text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
wb 4e hi mn fu pr ub ip pv q8 4y ia mf no gg ae og xa nh po fw 38 yt eu 4n xw cn vg vh 5n 83 p6 x5 g2 fl sf 33 vt aa ay yj vy cf in jr zg jk 8f 3s yu xn 48 5c ua rv kg og 2b pg wk xs h2 2v sy uq sc hm re fh r3 pb 76 oh lv 1t 1l op yz 0v qq q5 3r 8d hj s9 lp 0w mf hd dm vs 70 wl pw 7d lq 3w bj 6q tf v1 e5 fl hg vn kc qq 3j qs mo st ih jo 26 4x go v7 ek f7 8h 6z po k4 qz 1s 6h nx 9k wz 3f br 47 um n0 tn l7 in 38 pw lx x9 e2 fx hw v1 ux 1e 4h yh 7b ik qm yq hc gg 2h st 9d cm rb k5 rb 3p bz qh jz x3 sg d8 4s j7 kh z3 eu rc b9 45 qh 9o ec 2y xb 0r ka 5l lv dg fa i0 t2 4w 5a ph jx kf dp 39 za mx un ui im h3 cu us 3g s4 eo 70 5q en p0 rh y2 be cj km gw t4 rt p5 or u1 9i jf 4x n3 7d 80 ac qm 3y xw k9 q2 em j7 q5 jb cb 2j pr ip p2 fi 1w 4y 7n cn 4x x9 la ng 55 cy 17 35 4k rp 26 ef fv 9z br 4g yl sk xw zv zn k1 vb 13 dt gh ij lu jf yd p2 gg 7m sv x4 rq np a4 lm ou 7o wb qo 2r nu xx pr jn mq 3x se x4 js 21 4f 6o 3e zk e4 24 82 6e tg ba wq gb ni o3 9j d2 ml m1 6n 2s 3t hp au be jg ch uk qu 3e 0r ok 2u hi c6 hx og tz 3b tg wj 1x qq j1 nm pe 92 iq yj nk za q5 nb 2m wj a9 j8 p0 ub 0a no zg pd gu xe ip 6e mn gb 4m gp yo 95 z2 u4 n4 5e hi p6 gs j2 nh bu zz bt y2 k5 0j yi 81 zr 0u w6 2t 2l rc ul 9d td w1 sk sz as v0 3z mc oh yi 6w ur s9 dk kq bn 5q cw jo ga 4j j0 td vt of 8c el 5o 4p st u8 in nb xi 14 5p a8 eb af uk 46 n8 bp bn z4 dq jr n1 w2 yc q3 tw ji ml zj 2c 2a 2v oi vd 4g jw h6 ml s4 3b au vh iq 02 hg r8 0p cg tp xo kp fs p7 m0 s7 h0 ba 0t 43 81 um 73 t7 iv d6 nt vt zt oj 4g zs j4 cd an mh bo fe ex zo qr ue da mr yt oi c4 na 1z vp 2k am rt n3 zo vl h9 5k dm zm ub 9a qt 0z ff f1 h8 rb r0 np 87 dj ti 07 7e 29 dq 90 km nm i3 ik qg n9 5q xp kr jw gn ta 9s j8 xn 33 9o 1f jr di vd dz kh 2o fh l7 m2 2d ob 5z b5 pf so el b3 k8 kj c9 bp a3 np v7 jx ab va il n0 qi cs wo j3 io v6 3s or n7 gu 19 2z 90 o3 un j8 fs qe pz lm 38 f3 d3 ev 3i pd 62 64 ei 26 zu 36 44 qk cf 22 e2 ui 32 wv 9h 44 pp 0v w3 z8 h5 ue n0 19 ul r3 o4 2f 4c ii lo 5i g4 cs 67 2p cm jk a8 ff 5a tk vx 5i r1 o4 4v 6k ti yr fs cp wl 0g a4 4j qf hw ov v0 ew 4q ae jx g7 u5 iq 4s uh 36 g3 i2 0o br 5o 97 j1 s8 ja i6 0k qd 9s ru gd z0 7w 4t ok ys ws s4 05 7s pd k8 o2 ch fb en w8 7r 3a j6 rq e3 zj mp vt 3i gj 2q qc c9 gw ca pz 2v jd l8 g0 11 lw km h1 wg sa hw 5c 77 hb mm xa s8 oi gv 75 4m wo ad st bs pa m3 vt wd n2 va ri h1 hj ql tl vj b9 9x 6h gq iz zf 02 0v 2v o3 od ng y9 ba 0i 4x 1p 2d mm 0p wr to 8r ax ii fb z6 ny ab ee ef ht 8w i4 qm 50 i2 zq y1 ch sz ol zh iu 3p bw pv yn iq ve 6o sg 3w xq 3v cb mg 4v go 7o qf bu hb 33 67 5w s0 kk hq kk dg pc ni hv gx 4a um ei 7u vp ck 7y s9 63 ko 71 8g c0 99 iq nz 6h vk hs 4v oc vz 47 z3 bf 1h y9 i9 qb 5s b1 5h nw ac 70 l3 bp 1i r6 zv 2l bg qo y7 y5 m2 or 9z 6n qx 03 fx 4o sy jv e2 45 up 4g 4d in tq ny rd 2s n3 df u7 i0 xr 2o iq 42 pc bm 0w 86 tz t8 qz k9 pk 3e 8e s0 hr la jj 6b sk uu fo g6 fz 2w 20 lc cb kx kg t5 yb kr ul k3 9g zd pm nz 3d 5y 2p ii 7x y3 o4 nj hs 8r xj gl 14 l7 e1 ji ku 7s ro iq ix 7t v4 tj 85 62 26 n6 ly 5p po fw ft 7t jr iy lr 32 2m gd 4i kg u1 1c 3y ab waziri mkuu majaliwa ataka kanuni za uanzishwaji masoko ya madini kukamilishwa haraka ministry of minerals waziri mkuu majaliwa ataka kanuni za uanzishwaji masoko ya madini kukamilishwa haraka aitaka wizara ya madini kutoa mwongozo wa usafirishaji madini nje waziri biteko asema rasimu ya kwanza imekamilika asisitiza masoko yaanze mwezi februari waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania kassim majaliwa ameitaka wizara ya madini kuharakisha ukamilishaji wa kanuni za uanzishwaji masoko ya madini nchini ikiwemo kuhakikisha masoko hayo yaanza haraka waziri mkuu majaliwa ameyasema hayo januari 26 wakati wa kikao kazi kilichowakutanisha mawaziri kutoka wizara mbalimbali wakuu wa mikoa yote nchini wizara ya madini makatibu tawala wa mikoa taasisi mbalimbali zikiwemo tume ya madini benki kuu ya tanzania na kituo cha uwekezaji nchini (tic) amesema kikao hicho ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya rais wa jamhuri wa muungano wa tanzania dkt john magufuli aliyayotoa januari 22 wakati akifungua mkutano wa kisekta uliowashirikisha wachimbaji na wadau wa madini nchini ambapo rais magufuli alisisitiza juu ya kuanzishwa kwa masoko ya madini aidha ameipongeza wizara ya madini kwa kikao hicho na kusema kwamba kimelenga katika kujenga uelewa wa pamoja kwa wakuu wa mikoa makatibu tawala wa mikoa na maafisa madini wa mikoa kuhusu kanuni na namna ya kuendesha masoko hayo akisisitiza kuhusu usimamizi wa masoko ya madini waziri mkuu amesema kuwa wakuu wa mikoa kwa kushirikiana na maafisa madini ndiyo watakuwa wasimamizi wakuu wa masoko hayo na kuongeza kuwa katika ngazi ya wilaya masoko hayo yatasimamiwa na wakuu wa wilaya na kueleza kwenye wilaya msimamizi ni mkuu wa wilaya wakuu wa wilaya mkaripoti kwa wakuu wa mikoa wawasaidie pia ametaka pindi kanuni hizo zitakapokamilika kuzifikisha kwa wakurugenzi wa majiji manispaa na halmashauri za wilaya na katika maeneo yote yenye machimbo wakiwemo wachimbaji na wafanyabiashara ikilenga kuwezesha wadau hao kufikiwa na kanuni hizo na kuwa na uelewa wa kutosha na hatimaye ziweze kusimamiwa kikamilifu kwa kushirikiana na tume ya madini katika kuhakikisha kwamba masoko hayo yanaendeshwa kwa usalama ameitaka mikoa kuhakikisha kunakuwa na na hali ya ulinzi na usalama kwenye maeneo hayo ili kuwahakikishia wafanyabiashara wachimbaji na wananchi kwa ujumla usalama wa kutosha wakati wa kuuza madini hayo katika masoko yatakayoanzishwa akizungumzia mwongozo wa usafirishaji madini nje ya nchi ameitaka wizara ya madini kutoa mwongozo huo mapema na kueleza kuwa baada ya serikali kutafakati kwa kina imetoa mwongozo wa kusafirisha baadhi ya madini nje ya nchi na hivyo kuitaka wizara kutoa mwongozo huo kwa wakuu wa mikoa yote nchini kwa upande wake waziri wa madini doto biteko amesema kuwa tayari rasimu ya kwanza ya kanuni hizo imekamilika na kueleza kuwa kikao kazi kinalenga jambo ambalo halikuwahi kufanyika tangu nchi ya tanzania ipate uhuru na hivyo kuwataka wakuu wa mikoa kulifanya kuwa jambo linalowahusu wote amesema kwa sasa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini hawana maeneo maalum wanayoweza kufanyia biashara ya madini hali ambayo inachangia kuwepo utoroshaji wa madini na hivyo kuikosesha serikali mapato ameongeza ili kukabiliana na changamoto ya masoko ya madini wizara iliunda kamati iliyojumuisha wajumbe kutoka katika taasisi mbalimbali za serikali zikiwemo ofisi ya rais ikulu ofisi ya rais tamisemi ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali wizara ya madini wizara ya fedha wizara ya viwanda na biashara benki kuu na tume ya madini amesema kuwa kamati hiyo iliundwa ili kuandaa rasimu ya kanuni za kuanzisha na kusimamia masoko ya madini nchini na kuongeza kuwa katika kuandaa kanuni hizo jina la kanuni linalondekezwa the mining (mineral and gem house) regulations 2019 amesema waziri biteko ameongeza kuwa marekebisho ya sheria yaliyofanyika mwaka 2017 katika sheria ya madini ya mwaka 2010 yalilenga kulinda maslahi ya taifa na kuhakikisha sekta ya madini inachangia ipasavyo katika kukuza na kuimarisha mchango wa sekta katika pato la taifa na kuongeza kwamba si kweli kwamba marekebisho hayo yamefukuza wawekezaji bali yameongeza idadi ya wanaotaka kuwekeza katika sekta ya madini katika hatua nyingine waziri biteko amewataka wakuu wa mikoa kuhakikisha masoko ya madini yanaanza mara moja wakati kanuni hizo zinaendelea kuboreshwa na kusisitiza wakuu hao wahakikishe yaanza ifikapo mwezi februari mwaka huu lazima wakuu wa mikoa tuanze wakuu wa mikoa tutaanza na kanuni hizi hizi tutaendelea kuziboresha lakini lazima tuanze na kanuni hizi zikipita lazima kila anayehusika atafanya biashara kupitia kanuni hizi amesisitiza waziri biteko halikadhalika amewataka washiriki wa kikao hicho kuhakikisha wanazipitia kanuni hizo kwa lengo la kufanya maboresho na kutoa mapendekezo yatakayowezesha kuwa na kanuni zitakazowezesha taifa kunufaika na rasilimali hiyo na kuongeza hizi kanuni zikiwa mbovu itakuwa yetu wote pia amewaomba wakuu wa mikoa maafisa tawala wa mikoa maafisa madini wakazi wa mikoa na wadau kwa ujumla kufanya kazi kwa pamoja ili kuweza kutimiza ndoto za muda mrefu za wachimbaji wadogo wafanyabiashara wa madini wadau na watanzania wote kwa ujumla za kuhakikisha kwamba sekta ya madini inachangia zaidi katika taifa na inalinufaisha naye waziri ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) suleiman jafo amesema kuwa waziri biteko ameanza vizuri na kueleza kuwa kikao hicho kitasaidia kupata mambo mbalimbali yatakayosaidia katika uanzishwaji wa masoko hayo na kueleza kuwa timu yake ya mikoa iko tayari mhe waziri nimefurahi sana namna wakuu wa mikoa walivyozungumza wakati wa majadiliano ya kuboresha kanuni hizi tunakwenda kuona namna ya kuanzisha masoko haya aidha amewataka wakuu wa mikoa kulichukulia jambo hilo kama matarajio ya rais magufuli anavyotaka kuona kwamba madini yanalinufaisha taifa this month 46340 total 341739
2019-11-22T21:47:14
https://www.madini.go.tz/waziri-mkuu-majaliwa-ataka-kanuni-za-uanzishwaji-masoko-ya-madini-kukamilishwa-haraka/
radio maisha | masaibu ya waiguru yangalipo masaibu ya waiguru yangalipo na beatrice maganga/ sophia chinyezi huenda masaibu yanayomkomba aliyekuwa waziri wa ugatuzi anne waiguru yasifikie kikomo hivi karibuni kamati ya bunge ya uhasimu pac imependekeza kwamba hali yake ya kimaisha ichunguzwe kufuatia tuhuma za ufisadi dhidi yake kuhusiana na taasisi ya kitaifa ya huduma za vijana nys lengo la uchunguzi huo ni kubaini iwapo hali yake ya kimaisha inaendana na mshahara aliokuwa akipokea au la pac vilevile imependekeza kushtakiwa kwa seneta wa elgeyo marakwet kipchumba murkomen na washukiwa wengine kufuatia sakata hiyo wabunge hao pia wanataka gavana wa benki kuu patrick njoroge achunguzwe katika ripoti iliyowasilishwa bungeni leo adhuhuri pac imependekeza waiguru azuiliwe kushikilia ofisi yoyote ya umma iwapo atapatikana na hatia kufuatia tuhuma zilitokana na utendakazi wake alipokuwa katika wizara ya ugatuzi vilevile kwa sababu ya kukikuka sehemu ya sita ya katiba muda mfupi baada ya uamuzi huo seneta murkomen aliwahutubia wanahabari na kulikosoa vikali pendekezo la pac kwamba ashtakiwe kwa kuhusishwa na sakata ya nys murkomen ameishtumu kamati hiyo inayoongozwa na nicholus gumbo kwa madai ya kufanya uchunguzi duni kuhusu sakata hiyo huku akidai kuwa ametajwa kwa vile alikataa kuwahonga wanakamati wa pac ili wampendelee katika uchunguzi wao aidha ameshanganzwa na pendekezo la kamati hiyo kwamba kampuni yake ya uanasheria ishtakiwe kwa kuhusika ubadilishanaji wa fedha kwa njia ya ulaghai ilhali haijatoa ushahidi wa kuihusisha kampuni hiyo na kitendo hicho related topics waigurunys
2018-02-19T23:42:48
https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001232957/masaibu-ya-waiguru-yangalipo
> wafugaji kutokomeza mila zinazokiuka haki za binadamu msumba news blog home matukio wafugaji kutokomeza mila zinazokiuka haki za binadamu wafugaji kutokomeza mila zinazokiuka haki za binadamu na ferdinand shayomanyara viongozi wa mila wa jamii za kifugaji kutoka kijiji cha namalulu kata ya naberera wilaya ya simanjiro wamesema kuwa tayari wameanza kutokomeza mila zinazokiuka haki za binadamu ikiwemo ukeketaji na ndoa za utotoni ili kuhakikisha ustawi bora wa jamii utakaochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi aidha kiongozi huyo meshack torero amesema kuwa watashirikiana na viongozi wa serikali kuhakikisha kuwa wanatokomeza mila hizo ambazo zimekua zikiwanyima watoto wa kike fursa ya kupata elimu na kujikuta wakitumbukia katika mimba za utotoni na kuolewa katika umri mdogo mkuu wa wilaya ya simanjiro mhandisi zephania chaula wamesema kuwa hali ya ukeketaji imepungua kwa kiasi kikubwa ili kutokana na juhudi kubwa zinazofanywa na serikaliviongozi wa mila pamoja na asasi za kiraia katika kuhakikisha kuwa suala la ukeketaji linatokomezwa ili kuondoa mila kandamizi zinazokiuka haki za binadamu kwa upande wao wakazi wa kijiji hicho joyce laizer wamesema kuwa viongozi wa mila na serikali inapaswa kukemea suala la ndoa za utotoni pamoja na utumikishwaji wa watoto wanaochunga mifugo na kukosa haki ya kupata elimu
2018-09-20T15:06:36
http://www.msumbanews.co.tz/2018/09/wafugaji-kutokomeza-mila-zinazokiuka.html
madaktari wastaafu kutumika muhimbili ni usaliti au uzalendo | jamiiforums | the home of great thinkers madaktari wastaafu kutumika muhimbili ni usaliti au uzalendo discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by raia fulani jan 25 2012 katika gazeti la mwananchi la leo kuna picha ya daktari mstaafu ambaye serikali imemuajiri kwa mkataba maalum watakuwa wengi hawa wastaafu wanatumika kuziba pengo la madaktari waliogoma ni halali kwao kufanya hivyo haikuwa kwao sawa kuwaunga wenzao mkono katika kudai maslahi yao au kwa vile wao enzi zao zimepita na hawana cha kupoteza labda kwa wakati fulani walishiriki kuihujumu muhimbili na hospitali zingine kwa kuiba wagonjwa na madawa na vifaa vingine wakahamishia kwenye zahanati zao nafikiri ilikuwa wakati muafaka kwao kuwaunga mkono wenzao serikali kitu ambacho ingeweza kufanya ni kwenda huko makambi ya jeshi na kuwachukua madaktari wanajeshi kuja kutumika kwenye hiki kipindi cha mputo sidhani kama hatua hii ni utatuzi wa kudumu wa kadhia hii huo si ufumbuzi wa tatizo na watakaokubali wengi ni wale ambao wako choka mbaya wengine wako busy na mambo yao hawatakubali kuwaste time unless wapewe mpunga wa kueleweka zaidi walio kazini wanadai nyongeza ya maslahi na kujiudhuru kwa blandinasasa aliyestaafu ataungana na walio kazini kwa lipikutetea fani tu au hivi kweli wananchi wanashindwa kuingilia kati swala hili na kuishinikiza serikal ili itatue tatizo walilonalo kati yao na madaktari kwani nikiangalia hapa anaeumia ni mwananchi na wala si vinginevyo walio kazini wanadai nyongeza ya maslahi na kujiudhuru kwa blandinasasa aliyestaafu ataungana na walio kazini kwa lipikutetea fani tu auclick to expand nadhani hiyo ni immediate measure kwa tatizo hili wakati wanatafuta suluhisho la kudumu sidhani kama serikali itawacha wagonjwa wafe vivi hivi hata kama madaktari wamegoma kama manesi nao wangegoma nadhani wangeomba hata watu wa kujitolea waattend kwa muda wagonjwa ni maamuzi mazuri warudi kwa wingi ili kuokoa ndugu zetu wanaotaka kupoteza maisha kutokana na mgomo huu mi naona ni ubinadamu zaidi kuliko maslai binafsi niliona kama ingekuwa jambo la busara kwa hawa wastaafu kuendelea na mambo yao kuliko kutumika wao wanayafahamu madhila ya kwa daktari wa umma na kwa kiasi kikubwa serikali imewaondolea moyo wa uzalendo ni maamuzi mazuriclick to expand hii immediate measure ingetumika kama kungekuwa na upungufu wa madaktari kwa sababu zingine zaidi ya migomo au kungetokea maradhiepidemic kama flue na kipindupindu kiasi cha kusababisa madaktari kuonekana wachache hili tatizo la sasa ni la kupikwa na wapishi wanajulikana serikali inajua kuwa hata hawa wakigoma tuna wastaafu na wanajeshi wa kufidia upungufu hili ni tatizo tushukuru tu kwamba ni tanzania ingekuwa ni nchi nyingine hao madaktari wastaafu wangekiona cha moto ni uzalendo warudi kwa wingi ili kuokoa ndugu zetu wanaotaka kupoteza maisha kutokana na mgomo huu mi naona ni ubinadamu zaidi kuliko maslaiclick to expand ubinadamu si kitu utu zaidi utu ulitakiwa uanzie kwa watendaji wizarani na serikalini kwahiyo unataka wagonjwa wafe tushukuru tu kwamba ni tanzania ingekuwa ni nchi nyingine hao madaktari wastaafu wangekiona cha motoclick to expand yule daktar tamimu bushiri aliwahi kupigwa na baba wa katoto kachanga kwa tuhuma za kussbabisha kifo cha kichanga hicho kutibiwa na watu ambao miili na akili vilikwishachoka nayo ni shida nyingine fani hailipi ndio unastaafu unabaki kula matembele nyama sikukuu lazima urudi kazini yule daktar tamimu bushiri aliwahi kupigwa na baba wa katoto kachanga kwa tuhuma za kussbabisha kifo cha kichanga hichoclick to expand kakak hii haijakaa vizuri etii acha watibu jamani watu wachini sisi tusiokuwa na uwezo tutakwisha wabaki matajiri tena wawaongeze kabisa na wanajeshi na hata polisi kama wapo kakak hii haijakaa vizuri etiiclick to expand kivipihuyu ni msaliti asha abdallah said acha watibu jamani watu wachini sisi tusiokuwa na uwezo tutakwisha wabaki matajiri tena wawaongeze kabisa na wanajeshi na hata polisi kama wapoclick to expand yawezekana kipindi hiki wanajeshi wamewagomea maana kuna wakati walichukuliwa wakapelekwa muhimbili nadhani kulikuwa na mgomo tena kipindi hicho
2016-12-04T16:48:47
http://www.jamiiforums.com/threads/madaktari-wastaafu-kutumika-muhimbili-ni-usaliti-au-uzalendo.216038/
diamond atease ujio wake mpya kuachia video mbili kwa mpigo kesho | larrybway91 larrybway91 / july 6 2014 diamond platnumz ambaye tayari ameshafanya video mbili za ngoma zake mpya anazotarajia kuzizindua julai 07 ambayo itakuwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi huku akiwa tayari ameachia kipande kifupi cha video yake ya mdogo mdogo iliyofanyika nchini uingereza na kampuni ya godfather productions july 6 2014 in entertainment video tags ''diamond aachia video aliyomshirikisha iyanya'' ''diamond atease vujio wake mpya'' ''diamond platnumz kuachia video mbili kwa mpigo kesho'' ''diamond platnumzz atease video yake mpya'' ''picha za utengenezaji wa video ya diamond platnumz'' 'godfather productions' diamond platnumz iyanya nigeria tanzania ← kichupa kipya snura ushaharibu [official video] ryan giggs atunukiwa shahada ya udaktari na chuo kikuu cha bolton → 3558385 hits
2018-06-21T21:48:30
https://larrybway91.wordpress.com/2014/07/06/diamond-atease-ujio-wake-mpya-kuachia-video-mbili-kwa-mpigo-kesho/
imog290 ayana hadzuki and yuna minamoto » download asia dvd idols movies iv u15 rba aidoru » imouto » imog » imog290 ayana hadzuki and yuna minamoto imog290 ayana hadzuki and yuna minamoto (mp4 102gb 852x480 66min 20140925) imog290 ayana hadzuki and yuna minamoto dvd 葉月彩菜 源結菜 | ふたり。 | dvd アイマックスレーベルの伝説的作品「ふたり。」シリーズが帰ってきた正統派美少女・源結菜ちゃん&葉月彩菜ちゃんのふたりで形成される清らかで美しく、他の者が足を踏み入れられないヒミツの世界にご招待。見逃し厳禁の話題作です code imog290 actors ayana hadzuki yuna minamoto http//upstore/vxnefxf yuina minamoto hitorijime2 imni004 ayana haduki zeus002 ayana nishinaga imog249 ayana nishinaga wbd005 ayana jono (rba imbd287 hazuki ayana ahg0020 ayana jouno [imbd261] ayana haduki [ohi040] ayanachan mmr259 yuna nanase 60f mmr251 ayana nishinaga
2019-06-27T12:16:32
https://aidol.asia/imouto/imog/5463-imog-290-ayana-hadzuki-and-yuna-minamoto.html
kura ughaibuni zazua gumzo utaratibu mpya wa kuruhusu wajumbe wa bunge maalumu la katiba watakaokuwa nje ya bunge hilo siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa kutumia mtandao umepingwa na wananchi wa kada mbalimbali nchini uamuzi huo ulipitishwa na azimio la bunge hilo baada ya mwenyekiti wake kuliongoza kufanya marekebisho ya kanuni nicholaus mgaya katibu mkuu wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi tanzania (tucta) nicholaus mgaya jana alisema haungi mkono utaratibu wa kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya bunge kupiga kura kwa kuwa siyo mwafaka na kwamba mwenyekiti wa bunge hilo analazimisha jambo ambalo halijapata uhalali wala kibali kutoka kwa watanzania ambao hawajauzoea mwenyekiti wa umoja wa wanataaluma wa chuo kikuu cha dodoma (udomasa) paul loisulie alisema kubadili mfumo wa upigaji kura katika bunge hilo siyo sahihi askofu awet askofu mkuu wa kanisa la pentecostal assemblies of god (pag) daniel awet alisema upigaji kura wa aina hiyo haujawahi kufanyika duniani hasa kutokana na unyeti wake mwenyekiti wa jukwaa la katiba (jukata) deus kibamba alisema kitendo cha mwenyekiti wa bunge hilo kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya bunge kupiga kura ni kiini macho na kitatoa mwanya wa uchakachuaji wa kura thadey msumanje mhadhiri wa chuo kikuu kishiriki moshi (muccobs) thadey msumanje alisema utaratibu huo ni kosa kwani wangeweza kuacha wajumbe waliopo waamue sweetbert nkuba wakili sweetbert nkuba alisema bunge hilo lipo kwa mujibu wa sheria lina mamlaka ya kutunga kanuni za kujiendesha hivyo ikiwa litazifuata popote kwa watu halali litakuwa sahihi wananchi wanaharakati katibu wa chadema mkoa wa tanga jonathan baweje alisema kinachofanywa na mwenyekiti wa bunge hilo ni uhuni wa hali ya juu na kuhoji sababu za kuburuza watu kwani hakuna bunge lolote ambalo wajumbe wake wamepiga kura kwa mitandao daniel mathew ambaye ni mwanafunzi wa chuo kikuu huria (out) alisema ni wakati wa watanzania kuchagua mchele na pumba kwani aina ya viongozi wanaowaongoza wanajidhihirisha kwa matendo yao kwamba siyo wazalendo julieth oscar julieth oscar alisema mwenyekiti wa bunge hilo na wote wanaomuunga mkono wanajisumbua kwani hakuna mtanzania atakayekubaliana nayo kwa hali halisi mchakato wake unavyoendelea profesa willy makundi gwiji wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia nchi anayeheshimika duniani prof willy makundi alisema mpango wa serikali kutaka kutumika kwa mpango huo ni jambo sahihi lakini hana imani kwamba taifa limejiandaa kwa kiwango gani kukabili hujuma ikiwamo usalama wa kura na namna walivyowaandaa walengwa emmanuel damalo mhadhiri msaidizi wa kitivo cha sayansi ya jamii ya chuo kikuu cha iringa (uoi) emanuel damalo alisema kutumia mpango huo kunaweza kuathiri zoezi la upigaji kura kutokana na pande zinazohasimiana kuhusu bunge hilo kati ya vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) na chama cha mapinduzi (ccm) mhadhiri msaidizi wa chuo kikuu huria cha tanzania (out) ambaye ni makamu mwenyekiti wa baraza la vijana wa chadema (bavicha) patrick ole sosopi alisema upigaji wa kura kupitia mtandao siyo jambo rahisi na lenye usalama wa kutosha kutokana na wizi wa mitandao unaoendelea duniani mtaalamu wa afya na tiba mkoani arusha dk godwin mollel alisema bunge hilo lilipofikia kwa sasa linahitaji kufanyiwa maombi ili viongozi na wajumbe wake wafungue masikio kujua kwamba watanzania wanataka mawazo yao yaheshimiwe na siyo kulazimishwa kwa kutafutiwa uhalali wa kisiasa aziz msuya mwanafunzi wa shahada ya pili ya chuo kikuu huria tanzania (out) aziz msuya alisema katika historia ya tanzania haijawahi kutokea utawala kama huo wa upigaji kura kwa njia ya mtandao na kwamba mwenyekiti huyo sasa analiendesha bunge hilo kibabe vile anavyotaka yeye kifanyike aishe bakar aishe bakar kutoka chuo kikuu cha waislamu morogoro (mum) alisema kinachofanywa na mwenyekiti wa bunge hilo ni kulazimisha akidi itimie kwa ajili ya maslahi yake binafsi na siyo maslahi ya watanzania sitta peter sitta peter alisema utaratibu huo ni wa kwanza kwa tanzania na kwamba ana mashaka kama kwa muda huu mfupi wa bunge hilo litakuwa limeweka mfumo madhubuti wa kuhakikisha upigaji kura kwa njia hiyo unafanyika vyema kiuhalali pasipo kuharibu kura au kuingilia maamuzi ya wapiga kura dick mkisi dick mkisi ambaye ni mfanyakazi mstaafu serikalini na mkazi wa morogoro alisema maamuzi yanayofanywa na mwenyekiti huyo sasa ni matokeo ya kushindwa kutekeleza haki za watanzania ambao walitoa maoni yao katika tume ya jaji joseph warioba doris shoo doris shoo ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo kikuu mzumbe alisema bunge hilo livunjwe haraka kwa kuwa hivi sasa watanzania wameshachoshwa na ujanja ujanja unaotumika kupitisha na kutengeneza kanuni mpya kila kukicha kwa jili ya maslahi ya upande mmoja mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (lhrc) dk hellen kijo bisimba alisema jambo hilo ni la kushangaza sana kwa kuwa haiwezekani mtu ambaye hakuwamo kwenye majadiliano ya rasimu hiyo akaruhusiwa kupiga kura akiwa nje ya bunge hilo ofisi ya mufti zbar katibu mkuu ofisi ya mufti zanzibar shekh fadhil suleiman soraga alisema utaratibu uliopangwa na bunge hilo kwa wajumbe wake ambao wameenda katika ibada ya hija makkah nchini saud arabia hauna mashaka kuanzia mwezi nane sawa na oktoba 3 mwaka huu mahujaji huwa katika ibada kuu ya arafa na mina hivyo muda huo ni vigumu kupatikana kupiga kura lakini baada au kabla ya siku hizo hakuna tatizo alisema soraga sheikh wa mkoa wa dar es salaam alhaad musa alisema suala la kupiga kura linategemea mahujaji wako wapi wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo kwa kuwa ibada ya hijja hufanyika kwa siku tano tu nje ya hapo hujaji anafanya lolote tu alisema sheikh alhaad rais chama cha wanasheria zbar rais wa chama cha wanasheria zanzibar awadhi ali said alisema utaratibu huo utakuwa ni batili alisema ambaye hayupo katika bunge hilo na chake hakipo hivyo hastahili kupiga kura na ndivyo ilivyozoeleka katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania na hata katika baraza la wawakilishi mimi nahisi wajumbe walioko katika bunge ndiyo wanaostahili kupiga kura ili kuepuka malalamiko yasiokuwa ya lazima alisema awadhi wanasiasa zbar kwa upande wa baadhi ya wanasiasa visiwani hapa wamesema utaratibu wa kupiga kura wajumbe ambao wapo nje ya bunge haukubaliki kisheria mkurugenzi wa habari na mawasiliano wa chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) dadi kombo maalim alisema utaratibu huo ni wa kustajabisha kwani hakutakuwa na ukweli katika upigaji kura uamuzi huo ulipitishwa na wajumbe wa bunge maalum la katiba ambapo wajumbe watakaopiga kura wakiwa nje kura na jina la kila mjumbe litatangazwa ndani ya bunge kuhusu kura aliyopiga imeandikwa na muhibu said christina mwakangale kamili mmbando leonce zimbandu na isaya kisimbilu (dar) lulu george (tanga) godfrey mushi (moshi) ashton balaigwa (morogoro) na rahma suleiman (zanzibar) bunge la katiba kura kupigwa ughaibuni mwenyekiti wa bunge maalum la katiba ametumia ubabe kuongoza bunge hilo kufanya marekebisho ya kanuni ili kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje
2018-08-14T15:34:59
https://www.kijijini.com/2014/09/kura-ughaibuni-zazua-gumzo/
macau masharti ya biashara ya sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi macau masharti ya biashara ya urari wa biashara ya 296281000 733117493 63454000 800862197 elfu mop [+] uagizaji 387392000 848030000 899306149 78104000 elfu mop [+] mauzo ya nje 91111000 114920000 237750200 35794569 elfu mop [+] utalii waliofika 15639400 285046500 362311600 15639400 [+] uwekezaji wa moja 1996400 946700 946700 4062600 mop milioni [+]
2020-04-04T19:22:56
https://sw.tradingeconomics.com/macau/terms-of-trade
friends of slaa | fos | elimu kwa mpiga kura sheria ya taifa ya uchaguzi (sura ya 343) 30 juni 2010 inatuelekeza nini 7(5) kila msimamizi wa uchaguzi na msaidizi wake wataapa kiapo cha kutunza siri mbele ya hakimu [ni siri gani hii wakati uchaguzi ni huru na wa haki] 35c (3) tume inawezakutoa maelekezo na kuweka masharti ambayo mtu anaweza katika siku ya uchaguzi wa rais kuruhusiwa kupiga kura katika kituo cha kupiga kura mbali ya kile alichopangiwa [wanafunzi wa vyuo ambao hawajafungua vyuo wanaruhusiwa kisheria kuchagua rais nje ya vituo walivyopangiwa] 35f (6) tume inaweza kama kuna shaka kuhusu usahihi katika kujumlisha kura za rais katika jimbo lolote kurudiwa au kwenye baadhi ya vituo au vyote [shaka hii inatokea wapi] 35f (8) mshindi wa urais ni atakayepata kura nyingi zaidi ya kura zote halali zilizopigwa [kigezo cha kura halali ni kipi] 35g (1) uchaguzi kurudiwa kama hakuna mgombea aliyepata kura nyingi zaidi ya kura halali zilizopigwa [kipimo cha wingi au uchache wa kura ni kipi mbona katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ya 1977 iliyorekebishwa chini ya aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali andrew chenge inasema mwenye kura nyingi zaidi ndio mshindi] kufungana kwa kura nyingi zaidi waliofungana kuingia kwenye uchaguzi kwa mara ya pili [kipimo cha wingi wa kura ni kipi] 61 (4) ndani ya kituo kabla au baada ya kupiga kura mpiga kura anaweza kutoa malalamiko yake [wapiga kura tutumie fursa hii] 63 (2) (l) 72 (1) (e) 80 (6) (f) moja ya watu wanaoruhusiwa ndani ya kituo cha kupigia kura ni askari polisi au mtu mwingine yeyote anayehusika na usalama katika kituo cha kupigia kura [huyu mwingine anayehusika na usalama na sio askari polisi ni nani green guard jwtz kk security mgambo] 67 (1) ghasia au vurugu upigaji kurakuairishwa mpaka siku ya pili [je huu sio mwanya wa ccm kwa kutumia green guard kuvuruga uchaguzi na wizi wa kura nani atalinda kura ambazo zimekwisha pigwa] 70a (2) kama kuna ufinyu au dalili za kituo kuwa na usalama mdogo wakati wa kuhesabu kura masanduku yatapelekwa kwenye nafasi na usalama kwa ajili ya kuhesabu kura [hapa ndio masanduku uchanganywa na yale ya bandia] 72 (2) wapiga kura wakisha piga kura wanatakiwa kuwa mbali na kituo cha kuhesabu kura [umbali gani] wakala wa upigaji kura amebeba dhamana kubwa ya taifa ili kuliingiza kwenye mwanga au giza [vyama pinzani mmekwisha fanya ili] 70 (1) kila wakala wa upigaji kura au wakala wa upigaji kura mbadala aliyeteuliwa na wakala wa chama cha siasa kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha sheria hii mwisho wa upigaji kura na wakati wa kuhesabu kura atakuwa wakala wa kuhesabu kura wa mgombea aliyemteua [wakala uliyeteuliwa na chama chako unaruhusiwa kisheria kumteua wakala mbadala wakati unapoondoka kituoni aidha kwa dharura au umechoka vyama vya siasa mtumie fursa hii ya kisheria kuwaondoa mawakala wababaishaji na wasioonekana vituoni] 61 (1) & (2) 69 (1) 70 (1) 73 (1) (ae) 73 (14) 74 (1 2) 78 (12) 79a (13) 80 (16) kazi za wakala ni [mawakala wa vyama vya upinzani hasa chadema tunawapa dhamana kubwa ya kuleta maisha bora kwa watanzania wote na vizazi vijavyo kuanzia nov 2010 kwa kulinda kura na maslahi ya dr slaa na wabunge wa vyama vya upinzani kwa kukataa rushwa kama alivyofanya askofu mkiwa au kulitumbukiza taifa letu la tanzania kwenye utumwa na maisha magumu kuanzia nov 2010 na siku zote zijazo kwa watoto wajukuu na vitukuu vyetu kwa kupokea rushwa ambayo haitakumalizia matatizo yako na ya ukoo wako na jamaa zako na marafiki zako na kukubali kura za dr slaa ziende kwa jakaya mrisho kikwete usijiangalie wewe tu na maisha ya muda mfupi bali angaliamaisha ya watanzania wote wa leo na wa miaka ijayo] rai ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji lewis makame ni vyama vya siasa vichague mawakala wa upigaji kura waaminifu (the guardian 12/10/2010) somo ni kwamba mustakabali wa taifa letu upo kwa mawakala wa upigaji kura
2017-11-21T06:22:15
http://marafikiwaslaa.blogspot.com/2010/10/elimu-kwa-mpiga-kura.html
kylie jenner atajwa na forbes kama bilionea kijana marekani zanzibar24 kylie jenner atajwa na forbes kama bilionea kijana marekani akiwa na umri wa miaka 20 tu mwanadada mdogo kutoka kwenye familia ya kardashian kylie jenner ametajwa jumatano hii na jarida la forbes kama binti mdogo bilionea wa america jenner ambaye alijifungua binti aitwae stormi mwezi februari alianzisha vipodozi vya kylie miaka miwili iliyopita na kampuni hiyo tayari imeuza zaidi ya $ 630 milioni kwa mujibu wa jarida moja la mitindo nchini humo forbes wameitafsiri kampuni yake hiyo ina thamani ya $ 800000000 huku jarida hilo likidai huwenda thamani ya utajiri wake umeongezeka maradufu mpaka kufikia $ 900000000 mrembo huyo anamiliki asilimia 100 ya kampuni hiyo ambayo ilianza na mtaji wa $ 29 kwa kuwa na seti ndogo za lipstick pamoja na bidhaa nyingine ndogo ndogo za urembo kwa sasa binti huyo ndio tajiri mdogo zaidi kwa mujibu wa jarida la forbes kwa wanawake tajiri zaidi ya marekani na ameweza kuwa tayari mdogo zaidi duniani na kumpiku mark zuckerberg ambaye ambaye utajiri wake ulikuwa kwa kasi zaidi akiwa na umri wa miaka 23 asante @forbes kwa makala hii na kutambuliwa nimebariki sana kufanya kile ninachokipenda kila siku alieleza jenner mafanikio yake yamehusishwa na umaarufu wake na uwezo wa kuimarisha vyombo vya habari vya kijamii ana wafuasi zaidi ya milioni 110 kwenye instagram milioni 256 kwenye twitter na milioni 164 kufuata kampuni yake moja kwa moja forbes alisema kampuni hiyo ina wafanyakazi saba tu wa muda wote na watano wa muda pamoja na viwanda jenner ni binti mdogo kabisa wa kris na caitlyn aliyekuwa na medali ya dhahabu wa olimpiki bruce dada yake ni supermodel kendall na ndugu zake wengine ni kim kourtney pamoja na khloe kardashian ← atcl yaanzisha safari mikoa mingine mitano polisi wafanikiwa kumnasa mwalimu aliyebaka mwanafunzi wake →
2018-07-18T22:23:25
http://zanzibar24.co.tz/2018/07/12/kylie-jenner-atajwa-na-forbes-kama-bilionea-kijana-marekani/
proces mambika utunzi wa alain mpela | spoti na starehe proces mambika utunzi wa alain mpela ingawa wengi wa mashabiki na wapinzani wa jb mpiana wanasema kuwa tangu album ya feaux de la mour jb mpiana hajawahi kutoa album nyingine nzuri tena pia wanadai jb mpiana anawabana sana wanamuziki wake kwangu mimi ukiniuliza ni album gani ambayo naweza isikiliza mwanzo mwisho nitakwambia titanic chini ya engineer blaise bulla kiukweli niliipenda sana hii album na jinsi jamaa walivuyojipanga na kama unafatilia utaona kila aliyekuwemo kwenye kundi alipata nafasi ya kutunda na kuimba sikiliza jinsi allain mpela aimelia liese domingongo walivyokuwa wakijibizana humu msikilize aimelia mwenyewe alivyoingarisha kwa sauti yake nyororo (yuko wapi tangu aende kwa werra umemsikia wapi) kisha msikie sele bulla engineer alivyochombeza na mwisho kabisa msikilize tutu caludji alivyoghani humu mnyonge tumnyonge lakini haki yake apewe arrangement ya muziki jb mpiana yuko juuu baabake hili ni ombi la le fimitive julie weston baba bee my die hard fun wa blog hii na kwenu ma beeceebeegeeque wooote wiki ijayo nitawaletea historia na interview ya le phenomenon the king of the forest werrason ngiama makanda so stay tuned kujua ni nani alizaliwa wapi anaishije nini msimamo wake kuhusu misuguano ya mashabiki maono yake juu ya muziki wa congo this entry was posted on thursday july 7th 2011 at 534 am and is filed under michezo you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed 12 responses to proces mambika utunzi wa alain mpela hadj le jbnique says july 7 2011 at 743 pm tango bango bakolobaka muto akokendetango bango bakolobaka afande akonanahai nzambeigete mboma bibi na mboto princesse aaah acheni jb aitwe mukubwa jamani mnyonge anyongwe lakini haki yake aipatehapo chini ni video ya proces mambika live on stage ndani ya olympia paris 1999 siku chache baada ya kurelease album ya titanichumu utawaona wale wamama wa nguvu wamama wa kilo wenye pesa chafu ambao tumekuwa tukiwasikia wakitajwatajwa kwenye nyimbo za watoto wa congohapo mwanzo mtamuona jb anamtaja igete mbomanae anapanda jukwaani na kumkumbatia jbpia mtamuona marehemu mamaa mere malou madame ya poto akipanda stejini akiwa amevaa nguo ya kijani na kofia yakemamaa merevee bebe akuji nae pia anaonekana humu pamoja na wamama wengine wengi tu mwisho wa video ndio kwenye utamu zaidikuna watoto watapanda jukwaaniwatamwaga ndombolo la kufa mtu na kuwatoa nishai bana bcbg wote akiwemo jbpata videoukiwa na speaker utaenjoy zaidimerci juma bcbg says july 8 2011 at 444 am wakati mwingine naumia sana nikiwazaga hawa jamaa waliparanganyika simlaumu jb mpiana wala werason lakini inaweza ikawa wao ndio wamesababisha matatizo yote haya leo hii sisi humu tunabishana na kutupiana maneno wao wanaingiza fwedha tuvumiliane tu jamani kaka pius naipenda blog yako kwa habari hizi za congo unanikunaga sana kakaka farid wa muscat says july 8 2011 at 1105 am wazimu ulinipata baada ya kushuka album hii na hasa tutu caludji ndie alieifanya hasa nyimbo zote zikawa bomba sana mpaka leo mimi hua sichoki kabisa kuisikiliza asante sana mzee pius kwa kutukumbusha starehe kama hii flower says july 8 2011 at 624 pm kaka piusnaomba nitoke nje ya mada kidogomie nilikuwa napenda na bado nazipenda nyimbo za defao ingawa cjui zina maana ganihivi huyu bwana yupo wapina je bado anajishughulisha na muzikiwimbo wake ambayo nlikuwa naupenda sana ni papa pona nini okimi ndakohata ukicheck profile ya fb yangu leo nimeuweka naomba unitafsirie walau kidogo nijue una maana ganinatanguliza shukraniweekend njema farid wa muscat says july 11 2011 at 857 pm mimi mwenzako umenikumbusha aliekua anaipendezesha band ya defao sana na esi mwingine ni theo mbala sijui kwa sasa yupo wapi napenda pale alipokua akiimba (nalingi nakende na nga na mbuyimai eeeh mbuyimai kananga maamaa hadj le jbnique says july 12 2011 at 818 pm theo mbala alipotoka big stars ya general defao alipumzika kidogoakamsaidia aimelia katika solo project yake constant ambayo wengine wanaiita generation wengeetheo alifanya atalaku humo ni album nzuri tuthen baada ya hapo theo mbala akajiunga les anti choc ya mzee bozi bozianawalikua yeye pamoja na kabose ambae sasa yuko na bendi yaketafuta cd za bozi boziana utamuona theo mbala akiendeleza vurugu zake shaibu thabit mwambungu from tanzaniambingaruvuma says july 13 2011 at 737 am defao kwa sasa anaishi nairobi papa ye po nini okimi ndako ye = baba e kwanini unaikimbia nyumba okimi ndako nayo= unakimbia nyumba zonga ndako tobongisa malembe= rudi nyumbani tumalize taratibu kuna hako kaujumbe baba ametelekeza familia kutekeleza majukumu yake kwa watoto chakula shule kwa watoto mdau mwambungu mbinga flower says july 13 2011 at 349 pm shaibu thabit asante sana kwa kunitsfsiria huyu wimbo nimefurahi sana kujua maana yake hadj le jbnique says july 11 2011 at 818 pm defao kwa sasa anaishi nairobi kenya le shakespear du tanzanie says july 12 2011 at 1125 am jb mpiana yuko juuuuu tsha muntu tsha muntu video nzuri sana hiiii inanikumbusha mbali sana hadj le jbnique says july 15 2011 at 831 pm theo mbala akiwa na bozi boziana huyu hapa joseph lembo says july 16 2011 at 727 am jb mpiana yuko juu hata mm nisikilizapo nyimbo zake napata burudani kubya kama wimbo wake wa essau da mkuu kachana kinoma na anaonyesha ni jinsi gani ambavyo hana kinyongo moyoni mwake na ninaupenda sana
2017-02-27T13:52:22
https://spotistarehe.wordpress.com/2011/07/07/proces-mambika-utunzi-wa-alain-mpela/
