text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
ujanibishaji mozilla msaada | mozilla support
ujanibishaji mozilla msaada
hariri nakala
onyesha tafsiri
nini imeunganishwa hapa
onyesha historia
our volunteers are working on translating this article until it's ready maybe the english version can be of some help thank you reading these words it means you want to contribute to global mozilla support more than half of all firefox users speak a language other than english and we depend on contributors like you to make support available to people all over the world
watu hawa wazuri walisaidia kuandika makala hii waweza kusaidia pia angala jinsi gani sehemu ya maudhui hii ni ©19982015 na wachangiajibinafsi wa mozillaorg maudhui yanapatikana chini ya leseni ya creative commons wasiliana nasi
ilani za kisheria
ripoti matumizi mabaya ya trademark
badili kwenda tovuti ya simu | 2015-11-26T16:37:42 | https://support.mozilla.org/sw/kb/ujanibishaji-mozilla-msaada?redirectlocale=en-US&redirectslug=localize-firefox-help |
o sa cakava tiko na nomu akaude ni gmail kevaka sega mo qai kiliki eke mo bulia na nomu akaude ni gmail imatai ni oti o ya mo muri ira na itukutuku oqo me ra vakacavara na ikuri ni iwalewale ni curu ki na nomu akaude ni vakayagataki gmail curu vosanicuru kei na yaca vakayagataki here i have []
na itukutuku oqo e solia vei iko na iwalewale vinaka ni ordered me baleta na inaki meli curu ni oti na vakayacora vakavinaka na nomu akaude ni meli ena inaki eke o na na levu taucoko ni iwalewale ni curu ki na nomu na meli ni inaki e dau kilai talega me ni meli ni aol na meli ni inaki so [] | 2019-10-14T01:05:54 | http://loginmail.online/fj/category/login/ |
naomba maoni yenu | jamiiforums | the home of great thinkers
naomba maoni yenu
discussion in 'jf chitchat' started by mtoboasiri oct 17 2012
na tena yawe ya dhati maana uzushi hautakiwi hapa iko namna hii
siku kadhaa zilizopita mimi na shemeji/wifi yenu kongosho tulikuwa tunaangalia documentary fulani ihusuyo wadudu (could be wanyama pia maana sikumbuki vema) kwenye hiyo documentary ilionyeshwa kuwa kila dume akisex na jike dume anakufa mara sasa kongosho (maybe ni kwa ajili ya wivu) akatoa comment hii bora hii ingekuwa inaapply pia kwa binadamu wenzangu (wanaume kwa wanawake) mna maoni gani
hii ni hatari kuna watu wange kufa wakiwa na miaka kumi
ingekuwa powa hata ukimwi usingekuwepo watu wangekuwa na adabu ya hali ya juu
ingekuwa powa hata ukimwi usingekuwepo watu wangekuwa na adabu ya hali ya juuclick to expand
naomba nitofautiane nawe ungeongezeka maana very many women will be chasing too much few men
mawazo mengine bhana duhjibu ni rahisi tukusingekuwa na watu duniani siku ya kwanza tu eva na adam walipokula tunda basi palepale adam angekufa miaka kadhaa ingepita naye eva angekufa kwa maswaiba mengine
mawazo mengine bhana duhjibu ni rahisi tukusingekuwa na watu duniani siku ya kwanza tu eva na adam walipokula tunda basi palepale adam angekufa miaka kadhaa ingepita naye eva angekufa kwa maswaiba mengineclick to expand
hah hah hah ha sasa mbona hao wadudu walikuwepo au ndio walikuwa wameumbwa
hah hah hah ha sasa mbona hao wadudu walikuwepo au ndio walikuwa wameumbwaclick to expand
anasahau kuwa by the time dume anakufa kitu kinakuwa kimeota tumboni mwa jike
hahah huyu mkuu anataka kufananisha baadhi ya wadudu na uhalisia wa binadamu kiukweli ni kujaribu kuipa kazi akili kubwa kufikiria vitu vya akili ndogo mwanadamu aliumbwa lakini wadudu walitamkwa na wakawa | 2016-10-20T21:42:49 | http://www.jamiiforums.com/threads/naomba-maoni-yenu.339986/ |
van gaal welbeck alishindwa kazi tanzania sports
10th december 2018 last update at 834 am
van gaal welbeck alishindwa kazi
kocha mkuu wa manchester united louis van gaal amesema aliamua kumuuza mshambuliaji wake danny welbeck kwa arsenal kwa sababu alishindwa kufunga mabao ya kutosha kwa timu hiyo
van gaal alimuuza welbeck kwa pauni milioni 16 siku ya mwisho ya dirisha la usajili baada ya kumchukua kwa mkopo radamel falcao kutoka monaco na kuna kipengele kwenye mkataba wake cha kumnunua mwishoni mwa msimu man u wakipenda
mdachi huyo anasema kwamba pamoja na kumuuza welbeck atatoa nafasi kwa wachezaji wazawa wa uingereza akisema kwamba welbeck amecheza muda mrefu hapo old trafford lakini ameshindwa kuweka rekodi tofauti na akina robin van persie au wayne rooney
ndiyo sababu tulimwacha aondoke na kwa sababu ya falcao kuja pia lakini pia kuruhusu chipukizi wengine kuibuka hii ndiyo sera ndiyo maana niko hapa akasema van gaal ambaye amekuwa akishambuliwa na wachezaji na mashujaa wa zamani wa manchester united kwa kumuuza welbeck
mchezaji huyo amezaliwa manchester miaka 23 iliyopita na aliingia kwenye akademia ya klabu hiyo tangu akiwa mtoto aliwasumbua united kwa mabao mawili aliyoifungia timu ya taifa ya england dhidi ya uswisi jumatatu hii ambapo tangu ajiunge na man u na kucheza mechi 142 amefunga mabao 29
rooney (28) amefunga mabao 217 kwa united katika mechi 445 wakati van persie (31) amefunga mabao 48 katika mechi 78 hata hivyo welbeck hakuwa akipewa nafasi ya kutosha ya kucheza
msimu huu united wametumia pauni milioni 150 kukarabati kikosi kilichofanya vibaya msimu uliopita kiasi cha kuishia nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi na kukosa nafasi yoyote ya kushiriki kwenye mashindano ya kimataifa
pamoja an usajili wa wachezaji wa kigeni van gaal amedai kwamba atapandisha chipukizi wengi kutoka kwenye timu ya vijana
tags arsenal danny welbeck man utd | 2018-12-10T04:25:51 | https://www.tanzaniasports.com/2014/09/12/van-gaal-welbeck-alishindwa-kazi/ |
hivi ndivyo awinja wa papa shirandula alivyofika kwa groove awards ▷ tukocoke
hivi ndivyo awinja wa papa shirandula alivyofika kwa groove awards
tuzo ya 12 ya groove awards ilifanyika alhamisi juni 1 2017 eko dydda na mercy masika walikuwa miongoni mwa washindi usiku huo zifuatazo ni picha za watu mashuhuri na walivyofika katika tuzo hizotuzo la thamani kuu nchini kenya groove awards ilihudhuriwa na watu wengi maarufutuzo la 12 lilitolewa alhamisi juni 1 katika jumba la mikutano la kicc eko dydda na mercy masika walitwaa tuzo la wasanii bora wa kike na kiume mwakani lihali wimbo wa kymo na stiga thitima ulipata tuzo la wimbo bora zaidi mwakanihabari nyingine maajabu mwanamke ajifungua mapacha mmoja wao ni nyoka (picha) size 8 aka mama wambo hakupata chochote licha ya kuteuliwa kwa makundi matatujinsi wasanii walivyofika iliwaacha wengi kupendezwa sherehe hizo zilihudhuriwa pia na wasanii wasio wa nymbo za injili akiwemo jaguar juliani nameless wahu eric omondi na sauti sol octopizzo chipuukeezy njush miongoni mwa wengine
habari nyingine mcheshi wa churchill show mca tricky ana mpenzi mrembo kupindukia (picha) tukocoke imebaini kuwa mwakilishi wa kundi la majaji wa groove na kiongozi wa coke studio andrew alovi alianzisha makundi mapya msanii wa kike msanii wa kiume na msanii wa kundi kwa mwakahabari nyingine mtangazaji wa citizen tv afukuzwa kama mbwa kati ya manufaa ya groove ni kurekodiwa kwa maigizo ya shoo kwa ufadhili wa mo sound and film studios mafuta ya gari ya thamani ya sh100000 kwa ufadhili wa shell safari za teksi za thamani ya sh50000 ndani ya nairobi na mombasa kwa ufadhili wa little na likizo ya siku mbili maasai mara kwa ufadhili wa azure mara hotel
read english versionuna maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke read more
groove awards papa shirandula tv show willy paul bahati groove awards groove awards nominees 2016 kazungu matano aka awinja moto
gachagua beautiful girl najib balala did size 8 break up with dj mo jubilee primaries nairobi gospel singer bahati habari zingine hatimaye muthama atangaza msimamo wake kuhusu atakayemuunga mkono kwa ugavana kati ya mutua na wavinya ndeti
wanamuziki maarufu waongea 'kwa ndimi' baada ya kupatana na mwanamuziki tajika wa marekani shaggy
inashangaza 'canaan' ya raila 'joshua' odinga imejaa chang'aa na sio maziwa na asalibloga
mbio za sakafuni huishia ukingoni mwizi wa mtoto atiwa baroni
inashtua makanga amrusha nje mtoto gari likiwa mbioni | 2017-06-29T07:14:08 | https://kiswahili.tuko.co.ke/242508-hivi-ndivyo-awinja-wa-papa-shirandula-alivyofika-kwa-groove-awards.html |
kama ni tiketi ni otapp
sehemu yako moja unayoweza kuweka nafasi yako na kununua tiketi kwa ajili ya matukio sehemu za starehe/burudani mambo ya safari na mengine mengi
jionee dunia kwa kubofya otapp mara moja
sehemu za burudani
safari za utalii
pune > goa
depart sat jan 19 2019
dropping point 2
bus operators 2
gogte travels (manish)
1 select your seat
2 select your boarding point
select your boarding point alaska
2 select your dropping point
select your dropping point alaska
seat no 26
total amount rs 400
reserved ladies seat
kadamba trans cropltd
child 2 3 4 5 6 7 8
chagua tiketi ya filamu aladdin
chagua tarehe ya filamu
chagua ukumbi wa sinema
chagua muda
chagua viti 1234567891011121314151617181920
inayooneshwa sasa | ifuatayo karibu
sunburn festival 201821 dec onwards
100 mtu
mtu mzima mtoto
a spacious wave pool is worth experience and joy with a variety of other amusements like multi slide
go for a spin on a bumper car at funcity one of the great classic interactive family rides of all time is now available on
is an adventure seekers ride cars shaped moving through up and down track and water course in wilderness
ona michezo yote
fanya kwa umakini
hautaumiza kichwa tena unapotaka kuweka nafasi yako na kupata tiketi yeyote ndio umesoma kwa usahihi umechoka kwenda umbali mrefu na kusubiri katika foleni ndefu ili kupata tiketi otapp ni mwanzilishi wa suluhisho la upatikanaji wa tiketi kwa njia rahisi uliokuwa unautarajia katika afrika hii ni sababu itakayokufanya uwe pamoja nasi
matumizi rafiki
mfumo wetu wa tiketi umetengenezwa kulingana na soko lilivyo hautakosa unachotaka au kuhisi kukwama wakati unataka kuweka nafasi yako na kununua tiketi kupitia otapp
lipia bila fedha taslimu
furahia urahisi wa kuweka nafasi yako na kulipia tiketi yako kwa njia ya mtandao una hofu ya kubeba fedha nyingi kwa ajili ya kununua tiketi kirahisi tu lipia kwa kutumia kadi yako ya benki au pesa mtandao ndani ya sekundi chache
malipo yako ni salama wakati wote katika mfumo wetu ulio salama na unapata tiketi yako mara moja kwa kupitia kifaa chako cha kielektroniki kama vile simu yako je kuna inayoweza kuwa bora kuliko hii
pata mambo mazuri zaidi
tunakupa thamani ya fedha yako kwa mambo mazuri zaidi na bei nzuri iwe ni chaguo la mambo ya starehe usafiri okoa fedha na muda ukiwa nasi
njia ya haraka ya kuweka nafasi na kununua tiketi yako kwa ajili ya
unatafuta matukio yanayofanyika mjini angalia matukio tuliyonayo na usisahau kujiwekea nafasi/kiti chako pata tiketi yako hapa sasa hivi
safiri bila kufikiria sana katika mfumo wetu wa tiketi kuna mabasi ya hadhi juu na ya kawaida bofya hapa tu ili kupata tiketi kwenye simu yako ya mkononi
je unaboreka siku za mwisho wa juma au sikukuu tunayo burudani hapa angalia uchaguzi wetu wa maeneo ya burudani na weka nafasi kwa ajili ya siku yako njema nje ya nyumbani kwako
ondokana na foleni za barabarani na okoa fedha zako kuweka nafasi/kiti na kununua tiketi yako ya kwenda kuangalia filamu hakujawahi kuwa rahisi hivi pata kiti unachopenda katika ukumbi wa kuoneshea filamu ndani ya dakika chache
fanya zaidi leo
jionee kutoka yaliyo bora tuliyochagua kwa ajili yako
we create experiences that you will thoroughly enjoy
it was a pleasure working with you your diligence and transparency was appreciated looking forward in working with you in other events
linabella mcgray | 2019-03-24T23:27:04 | http://www.otapp.net/Swahili/index.php |
'wachezaji simba waandaliwe kisaikolojia'
aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya azam fc juma mwambusi amesema wachezaji wa simba wawe watulivu na wasibabaike na presha kubwa watakayopata kutoka kwa mashabiki na viongozi wakati watakapocheza dhidi ya as vita katika mchezo wa mwisho wa ligi ya mabingwa wa afrika jumamosi
simba ambao hadi sasa wanashika mkia kwenye kundi d wakiwa na pointi sita wanaweza kufuzu kucheza robo fainali ya michuano hiyo endapo wataibuka na ushindi wowote katika mchezo huo dhidi ya klabu hiyo ya jamhuri ya kidemokrasia ya congo kwenye uwanja wa taifa
mchezo huo simba itakuwa ikisaka kulipa kisasi baada ya kufungwa 50 katika mchezo wa kwanza uliofanyika congo
akizungumza na gazeti hili mwambusi alisema wachezaji wa simba wanakabiliwa na mchezo mgumu mbele yao ambao unashika hatma yao ya kufuzu kwa robo fainali au kutupwa nje ya michuano hiyo
wachezaji wasibabaike na presha kutoka kwa mashabiki na viongozi wanahitaji utulivu na kocha patrick ausseums anatakiwa awajenge kisaikolojia vizuri naamini watafanya vizuri kwa kuwa walishakutana na timu hiyo na wanaijua licha ya kupoteza amesema mwambusi
kocha huyo aliyetimuliwa azam fc alisema hadi sasa kundi lao bado liko wazi na simba wana nafasi kubwa na kufuzu endapo tu wataibuka na ushindi katika mchezo huo na hilo litawezekana endapo wachezaji watajengwa kisaikolojia kuelekea mchezo huo
hadi sasa kundi hilo linaongozwa na js saoura ya algeria kwa pointi nane ikifuatia na al ahly na vita ambao kila mmoja ina pointi saba hivyo kama simba atapata ushindi wa pointi atajihakikishia kutinga hatua inayofuata kwani atakuwa na pointi tisa na kuungana na mshindi katika mchezo wa al ahly dhidi ya saoura utakaopigwa siku
masaa 18 yaliyopita tuzo mapunda
masaa 19 yaliyopita tuzo mapunda | 2019-05-21T01:32:16 | https://habarileo.co.tz/habari/2019-03-145c8a0afc5fdb0.aspx |
micharazo mitupu yanga yawanyoa wakenya maximo we acha tu
simon msuva akionyesha makali yake juu kikosi cha yanga (picha zote kwa hisani ya bin zubeiry
mshambuliaji wa kimataifa wa yanga mbrazil genilson santos 'jaja' ameendelea kuwapa raha wana yanga baada ya kuifungia bao pekee lililowapa vijana wa jangwani ushindi wao wa nne mfululizo ikiwa chini ya kocha marcio maximo katika pambano la kirafiki la kimataifa dhidi ya thika united ya kenya
mechi hiyo iliyochezwa jana kwenye uwanja wa taifa ilishuhudia jaja akiifunga bao hilo katika kipindi cha pili na kuwafanya mashabiki waliokuwa wakitaka mchezaji huyo atolewe dimbani kunyamaza kimyaa
jaja alifunga goli hilo akimalizia kwa kuugusa kidogo tu mpira wa krosi murua ya dakika ya 58 kutoka kwa winga simon msuva ambaye jana alichezeshwa kama straika wa kati
goli hilo liliibua shangwe kwa mashabiki wa yanga ambao walikuwa kimya katika kipindi cha kwanza kutokana na ubovu uliooneshwa na safu yao ya ushambuliaji ikiongozwa na mbrazil huyo katika kipindi hicho
yanga waliokuwa wameweka kambi ya siku 10 visiwani zanzibar wakicheza mechi za kirafiki tatu na kushinda zote dhidi ya chipukizi fc shangani fc na kmkm zote za ligi kuu ya zanzibar walianza mechi hiyo kwa mpira wa polepole uliochagizwa na pasi fupifupi za mfumo wa kibrazil wa kocha marcio maximo
kikosi cha kwanza cha yanga kilichoanza na wachezaji wawili wapya kutoka brazil andrey coutinho na genilson santos 'jaja' kilimaliza kipindi cha kwanza kikiwa hakijafunga goli hata moja sawa na wageni wao thika united waliomaliza msimu uliopita wa ligi kuu ya kenya wakiwa nafasi ya tano
katika kipindi hicho cha kwanza kiungo wa kimataifa wa yanga kutoka rwanda haruna niyonzima 'fabregas' alionyesha kiwango cha juu hasa katika dakika 30 za mwanzo akifuatwa na coutinho ambaye alionekana wazi kuwa kivutio kikubwa cha wanayanga kutokana na chenga zake za kibrazil zilizojaa kila aina ya fedheha
kabla ya mechi hiyo kuanza maximo aliyekuwa anaingia kwa mara ya kwanza kwenye uwanja wa taifa akiwa kocha wa yanga baada ya kuiongoza kwa mafanikio timu ya taifa (taifa stars) aliwanyanyua vitini wapenzi na mashabiki wa yanga baada ya kuonyesha ishara ya ngumi ambayo ilitafsiriwa kama amedhamiria kurudisha magoli 50 ambayo yanga ilipokea kutoka kwa watani wao wa jadi simba misimu mitatu iliyopita
maximo kocha wa zamani wa stars aliendelea kuwa kivutio zaidi pale alipojishika kifuani na kutoa ishara kwamba 'anaweza' kuipa mafanikio zaidi timu ya yanga
mechi hiyo iliyochezeshwa na refa hashim abdallah kutoka dar es salaam ambaye ana daraja la kwanza la uamuzi ilishuhudiwa maximo akibadilisha wachezaji kadhaa kipindi cha pili akiwatoa jaja dilunga niyonzima coutinho na msuva na kuwaingiza hamis thabit omega seme said bahanunzi na nizar khalfan ambao walibadilisha kwa kiasi kikubwa mechi hiyo na kuifanya iwe kivutio kwa wanayanga
kulikuwa na idadi kubwa ya mashabiki hasa wa yanga waliofurika upande wa magharibi na kusini mwa uwanja wa taifa huku baadhi ya mashabiki wa simba wakikaa kwenye jukwaa lao la kaskazini mwa uwanja huo na kuendelea upinzani wao wa jadi dhidi ya yanga kwa kuipa sapoti timu ngeni ya thika united
ilikuwa ni mechi ya nne ya kirafiki ya yanga chini ya maximo na ya kwanza kwa kocha huyo mbrazil kwenye uwanja wa taifa tangu aanze kuifundisha klabu hiyo
kocha maximo alisema baada ya mechi hiyo jana kuwa timu yake inapaswa kubadilika na kutumia nafasi zinazopatikana huku pia akiisifu thika united akisema ilicheza vizuri kuliko wao licha ya wanajangwani kuibuka na ushindi
makamu mwenyekiti wa yanga clement sanga alisema jana kuwa baada ya kushinda mechi zao zote nne za kirafiki wanaangalia uwezekano wa kucheza mechi nyingine moja ya kujipima kabla ya kuwavaa azam fc katika pambano lao la kuwania ngao ya jamii la kuashiria ufunguzi wa pazia la ligi kuu ya tanzania bara septemba 13
yanga deogratius munishi 'dida' juma abdul oscar joshua nadir haroub 'cannavaro' kelvin yondani mbuyu twite haruna niyonzima/ hussein javu (dk 73) hassan dilunga/ hamis thabiti (dk 46) genilson santos 'jaja' (said bahanunzi (dk 75) simon msuva/ omega seme (dk 73) na andrey coutinho/ nizar khalfan (dk 70)
thika united hamza muwonge simon mbuguo sammy meja tonny kizito dirkir glau dennis odhiambo moses odhiambo wyclif opondo michael olunga david kingatua na joseph kulia | 2017-12-18T05:16:58 | http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/09/yanga-yawanyoa-wakenya-maximo-we-acha-tu.html |
mashina yenye bendera ya cuf zanzibar yaanza kubadilishwa rangi na kupakwa ya actwazalendo michuzi blog
home habari siasa taarifa mashina yenye bendera ya cuf zanzibar yaanza kubadilishwa rangi na kupakwa ya actwazalendo
mashina yenye bendera ya cuf zanzibar yaanza kubadilishwa rangi na kupakwa ya actwazalendo
moto umewaka cufndio maneno unayoweza kuelezea mgogoro unaondelea ndani ya chama cha wananchi(cuf) ambapo imefikia hatua ya kufuta rangi ya chama hicho katika vijiwe vya matawi na kupaka rangi ya actwazalendo
kufutwa kwa rangi ya cuf kwenye mashina hayo kuna baada ya mahakama kutoa uamuzi unamtambua profesa ibrahim lupumba kama mwenyekiti halali wa chama hicho
baadhi ya mashina ya cuf ambayo yameonekana yakifutwa ni yale yaliyokuwa visiwani pemba katika tawi la jows corner stone town ambapo baadhi ya wanachama wameamua kufuta rangi ya cuf na kukapa rangi ya bendera ya actwazalendo
hata hivyo inaelezwa kuna tetesi zinazodai huenda katibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamad akahamia chama cha actwazalendo ambacho kiongozi wake ni mbunge kigoma mjini zitto kabwe
michuzi blog itaendelea kukupa taarifa zaidi ya kinachoendelea ndani ya cuf kwa sasa | 2019-05-22T17:07:10 | https://issamichuzi.blogspot.com/2019/03/mashina-yenye-bendera-ya-cuf-zanzibar.html |
strive for life watoto waunguzwa nyayo kukomesha kuzurura
watoto waunguzwa nyayo kukomesha kuzurura
watoto wawili wakazi wa mtaa wa bangwe manispaa ya kigomaujiji mkoani kigoma wamenusurika kifo baada ya mama yao mzazi kuwachoma moto katika nyayo za miguu kwa tuhuma za uzururaji
katika tukio hilo lililotokea jumapili mama aliyetambulika kwa jina la fatuma sambeki (25) aliwachoma moto nyayo watoto wake wawili akiwatuhumu kuzurura hadi usiku
watoto waliochomwa moto ni ismail swed (5) na abedi swed (3) ambao inadaiwa siku ya tukio walikwenda kutembea kwa bibi yao mzaa mama na kurejea saa mbili usiku nyumbani kwao
walipofika mama huyo aliwafokea kwa kitendo hicho akawapiga na kuwachoma moto kwenye nyayo kwa kutumia banio la mkaa lililopashwa moto
bw kala ntaruha shuhuda ambaye ni mjumbe wa serikali ya mtaa alisema kuwa baada ya kusikia kelele za watoto hao alifika kuona nini kinawasibu ndipo alipokuta mtoto mmoja akiwa anaugulia maumivu ya madonda ya moto huo wakati mwenzake akiwa amefichwa chumbani na mama huyo
mjumbe huyo alisema kuwa baada ya kuona hali hiyo waliripoti katika kituo cha polisi mjini kigoma na mtuhumiwa akatiwa mbaroni jana
akizungumzia tukio hilo mume wa mtuhumiwa bw swed abed (32) alisema kuwa siku ya tukio alikuwa katika shughuli zake za uvuvi ndipo alipata habari za kitendo hicho
bw abed aliongeza kuwa mkewe amekuwa akifanya matukio mengi ya ajabu yakiwamo ya kuwapiga watoto hao na aliwahi kuchoma moto nyumba yao kabla ya majirani kukusanyika na kufanikiwa kuuzima
alisema kuwa mkewe amekuwa na matatizo ya kuchanganyikiwa hasa kwa wakati kama huu ambao ni mjamzito na mara nyingine matatizo hayo humfika mwisho wa mwezi
kamanda wa polisi mkoani kigoma acp george mayunga alikiri kuwepo kwa hali hiyo na kuwa mtuhumiwa atafikishwa mahakamni wakati wowote mara baada ya upelelezi kukamilika
hili ni tukio la pili la ukatili dhidi ya watoto mkoani kigoma baada ya mama mmoja wilayani kibondo kukamatwa kwa tuhuma za kumchinja mtoto wake aliyekuwa anasadikiwa kuwa mlemavu wa viungo na akili na kesi ipo mahakamani
chanzo gazeti la majira
posted by edna at 1819 | 2018-07-15T21:14:52 | http://ednaohman.blogspot.com/2010/05/watoto-waunguzwa-nyayo-kukomesha.html |
video serikali kuhamia dodoma kwaongeza bajeti ofisi ya makamu wa rais mwananchi
tue apr 17 150815 eat 2018
dodoma kamati ya bunge ya katiba na sheria imesema katika bajeti ya ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mwaka 2017/18 kuna ongezeko la fedha lililotokana na gharama za kuhamisha watumishi wa ofisi hiyo kutoka dar es salaam kwenda dodoma kwamba ongezeko hilo ni zaidi ya fedha zilizoidhinishwa na bunge
6 hours ago magufuli apiga 8 nzito
6 hours ago vita ya kagera wanajeshi wavamia kagera wapora wabaka wananchi2 | 2018-12-11T14:33:14 | http://mobile.mwananchi.co.tz/Habari/Serikali-kuhamia-Dodoma-kwaongeza-bajeti-ofisi-ya-makamu-wa-rais/1597580-4420616-format-xhtml-fv5hcj/index.html |
kuwait naief al enazi profile with news career statistics and history soccerway
matches of naief al enazi | 2016-12-04T21:17:48 | http://www.soccerway.com/players/naief-eisa-al-enazi/208982/matches/ |
umaaarufu wa carol light unatokana na nini | jamiiforums | the home of great thinkers
umaaarufu wa carol light unatokana na nini
discussion in 'jf chitchat' started by the boss jul 26 2011
sina uhakika kama nimepatia jina hilo
but naamini nimeeleweka
juzi nilikuwa sehemu hivikama restaurant hivi
akatokea mwanaumeumri over 50 kwa muonekano
sasa alikuwa anaonekana kama ana mikono mieusi
na uso mweupe hivikama kajichubua hivi
baadhi ya watu hasa kina dada waka aanza kumzungumza
so nikaona mazungumzo yanakwenda kwenye kitu kimoja tuni mafuta nafikiri yanaitwa carol light
nikavuta kumbukumbu nikagundua kuwa hata kwenye nyimbo yanatajwa
haya mafuta
sasa nimekuwa na maswali
1carol light ni nini hasamafutamkorogolotion
2kwa nini yamekuwa maarufu sana hasa kwa wadada
3wanao tumia ni watu aina gani
4ni kweli yana madharatfdaserikalitbs wapo wapi
5ni kweli yamepigwa maruku baadhi ya nchiugandamalawi
6tanzania ni kampuni gani inahusika na biashara hii
7nini kinaongezeka kwa mtumiaji
8kama ni mkorogo kwa nini umekuwa maarufu kuliko mingine
9na akina baba wanaotumiainakuwaje
10au kuna kitu kingine kinaitwa carol light na sio huo mkorogo
nijuavyo mimi huo ni mkorogo wa kisasa umepaishwa sana na bibie khadija kopa aka malkia wa mipasho kwenye lile jisongi lake la full stop anakwambia yeye hababaishwi wala kutishwa na visichana vinavyopaka huo mkorogo yeye ni baby cutie wa kiafrika na hataki uso wenye mabaka kama paka
kwa hiyo kwa kifupi ni mkorogo tu
mkuu mbona jina umelipatia sana lazima waijua hiyo noma kamanda
hivi bado kuna watu wanajichubua binafsi hiyo caro light naisikia sana ila sijawahi kuitumia i really like the vaseline lotion
mkuu mbona jina umelipatia sana lazima waijua hiyo noma kamandaclick to expand
natumaini unatania tu maana mtu kujua kitu si lazima ajihusishe nacho kihivyo kuna watu wengine tunapenda sana kujifunza na pindi tusikiapo ama tuonapo kitu ambacho ni kigeni na hatukijui basi tunapatwa na shauku ya kutaka kujifunza na kujua juu yake
hivi bado kuna watu wanajichubua binafsi hiyo caro light naisikia sana ila sijawahi kuitumia i really like the vaseline lotionclick to expand
ni nzuri sana kwa ngozi yako jaribu kuitumia ujionee
natumaini unatania tu maana mtu kujua kitu si lazima ajihusishe nacho kihivyo kuna watu wengine tunapenda sana kujifunza na pindi tusikiapo ama tuonapo kitu ambacho ni kigeni na hatukijui basi tunapatwa na shauku ya kutaka kujifunza na kujua juu yakeclick to expand
mhhh
mhhhclick to expand
ukitumia lazima after a month urudi kuomba ushauri kwa jf dr 'jamani nisaidieni ngozi yangu inakuwa na mabaka mabaka kama imeungua vile'
swali no 4tangu lini wakajali
ni mkorogo upo juu kwa wadada/kaka tena ukienda kununua usisahau na maji yakeunakuwa mweupetahadhari usitembee kwenye jua maana uso unakuwa mwekundu kama umetoka kutwangwa makofi
si mnawaona akina nyoshi el sadat wanavyowakawaka hayo ndo matunda ya carol mweupee waafrika lini tutajipenda sisi tulivyo kila mtu anajifanya yeye mzungu kweli basi hao wazungu wanawawekea sumu humoooo mkizaa mnazaa watoto wa ajabu ajabu tuuu
duhiyo kitu si ya kujaribu
si mnawaona akina nyoshi el sadat wanavyowakawaka hayo ndo matunda ya carol mweupee waafrika lini tutajipenda sisi tulivyo kila mtu anajifanya yeye mzungu kweli basi hao wazungu wanawawekea sumu humoooo mkizaa mnazaa watoto wa ajabu ajabu tuuuclick to expand
mh hiyo sumu mbaya
huu mkorogo umeanzia west africa huko ukaingia congo kinshasa to bongo ni hatar wabongo wakaongeza na mambo yao balaa mwangalie sauda mwilima wa star tv hata baadh ya wabunge wanawake shurti wana mustach loo ntabaki mweus hv hv sitaki mabaka kama paka
caro light ni cream nzuri inayoweza kusababisha aliezaliwa 1961 awe na uso kama kazaliwa 2009 lakini miguu itafanana na ya mwanamgambo alietafuta uhuru mwaka 1950's
caro light ni cream nzuri inayoweza kusababisha aliezaliwa 1961 awe na uso kama kazaliwa 2009 lakini miguu itafanana na ya mwanamgambo alietafuta uhuru mwaka 1950'sclick to expand
kwahiyo kua mweupe ndio upya wa ngozina kua mweusi ndio uchakavu kweli utumwa uko ndani ya ubongo wa mtu na sio vinginevyo
kama weupe ni mali mbona ubuyu unapakwa rangi
kwahiyo kua mweupe ndio upya wa ngozina kua mweusi ndio uchakavu kweli utumwa uko ndani ya ubongo wa mtu na sio vinginevyoclick to expand
ulishawahi kujifungua mtoto kama mjaluo mzee au we mtumiaji mhh kweli hapa kuna kazi
ulishawahi kujifungua mtoto kama mjaluo mzee au we mtumiaji mhh kweli hapa kuna kaziclick to expand
kwahiyo weusi na uzee ni wapi na wapiweupe na upya nao wapi na wapi
ningekua mtumiaji nisingeshangaa unachoongea bali ningeungana na wewe | 2016-10-26T09:26:06 | http://www.jamiiforums.com/threads/umaaarufu-wa-carol-light-unatokana-na-nini.158424/ |
umojamataifa kukuza uchumi mshahara
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi umojamataifa kukuza uchumi mshahara
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=unitedstawaggro&v=202003280001v20191105&lang=all&h=300&w=600&ref=/unitedstates/wagegrowth' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/unitedstates/wagegrowth'>tradingeconomicscom</a>
madai ya awali jobless 328300 28200 328300 16200 elfu [+]
kuendelea jobless madai 180300 170200 663500 98800 elfu [+]
adp ajira lugha 18300 20900 31400 83500 elfu [+]
mpinzani ayubu cuts 5666000 6773500 24847500 1510000 watu [+]
madai ya ajirawiki isiyo na kazi 99825 23250 99825 17900 elfu [+] | 2020-04-01T07:59:39 | https://sw.tradingeconomics.com/united-states/wage-growth |
bavicha waandika barua nzito kwa jaji mkuu | mpekuzi
bavicha waandika barua nzito kwa jaji mkuu
baraza la vijana la chama cha demokrasia na maendeleo chadema (bavicha) wakiongozwa na mwenyekiti wao patrick ole sosopi jana desemba 12 2018 wamewasilisha barua katika ofisi ya jaji mkuu ibrahim hamis juma jijini dar es salaam wakilalamikia kukiukwa kwa haki kwenye mahakama
patrick ole sosopi amesema wamefikia uamzi huo kwa kuona hakuna sehemu nyingine wanaweza kupata haki kutokana na viongozi wao wa kitaifa kukosa badhi ya haki ikiwemo kuwaeleza wananchi maendeleo ya kesi zao mahakamani | 2019-01-23T07:29:18 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/12/bavicha-waandika-barua-nzito-kwa-jaji.html |
akina mama na vijana ni nguzo kubwa ya kuleta mabadiliko katika vijijiripoti | sunday shomari
home maisha akina mama na vijana ni nguzo kubwa ya kuleta mabadiliko katika vijijiripoti
akina mama na vijana ni nguzo kubwa ya kuleta mabadiliko katika vijijiripoti
ni suala ambalo lipo wazi
kuhusu tofauti za kimaisha baina ya wakazi wa mijini na vijijini ila
changamoto nyingi zaidi zinaonekana kuwakabili zaidi wale wanaoishi vijijini huko
wananchi wanakosa huduma ambazo kimsingi ni haki zao na hivyo kutokuwa na usawa
baina yao na wale wa mijini
picha kubwa inayojionesha vijijini
kwa upande wa wanawake ni hasi kwa kiasi fulani ukilinganisha na ile ya wanaume
usawa wa kijinsia na kielimu baina yao na wanaume ni mkubwa sana kesi za unyanyasaji
kwao ni nyingi zaidi pamoja na jihudi
nyingi za kuwawezesha wanawake bado hawajapata nafasi ya kutoshwa kuweza kusikilizwa
wanaume wameendelea kuwa watoa maamuzi na wanufaikaji wa kimfumo
takwimu zinaonesha kuwa hata
idadi ya ufauru kwa wasichana kwa shule za msingi imeongezeka ambapo mwaka 2013
wasichana waliofaulu ni 281460 sawa na
asilimia 5020 ya wanafunzi 560706 wakati wavulana waliofaulu ni 279246 sawa na asilimia 4980 kabla ya ya
matokeo wasichana waliofanya mtihani walikuwa 456082 sawa na asilimia 5268 na
wavulana 409745 sawa na asilimia 4732 mwaka 2014 jumla ya watahiniwa 808085
wa shule za msingi tanzania wasajiliwa kufanya mtihani huo wakiwemo wasichana 429624
sawa na asilimia 5317 na wavulana 378461 sawa na asilimia 4683 jumla ya
watahiniwa 451392 kati ya 792118 walifanya mtihani wasichana waliofauru ni
226483 ambao ni sawa na asilimia 5359 na wavulana 224909 sawa na asilimia 4641
katika nchi yetu ya tanzania kuna
makabila zaidi ya 100 na kila moja likiwa na mila na tamaduni zake ni vizuri
ikaeleweka kwamba wazee wetu hawakuwa wakichangamana kimakabila hivyo ni watu wachache
walikuwa wanahama toka sehemu moja kwenda nyingine aina hii ya maisha
ilipelekea wengi wao kuoana wa kabila moja tofauti ikiwa ni vijiji ama kata
ila wengi ilikuwa toka mkoa ama wilaya moja
tofauti na sasa ambapo watu wanachanganyikana kutokana na
shughuli za kiuchumi na kijamii hali hii ya kuchanganyikana baina ya makabila
ndani ya mkoa ama wilaya ama kijiji kimoja imeleta tamaduni tofauti na zile
ambazo zilikuwa zimezoeleka kiuchumi na kijamii
pamoja na mchanganyiko huo bado
kumekuwa na changamoto nyingi sana zinazowakabili wakazi wa vijijini bado
wanaishi kwenye lindi la umaskini na ukosefu mkubwa wa huduma za kijamii
changamoto hizi zinasababisha baadhi yao kuwa mstari wa mbele katika
kuhakikisha wanadai na kusimamia haki za msingi za kijamii hawa wanaitwa
waraghbishi
waraghbishi ni mtu mmoja mmoja
ama kikundi cha watu ambao wamevutika kufanya uraghbishi aidha kwa kufundishwa
ama kwa kuona matokeo ya matendo wanayofanywa na wanajamii wenzao hususani
wale ambao wanachukua hatua katika kustawisha au kulinda haki za binadamu na
kuwakumbusha wenzao majukumu yao kwa maslahi ya kijamii kiuchumi ama kisiasa
moja ya haki hizo ni zile za wanawake
ambao kwa muda mrefu wameonekana kuwa nyuma zaidi hali hii imewaondelea kujiamini
na kujiona wao ni wa daraja la pili na hivyo kutokuwa na sauti katika jamii zao
mmoja wa waraghbishi hao ni bw
bony lukas toka kijiji cha nyandekwa wilayani kahama katika mkoa wa shinyanga mraghbishi
huyu ameweza kuelimisha watu wa kijiji chake
akielezea jinsi anavyoraghbisha
vijana katika kijiji chao lukasi anasema
vijana ndio wenye nguvu za
kuweza kuleta maendeleo na ndio wenye mchango mkubwa ndani ya jamii zetu kwa hiyo
ni lazima wawe ni watu wenye kujitambua katika nyanja zote ili waweze kupata
nafasi mbalimbali za kuweza kutoa mchango wa mawazo ili yaweze kufanyiwa kazi
hali inatokana na ukweli kwamba
vijana wamekuwa nyuma kwa muda mrefu bila uraghbishi kwao ni mrejesho wa
nafasi finyu ambazo vijana wa vijijini wamekuwa hawapewi nafasi ya kuweza
kuchangia pindi wawapo katika mikutano ya
kimaendeleo ndani ya vijiji hii ilitoa nafasi ya mraghbishi kupokea mawazo kutoka kwa vijana wa kike na wakiume
kwani vijiji vilivyo vingi hupuuza
mchango wa mawazo ya mtoto wa kike na kumuona hana thamani
kwa mantiki hiyo mraghbishi lukasi
aliweza kuwatia ujasiri kwa kutoogopa kwani watakavyo kuwa na roho ya uoga ndio
itakayo wafanya wabaki nyuma kimaendeleo kuna msemo unasema woga wako ndio
umaskini wako hivyo alihakikisha anawawezesha vijana kujiamini na
kushirikiana vyema na uongozi wa kijiji
elimu ya jinsia pia ni tatizo katika
vijiji vingi vya hapa tanzania ambapo mraghbishi miriam stephano yeye aliweza
kutumia nafasi hiyo kwa kuweza kuwaelimisha vijana kuhusu elimu ya jinsia
akilielezea hilo anasema
hapa kijijini kuna vijana wa rika
tofauti tofauti wapo wale ambao ndio wanabalehe na wale waliovuka hiyo ngazi
ya kubalehe mabadiliko hayo ya kimaumbile hupelekea vijana wengi kuanza kuwa
na muelekeo usio sahihi sababu ikiwa ni mihemko inayo wakumba pindi wawapo katika shughuli za kila siku
hasa kwa wale wanao soma
vijana hawa katika kijiji hicho
wanapata changamoto mbalimbali zinazotokana na mabadiliko ya kimaumbile hili
linapeklekea kupata mimba za utotoni pamoja na maambukizi ya virusi vha ukimwi
hivyo kupitia waraghbishi vijana hawa wamekuwa wakipewa elimu ili waweze
kujikinga na kujiepusha na hari zinakokuwa zikiendelea kuleta mabadiliko katika
miili yao
changamoto hii ndio
iliyomplekea mraghbishi huyu mwanamke toka kijiji cha nyendekwa wilayani
kahama bi mariam stephano kuraghbisha
kundi hili kama anavyofafanua yeye mwenyewe
nikiwa kama mwanakijiji
mraghbishi huwa ninapita katika mashule mbalimbali huko naomba ruhusa kwa
mwalimu mkuu na kuweza kuzungumza na wanafunzi wa kike jinsi gani wanaweza kushughulika
na mabadiliko ya miili yao nawaelekeza nini wafanye pindi wanapofikia umri wa
kubalehe hapo ntawafundisha usafi wa mwili na namna ya kukwepa vishawishi
vitakvyowapelekea aidha kupata maambukizi ya virusi vya ukumwi ama mimba za
utotoni
elimu hii ya jinsia inawasaidia
watoto katika kijiji cha nyandekwa kwani wengi wao huanza kujitambua na kuwa
na akili ya kutafakari yale yaliyo mema na mabaya na pia inawasaidia hata
upande wa serikali katika dhana ya kupunguza maambukizi ya ukimwi na magonjwa
ya zinaa
kwa upande wa mraghbishi wilbert
michael kutoka kijiji cha kakebe wilayani kahama yeye alifanya utafiti usio
rasmi juu ya tabia za uongozi wa kijiji chao hapo aliweza kugundua mambo kadhaa
yaliyokuwa yakifanywa na viongozi wa kijiji hicho pasipo kuwashirikisha na
wananchi na walifanya hivyo kwa maslahi binafsi
akielezea hali hiyo michael
kupitia uraghbishi nilionao niliweza
kufuatilia mambo mbalimbali katika ofisi ya kijiji pamoja na ile ya kata lengo
ikiwa ni kubaini tatizo lililokuwa linakabili kijiji kubwa likiwa ni viongozi kujali
maslahi binafsi hapakuwa na uwazi kwenye mikataba ya kimaendeleo ya kijiji
swali la kujiuliza yeye
mraghbishi alijuaje habari hizo akijibu swali hilo ansema
nililigundua kupitia mbao za
matangazo ambapo walibandika tangazo la kuingia kwa mkataba na watu wanao
sambaza vyandarua vijijini na wao
kuchukua kama ni mradi wa kujipatia kipato kupitia mradi vijana walitakiwa kugawa
vyandarua hivyo na hivyo ilikuwa ndio iwe ajira yao
badala yake mwenyekiti na afisa
mtendaji wa kijiji wao wakawa wanawachangisha vijana fedha kiasi cha shilingi
elfu kumi (10000) kwa kila mmoja lengo
lao likiwa ni kuwasajili kwa kuwa wasambazaji wa vyandarua hivyo kinyume cha dhana
nzima ya kuleta maendeleo kijini
na ndipo mraghbishi michaeli alitumia uraghbishi wake kwa kuweza
kuwataarifu wananchi na ndipo wananchi walipoamua kumwajibisha mwenyekiti huyo
walichoamua ni kupeleka malalamiko katika ngazi mbalimbali za kata na wilaya ili
waweze kumvua madaraka yake na kupendekeza jina la mweenyekiti mpya wanayemtaka
na atakayeshirikiana na wanakijiji
hii ni dhahiri kwamba bado wananchi
wanaoishi vijijini wanahitaji elimu ya kiraia itakayowawezesha kuwasilisha
matatizo yao kwenye ngazi husika ili nao waweze kuwasaidia wenzao wanapogundua
yale yanayofanywa na viongozi wao hayaendani na dhana ya ukweli na uwazi na piakuwa na ujasiri wa kuweza kuongea sehemu
previous articleaskofu mdegella ataka watanzania kumwombea rais magufuli
next articlewatanzania dmv washiriki ibada ya kiswahili baltimore md
uwoya ile ndoa ni feki sijaolewa na dogo janja ukweli kamili ni huu
alichoongea nay wa mitego baada ya kuachiwa na polisi
rais mstaafu dk jakaya kikwete atembelea banda la benki ya nmb | 2017-11-21T04:09:30 | http://sundayshomari.com/akina-mama-na-vijana-ni-nguzo-kubwa-ya-kuleta-mabadiliko-katika-vijiji-ripoti/ |
klabu zatakiwa kujisajili gpx kabla ya jumatatu habari24
home / uncategories / klabu zatakiwa kujisajili gpx kabla ya jumatatu
klabu zatakiwa kujisajili gpx kabla ya jumatatu
habari24 tv 73700 am
shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu (fifa) kwa mara nyingine limeagiza klabu tisa za ligi kuu ya vodacom tanzania bara (vpl) na klabu sita za ligi daraja la kwanza ya startimes (tfdl) kujiunga mara moja na mfumo huo unaoitwa gpx yaani global players exchange ambao malengo yake ni kurahisisha kufanya usajili kwa mchezaji
klabu zatakiwa kujisajili gpx kabla ya jumatatu reviewed by habari24 tv on 73700 am rating 5 | 2017-10-18T16:31:21 | http://habari24.blogspot.com/2016/09/klabu-zatakiwa-kujisajili-gpx-kabla-ya.html |
(elekezwa kutoka vyombo vya usafiri)
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=chombo_cha_usafiri&oldid=1026749
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 22 machi 2018 saa 1118 | 2019-12-10T02:55:14 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Vyombo_vya_usafiri |
taarifa kwa umma serikali yafafanua mikopo kwa vijana malipo ada kwa fedha za kigeni dodoma yetu
home » » taarifa kwa umma serikali yafafanua mikopo kwa vijana malipo ada kwa fedha za kigeni
taarifa kwa umma serikali yafafanua mikopo kwa vijana malipo ada kwa fedha za kigeni
serikali yafafanua mikopo kwa vijana malipo ada kwa fedha za kigeni
dodoma jumatano 1 februari 2017
serikali imetoa ufafanzi kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa mikopo kwa vijana na malipo ya ada kwa fedha za kigeni ufafanuzi huo umetolewa mjini hapa leo wakati wa kikao cha pili katika mkutano wa sita wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania
idarahabari maelezo | 2017-11-25T11:21:25 | http://dodoma-yetu.blogspot.com/2017/02/taarifa-kwa-umma-serikali-yafafanua.html |
mtendaji mkuu temesa afanya ziara mikoa ya arusha na kilimanjaro mtaa kwa mtaa blog
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle (kulia) akikagua mashine ya kuchongea vipuri vya injini za magari katika karakana ya temesa mkoa wa kilimanjaro wakati wa ziara yake mkoani humo kukagua utendaji kazi na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wafanyakazi wa wakala huo kushoto ni meneja wa temesa mkoani humo mhandisi ferdinand mishamo
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle (kulia) akielezea jinsi mashine ya kubadilishia tairi za magari inavyofanya kazi wakati akikagua mashine mbalimbali zilizopo katika karakana ya temesa mkoa wa kilimanjaro kushoto ni meneja wa temesa mkoani humo mhandisi ferdinand mishamo
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle (kulia) akitoa maelekezo wakati akikagua mashine ya kubadilishia tairi za magari katika karakana ya temesa mkoa wa kilimanjaro alipotembelea kujionea utendaji kazi na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wafanyakazi wa wakala huo kushoto ni meneja wa temesa mkoani humo mhandisi ferdinand mishamo
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle (kushoto) akitoa maelekezo kwa mafundi na wafanyakazi wa karakana ya mkoa wa arusha mara baada ya kukagua mtambo wa kuchenjua na kuchakata kokoto (crusher) unaoonekana pichani
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle (kushoto) akitoa maagizo kwa mafundi wakati akikagua kitengo cha matengenezo ya majokofu na viyoyozi katika karakana ya wakala huo mkoani arusha
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle (kulia) akiitazama gari iliyopakwa rangi katika kitengo cha upakaji rangi kilichopo katika karakana ya temesa mkoani kilimanjaro kushoto ni meneja wa wakala huo mkoani kilimanjaro mhandisi ferdinand mishamo | 2019-06-20T20:24:09 | https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/01/mtendaji-mkuu-temesa-afanya-ziara-mikoa.html |
ded amchefua mkuu wa mkoa | lukwangule entertainment
ded amchefua mkuu wa mkoa
mkuu wa mkoa wa rukwa mh joachim wangabo amemwagiza katibu tawala wa mkoa huo kuanzisha mchakato wa kinidhamu na uchunguzi mara moja dhidi ya mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya kalambo kutokana na utendaji kazi wake usioriddhisha
amesema kuwa mkurugenzi huyo amekuwa akichelewesha juhudi za serikali baada ya kushindwa kumaliza ujenzi wa upanuzi wa kituo cha afya cha mwimbi kwa wakati na kuchelewa kuanza ujenzi wa kituo kipya cha afya cha legeza mwendo hata baada ya kupatiwa shilingi bilioni 11 na serikali kwa ajili ya vituo vyote viwili vilivyopo katika halmashauri hiyo
