text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
huu ndio uhuru wa maoni au | jamiiforums | the home of great thinkers huu ndio uhuru wa maoni au tumekuwa tunalalamika sana kuhusu watangazaji wa baadhi ya vituo vya redio na televisheni kutumia lugha chafu ambazo haziendani na maadili ya utangazaji bila vituo hivi wala tangangazaji hawa na wahariri wao kuchukuliwa hatua zozote zile za kinidhamu na waajiri au vyombo vinavyosimamia taaluma hizi wiki iliyopita katika kuto cha clouds mmoja watangazaji maarufu wa kutuo hicho bwana gerald hando aliamua kuendelea kuvunja maadili haya kwa mara nyingi kwa kujiamini na kwa kurudiarudia kauli zake kama vile wanaosikiliza ni wa upande wake peke yake au hata haieleweki alikuwa ujumbe huo anawapelekea wakina nani haswa kulikuwa na msikilizaji mmoja aliuliza hivi chuo cha mafisadi kiko wapi nataka kusomea na mimi niwe fisadi jamaa gerald akaibuka akasema kiko kule ukivuka bahari kama unaenda zanzibar alimaanisha kigamboni mwenye kujua kule kule kigamboni kuna chuo gani atakuwa anajua kimeongelewa nini hapo ajue kwamba radio ile inasikilizwa na watu wengi sana watu wenye umri mbali mbali na vyama mbali mbali vya siasa kijamii na vya kidogo anavyotoa kauli kama zile ni uchokozi na ukosefu wa nidhamu ya utangazaji na kudhalilisha wanaokimiliki chuo hicho hata hao wanaotajwa mafisadi hakuna hata mmoja aliyefikishwa mahakamani mpaka sasa hivi kwa tuhuma hizo kwahiyo yeye sio hakimu aanze kuhukumu watu pili akaja na kituko kingine msikilizaji aliuliza swali kuhusu hadhi ya zanziber kama ni nchi akasema yeye haitambui zanzibar hata kidogo yeye anaitambua tanganyika na pale alipo yuko tanganyika sio tanzania msimamo wake ni huo huo wenzake wakaanza kucheka na kumshangilia kama vile alivyofanya ni sahihi kabisa baada ya hili kuna kutuo kimoja cha radio kwa jina la radio kheri nacho kimekuwa kikiruhusu wachambuzi wa dini na wanazuoni wake kutumia lugha chafu na uchochezi dhidi ya dini nyingine bila hatua zozote zile kuchukuliwa na wasimamizi wa vituo hivi au taasisi ya mawasiliano kama uhuru wenyewe wa habari ndio huu basi njia tunayoelekea sio hii hata kidogo tunataka kujenga jamii zinazoheshimika na kuheshimu jamii za wenzao na kuvumiliana tunataka kuona watangazaji wasiokuwa na upande wowote wa chama au dini wakati wa kuwasilisha mada na makala zao zingine kama wao ni wanachama wa chama fulani au dini fulani basi waweke wazi tujue misimamo yao ndio hiyo na hiyo ni misimamo vya vituo vyao na wahariri wa vyombo hivyo wamekubali hivyo sina shaka unaelewa fika kwamba ufisadi umekuwa sehemu ya maisha yetuna hata serikali yenyewe inaelewa na kukiri kwamba mafisadi wapowanaolea ufisadi huo ni viongozi wetuna kwa kupitia kwenye ufisadi huowatanzania wanadhalilika na kufedheheka vibayasi tetei kwamba alichofanya mtangazaji yule ni halali la hashaninalosema hata hivyo ni kwambakwa kufumbia macho ufisadi au kushiriki kwenye ufisadiviongozi wetu ndio walioanza kutudhalilishainawezekana mtangazaji anayetajwa kafikia hatua hiyo baada ya kukata tamaa na kukasirishwa mno na tabia za mafisadila msingi hata hivyo ni kwambatutoe kwanza vibanzi machoni mwetu ndio tuweze kutoa vibanzi vilivyoko kwenye macho ya wenzetu kwa lile la kituo cha radio cha dini kutumia lugha za uchochezi hata mimi si liungi mkono na lina stahili kukemewa kwa nguvu zote kama uhuru wenyewe wa habari ndio huu basi njia tunayoelekea sio hii hata kidogo tunataka kujenga jamii zinazoheshimika na kuheshimu jamii za wenzao na kuvumiliana tunataka kuona watangazaji wasiokuwa na upande wowote wa chama au dini wakati wa kuwasilisha mada na makala zao zingine kama wao ni wanachama wa chama fulani au dini fulani basi waweke wazi tujue misimamo yao ndio hiyo na hiyo ni misimamo vya vituo vyao na wahariri wa vyombo hivyo wamekubali hivyoclick to expand wiki iliyopita katika kuto cha clouds mmoja watangazaji maarufu wa kutuo hicho bwana gerald hando aliamua kuendelea kuvunja maadili haya kwa mara nyingi kwa kujiamini na kwa kurudiarudia kauli zake kama vile wanaosikiliza ni wa upande wake peke yake au hata haieleweki alikuwa ujumbe huo anawapelekea wakina nani haswa click to expand mimi binafasi nawapongeza sana kwa kujiamini kwao na uchapaji kazi wao kwa uwazi tena bila kuficha kitu kulikuwa na msikilizaji mmoja aliuliza hivi chuo cha mafisadi kiko wapi nataka kusomea na mimi niwe fisadi jamaa gerald akaibuka akasema kiko kule ukivuka bahari kama unaenda zanzibar alimaanisha kigamboni mwenye kujua kule kule kigamboni kuna chuo gani atakuwa anajua kimeongelewa nini hapo click to expand wewe ulitaka aficheafiche niniawefiche mafisadiawaoneee huruma wao ni akina nani niku waumbua tu mpaka watakapo acha tabia hii mbaya ya ubinafsi nakujiona wao ndo wao shy hata mahakamani huwezi mshida huyu gerad yeye kasema ukivuka bahari kuelekea zanzibar wewe ulifikiri ni kipikauli yake haimfungi hata kwa mlenda mawazo yako na maoni ndio yanaweza kukufungakwanini wewe ndio umesema hayp yeye wala hajataja chuo chochotekumbuka wakati wa fina na masoud nao walikuwa wajasiri kwelisio kwamba walikuwa hawajui wanachofanyani watu wenye akili timamu i am stand to be corrected buswelu you are stand to be corrected i support you fully ha ha ha welcome to where we dare to talk openly i guess so
2016-10-21T11:31:08
http://www.jamiiforums.com/threads/huu-ndio-uhuru-wa-maoni-au.18604/
mkutano mkubwa atape waanza simiyu | mtanzania home biashara na uchumi mkutano mkubwa atape waanza simiyu mkutano mkubwa atape waanza simiyu mkutano mkubwa wa chama cha wanataaluma wajasiriamali wa kanisa la wadventista wasabato tanzania (atape) umeanza rasmi leo mkoani simiyu pamoja na mambo mengine mkutano huo umebainisha mafanikio yaliyofikiwa na chama hicho ikiwamo kupata zaidi ya sh bilioni moja katika miradi ya maendeleo nchini mkutano huo unaofanyikia katika shule ya sekondari kusekwa iliyoko mjini bariadi zaidi ya wanataaluma na wajasiriamali 1500 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi wameshiriki akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa chama hicho freddie maneto amesema atape kimewekeza katika miradi ya afya kilimo elimu maji pamoja na ujasiriamali tuna hospitali mbalimbali shule mashamba zaidi ya hekari 10000 ambayo tumelima mihogo miti na korosho hivyo tunapoadhimisha miaka 20 ya uwepo wa chama chetu tunajivunia kuwa miongoni mwa taasisi ambayo imeajiri watanzania wengi amesema maneto aidha mwenyekiti huyo amesema katika kutoa huduma kwa wananchi wanatarajia kuleta mradi wa maji mkoani simiyu kutokana na mkoa huo kuwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi wake hata hivyo wananchi wa mkoani simiyu wameushukuru uongozi wa mkoa kwa kuendelea kuwaletea fursa mbalimbali ambapo wanategemea kuongeza kipato kupitia biashara zao hii ni fursa kubwa kwetu kama wananchi wa simiyu watu zaidi ya 15000 ni wengi tutaongeza kipato kupitia biashara mbalimbali kwa sasa katika mji wetu wa bariadi nyumba za kulala wageni zote zimejaa watu wamefanya biashara amesema john bubinza mkazi wa bariadi previous articlebaadhi ya majimbo yafutiwa uchaguzi nchini india next articlewizara ya ardhi viwanda matatani
2019-06-26T22:01:58
http://mtanzania.co.tz/mkutano-mkubwa-atape-waanza-simiyu/
mifumo na miundombinu ya tehama ya ortamisemi yamkosha katibu mkuu owm prof kamuzora tamisemi blogu mifumo na miundombinu ya tehama ya ortamisemi yamkosha katibu mkuu owm prof kamuzora january 5 2018 january 8 2018 | atley kuni katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu prof fausine kamuzora akipata maelezo kutoka kwa mtaalam wa tehama wa ortamisemi antidius anatory wakati wa ziara ya kikazi katika ofisi hiyo jinsi komputa kuu inavyofanyakazi mtaalam wa tehama melkiory baltazary akifanya mawasilisho kwa katibu mkuu kuhusu mfumo wa gothomis wakati wa kikao hicho na atley kuni tamisemi katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu prof faustin kamuzora amepongeza kazi kubwa inayofanywa na ofisi ya rais tamisemi na kusema ni kazi nzuri inayopaswa kuungwa mkono na kila mdau huku akitoa ahadi ya kuisemea mifumo na miundombinu ortamisemi pindi atakapo pata fursa ya kusema prof kamuzora ameyasema hayo baada ya kufanya kikao kazi baina yake na watendaji wa ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (ortamisemi) kupitia idara ya tehama kufuatia mawasilisho kadhaa kuhusu mifumo inayoendeshwa na ofisi hiyo huko nje wenzenu tukisikia local government mawazo yetu tulio wengi tunafikiri mambo yapo kilocal local lakini kumbe hali ni tofauti kabisa alisema prof kamuzora prof kamuzora mara baada ya mawasilsho ya mifumo hiyo kutoka kwa wataalam mbalimbali wa idara tehama amewataka ortamisemi kuwatumia wataalam wa sheria wa ofisi hiyo ili mifumo iliyobuniwa na kusanifiwa na ortamisemi iweze kupata hati miliki (copyright and property right) prof kamuzora pia ametoa rai ya kutambuliwa kwa wataalam waliojitoa kwa moyo wa kizalendo hadi kukamilisha kazi hizo ambazo zimekuwa na tija kwa taifa ni vema sasa kuwatambua wataalam wanaotengeneza na kusimamia mifumo ya tehama ili kuongeza motisha na ubunifu amenukuliwa prof kamuzora sambamba na kuwatambua wataalam hao prof kamuzora amewaasa wataalam hao kuhakikisha kuwa kuna utaratibu wa kutambua vyanzo vya mapato ya ndani ya msm ambavyo vimehamishwa kwenye mamlaka zingine kama tra ili takwimu zake zinaendelee kubaki katika mfumo wa lgrcis kwa ajili ya kupima ufanisi wa chanzo husika kihalmashauri aidha prof kamuzora amesisitiza uwepo na mfumo wa pamoja wa utoaji taarifa na takwimu (national statistical system) kati ya taasisi za serikali (mfano rita nida ortamisemi na nbs) ili kuepukana na kutofautiana kwa taarifa na takwimu wakati huo huo katibu mkuu owm ameonesha dhamira ya dhati ya kuunganishwa kwa mifumo ya tehama na takwimu katika ngazi ya mamlaka za serikali za mitaa na serikali kuu ili kuongeza ufanisi wa utoaji huduma huku akitaka ushirikiano na wataalam wa ortamisemi katika ujenzi na maboresho mbalimbali ya tehama na takwimu ili kuwaletea wananchi maendeleo kwa upande wake kaimu mkurugenzi wa idara ya tehama tamisemi bw baltazari kibola alimshukuru katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu kwa hatua ya kutembelea ortamisemi ili kujifunza kuhusu mifumo na miundombinu ya tehama inayosimamiwa na ortamisemi huku akiahidi kufanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa ndugu katibu mkuu kwa niaba ya katibu mkuu ortamisemi tunaahidi kufanyia kazi maelekezo yote ambayo umetupatia alisema kibola na kuongeza lakini pia tunakuahidi utayari wetu wa kufanya kazi bila kuchoka kwa manufaa ya watanzania wote naye mkurugenzi wa idara ya uratibu shughuli za serikali kutoka ofisi ya waziri mkuu bw obey assey aliyekuwa ameambatana na kmowm alipongeza jitihada mbalimbali za wadau wa maendeleo wanaoshirikiana na serikali hasa mradi wa ps3 unaofadhiliwa na shirika la maendeleo la marekani usaid ambao wanashirikiana na serikali kuimarisha wa mifumo tehama ya umma akiongea pembeni ya kikao kazi hicho assey alisema kuna baadhi ya watu hawajui ps3 lakini kumbe kazi yao wanayoifanya kwa kushirikiana na serikali ni kubwa katika uimarishaji wa mifumo wakati wa mawasilisho ya mifumo katibu mkuu owm alijionea jinsi mifumo ya ukusanyaji wa takwimu za elimumsingi (bemis) mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya mamlaka ya serikali za mitaa (msm) wa lgrcis mfumo wa uandaaji wa mipango na bajeti za msm ulioboreshwa (planrep) mfumo wa uhasibu wa utoaji taarifa za fedha katika ngazi ya vituo vya kutolea huduma (ffars) mfumo wa usimamizi na uendeshaji wa vituo vya kutolea huduma za afya (gothomis) mfumo shirikishi wa malipo ya fedha za umma (ifmisepicor) mfumo wa tovuti (gwf) pamoja na muungano gateway ambayo iliwasilishwa na wataalam mbalimbali kutoka idara ya tehama ya ortamisemi kaimu mkurugenzi wa idara ya tehama ortamisemi baltazarikibola akitoa maelezo ya awali mbele ya katibu mkuu owm anayeshughulikia sera na uratibu prof faustine kamuzora na ujumbe wake wakati wa kikao kazi hicho james mtitifikolo mtaalam wa tehama hapa akifanya uwasilishwaji wa mfumo wa planrep kwa kmowm katika ukumbi wa mikutano wa or tamisemi katika jengo la sokoine jinsi miundo mbinu ya tehama ilivyo sambaa nchini mtaalam wa takwimu kutoka ofisi ya raid tamisemi iman kaseki akiwasilisha juu ya mfumo wa bemis jinsi unavyo fanyakazi wakati wa kikao hicho na kmowm proffaustine kamuzora dktbonifacekutokatamisemiakifafanuajambowakatiwakikaohichonakmowmseranauratibu antidius anatory mtaalam wa tehama akifanya wasilisho la mfumo wa mapato wa lgrcis mtaalam wa habari ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa atley kuni akifanya mawasilisho ya mada ya mfumo wa tovuti za mikoa na mamlaka za serikali za mitaa (gwf) katika kikao hicho timu ya wataala wa tamisemi wakiwa wanafatilia kwa umakini wakati wa kikao hicho timu iliyo ambatana na prof faustine kamuzora katibu mkuu owm ikiwa inafanya ufatiliaji wa kina wakati kikao hicho waziri jafo akwazwa na ubovu wa barabara ya kwa mnyamanibuguruni wananchi wa mbuchi mbwera kupata daraja la kudumu total views 159228
2018-06-24T08:56:26
http://blog.tamisemi.go.tz/mifumo-ya-or-tamisemi-yamkosha-katibu-mkuu-prof-kamuzora/
siri ya kasi ya bolt yafichuliwa bbc swahili siri ya kasi ya bolt yafichuliwa http//wwwbbccom/swahili/michezo/2015/01/150114_kasi_bolt_sayansi image caption mwanariadha usain bolt wanasayansi wanasema kwamba wanaweza kueleza kasi ya mwanariadha maarufu sana duniani usain bolt inatokana na nini kwa kutumia hisabati au hesabu bolt alivunja rekodi kwa kumaliza mbio za mita 100 kwa sekunde 958 wakati wa mashindano ya kimataifa mwaka 2009 mjini berlin na hio ndio rekodi ya dunia wanasayansi hao wanasema utafiti wao unafafanua kwamba nguvu na uwezo wa kimwili wa bolt kustahimili upepo inatokana na urefu wake wa futi 6 inchi 5 hata hivyo wanasayansi hao wanasema bado wanafanya uchunguzi kujua kinachowafanya wanariadha wazuri kama bolt kukimbia kwa kasi kulingana na utafiti wa wanasayansi hao waliotumia hesabukasi ya bolt ya sekunde 958 mjini berlin iliwezekana baada ya mwanariadha huyo kukimbia mita 122 kwa sekunde sawa na kasi ya mita 27 kwa saa walisema kuwa mwili wa boltulipata kasi yake pindi alipoanza kukimbia chini ya sekunde moja na hiyo ilikuwa nusu tu ya kasi yake yote image caption bolt baada ya kushinda mbio za dunia wanafizikia hao wanasema hii ina maanisha kuwa hapo ndipo hewa hupunguza nguvu zake za kusongesha vitu pia waligungua kwamba chini ya asilimia nane ya nguvu za misuli yake ilitumika wakati alipoanza kukimbia rekodi ya bolt mjini berlin ilikuwa nzuri zaidi kushuhudiwa tangu kuanza kutumika kwa kifaa cha elektroniki kunakili muda wa wanariadha kukimbia mwaka 1968 ''ni vigumu sana kuvunja rekodi siku hizi hata kwa sekunde moja kwani wanariadha wanahitajika kutumia nguvu nyingi sana dhidi ya upepo ambao huongezeka kwa kila ongezeko la kasi '' walisema wanafizikia walofanya utafiti huo john barrow wa chuo kiuu cha cambridge alisema kwamba kasi ya bolt pia ilitokana na urefu wa hatua zake za miguu licha ya kuanza mbio kwa kuchelewa kila wakati kipenga kilipopigwa misuli yake inamsaidia sana kuongeza kasi licha ya kwamba mwenyewe ana kasi'' wanasema kwamba bolt ana uwezo mkubwa wa kuvunja rekodi zaidi ikiwa ataanza mbio zake bila ya kuchelewa
2018-03-19T22:13:54
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2015/01/150114_kasi_bolt_sayansi
neno la samatta kwa yanga na azam kuelekea mechi zao za kimataifa bongoswaggzcom home / samatta / neno la samatta kwa yanga na azam kuelekea mechi zao za kimataifa neno la samatta kwa yanga na azam kuelekea mechi zao za kimataifa admin 1211 pm samatta kuelekea michezo ya kimataifa ya vilabu bingwa afrika pamoja na confederation cup mbwana samatta amevitakia kila la heri vilabu vya yanga na azam ambavyo vinaipeperusha bendera ya tanzania kwenye michuano hiyo katika msimu huu mimi nawatakia kila la heri yanga pamoja na azam kwa sababu wanawakilisha nchi na mimi ni mtanzania pia nawaombea kwa mungu waweze kushinda kwenye hizo game na wasonge mbele kwa sababu wanaposhinda na kusonga mbele maana yake bendera inazidi kusonga mbele na ni maendeleo kwa sababu ukiangalia hata kwenye viwango vya fifa tuko mbali tumepitwa na kenya na uganda lakini naamini tanzania ina vipaji vingi kuliko hizo nchi nilizozitaja kwa hiyo timu kama hizo zinapokuwa zinafanya vizuri katika mashindano ya kimataifa maana yake zinasukuma bendera na kupandisha nchi yetu kwenye viwango vya fifa taratibu na mwisho wa siku tutafika kule tunapopataka yanga inacheza na zanaco leo jumamosi march 11 2017 ikiwa ni wawakilishi wa miachuano ya mabingwa afrika kwenye uwanja wa taifa wakati azam wao watacheza kesho jumapili march 12 2017 dhidi ya mbabane swalows kwenye uwanja wa azam complex chama neno la samatta kwa yanga na azam kuelekea mechi zao za kimataifa reviewed by admin on 1211 pm rating 5
2018-06-25T00:11:21
https://www.bongoswaggz.com/2017/03/neno-la-samatta-kwa-yanga-na-azam.html
darasa la alhamisi na dr chris mauki ielewe milima na mabonde ya kwenye mahusiano | chris mauki phd home mahusiano darasa la alhamisi na dr chris mauki ielewe milima na mabonde ya kwenye mahusiano darasa la alhamisi na dr chris mauki ielewe milima na mabonde ya kwenye mahusiano chris maukioct 05 2017mahusiano0 ielewe milima na mabonde ya kwenye mahusiano katika ongezeko la kuvunjika kwa ndoa nyingi lililopo duniani sasa ambalo linahusisha kila nchi kila kabila kila tamaduni na hata kila imani ziko sababu ambazo watafiti wengi wamezigusia kuhusika na changamoto hii baadhi ya watafiti hawa ni maprofesa wa chuo kikuu cha pasific nchini marekani profesa les na lesile parrot hawa wametanabaisha kwamba wanandoa wengi huingia kwenye mahusiano pasipo kuwa na ufahamu bayana wa nini maana ya upendo halisi viko vitu vya muhimu sana vihusuvyo mapenzi ambavyo wanandoa wengi na wengine walioko kwenye mahusiano hawavijui na kwahivyo kujikuta wanakutana na wakati mgumu kila wakati penzi ni kitu kinachohitaji umakini mkubwa ni kitu kinachotakiwa kuangaliwa au kulindwa wakati wote na wapenzi husika sio kitu cha kukidharau tu ukadhani kwasababu kipo basi kitaendelea kuwepo milele penzi lina kupanda na kushuka penzi linaathiriwa na vilivyo ndani ya wapendanao na hata vile vilivyonje yao leo linaweza kuonekana katika hali hii na baada ya miezi michache likawa la tofauti kabisa wewe jaribu kufikiria jinsi mlivyokuwa mnapendana kabla ya kuoana au zile siku za kwanza za ndoa yenu halafu angalia jinsi mlivyo sasa kuna tofauti kubwa sana na yawezekana hata hujui kwanini na nini kilitokea pamoja na miyumbo yote iliyoko ndani yake pamoja na milima na mabonde yake yatupasa kufanya kazi ya ziada na kuwa na jitihada za dhati katika kuhakikisha mahusiano au ndoa inasonga hata katika nyakati ambazo mnaona penzi limeshuka sana baina yenu tafiti zinaonyesha kwamba hapo awali raha na furaha ya penzi kwa wanandoa vilikuwa vinaanza kushuka au kupoa wakati ndoa ina miaka 15 hadi 20 ukweli ni kwamba sikuhizi hali imebadilika sana na wanandoa wengi wanachokana mapema sana na hii inaenda na tafiti za sasa kwamba wanandoa wengi wanaamua kutengana chini ya miaka 10 ya ndoa na hata kama hawatotengana basi migogoro baina yao huwa ni mikubwa katika hali ya kuwafanya kama wataliki divorcees waishio chini ya dari moja kitendo cha kustahimili zaidi ya miaka 10 20 30 na kuendelea kinagharimu jitihada za dhati na uamuzi wa dhati kabisa wa wanandoa hawa katika kuamua kulilinda penzi lao na kuilinda ndoa yao haya mambo hayatokei tu kwa bahati nzuri la hasha ni mamuzi ya dhati baina ya wanandoa na hili linawezekana sana kati ya tatizo kubwa ambalo watafiti hawa wanaliona ni pamoja na wanandoa kushindwa kujitosheleza au kuzishuhulikia hisia zao binafsi kwanza kabla ya kuanza kutaka kutimiziwa mahitaji ya kihisia na wapenzi wao kwa kawaida kuna mahitaji ambayo hainabudi kila mwanandoa kuweza kuyatimiza au kujitosheleza yeye kwanza kabla ya kuwa na kiu ya kutoshelezwa na mwenzako kwamfano unahitaji kujipenda vya kutosha kabla ya kuhitaji upendo toka kwa mwenzako unahitaji kujithamini kabla ya kuthaminiwa hali kadhalika kujiheshimu kujiona unaweza kujipongeza na mengi mengineyo wanandoa wengi huingia kwenye ndoa wakiwa na kiu binafsi ambazo hazijaguswa kabisa ndani yao wakijua kuwa huyu wanayeingia naye kwenye mahusiano ndio mwenye wajibu wakujaza lile ombwe la mahitaji hayo ya kihisia najua fika kuwa mpenzi wako anawajibu wa kujali kuziheshimu na kuzijaza hisia zako lakini anajaza kile ambacho wewe umeshakitengeneza tayari sio yeye ndio anakuja kuwa mtengenezaji wa kwanza mwisho wake sasa unakuwa na matarajio makubwa kupitiliza kutoka kwa mpenzi wako yamkini kuliko uwezo wake wa kuyatimiza matarajio hayo na hiyo inakuwa chanzo kikuu cha msongo wa mawazo stress hakuna mwenye uwezo wa kuzijaza na kuzitimiza kiu zako zote za moyoni isipokuwa mungu mwenyewe tunapoingia kwenye mahusiano tunaingia tukiwa na lengo la kusaidiana kuzijaza nafasi zenye uhitaji ndani yetu kila mmoja akimsaidia mwenzake na sio mmoja akiwa na jukumu pekee la kumwezesha mwenzake je wewe upo kwenye mahusiano na mpenzi wa aina gani kutokana natafiti iliyofanywa na kina parrots kuna aina nne za mahusiano na wengi wetu tuna mchanganyo wa zaidi ya aina moja ingawa lengo ni kuwa mpenzi halisi 1 mpenzi mwenye kiu ya kukufurahisha au kukutimizia the pleaser mpenzi wa aina hii wakati wote kiu yake ni kuyatimiza mahitaji yako mara nyingine anakiu ya kuyatimiza hata yale mahiyaji ambayo sio yako watu wa namna hii wanapenda kwa moyo wote lakini sio kwa akili zao ni warahisi sana kutoa hitimisho bila kufikiria kwanza they easily jump into conclusions kiukweli ukichunguza utakuta watu hawa hawatimizi kiu na mahitaji yako bali mahitaji yao binafsi ila wewe unaweza kuona kama wanatimiza kiu au mahitaji yako kwa kutimiza yale mahitaji yako na wao wanajisikia ahueni zaidi kwamaana wanakiu ya kuondokana na kule kujisikia vibaya au kuhukumiwa ndani kwa kushindwa kukufurahisha wewe hii inamaana kwamba kwa wewe kufurahi yeye anaondokana na ile hali ya kuhukumiwa ndani guilty conscious 2 mpenzi msimamizi the controller mpenzi wa namna hii anatofauti kidogo na yule ya kwanza huyu anapenda zaidi kwa akili na sio kwa moyo watu hawa hawana sana hisia za kuhukumiwa ndani guilty conscious ila hawathamini mapenzi pia wapenzi wa aina hii wanaweza kuliona tatizo na kulitathmini kabisa lakini inakuwa ngumu kubeba hisia za mhusika utatamani ahisi au aone unavyosikia au unavyohisi lakini inakuwa ngumu kwake kwahiyo utaendelea kulaumu sana kwamba hajali hisia zako wapenzi wa aina hii wakovizuri zaidi katika kuhakikisha mahitaji yao yametimia kwanza kabla ya mahitaji ya mtu mwingine 3 mpenzi mmezaji wa vitu the withholder mpenzi wa aina hii yuko pia tofauti na wengine inahitaji uvumilivu mkubwa sana kuwa na mtu wa namna hii kwenye mahusiano (sisemi kwamba haiwezekani kuhusiana naye) wengi wa watu wa namna hii ni wale ambao wamewahi kuumizwa katika mahusiano yao ya awali na kwa kila mbinu wana kwepa kuumizwa tena au kutoneshwa majeraha yao ya ndani wao kila dakika ni kuangalia au kuuliza mbona umenifanyia hivi au vile unataka nifanye hivi je wewe umenifanyia hivyo 4 mpenzi halisi genuine lover huyu ndiye mpenzi pekee utakayekutana naye mwenye uwezo wa kupenda kwa moyo wake wote na kwa akili yake yote huyu sio mtu wa kujihisi kuhukumiwa mara kwa mara na anathamini sana mapenzi ni mtu mwenye moyo wa mapenzi na anayeweza kuzifahamu hisia zako na kuchukuliana nazo anaweza kuhisi unavyohisi na kuweza kuvivaa viatu vyako kihisia pia mpenzi wa namna hii anaweza kuangalia mambo kwa mtazamo wa mpenzi wake na wala sio kuyachukulia mambo kibinafsi uwezo wa kuyaona mambo kwa mtazamo wa mpenzi wake kuyachukulia kama ambavyo mpenzi wake angeyachukulia kuyahisi kama ambavyo mpenzi wake angeyahisi ndiyo zawadi kubwa zaidi kwenye mapenzi watu hawazaliwi tu wakiwa na uwezo huu bali unaweza kujifunza na kubadilika kuwa mtu wa namna hii ili kuyaboresha na kuyaendeleza mahusiano au mapenzi yenu previous postpicha harusi ya peter mhapa na mkewe kipenzi veronica hellenic gargenposta 07102017 next postpicha talk ya dr chris mauki kwenye bagparty ya christian sonelo hekima garden 01102017
2019-05-20T20:39:25
http://chrismauki.co.tz/index.php/2017/10/05/darasa-la-alhamisi-na-dr-chris-mauki-ielewe-milima-na-mabonde-ya-kwenye-mahusiano/
imani na mafundisho (ya imani) elimu na jamii historia na siasa sheria & ibada qurani & hadithi maisha ya kiroho na falsafa the twelve imams part 2
2016-10-25T10:13:19
https://www.al-islam.org/sw/node/28038
kichuya na sure boy walikuwa wanakosekana stars vita ya kuwania tiketi ya afcon 2019 bin zubery | presstz your number 1 source of aggregated online content na hapana shaka winga huyo wa zamani wa barcelona na nigeria amunike amemchukua salum abubakar sure boy kuziba pengo la kiungo mwenzake wa azam fc frank doma continue reading >
2019-01-16T23:08:19
http://presstz.net/kichuya-na-sure-boy-walikuwa-wanakosekana-stars-vita-ya-kuwania-tiketi-ya-afcon-2019-43064780
laana hii tutaibebaje tuongeemahusiano laana hii tutaibebaje dada rose mimi ni mwanaume na kwetu tumezaliwa watatu na mtoto mmoja wa baba wa nje ambaye ni wakike sisi watatu wote ni wa kiume baba na mama yangu walipokutana tayari baba alikuwa na huyu mtoto na akamueleza mama yangu ukweli naye wala hakusita kuwa na baba yangu kisa huyo mtoto wakaoana na kutuzaa sisi wa tatu wakati kaka yangu wa pili amezaliwa ndipo baba akaamua kumleta yule dada yangu wa kambo nyumbani ili tuishi naye mama wala hakumbagua alimpenda kama mtoto wake mara mimi nikazaliwa maisha yalikuwa tu yakawaida na wote tulipendana sana mara ikaja kipindi baba yangu akabadilika sana akawa mtu wa pombe sana na mara akaanza kulala nje mpaka asubuhi na wakati mwengine anampiga sana mama yani kaweli manyanyaso yalikuwa ya hali ya juu hatukukuwa na lakufanya bali tu kuwa upande wa mama yetu na yule dada upande wa baba yake mara mama yangu akaumwa na kufariki kwakweli lilikuwa pigo lakini tulikuwa hatuna la kufanya tukiamini mungu alimpenda zaidi yetu baba huku ndiyo akazidi kuwa kicheche na hela akawa haachi kwahiyo tulikuwa tunahangaika wenyewe kufanya kazi kujisomesha mpaka tukapata kazi na kujitegemea dada yeye hakuondoka maana tuliona hana shida kila siku anapendeza mara nguo mpya mara kwa mara kumbe hatukuwa tunajuwa dada yetu wa kambo alikuwa akitembea na baba yetu yani dada anatembea na baba yake mzazi kwakuwa tulikuwa tumeshahamka nyumbani dada yeye aligoma kabisa kuhama lakini kwa vile hatukujuwa linaloendelea hatukuona kama ni mbaya kwani tulijuwa hapo pia si kwake sasa kunakipindi baba akaumwa sana kumpeleka kwenye matibabu wakagundua alikuwa na ukimwi ndipo mara dada tukawa tunamuona kama kachanganyikiwa hatumuelewi wakati wote tunamuuguza baba dada wala alikuwa haji yani akawa amejitenga kabisa nasi na baba kuna kipindi baba akazidiwa kabisa akatuita ili atupe urithi naye dada alikuwepo ndipo kwanza akaanza na msamaha kwa kutueleza kuhusu yeye na dada kwakweli ilikuwa ngumu sana kukubali lakini sasa tukajiuliza hata tusipokubali tutafanyaje dada naye ndio mgonjwa vilevile lazima tusimtenge basi baba akasema kwavile dada yenu ndiye mkubwa natumaini mtakaa naye vizuri nawaachia nyumba(atasimamia dada) na kiwanja kingine mtasimamia wote baada ya mwezi baba akafariki miezi mitatu sasa imepita tukamfwata dada nakumwambia tupangishe nyumba naye tutampangia pakukaa ili hela tukipata itusaidie dada sasa kagoma na tumetumiwa ujumbe sasa twende kwa mjumbe tunatakiwa tusishughulike na hile nyumba kwani dada anasema ni yake na sio yetu yani hataki kabisa tujishughulishe na ile nyumba na tumeletewa barua kwamba kesi ipo mahakamani kuandika kwangu hapa kwa wanaojuwa sheria unadhani tunaweza kukosa nyumba ya baba yetu hata kama aliachiwa dada aisimamie ama watadhani kwasababu yule mtoto wa nje tunataka kumuonea naombeni msaada wenu tafadhali jambo la kwanza nendeni huko mahakamani mkasikilize kafungua kesi ya nini kama kafungua kesi ya mirathi basi wekeni pingamizi kuzuia asiwe msimamizi wa mirathi kwani hataweza kutenda haki na pili lazima kuwepo kikao cha wanandugu kuchagua msimamizi wa mirathi na nyie mtasema kuwa hakuna muhtasari wa kikao (anaweza kuwa kafoji au kahonga huko mahakani muhtasari wa kikao) ambao una signature zenu kumchagua yeye kama msimamizi wa mirathi na kama ni kesi nyingine tu ya kipuuzi kaifungua mahakama ya mwanzo (huwa hakunaga haki mahakama za mwanzo ni pesa tu zinatembea) nyie nendeni kwa wakili na summons (samansi) yenu mliyoletewa mumuombe awe wakili wenu yeye atawapa barua ya kuipeleka mahakamani siku ya kesi kisha hakimu wa mahakama ya mwanzo atashindwa kuendelea na hiyo kesi atamuamuru dada yenu akafungue kesi yake mahakama ya wilaya (angalau huko kuna nafuu na haki yenu mnaweza kupata) kwa hiyo hatasikiliza wala kutoa uamuzi kuhusu shauri lenu maana mawakili hawaruhusiwi hata kukanyaga mahakama za mwanzo na kama hajafungua mirathi fungueni kesi ya mirathi na kugawa mgawanyo wa mali na mahakama ndio itaamua kama ana haki au la na mtagawana kila kitu including hiyo nyumba hata sie mdogo wetu wa tumbo moja alitusumbua sana kwenye mirathi tulimuweka kama msimamizi akageuza kila kitu mali yake tukamtoa kuwa msimamizi huko huko mahakamani kaka kuna taratibu za kufuata kama unahitaji msaada zaidi nitumie namba yako kwenye isaac_mwaipopo@yahoocom then ntakujulisha namba yangu nikupe ushauri wa kisheria kwani kwa taaluma mimi ni mwanasheria lakini kwa ufupi kama baba hakuacha wosia kwa maandishi itabidi kikao kikae cha wanandugu kimchague msimamizi wa mirathi then muende mahakamani (mahakama ya mwanzo) iamthibitisha au kumbatilisha msimamizi wa mirathi then kama kuna mtu anapingamizi anapeleka mahakamani kupinga kuteuliwa kwake kwa ufupi kuna process ndefu na hamuwezi kupoteza haki zenu
2017-10-17T18:44:50
http://rosemarymizizi.blogspot.com/2012/01/laana-hii-tutaibebaje.html
musharraf atashinda tena nafasi ya urais | matukio ya kisiasa | dw | 27092007 musharraf atashinda tena nafasi ya urais pamoja na kupingwa kutokana na uongozi wake serikali ya pakistan imemwidhinisha rais wa nchi hiyo jenerali perves musharraf kuingia katika kinyanganyiro cha kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi utakaofanyika tarehe sita mwezi mwezi ujao rais jenerali perves musharraf waziri mkuu wa pakistan bwana shaukat aziz amesema serikali ya nchi hiyo imempitisha rais general perves musharraf kutetea nafasi anayoishikilia katika uchaguzi ujao uteuzi wa rais huyo wa kijeshi umefanyika wakati ambao mahakamu kuu ya pakistan ikitarajia kukaa na kujadili iwapo general musharraf atafaa kuendelea na madaraka akiwa mkuu wa kijeshi polisi wa usalama wakiwa na silaha wameonekana kwenye eneo la mahakamu kuu kabla ya maofisa kuanza mjadala kuhusu tukio hilo waziri mkuu bwana shaukat aziz amekaririwa akisema kwamba siku hii ni muhimu kwa serikali ya nchi hiyo na kwamba ana matumaini makubwa kwamba rais general musharraf atashinda nafasi hiyo na kuwa madarakani kwa kipindi kingine general perves musharraf anatetea wadhifa wake kupitia chama cha pakistan muslim leaguepml na yeye mwenyewe anajigamba kwamba nafasi hiyo ni ya kwake ikiwa general musharraf atashinda nafasi ya urais atabakia katika madaraka hayo na kuacha ukuu wa majeshi kushikiliwa na mtu mwingine na ikiwa atashindwa kupata urais atabakia na cheo cha ukuu wa majeshi hapo awali mwanasheria mkuu wa serikali ya pakistan malik mohammad qayyum alisema kwamba haitawezekana tena kwa general musharraf kuongoza nchi kijeshi pamoja na kutaka kuendelea kuwa mkuu wa pakistan rais general musharraf amekumbanaa na vikwazo vingi na vikubwa katika kipindi cha uongozi wake kuanzia vita dhidi ya ugaidi akiiunga mkono marekani pamoja na vurugu nyingi zilizosababisha vifo vya mamia ya raia miezi miwili iliyopita watu kadhaa walipoteza maisha baada ya wanamgambo wenye msimamo mkali kuuteka msikiti mwekundu mjini islamabad ambapo majeshi ya serikali yalilazimika kutumia nguvu za ziada kurejesha usalama wakiungwa mkono na watu wanaosemekana kuwa na ushirikiano na kikundi cha taleban cha nchini afghanistan wanamgambo hao walitaka kumshinikiza rais general musharraf kutumia sheria za kiislamu kuongoza nchi aidha marekani inaonekana kuwa karibu na kiongozi huyo wa kijeshi kwa vile pia imeidhinisha pesa nyingi kwa ajili ya kuisaidia pakistan kukabiliana na vikundi vya kigaidi na huenda ikamsaidia general musharraf kufikia lengo lake lakini raia wengi nchini pakistan wanajiuliza nini kitatokea ikiwa general musharraf atashindwa kukamilisha malengo yake ya kutaka kuendelea kuwa mkuu wa nchi hiyo kwa mujibu wa katiba rais atachaguliwa na jopo la pamoja la baraza la senate bunge la ataifa na mabunge aya kimkoa na baada ya hapo mabunge hayo yatavunjwa tayari kwa uchaguzi mkuu katikati ya mwezi januari mwaka ujao
2017-12-18T18:28:53
http://www.dw.com/sw/musharraf-atashinda-tena-nafasi-ya-urais/a-2925756
vita vya nahaawandi ama mfalme wa fursi alipo kusanyikiwa na makundi hapo nahaawandi eneo katika mikoa ya ukanda wa majabali kusini mwa hamadhaan akayaendea makundi hayo akitokea marwa na wakasimama kumsaidia wafalme walio baina ya albaab sindi khurasaan na helwaan na maeneo yote haya ndio mipaka ya ufalme wa fursi kwa upande wa kaskazini/kusini na mashariki/magharibi kamanda saad akamuandikia waraka sayyidna umarallah amuwiye radhikumjulisha khabari hiyo na ni kipindi hicho hicho ndimo kamanda saad alishitakiwa na kundi la watu wa koufah wakimtuhumu ya kwamba hafanyi uadilifu katika utawala wake akasema sayyidna umar baada ya kufikiwa na mashtaka hayo wallah hali waliyo nayo waislamu huko (hivi sasa) haitanizuia kuchunguza mashitaka yao haya akamuita kamanda saad afike mbele yake na akamkaimisha sayyidna abdullah bin abdillah bin itbaan kushika mahala pake saad akaondoka kuelekea madina kuitika wito wa amirulmuuminina sayyidna umar na wakati huo huo sayyidna umar akamtumia muhammad bin maslamah kupata ithibati ya mashitaka dhidi ya saad huyu akafuatilia nyenendo za wafanyakazi walio tuhumiwa akamkuta kamanda saad hana hatia ya tuhuma alizo tuhumiwa nazo pamoja na uthibitisho huu unao mvua kamanda wake na tuhuma nzito za kutokuwa muadilifu sayyidna umar hakupenda kuweko na chuki baina ya kiongozi na raia wake kwa sababu hilo hupelekea kushindwa na kuregea kwa kulizingatia hili akamvua saad uongozi wa koufah na akamtawaza mahala pake noumaan bin muqarrin almuzaniy wakati wa uteuzi wake noumaan alikuwa amejitoma katika kundi la wazalendo wa koufah huko jundisaabour na suus sayyidna umar akamuandikia tamko la uongozi na hii ndio sura yake kutoka kwa mja wa allah umarkiongozi wa waumini kwenda kwa noumaan bin muqarrin amani ya allah ikushukie hakika mimi ninakuhimidia allah ambaye hapana mola afaaye kuabudiwa kwa haki ila yeye ama baadhakika imenifikia khabari ya kwamba makundi makubwa ya waajemi yamejikusanya katika mji wa nahaawandi kwa ajili ya kukushambulieni utakapo fikiwa na waraka wangu huu basi enenda kwa amri ya allah na kwa msaada wa allah na kwa nusura ya allah enenda na waislamu walio pamoja nawe wala usiwapandishe jabali ikawa umewaudhi na wala usiwanyime haki yao wasije wakakufuru na usiwatilie chuki kwani hakika muislamu mmoja ni bora mno kwangu mimi kuliko dinari laki moja [taarikhuttwabariy 02/503] na akamuamuru kwenda katika eneo la maai ili yamkusanyikie majeshi huko kisha ndipo ayaongoze kuelekea nahaawandi yalipo jikusanya makundi ya makafiri na akamwandikia waraka abdullah bin abdillah kaimu wa saad katika mji wa koufah akimuamrisha kuwahamasisha watu kutoka kwenda kwa noumaan na akalitumia ujumbe jeshi la alahwaaz akiliamuru kubakia hapo hapo ili wawe ni kizuizi (ngome) baina ya watu wa jimbo la faaris na wale walio kusanyika nahaawandi majeshi ya kiislamu yalipo kusanyika kwa kamanda mpya noumaan kama yalivyo agizwa kamanda amrou akawatuma amrou bin thaniy amrou bin maad yakrib na twulaihah bin khuwailid kwenda kuichunguza njia iliyo baina ya maai na nahaawandi ama amrou bin thaniy alirejea usiku ule ule akaulizwa kipi kilicho kurejesha akajibu sikuwa mjuzi wa ardhi (nchi) ya waajemi na (kidesturi) ardhi humuangamiza asiye ijua nayo huangamizwa na mwenye kuijua amrou bin maad yakrib yeye alirudi asubuhi ya siku ya pili nae akaulizwa juu ya alicho kiona akasema tumetembea mchana kutwa na usiku kucha hatukuona chochote ama twulaihah yeye aliendelea kwenda mpaka akaliona jeshi la wafursi akalitambua na akarejea na akawaeleza ya kwamba baina yao na nahaawandi hakuna lolote baya la kuwadhuru kamanda noumaan akaliongoza jeshi akaenda ilhali kikosi tangulizi kikiongozwa na ndugu yake nuaim bin muqarrin na vikosi viwili vya pembeni viliongozwa na ndugu yake mwingine suweid bin muqarrin na hudheifa bin alyamaan na kikosi tapanyi kiliongozwa na qaaqaa na hatamu za uongozi wa kikosi cha nyuma zilishikwa na mujaashii bin masoud na wakajiwa na nguvu ya ziada kutoka madina ikiongozwa na mugheera bin shuubah nguvu hii ilipo fika nahaawandi kamanda noumaan akapiga takbira jeshi nalo likaipokea takbira yake kisha wakashusha mizigo hema la kiongozi wa mapambano kamanda noumaan lilijengwa na wakubwa wa koufah hudheifa bin alyamaan uqbah bin aamir mugheera bin shuubah basheer bin alkhaswaaswiyah handwalah yule muandishi jarir bin abdillah ashath bin qays na wengineo hawakupata kuonekana wajenzi mahiri wa mahema katika waarabu kama hawa kisha waislamu wakawasha mapambano wakapigana siku ya jumatano alkhamisi na siku ya ijumaa wafursi wakajitia mahandakini mwao waislamu wakachelea usije kurepa muda wa kungojea mpaka watoke wakashauriana cha kufanya na hatimaye wakapitisha azimio la kumpa qaaqaa uamiri wa kuwasha vita wafursi watakapo pambana nae aonyeshwe kushindwa mbele yao na watakapo mfuata na wakawa baina ya waislamu hapo watapambana nao na allah atalipitisha alitakalo kamanda noumaan akamuamuru qaaqaa kuwasha mapambano nae akatekeleza wafursi wakatoka mahandakini mwao kuja kujibu mashambulizi wakamfuata wakiwa na furaha kwa sababu hawakupata kuiona hali kama hiyo kwa waislamu hapo kabla wakaendelea kusonga mbele mpaka wakawa karibu na jeshi la noumaan nae akaliamuru jeshi lake kutopigana mpaka atakapo toa idhini ya kufanya hivyo na akangojea ule muda ambao mtume wa allahrehema na amani zimshukiealikuwa akipenda kupigana ndani yake pale linapo pinduka jua ulipo fika wakati huo akapiga takbira na kuanzisha mashambulizi na waislamu wakamfuata na akasema nikiuawa basi amiri jeshi baada yangu atakuwa ni hudheifa waislamu na wafursi wakapambana mpambano ambao hawajapatapo kuuona wala haufanani na ule mpambano wa qaadisiyah katikati ya mapambano kamanda naoumaan akauawa shahidi ndugu yake nuaim akamfunika nguo na kuficha habari ya kuuawa kwake ili jeshi lisiregee na jihadi bendera ya vita ikashikwa na hudheifa na mapambano yakaendelea mpaka jioni usiku ulipo ingia wafursi wakaingiwa na ushindwa kiasi cha kushindwa kuiona njia ya kurudia mahandakini mwao wakapotea na badala yake wakaelekea upande uliko kuwako moto wanao uabudu wakaangukia humo wengi miongoni mwao fairazaana akaokoka akaelekea kaskazini upande wa hamadhaan kipote cha jeshi kikamfuatilia na wakafanikiwa kumdiriki na kumuua katika jangwa la hamadhaan na wakaufungua mji wa hamadhaan kwa suluhu habari hii ilipo mfikia maheen akaharakia kutaka suluhu akakubaliwa na ifuatayo ndio nukuu ya waraka wa mkataba wao kama ilivyo pokewa na imamu twabariy haya ndio aliyo wapa hudheifa bin alyamaan watu wa eneo la maji la bahraadhaan amewapa amani ya nafsi zao mali zao na ardhi zao wasibadilishiwe mila (dini) yao na wasizuiliwe kutekeleza sheria zao nao wana haki ya kupata ulinzi muda wa kutoa kwao kodi kila mwaka kwa waislamu walio watawalia kodi hii ni wajibu kwa kila aliye baleghe itoke katika mali yake na nafsi yake kwa kadiri ya uweza wake na muda wa kufuata kwao maongozi wanayo pewa mchana na usiku na wakatekeleza ahadi ikiwa watafanya udanganyifu na wakabadilisha (tuliyo kubaliana) basi dhima yetu hii iko mbali nao tamko hili limeshuhudiwa na qaaqaa bin amrou nuaim bin muqarrin na suweid bin muqarrin na limeandikwa katika mwezi wa muharram mwaka wa 19 kisha baada ya hapo kikosi hiki kikarejea na ilhali waislamu wakiwa wamekusanya ngawira maridhawa muhasibu wa ngawira alikuwa ni saaib bin alaqraa hudheifa akamtuma kupeleka bishara ya ushindi na khumsi ya ngawira alipo karibia madina alimkuta amirulmuuminina sayyidna umar akinusa khabari kwa kuwa alikuwa amesha itathmini vita kabla ya kupiganwa kwake basi akawa akigaragara alipo muona saaib akamuuliza kuna nini huko utokako akajibu ni kheri tu ewe amirulmuuminina allah amekupa ushindi mkubwa na noumaan bin muqarrin amekufa shahidi sayyidna umar akasema innaa lillaahi wa innaa ilaihi raajiuun (hakika sisi sote ni milki ya allah na kwake yeye tu tutarejea) kisha akalia kwa kikweukweu fungu la ngawira la mpanda farasi lilikuwa ni elfu sita na waislamu wakauita ushindi/ufunguzi wa nahaawandi ufunguzi wa funguzi zote kwa sababu baada yake wafursi hawakuweza kusimama tena miongoni mwa yanayo stahiki kutajwa ni kwamba katika ngawira zilizo patikana nahaawandi waislamu walivikwaa vikapu viwili vilivyo jaa johari ghali mno katika hazina ya kisraa (mfalme) amiri jeshi hudheifa akampa saaib ampelekee sayyidna umar hudheifa alipo vifikisha kwa sayyidna umar akasema viweke katika bait maali (ya waislamu) na rudi kwa jeshi lako akapanda kipando chake na akarudi sayyidna umar akamtuma mtu kumfuatilia mpaka akamkuta kesha fika koufah akamrejesha madina sayyidna umar alipo muona akasema eeh nina nini mimi na huyu saaib haikuwa ila nililala katika usiku ulio ondoka malaika wakaniburuza kunipeleka kwenye vile vikapu viwili navyo vikiwaka moto wakinikamia kuniunguza moto kama sijaigawa basi itwae mbali nami ukaiuze na pesa yake itiwe katika hazina ya waislamu basi vikauzwa katika soko la koufah allah akuwiye radhi ewe umar kwa yakini umefuata nyayo za mtume wako kwa ajili hiyo basi ukatukuka wewe na ukatukuka uislamu na waislamu kisha hudheifa karejea na jeshi lake baada ya vita vya nahaawandi akiwa mshindi mnusuriwa
2020-03-29T14:40:47
http://uislamu.org/index.php/en/2226-vita-vya-nahaawandi
equivalent sasa hawatujali jamiiforums equivalent sasa hawatujali kwanii serikali hii sasa hivi inasema waombaji wa sifa linganishi hawawezi kupata mkopo kwa sababu ambazo hazina miguuu wala mikono ni mkia tu ambao siku zote nyuma unafuata kichwa kiendako bodi isifanye mchezo na elimu za watu wala isilete longolongo kwenye elimu wanafunzi wakati wanomba hamkuwaambia kuwa hamhitaji waombaji wa equivalent leo hii mnasema kuwa hatutoi mikopo kwa jamii hii hivi elimu si haki mtanzania kama equivalent ambao wanapaswa kupata mkopo mnasema kuwa hawapaswi hiyo siyo haki kabisa inaweza ikaleta katika nchi wanafunzi wakifika tu vyuoni hebu jaribuni kufikiria kuhusu hawa watu kuptata mkopo kama ilivyokuwa awali miaka iliyopita kwani nyinyi bodi mna kitu gani kipya chakubadili sasa nyinyi ndo mnaharibu kabisaaaaaa hata sioni jipya kwenu kama hawa waomnaji mnaowaita equivalent hawatapata mkopo mr msafiri kiukweli heslb wanaelekea kupoteza mwelekeo vigezo walivyotumia kuwanyima mikopo equivalent havina kichwa wala miguubut mshikamano utawafanya wapateserikali haiishiwi pesa komaeni mpaka kieleweke 6947 811 280 ufumbuzi wa tatizo lenu ni maandamano hakuna mda wa mazungumzo no one will give you justice if you know you deserve it don't beg you take it threads 1236880 posts 29270783
2018-12-14T07:48:59
https://www.jamiiforums.com/threads/equivalent-sasa-hawatujali.174764/
mwana wa afrika utamaduni wa kujiweka makovu afrika hii ni sehemu ya tamaduni zetu na ni muhimu sana kwangu anasema genevieve boko ambaye mwanawe wa kike mwenye umri wa miezi 6 marina pamoja na wapwa zake luc na hospice wenye umri wa miaka 10 na miaka 12 wote wako tayari kuchanjwa rafiki zangu waliniuliza iwapo ni uchungu na iwapo nililia na nikasema la alisema luc baadae kabla nilipokuwa nikitembea mitaani pamoja na ndugu yangu mkubwa aliye na makovu watu hawangeamini kuwa ni ndugu yangu sasa nina furaha kwa kuwa tunafanana anasema kuwa alipokuwa akisoma katika jiji kubwa zaidi nchini benin cotonou alikejeliwa mara kwa mara kutokana na makovu yake watu kadhaa hawangependa watu wengine wadhani kuwa walikuwa marafiki na mtu mshenzi namna ile anasema' wengine wana maoni tofauti ya kufanya uamuzi wa kutochanja vizazi vichanga sinkeni ntcha aliacha kitendo hicho baada ya watoto wake 3 wa kwanza kwa sababu ya ukimwi anasema nyembe zinapaswa kubadilishwa kila wakati lakini wakuu walikataa katika nchi jirani ya nigeria suala la haki za watu wachanga limesababisha baadhi ya majimbo kupiga marufuku zoezi hilo kwa watoto wote
2017-07-27T16:35:29
http://mwanawaafrika.blogspot.com/2014/06/utamaduni-wa-kujiweka-makovu-afrika.html
wadada lenu hili mimi sipo ackyshine blog👍kali🐨😂2017💯 👉😁 wadada lenu hili mimi sipo😂👇✔ wadada kama una sura mbaya subiri neema ya bwanasio kutuambia mna uzuri wa ndani usioonekanasisi ni wanaumesio minyoo 😂 wanandoa wa kijapani wakibishana✔ 😂 kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake✔ 😂 kuwa na binti aliyeacha shule✔ 😂 tabia za wachepukaji✔ 😂 kichekesho ukiona masikini kachinja kuku✔ 😂nilichokifanya kwa rafiki yangu nimekuja kwa rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga huku mm nikaongeza maji pale jikon kumbe yy aliweka maji saiz ya unga wake peke yke sasa hiv tunakunywa uji hata hatuongeleshani kimbelembele changu kimeniponza 😂😂😂😂inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉nilichokifanya kwa rafiki yangu✅ 😂cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa watu wengine wana roho nzuri😋😋😋😋inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa✅ 😂faida 3 za uvutaji wa sigara 3 mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwiziinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉faida 3 za uvutaji wa sigara✅ 😂omba omba sio barabarani tuu boy baby ivi nikifa utakuja msibani girlntakuja ukinitumia nauli hapo ndo unagundua kuwa sio kila omba omba yuko barabarani 🤒🤒🤒🤒🤒🤔inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉omba omba sio barabarani tuu✅ 😂punguzeni pombe cheki kilichompata huyu jamani punguzeni pombekuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagonga mlango wake takribani masaa mawiliwakati hapa anaishi peke yake kwakuwa sipendagi ujinga nimetoka nikamwambia mwenyewe kasafirinae kaondokainaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉punguzeni pombe cheki kilichompata huyu✅ 😂maana imeandikwa atakuja kama mwizi yenu ya kupiga wezi mtakuja shtukia mnampiga yesu maana imeandikwa atakuja kama mwiziinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉maana imeandikwa atakuja kama mwizi✅ 😂angalia huyu polisi kitu alichonijibu nimefika hapa polisi station nimefarijika sana na kustuka baada ya kumkuta askari hapa kaunta anasoma biblia nikajisikia fahari kuona anasoma neno kituo cha polisi nikamuukiza afande ni nani alimuua goliathi akasema muulize afande mwita mlango namba 2 ndo anausika na kesi za mauaji😂😂inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉angalia huyu polisi kitu alichonijibu✅ 😂ex wangu kasema tukapime cheki nilichifanya 👍soma zaidi kuhusu 👉ex wangu kasema tukapime cheki nilichifanya✅ wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi ni pale mwanamke wangu aliponiacha na kwenda kwa jamaa mwenye kichongeo kipya inauma sanaa wanawake sio watu wa mchezo mchezo aseee bac tuuinaendelea 😂angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno msichana aya bwana poa maisha memainaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno✅ 😂angalia walichofanyiana hawa wanadoa kati ya huyu mme na mke nani zaidi mume wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu mi natubu kwako kwani nilifanya mapenzi na dada yako mdogo wako rafiki yako na mama yakoinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉angalia walichofanyiana hawa wanadoa kati ya huyu mme na mke nani zaidi✅ 😂cheki huyu mtoto anachosema _*sijui hili toto langu nilipeleke wapi leo limetoka shule eti nikaliuliza bibilia kwa kingereza inaitwaje likaniambia*_ *grandmother cry*😠😠😠 _*sijui nikabadilishane na kijiko cha chumvi*_ 🤔🤔🤔inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉cheki huyu mtoto anachosema✅ 😂huyu mama kweli tishio mpaka askari wameogopa askari mkuu tumekuja hapa tumekuta mama mwenye nyumba amempiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza sanainaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉huyu mama kweli tishio mpaka askari wameogopa✅ 😂alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza vp imekuajeinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani✅ 😂mambo kumi ya kufurahisha na huwezi kuyafanya 10 unacheka kwa kuwa nimekubambainaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉mambo kumi ya kufurahisha na huwezi kuyafanya✅ kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje jana nlimtuma sukari akala yote sahii nmemtuma superglue haongei sipendi ujinga mimi 😡😡😡😡😡😡inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉angalia nilivyomkomoa huyu dogo✅ nayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humuinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉angalia nilichomfanyia huyu mwizi✅ *pale unapokuwa umefulia sanamgeni anakutembelea maskani kwakounaamua kuchukua ile sh 600 iliyobaki na kwenda dukani kumnunulia soda unaondoka na chupa mbili unanunua fanta moja kwaajil ya mgeni na ile chupa ya sprite unaijaza maji ili ukirudi uweze kumpa kampani mgeniunafika seblen unampa ile soda ya fanta mgeni anakuambia fanta huwa situmii nipe hiyo sprite bwanabwana bwanaweee* 😂😂😂😂😂😂😂😂inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida✅ 👍soma zaidi kuhusu 👉ukimchukua mme wa mtu wewe ni✅ wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi wote wakanyosha ila mmoja tu alipokwenda nyumbani akamuelezea mamake mamake akamuuliza je wewe ulinyosha mtoto hapana mama yule mama akamuuliza kwaniniinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi✅ sijui kama ushawai fall in love ile haswaainaendelea nyumbani kwake akaulizwa kwako unapakumbukainaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa✅ wakwanza alikuwa muhindi wa pili mchina na mbongoinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa ikulu ya magogoni ilianguka✅ 👍soma zaidi kuhusu 👉haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti✅ hii pete bei gani mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri) shuzi likamtoka druuuuuu soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika akaona atumie nafasi ile kuyeyushaakauliza hii pete bei gani jamaa mwenye duka huku akiangua kicheko akajibu umeiona tu umejamba je nikikuambia bei yake si utakunya kabisainaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉hii pete bei gani✅ 👍soma zaidi kuhusu 👉cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake kufundisha watoto ni kazi kweli kweli✅ jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu sijaripoti bado mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wanguinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉vichekesho vya kukuondoa mawazo leo✅ walevi wawili waliokota kioo mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki inaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata✅ 1 mwanaume hata awe bahili vipi hawezi kumpa mwanamke mimba nusuinaendelea 👍soma zaidi kuhusu 👉misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi✅ hililenumimisipowadada
2017-03-23T14:14:29
http://www.ackyshine.com/vichekesho:wadada-lenu-hili-mimi-sipo
tatizo kubwa sana usaliti (1) | injili ya kushuka kwa ufalme inayofuata:tatizo zito sana usaliti (2) kurejesha maisha ya kawaida ya mwanadamu na kumpeleka kwenye hatima ya ajabu kazi ya mungu na utendaji wa mwanadamu utendaji (2) ufafanuzi wa tamko la tano
2018-07-22T21:55:02
https://sw.kingdomsalvation.org/a-very-serious-problem-betrayal-1.html
habari mpasukoo mwanamuziki ndanda kosovo amefariki dunia mwanamuziki wa kikongo ndanda kosovo amefariki leo katika hospitali ya taifa muhimbili dar es salaam kwa mujibu wa mwanamuziki mwenzie dodoo amesema kuwa kosovo ambaye awali alilazwa hospitali ya mwananyamala amepatwa baada ya kusumbuliwa na vidonda vya tumbo kosovo 'kichaa' amweahi vuma na bendi za fm stono musica aka wajelajela agwaa blogu hii itaendelea kuwapatia taarifa za msiba huo kadri tutakavyokuwa tunazipata mungu aiweke roho yake mahali pema peponi amina
2018-05-20T19:18:12
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/04/habari-mpasukoo-mwanamuziki-ndanda.html
