text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
ni haki kujamiana na wanyama | jamiiforums | the home of great thinkers ni haki kujamiana na wanyama discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by abtitchaz nov 21 2008 tazameni seketa imetokea kenya na njemba imeswekwa lupango miaka 4 man pleads guilty to having carnal knowledge of cow​ vincent ekeno ng’ang’a told chief magistrate wilbroda juma that he was not in stable mind when he committed i do not know what got into me all i know is that i was not myself that day please have mercy on me ng’ang’a said ng’ang’a was charged that on october 22 at kale farm in bahati nakuru district he committed the offence ng’ang’a was sentenced to four years imprisonment the standard | online edition man pleads guilty to having carnal knowledge of cow ebu sasa tulinganishe ni ile thread kuhusu mtoto aliyelelewa na nyanikuna possibility kubwa sana kama kweli alikutwa na nyani akawa mtoto wake njemba ilizidiwa na njaa ikaenda kumalizia kwa ng'ombeila ana bahati ng'ombe hakumtegua kiuno (na ingekua mwisho wake) hatma ya huyo ng'ombe sijui ilikuajemanake akichinjwa huku watu wakiwa wanajua aliwahi 'kuolewa' na mtu basi hawatakula nyama kwi kwi kwiiii roya ndoa ya aina gani hiyo bibi harusi ng'ombe duh njemba ilizidiwa na njaa ikaenda kumalizia kwa ng'ombeila ana bahati ng'ombe hakumtegua kiuno si afadhali hata kiuno tehe tehe tehee mwenyezi mungu atulinde na harka za dunia na sheitan ila watu kama hao kweli yabidi wafungishwe ndoa na wanyama walowaharibu tena mchana kweupe na matarumbeta hii itakuwa fundisho tosha kwa wale wote mafirauni hahahaumenikumbusha mbali dadangu na hio comment ya matarumbeta mombasa kuna mabarobaro wanaitwa simbaropa na nd'o kanuni zao hizo utafungishwa ndoa jamvini na huku wahuni tunaimba na tarumbeta juu who knows duniani kuna mambo je mnamkumbuka yule aliye lazimishwa kumwoa mbuzi kule sudan https//wwwjamiiforumscom/habarihojamchanganyiko/1960aliyemlaurodambuzialazimishwakufunganaendoahtmlhighlight=mbuzi+ndoa hivi ndivyo wanatakiwa kuwafanyizia ** seriously ndugu zangu sasa kwa jamaa kama huyu akisema kwanini haturuhusu madanguro katika sheria zetu kama kule amsterdam jibu gani tutampatia miaka minne kwa sababu amechomeka kwenye k ya ng'ombe au kwa sababu ni ng'ombe wa mtu alimkuta wapi huyo ng'ombe jamaa ni mkamua maziwa mchunga ng'ombe ndiyo maana wazungu wametuletea condoms badala ya kusisitiza abstinence for young people imebidi mtu mzima aokote fimbo ya karibu ni kosa kuparamia mnyama ila najaribu kufikiria madhara ambayo jamaa amesababisha kwa mnyama au kwake mwenyewe hata kuswekwa ndani 4 years ukimpiga mtu ukamtoa ng'eu utaswekwa ndani miaka mingapi that's every answer you need about this you can't do such an immoral act with sound mind i thought they asked an expert in psychiatry prove before they sent him behind bars as humane beings we have the right to condemn all immoral acts but may be we need to take stop and assess ourselves i am sure most of us have or still do some nasty stuff only that we have never been caught balaa ya matokeo hapana abtitchaz hizi picha hazihusiani na hii story hata kidogo nina amini haya ni mambo mengine tu ya genetic disorders na mambo mengine yahuisianayo na interbreeding nimekupata mkuu na najua hiloi was simply trying to ask kama hii ni mojapo ya matokeo ya such see the story below this incident happened in sudan the man was forced to marry the goat he had carnal knowledge with yaani ya dunia ni mengi they ordered the man mr tombe( look at the name itself waaaa) to pay a dowry of 15000 sudanese dinars ($50) to mr alifi published 2006/02/24 173752 gmt kama sikosei hata maeneo ya kimara kuna njemba alimtenda mbuzi akalazimishwa kumuoa mwenye mbuzi alidai mbuzi hana maslahi kwake hivyo jamaa ajichukulie wife aanze naye mbele kuoa mnyama ni kawaida kwa jamii ya wazungu kuna visa kibao vya wao kujamiana na wanyama hata urisi wanawaandikia wanyama waokuna msemo wa kiswahili usemao mapenzi kama majani huota popote mifano yote ya hapo juu ni ya waafrika niliwahi kutumiwa link fulani ya website inayoonyesha akina mama wa kizungu wakijamiiana na mbwa laivu niliangalia mara mja nikasema mungu waongoze waja wako hawa watambue tena kuwa miili yao ni mfano wako na inatakiwa kutunzwa kitakatifu ngoja nitaisaka link hiyo kwenye trash na kama nitafanikiwa kuipata nitaileta hapa mwiba wazungu wamekufanya nini mbona kila mahali unawapachika tu basi tuambie ni kwa waungu wapi ambako ni kawaida kuoa wanyama
2018-01-16T18:24:13
https://www.jamiiforums.com/threads/ni-haki-kujamiana-na-wanyama.20770/
dunia ya michezo wolfsburg ya ujerumani yavunja rekodi ya lyon kutofungwa mechi 118 wolfsburg ya ujerumani yavunja rekodi ya lyon kutofungwa mechi 118 klabu ya soka ya wolfsburg ya ujerumani imewafunga mabingwa mara mbili wa ligi ya mabingwa ulaya ya wanawake lyon goli moja kwa bila 10 na kutwaa ubingwa wa ulaya martina muller's alipiga pernati katika kipindi cha pili na kuhitimisha ufalme wa lyon kutofungwa mechi ya 118 za mashinano bila kufungwa ushindi huo wa uliopataikana katika uwanjawa wa chelsea' stamford bridge inamaana kuwa wolfsburg ambao hawakushinda taji lolote miaka iliyopita sasa wameshinda taji lao la tatu msimu huu wameshinda ligi kuu ya ujerumani ya bundesliga na kombe la ujerumani mchezaji bora wa mechi hiyo lena goessling amesema kwa jinsi mambo yalivyotokea katika majuma mawili yaliyopita ni kama ndoto kocha wa wolfsburg ralf kellermann ameelezea ushindi huo kuwa ni kielelezo tosha cha kuwa wameonyesha ufundi wa hari ya juu na kuongeza kuwa anavipenda sana hivi viwanja vya uingereza aidha kocha wa lyon patrice lair amesema tumeumia sana japokuwa hatuja poteza mara kadhaa hatukupoa sana kiwanjani na tunahitaji kuongeza juhudi kidogo exwales boss coleman appointed sunderland manager former wales manager chris coleman is named as the boss of struggling championship side sunderland
2017-11-19T15:58:28
http://duniayamichezo.blogspot.com/2013/05/wolfsburg-ya-ujerumani-yavunja-rekodi.html
matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017 posted by teammapicha mrpengo at 233 am gigy money ujanja mfukoni mto katikati ya barabara jijini mbeya posted by teammapicha mrpengo at 1022 pm amsha kipaji chako na zax 4real kwa kufunga na kuuanza mwaka 2018 posted by teammapicha mrpengo at 202 pm amsha kipaji chako na masoso ndani ya michuzi tv posted by teammapicha mrpengo at 1203 am dream fm yatamba na entercollege jijini mbeya meneja mkuu wa kituo cha redio dream fm kilichopo jijini mbeya bwana grayson kayombo kushoto akigawa jezi kwa wanavyuo wanafunzi wa vyuo vikuu na vya kati jijini mbeya wamepewa wito kuzitambua na kuzitumia ipasavyo fursa njema zilizopo katika viungo vyao kwani ni njia mahususi ya kuweza kuyafikia malengo yao hasa baada ya kumaliza masomo yao wito huo umetolewa na meneja mkuu wa kituo cha redio dream fm cha jijini humo bwana grayson kayombo katika warsha fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa vyou vinavyoshiriki mashindano ya dream intercollege 2017 yaliyoanza kutimua vumbi siku ya jumamosi tarehe 25 novemba 2017 kwa kushikisha jumla ya vyuo nane katika michezo ya soka na mpira wa pete bwana kayombo alisisitiza kwamba ni wakati muafaka sasa kwa vijana kutambua fursa nyingi walizonazo kupitia vipaji mbalimbali vilivyomo ndani yao kwani tunayo mifano dhahiri ya vijana wa kitanzania ambao wamefanikiwa kiuchumi kwa kuvitumia ipasavyo vipaji walivyonavyo hebu tuwaangalie vijana wenzetu kama vile mbwana samata hashim thabeet diamond na wengine wengi ambao leo wanatuwakilisha vema katika anga za kimataifa kupitia vipaji walivyo navyo vijana hawa wanatengeneza pesa nyingi sana kwa kupitia vipaji walivyo nayo tena ninyi wanavyuo mna mazingira mazuri ya kufanya vizuri zaidi kwa kuzingatia kwamba mnayo elimu ya kutosha hivyo mna uwezo mkubwa zaidi wa kupambanua mambo wapo vijana wengi wenye vipaji lakini wamefika mahali wamekwama kufika mbali zaidi kwa sababu ya changamotoza kielimu zaidi hivyo mnapaswa kulitazama hilo pia alisema meneja huyo aidha bwana kayombo aliongeza ufafanuzi kuwa amesema kutumia vyema fursa njema zilizomo viungoni mwao kwa kuwa baadhi ya vijana wamekuwa wakivitumia vibaya viungo vyao kwa kufanya matendo hatarishi yasiyokubalika wala kupendeza mbele ya jamii kwa kuona kuwa ndizo fursa za kujipatia kipato vipaji tulivyonavyo ni rasilimali kubwa sana ya kutuwezesha kufikia malengo yetu kiuchumi lakini hili litawezekana endapo tutakubali kubadili mtazamo wetu na kuachana kungangania kulalamik na kuimba wimbo wa ukosefu wa ajira kama tutachagua kuendeleza fikra za kulalamika basi tuwe tayari kuishia kulalamika kwa muda wote maisha yetu lakini kama tutachagua kubadili fikra na kuamua kuzitumia ipasavyo fursa tulizonazo mimi nina hakika tutatoboa kwa ushindi mkubwa sana serikali yetu ya awamu ya tano imejikita katika kujenga uchumi wa viwanda na lazima sisi vijana tuiunge mkono serikali kwa nguvu zote kuujenga uchumi wa viwanda lakini pia hatuna budi kuitazama sekta ya michezo kama mojawapo ya viwanda vinavyokuwa kwa kasi na vyenye fursa kubwa ya ajira aliongeza bwana kayombo aidha bwana kayombo aliwashukuru wadau mbalimbali kwa ushiriki wao katika kufanikisha mashindano hayo kwa njia ya udhamini ambao ni mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (ssra) airtel mfuko wa hifadhi ya jamii wa pspf pension fund na ally rich sanaa (arts) ltd miongoni mwa vyuo vinavyoshiriki katika mashindano hayo yatakayodumu kwa muda wa wiki mbili hadi tarehe 8 disemba 2017 ni pamoja na mzumbe cbe tia na tumaini makumira vyou vingine ni must teku utumishi na saut katika hafla hiyo timu shiriki zilipatiwa vifaa vya michezo ikiwa ni pamoja na jezi na mipira kwa michezo yote miwili washindi katika mashindano hayo watapatiwa zawadi za vikombe na fedha taslimu mashindano hayo ambayo sasa ni ya mwaka wa pili mfululizo na kujizolea umaarufu mkubwa jijini mbeya yatahitimishwa kwa tamasha kubwa mnamo tarehe 8 disemba katika ukumbi wa mbeya carnival lounge litakalowashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo baraka da prince masoso d twice na wakali wengine kutoka vyuo shiriki teammapicha posted by teammapicha mrpengo at 135 pm teammapicha mrpengo with toto from #somewhereinafrica posted by teammapicha mrpengo at 107 am #teammapichabest photoshoot posted by teammapicha mrpengo at 103 am teammapicha with pen down posted by teammapicha mrpengo at 1123 am teammapicha with amirfahad #somewhereinafrica posted by teammapicha mrpengo at 1110 am posted by teammapicha mrpengo at 1108 am
2018-04-20T06:44:08
http://atickfadhiri.blogspot.com./
mitsubishi pajero 25td hu 1988 674000 km 1690 € mitsubishi space star 16 2003 245000 km 1890 € 2004 205250 km 1850 € mitsubishi carisma 16 cla 2002 214000 km 1890 € 2001 222000 km 1790 € 2002 177000 km 1890 € mitsubishi galant 25 v6 s 1999 280000 km 1780 € bmw 3sarja 18i 4d (e46) 2003 317000 km 1690 € haullasi löytyi 1 mitsubishi pajero vaihtoautoa 1690 1690 (16111967 € diesel maastoauto) mitsubishi pajero 25td huoltoauto
2018-10-17T15:13:35
https://www.autotalli.com/vaihtoautot/listaa/Mitsubishi/Pajero/polttoaine/DIESEL/korimalli/OFFROAD/hinta_min/1611/hinta_max/1967
fighters of life huyu hapa raisi mpya kabisa wa tff aliyepatikana usiku wa jana baada ya leodegar tenga kukabidhi madaraka rasmi jana usiku huyu hapa raisi mpya kabisa wa tff aliyepatikana usiku wa jana baada ya leodegar tenga kukabidhi madaraka rasmi jana usiku wadau musley ruwey kushoto na said tuliy kulia walikuwepo hadi mwisho frombinzubery prepared and posted by abuubakari nasibu at 80300 am
2017-10-17T15:13:42
http://folclassic.blogspot.com/2013/10/huyu-hapa-raisi-mpya-kabisa-wa-tff.html
php scripts / shopping cartsdeals aggregator addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads mikataba aggregator ni nyembamba php utility darasa kwamba aggregates online ununuzi kijamii mikataba kutoka groupon hai jamii crowd akiba na tippr na tapping katika buydeals taifa inahusika orodha jukwaa features ni pamoja na 1 search for mikataba na mji jimbo zip / code ya posta na latitude / longitude 2 aggregates inahusika kutoka groupon hai jamii crowd akiba na tippr na anarudi kama seti moja ya matokeo 3 kina mpango habari ikiwa ni pamoja na viungo picha wamiliki bei discount na nakala maelezo 4 returns totala mikataba katika json xml au php object miundo 5 vya haraka mpango kuchota nyakati majibu downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa1 januari 12 badiliko la mwishohigh azimiola sambamba browserskeywordsecommerce ecommerce vitu wote kununua mteja umati wa watu mikataba punguzo groupon json wanaoishi mitandao php kuokoa ununuzi kijamii tippr xml
2016-12-04T22:21:34
https://sw.worldwidescripts.net/deals-aggregator-39780
maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania uwanja wa jamhuri mjini dodoma leo zanzinews home habari kitaifa matukio maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania uwanja wa jamhuri mjini dodoma leo othman maulid 952 pm vikosi vya jeshi la wananchi wa tanzania jwtzpamoja na wananchi mbali mbali wa mji wa dodoma wakiwa katika uwanja wa jamhuriwakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania zilizofanyika leomgeni rasmi akiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohna pombe magufuli [picha na ikulu] 26/04/2017 baadhi ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania katika uwanja wa uhuru zilizofanyika leoambapo mgeni rasmi akiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohna pombe magufuli[picha na ikulu] 26/04/2017 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohna pombe magufuli akiwa katika gari maalum na kuwapungia mkono wananchi mbali mbali wa mji wa dodoma wakati wa sherehe za miaka 53 ya muungano wa tanzania zilizofanyika leo katika uwanja wa jamhuri[picha na ikulu]26/04/2017 baadhi ya viongozi waliohudhuria katika sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania katika uwanja wa uhuru zilizofanyika leoambapo mgeni rasmi akiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohna pombe magufuli[picha na ikulu] 26/04/2017 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein wakati akiwasili kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania katika uwanja wa uhuru zilizofanyika leoambapo mgeni rasmi akiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohna pombe magufuli[picha na ikulu] 26/04/2017 baadhi ya vikosi vya ulinzi na usalama vilivyohudhuria katika sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya muungano wa tanzania katika uwanja wa uhuru zilizofanyika leoambapo mgeni rasmi akiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dktjohna pombe magufuli[picha na ikulu] 26/04/2017
2018-06-23T18:02:35
http://www.zanzinews.com/2017/04/maadhimisho-ya-miaka-53-ya-muungano-wa.html
mastaa wanavyomlilia producer pancho latino | lemutuz home entertainment mastaa wanavyomlilia producer pancho latino baada ya taarifa za kifo cha producer pancho latino kilichotokea leo october 92018katika kisiwa cha mbudya dar es salaam hawa ndio baadhi ya mastaa walioguswa na taarifa hizo na kuziandika kupitia kurasa zao za instagram pancho pancho pancho nimeumia sana sina mfano wa maumivu niliyopata dah pumzika kwa amani na asante kwa mchango wako mkubwa katika muziki wetubwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe joh makini eh mungu rest easy young legend thankyou for everything you taught me you raised me #bhitz you will live forever in the music poleni sana kwa familia nzima ya #bhitz #latinomafia@hermyb pigo kubwa kwenye tasnia ya muziki vanessa mdee rest in power latino mafia i am sad bdozen dohupumzike kwa amani @pancholatino kazi ya mungu na safari yetu ni mojanimesikitika mnomwana fa previous articlewaziri mkuu kassim majaliwa aagiza mtumishi tra kusimamishwa kazia next articleirene uwoya afunguka kuhusu starehe anazokula bila mumewe baba yake diamond aomba mwaliko wa harusi dogo janja afunguka kuhusu kundi la tiptop orodha kamili ya washindi wa afrima 2017
2019-01-18T19:02:38
https://lemutuz.com/2018/10/10/mastaa-wanavyomlilia-producer-pancho-latino/
ijumaa ya kijivu jinsi watoto mashuleni wamezidiwa na propaganda za lgbti martin vrijland filed katika maelezo ya news by martin vrijland tarehe 13 desemba 2019 • 17 maoni chanzo wosnl jana nilipokea barua pepe ambayo inaonekana kwamba menejimenti ya shule ya vmbo inatoa wito kwa wanafunzi wake avae zambarau kwa muktadha wa 'ijumaa ya zambarau' hapo zamani tulikuwa na siku ya wanyama baba na mama siku lakini siku hizi unayo siku ya kimataifa kwa siku hii na ya kimataifa kwa hiyo una siku kwa karibu kila kitu basi ni juu ya kusisitiza maandiko kwamba tunashughulika tena na mashine ya kueneza upinde wa mvua (lgbti) ni wazi kutoka kwa ujumbe hapa chini kwamba vmbo ilituma bouwens (limburg) kwa wanafunzi wake soma jinsi halmashauri za wanafunzi zinavyotumia bajeti ya shule kwenye vipeperushi vya lgbti na vifaa vya habari hii imeandaliwa na viongozi wengine wa timu na timu ya msaada ni nani au ni timu gani hiyo ya msaada ni wazi kwamba watoto wanafundishwa kwa bidii kubadili imani ya lgbti ijumaa ya kusudi ni siku ambayo wanafunzi na wanafunzi wanaovaa rangi ya zambarau wanaweza kuonyesha mshikamano wao na watu wa jinsia moja wahusika wa baiskeli wasagaji na watu wa transgender ripoti inasema mshikamano halafu una mshikamano gani 'mshikamano' ni nini je tunazungumza juu ya mshikamano wa kisiasa au kisheria mshikamano wa kisiasa uhamasishaji wa umoja na utayari wa kubeba matokeo (van dale) mshikamano kulingana na sheria ya mkataba dhamana ya pamoja na kadhaa ya wadai au wadeni kila mmoja wao anaweza kudai deni yote au kushtakiwa kwa deni lote je ubinadamu una jukumu la deni kwa jamii ya lgbti kwa hivyo ikiwa unatangaza mshikamano wako kwa kuvaa zambarau unasema kuwa uko tayari kubeba matokeo ya deni unayodaiwa na hiyo deni ni nini je hiyo ni jukumu hili la deni au tunazungumza tu juu ya 'mshikamano' kwa maana ya 'tunasimama nyuma yako' lakini unaunga mkono nini je hiyo ni tunasaidia wazo kwamba kila mtu anapaswa kupata lebo na kwamba kikundi chako kinapaswa kutambuliwa zaidi na nini juu ya mshikamano na mtu wa jinsia moja barua hiyo h katika muhtasari haimaanishi watu wa jinsia moja lakini kwa mashoga sawa vizuri halafu unavaa zambarau halafu unaonyesha mshikamano na kikundi mshikamano katika nini na nini ikiwa hauvaa zambarau ukiniuliza tunashuhudia uwongo wa ujana wa ujana ubaguzi umeinuliwa kwa kiwango kwa kweli unaweza kusema kuwa kuwa wa jinsia moja mashoga watu wawili au transgender sio ubaguzi tena hiyo ni nzuri basi basi hatuhitaji tena mshikamano nayo ikiwa kikundi hicho kitaanza kuja kwa wingi sio kikundi cha wachache tena lakini je sisi pia tutafanya vivyo hivyo na wakristo waislamu weusi nyeupe wachina kiarabu kisinamaki na lebo zote ambazo tunaweza kufikiria unaundaje ubaguzi hiyo inaanza na kuweka lebo kwenye kitabu changu ninaelezea jinsi upinde wa mvua ni ishara ya dini mpya ya ulimwengu na serikali mpya ya ulimwengu ilikuwa tayari ni ishara ya mashujaa wa upinde wa mvua (greenpeace) na sasa pia ni ishara ya jamii ya lgbti upinde wa mvua ulikuwa ishara ya ghadhabu ya mungu ilikuwa ishara ambayo ilionekana angani baada ya mafuriko makubwa baada ya mafuriko haya nuhu aliruhusiwa kuweka ubinadamu mpya na kujenga ufalme wa wanyama upinde wa mvua ni kama ilivyokuwa ishara ya mabadiliko makubwa ndio sababu ninaelezea katika kitabu changu kuwa ubinadamu umeandaliwa kwa transgendertranshuman kwa lengo la mwisho la fusion kamili na akili ya bandia (ai) vita vya upinde wa mvua kutoka greenpeace vimebadilishwa kuwa wasimamizi wa mapinduzi ya uasi upinde wa mvua unaonekana kusimama kwa ushawishi wa mazingira umoja na utaftaji wa kijinsia lakini kwa kweli ni ishara ya serikali inayokuja ya ukiritimba kama ilivyoelezewa katika kitabu changu kipya hatua ya kwanza kuelekea transgender transhuman ni moja usimamizi wa teknolojia wito wa kambi za kusoma upya tazama sasa utawala huo wa kiteknolojia unaweza kusanikishwa kwa kuunganisha uharibifu wa hali ya hewa na mzigo wa co2 utambuzi wake unaweza kukamilika na 'mtandao wa vitu' fedha za dijiti (zinazoweza kusomeshwa) na mfumo wa ushuru wa ulimwengu kwa co2 eu ipo kupitia frans timmermans kwa hivyo usifute na subiri (kama inavyostahili taasisi isiyo ya kidemokrasia) kwa pili na kuanzishwa kwa mfumo kama huo kama kwamba ilikuwa tayari kwenye rafu kabla ya greta thunberg hata kufikiria juu ya utatu ushuru huo utakuja tu na ikiwa ni lazima nchi zinalazimishwa kufuata yao ikiwa ni lazima na jeshi la jeshi (tazama hapa) je hiyo ina uhusiano gani na jamii ya lgbti unaweza kufikiria sasa kweli tuko kwenye usiku wa kulazimisha maoni fulani upinde wa mvua hauhusiani tu na ushawishi wa mazingira na jamii ya lgbti lakini pia na utawala wa kidikteta wa ulimwengu unaotekelezea mawazo kwa hivyo tayari kuna sauti kwamba kwa kambi hizi za masomo lazima zifike (ona hapa) na ukibonyeza kiunga cha kifungu hicho utagundua kwamba sheria za uholanzi zinaweza tayari kuita mtu 'kisaikolojia' kwa msingi wa kile kinachoitwa 'udanganyifu' una udanganyifu (au udanganyifu) ikiwa maoni yako hupotea kutoka kwa ukweli unaokubalika kwa ujumla kwa hivyo ikiwa eu itasema kwamba ushuru wa co2 lazima uletwe (kwa sababu vinginevyo tunakabiliwa na janga la hali ya hewa) basi hiyo ni maoni rasmi (yaliyofafanuliwa kama 'ukweli') ikiwa hauamini maoni haya rasmi basi utateseka kutoka kwa udanganyifu (maoni ambayo hutenga kutoka kwa ukweli) hiyo inamaanisha moja kwa moja kwamba kulingana na wvgzz (sheria ya utunzaji wa afya ya akili) unaweza kuchukuliwa na saikolojia ya matibabu katika kliniki ya ggz (remasomo tena) kwa sababu kulingana na ufafanuzi wewe ni mtaalam wa akili soma ndani hati hii ya eu kwamba usemi wa jinsia ya kijinga pia imekuwa kawaida je hiyo inamaanisha nini katika hali halisi hii pia inamaanisha kuwa ikiwa haukubaliani na hii kwa sababu ya dhamiri fulani hii inaanguka chini ya sanduku la 'udanganyifu' kwa hivyo unaomba pia kwa hiyo inaweza kuchukuliwa kwa taasisi ya ggz (kambi ya masomo tena) na mifumo kubwa ya data inaweza kufuatilia ikiwa unafuata kawaida ya usemi wa jinsiabila kutamka na kisha hatujataja hata neno lililochaguliwa kwa busara 'umoja' ikiwa unasoma nyaraka za mkondoni inaonekana kwamba hii inahusu sana kazi ya kukuza kikundi cha lgbti ambapo kwa mfano wanapaswa kupewa kipaumbele zaidi katika michakato ya maombi serikali hata inatoa ruzuku ya kuajiri wanawake na watu kutoka kundi la lgbti angalia tu maelezo haya ya ruzuku ya utekelezaji wa idara ya taasisi au angalia picha hapa chini kwa kifupi ikiwa wewe ni mtu wa jinsia moja unabaki nyuma kwa kweli utabaguliwa kwa sababu mwajiri anayetafuta wafanyikazi hupokea ruzuku ya kuajiri kitu chochote isipokuwa mtu wa jinsia moja neno 'umoja' kwa kweli linamaanisha 'kutengwa' (pia inajulikana kama ubaguzi wa rangi) kutengwa kupitia matibabu ya upendeleo kulingana na ruzuku kwa hivyo kile kinacholetwa kama kukubalika na kukomesha husababisha ubaya wa mtu wa jinsia moja katika mazoezi iliyounganishwa na hii ni sheria zote ambazo inahakikisha kwamba mtu yeyote ambaye hakubaliani na hali ya akili anaweza kupelekwa kwa taasisi ya huduma ya afya ya akili (kulazimishwa na bila kuingilia kati kwa jaji au mtaalamu wa magonjwa ya akili kupitia wvggz kuanzia na 2020) kwa mfano hii inaweza kuathiri maoni tofauti juu ya hali ya hewa au maoni tofauti juu ya usemi wa jadi je hiyo inasikika vipi kwako je si kweli tunazungumza tu juu ya ushujaa je si kweli tunazungumza tu juu ya polisi wa mawazo kwa hali yoyote polisi hutembelea shule kila mara (kama unavyoona katika ujumbe hapo juu) jizoea au chukua hatua nunua kitabu changu na usambaze iwezekanavyo kwa watoto wote ambao wamewekwa chini ya shinikizo orodha ya kiungo cha chanzo hali ya hewa kubadilika xandernieuwsnet europaeu dusinl dedijkatlascollegenl jantje ni sawa na ana hofu ya kuja kutoka chumbani #sorryjohan tags bi de kuvaa jumuiya homo pamoja na umoja lesbian lhbti mapenzi zambarau zambarau transgender ijumaa 13 desemba 2019 kwenye 04 07 nakala ya juu tena martin mimi mwenyewe nimeandika mara kadhaa katika 2016 na 2017 kuhusu mpango wa 'mapinduzi ya zambarau' uliofadhiliwa nyuma na mshirika wa eu george soros rangi ya 'ijumaa ya zambarau' kwa hivyo inaonekana hakuna bahati mbaya hapo awali tulikuwa na mapinduzi ya pink (2003 georgia) orange (ukraine 2004) mapinduzi ya saffron (njano) huko myanmar (2007) green iliyoshindwa katika irani (2009) 'mapinduzi ya zabibu' (bluu) huko moldova (2009) na mabadiliko ya rangi huko makedonia (2016) mageuzi yote pamoja na purple inayokuja magharibi kwa pamoja george soros na ngos nyingi za kidunia ambazo yeye na eu wanaunga mkono zote ambazo zinafanya kazi katika kukuza utofauti na ajenda ya hali ya hewa hali ya hewa na uhamiaji kumbuka kuwa rangi za upinde wa mvua hufuatwa kutoka juu hadi chini pink / nyekundu machungwa manjano kijani bluu na sasa zambarau unaweza kusema pia kuwa zambarau ni rangi inayounganisha ya hudhurungi na nyekundu rangi za bendera ya amerika na bluu ya bendera ya eu iliyochanganywa na ukomunisti (/ antifa / extinction rebellion) nyekundu au kuunganisha haki ya jadi ya kisiasa (liberals democrats christian) na viungo hakuna tofauti yoyote kati yao hakika sio katika bunge la ulaya na zambarau ni kweli pia rangi iliyochanganywa ya rangi ya jadi kwa wavulana (bluu) na wasichana (pink) alitaka au je kila undani umefikiriwa kupitia ikiwa sivyo itakuwa pia bahati mbaya kwamba katika mkutano wa kilele wa eu mnamo 12 disemba kansela wa kwanza wa kike wa austria kama vile viongozi wengine wa eu ambao hawajaoa na bila watoto ambaye kama rais wa mahakama kuu alianzisha ndoa ya jinsia moja huko austria kwa kifurushi cha zambarau kilionekana angela merkel alikuwa katika machungwa katika uwasilishaji wa tume yake rais mpya wa ec ursula von der leyen pia alikuwa amevaliwa rangi ya machungwa na akasimama mbele ya uso wa zambarau lakini labda rangi hizi sasa ni za mtindo au kitu katika shule na vyuo vikuu kadhaa nchini merika wanafunzi na wanafunzi tayari wanalazimishwa kushiriki katika shughuli za 'pro lgbtq' ambazo zimewekwa kwenye vyombo vya habari kama 'vitendo vya hiari' vya 'mshikamano' kweli kwa hivyo aina ya mshikamano ambayo wasovieti waliwakandamiza 'washukiwa' na 'udanganyifu' kwa miongo kadhaa na wakawafunga kwenye galags ('kambi za masomo') na ambayo wanazi waliingiza wavulana wa ujerumani milioni 10 kwenye jumbo la hitler chini ya miaka 6 waliwashwa kabisa na walipata mafunzo ya kuwa wafuasi watiifu kama inavyotokea na vijana wa leo kwenye taasisi za ujasusi za leo ambazo lazima zilipitie shule kila kitu kinafuata karibu bila mshtuko maandishi ya mwanaharakati wa marxist saul alinsky ambaye alitafuta waziwazi udanganyifu wa ndani na wa mwisho wa jamii ya magharibi na kuwafundisha wafuasi wake 'kusema uwongo kuiba na kudanganya' kufikia lengo hili katika kitabu chake rules of radicals aliandika tusisahau kukumbuka riwaya ya kwanza kabisa katika hadithi zetu hadithi na historia hadithi ya kwanza ambayo iliasi agizo lililowekwa na ilifanya kwa ufanisi kwamba alipata ufalme wake mwenyewe lusifa na kwa hivyo tunafika kwa agizo la ulimwengu wa luciferi ambalo unaandika juu ya kitabu chako na nakala ufalme wake ndio simulizi ya virusi ambayo tunaishi ndani 13 desemba 2019 kwenye 10 04 asante kwa nyongeza yako muhimu dalili hizo za rangi kweli zote zimechaguliwa na maana 13 desemba 2019 kwenye 10 24 tazama pia mapinduzi ya rangi ya gene sharp (cia) ambayo kwa miaka yote yamekuwa yakitumika kwa nchi zote hizo za hivi karibuni kuwa zile za ukraine (unajua wale ambao frans timmermans walisimama ghafla kwenye maiden square) je ilikuwa rangi ya mapinduzi hayo tena ndio pia uasi wa kutoweka hutumika (na wakati huu kwa uwazi na kukiri) njia ya mapinduzi ya rangi ya gene sharp 13 desemba 2019 kwenye 10 26 13 desemba 2019 kwenye 10 34 kuhusu matumizi ya vikosi vya jeshi kutekeleza hatua za mabadiliko ya hali ya hewa na jeshi nilikuwa nimeshika kiunga kibaya katika makala hiyo hapa bado 13 desemba 2019 kwenye 08 24 chanjo cha waislamu wa kwanza wazazi wa kwanza ya lgbtq + altar aonyesha habari lesbians na dhambi za gari au au eden replacing adam na eve 13 desemba 2019 kwenye 09 51 timschutte77 aliandika 13 desemba 2019 kwenye 12 19 na njia pekee ya kutoroka kutoka kuzimu ya dijiti ya dijiti ni yesu kwa sababu unyakuo wa wakristo ni kwa shida zote 13 desemba 2019 kwenye 12 28 ninaelewa majibu lakini ninapendekeza kusoma kitabu changu nilikua pia na wazo kwamba kutoroka pekee kungekuwa yesu lakini ni muhimu sana kuchunguza kitu zaidi ninafanya hivyo kwenye kitabu akishikamana na mafundisho ya zamani na kuwaruhusu watu waamini kwao anapenda hali ya kupita oh lakini tunayo yesu na anakuja kutuchukua kabla ya kuzimu yote duniani ninaelezea katika kitabu changu kuwa ni mtego wa asali ya uwongo 13 desemba 2019 kwenye 22 19 kabisa nakubaliana na martin mimi pia nimeamini katika kutoroka kwa kichawi kwa miaka lakini hiyo pekee haiwezi kudumishwa kwa msingi wa maandishi ya msingi (na muktadha) wa bibilia yenyewe na licha ya ukweli kwamba wakristo wengi hawajawahi kuteswa katika historia yote wale wa nchi za magharibi wanaendelea kushikilia udanganyifu huu kukiri kwa watu wa kwanza kwa sababu wanamaanisha shida zote kawaida ni dhiki kuu zilizotajwa zingehifadhiwa wakristo ambao bado wanaamini hii kawaida huwa na ufahamu mdogo wa kitabu chao kitakatifu kwa sababu katika agano jipya kuna maandishi ya 37 juu ya kukandamiza na katika kesi za 36 kwamba ukandamizaji unahusiana na waumini kwa kweli ufunuo 1 inasema kweli kwamba dhiki (kubwa) ilikuwa tayari imeanza kwa maoni ya bibilia ukandamizaji ni kwa waumini kama inavyosomwa kwa kweli katika maandiko mbali mbali imetajwa hata kama tabia ya msingi ya imani ya kweli ikiwa utafanya utafiti zaidi na kufikiria utagundua hatua kwa hatua kuwa mengi ya yale unayofundishwa makanisani na wahubiri na kwa hakika ujumuishaji kamili wa nadharia ya wakati wa mwisho ni msingi wa wepesi na watu katika mfumo wa kidini uliowekwa (hofu) mfumo wakristo bado wanaambia hadithi za hadithi sawa ambazo wanakubali kama 'kweli' lakini ambayo kwa urahisi tena kwa msingi wa bibilia yao wenyewe wamekataliwa kwa njia kunaweza kuwa na aina ya 'kurekodi' kwa sababu teknolojia sasa ni mbali sana kwamba kitu kama hicho kinaweza kuwekwa kwa njia isiyoweza kutambulika kutoka kwa kweli je ikiwa ikiwa rekodi hiyo ni ya uwongo mtego wa asali kama martin anavyoandika akiwapeleka watu ndani ya gereza la ndani kabisa ambalo hawawezi kutoroka kutoka kwao ndio maana ninapendekeza waumini kusoma kitabu cha martin sio lazima ukubaliane na kila kitu mara moja mambo kadhaa yatasababisha mshtuko wa aina fulani lakini wigo wa kile anaandika ni muhimu sana kupuuza kwa sababu ushahidi wa hii unaonekana kote kwetu na kwenye maisha ya wengi ni na hiyo ni kwamba ulimwengu huu (/ simulation) unatawaliwa na lusifa ambaye pia anadhibiti dini kuu hucheza dhidi ya kila mmoja na huwaacha wafuasi wao mabilioni kwenye giza juu ya nani hasa anayevuta kamba na nini kusudi la kweli la hiyo ndiyo yote wieland schildmeijer aliandika 22 desemba 2019 kwenye 22 49 william cooper pia alikuwa akifanya kazi hii kutoka 830 13 desemba 2019 kwenye 13 11 mashine ya propaganda inaendesha kwa kasi kamili 13 desemba 2019 kwenye 14 05 mashine ya uenezaji wa tavistock kwa gharama ya malipo na malipo ya walipa kodi matibabu mengi yanayothibitisha jinsia yanafunikwa na bima ya msingi katika kizazi kijacho ninaamini kuwa viongozi wa ulimwengu watagundua kuwa hali ya watoto wachanga na nadharia ya akili ni bora zaidi kama vyombo vya serikali kuliko vilabu na magereza na kwamba hamu ya madaraka inaweza kuridhika kabisa kwa kupendekeza watu kuingia wanapenda utumwa wao kana kwamba kwa kuwapiga na kuwafunga aldous huxley barua kwa george orwell 13 desemba 2019 kwenye 14 47 kwa muda mrefu kama shida halisi haijatatuliwa kwa nguvu tutaendelea kuchambua 14 desemba 2019 kwenye 11 37 ninaelewa kuwa wakulima walifanya robo ya saa jana kwa idhini ya mamlaka ambayo ni wavulana lazima walipendezwa wakulima vema 14 desemba 2019 kwenye 14 07 ndio yote hayafanyi kazi kila kitu kimefungwa kitu pekee ambacho husaidia ni kufungua milango ya stiles na uzio wa meadows lakini ndio wale ng'ombe wazuri wanarudi nyuma ghalani ili isiwe chochote kweli basi toa mizigo ya trekta iliyojaa ng'ombe kwenye ua itakuwa nzuri ikiwa kungekuwa na ng'ombe elfu kumi wakitembea hague hakuna sheria inayokataza ng'ombe kuandamana kwa hivyo hauitaji kuomba kibali kidokezo ikiwa utapunyiza trekta katika rangi zote za upinde wa mvua polisi hawatakufunga (kwa mshikamano) 14 desemba 2019 kwenye 16 03 hakika kila kitu kimefungwa kweli hiyo ya ng'ombe hao ni wazo la kucheza lakini wakulima mipira wadudu hawana hiyo kwa kadiri hiyo ni halali kabisa sitaenda kushauri wavulana hapa nilisikia kwamba wafanyikazi wa tata steel wanataka kupigwa kweli ninavutiwa ikiwa wanapiga masaa machache ni mengi kwa sababu mgomo ni kinachojulikana kama haki lakini huwezi kutumia haki hiyo waamuzi wa wavulana watashughulikia hiyo inashangaza kwamba amnesty international na haki ya binadamu wakati wote husimama kwa haki za binadamu nje ya nchi lakini sio hapa inawezekanaje lazima tufanye kawaida kwa hivyo tunatumia saa moja na maandishi hatuyapati kwa tata ya tata tunaweza kuifanya tu kucheza kwa hivyo umoja sio lazima kuwa na wasiwasi juu ya mfuko wa mgomo ikiwa kweli kuna mgomo itakuwa tupu ndani ya siku chache na wafanyikazi wote ikiwa watathubutu kugoma je unafikiri unajiunga na bodi ya umoja wa wafanyikazi sijui wote wanafahamiana na wanashauriana kila mmoja kabla na mpango wao wa hatua je muungano unaweza kutenda madhubuti na kupata wanachama wengine mwishowe kila kitu kilielekezwa uholanzi lakini ndio raia mwema anafikiria hiyo ni sawa tena kwa sababu anataka uhakikisho ni bima kwa kila kitu usiwe mkosoaji hapana eleza ukweli hapana mimi hutegemea mapambo ya krismasi hata leo usichukue wreath ya krismasi pia biashara ni kwa faida ya « mshauri wa kisiasa anapendekeza kujenga kambi za kusoma upya je faida ya boris johnson ndio mtangulizi wa nexit utabiri wangu kwa uropa » ziara ya jumla 15830842
2020-01-17T22:56:04
https://www.martinvrijland.nl/sw/uchambuzi-wa-habari/Ijumaa-ya-zambarau-jinsi-watoto-mashuleni-wamezidiwa-na-propaganda-za-lhbti/ukurasa-wa-maoni-1/
nunua ilio tumika toyota premio nyingine gari ndani ya arua nchini uganda carkibanda habari nimevutiwa na toyota premio car iliopo uganda arua nilio iona katika carkibandacom unaweza nitumia taarifa zaidi juu yake ahsante
2019-06-16T10:30:53
https://www.carkibanda.com/sw/vehicle_listings/ad-toyota-premio-uganda-kampala-387
guardiola asalimu amri kinyang′anyiro cha ubingwa | michezo | dw | 16012017 guardiola asalimu amri kinyang'anyiro cha ubingwa matumaini ya manchester city kutwaa taji la premier league yamepata pigo kubwa jana baada ya everton kuwaduwaza kwa kuwafunga mabao manne kwa sifuri kilikuwa kichapo kibaya zaidi kuwahi kumkumba kocha pep guardiola katika ligi na baada ya kichapo hicho guardiola alikiri kuwa city sasa hawako tena kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa wa ligi city sasa wako katika nafasi ya tano na pengo la pointi kumi nyuma ya vinara chelsea chelsea walirejesha pengo la pointi saba kileleni baada ya ushindi wa 30 dhidi ya leicester city tottenham hotspurs wako katika nafasi ya pili na pointi 45 baada ya ushindi wa 40 dhidi ya west bromwich albion liverpool wako katika nafasi ya tatu pointi sawa na spurs kutokana na sare yao ya bao moja kwa moja na manchester united arsenal ni wa nne na pointi 42 baada ya kuwaangamiza washika mkia swansea 40 nchini uhispania sevilla iliizuia real madrid kushinda mchuano wa 41 mfululizo baada ya kuifunga 21 hapo jana na kuwakaribia mahasimu hao katika nafasi ya pili na tofauti ya pointi moja tu barcelona walibakia katika nafasi ya tatu pointi mbili nyuma ya madrid baada ya kuwazaba las palmas 50 nambari nne atletico madrid waliwafunga real betis moja bila na wako nyuma ya vinara na pengo la pointi sita madrid hata hivyo wana mchuano mmoja wa ziada maneno muhimu premier league manchester city pep guardiola kiungo https//pdwcom/p/2vrqv
2018-12-14T05:19:42
https://www.dw.com/sw/guardiola-asalimu-amri-kinyanganyiro-cha-ubingwa/a-37147827
ujumbe ni mzito kwa wale wenye fikra | jamiiforums | the home of great thinkers ujumbe ni mzito kwa wale wenye fikra discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by babylon dec 22 2009 nini mtazamo wenu click hiyo pic ya dada usome kilichokuwemo kisura wa wakibongojpg nini mtazamo wenu click hiyo pic ya dada usome kilichokuwemoclick to expand unaweza kutuwekea hiyo picha ktk size kubwa haisomeki that is something lol sasa wao wanaoitwa greenwood smith albion atwater water baline blair rice culver dove hivi haya nayo ni majina ya kujisifia pole dada asi munisi pole dada asi munisiclick to expand no ilo jina lake kwa mazingira au mtizamo wa western language ina maana ambayo ni insulting kidogo asi kama jina ukilipronounce haina tofauti na unavyo pronounce ass no ilo jina lake kwa mazingira au mtizamo wa western language ina maana ambayo ni insulting kidogo asi kama jina ukilipronounce haina tofauti na unavyo pronounce assclick to expand uko right ni vizuri kukubaliana na ukweli huo dada munisi angebadilisha jina ili kuepukana na kero ya jina lake kutafsiriwa vibaya hata kwetu kuna majina mengine ya nje tutashindwa kukubaliana nayo na tutawaomba wayabadiluishe kwa mfano (a) kuna majina kama kumamoto kumagawa takauchi ambayo ni ya kijapani ni dhahiri tusingeyapenda yatumike nchini kwetu (b) albert tom ba ni jina la bingwa wa zamani wa skiing huko italy binafsi sikuwa napata amani kusikia jina hili kwenye tv mbele ya familia yangu (c) majina kama kissme mborro pumbhu gono na kadhalika ambayo ni ya kawaida sehemu nyingine za afrika yanaweza kutustusha hii hapa chini (c) majina kama kissme mborro pumbhu gono na kadhalika ambayo ni ya kawaida sehemu nyingine za afrika yanaweza kutustushaclick to expand wee kichuguu haya majina umetunga banahayawezekani yakawa ya kwelilol hivi kwa mfano unafundisha chuoni (udsm) halafu unapata mgeni toka benin au guinea bissau aitwaye dr mborro pumbhu idara yako inamuandalia sherehe ya kumkaribisha halafu wewe mwenyeji wake mkuu ndio unatakiwa useme mawili matatu ya kumtambulisha na kumkaribisha rasmi how would you do it with a straight face without cracking and start laughing mbona mdada wa watu jina lake poa tu ukilitamka vizuri yaani a s i na sio as s huyu basi tu wanamwonea tofauti na wale wanaojitafutiaga matatizo wenyewe ati mtu jina lake dickson halafu akiulizwa anajitambulisha kama dick which can have a vulgar meaning kuna mwaka timu ya taifa ya ghana black stars ilikuja tanzania kucheza na taifa stars kule nyumbani kwa kina julius (alipokukimbia ili akabebe maboksi) basi mtangazaji nadhani (forgive my impreciseness) mtangazaji alikuwa charles hilary akawa anashindwa kutamka jina zima la mchezaji wao mmoja akabaki anasema 'anakwenda na mpira pale anakwenda aah jina lake ni tusi kwetu siwezi kulitamka' yule mchezaji alikuwa anaitwa ablade k wee kichuguu haya majina umetunga banahayawezekani yakawa ya kwelilolclick to expand google majina yafuatayo christian m'pumbu gideon gono hivi kwa mfano unafundisha chuoni (udsm) halafu unapata mgeni toka benin au guinea bissau aitwaye dr mborro pumbhu idara yako inamuandalia sherehe ya kumkaribisha halafu wewe mwenyeji wake mkuu ndio unatakiwa useme mawili matatu ya kumtambulisha na kumkaribisha rasmi how would you do it with a straight face without cracking and start laughingclick to expand kuna rais wa nigeria alikuwa akiitwa babangida watu wakamkaribisa etu tutashukuru kumwona babangida lakini haijulikani kwa nini hakumleta mamangida pia shiiiiiiii basi bana mbona mifano ya juu tu ilishatosha jamaa nahisi wana kapoint hivi nilizani hawalitaki jina la munis let's not always caught ourselves in the tunadhalilishwa na kubaguliwa target
2017-07-21T05:09:36
https://www.jamiiforums.com/threads/ujumbe-ni-mzito-kwa-wale-wenye-fikra.47867/