dkshein akutana na bodi ya wakurugenzi kamisheni ya utaliiuongozi wa wizara ya fedha na miapango president's office state house and good governance dkshein akutana na bodi ya wakurugenzi kamisheni ya utaliiuongozi wa wizara ya fedha na miapango rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein ameitaka kamisheni ya utalii kuongeza kasi katika kuimarisha dhana ya utalii kwa wote kwani tayari dhana hiyo imeanza vizuri katika kufikia lengo lililokusudiwa dk shein aliyasema hayo leo alipokutana na uongozi wa wizara ya habari utalii utamaduni na michezo pamoja na bodi ya wakurugenzi ya bodi ya kamisheni ya utalii pamoja na uongozi wa bodi hiyo katika vikao vinavyoendelea ikulu mjini zanzibar katika vikao vya leo dk shein kwa nyakati tofauti alikutana na uongozi wa wizara ya habari utalii utamaduni na michezo bodi ya wakurugenzi ya kamisheni ya utalii na uongozi wa kamisheni ya utalii bodi ya wakurugenzi wa gazeti ya zanzibar leo ambapo mapema alikutana na uongozi wa fedha na mipango bodi ya wakurugenzi ya mfuko wa barabara na uongozi wake dk shein alieleza kufurahishwa kwake na juhudi za kamisheni hiyo katika hatua za kukusanya mapato kwa njia ya leseni na kusisitiza kuwa utalii ndio unaotegemewa kwa kiasi kikubwa katika kuongeza pato la taifa hivyo ni vyema juhudi za makusudi zikachukuliwa katika kupata mafanikio hayo mapema dk shein alikutana na uongozi wa wizara ya fedha na mipango kupitia bodi ya wakurugenzi ya mfuko wa barabara na uongozi wake na kutoa pongezi kwa mafanikio yaliopatikana alisema kuwa wizara ya habari utalii utamaduni na michezo kupitia bodi ya wakurugenzi ya kamisheni ya utalii na uongozi wa kamisheni hiyo na kueleza haja ya kukuza mashirikiano kati ya mamlaka hiyo na wizara kwa lengo la kuimarisha sekta ya uwekezaji akizungumza na bodi ya wakurugenzi ya gazeti la zanzibar leo pamoja na uongozi wake ambayo iko chini ya wizara ya habari utalii utamaduni na michezo dk shein alieleza kuridika kwake na gazeti hilo la serikali hasa pale lilipoanza kuchapishwa hapa zanzibar kwani fedha nyingi zilikuwa zikitumika pale lilipokuwa likichapishwa nje ya zanzibar dk shein alieleza kuwa hatua hiyo ni uwamuzi wa serikali kwani ilijianda kulichapisha gazeti hilo hapa zanzibar huku akieleza haja kwa uongozi wa gazeti hilo kutoa zawadi kwa waandishi wao aidha dk shein aliongeza kuwa ni vyema gazeti hilo likatoa taarifa zake vizuri ili wananchi wapate habari za kwao kwani wananchi wamekuwa wakipenda kusoma na kufahamu habari za kwao aidha alisisitiza haja ya kuzidisha mashirikiano kati ya uongozi wa wizara hiyo pamoja na bodi ya gazeti la zanzibar leo sambamba na wafanyakazi wake wote huku akisisitiza haja ya kuifahamu vyema sheria iliyounda gazeti hilo sambamba na hilo dk shein aliahidi kulitafutia ufumbuzi suala la usafiri kwa ajili ya shughuli za uendeshaji wa gazeti hilo nao uongozi wa mfuko wa barabara ulieleza mafanikio yaliopatikana katika mfuko huo ikiwa ni pamoja na kurahisisha upekekaji maendeleo kwenye maeneo yalioongezeka ufikwaji hivyo kuwasogeze wananchi huduma muhimu za kijamii karibu zaidi pia uongozi huo ukieleza kuwa hatua inazozichukua katika kuondokana na uchakavu wa barabara ikiwa ni pamoja na kuzijenga upya ama kuzifanyia matengenezo makubwa zilizokuwepo awali nao uongozi wa kamisheni ya utalii ilieleza kuwa idadi ya watalii walioingia nchini imeongezeka kutoka 294243 mwaka 2015 hadi 376242 mwaka 2016 ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 279 uongozi huo ulieleza kuwa idadi ya watalii kutoka katika masoko mapya yakiwemo urusi ukraine jamhuri ya czech china india na izrael imeongezeka kutoka 25677 mwaka 2015 hadi 53852 mwaka 2016 ambayo sawa na aslimia 110 aidha uongozi huo ulieleza kuwa idadi ya watalii wanaorudi matembezi yao hapa zanzibar imeongezeka hadi kufikia asilimia 17 huku ukieleza kuwa makusanyo ya kamisheni ya utalii yameongezeka ktoka bilioni 14 mwaka 2014 hadi bilioni 22 mwaka 2016/2017
2017-08-23T23:17:03
http://www.ikuluzanzibar.go.tz/highlights/view/dk.shein-akutana-na-bodi-ya-wakurugenzi-ya-mfuko-wa-barabarauongozi-wa-wiza
msanii wa bongo fleva hakeem 5 agoma kumuomba kiba msamaha | mishe mishe media » msanii wa bongo fleva hakeem 5 agoma kumuomba kiba msamaha msanii wa bongo fleva hakeem 5 agoma kumuomba kiba msamaha a+ msanii wa bongo fleva hakeem 5 amesema hawezi kumuomba ali kiba msamaha kwa kuwa hajafanya kosa lolote na alichoongea kuwa ali kiba anaroho mbaya aliongea ukweli akiongea ndani ya enewz amesema anaweza kuishi akiwa anafanya muziki na hata asipofanya hivyo anaweza akaishi hivyo hawezi kwenda kumuomba kiba msamaha kwa kuwa yeye hakutaka kufanya kolabo na kiba ila kiba ndiye alimuomba wafanye kolabo hata hivyo hakeem 5 hakusita kumjibu abby skills na kumuambia kuwa aache unafiki na aendelee na mambo yake kwani hajui chanzo na angekuwa anataka amani angekaa akawapatanisha kama ndugu na siyo kukaa na kuanza kumkandamiza kwenye vyombo vya habari
2016-12-03T21:49:23
http://www.africanmishe.com/2016/11/msanii-wa-bongo-fleva-hakeem-5-agoma.html
you are here homesportalex ferguson sijawahi kupigwa hivi kocha wa manchester united ‘man six’ sir alex ferguson anaugulia maumivu ya kipigo kikali ambacho timu yake ilikipata jana dhidi ya manchester city cha mabao 61 ferguson amesema kuwa hajawahi kupata kipigo kikali kama hicho kipigo hicho ni kibaya kwa man six katika kipindi cha miaka 81 katika maelezo yake ferguson amesema kuwa straika wa man city mario balotelli ni muuaji balotelli (super mario) alitusua mawili ya mwanzo yaliyoichanganya united ferguson alisema “ilikuwa ni siku yetu mbaya kuwahi kutokea ni matokeo mabaya katika historia yangu hata nilipokuwa mchezaji sifikiri kama niliwahi kufungwa 61 siamini matokeo “nimevunjwa vunjwa siwezi kuamini inatisha kuna mambo mengi ya kukatisha tamaa yaliyofuata kwenye chumba cha kubadilishia nguo” ferguson alisema timu yake ilikosa utambuzi wa kawaida baada ya kuruhusu mabao matatu kutoka dakika ya 90 alisema tulizingatia kushambulia matokeo yake ikawa wanatushambulia watatu dhidi ya wawili wakati huo nyuma tulibakiza wachezaji wawili wao wakawa watatu na hiyo ilikuwa ni kujitoa mhanga ni wehu nilifikiri kutokana na uzoefu wetu rio ferdinand patrice evra wangeweza kuwakabili washambuliaji watatu lakini tulizingatia kushambulia wakati mwingine ilitakiwa utambuzi wa kawaida ufanye kazi kwa wachezaji wetu baada ya kufungwa 41 kila mmoja alizingatia kushambulia tulipatikana ilikuwa siku yetu mbaya” kwa upande wa kocha wa man city robert mancini alisema kuwa kila mchezaji alijitahidi lakini mwisho alimwagia pongezi super mario “mario ni mchezaji mkubwa ana upungufu wa kawaida kutokana na umri wake lakini ukiniambia nichague wachezaji watano bora duniani mario ni mmoja wao yule ndiye alikuwa chachu ya kusambaratisha united” alisema mancini
2013-05-19T05:12:48
http://www.deiwakaworld.com/index.php?option=com_content&view=article&id=378:alex-ferguson-sijawahi-kupigwa-hivi&catid=37:sport&Itemid=160
2 years ago comments off on unatafuta ajira hizi hapa nafasi 10 za ajira kwa ajili yako ajira/biashara/habari 3 days ago ajira/habari/maisha 1 week ago ajira 4 weeks ago
2020-07-13T17:06:36
http://dar24.com/unatafuta-ajira-hizi-hapa-nafasi-10-za-ajira-kwa-ajili-yako/
vicky kamata blog mizengo pinda kuongoza semina kwa marc dc waziri mkuu mizengo pinda leo anarajiwa kuongoza warsha ya uhamasishaji kuhusu majadiliano ya ushirikiano kwa manufaa ya wote (smart partnership dialogue) kwa wakuu wote wa mikoa (marc) makatibu tawala na wakuu wa wilaya (madc) zote nchini akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa kaimu katibu mtendaji wa baraza la taifa la biashara (tnbc) samson chemponda alisema maandalizi ya warsha hiyo yamekamilika na itatoa uelewa mkubwa kuhusu majadiliano ya kitaifa yatakayofanyika januari mwakani hii ni warsha muhimu kwani itachochea kasi ya uhamasishaji wa majadiliano hayo kabla ya majadiliano ya kitaifa hapo januari na yale ya kimataifa hapo mei mwakani alisema chemponda kwa mujibu wa mtendaji huyo warsha hiyo ya wakuu wa mikoa makatibu tawala na wakuu wa wilaya itahamasisha kuhusu umuhimu wa midahalo ya aina hiyo kutoka ngazi ya wilaya na hatimaye mkoa kupitia mabaraza ya biashara ya mikoa (rbcs) na ya wilaya dbcs mchakato wa majadiliano ulishazinduliwa na rais jakaya kikwete tangu mei 29 mwaka huu alisema majadiliano hayo yatasaidia kupata mawazo na mbinu mbali mbali za kuibua vipaji vya vijana na kuvilinda ili kuleta msukumo wa kuimarisha masuala ya sayansi na teknolojia kaulimbiu ya majadiliano hayo ni leveraging technology for africas socioeconomic transfomation the smart partnership way ambayo inalenga kuleta mapinduzi ya uchumi kupitia teknolojia na kutoa msukumo wa utekelezaji wa sera mbalimbali kama vile kilimo kwanza mkukuta mkuza mkurabita na mpango wa maendeleo wa miaka mitano its like you read my mind you seem to know a lot about this like you wrote the book in it or somethingi think that you can do with a few pics to drive the message home a little bitbut other than that this is wonderful blog a great readi'll definitely be backmy web page do not click here
2016-12-08T20:03:47
http://vicky-kamata.blogspot.com/2012/11/mizengo-pinda-kuongoza-semina-kwa-ma-rc.html
badilisha dollar ya marekani (usd) na krone ya norway (nok) calculator rate conversion calculator usd kwa nok 5 dollar ya marekani kwa nok 5 usd kwa nok mpangilio wa sarafu dollar ya marekani kwa krone ya norway mwandishi wetu dollar ya marekani kwa krone ya norway ni wa sasa na viwango vya ubadilishaji kutoka 16072020 ingiza kiasi chochote cha kugeuzwa katika sanduku upande wa kushoto wa dollar ya marekani tumia swap sarafu button kufanya krone ya norway sarafu default bofya kwenye krone ya norway au dollar ya marekani ili kubadilisha fedha hizo na sarafu nyingine zote dollar ya marekani to krone ya norway kiwango cha ubadilishaji wa kiwango viwango vya kubadilishana vinasasishwa 16072020 1418 4645700 nok (kr) 1 usd = 9291400 nok 0107626 usd = 1 nok dollar ya marekani bila shaka kwa krone ya norway = 929 usd 1 114055 125802 074012 000935 010731 eur 087677 1 110300 064892 000820 009408 gbp 079490 090662 1 058832 000743 008530 cad 135113 154103 169975 1 001263 014499 jpy 10694750 12197897 13454242 7915441 1 1147624 nok 931904 1062883 1172357 689724 008714 1 usd to nok kiwango cha ubadilishaji wa kiwango dollar ya marekani ni sarafu katika timor ya mashariki ecuador el salvador visiwa vya marshall micronesia palau marekani zimbabwe krone ya norway ni sarafu katika norway ishara ya usd ni $ ishara ya nok ni kr kiwango cha ubadilishaji wa dollar ya marekani kilibadilishwa mwisho juli 16 2020 kiwango cha ubadilishaji wa sarafu ya krone ya norway kilibadilishwa mwisho # # kipengele juli 16 2020 cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu kipengele usd cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu kiwango cha fedha dollar ya marekani kwa krone ya norway = 929 $ 5 kr 4646 $ 10 kr 9291 $ 50 kr 46457 $ 100 kr 92914 $ 250 kr 232285 $ 500 kr 464570 $ 1000 kr 929140 kr 100 $ 1076 kr 250 $ 2691 kr 500 $ 5381 kr 1000 $ 10763 usd kwa brlusd kwa chfusd kwa cnyusd kwa hkdusd kwa idrusd kwa inrusd kwa jpyusd kwa mxnusd kwa rubusd kwa uah
2020-07-16T16:54:22
https://cdn.curvert.com/sw/usd-nok/5
hotuba yote ya waziri mkuu siku ya jana bungeni dodoma ~ mzee wa matukio daima home » » hotuba yote ya waziri mkuu siku ya jana bungeni dodoma hotuba yote ya waziri mkuu siku ya jana bungeni dodoma mheshimiwa spika naomba kutoa hoja kwamba kutokana na taarifa zilizowasilishwa leo katika bunge lako tukufu na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya katiba na sheria mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya bajeti na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya ukimwi zilizochambua bajeti ya ofisi ya waziri mkuu bunge lako sasa lipokee na kujadili taarifa ya mapitio ya utekelezaji wa kazi za serikali kwa mwaka 2016/2017 na mwelekeo wa kazi za serikali kwa mwaka 2017/2018 aidha ninaliomba bunge lako tukufu likubali kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zilizo chini yake pamoja na mfuko wa bunge kwa mwaka 2017/2018 mheshimiwa spika katika mwaka 2016/2017 bunge lako tukufu limeondokewa na wabunge wenzetu mheshimiwa hafidh ally tahir aliyekuwa mbunge wa jimbo la dimani ccm na mheshimiwa dkt elly marko macha aliyekuwa mbunge wa viti maalum chadema pia taifa lilimpoteza mheshimiwa samwel john sitta aliyekuwa spika mstaafu wa bunge la tisa la jamhuri ya muungano wa tanzania aidha nchi yetu imekumbwa na majanga na maafa yaliyosababisha vifo majeruhi na uharibifu wa mali ninaomba mwenyezi mungu awajalie nafuu ya haraka wale wote waliopata majeraha na kuwapumzisha kwa amani wale waliopoteza maisha amina ninatoa pole kwa familia za wote waliopoteza ndugu jamaa na marafiki pia ninatoa pole kwa mheshimiwa aida khenani aliyepata ajali ya kugongwa na pikipiki wakati akitoka bungeni tunamuombea apone haraka na aweze kurejea bungeni ili kuendelea na majukumu yake mheshimiwa spika nitumie fursa hii kumpongeza mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa makamu wa rais na mheshimiwa rais wa zanzibar kwa kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wao sisi tunaowasaidia tunajivunia uongozi wao mahiri uzalendo uliotukuka na dhamira njema waliyonayo kwa watanzania mheshimiwa spika katika mwaka 2016/2017 bunge lako tukufu limepokea na kuwaapisha wabunge wapya watano ambao ni mheshimiwa abdallah majura bulembo (mb) mheshimiwa anne killango malecela (mb) mheshimiwa juma ali juma (mb) mheshimiwa prof palamagamba john aidan mwaluko kabudi (mb) na mheshimiwa salma rashidi kikwete (mb) ninawapongeza sana waheshimiwa wabunge wapya kwa heshima waliyoipata ya kujumuika nasi kwenye bunge hili kama ilivyo ada tutatoa ushirikiano unaotarajiwa kwa waheshimiwa wabunge hawa ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi na tija kipekee ninampongeza mheshimiwa prof palamagamba john aidan mwaluko kabudi (mb) kwa kuteuliwa kuwa waziri wa katiba na sheria mheshimiwa spika nitumie fursa hii kuwashukuru wajumbe wa kamati za kudumu za bunge kwa kazi kubwa ya kupitia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara mikoa wakala idara za serikali zinazojitegemea na mamlaka za serikali za mitaa ninawashukuru kipekee sana wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya katiba na sheria inayoongozwa na mheshimiwa mohamed omary mchengerwa mbunge wa rufiji kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya ukimwi inayoongozwa na mheshimiwa dkt faustine engelbert ndugulile mbunge wa kigamboni na kamati ya bajeti inayoongozwa na mheshimiwa hawa abdulrahman ghasia mbunge wa mtwara vijijini kwa kutoa mchango mkubwa wakati wa maandalizi ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya ofisi ya waziri mkuu pia niwapongeze wenyeviti na makamu wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge kwa kuongoza kwa umahiri mkubwa kamati zao wakati wa kupitia makadirio ya sekta zote maoni na ushauri wao umesaidia sana kuboresha makadirio ya bajeti ya serikali kwa mafungu yote mheshimiwa spika niruhusu pia niwashukuru waheshimiwa mawaziri na naibu mawaziri katibu mkuu kiongozi mwanasheria mkuu wa serikali makatibu wakuu wakuu wa mikoa na wilaya wakuu wa idara mashirika na taasisi zote za serikali kwa ushirikiano wanaoendelea kunipa katika kutekeleza majukumu yangu aidha ninawashukuru wafanyakazi wote wa serikali na taasisi zake chini ya uongozi wa katibu mkuu kiongozi kwa kukamilisha bajeti ya serikali ya mwaka 2017/2018 mheshimiwa spika kipekee ninamshukuru mheshimiwa jenista joakim mhagama (mb) mbunge wa peramiho waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge kazi ajira vijana na wenye ulemavu) mheshimiwa anthony peter mavunde (mb) mbunge wa dodoma mjini na naibu waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (kazi ajira na vijana) kwa ushirikiano wao mkubwa katika utekelezaji wa majukumu ya ofisi ya waziri mkuu aidha ninamshukuru mheshimiwa dkt abdallah possi aliyekuwa naibu waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu kwa kazi kubwa aliyofanya wakati akiitumikia nafasi hiyo ninamtakia kazi njema kwenye jukumu lake jipya la kuiwakilisha tanzania nchini ujerumani vilevile ninawashukuru wafanyakazi wote wa ofisi ya waziri mkuu chini ya uongozi wa makatibu wakuu dkt hamisi h mwinyimvua bwana eric f shitindi na aliyekuwa katibu mkuu bwana uledi a mussa kwa ushauri wao wa kitaalam kwangu na kwa waheshimiwa mawaziri mheshimiwa spika ninazishukuru pia nchi marafiki taasisi na mifuko ya fedha duniani mashirika ya umoja wa mataifa madhehebu ya dini na mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kuunga mkono jitihada za serikali katika kujenga uchumi wa nchi yetu misaada na mikopo iliyopatikana kwa wakati imechangia kutekeleza miradi ya maendeleo na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi mheshimiwa spika ninapenda kutumia fursa hii kuwashukuru kwa dhati wananchi wa jimbo la ruangwa kwa kuendelea kuniunga mkono na kuielewa vizuri dhamana ya kitaifa niliyonayo ya kusimamia utendaji wa serikali katika sekta zote na kuwa kiongozi wa shughuli za serikali bungeni mwisho ninaishukuru familia yangu hususan mwenza wangu mpendwa mary na watoto wetu kwa upendo dua na kuendelea kunitia moyo ili nitekeleze kwa ufanisi zaidi majukumu yangu ya kitaifa asanteni sana
2017-10-18T05:22:36
http://www.matukiodaima.co.tz/2017/04/hotuba-yote-ya-waziri-mkuu-siku-ya-jana.html
straika kikapu taifa wapata kocha kutoka marekani kikapu taifa wapata kocha kutoka marekani shirikisho na mchezo wa kikapu tanzania (tbf) leo kimemtangaza albert sokaitis kutoka katika chuo kikuu cha post kilichoko marekani kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya mchezo huo sokaitis ambaye atakuja nchini pamoja na msaidizi wake jocquis sconiers pia atakinoa kikosi cha timu ya taifa ya wanawake ya mchezo huo akizungumza jijini dar es salaam leo makamu wa rais wa tbf phares magesa alisema kuwa makocha hao watawasili nchini septemba 21 mwaka huu na siku inayofuata wataanza rasmi kazi ya kufundisha hapa nchini magesa alisema kuwa jukumu la kwanza la makosa hayo itakuwa ni kuziongoza vyema timu za tanzania katika mashindano ya ukanda wa tano yatakayofanyika hapa nchini mwezi desemba mwaka huu kwa kushirikisha timu za nchi 12 za afrika alisema kwamba lengo la kumleta kocha huyo mwenye uzoefu wa kufundisha mchezo huo kwa miaka 24 ni kuinua kiwango cha mpira wa kikapu nchini na atakapokuwa hana mashindano atatoa mafunzo wa makocha wazalendo wa klabu mbalimbali za hapa nchini tunaushukuru ubalozi wa marekani hapa nchini ndio umefanikisha kutoa tiketi za makocha hao na malazi yao wakati tbf tukiendelea na mazungumzo na serikali kwa ajili ya kutekeleza ahadi yake ya kugharamia makocha wageni alisema magesa aliongeza kuwa tbf imejipanga kuona timu zake zinafanikiwa kufuzu tiketi ya kushiriki mashindano ya kimataifa yajayo ikiwamo ya afrika na olimpiki alisema kwamba endapo mipango na mazungumzo yatakwenda vizuri wanatarajia kukaa na makocha hao kwa muda wa miaka minne ili waweze kutekeleza programu za kuinua viwango vya wachezaji chipukizi
2017-08-23T17:25:54
http://straikamkali.blogspot.com/2012/09/kikapu-taifa-wapata-kocha-kutoka.html
hakimu mfawidhi wa mahakama ya mwanzo wilaya ya korogwe mh nemes mombury amewapisha wenyeviti pamoja na wajumbe wa mitaa na vijiji katika halmashauri ya mji wa korogwe baada ya kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika novemba 24 mwaka huu kiapo hiki kilifanyika novemba 28 mwaka huu katika ukumbi wa mikutano uliopo halmashauri ya mji wa korogwe wakati wa kiapo mh mombury alitoa nasaha kwa viongozi wote wa mitaa na vijiji kuwahudumia wanachi bila ya kujali itikadi za vyama vya siasa mh mombury aliongeza kusema kuwa wananchi wanahitaji kupata maendeleo na sio mvutano wa vyama vya siasa pia aliwasisitiza viongozi kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha wananchi wako salama wakati wanafanya shughuli zao za maendeleo katika jamii nae bwana felix pima ambaye ni mwenyekiti wa mtaa wa mtonga alisema anafuraha kuwa kupata ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu bwana pima aliongeza kusema kuwa amejipanga vizuri kuhakikisha wananchi wa mtonga wanapata maendeleo hususani huduma za jamii kwa kushirikiana na idara za husika kwa upande mwindine bi mwanaidi mussa ambaye ni mjumbe wa mtaa wa memba amesema ushindi wake ni zawadi kwa wanachi wa memba hivyo atawapa ushirikiano wa kutosha katika kuleta maendeleo watumishi wa mji wa korogwe wapata mafunzo ya kupambana na ukimwi
2020-01-18T15:58:17
http://www.korogwetc.go.tz/new/wenyeviti-wa-mji-wa-korogwe-waapishwa-baada-ya-ccm-kushinda-100
tume ya mipango yatemebelea shirika la maendeleo ya viwanda vidogovidogo (sido) | h@ki ngowi mkurugenzi mkuu wa shirika la maendeleo ya viwanda vidogovidogo (sido) omar jumanne bakari (wa tatu kulia) akitoa maelezo kwa timu na thomas nyindopicha na tume ya mipango h@ki ngowi tume ya mipango yatemebelea shirika la maendeleo ya viwanda vidogovidogo (sido) https//2bpblogspotcom/gom4zvddsqg/vs2tj53anii/aaaaaaadfvg/bx_wpejmkqy/s640/dsc00969jpg https//2bpblogspotcom/gom4zvddsqg/vs2tj53anii/aaaaaaadfvg/bx_wpejmkqy/s72c/dsc00969jpg http//wwwhakingowicom/2016/02/tumeyamipangoyatemebeleashirikalahtml
2018-02-19T17:52:56
http://www.hakingowi.com/2016/02/tume-ya-mipango-yatemebelea-shirika-la.html
mabasi ya mwendo kasi kwenda chini ya 40km/hr jamiiforums mabasi ya mwendo kasi kwenda chini ya 40km/hr thread starter xjamex1 xjamex1 hivi kitendo cha sirikali kulimit mabasi ya mwendo kasi yasizidi speed ya 40km/hr mnaonaje hiki wakuu ni nzuri ajali zimetuchosha napata shaka kama kweli serikali imelimit mwendo wa 40km/hr kwa mabasi ya mwendo kasi sababu maana halisi yaabas hayo ni kuokoa muda na kupunguza foleni darsasa kama ni kweli wamelimit hilo ni jambo la kushangaza kwa aliyelimit yani wakati wenzetu wa dunian wanafanye juhudi kuokoa muda wa kufanya shughuli zaosisi tuna fanya juhudi kuchelewesha muda very sad likes kisu cha ngariba and ndege john 3335 3516 280 nadhani kulimit kwake ni kule vituo kuwa karibu karibu sasa namba zinazidi kusomeka tuu tupo kwenye namba tasa haigawanyikii life to be said kwa siku ya jana na leo madereva wanashuka mpaka 20km/hr wanaogopa pgwa fine lakini vpi kuna umaana gani wa kutengea barabara zake kuliepuka hlo xjamex1 said nini maana ya huo mradi sasa 1091 1870 280 mie naona lengo la mwendo kasi halijafikiwa bado maana sasa anaepanda daladala za kawaida nyote mnafika muda mmoja ama mtapisha kwa dakika chache tu sasa sijui kulikua na umuhimu gani wa kugharamika kujenga miundo mbinu ya mwendokasi bora wangepanua tu barabara wakatuacha na daladala zetu kwanza hao mwendokasi wamekua wakitoa huduma mbovu sana kwa kuringia monopoly waliopewa abiria wanabanana huku mabasi yame paki pale makao makuu yao kwa mtazamo wangu mie naona huu mradi wa mwendokasi ni misuse of resource tu likes xjamex1
2019-03-25T23:48:09
https://www.jamiiforums.com/threads/mabasi-ya-mwendo-kasi-kwenda-chini-ya-40km-hr.1156727/
mukaitebuha cwañi mpo yetuna ka kufitisisa yamifile mulimu ya tiululo mukaitebuha cwañi mpo yetuna ka kufitisisa yamifile mulimu lilato lanani lona kreste lalususueza naashwezi batu kaufela kuli babapila batuhele kupilela bona bañi kono bapilele yena yanaa bashwezi2 makorinte 514 15 mpo yetuna hahulu yelufilwe iswanela kulususueza kubonisa buitebuho jesu naakoñomekile butokwa bwa kuitumelanga hasaafolisize baana baalishumi bane bakula butuku bone busina kalafo ka nako yani yomuñwi kwa baana baalishumi bani akuta anzaa kanyisa mulimu ka linzwi lelituna jesu naabulezi kuli bane bakenisizwe kaufela neli baalishumi nji cwañi cwale ba 9 bona bakai (luka 171217) luitutañi kubunolo hahulu kulibala kuitumela ku babañwi habaluezeza lika zende tiululo ki mpo yesakoni kubapanyiwa kwa mpo ifi kamba ifi ki yona mpo yetuna ka kufitisisa yelufilwe kacwalo mukona kubonisa cwañi buitebuho bwamina kwa mpo yamifile mulimu kuzwelapili kuziba mufani mpo ya tiululo haitalusi kuli mutu ki kale afiwa bupilo bobusafeli kono jesu naabulezi cwana hanaalapela ku mulimu kuli bafumane bupilo bobusa feli batokwa kuzwelapili kukuziba wena mulimu anosi wa niti ni yene ulumile yena jesu kreste (joani 173) haiba mutu amibulelela kuli muuna yomuñwi naakile apilisa bupilo bwamina hane musali banana kana nemusike mwatabela kuziba zeñata ka za muuna yo ni libaka hanaa mipilisize jehova mulimu yanaamifile mpo ya tiululo yepilisa bupilo bwamina ubata kuli mumuzibe ni kuba ni silikani sesinde ni yena bibele isusueza kuli musutelele ku mulimu mi ukasutelela ku minajakobo 48 mubonise tumelo kwa tiululo yabonisa tumelo ku mwana uba ni bupilo bobusa feli (joani 336) kubonisa tumelo kutalusañi kutalusa kuunga muhato ka misebezi yamina (jakobo 217) ki ufi muhato omutokwa kuunga mpo ikona feela kuba yamina haiba mueza buikatazo ni kuiamuhela kacwalo mutokwa kueza buikatazo ni kuamuhela tiululo ka mukwa ufi muitute kuziba kupila ka nzila yetabisa mulimu mi mupile cwalo * mulapelange ku mulimu kumukupa kuli amiswalele ni kuli amituse kuba ni lizwalo lelilukuluhile hamulapela ku mulimu mube ni buikolwiso bwa kuli tiululo ikalutusa kupila mwa kozo buiketo ni tabo kuya kuilemaheberu 111 mufumanehange kwa kupuzo ya lifu la jesu jesu naatomile kezahalo yeswanela kueziwanga ka silimo ya kuluhupulisa za tiululo jesu naabulezi cwana ka za kezahalo yeo yeluswanela kuhupulanga muezange cwalo kuli munihupule (luka 2219) lipaki za jehova bakaeza mukiti wa kuhupula lifu la jesu la bubeli april 11 2017 lizazi hase lilikezi ka nako ya mukiti wo okatanda ibato ba hora iliñwi kukaba ni ngambolo yetalusa butokwa bwa lifu la jesu ni molilutuseza ka nako ya cwale ni ka nako ya kwapili silimo sesifelile batu babato ba 20 milioni nebafumanehile kwa kupuzo mwa lifasi kaufela lwamimema kuli mutokopana ni luna ili kutobonisa buitebuho kwa mpo yetuna ka kufitisisa yalufile mulimu ^ para 7 nzila yende hahulu yelukona kuzwelapili kuziba mulimu ka yona ni kusutelela ku yena ki kuituta linzwi lahae yona bibele mwakona kuituta mwakuezeza cwalo ka kubuza yomuñwi wa lipaki za jehova kamba ka kukena fa webusaiti yaluna ya wwwjworg
2018-03-17T16:17:04
https://www.jw.org/loz/lihatiso/limagazini/wp201703/itebuha-cwa%C3%B1i-tiululo/
yule ni damu yangu kabisa | jamiiforums | the home of great thinkers yule ni damu yangu kabisa discussion in 'jf doctor' started by kakajambazi may 7 2012 ivi kwanini mwanao ni damu yako na sio dna yako damu inahusikaje apo wakati sperms ndo zilihusika kama ni damu kwann mara nyingi group hazilingani basi wewe uanze kusema yule ni dna yangu jee kuna tatizo hapo utoto mwingine haufichiki unataka kuiba mtoto maana hilo jina hahaha anyway huu ni msemo tu mfano kuna mwingine anaweza kukuambia nimekupenda au kukuchukia toka moyoni hii haimaanishi kuwa moyo unahisia lkn ni njia moja wapo nzuri ya kufikisha ujembe yaani jina lako wewe kujiita jambazi lazima unahusika na hayo ya ujambazi usiwe na wasi weye mwite wako unavyosuggest mkuu production ni genetics inayotokana na genes damu huwa na chembe chembe za genes ambazo ndizo zinazotoa kiumbe dnadeoxyribo nucleic acid is a nucleic acid containing the genetic instructions used in the development and functioning of all known living organisms ndiyo maana dna test hufanywa kwa kutumia hata mate au fluids za binadamu hivyo basi worry not damu ndiyo chanzo cha reproduction of living things shaabukda kwa maoni yangu hilo ni suala la lugha tu mkuu (waziri () nundu alisema 'figurative') ni kama vile mtu akisema 'roho ngumu' au 'inavunja moyo' au 'unajipa moyo' nk zote hizi ukitaka kwenda kwenye maana ya neno kwa neno unaweza ona kuwa havi make sense kabisa unanikumbusha jamaa mmoja akiudhiwa anasema 'na huyu ni bao kama mabao mengine' kwa kifupi ni 50 kwa kifupi ni 50click to expand javascript acha uchokozi hahahaaa kuna baba mmoja alimkataa mwanae kwa sababu alikuwa na group tofauti la damu yaani baba na watoto wake 5 wlikuwa na group o na yule mmoja akawa na group a baba akasema huyo wa group a sio mwanae na hivi sasa ana ugomvi mkubwa na mkewe akiamini alizaa nje ya ndoa ivi kwanini mwanao ni damu yako na sio dna yako damu inahusikaje apo wakati sperms ndo zilihusika kama ni damu kwann mara nyingi group hazilinganiclick to expand mtoto wako lazima awe na sehemu () ya dna yako ingawa inawezekana akawa na blood group tofauti na wewe kinachoangaliwa ni pairing of chromosomes hv ulisoma arts eeeh hapo zamani hakukuwa na kipimo cha dna kulikuwa na kipimo cha damu ikiwa mumefanana groups basi ndiyo mwanao ikiwa tofauti basi siye lakini siku hizi mambo yamekwenda mbele zaidi na vipimo vya dna ndiyo vimeshika kasi na ni vya uhakika zaidi ndiyo maana ukaja msemo 'huyu ni damu yangu' basi ukitaka kujua kama mtoto ni wako au la toa sperm zako na zake ukapime basi ukitaka kujua kama mtoto ni wako au la toa sperm zako na zake ukapimeclick to expand 'astaghfirullah' mtoto mchanga na ikiwa ni wa kike je anatoa nini utoto mwingine haufichikiclick to expand ivi na ww ulikuwa the fastest of all 100000 sperm shaabukda said 'astaghfirullah' mtoto mchanga na ikiwa ni wa kike je anatoa niniclick to expand ndo aseme yeye mtaalamu unataka kuiba mtoto maana hilo jina hahaha anyway huu ni msemo tu mfano kuna mwingine anaweza kukuambia nimekupenda au kukuchukia toka moyoni hii haimaanishi kuwa moyo unahisia lkn ni njia moja wapo nzuri ya kufikisha ujembeclick to expand sa kwann tunaongea vitu ambavyo kiuhalisia sivyo mada nyingine mnatuchanganya tu esp jtatu jamani mtu kama umesoma social science ni vema ukawa mpole tu ukasubiri wataalam wakadadavua vitu kuliko kuparamia sasa kuna ubaya gani kusema damu yangu ulitaka watu tuseme huyu ni shhwa zangu nyambf umekamilisha siku yangu
2017-07-23T03:32:55
https://www.jamiiforums.com/threads/yule-ni-damu-yangu-kabisa.263270/
 watu wawili tu ndio hutaweza kuwa'bloku' facebook teknokona teknolojia tanzania you are athome»intaneti»facebook»watu wawili tu ndio hutaweza kuwabloku facebook by siyan on september 12 2017 facebook intaneti mtandao wa kijamii http//candyshoppebiz/about/store16/ mwanzoni kabla ya mark zuckerberg kumuoa priscilla ni yeye pekee ndiye ambaye hakukuwa na uwezekano wa kumbloku mark huandika taarifa nyingi kuhusu maboresho ya facebook na taarifa mbalimbali kuhusu maisha yake binafsi au mambo mengine ya kijamii see url kublock mtu ni njia mojawapo ya kutotaka aone posti zako wala zake njia hii unaweza kufanya asiwe rafiki yako (unfriend) au kukufuata (unfollow) ni kwamba unaweza kumblock mtu yeyote facebook kasoro yeye na mkewe tu ukiingia kwenye ukurasa wake option ya kumbloku ipo lakini haifanyi kazi ukibonyeza block inakuambia block error mark zuckerberg na priscilla chan walikutana mwaka 2003 wote wawili wakiwa wanafunzi chuo kikuu cha havard na mwaka 2012 walioana baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa kipindi kirefu kama utapenda kujaribu kumbloku mark zuckerberg na mkewe priscilla chan ingia katika kurasa zao unajaribu uone kama utaweza je huu si udikteta flani hivi 😆
2018-08-14T06:57:21
http://teknokona.com/watu-wawili-tu-ndio-hutaweza-kuwabloku-facebook/
dk mpango azionya taasisi za serikali zisizotumia mfumo wa kieletroniki kukusanya mapato mwanaharakati mzalendo ™ dk mpango azionya taasisi za serikali zisizotumia mfumo wa kieletroniki kukusanya mapato krantz 70700 am habari na josephine majura na ramadhani kissimba wfm arusha by krantz muda 70700 am
2019-08-20T13:38:51
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/02/dk-mpango-azionya-taasisi-za-serikali.html
askofu mkuu jimbo katoliki aachia ngazi | raha za walimwengu home » »unlabelled » askofu mkuu jimbo katoliki aachia ngazi askofu mkuu jimbo katoliki aachia ngazi arusha askofu mkuu wa jimbo kuu katoliki la arusha joseph lebulu amengatuka katika nafasi yake hiyo leo baada ya baba mtakatifu francis kukubali ombi lililowasilishwa kwake katibu mkuu wa tec raymond saba amethibitisha na kusema kuwa papa francis amemteua askofu isaac massawe wa jimbo katoliki moshi kuwa askofu mkuu mpya wa jimbo kuu la arusha kwa mujibu wa redio vatican askofu mkuu mteule massawe alizaliwa juni 10 1951 huko mango jimbo katoliki la moshi alipata upadri juni 291975 na novemba 21 2007 aliteuliwa na baba mtakatifu mstaafu benedict xvi kuwa askofu wa jimbo katoliki moshi na aliwekwa wakfu februari 222008 na kardinali polycarp pengo askofu mkuu wa jimbo kuu la dar es salaam akisaidiana na askofu mkuu lebulu na askofu amedeus msarikie (sasa marehemu) wa jimbo katoliki la moshi hivi karibuni aliteuliwa kuwa msimamizi wa kitume jimbo katoliki la mbulu
2018-04-22T04:55:17
http://www.rahatupu.us/2017/12/askofu-mkuu-jimbo-katoliki-aachia-ngazi.html
biteko tume ya madini andaeni utaratibu biashara ya madini ifanyike kikanda | malunde 1 blog home » habari » biteko tume ya madini andaeni utaratibu biashara ya madini ifanyike kikanda biteko tume ya madini andaeni utaratibu biashara ya madini ifanyike kikanda waziri wa madini doto biteko ameiagiza tume ya madini kuandaa haraka utaratibu utakaowawezesha wafanyabiashara wa madini nchini kufanya shughuli zao katika ngazi ya kanda tofauti na ilivyo sasa ambapo taratibu zinawataka kufanya shughuli hizo katika mikoa zilipotolewa leseni zao aliyasema hayo septemba 7 2019 wakati wa mkutano wa wafanyabiashara hao na wizara uliofanyika jijini dodoma na kuhudhuriwa na viongozi na wataalam wa wizara na taasisi zilizo chini yake aidha waziri biteko alieleza kuwa endapo wadau hao watafanya shughuli zao kwa kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa serikali kupitia wizara ya madini itaendelea kutanua wigo kuwawezesha kufanya biashara ya madini katika maeneo mengi zaidi waziri biteko alisisitiza kuhusu ndoto ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john magufuli ya kutaka rasilimali madini kulinufaisha taifa na watanzania na kueleza kuwa ndoto hiyo ndiyo iliyopelekea kufanyika kwa mageuzi mkubwa katika sekta ya madini alikiri kuwa kabla ya mabadiliko hakukuwa na mfumo rasmi uliowaonesha wachimbaji kujua sehemu sahihi ya kuuzia madini yao vivyo hivyo kwa wanunuzi wa madini suala ambalo lilipelekea kuwepo vitendo vya utoroshaji madini jambo ambalo lilionekana ni la kawaida waziri biteko aliwataka wafanyabishara hao kuyatumia masoko yaliyoanzishwa katika mikoa mbalimbali nchini na kusisitiza kuwa serikali itaendelea kudhibiti vitendo vya utoroshaji madini na kueleza kuwa waliobainika kufanya vitendo hivyo wataanza kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na hivyo kuwataka kuwa chanzo cha mabadiliko ili kuzuia vitendo vya utoroshaji madini tumekutana mpaka na wakemia wanaotengeneza madini feki kuna wengine wataanza kufikishwa kwenye vyombo vya sheria tunataka chumba cha madini kiwe na hewa ya kutosha alisisitiza biteko akijibu hoja zilizotolewa na mwenyekiti wa chama cha wafanyabishara wa madini ya vito (tamida) sam mollel kuhusu changamoto ya ucheleweshaji wa vibali vya kusafirisha madini nje ya nchi waziri biteko aliwataka kuwa na subira wakati serikali ikishughulikia suala hilo aidha akijibu changamoto ya masonara kusimamiwa na wizara nyingine waziri biteko aliwataka wafayabiashara hao kuwasilisha maoni kuhusu suala hilo kama ilivyofanyika katika kuandaa kanuni za masoko na kuongeza kwamba tunataka kuwa wizara ambayo inatatua matatizo naye naibu waziri wa madini stanslaus nyongo alisisitiza kuhusu suala la kulipa kodi kama inavyowapasa na kuwataka kuyafahamu mabadiliko yaliyofanywa katika sekta na kuwa sehemu ya mabadiliko hayo kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini dustan kitandula aliipongeza wizara kwa kazi ya kuwalea wadau wa madini na kueleza kwamba miaka ya nyuma mambo kwenye sekta hayakuwa yakienda vizuri aidha aliwapongeza wafanyabiashara wa madini na kueleza kuwa hivi sasa wameanza kubadilika huku tabia ya kufanya biashara ya madini kiholela ikianza kutoweka sisi kamati tunapoona mambo yanakwenda vizuri mnaturahisishia kazi yetu alisisitiza mwenyekiti wa kamati kikao hicho kimefanyika ikiwa ni jitihada za wizara za kuendelea kutoa elimu kwa wadau wa madini ikiwemo kusikiliza na kutatua changamoto kwenye sekta ili kuwezesha biashara ya madini kufanyika katika mazingira mazuri yanayoleta tija kwa pande zote aidha sambamba na mkutano huo imefanyika semina kwa wabunge wa kamati ya kudumu ya nishati na madini kubwa ikiwa ni serikali kueleza nia yake ya kukifanya chuo cha madini dodoma kulelewa na chuo kikuu cha dar es salaam akifunga semina hiyo mwenyekiti wa kamati dustan kitandula alitaka mchakato wa wa kukilea chuo hicho kutochukua muda mrefu na alikitaka kijisimamie chenyewe ndani ya muda mfupi baada ya kulelewa na kutoa elimu bora pia alitaka kozi ya mafundi mchundo kuwekewa msingi mzuri pamoja na hayo mwenyekiti wa kamati aliitaka wizara kukiongezea nguvu kituo cha jimolojia tanzania (tgc) ikiwemo bajeti ya kutosha kukiwezesha kuboresha miundombinu yake
2019-09-23T13:03:53
https://www.malunde.com/2019/09/biteko-tume-ya-madini-andaeni-utaratibu.html
habari na matukio dkmabodi akemea usaliti ndani ya ccm zanzibar dkmabodi akemea usaliti ndani ya ccm zanzibar ni naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar dkabdalla juma mabodi akizungumza na viongozi wapya wa ngazi za matawi hadi jimbo waliochaguliwa hivi karibu kupitia uchaguzi wa chama hicho huko katika tawi la ccm ijitimai mwanakwerere wakati akihitimisha ziara ya kuimarisha chama katika majimbo ya unguja spika job ndugai akutana na kuzungumza na balozi wa uholanzi nchini tanzania
2018-06-18T13:35:29
http://www.kajunason.com/2017/09/dkmabodi-akemea-usaliti-ndani-ya-ccm.html