hapa kwetu 2017 tekinolojia ya uchapishaji vitabu ununuaji wa vitabu mhadhiri wa algeria amekifurahia kitabu mimi kama mwandishi ninaguswa na maoni ya wasomaji leo nimepata ujumbe kutoka kwa mhadhiri wa chuo kikuu kimoja cha algeria samir ambaye tumewasiliana kwa miaka michache na nilimpelekea nakala ya kijitabu changu notes on achebe's things fall apart nanukuu sehemu ya ujumbe wake i hope this finds you safe i am so pleased to let you know that your book on achebe's tfa is very helpful it really helped me it is a pleasure also to inform you that i am citing you in my phd thesis on gender in ngugi's fiction your name will also be cited in my acknowledgements and dedications thank you so muchwe love you much kwa wale wasiojua kiingereza napenda kuelezea anachosema mhadhiri huyu kwa ujumla anasema kuwa anategemea ujumbe wake utanifikia nikiwa salama amefurahi sana kunifahamisha kuwa kitabu changu kuhusu riwaya ya achebe ya things fall apart ni mchango mkubwa sana na kimemsaidia sana anafurahi kunifahamisha vile vile kuwa ananukuu kitabu changu katika tasnifu yake ya uzamifu kuhusu jinsia katika riwaya za ngugi wa thiong'o jina langu litatajwa katika orodha ya watu waliochangia tasnifu hii anahitimisha kwa kusema asante sanatunakupenda sana ujumbe wowote kutoka kwa wasomaji makini una manufaa kwangu kama mwandishi ninayachukulia maanani maoni yao hasa nikijua kuwa wametumia hela zao kununua kitabu changu kuna wengine ambao ninakuwa nimewapa nakala ya bure hao wanaponiandikia maoni yao juu ya kitabu ninaona kama wamelipa fadhila maoni yao ni muhimu kwangu kuliko hela kitabu hiki na vingine vinapatikana http//wwwlulucom/spotlight/mbele mhadhiri mwongozo wa fasihi uhakiki nina mashairi yote ya john donne nimegundua kuwa nina mashairi yote ya john donne huyu ni mshairi mmoja maarufu sana katika kiingereza ambaye aliishi miaka ya 15721631 na niliwahi kumtaja katika blogu hii niliandika habari zake siku niliponunua kitabu kiitwacho the works of john donne lakini wikiendi hii katika kuangalia katika msitu wa vitabu vyangu ofisini nimegundua kitabu kiitwacho the complete english poems of john donne kilichohaririwa na ca patrides hiki kina mashairi yake yote katika utangulizi wake patrides amesema mambo ambayo yamenifungua macho na kunifikirisha amesema kwa mfano the text of donne's poetry can vex an editor into nightmares anamaanisha kuwa maandishi ya donne yanaweza kumchanganya akili mhariri akaishia katika majinamizi hii ni kwa sababu miswada ya mashairi ya donne ni mingi na inahitilafiana niliposoma utangulizi huu nimewazia maandishi ya william shakespeare ambaye aliishi wakati ule ule wa john donne maandishi ya shakespeare hasa tamthilia nayo yanapatikana katika miswada inayohitilafiana na kwa miaka yote wahariri wamekuwa wakijaribu kurekebisha na kuwasilisha kile ambacho wanaamini ni andiko sahihi la shakespeare tofauti hizi katika maandishi ya donne na shakespeare haziko katika maneno na sentensi tu bali pia katika alama kama vile nukta na mikato katika sentensi kwa hivyo tunavyosoma andiko la shakespeare tunapaswa kuzingatia kuwa kuna vitu kadha wa kadha ambavyo vimeingizwa na wahariri wa karne moja hadi nyingine hata hivi kama nilivyosema katika ujumbe wangu wa mwanzo nimeona nisome kwa makini mashairi ya donne hasa kwa kuzingatia kuwa nilikulia nikiwa nimesikia sana kwamba mashairi yake ni magumu nimepata mwamko mpya wa kutaka kujipima akili kwa kuyakabili haya mashairi yanayosemekana ni magumu tena basi nitapenda hata kujaribu kutafsiri baadhi ya mashairi haya kwa kiswahili kama nilivyowahi kutamka katika blogu hii mashairi miswada uhariri mazungumzo global minnesota kuhusu fasihi leo nilikwenda minneapolis kwa mwaliko wa taasisi iitwayo global minnesota kutoa mhadhara juu ya fasihi simulizi na andishi wa afrika kuanzia chimbuko lake barani afrika hadi marekani ambako hii fasihi simulizi ililetwa na watu waliosafirishwa kutoka afrika kama watumwa watoa mada tulikuwa wawili mwingine ni profesa mzenga wanyama anayefundisha katika chuo cha augsburg pichani hapa kushoto tunaonekana kama ifuatavyo kutoka kushoto ni tazo kutoka zambia ambaye alihitimu chuo cha st olaf mwaka jana na amajiriwa kwa mwaka huu moja na global minnesota wa pili ni carol rais wa global minnesota wa tatu ni profesa wanyama wa nne ni mimi na wa tano ni tim mkurugenzi wa programu wa global minnesota ambaye alikuwa mtu wa kwanza kuniuliza kama ningekuwa tayari kutoa mhadhara global minnesota wakati tulipokutana katika tamasha la togo miezi michache iliyopita hapa kushoto ninaonekana nikiongea sina kawaida ya kusoma hotuba hata kama nimeandika vizuri ninashindwa kuangalia karatasi badala ya kuangalia watu hata darasani sisomi nilichoandaa kimaandishi katika kujiandaa kwa ajili ya kutoa mihadhara ninaandika sana hoja na maelezo yangu lakini wakati wa kutoa mhadhara ninatumia kumbukumbu tu ya yale niliyoandika kwa hivyo katika mhadhara wa leo nimeongelea chimbuko la binadamu ambalo liliendana na uwezo kutembea wima kwa miguu tu kutumia lugha na kutumia na kutengeneza zana za kazi hayo yote kwa pamoja yalisababisha kuumbika kwa kiumbe aitwaye binadamu kimwili kiakili na kadhalika huu ndio msingi wa kukua kwa lugha na fasihi ambayo ilihitaji ubunifu kumbukumbu na uwezo wa kutambua na kuunda sanaa ikiwemo fasihi ambayo ni sanaa inayotumia lugha maendeleo ya tekinolojia ambayo ilianzia na kutengeneza zana za mawe au miti yalifikia hatua ya binadamu kuvumbua maandishi hapo ndipo ikawezekana kuandika yale yaliyokuwa katika fasihi simulizi na ushahidi tunauona katika misri ya miaka yapata elfu nne au tano iliyopita hadithi zilizoandikwa wakati ule ni kama the tale of two brothers the story of sinuhe na the tale of the shipwrecked sailor lakini pia uandishi ulimwezesha binadamu kutunga fasihi kimaandishi waandishi hasa wa mwanzo walikuwa wamelelewa katika fasihi simulizi kiasi kwamba kazi zao andishi zilibeba athari za wazi za fasihi simulizi mifano kutoka afrika ni the golden ass (apuleus) chaka (thomas mofolo) the palm wine drinkard (amos tutuola) things fall apart (chinua achebe) the dilemma of a ghost (ama ata aidoo) waandishi weusi wa bara la marekani kama vile zora neal hurston toni morrison na edwidge dandicat baada ya mimi kuongea alifuata profesa mzenga wanyama kama inavyoonekana pichani hapa kushoto yeye aliongelea zaidi waandishi weusi wa marekani akianzia na phyllis wheatley aliongelea elimu na itikadi aliyofundishwa msichana na hata alipoandika mashairi yake akawa anaelezea pia waandishi wa kiafrika kama vile achebe na ngugi wa thiong'o na chimamanda ngozi adichie kati ya masuala aliyosisitiza ni utumwa wa fikra na umuhimu wa kujikomboa baada ya hotuba zetu palikuwa na muda mfupi wa masuali na majibu baada ya kikao kwisha hawakosekani wahudhuriaji wenye kupenda kuongea zaidi na mtoa mada hapa kushoto niko na profesa mstaafu wa college of st benedict minnesota ni mzaliwa wa india nilimwambia kuwa nilishawahi kualikwa kwenye chuo kile kutoa mihadhara hapa kushoto anaonekana carol rais wa global minnesota na binti yangu assumpta ambaye aliwahi kufanya kazi na carol wakati taasisi ilipokuwa inaitwa international institute of minnesota hapa kushoto niko na mama moja kutoka brazil ambaye ni mfanyakazi katika minnesota department of human services sikumbuki kama nimewahi kuongea na mama yeyote wa brazil mwenye asili ya afrika kwa hiyo hiyo ilikuwa ni kumbukumbu ya pekee hapa kushoto niko na vijana wawili waliohitimu masomo chuo cha st olaf ambapo ninafundisha huyu wa kushoto kabisa ni raia wa swaziland na huyu wa kulia ni tazo wa zambia anayeonekana katika picha ya kwanza hapo juu hapo kushoto niko na binti zangu assumpta na zawadi ninafurahi wanapokuja kunisikiliza katika mihadhara wataweza kuelezea habari zangu kwa yeyote atakayependa kuelewa zaidi shughuli zangu katika jamii nimalizie kwa kusema kuwa wakati tulipokuwa tunaagana viongozi wa global minnesota walielezea nia yao ya kuniita tena kwenye program nyingine tim aliongezea kuwa kama angekuwa amekumbuka vitabu vyangu vingekuwepo kwa ajili ya watu waliohudhuria mkutano wa leo nami nilikuwa sijawazia jambo hilo siku zijazo litaweza kufanyika fasihi ya afrika mhadhara taasisi nitawasilisha mada global minnesota nimealikwa na taasisi iitwayo global minnesota kutoa mada tarehe 12 julai juu ya mwendelezo wa fasihi ya kiafrika kuanzia chimbuko lake kama fasihi simulizi hadi fasihi andishi ya leo maelezo zaidi yako mtandaoni global conversations african folktales to contemporary authors july 12 @ 600 pm cdt / free from ancient oral traditions to contemporary literature african stories reflect wisdom cultural identities and social values developed over countless generations join us st olaf college associate professor joseph mbele and augsburg college associate professor mzenga wanyama for an exploration of how these stories find expression today both in africa and in the african diaspora joseph mbele associate professor of english at st olaf college is a folklorist and author his writings including matengo folktales illuminate the underlying values that shape cultures dr mbele has done fieldwork in kenya tanzania and the us and has given lectures and presented conference papers in canada finland india israel kenya tanzania uganda and the us after earning a phd from the university of wisconsin and before coming to st olaf in 1990 to teach postcolonial and thirdworld literature he taught in the literature department at the university of dar es salaam tanzania over the years he has taught courses such as swahili literature theory of literature african literature sociology of literature postcolonial and third world literature the epic and africanamerican literature mzenga aggrey wanyama associate professor of english at augsburg college was born and raised in kenya where he received his bachelors of education and masters degrees from the university of nairobi and then taught english language and literature in kenyan high schools and at kenyatta university in the united states he had a twoyear stint in the graduate program at howard university in washington dc before attending the university of minnesota where he earned a phd in english mzenga also worked as an assistant professor of english at st cloud state university where he taught courses in literature and writing his areas of focus are postcolonial theory and literature and african american literary history presented in partnership with the friends of the minneapolis central library fasihi andishi fasihi ya diaspora fasihi ya wamarekani weusi global minnesota wole soyinka na madikteta wa afrika wole soyinka ni mmoja wa waandishi bora kabisa kutoka afrika ameandika tamthilia riwaya mashairi insha na wasifu wake pia ametafsiri riwaya ya kiyoruba ya do fagunwa tafsiri hiyo inaitwa forest of a thousand daemons a hunter's saga pamoja na umahiri wake katika kubuni visa na katika kuimudu lugha ya kiingereza soyinka anachota sana mbinu na vipengele vingine vya sanaa na masimulizi ya jadi hasa ya wayoruba lakini pia ya mataifa mengine akienda mbali hadi ugriki ya kale umahiri wake kama mwandishi umetambuliwa kwa namna mbali mbali ikiwemo tuzo ya nobel katika fasihi ambayo alitunukiwa mwaka 1986 katika kazi zake anashughulikia masuala ya aina mbali mbali kama vile siasa itikadi ukoloni ukoloni mambo leo utamaduni na fasihi ya afrika na kwingineko udikteta ni mada ambayo soyinka ameishughulikia tangu zamani sio tu katika maandishi na mahojiano bali pia kama mwanaharakati tamthilia ya kongi's harvest ni mfano mzuri tamthilia hii tuliisoma nilipokuwa mwanafunzi katika idara ya literature chuo kikuu cha dar es salaam 197376 wiki hii nimesoma a play of giants ni tamthilia ambayo inazama zaidi katika mada ya madikteta wa afrika nilifahamu jambo hilo tangu zamani kama nilivyoelezea siku chache zilizopita katika blogu hii soyinka anawaumbua madikteta hao anatumia kejeli kuelezea fikra na matendo yao ulevi wa madaraka uduni wa akili zao na ukandamizaji wa haki za binadamu uduni wa akili zao unadhihirika kwa namna wanavyoongelea mambo yasiyo na maana na kama wanaongelea mambo ya maana hoja zao ni za ovyo kupindukia madikteta hao wanaongelea jinsi wanavyoweza kudumu madarakani wanabadilishana mawazo na uzoefu wao wazo moja ni kutawala kwa mkono wa chuma na kuwafanya raia waishi kwa hofu hofu inaweza kujengwa mioyoni mwa raia kwa kutumia ushirikina na kuwafanya waamini kuwa mtawala anaona kila kinachoendelea nchini kwa njia hiyo raia wanaogopa hata kuwazia kupinga utawala kwani wanaamini kuwa mtawala atajua udikteta ni mada ambayo imeanishwa katika kazi za fasihi tangu zamani sana tunaisoma katika the epic of gilgamesh kwa mfano na katika baadhi ya tamthilia za shakespeare katika kusoma a play of giants nimewazia sana riwaya ya ngugi wa thiong'o wizard of the crow ambamo dikteta anaumbuliwa pamoja na mfumo wa utawala wake kwa njia ya kejeli sawa na anavyofanya soyinka ingawa kuna matumizi ya kejeli a play of giants si tamthilia ya kufurahisha bali inatibua akili na kunifanya nijiulize binadamu tunawezaje kuishi katika himaya ya udikteta kejeli ya mwandishi inanifanya mimi msomaji nicheke lakini si kicheko cha furaha bali dhihaka juu ya madikteta na aibu juu yetu wanadamu do fagunwa kongi's harvest udikteta ukoloni mamboleo wadau wangu wapya nina furaha kama mwandishi kuwa nimejipatia wadau wapya na ninawatambulisha hapa kama ilivyo kawaida yangu hao ni brian faloon na mkewe kristin wenyeji wa rochester minnesota brian ni rais wa rochester international association (ria) kristin na mimi ni wanabodi katika bodi ya ria ambamo nilijiunga mwaka jana kama nilivyoelezea katika blogu hii baada ya mimi kujiunga na bodi nilipata fursa ya kutoa mhadhara katika chuo kikuu cha minnesota rochester mada ikiwa folklore as expression of ethics kama nilivyoeleza katika blogu ya kiingeeza brian alihudhuria brian aliuongelea mhadhara ule katika mkutano uliofuata wa bodi ya ria baada ya muda nilipata mwaliko wa kutoa mhadhara chuo kikuu cha winona mwaliko ambao niliuelezea katika blogu hii kristin aliniuliza iwapo itawezekana yeye kuhudhuria niliwasiliana na waandaaji kuwauliza iwapo ninaweza kumwalika mgeni kuhudhuria nikajibiwa kuwa ni ruksa nilimweleza kristin hivyo nilisafiri tarehe 27 juni hadi winona mwendo wa saa mbili nilivyoingia ukumbini niliwakuta kristi na brian wameketi pamoja na wasikilizaji wengine yapata 50 nilitambulishwa na wenyeji wangu nikatoa mhadhara kama nilivyoelezea katika blogu ya kiingereza nilivyomaliza mhadhara na muda wa masuali na majibu kristin na brian walinisogelea tukaongea walifurahia mhadhara nilivyowashukuru kwa kusafiri mwendo mrefu na kuhudhuria walinijibu kuwa wao ni mashabiki wangu walichosema ni ukweli kwani walianza kuwa wadau tangu waliposoma kitabu changu africans and americans embracing cultural differences tarehe 4 julai nilipata ujumbe kutoka kwa kristin kati ya mambo aliyoandika ni haya we greatly enjoyed hearing your presentation and thought it was very good thank you for letting us attend i believe it would be an excellent presentation to do in our community and schools here in rochester as we have the same tensions between the two groupsi would like to coordinate something when we have time we can discuss it at the next meeting if you're interested ninajivunia hao wadau wangu wapya moyo wangu wa kutumia ujuzi wangu kwa manufaa ya walimwengu unaniletea fursa kama hii anayoongelea kristin ninazipokea fursa hizi kwa moyo mkunjufu ninaamini ni mipango ya mungu wala sijali suala la kulipwa au kutolipwa fedha kama nilivyoelezea katika blogu hii mungu ana mipango yake na anasawazisha mambo rochester international association wasomaji ninapenda muziki wa reggae ukivaa kofia kama hii niliyovaa pichani hapa kushoto halafu useme hupendi reggae hakuna atakayekuelewa kofia sawa na vazi lolote inawasilisha ujumbe ni tamko kofia hii niliyovaa inawafanya watu wafikirie vitu kama rastafari reggae bob marley na jamaica ambako muziki wa reggae ulianzia muziki wa reggae umeenea sana duniani kuanzia visiwa vya pacific hadi afrika kusini senegal hadi sweden reggae haichagui kabila taifa wala utamaduni niliwahi kwenda chuo kikuu cha arizona tucson nikaambiwa kuwa wahindi wekundu wanaipenda reggae siku moja nilitembea katika mtaa mdogo mjini tel aviv israel nikaona mbele yangu bango kubwa la picha ya bob marley kwa hiyo kutokana na kwamba siwezi kujumlisha habari za muziki wa reggae ulimwengu mzima ninawazia zaidi jamaica kutokana na kusoma vitabu juu ya rastafari na reggae ninavutiwa na jinsi muziki wa reggae ulivyounganika na itikadi ya rastafari ukawa ni sauti ya walalahoi dhidi ya unyonyaji ukandamizaji na dhulma za kijamii kiuchumi na kadhalika ndani na nje ya jamaica ninaamini kuwa kila mtu ana kitu anachokipenda sana kuna watu wanaopenda sana soka ni mashabiki ambao daima wanafuatilia mechi wako tayari kukopa hela ili waende uwanjani kuangalia mechi wengine wanapenda bia katika baa za tanzania nimeona watu wanaokunywa na kuandikiwa deni walipe baadaye kama huku kupenda kitu namna hii ni ugonjwa basi vitabu ndio ugonjwa wangu ndio maana katika blogu hii ninaandika mara kwa mara habari za vitabu mtu anaweza kuuliza inakuwaje katika ulimwengu huu wa vitabu pepe tuko watu ambao tunaendelea kung'ang'ania vitabu vya jadi je hatuoni udhia wa kubeba vitabu hivyo na pia udhia wa kuvitafutia sehemu ya kuviweka badala ya kutumia kifaa cha kuhifadhia vitabu pepe ambacho kinaweza kubeba mamia ya vitabu au zaidi ukweli ni kwamba mazoea yana taabu sio rahisi kuachana na mazoea leo nilikwenda minneapolis na wakati wa kurudi nilipita katika duka la vitabu la half price books mjini apple valley kama kawaida niliangalia kwanza sehemu vinapowekwa vitabu vya ernest hemingway au vitabu juu ya hemingway sikuona kipya nikaelekea sehemu vinapouzwa vitabu vya bei rahisi kabisa hapo nilichagua vitabu vinne kitabu kimoja ni gilgamesh a verse narrative cha herbert mason wafuatiliaji wa fasihi simulizi za kale wanafahamu juu ya gilgamesh mtu maarufu katika masimulizi ya watu wa himaya ya sumer katika nchi ambayo leo inaitwa iraq na pia nchi zingine za mashariki ya kati masimulizi haya hatimaye yaliandikwa katika lugha kadhaa za wakati ule kwa hati iitwayo cuneiform ambayo ni tofauti kabisa na hizi hati tunazotumia leo kama vile ya kirumi au kiarabu ugunduzi wa maandishi yale ulitokana na juhudi za wana akiolojia lakini baada ya ugunduzi hakuna aliyeweza kusoma hati ya cuneiform baadaye sana siri ya hati hii iligunduliwa na usomaji wake ukawezekana tafsiri za masimulizi ya gilgamesh zikaanza kwa upande wangu kwa miaka mingi nimefundisha masimulizi ya gilgamesh kwa kutumia tafsiri ya n k sandars nilifahamu hata hivyo kwamba ziko tafsiri zingine pia kwa hivyo leo niliona ninunue hii tafsiri ya kishairi ya herbert mason kitabu kingine nilichonunua leo ni a play of giants ambayo ni tamthilia ya wole soyinka nimesoma na kufundisha maandishi ya soyinka kwa miaka mingi kuanzia tamthilia riwaya mashairi na insha ninavyo vitabu vyake kadhaa lakini si a play of giants hata hivyo nilifahamu tangu zamani kuwa tamthilia hii inawaumbua madikteta wa afrika sasa nitaisoma kitabu cha tatu nilichonunua ni theban plays of sophocles ni tafsiri ya david r slavitt ya tamthilia tatu za sophocles huyu ni mwanatamthilia maarufu wa ugriki ya kale ninazo tatsiri tofauti za tamthilia hizo lakini niliamua kununua hii pia ni jambo bora kusoma tafsiri mbali mbali za kazi ya fasihi kwani kila tafsiri inaleta ladha tofauti na hata tofauti za ujumbe kitabu cha nne nilichonunua ni speaking of books the best things ever said about books and book collecting kilichohaririwa na rob kaplan na harold rabinowitz hicho sikuwahi hata kukisikia lakini nilivyoangalia ndani nilivutiwa ni mkusanyiko wa kauli za watu mbali mbali kuhusu vitabu usomaji uandishi waandishi wasomaji na kadhalika nilikuwa ninafahamu baadhi ya mambo ambayo yamewahi kusemwa kuhusu vitabu kama vile kauli ya ernest hemingway there is no friend as loyal as a book yaani hakuna rafiki wa kweli kama kitabu kutokana na kupendezwa kwangu na mambo hayo niliona ninunue kitabu hiki kununua vitabu masimulizi mazoea tafsiri uandishi ushabiki kutoa mawazo na kujieleza ni haki ya kila binadamu ambayo imetambuliwa katika tangazo la kimataifa la haki za binadamu na imetambuliwa katika katiba ya tanzania tundu lissu anatumia haki yake haingilii wala kuzuia haki ya mtu yeyote kutoa mawazo watu wajibu hoja zake watu wenye akili hufanya hivyo kama tundu lissu hakubaliani na yale wanayosema wengine na anahoji au kupinga muda wote tatizo liko wapi masuala yenyewe yanahusu maslahi ya taifa kila mzalendo anawajibika kutoa mchango kadiri ya uwezo wake mawazo ni mchango mmoja wapo na hiki ndicho tundu lissu anachofanya akae kimya kwa nini hata mimi sikai kimya ninapoona maslahi ya nchi hayafuatiliwi ipasavyo au yanahujumiwa kutoa mawazo ni muhimu na kukosoana inapobidi ni ujinga kutotambua kuwa anavyofanya tundu lissu anatoa changamoto ya kuwafanya watu wafikiri nje ya upeo waliozoea au nje ya upeo wanaouwazia wao elimu haisongi mbele kama hakuna watu wachochezi wa fikra kama tundu lissu watu wanaohoji fikra zinazokubalika na jamii wanaipa jamii fursa ya kufungua milango mipya ya fikra siafiki uwekaji wa mipaka katika kufikiri na kutafuta ukweli elimu haiwekewi mipaka mimi kama mwalimu ninawajibika kuwalea vijana wawe watu wa kuhoji mambo bila ukomo vinginevyo kuna sababu gani ya kujiita mwalimu kuna sababu gani ya kuwa na vyuo na kusema kuwa tunaelimisha watu makini ulimwenguni kote wanatambua kuwa dunia inazidi kuwa ya knowledge economy bila tabia ya udadisi usiokuwa na mipaka tutajengaje knowledge economy kwa maana hiyo ninamwona tundu lissu kama mtu muhimu kwa maendeleo ya nchi na ni mfano wa kuigwa maendeleo malumbano mijadala leo nimeona taarifa za kufikishwa mahakamani watuhumiwa wakuu wawili wa ufisadi mkubwa nchini tanzania watuhumiwa hao ni harbinder singh sethi na james rugemalira wananchi wengi tunalichukulia jambo hili kama mwendelezo wa juhudi za rais magufuli kusafisha nchi lakini kitu kimoja kinachonikera ni jinsi watu wengine wanavyojaribu kupindisha historia ya suala hili hapa naleta hotuba ya tundu lissu aliyoitoa bungeni kabla ya ujio wa rais magufuli umuhimu wa kumpigia mbuzi gitaa katika jamii yetu watanzania usemi kwamba usimpigie mbuzi gitaa unachukuliwa kuwa ni ukweli usiopingika busara isiyo na walakini ni kile kinachojulikana kama busara ya kawaida yaani common sense kwa kiingereza lakini je mtazamo huu ni sahihi hili ndilo suala ninalopenda kulijadili hapa kwa mtazamo wangu kama msomi mtafiti na mwalimu napenda kutamka wazi kuwa kwa msomi au mwalimu au mtafiti common sense ni kitu cha kujihadhari nacho kazi ya msomi mwalimu au mtafiti si kuzingatia kuafiki au kuhalalisha common sense bali kuhoji na kudadisi common sense ndivyo alivyofanya mwelimishaji maarufu socrates kuna wengi wengine kama vile galileo jamii yote ilielewa kuwa jua linaizunguka dunia kwani kila mtu alijionea mwenyewe ilikuwa ni common sense lakini galileo akiendeleza mawazo ya copernicus alisema kuwa ni dunia ndio inayolizunguka jua jamii ya galileo ilimtia matatani kama vile jamii ya socrates ilivyomtia matatani turudi kwenye suala la kumpigia mbuzi gitaa ninapenda kusema kuwa ni wajibu wa msomi mtafiti au mwalimu kuhoji hii busara ya jamii kwamba kumpigia mbuzi gitaa ni kupoteza muda au ni ujinga msimamo huu wa jamii una walakini mkubwa ukipiga gitaa inatoa sauti je jamii inamaanisha kuwa mbuzi hana uwezo wa kutambua na kuguswa na sauti kama jamii inaamini hivyo inakosea sisi ambao tulikulia kijijini tukichunga mbuzi tunajua kuwa mbuzi wana milio yao ambayo wanatumia kuwasiliana hata wakati wa kuchunga tulikuwa tunaweza kutambua mlio wa mbuzi mwenye dhiki tulikuwa tunawaita mbuzi kwa majina tuliyowapa au kwa kupiga mluzi kwa hivi jamii inakosea iwapo inaamini kuwa mbuzi hawana uwezo wa kujieleza kutambua au kuguswa na sauti suala la kulitafakari ni sauti ipi ambayo mbuzi anaitambua na kuguswa nayo na ipi hawezi kuitambua na kuguswa nayo kinachohitajika si hiyo common sense kwamba usimpigie mbuzi gitaa bali utafiti tunatakiwa kumpigia mbuzi gitaa tena na tena kwa mitindo mbali mbali utafiti hauwekewi kikomo hata pale tunapodhani tumepata ufumbuzi wa suala hatupigi marufuku utafiti zaidi wa suala hilo badala ya kuridhika na busara ya jamii kuwa tusimpigie mbuzi gitaa mtafiti au msomi huwaza kwa nini nisimpigie mbuzi gitaa itakuwaje nikimpigia mbuzi gitaa ngoja nimpigie mbuzi gitaa nione kitakachotokea huu ndio mtazamo wa mtafiti msomi na mwalimu hii duku duku ya kujua huitwa intellectual curiosity kwa kiingereza msomi au mtafiti au mwalimu ni mtu anayetafuta elimu muda wote thomas edison mvumbuzi maarufu alifanya majaribio ya kuvumbua na kuunda vitu akashindwa mara nyingi sana lakini hatimaye alivumbua balbu ya umeme huu ndio moyo unaohitajika katika suala hili la kumpigia mbuzi gitaa tukitaka mfumo wa elimu wa kweli inatubidi tujenge mtazamo na mwelekeo huu wa kutambua umuhimu kumpigia mbuzi gitaa unapofanya utafiti kwa ajili ya kuchunguza suala fulani huwezi kujua matokeo yatakuwa yepi unaweza kupata matokeo ambayo hukutegemea katika majaribio yake ndani ya maabara mwaka 1928 alexander fleming aliona kitu kimejitokeza kwenye kisahani kimojawapo alimoweka vitu vya kuvichunguza kitu hicho kilikuwa kimejitokeza bila yeye kutegemea lakini ndicho kilikuja kubainika kuwa ni penicillin kwa hivyo mtu ukianza kumpigia mbuzi gitaa ukawa anafuatilia kwa makini kila kinachotokea huenda utajifunza mambo ambayo hakutegemea kuhusu tabia na hisia za mbuzi inawezekana ukipiga gitaa mara ya kwanza usione lolote likitokea lakini je unajuaje kama hakutakuwa na mabadiliko yoyote ukimpigia mara kumi au mara mia au zaidi kama unadhani ninatania napenda tujikumbushe utafiti na uvumbuzi aliofanya ivan pavlov akitumia mbwa pavlov alifanya majaribio ambayo yalitoa mchango mkubwa katika taaluma ya saikolojia nashauri msomaji utafute taarifa za pavlov na majaribio yake na uvumbuzi aliofanya huenda utakubaliana nami kuwa suala la kumpigia mbuzi gitaa si la kupuuzwa ni muhimu busara kushindwa maabara mtafiti saikolojia udadisi utafiti vitabu vinavyopinga dini ingawa mimi ni muumini wa dini mkatoliki ninapenda kuzifahamu dini zingine sijiwekei mipaka sina tatizo na watu wa dini tofauti na yangu wala watu wasio na dini ninajifunza kutoka kwao mtu unajifunza mengi kutoka kwa watu wenye mawazo tofauti na yako ninasoma vitabu vya dini zingine kama nilivyowahi kueleza katika blogu hii vile vile ninasoma vitabu vinavyohoji au kupinga dini fikra za wapinga dini zinafikirisha mfano ni kauli ya karl marx religion is the sigh of the oppressed creature the heart of a heartless world and the soul of soulless conditions it is the opium of the people ninaipenda kauli hiyo ya marx kwa kuwa inafikirisha na kusisimua akili kuna ubaya gani kwa mtu kuiponda dini namna hii kuna sababu gani ya mimi muumini kumchukia mtu wa aina hiyo kama vile mimi ninavyotetea haki na uhuru wa kuwa na mawazo yangu naye ana haki na uhuru wa kuwa na mawazo tofauti na yangu ana uhuru wa kujieleza na kusambaza mawazo yake ninavyo vitabu vinavyohoji ukristu mifano ni jesus prophet of islam kilichotungwa na muhammad ata urrahim na ahmad thomson the gnostic gospels kilichotungwa na elaine pagels na the essential gnostic gospels including the gospel of thomas & the gospel of mary kilichotungwa na alan jacobs nina vitabu vinavyouhoji uislam vya waandishi kama ayaan hirsi ali na nawaal el saadawi kuna vingine ambavyo bado sina ila nitavinunua kama vile vya wafa sultan na ibn warraq kama mtu umejengeka katika dini yako na unatambua umuhimu na maana yake kuna sababu gani ya kuvichukia vitabu vinavyoihoji dini jazba au masononeko ya nini kama si ishara ya udhaifu na ubabaishaji wako mwenyewe binafsi niko imara na wahenga walisema kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji fikra zinazohoji dini ninaziona kuwa zenye manufaa mimi kama muumini ninazichukulia hizo kama fursa ya kuimarisha imani sawa na misukosuko inavyomkomaza mtu wakristu tunafundishwa uvumilivu na hii ni njia ya kujipima tuna imani kiasi gani kama kawaida nakaribisha maoni kuhoji kupinga uislamu ukristu kitabu kimependekezwa na africa international university nimeona leo kuwa kitabu changu africans and americans embracing cultural differences kimependekezwa na africa international university (aiu) kwa ajili ya wanafunzi wa kigeni chuo hiki kiko karen nchini kenya nimevutiwa na maelezo yaliyotolewa kama information for international students juu ya hali halisi anayokumbana nayo mtu anapojikuta katika utamaduni wa kigeni moving to a different cultural environment is a very stressful experience thats why it is sometimes referred to as culture shock you will likely go through a difficult period of adjustment and homesickness after the initial excitement wears off this is normal as you learn your way around the campus and its unique culture you will be more comfortable at aiu soon you will be helping other new international students adjust to aiu and kenya if you are willing to learn you will learn a great deal about yourself and others who are different from you you will leave here enriched and transformed still it is wise to take time before coming to prepare yourself and your family for the cultural adjustments that will be necessary by reading as much as you can about cultural adjustment and talking to other international students you can learn what to expect then you will better understand the feelings and frustrations you deal with as you adjust to your new environment since academics will demand a great deal of you at aiu any preparation you can do before coming will help all of your adjustments once you arrive on campusdue to cultural differences you may feel somewhat confused when talking with fellow students what do they mean communication in africa is inferential rather than direct so you will need to become adept at listening for what is being communicated between the lines students at aiu are coming from all over africa and the world they will appreciate the time you invest in learning about the uniqueness of their own cultureseg what communicates respect maelezo na mawaidha haya yanahusiana na yaliyomo katika kitabu changu africans and americans embracing cultural differences ni masuala yasiyokwepeka hasa katika dunia ya utandawazi wa leo yanawahusu sio tu wanafunzi bali pia wafanya biashara wanadiplomasia na kadhalika kama ninavyoelezea mara kwa mara katika blogu hii mawaidha tofauti za tamaduni tumemaliza muhula wa mwisho wa mwaka wa masomo hapa chuoni st olaf tunamalizia kusahihisha mitihani na matokeo yatakuwa yamekamilika tarehe 5 juni kuanzia pale tutakuwa na miezi mitatu ya likizo lakini kwetu waalimu likizo si likizo bali fursa ya kujisomea kufanya utafiti na kuandika bila kuhusika na ufundishaji darasani mpango wangu kwa likizo hii ni kutumia wiki sita za mwanzo katika kujisomea vitabu na kuandika halafu wiki sita zitakazofuata nitafundisha kozi ya fasihi ya afrika kufundisha kipindi hiki cha likizo ni jambo la hiari mwalimu anatangaza kozi anayotaka kufundisha na wanafunzi wanaohitaji wanajisajili wanafunzi huwa wachache ni fursa nzuri kwa mwalimu kujaribisha mambo mapya wakati huu ninavyoandika ujumbe huu ninafadhaika katika kuamua nisome vitabu vipi maktaba yangu ina vitabu vingi ambavyo sijavisoma kwa likizo hii nimewazia nisome tamthilia za william shakespeare au george bernard shaw au sean o'casey au anton chekhov au riwaya za orhan pamuk ili niweze kupata mwanga juu ya huyu mwandishi maarufu aliyejipatia tuzo ya nobel mwaka 2006 na ambaye nimekuwa nikimtaja katika blogu hii nimewazia pia kusoma hadithi fupi na riwaya za ernest hemingway zile ambazo sijazisoma ningependa kuonja uandishi wa svetlana alexievich ambaye nimemgundua wiki iliyopita nilijipatia kitabu chake secondhand time the last of the soviets cha bure hapa chuoni sikuwa ninamfahamu mwandishi huyu mwanamke mrusi ambaye alipata tuzo ya nobel mwaka 2015 for her polyphonic writings a monument to suffering and courage in our time kwa mujibu wa kamati ya tuzo wafuatiliaji wa nadharia ya fasihi wanafahamu kuwa dhana ya polyphony katika fasihi ilifafanuliwa vizuri na mwanafalsafa na mhakiki mrusi mikhail bakhtin akimaanisha sauti na mitazamo mbali mbali inayounda kazi ya fasihi nimefurahi kumfahamu mwandishi huyu mwanamke kutoka urusi amenifanya nimkumbuke mwandishi mwanamke mrusi anna akhmatova mshairi maarufu nina dukuduku ya kujua kama waandishi hao wawili wanaweza kulinganishwa hakuna kazi ya fasihi inayozuka katika ombwe inatokana na jadi fulani na mfumo mpana wa kazi za fasihi na kazi yoyote mpya inachangia jadi na mfumo wa fasihi dhana hiyo ilielezwa vizuri na ts eliot mshairi na mwanafasihi maarufu katika insha yake tradition and the individual talent ninapowazia waandishi wa fasihi wanawake waliopata tuzo ya nobel majina yanayonijia akilini hima ni sigrid undset wa norway nadine gordimer wa afrika kusini toni morrison wa marekani alice munro wa canada na doris lessing wa zimbabwe na uingereza ninashawishika na wazo la kutunga na kufundisha kozi juu ya maandishi ya wanawake waliopata tuzo ya nobel katika fasihi papo hapo katika likizo hii ninataka kuendelea kuandika makala ambayo nilianza kuiandika miezi kadhaa iliyopita folkloric discourse in ama ata aidoo's the dilemma of a ghost azma ya kuendelea kuandika makala hii ni kubwa kwani ninaamini kuwa hii itakuwa makala bora kabisa hizi ndizo ndoto zangu ni ajenda kubwa kielelezo cha namna akili yangu inavyohangaika kutokana na kutambua kuwa vitu vy kusoma na kuandika ni vingi kuliko muda unavyoruhusu sitaweza kufanya yote ninayowazia kwa likizo hii lakini si neno nitatumia muda wangu vizuri na kufanya nitakachoweza fursa mrusi nadharia ya fasihi tuzo ya nobel waandishi wanawake juzi nilinunua kitabu cha mashairi kiitwacho the works of john donne kama nilivyosema katika blogu hii john donne aliishi uingereza hasa london miaka ya 15721631 katika kuyasoma mashairi yake nimeona kuwa yanahitaji utulivu wa pekee na tafakari kwani matumizi yake ya lugha yanaonyesha uangalifu mkubwa kiingereza chake ni cha miaka ile ambayo ni miaka ya william shakespeare si cha leo hapa naleta shairi mojawapo witchcraft by a picture labda siku moja nitapata ujasiri wa kujaribu kulitafsiri kwa kiswahili i fixe mine eye on thine and there pitty my picture burning in thine eye my picture drown'd in a transparent teare when i looke lower i espie by pictures made and mard to kill how many wayes mightst thou performe thy will but now i have drunke thy sweet salt teares and though thou poure more i'll depart my picture vanish'd vanish feares that i can be endamag'd by that art though thou retaine of mee one picture more yet that will bee being in thine owne heart from all malice free kiingereza kiswahili leo nikitokea minneapolis nilipita apple valley katika duka la vitabu la half price books nilikuwa nimepania kununua kitabu juu ya hemingway hemingway's boat everything he loved in life and lost kilichotungwa na paul hendrickson ambacho nilikifahamu kwa miezi na hivi karibuni nilikiona katika duka hilo kama nilivyoripoti katika blogu hii kwa hivi leo niliombea nikikute hiki kitabu na kwa bahati nzuri nilikikuta baada ya kukichukua mahali kilipokuwepo nilienda sehemu panapouzwa vitabu kwa bei ndogo zaidi bila kuhangaika sana niliona kitabu kiitwacho f scott fitzgerald kilichotungwa na arthur mizener nilifungua kurasa mbili tatu nikakichukua nilifahamu kwa muda mrefu kuwa fitzgerald alizaliwa st paul minnesota mji ninaoutembelea mara kwa mara nilishasoma riwaya yake maarufu the great gatsby halafu miaka hii ambapo nimekuwa nikisoma sana maandishi na habari za ernest hemingway nimeelewa kuwa haiwezekani kumtenganisha hemingway na fitzgerald hemingway alipokuwa kijana akiishi paris kama ripota wa gazeti la toronto star na pia kama mwandishi wa hadithi fupi na riwaya alikuwa na mahusiano ya karibu na waandishi wengine waliokuwepo paris kama vile gertrude stein ezra pound na huyu f scott fitzgerald fitzgerald alifanya bidii kumwezesha hemingway kuanza kuandika riwaya akafanya juhudi zilizomfanya marx perkins mhariri maarufu wa kampuni ya scribners sons akachapisha riwaya ya hemingway the sun also rises hayo ndiyo mawazo yaliyonifanya nikanunua kitabu hiki hapo hapo nilivutiwa na kitabu kiitwacho the works of john donne kilichoandaliwa na the wordsworth poetry library sikuwa ninakifahamu kitabu hiki jina la mshairi john donne nimelifahamu tangu zamani labda nilipokuwa mwanafunzi katika shule ya sekondari nadhani nilishasoma mashairi yake mawili matatu lakini sio zaidi ila kwa kusoma maandishi ya wahakiki na wanataaluma nilifahamu kuwa donne anahesabiwa kama mshairi anayeandika mashairi magumu kuyaelewa habari hii ilichangia kunifanya nisiwe mwepesi wa kusoma mashairi yake nadhani si jambo zuri kwa mwandishi kuvumishiwa sifa kwamba tungo zake ni ngumu kueleweka inaweza kuwakatisha wasomaji hamu ya kujisomea maandishi ya mwandishi huyo kwa afrika mashairi ya christopher okigbo yamepewa sifa hiyo pia mashairi ya wole soyinka lakini kwa umri nilio nao na uzoefu wangu wa kusoma na kufundisha fasihi naona ni vema kuwahimiza watu wajisomee wenyewe tungo zozote kwani kwa kufanya hivyo na kama wanafanya juhudi ya dhati ni lazima wataambulia chochote nazingatia nadharia inayosema kwamba utungo wa fasihi una uwezo wa kuzalisha maana na tafsiri nyingi bila kikomo nadharia hii imefafanuliwa na wataalam kama roland barthes christopher okigbo mshairi ripota nina furaha wakati huu kwa kuwa ninasoma kitabu kiitwacho contagious success spreading high performance throughout your organization nilinunua kitabu hiki siku chache zilizopita kama nilivyoripoti katika blogu hii sikupoteza fedha zangu mwandishi wa kitabu hiki mwenyekiti wa hudson highland center for high performance ni mwenye ujuzi na uzoefu mkubwa kitabu chake hiki ni matokeo ya utafiti ulioshirikisha watu wa sehemu mbali mbali ulimwenguni ambao ni wafanyakazi katika sekta zinazotegemea na kuendeshwa na ujuzi na maarifa kwa kiingereza watu hao huitwa knowledge workers hii ni dhana muhimu katika dunia ya leo na kesho ambayo inaendelea kuwa dunia ya knowledge economy tangu mwanzo kitabu hiki kina mafundisho muhimu kwa viongozi mameneja wamiliki wa biashara watoa huduma na kadhalika ujumbe mahsusi ni namna ya kuyaeneza mafanikio katika shirika kampuni taasisi au jamii mwandishi anasema every company has highperforming workgroups that both make money for the business and develop new products services or markets these work groups create environments in which results are achieved and people flourish jambo muhimu kabisa ni kujenga mazingira ya kuwezesha ufanisi hata kama mtu ni hodari namna gani hawezi kufanikiwa ipasavyo katika mazingira yasiyo muafaka mazingira ni msingi wa mafanikio na ufanisi wa kikundikazi au vikundikazi unapata fursa ya kuenea katika kampuni au shirika zima mwandishi ananukuu kauli za wataalam waliofafanua mawazo hayo according to daniel gilbert professor of psychology at harvard university 'four decades of scientific research have shown that situations are powerful determinants of human behaviorand much more powerful determinants than most of us realize' baada ya maelezo mwandishi analeta nukuu nyingine 'changing the situation and shaping the environmentthat's what leadership is all about' noted linda ginzel clinical professor of managerial psychology at the university of chicago graduate school of business mwandishi anaelezea zaidi wazo hilo na halafu analeta mawazo ya ziada kwanza nyakati zimebadilika dunia ya leo si ile ya wakati mapinduzi ya viwanda (industrial age) ambapo wafanyakazi walisimama katika mstari na uzalishaji wa bidhaa ulikuwa unatiririka kama mnyororo (assembly line) wakati ule maamuzi ya namna kuendesha kiwanda yalikuwa mepesi na wazi kuliko sasa ushindani haukuwa mkubwa kama leo amri zilikuwa zinatoka juu kwa viongozi na kwenda chini bila matatizo wafanya kazi waliwajibika kutii walichoambiwa hawakuhitaji kuwa wabunifu leo mambo yamebadilika wafanyakazi hawatakiwi wawe watu wa kufuata tu maelekezo lazima watumie akili na ubunifu kukabiliana na mazingira ya leo mazingira haya yanahitaji pia mabadiliko ya mtindo wa uongozi the strategies that worked in the industrial age are no longer effective leaders need to be honest about their own strengths and weaknesses they must recognize that they can't be or do everything and therefore should make sure the people around them have complementary strengths anaendelea kufafanua kwa kunukuu kauli ya carol hymowitz katika wall street journal arrogance is out of fashion in the executive suite so are autocratic executives who rule by intimidation think they have all the answers and don't believe they need to be accountable to anyone kuhitimisha suala hili la uongozi mpya mwandishi anasema kuwa uongozi ni lazima uwe unawathamini watu unathamini ubunifu na uthubutu na uwe mwepesi kuzitambua na kuzikamata fursa zinazojitokeza nilivyokuwa ninasoma haya mawazo nimejikuta nikiwazia tanzania na malengo ya serikali ya kujenga nchi ya viwanda nimeona wazi kuwa ili tufanikiwe lazima tujiweke sawa kwa mambo mengi kama haya ya kuwathamini watu kuweka mazingira muafaka na kuzingatia rasilimali watu ambayo inakwenda sambamba na kuwapa watu uhuru wa kufikiri kuwa wabunifu na watundu hata kama kwa utundu wao wanaishia kufanya makosa watu wakiwa na uoga wa kufanya makosa mafanikio yanaweza kuwa shida kupatikana kitabu hiki cha contagious success nimekifurahia sio tu kwa sababu kinaelimisha sana bali pia kwa kiasi kikubwa kwa sababu kimenikumbusha kitabu kingine leading beyond the walls ambacho ninacho na nilikiongelea katika blogu hii kampuni shirika ubunifu ufanisi jana nilinunua vitabu vitatu katika duka la vitabu la chuoni st olaf viwili two years eight months and twentyeight nights cha salman rushdie na a strangeness in my mind cha orhan pamuk niliviona juzi cha tatu why homer matters kilichotungwa na adam nicolson nilikiona hiyo hiyo jana nilipoingia dukani nilikumbuka makala niliyoisoma juzi usiku kuhusu vitabu halisi na vitabu pepe makala hii sawa na nyingine nyingi inatafakari iwapo vitabu vya jadi vitasalimika katika himaya hii ya vitabu pepe lakini inahitimisha kuwa hakuna ushahidi kuwa vitabu vya jadi vitapoteza mvuto au kufifia mimi ni mmoja wa wale ambao hatujabadilika bado tumezoea vitabu halisi yaani vitabu vya jadi na ndio maana sisiti kuvinunua wala sisiti kuelezea tabia yangu hiyo hapa nitaelezea kifupi kwa nini nimenunua vitabu hivi vitatu kitabu cha salman rushdie kilinivutia kwa sababu ya umaarufu wa mwandishi huyu bila shaka wengi watakumbuka kitabu chake satanic verses ambacho kilipigwa marufuku katika nchi nyingi kwa madai kuwa kinaukashifu uislam ayatollah khomeini wa iran alitangaza fatwa kuwa salman rushdie anapaswa kuuawa duniani kote na hata miongoni mwa waislam wenyewe hukumu hii ilizua mjadala baadhi walisema kuwa fatwa haikupaswa kutolewa kabla ya salman rushdie kupewa fursa ya kujieleza na kukiri kosa lake watu wengine walisema kuwa zogo hili lilimpa salman rushdie umaarufu ambao hakustahili kwa kigezo cha ubora wa uandishi wake ninavyo baadhi vitabu vya salman rushdie kikiwemo hiki cha satanic verses nimemewahi kufundisha riwaya yake maarufu midnight's children ninavutiwa na ubunifu wake katika kuelezea mambo na uhodari wake wa kutumia lugha uandishi wake unasisimua na kufikirisha orhan pamuk ni mwandishi ambaye nimewahi kumtaja katika blogu hii nina vitabu vyake kadhaa na nimekuwa na hamu ya kuvisoma ila bado sijapata wasaa huyu amenivutia si tu kwa kuwa alipata tuzo ya nobel bali pia kwa sababu ninafahamu kiasi fulani kuhusu fasihi simulizi ya uturuki kama vile hadithi za nasreddin hodja na dede korkut why homer matters nimekipenda kwa kuwa taaluma ya tendi nimeipenda na kuishughulikia kwa miaka mingi homer ingawa taarifa zake hazijulikani vizuri ndiye anayehusishwa na tendi maarufu za ugriki ya kale the iliad na the odyssey kwa kuangalia juu juu niliona kuwa mwandishi wa why homer matters ana uwezo mkubwa wa kuelezea masuala ya homer na hizi tendi uislam uturuki leo nilikwenda tena apple valley kwa muda mfupi nikaingia katika duka la half price books niliangalia kwanza sehemu vinapowekwa vitabu vya hemingway au juu ya hemingway kitabu cha pekee nilichokiona ambacho nimekifahamu kwa miezi kadhaa ila sijakinunua ni hemingway's boat everything he loved in life and lost kilichotungwa na paul hendrickson nilielekea sehemu ambapo huwekwa vitabu vya bei rahisi kabisa kwa kuwa sikuwa na muda mwingi niliangalia haraka haraka nikaona kitabu cha matigari cha ngugi wa thiong'o kilichotafsiriwa kwa kiingereza na wangui wa goro ngugi alikuwa amekiandika kwa kikuyu nilivutiwa kuona kuwa ni nakala ya jalada gumu iliyochapishwa na africa world press nilichukua wasomaji wa ngugi wanakumbuka kuwa tafsiri hii ilichapishwa kwanza na heinemann kisha sehemu hiyo hiyo katika kuchungulia chungulia niliona kitabu contagious success spreading high performance throughout your organization kilichoandikwa na susan lucia annunzio nilivyoona kuwa kinahusu mbinu za kusambaza ufanisi katika makampuni na mashirika nilikichukua hima dhana ya maambukizi ya mafanikio ilinivutia ninapenda kusoma vitabu vinavyohusu ujasiriamali na biashara kwa sababu mimi mwenyewe ninajiona kama mjasiriamali jamii (social enterpreneur) vile vile ninavipenda vitabu hivi vinahusu masuala yenye uhusiano na taaluma ambazo nimezizoea hasa saikolojia ujasiriamali jambo moja linalonivutia kuhusu marekani ni uhuru wa kujieleza katiba ya marekani inalinda uhuru huo kikamilifu kwa mfano kulikuwa na kesi dhidi ya mtu aliyechoma moto bendera ya taifa lakini mahakama kuu iliamua na imeendelea kusisitiza kuwa kuchoma moto bendera ya taifa ni sehemu ya uhuru wa kujieleza ambao unalindwa na katiba mahakama kuu inasisitiza kuwa kauli tata za kukera au za kuwakosoa watawala ndizo hasa katiba ilikusudiwa kuzilinda serikali ya marekani inafahamu kuwa raia ana uhuru na haki kamili ya kuikosoa viongozi wa marekani wanajua hilo ninaleta video hapa inayomwonyesha mwananchi akimfokea kiongozi bila kumung'unya maneno mwone kiongozi huyu kutoka chama tawala cha rais donald trump alivyonywea wakati kipigo kinaendelea demokrasia msomaji mwingine wa kitabu cha africans and americans embracing cultural differences amejitokeza na kuandika maoni yake kuhusu kitabu hiki ameandika maneno matatu tu short and sweet katika mtandao wa goodreads ambao ni maarufu miongoni mwa wasoma vitabu humo wanaweka maoni yao kuhusu vitabu walivyosoma au vitabu wanavyopangia kusoma kama ilivyo kawaida yangu katika blogu hii ninamshukuru kwa kujipatia kitabu hiki kukisoma na kuwajuza walimwengu maoni yake amefanya hivyo kwa hiari yake akijua kwamba kauli yake itasomwa na watu wengi namshukuru kwa hisani yake amenifanyia kazi bila malipo wala kutegemea shukrani maoni ya wasomaji yana manufaa makubwa kwanza yananiwezesha kufahamu kama ninafikisha ujumbe wangu na unaeleweka vipi kila msomaji anapotoa maoni hutaja jambo fulani au mambo fulani yaliyomgusa kwa namna ya pekee wasomaji wanaweza kuwa wamekipenda kitabu hicho hicho lakini kwa misingi au namna mbali mbali pili kuwepo kwa maoni ya wasomaji kunaniondolea jukumu la kukiongelea kitabu changu kwa watu wanaokiulizia badala ya mimi kuwaelezea ninawaelekeza watu wakasome maoni hayo ambayo wasomaji wameyatoa kwa hiari yao bila msukumo wa aina nyingine siku nne zilizopita kwa mfano mtanzania moja aishiye marekani aliniandikia ujumbe binafsi katika facebook akinielezea kuwa anatakiwa kuongea na waalimu kutoka marekani katika kuwaandaa kwa safari ya tanzania hiyo ni programu baina yao na walimu wa tanzania kuhusu tamaduni na ufundishaji alihitaji pendekezo la kitabu kuhusu tamaduni nilimtajia kitabu cha africans and americans embracing cultural differences na baadaye nimemshauri kuwa ili ajiridhishe aangalie maoni ya wasomaji kwenye mtandao wa amazon na pia mtandao wa goodreads kuna sehemu zingine pia ambapo maoni yamechapishwa kama vile blogu tovuti na majarida majarida tovuti baada ya hotuba yake amy alisaini nakala za kitabu chake democracy now twenty years of covering the movements changing america wakati ananisainia aliniuliza ninatoka wapi nilipomtajia tanzania alitabasamu akasema julius nyerere niliguswa ingawa sikushangaa kuwa amy ni mmoja wa watu wa ughaibuni wanaomwenzi mwalimu nyerere posted by chuo cha carleton harakati mamlaka mwanaharakati leo tamasha la mataifa limefanyika mjini rochester minnesota niliweka tangazo la tamasha hili katika blogu hii binti yangu zawadi na mimi tulishiriki ni mwendo wa saa moja kutoka hapa northfield ninapoishi tulipanga vitabu vyangu na machapisho mengine mezani tukatundika ukutani bendera ya tanzania ambayo nilinunua siku zilizopita saa nne ilipotimia ambayo ndiyo saa ya kufunguliwa tamasha watu walianza kuja na hapo kwenye meza yetu tulianza kutembelewa na watu tangu dakika zile za mwanzo tuliongea nao tukajibu masuali kuhusu vitabu hivyo na mambo mengine mengi nao wakatueleza mambo mbali mbali baada ya nusu saa hivi ilianza shughuli ya kupeperusha bendera watu walielekezwa zilipowekwa bendera ili wachukue bendera ya nchi yao na kujiunga katika maandamano wakiwa wamebeba bendera nilikwenda nikaikuta bendera ya tanzania nikaibeba katika maandamano tuliendelea kuongea na watu wa mataifa mbali mbali hapo kwenye meza yetu tukapata pia fursa ya kuzunguka kwenye meza za wengine na kupiga picha kwa namna ya pekee ninakumbuka tulivyozungumza na mama mmoja mmarekani kuhusu tofauti za tamaduni akatueleza yaliyomkuta japani mila na desturi alizozizoea marekani ziliwashangaza wenyeji nasi tulimweleza yanayotokea pale waafrika wanapokuwa na wamarekani kama nilivyoelezea katika kitabu cha africans and americans embracing cultural differences ninakumbuka pia nilivyoongea na mama anayeonekana pichani hapa kushoto amevaa hijab nilikumbuka kuwa nilimwona katika tamasha mwaka jana ila hatukufahamiana jana tulipata hiyo fursa mezani pake ambapo aliweka machapisho ya kiislam kama vile the message of the qur'an cha muhammad asad who speaks for islam cha john l esposito na dalia mogahed na wisdom for life & the afterlife a selection of prophet mohammad's sayings ambavyo vyote ninavyo nilimwambia kuwa mimi ni mwalimu katika chuo cha st olaf nimetunga kozi muslim women writers na sababu za kuitunga naye alinielezea kuhusu kipindi anachoendesha kiitwacho faith talk show tukakubaliana nije kuhojiwa katika kipindi hicho siku zijazo baada ya kurejea kutoka kwenye tamasha nimeangalia mtandaoni nikaona taarifa za mama huyu kama vile hii hapa ninawazia kumwalika darasani kwangu nitakapofundisha tena kozi yangu muda wote wa tamasha kulikuwa na vikundi vya burudani jukwaani na pia vyakula vya nchi mbali mbali ninaleta hapa baadhi ya picha za tamasha uislam marekani kwa mara ya kwanza bendera ya tanzania itapeperushwa katika tamasha la kimataifa mjini rochester minnesota tarehe 29 mwezi huu hili ni tamasha linaloandaliwa na rochester international association (ria) kila mwaka nimewahi kuelezea kuhusu tamasha hili katika blogu hii na blogu ya kiingereza napenda kuelezea mchakato uliowezesha bendera ya tanzania kupewa hadhi hiyo mwaka jana wakenya wawili olivia njogu na kennedy ombaye ambao ni wanabodi wa ria waliniambia kuwa wangependa nijiunge nao niliguswa na wazo lao nikaafiki waliwasilisha ujumbe kwa mwenyekiti wa bodi brian faloon nami nikawasiliana naye kumthibitishia utayari wangu wa kujiunga wazo lilipitishwa na bodi nami nikajiunga wiki chache zilizopita bodi ilianza kujadili mipango ya tamasha la kimataifa kwa mwaka huu wakati suala la bendera lilipojadiliwa mwanabodi olivia njogu aliniambia kuwa iwepo bendera ya tanzania kwa kuwa sikuelewa utaratibu wa bendera ukoje olivia na wanabodi wengine walinihakikishia kuwa sitahitaji kuileta bendera bali wataipata kwa muuzaji nilifahamu kuwa utaratibu wa tamasha ni kuwa linapoanza panakuwa na maandamano ya watu wakiwa wamebeba bendera za nchi mbali mbali mwaka jana niliposhiriki tamasha hili nilikuwa na bendera ya tanzania ambayo nilikuwa nimeinunua mwaka juzi kama nilivyoelezea katika blogu hii lakini kwa kuwa nilikuwa bado mgeni katika tamasha hili sikuwa nimefanya utaratibu wa kuijumlisha katika maandamano ya bendera niliitandaza kwenye meza yangu kama inavyoonekana pichani hapa kushoto ninawashukuru tena wakenya kwa urafiki na ukarimu ambao wamenionyesha tangu nilipokwenda nchini kwao kufanya utafiti kuanzia mwaka 1989 hadi miaka yote niliyoishi huku marekani jambo hili nimekuwa nikilitaja katika blogu hii tamasha la kimataifa ujirani ukarimu urafiki wiki hii tarehe 19 binti yangu zawadi na mimi tulikwenda kwenye ubalozi wa tanzania mjini washington dc kushughulikia pasposti mpya baada ya paspoti zetu kwisha muda wa matumizi yake nimeona niandike mambo yaliyoibuka mawazoni mwangu kutokana na ziara hiyo kwanza tulijisikia vizuri kuingia katika jengo la ubalozi na kujisikia tumo katika ardhi ya tanzania nilimweleza binti yangu jambo hilo nikaongezea kwamba mtu wa taifa lolote akiingia humu kutafuta hifadhi na akapata mamlaka ya nchi yake haiwezi kuingia na kumkamata itabidi wajaribu bahati yao kwa kufanya utaratibu wa kuiomba tanzania ili wakabidhiwe huyu mtu wao tulitaja mfano wa julian assange wa wikileaks ambaye amejichimbia katika ubalozi wa ecuador london wazo jingine lililonijia tulipokuwa ndani ya ubalozi ni jinsi wadhifa wa kuiwakilisha nchi ulivyo mkubwa na mzito nikilinganisha na uchache wa wawakilishi wetu katika ubalozi ni wazi kuwa watu wachache tunaowapa wadhifa wa kuiwakilisha nchi yetu katika ofisi ya ubalozi hawawezi kufika kila mahali katika nchi kubwa kama hii ya marekani kwa kuzingatia hilo ni wazi kuwa sisi watanzania wanadiaspora vote tunawajibika kuiwakilisha nchi yetu pale tulipo na tunapopata fursa ya kuwepo katika maeneo mengine mimi ninakaa katika mji wa northfield jimbo la minnesota ambao ni mdogo sana lakini ni maarufu kwa kuwa na vyuo vikuu viwili st olaf na carleton katakana na wadhifa wangu kama mwalimu ninayeshughulika na watu kutoka sehemu zote za marekani na sehemu mbali mbali duniani nina fursa ya kufanya mengi pasipo kutegemea ubalozi ninashiriki matamasha ninatoa mihadhara na ninashiriki mikutano ya aina aina ninashiriki katika uendeshaji wa jumuia zinazowajumlisha watu wa mataifa mbali mbali hapa minnesota kama vile afrifest foundation wakati huu baada ya kuteuliwa katika bodi ya rochester international association nina wadhifa mwingine muhimu katika nafasi zote hizo ninajiwakilisha mwenyewe lakini pia kama raia wa tanzania ingawa nilijua tangu zamani kuwa sisi wananchi tuna wajibu wa kuiwakilisha nchi yetu popote tulipo ziara yangu ubalozini imenipa hamasa zaidi katika mwelekeo huo nimesukumwa zaidi na ukweli kwamba wafanyakazi wa ubalozini hawatoshi kabisa kwa majukumu yaliyopo ya kuiwakilisha na kuihudumia nchi huku ughaibuni hifadhi matamasha ubalozi wa tanzania neno kuhusu matokeo ya kuchapisha kitabu mimi kama mwandishi wa vitabu ninafurahi ninapopata wasaa wa kuelezea uzoefu wangu na kutoa ushauri kwa waandishi wengine au wale wanaowazia kuwa waandishi mara kwa mara ninaandika kuhusu mambo hayo kwa kujiamulia mwenyewe lakini mara kwa mara ninaandika kuwajibu wanaoniulizia baadhi ya mawasiliano hayo huwa ni ya binafsi na mengine hufanyika katika blogu hii leo nimeona niseme neno kuhusu matokeo ya kuchapisha kitabu ninaandika kufuatia uzoefu wangu wa hapa marekani kuchapisha kitabu ni aina ya ukombozi kwa mwandishi kutakana na jambo lilolokuwa linakusonga mawazoni ni kama kutua mzigo baada ya kumaliza kuandika unajisikia mwenye faraja tayari kuanza au kuendelea na majukumu mengine ni aina ya ukombozi kuna waandishi chipukizi wanaoamini kuwa kuandika kitabu kutawaletea umaarufu au fedha wazo hili ni bora kuliweka kando fedha si jambo la kulipa kipaumbele kwa kiasi kikubwa ni kubahatisha kwanza kuna vitabu vingi mno vinavyochapishwa kila mwaka kwa hapa marekani tu vitabu zaidi ya milioni huchapishwa kila mwaka kwa mujibu wa taarifa zilizopo sio rahisi mwandishi anayeanza safari ya uandishi ajipambanue na kuwa maarufu kwa wastani nakala za kitabu zinazouzwa kwa mwaka ni 250 na ukomo wa mauzo kwa miaka yote ya kuwepo kitabu ni pungufu ya nakala 3000 kwa hapa marekani kuna jadi kwamba waandishi wakishachapisha kitabu hufanya safari za kutangaza kitabu hicho safari hizi hupangwa na kuratibiwa na wadau wa vitabu kama vile wachapishaji wa vitabu wauzaji wa vitabu waendeshaji wa majarida yanayojihusisha na vitabu na vikundi vya wasomaji katika miji na maeneo mbali mbali wote hao wanashiriki katika kufanikisha ziara ya mwandishi wanatangaza kwa namna yoyote ile ziara hiyo magazetini katika redio katika televisheni au mitandao ya kijamii popote anapofika mwandishi watu hujitokeza kumsikiliza akiongelea kitabu chake wanapata fursa ya kumwuliza masuali nakala za kitabu zinakuwepo na watu wanapata fursa ya kununua na kusainiwa wenye maduka ya vitabu hupenda kuandaa mikusanyiko hiyo mbali na kwamba wanampa mwandishi fursa ya kukutana na wasomaji na kutangaza kitabu chake ni fursa kwa hayo maduka ya vitabu kujitangaza ni jadi iliyozoeleka kwamba nyakati hizo kunakuwa na punguzo la bei ya kitabu kinachotangazwa na hiki kinakuwa ni kivutio cha ziada kwa wateja lakini jambo la msingi ni kuwa watu wa marekani wanathamini sana fursa ya kukutana na mwandishi mimi mwenyewe ingawa bado si mwandishi aliyetunukiwa tuzo maarufu kama pulitzer ninashuhudia jinsi watu wanavyovutiwa na fursa ya kukutana nami iwe ni kwenye matamasha au kwenye mihadhara ninayotoa hizi fursa za waandishi za kwenda kuongelea vitabu vyao ndio njia moja kuu ya waandishi kujijenga katika jamii mwandishi kuonekana na kusikilizwa moja kwa moja na wasomaji na wadau wengine wa vitabu ni njia ya kujijenga mioyoni mwao kukutana na mwandishi namna hiyo kunaleta picha na hisia ya pekee pale msomaji anaposoma kitabu cha mwandishi huyo bila shaka wote ambao tumewahi kukutana na waandishi tunajisikia hivyo tunaposoma maandishi yao nimegusia hapo juu kuwa kuna watu wanaowazia kuwa kuchapisha kitabu kutawaletea umaarufu au fedha ni kweli kutegemeana na kukubalika kwa kitabu katika jamii mwandishi anaweza kupata umaarufu na fedha kiasi fulani lakini kwa uzoefu wangu ninapoalikwa kwenda kuongelea kitabu ndipo pana malipo makubwa ukiachilia mbali kuwa vile vile nakala za vitabu zinauzwa hapo hapo vitabu ninavyoongelea hapa ni viwili africans and americans embracing cultural differences na matengo folktales kipo kingine ambacho nimekuwa nikiandika kwa miaka kadhaa kuhusu athari za tofauti za tamaduni ambacho nina hakika kuwa kitawagusa watu kwa namna ya pekee ningependa mambo hayo niliyoelezea yafanyike tanzania ninatamani uje wakati ambapo mwandishi akishachapisha kitabu muhimu kiwe ni cha fasihi au maarifa awe na fursa ya kuzunguka nchini kuongelea kitabu chake ninatamani uje wakati ambapo wananchi watakuwa na utamaduni wa kuvipenda vitabu na kupenda kukutana ana kwa ana na waandishi na kuongea nao kusaini kitabu matengo folktales waandishi wachapishaji wauza vitabu mahojiano kuhusu uandishi na uchapishaji bukola o nitawasilisha mada global minnesota kitabu kimependekezwa na africa international univ