huyu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya kalambo utendaji wake siridhishwi nao hata kidogo katika mazingira ya sekta ya afya kwa ujumla wake ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika kituo cha afya cha mwimbi ulianza mwezi wa nane mwaka 2017 mpaka leo naongea hapa mwezi wa tano mwaka 2018 kituo cha afya kile bado hakijakamilika alisema
ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wauguzi katika siku yao ya wauguzi duniani iliyoadhimishwa kimkoa katika kata ya laela wilaya ya sumbawanga | 2018-11-13T01:37:23 | http://lukwangule.blogspot.com/2018/05/ded-amchefua-mkuu-wa-mkoa.html |
jimbo la sokoto wikipedia kamusi elezo huru
(elekezwa kutoka sokoto)
jina lingine la jimbo hili seat of caliphate
(orodha) aliyu wamakko (pdp)
eneo a eneo kilmota 25973
liko katika nafasi ya 16
2005 est liko katika nafasi ya 14
4392391
4244399
bilioni dola 482 [1]
dola 1274 [1]
mahali pa jimbo la sokoto katika nigeria
jimbo la sokoto (lilianzishwa mwaka wa 1976) ni jimbo katika sehemu ya kaskazinimagharibi mwa nigeria jimbo hili lilipata jina lake kutoka kwa mji wake mkuu wa sokoto mji ambao una historia ya muda mrefu na kiti cha sokoto caliphate
4 maeneo ya serikali za mitaa
tangu uanzishi wake kama jimbo mwaka wa 1976 (kutokana na kugawanywa kwa jimbo la kaskazinimagharibi kuwa majmbo mawili ya sokoto na niger jimbo la sokoto limetawalwa na magavana na maafisa wengi wa kijeshi wa zamani kila mmoja wao akipata muda mfupil kutawala
sokoto kama eneo lina historia ndefu wakati wa utawala wa himaya ya fulani katika karne ya 19 sokoto lilikuwa jimbo muhimu la fula na pia lilikuwa mji mkuu wa sehemu lililokuwa linajulikana kama magharibi ya kati ya sudan
kutoka mwaka 1900 hivi wakati waingereza walianza ukoloni sokoto ambayo ililkuwa inazunguka sehemu nzima ya kona ya kaskazinimagharibi ya nigeria ikawa mkoa wa british protectorate wa nigeria hii haikuwa muda mrefu baada gando kuongezwa kama mkoa mdogo wa sokoto mikoa hii miwili kisha ilifunlika eneo a eneo maili elfu 35 (eneo a eneo kilomita elfu 90) na wakazi walikadiriwa kuwa zaidi ya laki 5 mikoa hii ilijumuisha falme za zamfara na argunga au kebbi
ifuatayo kutoka encyclopaedia britannica ya mwaka wa 1911 inatoa baadhi ya taarifa kutoka mtazamo wa waingereza waliokuwa katika utawala
mkoa umekuwa ukipangwa kwenye kanuni sawa kama za mikoa mingine ya kaskazini mwa nigeria mkazi wa uingereza wa daraja la kwanza amewekwa katika sehemu ya sokoto na wakazi wasaidizi wamewekwa katika vituo vingine mahakama ya kiingereza ya haki yameanzishwa na magavana waingereza wamegawanywa katika robo nne katika mkoa makundi ya polisi wa raia pia wamewekwa katika stesheni kuu nchi imetathminiwa kutumia mfumo mpya wa ushuru na inafunguliwa kwa haraka iwezekanavyo kwa ajili ya uuzaji baada ya uanzilishi wa utawala wa kiingereza wakulima na wafugaji waliingia katika wilaya na wenyeji wa miji walikusanyika na kurudi katika ardhi hiyo kisha walijenga tena vijiji ambavyo vililkuwa vimewachwa kwa muda wa miaka hamsini ufugaji wa farasi na ngombe unafomu chanzo kuu cha mali katika mkoa huu kuna baadhi ya ukulima wa ndege ya aina ya ostrich isipokuwa katika maeneo ya mchanga kuna kilimo kwa upana kama vile ukulima wa mchele na pamba mazao maalumu yanapandwa katika mabonde kwa njia umwagiliaji ushonaji uwekaji wa rangi kwa vidude na mchakato wa kubadilisha ngozi kuwa ngozi laini ndizo viwanda kuu barabara nzuri ziko katika mchakato wa ujenzi mkoani uuzaji unaongezeka na fedha taslimu zimeanzishwa
mwaka wa 1906 mchipuko(rising) uliyotokana na mapenzi wa dini ilitokea karibu na sokoto ambapo kwa bahati mbaya maafisa weupe watatu walipoteza maisha yao emir alimkana kiongozi wa mchipuko ambaye alidai kuwa mahdi aliyechochewa kuwafukuza wazungu nje ya nchi kikosi cha kiingereza kiliandamana dhidi ya waasi ambao waliondolewa na kupata hasara kubwa mnamo machi mwaka wa 1906 kiongozi alihukumiwa kifo katika mahakama ya emir na kunyongwa katika mahali pa soko huko sokoto na tukio hilo lilikuwa la kuvutia hasa kuonysha uaminifu kwa utawala wa kingereza ambao ulichochea pande zote kutoka watawala
mwaka wa 1967 si muda mrefu baada ya nigeria kupata uhuru kutoka uingereza eneo hilo lilijulikana kama jimbo la northwestern mwaka wa 1976 eneo hili liligawanywa katika majimbo mawili ya sokoto na niger baadaye jimbo la kebbi (1991) na jimbo la zamfara (1996) zilijitoa katika jimbo la sokoto
jimbo la sokoto lina hasa watu wa kihausa wakazi wengi wa jimbo la sokoto ni waislamu wa sunni na wachache wakiwa waislamu wa shia ghasia kati ya makundi haya mawili ni ya kawaida
jimbo la sokoto liko katika sahel kavu na limezungukwa na savannah ya mchanga na milima
likiwa na wastani wa joto wa nyuzi 283 sokoto ni eneo la joto jingi sana hata hivyo upeo wa joto wa mchana kwa wakati mwingi wa mwaka huwa chini ya digri 40 kwa ujumla na ukavu huu hufanya joto usiwe wa kufurahisha miezi ambayo ina joto huanzia februari hadi aprili wakati joto wa mchana unaweza kuzidi nyuzi 45 msimu wa mvua ni kuanzia juni hadi oktoba wakati ambao mvua kunyesha ni tukio kila siku mvua nadra hukawia muda mrefu sana na ni tofauti sana na mvua ya kawaida mvua inayojulikana katika maeneno ya kitropiki kuanzia mwisho wa oktoba hadi februari wakati wa msimu wa baridi hali ya hewa huwa limejaa upepo wa harmattan unaovuma vumbi wa sahara juu ya ardhi vumbi hupunguza mwangaza na hivyo basi hupunguza joto maradufu na kupelekea shida ya vumbi katika kila sehemu ya nymba
kupandwa kwa mazao katika eneo hili hutegemea tambarare za mafuriko za mfumo wa mto wa sokotorima (angalia mto wa sokoto) ambazo zimefunikwa na udongo tajiri wa aina ya alluvial ukavu wa eneo kwa jumla hurusu mazao chache labda mtama huwa kwa wingi pamoja na mchele mahindi maharage na nafaka nyinginezo mbali na nyanya mboga chache hukua katika eneo kutopatikana kwa aina mbalimbali ya vyakula kumesababisha vyakula chache vilivyopikwa vya mtaa
maeneo ya serikali za mitaaedit
maeneo 23 ya serikali za mitaa ya sokoto ni
sokoto kaskazini
sokoto kusini
nigeria [map] collins bartholomew ltd 2005 published by spectrum books ltd
wwwfallingraincom directory of cities and towns sokoto state
majiranukta kwenye ramani 13°05′n 5°15′e / 13083°n 525°e / 13083 525
je unajua kitu kuhusu jimbo la sokoto kama historia yake biashara taasisi zilizopo watu au utamaduni
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=jimbo_la_sokoto&oldid=1109474
last edited on 17 aprili 2020 at 1350
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 17 aprili 2020 saa 1350 | 2020-07-14T01:27:59 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Sokoto |
burundi imodoka ya guverineri wa bubanza yagabweho igitero nabatazwi umuseke
burundi imodoka ya guverineri wa bubanza yagabweho igitero nabatazwi
afurika | yashyizwe ku rubuga na ange eric hatangimana kuwa 16/08/2017 saa 1232
ejo nijoro imodoka ya guverineri wa bubanza tharcisse niyongabo yagabweho igitero nabantu batazwi ahagana saa mbili ku muhanda (route nationale no5) bujumbura cibitoke
tharcisse niyongabo guverineri wa province ya bubanza
iki gitero cyabereye ku muhanda wa gatanu muri komine gihanga muri province ya bubanza mu burengerazuba bwigihugu
burugumesitiri wa komine gihanga léopold ndayisaba yavuze ko abantu bateye imodoka yari itwaye guverineri bahunze nyuma yo kurasana nabapolisi bashinzwe kumurinda
yavuze ko nta wakomeretse cyangwa ngo agwe muri icyo gitero
igitero cyabaye ubwo guverineri yari avuye mu nama yumutekano yaberaga i gihanga
izo ni ingegera
16/08/2017 at 656 pm
kuko umutegetsi wese agomba kubahwa kugeza avuyeho akaba yashyikirizwa inkiko niba hari ibyo aregwaariko kuva akiriho agombwa kubahwa
wowe makenga ibyuvuga ntubizi ubwo urinterahamwe yibera iburunditurabiziko muriyo muribenshi cyane ariko tuzabasangayo nkuko twabasanze congo | 2017-09-26T09:11:04 | http://umuseke.rw/burundi-imodoka-ya-guverineri-wa-bubanza-yagabweho-igitero-nabatazwi.html |
serikali ya marekani yalaani wikileaks | sunday shomari
home karibu serikali ya marekani yalaani wikileaks
serikali ya marekani yalaani wikileaks
by sundayshomari november 30 2010 0 172 share on facebook
tweet rais barack obama ana wakati mgumutovuti ya wikileaks imeanza kuchapisha maelfu kwa maelfu ya nyaraka za siri kati ya balozi za marekani kuhusu viongozi wakuu duniani na kuelezea mbinu za marekani za kidiplomasia zinazolenga afghanistan iran na korea kaskazini baadhi ya mawasiliano yaliyochapishwa ni yale ya mawasiliano kati ya mfalme abdullah wa saudi arabia na marekani pale alipopendekeza vikali kuwa iran ishambuliwe kijeshi
habari hiyo iliyochapishwa na vyombo mbali mbali vya habari hapa marekani ikiwa ni pamoja na new york timesle monde la ufaransaguardian la uingereza der spiegel la ujerumani na majarida mengine yameelezea utendaji kazi wa marekani katika diplomasia licha ya kuonekana na ulimwengu wakiwa wanapeana mikono na huku wakitabasamu na kupigwa picha lakini mwanzilishi wa tovuti ya wikileaks jullian assange anasema serikali ya marekani haitaki kuwajibishwa
serikali ya marekani imelaani vikali kitendo hicho na kusema kuwa kitendo hicho kinahatarisha maisha na mabalozi wakemtandao huo ulikuwa haupatikani jumapili na kusema kuwa ulikuwa umeshambuliwa na watu wasiojulikana
katika mambo yaliotajwa kuhusu viongozi wengine kama rais wa italia silvio berlusconi kuwa yeye ni kipaza sauti cha putin huko ulaya kansela wa ujerumani angela merkel kuwa anakwepa kuchukua majukumu mazito au ya hatari na hana ubunifu na kwa upande wa kiongozi wa afrika muamar gadaffi kila anaposafiri anasindikizwa na nesi mwenye uzito kiasi na mwenye nywele nzuri wa ukraine na wakati huo huo mjumbe mmoja wa baraza la congress la marekani kutoka new york peter king amependekeza kundi la wiki leaks litangazwe kuwa ni kundi la kigaidi lakini wachambuzi wa masuala ya kisiasa marekani wanasema hilo litakuwa ni suala gumu kisheria kulitekeleza kwani wao wamepata nyaraka kutoka kwa mtu mwingine
naye wakili wa juu wizara ya mambo wizara ya mambo ya nje ya marekani harold koh amesema alimwonya assange kwamba wikileaks itakuwa inavunja sheria ikichapisha habari hizo lakini assange akijibu kupitia kwa wakili wake amesema kuwa hana mpango wowote wa kusimamisha utoaji wa nakala hizo
a share thisclick to share on twitter (opens in new window)click to share on facebook (opens in new window)click to share on google+ (opens in new window)
tweet previous articlemuseveni ndani ya somalianext articleshughuli za lux lounge mwishoni mwa wiki sundayshomari related articlesmore from author
mahujaji waislamu kuvalishwa bangili za kielektroniki july 2 2016 wanawake washirikishwe zaidi katika mabadiliko ya tabianchi waziri ummy mwalimu march 15 2016 magazeti kilichomuua ndesamburo yeriko alivyokamatwa dar june 1 2017 mtoto wa uncle michuzi maggid mmichuzi alivyozikwa dsm may 22 2016 load more uchaguzi 2015
karibu jaji lubuva aahidi uchaguzi halali tanzania
karibu lowassa ndani ya shinyanga aahidi serikali ya maendeleo kwa watanzania wote | 2017-06-28T12:18:55 | http://sundayshomari.com/serikali-ya-marekani-yalaani-wikileaks/ |
mkuu wa chuo afunguka kuhusu mwanafunzi wa cbe kuanguka toka gorofani kijukuu cha bibi k | habari na matukio
uncategories mkuu wa chuo afunguka kuhusu mwanafunzi wa cbe kuanguka toka gorofani | 2018-12-17T12:41:23 | http://www.kijukuu.com/2018/03/mkuu-wa-chuo-afunguka-kuhusu-mwanafunzi.html |
vituo vya saratani bila wataalamu havitasaidia kupigana na maradhi hayo gavana nyong'o asema ▷ tukocoke
vituo vya saratani bila wataalamu havitasaidia kupigana na maradhi hayo gavana nyong'o asema
4 months ago 4990 views by shillah mwadosho
nyong'o alisema kwamba serikali inapaswa kufanya utafiti na kuwatafuta matabibu wenye utaalam wa juu
alitoa wito kwa serikali za kaunti kushirikiana na vyuo vikuu katika kufanya utafiti kuhusu maradhi hayo
alisema kwamba changamoto kuu katika kupambana na maradhi ya saratani ni kupata wataalam wanaofahamu kwa kina maradhi hayo
gavana wa kisumu anyang' nyong'o amesimulia safari yake katika kupambana na maradhi ya saratani akisema kwamba ni muhimu serikali ikizingatia katika kufanya utafiti zaidi na kuwaajiri wataalam kuliko kujenga hospitali tu
licha ya kuunga mkono hatua ya ujenzi wa vituo vya saratani kiongozi huyo alisema kwamba ipo haja ya kuzingatia kuwahamasisha umma kuhusu ugonjwa huo na vile vile kuwaajiri wataalam kukabiliana na janga hilo
habari nyingine mamake ken okoth angeline ajwang' kufanya tambiko baada ya mwili wa mwanawe
gavana anyang nyong'o akimkaribisha rais uhuru kenyatta eneo la fort tenan wakati wa mazishi ya joyce laboso picha state house/ facebook
akizungumza jumamosi agosti 3 wakati wa mazishi ya gavana wa bomet joyce laboso ambaye alifariki kutokana na saratani nyong'o alisema kwamba ipo haja ya serikali za kaunti kushirikiana na vyuo vikuu na vya kadri ili kufanya utafiti wa ndani
cha muhimu ni kuwaajiri watalaam wa aina mbali mbali za satarani nchi ambazo zimeendelea zimeekeza katika utafiti na uhamaisho
habari nyingine msiwaue mbu wanahitaji damu kuzaana mwanaharakati wa haki za wanyama asema
cha muhimu ni mafunzo na utafiti vyuo vikuu vinapaswa kushirikiana na serikali za kaunti ili kuwaajiri wataalam kujenga vituo vya saratani si suluhu pekee la muhimu ni kufanya kazi kwa pamoja ili kukabiliana na dhana zinazohusishwa na maradhi hayo nyong'o alidokeza
alifichua kwamba idadi kubwa ya wagonjwa ambao wametibiwa saratani na kusemekana kwamba wamepona huathirika tena baada ya muda na wakati mwingine hata kupoteza maisha huku akitoa mfano wa laboso
habari nyingine mbunge ndindi nyoro akanusha madai ya kuzindua masanduku ya nguo kwa miradi ya cdf
nyong'o aligunduliwa kuugua saratani ya kibofu julai 2010 wakati maradhi hayo yakiwa katika awamu ya pili
maradhi hayo yalidhibitiwa kwa kuanza matibabu ya moja kwa moja ili kuzuia kusambaa mwilini wakati akisubiri kufanyiwa matibabu zaidi marekani
uhuru kenyatta latest newsprof anyang nyong'o
mamake ken okoth angeline ajwang' kufanya tambiko baada ya mwili wa mwanawe kuchomwa | 2019-12-07T00:15:28 | https://kiswahili.tuko.co.ke/312061-vituo-vya-saratani-bila-wataalamu-havitasaidia-kupigana-na-maradhi-hayo-gavana-nyongo-asema.html |
serikali imesema mradi wa kutotolesha vifaranga vya samaki kwa ajili ya kukidhi soko nchini utaanza hivi karibuni ili kuchochea uchumi wa viwanda
mradi huo ni wa usimamizi wa uvuvi wa kanda ya kusini magharibi mwa bahari ya hindi (swiofish) utakaotekelezwa oktoba mwaka huu
hayo yalisemwa na katibu mkuu wa mifugo na uvuvi rashid tamatamah alipotembelea maonyesho ya sabasaba
mradi kama huu utasaidia kukuza sekta ya viwanda na uvuvi na kutoa elimu kwa wanafunzi ambao watapata fursa ya kujifunza kwa vitendo alisema tamatamah
alisema mchakato wa ujenzi wa mradi wa maabara ya vifaranga vya samaki kunduchi umeanza na watashirikiana na chuo kikuu cha dar es salaam na baada ya miezi mitatu ujenzi utaanza kwa kutumia teknolojia ya kisasa
kadhalika alisema katika maonyesho ya sabasaba ya mwaka huu watatoa elimu kwa wavuvi ya kuvua samaki wa kuliwa
wataka wbiashara kiwira kuondolewa maeneo ya hifadhi | 2020-08-10T21:40:46 | https://www.ippmedia.com/sw/biashara%20utotoleshaji%20vifaranga-samaki-kuanza |
umoja wa afrika yaisimamisha uanachama cote d′ivoire | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 10122010
umoja wa afrika yaisimamisha uanachama cote d'ivoire
umoja wa afrika umeisimamisha uanachama cote d'ivoire kufuatia mabishano yaliyozuka katika uchaguzi wa rais kwenye nchi hiyo ya afrika magharibi
rais anayemaliza muda wake laurent gbagbo ambaye bado anang'ang'ania madaraka
afisa mmoja wa umoja huo amesema cote d'ivoire itasimamishwa uanachama mpaka pale kiongozi wa upinzani alassane ouattara atakaposhika madaraka kutoka kwa mpinzani wake rais anayemaliza muda wake laurent gbagbo
kikosi cha umoja wa mataifa kikiimarisha ulinzi nchini humo
mpaka sasa bwana gbagbo bado anakataa kuachia madaraka licha ya matokeo rasmi ya uchaguzi na baraza la usalama la umoja wa mataifa kusema kwamba mpinzani wake ameshinda uchaguzi
viongozi wote hao laurent gbagbo na alassane ouattara kila mmoja anadai kushinda uchaguzi huo hali ambayo jumuia ya kimataifa imebidi kuingilia kati
kiungo https//pdwcom/p/quo5 | 2018-11-21T14:58:31 | https://www.dw.com/sw/umoja-wa-afrika-yaisimamisha-uanachama-cote-divoire/a-6314953 |
udondozi wa magazeti ya leo ya ujerumani | magazetini | dw | 04102006
udondozi wa magazeti ya leo ya ujerumani
wahariri wa magazeti ya ujerumani leo wamejihusisha na maadhimisho ya miaka 16 ya muungano wa ujerumani na mkutano wa leo wa chama cha spd na chama cha cdu csu kuhusu mabadiliko ya mfumo wa afya
kansela wa ujerumani bi angela merkel aliwahimiza wajerumani wajiandae kwa mabadiliko makubwa akizungumza mjini kiel wakati wa maadhimisho ya miaka 16 ya muungano wa ujerumani bi merkel amesema watu wasiulize mambo yasiyokwenda sawa bali waulize ni mambo gani yanayoendelea huu ndio uliokuwa msimamo wake kuhusu muungano kama mjerumani kutoka eneo la mashariki
mhariri wa gazeti la stuttgarter nachrichten anasema ujerumani imembadili bi merkel lakini pia ujerumani yenyewe imebadilika na kuna sababu nyingi za kujivunia mabadiliko mbalimbali katika jamii uchumi na siasa tangu siku za muungano
wajerumani wanawakilishwa na muungano unaokabiliwa na changamoto kubwa kubadilika kwa sera kunaonekana na wengi kuwa mbali kama ilivyokuwa hapo awali kansela merkel bado anajua vipi swala hili lisivyoridhisha
gazeti la ostsee zeitung la mjini rostock kuhusu mada hii limesema kansela merkel anayetokea mashariki mwa ujerumani amejaribu katika hotuba yake ya kibinafsi kutoa himizo kwa uwazi ameeleza umuhimu wa muungano halisi kuliko fedha zinazotolewa na serikali na majimbo ya magahribi kulijenga eneo la mashariki na miradi ya mabadiliko isiyo na faida ambayo ni nadra kuwekwa wazi kwa raia
ujerumani inahitaji mashikamano na lengo la pamoja litakaloweza kuibeba mizigo na matatizo yaliyopo na hatimaye kuyatatua
mhariri wa gazeti la handelsblatt anasema maadhimisho yana athari mbaya zinazokaribisha matamshi ya kijumla yasiyozingatia hali halisi na yasiyokuwa na maana kama vile ujerumani mashariki imefika wapi miaka 16 tangu muungano swali hili linalopendwa na wengi halina maana tena kwa kuwa mtazamo wa eneo la mashariki huzungumziwa tu wanaotoa hotuba lakini ukweli ni kwamba mengi yamebadilika
gazeti la mitteldeutsche linasema kimsingi kuna tatizo moja majimbo mapya ya ujerumani mpaka leo yanaweza kulipa gharama kati ya asilimia 40 na 50 kutumia kodi zao fedha nyengine hutoka kwa serikali na majimbo ya magharibi kuanzia mwaka wa 2009 mpango huu utaondolewa na jimbo ambalo halitakuwa limeweka sawa bajeti yake litakuwa na nafasi ndogo katika kila hali
mada ya pili inahusu mkutano wa leo kuhusu mivutano ya mabadiliko ya mfumo wa afya hapa ujerumani gazeti la frankfurterallgemeine limesema mkutano huo hauhusu makubaliano kati ya chama cha cdu na pendekezo lake la kiwango kitakachotozwa na chama cha spd kinachosisitiza bima ya raia
makubaliano haya hayatafikiwa viongozi wa vyama wanatakiwa kuweka wazi pendekezo lao kwa wanasiasa wanaohusika na maswala ya afya waweze kulielewa ambao wamelielewa kuwa lisilo na ufanisi wowote
kuhusu mkutano huo mhariri wa gazeti la volksstimme amesema hapana hakutakuwa na ufanisi mkubwa mzozo wa mabadiliko ya mfumo wa afya umedhihirisha udhaifu wa serikali ya muungano mjini berlin
tarehe 04102006
kiungo http//pdwcom/p/chum | 2017-08-16T13:42:44 | http://www.dw.com/sw/udondozi-wa-magazeti-ya-leo-ya-ujerumani/a-2927192 |
mv nyerere yainuliwa
waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano mhandisi isack kamwelwe ametoa idadi ya watu waliopoteza maisha na miili iliyopatikana leo ni mwili wa mtoto mmoja na kufanya idadi ya 228
bado tupo kwenye eneo la ajali ukara tukiendelea na uokoaji wa miili itakayopatikana ikiwa na chombo hiki kugeuza
japhet masele mtendaji mkuu mpya wa temesa amewasili na mpaka jana jioni tumeendelea kuangalia uwezekano wa kurejesha huduma katika eneo hili na tumepata injini inayoendelea kufungwa katika kivuko cha mv ukara na saa 11 jioni itaanza mazoezi tayari kwa kuanza kutoa huduma wakati tunasubiri huduma ya kudumu na wananchi kuweza kuendelea katika shighuli zao za kiuchumi mv ukara inauwezo wa kubeba watu 70
wadau mbalimbali wanaoendelea kutoa rambi rambi leo hii waliotoa ubani ni pamoja na tpa wametoa milioni 20 tpb benki wametoa milioni 5
michango kufikia saa 2 asubuhi milioni 764fedha iliyotumika 266 na fedha iliyobaki benki 498
mkuu wa jeshi la wananchi tanzania jenerali venance mabeyo amesema jitihada za kukiinua kivuko zimefanikiwa mchana huu mnamo saa saba na nusu na sasa hivi kipo wilma (upright) kwani mwanzo kilikua kimelala kifudifudikisha jana kikalala ubavu na leo tumefanikiwa kukiinua na kuwa wima kazi iliyobaki ni kuondoa maji kwenye kivuko ili kiweze kuelea moja kwa moja ili kivutwe na kurudi nchi kavu anapongeza vyombo vya ulinzi na usalama katika ngazi zote pia wenzetu waliotuunga mkono kampuni ya mv mkombozi kwa kuleta meli yao ggm wameongeza nguvu ya vifaa songoro marine na orioni 2 pamoja na wananchi | 2020-01-29T13:08:12 | http://mwanza.go.tz/index.php/new/mv-nyerere-yainuliwa |
dr ulimboka hali ya afya (updates) page 3
28th june 2012 2039
re dr ulimboka hali ya afya (updates)
mungu azidi kukupa nguvu dr ulimboka hakika kwa uwezo wake utapona
laana zote izisiku yaja zitaitesa pia serikari dhaifu na viongozi wake ge t well soon drulimboka
28th june 2012 2055
nimesikia kuwa kesho itabidi afanyiwe operation ya taya ambalo limeharibiwa vibaya nilichopenda ni kuwa ma dr wamechachamaa na wanafanya ulinzi wao wenyewe na hata askari waliotaka kuingia ndani ya chumba leo wakati dhaifu anakaribia kwenda wametolewa benzi huyu wamesema watamlinda wenyewe na hawataki hawa wajambazi walete sumu zao wala kumkaribia
safi sana hii na kaza buti wasomi nyie mpaka kieleweke vasko da gama safari hii lazima atolewe nishai na wajaza mabakuli
hapo umeniacha hoi
28th june 2012 2128
hapana nasikitika kusema mgonjwa wako wewe mpeleke india mpaka utakapojua kudai haki yako kwa vitendo ni wale tu waliojitolea kwaajili ya tanzania bora ijayo (wazalendo wa kweli) ndio wanatibiwa kwasasa mgomo uko pale pale
haya ndo uzalendo huo mm kabwela wa manzese mtanipeleka india mna ubaguzi na sio wazaendo kizazi chenu hebu ondokeni hapo muhimbili sio kwenu ni pa wazalendo na serikali
imeniuma sana mna upendeleo km hivyo vifaa vyenu kwanini msisignoff
pole dr ulli ipo siku utaujua ukweli kwani mungu nuu mkubwa
mungu ni mkubwa atamsimamia
tuanzishe mchango wa pesa kwa ajili ya kusaidia gharama za matibabu yake na gharama za ulinzi juu yake
i have read a lot of comments from my fellow citizens on the unfortunate incident that occurred to dr ulimboka my fellow citizens kindly be aware that tanzania as of now is a very dangerous place imagine a life without a doctor to attend you what does it mean for a pregnant woman who know her doctor won't be there when her water broke tonight what does it mean for a driver who drives boda boda a family traveling from one place to another within the country in their car you and me who will be commuting tomorrow to work god help us we have been lead by our very weak minded leaders to this point of danger
atapona tu wameumbuka
mungu amsaidie haraka akipona pia tutajua zaidi kuhusu hao wauaji wanaojipa uiziraili
attachment 57651
mungu kawaumbua kwa mwankyembe now kwa ulimboka sasa ngoja awe fit aongee yote
28th june 2012 2228
dah ingawaje sipendi mgomo lakini kwa kweli umeumia sana sipati picha maumivu uliyoyapata ni makali nachelea kusema walidhamiria get well soon dr
mbona kaumuka jaman kama amekunywa amira
mungu atamsaidia atapona kwa neema zakeget well soon
28th june 2012 2302
watu wanaopata taaluma zao bila kuzihangaikia hawajui umuhimu wa taaluma zinazopatikana kwa kuhangaika taaluma za tiba (pamoja jamii yake) uhandisi (pamoja jamii yake) sheria na uhasibu (pamoja jamii yake) zinahitaji hesima kubwa sana kuliko taaluma ya siasa inayotikana kirahisi rahisi tu
28th june 2012 2314
posts 39212 rep power
likes received9600
aaah kichuguusiasa nayo ni taaluma
28th june 2012 2318
kila la kheri ulimboka
28th june 2012 2320
pole sana kamanda aluta kontinua
aisee kumbe hawa vijana wa kova hawana huruma aisee jamaa wamtesa sana aisee lilaaniwe jeshi zima la polisi waendelee kupewa bajeti ndogo na bunge hasa katika makazi na mishahara ili waendelee kukaa ktk nyuma za kuku
vijana waliotumwa kufanya hiyo kazi ni 'wapambanaji' walikataa amri ya kumuua basi kwa kujiokoa wakaacha wamemuumiza tu wangetaka kumuua wasingeshindwa kwa maoni yangu watafutwe na kupewa pongezi kama mashujaa wamekataa amri za kidhalimu just thinking aloud
28th june 2012 2327
upone haraka dr uli
hilo la mgaya kuripoti ilo ni la muhim na lifanywe haraka tupate feedback tumeshachoka manyanyaso haya sie watumishi
28th june 2012 2353
mwenyenzi mungu mwenye mamlaka mbinguni na dunianifanya mwujiza na huyu ndg yetu anyanyuke na kushuhudia kwa kinywa chake alichotendewa na hw majambazi wa serikali tawala dhaifu
nina imani mungu mwenye uweza wa yote atatenda mwujiza
get well soon dr and god bless you
28th june 2012 2354
a few days ago doctors' strike appeared like losing wide public support and was apparently starting to be viewed with disfavour by most people however in the past 24 hours people have shifted their focus from the strike itself to the possibly government crackdown on freedom of speech while this happens the fate of millions of hapless patients across the country remains totally in the balance | 2013-05-22T09:01:22 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/284627-dr-ulimboka-hali-ya-afya-updates-3.html |
kuna wana jf kigali | jamiiforums | the home of great thinkers
kuna wana jf kigali
discussion in 'jf chitchat' started by rakeyescarl jan 5 2012
wakuu naomba msaada kama kuna mwana jf kigalirwanda anisaidie nitampaje natarajia kuwa hapo mjini in 2 days kupumzika akama anaweza kunipitisha mitaa ya hapo gharama juu yangu au anijuze sehemu nzuri na za hatari
namahoro
amaghambho mubhukhe
lol kaazi kweli nakushauri ukifika hotelini waambie reception desk wakupe tourist information mostly utakuta stall ina leaflets mbalimbali otherwise wanaweza wakakutafutia tour guide na a reliable transport provider enjoy
dukwiye gushimaimbabazi za imana
lol kaazi kweli nakushauri ukifika hotelini waambie reception desk wakupe tourist information mostly utakuta stall ina leaflets mbalimbali otherwise wanaweza wakakutafutia tour guide na a reliable transport provider enjoyclick to expand
uko sawa mno kinyume na hapo utaingizwa mjini
dunia ya sasa unamwamini nani hivyo ushauri wa king'asti ni salama zaidi vinginevyo wala sikushauri
mkuu mpm mtu chake ni borntown hapo kigali mtafute kwa pm atakujibu sasa hivi mia
yaani ile sredi ya jana bado iko so live kichwani
ila jaribu
uko sawa mno kinyume na hapo utaingizwa mjiniclick to expand
au labda yeye ndie anatafuta wa kumwingiza mjini chezeiya mtandao weye
dukwiye gushimaimbabazi za imanaclick to expand
mkuu asante kwa kunikumbusha nyimbo ya wale jamaa kwetu pazuri hahahaaaa mia
au labda yeye ndie anatafuta wa kumwingiza mjini chezeiya mtandao weyeclick to expand
yaweza kuwa ila aangalie watu wako makini zaidi ya rada ya jk
mkuu mpm mtu chake ni borntown hapo kigali mtafute kwa pm atakujibu sasa hivi miaclick to expand
hahahahahahahaacjari yeye tuila kwa sasa niko kivu mara moja
ila sehemu nzuri kigali yote nzuri na hakuna uhuniulinzi ni wakutosha
sehemu za kutembelea ni zote ila zile club kama mtu wa kujirusha unaweza kwenda 1kbckigali bussines center
2 cardilac
3 alpha palace hotel vip
mkuu kote huko uhakikawe umefikia wapi
pia unaweza kwenda kuchek game za mpira wa miguu pale amahoro au nyamirambo | 2016-12-02T18:44:25 | http://www.jamiiforums.com/threads/kuna-wana-jf-kigali.209292/ |
wabunge rift valley wamtaka ruto aache kuwa kigeugeu taifa leo
wabunge rift valley wamtaka ruto aache kuwa kigeugeu
na onyango konyango
wandani wa naibu rais william ruto katika ngome yake ya kisiasa ya rift valley wanataka atangaze msimamo wake halisi kuhusu mwafaka wa rais uhuru kenyatta na kiongozi wa chama cha odm raila odinga
wabunge hao wanataka pia bw ruto aeleze wazi msimamo wake kuhusu mapendekezo ya kurekebisha katiba
wakizungumza jumapili walisema hali ya bw ruto kutokuwa na msimamo kuhusu masuala hayo inaweza kuathiri umaarufu wake anapojiandaa kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika 2022
naibu rais anafaa sasa awe na msimamo thabiti kuhusu handsheki na mabadiliko ya katiba kwa sababu haya ni masuala ambayo wakenya wanafuatilia kwa makini
akiendelea kuwa kigeugeu kuhusu masuala haya mawili ataweka azimio lake la kisiasa hatarini akasema mbunge wa cherangany bw joshua kutuny kwenye majohiano na taifa leo
walizungumza siku moja tu baada ya bw ruto kusema yuko tayari kushirikiana na bw odinga ambaye ni hasimu wake wa kisiasa kwenye uchaguzi wa 2022
wiki chache zilizopita alibadili msimamo wake kuhusu marekebisho ya katiba ambayo alikuwa awali anapinga vikali kwa kudai kuwa ni njama ya bw odinga na wandani wake kutafuta njia ya kuingia serikalini kupitia mlango wa nyuma
mbunge wa nandi hills bw alfred keter alimwambia naibu rais kwamba msimamo wake kuhusu mambo hayo mawili utaamua kama atashinda urais au la
naibu rais na wafuasi wake wanafaa wawe na msimamo mabadiliko ya katiba yatahakikisha kuna usimamizi bora wa serikali na kuzuia ufisadi akasema bw keter
hata hivyo wandani wake wengine walimtetea na kusema msimamo wa bw ruto unajulikana wazi na unafaa kuheshimiwa na kila mmoja
seneta wa nandi bw samson cherargei na mbunge wa soy bw caleb kositany walisema naibu rais tayari ameonyesha nia njema kuhusu handsheki na juhudi za kupambana na ufisadi
wawili hao walisema safari ya bw ruto kuelekea ikulu haiwezi kuzuiliwa kwa sababu chama cha jubilee tayari kiliamua yeye ndiye atapeperusha bendera ya chama hicho ifikapo 2022
2022 kutuny
wania urais 2022 mawaziri wa zamani wamshauri gideon moi
odongo tuangazie utendakazi wa raila ruto kuliko asili yao
2022 puuzeni porojo kuwa ninashirikiana na ruto kalonzo
wandani wa raila wamuomba uhuru azime ziara za ruto
ruto atanipigia magoti kutuny
jamvi ni kushuka mchongoma kwa kalonzo kuingia ikuluu 2022 bila raila
ufunguo wa ikulu 2022 unashikiliwa na uhuru na raila kamket
bi taifa (302) dondoo (279) habari kuu (2139) habari mseto (5449) kimataifa (737) makala (3535) mashairi (20) michezo (2539) siasa (1966) video (37) | 2020-05-28T08:48:45 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=13131 |
shule mpya #learningforlife katika karne ya 21 mwandishi wa eu mwandishi wa eu
shule mpya #learningforlife katika karne ya 21
colin stevens | juni 22 2017 | 0 maoni
baada ya kupiga kura kwa brexit uchaguzi wa donald trump kwenye kiti cha juu katika siasa za amerika na uenezi mkubwa wa siasa za watu wengi nchini ulaya na marekani magharibi inaonekana kuwa yamewasilishwa kwa wito masuala ya ukosefu wa ajira ukosefu wa ajira na matatizo ya darasa la kufanya kazi bado licha ya maonyesho hayajafanywa katika karne ya 21 uharibifu wa wataalam katika kifupi na ukosefu wa ajira wa vijana unaendelea kuwa na uhaba mkubwa katika mifumo ya elimu katika ulimwengu wa magharibi na kama vile mabadiliko kutoka kwa analog hadi digital kutoka kuchapishwa hadi kwenye mtandao rethink kina ya elimu ya vizazi vijavyo vya viongozi imekuwa ya wasiwasi mkubwa kwa watunga sera duniani kote
utafiti wa ulaya kote umefunua jinsi kutokuwepo kwa usawa wa jamii kuwa kote bara msingi wa bertelsmann foundation kujifunza ambayo ilifuatiwa juu ya wataalam wa 1000 mwaka huu alihitimisha kwamba mageuzi yaliyofanyika ili kuondoa usawa wa kijamii imeshindwa kuwa na athari ya taka zaidi ya hayo nchi nyingi za wanachama wa eu ikiwa ni pamoja na ujerumani sasa zimeonyeshwa kuwa imetumika chini ya 50 ya marekebisho yaliyojulikana katika maeneo muhimu ikiwa ni pamoja na umasikini elimu ajira ushirikiano wa kijamii na usio ubaguzi ya oecd huonyesha picha mbaya sana ambapo moja ya tano ya wanafunzi wana hakuwa na ujuzi kushiriki katika jamii ya leo kama fedha za umma zinapungua mzigo wa kutoa fedha za elimu ya juu inazidi kuhama kutoka kwa serikali kwenda kwa watu binafsi kushotoka hali hii inaonyesha kuongezeka kwa viwango kwa muda mrefu #educationinfocus mkutano mwenyeji katika ofisi ya umoja wa mataifa huko geneva kati ya 2023 juni utajaribu kushughulikia masuala hayo
chaguo moja inapatikana kwa watunga sera itakuwa kurekebisha shule za matofali na chokaa kabisa na kukubali kizazi kipya cha shule za smart a hivi karibuni utafiti ilipata msaada wa misingi ya miongoni mwa viongozi wa it kwa kutumia vifaa vya internet (iot) kama njia ya kubadilisha vyuo vikuu katika mazingira maingiliano ya kujifunza kuchukua nafasi ya daftari za jadi na penseli na nguo sensorer na taa za smart australia ongezeko la kutosha kwa matumizi ya serikali juu ya elimu zaidi ya miaka kumi imekidhiwa na utendaji unaoendelea katika ujuzi wa kusoma na kuandika kote ulimwenguni kwa kujibu mipango ya shule ni kufanya mbali pamoja na kujifunza kwa dawati badala ya nafasi za kujifunza nje na msisitizo juu ya vidonge na programu za kompyuta kama zana mpya za biashara
a mpango sawa imebadilika nchini urusi ambako shule ya $ 58 ya smart school huko irkutsk inahidi upya wa uhusiano kati ya wanafunzi na jamii zao kwa kutumia usanifu kama chombo cha elimu shule ambayo itafunguliwa katika 2019 iliundwa na studio ya kifahari ya usanifu wa denmark ya cebra na inahusisha pete ya majengo ya kushikamana na mikeka ya juu na meadow 'ya katikati' kipengele muhimu ni kwamba kwa mara ya kwanza milele tata moja ya elimu kwa familia za uzazi itajengwa
kama mark sartan mkurugenzi mkuu wa mradi huo aliiambia tovuti hii mradi wa irkutsk ni mfano wa elimu ukuaji na jamii ya watoto wenye fursa za mwanzo tofauti ambazo zinaweza kutekelezwa kwa urahisi katika nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea shule ya smart iko chini ya upeo wa ajenda ya umoja wa mataifa kwa maendeleo endelevu na sartan anaongeza inafungua upya malengo muhimu ya elimu inayozingatia jukumu la kujitegemea ulimwengu na vizazi vijavyo
lakini muhimu zaidi shule ya smart inazingatia jukumu kubwa kwa wazazi na walimu kupanga njia za elimu ya kila mtu bora zaidi kwa wanafunzi kazi ya mafunzo itakuwa sawa na maelezo yao binafsi na tabia za kisaikolojia na kuruhusu kufanya vizuri finland maarufu sana kwa ubora wa elimu yake ya hali na mara kwa mara juu ya meza ya kimataifa ya ligi ni nchi nyingine ambayo imekuwa inazingatia mawazo haya kupunguza elimu katika umri wa digital shule sasa hujenga ujuzi ndani ya makondoni badala ya kujifunza kwa msingi kwa namna ya mafundisho iliyoelezwa kama kujifunza kwa msingi (pbl) agosti 2016 ikawa lazima kwa kila shule ya finnish kufundisha kwa kushirikiana katika mazoezi hii ina maana kwamba wanafunzi huchagua mada husika kwao na masomo yanarekebishwa kwa mtiririko huo
kwa hiyo ni ufanisi gani wa kubadilisha hesabu na sarufi na masomo katika kutambua habari bandia kufunga programu ya kupambana na virusi na uchapishaji wa 3d wakosoaji wa mfumo mpya wa kifini wanaogopa kwamba pbl ni kushindwa kutoa wanafunzi wenye msingi wa kutosha wa kujifunza masomo katika ngazi ya juu kwa kawaida walimu wengine wanaelezea kupanua pengo kati ya wanafunzi wengi na wasio na uwezo na pbl haiwezi kufanya kazi kwa wanafunzi ambao wanahitaji mwongozo zaidi wengine wanaelezea ongezeko la mzigo wa kazi ya walimu akisema kuwa kutokana na kiwango cha elimu cha juu cha finland na ukubwa mdogo wa darasa pbl inawakilisha jaribio la kuimarisha gurudumu la (3d)
chaguo jingine linaweza kugeuka kuzingatia elimu ya kweli na kuhamasisha ukuaji wa kozi kubwa za wazi mtandaoni (moocs) imekuwa zaidi ya miaka minne tangu harvard na mit ilizindua jukwaa la kujifunza lisilo la faida na matokeo wamekuwa wakihimiza ushirikishaji wa ushirikiano umeongezeka kwa kasi na washiriki kutoka kwa asili mbalimbali wanafuatilia wingi wa masomo sayansi ya teknolojia inabakia somo maarufu sana la kuchagua kuwahamasisha wanafunzi kwenye maeneo mengine ya nidhamu njiani
chochote suluhisho ni kuwa wazi kwa innovation katika mbinu za elimu inawakilisha hatua muhimu ya kwanza the mbinu ya kutarajia ya mapinduzi ya nne ya viwanda yamepangwa na ufahamu mkubwa wa athari za kisiasa na kijamii wakati uhaba wa kijamii hauachwa bila kujishughulisha na ikiwa nguvu ya kisiasa inafanana na uwezo wa teknolojia ya kisasa kuna matumaini bado kwa kizazi kijacho cha wanafunzi
tags eu tume ya ulaya umoja wa ulaya featured fullpicha dunia
jamii frontpage apprenticeships elimu eu ujuzi na utoshelezaji vyuo vikuu ajira kwa vijana
« eu inatangaza € milioni 85 kama #uganda inakabiliwa na kasi ya kasi ya dunia #refugeecrisis
tiba ya #braindisorders haipatikani sana katika nchi nyingi za wanachama » | 2019-10-21T22:38:19 | https://sw.eureporter.co/education/2017/06/22/new-schools-learning-for-life-in-the-21st-century/ |
hizi hapa habari zote za magazeti leo mwanachuo forum
april 20 2020 mwanachuo 0 comments
← champion jumatatu mo aanza kufuru simba kisa mabilioni ya gsm
watu 8 watiwa mbaloni kwa kutengeneza msiba feki →
april 20 2020 april 20 2020 mwanachuo 0 | 2020-06-06T02:21:19 | https://mwanachuo.com/hizi-hapa-habari-zote-za-magazeti-leo/ |
> pwani kujenga viwanda vitatu vya madawa na baadhi ya vifaa tiba msumba news blog
home matukio pwani kujenga viwanda vitatu vya madawa na baadhi ya vifaa tiba
pwani kujenga viwanda vitatu vya madawa na baadhi ya vifaa tiba
serikali mkoani pwani imeitikia wito wa serikali ya awamu ya tano ya kujenga viwanda vya madawa na baadhi ya vifaa tiba ambapo inatarajia kuwa na viwanda hivyo vitatu hali itakayoondoa adha ya kuagiza madawa nje ya nchi
aidha imekemea tabia inayofanywa na baadhi ya wawekezaji ya kutoa ajira kwa watu kutoka nje ya nchi na kuwabania fursa hiyo wanapwani ama watanzania
akielezea masuala ya uwekezaji na ajira wakati wa ziara yake ya kutembelea viwanda mjini kibaha mkuu wa mkoa wa pwanimhandisi evarist ndikilo alisema viwanda vya madawa vitawezesha kuokoa mamilioni ya fedha yaliyokuwa yakitumika kununulia madawa nchi jirani na nje
alieleza viwanda vitatu vinajengwa mkoani pwani ikiwemo kairuki pharmaceuticals industry ltd zinga pharmaceuticals ambacho kitajengwa kwa ubia na waislael na kipo mbioni kuanza kujengwa na bahari pharmaceuticals
tunaikitia wito wa rais dkjohn magufuli lakini pia tangu kipindi cha nyuma tumejipanga kujenga viwanda hivyo kupitia ziara hii tunawathibitishia wananchi tunaunga mkono kauli ya serikali yetualifafanua ndikilo
pamoja na hayo mkuu huyo wa mkoa alieleza zipo fursa mbalimbali za uwekezaji lakini vijana na wazawa wanashindwa kukimbilia fursa hizo
ndikilo alisema wazazi na vijana bado hawajatambua kujipanga kukuza elimu na ujuzi wao kwa ajili ya kujipatia ajira kirahisi
alitoa rai kwa wawekezaji kuacha kuwanyima ajira wazawa na watanzania ambao wanaujuzi na sifa za kufanya kazi
haiwezekani tunajenga viwanda vingi lakini vijana watanzania na wanapwani hawanufaiki na ajira zinazopatikanahaikubalikialisisitiza ndikilo
sidhani kama pwani ama tanzania nzima haina wenye sifa na ujuzihivyo aliwataka wawekezaji hao watoe kipaombele kwa watanzania wenye uwezo
ndikilo alisema amepokea taarifa uwekezaji wa standard gauge eneo la soga hawatoi ajira hata ya udereva jambo ambalo analichunguza na atakapopata uhakika watachukua hatua zinazostahili
aliwataka kununua vifaa vya ujenzi kama nondo ndani ya nchi kwani taarifa waliyompatia kwenye ujenzi wa kairuki pharmaceuticals industry ltd kuwa wananunua nondo huko uturuki
alisema kipo kiwanda cha kiluwa ambacho kinatengeneza nondo zenye ubora hivyo wanunue katika viwanda vya ndani ya nchi
nae mkurugenzi mtaalamu wa kairuki pharmaceuticals engvalency assenga alisema ujenzi wa mradi huo ulianza machi 10 mwaka huu na mkandarasi ni petra construction ltd ltd na unatarajiwa kumalizika novemba 2018
alielezea kazi zote zinaendelea kwani zipo hatua ya awali ya ujenzi na mpaka kukamilika ujenzi wa awamu ya kwanza kiwanda hicho kitagharimu bilioni 39 #
eng assenga alitaja changamoto kuwa ni miundombinu ya barabaramradi kusuasua kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na ucheleweshwaji wa uunganishwaji wa umeme
mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo jennifer omolo akizungumzia suala la mipango miji alisema wameanza zoezi la kupima mji muda mrefu na wanaendelea na zoezi hilo
omolo aliwataka watu waache kujenga na kufanya biashara kiholela bila kupangwa na kuwashauri waone watalaamu wa mipango miji ofisi ya mkurugenzi ili kupewa maelekezo ya kupata vibali | 2019-03-26T07:09:26 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/04/pwani-kujenga-viwanda-vitatu-vya-madawa.html |
sayansi na teknolojia tatoo inayoweza kutumia simu yako asili yetu tanzania
home news sayansi na teknolojia sayansi na teknolojia tatoo inayoweza kutumia simu yako
sayansi na teknolojia tatoo inayoweza kutumia simu yako
by asili yetu tanzania tuesday august 16 2016
tattoo hizi zinaweza kutuma na kupokea taarifa kuunganisha wireless na smartphone kupitita nfc ambayo ni aina ya teknolojia inayotumika kwa ajili ya malipo kwa njia ya simu aidha inatumia betri inayoitwa lithium polymer
tupia macho video hii hapo chini
sayansi na teknolojia tatoo inayoweza kutumia simu yako reviewed by asili yetu tanzania on tuesday august 16 2016 rating 5 | 2018-03-20T05:39:58 | http://victormachota.blogspot.com/2016/08/sayansi-na-teknolojia-tatoo-inayoweza.html |
kocha roberto mancini wa manchester city asaini mkataba mpya
differentsourcestz latest news anime arts hadi kombe kuu kwanza mark hughes occupywallstreet politics roberto mancini sasa soccer sports taji tangu timu travel vacation leave a comment