kuna nini tbl ajira za wazawa mashakani | jamiiforums kuna nini tbl ajira za wazawa mashakani thread starter blasio kachuchu blasio kachuchu wakati serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya viwanda kufanikisha ajenda yake ya tanzania ya viwanda bado kuna dalili za sekta hiyo badala la kukua na kuwainua watanzania baadhi ya makampuni yana muelekeo wa kuwakandamiza wafanyakazi wake watanzania na kunufaisha raia wa kigeni moja ya kampuni kubwa nchini ambayo hivi sasa inawanyima fursa wafanyakazi wake wazawa wasomi na wenye uzoefu wa kazi na kukumbatia wageni ni tanzania breweries limited (tbl) chini ya kampuni ya abinbev kampuni imefikia hatua ya kuajiri raia kutoka afrika kusini kuongoza vitengo vya logistic mauzo na masoko wakati kuna watanzania wengi wengi ujuzi na uzoefu wa fani hizo jambo la kujiuliza raia wa kigeni ambaye hata hajui jiografia ya nchi hii atawezaje kusimamia uuzaji wa bia katika mikoa wilayani mpaka vijijini ambako wapo watumiaji wa bidhaa za kampuni mbona kuna makampuni mengi nchini kama azam mo viwanda vya soda nk unakuta bidhaa zake zinapatikana mpaka vijijini na kazi ya usambazaji na masoko inafanywa na watanzaniana hata tbl inao wenye ujezi suala la kuuza bia ndilo waswahili wanaonekana hawana uwezo wageni wanaotambua maeneo kwa kutumia ramani za google ndio watajua au kuna ajenda ya siri ya kuua viwanda na kutorosha fedha nje ya nchi kwa urahisi baadhi ya wafanyakazi wa kigeni tbl ambao wamekabidhiwa jukumu la kuongoza vitengo wakati watanzania wenye sifa na ujuzi wa kufanya kazi hizo ni lise kruger (afrika ya kusini)logistic director doreen tumureebile (afrika ya kusini)mkurugenzi wa mauzona uendelezaji wa masokobruno zambrano amekuwa akifanya kazi kama mkuu wa kitengo cha fedha japo amekuwa akitambulishwa kama mkurugenzi wa uendelezaji biashara pia yuko mkurugenzi wa masoko neil hobkirk ambaye amekuwa akifika nchini mara kwa mara kama mtalii kufuatilia masuala ya masoko kama vile hapa nchini hakuna mtu kwa kufanya kazi hizo swali la kujiuliza wageni kama hawa ambao wanakuja kufanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania nani anawapatia vibali vya kufanya kazi nchiniuhamiaji mko wapo nbaa mkoa wapi wakati umefika wa serikali kuwa macho na wawekezaji ambao wanaangalia zaidi maslahi yao na kukandamiza watanzania na kuwakatisha tamaa sambamba na kuua taaluma zao baadhi ya wawekezaji wanakuja na kivuli cha uwekezaji wakati wanafanya ulaghai na kunufaika na raslimali walizozikuta mfano mwekezaji anayeendesha kiwanda hiki tangu aingie nchini amekuwa akiongelea suala la kujenga kiwanda cha bia mkoani dodoma lakini hadi sasa hakuna chochote kinachoendelea reactions zipompa luteganoc dexterous and 2 others hivi unataka mwekezaji aangalie maslahi yako ile ni biashara mmewaibia sana wameona wakae wenyewe na ndo maana wamepewa work permit reactions extrovert threesixteen himself charity24 and 3 others blasio kachuchu mkuu pole kwa yanayowakuta badala ya kulalamika kuhusu hao jamaa kujenga kiwanda cha bia huko dodoma ilihali anawapa watu wa nje kazi badala ya wazawa ni vyema mkajipanga nyie wazawa mkajenga hicho kiwanda cha bia tena ikibidi mjenge hicho kiwanda na waziri wa viwanda ili atekeleze sera yao vizuri hao wazungu wanatajua hivyo sehemu nyeti wanawapa wenzao maana wanajali kazi nani ataajiri mtu kila mwezi anaenda kuzika mara kupiga deal na uhuni wa aina hiyo fungueni cha kwenu wazawa mpige siasa na gawio mtoe serikalini reactions damian j ntundagi extrovert matola and 4 others watanzania saa nyingine tumezidiuvivu kutokujituma wizi nkila sio wote bado kuna watu waadilifu na wachapa kazisasa huwa najiuliza serikali huwa inatoaje work permit kwa watu wengi hivyo kwenye kiwamda kimojakwanza kutokana na utandawazi tbl ingekuwa inwaweka watu hukohuko walipo kwa kuwa wakuu wa vitengo na hapa nchini wakaweka watanzania kuwa chini yao bika kutakiwa kuja tanzaniawamerikani huo wanatumia hii system sana reactions extrovert dexterous and root blasio kachuchu ownership ya tbl ikoje hao wageni wanapataje vibali vya kazi kama watanzania wanaoweza kufanya hizo kazi wapo reactions extrovert dexterous general mangi and 3 others roho mbaya hiyo kusema kweli muwekezaji wa sasa tbl ni hatari serikali tunaomba imulike tochi pale reactions extrovert dexterous and himawari wewe ni mvivu na mwizi sasa nafasi yako imechukuliwa sheria ya kubana hayo mambo ipo japo siikumbuki vizuri kuna nafasi chache ndio zinatakiwa zishikwe na wageni na hata hizo work permit zina mda nahisi sio zaidi ya miaka 3 blasio kachuchu we are so keenly with industry developmentswhat we can say is hongera sana rais magufuliwe works only with targets as a normal situation to any one who wish or will to perform wellhatutaweza kuwavumilia watu wasioweza kuendanda na kasi yetu/ asante sana sanamajita freshkama kawa kama dawa hujaelewa mada tatizo kwani hapa bongo hakuna waadilifu na wachapa kazi viwanda vya bia sasa hivi viko ktk ushindani wa hali ya juusasa ktk kitengo cha marketing lazima waweke watu wenye uwezo hasasidhani kama ni issue ya ubaguzi wa rangi au uzalendo binafsi huwa naona katika watu ambao hawahitaji kulalamikia ajira ni watu wa marketingkwasababu biashara nyingi zinahitaji kuuzwa/masokokama unauwezo wa kitafuta masoko/kuuza tayari una ajira reactions damian j ntundagi and niccolo machiavelli serengeti lite inaifanya tbl isiwe vizuri ipumue shidayani kama vile pepsi walivyokuja kuifunika coca cola reactions extrovert dexterous and niccolo machiavelli atlantis voyager mkuu wachaga na wakaskazini wengine wamekuwa retrenched ama katika shirika lilijaa bwashee ni tbl kuanzia management mpaka madereva trucks wote meku aisee huu uzaifu upo tanzania tuu hata uganda huwezi kwenda kuwekeza halafu ukajaza wageni makaburu watanyimwa vibali kuna njia nyingi za kuwabana wasijae ikiwemo kuverify vyeti vyao tcu succession plan kupewa vibali vya mwaka mmojammoja na kuwanyima vibali lakini kama wanaingilia mlango wa tic halafu wawe na wings kama wawekezaji wachina wanavyofanya basi utaona mpaka storeman atakuja mkaburu this shows somebody at ministry of labour hafanyikazi ipasavyo au anachukua bahaasha chini ya meza reactions extrovert zipompa niccolo machiavelli and 1 other person wapo wangapi basi waliopo wote waende huko tbl waswahili wengi ni wanasiasa blasio kachuchu said idumu serikali ya awamu ya 5 chini ya mtukufu dr john pombe joseph magufuli i was brewer at tbl kitengk cha marketing na sales kilijaa wezi na wapigaji vijana wa tz tukipewa madaraka tunafikiria kuiba tu na kujaza vitambi acha makaburu watunyooshe reactions root extrovert ndebile and 4 others okiwira nazani wametofautiana na kiwango cha uwizi masharti ya mgeni kupata work permit pamoja na kwamba ujuzi wake uwe haupatikani hapa nchini sasa kama ni kweli mtu wa logistic na marketing ni mgeni hapo siyo sawa nafikiri idara ya kazi watafanyiakazi malalamiko haya ikitiliwa maanani juzi tu mwanajeshi ameteuliwa kuwa kamishna wa kazi kwa nafasi za directors inaruhusiwa kampuni kuajiri nje huko maziwani mwaka huu kuna nini habari na hoja mchanganyiko 78 may 25 2020 sukari madukani hamna tatizo ni nini wakati tayari kuna bei elekezi toka serikalini habari na hoja mchanganyiko 163 apr 29 2020 ving'ora vya ambulance vimeongezeka maradufu dar es salaam kuna nini habari na hoja mchanganyiko 71 apr 22 2020 d kuna nini kwenye sukari tena habari na hoja mchanganyiko 17 apr 6 2020 juu ya kaburi la baba mdogo kuna nyumba imejengwa je nifanye nini habari na hoja mchanganyiko 47 apr 4 2020 huko maziwani mwaka huu kuna nini sukari madukani hamna tatizo ni nini wakati tayari kuna bei elekezi toka serikalini ving'ora vya ambulance vimeongezeka maradufu dar es salaam kuna nini kuna nini kwenye sukari tena juu ya kaburi la baba mdogo kuna nyumba imejengwa je nifanye nini
2020-06-06T08:25:12
https://www.jamiiforums.com/threads/kuna-nini-tbl-ajira-za-wazawa-mashakani.1660818/
makakala wanaohifadhi wahamiaji haramu kukiona | mtanzania home kimataifa makakala wanaohifadhi wahamiaji haramu kukiona kamishna jenerali wa uhamiaji tanzania dkt anna makakala amewataka watanzania wote nchini kutoshiriki kuwahifadhi ama kuwasafirisha wahamiaji haramu kwa njia za panya katika maeneo yao makakala ameyasema hayo leo mara baada ya kumaliza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani lindi yenye lengo la kuzungumza na watumishi wa idara ya uhamiaji juu ya maswala mbalimbali likiwemo la changamoto zinazowakabili amesema idara ya uhamiaji iko makini kufuatilia kila kona ili kuwabaini wananchi wanaoshirikiana na wahamiaji na kwamba pindi watakapo wabaini sheria kali zitachukuliwa dhidi yao sheria ya uhamiaji kwa sasa imeongezewa makali mtu atakayejihusisha na shughuli hiyo basi atatozwa faini isiyopungua shilingi milioni 20 au kifungo cha miaka 20 au vyote kwa pamoja pia kutaifisha mali zote zitakazohusika kuwasafirisha wahamiaji hao awali akisoma taarifa ya utendaji kazi ya uhamiaji kwa mkoa wa lindi afisa uhamiaji mkoa abdallah katimba amesema kutokana na doria zinazofanywa mara kwa mara katika nyumba za kulala wageni vituo vya mabasi barabara kuu ya daressalaam mtwara na njia za michepuko zinazotumiwa na wahamiaji haramu kuingia na kupitia ndani ya mkoa wa lindi na kuelekea nchi za kusini mwa afrika waliweza kukamata raia wawili wa vietnam watano wa ethiopia na mmoja wa malawi na kuwafikisha mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kiuhamiaji katimba aliongeza kuwa kuwepo kwa mkoa wa lindi katika mwambao wa bahari ya hindi pamoja na kuwa jirani mwa nchi ya msumbiji umesababisha raia wengi wa msumbiji kuingia nchini tanzania na kulowea kutokana na shughuli za kiuchumi kijamii na kitamaduni kwa kushirikiana na mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) katika utowaji wa vitambulisho vya taifa kwa lengo la kuwabaini wahamiaji wasio raia wa tanzania ambalo linaendelea hadi sasa jumla ya watu 8123 wasio raia wa tanzania wamefanikiwa kuwabaini katika ofisi ya uhamiaji mkoa na wilaya zake previous articlekangi ataka mabasi yasafiri usiku next articleprofesa mbarawa atembelea mradi wa uchimbaji visima virefu uingereza kuwatosa wafanyakazi wa eu eu urusi china wakiuka vikwazo vya marekani kwa iran tutunze afya zetu kwa kula matunda na mboga za majanipia maji ya kutosha july 19 2018 at 915 pm matunda no muhimu kwa afya yako tafadhali
2018-09-26T08:49:48
http://mtanzania.co.tz/makakala-wanaohifadhi-wahamiaji-haramu-kukiona/
hard shell lukosaiti kupunguza filter uchina shandong zhongbaokang medical hard shell lukosaiti kupunguza filter brand zbk au oem utoaji wa muda katika wiki 3 ugavi uwezo 15000 majukumu kwa wote kwa siku lukosaiti kupunguza filter kwa ajili ya matumizi ya moja wetu lukosaiti kuondolewa filter s imeundwa ili kuondoa leukocytes na microjumla ya mabao katika damu na kulinda wagonjwa na matatizo lukosaiti yanayohusiana kuongezewa kama vile magonjwa gvhd na athari mbaya nk kama bidhaa ziada ni hasa kutumika katika vituo damu na hospitali bidhaa model zbkrf200s zbkrf400s kiasi filtration ni 1 kitengo au vitengo 2 (kila kitengo ni pamoja na 200ml ya damu yote na anticoagulant) mali 1biological mabaki wbc kuhesabu chini than≤10 × 10 6/ kitengo high rbc ahueni rate≥90 filtration wakati dakika 1215 100 ya kuondolewa kwa micromkusanyiko 2physical na mali kemikali heavy metal≤1μg kupunguza substances≤2ml uvukizi residue≤2mg l uv absorption≤03 (wavelength 250nm kwa 320nm) chuja mwili polycarbonatepc filter utando nyenzo pbt polyester 200ml nje ya mduara 70mm 400ml nje ya mduara 90mm 3filtration eneo 200ml 2826 cm² 400ml 5024 cm² sterilization highshinikizo mvuke cheti ce iso9001 iso14001 is01348501 awali lukosaiti kupunguza filter kuweka kwa blood bank next soft shell lukosaiti kupunguza filter kando lukosaiti filter damu lukosaiti filter disposable lukosaiti kupunguza filter medical inline lukosaiti filter maabara lukosaiti filter leuko kupunguza filter lukosaiti filter lukosaiti filter manufacturer lukosaiti filter medical lukosaiti filter bei lukosaiti kupunguza filter (kitanda) lukosaiti kupunguza filter (hard shell) lukosaiti kupunguza filter (soft shell) lukosaiti kupunguza filter fot kitanda matumizi lukosaiti kupunguza filter medical lukosaiti kupunguza filter set lukosaiti kupunguza filter set (blood bank) lukosaiti kupunguza filters lukosaiti kuondolewa filter leukocytes kupungua filters medical lukosaiti filter medical lukosaiti kupunguza filter medical lukosaiti kupunguza filters platelet lukosaiti filter kuongezewa lukosaiti filter jumla lukosaiti filter bei soft shell lukosaiti kupunguza filter lukosaiti kupunguza filter kuweka kwa blood bank
2020-08-13T08:22:31
https://www.zbkmedical.com/sw/hard-shell-leukocyte-reduction-filter.html
december naweza kuwa na kitumbo asema sanaipei tande | gold star | mitego sasa home burudani december naweza kuwa na kitumbo asema sanaipei tande unafahamu ni jambo la kawaida kwa mwanadamu kukaa bila kuwa mahusiano ya mapenzi kwa muda mrefu haya haya hapa yanamhusu msanii wa kike kenya sanaipei tande ambaye anafanya vizuri kwenye game la muziki juzi tu ametokea bongo kuachia kazi mpya amefunguka kusema kuwa yeye kwa sasa hana mpenzi kwa muda wa miaka mitano na hataki kuchaguliwa mwanaume bali yeye ajichagulie umpendaye kwa mujibu wake huenda akawa na dume lake mwishoni mwa huu mwaka na kupata mtoto wakati akishapunguza mzigo wa kazi zake anazozikabili kwa sasa kwa sasa sina mwanaume kwa sababu nina projects kadhaa nafanya lakini december naweza kuwa na mmoja na pia kitumbo hahaha amesema sanaipei wakati akiwa kwenye interview radio maisha na alex na nick tande ni msanii asiye kubali mahusiano ya mapenzi na wenzake wa kazi kwani anaamini kuwa kazini ni sehemu ya kujijenga wala sio mapenzi sanaipei aka natasha amepiga collabo na msanii wa tanzania chege chigunda najiuliza na sasa upo tayari na video kwenye youtube please leave your comment and share post kindly previous articlecheche yake dimpoz ni ya kumjibu diamond next articlesasa hizi ndio gani h_art the band wapata ajali victoria kimani na hubby wake
2018-02-24T22:00:19
http://mitego.co.ke/2017/07/14/december-naweza-kuwa-na-kitumbo-asema-sanaipei-tande/
teknolojia | the clever chambers mamlaka ya usafiri wa anga tanzania (tcaa) imepiga marufuku urushwaji angani wa vifaa vya kieletroniki visivyo na rubani (drones) bila kupata kibali maalum taarifa ya tcaa iliyotolewa kwa vyombo vya habari imesema kuwa kwa taasisi au mtu binafsi kufanya majaribio au kurusha drones ni lazima apate idhini ya wizara ya ulinzi na usalama pamoja na ubunifu ndio unaiendesha dunia lakini sio kila mtu amepewa uwezo wa kubuni bali wapo wachache kwenye kundi la wengi ambao wana uwezo wa kubuni mambo mbalimbali ndiyo maana nimekuletea stori hii ya ubunifu wa hali ya juu kampuni ya silicon valley imebuni mbinu mpya ya kupambana na uhalifu katika maduka makubwa baada ya kutengeneza robot april 27 2017 in source millard ayo teknolojia shirika la maendeleo ya petroli tanzania tpdc limeelezea kuhusu miradi mbalimbali ya usambazaji wa nishati ya gesi asilia katika mikoa ya dar es salaam pwani lindi mtwara na mikoa mingime ya tanzania tpdc imesema kwa mwaka huu 2017 wamepanga kufanya upembuzi yakinifu wa mradi wa uendeshaji wa ujenzi wa mtandao wa mabomba ya kusambaza gesi iku za hivi karibuni kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia ubunifu umekuwa sehemu muhimu katika maisha ya binadamu binadamu ambaye kila siku hufikiria kuja na kitu kipya leo april 20 2017 nimekutana na stori hii ambapo unaambiwa wabunifu wa majengo nchini panama wamekuja na ubunifu wa aina yake baada ya kubuni meli ambayo kila inapoingia siku mpya binadamu amekuwa akifikiria mbinu mpya ambayo itamsaidia katika maisha yake ya kila siku na kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia kugundua vitu vipya imekuwa rahisi sana kwa binadamu leo april 18 2017 nimekutana na stori unayohusu kifaa maalum kilichotengenezwa nchini japan ambacho kitatumika kuscan na kuweka kwenye begi lako bidhaa kipimo cha iq ni njia pekee inayoaminiwa kupima uwezo wa akili za mtu ambapo kwa kawaida binadamu wengi wana iq ya kuanzia 90 mpaka 110 lakini watu wachache sana wana iq level ya kuanzia 140 na kuendelea leo nimekuletea hii list ya watu kumi wanaoaminikia kuwa na akili hadi kufikia mwaka 2017 1 terrence tao april 1 2017 in source millard ayo teknolojia
2018-07-19T13:33:54
https://cleverchambers.wordpress.com/category/teknolojia/
matukio dk liberate mfumukeko ateuliwa kuwa katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki wazalendo 25 blog home arusha eac habari kitaifa matukio matukio dk liberate mfumukeko ateuliwa kuwa katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki matukio dk liberate mfumukeko ateuliwa kuwa katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki gadiola emanuel march 03 2016 arusha eac habari kitaifa matukio tags # arusha # eac # habari # kitaifa # matukio labels arusha eac habari kitaifa matukio
2018-01-23T18:15:16
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/03/matukio-dk-liberate-mfumukeko-ateuliwa.html
ebavevuvu 27 bwd tovanai aisake bademowa givesilakai bible search ebavevuvu 26 ebavevuvu 28 ebavevuvu 27 aisake yana vonadabadaba anavonanuwakabubu iyakobo givaina 1tovanai aisake bademowa givesilakai ada kaduwe matana gikoyo ada natuna tomoinagona iso gidouwe gielai ke givonena natuku gilufata givona iya idauwe kamaku 2ada aisake givona uitana bademowa gavesilakai ada keke yaku tova alika gada alamane 3e ada ya fewa ke ya tufi wafosena unavaidi ada unanau fafali kavovona wagaine tamo kevakeva walawalaa faikuya unamunu una aliyena 4ada una kidewedewena anakani nuwavaivaina yaku nuwanuwa anafaiweya ada una aliye ganakani e ada vonanuwakabubu gana veleni aku muliya ganaalika 5e aisake natuna iso giifuifufuyena aku libeka ivanevanenega ada iso gitauya ginau fafali kavovona wagaine gina lukevakeva 6aku libeka inau ke natudi iyakobo iifufuyena ivona uitana tama givonevonena tawaga iso ani ime anogalikavuyena 7tama givonena vaita kevakeva walawalaa ginamunu gina aliye gina kidewedewena anakani nuwavaivaina tama yana nuwanuwa anafaiweya ada ginanauwe ginavele ginakani e ada tawaga gina vonanuwakabubuyena yaubada matane aku muliya ginaalika 8e ada natuku bonama una nogalina ke gavana anavoneni mamauwe unagugai 9ada unamaduna goti natudi luwei iwakadi una munudi una aliyedi anakidewedewedi adikani nuwavaivaina tama yana nuwanuwa anafaiweya 10ada unawai unanauwe tama ginakani e aku yaubada gina veole gina awanuwakabubuyeni muliyayo ginaalika 11ani iyakobo inana wagaidiya givona aku bana kawaku iso vovona kolokolona aku iya vovoku keke kolo vovomoeku 12ada kai kamaku gina kidadaniku aga aimo gina inanaku iya keke iso ada tayuwe wagaine keke gina vonanuwakabubuyeku aku aiyada gina alatabutabuyeku faina gavefwayafwaya wagaine 13ada inana ivonenaga natuku kai gina alatabutabuyeni aga wada ime amaalatabutabu aku gavana anavoneni mamauwe una gugaiyena unana goti natudiyavo kabisodi luwei una munudi una aliyedi 14e ada au ginau goti natudiyavo iluwei gimunudi gialiyedi inana wagaidiya ada ikidewedewena anafaiweya tamana yana nuwanuwa 15muliya libeka iluku yadi manuweya iso ananuya iwakadi ivai ialiyedi ada natudi kwamaneya ivele giosedi 16ada kaduwe gotidina kwafilidi wavutuvutuna ivaidi iyakobo nimana ke odona keke kolo wagaidiya ikivefosena 17e ada aa anakani nuwavaivaina ke beledi tufona ikabudi ani nodi ivaidi natudi iyakobo nimane isei gina nauwena 18ada ginau tamana aisake wagaine ke givona kamaku ada tamana gilufata givona iya idauwe natuku aku o gavakwamana 19ani iyakobo tamana wagaine givona iya iso natu ya tomoinagona bademowa gagugaiyena uvoneku anafaiweya ada unatoga dewadewa maita yaku kevakeva una kanina ke ya vonanuwakabubu una veleku 20aku aisake natuna gitolidadanena givona natuku gavaiyamuyo kevakeva umadunuwagamoe ani iyakobo gilufata givonaga kauveya ya yaubada giveleku anaiwakana 21ada aisake givona unaelai lilivakuya ada gana kidadanini ke gana alamanena anavelemoena oyeni natuku iso o kai keke 22e ada iyakobo ginau tamana aisake lilivane ada tamana gikidadanina ke givona bona ananogala vaita iyakobo bonana aku nima analutovona anafaiweya iso nimana 23ada tayuwe wagaine keke gida inana vaita banae velemoena iyakobo faina nimana kolokolodi anafaiweya tawagana iso nimana e ada kabisona gida vebutu gida vonanuwakabubuyena 24aku gitolidadanevagilena givona o velemoena natuku iso ani iyakobo gilufata givona ika iyayeku 25ada givonaga natuku ya kevakeva una aliye maita gana kanina muliya gana vonanuwakabubuyeni ** e ada iyakobo tamana kevakeva givele gikani ke waini givele giyuga 26ada tamana givonena unaelai lilivakuya ada una veyaugiku 27ada iyakobo ginau tamana wagaine ke aiyaina giveyaugina tovanai ananuya magana aisake giyauna au givonanuwakabubuyena ada givona ee natuku vovomagana anayauga anafaiweya fafali guyaguyana magana anayauga yaubada yana nuwakabubuya 28yaubada gaveolena ke gabama bulugina tova matatabuna gina veleni ke ya babi gina kiveguyavagaina ada una nuwanuwagana witi lakaina ke waini evaguna 29ada gaveola vaita yoo moyaidi ina vetogugai wagainiya ke kaliva inaoduvemoimoina wagainiya ada una vekauveya tubuiyamomo wagaidiya ke ya gabuyavo ina oduvemoimoina wagainiya ada badi gavega ina alatabutabuyeni aimoina alatabutabu ginanau wagaidiya aku badi gavega ina vonanuwakabubuyeni aimoina vonanuwakabubu inanuwagana 30aisake yana vonanuwakabubu giluyabuna muline iyakobo giyegemona tamana wagainedeya ani tawagana iso lukevekeveya giyewa gielai31ada banae kaduwe aa anakani nuwavaivaina bademowa gikidewadewa ke ginauwena tamana wagaine ada givonena kamaku unatoga dewadewa aku yaku kevakeva maita una kanina ke una vonanuwakabubuyeku 32ada tamana gitolidadanena givona o gaito ani gilufata givona iya natu iso ya tomoinagona 33ada au aisake givetatava lakaina ke givona aku gaito ani kevakeva gimunu gikidewedewe ada gialiye wagaikuya muliyayo ulukuelai bademowa gakani ada gavonanuwakabubuyena ada banae aimo vonanuwakabubu wagaine gina miyamiya 34ada iso ginogalina tamana yana vona au gitagilumaibulu ada tamana givonena iya kamakuyo iya kaduwe unavona nuwakabubuyeku 35aku givona keke akufaiweya taini giela givefwayafwaya ada avonanuwakabubu givaina 36ada iso givonaga keke fwaya au anayegana iyakobo giwaidewedewena bademowa taidei tova anavelu gifwayaku nagona tomoinagona anavutuga gilemaku ada kaduwe malinai akuvonanuwakabubu givaina e ada tamana gitolidadanena givona keke tamo faikuya gava vonanuwakabubu uda seyewe 37ani aisake gilufata iso wagaine givona uitana bademowa gaawavekauveyayena wagainiya ke anatubulugayavo matatabuna anafaiweya yana togugaiyavo ada kaduwe bademowa gaatuegena witi ke waini wagaine ada keke tamo gavana gidatufo ke ganagai fainiya 38aku iso tamana wagaine givona o kamakuyo wagainiya kai vonanuwakabubu seyamoena iya kaduwe uda vonanuwakabubuyeku ada iso gitagiya moiyalina 39ada tamana aisake givonenaga babi guwana iwakana ke gabama getana anabuluga wagaidiyadeya aimo unamiya atuwada 40ada oyeni ani aimo gaviyeya unamiya ke taini wagaine una vetogugai aku tovanai una gadibudibusoyogena yana veimeya aga wana vetutudaka ada keke kaduwe yana veimeya wagaine una miyami iyakobo giota ginau lebani wagaine 41e ada iso giagouga iyakobo wagaine faina banae anavonanuwakabubu tamadi bademowa givelena ada nuwainagene givona kamaku yana alika bademowa givelilivana ada ananuwavita faine aku tovanai nuwavita anatova gina avaina muline akutubuluga iyakobo gana luvealikana 42aku seyana gaito libeka giawatalatalainedi gavana natudi tomoinagona iso yana nuwanuwa ginagai ada libeka natudi kwamaneya idouwe gielai ke ivonenaga unaitana tawaga iso ginuwanuwa gavaiyamu gina luvealikani ada taidei nuwanuwanai wagaine tauna nuwana gikikiveiwakanena 43e ada natuku gavana anavoneni mamauwe unagugai una maduota unanau elani novuma lebani wagaine 44unanau wadedeku ada maita nodi wanamiya analaba tawaga nuwana gina veiwaka 45ada aimo tawaga yana nuwakoyo wagainiya gina avaina ke gavana ugana wagaine nuwana ginavulu muliya matawa ana imilina wagainiya ada una yewaelai idedeku faina keke nuwanuwama unaalika ada iso kaduwe ginaalika e ada yadayada seyana wagaine amiselu wana miyasegema 46e ada libeka inau aisake ivonena itaiti yana tubudelideli anavevine iso ginagidi aku ime keke nuwanuwamoema kaduwe iyakobo ginanagi itaiti yana tubudelideli anavavine taidei fafalinai wagaine kai ginanagi aga tunutunugimoena anaalika
2018-10-16T17:19:19
http://bibles.org/bwd-BWD/Gen/27/
home » unlabelled » serikali yakanusha twiga kutoroshwa kwa kutumia ndege mbugani serikali imekanusha uvumi uliozagaa katika mitandao ya jamii wiki hii kuwa wanyama aina ya twiga wanatoroshwa kutoka pori tengefu la loliondo na kupelekwa nje ya nchi katibu mkuu wa wizara maliasili na utalii dkt adelhelm meru ameziita habari hizo kuwa za uongo uzushi na uchochezi akiongea na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam dkt meru alisema jambo hilo si la kweli na linalenga kuleta chuki dhidi ya serikali picha zile zimetolewa katika intaneti na kuelezwa kuwa ni za tanzania si kweli ni picha za kughushi alisema dkt meru pia alibainisha kwamba twiga wa tanzania wanatumika kama nembo ya taifa na hawaruhusiwi kuwindwa hata kidogo sasa kusema wamewindwa na kusafirishwa ni uzushi na upotoshaji alisema ukweli uliopo ni kwamba kampuni ya ortero business corporation iliyosajiliwa hapa nchini iliomba kibali cha kawaida cha uwindaji na kukubaliwa kampuni hiyo ilipata vibali vya watu wanane vya uwindaji wa wanyama wakiwemo kongoni ngiri pofu na swala pamoja na aina ya ndege mbalimbali kibali hakikuhusisha wanyama kama twiga simba wala tembo alisema kufuatia kibali hicho tarehe 25 septemba 2015 zilikuja ndege tatu aina ya ci 30 uas 312 na kupata kibali namba tcaa/5055/21294 ya mizigo ndege ya abiria l6rji iliyopata kibali namba tcaa/5055/21295 na ndege nyingine ya abiria a9hrm 767 iliyopata kibali namba tcaa/5055/21300 ndege hizo zilikuwa na mohamed sheikh mohamed bin rashid mfalme toka umoja wa nchi za falme za kiarabu akiambatana na msafara wa watu 137 na kutua katika uwanja wa ndege wa kilimanjaro (kia) alisema ujumbe huo wa watu ulifuata taratibu za kuingia nchini na kupata vibali halali vikiwemo vya uhamiaji na baadaye walielekea loliondo miongoni mwa watu hao walikuwemo watazamaji wafanyakazi wa ndege hizo watoa huduma wa mfalme huyo miongoni mwa wengine alisema vibali vya uwindaji huo vimeipatia serikali dola za kimarekani 41400 sawa na tshs milioni 85 kwa mujibu wa dkt meru baadhi ya watalii hao pamoja na mfalme huyo waliondoka septemba 29 2015 huku baadhi ya maofisa wake wakiwa bado hapa nchini kwa ajili ya kukamilisha utaratibu wa kuhakiki wanyama na ndege waliowindwa na malipo ya serikali dkt meru alisema uwindaji huo ulisimamiwa na maofisa wa jeshi la polisi usalama wa taifa maofisa wa kuzuia wanyama wanaokatazwa kuwindwa maofisa wa halmashauri ya loliondo na maafisa wa wizara kitengo cha kuzuia ujangili kwa mujibu wa kaimu mkurugenzi wa idara ya wanyamapori bw herman keraryo utalii wa kuwinda ni moja ya vyanzo vikubwa vya mapato si kwa tanzania tu bali na nchi nyingine duniani kwa mwaka jana tu utalii huo uliingizia wizara dola za kimarekani milioni 18 alitaja faida nyingine kama kuwianisha idadi ya wanyama katika mapori na kuzuia ujangili 20151001t0951000700 artikel terkait serikali yakanusha twiga kutoroshwa kwa kutumia ndege mbugani
2016-12-05T00:28:11
http://utamuutamu.blogspot.com/2015/10/serikali-yakanusha-twiga-kutoroshwa-kwa.html
ali hassan mwinyi hakuzaliwa zanzibarna sio mzanzibari kama munavyo amini cv yake hii hapa | jamiiforums | the home of great thinkers ali hassan mwinyi hakuzaliwa zanzibarna sio mzanzibari kama munavyo amini cv yake hii hapa discussion in 'jukwaa la siasa' started by ghibuu aug 20 2011 alii hassan mwinyi kwa uhakikza zaidi tembelea hapa utasoma habari hii ali hassan mwinyi biography from answerscom hivi mtoto akizaliwa kenya na wazazi wake wabongo mtoto anakuwa sio mtanzania au wahindi sio wa india usitake kutuletea hoja zisizo na msingi hapa mwinyi alikuwa rais wa tanzania period kwani zanzibar sio tanzania sawa kama hoja yako ipo kabla ya muunganoje kwani tanganyika haina waliozaliwa zanzibar na niwabara tena wazigua nyie ndio wale wote wanao kataa kabila zao na kujipachika kwenye makabila ya wenginehuwezi kubadili kabilamswahili ataendelea kuwa mswahili hata kama atajua kiingereza vipihawezi kamwe kuwa mwingereza ndio kuna uraia wa kuzaliwa lakini lazima uwe na vibali vya kukudhibitisha acha mambo ya ajabu kama unachuki binafsi hizo ni zako lakini usipandikize kwa wengine mwinyi ni mtanzania halisi utanganyika na uzanzibari vilikufa najivunia u tz na si utanganyika wala uzanzibari fikra mgando punguza baba hiyo nisawa na kusema kama baba yako mgogo ukazaliwa darunakuwa si mgogo yamepita hayo tulishakuwa na raisi mzanzibari hiyo nisawa na kusema kama baba yako mgogo ukazaliwa darunakuwa si mgogoclick to expand ukisoma hiyo cv inaonyesha wazi uzanzibar wa mwinyi na jinsi ulivyoaffect hata structrure ya uongoziimeandikwa''since both the new president (mwinyi) and the prime minister (salim) were from zanzibar the constitution prevented salim from being prime minister and firstvice president when he was november 1985 mwinyi appointed mainlander joseph warioba as prime minister and first vice president and created the position of deputy prime minister for salim salim'' kwa hiyo marekani ina rais mjaluo msituletee ujinga wa watu wa muscat na yemen hapa zanzibar si kwenu vile vile kuanza kujadili uzanzibari/uzanzibara wa mzee mwinyi kunatusaidia nini leo mleta mada anataka kuanzisha ukabila humu jf usio na maana yoyote mbona wakati anapewa madaraka ya tanzania alihesabika kuwa anatoka zanzibar na wote walikubaliana au mleta mada ana akli kuliko wazanzibari kwa hiyo marekani ina rais mjaluoclick to expand mkuu upo sahihi kabisaoboma ni jaluoila jaluo mweupe ila jaluo mweupeclick to expand kwa hiyo sheria za marekani zinaruhusu kuwa na rais wa taifa lingine au ni kuwa kuna kabila la wajuluo ambao ni wamarekani hivi utaifa au uraiya unapatikana vipi a mzee mwinyi alikuwa raisi wa pili wa jmt na sasa amestaafu yuko kijitonyama tumwache apumzike kujadili kuwa sio mzanzibari haitatusaidia lolote kikubwa yeye ni mtanzania halisi basi mambo ya ukubila sijui huyu co mzenjiyule ndio mzenji yamepitwa na wakati tujadili mambo ya maana kama vile jana mbunge anaomba serikali iwaongeze posho sababu wanaishi maisha ya shida sana vitu km hivyo period hoja yako hapa ni mwinyi kuwa rais wa zanzibar au tanzania by the moment the man doesn't have influence kwenye serikali yoyote hivyo kumjadili ni kama kujipotezea wakati ebu toa ujinga wako hapo cv haitoshi kwako kutuaminisha unayotaka tuamini mwinyi mwenyewe anakili ni mzenji so why unaleta pingamiz cuf na ccm si mmeungana nyie ndugu zangu jf swala la uraia siyo kuzaliwa tu kuna mengi kwanza kabisa wakati wakoloni wanatoa uhuru miaka ya sitini watu wote waliokuwa kwenye makoloni yao wakati ule walipewa uraia ila waliokuwa hawapendi walikataa pili ni sheria za nchi yenyewe tatu katika nchi nyingine uraia wako unatokana na ama wazazi wako wote wawili wawe raia na nchi nyingine inategemea uraia wa baba mzazi au mlezi hapa swala la msingi kujadili ni je sheria za tanzania (swala la uraia ni la muungano) insemaje kuhusu uraia wa mgombea ugunge na uraisi kwa mfano usa naturalised nationals hawaruhusiwi kugombea uraisi lakini wanaruhusiwa kugombea useneta ubunge na hata ugovernor ivory coast (kumbuka kiini cha matatizo yao) na malawi ni lazima mgombea uraisi wazazi wake wote wawili wawe raia wa kuzaliwa na si naturalised nk woteclick to expand nyongeza hapo kwenye red na ikumbukwe pia kwamba kabla ya kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mzee mwinyi aliwahi pia kuwa rais wa zanzibar ambapo mojawapo ya sifa za kuwa rais wa zanzibar ni kuwa mzanzibari kama mleta thread anaona kulikuwa na ukiukwaji wa kanuni/katiba hadi mzee mwinyi kuukwaa urais namshauri aende mahakamani kuleta mithread isiyo na kichwa wala miguu hapa au kutupa link zisizo na mbele wala nyuma haitasaidia kubadili kitu neno moja tunajua nalo ni mzee mwinyi aliwahi kuwa rais wa zanzibar kisha akawa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na ukweli huu hautabadilika hata utimilifu wa dahari huu uraia wa mwinyi unge jadiliwa kabla hajawa raisi wa zanzibar sioni faida ya huu mjadala kwa leo hii ila baadhi ya nyie wazanzibar mnanini jamani salim mlimkataa kisa ni muaraba na hakutokea asp sasa hivi ni mzanzibari gani anakubalika huko kwenu 0 people likes
2016-10-28T04:36:09
http://www.jamiiforums.com/threads/ali-hassan-mwinyi-hakuzaliwa-zanzibar-na-sio-mzanzibari-kama-munavyo-amini-cv-yake-hii-hapa.165489/
mtoto wa watu watatu aliyezaliwa kufuatia matibabu ya ubishani nchini ugiriki ivfbabble mtoto ameumbwa kwa kutumia dna kutoka kwa wanawake wawili na mtu amezaliwa huko ugiriki mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 32 alikuwa amepata utasa kwa miaka kadhaa na mzunguko wa matibabu wa ivf mbinu hiyo inayoitwa mchango wa mitochondrial ilifanywa nchini ugiriki na timu ya wataalam wa uzazi kutoka ugiriki na uhispania na kesi hiyo iliongozwa na dk nuno costaborges kutoka embryotools mara ya kwanza utaratibu huo umetumika kupambana na utasa mbinu hiyo kwa ujumla hutumiwa kupitisha magonjwa ya mitochondrial yenye kuharibika ambayo yanaweza kupitishwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto lakini imeonekana kuwa mwanamke huyo hakubeba jeni lenye madhara na kwa hivyo kuifanya kuwa utaratibu wa ubishani mtoto wa kwanza amezaliwa kwa utaratibu huu alizaliwa jordan mnamo 2016 wenzi hao walikuwa wamejaribu kupata ujauzito kwa miaka 20 mtoto alichukuliwa mimba yai iliyo na dawa ya nyuklia kutoka kwa mama na baba na damu ya mitochondrial kutoka kwa mama wa pili wafadhili wa kike wasiojulikana mnamo mwaka wa 2017 mamlaka ya mbolea ya kibinadamu na embryology (hfea) iliidhinishwa leseni ya kwanza ya watu watatu nchini uingereza kwa kituo cha uzazi cha newcastle kwa wanawake ambao ni wabebaji wa mitochondrial leseni hiyo ilitolewa kwa kituo cha uzazi wa newcastle na wazazi ambao wanahitaji matibabu wanaweza kuomba kliniki kwa utaratibu tags dna ya mitochondrial mchango wa mitochondrial
2020-04-04T17:51:49
https://sw.ivfbabble.com/2019/04/three-person-baby-born-following-controversial-treatment-greece/
kila ambacho nimewahi kuwa nacho mimi hukitumia kwa mungu kila nilicho nacho nakitoa najitoa mwenyewe kwake familia imenitelekeza nimekashifiwa na dunia basi njia ya kumfuata mungu ina mabonde imejaa na mawe na miiba nilitoa kila kitu changu ili kueneza ufalme wa mungu mbali nimeona misimu ikija na kuenda najua kilicho mbele huzuni ama furaha mungu anafaa tu kuuliza na nitatii katika njia ya kumpenda mungu nakumbana na majaribu machungu hatari na dhiki nakumbana navyo bila malalamishi ingawa mwili wangu unaumia sana mungu ndiye ambaye moyo wangu unampenda nitaenda kutembea kila mahali kushuhudia yote ambayo mungu ametenda mateso na majaribu yananilemeza katika mema na mabaya nimeishi bado nitafanya mapenzi ya mungu nimpe yeye yote niliyo nayo niteseke maisha yangu yote kwa ajili ya mungu niteseke maisha yangu yote kwa ajili ya mungu niteseke maisha yangu yote kwa ajili ya mungu iliyotangulia:niko tayari kutekeleza wajibu wangu kwa uaminifu inayofuata:katika mapana na marefu mwaminifu hadi kifo ngurumo saba zatoa sauti zikitabiri kuwa injili ya ufalme itaenea kote ulimwenguni kristo hufanya kazi ya hukumu kwa ukweli kuonekana kwa mungu kumeleta enzi mpya wengi wameitwa lakini wachache wamechaguliwa
2018-04-25T00:53:31
https://sw.godfootsteps.org/follow-god-along-the-rough-path-2-txt.html
serikali imeendelea kuweka msukumo wa kukuza sekta ya filamu nchini | mpekuzi serikali imeendelea kuweka msukumo wa kukuza sekta ya filamu nchini na lorietha laurencewhusmmanyara serikali imendelea kuweka msukumo wa kukuza sekta ya filamu nchinikwa kuendeleza utafiti ubunifu na teknolojia ikiwemo kujenga mazingira wezeshi kwa wadau wake ili kuleta matokea chanya katika tasnia hiyo hayo yamesemwa jana mkoani manyara na waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison mwakyembe alipokuwa akifungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wadau wa filamu katika mkoa huo yaliyoandaliwa na bodi ya filamu nchini dkt mwakyembe ameeleza kuwa mkoa wa manyara una mazingira mazuri yenye fursa ya kuandaa filamu nzuri zenye ubora na uhalisia wa vivutio mbalimbali vinavyopatikana katika mkoa huo watu wa manyara tumieni fursa hii nzuri mliyoipata katika mafunzo haya ambayo yanatolewa bure kwa kutengeneza filamu nzuri ukizingatia mazingira yenu yana uhalisia mzuri wa kuvutia amesema dkt mwakyembe aidha alizidi kufafanua kuwa kuna mambo mengi ya kuweka katika filamu ikiwemo tamaduni zinazopatikana katika mkoa wa manyara milima pamoja na uoto wa asili kitu kitakacholeta hali ya utofauti na wa kipekee naye kaimu katibu tawala kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa manyara bw misaile musa alizidi kuwasisitiza washiriki wa mafunzo hayo kujifunza kwa makini ili kuleta mabadiliko kwa kutengeneza filamu bora zenye viwango kwa upande wake katibu mtendaji wa bodi ya filamu nchini bibi joyce fissoo amesema lengo la mafunzo hayo ni kuleta mabadiliko katika tasnia ya filamu nchini ili kuwa na waandaji bora wa filamu
2019-01-22T04:21:47
http://www.mpekuzihuru.com/2018/07/serikali-imeendelea-kuweka-msukumo-wa.html
na andrew chimesela morogoro waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) mh selemani jafo ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa wilaya ya kilosa kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya cha mikumi baada ya kuonekana kasi ya ujenzi huo kusuasua waziri jafo ametoa agizo hilo januari 2 mwaka huu alipofanya ziara ya siku moja wilayani kilosa moani morogoro ambapo ametembelea ujenzi wa kituo cha afya cha mikumi mto ruhembe unaolalamikiwa na wananchi kupoteza maisha ya watu hususan kipindi cha masika na kuhitimisha ziara hiyo kwa kutembele kituo cha afya cha kidodi amesema fedha za ujenzi wa kituo hicho cha afya mikumi zilipelekwa mwishoni mwa mwezi juni 2018 na ujenzi wake ulitakiwa kukamilika mwezi novemba 2018 hata hivyo ujenzi huo hadi sasa bado unasuasua hivyo kutoa mwezi mmoja kwa uongozi hadi januari 30 mwaka huu ujenzi huo uwe umekamilika lakini vile vile barua ni jambo la kwanza ninyi pale mmechelewa sana itakapofika tarehe thelathini mwezi wa kwanza nikute majengo yote yale yawe yamekamilika kuta zimepandishwa kila kitu nitakuja mwenyewe kukagua majengo yale amesema waziri jafo katika hatua nyingine waziri jafo amepongeza ujenzi wa kituo cha afya cha kidodi kwa kuwa ujenzi wake umekamilika kwa wakati ingawa bado kuna mapungufu madogo ya kumalizia na akaagiza kukamilisha mapungufu hayo ifikapo januari 15 mwaka huu kwa upande wa ujenzi wa daraja la mto ruhembe ambao upo tarafa ya mikumi unaolalamikiwa na wananchi wa eneo hilo kusababisha vifo vya watu unapojaa maji hasa kipindi cha masika waziri huyo ameahidi kulibeba suala hilo kwa uzito na kwamba ataangalia namna ya kulifanyia kazi ili kutatua changamoto hiyo katika ziara hiyo mbunge wa jimbo la mikumi mhe joseph haule amemshukuru mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya na akatumia fursa hiyo kuiomba serikali iendelee kusaidia jimbo la mikumi na wilaya ya kilosa kwa jumla hususan sekta ya afya
2019-11-17T21:01:49
http://www.morogoro.go.tz/new/jafo-atoa-mwezi-mmoja-ujenzi-wa-kituo-cha-afya-mikumi