2017-07-22T02:48:28
http://hapakwetu.blogspot.com/2017/
25 baadaye samweli+ akafa na israeli wote wakakusanyika pamoja wakamwombolezea+ na kumzika karibu na nyumba yake huko rama+ kisha daudi akaondoka akashuka kwenda katika nyika ya parani+ 2 sasa palikuwa na mtu fulani katika maoni+ na kazi yake ilikuwa katika karmeli+ na mtu huyo alikuwa mkuu sana naye alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja naye alikuwa na kazi ya kukata+ kondoo zake manyoya kule karmeli 3 na jina la mtu huyo lilikuwa nabali+ na jina la mke wake lilikuwa abigaili+ naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya+ naye alikuwa mkalebu+ 4 basi daudi akasikia akiwa nyikani kwamba nabali alikuwa akikata kondoo zake manyoya+ 5 kwa hiyo daudi akatuma wanaume kumi vijana na daudi akawaambia hao vijana pandeni mwende karmeli mfike kwa nabali mkamuulize kwa jina langu kuhusu hali yake+ 6 nanyi mkamwambie ndugu yangu hivi wema uwe kwako+ na pia wema uwe kwa nyumba yako na wema uwe kwa vyote ulivyo navyo 7 na sasa nimesikia kwamba una wakatajimanyoya sasa wachungaji wako walikuwa pamoja nasi+ hatukuwasumbua+ wala hakuna chochote chao ambacho kilipotea siku zote walizokuwa katika karmeli 8 waulize hao vijana wako nao watakuambia ndipo vijana wangu wapate kibali machoni pako kwa kuwa tumekuja siku nzuri tafadhali wape watumishi wako na daudi mwana wako chochote ambacho mkono wako unaweza kupata+ 9 basi wale vijana wa daudi wakaja na kumwambia nabali kulingana na maneno hayo yote katika jina la daudi na kisha wakangoja 10 lakini nabali akawajibu watumishi wa daudi na kusema daudi ni nani+ na mwana wa yese ni nani siku hizi watumishi wanaotoroka kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake wamekuwa wengi+ 11 na je nichukue mkate+ wangu na maji yangu na nyama yangu ambayo nimewachinjia wakatajimanyoya wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi+ 12 kwa hiyo vijana wa daudi wakageuka wakarudi wakamletea habari kulingana na maneno hayo yote 13 mara hiyo daudi akawaambia watu wake kila mtu ajifunge upanga wake+ basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia daudi akajifunga upanga wake wakaanza kupanda nyuma ya daudi karibu watu mia nne huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo+ 14 na wakati huohuo mmoja wa vijana akaleta habari kwa abigaili mke wa nabali akisema tazama daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia bwana wetu mema lakini akawakemea kwa sauti kali+ 15 na watu hao walikuwa wema sana kwetu nao hawakutusumbua nasi hatukupoteza hata kitu kimoja siku zote za kutembea kwetu tukiwa shambani+ 16 walikuwa ukuta+ kutuzunguka wakati wa usiku na wakati wa mchana siku zote tulipokuwa pamoja nao tukichunga kundi 17 na sasa ujue na kuona jambo la kufanya kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye 18 mara moja abigaili+ akafanya haraka akachukua mikate mia mbili na mitungi miwili mikubwa ya divai+ na kondoo watano+ na vipimo vitano vya sea vya nafaka iliyochomwa+ na keki mia moja za zabibu kavu+ na keki mia mbili za tini zilizoshinikizwa+ akazipakia juu ya punda 19 kisha akawaambia vijana wake piteni mbele yangu+ tazama naja nyuma yenu lakini hakumwambia nabali mume wake jambo lolote 20 na ikatukia kwamba alipokuwa amempanda punda+ na kushuka kwenye mlima kisiri tazama kumbe daudi na watu wake walikuwa wakishuka kuja kukutana naye basi akakutana nao 21 naye daudi alikuwa amesema ni kwa ajili ya kukatishwa tamaa tu kwamba nililinda kila kitu cha mtu huyu nyikani wala hakuna hata kitu kimoja kati ya vyote vilivyo vyake ambacho kilipotea+ na bado ananilipa uovu kwa ajili ya wema+ 22 basi mungu na awafanyie hivyo adui za daudi na kuzidisha+ ikiwa nitaacha abaki kufikia asubuhi+ yeyote kati ya wote walio wake anayekojoa ukutani+ 23 abigaili alipomwona daudi akafanya haraka mara moja akashuka kutoka juu ya yule punda akaanguka kifudifudi mbele ya daudi akainama+ chini 24 kisha akaanguka miguuni pake+ na kusema kosa na liwe juu yangu mwenyewe+ ee bwana wangu na tafadhali mwache kijakazi wako aseme masikioni mwako+ nawe uyasikilize maneno ya kijakazi wako 25 tafadhali bwana wangu asiweke moyo wake juu ya mtu huyu asiyefaa kitu+ nabali kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye nabali ndilo jina lake na ukosefu wake wa akili uko pamoja naye+ lakini mimi kijakazi wako sikuwaona wale vijana wa bwana wangu uliokuwa umewatuma 26 basi sasa bwana wangu kama anavyoishi yehova+ na kama inavyoishi nafsi yako+ yehova amekuzuia+ usiingie katika hatia ya damu+ na kufanya mkono wako mwenyewe ukuokoe+ basi sasa adui zako na wale wanaotafuta kumdhuru bwana wangu na wawe kama nabali+ 27 na sasa zawadi hii ya baraka+ ambayo kijakazi wako amemletea bwana wangu ipewe wale vijana wanaotembea katika hatua+ za bwana wangu 28 tafadhali samehe makosa ya kijakazi wako+ kwa maana bila shaka yehova atamfanyia bwana wangu nyumba inayodumu+ kwa maana bwana wangu anapigana vita vya yehova+ na ubaya hautapatikana ndani yako siku zako zote+ 29 wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na yehova mungu wako+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo+ 30 na itatukia kwamba kwa kuwa yehova atamfanyia bwana wangu mema kukuelekea kulingana na yote ambayo amesema hakika atakuweka kuwa kiongozi juu ya israeli+ 31 na usiache hili liwe kwako sababu ya kufadhaika wala kikwazo kwa moyo wa bwana wangu kwa kumwaga damu bila sababu+ na pia kwa kuacha mkono wa bwana wangu mwenyewe umwokoe+ na hakika yehova atamfanyia mema bwana wangu nawe utamkumbuka+ kijakazi wako 32 ndipo daudi akamwambia abigaili abarikiwe yehova mungu wa israeli+ aliyekutuma leo unipokee 33 busara yako na ibarikiwe+ nawe ubarikiwe ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe+ 34 na kwa upande mwingine kama anavyoishi yehova mungu wa israeli ambaye amenizuia nisikudhuru wewe+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani+ 35 kwa hiyo daudi akapokea kutoka mkononi mwake vitu ambavyo alikuwa amemletea naye akamwambia panda uende kwa amani+ nyumbani kwako tazama nimeisikiliza sauti yako na kukufikiria+ wewe 36 baadaye abigaili akaingia kwa nabali na tazama mwanamume huyo alikuwa akifanya karamu katika nyumba yake karamu kama ile ya mfalme+ na moyo wa nabali ulikuwa ukichangamka ndani yake naye alikuwa amelewa+ kabisa na kufikia nuru ya asubuhi mke hakuweza kumwambia jambo lolote liwe ni dogo au kubwa 37 na ikawa kwamba asubuhi divai ilipokuwa imemtoka nabali mke wake akamwambia mambo hayo yote na moyo+ wa mwanamume huyo ukafa ndani yake naye akawa kama jiwe 38 baada ya hapo karibu siku kumi zikapita ndipo yehova akampiga+ nabali naye akafa 39 basi daudi akasikia kwamba nabali amekufa kwa hiyo akasema abarikiwe yehova ambaye amefanya kesi+ ya shutuma+ yangu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwa nabali na ambaye amemzuia mtumishi wake asifanye ubaya+ na yehova ameurudisha ubaya wa nabali juu ya kichwa chake mwenyewe+ kisha daudi akatuma watu na kumwambia abigaili kwamba alipenda kumchukua awe mke wake+ 40 basi watumishi wa daudi wakamjia abigaili kule karmeli na kumwambia hivi daudi ametutuma kwako tukuchukue uwe mke wake 41 mara moja akasimama akainama kifudifudi+ akasema tazama mimi ni kijakazi wako niwe mjakazi wa kuosha miguu+ ya watumishi wa bwana wangu+ 42 kisha abigaili+ akafanya haraka akaondoka akapanda punda+ pamoja na wanawali wake watano wakiwa wanatembea nyuma yake akaenda pamoja na wajumbe wa daudi na kisha akawa mke wake 43 daudi pia alikuwa amemchukua ahinoamu+ kutoka yezreeli+ na hao wanawake wawili wakaja kuwa wake zake+ 44 lakini sauli alikuwa amemkabidhi mikali+ binti yake mke wa daudi kwa palti+ mwana wa laishi aliyetoka galimu+
2017-06-24T02:08:57
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/bi12/vitabu/1-samweli/25/
matukio @ michuzi blog nguli wa everton leon osman azindua programu ya soka la vijana leo jijini dar nguli wa everton leon osman azindua programu ya soka la vijana leo jijini dar waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo harrison mwakyembe akiwa na mchezaji wa zaman wa everton leon osman (wa kwanza kushoto) sambamba na mkurugenzi wa michezo wa wizara yusuph singo (kulia) na mkurugenzi wa timu ya everton robert elstone (wanne kulia) na mkurugenzi wa sportpesa pavel slavkov na mkurugenzi wa mawasiliano wa sportpesa tanzani abbas tarimba
2017-07-23T00:50:32
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/06/nguli-wa-everton-leon-osman-azindua.html
serikali yawaondolea hofu walio na shahada licha ya kupata chini ya c+ kwa kcse ▷ tukocoke made in kenya latest politics entertainment swahili feedback livescore submit video fighting alshabaab serikali yawaondolea hofu walio na shahada licha ya kupata chini ya c+ kwa kcse 3555 chapisha twitter kulikuwa na uvumi kuwa vyeti vya watu ambao hawakupata alama ya c+ katika mtihani wa kcse vingetupiliwa mbali ni tangazo lililowatia wengi kiwewe hasa wale wangeathirika na mpango huowaziri wa elimu fred matiang'iserikali imewaondolea hofu wale wana vyeti vya digrii licha ya kuwa hawakupata alama ya c+ katika mtihani wa kcse serikali imesema kuwa haina uwezo wa kuondoa vyeti hivyo habari nyingine mwanajeshi wa uingereza afariki akiwa uchi kitandani kwa mwanamke homa baykulingana na mkurugezi wa tume ya elimu ya juu (cue) david some tume hiyo haina mamlaka ya kufutilia mbali vyeti hivyo vinavyosemekana kuwa feki alidai kuwa ni wajibu wa vyuo husika kuchukua hatuadavid somehabari nyingine joho azungumza kwa mara ya kwanza baada ya kupokonywa walinzi ni bayana kuwa ni lazima mtu awe na alama ya c+ katika mtihani wa kcse au awe na stashahada (diploma) ili kujiunga na chuo kikuu alisema some kwa mujibu wa nationchuo kikuu cha moihofu hiyo inajiri baada ya waziri wa elimu kuleta mabadiliko makubwa katika wizara hiyo picha hisani read the english versionpata hapa habari pindi zinapochipukauna maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke ​ fake degree certificates in kenya fake degree politicians moi university vc laban ayiro moi university eldoret strathmore university student kills a 3yearold girl and drinks her blood moto huddah monroe boyfriend gloria muliro husband larry madowo car william ruto house kenya prophecy 2017 habari zingine jibu la donald trump lililomfurahisha rais uhuru baada ya kuwasilisha ombi lake
2017-02-26T03:14:48
https://swahili.tuko.co.ke/226968-serikali-yawaondolea-hofu-walio-na-shahada-licha-ya-kupata-chini-ya-c-kwa-kc.html
je mnafahamu kuwa kikwazo kikubwa cha maisha ni wanawake | jamiiforums | the home of great thinkers je mnafahamu kuwa kikwazo kikubwa cha maisha ni wanawake discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by kakakiiza mar 12 2011 katika pitapita yangu nimekuja kugundua matatizo yote ya maisha wanao sababisha ni wanawakekwani wanawake bila ya kujalisha aliyeolewa na ambaye ajaolewa wote ndiyo wanaosababisha ugumu wa maishana kusababisha kushuka kwa uchumi wa nchii kwani wao ndiyo wamesababisha matatizo yote yaliyoko hapa nchinihata mafisadi wamekamatwa na wanawake hadi kusababisha nchii kuwa ombaombahivyo hata sikuyawanawake dunianihaina tija kama wao wanasema penye maendeleo mwanamke yupo nyumayake je kwa nini tuwe masikini nawao wapo unapiga msafara wa rais mawe vigezo hai ni vipi ulivyotumia mkuu mkuu mbona unawalaumu wakat ndio wanasababisha tufanye kaz kwa bidii tunapata mshko wk end tunawapalekea hivi unafahamu kwamba bila wanawake hata wewe usingeweza kuandika hii sredi hivi unafahamu bila wanawake hakuna kiumbe kitakachoitwa mwanaume hivi kweli unathubutu kumwambia mama yako mzazi kwamba kukulea kwake tumboni miezi 9 akunyonyeshe akutunze akulinde akupeleke hospitali kila ukiumwa yote hayo ni kukuletea matatizo maisha yako kweli unaweza ukamtukana mama yako mzazi matusi ya nguoni namna hii kweli unaweza ukamfananisha mama ako na fisadi ra kweli wewe unaetamka haya maneno umezaliwa na mwanmke au mwenzetu ulizaliwa na kiumbe tofauti kweli unathubutu kumtukana hadi muumba wako na kuidharau kazi yake aliyoifanya kuumba mwanamke ndugu kesho ni jumapili siku takatifu kwa wakristo duniani nenda katubu kabla hujawa kichaakiiza na uwaombe mods waifute hii sredi yako haraka hapa mmu katika pitapita yangu nimekuja kugundua matatizo yote ya maisha wanao sababisha ni wanawakekwani wanawake bila ya kujalisha aliyeolewa na ambaye ajaolewa wote ndiyo wanaosababisha ugumu wa maishana kusababisha kushuka kwa uchumi wa nchii kwani wao ndiyo wamesababisha matatizo yote yaliyoko hapa nchinihata mafisadi wamekamatwa na wanawake hadi kusababisha nchii kuwa ombaombahivyo hata sikuyawanawake dunianihaina tija kama wao wanasema penye maendeleo mwanamke yupo nyumayake je kwa nini tuwe masikini nawao wapoclick to expand naona itakuwa ni vizuri sana ukafanya pita pita yako nyingine ambayo itakupa picha halisi ya matatizo ya maisha badala ya hii uliyokuja nayo ambayo haina ukweli wowote 0 people likes mkuu mbona unawalaumu wakat ndio wanasababisha tufanye kaz kwa bidii tunapata mshko wk end tunawapalekeaclick to expand nahisi ndio anachozungumzia mie nimeshituka kweli labda kwa kuwa mie mgeni hapa bila sisi usingekuwepo hapa duniani pamoja na dharau zako tutaendelea kukuombea kwa mungu hapo kesho na uwaombe mods waifute hii sredi yako haraka hapa mmuclick to expand cpu you deserve this sina cha kuongeza umemaliza the following 3 users say thank you to cpu for this useful post dena amsi (today) fanta face (today) muhosni (today) ​ naona itakuwa ni vizuri sana ukafanya pita yako yako nyingine ambayo itakupa picha halisi ya matatizo ya maisha badala ya hii uliyokuja nayo ambayo haina ukweli wowote click to expand you deserve this bak the following user says thank you to bubu ataka kusema for this useful post dena amsi (today) ​ kk kwa hili umenikwaza sana leo asante sana mkuu kwa kutujilisha hilo kumbe mafisadi ni rimoti control tu wake zao ndio wanaopanga mipango yote maana mie nilikuwa sijui kk kwa hili umenikwaza sana leoclick to expand una haki ya kukwazika da katika ile list ya mafisadi iliyotolewa na chadema hakukuwa na jina hata moja la mwanamke katika majina ya waliotuingiza kwenye mkenge wa kagoda meremeta rada ununuzi wa ndege ya rais helicopters na magari ya jeshi mikataba feki ya uchimbaji wa madini yetu trl nk katika wale wahusika walioudanganya ulimwengu kwamba saddam alikuwa na silaha za maangamizi (wmd) na we know where they are pia hakukuwa na jina la mwanamke lakini ushahidi huu wote bado watu wanaona matatizo yote ndani ya nchi yetu na labda duniani kote yakiwemo ya kuanguka kwa uchumi eti yanasabababishwa na wanawake mtatafute mengine ya kuwabebesha/kuwalaumu wanawake lakini siyo hili sina cha kukupa mamaa ah mama zaidi ya shukurani mamamaaa dah siamini km mtu unaweza dharau hata mama yako kiasi hiki mama anavyohangaika kukutunza namna hiyooo toka day one mpaka leo ndo waja sema mwanamke ni kikwazoo duh msiwe mnaingia jf mkiwa mmeshakunywa mataputapu upuuzi mtupu this world means nothin without womens wewe hujaona matatizo aliyopata adam kwa eva na mungu akampa adhabu ya kwa jasho utakulasamsoni alipofuliwa macho kwa ajili ya delila hujajuaga tuayubu aliambiwa si umkufuru huyo mungu ukafe hilo nalo ulilijua kakayesu alimwambia mama yake tuna nini mimi nawe maana wakati wangu bado alipomwambia atengeneze mvinyo[wine] wewe hukuwepo siku ile kaka mtume muhammad saw aliambiwa na mke wake mmoja aifanye asali kuwa haramu hilo nalo unalo eti kwakuwa yeye haipendi tunk hayo tisa kumi kura zote za ccm ni zao na kwakuwa wanamume ni wachache kwanini wasituharibie maendeleo '' wamenizaa lakini hainizuii nisiwaambie ukweli''let me leave with it because i was born with it and not withouthow should i leave it vigezo hai ni vipi ulivyotumia mkuuclick to expand kimoja ni kuichagua ccm namsaidia ni kuichagua ccm kaka kiiza usiogopetoba ni siri kati ya anayetubu na anayetoa msamaha{mungu} na huyo huyo ndiyo aliyemwumba kwanza adam mwanaume na kisha eva mwanamke na mwanamke ametoka kwa mwanamume na siyo mwanamume ametoka kwa mwanamke au una badili kanuni ya creation of godna ukirejea hapo kwenye reds watu na wakristo wote duniani wanajua hivyomnabeba tu biblia na kuvaa vimini muwe mnazisoma ''mungu kazi yake si kuwapa watu vichaa na kama anatoa hayobasi kwa wasiojua neno lake''i was born in this wayhow can i change it kimoja ni kuichagua ccmclick to expand acha kumwaga pumbaumeambiwa ni wanawake wote au wanawake tu waliofanya hivyouzumbukuku wanaofanya viongozi wenu unasabishwa vipi na wanawakehaya kama mnatuona sisi ndo matatizo hamieni sehemu isiyo na wanawake mkafanikishe mambo yenu hukoalafu acha kuingiza udini hapa vimini ni biblia vinahusiana vipi na uzushi wenu
2017-07-22T01:24:04
https://www.jamiiforums.com/threads/je-mnafahamu-kuwa-kikwazo-kikubwa-cha-maisha-ni-wanawake.117370/
serikali ya tanzania yajipanga kuteka soko la watalii china | jamhuri ya muungano wa tanzania naibu waziri wa maliasili na utalii mheconstantine kanyasu akizungumza jambo na viongozi wa chuo cha mafunzo ya kigeni na utalii cha nchini china kijulikanacho kwa jina la jxcffs mara baada ya kuwatambulisha wageni hao bungeni dodoma leo waliokuja nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo wa mafunzo watumishi na wadau wa utalii nchini serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii imesema kwa sasa muelekeo wa soko la utalii nchini umelenga kupata watalii wengi kutoka nchini china na kama wizara inayoshugulikia masuala ya utalii suala la kujifunza lugha ya kichina kwa baadhi ya watumishi na wadau wa utalii ili kuteka soko hilo ni jambo lisiloepukika imesema nguvu nyingi kwa sasa zinaelekezwa nchini china hivyo ni muda muafaka wa kuandaa timu ya wataalamu mbalimbali wakiwemo waongoza watalii watakaoweza kuzungumza lugha ya kichina ili kuweza kulimudu soko hilo naibu wa maliasili na utalii mheconstantine kanyasu akikabidhiwa zawadi ya pichana makamu wa chuo cha mafunzo ya kigeni na utalii cha nchini china kijulikanacho kwa jina la jxcffs profxiong nanyong ( wa pili kulia) akiwa pamoja na mkuu wa mafunzo ya chuo hicho wanga jiaxin leo katika ofisi za wizara hiyo jijini dodoma hayo yamesemwa leo jijini dodoma na naibu waziri wa maliasili na utalii mheconstantine kanyasu wakati alipokuwa akizungumza na viongozi wa chuo cha mafunzo ya kigeni na utalii cha nchini china kijulikanacho kwa jina la jxcffs amesema lengo mkutano huo ni kuimarisha ushirikiano kati ya serikali ya china na tanzania katika suala la kuwajengea uwezo watumishi na wadau wa utalii nchini mkutano huo umehudhuriwa na ujumbe kutoka china ukiongozwa na makamu wa chuo hichoprofxiong nanyongkaimu huku kwa upande wa wizara katibu mkuu wa wizara ya maliasili na utalii bwlucius mwenda pamoja na ya wajumbe wa menejimenti ya wizara naibu wa maliasili na utalii mheconstantine kanyasu akimkabidhi zawadi ya vitabu kutoka tanapa ikiwa ni ishara ya shukrani kwa mkuu wa kitengo cha mafunzo wa chuo cha jxcffs yang jing mara baada kufanyika mkutano uliolenga kuimarisha ushirikiano katika ya china na tanzania jijini dodoma naibu wa maliasili na utalii mheconstantine kanyasu akiwa kwenye [picha ya pamoja na viongozi wa chuo cha mafunzo ya kigeni na utalii cha nchini china kijulikanacho kwa jina la jxcffs mara baada ya kumaliza mkutano uliolenga kumaimarisha mahusiano baina ya tanzania na china makamu wa chuo cha mafunzo ya kigeni na utalii cha nchini china kijulikanacho kwa jina la jxcffs profxiong nanyong ( wa pili kulia) akimkabidhi zawadi ya picha ya chuo hicho kaimu katibu mkuu wa wizara ya maliasili na utaliibw lucius mwenda mara baada ya kufanyika mkutano mara baada kufanyika mkutano uliolenga kuimarisha ushirikiano katika ya china na tanzania jijini dodoma viongozi wa chuo cha mafunzo ya kigeni na utalii cha nchini china kijulikanacho kwa jina la jxcffs wakiwa wamesimama wakati wakitambulishwa bungeni jijini dodoma naibu waziri wa maliasili na utalii mhe constantine kanyasu akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wabunge pamoja na viongozi wa chuo cha mafunzo ya nje na utalii cha china wakiwa nje ya bunge jijini dodoma (picha zote na wizara ya maliasili na utalii) amesema ni muhimu kwa watumishi wa wizara pamoja na wadau wa utalii kujiandaa ili kuweza kuzungumza lugha ya kichina badala ya vifaa maalum vya kutafsiri lugha ilhali kuna uwezekano kwa watanzania kujifunza naye makamu mkuu wa chuo hicho prof xiong nanyong amesema wamejipanga kutoa mafunzo mbalimbali likiwemo suala la lugha ya kichina pamoja na utalii ili kuwajengea uwezo watumishi hao ameongeza kuwa tayari wameshaomba kibali kutoka ofisi ya rais utumishi wa umma na utawala bora kwa ajili ya kutoa mafunzo hayo nchini kwa upande wake katibu mkuu wa wizara ya maliasili na utaliilucius mwenda ameahidi kutoa ushirikiano kwa uongozi wa chuo hicho ili kujengeana uwezo baina ya serikali ya tanzania na china ← makamu wa rais mhe samia azindua harambee ya kuchangia timu ya taifa stars makamu wa rais mama samia aongoza harambee ya kuichangia taifa stars →
2019-12-15T13:13:29
http://blog.maelezo.go.tz/serikali-ya-tanzania-yajipanga-kuteka-soko-la-watalii-china/
#tafakari ya asubuhi mambo mazuri yanahitaji muda kisima cha maarifa #tafakari ya asubuhi mambo mazuri yanahitaji muda the greatest changes in the world are made slowly and gradually not with eruptions and revolutions the same things happen in ones spiritual life leo tolstoy mabadiliko makubwa na bora kwenye maisha yako huwa yanatokea taratibu na kidogo kidogo siyo haraka na kwa pamoja ukuaji wa kiroho pia huwa ← #tuvukepamoja muda wa upweke na utulivu 1969 unajua mimi ni nani →
2020-06-02T04:14:39
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/05/22/tafakari-ya-asubuhi-mambo-mazuri-yanahitaji-muda/
bomu la ajira kwa vijana linaitesa ccm | gazeti la jamhuri bomu la ajira kwa vijana linaitesa ccm jamhuri october 5 2015 bomu la ajira kwa vijana linaitesa ccm20151005t124638+0000 makala miaka mitano iliyopita rais wangu dk jakaya kikwete wakati akijinadi na kuomba kura kutoka kwa wapigakura aliahidi mambo mengi kwa watanzania kwa siku ya leo nitagusa ahadi moja tu ambayo ni changamoto kubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi na ahadi iliyobadilika na kuwa silaha kubwa inayotumika kukiadhibu chama cha mapinduzi (ccm) rais kikwete aliahidi ajira kwa vijana ikiwa ni karata nzuri iliyotumika kuongeza kura za kuingia kwake madarakani kutoka kwa vijana miaka imekimbia kweli kweli siku zinayoyoma na hatimaye rais wetu amebakiza siku chake kumaliza ngwe yake ya uongozi huku ahadi hiyo ikiendelea kuelea hewani bila utekelezaji wowote uliotarajiwa na vijana nchini aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa aliwahi kusema hadharani ya kuwa ajira kwa vijana nchini ni bomu bomu linalosubiri kulipuka wakati wowote wapo waliombeza kutokana na kauli yake hiyo ya tahadhari kwa serikali na chama kwa ujumla katika kipindi cha hivi karibuni tumeshuhudia ni kwa kiasi gani ukosefu wa ajira kwa vijana wa taifa letu unavyogharimu maisha ya vijana ndugu zetu wanapotezwa na ajira walizoamua kujipachika bila kujali athari zake tunawashuhudia vijana wengi walivyoamua kujiajiri katika madampo na majalala ya kila aina hapa nchini hasa katika mikoa mikubwa wanashinda majalalani wakiokota makopo kiasi cha kukosa hata muda wa kukoga na kufua wananuka taka kutokana na kuishi majajalani ambako kunawaingizia kipato cha kusogeza siku kutokana na maisha hayo ya majajalani wamejikuta kila siku tunapoteza vijana wetu kutokana na mazingira ya ajira hiyo ya majalalani inayosababisha wengine kuwa na uwendawazimu unaotokana na ugumu wa kazi zao na maisha kwa ujumla wale vijana wengine wanaojiona ni wajanja wameamua kufanya biashara inayowaingizia fedha za haraka haraka huku maisha yao yakiwekwa rehani wanasafiri kutoka nchi moja kwenda nyingine wamegeuzwa punda wanaosafirisha biashara haramu ya dawa za kulevya kwa kile kinachoitwa mzigo ufike hata kama punda atakufa kutokana na maisha magumu na ukosefu wa ajira wengi wao wako mikononi mwa dola katika nchi mbalimbali vijana wajanja wamekuwa wazungu wa unga kazi yao kusambaza unga nchi moja baada ya nyingine wanapata pesa wanasaidia familia zao huku wakiishi maisha ya kujificha ahadi hii iliyotolewa na ccm wakati ule imekuwa mwiba mwiba unaotumika kukiadhibu chama kutokana na kutotekelezeka kama ilivyotarajiwa vijana nchini wamekasirika wamekichukia chama kwa kile wanachodai kuwa ni kuwahadaa na sasa wanataka kukiadhibu kwa kuwapuuza vijana wanakasirishwa na kauli zinazotolewa na wanasiasa nchini ambazo zimekuwa zikiwadhalilisha na kuwabeza kwa kuwaita wanywa viroba chama changu kinatakiwa kianze kwa kuwaomba radhi vijana nchini kiwaombe radhi kwa kuwacheleweshea ajira zao walizowaahidi ili kuweza kupoza makali ya hasira zao huu si wakati wa kuwabeza vijana kama ilivyofanyika vijana wana nguvu nguvu ya uamuzi na nguvu ya pamoja katika wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu sipendi kukiogopesha chama changu sipendi kuona kikibezwa na vijana kutokana na ahadi hiyo iliyoyeyuka kutokana na ongezeko la joto la ukuaji wa uchumi nchini uchumi unaosemekana kukua kwa wenyewe huku sisi tukishindia mlo mmoja kila mmoja wetu anatambua ni kwa jinsi gani maisha yanavyozidi kuwa magumu huku suala la ajira kwa vijana likizidi kuwa kitendawili kilichokosa mteguaji siku nenda siku rudi vijana sasa wamechoka kulaghaiwa na wanasiasa wamechoka kutumiwa kutokana na njaa yao hawataki tena kuwa bendera fuata upepo wanaojitokeza kuwapa matumaini sasa ndiyo mkombozi wao na kimbilio lao bomu la ajira sasa limelipuka limelipukia kwa vyama vya upinzani ccm wana deni la kutegua bomu hilo lisilipuke wakati huu wa uchaguzi bomu lililotegwa na chama miaka mitano iliyopita vijana wanataka kukiadhibu chama kutokana na kutotimiza ahadi lowassa ni mgombea nafasi ya urais kupitia ukawa hivi sasa anaaminiwa na vijana hii yote ni kutokana na yeye kuonekana kuwa ni mkombozi wao anayetambua umuhimu wao na upatikanaji wa ajira ukawa wamejiwekeza kwa vijana kwamba ndiyo mtaji kwao katika kipindi hiki cha uchaguzi karata wanayoitumia vyema kukiadhibu chama cha mapinduzi bomu la ajira kwa vijana sasa limelipuka limelipukia ukawa na athari zake zinaonekana zikiiadhibu ccm vyama vya siasa viwe makini na ahadi zake katika kipindi hiki ili kuepuka uundwaji wa idadi kubwa ya mabomu yanayoweza kuligharimu taifa letu katika miaka ijayo « jk ukumbukwe kwa lipi yaongelewe masuala wasiongelewe watu »
2020-06-06T00:32:11
http://www.jamhurimedia.co.tz/bomu-la-ajira-kwa-vijana-linaitesa-ccm/
tunahitaji mandela wengine kuivusha afrika kiuchumi | gazeti la jamhuri jana julai 18 ni siku ya mandela inayoadhimishwa kila mwaka kama ilivyotangazwa na baraza kuu la umoja wa mataifa mwaka 2009 kutambua mchango wake katika kuutokomeza ubaguzi wa rangi afrika kuisini katika kuikumbuka siku ya mandela rais wa kwanza wa afrika kusini huru kuadhimisha kuzaliwa kwake mwaka 1918 hakuna kipya sana cha kuandika kwa vile yameandikwa mengi mno juu yake umaarufu wa mandela ni tangu wakati wa harakati zake za kuungoa utawala wa kibaguzi wa afrika kusini kuanzia miaka ya 1950 kufungwa gerezani kwa miaka 27 kuachiwa huru februari 11 1990 ushindi wake na kuwa rais 1994 hadi 1999 maisha yake ya kustaafu hadi kifo chake desemba 5 2013 katika makala hii ya siku ya mandela nimedokoa tu yale ambayo labda pengine hayakuwa yameandikwa sana nimeyasisitiza machache mengine ili kumuelezea mwanamapinduzi huyo wa kiafrika aliyeacha kumbukumbu isiyoweza kufutika duniani mbele ya jaji wa kikaburu quartus de wet akiwa anakabiliwa na mashitaka ya uhaini na kufanya hujuma dhidi ya utawala wa makaburu yanayobeba adhabu ya kifo mandela alisema kwa mujibu wa taarifa za kesi hiyo katika maisha yangu nimejitoa kwa ajili ya mapambano haya ya waafrika nimepigana dhidi ya ukandamizaji wa watu weupe nimepigana dhini ya ukandamizaji wa watu weusi nimetetea lengo la kuwepo kwa jamii ya kidemokrasia iliyo huru ambapo watu wote wataishi kwa amani na kuwa na fursa sawa nitaishi kutetea lengo hilo na kuhakikisha lifanikiwa lakini kama hapana budi niko tayari nife kuhakikisha linatekelezeka hiyo sentensi ya mwisho kuhusu kifo mawakili wa mandela wanasemekana walimsihi asiitamke ili kutowapa kisingizio kizuri majaji wa makaburu kumuhukumu kifo mpigania ukombozi huyo kwa vile ametamka yuko tayari afe lakini mandela aliisoma bila ya hofu katika kile kilichojulikana kuwa kesi ya rivonia kuchukua jina la kitongoji kimoja cha johannesburg kulikokokuwa na shamba la liliesleaf palikokuwa na maficho ya viongozi wa chama cha african national congress anc ilimchukua saa nne nzima mandela kutoa maelezo yake hayo ya utetezi aliyoyasoma aliyatayarisha mwenyewe kwa wiki kadhaa akiwa mahabusu kabla ya kufikishwa kizimbani sikanushi kuwa nilipanga njama za hujuma nimepanga njama hizo siyo kwamba ni mtu nisiye na hadhari au kwamba ni mtu wa kupenda kutumia nguvu la hasha nimepanga njama hizo nikiwa na akili timamu na baada ya kutafakari kwa kina hali ya kisiasa iliyoibuka kutokana na miaka kadhaa ya utawala dhalimu wa unyonyaji na ukandamazaji dhidi ya watu wangu ambao umekuwa ukiendeshwa na makaburu alisema mandela katika chumba cha mahakama kilichokumbwa na ukimya mkubwa mjini pretoria makao makuu ya utawala wa makaburu hakuna njia nyingine ila kutumia nguvu kwa kuwa njia za amani zimezuiwa kwa sheria aliongeza nakiri mara moja tena bila ya kusita kuwa mimi ni mmoja wa watu walioanzisha umkhonto wa sizwe (mkuki wa taifa kitengo cha kijeshi cha chama cha anc) na kwamba nilishiriki kikamilifu katika shughuli zake hadi nilipokamatwa agosti mwaka 1962 tulibaini kwamba bila ya kutumia nguvu hapatakuwa na njia yoyote kwa waafrika kufanikiwa katika harakati zao za kuutokomeza utawala wa makaburu unaowakandamiza njia za kufuata sheria na za amani za kuonyesha kuupinga utawala huo zimefungwa kwa kutumia sheria na tukafikishwa mahali ambapo ama tukubali muda wote kudhalilishwa au kwenda kinyume na serikali tukaamua kwenda kinyume na sheria baada ya maelezo hayo ya utetezi ya mandela jaji de wet alimtaka wakili wa utetezi fischer bram awaashirie washitakiwa waliobaki nao kutoa maelezo yao ya utetezi mmoja baada ya mwingine wengine waliyatoa kwa maandishi na kuyasoma wengine kwa kujieleza bila ya maandishi ni dhahiri utetezi wa mandela ulithibitisha ujasiri wa mwanamapinduzi huyo wakati huo akiwa na umri wa miaka 45 aliibua vugu vugu kubwa la kutetea wapigania ukombozi hao waliokuwa kizimbani lawama dhidi ya utawala wa makaburu zilitolewa afrika kusini kwenyewe kutoka nchi nyingine za afrika na kutoka kwa wapenda amani duniani kote maazimio ya umoja wa mataifa maandamano mawasiliano ya kidiplomasia vyote vilitawala kutetea ukombozi wa afrika kusini na kuwalaani makaburu kwa ushenzi wao wa ubaguzi wa rangi ukandamizaji na kutowatendea haki waafrika ilimchukua wiki tatu kabla ya jaji de wet kutoa hukumu nimeamua nisitoe hukumu ya juu kabisa akimaanisha ya kifo hata hivyo wapigania ukombozi hao wote walikwishaamua kutojishughulisha kamwe na kukata rufaa endapo watahukumiwa kifo jaji aliongeza hukumu kwa watuhumiwa wote ni kufungwa maisha waliokamatwa julai 11 1963 ni mandela (ingawa yeye hakukamatwa rivonia kwenye maficho ya viongozi wa anc kama walivyokamatwa wenzake ila aliunganishwa baadaye kwa kuwa alikuwa tayari gerezani mjini pretoria tangu oktoba 1962 kwa kutoroka na kurudi nchini kwa siri na kuchochea maandamano) walter sisulu govan mbeki raymond mahlaba andrew mlangeni elias motsoaledi ahmed kathrada denis goldberg lionel rust bernstein bob hepple arthur goldreich harold wolpe na james jimmy kantor goldberg (mhandisi aliyekuwa anatoa michoro ya majengo na miundombinu mingine ya utawala wa makaburu kwa ajili ya kushambuliwa bernstein (msanifu majengo na mwanachama wa chama cha kikomunisti cha afrika kusini) hepple goldreich (ambaye alikuwa mmiliki wa shamba la liliesleaf rivonia lililokuwa ni maficho) wolpe na kantor (shemeji yake wolpe) walikuwa wenye asili ya kiyahudi waliohukumiwa kufungwa maisha ni mandela sisulu mbeki mahlaba mlangeni na goldberg ambaye yeye alifungiwa gereza kuu la pretoria lililokuwa maalum kwa wafungwa wa kisiasa wazungu badala ya gereza la robben island walilofungiwa wenzake mandela alijifanya mtunza bustani na mpishi akiwa mafichoni shamba la liliesleaf rivonia kitongoji cha johannesburg goldreich na wolpe waliotoroka walipokuwa rumande baada ya kumhonga askari magereza baada ya kujificha kwenye kibanda kimoja mjini johannesburg ili msako utulie walivaa kama mapadre na kusafiri kwenda swaziland na baadaye katika eneo la koloni la bechuanaland (ambalo sasa ni sehemu ya afrika kusini) ambako walisafiri hadi kwenye kiwanja cha ndege kidogo walikopanda ndege ndogo hadi kwenye usalama jijini dar es salaam huko bechuanaland majasusi wa afrika kusini waliilipua ndege ambayo walidhani watoro hao wangeitumia kutorokea kumbe watoro hao walipangiwa ndege nyingine kwenye kiwanja hicho kingine kidogo bernstein aliachiwa huru mandela alikuwa amehamia kwenye shamba la liliesleaf katika kitongoji cha rivonia oktoba 1961 baada ya chama chake hicho kilichoanzishwa mwaka 1912 kupigwa marufuku na makaburu mwaka 1960 hapo alipojificha alijifanya mtunza bustani na mpishi akiitwa david motsamayi (david mtembezi) polisi walivamia shamba hilo na kuwafurusha na kuwatia mbaroni viongozi hao wa anc baada ya kudokezwa na mtoa habari mmoja alipotoroka afrika kuisini na kwenda nchi za afrika akianzia na tanzania ambayo wakati huo ni tanganyika mandela alisema katika ksi hiyo kuwa alipokewa na aliyekuwa waziri mkuu wa tanganyika julius nyerere baadaye alikwenda addis ababa na kukutana na mfalme haille sellasie wa ethiopia na kupata nafasi ya kukutana na viongozi wengine waliokusanyika hapo kwa mkutano wa baadhi ya nchi za afrika zilizokuwa huru wakati huo kiongozi wa kijeshi wa sudan jenereali abboud rais habib bourguiba wa tuninia rais ben bella wa algeria rais modibo keita wa mali rais leopold senghor wa senegal rais sekou toure wa guinea rais william tubman wa liberia na waziri mkuu wa uganda militon obote algeria alikaribishwa oudja makao makuu ya jeshi la nchi hiyo na kupewa mafunzo ya kijeshi alisema mafunzo hayo yalikuwa muhimu na ni kwa ajili ya maandalizi ili ashiriki bega kwa bega na wapiganaji wa anc wakati mambo yatakapoiva mandela alikaa gerezani robben island kwenye pwani ya mji wa capetown kwa miaka 18 akifanyishwa kazi ngumu akiruhusiwa tu kupata barua moja na mgeni mmoja kila baada ya miezi sita baadaye 1982 mandela na wenzake akina sisulu mlangeni mahlaba na kathrada walihamishiwa gereza la pollsmoor kwenye kitongoji cha capetown anayestahili kufanya majadiliano ni mtu aliye huru mfungwa hawezi kuingia mkataba akiwa gerezani kuna habari kuwa kuna watu walimshawishi atoroke lakini akabaini kuwa zilikuwa ni njama za kutaka kumwua wakati anatoroka wakati wimbi la ukombozi linazidi utawala wa makaburu ulifanya mpango kutaka mandela aachiwe huru kwa masharti kwamba aachane na harakati za kutumia nguvu lakini mandela alikataa katu katu kwa kusema anayestahili kufanya majadiliano ni mtu aliye huru mfungwa hawezi kuingia mkataba goldberg alikuwa mfungwa wa kwanza wa kesi ya rivonia kuachiwa huru februari 11 1990 mandela aliachiwa huru na rais wa utawala wa makaburu wa wakati huo fw de klerk na mwaka uliofuata akachaguliwa kuwa rais wa anc baada ya chama hicho pia kuruhusiwa kufanya shughuli zake katika mabadiliko ya kuleta suluhu afrika kusini baada ya majadiliano ya kuleta mfumo wa serikali isiyokuwa ya kibaguzi yaliyomhusisha mandela akiwa huru utawala wa makaburu ukasalimu amri na kuitisha uchaguzi mkuu wa kwanza wa kushirikisha watu wa rangi zote aprili 1994 anc ikapata asilimia 62 ya kura zote mei 10 1964 nelson mandela akatawazwa kuwa rais wa kwanza mweusi wa afrika kusini na kuuzika utawala wa kibaguzi wa makaburu uliodumu kwa takriban karne tano huo ndio ujasiri wa mandela baada ya viongozi wa kiafrika wa aina ya mandela nkrumah na nyerere ambao wote sasa ni marehemu kufanikiwa kuleta ukombozi wa kisiasa na kuutokomeza ukoloni mkongwe na ubaguzi katika bara hili afrika sasa inahitaji viongozi watakaoleta mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kuuzika ukoloni mambo leo unaolitafuna bara hili kutoka kwa mandela tumepata somo la kutosha kuwa maendeleo makubwa ya kiuchumi katika afrika yanawezekana na yataletwa na waafrika wenyewe kwa kujiamini kujituma kujinyima na kufanya kazi kwa bidii na kutumia rasilimali lukuki za bara hili tunazoziweka sisi wenyewe kwenye mikono ya waporaji kutoka nje kama ukombozi wa kisiasa uliwezekana inatubidi tuwachague akina mandela wengine watakaotuongoza kufanikisha maendeleo ya kiuchumi aina ya viongozi wengine wanaojinufaisha wenyewe na kujilimbikizia mali wakiwanyanyasa na kuwakandamiza wananchi wao wanyonge huku wakiwaenzi na kuenziwa na wakoloni wetu wa zamani hawatufai wanatupotezea muda saidi nguba ni mwandishi wa habari mkongwe nchini aliyepata kuwa mhariri wa magazeti ya uhuru na mwananchi na amestaafu akiwa msaidizi wa waziri mkuu masuala ya habari simu 0754388418 baruapepe sanguba@gmailcom previous tusisahau historia hii (4) next india israel zina maslahi africa lady gaga kutumbuiza mtv
2019-04-21T00:32:34
http://www.jamhurimedia.co.tz/tunahitaji-mandela-wengine-kuivusha-afrika-kiuchumi/
dk slaa aligoma kwenda lushoto kwasababu ya urafiki na mzee makamba uchaguzi mkuu 2010 jamiiforums dk slaa aligoma kwenda lushoto kwasababu ya urafiki na mzee makamba uchaguzi mkuu 2010 thread starter kigoma mjini katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 wagombea ubunge wa majimbo ya mlalo ndg charles kagonji na wa jimbo la lushoto mjini ndg deo kisandu kwa tiketi ya chadema dk slaa aligoma kwenda msjimbo hayo kutokana na kuogopa kumwangusha rafiki yake yusuf makamba ambae waliongea kutokufika majimbo hayo hata hivyo slaa aliacha kwenda lushoto mara mbili kinyume na ratiba na kushuka korogwe vijijini ambayo haikuwemo kwenye ratibapamoja na deo kisandu kumfuta mombo na gari lakini slaa aliendelea kuweka msumeno nashangaa sana wenje anapomlaumu zitto kuwa hajamnadi viongozi wote cdm ni mamluki baada ya uchaguzi mkuu2012 babu ndiyo akaenda lushoto kwakuwa hakuna uchaguzi kwanza yusuph makamaba hajawahi kuwa rfiki na dr slaa hata siku moja mwak 2010 tar 11/9/2013 alimtukana dr slaa kuwa anakimada na dr slaa alimjibu kwa kumtaka atoe sababu za yeye kuingia katika siasa na kuacha kazi yake ya ualimu na hatimaye makamba kumwomba msamaha dr slaa lakini bado dr slaa alikwenda mjini tanga katika majimbo yote ya uchaguzi kuomba kura akiwa mgombea wa urais kanye kwanza ndio uje hapa na hoja zako mana naona haja ikikubana unalopoka tuu likes mwakalinga y r kidevu okinawa and 1 other person poop pooop poooooppooping hii ishachucha kabla hata siku haijaisha jaribu nyingine acha uongo bro babu aliishia korogwe mheza na tanga mjini basi usiwadanganye watu makamba na slaa ni marafiki wakubwa nje ya siasa hivi yusuph makamba aligombea cheo gani kwenye hayo majimbo mawili just curious kisandu ameishasahaulika kwenye siasa za bongo hii style ya kutaka kurudi kwa mgongo wa dr slaa haitamsaidia after all tumeishawazoea wanasiasa uchwara wa bongo wengi wao ili wajulikane lazima wapitie mgongo wa dr slaa magilapeak 129 16 35 hakufika lushoto kutokana na hali ya hewa ya mawingu na mvuana kule kuna milima mingi nayeye alikuwa anatumia chopa isingekuwa salama wao kwenda nilikuwepo lushoto mjini kwa shughuli zangu na watu walikuwa wanamsubirina hali ya hewa kwa kweli ilikuwa sio nzuri likes mhalisi magilapeak said wewe acha uongo hiyo ni propaganda hakukuwa na mawingu wala mvua na kama ni hivyo mbona alifwata kwa gari akagoma kwenda na hapa angalia kwao na zito kabwe likes gize and t1000 he dr na makamba tenawanauhusiano gani kwani dr slaa alishawahi kuimba kwaya jeshini ndo leo nasikia makamba na dr slaa ni marafiki wewe ndio muongo mie nilikuwepo ngoja nikuulize lushoto unakujua na siku dr slaa anakuja ulikuwepo lushoto inasaidia nini kwani hata kama ni marafiki au maaduije uhusiano wao unakuwekea msosi mezani kunya ameshakunya ila amesahau tu kutawaza labda umshauri akatawaze kwanza pamoja na kuwepo kwa hali mbaya ya hewa kiasi cha kutaka kuleta ukakasi ktk zoezi zima la kampeni dr aliweza fika maeneo mengi tu ndani ya lushoto kigoma mjini said ni kweli dr slaa hakufika ktk jimbo langu la lushoto kwasababu ambazo binafsi hazikuwa na msingi wowote aksante kigoma mjini kunikumbusha drslaa alienda majimbo ya korogwemheza na tanga mjini tu na huo ndio ukweli halisi hali ya hewa ilikuwa nzuri sana ila visingizio vya kuwahi mdahalo itv naungana na mtoa mada mimi ndio nilikuwa mgombea na dk hakuja narudia tena dk hakuja acheni kupotosha jamani
2019-01-23T10:18:40
https://www.jamiiforums.com/threads/dk-slaa-aligoma-kwenda-lushoto-kwasababu-ya-urafiki-na-mzee-makamba-uchaguzi-mkuu-2010.569974/
nyumbani > bidhaa > siri za pump parts kupunguza bomba (jumla ya 24 bidhaa kwa siri za pump parts kupunguza bomba) hebei shengdebaolong international trading coltd ni moja ya bidhaa za siri za pump parts kupunguza bomba zinazoongoza nchini china ni kiwanda na muuzaji aliye maalumu katika viwanda siri za pump parts kupunguza bomba toa ubora wa juu siri za pump parts kupunguza bomba kwa bei ya bei nafuu tag siri za pump parts kupunguza bomba pomba halisi ya kuvaa pipe ya kupunguza pumu pembe ya zege tube moja ya red tube siri za pump parts kupunguza bomba jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa siri za pump parts kupunguza bomba jumla kwenye hebei shengdebaolong international trading coltd na kupata ubora wa juu siri za pump parts kupunguza bomba moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china siri za pump parts kupunguza bomba na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2019-09-17T02:52:37
http://sw.sdblpumpparts.com/dp-siri-za-pump-parts-kupunguza-bomba.html
الموضوع haraka ifwatilieni moja katika ma alama ya saa ambao itaonekana kwa kukamilika mwezi wa shaban 1438h bada kuzama jua la jumaine 952017 kabla tarehe yake ilio hadidiwa kwa sabab 13022018 0446 pm الترتيب #1 الرقم والرابط 281413 أدوات الاقتباس نسخ النص haraka ifwatilieni moja katika ma alama ya saa ambao itaonekana kwa kukamilika mwezi wa shaban 1438h bada kuzama jua la jumaine 952017 kabla tarehe yake ilio hadidiwa kwa sababu ya tokeo linalo tokea kukaririka kupata jua mwezi inao'sababisha kufura miyezi mipya yani kutokezea miyezi mipya ya mwezi mkubwa kuliko ile tarehe iliofanywa nayo eee lana ya allah juu ya nasser muhammad al'yamani ikiwa ni mzushi juu ya allah ya kwamba jua limepata mwezi ama lana ya allah kwa yule ambae imebainika kwake haki akakanusha akafanya kiburi alimam nasser muhammad al'yamani (kulingana na kalenda rasmi ya mama wa vijiji) http//wwwmahdialummacom/showthreadphp30950 bismillah al'wahid al'qahar na sala na salam juu ya al'nabi aliochaguliwa mtume wa ukumbusho al'quraan al3adhim na nitaisema kwa ufupi mno ((hakika ya alama ya kupatwa ya mwezi huu wa shaban nayo ni kupatwa pakubwa na itapatikana pamoja nayo zaidi kutetanisha katika falaki ya anga na bayana ya zaidi kwenye wakati wake)) na nacho taka kusema mimi ndio al'imam al'mahdi nasser muhammad al'yamani nasema kwa wote wanasayansi wa kifizia ya falaki ya anga natoa kiapo qasam billah al3adhim hakika nyinyi munajua kua haitakiwi kukamilika ( albadar) mwezi kua timamu kamili kabla kutokezea usiku wake wa ki falaki kisharia kwake sawa imetimu kuonekana mwezi mpya wa mwezi katika mashariki ya ulimwengu ama magharibi yake lakini nyinyi mutajua kwa kujua kwa yakini kupitia kutimu ( al'badr) mwezi kua kamili wa shaban wa mwaka wenu huu 1438 kwamba mwezi mpya wa shaban hatima umezaliwa baada ya adhuhuri siku ya jumainne wala sio alasiri siku ya jumatano yani katika sio siku ya kuzaliwa kwake ya kifalaki inaojulikana kwa wote wanasayansi wa falaki ya anga katika watu wote na wallah watajua kwa hayo yule kiwango cha chini katika ilimu katika watu kupitia kwa kutokezea mwezi mpya katika mwisho wa rajabu alfajiri ya jumainne kua haikubaki katika umri wa mwezi mpya ispokua masa katika mchana wa hio siku yani mchana wa jumainne imikusanya baina ya badhi ya mwisho wa hali iliobaki katika mwezi rajabu na mazazi ya mwezi mpya wa shaban baada ya adhuhuri siku ya jumainne lakini mwezi mpya wa shaaban ulikua katika hali ya kupatwa pakubwa haijafanyika kama mfano wake kabisa kutoka alipo umba allah mbingu na ardhi na naelewa nacho sema na kwajili ya hivo wataenda kupata watu mpaka yule dhaifu wa macho wataenda kuona mwezi wa shaban umefikia ukamilifu wa al'badr mwezi kua kamili kikamilifu mwisho wa mchana wa jumainne usiku wa jumatano wala sisemi siku ya jumatano bali mchana wa jumainne usiku wa jumatano na baina ya tarehe ya al'mahdi al'muntadhar kwa kuzaliwa mwezi mpya wa shaban na tarehe ya wanasayansi wa falaki ya anga ni siku moja na masa ya kuhisabu na hio tafauti bainayetu katika wakati wa tarehe ya kuzaliwa mwezi mpya wa shaban kifalaki ya anga kwa mana kua hakika usiku wa nusu siku ya kwanza katika masiku ya kukamilika mwezi kua kamili timamu kulingana na tarehe ya al'imam al'mahdi nasser muhammad al'yamani hatimai itakua usiku wa jumatano kwa'kua usiku wa jumatano utakua albadr umikamilika kutoka siku ya kwanza za masiku ya mwezi kua kamili na ataufanya karibu allah mpaka madhaifu wa macho kua kipande cha mwezi kua imekamilika kwa nisba 100 kwa 100 na kwa allah hoja iliofikisha basi hata kama mtu macho yake tatu kwa sita ataiona kweli usiku wa mwezi kua kamili ya kwanza wa mwezi shaban kiyasi yakua badar ya usiku wa jumainne karibu iwe kamili lakini mimi najua kua mwezi mpya wa rajabu inazali itachomoza na ipambazuke alfajiri wa jumainne lakini nayo haikubaki katika omri wa mwezi mpya wa rajabu kwenye alfajiri wa jumainne ispokua masa machache kutokana na mchana wa jumainne ndio ingie kwenye kupotea na kuzaliwa mwezi mpya wa mwezi wa shaban na ushuhuda ulio wazi ulio baini kwa walimwengu usiku wa kutimu albadr timamu mwezi kua kamili mwesho wa mchana wa jumainne usiku wa jumatano na suali linalo jitokeza lenywe kwa wote wanasayansi wa falaki na kutoka lini inafika mwezi albadar mwezi kua kamili timamu ya siku ya kwanza katika sio tarehe siku ya mazazi yake kwa'kua mwwzi mpya wa shaban katika hisabu zenu za ki falaki itazaliwa alasiri jumatano usiku wa alhamisi na tarehe ya mazazi ya mwezi mpya ya al'imam al'mahdi alasiri ya jumainne usiku wa jumatano na jee munaweza kudanganya watu ambao lilozama juu la jumainne kwao usiku wa jumatano kua usiku wa jumatano ndio usiku wa nusu ya mwezi na ama usiku alkhamisi nayo ni siku ya pili ya albadar mwezi kua kamili na mukidanganya kusema orongo basi njoni tufanye (ibtihal) kulaniana kwa allah tufanye lana ya allah juu ya warongo wanao fanya kiburi bila ya haki wale wanao ficha ushuhuda kwao kutoka kwa allah kisayansi kiyakini na jee inakua sawa wale wanao jua na wale wasojua basi hoja kubwa kwa wanasayansi wa falaki ya anga ya fizikia kwenye jambo la kupatwa pamoja ya kua ni hoja juu ya watu wote kua itatimu mwezi albadar mwezi kua kamili usiku wa jumatano bada kupita mchana wa jumaine pamoja yakua hawakuona mwezi mpya wa shaban baada kuzama jua la jumainne usiku wa jumatano moja yoyote katika watu ulimwenguni wala pia nasser muhammad al'yamani ispokua mimi najua kutoka kwa allah yale musoyajua basi hio ni alama ya kiulimwengu iko dhahiri imebarizi kwa ulimwengu huwenda wakawa wachaji na anao waonesha allah katika ma ishara ispokua ni kubwa kuliko mwenzake na atahukumu baina ya al'mahdi al'muntadhar na mashetani watu mbora wa kufafanua wazi wazi allah mola mlezi wa walimwengu na enyi ma3ashara ya ma alanssar wale ambao wanajahidi kwa kutangaza ulinganizi katika internet ya ulimwengu jihadi kuu sikizeni na muelewe na mutie akili hili jambo juu yenu kurakiz peke kwa kubalighisha ma bayana ya mwezi mpya wa shaban wa mwaka wenu huu 1438 na focus juu yake peke na kubalighisha kwa wote viongozi na wafalme na ma'amiri na ma raisi wa warabu na waislamu na ulimwengu kupitia mtandao wa internet ya ulimwengu na kadhalika kwa wote wanasayansi wa kifalaki ya anga katika watu wote kupitia entrnet ya ulimwengu na kadhalika kwa wanao toa fatwa katika miji ya kislamu katika sehemu tafauti katika mataifa ya kiarabu na ya kiajemi na kadhalika kwa wanazuoni wa dini wanao julikana mash'huri na kadhalika katika ma ukurasa tafauti za kijami katika facebook na kwingineko ili waone ma bayana ya mwezi mpya wa shaban na mugawanye rakaza zenu vile mutakavo weza ili kubalighisha ili kupata udhuru kutoka kwa mola mlezi wenu na huwenda wakawa wacha'mungu na salam juu ya mitume na alhamdulillah rabi al3alamin « anarudisha jibu alimam almahdi kwa nduguyangu alamiri hivi hujuwi kua (alwasila) ni daraja karibu kwa arshi ya al'rahman katika bustani ya juu kwenye janat al'na3im | haraka kwa wote viongozi wa warabu na wa'ajami na mataifa yote ya binadam twatangazia lini usiku wa nusu ya shaban kwa mwaka wenu hu 1438 na wala hatujuwi kama hi bado ni onyo ama sha »