roberto mancini kocha wa sasa wa timu ya manchester city alichukua nafasi ya mark hughes kama kocha desemba mwaka 2009ambapo anasifika kwa kuiongoza timu hiyo hadi kutwaa kombe la fa mwaka 2011
mwaka mmoja baada ya hapo city ilitwaa taji lake la kwanza la ligi kuu tangu mwaka 1968mancini amesain mkataba mpya wa kuendelea kufunda timu hiyo hadi mwaka wa 2017
baada ya diamond diva kumshirikisha kabayser na ommy dimpoz
differentsourcestz latest news big cats celebrities charity event diva entertainment fashion gaming jamani jina mambo muziki ndo next level nina piga safari sasa style travel vacation video ya leave a comment
baada ya mtangazaji wa radio na msanii wa muziki loveness aka diva kuachia wimbo piga simu aliomshirikisha diamond safari yake ya muziki haina dalili ya kusimama hivi karibuni kwakuwa ana mipango mikubwa na kufanya ngoma na big cats in the game
whatchu all think remix coming featuring ommy dimpoz na ndio video tutatoa sasa with the boysommy dimpoz and diamond all we need is something good not only a video but diva kinda video next level kabisa the moment ntarelease remix and the video will continue sasa aliandika kwenye blog yake
second song itakuja featuring mr blue na ntaitoa after diva giving for charity event and namtafuta blue for that muda si mrefu sana he is the perfect feature for my second song ana fit as in my verses are ready and the beat omg fishcrab again as u know
katika hatua nyingine baada ya kuongezeka kwa maswali mengi juu ya nani aliyemwimbia kwenye piga simu mwezi uliopita na kuandikwa vibaya aliamua kufunguka na kutoa ufafanuzi
sijataja mtu jina and are you sure huyo unaemuhisi au unayemtaja natoka nae maana nilivyosema sina boyfriend for years mlisema diva msagaji diva this diva that nasema nina boyfriend nimemuimbia nyimbo mnaanza sasa kunitajia list ndefu you guys got time i swearyou all dont know a bit about me aliandika
acheni kuzusha mambo ya ajabu na kusambazamaana asilimia ya mambo ninayoandikwa na kuongelewa thats so not me nijueni basi kidogo ndo mnizungumzie
aliendelea kuandika tupeane break sasa mjueni mungu a bit maana its too much sasa next thing whatdiva freemason labda maana ndio zenu hizi mpya while am a very good christian and church is the right thing for me every sundays serious what next jamani what next da maana nimechoka sana sana
sourcebongoflavortz
alpha kuwa shutumu kampuni ya east africa breweries limited (eabl)
differentsourcestz latest news ahadi anime arts barua breweries east africa gaming gani haki hata hii hilo illustration jaji kaka kama kazi kimani naomba sasa sina tpf travel tusker project fame vacation yeye 1 comment
wiki hii mshindi wa tusker project fame msimu wa tatu alpha rwirangira wa nchini rwanda ameandika barua ndefu kuishutumu kampuni ya east africa breweries limited eabl kuwa imeshindwa kuwaunga mkono washindi waliopita baada ya show
barua yenyewe iliandikwa hivi
naandika barua hii nikiwa na uchungu mkubwa moyoni mashabiki wangu wapendwa inauma sana kwanza naishukuru eabl kwa kunitambulisha kwenye midani ya muziki lakini niruhusuni tena niseme kukatishwa kwangu tamaa
eabl inaingiza hela nyingi sana kutokana na washiriki hawa lakini bado haitaki kuwaunga mkono na kuwajali baada ya show ningependa kuwapa mfano wa victoria kimani kama angekuwa mkweli na kuwaambia yote aliyoyapitia baada ya kushinda tpf1 ni aibu sana kama eabl ingekuwepo kwaajili yake ninaamini kimani angekuwa mbali sana na kipaji chake
mwangalie ester ni aibu jinsi watu wengi wasivyojua kuhusu yeye na bado hawamjui mwimbaji huyu mwenye kipaji natamani angesimulia story yake kutokana na njia aliyoipitia baada ya tpf2 ni aibu kubwa
sasa kuhusu mimi ni story ile ile naomba radhi kwa kusema hilo hata hivyo sina cha kupoteza lakini eabl hili ni kubwa mnahitaji kuwasaidia wasanii wenu msiwaache wakirandaranda kama kondoo waliopotea
mnachofikiria ni kuhusu ninyi wenyewe inauma sana nakumbuka niliandaa show nyumbani rwanda ambako nilileta baadhi ya wahusika wa tpf akiwemo jaji ian na niliwaomba eabl wadhamini show yangu wakapuuzia baada ya kuwaonesha ni kiasi gani ninajituma angalau kuwa mbunifu na kufanya nao kazi
ni aibu kwamba nilidhaminiwa na makampuni mengine na eabl haikuwepo licha ya kuwa niliwafuata kuwaomba udhamini kama makampuni yote haya mengine waliendelea kunipa ahadi mpaka dakika ya mwisho ni aibu na inauma
na sasa mwangalie kaka yangu davis mpaka sasa hivi anahangaika na record deal eabl sijui kinachoendelea kwenye mkataba wake kwakuwa hakuna kilichofanyika hadi sasa na tpf 5 inaendelea unadhani watu hawa wanawatendea haki wasanii ninashangaa kwanini wanaendelea na tpf5 kama watakuja kufanya sawa na walivyotufanyia sisi sote sio haki
tafadhali watu msinielewe vibaya lakini watu huwapigia kura wasanii wawapendao na wanapenda kuwaona wakikua na wasipoona kile walichotarajia huwalaumu wasanii tafadhali naomba mniruhusu kuwaonesha akina nani wanaopaswa kulaumiwa
inauma sana nimeviweka vitu moyoni mwangu lakini umefika muda niviseme kwakuwa sina cha kupoteza lakini walau wacha niongee na wadogo zangu ili wasije kukutana na tatizo lile lile tafadhali mashabiki wetu tunaomba maoni yenu kuhusu suala hili
kwanza kabisa tungependa kukubaliana na madai yake hayo dhidi ya waandaji wa tusker project fame kwakuwa wanawajibika kuhakikisha kuwa washindi waliopatikana wanapewa uwezo wa kuja kupambana na wasanii wengine waliotoka kwa njia ya kawaida
barua ya alpha imetukumbusha makala tuliyowahi kuiandika hapa bongo5 kuhusiana na jinsi mashindano mengine kama hayo ya hapa tanzania bongo star search yanavyotoa washindi wasioweza kumudu ushindani wa muziki barua hiyo ikatuamsha kuwa kumbe pamoja na mbwembwe zote hizo za tpf hawachekani na bss wote wale wale hutoa washindi vibogoyo wasioweza kumudu soko la muziki baada ya kutoka huko
aliyoyasema alpha kuhusiana na ukimya wa washindi wote wa awali wa mashindano hayo ni kweli ukianza na victoria kamani leo hii ukiwauliza watanzania mia moja tena wale wapenzi wa muziki huenda mmoja tu ndo anaweza kuwa anamfahamu
kwanini hafahamiki well sababu ya alpha ni kuwa eabl imeshindwa kumsupport swali kwa alpha ni kuwa mbona kuna vijana wanafanya muziki katika mazingira magumu kabisa lakini wanafanikiwa wapo waliotoka bila msaada wa maana kutoka kwa mtu ama kampuni wapo waliotoka mikoani na shilingi laki mbili tu za kurekodia wimbo na kulala kwa washkaji zao dar es salaam lakini leo ni masupasta hata kama hawana kipato kikubwa kivile kama mtu huyu anavyosema kumjibu alpha kaka well use the example of your cousin ay he hustled his way out through the industry and got to make it big eabl gave you a shortcut to being there in two months and gave you a big fund that most east african artists could hardly make in their early stages of music career
they prepare you enough for the competition out here i believe what you got to do now is simply focus ahead and not drain your energy blaming boss wa jana instead muonyeshe uwezo wako by opening kampuni yako leo so wewe kamua huko ca upae zaidi
kwanini hawa akina alpha ambao kwanza hupewa airtime kila weekend wakati wa mashindano hayo kwa kuonekana live wakiimba kwenye tv lakini wakipata ushindi na kupewa kitita cha mamilioni ya shilingi hushindwa kufanya lolote
alpha alipewa zawadi pamoja na mambo mengine shilingi milioni tano za kenya ambazo ni zaidi ya shilingi milioni tisini za tanzania hela zote hizo na bado anataka eabl waendelea kumshika mkono
please alpha dont mislead the people they did what they were supposed to do and it is puting you and your colleagues in the limelight now its up to you and no one else and for the sponsoring a show part thats very different and the have all the rights to accept or decline dont mislead us pleasealiandika mtu mmoja chini ya barua hiyo ya alpha aliyoiandika kwenye ukurasa wake wa facebook
mwingine aliongeza tusker project fame is a launchpad they promise the winner 5million which they give they dont promise to offer any other support like sponsoring events there are so many people who need that exposure they gave you its the artist duty to work hard after tpf eabl is not a musician nurturing companyif an artist doesnt work hard after tpf they cant breast feed them
akiwa na milioni tisini alikuwa na uwezo wa kurekodi wimbo sehemu yoyote anayotaka na kufanya video nzuri ama hela zimeshaisha na sasa anataka eabl wamwongezee zingine huo utakuwa ni mchezo wa pwagu na pwaguzi wa kusindikizana siku nzima
labda cha maana sana ambacho eabl na tpf wanapaswa kufanya sasa hivi ni kuwajengea washiriki uwezo wa kujitegemea na kusimama wenyewe watokapo kwenye mashindano hayo kamwe hawawezi kufanikiwa kama wasanii wenyewe watakuwa wakitegemea walishwe kila kitu
leo hii washindi waliopita wakiwemo esther na davis wa uganda ni kama wanatakiwa waanze tena upya kama underground watu wamewasahau jambo linalotushangaza ni kuwa mbona wakati wakiimba kwenye mashindano hayo walionesha vipaji vya hali ya juu kuzidi hata wasanii wengi wakubwa waliofanikiwa
wanapokuja huku nje nini hutokea ama ni ngumu sana kwa msanii aliyeshiriki mashindano ya vipaji kukubalika kwenye mainstream music majibu ya maswali haya ni magumu mno kuyapata
ushauri kwa alpha na washindi wengine wa tpf ni kuwa wakubali sasa hivi wapo wenyewe na wanatakiwa kuhangaika kivyaomuda wa kulishwa na wao kumeza tu ulishaisha tangu washinde wajifunge kibwebwe hasa kupambana na wasanii wengine waliotoka kawaida
bila hivyo wataendelea kulalamika maisha yao yote endelea kusonga mbele kama ulivyowahi kuimba and be man the strongest man in the world is the man who stands alone
mapenzi ndani ya big brother yajenga uadui mkali kati ya kenya na nigeria
differentsourcestz latest news africans big brother africa cowards dey gaming insecurity jumba katika knw kutoka murmur naija movies nigerians sambo sasa sisi travel tunde vacation vya wale wananchi wif leave a comment
jana wapenzi katika jumba la big brother africa prezzo na goldie wamezinguana tena baada ya prezzo kumwambia goldie you are a quitter you are a runner run away like you always do pia alimwambia kuwa hakukuwa na haja goldie kumwokoa na eviction
ugomvi huo wa prezzo kutoka kenya na goldie kutoka nigeria umenunuliwa na wananchi wa kenya na wale wa nigeria vita vya maneno na matusi vimetawala ukurasa maalumu wa big brother africa wenye fans 859622 mpaka sasa
wakenya na wanaijeria wamejikuta katika vita nzito ya maneno kiasi cha kuhatarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili
kenya i dont remember u winning bb by the look of things u r not going to win not anytime soon sit ur asses down for a minute and watch the game always insulting thats what u knw best last time u were busy with sa now is nigeria aliandika nonhlanhla sambo
grace wanjiku wa kenya aliandika si wakenya mwajua we are a working nation hawa waoga na sa hawana kazithey eat /sleep bba24/7 nendeni mkachape kazi
mkenya mmoja aitwaye john kisindai kulundu aliamua kuziponda filamu za wanaijeria kwa kusema only retarded villagers watch those predictable naija movieslol
kulundu hakukomea hapo aliwaangushia wanaijeria bomu jingine nigerians have invaded africans cities because of insecurity and poverty in there countrywe shall kick u back 2 die in your countrykaa mbali na sisi msituambukize ujinga
kitendo cha wakenya kuchanganya kiswahili kwenye comments zao zilimkera mary esosuota aliyesema only cowards murmur so dey wont be heardanyone bold enough shud write boldly and air their views for others to understand
wanaijeria hawakukubali kushindwa maureen eboh alitupa bomu kwa wakenya what a shame kenyans c as dem dey wash una wif soda soap nd water chai c poverty not even detegent soap buh soda una own don finish b dat oh
mnaijeria mwingine tunde olawole aliandika foolish kenyans they are all affected by meningitis which is a mentor to their mental image u will alwayz be our wastteamnaija
kama desturi ya watanzania wasiopenda makuu mtanzania koli collins hakupendezwa na vita hiyo ya maneno kati ya wanaijeria na wakenya kwa kuwaambia wakenya nawaombaacheni matusi ili tusiwakwaze watu wa nchi zinginetusije tukachimbia prezzo kaburi kama vile watu wa afrika kusini walivyomchimbia bibi kizee wao almaarufu barbssababu ya kujigamba na matusitusome funzo kutoka kwao proudly tanzanian
unadhani vita hii ya maneno kati ya wanaijeria na wakenya kutokana na big brother inaweza kuleta uadui kati ya nchi hizo baadaye
inasikitisha mno mwili wa mtoto mwingine waokotwa jijini mbeya
differentsourcestz latest news bado eneo gari hili hilo huyo katika leo mama mbeya moja morogoro sasa siku soweto travel vacation watoto ya leave a comment
vitendo vya kutupwa watoto wachanga vimezidi kushamiri ambapo leo asubuhi mwili wa kichanga kingine chenye jinsia ya kiume umeokotwa jirani na msikiti wa soweto jijini mbeya mama wa mtoto huyo bado hajafahamika mpaka sasa tukio hili lanatokea ikiwa ni siku moja kuripotiwa tukio lingine la kuokotwa mwili wa kichanga mkoani morogoro
mwili wa mtoto mchanga ukiwa umetupwa eneo la msikiti wa soweto jijini mbeya leo asubuhi
baadhi ya wananchi wa eneo la soweto waliofika kushuhudia tukio hilo
mwanausalama akiondoa mwili wa kichanga hicho eneo la tukio
akiupakia mwili huo katika gari la polisi
sourcekingkif
kris humphries kim kardarshian sex tape imefanywa na mama yake mzazi
differentsourcestz latest news celebrities entertainment haraka hili hiyo hoteli kim kardashian kim sex tape kutoka kuwa kwa madai maisha mpenzi myla ndoa nyota sasa sex tapes tmz yake zamani leave a comment
kutoka kwa kris kuwa haikuwa ndoa tu aliyoitumia mke wake wa zamani kim kardashian kwa nia ya kujitangaza
nyota nba imeripotiwa kuwa ameamua kufunguka na kutoa baadhi ya siri zinazohusu familia ya kardashian kwa mpezi wake wa zamani myla sinanaj ikiwa ni pamoja na ukweli kuwa anaamini kris jenner(ambaye ni mama yake kim) alimfania kim sex tapes ambayo haikuwa maarufu na hata hivyo akataka irudiwa kutengenezwa tena na baadhi ya matukio ya aibu
wakati kris pia anadai kuwa uhusiano wake na myla ulikuwa wa muda mfupi tmz waliripoti hiyo kwa mfanyakazi wa nyc hoteli ambaye ana tani ya milindiko ya meseji kutokea new jersey net ikisema myla ni mpenzi wa maisha yake na alikuwa anataka maswala ya talaka kutoka kwa kim kuisha haraka iwezekanavyo na kuanza kuondoka katika maisha ya ustaa wa reality show
wakati habari hii inaweza kuharibu kesi ya kris ya udanyifu naikiwa chini ya mwanasheria maarufu wa maswala ya talaka raol felder alieleza blog ya wetpaint entertaiment kuwa jaji anayesikiliza kesi ya kris na kim kuwa kupelekwa mbele sio kwasababu ya kris
kwa madai kuwa kim sex tape ilifanywa na mama yake mwenyewe kuhusu hili sasa ni tatizo tulilonalo na haya ni maneno ya kim akimwambia oprah why would anyone put that humiliation to their family out there imagine that conversation i had to have with my grandmother wakati akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha oprah | 2019-02-20T18:33:57 | https://infosourcestz.wordpress.com/tag/sasa/ |
mbunge chadema ahoji uharaka wa serikali kubinafsisha viwanda mwanahalisi online
devotha minja mbunge wa viti maalum chadema
mbunge chadema ahoji uharaka wa serikali kubinafsisha viwanda
posted by danson kaijage april 2 2019 0 1473 views
mbunge wa viti maalum devotha minja (chadema) amehoji serikali sababu za kushindwa kufanya maandalizi mazuri katika ubinafsishaji wa viwanda anaripoti danson kaijage dodoma (endelea)
na kwamba badala yake viwanda vingi kwa sasa vimebaki kuwa sehemu za kuishi popo mbunzi na ngombe
akiuliza swali la nyongeza bungeni leo tarehe 2 aprili 2019 amesema lengo la serikali kubinafsisha viwanda ilikuwa kuboesha uzalishaji
na kwamba kwa sasa kinyume chake hivyo amehoji ni kwanini serikali ilikuwa na uharaka wa kubinafsisha wa viwanda hivyo
lengo la serikali kubinafsisha viwanda ilikuwa ni kuongeza ufasisi kuendelea kuwepo kwa viwanda visivyofanya kazi serikali haioni kwamba imeshindwa kutimiza wajibu wake
hivi kulikuwa na uharaka gani wa serekali kubinafsisha viwanda hivyo bila kuwaandaa wawekezaji amehoji minja
awali katika swali la msingi la mbunge huyo alitaka kujua ni lini serikali itatekeleza ahadi iliyotolewa wakati wa kampeini 2015 za kutaka kuwapatia vijana ajira
mhandisi stella manyanya naibu waziri wa viwanda na biashara akijibu maswali hayo amesema kuwa mpango wa serikali ni kuhakikisha viwanda vyote vilivyobinafsishwa na visivyofanya kazi vinafufuliwa ili vichangie katika uchumi na kutoa ajira kwa vijana
amesema pia serikali inahamasisha ujenzi wa viwanda vipya kwa kutegemeana na fursa zinazopa nchini
mkoa wa morogoro una viwanda 14 vilivyobinafsishwa kati ya viwanda hivyo ni viwanda nane vinavyofanya kazi na viwanda sita havifanyi kazi
wizara yangu kwa kushirikiana na ofisi ya msajili wa hazina tumefanya tathimini ya viwanda vilivyobinafsishwa nchini vikiwemo viwanda vya mkoa wa morogoro alisema mhandisi manyanya
mbunge wa viti maalum devotha minja (chadema) amehoji serikali sababu za kushindwa kufanya maandalizi mazuri katika ubinafsishaji wa viwanda anaripoti danson kaijage dodoma (endelea) na kwamba badala yake viwanda vingi kwa sasa vimebaki kuwa sehemu za kuishi popo mbunzi na ngombe akiuliza swali la nyongeza bungeni leo tarehe 2 aprili 2019 amesema lengo la serikali kubinafsisha viwanda ilikuwa kuboesha uzalishaji na kwamba kwa sasa kinyume chake hivyo amehoji ni kwanini serikali ilikuwa na uharaka wa kubinafsisha wa viwanda hivyo lengo la serikali kubinafsisha viwanda ilikuwa ni kuongeza ufasisi kuendelea kuwepo kwa viwanda visivyofanya kazi serikali haioni kwamba imeshindwa kutimiza wajibu wake&hellip
previous wananchi wafungiwe dira mpya za maji serikali
next tp mazembe kutua kesho kuivaa simba | 2019-08-20T09:43:58 | http://mwanahalisionline.com/mbunge-chadema-ahoji-uharaka-wa-serikali-kubinafsisha-viwanda/ |
waasi wa drcongo wagoma kuondoka goma azizi computer doctor
http//3bpblogspotcom/c82acwudht4/ulmiwulktoi/aaaaaaaaaie/owchfnjc3ou/s72c/congojpg
waasi hao wanaipinga serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na kupigana nalo katika eneo la mashariki mwa taifa hilo
serikali hiyo iyaangalie matakwa halali ya m23
m23 ijiondoe katika maeneo iliyoteka na kusogea takriban 20 km kutoka goma katika kipindi cha siku mbili
kuundwa kwa kikosi cha pamoja cha wanajeshi kutoka nchi za eneo serikali na waasi watakaokuwa katika kiwanja cha ndege cha goma
walinda amani wa monusco wawekwe katika eneo huru kati ya goma and waasi m23 | 2017-10-18T01:51:49 | http://azizicompdoc.blogspot.com/2012/11/waasi-wa-drcongo-wagoma-kuondoka-goma.html |
mwana wa gaddafi saif alislam aachiliwa huru libya | tanuru la fikra blognews
home uncategories mwana wa gaddafi saif alislam aachiliwa huru libya
image captionsaif alislam gaddafi (katika picha hii iliyopigwa 2011 baada yake kukamatwa) alihukumiwa kifo nakama mjini tripoli mwaka 2015
ndege iliyotekwa nyara nchini libya yatua malta | 2018-03-20T05:57:54 | http://www.tanurulafikra24.com/2017/06/mwana-wa-gaddafi-saif-al-islam.html |
jinsi ya kumjua mungu duniani mwenyezi mungu amenipa fursa ya pili katika maisha katikati ya maafa niliona ulinzi wa mungu kuonekana kwa mungu kumeleta enzi mpya | 2018-09-25T17:07:04 | https://sw.godfootsteps.org/do-you-know-god-has-done-a-great-thing-among-men-hundred-questions.html |
jinsi ya kumtia nidhamu kijana wako | msaada kwa ajili ya familia
kutoka kwa wasomaji wetu jinsi ya kumtia nidhamu kijana wako
habari kuu jilinde dhidi ya uhalifu
mahojiano mwanamke myahudi anaeleza sababu iliyomfanya achunguze upya imani yake
tunayojifunza kutokana na historia koreshi mkuu
maoni ya biblia utu wa mungu
je ni kazi ya ubuni gamba lenye jicho la brittle star
soma katika kiafrikana kialbania kiamhara kiarabu kiarmenia kibulgaria kicheki kichewa kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidachi kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifini kigeorgia kigiriki kihiligaynoni kihindi kihispania kihosa kihungaria kiiceland kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiitaliano kijapani kijerumani kikirghiz kikorea kikroatia kilithuania kimakedonia kimalagasi kimyanmar kinorwei kinyarwanda kipangasinani kipolishi kireno kirumania kirundi kirusi kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisinhala kislovaki kislovenia kiswahili kiswedi kitagalogi kitahiti kithai kitigrinya kitonga kitsonga kitswana kituruki kitwi kiukrania kizulu sesotho (lesotho)
kulingana na sheria ya familia yako simu za mkononi zinapaswa kuzimwa saa tatu usiku lakini mara mbili katika juma hili ulimkuta binti yako akituma ujumbe usiku wa manane au mwana wako anapaswa kurudi nyumbani saa nne usiku lakini jana usikukwa mara nyingine tenaalirudi nyumbani baada ya saa tano usiku
ni kweli kwamba kijana wako amefanya kosa hata hivyo kwanza unahitaji kujua ni kwa nini anavunja sheria zako hata hivyo utapendezwa kujua kwamba ingawa jambo hilo linaweza kuonekana kuwa ukaidi huenda isiwe hivyo
mipaka isiyo wazi vijana fulani hupuuza sheria ili waone kama watatiwa nidhamu kwa mfano ikiwa mzazi amesema kwamba atamwadhibu kijana kama atafanya kosa fulani huenda kijana akajaribu kukiuka mipaka iliyowekwa ili kuona ikiwa mzazi atamtia nidhamu je hilo linamaanisha vijana hao wanakuwa waasi sugu si lazima iwe hivyo ukweli ni kwamba ni rahisi kwa vijana kukosa kutii sheria ikiwa wazazi wanakuwa vigeugeu kuhusu nidhamu waliyosema watatoa au ikiwa vijana hawajawekewa mipaka iliyo wazi
usiwe mkali sana wazazi fulani hujaribu kuwadhibiti vijana wao kwa kuwawekea sheria nyingi kupita kiasi kijana asipotii mzazi anakasirika na kumwekea sheria nyingi hata zaidi hata hivyo jambo hilo hufanya mambo yawe mabaya zaidi kitabu parent/teen breakthrough kinasema hivi kadiri unavyojaribu kumdhibiti kijana wako ndivyo anavyozidi kuasi kitabu hicho kinaongezea hivi kujaribu kumdhibiti ni sawa na kujaribu kupaka siagi ngumu kwenye mkate laini mkate huo utapasuka vipandevipande na suluhisho si kupaka siagi kwa nguvu
nidhamu inayofaa inaweza kusaidia tofauti na adhabuambayo humaanisha kumtesa mtunidhamu humaanisha kufundisha kwa hiyo unawezaje kumfundisha kijana wako atii sheria zako
eleza mambo waziwazi vijana wanahitaji kujua mambo hususa wanayotazamiwa kufanya na matokeo ya kutokutiikanuni ya biblia wagalatia 67
dokezo andika orodha ya sheria za nyumba yenu kisha jiulize je nimeweka sheria nyingi sana je nimeweka sheria chache sana je baadhi ya sheria hizo hazihitajiki tena je ninahitaji kuzirekebisha kulingana na kiwango cha ukomavu wa kijana wangu
usiwe kigeugeu huenda vijana wakachanganyikiwa ikiwa juma lililopita hawakutiwa nidhamu kwa kufanya kosa fulani lakini juma hili wanatiwa nidhamu kwa kufanya kosa hilohilokanuni ya biblia mathayo 537
dokezo jaribu kutoa nidhamu inayofaana kabisa na kosa lililofanywa kwa mfano ikiwa kijana amechelewa kurudi nyumbani nidhamu inayofaa inaweza kuwa kumwekea sheria ya kurudi nyumbani mapema zaidi ya saa uliyomwekea awali
uwe na usawaziko uwe mzazi mwenye kubadilika kulingana na hali kwa kumpa kijana wako uhuru zaidi kadiri anavyostahilikanuni ya biblia wafilipi 45
dokezo wewe na kijana wako zungumzieni pamoja sheria zilizowekwa hata unaweza kumwomba kijana wako apendekeze nidhamu anayopaswa kupewa kwa kuvunja sheria fulani ni rahisi zaidi kwa vijana kutii sheria ambazo wao wenyewe wameshiriki kuzitunga
msaidie akomae lengo lako si tu kumfanya kijana wako atii amri zako bali ni kumsaidia akuze dhamiri njemauwezo wa ndani wa kutambua mema na mabaya (ona sanduku msaidie mtoto wako asitawishe sifa nzuri)kanuni ya biblia 1 petro 316
dokezo tafuta msaada katika biblia hicho ndicho chanzo bora kabisa cha nidhamu ambayo humpa mtu ufahamu na hekima yake inaweza kuwapa werevu wale wasio na uzoefu kumpa kijana ujuzi na uwezo wa kufikirimethali 114
lolote lile analopanda mtu atavuna hilo piawagalatia 67
acheni tu neno lenu ndiyo limaanishe ndiyo siyo yenu siyomathayo 537
iweni na dhamiri njema 1 petro 316
msaidie mtoto wako asitawishe sifa nzuri
msaidie mtoto wako afikirie angependa kujulikana kwa sifa gani wanapokabiliwa na hali fulani ngumu vijana wanaweza kujifunza kufanya maamuzi yanayofaa kwa kujiuliza maswali yafuatayo
mtu ambaye ana utu kama wa kristo angefanya nini anapokabiliwa na hali hiimethali 101
unawezaje kuacha kukazia tu sheria na badala yake kumsaidia kijana wako afanye maamuzi yanayofaa popote alipo | 2017-11-18T11:21:32 | https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/g201305/mtie-nidhamu-kijana-wako/ |
say cheers hari ibu
my dearest beloved hari ibu
santa's goodie bag hari ibu
save a hug for me hari ibu
crunchy and bubly hari ibu | 2020-08-03T15:16:49 | https://m.floweradvisor.com/occasions/brazil-mothers-day?locale=id |
john terry apasua kuwa chelea haina mpango wa kumwongezea mkataba baada ya huu wa sasa | saluti5
home » soka » john terry apasua kuwa chelea haina mpango wa kumwongezea mkataba baada ya huu wa sasa
john terry apasua kuwa chelea haina mpango wa kumwongezea mkataba baada ya huu wa sasa
nahodha john terry 36 ametonya kuwa klabu yake ya chelsea haina mpango wa kumwongezea mkataba mwingine mara ule wa sasa utakapofikia tamati | 2017-08-19T14:46:53 | http://www.saluti5.com/2016/12/john-terry-apasua-kuwa-chelea-haina.html |
kwa nini icc inamshitaki na kumkamata rais wa zamani wa sudan al bashiri wakati sudan si mwanachama wa icc | jamiiforums
kwa nini icc inamshitaki na kumkamata rais wa zamani wa sudan al bashiri wakati sudan si mwanachama wa icc
thread starter moyafricatz
nimekutana na maswali mengi kuhusu tukio hili la waasi waliopo darfur pamoja na serikali ya sudan kutaka kumkabidhi rais wa zamani wa sudan omary al bashiri kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita (icc)
ikumbukwe sudan sio mwanachama wa icc hivyo mahakama hiyo haina mamlaka (jurisdictions) ya kumkamata bwana bashiri
lakini baraza la usalama la umoja wa mataifa lina mamlaka baada ya kuona hali husika katika nchi sio rafiki kupitisha azimio la kutaka mahakama ya uhalifu ya kivita ifungue shitaka kwa nchi husika hata kama haijasaini ule mkataba (treaty) wa rome
the international criminal court only has jurisdiction to investigate alleged crimes which have taken place in states or by the nationals of states that are party to the rome statute or that have accepted the court's jurisdiction additionally a situation can be referred to the icc's chief prosecutor by the un security council
in the case of darfur the security council referred the situation on 31 march 2005 after the passage of resolution 1593[12] the resolution was passed by a vote of 11 in favor and zero against with four abstentions argentina benin denmark france greece japan the philippines romania russia tanzania and the united kingdom voted in favor and algeria brazil china and the united states abstained[12]
the prosecutor luis moreno ocampo formally opened an investigation on 6 june 2005[2]
hivi ndivyo bwana bashiri atakavyopelekwa mahakamani
wenu
mwanasheria mbobezi
h a 47
ukisoma vizuri kwenye katiba ya icc inaruhusu hili
kuna kifungu ktk sheria hiyo kinaruhusu baraza la usalama la un kuamua mtu yoyote toka nchi yoyote bila kujali kuwa ni mwanachama wa icc ashitakiwe na azimio likitoka basi mwendesha mashitaka wa icc ni kutekeleza na nchi zote zinatakiwa kushiriki kutekeleza hilo azimio
reactions rooney and moyafricatz
technically the icc has global jurisdiction because even if a nation isnt a party it would be compelled to cooperate with the court if the particular case is referred by the un security council the organization has no police force or enforcement body so they rely on the cooperation of nations worldwide to support them if they need to make an arrest or a transference of an arrested person
view attachment 1354994
ni unafiki wa kisiasa ili kupendezesha magharibi na wakati huo huo wanaogopa kumhukumu kwani hata wao mikono yao imejaa damu
reactions moyafricatz
bssu said
rome statute hairuhusu labda kama una statute nyingine
tusaidie hiko kifungu mkuu
sheria inaitwa roma statute niliisoma miaka 6 iliyopita nikiwa napiga master ( llm) nahitaji muda kuipekua iliko
nini haki ya jirani juu ya common wall jukwaa la sheria (the law forum) 4 jul 23 2020
jaji bongole afariki dunia akiwa kazini umejifunza nini kwenye kifo chake jukwaa la sheria (the law forum) 7 jul 16 2020
k likizo bila malipo je sheria inaelekeza nini jukwaa la sheria (the law forum) 4 mar 29 2020
nini maana ya dpp hana nia ya kuendelea na kesi hii jukwaa la sheria (the law forum) 9 feb 14 2020
learn the law nini kilitangulia kati ya makosa na sheria jukwaa la sheria (the law forum) 0 jan 9 2020
nini haki ya jirani juu ya common wall
jaji bongole afariki dunia akiwa kazini umejifunza nini kwenye kifo chake
likizo bila malipo je sheria inaelekeza nini
nini maana ya dpp hana nia ya kuendelea na kesi hii
learn the law nini kilitangulia kati ya makosa na sheria | 2020-08-07T10:09:07 | https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-nini-icc-inamshitaki-na-kumkamata-rais-wa-zamani-wa-sudan-al-bashiri-wakati-sudan-si-mwanachama-wa-icc.1690159/ |
mhegera's\databank 2015
the united republic of tanzania ministry of home affairs
mheshimiwa jakaya m kikwete tar 6/08/2015
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu
afande mheshimiwa rais
yah igp ernest mangu kuandaa mpango wa kuvuruga uchaguzi mkuu 2015 na kusimamia harakati za mpango wa uhaini kwa kushiriki kuandaa maandamano na vurugu za kuiondoa serikali halali mara baada ya uchaguzi
mheshimiwa rais tafadhali tunaomba urejee somo husika hapo juu
pamoja na kwamba tunajua umezongwa na mambo mengi tunapenda ufahamu kwamba hali ndani ya jeshi letu ni mbaya na kila mmoja wetu anajua wazi kwamba ulipotoshwa mpaka ukafanya maamuzi ya kumteua igp ernest j mangu mtu asiyekuwa na uwezo wa kiutendaji wala sifa za uongozi uadilifu na uzalendo kushika wadhifa huu muhimu
mheshimiwa rais tunajua waliokudanganya walikuwa na malengo yao ambayo mengine kwa macho yako umeyaona/unayaona na mengine utaendelea kuyathibitisha kwa kile kinachoendelea na yanayolengwa kutokea hapo mbele endapo hutachukua hatua za maamuzi ya kumwondoa mapema
pia tunaomba uelewe kwamba tunakuandikia barua hii ili kukujulisha mambo machache kuhusu mkakati wake na washirika wake wa kisiasa wa kulivuruga jeshi la polisi wanafanya hivyo ili kufanikisha mpango wa kuvuruga uchaguzi mkuu ujao na kisha kulazimisha uwepo wa serikali ya mseto kwa mtindo wa nguvu ya umma endapo wadau wake watakuwa wameshindwa
katika kuhakikisha anafanikisha mikakati hiyo amekwishafanikiwa kutekeleza mambo mengi baadhi ya mambo hayo ni haya yafuatayo
(1) kuhamisha na kupanga marpc rco soi ocd (katika mikoa lengwa) ambao watawezesha kukamilisha anayoyataka katika mikoa na maeneo lengwa na mahala pengine anafanya hivyo katika muda huu wa lala salama ili kuwavuruga makamanda na maofisa tajwa ili wakati mchakato wa uchaguzi unafanyika wawe bado na ugeni wa kuyasoma na kuyaelewa mazingira mapya ya himaya za majukumu yao
(2) kuhamisha dawati la kuratibu uchaguzi kutoka katika kamisheni ya oparesheni na kulipeleka kamisheni ya polisi jamii uamuzi huu hakuufanya kimakosa alikusudia ndiyo maana kila anaposhauliwa kulirejesha panapostahili anakataa mheshimiwa rais katika hili tunaomba uelewe kwamba kulingana na muundo wa sasa wa jeshi letu mwenye jukumu la kuliandaa jeshi kwa ajili ya uchaguzi na kusimamia askari katika oparesheni ya kufanikisha uchaguzi ni kamisheni ya oparesheni lakini kwa kuwa anajua cp paul chagonja hawezi kumpenyezea upuuzi wa uasi wake na kwa kuwa anajua huyu cp anao uwezo uzoefu na anajua mambo yanavyopaswa kufanywa katika wakati huu amehamisha dawati hilo na kulipeleka katika kamisheni isiyohusika kabisa na anatumia fursa hiyo kuthibiti mambo muhimu yanayopaswa kufanyika kama sehemu ya maandalizi ya kufanikisha uchaguzi mkuu
kwa sababu ya hali hiyo mpaka sasa hakuna maandalizi ya maana yanayoendelea kinachofanywa ni udanganyifu na ubabaishaji ili kuwazuga ninyi viongozi sisi tunaamini kwamba mazingira ya kijamii na kisiasa yamebadilika na yataendelea kubadilika hivyo kwa wakati huu tulipaswa kuwa katika hatua ya pili ya maandalizi ili kujenga utayari na mifumo ya kuzuia na si kusubiri wakati wa mwisho kupambana na raia tunajua anapotezea ili kuvuta muda ili kuwaadalia mazingira wadau wake ili itakapofika wakati aseme tumeelemewa na nguvu ya umma na sasa wajibu wetu ni kuwasindikiza ili wakadai watakacho (3) mheshimiwa rais huyu igp ernest mangu tangu alipoingia madarakani aliingia na sera ya kulivuruga jeshi la polisi kwa kuvunja umoja wa jeshi uliokuwa umejengwa na watangulizi wake jambo hilo limesababisha kila mmoja (asiyekuwa msingida au kabila lake) ndani ya jeshi kujiweka kando na hivyo kuwaachia wasingida wenzake maana vipaumbele vikuu vya mpango wake wa kazi alioingia nao ni ukabila kusimamia maslahi yake ya kifedha/rushwa kuwachafua viongozi waliomlea ili kuwanyogonyesha kiutendaji na mradi wa kuwarahisishia wadau wake kufikia malengo yao ya kisiasa katika kuyatenda hayo hana muhali aibu woga au subira hata kama anajua kwamba ayafanyayo yatajulikana ama yataleta madhara na hasara kubwa kwa taifa mheshimiwa rais kwa mwenendo huo wa hayo machache tuliyokujulisha tunapenda ufahamu kwamba jeshi la polisi zima (lote) linayumba mno tangu liwe chini ya uongozi wa igp ernest mangu mtu huyu hana sera wala hana mbinu ama mkakati wowote wa kiutendaji zaidi ya kusimamia hayo mambo yake ya kulivuruga jeshi ndiyo maana tunaomba uelewe kwamba kulingana na police general order (pgo) mila na tamaduni za mfumo wa uendeshaji wa jeshi letu mwenye akili ni yule aliye juu na kwa kuwa juu umeweka muhaini/muasi hata kama tulio chini tunajua la kufanya ni vigumu kufanya lolote kwa sababu aaminiki/hatumwamini na mwenye jeshi ni yeye hivyo katika hali hiyo tegemea kuvuna vituko na aibu itakayoambatana na matokeo ya utendaji ambao utakuacha umeduwaa na huzuni nyingi mheshimiwa rais kwa ujumla wetu (maofisa na askari wote wa jeshi la polisi tanzania isipokuwa wasingida na wanyatulu) tunaamini hujachelewa kufanya maamuzi na tunakuomba usiusukume mzigo wa aibu hii na wajibu huu kwa mwingine wala kusubiri hayo tuliyokudokeza kutokea labda kama ndio mpango wako na ndivyo unavyataka iwe kwa hali ilivyo na jinsi matendo yake ya uasi yalivyotuchosha tunakuandikia barua hii tukiwa tumejiridhisha kwamba tuko tayari kuweka rekodi ya kujisimamia wenyewe na kufanya kazi kwa juhudi weledi na bidii kubwa (bila kuwa na igp muasi) ili kuhakikisha unamaliza salama kipindi chako cha uongozi na serikali mpya inaanza kazi nchi ikiwa shwari ndiyo sababu tunataka ujue kwamba kwa jinsi ulivyotujali kutuhudumia na heshima uliyotupa tuko tayari kwa kazi ya usiku na mchana bila kiongozi muasi
vinginevyo ukikaa kimya tutajua na kuamini kwamba umelitosa jeshi la polisi zima nyakati hizi za mwisho na umeamua/umechagua kuvuna mabua maana unacheka cheka na nyani pia tutaamini kwamba umeyapa kisongo mema yote na juhudi zote ulizozifanya kuliwezesha na kulijenga jeshi la polisi tangu ulipoingia madarakani
hivyo kwa heshima na unyeyekevu mkubwa tunaomba upokee maoni na ushauri wetu huu uliotokana na uzalendo kwa nchi yetu na uaminifu wetu kwako tunatumaini utasikia kilio chetu na kwa maslahi mapana ya taifa na kwa maendeleo na ustawi wa jeshi letu la polisi utakubali kufanya kile ambacho tunakitegemea kutoka kwako mapema ili kuinua ari na moyo wa utendaji wetu hasa katika kipindi hiki afande mheshimiwa rais kwa heshima na unyenyekevu mkubwa tunawasilisha tafadhali kwa hatua zako muhimu
ni sisi maofisa na askari wa jeshi la polisi tulio waaminifu na watiifu kwa mujibu wa kiapo chetu
ikulu dar es salaam kwa taarifa na hatua sitahiki
2 katibu mkuu
wizara ya mambo ya ndani ya nchi dar es salaam kwa taarifa kwa sababu yote tuliyoyaandika katika barua hii unayajua
3 kwa vyombo vyote vya habari ujulisheni umma posted by
nit and atcl cooperation an extra mile in tanzania aviation 10th november 2012
the demands on tanzanias aviation have finally led to a wedlock that could have never been imagined in the past while the national institute of transport (nit) had a long term vision of training aviation as reflected in its logo it just remained as an illusion for quite a while
the national flag carrier atcl (air tanzania company limited) created as a servicecumcommercial entity was bestowed with the task of training apart from its services but this had its own ramification as balancing the two missions had its own challenges now this tricky situation could cease soon after the two institutions signed a memorandum of understanding (mou) early this month at the atcl building
the agreement tells us that they will complement each other whereby the nit will deal more with the theoretical aspects the engineering component while on the other hand the atcl will deal more with the practical side the flying aspect of this training at the height of the signing function were two ceos of these two separate institutions but belonging to the same ministry of transport eng dr zacharia mganilwa the rector nit and capt milton lazaro of the atcl
the nit has always remained the best institution when it comes to training in transportation the newly found cooperation with the atcl will just fill the gaps in aviation which fortunately enough we had already identified boasted dr mganilwa during an exclusive interview he added that apart from surface marine and aviation the nit is now progressively improving the other side of transportation pipelines claiming this is a rare combination to be found in one institution
as we see in our logo mwalimu julius nyerere the founding father of tanzania had already had these aspects when establishing this institution in 1975 but financial constraints made it difficult to realize them earlier he intones reflectively
dr mganilwa charges that the aviation industry is regulating itself in the business sense but the security concerns must be controlled given the sensitive nature of the industry for that matter initiatives must be made well in advance to tackle the balance between business prospects and safety of aviation in this country
we must cope with this fast speed we have realized that within the coming five years tanzania will need more than 77 pilots and at least 50 aircraft engineers and 36 aircraft more will be needed to the current 215 plying local and international routes he comments
the two organisations have designed a course which has already been approved by the relevant authorities to cater for the needs of undergraduate and postgraduate specializations in aviation atcl chief executive officer capt lazaro says his corporation had gone through many struggles simply because it sought to maintain the longterm vision of its establishment to provide service at a minimum cost and not make air travel a luxury of the few well to do
we have survived because we are the flag carriers and (an icon of) the national identity through aviation these core values have helped us survive in the industry regardless the hard challenges that we faced here and there he notes
happy was capt lazaro that at last that the nitatcl joint aviation training project is now becoming a reality because he believes in teamwork and a collaboration of key players in order to bring efficiency he hopes that with this new development the aviation industry in tanzania will realize make fundamental improvements because many youngsters will now be trained in this comparatively expensive and time consuming field
he challenges other airlines he claims had failed to increase training opportunities to their staff to instead move to atcl to hook new employees from time to time arguing he is not in any way annoyed by this trend because in many ways it reflects a measure trust in the good work the atcl was doing in training its crew hence the hunt for new employees from his company
however he hints that some of those who are employed by other companies sometimes go back to atcl anytime something goes amiss there dr mganilwa agrees saying that out of the 614 pilots registered in tanzania 60 percent are foreigners against only 40 locals this has its repercussions because air travel expenses are high in order to subsidize the costs of hiring foreign pilots even at the time of renewing their licences the pilots are forced to go to soroti in uganda or to south africa where the incidental expenses in terms of fees travel and upkeep keep on rising
the longterm vision of this cooperation is to address these discrepancies so as to ensure that within a short time to come all pilots will be trained in tanzania from stage one up to the last of their required courses
giving a brief on the history of this cooperation was juma fimbo lecturer at the nit who says that before the signing of the mou the two parties had a lot of consultative meetings which eventually led to the approvals by all relevant bodies fimbo says all the relevant bodies in dealing with aviation matters were consulted these include the international civil aviation organization (icao) and the tanzania civil aviation authority (tcaa) for the duo to get the approved training organization (ato) certificate tcaa is the custodian of aviation matters in tanzania
it was established during the joint technical discussions that reduced costs in training on aviation matters would support the government in two ways firstly it would encourage more youngsters to join the field because currently very few parents can afford to pay fees for their children in this discipline and secondly this would facilitate job creation because many tanzanian youth would be trained and find a readymade market for them due to the increased demand of aircrafts and light planes in mining activities as well as oil and gas exploration and even during their later stages of exploitation