mbona kuelewa wa akili ya binadamu ni muhimu kwa amani nini nimeona ni changamoto kwa kutambua kabisa ni kwa sababu sisi kweli sisi kujenga mazingira ambapo maisha unaendelea dhidi yetu wao ni kuundwa kwa fahamu akili majeraha kurudia iko katika mizigo kihisia sababu kwa nini msamaha ni muhimu sana ni kwamba mawazo hasi kwamba kuja kutokana na majeraha ya kwamba shina kutoka maisha ya kila siku katika siku za nyuma na kujenga mazingira mapya sawa zaidi ya yote tunahitaji kusamehe wenyewe na wale walio karibu nasi kwa kufanya hivyo nzuri wengi wetu kweli anaweza kujitegemea muhimu bila ya sisi kufikiri kuhusu hilo kufanya amani tunahitaji kujua jinsi psyche ya binadamu kazi mfano jeraha kutoka utoto wakati walikuwa akamsalimu kwa wazazi wako wakati wewe zinahitajika ni kwa sababu walikuwa busy you have got mtoto katika wewe unconsciously kurudia hakuna mtu anaona mimi wao ni wajinga kwa sababu hawaelewi jinsi nzuri mimi kufanya hivyo kutoka hapo juu unaanza kutafsiri maisha katika uhusiano na jeraha got marudio inajenga nini hasa wanasema wewe si kuonekana wengine ni wajinga katika macho yako kwa sababu hawaoni jinsi nzuri wewe ni katika kufanya mambo binadamu nishati ya mfumo (chakra) vitendo hivyo kuwa hukumu ni kutumwa nje kwa mazingira kutoka seli yako mazingira naona mawazo repetitive kama ukweli kusema hili wazi wazi wao kazi kama nishati ubunifu basi kwa nini wewe si kuonekana na watu kuwa ni wajinga kwa sababu hawaelewi kuwa wewe ni mzuri kwa njia hii inajenga na sisi kujenga maisha yetu na weave majeraha yetu ndani ya kila mmoja wakati wote hivyo kusema mpaka tunaona kwamba ni lazima kusamehe si tu wazazi wetu kwamba hawakuwa kuona sisi wenyewe lakini kwamba sisi mawazo kuhusu wenyewe kwamba sisi si kuonekana na kutunzwa kwa hiyo nawashauri kila mtu kwenda nyuma ya kumbukumbu ya kuwakomboa kwa kupuuzwa kama watoto ni kawaida mno kiasi kwamba aina hii ya muundo kupatikana katika karibu kila mtu ni inazalisha maumivu katika shingo wakati ni unaorudiwa kwa njia hii hutokea mambo yote sawa katika maisha ni inaimarisha mawazo repetitive na maumivu ya kimwili hutokea kwa sababu hisia zetu ni nishati ambayo ni kuhusiana na mwili mzima kimwili maoni yangu ni kwamba sisi wote wanahitaji kuelewa mfumo huu katika psyche zetu kwamba sisi lazima kuwa na maisha mema wakati sisi kutambua hili na kuanza kukomboa sisi kuelewa vizuri jinsi ya kukutana wengine ambao wanahangaika hii ni kwa nini naamini kwamba amani ya dunia lazima kuanza na mtu binafsi salamu inger b
2018-01-20T01:27:52
http://one-family-of-joy.com/Swa_human_psyche.htm
ccm yaanza rasmi kutekeleza ilani ya chadema kuandika katiba ndani ya siku 100 | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by lumaga feb 10 2011 ama kweli chadema chama dume sote tumeshuhudia hotuba ya waziri mkuu bungeni aliyotoa pamoja na mambo mengine kuwa serikali iko katika mchakato mkali wa kutayarisha muswada na kupeleka bungeni katika kikao cha april ili kuridhia utaratibu wa kuandika katiba mpya ikumbukwe kuwa cdm walikuwa na agenda hiyo aktika ilani yao ya uchaguzi 2010 mbayo ilisisitiza kuwa ndani ya siku 100 mchakato wa kuandika katiba mpya utatakiwa kuanza bila kukosa ukweli umejidhihirisha kuwa ccm wamekuwa wakitimiza ilani ya cdm kwa kuwa wao ccm hawakuwahahi kuwa na ajenda hiyo katika ilani ya uchaguzi 2010 big up cdm wabaneni sawasawa hao ccm watatekeleza mengi tu mwaka huu tangu mwaka 2000 dr slaa akiwa mgombea ubunge wa jimbo la karatu aliahidi kuwashughulikia wezi katika ngazi ya halimashauri kufuta kodi ya kichwa halimashauri kuwalipia wanafunzi wasiojiweza na kufuta viushuru vya ajabu ajabu mara baada ya kuichukua halimashuri akapunguza kodi ya kichwa toka 5000/= hadi 2500/= huku 500/= ikiwa ya kuwasomesha wanafunzi wa karatu waliofaulu kwenda sekondari lengo la dr lilikuwa ifikapo 2005 kuifita kabisa kodi ya kichwa gafla ccm wakaifuta kwa nchi nzima lingine mambo yanayoendela sasa mwaka 2007 dr slaa alitangaza orodha ya mafisadi ccm walitishia kwenda mahakamani kumshitaki dr slaa lakini wakaishia kwenye kuwalazimisha baadhi ya mafisadi hao kujiudhulu nyazifa zao wakiwemo el karamage msabaha huku kiana mramba mgonja na yona na mwanyika wakifuata ccm walikuwa wabishi sana hadi juzi ndio wanakubali kuwa ra ac el walikuwa mafisadi na kuanza kuwashughulikia wakati hiyo ilikuwa kwenye ilani ya cdm 20102015 ukiangalia katiba mpya nayo ilikuwa kwenye ilani ya cdm mwishoni mwa mwaka jana ccm walikuwa wabishi sana hasa kupitia makada wake kama celina komabani jaji werema mwishowe ujanja ukawaishia na kukubali kuunda katiba mpya ya wananchi kwa shingo upanda baada ya pressure kuzidi toka kwa watz hakuna ubishi na hili hata jk alikiri ni ilani ya cdm ukiangalia juzi wakaleta mchakato wa kuanza kwa katiba mpya lakini kwa sababu ya utoto mwingi wa viongozi wa ccm wakaanza kufanya mzaha ndio cdm na wasomi wa nchi hii wakasimama kidete na kuanza kupinga katiba ya wananchi kutengenezwa na rais pamoja na ccm hili lilipingwa na cdm na kutishia kuitasha maandamano ya watz nchi nzima gafla na ccm wakaaharisha hadi mkutano wa oktoba na kukiri kufanya marekebisho muswada nawashukuru watz kwa kuendeleza peoples power sioni tatizo kwa ccm kutekeleza ilani ya cdm if they are not innovative let them copy and paste mambo toka kwa cdm for the sake of the country lengo letu ni kujenga taifa na bahati mbaya ccm hawana watu wa kudhubutu kutoa michango yao ya mawazo hadharani ili ifanyiwe kazi na serikali ndo maana wanafundishwa namna ya kuongoza taifa na cdm sioni tatizo waendelee na ndo somo kwa watz kwamba next election wawape wenye sera za taifa wazitekeleze wenyewe noti mpya hii imekaa vizuri nachokata ni ccm kuendelea kuwaandama cdm hata pale wanapotaka mambo ya msingi yafanyike ni kweli kwa sehemu ila nina wasiwasi nawashukuru watz kwa kuendeleza peoples powerclick to expand chama hakina dira tangu enzi za mzee horace kolimba sasa wewe unafikiri kwa nini ccm kisiwe kikilazimika kuiga kila kitu barabarani sasa hivi kilichobaki ni kwamba kukitokea tu aina yoyote ya utani juu ya madai ya katiba mpya ya walalahoi bila udalali basi hapo ndipo nasi vijana tutakapoamua kijivulia gamba la ccm kabisa kikafie mbali huko hata hivyo kwa wale ambao huenda wakawa wanafikiria mkwa yote tuyasema yo ni mzaha tu basi hadi hapo watabaki kujilaumu wenyewe mabadiliko tunayoyataka nchini kamwe hayazuiliki hata kwa kutumia nguvu ya giza ccm wenzenu huku waaala bado hatujaona gamba lolote mnalodai kujivua siku za hivi karibuni hadi hapo ndio kwaaanza mmepata alama 02 / 100 chapeni kazi zaidi na zaidi kufanya mabadiliko makubwa kimfumo ndani na nje ya ccm ndipo angalaaaau tuweze kuwasikilizeni hapo baadaye kidoooooooooogo tuweze kuanza kuwafikirieni nasema mpaka hivi sasa wala sijaona mabadiliko ya kiasi cha kuweza kuzungumzi hapa wake up bado mambo mengi tuu watayafanya elimu bure kwa shule za secondari nahisi itakuja sio siku nyingi ccm wanakosa credibility ya uongozi ndio sababu ilani yao inaonekana kama script ya drama badala ya kubeba na kuvisualize mwelekeo wa nchilet them dramatize lazima ifahamike kuwa upnzani sio uadui na kazi kubwa sana ya upinzani ni kuikosoa serikali pale wanapoona inafanya au inataka kufanya makosa lakini yote kwa nia ya kuleta ustawi wa jamii mfukunyunzi says thanks for this useful thread hapa patamu maana hata juzi bungeni waziri mkuu alimuunga mkono tundu lisu mpaka spika anashangaa hapa patamu maana hata juzi bungeni waziri mkuu alimuunga mkono tundu lisu mpaka spika anashangaaclick to expand waziri mkuu pinda ni mwanasheria hawezi kuenda kinyume na taaluma yake ameanzisha njia na wengine wamfuate kunasiku niliona kwenye jamii jamaa wanaagiza simu kutoka amerkanataka anuani yao nchi ni ngumu sanamatatizo hayaishi nyimbo wa ufisadi na mgao wa umeme zinashika chati sana ccm mbona hatuelewani sisi watanzani hatutaki chama chochote cha siasa kujipendekeza kutuandikia katiba mpya kama ambavyo mlivyoanza kujibaraguja hapa kila siku tunachokisema ni fursa ya wananchi kujiandikia katiba mpya sisi wenyewe bila udalali wa aina yoyote ile hivyo hizi siku zote mnazozipoteza na sasa kuanza na ahadi za siku 100 kuandika katiba mpya ya nchi mjue wapo watu wengi sana wenye moyo na taifa hili ambao watajitokeza hivi karibuni na kufanya hii kazi bila ajizi ccm endeleeni kulala unono huo usingizi wenu wa pono juu ya muitikio wa katiba mpya ya wananchi wenyewe bila viraka wala udalali big up cdm wabaneni sawasawa hao ccm watatekeleza mengi tu mwaka huuclick to expand nitarudi baadae hiyo katiba ikiisha
2016-10-24T03:33:56
http://www.jamiiforums.com/threads/ccm-yaanza-rasmi-kutekeleza-ilani-ya-chadema-kuandika-katiba-ndani-ya-siku-100.109708/
sautiyako sauti yako inasikilizwa » ugomvi wa wazazi mbele ya watoto ni hatari kwa watoto hao posted on december 10 2016 / posted by geofrey shao katika familia nyingi duniani suala la ugomvi sio kitu cha kushangaza kwa sababu ni kawaida kwa binadamu wanao kaa pamoja kugombana kutokana na sababu mbalimbali hakuna wanao kaa pamoja maisha yao yote pasipo kutofautiana na kugombana hakuna ugomvi usiokua na madhara lakini madhara yenyewe yanategemea na aina ya ugomvi mfano madhara ya ugomvi wa watu wanao tupiana maneno hayawezi kulingana na madhara ya ugomvi ambao watu wamepigana hivyo hivyo kwa aina nyingine zote za ugomvi lakini hapa nataka kuongelea madhara ya ugomvi wa wanandoawazazi au walezi kwenye familia zetu hasa za kiafrika ambapo tabia hii imekithiri na labda ni kwa sababu hatujui madhara yake ni jambo la kawaida sana kukuta wazazi wa familia nyingi za kiafrika wakigombana na kufikia kabisa hatua ya kupigana mbele ya watoto wao bila kujali kitu chochote kile nyumba inageuka uwanja wa mapambano na watoto ndio wanao jikuta wakiwa waamuzi wa ugomvi huo wa wazazi wao mbali ya kuwa ni aibu kwa wazazi hao mbele ya watoto wao lakini pia ni jambo linalowapa mateso makali watoto wanaoishi na wazazi wenye tabia hizo lakini jambo baya kwa watoto hawa ni madhara wanayo yapata kisaikolojia hali inayopelekea kuwa watu wenye tabia tofauti ambazo ni matokeo ya ugomvi wa wazazi wao waliokuwa wakihishuhudia katika utoto wao sasa je ni nini madhara ya wazazi kugombana mbele ya watoto wao wanasaikolojia wanalizungumzia suala hili kama ni moja ya makosa makubwa ambayo yanapaswa yakemewe kwa nguvu sana maana madhara yake ni mabaya kwa jamii nzima na sio tu kwa wanafamilia hao ikumbukwe kuwa mjenzi wa kwanza wa tabia ya mtoto ni wazazi hivyo basi kama wazazi hawa ambao ndio walezi wakuu watashindwa kutimiza wajibu wao ni wazi kabisa jamii nzima itapata madhara kwa uzembe huo inaelezwa kuwa kitendo cha wazazi kugombana mbele ya watoto wao kina madhara ambayo huathiri mfumo mzima wa maisha wa watoto wa familia izo hasa wanapokua watu wazima ambapo ina aminika kwamba watoto hao huwa na tabia ambazo huenda ikawa ni za kushangaza au hata kukera watu wengine miongoni mwa tabia wanazokuwa nazo watoto ambao wamekulia katika familia zenye ugomvi ni kama zifuatazo ni jambo la kawaida sana kwa watoto walio kulia katika familia za aina hii kua na roho za kikatili hawaoni kama ni jambo la ajabu kumfanyia mtu mwingine vitendo vya ukatili huwa hawana huruma kwa kitu chochote kile hii ni kutokana na matukio ya ukatili walio wahi kuyashuhudia tangu wakiwa watoto mfano mtu ambae katika utoto wake ameshuhudia ugomvi uliopelekea mtu mmoja kumuua mwenzake ni rahisi sana kwa mtoto huyo kuja kufanya tukio kama hilo la mauaji kwa haraka haraka linawezekana lisionekane kama ni tatizo lakini pia sio jambo zuri kwa mwanadamu kama likizidi inaelezwa kuwa watoto waliokulia katika familia zenye migogoro ya mara kwa mara huwa ni wabishi na huwa wanaamini katika kile wanachokiamini hata kama wengine watakiona ni cha utofauti mara nyingi husimamia imani yao hata kama hawana mifano hai ya kukitetea icho anachokiamini hakuna tatizo kubwa kwao suala lolote lile kwao ni la kawaida hawashtuki na chochote kile tabia hii inawafanya wawe ni watu wenye kupuuza jambo lolote lile hata kama litakua kubwa kiasi gani matukio walio shuhudia utotoni yanawafanya wawe watu wa aina hii hii ni tabia ambayo watoto hawa ni lazima wawe nayo ni tabia walioiishi tangu utoto wao wameshuhudia ugomvi na ukorofi kutoka kwa wazazi wao wakiamka ugomvi wakilala usiku ugomvi hivyo nao wanajengeka katika tabia iyo ya ukorofi ni mara chache sana kuwakuta watoto waliotoka kwenye familia hizi kuwa wastaarabu lakini mbali na kuwa na tabia hizo wanasaikolojia pia wanasema watoto walio kulia kwenye familia hizo huwa na uwezo sana wa kukabiliana na matatizo katika maisha yao na pia ni wazuri katika kuamua jambo lolote lile hata kama ni gumu kiasi gani hivyo kama wewe ni mzazi na una tabia ya kugombana mbele ya watoto wako ni vyema ukabadilika maana madhara yake kwa watoto ni makubwa jaribuni kuficha tofauti zenu mbele ya watoto wenu na badala yake muwaonyeshe na kuwafundisha kuishi kwa upendo ili waje kuwa wazazi bora na wenye tabia zuri kwenye familia zao makala hii imeandaliwa na geofrey shao kwa msaada wa neema mwacha mwanasaikolojia na mtoa mshauri nasaha
2018-01-16T07:19:55
http://sautiyako.net/ugomvi-wa-wazazi-mbele-ya-watoto-ni-hatari-kwa-watoto-hao
kura ya maoni ya sudan kusini kufanyika kesho | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 08012011 kura ya maoni ya sudan kusini kufanyika kesho kura hiyo itaamua iwapo sudan kusini ijitenge na kaskazini na kuwa taifa huru hata hivyo kura hiyo tayari imegubikwa na hofu baada ya watu sita kuuawa rais wa sudan omar hassan albashir (kulia) na kiongozi wa sudan kusini salva kiir rais omar hassan al bashir wa sudan amesema kwamba sudan kusini haiko tayari kwa uhuru na kama matokeo inaweza kukabiliwa na ukosefu wa utulivu bashir ametowa onyo hilo wakati shamrashamra za furaha zikiwa zimegubika sudan kusini ambapo wananchi wake wanajiandaa kupiga kura hiyo ya maoni kudai uhuru wa jimbo lao na kuwapa fursa ya kujitenga na sudan kaskazini baada ya miongo mitano ya mzozo wa maafa wananchi wa sudan kusini kwa kiasi kikubwa wanatarajiwa kuunga mkono kwa kishindo kikubwa uhuru kutoka kwa ndugu zao wa kaskazini ambao wamepigana nao vita mara mbili lakini al bashir katika mahojiano na kituo cha televisheni ya kiarabu cha al jazeera amesema taifa hilo jipya litapata tabu bashir anasema kusini inapata taabu kutokana na matatizo mengi imekuwa katika vita tokea mwaka 1959 na haina uwezo wa kuwahudumia wananchi wake au kuunda taifa au serikali bashir anasema wasudan kusini wanaamini kwamba sababu ya mateso yao yote ni kudhibitiwa na sudan kaskazini na wanafikiri kwamba wataweza tu kuondokana na mateso hayo kwa kutenganisha kusini na kaskazini rais bashir ambaye ni mwanajeshi aliyeongoza vita vya kikatili vya wenyewe kwa wenyewe dhidi ya waasi kwa muongo mmoja na nusu kabla ya kufikia makubaliano ya mwaka 2005 amesema ana wasi wasi juu ya taathira itakayokabiliana nayo sudan kaskazini kutoka na matatizo ya sudan kusini ambayo hayaepukiki amesema iwapo kuna vita kwa jirani yako huwezi kuwa katika amani katika mahojiano hayo na al jazeera bashir amesema sudan kaskazini na kusini zinaweza kuunganisha nguvu zao kwa kuwa na mfumo kama wa umoja wa ulaya iwapo kusini itaamuwa kujitenga amesema wananchi wa sudan kusini wanaweza kupewa ukaazi wa bure huko kaskaziniuhuru wa kwenda wanakotaka haki ya kufanya kazi na kumiliki mali nchini sudan baada ya kugawanyika kwa nchi hizo lakini hawatoweza kuwa na uraia wa nchi zote mbili akifafanuwa zaidi bashir amesema kwa hivi sasa hawazungumzii juu ya kuanzisha ulinzi wa pamoja bali wanajadili kuanzisha umoja kati ya washirika wawili kuangalia maslahi ya pamoja katika usalamauchumi na maendeleo kama vile ilivyo katika umoja wa ulaya hali sudan kusini ni ya furaha wakati uhuru uliokuwa ukisubiriwa kwa muda mrefu unakaribia na shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa unhcr linasema kwamba watu wa sudan kusini waliokimbilia kaskazini wakati wa vita hivi sasa wanarudi kwa kiwango cha watu 2000 kwa siku lakini wachambuzi wengi wameonya kwamba wasudan kusini hawatokabiliwa na kipindi rahisi katika eneo la kimaskini lililoathiriwa na mapambano makali kati ya makabila yanayohasimiana shirika la misaada la uingereza la oxfam limesema kwamba taifa hilo jipya litakabiliwa na changamoto kubwa mno na litahitaji msaada wa muda mrefu kutoka jumuiya ya kimataifa melinda young mkuu wa oxfam huko sudan kusini amesema umaskini sugu ukosefu wa maendeleo na tishio la umwagaji damu mambo ambayo yamevuruga matumaini ya maisha ya kila siku hayatatoweka baada ya kura hiyo ya maoni amesema bila ya kujali matokeo masuala hayo yanahitaji kushughulikiwa takriban watu milioni 4 watashiriki katika kura hiyo ya maoni ambayo imeamuliwa katika makubaliano ya amani ya mwaka 2005 ambayo yamekomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya mwaka 1983 hadi mwaka 2005 kati ya waislamu walio wengi sudan kaskazini na wakristo walio wengi sudan kusini mzozo wa vita vya pili vya wenyewe kwa wenyewe nchini sudan umesababisha watu milioni mbili kupoteza maisha yao na wengine mamilioni kuachwa bila ya makaazi al bashir katika wiki za karibuni ametuliza hofu ya kurudia tena kwa vita kwa kusema kwamba yuko tayari kukubali matokeo ya kura hiyo ya maoni lakini baadhi ya watu wana wasi wasi kwamba masuala yaliokosa ufumbuzi bado yanaweza kuzusha mzozo mpya mpaka wa kusini na kaskazini ambao unagawa maeneo ya machimbo ya mafuta nchini sudan bado haukukamilishwa sawa na hatima ya eneo la abyei lenye utajiri wa mafuta ambalo lazima liamuwe liungane na kaskazini au kusini kura hiyo inayoanza kupigwa hapo kesho inatarajiwa kumalizika hapo tarehe 15 na ili kwamba matokeo yake yahesabiwe kuwa yamefana asilimia 60 ya waliojiandikisha kupiga kura wanatakiwa wawe wamepiga kura wapige kura hiyo habari zaidi zinasema kwamba watu sita wameuwawa katika mapigano kati ya waasi na wanajeshi wa jeshi la sudan kusini mashambulio hayo ni ukumbusho wa mpasuko mkubwa uliopo katika eneo hilo la kusini lisilo na maendeleo ambalo linakabiliwa na mauaji ya kikabila na uporaji wa mifugo msemaji wa jeshi la sudan kusinispla philip aguer amesema kuwa vikosi vyake viliwashambulia wapiganaji wanaomuunga mkono kiongozi wa waasi galwak gai hapo jana na wapiganaji hao wakajibu mashambulizi hii leo aguer amesema kuwa wapiganaji hao wamekuja kutoka kaskazini kwa ajili ya kuharibu uchaguzi wa kura ya maoni kwa mujibu wa msemaji huyo wa spla jana waliwaua wapiganaji wawili na leo wamewaua wapiganaji wanne mara kwa mara viongozi wa sudan kusini wamekuwa wakiishutumu sudan kaskazini kwa kuwaunga mkono wapiganaji wanaojaribu kuvuruga kura hiyo ya kihistoria hata hivyo viongozi wa kaskazini wamekanusha shutuma hizo mwandishimohamed dahman/afp/rtre tarehe 08012011 kiungo http//pdwcom/p/zve7
2018-04-23T00:29:49
http://www.dw.com/sw/kura-ya-maoni-ya-sudan-kusini-kufanyika-kesho/a-14757991
necessary loss bongolife home/elimu na ushauri wa maisha/necessary loss kuna hatua fulani ikifika kwenye maisha yako lazima ukubali kitu kinaitwa necessary loss (kupoteza kwa lazima)hii ni hatua ambayo unalazimika kupoteza kitu au watu ili uvuke kwenda hatua nyinginemara nyingi ukifika hatua hii ukiwa mgumu kufanya hivyo utachelewa kwenda hatua inayofuata kuna hatua ambazo utalazimika kuacha baadhi ya tabia ili uvuke kwenda hatua inayofuatawakati huu ukifika wengi wanajua kabisa tabia fulani ndiyo inayonikwamisha ila kwa sababu ameizoea anaendelea kuiishimatokeo yake kila siku anajikuta anabakia vilevile kuna watu ambao wanatakiwa wapate necessary loss kwenye mahusiano yaokuna watu ni hatari kuendelea kuwa nao zaidiwatu hawa unawajua kabisakinachofanya usiachane nao ni kukosa ujasiri na kuogopa maumivu ya kuachana naowakati mwingine ni hofu unajiuliza watanionajeukiendelea kungangania kuwa karibu na watu ambao unajua unatakiwa uwe nao mbalilazima utakuja kujuta siku mojauwe jasiri kufanya unachopaswa wakati mwingine unatakiwa upate necessary loss ya kuacha unachofanya ili uanze kufanya kitu kingineumeshajua kabisa kuwa njia uliyopo umepotea au muda wa kuwa hapo umekwisha na unatakiwa kwenda mahali pengine au kuanza kitu kingineila kwa sababu umezoea sana na imekuwa ni comfort zone yako hautaki kupotezakumbuka kuna vitu vipya hauwezi kupata hadi utakapoamua kuachana na ulivyonavyp sasa sio kila unapopoteza unapata hasara kuna wakati unapoteza ili upate faida kubwajewewe kuna necessary loss yoyote unatakiwa kuifanya leo ili upige hatua *have a healthy and enjoyable week* usikubali mtu yeyote akushinde kwenye maeneo haya ukweli kwanini maskini wanabaki hivyo fahamu kuhusu kukosa choo kubwa badili mtazamo wako ubadili maisha yako jinsi ya kusafisha uke kiufasaha
2019-05-23T17:27:46
https://bongolives.com/necessary-loss/
waziri mbarawa atoa maagizo kwa dawasa wakandarasi news africa now home tanzania waziri mbarawa atoa maagizo kwa dawasa wakandarasi dar es salaam waziri wa maji wa tanzania profesa makame mbarawa ameitaka mamlaka ya majisafi na majitaka dar es salaam (dawasa) na wakandarasi kutopoteza muda katika utekelezaji wa miradi sita ya uboreshaji wa huduma ya maji kwa mikoa ya dar es salaam na pwani profesa mbarawa ametoa kauli hiyo leo jumanne julai 2 2019 wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba sita ya maji yenye thaman ya sh114 bilioni hafla iliyofanyika ofisi za dawasa gerezani dar es salaam na kuhudhuriwa na waziri wa nchi ofisi ya rais (tamisemi) seleman jafo na naibu waziri wa mifugo na uvuvi abdallah ulega na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya dawasa davis mwamunyange miradi hiyo ambayo imeainiwa ni wa usambazaji maji kutoka makongo hadi bagamoyo mradi wa bomba la kusafirisha maji kutoka jeti hadi buza mradi wa kuendeleza visima vya kimbiji na mradi wa usambazaji maji kisarawe hadi pugu (gongolamboto pugu station airwing ukonga na majohe) mingine ni mradi wa usambazaji maji katika mji wa mkuranga na mwisho mradi wa bomba la kusafirisha maji kutoka mlandizi chalinze hadi mboga profesa mbarawa amesema sasa miradi inaanza kutekelezwa na hakuna muda wa kupoteza kwa kuwa watu wa mikoa hiyo wamesubiri maji kwa muda mrefu mradi ukianza kutekelezwa kila eneo ambalo miundombinu inajengwa tuwapelekee maji mara moja tusisubiri hadi mtandao wote ukamilike hatuwezi kusubiri mtandao ukamilike kwa mwaka mmoja na nusu haiwezekani tukimaliza sehemu fulani tusafishe mabomba na tuwapelekea wananchi maji amesema profesa mbarawa tikifanya hivi kwa kila eneo watanzania wataona matunda ya mradi huulakini ule utaratibu wa kusubiri mradi kukamilika hatutawatendea haki watanzania hilo siyo jambo geni tabora tunafanya hivyo hivyo amesema mbarawa mbali na hilo profesa mbarawa amesema kuna matatizo mawili katika wizara hiyo ambayo bado hayabadilika hasa kama mamlaka za maji mojawapo ni makadirio ya juu ya miradi ya maji mbalimbali na mtandao huo unaanzia kwa wahandisi wa wilaya hadi wizarani kila mtu anataka kuchukua asilimia fulani matokeo yake miradi imekuwa na makadirio ya juu amesema profesa mbarawa previous articlerais kenyatta amkana jaguar amwandikia barua magufuli next articleshahidi kesi ya mbowe mbunge chadema waugua ghafla mahakamani
2019-07-16T04:58:12
http://newsafricanow.com/2019/07/02/waziri-mbarawa-atoa-maagizo-kwa-dawasa-wakandarasi/
rais dkt magufuli akutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi mbalimbali ikulu jijini dar habari na matukio home habari habari na matukio kitaifa magufuli uchumi rais dkt magufuli akutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi mbalimbali ikulu jijini dar rais dkt magufuli akutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi mbalimbali ikulu jijini dar kajunason at august 06 2018 habari habari na matukio kitaifa magufuli uchumi rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiongea na mjumbe maalumu wa rais wa burundi ambaye pia ni waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo mhe ezechiel nibigira aliyefika na balozi wa burundi nchini mhe gervais abayeho na afisa mwandamizi wa ubalozi ikulu jijini dar es salaam leo agosti 6 2018 picha na ikulu habari habari na matukio kitaifa magufuli uchumi habari habari na matukio kitaifa magufuli uchumi
2019-01-24T00:36:39
https://www.kajunason.com/2018/08/rais-dkt-magufuli-akutana-na-kufanya.html
rockersports chama cha mchezo wa pete (netball) mkoa wa dar es salaam chatambulisha viongozi wake afisa michezo mkoa wa dar es salaam adolf halii akiongea na wachezaji wa netiboli jana kwenye viwanja vya harbours view kurasini baadhi ya viongozi wapya wa chaneda uhamiaji queens waliovaa nyeusi wakipambana na wanaume kombaini uhamiaji ilichapwa wanaume wakionyesha umahiri wa kucheza netiboli chama cha mpira pete mkoa wa dar es salaam (chaneda) kimetambulisha uongozi wake mpya kwa kufanya bonanza la mchezo huo lililofanyika katika viwanja vya harbours view kurasini jijini dar es salaam viongozi wapya waliotambulishwa ni pamoja winfrida emanuelmwenyekiti pilly mogellamakamu mwenyekiti joseph ng'anzakatibu christina kimamlakatibu msaidizi anita hangolimweka hazina na mauris michaelafisa bonanza hilo lilishirikisha timu sita na mbili zikiwa za wanaume lilianza saa nane mchana juzi awali akizungumza na wanamichezo na uongozi huo mpya wa chaneda mgeni rasmi ambaye ni afisa michezo wa mkoa wa dar es salaam adolf halii aliwataka wachezaji kushirikiana na uongozi mpya na yeye atakuwa karibu nao maana hata yeye ni mchezaji wa netiboli nawapongeza wote mlioshiriki kwenye bonanza hili ila nawaomba mshirikiane na uongozi huu mpya ili tuendeleze michezo dar es salaam maana hata mimi nacheza netiboli nafasi ya gs alisema halii naye edson abubakar anayechezea timu ya wanaume ya kaza roho ya kipunguni aliwataka viongozi waanzishe ligi ya netiboli ya wanaume na kusaidia vilabu ili kuvitia moyo timu zilizoshiriki ni kipunguni queens ambayo iliifunga kiwalani 103 karaza roho ambayo iliifunga majumba sita (wanaume) 1610 bandari b iliifunga kiwalani 185 na wanaume mchanganyiko wakaifunga uhamiaji 1110 (chanzo lenzi ya michezo blog)
2019-01-21T05:44:49
http://rockersports.blogspot.com/2012/11/chama-cha-mchezo-wa-pete-netball-mkoa.html
bbc swahili habari kaburu anahatia kupanga kumuua mandela imebadilishwa 26 julai 2012 saa 1733 gmt mike du toit ana hatia ya kutaka kumuua mandela afrika kusini nigeria yalaani polisi afrika kusini
2014-03-16T10:56:27
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2012/07/120726_mandela_killers_guilty.shtml
gospel standard base ****tangazo maalum**** tangazo maalumu kwa wamiliki wa blogs za kikristo na wanapenda kuanzisha blogs za kikristo nchini tanzania tarehe 21 april 2012 kuanzia saa 300 asubuhi mpaka saa 500 asubuhi katika mgahawa wa maarufu wa bulls(esarp village) ulioko maeneo ya survey pembeni ya mlimani citykutafanyika mkutano maalumu utakaowakutanisha wamiliki wa blogs za kikristo nchini walio ndani na nje ya dar es salaam sambamba na hilo pia itakuwa ni fursa kwa watumishi wote ambao kwa namna moja au nyingine wana nia kuanzisha blog kwa ajili ya huduma na taasisi zaomakanisa yao pamoja na vikundi vya injili vilivyoko mashulenina vyuoni lengo kubwa la mkutano huu ni 0686255269 posted by king chavala mc at 221 pm
2017-12-18T18:41:19
http://gospelstandardbase.blogspot.com/2012/04/tangazo-maalum.html
mwaka 1848 idadi ya wakazi iliongezeka ghafla kwa watumwa waliowekwa huru wakati ule meli za kijeshi za ufaransa zilishirikiana na waingerezea katika majaribio ya kukomesha biashara ya watumwa walikamata meli ya libreville kwa kuiga mji wa freetown huko sierra leone ambako waingerezea waliwahi kupangisha watumwa waliopewa uhuru
2019-01-21T10:30:55
https://www.wikiplanet.click/enciclopedia/sw/Libreville
airtel yaja na switch on intaneti maalum kwa simu unayotumia mdimu's blog home / biashara / airtel yaja na switch on intaneti maalum kwa simu unayotumia ukiwa na airtel switch on watumiaji wa huduma za intaneti tanzania sasa wanakila sababu yakufurahia kujipatia huduma bora zaidi kwa gharama nafuu na kufanya chaguo la kufurushi utakacho maalum kwa simu yako hii ni huduma inayoenda na wakati inazingatia utamaduni wetu kwa kuwa ni ya kukutoshelezea hitaji lako na gharama ni nafuu kuliko zote huku ikikuhakikishia mteja nonstop intaneti yaani fulu makamuzi kwa wewe mtumiaji kutokupimiwa huduma hii ya pia inamuwezesha mteja kuwa na chaguo la kifurushi iwe kwa siku wiki au mwezi airtel tanzania tumejipanga zaidi kuhakikisha tunaendelea kuwa wabunifu na kuwapatia huduma bora ya mawasiliano ya internet tutaendelea kufanikisha hili kwakuwa airtel yatosha airtel money nusu gharama au bure pack ni vielelezo vya huduma bora na nafuu tunazowapatia wateja wetu kwa sasa na kuwafaidisha wateja kila siku hivyo leo hii switch on nimuendelezo wa kuwahudumia watumiaji wa internet nchini tanzania kwa kuwapa wanachokitaka bila kikwazo yaani fulu makamuzi aliongeza nyakundi vilevile kwa wale wateja wote wa airtel wanaotumia huduma ya airtel yatosha pia bado wananafasi ya kujiunga na vifurushi vya intaneti vya yatosha na ikiwa wamemaliza data /intaneti na wanapenda kujiunga na data pekee basi wanaweza pia kuswitch on na kuendela na makamuzi alimalizia kusema prisca msaanii maarufu kwa kumiliki jukwaa na balozi wa huduma ya airtel switch on vanesa mdee akiwa na wacheza shoo waki wakitoa burudani kali kwa wageni waalikwa waliohudhulia hafla ya uzinduzi wa huduma mpya ya airtel kwa watumiaji wa internet hapa nchini ijulikanayo kama switch on hafla ya uzinduzi ilifanyika jana usiku katika hoteli ya hyatt agengy the kilimanjaro jijini dar es salaam chini msaanii maarufu na mwenye uwezo wa kutumia gitaa na kuimba pia ni balozi wa airtel switch on barnabas akitoa burudani kali kwa wageni waalikwa
2018-10-20T16:46:25
http://www.mdimuz.com/2014/05/airtel-yaja-na-switch-on-intaneti.html
rafiki sdo yafanya kikao cha ushawishi kati ya baraza la watoto na kamati ya uchumielimu na afya manispaa ya shinyanga habari za jamii home / habari / rafiki sdo yafanya kikao cha ushawishi kati ya baraza la watoto na kamati ya uchumielimu na afya manispaa ya shinyanga rafiki sdo yafanya kikao cha ushawishi kati ya baraza la watoto na kamati ya uchumielimu na afya manispaa ya shinyanga dotto mwaibale 650 am habari shirika la rafiki social development organization sdo la mkoani shinyanga limefanya kikao cha ushawishi cha baraza la watoto wa manispaa ya shinyanga na kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyanga kikao hicho kimefanyika leo alhamis desemba 212017 katika ukumbi wa lewis kalinjuna uliopo katika ofisi za manispaa ya shinyanga akizungumza katika kikao hicho meneja mradi wa ulinzi wa mtoto haki za watoto na utawala kutoka shirika la rafiki sdo shangwe kimath alisema lengo ni kuwakutanisha watoto hao na wajumbe wa kamati hiyo ambao wanashiriki katika utengenezaji wa bajeti ya manispaa ya shinyanga mradi wetu unatekelezwa katika halmashauri ya manispaa ya shinyangashinyanga vijijini na kahama mjilakini leo tuna watoto wa manispaa ya shinyangakupitia kikao hiki watoto wanaeleza changamoto wanazokutana nazo zinazopaswa kuchukuliwa hatua ngazi ya manispaa ikiwa ni pamoja na kushawishi bajeti ya manispaa iwe na mlengo wa kusaidia watotoalieleza kimath rafiki sdo na shirika la save the children kwa kushirikiana na idara ya maendeleo ya jamii manispaa ya shinyanga kwa ufadhili wa shirika la maendeleo nchini sweden (sida) tuliamua kuunda baraza la watoto kutoka kata 17 za manispaa hii kwa lengo la kuongeza ushirikishwaji wa watoto katika kutoa maamuzi hususani masuala yanayohusu watotoaliongeza kimath alisema kikao hicho cha kamati ya uchumielimu na afya na baraza hilo la watoto linaloundwa na watoto waliopo shuleni na ambao hawapo shuleni itasaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza nguvu ya ushawishi katika utengenezaji wa bajeti inayomlenga mtoto wakizungumza katika kikao hicho watoto walizitaja baadhi ya changamoto zinazowakabili kuwa ni pamoja na uhaba wa madarasawalimu na watoto wa kike kukosa vifaa vya kutumia wakiwa katika hedhi hivyo kuomba serikali na mashirika mbalimbali kuangalia namna ya kutoa pedi kwa wanafunzi shuleni wanafunzi wa kike wamekuwa wakikosa masomo wanapokuwa katika hedhiwanakosa pedi hivyo kuona aibu kufika shuleni lakini pia tunahitaji kila shule iwe na vyumba maalum vya kujihifadhi watoto wa kike wanapokuwa katika hedhialieleza nancy aloyce kutoka shule ya msingi mwenge naye sara chacha kutoka shule ya msingi ushirika alisema bado kuna changamoto ya uchafuzi wa vyoo vya shule unaofanywa na wananchi wanaopita katika maeneo ya shule kwani shule nyingi hazina uzio hali inayohatarisha afya zao mjumbe mwingine wa baraza hilo la watotomaeja geofrey kutoka shule ya msingi bugoyi a aliomba serikali kuwa na bajeti inayolenga kusaidia watoto kwani baadhi yao wanaishi katika mazingira magumu hali inayowafanya wakatishe masomo na kuwa watoto wa mitaani kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangareuben kitinya alisema kamati hiyo imezipokea changamoto za watoto na mapendekezo yao na watajitahidi kuhakikisha bajeti yao inalenga watoto angalia picha za matukio wakati wa kikao hicho mwenyekiti wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangareuben kitinya akifungua kikao cha ushawishi cha baraza la watoto wa manispaa ya shinyanga na kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyanga katika ukumbi wa lewis kalinjuna leo disema 212017 kushoto ni katibu wa kamati hiyo raymond kilindo ambaye ni afisa mipango wa manispaa ya shinyanga picha zote na kadama malunde malunde1 blog mwenyekiti wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangareuben kitinya akizungumza wakati kikao hicho ambapo alilipongeza shirika la rafiki sdo kwa kuona umuhimu wa kuandaa kikao kwa ajili ya kuwapa nafasi watoto kueleza changamoto zinazowakabili mbele ya kamati hiyo wajumbe wa baraza la watoto manispaa ya shinyanga wakimsikiliza mwenyekiti wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangareuben kitinya meneja mradi wa ulinzi wa mtoto haki za watoto na utawala kutoka shirika la rafiki sdoshangwe kimath akielezea lengo la kikao cha ushawishi kati ya wajumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyanga na wajumbe wa baraza la watoto manispaa ya shinyanga meneja mradi wa ulinzi wa mtoto haki za watoto na utawala kutoka shirika la rafiki sdoshangwe kimath alisema shirika hilo kwa kushirikiana na serikali ya manispaa ya shinyanga limeona ni vyema kuwapa nafasi watoto kueleza changamoto zinazowakabili mbele ya kamati hiyo wajumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyanga wakiwa ukumbini afisa ufuatiliaji na tathmini shirika la rafiki sdo eliud lazaro akitoa mwongozo wa majadiliano wakati wa kikao hicho kulia ni mwenyekiti wa klabu ya watoto shule ya msingi ushirikasara chacha akielezea kuhusu changamoto wanazokutana nazokushoto ni nancy aloyce kutoka shule ya msingi mwenge maeja geofrey kutoka shule ya msingi bugoyi a akichangia hoja wakati kikao hicho ambapo alisisitiza umuhimu wa serikali kutenga bajeti inayosaidia watoto wakiwemo watoto wanaoishi katika mazingira magumu mtoto abdalah said akichangia hoja wakati wa kikao hicho mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii manispaa ya shinyanga mwanamsiu dossy akizungumza katika kikao hicho mjumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangashela mshandete ambaye pia ni diwani wa viti maalum (ccm) akichangia hoja wakati wa kikao hicho mjumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangamoris mugini ambaye ni diwani wa kata ya chamaguha akizungumza katika kikao hicho wajumbe wa baraza la watoto wakiwa ukumbini mjumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyanga hamis ngunila ambaye ni diwani wa kata ya kitangiri (chadema) akichangia hoja katika kikao hicho mjumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyanga zena gulam ambaye ni diwani wa viti maalum kata ya shinyanga mjini (chadema) akizungumza katika kikao hicho mjumbe wa kamati ya uchumielimu na afya ya manispaa ya shinyangazuhura waziri ambaye ni diwani wa viti maalum tarafa ya ibadakuli akichangia hoja wakati wa kikao hicho naibu meya wa manispaa ya shinyanga agnes machiya akizungumza katika kikao hicho tweeted https//tco/vbx3p0lzng pictwittercom/dnkpucjohl philemon solomon (@solomonphilemon) february 24 2018 via tumblr http//ifttt/2hjuz9j
2018-02-24T08:20:01
http://www.habarizajamii.com/2017/12/rafiki-sdo-yafanya-kikao-cha-ushawishi.html
wanyama | mambo biblia inasema soma katika afrikaans chibemba kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibislama kibulgaria kicheki kichichewa kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kidanishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifini kigiriki kihiligaynon kihispania kiholanzi kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiiselandi kiitaliano kijapani kijeorjia kijerumani kikaonde kikirigizi kikorasia kikorea kilatvia kilitwania kiluvale kimalagasi kimalta kimasedonia kimyama kinorwe kinyarwanda kipolandi kireno kiromania kirundi kirusi kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kisetswana kishona kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kiswahili kiswahili (congo) kiswedi kitagalog kitahiti kitai kitigrinya kitirke kitok pisin kitsonga kitwi kiukraini kivietinamu kixhosa kiyoruba kizulu lingala sesotho (lesotho) kwa njia fulani wanyama wanatimiza jambo fulani katika maisha ya kila mutu tunaweza kutendea wanyama namna tunapenda watu wanapaswa kutendea wanyama namna gani watu fulani wanasema kama wanadamu wanaweza kutumikisha wanyama kwa njia yenye wanaona inafaa wengine wanaona kuwa wanyama wanapaswa kutendewa kama vile tu wanadamu mutu mumoja mwenye kujulikana sana anayetetea haki za wanyama alisema kama wanyama wanapaswa kupewa haki ya musingi hawapaswe kutendewa tu kama mali ao biashara ya kuleta feza alisema tena hivi hatupaswe kutendea wanyama kama vile ni vitu vyetu leona helmsley ambaye alikuwa na utajiri wa mamiliare ya dola alifanya jambo fulani lenye watu wengi waliona kuwa lilipitisha mipaka aliachia imbwa yake uriti wa dola milioni 12 na aliomba maiti ya imbwa hiyo izikwe karibu na maiti yake wakati itakufa jambo la kufikiria unawaza wanyama wanapaswa kutendewa namna gani yehova mungu muumbaji wa uzima aliambia wanadamu watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia (mwanzo 128) kwa hiyo ni jambo lenye kupatana na akili kusema kama mungu anaona kuwa wanadamu ni wa maana kupita wanyama andiko lenye linatangulia andiko lenye tumekwisha kutaja linahakikisha hata zaidi jambo hilo biblia inasema kuwa mungu alimuumba mutu kwa mufano wake kwa mufano wa mungu alimuumba mwanamume na mwanamke aliwaumbamwanzo 127 kwa kuwa tuliumbwa kwa mufano wa mungu sisi tu ndio tunaweza kuonyesha sifa za mungu kama vile hekima haki na upendo pia tunazaliwa na uwezo wa kuchagua mwenendo muzuri na kuabudu mungu wanyama hawana uwezo kama huo kwa sababu hawakuumbwa kwa mufano wa mungu wanyama ni wa hali ya chini kwa kuwalinganisha na wanadamu na hawapaswe kutendewa sawasawa na wanadamu hilo linamaanisha kuwa wanadamu wako na haki ya kutesa wanyama hapana katika sheria yenye mungu alipatia waisraeli aliamuru kuwa wanyama walipaswa kupewa wakati wa kupumuzika chakula kusaidiwa ikiwa wamechoka na kulindwa ili wasiumiekutoka 234 5 kumbukumbu la torati 2210 254 siku sita utafanya kazi yako lakini siku ya saba utaacha ili ngombedume wako na punda wako wapate kupumuzikakutoka 2312 ni mubaya kuua wanyama watu fulani wenye kuwinda wanyama ao kulowa samaki wanaua wanyama ili kufanya michezo kujifurahisha ao kufanya mashindano watu wengine wanakubaliana na mawazo haya ya leo tolstoy muandikaji wa vitabu wa urusi ambaye aliandika kama kuua na kukula wanyama ni mwenendo mubaya mungu anaruhusu watu waue wanyama ili kulinda uzima wa wanadamu ao ili kupata vitu vya kutengeneza manguo (kutoka 2128 marko 16) pia biblia inasema kama watu wanaweza kuua wanyama kwa ajili ya chakula andiko la mwanzo 93 linasema hivi kila munyama anayetembea ambaye yuko hai anaweza kuwa chakula chenu hata yesu alisaidia wafuasi wake kulowa samaki ambazo walikula baadayeyohana 21413 lakini biblia inasema kama mungu anachukia mutu yeyote anayependa jeuri (zaburi 115) kwa hiyo tunaweza kusema kama mungu hapendi tuumize ao kuua wanyama ili tu kujifurahisha ao kwa ajili ya michezo biblia inaonyesha kama mungu anaona uzima wa wanyama kuwa wa maana sana biblia inasema kama wakati wa uumbaji mungu alifanya munyamamwitu wa dunia kulingana na aina yake na munyama wa kufugwa kulingana na aina yake na kila munyama anayetembea wa inchi kulingana na aina yake mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyemamwanzo 125 biblia inasema kama yehova anawapa wanyama chakula (zaburi 1479) mungu aliumba dunia kwa njia ambayo inaweza kutoa chakula na makao ya kutosha kwa ajili ya wanyama mufalme daudi wa israeli alisema hivi katika sala wewe unaokoa mwanadamu na munyama ee yehova (zaburi 366) kwa mufano wakati wa garika ya duniani pote yehova alilinda watu munane na kila aina ya wanyama mbele aharibu watu wabayamwanzo 619 bila shaka yehova ambaye aliumba wanyama anapendezwa nao na anatazamia wanadamu watendee wanyama kwa heshima yenye kuwastahili mwadilifu anatunza nafsi ya munyama wake wa kufugwamethali 1210 biblia inasema nini juu ya wanyama
2018-03-20T14:00:02
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/g201504/wanyama/