2020-04-09T20:28:51
http://www.mahdi-alumma.com/showthread.php?34033-Haraka-Ifwatilieni-moja-katika-ma-alama-ya-saa-ambao-itaonekana-kwa-kukamilika-mwezi-wa-shaban-1438-h-bada-kuzama-jua-la-jumaine-9-5-2017-kabla-tarehe-yake-ilio-hadidiwa-kwa-sabab&s=4cab27e5dd18fc7ba9878228efcd9d16
michuzi blog ndama mtoto wa ng'ombe ahukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya mil 200 ' if(imglength>=1) { imgtag = ' ndama mtoto wa ng'ombe ahukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya mil 200 hukumu hiyo imetolewa leo na hakimu mkazi mkuu wa mahakama hiyo mhe victoria nongwa amesema mshitakiwa anastahili faini kwa kuwa ameipunguzia garama mahakama kuhusu shughuli za uendeshaji wa kesi hiyo ikiwemo gharama za kuleta mashahidi katika shtaka hilo ameongeza kuwa sheria hiyo ipo kwa ajili ya kuonesha kuwa makosa kama hayo hayatakiwi kumnufaisha mkosaji hivyo atatakiwa kulipa faini ya milioni 200 na asipolipa ataandikiwa hati ya kifungo cha miaka mitano jela friday june 09 2017 ~ copyright michuzi blog habari mahakama ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2017-11-22T03:38:51
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/06/ndama-ahukumiwa-kwenda-jela-miaka.html
aliyepandikizwa figo aruhusiwa kutoka hospitali dar24 7 hours ago comments off on aliyepandikizwa figo aruhusiwa kutoka hospitali mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji wa kihistoria wa kupandikizwa figo ameruhusiwa kutoka hospitalini akiwa na afya njema bibi prisca mwingira ambaye alifanyiwa upasuaji mkubwa na wa kwanza kufanyika hapa nchini alipandikizwa figo novemba 21 mwaka huu katika hospitali ya taifa muhimbili (mnh) chini ya timu ya wataalam wa mnh kwa kushirikiana na watalaam wa hospitali ya blk ya nchini india akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini bibi prisca aliwashukuru watalaamu wote walioshiriki katika kumuhudumia na pia ametumia fursa huyo kumuomba rais john magufulu kuendelea kuisaidia mnh ili kuhakikisha huduma za kibingwa wa juu zinaendelea kutolewa katika hospitali hiyo kipekee namshukuru mwenyezi mungu madaktari wauguzi uongozi wa hospitali ya muhimbili pamoja na serikali kwa kufanikisha matibabu yangu nilisumbuliwa na ugonjwa wa figo takribani mwaka mzima na kuingia katika matibabu ya kuchuja damu lakini hatimaye leo kaka yangu amejitolea figo yake moja na nimewekewa mimi kwa kweli namshukuru sana amesema mwingira naye daktari bingwa wa magonjwa ya figo dkt jackline shoo wa muhimbili alisema upasuaji wa kupandikiza figo ulitumia takribani saa nne na zoezi hilo limekamilika vizuri na mgonjwa anarejea nyumbani huku afya yake ikiwa salama mgonjwa anaondoka hospitalini akiwa mzima salama kabisa anaenda kujumuika na familia yake ataishi kama binadamu wengine ingawa kuna masharti atatakiwa kuyafuata kama alivyoshauriwa na wataalam amesema dkt shoo pia mkuu wa kitengo cha mawasiliano na huduma kwa wateja aminiel aligaesha amesema upasuaji huo umegharimu shilingi milioni 21 na endapo mgonjwa angepelekwa nchini india matibabu yake yangegharimu shilingi milioni 80 hadi shilingi milioni 100 serikali kuangalia upya mfumo wa elimu ya juu habari 21 mins ago comments off on video gsm yazindua promosheni mpya habari 35 mins ago comments off on mama wema adai kudhalilishwa na mwanae habari 45 mins ago comments off on wolper akiri kupenda dogodogo
2018-04-20T00:57:43
http://dar24.com/aliyepandikizwa-figo-aruhusiwa-kutoka-hospitali/
washiriki wa kudumu kipindi cha malumbano ya hoja | jamiiforums | the home of great thinkers washiriki wa kudumu kipindi cha malumbano ya hoja discussion in 'jukwaa la siasa' started by kibunago oct 25 2012 kuna washiriki fulani wanaojirudia rudia kila kipindi cha ‘malumbano ya hoja itv’ kama vile ibrahim dimoso (aka mwananchi wa kawaida) ole ndg aweda ndg ngowi nk je ina maana hao ndio ‘role models’ wa malumbano ya nguvu au kwamba wao ndio wenye ujuzi mpana wa kila aina ya mada na uzoefu (jack of all trades) au nayo imekuwa forum fulani ya kuuza sura mtu anaweza kuwa mzuri katika eneo fulani lakini akachafua sana kwa kuchangia katika eneo asilokuwa na utaalamu nalo kwa undani mfano dimoso kukataa kuwa kondomu si chochote katika kinga dhidi ya ukimwi ni mchango unaoweza kuwa janga la upotoshwaji sana kwa taifa hali halisi iko wazi juu ya uambukizwaji magonjwa ya zinaa (stis) kama kaswende nk kati ya miaka’ya 1980 na kurudi nyuma na zile za miaka ya 1990 kwenda mbele ni kweli hatutegemei kuwa na watu wajuzi tu katika kipindi kama hicho cha malumbano lakini pia hatutegemei kuwa na washiriki fulani ambao wapo karibu kila kipindi bila sababu za msingi nadhani tatizo lipo kwenye kuwapata hao washiriki na huenda ikawa na itv wenyewe hawazitangazii hizi nafasi lakini kama ulivyosema huwezi ukawa unajua kila kitu mambo mengine ni ya kitaalam zaidi sio ya kuporoja tu hasa hayo ya kondom ni very sensitive issue inayoambatana na mambo ya kijamii itikadi nk kuna washiriki fulani wanaojirudia rudia kila kipindi cha ¡®malumbano ya hoja itv¡¯ kama vile ibrahim dimoso (aka mwananchi wa kawaida) ole ndg aweda ndg ngowi nk je ina maana hao ndio ¡®role models¡¯ wa malumbano ya nguvu au kwamba wao ndio wenye ujuzi mpana wa kila aina ya mada na uzoefu (jack of all trades) au nayo imekuwa forum fulani ya kuuza sura hali halisi iko wazi juu ya uambukizwaji magonjwa ya zinaa (stis) kama kaswende nk kati ya miaka¡¯ya 1980 na kurudi nyuma na zile za miaka ya 1990 kwenda mbele uko sahihi kuna watu kila kipindi hawakosi na kupretend they know everythg its absurd wameanza kukifanya kipindi kiwe kama sport kizaazaa ambapo members ni walewalehalafu kila ishu wamafanya siasamtu anachangia ishu ya aids lakin ana base kwenye ishu ya uzalendo wat a joke nadhan wafanye mchakato wa kushoot vipindi na nje ya dar itasaidia kuona watu wapya na michango tofauti na kupunguza tabia ya baadh ya watu kukigeuza kipindi kama sehemu yao ya kujipatia umaarufu 4political reasons tatizo wanaoendesha vipindi vingi vya televisheni na redio wamekariri kuwa watanzania wako dar tu angalia hata maoni kwenye kipima joto itv kila siku maoni yanachukuliwa kutoka kwa wakazi wa dar tu wakati wana waandishi/wawakilishi wao kila mkoa huu ni upuuzi na ni janga la taifa na linaongeza ufa na matabaka miongoni mwa watanzania watafanya nini zaidi ya hapo elimu yao haiwafanyi wawe wabunifu na kwamba uwezo wao kufiri umefikia hapo a jack of all trades is a master of non kipindi kinakera sana kuanzia waendeshaji wa kipindi na wageni wanaoalikwa ni kelele tu wajuzi wa kila kitu wasiojua kitu
2018-01-16T10:21:48
https://www.jamiiforums.com/threads/washiriki-wa-kudumu-kipindi-cha-malumbano-ya-hoja.344615/
dc sabaya amkosha rc mghwira mapato mkuu wa mkoa wa kilimanjaro dk anna mghwira amempongeza mkuu wa wilaya ya hai lengai ole sabaya kwa kubuni na kuboresha vyanzo vya mapato wilayani humo dk mghwira alitoa pongezi hizo jana alipozungumza na watumishi wa halmashauri ya wilaya hiyo akisisitiza kuwa halmashauri yoyote haiwezi kujiendesha pasi na mapato alitaja baadhi ya maeneo ambayo serikali wilayani humo imeboresha kuwa ni pamoja na upatikanaji wa mapato katika eneo la utalii la chemchemi ya maji moto maarufu chemka na stendi kuu ya mabasi bomang'ombe akiwa katika kijiji cha mijongweni dk mghwira aliwataka maofisa kilimo na mifugo wa wilaya kupiga kambi ya siku 15 kijijini huko ili kuwaelimisha wananchi namna bora ya kulima kilimo chenye tija na ufugaji wa kisasa ole sabaya kwa upande wake aliwatahadharisha viongozi wa serikali ya kijiji hicho kuhusu matumizi ya mali za wananchi katika taarifa yake kwa dk mghwira ole sabaya alikitaja kijiji hicho kuwa ni kati ya vilivyopokea fedha za miradi mikubwa ukiwamo wa sh milioni 200 zilizotolewa na shirika la maendeleo ya japan (jica) awali akitoa taarifa ya halmashauri kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya hai jacob muhumba alimweleza dk mghwira kuwa halmashauri hiyo ipo mstari wa mbele kutekeleza maagizo ya mkoa katika kuwahudumia wananchi wahoji manufaa gawio la mashirika
2020-05-28T11:32:09
https://www.ippmedia.com/sw/node/72141
tot plus wajifua kuipua nyimbo tatu mpya ukiwemo wa kumuunga mkono jpm katika vita ya kutetea rasilimali za nchi | tanuru la fikra blognews home uncategories tot plus wajifua kuipua nyimbo tatu mpya ukiwemo wa kumuunga mkono jpm katika vita ya kutetea rasilimali za nchi
2018-01-18T02:17:28
http://www.tanurulafikra24.com/2017/11/tot-plus-wajifua-kuipua-nyimbo-tatu.html
mamilioni yafukuliwa shambani kwa waziri wa zamani | gazeti la mwanahalisi na zakaria malangalila imechapwa 30 november 2011 waziri wa kazi wa zamani katika serikali ya rupia bandah austin liato amejikuta matatani baada ya vyombo vya upelelezi vya zambia kufukua fedha taslimu kiasi cha kwacha 21 bilion (dola 412000 au tsh 700 milioni) zilizokuwa zimezikwa katika shamba lake la mwembeshi karibu na lusaka haikuweza kuelezwa mara moja kwa nini waziri huyo wa zamani ambaye alikuwa swahiba mkubwa sana wa rais wa zamani rupia banda afukie fedha hizi nyingi shambani mwake badala ya kuziweka benki hata hivyo wapelelezi wanahisi kwamba fedha hizo zilipatikana kwa njia ya kifisadi na kwamba zilifukiwa ili baadaye kutafuta namna ya kuzisafisha (money laundering) inspekta jenerali wa polisi martin malama aliwaambia waandishi wa habari mapema wiki hii kwamba fedha zilikutwa zimefukiwa ndani ya jengo moja ambalo ujenzi wake ulikuwa ukiendelea katika shamaba la liato ijp malama alisema fedha hizo taslimu katika noti za viwango vya kwacha 20000 na 50000 na katika mabunda ya kwacha milioni 25 kila moja zilikuwa zimezikwa katika jengo hilo ambalo liliwekewa vyombo vya kutahadharisha wezi na zilikuwa katika makasha mawili ya chuma ya kuhifadhia fedha (safes) na juu yake ikajengewa zege ya unene wa kiasi cha sentimita 30 aidha wapelelezi walikuta hati za kuingizia fedha benki (bank slips) kutoka benki kadhaa zikiwemo bank of zambia finance bank na benki ya zanaco za tarehe kuanzia machi 2010 na machi 2011 iliwachukua polisi zaidi ya saa mbili kuvunja hiyo zege na kuzifikia fedha hizo ijp malama amebainisha kwamba kukamatwa kwa fedha hizo haukuwa mkakakati wa kuwalenga mawaziri na maafisa wengine wa serikali ya zamani bali ilikuwaâ kutokana na zoezi tu la kawaida linaloendelea katika kupambana na ufisadi pia alitoa wito kwa viongozi wa umma kuacha mara moja vitendo vya uporaji wa mali za umma bila kujali hali ya umasikini inayowaandama wazambia walio wengi alisema polisi itachunguza chanzo cha fedha hizo kwani namna zilivyohifadhiwa yaonyesha hazikupatikana kwa njia ya halali na kwamba mhusika atahojiwa mara moja wakati huo huo rais wa nchi hiyo michael sata katika taarifa yake kwa vyombo vya habari amesema amepata habari hiyo kwa mshtuko mkubwa †kwamba kiasi kikubwa hicho cha fedha kilikutwa kimefichwa kwa namna ya ajabu na isiyo ya kawaida katika shamba la waziri wa zamani alisema kufichwa kwa fedha hizo kunaleta maswali mengi ya namna zilivyopatikana alisema inanivunja moyo kuona kwamba mtu anaweza kwenda mbali na kufanya hivyo iwapo fedha zilipatikana kwa njia ya halali hata hivyo habari nyingine zimebainisha kwamba mawaziri kadhaa wa serikali ya zamani ya chama cha mmd wanachunguzwa na vyombo vya upelelezi kutokana na utajiri waliojilimbikizia wakiwa madarakani fedha za wakubwa zaanza kukamatwa tanzania inamsubiri ‘rais sata’ wake sitta uchaguzi makamba slaa lowassa mkapa rostam ccm pinda chenge cuf richmond chadema kikwete dowans
2019-08-24T02:19:16
http://www.mwanahalisi.co.tz/mamilioni_yafukuliwa_shambani_kwa_waziri_wa_zamani
makanisa misikiti na mashule changamkieni haraka hela za lowassa kabla ya 2015 jamiiforums makanisa misikiti na mashule changamkieni haraka hela za lowassa kabla ya 2015 kwakua edward ngoyai lowasa ameonyesha uchu mkubwa wa kwenda magogoni kwa kutumia kila mbinu ziwe safi au chafu licha ya kwamba mwaka 1995 baba wa taifa mwalimu nyerere alimkataa kutokana na utajiri mkubwa wa kifisadi aliokua nao licha ya umri mdogo tu wa miaka 42 na kwakua lowasa ameishatumia hela nyingi za kifisadi kuhonga wajumbe wengi waliofanikisha kujaza watu wake kwenye chaguzi zilizoisha za nec wilayani na kwavile alitumia pia hela nyingi hadi kujaza pia watu wake kwenye jumuia tatu za ccm ie wazazi wanawake na vijana na kwakua pia alitumia mamilioni kibao kuhakikisha kwamba mh membe anashindwa kufurukura kwenye top ten ya nec ili kumpunguzia lowasa kiwingu cha kubeba bendera ya ccm 2015 ingawa lowasa aliangukia pua katika jitihada hizo na kwakua lowasa ameona njia pekee itakayomfanya awezekukubalika ni kutumia ufukara wa watanzania na kuendesha harambee nchi nzima huku akihakikisha habagui kwani kwakua yeye ni mkristo akisaidia makanisa tu atakosa kura za waislam hivyo akaamua kusaidia ujenzi wa misikiti mbalimbali lowasa pia anajua kwamba ili kukubalika ni bora asaidia ujenzi wa shule kwani hilo ni kundi muhimu mbinu hii pia ilikua ikitumiwa sana na rais wa zamani wa kenya mh da moi ambae alikua akipenda sana kwenda kwenye mashule na kutoa michango ya mara kwa mara na kusafiri na viongozi wa wanafunzi kwenda nchi za nje hii yote ilikua ni janja yake ili akubalike na wanafunzi hivyo basi rai yangu kwa makanisa misikiti na mashule ni kwamba mchangamkie fasta hizo hela kwani mwisho wake ni 2015 nec ikimtosa huyu bwana hamtamuona tena akiendesha harambee hizi sawatumeskiaila hakuna mwenye mpango na mafisadi wa aina yoyote ile vip umetumwa na membe mleta muzi nakusihi ukaikamilishe hii issue imekaa kiuzushi kuliko kimantikihata hivyo hii sanaa uliyoleta imesaidia kukubainisha kuwa umekurupuka au hapo walipokupa desa kuna maandishi hujaweza soma vizuri pengine hiyo miandiko ya watu wengine huo utajiri aliojilimbikizia wakati huo si aliulimbikiza akiwa kada wa ccm ina maana ukiwa kada wa ccm basi unaruhusiwa kuiba mali ya wananchi utakavyo ili mradi huna mpango wa kwenda ikulu kumbe ukiwa ndani ya ccm basi iba utakavyo hakuna chombo cha dola kitakachokugusa ili mradi hutofautiani na malengo ya kisiasa ya mkuu wa nchi tufwile kama nafasi zote nyeti za chama zimeshikiliwa na watu wa mtu mmoja (el) ndani ya chama sasa hicho ni chama cha siasa au genge la mafia sasa ccm kina uhalali gani wa kuwa chama cha siasa kama viongozi wake wengi wakuu wamenunuliwa ili kutimiza azma ya mtu mmoja kwa hali hii ndani ya hiki chama basi ili uendelee kuwa mwanachama basi lazima uwe na kichwa cha mwendawazimu watanzania tuinusuru nchi yetu na chama hiki hatari kinachoruhusu wanachama wake kuiba watakavyo ili mradi hawana mpango wa kwenda ikulu na kinachonunuliwa na watu wachache kwa ajili ya manufaa ya watu hao wachache badala ya kuangalia maslahi ya taifa kutokana na uozo huu ndani ya hiki chama kwa kweli hawafai hata kuongoza kundi dogo la kondoo shime watanzania na hasa vijana ifikapo 2015 hakikisheni kwamba ccm hakipati hata kura moja ili tukitose chama hiki kinachotutafuna siku nenda siku rudi na kukichimbia kaburi la milele biznocratz mbona hujasema tusiipigie kula ccm na tupigie chama kipi mkuu kwa wenye maadili ya kiroho hawana haja ya kuchangamkia pesa chafu hata kama pesa ni tamu lowassa amepigwa laana ya kuota urais ili ajifilisi mwenyewe mungu azidi kumpofusha amwage kila senti aliyotuibia ffather of all umeniacha hoiiii mimi siyo mtabiri ila kuna uwezekano mkubwa sana wa lowasa kuingia magogoni endapo tutaendelea kumpa coverage mbaya au nzuri nenda kwenye issue gamba we unavyomwazia mleta uzindivyo sivyo alivyobali ndivyo ulivyo weweulizoea kupewqa madesaau kupewa ideandio maana huamini kwamba mleta uzi kaleta uzi kwa akili na uwezo wake mwenyewenyie ndio mliojaza kinyesi na makamasi kichwani badala ya ubongoaina ya william malechela nataka watanzania waelewe kwanza umuhimu wa nchi yetu kutoka kwenye makucha ya hatari ya ccm hili ndo jambo la msingi kwa sasa na nataka nielekeze nguvu zangu kwenye hilo kwa wakati huu sasa naamini kwamba wakielewa vyema kwa nini ccm haifai hata kidogo kupewa jukumu la kuongoza nchi yetu basi watatumia elimu hiyo kuchanganua vyama na wagombea wao watakaojitokeza kugombea urais mwaka 2015 na kufanya uamuzi sahihi kwa maendeleo ya taifa letu wingi wa shule ni shule hakuna mashule napenda kiswahili iwapo itaonekana hata kwenye hayo mavyama mengine ya upinzani mambo ni yaleyale na watanzania ni walewale tufanyeje mkuu hata miskitini na makanisan shetan mara nyingine hutajwa kuliko mungu hayo yote ya nini wewe si bora ukajishughulisha na kama ukichoka soma vitabu kwa wingi waweza kupata kitu kikubwa cha maana katika maisha yako kuliko kuhisihisi vitu visivyo na maana yoyoteila umejitahidi kuwasilisha kama uko bungeni vile jemedari mkuu mpakaziwa kila lililobaya wakishinda ni wa el hao amejaza wajumbe wote wakwake jk atapigiwa kura za maruwani mmh kashinda kwa kishindo aaaaah mipango ya el haikukaa vizuri membe atakiona leo eeeeh kashinda oooooh kaokolewa na familia ya jk jamani mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni ben mkapa anasema tuache kuishi kwa hisialkn kama unamtu wako unayeona anafaa nafasi ya urais na el unaona ni kikwazo kwa mtu wako basi muogope mungu usipake watu matope kwa faida yako mwisho el najua huwezi kukata tamaa ya malengo yako na kuacha kusaidia jamii kama unaweza jitoe zaidi na zaidi jamii yenye kuhitaji ni kubwa mno how wakati ni wazi kuwa lowasa anagawa hela kwa target ya 2015 wacha watu wazile hela zao huyu fisadi ana hizo hela za wizi siku nyingi ( rejea kauli ya nyerere ) the question is why anazigawa this time fungua kichwa chako kaka bora umenisaidia kufafanua maana wengine vichwa vyao ni vigumu sana kuelewa hata jambo dogo jiulizeni mbona laigwanan hakuwa anafanya harambee hizi kabla ya 2010 why now lowasa anatumia hela za wizi alizowaibia watanzania hivyo kwakua hela ni za watanzania ndo maana nawahimiza kua wazichangamkie fasta ni hela zao hamna mambo ya kuhisihisi hapa hapa kila kitu kipo wazi ie lowasa ni fisadi na hela anazogawa ni mali ya watanzania
2019-04-26T02:29:11
https://www.jamiiforums.com/threads/makanisa-misikiti-na-mashule-changamkieni-haraka-hela-za-lowassa-kabla-ya-2015.360608/
quarries | viwanda shirika uso underground mining electric dizeli magari vifaa | johnson industries johnson industries ni mtengenezaji unaowaamini na mtoa ya bidhaa na magari kwa ajili ya sekta ya machimbo ya madini muda mrefu kabla ya johnson brothers na kujenga vifaa vya madini kwa wachimbaji makaa ya mawe tulikuwa kuchimba makaa ya mawe na wachimbaji wenzake makaa ya mawe nini bora sifa gani mtengenezaji wa vifaa vya madini haja kwa maneno mengine sisi huko na kufanyika hivyo tunafahamu utendaji kazi ndani ya vifaa vya madini ya mkono wa kwanza kwa sababu tuna mikono juu ya uzoefu kwamba baadhi ya wazalishaji wanaweza kukosa hiyo anaongea vizuri kwa ubora wa vifaa johnson industries tillverkar na anaelezea sifa unsullied tuna chuma kwa miaka mingi johnson industries hutoa bidhaa na magari mbalimbali ili kukidhi mahitaji ya sekta ya madini ya madini johnson industries hutoa bidhaa bora na magari kwa usalama na ufanisi wa sekta ya uchimbaji madini kutoka kwa magari ya ushuru wa viwanda mifumo ya sampuli johnson industries ni mamlaka juu ya vifaa vya madini ya madini bidhaa na magari wasiliana nasi leo ili ujifunze zaidi kuhusu vifaa vya madini ya miamba na magari kutoka kwa johnson industries
2019-02-16T06:35:00
http://johnsonindustries.com/sw/viwanda/machimbo
kwa wasio na baba kutoka kwa asiye na baba eunice tossy posted on may 12 2018 august 29 2019 by eunice tossy asilimia 63 ya vijana wanaojiua wanatoka kwenye nyumba zisizokuwa na babastatistics kama hiyo picha inakufanya ukumbuke mbali au usikumbuke popote kwa sababu hauna kumbukumbu zozote tupo wote usijali baba yangu alifariki nilipokuwa na miaka mitatu kutokana na kufeli kwa ini kwa sababu ya ulevi mpaka sasa imekuwa miaka 20 toka afariki katika muda wangu wote wa kuishi sikuwahi kufikiria sana kwamba hayupo mpaka siku moja niliyokuwa sekondari ambapo nilikuwa nachota maji nyumba ya jirani mida ya usiku na mtoto wa mwenye nyumba alikuwa nje usiku huo halafu baba yake akaja kumwambia aingie ndani kwa kuwa ni usiku hilo jambo liliniuma sana na niliwaza sana kwanini liliniuma na ndipo nilipogundua namimi nilikuwa nataka nipate mtu wa kuniambia niingie ndani usiku ule mtu wa kunilinda kazi ambayo wababa wamepewa kwa familia zao ila sikuwa naye na hapo ndo nilipoanza kuona pengo lake kwa uwazi zaidi niliona mengi niliona wababa kwenye graduation walivyokuwa wanafurahia sherehe za watoto wao niliwaona kanisani niliwaona wakifungulia magari watoto wao niliona walivyowabeba na niliwaona wakiwapa hela za matumizi bila ya kujua na mimi nilitafuta jinsi ya kuziba pengo nikatafuta mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano lakini kwangu alikuwa anaziba pengonilikuwa nategemea afanye mambo ambayo baba yangu afanye na aliposhindwa nilikasirika kwanini hakuweza kuziba pengo nikaachana naye nikawa na mwingine na mwingine tenanikaachana nao kwasababu hiyohiyo na hivi karibuni nimejua kisaikolojia hiyo tabia inaitwa daddy issues soma you and your cycles unajua mungu aliiumba hii dunia ienende katika mifumo fulani na isipo timia matatizo hutokeamungu aliiumba dunia akaiona njema ila dhambi ilipoingia ikaathiri ule wema ambaop mungu aliuona na ndivyo ilivyo wanasaikolojia wanasema makuzi ya mtot na jinsi anavyokuwa vinaathari kubwa ya vile anaweza kuwa akiwa mtu mzima na asilimia kubwa ya jinsi anavyokuwa utotoni itakuja kumuathiri ukubwani kwa mfano inasemekana watoto wasiobembelezwa wakilia wanakuwa watu wazima ambao wanaficha maumivu yao kwasababu hakuna wakuwabembeleza au kuyajali mungu alimuumba baba kama mlezi mlinzi na mwanaume wa kwanza ambaye anaweza kukuonyesha upendo kabla ya mahusiano na daddy issues haziji kwa wale tu waliokuwa hawana baba kabisa kuna wengine baba wapo kiumbo lakini hawapo kihisia kwa watoto wao wao pia huwa wanapata daddy issues na sio wanawake tu na wanaume pia wanaweza wakawa na daddy issues kwa upande wao somaunapopitia magumu katika kuongelea hii topic nimejisikia kugusia hii mungu amenipatia mama ambaye amaweza kuziba pengo na kwa muda sasa nimejisikia kawaida mama ambaye ni mpiganaji aliyefanikiwa kunitimizia ndoto zangu nyingi na katika kuandika hii topic simaanishi kwa namna yoyote kwamba ana mapungufu katika malezi au katika njia yake ya malezi mi ninaongelea lile pengo la kukosekana kwa uwepo wa baba kwenye familia na kwasababu mama ameziba nyanja zote za pengo hilo kasoro kihisia hilo pengo ndio ningependa niliongelee nakumbuka kuna siku nilikuwa postadar nilikuwa nawaza na kusikitika kwamba sina baba na nikasikia mungu akiniambia hata kama ungekuwa na baba wa kimwili ingekuwa na utofauti lakini asingeweza kuwa na wewe kila mahali kwa maana sasa upo posta ungemwacha nyumbani ila mimi nipo na wewe hapa ulipo sasa na popote utakapoenda kwa wakati huohuo kuanzia pale nikaanza kujifunza jinsi ya kumchukulia mungu kuwa ni baba unajua sijui kwa wengine ikoje ila mimi nimepata shida sana kumuita mungu baba na kumaanisha kwasababu sijawahi kumuona hivyo na sijawahi kujua kama baba mungu anakuwaje somatuongeekumuamini mungu kutoka kwa mimi ambaye sina baba wa kimwili kwenda kwako ambaye hauna baba wa kimwili uwe mwanamke au mwanaume nakushirikisha mambo yaliyonisaidia kuponya vidonda vya kukosa baba kwenye maisha vilivyonisaidia kukubali na kuishi na hilo pengo la kukosekana uwepo wake na mambo hayo ni haya amini na jifunze kumuona mungu kuwa ni baba kama vile mungu alivyonijibu mimi naamini anamjibu kila mtu anayeumizwa na kukosekana kwa baba wa kimwili kwenye maisha yao yeye yupo kila mahaliuwezo wake unazidi hata baba wa kimwili tukimwita saa hiyohiyo hana haja ya kupanda gari anakuwa amefika ni kweli baba wa kimwili walipaswa kuwakilisha vile baba mungu anafanya kwenye maisha yetu lakini kibinadamu ni vigumu sana kuwa asilimia mia kama yeye hivyo mwache nafasi yake ya ubaba aichukue na atimize na kukuonyesha mapenzi yake kwako jifunze kudeka kwakejifunze kumuomba kwa ukaribu kama vile unamuomba baba na sio mungu aliye mbali kuna mistari mingi kwenye biblia inayoengelea jinsi yeye anavyopenda na anavyotamani tumuone baba kwenye maisha yetu na vile yeye ni baba kwa wasio na baba warumi815 wagalatia 64 luka 122931 mathayo 711 yohana 1423 yani kiufupi biblia nzima inaonyesha vile mungu anatupenda kama wanae na anatukubali na anapenda tumuite tumuone baba kwetu pia kubali kuwa huo nao ulikuwa mpango wa mungu kwenye maisha yako nilipopitia sexual abuse niliumia sana kwasababu niliwaza na kuamini kwamba kama ningekuwa na baba yangu angenilinda nisingepitia hilo inawezekana ingekuwa kweli au inawezekana pia isingekuwa kweli kwasababu wapo ambao wamekuwa abused na baba zao pia lakini katika hili nilijifunza kuwa bado sijakubali kuwa hayupo naamiini mungu anampango na maisha yetu na anatujua tangu tumboni mwa mama zetu hivyo ni jambo la kuamini kuwa hata kutokuwepo kwa baba zetu kwasababu yoyte ile inayoweza kuwa imechangia mungu anajua hilo swala na alijua kabla hatujazaliwa na katika yote ni kwaajili ya mema yetu embu fikiria kama baba yangu angekaa mpaka sasa hivi na kuendelea kuwa mlevi ningepitia yapi ni yapi mungu kaniepushia kwa kifo chake au ni yapi kamuepushia kupitiakwa kupitia kifo chake pia kutafuta uponyaji halali wa hisia na vidonda tulivyonavyo kutokana na pengo la baba katika kuumia kwangu nilijaribu mahusiano ili kupona wewe unatumia nini unaweza ukawa unatumia kazi mapenzi au pombe viache ili upate uponyaji wa vidonda vyako kwanza hata mahusiano ukiingia bila expectation ya yule mtu awe baba yako( kitu ambacho hawezi kuwa) yanakuwa mazuri sana tafuta uponyaji wa vidonda ulivyovipata ukiwa mtoto ambavyo vimekufanya uwe hivi leo ambavyo vinaathiri vile unarespond katika hali fulani vile unakuwa na hasira bila kujua zimetoka wapi na hili ni rahisi ukimwomba roho mtakatifu ukisoma vitabu vinavyohusu uponyaji wa kihisia lakini zaidi ya yote kuna hii website ambayo inaongelea sana pengo la baba inaitwa father swap hivyo vimenisaidia mimi vinaweza kukusaidia pia lakini pia ukisikia hisia yoyte ile kutokana na pengo lake usiizime bali iruhusu na umpe mungu feel every emotion that you get because of his absence ongea na watu kuhusu hilo pata msaada wa kisaikolojia lia kuhusu kukosekana kwake na umia ili upone omba mungu akuponye kuwa na marafiki wa jinsia nyingine na jifunze kutoka kwao kuhusu jinsia hiyo kwa vile mimi ni mwanamke na nimekuwa karibu sana na mama iliniwia vigumu sana kuwaelewa wanaume kwahiyo kuwa karibu na watu ninaosoma na niaosali nao bila kuingiza mapenzi kumenisaidia sana kujua jinsi ya kuishi nao ningekuwa na baba ningejifunza kupitia yeye tofauti zetu lakini kwa vile hayupo nimejifunza kupitia marafiki na watu wazima wanaume wanaonizunguka hakuna aliyeziba pengo lake na sidhani kama anaweza akatokea zaidi ya mungu ila wamenisaidia katika namna moja ama nyingine kuwa mtu bora timiza mapenzi ya mungu ishi kwa kusudi ukijua kwamba hata kama angekuwepo angejisikia raha kuwa na wewe kama mwanae mama yangu aliniambia kitu ambacho nimekaa nacho mpaka leo kama baba yako angekuwepo angejisikia vizuri sana kwa jinsi unavyofanikiwa na jinsi umekuwa bora na hayo maneno yamenifanya nijisikie katika mafanikio yangu pia na yeye angefurahia na niendelee kufanya mema zaidi sio kwa ubaya katika kutafuta kupendwa au kuonekana ninafaa ila katika kukubali kwamba nayeye angefurahia mafanikio yangu zaidi ya yote mungu ni baba yako anaweza kutimiza vyote na zaidi ya vile baba wa kimwili anaweza kutimiza baba yako wa mbinguni anakupenda zaidi ya mtu yoyote duniani na ingawa wao wanaweza kukutelekeza mungu baba hawezi kufanya hivyo lets beat all the statistics and every negative thing that is expected of us because we are fatherless lets show the world that we are fatherless but not fatherlessand with godour father we can conquer every statistics from fatherless to fatherless eunice 3 replies to kwa wasio na baba kutoka kwa asiye na baba pingback am doing fine eunice tossy idrisa ramadhan says nimepata majibu ya maswal yaliyo kuwa yanachangany bongo yangu oh nimefurahi kusikia hivyo idrisa
2019-12-09T13:23:05
https://abiblegirl.com/2018/05/12/kwa-wasio-na-baba-kutoka-kwa-asiye-na-baba/?shared=email&msg=fail
uhaba mkubwa wa chakula pembe ya afrika | masuala ya jamii | dw | 06072011 uhaba mkubwa wa chakula pembe ya afrika eneo la mashariki na pembe ya afrika linashuhudia hali mbaya sana ya ukame ambapo kiwango cha watu wanaokabiliwa na njaa kinazidi kupanda huku mmoja katika kila watoto watatu wakiripotiwa kuwa na utapiamlo eneo la kaskazini ya kenya lakabiliwa na ukame sudi mnette anahakiki sababu za njaa katika maeneo ya mashariki na pembe ya afrika ambako wakulima na wafugaji wanalalamika kwamba ukosefu wa mvua kwa kipindi kirefu sasa umesababisha ukame na kuliingiza eneo hilo kwenye janga kubwa la njaa sudi mnette anahakiki sababu za njaa katika maeneo ya mashariki na pembe ya afrika ambako wakulima na wafugaji wanalalamika kwamba eneo hilo liko kwenye janga kubwa la njaa kiungo http//pdwcom/p/ry15
2018-04-25T17:01:22
http://www.dw.com/sw/uhaba-mkubwa-wa-chakula-pembe-ya-afrika/a-6565619
jee bunge la dharura kuitishwa | jamiiforums | the home of great thinkers jee bunge la dharura kuitishwa discussion in 'jukwaa la siasa' started by pascal mayalla may 4 2012 jk ameteua wabunge watatu wapya na kuna uwezekano wawili kati yao atawateua mawaziri ili mtu kuteuliwa waziri lazima kwanza uwe mbunge mtu akiteuliwa mbunge hawi mbunge bali huwa mbunge mteule mpaka baada ya kuapishwa mbunge mteule hawezi kuteuliwa kuwa waziri mpaka kwanza awe mbunge hivyo jee kutaitishwa kikao cha bunge la dharura ili hao wateuliwa wapya waukwae uwaziri au jk atatuvunjia tena katiba kwa kututeuliwa mawaziri ambao sio wabunge bali ni wabunge wateule ila kama atambadili pm basi ni lazima kwanza bunge la dharura likutane kupitisha jina la pm then pm na rais ndio wakae chini kupendekeza baraza la mawaziri subirieni taarifa ya kikao cha bunge la dharura subirieni taarifa ya kokao cha bunge la dharura mkuu pasco tangia juzi tumekuwa tukiongelea suala hili na tulikuwa tukiongelea kama rais angetaka kumtumia naibu katibu mkuu mstaafu wa un kwenye baraza lake la mawaziri ingebidi amteue kuwa mbunge kwa mujibu wa ibara ya 66 (1) (e) na mbunge anatakiwa aaape lakini nimepata hii ibara 68 inasema hivi kila mbunge atatakiwa kuapishwa katika bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za bunge labda watatumia haka kakifungu kwamba anaweza akashika madaraka ya uwaziri lakini kabla hajashiriki shughuli za bunge akaapishwa jinsi nionavyo huenda hakuna bunge la dharura angeliitisha kabla hata hajatangaza wateule kwa kuwa huwezi kuitisha bunge la dharura ndani ya siku mbili nadhani kwa uchache inabidi wapate taarifa hata wiki moja kabla au jk atatuvunjia tena katibaclick to expand ni lini jk alivunja katiba kuendelea na pinda ni kurudi kulekule misri pinda atasababisha hata mawaziri waliokuwa wazuri waanze kuiba hela zetu maana watajihakikishia kutoguswa na mtu whatever new faces that the president could employ into his cabinet with pinda being the pm everything will go into shamblesni kama mmasai kuingia disco na sime soma mwananchi ya leo ufafanuzi uko kwenye gazeti hili labda mabadiliko ni juni au wataapa baadae kama sio ofisi ndogo za bunge whatever new faces that the president could employ into his cabinet with pinda being the pm everything will go into shamblesni kama mmasai kuingia disco na simeclick to expand mkuu nakubaliana nawe lakini si pinda pekee hata kuendelea kuwepo msanii pale ikulu ni janga kubwa la taifa sioni kipya chochote ha kuwatia moyo watanzania kuhusu mabadiliko katika utendaji serikalini kati ya sasa na 2015 mkuu pasco tangia juzi tumekuwa tukiongelea suala hili na tulikuwa tukiongelea kama rais angetaka kumtumia naibu katibu mkuu mstaafu wa un kwenye baraza lake la mawaziri ingebidi amteue kuwa mbunge kwa mujibu wa ibara ya 66 (1) (e) na mbunge anatakiwa aaape lakini nimepata hii ibara 68 inasema hivi kila mbunge atatakiwa kuapishwa katika bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za bunge labda watatumia haka kakifungu kwamba anaweza akashika madaraka ya uwaziri lakini kabla hajashiriki shughuli za bunge akaapishwa jinsi nionavyo huenda hakuna bunge la dharura angeliitisha kabla hata hajatangaza wateule kwa kuwa huwezi kuitisha bunge la dharura ndani ya siku mbili nadhani kwa uchache inabidi wapate taarifa hata wiki moja kablaclick to expand hata mimi nilikuwa na mashaka sana juu ya jambo hilo kwamba mbunge mteule anawezaje kuteuliwa kuwa waziri kabla hajaapishwa kama ulivyofafanua ndivyo niliisikia bbc jana jioni wakimquote katibu wa bunge kwamba wanaweza kuteuliwa kuwa mawaziri na wakaendelea na majukumu yao isipokuwa yale tu ya kibunge kwa mfano kujibu maswali bungeni kwahiyo kikwete atakuwa ameshapata ushauri mapema kabla ya kufanya uteuzi wa wabunge ili akamilishe kazi yake ya kulisuka upya baraza la mawaziri sitegemei kabisa kuwepo kwa bunge la dharura kwa ajili ya hoja ya kumjadili waziri mkuu hata hivyo matarajio yangu ni kwamba pinda ataendelea kuwa waziri mkuu hadi akamilishe ngwe yake sioni dalili za kikwete kumtosa ndani ya katiba hakuna mnachoita bunge la dharura hata hivyo uwezekano wa kuitwa hilo mnaloliita bunge la dharura kwa hali ya sasa kinaweza kutokea kwa sababu mbili jk asipoteua leo cabinet basi jumatatu zitto na wale wenzake 70 wataanza kumbana spika kuwa anasubiri nini kuhusu hoja yao ambayo kikatiba inataka kuanzia jumatatu uanze mchakato wa kuwaita wabunge dodoma wapige kura ya kutokuwa na imani na pm hoja hii inajitegemea na haina uhusiano na siasa au porojo zinazoendelea nje ya bunge bila kujali ni ikulu magzetini au mitandaoni kuna mada tuliijadili hapa last week imeliweka vizuri sana hili link yake hii hapa https//wwwjamiiforumscom/jukwaalasiasa/259819kitanzichazittokinavyomtesaspikaserikalihtml jk akiteua mawaziri na aakaondokana na pinda basi hilo bunge lazima liitwe haya ni mambo mawili ambayo lazima moja litokee ili bunge liitwe ndani ya hizi wiki mbili na kutokana na mazingira inaelekea mojawapo linaweza kutokea kwahiyo kikwete atakuwa ameshapata ushauri mapema kabla ya kufanya uteuzi wa wabunge ili akamilishe kazi yake ya kulisuka upya baraza la mawaziri sitegemei kabisa kuwepo kwa bunge la dharura kwa ajili ya hoja ya kumjadili waziri mkuu hata hivyo matarajio yangu ni kwamba pinda ataendelea kuwa waziri mkuu hadi akamilishe ngwe yake sioni dalili za kikwete kumtosaclick to expand naaam mwita maranya nimekuwa nikipitia katiba ndio nikaona hilo ila kama angemtoa waziri mkuu ingebidi kwanza atangaze kulivunja baraza la mawaziri (au pm ajiuzulu automatically baraza linavunjika) aitishe bunge kumpitisha jina la pm kisha wakae na pm kushauriana kuunda baraza jipya kwa hali ilivyo sasa kinachofanyika ni mabadiliko ya baraza la mawaziri na pinda ndiye waziri mkuu pasipo na shaka yoyote hivi kwa nini tunakimbilia kudhani lazima apate ushauri kwa masuala mengine ambayo ni rahisi sana hebu tusome ibara zifuatazo za katiba ili tuone ilivyo wazi hata mtoto wa primary akisoma ataelewa {katiba 55(4)} mawaziri na naibu mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa wabunge {katiba ib 56} waziri au naibu waziri hatashika madaraka yake ila mpaka awe ameapa kwanza mbele ya rais kiapo cha uaminifu na pia kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na bunge {katiba ib 51(1)} muda wa kushika madaraka ya waziri na naibu waziri utaanza tarehe atakapoteuliwa kushika madaraka hayo mamlaka ya rais ni kuteua mbunge kuwa waziri ila hana mamlaka ya kumteua mbunge mteule ie mbunge ambaye hajala kiapo kuwa waziri maelezo ya katibu wa bunge yanaishia kwenye bunge tuu hatuwezi kustretch kwa mawaziri ndio maana hata marehemu sumari alipofariki pamoja na kuwa hakuwa ameapa na hakufanya kazi yoyote ya kibunge lakini lakini bunge lilimtambua kama hivyo waziri asiye mbunge akila kiapo cha uwaziri basi kiapo litakuwa batili hayo hapo juu hayaharamishi rais kuteua mtu asiyenasifa kuwa waziri lakini hatafanya kazi ya uwaziri aliyoteuliwa mpaka atakapoapa ni lini jk alivunja katibaclick to expand unauliza ni lini jk alivunja katiba au ni lini jk hajavunja katiba hivi kwa nini tunakimbilia kudhani lazima apate ushauri kwa masuala mengine ambayo ni rahisi sana hebu tusome ibara zifuatazo za katiba ili tuone ilivyo wazi hata mtoto wa primary akisoma ataelewaclick to expand vuta pumzi kidogo nikupateje ili uelewe kinachozungumzwa hapa ndio maana kuna ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali kikwete ama raisi yeyote hawezi kufanya/kujua kila kitu vinginevyo asingehitaji kuwa na jaji werema waziri au naibu waziri hatashika madaraka yake ila mpaka awe ameapa kwanza mbele ya rais kiapo cha uaminifu na pia kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na bungeclick to expand ibara hii hasa huo mstari niliohighliht ndio ulisababisha madukuduku yote hadi tukaanza kuhoji na kutafuta ushauri kwa wajuzi wa sheria na bila shaka hata raisi kikwete alimconsult werema ili kuona kwamba kama atawateua wabunge wateule kuwa mawaziri asikiuke katiba nikupateje bunge la dharura lipo niko mobile nikitulia nitakuletea vifungu ni lini alivunja katiba waziri asiye mbunge akila kiapo cha uwaziri basi kiapo litakuwa batili hayo hapo juu hayaharamishi rais kuteua mtu asiyenasifa kuwa waziri lakini hatafanya kazi ya uwaziri aliyoteuliwa mpaka atakapoapaclick to expand mkuu ngambo ngali kama sijakuelewa vizuri ama unajichanganya maelezo yako unasema raisi hawezi kumteua mbunge mteule kuwa waziri kwakuwa bado hajala kiapo lakini hapo hapo unamtaja marehemu sumari ambaye hakuwa ameapishwa kuwa mbunge lakini alipofariki alipewa heshima zote za mbunge sasa hapo tofauti ni nini kati ya mbunge mteule na mbunge aliyekula kiapo kama unakubali na kutambua kwamba maelezo ya katibu wa bunge yanaishia kwenye bunge tu na katibu huyo wa bunge amaefafanua kwamba waziri atakayeteuliwa huku akiwa mbunge mteule atafanya kazi zote za uwaziri isipokuwa tu zile zinazohusiana na bunge mathalani kuingia bungeni kujibu maswali nk kwa maana hiyo basi raisi anaweza kumteua mbunge mteule kuwa waziri na hatokuwa amevunja katiba nikupateje bunge la dharura lipo niko mobile nikitulia nitakuletea vifunguclick to expand nasikia mmeitwa ikulu bila shaka cabinet imesukwa hadi ikasukika hata mimi nilikuwa na mashaka sana juu ya jambo hilo kwamba mbunge mteule anawezaje kuteuliwa kuwa waziri kabla hajaapishwaclick to expand hakuna ajuaye kama atamteua yeyote kati ya wale watatu kuwa waziri mawaziri na naibu mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa wabungeclick to expand kifungu hicho kimemaliza kila kitu kiukweli hakuna uhakika wabunge walioteuliwa ndio sura mpya kwenye bm yote ni speculations tuu ila lazima nikiri baadhi ya teuzi za jk leave much to be desired sikuona mantiki ya kumteua mama meghji mpaka sasa sina kumbukumbu kama amewahi kuchangia chochote bunge lililopita aliwateua mama mbene na jussa kuwa wabunge at 11th hour kwa kumbukumbu yangu mama mbene alichangia mara 1 tuu mpaka bunge lilipovunjwa sasa kama kamteua tena asipompa uwaziri au unaibu then sisi tunaomfahamu vizuri jk tutajua huo ni uteuzi wa asante kwa mambo yetu yale
2017-04-25T06:53:07
https://www.jamiiforums.com/threads/jee-bunge-la-dharura-kuitishwa.261835/
mbunge wa kigoma mjini wa chama cha act wazalendo zitto kabwe amehukumiwa kutumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ya uchochezi kadhalika mahakama ya hakimu mkazi kisutu imemwamuru kutoandika na kutoa maneno ya uchochezi kwa muda wa mwaka mmoja hukumu hiyo imetolewa jana na mahakama hiyo iliyoketi chini ya hakimu mkazi mkuu huruma shaidi baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi 15 wa jamhuri na wanane wa utetezi akiwamo zitto mwenyewe alisema maneno aliyoyatoa zitto hayana ukweli makali na magumu mno ambayo yameshindwa kuthibitishwa kwenye utetezi wake mahakamani mahakama hii bila kuacha shaka imeona utetezi wa mshtakiwa umeshindwa kuthibitisha kwamba askari wamemuua nani na ushahidi unaonyesha tukio lilifanyika alfajiri muda ambao huwezi kusema nani alimuua nani maneno yalikuwa mazito watu 100 kufa sio kitu kidogo mpaka kutaja watu wa kabila fulani hii ni sawa na kuwasha moto kwenye nyasi kavu alisema alisema jamii ina watu wenye uelewa tofauti kutokana na uwezo wa kuchuja maneno hivyo kila mmoja anaweza kuchuja kwa kadiri anavyoweza mahakama hii imekuona una hatia inakutia hatiani kwa makosa yote matatu mmezoea kuandika mitandaoni kwamba kisutu imegeuka mamlaka ya mapato tanzania (tra) mshitakiwa utatumikia kifungo cha nje cha mwaka mmoja kwa masharti usiandike na kutoa maneno ya uchochezi kwa muda huo alisema hakimu shaidi alisema kama kuna upande ambao haujaridhika na hukumu hiyo una haki ya kukata rufani ndani ya siku 30 awali upande wa jamhuri uliopokea hukumu hiyo uliongozwa na mawakili wa serikali waandamizi renatus mkude na wankyo simon mkude alidai kuwa jamhuri inaomba mahakama kutoa adhabu kali kwa zitto ili iwe fundisho kwake na kwa wengine hata hivyo wakili wa utetezi frank mwakibolwa aliiomba mahakama kuwa mshtakiwa ana familia inayomtegemea baba wa watoto wadogo wanne na ni mkosaji wa mara ya kwanza wakati wa usikilizwaji wa ushahidi kesi hiyo iliongozwa na wakili wa serikali mkuu tumaini kweka akisaidiana na wakili wa serikali mwandamizi nassoro katuga huku upande wa utetezi ukiongozwa na mawakili jebra kambole mwakibolwa na bonifacia mapunda kadhalika wakati wa kipindi cha usikilizwaji wa kesi hiyo upande wa mashtaka uliwasilisha mahakamani vielelezo vya nyaraka na video iliyodaiwa kurekodiwa na askari mpelelezi sajenti james kwenye mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini dar es salaam oktoba 28 2018 video hiyo iliwasilishwa mahakamani hapo desemba 4 2019 na kupokelewa baada ya mabishano huku upande wa utetezi ukitaka video hiyo isipokelewe lakini hatimaye mahakama ilipokea ushahidi huo na video hiyo ilionyeshwa katika kesi ya msingi ilidaiwa kuwa oktoba 28 2018 zitto aliitisha mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika ofisi za makao makuu ya actwazalendo uliodaiwa kuwa na lengo la kuleta chuki kwa raia wa jamhuri ya muungano wa tanzania kinyume na sheria na kwamba alitoa maneno ya uchochezi dhidi ya jeshi la polisi wema wamponza wageni aliowapa hifadhi wamuua
2020-07-16T00:18:07
https://www.ippmedia.com/sw/habari/zitto-ahukumiwa-kifungo-cha-nje-mwaka-1
washtakiwa watatu wa makosa ya mauaji ya watoto njombe wamefikishwa mahakamani na kesi yao kutajwa kwa mara tatu na kisha kuahirishwa hadi machi 25 mwaka huu kwa kuwa upelelezi haujakamilika channel ten washtakiwa watatu wa makosa ya mauaji ya watoto godliver giliad na gasper nziku waliokuwa wakazi wa kijiji cha ikando kata ya kichiwa wilaya na mkoa wa njombe wanaokabiliwa na kesi namba moja ya mwaka 2019 leo wamefikishwa mahakamani na kesi yao kutajwa kwa mara tatu na kisha kuahirishwa hadi machi 25 mwaka huu kwa kuwa upelelezi haujakamilika aidha mshitakiwa joel nziku amesomewa shitaka jipya la kupoka mtoto gaudencia kihombo mkazi wa kijiji cha ikando kata ya kichiwa mkoani njombe ambaye hadi sasa hajulikani alipo washiktakiwa hao watatu joel nziku nasson kaduma na alphonce danda wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka yao na mwendesha mashitaka wa serikali happines makungu mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa njombe magdalena ntandu ambaye ameahirisha kesi hiyo awali kabla ya washitakiwa hao watatu hawajafikishwa mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa njombe mshitakiwa joel nziku alisomewa shitaka jipya la kupoka mtoto gaudencia kihombo mwenye umri wa miaka saba mkazi wa kijiji cha ikando kata ya kichiwa mkoani njombe ambaye hadi sasa hajulikani na wakili wa serikali elizabeth mallya mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya njombe james mhanusi kwa mujibu wa mwendesha mashitaka wa serikali elizabeth mallya amesema mshitakiwa joel nziku anashitakiwa kwa kifungu cha sheria namba 246 na 249 cha kanuni ya adhabu sura namba 16 marejeo ya mwaka 2002 na kueleza shitaka hilo linaruhusiwa kupata dhamana lakini hakimu james mhanusi amesema mshatakiwa haruhusiwi kupata dhamana kwa sasa kwa sababu bado ana mashitaka mengine yayomkabili ya mauaji na hivyo kuamuru arudishwe mahabusu hadi machi 25 mwaka huu ← siku moja baada ya ajali ya ndege ya shirika la ndege la ethiopian airlines kuua watu 157 kutoka zaidi mataifa 30 serikali ya kenya imetangaza maombolezo ya kitaifa ya siku moja naibu waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) bw mussa sima amesema ameridhishwa na utunzwaji na uhifadhi wa vyanzo vya maji vinavyoelekea katika bonde la mto rufiji na kuagiza mamlaka husika kuendelea kuvilinda kwa gharama zote →
2019-06-19T17:18:03
http://www.channelten.co.tz/washupelelezi/
dpp feleshi unajua tabia za wakili kombe kule arusha | jamiiforums | the home of great thinkers dpp feleshi unajua tabia za wakili kombe kule arusha discussion in 'jukwaa la siasa' started by nakandamiza kibara dec 20 2009 sisi wakazi wa arusha tumeona pa kukimbilia ni jf kwa kuwa si pccb wala ofisi ya dpp inaweza kutusikiliza kirahisi kwa kuwa tuna amini jf ni mrwisho wa maelezo leo tunaweka swali hili kwa dpp feleshi baada ya serikali kusema polisi sasa basi kuwa waendesha mashitaka na ili kutoa haki zaidi kwa watanzania mawakili wa serikali kwenye maeneo haya wamekuwa hatari kubwa na wa kutisha wanachukua rushwa kwa nguvu na leo nataka kukueleza kwamba kombe ni hatari na anatishia mahakama ya arusha kombe ni gumzo yuko tayari kufuta kesi ama kusimamia kunyimwa dhamana kwa pesa ndogo tu ndugu feleshi naamini wewe ndiye muhusika funguka masikio nan mulika arusha kombe anatishia haki za watanzania mahakama ya arusha ushahidi upo mwingi wa kumwaga tuta uweka hapa tena wiki hii inayo isha amechukua laki kadhaa kw akushirikiana na mwananchi mmoja kumpa mtu dhamana ameshiriki hata kumtumia hakimu mmoja rafiki kujipangia kesi ili wachukue laki kadhaa kesi iko mahakamani wengine wako magereza kwa kushindwa masharti magumu dah kazi ipo kumbe huyu jamaa anatabia hii chafu mmh mi naogopa kujadili hilije unaushahidi wa kutoshasio huo wa maneno pole sana nk hiyo ni keesi ya nyani unampelekea ngedere ni mwendo wa kila mbuzi kwa usawa wa kamba yake kama hosea ndio bosi wa kuzuia rushwa huku ni mvutaji mzuri tuu unategemea nini unadhani unamwambia kitu kipya feleshi mbona hakuna asichokijua ukiondoa majaji mahakimu ni mwendo wa usawa wa kamba zao na hakuna asiyejua japo pia naunga mkono kupiga kelele jamaa atapunguza kidogo speed baada ya serikali kusema polisi sasa basi kuwa waendesha mashitaka na ili kutoa haki zaidi kwa watanzania mawakili wa serikali kwenye maeneo haya wamekuwa hatari kubwa na wa kutisha wanachukua rushwa kwa nguvu na leo nataka kukueleza kwamba kombe ni hatari na anatishia mahakama ya arusha kombe ni gumzo yuko tayari kufuta kesi ama kusimamia kunyimwa dhamana kwa pesa ndogo tu ndugu feleshi naamini wewe ndiye muhusika funguka masikio nan mulika arusha kombe anatishia haki za watanzania mahakama ya arusha ushahidi upo mwingi wa kumwaga tuta uweka hapa tena wiki hii inayo isha amechukua laki kadhaa kw akushirikiana na mwananchi mmoja kumpa mtu dhamana ameshiriki hata kumtumia hakimu mmoja rafiki kujipangia kesi ili wachukue laki kadhaa kesi iko mahakamani wengine wako magereza kwa kushindwa masharti magumu click to expand je sheria inasemaje kuhusu dhamana inayotakiwa kwa mtu aliyefanya kosa kama la huyo ndugu/rafiki/jirani/ yako cha maana ni kujua sheria inasemaje kuhusu hilo kosa kama wanaenda kinyume na hiyo sheria ndio uwasilishe malalamiko yako kwa judge na wahusika wengine wa juu sidhani kama hawa majudge na mawakili wanatakiwa kuamka asubuhi na kusema leo kila kesi dhamana yake itakuwa kiasi fulani tofauti na sheria kama hivyo ndivyo alivyofanya una haki ya kumpeleka ngazi za juu kama hivyo ndivyo alivyofanya una haki ya kumpeleka ngazi za juuclick to expand tatu umekurupuka nadhani mleta mada kasema ndugu wa mtuhumiwa pamoja na kukidhi masharti ya dhamani yet wamelipa laki kadhaa na hizo zime enda kwa kombe pesa hizi kachukua kaweka mfukoni mwake ila pccb wachunguze maana ukute kuna ukweli maana nchi na serikali imeharibika kabisa kwa rushwahasa arusha mwz jamani watu ni miungu watu haki za watu zinapotea burepccb wachunguze kama kuna ukweli waingilie katibado nina aimani na pccb hasa wilayani na mikoani ila sio makao makuu feleshi chukua hatua kwa kuchunguza na maamuzi mazito nakandamiza kibara naona umepotea njia unapodai kuwa vyombo km pccb vimeshindwa kwa hiyo umeleta malalamiko yako jf ili dpp felesh apewe ujumbe kwani dpp anashughulikia nidhamu za mawakili au upelelezi na kama una ushahidi wa rushwa kwa nini upoteze muda wa kuwasiliana na dpp huku ukijua hahusiki na masuala ya kupeleleza rushwa au makosa ya jinai hata kama ukiwasiliana naye atalipeleka suala hilo pccb kwanza kisha wakishalichunguza ndio watampelekea yeye ili afikishe kesi mahakamani kumbuka dpp si mpelelezi yeye anapokea majalada yaliyopelelezwa tayari kwa hiyo kama hujui uliza badala ya kutema upupu wa kuwapotosha watu makusudi otherwise ukikaa na ushahidi wako au kuuanika hapa jf utakuwa hujasaidia kitu na utaonekana kuwa wewe ni sehemu ya tatizo la rushwa nakandamiza kibara naona umepotea njia unapodai kuwa vyombo km pccb vimeshindwa kwa hiyo umeleta malalamiko yako jf ili dpp felesh apewe ujumbe kwani dpp anashughulikia nidhamu za mawakili au upelelezi na kama una ushahidi wa rushwa kwa nini upoteze muda wa kuwasiliana na dpp huku ukijua hahusiki na masuala ya kupeleleza rushwa au makosa ya jinai hata kama ukiwasiliana naye atalipeleka suala hilo pccb kwanza kisha wakishalichunguza ndio watampelekea yeye ili afikishe kesi mahakamani kumbuka dpp si mpelelezi yeye anapokea majalada yaliyopelelezwa tayari kwa hiyo kama hujui uliza badala ya kutema upupu wa kuwapotosha watu makusudi otherwise ukikaa na ushahidi wako au kuuanika hapa jf utakuwa hujasaidia kitu na utaonekana kuwa wewe ni sehemu ya tatizo la rushwaclick to expand mzee umeshusha maneno ya bure hawa jamaa wako chini ya feleshi nma ni sahihi feleshi kupewa taarifa na hata kuchunguza pia anaweza kabla ya hao pccb jamii forums tetea wanyonge