the nitatcl wedlock is meant to meet these standards and in this way promote other sectors particularly mining construction health sector and tourism
in appreciation of this gesture the government on its part has set aside julius nyerere international airport in dar es salaam dodoma airport in the countrys centre and kilimanjaro international airport in the northern tourist circuit for the training purposes
to support this move the tcaa plans to solicit us $800000 million by next year and about $900 000 million the following year ready for the training programme which will save about 80 percent of the costs if the training sessions were to be conducted abroad
at the atcl training institute were the principal eng ahmed mwinge and senior avionics instructor khalifa kiteti who said the combined efforts of two institutions would make it easier for the trainers to operate considering that theirs was a very tricky area with a lot of demands of experts well versed in this technology
kiteti who grew up from a polytechnic to an engineer from the east african airways to the current atcl sees a lot of prospects in investing more heavily in training because of the increasing demands in aviation due to the fact that the east african countries are more interacted today there are five countries in the bloc from the previous three
he says demands for the pilots are in all the three categories of those with the private pilot license (ppl) those with the commercial pilot license (cpl) and the last category of airline transport pilot license (atpl)
the ppl categories demand that the pilot fly for over 100 hours before they get certified while in the cpl category the demand is more than 250 hours and the atpl the demand is more than 400 hours
in aviation a pilot is always a student because whenever there is a new aircraft even with the slightest improvements or changes one will have to undergo training or when there is a new aircraft with a technology which they are never well accustomed with
if there are minor changes in the engine as it always occurs in makes like the dash 100 200300 and the like this will determine the size of the engine which means there is in mechanics of the engine which demands one to become well acquainted with before they are allowed to fly
the training of one pilot amounts up to us $60000 while that of an aircraft engineer amounts up to sterling pounds 10000 this is indeed a challenge to a country like tanzania notes kiteti
the idea of teaming up the two institutions in this venture arose when one of the distinguished experts in civil aviation mr omar nundu while serving as minister of transport started to discuss the matter with the nit which coincidently had a longterm vision on aviation
water distribution in tanzania posted by
maps tanzania posted by
nit and atcl cooperation an extra mile in tanzania | 2017-07-21T18:44:24 | http://mhegeraelias.blogspot.com/2015/ |
bongo bhangra haijafa big jahman dizzimonline
dizzimonline news artists news bongo bhangra haijafa big jahman
bongo bhangra haijafa big jahman
by mtu huru feb 17 2017 at 111557 am share
katikati ya miaka ya 2000 moja kati ya miziki iliyoingia na kuwa gumzo ni pamoja na muziki ulioitwa bongo bhangra ambao ulikua ni kama mchanganyiko wa muziki wa bongo na india ambao ulizaa nyimbo kadhaa kama regina na bongo bhangra zilizoimbwa na marehemu steve 2k kwa kushirikiana na baadhi ya watu akiwemo akili the brain na big jahman
maoni mengi ya wadau wa muzikiwamesema kuwa muziki huo haupo na kama upo hausikiki kwa sababu ya kufariki miongoni mwa muasisi wa muziki huo steve 2kkwenye xxl ya clouds fm mmoja kati ya wasanii waliokua wanafanya muziki huo big jahman amesema kuwa >>yale matatizo yalipotokea kati ya marehemu steve 2k na producer wetu casto studio ilibidi ifungwe na casto ndiye alikua producer wetu kwa kipindi kile
ilibidi tutulie japo akili alikua producer lakini haimaanishi muziki ulikufa au style ilikufatunaendelea kufanya bongo bhangrabado bongo bhangra ipo na itarudi japo tunammis sana mshkaji wetu steve 2k na alikua na mchango mkubwa sana kwenye muziki wa bongo bhangra
kama ulikua huujui muziki wa bongo bhangrahii ni moja kati ya singo zilizowahi kufanya vizuri sanasingo inaitwa regina
alikiba akabidhiwa tuzo yake ya mtv ema ya best african act
mwamuzi huyu maarufu duniani ajiuzulu kuchezesha ligi kuu ya uingereza
duma awachana waigizaji wenzake wa filamuamtumia salamu nay wa mitego (+video)march 4 2017 | 2019-01-17T05:41:45 | http://dizzimonline.com/2017/02/17/bongo-bhangra-haijafa-big-jahman/ |
serikali inafukuza wataalamu ili iweje (mwanahalisi) | jamiiforums | the home of great thinkers
serikali inafukuza wataalamu ili iweje (mwanahalisi)
discussion in 'jukwaa la siasa' started by asakuta same jul 19 2012
na mwandishi maalum imechapwa 11 july 2012
gumzo la wiki historia ya madai ya haki katika ujira na mazingira bora ya kazi kwa madaktari nchini hii hapa unganisha vipande vya makala hii ili ujue kinachoendelea
migomo ya madaktari
12001 mgomo mkubwa wa wanafunzi wa chuo kikuu cha sayansi za tiba muhimbili wakishinikiza uboreshwaji wa mazingira ya kusomea hasa masomo kwa vitendo
22005 mgomo mkubwa wa madaktari wa hospitali ya muhimbili na sehemu nyingine wakidai uboreshwaji wa maslahi yao
32011 vuguvugu la mgomo wa madaktari 42012 mgomo wa sasa ambao umekuwa ukiendelea
1madaktari wamechoka kuona huduma za afya nchini zikizidi kudorora mwaka hadi mwaka
2tumechoka kuona wagonjwa wakilala chini na watoto wakilala wanne katika kitanda kimoja
3tumechoka kuona msongamano mkubwa wa wagonjwa katika hospitali zetu huku kukiwa hakuna mpango wowote wa uboreshaji
4tumechoka kuona wagonjwa wakikosa dawa vipimo sahihi na watumishi wa afya wakifanya kazi katika mazingira magumu yanayoviza ubora wa huduma na misingi ya taaluma
kwahiyo kwa moyo wetu leo tumejitolea kutetea uboreshaji wa sekta ya afya
1madaktari walisikitishwa na wimbi kubwa la viongozi wa kisiasa na serikali wanaotibiwa nje ya nchi
2madaktari walibaki kuwa waidhinishaji rufaa za kwenda kutibiwa nje ya nchi jambo ambali linapunguza nia ya serikali katika kushughulikia kero za afya za wananchi kwa kuwa watawala wana uhakika wa matibabu nje ya nchi
3hali hii inaondoa usawa wa kimatibabu kati ya viongozi na wananchi na serikali hutumia fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika kuboresha sekta ya afya hapa nchini
nchini malawi
kifo cha rais bingu wa mutharika kutokana na shinikizo la damu tarehe 5 aprili mwaka huu kilihusishwa kwa kiwango kikubwa na serikali yake kushindwa kuboresha miundombinu na huduma za afya nchini mwake
madhara ya upungufu wa dawa na vifaa vya tiba 1uzito huwekwa katika kushughulikia wagonjwa waliozidiwa au walio na dharura pekee hali ambayo inajitokeza katika zahanati na vituo vingi vya afya
2kuongezeka kwa usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa kutokana na kupata kiasi kidogo cha dawa
3kuongezeka kwa madhara ya magonjwa yatokanayo na kutopata tiba sahihi (complications) kama ulemavu kwa watoto ambao wamekosa tiba sahihi ya malaria
4kuongezeka kwa malalamiko kutoka kwa wananchi dhidi ya watumishi wa afya
5kupungua kwa morali ya kazi kwa watumishi wa afya na kufanya kazi kinyume na misingi au maadili ya kitaalamu
6kujitokeza kwa mazingira magumu yanayoviza ubora wa huduma na misingi ya taaluma
1tanzania hupoteza takribani asilimia 6 ya wagonjwa wanaohitaji huduma za ct scan (chombo cha kuchunguzia magonjwa mwilini) kwa mwaka
2kifaa cha ct scan katika hospitali ya muhimbili kimeharibika kwa zaidi ya miezi saba sasa bila matengenezo
3wagonjwa wanaohitaji majibu ya kipimo hicho ili wapate tiba stahili kwenda katika hospitali binafsi gharama za kipimo hicho katika hospitali ya muhimbili ni takribani sh 170000/= lakini katika hospitali binafsi ni kati ya sh 200000 na 500000
4mbunge mmoja amesema bungeni hivi karibuni kuwa gharama ya kununua ct scan inalingana na bei ya gari moja la kifahari (shangingi) serikalini
1uboreshwaji mapato yao ikiwa ni pamoja na mishahara
2psho ya kuitwa kazini baada ya saa za kazi (on call allowance)
3posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu (hardship allowance)
4posho ya makazi
5posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (risk allowance) 6chanjo ambayo ni muhimu ili kuzuia uwezekano wa madaktari kupata magonjwa ambayo wanaweza kuyasambaza kwa wagonjwa wengine ambao tayari wana matatizo yao ya kiafya
1kwa sasa mshahara wa daktari ni sh 957700/= na baada ya makato ya kodi hubaki na sh 680000/= kwa mwezi
2ufuatiliaji wa shirika la sikika wa desemba 2011 hadi januari 2012 ulikuta 1hospitali ya regency jijini dar es salaam hakuna daktari anayepata mshahara chini ya sh 2 milioni (kabla ya makato)
2hospitali ya agha khan pia ya dar es salaam daktari mwenye uzoefu wa chini ya miaka minne alikuwa akilipwa sh 18 pamoja na mafao mengine kama vile bima ya afya posho ya nyumba
3madaktari wamependekeza kiwango cha kulipwa lakini serikali imekataa kutoa kiwango inachoona inaweza kulipa hadi rais alipotamka kuwa asiyetaka mshahara wa sasa atafute kwingine
1posho ya muda wa ziada wa kazi (call allowance) asilimia 5 ya mshahara kama ilivyo kisheria kwa kada yoyote
2posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu asilimia 40 ya mshahara
3posho ya makazi asilimia 40 au nyumba kama ilivyo kisheria
4posho ya kufanya kazi katikmazingira hatarishi asilimia 30 5au chanjo (homa ya inihepatitis hiv/aids tb) hapa serikali ilikuwa na nafasi ya kufanya majadiliano
mwajiri atamlipa mwajiriwa walau 5 ya mshahara wa msingi wa mwajiriwa kwa kila saa aliyofanya kazi usiku
katika nchi ya jirani ya kenya madaktari wataalamu wa kinywa na wafamasia wanalipwa sh 38000/= kama posho ya call allowance
1uendelezaji rasilimali watu sh 234 bilioni
2matumizi ya kawaida sh 245 bilioni
3kati ya fedha iliyotengwa kuendeleza rasilimali watu sh 216 bilioni (asilimia 923) ahadi ya msaada wa wafadhili
hii inapingana na azimio la abuja (asilimia 15) ambalo rais wa tanzania alitia saini inapingana pia na sera ya afya ya mwaka 2007 inayosema serikali itaendelea kuongeza bajeti ya sekta ya afya
hadi kufikia azimio la abuja
ili kukidhi mahitaji muhimu ya kisekta
kwa miaka kadhaa sasa idadi kubwa ya wanafunzi wa shule katika ngazi za chini imeendelea kuyakimbia masomo ya sayansi na wanafunzi wanaodahiliwa kusomea masomo ya udaktari ni wale ambao kiwango chao cha ufaulu katika masomo ya fizikia kemia na biologia kiko juu sana hivyo madaktari kulipwa mishahara mikubwa ili waweze kuokoa maisha ya watanzania si tatizo
serikali na matumizi yasiyo ya lazima 1sh 684 bilioni 2008/09
2sh 530 bilioni 2009/10
3sh 537 bilioni 2010/11
posho serikalini 1sh 171 bilioni 2008/09 2sh 269 bilioni 2010/11 3h 155 bilioni 2008/09 (kusafiri ndani na nje ya chi)
4sh 124 bilioni 2010/11
5sh 153 bilioni 2010/11 pekee ununuzi wa magari ya serikali 6zaidi ya sh 1 bilioni katika wizara ya afya wakati wa sherehe za nanenane
7katika sekta ya afya pekee matumizi yasiyo ya lazima yaliongezeka toka sh 161 bilioni mwaka 2010/11 hadi sh 22 bilioni mwaka 2011/12 na inakadiriwa kufikia sh 25 bilioni mwaka 2012/13 huku posho mbalimbali zikiongoza katika matumizi
1msamaha wa kodi uliongeze ka toka sh 680 bilioni mwaka 2009/2010 hadi sh 1016 trilioni kwa mwaka wa 2010/11 hii inawakilisha asilimia 18 ya makusanyo yote ya pato la taifa na ni kiwango kikubwa sana kuliko nchi nyingi za afrika
2sh 8 bilioni zimeelezwa kuwa matumizi yasiyokusudiwa
3sh 31 bilioni zimelipia vifaa ambavyo havikufika na
4sh 14 bilioni ni malipo yanayotia shaka fedha hizi zingeelekezwa katika maeneo ya afya tusingesikia mgomo wala maandalizi ya mgomo wa walimu
1shirika la afya duniani linataka kuwepo daktari mmoja kwa wajongwa 5000 (15000)
2wakati wa kupata uhuru walikuwa daktari mmoja kwa watu 300 (1300)
3mwaka 2010 daktari mmoja kwa wagonjwa 30000 (130000) hata waliopo ambao hawatoshi wanapofukuzwa lini taifa litafikia viwango hivyo
1bajeti ya jumla ya mpango huo ilikiwa sh 470 bilioni ambazo ni wastani wa sh 91 bilioni kwa mwaka
2mwaka 2011/12 wizara ya afya na ustawi wa jamii iliomba sh 663 bilioni ili kutekeleza mkakati wa rasilimali watu kisekta
3serikali ilitenga sh 132 bilioni tu
4hadi januari 2012 asilimia 20 tu (sh 27 bilioni) ndiyo ilikuwa imetolewa kwa wizara
wataalam watapatikanaje kwa njia hii ya bajeti hewa
1kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima
2kudhibiti ufujaji wa kodi za wananchi kwa baadhi ya watendaji wake
3kupunguza misamaha ya kodi
4kutekeleza kikamilifu mikakati iliyo katika sera zake
5serikali iache kutumia vitisho na ubabe katika kutatua mgogoro wake na madaktari badala yake ifanye mapatano na wataalamu hawa muhimu
6ubabe na vitisho vinapunguza morali na ufanisi wa madaktari kiutendaji na pengine kupelekea wengine kuhama sekta ya afya au kukimbilia nje ya nchi sehemu kubwa ya andishi hili imetokana na utafiti wa sikika shirika lisilo la kiserikali linalofuatilia upatikanaji huduma bora za afya imewekwa katika mafungu ili kurahisisha usomaji
wewe ulitaka serikali iwabebe mgongoni ili ujue ilipofikia ni mwisho
inataka watanzania wote masikini mfe
wabaki wao mafisadi
ili wawaite waume zao toka ulaya
marekaniarabuni na asia
waje waishi nao kwa starehe
katika nchi yenye mito na mabonde mengi ya nafaka majira yetu haya yangekuwaje sasa utumwa wa nchi kikwete ameudumisha
gumzo la wiki historia ya madai ya haki katika ujira na mazingira bora ya kazi kwa madaktari nchini hii hapa unganisha vipande vya makala hii ili ujue kinachoendelea… migomo ya madaktari
3tumechoka kuona msongamano mkubwa wa wagonjwa katika hospitali zetu huku kukiwa hakuna mpango wowote wa uboreshaji…
4tumechoka kuona wagonjwa wakikosa dawa vipimo sahihi na watumishi wa afya wakifanya kazi katika mazingira magumu yanayoviza ubora wa huduma na misingi ya taaluma…
kwahiyo kwa moyo wetu leo tumejitolea kutetea uboreshaji wa sekta ya afya …''
mwajiri atamlipa mwajiriwa walau 5 ya mshahara wa msingi wa mwajiriwa kwa kila saa aliyofanya kazi usiku''
katika nchi ya jirani ya kenya madaktari wataalamu wa kinywa na wafamasia wanalipwa sh 38000/= kama posho ya ‘call allowance'
hii inapingana na azimio la abuja (asilimia 15) ambalo rais wa tanzania alitia saini inapingana pia na sera ya afya ya mwaka 2007 inayosema ‘serikali itaendelea kuongeza bajeti ya sekta ya afya …hadi kufikia azimio la abuja…ili kukidhi mahitaji muhimu ya kisekta'
kwa miaka kadhaa sasa idadi kubwa ya wanafunzi wa shule katika ngazi za chini imeendelea kuyakimbia masomo ya sayansi na wanafunzi wanaodahiliwa kusomea masomo ya udaktari ni wale ambao kiwango chao cha ufaulu katika masomo ya fizikia kemia na biologia kiko juu sana hivyo madaktari kulipwa mishahara mikubwa ili waweze kuokoa maisha ya watanzania si tatizo…
wataalam watapatikanaje kwa njia hii ya bajeti hewa
6ubabe na vitisho vinapunguza morali na ufanisi wa madaktari kiutendaji na pengine kupelekea wengine kuhama sekta ya afya au kukimbilia nje ya nchi sehemu kubwa ya andishi hili imetokana na utafiti wa sikika – shirika lisilo la kiserikali linalofuatilia upatikanaji huduma bora za afya imewekwa katika mafungu ili kurahisisha usomajiclick to expand
madaktari wenyewe wangejitambua kuwa ni wataalam wasingegoma na kuacha watu wapoteze maisha yao
katika nchi yenye mito na mabonde mengi ya nafaka majira yetu haya yangekuwaje sasa utumwa wa nchi kikwete ameudumishaclick to expand
matusi yako hayo kweli yanalenga kuboresha namna ya kutatua tatizo
kuna matusi zaidi
ya matusi tutukwanayo
na chama cha mapinduzi
wanaimba fungu la tiba
matangazo yabandikwa sibali
mama ukija kujifungua
beba na nyembe zako
mkasi na bandeji
mabinti wadogo wauliza
nyembe zasaidiaje kuzaa
kwa tamaduni zetu
hayo si matusi
bila wizi wa kishenzi
wangeuliza
akutukanaye
hakuchagulii tusi
tumewachagua
watetee maslahi ya tanzania
wanatetea ya maghaibhu
kama huo si umalaya
umalaya ndo ukoje
matusi yako hayo kweli yanalenga kuboresha namna ya kutatua tatizoclick to expand
kwaqni wewe post zako zinalenga kutatua matatizo
kwanza umeshajua kuna matatizo gani sekta ya afya au unatetea tu hao mab**na zako | 2016-12-04T14:25:55 | http://www.jamiiforums.com/threads/serikali-inafukuza-wataalamu-ili-iweje-mwanahalisi.294455/ |
wakili ahmednassir adai waziri wa afya hana ujuzi kuhusu covid19
wakili 'grand mullah' apuuzilia mbali mchakato wa kagwe katika kupamana na covid19
a month ago 5622 views by francis silva
wakili maarufu ambaye husema bila uoga ahmednassir abdullahi amekosoa jinsi waziri wa afya mutahi kagwe anavyoshughulikia janga la virusi vya corona
habari nyingine coronavirus waziri kagwe athibitisha visa vipya 12 vya covid19
wakili ahmednassir abdullahi ambaye anahisi waziri wa afya hana ujuzi wa kutosha katika kukabiliana na covid19 humu nchini picha citizen tv
kulingana naye waziri hana ujuzi wa kutosha katika kukabiliana na covid19 humu nchini
akizungumzia suala hilo kupitia twitter ahmednassir alimkashifu kagwe na kusema amekuwa akijirudiarudia na kuwa wakenya taarifa zile zile ambazo kulingana naye hazina maana sana katika kukabiliana na janga hatari la coronavirus
na ingawa bw kagwe amekuwa akisifiwa ndani na nje ya nchi kwa juhudi zake katika kupambana na kusambaa kwa covid19 wakili huyo almaarufu grand mullah anasema hamna kubwa la kushangilia na kumpongeza
ingawa anasifiwa na kuenziwa sana kitaifa waziri kagwe & na timu yake kwa wiki nne wamewapa wakenya chakula kile kile cha leo watu 4 waliochunguzwa na wamekutwa na virusi katika waliopimwa alisema abdullahi
katika kauli yake wakili huyo alimaanisha kuwa kundi la kitaifa la kukabiliana na dharura (nert) kuhusu covid19 likiongozwa na kagwe limekuwa likiwaacha wakenya na maswali mengi kuliko majibu na kutatizika kuhusu uwezo wao
waziri wa afya mutahi kagwe akitoa taarifa kuhusu visa vya maambukizi ya covid19 nchini katika hafla ya awali picha moh
ahmednassir sasa ni mwenye maoni kuwa kagwe na kundi lake ni bora kuangazia zaidi katika kuona ni vipi watasaidia wakenya wa kawaida wakati huu mkumu wa janga badala ya kuwapa taarifa za kujirudiarudia kila siku za maambukizi ya virusi vya corona
pia aliipa ushauri wizara ya afya na kuitaka kuweka mipango maalum ya kukabiliana na janga hili ambalo limeikumba dunia
bila ya mipango maalum katika kuchunguza na kupima bila ya kuweka amri ya kutotoka nje kabisa kabisa basi kagwe na kundi lake wanatupeleka kusikofaa tutajuaje ueneaji wa virusi hivi bila ya kupima mpango ni upi wa kuondoa kafyu na kuifungua nchi tena aliuliza
wakili huyo ni mwenye maoni kuwa kwa kuzingatia jinsi virusi vya corona vinavyosambaa karibuni waziri atashindwa cha kuwaambia wakenya aliitaka wizra sasa kujikita katika mikakati ya kuzuia usambaaji kuliko vidokezi vya kila siku
17 hours ago 76690 views
shida ya ruto ni handisheki raila asema kuhusu matatizo ya jubilee | 2020-06-02T03:07:08 | https://kiswahili.tuko.co.ke/352161-wakili-grand-mullah-apuuzilia-mbali-mchakato-wa-kagwe-katika-kupamana-na-covid-19.html |
madaktari waliofukuzwa waula namibia botswana rwanda na akusini page 10
kaka maundumula unamwaibisha mwenye hiyo picha hana akili pimbi kama wewe
18th july 2012 1519
the moment walipoamua kuwa madaktari waliyafahamu yote hayo kuhusu mazingira magumu na malipo sasa inakuwaje ghafla wanakurupuka namna hiyo na madai ya 35
na huko pia watagoma si ndo zao jasiri haachi asili watagoma hata wakienda kwa god hao
mkuu wenyepesa hizo wako wangapi
watu wengine mnafikilia padogo kweli
dandabo unajua maana ya porojo au unadhani daktari hawezi akapata kazi huko na huyo ndugu yako ni mpiga deki au mlinzi
dar hongereni madaktari japokua tunapata pigo kubwa ila acha serikali ipate displine
wakifika waendako huko pia watagoma kwani jasiri haaachi asili na hao watagoma hata watakapofika kwa god maana wamezoea kugoma
sio wafanyakazi wote wa ubarozin wanaweza jua kinachoendelea nyinyi wafagiaji na walinzi hamuwez jua kila kitu
kaka mwiyuzi acha upuuzi huwezi ukasema daktari wa tanzania anayefanya kazi kwa mshahara wa dola 400 kwa mwezi yuko selfish na greedy labda hujui maana ya hayo maneno wanaolipwa million 10 unawaitaje
18th july 2012 1532
hapana mkuu hawa jamaa wanagoma kwa kitu ya msingi mkuu
18th july 2012 1533
kwa hili natofautiana na wewe mkuu ingekuwa hivyo (kwenye red)wangelikuwa na mshahara mara mbili (plus) ya hizo fani nyingine penye ukweli tuuseme
mkirua hata walipwe mara tatu sio shida tena kote huko duniani daktari huwa analipwa mara mbili au zaidi ya watumishi wengine wewe usome degree ya kwanza kwa miaka 3 upate senti kumi kwa mwezi mwenzako asome miaka 6 pia apate senti hizo hizo pia degree ya pili unasoma max miezi 12 mwenzako anasoma miezi 36 na zaidi na bado unataka mlipwe sawa mbona haitowezekana unadhani nani kesho ataenda kusomea udaktari kama hawatalipwa zaidi ya wewe
haya ni matokeo ya kiburi cha wanasiasa kupewa uongozi wanajifanya wamebinafsishiwa nchi na kuifanya yao chama dhaifu rais dhaifu serikali legelege
bila kuiondoa ccm madarakani hii nchi itaangamia
18th july 2012 1537
uzushi wa hali ya juu madaktar ni sawa na mfa maji haishi kutapatapa mgomo umeisha huku wao wakiwa wamepoteza wameaibika wamedhalilika tuliwashauri wasitumiwe kisiasa hawakusikia
kweli tume ya katiba unaongea kwa masaburi hivi utasemaje mgomo umeisha baada ya kumfukuza aliyegoma
mi nafukuza machinga ambaye peni ya 500 yeye anaanzia 15000
hakuna haja ya kujadiliana nayeni kupoteza muda kweli biashara ni kwa faida ila sio kama watakavyo waosuper super super profit badala ya profit au super profit
tumsubiri yule swahibu yako kibunango (ccm damu) atueleze kama kweli ni sera ya ccm
kwani tuliowasomesha ni dr's pekee yao mbona tunakufa kutokana na mambo mengi tu ambayo yangetatuliwa na watu wa professional nyingine tofauti na dr's
mfano ameishawahi kujiuliza ni kwanini watu wanabomolewa nyumba zao tena walizojenga bila ya msaada wowote toka serikalini
je hiyo wizara ya ardhi nyumba na makazi haina wasomi waliosomeshwa na pesa za waliovujiwa nyumba zao kama wapo wanafanya nini mpaka watu wanavujiwa nyumba zao
18th july 2012 1617
rushwa mkuu hakuana sehemu kwenye rushwa kama ardhi
kumbuka ardhi ililaaniwa na mungu rushwa ndo inasababisha kuvunjiwa majumba na kujenga majumba pasipo na mpango
watamuua baba yetu kikwete kwa presha
binam hawa walitaka sana kuwatumikia wa tz lkn serikali ya tz kwa kuwa haiwapendi watu wake imewatimua bila kuangalia madhara kwa raia wao
utaitetea sana serikali yako lkn ukweli utasimama
siku njema binamu wasalim wanangu
jaribu kuushughulisha ubongo wako ili upate taarifa sahihisio kumsikiliza kibonde akibwabwaja clouds kisha ukasadiki tatizo letu watz ni wazembe hata wa kufikirinchi hii kuna watu wengi tu kwa njia moja au nyingine ukimweleza 'leo sijala' moja kwa moja akili yake itampelekea kwenye chakula regardless dhima nzima ya mazungumzo yenu imeegemea wapi ss mkulu alipokuja kuhutubia taifa juu ya mgomo wa madr na kukwepa kuongelea hoja ya msingi nawe ukaingia kichwa kichwa kama 'mkulima' anyway nafikiri ni ngumu sana kukueleweshapengine kama kuna madaktari jamvini wanaweza kukusaidia ili uelewe zaidi
18th july 2012 1637
sitakuita mpuuzi kama wewe ulivyoniita coz nimejifunza kuheshimu mawazo ya mtucoz ukiita mtu mpuuzi huwezi kubadilisha mtazamo wake in anyway kama hujakubaliana na mtu unaargue na kumconvince kwa hoja
ninaposema ni selfish namaanisha they are self seeking na ninaposema ni greedy namaanisha kwamba wanatamaa ya kupata mshahara more than the actual situation ya tzutakumbuka kuwa kuna magraduate wanaolipwa chini ya hizo dola 400na si kwamba wanaridhika na hiyo mishaharaoh no
nakubali kuwa the current system inakatisha tamaa na inatisha na ni ya kinyama but this doesnt justify madai ya kupandishwa kwa mishahara yao kama wanavyodai
system kuwa ya kifisadi haijustify madai ya mishahara ya juu kwa kiasi hicho | 2013-05-22T23:46:21 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/293967-madaktari-waliofukuzwa-waula-namibia-botswana-rwanda-na-a-kusini-10.html |
zitto kabwe aipa ujumbe mzito ccm kuhusu rushwa kwenye chaguzi mbalimbali | mpekuzi
zitto amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa 'twitter' ambapo ameandika kuwa katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (ccm) dkt bashiru ally azungumzie mambo yanayoendelea nchini katika vikao vya ndani na asiishie kuzungumza kwenye majukwaa ya nje pekee | 2019-02-19T22:41:55 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/10/zitto-kabwe-aipa-ujumbe-mzito-ccm.html |
mikoa mipya kuanza hivi karibuni | jamiiforums | the home of great thinkers
mikoa mipya kuanza hivi karibuni
discussion in 'jukwaa la siasa' started by tatanyengo sep 8 2011
kwa mujibu wa taarifa ya tbc taifa rais kikwete alisaini hati maalumu ya kuanza kwa mikoa na wilaya mpya tarahe 5/9/2011 na tangazo rasmi litaandikwa kwenye gazeti la serikali tarehe 10/9/2011 wananchi watapaswa kutoa maoni yao kwa siku 30 kama wanaihitaji au lanaomba kuwasilisha
siihitaji
ni mizigo zaidi hiyo kwa mlipakodi aliyekamulika hadi damu kwa ufisadi reja reja kila mahali
uzoefu umeonyesha kutokaana na mikoa ambayo haina wakuu wa mikoa hadi hivi sasa kwamba wakuu wa mikoa na wilaya hawana tija yoyote kwa mlipakodi zaidi ya ccm kuzalisha ajira zaidi kwa maswahiba walioaachwa kwenye baridi baada ya uchakachuaji 2010
mheshimiwa rais haatuhitaji mizigo zaidi kwa makali haaya ya maisha
kwa ufanisi ni sawa lakini itakuwaje wakati hii iliyopo inashindikana kuhudumiwa vizuri kwa sasa kugawa mikoa sio kipaumbele
tatanyengo said ↑
kama wanahitaji au la
kwa hiyo kuna kimoja kilifanyika kabla kingine au hadaa za uchaguzi kama kawaida ya watawala wetu
likes received 6376
huu ni mojawapo ya mambo ambayo hayaingii akilini hivi ni lini ardhi ya tanzania iliongezeka wanachofanya ni kuigawa ardhi ile ile ndogo kwenye mikoa kuficha kushindwa kwao kuendeleeza mikoa iliyopo as if kwa kuongeza mikoa zaidi ndivyo watabadilisha mikoa iliyopo it makes absolutely no sense
i belive from practical experience that regional commisioners are celebrative redundunt figures see what has happened from election in october last year where more that eight regions are running without sitting regional commisioners to add more regions i found that absolutely absurd
ujinga tu
wanaacha kuhangaika na mambo ya maana wanataka kugawa ardhi na kuongeza mikoa ambayo itawacost wananchi zaidi ya kuwasaidia
maana ya mikoa/wilaya adhima yake nikuwasogezea wananchi huduma karibu na wala si kuteua mkuu wa mkoa nk enzi zile kwanini mtu anayetaka passport aliyoko mpakani mwa ngara aende dsm arudi ndo aende rwanda
ama mwalimu kule kwa gegemkeni kwanini asafiri km 700 kwenda mkoani kuonana na mkurungezi wake wa elimu tatizo watu wanaupotosha ukweli na hali halisi
harafu unapofanya mikoa mingi ama wilaya mingi ndo maendeleo yanasambaa kote kwa uwiano kwanini uwe na magorofa yaliyoenda juu pale dsm wakati ukikatiza dakika 15 tu unakutana na nyumba za msonge za kufa mtu kwangu mimi kuwa na wilaya mingi naa mikoa mingi ndo njia sahihi ya ku decentralize maendeleo
harafu mkitoka hapo mtakuja kuhoji kwanini watu wanakimbilia mjini
nailyne jfexpert member
mkamap said ↑
sasa badala ya kutumia fedha kuanzisha ofisi mpya za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya na kuajiri utitiririr wa watumishi hizo pesa kwa nini zisiende kujenga shulehospitals barabara kwenye hayo maeneo ambayo hajafikiwa na hizo huduma watendaji wa serikali na wanaomshauri rais ifike wakati waangalie maamuzi yenye manufaa kwa taifa haya mambo ya kuangalia ulaji kuna siku tutaambiwa rais atia saini kigoma kuwa nchi inayojitegemea
hivi wangapi wana access ni hili gazeti kwanza hata kwenye tovuti ya utumishi halionekani
08 septemba 2011
mikoa mipya kutangazwa kesho pinda
wazirimkuu mizengo pinda amesema serikali itatoa tangazo rasmi la serikali(government notice) kuhusu uanzishaji wa mikoa mipya na wilaya mpya ambalolinatarajiwa kuchapishwa kesho (ijumaa septemba 9 2011)
ametoakauli hiyo jana jioni (jumatano septemba 7 2011) wakati akizungumza naviongozi wa mkoa wa rukwa na wa wilaya ya mpanda mara baada ya kuwasili katikakiwanja kidogo cha ndege cha sitalike katika hifadhi ya wanyama ya katavi nakupokea taarifa ya mkoa na wilaya
mheshimiwarais jakaya kikwete alisaini tangazo lile tarehe 5 septemba na litatolewarasmi ijumaa wiki hii ikiwa ni hatua ya kwanza ya kuonyesha nia ya mheshimiwarais kuanzisha mikoa mipya na wilaya mpya alisema
tangazohili likishatoka litakuwa likionyesha makao makuu ya mikoa mipya na makao makuuya wilaya yawe wapi hivyo wananchi watapata fursa ya kutoa maoni yao kwa mudawa siku 30 wanaruhusiwa kusema kama wanataka mikoa na wilaya vianzishwe aula
alisemawananchi wanapaswa kuzingatia kwamba taarifa zao ni lazima ziwasilishwe makaomakuu ya wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) katika mudawa siku 30 kuanzia siku ambayo rais kikwete alisaini tamko hilo
wazirimkuu alisema hatua hiyo inafuatia kukamilika kwa zoezi la kuweka mipaka mipyakutoka kwenye wilaya na mikoa ya zamani na kisha kuchora ramani za kuoneshamikoa mipya na wilaya mpya
wazirimkuu pinda amewasili wilayani hapa kwa ajili ya ziara rasmi ambapo anatarajiwakuzindua matawi mawili ya chuo kikuu huria na tawi la benki ya crdb kesho(ijumaa septemba 9 2011) anatarajiwa kuzindua tawi la chuo kikuu huria lasumbawanga huko mjini sumbawanga
keshokutwa (jumamosi septemba 10 2011) waziri mkuu atakwenda wilayani mpandaambako pia atazindua tawi la chuo kikuu huria mpanda mchana huo huo atazinduatawi la benki ya crdb mpanda anatarajiwakurejea jijini dar es salaam jumapili ijayo (septemba 11 2011)
(mwisho)
imetolewa naofisi ya waziri mkuualhamisi sept 08 2011
kwa maendeleo ya sasa bila wakuu wa wilaya na mikoa hakuna maendeleo kwa vile mpaka sasa ndio figures pekee zinazoweza kuwakemea wakurugenzi na wakuu wengine wa idara wasifanyae wanachotaka kama hoja ni kufuta veo hivyo basi wafutwe hata viongozi wa vyama vya siasa wa wilaya na mkoa kwa vile walio taifani wanatosha kuna mihimli ya dolamahakama na bunge katika ngazi za wialya dc ndio mhimili wa dola na rc the same kwa hiyo nafasi hizo napendekeza ziboreshwe kwa kupewa madaraka zaidi ili kuharakisha maendeleo
sijalewa mikoa mipya inaanzishwa kisha ndiyo iangaliwe kama ina hitajika
mikoa ya njoruma katavi geita simeu etc kweli viongozi wa bongo kwa kutaka umaarufu wa kisiasa duh
nailyne said ↑
ningeshangilia kama ingetokea hapo kwenye red pakawa hivyo maana nimechoka kuishi katika linchi ambalo kila siku mabalaa yanaibukamara mafuta oooh sukarioooh kagoda ohhh mgao wa umeme na taktk nyingiikitokea nitahamia jamhuri ya kigoma haraka mno
bambo jfexpert member
sina tatizo sana na mikoa mipyabali napinga kwa nguvu zote jinsi ya kupata viongozi wa mikoa/wilaya hizokama mtindo ni kuteuliwa hapo siungi mkono na ni ufujaji wa mali ya umma kwani ni ulaji usio na maswaliningependa viongozi hao nao wachaguliwe kwa kura na wananchi wa mikoa hiyo husika along side the presidential vote ili wawajibike kwa wananchi na ikibidi wawe wazawa wa mikoa/wilaya hiyohiyokwa mfumo wa sasa mhtutaendelea kuwapata akina monica mbega huko ruvuma(zamani) wakati ni wabunge wa sehemu nyingine na wanatumia perks za mkoa mwingine kufuatilia maendeleo ya majimbo yao
pili hivi hilo gazeti la serikali linaonekana wapidunia ya leo si yawatu wachache kujifungia na kagazeti kao halafu kanatoa maamuzi ya kitaifa
safi sana jk hapa wazo la kuongeza ajira kwa wtz 1000000limetimia asante baba
tunalazimika jfexpert member
akili za mwanakijiji huwa hazina macho kwa mazur yanayofanywa na serikali na mabaya yanayofanywa na chadema_ni kwa mising hiyo mijadala mbalimbali ambayo hutumia muda mwing kuiandaa huwa haina mashiko kwsbb pamoja na ukweli uliomo katika mada hizo kinachomharibia ni kwamba yeye kama muelimishaji hatakiwi kuonyesha muelekeo wake hadharani _na hik ndicho kifo cha jf kwsbb mambo yote ni udini tu na chadema
mikoa yote mipya imefaidika au kujiendeleza kiasi gani
je kuanzisha hii mikoa kuna faida gani kwa mwananchi wa kimo cha chini
topics 1116792
posts 25053966 | 2018-01-16T14:11:50 | https://www.jamiiforums.com/threads/mikoa-mipya-kuanza-hivi-karibuni.170807/ |
nyumbani2019mart10 (jumapili)
siku machi 10 2019
halkalı tarehe ya ufunguzi wa line ya gebze ya marmaray imeadhibiwa
mkurugenzi wa manispaa ya jiji la akp istanbul binali yıldırım alisema katika mkutano wake huko zeytinburnu ı tuna habari njema ilikuwa ni muda mrefu lakini ilikuwa kamili mstari wetu wa treni unatoka gebze halkalıau hatimaye imekamilika 10 kutoka machi [zaidi ]
haki ya fidia katika kesi ya ucheleweshaji juu ya abiria kusafiri kwa reli
wizara ya uchukuzi na miundombinu imeandaa kanuni juu ya haki za abiria wanaosafiri kwenye reli agizo hilo linajumuisha habari nyingi kutoka kwa ulipaji wa tikiti hadi fidia kulipwa kwa abiria ikiwa kuna ajali na taratibu zinazotumika kwa abiria bila tikiti nchini uturuki [zaidi ]
chp gürer je umejiuzulu kutoka ajali ya yht huko ankara
naibu msaidizi wa chp niğde ömer fethi gürer ajali ya kasi ya mkutano mkuu (xhumx desemba) huko ankara ambapo watu wa 13 walipoteza maisha wamefikishwa kwenye ajenda ya bunge na pendekezo gürer sorumluluk jukumu la ajali [zaidi ]
leo katika historia 10 machi 1870 reli reli
leo katika historia 10 machi 1870 sehemu ya kwanza ya vipande vya elfu 750 elfu za vifungo vya reli ya rumelian ilizinduliwa juu ya kubadilishana kwa hisa za ulaya uuzaji wa hisa za paris na london hairuhusu uuzaji wa vifungo wakati soko la hisa la vienna liliruhusiwa kuuza [zaidi ] | 2020-01-22T10:50:54 | https://sw.rayhaber.com/2019/03/10/ |
mbowe akamatwa na polisi | jamiiforums | the home of great thinkers
mbowe akamatwa na polisi
mbunge wa hai (chadema) freeman mbowe
polisi wamkamata mbowe ahaojiwa na kuachiwa
taarifa hizo zilieleza kwamba baada ya kuhojiwa kwa muda polisi walimwachia kwa upande wao wananchi waliozungumza na nipashe walilaani kitendo cha polisi kumkamata mbunge huyo na kusema kuwa ni kumnyanyasa kisisasa na kumyima uhuru wa kusheherekea siku yake ya kuzaliwa
nipashe
ni taarifa za kiintelejinsia au
ni tanzania tu ambapo watu wanajifanyia mambo ovyo ovyo si haki kwa mtu kukupigia fataki saa nne usiku bila taarifa
lol serikali hii kwa visa utadhani mama mkwe wale wahindi walikuwa na sikukuu sijui ya nani huko wakapiga fataki hadi watu wakadhani imekua zamu ya mabomu ya kigamboni kulipuka walichukuliwa hatua gani double stds at worklol
mambo ya siasa wanayaingiza mpaka kwenye sherehe binafsi
ni kweli ilitakiwa awe na kibalihamna kudhalilishana wala nini kibali muhimu
ndiyo maana pol isi hupewa jina wao na wale wanaowafuga (rafiki ya mwindaji na kitoweo cha watu wa iringa)
mbona wale waliopiga fataki siku ya diwali bila kibari hawakuhojiwa mbona wale wahindi wanaopiga fataki beach usiku hawakamatwi
tumsikie faizafox anavyolonga kuhusu hili
kumbe mambo mengine yakujitakia ngoja anyee debe ajifunze siku ingine kufanya mambo kwa utaratibu
hivi kinyume na taratibu ni uvunjaji wa sheria nilitegemea wangesema amevunja sheria no flani sio kuja na hija zisizo za msingi
ukweli nikwamba jeshi la polisi limejisahau kama kupiga fataki ni kosa mbona zinauzwa madukani kiholela na kila mwenye uwezo anajinunulia na kuzipiga atakavyo siku mambo yatabadilika nchi hii ndio watajua jukumu lao kwa raia
mbwa lazima amsikilize anayemlisha
taratibu zinasema kwamba ukitaka kupiga fataki ni lazima kutoa taarifa polisi ili upewe kibali
hazisemi ukawaambie majirani
sheria za nchi zinataka kuomba kibali serikalini una uhakika hao wahindi hawakuwa na kibali
hatua zilizochukuliwa kwa mbowe zinaweza kuwa ni extreme lakini naye alikiuka sheria za nchi pamoja na kanuni za kibinaadamu tu huwezi kuwafanyia watu ghasia saa nne usiku bila ya taarifa
uvivu mbaya sana
hata kusoma kataarifa hako ka para tatu unajisikia uvivu
kimsingi ni kuwa anaekupa kibali ndie anaetakiwa kutoa taarifa kwa majirani kuwa kutakuwa na jambo kadha wa kadha
sawa basije kuna madhara yoyote yaliyosababishwa na fataki hizo
ambazo hazikuombewa kibali
ninamashaka na upeo wako wa kufikiri hizi chuki binafsi zitawaua kabla ya wakati wenu
nimekupata sana hapa una point kama fataka haziruhusiwi ila kwa kibali cha polisi basi hata kuzinunua ingetakiwa kwa vibali kama ilivyo kwa silaha kwa mtazamo huo polisi hawajui nini maana ya tofauti ya sheria na taratibu
taarifa polisi inasaidia nini kama watakaosumbuliwa hawatapewa taarifa ya usumbufu tarajiwa
hizi sheria na taratibu zisizo na maana hazitakiwi polisi wanaotaka watu wafuate sheria wakati wao hawatimizi wajibu wao ni upuuzi | 2018-01-22T10:46:11 | https://www.jamiiforums.com/threads/mbowe-akamatwa-na-polisi.202044/ |
jumla ya watahiniwa 7602 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kuanzia tarehe 5 na kumaliza 6 septemba mwaka huu katika halmashauri ya wilaya ya misungwi mkoani mwanza
akizungumza na waandishi wa habari mapema leo afisa elimu msingi wa halmashauri ya misungwi bw ephraim majinge kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyobw kisena mabuba alieleza kwamba halmashauri hiyo imeshafanya maandalizi yote ya zoezi la kitaifa la uendeshaji wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2018 na kwamba kuna jumla ya watahiniwa 7602 waliosajiliwa kwa ajili ya kufanya mtihani wa darasa la saba ambapo wavulana ni 3518 na wasichana ni 4084
bw majinge alifafanua kuwa kati ya watahiniwa 7602 waliosajiliwa miongoni mwao kuna wanafunzi 33 wenye ulemavu wa aina mbalimbali na wenye kuhitaji mahitaji maalum wakiwemo wavulana 16 na wasichana 17 ambapo watahiniwa wasiona ni 3 wenye uoni hafifu 10 wenye ulemavu wa masikio ni 12 (viziwi) na wenye ulemavu wa ngozi ni 8 (albino) waliopo katika baadhi ya shule za msingi
afisa elimu majinge alisema kwamba halmashauri ya wilaya ya misungwi ina jumla ya shule za msingi 145 zikiwemo shule za msingi za serikali 138 na shule za binafsi 7 na shule hizo zote zitakuwa na jumla ya mikondo 357 ya watahiniwa wote watakaofanya mtihani huo
wanafunzi wa darasa la saba ktika shule ya msingi kwimwa kata ya sumbugu wakiendelea na masomo ya ziada wakati wa likizo ya mwezi juni mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi utakaofanyika kesho (kushoto) mwalimu akikagua wanafunzi wakifanya majaribio ya masomo mbalimbali
bw majinge aliongeza kuwa kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na baraza la mitihani la tanzania inaeleza kwamba mtihani huo wa kumaliza elimu ya msingi utaanza siku ya jumatano saa 200 asubuhi kwa watahiniwa hao kufanya masomo ya kiswahili hisabati na english language na siku ya alhamis watafanya mtihani wa masomo ya sayansi na maarifa ya jamii
afisa elimu huyo amesema kuwa halmashauri na wilaya kupitia idara ya elimu msingi imeshakamilisha maandalizi yote ya msingi yanayohusu usafiri na mambo mengine muhimu kwa asilimia 99 hususani suala la usambazaji wa mitihani kutoka makao makuu ya halmashauri na kupelekwa kwenye vituo
bw majinge kwa niaba ya menejimenti ya halmashauri amewataka watumishiwazazi na wananchi wote kuwaombea na kuwatakia mitihani mwema watahiniwa wote na mwenyezi mungu awasaidie ili waweze kufaulu na kutimiza malengo na ndoto zao
afisa elimu msingi wilaya ya misungwibwephraim majinge akifafanua na kuelezea jambo kuhusu mikakati na maendeleo ya sekta ya elimu kwa madiwani wa kamati ya huduma za kijamii walipotembelea na kukagua katika shule ya msingi busagara mapema mwaka huu
afisa elimu msingi wa halmashauri ya wilaya ya misungwibwephraim majinge | 2019-02-16T02:10:49 | http://www.misungwidc.go.tz/new/watahiniwa-7602-wanatarajiwa-kufanya-mtihani-wa-kumaliza-elimu-ya-msingi-kesho-wilayani-misungwi |
kinana atinga iringa asema uchaguzi ujao wapinzani watapukutika ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
jumatatu 6 oktoba 2014
home » » kinana atinga iringa asema uchaguzi ujao wapinzani watapukutika
kinana atinga iringa asema uchaguzi ujao wapinzani watapukutika
uvccm tanzania1737
katibu mkuu wa ccm abdulrahman kinana akivishwa skafu baada ya kuwasili kwenye ofisi ya ccm wilaya ya iringa vijijini leo kushoto ni katibu wa ccm mkoa wa iringa hassan mtenga na wapili kulia ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa iringa jesca msambatavangu
katibu mkuu wa ccm abdulrahman kinana akisalimiana na mbunge wa isimani william lukuvi wakati wa mapokezi hayo
katibu mkuu wa ccm abdulrahman kinana akimsalimia mbunge wa kilolo profesa peter msola wakati wa mapokezi hayo
katibu wa nec itikadi na uenezi nape nnauye akisalimiana na kamanda wa uvccm mkoa wa iringa asas | 2017-10-17T03:52:48 | https://uvccmtz.blogspot.com/2014/10/kinana-atinga-iringa-asema-uchaguzi.html |
badilisha pula ya botswanan (bwp) na dollar ya canada (cad) calculator rate conversion calculator
bwp kwa cad
pula ya botswanan kwa cad
bwp kwa cad mpangilio wa sarafu pula ya botswanan kwa dollar ya canada
mwandishi wetu pula ya botswanan kwa dollar ya canada ni wa sasa na viwango vya ubadilishaji kutoka 09082020 ingiza kiasi chochote cha kugeuzwa katika sanduku upande wa kushoto wa pula ya botswanan tumia swap sarafu button kufanya dollar ya canada sarafu default bofya kwenye dollar ya canada au pula ya botswanan ili kubadilisha fedha hizo na sarafu nyingine zote
pula ya botswanan to dollar ya canada kiwango cha ubadilishaji wa kiwango
viwango vya kubadilishana vinasasishwa 09082020 2025
011538 cad ($)
1 bwp = 0115379 cad
8667088 bwp = 1 cad
pula ya botswanan bila shaka kwa dollar ya canada = 012
usd 1 117889 130435 074719 000944 008518
eur 084826 1 110643 063381 000801 007226
gbp 076667 090381 1 057284 000724 006531
cad 133836 157777 174568 1 001263 011401
jpy 10593904 12488997 13818166 7915616 1 902427
