoja tu amebaki means the whole lockdown was use less maana huyo mmoja ataambukiza tena na lockdown itahitajika tena na baada ya kukaa lockdown miezi kadhaa idadi ya wagonjwa itashuka tena ila kamwe haitafika 0
hivyo ili kunusuru uchumi itabidi tena muondoe lockdown ambapo wagonjwa wachache sana waliobaki wataanza kuusambaza tena na nchi itarudi tena lockdown kwa miezi kadhaa idadi ya wagonjwa itashuka tena na wataondoa tena lockdown ili watu wasife njaa na wagonjwa wachache sana waliobaki wataanza kuambukiza tena mlipuko utarudi tena hivyo lockdown tena itahitajika na hii ndio yoyo effect
reactions ginner
hivi mkuu magufuli akiwa chato wewe unapungukiwa nini kule si ni kwake
reactions mkorinto kabombe joseph1989 and 1 other person
ni vyema kila hatua inayochukuliwa ikafanyiwa hypothesis ya kinadhari tu angalau ili kuepuka kufanya vitu kwa mihemko halafu tunajikuta kwenye a vicious circle kama hiyo nchi nyingi sasa zitalazimika kuingia kwenye mtego wa yoyo au kuachana kabisa na ideology ya lockdown
nimekuelewa vizuri sana kiongozi
hivi mkuu magufuri akiwa chato wewe unapungukiwa nini kule sini kwake
hebu nionyeshe sehemu nilikosema napungukiwa kitu mkuu
ikulu ndogo ile atoke aende wapi
ikulu ndogo iko geita mjini au chato
alipo rais anyway yoyo effect ndio kama hiyo kama una la kuchangia uwanja wako alipo rais besides the point
reactions joseph1989 masiya and prince john john
nawaza tunchi zilizofanya lockdown ya mudawasingefanya hivyo vifo vingekuwa kwa idadi gani
lets say chinanaona kama kuiweka lockdown wuhan kumewasaidia sanaisingekuwa hivyoleo wangekuwa wamekufa wangapi
mimi naijua ile inaitwa gigo(garbage ingarbage out)
unajua sasa hivi wanakufa wangapi maana idadi ya wagonjwa wakati wanatoa lockdown ni kubwa kuliko wakati wanaweka lockdown sasa what is the logic
kama idadi ya wanaokufa inashuka ni kwa sababu ya social distancing kuvaa barakoa kunawa mikono na kuepuka mikusanyiko
reactions joseph1989 and msakaa jr
hahahaha wapiga kampeni ya lockdown wanagusa wanakimbia hahahahah
reactions kabombe msakaa jr and todays
tabisco said
watu wenye akili timamu hatuwezi kukubali tuingizwe kwenye yoyo no way
reactions prince john john
francis mimi tatizo alipo kwa huyo jamaa sijui yoyo hapana nipo kwenye social distance hebu nipe feedback za nyomi la kariakoo au hapo kilombero sokoni arusha tutafua dafu kweli
acha huko angalia nyomi ya juzi wakati wa kwenda kumzika sheikh nani sijui huko dar
elimu juu ya social distancing iongezwe
sasa gigo
uvccm imejaa wataalam hongera subiri uteuzi
mpaka leo wamekufa wangapi
fahamu undani wa wanyama wakubwa watano porini habari na hoja mchanganyiko 1 aug 31 2016
fahamu undani wa mnyama simba habari na hoja mchanganyiko 260 jul 28 2016
fahamu kuhusu mzunguko wa maji duniani habari na hoja mchanganyiko 11 jun 24 2020
fahamu undani wa wanyama wakubwa watano porini
fahamu undani wa mnyama simba
fahamu kuhusu mzunguko wa maji duniani | 2020-07-12T22:32:16 | https://www.jamiiforums.com/threads/fahamu-kwa-undani-nadharia-ya-lockdown-yoyo-effect-mchezo-wa-kujaza-maji-ndoo-ilitoboka.1726067/ |
uganda yapoteza wanajeshi 12 nchini somalia
afrika uganda yapoteza wanajeshi 12 nchini somalia septemba 04 2015
wanajeshi wa uganda katika kikosi cha amisom nchini somalia
uganda ilithibitisha wanajeshi wake 12 walio katika mamlaka ya kikosi cha amisom waliuwawa baada ya kundi la wanamgambo wa alshabaab kushambulia kituo cha jeshi la umoja wa afrika katika mji wa janale kusini mwa somalia siku ya jumanne
msemaji wa jeshi la uganda paddy ankunda alisema katika mtandao kwamba miili 10 ilisafirishwa kutoka mogadishu kwenda uganda alhamisi bwana ankunda alisema amisom iliwatambua wanajeshi wote na hakuna mwanajeshi aliyepotea kutoka kituo cha janale kilichopo kilomita 120 kusinimagharibi mwa mogadishu
wanamgambo wa kundi la alshabaab huko somalia
wanamgambo wa alshabaab walidai kiasi cha wanajeshi wa uganda 70 waliuwawa katika shambulizi la jumanne lakini vyanzo vya sauti ya amerikavoa vilisema jumla ya idadi ya vifo vya wanajeshi ni 20
msemaji huyo wa jeshi la uganda alisema shambulizi hilo limebadili mtazamo na alshabaab watarajie majibu muafaka kutoka kwa wanajeshi wa uganda bwana ankunda aliongeza kwamba licha ya shambulizi uganda haitasitisha juhudi zake za kusaidia kuleta amani nchini somalia
wakati huo huo mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini uganda jenerali edward wamala alitembelea wanajeshi wa mstari wa mbele katika mji wa janale mahala ambapo alikutana na udpf na kuwapongeza kwa azma yao ya mapambano wanayofanya dhidi ya wanamgambo wa alshabaab ambao walishambulia kituo hicho
watu 500 wauliwa katika mashambulizi ya ugaidi kenya tangu 2012 shambulizi jingine la kigaidi lafanyika mandera kenya | 2016-10-22T23:32:46 | http://www.voaswahili.com/a/uganda-yapoteza-wanajeshi-12-nchini-somalia/2946606.html |
mchezo santa karama online kucheza kwa bure
katika mwishoni mwa desemba mwaka mpya sisi ni kusubiri kwa ajili ya kuwasili hii grandfatherly katika joto manyoya
© free online mchezo santa karama
santa karama kucheza online
maelezo ya mchezo santa karama online jinsi ya kucheza mchezo online katika mwishoni mwa desemba mwaka mpya sisi ni kusubiri kwa ajili ya kuwasili hii grandfatherly katika joto manyoya na zaidi ya yote sisi ni nia ya zawadi santa ambayo yeye ukarimu yote na usisahau mtu yeyote lakini kabla ya kuwaleta sisi santa kukusanya yao katika nyumba yake na mazizi ndani ya mfuko lakini wakati huu kulikuwa na matatizo ya na zawadi zote santa akaruka miamba ya milima kuwaleta sisi mtu aina umri wa alikwenda kuchukua hasara unakwenda kumsaidia katika hili kutumia kalamu uchawi kufuatilia santa kwa njia rahisi zaidi slide juu yake hakuweza kukusanya zawadi katika gunia lake lakini kumbuka unahitaji kuongoza line bila kuondoa kalamu na kisha mzee kuanguka ndani ya shimo kwanza na si kufanya hivyo kwa kumaliza kila zawadi wamekusanyika kuongezeka kwa kasi yake mchezo hana kikomo wakati baada ya yote lengo haki na kiasi wazi kuungana zawadi zote pamoja
mchezo itakuwa ya kuvutia kwa wote baada ya yote hata watu wazima katika siku za sikukuu ya mwaka mpya unataka kujisikia kama watoto matani kucheza kujiingiza na kupata zawadi kutoka kwa santa na mtihani ujuzi wao katika mistari ya kuandaa na kushindana na kila mmoja ikitoa asides humorous hivyo kuja na burudani bora na si muhimu
kiwango cha mchezo huu unachezwa 560
santa karama ( kura7 wastani binafsi 443/5)
kiwango cha bob fahren
barafu racer bob
baiskeli motocross ben 10
spiderman mzunguko wa racing
runners uliokithiri
scooby doo kuruka viunzi
kasi runner
horce mbio
kutawala pool
krismasi kukubaliana
operation tupa zawadi
pretty krismasi msichana | 2019-10-19T14:51:11 | http://tz.igames9.com/85673/ |
mtwara kumekucha barua ya wazi ya mtikila
barua ya wazi ya mtikila
nchi yetu inakabiliwa na kisasi cha mwenyezi mungu na ishara tayari zinaonekana kuna kuacha upumbavu na kutengeneza na mwenyezi mungu ama mapigo makali kuliko yaliyoipiga misri yatakayosimuliwa vizazi vyote kwa ufisadi na utwana wa watawala wa nchi yetu kwa watusi bila chembe ya aibu wala hofu kwa mwenyezi mungu waliikaribisha katika ardhi yetu ictr ikiwa nyenzo maalum ya kuwasaidia watusi kuangamiza wahutu wote wenye uwezo kiuchumi na kifikra duniani kenya iliikataa ictr katika ardhi yake kwa kumwogopa mungu kwa sababu ni nyenzo ya genocide iliyoangamiza mamilioni ya wahutu ikawafuata mpaka na wale milioni 25 waliokuwa wamekimbizia uhai wao mashariki ya congo na kuwateketeza kinyama kupenyezwa kwa watusi katika ngazi zote nyeti za utawala wa nchi yetu kumewezesha utusi kuteka nyara sera za nchi yetu zitumikie maslahi ya watusi kwa gharama ya heshima ya utaifa wetu na maslahi ya nchi yetu na siyo siri kwamba msingi wa laana hii yote iliyoonywa na mwenyezi mungu katika kumbukumbu la torati ulijengwa na dikteta julius nyerere ambaye leo anawekwa mahali pa mwenyezi mungu na kufanyiwa ibada ya ubaba wa taifa utekelezaji wa ndoto ya nyerere ya kuweka eneo lote la maziwa makuu chini ya himaya ya watusi unasimamiwa na vijana wake madikteta yoweri museveni na paul kagame aliyeangamiza mamilioni mengi ya binadamu duniani kuliko adolf hitler
uharamia anaoufanya kagame kule mashariki ya congo hapa kwetu alifanikiwa siku nyingi tofauti ya drc mashariki na mikoa yetu ya kagera na kigoma ni kwamba wenzetu wanayo hata majeshi ya mgambo ya uzalendo wao yanayotetea ardhi yao na uhuru wao kama vile mai mai lakini sisi tuliuawa kabisa uhanga wetu kwa ajili ya nchi yetu tumebaki kuwasujudia wageni wanaoteka na kuipora nchi yetu na kututia utumwani katika nchi yetu wenyewe hii ndiyo raha ambayo nyerere aliwaandalia kagame na mseveni kwa watanganyika kagame tayari ameingiza katika nchi yetu wanyarwandazaidi ya 35000 wenye silaha wengi wakiwa katika mapori ya hifadhi ya taifa ya buligi na maelfu ya ngombe waliowaingiza kutoka kwao rwanda na uganda kwani kule kwao wamejiwekea sheria kali ya kuokoa mazingira yao kwamba ni marufuku mtu kumiliki zaidi ya ngombe tano (5) kwahiyo mamia ya maelfu ya ngombe zao wameziingiza katika ardhi yetu kwa njia za porini na wapo wanyarwanda wenye ngombe mpaka 10000 mtu mmoja ndani ya nchi yetu maelfu mengi ya ngombe hao wa wanyarwanda wanajulikana kuwa mali ya dikteta paul kagame mwenyewe na mawaziri wake na wengine ni mali ya dikteta yoweri mseveni wengi wakiwa hata na mihuri ya nra mbali ya hifadhi ya taifa ya buligi maelfu mengi ya ngombe wao wamewaswagia katika mapori yetu ya kasindaga katete kinesi (karagwe) nyakerera kyobuheke na misambya na kwingineko ambako wanyarwanda wamejikatia mabuloku makubwa sana (blocks) ambayo wazawa hawaruhusiwi kukanyaga na wakithubutu ni kuuawa kitendo cha kagame na museveni cha kuifanya nchi yetu kwamba haina utaifa na heshima ya mipaka yake (sovereignty and territorial integrity) kama zilivyo nchi zao ni tangazo la vita ni lazima tujibu mapigo kwa nguvu kuliko tulivyomjibu dikteta idd amin dadah majeshi yetu yaanze mazoezi makali ya vita na raia waanze upya mafunzo ya mgambo kwa ajili ya nchi yetu kama lilivyoanza tatizo la uvamizi wa kagame drc mashariki maelfu ya wanyarwanda tayari wamekamata ardhi yetu kubwa sana kwa kutumia vibali bandia vya kuishi nchini na makaratasi ya uraia bandia wa nchi yetu jasusi la kagame liitwalo athanas kafurama mara nyingi hudhalilisha wazawa wa nchi yetu kwamba hawana kitu vichwani na kwamba tanzania inamjali mtu mwenye pesa yaani kama wao na siyo raia wake walalahoi kagame amefanikiwa kwa sehemu kubwa kuiteka kimya kimya mikoa yetu ya kagera na kigoma hata mkuu wa mkoa wa kagera col fabian masawe unamwuma moyo jinsi kagame na mseveni walivyopenyeza askari zaidi ya 35000 waliojichimbia na maelfu ya ngombe hasa katika hifadhi ya taifa ya buligi wanyarwanda wamekamata ardhi yetu kubwa sana bila kuwa hata na vibali vya kuwepo nchini mwetu kabla ya kueleza zaidi juu ya uvamizi wa buligi mkoani kagera tunapenda ifahamike kwamba mkoa wa kigoma umeingiliwa na wanyarwanda na warundi zaidi ya 100000 ambao tayari wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya taifa letu katika upanuzi wa himaya yao tena wanajipenyeza kupitia katika makanisa maalum yanayoeleweka tayari wameanza kufanikiwa kukamata utawala wa nchi yetu kama vile mnyarwanda aitwaye peter serugamba alivyoteka jimbo la kigoma mjini au diwani john wa kata ya gungu watusi wamegundulika kuwamwagia rushwa viongozi wa vijiji na vitongoji ambao wanawatumia kuiteka ardhi yetu na nafasi hizo wamepanga kuzichukua wao katika kuijenga himaya yao vikao vya watusi vya mikakati yao ya kuitwaa nchi yetu katika himaya yao mjini kigoma hufanyikia katika hoteli ya coast view iliyojengwa kwa mtaji uliotoka rwanda ambao ni utajiri ulioporwa congo