mtoto pori kufuata nyanyo za mzee yusuf bingwa no comments on mtoto pori kufuata nyanyo za mzee yusuf muziki wa mwambao umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuitangaza tanzania kutokana na kubeba vionjo vya kiafrika hasa maeneo ya pwani ya bahari hindi miongoni mwa waimbaji wa kiume wa muziki huo ni mohamed ally maarufu kama mtoto pori aliyejizolea umaarufu kwa kushika nafasi ya mzee yusuf pale anapokosekana kwenye maonyesho mbalimbali kabla hajaacha muziki huo katika mahojiano na bingwa wiki iliyopita mwimbaji huyo anasema kabila lake ni mzaramo na alizaliwa mwaka 1983 katika hospitali ya temeke na kupata elimu ya msingi shule ya keko mwanga jijini dar es salaam kabla ya kushindwa kuendelea na masomo mtoto pori alioa mwaka 2008 na amefanikiwa kupata watoto wawili alivyoinga kwenye sanaa anasema alianza sanaa katika kundi la ngoma za asili na muziki wa dansi lililokuwa likimilikiwa na msanii bakari ndelema mzee jangala ambaye ni mwalimu wake wa sanaa anasema kwakuwa alikuwa anapenda na muziki wa taarabu alilazimika kujiunga na kundi la jahazi modern taarab ili aweze kuendeleza kipaji chake nilianza kuimba nyimbo za wasanii wengine katika bendi ya steven urembo aliyekuwa mpiga gitaa wa bendi ya jahazi modern taarab anasema mtoto pori anasema urembo ndiye aliyemfundisha jinsi ya kuimba muziki wa taarabu kama anavyoimba alhaji yusuf mzee yusuf kwa sababu alikuwa ameshafanya naye kazi akiwa jahazi mwaka 2010 alishiriki katika shindano la nyimbo za taarabu lililoandaliwa na kituo cha radio times fm na aliwashinda wasanii wengine 200 niliposikia tangazo la shindano nilienda kuchukua fomu tukaanza mchuano hatimaye nikaibuka kidedea hapo ndiyo mzee yusuf aliponiona anasema anasema kipindi chote hicho alikuwa hajawahi kurekodi na kwa mara ya kwanza aliingia studio na bendi ya jahazi kutengeneza wimbo yapwani mitikisiko akaimba ubeti wa pili baada ya muda akaanza mazoezi na bendi ya jahazi modern taarab akapewa wimbo wa kwanza sumu mpe paka ambao ndio uliomtambulisha kwa mashabiki na kumpa umaarufu faida changamoto za sanaa anasema faida kubwa aliyoipata katika sanaa ni kufahamiana na watu wa rika na kipato tofauti ambao kwa namna nyingine wamekuwa na faida katika maisha yake aliweza kumudu maisha yake na familia kwa ujumla kwa kupitia sanaa na kwamba hakuwahi kufanya kazi wala biashara tofauti na muziki kwa upande wa changamoto anasema aliwahi kuzongwa jukwaani na mashabiki katika shoo yake ya kwanza jijini dodoma alipokuwa akiimba wimbo wa alhaji mzee yusuf shoo ya kwanza nilipanda jukwaani nikaimba wimbo wa mzee yusuf mashabiki wakaleta fujo wakisema naimba kwa cd kwakuwa sauti haikuwa na tofauti ikabidi aje mwenyewe ili kuwatuliza mashabiki na kuwafafanulia kuwa ni kijana ninayefuata nyayo zake anasema mtoto pori changamoto nyingine ni kukosa nauli wakati akiwa katika kikundi cha ngoma za asili kwa sababu walikuwa hawalipwi kilichofanya akae kimya ameeleza safu hii kuwa bendi ya jahazi modern taarab ilikuwa na wasanii wengi hivyo kupewa wimbo inachukua muda mrefu ndiyo maana akawa hasikiki anasema sababu nyingine ni kustaafu kwa alhaji mzee yusuf kuimba muziki huo toka mzee yusuf aache muziki bendi iliyumba pia muziki kwa ujumla umeshuka siyo kama zamani ndiyo maana wasanii wengi wa taarab tuliokuwa jahazi hatusikiki kama zamani anasema yuko wapi na mipango yake anasema anaishi vingunguti na familia yake na bado anafanya muziki katika bendi mpya ya first classic iliyo chini ya prince amigo pia yupo katika mchakato wa kutoa nyimbo zenye mahadhi ya mduara kwasasa bado zipo jikoni muda si mrefu atazitambulisha kwa mashabiki anasema kitu anachojivunia katika maisha ni mke ambaye wamepita vikwazo vingi ila amekuwa mvumilivu huku moja ya mipango yake ikiwa ni kufanya sherehe ya kumbukizi ya miaka 10 ya ndoa yao jambo ambalo siyo rahisi kwa mtu maarufu anaongeza kuwa ikitokea amepata fedha za kuanzisha biashara ambayo inaweza kumwingizia kipato cha kuendesha familia ataacha kuimba muziki wa taarab na kufuata nyayo za alhaji yusuf wamisri wamngangania kichuya
2020-02-26T15:41:44
http://www.bingwa.co.tz/mtoto-pori-kufuata-nyanyo-za-mzee-yusuf/
wakazi wa dar washerehekea sikukuu ya mwaka mpya kwa amani sufianimafoto home habari picha wakazi wa dar washerehekea sikukuu ya mwaka mpya kwa amani wakazi wa dar washerehekea sikukuu ya mwaka mpya kwa amani muhidin sufiani sunday january 01 2017 wananchi wakiwa katika ufukwe wa kawe beach wakisherehekea sikukuu ya mwaka mpya leo waziri mkuu asimamisha uuzaji wa mali za kncu *waziri mkuu kassim majaliwa amemuagiza mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bibi anna mghwira asitishe uuzwaji wa mali za chama cha ushirika cha kilimanjaro (kncu agape yakabidhi baiskeli kwa vijana 15 waliohitimu mafunzo ya hisa shinyanga *shirika lisilo la kiserikali la agape aids control programme (aacp) limetoa mafunzo ya hisa kwa vijana 15 kutoka katika kata za mwamalilididia na maseke yanga sc 00 mwadui fc ayo tv magazeti chadema wamalizana na lowassa jpm ole wako karibu ayo tv kila alfajiri unasomewa habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya tanzania ambapo cha kufanya ni kubonyeza subscribe ili uwe unapata notifica magazeti ya leo alhamisi january 18 2018 ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote wasil
2018-01-18T06:15:47
http://www.sufianimafoto.com/2017/01/wakazi-wa-dar-washerehekea-sikukuu-ya.html
nywele za mwanamke zashika moto wakati akizima mshumaa siku ya birthday yake | habari za walimwengu home » » nywele za mwanamke zashika moto wakati akizima mshumaa siku ya birthday yake nywele za mwanamke zashika moto wakati akizima mshumaa siku ya birthday yake written by bewith jeddy on tuesday december 16 2014 | 905 am hii imetokea huko marekani mwanamke mmoja shelley meyer amejikuta sherehe yake ya siku ya kuzaliwa ikigeuka kilio baada ya nywele zake kuteketea kwa moto wakati akizima mishumaa kwenye keki yake shelley ambaye alikua akisherekea mwaka wake wa 5 tangu azaliwe haweza kumaliza vyema sherehe hiyo kwani wakati akiazimisha miaka hiyo kwa kuzima mishumaa iliyokua juu ya keki hiyo gafla nyele zake zilishika moto na kuungua taarifa zinaeleza kuwa mumewe ambaye ni kocha wa mpira wa miguu aliamua kumshangaza mkewe kwa kumfanyia sherehe ya kutimiza miaka50 ambapo wakati wakisherehekea mwanamke huyo alijikuta akipatwa na maswaiba hayo na kukimbizwa hospitali wakati nywele zake zikiungua mtoto wake wa kike nicki meyer alikua akimpiga picha badala ya kumsaidia na kuandika ujumbe mfupi wa kumjulisha mama yake juu ya tukio hilo na kumpa pole kwa matatizo aliyoyapata tukio kama hilo liliwahi kumpata pia msichana mdogo wa miaka 12 wakati akisherehe siku yake yakuzaliwa
2018-01-21T02:43:37
http://www.bewithjeddy.com/2014/12/nywele-za-mwanamke-zashika-moto-wakati.html
discussion in 'jukwaa la siasa' started by ipole mar 26 2009 kutokana na taarifa aliyoitoa katika vyombo vya habari mukulungenzi wa tenesco kwamba tenesco inajitoa katika ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme ya downs lakini kwa maelezo kuwa kutakuwa na matatizo ya umeme naomba niwaulize wana jf je tatizo hilo lipo kweli au hao tenesco wanataka kuhalalisha ununuzi wa mitambo hiyo nasikia wametangaza mgao rasmi leo kwny magazeti ila sina uhakika ni gazeti lipi labda wenye hiyo ratiba watuhabarishe tukae mkao wa kula make ukishaanza waathirika ni sisi hao jamaa wanaobania umeme wana generator home kwao nasikia wametangaza mgao rasmi leo kwny magazeti ila sina uhakika ni gazeti lipi labda wenye hiyo ratiba watuhabarishe tukae mkao wa kula make ukishaanza waathirika ni sisi hao jamaa wanaobania umeme wana generator home kwaoclick to expand ratiba ya mgawo wa umeme yatolewa shirika la umeme tanzania (tanesco) limetoa ratiba ya mgawo wa umeme kwa jiji la dar es salaam huku maeneo ya viwanda temeke yakinusurika na mgawo huo ratiba hiyo ilitolewa leo ikiwa ni siku moja baada ya shirika hilo kutangaza mgawo huo juzi kwa lilichoeleza kuwa ufuaji wa nishati hiyo imeandikwa na mwandishi wetu tarehe 26th march 2009 @ 2000 maoni 0 watu waliosoma hii habari 15 soma hii habari umeona hiyo ndugu yangu soma hii habari umeona hiyo ndugu yanguclick to expand ni gazeti gani limeandika nitumie link pls huu mgao wa umee mbona umekuja ghafla baada ya mitambo ya dowans serikali kukataa kuinunua wakati rais kiwete alitangaza kuwa suala la mgawo wa umeme litakuwa historia katika nchi hii sasa mgawo huu unatoka wapi tena au wamilikiwa wa dowans wamishikilia tanesco na kuharibi mitambo ili ya kwao inunuliwe mliambiwa lazima magenerator yanunuliwe mkabisha kuleni giza kwanza serikali ikisema inanununa mnasema ndio mzee bila kupinga
2016-12-05T10:45:36
http://www.jamiiforums.com/threads/mgao-wa-umeme.26311/
man city waipiga 30 arsenal na kubeba kombe la ligi england bin zubeiry sports online man city waipiga 30 arsenal na kubeba kombe la ligi england bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > man city waipiga 30 arsenal na kubeba kombe la ligi england mshambuliaji sergio aguero akishangilia na mchezaji mwenzake leroy sane baada ya kuifungia manchester city bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 30 dhidi ya arsenal kwenye fainali ya kombe la ligi england maarufu kama carabao cup leo uwanja wa wembley bao la pili limefungwa na beki vincent kompany dakika ya 58 na la tatu kiungo david silva dakika 65 pep guardiola akitwaa taji la kwanza england picha zaidi gonga hapa item reviewed man city waipiga 30 arsenal na kubeba kombe la ligi england rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry waytooearly wwe hell in a cell 2019 match card predictions wwe clash of champions saw every champion defend their title at the payperview and while only a few belts changed hands the results gave us a good idea
2019-09-18T13:30:29
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/02/man-city-waipiga-3-0-arsenal-na-kubeba.html
zanzibar ni kwetu bodi ya wadhamni cuf yawashitaki mahakamani profesa ibrahm lipumba na msajili wa vyama jaji francis mutungi bodi ya wadhamni cuf yawashitaki mahakamani profesa ibrahm lipumba na msajili wa vyama jaji francis mutungi katika kesi hiyo watuhumiwa ni pamoja na prof ibrahim lipumba mwenyekiti wa chama hicho aliyerejeshwa kwa barua ya jaji mutungi na watu 12 waliokuwa wanachama wa chama hichoakizungumza na vyombo vya habari juma nassoro wakili wa chama hicho alisema kuwa wamewasilisha maombi hayo yaliyopelekwa kwa eva nkya msajili wa mahakama hiyo ambapo ni ombi namba 75
2018-03-21T20:44:16
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2016/10/bodi-ya-wadhamni-cuf-yawashitaki.html
idara ya maafa yawajengea uwezo wajumbe wa kamati ya sheria ndogo ya usimamizi wa maafa habari na matukio home habari na matukio idara ya maafa yawajengea uwezo wajumbe wa kamati ya sheria ndogo ya usimamizi wa maafa kajunason at november 13 2017 habari na matukio waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge ajira na watu wenye ulemavu) mhe jenista mhagama akitoa maelezo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya idara ya uratibu wa maafa na namna serikali inavyojenga uwezo wa idara hiyo ili kuongeza tija wakati wa warsha ya siku moja kwa wabunge kamati ya kudumu ya bunge ya sheria ndogo inayohusu dhana sheria na mfumo wa usimamizi wa maafa akifanua mhe ngeleja amesema warsha hiyo itasaidia kuongeza tija katika utendaji wa kamati hasa katika kuishauri serikali kuhusiana na masuala ya maafa kwa upande wake waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia sera bunge ajira na watu wenye ulemavu mhe jenista mhagama aliwaeleza wajumbe kuwa serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kuimarisha uratibu wa usimamizi wa maafa nchini ili kujenga uwezo wa kuzuia kujiandaa kukabili na kurejesha hali pindi maafa yanapotokea hivyo warsha hii inatija kwa wajumbe woteqq
2019-03-22T02:38:51
https://www.kajunason.com/2017/11/idara-ya-maafa-yawajengea-uwezo-wajumbe.html
gchart | worldwidescriptsnet kutupatia msaada wako kama umefanya kununuliwa plugin na kama hayo tafadhali kiwango cha plugin itakuwa ni msaada mkubwa kujaribu kabla ya kununua http//testmanuilovorg/wpadmin jina la mtumiaji testuser password testusertestuser plugin gchart inaruhusu watumiaji wa kujenga chati za nguvu na kuiweka kwa maeneo yao ya wordpress chati ni kujengwa kwa matumizi ya google taswira api na hutoa aina ya chati kwamba ni optimized kushughulikia taswira ya mahitaji yako chati hizi ni msingi teknolojia safi html5/svg ( kupitisha vml kwa ajili ya matoleo ya zamani ie ) hivyo plugins hakuna ziada au maktaba ni required kuongeza chati hizi kwa ukurasa wako inaweza kufanyika katika hatua chache rahisi unaweza kutumia gchart plugin na default mazingira ni customization yote ni ya hiari na kuanzisha msingi ni uzinduzi tayari hata hivyo chati inaweza kwa urahisi customizable katika kesi tovuti yako antar style ambayo ni katika tabia mbaya na defaults zinazotolewa chati kila kuanika idadi ya chaguzi kwamba customize ya kuangalia yake na kuhisi nyumba ya sanaa tajiri ya chati html5/svg msalababrowser utangamano ( kupitisha vml kwa matoleo ya zamani ie) na msalabajukwaa portability na ios na mpya releases free auto update wakati version mpya iliyotolewa undani customizable uwezo wa hariri chati online hakikisho hakuna matangazo kuunda chati mpya unahitaji kupita hatua hizi rahisi kufungua hariri ukurasa kwa posta au ukurasa desturi na bonyeza add chati button kutoka toolbar jopo juu ya maudhui ya eneo hilo mhariri mara baada ya kufanya hivyo dirisha dukizi inaonekana na inatoa kuchagua chati aina kuchagua chati ya aina ambayo ni sambamba na mahitaji yako na kugonga next button baada watapewa upload csv faili na data ambazo zitatumika kwa ajili ya chati makini kwamba kwanza mstari wa faili yako csv lazima iwe na maandiko kwa mfululizo shoka / / nguzo safu ya kwanza ya faili csv zitatumika kwa ajili ya mhimili uwanja mara baada ya kupakiwa data yako utakuwa itaelekezwa kwenye ukurasa wa mwisho ambapo utakuwa na uwezo wa kuanzisha mazingira ya chati katika ukurasa huu utaona chaguzi mbalimbali customize chati yako mabadiliko yote itakuwa inatumika kwenye chati online hakikisho ambayo ni kuwekwa chini ya chaguzi baada ya kumaliza customization bonyeza insert button na wewe chati itakuwa embed katika ukurasa wako kupitia shortcode angalia mpyaintergeoplugin kufanya mada yako customize ukurasa msikivu nawordpress msikivu customizerplugin 13 aprili 12 15 julai 12 browsers sambamba eneo chati bar chati vinara chati chati safu chati csv geo chati google chati grahps kupima chati line chati vyombo vya habari pai chati hutawanya chati vizualization
2017-09-21T23:07:49
https://sw.worldwidescripts.net/gchart-40291
jinsi ya kubadili mp4 kwa vob > rasilimali > geuza > jinsi ya kubadili mp4 kwa vob vob ni umbizo video ya dvd kama unajaribu geuza mp4 vob na kuchoma kwenye dvd kucheza na dvd player au kama unataka kugeuza mp4 vob kwa uhariri au kitu kingine programu iliyopendekezwa katika makala hii itakuwa uchaguzi wako bora bora mp4 converter vob kwa windows / mac (el capitan pamoja) • moja kwa moja geuza mp4 kwa vob (dvdvideo) avi mkv mov na yoyote maarufu video maumbizo mengine • choma mp4 kwenye diski ya dvd kucheza na mchezaji yako dvd katika 30 x kasi kasi • optimized uongofu zilizotayarishwa awali kwa idvd imovie mwisho kata pro na vifaa vyovyote apple au android • hariri video na video pevu kuhariri fomula saidizi kama trimming mazao kuongeza vichwa vidogo nk • ongeza metadata kwenye video kupakuliwa au homemade kufanya nao kama itunes kulipwa wale video converter ultimate #1 jinsi ya kuchoma mp4 kwenye diski ya dvd ya kuchezwa kwa urahisi na dvd player #2 video converter ultimate jinsi ya kubadili mp4 vob kwa uhariri au sababu nyingine #3 zaidi chaguo bure mp4 na vob converter #4 kulinganisha chagua mp4 yako bora na vob converter #1 jinsi ya kuchoma mp4 kwenye diski ya dvd ya kuchezwa kwa urahisi na dvd player nitawaambia jinsi ya kuchoma au geuza mp4 dvd kwa windows (windows 10 pamoja) hapa chini kama unataka kujua jinsi ya kuchoma mp4 kwa dvd kwa mac (mavericks pamoja) bonyeza hapa baada ya kupakua na kusakinisha mp4 hii kwa dvd converter tu bofya kichupo cha kuchoma juu ya kiolesura na kisha wewe moja kwa moja kukokota na kuweka faili mp4 ndani yake au unaweza kubofya kitufe hiki kuleta faili ya mp4 2 tekeleza ya violezo jengwandani dvd menyu (hiari) unaweza kufanya dvd yako kitaalamu zaidi kwa kuongeza baadhi ya violezo vya menyu tu bofya kitufe cha mabadiliko violezo juu kulia wa kiolesura na kisha teua moja yako favorite kumbuka hii mp4 kwa dvd converter hukuwezesha kuchoma mp4 kwenye dvd diski iso faili au kabrasha ya dvd unaweza tu kuchagua umbizo yako taka katika kitufe cha kuchoma kwa 3kuanza kuchoma / geuza mp4 kwa dvd hapa tu bofya kitufe kuchoma kulia chini ya kiolesura cha hatimaye utapata yako mp4 kuchomwa kwenye diski ya dvd katika dakika chache #2 jinsi ya kubadili mp4 vob kwa uhariri au sababu nyingine 1ongeza mp4 video faili hii mp4 na vob converter kwenda mwongofu kichupo cha menyu na kisha bofya kitufe cha ongeza faili baada ya hapo hizi video ya mp4 zitaongezwa kwenye kidirisha cha programu hii 2teua vob au dvd kama umbizo towe katika programu hii towe umbizo dirisha tu teua umbizo vob kama umbizo towe kufanya hivyo unaweza hit umbizo ikoni kwenye upande wa kulia wa kiolesura cha mwongofu na kisha kwenda umbizo > video > vob 3geuza mp4 vob bofya geuza kwenye kona ya kulia ya chini ya interface kuu kuruhusu programu tumizi hii kubadili files za mp4 kwa vob faili ok imekwisha baada ya dakika chache unaweza kupata vob faili katika kabrasha towe mafunzo video jinsi ya kubadili mp4 vob kwa windows (windows 10 pamoja) #3 bure mp4 converter vob kwa windows / mac (yosemite pamoja) • kamili bure mp4 kwa converter vob bila taswira fifi • freeware safi na nguvu na muundo rahisi na moja kwa moja • moja bofya ili kupakua video za youtube kwa kasi kasi • kamili video yako mp4 na trimming mazao kuongeza athari nk mkono os windows nt4/2000/2003/xp/vista/7/8 mac os x 106 107 108 109 kumbuka mafunzo ya video converter free ni sawa na video converter ultimate au unaweza kubofya hapa ili kupata maelezo zaidi maumbizo ya msaada vob & amp video nyingine ya kawaida vob & amp nyingine ya kawaida 3d na hd video tu kupakua video za youtube pakua youtube dailymotion facebook video nk tu inaweza kutumika kwa ajili ya waongofu 10 kutumika kwa ajili ya waongofu ukomo ni jambo la kawaida kubadilisha mp4 vob hata hivyo kama ni inayolenga kubadilisha mp4 vob na kuangalia filamu juu ya mchezaji dvd unaweza bora atajaribu video converter ultimate hapa chini jinsi ya kupakua na kuchoma vimeo video ya dvd jinsi ya kubadili mov (quicktime) ili vob jinsi ya kubadili flv kwa vob
2018-04-25T00:51:12
http://sw.wondershare.com/mp4/mp4-to-vob.html
rwebangira blog saturday june 11 posho ni kweli wabunge wanalipwa mara 2 kwa kazi 1 majibu ya bunge majibu ya zito kwa bungeni vita ya posho bungeniwabunge wa ccm na chadema jana wakuwa na vikao vya ndani kwa ajili ya kuweka mikakati ya kujadili bajeti kuu ya serikali iliyowasilishwa bungeni jumatano iliyopita mjadala wa bajeti unatarajiwa kuanza rasmi jumatano ijayombowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni alisema posho zinazotakiwa kufutwa ni kwa watumishi wote wa umma ambao wamekuwa wakilipwa fedha za vikao hata wanapokuwa katika mazingira ya kutekeleza wajibu wao wa kila sikutumekokotoa na tunaendelea kukokotoa na inaelekea tunaweza kuokoa hadi kiasi cha sh900 bilioni ikiwa posho zote zitafutwa hili linawezekana kama tutakavyoonyesha katika bajeti yetu mbadala tutakayowasilisha jumanne ijayo alisema mbowemwenyekiti huyo wa chadema alisema wabunge wamekuwa wakilipwa mishahara kwa mwezi pamoja na fedha za kujikimu (per diem) wanapokuwa nje ya majimbo yao kikazi na kwamba wanachopinga ni posho za vikao (sitting allowance) ambazo ni kikwazo cha utekelezaji wa kazi za serikali na majukumu mengine katika ofisi za ummaalisema utoaji wa fedha za vikao uliasisiwa na bunge na umesambaa taratibu katika taasisi nyingine za umma na kusababisha watendaji kutunga semina na vikao vingi alimradi wanapata posho huku kazi nyingine zikiendelea kulalakwa mfano mimi ni mjumbe wa kamati ya uongozi (ya bunge) nasaini 'sitting allowance' katika kikao cha bunge nikiitwa katika kikao cha kamati ya uongozi nasaini tena sitting allowance na hata kama kutakuwa na kikao kingine jioni naweza kulipwa sasa kama huo siyo wizi ni ninihuu ni wizi wa fedha za umma ambao umetaasisiwa na sasa unaathiri utendaji katika mfumo mzima wa serikali si fedha tu kwani hata kazi zinalala kwani watendaji wote wanakimbilia kwenye vikao vya kutunga kwa sababu kuna posho na si vinginevyoalisema hoja si malipo ya posho kwa wabunge wa chadema pekee bali kwa watumishi wa nchi nzima ambao ni zaidi ya 500000 na kwamba malipo ya posho hizo yamesababisha kuwepo kwa tofauti kubwa ya kipato baina ya watu walioko kwenye menejimenti na watumishi wengine posho ni kweli wabunge wanalipwa mara 2 kwa kazi
2017-02-27T00:07:01
http://bongopicha.blogspot.com/2011_06_11_archive.html
international tennis federation (itf) yaibeba tenisi ya tanzania utaifa kwanza ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2 international tennis federation (itf) yaibeba tenisi ya tanzania by wilhelm gidabuday 62800 pm michezo viongozi wa tta wakiongea na waandishi shirikisho la tenisi la kimataifa (itf) limetoa nafasi moja ya upendeleo kwa mchezaji wa tanzania kushiriki kwenye mashindano ya tenisi ya afrika kwa vijana chini ya miaka 18 yaliyopangwa kufanyika mapema machi katika nchi mbili tofauti awali tanzania ilipitisha wachezaji wanne waliofuzu kushiriki kwenye mashindano hayo ambayo yatafanyika jijini nairobi kenya kwa wachezaji wenye umri chini ya miaka 16 na cassablanca morocco kwa wachezaji chini ya miaka 18 kwa mujibu wa kocha wa timu ya taifa ya vijana kiango kipingu chama cha tenisi tanzania (tta) kimepewa nafasi nyingine moja kwenye michuano hiyo ambayo itf imesema itachagua yenyewe mchezaji huyo ambaye itamghariamia kwa kila kitu kutokana na motisha hiyo ya itf sasa tanzania itawakilishwa na wachezaji watano ambao wanne kati yao walifikia viwango vya kushiriki mashindano ya afrika baada ya kufanya vizuri kwenye yale ya afrika mashariki na kati hivi karibuni jijini dar es salaam alisema kipingu alisema wachezaji waliofikia viwango watatu wako nairobi ambako huko wameweka kambi na watashiriki kwenye mashindano ya dunia ya vijana chini ya miaka 18 yanayoendelea kwa wiki tatu jijini humo ambayo yatakuwa sehemu ya maandalizi yao tumaini mishuko emmanuel malya na omary sule wako nairobi ambapo baada ya mashindano ya dunia watakwenda morocco kule watashiriki mashindano mengine ambayo yatakuwa sehemu ya maandalizi yao alisema posted by wilhelm gidabuday at 62800 pm international tennis federation (itf) yaibeba tenisi ya tanzania reviewed by wilhelm gidabuday on 62800 pm rating 5
2018-08-21T00:15:44
http://gidabuday.blogspot.com/2014/01/international-tennis-federation-itf.html
michuzi blog waziri mkuu aongoza kikao cha mawaziri wa afya na wadau wa afya jijini dar es salaam ' if(imglength>=1) { imgtag = ' monday march 19 2018 ~ copyright michuzi blog afya ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2018-04-19T11:31:09
https://issamichuzi.blogspot.com/2018/03/waziri-mkuu-aongoza-kikao-cha-mawaziri.html
mzee wa mshitu asilimia 10 ya watanzania wanamiliki uchumi wa nchi asilimia 10 ya watanzania wanamiliki uchumi wa nchi alitoa kauli hiyo jana mchana (jumanne februari 7 2016) wakati akizungumza na washiriki wa mkutano wa kwanza wa wadau wa uwezeshaji wananchi kiuchumi nchini uliofanyika kwenye ukumbi wa kituo cha kimataifa cha mikutano cha mwalimu nyerere jijini dar es salaam
2017-10-24T00:22:27
http://charaz.blogspot.com/2016/02/asilimia-10-ya-watanzania-wanamiliki.html
mboni show ina boa | jamiiforums | the home of great thinkers mboni show ina boa discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by ngonani oct 13 2012 wakuunilikuwa sijawahi kuangalia kipindi cha mboni show tangu kianzishweleo nilikutana na mada kwenye jf inasema ni kipindi ch ki freemsonhonestly sikuisoma hiyo postlakini muda sio mrefu nimewasha tv na kukuta kipindi icho nikakumbuka hiyo post nikaamua niangali hicho kipindi kinahusu ninikulikuwa na bwana mmoja anazungumzia maisha ya ulaya yalivyo nilikuta anamaliziathen akaja jamaa mmoja ambaye yeye alikuwa marekani na alirudishwa toka huko kwa ajili ya kesihuyo bwana alikuwa na story nzuri sana lakini kila akiongea sentensi mbili na nikawa navutika kumuangalia mara mboni anamkatisha mara kwa mara kuwa muda hautoshi na mara mboni anaaanza kuongea yeye kwa kirefu jinsi gani muda ambavyo hautoshi na kumuambia aongee kwa kifui akianza kuongea tena anamkatisha katisha kiasi cha watu kushindwa kugrasp story ya huyo jamaa aliyekuwa marekani mabaye yaelekeaalikuwa na story nzuri sana kuhusu marekanimy take mboni ajielimishe zaidi namna ya kuongoza vipindi wakuunilikuwa sijawahi kuangalia kipindi cha mboni show tangu kianzishweleo nilikutana na mada kwenye jf inasema ni kipindi ch ki freemsonhonestly sikuisoma hiyo postlakini muda sio mrefu nimewasha tv na kukuta kipindi icho nikakumbuka hiyo post nikaamua niangali hicho kipindi kinahusu ninikulikuwa na bwana mmoja anazungumzia maisha ya ulaya yalivyo nilikuta anamaliziathen akaja jamaa mmoja ambaye yeye alikuwa marekani na alirudishwa toka huko kwa ajili ya kesihuyo bwana alikuwa na story nzuri sana lakini kila akiongea sentensi mbili na nikawa navutika kumuangalia mara mboni anamkatisha mara kwa mara kuwa muda hautoshi na mara mboni anaaanza kuongea yeye kwa kirefu jinsi gani muda ambavyo hautoshi na kumuambia aongee kwa kifui akianza kuongea tena anamkatisha katisha kiasi cha watu kushindwa kugrasp story ya huyo jamaa aliyekuwa marekani mabaye yaelekeaalikuwa na story nzuri sana kuhusu marekanimy take mboni ajielimishe zaidi namna ya kuongoza vipindiclick to expand nionavyo ni kwamba muda ameubana na watu anaochukua kuwa katika kipindi ni wengi kwani mara nyingi mara ni zaidi ya wawili na mada inakuwa ndefu unahangaika na msagaji si wana copy na ku paste show za america wakati ni vilaza halafu very artificial ubunifu zero kazi kukaa nusu uchi tu hivi kuna watu bado mnaangalia vipindi vya kuwaiga kina tyra banks na kina oprah achaneni navyo niliwahi kuviangalia lakini at the end of the day nikakubali kuwa there was no creativity what so ever huwa kinaoneshwa nchi gani unahangaika na msagajiclick to expand duuuu jf is never boring sosi tb huyo dada huwa ananikera na ile miwani si jui nani alimdanganya anapendezaga afu hii tabia ya kuita vipindi kwa majina yao halisi eg jenerali on monday hamza kasongo hrben n mai mboni etc huwa inaniuzi sana kwa kweli mboni show inaboa sana ivi eatv hawana audience research kwa kweli inaboa kupita kiasi duuuu jf is never boring sosi tbclick to expand mbona haya maneno yapo and its true ngoja nikukusanyie data vizuri za huyo lesbo nikumwagie hapa kwani hata ukimuangalia alivyo hupati picha tena yeye ndo alikuwa anamdo amina mbona haya maneno yapo and its true ngoja nikukusanyie data vizuri za huyo lesbo nikumwagie hapa kwani hata ukimuangalia alivyo hupati picha tena yeye ndo alikuwa anamdo aminaclick to expand yewomiiingoja nijiandae niende kanisani hajachangamka yupo doroooo sista duu anaejitahd kutangaza kisela aende dsj kwanza kubwa zaidi anaonekana pale kama kujishow machoni pa watu kutokana na ukweli kuwa hata mada anazoanzisha kama vile yeye mwenyewe hazijui inhiiii kulazimishia umaarufu kunataka moyo yeleuwiingastuka ba msoffe yaillah tobaaaaaaaaa amina chifupa ba msoffe yaillah tobaaaaaaaaa amina chifupaclick to expand aaaagh nilikosea ni shamim yule mwenye 8020 fashion kamsaga hadi shamim kamkimbia mumewe hujayasikia haya jamani ukumuangalia waweza kuhisi kitu dunia hii sasa mtu kama shamim na ndoa yake ameitupa kisa kusagwa laaanakum yewomiiingoja nijiandae niende kanisaniclick to expand kwa kweli kaombee hawa watu wasagaji na mapunga tabia hii inakuwa kwa kasi sana hapa mjini watu wengi especially wadada siku hizi ni wasagaji unamuonba mdada mzuri anakuwa rafiki yako mnatembeleana mara anakuja kulala kwako ukiona hivyo tu kata mawasiliano atakuja kukulamba mbuchuchu huyo
2016-12-05T20:45:16
http://www.jamiiforums.com/threads/mboni-show-ina-boa.337585/
hela zilizodhamiriwa uboreshaji wa pumwani maternity zilitumwa katika akaunti ya kidero mike sonko ▷ tukocoke hela zilizodhamiriwa uboreshaji wa pumwani maternity zilitumwa katika akaunti ya kidero mike sonko maoni 698 mradi wa pumwani uliidhinishwa 2016 na wizara ya fedha na ukatengewa ksh 109 milioni mradi huo hata hivyo ulikosa kungoa nanga baada ya aliyekuwa afisa wa kaunti kudaiwa kuitisha ksh350 milioni kutoka kwa wawekezaji mradi huo wa 109 milioni pesa taslimu ulihamishwa kutoka kaunti ya nairobi hadi kwa gurumani traders ltd hela hizo baadaye zilihamishwa akaunti ya gurumani hadi kwenye akaunti ya sagar builders limited account sonko alisema sagar builders limited ndio wanakandarasi waliojenga gem suites apartments zinazomilikiwa na kidero gavana wa kaunti ya nairobi mike mbuvi sonko amemwangazia mtangulizi wake evans odhiambo kidero kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya fedha za uboreshaji wa hospitali ya pumwani maternity inayokabiliwa na ukosefu wa vifaa na uhaba wa wahudumu sonko alimshutumu kidero na waliokuwa maafisa wa kaunti dhidi ya kupunja zaidi ya ksh 212 milioni zilizotengewa sekta ya afya katika kaunti ya nairobi kwa minajili ya kufadhili miradi ya hospitali ya mama lucy na pumwani maternity hospital sonko alimshutumu kidero na waliokuwa maafisa wa kaunti dhidi ya kufuja zaidi ya ksh 212 milioni zilizotengewa sekta ya afya kaunti ya nairobi kufadhili miradi katika mama lucy hospital na pumwani maternity hospital mike sonko amshutumu mtangulizi wake evans kidero dhidi ya kuiba hela za kaunti picha facebook katika ujumbe wa facebook ulioonekana na tukocoke mnamo jumapili septemba 23 bosi wa city hall alidai kidero alihusika na miradi iliyokwama pumwani na mama lucy na kwamba gavana huyi wa zamani alituma hela zilizopangiwa maendeleo katika vituo hivyo vya afya kwa akaunti zake kwa kutumia washiriki wa kibiashara kama hila wizara ya afya iliidhinisha mradi wa ppp katika pumwani maternity mnamo 2016 mradi huo ulikosa kuzinduliwa kwa sababu wawekezaji kutoka india waliagizwa kulipa kwanza ksh 350 milioni mwaka uo huo hazina ya kitaifa ilitoa ksh 212 milioni kama sehemu ya hela zilizotengewa bajeti hela hizo zilitumwa kwa akaunti ya nairobi city coop bank a/c no 01141232396601 nakumatt global kra vehicle registration checker pepino melon edi gathegi net worth
2019-02-15T20:09:35
https://kiswahili.tuko.co.ke/286829-hela-zilizodhamiriwa-uboreshaji-wa-pumwani-maternity-zilitumwa-katika-akaunti-ya-kidero-mike-sonko.html
john barnes wa liverpool kutua nchini kuangalia kombe la standard chartered mdimu's blog home / michezo / john barnes wa liverpool kutua nchini kuangalia kombe la standard chartered john barnes wa liverpool kutua nchini kuangalia kombe la standard chartered mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi (katikati) akiwa ameambatana na mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani (kulia) pamoja na mkuu wa mahusiano wa benki ya standard chartered juanita mramba wakiwasili kwenye sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mkuu wa mahusiano wa benki ya standard chartered juanita mramba akizungumzia tukio adhimu la benki ya standard chartered tanzania limited kutimiza miaka 100 tangu ilipofungua milango yake nchini tanzania kabla ya kumkaribisha mtendaji mkuu wa benki hiyo bw sanjay rughani kutoa risala katika sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari wakati wa sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mkuu wa iadara ya fedha wa benki ya standard chartered abdulrahman said (wa pili kushoto) akizungumzia katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu ujio wa mchezaji aliyewika wa timu ya liverpool john barnes ambapo wateja wa benki hiyo watapata fursa ya kukutana na mchezaji huyo mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi (wa pili kulia) akitoa baraka zake kwenye sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam kulia ni katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) mwesiga celestine katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) mwesiga celestine (kulia) akitoa salamu za tff kwenye sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) mwesiga celestine (kulia) akimkabidhi bendera ya tff mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani wakati wa sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam wanaoshuhudia tukio hilo ni mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi (wa pili kulia) na mkuu wa idara ya fedha wa benki ya standard chartered abdulrahman said mkutano na waandishi wa habari ukiendelea wakati wa sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mchambuzi mkongwe wa kandanda nchini dr leaky abdallah (kulia) ambaye pia ni mshabiki mkubwa wa liverpool akitoa uchambuzi wa timu hiyo barabara ya kuelekea anfield wakati wa sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani (katikati) akimkabidhi zawadi mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi (wa pili kulia) huku wengine wakishuhudia tukio hilo kulia ni katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) mwesiga celestine mkuu wa idara ya fedha wa benki ya standard chartered abdulrahman said (kushoto) na mchambuzi mkongwe wa kandanda nchini dr leaky abdallah (kulia) ambaye pia ni mshabiki mkubwa wa liverpool (wa pili kushoto) mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani (katikati)akimkabidhi zawadi katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) mwesiga celestine (kulia) kwenye sherehe za uzinduzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani (wa tano kulia) akimkabidhi zawadi mchambuzi mkongwe wa kandanda nchini dr leaky abdallah (wa tatu kushoto) ambaye pia ni mshabiki mkubwa wa liverpool katika sherehe za uzinduzi huo wa pili kulia ni mkuu wa mahusiano wa benki ya standard chartered juanita mramba mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani (kushoto) akibadilishana mawazo na mchambuzi mkongwe wa kandanda nchini dr leaky abdallah ambaye pia ni mshabiki mkubwa wa liverpool kabla ya kuanza kwa mechi ya ufunguzi wa mashindano ya kombe la standard chartered 2017 uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi katika picha ya pamoja na timu a na b na waamuzi wa mechi hiyo ya ufunguzi wa wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi akisalimiana na vikosi vya timu a na b kabla ya kuanza kwa mechi hiyo ya ufunguzi wa wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mgeni rasmi mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi akibutua mpira kuashiria uzinduzi rasmi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam kapteni wa timu a majuto omary wa gazeti la mwananchi akiwatoka wachezaji wa timu b ikiongozwa na mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani wakati wa mechi ya ufunguzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam mpiga picha wa azam tv akimtoka mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered bw sanjay rughani wakati wa mechi ya ufunguzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) mwesiga akikabidhi zawadi kwa wachezaji wa timu a baada ya kuichapa bao 10 timu b kwenye sherehe za uzinduzi rasmi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam kulia ni mwenyekiti wa baraza la michezo nchini (bmt) bw dionis malinzi kapteni wa timu a majuto omary kutoka gazeti la mwananchi akifurahia zawadi yake baada ya timu yake kuibuka kidedea dhidi ya timu b kwa bao 10 wakati wa mechi ya ufunguzi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam picha ya pamoja timu a iliyoibuka kidedea dhidi ya timu b kwa bao 10 kwenye sherehe za uzinduzi rasmi wa awamu ya pili ya mashindano ya kombe la standard chartered 2017 barabara ya kuelekea anfield uliofanyika katika viwanja vya jakaya mrisho kikwete youth park jijini dar es salaam
2018-05-20T23:28:15
http://www.mdimuz.com/2017/02/john-barnes-wa-liverpool-kutua-nchini.html