mourinho kuwapumzisha nyota wake mechi na arsenal bin zubeiry sports online mourinho kuwapumzisha nyota wake mechi na arsenal marcus rashford akiwa huku anasikiliza muziki baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 10 dhidi ya celta vigo jana picha zaidi gonga hapa mechi zilizosalia za manchester united mei 7 vs arsenal (ugenini) mei 11 vs celta vigo (nyumbani) mei 14 vs tottenham (ugenini) mei 17 vs southampton (ugenini) mei 21 vs crystal palace (nyumbani) mei 24 europa league fainali kocha wa manchester united mreno jose mourinho amesema kwamba atawapumzisha baadhi ya wachezaji wake katika mchezo wa ligi kuu ya england dhidi ya arsenal jumapili kikosi cha manchester united kimerejea alfajiri ya leo nyumbani baada ya ushindi wa 10 dhidi ya celta vigo 10 usiku wa jana kwenye nusu fainali ya kwanza ya uefa europa league bao pekee la marcus rashford kwa shuti la mpira wa adhabu kinda huyo wa umri wa miaka 19 aliwasili akiwa amepachika 'earphones' masikioni mwake na ingawa bao lake pekee la ugenini linaipa united nafasi nzuri kuelekea mchezo wa marudiano lakini bado mourinho anataka kupumzisha baadhi ya wachezaji jumapili dhidi ya arsenal safari ya arsenal ni muhimu katika vita ya kuwania kuwamo ndani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi kuu ya england lakini mreno huyo anafahamu shughuli haijakamilika katika michuano hiyo inayotoa nafasi ya kucheza ligi ya mabingwa msimu ujao kwa timu inayotwaa taji alipoulizwa kama atawapumzisha baadhi ya wachezaji uwanja wa emirates jumapili kuelekea mchezo wa marudiano alisema wachezaji waliopo kundini ni wachezaji ambao wamecheza dakika nyingi kwa sababu tumecheza mechi tisa tangu aprili na hii hivyo ni mechi 10 katika wiki nne na nusu wachezaji waliopo kwenye kundi hilo hawatacheza wikiendi ijayo amesema united inaweza kuwa imetanguliza mguu moja kwenye fainali mjini stockholm lakini bado watalazimika kupambana katika mchezo wa marudiani dhidi ya timu ya la liga yenye ukuta imara sergio (alvarez kipa wa celta) aliokoa mapigo kadhaa ya hatari na kwa jinsi tulivyouanza mchezo na tulivyoutawala kipindi cha kwanza nafikiri tulistahili matokeo mazuri alisema mourinho na kuongeza lakini wapinzani walikuwa wagumu mechi ilikuwa ngumu uwanja ulikuwa mgumu hivyo siwezi kufurahia kazi ya wachezaji item reviewed mourinho kuwapumzisha nyota wake mechi na arsenal uwanja wa mkwakwani tanga kukarabatiwa uwanja wa mkwakwani jijini tanga unatarajiwa kufanyiwa marekebisho kwenye baadhi ya maeneo yaliyoathirika na mvua zilizokuwa zikinyesha sehemu mbalimbali kuelekea kumalizika kwa mwezi mtukufu wa ramadhan benki ya nmb tanzania imeungana kwa pamoja na wateja wake wa mkoa wa mbeya kupata iftar ya pamoja iliyoa warren gatland admits lions caught off guard british and irish lions coach warren gatland suggested his side were caught off guard by new zealand's physicality and direct approach during their 3015 f new england revolution midfielder gershon koffie has been handed a late black stars callup for the friendlies against mexico and usa his invitation incre by jafferson ndhlovu the zimbabwe castle premier soccer league enters week 15 with a host of matches lined up this weekend but its the sombre moment for there can be no doubt transfer season is happening the window is open and there are rumours flying about the players manchester united will be dragging gov godwin obaseki of edo says a ministry of mining would be established to fast track the development of mining activities in the state obaseki announce
2017-06-24T12:19:29
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/05/mourinho-kuwapumzisha-nyota-wake-mechi.html
waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhekassim majaliwa afungua semina ya wanahisa wa benki ya crdb zanzinews home habari matukio waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhekassim majaliwa afungua semina ya wanahisa wa benki ya crdb waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania mhekassim majaliwa afungua semina ya wanahisa wa benki ya crdb waziri mkuu kassim majaliwa mei 17 2019 amefungua semina ya wanahisa wa benki ya crdb katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha arusha (aicc) pichani mheshimiwa majaliwa akiongozana na baadhi ya viongozi walioshiriki katika mkutano huo kuingia kwenye ukumbi wa simba kufungua semina hiyo kutoka kulia ni kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) charles kicheere mkuu wa mkoa wa arusha mrisho gambo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya benki ya crdb ally hussein laay na wa pili kushoto ni mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb abdulmajid musa nsekela waziri mkuu kassim majaliwa mei 17 2019 amefungua semina ya wanahisa wa benki ya crdb katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha arusha (aicc) pichani mheshimiwa majaliwa akiongozwa na baadhi ya viongozi walioshiriki katika semina hiyo kuingia kwenye kukumbi wa simba ili kufungua semina hiyo kutoka kulia ni kamishina mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) charles kicheere mkuu wa mkoa wa arusha mrisho gambo mwenyekiti wa bodi ya benki ya crdb ally hussein laay na kushoto ni mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb abdulmajid musa nsekela waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb abdulmajid musa nsekela wakati aliopowasili kwenye kituo cha mikutano cha kimataifa cha arusha (aicc) kufungua semina ya wanahisa wa benki ya crdb machi 17 2019 kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya benki ya crdb ally hussein laay wa tatu kushoto ni balozi wa denmark nchini einar hebogard jensen na wapili kulia ni mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa arusha rota sanare
2019-08-25T03:10:17
http://www.zanzinews.com/2019/05/waziri-mkuu-wa-jamuhuri-ya-muungano-wa_18.html
wasifu wa umaru yar'adua bbc news swahili wasifu wa umaru yar'adua https//wwwbbccom/swahili/habari/2010/05/100506_wasifu_yaradua image caption marehemu yar'adua kipindi kifupi cha marehemu umaru musa yar'adua cha urais wake kiligubikwa na kudhoofika afya yake kwa zaidi ya miaka kumi bw yar'adua alikuwa akikabiliwa na matatizo ya figo na baadaye akakumbwa na maradhi ya moyo hata wakati wa kampeni za uchaguzi gumzo lilikuwa likiendelea kuwa hali yake ya afya haikuwa njema na siku chache kabla ya uchaguzi alisafirishwa kwenda ujerumani kwa matibabu hali mbaya ya afya ilimfanya bw yar'adua kwenda kwa kasi ndogo kutekeleza ahadi saba alizotoa baada ya kuchaguliwa tofauti na mtangulizi wake bw obasanjo ambaye alikuwa mchapa kazi yar'adua alikuwa akifanya kazi kwa muda usizodi saa nne kwa siku kutokana na mwendo huo wa pole wa utekelezaji wa majukumu yake wanigeria wenyewe wakambandika jina baba go slow yaana baba mwenda pole mwezi novemba mwaka 2009 bw yar'adua alikwenda kutibiwa saudi arabia alikaa hospitalini mjini jeddah kwa kipindi cha miezi mitatu na hilo likazua mgogoro wa kikatiba nchini nigeria katiba ya nigeria inamhitaji makamu wa rais kushika hatamu za uongozi wa nchi wakati rais anapokuwa hawezi kutekeleza majukumu yake lakini hilo linatakiwa kuandikwa rasmi na rais mwenyewe jambo ambalo bw yar'adua hakulifanya raia wa nigeria walielezea wasiwasi wao wakichagiza waelezwe hali ya rais wao akiwa kitandani hospitalini bw yar'adua alikubali kufanya mahojiano na bbc hali hiyo ililifanya baraza la senate la nigeria kutumia sawa na tangazo kutoka kwa rais wao kwamba hawezi tena kuongoza nchi na hapo wakafanya kikao cha kumwidhinisha makamu wa rais jonathan goodluck kuchukua majukumu ya rais hata kama rais hakukabidhi madaraka rasmi ahadi za uchaguzi kati ya vigezo saba alivyovielezea kuwa mambo atakayoyatekeleza akiwa rais jambo moja lililoonekana kufaulu ni kuwashawishi makundi ya wapiganaji katika jimbo lenye mafuta la niger delta kuweka silaha chini na kujisalimisha kabla ya hapo kulikuwa na utekaji nyara mkubwa kwa raia wa kigeni wanaofanyakazi katika kampuni za mafuta jambo moja ambalo lililowakera wanigeria ni kwa yeye kushindwa kutekeleza ukomeshaji wa kukosekana umeme mara kwa mara marehemu yar'adua alizaliwa mwaka 1951 katika familia iliyojikita katika siasa za nigeria baba yake alikuwa waziri mara baada ya nigeria kupata uhuru na kaka yake mkubwa alikuwa naibu wa olusegun obasanjo alipokuwa kiongozi wa kijeshi kati ya mwaka 1976 hadi 1979 yar'adua alichaguliwa kuwa gavana wa jimbo la katsina kaskazini mwa nigeria mwaka 1999 na akachaguliwa tena mwaka 2003
2018-06-18T23:52:51
https://www.bbc.com/swahili/habari/2010/05/100506_wasifu_yaradua
joseph mbilinyi (mr ii sugu) june 2011 mbunge wa mbeya mjini akikagua mradi wa mabwawa ya samaki jijini mbeya mh joseph mbilinyi akisalimiana na wenyeji katika mradi huu wa ufugaji wa samaki hapa akipata maelekezo kutoka kwa wataalam wa ufugaji samaki ambao wali sema kwamba kwa bwawa lenye ukubwa huu ndani ya kipindi cha miezi mitatu na nusu bwawa hili lina uwezo wa kuzalisa tani saba mpaka tuni za samaki hatua ya kwanza ya ujazaji wa maji ya kuanzia yalipatikana katika mto ulio jirani na bwawa hili ujazaji maji ukiendelea chanzo cha maji ambacho kitakuwa kikitumika kujaza maji katika bwawa baada ya hatua ya kwanza kukamilika posted by katika muktadha huo na kwa kuwa serikali ilishawasilisha awali muswada wa katiba natoa mwito kwa spika na ofisi ya bunge kuhakikisha kwamba bunge linachukua nafasi yake kuanzia hatua za msingi kuhakikisha suala hili la mchakato wa katiba mpya lipata uhalali wa umma kwa kurejea ibara 8 ambayo inatamka kwamba madaraka na mamlaka ni umma serikali inafanya kazi kwa niaba na bunge ndicho chombo kikuu cha kusimamia wajibu huo kwa kutokana na mamlaka ya kikatiba yaliyopo kwenye ibara ya 63(2) na (3) yanayohusu kutunga sheria na ibara ya 98 inayohusika na mabadiliko ya katiba hivyo badala ya kusubiri mpaka mwishoni mwa mkutano huu wa bunge tarehe 29 mpaka 30 agosti 2011 ndipo wabunge wapewe tena muswada wa mabadiliko ya katiba pamoja na marekebisho yake yaliyofanyika ikiwemo tafsiri katika lugha ya kiswahili utaratibu wa kikanuni ufanyike kuhakikisha taarifa ya serikali inatolewa mapema pamoja na muswada huo nyeti kwa hisani ya john mnyika (mb) friday may 27 2011 503 * ni kabaka jenista mhagama mbilinyi (sugu) * kiwandani wabunge washuhudia madudu * wabunge watokwa machozi kwa waliyoyaona asumpta nshunju (ccm) ambaye ni mbunge wa nkenge alisema kuna dalili za wazi watu wamepokea chochote kutoka kwa mwekezaji ndiyo maana kamati imepigwa stop dakika za mwisho akimsaidia waziri wake ofisa kazi mfawidhi wa wizara ya kazi ajira na maendeleo ya vijana josephat rugakingira aliwaambia wabunge kwamba haingekuwa vizuri kutembelea kiwanda hicho wakati mgogoro kati ya menejimenti na wafanyakazi bado uko baraza la usuluhishi wa migogogro (cma) ikiwa imefunguliwa kesi namba dma/dsm/ilala/ 2009 hata hivyo baada ya mvutano mkali hatimaye waziri kabaka alikubaliana na wabunge na kuamua kufanya ziara kiwandani hapo wakati huo ikiwa saa 700 mchana wabunge walipofika kiwandani walipangua ratiba iliyokuwa imeandaliwa iliyotaka wafanyakazi na menejimenti kukutana na kamati ya bunge kwa pamoja kamati ya bunge iliamua kukutana na wafanyakazi pekee kikao kilichodumu kwa zaidi ya saa moja waandishi wa habari wa menejimenti hawakuruhusiwa katika kikao hicho baada ya kumalizika kikao hicho wabunge walitoka nje wakiwa wanafuta machozi na baadhi yao walisema waliingiwa na simanzi kubwa kutokana na mambo mazito waliyoelezwa katika kikao hicho hata hivyo ilibainika kuwa katika kikao hicho ambacho waziri pia alishiriki kesi iliyokuwa inasemwa kuwa ipo mahakamani haikuwa kweli kwa vile ilikwisha kutolewa uamuzi tangu mwaka 2009 hii kama siyo rushwa ni nini ndiyo maana walitaka kutuchakachua tusije hapa kwa maslahi yao hii ni aibu wataalamu wa wizara ndiyo wanaotufanya sisi wabunge wa ccm tuonekane hatuna thamani mbele ya umma kumbe ni watu wachache waliojiwekea mtandao wa rushwa kwa njia wanazozijua wao alisema mmoja wa wabunge kwa sharti la kutotajwa jina waziri kabaka akiri aiomba radhi kamati baadaye waziri kabaka aliomba radhi kwa kamati ya bunge kutokana na hali iliyojitokeza awali alisema yeye hakujua kama alichoambiwa na wataalamu wa wizara yake kilikuwa ni uongo na uzushi mheshimiwa mwenyekiti naomba radhi kwa yaliyotokea nakiri nilidanganywa sasa nimejifunza kutoka kwenu alisema kabaka kwa sauti ya upole alipoulizwa na waandishi wa habari ni hatua gani atawachukulia wataalamu waliomdanganya alisema niachieni nitashughulika nao tutaongea na wenzangu tuone ni kwa nini wamefanya hivyo wafanyakazi wanalazimishwa kuvaa kaptura kiwandani hapo wabunge walishuhudia wafanyakazi wakike na kiume wakiwa wamevaa kaptura na fulana ikiwa ndiyo sare za kiwanda hicho wakizungumzia hali hiyo baadhi ya wafanyakazi walisema hawaruhusiwi kuvaa nguo tofauti na hizo kiasi kwamba wakati wa baridi wanapata shidakubwa lakini hawana la kufanya hizi ndiyo nguo zetu rasmi hapa kazini tukivaa tofauti na hizi tunafukuzwa kazi tunashukuru mmekuja wabunge wetu mtutetee tunaangamia alisema mmoja wa wafanyakazi hao kwenye mgahawa wa wafanyakazi hali pia ni mbaya na wabunge walishuhudia uchafu uliokithiri huku vyombo vya kulia chakula vikiwa vya plastiki jambo ambalo ni hatari kwa afya za wafanyakazi hao baadhi ya wafanyakazi walisema licha ya kutumia vyombo vya plastiki pia wanalazimika kutumia vikombe kwa kupokezana kwa vile vilivyopo havitoshi hata sisi tunaonekana kana mbwa angalieni sehemu hii tunayolia chakula haifai hata kwa mnyama mbwa maana ni chafu kupindukia lakini hawatujali walisema baadhi ya wafanyakazi mkurugenzi wa kiwanda hicho manoj suchak aliulizwa kuhusu hatua ya kuajiri wafanyakazi wa kigeni katika nafasi zote za juu bila kuhusisha mfanyakazi mzawa hata mmoja akijibu swali hilo lililoulizwa na mbunge wa kondoa kusini juma nkamia (ccm) alisema kati ya mameneja saba wa kiwanda hicho ni watano tu ambao ni wazawa hata hivyo nkamia alipotaka amwone angalau mmoja ambaye ni mzawa alitokea kijana mwenye asili ya asia jambo lililozua kicheko na miguno kutoka kwa wabunge ziara hiyo ya wabunge ilikuwa pamoja na mambo mengine kukagua mazingira ya kiwanda kusikiliza mgogoro baina ya wafanyakazi na manejimenti ya kiwanda hicho ambao umedumu kwa muda mrefu mbunge wa mbeya mjini akikagua mradi wa mabwawa y
2017-07-29T11:38:47
http://suguformbeya.blogspot.com/2011/06/
imani utaiinua misingi ya vizazi vingi (isaya 5812) may 2 2008 may 2 2008 sanga waebrania 111 imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana ukisoma vema (mathayo 171421) v1920 utagundua wanafunzi wa yesu walishindwa kumtoa pepo kwa sababu ya upungufu wa imani yao sasa tujiiulize maswali yafuatayo 1 je kuna uhusiano gani kati ya imani yao na kutoa pepo 2 ni upungufu gani/ upi wa imani walikuwa nao 3 je ni kiwango gani cha imani walikihitaji ili kumtoa yule pepo 4 je walitakiwa kuongezaje imani yao/imani inaongezekaje/unawezaje kuongeza imani swali la kwanza kuna uhusiano gani kati ya imani yao na kutoa pepo *kwa mujibu wa waebrania 116 lakini pasipo imani haiwezekani kumpendezakwa maana mtu amwendeaye mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao si hivyo lakini biblia pia inasema katika marko 923 yote yawezekana kwake aaminiye hivyo pepo asingeweza kutoka kama maombi hayakuwa connected na imani na kwa hiyo walihitaji imani pia ili waweze kumtoa pepo swali la pili upungufu wa imani ya wanafunzi ulikuwa kwa namna mbili 21 wakati wanaomba ndani yao hawakujenga imani/hawakuwa na uhakika kwamba kwa maombi yao katika saa ile yule mgonjwa atapona hii ina maana maombi yao yalipungukiwa imani hivyo maombi peke yake bila imani hayatoshi kutengeneza jibu la mahitaji yako marko 91429 v29 hapa waebrania 116 ilikuwa imepungua 22 kiwango cha ufahamu wao juu ya kutoa pepo kilikuwa ni kidogo sana na ndio maana pepo hakutoka refer marko 91429 v17 wanafunzi wajua pepo bubu tu v25 yesu alimuona na pepo kiziwi swali la tatu je ni kiwango gani cha imani walikihitaji ili kumtoa yule pepo 31wanafunzi walihitaji imani kiasi cha punje ya haradali ili waweze kumtoa yule pepo je kiwango hicho ni kiasi gani soma vizuri hii mistari kwanza luka 176 inasema kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali mngeuambia mkuyu huu ngoka ukapandwe baharini nao ungewatii na marko 1123 inasema amini nawaambia yoyote atayeuambia mlima huu ngoka ukatupwe baharini wala asione shaka moyoni mwake ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia yatakuwa yake pamoja na mathayo 1431ewe mwenye imani haba mbona uliona shaka sasa kama ukiunganisha kwa kuyahusianisha mawazo ya mistari hii mitatu utapata sentensi inayosomeka hivi kama mngekuwa na imani pasina/bila kuona shaka ndani yenu bali mkaamini hayo msemayo yametukia basi mngeuambia mkuyu huu ngoka ukapandwe baharini nao ungewatii kilichomfanya petro aanze kuzama ndani ya maji ni kuona shaka kwa lugha nyepesi wakati wanaomba wanafunzi walitakiwa kutokuwa na shaka ndani yao juu ya uhakika wa kutoka kwa pepo yule imani ya wanafunzi haikufika size ya punje ya haradali kwa sababu ndani yao walioona shaka na ndio maana walishindwa kumtoa pepo hivyo imani kiasi cha chembe ya haradali ni imani ambayo ndani haioni shaka/ina uhakika wa asilimia zote mia moja swali la nne wanafunzi walitakiwa waongezeje imani yao/ imani inaongezekaje/unawezaje kuongeza imani unaweza kuongeza imani yako juu ya kitu chochote kwa njia kubwa nne zifuatazo 1kwa kusikia warumi 1017 yohana 1720 mithali 229 zab 42511 5611 warumi 1017 biblia inasema chanzo cha imani ni kusikia na kusikia huja kwa neno la kristo hivyo basi kumbe chanzo cha imani ni kusikia na hii ina maana kadri unavyozidi kusikia juu ya habari fulani/jambo fulani/mtu fulani ndivyo na imani yako juu ya hicho kitu inavyoongezeka ikiwa imani chanzo chake ni kusikia hii ina maana kadri unavyooendelea kusikia habari za kitu fulani ndivyo imani yako juu ya hicho kitu inavyozidi kuongezeka soma 1wakorinto 1533 & zaburi 11 yohana 1720 imani inakuja kwa kusikia neno hivyo ili imani yako ipate kuongezeka basi tafuta na lenga kusikia neno hilo kwa wingi zaidi hebu tuangalie mfano huu katika luka 175 mitume walimwambia bwana tuongezee imani je bwana aliwaongezeaje imani *kwanza alijenga msingi wa wanafunzi kuwa na imani kiasi cha punje ya haradali siku zote v6 *pili kwa kuponya watu 10 wenye ukoma v1119 japo kwenye zoezi hili la kwanza wanafunzi hawakuelewa bado wakaja kuelewa kwenye mfano au zoezi la pili wa marko 111224 v12 wanafunzi wake wakasikia v20&21 wanafunzi wakakumbuka kitu alichosema yesu juu ya ule mtini 2kwa njia ya mawazo/kubuni/kufikiri webrania 11102728 mithali 237a ezekiel 3810 nehemia 68 mathayo 159 imani ni kuona kutazamia na kuhesabu mfano imani ya ibrahimu waebrania 118101719 imani ya yakobo waebrania 1120+21 imani ya musa waebrania 11252627 hawa ndugu imani zao zilijengeka/kuongezeka kutokana na nguvu ya kuona kutazamiakufikiri kuwaza kubuni ie power of positive thinking kadri walivyotumia muda mwingi kufikiri juu ya matarajio yao na ahadi zao ndivyo imani ilivyoongezeka 3kwa njia ya ufahamu webrania113 inasema kwa imani twafahamu na hii ina maana imani inampa mtu kufahamu mithali 22b45 (11b relates to waebrania1038) mithali 814b mathayo 152128 v27 (hii ni habari ya yule mwanamke mkananayo ambaye binti yake alipagawa na pepo) mathayo 8510 v9 (hii ni habari ya akida aliyekuwa mna mtumishi ambaye amepooza) kwa lugha nyingine jitengenezee vyanzo vya mapato wa ufahamu juu ya yesu (mithali 47) ili imani yako juu ya yesu iongezeke na hili lina maana wanafunzi walitakiwa kuongeza ufahamu wao zaidi juu ya kutoa mapepo ili wakati kwingine pepo wasiwasumbue tena hivyo unataka imani yako juu ya damu ya yesu kuponya wagonjwa kufungua waliofungwa basi hakikisha unaongeza ufahamu wako kwa kusoma na kusikiliza kila mafundisho au mahubiri yanayolenga kile unachotaka imani yako iongezeke 4kwa njia ya maombi luka 2231 luka 181 waefeso 618 yohana 17111520 katika luka 2231 alikuwa akijibu swali la luka 188 hapa kwa kifupi yesu alikuwa anamwambia petro najua jaribu linalokwenda kukupata na shetani anataka kukupeta kama ngano sasa nimangalia imani yako nikaona haiwezi kushinda jaribu hilo hivyo mimi nimekuombea ili imani yako isitindike previous jiandae kufa kifo kizuri next nini cha kufanya mungu anapoweka msukumo/mzigo wa kuomba ndani yako (part 1) agnes jordan says aisee nimepata kuelewa zaidi juu ya imani na ninaamin maombi yngu yatajibiwa coz ndani yke pia nimeweka imani ya kuamini kwmba yesu anaweza na nina imani mungu atatenda maana inaenda kuleta majibu mahali ambapo cna ndgu wala rafk isipokuwa yesu peke yke nimefurahi sana kw somo la imani
2017-11-19T16:04:55
https://sanga.wordpress.com/2008/05/02/imani/
daily mitikasi blog timu za yanga na simba u20 zajitolea kucheza mechi za hisani kuchangia mfuko wa udhamini wa ukimwi mkuu wa kitengo cha sheria wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi tanzania tacaids elizabeth kaganda (katikati) akimkabidhi jezi meneja wa timu ya mbeya city geofrey katepa wakati wa zaoezi la kukabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya kushiriki mechi za hisani kwa ajili ya kuchangia mfuko wa udhamini wa ukimwi kushoto ni mratibu wa mechini hizo emmanuel petro na teddy mapunda (kulia) ni katibu wa tff mkoa wa mbeya mkuu wa kitengo cha sheria wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi tanzania tacaids elizabeth kaganda (katikati) akimkabidhi jezi meneja timu ya tanzania prisons havinitishi abdallah (wa pili kulia) wakati wa zaoezi la kukabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya kushiriki mechi za hisani kwa ajili ya kuchangia mfuko wa udhamini wa ukimwi kushoto ni mratibu wa mechini hizo emmanuel petro na teddy mapunda (kulia) ni katibu wa tff mkoa wa mbeya mkuu wa kitengo cha sheria wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi tanzania tacaids elizabeth kaganda (wa pili kushoto) akimkabidhi jezi meneja timu ya simba sc nico nyagawa (wa pili kulia) wakati wa zaoezi la kukabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya kushiriki mechi za hisani kwa ajili ya kuchangia mfuko wa udhamini wa ukimwikushoto ni mratibu wa mechini hizo teddy mapunda (kulia) ni katibu wa tff mkoa wa mbeya
2017-08-20T19:19:09
http://johnbadi.blogspot.com/2017/07/timu-za-yanga-na-simba-u20-zajitolea.html
29 kwa nini sijabadilika baada ya miaka mingi ya imani 29 may 2019 blog shuhuda kwa neema ya mungu home » 2019 » may » 29 » 29 kwa nini sijabadilika baada ya miaka mingi ya imani chini ya mwongozo wa mungu niliona kwamba neno lake linasema watu husema mambo kama haya acha matarajio yako kuwa wa kweli unataka watu waachane na mawazo ya kubarikiwalakini wewe je wewe hukanushi mawazo ya watu ya kubarikiwa na wewe mwenyewe unatafuata baraka huwaruhusu wengine kupokea baraka lakini wewe unazifikiria kwa sirihilo linakufanya kuwa nini tapeli unapofanya hivyo dhamiri yako haishutumiwi ndani ya moyo wako huhisi kuwa na deni je wewe si mdanganyifu unachimbua maneno yaliyo ndani ya mioyo ya wengine lakini husemi lolote kuhusu yaliyo moyoni mwakowewe kweli ni kipande cha takataka kisicho na thamani (sura ya 42 ya ufafanuzi wa mafumbo ya maneno ya mungu kwa ulimwengu mzima katika neno laonekana katika mwili) neno la mungu liliuchoma moyo wangu na kuniacha na aibu ya kina niliyafikiria yote niliyoyafanya si nilikuwa laghai kama mungu alivyofichua kijuujuu nilikuwa ninafanya kazi yangu lakini kwa kweli nilikuwa nikitumia shauku yangu kumlaghai mungu uaminifu wake kijuujuu nilikuwa nikiwasaidia ndugu zangu wa kiume na wa kike lakini kwa kweli nilikuwa nikitumia maneno na mafundisho ya kidini kuwalaghai heshima yao na upendezwaji kwa lengo la kuwa na nafasi katika moyo wao niliwaambia wengine wasiwe na tamaa ya hadhi wasiwe na kiburi lakini daima niliwaangalia wengine kwa dharau na sikuweza kuangalia kwa usahihi dosari za ndugu zangu wa kiume na wa kike na hata nilikataa kumtii mtu yeyote niliwafanya wengine waache nia zao za kupata baraka wasiongozwe na kesho zao na jaala wakati mimi daima nilifanya mipango ya kesho yangu na hata nilikuwa na wasiwasi sana kuhusu hili nilikasirishwa na ujanja na tuhuma za wengine wakati mimi mara nyingi niliangalia maonyesho yao na nikawa na wasiwasi jinsi walivyonifikiria niliwaambia wengine kujielewa wenyewe kuelewa mawazo yao ya ndani zaidi ili kuichangua asili yao wakati mimi nilificha malengo yangu maovu na maneno na matendo yangu hayakusimamiwa na mungu kwa miaka mingi nilikuwa nikizungumza maneno makubwa na niliridhika kububujika kanuni halisi lakini sikuwa nimezingatia kuingia katika uhalisi na kuishi kwa kudhihirisha maneno ya mungu kwa sababu ya hiyo bado sikuwa na ufahamu wowote kujihusu mwenyewe wala tabia yangu ya maisha haikuwa imebadilika sana bali ilikuwa ya kiburi zaidi na zaidi kama tu mungu anavyosema kadiri wanavyofahamu mafundisho zaidi ndivyo tabia zao zinavyokuwa zenye majivuno zaidi (watu wanafanya madai mengi sana kwa mungu katika kumbukumbu za maongezi ya kristo) niliona mafundisho niliyokuwa nayo kama rasilmali yangu lakini sikuzingatia kujielewa mwenyewe kutafuta kuingia kupata ukweli na hivyo ningewezaje kuwa na mabadiliko yoyote katika tabia yangu ya maisha kazi na maneno ya vitendo ya mungu hutupa ukweli wote tunaouhitaji na yeye hutaka tuuelewe huo ukweli na kupitia kutimiza wajibu wetu kuleta mwanga na upataji wa nuru tuliopata katika uzoefu wetu wa kila siku na kuingia na kutoa hayo kwa ndugu zetu wa kiume na wa kike lakini nililenga tu kujitayarisha na mafundisho na niliona kuzungumza juu ya mafundisho kuwa wajibu wangu kuwapa wengine nuru ya roho mtakatifu bila ubinafsi kuwafanya wengine watende ukweli wakati mimi mwenyewe sikuingia na kwa sababu hiyo nilijiacha nyuma na pia nikawadhuru ndugu zangu wa kiume na wa kike mimi ni paulo wa kweli wa kisasa chanzo 29 kwa nini sijabadilika baada ya miaka mingi ya imani views 56 | added by flickrpinquorettfb | tags ukweliwainjili hukumu ya mungu maneno ya mungu | rating 00/0
2020-08-05T14:10:06
https://praise-god.ucoz.net/blog/29_kwa_nini_sijabadilika_baada_ya_miaka_mingi_ya_imani/2019-05-29-39
yeremia 17 | biblia kwenye mtandao | tafsiri ya ulimwengu mpya soma katika chinese cantonese (simplified) chitonga (malawi) kiafrikana kiajemi kialbania kiamhara kiarabu kiarmenia kiazerbaijani kiazerbaijani (cha kisirili) kibemba kibulgaria kicheki kichewa kichina (kikantoni) kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidachi kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifiji kifini kiga kiganda kigeorgia kigiriki kiguarani kiguni kihiligaynoni kihindi kihispania kihosa kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiisako kiitaliano kijaluo kijapani kijerumani kikaonde kikazakh kikikongo kikiluba kikirghiz kikiribati kikongo kikorea kikreoli cha haiti kikroatia kikuyu kikwechua (cha ancash) kikwechua (cha ayacucho) kilatvia kilingala kilithuania kiluvale kimakedonia kimalagasi kimalay kimalayalamu kimalta kimaya kimyanmar kinepali kinorwei kinyarwanda kinzema kioromo kiosetia kiotetela kipangasinani kipolishi kireno kireno (ureno) kirumania kirundi kirusi kisamoa kisango kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisilozi kisinhala kislovaki kislovenia kisranantongo kiswahili kiswahili (cha kongo) kiswati kiswedi kitagalogi kitamili kitatar kitelugu kithai kiticuna kitigrinya kitok pisin kitonga kitonga kitshiluba kitsonga kitswana kiturkmen kituruki kituvalu kitwi kitzotzil kiukrania kiuzbek kiuzbek (cha kiroma) kivenda kivietnam kiwaraywaray kiyoruba kizulu lugha ya ishara ya afrika kusini lugha ya ishara ya argentina lugha ya ishara ya australia lugha ya ishara ya austria lugha ya ishara ya brazili lugha ya ishara ya cheki lugha ya ishara ya chile lugha ya ishara ya china lugha ya ishara ya ekuado lugha ya ishara ya filipino lugha ya ishara ya guatemala lugha ya ishara ya hispania lugha ya ishara ya honduras lugha ya ishara ya hungaria lugha ya ishara ya india lugha ya ishara ya indonesia lugha ya ishara ya ireland lugha ya ishara ya israeli lugha ya ishara ya italia lugha ya ishara ya japani lugha ya ishara ya kenya lugha ya ishara ya kijerumani cha uswizi lugha ya ishara ya kolombia lugha ya ishara ya korea lugha ya ishara ya kosta rika lugha ya ishara ya kuba lugha ya ishara ya madagascar lugha ya ishara ya marekani lugha ya ishara ya mexico lugha ya ishara ya msumbiji lugha ya ishara ya new zealand lugha ya ishara ya nikaragua lugha ya ishara ya panama lugha ya ishara ya paraguai lugha ya ishara ya peru lugha ya ishara ya poland lugha ya ishara ya quebec lugha ya ishara ya salvador lugha ya ishara ya slovakia lugha ya ishara ya sweden lugha ya ishara ya taiwan lugha ya ishara ya thailand lugha ya ishara ya ugiriki lugha ya ishara ya uholanzi lugha ya ishara ya uingereza lugha ya ishara ya ujerumani lugha ya ishara ya ureno lugha ya ishara ya uruguai lugha ya ishara ya urusi lugha ya ishara ya venezuela lugha ya ishara ya zambia lugha ya ishara ya zimbabwe nigerian sign language sesotho (lesotho) tetun dili kibislama kichitumbuka 17 dhambi ya yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma+ imechongwa kwa ncha ya almasi juu ya bamba la moyo wao+ na juu ya pembe za madhabahu zao+ 2 wakati wana wao wanapokumbuka madhabahu zao na miti yao mitakatifu kando ya mti wenye majani mengi juu ya vilima virefu+ 3 juu ya milima porini mali zako hazina zako zote nitazitoa ziporwe tu+​​​mahali pako pa juu kwa sababu ya dhambi katika maeneo yako yote+ 4 nawe unafungua kwa kupenda kwako mwenyewe kutoka katika fungu la urithi wako ambalo nilikuwa nimekupa+ mimi pia nitakufanya uwatumikie adui zako katika nchi ambayo hukuijua+ kwa maana ninyi mmewashwa kama moto katika hasira yangu+ utaendelea kuwashwa mpaka wakati usio na kipimo 5 yehova amesema hivi amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake+ na ambaye moyo wake unamwacha yehova+ 6 na hakika yeye atakuwa kama mti ulio peke yake katika nchi tambarare ya jangwani wala hataona wakati mema yatakapokuja+ lakini atakaa mahali pakavu katika nyika katika nchi yenye chumvi ambayo haikaliwi+ 7 amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea yehova na ambaye yehova amekuwa uhakika wake+ 8 na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji unaopeleka mizizi yake kando ya mto naye hataona joto linapoingia bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi+ na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika wala hataacha kuzaa matunda 9 moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari+ ni nani anayeweza kuujua 10 mimi yehova ninauchunguza moyo+ ninazikagua figo+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake+ kulingana na matunda ya matendo yake+ 11 kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri lakini si kwa haki+ katikati ya siku zake atauacha+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili+ 12 kuna kiti cha ufalme chenye utukufu kilicho juu tangu mwanzo+ ndicho patakatifu petu+ 13 ee yehova tumaini la israeli+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu+ wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai yehova+ 14 uniponye ee yehova nami nitapona+ uniokoe nami nitaokoka+ kwa maana wewe ni sifa yangu+ 15 tazama kuna wale wanaoniambia neno la yehova liko wapi+ na liingie tafadhali 16 lakini mimi sikufanya haraka kuacha kuwa mchungaji anayekufuata nami sikuwa na tamaa yoyote kwa ajili ya ile siku mbaya wewe mwenyewe umelijua neno la midomo yangu mbele za uso wako limetokea 17 usiwe kwangu kitu chenye kuogopesha+ wewe ni kimbilio langu katika siku ya msiba+ 18 wale wanaonitesa na wapatwe na aibu+ lakini mimi binafsi nisipate aibu+ waache wao waingiwe na hofu lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu leta juu yao ile siku ya msiba+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili+ 19 yehova ameniambia hivi nenda nawe usimame katika lango la wana wa watu ambalo wafalme wa yuda huingilia na ambalo hutokea na katika malango yote ya yerusalemu+ 20 nawe uwaambie sikieni neno la yehova ninyi wafalme wa yuda na yuda yote na ninyi wakaaji wote wa yerusalemu mnaoingilia malango haya+ 21 yehova amesema hivi angalieni nafsi zenu+ nanyi msibebe mzigo wowote katika siku ya sabato ili kuuingiza kupitia malango ya yerusalemu+ 22 nanyi msitoe mzigo wowote katika nyumba zenu siku ya sabato wala msifanye kazi yoyote+ nanyi mwitakase siku ya sabato kama nilivyowaamuru mababu zenu+ 23 lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao+ nao wakafanya shingo+ yao kuwa ngumu ili wasisikie na ili wasipokee nidhamu+ 24 na itatukia kwamba mkinitii kabisa+ asema yehova msiingize mzigo wowote kupitia malango ya jiji hili siku ya sabato na kuitakasa siku ya sabato+ kwa kutofanya kazi yoyote siku hiyo+ 25 basi pia wafalme pamoja na wakuu+ hakika wataingia kupitia malango ya jiji hili wakikaa kwenye kiti cha ufalme cha daudi+ wakipanda gari na farasi wao pamoja na wakuu wao watu wa yuda na wakaaji wa yerusalemu na hakika jiji hili litakaliwa mpaka wakati usio na kipimo 26 na hakika watu watakuja kutoka katika majiji ya yuda na kutoka pande zote kuzunguka yerusalemu na kutoka katika nchi ya benyamini+ na kutoka katika nchi tambarare ya chini+ na kutoka katika eneo lenye milima+ na kutoka katika negebu+ wakileta toleo zima la kuteketezwa+ na dhabihu+ na toleo la nafaka+ na ubani+ na kuleta dhabihu ya shukrani ndani ya nyumba ya yehova+ 27 lakini ikiwa hamtanitii kwa kuitakasa siku ya sabato na kutobeba mzigo+ lakini mwingie nao kupitia malango ya yerusalemu katika siku ya sabato mimi pia nitawasha moto wa kuteketeza katika malango yake+ nao hakika utaiteketeza minara ya makao ya yerusalemu+ nao hautazimwa+
2020-08-14T14:18:44
https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/bi12/vitabu/yeremia/17/
picha 5 za utani uliosambazwa baada ya solange kumpiga shemeji jay z millardayocom baada ya kuvuja kwa video ikionyesha jinsi rapper jay z akipigwa na shemeji yake (solange) wakiwa kwenye lift huku beyonce mwenyewe akiwa pembeni yao akishuhudia ugomvi bila kujihusisha wala kuzuia uongozi wa hoteli ugomvi huo ulipotokea huko new york umesema unachunguza kujua video hiyo ilivuja vipi na kupeleka siri za wateja kwenye vyombo vya habari kwenye ugomvi huu ambao jay z ameonekana kusifiwa na watu wengi kwa kuwa mkimya na bila kujibu mashambulizi pamoja na kupigwa mateke na kurushiwa vitu tayari watundu wa mitandaoni wameanza yao kwa kutengeneza picha na maandishi vikimtania jay z pamoja na solange kutokana na ile single ya jay z iitwayo 99 problems yaani matatizo 99 watu wamemtengenezea utani kwamba solange ni tatizo la 100 la jay z sehemu ya utani mwingine ni hii ya historia kwenye wikipedia ya solange na kuifanya itoe maelezo kwamba solange ni mwimbaji mwandishi wa nyimbo kicker streetfighter na tatizo la 100 la jay z ili niwe nakutumia stori kila zinaponifikia jiunge nami twitter kwa kubonyeza hapa facebook >> fb na instagram insta ← previous story baada ya stori za kifo cha dr cheni kuenea next story → sikiliza wimbo mpya wa black rhyno aliomshirikisha albert mangwea lookie lookie
2020-08-03T09:35:43
https://millardayo.com/hovm13/
dkt khamis kigwangala asisitiza kila mtanzania kuwa na bima ya afya | habari24 home » habari za kitaifa » dkt khamis kigwangala asisitiza kila mtanzania kuwa na bima ya afya written by bigie on wednesday july 6 2016 | 104600 am naibu waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dkt khamis kigwangala amesisitiza kuwa kuanzia sasa itakuwa ni lazima kwa kila mtanzania kuwa na bima ya afyahuku akiwatoa hofu wananchi wasio na uwezo kwamba serikali kupitia sera ya taifa ya afya ya mwaka 2007 itakuwa tayari kugharamia matibabu ya makundi maalumu ya kijamii wakiwemo wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 60 watoto chini ya umri wa miaka mitano na watu wenye magonjwa ya kudumu sherehe za miaka 50 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo la waadventista wa sabato katika jiji la mwanza mnamo mwaka 1935lililopo chini ya jimbo la nyanza kusiniambalo hadi sasa limefikisha makanisa 84 pia zimehudhuriwa na naibu waziri wa ardhi nyumba na makazi mhangelina mabula ambaye amesema kazi kubwa ya kanisa ni kuendelea kuokoa maisha ya waumini wake kiafya na kiroho pamoja na kusimamia maadili mema ndani ya jamii kwa upande wake askofu mkuu wa kanisa la waadventista wasabato tanzania dkgodwin lekundayo ameiomba serikali kuharakisha usajili wa hospitali ya pasiansi inayojengwa na kanisa hilo ili iweze kuanza kutoa huduma kwa muda uliopangwa lengo la kanisa la sda jimbo la nyanza kusini ni kuifanya hospitali hiyo kutoa huduma za matibabu ya rufaa ili kuokoa maisha ya watu
2018-06-23T14:01:33
https://www.habari24.com/2016/07/dkt-khamis-kigwangala-asisitiza-kila.html
yaliyosemwa nyerere day | jamiiforums | the home of great thinkers yaliyosemwa nyerere day discussion in 'jokes/utani + udaku/gossips' started by kiuyajibu oct 22 2012 dear nyerere mlima kilimanjaro upo kenyaziwa nyasa lipo malawitanzanite ni ya nairobitanesco ni ya lowasa na rais anaishi airport zamani ukiongelea kilimo tulikuona kwa vitendo shambanisiku hizi waheshimiwa wanawekewa red carpet ili wapende miti hukupenda kuuza surahatakuona picha yako na michael jackson au phil collins ila prezidaa anajiandaa kupiga picha na lady gaga siku hizi vijana wengi hatutaki kujituma kazini wala kujitolea kujenga taifatunataka utajiri wa haraka tu vijana wa kiume wazalendo sanawanavaa suruali za bluukijaninjano na wanavaa za kubana sana ili kubana matumizi ya vitambaa mmmmhhhh inatia uchungupale mtu na akili zako unapolazimishwa kukubaliana na uwongo quastion mark huku 2nakoelekea sasa tutakuja kuambiwa hata sisi si watanzania tunapewa nchi nyingne na tanzania ni ya nchi nyngne kwel nyerere angeweza kurud tena tusingekuwa na maisha tunayoishi sasa hvviwanda vingefufuliwa na vijana weng wangekuwana ajira na wizi ungepungua kwel watanzania tunauzwatutamkumbuka sana nyerere quastion mark said huku 2nakoelekea sasa tutakuja kuambiwa hata sisi si watanzania tunapewa nchi nyingne na tanzania ni ya nchi nyngne kwel nyerere angeweza kurud tena tusingekuwa na maisha tunayoishi sasa hvviwanda vingefufuliwa na vijana weng wangekuwana ajira na wizi ungepungua kwel watanzania tunauzwatutamkumbuka sana nyerereclick to expand haya yanawezekana mabadiliko kabla hayawezekana ni muhimu vijana wa kiume wazalendo sanawanavaa suruali za bluukijaninjano na wanavaa za kubana sana ili kubana matumizi ya vitambaaclick to expand nimeipendaje hiyo yenye red jamanisi mmeona na kusikia naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi(mhaugustino mulugo) alipokuwa anahutubia huko cape townsouth africapemba+zimbabwe=tanzania ambayo imezaliwa one nineteen sixty four(11964) kwa mpango kama huu unategemea ninimaana anaweza pewa mkataba akausaini na asijue nini madhara yake huku 2nakoelekea sasa tutakuja kuambiwa hata sisi si watanzania tunapewa nchi nyingne na tanzania ni ya nchi nyngne kwel nyerere teh teh teh nimeipenda hiiclick to expand na mtoto wa rais ndiye mteuzi mkuu wa wakuu wa wilaya mikoa ma ded na hata mawaziri ambao wanasema tanganyika iliunganga na zimbabwe kuunza tanzania haya yanawezekanaclick to expand chini ya kiwete umesahau kusema na ww pia umetekwa na wazungu kwa kupoteza mda kwenye social network
2017-01-17T17:47:54
https://www.jamiiforums.com/threads/yaliyosemwa-nyerere-day.342709/
signification du prénom dudek tuwa una urika wachiwi wakanda waki wauna weeko wicapi wakan wihakayda wikimak winona witashnah wuti yamka yazhi yoki zihna zitkala adriana afina alexandreina amelia anamarie ana anca angela anica antanasia antoaneta
2020-07-13T07:42:10
https://prenom.123boutchou.com/prenoms-bebe/signification-prenom.html?id=6073