kwanza kabisa turejee mapokeo ya ile imani chafu sana ya watusi kwamba wao wana utu wa hali ya juu zaidi (superior race) kuliko wabantu unyama wa wanyarwanda ni pamoja na kuwateka nyara raia wetu na kuwatumia kama watumwa wa kuswaga mifugo yetu waliyotuporamateka hawa huvuliwa nguo na kuvikwa vipande vya matambara vya kitumwa na kubadilishwa majina mfano ni vijana wetu opecatus filipowa nsheshe kijiji cha nyamilanda kata ya kyebitembe ambaye aligeuzwa jina na kuitwa peter na antelius wa kabanga kijiji cha kasharara kata ya karambi aliyegeuzwa jina na kuitwa rutashambya wanyarwanda waliishi porini na hawa watumwa kwa miaka miwili mmoja wao hatimaye alifanikiwa kuwatoroka akatoa taarifa kituo cha polisi kyebitembe ambapo mkuu wa kituo hicho shujaa inspekta samson alifuatilia kwa uhodari mpaka akafanikiwa kumwokoa yule kijana wetu wa pili wale watekaji walikimbia msako huo baada ya kutonywa na msaliti afisa mtendaji wa rwabera karagwe mwanamke aitwaye alfredina raia wetu hao waliokombolewa wana ushuhuda wa kutisha wa unyama uliokuwa ukifanywa na wanyarwanda wanaeleza njia za porini walizokuwa wakipitishia mifugo yetu mawasiliano ya wanyarwanda kwa redio na simu dhidi ya mipango yote ya serikali yetu ya kuwafuatilia na mifugo yetu waliyopora vijana wanaeleza jinsi walivyotumika kuficha hayo makundi ya ngombe zetu na jinsi walivyoishi kama wanyamapori katika mvua kali na jua na mateso mengi yasiyosemeka vijana hawa wanashuhudia jinsi wanyarwanda walivyomchoma raia wetu kwa upanga wa moto mwilini kwa kuthubutu kudai ujira wa kutumiwa kikatili kutorosha ngombe waliopora katika nchi yetu mpaka huko maporini vijana wanashuhudia jinsi wenzao walivyouawa na wanyarwanda kama wanyama zaidi ya yote anaalaniwa vikali msaliti johanson shumuni ambaye ni afisa mtendaji wa kijiji cha kisana kwa kumfichia siri mwuaji katili wa kinyarwandamchungaji augens mwenye hilo kanisa la butera alipomwua kinyama mfanyakazi wake aliyekuwa anasimamia boti yake iliyokuwa ikifanya kazi za magendo katika ziwa buligi baada ya kumtuhumu kwa wizi wa injini ya hilo boti lake shahidi mmojawapo wa mauaji haya ni benedicto damian ambaye ni mwenyekiti wa kitongoji hicho cha butera
mchungaji hatari augens pia anashughulika na uvuvi haramu wa kutumia makokoro unaoangamiza mpaka mbegu ya samaki kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo mtusi mwingine aliyeua kinyama raia wetu ni mchungaji wa kanisa la mnyarwanda francis magege huyu alimwua aliyekuwa mchungaji wa ngombe zake baada ya siku tatu akaenda kutoa taarifa ya uongo polisi kwamba marehemu ameuawa na nyoka baada ya kugundulika mwili wa huyo marehemu machakani na kuchunguzwa na dr mtumbi iliripotiwa kwamba aliuawa kikatili sana kwa kitu kizito chenye ncha kali ndipomnyarwanda huyo mchungaji aligeuza kibao na kusema marehemu ameuawa na msukuma eti aliyekuwa amegombana naye kwa sababu ya kulisha ngombe mazao yake lakini uchunguzi unaonyesha kuwa marehemu aliuawa baada ya kudaiana na huyo mwajiri wake mchungaji mashahidi muhimu ni pamoja na huyo daktari aliyefanya uchunguzi mwenyekiti wa kitongoji cha butera na kijana aliyekuwa anachunga pamoja na marehemu ambaye alikimbilia ngara kwahiyokwa ajili ya usalama wa nchi yetu na heshima na uhuru wa kweli wa taifa letu na sifa ya taifa letu ya kupigania haki na utu wa mwanadamu tunasisitiza kwamba
rais magufuli ateua makamishna sita wa jeshi la uhamiajia | 2017-03-27T08:41:43 | http://mtwarakumekucha.blogspot.com/2013/01/barua-ya-wazi-ya-mtikila.html |
sudan yasimamisha kazi za mashirika yasiokua ya kiserikali darfur | matukio ya kisiasa | dw | 23032007
sudan yasimamisha kazi za mashirika yasiokua ya kiserikali darfur
wakati huo huo bunge la ujerumani bundestag laijadili hali katika jimbo hilo la magharibi mwa sudan
janga la wakimbizi wa darfur
sudan imesimamisha kwa hivi sasa shughuli za
mashirika 52 yasio ya kiserikali nchini mwake
yanayofanya kazi mkoani dafurhii imetokea wakati
mjumbe mkuu wa wa um anaehusika na misaada ya kiutu
akianza ziara yake ya kwanza nchini humo kwa
madhumuni ya kuyapatisha mashirika hayo ya misaada
fursa bora zaidi kwa kazi zao
kiasi cha watu laki 2 wameuwawa katika mkoa wa dafur
mnamo miaka 3 iliopita na zaidi ya milioni 2
wamekimbilia katika nchi jirani ya chad wanamgambo wa
janjaweed na vikosi vya serikali wanawaandama raia
huko na ulimwengu unatumbua macho tu
ujerumani nayo ifanye nini ikiwa sasa mwenyekiti wa
umoja wa ulaya na kundi la g8 hiyo ndio mada
iliozungumzwa alhamisi bungenibundestag huko berlin
waziri mkuu wa uingereza tony blair amemuandikia
kanzela angela merkel wa ujerumani kama mwenyekiti wa
sasa wa uu akimwambia wakati umewadia kumkazia kamba
rais omar al bashir wa sudan „sasa maji yamezidi
unga na hakuna cha kusubiri tenamsemaji wa waziri
mkuu blair alisema
karibuni hivi uchunguzi wa um umegundua kwamba mauaji
katika mkoa wa dafur sio yamekoma bali yanaendelea na
kwamba serikali mjini khartoum imehusika moja kwa moja
katika vitendo vya kihalifu vinavyopita hukolakini
haikudiriki kutoka hadharani china na russia zilianza
kutia munda kuzuwia ripoti hiyo kujadiliwa
kwa hali hii kisa cha dafur kilipozungumzwa jana
bungeniujerumani mbunge wa chama cha cdu hartwig
fischer alisemarai zoetu zote za kidiplomasia zimetuishiaikiwa
urusi na china pamoja na nchi za kiarabu hazikungamua
kinachopita dafur basi hata umoja wa mataifa
umeishiwa
hata mbunge wa chama cha walinzi wa mazingirachama
cha kijani bibi kerstin müller anaona juhudi za
kibalozi kwa sasa zimeshindwa akaongeza kuwa juhudi za kibalozi hutumika kwa bahati mbaya huku
ulaya kuelezea kufadhahika kwake kwa kutojua la
ni kweli kabisa sudan ikiwa na kinga ya
washirika wake china na urusi ina turufu kali
mkononiturufu hii lakini sudan yaeweza tu kuicheza
kwa vile ulimwengu uliosalia haujachachama kuchukua
kitendona hii yafaa kubadilikawabunge wenzangu
alidai mbunge wa chama cha kijani bibi müller
wakati bundestag likijadiliana taarifa kutoka
khartoum zinaelezea jinsi serikali ya sudan nayo
inavyokaza kamba
jamal youssef idriss wa tume ya misaada ya binadamu
ya serikali huko nyala amesema mashirika yasio ya kiserikali
ngos yamesimamishiwa shughuli zao huko dafur baada ya
uchunguzi kugundua udanganyifu upitao huko ambao
unakiuka sheriaakaarifu kwamba ana azma ya kukutana na mashirika yote yasio ya kiserikali yaliohusika na shughuli huko dafur
kuzungumzia jinsi gani ya kuanzisha upya kazi zao
john holmes makamo katibu mkuu wa um anaehusika na
maswali ya misaada kwa waliofikwa na maafa amesema
amekuwa na mazungumzo ya maana sana na yenye faida
juu ya dafur na waziri wa sudan anaehusika na maswali
ya misaada kwa waliopatwa na maafa kosti manibe
lakini alisisitiza hata hivyo ni suluhisho la kisiasa
pekee ndilo litakaloleta ufumbuzi wa mgogoro wa dafur
mkoa wa dafur una opresheni kubwa kabisa hivi sasa
duniani inayojumuisha hadi watumishi 14000sehemu
kubwa yao ni wasudani wanaoyatumikia mashirika ya
kimataifa yasio ya kiserikalingos
huko juba rais wa kusini mwa sudan amewataka waasi
wa mkoa wa magharibi wa dafur kukutana katika mji
mkuu wake ili kufikia maridhiano kabla ya kuanza
mazungumzo ya amani kwa shabaha ya kukomesha uasi na
msukosuko wa maafa ya wanadamu huko
katika hotuba kwa mataifa fadhili huko juba juzisalva
kiir alisema pia amani nchini sudan inabidi kujumuisha
sudan nzima na waasi wa dafur wanapaswa kuunda
kamati ya pamoja ili kujiandaa kwa mkutano unabidi
kufanyika mwezi ujao wa april
kiungo http//pdwcom/p/chhe | 2018-03-24T04:59:39 | http://www.dw.com/sw/sudan-yasimamisha-kazi-za-mashirika-yasiokua-ya-kiserikali-darfur/a-2926378 |
kichu kichu lyrics | kichu kichu song lyrics hungama
hungama ● lyrics ● kichu kichu song lyrics pulival
vairamuthukichu kichu kichu panni
kathiraaniyaa oh nee baby ah oh | 2020-01-27T12:38:05 | https://www.hungama.com/song/lyrics/kichu-kichu/2417319/ |
dira yangu ufisadi hadi jeshini uganda
sidhani kama jeshi la tz halina ufisadi nahisi watu hawachunguzi tulink yako ya mwisho kwenye post hii nimeshindwa kuingia | 2017-08-21T13:59:01 | http://funguajicho.blogspot.com/2008/04/ufisadi-hadi-jeshini-uganda.html |
yanga yapigwa kidude na tusker
nizar khalfan wa yanga kushoto akimtoka beki wa tusker leo habari picha kwa hisani ya bin zubeiry blog
mabingwa wa kenya tusker fc jioni hii wameiangusha yanga sc bao 10 kwenye uwanja wa taifa dar es salaam katika mchezo wa kirafiki
huo ulikuwa mchezo maalum kwa yanga kuwaaga mashabiki wake kabla ya safari ya uturuki jumamosi usiku kwenda kuweka kambi ya wiki mbili
hadi mapumziko tusker walikuwa tayari mbele kwa bao hilo 10 lililowekwa kimiani na kiungo ismail dunga kwa mkwaju wa penalti dakika ya 44
refa charles oden mbaga alitoa penalti hiyo baada ya kiungo wa yanga nurdin bakari kumuangusha kwenye eneo la hatari kiungo khalid aucho
yanga walicheza vema katika kipindi hicho lakini hawakufanikiwa kutengeneza nafasi za kufunga na hilo lilitokana na mipango haba ya safu yake ya kiungo leo ikiongozwa na kabange twite na nurdin bakari
pamoja na kocha mholanzi ernie brandts kufanya mabadiliko kipindi cha pili akiwaingiza hamisi kiiza jery tegete simon msuva omega seme na nizar khalfan kuchukuwa nafasi za akina david luhende said bahanuzi george banda rehani kibingu na oscar joshua lakini matokeo hayakubadilika
zaidi yanga iliongeza kasi ya mashambulizi kupitia kwa msuva na kiiza na hata nizar alipoingia lakini kwa ujumla bahati haikuwa yao jioni ya leo
hii ni mechi ya pili brandts anafungwa kati ya mechi 10 alizoiongoza yanga tangu aanze kazi akirithi mikoba ya mbelgiji tom saintfiet nyingine saba ameshinda na moja ametoa sare
yanga sc ally mustafa barthez juma abdul oscar joshua nadir haroub cannavaro ladislaus mbogo nurdin bakari rehani kibingu kabange twite george banda said bahanuzi na david luhende
tusker fc george opiyo luke ochieng jeremiah bright mark odhiambo joseph shikokoti khalid aucho edwin manono justin monda ismail dunga jesse were robert omonuk | 2018-02-23T10:17:00 | http://dinaismail.blogspot.com/2012/12/yanga-yapigwa-kidude-na-tusker.html |
dg wa tanzania coffee board adolph kumburu nani kampa kibali cha kuhack simu na email za watu jamiiforums
dg wa tanzania coffee board adolph kumburu nani kampa kibali cha kuhack simu na email za watu
thread starter mafyale
dg wa tanzania coffee board adolph kumburu nani kampa kibali cha kuharck simu na email za watu