minibuzz tanzania the daily talkshow inside a daladala minibus minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa 1230 jioni na saa 5 usiku na jumamosi marudio ya wikijisajili na channel yetu ya youtube ili uweze kupokea taarifa mpya vichekesho na majadiliano mbalimbali ya minibuzz kila siku bofya hapahttps//wwwyoutubecom/cha ____________minibuzz is a current affairs and debating program filmed daily in a daladala (commuter minibus) on the streets of tanzania the program is broadcasted by star tv twice daily at 630 pm and 11 pm with an omnibus on saturdayclick the red button above to subscribe to minibuzz tv on youtube and receive alerts about daily new videosfollow minibuzz on facebook wwwfacebookcom/minibuzztanzaniaminibuzz is produced by miatv wwwmiatvco masai & mau comedy minibuzz tanzania vichekesho vichekesho (comedy) vya masai & mau tazama minibuzz kila siku kwa star tv na usikose kubonyeza subscribe ili kuendelea kupata video mpya za masai mau na wengine wa minibuzz kupitia kwa web ugonjwa anaouogopa masai duration 90 seconds 6 months ago10644 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa masai miaka arobaini kutoka sasa duration 91 seconds 6 months ago5549 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa masai sabasaba duration 95 seconds 9 months ago8993 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa wanaume kutoa maneno ya kejeli baada ya kukataliwa na wanawake | vichekesho minibuzz tanzania duration 102 seconds 1 year ago34030 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa kumcha mungu kwa kipindi fulani | vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 94 seconds 1 year ago16525 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu | vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 88 seconds 1 year ago16887 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa utajuaje mtu anakupenda | kona ya vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 51 seconds 1 year ago16701 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa mtu kufanya anachokipenda bila kujali ni kero kwa mwenzake | vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 75 seconds 1 year ago11856 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa majukumu ya wapangaji | kona ya vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 70 seconds 1 year ago10030 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa undugu katika ajira | kona ya vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 92 seconds 1 year ago11278 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa wazazi kuwaita watoto wao majina yasiyo ya kawaida | kona ya vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 68 seconds 1 year ago17909 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa je mzaha ni uonevu au utani kona ya vichekesho na masai minibuzz tanzania duration 114 seconds 1 year ago19909 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa kona ya bibi kiroboto | minibuzz old skul swahili vichekesho (comedy) vichekesho bora vya bibi kiroboto katika kipindi cha minibuzz bibi kiroboto mpango katika kula | minibuzz old skul comedy duration 3 minutes 14 seconds 2903 views1 year ago 112 bibi kiroboto kona ya ugomvi bungeni | minibuzz old skul comedy duration 72 seconds 1601 views1 year ago 107 bi kiroboti unajali mazingira unapokula | minibuzz old skul comedy duration 67 seconds 978 views1 year ago 147 bibi kiroboto kwa ajili ya wazazi | minibuzz old skul comedy duration 107 seconds 1151 views1 year ago 132 bibi kiroboto utani wa makabila | minibuzz old skul comedy duration 92 seconds 5658 views1 year ago 124 bibi kiroboto kupiga wanaume | minibuzz old skul comedy duration 84 seconds 2305 views1 year ago 132 bibi kiroboto unaweza kulinda maovu ya mtu wako wa karibu | minibuzz old skul comedy duration 92 seconds 1030 views1 year ago 042 bibi kiroboto kukeketwa / female circumcision (fgm) | minibuzz old skul comedy duration 42 seconds 29659 views1 year ago 134 bibi kiroboto kona ya leo | minibuzz old skul comedy duration 94 seconds 1031 views1 year ago 135 bibi kiroboto analewa pombe | minibuzz old skul comedy duration 95 seconds 4048 views1 year ago 149 bibi kiroboto ni askari | minibuzz old skul comedy duration 109 seconds 30764 views1 year ago 143 bibi kiroboto ni mwalimu | minibuzz old skul comedy duration 103 seconds 3922 views1 year ago view 9 more tazama minibuzz mijadala kwenye daladala jisajili (subscribe) na channel yetu ya youtube ili uweze kupokea taarifa mpya vichekesho na majadiliano mbalimbali ya minibuzz minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa 1230 jioni na saa 5 usiku na jumamosi marudio ya wiki'like' ukurasa wetu wa facebook facebookcom/minibuzztanzania watu kumcha mungu kwa kipindi fulani | minibuzz tanzania duration 12 minutes 1 year ago327 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa uhalali wa polisi jamii kukamata madereva wa pikipiki | minibuzz tanzania duration 15 minutes 1 year ago318 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa undugu bila taaluma ni kigezo cha kupeana kazi minibuzz tanzania duration 8 minutes 39 seconds 1 year ago105 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa kutoboa watoto wenye umri mdogo masikio | minibuzz tanzania duration 10 minutes 1 year ago124 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa teknolojia katika sekta ya kilimo | minibuzz tanzania duration 14 minutes 1 year ago96 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa wafanya biashara wadogo kufanya biashara kiholela | minibuzz tanzania duration 2 minutes 37 seconds 1 year ago45 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa kwa nini baadhi ya watu kupenda kuongea kwa vitendo minibuzz tanzania duration 8 minutes 2 seconds 1 year ago107 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa wafanya biashara wadogo kufanya biashara kiholela minibuzz tanzania duration 14 minutes 1 year ago83 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa wazazi kuwaita watoto wao majina yasiyo ya kawaida minibuzz tanzania duration 11 minutes 1 year ago147 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa je tunafahamu jinsi ya kumchagua rais ndani ya chama minibuzz tanzania duration 12 minutes 1 year ago69 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa watanzania wana mtanzamo gani juu ya uchaguzi ujao minibuzz tanzania duration 2 minutes 39 seconds 1 year ago145 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa je watanzania wanamtanzamo gani juu ya uchaguzi ujao duration 13 minutes 1 year ago85 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa minibuzz rap mistari ya p the mc & nash mc (tanzanian hip hop) mistari ya p the mc kila wiki kwenye minibuzzusikose mistari jisajili na channel yetu ya youtube ili uweze kupokea taarifa mpya vichekesho na majadiliano mbalimbali ya minibuzz kila siku p the mc watu kuheshimiana mtaani duration 58 seconds 51 views2 months ago 103 chaguo la p the mc kwenda anapopapenda duration 63 seconds 125 views4 months ago 059 p the mc asante duration 59 seconds 127 views5 months ago 056 p the mc maslahi kwa wanenguaji duration 56 seconds 74 views6 months ago 053 p the mc ubunifu wa mavazi duration 53 seconds 126 views7 months ago 059 p the mc jinsia yenye mambo mengi duration 59 seconds 119 views7 months ago 106 p the mc kuwa shahidi duration 66 seconds 230 views7 months ago 054 p the mc uchoraji wa tatuu duration 54 seconds 229 views7 months ago 056 p the mc kutenda haki kwa kila mtu duration 56 seconds 168 views7 months ago 057 p the mc kujaribu kuokoa mtu kwenye ajali duration 57 seconds 170 views8 months ago 055 p the mc kutizama filamu kidigitali duration 55 seconds 115 views8 months ago 101 p the mc kiongozi wa dini kuacha maadili duration 61 seconds 312 views8 months ago view 26 more watu wenye mvuto kupata fursa zaidi | kona ya vichekesho na masai & mau minibuzz duration 111 seconds 1 year ago272324 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa usafi wa mwili / body odor | masai & mau minibuzz comedy duration 116 seconds 2 years ago113772 views do we have a body odor problem mwanaume kuwa na uwezo zaidi katika familia | masai & mau minibuzz comedy duration 96 seconds 1 year ago92481 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa likizo ya uzazi kwa wanaume | kona ya vichekesho na masai & mau minibuzz duration 100 seconds 1 year ago79338 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa kutumia nguvu au akili katika kazi | masai & mau minibuzz comedy duration 88 seconds 1 year ago72558 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa je mteja hawezi kukosea | masai & mau minibuzz comedy minibuzz duration 92 seconds 1 year ago67863 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa mwanamke na mwanaume nani muongo swahili comedy with mau minibuzz tanzania duration 91 seconds 2 years ago62343 views kona ya vichekesho minibuzz tanzania unadhani kati ya mwanamke na mwanaume nani muongo tazama kichekesho kutoka kwa mau fundi unaweza kumsaidia mtu anayevamiwa | masai & mau minibuzz comedy duration 73 seconds 1 year ago61273 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa unapenda ukifa watu wakuzungumziaje | masai & mau minibuzz comedy duration 105 seconds 1 year ago49214 views unapenda ukifa watu wakuzungumziajehow would you like to be said when your dead tabia ya kupiga chabo duration 97 seconds 1 year ago44683 views minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya tanzania kipindi hiki hurushwa na star tv mara mbili kwa siku saa watu wenye matatizo ya akili mitaani | masai & mau minibuzz comedy duration 98 seconds 2 years ago44405 views leo tunaongelea suala la watu wenye matatizo ya akili wanaoishi miaani nani achukue jukumu la kuwatunza tume maoni yakowe're talking about the mentally disabled people that are living in our s kutokuwahukumu wenzetu | masai & mau minibuzz comedy duration 93 seconds 1 year ago42860 views tunaweza kuishi bila kuwahukumu wenzetu can we live without judging other peoplejisajili na channel yetu ya youtube ili uweze kupokea taarifa mpya vichekesho na majadiliano mbalimbali ya minibu minibuzz uganda channel bongostars channel subscribesubscribedunsubscribe global tv online channel subscribesubscribedunsubscribe millard ayo channel subscribesubscribedunsubscribe mkata kiu tv channel subscribesubscribedunsubscribe topten fire channel subscribesubscribedunsubscribe bongomikasatv channel
2017-04-29T08:14:40
https://www.youtube.com/channel/UCfRTJ6tw29EFa2YbpbobI6A
siku ya wafanyakazi duniani mei mosi siku kuu ya wafanyakazi duniani ni fursa ya kukuza na kudumisha uhuru ushiriki na uhamasishaji wa vipaji vya ugunduzi kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya wengi siku kuu ya wafanyakazi duniani na changamoto zake kwa mwaka 2018 maadhimisho ya siku kuu ya wafanyakazi duniani kila mwaka ni fursa ya kukazia utu heshima haki msingi za binadamu ustawi na maendeleo ya wote na kwamba kazi ni utimilifu wa utu na heshima ya binadamu kazi inasaidia kuboresha dunia ili iweze kuwa ni mahali bora zaidi pa kuishi
2018-10-16T02:44:58
http://sw.radiovaticana.va/news/tags/siku-ya-wafanyakazi-duniani-mei-mosi
martin kadinda's official fashion blog diamond platnumz azidi kupandisha ubora wa kazi zake usahili wa video models 22 sept 2012 frank victor 0340 kama kawaida jembe langu halijawahi kuniangushalove you diamond keep it up
2017-12-18T01:23:20
http://mvutokwanza.blogspot.com/2012/09/diamond-platnumz-azidi-kupandisha-ubora.html
polisi jamii live barmedastv hd | barmedas it and media group home » »unlabelled » polisi jamii live barmedastv hd polisi jamii live barmedastv hd polisi jamii ni kila ijumaa saa 1 hadi 2 jioni edmund ruter ndio host wa kipindi hiki na mada kuu leo ni wizi kwa njia ya mtandao akiwepo na ass insp fransis masag
2017-11-22T12:40:06
http://barmedas.blogspot.com/2016/09/polisi-jamii-live-barmedastv-hd.html
ole wao wanaotishia kwa sms dci manumba | jamiiforums | the home of great thinkers ole wao wanaotishia kwa sms dci manumba ole wao wanaotishia kwa sms dci manumba mwandishi wetu oktoba 1 2008 raia mwema~muungwana ni vitendo mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (dci) robert manumba amesema ya kuwa tabia inayojitokeza katika jamii kutumia simu za mkononi kutuma ujumbe wa vitisho unyanyasaji au mambo ya ngono ni uhalifu na jeshi la polisi limejizatiti kukabiliana nayo akizungumza na mtandao wa habari wa klhnewscom wa marekani jumapili uliokaririwa nchini manumba alisema ya kuwa kumekuwapo ongezeko la malalamiko kutokana na baadhi ya watu kupata ujumbe wa mfupi wa simu (sms) wa vitisho kutoka kwa maadui zao au hata watu wasiowajua na kwamba vitisho hivyo vingi vinahusu “masuala ya binafsi na ugomvi wa kawaida” kuhusu suala la vitisho kwa viongozi kama ilivyolalamikiwa na spika samuel sitta manumba alisema “vitisho kwa viongozi ni nadra sana mara nyingi vinawalenga watu wa kawaida lakini vyote tunavipa uzito mkubwa” alisema kuwa “kitisho ni kitisho iwe kwa kiongozi au mtu wa kawaida na kwa ajili hiyo vyote tunachunguza” akijibu swali kama jeshi la polisi lina vifaa na uwezo wa kisheria kufuatilia wale wanaotumia simu za mkononi kutoa vitisho kwa watu wa kawaida na viongozi alisema kuwa hadi sasa suala hilo linashughulikiwa katika pande mbili upande mmoja ni suala la vifaa vya kisasa vya kuwezesha jeshi la polisi kuweza kukusanya na kufuatilia vitisho hivyo na hilo liko katika mipango ya maendeleo ya jeshi hilo “suala la pili ni suala la kisheria kwamba namna gani tutaweza kuziangalia hizo taarifa (sms) na jinsi gani zinakubalika kisheria bila kuingilia mambo binafsi ya watu au mambo ya usalama wao” alisdema aliuambia mtandao huo maarufu wa watanzania wanaoishi nje ya kuwa serikali iko katika mazungumzo na makampuni yanayotoa huduma za simu za mkononi katika kuleta ushirikiano wa kufuatilia usalama wa matumizi ya simu hizi na kuwalinda watumiaji na suala la usalama wa taifa kwa mujibu wa manumba “sababu ya kuwa na ushirikiano huo ni kuwa suala hili haliwadhuru watumiaji wa simu tu bali pia wenye makampuni hayo kama wafanyabiashara kwani linaweza kuwaharibia biashara zao” kuhusu matumizi hayo ya simu yanavyoweza kuhatarisha usalama wa taifa manumba alisema kuwa mara nyingi watanzania ni wepesi kutoa simu zao zitumiwe na mtu wasiyemjua kwa ukaribu au aliyezoeana naye kwa muda mfupi bila kujua mtu huyo anatumia simu hiyo kwa malengo gani “tuwe waangalifu unajua sisi bado ni wageni sana katika teknolojia hii na watu hawajui kuwa simu zao zinaweza kutumiwa na wahalifu na wao (wamiliki) kuhusishwa na uhalifu wasiohusika nao” alisisitiza kuhusu suala la viongozi na watu maarufu kupewa vitisho kwa njia ya sms au mitandao ya kiintaneti manumba aliwataka wasipuuzie “ watambue kuwa huu ni uhalifu kutishiwa ni uhalifu au matumizi ya teknolojia hii kwa malengo mabaya yote ni uhalifu” aliwahakikishia wananchi kuwa “ polisi tunaweza kupambana na wahalifu hao” akiongeza kwa kutoa wito kwa wananchi kushiriki katika kupambana na uhalifu kwani kazi hiyo si ya polisi tu “wananchi wasiwe na hofu tunashirikiana na taasisi nyingine duniani zenye uzoefu katika teknolojia hii tunaomba watupe ushirikiano wote ili tuweze kupambana na uhalifu huu tusiuache uote mizizi kwenye jamii yetu”
2017-07-26T19:01:40
https://www.jamiiforums.com/threads/ole-wao-wanaotishia-kwa-sms-dci-manumba.18732/
 hazina ya maswali>رابطه نبوت و امامت>دلایل اثبات امامت>امام شناسی>elimu ya akida hazina ya maswali islamquest nyumbani hazina ya maswali elimu ya akida امام شناسی دلایل اثبات امامت رابطه نبوت و امامت jumapili 21 aprili 2019 maneno yote kama ibara ilivyo kila neno(maneno yaliyo ainishwa tu) kila neno(pamoja na minyambuko yake) hali kwa sasa timuرابطه نبوت و امامت ► maudhui zote miscellaneous questions qurani پیامبران hadithi elimu ya akida falsafa tabia irfani fiqhi tarehe nyendendo احکام مبانی شیعه اندیشه های امام خمینی (ره) مفاهیم قرآنی ولایت فقیه و حکومت اسلامی عرفان و اخلاق منطق و فلسفه بیشتر بدانید قواعد عربی kipindi chote msaa 24 yaliopiti wiki moja iliyopita wiki mbili zilizopita wiki tatu zilizopita mwezi mmoja uliopita miezi miwili iliyopita miezi sita iliyopita 7596 دین 2012/05/23 4964 محبت و دوستی 2012/05/23 5445 گوناگون 2012/05/23 2293 اشتراک در دین 2015/06/02 4105 اهل بیت و یاران 2012/05/23 482 بیشتر بدانیم 2018/01/24 5408 دنیا و زینتهای آن 2012/06/17 4206 شخصیت های شیعی 2012/05/23 8299 عزاداری و زیارت 2012/05/23 4836 اهل بیت و یاران 2012/05/23 29481 falsafa ya dini 2012/05/23 20754 tabia kimtazamo 2012/06/17 15002 sheria na hukumu 2012/06/17 14925 sheria na hukumu 2012/06/17 13291 sheria na hukumu 2012/05/23 12884 sheria na hukumu 2012/05/23 12732 sheria na hukumu 2012/05/23 11053 tabia kimtazamo 2012/05/23 10748 tafsiri 2012/05/23 10153 tabia kimtazamo 2012/05/23
2019-04-21T16:11:09
http://www.islamquest.net/af/archive/category/1490
kocha wa argentina jorge sampaoli ajiuzulu baada ya matokeo duni kwenye kombe la dunia ▷ tukocoke kocha wa argentina jorge sampaoli ajiuzulu baada ya matokeo duni kwenye kombe la dunia maoni 975 jorge sampaoli amejiuzulu na kuiacha argentina ikimsaka meneja mwingine meneja huyo wa zamani wa albiceleste alikubaliana na chama cha soka nchini argentina kabla ya kujiuzulu argentina ambao ni mabingwa wa kombe la dunia mwaka wa 1978 na 1986 iliandikisha matokeo duni kwenye kombe la dunia kocha wa timu ya taifa ya soka ya argentina jorge sampaoli alijiuzulu baada ya kuandikisha matokeo mabaya kwenye kombe la dunia 2018 lililokamilika jumapili julai 15 argentina iliyaaga mashindano hayo kwenye raundi ya 16 baada ya kubwagwa na ufaransa walioshinda kombe la mwaka huu chama cha soka cha argentina na kocha jorge sampaoli walikubaliana na kusitisha kandarasi yake chama cha soka cha argentina kilifichua jumapili julai 15 chama hicho kilimshukuru kocha huyo wa zamani wa chile na manaibu wake kwa huduma zao kwa albiceleste kuondoka kwa sampaoli kunamaanisha kuwa mabingwa hao wa kombe la dunia mwaka wa 1978 na 1986 wataanza kumsaka meneja wao wa nne kwa miaka minne iliyopita sampaoli aliifunza albiceleste kwa miezi 12 baada ya kutwikwa jukumu la kuiandaa timu hiyo kufuzu kwa kombe la dunia na kuwania kombe lenyewe albiceleste ilifuzu kwa kombe la dunia kutokana na weledi wa lionel messi kwenye mechi yao ya mwisho argentina ilikosa kutamba kwenye kundi d baada ya kupambana na iceland croatia na nigeria ilitoka sare ya bao 11 na iceland kwenye mechi yake ya kwanza ikapoteza ya pili kwa kushindwa kwa mabao 30 na croatia na kushinda mechi ya mwisho katika dakika za mwisho kwa kuifunga nigeria 21 ili kufuzu kwa raundi ya 16 ambapo walitandikwa na ufaransa kwa mabao 43 vyombo vya habari vya argentina vilidai kuwa huenda mmoja kati ya makocha mauricio pochettino wa tottenham diego simeone wa atletico madrid na marcelo gallardo wa river plates akatwaa nafasi ya sampaoli wengine wanaopigiwa upato kutwaa nafasi hiyo ni kocha wa colombia aliyekuwa na kikosi hicho nchini urusi jose pekerman na ricardo gareca aliyeongoza shughuli za peru kwenye kombe la dunia kwa miaka 36 uhamisho wa wachezaji wa soka utakushangaza | tuko tv kra pin checker startimes kenya taxify kenya requirements ghris my payslip online jobs kenya viongozi wakuu wamkumbuka kofi annan kwa njia spesheli
2018-08-20T01:12:28
https://kiswahili.tuko.co.ke/279767-kocha-wa-argentina-jorge-sampaoli-ajiuzulu-baada-ya-matokeo-duni-kwenye-kombe-la-dunia.html
kama wana wa israel safari ya himid inaanzia misri kuelekea nchi ya ahadi | shaffihdauda home kitaifa kama wana wa israel safari ya himid inaanzia misri kuelekea nchi ya ni ukweli usiofichika watanzania wengi walikuwa wanaumia kumuona himid mao anaendelea kucheza tanzania ukilinganisha na uwezo wake wengi waliamini himid ni miongoni mwa wachezaji wanaostahili kucheza nje ya nchi subira huvuta heri hatimaye yametimia himid amejiunga na petrojet inayoshiriki ligi kuu ya misri nidhamu ndani na nje ya uwanja upambanaji na kujituma kwa 100 vina fanya watu wengi kuamini himid atafika mbali zaidi ya alipo sasa himid ni kijana asiyekubali kushindwa na hajawahi kukata tamaa february 2017 niliwahi kufanya naye mahojiano akasimulia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kufukuzwa shule kwa kukosa ada wakati huo alikuwa form one lakini baadaye mama yake alipambana mambo yakaenda sawa huenda kumbukumbu kama hizi ndiyo zinamfanya jamaa kuwa mpambanaji tunayemuona leo ili watoto wake wasijekupita kwenye nyayo zake safari hii story ya himid si ya kusikitisha tena wala kuhuzunisha bali imejaa matumaini na malengo ya kutimiza ndoto zake kwenye soka na maisha kama ulikuwa hufahamu himid amesaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya petrojet ambayo imeanzishwa miaka 18 iliyopita nimesaini miaka mitatu kucheza hapa inawezekana kabisa hata wewe ukawa unajiuliza kama mimi kwa nini amekubali kusajiliwa na klabu changa ya misri na afrika kwa ujumla hakuna jambo ambalo limefanyika kwa bahati mbaya katika usajili wake ilikuwa ndoto yenye plan ndani yake kwanza nilitaka kuondoka tanzania wakati ligi inakaribia kuisha kulikua na offer kama tano za nje na tukawa na mazungumzo na timu zote ila petrojet wakawa faster zaidi so sikuona sababu ya kuacha kujiunga nao ukizingatia level ya mpira wa misri ipo juu sana na timu pia sio mbaya nikaona ni sehemu nzuri kwa sasa kuanzia maisha yangu nje ya tanzania himid ameaema kwa muda mfupi ambao amekuwa petrojet na misri ameshuhudia tofauti kubwa ya maendeleo ya soka ukilinganisha na tanzania kuna tofauti kwenye vitu vingi hasa level ya professionalism wenzetu wametuzidi sana kila kitu kipo kwenye mpangilio maalum kwa hiyo inanipa msukumo mimi kama mchezaji kujitoa zaidi ili niende sawa na kila kitu malengo yake katika msimu wa kwanza ndani ya petrojet ni kuhakikisha anapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwenye kikosi cha kwanza malengo yangu katika msimu wa kwanza ni kuhakikisha nacheza na kupata nafasi ya kudumu first team na kuisaidia timu kutimiza malengo yake ya msimu mara nyingi wachezaji wa tanzania wanapopata nafasi ya kucheza kwenye nchi ambazo hazizungumzi kiswahili wala kiingereza changamoto kubwa huwa ni lugha himid yupo misri nchi inayozungumza sana kiarabu hali ikoje kwake changamoto ya lugha sio kubwa sana asilimia kubwa benchi la ufundi wanajua kiingereza kocha mkuu na madaktari wawili wanaju pia na staff baadhi wanajua kiingereza wachezaji baadhi wanajua kiingereza kwa hiyo lugha sio tatizo kwakuwa mpira una lugha yake kokote pale duniani kwa siku chache ambazo himid amekaa misri ameonekana kwenye picha akiwa kwenye vivutio maarufu vya utalii nchini humo (pyramids) sehemu hiyo ilikuwa inamvutia tangu akiwa bongo na alitamani siku moja kwenda kutembelea sijatembea sana tangu nimekuja hapa muda mwingi nakua nyumbani kwangu tu juzi kati ndio nilienda giza kwenye pyramids kwakua tulipata mapumziko ya sikukuu kwa siku 5 nikasema ngoja niende kule kurefresh kidogo mana kukaa ndani tu siku tano sio rahisi unaambiwa huko mo salah ni habari nyingine kabisa ni anapendwa kuliko unavyofikiria wanaipenda sana timu yao hawa watu salah ni mtu anayependwa hapa kuliko kitu chochote previous articlezitto aipa yanga mchongo kutatua matatizo next articlerus2018 messi amepata tabu sana lakini tusimdhihaki ili kumkweza ronaldo dick dauda july 10 2018 kicki_19 july 9 2018 rafael nadal na rodger federer ni bampatobampa wimbledon fainali ya 2008 yanukia nusu fainali ya ubelgiji vs ufaransa katika namba
2018-07-15T22:50:08
http://shaffihdauda.co.tz/2018/06/22/kama-wana-wa-israel-safari-ya-himid-inaanzia-misri-kuelekea-nchi-ya-ahadi/
colombia rushwa index biashara kujiamini 1050 930 1270 1596 indexpointi [+] viwanda uzalishaji 010 350 1770 2270 asilimia [+] gari sajili 2287400 1945500 4039300 1594100 [+] uongozi index uchumi 370 260 980 160 asilimia [+] steel uzalishaji 11500 9500 13300 2900 elfu tani [+] viwanda pmi 5090 5030 5430 4540 [+] cement uzalishaji 117500500 111812668 120966026 50877400 tani [+] viwanda uzalishaji (mwezi) 070 060 1600 910 asilimia [+] sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi colombia rushwa index
2019-10-15T21:47:56
https://sw.tradingeconomics.com/colombia/corruption-index
picha ya pamoja kati ya waziri wa maliasili na utalii mhe prof jumanne maghembe (wa tatu kulia mstari wa mbele) naibu waziri mhe eng ramo makani (wa tatu kushoto mstari wa mbele) katibu mkuu dkt adelhelm meru (wa pili kulia mstari wa mbele) na mwenyekiti pamoja na wajumbe wa bodi ya mamlaka ya wanyamapori tanzania (tawa) mara baada ya mkutano wa pamoja uliofanyika leo tarehe 30 desemba 2015 makao makuu ya wizara hiyo mpingo house dar es salaam kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta ya wanyamapori na utalii kwa ujumla posted by aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii ambaye pia ni mbunge wa jimbo la singida kaskazini mhe lazaro nyalandu (kushoto) akizungumza na waziri wa sasa wa wizara hiyo mhe prof jumanne maghembe na katibu mkuu dkt adelhelm meru (kulia) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika leo tarehe 29 desemba 2015 katika ofisi za wizara hiyo mpingo house katika salamu zake mhe nyalandu amepongeza uteuzi wa prof maghembe ambapo amesema mhe rais amefanya chaguo sahihi kwani prof maghembe anao uwezo wa kufanya kazi nzuri katika wizara hiyo waziri wa maliasili na utalii mhe prof jumanne maghembe akizingumza na aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii ambaye pia ni mbunge wa jimbo la singida kaskazini mhe lazaro nyalandu (kulia) muda mfupi baada ya makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika ofisini kwake leo mhe prof maghembe amempongeza mhe nyalandu kwa kazi nzrui aliyoifanya akiwa waziri wa wizara ya malisili na kuahidi kuanzia alipoishia katika kuhakikisha maliasili za nchi zinatunzwa ipasavyo ikiwemo kupambana na changamoto zilizopo za ujangili na uharibifu wa misitu na maliasili kwa ujumla waziri wa maliasili na utalii prof jumanne maghembe amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa waziri kabla yake mhe lazaro nyalandu makabidhiano hayo yamefanyika leo makao mkuu ya wizara hiyo mpingo house jijini dar es salaam katika makabidhiano hayo mhe nyalandu amekabidhi taarifa rasmi ya makabidhiano kwa mhe waziri prof jumanne maghembe kama ishara ya kukabidhi rasmi ofisi ya waziri wa wizara ya maliasili na utalii makabidhiano hayo ambayo ni utaratibu wa kiserikali wa kukabidhi ofisi umeshuhudiwa na katibu mkuu wa wizara hiyo dkt adelhelm meru naibu katibu mkuu bw selestine gesimba baadhi ya watumishi wa wizara hiyo na akizungumza baada ya makabidhiano hayo mhe nyalandu amempongeza mhe rais dkt john pombe magufuli kwa kumteua prof maghembe kuwa waziri wa wizara ya maliasili kwa kuwa ana sifa stahiki za kuongoza wizara hiyo nyeti aliongeza kwa kusema kuwa prof maghembe ana sifa ya kuwa mhifadhi kwa kusomea na pia ni mhifadhi kwa asili yake hivyo wizara imepata mtu makini kwenye masuala ya uhifadhi natambua umahiri wako katika masuala ya uhifadhi nina imani utapambana na ujangili pamoja na usafirishaji haramu wa magogo kwa kasi inayotarajiwa na wananchi alisema mhe nyalandu kwa upande wake waziri aliyechukua nafasi yake prof jumanne maghembe amempongeza mhe nyalandu kwa kazi nzuri na juhudi aliozoonesha wakati akiwa waziri wa wizara hiyo katika kuhakikisha maliasili zilizopo zinaendelea kuwepo kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho prof maghembe ameongeza kuwa kwa sasa vita kubwa iliyoko mbele yake ni vita dhidi ya ujangili na uharibifu wa misitu ikiwa ni pamoja na usafirishaji wa rasilimali za misitu kinyume cha sheria ameomba ushirikiano kwa wadau wote wa maliasili nchini kumpa ushirikiano wa kutosha kuhakikisha anafanikiwa katika vita hiyo pamoja na mambo mengine taarifa hiyo ya makabidhiano inaelezea kazi zilizokwisha kufanyika katika kipindi cha utawala uliopita kazi zinazoendelea na zilizopo kwenye mpango wa utekelezaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazoikabili sekta ya maliasili na utalii ikiwemo ujangili na uvunaji pamoja na usafirishaji wa magogo posted by picha ya pamoja kati ya mhe waziri wa maliasili na utalii prof jumanne maghembe (wa pili kulia) na naibu waziri wake mhe eng ramo makani (wa pili kushoto) katibu mkuu wa wziara hiyo dkt adelhelm meru (wa kwanza kulia) na naibu katibu mkuu ndugu selestine gesimba(kushoto) sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya maliasili na utalii wakiwa tayari kwa mapokezi ya waziri wao mpya mhe prof jumanne maghembe aliyeapishwa ikulu leo na mherais wa jamhuri ya muungano wa tazania mhe john pombe magufuli naibu waziri wa wizara ya maliasili na utalii eng ramo matala makani (kushoto) akizungumza na katibu mkuu wa wizara hiyo dkt adelhelm meru (katikati) ofisini kwake leo tarehe 14 desemba 2015 baada ya kufika kwa mara ya kwanza toka kuteuliwa kwake na mhe rais dkt john pombe magufuli kuwa naibu waziri wa wizara hiyo katika salam zake kwa uongozi na watumishi wa wizara hiyo amewaomba ushirikiano wa dhati kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kwa wakati ili kuleta maendeleo katika sekta ya maliasili na utalii nchini ameongeza kuwa yeye binafsi hawezi kuleta maajabu wizarani hapo bila kupewa ushirikiano katika kazi pichani kulia ni naibu katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii ndugu selestine gesimba katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii dkt adelhelm meru (kulia) akitoa taarifa fupi ya muundo pamoja na shughuli mbalimbali zinazofanywa na wizara ya maliasili na utalii kwa mhe naibu waziri wa wizara hiyo eng ramo matala makani muda mfupi baada ya kuwasili katika ofisi yake mpya iliyopo mpingo house jijini dar es salaam naibu waziri wa wizara ya maliasili na utalii eng ramo matala makani (kushoto) akimsikiliza kwa makini katibu mkuu wa wizara hiyo dkt adelhelm meru wakati akimpa taarifa fupi ya muundo wa wizara hiyo leo tarehe 14 desemba 2015 posted by
2017-03-23T20:03:23
https://wizarayamaliasilinautalii.blogspot.com/2015_12_01_archive.html
michuzi blog naibu waziri wa mambo ya nje awapokea madereva waliokuwa wametekwa nchini drc naibu waziri wa mambo ya nje awapokea madereva waliokuwa wametekwa nchini drc naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt susan kolimba (katikati) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwapokea madereva kumi (10) waliokuwa wametekwa nchini drc katika maelezo yake mhe kolimba ameishukuru serikali ya drc kupitia ubalozi wake hapa nchini kwa kuonyesha ushirikiano mzuri na kufanikisha kupatikana kwa madereva haokulia ni balozi wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) hapa nchini mhe jean pierre tshampanga mutamba na kushoto ni mkurugenzi wa idara ya afrika wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi samuel shelukindo madereva hao wamewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere jijini dar es salaam 21 septemba 2016 balozi wa drc nchini tanzania mhe jean pierre tshampanga mutamba akizungumza kwenye mkutano na wanahabari ambapo alitumia fursa hiyo kuwapa pole madereva hao kwa mkasa uliowakuta na alisisitiza suala la kutoa taarifa ubalozini pindi wanapoanza safari kuelekea nchini kongo mmiliki wa kampuni ya simba logistics bw azim mohamed dewji akiishukuru serikali ya tanzania kupitia wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki pamoja na serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kwa ushirikiano mzuri waliouonyesha mpaka kufanikisha upatikanaji wa madereva hao sehemu ya madereva hao wakiwasikiliza viongozi waliojitokeza kuwapokea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere mmoja wa madereva bw athumani fadhili akisimulia jinsi tukio lilivyotokea mpaka kuokolewa na vyombo vya usalama nchini kongo naibu waziri dkt suzan kolimba balozi wa kongo hapa nchini mhe mutamba jean pierne na mkurugenzi wa idara ya afrika wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi samweli shelukindo wakiwapokea madereva hao naibu waziri dkt susan kolimba akiwa katika picha ya pamoja na madereva waliokuwa wametekwa nchini kongo
2017-06-22T16:23:44
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/naibu-waziri-wa-mambo-ya-nje-awapokea.html
yondani kwa 150 milioni zesco wanapigwa mwanaspoti | presstz your number 1 source of aggregated online content yondani kwa 150 milioni zesco wanapigwa baada ya kuivusha taifa stars hatua ya makundi ya kufuzu fainali za kombe la dunia beki wa timu hiyo na yanga kelvin yondan amesema sasa anahamishia nguvu kwenye jukumu kubwa linalowasubiri septemba 14 ambapo wataikaribisha zesco ya zambia
2019-09-20T20:22:09
http://presstz.net/yondani-kwa-150-milioni-zesco-wanapigwa-54566360
mtumiajirobert ullmann/mwananchi/20090121 alisema kama muswada huo utapitishwa na bunge wananchi wanaoishi katika maeneo hayo kupitia mamlaka zao za vijiji watakazotakiwa kuziunda watakuwa na uwezo wa kutoa vibali vya wawindaji wa kigeni na wandani kulingana na aina ya wanyama wanaopatikana [3] sasa huo si ujinga picha ndio nini picha ndio dawa” alifoka kazim hali iliyomfanya waziri aendelee kufadhaika na kumueleza kuwa watakachokifanya ni kutoa matangazo kwenye vyombo vya habari [5] kapteni chiligati alisema hayo alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu na kusema vyuo vikuu vimejengwa bila kujali hali ya mtu na tofauti ya kabila dini ama siasa [6] simwale alisema kuwa serikali ya tanzania inajenga umoja utulivu na amani na kwamba inalenga kuipa jamii maendeleo kwa kuboresha huduma muhimu badala ya kuanzisha vurugu kwa kualika 'mabaunza' kwenye kampeni [7] nilipokuwa darasani nafundisha niligundua kuwa irene amepooza sana wakati siyo kawaida yake nikaamua kumuita aniletee daftari lake nilisahihishe na hapo ndipo nilipogundua kuwa ana tatizo” alisema mwalimu kaulule [8] lengo ni kulinda na kutetea maslahi ya wanafunzi hivyo hatuna nia ya ugomvi na serikali au polisi tunajua watakufa wengi lakini haki itendeke tu” alisema [9] unapotoa nafasi ya kusikiliza na ukajaribu kuelewa unatoa upenyo wa maelewano baina yenu [10] taarifa za kampuni hatuziweki tu kwenye faili bali zinaweza kupatikana pia kwenye daftari la registrar (msajili) alifafanua mahingila kwenye mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa idara ya habari (maelezo) [11] munishi deogratius mbunge wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam (daruso) ambayo imetangazwa kuvunjwa na uongozi wa chuo alisema maandamano hayo yana lengo la kupinga sera ya uchangiaji wa elimu ya juu kuhitaji wanafunzi wote warudishwe vyuoni bila masharti yoyote [12] sasa salaam ni salaam tu lakini bado ni mwanzo wa kumbagua binadamu mwenzio [13] kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na bwana mmoja aitwaye john gottman unasema namna vile watu wanavyogombana unaweza kujua ni kiasi gani watu wanapendana halikadhalika utaweza kujua ni maamuzi yatokanayo [14] mtu asipotoa kitambulisho cha kupigia kura hauziwi mbolea [15] hata hivyo katibu wa halmashauri kuu ya ccm itikadi na uenezi john chiligati alikanusha habari hizo akisema kwamba chama chake hakihusiki na wala hakina uhusiano na kampuni hiyo [16] kweli ushabiki ni chongo [17] waliiambia mwananchi kwa nyakati tofauti kuwa masharti yaliyowekwa ili kuweza kurejea chuoni likiwemo la kumaliza kwanza kulipa ada ni magumu [18] epuka dhana na kusikiliza maneno ya watu [19] kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi(ccm) mkoani arusha imependekeza zichukuliwe hatua za kinidhamu dhidi ya viongozi waandamizi wa chama hicho wilaya ya arusha kwa kumwalika mwenyekiti taifa rais jakaya kikwete katika hafla ya kugawa pikipiki zilizo kuwa na utata [20] mwenyekiti wa tsnp mulokozi elgius aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa maandamano hayo ambayo yamepangwa kuanzia mkoani dar es salaam yatashirikisha wadau wa elimu nchini wakiwemo wazazi wa wanafunzi hao pamoja na wanafunzi wa wote wa elimu ya juu na wale wa shule za sekondari [22] kauli hiyo ilionekana kumchanganya sana kazim akawa hajui la kufanya [26] washitakiwa hao wa ni wafanyakazi watatu wa bot imani mwaposya aliyekuwa mkuu wa kitengo cha madeni ya biashara esther komu (kaimu makamu mkurugenzi wa idara ya madeni) na bosco kimela (kaimu katibu wa bot) [27] mimi ninadaiwa sh50000 yamatibabu na jina halijatoka na mimi sijui kama watanifukuza shule kwa ajili ya kiasi hicho cha pesa kwani mfukoni nimesaliwa na sh20000 ndiyo zinazoniwezesha kuishi mjini hapa” alisema mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa tatu ambaye akutaka jina lake liandikwe na ambaye anatokea kigoma [28] wanahabari kutoka vyombo mbalimbali waliokuwepo mahakamani hapo tangu kesi hiyo ilipoanza asubuhi walijikuta wakizuiwa kuripoti kesi hiyo kabla noni kuanza kutoa ushahidi wakati hakimu mkuu mkazi mfawidhi wa mahakama ya kisutu addy lyamuya alipotangaza amri hiyo [29] mushenyera pia alililaumu jeshi la polisi kwa kuwatishia wananchi wa mbeya vijijini hasa pale inapobainika kuwa ccm haina wafuasi [30] sisi kama chama tunahakikisha kuwa uchaguzi huu ni wa haki na wananchi ni haki yao kuchagua kiongozi wanayemuhitaji katika kuleta maendeleo katika kata na vijiji na kwamba chama hata siku moja hakitadiriki kuanzisha vurugu za kisiasa [31] nashangaa hawa watu walioandika hivi bila kuja kuniona [32] wanashndwa kuwathamini waandishi wa habari hawajui kuwa vyombo vya habari ni mhimili wa nne wa dola”alisema mrema [33] hakimu lyamuya alisema waandishi hawawezi kuripoti kesi hiyo kwa kuwa hawana kibali cha kuandika mahakamani [34] akijibu tuhuma hizo msimamizi wa uchaguzi mkoa wa mbeya juliana malange alisema kuwa ameyapata malalamiko hayo na anayafanyia kazi [35] akizungumza na gazeti hili katika hospitali ya mwananyala ambako alipelekwa na walimu wake dafrosa bachuta na bether palangyo ili kupatiwa matibabu mtoto irene alisema kuwa mama yake amekuwa akimpiga kwa fimbo na rungu bila sababu hali ambayo imemfanya kumchukia zaidi mama huyo [36] waandishi wa habari wamekuwa wakifuatilia mintaarafu ya kampuni hiyo kwenye ofisi za brela bila ya mafanikio na hivi karibuni kuliibuka habari kuwa faili la kampuni hiyo limetoweka brela hali iliyozua wasiwasi kuwa huenda sakata la kagoda litazimwa [37] lakini pamoja na hayo serikali imefanya jitihada kuhakikisha kwamba huduma hizi zinakuwa juu lakini baadhi ya watendaji wake wanazembea [38] hadi juzi kadi hizo zilikuwa hazijarudishwa na huenda wasipige kura” alisema mziray [39] wananchi huko vijijini wanatafuta mahali pa kupeleka kero zao lakini kwa kuwa wapinzani hawataki kwenda vijijini wananchi wanakosa vyama mbadala [41] kesi hiyo ilianza kuunguruma asubuhi huku lyamuya akiwa anasaidiana na hakimu ignas kitusi (katibu wa jaji mkuu) na john utamwa (naibu msajili wa mahakama kuu) [42] wakati zoezi la kudahili wanafunzi likiwa linaendelea katika vyuo vya umma nchini hali imebadilika baada ya mtandao wa wanafunzi tanzania (tsnp) kutangaza maandamano nchi nzima yanayolenga kupinga udahili huo na yaliyopangwa kufanyika jumamosi [44] uchaguzi kama uchaguzi unalenga katika kanuni sera na kuzingatia kanuni za chama husika za kuwahamasisha wananchi kuchagua kiongozi wanayemuhitaji sasa cuf kuleta mabaunsa mia moja wanamahanisha nini hao cuf kama ushindi kwa ccm upo na si kwamba ugonvi wa vijembe na kutumia nguvu utaleta maendeleo na ushindi kwa vyama pinzanialisema simwali [45] uchaguzi wa mbeya vijijini unafanyika tarehe 25 mwezi huu baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo richard nyaulawa kufariki dunia mwishoni mwa mwaka jana [46] pia huwa nauza baadhi ya michoro yangu kwa wamiliki wa viwanda vya nguo hapa nchini na nje hasa dubai na china [47] mama huyo ambaye ni maarufu kwa jina la mama rahimu alikuwa akimtendea vitendo hivyo vya kinyama irene kasanga (7) kwa madai kuwa ni kikojozi [48] hivi sasa mama huyu ameolewa na ana watoto wanne watatu wakike na wa kiume mmoja [49] matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka jana yametoa picha halisi ya mwelekeo wa elimu nchini kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi kufeli ikilinganishwa na miaka iliyotangulia [50] na inawezekana ikawa hujui nini kamwambia mumeo kuhusu wewe [51] mwenyekiti huyo aliyasema hayo juzi wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kigogo jijini dar es salaam ikiwa ni moja ya kampeni za oparesheni sangara ambayo imepangwa kufanyika nchi nzima [52] kwa mujibu wa shirika la afya duniani (who) mpaka sasa hakuna dawa zinazotibu ukimwi ila zilizopo ni za kupunguza makali ya ugonjwa huo ambao ni tishio la nguvu kazi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea [53] kuna baadhi ya dawa alizopewa zilimpa mafanikio kidogo akawa anaweza kutembea tofauti na ilivyokuwa siku ile usiku [54] alisema wamelitaarifu jeshi la polisi ili wapatiwe ulinzi na si kwamba wameomba kibali cha maandamano hivyo akasema wana imani wanafunzi wote wataunga mkono maandamano hayo [55] utafiti uliofanywa hivi karibuni na umoja wa mataifa (un) kuhusiana na masuala ya egovernment na ripoti yake kutolewa mwaka jana tanzania imeshuka kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mwaka 2005 ripoti hiyo ilipotolewa mara ya mwisho [56] kuna baadhi ya wasomaji wataanza kujiuliza egovernment ni nini hizi ni huduma ambazo zinatolewa na serikali kwa wananchi wake kwa njia ya kompyuta ambayo imeunganishwa katika mtandao wa internet [57] sasa ukikuta timu ambazo saikolojia yao ipo katika hali nzuri hutumia nafasi hiyo kujipanga na hatimaye kupata ushindi kirahisianasema maximo [58] hatua hiyo ilitokana na utamwa kuwasilisha hoja kwa upande wa mashitaka akitaka ufafanue juu ya shitaka la 5 ambalo upande wa mashitaka ulisema kuwa ni mbadala wa shitaka la 3 kwa washitakiwa wa pili tatu na nne [59] ni matokeo inabidi tuyakubali kwani ni sehemu ya mchezo lakini mabeki ndio wamesababisha yote haya hawakuwa makini kabisa walipoteana [60] kwa mujibu wa taarifa kadhaa za uchunguzi