nzambe asalaka ntango nyonso makambo ya malamu | pusaná penepene 1 2 (a) makambo nini oyo ezali mpenza sembo te basalelaki yozefe (b) ndenge nini yehova asukisaki makambo yango likambo oyo basali ezali mpenza sembo te elenge mobali moko ya kitoko asali mabe moko te kasi batye ye na kasho mpo bakoselaki ye ete alingaki kosangisa nzoto na makasi na mwasi ya bato oyo ezali mbala ya liboso te ete básalela ye likambo oyo ezali sembo te bambula mingi liboso ntango elenge yango yozefe azalaki na mbula 17 bandeko na ye mpenza balingaki liboso koboma ye kasi na nsima batɛkaki ye moombo na mboka mopaya na mboka yango mwasi ya nkolo na ye azalaki kosɛnga ye ete básangisa nzoto kasi ye azalaki koboya yango etindaki mwasi wana akosela ye makambo ezali mpo na ntina wana nde yozefe azali sikoyo na bolɔkɔ na mawa mpenza emonani ete ata moto moko ya kokɔtela ye azali te yozefe anyokwamaki mpamba na kati ya bolɔkɔ 2 kasi yehova nzambe oyo alingi boyengebene mpe bosembo azalaki kotala (nzembo 335) yehova asukisi mabe yango oyo basalelaki yozefe asali ete makambo eleka na ndenge oyo nsukansuka babimisi ye na bolɔkɔ longola yango yozefemoto ya bolɔkɔayei kokóma mokonzi monene mpe na lokumu mingi mpenza (genese 4015 414143 nzembo 10517 18) nsukansuka makambo nyonso bakoselaki yozefe emonanaki lokuta mpe asalelaki bokonzi monene oyo bapesaki ye mpo na kokokisa mokano ya nzambegenese 4558 3 mpo na nini ezali likambo ya kokamwa te soki biso nyonso tolingaka básalelaka biso makambo na bosembo mpenza 3 lisolo yango esimbaka mpenza mitema na biso boye te nani oyo amoná naino te basaleli moto moko likambo oyo ezali sembo te to nani oyo basalelá ye naino te likambo oyo ezali sembo te ya solo biso nyonso tozalaka na mposa makasi ete básalela biso makambo na bosembo mpenza mpe bápona bilongi te yango ezali likambo ya kokamwa te mpamba te yehova apesá biso bizaleli oyo ye azalaka na yango mpe bosembo ezali moko na bizaleli na ye ya minene (genese 127) mpo tóyeba yehova malamu tosengeli kokanga ntina ya bosembo na ye yango ekoki kosalisa biso tósepela lisusu mingi na banzela malamu na ye mpe tóluka kopusana penepene na ye 4 mbala mingi bato bakanisaka ete bosembo elakisi nini 4 mbala mingi bato bakanisaka ete bosembo elakisi kaka kosalela mibeko na ndenge elongobani buku moko (right and reasonethics in theory and practice) elobi ete bosembo ezali na boyokani na mobeko na likambo oyo basɛngisi biso na ntomo mpe na mikumba mpe ezwaka bikateli na yango kozanga kopona bilongi mpe etalelaka likambo ndenge mpenza ezali nzokande bosembo ya yehova esukaka kaka te na kosalela malako mpo ezali mokumba to likambo oyo basɛngisi biso 5 6 (a) maloba ya minɔkɔ oyo bakomaki na yango biblia na ebandeli oyo ebongolami na bosembo elimboli nini (b) koloba ete nzambe azali sembo elakisi nini 5 tokoki kokanga ntina ya bonene mpe bozindo ya bosembo ya yehova malamumalamu soki totaleli maloba oyo bato oyo bakomaki biblia na ebandeli basalelaki na makomami ya liebele basaleli mingimingi maloba misato moko na yango oyo ebongolamaka mbala mingi na bosembo ekoki mpe kobongolama sembo (genese 1825) maloba mibale oyo etikali ebongolamaka ntango nyonso boyengebene na makomami ya grɛki ya boklisto liloba oyo ebongolami na boyengebene elakisi ezaleli ya oyo ezali semba to sembo na yango emonani polele ete bokeseni ezali mpenza te kati na boyengebene mpe bosemboamosa 524 6 na yango ntango biblia elobi ete nzambe azali sembo yango elingi koloba ete asalaka ntango nyonso makambo oyo ezali semba aponaka bilongi te (baloma 211) ekoki kosalema ata moke te ete asala makambo na ndenge mosusu elihu moto ya sembo alobaki boye tiká ete ezala mosika na nzambe ete asala mabe ezala mosika mpe na oyonanguyanyonso ete asala [makambo oyo ezangi bosembo] (yobo 3410) ya solo ekoki kosalema te ete yehova asala makambo oyo ezangi bosembo mpo na nini mpo na ntina mibale ya minene 7 8 (a) mpo na nini yehova akoki te kosala makambo oyo ezangi sembo (b) nini etindaka yehova azala moyengebene to sembo na boyokani na ye na basusu 7 ya liboso azali mosantu ndenge tomonaki yango na mokapo 3 yehova azali pɛto mpe alima na ndenge oyo eleki mpenza yango wana akoki te kosala makambo oyo ezangi boyengebene to oyo ezangi sembo kanisá ndimbola na yango bosantu ya tata na biso ya likoló ezali kotinda biso mpenza tóndima ete akonyokola bana na ye ata mokolo moko te yesu andimaki likambo yango na butu na ye ya nsuka awa na mabelé abondelaki boye mpo na bayekoli na ye tata mosantu kɛngɛlá bango mpo na nkombo na yo (yoane 1711) na makomami kaka yehova ye moko nde abengami tata mosantu ebengeli yango ebongi mpamba te tata ata moko te awa na mabelé akokani na ye na bosantu yesu andimaki na motema na ye mobimba ete bayekoli na ye bakozala na likama ata moko te soki tata na ye azali kokɛngɛla bango mpamba te ye azali pɛto na makambo nyonso mpe lisumu ezali mpenza mosika na yematai 239 8 ya mibale bolingo oyo elukaka matomba na yango moko te ezali ezaleli na ye ya monene bolingo yango etindaka ye azala moyengebene to sembo na boyokani na ye na basusu kasi mbala mingi lokoso ná moimi bizaleli oyo eyokani ata moke te na bolingo nde ebimisaka makambo oyo ezali sembo te oyo emonanaka na mitindo ndenge na ndengena ndakisa koyina bato ya loposo mosusu mpe kopona bilongi biblia elobi mpo na nzambe yango ya bolingo ete [yehova] azali moyengebene mpe alingi boyengebene (nzembo 117) ye moko alobi ete ngai yehova nalingi bosembo (yisaya 618) koyeba ete nzambe na biso asepelaka kosala makambo oyo ezali semba to sembo ezali mpenza kobɔndisa biso boye teyilimia 924 yehova azali na motema mawa mpe na bosembo ya kokoka 911 (a) boyokani nini ezali na kati ya bosembo ya yehova mpe motema mawa na ye (b) ndenge nini bosembo ya yehova mpe motema mawa na ye ezali komonana polele na ndenge na ye ya kosalela basumuki makambo 9 lokola bomoto ya yehova ekoki na makambo nyonso mpenza mpe ezangi eloko te bosembo na ye mpe ezali ndenge wana moize akomaki maloba oyo mpo na kosanzola yehova libanga mosala na ye ezali ya kokoka mpo nzela na ye nyonso ezali bosembo nzambe ya sembo oyo epai na ye kozanga bosembo ezali te azali moyengebene mpe semba (deteronome 323 4) lolenge nyonso oyo yehova amonisaka bosembo na ye ezalaka na mbeba teamonisaka motema mawa koleka te amonisaka mpe motema makasi koleka te 10 boyokani monene ezali kati na bosembo ya yehova mpe motema mawa na ye nzembo 1165 elobi ete [yehova] azali na boboto mpe na boyengebene [bosembo biblia na lingala ya lelo oyo] nzambe na biso azali na [motema] mawa ɛɛ yehova azali na bosembo mpe na motema mawa bizaleli mibale wana ewelanaka te amonisaka motema mawa te mpo na kolɛmbisa bosembo na ye lokola nde bosembo na ye eleki makasi kasi mbala mingi amonisaka bizaleli mibale wana nzela moko ata mpe na likambo moko tózwa ndakisa moko 11 lokola bato nyonso babotamaka na lisumu basengeli kozwa etumbu oyo eutaka na lisumuliwa (baloma 512) kasi yehova asepelaka ata moke te na liwa ya basumuki ye azali nzambe oyo alingi kolimbisa azali na ngɔlu mpe na motema mawa (nehemia 917) atako bongo lokola azali mosantu akoki te kokanga miso likoló ya makambo oyo ezangi boyengebene sikoyo ndenge nini akoki komonisela bato oyo bamesaná na lisumu motema mawa eyano ekouta na liteya moko ya ntina mingi mpenza oyo ezali na liloba na ye lisiko oyo abongisaki mpo na kobikisa bato tokoyeba malamumalamu likambo yango oyo ezali komonisa bolingo na ye na mokapo 14 lisiko yango eyokani mpenza na bosembo mpe ezali komonisa mpenza motema mawa na nzela na yango yehova akoki koyokela basumuki oyo babongoli motema mawa oyo etondi na boboto kozanga kobuka mitinda na ye ya bosembo ya kokokabaloma 32126 bosembo ya yehova epesaka esengo 12 13 (a) mpo na nini bosembo ya yehova ebendaka biso epai na ye (b) davidi azwaki likanisi nini mpo na bosembo ya yehova mpe ndenge nini yango ekoki kobɔndisa biso 12 bosembo ya yehova ezali te ezaleli moko oyo ezangi bolingo oyo ebenganaka biso kasi ezali nde ezaleli moko ya kosepelisa oyo ebendaka biso epai na ye biblia emonisi polele ete bosembo to boyengebene ya yehova ezalaka ntango nyonso na motema mawa tótalela mwa bandakisa ya kosepelisa oyo ezali kolakisa ndenge yehova amonisaka bosembo na ye 13 bosembo ya kokoka ya yehova etindaka ye atika basaleli na ye te makambo oyo davidi mokomi ya nzembo ye moko akutanaki na yango na bomoi na ye esalisaki ye akanga ntina ya bosembo yango mpe asepela na yango makambo oyo amonaki na miso mpe koyekola oyo ayekolaki banzela ya nzambe etindaki ye azwa likanisi nini alobaki ete yehova alingi bosembo mpe akotika te bato na ye ya sembo bakobatelama mpenza na boumeli ya ntango oyo eyebani nsuka te (nzembo 3728) maloba yango ezali mpenza kobɔndisa biso ata mokolo moko te nzambe na biso akosundola baoyo bazali sembo epai na ye na yango tokoki kotyela ye motema ete akozala penepene na biso mpe akobatela biso na bolingo mpenza bosembo na ye ezali kondimisa biso likambo yangomasese 27 8 14 ndenge nini komibanzabanza ya yehova mpo na bato oyo bazali na mposa ya lisalisi ezali komonana polele na kati ya mibeko oyo apesaki yisalaele 14 bosembo ya nzambe ekangaka miso te na bampasi ya bato oyo bazali konyokwama mibeko oyo yehova apesaki yisalaele ezali komonisa ete amibanzabanzaka mpo na baoyo bazali na mposa ya lisalisi na ndakisa mibeko yango esɛngaki makambo mosusu mpo na bolamu ya bitike mpe ya basi oyo bakufelá mibali (deteronome 241721) lokola yehova ayebaki ete bato ya ndenge wana bakoki kozala na bomoi ya mpasi amikómisaki tata zuzi mpe mobateli na bango ye oyo akataka na sembo mpo na etike mpe mpo na mwasiakufelimobali (deteronome 1018 nzembo 685) yehova akebisaki bayisalaele ete soki banyokoli basi mpe bana oyo bazangi moto ya kobatela bango akoyoka mpenza kolela na bango alobaki ete nkanda na ngai ekopela (exode 222224) atako nkanda ezali te moko ya bizaleli minene ya yehova boyengebene na ye etindaka ye ayoka nkanda soki amoni bazali kosalela bato makambo oyo ezali sembo te na nko mpenza mingimingi soki bazali kosalela yango bato mpamba oyo bazangi moto ya kosalisa bangonzembo 1036 15 16 likambo nini emonisi mpenza polele ete yehova aponaka bilongi te 15 yehova ayebisi biso mpe ete aponaka bilongi te mpe andimaka kanyaka te (deteronome 1017) yehova akeseni na bato mingi oyo bazali na bokonzi to na nguya ye atalaka bozwi ya moto te to ndenge oyo moto azali komonana na miso akaniselaka bato mabe te aponaka mpe bilongi te kanisá naino likambo oyo emonisi polele ete yehova aponaka bilongi te aponi kaka mwa bato moke te ya mayele to ya bomɛngo mpo bákóma basambeli na ye ya solo mpe bázala na elikya ya bomoi ya seko kasi na ekólo nyonso moto oyo azali kobanga ye mpe azali kosala boyengebene andimami na ye (misala 1034 35) moto nyonso azala mobola to mozwi mondɛlɛ to moindo to mpe moto ya mboka nini akoki kozwa libaku malamu wana wana nde nsuka ya bosembo boye te 16 bosembo ya kokoka ya yehova ezali mpe na likambo mosusu oyo tosengeli kotalela mpe kozwa yango na motuya ndenge oyo asalaka baoyo babuki mitinda na ye ya sembo azangaka te kopesa etumbu 17 mpo na nini makambo oyo ezali sembo te oyo etondi na mokili emonisi ata moke te ete yehova azangi bosembo 17 basusu bakoki komituna boye lokola yehova akangaka miso te likoló ya makambo oyo ezangi boyengebene mpo na nini tozali komona na mokili ya lelo bato mingi bazali konyokwama mpamba mpe mabe ekómi mingi makambo yango oyo ezali sembo te emonisi te ete yehova azali na bosembo te makambo yango euti nde na lisumu oyo adama atikelá bato makambo oyo ezali sembo te esengeli kaka kozala beboo na mokili oyo bato ya kozanga kokoka baponi kolanda banzela ya masumukasi likambo yango ekoumela lisusu mingi tedeteronome 325 18 19 nini emonisi ete yehova akotika te baoyo bazali kobuka mibeko na ye ya sembo na nko bázala libela na libela 18 atako yehova amonisaka motema mawa mpenza epai ya baoyo bazali kopusana penepene na ye na motema na bango mobimba akotika nzela te ete likambo moko boye oyo ezali kosambwisa nkombo na ye mosantu ezalaka libela na libela (nzembo 7410 22 23) batyolaka nzambe ya bosembo te akobatela te baoyo basalaka masumu na nko mpo bákima etumbu oyo ebongi na etamboli na bango yehova azali nzambe ya motema mawa mpe ya ngɔlu ayokaka nkanda noki te mpe aleki na boboto mpe na solo kasi akozanga soki moke te kopesa etumbu (exode 346 7) na boyokani na maloba yango na bantango mosusu yehova amonaki malamu kopesa etumbu na bato oyo babukaki mibeko na ye ya sembo na nko 19 na ndakisa tózwa makambo oyo nzambe asalaki yisalaele ya kala ata ntango bayisalaele bakómaki kofanda na mokili ya ndaka mbala na mbala babatelaki bosembo na bango te atako mabe na bango ezalaki kotungisa yehova abwakaki bango mbala moko te (nzembo 783841) kasi na motema mawa mpenza apesaki bango mabaku ya kobongwana abondelaki bango boye nazwi esengo na liwa ya moto mabe te bobele ete moto mabe abongwana na nzela na ye mpe abika bóbongwana bóbongwana na nzela mabe na bino zambi bino bolingi kokufa mpo na nini ee ndako ya yisalaele (ezekiele 3311) lokola bomoi ezali na motuya na miso ya yehova atindaki basakoli na ye mbala na mbala mpo na kosalisa bayisalaele bátika banzela mabe kasi mingi kati na bato yango ya mitema makasi baboyaki koyoka mpe kobongola motema nsukansuka mpo na nkombo na ye mosantu mpe makambo nyonso oyo yango ezali komonisa yehova akabaki bango epai ya banguna na bangonehemia 92630 20 (a) makambo oyo yehova azalaki kosala yisalaele eteyi biso nini na ntina na ye (b) mpo na nini nkɔsi ebongi kozala elembo ya bosembo ya yehova 20 makambo yehova azalaki kosalela yisalaele eteyi biso makambo mingi oyo etali ye tozwi liteya ete lokola miso na ye ekoki komona makambo nyonso emonaka mpe makambo ezangi boyengebene mpe yango epesaka ye mpasi mpenza (masese 153) tolendisami mpe na koyeba ete alukaka komonisa motema mawa soki ntina ya kosala bongo ezali liteya mosusu tozwi ezali ete awelaka te kopesa bato etumbu lokola yehova azali na motema molai bato mingi bakanisaka ete akopesa bato mabe etumbu te nzokande bazali komikosa mpamba te makambo nzambe asalaki yisalaele eteyi mpe biso ete motema molai na ye ezalaka na ndelo yehova akangami makasi na boyengebene mbala mingi bato babangaka komonisa bosembo kasi ye azangaka soki moke te mpiko ya kosala makambo oyo ezali sembo yango wana nkɔsi elembo ya bosembo oyo esɛngi mpiko emonisamaka na esika oyo nzambe azali mpe kiti ya bokonzi na ye * (ezekiele 110 emoniseli 47) na yango tokoki kotya motema ete akokokisa elaka na ye ya kolongola makambo oyo ezali sembo te na mabelé na mokuse yehova asambisaka boye azwaka bikateli ya makasi soki esengeli amonisaka motema mawa soki ntina ezali2 petelo 39 tópusana penepene na nzambe ya bosembo 21 ntango tozali komanyola lolenge yehova amonisaka bosembo na ye ndenge nini tosengeli komona ye mpe mpo na nini 21 ntango tozali komanyola lolenge yehova amonisaka bosembo na ye tosengeli komona ye te lokola zuzi moko oyo azangi motema mawa mpe oyo azali na makambo makasimakasi oyo azali kaka na mposa ya kokatela bato oyo babuki mibeko etumbu tosengeli nde komona ete azali tata ya bolingo kasi oyo azwaka mpe bikateli ya makasi tata oyo asalelaka bana na ye makambo na ndenge oyo eleki malamu lokola yehova azali tata ya sembo to ya boyengebene asalaka ete kokangama na ye na makambo oyo ezali sembo eyokana na motema mawa na ye epai ya bana na ye awa na mabelé baoyo bazali na mposa ya lisalisi mpe ya bolimbisi na yenzembo 10310 13 22 elikya nini bosembo ya yehova etindi ye apesa biso mpe mpo na nini asaleli biso makambo na ndenge wana 22 tozali mpenza na botɔndi na ndenge toyebi ete bosembo ya nzambe esuki kaka te na kokatela baoyo babuki mibeko etumbu bosembo ya yehova etindi ye apesa biso elikya moko ya kosepelisa mpenzabomoi ya kokoka mpe oyo ezangi nsuka na mokili oyo boyengebene ekofanda (2 petelo 313) nzambe na biso asaleli biso makambo na ndenge wana mpamba te bosembo na ye etindaka ye aluka kobikisa na esika ya kokweisa ya solo mpenza koyeba malamu bonene ya bosembo ya yehova ezali kobenda biso epai na ye na mikapo oyo elandi tokotalela malamumalamu ndenge oyo yehova amonisaka ezaleli malamu wana ^ par 20 likambo moko oyo ebendi likebi na biso ezali ete ntango yehova azali kopesa yisalaele oyo ezangi bosembo etumbu amikokanisi na nkɔsiyilimia 2538 hosea 514 yilimia 18111 ndenge nini yehova ateyaki yilimia ete ye awelaka te kopesa etumbu habakuku 114 13 224 ndenge nini yehova akitisaki habakuku motema ete ye akotika te ete makambo oyo ezali sembo te ezala libela na libela zekalia 7814 yehova akanisaka nini mpo na bato oyo batyaka likebi te na ntomo ya basusu baloma 2311 yehova atalelaka makambo nini ntango asambisaka bato mpe bikólo
2017-12-17T01:29:55
https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/penepene-na-yehova/bosembo/nzambe-ya-bosembo/
hotuba ya wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto zanzinews home habari hotuba ya wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto hotuba ya wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto 1 mheshimiwa spika naomba kutoa hoja kwa baraza lako tukufu likae kama kamati ya matumizi ili liweze kupokea kujadili na kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kwa mwaka wa fedha 2020/2021 2 mheshimiwa spika kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kutujaalia uhai na afya njema na kuweza kukutana tena kujadili bajeti ya wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kwa niaba ya wafanyakazi wa wizara napenda kukupongeza mheshimiwa spika wa baraza la wawakilishi kwa namna unavyoliongoza baraza lako na kusimamia kwa dhati utekelezaji wa mipango ya maendeleo na bajeti za serikali kufikia malengo yaliyokusudiwa ya kuondosha umaskini kwa wananchi nachukua fursa hii pia kuwashukuru naibu spika waheshimiwa wenyeviti waheshimiwa wajumbe na watendaji wote wa baraza kwa namna wanavyotekeleza majukumu yao kwa ufanisi 3 mheshimiwa spika napenda kumshukuru mheshimiwa rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkt ali mohamed shein kwa busara hekima maarifa weledi na miongozo anayotupa katika kufanikisha utekelezaji wa shughuli za wizara pamoja na kusimamia imara utekelezaji wa dira 2020 na ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi kwa vitendo ikiwemo kudumisha amani na utulivu sote ni mashuhuda wa namna serikali ya awamu ya saba ilivyopiga hatua ya maendeleo katika kila nyanja 4 mheshimiwa spika kwa namna ya pekee napenda kumshukuru mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya wanawake habari na utalii ya baraza la wawakilishi mheshimiwa mwantatu mbaraka khamis mwanamke jasiri na shupavu katika utekelezaji wa majukumu yake pamoja na wajumbe wake wote makatibu wa kamati na wasaidizi wake kwa walivyofanya kazi na wizara bega kwa bega bila ya kuchoka ili kuleta ufanisi wa kiutendaji michango na miongozo waliyotupa ililenga katika kuimarisha ufanisi wa utekelezaji wa programu zetu ili kuimarisha ustawi na hifadhi ya jamii kwa wananchi na maendeleo yao 5 mheshimiwa spika aidha nampongeza kwa dhati mheshimiwa makamu wa pili wa rais balozi seif ali iddi na katibu mkuu kiongozi na katibu wa baraza la mapinduzi kwa jinsi wanavyozisimamia kwa ufanisi na umahiri mkubwa shughuli za serikali ikiwemo kumsaidia mheshimiwa rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi kutekeleza dira 2020 na ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi pamoja na kutupa maelekezo ya kitaalam katika kuimarisha ufanisi wa utekelezaji wa kazi zetu maendeleo haya tunayojivunia ni kutokana na uongozi wao imara thabiti na mahiri namuomba mwenyezi mungu awape umri mrefu viongozi wetu hawa baraka busara na maarifa ya kuendelea kutuongoza amin 6 mheshimiwa spika kwa niaba ya watendaji wote wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto napenda kutoa tahadhari kwa wananchi wote ya kuendelea kujikinga na maradhi ya mlipuko ya corona yaliyoingia hapa nchini na duniani kwa ujumla nawasisistiza wananchi kufuata maelekezo yote yanayotolewa na serikali na wizara ya afya ya kujikinga na maradhi haya ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni kwa maji yanayotiririka kila wakati kutumia visafisha mikono (hand sanitizer) na kudumisha usafi wa miili na mazingira yanayotuzunguka na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima pia napenda kuwasisitiza wazazi na walezi kuwa karibu na watoto wao kwa kipindi hiki na kutowaacha kuzurura ovyo mitaani kwani wanaweza kuathirika na maradhi haya vile vile kuwasimamia kudurusu masomo yao 7 mheshimiwa spika mbali na corona nawaomba wananchi waendelee na jitihada za kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto nchini jitihada zetu kwa pamoja zitatupelekea katika kuvitokomeza kabisa vitendo hivi nchini tuendelee kushirikiana katika kuelimishana kuvipiga vita na kila mmoja atekeleze wajibu wake kwa nafasi aliyonayo namuomba mwenyezi mungu atuondoshee mabalaa yote yaliyopo nchini tushikamane kwa pamoja tutaweza aidha nawaomba wananchi tuzidi kuchukuwa tahadhari za kujikinga na maradhi ya miripuko ikiwemo kipindupindu na matumbo ya kuharisha wakati huu wa mvua za masika zikiendelea kunyesha 8 mheshimiwa spika wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto inaendelea kusimamia utekelezaji wa sheria na miongozo ya kazi kuratibu upatikanaji wa ajira za staha hasa kwa vijana kuimarisha programu za kuwawezesha wananchi kiuchumi na kuimarisha haki ustawi hifadhi na maendeleo ya wanawake watoto wazee na watu wanaoishi katika mazingira magumu zaidi pia wizara inasimamia na kuratibu utekelezaji wa shughuli za hifadhi ya jamii na uzingatiaji wa masuala ya jinsia katika sera sheria mipango na bajeti za kitaifa kikanda na kisekta vipaumbele vya wizara 9 mheshimiwa spika wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kwa mwaka wa fedha 2020/2021 imejipangia kutekeleza vipaumbele vifuatavyo i kusimamia utekelezaji wa sheria za kazi na kuratibu upatikanaji wa ajira za staha ndani na nje ya nchi ii kuimarisha masuala ya usalama na afya kazini katika sekta binafsi na za umma iii kukamilisha uandaaji wa mfumo wa taarifa za masuala ya kazi iv kukuza usawa wa kijinsia kumwezesha mwanamke na kuendeleza mapambano ya kumaliza vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto v kusimamia ujenzi wa kituo cha kulea wajasiriamali pemba na kuimarisha uendeshaji kwa unguja vi kuimarisha mfuko wa uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kutoa mikopo yenye thamani ya hadi shilingi milioni kumi vii kuanzisha mfuko wa fidia zanzibar viii kujenga ukuta wa nyumba ya wazee welezo ix kuimarisha uratibu wa programu za hifadhi ya jamii na hifadhi ya mtoto x kuimarisha uendeshaji wa kituo cha kuzalisha vifaa vya umeme wa jua (barefoot) xi kuimarisha uandaaji na utekelezaji wa sera sheria mipango uratibu na ufuatiliaji na tathmini wa shughuli za wizara xii kujenga uwezo wa wizara kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi muhtasari wa matumizi kwa mwaka 2019/2020 10 mheshimiwa spika wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kwa mwaka wa fedha 2019/2020 iliidhinishiwa jumla ya shilingi bilioni kumi na saba milioni mia mbili na tisini na tisa laki sita (tshs 17299600000) ambapo shilingi bilioni kumi na tano milioni mia moja thamanini na tatu laki tisa (tshs 15183900000) ziliidhinishwa kwa kazi za kawaida na shilingi bilioni mbili milioni mia moja na kumi na tano laki saba (tshs 2115700000) kwa kazi za maendeleo kati ya hizo shilingi bilioni moja milioni mia nane arobaini na tisa laki tatu tisiini na tisa elfu mia mbili na thamanini (tshs1849399280) ni kwa ajili ya kutekeleza programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi shilingi bilioni kumi milioni mia nane na thalathini na saba laki mbili na thalathini elfu mia nne na arobaini (tshs 10837230440) kwa ajili ya kutekeleza programu ya hifadhi ya jamii na maendeleo ya wanawake na watoto shilingi bilioni tatu milioni sabiini na nne laki sita na sabini elfu mia mbili na thamanini (tshs 3074670280) kwa ajili ya kutekeleza programu ya uendeshaji na uratibu wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto na shilingi bilioni moja milioni mia sita thamanini na nane laki tatu (tshs1688300000) ni kwa ajili ya utekelezaji wa programu ya usimamizi wa sheria za kazi ukaguzi kazi na kazi za staha kwa wote 11 mheshimiwa spika hadi kufikia mwezi machi 2020 wizara iliidhinishwa matumizi ya jumla ya shilingi bilioni kumi na moja milioni mia nne hamsini na saba laki mbili na thalathini elfu mia mbili hamsini na sita (tshs 11457230256) sawa na asilimia sitini na sita (66) ya fedha zote kati ya hizo shilingi bilioni kumi milioni mia sita na sitini laki nane sabini na mbili elfu arobaini na sita (tshs 10660872046) sawa na asilimia sabini (70) ya fedha zilizoidhinishwa zilitumika kwa kazi za kawaida na shilingi milioni mia saba tisini na sita laki tatu hamsini na nane elfu mia mbili na kumi (tshs 796358210) sawa na asilimia thalathini na nane (38) ya fedha zilizoidhinishwa zimetumika kwa kazi za maendeleo mheshimiwa spika kati ya hizo shilingi milioni mia nane na sabini na mbili laki nane kumi na nane elfu mia saba sitini na nne (tsh 872818764) zilitumika kwa ajili ya kutekeleza programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ambayo ni sawa na asilimia arobaini na saba (47) ya fedha kwa programu hiyo shilingi bilioni saba milioni mia tano tisini na tatu laki mbili ishirini na tisa elfu mia tisa na thamanini na tatu (tshs 7593229983) zilitumika kwa kutekeleza programu ya hifadhi ya jamii na maendeleo ya wanawake na watoto ambayo ni sawa na asilimia sabini na moja (71) jumla ya shilingi bilioni mbili milioni ishirini na mbili laki tano ishirini na tano elfu mia nne na thalathini na nane (tshs 2022525438) zilitumika kwa kutekeleza programu ya uendeshaji na uratibu wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto sawa na asilimia sitini na sita (66) ya fedha za programu hiyo jumla ya shilingi milioni mia tisa sitini na nane laki sita hamsini na sita elfu na sabini na moja (tshs 968656071) zilitumika katika kutekeleza programu ya usimamizi wa sheria za kazi ukaguzi kazi na kazi za staha kwa wote sawa na asilimia hamsini na saba (57) ya fedha kwa programu hiyo (kiambatanisho namba 1 kinahusika) muhtasari wa mapato kwa mwaka wa fedha 2019/2020 12 mheshimiwa spika wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ilitarajiwa kukusanya mapato ya shilingi bilioni moja milioni thalathini na tisa laki nne sitini na nne elfu (tshs 1039464000) kutokana na ada za usajili na ukaguzi wa vyama vya ushirika ada ya ukaguzi wa mikataba ya ajira za nje ya nchi ada ya ukaguzi wa maeneo ya kazi na vibali vya kazi 13 mheshimiwa spika hadi kufikia mwezi machi 2020 wizara kupitia kamisheni ya kazi idara ya ajira idara ya usalama na afya kazini na idara ya ushirika ilikusanya jumla ya shilingi milioni mia sita na sita laki nne sabini na tisa elfu mia nane na saba (tshs 606479807) kutokana na ada za usajili ada ya ukaguzi wa vyama vya ushirika na vibali vya kazi ambayo ni sawa na asilimia hamsini na nane (58) ya makadirio ya makusanyo (kiambatanisho namba 2 kinahusika) utekelezaji wa programu za wizara kwa mwaka wa fedha 2019/2020 14 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2019/2020 wizara imetekeleza programu kuu na ndogo zifuatazo programu kuu pq 0101 uwezeshaji wananchi kiuchumi matokeo ya muda mrefu kila mzanzibari anafanya shughuli za kiuchumi za kumuwezesha kumudu mahitaji yake ya msingi programu ndogo sq010101 mfuko wa uwezeshaji wananchi kiuchumi lengo kuu kuimarisha upatikanaji wa mikopo nafuu kwa wananchi 15 mheshimiwa spika mfuko wa uwezeshaji wananchi kiuchumi unaendelea kufanya shughuli zake za kutoa mikopo kwa wananchi madhumuni ya mfuko ni kuwawezesha wananchi wenye kipato kidogo kupata mitaji ya kufanya shughuli za uzalishaji ili kujiajiri na kuinua vipato vyao walengwa wakuu wa mfuko ni vijana wanawake wanafunzi waliomaliza elimu ya vyuo vikuu vyuo vya amali na sekondari wastaafu na watu walio katika makundi maalum mfuko kwa mwaka wa fedha 2019/2020 imetekeleza yafuatayo · umetoa mikopo 811 unguja na pemba yenye thamani ya jumla ya shilingi milioni mia saba thamanini na tisa laki tatu na arubaini na nane elfu (tshs 789348000) wilaya nne za pemba zimepata mikopo 330 yenye thamani ya shilingi milioni mia mbili na thalathini na laki nne (tshs 230400000) na wilaya saba za unguja zimepata mikopo 481 yenye thamani ya shilingi milioni mia tano na hamsini na nane laki tisa na arubaini na nane elfu (tshs 558948000) (kiambatanisho namba 3 kinahusika) · kati ya mikopo 811 iliyotolewa mikopo 461 yenye thamani ya shilingi milioni mia tano na kumi na moja arubaini na nane elfu (tshs 511048000) imetolewa kuendesha shughuli mbalimbali za kiuchumi kama vile biashara za jumla na rejareja utoaji huduma za kutuma na kupokea fedha uuzaji wa vinywaji baridi uvuvi viwanda vidogo vidogo ufugaji uchongaji na kazi za mikono na mradi wa kilimo cha matunda na mboga mboga umetoa mikopo 350 yenye thamani ya shilingi milioni mia mbili na sabini na nane na laki tatu (tshs 278300000) · kati ya mikopo hiyo mikopo ya vikundi ni 223 na ya mtu mmoja mmoja ni 588 kati ya vikundi 223 vilivyopatiwa mikopo vikundi 42 ni vya makundi maalum ya vijana wanawake na watu wenye ulemavu na vikundi vilivyobaki 181 ni vya mchanganyiko jumla ya wajasiriamali 5092 walinufaika na mikopo hiyo wanawake ni asilimia 53 na wanaume ni asilimia 47 (kiambatanisho namba 4 na 5 kinahusika) · mfuko umefanikiwa kupata shilingi milioni mia moja na sitini na moja (tshs 161000000) kutoka mradi wa feed the future wa mboga mboga na matunda ikiwa ni moja ya mikakati ya kutunisha fedha zake mikakati mingine ambayo imeuwezesha mfuko kupata fedha za ziada ni uwekezaji wa sehemu ya fedha zake katika benki ya biashara pbz ltd ambapo mfuko ulipata faida ya shilingi milioni arobaini (tshs 40000000) na mkakati wa tatu ni kutoa mikopo midogo midogo na ya muda mfupi wa miezi sita hadi tisa hivyo kuwezesha kutoa mikopo mingi kwa muda mfupi kutokana na kasi ya mzunguko wa fedha za mikopo · kwa ajili hiyo mfuko umefanikiwa kuongeza kasi ya utoaji mikopo kufikia 811 yenye thamani ya shilingi milioni mia saba thamanini na tisa laki tatu na arobaini na nane elfu (tshs 789348000) badala ya mikopo 650 yenye thamani ya shilingi milioni mia saba (tshs 700000000) iliyojipangia kwa kawaida mfuko hutoa mikopo ya kuanzia 500000 hadi milioni 5000000 na hutoa mkopo kwa mujibu wa matakwa ya muombaji baada ya kufanyiwa tathmini ya biashara yake na uwezo wa kulipa mkopo aliouomba · jumla ya shilingi milioni mia nne kumi na tatu laki sita na ishirini na tisa elfu (tshs 413629000) zimekusanywa unguja na pemba katika kipindi cha miezi tisa kuanzia julai 2019 hadi machi 2020 pemba imekusanya shilingi milioni mia moja na arobaini na tisa laki mbili sabini na sita elfu na mia tano (tshs 149276500) na unguja imekusanya shilingi milioni mia mbili na sitini na nne laki tatu hamsini na mbili elfu na mia tano (tshs 264352500) marejesho ni mazuri kwani kwa kila mwezi mfuko umeweza kukusanya wastani wa shilingi milioni arubaini na sita (tshs 46000000) zaidi ya milioni sita kila mwezi ya makisio ya kukusanya shilingi milioni arubaini (tshs 40000000) · unaendelea kuwajengea uwezo wakopaji wote wanaopewa mikopo ili kuleta ufanisi wa biashara zao pia mfuko umeandaa na kufanikisha ziara tatu za wajasiriamali kujifunza (2 unguja na 1 pemba) ambapo wajasiriamali walipata wasaa wa kuwatembelea wenzao waliofanikiwa katika shughuli zao za uzalishaji kwa nia ya kujifunza kwa vitendo na kwa nadharia kwa upande wa unguja wajasiriamali 30 (wanawake 19 na wanaume 11) walitembelea wenzao wa mkoa wa kaskazini kujifunza shughuli za kilimo cha viazi vidogo na kabichi na wengine 30 (wanawake 17 na wanaume 13) walienda kibwegere makunduchi mkoa wa kusini unguja kujifunza ulimaji wa tungule na matikiti maji · vile vile ziara nyengine zilifanyika kisiwani pemba ambapo wakulima na wasarifu wa mazao ya kilimo 31 (wanaume 22 na wanawake 9) walitembelea wakulima wa shehia ya chimba huko micheweni wakulima walijifunza jinsi ya kutengeneza hodhi la kuhifadhia maji kwa kutumia turubali na namna ya kuchagua mbegu kulingana na hali ya hewa pia walipata fursa ya kuiona mashine ya umwagiliaji maji inayoitwa mwanameka ambayo iliwavutia sana wakulima kwa kuwa haitumii umeme na ina uwezo mkubwa wa kuvuta maji na kurahisisha shughuli za umwagiliaji · kwa upande wa mafunzo ya nadharia mfuko umetoa mafunzo ya kilimo bora (good agricultural practices) na masuala ya usimamizi wa fedha uwekaji wa akiba uimarishaji wa bidhaa na elimu ya masoko kwa wajasiriamali 1061 (unguja 446 na pemba 615) kati ya hao wanawake 573 na wanaume 488) kutoka katika wilaya zote 11 za unguja na pemba mafunzo yamewawezesha wajasiriamali kuzalisha bidhaa kwa wingi na zenye ubora hali iliyopelekea kuongeza mauzo na kurahisisha urudishaji wa mikopo yao · imewezesha kikundi kimoja cha nuru tailoring kilichopo jumbi wilaya ya kati unguja kuibuka mshindi wa vikundi vinavyozalisha bidhaa za ushoni nchini yaliyoandaliwa na jumuiya ya taasisi zinazotoa mikopo midogo midogotanzania (tamfi) na kupatiwa zawadi ya us$1000 16 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 mfuko wa uwezeshaji wananchi kiuchumi umejipangia kutoa mikopo 700 yenye thamani ya shilingi milioni mia nane na hamsini elfu (tshs 850000000) kwa vikundi vya kiuchumi na mjasiriamali mmoja mmoja katika sekta zote za kiuchumi kuangalia fursa mpya za kiuchumi ambazo zinaweza kutekelezwa na wananchi katika sekta mbali mbali kuhakikisha kuwa mikopo inayotolewa inatumiwa ipasavyo na inarudishwa kwa wakati uliopangwa kuimarisha uwekaji wa kumbukumbu za wateja wa mikopo kuendelea na juhudi za kutunisha fedha ili mfuko uendelee kuwasaidia wajasiriamali wengi zaidi kuimarisha mashirikiano na uratibu wa shughuli za mikopo nafuu hapa nchini kuimarisha mashirikiano na taasisi zinazotoa mikopo nafuu kuimarisha uwezo wa watendaji ili kuongeza ufanisi wa kazi na kuufanyia mabadiliko madogo muongozo wa usimamizi wa mikopo ili uende sambamba na mabadiliko na mahitaji ya walengwa katika kipindi kilichopo kushirikiana na wizara ya biashara na viwanda (kupitia smida) na benki ya watu wa zanzibar pbz ltd kufanikisha uendeshaji wa mpango wa maendeleo ya wajasiriamali wadogo wadogo na wa kati utakaopata ufadhili wa mfuko wa khalifa 17 mheshimiwa spika ili mfuko wa uwezeshaji wananchi kiuchumi uweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lao kuidhinisha ruzuku ya shilingi milioni mia mbili thamanini laki nne arobaini na sita elfu mia saba ishirini na nne (tsh 280446724) programu ndogo sq010102 usimamizi na uimarishaji wa vyama vya ushirika lengo kuu kusimamia mageuzi ya mfumo wa ushirika ili kuviwezesha vyama vya ushirika kuchangia katika kukuza ajira na uchumi wa nchi 18 mheshimiwa spika programu hii ina lengo la kusimamia mageuzi ya mfumo wa vyama vya ushirika ili viwe imara endelevu vinavyoendeshwa kiujasiriamali na vinavyokidhi mahitaji ya wanachama kiuchumi na kijamii pia inachangia kukuza ajira na pato la taifa programu ilitekeleza shughuli zifuatazo · imesajili vyama vya ushirika 860 (unguja 100 pemba 760) kati ya hivyo saccos 2 na vyama vya uzalishaji na utoaji wa huduma ni 858 idadi ya vyama vyote vya ushirika vilivyosajiliwa hadi mwezi machi 2020 ni 4534 (unguja 2521 na pemba 2013) · imekagua hesabu za vyama vya ushirika 186 (pemba 104 na unguja 82) lengo ni kukagua hesabu za vyama vya ushirika 170 (pemba 70 unguja 100) · imefuatilia uendeshaji wa shughuli za vyama utunzaji wa vitabu na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa vyama 671 (246 pemba na unguja 425) lengo ni kufuatilia vyama 840 ufuatiliaji katika saccos umeonesha kuwa mitaji imeongezeka kufikia shilingi bilioni kumi na tano milioni mia tisa na ishirini (tshs 15920000000) kati ya hizo unguja ni shilingi bilioni kumi na tatu milioni mia moja na kumi (tshs 13110000000) na pemba ni shilingi bilioni mbili milioni mia nane na kumi (tshs 2810000000) · imetoa leseni kwa saccos 22 kati ya 227 zilizopo lengo ni kuhakikisha kuwa saccos zote zinaimarishwa na zinaendeshwa kwa kufuata masharti kama yalivyoelekezwa katika sheria ya vyama vya ushirika nambari 15 ya mwaka 2018 pia imetoa leseni kwa taasisi 3 kutoa huduma za ukaguzi kwa vyama vya ushirika unguja na pemba · imeimarisha uwezo wa watendaji viongozi na wanachama kwa kutoa mafunzo washiriki 2410 (wanawake 1608 wanaume 802) kutoka vyama vya ushirika 168 kati ya washiriki hao viongozi walikua 284 na wanachama ni 2126 · pia mafunzo kwa waandishi wa habari 40 kutoka vyombo vya habari 20 (pemba 8 unguja 12) yalitolewa mafunzo hayo yaliwajengea uelewa juu ya kuundwa kwa faraja union ltd matokeo ni kuwa vipindi 80 na makala zilizosaidia kuelimisha jamii viliandaliwa na kurushwa hewani kupitia vyombo vyao na gazeti la zanzibar leo · imeimarisha matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa kukusanya kuchambua na kutoa taarifa za vyama vya ushirika taarifa za vyama 2258 kati ya vyama 4534 vilivyomo katika daftari la usajili zimeingizwa kati ya hivyo vyama 1141 vipo unguja na 1117 vipo pemba pia ipo katika hatua ya kukamilisha zoezi la kuviingiza vyama vyote vya ushirika katika mfumo wa uwekaji wa kumbukumbu za vyama vya ushirika · imeadhimisha siku ya ushirika duniani katika uwanja wa gombani pemba tarehe 6/7/2019 maadhimisho yalijumuisha shughuli za kuwaelimisha wanaushirika juu ya uanzishwaji wa faraja union ltd kufanya usafi katika hospitali kuu tano za pemba na kuchangia damu ujumbe ulikuwa ushirika kwa kazi za staha · imeendesha mikutano 53 (pemba 25 na unguja 28) kwa ajili ya kuitangaza sheria mpya ya vyama vya ushirika nambari 15 ya mwaka 2018 jumla ya vyama 783 (unguja 598 na pemba 185) vimefikiwa washiriki walikua 2708 (wanawake 1735 na wanaume 973) kutoka wilaya zote za unguja na pemba · imekamilisha uundaji wa taasisi ya fedha ya kitaifa faraja union ltd pia imejeijengea uwezo wa taasisi hiyo kwa kuipatia ofisi na vitendea kazi vikiwemo kompyuta printa mezaviti mtandao wa kielektroniki wa uendeshaji wa shughuli za fedha faraja union ltd inaendesha shughuli zake kupitia ofisi zake zilizopo katika shehia za kisiwandui kwa unguja na tibirinzi pemba · imefanya ziara ya mafunzo iliyowajumuisha maafisa wa wizara viongozi na watendaji 16 wa faraja union ltd kwenye mikoa ya dar es salaam dodoma na iringa lengo la ziara hiyo ni kujifunza mbinu za uendeshaji na uongozi wa taasisi za fedha za kitaifa 19 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 programu ya usimamizi na uimarishaji wa vyama vya ushirika imepanga kusajili vyama vya ushirika 400 (unguja 250 na pemba 150) kusimamia uundwaji wa chama kimoja cha kisekta kukagua hesabu za vyama vya ushirika 200 unguja (120) na pemba (80) kufuatilia na kufanya uchunguzi kwa vyama vya ushirika 800 unguja (480) na pemba (320) na kuimarisha matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji taarifa za vyama vya ushirika 20 mheshimiwa spika ili programu ndogo ya usimamizi na uimarishaji wa vyama vya ushirika iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi milioni mia tatu sabini na tisa laki tisa sitini na saba elfu mia moja na kumi na mbili (tshs 379967112) programu ndogo sq 010103 uratibu na uendelezaji wa programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi lengo kuu kukuza hadhi ya kiuchumi kwa vijana wanawake wazee watoto watu wazima na makundi maalum katika jamii 21 mheshimiwa spika programu hii inaongozwa na idara ya uratibu wa programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi na ina jukumu la kubuni na kuratibu programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi ili kuwawezesha wananchi kujiajiri na kuwa na kipato endelevu cha kuweza kumudu maisha yao msingi wa malengo haya ni kuwawezesha wananchi kumiliki uchumi wao na kuchangia katika kuleta maendeleo ya nchi programu inasimamia uendeshaji wa vituo viwili kituo cha kulea na kukuza wajasiriamali kilichopo mbweni na kituo cha wanawake cha kutengeneza umeme wa jua kilichopo kinyasini programu kwa mwaka wa fedha 2019/2020 imetekeleza shughuli kuu zifuatazo · imeanzisha vituo vya ushauri wa kibiashara pemba katika wilaya ya mkoani wete na chake chake na unguja katika wilaya ya kusini pia imeviimarisha vituo vilivyopo unguja na pemba katika wilaya za kaskazini a kaskazini b kati na micheweni ilikufanya kazi kwa ufanisi ikiwemo kununua vifaa mbali mbali na mafunzo kwa ajili ya uendeshaji wa vituo hivyo · imeandaa mafunzo ya huduma za ushauri wa kibiashara kwa maafisa watakaotoa huduma katika vituo hivyo pamoja na wajasiriamali kwa unguja jumla ya wajasiriamali 110 wamepatiwa mafunzo ya kuendeleza biashara zao kupitia wilaya zao kaskazini a 35 b 35 kusini 25 na kati 25 kwa pemba maafisa na wajasiriamali 99 wamepatiwa mafunzo katika wilaya za chake chake micheweni wete na mkoani · imeandaa ziara za kuwatembelea wajasiriamali unguja na pemba na jumla ya vikundi 70 (unguja 40 na 30 pemba) vinavyojishughulisha na kazi za mikono ufugaji wa nyuki ngombe umeme wa jua ushonaji ufinyanzi kilimo salon ya kike na usarifu wa mazao ambapo ziara hiyo kwa upande wa unguja zilihusisha vikundi vya watu wanaoishi katika mazingira magumu baadhi ya vikundi hivyo unguja ni sogea afraa kijichi refasha sab spice kijichi bau business group mtundani metaring work na kwa pemba ni makoongwe kisiwa panza zoyina partnership na kikundi cha watu wenye mahitaji maalum vikundi hivyo viliweza kupatiwa ushauri unaofaa juu ya kuviendeleza vikundi vyao · imeandaa vikao vya tathmini ya maendeleo ya idara na kuandaa maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa tena kwa jumuiya ya afrika mashariki yaliyofanyika fumba mji mpya kuanzia tarehe 16/11/2019 hadi tarehe 24/11/2019 ambapo yaliwashirikisha jumla ya wajasiriamali 183 kutoka zanzibar tanzania bara na taasisi 17 wajasiriamali waliweza kutangaza na kuuza bidhaa zao · imesimamia uendeshaji wa kituo cha wanawake cha utengenezaji wa vifaa vya umeme wa jua (barefoot college) na imetowa mafunzo ya ufugaji wa nyuki kwa wanawake 20 huko pemba pia kituo kimeajiri vijana watatu katika masuala ya ushonaji · imefanya ufuatiliaji na tathmini ya maendeleo ya mradi kwa vijiji vilivyounganishwa umeme wa jua pamoja na kutembelea vijiji tofauti unguja na pemba kwa ajili ya kubaini changamoto na mafanikio ya mradi tathmini imebaini kwamba mradi unawasaidia wananchi kwa kungarisha vijiji vyao watoto