bwp 1173935 1383935 1531223 877148 011081 1
bwp to cad kiwango cha ubadilishaji wa kiwango
pula ya botswanan ni sarafu katika botswana dollar ya canada ni sarafu katika canada ishara ya bwp ni p ishara ya cad ni $ kiwango cha ubadilishaji wa pula ya botswanan kilibadilishwa mwisho august 10 2020 kiwango cha ubadilishaji wa sarafu ya dollar ya canada kilibadilishwa mwisho # # kipengele august 10 2020 cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu kipengele bwp cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu
kiwango cha fedha pula ya botswanan kwa dollar ya canada = 012
p 5 $ 058
p 10 $ 115
p 50 $ 577
p 100 $ 1154
p 250 $ 2884
p 500 $ 5769
p 1000 $ 11538
$ 1 p 867
$ 5 p 4334
$ 10 p 8667
$ 50 p 43335
$ 100 p 86671
$ 250 p 216677
$ 500 p 433354
$ 1000 p 866709
bwp kwa chfbwp kwa hkdbwp kwa idrbwp kwa inrbwp kwa jpybwp kwa nokbwp kwa nzdbwp kwa sgdbwp kwa uahbwp kwa usd | 2020-08-10T10:57:42 | https://www.curvert.com/sw/bwp-cad/ |
esrf yandaa kongamano la kilimo biashara | masama blog
home » news and updates » esrf yandaa kongamano la kilimo biashara
esrf yandaa kongamano la kilimo biashara
mkurugenzi mtendaji taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) dk tausi kida akitoa neno la ufunguzi kwa washiriki wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mkuu wa idara ya maarifa na ubunifu ya taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) magreth nzuki akizungumzia malengo ya warsha kwa washiriki (hawapo pichani) wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mtafiti mshiriki mwandamizi kutoka esrf dr oswald mashindano akizungumzia fursa za kilimo kwenye miji na fursa za uwekezaji kama zilivyoainishwa kwenye miongozi ya uwekezaji kwenye mikoa mbalimbali wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
rais wa umoja wa vijana wajasiriamali na wataalamu wa miradi mkoa wa singida (syeccos) bw philemon kiemi akitoa mada kuhusu ufugaji wa kisasa wa nyuki wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mtaalamu kutoka sua ltn joseph lyakurwa akitoa mada kuhusu ufugaji wa samaki katika matanki kwa washiriki (hawapo pichani) wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mtaalamu kutoka chuo kikuu cha sokoine cha kilimo (sua) dr hieromin lamtane akitoa mada kuhusu malisho ya chakula cha samaki kwa washiriki (hawapo pichani) wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mtaalamu kutoka agriculture media bw raphael majivu akitoa mada kuhusu kilimo cha malisho ya mifugo bila udongo (hydroponic fodder) pamoja na kilimo cha azola (chakula cha mifugo na mbolea) wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mkurugenzi mtendaji taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) dk tausi kida akijadiliana jambo na meneja wa data wa esrf john kajiba (kushoto) pamoja na mkuu wa idara ya maarifa na ubunifu ya taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) magreth nzuki wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
baadhi ya washiriki wakipata maelezo ndani ya kitalu maalum kuhusu kilimo cha mbogamboga bila kutumia udongo wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
mtaalamu kutoka sua ltn joseph lyakurwa akitoa maelezo kwa vitendo kwa washiriki kuhusu ufugaji wa samaki katika matanki wakati wa warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
baadhi ya washiriki waliohudhuria warsha ya fursa katika kilimo biashara iliyofanyika mwishoni mwa juma katika viwanja vya ofisi za esrf jijini dar es salaam
taasisi ya tafiti za kiuchumi na kijamii (esrf) imeendesha kongamano kubwa la fursa za kilimo biashara kwa lengo kuhimiza matumizi ya teknolojia ili kuboresha tija katika sekta ya kilimo
awali akizungumza kabla ya kumkaribisha mkurugenzi mtendaji wa esrf mkuu wa idara ya maarifa na ubunifu esrf bi margareth nzuki alisema taasisi hiyo ikishirikiana na serikali kwa ufadhili wa shirika la umoja wa mataifa la maendeleo (undp) limekuwa likifanya tafiti mbalimbali ili kuainisha fursa zilizopo katika maeneo mbalimbali ya uchumi
ameongeza kuwa kwa ufadhili wa undp esrf ikishirikiana na serikali za mikoa limefanya utafiti kuainisha fursa mbalimbali za uwekezaji katika mikoa yote ya tanzania bara na mpaka sasa imekwisha kamilisha kutayarisha miongozo ya uwekezaji wa mikoa 15 na inaendelea kumalizia mikoa mingine iliyobaki amesema katika miongozo hiyo fursa nyingi zinatoka katika sekta ya kilimo uvuvi na ufugaji
bi nzuki amewaambia washikiri kuwa lengo la kongamamo hilo ni kushirikishana na kutoa maarifa mapya katika kilimo biashara
akizungumza katika kongamano hilo mkurugenzi mtendaji wa esrf dk tausi kida alisema kukua kwa teknolojia duniani kumeongeza fursa nyingi na kuwezesha wakulima katika sehemu mbalimbali duniani kutokutegemea mvua
teknolojia imewezesha wakulima kutumia eneo dogo la ardhi kuzalisha kiwango kikubwa cha mavuno ya mazao yaliyo bora teknolojia pia imewezesha wakulima kupata taarifa mbalimbali za kilimo cha kisasa toka kwa wataalamu kwa haraka na muda muafaka hivyo kusaidia kupata mavuno mengi na bora alisema dk kida
kilimo hicho cha kutegemea teknolojia za kisasa kinachoitwa kwa kiingereza smart farming agriculture ambacho hakihitaji maeneo makubwa ya ardhi na kinaweza pia kufanyika katika miji
uwingi na ubora wa mazao yanayozalishwa ni kiashiria cha fursa ya kufanya biashara kwa tija kwa sababu mazao hayo yatamvutia mnunuzi na yanaweza kuuzwa popote duniani kutokana na sifa zake za ubora mfano kwenye maduka makubwa na mahotelini ambako wateja wengi katika zama hizi wanapenda vyakula vya asili ambavyo havina kemikali ambayo inatumika kukuzia mimea mashambani
kongamano hilo limeandaliwa kwa ajili ya wakulima wafugaji wavuvi na wadau wengine katika sekta ya kilimo
kwa mujibu wa dk kida wakufunzi mbalimbali waliobobea na wanaojihusisha katika fani mbalimbali za kilimo biashara wametarajiwa kutoa uwelewa kwa kuwajengea uwezo washiriki ili kutafuta utatuzi wa vikwazo mbalimbali ambavyo wakulima na wafugaji mmekuwa mnakabiliana navyo
katika kongamano hilo lililofanyika mwishoni mwa juma mada zilizofundishwa naa kujadiliwa kwa kina ni pamoja namalisho ya chakula cha samakiufugaji wa samaki katika matanki (recirculating aquaculture system) kilimo cha mboga mboga bila kutumia udongo (hydroponic vegetable)kilimo cha azolla kwa ajili ya malisho ya mifugo na mbolea ufugaji wa kisasa wa samaki kwa kutumia vizimba matanki na mabwawaufugaji wa kisasa wa nyuki na kubadilishana uzoefu katika kilimo biashara
washiriki wengine pamoja na wakulima na wafugaji ni taasisi za fedha nchini za tadb crdb self na pass trust
wadau hao hutumiwa na wadau wengi katika kufanikisha mipango ya maendeleo kwa manufaa ya mtu mojammoja vikundi na taifa kwa ujumla
from michuzi blog https//ifttt/2oiatm5
thanks for reading esrf yandaa kongamano la kilimo biashara | 2020-04-07T23:26:21 | https://www.masamablog.com/2020/02/esrf-yandaa-kongamano-la-kilimo-biashara.html |
zitto sikuona mambo haya serikali zilizopita mwanahalisi online
marais wastaafu wa tanzania
posted by mwandishi wetu june 11 2019 0 3063 views
zitto kabwe kiongozi wa chama cha actwazalendo amedai kuwa katika tawala za marais watatu waliopita hakuwahi kuona mambo yanayofanyika kwenye serikali ya sasa anaripoti mwandishi wetu (endelea)
amedai kwenye serikali hizo zilizopita uongozi wa alhaj ali hassani mwinyi rais benjamin mkapa na rais jakaya kikwete hakukuwa na ulaghai kwa wananchi kama ilivyo sasa
akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 11 juni 2019 kwenye ofisi ndogo za actwazalendo magomeni jijini dar es salaam zitto amesema sekali ya sasa kila mwaka inaeleza kuwa na nia njema ambayo haionekani
katika umri wangu huu nikiwa na akili timamu angalau nimeweza kuona uongozi wa awali ya pili ya rais mwinyi (alhaj ali hassani mwinyi) miaka yote 10 ya rais mkapa (benjamin mkapa) na miaka yote 10 ya rais kikwete (jakaya kikwete) sijawahi kuona serikali ambayo inaongoza kulaghai watanzania kama serikali hii amesema na kuongeza
njia ya kuzimu imejaa nia njema kwa mtu ni rahisi kusema nina nia njema kumbe chini ya ile nia njema kumejaa nia ovu kubwa huwezi kusema una nia njema mwaka wa kwanza wa pili wa tatu na mwaka wa nne
akieleza kuyumba kwa uchumi wan chi zitto ambaye ni mbunge wa kigoma mjini amesema kuwa serikali imeshindwa kuimarisha ustawi wa uchumi wa nchi licha ya kuwajaza wananchi matumaini
na kwamba kuna tatizo ambalo linaikabili uongozi wa sasa kutokana na kubadilisha mawaziri na watendaji wengine mara kwa mara
mimi na maalimu seif (maalim seif shariff hamad) siku moja tulikuwa tunajadiliana akaniambia kitu ambacho viongozi wengi hukisema `the back stops herehuwezi kila wakati wewe unapeleka lawama kwa wasaidizi wako tu kila siku
kiongozi huyo amesema ni muda kwa watanzania kufanya uamuzi juu ya serikali ya awamu ya tano katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye chaguzi
ni muda kwa watanzania kutafakari kama mtu tuliyempa kutuongoza anafaa uamuzi ni wa watanzania wenyewe kwenye sanduku la kura
na sio mbali tuendelee kuvumilia mwakani oktoba inafika tukabidhi nchi kwa watu wanaoweza kuendesha uchumi vizuri na wanaweza kulinda misingi ya demokrasi amesema zitto
zitto kabwe kiongozi wa chama cha actwazalendo amedai kuwa katika tawala za marais watatu waliopita hakuwahi kuona mambo yanayofanyika kwenye serikali ya sasa anaripoti mwandishi wetu (endelea) amedai kwenye serikali hizo zilizopita uongozi wa alhaj ali hassani mwinyi rais benjamin mkapa na rais jakaya kikwete hakukuwa na ulaghai kwa wananchi kama ilivyo sasa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 11 juni 2019 kwenye ofisi ndogo za actwazalendo magomeni jijini dar es salaam zitto amesema sekali ya sasa kila mwaka inaeleza kuwa na nia njema ambayo haionekani katika umri wangu huu nikiwa na akili timamu angalau nimeweza kuona&hellip
previous lukuvi awapa ziku 9 wadaiwa kodi ya ardhi
next mvutano waibuka kesi ya sheikh ponda | 2019-08-22T04:31:45 | http://mwanahalisionline.com/zitto-sikuona-mambo-haya-serikali-zilizopita/ |
kuichagua tena ccm je ni kielelezo cha kufanya informed decision au ni ignorance | jamiiforums | the home of great thinkers
kuichagua tena ccm je ni kielelezo cha kufanya informed decision au ni ignorance
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by pascal mayalla sep 21 2015
messages 25465
likes received 22760
kuanzia leo hadi tarehe 24 october kwa siku hizi 30+ zilizobakia kabla ya kufanyika uchaguzi nitajitolea kutoa makala za uhamasishaji ili wana jf tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura makala hizi zitakuwa ni makala elimishi ili kuwasaidia watanzania wenzetu ambao bado wamelala waamke ili wakachague kwa kufanye informed decision yaani wachague kwa sababu ya kuchagua na sio kuchagua kwa mazoea tuu kuchagua kwa mazoea tuu mimi nimekuita ni ignorance
kuna msemo usemao you can fool some people for some time but you can't fool all the people all the times
ikitokea kuna watu ambao wote wanakuwa fooled all the times then watu hawa watakuwa ni a bunch of fools and ignorants jee sisi watanzania wote ni a bunch of fools and ignorants
ccm has been fooling us all for all the times kwa ahadi na ahadi zisizotekelezeka na siku zote bado tunaichagua tena na tena miaka mitano ikifika huja na visingizio hivi na vile vya kwanini ahadi hizo hazikutekelezwa na kila baada ya miaka 5 huja na ahadi mpya kibao zenye matumaini mengine mapya kipindi cha uchaguzi kinafika bila ahadi za zamani kutimizwa hatuambiwi sababu kwa nini hazikutimizwa bali tunaletewa ahadi mpya na tunaichagua ccm tena na tena jee kujiuliza kama sisi watanzania ni ignorants au tumelogwa ni kutukana
hii ni mada ni kufuatia mada yangu ya jee watanzania ni ignorants au tumelogwa bandiko hili lilimgusa dada yangu juliana shonza sijui kwa nini alishindwa kuchangia bandiko lile ila na yeye akanzisha bandiko lakewatanzania sio wajinga tumekusikia tumetafakari kujibu bandiko langu na hii ni sehemu tuu ya majibu yake
naomba kumthibitishia kuwa mimi na watanzania sio wajinga tunatambua jema na ovu tunatambua nani ni mbaya na nani ni mwemayawezekana yeye ameshindwa kutambua hivyo nitazungumzia juu yangu na watanzania wenzangu ambao kwa miaka zaidi ya 50 sasa tumeendelea kuiamini ccm
naomba nianze kwa kukuonya kuna tofauti kubwa kati ya ignorance na utaahira mimi nimesema watanzania tunaichagua ccm kwa ignorance naomba uliombee msamaha hili la kuwatukana watu ni mataahira kabla 'karma' ya utaahira haijakushukia haswa kwa kuzingatia wewe bado ni binti mdogo mbichi ndio kwanza unajiandaa kuingia kwenye ujenzi wa familia omba tuu hata kimoyo moyo mungu akuepushie mbali tukano hilo la kutukana watu mataahira
naomba niweke in points format ili iwe rahisi kuchangia kwa kujibu hoja au kupangua hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja
tulipopata uhuru ile miaka ya 60 tulikuwa na maadui wakubwa watatu ujinga umasikini na maradhi tulikuwa na all the resources to make this country move forward watu ardhi siasa safi na uongozi bora tena ilisemwa fedha sii msingi bali ni matokeo tulikuwa na udongo wenye rutuba vyanzo lukuki vya maji mali asili utalii utajiri mkubwa wa madini etc etc in short we had everything na wenzetu tuliopata nao uhuru had nothing compared leo wenzetu have everything and sisi not only we have nothing bali umasikini umeongezeka mara dufu tulikua tuna object poverty sasa tuna stinking poverty ni umasikini uliotopea kila siku ni afadhli ya jana ujinga umeongezaka maradufu wakati wa nyerere there was a time litaracy level yetu ilikua juu hadi wazee walifundishwa elimu ya watu wazima na elimu ya kujua kusoma na kuandika katika elimu ya ngumbaru leo mwanafunzi anamaliza darasa la saba hajui kusoma wala kuandika maradhi ndio usiseme lakini leo sio tuu bado tuna wale maadui watatu bali sasa tumeaongeza na maadui wengine wawili zaidi ambao hawa ni ccm's own making rushwa na ufisadi
nakubalina na wewe baba wa taifa hili mwalimu nyerere amelifanyia makubwa taifa hili na pia ni kweli mchango wa tanzania katika ukombozi wa nchi za kusini mwa afrika na vita vya kagera vimechangia kururudisha nyuma maendeleo yetu but to what extence
mwalimu nyerere alifika mahali akakubali makosa akakiri kufanya kosa sii kosa kosa ni kurudia kosa hivyo kwangu tatizo sio mwalimu bali hawa waliomfuatia sio tuu kwa kurudia makosa bali kuongeza na makosa mengine mapya ya kijinga kabisa ujinga huu ndio ignorance ninayoizungumza mimi mjinga akikupa sababu za kijinga na wewe ukaendelea kumchagua wewe unaemchagua ndio mjinga kabisa hivyo nimeuliza jee sisi watanzania wote ni wajinga ki hivyo are we all that ignorants
mimi sio miongoni mwa lile kundi wanaosema ccm haijafanya kitu kuna mengi tuu mazuri ccm imefanya na nimeyasema humumiongoni mwa mazuri ya ccm but it is not enough uzuri wangu mazuri ya ccm nimeyakubali na kuyataja humu ila pia mabaya ya ccm na madudu ya ccm nimeyatajamapungufu ya ccm a constructive criticisim madudu ni mengi zaidi kuliko mazuri hivyo nimeulizadoes ccm deserve kupewa another chance au kupumzishwa ni halali ila tukiamua kuipumzisha nikashauri na tuipumzishe kwa upendo na amani
ccm imefanya mismanagement kubwa ya resources za nchi hii for too long sasa nchi yetu imefikia stage tunona pride raisi wetu kupanda ndege kusafiri kwenda ulaya kutembeza bakuli wakati tuna utajiri mkubwa wa maliasili na rasimali za kutosha kutufanya kuweza kujitegemea kitendo cha tanzania kuwa bado ni taifa omba omba its just unacceptable and it is a shame
rushwa ya petty corruption is an order of the day kiasi kwamba baadhi yetu ukikamatwa na kosa la traffic kuliko kusubiria hiyo notification ya bila risiti bora mmalizane hapo hapo na kusave time hata kujiandikisha tuu kwenye daftari ya kudumu la wapiga kura i had to do something nakiri sikuombwa chochote na yoyote bali nilipofanya time management ya kuamka saa 10 alfajiri ili kuwahi foleni na kushinda siku nzima kituoni nika opt kuitumia ile dawa ya 'penye uzia' mwanzo rushwa ilikua siri sasa ni mambo hadharani wazi wazi trafick hawaendi tena kupokelea pembeni au uchochoroni kwa kujificha bali wameihalalisha wazi wazi kwa kutembea na vitabu fake vya notification unaandikiwa na kuambiwa risiti uipitie baadae
the grand corruption ndio usiseme sisi tulio sekta binafsi tunajua ili ushinde tender unapaswa kufanya nini manunuzi ya umma ni kwa kickback za kueleweka ile ya rada imerudishwa kwa uadilifu tuu wa waingereza tena kwa taarifa yako tuu kama hujui ule mgao wa change ulikua ni vijisenti tuu laiti watanzania wangesikia wale wazee 'wanene' wa kule top walivuta ngapi hata kusubiria tuu hadi mwaka wa uchaguzi ufike ndipo wafanye mabadiliko watu wangeona mbali wangemarch streets moja kwa moja hadi kwenye ile nyumba pale kwenda kuwafurusha na kuwatoa baru ccm waishukuru sana bae kwa kuyahifadhi majina ya waliolipwa hizo kickbacks na badala yake kukubali kulipa faini ya nondisclosure ndio hicho kinachoitwa change ya rada
ufisadi ni kila kona mfano mdogo ni ununuzi wa ndege ya rais bei yake imeonekana wazi ni bilioni 18 tuu ajenti analeta bili ya bilioni 43 serikali inaonyeshwa hadi bei halisi ya kiwandani lakini bado inaendelea tuu kulipa only the fools and the ignorants ndio wataamini there was no kickbacks hadi kule the highest office ajenti wa ndege hiyo ndio huyo huyo ajenti wa rada ndio huyo huyo ajenti wa zile helcopter mbovu ndie ajenti wa magari ya jeshi mtumba na vifa vya kivita viwivyofanya kazi na siku za sherehe za ikulu ukiondoa magari ya viongozi wakuu wa kitaifa ambao magari yao ndio huruhusiwa kupaki ndani ya ikulu gari la ajenti huyu red ferrarri ndilo hupaki ndani ya ikulu tena pale garden ili kila mtu alione na kumtambua yuko karibu na familia ya rais hata magari ya mawaziri na mabalozi hupaki nje ni ignorant tuu pakee ndiye atakayeamini 'jamaa' hahusiki
serikali ya ccm haina vipaumbele muhimu bali inendeshwa kwa matukio tangu tumepata uhuru ujinga ulikua ni adui namba moja tumefanya nini kuinua elimu yetu ccm imewekeza on ignorance na inaitumia hiyo ignorance kama mtaji wake wa ushindi na ukiangalia maeneo yenye low literacy level hizo ndizo ngome za ccm mkoa wenye the highest literacy level ni ya kanda ya kaskazini angalia hali ya ccm kwa watu waelewa hawadanganyiki tena na ikitokea ccm ikashinda hata jimbo moja then labda upareni kwenye umasikini na simanjiro kwenye ujinga
mzigo mkubwa unaotuongezea umasikini huu ni gharama kubwa za uendeshaji wa serikali nchi yetu ni ndogo tuu tena masikini wa kutupwa lakini yenye serikali kubwa for nothing kinchi kidogo tuu kama tanzania kuwa na mawaziri 54 huku linchi likubwa na tajiri kama marekani wana mawaziri 6 tuu huu kama sio ujinga ni nini tukiwa na mfumo mzuri hata ma dc ni redundant just a wastege of resources tuna baadhi ya idara zinazojitegemea hazina kichwa wala miguu mfano baada ya kuwa na vizazi na vifo halafu tunaanzisha nida kufanya kitu kile kile ambacho kingefanywa vizuri zaidi na vizazi na vifo
madini tumetoa bure na gesi pia tunatoa bure gesi asili is it day light robbery watanzania tunaibiwa mchana kweupe
handling ya issue ya escrow ni kielelezo cha ignorance ya hali ya juuescrow jee watanzania ni ignorants au tumelogwa
hakuna ubishi kuwa siku zote ccm imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali ka mbinu tuu na mtaji wao mkubwa wa ushindi ni kuitumia ignorance ya watu ambao ccm imewekeza
hakuna ubishi kuwa ccm kama chama kimechoka dalili zote za chama kichovu kinachosubiri kifo tayari zimeisha jitokeza kwa ccm kinachosubiriwa sasa its only a matter of time ni lini kitaangwa rasmi hiyo october 25 is the day of the judgement yaani it is judgment day ccm imechokwa mtazamo ccm imechokwa mpaka basi
hakuna ubishi kuwa wengi wa hao watu wamekuwa wakiichagua ccm sio kwa sababu wanaipenda sana (waipende kwa lipi) la hasha watu wamekuwa wakiichagua ccm kwa mazoea tuu kufuatia ignorance yao
hakuna ubishi kuwa wengi wa hao watu waliokuwa wakiichagua ccm kwa ignorance ya mazoea tuu sasa wameamka kutoka katika usingizi wameichoka hivyo october 25 hawatachagua tena chama kwa mazoea bali watachagua chama kwa sababu
tatizo kubwa la watanzania au adui mkubwa wa tanzania sio ccm ccm is just a vehicle haikujiweka hapo ilipo imewekwa kwa ignorance yetu hivyo tatizo sio ccm iliyowekwa bali tatizo ni sisi wale walioiweka ccm hapo ilipo that simply means tatizo ni sisi watanzania tulioiweka ccm madarakani kwa ignorance yetu and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata october 25 hawa ignorants ambao hawajabadilika kama ni wengi kuliko walioamka then sitashangaa wakiirudisha tena ccm ikulu ya magogoni huku kutakua ni uthibitisho wa ignorance
chaguzi nyingine zote ccm imekuwa ikichaguliwa kwa walkover victory kwa ignorance tuu kwa sababu we had no choice to choose from uchaguzi wa mwaka huu tuna altenative we have a choice kati ya kuichagua ccm au kuipiga chini watu tutaingia kwenye uchaguzi with choice na sio walk over kama mazoea hivyo ccm ikichaguliwa tena then hiyo ndio itakua choice yetu tumechagua tena kwa sababu na sio kwa mazoea ya ujinga (ignorance)
namalizia kwa kukumbushia lile swali la msingi baada ya kusoma haya kweli bado kuna watu wataichagua ccm na iwapo wataichagua tena ccm kuichagua huku ccm jee ni kielelezo cha kufanyika kwa informed decision au ni uthibitisho wa muendelezo wa ignorance ya watanzania kuendelea kujichagulia tuu kwa mazoea
tafakari kwa makini fikia maamuzi ya busara hakikisha tarehe 25 october unajitokeza kifua mbele kwenda kuitumia haki yako ya kidemokrasia kuamua hatima ya nchi hii kwa kupiga kura
nawatakia jumatatu njema
messages 26400
likes received 17583
pasco shemeji yangu pole kwa kujibiwa kama ulivyojibiwa
uliyemjibu ni kati ya wale wanaofikiria kwa kuzingatia wapi anapata chakula chake cha kila sikubinti huyu amejisahau kwamba wale waliomfunda akajakuonekana na ccm ndiyo kwake wamekuwa wakila matusi ya kila aina
in short uliyemjibu amezaliwa baada ya miongo kadhaa kupitahajui kama ilikuwa lazima kwenda jkt na ni lazima kuwa mwanachama wa ccm ama sivyo shule utaisikia barabarani au ajira utaisikia tu
hajui kama waliouza viwanda vyetu tukawa hatuna hata kichwa cha kufikiri ndiyo hao leo anawapigia debehivyo ndugu yangu huyo wala si wa kumjibuhajui na hataki kujua
leo ukiangalia gharama ya kuwalipia mawaziri kwenye mahoteli makubwa ni ya juu sana kuliko faida iliyopatikana kwenye kuuza nyumba za serikalina aliyeziuza leo tunaaminishwa kwamba hakuna mzuri kama yeyehuyu anayewajibu watanania majibu ya kifedhuli akiwa waziri leo akiwa rais atatuambia kama hatukubali tuhame nchi
ila kosa kubwa linalotokea leo ni elimu ndogo ya uraia pamoja na uwezo wa kufanya maamuzi yaliyo sahihi
kama magufuli atachaguliwa basi tujue tuna miaka mingine mitano au kumi ya kudumaa kama taifatumeona kampeni za kikabila zikichukua nafasi na matusi lakini tume yetu iko kimya kabisawamebariki labda kwa sababu wanaofanya hayo ni chama kilicho wateua
nina muonea huruma binti atakapojua ukweli na kuona hata aje malaika kwa sababu ya ccm kutokujua tatizo liko wapiwakidhani tatizo ni lowassa na wao chini ya magufuli wako safibasi tusubiri tuonekuna watu watajutia kura zao humu ndanimuda ni dawa tunausubiri kwa hamu
rockspider jfexpert member
messages 6874
mkuu pasco umeongelea swala la msingi sana crystal clear ccm iko kwaajili ya kutetea maslahi ya wakubwa wa dunia hii haiko kwaajili ya wananchi wa tanzaniamnamo mwaka 1997 hayati baba wa taifa aliligundua ccm imegeuka agent wa imperialism alifadhaishwa na sana na hali hiyo hata kifo chake kimeongelewa sana juu ya ehm kummaliza jambo la msingi la sisi watanzania kujiuliza ni kwanini multnational corporation accasia bg symbion uranium one et al ndo zenye hofu kuu ya kuondolewa kwa ccm kwanini wako tayari kumgharamikia slaa lipumba et al kwa niaba ya ccm
tknl jfexpert member
ikitokea kuna watu ambao wote wanakuwa fooled all the times then watu hawa watakuwa ni a bunch of fools and ignorants jee sisi watanzania ni a bunch of fools and ignorants
voting lowasa counts as being fooled again he represents the fraction of ccm which is most virulent when it come to graft and corruption we would rather give ccm 5 more years as we reorganize proper change
tunajua hofu yako iko wapi mncs zenye kukwapua rasilimali zetu burebure mwisho october 2015
tknl said ↑
voting lowasa counts as being fulled again he represents the fraction of ccm which is most virulent when it come to graft and corruption we would rather give ccm 5 more years as we reorganize proper change
duppyconqueror jfexpert member
messages 9157
likes received 4379
ccm si chama kamilifu (kama vilivyo vyama vingine vyote ulimwenguni)ila mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kumchagua lowassahana kigezo chochote cha yeye kuwa head of state
nolieonlytruth jfexpert member
you can fool mosttanzanians all the time because most of them are too dumb to realize that 54 years cyo mchezo
duppyconqueror said ↑
lowassa is good for those who invested a lot of money and energy in his campaign it is for their personal benefit not because lowassa stands for anything beneficial to our nation pasco is one of those prospective benefactors nothing personal just a fact but for anyone who has no vested interest it is evident lowassa is unfit
makete kwetu jfexpert member
mnaodhani pasco aka paskali yupo kwa ajili ya mabadiliko mnajidanganyahuyu mkuu anaitumua kalamu yake vizuri sanahuyu ni ulipo tupo puremtu wake angepitishwa huko asingeandika yote hayaviongozi wa cdm anaona wanafaa leo kwa sababu tu ya mkumpokea mtu wakesi mda mrefu sana alikuwa anawakejeli sana kama ni watu ingorantsaje sasa atuthibitishie uingorant wa viongozi wa cdm leo umeisha kwa kumpokea mtu wake
kuichagua ccm iliyo ua viwanda mashamba vyama vya ushirika kugawa rasilimali za watanzania yenye ufisadi wa kila aina ni ujuha category a
messages 14431
likes received 7617
kiongozi wa mabadiliko alikua ndani ya mfumo anaoupinga kwa miaka zaidi ya 30
huyo huyo alikua sehemu ya maamuzi anayapinga leo kwa zaidi ya miaka 30
ameishi kuyatenda na kuyatetea anayoyapinga leo kwa miaka zaidi ya 30
hakuna ushahidi wala rekodi ya vitendo wala maneno ya kupinga aliyoyaamini kuyafanya na kuyatetea kabla ya kuanza kwa kampeni za urais
hivyo hatuwezi mweka mbali na hamu ya madaraka tu kwa mwamvuli wa mabadiliko
acheni kushambulia mtu kwa mawazo yake ametoa mawazo yake yapokee au yakatae ukiangalia pasco yuko pande zote mbili ccm na ukawa anaangalia masirahi ya nchi yake badala ya kuangalia masirahi ya chama amekuwa mfuasi mzuri sana wa ccm lakini pia amekuwa mfuasi mzuri wa mabadiriko
abdul mohammed jfexpert member
wameshaanza kujitambua sasa ccm itakuwa na wakati mgumu sana wapiga kura wao ambao ni wazee wameanza kujitambua kuwa wanadanganywa na chama chao hawa wazee ndio mtaji uliokuwa mkubwa wa ccm kushinda chaguzi zao nyingi safari hii nao wazee wanaikataa ccm sio kwa maneno tu hata kwa vitendo subirini 25 oktoba 2015 ccm watapata jibu lao sahihi
cc pasco juliana shonza
i don't believe on mistakes hivyo siamini kuwa makosa katika nukuu yako ni bahati mbayabinafsi najua ni muendelezo wa de docta ignorantia on learned ignorance najinukuu ili kuweka kumbukumbu sasa
tanzania is exceptional country with extra ordinary countrymentungekuwa wajinga tungekubali nchi yetu kutotawalikanchi hii ni ya mfano katika nchi za afrika mfano kwa uongozi imara mfano kwa amani na utulivu mfano kwa umoja wa kitaifa mfano kwa kujitoa katika kusaidia nchi nyingine za afrika kwa hali na mali hakuna nchi yeyote katika afrika kusini mwa jangwa la sahara ambayo imepiga hatua na kufikia ilipofikia leo ikawa haijapata msaada wa tanzaniakama ipo naomba niambiwe
dolevaby jfexpert member
messages 8269
likes received 3399
mkuu hebu tupe kigezo
nasikitika mnaopoteza muda kujibishana nahuyo jfyonza nimiongoni mwa wanaotumia utumbo kufikiri badala ya ubongo
petition member
jamco_za said ↑
pasco anamfata mamvi tu si kingine alikuwa ccm as long as mamvi alikuwa anasaka/anategemea kuteuliwa na ccm sasa mamvi kakatwa ccm yuko upinzani na yeye amemfuata huko na kusifia upinzani hakuna kitu hapo maslahi binafsi tu ndiyo yanayatangulizwa
salimkabora jfexpert member
tetty said ↑
hakuna malaika ndani ya sisiem huyo mgombea wao ni msafi kuna marumbesa ya stanbic ambayo arodha ya wachukuaji imefichwa tunajuaje sio mmoja wao wa madawa ya kulevya orodha yao nayo imefichwa je mgombea hayumo tunajuaje kwanini inafichwa wahusika wa pembe za ndovu je mbona list inafichwa je hayumooo tutajuaje unatumika ujinga na umbumbumbu kulaghai watu kama sivyo hizo orodha ziwekwe hadharani
pasco i disagree with you that those who still support ccm are ignorant or outright up to this moment there no other credible and trustworthy alternative to ccmnot chadema or ukawa i would therefore like to respond to your points as follows
your point and assertion above is mere fanatism and is not grounded in data you are probably referring to the asian tigers but also compare with other sub saharan african countries which have similar cultural and social background are they better off having abudant resources is no ticket to be a very developed country look at drc very rich but very insecure and very poor why it is because they invested and rushed in exploiting the resources instead of in national unity and nation building we under nyerere and ccm during the first 20 years of independence focused primarily on national unity cohesion and peace which is a very important foundation for economic prosperity and this is a momentous achievement of ccm such that now we can begin to focus on the economy you say that tanzanians are getting poorer give me evidence/data of this according to data we have poverty in tz is decreasing 35 in 2005 and now 28 even the recent household budget survey show that more tanzanians today can afford and have built houses with cement floor and iron roofing it is a pity for learned men like pasco to join the emotional political bandwagon alongside bodaboda drivers machingas in throwing around wild unsubstantiated claims yes poverty is still there but the fact is poverty is decreasing in tanzania if you are contesting this give us statistical evidence to the contrary
in his book tujisahihishe mwalimu admits the various failures of his/ccm's policies to fail in policy is human and normal what is important is the good intention behind the policies and the admission of the failure and adoption of corrective measures all along the policy history of this country the changes that have been made eg from centralized state controlled economy to liberal economy (1980s) poverty reduction measures with priority sectors to mkukuta (2000s) etc etc reflect attempts to 'change and correct' and in each epoch there have been good results with challenges and failures in other aspects emerging this is normal in any development process with ccm now and magufuli in particular you can hear him admitting the failures and mistakes and promising to correct the situation eg revamping industries being more strict in the pubic service etc etc even ukawa will come with some good an some other disastrous policies as welli can guarantee you thatccm imefanya mismanagement kubwa ya resources za nchi hii for too long sasa nchi yetu imefikia stage tunona pride raisi wetu kupanda ndege kusafiri kwenda ulaya kutembeza bakuli wakati tuna utajiri mkubwa wa maliasili na rasimali za kutosha kutufanya kuweza kujitegemea kitendo cha tanzania kuwa bado ni taifa omba omba its just unacceptable and it is a shame
talk about aid dependence again give us the facts and figures don't just holler like an hungry street boy in 2005 60 of our development budget depended on external grants this has been declining until this budget 2015/2016 the dependence has gone down to below 10 and the goal is to get to zero for the national budget
again what is the alternative to ccm is that ukawa you must be kidding ukawa is a gang of opportunist people without any firm organizational foundation and principles which can ensure that there are checks and balances fit enough to run the state you talk about change what kind of change can lowasa and sumaye bring remember they have been part and parcel of ccm throughout their working lives and making decisions stop joking please i would rather have a stable ccm which is reforming itself from inside ( by magufuli) than have the rickety unpredictable power hungry family based ukawa run this country look on how chadema and nccr and cuf are governed today like personal properties if you cannot run your own party properly it is insane to give you the state
that is why for those who are sensible and love this country and do not have hidden personal agenda do still choose ccm to lead this country i like the opposition but not this kind of opposition in ukawa and lowasa and sumaye let the true clean opposition grow and mature and tanzanians will see sense in giving them this country to make meaningful and sustainable changes
messages 4937
pasco bana
unatumia muda wako kujibizana na huyu aliyefukuzwa na bavicha
i take this girl as political wh0re
topics 1170231
posts 26918152 | 2018-05-24T12:10:55 | https://www.jamiiforums.com/threads/kuichagua-tena-ccm-je-ni-kielelezo-cha-kufanya-informed-decision-au-ni-ignorance.936332/ |
huyu ndiye mwanamke atakayemtetemesha ruto 2022 ▷ tukocoke
made in kenya latest politics entertainment sport football livescore fighting alshabaab huyu ndiye mwanamke atakayemtetemesha ruto 2022
5974 chapisha twitter
mwanasiasa maarufu wa kike ametangaza azma yake ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2022millie odhiambo ameahidi kumuunga mkono mwanasiasa yeyote wa kike ambaye atawania kiti hicho iwapo yeye hatawaniahabari nyingine hiki ndicho kiwango cha pesa watakacholipwa makamishna wa iebcmbunge wa mbita millie odhiambo ametangaza azma yake ya kugombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2022
mbunge huyo amesema kwamba anaamini kuwa kunahitajika kuwa na mashindano kati ya mwanamke na mwanamume katika kinyang'anyiro hichohabari nyingine iebc inawaruhusu uhuru na ruto kutumia pesa zilizoibwa raila odingahabari nyingine huyu ndiye mwanamke aliyeahidi kumbeba eugene wamalwa 2017millie odhiambo amesihi wanawake kugombea viti vya uongozi serikalini na kuongeza kuwa atamuunga mkono mwanamke yeyote atakayetaka kuwa rais iwapo hataweza kuwania kiti hicho related stories
general elections 2017 kenya first female president in mauritius millie odhiambo kicked out of parliament millie odhiambo parliament millie odhiambo story habari zingine ujumbe wa yego kwa wakenya baada ya kuhusika katika ajali mbaya
nani alisakata ngoma kali zaidi na bahati uhuru ama raila
nani alisakata ngoma kali zaidi na bahati uhuru au raila | 2016-10-28T02:27:58 | https://swahili.tuko.co.ke/172307-huyu-ndiye-mwanamke-atakayemtetemesha-william-ruto-2022.html |
wasanii na maisha ya usanii mbele ya mikataba | tizneez
wasanii na maisha ya usanii mbele ya mikataba
kuna nyakati tuliwahi kuandika yakuwa wasanii wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa na semi hii ikawa chukizo kwa wasanii wengi ambao wamejaa uzito katika semi zenye tafakari
lakini maana ya neno maarifa ni utambuzi au ujuzi wa jambo katika kupata ufahamu wa leo na kesho yako katika usawa wa usawia wa yote
hakika mtu akosapo maarifa ni rahisi mno kuangamia na hata neno kuu la nena yakuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa naam sasa ni uhalisia wa uhalisi wa maisha ya wasanii wengi katika usanii mbele ya mikataba
hakuna jambo jema kama tafakari yenye maarifa kabla ya kusaini mkataba wowote ule na pia ni vyema zaidi kuwaona wajuzi wenye ujuzi na maswala ya mikataba (sheria)
wapo wasanii ambao wao hunena yakuwa dhiki ilifanya nikasaini mkataba kwa maana ya tazamo la dhiki ya nyakati hiyo hivyo husaini mkataba kwa upana wa kula tamu katika nyakati hizo bila tafakari ya mbele
hakika sasa tunaamini vyema yakuwa mwenye njaa hana miiko lakini yapasa wasanii walio wengi wajue yakuwa si kila kiliwacho kinafaa (uhalisi)
tumeona pupa ya mikataba kwa wasanii wengi mno na baada ya nyakati fupi zogo huibuka katika mengi na tokeo la zogo huwa ni hali ya mfadhaiko kwa msanii katika fedheha kubwa
kwani tumesahau mfadhaiko wa q chief jechemical nae lakini mo music na katika upana wa rich mavoko je ilihali omg wakiwa bado havieleweki mbivu na mbichi kwa mapana yao
ni vyema wasanii wapunguze pupa katika kusaini mikataba maana katika uwazi maarifa lazima yachukue nafasi kwa hali kubwa ili kuondoa mifadhaiko ambayo haina maana katika nyakati zijazo
pupa haina maana katika kukomboa njaa uliyonayo kwa nyakati hizo lakini ni vyema wasanii wajue yakuwa mwenye pupa hadiliki kula tamu zuri ni maarifa katika sainio la mkataba ni vyema makaratasi yapewe heshima kubwa bila tafakari ya njaa kwa nyakati hizo
na fedheha za sasa kwa wasanii hawa ni vyema ziwe somo lenye maana na kueleweka kwa wasanii wengine juu ya upana wa mikataba katika uingiaji na watu wengine katika usimamizi wa kazi zao na mengine mengi | 2019-04-26T08:10:36 | http://tizneez.com/makala/wasanii-na-maisha-ya-usanii-mbele-ya-mikataba/ |
daily mitikasi blog ofisi ya taifa ya takwimu yatoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini
ofisi ya taifa ya takwimu yatoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini
aidha huduma na bidhaa nyingine zilizochangia ongezeko hilo ni gharama za udobi kodi za pango mazulia na mkaa wa kupikia
bw kwesigabo amefafanua kuwa hali ya mfumuko wa bei za bidhaa za vyakula na migahawa kwa mwezi julai umepungua hadi 79 kutoka asilimia 85 kutoka asilimia 87 za mwezi juni huku badiliko la fahirisi za bidhaa zisizo za vyakula likiongezeka hadi asilimia 49 kwa mwezi julai 2014 kutoka asilimia 48 iliyokuwepo mwezi uliopita | 2017-12-18T22:00:23 | http://johnbadi.blogspot.com/2014/09/ofisi-ya-taifa-ya-takwimu-yatoa-taarifa.html |
i bika binena bible pa dilubu ne kusansana | buswe bwa leza
tanga mu angele batak (lwa mu toba) cakchiquel (central) chavacano drehu hmong (wa bazungu) ibanag kiafrikaans kiakoli kialameni kialbane kialema kialema kya kunshi kialtai kiamarike kiassamais kiazeri kiazeri (kya sirilike) kibachkir kibasa (kya mu kamelune) kibaule kibemba kibengali kibikole kibilgare kibishlama kibulu kichichewa kichitonga kichitumbuka kichiyao kichol kichuabo kicitonga (lwa mu zimbabwe) kicitonga(lwa mu malawi) kidangme kidanwa kidwala kiefik kieshipanyole kieshitoni kiewe kiferoye kifidji kifinwa kiga kigalwa kigarifuna kigroelande kiguarani kigujarati kihausa kihebelu kihiligaynone kihindi kihongrwa kiiban kiikrenye kiiloko kiindonezi kiislande kijampani kijeorji kijula kikabye kikachine kikachokwe kikambodje kikannada kikatalana kikazak kikechua (kya mu ankash) kikechua (kya mu ayakusho) kikechua (kya mu bolivi) kikechua (kya mu kuzko) kikekchi kikhosa kikishe kikore kikosrae kikreole kya haiti kikreole kya mu guinéebissao kikreole kya mu morise kikreole kya mu seishele kikroate kikuna kikurde kya kurmanji (kya sirilike) kikuyu kikwangali kikwanyama kilituani kilomwe kiluba kiluganda kilukonzo kilumani kilunyankore kiluo kilusi kilutoro kilutumye kimakua kimalagashe kimalay kimalayalam kimam kimambwelungu kimapudungu kimarati kimasedwane kimazateke kya mu huautla kimbundu kimikse kimizo kimyama kinahuatl (kya bonso) kinahuatl (kya mu guerrero) kinahuatl (kya mu huasteka) kindau kindebele kindebele (kya mu zimbabwe) kindonga kinerlande kingabere kingidiki kiniue kinorveje kinyaneka kinyanja kinyarwanda kinzema kioromo kiosete kiotomi(lwa mu mezquital valley) kipalau kipangasina kipapiamento (kya kirasao) kipeleshia kipendjabi kipidjin kya mu kisanga kya salomo kipolone kipolotige kipolotige (kya portigale) kiponape kirarotonga kirgiz kiribati kirundi kisamoa kisango kisebuano kisena kisepedi kiserbi kiserbi (kya mu loma) kishinwa mandaren (kipēla) kishinwa mandaren (kya kala) kishona kisi kisinhala kislovake kislovene kisranantongo kisuedwa kiswahili kiswati kitahiti kitajiki kitamule kitaraskane kitatare kitcheke kitchouvashe kithai kitigrinya kitirk kitirkmene kitiv kitlapanek kitojolabala kitotonake kitshwa kitsonga kitswana kituvalu kitwi kitzeltale kitzotzile kiuigur (kya sirilike) kiumbundu kiurdu kiurhobo kiuzebek kivenda kivezo kiwalise kiwayuunaiki kiwolaita kiyoruba kizande kizapotek (kya isthme) kizapotek (kya mu lashigiri) kizulu kongo krio kurde kurmanji (lwa mu caucase) kyalabu ludimi lwa tumama lwa mu amerika ludimi lwa tumama lwa mu arjantine ludimi lwa tumama lwa mu beletanye ludimi lwa tumama lwa mu brezile ludimi lwa tumama lwa mu ekwatele ludimi lwa tumama lwa mu eshipanye ludimi lwa tumama lwa mu felande ludimi lwa tumama lwa mu jampani ludimi lwa tumama lwa mu kebek ludimi lwa tumama lwa mu kolombi ludimi lwa tumama lwa mu koré ludimi lwa tumama lwa mu lusi ludimi lwa tumama lwa mu meksike ludimi lwa tumama lwa mu ostrali ludimi lwa tumama lwa mu peru ludimi lwa tumama lwa mu polonye ludimi lwa tumama lwa mu shili ludimi lwa tumama lwa mu venezuela mbunda ngangela nyungwe sesotho (ya mu lesotho) tetun dili
mumweno wa bible pa dilubu ne kusansana
yehova usaka boba besongele balame na kikōkeji mutyipo wabo wa busongi yehova wānene pa kulunga mwanamulume ne mwanamukaji umbajinji mu busongi amba mwanamulume ukalamata kudi wandi mukaji ino abo bonso babidi ke ngitu imo yonka mwenda myaka yesu kidishitu wāpituluka mu bino binenwa ne kubwejako amba nanshi kyokya kyakuta leza pamo mu lupungu muntu nansha umo kakikalañanyakyo (ngalwilo 224 mateo 1936) shi ke pano yehova ne yesu bamwene busongi bu kijimba kyaendaenda kifwaninwe kutyibika enka shi umo wafu (1 kodinda 739) nanshi busongi i mpangiko ijila o mwanda dilubu i mwanda musumininwe bine yehova ushikilwe kwilubula kekwimaninepo pa bisonekwamalaki 215 16