katika hali isiyokuwa ya kawaida wadau naomba kuuliza hivi huyu mkurugenzi mkuu wa bodi ya kahawa adolph kumburu ni nani aliyempa kibali cha kudukua (hacking) email za wafanyakazi pamoja na kurecord simu za wafanyakazi
hii ni kutokana na akili ndogo kutawala akili kubwa au
kumekuwa na woga uliotanda kwenye ofisi za bodi ya kahawa kutokana na wafanyakazi kuwa waoga wa kutumia simu zao za mkononi au hata kufungua email za siri kutokana na kitendo cha mkurugenzi mkuu huyo kurecord simu za wafanyakazi kwa kuwalipa baadhi ya wafanyakazi wa makampuni ya simu za mkononi kumrecordia yale yanayozungumzwa kwenye simu za watendaji wa taasisi hiyo
ni hivi karibuni baadhi ya wafanyakazi wameshindwa kufungua email zao na baadhi ya document zimeonekana zikizagaa kwenye bodi ya wakurugenzi wa bodi hiyo na wenye email hizo kwa sasa hawawezi kufungua email zao tena
tume ya mawasiliano tuwaomba kuingilia hili na sheria iweze kuchukua mkondo wake
na je voda com mna habari ya haya yanayoendelea huku moshi
kama hauna jambo baya kwanini uogope
huyu anapaswa kufanyia kazi kubwa siyo wa kuacha hivi hivi
@ mzee hi ndio kazi aliyoajiriwa nayo acha kuwa na akili ndogo panua akili yako
mafyale said
hili ni jukwaa la siasa la jfnenda ofsi za tucta na tcra ukalalamike
haka katabia kanaanza kushamiri sasa maana kalianza kiutani utani na kina kubenea na mbowe kuhack mawasiliano ya zitto
halafu tcra wamekaa kimya tu
threads 1261376
posts 30088317 | 2019-02-16T07:28:26 | https://www.jamiiforums.com/threads/dg-wa-tanzania-coffee-board-adolph-kumburu-nani-kampa-kibali-cha-kuhack-simu-na-email-za-watu.569937/ |
je mtandao wa kuchora maktaba ya juu ya python mtaalam wa semalt
kuchora kwa wavuti ni njia bora ya kukusanya taarifa kutoka kwa intaneti programu ya kuvuna mtandao hupata mtandao wote wa ulimwenguni kwa kutumia itifaki ya kuhamisha ya hypertext inakusanya data kutoka kwenye tovuti tofauti na kuibadilisha kuwa fomu inayoweza kusoma bots ina jukumu muhimu katika kukusanya data na uchimbaji wanasaidia kuokoa maudhui yaliyotengwa kwenye orodha ya kati kwa matumizi ya nje ya mtandao
kurasa za wavuti zimejengwa kwa kutumia lugha tofauti za programu kama vile html na xhtml ndiyo sababu makampuni yameanzisha mifumo mbalimbali ya kupiga mtandao na kutegemea dom parsing maono ya kompyuta na usindikaji wa lugha ya asili ili kuiga tabia ya kibinadamu kuchunguza data inachukuliwa kuwa mbinu ya ad hoc na inelegant lakini ni muhimu kwa makampuni ya biashara programmers yasiyo ya coders webmasters waandishi wa habari wafanyabiashara wa digital na waandishi wa kujitegemea
a mtandao scraper ni api ambayo husaidia kuchukua habari kutoka maeneo mbalimbali makampuni kama google na amazon hutoa huduma tofauti za mtandao za kuchuja na zana aina za hivi karibuni za kukataza mtandao ni feeds data rss feeds twitter feeds na atom feeds json na csv hutumiwa kama utaratibu wa kuhifadhi usafiri kati ya seva za mtandao na mteja oktoba ingiza io labono labs na parsehub ni zana maarufu zaidi za kuchora mtandao wanakuja wote katika matoleo ya bure na kulipwa na wanaweza kukamilisha kazi kadhaa mara baada ya kupakuliwa na kusakinishwa zana hizi zinaweza kupanua mamia ya kurasa za wavuti kwa saa
maktaba ya juu ya 10 ya python ya kupiga mtandao
python ni lugha ya programu ya juu inashirikisha mfumo wa nguvu na usimamizi wa kumbukumbu ya moja kwa moja python inasaidia miundo tofauti ya programu kama vile vitu vinavyolengwa kazi taratibu na muhimu ina idadi kubwa ya maktaba ya kawaida lakini maktaba maarufu ya python yanaelezwa hapa chini
maombi ni maktaba ya python http ambayo inalenga kwenye mwingiliano wa tovuti tofauti inaweza kusimamia kuki uzingatie vipindi vya kuingilia na ushughulikia tovuti zilizo chini au kuchukua muda mrefu kujibu ni leseni ya apache2 license na lengo la maombi ni kutuma maombi ya http kwa njia ya kirafiki na ya kina
scrapy ni programu ya kupiga mtandao ambayo husaidia kuondoa maelezo muhimu kutoka kwenye tovuti tofauti
sqlalchemy ni maktaba ya msingi ambayo ni muhimu kwa watengenezaji na watengenezaji wa wavuti
4 nzuri nzuri
hii maktaba ya kutafakari ya html na xml ni muhimu kwa wajenzi wa wajenzi na wavuti
ni chombo cha kufanya kazi na nyaraka za xml na html inasaidia kutathmini vipengele vya xpath na css na kupata vipengee vinavyolingana kwenye wavu
maktaba ya python husaidia kukamilisha kazi za maendeleo ya mchezo wa 2d
ni nguvu ya uhuishaji wa 3d na mchezo ambayo inajulikana kwa interface yake ya kirafiki
8 nltk (kitabu cha kitabu cha lugha za asili)
inasaidia kuendesha masharti tofauti na inaweza kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja
pua ni mfumo wa kupima kwa python unaotumiwa na mamia ya waandaaji duniani kote
kwa sympy unaweza kufanya kazi nyingi na kutathmini ubora wa maudhui yako ya wavuti | 2018-01-22T16:06:19 | http://halftheink.com/158228-je-mtandao-wa-kuchora-maktaba-ya-juu-ya-python-mtaalam-wa-semalt |
real madrid yaongoza list ya timu tajiri duniani robengo16
real madrid yaongoza list ya timu tajiri duniani
real madrid imetajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa kampuni ya uhasibu ya deloitte kabu hiyo ya uhispania inathamani ya pauni milioni 6746
man utd imeshuka hadi nafasi ya tatu baada ya barcelona ambayo ni klabu nyingine kutoka uhispania kuchukua nafasi ya pili ilisemakulikua na jumla ya vilabu sita vya ligi ya uingereza vilivyojumuishwa katika orodha ya vilabu kumi tajiri zaidi duniani
orodha ya vilabu tajiri zaidi duniani ambayo huchapishwa kila mwaka na kampuni ya deloitte hunaangazia thamani ya vilabu bila kujumuisha madeni
real madrid ilishinda taji la ligi ya mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuinyuka liverpool mabao 31 mjini kiev mwezi mei mwaka uliopita
mapato ya real madrid yaliongozeka baada ya kutwaa taji la ligi ya mabingwa mara tatu mfululizo
ushindi huo uliisadia real kuongeza mapato yake na kuifanya kuwa timu yenye mapato makubwa mara kumi na mbili katika orodha ya deloitte
klabu hiyo ilishuhudia ukuaji wa biashara yake kwa pauni milioni 548 iliyojumuisha ongezeko la wadhaminimapato ya uuzaji wa bidhaa zao na kuongezeka kwa ziara ya kabla mwanzo wa msimu
real madrid imevuja rekodi kwa kukusanya mapato ya kibiashara ya jumla ya pauni milioni 3562 kiwango ambacho kimeifanya kuwa klabu tajiri zaidi duniani ukilinganisha na vilavu vingine
dan jones mkuu wa kitengo cha uhasibu wa masuala ya michezo katika kampuni ya deloitte amesema matokeo bora ya real madrid mwaka 201718 yamechangia historia ya ufanisi wao uwanjani ikiwa ni pamoja na ushindi wa hivi karibuni wa mataji matatu ya ligi ya mabingwa
hii imeiwezesha klabu kupata matangazo ya biashara kwa sababu makampuni yapendelea sana kushirikiana na vilabu vilivyo na ufanisi mkubwa barani ulaya
amesema nyingi ya vilabu kumi bora kwenye orodha ya deloitte huwa ni vile vilivyofuzu kufika hatua ya 16 bora katika mchuano wa ligi ya mabigwa kwa sababu vina nafasi ya kukua kibiashara
vilabu vya bayern munich na manchester city vilisalia katika nafasi zao kwa miaka miwili iliyopita
paris stgermain liverpool chelsea arsenal na tottenham hotspur walishikilia nafasi ya sita hadi kumi
everton walishikilia nafasi ya 17 newcastle united ya 19 na west ham united nafasi ya 20
vilabu vyote 20 vilivyo kwenye nasi ya tano bora vinashiriki ligi kuu za mataifa ya bara ulaya ikiwa ni pamoja na italia iliyonyakua nafasi nne nazo ujerumani na uhispania zikichangiavilabu tatu huku ufaransa ikisalia na nafasi moja
uwepo mkubwa wa vilabu vya ligi ya uingereza unaendelea kushuhudiwa katika orodha deloitte ya kila mwaka ya vilabu tajiri dunianialisema sam boor
← previous story jose mourinho ataja nani mkali kati ya messi na ronaldo
next story → wambura atua fifa | 2019-07-19T10:08:16 | https://robengo16.com/2019/01/25/real-madrid-yaongoza-list-ya-timu-tajiri-duniani/ |
tanzia gloria muliro afiwa na baba yake mzazi rumafrica for all nations
» tanzia gloria muliro afiwa na baba yake mzazi
gloria na marehemu baba yake david muliro ©fb/gloria muliro
muimbaji wa nyimbo za injili nchini kenya gloria muliro amepatwa na pigo maishani baada ya kufiwa na baba yak mzazi gk imefahamishwa
muimbaji huyo ambaye anajiandaa na mzunguko (tour) wa twende jerusalem na gotell kuanzia tarehe 17 agosti kisha kuunganisa mzunguko mwingine ameandika taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa facebook akieleza kusikitishwa na taarifa hizo jumamosi ya tarehe 9 julai | 2017-04-29T15:32:17 | http://rumaafrica.blogspot.com/2016/07/tanzia-gloria-muliro-afiwa-na-baba-yake.html |
ajali ya ndege yaua 11ngorongoro
ndege hiyo ilipata ajali majira ya saa tano asubuhi katika eneo la bonde la empakaai lililopo kwenye hifadhi ya ngorongoro mkoani arusha kwa mujibu wa taarifa za ndani zilizothibitishwa baadhi yao walikuwa ni watalii waliofika nchini kuona vivutio mbalimbali | 2017-12-16T12:50:31 | https://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/25454-ajali-ya-ndege-yaua-11ngorongoro |
winga wa zamani wa nigeria emmanuel amunike ndiye kocha mpya wa taifa stars bin zubery | presstz your number 1 source of aggregated online content
winga wa zamani wa nigeria emmanuel amunike ndiye kocha mpya wa taifa stars
by bin zubery / posted monday 6th august 2018
rais wa shirikisho la soka tanzania (tff) wallace karia amemtambulisha winga wa zamani wa kimataifa wa nigeria emmanuel amunike kuwa kocha mpya wa timu ya taifa taifa stars
karia amemtambulisha amunike mwenye umri wa miaka 47 katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika hoteli ya new africa mjini dar es salaam jioni hii baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili
emmanuel amunike (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo hoteli ya new africa mjini dar es salaam
na hiyo ni baada ya taifa stars kulazimishwa sare ya 11 nyumbani na lesotho juni 10 mwaka jana uwanja wa azam complex chamazi da continue reading >
1 tff yaziba nafasi ya kuuli kamati ya uchaguzi yawateua pia mussa azzan zungu na asp nyagabona
2 ammy ninje ateuliwa kuwa mkurugenzi mpya wa ufundi wa tff akichukua nafasi ya milambo
3 simba sc 30 stand united (ligi kuu tz bara)
4 mbao fc 10 kagera sugar (ligi kuu tz bara)
5 wayne rooney afunga mawili aseti moja dc united yashinda 31 | 2018-10-23T00:49:02 | http://presstz.net/winga-wa-zamani-wa-nigeria-emmanuel-amunike-ndiye-kocha-mpya-wa-taifa-stars-40005047 |
kicukiro ngazi za usalama zimeomba kutia mkazo kwa kuzuia makosa swahili
by mecky kayiranga on feb 4 2017
ngazi za usalama katika wilaya ya kicukiro zimeomba kutia mkazo kwa kuzuia makosa ili kuzingatia usalama wa wakaaji na vitu vyao
tarhe 3 februari 2017 ndipo kiongozi wa wilaya dr nyirahabimana jeanne alitoa ujumbe alipo anzisha mafundisho ya siku mbili ya wahusika na usalama wa wilaya na mafundisho hao hupitika katika kiini ya kabeza tarafa ya kanome