2016-10-26T09:37:20
http://www.jamiiforums.com/threads/dpp-feleshi-unajua-tabia-za-wakili-kombe-kule-arusha.47643/
usb modems | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'tech gadgets & science forum' started by shadow oct 28 2008 ninaomba kuelimishwa kuhusu usb modem nategemea kwenda bongo hivi karibuni swali langu ni je naweza kuaccess internet kupitia usb modem kwenda kwenye laptop yangu how do i go about this do i buy just any usb modem here in us and then when i get to bongo approach any mobile provider for a prepaid service do i get speed internet connection apart from usb modem kuna njia mbadala any relevant information is highly appreciated dada shadow habari zako kama nia yako ni mtandao basi ukifika bongo utapata kila kitu unachotaka kuhusu mtandao huna haja ya kununua chochote kutoka huko kwa sababu inaweza kupishana katika standard na mambo kama hayo ikitokea hivyo pale customercare watakwambia imekufa haifanyi kazi bora ununue hukuhuku bongo utapata vyote dada shadow habari zako kama nia yako ni mtandao basi ukifika bongo utapata kila kitu unachotaka kuhusu mtandao huna haja ya kununua chochote kutoka huko kwa sababu inaweza kupishana katika standard na mambo kama hayo ikitokea hivyo pale customercare watakwambia imekufa haifanyi kazi bora ununue hukuhuku bongo utapata vyoteclick to expand asante sana kwa ushauri shy naomba kukuuliza unaweza kujua hicho kifaa kinauza bei gani huko bongo huenda ikawa faster & cheaper ukinunua huko usa hiyo usb modem iwe na sehemu ya kuwekwa sim card data card ni option nyingine kwa kutumika kwenye laptop sio pc unachotakiwa kuzingatia ni technologia inayotumika hizi ni mobile phone standards bofya hapa wenye ufahamu watakwambia technologia zinazotumika tanzania ili kusaidia wengine hebu tuwekee bei ya hizo modem za huko ukiweza tutajie technology gani zinatumia hali kadhalika data transfer rate unapokwenda kununua waeleze kwamba una mpango wa kuja itumia huku tanzania kuna nyingine ziko locked kwa matumizi ya specific service provider natumai umepata mwanga zaidi zantel wana cdma ila ni ipi katika hizi nimeiona hii kwenye vodacom 3g hsdpa usb modem (e220) hii ni product ya ihuwei bongo inacost tshs 345000 lakini ebay unaweza kuipata mpaka kwa dola 89 + shipping dola 15 thanks wadau for detail check vodacom tanzania website kwa zantel ilikuwa cdma 2000 1 x ambayo nafikiri kwenye hiyo table ya comparison of mobile internet access itakuwa ni ile row ya mwisho inayoanzia na evdo 1x rev 0 na akiweza kupata hiyo ya cdma anaweza kupata connection ya zantel ambao wanasifiwa kwa bei nzuri ila sijui upande wa speed na pia anaweza kupata ttcl broadband ambayo bei si mbaya ingawa si nzuir pia na speed yao ni nzuri sana hawa wote wanatumia cdma vodacom 3g ni nzuri lakini kwa bei mhhh hapo utakimbia mwenyewe niliijaribu bei ikanishinda haitakupa uhuru kwa sasa katika mitandao yote ttcl ndio kiboko na gharama zake ni nafuu sana inategemea na aina ya huduma unayochukuwa haitakupa uhuruclick to expand kusema ukweli zantel speed yao mmh inatia hasira sana ila bei yao c mbaya sana kwa sasa nafikiri ttcl ni nzuri sana kwa speed na huduma zao wameboresha
2017-01-20T12:04:27
https://www.jamiiforums.com/threads/usb-modems.19832/
yule changu akaniletea noma | jamiiforums | the home of great thinkers yule changu akaniletea noma discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mtambuzi dec 27 2011 nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumapili mwaka 2000 wakati huo ndio ujana wangu ulishika kasi na nilikuwa napenda kujirusha ile mbaya nilikuwa naishi maeneo ya mwenge lakini maeneo yangu ya kujirusha yalikuwa ni mwananyamala kwani ndiko nilikokulia siku hiyo ya tukio nilikuwa na marafiki zangu maeneo ya kinondoni tukipata moja moto moja baridi mara wakajitokeza mabinti watatu lakini mmoja alionekana kufahamiana na mwenzetu moja tuliyekaa naye wale mabinti walikuja na kujumuika nasi tuliendelea kunywa na kupiga soga miongoni mwa wale mabinti alikuwepo mmoja ambaye nilivutiwa naye na nikawa napiga naye stori baada ya kufahamiana tuliendelea kupiga stori na kutokana na mihemko niliyokuwa nayo nilijikuta nikianza kumshika shika yule binti bila ya aibu kwani pombe zilishakolea kichwani mara ghafla simu yangu iliita na nilipotaka kuipokea ile simu ikakatwa niligundua kuna ujumbe kwenye simu yangu niliufungua ili kuusoma ujumbe ule ulitoka kwa mmoja wa wale marafiki zangu tuliyekaa naye pale kwenye meza alinitaka nimfuate akienda msalani ili tuongee nilimjibu kwa kifupi tu kuwa nimemuelewa alipopata ujumbe wangu alinyanyuka na kuelekea msalani nilimfuata tulipofika msalani aliniuliza kama namjua yule binti niliye naye nilimjibu kuwa simfahamu kwa kweli alinitahadharisha kwamba yule binti ni changu mwanafunzi (yaani binti anayejiuza) na wale alioongozana nao ni magwiji wa tabia hiyo na inaonekana wale ndio waalimu wake alinitahadharisha kwamba kama nitaondoka naye niwe makini nilimkubalia kuwa nitakuwa makini na wala asihofu kwa kawaida nikiwa na mwanamke sikuwa na jeuri ya kumpeleka mahali ninapoishi kwa sababu mwenye nyumba wangu alikuwa anapangisha wapangaji waliooa na hakupenda mtu asiyekuwa na mke akae katika nyumba yake mimi nilifanya usanii wa kumpeleka binti mmoja kwa makubaliana ya kumlipa ili nimtambulishe kuwa ndiye mke wangu lakini nilimjulisha mama mwenye nyumba kwamba mke wangu huyo anakwenda kusoma nje nchi na atarudi baada ya miaka miwili nilidanganya kuwa atasafiri kwenda kwao kuaga siku inayofuata na akirudi ndio ataondoka kwenda ughaibuni kusoma nilikubaliwa kupanga katika nyumba ile ikanilazimu kuishi kwa nidhamu ya hali ya juu ili nisije haribu tulikubaliana na yule binti kuondoka naye na nililazimika kuchukua chumba katika nyumba moja ya wageni iliyopo maeneo hay ohayo ya kinondoni tulipofika binti alikwenda kuoga akiniacha pale nikiangalia tv nilitumia muda ule kuficha fedha zangu kwenye mfuko wa siri kwenye bukta yangu aliporejea na mimi nilikwenda kuoga na niliporudi bafuni nilimkuta akijikwatua wakati najiandaa kupanda kitandani akataka kujua asubuhi ataondokaje nilimuuliza dau lake ni kiasi gani akaniambia elfu ishirini nikamwambia siwezi kulipa hiyo hela kwani ni ghali sana akaniuliza nina kiasi gani nikamjibu kuwa nina elfu kumi akaniambia labda kama itakuwa ni ile ya chapchap aondoke zake lakini siyo kulala tulivutana kisha tukakubaliana nimlipe elfu kumi na tano kwa kuwa nilitakiwa kazini alfajiri nilitega alam ya simu yangu ya mkononi iniamshe kisha tukalala alfajiri simu iliniamsha nikaamka na kujiandaa haraka haraka nilipomaliza kujiandaa nikajaribu kumuamsha yule binti lakini alikuwa amelala fo fo fo niliondoka bila kumuaga wala kumuachia hela yake nikijua nitakutana naye viwanja nilifika kazini na kuendelea na kazi kama kawaida lakini ilipofika saa nne nikapata taaarifa kuwa naitwa kwa meneja muajiri nilishtuka maana kuitwa kwa meneja muajiri ni jambo ambalo wakati mwingine haliashirii mema nilikwenda kwa meneja muajiri na nipofungua mlango nikakutana uso kwa uso na yule binti wa jana niliyemtelekeza pale nyumba ya wageni nikajua mambo yameharibika meneja muajiri alikuwa ni mwanamke wa makamu na alikuwa na busara sana aliniambia kwa kifupi huyu dada ameokota kitambulisho chako lakini angependa muongee kwanza hivyo nendeni chumba cha pili mkishamalizana muje munijulishe nijue yameisha tulienda chumba cha pili huku nyuma yule meneja aliguna kwa kebehi niligeuka kumuangalia akabinua midomo kwa dharautulipofika pale nilimuomba kitambulisho changu na kumpa hela yake alikataa kupokea ile hela akidai nimuongeze elfu tano za usumbufu sikutaka kubishana naye kwa sababu sikutaka yawe makubwa nilimpa elfu ishirini kisha akanipa kitambulisho changu nilimuuliza sababu ya kunichomolea kitambulisho changu kwenye pochi akanijibu kwamba alikuwa haniamini na alifanya hivyo ili kuepuka kudhulumiwa na wanaume wakware kama mimi nilipomuuliza kama alimweleza nini bosi wangu hakutafuna maneno aliniambia dhahiri kwamba alimweleza yote kuhusu mkataba wetu wa kufanya ngono kwa malipo na mimi kumtoroka ni bahati nzuri tu alinichomolea kitambulisho changu kwenye pochi usiku wakati naoga nilifadhaika sana tulitoka pale na kwenda kwa meneja muajiri kumjulisha kwamba tumemalizana alimruhusu yule binti na akaniomba nibaki ili tuzungumze nilikaa nikiwa nimetahayari kweli alinitazama kwa nukta kadhaa kisha akafungua droo yake na kutoa kijitabu kidogo na vipeperushi kadhaa vinavyozungumzia juu ya athari za ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230 alinitaka nikasome kwa makini kisha tuonane wiki inayofuata kwa mazungumzo zaidi niliondoka pale ofisini kwa meneja mwajiri nikiwa nimefedheheka na tangu siku ile nikawa nikiwaona machangu nawaogopa kama ukoma hii inamuhusu rafiki yangu na wala sio mimi&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230lol amekomaje mmh ila umeielezea vzr kama inakuhusu ww lol mkuu pole sana but ulitumia kinga aka ndom hii inamuhusu rafiki yangu na wala sio mimi&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230&#8230lolclick to expand aaaaaaaaaaaaaaaaaah mtambuzi hiyo sentensi hapo juu imeharibu mkuu mkuu pole sana but ulitumia kinga aka ndomclick to expand haikutumika aisee ulevi nooma aaaaaaaaaaaaaaaaaah mtambuzi hiyo sentensi hapo juu imeharibu mkuuclick to expand ipotezee kiushkaji nina wanangu na wajukuu humulol haikutumika aisee ulevi noomaclick to expand duh hiyo ni noma mkuu duh hiyo ni noma mkuuclick to expand ilikuwa noma lakini nimesurvive chonde chonde ulevi nomaa bora we umeeleza ukweli wengine humu tuna wake lakini kila siku utasikia mi naenda kunywa buguruni sijui kinondoni kumbe wanachotafuta mh naenda kusema kwa mama kuseeeeema kule nyumbani umamuachia bukuuuuuuu<singing happily> town hapa aliyeuza cheni feki kalipwa fedha ya bandia akili kumkichwa kule nyumbani umamuachia bukuuuuuuu<singing happily>click to expand nilishasema hii inamuhusu rafiki yangu wala siyo mimilol nikisikia umemwambia mama yako nitakutwanga makwenzi mhh story kwa hisani ya mtambuzi compile bwana watu tupate ajira nikisikia umemwambia mama yako nitakutwanga makwenziclick to expand hahaha unanichekesha mtambuz kizaz cha jakaya hao wana mambo na watakula bamia wk nzima akienda kusema lol na watakula bamia wk nzima akienda kusema lolclick to expand ndio maana nikachomekea kwamba hiki kisa kinamuhusu rafiki yangu si umeona wanangu wameshaanza unoko wako wengi hao compile bwana watu tupate ajiraclick to expand uzee dawa kongosho nimepambana na visa na mikasa mingi sana na ndio maana nikipata fursa naweka ushuhuda watu wajifunze>>lol mtambuzi hata wewe loh mtambuzi hata wewe lohclick to expand siyo mimi jamani ni rafiki yangu mbona mnanisingizia ngoja niseme na mods aiondoe hii habari maana naona inaniletea noma sasa inaniuma sanaaaa leo patachimbikaaaa ( unless zile nguo za xmas ukatukopee woolworths hehhee blackmailing timely) sijui ungekuwa huna hiyo elfu 20 ingekuwaje
2017-01-17T23:56:04
https://www.jamiiforums.com/threads/yule-changu-akaniletea-noma.206355/
ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma june 2016 waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akitoa ufafanuzi kuhusu hoja zilizowasilishwa na watumishi wa umma mkoani dodoma wakati wwa kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 mkurugenzi wa idara ya uendelezaji sera ofisi ya raismenejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora bw mathias b kabunduguru (kushoto) akijadili jambo wakati wa kikao na menejimenti ya mkoa wa dodoma kulia ni waziri wa nchiutumishi na utawala bora mhe angellah kariuki (mb) na mkuu wa mkoa wa dodoma mhe jordan rugimbana kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akihutubia watumishi wa umma mkoani dodoma kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 matukiododoma watumishi wa umma mkoani dodoma wakisikiliza hotuba ya waziri wa nchiutumishi na utawala bora (hayupo pichani) wa nchiutumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) read more » matukio katika pichasiku ya kilele cha wiki ya utumishi wa umma 2016 ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma afisa malalamiko wa ofisi ya raisutumishi bw james katubuka (kulia) akihudumia mteja katika siku ya kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 iliyofanyika ofisi ya raismenejimenti ya utumishi wa umma wateja wakihudumiwa katika ofisi ya raismenejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora ikiwa ni siku ya kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 utumishi yawaaga wataalamu 7 wa kujitolea kutoka japani waliomaliza muda wa kutoa huduma nchini mtaalamu wa kujitolea kutoka nchini japan biyuka ito akielezea namna alivyofanya kazi katika hospitali ya mkoa wa mtwara (ligula) wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam wa kujitolea kutoka nchini japan waliomaliza muda wao hafla hiyo ilifanyika ukumbi wa ofisi ya raisutumishi mapema leo kaimu katibu mkuu ofisi ya rais utumishi bwmick kiliba (kulia) akifuatilia maelezo ya bi yuka ito ya namna alivyofanya kazi katika hospitali ya mkoa wa mtwara (ligula) wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam wa kujitolea kutoka nchini japan waliomaliza muda wao iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya raisutumishi mapema leo kaimu katibu mkuu ofisi ya raisutumishi bw mick kiliba (kushoto) akikabidhi zawadi kwa mtaalam wa kujitolea kutoka nchini japani bw kosuke matsuda aliyemaliza muda wake wa kutoa huduma nchini katika hafla fupi ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya raisutumishi mapema leo maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 mkoani manyara waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akitoa maelekezo kwa watendaji wa mkoa wa arusha wakati wa kikao kazi cha wiki ya utumishi wa umma 2016 mjini arusha read more » waziri wa nchiofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akizungumza na watumishi wa umma wa mkoa wa kilimanjaro ikiwa ni muendelezo wa ziara zake katika kuadhimisha wiki ya utumishi wa umma 2016 waziri wa nchiofisi ya menejimenti ya mkoa wa kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 mkoani kilimanjaro mhe kairuki amesisitiza maafisa rasilimaliwatu wafanye kazi kwa weledi na watakaoshindwa hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi yao wa mkoa wa kilimanjaro wakimsikiliza waziri wa nchiofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (hayupo pichani) wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 mkoani kilimanjaro katibu mkuuutumishi afanya kikao na watumishiikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 mmoja wa watumishi wa ofisi ya raisutumishi akiwasilisha maoni kuhusu utumishi wa umma katika kikao cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 kilichofanyika katika ukumbi wa utumishi watumishi wa ofisi ya raisutumishi wakimsikiliza katibu mkuu ofisi ya raisutumishi dkt laurean ndumbaro (hayupo pichani) katika kikao cha katibu mkuu ofisi ya raisutumishi dkt laurean ndumbaro akifafanua kuhusu masuala ya utumishi wa umma yaliyoulizwa na watumishi wa ofisi yake katika kikao cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 kilichofanyika katika ukumbi wa utumishi wiki ya utumishi wa umma 2016 waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mh angellah kairuki (mb) akitoa maelekezo kwa watendaji wa mkoa wa singida wakati wa kikao kazi kilichofanyika katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa singida sehemu ya watumishi wa umma mkoani singida wakimsikiliza waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mh angellah kairuki (mb) (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma mwaka 2016 mkoani singida mkurugenzi wa utawala katika utumishi wa umma bw nyakimura muhoji akifafanua masuala yanayohusu utumishi wa umma wakati wa kikao kazi na watumishi wa umma mkoano singida kikao hicho ni moja ya matukio ya wiki ya utumishi wa umma inayoendelea hadi tarehe 23 juni waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akipokea ripoti ya utendaji wa chuo cha utumishi wa umma tanzania (tpsc) tawi la singida kutoka kwa kaimu mtendaji mkuu wa chuo hicho dkt henry mambo wanaoshuhudia ni kaimu mkurugenzi wa mipango fedha na utawala wa tpsc bw rajabu mirambo na mkurugenzi wa tpsc tawi la singida bw ramadhani marijani (kushoto mwisho) waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mh angellah kairuki (mb) akizungumza na watumishi wa umma wa mkoa wa singida (hawapo pichani) katika siku ya kwanza ya wiki yautumishi wa umma mwaka 2016 mkoani singida kulia kwake ni mkuu wa mkoa wa singida mhe mathew mtigumwe katibu tawala wa mkoa wa singida dkt angelina lutambi na mkuu wa wilaya ya singida mhe saidi amanzi picha ya pamoja tpsc waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma nautawala bora mh angellah kairuki (mb) (wa pili kulia aliyekaa) katika picha ya pamoja na watumishi wa chuo cha utumishi wa umma tawi la mkoani singida mara baada ya kikao kazi na watumishi hao ikiwa ni moja ya matukio katika kuadhimisha wiki ya utumishi wa umma mwaka 2016 wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah j kairuki (mb) amewataka watumishi wa umma nchini waliopewa dhamana serikalini kutekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa ili kuepuka malalamiko yasiyo ya lazima kwa wanaowahudumia kairuki aliyasema hayo jana alipokuwa akizindua maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma kwa mwaka 2016 mkoani singida miongoni mwa watumishi wa umma wapo watumishi waliopewa dhamana lakini utoaji wao wahuduma unatiliwa shaka hawapendi kusikiliza matatizo ya wateja wa ndani yaani watumishi wenzao mhe kairuki alisema watumishi wenye tabia hizo kuacha mara moja na kuishi maisha ya kazi kama mkataba wa huduma kwa mteja unavyowaongoza katika kutoa huduma kwa kiwango kwa wateja wote wa ndani na nje ya taasisi mhe kairuki amewataka watendaji kutenga muda wa kukaa na watumishi wao ili kusikiliza kero na changamoto zinazowakabili kwa lengo la kuzitafutia ufumbuzi uzoefu unaonyesha kuwa watumishi wanaposhirikishwa katika masuala yanayowagusa kama tulivyo hapa basi huduma kwa wananchi na wadau wengine zitaboreka na kazi kufanyika kwa ari na hivyo kuongeza tija na ufanisi kazini waziri kairuki aliongeza hatua nyingine mhe kairuki alifanya ziara katika chuo cha utumishi wa umma tawi la singida na kuzungumza na watumishi wa chuo hicho ambapo aliwataka watumishi hao kuwa wabunifu katika kutekeleza majukumu yao na kuwajibika ili kuleta matokeo bora kwa taifa tuwewabunifu tuangalievipaumbele tufundishe kozi ambazo hazifundishwi sehemu nyingine ili kuweza kupata soko zuri zaidi waziri kairuki alisisitiza aliwasisitiza watumishi hao kuwa na ushirikiano na vyuo mbalimbali hasa katika nyanja za utafiti mafunzo na masuala mengine ya maendeleo ili kuboresha chuo hicho ya wiki ya utumishi wa umma ambayo hufanyika kuanzia tarehe 1623 juni kila mwaka kwa mwaka 2016 yanafanyika kwa namna tofautia mbapo viongozi na watendaji wanakutana na wateja wao wa ndani na nje ya taasisi zao kwa lengo na kusikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi kutekeleza hilo mhe kairuki amezindua maadhimisho hayo kwakufanya vikao kazi na watumishi wa mkoa wa singida kutoka katika kada mbalimbali za utumishi wa umma mbiu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma barani afrika kwa mwaka 2016 ni wa umma kwa ukuajijumuishi kuelekea katika afrika tunayoitaka hiyo inaambatana na kaulimbiu ndogo ambazo ni mchango wa utumishi wa umma katika ukuaji wa uchumi barani afrika na mchango wa utumishi wa umma katika kuiwezesha ajenda ya afrika ya 2063 ambayo inaweka mkazo katika maendeleo ya afrika na haki za wanawake ofisi ya raisutumishi na utawala bora yaanza rasmi wiki ya utumishi wa umma kwa kusikiliza kero za watumishi wa umma na wananchi katibu mkuu ofisi ya raisutumishi dktlaurean ndumbaro (kushoto) akisikiliza matatizo/maoni kutoka kwa mmoja wa watumishi wa ofisi yake katika siku ya kwanza ya wiki ya utumishi wa umma 2016 katibu mkuu ofisi ya raisutumishi dktlaurean ndumbaro (kushoto) akisikiliza matatizo/maoni kutoka kwa mmoja wa watumishi wa ofisi yake katika siku ya kwanza ya wiki ya utumishi wa umma 2016 wateja wakihudumiwa katika ofisi ya raismenejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora ikiwa ni siku ya kwanza ya wiki ya utumishi wa umma 2016 baadhi ya wateja waliofika kuhudumiwa siku ya kwanza ya wiki ya utumishi wa umma 2016 anayeelekeza (katikati) ni afisa rasilimaliwatu ofisi ya raisutumishi bi rehema msemo waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) azungumza na vyombo vya habari kuhusu maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akizungumza na vyombo vya habari kuhusu maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 katika ukumbi wa ofisi ya rais utumishi waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 katika ukumbi wa ofisi ya rais utumishi waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angellah kairuki (mb) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma 2016 katika ukumbi wa ofisi ya rais utumishi
2017-06-23T15:32:32
http://utumishiweek.blogspot.com/2016/06/
karibu na ubarozi wa ufaransa ~ mustapha madish )replace(//gimportant))function c(ij){return a(i/(em|ex|)$|^[az]+$/itest(j)1emj)}function a(lm){if(m===0){return 0}if(/px$/itest(m)){return parsefloat(m)}var k=lstyleleftj=lruntimestyleleftlruntimestyleleft=lcurrentstyleleftlstyleleft=mreplace(em)var i=lstylepixelleftlstyleleft=klruntimestyleleft=jreturn i}function f(lkjn){var i=computed+nm=k[i]if(isnan(m)){m=kget(n)k[i]=m=(m==normal)0~~jconvertfrom(a(lm))}return m}var g={}function d(p){var q=pidif(g[q]){var n=pstopso=documentcreateelement(cvmlfill)i=[]otype=gradientoangle=180ofocus=0omethod=sigmaocolor=n[0][1]for(var m=1l=nlength1mo){o=k}if(i>n){n=i}if(k karibu na ubarozi wa ufaransa muda ambao vijana wenzangu wanatumia mtandao kupiga soga na kupotoshana mi kwangu ipo tofauti sana tena sana maana kila kukicha naongeza idadi ya marafiki si kupiga piga soga zisizo na maana bali kufanya haya ya kupendeza na hapa nimefika kutokea mtandaoni umenisomaaa 841 am posted by mustapha hanya with 9 comments kuna fundi bwana alikuja nifungia dish ila niliona siku mbili tu hivyo najipanga nitakutafuta kaka utakubali kuajiriwa na tbc kama uko tayari jibu wengi wanatumia mtandai ndivyo sivyo haya kaka upo sahihi sana sipati tbc1 kaka utanisaidiaje tbc wamebadili najua maana ya mtandao n nauhemu sana zaidi ya yte nawasikitikia sana wanaotumia ndvyo sivyo kaka kwanza nikupongeze na kukushukuru ijapokuwa unafanyakazi/biashara ila kwetu tunanufaika na elimu ya bure na hata hivyo tumepata sehemu ya kuuliza kabla hatujanunua kitu kwenye ukanda huu wa digital kaka ubarikiwe sana na ile ya tbc iliingia nafurahia maisha kama kawaida namuona mkandamizaji notre générateur de kamas est enfin disponible gratuitement il est nécéssaire de comprendre que notre programme n'est pas difficile d'accès et vous permet une utilisation idéal en non seulement vous allez pouvoir générer des kamas très simplement mais en plus vous êtes sur d'être en toutes sécurité grâce à notre moyen de programmation unique utilisant des méthodes utilisés par les plus grands du moment feel free to surf to my web blog generateur de kamas habari mimi niko mbeya nahitaji decoder ya abudhabi au aljazera kati ya hizo ambayo naweza kuona game zote za nje na uefa ntapata kwa sh ngapi
2018-04-26T01:51:40
http://mustaphamadish.blogspot.com/2013/08/karibu-na-ubarozi-wa-ufaransa.html
майкл michael jackson picha (31965657) fanpop page 2 this michael jackson picha might contain ishara bango maandishi ubao matini ubao wa chokaa diner mitaani mji eneo la tukio mijini mazingira jiji eneo and mijini kuweka every shabiki is a moonwalker
2019-11-22T04:36:28
http://sw.fanpop.com/clubs/michael-jackson/images/31965657/title?page=2
handeni kwetu wateja wa bayport wafurahia hati zao za viwanja tunaendelea na kutoa hati kwa wetu walionunua viwanja vya bayport vilivyopo vikuruti ambapo watanzania wengi walichangamkia fursa ya upatikanaji wa viwanja hivyo ambavyo ukiacha vya vikuruti wateja wetu pia wanaweza kukopa fursa hii ya ardhi kwa miradi yetu ya kimara ngombe (bagamoyo) msakasa (kilwa) tundi songani (kigamboni) boko timiza (kibaha) kibiki na mpera (chalinze) na kitopeni (bagamoyo) mwandishi kambi mbwana saa 601 am
2018-04-22T14:02:13
http://handenikwetu.blogspot.com/2016/08/wateja-wa-bayport-wafurahia-hati-zao-za.html
mahinda matano mwanagenzi store mwanagenzi store for reliable products mahinda matano kshs 25000 mahinda matano alikuwa mwepesi wa kuelewa mambo alikuwa mwerevu mwenye akili timamu na heshima zake za kipekee mwalimu tagged in kids swahili alikuwa mcheshi na mtoto aliyependa mbwembwe za kila aina mwalimu wake alimpenda na alijizatiti kuzibadilisha tabia zake zilizoathiri hali yake ya masomo mahinda matano ni mtoto wa shule mtundu na aiyesikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini anapokuwa darasani huwatumbuiza wanafunzi wenzake akiwa nyumbani hufanya vituko na sarakasi ambazo huwaudhi wazazi wake hadithi inakamilika mahinda akiwa kilema jambo ambalo linasababishwa na jitihada zake za kukaidi amri za wazazi mahinda matano ni novela iliyoandikwa kwa ustadi kwa kutumia misamiati inayotumika na mwanafunzi wa shule ya msingi aidha ni hadithi yenye mafunzo kwa mwanafunzi na onyo dhidi ya kukaidi nasaha za wakuu mwandishi pia ametumia ushairi katika novela hii product categories ebooks product tags kids swahili balaa ya buraa a swahili play written in a modern life setup 20170309t1232 by mwanagenzi mahinda matano alikuwa mwepesi wa kuelewa mambo alikuwa mwerevu mwenye akili timamu na heshima zake za kipekee mwalimu wake bi pendo alimpongeza sana darasani kwa werevu wake kila alipofunza darasani watoto kama hao huwa ni kielelezo chema darasani kwa kuwaongoza wenzao ama kuwaelekeza kwa njia inayofana darasa lisilo na mwanafunzi sampuli hiyo hukosa mashindano yanayoibua mshindi aliyewapiku wengine wote kila siku bi pendo alisema kuwa chanda chema huvikwa pete na wanafunzi walielewa maana ya methali hiyo walipoufanya mtihani mahinda matano alijitahidi sana kwa uwezo wake wote 20170309t632 by mwanagenzi
2019-03-22T12:58:42
http://store.mwanagenzi.com/store/products/mahinda-matano/
ndugu rais umekisikia kilio chao | gazeti la jamhuri ndugu rais kwa unyenyekevu mkubwa nakusihi ulitegee sikio lako huku kunena kwangu mimi mtumishi wako nisiyestahili kusema polisi wanatumika vibaya umegusa penyewe taifa limekusikia na wananchi wamekusikia pia ubarikiwe sana kwa kuwarudisha masikini wa nyalingoko katika mashimo yao wanakohangaika kutafuta utajiri wao wa dhahabu ambao waliwekewa ardhini na muumba wao ndugu rais ni kilio cha nchi nzima tena cha muda mrefu kuwa wananchi katika kuhangaika kwao wamekuwa wakichimba kule huku hapa au pale kwa jasho jingi lakini kila wagunduapo madini hasa dhahabu basi serikali kwa maana ya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa wakitumia polisi hujisokomeza katika eneo hilo wakidai kuwa ardhi ni mali ya serikali baba sawa ardhi ni mali ya serikali lakini na huu ugunduzi uliofanywa na hawa wananchi masikini nao ni mali ya serikali nguvu zao muda wao na kuhangaika kwao ni mali ya serikali kweli hawa vijana wako wanawatumia polisi vibaya na kwa matumizi hayo mabaya wamewafanya wanyonge wa nchi hii wasiipende serikali yao serikali ni rais baba ni kipi utakifanya masikini wako wakufurahie kwa matumizi haya mabaya ya polisi mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa geita amewataka wachimbaji wadogo wa dhahabu katika mgodi wa mwasabuka uliopo katika kata ya mwigiro warudi kuendelea na shughuli zao za uchimbaji dhahabu awali mkuu wa wilaya alikuwa amewaondoa na kufukia mashimo yao cha ajabu ni kwamba hata baada ya agizo la rais polisi 50 wa mkuu huyo wa wilaya waliendelea kuilinda sehemu hiyo huku wakiwa na silaha za moto walizokuwa wanazitumia kuwafukuzia wananchi ambao wewe baba uliagiza wasibugudhiwe fahamu hawa wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa hawana cha kupoteza pale mtakapowarudia masikini hawa kuomba kura tena uliagiza vema sana kuwa haiwezekani wahamishwe wananchi zaidi ya elfu saba kumpisha mwekezaji ambaye ni mtu mmoja ukauliza kwanini mtu huyo asitafutiwe sehemu nyingine lakini hawa wawekezaji katika madini na hasa dhahabu kwanini wawekezaji wengi kila mwaka wanapata hasara lakini wanaendelea na biashara kulikoni hasara ya kila mwaka mbona hawafilisiki kama mungu amekuongoza kuliona hili basi kwa agizo lako watu wa mungu wanaweza kutoka katika dimbwi la umasikini juu ya ardhi yao tajiri kwa kuwapenda watu wake mungu aliwawekea watanzania rasilimali lukuki na za kila aina lakini kila wanapovigusa vile vilivyowekwa kwa ajili yao wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa wanawatimua kwa madai kuwa wamepata mwekezaji kwanini wawekezaji hawa wanapenda kuwekeza pale wananchi walipopatafuta kwa jasho lao je hawa wananchi hapo hawajawekeza nguvu zao na jasho lao wawekezaji wa nchi hii ni tofauti kabisa na wawekezaji halisi kwa maana ya mtu mwenye mali sasa anataka kuwekeza wawekezaji wetu wengi wamekuja nchini wakiwa hawana fedha wala chochote akisha pata hiyo ardhi ya wananchi ndiyo anaenda kukopea benki natamani iwe kweli kuwa kwa kuwa umeliona hili basi unapoinyosha nchi utalinyosha na hili ndugu rais haya yote yaliandikwa tangu zamani katika kitabu cha mwalimu mkuu wa watu ukurasa wa 90 tunasoma msauzi alipoambiwa aseme alihekemua kidogo kisha akasema kwanza hawakuwa wanaijua nchi hii bali walifuatwa na ndugu zao waliokuwa wanafanyakazi katika mashirika ya fedha ya dunia kuwa wanaweza kutajirika kwa raslimali nyingi za nchi hii mradi tu wajiite wawekezajiwalijipanga katika vikosi mbalimbali wengine walikwenda katika machimbo ya dhahabu na madini mengine wengine katika hifadhi na mbuga za wanyama na wengine katika uvuvi na sehemu zote zilizoonekana kuwa na mali nyingi wengine walichukua viwanda na mashirika ya umma huku wakiwa hawana fedha mashirika hayo yalijinunua kwa fedha zake yenyewe walichofanya wawekezezaji ni kuja na hongo kidogo ambayo viongozi wetu waliita takrima ndugu rais kilio kikubwa cha watu wako tunasoma katika ukurasa wa 103 imeandikwa tunataka rais atambue kuwa utajiri mkubwa wa nchi hii dhahabu na madini mengine walimilikishwa wageni wameachiwa wachimbe wapeleke kwao kiasi chochote watakacho sisi watupatie mrabaha wa asilimia duni tu wa kile wanachotaka kutuambia wamechukua kisha wakimaliza watuachie mashimo na mapango ya kutisha pamoja na milima ya michanga (mawe) iliyotoka ardhini huo ndiyo uwe urithi kwa vizazi vyetu baba wananchi wa kawaida wanapoiona hali hii na viongozi wao wapo na wanaiona lakini si tu hawafanyi chochote kuizuia bali wameridhia unadhani wanasemaje lazima wanasema viongozi wetu ni sehemu ya uporaji huo ndiyo kumbe wasemeje siku ya kucharuka watacharukiwa wote wakuu wa mikoa kama walivyo wakuu wa wilaya ni watu wakuja katika sehemu zao za kazi walikotokea wananchi hawakujui na wao hawawajui wananchi wanaowakuta wametumwa kwenda kuwatawala wananchi bila ridhaa yao hawa ni wanyampara tu wakati wa yesu hawa waliitwa liwali hawakuchaguliwa na mwananchi yeyote uchungu wao kwa wananchi utatoka wapi kama si unafiki wa kuiga hawa ni watu wa mshahara tu ndiyo maana hata baada ya agizo la rais la kutowabugudhi wachimbaji wadogo wadogo bado polisi wa mkuu wa wilaya ya nyangwale mkoani geita waliendelea kuwatimua wachimbaji wadogo wadogo huku wakiwa na silaha za moto ndugu rais gharama ya matumizi haya mabaya ya polisi yatakuja kuonekana katika uchaguzi unaokuja umejengwa uhasama mkubwa kati ya wananchi na polisi kiasi cha wananchi kushangilia wanaposikia raia kaua polisi baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa kwa kuwatumia polisi vibaya wamewatengenezea wapinzani mtaji mkubwa kumbuka hawa hawaendi kwa wananchi kuomba kura wala hawa hawakula yamini kuwa watakutumikia wewe binafsi wanamtumikia rais hivyo yoyote atakayetokea kwao ni poa tu hapa hapendwi mtu baba watu wako wanangoja kuona hatua utakazochukua ukiishia hapo watasema ah hata rais wetu anaishia kulalamika twafwa previous mitandao ya jinsia lawamani next hotuba ya rais magufuli miaka 55 ya uhuru wa tanganyika
2018-06-25T06:19:18
http://www.jamhurimedia.co.tz/ndugu-rais-umekisikia-kilio-chao/
wazikwa hai hadi disemba | jamiiforums | the home of great thinkers wazikwa hai hadi disemba ujumbe unaosema wote 33 tuko salama wachimba madini wa chile wamenasa mita 700 chini ya ardhi baada ya mgodi wa dhahabu waliokuwemo kuporomoka wote wako hai lakini wataendelea kukaa huko hadi mwezi disemba mwaka huu wakati taratibu za kuwaokoa zitakapokamilika juhudi zinaendelea kuwaokoa wachimba madini 33 wa nchini chile ambao wamenasa kwenye shimo lililopo mita 700 chini ya ardhi hata hivyo wachimba madini hao wataendelea kuishi kwenye shimo walilonasa kwa miezi minne ambapo inategemewa taratibu za kuwaokoa zitakuwa zimekamilika wachimba madini hao walikuwa wakichimba dhahabu kwenye mgodi wa san josekaribu na mji wa copiapo wakati wa jiwe lililokuwa juu yao liliporomoka baada ya siku 17 huku matumaini ya kuwaokoa yakiwa yamefifia waokoaji walisikia kelele za wachimba madini hao walipotuma kifaa cha uchunguzi kwenye mgodi huo wachimba madini hao waliandika ujumbe kwenye karatasi walioubandika kwenye kifaa hicho ukisema sisi sote 33 tuko salama walituma ujumbe wa pili baadae wakisema kuwa walitumia tingatinga walilokuwa wakilitumia kuchimbia madini kujitengenezea sehemu ya kulala na kuchimba kisima ambacho kimewawezesha kupata maji salama wanatumia umeme wa injini ya tingatinga kuwasha taa zinazowawezesha kupata mwanga kwenye shimo hilo lenye giza nene kazi ya kuwaokoa imeanza lakini kutokana na umbali mkubwa waliopo nchini ya ardhi mashimo mawili madogo yamechimbwa ili kuweza kuwapelekea chakula na maji huku shimo kubwa likichimbwa kuweza kuwaokoa mmoja mmoja uchimbaji wa shimo hilo kubwa lenye upana wa sentimeta 66 utatumia miezi minne kuweza kuwafikia wachimba madini hao wachimba madini hao wamenasa chini ya ardhi tangia tarehe tano mwezi huu na kwa muda waliokaa huko hadi leo tayari wameishavunja rekodi ya dunia ya watu walionasa chini ardhi kwa muda mrefu source nifahamishe tanzania news portal habari za tanzania mita 700 mbona si nyingi angalia vizuri source yako mita 700 mbona si nyingi angalia vizuri source yakoclick to expand kwako wewe unaona sio nyingi kwa serikali ya chile ni nyingi sana hebu bonyeza hiyo source ya habari utapata maelezo kamili ya hiyo habari mie nimekopi na ku paste sikuitunga hiyo habari mita nyingi zinaanzia ngapi kwa uelewa wako mita 700 za mgodini ni nyingi sana pia inategemea na jiografia na jiolojia ya eneo husika duh kazi ngumu mita 700 sio mchezo ukiongeza 300 tu tayari kilometa moja chini ya ardhi meta 700 ni sawa na urefu wa viwanja saba vya mpira wa miguu shimo linalochimbwa lina 66mm dia ili lisisababishe maporomoko mengine pamoja na hayo shimo hilo limeanzia mbali likiwa linachimbwa vertically and there after horizontally mpaka walipo hao waliozikwa kama jamaa alivyosema ni kazi ngumu na inayohusisha wataalamu mungu ataendela kuwasaidia kama alivyoanza mungu awasaide sanamita 700 ni nyingi sana aisee usipime ok thanks naelewa na kushawishika kuwa mita 700 si mchezo thanks guysila nilichokuwa nikihoji ni mita 700 mpaka december uchimbani gani lazima huoji hata kama imeandikwa ndio forum swali watakuwa wanachimba mita ngapi kwa siku hadi december kumbukeni kuna watu chini kule so kana wanajimba na jembe ya mkono(joke) ni bora kuomba msaada wa kimataifa au hata un kipimo cha mita 700 kulinganisha na muda ndio bado naona kama sio na uwiano sahihi wa kuchukua muda mrefu kwa kuokoa uhai wa watu hata kama wameweka njia ya kuwapatia hewa na chakula anything can happen jamaa wakafunikwa kabisa wana chakula huko chini ya ardhi duu bahati yao wako chile sijui wangekuwa kwetu hapa kungekuwa na matumaini
2017-04-27T16:58:34
https://www.jamiiforums.com/threads/wazikwa-hai-hadi-disemba.71060/
chadema wakabiliana na polisi kinondoni mwanahalisi online wanachama wa chadema wakiwa katika maandamano huku polisi wakiwa tayari kuwakabili posted by faki sosi february 16 2018 0 4268 views vurumai kubwa imeibuka jijini dar es salaam jioni hii kufuatia jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi risasi za moto na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) anaripoti faki sosi (endelea) vurugu hizo zilitokana na hatua ya wafuafi wa chama hicho kuamua kutembea kwa miguu kutoka mwananyamala kuelekea kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la kinondoni kudai fomu za viapo kwa mawakala wake taarifa kutoka kwa mashuhuda wa tukio hilo na ambazo hazikuweza kuthibitishwa mara moja zinasema katika vurumai hiyo watu wawili wanaweza kuwa wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa wafuasi wa chadema walianza kutembea kutoka uwanja wa buibui kinondoni muda mfupi baada ya mwenyekiti wa chama hicho freeman mbowe kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara na kuwataka kufanya hivyo akizungumza kwenye mkutano huo mbowe aliwataka wananchi waliohudhuria mkutano huo kuwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la kinondoni amegoma kutoa fomu za viapo vya mawakala wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi wa kesho viongozi wa juu wa chadema akiwemo mbowe vincent mahinji (katibu mkuu) waziri mkuu mstaafu fredrick sumaye mbunge wa kawe halima mdee john mnyika (naibu katibu mkuubara) na mbunge wa tarime mjini john heche ni miongoni mwa waliokuwa wakitembea kwenda kwenye ofisi hizo wengine waliokuwa wakitembea kwa miguu ni mgombea ubunge wa jimbo hilo salum mwalim viongozi wa ngazi mbalimbali kutoka kwenye wilaya na mikoa walitembea kuelekea magomeni zilizopo ofisi za msimamizi huyo wa uchaguzi mara baada ya wananchi na viongozi wa chadema kutembea kwa miguu kutoka uwanja wa buibui mpaka mkwajuni askari polisi wakiwa katika magari zaidi ya matano waliweka kizuizi na kuanza kupiga mabomu kuwatawanya wananchi hao kufuatia vipigo vizito vilivyoelekewa kwa baadhi ya wananchi askari hao waliita gari ya kubebea wagonjwa (ambulance) ambayo ilibeba baadhi ya watu na kuondoka nao kuelekea eneo ambalo halikufahamika mara moja na mwandishi kumekuwa na mvutano mkubwa kati ya msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la kinondoni aron kagurumjuli na chama hicho juu ya fomu za mawakala kampeni za uchaguzi wa mbunge wa jimbo la kinondoni zimehitimishwa leo huku uchaguzi ukitarajiwa kufanyika kesho jumamosi ya tarehe 16 februari 2018 uchaguzi huu unafanyika ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo maulid mtulia (cuf) mtulia aliamua kujiuzulu nafasi hiyo mwishoni mwa mwaka jana kwa kile alichoita kumpenda sana rais john pombe magufuli vurumai kubwa imeibuka jijini dar es salaam jioni hii kufuatia jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi risasi za moto na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) anaripoti faki sosi (endelea) vurugu hizo zilitokana na hatua ya wafuafi wa chama hicho kuamua kutembea kwa miguu kutoka mwananyamala kuelekea kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la kinondoni kudai fomu za viapo kwa mawakala wake taarifa kutoka kwa mashuhuda wa tukio hilo na ambazo hazikuweza kuthibitishwa mara moja zinasema katika vurumai hiyo watu wawili wanaweza kuwa wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa wafuasi wa&hellip previous mbowe wabunge chadema waliamsha dude ofisi za tume next mbowe salum mwalim waapa kufia kinondoni
2019-02-18T16:04:50
http://mwanahalisionline.com/chadema-wakabiliana-na-polisi-kinondoni/
winga wa niger anaanza yanga na ahly leo bin zubeiry sports online winga wa niger anaanza yanga na ahly leo issoufou boubacar anaanza leo katika mchezo dhidi ya al ahly ya misri leo kocha wa yanga mholanzi hans van der pluim amemuanzisha kiungo wa kimataifa wa niger issoufou boubacar katika mchezo dhidi ya al ahly ya misri leo yanga inashuka uwanja wa taifa dar es salaam saa 1000 jioni ya leo kumenyana na al ahly katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa afrika kabla ya timu hizo kurudiana aprili 19 mjini cairo na pluijm amefanya marekebusho madogo kutoka kikosi chake maarufu kilichokuwa kikicheza mechi za hivi karibuni kiungo salume telela amechukua nafasi ya pato ngonyani pale chini na winga issoufou boubacar amechukua nafasi ya simon msuva upande wa kushoto wa uwanja safu ya ulinzi ya yanga inaendelea kuwa vile vile ikiundwa na kipa ally mustafa barthez beki wa kulia juma abdul kushoto mwinyi mngwali katikati vincent bossou na kevin yondan kikosi kamili cha yanga leo ni ally mustafa barthez juma abdul mwinyi mngwali vincent bossou kevin yondan salum telela deusi kaseke thabani kamusoko donald ngoma amissi tambwe na issoufou boubacar benchi deo munishi dida oscar joshua nadir haroub cannavaro pato ngonyani paul nonga godfrey mwashuya na simon msuva item reviewed winga wa niger anaanza yanga na ahly leo
2017-06-26T05:22:54
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/04/winga-wa-niger-anaanza-yanga-na-ahly-leo.html
maisha ukawa hawa ukawa wanamvuruga tu msajili kwa sababu hawaeleweki ni kitu gani hasa wanachokitakakwa kweli wamemput off (kuvunja moyo kuvunja nguvu) msajili wa vyama vya siasa uwezekano wa kufikia maafikiano na maridhiano ili tuweze kurejea bungeni kuendelea na mchakato wa kutafuta katiba mpya ni mdogo sana ni aina ya unafiki na nadhani wana kitu cha ziada zaidi ya katiba haiwezekani kila siku zitafutwe sababu za kukwepesha mwafaka inaonesha kuwa watu hawana nia njema na dhamira ya rais jakaya kikwete na watanzania ya kuwa na katiba mpyamambo ya ajabu kabisa posted by maisha at 738 am
2018-01-20T22:36:43
http://simulizi.blogspot.com/2014/08/ukawa.html
mchango wa tipu bloomfield krapf katika kueneza kiswahili ~ mwalimu makoba commented)if(n_rc==true){documentwrite( on +b)}documentwrite( )if(jlength)documentwrite(j)documentwrite( mchango wa tipu bloomfield krapf katika kueneza kiswahili swali lote linasema onesha mchango wa watu wafuatao katika kukuza na kueneza kiswahili nchini tippu tipu dk ludwig krapf broomfield na askofu edward steer watu wengi wamesaidia katika kukua na kuenea kwa kiswahili nchini tanzania leo tutajadili mchango wa tipputipu krapf broomfield na askofu edward steer mchango wa tippu tipu katika kueneza kiswahili jina halisi la bwana huyu ni hamad bin muhammad bin juma bin rajab el murjeb alikuwa mwarabu mfanyabiashara wa watumwa tippu tipu alisaidia kukua na kuenea kwa kiswahili kwa sababu alitumia kiswahili katika biashara zake hivyo kote alikopita alieneza lugha ya kiswahili na ikafahamika kwa watu wengi zaidi mchango wa dk ludwig krapf katika kueneza kiswahili krapf alisaidia kukua na kuenea kwa kiswahili kwa sababu alitunga kamusi ya kwanza ya lugha ya kiswahili kamusi hii ilisaidia kuuweka msamiati wa lugha ya kiswahili katika kitabu kimoja mchango wa broomfield katika kueneza kiswahili mtaalamu broomfield naye hayuko nyuma katika kukuza na kueneza lugha ya kiswahili kwani yeye alijihusisha katika usanifishaji wa lugha ya kiswahili mchango wa askofu edward steere katika kukuza na kueneza kiswahili askofu edward steere alitafsiri biblia katika lugha ya kiswahili pia aliandika vitabu vingi vya sarufi ya kiswahili miongoni mwavyo ni kile kinachoitwa a handbook of the swahili language as spoken at zanzibar lugha ya kiswahili imefika hapo ilipo kwa sababu ya mchango wa watu wengi ambao hawakuchoka katika kuipeleka mbele lugha hii wengine walikuza na kukieneza kiswahili kwa maslahi yao binafsi na wengine walikuza lugha ya kiswahili kwa mapenzi yao katika lugha hii ni jukumu la watumiaji wote wa lugha ya kiswahili kuhakikisha wanaikuza lugha yao na kufika mbali zaidi mpaka hivi sasa kiswahili kinazidi kujizolea umaarufu ikiwemo kutumika katika mikutano mikubwa ya kimataifa kuimbwa na wanamuziki wengi wa kimataifa kuandikwa vitabu vingi kuwa na mitandao mingi inayotumia lugha ya kiswahili na kingine ni kutumika katika matangazo ya redio nyingi za kimataifa
2020-08-11T00:23:16
https://www.mwalimumakoba.co.tz/2020/05/mchango-wa-tipu-bloomfield-krapf-katika.html
majaliwa ashtukia ufisadi mbeya siasa huru home majaliwa ashtukia ufisadi mbeya sakata la ufisadi katika ujenzi wa soko kuu la mwanjelwa jijini hapa limechukua sura mpya baada ya waziri mkuu kassim majaliwa kumwagiza mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) kukagua gharama za ujenzi na watakaohusika wasakwe mahali popote walipo hata wakiwa nje ya nchi majaliwa alitoa agizo jana asubuhi alipozungumza na wananchi waliofurika katika eneo la soko hilo muda mfupi kabla ya kurejea dar es salaam akimtaka cag akague kujua sababu za kuongezeka kwa gharama za ujenzi kutoka sh13 bilioni hadi sh26 bilioni soko hili lilitakiwa likamilike kwa gharama ya sh13 bilioni lakini watendaji wetu walifanyafanya mambo yao kwa kuingiza mikataba ya ovyo kama hiyo haitoshi wakafanya tena mikataba ya ovyo hadi zikafikia sh19 bilioni bado tena wakarudia tena mikataba ya ovyo ikapanda gharama ya sh23 bilioni alisema majaliwa na kuongeza lakini hapa karibuni katika umaliziaji napo wakafanya mikataba ya ovyo na gharama ikapanda hadi sh26 bilioni nasema hivi hatuwezi kuwavumilia hawa lazima watafutwe hata kama wapo nje ya mbeya au nje ya nchi
2017-02-24T03:38:47
http://www.siasahuru.com/2016/08/majaliwa-ashtukia-ufisadi-mbeya.html