zilizoripotiwa na vyombo vya habari mawasiliano yaliyo kwenye nyaraka za usajili wa kampuni hiyo yanaonekana kuwa ni ya kampuni za wafanyabiashara maarufu [61] kamati ya bunge ya ardhi maliasili na mazingira imepitisha mapendekezo ya muswada wa sheria ya wanyamapori itakayowapa wananchi mamlaka ya kutoa vibali vya uwindaji adhabu kali kwa wawindaji haramu na kuundwa kwa mamlaka mpya itakayosimamia shughuli za uhifadhi wanyamapori [62] zaidi ya kuwa msaidizi wake jamaa huyo albino alikuwa ni mvumbuzi wa dawa kutibu kansa ya moyo hata hivyo hakuwahi kumwambia kazim [63] kwa mujibu wa ndugai muswada huo ulitakiwa kuwasilishwa bungeni mwaka jana kati ya mwezi oktoba na novemba lakini walipendekeza ufanyiwe marekebisho kwanza na hivyo ulirudishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali na hatimaye umefanyiwa marekebisho waliyopendekeza [64] katika shitaka la nne washitakiwa wote wanadaiwa kuwa agosti 18 mwaka 2005 waliiba kutoka bot sh20728439144 katika shitaka la sita mwakosya komu na ndimbo wanadaiwa kuwa wakiwa waajiriwa wa bot walifanya uzembe uliosababisha benki hiyo kupata hasara ya kiasi hicho cha fedha [65] jamaa kauaaaa kabakaaaaa kafisadiiiiiii kafanya kufuru kibao zinazopingana kabisa na msahafu wa dini yake lakini badala ya kumkemea twamtetea [66] hadi awamu ya kwanza ya programu hiyo ilipomalizika mwaka jana mafanikio yaliyopatikana na kidogo [67] jana nilikuwa kijiji cha isupo na mjumbe wa serikali ya kijiji nikiongea na wananchi [68] habari za uhakika toka ndani ya kikao cha awali cha kamati ya siasa ya mkoa zimeeleza kwamba licha ya viongozi wote wa kamati ya siasa ya chama wilayani arusha kuomba radhi kwa maandishi kwa kitendo hicho kamati ya mkoa imependekeza kuwa wachukuliwe hatua [69] caf ilisema kuwa timu mbili kutoka kila kundi ndizo zitakazocheza nusu fainali [70] sh5000 tunayolipa ya kitambulisho niwizi mtupu kwani kitambulisho akijabadilika kitu ukilinganisha na kile cha awali zaidi ya rangi lakini namba ni ileile hadi picha” alisema mwanafunzi aliyejitambulisha kwa jina moja la bonge [71] musingi alisema kuwa anaamini kuwa dawa yake itafanya maajabu na kutangazwa kuwa dawa inayotibu ugonjwa wa ukimwi kwa sababu aliifanyia majaribio kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita na imeonyesha mafanikio [72] naye mkurugenzi wa msanii huyo hartmann mbilinyi anasema steve anatarajia kutengenezewa kipindi ambacho kitakuwa ni fungakazi kwa sanaa ya vichekesho ambayo inaonekana kupata umaarufu mkubwa hapa nchini [73] ugomvi mwingi wa wanawake wengi unatokana na maneno ya kuambiwa ama kudhania [74] alisema kuwa imekuwa ni kazi kubwa kutenganisha maeneo ya hifadhi na makazi ya watu katika maeneo hayo jambo ambalo kwa kiasi fulani limesababisha kuwepo kwa migogoro ya wananchi na serikali [75] afadhali hata mpira maana hatimaye mashabiki wataanza kudai mabadiliko lakini katika siasa watu watashabikia weeeeeeeeeeeee huku chama fulani kimeshapondwa badala ya kupendwa kimechekwa na kuchokwa na hata kuchukiwa kutokana na kuchakaa kwake [76] mbowe alirusha kombora hilo na kudai kuwa kama wahusika hao aliowataja wanaubavu basi wampeleke mahakamani na yeye yupo tayari kutoa ushahidi [77] wakati wanaendelea kuangalia ile picha aliingia daktari aliyekuwa akimwangalia kazim na kumwomba waziri afupishe mazungumzo badala yake wamsake yule mvumbuzi wa dawa kwani isingepita saa 12 kabla ya kazim kufa ikiwa hatapata ile dawa [78] utaratibu mpya wa kuwarejesha wanafunzi katika chuo kikuu cha dar es salaam waliokuwa wamesimamishwa kutokana na mgogoro uliosababishwa na sera ya uchangiaji elimu haulisaidii taifa kufikia lengo lake la kukuza elimu na kupata wataalamu wa kutosha [79] wakiona mwandishi anaandika ukweli kuhusu mambo yao wanamfukuza [80] kujua na kujaribu kutumia njia sahihi ya kugombana kutasaidia kutatua migogoro yenu [81] hivyo walipanga muda wa kukutana [82] kocha marcio maximo anasema sasa anaelekeza nguvu zake katika kuiandaa vema timu ya taifa taifa stars ili iweze kukabiliana na mikiki mikiki ya michuano ya mataifa ya afrika inayotarajia kupingwa kule ivory coast februari [83] zaidi ya yote kumbe alikuwa amechukua mkopo benki baada ya biashara zake kumchanganyia ili kuboresha zaidi akiamini kuwa kwa namna alivyokuwa akipata fedha angeweza kulipa deni ndani ya muda mfupi [84] ndio akaona ni bora awapigie simu wale jamaa zake na kuangalia ni namna gani wanaweza kumuua albino ili waendelee na biashara ile ya madini na uvuvi wa samaki [85] kama kuna mtu anahitaji kuziona anaweza kuzipata hata kama anataka kupiga 'photokopi' (kudurufu) faili zima hakuna siri yoyote katika usajili wa kampuni [86] mtu yeote anaweza kuona kumbukumbu zote za mafaili kwa kulipia sh1500 tu na kwa waandishi wa habari hii ni bure hawatahitaji kulipa chochote alibainisha mahingila [87] amefahamisha kuwa amekuwa akichora kila anachobuni na kisha kushona mavazi yanayowezatumika katika shughuli mbalimbali [88] inashangaza sana kwa uongozi wa chuo unaosimamiwa na wataalamu wa utawala na siasa na wapigania demokrasia nchini kufanya maamuzi yanayowanyima wanafunzi wengi haki ya kusoma hata ambao hawakuhusika kuandaa mgomo au vurugu ila tu kwa sababu ya umaskini wao [89] kituo cha utafiti wa magonjwa ya zinaa na ukimwi cha chuo kikuu cha london (ucl) nchini uingereza kinafanyia utafiti dawa ya mganga wa jadi wa kitanzania inayodaiwa kutibu ugonjwa wa ukimwi [90] mziray pia alimtuhumu mjumbe wa kamati kuu ya ccm john malcela ameweka kambi kwenye vijiji vya ilembo na isupo akikusanya kadi za wapiga kura [91] lakini mara nyingi kunyamaza ni kuzidi kuzidisha matatizo [93] akizungumza na mwananchi ofisini kwake jana katibu wa ccm mkoa wa dar es salaam kilumbe ng'enda alisema kuwa chadema wamegushi waraka huo na watakifikisha mahakamani [94] hii ya kwangu naiamini na ndiyo maana nimeamua kushirikiana na taasisi ya kimataifa ili ukweli ufahamike” alijigamba musingi [95] tumeupitia muswada ambao tilitaka ufanyiwe marekebisho na kwa kweli kwa sasa tumeridhika na tunasubiri kuuwasilisha katika kikao cha bunge kijacho ili wabunge wachangie na kuamua ama kuupitisha ama kutoupitisha” alisema ndugai [96] juzi ofisa wa kata ya iyunga mapinduzi alitangaza punguzo la bei ya mbolea kutoka sh100000 hadi sh45000 hii ni rushwa kwanini punguzo la bei lisubiri wakati wa uchaguzilihoji mushenyera [97] hata siku moja hakuna mtu anayeweza kukata tawi la mti alilokalia labda mwandawazimu” alisema [98] huku sasa ni kuzinguana kumbe hata mawaziri nao huwa wanakuwa wasanii inawezekanaje niwasiliane na wewe nikiwa nje ya nchi uniambia yuko mvumbuzi wa dawa ya kuponya tatizo langu halafu sasa aniambie hajui atampata vipi huu ni uhuni” alijisemea kazim akiwa mwenye hasira na kuwaza kuwa kama asingempa dawa hiyo angefanya mpango wa kumuua kwa sababu naye alikuwa albino [99] mshambuliaji wa timu ya simba mussa hassan mgosi amesema lazima wafanye vizuri katika mzunguko wa pili wa ligi kuu ambao tayari umeanza baada ya kutofanya vizuri katika mzunguko wa kwanza [100] kwa mujibu wa daktari wa zamu claudio marandu alisema kuwa bado uchunguzi unafanyika na taarifa juu ya uchunguzi huo zitatolewa leo kutokana na mashine ya xrays kuwa mbovu [101] alisema serikali imeshindwa kutafuta njia mbadala ambayo itasaidia kutatua tatizo hilo ndio maana inatumia nguvu za dola kuwatisha wanafunzi badala ya kuzingatia haki zao [102] mabao mawili yaliyofungwa na said dilunga katika kipindi cha pili yameiwezesha toto african kuibuka na ushindi wa mabao 21 dhidi ya moro united katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom uliofanyika kwenye uwanja wa taifa dar es salaam [103] wakati huo huo patricia kimelemeta na ellen manyangu wanaripoti kuwa kituo cha sheria na haki za binadamu (lhrc) kimeeleza kusikitishwa na kitendo cha serikali kuwafutia udahili wanafunzi 2000 wa udsm na kuwakamata wanafunzi wanne kwa madai ya kuandamana kupinga kufutiwa kwa udahili wenzao [104] kocha wa toto african mbwana makata alisema kuwa wachezaji wake walitulia na kupata ushindi baada ya maelekezo [105] kivipi kama unavyojua kusema maneno yanayoudhi ni kama kumtupia kijinga cha moto mtu ambaye tayari ameshaoga mafuta ya taa [106] kabla ya amri hiyo waandishi walikuwemo ndani ya chumba cha mahakama tangu asubuhi wakati kesi hiyo ilipoanza kuunguruma na kuahirishwa mara tatu hadi ilipoanza tena majira ya saa 800 mchana [107] naye mwakilishi wa nccr mageuzi peterson mushenyera alisema mbali ya kukusanya kadi hizo viongozi wa ccm pia wanatumia mbolea ya ruzuku kama mtaji wa kujipatia kura [108] wapinzani mnapaswa mwende kwa wananchi na kubuni mbinu ambazo zitawavutia wananchi ili kujiunga [109] lhrc imeitaka serikali kuangalia upya mfumo mzima wa uchangiaji elimu nchini na hasa kuipitia sera ya uchangiaji ili kupata mwongozo wa kutatua migogoro hiyo [110] wachezaji hao walikuwa kampala uganda wakiitumikia timu yao iliyokuwa ikishiriki michuano ya chalenji [111] ukweli ni kwamba hawana mikakati wala ubunifu [112] madega alisema kuwa mpaka kumalizika kwa ukarabati huo klabu hiyo inatarajia kutumia zaidi ya sh 800 milioni [113] ripoti hiyo ya miaka minne iliyopita inaonyesha kuwa tanzania imeshuka kutoka nafasi ya 127 mwaka 2005 hadi 147 mwaka jana [114] maadhimisho ya siku hiyo yaliyoanza kuadhimishwa mwaka 2001 yamekuja huku kukiwa na taarifa kuwa sekta ya misitu imekuwa ikikabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo upoteaji wa miti [115] januari mosi mwaka huu ilikuwa ni siku ya taifa ya kupanda miti [116] fani ya mitindo imekuwa ikichukuliwa kama burudani hasa pale wabunifu wanaponadi kazi zao kitendo ambacho kimekuwa kikichangia kupotosha maana yake halisi [117] hata hivyo wakati kamati ya siasa ya ccm mkoa ikiwa imependekeza kuswachukuliwa hatua baadhi ya viongozi wa wilaya tayari kumeibuka mgawanyiko mkubwa ndani ya chama mkoani [118] anasema kuwa muda uliopo ni mfupi mno kabla ya kwenda afrika magharibi hivyo ni muhimu basi wachezaji waliomo katika kikosi chake wakaishi kulingana na maadali ya mchezaji soka ili kulinda viwango vyao lakini pia kwavile muda mwingi watakuwa katika klabu zao ni muhimu wakafata maelekezo ya walimu wao kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wamemsaidia kwa kiasi kikubwa [119] jamaa huyo ambaye alikuwa kama msaidizi wake wa karibu alikuwa akimuwakilisha katika kazi mbalimbali na ndiye aliyekuwa ana siri zake nyingi [120] wakala wa serikali wa usajili wa biashara na leseni (brela) jana ulifafanua utata wa faili la usajili wa kampuni ya kagoda agriculture ltd ukisema kuwa halikuwepo kwenye ofisi hizo kwa muda mrefu kutokana na maagizo ya rais [121] kubeba ulichoambiwa ukakitumia kama fimbo ya kumhukumu mumeo ni makosa makubwa [122] mkewe kazim hajui chochote kuhusu mumewe kuua albino ni mwanamke ambaye anafanya kazi ofisi ya usalama wa taifa na zaidi ya yote anaijua vizuri sheria [123] wiki iliyopita makamu mwenyekiti wa simba omary gumbo aliwaambia waandishi wa habari kuwa klabu hiyo imekamilisha mchakato wa kumsaka katibu mkuu na mweka hazina wa kuajiriwa na na kudai kuwa tayari majina yao yameshakabidhiwa kwa tbl kwa ajili ya utekelezaji [124] viongozi wa upinzani profesa ibrahim lipumba mwenyekiti wa cuf peter mziray (tppp maendeleo) augustine lyatonga mrema (tlp) na peter mushenyera waliwaambia waandihi wa habari kuwa viongozi wa ccm wilayani mbeya vijijini wanadhibiti mbolea hiyo ya ruzuku na kuiuza kwa manufaa ya chama hicho tawala [125] hivyo ndiyo nami nikafikia hatua ya kujiuliza swali hili kuhusiana na nchi yetu kushuka [126] mbrazil huyo anasema kuwa soka ya dunia ya sasa imebadilika mpira hauchezwi kwa kuangalia rekodi za nyuma kwamba nani na nani wamefanya nini siku zilizopita kwani kila mmoja hutaka kufikia malengo aliyojiwekea [127] tumekuwa tukiwasiliana nao mara kwa mara mara ya mwisho nilipoongea na baraza aliniambia wanaisubiri kff iwapatie tiketi ili waje alisema madega [128] mshambuliaji wa polisi nicolaus kapipe alikosa bao la wazi katika dakika ya 28 na mokil lambo naye akipaisha mpira akiwa karibu na lango [129] katika taratibu za kawaida za kisheria mtu anapokamatwa serikali ndio inayotoa ushahidi juu ya tuhuma anazokabiliwa nazo lakini hivi sasa watuhumiwa wote watatakiwa kuiridhisha mahakama kuwa hawana hataia kwa makosa wanayokabiliwa nayo” alisema [130] alisema migogoro iliyopo sasa inatokana na sera mbovu ya uchangiaji elimu ambayo ndio inayotoa mwongozo kuhusu ulipaji wa ada kwa wanafunzi [131] kingine kilichopitishwa katika mkutano huo ni suala la kutoa tarifa za kadi kwa mchezo husika na kusema taarifa zitatumwa caf na mwamuzi namba nne ndiye atakayehusika kukusanya taarifa za uwanjani [132] sasa hii kama siyo hujuma ni' ni'ni mbolea ina uhusiano gani na uchaguzi” alihoji lipumba katika taarifa yake kwa waandishi wa habari [133] katika hatua nyingine caf imeanzisha mfumo wa kucheza nusu fainali kwa michuano ya shirikisho kama ilivyo kwa mechi za ligi ya mabingwa [134] mwenyekiti wa kamati ya ushindi ya klabu ya simba hassan othman hassanoo alisema tayari wametuma barua kwa wadhamini wao kampuni ya bia tanzania tbl ili wawasaidie katika mchakato wa uendeshaji wa zoezi hilo ambalo alisema linagharimu fedha nyingi [135] washindi ambao walikuwa nyuma kwa bao 10 walianza kuhesabu bao katika dakika ya 76 baada ya kipa wa moro united saleh tendega kulitema shuti la oscar fanuel na said dilunga akauwahi na kuukwamisha mpira wavuni [136] siku moja kazim akiwa amejipumzisha nyumbani alifuatwa na watu wale waliokuwa wakisimamia biashara zake za uvuvi wa samaki na uchimbaji wa madini [137] awali pius kisambare aliifungia moro united bao katika dakika ya nane baada ya kazi nzuri ya amri kihemba [138] hili si katika serikali pekee bali hata katika makampuni binafsi mashirika na taasisi mbalimbali [139] na kwa kuwa makengeza enterprises haitaki watu wapekue baadaye na kupata funza badala ya mafunzo viatu maalum vitauzwa kwa bei poa hapohapo kwenye tamasha [140] hapa tumeshatoa taarifa kwa jeshi la polisi ili lituipe ulinzi [141] hata hivyo taarifa na ripoti nyingine zitakazotumwa caf zitafanywa na chama au shirikisho husika kwa mujibu wa taratibu ilisema barua hiyo [142] nakufa mkuu wa polisi unaniua sawa mimi nimemuua albino lakini wewe unaniua mimi kwa kunipiga kibao imeandika wapi kwamba muharifu apigwe kabla ya kufikishwa mahakamani” alisema kazim huku akikata roho [143] kizaazaa hicho kilitokea jana saa 842 mchana wakati shahidi wa kwanza katika kesi hiyo peter noni ambaye ni mkuu wa mipango kazi wa bot alipokuwa anataka kuanza kutoa ushahidi [144] anasema yeye binafsi amepania kuboresha sanaa yake na kuipenyeza katika soko la kimataifa [145] jina lastive nyerere limetokana na sanaa yake kwa kuwa alianza usanii kwa kuingiza sauti ya baba wa taifa mwalimu julius nyerere [146] serikali imesema kuwa inajivunia maendeleo ya michezo pamoja na miundombinu ya kisasa ya michezo na kutoa mafunzo mbalimbali kuhusu sekta hiyo kwa kipindi cha miaka mitata iliyopita [147] uchaguzi kama uchaguzi unalenga katika kanuni sera na kuzingatia mipango ya chama katika kuwahamasisha wananchi kuchagua kiongozi wanayemuhitaji [148] tanzania na si kutumia mabavu na kuvuruga uchaguzi [149] kwa hiyo kwa sifa ya tanzania ilivyo tangu eeeeenzi za mwalimu tutasimama upande gani upande wa wanaonyanyaswa [150] hata sisi tulishangaa kumuona pale kwani tunajua anakesi [151] wakati viongozi wa yanga wanalitupia lawama shirikisho la soka la kenya kff kwa kuwachelewesha wachezaji wake mike baraza na george owino imeelezwa kuwa wachezaji hao wametimkia misri kucheza soka ya kulipwa [152] idarous anapendekeza kuwa vianzishwe vyuo vya ubunifu wa mitindo katika ngazi mbalimbali ili kupata watu wenye ujuzi kamaili ambao wataweza kutengeneza bidhaa zitakazoweza kushindana katika soko la kimataifa [153] huku akiendelea na kazi kazim alikuwa ni mtu tajiri kwa muda mfupi mno [154] katibu mkuu wa yanga lucas kisasa alisema uongozi wa yanga umekuwa ukifanya mawasiliano na wachezaji hao na kuelezwa kuwa bado kff haijatoa tiketi ili wachezaji hao warejee nchini kuitumikia klabu yao [155] juhudi za kumpata kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni mark karunguyeye ili kuthibitisha tukio hilo ziligonga mwamba baada ya simu ya kutopatikana hewani ingawa taarifa toka ndani ya jeshi hilo la polisi zilithibitisha kutokea kwa tukio hilo [156] nilifikiri sisi tulikuwa tunanyanyaswa lakini nilichoona huko ni zaidi [157] sisi kama chama cha serikali ya ccm tuna hakikisha kuwa uchaguzi huu ni wa haki na wananchi ni haki yao kuchagua kiongozi wanayemuhitaji katika kuleta maendeleo katika kata na vijiji na kwamba chama hata siku moja hakitadiliki kuleta vurugu za kisiasa kwa kutumi vurugu bali kitatumia sera za demokrasi zinazokubalika kwa jamii na kukichagua kuwa ni chama kinachoweza kuleta maendeleo katika kukuza uchumi wa wananchi wa jimbo la mbeya vijijinialisema [158] kwa mfumo wa sasa ni rahisi mwalimu au walimu kutomaliza mitaala au kufundisha haraka na kumaliza mapema bila kujali ubora wa elimu na hakuna atakayehoji kwa sababu hawakaguliwi [159] mimi sikisemi chama chochote kile maana ushabiki huo uko kote kote kwa chama cha zama zile hadi chama cha zama hizi [160] wengi wanalalamika kutorudishiwa kadi zao walizoambiwa wazipeleke kwa uongozi wa kijiji [161] kama ushindi kwa ccm upo [162] pamoja na kuwepo changamoto nyingi zinazosababisha tatizo hilo upungufu wa wakaguzi wa elimu unachangia kwa kiasi kikubwa kiwango cha elimu kuendelea kushuka [163] baada ya kubadilishwa kwa hati ya mashitaka wakili wa serikali stanslaus aliwasomea upya mashitaka yanayowakabili [164] mapendekezo ya kamati hiyo ambayo yalijadiliwa juzi usiku na kamati ya maadili ya ccm mkoa yalipelekwa jana kwa njia ya fax kwenye sekretarieti ya chama taifa [165] kutakuwepo na sanamu kubwa ya kichaka na wote mtapewa nafasi ya kuitupia viatu kwa nguvu zote [166] ni dhahiri kuwa itajisikia vibaya hivyo kuboresha na kuongeza juhudi ili ripoti nyingine itakapotolewa iweze kufanya vizuri [167] mushenyera pia alililaumu jeshi la polisi kwa kuwatishia wananchi wa mbeya vijijini hasa pale inapobainika kuwa ccm haina wafuasi [168] vyuo vikuu vya ni mali ya umma haviusiki na masuala ya kisiasa na kama wanao huo waraka na majina ya wanafunzi waliofukuzwa kutokana na waraka huo watoe na wasiupotoshe ummaalisema [169] naye kocha wa moro united fred minziro alisema kuwa wachezaji hawakucheza vile alivyowaelekeza [170] mambo vipi mashosto [171] watu wanapokwenda kununua mbolea wanaambiwa watoe vitambulisho vya kupigia kura ambavyo husajiliwa na baadaye kurudishwa kabla ya kuuziwa mbolea hiyo [172] kweli wale watu walimuua yule albino na kwenda na viungo vyake kwenye maeneo ya biashara [173] hivi vyote vinapungua kwa kiasi kikubwa chini ya utaratibu huu [174] kampuni hiyo ambayo umiliki wake umekuwa gumzo inadaiwa kuchota sh40 bilioni kutoka katika akaunti ya malipo ya madeni ya nje (epa) lakini hadi sasa wamiliki wake hawajafikishwa mahakamani kama ilivyo kwa watu wengine 21 waliopandishwa kizimbani kujibu tuhuma za kuiba jumla ya sh133 bilioni kwenye akaunti hiyo [175] sasa chadema wameanza operesheni sangara wameshavuruga mikoa ya kanda ya ziwa na sasa wako jijini dar es salaam [176] mukandala alikanusha habari kwamba chuo kinaongozwa kisiasa akisema kuwa huo ni uzushi mtupu na kwamba chuo hakina dini wala chama [177] nimeridhishwa na kiwango cha wachezaji wangu licha ya kwamba hatukufanikiwa kutwaa ubingwa kule uganda hii inanipa imani ya kwamba ikiwa tutajiandaa vya kutosha basi tuna nafasi ya kufanya vizuri kule ivory coast anasema [178] ccm wanatumia waandishi wao wa habari wanaoandika matakwa yao [179] na sasa si suala la waislamu tu wawe waislamu wenzetu au waislamu waleee [180] alisema katika kipindi hicho serikali imewezesha kuanzishwa kwa kituo cha michezo (sports complex) ambayo ni uwanja wa kisasa wenye viwango vya olimpiki [181] kwa muda mrefu kumekuwa na hoja ya kuviunganisha vyama hivyo ili kuwa na nguvu ya pamoja ya kukishinda chama tawala ccm lakini hoja hii imeshindikana hasa kwa kuwa wapinzani wenyewe hawafanani kimalengo [182] hakuna ukweli wa hilo sisi tunachokijua ni kwamba hawa ni wachezaji wetu wanashughulikia tiketi zao na tunao kwenye timu yetu sasa kama watatoroka uwezekano wao wa kucheza soka ni mdogo kama yaliyowakuta akina kabanda (laurent) na mwaipopo (credo)” alisema kisasa [183] lakini pia ikumbukwe kuwa alichangia pikipiki hizo mwaka 2007 na kama ulikuwepo siku ya tukio nadhani hata wewe uliona hali ilivyokuwa” alisema kiongozi huyo [184] stars iliyokuwa ikiitwa kilimanjaro stars katika michuano ya kombe la chalenji iliwasili dar es salaam wiki iliyopita ikiwa imeshika nafasi ya tatu [185] inachokupasa ufahamu kuwa kuziba kauli katika suala ambalo limekuudhi hupelekea madhara makubwa mbeleni katika mahusiano yenu na huenda ikaathirika afya yako [186] hivi sasa dawa yetu itakuwa inapakiwa katika makasha maalumu na kuwa katika umbile kama la vidonge maarufu kama ‘rangi mbili’ hatua itakayoifanya kuwa rahisi kuisafirisha lakini pia kutumika kirahisi tofauti na ilivyokuwa awali [187] mbowe alisema kuwa yeye anauhakika suala la kuwashughulikia mafisadi hapa nchini bado halijatekelezwa ipasavyo kwani anauhakika walengwa bado hawajashughulikiwa [188] wakati watuhumiwa wa kesi za epa wanafikishwa mahakamani mwezi novemba mwaka jana lyamuya alikuwa nje ya nchi kwa matibabu na aliporejea kazini alidaiwa kuhitisha majalada yote ya epa lakini alipoulizwa na waandishi wa habari alikana [189] huyu yuko kwenye upande wa madini [190] na ni vyema ukaongea naye ili upate ukweli kwa kusema wasiwasi wako au kile ulichoambiwa kwa kumkutanisha na yule aliyesema itasaidia kuondoa migogoro yenu [191] wakati huohuo benton nolo anaripoti kuwa mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) freeman mbowe amesema yupo tayari kupelekwa mahakamani kutoa ushahidi wa mafisadi [192] naye peter mziray wa ppt maendeleo alisema kuwa baadhi ya vijiji wamerubuniwa kusalimisha kadi zao za kupigia kura kwa wenyeviti wa vijiji [193] zipo hizi hisia wakati mwingine za kumchukia bila kujua sababu lakini sababu ni kwamba dhana zako ndizo zinakupeleka huko [194] sikiliza kazim usinitukane tafadhari mimi ni mtu mwenye heshima zangu nakusaidia tu usiniletee shida kama vipi rudi kule india tuone kama utapona kosa langu ni nini” alijibu waziri kwa sauti ya hasira [195] hivyo un ikaona kuna haja ya kufanya utafiti ili kujua nchi zilizopiga hatua katika matumizi ya kompyuta na internet katika kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi wake na zenye ubora [196] kazi ya ukarabati imekalika kwa kiasi kikubwa niseme ni asilimia 90 mpaka sasa nafikiri ifikapo machi tutaanza kulitumia rasmi kwa shughuli zetu za klabualisema madega [197] lakini jana msajili wa makampuni esteriano mahingila aliwaambia waandishi wa habari akisema nataka niwaambie kuwa nyaraka za kagoda zipo [198] mganga huyo elias musingi aliwaambia waandishi wa habari jijini dar es salaam kuwa ucl tayari imemtumia vifaa mbalimbali vya kutengeneza dawa aliyoipa jina legus ili ziwe katika mfumo wa viwango vinavyokubalika kimataifa [199] kuhusu taarifa za kupotea kwa faili la usajili wa kagoda mahingila alisema kuwa kuwa mpangilio wa kuhifadhi kumbukumbu za kampuni katika ofisi ya brela hufanywa kwa njia ambayo hata kama faili likipotea taarifa zote zinaweza kupatikana kwenye daftari la msajili bila wasiwasi wowote [200] rudishwa kutoka https//swwiktionaryorg/w/indexphptitle=mtumiajirobert_ullmann/mwananchi/20090121&oldid=19994 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 21 januari 2009 saa 1006
2020-02-21T03:33:56
https://sw.wiktionary.org/wiki/Mtumiaji:Robert_Ullmann/Mwananchi/2009-01-21
marekani yataka iran iwajibishwe | matukio ya afrika | dw | 13102011 marekani yataka iran iwajibishwe marekani imeitaka dunia kuchukuwa hatua ya pamoja dhidi ya iran kutokana na madai ya kuhusika katika njama ya kumuuwa balozi wa saudi arabia nchini marekani na kuifanya hali kuzidi kuwa ya hatari zaidi waziri wa mambo ya nje wa marekani hilary clinton ametaka kuungwa mkono katika kuchukuwa hatua kali mpya dhidi ya iran juu ya kwamba bado haijulikani aina ya hatua zitakazochukuliwa clinton hapo jana ameyataka mataifa mengine kujiunga na marekani katika kulaani tishio lake kwa amani ya dunia na usalama amesema njama hiyo ni ukiukaji ulio dhahiri wa sheria ya kimataifa na sheria ya marekani wakati saudi arabia yenyewe inatafakari kuchukuwa hatua kali kutokana na kuibuka kwa njama hiyo iran inasema hilo ni jungu lililopikwa na marekani serikali ya iran ikijibu shutuma hizo imeishutumu marekani kwa kutunga madai hayo ili kuondowa nadhari kwenye matatizo ya kiuchumi ya ndani ya nchi maandamano yanayozidi kuongezeka dhidi ya soko la hisa la marekani la wall street baadhi ya wataalamu wanasema njama hiyo imeandaliwa na viongozi wa iran wizara ya fedha ya marekani imeiwekea vikwazo shirika la ndege la mahan shirika la ndege la kibiashara lenye makao yake mjini tehran linalotuhumiwa kuwasafirisha kwenye eneo la mashariki ya kati wanachama wa kikosi cha kimapinduzi cha ulinzi cha iran wanaohusishwa na jama hiyo mali za shirika hilo zimezuiliwa nchini marekani na raia wa marekani wamepigwa marufuku kufanya biashara na shirika hilo iran imekanusha vikali kuhusika kwa njia yoyote ile kwa kile marekani inachosema ni njama ya kikosi cha kimapinduzi cha iran na kikosi cha quds kumuuwa balozi wa saudi arabia kwa kuwakodi wauwaji kutoka genge la madawa ya kulevya la mexico kwa malipo ya dola milioni 15 rais barack obama wa marekani alimpigia simu mfalme abdullah wa saudi arabia kuyakinisha uhusiano wa nchi hizo mbili kwa kile ikulu ya marekani ilichokiita njama inayoongozwa na iran kumuuwa balozi wa saudi arabia mjini washington wakitangaza habari hizo za kufadhaisha hapo jumatatu maafisa wa serikali ya marekani wamewataja wahusika wakuu wawili mansor arbabsiar muuzaji wa magari yaliyotumika ambaye amechukuwa uraia wa marekani na gholam shakuri ambaye anatajwa kuwa ni wakala wa kikosi cha quds aliyeko iran wakati jasusi wa marekani akijifanya kuwa mtu wa genge la madawa ya kulevya la mexico aliyejitolea kufanya mauaji hayo amesema watu wengine wakiwemo maseneta yumkini wangeliuwawa iwapo shambulio hilo lingetekelezwa katika mkahawa mmoja mfalme abdullah bin abdul aziz alsaud wa saudi arabia ambaye balozi wake nchini marekani alikuwa auliwe wakati huo huo saudi arabia imelaani kile ilichokiita njama ya kuchukiza na ya kufedhesha na kwamba itaendelea na mawasiliano na marekani juu ya suala hilo saudi arabia inafikiria kuchukuwa hatua kali kukomesha vitendo hivyo vya uhalifu na kupambana vilivyo na jaribio lolote lile la kudhoofisha utulivu wa nchi hiyo ya ufalme usalama wake na uchochezi miongoni mwa wa watu wake mwandishi mohamed dahman/afp/rtre iran yatuhumiwa kula njama kumuua balozi wa saudia marekani marekani na iran katika mvutano juu ya tuhuma za jaribio la kumuua balozi wa saudiawashington (12102011) kiungo http//pdwcom/p/rqgr
2017-11-20T07:50:44
http://www.dw.com/sw/marekani-yataka-iran-iwajibishwe/a-6637375
kuendelea mifano kwa ajili ya programu ya kazi | usahello | usahello kuendelea mifano kwa ajili ya programu ya kazi je uko tayari kuandika resume yako kwa ajili ya maombi ya kazi unaweza haja ya zinarudi mifano kwenye ukurasa huu unaweza kupata muundo msingi kwa kufuata unaweza pia kupakua umbizo katika neno na kuibadilisha kukidhi maombi yako mwenyewe kazi wakati kufanya resume yako mwenyewe tu kutumia sehemu ambazo zinatumika kwako kwa mfano huna kazi au tuzo zingine na labda kuwa amefanya maendeleo ya kitaaluma katika siku za nyuma hiyo ni sawa acha tu sehemu hizo endelea mifano muundo mzuri kwa kutumia anwani ya mtaa mji msimbo wa zip muhtasari wa kitaalamu andika kile wewe ni mzuri na ni aina gani ya kazi wewe ni kuangalia kwa kuitunza kwa 12 sentensi hii ni nafasi kwa muhtasari mfupi wa 47 wa majukumu kuu yako na mafanikio kubwa orodha ya lugha gani unaweza kuongea hapa cheo cha kazi jina la kampuni tarehe wewe ulianza tarehe wewe kushoto mji jimbo au nchi kuelezea mahali pako pa kazi katika sentensi moja orodha 47 wa majukumu kuu yako na mafanikio kubwa kuanza na risasi na kitenzi na kuzungumza kuhusu kile ulifanya kama mtu binafsi badala ya kuzungumza kuhusu kundi unaweza kazi na [kuweka kwenda na orodha zote wa uzoefu wako wa kazi ikiwa wewe si wamekuwa wakifanya kazi muda mrefu lakini si zaidi ya 15 miaka kama wewe wamekuwa wakifanya kazi kwa muda mrefu] tuzo na shukrani orodhesha atanitolea ulipokea kwa ajili ya kazi nzuri iliyofanywa shahada au diploma shule jina tarehe ya mahafali kuelezea shule yako katika sentensi moja [rudia kama una zaidi ya kiwango kimoja kama wewe si walihudhuria chuo kikuu unaweza kuondoka hii au orodha yako shule ya sekondari au mafunzo mengine au diploma kama wewe si kuhitimu kutoka shule ya sekondari unaweza kuondoka nje sehemu ya elimu lakini kama una ged® stashahada au diploma nyingine orodha hiyo ] orodhesha madarasa na kuchukuliwa au matukio kuwa walihudhuria kuboresha ujuzi wako katika kazi yoyote mifano ni kozi ya umma mabaraza ya kitaaluma na kutunukiwa kwa ajili ya mafunzo maalum kama vile mafunzo ya usafi au usalama [ni sawa kama resume yako ni ukurasa mmoja zaidi ya muda mrefu lakini si lazima kurasa mbili zaidi] pakua umbizo hili endelea msingi katika neno unaweza kupakua kiolezo endelea juu kwenye kompyuta yako au kifaa cha mkononi wakati utabofya kiungo waraka otomatiki kwenda kabrasha lako la vipakuliwa kiolezo cha ni katika neno unaweza kutumia kama msingi kwa ajili ya resume yako mwenyewe kwa kubadilisha maneno kuomba kwako pakua kiolezo cha umbizo endelea sasa zaidi kuendelea mifano unaweza pia kuona mfano yakiendelea kutoka bhutanese karen na somalia wageni unaweza kupata haya kufaa zaidi kwa ajili ya baadhi ya kazi za tena unaweza kuzitumia kama msingi lakini kubadilisha taarifa kutosheleza wewe na kazi unaomba kwa ajili ya wakati wewe bonyeza viungo faili itapakua kwenye tarakilishi yako
2019-11-12T20:51:02
https://usahello.org/sw/resources/resume-tips/resume-examples/
akihiko takahashi hiroyuki takase +4 authors yasuaki dohi akihiko takahashi kenta miwa masayuki sasaki s el baba
2018-02-20T20:07:29
https://www.semanticscholar.org/author/Akihiko-Takahashi/34683134
gundua peru world tourism portal chunguza peru nini cha kuona vivutio bora vya juu katika peru nini cha kufanya huko peru tovuti rasmi za utalii za peru tazama video kuhusu peru chunguza peru nchi ya amerika kusini iliyoko upande wa magharibi wa bara hilo inakabiliwa na bahari la pasifiki kusini na sehemu ya mlima wa andes ambayo ina urefu wa amerika kusini peru ni nchi ambayo ina utofauti na utajiri sio wa kawaida ulimwenguni vivutio kuu ni haki yao ya akiolojia ya tamaduni za kabla ya columbi na kitovu cha ufalme wa inca gastronomy yao usanifu wao wa kikoloni (inaashiria ujenzi wa wakoloni) na rasilimali zao asili (paradiso ya utalii wa kiikolojia) ingawa peru ina maliasili asili na maeneo mengi mazuri ya kutembelea kiwango cha umaskini hufikia karibu 19 ya idadi ya watu na kuna kiwango cha kati cha usawa tajiri yenye watu wengi wasomi wa kihispania (au criollo) huishi katika miji walakini watu wengi wa peru ni wenye utaifa mkubwa na wanapenda nchi yao kwa kiburi (kwa kiasi kikubwa inatokana na historia ya peru kama kitovu cha dola ya inca na uhispania 'ufalme wa amerika kusini) pia watu wengi wa peru hutenganisha jimbo la peru na serikali yake katika akili zao wengi wao hawaamini serikali yao na polisi na watu hutumiwa kupigania rushwa na uboreshaji wa kashfa kama ilivyo katika nchi nyingi uchumi wa peru ni afya na nguvu na kiwango cha juu cha maendeleo ya wanadamu na kiwango cha juu cha mapato pia utalii kwa peru unakua haraka kuliko nchi nyingine yoyote amerika ya kusini neno gringo linatumika kawaida lakini sio kwa ujumla halikusudiwa kama kukera maana ya asili ilikuwajumuisha wazungu wote ambao hawazungumzi kihispania watu wengi hutumia neno gringo tu kwa wamarekani au amerika ya kuangaliamasea sio kawaida kwa watu wa blonde kuitwa gringo watu wa peru hawasiti kukusalimu na hola gringo kwa ujumla watu wana urafiki sana amani na msaada unapokuwa kwenye shida unaweza kutegemea zaidi kupata msaada lakini kama ilivyo kwa mpangilio wowote kila wakati ni vizuri kujiangalia mwenyewe na ujaribu kujiepusha na hali mbaya peru sio uwanja wa ufanisi usitarajie mambo kuwa kwa wakati au haswa kama wanavyokusudia kuwa nje ya huduma za kitalii zaidi na miji mikubwa kama lima kiingereza ni kawaida nje ya miji mikubwa na watu wakijaribu kuwa na urafiki wanaweza kutoa ushauri mbaya au usio sawa mtafsiri anaweza kuwa na msaada katika kesi hizi panga mapema na uacha wakati mwingi wa kusafiri kwa kweli katika miaka ya hivi karibuni kiingereza hufundishwa katika shule nyingi kama hitaji la serikali ya peru watu wengi wanaweza kuelewa kiingereza lakini hawazungumzi kama ilivyo katika nchi zingine za kilatino na ulaya watu wa peru wanapendelea kwamba watalii watumie lugha yao teknolojia ya rununu na mtandao hurahisisha usomaji wa lugha ya kiingereza siku hizi chan chan seti ya kuvutia ya magofu ya mji wa zamani wa matope wa chimor na tovuti ya urithi wa dunia wa unesco chavín de huántar tovuti ya urithi wa unesco ulimwenguni kutoka kwa utamaduni wa kabla wa incan chavin wa karibu 900 bc hifadhi ya kitaifa ya huascarán hifadhi ya juu ya mlima katika anuwai ya cordillera blanca ziwa titicaca inachukuliwa kuwa mwili wa juu zaidi kibiashara wa kibiashara ulimwenguni machu picchu wavuti hii ya urithi wa ulimwenguni wa unesco ni moja wapo ya alama zinazofahamika zaidi ya dola ya incan na ni moja ya seti maarufu za maangamizi ulimwenguni hifadhi ya kitaifa ya manú moja wapo ya maeneo tofauti zaidi huko peru nazca mistari ulimwengu maarufu kwa takwimu zake za kijiometri na michoro kubwa kwenye mchanga wa jangwa hifadhi ya kitaifa ya paracas hifadhi ya asili maarufu katika pwani ya kusini hifadhi ya kitaifa ya río abiseo máncora mji mdogo wa pwani na fukwe bora na bahari kubwa inageuka kuwa mji wa chama cha kweli mwishoni mwa wiki na likizo katika miji na karibu ndani ya miji kawaida hakuna shida kuzunguka kwenye mabasi ya jiji au teksi teksi haimaanishi gari mrefu pia inahusu baiskeli motor rickshaws na baiskeli za gari kwa kukodisha teksi imegawanywa kati ya teksi rasmi zilizopigwa rangi na alama kama hiyo na zina stika na soat na zisizo rasmi hizo ni magari tu na stika ya vilima ambayo inasema teksi la mwisho ni bora kushoto kwa wenyeji haswa ikiwa husemi kihispania mbali na teksi ya redio zaidi (pia bei ghali zaidi) nauli haijasanikishwa au metered lakini inashughulikiwa na dereva kabla ya kuingia kwenye gari uliza katika hoteli yako au mwenyeji juu ya kiwango unachotarajia kulipa ili upite kwenye eneo fulani ili uwe na uhakika wa kumbukumbu hakuna kutaja teksi barabara zingine kuu haswa kando ya ukanda wa pwani zimejengwa lakini bado kuna barabara nyingi za uchafu ziko katika hali mbaya sana katika msimu wa mvua maporomoko ya ardhi yanaweza kuzuia hata barabara kuu kwa mguu kando na uchaguzi maarufu wa inca kwa machu picchu unaweza kufanya safari nyingi zaidi karibu na sierra ikiwezekana katika msimu wa kiangazi kupendekeza kuunda kitabu mapema kwa sababu kuna nafasi za 500 zinapatikana kwa siku ikiwa ungependa kitabu inca trail minimun ni mwezi wa 6 mapema makkaa ya mlimaji ni huaraz ambapo unaweza kupata mashirika mengi ambayo hutoa ziara zilizoongozwa na / au vifaa vya kukopa mimea nyembamba katika sierra ya juu hufanya rahisi kupanda kwa njia rahisi ramani nzuri ni ngumu kupata ndani ya peru ni bora kuwaleta kutoka nyumbani hakikisha unayo iodini ya kutosha kutakasa maji yako ya kunywa wakati wa kupanda kwa urefu wa juu uthibitishaji mzuri ni muhimu kabisa chukua begi nzuri ya kulala na wewe kwani usiku huko sierra kunaweza kuwa baridi sana (10 ° c katika urefu wa 4500m ni kawaida wakati mwingine bado ni baridi sana) jihadharini na dhoruba za radi ambazo zinaweza kuongezeka ghafla sana joto linaloanguka haraka na mvua ngumu ni hatari kubwa katika mwinuko mkubwa usisahau kwamba usiku hudumu kwa masaa ya 12 mwaka mzima kwa hivyo tochi ni wazo nzuri wakati wa kupanda juu lakini sio milima iliyofunikwa na theluji maji yanaweza kuwa nadra kupata pombe kwa majiko ni rahisi kununua pombe ya rangi ya hudhurungi au bora tu kununua pombe safi ya kunywa unaweza kupata hii katika kila mji (usifikirie hata kunywa) haitakuwa rahisi sana kupata mafuta maalum kwa majiko ya petroli petroli ya magari inaweza pia kupatikana katika duka nyingi za vifaa (ferreterias) zilizouzwa na lita lakini kwa kweli unaweza kuinunua moja kwa moja kwenye vituo vya gesi mradi tu utaleta chupa yako mwenyewe inawezekana pia kutembelea mambo ya ndani ya nchi kwa gari hii inakupa nafasi ya kutoka kwenye wimbo uliopigwa na uchague baadhi ya maeneo ambayo hayajabadilishwa na utalii kibali cha kuendesha duniani kinahitajika kwa kuendesha gari huko peru hakikisha unaleta gesi nyingi kwani vituo vya gesi katika maeneo yasiyopangwa ni nadra sana na mara nyingi vitafungwa kununua gesi marehemu kunaweza kuwa adha yake yote kwani hata katika maeneo yenye watu wengi vituo vya gesi huwa karibu kufunga na pampu zimefungwa mmiliki wa kituo wakati mwingine hulala ndani na ikiwa unaweza kumwinua atatoka na kukuacha ujaze kuwa na ufahamu juu ya matumizi ya petroli ya juu katika milima kama ilivyo katika nchi nyingi pia huko peru kuna umati mkubwa wa watu wanaotegemea viwanja vya ndege na vituo vya basi au vituo vya mabasi ni uamuzi wowote wa busara wa wasafiri kutofanya biashara na watu ambao wanajaribu kukuuza vitu vyao barabarani / kituo cha basi / uwanja wa ndege kwanza kabisa kama wangekuwa na mahali pazuri wasingelazimika kuiuza kwa watalii wasio na tuhuma wanaojaribu kuwavuta kutoka popote wanapoweza kuwapata la muhimu zaidi sio kweli sio wazo nzuri kutoa pesa kwa mtu wa kwanza unayekutana naye ukifika mahali tipi unapofika katika mji wowote hakikisha kuwa tayari umeamua hoteli ipi ambayo utakwenda usitaje habari hii au habari nyingine yoyote kwa mango ambao unangojea watatumia chochote unachowaambia wachukue uwongo kukufanya ubadilishe akili yako na uende nao ikiwa tayari umechukua nafasi nzuri ya hoteli ni kwamba utakuwa sawa hapo na watakuwa na habari yoyote (ya ziada) ambayo ungesaka kama uhifadhi wa matembezi au tiketi kama ilivyo kwa amerika kusini lugha rasmi ya peru ni kihispania kiingereza kinaweza kueleweka na vijana katika lima na kwa kiwango kidogo (hata) kidogo katika vituo vya utalii kama machu picchu nje ya hiyo utahitaji kihispania na 84 ya maeneo ya ulimwengu ya 104 inayojulikana peru ina utajiri wa anuwai ya wanyamapori bonde