kuanzisha mafundisho hayo palikuwepo kamishina wa polisi ya rwanda commissioner of police (cp) emmanuel butera alikua akisimamia kiongozi mkuu wa polisi cgp emmanuel k gasana wengine ambao walifuata mafundisho ni polisi ngazi za usalama wa wilaya dasso wapatanishi wa vijana na wengine wahusika na usalama
dr nyirahabimana aliwaambia wapatao 78 wenye kufuata mafundisho ya kuwa kuzingatia usalama inaomba kuwa na umoja kwa kusaidiana kati ya ngazi za uongozi na wakaaji na kwa hayo waliombwa kuzuia kila kitu ambaco huweza haribu usalama na kuharibu vifaa tofauti
cp butera yeye aliomba wenye kufanya mafundisho hayo kutia mkazo kwa kuzuia na kupiganisha makosa pakiwemo kufanya ubiashara ya watu dawa za kulevya wizi ubakaji na ugomvi
walifundishwa kuchunguza yanayo zua makosa na kutafuta suluhisho namna ya kulinda mahali palipo fanyika makosa kufuatilia yafanyikayo mahakamani na kuwalinda mashuhuda kupana huduma nzuri kupinga rushwa
baada ya maamzi ya serikali wanahabari wa kiswahili wameunda chama | 2018-08-15T10:37:21 | https://swahili.bwiza.com/kicukiro-ngazi-za-usalama-zimeomba-kutia-mkazo-kwa-kuzuia-makosa/ |
mambo 15 ya msingi sana ili uishi na wenzio vizuri mwalimu wa kiswahili
mambo 15 ya msingi sana ili uishi na wenzio vizuri
by mwalimu wa kiswahili in elimujamii on june 24 2018
2 usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa uzao wako)
5 usipande mbegu ya chuki na ubaya katika jamii unayoishi ukadhani itakuacha salama (chuki hukuwa kama mti utambaao wa (passionfruit) ukiipanda ndani ya jamii yako haitatoka kwako na inaweza kutafuna uzao wako ukajutia
6 tambua kuwa yule unayeishi nae ni mwanadamu kama wewe mpe heshima na mwoneshe upendo hata kama huoni anafanana nawe maisha ni duara huenda ulikuwa kama yeye au atakuja kuwa kama wewe baadae (wapo wapi kina firauni farao) wapo wapi waliokuwa matajiri wa dunia hii wapo wapi kina idd amin gadaffi hitler saddam hussein nkipo siku yanaweza kuja kwako pia
7 jiepushe na maisha ya kusukumwa na wengine kufanya jambo usilojua manufaa yake jifunze kujitegemea kiakili sio kila unayemdhania rafiki moyoni mwake yupo pamoja nawe na ukashirikiana naye wengi wa marafiki zetu hututumia sana kuliko tunavyoweza kuwatumia wao
11 usitunze hasira nyingi moyoni kwani hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu jitahidi pia kuepuka kuwa na hasira mara kwa mara na zisizo na maana elewa kuwa hasira zisizo na maana hukupunguzia maisha na kukupa maumivu wewe mwenyewe kuliko yule uliyemfanyia hasira utakufa kwa magonjwa kabla ya wakati ufaao
12 thamani yako inategenezwa na watu wengine wewe kama ni mtoto mheshimu sana mzazi wako na kama umeoa au kuolewa heshimu wazazi na familia ya mke au mumeo kwa kuwa bila wao usingekuwa hivyo ulivyo leo unajivunia ndoa njema kwa kuwa yupo mtu alimzaa huyo mwenzio mheshimu kwa lolote liwe jema au baya utalipwa kwa wakati ufaao
15 subiri sikiliza elekeza vumiliaelewa sio kila mtu ana uelewa kama wako jitahidi kuwa mvumilivu katika kila jambo usiinuke kuwafokea au kuwakaripia wengine kwa jambo ambalo pengine nao wanahitaji muda kueleweshwa ili walifanye vyema kumbuka sana kuna wakati nawe ulikuwa huelewi kabisa lakini wapo wenzio walikuvumilia wakakuelekeza njia njema kufokea wengine mara kwa mara sio njia njema ya kuwafundisha bali ni kuwaweka mbali nawe
healthy man pharmacy cialis atarax kamagra bijwerkingen india pharmacy
also visit this web site on regular basis to obtain updated from latest reports
best site for cialis generic viagra shipped to p o box viagra my dr prescribed keflex for boils buy levitra 10 mg
chap tadalis sx propecia reversible cialis cialis toma doxycycline for cheap
total visitors 274789 | 2019-06-17T11:10:24 | https://mwalimuwakiswahili.co.tz/mambo-15-ya-msingi-sana-ili-uishi-na-wenzio-vizuri/ |
simba mo dewji amani tena sasa nguvu moja mwadui na mbao wafe bin zubeiry sports online simba mo dewji amani tena sasa nguvu moja mwadui na mbao wafe bin zubeiry sports online
mwanzo > simba > simba mo dewji amani tena sasa nguvu moja mwadui na mbao wafe
hatimaye harufu mbaya iliyotaka kuchafua hali ya hewa msimbazi imetoweka baada ya uongozi wa klabu ya simba kumaliza tofauti zake na mfadhili wake mohammed mo dewji
hiyo inafuatia kikao maalum kilichofanyika mjini dar es salaam kutafuta suluhu ya tofauti zilizojitokeza baada ya uongozi wa simba kuingia mkataba wa udhamini na kampuni ya sportpesa bila kumshirikisha mo dewji
makamu wa rais wa simba geoffrey nyange kaburu amesema leo jioni mjini dar es salaam kwamba kamati ya utendaji ya klabu imekutana na mo dewji na kufikia suluhisho zuri la kuendelea kuwa pamoja na pia kuukumbatia udhamini wa sportpesa
amani tena kutoka kulia rais wa simba evans aveva mo dewji na kaburu
katika kikao hicho suala la changamoto ya mkataba wa sportpesa na masuala mengine yalijadiliwa na kutafutiwa ufumbuzi tunapenda kuwaarifu wanachama na wapenzi wetu wa simba sc kuwa tofauti zote zilizoonekana siku chache zilizopita zimezikwa rasmiamesema kaburu
nyange amesema kwamba sasa uongozi wa klabu na mfadhili wao mo dewji ni kitu kimoja tena na wanaunganisha nguvu zao kupambana washinde mechi ya mwisho ya ligi kuu ya vodacom tanzania bara dhidi ya mwadui fc wiki ijayo uwanja wa taifa dar es salaam na fainali ya kombe la shirikisho la soka tanzania (tff) au azam sports federation cup (asfc) dhidi ya mbao fc mei 27 uwanja wa jamhuri dodoma
mbali na dewji zacharia hans poppe naye alijiuzulu ujumbe wa kamati ya utendaji na uongozi wa kamati ya usajili na ya ujenzi wa bunju complex baada ya kuchukizwa na kutohusishwa katika mkataba wa udhamini wa kampuni ya sportpesa
item reviewed simba mo dewji amani tena sasa nguvu moja mwadui na mbao wafe rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2018-02-24T12:08:50 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/05/simba-mo-dewji-amani-tena-sasa-nguvu.html |
monday june 26 2017|number of views (9) |categories news
wakala wa nishati vijijini (rea) umezindua utekelezaji wa mradi kabambe wa kusambaza umeme vijijini awamu ya tatu katika mkoa wa manyara uliofanyika tarehe 24/06/2017 katika kijiji cha luxmanda kata ya secheda wilaya ya babati vijijini read more
friday june 23 2017|number of views (5) |categories news
mkurugenzi mkuu wa wakala wa nishati vijijini (rea) mhandisi gissima nyamohanga aliongoza ujumbe wa viongozi wa wakala kutembelea wilaya ya kilolo mkoa wa iringa ili kutathmini matokeo chanya yaliyotokana na utekelezwaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini read more
friday june 16 2017|number of views (2) |categories news
tarehe 5 juni 2017 wakala wa nishati vijijini (rea) ulishiriki maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yaliyofanyika katika kijiji cha butiama mkoa wa mara wakala ulipata fursa ya kuonesha mpango wake wa kusambaza umeme vijijini read more
tuesday may 16 2017|number of views (440) |categories news press releases
wakala wa nishati vijijini (rea) umekamilisha taratibu za zabuni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi kabambe wa kusambaza umeme vijijini awamu ya tatu (turnkey iii) na unawajulisha wakandarasi walioshinda kwamba hatua inayofuata ni kupewa barua za tuzo (award letters) na kusaini mikataba read more
thursday april 20 2017|number of views (832) |categories news announcements
montuewedthufrisatsun2930311234567891011121314156/15/2017taarifa kwa wakandarasi / notice to contractorswakandarasi ambao hawajakamilisha wajibu wao hawataruhusiwa kushiriki katika zabuni zitakazotangazwa na wakalacontractors who have not fulfilled their obligations will not be allowed to participate in the forthcoming tenders to be advertised by the agencyread more161718192021222324252627282930123456789 | 2017-06-29T08:50:17 | http://rea.go.tz/NewsCenter/Announcements/TabId/139/PID/667/evl/0/CategoryID/2/CategoryName/News/Default.aspx |
irene mwamfupe jamii lulu amzawadia mamake nyumba
lulu amzawadia mamake nyumba
imekaa poa sana taarifa tamu ikufikie kwamba sexy lady wa bongo movies elizabeth michael kimemeta lulu amemfanyia mama yake lucresia karugila kufuru ya kufa mtu kisha kumzawadia ile nyumba yake anayoimalizia iliyopo kimara jijini dar
staa wa bongo movies elizabeth michael kimemeta lulu
tukio hilo la kupongezwa lilichukua nafasi usiku wa januari mosi mwaka huu ndani ya hoteli ya great wall iliyopo masaki dar ambapo lulu alimfanyia mama yake pati ya bethidei akiwa anatimiza umri wa miaka 45
katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kadhaa bongo na kufunika kwa mnuso wa nguvu na vinywaji vya kila aina lulu alitumia shughuli hiyo kuelezea ni kwa jinsi gani mama yake amekuwa msaada wake mkubwa na kuvumilia aibu zake katika jamii
shushushu wetu aliyekuwa ndani ya shughuli hiyo alimshuhudia lulu akitoa risala ndefu kwa mama yake hivyo akasema mbali na kuandaa sherehe hiyo hana kingine cha kumpa mama yake zaidi ya kuongeza upendo na kumzawadia mjengo huo ambao kwa sasa upo vizuri
lulu akiwa na bi mkubwa wake lucresia karugila
baada ya hapo lulu aliwashukuru wote waliomtakia heri mama yake na kuhudhuria sherehe hiyo
napenda kuwashukuru wote mliomtakia heri ya kuzaliwa mama angu
nawashukuru wote mlioweza kutumia muda wenu mkakubali mwaliko na mkafika katika sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili yake
najua nina ndugu jamaa marafiki na mashabiki wengi japo ni wachache tu walioweza kuwepo
mwisho kabisa namshukuru mama lulu kwa jina lingine dada wa rwechungura alisema lulu ambaye anaishi kwenye mjengo wa kifahari wa kupangisha uliopo mbezibeach jijini dar | 2017-12-13T20:56:39 | http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/01/lulu-amzawadia-mamake-nyumba.html |
mpango mkakati wa saa 24 kwa ajili ya bwana
mpango mkakati wa saa 24 kwa ajili ya bwana ni muda muafaka wa sala tafakari na upatanisho kwa mungu na jirani ili kuwa kweli ni mashuhuda wa huruma ya mungu na vyombo vya uinjilishaji wa kina
mpango mkakati wa saa 24 kwa ajili ya bwana muda wa kukesha na kristo
baba mtakatifu francisko anasema mpango mkakati wa saa 24 kwa ajili ya bwana ni matunda ya maadhimisho ya mwaka wa huruma ya mungu yanayopaswa kuendelezwa na kumwilishwa katika maisha na utume wa kanisa ili kuonja tena na tena huruma na upendo wa mungu kwa waja wake | 2018-09-19T00:12:23 | http://sw.radiovaticana.va/news/tags/mpango-mkakati-wa-saa-24-kwa-ajili-ya-bwana |
irene mwamfupe jamii jk akagua na kuzindua miradi mkoa mpya wa simiyu
jk akagua na kuzindua miradi mkoa mpya wa simiyu
msanii wa kundi la sanaa kutoka bariadi akicheza na nyoka aina ya chatu wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya bariadi lamadi
rais dktjakaya mrisho kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria ufunguzi wa barabara ya bariadi lamadi
rais dktjakaya mrisho kikwetewaziri wa ujenzi john pombe magufuli(watatu kushoto)mbunge wa bariadi mhe andrew chenge(kushoto)pamoja na viongozi wengine w akifunua kitambaa kuashiria kuweka jiwe la msingi na kuzindua ujenzi wa barabara ya bariadilamadi yenye urefu wa kilometa 718 huko enelo la old maswa mkoa mpya wa simiyu