le kwilubula kwimanine pa bisonekwa ko kwa namani eyo yehova ushikilwe makoji ne busekese (ngalwilo 399 2 samwele 1126 27 ñimbo 514) na bubine ushikilwe busekese bininge o mwanda i mwitabije kwilubwila pa uno mwanda (shi usaka kuyuka bivule pangala pa busekese tala shapita 9 musango 7 pobashintulwile busekese i bika) yehova upele mulume nansha mukaji wampikwa mambo bwanapabo bwa kutonga kushala nansha kwilubula na mwinē pandi kipyamambo (mateo 199) inoko yewa wampikwa mambo shi walombe dilubu nabya kalongelepo kintu kishikilwe yehova inoko kipwilo kya bwine kidishitu akyo kekikankamikangapo dilubu bine mu ngikadilo imoimo yewa wampikwa mambo uketabija kushala na mwinē pandi kipyamambo nakampata shi wesāsa bya binebine kya mfulo i kino boba badi na bubinga bwa mu bisonekwa bwa kulomba dilubu bafwaninwe kutyiba butyibi bwabo abo bene ne kwitabija byonso bikalupukakongalatea 65
mu ngikadilo mikomo bene kidishitu bamo balombanga kusansana nansha kwilubula na benē pabo pampikwa mambo a busekese mu ino myanda bible unenamba yewa ukalañana na mukwabo ukekala kusongwa mpika shi bitupu apwane monka na mwinē pandi (1 kodinda 711) uno mwine kidishitu kafwaninwepo kukimba muntu mukwabo wa kwisonga nandi dipya (mateo 532) imvwana ngikadilo imoimo ya pa bula imonwanga bu kyalwilo kya kusansana
kupela kukwatakanya kisaka ku kusaka kisaka kikokeja kulandapala kubulwa bisakibwa bya mvubu umbūmi mwanda mulume watunya kusasakata ino aye na bukomo bible unenamba shi muntu kasasaketapo ba mu njibo yandi nabya watune lwitabijo kadi i mubi kutabuka ne wampikwa lwitabijo mwine (1 temote 58) ekale mwanamulume wapele na mutyima mūmu nabya mukajandi ubwanya kusansana mungya bijila mwanda wa kamweno kandi ne ka bandi bana eyo bakulumpe bene kidishitu bafwaninwe kutadija shi mwine kidishituwa upelanga bya bine kukwatakanya kisaka kyandi kepantu kupela kulela kisaka kukokeja kutwala muntu ku kupangwa mu kipwilo
bukalabale bukatampe bininge umo pa besongele ukokeja kwikala na bukalabale butūla ngitu ne būmi bwa mukwabo mu kyaka shi uno muntu i mwine kidishitu bakulumpe bafwaninwe kukimba ne kuyukidija shi byobamunena i bya bine bukalabale ne ñuma bibadilwa mu bintu bikokeja kupangilwa muntu mu kipwilongalatea 51921
kutūla būmi bwa ku mushipiditu mu kyaka umo pa boba besongele ukokeja kyaba kyonso kupeleja mwinē pandi aleke kulonda mutōtelo wa bine nansha kumuningila ajilule mbila ya leza mu muswelo kampanda mu uno muswelo yewa ukankajibwa ukatyiba butyibi bwa kukōkela leza bu mulopwe kupitako bantu na kulomba kusansana mwendele bijilabilongwa 529
mu ngikadilo yonso mikomo yotwatela i kutupu ufwaninwe kutonona mulume nansha mukaji wambulwa mambo amba basansane nansha kushikata na mwinē pandi eyo balunda batame ku mushipiditu ne bakulumpe bakokeja kuleta madingi emanine pa bible inoko kebakokejapo kuyuka twanda tonso tupita pa bukata bwa ba mulume ne mukaji enka yehova kete ye uyukile bine mukaji mwine kidishitu kakalēmekapo leza ne mpangiko ya busongi shi upityijabyo kipimo mu kulombola makambakano a ku njibo mwafwilatu basansane na mulume ne mulume nandi monka na monka yehova uyukile ne nkuku ifyeme kunyuma kwa kukalañana nansha shi muntu ufileyo namani bine bintu byonso bidi mutaka kadi i bisokokele patōka ku meso a yewa mwine otukeshintulwilako (bahebelu 413) ino shi ngikadilo ya kyaka kikatampe ikyendelela i kutupu ufwaninwe kutopeka mwine kidishitu udi na bwanapabo bwa kunena kya mfulo watonga kusansana le kadi batwe bonso tukemananga kumeso kwa kityibilo kya mambo kya lezaloma 141012
tukwashei banabetu mu lwitabijo belubwilenamani | 2019-05-19T16:33:30 | https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/mabuku/buswe-bwa-leza/binena-bible-dilubu-kusansana/ |
michuzi blog samia vijana wana kasi ya 4g wapewe nafasi ya kukiongoza chama
wa kamati kuu ya ccm na makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa
tanzania mhe samia suluhu hassan akiondoka eneo inapojengwa shule ya watoto ya awali iliyopo kajengwa makunduchi mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi
tanzania mhe samia suluhu hassan akihutubia wajumbe wa kamati za siasa kuanzia matawi mpaka mkoa kwenye mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya makunduchi ambapo aliwasihi wazee kutoa elimu kwa vijana katika historia ya mapinduzi kisha kuwapa nafasi vijana zaidi ambao kasi yao ni ya 4g
wa makunduchi wakionesha juu picha za viongozi wao wakati wa ziara ya mjumbe wa kamati kuu ya ccm na makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa
tanzania mhe samia suluhu hassan | 2017-07-27T00:37:20 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/04/samia-vijana-wana-kasi-ya-4g-wapewe.html |
kipanya msitumie akili nyingi kutafsiri katuni zangu | jamiiforums
kipanya msitumie akili nyingi kutafsiri katuni zangu
thread starter slowly
mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini ibrahimu masoid maarufu kama masoid kipanyaamesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akili nyingi kutafsri katuni zake jambo ambalo limekuwa likiwatoa nje ya uhalisia wa maana ya vibonzo hivyo na wengi wao kujikuta wakimporomoshea matusi huku wakimtisha
amesema ni akli ndogo tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaelewekakipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfastkatkat ya wiki hii alippkua akikelezea issue ya makinikia
reactions mkubhi wambeke daudi mchambuzi and 2 others
na ni kweli mkuu sometimes huwa namuelewa sometimes ndio hivyo simuelewi
reactions richh gall brn mkubhi and 5 others
moja ya katuni za kipanya zilizosumbua akli za watu kutafsr
reactions mtoto wa nzi fakalava miiku and 12 others
view attachment 525618
hii mbona iko wazi hao si wazee wa
reactions konda wa bodaboda fikrandefu ilitarakimura and 2 others
mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini ibrahimu masoid maarufu kama masoid kipanyaamesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akli nyingi kutafsri katuni zake jambo ambalo limekuwa likiwatoa nje ya uhalisia wa maana ya vibonzo hivyo na wengi wao kujikuta wakimporomoshea matusi huku wakimtisha amesema ni akli ndogo tu inayoweza kutumika kutafsri katuni hzo na zkaelewekakipanya alisema hayo wakat akiwa kwenye kpind cha power breakfastkatkat ya wiki hii alippkua akikelezea issue ya makinikia
weka iyo link au picha ya katuni
hata mm mara nyingi huwa simuelewi
reactions mkubhi zawadi b lupelo minji and 1 other person
nyingine ni rahisi lakini sio zote
hata hii hai hitaji nguvu nyingi kuitafasiri maana unaweza mkosea mkulu
reactions agama_agama laface77 gasper mapile and 9 others
hapo tafsiri yangu mikataba inalindwa na serikali chini ya wavaa kaunda suti
reactions mkubhi zawadi b lupelo and ontuzu
view attachment 525624
haya hii hai hitaji nguvu nyingi kuitafasiri maana unaweza mkosea mkulu
hii siyo ya kipanya mkuu
reactions mkubhi
dully santo
tafsiri yke ni kwamba hao mbwa wameshindwa kufungua cheni zilizopo shingoni mwao wataweza huo mnyororo
reactions konda wa bodaboda odhiambo cairo zawadi b lupelo and 1 other person
wanaomini katuni wengi ni mabogus katuni ni sawa na kusema i am responsible for what i wrote and not for what you understood from my writing
na kwa vile tu anachochora mchoraji anakielewa mwenyewe basi wanajichukulia majiniasi sana tena wasiokosea hata siku moja
reactions ibambasi and mlatinoh king
kutukana wanafamilia wako ili usifiwe na wazungu wakupe chochote mkono uende kinywani
reactions agama_agama ramadhan mwesongo pnc and 10 others
mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini ibrahimu masoid maarufu kama masoid kipanya
anaitwa ali masoud sio ibrahim masoid
imabango1986
hiyo katuni masudi anamaanisha mikataba hawaioni na iko siri ila wanaangalia makinikia
reactions tonney
hii katuni niliiangalia mara nyingi sikuielewa kabisa baada ya wiki nikaelewa ujumbe muhimu uliokuwepo kwenye hiyo katuni
hapo anamaanisha mwenye mbwa yupo mahali amepoa tusie twamlindia tu
nazpenda cartoon zake sana
zina ujumbe mubashara
dully santo said
we jamaa una akili kinoma nadhan iq yako ni 210
masoud kipanya na zainab chondo ndani ya 'mtazamo' clouds plus celebrities forum 33 oct 15 2019
kaburi la jokate mwegelo na musa kipanya lafufuliwa celebrities forum 86 aug 5 2018
masoud kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari mwenyewe amejibu celebrities forum 349 jan 27 2018
#tbt kipanya clouds tv hawana kipindi chochote cha maana ukiacha taarifa ya habari pekee celebrities forum 22 may 7 2017
masoudy kipanya vs hassan mpangala celebrities forum 54 dec 31 2016
masoud kipanya na zainab chondo ndani ya 'mtazamo' clouds plus
kaburi la jokate mwegelo na musa kipanya lafufuliwa
masoud kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari mwenyewe amejibu
#tbt kipanya clouds tv hawana kipindi chochote cha maana ukiacha taarifa ya habari pekee
masoudy kipanya vs hassan mpangala | 2020-07-15T04:50:00 | https://www.jamiiforums.com/threads/kipanya-msitumie-akili-nyingi-kutafsiri-katuni-zangu.1269964/ |
paul ince azichambua manchester united na liverpool soka stadium
paul ince azichambua manchester united na liverpool
home » unlabelled » paul ince azichambua manchester united na liverpool
kuelekea mchezo unaowakutanisha vigogo na wapinzani wa jadi kwenye ligi kuu ya nchini uingereza kati ya manchester united dhidi ya liverpool mchezaji wa zamani aliyewahi kuzichezea timu zote hizo mbili kwa nyakati tofauti paul ince azichambua timu hizo na kuonyesha mapungufu waliyonayo
paul ince ambaye alikuwa nahodha wa united huku akiichezea timu hiyo toka 19891995 na kushinda vikombe sita chini ya kocha alex ferguson akiiongelea timu hiyo chini ya kocha louis van gaal alisema wameshinda michezo yao mitano lakini niliwaangalia dhidi ya southampton walikuwa wabovu sikuweza kujua walikuwa wanajaribu kufanya nini
nafikiri louis van gaal anajaribu kufanya kile alichokifanya na uholanzi lakini hajapata wachezaji wa kufanya hivyo akiwa na uholanzi alikuwa na nigel de jong kukaa mbele ya eneo la ulinzi ili aweze kucheza 352 lakini nimewaona united mara mchache msimu huu na sifikiri wana nguvu kwenye eneo la kiungo
huku akizisifia timu za chelsea na manchester city alisema manchester city na chelsea ni timu nzuri kwasababu wana nguvu sehemu zote uwanjani aliendelea kusema united wanaposesi mpira uwanjani lakini hawaonekani kama wanaenda popote kupiga pasi 600 hakukufanyi uwe timu bora siku hizi
pia ince aliichambua liverpool timu aliyoichezea kwa misimu miwili mwishoni mwa miaka ya 90 ince aliyefahamika kwa jina la utani la govnor alisema ukiachana na luis suarez sielewi kwanini daniel agger aliondoka kwenye majira ya joto nilifikiri alikuwa bora na beki wa katikati wanaotumia mguu wa kushoto hawana bei badala ya kutumia pauni milioni 20 kwaajili ya dejan lovren wangeokoa hela
ningetumia pesa yoyote kwaajili ya mshambuliaji mkubwa kama edinson cavani ama radamel falcao kuonyesha kumbadili suarez na magoli 35 aliyofunga badala yake wakajaribu kununua wachezaji wapya watano ama sita kugawana magoli lakini haijafanya kazi
aliendelea kuongelea umuhimu wa kuwa na washambuliaji bora kwa upande wa liverpool na kusema unahitaji washambuliaji wa juu city wana sergio aguero chelsea wana costa hata mkiani mwa msimamo wa ligi qpr wana charlies austin na burnley wana danny ings
timu kubwa zinahitaji mshambuliaji zaidi ya mmoja city wakimkosa aguero wanamleta edin dzeko liverpool walimpoteza daniel sturrridge na hakuna anayefunga
mwisho akiongelea mtanange wa leo kati ya manchester united dhidi ya liverpool na jinsi makocha wa timu zote mbili watakavyocheza kiungo huyo wa zamani alisema nafikiri van gaal anaweza kuchezesha mabeki wane na kushambulia dhidi ya liverpool lakini brendan rodgers atapendelea kuishambulia beki ya united | 2018-05-21T15:03:59 | http://sokastadium.blogspot.com/2014/12/paul-ince-azichambua-manchester-united.html |
mlemavu si mimi | oxford university press east africa ltd
godfrey ipalei kama mhusika mkuu anajiandikia tawasifu yake kuwatangazia walimwengu kuwa mtu yeyote anaweza kuyafikia malengo yake na kutimiza ndoto zake maishani licha ya changamoto za read more
godfrey ipalei kama mhusika mkuu anajiandikia tawasifu yake kuwatangazia walimwengu kuwa mtu yeyote anaweza kuyafikia malengo yake na kutimiza ndoto zake maishani licha ya changamoto za kimaumbile anasisitiza kuwa ulemavu ni wa fikira na mielekeo hasi msomaji anatiwa moyo kutambua na kurutubisha kipawa alichonacho
godfrey ipalei kama mhusika mkuu anajiandikia tawasifu yake kuwatangazia walimwengu kuwa mtu yeyote anaweza kuyafikia malengo yake na kutimiza ndoto zake maishani licha ya changamoto za kimaumbile anasisitiza kuwa ulemavu ni wa fikira na mielekeo hasi msomaji anatiwa moyo kutambua na kurutubisha kipawa alichonacho | 2020-08-08T05:36:35 | https://oxford.co.ke/kenyaoupea/kenyaoupea/index.php/book/mlemavu-si-mimi |
kwanini kila mtu anajifanya ndo yeye kwenye mapenz jamiiforums
kwanini kila mtu anajifanya ndo yeye kwenye mapenz
thread starter walas ba
habri zenu wapendwa kama mpo ok glory to god na wale spana mkononi poleni sana
nataka kusema jamb hapa ndugu zangu hv kwanin kila mtu au jinsia fulan imekuwa ikijiona sana kwenye suala la mpenz
hapa unakuta kuna majigamb mara hv mara vile kwan lazma kama hutaki c bora useme ueleweke so unakuwa mis respoding kwa mamb mnayokubaliana
mengne ukipga cm hayapokei wala kujib sms na mbya zaid anakuwa haonesh msimam kama anataka au la jaman huu so muda wa kunyanyasana kwa mapenz bt kuwekeana mazngra mazur ili 2gegedane
kuna muda mwingne h jinsia ukwepo nayo anarespond fresh btmuda mwingnd signal low kama maving'amuz ya statimes
embu 2saidiane kwa kupeana raha na sio makaraha bwana stres 2najaziana bure wakati lfe expecncy yeny makumi manne tu
ukija na kwa hawa wavaa milege nao shida tupu yani ful upumbvu eti kisa ameshamega ukmpigia cm hataki pokea kiburi zarau na majivun ndo kauli mbiu ya hawa watu
ukimuulzakwanin haya et nimeshamega jamani kwel mapenz n kumega tu nisaidien wakubwa zangu maana me labda na umri wang mdogo ni tatzo
jamani eeh majivuno hukaa kwa wanoko na wapuuzi so kuwa focused usijione wa maana sana bt 2shrikiane kulamb sukari guru
by walas ba
ufuu donda langu umelimwagia chumvi tulipokuwa karibu utafikiri uko chini ya mnara network full distance ilivyojitokeza mabalaa yakaanza hadi yakawa majanga si nzuri sana wapenzi waoneshane umwamba kwenye mambo yaletayo maumivu bali wayabadili hayo ili mapenzi yalete maana
heri nilidakwa tangu nikiwa kinda mpaka sasa naruka na aliyenidaka pole kwa kukutana na wanoko + wapuuzi
na kweli umri ndo unakusumbua umevamia uvuvi pasi tahadhari ukitaka kuishi maisha ya starehe mwanzo mwisho msome mwenzio and lower your expectation on everyone yaani asipopokea simu assume yuko mbali nauo yuko busy ama ameibiwa akijinunia mwenyewe chukua time atarudi mood yake ikirudi ukijiweka desperate kumfurahisha mtu na kumuachia aamue wewe ufurahi lini utapata shida mno
we king'asti hv wajua kwanin nimesema umri mdogo
nilikuwa nataka kuwa omb weny miaka at least 40 wanambie h ndo kaul mbiu au nin
halaf kwa bahat nzur sipo in relation kwa sasa ila haya niloondka nimeyaona na kuambiwa na ma frnds wang
hongera sana
pole sana bt ipo siku utapata a right person
shida ni kwamba siiku hizi vijana wanabebana na kuanza kumegana bila hata ya kusomana na kufahamiana vizuriwe mtu uunakutana nae siku ya kwanza unamtunuku tunda na limoyo lako lote unategemea anakuchukuliaje
duh na wewe | 2019-03-26T14:14:17 | https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-kila-mtu-anajifanya-ndo-yeye-kwenye-mapenz.465131/ |
je umeshawahi kuonja majani ya moringa yaliyopikwa kwa nazi basi kutana na mpishi kutoka sri lankaifad | habari za un
wasichana wakicheza katika moja ya kijiji nchini sri lanka
mti wa moringa nchini sri lanka umepatiwa majina kemkem ikiwemo mti wa miujuza na rafiki kipenzi cha mama mti ambao majani yake sasa ni chakula maarufu kote duniani yakiwa na lishe bora ambayo inabadili maisha ya wakulima wa vijijini nchini sri lanka
mpishi maarufu wa italia rubio ambaye hamasa yake ya kujifunza kuhusu vyakula mbalimbali imempeleka kila kona ya dunia leo yuko sri lanka kwenye shamba la moringa la mmiliki na mkulima hemamalika au mpishi hema
(sauti ya mpishi rubio)
moringa ni mti wa kushangaza wenye faida nyingi mbali ya kuwa ni mti wenye virutubisho vingi na madini ya chuma unasaidia sana kujenga kinga ya mwili na kuongeza damu
hema amemualika mpishi rubio jikoni kwake kutayarisha mboga ya moringa malluma inayopikwa kwa nazi pilipili limao na majani mengi ya moringa baada ya kutia majani ya moringa na pilipili mpishi anaongeza vitunguu vitunguu swaumu binzari chumzi na nazi na kisha anakaanga kwa dakika mbili hadi tatu anamalizia na ndimu mboga tayari
akipika pia amemuelezea rubio mafanikio yake na moringa na jinsi unavyohimili ukame na kuwa muhimu sana katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inakabiliwa na mabadiliko ya tabianchi
ukame uliotawala unamaanisha wakulima ni lazima wabadili mwelekeo kwa mazao mapya na kujifunza kuwa na mnepo
(sauti ya hemamalika wijeratna)
kwa kuwa hili ni eneo kame moringa unakuwa vizuri hapa wakati mwingine mtu unakuwa kwa miaka 10 hadi 15 na kama majani yanachumwa kila wakati basi mti unashamiri zaidi kwa sababu ya ukame mti huu unatusaidia sana
hema alijifunza binu zote hizi kupitia program ya ushirika wa wakulima wafanyabiashara ambayo ni mradi unaofadhiliwa na ifad na umewafaidisha zaidi ya wakulima wadogowadogo 50000
moringa|ifad|sri lanka|italia|rubio|mabadiliko ya tabianchi|wakulima
mbinu za kujengea jamii mnepo zinahitajika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi afrikafao | 2020-04-02T00:23:34 | https://news.un.org/sw/story/2020/01/1078141 |
habari na matukio waziri mkuu azindua safari za atcl dar/dodoma
waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera bunge kazi vijana ajira na watu wenye ulemavu jenista mhagama baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa dodoma akitoka uwanja wa ndege wa julius kambarage nyerere jijini dar es salaam ikiwa ni uzinduzi wa safari za ndege za shirika la ndege la tanzania (atcl) januari 16 2016 waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mkuu wa mkoa wa dodoma jordan rugimbana baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa dodoma akitoka uwanja wa ndege wa julius kambarage nyerere jijini dar es salaam ikiwa ni uzinduzi wa safari za ndege za shirika la ndege la tanzania (atcl) kati ya viwanja viwili hivyo januari 16 2016 wapili kushoto ni waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera bunge kazi vijan ajira na watu wenye ulemavu jenista mhagama
waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na spika wa bunge job ndugai baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa dodoma akitoka uwanja wa ndege wa julius nyerere jijini dar es salaam ikiwa ni uzinduzi wa safari za ndege za atcl kati aya viwanja viwili hivyo januari 16 2017 mtendaji mkuu wa shirika la ndege la tanzania (atcl) kapteni richard shaidi akizungumza katika uzinduzi wa safari za ndege za atcl kati ya uwnja wa julius kambarage nyerere na dodomamjini dodoma januari 16 2017 uzinduzi huo ulifanywa na waziri mkuu kassim majaliwa
waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza wakati alipozindua safari za ndege za shirika la ndege la tanzania kati ya uwanja wa julius kambarage nyerere na dodoma katika hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa ndege wa dodoma januari 16 2017 (picha na ofisi ya waziri mkuu) | 2017-03-24T10:05:53 | http://www.kajunason.com/2017/01/waziri-mkuu-azindua-safari-za-atcl.html |
dk shein lugha ya upole haitoshi | jamiiforums | the home of great thinkers
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed sheinakitoa hutuba yake wakati wa mkutano wa jumuiya ya wastaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania katika ukumbi wa salama bwawani mjini unguja leo(kushoto) mkuu wa mkoa wa mjini magharibi abdalla mwinyi khamis(kulia) bibi tereza olbam mlezi wa jumuiya na (wa pili kulia) mwenyekiti wa jumuiya ya wastaafu wa jamhuri ya muungano mohamed ali
kauli aliyoitoa dk ali mohamed shein kuhusu muungano haimsumbui mtu yeyote si unguja wa pemba zanzibar anaposema muungano hautavunjika hakuna anayemsumbua anaposema yeye ndiye rais hivyo hakuna atakayeuvunja muungano hakuna anayesumbuka
rais anaalikwa kufungua mkutano wa jumuiya ya wastaafu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania na kusema atautetea muungano na hakuna atakayemlaghai wala kumchezea katika uongozi wake waliomnukuu wanasema dk shein amesema yeye kama rais hatomuogopa mtu wala kusita kuchukulia hatua wale watakaokwenda kinyume na matakwa ya katiba
hili moja ni dhahiri dk ali mohamed shein ndiye rais zanzibar na katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010 inamuongezea wadhifa wa mwenyekiti wa baraza la mapinduzi
katika maelezo ya dk shein kwa wastaafu kuna maneno yanasumbua kidogo labda tu kama umma utaambiwa kuna mtu amehoji mamlaka ya rais
anaposema sitomuogopa mtu yeyote wengine wanauliza kwani kuna mtu anamtisha rais anayemtisha rais anastahili kuchukuliwa hatua haraka ya kushitakiwa kwa mantiki ya sheria kumtisha rais ni kutishia mamlaka ya wananchi waliompa dhamana ya kuongoza nchi yao
hili watu wangetarajia kuliona linafanyika haraka nataka kuamini hakuna mtu aliyemtisha rais kama yupo ni wajibu wa rais kusema nimetishwa akishasema ni jukumu la wasaidizi wake kuchukua hatua kulingana na sheria kama rais ametishwa au ametishiwa huo ni uhalifu mhalifu anapaswa kudhibitiwa
inapotokea uhalifu umetendeka ni muhimu vyombo vya dola vikachukua hatua haraka pasina kusita hakuna kuchelewa maana uhalifu huo waweza kudhuhuru mamlaka hii na hivyo kuchochea wananchi kukasirika kwa kuona kiongozi wao anadharauliwa
sasa inapotokea uhalifu umetendeka dhidi ya mamlaka ya rais kasi ya ushughulikiaji wake yapasa iwe kubwa zaidi rais si ndiyo alama ya nchi yetu sasa tunazubaa nini kumshika anayemhalifu labda nimkumbushe rais katiba hiyohiyo ibara ya 9(2)(a) inazungumzia mamlaka waliyonayo wananchi wa zanzibar mamlaka ya kuendesha nchi ni ya wananchi wenyewe ambapo nguvu na uwezo wote wa serikali kufuatana na katiba utatoka kwa wananchi wenyewe
sehemu (b) ya ibara inaelekeza uhakikisho wa usalama na hali nzuri kwa wananchi itakuwa ndiyo lengo kubwa la serikali katika hali hii baada ya rais kutaka kuyahisi mamlaka aliyopewa na katiba ya nchi basi ni vema pia akatambua na mamlaka waliyonayo wananchi anaowaongoza kupitia katiba hiyohiyo
kutambua mamlaka ya wananchi kuna maana kubwa kiutawala na kiuongozi ni suala la kustawisha misingi ya utawala bora na kuilea pia kiongozi anayelea misingi ya utawala bora ni yule anayezungumza na wananchi kwa lugha fasaha siyo ya kupinda na kufumba
makamu wa kwanza wa rais msaidizi mmoja wapo wa dk shein maalim seif shariff hamad amezungumza na wananchi kuhusu suala muhimu linalojadiliwa sana zanzibar muungano anasema hakuna mwananchi atakayeadhibiwa kwa kutoa maoni yake kuhusu mabadiliko ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania iwapo atayatoa kwa utaratibu uliowekwa
njia pekee ya kuondoa kero za muungano ni kwa wananchi kujitokeza kutoa maoni yao mbele ya tume ya kukusanya maoni na maoni yao yatazingatiwa kuheshimiwa na kufanyiwa kazi kwa kadri watakavyoyatoa
hizi ni lugha mbili tofauti kama mbingu na ardhi moja inaelekeza wananchi kutambua wajibu wao katika kile kilichopo mbele yao huku nyingine ikiwa inayowatisha inawatia hofu kwanini dk shein anawaelekeza watu wamtambue kuwa ana hasira majibu yaweza kuwa tofauti kutegemea na yale mtu anayoyasikia au kuyajua kumhusu rais
watu waamini pengine rais wao anatishwa au anashinikizwa kutaka kile asichokipenda au anabanwa na chama chake chama cha mapinduzi (ccm) asikilize na kutii maelekezo ambayo kwa uoni wake ni tofauti na dhamira yake au ni tofauti na anavyoona wananchi wanafikiri
hebu dk shein aangalie hili wakati akitafakari namna wazanzibari watakavyotoa maoni yao kwa tume ya jaji warioba kuhusu msimamo wao na muungano waziri wake tena wa ccm ametajwa kuwa ameandika barua moja kuichapa nakala nyingi na kuigawa kwa wananchi ili hayo ndiyo yawe maoni yao kwa tume hiyo
sasa waziri huyu ametajwa hadharani na baadhi ya waliofika kwenye mkutano wa kwanza wa tume hiyo jimbo la makunduchi wilaya ya kusini mkoa wa kusini unguja walizionyesha barua hizi na kuzikabidhi kwa tume kama ushahidi
barua hiyo inaelekeza maoni yawe serikali mbili pengine kungekuwa na barua inayoelekeza wananchi kutoa maoni ya kuwepo kwa muungano wa serikali tatu ingekuwa kashfa kubwa kwa kuwa mtenda hilo ni kiongozi katika ccm natabiri haitakuwa chochote
jimbo la makunduchi linalowakilishwa na haroun ali suleiman waziri wa uwezeshaji wananchi linajulikana kuwa na wafuasi wengi wa ccm ingawa katika miaka ya karibuni limeshuhudia vuguvugu zito la vijana kupenda siasa za mageuzi
makunduchi pia ni nyumbani kwa viongozi wengi waandamizi serikalini na katika ccm akiwemo waziri wa ulinzi wa muungano shamsi vuai nahodha spika wa baraza la wawakilishi pandu ameir kificho na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano) samia suluhu hassan
mbinu ya waziri kuandaa barua inaonyesha dhamira ya kulaghai wananchi hasa wale wenye mawazo tofauti na yanayoaminiwa na kiongozi huyo na chama chake ccm hiyo ni mbinu chafu ya kuwasilisha msimamo hakika huko ni kutisha wananchi kuchezea uhuru wao unaotajwa na katiba ya zanzibar wa kujieleza na kutoa mawazo yao kwa masuala yanayohusu uendeshaji wa nchi yao
mbinu hii yaweza kuchochea vurugu kwa sababu ni kinyume na ahadi ya jaji warioba kwamba wananchi wapo huru kutoa maoni yao tume itakapofika kwenye maeneo yao pale dk salim ahmed salim mwanadiplomasia mahiri kitaifa na kimataifa na mjumbe wa tume aliposema tumewasikia wanaopinga muungano sasa tuwasikie na wanaoutaka hakuwa na maana waziri au mawaziri na mtu yeyote yule kuandaa barua au waraka wa kuelekeza watu cha kusema
hebu wakubwa wafanye kama huu ni wakati wa mtihani baada ya mtahiniwa kufanyiwa mazoezi wakati wa maandalizi aachiwe huru kufanya kwa akili yake anapoingia kwenye chumba cha mtihani chenye ulinzi
nilidhani rais dk shein angeshitukia wakubwa hawa wanaolazimisha watu wanayoyaamini wao japo si lazima yawe ndiyo maoni ya wananchi husika
yakheeeee sirikalih tatu zinakuja kubali yaishe bofya hapa uone http//wwwjamiiforumscom/jukwaalasiasa/282291katibatanganyikairudikwanzandiporasimuyakatibaifuatehtml piga kura hapo | 2016-12-04T16:22:06 | http://www.jamiiforums.com/threads/dk-shein-lugha-ya-upole-haitoshi.288465/ |
pebble saa ya kimtindo kwa wanateknolojia | jamiiforums | the home of great thinkers
pebble saa ya kimtindo kwa wanateknolojia
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by millah mar 19 2013
teknolojia inaelekea kwenye gajeti za kuvaa miongoni mwa gajeti hizo saa ya pebble ni saa ya kimtindo ni saa inalenga wanateknolojia kama watumiaji wake saa hii sio tu itawafurahisha watumiaji hao bali inatabiriwa kubadili namna saa zilivyo ulimwenguni na kuongeza matumizi mengi kwenye saa wakati wengi wameacha kuvaa saa kwa sababu ya gajeti kama simu pebble itawafanya wengi wavae saa kwa sababu ya simu
hii ni kutokana na ukweli kwamba pebble haikamiliki bila ya kuwa na simu ya android au iphone pebble ni saa yenye skrini aina ya epaper skrini sawa na zile zinzotumika kwenye gajeti za kusomea vitabu (e book readers) saa hii ni saa inayotarajiwa kuwa na matumizi mengi kuliko saa yoyote duniani kwa sasa hii ni kwa sababu pebble itatumia apps za kushirikiana na simu
saa ya pebble inawasiliana na simu ya mtumiaji kwa teknolojia ya bluetooth humuwezesha mtumiaji kutambua anapopigiwa simu hata kama simu imezimwa sauti kwa vile pebble ina vibrate na kuonyesha namba ya mpigaji hivyo kama simu iko mfukoni au mbali kidogo na mtumiaji mtumiaji ataweza kumtambua mpigaji kabla ya kuifikia simu yenyewe
kwa mtindo huu huu pebble itamuwezesha mtumiaji kupata aina nyingi za ujumbe zinazoingia kwenye simu moja kwa moja kwenye saa hiyo ujumbe kama vile wa sms imessage twitter ukumbusho wa kalenda (calendar alert) hali ya hewa na hata ujumbe wa facebook
kivutio kikubwa zaidi cha saa hii ni kwamba watengenezaji wa pebble wameshatoa sdk itakayowawezesha maprograma kutengeneza apps zaidi za saa hizi tayari kuna apps nyingi ambazo unaweza kuinstall kutoka kwenye simu yako ya android au iphone pia saa hii inaweza kutumiaka kama pedomita kwa ajili ya mazoezi katika michezo mbali mbali inayokuwezesha kushiriki ukiwa na simu yako mfukoni
saa hii ilikuwepo kwenye maonyesho ya ces mwaka huu mwezi uliopita watengenezaji waliomba wawekezaji wachangie saa hiyo ili kuweza kuileta madukani watengenezaji wa pebble walitangaza kwamba wanahitaji dola laki moja kuanza uzalishaji mafanikio makubwa yamepatikana kwani kwa mujibu wa mtandao wa pebble wawekezaji wamewekaza jumla ya dola za kimareani milioni kumi hii inadhihirisha kiasi gani saa hii ni kivutio kikubwa kwa sasa
vile vile watumiaji wataweza kubadili muonekano wa skrini ya saa hiyo kwa kuinstall aina mbali mbali za muonekano wa saa kutoka kwenye simu kwa mujibu wa mtandao rasmi wa pebble tayari unaweza kutoa oda ya saa ya pebble na wateja watarajiwa wategemee kuzipata saa zao kuanzia mwezi nne na wa tano mtandao wa pebble unaonyesha tayari kuna oda 85000
chanzo http//wwwgajetekcom/2013/03/pebblesaayakimtindokwahtml
kwa mujibu wa taarifa zilizoko kwenye ios app is pebble shipping saa hizi zimeshaanza kuuzwa | 2018-07-20T06:50:57 | https://www.jamiiforums.com/threads/pebble-saa-ya-kimtindo-kwa-wanateknolojia.420008/ |
sayansi mamboleo na mafunzo mbalimbali ambatanishi tif
home/2 deen/6 kutoka katika quran na sunnah/sayansi mamboleo na mafunzo mbalimbali ambatanishi
sayansi mamboleo na mafunzo mbalimbali ambatanishi
mpenzi msomaji allah amesema kinatoka katika matumbo yao kinywaji cha rangi mbali mbali ndani yake mna shifaa (ya magonjwa) kwa watu hakika katika hayo bila shaka ni aya (ishara dalili zingatio) kwa watu wanaotafakari (quran 16 69)
imamu bukhari anasimulia kutoka kwa abu huraira (allah amridhie) kwamba mtume muhammad (rehema na amani ya allah iwe peke yake) amesema habbatsawdaa inatibu kila kitu isipokuwa mauti mpenzi msomaji katika makala iliyopita nilikuahidi kuwa katika makala hii tutafahamishana juu ya baadhi ya magonjwa yanayotibiwa kwa asali kabla hatujaingia kuyataja baadhi ya magonjwa hayo hebu tutaje dawa nyingine muhimu iliyotajwa katika hadithi mbalimbali za mtume imamu bukhari anasimulia kutoka kwa abu huraira (allah amridhie) kwamba mtume muhammad (rehema na amani ya allah iwe peke yake) amesema habbatsawdaa inatibu kila kitu isipokuwa mauti hivyo dawa hii ya asali ikichanganywa na habbatsawdaa inakuwa dawa juu ya dawa kwa faida ya afya kwa ujumla kunywa kijiko kimoja cha mafuta ya habbatsawdaa asubuhi na usiku au kunywa japo asubuhi kabla ya kifungua kinywa kwa kuchanganya na kijiko kimoja cha asali safi kuondoa udhaifu kwa ujumla mtu atachukua unga wa habbatsawdaa kiasi cha kikombe kimoja uwatu mfano wake na ambari (ambergris) iliyoyeyushwa kiasi cha kijiko kidogo vyote atavichanganya katika chombo chenye asali iwe kama jamu halafu awe akila kama jamu kila siku na wakati wowote apendao lakini kwa mkate wa ngano asili miongoni mwa magonjwa yanayotibiwa na asali ni matatizo ya kibofu cha mkojo/figo tiba hii insha allah inapatikana kwa mtu kunywa maji ya moto yaliyochanganywa na ½ (nusu) kijiko cha habbatsawdaa pamoja na asali kila asubuhi kabla ya kufungua kinywa inatakikana kuchanganya vikombe viwili vya habbatsawdaa iliyosagwa na ½ (nusu) kikombe cha asali safi na kisha kunywa kijiko kimoja cha mchanganyiko huu pamoja na kikombe kimoja cha maji ya moto kila asubuhi kabla ya kufungua kinywa mchanganyiko huu unaweza kukaa kwa siku 15 na ikiwa utatengenezwa kwa matumizi ya siku kadhaa basi ni lazima uwekwe katika hali ya ubaridi asali hutibu pia tatizo la jiwe la figo hapa inahitajika kikombe kimoja cha habbatsawdaa iliyochanganywa pamoja na bilauri moja ya asali vitunguu saumu vitatu vilivyosagwa na karafuu kisha atachanganya vitunguu swaumu karafuu pamoja na asali na habbatsawdaa na kisha kunywa kijiko kimoja kabla ya kula chakula na kwa pendekezo mgonjwa anashauriwa kula limau (bila ya kumenywa) na kurudia haya kwa wiki moja inshaallah jiwe litaondoka hata shinikizo la damu (high blood pressure) linaweza kutibiwa kwa kutumia asali tiba hii ni kwa kuchanganya kijiko kimoja cha habbatsawdaa iliyosagwa k i jiko kim o j a c h a asali safi na kitunguu kiasi kidogo mgonjwa atakunywa mchanganyo huu kabla ya kufungua kinywa kwa siku 20 hata kumbukumbu (memory) inaweza kuimarishwa kwa kunywa kijiko kimoja cha unga wa habbats a w d a a k w a kuchanganya na asali mara mbili kwa siku ama kuhusiana na nishati a k i l i n i n a wepesi wa kuhifadhi m t u atachemsha nanaa (mint leaf) kisha aichanganye na asali na aingize matone saba ya mafuta ya habbatsawdaa kisha anywe kinywaji hiki kikiwa na vuguvugu wakati wowote apendao basi atajionea namna fahamu itakavyofanya kazi muhimu zaidi asali inaimarisha utaratibu wa ulinzi wa mwili kula kijiko kimoja cha habbatsawdaa na asali mchana na usiku kunatibu tatizo la kutoweza kuzuia haja ndogo (mkojo) mchanganyiko wake ni kijiko kimoja cha habbatsawdaa pamoja na asali kisha kunywa maji ya vugu vugu hata ngozi kavu inaweza kutibiwa kwa kuchanganya asali pamoja na robo kijiko cha habbatsawdaa na kuwa kitu cha kwanza kunywa wakati wa asubuhi kabla ya kufungua kinywa matatizo ya upepo (gesi) pia yanaweza kutibiwa kwa kuchanganya asali pamoja na robo kijiko cha habbatsawdaa na kuwa kitu cha kwanza kunywa wakati wa asubuhi kabla ya kufungua kinywa baridi yabisi (rheumatism) pia inaweza kutibiwa kwa kutumia asali kwa ajili ya tiba hii mgonjwa atachemsha mafuta ya habbatsawdaa na atasugua kwayo ile sehemu yenye ugonjwa kwa nguvu kama kwamba anasugua mfupa wala siyo ngozi na atayanywa baada ya kuyachemsha vyema na kuyachanganya na asali kidogo ataendelea na tiba hiyo huku akiwa ni mwenye imani na yakini kuwa allah atamponya hata ukosefu wa usingizi ni maradhi yanayoweza kutibiwa kwa asali hapa mgonjwa atachukua kijiko kimoja cha habbatsawdaa na kuchanganya na gilasi ya maziwa moto yaliyochanganywa na asali baada ya kupoa kiasi atakunywa maradhi ya wanawake na uzazi pia yanatibika vizuri kwa asali miongoni mwa dawa kubwa zinazosahilisha kuzaa ni habbatsawdaa iliyochemshwa ikachanganywa na asali na kiziduo cha babunaji (chamomile) habat sawdaa ni kama burashi katika uke wa mwanamke yenye faida kubwa kwao pamoja vilevile ni faida kubwa kutumua mafuta ya habbatsawdaa katika kila kinywaji cha moto kwa maradhi yote ya wanawake kutibu tatizo la utasa biidhnillah tumia mchanganyiko wa unga wa habbatsawdaa unga wa uwatu na mbegu ya figili kwa vipimo sawa na kisha kula kijiko kimoja asubuhi na jioni ilihali imekorogwa katika nusu kikombe cha asali na baadaye akifuatisha kunywa kikombe kikubwa cha maziwa ya ngamia hata tezikibofu (prostate gland) hutibika kwa asali mgonjwa anatakikana ajipake mafuta ya habbatsawdaa chini ya mgongo na chini ya korodani (mapumbu) na kusugua kwa mzunguko pamoja na kula unga wa habbatsawdaa kijiko kimoja na robo kijiko kidogo cha manemane katika nusu gilasi ya asali iliyotiwa katika maji yenye vuguvugu kila siku na wakati wowote apendao matone kadhaa ya mafuta ya habbatsawdaa yaliyotiwa kwenye maziwa ya moto na asali humaliza asidi (acidness) asali pia ni dawa nzuri ya kutibu majeraha kama ya kuungua na moto hata vidonda mgonjwa anaweza kujitibu kwa kutumia asali ambapo atayachanganya matone kumi ya mafuta ya habbatsawdaa katika kikombe cha asali na kijiko kimoja cha maganda ya komamanga yaliyokaushwa na kusagwa kisha atakula kila siku kabla ya kula chakula na baadaye atakunywa gilasi ya maziwa yasiyotiwa chochote haya ni baadhi tu ya magonjwa yanayotibiwa kwa asali kinywaji kinachotoka katika tumbo la nyuki ambacho allah kakiita kuwa ni shifaa au ponyo la maradhi mbalimbali ametukuka mola wetu aliyetuteremshia quran tukufu yenye haya na zaidi ya haya itaendelea
tif yasaidia kituo cha kutibu waathirika wa unga
maisha ya hindu bint utbah mke wa abuu sufiani
ibada ya dhikri katika hijja
41600 fans | 2019-02-18T01:50:49 | https://islamicftz.org/deen/kutoka-katika-quran-na-sunnah/sayansi-mamboleo-na-mafunzo-mbalimbali-ambatanishi-2/ |
mzee wa kanisa asakwa kwa kumbaka mtoto wa miaka 13
mzee wa kanisa asakwa kwa kumbaka mtoto wa miaka 13
mtuhumiwa amekimbia bado anatafutwa na polisi
13 june 2018 wednesday 1457
polisi huko nyamira nchini kenya wanafanya uchunguzi wa kesi ya ubakaji inayomhusisha mzee wa kanisa mwenye umri wa miaka 65 na msichana mwenye umri wa miaka 13 ambaye matatizo ya utindio wa ubongo mwanafunzi wa shule ya msingi nyagokiani katika jimbo la uchaguzi la north mugirango
mtuhumiwa huyo inasemekana kuwa amekimbia kutoka nyumbani kwake baada ya jaribio la kumaliza jambo hilo nje ya mahakama kukwama
mtu ni mhudumu wa kanisa na jirani wa nyumba anayoishi msichana mtuhumiwa anasemekana kuwa alimbaka mtoto huyo mnamo mei 29 2018 ndani ya nyumba yake
anashukiwa kwamba alimdanganya msichana huyo kuingia nyumbani kwake kwa kutumia maparachichi matatu na hivyo kufanikisha tendo lake hilo ovu kabla ya kumwaga maji baridi kwenye sehemu za siri za msichana huyo
baada ya tukio hilo mdogo alienda nyumbani kwao akiwa amebeba maparachichi hayo matatu moja likiwa limeharibika taarifa ilipelekwa kwenye kituo cha polisi cha ekerenyo na kuwekwa chini ya kumbukumbu namba ob 28/04/06 siku tatu baada ya tukio hilo
msichana huyo alitibiwa katika hospitali ndogo ya ekerenyo
katika ripoti ya mwalimu mkuu wa shule alice moraa ambayo iliwashirikisha wajumbe wa bodi ya usimamizi wa shule mwathirika alikuwa alisafishwa na mama yake lakini aliacha nguo kama zilivyokuwa
ripoti hiyo inasema kuwa mtuhumiwa amejitakasa kwa kutumia mavazi ya msichana
katika taarifa yake mwalimu mkuu anasema mwanafunzi huyo aliondoka shule jioni ya siku ya tukio na kamwe hakuona kitu chochote kisichokuwa cha kawaida mpaka baba pale baba wa msichana huyo alipompigia simu juni 2
hii ni kesi mbaya kabisa katika kazi yangu kama mwalimu inashangaza kwamba mzee kama huyo anaweza kumharibu msichana asiye na hatia msichana ambaye hawezi kumumiza mtu yeyote alisema bi moraa
baba ya mwathirika huyo alisema mke wa mtuhumiwa na wazee wengine wa kanisa walijaribu kuingilia kati ili kulimaliza suala hilo kimya kimya
mke wa mtuhumiwa alinifuata akiomba kuwa tutafute njia ya kutatua suala hili sikuweza kufanya hivyo kwa sababu nilikuwa na maumivu makali
msaidizi wa chifu wa eneo hilo evans nyangweta alithibitisha kutokea kwa jambo hilo akisema familia haikuwa inataka kutoa taarifa
alisema ana nakala kutoka kituo cha polisi cha ekerenyo ili mtuhumiwa akamatwe
tutafanya kila linalowezekana tuweze kumkamata
msaidizi huyo wa chifu alithibitisha kwamba alikuwa akichunguza kesi kadhaa za unyanyasaji wa kijinsia kwa wasichana wa shule
changamoto kuu imekuwa upande wa familia zilizoathiriwa ambapo wazazi wanashindwa kurekodi taarifa na polisi
miezi saba iliyopita chifu wa eneo hilo alisema alimkamata mmoja wa waathirika lakini familia ya mwathirika alikataa kutoa maelezo yake polisi hivyo kuwalazimisha kumwachia mtuhumiwa
katika shule ya msingi ya nyagokiani mwalimu mkuu ana taarifa nyingi kutoka kwa wasichana ambao wameshambuliwa kingono na watu wanaofahamika vizuri kwenye jamii katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita
kutokana na maelezo hayo wasichana wamewataja watu ambao wengi wao tayari wamekwishaoa lakini wamekuwa wakijihusisha na tabia chafu kingono kama kuomba ngono na matendo mengine ya kingono
kuna wale waliotajwa zaidi ya mara tano na wasichana wetu nimepeleka majina yao kwenye bodi ya shule ya usimamizi na chifu wa eneo hilo tunatarajia kitu kitafanyika ili kuzuia kesi za ubakaji tena alielezea
kenyaubakajimzee abaka | 2019-10-21T07:44:16 | http://www.azaniapost.com/ajenda/mzee-wa-kanisa-asakwa-kwa-kumbaka-mtoto-wa-miaka-13-h19077.html |
the way you see the problem is the problem karibu katika ibada muziki na utamaduni wa afrika mashariki
karibu katika ibada muziki na utamaduni wa afrika mashariki
posted by mzee wa changamoto at 635 pm | 2017-11-21T14:00:30 | http://changamotoyetu.blogspot.com/2013/05/karibu-katika-ibada-muziki-na-utamaduni.html |
wwwbukobasportscom serengeti boys yatua goa kuanza na marekani jumapili
serengeti boys yatua goa kuanza na marekani jumapili
watanzania kuziamua ethiopia ghana
shirikisho la soka afrika (caf) limewateua waamuzi wanne kuchezesha mchezo na 27 kati ya ethiopia dhidi ya ghana kuwania kufuzu fainali za kombe la mataifa ya afrika kwa vijana 2017 utakaofanyika uwanja wa addis ababa (gazon nature) jijini addis ababa huko ethiopia
mchezo huo utaochezwa mei 22 2016 majira ya saa 1000 jioni kwa saa za ethiopia utaamualiwa na mfaume ali nassoro ayesimama katikati wakati walioteuliwa kuwa waamuzi wa pembeni ni josephat deu bulali (line 1) na alli kinduli na mezani atakuwa martin eliphas sanya kamishina wa mchezo huo kwa mujibu wa caf ni julius elly mukolwe kutoka kenya | 2017-12-12T20:05:29 | http://www.bukobasports.com/2016/05/serengeti-boys-yatua-goa-kuanza-na.html |
orodha majina kidato cha tano na vyuo 2013 | photography
225 pm sunday march 4 4542
home » search » orodha majina kidato cha tano na vyuo 2013
info for orodha majina kidato cha tano na vyuo 2013
orodha ya majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya translated question in english students who elected to join the nursing certificate for 2013/2014 answer in english you must take this note for you to know how to
majina na utaratibu wa kujiunga na jkt 2014 kwa wahitimu majina na utaratibu wa kwa vijana waliohitimu kidato cha sita watakojiunga na jkt mei 2014