kuweza kudurusu masomo yao nyakati za usiku na kuongeza kipato kwa sola mama · imefanya upembuzi yakinifu ili kuchagua kinamama ambao watapatiwa mafunzo ya nishati ya umeme wa jua kwa muhula wa 3 wa masomo jumla ya vijiji 6 (kigongoni ukongoroni kendwa unguja na kukuu msuka na matale pemba) vimeweza kuchaguliwa na wanawake 12 wameweza kupata nafasi ya kujifunza masomo ya nishati ya umeme wa jua kwa unguja na pemba · kituo kimenunua vifaa kutoka nchini india kwa ajili ya kufundishia wanawake ambao watajifunza nishati ya umeme wa jua kwa muhula wa 3 wa masomo vifaa vilivyopelekwa ni pamoja na dayoda tranzista na daiva · kituo kimeweza kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutoa misaada ya vitu mbalimbali katika hospitali ya kivunge vifaa hivyo ni pamoja na mito ya kulalia mashuka sabuni za kukogea na kufulia · katika kipindi hichi kituo kimeweza kutangazwa kupitia njia mbalimbali zikiwemo makala katika gazeti la zanzibar leo semina warsha na mikutano ambapo kituo hupata fursa ya kualikwa pamoja na kutangaza na kuuza bidhaa zinazozalishwa kituoni hapo ikiwepo taulo za wanawake nguo na asali · imesimamia uendeshaji wa kituo cha kulea na kukuza wajasiriamali (ztbi) ambapo mashine za maziwa zimefanyiwa matengenezo pia kituo kimeweza kufanya ukarabati wa vifaa mbali mbali vya ofisi pia vipindi mbali mbali vya kukitangaza kituo na huduma zinazotolewa vimerushwa kupitia redio za kiss fm bahari fm hits fm na zbc · vijana 40 wamepatiwa mafunzo juu ya usarifu wa mazao ya kilimo kituoni kupitia mradi wa fao pamoja na kupewa tunzo kwa washindi watatu (3) wa mpango wa biashara vile vile kituo kimefanya mafunzo ya bekari kwa vijana 12 22 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 programu ya uratibu na uendelezaji wa program za wananchi kiuchumi imepanga kuendelea kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana 300 wanawake na makundi maalum itatekeleza miradi ya kuwawezesha wajasiriamali na vijana ili kutoa huduma na bidhaa zenye ubora itawawezesha wajasiriamali 25 kushiriki katika maonyesho ya afrika mashariki (jua kali) itaendelea kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia kituo cha kulea na kukuza wajasiriamali (incubation centre) pamoja na kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia kituo cha wanawake cha utengenezaji wa vifaa vya umeme wa jua (barefoot) kibokwa 23 mheshimiwa spika ili programu ndogo ya uratibu na uendelezaji wa program za wananchi kiuchumi iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naiomba kamati yako kuidhinishia jumla ya shilingi bilioni moja milioni mia sita ishirini na nne laki saba ishirini na mbili elfu mia saba na kumi na mbili (tshs1624722712/) 24 mheshimiwa spika ili programu kuu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako tukufu kuidhinisha jumla ya shilingi bilioni mbili milioni mia mbili na thamanini na tano laki moja thalathini na saba elfu mia tano na arobaini na nane (2285137548/) programu kuu pq0103 hifadhi ya jamii na maendeleo ya wanawake na watoto mtokeo ya muda mrefu kuimarisha ustawi na hifadhi ya jamii na kupunguza kiwango cha umaskini kwa wanawake wa zanzibar programu ndogo sq010301 uratibu wa huduma za uhifadhi wa jamii lengo kuu kuimarisha mifumo ya hifadhi ya jamii na huduma kwa wazee na watoto wanaoishi katika mazingira magumu 25 mheshimiwa spika programu hii inatekelezwa na idara ya wazee na ustawi wa jamii ambayo ina jukumu la kuratibu na kusimamia upatikanaji wa haki kwa makundi yanayoishi katika mazingira magumu zaidi pia programu ina lengo la kuimarisha mfumo wa hifadhi ya mtoto kuimarisha hifadhi ya wazee kusimamia ulipwaji wa fidia kwa wafanyakazi waliopatwa na ajali kazini na kusimamia malipo ya pensheni kwa wazee wenye umri wa miaka 70 na kuendelea pamoja na mikakati ya kitaifa na mpango mkakati wa wizara utekelezaji wa shughuli za programu unaongozwa na sheria ya watoto na 6 ya 2011 na sera ya hifadhi ya jamii ya mwaka 2014 programu imetekeleza yafuatayo · imeendelea kupokea na kuyafanyia kazi malalamiko yanayohusu ukiukwaji wa haki za watoto kupitia kitengo cha hifadhi ya mtoto cha taifa ambapo jumla ya malalamiko 390 yalipokelewa na kufanyiwa kazi kwa unguja ambapo malalamiko 255 yalihusu kunyimwa matunzo na 135 yalihusu mvutano wa malezi kwa upande wa pemba jumla ya malalamiko 289 yalipokelewa na kufanyiwa kazi ambapo malalamiko 194 yalihusu kunyimwa matunzo na 95 yalihusu mvutano wa malezi takwimu zinaonyesha kuwa malalamiko ya matunzo na mvutano wa malezi yanaendelea kuongezeka kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo hii ni aina mbaya sana ya ukatili dhidi ya watoto ambayo inatokea ndani ya familia na kuwaweka idadi kubwa ya watoto katika hatari ya kupata aina nyengine za udhalilishaji na ukatili sababu kuu ya kuongezeka aina hii ya ukatili dhidi ya watoto ni talaka (kiambatanisho namba 6a na 6b kinahusika) · imeendelea kufuatilia kesi za jinai na madai 230 (72 madai na 158 jinai) katika mahakama za watoto za mahonda vuga na mahakama ya mkoa wa kaskazini na kusini pemba jumla ya kesi 158 za jinai zilizofuatiliwa zilihusisha makosa ya kubaka kutorosha kujaribu kulawiti kulawiti shambulio la hatari shambulio la kuumiza mwili kukashifu na unyanganyi unguja na pemba kesi 108 (unguja 58 na pemba 50) bado zinaendelea na kesi 24 zimepewa rufaa kituo cha marekebisho ya tabia aidha kesi za madai 72 (vuga 65 na mahonda 7) zilifunguliwa unguja ambapo zinazohusisha kunyimwa matunzo na mvutano wa malezi kesi 59 zinaendelea kesi 11 zimemalizika na 2 zimepatiwa rufaa (kiambatanisho namba 7(7a na 7b) na 8 (8a 8b 8c 8d) vinahusika) · imeendelea kusimamia uendeshaji wa kituo cha marekebisho ya tabia kwa watoto wanaokinzana na sheria na walio katika hatari ya kukinzana na sheria hadi kufikia mwezi machi 2020 kituo kimepokea watoto 21 (wanawake 8 na wanaume 13) ambao wamefanya makosa mbali mbali ikiwemo wizi kukashifu na kuondoka nyumbani watoto hao hupatiwa taaluma ya mambo mbalimbali ikiwemo stadi za maisha ushauri nasaha ufundi ushoni uchoraji kompyuta sarakasi na maigizo aidha jumla ya watoto 13 (7 wanawake na 6 wanaume) wamemaliza muda wao wa mafunzo na kuondoka kituoni katika kipindi hiki · watoto wote hao wanaendelea vizuri ambapo 6 wamerudi skuli kuendelea na masomo yao 5 wanaendelea na mafunzo ya ufundi katika taasisi ya sayansi na teknolojia karume na 2 wamejiunga na mafunzo ya ufundi wa uchomaji na uunganishaji wa vyuma katika chuo cha mafunzo ziara katika familia za watoto hawa zinafanywa mara kwa mara na maafisa wa kitengo ili kuhakikisha uendelevu wa marekebisho ya tabia zao · imefuatilia na kusimamia uendeshaji wa vituo 6 vya kulelea watoto yatima vya binafsi unguja na pemba mpaka kufikia mwezi machi 2020 jumla ya watoto 235 (wanaume 172 na wanawake 63) wanaendelea kutunzwa kwa kupatiwa huduma mbali mbali katika vituo hivyo wamiliki wa vituo hivyo wameendelea kupatiwa maelekezo ya namna bora ya uendeshaji wa vituo na kuimarisha malezi ya watoto wanaolelewa katika vituo hivyo inaendelea kuhakikisha kwamba msisitizo unawekwa kwa familia kuzingatia jukumu la msingi la malezi na ulinzi wa mtoto kwa ukuaji mzuri wa kimwili na kiakili na kwamba watoto kuwekwa kwenye vituo ni suluhisho la mwisho baada ya mibadala yote ya malezi kushindikana wizara imekuwa ikichukua juhudi kadhaa za kuhakikisha inadhibiti ongezeko la watoto wanaolelewa katika vituo hivyo ikiwemo kukamilisha kanuni za makaazi yaliyokubaliwa na hivyo kuanzisha utaratibu wa kuvipatia leseni vituo vyenye sifa tu kuhakikisha watoto wanaoingizwa katika vituo wanapata ridhaa ya wizara kupitia idara ya wazee na ustawi wa jamii jitihada hizo zimepelekea kupungua kwa kiasi kikubwa idadi ya vituo pamoja na wimbi la watoto wanaolelewa katika vituo hivyo kutoka watoto 551 mwaka 2015 na kufikia watoto 270 mwaka 2020 (kiambatanisho namba 9 kinahusika) · imewajengea uwezo wakuu wa vituo na walezi 22 wa vituo vya binafsi vya unguja na nyumba ya watoto mazizini juu ya kanuni za makaazi viwango na mahitaji katika uendeshaji wa vituo hivyo pamoja na ulinzi na usalama wa watoto · wizara ipo katika hatua ya kuanzisha programu ya malezi itayohusisha kuwepo kwa walezi maalum wa kujitolea watakaofanyiwa tathmini ya kina juu ya malezi kupatiwa mafunzo na kusajiliwa walezi hao wataishi na watoto wanaohitaji matunzo baada ya kufikwa na kadhia mbali mbali ikiwemo ukatili na udhalilishaji pia imeandaa kitini cha mafunzo nyenzo za ufuatiliaji na tathmini pamoja na vipeperushi · imeendelea kuwatunza watoto 37 (wanaume 19 na wanawake 18) wa nyumba ya watoto mazizini kwa kupatiwa huduma zote muhimu aidha nyumba ya watoto mazizini imekuwa ikitoa hifadhi ya muda kwa watoto wanaofanyiwa udhalilishaji na wanaopata matatizo mbali mbali ya malezi ikiwemo mvutano wa malezi au kukosa wazazi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 jumla ya watoto 18 (wanawake 14 na wanaume 4) · kituo cha mazizini kimepokea watoto watatu wote wa kike baada ya kutupwa katika maeneo tofauti unguja na pemba watoto hao wanaendelea vizuri na malezi napenda kuchukua fursa hii kukemea vikali vitendo hivi vya kinyama ambavyo vinaendelea kushamiri katika nchi yetu aidha tunatoa wito kwa jamii kuendeleza mshikamano wa kifamilia pamoja na kuwasaidia kwa kila hali na kuwa karibu na wanawake wanapokuwa wajawazito ili kuwaepusha na msongo wa mawazo unaopelekea kufanya vitendo vya kikatili · imeendelea kuwahifadhi wahanga 26 (wanawake 22 na wanaume 4) wa ukatili na udhalilishaji katika nyumba salama ili kuzuia kupotea kwa ushahidi na usalama wao · imeendelea kuratibu utekelezaji wa sera ya hifadhi ya jamii ya mwaka 2014 na imesimamia kufanya tathmini ya sera hiyo kufuatia kufikia nusu ya utekelezaji wa mpango kazi wake ili kuangalia mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji huo tathmini ya awali imeonyesha kuwa sera imefanikiwa katika uanzishaji na uendeshaji wa zoezi la pensheni jamii kwa wazee wote lakini kumeonekana changamoto katika masuala ya uratibu tathmini hii itakapokamilika itaota muongozo wa namna bora ya utekelezaji wa sera hiyo kwa kipindi kijacho · imeendelea kuwapatia huduma muhimu ikiwemo afya chakula malazi na mavazi wazee 80 wanaotunzwa katika makao ya wazee welezo sebleni na limbani pemba ambapo katika makao ya welezo kuna wazee 42 (wanaume 32 na wanawake 10) sebleni wazee 30 (wanaume 9 na wanawake 21) na limbani pemba wazee 8 ( wanaume 5 na wanawake 3) aidha waathirika wa maradhi ya ukoma wa makundeni 52 (wanaume 25 na wanawake 27) wanaendelea kupatiwa posho maalum · kwa kushirikiana na jumuiya za wazee nchini imeadhimisha siku ya wazee duniani tarehe 1 oktoba iliyofanyika kitaifa katika hoteli ya zanzibar beach resort mazizini ambapo mh waziri wa kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto alikuwa mgeni rasmi kauli mbiu ya mwaka huu ilikuwa ni tuimrishe usawa kuelekea maisha ya uzeeni maadhimisho yaliambatana na shughuli mbali mbali za kuwaenzi na kuwathamini wazee · imeendelea kutoa misaada ya kiustawi kwa familia zenye watoto wanaoishi katika mazingira magumu zaidi ambapo familia 152 (unguja 86 na pemba 66) zimesaidiwa aidha imewapatia msaada wa posho la maziwa kwa familia zenye mapacha zaidi ya wawili 14 (9 unguja na pemba 5) · imeendelea kulipa na kusimamia malipo ya fidia kwa wafanyakazi walioumia wakiwa kazini jumla ya wafanyakazi 20 wamelipwa fidia katika kipindi hiki kati ya hao unguja 11 na pemba 9 jumla ya shilingi milioni ishirini na moja laki mbili thamanini na tisa elfu mia nane na tisini na moja (tshs 21289891) zilitumika kufanya malipo hayo aidha madai 33 (unguja madai 21 na pemba madai 12) ya malipo ya fidia yenye thamani ya shilingi milioni arobaini na saba laki nne na sitini elfu mia sita na kumi na moja (tshs 47460611) yameshafanyiwa tathmini na yanasubiri malipo aidha wizara inaendelea na hatua za kuanzisha mfuko wa fidia nchini · hadi kufika mwezi machi 2020 jumla ya wazee 28516 (16565 wanawake na 11951 wanaume) wamesajiliwa katika programu ya pensheni jamii kati ya hao unguja ni 17660 na pemba ni 10856 jumla ya wazee wapya 2380 (unguja 1434 na pemba 946) wamesajiliwa na wazee 1437 (unguja 991 na pemba 446) walifariki na kuondolewa katika programu katika kipindi hichi (kiambatisho namba 10a na 10b kinahusika) · pia mfumo wa kuhifadhi taarifa za wazee wanaopokea pensheni unaendelea kuboreshwa na taarifa za wazee zinaendelea kuchukuliwa kwa kufanyiwa usajili wa alama za vidole na picha zao kwa kupitia vingamuzi kila mwezi malipo ya kutumia vingamuzi kwa upande wa unguja yameanza rasmi mwezi wa april 2020 na kwa upande wa pemba malipo ya vingamuzi yanaendelea mfumo huo utarahisisha pamoja na mambo mengine utaratibu wa kupokea pencheni za wazee kwa njia ya kielekitroniki · mpango unaendelea vizuri kwa mashirikiano makubwa tunayoyapata kutoka kwa wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya na masheha wa unguja na pemba yanayopelekea ufanisi wa utekelezaji wa program hii aidha tunaendelea kutoa wito kwa taasisi na jamii kuhakikisha kwamba wazee wote wenye sifa wanasajiliwa kwa wakati ili waweze kupokea malipo yao ya pensheni kwa wakati na kutoa taarifa kwa wakati kwa wazee waliofariki ambao tayari wamesajiliwa katika mpango huu 26 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 programu ya uratibu wa huduma za uhifadhi wa jamii imepanga kuendelea kuimarisha hifadhi ya watoto kwa mujibu wa sheria ya mtoto namba 6/2011 kuratibu uendeshaji wa kituo cha kurekebisha tabia za watoto kulipa fidia kwa wafanyakazi wanaopatwa na ajali kazini kufuatili uanzishaji wa mfuko wa fidia kusimamia uendeshaji wa makao ya wazee unguja na pemba kusimamia uendeshaji wa nyumba ya watoto mazizini kuendelea kutoa misaada ya kiustawi kwa familia zenye mazingira magumu zaidi kusimamia utekelezaji wa mpango wa pensheni jamii kuratibu utekelezaji wa sera ya hifadhi ya jamii na kuzika maiti zisizokuwa na wenyewe na kuandaa kanuni na kuratibu utekelezaji wa sheria ya wazee 27 mheshimiwa spika ili programu ndogo ya uratibu uratibu wa huduma za uhifadhi wa jamii iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi bilioni kumi milioni mia tano arobaini na nne thalathini na tano elfu na thalathini (tshs10544035030) programu ndogo sq010303 maendeleo ya wanawake na kupinga udhalilishaji lengo kuu kuimarisha maendekeo ya wanawake na kuratibu mwitiko wa mapambano dhidi ya udhalilishaji wa wanawake na watoto 28 mheshimiwa spika programu hii inatekelezwa na idara ya maendeleo ya wanawake na watoto ina jukumu la kuratibu na kusimamia utekelezaji wa haki za wanawake na watoto ikiwa ni pamoja na kusimamia utekelezaji wa sera na sheria zinazohusu maendeleo ya wanawake na watoto programu inatekeleza majukumu yake ya kuwaendeleza wanawake kwa kuzingatia sera na mipango ya kitaifa mikataba ya kimataifa na kikanda programu kwa mwaka wa fedha 2019/2020 imetekeleza shughuli zake kama ifuatavyo · imefanya kikao cha kamati ya viongozi wa juu na kujadili taarifa za utekelezaji wa mpango kazi wa kitaifa wa kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji kwa taasisi zinazosimamia utekelezaji wa mpango huo pia imeratibu vikao vitatu vya kamati ya kitaalamu ya kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto na kupata taarifa ya utekelezaji ambayo iliunganishwa na kupatikana taarifa iliyowasilishwa katika kamati ya viongozi wa juu · imefanya mkutano wa kutathmini na kujadili utekelezaji wa mikakati ya kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji iliyopendekezwa na wananchi kupitia programu ya uhamasishaji jamii kupitia sanaa shirikishi wananchi walichukua hatua mbali mbali za kujikinga ikiwemo kufyeka vichaka kuondosha baadhi ya vigenge viovu kuwaelimisha na kuwapa mbinu watoto/ wanafunzi juu ya namna ya kujikinga na vitendo vya ukatili na udhalilishaji maboma kuwatafuta wenyewe kwa ajili ya kuyamaliza au kuyasafisha ili kuweka udhibiti wa matukio ya ukatili na udhalilishaji yasitokee kudhibiti uzururaji wa wanafunzi kwa mfano skuli ya nungwi imejengwa ukuta kuanzisha na kuimarisha ulinzi shirikishi na doria katika shehia kudhibiti utizamaji wa tv za nje (maskani) kwa watoto kulifukia shimo liliopo eneo la skuli ya kibeni ambalo linatumiwa na wanafunzi kufanyiana vitendo vya ukatili na udhalilishaji kuondoshwa kwa baadhi ya magesti na mabaa kwa mfano donge mchangani · imefanya mkutano wa robo mwaka kwa timu ya viongozi wa dini zinazojumuisha viongozi wa dini 88 za wilaya kwa ajili ya kutathmini utekelezaji wa shughuli wanazofanya katika kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto pamoja na kutayarisha na kujadili mipango kazi yao kwa robo mwaka unaokuja miongoni mwa shughuli walizozifanya ni pamoja na kufanya mikutano ya hadhara kutayarisha na kusambaza hotuba katika misikiti mbali mbali ya ijumaa kuandaa vipindi kupitia redio ya zbc annur na redio jamii (mkoani na micheweni) na wamefanya uhamasishaji kupitia skuli na madrasa jumla ya watu waliofikiwa ni 49438 (wanaume 27454 na wanawake ni 21984) · imeziwezesha timu za viongozi wa dini za wilaya kwa kuwapa nauli na vitendea kazi kama karatasi na kalamu ili waweze kutekeleza shughuli zao za kutoa elimu na kuihamasisha jamii juu ya kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto · imetoa mafunzo ya wasimamizi wa utoaji wa haki unguja na pemba na kujadili uwajibikaji wa vyombo vya sheria na changamoto wanazokabiliana nazo katika utoaji wa huduma mkutano huo uliwashirikisha polisi dpp mahkama kituo cha huduma ya mkono kwa mkono washiriki hao walipendekeza kufanya mikutano endelevu itakayoimarisha mahusiano kati ya vyombo vinavyosimamia masuala ya haki na kuanzisha mfumo wa uratibu katika masuala ya sheria ikiwemo chuo cha mafunzo · imeelimisha na kuhamasisha jamii juu ya kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji dhidi wanawake na watoto katika shehia 37 (22 unguja na 15 pemba) kwa kupitia mbinu ya sanaa shirikishi baada ya maigizo wananchi walipata fursa ya kuibua na kujadili sababu hatarishi za vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto katika shehia zao na hatimae kupendekeza mikakati kwa ajili ya kuzitatua sababu hizo · imehamasisha viongozi wa kamati za kudumu za baraza la wawakilishi watendaji wa wizara viongozi wa dini na wandishi wa habari kuhusu vuguvugu la malezi kwa watoto ambapo jumla ya watu 120 wamefikiwa ili kuimarisha uwajibikaji wa malezi ya pamoja na kuondoa vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa watoto wajumbe wa wawakilishi wanatarajiwa kutoa elimu hiyo katika majimbo yao ili kuimarisha malezi bora ya watoto nchini aidha imeandaa vipindi vitano (5) vya uhamasishaji kuhusu vuguvugu la malezi kwa watoto kupitia vipindi vya redio na tv ikiwemo zbc tv na redio asalam fm chuchu fm na zanzibar cable tv · imekiimarisha kitengo cha ushauri nasaha kwa kupatiwa vitendea kazi muhimu ikiwemo mafuta ili waweze kutoa huduma madhubuti na msaada wa kisaikolojia kwa wahanga wa vitendo vya ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto msaada huo ulisaidia kitengo kufanya ufuatiliaji kwa wahanga wa ukatili na udhalilishaji pamoja na familia zao na kutoa ushauri unaofaa · imeandaa na kurusha hewani vipindi 12 (8 unguja na 4 pemba) vya kuhamasisha jamii kupinga vitendo vya ukatili na udhalilishaji na majukumu ya waratibu wa wanawake na watoto katika shehia kupitia zbc tv redio na redio jamii pemba kupitia vipindi hivyo wanananchi wamepata fursa ya kuzijua sheria mpya zinazohusiana na kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto pamoja na kujua utaratibu wa kutoa taarifa ya vitendo hivyo kupitia ngazi mbali mbali aidha makala moja ilichapishwa na gazeti la zanzibar leo inayohusu masuala ya udhalilishaji wa wanawake na watoto na vipeperushi vilichapishwa na kusambazwa kwa wananchi kwenye maonesho ya chakula huko chamanangwe · imefanya mikutano mitatu (3) ya kujenga uelewa juu ya kuhamasisha malezi bora na matunzo kwa familia kwa watendaji kutoka taasisi za serikali na binafsi zinazoshughulikia masuala ya watoto waandishi wa habari na kamati ya maendeleo ya wanawake habari na utalii ya baraza la wawakilishi zanzibar · imeratibu mkutano wa kimataifa na kikanda wa huduma za simu kwa watoto ambao ulizishirikisha nchi 86 kutoka afrika mashariki ya kati na ulaya uliojadili juu ya kuwekeza katika teknolojia ya kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kingono aidha wajumbe walikubaliana kutumia mfumo wa pamoja wa kielektroniki wa ukusanyaji wa taarifa za udhalilishaji katika nchi wanachama wanaoendesha huduma za simu kwa mtoto ili kukinga na kuripoti vitendo vya ukatili na udhalilishaji pia imeandaa kikundi kazi cha kusimamia huduma za simu na masuala ya rufaa kwa watoto waliofanyiwa masuala ya ukatili na udhalilishaji kwa kuwaunganisha na mifumo ya utoaji wa huduma za hifadhi ya mtoto · imewajengea uwezo waratibu wa wanawake na watoto 209 (105 unguja na 104 pemba) kwa kupatiwa mafunzo juu uelewa wa sheria dhidi ya ukatili na udhililishaji wa kijinsia sheria ya mtoto mambo muhimu ya kuzingatia katika kuwasaidia wahanga wa ukatili wa kijinsia kuelimisha jamii juu ya hifadhi ya mtoto na kampeni ya kitaifa ya kupambana na udhalilishaji ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa mpango kazi wa kitaifa wa kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia pia waratibu 319 walipatiwa posho la usafiri wa kufuatilia (190 unguja kwa wilaya za mjini magharibi a na b na kusini na kati unguja na 129 kwa shehia zote za pemba) · imefanya maadhimisho ya siku 16 za wanaharakati wa kupinga vitendo vya ukatili na udhalilishaji unguja na pemba ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 25 novemba 10 disemba ujumbe wa mwaka huu ni imarisha usawa pambana na udhalilishaji pinga ubakaji wizara ilitoa zawadi maalum kwa waratibu wa shehia wa wanawake na watoto pamoja na shehia zinazofanya vizuri zaidi katika harakati za kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto ambapo jumla ya waratibu 11 na shehia 11 zilipatiwa zawadi hizo ili kuchochea ari ya uwajibikaji kwa shehia na waratibu wengine katika mapambano hayo · imeadhimisha siku ya mtoto wa kike tarehe 11/10/2019 katika ukumbi wa sheikh idrissa abdul wakil wilaya ya mjini ambapo ujumbe wa mwaka huu ni utekelezaji wa sheria ni jukumu letu sote tuwajibike pia imetoa mafunzo ya watoto wa kike ya kuandika makala ya udhalilishaji wa kijinsia ambazo zitachapishwa katika jarida la sema ambalo linalenga kuhamasisha uzuiaji wa ukatili wa kijinsia kwa watoto na kuimarisha malezi bora · imeadhimisha siku ya wanawake duniani tarehe 8/3/2020 ujumbe wa mwaka huu ni endeleza vuguvugu la usawa zingatia haki na maendeleo ya wanawake kilele cha maadhimisho hayo kilifanyika katika ukumbi wa sheikh idrisa abdul wakil kikwajuni zanzibar kwa kufanya kongamano la kitaifa lengo la kongamano hilo ni kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa azimio la beijing kwa miaka 25 iliyopita · imefanya ufuatiliaji wa vikundi vya wanawake 74 (14 unguja na 60 pemba) vikundi hivyo vimepatiwa ushauri na maelekezo pamoja na kuwaunganisha na fursa za ujasiriamali mikopo na ushirika ili kuinua kiwango cha uzalishaji · imepokea kuyasikiliza na kuyafanyia kazi malalamiko ya wanawake 105 (41 unguja na 64 pemba) kwa kupatiwa maelekezo na ushauri nasaha malalamiko hayo yalihusu kutelekezwa na mume madai ya malimadai ya mahari dai la talaka migogoro ya ndoa shambulio la matusi kwa njia ya simu madai ya makaazi kupigwa huduma za ujauzito kudhalilishwa na madai ya mafao · imepokea jumla ya simu 17 zilizorasmi za waathirika wa vitendo vya udhalilishaji kati ya hizo 1 kutelekezwa 5 kubakwa 2 kupigwa 1 kutishiwa amani 1 kukatishwa masomo 1 kulawitiwa 1 kushikwa makalio 1 kutumikishwa kazi za majumbani1 kutukanwa 1 mvutano wa malezi na 2 adhabu mbadala ya kutoleshwa pesa na mwalimu malalamiko hayo yamefikishwa sehemu husika kwa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mujibu wa lalamiko 29 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 wizara kupitia programu ya maendeleo ya wanawake na kupinga udhalilishaji inatarajia kufanya ufuatiliaji wa vikundi na kuviunganisha na fursa mbalimbali zilizopo za kiuchumi pamoja na kuhamasisha wanawake kugombea nafasi mbalimbali za uongozi itaendelea kuwajengea uwezo wadau katika kupinga vitendo vya ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto pamoja na kuratibu utekelezaji wa mpango kazi wa miaka mitano wa kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake na watoto (2017/2022) na kuimarisha uhamasishaji na utekelezaji wa vuguvugu la malezi ya familia na ushiriki wa watoto katika kupambana na mimba za umri mdogo kupitia mabaraza na vilabu vya watoto 30 mheshimiwa spika ili programu ya maendeleo ya wanawake na kupinga udhalilishaji itekeleze majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi bilioni moja milioni tisa laki saba hamsini na tisa elfu na kumi na sita (tshs 1009759016) 31 mheshimiwa spika ili progaramu kuu ya hifadhi ya jamii na maendeleo ya wanawake iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi bilioni kumi na moja milioni mia tano hamsini na tatu laki saba tisini na nne arubaini na sita (11553794046) programu kuu pq0104 uendeshaji na uratibu wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto matokeo ya muda mrefu kuwa na mipango endelevu na sera sahihi zitakazoimarisha upatikanaji wa ajira zenye staha na ustawi wa vijana wanawake watoto wazee na makundi mengine yanayoishi katika mazingira magumu zaidi programu ndogo sq010401 uratibu wa mipango sera na tafiti za wizara lengo kuu kusimamia uandaaji na utekelezaji wa sera mipango programu na tafiti za wizara itakayosaidia kukuza uchumi endelevu nchini 32 mheshimiwa spika programu ya uratibu wa mipango sera na tafiti za wizara inalenga kusimamia uandaaji na utekelezaji wa sera mipango programu na tafiti za wizara ili kuwa na mipango endelevu na sera sahihi zitakazoimarisha upatikanaji wa ajira zenye staha na ustawi wa vijana wanawake watoto wazee na makundi mengine yanayoishi katika mazingira magumu zaidi programu hii iko chini ya idara ya mipango sera na utafiti na kwa mwaka wa fedha 2019/2020 imetekeleza shughuli zifuatazo · imekamilisha uandaaji wa mswada wa sheria ya masuala ya wazee 2020 na tayari umepitishwa na baraza la wawakilishi sheria pamoja na mambo mengine inatoa muongozo wa uendeshaji wa programu ya pensheni jamii kwa wazee wote na kutoa muongozo kwa jamii kusimamia malezi bora ya wazee · imekamilisha tafsiri ya kiswahili ya sera ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ya mwaka 2019 pamoja na nakala nyepesi ya sera hiyo kwa lugha ya kiswahili na vikatuni kwa ajili ya urahisi wa kueleweka kwa wananchi jumla ya nakala 50 za nakala nyepesi zimetolewa pia imekamilisha mpango mkakati wa wizara na kuchapisha nakala 300 za mpango mkakati huo na tayari zimeshanza kufanyiwa kazi · inaendelea na hatua ya kutayarisha rasimu ya sera ya mafunzo kazi (apprenticeship policy) ambapo imefanya vikao na watendaji wa taasisi mbali mbali unguja na pemba juu ya kuimarisha rasimu ya sera ya hiyo na hivisasa iko katika hatua ya kujadiliwa na kamati ya uongozi ya wizara · imekamilisha kutoa matokeo ya utafiti wa ukatili na udhalilishaji katika maeneo ya kazi katika sekta binafsi ambapo matokeo yameonyesha kuwa waajiri wanaume wanafanya ukatili na udhalilishaji kwa asilimia 442 ukilinganisha na waajiri wanawake ambao wanafanya kwa asilimia 182 vile vile tatizo la kutoleana maneno mabaya limeripotiwa na karibu asilimia 90 ya waliohojiwa pia asilimia 725 ya wahojiwa wamesema kuwa mwenendo mzima wa kuzisimamia kesi za ukatili na udhalilishaji wa kijinsia katika vyombo vya sheria hauridhishi na hakuna kitengo maalum ndani ya taasisi binafsi zilizohojiwa kinachoshughulikia malalamiko ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia vile vile sababu zilizotajwa zinazopelekea ukatili na udhalilishaji ni pamoja na kupungua kwa mashirikiano baina ya wakuu wa taasisi na waajiriwa kuwepo kwa watumiaji wa ulevi mazingira yasiyo salama kiwango kidogo cha mshahara na kutopata mshahara kwa wakati hivyo imebainika kuwa mfumo maalum wa kushughulikia tatizo la ukatili na udhalilishaji wa kijinsia katika sekta binafsi unahitajika · kwa kushirikiana na ofisi ya mkuu wa mkoa wa mjini magharibi imekamilisha zoezi la kufanya tathmini ya tatizo la omba omba kwa mkoa wa mjini magharibi jumla ya omba omba 24 kati ya 42 walifanyiwa tathmini ya kina kwa kutambuliwa wanapotoka sababu za kujiingiza katika kuomba na hatua gani zichukuliwe tathmini imeonyesha kwamba asilimia 87 ya omba omba ni wanawake na walifanyiwa tathmini ya kina kwa kutambuliwa shehia wanazotoka ambazo ni chumbuni kilimahewa juu mtopepo kwaalinato mkele rahaleo mwembe makumbi mtoni kidatu nyerere amani fuoni uzi tomondo na kisauni pia iliangalia sababu za kujiingiza katika kuomba na hatua gani zichukuliwe imegundulika kuwa asilimia 17 (4) ya omba omba wanafanya shughuli ya kuomba kutokana na matatizo ya kimaisha na asilimia 83 walionyesha kuomba ni tabia yao lakini sishida za kimaisha wengine wanaomba kwa kuiga watu na kutafuta njia rahisi za kujipatia kipato · kwa kushirikiana na ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali imeimarisha uaptikanaji wa takwimu za matukio ya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto na imeanza kutoa taarifa za takwimu za matukio ya makosa ya jinai ya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto za mwaka 2017/2018 na 2018/2019 katika vyombo vya habari mbali mbali ikiwemo zbc redio na tv chuchu fm daily news nipashe the guardian bahari fm zenj fm hits fm zanzibar leo majira island mwenge uhuru mwananchi habari leo zanzibbar cable on line tv tbc redio na tv pamoja na itv pia imefanya kipindi maalum mubashara na zbc redio kutoa takwimu hizo kwa wananchi · imeshiriki katika kikao cha maandalizi ya utafiti wa taasisi za kijamii na jinsia dodoma ambapo utafiti huu utafanywa kuangalia ni namna gani taasisi za kijamii kama familia skuli madrasa mila desturi nk zinavyochangia au kupunguza masuala ya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto nchini tayari nyenzo za kufanyia utafiti huo za ngazi ya kaya na binafsi zimeshatayarishwa na kupitiwa na wadau kwa kuimarishwa mafunzo kwa wakusanya data yatafanyika muda wowote na zoezi la utafiti litaanza mara baada ya mafunzo tanzania bara na visiwani · imetayarisha vipindi 75 vya redio na televisheni ambapo vipindi 55 vimerushwa kupitia zbc hits fm pamoja na chuchu fm na vipindi 20 vilirushwa kupitia zbc tv na zctv pia imetayarisha makala 10 katika magazeti mbali mbali na habari 103 zinazohusu shuguli za wizara ziliziandikwa na kurushwa hewani kupitia vyombo mbali mbali vya habari documentary 2 zinazohusu masuala ya wazee na wanawake zilitayarishwa pamoja na kipindi maalum cha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa miaka 4 na utekelezaji wa miaka 9 wa kipindi cha awamu ya 7 ya dkt ali mohamed shein pia imetayarisha tangazo maalum la wazazi kufanya jitihada ya kuwalinda watoto kuepukana na maradhi ya corona kwa kutowaachia kuzurura ovyo na kufuata maelekezo ya kinga yanayotolewa na kulirusha kwenye vyombo vya habari · imekamilisha zoezi la kuandaa taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa beijing kwa upande wa zanzibar na taarifa hiyo imewasilishwa tanzania bara na kutayarishwa taarifa moja ya jamhuri ya muungano wa tanzania taarifa hii imeshawasilisha umoja wa afrika na pia imeshawasilishwa umoja wa mataifa pia imemalizia kuratibu uandaaji wa taarifa ya zanzibar ya utekelezaji wa mkataba wa kimataifa wa kupinga aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake (cedaw) na taarifa imeshawasilishwa tanzania bara na imeshatayarishwa taarifa ya jamhuri ya muungano wa tanzania · imefanya ufuatiliaji kwa maeneo tofauti ikiwemo makao ya wazee welezo na sebleni na nyumba ya watoto yatima mazizini chuo cha kulea na kukuza wajasiriamali na chuo cha barefoot cha kinamama pamoja na kuwapitia wanufaika waliofungiwa umeme wa jua aidha imefanya ufuatiliaji katika shuguli mbali mbali za wizara ikiwa ni pamoja na vikundi vilivyopatiwa mikopo na mfuko wa uwezeshaji katika maeneo ya kaskazini unguja ili kuona mafanikio yaliyofikiwa na changamoto zilizopo changamoto zilizopatikana zimewasilishwa sehemu husika kwa kufanyiwa kazi · inaendelea na hatua ya kuandaa mpango mkakati wa takwimu wa wizara kwa kushirikiana na ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali imeshandaa viashiria vya wizara ambavyo vitatumika kuandaa nyenzo za kukusanya takwimu za wizara mpango mkakati umeshakamilika na uko tayari kwa kutumika pia imeandaa mpango kazi (roadmap) ya kuimarisha takwimu za wizara ambayo utekelezaji wake utaenda sambamba na mpango mkakati wa takwimu wa wizara · imeratibu kikao cha mashirikiano baina ya mfuko wa uwezeshaji kiuchumi zanzibar na baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (national economic empowerment council (neec) na kukubaliana kushirikiana katika kubadilishana taarifa kutafuta rasilimali kwa pamoja maonyesho ya biashara na mafunzo kwa watendaji wa pande zote mbili pia kikao cha mashirikiano ya utendaji baina ya wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ya tanzania bara na wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kilifanyika dodoma ambapo wizara zimekubaliana kuimarisha mashirikiano katika masuala ya ustawi wa jamii wazee wanawake jinsia na watoto · kwa kushirikiana na watendaji wa wizara ya fedha na mipango imeshiriki katika uandaaji na uwasilishaji wa taarifa ya hiari ya nchi juu ya utekelezaji wa malengo endelevu ya ulimwengu katika kipengele cha usawa wa kijinsia ajira na uwezeshaji wa wanawake ambapo tumejifunza kuwa mbali ya mafanikio tuliyonayo lakini bado tunahitaji kulisimamia imara suala la kuimarisha bajeti inayozingatia jinsia suala la uwezeshaji wanawake kiuchumi kuwahamisha wanawake kushika nafasi mbali mbali za maamuzi kupambana na mimba za utotoni ndoa za umri mdogo na ukatili na udhalilishaji hasa katika sehemu za kazi ajira hasa kwa vijana na suala la ukatili wa wafanyakazi wa majumbani 33 mheshimiwa spika katika mwaka wa fedha 2020/2021 wizara kupitia programu ya uratibu wa mipango sera na tafiti za wizara itafanya tathmini ya kuangalia mchango wa mfuko wa uwezeshaji katika kuzalisha ajira na kuongeza kipato kwa wanachama wake itafanya tathmini ya kuangalia namna ya kuanzisha mfuko wa fidia zanzibar itafanya tathmini ya mapitio ya utekelezaji wa mpangokazi wa kupinga vitendo vya ukatili na udhalilishaji wanawake na watoto kwa muda wa kati itakamilisha na kuchapisha sera ya mafunzo kazi itaandaa taarifa ya mwaka 2019/2020 ya utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa kupambana na vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto itafanya ufuatiliaji wa shughuli za wizara itaratibu utekelezaji wa programu na miradi ya wizara itaimarisha mawasiliano ya wizara na itaimarisha mashirikiano ya kitaifa kikanda na kimataifa kwa shughuli za wizara 34 mheshimiwa spika ili programu ya uratibu wa mipango sera na tafiti za wizara iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako liidhinishe jumla ya shilingi milioni mia tatu thamanini na nane sitini na moja elfu mia mbili na kumi na sita (tshs 388061216) programu ndogo sq010402 utawala na uendeshaji lengo kuu kuweka mazingira bora ya kazi kwa wafanyakazi 35 mheshimiwa spika programu ndogo hii ina jukumu la kuratibu na kusimamia utekelezaji wa shughuli za uendeshaji na utumishi za wizara unguja programu ilijipangia kutekeleza yafuatayo · imekamilisha ujenzi wa ghorofa ya pili ya jengo la wizara lililopo mwanakwerekwe na kwa sasa inatumiwa na kamisheni ya kazi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limerahisisha upatikanaji wa huduma zinazotolewa na wizara · kwa kushirikiana na tume ya utumishi serikalini imekamilisha taratibu za uajiri wa wafanyakazi wapya 73 kwa unguja na pemba 35 wakiwa ni wanaume na 38 wanawake ili kuongeza ufanisi katika idara ya uendeshaji na utumishi idara ya maendeleo ya ushirika idara ya wazee na ustawi wa jamii kati yao 2 ni watu wenye ulemavu · imefanya malipo ya bima kwa gari zote za wizara kama agizo la serikali linavyoelekeza pamoja na kuzifanyia ukaguzi wa kawaida wa kiufundi gari 8 likiwemo basi linalotumika kusafirisha watendaji wa kitengo cha pencheni jamii kipindi cha uhakiki na ulipaji wa pencheni hiyo aidha imeendelea kulipia gharama za umeme maji vifaa vya usafi pamoja na kuimarisha kitengo cha tehama kwa kununua cctv cameras za kisasa ambazo kwa kiasi kikubwa zitasaidia kuimarisha usalama na kurahisisha mawasiliano katika ofisi yetu · imesimamia ulipaji wa posho la likizo kwa wafanyakazi 63 ( 40 kwa unguja na 23 kwa pemba) malipo ya muda wa ziada kwa wafanyakazi 15 na imefuatilia malipo ya kiinua mgongo kwa wastaafu 10 kwa unguja na pemba · imeendesha mafunzo ya ndani yanayohusu kupiga vita vitendo vya rushwa utawala bora maadili ya kazi na kanuni za utumishi wa umma · imelipia ada ya mafunzo ya awali induction course kwa wafanyakazi kumi na mbili (12) aidha inaendelea kuwasaidia ada za masomo wafanyakazi watano (5) ambapo kwa ngazi za shahada ya pili ni wawili (2) na wafanyakazi watatu (3) katika mafunzo ya udereva · programu imeendelea kukiimarisha kitengo cha habari na uenezi na kwa kushirikiana na vyombo mbali mbali vya habari kimeweza kurusha habari zinazohusu shughuli za wizara na kwa mwaka 2019/2020 kimetoa jumla ya vipindi vya redio 65 televisheni 20 makala 23 · kupitia mkataba wa utoaji wa huduma kwa mteja wizara imeendelea kutoa elimu kwa wanananchi ili kuwapa uelewa juu ya fursa na huduma zinazopatikana katika wizara · imekamilisha upembuzi yakinifu kwa wafanyakazi wa idara zote zilizomo ndani ya wizara kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kwa lengo la kwenda sambamba na mpango mkakati wa rasilimali watu (2017/2021) wa wizara na taasisi zilizopo chini yake · imeendelea kugharamia safari za ndani na nje ya nchi kwa viongozi na maafisa wa wizara ili kuweza kushiriki mikutano ya kikanda kitaifa na kimataifa kwa manufaa ya wizara na taifa kwa ujumla 36 mheshimiwa spika katika mwaka wa fedha 2020/2021 wizara kupitia programu ya utawala na uendeshaji itasimamia ulipaji wa mishahara posho la likizo malipo ya muda wa ziada na kufuatilia malipo ya viinua mgongo kwa wastaafu wetu tukiwa na lengo la kuhakikisha wafanyakazi wanapatiwa stahiki zao bila kuchelewa katika kuwajengea uwezo wafanyakazi wetu wizara itaendelea kusimamia mafunzo ya awali (induction course) kwa wafanyakazi wapya walioajiriwa programu itaandaa mafunzo yatakayolenga kuhamasisha uwajibikaji ikiwemo kujiweka mbali na vitendo vya rushwa pamoja na kuratibu mafunzo ya muda mfupi na ya muda mrefu kwa wafanyakazi wake pia wizara itasimamia ununuzi wa jenereta la akiba ili kujihakikishia huduma zinazotolewa na wizara zinaendelea kupatikana kwa urahisi pale umeme wa gridi ya taifa unapokosekana 37 mheshimiwa spika ili programu ya utawala na utumishi iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi bilioni moja milioni mia tisa thalathini na nane thalathini na tano elfu mia nne na thamanini (tshs1938035480) programu ndogo sq010403 uratibu na utekelezaji wa shughuli za wizara pemba lengo kuuu kuratibu na kusimamia mipango na uendeshaji wa shughuli za wizara pemba 38 mheshimiwa spika programu ndogo hii ina jukumu la kuratibu na kusimamia utekelezaji wa shughuli za wizara pemba na inahusisha idara ya utumishi na uendeshaji pamoja na idara ya mipango sera na utafiti programu kwa mwaka wa fedha 2019/2020 imetekeleza yafuatayo · imeendelea kuwasaidia wafanyakazi watano (5) kwa mafunzo ya ndani kati ya hao wafanyakazi wawili (2) (mwanamme 1 na mwanamke 1) katika mafunzo ya muda mrefu wa ngazi ya shahada ya pili katika fani ya teknolojia ya habari na ngazi cheti katika fani ya utunzaji wa kumbukumbu na wafanyakazi watatu (3) (mwanamme 1 na wanawake 2) wa mafunzo ya muda mfupi katika fani ya ununuzi na ugavi na uandishi wa miradi · imelipa fedha za likizo kwa wafanyakazi 24 na wafanyakazi 12 wamelipwa posho la masaa ya ziada pia imelipia gharama za safari za ndani ya nchi ili kushiriki katika vikao na shughuli mbali mbali za wizara unguja · imefanya manunuzi ya magazeti pamoja na kulipia gharama za umeme maji mafuta na huduma za mtandao pia imefanya matengenezo vyombo vya moto (5) pamoja na kulipa bima gari (1) na vespa (6) · imefanya ziara 4 za ufuatiliaji na tathmini kwa madhumuni ya kuboresha utendaji wa shughuli mbali mbali za wizara ikiwemo wanufaika wa mikopo maendeleo ya vikundi vya ushirika nyumba ya wazee limbani zoezi la pencheni jamii mabaraza ya watoto ya shehia kamati za shehia za kupinga udhalilishaji na utekelezaji wa sheria za kazi na usimamiaji wa sheria ya usalama na afya kazini katika sekta binafsi changamoto mbalimbali zilzobainika katika maeneo haya zimeweza kufanyiwa kazi aidha imewajengea uwezo watendaji 30 (wanawake 13 na wanaume 17) wa wizara katika masuala ya ufuatiliaji na tathmini wa