rais dktjakaya mrisho kikwete waziri wa ujenzi john pombe magufuli(pembeni ya rais kulia) pamoja na viongozi wengine akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi ujenzi wa barbara ya bariadi lamadi yenye urefu wa kilometa 718 huko eneo la old maswa
rais dktjakaya mrisho kikwete akisalimiana na bwana saguda kasili mlemavu ambaye pia ni mtendaji wa kijiji cha ngwangwali wakati aliposimama kijijini hapo kuwasalimia wananchi wa eneo hilo
rais dktjakaya mrisho kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mradi wa umeme katika kijiji cha nkololo wilayani bariadi mkoa wa simiyu weninge katika picha kutoka kushoto ni naibu waziri wa nishati na madini mh steven masele mbunge wa bariadi mheandrew chenge(wapili kushoto)paroko wa nkololo padri paulo fegan(wanne kushoto) na kulia ni mkuu wa mkoa wa simiyu pascal mabiti | 2017-10-22T13:44:11 | http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2013/11/jk-akagua-na-kuzindua-miradi-mkoa-mpya.html |
uko amakipe azahura muri premier league byatangajwe bwa mbere mu mateka hashyirwamo akaruhuko igihecom
kuya 13 kamena 2019 saa 1104 | 2019-07-22T16:42:40 | http://igihe.com/imikino/article/uko-amakipe-azahura-muri-premier-league-byatangajwe-bwa-mbere-mu-mateka |
clinton ataka taarifa zaidi kuhusu uchunguzi wa barua pepe zake dodoma one
october 29 2016 hash uncategorized 143
mgombea wa kiti cha urais wa marekani kwa chama cha democtaric bi hillary clinton amelitaka shirika la kijasusi la fbi litoe maelezo zaidi kuhusu yaliyomo kwenye barua zake pepe walizonazo fbi
fbi linasema wanazitumia kuanzisha upya uchunguzi kuhusu iwapo alizembea kwa kutohifadhi vyema taarifa muhimu za kiserikali wakati alipokuwa waziri wa mambo ya nje wa marekani
bi clinton amesema ana imani kuwa taarifa hizo mpya walizo nazo fbi hazitabadili kivyovyote vile uamuzi wa awali waliotoa hapo july ambao ulimwondolea lawama
bi clinton amesema hata hao fbi wenyewe bado hawana hakika iwapo kuna ushahidi mzito kuhusu swala hilo
hata hivyo haijabainika wazi ni kwa kisi gani ugunduzi wa maelezo hayo unaweza kutetelesha kampeni ya bi clinton wakati huu ambapo zimesalia siku 11 pekee kabla ya uchaguzi huo wa marekani
lakini kama ilivyotarajiwa mpinzani wa bi clinton mgombea wa chama cha republican donald trump amempiga vijembe upya kinara huyo wa democrats akisema hapaswi kupeleka kile alichokiita mfumo wake wa kihalifu katika ikulu ya white house
thanks for any other informative site the place else may just i get that kind of information written in such an ideal way ive a challenge that im simply now working on and i have been at the look out for such information
i believe that is one of several much information and facts for me kumpulan youtube indonesia and im glad understanding a persons document nonetheless want to paying attention with a few normal points the internet site flavour will be great your posts is point of reality outstanding deb exceptional method many thanks
your post on clinton ataka taarifa zaidi kuhusu uchunguzi wa barua pepe zake dodoma one is very good i hope you can continue delivering many lot article long live mwendokasi000webhostappcom | 2018-08-14T10:48:41 | https://mwendokasi.000webhostapp.com/index.php/2016/10/29/clinton-ataka-taarifa-zaidi-kuhusu-uchunguzi-wa-barua-pepe-zake/ |
siri za utunzaji wa ngozi vidokezo vya kuwa na ngozi yenye afya | africaparent
sababu kama vile jua kali na kuwa kupata uchafu huathiri ngozi yako kuna siri za utunzaji wa ngozi zitakazo kusaidia
ngozi ndiyo sehemu kubwa zaidi ya mwili wote na kazi zake ni kama vile kulinda mwili dhidi ya kupoteza maji ama kupata maambukizi kazi zingine muhimu za ngozi ni kama vile utengenezaji wa vitamini d ya mifupa yenye afya na kuthibiti joto kufuatia mabadiliko ya hali ya anga hali hubadilika kutoka joto jingi hadi baridi nyingi sababu kama vile jua ama kuwa kwa mfichuo wa vumbi huenda zika athiri ngozi yako na kuifanya iwe vigumu kwa ngozi yako kung'aa ila kuna siri za utunzaji wa ngozi ambazo zina weza kusaidia kupata aina hii ya ngozi
ngozi yako ina seli nyingi seli za ngozi ya nje hukua na kisha kufa kila mtu ana seli za ngozi zilizo kufa zinapo kaa kwa muda mrefu juu ya ngozi yako utaanza kushuhudia kuvunja kwa uso madoa vidonda na ngozi iliyo kauka
siri za utunzaji wa ngozi
hapa kuna siri za utunzi wa ngozi ambazo zinaweza kusaidia kupata na kuhakikisha kuwa ngozi yako ina afya na kung'aa wakati wote
iwapo unatafuta ngozi laini unapaswa kuwa na bidhaa hii nyumbani mwako ngozi yako ina fichuliwa kwa vitu tofauti kama vile kemikali hii ndiyo maana vitamini e ni muhimu sana ni antioxidant mwafaka inayo punguza radicals zinazo tolewa mwilini baada ya ngozi kufichuliwa kwa kemikali na bidhaa zinazo kuwa na shea butter zina imarisha utoaji wa collagen
pia ina linda ngozi dhidi ya miale ya uv (spf 6) na kuipatia ngozi fatty acids na virutubisho vinavyo hitajika kwa utoaji wa collagen
pia mbali na faida za vitamini e za kupunguza uzee pia inasaidia kulinda ngozi yako kutokana na athari za kuharibu za miale ya uva na uvb ya jua hii inaweza husishwa na uwezo wa antioxidant wa shea butter inayo ipatia ngozi nguvu na kuilinda dhidi ya uharibifu lakini shea butter sio mbadala wa sunscreen
turmeric na sabuni nyeusi
turmeric ni nzuri kwa ngozi inasaidia kutoa madoa na kuifanya ngozi mpya imee sabuni nyeusi ni maarufu kwa kazi kubwa inayofanya kwa ngozi nyeusi kwa sababu ya antioxidants na vitamini a na e kwenye sabuni nyeusi za ki afrika inafanya kazi njema ya kutoa matatizo ya ngozi kama vile ngozi iliyo kauka madoa ya ngozi na eczema
kwa hivyo sabuni nyeusi ya ki afrika inapo changanywa na turmeric inafanya kazi nzuri kwa ngozi na kuiwacha ngozi yako ikiwa na unyevu tosha na kung'aa kila siku
mafuta ya palm kernel
nchini nyingi hali ya anga inayo kaa ikibadilika mafuta uchafu na vitu vingine vinavyo kusanyika kwenye ngozi yako unapokuwa ukifanya kazi zako za kila siku hii inaifanya ngozi yako kuwa ngumu na kuiwacha ikiwa na shimo za ngozi kubwa kuliko za kawaida athari yake ni kuwa na seli za ngozi zilizo kufa kwenye uso wako na iwapo hakuna kitakacho fanywa kuzitoa huenda ukajipata na vidonda kwa ngozi wakati wote
ili kutoa seli za ngozi zilizo kufa ni muhimu kutumia bidhaa za kutoa seli zilizo kufa al maarufu kama exfoliater pia kuosha kwa undani hutoa uchafu unao baki kwenye ngozi yako hii ndiyo sababu unahitaji mafuta ya palm kernel pia iwapo una kusudia kutoa kuto ng'aa kwa ngozi yako mafuta haya yatasaidia sana
kitu muhimu cha kufahamu unapo tumia bidhaa hizi ni kujua aina ya ngozi yako watu wengi hawana ujumbe huu kuna baadhi ya njia chache za kufahamu aina ya ngozi yako unapokuwa nyumbani bila kutatizika sana
pia iwapo ngozi yako ina matatizo yasiyo isha ama inakaa kana kwamba kuna kitu kisicho cha kawaida ni wakati wa kumtembelea daktari wako
soma pia five reasons your facial skin isnt as beautiful as it should be
swahili ngozi ngozi nyeusi utunzaji wa ngozi nyeusi
krimu bora zaidi kwa ngozi nyeupe kutunza ngozi yako na ya familia yako | 2020-07-14T10:16:39 | https://www.africaparent.com/siri-za-utunzaji-wa-ngozi/the-best-nigerian-skincare-secrets |
youtube ni tovuti ya kuchangia video ambazo watumiaji wanaweza kunakili na kugawa kwa wengine wafanyakazi watatu wa zamani wa paypal waliunda youtube mnamo februari 2005 [1] mnamo novemba 2006 youtube llc ilununuliwa na google inc kwa dola bilioni 165 na sasa huendeshwa kama shirika dogo la google kampuni hii ipo san bruno california na inatumia teknolojia ya adobe flash kuonyesha aina mbalimbali za video zilizotengenezwa na watumiaji pamoja na vijisehemu vya sinema vijisehemu vya maonyesho ya runinga na video za nyimbo vilevile maudhui ambayo hayajakomaa kama vile video za kublogu na video za asili zilizofupi
maudhui mengi yaliyomo kwenye youtube yametumiwa na watu binafsi ingawa vyombo vya habari pamoja na makampuni yakiwemo cbs bbc umg na mashirika mengine hutoa baadhi ya habari zao kama sehemu ya mpango wa ushirikiano na youtube [2]
watumiaji ambao hawajasajiliwa wanaweza kutazama video wakati watumiaji waliosajiliwa wanaruhusiwa kutumia na kunakili idadi isiyo na kipimo ya video video ambazo zanaweza kuwa na maudhui yaliyo na ujumbe wenye lugha isiyoruhusiwa zinapatikana kwa watumiaji waliosajiliwa tu na wenye umri zaidi ya miaka 18 kunakili kwa video zenye lugha ya kukashifu mambo ya ngono ukiukwaji wa hakimiliki na habari zanazohimiza uhalifu kumepigwa marufuku katika mkataba wa masharti ya huduma ya youtube akaunti za watumiaji waliosajiliwa hujulikana kama channels [3]
31 nyenzo yenye hakimiliki
51 muudo wa video
9 marejeleo
historia ya kampuni[hariri]
makala kuu ya historia ya youtube
makao makuu ya youtube ya sasa huko mjini san bruno california
kulingana na hadithi inayorudiwa mara nyingi katika vyombo vya habari chad hurley na steve chen waliibua wazo la youtube wakati wa miezi ya mwanzo ya 2005 baada ya kakabiliana na matatizo ya kugawa video zilizochukuliwa kweye chakula cha jioni nyumbani kwa chen huko san francisco jawed karim hakuhudhuria sherehe hii na alikakana kwamba sherehe ilikuwepo na chad hurley alisema kuwa wazo kuwa youtube lilianzishwa baada ya chakula cha jioni pengine lilitiwa nguvu sana na mawazo ya matangazo ili kuunda hadithi yenye kueleweka zaidi [6]
tarehe 9 oktoba 2009 wakati wa ukumbusho wa tatu kutoka kuchukuliwa na google chad hurley alitangaza katika chapisho la blogu ya kwamba youtube ilikuwa anatumiwa na zaidi ya watazamaji bilioni moja duniani kote
athari za kijamii[hariri]
makala kuu ya social impact of youtube
pichaguitar youtubepng
jeonghyun lim akiigiza mojawapo ya pachelbel's canon katika moja ya video za youtube zilizotazamwa sana
lawama[hariri]
makala kuu ya criticism of youtube
nyenzo yenye hakimiliki[hariri]
mnamo agosti 2008 mahakama ya marekani iliamua ya kwamba wamiliki wa hatimiliki hawawezi kuagiza kuondolewa kwa faili iliyo katika wavuti bila kwanza kubainisha kuwa kupakiwa kwakwe kunaonyesha matumizi ya haki ya nyenzo hii[[]] kesi hii ilihusisha stephanie lenz kutoka gallitzin pennsylvania ambaye alikuwa ameunda video ya kinyumbani ya mwanawe wa kiume wa miaka 13 huku akicheza wimbo wa [[]]prince let's go crazy na kupakia video hii ya sekunde 29 kwa youtube [34]
faragha[hariri]
maudhui yasiyofaa[hariri]
youtube hutegemea watumiaji wake kuonyesha ishara kuhusu maudhui ya video kama ni yale yasiyofaa na wafanyakazi wa youtube watatazama video iliyoashiriwa kubaini kama inakiuka mkataba wa masharti ya utumizi wa tovuti [3] mnamo julai 2008 kamati ya utamaduni na vyombo vya habari ya bunge la umoja la uingerezailisema ya kwamba ilikuwa haijaridhishwa na mfumo wa youtube wa kutoa sera za video zake na kujadili kuwa kukabiliwa awali kwa maudhui yafaa kuwa kigezo cha sera ya tovuti kupakia [[maudhui yanayotoka kwa watumiaji|maudhui yanayotoka kwa watumiaji [[]]]] youtube alijibu kwa kusema kuwa tuna sheria kali juu ya kile kinachoruhusiwa na mfumo unaowezesha mtu yeyote ambaye anaona maudhui yasiyofaa kuripoti kwetu 24 / 7 kwa timu yetu na suala hili kushughulikiwa mara moja sisi huelimisha jamii yetu juu ya sheria na inahusisha kiungo cha moja kwa moja kutoka kwa kila ukurusa wa youtube ili kurahisisha mchakato huu kama iwezekanavyo kwa watumiaji wetu kutokana na idadi kumbwa ya maudhui yaliyo pakiwa kwenye tovuti yetu tunadhani kuwa hadi sasa hii ndiyo njia yenye ufanisi zaidi ili kuhakikisha kuwa video chache ambazo huvunja kanuni zinashuka haraka [40]