agent auto tokyo general motors ni wauzaji wa spea mbalimbali za
na vyeti halisi vya kidato cha nne na cha sita vinavyotolewa na baraza
waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2014
mkurugenzi wa usalama wa chama cha demokrasia na maendeleo(chadema source
popular search bathing suit women sports oops best cm fifa 14 fotos de mi amante cinthia wanachuo ngono cbe piramida kolac recept green bay packers logi pantat negro xemphim18 masha model nn hadithi za dada chiku categories boudoir photography | 2015-03-04T13:09:05 | http://duoliphotography.com/duoli-photo/orodha-majina-kidato-cha-tano-na-vyuo-2013.html |
rais wa marekani donald trump jumatano jioni alitangaza amri ya dharura ya kusitisha usafiri wa ndege zote muundo wa boeing 737 max 8 na max 9 kwenye anga ya marekani
hii trump alisema ni hadi pale uchunguzi utakapokamilika kubaini iwapo hitilafu ya kimitambo ilisababisha ajali mbili za ndege aina ya max 8 katika kipindi cha chini ya miezi mitano na kupelekea vifo vya mamia ya watu
muda mfupi baada ya trump kutangaza hatua hiyo maafisa wakuu wa kampuni ya boeing inayotengeneza ndege hizo walitoa taarifa kupitia mtandao wa twitter na kusema kwamba kapunmi hiyo inaunga mkono kauli ya rais huyo na kuongeza kwamba ni heri kuwa salama kuliko kujuta baadaye
marekani sasa imejiunga na takriban nchi 30 ambazo tayari zimetangaza kusitishwa kwa safari za ndege hizo huku uchunguzi wa mfumo wake wa kompyuta ambao unashukiwa kusabisha ajali ya ndge hiyo mwezi oktoba mwaka jana nchini indonesia na ile ya ndege ya shirika la ethiopian airlines jumapili iliyopita ukiendelea
hatua ya marekani ya ajumatano ni kinyume na na msimamo wa awali uliokuwa umechukuliwa na mamlaka ya safari za angani ya marekani faa ambayo jumanne ilitangaza kwamba haikuwa na mipango ya kusitisha safari za ndege aina ya boeing 737 max 8 iliyogubikwa na mzozo tangu ajali ya jumapili iliyotokea karibu na mji mkiuu wa ethiopia addis ababa kuua watu wote 157 waliokuwemo
marubani wote wamefahamishwa hilo pamoja na mashirika yote ya ndege alisema trump
licha ya faa na mashirika ya ndege ya marekani kukaa kimya kufuatia shinikizo za kutaka ndege hizo zisitishae safari zake wachambuzi wa masuala ya teknolojia ya ndege wanasema kuna uwezekano mkubwa wa hitilafu za kiuhandisi hasa kwenye mfumo wa kompyuta kwa ndege hizo za 737 max
kufikia jumapili ambapo ajali ya ethiopian airlines iliyokuwa ikielekea mjini nairobi ilitokea boeing ilikuwa imeuza ndge 400 ulimwenguni kote
wachambuzi wanasema kuwa hili ni pigo kubwa kibiashara kwa kampuni ya boeing na mashirika mbalimbali ya ndege ulimwenguni kote | 2019-12-05T17:03:42 | https://www.voaswahili.com/a/trump-atangaza-kusitishwa-kwa-safari-za-boeing-max8/4828376.html |
korea kusini yatoa video inayoonesha wanawake wa nchi hiyo waliofanywa watumwa wa ngono habari online na elimtaa
habari online na elimtaa 2017 at 0454pm blogger ifttt july 10 uncategorized korea kusini yatoa video inayoonesha wanawake wa nchi hiyo waliofanywa watumwa wa ngono
korea kusini yatoa video inayoonesha wanawake wa nchi hiyo waliofanywa watumwa wa ngono
elimtaa tv 50900 pm 2017 at 0454pm blogger ifttt july 10 uncategorized
korea kusini imetoa kile inachokitaja kuwa kanda yake ya kwanza ya video iliyorekodiwa mwaka 1944 ikionesha wanawake wa nchi hiyo waliolazimishwa kuwa watumwa wa ngono na wanajeshi wa japan wakati wa vita vya pili vya dunia
kanda hiyo iliyorekodiwa na wanajeshi wa marekani nchini china ilipatwa na wachunguzi waliofadhiliwa na serikali ya korea kusini katika chuo cha seoul kwenye kumbukumbu za marekani (us national archives)
askari wa japan akikagua wanawake hao kwenye danguro
kanda hiyo ya sekunde 18 inaonesha wanawake kadha wa korea kusini wakiwa wamejipanga wakizungumza na mwanajeshi wa china
wanaharakati nchini korea kusini wanakadiria kuwa wanawake 200000 walilazimishwa kufanya kazi katika madanguro ya wanajeshi wa japan wakati wa vita kuu ya pili ya dunia
askari wa japan wanatuhumiwa kuwafanya watumwa wa ngono wanawake wa korea kusini
wanaaminika kutokea nchini korea lakini pia kutoka nchini china indonesia ufilipino na taiwan
hadi sasa kumbukumbu za wanawake waliolazimishwa kuwa watumwa wa ngono na wanajeshi wa japan wakati wa vita vya pili vya dunia imekuwa ni picha na ushuhuda
tazama video hiyo
from blogger http//ifttt/2t5mtop | 2017-09-23T14:49:23 | https://eliabu.blogspot.com/2017/07/korea-kusini-yatoa-video-inayoonesha.html |
matukio uk bongo fleva yainyuka bongo muvi 20 jioni hii
bongo fleva yainyuka bongo muvi 20 jioni hii
shabiki akipuliza vuvuzela
nyomi likiwa limesheni uwanjani
timu ya bongofleva fc wametoka kifua mbele jioni hii ndani ya uwanja wa taifamara baada ya kuinyuka bila huruma timu ya bongo movie fc goli 20 timu ya bongo movie ambayo ilionekana kuwa na mbwembwe nyingi uwanjani hapo huku wakiongozwa na kamati yao ya ufundi ikiongozwa na bi mwendawalionekana kukosa raha na kufadhaika mno kwa kipigo hichokama vile haitoshi mchezaji benn kinyaiya alizidi kuwatia uchungu wachezaji wenzake kwa kukosa penati iliyokuwa ya wazi kabisamechi hii imefanyika jioni ya leo kwa hisani ya kuchangia watu waliopatwa na maafa/waathiriwa na milipuko ya mabomu iliyotokea kambi ya jeshi gongo la mboto hivi karibuni jijini dar | 2017-09-20T16:36:25 | http://matukiouk.blogspot.com/2011/02/bongo-fleva-yainyuka-bongo-muvi-2-0.html |
safu za milima na nyanda za juu[hariri | hariri chanzo]
nchi za andes[hariri | hariri chanzo]
milima mirefu[hariri | hariri chanzo]
milima ya argentina
milima ya bolivia
milima ya chile
milima ya ekwador
milima ya kolombia
milima ya peru
milima ya venezuela
milima ya amerika kusini
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 7 novemba 2017 saa 1350 | 2020-08-05T09:02:09 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Milima_ya_Andes |
panya wa chuo cha sokoine kukwea pipa hadi ethiopia na bangladesh teknokona teknolojia tanzania
you are athome»teknolojia»afya»panya wa chuo cha sokoine kukwea pipa hadi ethiopia na bangladesh
panya wajulikanao kama apopo wanaotumika katika tafiti
by mato eric on july 6 2016 afya sayansi
wanasayansi katika chuo kikuu cha kilimo cha sokoine nchini tanzania wanapanga kuwatuma panya waliopokea mafunzo kwenda kutumiwa kugundua kifua kikuu nchi za nje
panya wa chuo cha sokoine panya wajulikanao kama apopo wanaotumika katika tafiti
panya hao ambao awali walitumiwa kugundua mabomu yaliyoachwa chini ya ardhi kwa miaka kadha sasa wamekuwa wakitumiwa kugundua watu wanaougua kifua kikuu sana katika magereza na viwandani
panya hao ambao kiteknolojia hujulikana kama panya wa suaapopo wamebainika kuwa hugundua visa vya maambukizi ya kifua kikuu haraka na kwa ufasaha
panya hao hudaiwa kuwa na uwezo wa kupima sampuli 140 za makohozi kwa dakika 15 tu wakati mtaalamu wa maabara aliyebobea huweza kupima wagonjwa 25 kwa siku
awali panya hao walitumiwa tanzania na msumbiji pekee lakini sasa chuo kikuu hicho kinapanga kuwapeleka ethiopia na bangladesh wakatumiwe huko ethiopia ni moja ya nchi zilizotatizwa zaidi na aina ya vijidudu vya kifua kikuu visivyosikia dawa
panya wa apopo walifanikiwa kugundua mabomu yaliyotegwa ardhini msumbiji na angola
kwa mujibu wagazeti la daily news la tanzania bi mariam juma (mmoja wa wanasayansi katika chuo hicho) amenukuliwa akisema kwamba kutafunguliwa kituo cha utafiti jijini dar es salaam mtafiti huyo aliongeza na kusema kuwa maafisa pia watawahimiza watu kujipima kujua hali yao
je unadhani hatua hiyo ya panya hao kutumika kwa ajili ya utafiti kwingineko barani afrika kutafanya tanzania izidi kujulikana na kuzidi kutanua sekta ya sayansi tuambie katika comment soma makala mbalimbali kupitia teknokona
chanzo bbc all africa | 2018-02-19T09:53:06 | http://teknokona.com/panya-wa-chuo-cha-sokoine-ethiopia-bangladesh/ |
mawaziri aisha kigoda na seif khatibu watangaza penzi lao bungeni | jamiiforums | the home of great thinkers
mawaziri aisha kigoda na seif khatibu watangaza penzi lao bungeni
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by ogwalumapesa jul 30 2009
naibu waziri wa afya aisha kigoda amezima minongono ya muda mrefu baada ya kuamua kuweka wazi bungeni kuwa waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano mhe seif khatib ndiye barafu wa moyo wake
mmambo yalikuwa hivi
mwenyekiti wa bunge mh job ndugai alimwita naibu waziri dr kigoda kuchangia kwa dakika 20 kabla ya waziri wake prof mwakyusa kupewa nafasi ya kuhitimisha hoja hiyo
baada ya kusimama dr kigoda alianza kumshukuru rais jk kwa kumwamini na kumteua kushikilia wadhifa alionao alimshukuru bosi wake professor mwakyusa kwa ushirikiano anaompa kazini pia akawashukuru wafanyakazi wenzake
naibu waziri huyo akamalizia kwa kumshukuru mpenzi wake mhe seif khatib ndiye barafu wa moyo wake
ingekuwa hivyo kwa wabunge wote kufanya hivyo basi wachache wangebaki single mjengoni
alisemaje mnukuu hayo hapo ni maneneo yako mbona
baada ya kusimama dr kigoda alianza kumshukuru rais jk kwa kumwamini na kumteua kushikilia wadhifa alionao alimshukuru bosi wake profesor mwakysa kwa ushirikiano anaompa kazini pia akawashukuru wafanyakazi wnzake
naibu waziri huyo akamalizia kwa kumshukuru mpenzi wake mhe seif khatib ndiye barafu wa moyo wakeclick to expand
mi naona ni bomba tu
wanaonyesha mfano bora kwamba hata katika umri ule mambo bado ni motomoto
amini usiamini kauli njema humtoa nyoka pangoni huenda jioni yake wale watu wameenda kufurahia sana unyumba wao na kujikumbusha ujana wao
taarabu sasa hiyobunge gani hilo
mzanzibari kapewa mambo ya tanga utamu ndo upo hapo
huwa najiuliza haya mahusiano ya ndani kati ya wabunge na mawaziri kama yana uhusiano wowote na utawala bora rushwa pamoja na maovu mengine yanayoendelea ndani ya jamhuri ya muungano
nashukuru dada yangu ameamua kuweka wazi mambo yake na mwenzi wake maana mimi nilishangaa hapo mjengoni kweli hakuna wa kuchangamka
hongera bi aisha kuweka mambo hadharani
wenye wivu na wajichome
by the way aisha kigoda si doctor hiyo heshima ameigushi tu aisha ni medical assistant kwa watu makini kama jf na pia bungeni kumtambua aisha kama dr ni ufisadi wa kielimu ambao ndio unaua professionalism nakuacha nchi ikiendeshwa kimazoea bungeni wapo madr wengi ambao wakichunguzwa watajulikana pia ni feki
ingekuwa hivyo kwa wabunge wote kufanya hivyo basi wachache wangebaki single mjengoniclick to expand
kama spika 6 wanasema 'ameharibu' kwa hao 12 yupi sasa angemtambulisha kama barafu wake 0 people likes
hivi hawa wameona au ni ngono zembe tu
hivi hawa wameona au ni ngono zembe tuclick to expand
we smu unaelewa maana ya ngono zembe lakini
kweli tutatokomeza kweli ukimwituwe wakweli na wawazi
we smu unaelewa maana ya ngono zembe lakiniclick to expand
jamaa wameamua kudumisha muunganokwa staili ya aina yakekwa staili hii utabiri wa sheikh yahya unaweza kutimiaongereni sanamsiishie hapo na ndoa mtutangazie tuje tutupe roho maana tanga na zanzibarhapo si kurusha roho tena bali itakuwa kuitupa kabisa
by the way aisha kigoda si doctor hiyo heshima ameigushi tu aisha ni medical assistant kwa watu makini kama jf na pia bungeni kumtambua aisha kama dr ni ufisadi wa kielimu ambao ndio unaua professionalism nakuacha nchi ikiendeshwa kimazoea bungeni wapo madr wengi ambao wakichunguzwa watajulikana pia ni fekiclick to expand
acha roho mbaya hiyo je una uhakika na unachokinena
bi aisha ni assistant medical officer ( amo)na alifanya kozi hii mara baada ya kumaliza medical assistant pale tanga na kwa mujibu wa sheria za tanzania watu hao wanatambuliwa kama madaktari
soma profile yake kwenye tovuti ya bunge
hata watu wazima jamani kuna vitu wavipendavyoooo naampa hongera sana dr aisha kigoda kwa kuwa muwazi na mkweli kuhusu mapenzi na waziri mwenzake mapenzi ya kweli hayatakiwi kujificha jamani tuige mfano huu wale wanaojificha kama nanihii
seif akipeta urais zanzibar 2010 dr aisha first lady znz inshallah
huyo ni muwazi lakini kina mama wengine hapo ndani ya mjumba wana atm zaidi ya tatu ingewezekana kila mbunge angereijsta mpenzi wake kwa siri wangeweza kuwa na adabu | 2017-07-20T19:24:36 | https://www.jamiiforums.com/threads/mawaziri-aisha-kigoda-na-seif-khatibu-watangaza-penzi-lao-bungeni.35032/ |
shelisheli matumizi military
mapato ya serikali 265500 198600 265500 44200 scr milioni [+]
madeni ya serikali 1210400 1247700 1275000 861900 scr milioni [+]
matumizi ya fedha 277500 204200 277500 40500 scr milioni [+]
bajeti ya serikali thamani 12000 5600 31770 39000 scr milioni [+]
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi shelisheli matumizi military | 2019-06-17T16:57:01 | https://sw.tradingeconomics.com/seychelles/military-expenditure |
a u d a x k a g e r a january 2015
rais kikwete ahamasisha mchango wa dola bilioni 75 kwa ajili ya chanjo
rais jakaya mrisho kikwete akiwa na kansela angela merkel wa
ujerumani rais wa mali mhe ibrahim boubacar keïta waziri mkuu wa
norway mhe erna solbergna mwenyekiti mwenza wa bill&melinda gates
foundation bw bill gates wakiwa jijini berlin ujerumani kabla
ya kuanza kwa mkubwa wa kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa
wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya global
alliance for vaccines and immunisation (gavi) ambayo imefanya kazi
kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500
wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba
wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha
rais jakaya mrisho kikwete akibadilishana mawazo na mwenyekiti
mwenza wa bill & melinda gates foundation bw bill gates wakati wa
chakula cha mchana cha mazungumzo na kuhusu kuchangisha fedha
katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za
kimataifa za taasisi ya global alliance for vaccines and immunisation
(gavi) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo
mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali
mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza
rais jakaya mrisho kikwete akishiriki katika hatua
mbalimbali za mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya
juhudi za kimataifa za taasisi ya global alliance for vaccines and
immunisation (gavi) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo
duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia
magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari
ya kupoteza maisha
posted by audaxkagera at 1027 pm no comments
bungeni dodoma
waziri mkuu mizengo pinda akizungumza na mbunge wa viti maalum rose kamili kwenye viwanja vya bunge mjini dodoma januari 28 2015 (picha na ofisiya waziri mkuu)
posted by audaxkagera at 1014 pm no comments
uzinduzi wa kampeni ya zuia ajali hapa katika manispaa ya bukoba
mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani ya mkoa wa kagera winston kabantega kushoto william mkonda kulia kwake ambaye ni mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoani kagera wakiiimba wimbo wa uzinduzi wa kampeni ya zuia ajali hapa
baadhi ya maofisa wa kikosi cha usalama barabarani walioudhuria uzinduzi huo
baadhi ya walimu walioshiriki kwenye hafla ya uzinduzi wa kampeni ya zuia ajali hapa
posted by audaxkagera at 248 am no comments
sheria ngowi aendelea kuipeperusha bendera ya tanzania
mbunifu wa mavazi
wa kimataifa sheria ngowi ameendelea
kuipeperusha bendera ya tanzania kupitia kipaji chake cha ubunifu wa
mavazi baada ya kumvalisha rais mpya wa zambia edgar lungu katika sherehe
za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya national heroes mjini
posted by audaxkagera at 1034 pm no comments
kikao cha watendaji wa wizara ya jumuia ya afrika mashariki na wajasiliamali
naibu waziri wa afrika mashariki amantius msole akisikiliza kwa makini hija zilizokuwa zinatolewa na wajasiliamali mkoani kagera juu ya changamoto wanazokabiliana nazo zinazohusina na soko la pamoja la jumua ya afrika mashariki alikutana nao kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa wa kagera
posted by audaxkagera at 1026 pm no comments
kikao cha dharula cha halmashauri kuu ya ccm bukoba vijijinimwe
mwenyekiti wa ccm bukoba vijijini novatus kwama akiongoza kikao cha halmashauri kuu ya ccm bukoba vijijini kulia kwake ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ccm nazir kalamagi
baadhi ya wajumbe wa kikao hicho kushoto mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya bukoba dauda kateme
katibu wa ccm bukoba vijijini mwishehe acheni
posted by audaxkagera at 546 am no comments
mazishi ya omulangila bajumuzi wa kijiji cha kantare bwanjai mugana yaliyofanyika nyumbani kwake
badji ya watoto wa marehemu bajumuzi
beneza la marehemu bajumuzi
kanath nestory kulinda ni mmoja wa walioudhuria mazishi hayo
posted by audaxkagera at 1048 pm no comments
viongozi wasudan kusini wanapingana wawekeana mikataba ya kumaliza mzozo
mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya chama tawala cha sudan kusini cha sudan peoples liberation movement (splm) ulitiwa saini usiku wa jana jumatano januari 22 2015 katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya ngurdoto wilaya ya arumeru mkoa wa arusha
baada ya siku nzima ya mawasiliano na majadiliano baina ya pande zinazovutana ndani ya chama hicho pamoja na viongozi wa nchi jirani na rafiki na sudan kusini viongozi watatu wa vikundi vinavyopingana ndani ya splm walitia saini mkataba huo muhimu sana
posted by audaxkagera at 1015 pm no comments
rais jakaya mrisho kikwete akiwa na rais salva kiir mayardiy wa
sudan ya kusini (kushoto) makamu wa rais wa zamani wa sudan dkt riek
machar teny (wa pili kulia) na bw deng alor kuol wakitia saini
mkatana wa makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha splm cha
sudani kusini katika hoteli ya ngurdoto jijini arusha jumatano januari
21 2015 usiku nyuma yao ni mjane wa marehemu john garang aliyekuwa
mwenyekiti wa splm mama rebecca nyandeng de mabior na afisa wa wizara
ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bw thobias makoba nyuma
yao wakishuhudia utiaji saini huo ni makamu wwa rais dkt mohamed
ghalib bilali rais uhuru kenyatta wa kenya na rais yoweri museveni wa
rais jakaya mrisho kikwete akifurahia wakati rais salva
kiir mayardiy wa sudan ya kusini (kushoto) na makamu wa rais wa zamani
wa sudan dkt riek machar teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha splm cha sudani kusini katika hoteli ya
ngurdoto jijini arusha jumatano januari 21 2015 usiku
rais jakaya mrisho kikwete naibu rais wa afrika kusini cyril
ramaphosa (kulia) na bw bw deng alor kuol wakifurahia wakati rais
salva kiir mayardiy wa sudan ya kusini (wa pili kushoto) na makamu wa
rais wa zamani wa sudan dkt riek machar teny (wa pili kulia) wakipeana
mikono na kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa
makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha splm cha sudani kusini
katika hoteli ya ngurdoto jijini arusha jumatano januari 21 2015
usiku
posted by audaxkagera at 1013 pm no comments
waziri mkuu pinda akutana na mwekezaji toka russia
posted by audaxkagera at 1003 pm no comments
pinda amtembelea mbunge vita kawawa hospitali alikolazw
posted by audaxkagera at 959 pm no comments
jk aongoza kikao cha baraza la madiwani
rais dkt jakaya mrisho kikwete akiongoza kikao cha baraza la mawaziri cha
kwanza kwa mwaka huu wa 2015 ikulu jijini dar es salaam leo january 16 2015
kulia kwake ni makamu wa rais dkt mohamed gharib bilali na kushoto
kwake ni waziri mkuu mhe mizengo pinda
posted by audaxkagera at 956 pm no comments
rais kikwete aagana na balozi wa algeria
rais jakaya mrisho kikwete akizungumza na kisha kuagana na balozi wa
algeria nchini tanzania mhe djelloul tabel ikulu jijini dar es
salaam jumanne jioni january 13 2014 kwa ajili ya kumuaga baada ya
kumaliza muda wake wa kazi nchini
rais kikwete amjulia hali naibu waziri wake
rais jakaya mrisho kikwete na mkewe mama salma kikwete wakimjulia hali
mbunge wa namtumbo mhe vita kawawa aliyelazwa katika hospitali
ya ami jijini dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo katikati yao
ni mhe adam malima naibu waziri wa fedha na kushoto ni daktari
katika wodi hiyo
posted by audaxkagera at 1008 pm no comments
waziri mkuu akiwa zanzibar
waziri mkuu mizengo pinda akipata maelezo kutoka kwa mhandishi anolf kileo (kulia) wa kampuni ya united builders kuhusu michoro ya majengo ya madarasa mabweni ukumbi na nyumba za walimu za shule ya sekondari ya kibuteni ya zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo ikiwa ni moja ya shughuli za sherehe za mapinduzi ya zanzibar januari 10 2014 kushoto ni waziri wa elimu na mafunzo ya amali ali juma shamhuna (picha na ofisi ya waziri mkuu)
waziri mkuu mizengo pinda akimsikiliza waziri wa elimu na mafunzo ya amali wa zanzibarali juma shamhuna (wapili kulia) baada ya kuweka jiwe la masingi la shule ya sekondari ya kibuteni ya zanzibar ikiwa ni moja ya ya shughuli za sherehe za mapinduzi ya zanzibar januari 10 2015 (picha na ofisi ya waziri mkuu)
waziri mkuu mizengo pinda akizungumza wakati alipoweka jiwe la masingi la shule ya sekondari ya kibuteni ya zanzibar ikiwa ni moja ya ya shughuli za sherehe za mapinduzi ya zanzibar januari 10 2015 kulia kwake ni waziri wa elimu na mafunzo ya amali ali juma shamhuna (picha na ofisi ya waziri mkuu)
posted by audaxkagera at 444 am no comments
kikwete with diplomatic
president dr jakaya mrisho kikwete addresses heads of
diplomatic missions and international organisations during a new year
sherry party he hosted on friday 9th january 2015
speech by his excellency dr jakaya mrisho kikwete president of the united republic of tanzania at the new year sherry party hosted for heads of diplomatic missions and international organisations at the state house dar es salaam
9th january 2015
honourable bernard membe (mp) minister for foreign affairs and international cooperation
your excellency juma alfan mpango ambassador of the democratic republic of congo and the dean of the diplomatic corps
excellencies heads of diplomatic missions and international organizations
i welcome you all to the state house i thank you for accepting my invitation to attend this traditional event to commemorate the end of 2014 and welcome 2015
i do hope that those of you who joined the diplomatic community in dar es salaam in 2014 have settled down and are receiving the necessary cooperation of my government and of your diplomatic colleagues i extend our very best wishes for the new year to you all and through you to your heads of state and government heads if your respective institutions your people your spouses and staff
excellencies ladies and gentlemen
the year 2014 has been a very eventful year for tanzania we are witnesses to important landmark events happening in the socialpolitical and economic landscape of the country the economy continued to register strong macroeconomic performance gdp growth is expected to be 74 percent compared to 73 percent in 2013 inflation rate dropped from 60 percent in january 2014 to 48 percent in december 2014 this drop is a result of an increase in food production last year we produced a surplus of 325 million tonnes of grains which is an increase of 314 percent compared to a surplus of 223 million tonnes in 2013 the objectives of kilimo kwanza and sagcot are working and succeeding
we also registered an increase in export earnings by 31 october 2014 tanzania exported goods and services worth usd 8539 billion compared to usd billion 8332 recorded at the same time in 2013 had it not been for the fall in the world prices of coffee tea cashew nuts cotton and gold we would have done much better
in another development last year we concluded the rebasing exercise of our economic statistics the base year will now be 2007 instead of 2001 accordingly therefore the gdp of tanzania in 2013 was 70 trillion shillings using 2007 base year compared to 537 billion shillings using 2001 base year likewise gdp per capita is 977 usd compared to 742 usd using 2001 figures please be informed that this is the 5th time such an exercise was undertaken in tanzania previously it was done in 1966 1976 1992 and 2001
we also registered commendable progress in the socialeconomic services particularly in education health care water supply roads airports and railways the new education and training policy was approved by cabinet the policy underlines improving access and quality of education and training as core tenet of the new policy everything else is an elaboration of how to see this core policy tenet is realised
there are two important factors of the new policy that are worth mentioning first the renewed emphasis on ensuring that tanzanians get the type of education that will cater for the needs of the job market in terms of wage employment and self employment the second is the aspiration of making secondary school education free from next year 2016 the idea to make primary and secondary school education accessible to every tanzanian is a major undertaking on our part that is why we in government have given ourselves the task of ensuring proper preparations are made so that this noble goal can be realised smoothly
there are three other landmark developments in education which occurred in 2014 that i would like to share with you today the first one is with regard to availability of primary and secondary school teachers with the employment of 36339 teachers in 2014 we remain with a shortage of 45233 teachers of which 26946 are for primary schools and 18288 are for secondary schools this is the lowest shortage of teachers we have ever been in the last seven years indeed the cooperative endeavour of some of you and us to invest in teacher training is paying desired dividends
the other important highlight worthy mentioning is the fact that there is no more shortage of teachers of arts subjects in secondary schools in tanzania unlike the situation seven years ago however we are still contending with a shortage of 18277 science teachers in secondary schools the capacity of our training institutions is to produce 2500 teachers annually compounds the problem in this regard we welcome the innovative action by the university of dodoma to design a diploma course for science and mathematics teachers the plan to enrol 5602 students annually beginning 2014/2015 academic year should help ease and resolve the shortage of these teachers at the earliest possible time
the second thing is the shortage of text books in primary and secondary schools we have been making steady progress in tackling this problem in 2005 for example in primary schools the ratio of book to students was 16 while in secondary schools it was 15 through using own budgetary resources and support from development partners in 2014 the ratio was 12 for both i would like to use this opportunity to thank our development partners for their support
allow me to recognise the united states of america for donating 25 million science and mathematics books for secondary school last month our overarching ambition is to get to 11 ratio by 2016 your continued cooperation and support will be highly appreciated
through a unique public people partnership close to 3500 community secondary schools have been built since 2005 todate because of serious oversight on the part of leaders 3463 of these schools did not construct science laboratories two years ago i launched a major campaign to build laboratories in these schools good progress has been made so far 405 percent of the laboratories have been completed work is at advanced stage for 548 percent and 4 percent of the laboratories is at initial stage of construction i believe in six months time all of these schools will have physics chemistry and biology laboratories any support we can get from your great nations with regard to provision of laboratory equipment and other needs will be highly appreciated
after dealing effectively with the issues of shortage of teachers text books and science laboratories the next big thing ahead of us will be teachers houses we will launch a major initiative in the next budget to build houses for teachers beginning with rural areas there is a huge shortage we will seek your support in this last mile action in primary and secondary school education development in tanzania we look forward to your cooperation and support as you have always done in the past
equally important progress was made in the health sector this was in terms of building and equipping health delivery centres and dealing with diseases with regard to employment in 2014 we employed 8345 health professionals of whom there were doctors nurses and other professionals with regard to training of health personnel we were able to reach 97 percent of our target of admitting 10000 students by the year 2017 i am sure therefore that we will surpass that target by far by that time
we registered remarkable progress in infrastructure development in 2014 the tarmac road network was extended by 1459 kilometres with 19 tarmac roads completed in 11 regions this year we expect 24 roads to be completed in 12 regions this will add another 133906 kilometres we also expect work to start on eight new roads in dar es salaam iringa shinyanga simiyu kilimanjaro katavi and arusha regions thousands of kilometres of earth roads have been improved using the road fund whose budgetary allocation has been increased to 7517 billion shillings in 2014 from 5044 billion shillings in 2013
implementation of the rural electrification programme being undertaken by the rural energy agency (rea) has been a tremendous success 3836 villages have been electrified by 2014 and we expect another 1500 will be reached by june 2015 this means 43 percent of all villages in the country will be covered giving an access to electricity for 38 percent of tanzanians as compared to 184 percent in 2012 this is no small achievement in a short period of two years a lot has been achieved as well in the railway ports and water sub sectors for brevity of time i will not go into details today
it would be remiss of me if i did not acknowledge appreciate and thank some of you gathered here for your countrys or institutions kind support it has made a huge difference i appeal for continued support and cooperation in 2015 and other years to come
50th anniversary of the union
another landmark event of last year was the celebration of the golden jubilee of the union between the peoples of republic of zanzibar and the republic of tanganyika on 26th april 1964 which gave birth to the united republic of tanzania
the people of tanzania had every reason to celebrate because it is a momentous achievement our union remain one of the few examples of successful and long surviving mergers of two sovereign republics into one new nation the secret behind this success has been the continued goodwill of our cooperating states and our readiness to openly discuss challenges facing the union and resolving them
i initiated constitutional review process in the same spirit there are some issues which require action in the constitution i am glad the constitution review process went well and if the proposed constitution is endorsed in the referendum a last solution will have been resolved the electoral commission is finalising preparations for the referendum to be held on april 30th 2015 we are doing everything within our powers to ensure that the problems identified in the pilot registration of voters exercise and others are addressed speedily
it is critically important that the exercise succeeds because the voters register being developed for the constitutional referendum is the same one that will be used in the general elections later in october 2015 with regard to support for the general elections let me use this opportunity to thank the undp and all other partner states and institutions that have expressed readiness to assist our government in the preparations please expedite the disbursement of the promised resources i want to assure you of the readiness of my government to work with you all
on 14th and 20th december 2014 respectively the country conducted local government elections the successful conduct and conclusion of these elections speaks volume about the vibrancy and consolidation of democracy in tanzania i commended the parties and the people who contested the elections i also congratulated the winners i commended my party ccm for the landslide victory and the opposition parties for the stronger performance i deplored violence by followers of political parties and mistakes committed by some election officials we took action against both we are sending a strong message that such action will not be tolerated in the general elections in october 2015
the year 2015 is a special one as far as the global development agenda is concerned it is the year when the implementation of the millennium development goals (mdgs) comes to a close and the negotiations on the post 2015 development agenda will be concluded
we in tanzania would like to see the unfinished business of the mdgs to form part of the post 2015 development agenda for effective implementation of the post 2015 development agenda tanzania emphasizes on a clear mechanism to ensure stable predictable and reliable sources of financing for its implementation we promise to play our part well in the negotiations of the post 2015 development agenda
at the regional level tanzania will continue to be a committed and proactive member to the eac sadc and icglr last november tanzania assumed the chairmanship of the east african community (eac) in our one year tenure of office we will strive to consolidate the gains made todate and work to advance the east african integration agenda to the greatest heights possible we shall equally remain committed to the sadc and participate fully in the implementation of the regional indicative development plan (ridp) the sadc strategic indicative plan for the organ (sipo) and all decisions of the sadc summit and its organ on politics defence and security
at the continental and global scene tanzania will remain a faithful member of the african union and the united nations currently we have contributed over 3000 troops to un peace keeping mission in the drc darfur and lebanon tanzania is the 6th contributor of military and police peacekeepers in africa and 12th globally in making this noble contribution we are advancing both our foreign policy objective and upholding the ideals of the united nations organisation i promise continued contribution to un peace keeping efforts whenever requested to do so
let me use this opportunity to set records straight about tanzanias position and role in the evolving security situation in the eastern drc and the on going voluntary surrender and disarmament exercise by the fdlr rebels we have always been supportive and will continue to be supportive of these efforts to ensure the eastern drc is free of armed groups that threaten the security of the people of congo and congos neighbours any misrepresentation of tanzanias position is done by people who pretend to read tanzanias mind and make their thinking the truth this is preposterous and contemptible it is done by people who have ill intensions against our country
another development which i would like you to know is about south sudan in october 2014 tanzania through the ruling party chama cha mapinduzi facilitated the intra sudanese peoples liberation movement (splm) dialogue in arusha this was done following the request of his excellency president salva kiir of south sudan and the leadership of the splm in august 2014 they requested ccm to help unify the conflicting factions within the splm it is these decisions in splm which is actually responsible for the ongoing conflict and war in their dear country
the first round of the dialogue went very well and at its conclusion the three factions signed a framework document president salva kiir former vice president riek machar and i were present to witness this occasion the parties are now back and in accordance with the framework document they will now address the root causes of the conflict within the party and devise the way out
i am of the view that if the negotiating teams maintain the spirit they demonstrated in the first round this process will be crowned with success they will be able to reunite their party and pave the way for ease and success of the igad peace negotiations in addis ababa we urge the international community and all other people of good will to spare no effort in assisting the splm teams involved in the negotiations in arusha to reach an amicable solution let us help them agree to reunify their party the splm and end the armed conflict which has caused untold suffering and deaths to innocent people in this youngest nation in the world the newest member of the african union and the united nations
your excellency dean of the diplomatic corps
excellencies heads of diplomatic missions
representatives of international organizations
last but not least in importance i would like to say a few words about our bilateral relations i am amply satisfied with the state of relations between tanzania and the countries and organisations you represent you have been important contributors to our development endeavours some of you have been important partners in regional and global politicaldiplomatic arena as well
on behalf of the government and the people of the united republic of tanzania and on my own behalf i thank you so much for your friendship cooperation and support let us strive to do more in 2015 and advance our bilateral relations to greater heights you will always find in tanzania a trusted and dependable friend and partner
the year 2015 will be an exciting one especially on the political front with the constitutional referendum and the general elections we look forward to your usual cooperation support and understanding please do not do otherwise
after these many words i once again thank you for accepting my invitation i wish you all a happy and prosperous new year 2015 thank you for your kind attention
posted by audaxkagera at 436 am no comments
rais kikwete ahamasisha mchango wa dola bilioni 7
uzinduzi wa kampeni ya zuia ajali hapa katika mani
sheria ngowi aendelea kuipeperusha bendera ya tanz
kikao cha watendaji wa wizara ya jumuia ya afrika
kikao cha dharula cha halmashauri kuu ya ccm bukob
mazishi ya omulangila bajumuzi wa kijiji cha kanta
viongozi wasudan kusini wanapingana wawekeana mika
rais jakaya mrisho kikwete akiwa na rais salva kii
waziri mkuu pinda akutana na mwekezaji toka russia
pinda amtembelea mbunge vita kawawa hospitali alik
profesa tibaijuka awambia wananchi kutenga siasa n
waziri mkuu jimboni kwake
a u d a x k
uharifu wa utekaji wa magari katika mapori ya kimi
wanaccm washauriuliwa kutombeza profesa tibaijuka
kwa nini bei ya mafuta inashuka kwa kasi zitto
rais ateua mwanasheria mkuu wa serikali mpya
mambo ya usiku wa bia ya prisner lager ndani ya ukumbi wa garden bar
mnenguaji wa akifanya vitu vyake wakati wa kuinadi bia ya prisner mambo ya ndembe ndembe kanga moja
wimbo wa kuhamasisha kasi ya maendeleo wazinduliwa kagera
mkoa wa kagera umezindua wimbo maalumu utakaokuwa ukiimbwa wakati wa shughuli mbalimbali za kuhamasisha masuala ya maendeleo na amani mko
tumedhamiria kuwatumikia watanzania majaliwa
*asema serikali hii siyo ya watu wapole waziri mkuu majaliwa kassim majaliwa amesema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuhaki
waziri mkuu akagua jengo la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya songea
waziri mkuu kassim majaliwa amekagua jengo la makao makuu ya halmashauri ya wialaya ya songea lilipo katika kijiji cha lundusi wilaya ya p
waziri mkuu mstaafu akabidhi ofisi kwa majaliwa
waziri mkuu mstaafu mizengo pinda amekabidhi ofisi kwa waziri mkuu kasim majaliwa na kumtaka aimarishe ufuatiliaji wa maelekezo anayoya
makanisa ya kikiristo yaendelea kuchomwa moto kagera
na audax mutiganzi bukoba +255 784 939 586/ 753 844 995 kufuatia kukithiri kwa vitendo vya uchomaji moto makanisa u
waziri mkuu akagua maghala ya wakala wa hifadhi ya taifa ya chakula (nfra) kanda ya songea
waziri mkuu kassim majaliwa amekagua maghala ya wakala wa taifa wa hifadhi ya chakula (nfra) kanda ya songea wakati akiendelea na
majaliwa maliasili na utalii jipangeni vizuri
waziri mkuu kassim majaliwa ameiagiza wizara ya maliasili na utalii kujipanga vizuri na kufanya mapitio ya idara zake hususan ya misit
watumishi wengine watatu wasimamishwa kazi tra *ni kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili
serikali imewasimamisha kazi watumishi watatu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) ambao jana iliamriwa kwamba watahamishiwa mikoani watumi
audaxkagera
by powervuu powered by blogger | 2018-06-24T14:34:08 | http://audax-kagera.blogspot.com/2015/01/ |
githurai news | latest events in githurai city ▷ tukocoke
an hour ago 17382 views
an hour ago 13208 views
polisi wapata vilipuzi 3 nyumbani kwa mshukiwa wa ugaidi
a month ago 3077 views
jamaa amuandikia barua ya mapenzi bintiye seneta gideon moi lulu
3 months ago 5265 views
3 women arrested in githurai with over ksh 102m in fake euros
7 months ago 3787 views
githurai wakaazi wapora mali baada ya serikali kubomoa jengo katika ardhi ya um
a year ago 2748 views
second suspect in case where 3 kenyan security guards stole ksh 140 million in d
a year ago 15610 views
wafuasi wa uhuru wamtema wadai ana mpango wa kumwacha ruto kama yatima 2022
kwa kawaida watu watazungumzia mafanikio yako iwe ni gari nyumba au mkewe mrembo hasa kwa sababu ya wivu kutokana na chuki kwa mafanikio ya mtu tukocoke imedadisi semi za kuchekesha za wakenya kuhusu mafanikio ya watu