shughuli za wizara · programu imefanya vikao viwili (2) kwa watendaji 30 (wanaume 11 na wanawake 19) wa wizara juu ya maswala mtambuka kama udhalilishaji ukimwi na umuhimu wa lishe kwa jamii · imeratibu uandaaji wa ripoti mbali mbali za utekelezaji ikiwemo ripoti ya utekelezaji ya bango kitita ripoti za utekelezaji za ilani za uchanguzi ya mwaka 2015/2020 pamoja na utayarishaji wa mpango wa bajeti wa muda wa kati wa wizara (mtef) ya mwaka 20202023 39 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 wizara kupitia program ya uratibu na utekelezaji wa shughuli za wizara pemba itasimamia upatikanaji wa maslahi na mafao ya wafanyakazi yakiwamo mishahara posho la likizo malipo ya viinua mgongo malipo ya muda wa ziada itawaendeleza wafanyakazi itafanya ununuzi wa pikipiki 1 na kufanya matengenezo ya vifaa na pamoja na kusimamia upatikanaji wa huduma muhimu za uendeshaji wa ofisi itasimamia shughuli za ufuatiliaji na tathmini itawajengea uwezo watendaji katika masuala ya takwimu utayarishaji wa ripoti za utekelezaji wa kazi za wizara pamoja na kuratibu masuala mtambuka na kusimamia utekelezaji wa sera na mpango mkakati wa wizara 40 mheshimiwa spika ili programu ya uratibu na utekelezaji wa shughuli za wizara pemba iweze kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi milioni mia nane sitini na sita laki tano ishirini na tatu mia sita na sitini (tshs 866523660) 41 mheshimiwa spika ili programu kuu ya uendeshaji na uratibu wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto itekeleze majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako tukufu kuidhinisha jumla ya shilingi bilioni tatu milioni mia moja tisini na mbili laki sita ishirini elfu mia tatu hamsini na sita (3192620356) programu kuu pq 0105 usimamizi wa sheria za kazi ukaguzi kazi na kazi za staha kwa wote matokeo ya muda mrefu upatikanaji wa kazi za staha kwa vijana na kufuata kanuni na sheria za kazi programu ndogo sq010501 uratibu wa upatikanaji wa ajira za staha lengo kuu kuongeza kiwango cha ajira zenye staha na kupunguza kiwango cha ukosefu wa ajira kwa vijana 42 mheshimiwa spika katika kutekeleza majukumu yake ya uratibu na usimamizi wa sera ya ajira ya zanzibar ya mwaka 2009 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 programu ilitekeleza yafuatayo · imeweza kuratibu upatikanaji wa ajira 659 (421 wanaume na wanawake 238) katika sekta binafsi nchini na ajira 909 (wanaume 83 na wanawake 826) nje ya nchi na kwa sasa imo katika kuboresha mfumo wa soko la ajira ili uweze kukusanya na kuchambua mwenendo wa fursa za ajira kwa ufanisi kwa lengo la kubainisha maeneo muhimu yenye fursa na mafunzo yanaohitajika · kwa kushirikiana na ofisi ya ubalozi nchini qatar imeweza kuratibu upatikanaji wa fursa za mafunzo kazi kwa vijana wa kike nchini qatar vijana 16 wamefaidika na fursa hio na kuanza masomo katika chuo cha malezi ya watoto nchini qatar chuo kinachojulikana kwa jina la qatar nanny training academy (qnta) fursa hizo zinatarajiwa kuongezeka zaidi katika kipindi kijacho ambapo wahitimu wa mafunzo hayo wataunganishwa na ajira mara tu baada ya kumaliza masomo yao · imeendelea kuratibu vyema taasisi zote za wakala binafsi wa ajira ambapo kwa sasa zimefikia taasisi 15 zilizopatiwa leseni ya wakala wa ajira binafsi · imefanya mikutano na kamati za kisekta za uzalishaji na ukuzaji wa ajira za wilaya kwa unguja na pemba ili kuibua fursa mpya za ajira zinazoweza kupatikana katika wilaya zetu kupitia sekta za kilimo utalii mazingira ujenzi sanaa na michezo · imefanya mikutano miwili na wadau wakuu wa sekta ya usafiri wa nchi kavu (magari ya abiria) ili kujadili hatua ya urasimishaji wa sekta ya usafiri wa umma hususani wa daladala kwa lengo la kufikia ajira za staha kwa wote · inaendelea na uratibu wa programu ya majaribio awamu ya pili ya mafunzo kazi ambapo jumla ya mikutano minne ya uratibu huo imefanyika na jumla ya vijana 120 wamejiunga na mafunzo hayo kutoka wilaya zote za unguja na pemba aidha sera ya mafunzo kazi inategemewa kukamilika · imeendelea na maandalizi ya mafunzo kazi kwa vijana ambao hawatambuliwi na mfumo wa elimu hawana ajira na hawaajiriki (neet) ili kufikia lengo la kutomuacha mtu yeyote nyuma kwenye upatikanaji wa fursa za ajira · imetoa mafunzo kwa vijana 40 wanaotafuta ajira ili waweze kukabiliana na mbinu mbali mbali zinazotumika katika usaili wa kutafuta ajira · imeandaa programu tatu za ajira ili ziweze kuongeza fursa za ajira na hatimae vijana waweze kuzitumia kwa kuajiriwa na kujiajiri wenyewe 43 mheshimiwa spika programu ya uratibu wa upatikananji wa ajira za staha kwa mwaka wa fedha 2020/2021 imepanga kuwawezesha na kuelimisha jamii juu ya upatikanaji wa ajira za staha kwa kutangaza nafasi za fursa za ajira zitakazopatikana kupitia mfumo wa taarifa za soko la ajira na vyombo vya habari itaimarisha mashirikiano na wadau wa nje na ndani katika kutafuta fursa za ajira kwa vijana itatoa mafunzo kwa watafuta kazi juu ya kujiajiri na kuajirika itaendelea kusimamia program ya mafunzo kazi kwa wanagenzi 44 mheshimiwa spika ili programu ya upatikanaji wa ajira za staha iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha ruzuku ya shilingi milioni mia mbili ishirini na nne laki nne hamsini na mbili elfu mia tatu na thamanini (tshs 224452380) programu ndogo sq010502 usimamizi wa usalama na afya kazini lengo kuu kuimarisha masuala ya usalama na afya katika sehemu za kazi 45 mheshimiwa spika programu hii inatekelezwa na idara ya usalama na afya kazini na inasimamia utekelezaji wa sheria namba 8 ya mwaka 2005 ya usalama na afya kazini kwa mwaka wa fedha 2019/2020 programu imetekeleza yafuatayo · imefanya usajili wa sehemu za kazi 78 (57 unguja na 21 pemba) ili kuzitambua na kuweka taarifa zao kwenye daftari la usajili wa sehemu za kazi hii itarahisisha shughuli za ukaguzi kwa kutambua mapema mazingira ya kazi zao hatari zinazoweza kutokea katika sehemu hizo na hivyo kutoa ushauri na maelekezo yanayofaa kabla ya kutokea tatizo · imefanya ukaguzi wa sehemu za kazi 137 (84 unguja na 53 pemba) ili kuangalia hali ya usalama na afya katika maeneo hayo ushauri ulitolewa juu ya kurekebisha kasoro zilizobainika ufuatiliaji uliofanywa baada ya ukaguzi umeonesha kuwa kasoro nyingi zimerekebishwa baada ya kufuatwa ushauri uliotolewa · imefanya uchunguzi wa matukio ya ajali na maradhi yatokanayo na kazi katika sehemu (5) za kazi ambazo ziliripotiwa kutokea kwa ajali hizo wakati wafanyakazi wakiendelea na kazi wafanyakazi 2 walifariki kwa kufukiwa na udongo katika ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji ya mvua na mfanyakazi 1 wa kampuni ya cce alifariki baada ya kukanyagwa na gari wakati wa ujenzi wa barabara · katika kukuza uelewa wa masuala ya usalama na afya kazini idara imeandaa na kurusha hewani vipindi vitatu (3) vya radio na vipindi vinne (4) vya televisheni kupitia shirika la utangazaji la zanzibar (zbc) vile vile idara imetoa mafunzo kwa wawakilishi 80 (50 unguja na 30 pemba) wa masuala ya usalama na afya kazini kutoka kwenye wizara na taasisi za umma ili waweze kufahamu majukumu yao na wajibu wao wakiwa kwenye maeneo yao ya kazi kwa mujibu wa sheria ya usalama na afya kazini · ili kukuza mashirikiano na uratibu wa masuala ya usalama na afya kazini imewajengea uwezo watendaji wake kwa kuweza kuhudhuria mikutano na makongamano mbali mbali ya mashirikiano kitaifa kikanda na kimataifa juu ya masuala ya usalama na afya kazini katika sekta ya mafuta na gesi asilia na virusi vya ukimwi na ukimwi na tb sehemu za kazi pamoja na hayo uratibu wa shughuli za usalama na afya kazini unaendelea kufanyika ili kupata mashirikiano kwa taasisi zote zinazotakiwa kufanya kazi kwa pamoja 46 mheshimiwa spika katika mwaka wa fedha 2020/2021 programu imejipangia kuendelea kuimarisha utekelezaji wa sheria nambari 8 ya mwaka 2005 ya usalama na afya kazini itafanya ukaguzi wa sehemu za kazi 300 itafanya usajili wa sehemu za kazi 120 itatoa elimu kwa waajiri na wafanyakazi 170 (sekta ya umma 90 na sekta binafsi 80) itaimarisha mashirikiano na uratibu wa masuala ya usalama na afya kazini na itakuza uelewa wa jamii kupitia vyombo vya habari 47 mheshimiwa spika ili programu ya usimamizi na usalama wa afya kazini iweze kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha jumla ya shilingi milioni mia mbili na sita laki tatu na saba na mia tatu na ishirini (tshs 206307320) kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida programu ndogo q010503 usimamizi wa viwango vya kazi vya kitaifa na majadiliano ya pamoja kazini lengo kuu kuhakikisha kunakuwepo utekelezaji mzuri wa sheria za kazi 48 mheshimiwa spika kamisheni ya kazi ina jukumu la kusimamia utekelezaji wa sheria za kazi katika sekta za binafsi kwa hapa zanzibar pia kamisheni ya kazi inajukumu la kufanya ukaguzi kazi kwa taasisi hizo kusimamia ajira za wafanyakazi wa kigeni kuthibitisha mikataba ya wafanyakazi wazalendo na wageni na kuimarisha mahusiano mema kati ya waajiri na waajiriwa sehemu za kazi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 programu imetekeleza shughuli kuu zifuatazo · imefanya ukaguzi kazi kwa taasisi 380 (unguja ni 314 na pemba ni 66) ukaguzi huo unafanyika ili kusimamia ipasavyo utekelezaji wa sheria za kazi kwa taasisi zote · pia imefanya ukaguzi maalumu kwa taasisi 403 kati ya hizo (unguja ni 324 na pemba ni 79) ili kuona utekelezaji wa ulipaji wa kima cha chini cha mishahara tokea kilipotangazwa mwezi julai 2017 · imethibitisha mikataba ya kazi 2329 (unguja ni 2082 na pemba ni 247) kwa wafanyakazi ili kuhakikisha inaendana na sheria za kazi ikiwa ni miongoni mwa haki yao ya msingi kwa mujibu wa sheria za kazi wakati wa uthibitishwaji wa mikataba hiyo wafanyakazi husika husomewa mikataba hiyo na maafisa kazi ili kupata uelewa mzuri juu ya haki zao · imepokea migogoro ya kazi 288 iliyowasilishwa (unguja 236 na pemba 52) migogoro 52 ilitatuliwa kwa njia ya upatanishi (mediation) (unguja 50 na pemba 2) migogoro 84 ilitatuliwa kwa njia ya usuluhishi (arbitration) (unguja 61 na pemba 23) migogoro 67 imepelekwa mahkama ya kazi kwa taratibu nyengine za kisheria migogoro 6 iliamuliwa nje ya kitengo aidha migogoro 24 imefutwa kutokana na sababu za kutokufika kwa pande zote mbili pamoja na kuchelewa kufungua shauri na migogoro 55 inaendelea katika ngazi ya usuluhishi na uamuzi migogoro yote hiyo iliyowasilishwa inahusu kukatishwa mikataba ya kazi kwa wafanyakazi kutokulipwa kwa kiwango cha mshahara stahiki kwa mujibu wa sheria na kufukuzwa kazi · imewapatia vibali vya kazi jumla ya wafanyakazi wa kigeni 1441 kutoka mataifa mbali mbali (italy india china uingereza na nchi za afrika ya mashariki) kufanya kazi nchini idadi kubwa ya wafanyakazi waliopatiwa vibali hivyo ni kutoka sekta binafsi (hoteli na vyuo) na sekta za umma (afya ujenzi na utalii) · imeanza hatua ya kuandaa database ya kamisheni ya kazi ambapo hadidu rejea ya utayarishaji wa database imekamilika na hatua inayoendelea ni kutangazwa kwa wakandarasi ili kupata wataalamu wa kuitengeneza · imefanya ukaguzi wa vyama vya wafanyakazi kwa matawi 5 matawi mawili (2) mkoa wa kaskazini unguja matawi mawili (2) mkoa wa kusini unguja na tawi moja mkoa wa kusini pemba · imetoa elimu ya sheria za kazi kwa taasisi 26 (unguja 17 na pemba 9) pia imerusha vipindi tisa (9) kuhusu elimu hiyo kupitia vyombo vya habari kati ya vipindi hivyo 4 vilirushwa zbc tv zbc redio 3 na 2 chuchu fm lengo hasa la kutoa taaluma hiyo ni kujenga uelewa kwa waajiri wafanyakazi na jamii kwa jumla juu ya sheria za kazi 49 mheshimiwa spika kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kamisheni ya kazi kupitia programu ya usimamizi wa viwango vya kazi vya kimataifa na majadiliano ya pamoja mbali na majukumu mengine itafanya ukaguzi kazi kwa taasisi 700 itathibitisha mikataba ya kazi kwa wazalendo 6000 itakagua vyama vya waajiri na wafanyakazi 16 itatoa elimu ya sheria za kazi kwa taasisi 45 na itarusha vipindi 25 kupitia vyombo vya habari 50 mheshimiwa spika ili programu ya usimamizi wa viwango vya kazi vya kimataifa na majadiliano ya pamoja iweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako kuidhinisha ruzuku ya jumla ya shilingi bilioni moja milioni arobaini na nane laki moja arobaini elfu na mia tatu (tshs1048140300) 51 mheshimiwa spika ili programu kuu ya usimamizi wa sheria za kazi ukaguzi kazi na kazi za staha kwa wote itekeleze majukumu yake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako tukufu kuidhinisha jumla ya ruzuku ya shilingi bilioni moja milioni mia nne sabini na nane laki tisa (1478900000) maombi ya fedha kwa programu zilizopangwa kutekelezwa mwaka wa fedha 2020/2021 52 mheshimiwa spika ili wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto iweze kutekeleza programu zake kwa ufanisi kwa mwaka wa fedha 2020/2021 naliomba baraza lako tukufu iidhinishe jumla ya shilingi bilioni kumi na nane milioni mia tano na kumi laki nne na hamsini na moja elfu (tshs18510451000/) kati ya hizo shilingi bilioni kumi na tano milioni mia mbili hamsini na moja laki tatu (15251300000/) ni kwa ajili ya kazi za kawaida ambapo shilingi bilioni kumi milioni tisini na tano laki mbili (10095200000/) ni matumizi ya uendeshaji wa ofisi shilingi bilioni tatu milioni mia tano thalathini na tatu laki tatu (3533300000) ni kwa ajili ya mishahara na shilingi bilioni moja milioni mia sita ishirini na mbili laki nane (1622800000) ruzuku pia shilingi bilioni tatu milioni mia mbili hamsini na tisa laki moja hamsini na moja elfu (3259151000/) ni fedha za maendeleo 53 mheshimiwa spika kati ya fedha hizo shilingi bilioni mbili milioni mia mbili na thamanini na tano laki moja thalathini na sita elfu mia tano na arobaini na nane (tshs 2285137548) ni kwa ajili ya kutekeleza programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi shilingi bilioni kumi na moja milioni mia tano hamsini na tatu laki saba tisini na nne elfu arobaini na sita (tshs11553794046) kwa ajili ya kutekeleza programu ya hifadhi ya jamii na maendeleo ya wanawake na watoto shilingi bilioni tatu milioni mia moja na tisini na mbili laki sita ishirini elfu mia tatu hamsini na sita (tshs 3192620356) zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza programu ya uendeshaji na uratibu wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto na shilingi bilioni moja milioni mia nne sabini na nane na laki tisa (tsh1478900000) ni kwa ajili ya utekelezaji wa programu ya usimamizi wa sheria za kazi ukaguzi kazi na kazi za staha kwa wote (kiambatanisho namba 11 kinahusika) 54 mheshimiwa spika wizara katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 inatarajiwa kukusanya mapato ya shilingi bilioni mbili milioni mia moja na nane laki tano hamsini na tano elfu (tshs 2108555000) kutokana na ada za usajili na ukaguzi wa vyama vya ushirika ada ya ukaguzi wa mikataba ya ajira nje ya nchi ada ya ukaguzi wa maeneo ya kazi na vibali vya kazi (kiambatanisho namba 12 kinahusika) 55 mheshimiwa spika wizara inatekeleza majukumu yake kwa kushirikiana na watendaji mbali mbali ikiwemo taasisi za serikali taasisi za kiraia na washirika wa maendeleo zikiwemo unicef un women undp unido unfpa ilo save the children fhi mivarf help age international csema milele foundation costech na jumuiya ya afrika mashariki 56 mheshimiwa spika pia wizara inafanya kazi na taasisi za kiraia nazo ni zafela zlsc uwawaza uwt action aid tamwa cuza madrasa resource centre jumaza zanema zatuc male network na pathfinder pia nazishukuru taasisi zote za kifedha ikiwemo pbz kwa mashirikiano yao mazuri kwa wizara 57 mheshimiwa spika napenda kuvishukuru vyombo vya habari vya serikali na binafsi kwa jitihada kubwa wanayoichukua ya kuelimisha jamii juu ya shughuli zinazofanywa na wizara ikiwemo kupiga vita suala la ukatili na udhalilishaji wa wanawake na watoto na mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona ambao kwa njia moja au nyengine umeathiri wanawake watoto na sekta ya kazi nchini vyombo hivyo ni pamoja na zbc redio na televisheni gazeti la zanzibar leo zanzibar cable televisheni tbc azam tv zenj fm island tv na hits fm redio jamii za mtegani micheweni mkoani na tumbatu ni vigumu kuvitaja vyote lakini napenda kuvishukuru vyombo vyote vya habari vilivyoshirikiana nasi 58 mheshimiwa spika mwisho kabisa napenda kuwashukuru watendaji wote wa wizara ya kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto kuanzia naibu waziri mheshimiwa shadya mohammed suleiman katibu mkuu ndugu fatma gharib bilal manaibu makatibu wakuu ndugu maua makame rajab na ndugu mwanajuma majid abdallah kamishna wa kazi ofisa mdhamini pemba wakurugenzi na watendaji wa ngazi zote kwa mashirikiano makubwa ya kiutendaji wanayonipa katika kutekeleza majukumu yetu wizara wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa tunatekeleza majukumu ya wizara kwa ufanisi ili kuleta maendeleo endelevu kwa walengwa wetu wote yote niliyoyaeleza katika kitabu hiki ni mafanikio tunayoyapata kutokana na utendaji wao mahiri na thabiti nawaomba waendeleze mashirikiano haya na kuendelea kuwatumikia wananchi wetu namuomba mwenyezi mungu adumishe mapenzi na mashirikiano baina yetu katika kutekeleza majukumu yetu 59 mheshimiwa spika naomba kutoa hoja mhe dkt maudline cyrus castico (mbm) waziri wa kazi uwezeshaji wazee wanawake na watoto
2020-05-27T03:32:35
http://www.zanzinews.com/2020/05/hotuba-ya-wizara-ya-kazi-uwezeshaji.html
tutambue ya kuwaupendo kwa mungu unajifunua katika upendo kwa jirani radio vatican upendo na bwana ni katika uhusiano wa kinamahusiano haya yanapata mashiko katika muunganiko wetu sisi kwa sisi na pamoja na viumbe vyote rv mwanadamu katika asili yake ni mjamii mwanadamu anajifunua na kujitambua asili yake sawasawa katikati ya jamii ya mwanadamu katika muktadha huu ndipo tunaweza kuidhihirisha dini ya kweli dini ni mahusiano yetu wanadamu na mungu wetu aliye mkuu sana mahusiano haya yanapata mashiko katika muunganiko wetu sisi kwa sisi na pamoja na viumbe vyote vitabu vitakatifu na hata mawazo ya wanafalsafa wa kale yanaudadavua uumbaji kama ufunuo wa mungu upendo wetu kwa mungu unajieleza vizuri katika upendo kwa jirani zetu na vyote vinavyotuzunguka leo tunawekewa mbele yetu amri kuu ya mpendo ambayo inajikita katika upendo kwa mungu na kwa jirani injili ya dominika hii inatupatia wajibu huo wa upendo ili kuidhihirisha dini ya kweli yaani kumpenda mungu kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote na katika namna iliyo sawa ni kumpenda jirani yako kristo anatuambia kwamba katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii hapa tunaoneshwa wazi kuwa kujishikamanisha na mungu si jambo la kinadharia bali ni tendo halisi ambalo linapaswa kudhihirika katika maisha ya kila siku mungu wangu yu hai na anaishi katika nafsi ya jirani yangu uhai wa uhusiano wangu na yeye unajifunua katika mahusiano chanya na mwenzangu mafarisayo walifanya sehemu ya jamii ya kiyahudi ambayo ilijikinai kushika dini vizuri wakati wa kristo kundi hili lilizabuliwa kibao na kukumbushwa ukweli na kumwabudu mungu umejikita katika nini walikumbushwa kwamba dini ya kweli si ile ambayo ilijenga kiburi na majivuno ya kujiona upo bora kuliko wengine bali ni kujiweka katika upendo wa mungu na kuueneza kwa watu wote ambao wanauhitaji hapa wanaoneshwa mantiki ya upendo wa kimungu ambao unamfanya mmoja kuikana nafsi yake na kujitoa kwa wengine na katika hatua hiyo huipata nafsi yake kwa wengine huo ndio mfumo mpya wa kimapinduzi ambao unautawaza ufalme wa kristo katika jamii ya mwanadamu upendo wetu kwa mungu na kujitoa kwetu kwake kunapata mashiko katika kujitoa nafsi zetu kwa upendo mkubwa ajili ya wengine ni ukumbusho kwetu wa kufunua mioyo yetu na kuwajali wengine kwa kuwatakia mema kwani sote kama wanadamu tumeumbwa kwa sura na mfano wa mungu mtume yohana anatuasa akituambia hakuna mtu aliyemwona mungu wakati wo wote tukipendana mungu hukaa ndani yetu na pendo lake limekamilika ndani yetu (1yoh 412) kabla ya kuteswa kwake kristo alitufundisha kwa mfano upendo huu kwa jirani zetu baada ya kuwaosha miguu mitume wake na kutuagiza akisema ikiwa mimi niliye bwana na mwalimu nimewatawadha miguu imewapasa vivyo kutawadhana miguu ninyi kwa ninyi (yoh 1314) upendo wetu kwa jirani unawekwa kama sharti mahsusi la kuufunua upendo wa mungu kwetu mwenyezi mungu anatupenda sote na anataka kumpatia mema kila mmoja wetu lakini yeye anatutumia sisi kama mawakala wake ili kwa kwa njia ya huduma zetu kwa wenzetu wote wanauonja upendo wake haya yanatimilika katika kuitikia vema miito yetu mbalimbali ambayo tumekabidhiwa ibada yetu kwa mungu yaani ibada ya kweli ni sadaka ya nafsi yetu ambayo tunaitoa kwa ajili ya mwenyezi mungu hatuwezi kujidai kuwa tunamtumikia mungu ili hali tunashindwa kutimiza nyajibu zetu za kawaida iwe katika familia zetu katika jamii yetu na sehemu zetu za kazi mwitiko wetu chanya katika nafasi mbalimbali unaufunua upendo wa mungu kwa wengine na kwa njia hiyo unatupatia sote matunda ya pendo lake yaani roho mtakatifu ambayo ni upendo furaha amani uvumilivu utu wema fadhili uaminifu upole kiasi (gal 522 23) upendo wetu kwa jirani zetu unahitajika zaidi kwa walio dhaifu na wanyonge hili ndilo linafafanuliwa na maagizo wanayopewa wana wa israeli katika somo la kwanza makundi haya yanatajwa kama wageni wajane yatima na maskini neno la mungu linatuambia kwamba ukiwatesa watu hao katika neno lolote nao wakinililia mimi hakika yangu nitasikia kilio chao waisraeli walionywa katika hili kwani hatari iliwanyemelea baada ya kutoka utumwani na kufika nchi ya ahadi kuingia katika jamii yenye msigano kati ya makundi ya wenye mamlaka na matajiri dhidi ya wanyonge na maskini makundi haya ni makundi ya wale ambao wamekwisha dhoofika kwa sababu ya ubabe na unyonyaji uliokithiri wa kijamii watu wa namna hii wamepoteza matumaini yao katika macho ya wanadamu na hivyo tumaini lao limebaki katika mungu jamii mamboleo ya kibinadamu inaonekana kupoteza usikivu katika neno hili ni jamii ambayo imetengeneza matabaka na kubariki mifumo ya mwenye kupata apate na mwenye kukosa akose ni mifumo ambayo imejikita katika ubinafsi na hivyo kuutupilia mbali ubinadamu tujinyooshee vidole sisi tulio katika imani ya kikristo pengine tunaweza kuwashutumu mafarisayo kwa wakati wao lakini tukajisahau kujishutumu na sisi wakati huu kama nasi tunaoonekana kumpenda mungu na kuiishi dini yetu tupo katikati ya jamii hii hii ambayo inapambwa na sura ya mwanadamu anayehangaika upo wapi ushuhuda wa imani yetu hii ni ngumu kumeza lakini ndiyo ukweli wa mambo kwamba mahali fulani mambo si shwari na tunakurupusha imani yetu mimi na wewe tunaweza kuwa ni washiriki katika kuibariki mifumo hii ya kinyonyaji pengine hii na kwa kupitia uvivu na uzembe wetu na kutokujali kwetu kutimiza vema nyajibu zetu wajane yatima wageni na maskini wa wakati wetu wanalia kwa kukosa haki na sisi ama tumeziba masikio na macho yetu tusisikilize ama kuona au tunashiriki katika kuwapora haki yao kwa kutotenda haki katika tasnia mbalimbali zitoazo haki dini yetu na upendo wetu kwa mungu upo wapi ni nafasi ya kugutuka na kutoka katika giza hilo ni wakati wa kujifunua na kuishi ukweli wa dini yetu ili kwa mifano yetu ya maisha mwanadamu aweze kuuonja upendo wa mungu tuige mfano wa wakristo wa thesalonike ambao waliishi injili kwa matendo yao kiasi cha kuwa mfano kwa watu wengine mtume paulo anawasifu akisema nanyi mkawa wafuasi wetu na wa bwana mkiisha kulipokea neno katika dhiki nyingi pamoja na furaha ya roho mtakatifu hata mkawa kielelezo kwa watu wote waaminio katika makedonia na katika akaya maana kutoka kwenu neno la mungu limevuma si katika makedonia na akaya tu ila na kila mahali imani yenu mliyo nayo kwa mungu imeenea (1thes 16 8) ushuhuda wa imani yao na mapendo yao umeeneza upendo wa mungu kiasi kwamba mtume paulo hakuona haja ya kuhubiri tena hilo ndilo ambalo tunapaswa kulionesha kwa kuishi upendo wa mungu tunaoutangaza kwa mfano wa matendo yetu mema ili matendo hayo yamtangaze mungu zaidi kwani actions speak louder than words tujivike upendo wa mungu ambao utatupatia furaha ya milele kwa maana upendo wake mkuu wadumu milele tuueneze upendo huo tunaouonja ili kwa mfano wa maisha yetu ya upendo kwa jirani zetu wanadamu wote waushuhudie na kuuonja upendo wa mungu mwenyeheri maria cocifissa curcio daima aliwasisitizia watawa wenzake kwamba upendo mnaouchota katika ekaristi muueneze ulimwenguni kote huo ndiyo wajibu wa kimisionari tunaopatiwa leo hii daima tukumbuke kwamba upendo wa mungu si mali binafsi bali unajidhihirisha katika upendo wetu kwa jirani zetu joseph mosha
2017-11-24T13:06:40
http://sw.radiovaticana.va/news/2017/10/27/tutambue_ya_kuwa,upendo_kwa_mungu_unajifunua_katika_upendo_kwa_jirani/1345658
barua ya kiongozi muadhamu ina umuhimu mkubwa jumatatu 14 disemba 2015 1914 mwanachama wa tume ya haki za binadamu ya kiislamu (ihrc) yenye makao yake mjini london uingereza amesema kuwa barua iliyoandikwa na kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu ayatullah ali khamenei kwa vijana wa magharibi inaakisi muono wa mbali na mtazamo sahihi wa kiongozi huyo nazem ali ambaye ni mwanachama wa ihrc ameiambia irib kwamba hatua ya kiongozi muadhamu ya kuwaandikia barua vijana wa nchi za magharibi akiwataka kutambua vyema uislamu na kwamba wasiviamini vyombo vya habari vinavyoeneza propaganda za uongo ina umuhimu mkubwa na mtazamo mpana nazem ali ameongeza kuwa suala hilo pia linaonesha njia ya kidemokrasia kwa ajili ya kuchagua kwa uhuru mtazamo wowote kuhusu masuala ya kimataifa amesema ayatullah khamenei amewataka vijana wa magharibi wajitenge na mitazamo ya kutwishwa na kulazimishwa na watafakari kwa uhuru kuhusu masuala mbalimbali mtaalamu huyo wa masuala ya kisiasa anasema kuwa nchi za magharibi zinatumia makundi ya kigaidi kuvuruga usalama na amani ya nchi nyingine na kuchochea vita na machafuko katika nchi hizo ameongeza kuwa magharibi pia inafanya njama za kuchafua sura ya uislamu katika fikra za walimwengu kwa kuanzisha na kufadhili makundi kama al qaida jabhatu nusra na daesh zaidi katika kategoria hii « wairaq wapongeza barua ya kiongozi muadhamu barua ya kiongozi kwa vijana ni ya kimantiki »
2017-11-23T16:48:10
http://kiswahili.irib.ir/barua-ya-kiongozi/item/53638-barua-ya-kiongozi-muadhamu-ina-umuhimu-mkubwa
italia pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji 20180731 1000 am gdp growth rate (mwaka) adv 11 14 12 20180831 1000 am kiwango cha ukuaji wa pato la taifa (mwaka) mwisho 12 14 11 20181030 0900 am gdp growth rate (mwaka) adv 08 12 09 20181130 1100 am kiwango cha ukuaji wa pato la taifa (mwaka) mwisho 07 12 08 20190214 0900 am gdp growth rate (mwaka) adv 20190301 0900 am kiwango cha ukuaji wa pato la taifa (mwaka) mwisho 20190502 0900 am gdp growth rate (mwaka) adv italia pato la taifa kiwango cha ukuaji wa pato la taifa 010 020 600 280 asilimia [+] pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji 070 120 1030 720 asilimia [+] pato la taifa 193480 185938 239073 4039 usd bilioni [+] pato la taifa constant bei 40391900 40441400 42573470 29483930 eur milioni [+] jumla ya pato zisizohamishika ukuzaji rasilimali 7458400 7538000 9354090 5286510 eur milioni [+] patolataifakwamwananchi 3487783 3431850 3823680 1086770 usd [+] patolataifakwamwananchippp 3522008 3465526 3861201 3114190 usd [+] pato la taifa kutoka kilimo 718200 706800 793990 649370 eur milioni [+] pato la taifa kutoka ujenzi 1653200 1642900 2447160 1583800 eur milioni [+] pato la taifa kutoka viwanda 7058400 7081600 7902000 6175900 eur milioni [+] pato la taifa kutoka services 27127300 27177600 27208050 22499840 eur milioni [+] sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi italia pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji
2018-12-17T09:36:29
https://sw.tradingeconomics.com/italy/gdp-growth-annual
habari na matukio tanzania kushirikiana na umoja wa ulaya kudhibiti uhalifu baharini naibu waziri wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni(kushoto) akizungumza na ujumbe ulioongozwa na balozi wa umoja wa ulaya roeland van der geer(kulia) wakati wa mazungumzo ya kujadili ushirikiano wa kudhibiti uharamia unaofanyika baharinimazungumzo hayo yamefanyika ofisini kwa naibu waziri jijini dar es salaam(picha zote na wizara ya mambo ya ndani ya nchi)
2017-10-18T20:11:45
http://www.kajunason.com/2016/10/tanzania-kushirikiana-na-umoja-wa-ulaya.html
you are athome»habari360»marekani yasikitishwa na vitendo vya utekaji na ukatili tanzania marehemu anaripotiwa kutekwa pamoja na mwenzake reginald mallya aliyenusurika na kupatikana akiwa hai akiwa na majeraha kadhaa sehemu za mkononi na kichwani mwenyekiti wa chama cha upinzani chadema akionesha picha ya marehemu daniel john kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwenye mtandao wa balozi wa marekani balozi wamesema tunatuma salamu zetu za rambirambi kwa familia na marafiki wa marehemu kwa msiba huu kuongezeka kwa makabiliano ya kihasama na vitendo vya kikatili ni jambo linalotutia wasiwasi na kutusikitisha sana pamoja na hayo ubalozi umetaka uchunguzi wenye uwazi ili kuwawajibisha wale wote wanaohusika na vitendo hivi vya kikatili kwa mujibu wa sheria za tanzania mbunge wa singida mashariki tundu lissu akiendelea na mazoezi ya viungo huko nchini ubelgiji kumekuwa na kinachoonekana kama muendelezo wa vitendo vya mashambulizi dhidi ya wanachama wa upinzanihivi karibuni nchini tanzania kikubwa kikiwa ni shambulio dhidi mnadhimu mkuu wa chama cha upinzani nchini tanzania chadema tundu lissu anayezidi kupata matibabu nchini ubelgiji baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana jijini dodoma mwaka uliopitabbc previous articleccm inamtupia lawama freeman mbowe kifo cha mwanafunzi aliyepigwa risasiyataka polisi imhoji next article ccm yataka jeshi la polisi kumhoji mbowe kuhusu kifo cha mwanachuo nit
2019-08-18T10:44:13
https://habarimpya.com/featured-2/juma-mtanda/marekani-yasikitishwa-na-vitendo-vya-utekaji-na-ukatili-tanzania
beti sms mitandaoni tanzania kubeti michezo mitandaoni tanzania parimatch home > blog > beti smsmitandaoni tanzania kubeti michezo mitandaoni tanzania parimatch zinazobamba kwenye beti sms beti sms ni kitu gani ufafanuzi wa kina wakamalia hutengeneza beti zao kwa bookmakers waliokuwa wazuri na beti sms ni miongoni mwa wanaowezesha duniani kote au umaarufu wa beti sms kawaida michezo haina mipaka maslahi ya kawaida pamoja na beti sms huwa inaunganisha watu unatumia muda wako kutazama timu unazozitegemea zaidi ni jambo zuri zaidi kwani linawafanya watu wawasiliane kupitia mashabiki wa michezo hiyo pamoja na wale wanaopenda kubeti soka kwa upande mwingine hii ina msaidia mtumiaji kupata marafiki wenye tabia kama zake pamoja na hayo pia ni dream job unaweza kukusanya pamoja vile unavyovipenda na ukapata pesa hiyo ndio sababu betting inaendelea ikiwemo beti sms ambayo imekuwa maarufu ulimwenguni kote mamilioni ya mtandao wa michezo ya kubahatisha imeonyesha thamani ya kweli ya beti sms hivyo basi unaweza ukachagua aina ya michezo na uangalie juu ya ujuzi ulionao katika kubashiri kwa mfano umepata ugumu kwenye kusuka mkeka katika michezo hii sisi ni mabingwa au jamii ya beti sms tukizungumzia juu ya mwenendo wa kisasa wa michezo beti sms ndio ya kwanza itatajwa ni rahisi kujisajili inavutia na ufanisi mkubwa masuala ya kubeti michezo hutoa faida nyingi jaribu hii
2020-08-07T18:44:06
https://thebeauty.co.tz/sw/sms-betting
craignure abiria na gari feri craignure abiria na gari kivuko tiketi bei ratiba kutoridhishwa tiketi na habari kwa ajili ya vivuko meli kutoka craignure kwa oban kulinganisha inapatikana craignure feri bei ya tiketi katika muda halisi na kitabu gharama nafuu craignure gari na abiria kivuko tiketi meli na kutoka craignure oban na caledonian mac brayne (calmac) ferries vivuko online na uthibitisho papo desturi tafuta bei ya tiketi & rizavu kitabu craignure ferry tiketi na caledonian mac brayne (calmac) ferries kwa vivuko meli kutoka craignure kwa oban online mapema kufurahia gharama nafuu kivuko tiketi ya bei bei unaweza kuona ni bei kulipa hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote wewe kwa kuchaguliwa craignure abiria au gari kivuko tiketi onboard malazi na aina ya gari ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi ili kupata craignure feri tiketi ya bei na kitabu kivuko yako tiketi salama online tafadhali kutumia muda halisi kivuko booking fomu upande wa kushoto wewe pia ni uwezo wa kuongeza hoteli katika marudio yenu au mahali popote pengine kwa kivuko yako tiketi wakati kukamilisha kivuko tiketi yako reservation zaidi kuhusu craignure craignure liko karibu na hatua mull ya mashariki nayo ni sababu equidistant kutoka nchi kisiwa kuu mbili tobermory kwa kaskazini na iona upande wa magharibi ni terminus kuu kwa feri kutoka oban kwa hiyo ni mantiki mahali kwa ajili terminus kuu kwa feri kutoka oban na kwa miaka mingi kwamba ni nini hasa imekuwa kijiji ambaye jina lake linamaanisha 'mwamba wa yew tree' aliletwa maisha kwa kuja kwake huduma za feri katika 1964 wakati gati ya kisasa iliyojengwa gati ya awali kujengwa katika 1894 bado anaweza kuonekana karibu ukumbi wa kijiji lakini kabla tu mteremsho kutoka feri na kichwa kwa haraka kama mull ya barabara kufuatilia hasa single itaruhusu kwa aidha ya unafuu wa wale ni thamani ya kukumbuka kwamba kona hii ndogo ya mull inatoa wageni mpango mkubwa ya kuona na kufanya bila kupotea sana mbali wakati wote hii haipaswi kuwa sana ya mshangao kama pengine sana tumeona moja ya vivutio katika eneo hilo wakati bado juu ya feri na wengi pia kuwa hawakupata kiza cha wengine craignure ni kuu feri terminal kwa kisiwa cha mull caledonian mac brayne feri kukimbia kila masaa mawili kati ya craignure na oban mabasi kukimbia kutoka craignure kwa tobermory katika kaskazini ya mull haki ya chini kwa fionnphort katika kusini craignure yenyewe ni haki thinly waliotawanyika kote mwambao wa craignure bay lengo kwa ajili ya wageni huelekea kuwa upande wa magharibi wa bay mwishoni mwa gati feri kujengwa katika 1964 na sasa kutumiwa na oban ferry mv kisiwa cha mull hapa kupata moja ya mbili maelezo ya watalii vituo kisiwa pamoja na ofisi kivuko booking pamoja na idadi ya maduka na craignure badala duni loos umma gati ya awali kujengwa katika 1894 miradi kutoka upande wa kusini wa pembeni karibu wewe kupata kiasi ya mapumziko ya kijiji ikiwa ni pamoja torosay church karakana na kituo cha polisi plus campsite ukumbi wa kijiji na kituo cha craignure juu ya kisiwa cha mull reli neatly kati ya hizi chunks mbili kuu ya kijiji lipo craignure inn kuweka tu magharibi ya barabara kuu na anga haiba kwamba linatokana na kuwa wamekuwa nyumba ya wageni tangu angalau 1700s mapema craignure inn mtumishi baadhi ya bora na thamani hakika bora chakula wewe ni uwezekano wa kupata kwenye mull na pia hutoa malazi katika safari hiyo kutoka kwa oban kihistoria ya kwanza ya mull kwamba anakuja katika mtazamo ni duart castle kale kiti cha ukoo maclean mara baada ya umefanya disembarked katika craignure ni gari mfupi na ngome tours bus zinapatikana kama huna usafiri mgeni mwingine maarufu kivutio katika eneo hili ni torosay castle victoria nyumba na bustani nzuri na mambo ya ndani njia riwaya kusafiri kwa torosay ni juu ya mull reli nyembamba kupima kufuatilia kwamba anaendesha kutoka craignure ngome best craignure ferry tiketi bei ya dhamana best bei ya dhamana sisi daima kutoa wewe wetu chini inapatikana caledonian mac brayne (calmac) ferries abiria na feri gari tiketi ya bei na kutoka craignure hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi pia sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote kwa kuchaguliwa craignure feri tiketi malazi onboard na gari aina ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi katika tukio uwezekano kupata huo wote umoja craignure feri tiketi nafuu katika kitabu yoyote ya tour operator mwingine sisi ahadi kwamba sisi kufanya kazi nzuri ya kuwapiga kwamba bei au kutoa uchaguzi wa kuomba marejesho ya kodi kwa kitabu craignure gari na abiria kivuko tiketi tafadhali bonyeza hapa wateja care telesales & wasiliana nasi wakati ferrytocom wewe ni uwezo wa kupata kuishi craignure feri bei ya tiketi kuangalia upatikanaji na kitabu gari na abiria kivuko tiketi kwenda na kutoka craignure katika inapatikana yetu chini bei ya tiketi ferrytocom ni sehemu ya ukubwa duniani online kivuko tiketi mtandao wa usambazaji kutoa uwezo kwa kitabu juu ya 80 kubwa ya ulaya kampuni ya feri ikiwa ni pamoja na craignure na zaidi 1200 wengine njia ya feri katika uingereza ufaransa hispania ireland uholanzi ulaya mashariki mediterranean baltic na afrika kaskazini kwa habari zaidi majibu ya mara nyingi kuulizwa maswali au kuwasiliana nasi moja kwa moja tafadhali bonyeza hapa kuhusu sisi
2016-10-26T04:03:31
http://www.ferryto.com/sw/bandari/Craignure.html
maambukizi ya malaria yapungua kwa 74 kwanza tv | presstz your number 1 source of aggregated online content by kwanza tv / posted monday 22nd october 2018 kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria hapa nchini kimetajwa kupungua kutoka 144 ya mwaka 2015 hadi 74 ya mwaka 2017 jambo ambalo linatajwa kuiweka nchi katika hatua nzuri ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo hayo yamejiri leo katika uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa viashiria vya malaria 2017 nchini(tmis2017) utafiti ambao umefanywa na ofisi
2019-01-19T18:31:31
http://presstz.net/maambukizi-ya-malaria-yapungua-kwa-7-4-42613890
ofisi ya mkuu wa mkoa rukwa wahanga wa operesheni tokomeza waililia serikali mkuu wa mkoa wa rukwa awataka kuwa watulivu wakati serikali ikishughulikia malalamiko yao wahanga wa operesheni tokomeza waililia serikali mkuu wa mkoa wa rukwa awataka kuwa watulivu wakati serikali ikishughulikia malalamiko yao mkuu wa mkoa wa rukwa mhandisi stella manyanya akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa wananchi wa kijiji cha kilangawani kufuatia malalamiko yao kwa serikali juu ya opersheni tokomeza wengi wao walikiri kutegemea hifadhi ya akiba ya uwanda kulisha mifugo yao jambo ambalo wafugaji wameiomba serikali kuwatafutia maeneo mbadala ya ufugaji kwa upande wao wakulima wameiomba serikali kuharakisha kutafuta suluhu ya mifugo inayozagaa vijijini na mashambani baada ya kufukuzwa kwenye hifadhi kabla ya msimu wa mvua unaokaribia kuanza kwa ajili ya kilimo kuepusha migogoro kati yao na wafugaji wavuvi na wajasiliamali wa samaki waliokuwa wakifanya shughuli zao katika ziwa rukwa nao wameiomba serikali iwape muda wa kuvua angalao wa miezi mitatu ili waweze kurudisha madeni ya mikopo kutoka taasisi za fedha walizokopa na kupata nauli za kurudi makwao kwani wengi wao wametoka maeneo tofauti ya mikoa ya mbeya ruvuma njombe na kilimanjaro sehemu ya kundi kubwa la ng'ombe likionekana mitaani kutafuta malisho na maji katika kijiji cha maleza katika halmashauri ya wilaya ya sumbawanga mkoani rukwa baada ya kufukuzwa katika hifadhi ya akiba ya uwanda (uwanda game reserve) ikiwa ni matokeo ya operesheni tokomeza inayofanywa na serikali kunusuru mali asili nchini maeneo yaliyoathirika kutokana na operesheni tokomeza yapo katika halmashauri ya wilaya ya sumbawanga ambapo zoezi la kuwaondoa majangili na wavamizi wa hifadhi za misitu limegusa vijiji saba (7) vya ilambo maleza kilangawana mkusi kilyamatundu nankanga na msila pia wananchi wanaoishi pembezoni mwa ziwa rukwa ambapo jumla ya kambi 13 za wavuvi zimechomwa moto inakadiriwa kuwa takribani watu 1600 wameathiriwa na zoezi hili aidha yapo makundi makubwa ya mifugo (ngombe) ambayo yamezagaa vijijini na kuna uhaba mkubwa wa chakula kwa familia hizo kutokana na nyumba zao na vyakula kuchomwa moto sehemu ya kundi kubwa la ng'ombe likionekana mitaani kutafuta malisho na maji katika kijiji cha kilangawani katika halmashauri ya wilaya ya sumbawanga mkoani rukwa baada ya kufukuzwa katika hifadhi ya akiba ya uwanda (uwanda game reserve) ikiwa ni matokeo ya operesheni tokomeza inayofanywa na serikali kunusuru mali asili nchini mkuu wa mkoa wa rukwa mhandisi stella manyanya akizungumza na moja ya familia zilizoathirika na operesheni tokomeza katika kijiji cha kilangawani alipotembelea hivi karibuni kuzungumza na wananchi wa kata za kipeta na mtowisa kufuatia malalamiko yao kwa serikali juu ya opersheni hiyo malalamiko hayo ni pamoja na ukosefu wa makazi vyakula maeneo kwa ajili ya wafugaji pamoja na athari nyingine nyingi zilizosababishwa na operesheni hiyo  mkuu wa wilaya ya sumbawanga methew sedoyyeka akizungumza na moja ya familia ya wafugaji iliyoathirika na operesheni hiyo kwa kuharibiwa makazi na vyakula mbalimbali familia hiyo pamoja na nyingine zinazoishi kandokando ya hifadhi ya akiba ya uwanda zimekua zikitegemea hifadhi hiyo inayopakana na ziwa rukwa katika kulisha na kunywesha mifugo yao jambo lililopelekea uharibifu mkubwa wa hifadhi hiyo na ziwa rukwa kwa ujumla ndugu funuki kapahungu mfugaji na muathirika wa operesheni hiyo akielezea operesheni hiyo iliyompitia na kuiomba serikali kuwatafutia maeneo mbadala kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao za ufugaji hata hivyo viongozi wa mkoa wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa rukwa mhandisi stella manyanya waliwashauri wafugaji hao kufuga kisasa ufugaji wenye tija kwa kupunguza idadi ya mifugo na kuuza mingine kuwawezesha kununua maeneo madogo ambayo watayaendeleza kwa kuyachimbia visima vya maji na kupanda nyasi kwa ajili ya mifugo yao alisisitizia juu ya uvunaji wa mifugo kwa kuwawezesha wafugaji kuinuka kiuchumi ndugu sadiki hiari mkazi wa ilambo akitoa kero zake katika mkutano huo baadhi ya wananchi wengi walitoa ushauri kwa serikali ya wilaya kijiji na wananchi hususani wafugaji kukaa pamoja na kuweka utaratibu maalum wa kupunguza idadi ya mifugo kulingana na uwezo wa maeneo ya ufugaji tofauti na ilivyo sasa ambapo mfugaji mmoja ana uwezo wa kufuga ng'ombe wengi hadi kufikia 10 000 bila kuwa na utaratibu wa kuwavuna waweze kuwasaidia kuondokana na umaskini wengi wa wafugaji wanaona ufahari kuwa na mifugo wengi bila hata kujali faida yake kiuchumi uwanja wa mkutano katika mkutano huu mkuu wa mkoa wa rukwa stella manyanya alitoa maagizo na maelekezo mbalimbali yakiwemo wafugaji waone uwezekano wa kuvuna mifugo yao ya ziada na kuwekeza katika vitega uchumi vingine mfano nyumba mashine nk vitakavyowezesha kuendeleza fedha zao serikali zote za vijiji ziainishe maeneo ambayo bado hayajatumika ili kuweza kuyatengea matumizi bora kwa ajili ya mifugo na kilimo na hiyo izingatiwe kwa mkoa wote wa rukwa wavuvi nao waliambiwa kila mwaka kuanzia januari machi ziwa litafungwa kwa ajili ya kuwezesha samaki kuzaliana na kukua lakini pia wajizatiti kutumia zana bora za uvuvi