kuziba[hariri]
makala kuu ya blocking of youtube
tarehe 3 desemba 2006 iran kwa muda iliziba upataji wa youtube pamoja na tovuti zingine kadhaa baada ya kuzitangaza kama zinazokiuka maadili ya kijamii na kanuni za vitendo youtube ilizibwa baada ya video iliyopakiwa kwenye wavuti kujaribu kumwonyesha mwajemi/mwirani anayeiigiza katika filamu za mapenzi akishiriki katika ngono [47] kuzibwa huku baadaye kuliondolewa na kisha kukarejeshwa uajemi baada ya uchaguzi wa rais 2009 [48]
mnamo 23 februari 2008 pakistan iliziba youtube kutokana na nyenzo za kukera kwa imani ya uislamu pamoja na kuonyeshwa kwa katuni ya kideni ya nabii muhammad [49] hii ilisababisha karibu kuzimwa kimataifa kwa tovuti ya youtube karibu masaa mawili kwa vile kuzibwa huko kwa pakistan kulichukuliwa na nchi nyingine pakistan iliondoa kizibo chake tarehe 26 februari 2008 [50] wapakistani walizunguka kizibo hicho cha siku tatu kwa kutumia programu mtandao wa kibinafsi [[]] [51]
teknolojia[hariri]
muudo wa video[hariri]
youtube anapokea video zilizopakiwa katika miundo mingi ikiwa pamoja na[[wmv|wmv]][[avi|avi]][[mkv|mkv]]mov [[mpeg|mpeg]]mp4 [[divx|divx]]flv naogg pia inaruhusu 3gp na kuruhusu video kupakiwa moja kwa moja kutoka kwa simu ya mkononi [60]
ubora wa video[hariri]
youtube awali ilitoa video katika muundo mmoja tu lakini sasa ina miundo mikuu mitatu vilevile muundo wa simu za mkononi wa kutazamwa kwenye simu za mk | 2013-12-12T11:10:39 | http://sw.wikipedia.org/wiki/YouTube |
maisha ya kitaaluma[hariri | hariri chanzo]
kuhamia botswana[hariri | hariri chanzo]
ya ziada[hariri | hariri chanzo]
bibliography[hariri | hariri chanzo]
citation[hariri | hariri chanzo]
waandishi wa botswana
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 machi 2013 saa 1407 | 2017-09-23T07:34:21 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Bessie_Head |
fikiria kabla ya kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa | jamiiforums | the home of great thinkers
fikiria kabla ya kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by tausi mzalendo apr 2 2011
wepesi wa kutema big g (chewing gum)kwa karanga za kuonjeshwa huwafikisha watu pabaya jamani
mtu una mpenzi anakupenda kufa unakutana na mtu siku moja tu anakupagawisha unaamua kumtema mpenzi wako wa zamani kisa umeona mtu mpya acheni hizo jamanilimempata rafiki yangu mpenzi mshaurini afanyeje je naye ateme chipszege kwa mshkaki wa kuonjeshwa
kwani kuna ubaya gani
kama big g yenyewe imeisha utamu na umepata karanga chache lakini nzuri kuna haja gani kujiumiza meno mda wote
mwambie aleakichoka ahamie sahani ingine
mmmh mwambie asijaribu atajutia
mwambie aleakichoka ahamie sahani ingineclick to expand
umenichekesha sana speaker lol
utahamia sahani ngapi
miye mbona nimechanganyikiwa sasa mtu akionjesha ikiwa tamu asile au ateme lakini hata kama ni tamu lakini ya muda si ya kudumu inatosha kumfanya mtu aache chakula cha kudumu nadhani hekima ndio iko hapo
miye mbona nimechanganyikiwa sasa mtu akionjesha ikiwa tamu asile au ateme lakini hata kama ni tamu lakini ya muda si ya kudumu inatosha kumfanya mtu aache chakula cha kudumu nadhani hekima ndio iko hapoclick to expand
ulichokua unatafuna kwa muda wote na ulichokwisha gharamia ni big g ambayo umetemahamu yako wewe ni kutafunatafuna muda wote
utaonjeshwa tu kama tamu uingie gharama kununua za kutoshana je ukikuta siyo tamu na big g ulishatema utakula nini
hiyo big g ya halali (ndoa) au na yenyewe ni chakachuwa(kimada) kama hakuna ndoa ni uzinzi tu wote sawa big g na karanga zake owa haraka
utaonjeshwa tu kama tamu uingie gharama kununua za kutoshana je ukikuta siyo tamu na big g ulishatema utakula niniclick to expand
kwa kweli katika mazingira hayo nitajikuta nakula jeuri yangu kwa hiyo hata kama big g imeshautamu we ongeza sukari tu alimradi bado inavutika na kupulizika bado ni big g
hiyo big g ya halali (ndoa) au na yenyewe ni chakachuwa(kimada) kama hakuna ndoa ni uzinzi tu wote sawa big g na karanga zake owa harakaclick to expand
nimebaki kushangaa
vya kuonja vitamu sana sawasawa na vya wizi
sijui nisimamie wapi lakini tuamue kiutu uzimaladha ya big g na karanga ni tofauti so farhivyo km ukitema big g kwa karanga ya kuonjesha hakikisha unamganda aliyekuonjesha till fuko la karanga linakwisha then experience utakayopata itakusaidia kuonja na flavour nginginehilo tu
hapo kuna options mbili nzuri tu
1 unaeza tema bigg yako uigandishe mkononi kwa muda then unaonja karanga zako kisha unarudisha bigg yako mdomoni
2 unaeza tafuna vyote pande tofauti za menoila hii ni risky esp kwa bigg yako
chagua moja
sijui nisimamie wapi lakini tuamue kiutu uzimaladha ya big g na karanga ni tofauti so farhivyo km ukitema big g kwa karanga ya kuonjesha hakikisha unamganda aliyekuonjesha till fuko la karanga linakwisha then experience utakayopata itakusaidia kuonja na flavour nginginehilo tuclick to expand
anayekuonjesha anataka uhamie kwake na siyo kuendelea kuonja tu bado hujatoa suluhisho
kuigandisha mkononi sijui kama kiafya ni sawa kutafuna zote kwa wakati mmoja ni hatari utachakachua utakosa vyote
ngoja tuendelee lupokea mawazo
vya kuonja vitamu sana sawasawa na vya wiziclick to expand
kwa hiyo aendelee kuonja na kufaudu vya wizi vya kuonja na yeye
bakia na big g kwani utamu wa asili hauishaji laza hata kwa karne nenda rudi
kwakweli unatafuna 'bigijii' mpaka taya linakuuma bana kwanza 'bigijii' inaletesha njaa tu tape
vya kuonjeshwa vina utamu jamani acheni tu
ngoja tuendelee lupokea mawazoclick to expand
bora kuinatisha mkononi au kwenye tendegu la kitanda hata kama uko tempted noidea manake karanga za kuonjeshwa nazo huwa ni mbili au tatu tulolkama anavyosema mkjjkama bigijii inapulizika tuongezea asali (sukari itaaffect elasticity hehehe)
karanga nyingine taaaam ajabu kama zile tunazokula mtaani zinapitishwa kwenye kikapu halafu za moto saaana
karanga nyingine taaaam ajabu kama zile tunazokula mtaani zinapitishwa kwenye kikapu halafu za moto saaanaclick to expand
kweli kabisa karanga za kikapu taamu balaa hata big g natema tu kan nini | 2017-04-29T21:33:11 | https://www.jamiiforums.com/threads/fikiria-kabla-ya-kutema-big-g-kwa-karanga-za-kuonjeshwa.123420/ |
topic jamani wadau nhif wametoa shortlist ya interview nunua mwananchi la leo 08082012
goodluck llb likes this
8th august 2012 1130
re jamani wadau nhif wametoa shortlist ya interview nunua mwananchi la leo 08082012
8th august 2012 1150
8th august 2012 1254
8th august 2012 1409
8th august 2012 1415
posts 7192 rep power
likes received2428
8th august 2012 1421
8th august 2012 1509
by qulfayaqul
8th august 2012 1659
8th august 2012 1849
8th august 2012 2011
g width=16 height=16 style=displaynone id=progress_4396421 src=template/jamiv1/default/misc/progressgif alt= />
8th august 2012 2105
8th august 2012 2205
style=displaynonevisibilityhidden datacfsrc=template/jamiv1/default/statusicon/userofflinepng alt=markj is offline border=0 />
8th august 2012 2213
8th august 2012 2259
9th august 2012 1103
by saimon111
10th august 2012 0958
10th august 2012 1048
nhif interview tukumbushane wahusika na kufahamishana zaidi
nitapataje nembo ya tbs | 2013-05-23T09:45:05 | http://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/304770-jamani-wadau-nhif-wametoa-shortlist-ya-interview-nunua-mwananchi-la-leo-08-08-2012-a.html |
dj sek mbunge wa ccm awasilisha barua kwa katibu wa bunge kuhusu posho
mbunge wa ccm awasilisha barua kwa katibu wa bunge kuhusu posho
mbunge wa singida magharibi leo kawasilisha barua kwa katibu wa bunge ili kusimamisha posho zake zote sitting allowance na kuziweka kwenye akaunti maalum kwa ajili ya maendeleo ya jimbo hususan kwenye maji elimu na afya | 2018-12-18T12:42:20 | http://dj-sek.blogspot.com/2015/11/mbunge-wa-ccm-awasilisha-barua-kwa.html |
mkurugenzimtendaji wa halmashauri ya wilaya ya nyasa bw jimson mhagama amewaagiza wakuu wa idara na vitengo kutoa elimu na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi kwa kutumia radio unyanja fm ili kupunguza kero na kuwaelimisha wananchi juu ya kazi zao wanazotekeleza katika idara na vitengo wilayani hapa
ameyasemahayo hivi karibuni wakati akiwaagiza kuandaa vipindi vya radio unyanja fm vitakavyorushwa mubashara kila siku ya jumanne na alhamisi saa tatu hadi saa nne asubuhikipindi kitakachojulikana kwa jina la tufahamishe
bw mhagama amefafanua kuwa lengo la wakuu wa idara na vitengo kutoa elimu kwawananchi ni kuhakikisha kuwa wanazungumza na wananchi ili kutoa elimu kwa kila idara husika na kuwapa ufahamu wananchi ili waijue vema halmashauri na kila mwananchi akiwa na shida ajue anatakiwa kwenda katika ofisi ipi
aliongeza kuwa kwa kufanya vipindi hivyo vitasaidia kupunguza kero kwa wananchi na kuwana uhusiano mzuri kati ya halmashauri na wananchi na wananchi watapata fursa ya kuuliza maswali na kujibiwa mubashara wakati wa kipindi
aidha ametoa wito kwa wakazi wa nyasa kusikiliza kwa umakini kipindi hicho cha tufahamishechenye kauli mbiu ya nyasa tunatekeleza kinachoandaliwa na halmashauri yawlaya ya nyasa kwa kushirikiana na radio unyanja fm kila siku ya jumanne naalhamisi saa tatu mpaka saa 4 asubuhi kila wiki | 2020-02-20T06:08:40 | http://nyasadc.go.tz/new/wakuu-wa-idara-na-vitengo-nyasa-kutoa-elimu-kwa-radio-unyanja-fm |
dar es salaammaamuzi aliyoyaagiza rais wa tanzania dr magufuli leo yako hapa mtangazaji
home / unlabelled / dar es salaammaamuzi aliyoyaagiza rais wa tanzania dr magufuli leo yako hapa
dar es salaammaamuzi aliyoyaagiza rais wa tanzania dr magufuli leo yako hapa
rais wa tanzania dr john pombe joseph magufuli katika kikao na watendaji wa serikali leo ikulu jijini dar es salaam
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania drtjohn pombe joseph magufuli amefuta safari zote za nje za watendaji wakuu wa serikali huku zile zenye ulazima zikitakiwa kutolewa kibali maalum na rais ama katibu mkuu kiongozi ambapo pia ameawataka watendaji hao wakuu wa serikali kufanya ziara za vijijini ili kujionea kero za wananchi na kuweka mikakati ya kuzitatua
rais drtjohn pombe magufuli akiwa na makamu wake wa rais ametoa maagizo hayo katika mkutano wake alioufanya na watendaji wakuu wa serikali wakiwemo makatibu wakuu na manaibu waogavana wa benki kuu pamoja na kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania( tra)
katika mkutano huo rais dr magufuli amewataka watendaji hao kuwaachia mabalozi wa tanzania walioko katika nchi mbalimbali kushughulikia shughuli zote zinazopaswa kufanywa nje ya nchi mpaka hapo atakaposema vinginevyo
aidha amemtaka kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) rished bade kusimamia kikamilifu na kwa uadilifu suala la ukusanyaji wa mapato hasa kwa wafanyabiashara wakubwa na wale wanaokwepa kodi bila ya woga wala uonevu ili kuiwezesha serikali kuwa na fedha zitakazowezesha kutatua kero za wananchi kama alivyoahidi katika kampeni zake