national youth services (nys) director general richard ndubai on friday march 23 announced commuters boarding the nys buses will pay a standard fare of ksh 20 tukocoke understands the fare was reduced from the initial ksh 50
'genge' la githurai lakwamisha mradi wa barabara kwa kudai ksh 15 milioni
ujenzi wa barabara ya kuunganisha hadi kituo cha reli cha githurai ulisimamishwa baada ya mkandarasi kutakiwa kulipa ksh 15 milioni na kundi linalojiita jamii ya wafanyabiashara wa githurai tukocoke ina habari kamili
construction of access roads to githurai railway station was halted after the contractor was demanded to pay ksh 15 million to a group identified as githurai business community tractor den (k) limited wrote to the director metro
we all know githurai can shock you in many ways so we are never really surprised from crazy things happening there githurai is trending yet again after a photo | 2020-06-05T07:07:17 | https://www.tuko.co.ke/tag/githurai.html |
kutingika kabla ya uchungu wa uzazi yote unayo paswa kujua | africaparent
kutingika kabla ya uchungu wa mama na baada ya kujifungua
utashuhudia kutingika kwa mwili iwapo unajifungua njia ya asili ama csection
kwa sasa kwani uko katika trimesta yako ya tatu huenda ukawa umesoma kila kitu kuhusu uchungu wa uzazi huenda pia ukawa umechukua madarasa kujitayarisha kwa siku yako kuu na umejihamia na maarifa ya ushuhuda wa kujifungua kwa kweli ila hakuna darasa ama kitabu ambacho kita kutayarisha kwa kipindi hiki kikuu cha kutingika wakati wa kujifungua kabla ya kushuhudia uchungu wa uzazi na baada ya kujifungua pia
karibu wanawake wote hushuhudia kutingika wakati wa kujifungua kabla ya kujifungua jambo hili linaweza fanyika haijalishi mpango wako wa kujifungua
kwa hivyo iwapo una jifungua kwa kawaida ama kutumia epidural ama upasuaji wa csection nafasi kuwa utashuhudia kiwango cha chini cha jambo hili hakija dhibitishwa
ila hakuna haja ya kuwa na shaka huku hakuta tahadharisha maisha ya mtoto wako kwa njia yoyote
kutingika katika ujauzito kabla na baada ya uchungu wa uzazi ni jambo la asili
kutingika katika kujifungua ni matokeo ya kubadilika kwa homoni mabadiliko machacho katika viwango vya homoni huenda vikafanya mabadiliko kadhaa katika fizikia na kisykologia kwenye mwili na huku kunafanyika katika kujifungua
ili kuelewa kwa nini unashuhudia kutingika katika ujauzito kabla ya uchungu wa uzazi kwanza tuelewe mchakato wa uchungu wa uzazi kwa ujumla kuna hatua tatu katika uchungu wa uzazi hai
hatua ya kwanza hatua hii inaanza na kukaribia kwa uchungu wa uzazi huenda ukashuhudia kubanwa kwa tumbo na kutaongezeka kwa karibu 10 cm hii ndiyo pande hai ya uchungu wa uzazi na kubanwa huwa kwa sekunde 60 hadi 90 zinafanyika mara kwa mara baada ya kila dakika mbili
hatua ya pili katika hatua hii unashuhudia kujifungua kwa kweli na unamsukuma mtoto nje ama unafanyiwa upasuaji wa csection wanawake wengi hushuhudia kutapika na kichefu chefu wanapo anza kuhisi hivi haijalishi iwapo wamepatiwa dawa za kulala ama la pia hii hukuwa hatua ngumu zaidi ya uchungu wa mama
hatua ya tatu katika hatua hii ya tatu na ya mwisho placenta yako inatoka kwa ujumla mwili wako unatoa kila kitu kilicho baki ndani ya mwili wako baada ya mtoto kuzaliwa
unaweza hisi kutingika wakati wa ujauzito kabla ya uchungu wa mama katika mojawapo ya hatua hizi kwa kawaida kutingizwa huku kunashuhudiwa baada ya kujifungua tu
kwa kawaida hii huwa kufuatia adrenaline kwa sababu ya homoni kufuatia mabadiliko ya joto mwilini
hasa utafiti ulio chapishwa kwenye pubmed pia unasema kuwa kutingika hakusababishwi na sababu kama joto ama kubadilika kwa homoni
somo hili lina sema kuwa kuonekana kwa kliniki kuwa kutingika kwa peripartum hakuwezi thibitika na kipima joto waandishi wengine walipata kutoa jasho isiyo ya kipima joto
uwingi wa kutingika wakati wa ujauzito kabla na baada ya uchungu wa mama ni upi
tena huku kuna tofautiana katika kila mama kwenye uchungu wa mama kutingika huku hasa huisha baada ya sekunde chache hadi dakika chache ila kama tulivyo taja pamoja na kutingika wakati wa uchungu wa uzazi wanawake wengi huhisi dalili zingine za kujifungua pia
hizi ni kama kutingika kwa baridi na kutoa jasho kuhisi kujikuna kutapika ama kulia
katika visa vingi kuoga kwa maji moto ama kufunikwa kwa blanketi joto hupunguza kutingika kuna tuliza misuli na neva
wakati mwingine matibabu kama demerol (ambayo ni narcotic) ina peanwa ila haipeanwi kwa visa nadra na chini ya kuangaliwa na mtaalum wa afya ya wamama
sayansi nyuma ya kutingika wakati wa ujauzito kabla ya uchungu wa mama ni ipi
hata kama wana sayansi bado hawaja dhibitisha maana ya kutingika sababu hizi zinajulikana kuwa vyanzo zaidi
1 homoni mwilini
wakati wa uchungu wa uzazi homoni ya oxytocin inapatiwa kwa mama ili kuanzisha uchungu wa mama maana ya homoni hii ni kupunguza uterasi na kuthibiti utoaji wa damu
homoni hii inasababisha kubanwa kwa uterasi na misuli ambazo wanawake wengi huhisi kwenye mikono na miguu
kwa kuongeza kubanwa huku homoni za kukwaza kama vile epinephrine cortisol na adrenaline huku ikibadili fluids za mwili jambo hili husababisha kutingika katika uchungu wa uzazi
2 exertion
kusukuma mtoto nje ya uke wako ni kazi ngumu mwili wako wote unafanya kazi ili jambo hili litendeke na pia exertion nyingi ni kiwango kikubwa unapo weka shinikizo ili kusukuma mtoto nje joto ya mwili wako unaongezeka
wakati ambapo mtoto wako anazaliwa mwili wako unajaribu kurudi kuwa kawaida na hivi kwamba kuongeza joto mwilini kufuatia heat regulation unahisi kutingizwa hii ni kawaida kwa fizikia yako mwilini unapaswa kuwacha kuhisi hivi baada ya dakika ama masaa machache
3 damu kuto kuwa aina sawa
imani ingine ya hivi sasa pia inasema kuwa kutokuwa sawa kwa damu ni sababu ya kutingika katika uchungu wa uzazi wataalum wanasema kuwa katika uchungu wa uzazi baadhi ya kiwango cha damu ya kiinitete hugusana na bloodstream wa mama
kwa hivyo kuna kutokuwa sawa kwa aina za damu kati ya mama mpya na mwanawe kwa mfano iwapo mama ana a+ na mtoto ana ab+ anaweza hisi kutingika meno kutoa sauti na baridi katika kuzaliwa kwa mtoto
shaking during pregnancy before labour sometimes cold intravenous fluid administration can also cause shivering to some extent | image courtesy dreamstime
4 iv fluids
katika baadhi ya visa kupatiwa kwa intravenous fluid huenda kukasababisha kutingika kwa mfano wakati ambapo mama anapatiwa epidural ama dawa yoyote ile katika kujifungua kuna uwezekano kuhisi baridi na kutingika
hii ni kwa sababu nyingi kati ya iv fluids ni baridi kuliko joto ya mwili kwa hivyo vinapo ingia mwilini zinaweza kufanya uhisi baridi
5 mguzano wa amniotic fluid
wakati wa mchakato wa kujifungua baadhi ya wakati amniotic fluid huingia kwenye bloodstream hii hufanyika mara nyingi wakati wa upasuaji wa csection na sio kujifungua kwa asili ila pia inaweza sababisha kiwango cha kutingizwa
6 maambukizi
katika baadhi ya visa wamama huenda pia wakawa na joto jingi katika wakati wa kujifungua iwapo joto yako ni zaidi ya 100 c huenda ikathibitisha una maambukizo
daktari wako ata angalia masaa yako 24 baada ya kujifungua iwapo nambari bado iko 100 na unahisi uchungu wa pelviki ama kuumwa na matiti na wanaweza pima maradhi yako kutoka kwa tishu ambazo hazija toka na kuzibwa kwa misuli kutoa maziwa ama hata mastitis
walakini iwapo unafikiria una shuhudia hii mara moja kwenye maisha yako umefeli
je utashuhudia kutingika kila mara kabla ya kujifungua
jibu ni ndio kila mara unapo jifungua na kushuhudia homini nyingi katika hatua ya mwisho ya ujauzito utahisi kutingizwa huku
pia iwapo una shuhuda moja wapo ya hizi una weza shuhudia kutingika wa uchungu wa uzazi
kama tulivyo taja hapo juu kutingika wakati wa uchungu wa uzazi unakuja bila ya kuitwa haijalishi idadi ya kujifungua uliko shuhudia hapo awali ila kuna njia za asili nyingi kwa mama ili kufanya jambo hili liwe kawaida na kuhisi nguvu zaidi
njia bora zaidi za kumtuliza mama mpya ni zipi
kwa sababu mama mpya ameshuhudia kutingika wakati wa kujifungua mwili wake ni nyeti na una baridi katika hatua hii atahitaji msaada wote ambao anaweza pata wa kifizikia kiakili ama kihisia
hapa ni baadhi ya njia za kumsaidia kutulia
1 mpashe joto
punde tu baada ya mama kushuhudia kutingika katika kujifungua madaktari na wauguzi wanapaswa kumfunika kwa blanketi huku kuna mfanya ahisi joto na kutuliza mwili wake
kwa wakati mwingi madaktari humfunika upande wa juu wa mwili katika meza ya kujifungua kwa sababu wanajua kinacho fuata punde baada ya kujifungua kumefanyika mama anasafishwa na kufunikwa kwa kutumia blanketi zenye joto na kupatiwa muda apumzike
shaking during pregnancy before and after labour skintoskin contact with the baby can help bring down a new mothers temperature | image courtesy pinterest
2 ngozi kwa ngozi na mtoto
kuhisi joto na usalama hakushuhudiwi na mtoto tu ila na mama anapo mshika mwanawe kwa mara ya kwanza
madaktari wanashauri mama wapya kuwashika watoto wao punde tu baada ya kujifungua kama kuna wezekana wanaulizwa kuwa na uhusiano wa ngozi kwa ngozi kuhisi joto
baadhi ya wamama huenda wasiweze kufanya hivi ama hawa tataka ila ukweli ni kuwa kuguzana ngozi kwa ngozi na mtoto kuna weza saidia kushusha joto mwilini
3 matibabu
katika visa vilivyo nadra kutingika hufuatwa na joto jingi jambo hili huenda likawa hatari kwa mama na pia kwa mtoto mchanga aliye zaliwa
mama lazima amnyonyeshe mtoto kati ya lisaa limoja baada ya kujifungua na iwapo ana joto jingi mtoto hatapata maziwa ya kwanza ya mama na colostrum
katika visa kama hivi mama anaweza patiwa dawa ili kupunguza joto jingi mwilini na kutingika huku huenda pia aafunganishwa na blanketi zilizo na joto na kupewa wakati zaidi ili apone kutokana na kujifungua
jambo la pekee unalopaswa kukumbuka hapa ni kuwa kutingika wakati wa kujifungua ni la kawaida ni mwili wako unaanza kupona ina maana kuwa unahitaji msaada wa kiakili kihisia na kifizikia
kwa hivyo iwapo hujasoma kuhusu kutingika wakati wa kujifungua hapo awali kuwa tayari kushuhudia jambo hili kwenye meza ya kujifungua
vyanzo n cbi webmd
makala haya yaliandikwa kwa mara ya kwanza na deepshikha punj kisha yaka chapishwa tena na idhini kutoka kwa theasianparent na baadaye kutafsiriwa na risper nyakio
swahili kujifungua uchungu wa uzazi kutingika kabla ya uchungu wa uzazi
jinsi mama huyu alivyo himili uchungu wa uzazi wa siku 20
u katika hatari ya kupata uchungu wa uzazi wa mapema
kunya wakati wa kujifungua na uchungu wa uzazi
utafiti wapendekeza kuwa kushikana mikono kunasaidia kupunguza uchungu wa uzazi | 2020-07-04T17:56:24 | https://www.africaparent.com/kutingika-kabla-ya-uchungu-wa-uzazi/shaking-before-labour-and-after-birth-what-you-should-know-7 |
2018 mitsubishi pajero sport exceed qe my18 4x4 dual range (white) for sale in wangara wanneroo mitsubishi
mmaguks10jh005143
1gpx402 | 2019-08-23T12:07:45 | https://www.wanneroomitsubishi.com.au/used-cars/for-sale/mitsubishi/pajero-sport/2018/exceed/qe-my18-4x4-dual-range/997973 |
09 hadiyth lazimiana na swawm | firqatu nnajia
09 hadiyth lazimiana na swawm
986 abu umaamah (radhiya allaahu ´anh) amesema
nilisema ee mtume wa allaah niamrishe kitendo akasema lazimiana na swawm hakuna badala yake nikasema ee mtume wa allaah niamrishe kitendo akasema lazimiana na swawm hakuna badala yake[1]
ameipokea annasaa´iy na ibn khuzaymah katika asswahiyh yake namna hii na bila ya kukariri vilevile kwa alhaakim (ambaye ameisahihisha) na kwa annasaa´iy imekuja
nilimjia mtume wa allaah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo nikasema ee mtume wa allaah niamrishe amri ambayo allaah ataninufaisha kwayo akasema lazimiana na swawm hakuna badala yake[2]
katika asswahiyh ya ibn hibbaan imekuja
nilisema ee mtume wa allaah nielekeze kwenye kitendo ambacho nitaingia peponi kwacho akasema lazimiana na swawm hakuna mfano wake
mida ya mchana kulikuwa hakuonekani moshi kwa abu umaamah isipokuwa anapofikiwa na wageni[3]
[3] swahiyh
marejeo swahiyhuttarghiyb wattarhiyb (01/580)
09 hadiyth lazimiana na swawm 986 abu umaamah (radhiya allaahu ´anh) amesema nilisema ee mtume wa allaah niamrishe kitendo akasema lazimiana na swawm hakuna badala yake nikasema ee mtume wa allaah niamrishe kitendo akasema lazimiana na swawm hakuna badala yake[1] ameipokea annasaa´iy na ibn khuzaymah katika asswahiyh yake namna hii na bila ya kukariri vilevile kwa alhaakim (ambaye ameisahihisha) na kwa annasaa´iy imekuja nilimjia mtume wa allaah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo nikasema ee mtume wa allaah niamrishe amri ambayo allaah ataninufaisha kwayo akasema lazimiana na swawm hakuna badala yake[2] katika asswahiyh ya ibn hibbaan imekuja nilisema ee mtume wa allaah nielekeze kwenye kitendo ambacho nitaingia peponi kwacho akasema lazimiana na swawm hakuna mfano wake mida ya mchana kulikuwa hakuonekani moshi kwa abu umaamah isipokuwa anapofikiwa na wageni[3] [1] swahiyh [2] swahiyh [3] swahiyh mhusika imaam ´abdul´adhwiym bin ´abdilqawiy almundhiriy mfasiri firqatunnajiacom marejeo swahiyhuttarghiyb wattarhiyb (01/580) imechapishwa 29/05/2018 taaliki imaam muhammad naaswiruddiyn alalbaaniy http//firqatunnajiacom/09hadiythlazimiananaswawm/
previous kula au kunywa baada ya kuchomoza alfajiri ya kweli
next 10 hadiyth hakuna mja yeyote atakayefunga
14 hadiyth atakayefunga siku moja katika njia ya allaah basi allaah ataweka kati yake yeye na moto
13 hadiyth atakayefunga siku moja katika njia ya allaah basi allaah ataweka kati yake yeye na moto
12 hadiyth atakayefunga siku moja katika njia ya allaah allaah atautenga mbali
mon 20 ramadan 1439ah 462018ad | 2019-03-20T15:18:53 | http://firqatunnajia.com/09-hadiyth-lazimiana-na-swawm/ |
kutoka tff leo tanzania sports
home / all articles / kutoka tff leo 19th august 2017 last update at 558 pm
watazamaji 13398 wazishuhudia yanga kagera
watazamaji 13398 wameshuhudia pambano la ligi kuu ya vodacom (vpl) kati ya yanga na kagera sugar lililochezwa juzi (februari 27 mwaka huu) uwanja wa taifa dar es salaam na kuingiza sh 77117000
polisi kuikabili oljoro kungangania vpl
polisi morogoro inaikaribisha oljoro jkt ya arusha kwenye uwanja wa jamhuri mjini morogoro katika mechi pekee ya ligi kuu ya vodacom (vpl) kuwania ubingwa wa tanzania bara itakayochezwa kesho (machi 2 mwaka huu)
tags chamazi fifa lake tanganyika ndanda polisi dodoma ruvu shooting | 2017-08-19T03:43:36 | https://www.tanzaniasports.com/2013/03/01/kutoka-tff-leo-3/ |
kuna gari moja lenye kipaza sauti katika utumishi wa bwana nchini brazili na mamilioni ya watu wanalijua gari hilo gari lenye kipaza sauti la watch tower nathaniel a yuille mnamo 1938
kazi ya ufalme nchini brazili ilifanywa kwa kasi ndogo mwanzoni mwa miaka ya 1930 lakini katika mwaka wa 1935 mapainia nathaniel na maud yuille walimwandikia barua joseph f rutherford ambaye alikuwa akiongoza kazi ya kuhubiri wakati huo walisema kwamba wamejitolea kufanya utumishi na wangefurahia kwenda mahali popote
nathaniel mhandisi wa ujenzi mstaafu alikuwa na umri wa miaka 62 wakati huo alikuwa mkurugenzi wa utumishi katika kutaniko la mashahidi wa yehova huko san francisco california marekani aliratibu kazi ya kuhubiri na alitumia vifaa vya sauti ili kueneza habari njema uzoefu na utayari wake ulikuwa baraka katika mgawo wake mpya akiwa mtumishi wa tawi kwenye eneo kubwa sana na lenye lugha nyingibrazili
nathaniel na maud waliwasili nchini brazili mwaka wa 1936 wakiwa na mkalimani na painia mwenzao antonio p andrade walikuwa wamebeba vitu vyenye thamani sana yaani gramafoni 35 na gari lenye kipaza sauti wakati huo brazili ambayo ni nchi ya tano kwa ukubwa duniani ilikuwa na wahubiri wa ufalme 60 tu hata hivyo vifaa hivyo vipya vya sauti vingewasaidia kuwahubiria mamilioni ya watu ndani ya miaka michache tu
mwezi mmoja baada ya nathaniel na maud kuwasili ofisi ya tawi ya brazili ilipanga kwa mara ya kwanza kusanyiko ambalo ratiba yake ilihusisha wakati wa kwenda kuhubiri kusanyiko hilo lilifanywa jijini são paulo inaelekea maud ndiye aliyekuwa akiendesha gari lenye kipaza sauti lilipokuwa likifanya kampeni ya kuwaalika watu kwenye hotuba ya watu wote ambapo watu 110 walihudhuria kusanyiko hilo liliwahamasisha zaidi wahubiri nao walichochewa kuongeza bidii yao katika huduma ya shambani walijifunza jinsi ya kuhubiri kwa kutumia machapisho na kadi za ushuhuda na vilevile kutumia gramafoni kucheza sauti zilizorekodiwa katika kihispania kihungaria kiingereza kijerumani kipolandi na baadaye kireno
gari hili lenye kipaza sauti lilitumika kuwahubiria habari njema mamilioni ya watu nchini brazili
makusanyiko matatu kama hayo ambayo yalifanywa são paulo rio de janeiro na curitiba mwaka wa 1937 yaliongeza kasi ya kazi ya kuhubiri wahudhuriaji waliambatana na gari lenye kipaza sauti katika mahubiri ya nyumba kwa nyumba josé maglovsky ambaye alikuwa kijana mdogo wakati huo baadaye aliandika hivi tungeweka machapisho yetu ya biblia jukwaani na gari lenye kikuza sauti lilipokuwa likitangaza ujumbe uliorekodiwa sisi tungezungumza na watu waliotoka nyumbani mwao ili kuja kuona ni nini kilichokuwa kikitendeka
ubatizo ulifanywa kwenye mito huku watu waliokuja kuoga wakiota jua pembezoni kwa kweli ilikuwa fursa ya pekee sana kuhubiri habari njema kwa kutumia gari lenye kipaza sauti sauti nzito ya ndugu rutherford ilipokuwa ikisikika kwenye vikuza sauti alipokuwa akitoa hotuba ya ubatizo watu wadadisi walilizunguka gari na kusikiliza hotuba hiyo iliyokuwa ikitafsiriwa katika kireno baada ya hapo watu walibatizwa huku nyimbo za ufalme zilizorekodiwa katika kipolandi zikichezwa ndugu na dada waliimba kwa lugha tofauti tofauti wakifuatisha rekodi hizo kitabu cha mwaka wa 1938 kilieleza hivi hilo liliwakumbusha jinsi ambavyo kila mtu katika siku ya pentekoste alielewa lugha yake mwenyewe
baada ya makusanyiko kila jumapili iwe kulikuwa na mvua au jua hotuba za biblia zilizorekodiwa zilichezwa katika gari lenye kipaza sauti na kuwafikia watu walio kwenye bustani maeneo ya makazi na viwanda vilivyokuwa katikati ya são paulo na katika miji ya karibu kila mwezi gari lenye kipaza sauti lilitumiwa kuwafikia watu 3000 walioishi kwenye makazi ya watu wenye ukoma yaliyokuwa umbali wa kilometa 97 kaskazini magharibi mwa são paulo baada ya muda kutaniko imara lilianzishwa licha ya ugonjwa wao wenye kuhuzunisha wahubiri hao wa ufalme walipata kibali cha kutembelea makazi mengine ya watu wenye ukoma ili kuwapa ujumbe wa biblia wenye kufariji
hatimaye rekodi za ujumbe wa ufalme katika kireno zilianza kutumiwa mwishoni mwa mwaka wa 1938 katika siku ya wafu (siku ya kuwakumbuka wafu) gari hilo lenye kipaza sauti lilienda kutoka eneo moja la makaburi hadi lingine huku likicheza rekodi za sauti zenye vichwa wafu wako wapi yehova na utajiri na ujumbe huo uliwafikia zaidi ya waombolezaji 40000
viongozi wa dini wenye hasira walichukizwa sana na tangazo hilo la hadharani la kweli ya biblia na mara nyingi waliwashinikiza wenye mamlaka wapige marufuku gari hilo lenye kipaza sauti dada yuille anakumbuka wakati fulani ambapo kasisi mmoja aliuchochea umati wa watu ulizingire gari hilo lenye kipaza sauti hata hivyo meya na maofisa wa polisi walifika na walisikiliza programu nzima meya alikubali kupokea machapisho ya biblia hakukuwa na vurugu siku hiyo licha ya upinzani huo ripoti ya kitabu cha mwaka wa 1940 kuhusu brazili ilieleza kwamba mwaka wa 1939 ulikuwa wakati bora zaidi wa kumtumikia theokrati mkuu na kutangaza jina lake
kwa kweli kuwasili kwa gari lenye kipaza sauti la watch tower kulibadili kabisa kazi ya kuhubiri nchini brazili lilikuwa kifaa muhimu sana cha kuwafikishia mamilioni ya watu ujumbe wa ufalme ingawa gari hilo lililojulikana sana liliuzwa mwaka wa 1941 maelfu ya mashahidi wa yehova wameendelea kuwatangazia habari njema watu wanyofu katika eneo kubwa sana la brazilikutoka katika hifadhi ya vitu vyetu vya kale nchini brazili
https//wwwjworg/finderdocid=2016128&wtlocale=sw&srcid=share
mailtobody=mamilioni ya watu nchini brazili walilijua gari lenye kipaza sauti0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d201612826wtlocale3dsw26srcid=share⊂ject=mamilioni ya watu nchini brazili walilijua gari lenye kipaza sauti | 2016-12-02T18:23:39 | https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/toleo-funzo-februari-2016/gari-lenye-kipaza-sauti-nchini-brazili/ |
matondo unahitaji kujiunga na freemasons ili utajirike basi muone dk chipoteka
yaani unaambiwa ni utapeli kila mahali kuanzia waganga wa kienyeji kama huyu mpaka makanisani kwa maaskofu wanaokutaka utoe kila kitu ulichonacho ili upate mibaraka ya mungu kwenye siasa huko sasa ndiyo usisemena yule wa chini kabisa katika mfumo huu wa kitapeli naye akamtapeli nani pengine wengine itabidi tujifunze kutapeli familia zetu au kujitapeli sisi wenyewe na hili vuguvugu la freemasons linalopigwa kila leo hapa bongo nalo ni nini mara ooh freemasons wataiangamiza dunia 2012 mara hivi mbona huko kwa wenzetu hatuyasikii haya kuhusu hawa freemasons japo ni kweli kwamba freemasons ni kundi lenye usiri na utata mkubwa tena lililosheheni memba wenye nguvu kihistoria na hata wakati huu ni kweli wana uwezo wa kuiangamiza dunia kulikoni bongo kwa nini utapelitapeli na kutishana namna hii tazama hapa kwa mjadala mkali kuhusu hawa freemasons kwa mtazamo wa kiafrika maelezo ya kina kuhusu hawa freemasons na imani zao yapo hapa unaweza pia kusoma hapa kuhusu mashirika mengine yenye nguvu na usiri mkubwa kama hawa freemasons hapa posted by
arone ladislausdecember 31 2013 at 1143 amnaomba mnisaidie kupata anuani ya freemason kama email na call zaoreplydeleteadd commentload more
yanga out michuano ya kagame cup 2015
[video] mwandishi wa habari akerwa na mkutano wa ccm leo
uzushi unaoenezwa juu ya nape wakanushwa
mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini
lowasa atonesha kidonda cha richmond sakata zima kuanzia mahakamani
trilioni nane zatumika kuboresha umeme ndani ya miaka 10
*hotuba ya dktbilal baraza la iddi geita
uap tanzania one of the leading insurance group in east africa is launching its two new products
maalim seif akitia saini kitambu cha maombolezi ya dr avul pakir abdul kalam
news alert treni ya deluxe iliyokuwa inatoka kigoma kuja dar imepata ajali
wakati wabunge wengine wakizomewa majimboni mwao mbunge morogoro awa gumzo jimboni kwake
diary yangu radhi ya wazazi24
maneno machache ya lowassa kwa watanzania na ccm akiwa rasmi ukawa
ukawa kumekucha lowassa nae yumo
pichamakambi ya burka jijini arusha yalivyohitimishwa
watanzania wote tutatibiwa nchini
mkurugenzi tanesco azungumzia maendeleo
1 zbk2
internships regional integration trade and contracts negotiations addis ababa ethiopia (i1)
win a travel grant to swedens chalmers university of technology gothenburg
matumaini yanaendelea
kaimenyi calls urgent meeting to address unrest in schools
lukwago launches pressure group to capture power
mwaka mmoja wa operation protective edge na miongo miwili ya srebrenica genocide
new poll shows clinton trailing top gopers in key swing states
uturuki yashambulia kambi za wakurdi
дачный дизайн варианты
shilole kiuno nuh mziwanda wapatanishwa kwa kajala
eric omondi kuvunja mbavu za wakazi dar jumamosi hii kusindikizwa na sarabi band leo mkanyia na grace matata
while in paris
mjengoni nikifanya yangu
wajasiliamali 150 wapatiwa mafunzo moshi
rip bobby kristina
oh yes mister president kerry washington's olivia pope finally gets her man in the scandal season 5 promo | 2015-07-29T15:49:44 | http://matondo.blogspot.com/2012/06/unahitaji-kujiunga-na-free-masons-ili.html |
kimono washable kimono washable embroidery komon kimono 洗える着物 刺繍小紋 スイーツ柄 黒 光触媒消臭
洗える着物 刺繍小紋 スイーツ柄 黒 光触媒消臭
home/kimono/washable kimono/washable embroidery komon kimono/洗える着物 刺繍小紋 スイーツ柄 黒 光触媒消臭
code k759
黒地に踊るお菓子が可愛い独自の着物です。 | 2020-06-05T09:26:09 | https://www.kimono-kyoto.jp/en-568.html |
inícioa kikongone ngwa joana de freitas ndinga za nsi ya ngola zi feti longwanga muna lulongoko
19 novembro 2017 a kikongo vídeos 1
mambu ma zayakana menanga mu nsi etu ya ngola e ndinga za nsi ka zi longokanga ko muna nzo za lulongoko ko ndinga za nsi za mputu tu kwendingi mokinanga fulu kya nsangu kya angoimagem ye nati nsangu sakyfoto bakidi e ntangu mu vanga e nzyetelo ti kuna nsi za yanda ( holanda ) tuka kuna nsi ya lumandu (alemanha) mu dyambu ka gwa e ndinga ye ngwa joana de freitas kilumana ka zaya e ngindu zani mu mambu ma tadidi e mfunu ya ndinga zetu za ku ngola
lutomi landa moko
share the post ne ngwa joana de freitas ndinga za nsi ya ngola zi feti longwanga muna lulongoko
25 fevereiro 2018 em 525 | 2018-11-15T18:55:12 | http://wizi-kongo.com/aprender-kikongo/ne-ngwa-joana-de-freitas-ndinga-za-nsi-ya-ngola-zi-feti-longwanga-muna-lulongoko/ |
etiquetas umukobwa
naramusomye nisohoreraho
message y'umusomyi w'igituba
murahondi ummusore w'imyaka 28sindasweraho na rimweariko hari ubwo nashatse kwisuzuma mu minsi ishizenoneho natse umukobwa aranyemereraariko igitangaje kandi kibabaje ni uko naaye nkimusoma nko mu minota itanu mba nisohoreyeho kandi imboro yanga kongera guhagurukanka nyuma y'isaha umukobwa yarongeye aremera ngo ngerageze amahirwe birongera biba kwa kundinone se naba ndi muzimanone se niba ndi muzima nabikosora ntemfite ubwoba kuko nditegura gushaka umwaka uzandategereje murakoze
igisubizouri muzima cyane umuntu utarasweraho niko bigenda si igitangaza nubimenyera uzajya utinda gusohora ntugire ikibazo ni uko ugihwabaye igituba
saa 1115 am 0 ibitekerezo (shyiraho igitekerezo cyawe)
etiquetas gusohora vuba
ukura utabaza ugasaza utamenye
ndabasuhuje sans tarder nabonye sites zanyu nsanga ari nzizazungura ubumenyi cyane kuri twe urubyiruko tu8dafite aho dushakira amakuru y'ukuri ku byerekeranye n'ibitsina'gusa nizeye ko nimumpa acces nzahuguka bihagije yewe ngahugura n'abandi reka mbasabe ko mwamfasha kumigani ifitanye isano
n'igituba n'imboroibyerekeye gukuna no kunyaza naho ubundi isoni ni umwanda kandiukura utabaza ugasaza utamenye
murakoze nizeye kubarahuraho byinshi byiza
saa 1113 am 0 ibitekerezo (shyiraho igitekerezo cyawe)
etiquetas ukura utabaza ugasaza utamenye
kutoka utamu wa kuma
palipo na mboro kuna makende
mboro na kuma wakipigana makende hubaki nje
mwenye mboro mpishe
mboro kuu haukosi ukoko
panapo nduru pana mboro
kuma ikililia mboro ipe
utamu hupatikani ila kwa ncha ya mboro
panapo mboro hapakosi kuma
mboro ikisifiwa kuma hulitia maji
mtaka mboro sharti ainame
usiamshe mboro iliyo lala ama uta lazwa wewe
utamu wa kuma aijuae ni mboro
mboro uleavyo ndivyo ikuavyo
mpanda mboro hushuka
kuma ikiondoka mboro utawala
mboro fupi hailambwi
mboro ikimwaga hayazoleki
aisifue mboro haikosi ime mnyea
mboro mwenda kimya ndiye alaye kuma
ngoja ngoja umiiza mapumbu
saa 428 am 0 ibitekerezo (shyiraho igitekerezo cyawe)
etiquetas kuma mboo mboro methali | 2020-07-05T11:34:05 | http://igituba.igituba.org/2009/03/ |
picha lowassa atembele soko la tandale kwa kushitukiza dar24
picha lowassa atembele soko la tandale kwa kushitukiza
mgombea urais anayewakilisha kambi ya ukawa ameendelea na harakati zake za kukutana na wananchi wa kipato cha chini ambapo leo amefanya ziara ya kushitukiza katika soko la tandale jijini dar es salaam
lowassa ameingia katika soko la tandale mapema leo asubuhi akiwa na mgombea mwenza juma haji duni ambapo amepokelewa kwa shangwe na wafanyabiashara ndogondogo katika soko hilo mbali na kuzungumza naokwa nia ya kufahamu matatizo yanayowakuta lowassa ameshiriki nao kupata kinywaji kwa kutumia kikombe alichopewa na mmoja ya wafanyabiashara hao
jana edward lowassa na juma haji duni waliwatembelea wananchi wa maeneo ya gongo la mboto kwa kushitukiza na kisha kupanda usafiri wa daladala huku wakizungumza na abiria na wafanyakazi wa daladala kufahamu matatizo yanayowakuta
duru zimeeleza kuwa mgombea huyo amepaga kuzunguka katika maeneo ya dar es salaam kwa kushitukiza kwa muda wa wiki nzima kabla ya kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni agosti 29 mwaka huu katika viwanja vya jangwani
joh makini akamilisha video na rapa aka wa afrika kusini
mwadui fc kujipima kwa mabingwa wa kagame cup | 2020-07-15T16:43:05 | http://dar24.com/picha-lowassa-atembele-soko-la-tandale-kwa-kushitukiza/ |
*takukuru wajitosa kubaini kilichotokea
*majaliwa akabidhiwa ripoti pembe zake
siku nne tangu waziri mkuu kassim majaliwa kusema kuna harufu ya ufisadi katika kuhamishwa kwa faru john kutoka kreta ya ngorongoro kwenda grumeti mara utata zaidi umeibuka sakata hilo
hali hiyo imeibuka baada ya jana mtendaji huyo mkuu wa serikali kupokea taarifa kutoka kwa waziri wa maliasili na utalii profesa jumanne maghembe ikisema ilikuwa lazima mnyama huyo kuondolewa ngorongoro
taarifa hiyo ambayo haikusema kama kulikuwa na suala la ufisadi katika kumhamishana faru huyo ilisema baada ya faru huyo kukaa kwa muda alipohamishwa afya yake ilidhorota na hatimaye kufa
taarifa iliyotolewa na ofisi ya waziri mkuu jana ilisema majaliwa amepokea taarifa inayoelezea utaratibu uliotumika kumhamisha faru john kutoka hifadhi ya ngorongoro kwenda sasakwa black rhino sanctuary iliyoko kwenye hifadhi ya grumeti
kwa mujibu wa taarifa hiyo profesa maghembe alisema hadi desemba mwaka jana wakati faru john anahamishwa alikuwa na watoto 26 (sawa na asilimia 702) ya faru wote waliokuwepo ndani ya kreta
kati ya faru 37 waliokuwapo ndani ya kreta watoto wake walikuwa 26 sawa na asilimia 702
uamuzi wa kumwondoa john ulikuwa muhimu ili kuwezesha kuongezeka kwa faru weusi na kupunguza tatizo la inbreeding ndani ya hifadhi ya ngorongoro alisema waziri maghembe
kwa mujibu wa taarifa hiyo majaliwa alisemanilipokea taarifa yenu jana (juzi) saa 7 usiku lakini nikaahidi kuwa leo tukimaliza sherehe za maadhimisho ya uhuru tukutane na kujadiliana kuhusu taarifa yenu
desemba 6 akiwa mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro (ncaa) majaliwa alisema faru huyo alitolewa kwenye hifadhi hiyo ili akauzwe grumet kwa sh milioni 200
majaliwa alisema hadi kufikia siku hiyo alipokuwa akizungumza tayari wahusika walishalipwa sh milioni 100 na watu wanaodaiwa kumnunua hivyo akamtaka prof maghembe ampatie taarifa ya kina kuhusiana na faru huyo
nina taarifa kuwa mliiba faru john na kumpeleka vip grumeti serengeti desemba 17 mwaka jana na badala yake mkapewa sh milioni 200 na mmepata mgawo wa sh milioni 100 halafu mnataka kusingizia kuwa amekufa yuko wapi faru john alihoji akiwa katika ziara yake mkoani arusha
awali ilidaiwa kuwa faru huyo alihamishiwa grumeti eneo ambalo ni sehemu ya hifadhi ya taifa ya serengeti mkoani mara lakini likimilikiwa na raia wa kigeni aliyepewa kisheria kitalu hicho anachokitumia kwa shughuli za utalii
majaliwa aliagiza baadaye kuwa waziri maghembe awasilishe ofisini kwake leo taarifa za uhamishaji wa faru huyo pamoja na nyaraka ngumu (hard copy) zinazoonyesha vikao vya makubaliano ya kumhamishia huko
pembe za faru john taarifa ya ofisi ya waziri mkuu ilisema akikabidhi pembe za faru huyo mbele ya waziri mkuu kaimu mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha kupambana na ujangili wa wanyamapori robert mande alimweleza kwamba pembe kubwa ya faru john ilikuwa na uzito wa kilo 36 na pembe ndogo ilikuwa na uzito wa kilo 23
taarifa iliyotolewa jana iliandaliwa na kamati ya taifa ya kuwalinda tembo na faru inayoundwa na mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa wanyamapori tanzania (tawiri) mkurugenzi mkuu wa shirika la hifadhi za taifa tanzania (tanapa) mkurugenzi mkuu wa ncaa na mhifadhi mkuu wa ngorongoro
takukuru kazini taarifa ambazo gazeti hili ilizipata jana zinasema taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) imejitosa kuchunguza suala hilo
hatua hiyo imedaiwa kufanya vigogo wengine tofauti na waliotajwa kwa majina na waziri mkuu kuwa kwenye wasiwahi wa kujumlishwa katika sakata hilo kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kuhamishwa kwa mnyama kama huyo kuhusisha watu mbalimbali
licha ya taarifa ya taasisi hiyo kuingia kwenye suala hilo mkuu wa takukuru mkoa wa arusha wandwe felix alisema kwa sasa hawezi kuzungumzia jambo hilo kwa sababu liko kwenye uchunguzi na sheria zinakataza kuzungumzia suala kama hilo
maswali magumu aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya ardhi mazingira na maliasili james lembeli ndiye aliyeibua baadhi ya maswali ambayo majibu yake ni muhimu yakatolewa kupitia ripoti ya kuondoshwa kwa faru john itakayokabidhiwa kwa waziri mkuu leo
lembeli alisema kwa namna yoyote ile nyaraka atakazopewa majaliwa zinapaswa kutoa majibu juu ya sababu za kuwapo kwa dalili za usiri wa jambo hilo
alisema eneo la grumeti limegawanyika sehemu mbili ambazo ni lile la uwindaji ambalo kuna mwekezaji amepewa kama la uwindaji likiwa ni la idara ya wanyamapori na pia kuna eneo jingine alinunua mwekezaji kama shamba lake na kuliunganisha na eneo la uwindaji
kwa sababu hiyo lembeli ambaye aliwahi kufanya kazi tanapa kuanzia mwaka 1993 hadi 2005 aliongeza kuwa ni vyema wanaomwasilishia nyaraka waziri mkuu kuhusiana na kuondoshwa kwa faru huyo wahakikishe wanaeleza vile vile kuwa ni wapi alikopelekwa faru huyo kati ya maeneo hayo mawili
lembeli alihoji faru huyo alipelekwa wapi alihamishwajealitembea kutoka ngorongoro hadi akafika serengeti na kuingia grumeti au au alibebwa kwenye lori baada ya kuchomwa sindano au kupigwa risasi (maalum) aidha lembeli alisema kazi ya kumhamisha faru kama john huhusisha watu wengi na vifaa maalumu na kwamba hilo ni jambo la kawaida lakini muhimu zaidi ni kufuatwa kwa taratibu
nimeshangaa kusikia faru john niliyemfahamu kwa muda mrefu ameondoshwa (ngorongoro) lakini kusafirisha faru siyo jambo geni ikiwa litafanyika kwa uwazi
inapokuwa kwa siri ndiyo inaibuka harufu ya rushwa naona hapa kuna tatizo alisema na kuongezakumtoa faru john ngorongoro crater na kumpeleka grime maana yake amevuka serengeti
ni umbali wa kilomita 100 najiuliza alitembea aliswagwa au alipakizwa kwenye garialihoji
alihoji pia kama watanzania walijulishwa juu ya kuhamishwa kwa faru huyo na kwamba miongoni mwa taratibu ni pamoja na kuwahusisha madaktari wakati wa kuhamishwa huko ili kulinda afya ya mnyama husika
alisema kama taratibu zilifuatwa kamati ya bunge inayohusika na masuala ya maliasili ingekuwa na taarifa na kama lilifanyika baada ya hapo ni lazima kufuatilia kwa undani kwa nini ilifanyika hivyo
kwa mujibu wa lembeli ambaye amekuwa bungeni kwa miaka 10 huku miaka mitano ya mwisho akiwa mwenyekiti wa kamati uamuzi huo ungefanyika wakati akiwa kwenye kamati wizara ingewajibika kuitaarifu kamati lazima kuna namna hapa hakukuwa na serikali ya awamu ya tano
walifanya wakati hakuna waziri
watueleze kibali kilitolewa na nani kwa wakati huo lakini nijuavyo siyo jambo la dharura naona walitumia mwanya wa kutokuwapo serikali kamili kufanya haya alisema
mmoja wa wadau wa utalii nchini aloyce kimaro ambaye amewahi kuwa mbunge wa jimbo la vunjo alisema faru hulindwa kwa kutumia kompyuta na maisha yao hujulikana kirahisi
wezi bodaboda wakosa msamaha wa magufuli | 2020-01-27T17:02:18 | https://www.ippmedia.com/sw/habari/utata-zaidi-sakata-la-faru-john-0 |
mhe richard m ndassa mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana nami niungane na wachangiaji waliopita kumpongeza sana mheshimiwa waziri kwa hotuba yake nzuri nipongeze pia timu yake kwa pamoja kwa kazi nzuri ambayo wameifanya (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nianze kwa kumpongeza mheshimiwa rais wakati anaomba kura alizungumzia sana hasa katika suala zima la kuondoa tozo katika mazao mbalimbali na hili ameshaanza nalo mheshimiwa mchangiaji aliyepita anasema tozo jamani ni hatua kwa hatua ameanza na tozo sasa baadaye itakwenda kwenye kutafuta masoko ni hatua kwa hatua (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti leo sitasema sana kuhusu pamba kwa sababu wewe mtemi ni shahidi tumezungumzia sana kuhusu zao la pamba bei na mambo mengine najua serikali ya chama cha mapinduzi ni sikivu sasa yale ambayo tutakuwa tunayasema humu ni vizuri serikali ikayachukua na kuyafanyia kazi si jambo jema sana waheshimiwa wabunge wanasema jambo hilo hilo lakini tukumbuke zao la pamba kwa kanda ya ziwa ndiyo baba na ndiyo mama ndiyo kila kitu uchumi wa kanda ya ziwa unategemea zao la pamba bila pamba kwa kweli katika kanda ya ziwa sijui kama wengine tungekuwemo humu ndani (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti naiomba serikali kwa sababu hata tukiulizana humu ndani ikifika pahali tunabeza pamba sijaona humu mbunge aliyevaa nguo ya ngozi ya ngombe au ya punda wote tumevaa nguo zinazotokana na zao la pamba sasa kama mahitaji ya pamba ni makubwa leo hatutaki kuzingatia na kuona kwamba zao hili ni zao la biashara na linasaidia nchi hii kwa kweli tutakuwa hatujitendei haki kwa hiyo naiomba sana serikali ilione hili (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nimejaribu kuangalia kwenye kitabu cha mheshimiwa waziri kuhusu kilimo cha kutumia matrekta mwaka jana kama unakumbuka wakati waziri anawasilisha taarifa yake hapa alisema kwamba kuanzia sasa na kuendelea tunataka tuanze kununua matrekta ya kutosha ili kusudi jembe la mkono tukutane nalo makumbusho au sehemu nyingine sasa nimejaribu kuangalia kupitia mfuko wa pembejeo waliproject kununua matrekta 79 lakini yaliyonunuliwa ni matrekta 43 matrekta ya mikono power tiller 10 hakuna hata moja lililonunuliwa
mheshimiwa mwenyekiti kwa mwaka huu wa fedha wamekisia kununua matrekta mapya 71 sasa sioni kwamba hivi kweli nia ni kununua matrekta nchi hii ipate matrekta ya kutosha hata hivyo tukitaka kulima kisasa kilimo kipana mashamba makubwa ni lazima tutumie matrekta hatuwezi tukaendelea kutumia jembe la mkono halafu ukawa na kilimo kikubwa lazima matrekta yatumike kama hukumwezesha yule mtu mdogo kule chini kumkopesha kupitia huu mfuko wa pembejeo matrekta yatakuwa labda ni ya mjini tu lakini wakulima wakubwa wapo vijijini na bila kuwakopesha wakulima kule vijijini hawawezi kulima kwa kujitosheleza (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nashauri mheshimiwa tizeba yeye ni mtoto wa mkulima pamoja na kwamba ametoka kwenye wafugaji yeye ni mtoto wa mkulima anaifahamu mwanza hebu atusaidie hasa upande wa matrekta ili kusudi matrekta yaende yakafanye kazi yake kule yalime kwa kilimo siyo cha kujikimu (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nizungumzie kwenye mazao kujitosheleza hasa kwa chakula inashangaza kuona kwamba eti nchi hii nitoe tu mfano mkoa wa morogoro tulikubaliana hapo mwanzo kwamba kuwe na ghala la chakula la taifa lakini sioni jitihada zozote zile kuonesha kwamba ni kweli pale ni ghala la chakula tulisafiri juzi kwenda mlimba mito tuliyokutana nayo nikauliza hivi mkoa wa morogoro una jumla ya mito mingapi nikaambiwa mkoa wa morogoro una jumla ya mito zaidi ya 1000 na inafaa kwa umwagiliaji sasa unajiuliza hivi tatizo letu ni akili zetu au kutokutekeleza (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kama mkoa huu una mito zaidi ya 1000 na inatiririsha maji mwaka mzima hivi kilimo cha kumwagilia kinatushinda nini una mito zaidi ya 1000 huwezi kumwagilia maji unayaacha tu yanatiririka yanakwenda baharini kwa nini maji yale tusiyatumie kwa ajili ya umwagiliaji (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti la pili hivi inawezekana kweli tanzania tukawa tuna njaa hivi mwanzo wakati wa baba wa taifa kuna mikoa minne ilichaguliwa the big four ikawa inazalisha chakula cha kutosha kwa makusudi tukawa na siasa ni kilimo kilimo cha kufa na kupona lakini hiki kilimo cha kufa na kupona sasa hivi sijui kimefia wapi siasa ni kilimo nayo imefariki dunia hakuna sasa hii mikoa mitano au minne leo tukisema kwamba hebu tuiwezeshe hii mikoa iliyokuwa inazalisha kwa wingi chakula chakula hicho kiweze kusaidia maeneo mengine yenye ukame lakini mikoa hiyo na yenyewe tumeiacha hatupeleki mbolea na tukipeleka mbolea ni ya shida(makofi)
mheshimiwa mwenyekiti naiomba sana serikali kwa hii mikoa mitano au minne hebu turudi nyuma tuagalie ni wapi tumekosea na wapi sasa tufanye nini nashauri siyo jambo jema sana kukaa tunalia hapa kwamba chakula hakuna lakini lazima tulie kwa sababu inawezekana wenzetu wataalam mnataka kutusaidia lakini hamtaki kutusaidia ukitazama ile timu ya mheshimiwa waziri ina maprofesa na madaktari waliosomea mambo ya umwagiliaji lakini umwagiliaji sasa unaonekana na wenyewe hauna tija (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti ukija kwenye suala la pembejeo kwa mfano upande wa zao la pamba inasikitisha tu imesemwa jana hapa pembejeo zinaenda kwa wakati ambao haufanani na majira yanafahamika kwamba majira ya kulima pamba ni mwezi fulani kupeleka dawa ya kupulizia wadudu ni mwezi fulani na kupeleka mbegu ni mwezi fulani lakini inapelekwa tofauti kwa utaratibu huu mazao yetu yanakwenda kufa tulikuwa tunaongoza kwa mazao mengi tu si katani pamba korosho wala kahawa lakini leo mazao yote haya yameshuka
mheshimiwa mwenyekiti uzalishaji ukitazama kwenye majedwali huku unashuka mfano zao la pamba mwaka jana ilikuwa tani 122 mmekisia tani laki moja na nusu hamuwezi kufika pamba haipo msijidanganye hii tani laki moja na nusu hamuwezi kupata hata siku moja mmetoka kwenye tani 122 mnataka kwenye 150 mtaipata wapi pia hawa wakulima wa pamba mnawasaidia nini (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nashauri na kumwomba sana mheshimiwa tizeba najua changamoto ziko nyingi kwenye wizara yake lakini hebu wakae na wataalam hasa kwenye suala la chakula kwa sababu hata mheshimiwa rais amesema jamani tunalia njaa tunasema hatuna chakula masanja yeye analima anavuna athumani kwa sababu ni mvivu halimi anakaa anasema kwamba tunaomba chakula cha njaa lakini kama tuki | 2019-07-22T22:21:05 | http://parliament.go.tz/polis/contributions/6768 |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.