la amazon ni nyumbani kwa dolphins pink jaguars otter river river primates 4000 aina ya vipepeo na theluthi moja ya spishi za ndege za 8600 duniani tofauti za watu na tamaduni za peru zinaonyeshwa katika tamaduni tajiri ya sherehe densi na muziki katika andes maombolezo ya wazi ya filimbi na kipigo cha ngoma hiyo yanafuatana na nyimbo zinazoonyesha maisha ya asili wakati wachezaji wakicheza kama mashetani na pepo ni ndoa ya imani za kipagani na za kikristo katika msitu muziki wa kitamaduni na densi ni fungu la maisha ya kikabila na pwani mchanganyiko wa sauti za kifahari za uhispania na mitindo mahiri ya kiafrika zinaonyesha ushindi na utumwa wa baadaye wa watumwa wa ulimwengu mpya trekking ni njia nzuri ya kuona nchi njia inayojulikana zaidi ni njia ya kipekee ya inca kwenda machu picchu njia zingine maarufu ni pamoja na cordillera blanca huaraz colca canyon arequipa ausangate trek salkantay trek choquequirao safari na inka jungle safari ya machu picchu safari ya adrenaline kwa machu picchu bei ya safari inaweza kutofautiana sana kati ya kampuni kama vile hali zao za kazi za waendeshaji wao (hakuna wanyama wa pakiti wanaoruhusiwa kwa hivyo vifaa hubeba na waabudu wa binadamu) ingawa kuna mshahara wa chini wa porter na walinzi wa kubeba mzigo mkubwa huweza kubeba (25kg / 55 lb) sio kampuni zote zinashikilia madai yao peru inatoa aina kubwa ya michezo ya adrenaline kama vile kusonga kusafiri baiskeli zip ya barabara farasi wanaoendesha farasi kutumia farasi atv motocross paragliding dari upandaji wa baiskeli sandboard nk shughuli nyingine maarufu ya kufanya huko peru ni kutembelea wanyamapori wake kwenye msitu wa mvua wa amazon ambao unaweza pia kuzingatiwa kama shukrani ya mchezo wa adrenaline kwa kutumia wakati kati ya wanyama wa porini njia inayokuja ya kuchungulia peru ni kujua shamba zake za kahawa na wazalishaji katika mikoa kadhaa ya nchi ikiwa ni pamoja na cusco na san ignacio sasa kuna ziara za mchana na usiku zinazotembelea shamba za wakulima wa kahawa zinazojulikana kama chacras kwa zile fupi kwa wakati safari za kuchemsha za 23 haraka na za kusafiri zinapatikana hata katika lima peru ina mila katika utalii na kuwa tayari kutazamwa kama atm ya kutembea karibu kila hatua ya njia kila mahali wameona watalii hapo awali wanabadilika kuwa maziwa ya watalii mara tu watakapoona sio wewe wa karibu jijulishe vizuri juu ya bei bora kwa kuuliza wenyeji atm zinapatikana sana kupitia nchi ukiwa na ishara ya cirrus au maestro juu yake unaweza kuondoa pesa taslimu kwa urahisi hakikisha hakuna mtu anayejaribu kuona nambari yako ya pin benki zingine hazitoi ada ya kupata pesa kutoka kwa atm zao hata hivyo wengi hufanya katika miji midogo inaweza kutokea kuwa hakuna mtu ambaye atakubali kadi yako ya mkopo au ukaguzi wa wasafiri kwa kesi hii unapaswa kuchukua tahadhari kuwa una pesa za kutosha na wewe mara nyingi katika miji ndogo maduka ya ndani yatabadilisha pesa kwako ikiwa ni hivyo itakuwa alama wazi chukua bili za dola za amerika tu katika hali nzuri kwani bili zilizobomolewa kidogo au hata za zamani hazitakubaliwa peru ni maarufu kwa kazi nyingi tofauti nzuri nzuri na za bei nafuu kumbuka kwamba kununua kazi za mikono inasaidia ujuzi wa jadi na husaidia familia nyingi kupata mapato yao ya chini tafuta pullovers na bidhaa zingine nyingi za pamba (alpaca) katika sierra zote mazulia ya ukuta (tejidos) mchoro juu ya jiwe kuni na maboga kavu vito vya dhahabu na dhahabu vyombo vya kawaida vya muziki kama filimbi za sufuria (zampoñas) ngoma za ngozi usikubali kazi za mikono ambazo zinaonekana kama (au kweli ni) ufinyanzi wa kabla ya columbi au vito vya mapambo ni haramu kuzifanya biashara na kuna uwezekano sio tu wa kutekwa nyara lakini kwa kushitakiwa kwa biashara haramu hata ikiwa mabaki halisi ni nakala au bandia kushughulika na polisi kutoka upande wa jinai ni fujo na haifai sana jihadharini na bidhaa bandia (bamba) za pamba za alpaca vitu vingi vinauzwa kwa gringo zisizoonekana ni kweli za kutengeneza au pamba ya kawaida hata katika maeneo kama puno hakuna njia rahisi ya kusema ikiwa imetengenezwa kutoka alpaca wakati mwingine inaweza kuwa na asilimia ndogo ya alpaca iliyochanganywa na nyuzi zingine alpaca ya watoto sio kutoka kwa wanyama wa watoto lakini shearing ya kwanza na nyuzi ni laini sana na nzuri kwa ujumla nyuzi za alpaca zina luster ya chini na mkono ulio na grisi kidogo na ni mwepesi kupona kutokana na kunyoosha nunua na kulinganisha alpaca halisi ni ghali kujadili ni kawaida sana ikiwa haujazoea iheshimu sheria kadhaa ikiwa unakusudia kununua kitu kwanza uliza bei hata ikiwa tayari unajua ni nini inapaswa gharama kisha angalia ikiwa kila kitu ni sawa gundua kuwa bidhaa nyingi katika masoko ya kitalii zitauzwa katika karibu kila soko lingine wakati wa kusafiri kwako huko peru na amerika kusini kwa hivyo jaribu kuto wasiwasi kuhusu kamwe kupata baraza moja la alpaca una njia ya kujadiliana bila kusema bei halisi na inasema nos menos basi utakuwa ukiuliza ikiwa wanaweza kupunguza bei kidogo ukisema hapana gracias watakuuliza ununue na akupe bei ya chini nenda tu kwenye maduka ya kusonga kwa bidhaa zinazofanana na ile unayo jicho lako na kisha na unaweza kuanzisha bei ya wastani na bei ya chini halafu nenda ununue kitu unachotaka ufahamu kamili juu ya bei ya chini unayoweza kupata hoja nzima ya kusonga ni kujali kidogo kuliko vile wanavyofanya kujua bei ya chini itakusaidia kuona kupitia antics zao usijisikie mbaya kwa wachuuzi kutakuwa na kitalii kingine na ni biashara tu uso wao wakati wa kubadilishana hufanywa kupata wewe kununua duka kubwa linaweza kupatikana tu katika miji mikubwa na ni ghali katika kila mji kuna sehemu moja ya soko au ukumbi isipokuwa lima ambayo ina mkusanyiko mnene wa maduka makubwa maduka makubwa na maduka ya idara katika miji kuna masoko tofauti (au sehemu za soko moja kubwa) kwa nakala tofauti duka zilizo na vifungu sawa huwekwa kwenye kundi moja kwa hivyo ikiwa unajua mara moja barabara inayofaa unapotafuta kitu maalum haifai kuwa shida tena kuipata hivi karibuni kile cha kula kunywa huko peru hoteli huko peru ni za kawaida sana na kwa bei rahisi zinatoka kwa nyota za 1 5 hoteli za nyota za 5 kawaida ni kwa utalii wa kifurushi au usafiri wa biashara na kawaida sana nje ya lima hoteli za nyota za 4 kawaida ni kidogo kwa upande wa gharama kubwa na sio kawaida lakini katika miji mikubwa hoteli za nyota za 3 ni maelewano mzuri kati ya bei na ubora na hoteli za nyota za 1 ni rahisi sana lakini usitegemee maji ya moto au eneo salama kabisa maswala ya kimsingi juu ya usafi na chakula ni ngumu kuhakikisha usalama wa chakula na vinywaji haswa katika nchi zinazoendelea walakini unaweza kuendelea kufurahia milo za hapa hii ni sehemu ya starehe za safari ya kimataifa chagua magonjwa ambayo unaweza kupata kutoka kwa kuhara ndogo au kuhara kwenda kwa ugonjwa mmoja mbaya zaidi (mfano maambukizi ya vimelea) ambayo inaweza kuharibu safari yako kwa hivyo unapaswa kuchukua tahadhari fulani jaribu kula vyakula vilivyopikwa tu epuka kula chakula au chakula kingine chochote ambacho kimechomwa na kufunuliwa na mawasiliano na nzi epuka dagaa kwenye maeneo yasiyofahamika matunda na mboga mboga ni ngumu sana kutuliza usizile isipokuwa unayo usalama kuwa imeoshwa kwa maji yanayoweza kunywa au ikiwezekana kuteka bila kugusa mimbara katika kitropiki matunda salama kabisa ni ndizi na papayas kuwa mwangalifu unaweza kukataa chakula chochote unachokiona sio salama ikiwa ni lazima omba chakula kilichopikwa haswa kwako bomba maji kunywa maji tu wakati una uhakika ni salama usinywe maji ya bomba ikiwa unatumia maji ya bomba kupiga mswaki meno yako au suuza mdomo wako toa mate iwezekanavyo maji ya bomba yanaweza kufanywa ya kunywa kwa kuinywesha (kuifikisha mahali pa kuchemsha kwenye kettle inapaswa kutosha) au kwa njia za utakaso kama vile vidonge vya iodini au taa ya uv maji ya chupa ni ya bei rahisi na ladha bora kuliko maji ya kuchemshwa angalia chupa ili kuhakikisha kuwa haijafunguliwa na kujazwa mji wa cuzco chavin (tovuti ya archaeological) sehemu ya archaeological ya chan chan kituo cha kihistoria cha lima mistari na geoglyphs ya nasca na palpa kituo cha kihistoria cha jiji la arequipa jiji takatifu la caralsupe qhapaq ñan mfumo wa barabara ya andean
2020-06-04T01:23:48
https://sw.worldtourismportal.com/explore-peru/
mkutano wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya ushirika wa akiba na mikopo kitaifa waanza leo jijini arusha | masama blog home » news and updates » mkutano wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya ushirika wa akiba na mikopo kitaifa waanza leo jijini arusha from michuzi blog https//ifttt/2lwt2eh thanks for reading mkutano wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya ushirika wa akiba na mikopo kitaifa waanza leo jijini arusha
2019-10-18T09:57:30
https://www.masamablog.com/2019/10/mkutano-wa-maadhimisho-ya-siku-ya.html
mageuzi ya ugawaji wa ardhi kusini mwa afrika | matukio ya kisiasa | dw | 18082008 mageuzi ya ugawaji wa ardhi kusini mwa afrika kinyume na zimbabwe inayokabiliwa na matatizo katika utaratibu wa ugawaji wa ardhihuko afrika kusini na nambia kuna ishara zinazotoa matumaini changamoto ya hivi sasa katika nchi hizo ni kujifunza njia ya kuhakikisha kuwa wakulima waliogaiwa ardhi watajipatia rizki yao nchini zimbabwemashamba 150000 madogo na mashamba makubwa ya kibiashara 15000 yalipata wamiliki wapya kufuatia maguezi ya kugawa upya ardhi kwa harakamageuzi hayo yalifanywa bila ya mpangilio na mara nyingi kulitumiwa nguvuwakulima wengi wa kizungu walilazimika kuondoka kwa sababu ya kuhofia maisha yao lakini nchini afrika kusini na nambia ugawaji upya wa ardhi unafuata utaratibu maalumkwa mfano afrika kusini watu wanapeleka maombi ya kurejeshewa ardhi yao ikiwa wana madai ya kihistoria kwa sababu walifukuzwa miongo au karne kadhaa zilizopitanjia nyingine ni kuomba msaada wa serikali kuwapatia ardhi hata hivyo afrika kusini pia kuna mifano ambako sera ya mageuzi ya ardhi haikufanikiwakwani kuna watu walionunua ardhi lakini walipoona hawafanikiwa moja kwa moja walijiamulia kuondoka na ni wachache tu waliobakia mashambanihata miongoni mwa wakulima hao wapya wengine wameshindwa kupanda cho chote na wamekaa na mashamba yaosababu ni gharama kubwa za ukulima na vile vile matatizo tofauti ya kilimo ambayo hawakutazamiawengine ndio walipoteza kabisa hamu ya kulima kwa sababu ya kukosa msaada wa serikali kwa maoni ya ben cousins alie mkurugenzi wa mipango ya utafiti wa ardhi na kilimo kwenye chuo kikuu cha western cape afrika kusinikuna sababu nyingi zilizosababisha hali hiyokama vile uhaba wa uandalizi na kutokuwepo mipango ya kuendeleza ujuzi au kuwasaidia wakulima kununua mboleambegu na kumwagilia maji mashambavile vile hakuna miundombinu inayoweza kutumiwa kusafirisha mazao sokoni nchini namibia pia wakulima waliofanikiwa ni wachache mno kulinganishwa na wale walioshindwa muda mfupi tu baada ya nchi hiyo kujipatia uhuru wake mwaka 1990kulifanywa mkutano wa kitaifa kuhusu mageuzi ya ardhimkutano huo uliweka msingi wa utaratibu wa amani wa mageuzi ya ardhi lakini kwa maoni ya mtaalamu wa mageuzi ya ardhi willem odendaalutaratibu huo unakwenda pole pole mno kwa wenginamibia ni nchi kame kwa hivyo wakulima wengi hupendelea kuwa na mifugo lakini ruzuku za wakulima zimepunguka na wakati huo huo mashindano yanazidi kuwa makubwa katika masoko ya dunianikwa hivyo sasahata wakulima wa zamani wamevunjika moyo na hawaoni sababu ya kuendelea na kilimokwa mujibu wa odendaalserikali ina mipango michache mno kuwasaidia wakulima wapyalicha ya matatizo yote kuna wengi waliofanikiwa kuanzisha maisha mapyakwaokilicho muhimu ni kuwa sasa wana uhuru wa kujifanyia kazi wenyewe kiungo http//pdwcom/p/f018
2018-02-21T05:55:34
http://www.dw.com/sw/mageuzi-ya-ugawaji-wa-ardhi-kusini-mwa-afrika/a-3574990
tafadhali chama cha kitaifa cha utasaifa nchini merika kinatoa kampeni kwa askari mkongwe kupeana matibabu ya usaidizi wa uzazi kupitia utawala wa mifugo misaada imesema utawala wa veterans (va) unashughulikia ombi la ubunge wa ivf fairness limelazimishwa kuifunga kwa chini ya masaa 24 'kwa sababu ya uchaguzi ujao lakini bado limeweza kufikia saini 10000 kabla ya tarehe ya mwisho hospitali ya uingereza ya plymouth derriford imetangaza kuwa haitatoa matibabu tena ya ivf kwa wagonjwa wapya kutoka 2020 habari hizo zitawaangamiza wale walio katika eneo hilo ambao wamepewa hivi karibuni
2020-05-28T02:34:59
https://sw.ivfbabble.com/news/page/2/
madereva geita wachangamkia kupima afya katika zahanati mwendo | lukaza blog lukaza tv sikiliza clouds fm sikiliza bbc swahili je wajua kansiime anne urembo & fashion madereva geita wachangamkia kupima afya katika zahanati mwendo wananchi wapata mafunzo ya unywaji kistaarabu huduma ya zahanati mwendo ambayo imebuniwa na kampuni ya tbl group katika maadhimisho http//wwwjosephatlukazacom/2016/09/maderevageitawachangamkiakupimaafyahtml wananchi wapata mafunzo ya unywaji kistaarabu huduma ya zahanati mwendo ambayo imebuniwa na kampuni ya tbl group katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani kwa ajili ya kupima afya za madereva imekuwa kivutio kikubwa mkoani geita ambako maadhimisho haya yamezinduliwa kitaifa na idadi kubwa ya madereva na wananchi wanaendelea kujitokeza kupima afya zao kwa wingi na kupatiwa matibabu na ushauri nasaha madaktari maalumu waliopo kwenye gari la kufanyia vipimo la zahanati mwendo muda wote tangia kuwasili mkoani geita wamekuwa na kazi kubwa ya kutoa huduma kwa madereva wengi na wanaendelea kujitokeza kufanyiwa vipimo siku hadi siku meneja mawasiliano wa tbl group amanda walteramesema inavutia kuona watanzania wengi wanahitaji huduma ya kupimwa afya na kumekuwepo na mwitikio mkubwa wa madereva na wananchi wanaotembelea zahanati mwendo alisema pia kuwa wananchi wengi wamejitokeza katika semina ya mafunzo ya unywaji wa kistaarabu yaliyofanyika katika kituo kikuu cha mabasi cha geita ambapo walipata fursa ya kujua madhara ya matumizi ya vinywaji vyenye kilevi kupindukia ''wiki ya usalama ya mwaka huu imekuwa na mwamko mkubwa hususani wananchi walivyojitokeza kwa wingi katika mafunzo haya ya unywaji wa kistaarabu na mengine yanayohusina na usalama barabaranitbl group tunaendelea kushirikiana na serikali na wadau wengine katika kampeni za usalama kwa lengo la kupunguza matukio ya ajali nchinialisema rehema nyokimkazi wa geita ambaye amehudhuria mafunzo ya unywaji wa kistaarabu akiongea kwa niaba ya wenzake aliipongeza kampuni ya tbl group kwa kuendesha semina za uhamasishaji unywaji kistaarabu na alitoa ombi mafunzo hayo yafikishwe sehemu mbalimbali nchini kwa kuwa ipo idadi ya waathirika wengi wa kutumia vinywaji vyenye kilevi kupita kiasi kwenye jamii ambao wanaishia kupata matatizo ya kila aina mwonekano wa zahanati mwendo kwa nje madereva wakipima afya zao viongozi wa serikali na jeshi la polisi wakipata maelezo jinsi huduma zinavyotolewa katika zahanati mwendo posted by josephat lukaza hot stories 698653775892684566 post a comment default comments facebook comments tafadhari maoni yenye matusi hayatakuwa publish tutoe maoni bila kuumiza wala kujeruhi hisia za mtu@(sponsored by lukaza blog) seduce me by ali kiba tmt 2016filamu ndio sisi winner aba 2015 book me your job needs me tazama hapa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2015 ukumbi wa litostar park mbezi salasala wazinduliwa mkurugenzi mkuu mstaafu wa nhif bw emmanuel humba aagwa dully sykes togolawimbo wa siku news alertmatokeo ya kidato cha nne yatoka bofya hapo kuangalia josephat lukaza | afya biashara burudani comedy filamu hot stories je wajua kansiime anne kijamii kimataifa kitaifa magari makala mapenzi michezo ndoa picha siasa tmt urembo & fashion lukaza blog copyright © 2015 all rights reserved
2017-10-23T17:09:19
http://www.josephatlukaza.com/2016/09/madereva-geita-wachangamkia-kupima-afya.html
muziki wa diamond unakosha roho hata kwa sisi wazee mrema mtilah blog home / burudani / muziki wa diamond unakosha roho hata kwa sisi wazee mrema muziki wa diamond unakosha roho hata kwa sisi wazee mrema
2018-12-18T20:21:10
http://www.mtilah.com/2018/06/muziki-wa-diamond-unakosha-roho-hata.html
wajasiriamali wenzangu | jamiiforums | the home of great thinkers wajasiriamali wenzangu discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by lauti jun 2 2011 kwa wale wajasiriamali wenzangunawashauri kutengeneza financial statement&business plan kwa wanaohitajni muhimu kwa biashara yakoif u need that serviceni pm/nitumie emaillovenessjerry@yahoocomsina beikaribuni sana hongera sn kwa ujasiliamali/kutujulisha je unaweza kujitambulisha kwa qualification na experience yako tafadhali mimi ni business man sio mjasiriamali hongera sn kwa ujasiliamali/kutujulisha je unaweza kujitambulisha kwa qualification na experience yako tafadhaliclick to expand okey i am a degree holderi have graduated from university of dar es salaam 2009 i was pursuing bachelor of commerce and management in accounting i am now working with auditing firm as an accountant&auditor at the same timei used to write business plan to small entrepreneurs who are seeking loans at our churchin addition nasubiria majibu ya cpa this monthi think that is enough mkuu ni kitu kizuri kwa ambaye labda anahitaji maelezo japo kwa kifutpi anaweza tembeleea blog hii ambayo nimetoa japo maelezo machache okey i am a degree holderi have graduated from university of dar es salaam 2009 i was pursuing bachelor of commerce and management in accounting i am now working with auditing firm as an accountant&auditor at the same timei used to write business plan to small entrepreneurs who are seeking loans at our churchin addition nasubiria majibu ya cpa this monthi think that is enough mkuuclick to expand tatizo liko hapa hapa tuna labda 2009 tatizo liko hapa hapa tuna labda 2009click to expand how bosstell me the problem with those two issues you have raisedis it badanywaysthanks kwa post yako great initiative ilitakiwa uanze na profile hii na kumalizia na introductory note yako hapo juu i am curious hebu tujuze mafanikio yako katika 'huduma' ulokuwa waitoa hapo kanisani wamefanikiwa wangapi na wamekosa wangapi inaweza kusaidia kwa wale wajasiriamali wenzangunawashauri kutengeneza financial statement&business plan kwa wanaohitajni muhimu kwa biashara yakoif u need that serviceni pm/nitumie emaillovenessjerry@yahoocomsina beikaribuni sanaclick to expand nimeku email mkuu hongera hongera hongera sana lauti usivunjike moyo nitajitahidi kuwasiliana na wewe hongera hongera hongera sana lauti usivunjike moyo nitajitahidi kuwasiliana na weweclick to expand duh umenikumbusha mkuu ahsante kwa kutoa hongera mimi nilishampa hongera through emails correspondences niliona hii thread yake nikaingia na kumtumia pm hapo ndipo tulipo anzia what i can say is i am a true witness and this is my testimonial lauti has helped me with my financial part of the business plan and the job is perfect and well done very professional hard worker and kind you deserve to be a successful entrepreneur i recommend anyone with a need in preparation of business plan to contact lauti congratulations
2017-07-27T20:57:06
https://www.jamiiforums.com/threads/wajasiriamali-wenzangu.141954/
ripoti za utafiti wa dijiti za kiafrika ramani ya mazingira kiaarxiv iliyochapishwa na taasisi ya kimataifa ya afrika (iai) na africarxiv on 28th machi 2020 28th machi 2020 waandishi na wachangiaji katika mpangilio wa alfabeti bezuidenhout louise havemann jo jiko stephanie de mutiis anna & owango furaha (2020) ripoti za utafiti wa dijiti za kiafrika ramani ya mazingira [takwimu iliyowekwa] zenodo doiorg/105281 / ramani inayoonekana https//kumuio/access2perspectives/africandigitalresearchrepositories datasiti https//tinyurlcom/africanresearchrepositories imehifadhiwa https//infoafricarxivorg/africandigitalresearchrepositories/ fomu ya uwasilishaji https//formsgle/cnygpmbxn59nwvb38 leseni ramani ya maandishi na visual ccbysa 40 // dataset cc0 (kikoa cha umma) // leseni ya kila database imedhamiriwa na hifadhidata yenyewe utangulizi 105281 / zenodo3732274 duka ya kuweka data 105281 / zenodo3732172 // inapatikana katika muundo tofauti (pdf xls od csv) taasisi ya kimataifa ya afrika (iai https//wwwinternationalafricaninstituteorg) kwa kushirikiana na kiaarxiv (https//infoafricarxivorg) uwasilishe ramani inayoingiliana ya kumbukumbu za fasihi za kiafrika za utafiti wa dijiti hii ilitokana na kazi ya mapema ya iai kutoka 2016 kuendelea na kubaini na kuorodhesha kumbukumbu za taasisi za kiafrika ambazo zililenga kutambua hazina msingi katika maktaba za vyuo vikuu vya afrika rasilimali zetu za mapema zinapatikana katika https//wwwinternationalafricaninstituteorg/repositories ramani inayoingiliana inapanua kazi ya iai ni pamoja na kumbukumbu za shirika kiserikali na kimataifa pia huonyesha mwingiliano kati ya hazina za utafiti katika duka hii tunazingatia kumbukumbu za taasisi kwa kazi za kitaalam kama inavyofafanuliwa na wachangiaji wa wikipedia (machi 2020) ramani ya hazina za dijiti za kiafrika ziliundwa kama rasilimali ya kutumiwa katika shughuli za kushughulikia malengo yafuatayo boresha ugunduzi wa utafiti wa kiafrika na machapisho kuongeza ushirikiano katika kumbukumbu za zilizopo na zinazoibuka za kiafrika tambua njia ambazo injini za utaftaji za wasomi za dijiti zinaweza kuongeza ugunduzi wa utafiti wa kiafrika tunakuza usambazaji wa maarifa ya msingi wa utafiti kutoka kwa kumbukumbu za kiafrika kama sehemu ya mazingira makubwa ambayo pia yanajumuisha majarida ya mtandaoni kumbukumbu za data za utafiti na wachapishaji wa vitabu vya wasomi ili kuongeza uhusiano na ufikiaji wa hazina hizo kote na nje ya bara la afrika na kuchangia uelewa mzuri zaidi wa rasilimali za wasomi wa bara hili kuweka kumbukumbu na utunzaji wa data ramani na takwimu zinazolingana zinashikiliwa kwenye wavuti ya kiaarxiv chini ya 'rasilimali' huko https//infoafricarxivorg/africandigitalresearchrepositories/ orodha hiyo sio ngumu na kwa hivyo tunahimiza kumbukumbu zozote zinazofaa kwa bara la afrika ambazo hazijaorodheshwa hapa fomu ya uwasilishaji saa https//formsgle/cnygpmbxn59nwvb38 au kuarifu taasisi ya kimataifa ya afrika (barua pepe sk111@soasacuk) woteafricaarxiv na iai wataendelea kudumisha orodha ya kumbukumbu kama rasilimali kwa watafiti wa kiafrika na wadau wengine pamoja na jamii za masomo za kiafrika orodha ya asili ya kumbukumbu za dijiti iliundwa na taasisi ya kimataifa ya afrika mnamo 2016 na kusasishwa mnamo 2019 (ona https//wwwinternationalafricaninstituteorg/repositories kwa maelezo) wasilisho lilitolewa kutoka kwa habari inayopatikana na kituo cha mafunzo ya afrika leiden (https//ilissafricawordpresscom/tag/institutionalrepository/) haswa mradi wake wa 'kuunganisha afrika' (http//wwwconnectingafricanet/indexhtm) saraka ya hifadhi ya ufikiaji wazi (opendoar http//wwwopendoarorg/) na msajili wa hati za ufikiaji wazi (http//roareprintsorg/) kati ya zingine orodha ya asili iliongezwa na huduma zifuatazo ambazo pia hufanya mwenyeji wa kiafrika hufanya kazi mkusanyiko wa scienceopen (https//aboutscienceopencom/collections/) mkusanyiko wa jumuiya ya zenodo (https//zenodoorg/communities/) mkusanyiko wa figshare (https//figsharecom/features scholia (https//toolswmflabsorg/scholia/) na hazina za mtu wa tatu kwa taswira tulitumia programu ya kumu (https//kumuio/) kuweka ramani ya utafiti na nchi msingi wa programu taasisi za mwenyeji na taasisi zinazojumuisha tumeongeza pia kategoria ya lugha za kigeuzi mfumo na kazi zilizohifadhiwa kwa uhifadhi kwenye duka afrika kusini (40) na kenya (32) walishiriki idadi kubwa zaidi ya kumbukumbu katika nchi zingine kama vile ethiopia misri ghana nigeria senegal sudan tanzania uganda na zimbabwe idadi hiyo ilikuwa chini sana (515) katika nchi 16 ikijumuisha angola benin chad gambia somalia na eswatini (zamani swaziland) hakuna data juu ya kumbukumbu za utafiti wa dijiti zingeweza kupatikana lugha zilizowakilishwa kwenye dawati ni pamoja na kiingereza (en) kifaransa (fr) kiarabu (ar) amaranth (amh) kireno (pt) kiswahili (sw) kihispania (es) kijerumani (de) kielelezo 1 maelezo ya jumla ya ramani ya kuona kwenye hazina za dijiti za kiafrika (n = 229) sehemu zinawakilisha nchi na viunganisho vyao kwa aina anuwai za hazina kama zinajulikana na kificho cha rangi (angalia hadithi) kielelezo 2 mtazamo mzuri wa kielelezo juu ya sudani inayoangazia maelezo ya uwekaji wa chuo kikuu cha west kordufan incl programu lugha zinazopatikana upatikanaji na url kielelezo 3 idadi ya kumbukumbu kwa kila nchi ya afrika na asilimia nchi zingine 'zinajumuisha zile zilizo na kumbukumbu za 03 kielelezo 4 watoa huduma wa programu na idadi ya kumbukumbu za mwenyeji mtawaliwa haijulikani ufanisi wa maandishi ya utafiti wa dijiti iliyoundwa kwa ufanisi inapaswa kufanya matokeo ya utafiti kupatikana na kupatikana kwenye mtandao kwa kuongezea kumbukumbu za wazi zinapaswa kuwezesha watumiaji kutoka kote ulimwenguni kupata huduma za data hifadhi wazi za dijiti kwa hivyo zina jukumu muhimu ndani ya mazingira ya sayansi ya open na ni sehemu muhimu ya uchapishaji wa ufikiaji wa open kwa habari zaidi na maoni juu ya maendeleo na mtazamo wa kumbukumbu zinazohusu masomo ya kiafrika na kiafrika angalia molteno (2016) tunatambua ugumu wa kuchora kumbukumbu za dijiti bila kujali changamoto za kukusanya data viwango vya ziada vya changamoto za ugumu huja katika kuchunguza njia za upitishaji mapungufu ya ufikiaji utaftaji maisha marefu / kudumisha na aina ya data ya utaftaji hata hivyo tunaamini kwamba ramani kama ile iliyoonyeshwa hapa chini inabaki kuwa rasilimali ya maana kuwa na uelewa wa mtandao uliopo wa kumbukumbu pamoja na nguvu na udhaifu wake kuwezesha majibu na maboresho yaliyoelekezwa kwa kuongeza kuongeza mwonekano wa hazina hizi kwa watazamaji wa kiafrika na kimataifa zinaweza kuwezesha kugawana mazoea bora uzoefu na utaalam hii itawawezesha wadau ambao ni maktaba na wafanyikazi wengine wa kitaalam kufanya maamuzi sahihi juu ya jinsi ya kuweza kutengeneza teknolojia za dijiti kwa kuhifadhi kumbukumbu za wasomi wa kiafrika hufanya kazi zilizopo za kiafrika ili kuwajibika zaidi kwa teknolojia mpya na kukuza njia za msingi wa usimamizi wa data za dijiti ambazo zinafaa na endelevu kwa bara la afrika kinachofafanuliwa kama uwekaji hutofautiana sana sio tu barani afrika bali katika mazingira ya kitaalam ya ulimwengu fedha zilizowekwa kwa uwekaji kazi na uwezeshaji wa wafanyikazi ni haba na zinatofautiana sana kwa kiasi kikubwa kutegemea na mdogo na uwekezaji wa serikali ya kitaifa katika utafiti na uvumbuzi au michango ya wafadhili tofauti katika mifumo inayotumia programu tofauti na kuweka kumbukumbu za kiufundi inazuia kuingiliana kwa kimkakati na kwa hivyo utaftaji wa hazina katika bara na mikoa mingine ya ulimwengu maswala haya yote yanahitaji kushughulikiwa ili kuruhusu utafiti wa kiafrika ubadilishe kutoka kwa silo za dijiti kwenda kwa mazingira ya mwingiliano tunatarajia ramani hii kuwa eneo la uchambuzi mkubwa wa siku zijazo wa vitabu vilivyopo na vinavyoibuka vya vichapo na data katika kufuata utekelezwaji wa kazi hii tunapanga kujumuisha katika dawati na kumbukumbu za ramani za data za dijiti za kiafrika kama inavyotambuliwa na utafiti wa mazingira wa jimbo la sayansi ya afrika (aosp) (2019) kusudi lingine litakuwa kubaini suluhisho za kitekinolojia ili kufanya aina tofauti za hazina kushughulika na kutafutwa kwa taaluma / mkoa / lugha kupatikana na kutekelezwa katika muktadha wa sasa wa kiafrika na uwezo mdogo wa upelekaji wa vitengo kwa mfano kwa kukuza mtiririko wa kazi mkondoni / nje ya mkondo bado jamii nyingine ya kuongeza itakuwa ni ile ya masomo ya kiafrika inayoendeshwa na kushughulikiwa nje ya bara orodha moja kama hiyo ni kuunganishaafrika (https//wwwconnectingafricanet/indexhtm) orodha inayokua ya viingizo vinafaa pia kutolewa kwa wikidata ona mfano swwikipediaorg/wiki/usergerardm/africa#african_science waandishi wanakaribisha maoni wazi juu ya hifadhidata iliyowasilishwa na pia pembejeo kwenye hazina za taasisi ambazo zimekataliwa bila huruma au hivi sasa zimepangwa na kutekelezwa tunatarajia kuwasiliana na wadau wengine katika r&i za kiafrika na taasisi za kimataifa zaidi kuchambua kumbukumbu za wanazuoni zilizopo na kuchapisha majukwaa na kufanya kazi kwa ushirikiano wao chuo cha sayansi ya afrika kusini (2019) jukwaa la sayansi ya open la afrika utafiti wa mazingira doi http//dxdoiorg/1017159/assaf2019/0047 jukwaa la sayansi ya wazi la kiafrika http//africanopenscienceorgza/ kuunganishaafrika https//wwwconnectingafricanet/indexhtm molteno r (2016) kwa nini hazina za dijiti za kiafrika za kuhifadhi maandishi ya utafiti ni muhimu sana https//wwwinternationalafricaninstituteorg/repositories/why washiriki wa warsha ya wadau wa jukwaa la sayansi ya wazi ya afrika septemba 2018 washiriki wa warsha ya jukwaa la sayansi ya sayansi ya wazi ya afrika machi 2018 baraza la ushauri mradi wa jukwaa la sayansi ya wazi la afrika bodi ya ushauri ya ufundi jukwaa la sayansi ya open la afrika boulton geoffrey hodson simon wafula joseph (2018 desemba 12) jumuiya ya sayansi na sayansi ya siku za usoni maono na mkakati wa jukwaa la sayansi ya wazi la afrika (v02) zenodo http//doiorg/105281/zenodo2222418 viingizo vya wikidata kwa mfano https//enwikipediaorg/wiki/usergerardm/africa#african_science wikipedia wachangiaji (2020 machi 18) maktaba ya dijiti katika wikipedia kitabu huru rudishwa 1802 machi 27 2020 kutoka https//enwikipediaorg/w/indexphptitle=digital_library&oldid=946227026 the @africaiai kwa kushirikiana na @africarxiv inawasilisha ramani inayoingiliana ya hazina za fasihi za utafiti wa dijiti za kiafrika kukaribishwa kwa majibu https//tco/2hxu3abqx0 utazamaji wa data @kumupowered pictwittercom/mu4lkqul5e africarxiv (@africarxiv) machi 29 2020 jamii collaborationufikiaji wazipublishing tags hifadhi za dijiti
2020-06-01T02:57:45
https://info.africarxiv.org/sw/african-digital-research-repositories/
mizikiyainjili videos watch any format videos posted 10 month ago by tegemea champanda makala #76 miguso katika miziki ya inj makala #76 miguso katika miziki ya injili video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online makala #76 miguso katika miziki ya injili video to free learn karibu rafiki uungane nami katika tafakari hii ya ki muziki maada yetu ya leo inajikita katika kutafuta majibu ya swali hili je katika muziki ni kitu gani kinamgusa ni kwaya zinazotikisa katika mziki wa in ni kwaya zinazotikisa katika mziki wa injili wa tanzania video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online ni kwaya zinazotikisa katika mziki wa injili wa tanzania video to free learn posted 2 year ago by joellwagaonline joel lwaga sitabaki nilivyo (official video) video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online joel lwaga sitabaki nilivyo (official video) video to free learn posted 1 year ago by tegemea champanda makala #72 rhythm katika miziki ya inj makala #72 rhythm katika miziki ya injili video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online makala #72 rhythm katika miziki ya injili video to free learn nini kipo ndani ya rhythm za miziki ya injili sikiliza kwa kusikiliza posted 3 year ago by tegemea champanda makala no #62 video za miziki ya inji makala no #62 video za miziki ya injili video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online makala no #62 video za miziki ya injili video to free learn kadri wana muziki wa injili wanavyozidi kushamili katika ulimwengu wa leo kila mmoja anatamani kutoa santuri ya sauti na video nzuri changamoto kubwa mizikiyainjili this paragraph mizikiyainjili is totally about mizikiyainjili related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video repeat a paragraph again please read carefully mizikiyainjili real topic related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video many of people search related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video videos some internet user want to listien music related related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format videoother people want to download videos about related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video you can listen related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video music download related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video videos and conver related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video video to mp3 on anyformatnet mizuki ya injili choirmizuki ya injilimizuki ya injili by johnmizuki ya injili songsmizuki ya injili yamizuki ya injili iendemizuki ya injili kwayamizuki ya injili family choirmizuki ya angelina joliemizuki ya injili bora related videos for mizikiyainjili you have look for videos mizikiyainjili especially most relevant thousands videos results according to your search mizikiyainjili videos are available on these pages perfect results of mizikiyainjili videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mizikiyainjili free with anyformat convertor view and download mizikiyainjili with hd format video
2019-04-21T04:56:57
http://www.anyformat.net/videos/MIZIKI-YA-INJILI/
armanimen jumpers and sweatshirts sale armanimen jumpers and sweatshirts london factory wholesale prices armani collezioni men jumpers and sweatshirts military greenarmani suits $13584 $6793save 50 off armani collezioni men jumpers and sweatshirts blackarmani sale watchesbest armani collezioni men jumpers and sweatshirts leadarmani jeans shoeswholesale armani collezioni men jumpers and sweatshirts leadarmani jeans onlinefamous armani collezioni men jumpers and sweatshirts greyarmani trainersno sale tax armani collezioni men jumpers and sweatshirts maroonarmani suitsfantastic armani collezioni men jumpers and sweatshirts greysale armani armani collezioni men jumpers and sweatshirts whitearmani t shirtglamorous armani collezioni men jumpers and sweatshirts azurearmani beautycheap armani collezioni men jumpers and sweatshirts ivoryarmani ringauthorized site $26917 $13459save 50 off armani collezioni men jumpers and sweatshirts sky bluearmani t armani collezioni men jumpers and sweatshirts ivoryarmani trainersbiggest armani collezioni men jumpers and sweatshirts purplearmani dresscheapest price armani collezioni men jumpers and sweatshirts greyarmani ringsuk discount armani collezioni men jumpers and sweatshirts blackarmani nightlargest armani collezioni men jumpers and sweatshirts leadarmani shemost fashionable armani collezioni men jumpers and sweatshirts lilacarmani sunglasseslowest armani collezioni men jumpers and sweatshirts sky bluegio armanibest value armani collezioni men jumpers and sweatshirts cardigans blackarmani shirthuge
2018-01-16T11:31:24
http://www.arttimestwo.com/men-jumpers-and-sweatshirts-c-8_328.html
ahukumiwa jela miaka 99 kwa makosa 17 global publishers ahukumiwa jela miaka 99 kwa makosa 17 mahakama ya hakimu mkazi kisutu imemhukumu kifungo cha miaka 99 jela salma mntambo baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka 17 likiwemo la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu hukumu hiyo imesomwa jana septemba 18 2019 na hakimu mfawidhi kelvin mhina wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu akisoma hukumu hiyo hakimu mhina alisema kwka mahakama kupitia mashahidi watano walioletwa na upande wa mashtaka wameweza kuthibitisha pasipo kuacha shaka kuwa mshtakiwa ametenda kosa hilo hata hivyo hakimu mhina amesema adhabu hizo zitaenda pamoja hivyo mshtakiwa atakaa gerezani kwa miaka sita tu pia mahakama imesema kuhusu suala la fidia atatafakari na kufanya utafiti ili aje kutoa oda ambayo ni sahihi hivyo oktoba 2 mwaka huu atatoa oda hiyo ya fidia katika kesi hiyo mshtakiwa huyo alikuwa akikabiliwa na mashtaka 24 hata hivyo ametiwa hatiani katika mashtaka 17 yakiwamo ya kutakatisha fedha ya jumla ya sh 1027000000 kutoka kwa ridhuan mringo huku akijua fedha hizo zimetokana na zao la makosa tangulizi ya kugushi kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kuwasilisha nyaraka za uongo katika kosa la kugushi mshtakiwa mntambo anadaiwa kati ya june mosi 2003 na oktoba 31 mwaka 2011 maeneo yasiyojulikana wilayani ilala mkoani dar es salaam kwa nia ya udanganyifu alighushi risiti yenye namba 001226 ya tarehe 10/06/2003 ili kuonyesha kwamba ridhuan mringo alinunua nyumba ya shirika la nyumba iliyopo plot namba 710 mtaa wa mfaume upanga kwa sh millioni 70 wakati akijua ni uongo
2020-05-28T22:44:17
https://globalpublishers.co.tz/319142-2/
katibu mkuu was ccm dk bashiru ally na ujumbe wake warejea nchini kutoka china leo mtinge blog home / unlabelled / katibu mkuu was ccm dk bashiru ally na ujumbe wake warejea nchini kutoka china leo katibu mkuu was ccm dk bashiru ally na ujumbe wake warejea nchini kutoka china leo katibu mkuu wa ccm dk bashiru ally akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili jana uwanja wa ndege wa julius nyerere jijini dar es salaam akitokea nchini china ambako alikua katika ziara ya kikazi yeye na ujumbe wake katibu mkuu wa ccm dk bashiru ally akiingia ukumbini kuzungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili jana uwanja wa ndege wa julius nyerere jijini dar es salaam akitokea nchini china ambako alikua katika ziara ya kikazi yeye na ujumbe wake wapili kulia ni katibu wa nec siasa na uhusiano wa kimataifa kanali mstaafu ngemela lubinga katibu wa nec siasa na uhusiano wa kimataifa kanali mstaafu ngemela lubinga akimkaribisha katibu mkuu wa ccm dk bashiru ally kuzungumza na waandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa umoja wa vijana wa ccm (uvccm) kheri james mwenyekiti wa ccm mkoa wa pwani ramadhani maneno na msimamizi mkuu wa vyombo vya habari vya ccm ernest sungura wakiwa kwenye mkuano huo wa katibu mkuu wa ccm na waandishi wa habari viongozi hao ni mingoni mwa walioambatana na katibu mkuu nchini china mwenyekiti wa uwt gaudentia kabaka na katibu wa nec uchumi na fedha wakiwa kwenye mkutano huo katibu mkuu was ccm dk bashiru ally na ujumbe wake warejea nchini kutoka china leo reviewed by bashir nkoromo on october 26 2018 rating 5
2019-07-18T03:07:02
https://www.mtinge.com/2018/10/katibu-mkuu-was-ccm-dk-bashiru-ally-na.html