aidha rais drmagufuli pia ameagiza usimamizi makini na uadilifu katika manunuzi ya serikali ambayo yamekuwa yakitumiwa vibaya na kutoa mwanya kuibia serikali kwa kuongeza bei hata kama bidhaa yenyewe ni ya bei ya chini na kwamba watendaji watakaobainika kufanya ujanja ujanja ama ubadhirifu katika manunuzi watawajibishwa mara moja
pia rais drmagufuli ameagiza utekelezwaji wa utoaji wa elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne kuanzia mapema mwakani na kuagiza suala la mikopo ya wanafunzi wa elimu ya vyuo vikuu lifanyiwe kazi na mipango yake kwa ajili ya utekelezaji ili kuwaondolea kero wanafunzi | 2018-02-20T23:29:47 | http://www.mtangazaji.com/2015/11/dar-es-salaammaamuzi-aliyoyaagiza-rais.html |
na hali ya california kuwa chini ya matatizo makubwa ya kifedha mjadala amekuwa akifanya raundi juu ya kama kamari online lazima kuhalalishwa au kwa kweli hata bunge hali imekuwa kujadili mipango ya kufanya kamari online katika california kisheria kwa kipindi cha miaka miwili
matokeo ya kura ya field iliyotolewa septemba kuonyesha kuunga mkono kukua kwa kuhalalisha poker internet chunk kubwa ya wapiga kura californian hasa wale walio chini ya 40 umri wa miaka kuunga mkono pendekezo la poker kodi online wakati maoni ya makundi yote ya umri ni kuchukuliwa katika akaunti asilimia ya wapiga kura kuunga mkono wazo inasimamia katika 53 wakati wale dhidi yake inasimamia katika 41 hata hivyo kitu mashuhuri ni msaada kwa wapiga kura wenye umri chini ya 40 miaka ambao wamo 73 asilimia na watetezi wa pendekezo ya poker kuandikishwa online
wakati mjadala juu ya faida na hasara za hatua hiyo several california lawmakers ambao ni watetezi opine that the states budget deficit of $25 billion can be brought down with the potential revenue generated by such a move the tremendous voter support for online poker where two in three california voters are in favor of taxing and regulating online poker has given them a big boost nini zaidi since the estimated number of californians playing online poker stands at a whopping 489000 california could reap $1 billion in taxes and fees over a period of 10 years with legalized online poker
hivyo amidst such opposing views it remains to be seen if online poker is legalized in california and how it benefits poker players by creating competition among operators if the proposal really becomes a law | 2013-05-24T19:40:18 | http://www.webpokercasino.com/sw/legal-online-poker-finds-support-among-californians/ |
tanzania yaifunga zambia 10 bbc swahili michezo
tanzania yaifunga zambia 10
imebadilishwa 22 disemba 2012 saa 1820 gmt
timu ya taifa ya tanzania taifa stars imeilaza timu ya taifa ya zambia chipolopolo kwa bao moja kwa bila katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa katika uwanja wa taifa mjini dar es salaam tanzania
katika mechi hiyo bao pekee la washindi lilipatikana sekunde chache kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza likitiwa kimiani na mshambuliaji mrisho ngassa
timu ya zambia ambayo ni mabingwa wa afrika ikiwa pia timu bora ya mwaka barani afrika na yenye mchezaji bora wa mwaka wa bbc christopher katongo ilitawala mpira kipindi cha kwanza lakini ikokosa umakini katika umaliziaji
kwa upande wa timu ya tanzania ambao walionekana kutojiamini katika kipindi hicho taratibu walibadilika na kumiliki sehemu ya kiungo
amri kiemba mwinyi kazimotofrank domayo na salum abubakar waliichosha ngome ya zambia kwa kuelekeza mashambulizi mengi langoni mwa chipolopolo
mrisho ngassa kama angekuwa makini zaidi angeweza kuipatia timu yake bao la mapema zaidi
timu ya zambia ilichezesha nyota wake wengi akiwemo christopher katongo na stopila sunzu ambaye anatarajiwa kujiunga na timu ya reading ya england | 2017-01-17T15:27:49 | http://www.bbc.com/swahili/michezo/2012/12/121222_taifa_stars.shtml |
sms ya maandamano nchi nzima ijumaa imeanza | jamiiforums | the home of great thinkers
sms ya maandamano nchi nzima ijumaa imeanza
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by chingamzalendo nov 3 2010
kuna sms ya maandamano nchi nzima kuanzia ijumaa amabyao inasambaa kwa kasi mno ujumbe wenyewe unasema tumeujumiwa miaka 45 imetosha kuanzia ijumaa ni maadandamano ya amani nchi nzima nawaunga mkono waandamanaji kwa maana ni haki yao ya msingi kuandamana kwani kikwete na makamba wamezidi kuvuruga amani yetu tumefika mwisho wa uvumilivu na serikali yake ya kidhalimu na kiusultani
kwa maana hiyo ikiwa damu itamwagika basi tume ya uchaguzi kikwete makamba na wengio wabebe mzigo wao ndio wanaoanza kuivuruga amani yetu na utulivu wetu kwa kuivamia haki yetu ya msingi kupiga kura
ni wazo zuri kwani panapokuwa na dhuluma ni lazima watu wapinge kwa nguvu zote dr martin luther king jr alisema dhuluma popote ni dhuluma pote hatuwezi kuongozwa na tume ambayo kiongozi wake anaendelea kuwepo kwa ajili ya maslahi ya wale waliomteua niliwaandikieni kuwa mwaka 2005 katiba ya nchi ilibadilishwa ili kumfanya makame aendelee kuiongoza baada ya kustaafu kazi ya ujaji wa mahakama ya rufani na kwa kweli amefanya kazi hiyo kwa manufaa ya ccm bila aibu
tutafakari zaidi nani anatuma sms isije kuwa tunampa mbu kazi ya kutibu maralia
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015 sihitaji kupoteza ndugu rafiki mke au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
ni haki ya kikatiba kufanya maandamanopolisi wanawajibu wa kulinda usalamaole wao wajaribu kuzuia hapo ndipo matatizo yatakapotokea
tuwasubiri viongozi wenyewe waseme unahakika gani kama hii sms haijatoka kule finland
siungi mkono tutafute jinsi ya kuelimisha watu wetu wajitokeze kupiga kura kama ni watu mia basi wote mia wapige kura
time healsclick to expand
kwa hiyo unategemea 2015 mambo yatabadilika siyo wenzako kazi ni mbele kwa mbele come 2015 hata hivyo viti vya ubunge vitapunguzwa tena
siungi mkono wanangu bado wadogo
hii ni njia ya kuichafua chadema
hizo msg ni planted tu kama zile za kipindi cha kampeni
mpiganaji tz
sawa kabisa maandamano yaje ccm imemwaga mboga wananchi kuanzia ijumaa tunamwaga ugali mbwai mbwai bwana tumechoka ala nasisitiza ni bora nife nimesimama kuliko kuendelea kuishi huku nimepiga magoti
kwa hiyo unategemea 2015 mambo yatabadilika siyo wenzako kazi ni mbele kwa mbele come 2015 hata hivyo viti vya ubunge vitapunguzwa tenaclick to expand
mkuu nielewe kidogo tu
1995 hatukua hata na avenue za kujua kieneleacho nakumbuka ya mrema na dar tulirudia uchaguzi wote mkoa huu wa dar
2000 tulianza kugundua hayo lakini sauti haikua kubwa
2005 walicheza mapema na kila kitu kikawa offside
2010 tunayajua haya kwani hata walio ndani ya ccm hawapendezwi
2015 kila sehemu itakua imefikiwa lazima ukubali coverage ya chadema haikuzidi 50 na hata huko ukerewe waliposhinda ni nguvu ya upepo wa mwanza na hulka ya watani zangu
upepo huu ni mkubwa sana na hauzimiki tena ccm wanajua na utasiki 2012 watavyosambaratika na ili kutumia opportunity hiyo basi cha maana ni kutulia
kumbuka ukiandamana wewe wataokufa ni wanawake na watoto na wana haki ya kuishi
siungi mkono jitihada zote za kuvunja amani kwani naamini with or without siasa tanzania ipo
ebwana eehee hata kama meseji ni planted inachozungumza ni chaukweli na ni wajibu wa kira anaeona ameibiwa kuandamana hyo ijumaa cjui itakuwa sangapi
siungi mkono hojasad
adanganywe atoke m2hapo mtajuwa kweli ffu wapo ajili yawakorofi kama nyiemcdhani hapa ni kenyaila mjue vyombo vya dola vimejipangampinzani akiona kashindwa hujitweka uwana mapinduzimuambieni slaa afanye mapinduzi kwake nyumbani the karatusio kukimbilia madaraka akadhani tunataka tawaliwa na kanisanyepesi nikuwa kampeni za chadema zinadhaminiwa na kanisa la americatena la mahanith and romavip tz itawaliwe na mfwasi wa mahanithiclick to expand
nyambafu hatutaki udini kwenye jamvi la great thinkers hatutaki damu imwegikwe i am sure message sent to them let us implement plan b
ivi maandamano manake fujo
kuna watu umu kama ingekuwa paper washaferi kushiliki kwenye maandamano ya amani sio tatizo jamani
tz kwa uoga mpaka mnakera
kama ni tamko toka chadema tuko pamoja
kwa maana hiyo ikiwa damu itamwagika basi tume ya uchaguzi kikwete makamba na wengio wabebe mzigo wao ndio wanaoanza kuivuruga amani yetu na utulivu wetu kwa kuivamia haki yetu ya msingi kupiga kuraclick to expand
twendeni polepole tunaandamana kwa sababu ipina maandamano ya amani ya kushinikiza nini
chadema wanatakiwa watoe takwimu za kututhibitishia kwanza ni nani kashinda chaguzi hizi kabla ya kuandamanavinginevyo tunaandamana kwa sababu zipi | 2016-12-09T12:03:08 | http://www.jamiiforums.com/threads/sms-ya-maandamano-nchi-nzima-ijumaa-imeanza.84397/ |
mwasi nafaka supplies in dar es salaam | zoomtanzania
tunajishugulisha na mauzo ya jumla na rejereja kwa mafuta nafaka mbali mbali kama mchele maharage mtama choroko mbaazi mahindi ngano ufuta nk
tunapatikana buguruni sokoni
buguruni ilala buguruni dar es salaam buguruni sokoni
member since 19 jun '17 0 active ads 0 published ads
+255786360940 +255714366969 +255677010866 +255625471004 | 2018-06-20T11:09:55 | https://www.zoomtanzania.com/biz/mwasi-nafaka-supplies |
hongereni mabilionea wa tanzania by christopher nyenyembe | jamiiforums | the home of great thinkers
hongereni mabilionea wa tanzania by christopher nyenyembe
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mukizahp2 aug 22 2012
nani kawaambia kuwa tanzania ni nchi masikini na tangu lini nchi iliyosheheni rasilimali za kila aina ikawa masikini
huu ni uvumi tu unaotumiwa na mabingwa wa wizi ili watu wanyonge wazidi kulia ilihali uchumi wao ukiwaneemesha mafisadi wachache
tangu lini nchi masikini ikazungukwa na mabilionea walioamua kuficha fedha zao nchi za nje na hao hao ndio wanaorudi kwa wananchi wakitamka kwa vinywa vyao kuwa tanzania haiwezi kuendelea kama wananchi wake hawafanyi kazi kwa bidii
aidha ndio hao walioaminiwa na umma kuwa kupewa kwao madaraka yamegeuka na kuwa shubiri kwa watu masikini na hawaoni haja ya kuwatumikia wananchi kwa moyo wa dhati wakijua wazi kuwa umasikini wa watanzania ni moja ya silaha kubwa ya wao kuendelea kutawala
haiwezekani kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya trilioni 12 zifichwe kwenye mabenki ya nje hususani nchini uswisi kwani kiasi hicho cha fedha kama kingekuwa kwenye mzunguko wa ndani lazima kwa kiasi kikubwa mabadiliko ya kiuchumi yangeonekana
kibaya zaidi utoroshaji haramu wa fedha na kuhifadhiwa kwenye mabenki ya nje kunazinufaisha zaidi nchi hizo zilizoendelea kwa kuwa wananchi wao wanapata fursa ya kukopa na kuzifanyia kazi fedha hizo huku watanzania wakiendelea kuwa masikini
i wapi tanzania yenye neema kwenye lindi la umasikini wa kujitakia huku watu wakizingirwa na kauli tata za kina nani waliotorosha fedha na kuzificha nje
ni kina nani hao ambao wanatajwa kwa mafumbo ilihali wapo na wanajulikana