2017-07-23T18:36:02
https://rukwareview.blogspot.com/2013/11/mkuu-wa-mkoa-wa-rukwa-awataka-wahanga.html
maambukizi ya ukimwi na magonjwa ya ngono yaongezeka dar | jamiiforums | the home of great thinkers maambukizi ya ukimwi na magonjwa ya ngono yaongezeka dar discussion in 'jf doctor' started by hunijui oct 19 2012 watanzania wametakiwa kujiepusha na vitendo vinavyochangia kueneza ugonjwa wa ukimwi kufuatia matokeo ya utafiti wa kibiolojia na kitabia uliofanywa na wizara ya afya na ustawi wa jamii kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi ( nacp) kuonyesha kuwa maambukizo ya ugonjwa huo kwa wanawake wanaofanya biashara ya ngono jijini dar es salaam yapo juu kwa asilimia 314 kauli hiyo imetolewa jijini dar es salaam na kaimu mkurugenzi wa idara ya kinga wizara ya afya na ustawi wa jamii bw eliasi chinamo wakati akifungua mkutano wa kuwasilisha ripoti ya utafiti ya mwaka 2009/2010 kuhusu maambukizi ya ukimwi miongoni mwa wanawake wanaofanya biashara ya ngono jijini dar es salaam kiwango hicho cha maambukizi kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo kinaenda sambamba na ongezeko la magonjwa mengine yakiwemo kaswende ambayo ni 20 gonorea 105 pangusa 63 na trakoma ya via vya uzazi ambayo ni 15 na kukifanya kiwango hicho kufikia asilimia 314 ikilinganishwa na asilimia 104 ya kiwango cha maambukizi kwa wanawake wote wa mkoa huo amesema wanawake waliohusishwa katika utafiti huo jijini dar es salaam umri wao ulikua kati ya miaka 15 – 50 na kuongeza kuwa shughuli nzima ya utafiti iliwahusisha wanawake 7500 kuhusu mazingira yaliyosababisha maambukizi miongoni mwa wanawake hao bw chinamo amesema kuwa wengi wao wamekuwa wakifanya biashara hiyo na wateja tofauti tofauti bila kuchukua tahadhari yoyote matumizi ya madawa ya kulevya kwa kujidunga sindano na matumizi ya pamoja na vitendo vya mashambulio ya mwili na kulazimishwa kufanya ngono “wanawake wanaofanya biashara ya ngono wametaarifu kuwa na wateja wa aina tofauti takribani robo tatu ambayo ni sawa na asilimia 726 na wengi wao wametaarifu kuwa na wastani wa wateja watatu kwa siku ya mwisho kabla ya kufanyiwa usaili” amesema aidha amesema kufuatia matokeo hayo kutokua mazuri katika jiji la dar es salaam juhudi mbalimbali zinaendelea kufanywa na serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa elimu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya vvu pamoja na kuandaa mkakati wa kuongeza na kuimarisha huduma za ushauri nasaha upimaji wa vvu pamoja na huduma za kliniki za tiba na mafuzo kwa upande wake mkuu wa shirika la kimarekani la kudhibiti maradhi na kinga nchini (cdc) dk mary kibona ameeleza kuwa shirika la cdc litaendelea kuwafikia watu walio katika mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya vvu na kuendelea kusaidia tafiti mbalimbali zinazohusisha makundi mbalimbali nchini tanzania amesema kuna kazi kubwa ya kuwafikia watu wengi wanaohitaji kusaidiwa na ambao bado hawajapata huduma hizi katika maeneo mbalimbali nchini na kupongeza juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanapata huduma bora za afya naye kaimu meneja wa mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi (nacp) dk robert mwanzi amefafanua kuwa juhudi mbalimbali zinaendelea kufanyika kuhakikisha kuwa elimu ya kupunguza maambukizi ya vvu inatolewa kwa wananchi wote na kusisitiza kuwa mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi unashirikiana na wadau mbalimbali katika kukabiliana na janga la ukimwi nchini ametoa wito kwa watanzania kuifanyia kazi elimu ya kupambana na maambukizi ya vvu inayotolewa na kusisitiza kuwa elimu kuhusu na namna ya kupambana na maambukizi ya vvu itaendelea kutolewa kupitia makundi nchi nzima tatizo wanaume wanajikomba tu kununua k za madem wana nyege sana wale hata bure wanaweza kutoa chukua tahadhari ukimwi unaua nzowa godat said tatizo wanaume wanajikomba tu kununua k za madem wana nyege sana wale hata bure wanaweza kutoa chukua tahadhari ukimwi unauaclick to expand binafsi naona tatizo ni wanaume kama wakiamua kutofukuzia machangudoa basi biashara hiyo itakoma machangudoa wanaendlea kuvinjari mitaani kwenye maeneo yao kwa vile wanajihakikishia kupata wateja
2017-04-25T13:05:13
https://www.jamiiforums.com/threads/maambukizi-ya-ukimwi-na-magonjwa-ya-ngono-yaongezeka-dar.341290/
wadaiwa kujaza maji kwenye chupa na kuyauza kwa abiria | jamiiforums | the home of great thinkers wadaiwa kujaza maji kwenye chupa na kuyauza kwa abiria serikali ya mji mdogo wa same mkoani kilinajaro imebaini baadhi ya wafanyabiashara wadogo katika kituo cha mabasi cha same mjini wanaouza maji ya kunywa abiria ambayo hayana viwango vinavyotakiwa na shirika la viwango nchini (tbs) watendaji wa mji huo walisema kuwa baada ya kufanya utafiti wamebaini kuwa baadhi ya wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu wamekuwa wakifanya biashara hiyo chafu na waliwatahadharisha wananchi kuwa makini kabla ya kunywa maji hayo maji hayo licha ya kuhofiwa kutoandaliwa kwa kuzingatia kanuni za afya yalikuwa yamewekwa kwenye chupa zenye nembo bandia za makampuni mbalimbali yanayozalisha maji ya kunywa miongoni mwa chupa za maji zilizojazwa maji ambayo yanahofiwa kutokuwa salama ni chupa zenye nembo ya kilimanjaro iceberg na uhai na abiria wa waliokuwa wakisafiri kuelekea vijijini wilayani humo na yanayosafiri safari ndefu nje ya wilaya hiyo wafanyabiashara hao wasiowaaminifu wanasadikiwa kukusanya chupa zilizotumika na kuweka maji ya bomba na kuwauzia watu mbalimbali wakiwemo abiria mwandishi wa habari hizi alishuhudia jana maafisa watendaji wa mamlaka ya mji huo wakiwa na askari katika kituo hicho cha mabasi kuwathibiti wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kulipa ushuru na kodi mbalimbali za serikali na kwamba wakati wakiendelea na shughuli hiyowalitia shaka wafanyabiashara waliokuwa wakiuza maji mtendaji kata ya same destina azaliwa alisema kampeni ya kudhibiti wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi una lengo la kuongeza mapato ya serikali wakati udhibiti wa usafi una lengo la kudhibiti magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu aliwataka abiria na watumiaji wa maji ya kunywa wakiwa safarini kuwa makini dhidi ya wafanyabiashara wadanganyifu ili kuepuka maradhi na madhara mengine yanayohusiana na atumizi ya maji ambayo si salama ugonjwa wa kipindupindu upo katika kata ya ruvu jirani na mji wa same na endapo wakazi wa mji huo wasipokuwa makini katika kuzingatia kanuni za usafi ugonjwa huo huenda ukapiga ahodi katika mjini huo mdogo wa same source mwananchi 5/12/09 hii imegundulika same inamaana hata sehemu nyingi utakuwa unafanyika mchezo huu sasa bongo tuwe na imani na kitu gani watu wanachezea afya za watu kwa hali hii kipindua pindua hakitaisha hii issue ya kujaza maji yasiyo chemshwa na kuwauzia watu hasa abiria mbona ni ya zamani kabisa nakumbuka wakati tunasafiri na trc miaka ya 90 tulikuwa tunakumbana na hili balaa hasa pale saranda na manyoni itigi kwa hali hii kipindua pindua hakitaishaclick to expand ndiyo sababu utakuta unajilinda vizuri lakini unashangaa unapata ugonjwa kama huu pasipo kutegemea
2017-07-22T09:03:17
https://www.jamiiforums.com/threads/wadaiwa-kujaza-maji-kwenye-chupa-na-kuyauza-kwa-abiria.45984/
morsi apinduliwa afrika morsi apinduliwa mara ya mwisho imepitiwa julai 04 2013 mkuu wa jeshi nchini misri abdel fattah alsisi akihutubia muda mfupi kabla ya jeshi kupindua nchi july 3 2013 jeshi la misri limemwondoa madarakani rais mohammed morsi aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia na kuteuwa kiongozi wa muda wa nchi baada ya maandamano makubwa yanayoipinga serikali akitoa hotuba kwa njia ya televisheni jumatano jioni mkuu wa jeshi abdul fatah khalil alsisi alisema katiba ya misri imefutwa kwa muda na mkuu wa mahakama ya katiba ameteuliwa kuwa kiongozi wa muda nchini humo bw sisi alitangaza kwamba jeshi linaangalia watu wa misri kufuatana na maandamano makubwa ya upinzani yalioyodai rais mohamed morsi ajiuzulu kufuatia hotuba ya kwenye televisheni jumanne bw morsi alitoa taarifa kupitia akaunti yake ya twitter akiita hatua ya jeshi kuwa mapinduzi kamili aliwasihi wamisri wote kupinga hatua hiyo ya jeshi lakini pia wadumishe amani kiongozi mpya wa muda nchini misri adli mansour ana umri wa miaka 68 ni mkuu wa sheria katika mahakama ya juu ya katiba ataapishwa alhamis kama sehemu ya mustakabali wa baadye wa misri kiongozi huyo wa kijeshi amesema anataka uchaguzi wa urais na wabunge jopo la kutathmini katiba na kamati ya mashauriano kitaifa alisema utaratibu huo umekubaliwa baina ya makundi kadhaa ya kisiasa pia aliwasihi wananchi wa misri kujiepusha na ghasia jeshi lilimpa bwana morsi saa 48 kutatua matatizo ya kisiasa au kuwepo hatari ya jeshi kuingilia kati viongozi wa jeshi walisema wataweka mwongozo kama tofauti kati ya serikali ya kiislam na wapinzani wake hawatamaliza matatizo yao ifikapo jumatano mchana ya tarehe tatu mwezi wa saba mwaka 2013 tarehe hiyo ya mwisho ilipita muda wake bila ya hatua zozote kuonekana bwana morsi hakika alikataa wito wa kujiuzulu na aliapa kuendelea kubaki madarakani hata kama itamsababishia kifo chake pia alilalamika kufuatia vitisho vya jeshi na hatua yao ya kuingilia mzozo wa kisiasa baruti zilipaa angani kwenye umati wa watu wanaocheza na kupeperusha bendera katika uwanja wa tahrir square mjini cairo kiini cha ghasia za mwaka 2011 ambazo zilizomtimua madarakani rais wa muda mrefu wa misri hosni mubarak katika muda wa wiki chache zilizopita maandamano yenye ghasia kati ya wafuasi na wapinzani wa bwana morsi yameuwa takribani watu 40
2017-07-24T14:39:24
https://www.voaswahili.com/a/morsi-apinduliwa/1694771.html
abageze muzabukuru barishimira ko pension yongerewe ingenzinyayo march 2 2018 march 2 2018 ingenzinyayo 0 comments imyaka yarashije indi irataha abahoze ari abakozi ba leta bizigamiye nikigo cyigihugu cyubwiteganirize rssb bataka bamenyekanisha ko amafaranga bahabwa ntacyo abamarira drdaniel umuyobozi mukuru wa rssb [photo archieves] niba nibuka neza mu mwaka ushije nko mu kwa kane nibwo uwari umuyobozi mukuru wa rssbmuri icyo gihe yijeje abo bantu ko mu mezi atarenze ane icyo kibazo kizaba cyarakemutse ariko umwaka warinze urangira ntagikozwe ni mu mataliki yuku kwezi kwa kabiri 2018 havuzwe inkuru ko amafaranga yatangwaga yongerewe byatumye abayahwa bagira akanyamuneza ibi byishimo byaranze aba basheshe akanguhe bifite aho bishingiye kuko ngo abafata make bongerewe menshi naho abari batuwe bafata menshi bongerewe ho make kuko uwahabwa ibihumbi bitanu (5000) ubu azajya ahabwa ibihumbi (10000) byamafaranga yu rwanda uwahabwa 7000 ubu azajya ahabwa cumi na bitandatu uwahabwaga 80000 azajya ahabwa hagati ya 90000 ni 100000 ariko se koko nuwaba atazi imibare yabura kubona aya macenga abarimu abasirkare nabapolisi nibo bahembwa nabi gusa bazakomeze bihangane uwahabwaga ibihumbi bitanu ikintu yashoboraga gukoresha ayo mafaranga nukuriha facture yamazi namashanyarazi gusa kubona icyo agaburira umuryango ntibyari gushoboka uwahabwa 80000 azongererwa hagati ya 10000 na 20000 nimba nuyu ikibazo kiri kujyenda cyoroha kuko azajya abasha kugira icyo agaburira umuryango ninde se wongerewe menshi muri abo bombi hanyuma se kubeshya ku manywa yihangu bikemerwa biba byagenze gute cyangwa nuko uwo wahabwaga make inzara iba yaramukamuye maze ikamumaramo ubwenge kuburyo atabona uko ibintu bimeze gusa ikigaragara nuko ugize icyo afite azongererwa ubwo nimba umuntu afata miliyoni akongererwa hagati yibihumbi 100000 na 300000 maze narangiza ngo azahurire mwisoko rimwe nuhabwa ibihumbi ibicumbi 16000 erega isi ifite ibyatunga abantu bayiriho ndetse bakabaho neza ikibazo nuko ubukungu budasangirwa neza dore ko umuntu wimfura ituranye numukene aba akwiye kumufasha kugirango abana be batarara ubusa gusa ikigaragara nuko hano mu rwanda hari abantu bafata pension irenga miliyoni kandi barakoreye igihugu nkuko abahembwa bitanu bagikoreye ndetse baranitanze kubarusha ese ninde ukwiye kwirengagiza uruhare rwa mwalimu aba yaragize kugirango abantu babona za pension za miliyoni bahinduke abo baribo kwirengagiza ntibikwiye rwose nkubu hari abantu bakoze igisirikare kuva muri 1990 wenda bagataha nka nyuma ya 2001 babwiwe ko nta pension hababwa kuko batagejeje ku myaka cumi nitanu abandi bati mwebwe ntimuragera ku myaka mirongo itandatu muzayahabwa mwujuje iyo myaka upfuye we sinirirwa mutindaho kuko ni inyungu za rssb iyi si irasecyeje koko ese kuki bitashoboka ko abahabwa miliyoni bagabanirizwe ho make naho abahabwa bitanu bongererwe byibuze bahabwe ibihumbi 50000 nako ngo bitera numushahara umuntu yahembwaga ese kuki ba mwalimu batongererwa umushahara maze nabo bakazajya babona uburyo batunga imiryango yabo bageze muzabukuru aha ngo ntibyakunda kuko amafaranga adahagije kuburyo buri mukozi wa leta yakongererwa umushahara gusa ntibyabujije benshi mu hababwa pension kwishimira amafaranga yongereweho kuko ubusa buruta ubusabusa nyine abo bahembwaga inica nikize ariko icyo gihe ibirayi byagurwaga 7 ikilo cyinyama 50 ibishyimbo 2 primus 80 naho gutega imodoka kuva i kigali kugera igitarama 60 naho ubu ibintu byarahindutse abagena imishahara yabarimu ndetse nabandi bahembwa amafaranga make bakwiye kubyitaho ndaho da nzaba ndora ← bigoranye rayon sport ibashije gukura insinzi i gicumbi mbondi na caleb batsindiye rayon sport ihita irara ku mwanya wa mbere ku rutonde rwa shampiyona →
2018-05-24T09:49:02
http://ingenzinyayo.com/2018/03/02/abasaza-barishimira-ko-pension-yongerewe/
95 phd holders from mzumbe are fake | jamiiforums 95 phd holders from mzumbe are fake 1 moses md warioba dpa (idm) dip publ sect mgt (aston) mbim (london) msc publ sec mgt (birmingham) phd (public admin) pwu (usa) hivi kweli tulitegemea wapatikane wapi wakufunzi na wahadhiri proper wakati tulikuwa tunaanzisha vyuo pasipo mpangilio wazo la kuanzisha vyuo vikuu au kubadili au kuupgrade vyuo vya diploma kuwa vyuo vikuu halikuwa baya ila lilihitaji maandaliza ikiwa ni pamoja recruitment ya wahadhiri lakini mambo ya kukurupuka tu ndio yanatufikisha hapa tunashindwa kufuata taratibu stahili na kuchagua wale walio na vyeti halali na si feki zaidi ya hilo nadhani nidhamu kwa ujumla imeshuka kuanzia kwenye jamii uaminifu umepotea na maadili hakuna tena watu wanao weza kufanya hivyo wanapongezwa na wale wanaojaribu kufuata njia au taratibu stahili wanaonekana wakuja au wamechelewa kumbe ni salama kuwa na wachache wazuri kuliko wengi wabovu kwani ubovu wao hauishii kwao bali utaendelea kupitia kwa wawafundishao sioni suluhisho rahisi lakini tatizo naliona na walio tayari kuteseka kwa ajili ya nchi ni wachache wengi tunapenda mteremko na kutoa maoni wengine wafanyeje wakishafanya sisi tutakuja kuwasifia na kuwaunga mkono can we ever put into our minds that the country tanzania is our only legacy to our children we have a very short time to live in this world but our legacy will live be it good or not tatizo ni serekali ambayo haitaki kuwa lipa wahadhiri wake vizuri kwahiyo tumeamua keanzisha universty za upe ni jambo la kushangaza kuwa chuo kikuu mzumbe kilichoopo mororgoro tanzania kinasemekana kutokuwa na critical thinkers hasa kwa wanafunzi wanaosoma chuoni hapo hii ni kutokana na ukweli kuwa wengi huonekana wako bize tu nyakati za mitithnani tu na sio wakati wote wa maisha yao ya kila siku wawapo chuoni hapo hii inatusikitisha sana uwakutapo kwenye vikao vyao vya baa kila mara wanapojisifia kuwa degree zao ni bora kuliko vyuo vingine how comes pia liko wazi kuwa maisha yao yametawaliwa na mawazo ya baaa kila siku tu waendapo kugonga gambe chakula na starehe nyingi mabasi ya abud kila siku wamejaa wao si jumatatu si jumapili hawana wikiendi hao mtumeee labda wana jipya wananajamii la kusema ila imebainika kuwa pia hawana culture ya kuhudhuria public lecture hata mara moja kusoma nini kinaendelea hata katika mbao zao za matangazo na pengine wao huwaza pepa lini tulakini pia ni mabingwa wa kukata kiu licha ya kuwa menejiment ya chuo kikuu hicho kujitahidi kuwapa malezi mema kinasemekana are you equally a critical thinker mi naona kama madai yako hayana mashiko ya kutosheleza 1 wewe unaonekana una matatizo au labda uli disco taarifa yako umeshindwa hata kuanza na herufi kubwa 2boldedndio kipindi gani hicho mbona vyuo vingine hakuna hizo data zako ni za uwongo njoo ufanye utafiti uone labda we umewaangalia watu wachache sana si wote tafadhali njoo libary uone watu wanavyjazana kuazima vitabu vya special reserve tena kwa taarfia yako mi nimeshangaa sana kuaona watu wanasoma vitabu kwa kiasi kikubwa compared to sua hata hivyo get thinking is not the matter of reading it is the matter of how a person percive and see things si ajabu umepambana na vijana shupavu wa mu kwenye interview wakakutoa sasa unaanza chuki binafsi mzumbe university still ni role model ktk vyuo vikuu nchini na kwa kutoa elimu bora hapa nchini licha ya kuwekewa mizengwe mingi na udsm wakati inaanzishwa watanzania inatakiwa tujadili ya kujenga na siyo porojo umeambiwa mwanafunzi wa chuo kikuu kwenda baa ni makosa halafu pia zile zama za kukomoana baina ya walimu na wanafunzi zimepita sishangai sana post yako inaonesha how empty are you in thinking umejaa mawazo mgando yasoisha ya wazee wa miaka hiyo ya 47 eti pombe ni uhuni to hell with you na nyie mmezidi sasakila siku phd fake phd fake mbona hamuweki za kwenu zilizokuwa sio fakemtaishia kubwabwaja milele na mawazo yenu ya hovyo hovyowewe unaona ni feki lakini waliozitoa wanaona sio fake paset (rsif)phd scholarship in applied science engeering and technolgy jukwaa la elimu (education forum) 1 may 3 2020 kati ya professor na dr (phd) nani zaidi jukwaa la elimu (education forum) 20 feb 16 2020 phd queries hivi ni lazima uchukue miaka mingi kupata phd au ni mpangilio wa vyuo vyetu uwachelewesha wanaosaka phd jukwaa la elimu (education forum) 19 dec 21 2019 daad phd scholarship mathematics in industry and commerce in germany 2019/2020 jukwaa la elimu (education forum) 0 nov 19 2019 paset (rsif)phd scholarship in applied science engeering and technolgy kati ya professor na dr (phd) nani zaidi phd queries hivi ni lazima uchukue miaka mingi kupata phd au ni mpangilio wa vyuo vyetu uwachelewesha wanaosaka phd daad phd scholarship mathematics in industry and commerce in germany 2019/2020
2020-08-12T12:58:02
https://www.jamiiforums.com/threads/95-phd-holders-from-mzumbe-are-fake.14859/
ngos hutoa bendera nyekundu mwisho #overfishing sasa au kukosa muda wa kisheria mwandishi wa eu mwandishi wa eu ngos hutoa bendera nyekundu mwisho #overfishing sasa au kukosa muda wa kisheria mashirika ya mazingira duniani kote ulaya hujiunga na nguvu katika kujibu kwa wasiwasi mkubwa ripoti iliyotolewa hivi karibuni kutoka kwa kamati ya sayansi ufundi na kiuchumi ya uvuvi (stecf) mara nyingine ripoti ya kila mwaka inaonyesha ukosefu wa kutisha wa maendeleo kutoka kwa eu katika utekelezaji wa sera ya uvuvi wa umoja wa mataifa (cfp) na kuheshimu muda unaokaribia haraka ili kukomesha kupita kiasi kwa 2020 (1) wakati wataalamu wa stecf wanasema kuwa mawaziri na serikali za ulaya zinaruhusu ratiba ya kuhakikisha kuwa mwisho wa uvuvi wa uvuvi sio wakati tu wa kusikiliza ni wakati wa kutenda alisema gonçalo carvalho mkurugenzi mtendaji wa sciaena tarehe ya mwisho ya kisheria ya eu kwa ajili ya kufikia viwango vya uvuvi endelevu kwa hifadhi zote zilizofanywa ni karibu kona lakini bado 41 ya hifadhi zilizohesabiwa katika kaskazini mashariki mwa atlantiki zinakabiliwa na uvuvi wa uvuvi hiyo sio kutosha kama sisi ni muhimu kuhusu kulinda siku zijazo za uvuvi na bahari zetu alisema rebecca hubbard mkurugenzi wa programu katika samaki yetu kama sehemu ya mageuzi ya 2013 cfp nchi zote za wanachama wa umoja wa mataifa zinajiunga na mahitaji ya kisheria ya kukomesha overfishing na 2020 kwa hivi karibuni (2) na wakati stecf inabainisha kuwa hali ya hisa katika kaskazini mwa atlantiki imebadilika sana tangu 2003 kiwango cha maendeleo imepungua katika miaka michache iliyopita hali katika bahari ya mediterane na bahari inabakia kwa ujumla matokeo ya mwaka huu yanathibitisha kwamba hifadhi nyingi zinabakia na maendeleo yanapatikana hadi 2017 imepungua sana ili kuhakikisha kuwa kwa hisa za 2020 zinafanywa au chini ya ngazi ambazo zinaweza kutoa mazao endelevu tunahimiza sana tume ya ulaya kupendekeza mipaka ya uvuvi kulingana na ushauri wa kisayansi juu ya viwango vya uvuvi endelevu kama mlezi wa mikataba ya eu tume inapaswa kuongoza juu ya haraka na mafanikio ya maendeleo kufikia tarehe ya mwisho ya 2020 kukomesha uvuvi wa uvuvi alisema jenni grossmann mshauri wa sayansi na sera katika mteja wa mtaalam wanachama wa nchi wanapaswa kuchukua hatua juu ya ripoti ya leo na kuonyesha kuwa ni muhimu kuhusu kulinda hifadhi za samaki za ulaya na mazingira makubwa ya baharini kwa kuweka mipaka endelevu ya uvuvi kwa 2020 ikiwa serikali zinawezesha kuendelea na uvuvi zaidi katika kipindi cha miaka ijayo hautahariri sio tu ya baadaye ya samaki za ulaya lakini afya ya bahari ambayo sisi sote tunategemea alisema andrea ripol afisa wa sera ya uvuvi katika bahari ya hatari stecf inashauri tume ya ulaya ya usimamizi wa uvuvi na inahitajika kutoa ripoti ya kila mwaka juu ya maendeleo ya eu katika kufikia malengo ya mazao ya mazao ya kudumu kulingana na cfp (3) ripoti ya stecf ufuatiliaji wa utendaji wa sera ya uvuvi wa umoja wa mataifa (stecfadhoc1901) inahusu kaskazini mashariki mwa atlantiki na karibu na bahari (udhibiti wa fao wa 27) na bahari ya mediterranean na black (fao 37) kwa mujibu wa ripoti hii 41 ya hifadhi zilizohesabiwa katika kaskazini mashariki mwa atlantiki bado zinakabiliwa na uvuvi wa uvuvi katika 2017 (mwaka wa hivi karibuni ambao taarifa hii inapatikana) ikilinganishwa na 43 katika 2016 na 37 ya hisa bado mipaka ya kibaiolojia salama (kwa wale wenye takwimu za kutosha kutathmini afya ya hisa) zaidi ya hayo kulingana na habari ya 2016 katika mediterane tu karibu na 13 (hisa za 6) hazikosekwa wengi hupandwa zaidi (p 8) sera iliyobadilishwa ya uvuvi wa uvuvi (cfp) inajumuisha lengo la kusudi la kurejesha na kudumisha hifadhi za samaki juu ya viwango vya kudumu hasa juu ya viwango vya uwezo wa kuzalisha mazao endelevu ('msy' angalia makala 2 (2) ya kanuni ya msingi ya cfp udhibiti (eu) hakuna 1380 / 2013 ya bunge la ulaya na baraza la 11 desemba 2013) kwa kusudi la kufikia lengo hili la msy sheria inasema kuwa kiwango cha matumizi ya msy kitapatikana kwa 2020 kwa hivi karibuni kwa hifadhi zote aidha cfp ni wazi kwamba hatua zinapaswa kuchukuliwa kwa mujibu wa ushauri bora zaidi wa kisayansi (kifungu 3 (c) cha kanuni ya msingi ya cfp) kifungu cha 50 cha kanuni ya msingi ya cfp inasema tume itabiri kila mwaka kwa bunge la ulaya na baraza kuhusu maendeleo ya kufikia mazao endelevu na juu ya hali ya samaki iwezekanavyo baada ya kupitishwa kwa baraza la kila mwaka udhibiti unaowezesha fursa za uvuvi zilizopo katika maji ya umoja na katika baadhi ya maji yasiyo ya umoja kwa vyombo vya umoja kama sehemu ya hili stecf inauliwa kila mwaka kutoa ripoti juu ya maendeleo katika kufikia malengo ya msy kulingana na sera ya uvuvi wa umoja ya scientific ufundi na kamati ya uchumi kwa uvuvi (stecf) ilianzishwa katika 1993 na wanachama wa stefc wanachaguliwa na tume ya ulaya kutoka kwa wataalamu wenye ujuzi wa kisayansi wenye uwezo katika nyanja hizi jamii frontpage mkutano wa pembeni maritime mikoa ya ulaya (cpmr) eu uvuvi haramu maritime oceana uvuvi wa kupita kiasi « #armenia na #azerbaijan uongozi wa uongozi sio mbadala kwa mchakato wa amani uliozidi eu ilihimiza kusaidia #ukraine kukabiliana na kampeni ya uharibifu wa urusi »
2019-09-19T17:03:58
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/04/11/ngos-raise-red-flag-end-overfishing-now-or-miss-legal-deadline/
majaliwa aagiza maafisa kilimo kuingia shambani dar24 7 months ago comments off on majaliwa aagiza maafisa kilimo kuingia shambani waziri mkuu kassim majaliwa amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za mji na wilaya ya mbinga wahakikishe kuwa wanaunda kanda za kilimo na kuwasambaza maafisa kilimo wao badala ya kuwaacha wakae maofisini ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi na madiwani wa halmashauri ya wilaya ya mbinga pamoja na halmashauri ya mji wa mbinga mkurugenzi wa tc na dc chuja maafisa kilimo ulionao na uhakikishe wanabakia watatu tu abaki daldo mtu wa horticulture na mthamini wengine wote wasambaze kwenye kanda ili wasimamie wakulima wakiwa huko huko hili litekelezwe na mkuu wa wilaya ulisimamie amesema majaliwa aidha amewataka maafisa kilimo wa zao la kahawa waende vijijini na kufanya sensa ili waweze kubaini wana wakulima wangapi wanaozalisha kahawaili wapate idadi ya miche ambayo itakuwa inagawiwa kwa wakulima hao hata hivyo katika hatua nyingine waziri mkuu amewataka maafisa ushirika wa wilaya hiyo wakasimamie uundwaji wa amcos mpya na kuimarisha zile za zamani ambazo zinafanya kazi vizuri
2018-08-16T02:00:28
http://dar24.com/majaliwa-aagiza-maafisa-kilimo-kuingia-shambani/
bongo olympic | jamiiforums | the home of great thinkers bongo olympic discussion in 'jamii photos' started by good guy aug 14 2012 kwani tulienda kwa mchezo upi ila kama tungeenda kwa mchezo wa kurusha mikuki nina uhakika tungefanya vema viongozi wa toc ni full usanii wacha watuchore tu yeah uongozi husika mbovu wanaoenda wanaenda si kwa kua wana vigezo bali wanaenda kwa rushwa na kujuana hizi katuni tamu kwani tulienda kwa mchezo upi ila kama tungeenda kwa mchezo wa kurusha mikuki nina uhakika tungefanya vemaclick to expand naunga mkono hoja tuchukue morani 1000 wataturu 100 wamburu 100 na wamag'ati 100 huwaweke kambini tuwape mafunzo ya kusayansi jinsi ya kutupa mkuki kwa malengo maalumu nina imani mwaka 2016 tupata medali za javelin 123 halafu mcheao wa filbert bay kuweka kambi ya wanamichezo wa olympic nyumbani kwake akome ni ufisadi ningefurahi sana kama idara ya michezo ingeunganishwa kwenye wizara ya magufuli mwakyembe au kagasheki ili huyo filbert bayi na wanamichezo na maofisa wao wa michezo/ioc wafikie rumande ni maoni yangu na ninayaamini mkuu ulikua pande zipi wabongo nao walienda(unfortunately ilikua nikutimiza wajibu 2) wa2 wenye uwezo waliachwa(eg maboxer wakali wa bongo) wakapelekana kwa kujuana na hongo matokeo yake boxer alikula kichapo kwa pnt 20 to 3 i thnk ndani ya rnd3 gem likaisha runners well mdada alikua wa 3 kutoka mwisho mbio ndefu m1 alikua wa 33 mwingine 66 hao ndo nnliowaona pics wakiwa wanaingia nyingine jk akimuaga bondia kwenda olympic hehehehehe wametoka kutaliituwakaribishe waendelee na shida za hapa bongo maana walikua wameenda kusahau shida kwa mda mchache(wakiwa wanatalii hukoo olympic)hii ndo bongo bwana hujui mtu hupati kitu kiranja wa nchi mtalii wanafunzi wataacha kua watalii nani kasemakaribun watalii dah ningekuweko huko haka katoto ka kwanza kushoto ningepiga tu kazuri ako dah ningekuweko huko haka katoto ka kwanza kushoto ningepiga tu kazuri akoclick to expand huyo mama unamjua ni nani huyo mama unamjua ni naniclick to expand si mjui embu nijuze mi napiga tu sichagui bana waacheni bwana watoto wa jk wanafata nyao ya kuuza sura wametimiza maandikoutavuna uichopanda watalii kama bwana dhaifu idadi ya viongozi ilikuwa ni kubwa kuliko hata wanamichezo ila si michezo ya wazungu hio wametengeneza wazungu sie tunafata tu ndo mana angalia medali nyingi zimeenda kwao kwa wanaoangalia jumong wanamkumbuka na mishale yake same medali za dhahabu za kupiga mishale zimeenda korea (kwa kipofu) basket riadha medali nyingi marekan na mpira wa wanawake mabingwa wa dunia wa boxer klitschiko brothers wa ukraine same dhahabu imeenda ukraine ya boxer ukichunguza kila nchi yenye kipaji flan imezoa medal zake sisi tanzania tunapenda michezo ya dizain hii kombolela makidamakida ready(rede) kuruka kamba kupanda miti na vifananiavyo imagine kuwe na mashindano ya kupanda minazi hata shaba tusingekosa kwa wale wanaogema pombe ya mnazi ni sawa mi najua hakuna mchezo tunaouweza zaidi ya kuongeatuwaombe olympic waanzishe mashindano ya kuongea nadhani huo tutanyakua medali ya dhahabu ni sawa mi najua hakuna mchezo tunaouweza zaidi ya kuongeatuwaombe olympic waanzishe mashindano ya kuongea nadhani huo tutanyakua medali ya dhahabuclick to expand heheheh na wa kuuza sura kama big bro wabongo wanatisha huko
2016-10-21T13:27:01
http://www.jamiiforums.com/threads/bongo-olympic.307467/
igorane zamazi meza ku musaga mu gisagara ca bujumbura kamena 29 2009 kuronka amazi meza ku musaga mu gisagara ca bujumbura nti vyoroshe muri komine musaga mubumanuko bw'igisagra ca bujumbura kuronka amazi ni ikibazo kigoye cane ku mabomba atanu aha amazi abantu barenga ibihumbi amajana atatu abiri gusa niyo akora kandi amazi arashobora kumara indwi zibiri atabonetse iyo amazi abonetse imisunikano iba myinshi abantu baba ku musaga baganiriye na radiyo ijwi rya amerika bavuga ko bashobora kumara amasaha arenga atanu barindiriye amazi umusore akora akazi ko mu nzu emile nahimana yabwiye ijwi rya amerika ko uwo musi yavyutse isaha cumi n'imwe yo mu gitondo ariko ko gushika isaha zine zo mu gitondo yari agitonze arindiriye ko amazi aza umupfasoni estela bukuru nawe nyeneyavuga ko amaze amasaha ane arindiriye amazi estela bukuru yiganiye ijwi rya amerika ko kenshi na kenshi avoma amazi mabi mu ruzi muha akaba ariyo akoresha estela bukuru avuga ko afise ubwoba ko amagara yiwe n'ay'abana biwe batatu ashobora kubangamirwa aho ku musaga abakozi bo mu nzu batangaza ko akazi kabo katoroshe iyo bagiye kurondera amazi ivyo basize ku mbabura birashika ko bizigira ababakoresha nabo bakabakarira abo bakozi babwiye ijwi rya amerika ko basigaye banka kuja gusaba akazi mur'iyo komine ya musaga iyo bemeye naho bagasaba amafaranga menshi imiryango idahuta iremera ishirahamwe regideso ariryo ryonyene rijejwe gutanga no kugurisha amazi rivuga ko mu gihe c'ici amazi akunda gukena ariko kandi n'abanywanyi b'iryo shirahamwe bavuga ko rikunda kugira ingorane z'ibikoresha mu burundi ibice birenga mirongo ine na bitanu vy'abanyagihugu nti baronka amazi meza uburundi buri mu bihugu bikenya kw'isi aho amazi yo mw'ibombo ashobora kunyobwa ata kindi kintu na kimwe ashizwe mwo canke ngo arinde gutekwa urugendo rwa prezida obama muri ghana
2017-11-20T15:34:19
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/a-18-2009-06-29-voa2-93027759/1265881.html
mrpengo blog ofisi ya rais tume ya mipango yakagua miradi ya maendeleo ofisi ya rais tume ya mipango yakagua miradi ya maendeleo mapema wiki iliyopita ofisi ya rais tume ya mipango ilitembelea miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini ili kukagua utekelezaji wake miradi hiyo ni pamoja na kituo cha kuzalisha samaki morogoro skimu ya umwagiliaji iringa vijijini maghala ya cowabama iringa vijijini ujenzi wa barabara ya iringa dodoma bwawa la mtera ujenzi wa barabara ya manyoni itigi utandikaji wa reli eneo kati ya kitaraka na malongwe shamba la kitengule one stop border post mutukula mkongo wa taifa mutukula na upanuzi wa mradi wa maji safi bomba kuu la ziwa victoria katika kufanikisha uratibu wa miradi ya maendeleo ofisi ya rais tume ya mipango hufanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa miradi hiyo kwa kuzielekeza wizara zinazotekeleza miradi kuwasilisha taarifa za utekelezaji kila robo mwaka aidha tume ya mipango hutembelea miradi ya maendeleo kuona hali halisi ya utekelezaji ikiwa ni pamoja na kubaini mafanikio na changamoto na hatimaye kutoa ushauri katika ngazi husika kuhusu namna ya kukabiliana na changamoto hizo moja ya majukumu ya ofisi ya rais tume ya mipango ni kuratibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kitaifa ya kimkakati miradi ya matokeo makubwa sasa (mms) na miradi mingine muhimu kwa ukuaji wa uchumi wa taifa miradi imeainishwa katika mpango wa maendeleo wa taifa wa miaka mitano (2011/12 2015/16) na ile ya matokeo makubwa sasa iliyoibuliwa katika mfumo wa kimaabara naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa nne kulia) kaimu mkurugenzi wa idara ya mipango na ufuatiliaji ofisi ya rais tume ya mipango bw omari abdallah (wa kwanza kushoto) na maafisa kutoka kutoka ofisi ya rais tume ya mipango pamoja na wataalam wa mradi wa kituo cha kuzalisha samaki kilichopo kingolwira mkoani morogoro wakiangalia sehemu maalum ya kukuzia vifaranga vya samaki baada ya kutotoleshwa naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa pili kulia) kaimu mkurugenzi wa idara ya mipango na ufuatiliaji ofisi ya rais tume ya mipango bw omari abdallah (wa kwanza kulia) pamoja na maafisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango wakipata maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa barabara ya iringa dodoma hatua ulipofikia na changamoto zilizopo kutoka kwa mtaalamu elekezi wa mradi bwrobin de kock (mwenye kofia) naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa tatu kulia) akiangalia kazi ya ujenzi wa barabara ya iringa dodoma inavyoendelea wakati alipotembelea mradi huo pamoja na maafisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango pamoja nao ni mtaalamu elekezi wa mradi bwrobin de kock (mwenye kofia katikati) naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (katikati) kaimu mkurugenzi wa idara ya mipango na ufuatiliaji ofisi ya rais tume ya mipango bw omari abdallah (wa pili kushoto) pamoja na maofisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango wakipewa maelezo kuhusu bwawa la kuzalisha umeme la mtera kutoka kwa meneja wa kituo bw abdallah ikwasa (wa nne kushoto) hii ni sehemu ambapo uzalishaji wa umeme unafanyika bwawa la mtera linapatikana katika mikoa ya iringa na dodoma lina uwezo wa kuzalisha mw 80 ambao unaoingizwa katika gridi ya taifa naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa kwanza kushoto) na maofisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango wakipata maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa reli kutoka kitaraka hadi malongwe mkoani tabora kutoka kwa bw raphael mwandumbya (mwenye kofia) ambaye ni mkaguzi wa ujenzi wa reli hiyo mradi huu ni sehemu ya ujenzi na ukarabati unaoendelea katika reli ya kati ambao una urefu wa kilometa 89 naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa pili kushoto) kaimu mkurugenzi wa idara ya mipango na ufuatiliaji ofisi ya rais tume ya mipango bw omari abdallah (wa kwanza kushoto) na maafisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango wakiangalia uharibifu wa barabara ambao unafanywa na wananchi wasio waaminifu kwa kuchota kokoto pembezoni mwa barabara hiyo ambayo bado inaendelea kujengwa barabara hii inajengwa na nicholas odwyer & company ltd consulting engineers ambapo kipande cha manyoni hadi itigi kipo katika hatua za mwisho kukamilika lengo la mradi ni kuendelea kujenga barabara ya manyoni itigi kwa kiwango cha lami katika sehemu tatu za utekelezaji ambazo ni manyoni itigi chaya (km 8935) chaya nyahua (km 90) na nyahua tabora (km 85) jengo kwa ajili ya kutolea huduma za mpakani (one stop border post) mtukula mradi ambao unahusisha ujenzi wa miundombinu inayosaidia utolewaji wa huduma bora na za kisasa mpakani mwa tanzania na uganda lengo la mradi wa one stop border post ni kukamisha vituo vya utoaji huduma za pamoja mipakani kati ya tanzania na nchi za jirani timu ya maofisa kutoka ofisi ya rais tume ya mipango ikiongozwa na naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa tatu kushoto) wakipata maelezo kutoka kwa wataalam wanaohusika na mkongo wa taifa lengo la mradi kwa mwaka 2014/2015 ni mapitio ya miundombinu ya mkongo na mifumo kwa ajili ya maboresho ujenzi awamu ya iii sehemu ya kwanza ya upanuzi wa mkongo kwa maeneo yaliyobaki katika awamu i na ii na uhakiki wa ubora wa mkongo naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (wa kwanza kushoto) kaimu mkurugenzi wa idara mipango na ufuatiliaji ofisi ya rais tume ya mipango bw omary abdallah (wa kwanza kulia) na wataalam kutoka ofisi ya rais tume ya mipango wakipata maelezo kuhusu mafanikio na changamoto za mradi wa ranchi ya taifa misenyi kutoka kwa meneja wa mradi bw martin ladislaus (katikati) shamba hili la mifugo lipo karagwe mkoa wa kagera ni moja kati ya mashamba makubwa 9 nchini ya uwekezaji limepimwa na kupata hati miliki ujumbe kutoka ofisi ya rais tume ya mipango ukiongozwa na naibu katibu mtendaji ofisi ya rais tume ya mipango bibi florence mwanri (mwenye tshirt nyeusi) wakiangalia sehemu ya kuogeshea ngombe wengine ni meneja wa mradi ranchi ya taifa misenyi kagera bw martin ladislaus (wa tatu kulia) na meneja wa mradi ranchi ya kitengule kagera bw hemedi m seif (wa pili kulia) posted by fadhiri atick at 1014 am
2017-08-21T17:47:57
http://atickfadhiri.blogspot.com/2015/07/ofisi-ya-rais-tume-ya-mipango-yakagua.html
nunua ilio tumika nissan xtrail fedha gari ndani ya kampala nchini uganda carkibanda tangazo limeundwamwezi wa pili 16 inaonekana52 kuhusunissan xtrail habari nimevutiwa na nissan xtrail car iliopo uganda kampala nilio iona katika carkibandacom unaweza nitumia taarifa zaidi juu yake ahsante
2019-09-15T22:29:44
https://www.carkibanda.com/sw/vehicle_listings/ad-nissan-x-trail-uganda-arua-1810
tunataka watoto wazaliwe bila vvu agpahi you are athome»habari360»tunataka watoto wazaliwe bila vvu agpahi afisa miradi huyo wa huduma unganishi kwa jamii agpahi mkoa wa mwanza cecilia yona akifunga warsha ya siku mbili ya mama rika mkoa wa mwanza iliyofanyika katika ukumbi wa gold crest hotel jijini mwanza picha zote na kadama malunde malunde1 blog picha ya pamoja washiriki wa warsha picha zote na kadama malunde malunde1 blog mama rika ni waelimishaji wa akina mama wajawazito na wanaonyonyesha wanaoishi na vvu ambao wanapata huduma za tiba na matunzo katika kliniki ya mamababa na mtoto (rch) ili kuzuia maambukizi toka kwa mama kwenda kwa mtoto warsha hiyo ya siku mbili imemalizika alhamis aprili 252019 jijini mwanza na kuhudhuriwa na mama rika 70wauguzi waratibu wa huduma ya afya ya uzaziwaratibu wa huduma za vvu na ukimwi katika jamii mkoa wa mwanza aidha walishauri elimu iendelee kutolewa zaidi kwa akina mama wajawazito wahudhurie kwenye vituo vya afya wafundishwe mambo muhimu badala ya kufuata maneno mtaani na kujinyanyapaa matokeo yake wanajifungua watoto wenye maambukizi previous articlerais magufuli atoa maagizo kwa tcra kutozifunga laini za simu ambazo hazijasajiliwa next article taasisi ya aphfta yashiriki maadimisho ya siku ya malaria duniani 2019
2019-08-23T18:21:18
https://habarimpya.com/featured-2/kajunason/tunataka-watoto-wazaliwe-bila-vvu-agpahi