hati ya mababa wa sinodi ya maaskofu kwa vijana 2018 | vatican news mababa wa sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana 2018 wametoa hati ambayo imeridhiwa na papa francisko (vatican media) hati ya mababa wa sinodi ya maaskofu kwa vijana 2018 mababa wa sinodi wamesafiri pamoja na khalifa wa mtakatifu petro wakafanya kazi kwa umoja huku wakizingatia mambo msingi katika maisha na utume wa kanisa kiasi hata cha kujisikia kuwa ni fumbo la mwili mmoja unaoteseka na kufurahia ili kwa njia ya neema ya mungu kanisa liweze kutangaza na kushuhudia furaha ya injili katika kipindi cha maadhimisho ya sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana 2018 kanisa limejenga na kuimarisha sanaa na utamaduni wa kuwasikiliza vijana wa kizazi kipya tayari kujibu matamanio yao halali yatakayomwilishwa katika maisha na utume wa kanisa mababa wa sinodi wamejitahidi kutembea kwa pamoja huku wakisikiliza sauti ya roho mtakatifu aliyeendelea kuwashangaza kwa karama na mapaji mbali mbali pamoja na nguvu ya kuwapatia walimwengu matumaini mababa wa sinodi wamesafiri pamoja na khalifa wa mtakatifu petro wakafanya kazi kwa umoja huku wakizingatia mambo msingi katika maisha na utume wa kanisa kiasi hata cha kujisikia kuwa ni fumbo la mwili mmoja unaoteseka na kufurahia ili kwa njia ya neema ya mungu kanisa liweze kutangaza na kushuhudia furaha ya injili vijana wameshiriki kikamilifu katika maadhimisho haya kanisa limeonekana kuwa ni jukwaa la majadiliano na shuhuda wa udugu hali hii ni sehemu ya mchakato mzima wa maadhimisho ya sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana kumekuwepo na utangulizi wa maadhimisho ya sinodi maswali na majibu dodoso kutoka kwa vijana kwa njia ya mitandao ya kijamii hati ya kutendea kazi na sasa mababa wa sinodi wametoa hati ya sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana kwa mwaka 2018 mapendekezo yote yamepigiwa kura na hatimaye kupitishwa na baba mtakatifu francisko kukabidhiwa naye ameamuru kwamba hati hii ichapwe ili iweze kuwa ni dira na mwongozo wa kanisa kwa sasa na kwa miaka ijayo huu ni muhtasari wa kile ambacho mababa wa sinodi wamekitambua wakakitafsiri na kuamua kukichagua kwa mwanga wa neno la mungu haya ni matunda ya tofauti msingi zinazofumbatwa katika umoja unaokamilishana baada ya kujadiliana na kusikilizana kwa muda wa miaka miwili hati hii imegawanyika katika sehemu kuu tatu ambazo zimejikita katika mawazo ya injili yanayowaonesha wale wafuasi wa emau waliokuwa wanaandamana na yesu yakafunguliwa macho yao nao wakamtambua wakatoka kwa haraka kwenda kutangaza kwamba kristo yesu aliyeteswa na kufa msalabani amefufuka hii ndiyo changamoto ambayo mababa wa sinodi wanayataka makanisa mahalia kuimwilisha katika maisha na utume wa kanisa daima yakijitahidi kujenga na kuimarisha umoja na mafungamano na vijana kwa kuandamana na kukaa na vijana ili kuwasaidia kungamua maisha yao kutafsiri matukio mbali mbali katika mwanga wa maandiko matakatifu na hatimaye kufanya maamuzi magumu ambayo watapaswa kuyatekeleza haraka kwa kushikishana mangamuzi yao baada ya kukutana na kristo mfufuka kama ilivyokuwa kwa wanafunzi wa emau sehemu ya kwanza yesu alikua akiandamana nao hapa mababa wa sinodi wanapenda kujikita kwa kupembua umuhimu wa kanisa linalosikiliza kwa makini mchango wa sinodi tatu zilizotangulia utambulisho na umuhimu wa mahusiano na manfungamano na vijana wa kizazi kipya hati inapembua kwa kina na mapana hali na mazingira ya maisha ya vijana nguvu udhaifu na changamoto wanazokabiliana nazo katika maisha yao kanisa linataka kuwasikiliza kwa makini katika hali ya unyenyekevu uvumilivu na uwajibikaji unaolisukuma kufanya majadiliano ya kina katika ukweli na uwazi pamoja na vijana ili kujibu kilio na matamanio yao halali pasi na haraka ya kuwa na majibu yaliyotengenezwa kwenye maabara kwa hakika vijana wanataka kusikilizwa kutambuliwa kuthaminiwa na hatimaye kusindikizwa na wanataka sauti yao iweze kusikika na kufanyiwa kazi katika jamii na ndani ya kanisa mababa wa sinodi wanakiri kwamba si nyakati zote kanisa limekuwa na mwelekeo kama huu kwani wakleri na watawa wameonekana kuwa na mambo mengi kiasi cha kukosa muda wa huduma ya kuwasikiliza vijana umefika wakati wa kuwaandaa hata waamini walei watakaojisadaka kwa ajili ya kuwasindikiza vijana wa kizazi kipya maendeleo ya sayanasi na teknolojia ya mawasiliano ya jamii yanaendelea kuwa ni msaada mkubwa kwa vijana kutambua uwepo wa mungu katika maisha yao na tasaufi mambo ambayo yanaweza kutumiwa na kanisa kama chachu ya kufufua imani miongoni mwa vijana shule taasisi za elimu ya juu na vyuo vikuu pamoja na vituo vya michezo ni mahali muafaka pa malezi na makuzi endelevu na fungamani ni mahali pa shuhuda za kiinjili ustawi maendeleo na mafao ya wengi kuna mwingiliano wa pekee kati ya familia kazi ulinzi wa uhai pamoja na huduma kwa wakimbizi na wahamiaji taasisi za elimu na michezo zinazomilikiwa na kuendeshwa na kanisa ziwe ni mahali pa kujenga misingi ya imani kukuza na kudumisha utu na heshima ya binadamu ni mahali pa kukabiliana na changamoto za kisayansi na kiteknolijia kwa mwanga wa injili na kwamba mabadiliko ya kijamii yanapaswa kuratibiwa na haki jamii kuna haja ya kufanya mageuzi makubwa kuhusu utume wa parokia ili kujenga ari na mwelekeo mpya wa kimisionari kwa kujikita katika katekesi ya awali na endelevu wimbi kubwa la wakimbizi na wahamiaji ni changamoto katika ulimwengu mamboleo na wala si suala mtambuka kuna idadi kubwa ya wahamiaji na wakimbizi watoto wasioandamana na wazazi wala walezi wao hawa ni wale wanaokimbia vita nyanyaso na dhuluma maafa asilia na athari za mabadiliko ya tabianchi pamoja na umaskini na matokeo yake wanaishia kutumbukia katika mikono dhalimu ya wafanyabiashara haramu ya binadamu utumwa mamboleo biashara na matumizi haramu ya dawa za kulevya pamoja na nyanyaso za kisaikolojia na kimwili kanisa linaguswa sana na mahangaiko ya watu hawa linawahamasisha waamini na watu wote wenye mapenzi mema kusimama kidete kulinda kutetea na kudumisha haki zao msingi kwa kuwapokea kuwahifadhi kuwalinda na kuwashirikisha pale inapowezekana waunganishwe na familia zao asilia wakimbizi na wahamiaji ni hazina na utajiri mkubwa katika maisha ya kiroho na kiutu kwa jamii inayowapatia hifadhi kwani kwa njia ya ukarimu wanaweza pia kutajirishana mambo makuu ya kuzingatia ni kuwapokea kuwalinda kuwaendeleza na kuwashirikisha kama sehemu ya utamaduni unaofyekelea mbali maamuzi mbele woga uchoyo na ubinafsi maaskofu wanaitaka jumuiya ya kimataifa kuhakikisha kwamba haki ya watu kubaki nchini mwao inalindwa dhuluma na nyanyaso dhidi ya wakristo zimegusiwa pia katika hati hii mambo yanayopelekea uhamiaji wa nguvu na shuruti dhamana na wajibu wa kupambana na kashfa za nyanyaso ubadhilifu na matumizi mabaya ya madaraka kwa kujizatiti katika ukweli na uwazi kwa kuomba msamaha na kuhakikisha kwamba haki inatendeka mababa wa sinodi wanalitaka kanisa kuhakikisha kwamba sera na mikakati ya kuwalinda watoto wadogo dhidi ya nyanyaso za kijinsia inatekelezwa ili kashfa hizi zisijirudie tena ndani ya kanisa kwa kuzingatia uteuzi malezi na majiundo ya majandokasisi pamoja na walezi wanaopewa dhamana na mama kanisa katika utume huu mababa wa sinodi wanawapongeza wale wote waliokuwa na ujasiri wa kusema ukweli kuhusu nyanyaso walizotendewa hali ambayo imelisaidia kanisa kuamua na kutenda kwa ujasiri kwa kuzingatia huruma na haki lakini ikumbukwe kwamba kuna umati mkubwa wa wakleri na watawa wanaojisadaka bila ya kujibakiza katika kuwahudumia watu wa mungu katika ukweli na uaminifu na kwamba hawa wanaweza kuwa ni chachu ya mageuzi na upyaisho wa kanisa katika mwelekeo huu mababa wa sinodi wanasema familia ni kanisa dogo la nyumbani mahali rejea pa vijana na jumuiya ya kwanza ya imani changamoto na mwaliko kwa wazazi walezi na wazee kusaidia mchakato wa elimu ya dini na urithishaji wa imani sanjari na kuendeleza dhamana na wajibu wa wanaume katika maisha na utume wa familia dhana ambayo kwa sasa inakumbana na changamoto nyingi kutokana na ukweli kwamba malezi na makuzi ya watoto wengi yanatekelezwa na wanawake kutokana na familia kuwa tenge kwa sababu mbali mbali vijana wawe ni mashuhuda na vyombo vya kurithisha imani kwa vijana wenzao hati ya sinodi ya maaskofu imejadili kwa kina na mapana kuhusu umuhimu wa kanisa na jamii kujikita katika mchakato wa kukuza na kudumisha haki dhidi ya utandawazi usiojali wala kuguswa na mahangaiko ya watu ukosefu wa fursa za ajira umaskini dhuluma na nyanyaso kutengwa na jamii kutokana na sababu mbali mbali ubaguzi na ukabila mambo yanayohitaji wongofu na mshikamano vijana waendelee kujisadaka kwa kujitolea kwa kulinda na kutunza mazingira nyumba ya wote kwa kujihusisha kikamilifu katika masuala ya kisiasa kijamii na kiuchumi ili kusimama kidete kulinda ustawi maendeleo na mafao ya wengi kwa kudumisha haki jamii changamoto ambayo vijana wanataka kuona kanisa inalivalia njuga pasi na mzaha mababa wa sinodi wanasema sanaa muziki na michezo ni rasilimali kubwa katika sera mikakati na shughuli za kichungaji kwa vijana kwani zinasaidia katika mchakato wa elimu malezi na mafungamano ya kijamii muziki unaweza kusaidia pia katika maboresho ya liturujia ili mwenyezi mungu aweze kuabudiwa na mwanadamu kutakatifuzwa vijana wanataka kushirikishwa katika liturujia hai inayofumbatwa katika ukweli furaha ibada na uchaji wa mungu ili kuweza kukutana na mwenyezi mungu pamoja na jumuiya ya waamini alama za liturujia mahubiri yaliyoandaliwa vyema na ushiriki wa waamini ni mambo ambayo yanapaswa kupewa kipaumbele cha pekee vijana wasaidiwe kukuza na kudumisha ibada ya kuabudu ekaristi takatifu pamoja na kuthamini liturujia ya kanisa kwani hii ni kazi ya kristo na kanisa vijana wapewe nafasi ya kushiriki katika maisha na utume wa kanisa wawajibike pamoja na kushirikisha vipaji na karama zao kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya kanisa kwa kujenga utamaduni wa kusikiliza na kujadiliana na vijana sehemu ya pili yakafunguliwa macho yao nao wakamtambua mababa wa sinodi wanakazia kuhusu pentekoste mpya zawadi ya ujana fumbo la wito utume wa kuwasindikiza vijana na sanaa ya kungamua mwenyezi mungu anazungumza na kanisa na ulimwengu katika ujumla wake kwa njia ya vijana majukwaa ya taalimungu mahali ambapo kristo yesu anapenda kujifunua kwa waja wake kutokana na sababu mbali mbali vijana wa kizazi kipya wanaweza kuwa wamecharuka katika medani mbali mbali za maisha kumbe viongozi wa kanisa wanapaswa kuwapokea kuwaheshimu kuwathamini na kuwasindikiza kama sehemu ya mchakato wa kulipyaisha kanisa ambalo wakati mwingine limekuwa likijikongoja mababa wa sinodi wanamwona kristo yesu kuwa ni mfano kati pamoja na vijana wanaosindikizwa pia kwa mifano na ushuhuda wa watakatifu ambao wamekuwa ni mifano bora ya kuigwa katika ushuhuda wa kinabii unaoleta mageuzi katika maisha ya waamini utume na wito miongoni mwa vijana wa kizazi kipya ni mwaliko kwa vijana kujisadaka bila ya kujibakiza ili kushirikisha furaha ya injili katika ukweli na udumifu huku kristo yesu akiwakirimia uhuru zaidi unaofumbatwa katika ukweli na upendo maisha ni wito unaojenga na kukuza mahusiano na mwenyezi mungu wito wa ubatizo ni mwaliko kwa waamini kuchuchumilia utakatifu wa maisha kila mwamini anapaswa kuishi vyema wito wake kadiri ya mazingira yake kitaaluma kifamilia maisha ya kuwekwa wakfu daraja takatifu na ushemasi wa kudumu ambao ni rasilimali inayopaswa kuendelezwa katika utimilifu wake kuwasindikiza vijana familia pamoja na wadau mbali mbali wanahimizwa kutekeleza dhamana na wajibu wao ili kuwasindikiza vijana kuweza kufanya maamuzi magumu katika maisha lakini wazazi walezi na viongozi wa maisha ya kiroho wanahitaji kupigwa msasa katika malezi kwa kuwa na nyenzo na vigezo muhimu vinavyowaongoza vijana katika maisha yao hawa ni vijana wanaotaka kujisadaka kwa ajili ya maisha na wito wa kipadre vijana wanaotaka kuwa ni vyombo na mashuhuda wa injili ya ndoa na familia jumuiya ya waamini ni mahali muafaka wa ujenzi wa mahusiano na mafungamano ya kikanisa katika maadhimisho ya fumbo la ekaristi takatifu waamini wanaguswa wanafundwa wanagangwa na kuponywa na kristo yesu mababa wa sinodi wanakazia umuhimu wa sakramenti ya upatanisho katika maisha na utume wa kanisa upatanisho katika maisha ya kiimani na kwamba huu ni mwaliko kwa wadau mbali mbali kuwasaidia vijana kwa njia ya mafundisho jamii ya kanisa kuwajibika barabara katika medani mbali mbali za maisha kitaaluma kisiasa na kiuchumi kwa kuzingatia tofauti zinazofumbatwa katika umoja na mkamilishano unaojenga na kudumisha umoja katika udugu mababa wa sinodi wanakazia umuhimu wa maisha ya sala na useja kwa ajili ya ujenzi wa ufalme wa mungu kielelezo makini cha uhuru wa ndani furaha sadaka na unyenyekevu kabla ya vijana kufanya maamuzi magumu ya kujiunga na wito na maisha ya kipadre na kitawa wanapaswa kusaidiwa na watu wenye sifa na ubora wanaoweza kuwasikiliza kuwasindikiza katika imani na sala kwa kuangalia uwezo na mapungufu yao ikiwa kama wanastahili kusonga mbele wasahihishwe kwa upendo na udugu pale wanapokosea na kuondokana na tabia ya kutaka kuwamiliki vijana hali ambayo wakati mwingine imepelekea matumizi mabaya ya madaraka na hatimaye nyanyaso mbali mbali mababa wa sinodi wanahimiza umuhimu wa kukuza na kudumisha sanaa ya mangamuzi katika maisha inayofumbatwa kwa kukutana na kujenga mahusiano na kristo yesu ni mahusiano yanayoendelea kwa njia ya majadiliano kati ya kijana na mlezi wa maisha ya kiroho hali inayopaswa kueleweka kuwa ni mfano wa sala unaohitaji ujasiri na mapambano ya maisha ya kiroho changamoto katika maisha ya kijumuiya katika udugu na huduma kwa maskini vijana wanayo mangamuzi mapana kuhusu diakonia yaani dhana ya huduma sehemu ya tatu wakatoka kwa haraka kwenda kutangaza kwamba kristo yesu aliyeteswa na kufa msalabani amefufuka kwa wafu mababa wa sinodi wanakazia ujana wa kanisa dhana ya sinodi katika maisha na utume wa kanisa katika kukuza na kudumisha ari na mwako wa kimisionari sinodi kama hija ya pamoja inayotekelezwa kila siku ya maisha upyaisho wa ari ya kimisionari pamoja na malezi fungamani mtakatifu maria magdalena mfuasi mmisionari aliyegangwa na kuponywa madonda yake na shuhuda wa ufufuko ni kielelezo makini cha ujana wa kanisa machungu na madhaifu ya vijana yanaliwezesha kanisa kuboreka zaidi kutokana na changamoto zao madongo ambao ni kama sauti ya kristo inayolitaka kanisa kutubu kuongoka na kujipyaisha kwani vijana wote ni muhimu sana mbele ya mwenyezi mungu mababa wa sinodi wanakazia umuhimu wa kanisa kukumbatia na kuambata dhana ya sinodi katika maisha na utume wa kanisa hati ya mababa wa sinodi ya maaskofu kwa ajili ya vijana ni ushuhuda wa tofauti zinazofumbatwa katika umoja na mkamilishano changamoto kwa mabaraza ya maaskofu na makanisa mahalia kuendeleza mchakato wa mangamuzi ili kuibua sera na mikakati ya shughuli za kichungaji ili kukabiliana na matatizo na changamoto kwa makanisa mahalia dhana ya sinodi ndiyo mwelekeo sahihi wa kimisionari unaolitaka kanisa kutoka katika dhana ya ubinafsi na kuanza kujikita katika tunu msingi za maisha ya kijumuiya kwa kutambua changamoto changamani zinazotokana na mangamuzi ya mahali wanakotoka watu pamoja na tofauti za kitamaduni zawadi na karama kutoka kwa roho mtakatifu ili kusaidia mchakato wa maamuzi ndani ya kanisa kwa kuwashirikisha waamini walei katika kukuza na kujenga ari na mwamko wa kimisionari uongozi uangaliwe katika jicho la huduma sanjari na mwendelezo wa majadiliano ya kidini na kiekumene ili kupyaisha maisha na utume wa kanisa kwa kuwashirikisha vijana katika utume wa kanisa mabaraza ya maaskofu katoliki hayana budi kuanzisha kurugenzi ya utume na miito kwa vijana ili kusaidia malezi na majiundo ya vijana maadhimisho ya siku ya vijana kitaifa na kimataifa yamepewa mkazo wa pekee kabisa bila kusahau umuhimu wa vituo vya malezi na michezo kwa vijana changamoto zinazojitokeza katika ulimwengu wa digitali zinapaswa kushughulikiwa kikamilifu na mama kanisa ili kuwasaidia vijana kuwajibika barabara katika malezi makuzi na matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii mahali ambapo kumegeuka kuwa ni vijiwe vya vijana mitandao ya kijamii ina faida na hasara zake changamoto ni kuwajengea vijana uwezo wa kuwa kweli ni raia wanaowajibika katika ulimwengu wa digitali ili wasitumbukie katika upweke hasi utakaowapelekea katika kifo wasinyanyaswe wala kudhalilishwa bali waimarishwe ili kweli mitandao ya kijamii iweze pia kutumika katika kutangaza na kushuhudia nguvu ya injili inayookoa ni wakati wa kutamadunisha na kuinjilisha mitandao ya kijamii kwa kuimarisha tovuti zinazomilikiwa na kuendeshwa na kanisa katoliki ili kupambana na habari za kughushi fake news kielelezo cha utamaduni usiofumbata na kuambata ukweli ziwepo sera na mikakati ya kuwalinda watoto wadogo katika tovuti kanisa liendelee kuwathamini kuwaheshimu na kuwashirikisha wanawake katika maisha na utume wake bila kusahau mchango wake katika jamii kama sehemu ya upyaisho wa maisha na utume wa kanisa wanawake washirikishwe katika uongozi wa kanisa na vikao mbali mbali vya maamuzi kwa kuheshimu pia dhamana na wajibu wa wakleri waliopewa daraja kwani hii ni sehemu ya haki inayopata chimbuko lake katika maandiko matakatifu mababa wa sinodi wanakazia umuhimu wa kuheshimu maadili na utu wema kwa kuepuka picha za utupu zinazoendelea kuzagaa katika mitandao ya kijamii utalii wa ngono pamoja na ukahaba wa kwenye mitandao vijana watambue na kuheshimu miili yao kama zawadi kutoka kwa mwenyezi mungu kanisa liwasaidie vijana kutambua ukweli huu ili kusaidiana na kukamilishana katika tofauti zao za kijinsia kanisa liwe na uwezo wa kutangaza na kushuhudia uzuri na utakatifu wa tendo la ndoa hali inayohitaji malezi na majiundo makini kwa kukazia pia useja kama zawadi na sadaka katika maisha inayoweza kuwasaidia watu kufikia ukomavu katika miito mbali mbali sehemu hii inahitaji walezi makini wanaoweza kuwasaidia vijana kutambua uzuri na utakatifu wa miili yao jambo linaloweza kufafanuliwa kiutu kitaalimungu na kichungaji kadiri inavyofaa ili kupambanua tofauti na uhusiano wa jinsia ya kiume na kike umuhimu wa kuondokana na nyanyaso za kijinsia kwa kuwa na mwelekeo sahihi wa mahusiano ya kijinsia watu wenye mielekeo ya mahusiano ya ndoa za watu wa jinsia moja wasaidiwe kutambua uhuru na wajibu wao mababa wa sinodi wanasema kanisa halina budi kutenga rasilimali fedha na watu kwa ajili ya kuwasindikiza vijana ili waweze kukua na kukomaa na hatimaye kufanya mangamuzi sahihi ya miito yao kwa kuondokana na mazoea katika mazingira wanandoa wachanga waendelee kusindikizwa kwa njia ya ushauri na mifano ya familia bora za kikristo ambazo zinapaswa pia kushirikishwa kikamilifu katika malezi majiundo na makuzi ya wanandoa wapya talaka na ndoa sugu ni kati ya matatizo makubwa yaliyobainishwa na mababa wa sinodi katika maisha na utume wa kanisa kwani kuna baadhi ya waamini ambao kwa makusudi mazima wanafyekelea mbali sheria kanuni na taratibu za kanisa kuhusu maisha ya ndoa na familia tabia ambayo inawafanya waamini kama hawa kushindwa kuwajibika na hivyo kuwa ni tatizo kubwa kwa jumuiya ya kikristo mababa wa sinodi wanahitimisha hati yao kwa kusema kwamba waamini katika miito yao mbali mbali wanaitwa kuchuchumilia utakatifu wa maisha ili kuimarisha na kukuza utakatifu wa kanisa kwa kuendelea kuwa waaminifu na wadumifu kwa kristo na kanisa lake tayari kushuhudia furaha ya injili hata katika madhulumu na nyanyaso ili kukuza na kudumisha ari na mwamko wa kitume ndani ya kanisa hati ya sinodi ya vijana 29 october 2018 0938
2018-11-19T15:46:06
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-10/sinodi-maaskofu-vijana-2018-hati-mababa-sinodi-2018.html
watendaji tume ya maadili ya viongozi wa umma watakiwa na nidhamu na udilifu zanzinews home habari matukio watendaji tume ya maadili ya viongozi wa umma watakiwa na nidhamu na udilifu watendaji tume ya maadili ya viongozi wa umma watakiwa na nidhamu na udilifu waziri wa nchi ofisi ya rais katiba sheria utumishi wa umma na utawala bora zanzibar mhe haroun ali suleiman akizungumza na uongozi na wafanyakazi wa tume ya maadili ya viongozi zanzibar wakati wa ziara yake kutembelea idara zilioko katika wizara yake akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo na watendaji wa tume hiyo na raya hamad (orksuuub) watendaji wa tume ya maadili ya viongozi wa umma wametakiwa kuendeleza uaminifu wenye nidhamu na uadilifu katika kutekeleza majukumu ya kazi zao kama serikali ilivyowaamini kuwakabidhi majukumu hayo hayo yameelezwa na waziri wanchi ofisi ya rais katiba sheria utumishi wa umma na utawala bora mheshimiwa haroun ali suleiman wakati alipofanya mazungumzo na viongozi pamoja na watendaji wa tume ya maadili ya viongozi wa umma waziri haroun amesema nchi haiwezi kuwa na taifa lenye heshima na nidhaamu bila kuwepo na maadili hivyo utunzaji wa siri ni muhimu hasa kwa chombo kinachoaminiwa kama tume ya maadili ya viongozi wa umma haitapendeza kuona siri za viongozi wa serikali zinatoka nje ama kusambaa kinyume na utaratibu alisisitiza haroun aidha haroun amesisitiza kuwa mjenga nchi ni mwananchi hivyo amewataka watendaji hao kuwa na ari na bidii ya kujituma ili kufikia malengo waliyojipangia wakiamini kuwa hakuna atakaekuja kujenga taifa lao bila ya kuanza wao wazalendo na wengine hufuatia nae katibu wa tume ya maadili ya viongozi wa umma ndugu kubingwa mashaka simba amesema tume inajukumu la kupokea kusajili na kuhakiki tamko la mali na madeni kutoka kwa viongozi wa umma kupokea malalamiko na kufanya uchunguzi wa tuhuma za uvunjaji wa sheria ya maadili ya viongozi wa umma na kutoa elimu kwa umma na viongozi kuhusu umuhimu wa kuimarisha maadili kutoa ushauri maelekezo na miongozo kuhusiana na maadili ya viongozi wa umma ikiwa ni pamoja na kuhakiki taarifa za mali na madeni ya viongozi wa umma hata hivyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 imepokea na kusajili jumla ya fomu za taarifa za mali na madeni za viongozi wa umma 1631 sawa na asilimia 99 ya shabaha iliyopangwa ya kupokea fomu za tamko la mali na madeni kubingwa amesema kuwa tume inaendelea kutoa elimu kwa viongozi ili kujiepusha na matendo ya ukiukwaji wa maadili na kuwakumbusha viongozi wa umma juu ya umuhimu wa kukuza maadili na kuongeza kasi ya kuwatumikia wananchi ili kufikia malengo ya kitaifa na umuhimu wa kuimarisha maadili jumla ya mikutano 37 iliyowashirikisha viongozi wa umma kutoka taasisi mbalimbali za serikali na kamati za masheha imefanyika unguja na pemba mikutano na mabaraza ya vijana katika mkoa wa mjini magharibi uliowashirikisha viongozi wa mabaraza 150 ili kukuza uelewa wa vijana ili kukuza uwelewa wa vijana juu ya majukumu ya tume na kuwaandaa vijana hao kimaadili ili wawe viongozi wazuri wa baadae katika kukabiliana na baadhi ya changamoto tume imeendelea na jitihada ya kuishajihisha jamii ili kuwa na uwelewa wa kutosha kuhusu tume ya maadili ya viongozi wa umma kwani bado wapo baadhi ya wanajamii hawajawa na uelewa wa kutosha kuhusu majukumu yake aidha tume inaendelea kushirikiana na idara ya serikali mtandao ili kupata mfumo imara na salama wa elektronik utakaoweza kutunza taarifa hizo tume ya maadili ya viongozi wa umma imeanzishwa chini ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma nambari 4 ya mwaka 2015 na kuanza kazi rasmi mwezi april 2016
2018-11-15T19:49:14
http://www.zanzinews.com/2018/08/watendaji-tume-ya-maadili-ya-viongozi.html
baada ya lowasa kusifiwa atoa neno maendeleo hayana chama boss ngasa official website home unlabelled baada ya lowasa kusifiwa atoa neno maendeleo hayana chama baada ya lowasa kusifiwa atoa neno maendeleo hayana chama waziri mkuu mstaafu na mbunge wa zamani wa jimbo la monduli edward lowassa amejibu madai ya kuonekana kiongozi pekee wa upinzani ambaye amekuwa akisifiwa mara kwa mara na viongozi wa chama cha mapinduzi ccm na serikali hali ambayo imeonekana kuzua sintofahamu kwa wadau wa siasa nchini akijibu madai hayo mjumbe wa kamati kuu ya chadema edward lowassa amesema kuhusu madai ya mimi kusifiwa na viongozi wa serikali na ccm naacha wananchi wahukumu na mimi naamini nina nia njema na nia njema itaendelea kuwepo anayetaka kufikiria hivyo ni hiyari yake huwezi kumnyima binadamu kufikiria ila ninachosema mimi sina mpango wa kuondoka chadema lowassa ambaye alishawahi kuwa mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu 2015 amekuwa ni kiongozi wa upinzani pekee ambaye amekuwa akionekana kwenye baadhi ya mikutano ya serikali ambayo rais magufuli amekuwa akishiriki na mara kwa mara rais amekuwa akiompongeza kiongozi huyo ambaye alikuwa mpinzani wake kwenye kinyang'anyiro cha urais maendeleo hayana chama ndiyo maana mzee lowassa yupo hapa nikushukuru kwa utulivu wako nilipokutupa chini baada ya uchaguzi ulikaa kimya maana tuligombea mimi na wewe lakini wengine wanapiga kelele tu kwakweli nikupongeze kwa uzalendo alisema rais magufuli kwenye uzinduzi wa maktaba (udsm) novemba 27 2018 mbali na rais magufuli lowassa pia alishawahi kupongezwa na katibu mkuu wa chama cha mapinduzi ccm dkt bashiru ally akimtaka mbunge wa zamani wa mtama bernard membe kuiga mfano wa kiongozi huyo aidha mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda kwenye uzinduzi wa maktaba alishawahi kunukuliwa kumsifia kiongozi huyo kuwa ni mtu ambaye anashiriki shughuli za maendeleo za serikali bila kujali itikadi za vyama husika baada ya lowasa kusifiwa atoa neno maendeleo hayana chama reviewed by jaqueline victorv on friday december 07 2018 rating 5
2018-12-16T00:02:39
http://www.bossngasatz.com/2018/12/baada-ya-lowasa-kusifiwa-atoa-neno.html
open heart open mind tarime yaliyotokoea yasirudiwe tena damu yakaribisha helikopta ya ccm 20081010 133541 na mashaka mgeta tarimewafuasi wanaoa minika kuwa wa chama cha mapinduzi (ccm) wamewapiga na mmoja wao kuwakata kwa mapanga vijana wanne wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) mjini hapa mmoja wa vijana hao genya sabai (28) mkazi wa nkende alikatwa kwa panga kuanzia pembeni mwa sikio kwenye taya la kushoto hadi sehemu ya chini ya kidevu sehemu ya nyama katika eneo lililoathirika kuning\'inia hadi alipofikishwa katika zahanati ya tarime na kushonwa nyuzi 19 mganga mfawidhi wa zanahati ya tarime walipofikishwa majeruhi hao dk philemon hungiro alisema sabai alishonwa katika tabaka mbalimbali za ndani na kushonwa nyuzi 19 za nje haikufahamika mara moja sababu za majeruhi hao kupelekwa katika zahanati hiyo badala ya hospitali ya wilaya ya tarime inayomilikiwa na serikali ``amejeruhiwa sana na inaonekana dhahiri kwamba jeraha hilo limetokana na kukatwa kwa panga`` alisema dk hungiro majeruhi wengine katika tukio hilo ni athuman seleman (22) mkazi wa rusoti mjini hapa aliyekatwa katika kiganja cha mkono wa kushoto mahende joseph daniel (25) na mashamu edward (23) ambaye ni bubu aliyekatwa sehemu ya nyuma ya shingo yake kulikuwa na msongamano mkubwa wa watu waliofika katika zahanati hiyo kuwajulia hali majeruhi hao miongoni mwa watu waliofika kuwajulia hali majeruhiwa hao ni mwenyekiti wa chadema freeman mbowe na wagombea ubunge na udiwani kupitia chama hicho charles mwera na john heche dk hungiro alisema hali ya sabai ilikuwa mbaya sana hali iliyosababisha uongozi wa zahanati hiyo kumfungia wodini kwa kutumia kufuli kubwa ili watu wasiingie ndani utoaji huduma za tiba ulisitishwa kwa muda katika zanahati hiyo kutokana na wauguzi wake kufanya kazi ya ziada kuwatoa nje na kuwazuia kuingia ndani ya zahanati hiyo akizungumzia tukio hilo mmoja wa majeruhi hao seleman alisema walifika katika uwanja wa mpira serengeti ili kuweka uzio wa kamba kuwazuia watoto wasiingie katika eneo lililotarajiwa kutua helikopta inayotumika katika kampeni za chadema seleman alisema baada ya kufika katika eneo hilo walikuta wafuasi wa ccm wakiburudishwa na kikundi cha tanzania one theathre (tot) na walianza kuweka kamba kuzunguka eneo itakapotua helikopta ``tulikuwa tunaweka uzio wa kamba wakatokea watu kutoka katikati ya umati wa wafuasi wa ccm wakaanza kutupiga na mmoja wao akatukata kwa panga tunamjua kwa sura``alisema alipohojiwa kabla ya kupata tiba katika zahanati hiyo hatua ya ccm kimejibu mashambulizi na kuanza kampeni zake kwa kutumia helikopta katika uchaguzi mdogo wa jimbo la tarime mkoani mara helikopta hiyo ilitua jana mchana katika uwanja wa mpira wa serengeti na kulakiwa na washabiki wa chama hicho waliovalia sare zao huku wakitumbuizwa na kikundi burudani cha chama hicho tanzania one theatre (tot) helikopta hiyo yenye namba za usajili 5ymnw inayomilikiwa na kampuni ya titan air ltd ya nairobi kenya ilikuwa ikiendeshwa na rubani sigilaia evans baada ya ndege hiyo kutua ilipambwa na mabango yenye kuwahamasisha wananchi kumchagua mgombea wa ubunge kupitia chama hicho christopher kangoye mmoja wa wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm john komba alisema kampeni hizo hivi sasa zitakuwa rahisi mwanzoni mwa wiki hii chadema walianza kampeni kwa kutumia helikopta kuhusu purukushani kati ya wafuasi wa ccm na chadema baadhi ya watu walioshuhudia walisema palikuwa na malumbano kati ya majeruhi hao na wafuasi wa vyama hivyo kabla ya kufanyika kwa shambulio hilo mkazi mmoja wa tarime aliyekuwa katika eneo hilo richard chacha alidai kuwa mashamu ambaye ni bubu alijeruhiwa wakati akipita karibu na eneo hilo kwa mujibu wa mashuhuda hao mtu aliyewakata kwa panga majeruhi hao aliondoshwa kutoka katika eneo hilo kwa kutumia gari aina ya nissan patrol linaloaminika kuwa mali ya mmoja wa wagombea udiwani wa kata ya tarime mjini hata hivyo nipashe ilipofika katika eneo la tukio ilikuta magari mawili ya polisi wenye silaha za mabomu ya kutoa machozi na risasi za moto wakifanya doria na kukamata baadhi ya watu kwa ajili ya kuwahoji wakati huo wananchi waliokuwa katika eneo hilo walianza kupiga kelele wakiwaonyesha askari hao gari linalodaiwa kumbeba mtuhumiwa wa shambulio hilo gari hilo liliondoka kwa kasi kutoka uwanjani hapo bila askari hao kuchukua hatua yoyote kulizuia kamanda wa polisi wa mkoa wa mara liberatus barlow alisema mtuhumiwa wa shambulio hilo alitoroshwa kwa kutumia gari lenye namba t 910 alf lakini mashuhuda waliokuwa katika eneo la tukio wametaja namba za gari hilo kuwa ni t 910 ave wakati huo huo barlow alisema watu wawili wanashikiliwa na polisi wakituhumiwa kupanga njama za kufanya shambulio kwa kutumia mapanga aliwataja watu hao waliokamatwa wakiwa na silaha hizo kuwa ni wangwe ryoba na menganyi ryoba anayesadikiwa kuwa raia wa nchi jirani ya kenya aidha barlow alisema watuhumiwa wa vurugu za kisiasa katika kampeni za uchaguzi mdogo wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa watafikishwa mahakamani baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo barlow alisema polisi imefanikiwa kukamilisha baadhi ya uchunguzi na kwamba kuna watu na baadhi ya viongozi wa siasa walioguswa na ambao hawawezi kunusurika kufunguliwa mashitaka ``kwa hili hatumuogopi mtu kwa maana hata sisi polisi tunapofanya kosa tunakiona cha moto hivyo hatutamuonea haya mtuhumiwa yeyote`` alisema waitara aitahadharisha ccm na siasa za makundi aliyekuwa katibu wa umoja wa vijana wa ccm (uvccm) mkoa wa tanga mwita mwikwabe waitara amedai kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo dk emmanuel nchimbi na katibu mkuu wa chama hicho yusuph makamba wanaendeleza siasa za makundi ndani ya ccm alisema kutokana na hali hiyo hakuna fursa kwa ccm kuepuka migogoro ya mara kwa mara inayozidi kukidhoofisha chama hicho kilichodumu madarakani tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977 kikirithi madaraka hayo kutoka kwa tanu na asp vyama vilivyoleta uhuru na kuungana mwaka huo ``mimi nimeondoka ccm lakini ninamwachia salaam rais jakaya kikwete kwamba makamba na nchimbi bado wanaendeleza siasa za makundi ndani ya chama hicho``alidai alidai kuwa miongoni mwa ishara za viongozi hao kuendeleza makundi ni jinsi walivyomuondoa katika wadhifa wa ukatibu wa uvccm mkoani tanga na kumhamishia kuwa katibu msaidizi wa dknchimbi hata hivyo waitara alikataa kutumikia wadhifa huo mpya na kuapa kuwa hawezi kukanyaga katika ofisi ya nchimbi labda akiwa maiti waitara alijiondoa ccm na kujiunga chadema katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini sirari juzi kabla ya kujiondoa ccm waitara aliyewania nafasi ya kutaka kugombea ubunge jimbo la tarime na kushika nafasi ya tatu alikosoa mwenendo wa kampeni za chama hicho na matumizi makubwa ya nguvu za jeshi la polisi mjini hapa pia waitara alidai kuwepo mkakati ndani ya ccm kufanikisha kuwa wagombea wake wa ubunge na udiwani christopher kangoye na peter zakaria wanashinda ``mkakati huo niliujua nikiwa ccm lakini wanahangaishwa na msimamo wa wananchi wa tarime nimeungana na wanachi hawa na tutapambana kuhakikisha kuwa tunalinda haki na kura zetu`` alisema naye muhibu said anaripoti kuwa umoja wa nchi za ulaya (eu) umeitaka serikali na watanzania kushirikiana ili uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la tarime ufanyike kwa amani akizungumza na nipashe katika mahojiano maalum mara baada ya kuzindua maonyesho ya filamu za eu katika ukumbi wa idara ya habari (maelezo) jijini dar es salaam jana kiongozi wa umoja huo nchini jacques champagne de labriolle alisema anatoa ushauri huo kwa vile wameona kuwa uchaguzi huo uliandaliwa kwa haraka jambo ambalo linachangia kuchochea uvunjifu amani ``uchaguzi wa tarime haujaandaliwa vizuri kwani haiwezekani baada ya kifo tu siku chache unaandaa uchaguzi hivyo kuna umuhimu wa kuwapo uwajibikaji wa pamoja kati ya serikali na wananchi ili kuhakikisha amani inapatikana katika uchaguzi`` alisema de labriolle uchaguzi huo ambao unatarajiwa kufanyika keshokutwa unafuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu chacha wangwe (chadema) aliyefariki dunia julai 28 mwaka huu kwa ajali ya gari katika eneo la pandambili wilaya ya kongwa mkoani dodoma hata hivyo de labriolle ambaye ni balozi wa ufaransa nchini alisema eu imepeleka timu yake maalum kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi huo na kwamba tayari imeshaongea na wagombea wote kuhusu uchaguzi huo wanaogombea ubunge katika uchaguzi huo na vyama wanavyotoka kwenye mabano ni charles mwera (chadema) enock harun (nccrmageuzi) christopher ryoba kangoye (ccm) na benson makanya (dp) source nipashe habari za tanzania jumamosi okt 11 2008 imetolewa mara ya mwisho 11102008 0020 eat• ccm yaomba radhi tarime na richard mwaikenda tarime chama cha mapinduzi(ccm) kimewaomba radhi wananchi wa tarime kutokana na vurugu zilizotokea kwenye uwanja wa sabasaba na kusababisha wafuasi wanne wa chadema kujeruhiwa kwa kukatwa mapanga na watu wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa ccm wakigombea uwanja huo ili helikopta za vyama hivyo zitue maombi hayo yalitolewa jana na katibu mwenezi wa chama hicho kapteni mstaafu john chiligati katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za ccm wilaya ya tarime mjini hapa tumesikitishwa na tukio hilo lisilo la kistaarabu ambalo limesababishwa na vijana wa vyama hivyo kila upande kugombea uwanja huo ukitaka helikopta zao zilizokodiwa na vyama hivyo kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mdogo zitue kwenye uwanja huo alisema kapteni chiligati licha ya uwanja huo ccm kuomba siku hiyo nasikia vijana wa chadema walivamia na kuweka kamba na bendera nyekundu ili ndege ya ccm isitue kwenye uwanja huo na kutaka ndege yao iruhusiwe kutua hali ambayo ilizaa mabishano na kusababisha kupigana mapanga alisema alisema si kwamba tukio hilo lilipangwa bali lilitokea kwa bahati mbaya hivyo si busara kuanza kunyoosheana vidole kapteni chiligati alitoa mwito kwa vyama vya siasa kuacha tabia ya kuchokozana na kusababisha vurugu na kuwataka viongozi wao wakiwa kwenye kampeni kueleza sera za vyama vyao alisema kampeni za kuchafuana kuleta fujo ni za kihuni na kwamba hukumu ya chama chochote kinachofanya hivyo ni siku ya uchaguzi kwa wananchi kukinyima kura kapteni chiligati alikanusha fununu zilizoenea kuwa ccm inamtumia mwenyekiti wa dp mchungaji christopher mtikila kusaidia kampeni za chama hicho katika uchaguzi huo alisema ni matusi kwa ccm kwamba inamhonga mchungaji mtikila ili awasaidie katika kampeni hizo na kwamba hawawezi kufanya hivyo kwani chama hicho kina mtaji wa kutosha wa wanachama zaidi ya milioni 4 (source majira 11/10/008) maoni ya mhariri nipashechonde chonde polisi sasa dhibitini umwagaji damu huu 20081010 124928 na mharirikwa mara nyingine tena damu imemwagika katika harakati za kampeni za kuwania kiti cha ubunge jimbo la tarime baada ya watu watatu kuchomwa visu kwa kile kinachoelezwa kugombea eneo la kutua kwa helikopta za vyama vyao jimboni humo tunasikitika kwamba kadri siku zinavyosogelea tarehe ya kupiga kura oktoba 12 2008 yaani keshokutwa hali ya usalama inazidi kuwa tete licha ya jeshi la polisi kumwaga askari wengi jimboni humo matukio ya kupigwa watu na hata wengine kupoteza maisha kwa sababu tu ya ushabiki wa vyama yamekuwa ni ya kawaida kabisa tuliandika tena katika safu hii tukiasa na kuchagiza jeshi la polisi kufanya kazi kama walinda usalama waliobobea katika taaluma hiyo tulisema polisi ndio wanaweza kusababisha ama uchaguzi huu mdogo wa ubunge na udiwani uwe huru au kinyume chake tulisema hayo kwa sababu moja tu kwamba kulikuwa na malalamiko makubwa dhidi ya jeshi la polisi kwamba inaegemea upande mmoja polisi wamelaumiwa kwamba wanawasumbua wagombea na wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) lakini polisi nao wamejitetea kwamba wafuasi wa chama hicho wanachokoza dola pamoja na malalamiko haya jana wananchi watatu wameumizwa vibaya kwa kuchomwa visu wengine tunapozungumza wanauguza majeraha yao makubwa waliyopata chanzo cha kuumizana wananchi hao wanodaiwa kuwa wafuasi wa chadema ni ugomvi wa uwanja wa kutua helikopta za vyama vyao tunaamini kwamba polisi walijua kwamba uwanja uliokuwa itue helikopta ya chama cha mapinduzi (ccm) ni upi na pia helikopta ya chadema ingetua wapi kwa maana hiyo ingekuwa imeimarisha ulinzi kiasi cha kutosha tunasema ulinzi kiasi cha kutosha kwa sababu idadi ya askari waliomwagwa tarime wanatosha kwa kila kitu kwa hali hiyo polisi wangekuwa wamesimamia jinsi uwanja huo ungehakikishiwa usalama wa helikopta hizo na kwa kweli hata hao wafuasi wanaodaiwa wa ccm na chadema wasingepata huo upenyo wa kupambana kiasi cha kuumizana na damu kumwagika ni kwa kutafakari hali hii tunashindwa kujua kama polisi walioko tarime wanafanya kazi yao sawasawa kiasi cha wananchi kutembezeana visu mbele yao hali hii inatufanya tujihoji kama kweli polisi hawa wapo tarime kuimarisha usalama au wapo tu kuonekana wapo tunajua kwamba polisi waliko tarime wana zana zote za kazi picha mbalimbali ambazo zimeonekana magazetini na kwenye luninga zinathibitisha uwezo huo wa kizana na wingi wa kutosha sasa kama wanashindwa kuthibiti usalama wa uwanja unaotua helikopta tuseme watathibiti watu walioko mafichoni kabla ya kupiga kura jumapili hii zimebakia siku mbili tu za kampeni hizi ni dakika za lala salama ndiyo maana vyama vyenye ushindani mkali yaani ccm na chadema wameamua kutumia helikopta kuvuta wananchi wengi zaidi hivyo kujizolea kura siku ya mwisho kwa maana hiyo tulidhani kwamba na polisi nao wamejipanga kwa mkao huo huo kujiimarisha kiulinzi ili kuhakikisha kwamba kadri joto la uchaguzi huu linavyoelekea kileleni vitendo kama hivi vya jana vinakuwa adimu tuaamini polisi wana wajibu wa kwanza kabisa wa kulinda maisha ya wananchi na mali zao tunaposema maisha tunakusudia pia usalama wa miili yao ikiwa ni kuhakikisha hakuna mtu anayemshambulia mwenzake hakuna anayedhuru mwili wa mwenzake kwa hali yoyote ile kwa maana hiyo kuendelea kutokea kwa vitendo vya mapigano hasa vya kutumia sila za jadi kama vizu na mapanga kwetu tunaona kama polisi hawajaweza kudhibiti hali ya tarime source nipashe mawazo ya mbatia ni sahihi nayaunga mkono mosongaimetolewa mara ya mwisho 06102008 0140 eatmbatia upinzani ushindane kwa hoja na richard mwaikenda tarime mwenyekiti wa nccr mageuzi bw james mbatia amesema upinzani wa kisiasa tanzania usiwe wa kupigana bali uwe wa kushindana kwa hoja bw mbatia alisema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kampeni za chama hicho jana kwenye stendi kuu ya mabasi mjini tarime mkoani mara alitoa kauli hiyo akilinganisha matukio ya watu kupigwa mawe mbwa kuvalishwa sare ya ccm ambayo yamekuwa yakitokea na kudaiwa kufanywa ana vijana kwenye kampeni za uchaguzi mdogo zinazoendelea bw mbatia alikemea kitendo cha baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kuwatumia vijana wa vijiweni kuwarubuni kwa 'vijisenti' wafanye vurugu badala ya kuwapa elimu ya uraia ili wajue haki zao alisema baada ya kuona vijana wapo vijiweni kutokana na kukosa kazi wanasiasa hao wameamua kuwatumia kufanya maovu badala ya kuwaelimisha namna ya kujikwamua katika maisha yao alisema matukio ya fujo yanayotokea tarime si aibu tu bali ni laana kwa tanzania ulimwenguni kote kwa kuwa kila yanapotokea husambaa duniani kote bw mbatia alisema upinzani tanzania haupaswi kuwa uadui wa kutukanana kubebeana mapanga na kubebeana mawe bali kushindana kwa hoja alisema kwa vitendo vya fujo vinavyotokea tarime vinaonesha jinsi ambavyo viongozi wa siasa hawajaelekeza somo la uraia la kila mwananchi kujua haki yake bw mbatia alitumia fursa hiyo kuwanadi wagombea wa chama hicho bw enock haroun anayewanaia ubunge na bwgidion wangwe anayewania udiwani kata ya tarime mjini (kutoka gazeti majira)
2017-07-23T04:29:29
http://mosonga.blogspot.com/2008/10/tarime-yaliyotokoea-yasirudiwe-tena.html
samsung max programu mpya ya android ya usimamizi na ufuatiliaji wa matumizi ya data mtaawasaba leo samsung imezindua proramu ya mfumo endeshi wa android ambayo itamsaidia mtumiaji wake kudhibiti matumizi ya data kutoa ulinzi na kuzuia uhalifu wa mtandao kwenye simu yako kabla ya samsung max ilikuwa programu ya opera max ambayo imebadilishwa na kuwa samsung max kwa samsung max watumiaji wanaweza kudhibiti matumizi yao ya data na kunufaika na vipengee vya faragha vyema kwa bure kabisa samsung electronics leo imezisha programu ya samsung max programu mpya na ya bure ya android iliyoundwa ili kukuza usimamizi wa data za simu za mkononi na usimamizi wa faragha (privacy protection) na ufuatiliaji wa matumizi ya data na usalama wa wifi umeboreshwa zaidi kuanzia leo hii februari 23 2018 programu itakuwa inapatikana kwa kupakuliwa kwenye google play samsung max itasaidia vipengele vipya vya kipekee na rahisi vya kutumia samsung data saving mode na ulinzi wa faragha (privacy protection) samsung max inakuja badala opera max mojawapo ya mtandao wa faragha ya binafsi za simu za mkononi (mobile virtual private networks (vpns) duniani na sasa inapatikana kwa mamilioni ya watumiaji zaidi hasa wa samsung kote duniani data imekuwa ikitumika sana lakini mipango mingi bado ni ghali kwa watumiaji ambao wanataka kupata teknolojia ya kisasa zaidi katika vifaa vyao alisema seounghoon oh makamu wa rais wa samsung r & d institute india kwa samsung max watumiaji wetu katika kila kona ya dunia sasa imeongeza uhuru na udhibiti juu ya matumizi yao ya data na faragha hasa wakati huu wa ulio ongezeka kwa vitisho vya usalama programu za udanganyifu na maelezo ya mtumiaji aliongeza tuangazie programu hii imelenga vipengele vipi kwa mtumiaji njia ya kuokoa data hali ya kuhifadhi data inayofanya mpangilio wa data kufanya kazi kwa bidii na kwenda zaidi katika hali nyingine inaweza kutumika hata kukusaidia kuokoa fedha kwenye mpango wako wa data ya simu kupitia mtoa huduma wako wa data kipengele hiki hutoa ushauri smart juu ya matumizi ya data njia ya ulinzi wa faragha katika maeneo ya wifi ya wazi (open wifi) utalindwa na encryption ya kuzuia tracker vipengele hivi pia hutoa faida za faragha kwenye mitandao ya simu ambayo inaruhusu samsung max kutoa ulinzi wa faragha kwenye data ya simu ya mkononi au wifi kwenye programu zako zote hii inaruhusu watumiaji kupata usalama kwa intaneti kwa watumiaji samsung max itakuja preloaded kwenye smartphones zote za samsung zitakazotoka kuanzia sasa hasa galaxy a na galaxy j nchi za india argentina brazil indonesia mexico nigeria afrika kusini kenya tanzania thailand na vietnam watumiaji wengine wataweza kushusha samsung max kwenye vifaa vingine vya samsung na adnroid device yoyote kupitia google play store au galaxy apps usikose kusoma htc one jet li wa smartphone watumiaji wa samsung ambao kwa sasa wanatumia programu ya opera max watapata maboresho moja kwa moja ya samsung max kuanzia februari 23 2018 endelea kuwa nasi kwa kutufuata kwenye mitandao ya kijamii na usisahau ku subscribe ili uwe wa kwanza kupata habari uchambuzi na makala mbali mbali za kisayansi na teknolojia pia usisahau ku acha maoni yako hapo chini na unaweza kuwasiliana nasi kwa barua pepe mhariri@mtaawasabacom chanzosamsung newsroom
2019-02-21T21:08:45
https://mtaawasaba.com/habari/samsung-max-programu-mpya-na-ya-bure-ya-android-ya-usimamizi-na-ufuatiliaji-wa-matumizi-ya-data-na-ulinzi-wa-faragha/
ubalozi mpya wa israel wazaa matunda uamuzi wa serikali ya awamu ya tano kufungua ubalozi wa tanzania nchini israel umeanza kuzaa matunda baada ya timu ya madaktari na wataalamu wa matibabu ya moyo 30 kutoka nchini humo kuja nchini kwa ajili ya kuokoa maisha ya watoto 51 wanaopatiwa matibabu katika taasisi ya moyo ya jakaya kikwete jijini dar es salaam timu ya madaktari na wataalamu hao wakiwemo wawili kutoka marekani na canada wanatoka shirika la save a childs heart la israel wamekutana na rais john magufuli ikulu jijini dar es salaam mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) profesa mohamed janabi amesema kati ya watoto 51 wanaopatiwa matibabu katika kampeni hiyo 10 watafanyiwa upasuaji wa kufungua kifua na 20 watafanyiwa upasuaji kwa kutumia tundu dogo profesa janabi alibainisha kuwa kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita jkci imetoa matibabu ya moyo kwa wagonjwa 254881 ambapo kati yake wagonjwa 799 wamefanyiwa upasuaji wa kufungua kifua 2056 wamefanyiwa upasuaji kwa kutumia tundu dogo na wengine wamepatiwa matibabu mengine ya moyo aliongeza kuwa ushirikiano wa taasisi hiyo na wataalamu kutoka nje ya nchi umesaidia kuwawezesha wataalamu wa tanzania kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo na pia kuokoa gharama kubwa zilizokuwa zikitumika kupeleka wagonjwa nje ya nchi ambazo kwa kipindi cha miaka mitatu tanzania imetumia sh bilioni 22 ikilinganishwa na sh bilioni 878 ambazo zingetumika kutoa matibabu hayo nje ya nchi kiongozi wa timu ya madaktari hao na mkurugenzi mtendaji wa save a childs heart simon fisher na mkuu wa kitengo cha upasuaji wa moyo wa shirika hilo profesa sasson lior wamemshukuru rais magufuli kwa ushirikiano mkubwa ambao timu hiyo inapata kutoka serikali ya tanzania na wameahidi kuwa taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na tanzania kuokoa maisha ya watoto kwa upande wake rais magufuli amewashukuru madaktari na wataalamu hao kwa kuja tanzania kuokoa maisha ya watoto na pia amemshukuru waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu kwa kuendeleza na kuimarisha uhusiano na ushirikiano mzuri uliopo kati ya tanzania na israel rais magufuli amemuandikia barua ya shukrani netanyahu na kuikabidhi kwa balozi wa israel nchini noah gendler ambayo pamoja na kushukuru kwa msaada wa matibabu pia amemshukuru kwa ushirikiano katika sekta nyingine israel ni marafiki zetu wa siku nyingi tunasaidiana na kushirikiana kwa mengi ndio maana niliona tufungue ubalozi wetu kule israel ili kurahisisha masuala haya muhimu ya ushirikiano na yenye manufaa kwa watu wetu alisisitiza rais magufuli rais magufuli ametoa mwito kwa balozi gendler na wataalamu hao kuwahamasisha wawekezaji wanaoweza kuja kujenga viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini na kuwahakikishia serikali itanunua dawa na vifaa hivyo na pia watakuwa na uhakika wa soko la afrika mashariki na jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika (sadc) pia aliwapongeza madaktari wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete kwa juhudi kubwa wanazozifanya kuokoa maisha ya watu na amewahakikishia serikali inatambua juhudi hizo na itaendelea kuwajengea mazingira bora ya kazi hafla hiyo ilihudhuriwa na naibu waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia na watoto dk faustine ndugulile wakati huo huo rais magufuli amefanya mazungumzo na balozi wa israel nchini gendler na baada ya mazungumzo hayo balozi gendler amesema israel imetoa nafasi za masomo kwa watanzania 150 watakaogharamiwa na serikali ya israel kwa ajili ya kujifunza utaalamu wa kilimo cha kisasa kwa miezi 11 halikadhalika rais magufuli amekutana na daktari bingwa wa upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo profesa roger hartl kutoka marekani aliyepongeza juhudi za tanzania kuendeleza huduma za matibabu ya kibingwa na ameahidi kuendeleza ushirikiano kati ya taasisi yake ya weill cornell medicine ya marekani na tanzania
2019-03-23T13:49:59
https://habarileo.co.tz/habari/2018-11-095be5325ca5ffd
kutafakari 02/10/2019 | lost sheep for christ kutafakari 02/10/2019 kusoma injili ya leo huanza wakati yesu yuko katika ziwa la genèreti umati wa watu wamekusanyika kuzungumza akisema unaona kwamba kila mahali bwana wetu anatembea watu daima wanamtafuta hii inatuonyesha jinsi ya ndani yetu tunatamani mungu tuna ufunguzi huu mkubwa katika moyo wetu tunajaribu kujaza kwa vitu vyenye vitu ambavyo hutoa ahadi tupu mungu alituumba kuwa na uhusiano maalum na yeye mungu anatuonyesha hili wakati yesu alikaribia simons mashua yesu anamwambia simoni aondoe kidogo kutoka pwani na anaongea na umati baada ya yesu kuhubiri anamwambia simoni piga ndani ya kina na ushusha nyavu zako kwa kukamata wakati mungu anatuita tufanye kazi yeye ni moja kwa moja na sisi anataka tuende ndani ya haijulikani na katika asili yetu ya kibinadamu tunaogopa hatupendi kwenda mahali ambavyo hatufai vizuri hatuko tayari kuteseka hatujui jinsi tutakavyotatua sisi kama simoni wakati mwingine tunamjibu mungu labda huzuni labda amechoka au hasira mwalimu tulifanya kazi usiku wote na hatukuchukua kitu lakini kwa neno lako nitawatupa nyavu fikiria juu ya watoto katika mathayo 21 2831 nini unadhani unafikiria ninimwanamume alikuwa na wana wawili akaenda kwa wa kwanza akamwambia mwana nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu leo naye akajibu sitaki lakini baadaye akalaumu akaenda naye akaenda kwa wa pili na kusema sawa naye akajibu nenda bwana lakini hakuwa na kwenda ni nani kati ya wawili alifanya mapenzi ya baba yake kumekuwa na nyakati katika maisha yangu ya kibinafsi ambayo sikutaka kufanya mapenzi ya mungu niliogopa na nikamwambia mungu tuma mtu mwingine oh bwana mimi ni mnyama mwovu wasiostahili kuwa mbele yako nilimwambia mungu kwamba mimi ni mwenye dhambi ni aibu mbele yako wakati rehema ya mungu hatimaye iligusa moyo wangu nilikuwa na uwezo wa kusema mungu ninajitoa kwako kama vile ulivyomwita simon mvuvi kukuleta nafsi kwako una uwezo na mamlaka ya kunitumia hata iwe unataka kutumia mtumishi wako mnyama wa wanyama alichukia hii alituma ghadhabu yake juu yangu mungu alinipa huruma na nilikuwa na uwezo wa kukiri mkuu na kuhani mkuu wa dominika kukiri kwa ujumla au ukiri wa maisha kama inavyoitwa ni wakati unapoelezea dhambi zote za giza nyingi ambazo umechukualabda huwezi kukiri dhambi hizi kwa sababu ni aibu au ya machukizo mbele za mungu umefanya dhambi kuwa umewapa mahusiano ya pepo kushikilia maisha yako mungu ambaye ni bwana na mwalimu wa ulimwengu ana uwezo wa kuvunja minyororo yote mungu roho mtakatifu ambaye anapumua uzima ndani ya mwili wa mwanadamu na kumleta uzima roho mtakatifu ule ule aliyehamia juu ya maji wakati ulimwengu uliumbwa utajikusanya dhambi zote zilizofichwa zinazokufunga kwenye giza atakupa ujasiri wa kukiri dhambi hizo kwa kuhani ccc (katekisimu ya kanisa katoliki) 208inakabiliwa na uwepo wa kushangaza na wa ajabu wa mungu mtu hujificha mwenyewe kabla ya kichaka kilichowaka musa huchukua viatu vyake na vifuniko uso wake mbele ya utakatifu wa mungukabla ya utukufu wa mungu watatumtakatifu isaya anaeleza ole ni mimi nimepotea kwa maana mimi ni mtu wa midomo isiyo safi kabla ya ishara za kimungu zilizofanyika na yesu petro anasema ondoka kwangu kwa maana mimi ni mtu mwenye dhambi ee bwana lakini kwa sababu mungu ni mtakatifu anaweza kumsamehe mtu anayejua kuwa ni mwenye dhambi mbele yake sitatimiza ghadhabu yangu kali kwa maana mimi ni mungu si mtu mtakatifu katikati yako mtume yohana anasema vilevile tutawahakikishia mioyo yetu mbele yake wakati wowote nyoyo zetu zinatuhukumu kwa kuwa mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu na anajua kila kitu mungu ambaye huwapa watu hawa waliochaguliwa mamlaka ya kusamehe dhambi mara moja kuhani atakupa absolution minyororo ya pepo imevunjika mungu amekushinda kutoka kwenye ukingo wa kuzimu mungu mwenye rehema zaidi mungu mtakatifu amekuachilia huru na unapofungua mapenzi yake anaweza kufanya baraka nyingi katika maisha yako yesu alifanya muujiza mkubwa wakati nyavu zilijaa samaki ilijaa samaki mengi kiasi kwamba walisema mashua nyingine na boti zote karibu zimezama kujaribu kurudi kwenye pwani simoni petro alijua wakati huo ambaye yesu alikuwa na kujitupa chini aligundua jinsi alivyokuwa mwenye dhambi sisi sote tustahili mbele ya mungu mungu peke yake anaweza kutupa rehema hiyo ikiwa sisi ni wazi kwa neno la mungu basi tunaweza kwa huruma yake kuvunja huru na uovu yesu alimwambia simoni petro usiogope mungu anatuambia tusiogope upendo wake na rehema zake sasa usiipatie hii haina maana kwamba unachukua huruma ya mungu kwa nafasi usimtendee mungu kama mtu anayeuza mboga kwenye barabara lazima tukumbuke daima kwamba mungu atatuhukumu kwa kila neno lililozungumzwa na kila hatua itachukuliwahatupaswi kudhani kwamba tuliifanya mbinguni lazima tujitahidi daima kuelekea wokovu mungu anataka tuwe pamoja naye katika upendo wake yesu alichagua simoni pamoja na yakobo na yohana wana wa zebedayo kuacha kila kitu na kumfuata wakati mungu anakuita usipuuzi simu usiwe kama mimi ambaye hatimaye alijibu mwito wa mungu mwishoni mwa maisha haitakuwa rahisi kwa sababu shetani atakuzunguka akisubiri wewe kuingilia na kuruka juu yako kama simba utachukua kumpigwa kwa mungu lakini endeleeni ndugu zangu na dada zangu abbot anthony (mtakatifu) wa misri alisema niliona mitego ambayo adui huenea juu ya dunia na nikasema ni nini kinachoweza kupatikana kupitia mitego hiyo kisha nikasikia sauti ikiniambia unyenyekevu hii ni nguvu ngumu zaidi ya kupata lakini kwa rehema ya mungu inaweza kupatikana hebu tuomba pia mama wa mungu maria ili kutuonyesha jinsi ya kusema ndiyo kwa mungu mungu mwenye nguvu na milele tunakushukuru kwa neno lililotolewa na kwamba umemtuma mwana wako yesu katika maisha yetu sisi kwa mapenzi yako tumaini kwamba utatuongoza kutupa sehemu ngumu zaidi ya maisha yetu kujifunza nidhamu na kufikia ngazi ya juu ya utakatifu thru maombezi ya st anthony ya misri na mama yetu wa maumivu mary tuongoze kukubali mapenzi yako na kufanya kazi iliyo mbele yetu kwa bwana wetu bwana amina meditácia 02/10/2019 →
2020-07-11T11:44:47
https://ajlostsheepforchrist.blog/2019/02/10/kutafakari-02-10-2019/
♥ ** michael ** ♥ michael jackson picha (20074759) fanpop this michael jackson picha contains mitaani mji eneo la tukio mijini mazingira jiji eneo and mijini kuweka there might also be brownstone taasisi ya adhabu adhabu kituo taasisi ya kuurekebisha and kituo kuurekebisha
2020-04-06T17:41:19
https://sw.fanpop.com/clubs/michael-jackson/images/20074759/title/michael-photo
kileo on cybersecurity taarifa binafsi za wanachuo za anikwa mtandaoni matukio yaki halifu mtandao kwa mwaka huu wa 2016 yameonekeana kushika kasi zaidi ya ilivyotegemewa tayari kumekua na matukio kadhaa ya kihalifu mtandao ambapo baadhi yao watoto wa umri kati ya miaka tisa (9) na kumi na saba (17) wanahusika hali hii pamoja na tishio la makundi ya kihalifu mtandao kutishia kuyumbisha uchumi wa mataifa mengi duniani imepelekea wana usalama mtandao kuzidi komba mataifa mbali mbali kujipanga zaidi kukabiliana na uhalifu mtandao mapema mwezi huu taarifa binafsi za wanavyuo wa chuo cha greenwich zimeonekana kusambazwa mitandaoni kufuatia mamia ya taarifa za wanachuo hao kupatikana mtandaoni chuo hicho kimeomba radhi na tayari chuo hicho kinaendelea kuwasiliana na wanachuo wote walio athirika na tukio hili wakati huo huo tukio hilo limeripotiwa na upelelezi bado unaendelea uchunguzi wa awali umeonyesha huwenda wadukuzi walifanikiwa kuingilia mifumo ya chuo hicho na kusababisha taarifa hizo binafsi kusambaa mitandaoni tukio hili linafatia tukio la kijana wa miaka 16 kudukua mifumo ya vyombo vya usalama nchini marekani pamoja na barua pepe ya mkurugenzi wa cia ambapo taarifa zilizopatikana huko pia zili anikwa mitandaoni wanasheria wameonya tukio hilo linaweza kuligharimu chuo hicho pesa nyingi endapo wana vyuo hao watashitaki kutokana na taarifa zao binafsi walizo zipatia chuo hicho hazikupatiwa ulinzi wa kutosha na hatimae kuishia mikononi mwa wahalifu mtandao miongoni mwa taarifa za wanachuo zilizopatikana mitandaoni ni pamoja na majina yao namba zao za simu miaka yao ya kuzaliwa mahli wanapo ishi sahihi zao taarifa zao za hospitali (medical history) pamoja na mambo mengine kwa sasa taarifa hizo zime ondolewa mtandaoni na chuo hicho kimesha fanya mawasiliano na google kuhakiki taarifa hizo haziendelei kuonekana kupitia kisakuzi cha google news updates computer systems at the hollywood presbyterian medical center in southern california have fallen prey to ransomware the systems have been offline for more than a week employees were not able to access patient files and the hospital declared the situation an internal emergency the fbi the los angeles police department and cyberforensics experts are investigating the attackers have demanded a ransom of 9000 bitcoins (approximately us $36 million 32 million euros) aidha ripoti iliyokua ikingojwa ya horizon scan iliyokua ikiandaliwa na taasisi ya maendeleo ya biashara bsi imetoka ripoti hiyo iliyo fanywa kwa kukusanya maoni kutoka kwa mashirika makubwa kujua hofu yao kubwa inayo ikumba makampuni ni ipi kwa mwaka huu wa 2016 imeonyesha makapuni mengi yanahofu na uhalifu mtandao ambapo wanaamini kuna uwezekano mkubwa uhalifu huu kuyumbisha ukuaji na kuendelea kwa makampni mbali mbali imeainisha makampuni yameendelea kuingiwa na hasara mara kwa mara baada ya wahalifu mtandao kufanikiwa kuiba fedha nyingi na kusababisa kuyumba kwa ukuaji wa mapato kwa miaka miwili mfululizo uhalifu mtandao kuonekana kushika nafasi ya kwanza katika ripoti ya taasisi hiyo quote a total of 48 of respondents said they were extremely concerned this year about the possible threat of a cyberattack impacting their company such as a malware or denial of service incident second on the list of top threats this year was a data breach with 41 of respondents saying they were extremely concerned unplanned it and telecom outages came in third with 35 saying they were extremely concerned about the threat aidha kuongezeka kwa matumizi ya tehama kunapopelekea ukuaji wa uhalifu mtandao duniani kote kumepelekea mataifa mengi kua na mikakati madhubuti kukabiliana na hatari ya wahalifu mtandao kuleta athari katika nyanja zote hasa kiuchumi kufuatia hili nchi ya marekani kwa mara ya kwanza ameweza kuwasilisha bajeti ya dola bilioni 19 za kimarekani ili kukabiliana na tishio kubwa la uhalifu mtandao huku ikiimarisha azimio la ushirikiano wa vitengo vinavyohusika na kupambana na uhalifu mtandao nchini humo posted by kileo y at 074400
2018-05-28T07:46:53
http://ykileo.blogspot.com/2016/02/taarifa-binafsi-za-wanachuo-za-anikwa.html