haiwezekani kila siku nchi inaibuka na tuhuma nzito zinazoendelea kuwalevya watanzania na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi ya mabilionea wa nchi hii walioamua kuiba rasilimali za nchi wamejitajirisha na hawataki kuondoka madarakani wakihofia kuumbuana
serikali inayojiaminisha kuwa inaongoza nchi kwa uwazi na uadilifu ni mara ngapi watu wamejikuta wakitamkiwa kashfa nzito lakini ndiyo kwanza wahusika wanazidi kujichimbia kwenye jahazi la uongozi na kwamba wanakipenda sana chama cha mapinduzi
ni mapinduzi ya aina gani yanayohitajika kati ya watu wanyonge na matajiri bilionea
je ni aina gani ya mapinduzi ya kiuchumi wanayohitaji watanzania chini ya genge la wezi na mafisadi wa fedha za umma huku idadi kubwa ya watanzania wakipoteza maisha kwa kukosa huduma bora za kijamii
ni lini ccm na serikali yake watakuwa tayari kujisafisha dhidi ya tuhuma hizi nzito za utoroshaji haramu wa fedha na kwenda kuzificha nje ya nchi
ipo haja ya kuwaumbua mabilionea hao ili nchi iweze kurudisha heshima yake
haiwezekani ndani ya nchi moja kuna kundi la watu wanaoishi kama wafalme huku idadi kubwa ya watanzania wakiishi kama watumwa kwa kisingizio cha kujivunia amani na utulivu walionao
kwa maana hiyo kutokana na kauli ya mbunge wa kisesa luhaga mpina (ccm) safari hii serikali inapaswa kupasua jipu ili wale wote waliotajwa moja kwa moja kujihusisha na ufisadi na utoroshaji wa rasilimali za nchi kwenda nje hawapaswi kutetewa na chama chao ama serikali yao
na kwa kauli iliyotolewa na zitto kabwe lazima iwe na mashiko wahusika wanapaswa kutajwa mara moja na ninavyojua sio rahisi kwao kuweza kujisalimisha kwa kuwa ndani ya genge hilo la mafisadi kuna vigogo wazito na hao ndio wanaolindana usiku na mchana ili wasijulikane
kama mpina na zitto wameamua kujitoa mhanga dhidi ya kundi hilo hatari watakuwa mashujaa wa nchi hii lakini wakiogopa kuwataja watakuwa kwenye kundi la watu ambao thamani yao kwa nchi yao haitakumbukwa milele na milele kwa wao kuogopa kusema ukweli
uozo wa aina hii na ufisadi uliokubuhu ni hatari sana kwa maendeleo ya nchi yenye kila kitu na inayopaswa kupigiwa mfano na mataifa mengine kwa kuwa na kila kitu lakini haki ya mungu ni aibu tanzania kuitwa masikini ilihali kuna kila kitu
aibu hii inamuegemea zaidi rais kwa kuwa siku zote amekuwa akifanya safari za kwenda nje kuomba misaada ya fedha kwa nchi wahisani ambao wanatucheka kwa kuwa wanajua fika matrilioni ya fedha zilizofichwa kwenye nchi zao
kumbe fedha wanazotukopesha ni zile zile zilizofichwa na mafisadi wetu kwenye mabenki yao wakishakopesha na riba juu tunawalipa na kurudisha tena fedha zetu kwao
mafisadi wetu wapo kimya wanaangalia mchezo unaochezwa na rais wa kuzipigia magoti nchi tajiri zinazotunza fedha haramu za nchi masikini
kwa mfumo huu wa kwenda kukopa fedha zetu zilizofichwa na watanzania wenzetu kwenye mabenki ya nje kamwe hakuwezi kuliacha taifa hili salama wa kuwa litaendelea kuongozwa na kundi la watu wachache wenye kiburi cha pesa
wananchi wanapaswa kushangaa na kujiuliza kama kweli kiasi kikubwa cha fedha kipo nje na wakati huo mgogoro mkubwa wa uchumi unaelezwa kuikumba tanzania hapo ndipo somo la mwalimu mjinga linapotolewa kwa wanafunzi werevu
haiwezekani wengi tulie kilio cha mamba ndani ya maji huku kundi la wachache wakicheka na kudharau umma wa watanzania kwa umasikini wao wakijua wazi kuwa wizi mkubwa wa mali za umma umechangia kwa kiasi kikubwa kuwafikisha watu hapa tulipo
udhaifu mkubwa unaonekana wazi kwenye vyombo vya dola vyenye majukumu ya kudhibiti ubadhirifu wa mali za umma na ni wazi kuwa ushahidi mkubwa wa hali bora za maisha na matumizi mabaya ya fedha haramu unaonekana kwa staili ya maisha ya watu walio kwenye kundi la mafisadi
kwa mazingira hayo lazima niwape pongezi mabilionea wa tanzania kwa kufanikiwa kuwa vinara wa kutorosha fedha za nchi hii masikini na kwenda kuzificha kwenye mabenki ya nje
endeleeni kufanya hivyo kwa kuwa si rahisi kwa watu wa kawaida na masikini kufahamu kuwa wameibiwa
kwa kuwa nawapa pongezi najua kuwa kitendo cha kuendelea kuzificha fedha hizo nje kitaendelea kuifanya tanzania iwe nchi ya omba omba siku zote na hiyo ndiyo moja ya sifa tunayojivunia ya kwenda kuomba nje na rais anaporudi mnakuwa wa kwanza kwenda kumpokea uwanja wa ndege
mnafanya hivyo sio tu kwa kutambua kuwa safari yake imezaa matunda baada ya kukopeshwa fedha kutoka kwenye benki mlizoficha fedha haramu pia mnajua kuwa riba inayolipwa kwenye mikopo hiyo inaingia kwenye akaunti zenu na hapo ndipo mnapozidi kuneemeka
kama kweli hayo yametendeka na utafiti uliofanywa na shirika la global financial integrity ukionesha fedha nyingi zimetoroshwa katika kipindi cha serikali ya awamu ya nne kutoka mwaka 2005 hadi 2009 basi rais jakaya kikwete ana kila sababu ya kuwataja mafisadi hao na asisubiri taarifa ya vyombo vya ndani kwa kuwa vimeshindwa kufanya kazi na kueleza ukweli juu ya kadhia hiyo mbaya
cnyenyembe@yahoocom 0754 301 864 0715 301 864
mkuu mpangilio wako unachosha sana kusoma samahani kama umekwazika | 2018-01-18T06:48:36 | https://www.jamiiforums.com/threads/hongereni-mabilionea-wa-tanzania-by-christopher-nyenyembe.311679/ |
diary yangu wagombanapo mafahali zinazoumia ninyasi
wagombanapo mafahali zinazoumia ninyasi
'mbona umeshika shavu mwanangu una matatizo gani nilimsogelea mtoto wa jamaa yangu niliyekuja kumtembelea na yule mtoto alinikimbilia na kunipokea na wakati ananisindikiza ndanii nikamuuliza kuwa ana matatizo yoyote akasema hana ila mara nyingi anamkumbuka mama yake
wewe mwanzoni siulisema aheri mama yako kaondoka kwani ulikuwa hupati raha nikamuuliza tena
mama ni mama tu ingawaje kweli walikuwa hawanipi raha kwa kugombana kwao lakini mara nyingine namkumbuka akasema
`kila siku baba na mama walikuwa hawaachi kugombana kiasi kwamba niliombea waachane na kweli wakaachana manake raha ya ndani ilikuwa haipo siunajua sisi watoto tunapenda kufurahi sasa ilikuwa tofauti baba akirudi kazini akimkuta na mama naye karudi wanaanza kutofautiana kitu kidogo tu mara ugomvi hata wakati mwingine wanapigana mbele yetu akasema kwa uchungu sana yule mtoto
nilimuuliza kuhusu mama yao mpya akasema wangelitamani mama yao awe kama huyo mama yao mpya huyu mama ana roho nzuri ajabu anatutenda kama watoto wake hatunyanyasi hawagombani na baba sijui labda itokee baadaye kwani hata mama na baba mwanzoni walikuwa wakipendana hivi hivi lakini huyu naoana yupo tofauti kidogo akasema yule mtoto na kauli hiyo ilinipa matumaini kwani mama mzazi anapoondoka katika familia kitu cha kujiuliza ni hali ya watoto je watapata matunzo sawa na alivyokuwa mama yao
niliingia ndani na kukuta familia ya baba na mkewe mpya na binti yao wakiwa wamekaa kwenye makochi yakifahari wakiangalia luninga nikawasabahi na binti yao kwa adabu akaaga kwenda nje baada ya mongezi na salamu mama wa nyumbani mpya naye akaaga kwenda jikoni
vipi unaonaje maisha mapya nikaadodosa
sijui nikuambiaje manake wakati mwingine unakufuru nakusema aheri ningelimjua huyu mapema kwani ile raha ya ndoa sasa naiona huyu ndiye mke ambaye nilitakiwa nimuoe lakini yote hupangwa na mungu unajua kilichoniuzi sana kuhusu mke wangu wa kwanza ni ule ugomvi wake usiochagua mahala tulipo alikuwa hajali kuwa kuna watoto au wageni na hakujua kuwa wakigombana mafahali zinazoumia ni nyasi
watoto walikuwa hawana raha na hicho ndicho kilichonifanya nami nikose raha na hata siku naitoa ile talaka nililia sana nikifikiria kuwa mwenzangu anaondoka na watoto je hutaamini yeye alikuwa na raha ya ajabu kwasababu kapata uhutu kama alivyodai na kweli keshaolewa na mume tajiri na hiyo ndiyo raha yake
na mimi nilishasema sioni tena kwani nilichelea watoto wasije teseka lakini bahati njema nikampata huyu kimiujiza hutaamini na hapo nikawa nimepata jibu la nani anayefaa kwa watoto wangu je watapata raha na matunzo ninayotaka jibu hilo nimelipata sasa watoto wamepata mama wa kweli
wanalelewa ile mimi nataka jaribu kuwauliza kama wanapata matatizo kama yapo labda wanifiche lakini nilishafanya utafiti wa kina na nimegundua kuwa huyu hana ile kasumba ya mama wa kambo akawaita watoto wake na baada ya utani wa hapa na pale akawauliza waseme mbele yangu kwani mimi na yeye ni marafiki kama ndugu kama mama anawatesa au hawamtaki wasema
wote kwa kauli moja walisema wanampenda sana huyo mama yao mdogo na hawajawahi kuteswa na mama huyo tangu ajae hapo nyumbani nilifurahi sana nakajisemea kimoyomoyo kuwa nitajitahidi kufuatilia ili nione kweli huyo mama hana mambo ya chini kwa chini na hawo watoto
kwanini nimelileta hili tukio mbele yenu leo ni huu usemi usemao wagombanapo mafahali(baba na mama) wanaoumia ni watoto (nyasi)
na hii ipo wazi kwa wanandoa wengi lakini hatutaki kuliangalia swala hili kwa undani wake na ubaya wake ni pale wanandoa hawo wanposhindwa kuuficha ule ugomvi wao mbele ya watoto wao watoto wanapoona hili wanateseka sana hata kama hawatasema mbele yenu lakini akili zao zinawaza mengi na hali hiyo inawajengea dhana potofu kuwa huenda ndoa ni ugomvi mbona baba alikuwa akimpiga mama mbona mama alikuwa akimsema baba mbele yetu na kubishana naye hata kupigana kwani mimi nina tofautii ganidhana kama hizo hujijenga kichwani mapema chanzo ni kutowajali watoto wakati mpo kwenye migogoro yenu nyie wanandoa
je suluhisho ni kuachana hebu tuchangie hili kwa hekima na busara
labels mapenzi na ndoa
sikubaliani na dhan kuwa talaka ndio suluhishi la wanaogombana je ikitokea bahati mbaya kila unayeoa ni matatizo utaishia kuoa na kuacha
ndiyo yapo matatizo yanaweza kukufanya uakasema basi naacha lakini mimi sishauri hivyo kabisa kwani ndoa ni shida na raha
nimepita kukusalimia ndugu yangu
nashukuru kwa kunitembelea pia
nashukuru sana chib tupo pamoja na natumai utakuwa ukifanya hivyo kila siku
mvumilivu hula mbivu lakini unaweza pia ukala vilivyo oza usitese nafsi yako kwa ajili ya mtu cha msingi ni kuangalia yupi anaweza kukufaa wewe na watoto wako
mvumivu hula mbivu lakini usivumilie sana kwani kuna swala la muda weka nafasi na malengo ikishindikana amua moja asikudanganye mtu huna uhakika na mungu kuwa huyo ndiye aliyepangwa kwako kwahiyo angalia nini unataka ilimrdi usikiuke sheria kama mume ni mlevi anakupiga au kama mke ni kibaka mhuni wewe utavumilia tuuuhapana mungu hajasema hivyo | 2017-08-23T15:48:13 | http://miram3.blogspot.com/2010/08/wagombanapo-mafahali-zinazoumia-ninyasi.html |
jeniffer kyaka (odama) j fiml 4 life shilole ahofia kuporwa bwana na mashosti zake crew
shilole ahofia kuporwa bwana na mashosti zake staa wa filamu na muziki wa mduara zuwena mohamed shilole ameiambia bongowood kuwa anaogopa kumtambulisha kwa mashosti zake bwanake aliyenaye kwa sasa akihofia kuporwashilole anayedaiwa kunasa kwenye
penzi la mtangazaji (jina tunalo) alisema kuwa anaogopa kumweka hadharani kwani kuna baadhi ya wasichana wa mjini wakishamjua mwanaume wa mtu huwa wanamnyemelea na kumnasa kirahisi jambo ambalo hataki limtokee | 2017-03-23T20:07:24 | http://odama1.blogspot.com/2012/09/shilole-ahofia-kuporwa-bwana-na_18.html |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.