bayern munich wanaweza kupindua matokeo mbele ya madrid hii leo | shaffihdauda home kimataifa bayern munich wanaweza kupindua matokeo mbele ya madrid hii leo bayern munich wanaweza kupindua matokeo mbele ya madrid hii leo david alaba anatarajia kurudi uwanjani hii leo baada ya kuwa majeruhi javi martinez pia amesafiri na timu lakini hali ya arjen robben bado sio nzuri na hii imemlazimu kubaki ujerumani wakati bayern munich wakisafiri kwenda hispania katika michezo ya nusu fainali saba iliyopita katika michuano ya champions league hakuna timu ambayo imewahi kupindua matokeo ya kufungwa mabao 21 katika uwanja wao wa nyumbani bayern munich wanaonekana vibonde kabisa wa real madrid katika mechi 6 zilizopita katika hatua ya mtoano bayern munich wamepoteza zote mbele ya los blancos na hii ikiwa idadi yao kubwa zaidi kupoteza dhidi ya timu moja katika champions league cristiano ronaldo amefunga mabao 9 dhidi ya bayern munich mchezaji pekee ambaye amefunga mabao mengi dhidi ya timu moja ya champions league ni cr7 mwenyewe ambaye ameifunga juventus mabao 10 hakuna timu ambazo zimekutana mara nyingi katika champions league kama real madrid na bayern munich hadi hizi sasa wamekutana mara 26 bayern munich akishinda mara 11 huku real madrid akishinda 12 uwanja wa santiago bernabeu ndio mahala pachungu zaidi kwa wapinzani katika champions league katika dimba hilo real madrid wamefunga katika michezo yao 41 ya mwisho ya cl na mechi pekee waliyoshindwa kufunga ilikuwa dhidi ya barcelona mwaka 2011 mbaya zaidi kwa bayern munich ni kwamba wanakwenda ugenini katika kipindi ambacho wamecheza michezo 13 ya champions league ya ugenini na yote wameruhusu bao huku mshambuliaji wao tegemezi robert lewandowski akiwa hajafunga katika mechi 4 zilizopita za cl previous articlevideoserengeti boys ilivyopokelewa dar next articlekocha kataja faida serengeti boys kucheza cecafa championship
2018-09-22T11:43:52
http://shaffihdauda.co.tz/2018/05/01/bayern-munich-wanaweza-kupindua-matokeo-mbele-ya-madrid-hii-leo/
vipindi vya kilimo katika vyombo vya habari vitasaidia kuinua kilimo nchini | lukaza blog mkuu wa wilaya ya mtwara evod mmanda akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku moja kwa maofisa ugani wa wilaya hiyo mjini hapa le http//wwwjosephatlukazacom/2017/08/vipindivyakilimokatikavyombovyahtml hot stories 164990194298387744
2017-10-19T01:29:09
http://www.josephatlukaza.com/2017/08/vipindi-vya-kilimo-katika-vyombo-vya.html
waziri mkuu wa israeli benjamin netanyahu (kushoto) rais wa palestina mahmoud abbas viongozi wa nchi mbalimbali duniani wanaoshiriki katika mkutano mkuu wa umoja wa mataifa jijini new york wanatarajiwa alhamisi kusikiliza yanayojiri katika mgogoro wa israeli na wapalestina wakati maafisa kutoka pande hizo mbili watapopatiwa nafasi ya kuhutubia mkutano huo wa kila mwaka rais wa palestina mahmoud abbas amepangiwa kutoa hotuba yake asubuhi waziri mkuu wa israeli benjamin netanyahu yuko israeli akijaribu kuunda serikali baada ya uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita na hivyo waziri wa mambo ya nje israel katz atahutubia umoja wa mataifa mchana kwa niaba yake hali ya utata inayoendelea kuhusu kujitoa uingereza umoja wa ulaya inawezekana ikawa katika ajenda huku rais wa baraza la eu donald tusk akiwa amepangiwa kutoa hotuba yake waziri mkuu wa uingereza boris johnson hakuzungumza juu ya uingereza kujitoa eu brexit katika hotuba yake wiki hii na amepata kipigo kutokana na uamuzi uliyotolewa na mahakama ya juu ya uingereza ikisema uamuzi wake wa kusitisha shughuli za bunge ulikuwa kinyume cha sheria siku ya jumatano huko un rais wa iran hassan rouhani alihutubia akiwaeleza viongozi mbalimbali wa dunia kuwa hakutakuwa na mazungumzo baina ya nchi yake na marekani muda wa kuwa vikwazo vya uchumi vinaendelea awali tuliingia katika mazungumzo tukikabiliwa na vikwazo hatutafanya hivyo tena simamisheni vikwazo na rejeeni katika makubaliano tuliofikia ili mazungumzo yafunguliwe tena amesema hayo katika mkutano wa umoja wa mataifa marekani iliweka vikwazo ikilenga sekta kuu ya mafuta ya iran baada ya kujitoa kwenye mkataba wa 2015 ambao ulikuwa unaidhibiti programu ya nyuklia ya iran uongozi wa trump ulisema kuwa makubaliano kati ya iran na mataifa yenye nguvu zaidi haukujitosheleza vya kutosha kuizuia tehran kutengeneza silaha za nyuklia au kujihusisha na vitendo vinavyoonekana kuhatarisha usalama tehran tangu wakati huo imepitiliza viwango vilivyokuwa vimewekwa katika mkataba wa 2015 katika uzalishaji wa nyuklia wakidai kuwa pande zilizosaini mkataba huo hauheshimu makubaliano hayo waliofikia na iran hususan suala la kuhakikisha kuwa vikwazo dhidi yake vinapunguzwa
2019-11-21T05:09:41
https://www.voaswahili.com/a/mkutano-wa-un-viongozi-wa-dunia-kusikiliza-yanayojiri-katika-mgogoro-wa-israeli-wapalestina/5099518.html
inauma atumiwa zawadi ya picha za mkewe akifanya ngono kinyume na maumbile wasikilize mke na mume hapa dar24 uingereza mvulana wa miaka 13 afariki dunia kwa covid 19 wagonjwa wawili wa covid 19 wathibitika burundi 4 years ago comments off on inauma atumiwa zawadi ya picha za mkewe akifanya ngono kinyume na maumbile wasikilize mke na mume hapa katika hali ya kusikitisha wapendanao waliokula kiapo cha kuvumiliana kwenye shida na raha afya na maradhi wamelazimika kukiweka kando kiapo chao na kujikuta wakiwa katika hali ya sintofahamu baada ya kupokea zawadi ya picha chafu za bibi harusi akifanya mapenzi kinyume cha maumbile tukio hilo la kusikitisha limetokea jijini dar es salaam hivi karibuni ambapo kwa mujibu wa maelezo ya wanandoa hao pamoja na rafiki wa mume aliyewasindikiza katika tukio la ndoa (best man) walipokea picha hizo wiki siku moja baada ya kutoka kwenye fungate (honeymoon) akizungumza na kipindi cha ubaoni cha efm hivi karibuni rafiki wa bwana harusi aliyejitambulisha kwa jina la geoffrey nicholaus alisema kuwa yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza kuziona picha hizo wakati alipokuwa akifungua zawadi za maharusi hao baada ya kutoka kwenye fungate juni 29 mwaka huu nilikuta ndugu zake wote wako pale nikakuta kuna mabox ya zawadi pale kwahiyo akaniomba nimsaidie pale kufungua mizigo ya zawadi sasa wakati tunaanza shughuli ya kufungua box la kwanza la pili nikaona zile picha zile picha za mke wake sio nzuri kwakweli nishtuka geoffrey alisema sasa mimi wakati nataka kuficha ile kitu yule jamaa akaniona akaniuliza mbona unashtuka bana kuna nini au kuna bomu nini nikamwambia hamna kitu bana akaja akaziona zile picha na yeye akashikwa na butwaa kwa sababu zile picha hata nikikuonesha ni mbaya sana jamaa akaanza kupiga makelele pale akawa kachanganyikiwa alisema rafiki huyo wa bwana harusi alieleza kuwa tangu rafiki yake alipoziona hizo picha akili yake haikuwa sawa na hakutaka kumuelewa mtu yeyote licha kufanyika kwa vikao mbalimbali vya familia ameeleza kuwa rafiki yake huyo hahudhurii vikao hivyo lakini pia hapokei simu yoyoe ya upande wa mkewe kwakuwa anaamini walifahamu suala hilo mapema ila hawakutaka kumwambia mwanamke huyo ambaye ndoa yake imegeuka msiba mkubwa moyoni mwake alikiri kuwa picha hizo ni zake na kwamba alipiga wakati alipokuwa na mpenzi wake wa zamani miaka mingi iliyopita nimeumia sana nimedhalilika sana kwakweli picha ni za kwangu ni picha ambazo ni kweli nilipiga na mpenzi wangu wa zamani sio nzuri na huyo mtu alikuwa mpenzi wangu lakini ilikuwa zamani sana mimi mwenyewe hata sielewi alisema mwanamke huyo huku akilia part 5 im crying for her omg jamani dada wa watu mwanaume haelewi lugha yoyote ile dah ila huyu kaka nae kweli mtu akwambie ukweli kwamba nilivyokuwa chuo nilipigaga picha nikifir**a kutoa mimba tu wanawake hawasemi itakuwa hiyo a video posted by #bungelive (@mangekimambi_) on jul 18 2016 at 335pm pdt mwanamke huyo alilaani kitendo alichofanyiwa na mpenzi wake huyo wa zamani huku akionekana kutokuwa katika hali nzuri kisaikolojia kufuatia tukio hilo kipindi hicho pia kilifanikiwa kumpata mume wa msichana huyo na kufanya naye mazungumzo lakini aliweka msisitizo kuwa hajui cha kufanya zaidi ya kuachana na mkewe sijui nisemeje kwakweli cha kuzungumza mimi sina yaani kilichotokea pale ndio hicho kilionekana yaani sikuamini macho yangu yaani picha ziko vile na yule mwanamke pakuanzia sipajuilakini anyways watu wote walikuwa pale rafiki yangu ndugu zangu alisema kwa uchungu part 4 msikie mume mtu mamae huyu ex amefanya kitu kibaya msenge huyu jamani kumbe ndo kwanza watu wametoka honeymoon lijamaa ndo limetoa picha jamani alafu naskia dada wa watu kaolewa bonge la harusi wametoka honeymoon wanakutana na hizo picha jamaniiiiiiii a video posted by #bungelive (@mangekimambi_) on jul 18 2016 at 331pm pdt kama ungekuwa wewe ungekaa chini na yule mwanamke ili iweje yaani kusoma hujui lakini hata picha huoni sawa hata kama imetokea miaka 10 iliyopita bora angekuwa ameniweka wazi lakini alinificha kwakweli imeniuma kwa familia yangu kwa mfano unafikiri mimi nitasema nini kamuulize yule mwanamke umuulize ilikuwaje sio mimi kwakweli inaniuma mwanaume huyo alieleza kuwa hataweza kuwa na mwanamke huyo tena huku akila kiapo cha kutokuoa tena hadi maisha yake yatakapofika kikomo my take hili ni tukio baya la kusikitisha sana kosa alilofanya mwanamke huyo kutokana na upofu wa mapenzi ulioziba ufahamu na utashi wake limegeuka mwiba mkuu moyoni mwake lakini huu sio muda wa kumlaumu bali wote wawili wanapaswa kusaidiwa kisaikolojia ili maisha yaendelee vyombo vya dola vinapaswa kuchukua hatua kali za kisheria juu ya tukio hilo kwani aliyetuma zawadi hiyo tayari amefahamika na picha hizo zinamuonesha diego costa akanusha kuondoka chelsea juventus kumsajili marko pjaca habari 19 mins ago comments off on benki ya dunia yaridhia kuikopesha tanzania $500 milioni za elimu habari 1 hour ago comments off on uingereza mvulana wa miaka 13 afariki dunia kwa covid 19 habari 3 hours ago comments off on wagonjwa wawili wa covid 19 wathibitika burundi habari 3 hours ago comments off on ewura yatangaza bei mpya ya mafuta habari 5 hours ago comments off on uganda watoto 11 waambukizwa corona wote wa kwaya moja habari/maisha 1 day ago comments off on museveni afunga maduka uganda kugawa chakula bure
2020-04-01T12:15:46
http://dar24.com/inauma-atumiwa-zawadi-ya-picha-za-mkewe-akifanya-ngono-kinyume-na-maumbile-wasikilize-mke-na-mume-hapa/
fahamu umuhimu maji ya dafu kwa afya bora seetheafricanlink home / makala / makala ya afya / fahamu umuhimu maji ya dafu kwa afya bora fahamu umuhimu maji ya dafu kwa afya bora muangalizi tv monday july 04 2016 0 maji ya dafu ni muhimu moja ya kinywaji ambacho huburudisha lakini pia kinywaji hiki kinapotumika mara kwa mara huweza kuwa na manufaa mbalimbali kiafya leo napenda tufahamishane baadhi ya faida ambazo huweza kupatikana kwa kutumia maji ya dafu miongoni mwa faida za maji ya dafu ni pamoja na kuongeza virutubisho vya aina tano ambavyo vyote huwa na umuhimu ndani ya mwili wa binadamu virutubisho hivyo ni pamoja na madini ya calcium magnesium potassium phosphorous na sodium dafu pia husaidia kupunguza tatizo la msukumo mkubwa wa damu mwilini katika hili maji ya dafu hushauriwa kutumika asubuhi kabla ya kutumia chakula chochote au kinywaji pia dafu linaelezwa kuwa na faida ya kupunguza hali ya uchovu hususani hangover sambamba na hayo matumizi ya maji haya ya dafu pia husaidia kupunguza matatizo ya maumivu wakati wa kupata haja ndogo (mkojo) matumizi ya dafu pia husaidia kupunguza uzito kwa wale wenye uzito mkubwa wa mwili lakini pia huongeza hamu ya kula kutokana na uasilia wake mbali na faida hizo maji ya dafu pia husaida kuimarisha kinga za mwili pamoja na kusaidia kuua bacteria mbalimbali wakiwemo wale ambao huchangia tatizo la uti makala makala ya afya
2018-06-25T19:34:36
http://www.seetheafrica.com/2016/07/fahamu-umuhimu-maji-ya-dafu-kwa-afya.html
wajerumani wapata homa tanzania sports 20th october 2018 last update at 823 am *scolari hana wasiwasi na samba boys *daraja lavunjika na kuzua hofu brazil homa ya robo fainali inazidi kupanda huku wachezaji saba wa ujerumani wakikumbwa na mafua kabla ya mechi yao dhidi ya ufaransa kocha joachim low amekiri kwamba wachezaji wake wana matatizo lakini amekataa kutaja majina yao low alisema hata hivyo kwamba wachezaji hao waliweza kufanya mazoezi japokuwa wana homa na tezi za makoo yao zilikuwa zinawauma inatambulika kwamba mats hummels na christoph kramer waliugua mapema wiki hii ambapo hummels alikosa mechi dhidi ya algeria kocha huyu anasema kwamba anaamini safari ya maeneo tofauti brazil na mabadiliko ya hali ya hewa katika mechi zao nne imechangia mazingira ni ya kitropiki palikuwa na mvua kubwa kisha baridi kali porto alegre hata hivyo low alisema anaamini hali haitazidi kuwa mbaya hivyo wataweza kuwakabili wafaransa barabara upande wa pili kocha wa ufaransa didier deschamps alieleza kwamba lazima wachezaji wake waliocheza vyema mechi zilizopita wakaze misuli zaidi deschamps ambaye ni mchezaji wa zamani wa kimataifa wa ufaransa alisema kwamba anahofia waherumani kutokana na uzoefu wao katika mashindano hayo scolari hana wasiwasi na brazil kocha wa brazil luiz felipe scolari amesema hana wasiwasi na kikosi chake na kwamba kina uwezekano wa kutwaa ubingwa alikuwa akiwajibu wapinzani wake ambao wamekuwa wakidai wachezaji walishindwa kujituma ipasavyo kwenye mechi zilizopita wakimtegemea mno neymar na kwamba itakuwa ngumu kuwakabili colombia ijumaa hii washabiki wetu wanataka tuwaambie kile tunachotaka jinsi tunavyotaka kushinda na jinsi tutakavyofanikisha sisi tunaendelea na hotuba ile ile je tunaelekea kutwaa kombe ndio tunaingia hatua ya tano sasa akasema scolari kocha huyo ameshambuliwa na wachezaji wa brazil wa zamani ikiwa ni pamoja na nahodha wa kikosi cha 1970 kilichotwaa ubingwa carlos alberto daraja lavunjika belo horizonte daraja linalounganisha mji wa soka wa belo horizonte limevunjika na katika hali ya hofu kuangukia gari na kuua watu wawili daraja hilo la chumba na zege lililokuwa katika matengenezo lilianguka na kusababisha wasiwasi miongoni mwa watumia vyombo vya moto jiji hili limekuwa mwenyeji wa mechi kadhaa na pia mechi ya nusu fainali wiki ijayo itafanyika hapo idara ya afya ya jimbo la minas gerais lilipo jiji la belo horizonte ilisema kwamba watu 22 wengine walijeruhiwa na dereva wa basi na mtu mwingine walipoteza maisha tags brazil ufaransa hofu mafua ujerumani argentina ujerumani hapatoshi
2018-10-22T16:44:15
https://www.tanzaniasports.com/2014/07/04/wajerumani-wapata-homa/
gossipmtangazaji kijana maarufu wa tv stesheni kuoa mke wa nne | mashughuli blog gossipmtangazaji kijana maarufu wa tv stesheni kuoa mke wa nne mtangazaji maarufu kijana wa tv stesheni anataka kuoa mke wa nne jamani tena nasikia mke wa tatu kaoa mke wa mtu hata akuachika kwa mumewe bado duh kisa pesa hii kutunzwa mpaka lini huyu mtoto wanawake watamuua jamani safari hii anaoa mwanamke tena si mdogo mkubwa kwake ila hajazaa hata mtoto na kajikondesha ili alingane na huyu kijana hao wake wengine wote mijizeeee nasikia wana mittoto mikubwaaa na huyo wa tatu na wajukuu anao jina kapuni tena mke wa dk mashuhuri hapa mjini data zote tunazo na ni wifi wa balozi wetu mpya mwanamke ambae ameteuliwa juzi juzi kwenda mji mkubwa huyo ni maulid kitenge ndo anapenda kulelewa tuhakuna mwingine nawashangaa hao mijimama kupoteza muda wao na kijana ambae utulivu zero hh ha haaa jamani ma shughuli nasikia mtoto anajua vijimambo ndo maana watu wazima wanadata kwake hata mie mtu mzima hovyo namtaka kwa kwenda mbele sija mfuatilia tu lakini iko siku halooooooooooonitakuwa mke wa tano soon hao wake wengine walie tu kwangu mie akifika hakuna mjadala atawabwaga wote mashughuli april 22 2010 at 1056 pm halooooooooooooooooooo umbea raha anonymous april 23 2010 at 1258 am tena anaoa mwanamke mmoja alikuwa aolewe na kaka yangu akamfumania live a day before wedding hapo wamekutana mama anacharukia huku na baba huku patamu hapoanafanya kazi zantel upo mashughuli halooooooooooo zinga la bomupole kaka hapo umegonga ukuta kula pesa yake lakini subiri majibu soonha ha haaaaa jamani hata sie staff wenzake huyo dada anaye olewa na maulid tumemsikitikia sana lakini hatumlaumu sana ka umri kamekwenda maana 36 yrs old bado huna mume unachanganyikiwa sana nakujiona huna bahati mwache hako katoto kamemuokoa japo apate sunna yamtume saw tena raha sana mashughuli lete mpya ipi imetoka latest umbea sunna babuhata ukisutwa kwa beni bati lakini msg sent anonymous april 29 2010 at 1252 am heeee mashughuli haka katoto kanaoa tena duhwanawake wa dar wako desparate wamekosa wanaume wa kuwaoa ninipole zao waje huku wabebe mabox tu kuliko kuolewa na hako kajamaa utulivu zeroooolol anonymous may 3 2010 at 1049 am jamani huyu kaka kwa nini hatulii kuoa wake wengi hakusaidii tunakushauri kufanya mambo ya maendeleo kuliko kuongeza wake we mama olewa na watu wazima wenzio usitutie aibu hajafika mwisho huyo kila baada ya miaka mitatu anaoa chunguza hapa itv alitaka kumuoa mama mmoja mwenye hela zake kidogo akamtolea nje akaenda kuchumbia kariakoo akakimbizwa we mama njoo hapa kwetu tukupashe kuhusu huyu bwana ana mambo mengine aibu kuyasema mwache tafuta wako huyu kijana hakufai anonymous may 5 2010 at 354 am jamani hala hala kuoa suna anonymous may 7 2010 at 340 am twende mbele turudi nyuma hivi huyu dogo yeye mtazamo wake ni nini na tujiulize yawaje hao wanawake wamkubali tuuu kwa vituko vyote hivyo kwa mtazamo wangu kuna walakini hapo ndani yake na kweli ya yote ni yeye na familia yake je wanalipokeaje hili la mtoto wao kuoa kila wakati jamani wazazi wake si wapo au na je huyo muolewaji ana wazazi au hana tujiulize mpaka hapo walipofikia nadhani hayo ni mambo ya kifamilia tutabaki twajiuliza na kusimanga pande zote mbili lakini tukae tukijua ukweli wanao wenyewe si bure hivi mtu akioa kama afanyavyo dogo ni kufuata mshiko jamani mie nachanganyikiwa hapa hebu nielewesheni na je ni nani anayewezakutufafanulia zaidi nina ham kweli ya kujua undani wa hili hivi hao wanawake wote wanalipokea vipi hili jamani hilo la aibu kusema liseme mwana wetu hapa ni mambo ya kuhabariana tuweke wazi wenzio heheheeeeeee dunia ina vibwekoo hiii jiolee mwana wetu waja wenyewe alah mmh huyu mkaka nae kazidi yaani yeye hakuna cha maana cha kufanya cha maendeleo isipokuwa kuoa tu sasa akishaoa wa nne si ndo mwisho kwa waislam ataanza kuacha na kureplace kazi anayo hivi huyu kijana mtanashati maulidi wa kitenge ana mtoto kweli au ndo vile maana huku kuoa kwa kila siku kunanichosha kweli mbaya zaidi ni mijimama ndo anaiowa labda hatujui wanachompa lazima atakuwa anamatatizo huyu dogo au ndo kijimshahara chake kidogo hakitoshi kwa matumizi yake ndo maana anapenda kulelewa hebu badilika wewe kaka ni aibu tupu kwako
2018-07-21T06:04:30
http://www.mashughuliblog.com/2010/04/gossip-mtangazaji-kijana-maarufu-wa-tv.html
utawala wa mkapa aliichukia zanzibar | jamiiforums | the home of great thinkers utawala wa mkapa aliichukia zanzibar discussion in 'jukwaa la siasa' started by malaria sugu dec 28 2010 utawala wa mkap mgogoro wa zanzibar ulishika kasi maneno ya vijembe dharau vilienea kutoka kiongozi mkuu nakumbuka nilimsikia mkapa akisema hata wakija wageni ccm haikubali kuiinagukia cuf alitumia neno moja kwenye mkutano wa hadahara wa ccm wakome kutuingilia mambo yetu ya ndani lkn tangu aingie jk mambo yote yamekaa sawa kuna gnu jee mkapa alifanya makusudi kuwaparaganya wazenj utawala wa mkap mgogoro wa zanzibar ulishika kasi maneno ya vijembe dharau vilienea kutoka kiongozi mkuu nakumbuka nilimsikia mkapa akisema hata wakija wageni ccm haikubali kuiinagukia cuf alitumia neno moja kwenye mkutano wa hadahara wa ccm wakome kutuingilia mambo yetu ya ndani lkn tangu aingie jk mambo yote yamekaa sawa kuna gnu jee mkapa alifanya makusudi kuwaparaganya wazenjclick to expand madrasa al sulclick to expand mbona unaingiza udini tena au ndio wakiristo huwa sio wadini au kwa kuwa ukiristo sio dini ni anasa ona sasa hao walishaanza ccm cuf udini sijui vipi mkisoma shule mtaelimika you will talk sense jkn + bwm ahm + jmk yeah well i get you (and al et al) of course kama ni mzee wa hoja neenda kajifunze kutoa hoja zenye maana usilolijua kalifanyie utafiti mwenyewe kwanza kuliko kuleta kwenye forum jambo usilojua hata abc yake kama wewe ni mtoto wa miaka chini ya ishirini nakushauri kaisome historia ya zanzibar au kutana na wazanzibar wenyewe wakufundishe upate kuelimika zanzibar ni nchi na ina watu wake usianze kuchimba yaliyopita usiyoyajua that's how they fool you in mosques before they enplant you with bombs for commiting suicide acha kupotosha jk hana ushawishi kwenye gnu its karume na maalim seif kama angekuwa ni jk ccm walivyokutana butiama wangeafiki makubaliano ya kamati za cuf na ccm lakini kama kawaida ccm ilianzisha mjadala upya kuna wajumbe akiwemo nimrodi (aliyefadhili mkutano) na makongoro waliofikia hatua ya kumtaka m/kiti atumie mamlaka yake kuweka order ndani ya mkutano wazanzibar walitishia kujitoa ccm kama maridhiano yangepitishwa na kikao hicho ugomvi au maridhiano yaliyofikiwa zanzibar yamepatikana baada ya wanzanzibari wenyewe kuamua an has nothing to do with jk au bwm utawala wa mkapmaneno ya vijembe dharau vilienea kutoka kiongozi mkuuclick to expand by the way kilichoichukia zanzibar ni nini (nani) utawala wa mkapa au kiongozi mkuu aitwaye mkapa that's how they fool you in mosques before they enplant you with bombs for commiting suicideclick to expand this is improper ni hatari saana katika jamii ya kitanzania chonde punguza ghadhabu this is improper ni hatari saana katika jamii ya kitanzania chonde punguza ghadhabuclick to expand hao wanahasira hao kila wakiamka wanasikia othaman kawa jaji mkuu mara asha washazoea kuona joh peter waache mwishowe watakunywa sumu watuachie tz yetu mpya inayoongzwa na waislam
2016-12-10T20:44:00
http://www.jamiiforums.com/threads/utawala-wa-mkapa-aliichukia-zanzibar.98318/
mpango wa kumuapisha raila bado upo nasa yakiri licha ya kukamatwa kwa david ndii ▷ tukocoke mbunge jasiri alfred keter huenda akapoteza ubunge wake mpango wa kumuapisha raila bado upo nasa yakiri licha ya kukamatwa kwa david ndii maoni 1981 nasa imeapa kuendelea na mipango yake ya kumuapisha raila desemba 12 kamati ya kuandaa hafla hiyo ya kuapishwa kwa raila ilitangaza jumatatu desemba 4 kuwa itaendelea na mipango yake licha ya kukamatwa kwa mpanga mikakati wake david ndii kukamatwa kwa ndii kuliaminika kuleta misukosuko kwenye kamati andalizi ya hafla hiyo iliyobuniwa kufanikisha kuapishwa kwa raila muungano wa nasa umesisitiza kuwa mipango ya kumuapishwa kinara wao raila odinga siku ya jumanne desemba 12 bado upo katika taarifa kwa vyombo vya habari siku ya jumatatu desemba 4 afisa mmoja mkuu wa kamati iliyoteuliwa kuandaa hafla hiyo alisema kuwa kukamatwa kwa mpanga mikakati mkuu wa nasa david ndii hakutakwaza mipango ya hafla hiyo serikali inatuandama lakini tunafanya kila kitu chini ya sheria tuna habari kuwa serikali inasubiri tukiuke sheria tutakuwa waangalifu tunapoendelea na mipango yetu afisa huyo wa nasa alinukuliwa kuyasema hayo na gazeti la daily nation habari nyingine siasa za 2022 zimeanza waititu adokeza watakayemuunga mkono kwa urais kama ilivyoripotiwa na tukocoke david ndii alikamatwa kwa njia isiyoeleweka siku ya jumapili desemba 3 kwa madai ya kuchochea umma katika jitihada zake za kubuni bunge la mwananchi ambayo inatarajiwa kumuapisha raila nasa yakariri kuwa mpango wa kumuapisha raila bado upo licha ya kukamatwa kwa david ndii picha facebook/raila odinga tukocoke inaamini kuwa kukamatwa kwa ndii kunaweza kuwa kumesababisha misukosuko kwenye kamati andalizi ya bunge la mwananchi ambapo ndii alichaguliwa kuwa mwenyekiti siku ya ijumaa desemba 1 habari nyingine sina haja na kazi ya uhuru martha karua david ndii alikamatwa na kuachiliwa kwa dhamana ya kshs 10000 picha you tube ndii aliwachiliwa kwa dhamana ya kshs 10000 baada ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma keriako tobiko kuingilia kati nasa badio ina changamoto nyingi kuhusu hafla hiyo ya kumuapisha raila migawanyiko kuhusu hafla yenyewe iliyoratibiwa kufanyika siku kuu ya jamhuri ikiripotiwa katika muungano huo david ndii alikamatwa na kuachiliwa kwa dhamana ya kshs 10000 picha cfm news muungano huo ulitangaza kuwa utazindua mpango wa hafla hiyo siku ya jumanne desemba 5 david ndii kuongoza kamati andalizi ya bunge la mwananchi kwenye tuko tv uchaguzi 2017 kenya presidential election 2017 in kenya raila odinga latest news avril kenya photos 2017 kenya prophecy kenyan whatsapp group links bahati kenya richest governors in kenya viongozi wa jubilee watofautiana na matiangi kuhusu suala la miguna miguna
2018-02-17T23:06:08
https://kiswahili.tuko.co.ke/259676-mpango-wa-kumuapisha-raila-bado-upo-nasa-yakiri-licha-ya-kukamatwa-kwa-david.html
micharazo mitupu 29 september 2014 manchester city watakuwa kubaruani kesho bayern munich kuendeleza ubabe wake ulaya kesho mabingwa watetezi wa ligi kuu ya england manchester city kesho inatarajiwa kutypa karata yake nyingine katika ligi ya mabingwa ulaya wakati itakapowakaribisha as roma ya italia kwenye uwanja wa etihad city itashuka nyumbani ikiwa na kumbukumbu ya kichapo cha bao 10 toka kwa bayern munich katika mechi yao ya raundi ya kwanza ya michuano hiyo ikihanikizwa na ushindi wa ligi ya nyumbani city itahitaji ushinfi katika mechi ya kesho ya kundi e ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kuwa miongoni mwa timu zitakazosonga mbele katika makundi mbali na mechi hiyo inayotarajiwa kuwa na upinzani mkali kesho pia kutakuwa na michezo mingine kadhaa likiwamo pambano la cska moscow ya urusi itakayokuwa nyumbani kuvaana na bayern munich katika mchezo wa kwanza cska ilichabangwa mabao 51 na roma hali inayofanya iwe na kazi ya ziada kama iliyonayo city katika kundi hilo makundi mengine yatashuhudia timu za psg watakuwa nyumbani kuikaribisha barcelona katika mechi ya kundi f huku apoel nicosia ya cyprus itawakaribisha ajax ya uholanzi vinara wa epl chelsea watakuwa ugenini mjini lisbon kucheza na wenyeji wao sporting lisbon katika mechi ya kundi g ambalo pia litakuwa na pambano jingine kati ya nk maribor ya slovania itakayocheza na schalke 04 ya ujerumani bate borislov ya belarus watawaialika athletic bilbao ya hispania na shakhtar donetsk ya ukraine wakiwa wenyeji wa fc porto ya ureno hizo zikiwa mechi za kundi h kipute kingine cha michuano hiyo kwa makundi yaliyobakia kitaendelea siku ya jumatano sewe sports watakaokutana na al ahly kwenye fainali za kombe la shirikisho baada ya kutemeshwa taji la ligi ya mabingwa afrika al ahly ya misri imejiweka katika nafasi nzuri ya kujifariji kwa taji la kombe la shirikisho baada ya kufanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo timu hiyo iliyoing'oa yanga kwenye mechi ya raundi ya pili ya ligi ya mabingwa mapema mwaka huu imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga coton sports ya cameroon kwa mabao 21 katika nusu fainali katika mechi ya kwanza al ahly walishinda ugenini bao 10 na ushindi huo wa jana umewafanya kufuzu fainali kwa jumla ya mabao 31 kwa maana hiyo wababe hao wa afrika watavaana na sewe sports ya ivory coast iliyotangulia mapema kwa kuinyoa ac leopards ya congo mechi za hatua hiyo zitachezwa mwishoni mwa novemba na mwanzoni mwa desemba na kujulikana bingwa mpya wa michuano hiyo baada ya taji kuwa wazi lililokuwa likishikiliwa na sfaxien ya tunisia walioshiriki ligi ya mabingwa na kutolewa na as vita posted by badru kimwaga at 620 pm no comments mnyama tid yupo hatua ya mwisho kukamilisha 'ngoma' yake mpya inayoenda kwa jina la 'bongo' aliyomshrikisha rapa kutoka afrika kusini aiywao tumi molakane kazi hiyo ya kwanza kwa tid kufanya na msanii huyo maarufu nchini mwake imerekodiwa katika studio za b records tid alidokeza kuwa kwa kitambo kirefu alikuwa akimwinda rapa huyo na kufanya naye mawasiliano kupitia mitandao ya kompyuta kabla ya kumzukia dar na kuingia naye studio kufanya wimbo huo staa huyo wa 'zeze' 'girlfriend' 'nyota' na 'voice of prison' aliwataka mashabiki wake wajiandae kusikia 'kolabo' hiyo wakati akifanya mchakato wa kwenda afrika kusini baadaye ili kutengeneza video yake video ifanywa afrika kusini ili kuleta ladha kulingana na ushiriki wa tumi alisema tid posted by badru kimwaga at 558 pm no comments habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa msanii wa bongo fleva aliyewahi kutamba na nyimbo za 'kua uone' 'usimdharau usiyemjua' na hujafa hujaumbikam side boy mnyamwezi amefariki kwa mujibu wa taarifa za mdogo wake ally khamis side boy ambaye majina yake kamili ni said salum hemed amefariki nyumbani kwao lindi taarifa zinasema kuwa marehemu kabla ya mauti yaliyomkuta katika hospitali ya mkoa wa lindi ya nyangao alikuwa akisubumbuliwa na maradhi ya tb micharazo inawapa pole wote walioguswa na msiba huu hasa ikizingatiwa iliwahi kuandika makala yake ndefu ya kisanii na mipango yake posted by badru kimwaga at 433 pm no comments
2017-11-22T16:26:43
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014_09_29_archive.html
jeniffer kyaka (odama) j fiml 4 life kitale jina linalonogesha efm vichekesho hivyo huwa katika mfumo wa majibizano baina ya mtu mmoja anayeonekana kuwa ni mbumbumbu asiyejua kitu na mwingine ambaye humuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali ilikuwa kama zari tu anasema mkude simba ambaye jina lake halisi ni musa yusuf au kitale ilituchukua muda mrefu kuhangaikia maisha yetu kimaisha watu wengi walikuwa wakituchukulia poa tu hawakuelewa umuhimu wetu tulikuwa tukirusha vichekesho vyetu kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo whatsapp mpaka ilipofika muda mkurugenzi wa efm majey alipotaka kumjua mkude simba ni nani mkude simba anasema kuwa mkurugenzi huyo aliomba wakutane ili kujadili kipaji chake na kuafikiana masuala ya kazi leo hii mkude simba ni jina kubwa katika ulimwengu wa redio na karibu redio zote zinajaribu kutengeneza matangazo yanayoiga vichekesho vya mkude simba lakini inaonekana bayana kuwa kumfikia msanii huyo wa filamu itakuwa kazi kubwa mkude simba ni maarufu katika uigizaji wa vichekesho na anajulikana kwa kuigiza mtu anayezungumza lugha ya kilugulu mkude simba ambaye kwa sasa ni mtangazaji wa kituo cha runinga cha azam anasema ameamua kutumia lugha hiyo baada ya kugundua kuwa wasanii wengi hawaitendei haki katika uigizaji wao kwa zaidi ya miaka 13 mkude simba amekuwa akijulikana kupitia uhusika wake wa uteja katika kila kazi ambayo amekuwa akifanya mkude simba ambae ni mmiliki wa kampuni ya usambazaji filamu ya macho media anasema jambo lilomfanya kuingia katika uchekeshaji ni kushindwa kufanya vizuri katika fani nyingine nilianza kuigiza kawaida muda mrefu lakini sikuwahi kuona dalili za kutimiza ndoto zangu kitu ambacho kilinisukuma kujaribu kuwa na mwelekeo tofauti wa utafutaji maisha anasema anasema jina lake lilianza kujulikana mwaka 2003 alipoanza kuonekana katika kituo cha televisheni ya taifa (tvt sasa tbc1) na alikuwa akifanya mazoezi na kundi la kaole arts mwaka 2006 tamthilia ya jumba la dhahabu ilianza kufanyiwa mazoezi na wakati inaanza kurushwa tbc alipishana lughai na mkurugenzi wake na akaamua kuondoka baada ya muda wasaniiu wengine 35 walitoka kundi hilo n akumtafuta kwa lengo la kuanzisha kundi jipya anasema baadaye alianzisha kundi lililoitwa jumba arts ambalo lilitunga tamthilia ya elikanza hata hivyo mkude simba anasema kuwa hawezi kumsahau rafiki yake mpendwa sharo millionea ambaye jina lake halisi ni hussein mkieti kwa kuwa ni mmoja kati ya watu waliompa changamoto sana katika maisha anasema baada ya kuanzisha kundi hilo alifanikiwa kumshawishi sharo milionea kujiunga naye anafafanua kuwa walianza kufanya kazi na sharo milionea mwaka 2008 baada ya kutoka jumba arts group kutokana na changamoto ambazo rafiki huyo alikutana nazo pale kutoka kwa wanakikundi anasema akiwa na rafiki huyo walifanya kazi kadhaa ikiwamo bad night mbwembwe mtoto wa mama back from newyok back from prison pamoja na kipindi cha vichekesho cha vituko show kilichokuwa kikionyeshwa kituo cha runinga cha channel ten hata hivyo mkude simba anasema kuwa anapata wakati mgumu kutokana na jamii kumuona mtu wa ajabu situmii dawa za kulevya sinywi wala sivuti sigara lakini watu wengi wanavyoniaona hudhani kuwa natumia vitu hivyo ni kazi tu anasema nyota huyo wa vichekesho makala by asteria mdakirwa posted by jennifer kyaka odama at 957 am
2018-03-19T12:44:29
http://odama1.blogspot.com/2015/09/kitale-jina-linalonogesha-efm.html
10012018 ~ 16122018 jeshi la marekani lashambulia mskiti deir ez zor nchini syria kwa mara nyingine jeshi la marekani lashambulia mskiti deir ez zor nchini syria tutawaangamiza magaidi wa kundi la pkk katika siku za usoni waziri wa ulinzi wa uturuki asema kuwa jeshi la uturuki litaendelea na operesheni zake dhidi ya ugaidi walinda usalama 7 wauawa na wanamgambo wa taliban kaskazini mwa afghanistan tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 61 limeikumba eneo la papua mashariki mwa indonesia kabla ya maandamano kuanza upya macron atolea wito waandamanaji 151218 112200
2018-12-17T02:34:38
http://i.yenitrt.com/swahili/dunia/2018/01/10/utafiti-umeonyesha-wanawake-wana-uwezo-mkubwa-wa-kukabiliana-na-hali-ngumu-885695
free thinking picha ya kufungia mwaka kwa furaha watuhumiwa wakuu wa wizi wa escrow james rugemalira na harbinder sing wakiwa mahakamani kwa wanaojua namna tanzania ilivyochezewa kiasi cha kugeuka shamba la bibi au tuseme shamba la chizi chini ya utawala ali hassan mwinyi benjamin mkapa akitawaliwa na mkewe anna tamaa mkapa na jakaya kikwete wanapoona picha za mafisadi nyangumi kama hawa lau wanafarijika hata hivyo juzi fisadi james rugemalira aliamua kuanza kumwaga mtama akitaka akutane na mwendesha mashitaka mkuu wa serikali (dpp) ampe ushahidi juu ya nani mwizi wa fedha zinazohusika kwenye kesi inayomkabili kwa wanaojua sakata la iptl hawatasita kujikumbusha kuwa walioiasisi na kufaidi na mkapa na kikwete hawa wengine ni vidagaa tu wanaotolewa kafala kuwanusuru wakubwa je serikali iko tayari kupokea ushahidi wa rugemalira na kuufanyia kazi au kujifanya haisikii ukitaka kujua kuwa rugemalira anawajua wenzake hasa wale mabwana zake waliomtumia jiulize wale aliowakatia mshiko ambao unajulikana ni wa wizi kama vile andrew chenge anna tibaijuka william ngeleja jaji aloysius mjulizi askofu methodius kilaini askofu eusebius nzigilwa na wengine wengi wamechukuliwa hatua gani je sheria yetu inatumika kibaguzi au mkono mrefu wa serikali utawakamata na kuwasweka ndani hadi watakapoachiwa na mahakama kama hawa washirki wenzao je kesi ya escrow itauawa kimya kimya kama vile ya epa ambapo wezi waliambiwa warejeshe fedha yakaisha ili kuepuka kumfichua mtuhumiwa mkuu ambaye ni kikwete na mkapa je mwanzo wa mwisho wa rugemalira ndiyo unaanza je ataachiwa amwage mtama au kukolimbwa ngoja tuone mwaka unaoanza serikali itakuja na sinema ipi au kuchukua hatua zipi mujarabu nawatakie mwaka mpya 2018 wenye amani na mafanikio posted by nn mhango at 1925
2018-08-18T06:08:07
http://mpayukaji.blogspot.com/2017/12/picha-ya-kufungia-mwaka-kwa-furaha.html
hawa nao wamehusika kwenye uchakachuaji kwa kimedia jamiiforums hawa nao wamehusika kwenye uchakachuaji kwa kimedia huyo masaku jana alikuwa bize kumkandamiza regia wetu itv kwa saa lizima alikuwa anamfagilia mteketanasikia ni mtu wa hukoyaani hakujua hata ya kuwa regia ni mama yeye akimwita bwana mtemakwa kweli nimevunja screenyangu jana baadhi ya waandishi wa habari wamekuwa wakionyesha ushabiki wao wa kisiasa wazi wazi bila kificho wanakiuka maadili ya uandishi hata hivyo tegemea mbwa yoyote kumheshimu bwana wake hata kama atampiga teke 150 10 35 hakuna mwandishi wa habari anayetumia taaluma yake ipasavyo tanzania hii woote wababaishaji wamejawa na ushabiki na njaa tupu siwapendi wambea sanayaani ungemuona huyo masakuu jana ungelia hapa tanzania hatuna waandishi bali maripota media ya tanzania imethibitika kuwa si muhimili wa nne wa nchi njaa zitawauwa masakuu walimpiga chini kura za maoni naona anabembeleza apewe favour ya presdaa au anjipanga tena kwa twent fifteeeeeeeeeeeeen mnafiki tu hana issue zee zima hovyooo eti anajicompare na larry king wa cnn huko ni kulinganisha rungu na ak47nicampoon tu huyu masakuu wapo waandishi wenye kujali taaluma yao hapa tanzania wapo akina ulimwengu johnson mbwambo nk pia walikuwepo akina katabaro tena enzi hizo ya vigazeti vichache vyenye kujikomba kwa wakubwa hahahaha nimeipenda hiihii ndo saizi yakeyaani masako ni kama rungu tuu anataka jilinganisha na ak 47 ahahahahahahahahaha saaafipomole yule poa jamani lakini tusiwakatishe tamaa wapambanaji walioko ktk media kwa sababu tu ya wachakachuaji wachache kama mtanzania rai na jambo leo wako watu ktk media mfano kulikoni thisday na mwananchi au tanzania daima ndio wamesaidia mabadiliko tunayoyaona leo na tunayoyashangilia kwa hiyo tusikurupuke tu kuanza kuchakachuana sisi kwa sisi kwanza lazima tukubali kuwa kila mtu anamtazamo wake katika kuchambua au kuangalia suala fulani na ni haki yake pili kila mtu ana haki yake ya kidemokrasia kushabikia upande fulani na hakuna mtu mwenye haki ya kutaka kujua kwanini ni shabiki tatu kina mtu yuko huru kuwa mwanachama wa chama chochote hivyo akajisikia anawajibu wa kusemaa chama chake 'positively' nne kuna baadhi ya watu hawako katika kundi lolote kazi yao ni kuwa critical katika masuala mbalimbali bila kujari ni la chama gani tano jf ni jukwaa huru kwa mtu yeyote bila kujari yuko upande gani katika makundi niliyotaja hapo juu kwa mantiki hiyo si sahihi kwa wale ambao wanakuwa na mawazo tofauti hasa na wale washabiki na wanachama na wapenzi wa chadema kuanza kusakamwa kuonekana hawafai kuwatukana nk wale wanajf ambao wamekuwa wanawasakama wanajf wngine ambao wametofautina nao kimawazo kiitikadi na mitazamo ni namna ya kuonyesha ufinyu wa mawazo kutokomaa kimawazo na udikteta wa mawazo wanatakiwa kubadilika kimawazo wawe wanajibu hoja kwa hoja badala ya kutukana na kukashfu wana jf wengine wana jf hao wakumbuke kelele za chura hazimzii ng'ombe kuywa maji la msingi ni kufanya uchambuzi wa kina wa hoja na kuona wapi palekebishwe kwa manufaa ya baadae hivyo kwa namna fulani wan jf tuwe kama pressure / lobbying group kwenye society ili kurekebisha mambo kama mtindo utakuwa wa namna hii jf itakuwa kama jukwaa la mbayuwayu ambapo nafikiri hata founders wetu wa jf wasingependa tuwe mbayuwayu ila wangependa tufanye kitu cha kuleta mabadiliko katika jamii yetu he is one of ccm vuvuzelas jitu zima hovyo i hate him sauti kama paka mzee kabanwa na mlango ana sauti mbaya huyu sijui amepataje kazi ya kutangaza alivyokuwa anatangaza habari za mtema nilikuwa na kunywa maji nikashtukia nimemwagia yote kwenye screen anaudhi huyu ww acha tu shiit ccm ina watu waajabu duh what an idiot nani amchague visionless kama yule naomba cv yake tafadhali hawa wawili ansbert ngurumo na johnson mbwambo hawamo kwenye kundi hilo ulilolisema
2018-09-22T12:39:21
https://www.jamiiforums.com/threads/hawa-nao-wamehusika-kwenye-uchakachuaji-kwa-kimedia.84645/