african dreams january 2014 beyonce & jay z performing 'drunk in love' at the grammy's 2014 hd read twice because it is an excellent quote life can give us lots of beautiful persons but only one person is enough for a beautiful life  life's irony little girl wants barbie dolls and little boys want big carsafter growing up big girls want big car's and big boys want barbie girls excellent quote by osho i am responsible for what i spoke but not for what you understood worry is a total waste of time it doesn't change anything but surely keeps us very very busy doing nothing'' as cold water and warm iron take away the wrinkles of clothes a cool mind and warm heart takes out the worries of life every artist gives his own name to his work but there is no artist like a mother who gives birth to a child but gives father''s name a friend posted this on facebook i tried it and it described me too well #1 and #2 results posted below i picked # 9 ujumbe wa wazi kwa dada zangu warning to all men 1 brazilian hair = 68 bags of cement 1 handbag = 10 tankers of water 1 quality shoe = 1 trailer of sand 1 iphone 5 = 6500 blocks just these are enough to build a 2 bedroom flat ladies pleeeeeeeease let your boyfriends be landlords this year jokate akiongelea muziki na filamu nisher ent nje ya box joh makini nikki wa ii gnako bint hello mpenzi mambo jamaa poa baby bint uko wapi jamaa mimi niko town napata bint wow unarudi saa ngapi nina njaa dear jamaa nikuletee nini bint niletee chipsi kuku soseji mayai manne yakaangwe pembeni baga piza ya samaki waweke mayonaize coka take away ya baridi mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa chupa kubwa ya kilimanjaro jamaa umesahau viti meza leseni masufuria sahani na vijiko bintkwa nini dear jamaanaona hutaki kulaunataka kufungua biashara samsung galaxy s4 for sale price tsh 650000/ contact 0658 121033 biashara viatu na nguo toka south africa bei poa from tsh 25000 to 60000 bidhaa zipo dar es salaam bei zake kuanzia 25000 mpaka 60000 (kila bidhaa ina bei yake) kwa mawasiliano contact neema phone no +255715360643 (sms call whatsapp) manjonjo ya mwanasheria rwegoshora baada ya kumaliza degree yake ya sheria mlimani bwana rwegoshora aliamua kurudi nyumbani kwao bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya kuhudumia clients (wateja) siku ya kwanza wakati ndio amefungua ofisi yake alimuona kijana mtanashati anakuja kuelekea ofisini kwake hapo ndipo alipoanza kunyanyua mkono wa  simu ya ttcl wakati anajizungusha kwenye kiti cha kuzunguruka wakati kijana alipokaribia rwegoshora alionesha kumkaribisha huku akiendelea kuongea na simu alisikika akiongea ''no no no absolutely no you tell those clowns in new york that i won't settle this case for less than one million 'pause' yes yes the appeals court has agreed to hear that case next week i'll be handling the primary argument and the other members of my team will provide support okay pliz don't forget to tell the state prosecutor that i'll meet with him next week to discuss the details yule kijana ametulia tu anamuangalia bwana rwegoshora anajinyonganyonga kwa muda zaidi dakika 5 baada ya kumaliza kuongea na simu bwana rwegoshora alielekea kwa huyu jamaa ''samahani sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu hizi unaumiza kichwa sana kama unavyoona tena mwenyewe hapa yaani niko busy sana ninapokea simu mpaka nimechoka mwenyewe enh by the way what can i do for you jamaa alijibu '' mimi ni mfanyakazi wa ttcl nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani'' kingdom corner || episode 1 || conversation with felis mubibya part i kingdom corner || episode 2 || conversation with felis mubibya part ii 200 pound beauty full dvd with english sub i saw this movie in 2007 i never got to see it again and i didn't know what it was called coz the title was in korean i happen to see it again yesterday when i was going through netflix movies i watched it with my sis we had mob fun last night i hope you'll love it too nisher ent nje ya box joh makini nikki wa ii biashara viatu na nguo toka south africa bei po kingdom corner || episode 1 || conversation with f kingdom corner || episode 2 || conversation with f
2017-09-22T06:29:48
https://mamatembosafari.blogspot.com/2014/01/
sekigwa author at mashabikiwaarsenalcom page 3 of 19 ratiba ya raundi ya nne ya kombe la fa imetoka leo ambapo arsenal itaikaribisha timu ya mancheter united katika uwanja wa emirates arsenal yenye mataji 13 na manchester united yenye mataji 12 ya kombe la fa ndizo timu zenye mafanikio makubwa katika michuano hiyo timu ya mancester united ambayo inafundishwa na ole gunnar solskjaer baada ya timu hiyo kumtimua jose mourinho itataka kushinda mchezo huo ili kupata kombe katika msimu huu pia arsenal ina kocha mpya master unai emery ambaye ana sifa kubwa ya kushinda makombe ya mtoano pia atataka kushinda kombe la fa kuwafunga manchester united kwenye kombe la fa na kuwatupa nnje ya nne bora yatakuwa mafanikio tosha kwa unai emery msimu huu michezo hiyo itachezwa kati ya tarehe 25 na 28 ya mwezi huu baada ya kumaliza mwaka vibaya kwa kufungwa 51 na liverpool jana arsenal ilizunduka na kuwafunga wanyonge fulham kwa jumla ya magoli 41 arsenal waliuanza mchezo huo taratibu na kama washambuliaji wa fulham wangekuwa makini wangeweza kufunga magoli mawili au matatu kabla ya dakika ya 20 arsenal ndiyo waliokuwa kupata goli baada ya kiungo granit xhaka kufunga goli katika dakika ya 25 kumalizia mpira wa krosi uliopigwa na alex iwobi beki ya arsenal iliendelea kukatika lakini hadi mapumziko arsenal walifanikiwa kulinda goli lao na kuendelea kuongoza kwa goli hilo moja kipindi ch pili kilianza kwa arsenal kufanya mabadiliko ambapo mustafi alitoka na kuingia lucas torreira pia walifanya mabadiliko ya kimfumo kutoka kutumia 3412 na kuanza kucheza 442 diamond mabadiliko hayo yaliwasaidia arsenal kwani katika dakika ya 55 walifanikiwa kufunga goli la pili kupitia kwa alexandre lacazette wakati nikiamini ya kwamba arsenal wameanza kucheza vizuri laurent koscienly aliokoa vibaya mpira uliomkuta torreira hajakaa sawa na kupokonywa mpira (alifanyiwa faulo na refa akapeta) na kusababisha fulham kupata goli la kufutia machozi kupitia kwa kamara hii ilikuwa dakika ya 69 aaron ramsey aliyeingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya lacazette alifanikiwa kuipatia arsenal goli la tatu katika dakika ya 79 pierre emerick aubamayang alifunga goli la nne na la mwisho kwa arsenal katika dakika ya 83 baada ya kupokea pasi kutoka kwa sokratis auba akishangilia goli lake kwa ushindi huo arsenal inaendelea kubakia katika nafasi ya tano ikiwa imezidiwa pointi mbili na timu ya chelsea iliyopo nafasi ya nne (chelsea ina mchezo mmoja mkononi ambao itacheza leo) arsenal itacheza mchezo ujao dhidi ya blackpool katika kombe la fa mchezo ambao utafanyika jumamosi ijayo timu ya arsenal leo imepokea kipigo kikali cha goli 51 kutoka kwa liverpool na kujiweka katika mazingira magumu ya kumaliza ndani ya timu nne bora kipigo hicho ni kikubwa zaidi kupokea tangu kocha mkuu wa arsenal achukue nafasi ya kuinoa timi hiyo mwezi wa sita mwaka huu liverpool waliuanza mchezo huo kwa kasi kubwa lakini arsenal ndiyo waliokuwa wa kwanza kupata goli baada ya ainsley niles kufunga goli kufuatia krosi safi iliyopigwa na alex iwobi dakika chache baadaye liverpool walisawazisha kupitia kwa roberto firmino kufuatia mabeki wa arsenal kujichanganya katika harakati za kuokoa mpira na kumpa firmino nafasi ya kufunga uzembe wa mabeki wa arsenal ulisababisha firmino aifungie liverpool goli la pili sekunde 90 baada ya goli la kwanza mané alifunga goli la tatu kwa liverpool kufuatia krosi safi ya mo salah kabla ya salah kufunga la nne kwa mkwaju wa penati baada ya sokratis kumuangusha salah ndani ya eneo la hatari hadi mpira unaenda mapumziko timu hizo matokeo yalikuwa liverpool 41 arsenal roberto firmino alifanikiwa kufunga goli la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya kolasinac kumsukuma mchezaji wa liverpool ndani ya eneo la hatari la arsenal emery alifanya mabadiliko katika kipindi cha pili lakini hayakuwa na tija kwani licha ya arsenal kucheza vizuri kipindi cha pili walishindwa kutengeneza nafasi nzuri za kufunga kuna wakati unatakiwa ukubali ya kwamba wapinzani ni bora kuliko wewe hicho ndicho kilichotokea leo liverpool walikuwa bora na wamestahili kushinda haina haja ya kugombana ama kutupiana lawama cha msingi wajipange kwani timu nyingine sio nzuri kama liverpool na wanaweza kupata matokeo
2019-02-17T21:39:57
https://mashabikiwaarsenal.com/author/sekigwa/page/3/
ccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend( uimara wa ccm unatokana pia na kuwa na viongozi makini waadilifu viongozi wa ccm ni hapa kazi tu viongozi wa ccm ni viongozi wanajali shida za watanzania hasa masikini viongozi wa ccm wenye utayari wa kuijenga tanzania ya uchumi wa viwanda bashir nkoromoapril 20 2018 dau asante kwa kuperuzi magazeti katika blog hii ya taifa ya chama cha mapinduzi (ccm blog) karibu sana na endelea kufanya hivi kila mara na kila siku asante admin magazeti ya ndani na nje ya tanzania leo jumatano aprili 18 2018 bashir nkoromoapril 18 2018 mdau wewe ni mtu muhimu sana kuifanya blog hii kuendelea kukua kwa kishindo tunakushukuru sana kwa kuperuzi magazeti ya leo jumatano aprili 18 2018 tunakutakia siku njema popote ulipo admin kumbukumbu za posti zote april (34) march (62) february (111) january (112) december (97) november (115) october (112) september (68) august (136) july (176) june (137) may (153) april (128) march (154) february (99) january (115) december (111) november (50) october (83) september (113) august (90) july (42) june (60) may (76) april (93) march (93) february (64) january (54) december (42) november (54) october (86) september (76) august (84) july (75) june (66) may (63) april (48) march (76) february (65) january (76) december (99) november (74) october (78) september (68) august (111) july (105) june (96) may (81) april (72) march (109) february (86) january (82) december (65) november (41) october (46) september (66) august (51) july (45) june (50) may (73) april (40) march (37) february (55) january (67) december (48) november (75) october (35) september (47) august (57) july (75) june (73) may (63)
2018-04-20T14:01:38
http://ccmchama.blogspot.co.uk/
matukio @ michuzi blog mbunge wa mkuranga aomba rais magufuli kufuta hatimiliki ya shamba lenye hekari 2472 linalodaiwa kumilikiwa na wawekezaji mbunge wa mkuranga aomba rais magufuli kufuta hatimiliki ya shamba lenye hekari 2472 linalodaiwa kumilikiwa na wawekezaji mbunge wa jimbo la mkuranga mkoani pwani abdallah ulega amemuomba rais dkt john magufuli kufuta hatimiliki ya shamba lenye hekari 2472 linalodaiwa kumilikiwa na wawekezaji wenye asili ya kiasia baada ya wawekezaji hao kushindwa kuliendeleza kwa muda mrefu na badala yake wapewe wananchi hayo ameyasema leo jimboni humo wakati wa mkutano kati ya wananchi na kamati ya usalama ya wilaya hiyo uliokuwa na lengo la kujadili shamba hilo linaloonekana kutishia usalama wa raia pamoja na mali zao alisema shamba hilo lilitelekezwa kwa kipindi kirefu na wawekezaji hao hali iliyopelekea wakazi wa kata ya tambani pamoja na mipeko kuyaendeleza kwa kufanya ujenzi na shughuli mbalimbali za maendeleo ulega alisema wakazi wa maeneo hayo waliweza kutafuta hati miliki ya maeneo waliyokuwa wanamiliki kwa kipindi chote na kushangazwa na kitendo cha wamiliki hao kuwataka kutoka katika maeneo yao kwa madai kuwa wakazi takribani 45000 wamevamia eneo hilo alidai wananchi wa vijiji vya mlamleni luzando mwanambaya pamoja na mipeko wamekuwa katika hali ya taharuki toka walipopewa notisi ya siku 21 ya kuwataka waondoke katika maeneo hayo ambayo wameyaendeleza kwa shughuli mbalimbali za kimaendeleo mi najua rais wetu ni msikivu na anaweza kuzifanyia kazi kero za wananchi kwa wakati na kero hii ya kwenye hivi vijiji vyetu anapaswa kutilia mkazo kwa sababu wananchi wa vijiji hivi wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi na hata kujadili shughuli za maendeleo kwa sasa hakuna kabisa kwa kuogopa hawa watu wawili wanaotaka kutudhurumu haki zet alisema ulega aliongeza anaamini kuwa rais sio kabaila na kamwe hatoweza kukaa upande wa makabaila ambao wanategemea kuwalalia wananchi na kujiingizia pesa kupitia wao hata hivyo ulega alimueleza mkuu wa wilaya ya mkuranga kumuagiza ofisa ardhi wa wilaya hiyo kumuandikia notisi ya siku 90 ili kueleza wapi hilo shamba lililo na ni kwa nini hawakuliendeleza kwa muda wote huo pia alimueleza mkurugenzi wa halmashauri hiyo kutoruhusu kampuni ya 'ardhi plan' kupima maeneo ya wilaya hiyo kwani kama ataruhusu kampuni hiyo kufanya upimaji watapelekea kutokea kwa vurugu ambazo zinaweza kusababisha hali ya amani na utulivu kutokuwepo katika wilaya hiyo kwa upande wake mkuu wa wilaya hiyo ya mkuranga philberto sanga aliwataka wakazi wa vijiji hivyo kukaa vikao vya kutayarisha mihutasari ya kuipeleka katika ngazi za juu ili rais kufuta hati ya maeneo hayo ambayo yamekuwa msaada kwa wananchi hao kwa muda mrefu alisema viongozi wa vijiji hivyo wanapaswa kuhakikisha shughuli zote za upimaji ardhi katika vijiji hivyo vilivyodaiwa kumilikiwa na wamiliki hao wa kiasia zinasitishwa mpaka pale taratibu mbalimbali zitakapokamilishwa aliongeza kuwa hatokubali kuona ardhi hiyo ikimilikiwa na watu wawili wenye kutumia fedha na badala yake atahakikisha haki inapatikana kwa wananchi hao kwa kupata ardhi yao sanga alisema viongozi wa vijiji hivyo wanapaswa kuhakikisha hakuna mtu yeyote anayeweza kufanya maamuzi ya aina yoyote katika vijiji hivyo pasipo kupata ruhusa na kibali kutoka katika ofisi za serikali mbunge jimbo la mkurangaabdallah ulega akizungumza na wananchi wa mwanambaya luzando mipeko na mlamleni juu ya kumuomba rais dkt john magufuli kufuta hatimiliki ya shamba lenye hekari 2472 linalodaiwa kumilikiwa na wawekezaji wenye asili ya kiasia baada ya wawekezaji hao kushindwa kuliendeleza kwa muda mrefu na badala yake wapewe wananchi mkuu wa wilaya ya mkuranga mhe filberto hassan sanga wapili kutoka kushoto akiwasili katika mkutano uliofanyika leo mkoani pwani baadhi ya wananchi wa mwanambayaluzandomipeko na mlamleni wakimsikiliza mbunge jimbo la mkurangaabdallah ulega picha na emmanuel massakaglobu ya jamii mamia ya wananchi katika mkutano huo uliofanyika leo mkoani pwani
2017-10-18T16:28:50
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/12/mbunge-wa-mkuranga-aomba-rais-magufuli.html
rais museveni afanya mabadiliko jeshini bbc swahili habari rais museveni afanya mabadiliko jeshini imebadilishwa 24 mei 2013 saa 1150 gmt rais museveni anadaiwa kutaka mwanawe kumrithi kama rais wa uganda anatakapoachia ngazi rais wa uganda yoweri museveni amefanya mabadiliko katika makamanda wake wakuu wa jeshi huku kukiwa na taarifa za kutofautiana kwa majenerali wa jeshi kuhusu ikiwa mwanawe museveni anaweza kumrithi babake kama rais mkuu wa majeshi aronda nyakairima aliyetajwa katika taarifa iliyofichuliwa kuwa mmoja wa wanaopinga mwanawe museveni muhoozi kainerugaba kumrithi babake amehamishwa hadi wadhifa wa kiraia kuwa waziri wa mambo ya ndani taarifa za kutofautiana kwa majenerali jeshini ziliibuka mapema mwezi huu wakati magazeti ya uganda yalipochapisha barua kutoka kwa generali mkuu david sejusa tinyefuza akidai kuwa museveni anamtayarisha mwanawe kumrithi atakapoachia ngazi barua hiyo pia inasema kuwa museveni anapanga kuwaua wale wanaopinga njama yake majenerali kadhaa wakuu walipinga barua ya tinyefuza wakati kundi la wachache likimuunga mkono mabadiliko katika jeshi yanakuja baada ya magazeti makuu ya upinzani yaliyotoa madai ya mgawanyiko jeshini yakisalia kufungwa kwa siku ya tano huku polisi wakiendelea kufanya msako katika ofisi zao kuitafuta barua hiyo taarifa ya serikali imesema mabadiliko hayo sio makubwa bali ni madogo katika kuhakikisha serikali inafanya vyema kazi yake hata hivyo msemaji wa jeshi paddy ankunda alisema kuwa hayo ni mabadiliko ya kawaida jeshini ankunda alisema kuwa hakuna mgogoro jeshini na kuongeza kuwa museveni ana haki ya kufanya mabadiliko yoyote kama anavyoridhia mkuu mpya wa majeshi ni edward katumba wamala ambaye amelimbikiziwa sifa tele kwa kuongoza jeshi la uganda katika vita dhidi ya wapiganaji wa kiisilamu (al shabaab) nchini somalia ofisi za magazeti ya daily monitor na red pepper zilifungwa na kuzuiwa kuchapisha magazeti yoyote na yameendelea kufungwa licha ya agizo la mahakama kutaka polisi kuondoka katika ofisi hizo uganda uganda yafuta sheria dhidi ya ushoga
2014-08-23T01:09:26
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/05/130524_uganda_army.shtml
fasihi ya kiswahili karatasi ya kwanza (nathari na ushairi) revise now fasihi ya kiswahili karatasi ya kwanza (nathari na ushairi) 1 soma taarifa ifuatayo kasha ujibu maswali yatakayofuata dunia ilivyo sasa sivyo ilivyokuwa karne moja iliyopita hata tukizingatia kipindi cha hivi majuzi maisha yalivyokuwa miongoni miwili mitatu iliyopita ni tofauti kabisa na ilivyo sasa kasi ambayo dunua inakimbia hivi leo imezidi kiasi huenda ikapata ajali mithili ya treni na sisi abiria tukaangamia au kujeruhiwa vibaya kama moto uliomwagiliwa petrol mamba mapya huibuka kila kuchao kama ndimi za huo moto ile kasi iliyotajwa imedhihirika wazi zaidi katika uvumbuzi wa kisayansi na maendeleo ya teknolojia mabadiliko yasiyo na mshabaha yalitoa nanga ile siku ambayo mtandao wa intaneti uliposhika hatamu na kuupindua kabisa uwanja wa mawasiliano ikatokea kwamba kuandikia mtu barua kwa wino na karatasi ni kitendo cha jana huduma za posta zikaanza kuwa kisaasili kihadithiwacho watoto na nyanya yao jioni mtandao ukaziburura huduma zingine za barua pepe na kurasa za mawasiliano ya kijamii mathalani facebookna twitter tovuti zingine kama vile yahoo na google zikatawala mawasiliano na kupenya kila mahali kutoka ofisi hadi sebule na hatimaye kutua katika vyumba vya malazi vijana kwa wazee waliparamia hili lori la maendeleo ya teknolojia lisilobagua rangi jinsia dini hata umri asiyelipanda lori akaachwa gizani mshamba kabisa vijana wakajiita kizazi cha dotcom nakuwabandika wazee wao kizazi cha slp mtandao ukawa fumbo ukabatilisha biashara nyingi na wenyewe wakarudi makwao kushika jembe waliloliasi misimu kadha iliyokuwa imepita mkondo wa utendaji shughuli ukabadilika mtumishi wa posta akastaafu mapema mchuuzi wa bahasha za rangi akafunga duka kompyuta zikageuza mambo zikatoka mezani na kuhamia begani kisha kutoka begani sasa zashikwa viganjani zapapaswa tu aliyedhani papo hapo teknolojia imepumzika hakuwa na habari juu ya tufani iliyomjia simu za mkononiyaani rununu zikapanua matumizi atakaye gazeti muziki kitabu chochote alifungua tu simu na kukipokea pale pale alipo wakati tukistaajabia haya mtandaoni aliyezoea kukaa kitako mguu kauweka juu ya mwingine akiwasubiri wateja kuingia duka alibakia mfuko mtupt akizitazama bidhaa zake nazo zikamttazama kumbe wateja washampita nyuma tayari washampita nyuma tayari washatoka kwenye line na wako online wanapapasa vifaa na kununua kwa kutumia vidole popote walipo ofisini mkutanoni matangani kanisani hospitalini hata chooni kokote popote mtandao ukawa mtandao wakausifu wakaukashifu waja wenyewe ndumakuwili walivyo wakaidhania dunia kuwa uwanja tambarare leo bwana fulani karidhika kwa vile alivyonunua bidhaa bila kutoka kule aliko keshoye kalalamika kwa kugundua bintiye kachezewa na vulana lenye jina la ajabu alilokutana nalo kwenye facebook baada ya kujuana kwa masaa mawili basi mtandao ukawa asalichungu ile kasi inayorusha neon la bwana kutoka roma hadi uganda ndiyo ileile inayorusha picha za uchi kwa nchi nzima papo hapo ikabainika wazi kwamba dunia tunayoilaumu nayo ishapigwa bumbuazi ikitazama yale tunayoyatenda na kujitenda inaona kuwa ni mwiba wa kujichoma na chambilecho wavyele haitotwambia pole iulize dunia kwa nini yanayotokea yanatokea vile yanavyotokea itakujibu mtandao ni zana kama vile nyundo upanga jembe uitumiavyo vile utakavyo ukiwa tayari kuyakubali matokeo ya matumizi yako tamthilia ya ulimi mtandao ni zana iwezayo kujenga na kubomoa uzamuzi upo mikononi mwa mwenyewe a) ni mabadiliko gani ambayo yametokea duniani katika miongo miwili iliyopita na ilichochewa na nini b) kulingana na taarifa ni huduma gani tatu ambazo zimekwama kwa sababu ya mtandao wa intaneti ch) kwa kurejelea taarifa hii jadili kwamba intanetini kama upanga unaokata kuwili d) intaneti no zana utumiavyo ndivyo ikupavyo jadili ksuli hii huku ukirejelea taarifa yenyewe e) eleza maana za kizazi cha dotcom na cha slp kama vinavyorejelewa katija taarifa f) eleza maana za misemo ifuatayo kama ilivyotumiwa katika taarifa i) zikaanzakuwa kisaasili ii)jembewaliloliasi iii)tufani iliyomjia iv) mtandao ukawa asalichungu v) ni mwiba wa kujichoma 1 soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali babu alipokaribia kukata roho alimwita baba akamwambia mwanangunitokako ni kurefu na nendako ni kufupu kabla hajamaliza baba alimkatiza na kumwambia mbona wasema kwa huzuni baba una maana gani babu aliendelea nilizaliwa yapata miaka mia moja iliyopita lakini kifo ni pua na mdomo ndiyo maana nimekwita nikupe buriani papo kwa papo baba alipaliwa na pumzi asiweze kupumua wala kunena akajaribu kumbwagia jicho babu lakini haikuchukua nukta kabla mboni za macho hazijaacha kuogelea katika chemchemi ya machozi babu alipoona mambo yamekuwa hayo alingamua kwamba akiendeleakuzungumza na baba bila mashahidi wasia wasia wake haungepata hifadhi yoyote kwani mzee wangu hangeyapata yote ambayo yangeponyoka kutoka kinywani mwa babu ndipo alipokata shauri kumwambia baba atwite sisi sote kina baba kina baba hebu njooni haraka alitamka mzasi wetu babu yenu anawahitaji hivi punde alimaliza kwa vile hali ya babu iliendelea kudhoofu mwito wa ghafla namna ile ulitutia kiwewesote tuliya bwaga majembe tukavisukuma kando viserema na kuzitupilia mbali fagio kwani tulikuwa katika hekaheka ya kurasharasha uwanja wa mji na kupalilia minyanya na mboga zingine tulipachika fulana au shati zilizokuwa karibu tukalifuta jasho kwa viganja vya mikono yetu michafu hakuna hata aliyefikiria kukumbilia uani kwenye maji na taulo wakati haukuruhusu tulijua ya kwamba leo ni leo mwamba kesho ni mwongo kufumba na kufumbua tulijiona tupo matendeguni pa kitanda cha babu wajukuu zangu nimewaita ili niwape mkono wa kwaheri kama mjuavyo mbio za sakafuni huishia ukingoni basi ukingo ndio huu hivi ndiko katika hali ya kufunganya safari imewadia huenda nikangoa nanga hata hivi leo pengine hivi sasa dunia ni hadaa ulimwengu ni shujaa nikamwuliza babu mbona watusemea kwa mafumbo hatulielewi wala hatulitambui ulilotuitia nawe umekazana na vitendawili na mafumbo yasiyo kikimo baba yetu akasema babu yenu yuahisi kwamba yuko karibu kukata roho kwa hivyo amewaita ili aje awausie tukasema sote kwa sauti moja alaa babu akaendelea nawaomba muishi kwa furaha kama mlivyoishi tangu mlipozaliwa mumtii mzazi wenu na muwe na bidii mjiepushe na maovu ya dunia kama kuiba kupigana kusengenyana kulaumiana nakijicho na wewe akamgeukia kitinda mimba chetu mwanamize jitafutie mvulana mzuri mwenye busara na upendo na mwenye bidii akuoe usiangukie mikononi mwa makurumbembe wasiokuwa na asili wala fasili wasiojishughulisha kuchuja na kutengam mema kutoka kwa mabaya wasio na adabu wala heshima na ukienda kwa mji wa watu uwe na sifa ya hapa utokapo watu wajue kwamba mjukuu wa marehemu fulani ni mke kweli kweli mlezi mwema mwaminifu akatugeukia sisi na nyinyi mtafute wake watiifu wajuao watendalo muwatunze muishi ya raha hata nanyi mkongoke kama hivi nilivyokongoka mimi amina baada ya kusema hayo babu alitueneza mikono na mara akakata roho akafariki a) pendekeza kichwa kifaacho taarifa hii b) babu yuko katika hali gani kimaisha tetea jibu lako kwa kutoa sababu ch) tambua na uelee mbinu za kisanaa zilizotumiwa katika taarifa hii d) eleza hisia anazozipata msomaji wa taarifa hii e) mwandishi ametumia toni ipi katika taarifa hii f) tambua mafunzo matatu unayoyapata kutoka taarifa hii abdilatif abdallah sauti ya dhiki 3 soma shairi lifuatalo kasha ujibu maswali mja si mwema mkono inuka upate ya ndika ipate someka wapate yahika inuka hima kwa khati njema wenye kusoma na kuyapima twaa kalamu hino nudhumu waifahamu yaliyo humu kuandika anza na mimi naanza alivyonifanza wapate jitunza anza sikawe kisa chenyewe nao wajuwe salama wawe cha mlimwengu waja wenzangu hawa ndu zangu mja sikudhani nikamuamini kumbe mwafulani n shambani sikudhaniya hafikiriya hakuzoweya ingawa baya tanizunguka hatageuka lishanifika menitenda kisa mezinduka sasa ni yangu makosa sikuwa napasa kisa adhimu nshafahamu najilaumu hata sehemu mja mcheni najuwa kwani kumuamini kumthamini meniuwa mja mjaye daraja muonapo mja asije akaja mja ni nduli nda kikatili kaani mbali (kwani habali) tahadharini mujitengeni kuhasirini mja hana haya mja ni mbaya na ukisha ngiya mmoja kwa miya baya hazimo hutimba shimo azome zomo ndiye hayumo mwake usoni ungiye ndani furaha gani baya kundini 10 januari 1971 a) shairi hili linahusu nini b) tambua na ujadili matumizi ya mbinu za inkisari na mazda ch) tambua aina ya shairi hili na utambue istilahi zinazotumiwa kueleza kila kipande d) kwa kurejelea shairi hili eleza ikiwa mshairi ni mwananmapokeo au mshairi huru e) jadili matumizi ya mbinu za kisanaa zilizotumiwa f) fafanua toni ya shairi hili g) changanua mafunzo unayoyapata kutoka shairi hili 4 rejelea shairi lolote katika diwani ya abdilatif abdalla lenye maudhui ya uvumilivu na ueleze a) ujumbe uliomo b) hisia za mwandishi ch) mafunzo yonayopatikana humo mwinyi hatibu mohamed malenga wa mrima 5 soma shairi lifuatalo kishaujibu maswali rai mwema ni yule aliyejaa utii si ubishi na kelele akanywalo hasikii ni mwasi huyo jinale achunguzwe kwa bidii raia asiyetii ni fisadi wa nchiye uonapo uhalifu usambe huuzuii ndiyo huo uvunjifu kamawe huzingatii mwanachi mwadilifu hilo halikadirii utii kama haupo sheria haziagii imanihuwa haipo na mema hayatujii usalama hufa papo mara nchi ikadhii nia za watu watano ambazo hazififii uchao ni tangamano si chusa hawachukii hushinda kumi na tano ambao hawatulii a) kwa kurejelea shairi hili eleza sifa za raia mwema b) tambua na ueleze vipengele vya kisanaa vilivyotumiwa katika shairi hili ch) nia za watu watano ambazo hazififii hushinda kumi na tano ambao hawatulii mshairi anamaanisha nini katika mishororo hii d) ni nini toni ya mshairi katika shairi hili e) ni nini kusudi la mshairi f) shairi hili linakufunza nini g) eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika shairi hili i) fisadi ii) hisa iii) uvunjifu 6 kwa kurejelea diwani ya mwinyi hatibu mohamed ya malenga wa mrima chambua shairi loote lenye maudhui ya uanadamu ukizingatia a) ujumbe b) hisia ch) toni d) mafunzo yaliyomo
2020-02-28T11:58:37
http://revisenow.net/index.php/kiswahili/year-2018/589-fasihi-ya-kiswahili-karatasi-ya-kwanza-nathari-na-ushairi
rais kikwete asherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa na wajukuu | politiksi kurunzini home habari utawala rais kikwete asherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa na wajukuu rais kikwete asherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa na wajukuu seriajr tw thursday october 08 2015 habari utawala edit
2017-08-23T00:28:25
https://arusha255.blogspot.com/2015/10/rais-kikwete-asherehekea-siku-yake-ya.html
miriam odemba wearing high jewelries from chopard at the cannes 2017 afroswagga fashion blog mwanamitindo wa kimataifa miriam odemba ambae anatokea tanzania ame tuwakilisha kwa mara ya tatu katika tamasha la filamu linalo julikana kama cannes film festival hii ni mara yake ya tatu na miriam amevalishwa urembo na kampuni ya vito iitwayo chopard ambayo kwa mwaka huu iliwavalisha watu maarufu wengi akiwepo mwanamuziki rihanna as usual miriam ali rock hair signature yake mara nyingi huwa na nywele fupi sana (mara nyingine kipara kabisa) siku ya kwanza alivaa gauni jeupe na mkufu & hereni za crystal kutoka kwa chopard siku ya pili miriam amevaa hii silver metallic dress na mkufu na hereni kutoa chopard pia victoria beckham vs selena gomez
2020-08-15T16:59:35
http://afroswagga.com/mitindo/miriam-odemba-wearing-high-jewelries-from-chopard-at-the-cannes-2017/
oriflame yasherehekea miaka 50 ya uuzaji wa bidhaa zake za vipodozi yakutana na wadau wake dar | news oriflame yasherehekea miaka 50 ya uuzaji wa bidhaa zake za vipodozi yakutana na wadau wake dar kampuni ya oriflame tanzania inayouza vipodozi asilia mapema jana juni 82017 imeweza kukutana na wadau wake mbalimbali kama familia ikiwemo wafanyabiashara wanahabari wafanyabiashara na watu maarufu wakiwemo wasanii na viongozi ambapo na kujumuka katika maadhimisho ya miaka 50 tokea kuanzishwa kwake miaka 50 iliyopita huko nchini sweden tukio hilo limefanyika jijini dar e salaam huku mgeni rasmi alikuwa balozi wa sweden nchini bi katarina rangnitt alipongeza watanzania kuzipokea bidhaa za oriflame kwani zimeweza kuwasaidia na kuwa bora kwani zimetengenezwa kwa ustadi mkubwa ikiwemo kutumia vitu vya asili hasa mimea na matunda tunafurahia sana kuona bidhaa kutoka sweden imeweza kuwa bora zaidi hapa tanzania na afrika imekuwa bidhaa hizi za oriflame zimekuwa zikipendwa duniani kote na hadi sasa tunaposheherekea miaka 50 ya kuanzishwa kwake alieleza balozi huyo wa sweden bi katarina ranginitt kwa upande wake mkuu wa masoko wa oriflame tanzania bi mary riungu ameeleza kuwa wana bidhaa mbalimbali ambapo zinapatikana pia kwa mawakala wao wote sehemu tofauti za mikoa ya tanzania ikiwemo majiji yote na mikoa hivyo amewahimiza wananchi kuchangamkia ofa ya bidhaa hizo kwani oriflame ni moja ya makampuni makubwa duniani bidhaa zetu ni bora na zinapendwa duniani kote ambapo katika ukubwa ni ya nne kidunia tunabidhaa mbalimbali zenye mahitaji kwa watu wote na kwa bei ambayo ni rafiki kabisa alieleza bi mary riungu nae mtendaji mkuu wa kampuni ya oriflame kwa nchi za afrika piyush chandra amebainisha kuwa wamekuwa na bidhaa mpya na za tofautitofauti kwenye soko la afrika mashariki ikiwemo vipodozi maalum vitakavyokufanya ngozi yako kuonekana yenye kungaa na safi wakati ambapo zipo sokoni bidhaa zetu ni asili na zina ubora wa hali ya juu kwani zimetengenezwa kwa vitu halisi ikiwemo matundamimea na majani ya hasili na kufanya ngozi kuwa katika hali ya afya wakati wote wa matumizi alieleza bwana piyush chandra aidha kilele cha maadhimisho hayo ya miaka 50 kinatarajia kufikia tamati hadi hapo septemba mwaka huu ambapo zaidi ya wanafamilia 60000 kutoka duniani kote watakaojumuika kwenye meli kubwa ambayo ni maalum na ya kifahari watakutana pamoja na kufurahia huku miongoni mwao wakitokea tanzania ambao ni pamoja na mawakala wa bidhaa hizo katika hatua nyingine oriflame tanzania wameweza kumtangaza balozi mpya wa bidhaa hizo hapa nchini ambapo walimtangaza mariam ambaye anajulikana zaidi kama miss popular anayemiliki nna kuendesha blog ya miss popular inayojishughulishana na shughuli mbambali za urembo na mitindo hivyo kupitia yeye na blog yake watu mbalimbali watafikiwa na kuwa balozi mzuri wa bidhaa hizo oriflame (ea) tanzania limited ni tawi la oriflame east africa ambalo makao yake makuu yapo nchini sweden oriflame tanzania kwa hapa nchini imefunguliwa mei mwaka 2011 huku ikiwafikia watanzania mbalimbali kwa kuwapatia ajira ikiwa ni pamoja na za uwanachama wasambazaji na waajiriwa wa kudumu huku malengo makuu ya oriflame ni kuwa kampuni namba moja duniani inayofanya biashara ya vipodozi kwa namna ya mtandao (network marketing) chanzo na andrew chalemo blog halima shawib kutoka oriflame tanzania akizungumza katika tukio hilo mtendaji mkuu wa kampuni ya oriflame kwa nchi za afrika piyush chandra akizungumza katika tukio hilo jana juni 82017 jijini dar e s salaam balozi wa sweden nchini tanzania bi katarina rangnitt akizungumza katika tukio hilo mkuu wa masoko wa oriflame tanzania bi mary riungu akizungumza katika tukio hilo jana juni 82017 jijini dar e s salaam balozi mpya wa bidhaa hizo hapa nchini ambapo walimtangaza mariam ambaye anajulikana zaidi kama miss popular akizungumza katika tukio hilo mdau akipozi na zawadi ya miaka 50 ya bidhaa za oriflame (picha zote na andrew chalemo blog) wadau wakipozi katika tukio hilo kushoto ni mwandishi mwandamizi wa mtandao wa mo blog andrew chale akiwa pamoja na mwanahabari mwandamizi yamola junior previous articlepspf yatoa elimu juu ya uchangiaji wa hiari wa pss kwa wanafunzi wa vyuo 592 dodoma next articlenews alert waziri mkuu kassim majaliwa amtumbua mkurugenzi mkuu ewura usiku wa manane
2017-12-18T18:25:57
http://bongonews.co.tz/2017/06/09/oriflame-yasherehekea-miaka-50-ya-uuzaji-wa-bidhaa-zake-za-vipodozi-yakutana-na-wadau-wake-dar/
herufi od kupata kujua na kupata od kupata njia yako karibu ya kiingereza lugha duden) baada ya mageuzi mtu anaweza kuandika kujifunza na kukutana na watu wapya hivyo kupata kujua na kukutana § katika kesi ya kiwanja cha kujua na kujifunza ni kutengwa wote kama vile kesi kukabiliana imeandikwa katika uhusiano na vitenzi ni maneno yaliyoandikwa na ni kick kati ya wawili basi wao kubaki pamoja daima wao ni yameandikwa tofauti matokeo yake ni maneno mimi kujadili na marafiki wa jinsi ya kuandika kwa usahihi sisi kupata ufumbuzi katika mtandao wote ni kweli hata katika wiki mimi kuruka kwa newyork sasa mimi nimesikia kwamba uwanja wa ndege da sergio yeye ni manageable au ni kupatikana vigumu navigate nini ni haki si kupata au si kupata au je mimi haja ya kufanya mahali fulani hyphen asante asis kwa sababu mimi ni mfupi na s ni kukosa sauti na hivyo kwa mujibu wa sheria ya ujerumani herufi na mara mbilis bila kuwa hiyo pia ni kwa nini kamusi anasema na kama asili spika mimi nina katika sarufi na spelling na pia katika boring mbaya kweli kweli kama mimi anaweza kutawala kujifunza kiingereza vizuri asante unaweza kuboresha spelling yako lakini kwa kweli hasa punctuation kuboresha na kusoma vitabu hivyo unaweza kujifunza kwa kusoma vitabu moja kwa moja katika kesi ya maandiko kuandika kuweka koma kwa usahihi katika maandishi ufafanuzi wa abipresentation sisi lazima kujibu swali lifuatalo ni kwa jinsi gani suala la nakala amevaa tabia mimi hamnijui ambayo ina maana ya kubeba mfano tabia kama vile je mimi kutumia hii kwa ajili ya mandhari yangu wewe kusikia na kuona jina hili mara nyingi sana na hawezi kufikiri ya kitu chini yake lakini wakati huu itakuwa co kweli imewekwa kwa usahihi unaweza kuona ni juu ya maeneo ya mtandao au katika maoni chini ya youtube video ya jinsi rahisi hivyo watu wengi bar sahihi ya herufi ya kusisimua mimi si kuandika mara kwa mara na daima si haki lakini moto t ingawa kwamba mimi inaweza kiingereza si tu kwa sababu wewe kuandika wakati volt sentensi au neno kimakosa tafadhali kusaidia katika haja ya kukata tamaa ya nini hei t ni furaha kukutana na wewe katika kialbeni ← cam video chat mazungumzo random haraka dating live video dating →
2020-08-06T01:11:07
https://sw.videochat.date/herufi-od-kupata-kujua-na-kupata-od-kupata-njia-yako-karibu-ya-kiingereza-lugha-duden
kamera yangu mahenge akutana na kufanya mazungumzo na kamanda wa kikosi cha usalama barabarani nchini na katibu mtendaji wa baraza la usalama barabarani tanzania sacp fortunatus musilimu augusta njoji at 337 am
2018-01-22T05:56:06
http://www.kamerayangu.co.tz/2018/01/mahenge-akutana-na-kufanya-mazungumzo.html?m=1
swahili biblia revelation 11 111 kisha nikapewa mwanzi uliokuwa kama kijiti cha kupimia nikaambiwa inuka ukalipime hekalu la mungu madhabahu ya kufukizia ubani na ukawahesabu watu wanaoabudu ndani ya hekalu
2018-06-24T05:00:18
http://www.godrules.net/library/African/swahili/swahilirev11.htm
 hazina ya maswali >عالم مثال >philosophy >falsafa >logic and philosophy hazina ya maswali islamquest nyumbani hazina ya maswali logic and philosophy falsafa philosophy عالم مثال 1639 sheria na hukumu 12072 اعتکاف 4699 اهل بیت و یاران 8784 elimu za qurani 13814 حدود، قصاص و دیات 5437 شغل مسافرتی 5210 elimu ya zamani ya akida
2020-04-05T23:21:39
http://www.islamquest.net/sw/archive/category/1405
aavaahana why is 'shiva linga' prioritized & prayed in hindu culture tsuyambu raj said priyamwatha said
2018-09-23T13:46:03
http://aavaahana.blogspot.com/2011/03/why-is-shiva-linga-prioritized-prayed.html
jedwali la mavazi ya walnut solid wood china manufacturers & suppliers & factory jedwali la mavazi ya walnut solid wood mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa jedwali la mavazi ya walnut solid wood) jedwali la mavazi ya walnut solid wood jedwali la mavazi ya walnut solid wood jedwali la mavazi ya walnut wood light jedwali la mavazi ya walnut laini jedwali la kushangaza la walnut jedwali la kahawa la walnut la giza jedwali la mwisho la walnut jedwali la kahawa ya walnut ya giza
2020-07-08T22:00:52
https://sw.taihuafurniture.com/dp-jedwali-la-mavazi-ya-walnut-solid-wood.html
messi afunga zote mbili barca yaua 20 la liga bin zubeiry sports online messi afunga zote mbili barca yaua 20 la liga bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > messi afunga zote mbili barca yaua 20 la liga mshambuliaji lionel messi akifumua shuti kwa guu la kushoto kumfunga kipa wa alaves fernando pacheco kuipatia barcelona bao la kwanza dakika ya 55 katika ushindi wa 20 kwenye mchezo wa la liga uwanja wa mendizorroza mjini vitoriagasteiz leo bao la pili akifunga muargentina huyo dakika ya 66 picha zaidi gonga hapa item reviewed messi afunga zote mbili barca yaua 20 la liga rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2019-01-17T00:59:58
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/08/messi-afunga-zote-mbili-barca-yaua-2-0.html
hatimaye serikali ilitangaza kuwaongezea mishahara watumishi wa umma nchini na pia kuwapandisha madaraja wale wanaostahili kuanzia mwezi huu neema hiyo kwa watumishi wa umma ilitangazwa rasmi na msemaji mkuu wa serikali dk hassan abbas wakati akielezea mafanikio ya miaka miwili tangu kuingia madarakani kwa serikali ya awamu ya tano katika taarifa hiyo serikali ilieleza vilevile kuwa mbali na kuongeza mishahara na kuwapandisha madaraja watumishi wake pia italipa stahiki zote kwa wanaostahili hakika hiyo ni habari njema ni neema kubwa ni taarifa ambayo kwa namna yoyote ile inatarajiwa kuwapa faraja ya kipee watumishi wengi wa umma furaha ya kupokea mishahara mipya iliyoboreshwa kuanzia mwezi huu kupandishwa madaraja na pia kulipwa stahiki zao inatarajiwa kuongezwa na ukweli kwamba kwa muda mrefu sasa jambo hilo halikuwahi kufanyika tangu machi mwaka jana serikali ilisitisha upandishaji mishahara na madaraja kwa watumishi wa umma ili kupisha kazi ya uhakiki wa idadi kamili ya watumishi wake na pia kuwabaini wale wote wenye vyeti bandia vya kielimu watumishi zaidi ya 10000 walighundulika kuwa na vyeti feki huku wengine takribani 20000 wakigundulika kuwa ni watumishi hewa hivyo kwa ujumla serikali kuokoa zaidi ya sh bilioni 300 ambazo sasa zinaweza kutumika kwa shughuli nyingine za maendeleo sisi tunaipongeza serikali kwa hatua yake hii hasa kwa kutambua kuwa athari chanya za malipo mazuri kwa watumishi wa umma huwanufaisha siyo wao na familia zao tu bali na wananchi wengine kwa ujumla na hili lipo wazi watumishi wa umma wanapolipwa vizuri maana yake na wao watakuwa na nguvu zaidi ya kulipia mahitaji mbalimbali ya bidhaa na huduma kufanya hivyo huongeza kasi ya mzunguko wa fedha na mwishowe kuwanufaisha watanzania wengi zaidi jambo pekee tunaloamini kwamba linapaswa kuzingatiwa na wanufaika wa nyongeza hiyo ya mishahara kwa watumishi ni kuboreshwa zaidi kwa huduma sisi tunaamini kuwa furaha ya mishahara mipya kwa watumishi itaendana na huduma bora zaidi kwa wananchi kulinganisha na vile ilivyokuwa hapo kabla kwa mfano hatutarajii kuona kuwa walimu wakiwa watoro kwenye vituo vyao vya kazi bali kuwajibika zaidi na kuhakikisha kuwa malengo ya elimu yanatimia hatutarajii pia kuona kuwa madaktari wauguzi na watumishi wengine wa afya wakilalamikiwa kwa uzembe bali kusifiwa na wananchi kutokana na uchapakazi bora unaotokana na kujituma kazini kila uchao aidha vitendo vya rushwa na ufisadi ambavyo ni kinyume cha sheria ya nchi na vimekuwa vikipigwa vita kwa kasi kubwa zaidi tangu serikali ya awamu tano iingie madarakani kamwe havitapata nafasi kuanzia mwezi huu kwa ujumla ni imani yetu kwamba madaraja mapya na mishahara mipya kwa watumishi vinapaswa kuwa chachu ya kuimarika kwa huduma katika idara taasisi na mashirika ya umma hakika hilo ndilo kusudio la serikali katika kutimiza wajibu wake huo kama mwajiri ikitaraji kuwa tija itaongezeka katika mahala pa kazi siyo kinyume chake ni imani yetu kwamba sasa hakuna mtumishi wa umma atakayebweteka kwa furaha badala yake kila mmoja atatekeleza wajibu wake kadri inavyotakiwa ili kufanya hivyo kutaiwezesha serikali kutimiza malengo yake katika kuwaletea maendeleo watanzania watumishi wa umma waitendee haki nyongeza hiyo ya mishahara madaraja na kulipwa kwa stahili zao kuanzia mwezi huu wanufaika wasiiangushe serikali kwa kuendelea kufanya kazi kwa mazoea bali sasa wafanye kazi kwa kujituma zaidi ili kuinua tija kwenye maeneo yao na mwishowe kuwanufaisha watanzania stars ilenge ushindi benin kukwea fifa
2018-04-26T11:26:58
https://www.ippmedia.com/sw/maoni-ya-mhariri/watumishi-waitendee-haki-mishahara-mipya
nape ataka aliemtolea bastola hadharani akamatwe you are athome»habari360»nape ataka aliemtolea bastola hadharani akamatwe mbunge wa mtama (ccm) nape nnauye bado anaendelea kukumbuka tukio lililoibua hisa kwa wengi baada ya kutolewa bastola hadharani jinini dar es salam nape alisema licha ya kutolewa bastola hadharani mbele ya kamanda wa polisi wa mkoa na anashangazwa kuwa aliyefanya kitendo hicho hajakamatwa hadi sasa nape ametoa kauli hiyo leo jioni alhamisi aprili 25 2019 bungeni jijini dodoma wakati bunge lilipokakaa kama kamati kupitisha bajeti ya wizara ya mambo ya ndani mwaka 2019/2020 waziri huyo wa zamani wa habari utamaduni na michezo amesema mtu huyo yupo na amekuwa akitajwa kwa jina lake na kazi anayoifanya lakini hakuna hatua zilizochukuliwa nape alikumbana na kadhia hiyo machi 23 2017 ikiwa ni saa chache kupita tangu rais john magufuli alipotangaza kumwondoa kwenye baraza la mawaziri akihudumu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo baada ya kuondolewa asubuhi siku hiyohiyo mchana nape alipanga kufanya mkutano na waandishi wa habari katika hoteli ya protea jijini dar es salaam ambako alikuta zuio la vyombo vya dola na alipolazimisha alijikuta akitolewa bastola mbele ya waandishi wa ndani na nje akitakiwa kurudi ndani ya gari lake na asifanye mkutano huo tangu kutokea kwa tukio hilo kumekuwapo mijadala hasa ikilenga kujua kwa nini hatua hazichukuliwi kwa mtu huyo licha ya video na picha mbalimbali zinazomwonyesha akitoa bastola na kumnyooshea nape zipo na zinasambaa mitandaoni amesisitiza nina amini hakutumwa na serikali alifanya kwa ujinga wake wa kutotumia busara kutekeleza kazi aliyotumwa serikali ni vizuri ikajitenga na matukio haya busara ndogo ya kumaliza mambo haya ili wanaotumwa kutekeleza majukumu wakatumia busara hata hivyo nape hakuweza kumaliza kuzungumza jambo hilo baada ya mwenyekiti wa bunge mussa azzan zungu kumueleza kuwa muda wake wa kuchangia umekwisha mbunge huyo wa mtama alikuwa akichangia hoja za mbunge wa iringa mjini (chadema) mchungaji peter msigwa aliyeshika shilingi akitaka serikali itoe majibu kuhusu matukio ya utekaji na watu kupotea previous articlewaziri lugola apinga ripoti ya cag dhidi ya jeshi la polisi next article naibu waziri wa afya bado tuna ugonjwa wa malaria
2019-08-18T14:09:09
https://habarimpya.com/featured-2/muhammed-khamis/nape-ataka-aliemtolea-bastola-hadharani-akamatwe
how would wewe rate the descent (2x12) kura ya maoni results maonyesho ya televisheni ya vampire diaries fanpop maonyesho ya televisheni ya vampire diaries how would wewe rate the descent (2x12) minimew037 posted zaidi ya mwaka mmoja uliopita
2019-12-11T12:17:35
http://sw.fanpop.com/clubs/the-vampire-diaries-tv-show/picks/results/629089/how-would-rate-descent-2x12
hillary clinton kuwania urais marekani bbc swahili hillary clinton kuwania urais marekani http//wwwbbccom/swahili/habari/2015/04/150412_hillary_clinton rais wa marekani barack obama amesema kuwa hillary clinton atakuwa rais bora na mwenye maono kwa nchi ya marekani bi clinton anatarajiwa kutangaza hii leo kuwa atawania uteuzi wa chama cha democratic obama amesema kuwa bi clinton alitekeleza kwa njia nzuri majukumu yake alipohudumu kama waziri wa mashauri ya kigeni atatangaza azma yake ya kuwania urais kwa njia ya video ambayo itasambazwa kupitia kwa mitandao ya kijamii kinyume na miaka minane iliyopita bi clinton anatarajiwa kuangazia zaidi jinsi wapiga kura wataandikisha historia kwa kumchagua kuwa mwanamke wa kwanza rais wa marekani
2018-03-17T14:48:45
http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/04/150412_hillary_clinton
haji manara baada ya simba kumtambulisha kagere na wenzake kwata unit sports news home simba haji manara baada ya simba kumtambulisha kagere na wenzake haji manara baada ya simba kumtambulisha kagere na wenzake mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano wa simbasc haji manara amesema klabu hiyo bado itaendelea kusajili licha ya kuwatambulisha meddie kagere paschal wawa na deogratius munish dida mbele ya waandishi wa habari hiyo jana hatufanyi hivi kwa ajili ya kumfurahisha mtu bali ni mipango ya dhati kuhakikisha simba inakuwa na kikosi kipana kinachoweza kufanya vizuri alisema haji manara usajili yanga yamrejesha mchezaji huyu kikosini wawakilishi hao wa tanzania kwenye ligi ya mabingwa afrika mbali na mashindano hayo watakabiliwa na mashindano mengine mengi ikiwemo ligi kuu ya soka tanzania bara kombe la mapinduzi azam sports federation cup sportpesa super cup na kagame hivyo ni lazima wawe na kikosi kipana na cha ushindani mbali na hilo timu hiyo ina deni kubwa toka kwa mhe rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john p magufuli ambaye aliagiza klabu hiyo iwe ya kwanza kutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa afrika au walau iweze kufika fainali ya mashindano hayo previous articletetesi za usajili barani ulaya 29 june 2018 next articlematokeo kagame jku vs vipers leo 29 june 2018
2018-10-20T06:20:42
https://www.kwataunit.co.ke/2018/06/haji-manara-baada-ya-simba-kumtambulisha-kagere-na-wenzake.html/26093/
bondia alibaba ramadhani anyakua ubigwa wa masubwi wa ubo afrika | libeneke la kaskazini home / burudani / matukio / bondia alibaba ramadhani anyakua ubigwa wa masubwi wa ubo afrika bondia alibaba ramadhani anyakua ubigwa wa masubwi wa ubo afrika promota andrew george akionesha mkanda unaogombaniwa kati ya alibaba ramadhani na alick mwenda patrick ngiloi akisalimiana na andew george kabla ya kuanza kwa pambano kati ya alibaba ramadhani na alick mwenda mkuu wa wilaya ya hai novatus makunga akizungumza maneno machache kabla ya pambano kuanza baadhi ya watu waliokuja kushuhudia pambano kati ya alibaba ramadhani na alick mwenda pambano kati ya alibaba ramadhani na alick mwenda likiendelea alibaba ramadhani akimshambulia alick mwenda kwa makonde mazito patrick ngiloi (katikati) akiwa anafuatilia mpambano wa ngumi kati ya alibaba ramadhani na alick mwenda alibaba ramadhani akiwa amebebwa juu baada ya kutangazwa kuwa ndio bingwa mpya wa ubo africa alibaba akishikwa mkono na kunyooshwa juu ikiwa ni ishara kwamba yeye ndie mshindi na bingwa mpya wa ubo africa alibaba ramadhani akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kutangazwa kuwa ndie bingwa wa ubo afrika
2017-08-20T20:51:04
https://woindeshizza.blogspot.com/2014/09/bondia-alibaba-ramadhani-anyakua-ubigwa.html
mkuu wa chuo cha alnnajah cha sheria za kiislam sheikh fahmi lubwaza akizungumza wakati wa duwa ya kuombea uchaguzi mkuu katika msikiti wa ilala kota dar es salaam ustaadhi akisoma wasiilat shaafi posted by mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa tiketi ya ccmdr jakaya kikwete akisalimiana na wananchi wakati alipowasili kwenye viwanja vya jangwani leo kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni kwa ccmmgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya ccm dk mohamed gharib bilal akiwahutubia wanachama na wapenzi wa chama cha mapinduzi waliofurika katika viwanja vya jangwanijijini dar leo wakati wa hafla ya kufunga mikutano ya kampeni za chama hicho mgombea urais kwa tiketi ya ccm dr jakaya kikwete akisalimiana na mgombea mwenza wake dk mohamed gharib bilal wakati akishuka jukwaani baada ya kumaliza kutoa salamu kwa wanaccm kwenye hafla ya kufunga mikutano ya kampeni kwa ccm iliyofanyika kwenye viwanja wa jangwani jioni hii dk mohamed gharib bilal akisalimiana na rais mstaaafu wa awamu ya tatumh benjamin mkapa na rais mstaafu wa awamu ya pilimh ali hassan mwinyi wakati alipomaliza kutoa salamu zake kwa wapenzi na wanachama wa ccm waliofurika leo katika viweanja vya jangwani jijini dar wakati wa hafla ya kufunga mikutano ya kampenidr jakaya kikwete akisalimiana na mjumbe wa halmashauri kuu kwa mkoa wa dar es salaam asha baraka wakati akiingia kwenye viwanja vya jangwani leosehemu ya wanachama na wapenzi wa ccm wakiwa wamefurika katika viwanja jangwani kuhudhulia hafla hiyo ya kufunga mikutano ya kampeni kwa ccm iliyofanyika jioni hii navio kutoka uganda amani kutoka nairobikenya 2 face kutoka nigeria ally kiba akipigwa msasa kwenye kinanda na msanii kutoka nigeria 2face idibia habari nilizozipata jana wasanii hawa walimaliza kurekodi wimbo huo wa africa na sasa kilichobaki ni kuanza kushoot video hiyo kama ulivyoona picha za juu wakiwa kwenye location tofauti tofauti performances from jhikoman and afrikabisa band saganda and hardmad accompanied with zemkala band venue makumbusho cultural center date 29th october 2010 time 7pm till dawn
2017-06-23T05:10:51
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2010_10_01_archive.html
je ninapaswa kuangalia nini kwa mke swali je ninapaswa kuangalia nini kwa mke jibu uhusiano muhimu zaidi wa binafsi kwamba mume anaweza kuwa nao nje ya uhusiano wake wa kiroho na mungu kwa njia ya bwana yesu kristo ni uhusiano wake na mke wake katika harakati ya kumtafuta mke kanuni kuu ni kumtafuta mwanamke mwenye imani ya kibinafsi kwa yesu kristo mtume paulo anatuambia kuwa tusitiwe nira pamoja na wasioamini (2 wakorintho 614) ijapokuwa tu kama mume na mke wako katika mkataba kamili juu ya suala hili muhimu zaidi ndoa ya uungu na ya uridhisho hauwezi kufanyika hata hivyo kuoa muumini mwenzetu haina dhamana kamili ya kutiwa nira pamoja ukweli ni kwamba mwanamke ni mkristo haimaanishi kuwa yeye ni mwenzi sawia kiroho je yeye ana malengo sawia ya kiroho kama wewe je yuu na mafundisho sawia na wewe ya imani je yeye yuu na hisia kali kwa mungu sifa za mke mwema ni muhimu sana wanaume wengi mno huoa kwa hisia au mvutio wa mwili pekee na hiyo inaweza kuwa kichocheo cha kushindwa ni baadhi gani ya sifa za uungu mume anaweza kuangalia katika mke maandiko yanatupa baadhi ya kanuni tunaweza kutumia ili kuwa na picha ya mwanamke mcha mungu yeye lazima awe mtiivu katika uhusiano wake mwenyewe wa kiroho na bwana mtume paulo anaelezea kuwa mke anastahili kumtii mumewe kwa bwana (waefeso 52224) kama mwanamke si mtiivu kwa bwana yeye hawezi ona utiivu kwa mume wake kama jambo muhimu kwa manufaa yake mwenyewe kwa ustawi wa kiroho hatuwezi kutimiza matarajio ya mtu mwingine bila kwanza kuruhusu mungu kutujaza na utu wake mwanamke ambaye mungu ndiye chanzo cha maisha yake ni mhitimu mzuri kuwa mke paulo pia anatoa baadhi ya sifa za tabia kwa mwanamke katika maelekezo yake kuhusu viongozi katika kanisa vivyo hivyo wake zao na wawe wastahivu si wasingiziaji watu wa kiasi waaminifu katika mambo yote (1 timotheo 311) kwa maneno mengine huyu ni mwanamke ambaye amaejawa na kiburi anajua wakati nafasi ya kuzungumza na wakati wa kuwa kimya na ana uwezo wa kuchukua nafasi yake karibu na mume wake kwa kujiamini yeye ni mwanamke ambaye kwanza lengo ni uhusiano wake na bwana na ukuaji wake mwenyewe kiroho majukumu ya ndoa ni makubwa kwa mume mpango wa mungu humuweka kuwa kichwa cha mke wake na familia yake uongozi unafuata ule wa uhusiano kati ya kristo na kanisa (waefeso 52533) ni uhusiano msingi waake uu katika upendo tu kama viel kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake vivyo hivyo mume anafaa kumpenda mke wake kama anavyojipenda mwenyewe kwa hiyo uhusiano wa mume binafsi kiroho na bwana ni wa umuhimu mkuu katika mafanikio ya ndoa yake na familia yake sadaka ya hiari na nguvu ya kuchagua kuwa mtumishi bora katika ndoa yake ni alama ya ukomavu wa kiroho ambaye anamheshimu mungu kwa busara kuchagua mke kwa msingi wa sifa ya biblia ni muhimu lakini umuhimu bali la muhimu zaidi ni mume kuendelea kukua mwenyewe kiroho na kujisalimisha kwake kwa mapenzi ya mungu katika maisha yake mtu ambaye anatafuta kuwa mume ambaye mungu anamtaka awe atakuwa na uwezo wa kusaidia mke wake kuwa mwanamke mungu anatamani yeye awe na atakuwa na uwezo wa kujenga ndoa katika muungano ambao mungu anawataka yeye na mke wake wawe
2017-11-23T11:23:21
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Kutafuta-mke.html
mailchimp vs sendinblue je programu ipi ya barua pepe ni bora mailchimp ina mamilioni ya watumiaji ulimwenguni kote na inatoa zana rahisi ya uuzaji ya barua pepe na sifa nzuri sendinblue ni chaguo jingine kubwa ikiwa unatafuta zana rahisi ya kutumia sifa ngumu na bei ya bei rahisi kwa sababu sendinblue tofauti na barua ya barua haitoi kofia kwenye anwani na badala yake inashutumu tu kwa idadi ya barua pepe zilizotumwa mailchimp vs sendinblue hii kulinganisha kwa mailchimp vs sendinblue hakiki mbili ya programu bora zaidi ya uuzaji wa barua pepe huko huko hivi sasa muhtasari mailchimp ina mamilioni ya watumiaji ulimwenguni kote na hutoa mhariri wa barua pepe wa utumiaji rahisi na sifa nzuri sendinblue ni chaguo nzuri ikiwa unatafuta zana rahisi ya kutumia na sifa ngumu sendinblue haitoi kofia kwenye anwani na mashtaka kwa idadi ya barua pepe zilizotumwa linapokuja suala la kutuma kampeni nyingi za barua pepe bei ya sendinblue ni bei rahisi bei mpango wa muhimu huanza kwa $ 999 / mwezi (anwani 500 na barua pepe 50000) mpango wa lite huanza kwa $ 25 / mwezi (anwani zisizo na kikomo na barua pepe 40000) mpango wa bure $ 0 mpango wa bure wa (anwani 2000 na barua pepe 10000 kwa mwezi) $ 0 mpango wa bure (anwani zisizo na kikomo na barua pepe 9000 kwa mwezi) urahisi wa matumizi ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 fomu na kurasa zinazoongoza ⭐⭐⭐⭐ ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 usafirishaji na autoresponders ⭐⭐⭐⭐ ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 utoaji wa baruapepe ⭐⭐⭐⭐ ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 programu na ushirikiano ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 ⭐⭐⭐⭐ thamani ya fedha ⭐⭐⭐⭐ ⭐⭐⭐⭐⭐ 🥇 tembelea mailchimpcom tembelea sendinbluecom mailchimp na sendinblue ni nini mailchimp vs sendinblue urahisi wa matumizi mailchimp vs sendinblue templeti za barua pepe mailchimp vs sendinblue njia za kujisajili na kurasa za kutua mailchimp vs sendinblue automation na autoresponders mailchimp vs sendinblue uchambuzi ripoti na upimaji wa a / b mailchimp vs sendinblue uokoaji emailchimp vs sendinblue ushirikiano mailchimp vs sendinblue mipango na bei mailchimp vs sendinblue faida na hasara mailchimp vs sendinblue muhtasari katika siku hii na umri unaweza kudhani barua pepe ni jambo la zamani bado data inasema vinginevyo kulingana na oberlocom idadi ya watumiaji wa barua pepe inaendelea kuongezeka kwani akaunti milioni 100 zinaundwa kila mwaka takriban zaidi ya barua pepe bilioni 300 hutumwa na kupokelewa kila siku na takwimu zitaendelea kuongezeka tu wakati umuhimu wa uuzaji wa media ya kijamii hauwezi kupuuzwa barua pepe bado ni nyenzo kuu kwa biashara ndogo na za midsize ambazo zinataka kukua kama ilivyoripotiwa na emarsys karibu 80 ya smb bado inategemea barua pepe kupata wateja zaidi na kuitunza barua pepe ziko hapa na ziko hapa kukaa sasa tunajua kuwa barua pepe bado ni kifaa muhimu na muhimu ili kuongeza uhamasishaji wa chapa lakini ni wakati wa kuzungumza juu ya uuzaji wa barua pepe kwa ufupi uuzaji wa barua pepe ni kitendo cha kukuza bidhaa au huduma kupitia barua pepe ni zaidi ya kutuma tu barua pepe kwa wateja kuhusu bidhaa zako pia utahitaji kukuza uhusiano nao hii ni pamoja na kujenga hisia za faraja kwa kuzifanya zijulishwe na ujumbe ulioandaliwa ipasavyo shida ni kwamba na maelfu au wateja zaidi ambao unataka kufikia haitakuwa bora kushughulikia barua pepe zao kwa wakati mmoja ndio sababu unahitaji zana bora ya barua pepe kukusaidia kufanya kazi hiyo kwa hivyo ni aina gani ya zana na ni ipi unapaswa kutumia tutaangalia wawili washindani wanaoongoza mailchimp na sendinblue mailchimp na sendinblue ni nini watu huita huduma za barua pepe kwa wingi sio tu unaweza kutuma barua pepe kwa maelfu ya watu mara moja lakini vifaa hivi pia hufanya kazi kama wahusika wanaweza kutuma barua pepe sahihi kwa moja kwa moja kulingana na shughuli za watumizi wako aina hizi za barua pepe zinaweza tu kuwasumbua watu ikiwa haubinafsishi ujumbe wako ili uendane na hali hiyo ukiwa na zana hizi hata hivyo unaweza kulenga watu sahihi kwa wakati unaofaa na ujumbe kamili kwa njia hiyo kuna nafasi ndogo kwamba barua pepe yako itazingatiwa kuwa barua taka na hiyo nje ya njia wacha tuzungumze juu ya kila huduma mmoja mmoja mailchimp ni moja ya majukwaa maarufu ya uuzaji wa barua pepe ilizinduliwa mnamo 2001 huduma hufanya iwe rahisi kwa biashara ndogo na midsize kupata uuzaji wa barua pepe wa kitaalam wanaohitaji sifa moja kubwa ambayo mailchimp anayo ni ujumbe wa kitabia unaweza kuunda aina maalum za ujumbe unaojumuisha shughuli kama arifa za kuagiza ingawa huduma zingine kama hii hazipatikani bure kuzingatia washindani zaidi na zaidi wanaingia kwenye soko hatuwezi kusema kuwa mailchimp ni chaguo bora siku hizi watu wanasema kuwa kupata huduma bora za mailchimp unahitaji kulipa bei ya malipo huduma zingine kama sendinblue ni bei rahisi na hutoa huduma zaidi kuliko mailchimp sendinblue ni huduma mpya iliyozinduliwa mnamo 2012 inaweza kufanya mambo mengi ambayo mailchimp hufanya pamoja na vitu vingine vichache kwa mfano mbali na uuzaji wa barua pepe unaweza pia kufanya uuzaji wa sms na uuzaji wa gumzo vipengele hivi vinapaswa kukusaidia ikiwa unataka kujumuisha media zingine za uuzaji ili kuuza bidhaa zako kwa kuongeza barua pepe ya kubadilishana ni maalum inasababishwa na kitendo cha mpokeaji au kutotenda mailchimp ni maarufu zaidi na ina historia zaidi ikilinganishwa na sendinblue kulingana na google mwelekeo mailchimp bado inatawala soko grafu hapa chini inaonyesha kiwango cha utaftaji cha kila siku cha hao wawili katika miaka mitano iliyopita walakini hatuwezi tu kuangalia kushiriki kwa soko peke yao kwani huduma ya zamani kawaida ni maarufu zaidi ili kupata huduma inayofaa unahitaji kuzingatia mambo kadhaa kwa bahati nzuri tunaweza kukusaidia katika utaftaji wako kuamua ni ipi chaguo sahihi kwako kwa suala la urahisi wa utumiaji zote mbili mailchimp na sendinblue wote wawili ni wazuri kwa mfano mailchimp ina udhibiti wa kurudisha nyuma kwa shughuli rahisi zaidi bado kazi zingine muhimu labda sio dhahiri kupata kama vile kuanzisha ukurasa wa kutua kwa jumla walakini mailchimp ni chaguo la kuridhisha ikiwa unataka kuwa na jukwaa rahisi kutumia kuunda kampeni yako bado sendinblue haiko nyuma katika idara hii pia utatambuliwa kwa kazi ya kuvuta na kuacha kazi ili kuhariri sehemu za kampeni pamoja na chaguzi za kuweka mapema ambazo hufanya kazi yako iwe rahisi kuliko zamani ikiwa haujaridhika na jinsi mambo yanavyoonekana unaweza kurudi kwenye toleo zilizopita hivi ndivyo inavyoonekana ner mshindi ni funga wote kushinda mailchimp na sendinblue ni rahisi kuchukua ingawa unaweza kuchagua sendinblue ikiwa unaanza kamili kwa sanifu zaidi na rahisi kutumia interface templeti ipo kufanya barua pepe yako nzuri kwa hivyo asili templeti zilizo tayari kutumia zinapaswa kutolewa ikiwa hutaki kuzibuni peke yako kwa kuwa unataka kuchagua kiolezo kinacholingana na upendeleo wako ndivyo chaguo zaidi bora zitakavyokuwa mailchimp inatoa zaidi ya 100 templeti zenye majibu kwako kuchagua kutoka iliyoundwa kwa watumiaji wa simu za mkono na pc unaweza kuzibadilisha kama inahitajika ikiwa unataka kupata templeti fulani tafuta tu kwa kategoria na uko vizuri kwenda badala yake sendinblue haitoi kama vile chaguzi za template usituguse vibaya bado wanapeana templeti kadhaa za kukufanya uanze vinginevyo unaweza kutumia templeti uliyonayo tayari ama iweze peke yako au utumie muundo kutoka vyanzo vingine nakili tu na ubandike html ya templeti kwenye hariri ya sendinblue kuitumia ner mshindi ni mailchimp kwa sababu mailchimp inatoa chaguzi zaidi kwa kuunda kubuni na kuweka mtindo wako wa kipekee kwa templeti za barua pepe ikiwa una tovuti huwezi kuacha fomu za usajili unapozungumza juu ya uuzaji wa barua pepe chombo hiki kinaweza kufanya kazi ya kuunda orodha za barua pepe iwe rahisi zaidi kwa bahati nzuri majukwaa haya mawili yanatoa ukiwa na mailchimp unaweza kufanya hivyo lakini inaweza kuwa sio rahisi kwani hakuna njia dhahiri wakati wewe ni mpya kwenye jukwaa kwa habari yako fomu inaweza kupatikana chini ya kitufe cha 'unda' kuhusu aina ya fomu kuna chaguzi chache unaweza kuchagua inaweza kuwa popup kutoka fomu iliyoingia au ukurasa wa kuingia mbaya kubwa na fomu za mailchimp ni mwitikio haujaandaliwa kikamilifu kwa watumiaji wa simu bado sasa hii ndio sehemu ambayo sendinblue inatoka juu sio tu kwamba hutoa muundo mzuri wa msikivu lakini pia inaongeza kipengee kisicho cha ziada ambacho hakipo katika pepech watumiaji wanapojiandikisha kwa jarida wanaweza kuchagua aina gani wanataka kujiandikisha kwa mfano mtumiaji anaweza kupendezwa na barua pepe kulingana na mada maalum mchakato wa kuvuta na kushuka kwa kuunda moja pia hufanya mchakato wote haraka sana ner mshindi ni sendinblue kwa sababu sendinblue hutoa njia ya angavu zaidi kuunda fomu wakati unatoa matokeo bora wote mailchimp na sendinblue kujivunia otomatiki kama sehemu ya huduma yao wakati hii ni kweli kiwango sio sawa kwa mailchimp watu wengine wanaweza kuiona kuwa ya utata katika kuisanidi sababu ya kuwa kazi ya kufanya hivyo haikuwekwa wazi tena sendinblue ina faida na jukwaa unaweza kuunda kampeni ya hali ya juu ambayo husababisha vitendo kulingana na data kama vile tabia ya mteja ni rahisi kutumia kwani unaweza kutumia viboreshaji 9 vya msingi wa kuomba kuomba kwa hali tofauti mfano baada ya mteja kununua bidhaa au kutembelea kurasa kadhaa unaweza pia kujaribu kampeni zako kabla ya kuzisimamisha na pia kuna 'bora kipindi cha wakati kutumia kujifunza kwa mashine inaweza kuamua wakati wa kutuma barua pepe kulingana na kampeni za awali jambo moja la mwisho sendinblue hutoa automatisering ya hali ya juu na autoresponder kwa vifurushi vyotepamoja na ile ya bure hili ni jambo moja kwamba lazima ulipe kwanza kabla ya kuzitumia katika mailchimp kwa automatisering sedindblue inashinda na maporomoko ya ardhi ikiwa tunazingatia pia bei vyombo vya upimaji & uchambuzi vinahitajika ikiwa unataka kupata mapato bora juu ya uwekezaji ukiwa na sendinblue unaweza kupata ufikiaji wa mshono kwa uchambuzi na upimaji wa a / b kulingana na vifaa mbali mbali kama bidhaa za ujumbe mistari ya somo na barua pepe hutuma wakati sehemu ya 'wakati bora' tuliyoitaja hapo awali inapatikana kwako kwa vifurushi fulani kwenye ukurasa wa nyumbani unaweza kutazama ripoti ya takwimu ikiwa ni pamoja na viwango vya kubofya viwango vya wazi na usajili sehemu hiyo ni moja kwa moja kutumia na vifurushi vyote pamoja na tier ya bure vinaweza kuipata walakini tija za juu ni pamoja na ripoti za hali ya juu zaidi takwimu zinaonyeshwa kama picha za dhana kwa hivyo unaweza kufahamu ripoti waziwazi na hayo alisema mailchimp pia hutoa uzoefu kamili linapokuja suala la upimaji wa a / b kwa kuongezea unapata zana za juu zaidi za uchunguzi wa a / b kwa bei inayofaa kwa mfano na $ 299 kwa mwezi unaweza kujaribu kampeni 8 tofauti na uone ni ipi inayofaa zaidi bado hiyo inaweza kuwa ghali sana kwa biashara mpya ingawa unaweza kuishi na anuwai 3 kwa mipango ya chini kwa kuongezea hakuna mafunzo ya mashine katika mailchimp tofauti na sendinblue kuripoti bado inapatikana katika grafu kwa hivyo sio rahisi jambo moja mailchimp ina kwamba sendinblue sio uwezo wa kulinganisha ripoti zako dhidi ya alama za tasnia sendinblue inatoa ripoti nzuri ya kuona na upimaji wa a / b wakati ni nafuu walakini mailchimp ina vifaa zaidi unavyoweza kupendezwa ikiwa uko tayari kulipa zaidi ubunifu na yaliyomo ya barua pepe sio vitu muhimu unahitaji kuhakikisha kuwa barua unayotuma kwa msajili wako inafika kwenye sanduku zao za barua kama vile inavyopaswa kuwa katika kisanduku cha msingi au angalau kichupo cha sekondari badala ya folda ya barua taka kulingana na emailtooltester orodha safi kushiriki na sifa ni baadhi ya mambo ambayo unapaswa kuzingatia wakati wa kujenga kampeni ya uuzaji ya barua pepe hii inasaidia kuzuia barua pepe zako kutibiwa kama barua taka zaidi ya hiyo waligundua kuwa viwango vya uwasilishaji wa majukwaa anuwai anuwai tofauti angalia meza hii iliyotolewa na emailtooltester kutoka kwa matokeo haya tunaweza kuona kwamba sendinblue imekuwa ikifuatilia nyuma ya mailchimp katika miaka iliyopita lakini tunaweza kuona kwamba imeshinda mailchimp hivi karibuni na kiasi kikubwa kwa kweli sendinblue ina viwango bora vya kufikishwa kati ya jarida maarufu katika jaribio la hivi karibuni pamoja barua pepe kutoka sendinblue zina uwezekano mdogo wa kuzingatiwa spam kwa msingi huo huo ni 11 tu ya sendinblue's barua pepe zinagawanywa kama spam na watoa barua pepe kama gmail au yahoo wakati barua pepe za barua taka kutoka mailchimp zilifikia 142 sehemu hii haiwezi kupuuzwa kwani haitafanya biashara yoyote nzuri ikiwa barua pepe zako zinawasili kama barua taka hata ikiwa itasilishwa kwa mafanikio kulingana na data ya hivi karibuni (kutoka januari 2019 hadi feb 2020) sendinblue mafanikio kwa kiwango kidogo kwa wastani sio tu katika suala la kufikirika lakini pia kiwango cha spam mailchimp inaambatana na zana zaidi ya 230 za ujumuishaji hiyo inamaanisha kuwa unaweza kuungana na programujalizi zaidi kama vile kukua na wordpress katika hali tofauti sendinblue hutoa tu viunganisho 51 hadi sasa ingawa kuna zile zinazojulikana ambazo mailchimp haina kama vile shopify google analytics matangazo ya kuongoza ya facebook ner mshindi mailchimp na zana 230+ mailchimp inashinda raundi hii ikiwa utataka kujua ni programu gani zinapatikana kwa kila mmoja wao hapa ndio kiunga cha mailchimp na sendinblue sasa sehemu hii labda ndiyo watu wengine wanajali zaidi kwa kampuni ndogo au mpya bajeti ni moja ya vipaumbele vya juu unahitaji kutumia vizuri ili kupata mapato mengi unayopata kama biashara ya kuanzia kwa hili sendinblue na mailchimp kwa bahati nzuri hutoa vifurushi vya bure kutoka kwa tier hii unaweza kutuma barua pepe hadi 2000 kila siku na mailchimp hiyo sio nambari mbaya kwa huduma ya bure walakini unaweza tu kuwa na anwani za kiwango cha juu cha 2000 na karibu huduma zote za juu hazipatikani isipokuwa kwa otomatiki la 1bonyeza sendinblue kwa upande mwingine hutoa vifaa zaidi kwa sarafu ya sifuri utapata uhifadhi wa mawasiliano usio na kikomo sehemu za hali ya juu barua pepe za ununuzi na uwezo wa kuongeza templeti za html zilizo na maandishi kazi hizi hazipatikani kwenye kifurushi cha bure cha mailchimp kwa bahati mbaya jukwaa lina kikomo cha kutuma barua pepe 300 kwa siku sio nambari inayofaa kuwa sawa kwa kweli utapata zana zaidi na upendeleo zaidi na toleo zilizolipwa ili kupata mtazamo bora wa kulinganisha mpango kutoka kwa hizi mbili angalia meza hii kwa muhtasari sendinblue ni chaguo bora zaidi kwa wale ambao wanataka kuwa na idadi isiyo na kikomo ya anwani lakini hawatumi barua pepe mara nyingi sana unaweza kutuma barua pepe zaidi kwa pesa na barua lakini hata wakati huo italazimika kulipa kiasi kikubwa cha pesa ikiwa unataka kuanza kutumia vifaa vya hali ya juu haya ni vitu unaweza kupata bure na sendinblue value thamani bora kwa pesa ni sendinblue sendinblue hakuna pambano wanatoa huduma zaidi kwa bei rahisi wacha tuangalie tena ni nini faida na hasara za wote wawili barua pepe na sendinblue kama moja ya majukwaa yanayojulikana zaidi mailchimp haiwezi kuwa chaguo mbaya kweli na zana kamili zaidi kutoka kwa utendaji wa jumla hadi idadi ya miingiliano mailchimp ndiye mshindi ikiwa tutatoa bei kwenye hesabu kwa bahati mbaya hiyo sio kweli kwa maneno mengine mailchimp haitoi dhamana bora kwa dola haswa kwa wale walio na bajeti ndogo kwa kulinganisha sendinblue ni zana rahisi sana ambayo haitoi utendaji kazi haiwezi kuwa huduma ya kisasa zaidi lakini bado hutoa vifaa vya juu ambavyo unahitaji kwa gharama ya chini sana tumejifunza kuwa jina kubwa halihakikishii suluhisho bora kwa kila mtu ili kupata huduma bora tathmini sahihi ya kila moja ya chaguzi hizi inaweza kupata zana bora na bora kuzingatia haya yote tunaamini hiyo sendinblue ndio jukwaa bora zaidi la uuzaji wa barua pepe kati ya hizi mbili haswa kwa biashara mpya je ni mtandao gani wa uuzaji wa barua pepe unafikiri ndio bora * nyingine (kwa mfano aweber getresponse mawasiliano ya mara kwa mara matone kampeni ya kufanya kazi nk) 10 mbinu bora za clickfunnels nyumbani » blog » kulinganisha » barua ya baruachimp dhidi ya sendinblue
2020-08-08T23:22:40
https://www.websitehostingrating.com/sw/mailchimp-vs-sendinblue/
wachimbaji wadogo watakiwa kulipa maduhuli ya serikali | mpekuzi wachimbaji wadogo watakiwa kulipa maduhuli ya serikali serikali imewataka wachimbaji wadogo wadogo mkoani dodoma kulipa maduhuli yake ili kuiwezesha kutekeleza mipango yake ya maendeleo ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wachimbaji hao rai hiyo imetolewa leo na mwenyekiti wa tume ya madini prof idris kikula wakati wa ziara ya kukagua shughuli za uchimbaji madini mkoani dodoma utakuta leseni moja inatumiwa na watu kama kumi ambao hawalipi kodi ya serikali hii haivumiliki ulipaji wa maduhuli hayo uanze mara moja alisema prof kikula akiongea kuhusu uchenjuaji wa dhahabu baada ya kutembela kiwanda hicho prof kikula amesema kuwa kuna changamoto katika uchenjuaji hivyo imeundwa timu ndogo ya kufuzifuatilia ili utatuzi wake uweze kupatikana changamoto zilizobainishwa na wachenjuaji ni pamoja na kutokuwa na umeme wa uhakika katika viwanda vyao hivyo kuiomba serikali kuingilia kati naye meneja wa mgodi wa nholi raphael simba ameishukuru serikali kwa kufanya ziara mgodini hapo kwani itawasaidia kutatua changamoto wanazokumbana nazo simba amebainisha changamoto wanazokutana nazo kuwa ni uchimbaji wa kizamani unaotumia zana zisizoridhisha ameiomba serikali kuwasaidia katika upatikanaji wa zana za kisasa ikiwemo na umeme kuwapatia wataalaam wa miamba kwa ajili ya kuainisha maeneo yenye dhahabu jambo ambalo litawapunguzia kutumia nguvu nyingi katika kuchimba sehemu zisizo na madini hayo aidha simba ameiomba serikali kuwapatia mafunzo ya uchimbaji bora na wenye tija ikiwemo kuwafundisha kuhusu sheria ya madini ya mwaka 2017 akijibu kuhusu mafunzo mwenyekiti wa tume ya madini amemwagiza afisa madini mkazi wa mkoa kwa kushirikiana na kamishina wa tume haroun kinega kutoa mafunzo hayo kuanzia wiki ijayo kwa upande wake kamishina wa tume ya madini ambaye pia ni mtendaji mkuu wa shirikisho la wachimbaji madini nchini haroun kinega amesema katika ziara hiyo amebaini changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo wadogo na kwamba zitafanyiwa kazi ili uchimbaji uwe na tija kwa wachimbaji na serikali iweze kupata mapato yake amesisitiza kuwa tume itaendelea kukagua shughuli za uchimbaji na kuwapa elimu hasa wachimbaji wadogo wadogo kwa ajili ya kuboresha uchimbaji huo hivyo kuwaongezea kipato ziara hiyo inayolenga kuainisha changamoto za uchimbaji madini na kuzitafutia suluhisho itaendelea wiki ijayo katika mkoa wa dodoma
2018-08-18T18:48:37
http://www.mpekuzihuru.com/2018/07/wachimbaji-wadogo-watakiwa-kulipa.html
 kiswahili form 1 coursework econtent cd sautisilabi na maneno sauti ndicho kipashio au kipengele cha chini kabisa katika lugha sauti hutumiwa kuunda silabi za maneno kwa mfano maneno babaoa na mjomba yameundwa kwa sauti zifuatazo baba b+a+b+a oa o+a mjomba m+j+o+m+b+a kabla ya kujenga manenosauti hizi hujenga silabi silabi ni tamko moja katika neno kwa mfano ba+ba = baba o+a = oa m+jo+mba= mjomba ndwe+le = ndwele kama inavyodhihirika katika mifano hii silabi inaweza kujengwa nakonsonati + irabi b+a irabi peke yake / o/a konsonati peke yake m konsonati mbili +irabi mb+a konsonati tatu + irabi ndwe+le hebu tazama jinsi maneno tuliyojenga yanaweza kuunda sentensi sentensi ni mpangilio wa neno au maneno kisarufi unaoleta maana kuna aina tatu za sentensi hizi ni sentensi sahili ambatano na changamano sentensi sahili huwa ni sentensi iliyojengwa kwa kitenzi kimoja mwanafunzi anasoma mjomba amevaa kanzu sentensi ambatano huwa ni sentensi mbili sahili au zaidi zilizounganishwa kwa kutumia kiunganishi kwa mfano dobi alifua nguo kisha akazipiga pasi ekomwa amechaguliwa kama diwani na kisha akateuliwa kuwa meya sentensi changamano huwa ni sentensi iliyoundwa na sentensi mbili sahili ambazo zinategemeanasentensi moja sahili haiwezi ikawasilisha maana bila sentensi sahili ya pili yiene aliyepita mtihani wake vizuri amepata mfadhili watoto wanaorandaranda mtaani watasakwa na kupelekwa shuleni mifano ya sentensi 1wazazi hawashindwi kuwalea watoto 2kila mtu anapenda kuwa bingwa 3unafaa kuwa kimya katika maktaba 4vijana wanacheza mpira nomino na vitenzi maneno yanayotumiwa kutajia vitu viumbe mahali au hali kama tulivyoyaona huitwa nomino vile vile kuna maneno ambayo hutumiwa kurejelea vitendo katika sentensi maneno haya huitwa vitenzi kwa mfanokimbia sukumana mizizi na viambishi katika vitenzi hebu tazama vitenzi vifuatavyo ana/pik/a ata/pik/a wata/pik/a ameni/pik/ia ana/imb/a tuli/imb/iwa mna/imb/iana uli/imb/wa sehemu iliyo katika kisanduku huitwa mzizi wa kitenzi hii ni kwa sababu haibadiliki kitenzi kinaporefushwa mwanzo na mwisho wa mzizi sehemu zinazotanguliza mzizi huitwa kiambishi awali[ana/pik/a] na zinazotokea baada ya mzizi huitwa kiambishi tamati [ana/pik/a] pia kuna maneno ambayo hutumiwa kueleza zaidi kuhusu nomino maneno haya yenye kutoa sifa huitwa vivumishi kwa mfano gari nyekundu nyumba mbili kuna aina nyingine za maneno ambayo hutumika katika sentensiaina hizi ni viwakilishi ni maneno au viambishi vinavyosimama badala ya nomino kwa mfano 1lendeni alikujatunaweza dondosha nomino lendeni na tukasema alikujahapa kiambishi a kinasimama badala ya nomino lendeni 2maduka yote yalifungwa hapa tunaweza dondosha nomino maduka na tukasema yote yalifungwa yote ni kiwakilishi kinachosimama badala ya nomino maduka 3wakulima walipata hasara mwaka janawao walipata hasara mwaka janakatika sentensi ya pili wao ni kiwakilishi kinachosimama badala ya nomino wakulima 4mambo unayoambiwa unafaa uyazingatie kwa makini hayo unayoambiwa yafaa uyazingatie kwa makini hayo ni kiwakilishi kinachosimama badala ya nomino mambo vielezini maneno ambayo hufahamisha zaidi kuhusu kitendoyanajibu maswali kama vile kitendo kilitendeka wapivipinamna ganilini na kilitendwa mara ngapi 1baba aliamrisha kijeshi neno kijeshi ni kielezi 2tulikimbia uwanjani mara nyingi neno mara nyingi ni kielezi viunganishi ni maneno yanayotumika kuunganisha maneno mengine vifungu au sentensi 1chagua kitabu cha hisibati au cha sayansi neno au ni mfano wa kiunganishi 2walifika vijana kwa wazee vihisishi ni maneno yanayoonyesha hisia mbalimbali kama vile hofufuraha mshangao wasiwasi na kadhalika 1la hashasitakubali kashfa hiyo 2salalemtoto huyo amenusurika ajali hiyo vihusishi ni maneno yanayotumiwa kuonyesha uhusiano uliopo kati ya vitu viwili au zaidi 1vitabu viko juu ya meza 2tangu mwakilishi wetu achaguliwe haonekani kijijini kwa mujibu wa upatanisho wa kisarufi kiswahili kina ngeli zifuatazo ngeli ya awa ngeli ya kivi ngeli ya ui ngeli ya li ya ngeli ya uya ngeli ya uzi ngeli ya izi ngeli ya uu ngeli ya yaya ngeli ya ii ngeli ya ku ngeli ya mahali pakumu zoezi la 1 kamilisha sentensi zifuatazo kwa kujaza viambishi awali vinavyofaa ngeli hii hugawika mara tatu kulingana na viambishi awali vya upatanisho wa kisarufi navyo nipa/po hiki huonyesha mahali mahsusi panapojulikana au panapoonekana pale barabarani pamemwagika petroli hapo mlipoketi pana siafu ku/ko hiki huonyesha mahali kusiko dhahiri au kusikojulikana vizuri huku kuna starehe na anasa nyingi huko kwao kuna maendeleo mengi mu/mo hiki huonyesha mahali ndani ya kitu mle ukumbini mmejaa watu shimoni mlimoingia panya mna nyoka nomino katika hali ya udogo na ukubwa nomino katika hali ya udogo huingia katika ngeli ya kivi nazo nomino katika hali ya ukubwa huwa katika ngeli ya liya ni muhimu kukumbuka kuwa nomino zote za viumbe wenye uhai ziko katika ngeli ya awa nomino zote katika ngeli ya ku huundwa kutokana na vitenzi ngeli ya yaya huusisha nomino ambazo kwa kawaida huwa majina ya vitu majimaji andika kulingana na maagizo yaliyo kwenye mabano kitambulisho kilichopatikana barabarani ni cha wafula vitambulisho vilivyopatikana barabarani ni vya akina wafula cheti kilikabidhiwa aliyefuzu vyeti vilikabidhiwa waliofuzu kijia kile kinaelekea mtoni vijia vile vinaelekea mitoni maana ya mnyambuliko mnyambuliko ni hali ya kuvuta kitenzi kwa kukipa viambishi tamati ili kuleta maana nyingine sehemu zilizo katika kisanduku zinaonyesha mnyambuliko katika kauli mbalimbali kama ifuatavyo sentensi zufuatazo zinahusu kitenzi katika kauli ya kutenda katika hali zilizotajwa bainisha hali hizo na sentensi hizi kauli za kunyambua tenda hii ni hali ya kufanya kitendo kwa mfano cheka imba ruka safiri tendewa mtu hutendewa kitu / jambo na mwingine pia mtu / watu hutenda jambo kwa niaba ya mwingine / wengine kwa mfano alichekwa somewa imbiwa rukiwa safirishwa vitenzi katika kauli hii huishia na iwa ewa liwa lewa tendeka huonyesha kutendeka au kukamilika kwa jambo fulani wakati na mtendaji havitiliwi maanani kwa mfano chekeza imbika rukika safirikavitenzi katika kauli hii huishia na ika ka tendeana hii ni hali ya pande mbili kutendeana upande mmoja unatenda na ule mwingine unatenda vile vilevitenzi katika hali hii huishia kwa ana kutendea kitenzi katika kauli hii hudokeza yafuatayo kifaa fulani kilitumiwa kutekeleza kitendo fulani kitendo kilitendewa mahali fulani sababu ya kitendo fulani kitendo kuelekea mtu au kitu fulani kitendo kilitendwa kwa niaba ya mtu fulani vitenzi katika hali ya kutendea huisha na ia au ea kauli za kunyambua ii kutendea hali hii huonyesha kupokea tendo nguo zimeanikwa mti umepand/wa/ nyama imechom/wa/ mto umevuk/wa/ shamba litalim/wa/ vitenzi katika kauli hii huisha na wa lewa au liwa kutendesha katika hali hii mtu au kitu fulani husababisha mtu / kitu kingine kutenda jambo fulani pia hutumiwa kuonyesha hali ya kulazimisha kwa mfano kuendesha rusha pikisha zamisha vitenzi katika kauli ya kutendesha huisha ish esh za nalish nukta mkato/ semi koloni hutumiwa kutenganisha sentensi iliyo ndefu sana kwa mfano(1) hakuna jambo rahisi maishani kijana ukitaka cha mvunguni lazima ujitolee na ustahamili kuinama(2) mto wa nairobi umechafuliwa sana itabidi tuungane mikono kuusafisha na kuhakikisha kuwa maji yake ni safi na yanaweza kutumiwa na binadamu pamoja na wanyama 1nukta pacha /koloni hutumika kutanguliza maneno yaliyo katika orodhamfanomama alienda sokoni akanunua matunda maembe mapera mafenesiparachichi matikiti mapapai na machungwa2kuonyesha maneno ya msemaji katika mtindo wa tamthilia kwa mfanocherop njagi yuko wapikariuki ametokacherop na simiyu atakuja leokariuki bila shaka3 kutenganisha saa na dakika au saadakika na sekundemfano1030 112532 4katika misahafu kama vile korani na bibilia kuonyesha sura na ayaluka 3712yunus as 4163 parandesi/mabano hutumiwa kubainisha sauti za lugha mfano[a] [e] [i ] [o] [u ] kufungia nambari au herufi katika kuorodhesha mfano kuwasili kula kulala na kadhalika hutoa maelezo kwa waigizaji kwa mfano achieng (akilia) kwa nini unaniacha (anasinasina)hutumiwa kutoa ufafanuzi zaidikwa mfanomombasa (mji wa pwani ya kenya) ni maarufu sana kwa utaliihubana kisawe cha maneno au kufungia maneno yanayotangulia au maelezo kuhusu neno katika sentensikwa mfano ami ( nduguye baba) amefika alama hisi hutumiwa kuonyesha hisia za moyoni kama vile furaha mshangaouchungumshtukomajuto huzuni na kadhalika mfano 1lomtoto amevunja sahani 2hongera 3umefuzu mtoto mzuri 4laiti ningalijua nisingelimkopesha 5pole sikujua ulipata msiba kuna alama nyingine zaidi za kuwakifisha kama vile ritifaa ( ' ) kiulizi () mkwaju/mshazari (/) alama za mtajo/za kunukuu/za usemi () herufi kubwa (h e)
2018-05-20T15:57:35
http://www.kcse-online.info/KISW1/data/text/Sarufi%20Na%20Matumizi%20ya%20Lugha.html
karibu ilejeroof of southern tanzania | jamiiforums | the home of great thinkers karibu ilejeroof of southern tanzania discussion in 'jamii photos' started by majoja aug 23 2011 <vshapetype id=_x0000_t75 stroked=f filled=f path=m@4@5l@4@11@9@11@9@5xe oreferrelative=t ospt=75 coordsize=2160021600><vstroke joinstyle=miter></vstroke><vformulas><vf eqn=if linedrawn pixellinewidth 0></vf><vf eqn=sum @0 1 0></vf><vf eqn=sum 0 0 @1></vf><vf eqn=prod @2 1 2></vf><vf eqn=prod @3 21600 pixelwidth></vf><vf eqn=prod @3 21600 pixelheight></vf><vf eqn=sum @0 0 1></vf><vf eqn=prod @6 1 2></vf><vf eqn=prod @7 21600 pixelwidth></vf><vf eqn=sum @8 21600 0></vf><vf eqn=prod @7 21600 pixelheight></vf><vf eqn=sum @10 21600 0></vf></vformulas><vath oconnecttype=rect gradientshapeok=t oextrusionok=f></vath><olock aspectratio=t vext=edit></olock></vshapetype><vshape style=width 522pt height 3915pt msopositionhorizontal absolute id=_x0000_i1025 type=#_x0000_t75><vimagedata otitle=kerege 003 src=file///c\users\mwakya~1\appdata\local\temp\msohtml1\01\clip_image001jpg> nilifika mahali jinsi palivyo juu(about 2200metres above sea level) hata miti haiotikwa ajili ya baridi kali nilifika mahali panaitwa ileje sijui ninii lakini ndio makao makuu ya wilaya chifu wao anatoka chitipa (malawi) na mbunge wa chitipa anatoka ileje tena mke wake amezaliwa kuishi na kukulia karibu kabisa na iado na vitabu vya halmashauri vinaonesha 2008/09 walinunua boti (mtumbwi) wa futi 40 yenye injini ya hp42 kwa ajili ya mto songwe wenye upana wa mita 36 ukijaa sana na ambao ndio mpaka unaohamahama kati ya tz malawi na zambia teh tehe tehe tehehehehehhhhhh ileje here i comekuna yeyote angependa kunipa company ya kwenda ileje nilifika mahali panaitwa ileje sijui ninii lakini ndio makao makuu ya wilaya chifu wao anatoka chitipa (malawi) na mbunge wa chitipa anatoka ileje tena mke wake amezaliwa kuishi na kukulia karibu kabisa na iado na vitabu vya halmashauri vinaonesha 2008/09 walinunua boti (mtumbwi) wa futi 40 yenye injini ya hp42 kwa ajili ya mto songwe wenye upana wa mita 36 ukijaa sana na ambao ndio mpaka unaohamahama kati ya tz malawi na zambia teh tehe tehe tehehehehehhhhhhclick to expand jomba haya masimulizi yako ni thread tosha tena yana substance nzuri ya kuongelea kuliko thread chifu wa ileje anatoka malawi na mbunge wa chitipa(malwai) anatoka ilejeje haya ni makubaliano local ya mbadilishano wa viongozi ileje here i comekuna yeyote angependa kunipa company ya kwenda ilejeclick to expand mimi hapa preta mimi hapa pretaclick to expand asante riwabasi tupange lini tunaenda ileje asante riwabasi tupange lini tunaenda ilejeclick to expand heee watching this move dah umenikumbusha mbali kweli nilishaenda huko hadi mahali panaitwa isoko the place is so nice sema kuna baridi kweli sometimes its sad that kuna wananchi huko hawajawahi ona lami toka wazaliwe we met one lady kazaliwa huko kasoma mpaka la saba huko huko kaolewa na kazaa watoto hajawahi kuona barabala ya lami mie nitakununulia koti maana baridi ni balaa mie nitakununulia koti maana baridi ni balaaclick to expand usihofuriwa atakuwepoataniazima lakwake heee watching this moveclick to expand shemeji banahebu tulia kidogo duh umenikumbusha mbali sana mkuu enzi hizo ndo yalikuwa maeneo yangu ya kutafutia pesa me naijua karibu ileje yate kunasehemu kunamnada unaitwa katengele wanauza ngo'ombe mbuzi na mazao hapo kunabaridi usipime mida ya asubui ndo balaa ileje iko wapitanzania au malawikutaja tu kitongojiwengine duu imetupita kushoto sema lingine preta am available just nipm tupange i hope utafurahia company yangu dah umenikumbusha mbali kweli nilishaenda huko hadi mahali panaitwa isoko the place is so nice sema kuna baridi kweli sometimes its sad that kuna wananchi huko hawajawahi ona lami toka wazaliwe we met one lady kazaliwa huko kasoma mpaka la saba huko huko kaolewa na kazaa watoto hajawahi kuona barabala ya lamiclick to expand ila kijiji cha isoko kipo fresho umeme wanao huduma za afya fresh usafiri kwenda tunduma fuso hahahahaha sijui hadi leo bado wanatumia fuso nakumbuka fuso yenyewe ilikuwa imeandikwa tolonto watu wa huko wanajua fuso zote ni tolonto utanikuta makambako twende wote gharama utalipia wewe manake siku hizi fursa sawa kwa wote ila usiniite mwanaume suruali sema lingine preta am available just nipm tupange i hope utafurahia company yanguclick to expand tena tupange na nguo za kwendea kabisasi umesikia kuna baridi kali utanikuta makambako twende wote gharama utalipia wewe manake siku hizi fursa sawa kwa wote ila usiniite mwanaume surualiclick to expand mambo ya kukutana makambako ndo nisiyoyatakamguu kwa mkonokutoka point a hadi point b ileje iko wapitanzania au malawikutaja tu kitongojiwengine duu imetupita kushotoclick to expand ileje ni moja kati ya wilaya za mkoa wa mbeya mkuu ileje ni jina la wilaya tena tupange na nguo za kwendea kabisasi umesikia kuna baridi kaliclick to expand sasa preta hueleweki utakwenda na naninjia mbili zilimshinda fisikuwa na msimamo bana
2016-12-04T00:00:34
http://www.jamiiforums.com/threads/karibu-ileje-roof-of-southern-tanzania.166277/
*amiri jeshi mkuu rais dkt magufuli alipofunga mafunzo ya medani ya kijesh sufianimafoto *amiri jeshi mkuu rais dkt magufuli alipofunga mafunzo ya medani ya kijesh rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkt ali mohamed shein akilakiwa na katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii meja jenerali gaudence milanzi alipowasili kushuhudia kufungwa kwa mafunzo ya medani ya kijeshi ya kutua ardhini kutoka majini (amphibous landing) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 52 ya jwtz katika kijiji cha baatini wilayani bagamoyo kwa picha zaidi bofya read more
2017-01-16T17:11:59
http://www.sufianimafoto.com/2016/10/amiri-jeshi-mkuu-rais-dkt-magufuli_2.html
deloitte afrika kusini actuarial bima solutions programu ya uzamili 2019 | fursa kwa waafrika nyumbani tarajali deloitte afrika kusini actuarial bima solutions mpango wa uzamili 2019 deloitte afrika kusini actuarial bima solutions mpango wa uzamili 2019 msimbo wa mahitaji za145760td deloitte ni mtandao mkubwa wa huduma za kitaalamu wa kitaaluma ulimwenguni sifa ya deloitte kwa kutoa huduma za ubora wa juu na uaminifu imetupatia imani ya wateja wetu na watu wetu ikiwa uko tayari kwa kazi na shirika lenye nguvu katika mazingira ambayo inakuza maendeleo ya kitaalamu na maendeleo ya kazi uko tayari kwa deloitte kwa watu wa 200000 katika nchi zaidi ya 150 makampuni ya wanachama wa deloitte hutumikia zaidi ya asilimia 80 ya makampuni makuu duniani na makampuni makubwa ya kitaifa taasisi za umma na makampuni mafanikio ya kukua afrika kusini deloitte ni mojawapo ya mashirika ya huduma za wataalamu wa kuongoza tunastahili kutoa huduma za ukaguzi taasisi ushauri ushauri wa hatari na huduma za fedha tunatumikia wateja katika viwanda mbalimbali kutoka huduma za kifedha kwa biashara ya watumiaji nishati madini na viwanda utalii tmt na sekta ya umma ili kutoa msaada katika ais chini ya maelekezo wazi na uongozi wa meneja / meneja mkurugenzi / mshiriki juu ya kazi zilizotengwa maelezo ya hii itakuwa kukimbia na kutekeleza kazi ya mradi uhamasishaji na timu ili kuhakikisha kununua ndani ya mradi huo taarifa ya maendeleo ya kazi kwa usimamizi na wateja mawasiliano na wateja kuelewa mahitaji na mahitaji usimamizi wa muda wa mwisho na taarifa kutambua fursa za kuboresha mafanikio ya ushirikiano na faida deloitte inaangalia mtu mwenye sifa zifuatazo bsc hisabati ya hesabu na fedha bsc actualarial sayansi unahitaji kuwa na mafanikio ya ufundi yafuatayo maarifa na uzoefu katika ms office tatizo & ujuzi wa uchambuzi mbinu na hesabu za hisabati na takwimu usikilizaji na ujuzi wa kuhoji uwezo wa kazi nyingi uwezo wa kufikiri mkakati uwezo wa kutafakari baadaye ujuzi mzuri wa shirika unahitaji kuwa na mafanikio ya tabia yafuatayo ujuzi bora wa maneno na waandishi uwezo wa kujionyesha kwa namna inayofaa na ya kitaalamu kwa mteja wakati wote njia ya ujasiri wa kutoa matokeo ushiriki wa ushiriki na mtazamo thabiti kwa utoaji wa huduma uwezo wa kipaumbele majukumu ya ushindani onyesha ujuzi wa kufikiri wa baadaye onyesha njia pana ya kutatua tatizo uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi na kufikia muda uliopangwa onyesha shauku kuelekea kujifunza tahadhari kwa undani jamhuri ya afrika kusini deloitte hufanya kazi kama deloitte & touche deloitte & touche ni sehemu ya deloitte africa deloitte africa ni mwanachama wa deloitte touche tohmatsu limited (dttl) kampuni binafsi ya uingereza iliyo mdogo na dhamana tembelea tovuti ya rasmi ya deloitte kusini mwa afrika programu ya uhitimu wa bima ya uzamili 2019 makala zilizotanguliaprogramu ya maendeleo ya teknolojia ya multichoice talent ya maendeleo ya stadi za filamu 2018 kwa ubunifu wa afrika (iliyotokana na chuo kikuu cha multichoice talent factory kilichoishi nchini kenya nigeria na zambia) makala inayofuatacnbc africa tuzo ya waongozi wa biashara ya afrika 2018
2018-08-18T11:05:46
https://sw.opportunitiesforafricans.com/deloitte-south-africa-actuarial-insurance-solutions-graduate-programme-2019/
marekani yataka makubaliano ya nyuklia ya iran yachunguzwe upya islamic bookshop islamic books online bookstore shirika la habari la abna linaripoti kuwa utawala wa rais donald trump wa marekani umesema utayafanyia tathmini mpya makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa iran uliofikiwa mwaka 2015 kati ya iran na mataifa yenye nguvu duniani ambapo iran iliuthibitishia ulimwengu kuwa haina nia ya kutengeneza silaha za maangamizi katika mazungumzo na waandishi wa habari waziri wa mambo ya nje wa marekani rex tillerson ameituhumu iran kufanya kile alichokiita 'uchokozi wa kutisha na unaoendelea' katika kuyumbisha nchi za kanda ya mashariki ya kati akizungumzia tathmini mpya iliyotangazwa na utawala wa rais donald trump kuhusu iran tillerson amesema marekani haitayatazama tu makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa nchi hiyo bali pia sera za nchi hiyo katika kanda ambazo amesema zinahujumu maslahi ya marekani katika mataifa ya syria iraq yemen na lebanon ambapo nchini syria na yemen marekani inadhamini makundi ya kigaidi na iran inapambana na makundi hayo na huko yemen iran inaunga mkono wananchi ambapo marekani inasaidiana na saudia arabia kuwaangamiza wananchi wa yemen ambao wanampinga rais haad iran ni tishio kuwa kwa maslahi ya marekani ameeleza kuwa sera ya rais trump kuelekea iran itajikita juu ya vitisho vyote vya iran kwa marekani akisema isiposhughulikiwa ipasavyo iran inaweza kugeuka kitisho kwa maslahi ya marekani kama vile ilivyo korea kaskazini
2018-05-23T22:37:45
http://islamicbookshop.org/islamic-news/9973-marekani-yataka-makubaliano-ya-nyuklia-ya-iran-yachunguzwe-upya.html
wanahabari hawa wa colombia wanahitaji kuelewesha kuwa pablo escobar hakuwa shujaa · global voices in swahili tafsiri imetumwa 22 aprili 2019 543 gmt picha ya skrini kutoka katika tamthilia ya la pulla pablo escobar ni shujaa inapatikana youtube jambo hili halikuanza na tamthilia kutoka netflix lakini narcos kwa hakika ilisaidia kufufua hadhi ya muuzaji mkubwa wa dawa za kulevya kwa miaka ya 1980 wa colombia ndugu pablo escobar katika utamaduni maarufu amerika kaskazini tangu imezinduliwa mwaka 2015 tamthilia zenye utata zimechochea mijadala kuhusu colombia kuendelea kuonekana kimataifa kama paradiso ya dawa za kulevya inayoshikiliwa na wauza dawa za kulevya wachakaramu kama kujibu hilo mwandishi wa habari wa colombia aliye nyuma ya chaneli ya youtube ya la pulla (kwa kihispania kauli) ambapo ni mradi wa gazeti la kicolombia la el espectador alitengeneza video akijibu watu ambao bado wanamtukuza escobar kama shujaa kati ya mambo mengine video hiyo inaonesha vipengele vya majanga na takwimu za vipindi vibaya zaidi katika historia ya colombia kama vile kuuawa kwa mkurugenzi wa zamani wa el espectador guillermo cano disemba 17 1986 na shambulizi la bomu karibu na ofisi zao disemba 1989 ni kawaida katika nchi nyingine kuona watu na fulana zake wakihamasishwa na tamthilia kutoka netflix kama vile narcos na watu wanapokuja colombia hulipa fedha nyingi sana ili kwenda kutalii na kuona na kufurahia mafanikio yake makubwa [] shujaa huyu aliyehamasisha watu wengi kukimbilia fedha za biashara ya dawa za kulevya [kama] njiwa wanavyokimbilia punje za mahindi na kusababisha uchumi wa nchi kuwa chungu kidogo cha kutakatisha fedha kutoka katika uuzaji wa dawa za kulevya shujaa huyu alikuwa sio rafiki wa watu alifanya mashambulizi 623 aliwaachia raia 1710 maumivu na aliuwa watu 402 shujaa huyu alitulazimisha kulikimbia kila sanduku lililotelekezwa mtaani au katika gari lililoegeshwa bila kuwemo mtu ndani yake [tukifikiri] kuwa [litakuwa] ni bomu lingine moja shujaa huyu alitulazimisha kujifungia ndani kumshuku kila mtu na kujihami kwa moto na vurugu shujaa huyu alitulazimisha kuishi maisha ya hofu isiyokoma waongoza watalii waliojumuishwa katika video hii wanafahamika kama waongozaji wa narco na huwaongoza watalii kuzunguka mji wa medellin kupitia maeneo maarufu yanayohusiana na maisha ya pablo escobar mwaka 2018 mshirika wa global voices radio ambulante aliwaelezea waongozaji hao katika moja ya sehemu ya vipindi vyao vya podcast vilivyopata tuzo imeandikwa nalaura vidal soma makala hii katika malagasy español français português shqip italiano русский नेपाली عربي 日本語 english
2020-01-18T07:09:22
https://sw.globalvoices.org/2019/04/wanahabari-hawa-wa-colombia-wanahitaji-kuelewesha-kuwa-pablo-escobar-hakuwa-shujaa/
hadubini myoscope what is the meaning of this posted by chib at 1211 dr hiyo inaitwa sheria zimewekwa ili zivunjwewatu hawajali hujawahi kuona mtu anaona kibao kimeandikwa usikojoe hapalakini anakojoa ndio maana ilichukua uongozi wa singapore kuchukulia watu kisheria hata kwa kutema mate hovyo ili watu wabadilike katika hata mambo madogo na nimewahi kukutana na mababu waliodai pamoja na viboko vya mjerumani kudhalilisha watu ila vilichangia haraka sana kwa wazee wa kipare kutumia vyoo hasa wale waliotokea maeneo ambayo ilikuwa ni kawaida baada ya jando tu wanaume hawaonekani tena wakienda chooni kwa kusingizia wanaume hawaendi choo huku wanachimba mizizi ovyo vichakani 2/02/2011 032500 am chib hodi tena nimependa ukereketwa wako kuuliza lakini sidhani tunakwenda ndani ya kutosha juu ya hayo maswali napata picha kwamba wengi tumemchoka binadamu mwenzetu na tunaamini lake halipo na mkombozi hatapata mpaka mwisho wa dunia kwa yangu maoni jamii zetu zimejengwa chini ya misingi dhaifu na yenye aibu ndio maana sheria zake hazifwatwi na wananchi unaambiwa na maandishi karibu ya dini zote duniani hata ile dini ya ukafiri [atheism] ile inayoamini kuwa [mungu hayupo] [unapotoa sadaka au mchango toa kwa moyo wako kabisa] kama tunakubaliana huo ni ukweli inakujaje jamii zinawaombea maskini eti nguo zilizotumika chib wewe nanyi wasomaji wake waheshimiwa muliwahi kumwona wapi mtu hata mpumbavu wa namna gani kuweka chini kwenye mavumbi nguo yake mpya au ile anayeyipenda mimi naelewa kabisa kwanini waweke chini hizo nguo ni viraka (rags) kosa haliko kwa yule anayetupilia chini viraka bali liko kwa yule aliyeomba [nguo zisizotakiwa na wenyewe] kuwapa maskini aibu kweli na huko mbinguni hatwendi kabisa namna hiyo kama kweli papo ni bora tusitowe kabisa kuliko kama vile kuwakashfu maskini wamungu na hao ombaomba wa nguo waache kutuomba nguo hizo msalani je wanataka tukitoka huko tuwe wenyewe tumevaa nini
2017-12-17T13:48:23
http://ebchib.blogspot.com/2011/02/what-is-meaning-of-this.html
wakazi wa dar na pwani kupata neema ya majisafi habari na matukio home habari habari na matukio habari za kijamii magufuli mikoani wakazi wa dar na pwani kupata neema ya majisafi wakazi wa dar na pwani kupata neema ya majisafi kajunason at july 03 2019 habari habari na matukio habari za kijamii magufuli mikoani afisa mtendaji mkuu wa mamlaka ya majisafi na majitaka (dawasa) mhandisi cyprian luhemeja (kushoto) akibadilishana mkataba wa utekelezaji wa miradi ya majisafi toka kwa wawakilishi wa makampuni ya ukandarasi ya watanzania na wachina yatakayotekeleza ujenzi wa miradi itakayojengwa dar es salaam na pwani wengine wanaoshuhudia ni mawaziri naibu waziri mwakilishi wa benki ya dunia na viongozi wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania picha zote na cathbert kajuna kajunason/michuzi tv waziri wa maji profesa makame mbarawa akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya utiaji saini wa dawasa na wakandarasi juu ya ujenzi na uendeshaji wa miradi sita mikubwa ya usambazaji wa maji yenye thamani ya bilion 1145 iliyofanyika jijini dar es salaam wageni waalikwa na wafanyakazi wa dawasa wakifuatilia hotuba ya mhe waziri prof mbarawa afisa mtendaji mkuu wa mamlaka ya majisafi na majitaka (dawasa) mhandisi cyprian luhemeja akiwasilisha taarifa fupi ya miradi sita mikubwa yenye thamani ya bilion 1145 kwa waziri wa maji prof makame mbarawa wakati wa halfa iliyofanyika jijini dar es salaam miradi hiyo itahudumia maeneo ambayo hayana kabisa mtandao wa dawasa pamoja na mkoa wa pwani wageni waalikwa na wafanyakazi wa dawasa waliohudhuria hafla hiyo waziri wa ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) selemani jaffo akitoa machache naibu waziri wa maji jumaa aweso akifafanua jambo naibu waziri wa mifugo na uvuvi abdallah ulega akielezea furaha yake juu ya dawasa kupeleka wa maji katika jimbo lake la mkuranga na vitongoji vyake kupitia miradi hiyo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi dawasa jenarali mstaafu davis mwamunyange akielezea chagamoto zinazoikabili mamlaka hiyo mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa pwani assumpta mshama ambaye ni mkuu wa wilaya ya kibaha akitoa salamu mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa dar es salaam sophia mjema ambaye ni mkuu wa wilaya ya ilala akitoa salamu mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam kate kamba akielezea furaha yake jinsi dawasa inavyotekeleza ilani ya chama cha mapinduzi kumtua mama ndoo kichwani waziri wa ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) selemani jaffo (kushoto) akiteta jambo na afisa mtendaji mkuu wa mamlaka ya majisafi na majitaka (dawasa) mhandisi cyprian luhemeja (kulia) na zainab nyamka na cathbert kajuna michuzi tv mamlaka ya majisafi na majitaka dar es salaam (dawasa) wametia saini mikataba wa miradi mikubwa sita ya usambazaji maji kwa mkoa wa dar es salaam na pwani wenye thamani ya bilion 1145 utiaji huo wa saini umefanyika leo julai 2 2019 katika ofisi za mamlaka hiyo huku ukishuhudiwa na waziri wa maji prof makame mbarawa naibu waziri wa maji jumaa aweso waziri wa tamisemi selemani jaffo naibu waziri wa mifugo na uvuvi abdallah ulega bodi ya dawasa ikiongozwa na mwenyekiti jenerali mstaafu davis mwamunyange na wakuu wa wilaya kutoka mkoa wa dar es salaam na pwani kabla ya utiaji saini waziri wa maji prof makame mbarawa amewataka mamlaka hiyo kusimamia vizuri miradi yote na kutafuta wakandarasi watakaofanya kazi kwa uweledi na kumaliza kwa wakati na muda mfupi ili wananchi wapate majisafi na salama mamlaka mnaposimamia vizuri miradi ya maji na kupata mkandarasi atakayefanya kazi kwa weledi na kumaliza ujenzi wa mradi kwa muda mfupi basi wananchi watapata majisafi na salama amesema prof mbarawa profesa mbarawa amesema li kufikia lengo la serikali la kumtua mama ndoo kichwani kwa asilimia 95 kwa mijini na asilimia 85 kwa vijijini na hilo linawezekana iwapo miradi midogo na mikubwa kusimamiwa vizuri na wakandarasi kumaliza kazi kwa wakati akitoa taarifa fupi ya miradi hiyo afisa mtendaji mkuu wa dawasa mhandisi cyprian luhemeja amesema kwa sasa mkoa wa dar es salaam unapata maji kwa asilimia 85 na kukamilika kwa miradi hiyo mikubwa itafikia malengo ya serikali ya asilimia 95 kufikia mwaka 2020 amesema katika kutekeleza miradi hiyo fedha zinazotumika ni za ndani zinazotokana na makusanyo ya mapato ya kila mwezi ambapo ndani ya miaka nne wameweza kuongeza ukusanyaji kutoka bilioni 32 hadi 112 kwa mwezi na asilimia 35 za mapato zinatumika kwenye ujenzi wa miradi ya maji nae mwenyekiti wa bodi ya dawasa jenarali mstaafu davis mwamunyange ameeleza changamoto mbalimbali ndani ya mamlaka hiyo ila ameahidi kushirikiana na menejimenti kukabiliana nazo ikiwemo upotevu wa maji na wateja kupewa ankara za maji tofauti na matumizi yao miradi iliyowekewa saini ni mradi wa bomba la kusafirisha maji kutoka jeti hadi buza wenye wenye urefu wa km 75 na litahudumia maeneo ya kiwalani vituka buza mashine namba 5 tandika na mwanagati na wakazi 173810 wa kata za vituka na buza watapata huduma ya maji kwenye awamu ya kwanza mradi mwingine ni mradi wa usambazaji maji utakaoanzia matanki ya chuo kikuu mpaka bagamoyo awamu ya pili mradi wa kuchimba visima 20 vya kimbiji mpera mradi wa usambazaji maji kisarawe hadi pugu mradi wa maji katika mji wa mkuranga na mradi wa bomba la kusafirisha maji kutoka mlandizi (ruvu juu) hadi kijiji cha mboga chalinze viongozi mbalimbali hususani wawakilishi wa wananchi wameishukuru serikali ya awamu ya tano chini ya dkt john pombe magufuli kwa kuwezesha miradi mikubwa kama hiyo kwenda katika maeneo mbalimbali nchini pamoja na kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi (ccm)
2019-12-13T09:03:23
http://www.kajunason.com/2019/07/wakazi-wa-dar-na-pwani-kupata-neema-ya.html
ahsanteni nyote mliohudhuria kongamano la misk ya roho tif home/4 jamii/2 ncha ya kalamu/ahsanteni nyote mliohudhuria kongamano la misk ya roho the islamic foundation december 11 2019 desemba mosi ya mwaka huu ilikuwa ni siku ya furaha kwa waislamu wa afrika mashariki pale walipokutana kwa minajili ya kupashana ujumbe wa dini yao tukufu ya uislamu mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa diamond jubilee jijini dar es salaam ambapo masheikh saba tofauti kutoka ndani na nje ya tanzani walitoa mada mbalimbali kuhusu kitabu kitukufu cha qur an ni faraja sana kuona tukio la kidini likihudhuriwa na umati mkubwa kama ule zaidi ya watu 5000 ndani ya ukumbi wa diamond jubilee huku wengine wakifuatilia kupitia vyombo vya habari na katika mitandao ya kijamii huu ni ushahidi wa athari ya uislamu dini pekee ya kweli mbele ya mwenyezi mungu pia huu ni ushahidi wa mapenzi ya waislamu kwa mola wao na mtume wao muhammad (rehema za allah na amani zimshukie) waislamu waliohudhuria walipata ujumbe maridhawa kutoka kwa wahadhiri wa ndani na nje ya tanzania ambao ni pamoja na sheikh djumapili mbabajende kutoka rwanda sheikh yusuf abdi (kenya) sheikh zuberi bizimana (burundi) na sheikh muhammad abduweli kutoka uganda wengine ni sheikh ibrahim twaha na dkt sheikh salim qahtwan wote kutoka tanzania na sheikh abubakar abdi (abu hamza) kutoka kenya wahadhiri hao waligusia mambo mbalimbali yaliyomo ndani ya quran tukufu mambo hayo yameelezwa kwa kina katika habari zilizochapwa katika toleo hili kimsingi mada zilizowasilishwa katika kongamano la misk ya roho mwaka huu ni muhimu mno kwani zinaihuisha imani na kutanabaisha juu ya umuhimu wa kushikamana na mafundisho ya quran hivyo tunasema waislamu wamevuna elimu kubwa wanayotakiwa kuifanyia kazi ipasavyo kwa ajili ya faida yao ya hapa duniani na kesho akhera tuna kila sababu ya kuwashukuru na kuwapongeza wahadhiri wote kwani walifanya kazi kubwa ya kukonga nyoyo za wahudhuriaji pia tunawapongeza watu wote waliohudhuria kongamano hilo na wale waliofuatilia kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhudhuria kwao ndiyo ilikuwa chachu ya kufanikiwa kwa kongamano hilo hivyo tunazidi kuwaomba waendelee kushiriki katika makongamano yatakayofuata itakuwa ni uchoyo wa fadhila endapo tutahitimisha tahariri hii bila ya kuwapongeza na kuwashukuru wadhamini wote wa kongamano la misk ya roho mwaka huu wadhamini hao ni wale wa platnum ambao ni asas dairies ltd ya iringa na afya pure drinking water kwa upande wa dhahabu (gold) ni dar al ber society afiya juice dar fresh milk ogas na fedha (silver) ni usangu logistics (t) limited na shirika la ndege la emirates carmel floor milk na kampuni ya mafuta ya atn na shaba (bronze sponsors) ni morobest simba oil afro oil onafrica construction kcb bank na taasisi ya education and research academy (iera) ya nchini uingereza tunasema kazi waliyoifanya wadhamini hao ni kubwa kwani wamewezesha kongamano kungara mwisho tunaupongeza uongozi wa taasisi ya the islamic foundation (tif) kwa kuandaa kongamano hilo lenye tija
2020-04-06T11:30:27
https://islamicftz.org/jamii-na-malezi/ncha-ya-kalamu/ahsanteni-nyote-mliohudhuria-kongamano-la-misk-ya-roho/