page 1 of 286081232860728608next » hapana tusiishie katika kusadiki na kuadhimisha mafumbo kwa kuwa imani na sakramenti zinadai kutekelezwa maishani soma zaidi 👉katekisimu yesu alifanya ishara ili soma zaidi 👉katekisimu 1 bwana akamtokea ibrahimu karibu na mialoni ya mamre alipokuwa ameketi mlangoni pa hema yake mchana wakati wa hari soma zaidi 👉bibhath asiyejuta hawezi kuondolewa dhambi kabisa na anayeungama bila kujuta anatenda dhambi kubwa ya kufuru soma zaidi 👉katekisimu (yenye faida na yasiyo na faida kwako soma zaidi 👉dini malaika alimsalimia maria umejaa neema (lk 128) maana ndiye tunda bora la ukombozi ulioletwa na yesu soma zaidi 👉katekisimu haya yalikuwa mafundisho makuu ya yesu soma zaidi neno amina katika sala lina maanisha na iwe hivyo (hesabu 522) soma zaidi hapana kanisa si kundi la binadamu tu tunaloweza kulianzisha kama vile chama timu nk soma zaidi jibu fupi ni kwamba bikira maria hakuzaa watoto wengine na hakuwa na watoto wengine zaidi ya yesu soma zaidi alipokwisha umba watu mungu aliwafundisha dini (mwa 21517) soma zaidi napenda kuchukua fursa hii kutoa mchango wangu juu ya matumizi mabaya ya neno ameen hili neno linatokana na neno la kiebrania amina likiwa na maana ya na iwe hivyo neno hilo lilitumika mwishoni mwa maombi kila wakati wayahudi walipomwomba mungu wao endelea kusoma
2019-07-21T02:41:32
http://www.ackyshine.com/katoliki-f:blog/tag/enterprising
bongo movie waichachafya bongo fleva 1 0 king sele blog benny kinyaiya na jb wakishangilia wachezaji wa bongo movie na mashabiki wake wakishangilia bao lao lililofungwa na kiduko
2017-09-25T18:51:56
http://www-kingsele.blogspot.com/2012/07/bongo-movie-waichachafya-bongo-fleva-1.html
maneno ya mungu ya kila siku | wale wanaomjua mungu pekee ndio wanaoweza kuwa na ushuhuda kwa mungu (dondoo 2) | kanisa la mwenyezi mungu usomaji wa maneno la mwenyezi mungu 571
2020-03-29T09:38:26
https://sw.godfootsteps.org/videos/know-God-can-bear-testimony-excerpt-II.html
yanga sc yaingia kambini kwa ajiri ya maandalizi dhidi ya medeama ya gahana | ishi kistaa home sports yanga sc yaingia kambini kwa ajiri ya maandalizi dhidi ya medeama ya yanga sc yaingia kambini kwa ajiri ya maandalizi dhidi ya medeama ya gahana mabingwa wa tanzania bara yanga sc imeingia kambini katika hoteli ya tiffany jijini la dar es salaam kwa ajiri ya maandalizi ya mechi ya marudiano kombe la shirikisho afrika dhidi ya medeama fc ya ghana yanga ianatarajia kurudiana na medeama jumatano ya julai 27 mwaka huu katika uwanja wa sekondi sports au essipong mjini sekonditakoradi nchini ghana katika mechi ya kwanza iliyofanyika katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam yanga ililazimishwa sare ya 11 na medeama tp mazembe ya jamhuri ya kongo inayoongoza kundi hilo inatarajia kuikaribisha timu ya mouloudia olympique bejaia mo bejaia mjini lubumbashi tp mazembe inaongoza kundi a kwa pointi ikiwa na alama saba ikifuatiwa na mo bejaia ikiwa na alama tano medeama ina alama mbili na yanga ikiwa na alama moja previous articleharuna ramadhani shamte asaini mkataba mpya mbeya next articlemanchester city hoi mbele ya bayern munich tff yatoa ratiba ya ligi kuu msimu ujao
2018-06-21T00:53:13
http://www.ishikistaa.com/yanga-sc-yaingia-kambini-kwa-ajiri-ya-maandalizi-dhidi-ya-medeama-ya-gahana/
sport clips haircuts of tucson arizona pavilion help a hero program 5920 w arizona pavilion's dr tucson arizona 85743 5202842427
2020-01-19T08:34:54
https://haircutmenarizonapaviliontucsonaz.com/promotions-partnerships/help-a-hero
neymar aipa brazil medali ya dhahabu katika michuano ya olimpiki pamoja blog home > michezo > neymar aipa brazil medali ya dhahabu katika michuano ya olimpiki neymar aipa brazil medali ya dhahabu katika michuano ya olimpiki 8/21/2016 013100 pm michezo neymar amefunga penati ya ushindi wakati wenyeji brazil wakiifunga ujerumani kwa magoli 54 kwa mkiwaju ya penati jijini rio na kushinda medali yao ya dhahabu ya olimpiki katika mchezo wa soka wanaume katika mchezo huo mkali timu hizo zilijikuta zikitoka sare yagoli 11 baada ya muda wa nyongeza huku goli la mpira wa adhabu lililofungwa na neymar likisawazishwa na max meyer ushindi huo wa brazil umekuja baada ya ujerumani kuichakaza brazil magoli 71 mwaka 2014 katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la duniani katika dimba la belo horizonte nchini brazil neymar akifunga mpira wa penati ulioipa ushindi brazil neymar akishangilia goli kwa kuonyesha ishara inayotumiwa na mwanariadha wa jamaica usain bolt mwanariadha wa jamaica mfalme wa riadha usain bolt akifuatilia mchezo huo nayo timu ya taifa ya nigeria imeshinda medali ya fedha katika michuano ya olmpiki ya soka la wanaume baada ya kuichakaza bila huruma timu ya hondura kwa mgoli 30 yaliyofungwa na sadiq umar mawili na aminu umar moja
2018-02-23T00:30:29
http://www.pamoja.co.tz/2016/08/neymar-aipa-brazil-medali-ya-dhahabu.html
uchaguzi kuwa moja ina maana wewe ni kuwajibika kwa ajili ya furaha yako mwenyewe & hivyo una ruhusa ya kuiga santa claus na pasaka bunny na kupata mwenyewe nini hasa unataka kwa siku ya kuzaliwa ya sasa tu unajua nini kweli hufanya jibu na kuridhika leo single tabia ya kufanya hivyo kwa kujiingiza katika vitendo random ya ubinafsi jaribu & utasikia love it umoja sensation #3 fa la la la luscious kuchukua masomo sauti ni kuboresha sauti yako akizungumza na kukupa upya kujiamini kila wakati wa kufungua mdomo wako umoja sensation #10 ultrafabulous nyumbani elimu jeshi chama binafsi na mgeni chef kutoka favorite yako ya mtaa mgahawa au mwalimu salsa kutoka ndani ngoma studio kuongeza zest kwa themed yako ijayo mkutano you kuwa na furaha kubwa kujifunza mbinu za biashara zao umoja sensation #28 gold rush kununua mwenyewe kipande ya ajabu ya jewelry si costume kitu halisi kupata baadhi ya karats mechi utu wako sparkling kufanya hivyo maalum kwa kuwa na chakula cha mchana kwanza na kisha kwenda kufanya manunuzi kwa kipuzi kubwa kuchukua muda wako kwa kumtamani vipande kadhaa kabla ya kuokota 'moja umoja sensation #31 sauti babe kuanza kucheza tumboni harakati kigeni kidunia muziki na costumes sexy nini zaidi inaweza unataka katika zoezi nimeona tani ya habari juu ya madarasa na costumes pamoja na msukumo kwa ajili ya kupata kuanza katika wwwshiranet na wwwbellydancingvideoscom umoja sensation #55 kufurahia finer things katika maisha kila mara moja katika muda kuinua ladha yako ngazi splurge juu ya chupa kubwa ya mvinyo sampuli caviar katika gourmet deli agizo cheese sahani katika mgahawa upscale kuishi maisha luxe umoja sensation #74 mbali kwa ajili ya mwishoni mwa wiki ruka mwisho wa mwaka wazimu au mpango mwishoni mwa wiki mbali wakati wowote wa mwaka kupata ramani na kuteka gari saa mbili wakati radius na saa mbili hewa wakati radius pakiti mfuko na kutembelea sihivyombali spa kuvutia jirani mji unafuu ununuzi au nzuri beach karibu mwaka wa mbele na mwishoni mwa wiki mbali umoja sensation #90 kuishi kwa upendo kuchukua muda kila siku kufanya jambo moja wewe upendo ni inaweza kuwa kunyongwa nje na marafiki kusoma kitabu kubwa au kupika up dhoruba jambo muhimu ni kufungua moyo wako kwa watu na vitu upendo
2017-10-23T04:32:11
http://www.datemypet.com/sw/singular_sensations
maisha na mafanikio leo ni siku ya akina baba hapa sweden/fars dag nami nachukua nafasi hii na da yacinta kila palipo na baba mwenye mafanikio jua nyumaye yuko mama nakupongeza nawe pia hasa kwa kuja na watu wawili katika maisha yako ambao ni uncle na shemeji umenitamanisha na huo mchupa wa ulabu wa nyumbani sijui hiyo ni safari au ndovu mie sijui kaka mhango ahssnte hiyo ni safari ba ni mbamba bayvhapo
2017-01-19T21:20:49
http://ruhuwiko.blogspot.com/2014/11/leo-ni-siku-ya-akina-baba-hapa.html
chadema dar mpaka dc funika mbaya | jamiiforums | the home of great thinkers chadema dar mpaka dc funika mbaya discussion in 'jukwaa la siasa' started by crashwise may 26 2012 huku jangwani kukizidi kupendeza huko dc msigwa nasari na zitto wanatarajiwa kufunia kwenye mkutano unaotarajiwa kufanyiaka muda si mrefu kuanzia sasa utakao huduliwa na watanzania zaidi ya 2000 pamoja na mkutano huo makamanda hao watafungua tawi la chadema kwa kushirikiana na jumuiya ya watanzania wanaoishi marekani nikiongea na kamanda nasari alisema we want them to be involved in social economical and political affairs eg katiba mpya wengi wanatarajiwa kuvua magamba na kuvalishwa magwanda huko huko mungu ibariki chadema izidi kusonga mbele mbona ueleweki kijana dc msigwa ndiyo wapi huku jangwani kukizidi kupendeza huko dc msigwa nasari na zitto wanatarajiwa kufunia kwenye mkutano unaotarajiwa kufanyiaka muda si mrefu kuanzia sasa utakao huduliwa na watanzania zaidi ya 2000 pamoja na mkutano huo makamanda hao watafungua tawi la chadema kwa kushirikiana na jumuiya ya watanzania wanaoishi marekani nikiongea na kamanda nasari alisema we want them to be involved in social economical and political affairs eg katiba mpya wengi wanatarajiwa kuvua magamba na kuvalishwa magwanda huko huko mungu ibariki chadema izidi kusonga mbeleclick to expand no one can hinder m4c crashwise pamoja sana mkuu mchuzi wa bata said mbona ueleweki kijana dc msigwa ndiyo wapiclick to expand habari inaeleweka vizuri sana crash camera yako itakuwepo jangwani leo kwa faida ya wale wasiioona itv nilijua wote ni magreat thinker samahani kaka niliimanisha washington dc amemanisha washngton dc crash camera yako itakuwepo jangwani leo kwa faida ya wale wasiioona itvclick to expand kuna makamanda pale jangwani naamini hawatatuangushajuzi kwenye kesi ya john mnyika wametutendea haki naamini na leo watatutendea haki huku jangwani kukizidi kupendeza huko washington dc msigwa nasari na zitto wanatarajiwa kufunika kwenye mkutano umeelewa sasa 0 people likes mkuu tunaomba ututumie kapicha bwana maana hivi tu hatupati monkari m4c is m4l ie movement for liberalization nimekupata mkuu but videos is much better please kuna makamanda pale jangwani naamini hawatatuangushajuzi kwenye kesi ya john mnyika wametutendea haki naamini na leo watatutendea hakiclick to expand hata kwa watakaoona live itv bado picha zina umuhimu mkubwakumbukumbu details nk kama wako watu walioandaliwa kwa kazi hiyo ni vizuri leo hatutaki tukose uhondo kabisa saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka injili haya makamanda yavueni magamba huko dc nasikia yamekuwa magumu kweli saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka injiliclick to expand tunashukuru kwa wewe kuwa mmojawapo wa watu kupita hapounadhani watu wanafikajeni kama ulivyofanya wewe usidharau mikutano ya injili maana haijawahi kutokea kukawa na viti ishirini tu katika mkutano wowote wa injili tumbo linakuuma unatafuta kichka jangwani ukapumue kwa masaburi hii coment yako + hilo jina lako + hiyo avatar yako = kwa hiyo hatushangai unachosema tupieni picha basi hata kama ni za jukwaa tupu na maflag tuko pamoja makamanda tunaomba mdhidi kujuza huku udom tunatamani sana m4c ingie ktk mji wa dodoma
2016-10-26T07:38:51
http://www.jamiiforums.com/threads/chadema-dar-mpaka-dc-funika-mbaya.269259/
~ kamtumbwi alikokataa kikwete ~ | jamiiforums | the home of great thinkers ~ kamtumbwi alikokataa kikwete ~ discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji aug 7 2008 sipendi tena sitaki kusikia eti rais wetu jakaya kikwete alitakiwa aingie kwenye mtumbwi kuvuka mto ruvuma kwenda kuhudhuria sherehe za uhuru wa msumbiji tena mtumbwi wenyewe uwe wa kusukumwa na upepo zaidi ya yote sitaki kusikia chaguo lake jingine siku hiyo lilikuwa ni ngalawa ya kasia katika ziara yake mkoani ruvuma iliyomalizika siku chache zilizopita rais kikwete alitakiwa kwenda kufungua daraja la mkenda na hatimaye avuke kuelekea msumbiji kushiriki sherehe za uhuru wa nchi hiyo alipofika hapo darajani kumbe ni asilimia 35 tu ya daraja ilikuwa imekamilika na hakukuwa na dalili yoyote ya daraja hilo kukamilika ndani ya dakika chache za msafara wa rais matokeo yake rais kikwete akalazimika kuuruka utepe wa ufunguzi na kwenda kung’aza macho bila kufungua daraja hilo au kuvuka ng’ambo kwenda kwa watani zetu msumbiji baadaye alipohutubia wananchi alielezea jinsi alivyojisikia kuhusu suala la kuvuka mto kwa mtumbwi alinukuliwa akisema “nikakatazama kale kaboti kaupepo nikasema mmh mimi mkwere sijui kuogelea afadhali membe maana mwenzangu kaoa huko mbamba bay ataogelea” ni kutokana na hisia zake hizo leo nimejikuta nazungumzia hili ambalo limetokana na maneno hayo rais kikwete aliona mara moja kuwa yeye kwa hakika si mtu wa ‘majini’ licha ya kukaa karibu na bahari ya hindi pamoja na ujanja wake wote lakini si mwogeleaji kilichonikera mwenzenu si rais kushindwa kutumia mtumbwi au kukiri kuwa hawezi kuogelea bali ni ule uwezekano kuwa hadi leo karibu wiki mbili baadaye mkuu wa mkoa wa ruvuma anapigiwa saluti kinachonikera mkuu wa itifaki bado ni yule yule hivi hawa wawili peke yao walikuwa wanafikiria nini hata kutoa wazo kuwa rais atumie mtumbwi wa kusukumwa na upepo wakati tuna dege letu la sh bilioni 50 lililogongwa na gari la watu wa usalama wa taifa na hatuna hata kaboti ka umeme ka kumvusha rais hivi wale watendaji waliohusika na maandalizi ya safari hiyo kwa nini wanaendelea kutesa na kulipwa mishahara kwa fedha za walipakodi wa taifa letu hivi kama rais kikwete angeamua kujikaza kisabuni na kuingia kwenye mtumbwi halafu mtumbwi ungepinduka (mitumbwi ina kawaida ya kupinduka ikibeba marais na walinzi wao) na rais wetu maskini wa mungu hajui kuogelea na yule mpambe wake anayemfuata kila anakokwenda angefanya nini kumpigia saluti hivi walikuwa na maboya ya kuogelea kweli ningekuwa mimi “fulani” kabla sijaondoka pale kuna watu wangefungasha mizigo yao kurudi kijijini na kusahauliwa na mfumo wetu huu ni uzembe uliotukuka ambao tuzo yake ni lupango kwa kuhatarisha maisha ya rais lakini hii ni tanzania uzembe unazawadiwa na kutowajibika kunatukuzwa lakini kilichotokea mto ruvuma ni mfano wa hali halisi ya uongozi wa taifa letu tanzania ipo upande mmoja wa maisha na inataka kuvuka kuelekea mafanikio neema na heri lakini viongozi wetu wanaogopa kuingia kwenye mtumbwi uitwao ‘uongozi’ wanaogopa kufanya maamuzi magumu ambayo yanaweza kuharibu sifa zao na hata kuhatarisha maisha yao katika sanduku la kura wote kama kikwete wanabakia upande na kuishia kusema “nikaangalia uamuzi wa kuchukua nikaona eh mimi mzembe nitaweza vipi kuwaambia hawa ukweli na kuwatimua kazi nitawaacha kina mwanakijiji wapige kelele kwa maana wapo kijijini” taifa letu linahitaji uongozi wa dhati kwani sasa uongozi huo hauonekani leo hii tunaambiwa kuna mpango wa canada kuja na mapendekezo ya kulinda makampuni yao kama barrick gold ili yasikumbane na mapendekezo ya mabadiliko ya sera ya madini yanayoletwa na kamati ya jaji mark bomani waziri mkuu aliulizwa wiki moja iliyopita na hakujua kinachoendelea leo hii watu wanasubiri ripoti ya mwanasheria mkuu wa serikali johnson mwanyika wakati hakuna aliyempa maagizo ya kuandika ripoti ya kuiwasilisha kwa rais leo hii tunajivunia ‘vimaendeleo’ vya simu za mkononi na ‘internet’ wakati maisha ya watu wetu katika takwimu mbalimbali hayajanyanyuka sana leo watawala wetu wanataka tuimbe sifa za maendeleo wakati walioendelea ni wao na vizazi vyao lakini tukikosoa tunaambiwa tumezidi kukosoa ukweli wao wanaufahamu wanataka waandishi wasomee fani hiyo wakati wao hawajajiamulia kusomea uongozi hivi wamesahau kuwa waliotufikisha hapa kama taifa si waandishi na wasiosoma waliotufikisha hapa wamerundikana serikalini bungeni na kwenye taasisi kibao ni wale walio na ba ma phd na kila aina ya vyeti vya sifa hivi tanzania imefikia hapa kwa sababu haina waandishi wasomi au viongozi wasiosoma hivi aliyesaini mkataba wa buzwagi ana shahada gani je yule aliyesimamia wizi wa benki kuu na watu walio chini yake wameishia darasa la nne hivi waliotunga sheria ya usalama wa taifa na wale waliopitisha muswada wa sheria ya madini kule bungeni hakuna hata mmoja ambaye ni profesa humo kujaribu kuona kuwa tatizo la tanzania ni la waandishi ni kutafuta kisingizio mzigo huu mnaubeba wenyewe viongozi na kama woga wa rais kikwete kupanda mtumbwi wa upepo ni mfano ni kweli kuwa viongozi wetu mna matatizo mnaogopa kupanda mitumbwi ya uongozi ambao unaendana na maamuzi magumu mmebakia kusakizia kina ‘membe’ wenu na kuwaacha wengine wafanye yale ambayo ninyi wenyewe yamewashinda siyo kwa sababu hamuwezi bali mnaogopa kujaribu kwa kuwa mnaweza kupinduka tanzania nchi yetu inahitaji uongozi wa kweli kuna kila dalili kuwa rais kikwete ni mwanasiasa kama wengine na tunu ya uongozi hana nimefuatilia na sijaona dalili yoyote ya kuonyesha maono kwa taifa na kuliamsha kufikia linapotakiwa jukumu la kuliongoza taifa linamuangukia rais kwa namna ya pekee kuliko waziri mkuu waziri au mbunge yeyote baba wa taifa alisema hivi katika kitabu chake cha uongozi wetu na hatima ya tanzania “na katika makosa makubwa ya maadili na utendaji mwenye jukumu la wazi wazi la kuwadhibiti wahusika ni rais na mawaziri wake wanapofanya makosa makubwa badala ya kujiuzulu wanaanza kufanya hila na kutafuta visingizio vya kutofanya hivyo” aliongezea na kusema “ni kazi yake rais mwenyewe asiyoweza kusaidiwa na mtu mwingine mtu anaweza kumsaidia rais kumnong’oneza waziri wake kujiuzulu lakini hawezi kumsaidia kumfukuza waziri wake hiyo ni kazi ya rais peke yake asipoifanya kosa ni lake peke yake” ni wazi kuwa rais kikwete hataki kuingia kwenye mtumbwi wa uongozi na maamuzi magumu katiba (ibara 36) inasema wazi kuwa watumishi wa serikali wanafanya kazi na kutekeleza majukumu yao kwa niaba ya rais na zaidi ya yote bado ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa serikali yetu sasa inapotokea kuna watu kama mama mbega kule ruvuma ambao wanamuandalia rais mtumbwi wa kusukumwa na upepo kwenda msumbiji bado wapo madarakani wakulaumiwa si mbega bali ni rais mwenyewe kwani ni yeye aliyetoa baraka kwa mama huyo kuendelea kuwapo hapo kuna watu wanasema na kurudia mara nyingi kuwa “rais ana nia nzuri ya kwenda ng’ambo lakini ni hawa aliowatuma kukodisha mtumbwi ndio wana matatizo” kuna watu wanaamini kabisa kuwa rais kikwete anaangushwa na ‘watendaji’ watu hawa wanashindwa kuelewa kuwa mwenye jukumu na uwezo wa mwisho wa kuajiri watu hawa ni rais wakati umefika tuite kijiko kijiko rais wetu pamoja na sura yake nzuri na tabasamu lake la nguvu lililotufanya tumpigie kura kwa hakika kwenye suala la uongozi si kiongozi yawezekana ana kipaji cha kuvutia watu lakini kwenye kutuongoza kuelekea mafanikio na neema kwa hakika tukubali kuwa tumeliwa tusubiri mwaka 2010 tumshukuru kwa jitihada zake zote lakini kwa hakika kwenye mtumbwi hataingia kwani ‘yeye ni mkwere’ hajui kuogelea tuwaache wengine wakate mawimbi naye abaki kuangalia kutoka ng’ambo na kwa kadiri ambavyo watuhumiwa wa ubadhirifu uliofanyika kwenye akaunti ya malipo ya madeni ya nje (epa) wanaendelea kunata ndivyo anavyoonekana asiyeingia kwenye mtumbwi wa uongozi kwa kadiri serikali yake ilivyoshindwa kuitisha uchunguzi huru na kukaribisha taasisi ya kimataifa ya scotland yard kuchunguza mazingira ya safari ajali na kifo cha mbunge wa jamhuri ya muungano na kutegemea polisi ambao wenyewe nao wanatakiwa kuwa mashahidi ndivyo mtumbwi wa taifa letu utakavyoendelea kuwabeba kina membe ndiyo ukweli na usemwe mtumbi alioukataa kikwete kwa hakika unapelekwa na upepo unasukumwa na nguvu nje yake hakuna nguvu ndani yake isipokuwa kelele za wananchi na taasisi za nje ya nchi ni mpaka pale rais kikwete atakapoamua kwa makusudi kabisa kukataa mtumbwi na kutaka meli ambayo yeye ni nahodha na yuko tayari kuyakata mawimbi na kuipeleka ‘mv mafanikio’ kulekelea kwenye neema vinginevyo kama nilivyowahi kusema huko nyuma kwa mtindo huu wa kukaa ng’ambo na kukodolea wengine kwenye mitumbwi kwa hakika asishangae kama atakuwa ni rais wa mhula mmoja katika historia yetu kwa nini jibu alilitoa baba wa taifa na ninanukuu (kutoka kitabu kile kile) “kama uongozi ni mbovu upo kama haupo au upo kwa masilahi ya wenyewe watatokea watu waujaze uwazi uliopo hauwezi kuachwa wazi hivi hivi ‘‘lakini uongozi mbovu ni kama mzoga una tabia ya kukaribisha mafisi na nzi” na kama mwalimu (nikiwa mwanafunzi wake) niseme kuwa “ole wake tanzania tusipoisaidia niwezalo nimefanya kushauri na kuonya” kama nahodha anaogopa kushika usukani wa mtumbwi wetu tuangalie nahodha mwingine mwaka 2010 na kama hatumuoni bora tutafute mtumbwi mwingine na nadhodha mpya kwani safari bado ipo niandikie mwanakijiji@jamiiforumscom au nipigie simu 1 248 686 2010 hakika ikiwa kutakuwa na pengo la uongozi kuna watu watakuja na watalijaza tz sasa inakosa mwelekeo wa kisiasa kijamii na kiuchumi kile alichokipigania mwalimu jk nyerere sasa kimebaki kuwa ni njozi miongoni mwa watz na kwa hakika tunamuhitaji nyerere mwingine ili kuweza kurekibisha hii hali tunawahitaji watu wanaothubutu wataokathubutu kuwaambia viongozi wahujumu uchumi na mafisadi wapishe katika uongozi na kuwachukulia hatua za kinidhamu ili wafuasi wao wasithubutu kurudia makosa ya mabwana zao nahodha legelege ni hatari kwa meli yetu hakika atagongesha kwenye miamba na itasambaratika naliaaaa pole naliaaa pole sana uwiiii jamani hivi kweli ni wapi tunaelekea viongozi wenye uthubutu wako wapi wanashindwa kupanda mtumbwi au hawataki kupanda mtumbwi unasahau kuwa walishapanda kwenye ndege ambayp imeshapaa sasa wapandeje tena kwenye mtumbwi wakati walishapaa na ndege yao angalau waliwahi kwenye ndege sasa hata mtumbwi hawataki wanataka twende kwa miguu kwa kasi ari na nguvu mpya jamani huyu kikwete wetu anatakiwa aombewe sana kwa wale watu wa dini mtumbwi umemshinda na wenzake nao wanatapatpa lakini solution ni moja tu wadanganyika 2010 ni lazima tutafute mtumbwi mwingine na nahodha anayeweza kuthubutu kama kuna wakati ambapo wadanganyika wanatakiwa kusimama kidete na kusema imetosha ni sasa na si kesho tutiane shime kuanzia sasa kwamba 2010 basi imetosha khanga kofia za 2005 zimekwisha chakaa tusizichukue tena 2010 hata hivyo chama cha mafisadi sasa hakina ujanja fedha za epa hawatazipata tena kwani wadanganyika sasa wameamka kila kona hatutakubali tena fdha zetu ziende kwenye kampeni ya kumweka kiongozi mwoga asiyeweza kuendesha kamtumbwi anapoona kanayumba sasa ilikuwa vipi awachombeze kina membe waingie mtumbwini mavanza unajuaje kuwa hizo fedha zetu hazijaanza kuchukuliwa kwa ajili ya kampeni zijazo kwani zilizotumika 2005 si tulishagundua wakati zimeshatumika we subiri tayari zimeshachotwa tutashangaa tu zitakavyomwagwa nipigie simu 1 248 686 2010click to expand i salute your writing mkuu the mtumbwiuongozi metaphor you have used neatly shows the lack and failure in leadership that has besieged tanzania tuendelee kuweka mambo wazi na sisi tufanye kila tunaloweza sasa hapo watayajuaje na kushare machungu ya wananchi wao wapiga kura wao nakumbuka lile daraja la mbeya alilojaribu kuvika mh h mwakyembe for how long watu wamelitumia na bado wakati wa uchaguzi watakuja rufiji kuomba kura zetu mr politician sasa ilikuwa vipi awachombeze kina membe waingie mtumbwiniclick to expand au membe aliachwa na ndege ndugu yetu tanzania bado kuna kigugumizi cha utawala jamaa wameng'ang'ania kama ruba ktk uongozi sijui wanawezaje kutoka pale nakubali kwa uandishi wako mkuu if anything this entire saga demonstrates a few things and betrays some facts that even a die hard kikweteite cannot ignore 1kikwete will sacrifice you in a minute for his own interestkitendo cha kukataa kupanda mtumbwi kwa sababu za usalama lakini kumtuma membe aende kupanda kinaonyesha kuwa kikwete amefikiri kuwa maisha yake ni muhimu kuliko ya membe waziri mkuu wa zamani hayati edward moringe sokoine alifariki kwa ajali ya gari akitoka bungeni dodoma kuja dar kabla ya kupanda gari aliombwa kutumia ndege lakini akakataa kwa kusema kuwa alikuja na msafara wa watu wake kwa gari na angependa arudi nao vile vile hakupenda special treatment this is in sharp contrast with kikwetewhile the other extreme may also be disdainfully naive it is at least chivalrous and admirably gallantkikwete cannot calaim this gallantry 2as i pointed out before this demonstrates that our ikulu is run like some medieval chieftain perhaps less than a court of the majestic chiefs of oldi mean what does it take to send an investigative team ahead of time all the secret service detail people what are they for why are they paid couldn't they have gone to do an investigation of the place and brief the president ahead of time about the conditions on the ground all i can say is i predicted this shyt niliwaambia watu in 95 na tena 2005 kwamba kikwete ataiabisha nchi sasa tumeona huko ruvuma tumeona tena mexico cityna frankly my surprise is not that this is happenning but why we did not see this much earlier and more oftenukimsikiliza alivyojitetea ndiyo kabisa unakuwa unamsikiliza muhuza kahawa wa mtaani (no offense) ambaye siyo tu hatakiwi kuwa presidential bali hajapitia hata jeshini kwi kwi kwikazi ilishamshinda siku nyingi wat a joker mkjj kiongozi husema ameshindwa na siyo watu wangu wameshindwa kazi ya msingi ya kiongozi wa kweli ni kuhakikishwa tumaini la wananchi wake halipotei huyo siyo tu ajue matatizo lakini ajue pia namna na njia bora ya kuyatatua lazima ahakikishe kunakuwapo tofauti kati yake na marafiki zake kwa sababu asipofanya hivyo hawezi kuwawajibisha na kuchukua maamuzi mazito awe kama mwewe na katu asikubali mkusanyiko kwani atafanana nao hazina anayotakiwa kuwa nayo kiongozi bora si pesa wala mali bali tumaini na mapenzi ya wananchi wake hakuna kitu kigumu cha kijasiri hatari na kinacholeta wasiwasi kama kuchukua maamuzi mazito dhidi ya makomredi huwezi kumtaka mtu afanye kitu ambacho wewe una hofu kukifanya unless wewe ni dhaifu mwoga na usiyestahili kuwa kingozi raisi kama kiongozi hutafuta watu wanaoweza kupewa uongozi na siyo watu wa kuongozwa kwa sababu sifa zake zatosha kufanya hiyo kazi kama jitihada zake zinakuwa za kutafuta wanachama zaidi ni vyema akakaa pembeni na kuwapisha wengine raisi huwatoa wananchi wake mahali walipo na kuwavusha kwenye neema zaidi kama jemadari wao awe tayari kuwajibika hata pale ambapo anatambua hatari ya kufanya hivyo akifanya hivyo si ajabu akakuta wananchi wanakubaliana na kusimama pamoja naye kiongozi anayefikiria hana maadui kabisa ajue anajidanganya na hata wafuasi alionao ni feki kama unataka raha tafuta kazi rahisi lakini kama unataka kwenda ikulu uwe tayari kuyakabili matatizo ya nchi ikulu si pa mchezo wala mzaha kwa mkapa tulitoka kapa na kwa kikwete tumeula chuya kiongozi aliye bora huacha madaraka akijua fika kuwa kazi aliyoiacha itaendelea kwa sababu watu aliowaachia kazi wana uwezo wa kuiendeleza tumewaona waliomrithi mkapa na sasa tujiulize kikwete atatuachia uozo gani zaidi lets keep up the fight matokeo yake rais kikwete akalazimika kuuruka utepe wa ufunguzi na kwenda kung'aza macho bila kufungua daraja hilo au kuvuka ng'ambo kwenda kwa watani zetu msumbiji baadaye alipohutubia wananchi alielezea jinsi alivyojisikia kuhusu suala la kuvuka mto kwa mtumbwi alinukuliwa akisema nikakatazama kale kaboti kaupepo nikasema mmh mimi mkwere sijui kuogelea afadhali membe maana mwenzangu kaoa huko mbamba bay ataogelea ni kutokana na hisia zake hizo leo nimejikuta nazungumzia hili ambalo limetokana na maneno hayo rais kikwete aliona mara moja kuwa yeye kwa hakika si mtu wa &#8216majini' licha ya kukaa karibu na bahari ya hindi pamoja na ujanja wake wote lakini si mwogeleaji ningekuwa mimi fulani kabla sijaondoka pale kuna watu wangefungasha mizigo yao kurudi kijijini na kusahauliwa na mfumo wetu huu ni uzembe uliotukuka ambao tuzo yake ni lupango kwa kuhatarisha maisha ya rais lakini hii ni tanzania uzembe unazawadiwa na kutowajibika kunatukuzwa lakini viongozi wetu wanaogopa kuingia kwenye mtumbwi uitwao &#8216uongozi' wanaogopa kufanya maamuzi magumu ambayo yanaweza kuharibu sifa zao na hata kuhatarisha maisha yao katika sanduku la kura wote kama kikwete wanabakia upande na kuishia kusema nikaangalia uamuzi wa kuchukua nikaona eh mimi mzembe nitaweza vipi kuwaambia hawa ukweli na kuwatimua kazi nitawaacha kina mwanakijiji wapige kelele kwa maana wapo kijijini leo hii tunajivunia &#8216vimaendeleo' vya simu za mkononi na &#8216internet' wakati maisha ya watu wetu katika takwimu mbalimbali hayajanyanyuka sana leo watawala wetu wanataka tuimbe sifa za maendeleo wakati walioendelea ni wao na vizazi vyao mmebakia kusakizia kina &#8216membe' wenu na kuwaacha wengine wafanye yale ambayo ninyi wenyewe yamewashinda siyo kwa sababu hamuwezi bali mnaogopa kujaribu kwa kuwa mnaweza kupinduka jukumu la kuliongoza taifa linamuangukia rais kwa namna ya pekee kuliko waziri mkuu waziri au mbunge yeyote baba wa taifa alisema hivi katika kitabu chake cha uongozi wetu na hatima ya tanzania na katika makosa makubwa ya maadili na utendaji mwenye jukumu la wazi wazi la kuwadhibiti wahusika ni rais na mawaziri wake wanapofanya makosa makubwa badala ya kujiuzulu wanaanza kufanya hila na kutafuta visingizio vya kutofanya hivyo aliongezea na kusema ni kazi yake rais mwenyewe asiyoweza kusaidiwa na mtu mwingine mtu anaweza kumsaidia rais kumnong'oneza waziri wake kujiuzulu lakini hawezi kumsaidia kumfukuza waziri wake hiyo ni kazi ya rais peke yake asipoifanya kosa ni lake peke yake kuna watu wanasema na kurudia mara nyingi kuwa rais ana nia nzuri ya kwenda ng'ambo lakini ni hawa aliowatuma kukodisha mtumbwi ndio wana matatizo kuna watu wanaamini kabisa kuwa rais kikwete anaangushwa na &#8216watendaji' tumshukuru kwa jitihada zake zote lakini kwa hakika kwenye mtumbwi hataingia kwani &#8216yeye ni mkwere' hajui kuogelea tuwaache wengine wakate mawimbi naye abaki kuangalia kutoka ng'ambo ni mpaka pale rais kikwete atakapoamua kwa makusudi kabisa kukataa mtumbwi na kutaka meli ambayo yeye ni nahodha na yuko tayari kuyakata mawimbi na kuipeleka &#8216mv mafanikio' kulekelea kwenye neema vinginevyo kama nilivyowahi kusema huko nyuma kwa mtindo huu wa kukaa ng'ambo na kukodolea wengine kwenye mitumbwi kwa hakika asishangae kama atakuwa ni rais wa mhula mmoja katika historia yetu kwa nini jibu alilitoa baba wa taifa na ninanukuu (kutoka kitabu kile kile) kama uongozi ni mbovu upo kama haupo au upo kwa masilahi ya wenyewe watatokea watu waujaze uwazi uliopo hauwezi kuachwa wazi hivi hivi '&#8216lakini uongozi mbovu ni kama mzoga una tabia ya kukaribisha mafisi na nzi na kama mwalimu (nikiwa mwanafunzi wake) niseme kuwa ole wake tanzania tusipoisaidia niwezalo nimefanya kushauri na kuonya bravo bravo huku ndiko kumkoma nyani giladi haswa hadi golan unafahamu hawa punguani wanafikiri kuna mchezo wa upatu ambao unachezwa lakini wewe subiri moto wake utakapowaka hakuna atakayeweza kuuzima huyu ni one term president tena aache kwa ridhaa yake mwenyewe asigombee maana patakuwa hapatoshi nikakatazama kale kaboti kaupepo nikasema mmh mimi mkwere sijui kuogelea afadhali membe maana mwenzangu kaoa huko mbamba bay ataogelea huu ni uzembe uliotukuka ambao tuzo yake ni lupango kwa kuhatarisha maisha ya rais lakini hii ni tanzania uzembe unazawadiwa na kutowajibika kunatukuzwa sasa inapotokea kuna watu kama mama mbega kule ruvuma ambao wanamuandalia rais mtumbwi wa kusukumwa na upepo kwenda msumbijibado wapo madarakani click to expand tunajuaje kama kikwete aliandaliwa mtumbwi na mkuu wa itifaki na mkoa wa ruvuma au yeye ndio alitoa tu ki joke kwamba ali consider mtumbwi kivyake siku ile na chache za mbeleni sikuona ripoti yeyote ya press kuiliza ikulu au serikali ya ruvuma je rais aliandaliwa mtumbwi au ni yeye ali consider mtumbwi na kama hili liliulizwa mimi sikuona lilipoandikwa tunarudi pale pale kwamba tunaweza kuwa tunajadili maswala ya kitaifa wakati kwa kweli hakuna anaejua kinachoendelea the media hapa ndio the weakest link kwa kuwa hatujui kinachoendelea hatuwezi kujua kinachotakiwa kieendelee kwa hiyo hatuwezi kuendelea makosa yote ni ya kikwete mwenyewe kwa vile ndiye aliyewaweka jamaa hao pale na ndiye anayeendela kuwaweka hapo siku nyingine atakuta hakuna hata hako kamtumbwi watamwambia mzee vua nguo uoegelee kile alichokipigania mwalimu jk nyerere sasa kimebaki kuwa ni njozi miongoni mwa watz na kwa hakika tunamuhitaji nyerere mwingine ili kuweza kurekibisha hii haliclick to expand no tunachohitaji sio another nyerere tunachohitaji ni dictatorship and i mean it seriously you know couple of years ago niliwahi kuona watu wanasukuma ndege ya jeshi (huko mkoa) ati iwake ili waendelee na safari think of it people wanasukuma ndege ya jeshi ili iwake seriously tunahitaji dictator mmoja atucharaze bakora kwanza kisha ndo tupate akili
2017-01-22T22:25:55
https://www.jamiiforums.com/threads/kamtumbwi-alikokataa-kikwete.16574/
pinda mwanasheria anayepinda sheria | gazeti la jamhuri jamhuri october 22 2013 pinda mwanasheria anayepinda sheria20131022t101139+0000 siasa kuna mambo mengine mtu unaweza kupata sifa hata kama huna ujuzi nayo wakati wa mvutano wa chama cha wamiliki wa malori na waziri wa ujenzi dk john magufuli nilisema waziri huyo hatafika mbali kwa uamuzi wake wa kusimamia sheria siku moja baadaye kama nilivyotabiri waziri mkuu mizengo pinda alifanya kile kilichotabiriwa akatengua msimamo wa dk magufuli ambao kimsingi ni msimamo wa kusimamia sheria za nchi ametupa sifa kwa kutufanya tuonekane tunauweza utabiri baada ya hapo nikawa miongoni mwa wale tuliomshauri dk magufuli ajiuzulu nikarejea namna pinda alivyomsulubu jimboni kwake chato kwa kumzuia kuendelea na bomoabomoa kwa waliojenga ndani ya hifadhi ya barabara nikakumbuka namna pinda alivyojaribu kumzuia asiongeze nauli kwenye vivuko na sasa hili la malori nikajaribu kutafakari agizo la pinda kwa dk magufuli na jingine baya la kuua uhifadhi alilolitoa dhidi ya waziri wa maliasili na utalii balozi khamis kagasheki wiki mbili hivi zilizopita waziri huyo wa maliasili kwa kuzingatia ushauri wa kitaalamu na kwa kurejea mapendekezo ya tume zaidi ya tatu kuhusu loliondo alitenga eneo kwa ajili ya ushoroba (mapitio) ya wanyamapori na jingine akawapa wananchi pinda akaona uamuzi huo wa kagasheki haufai hapo siasa ikawa imeshinda utaalamu nilipounganisha hilo la kagasheki na hili la dk magufuli ndipo nilipofikia hitimisho la kuona kuwa mawaziri hao wawili hawana sababu za kujiuzulu isipokuwa anayestahili kuachia madaraka ni waziri mkuu mwenyewe waziri mkuu amekuwa akiwavunja moyo walio chini yake wananchi tunahoji hivi wakubwa hawa kabla ya kuamua mambo huwa wanaketi pamoja lakini kuna sababu gani ya kumshirikisha waziri mkuu katika jambo ambalo linabainishwa kwa sheria na kwa kanuni dk magufuli kama walivyo binadamu wengine ana upungufu wake huo lazima usemwe nilishampinga sana kwenye suala la uuzaji nyumba za serikali na kwa kweli nitaendelea kumpinga kwa hilo lakini waswahili husema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni katika hili la malori nilitangaza tangu mapema kabisa kumuunga mkono namuunga mkono kwa sababu kama ni ubaya si magufuli bali ni wa sheria iliyopo kwanini tumhukumu kiongozi anayesimamia sheria hata kama ni mbaya wanaomuona mbaya kwanini wasiende bungeni kuifuta au kuirekebisha aliapa kulinda au kuvunja sheria dk magufuli alipozungumza na waandishi wa habari juu ya kuondolewa kwa nafuu ya kutolipa tozo kwa uzito wa magari unaozidi ndani ya asilimia tano ya uzito unaokubaliwa kisheria aliwapa nakala za sheria na kanuni wanahabari hao baada ya mvutano kati yake na wamiliki wa malori nimelazimika kuzisoma sheria hizo ambazo ni sheria ya usalama barabarani na 30 ya mwaka 1973 sheria ya usalama barabarani sura na 168 ya mwaka 2002 pamoja na kanuni za usalama barabarani za mwaka 2001 wanahabari wanazo sheria hizi sheria hizo na kanuni zake zilifutwa na aliyekuwa waziri wa miundombinu basil mramba katika barua yake ya julai 19 2006 yeye ndiye aliyeamuru wenye malori na wasafirishaji wengine wasilipe faini kwa kuzidisha uzito huo wa asilimia tano hapa ikumbukwe kuwa tanzania imeruhusu mizigo yenye uzito wa tani 56 isafirishwe katika barabara zake nimeingia kwenye mtandao na kuona kuwa hata huko ulaya uzito wa juu kabisa unaoruhusiwa ni tani 44 hapa sisi ni tani 56 lakini ukiongeza na hizo asilimia tano maana yake ni karibu tani 60 huu ni mzaha waziri mkuu pinda ni mwanasheria napata shida kuamini kuwa kwa weledi wake kama mwanasheria anashindwa kutambua kuwa waziri hana mamlaka ya kufuta kwa waraka au mwongozo sheria iliyotungwa na bunge alichofanya mramba ni kuvunja sheria iliyo wazi kabisa mramba hakuwa na kamwe hatakuwa na mamlaka ya kufuta sheria kwa kutoa mwongozo kosa hilo hilo la mramba limerejewa tena na waziri mkuu pinda mramba tunaweza kumsamehe kwa sababu kwanza yeye si mwanasheria na pili inawezekana alishauriwa na wanasheria wasiotaka kusoma sheria pinda ni mwanasheria anashindwaje kuliona hili serikali inaendeshwa kwa taratibu zinazotawaliwa na sheria bila shaka linapokuja jambo kama hili mwanasheria mkuu wa serikali anapaswa kusaidia kupatikana kwa suluhu je ina maana hata mwanasheria mkuu wa serikali ameshindwa kumshauri waziri mkuu kwamba mramba mwongozo wake ulikuwa batili je mwanasheria mkuu wa serikali alishindwa kumweleza waziri mkuu kwamba sheria haibadilishwi kwa barua ya waziri bali kwa kuandaa amendment na kuiwasilisha bungeni waziri mkuu amesema itaundwa tume kwa ajili ya kupata suluhu ya kudumu ya mgogoro huu kwanini ahangaike na tume wakati mahali pekee pa kumaliza kadhia hii ni bungeni kwa kupeleka marekebisho ya sheria hizi tume ni matumizi mabaya ya fedha za umma juzi amejitokeza azim dewji na kudai kwamba serikali imepata hasara ya sh bilioni 20 kwa mgomo bandia walioufanya hizi ni porojo dewji amepata nguvu za kumsema magufuli kwa sababu bado anaugulia maumivu ya kufuata sheria aliyoyapata baada ya magufuli kuzuia maboti yake mabovu kusafirishwa kwa barabara hadi mwanza maboti yenyewe yalikuwa mabovu na sasa yanafaa kuwa vyuma chakavu huhitaji akili za ziada kutambua kuwa huyu hata kuwa mbele kumsema magufuli kunatokana na maumivu hayo ya kuzuiwa kwa maboti yake mabovu pili watu kama kina hans pope kushangilia malori yabebe uzito wa tani zaidi ya 56 si jambo la ajabu huyu anataka barabara zife wengine walidiriki kumuua rais wa nchi bila shaka wao kuziua barabara si kazi ya kuwatoa jasho hili nalo halihitaji kusumbua vichwa mfanyabiashara pope anatamba kuwa mwaka jana alilipa serikalini sh milioni 200 kutokana na biashara yake ya malori sawa sh milioni 200 ni kitu gani kwa malori yanayoua barabara kilometa moja ya barabara ya lami inajengwa kwa wastani wa sh milioni 700 hadi sh milioni 1000 kwa hiyo pope anataka aharibu barabara kwa sababu analipa fedha ambazo hazitoshi kujenga hata robo kilometa waziri mkuu pinda anatambua kuwa wenye malori hawa ni matajiri wana fedha nyingi na kwa sababu hiyo wana ushawishi wa hali ya juu anatambua kuwa wanasiasa wengi wana malori na kwa sababu hiyo wasingependa kuona reli zikifanya kazi wala hili si la kustaajabisha kwa sababu unaona hata waziri wa uchukuzi dk harrison mwakyembe badala ya kusaidia kuboresha reli na bandari ili zitumiwe kusafirisha mizigo mizito amekuwa sehemu ya wanaolalamikia mgomo wa malori kwamba umesababisha mlundikano bandarini dk magufuli ambacho hakijui ni kwamba ameamua kupambana na wenye fedha na kwa bahati mbaya umma nao umeshindwa kupewa elimu stahiki juu ya ulaghai huu wa kina dewji na pope wakati wakubwa hawa wakiendeleza mapambano zipo kampuni ambazo nimesoma kwenye vyombo vya habari kwamba kwa miaka mingi malori na mabasi yao hayazidishi uzito kampuni hizo ni kama dar express cargo star hood coca cola bm bus bakhresa tbl golden coach kanji lalji tawaqal condolidated logistic ramada transport na bp ambayo kwa sasa ni puma kwanini hawa wafaulu lakini kina dewji washindwe hawa hawa watetezi wa uzito bila shaka ndiyo wanaosali usiku na mchana reli zisifanye kazi leo ni kwa dk magufuli lakini ikitokea dk mwakyembe akaanza kujenga reli na yeye watamshughulikia tu hawa wapo kimaslahi zaidi hizi barabara si mali za wafanyabiashara wamiliki wa malori na mabasi barabara za tanzania zinajengwa kwa kodi za wananchi wote mikopo ya barabara hizi italipwa hadi na vitukuu vyetu kama hivyo ndivyo hatuna sababu ya kushabikia wanaozidisha uzito lakini kubwa zaidi ni kwamba nchi inaongozwa kwa sheria bila kuheshimu sheria nchi hii itakuwa kituko hali inakuwa mbaya zaidi pale waziri mkuu kiongozi mkubwa kabisa anapoamua kubariki barua ya waziri wa zamani ifute au ipindishe sheria zilizotungwa na bunge kuna maana gani ya kuwa na bunge kuna maana gani ya mawaziri akiwamo waziri mkuu kula viapo vya utii wa sheria za nchi kanuni ya 17(1) ya sheria ya usalama barabarani inasema hivi kwa kimombo any person aggrieved by the decision of the authorized officer or the road authority refusing to grant a weighbridge report or any permit required to be granted under these regulations may appeal against that decision to the minister (2) where a person is not satisfied by the decision of the minister he may appeal to the high court and the provisions of the criminal procedure act shall apply hapa kinachoelezwa ni kwamba kama mtu hakuridhishwa na uamuzi wa waziri anachopaswa kufanya ni kwenda kufungua kesi katika mahakama kuu wenye malori wanaijua kanuni hii na waziri mkuu anaijua pia wanatambua kuwa wakienda mahakamani watashindwa njia ya mkato waliyoamua kuitumia ni ya kwenda kwa waziri mkuu ambaye hatajwi kwenye sheria hii kwa hiyo kilichofanywa na pinda ni ubabe tu kwa sababu ni waziri mkuu amefanya hivyo akijua magufuli hawezi kumpinga haya ni matumizi mabaya ya madaraka huu ndiyo ukweli ambao wanahabari hawataki kuusema na jamii imefungwa isiujue sioni ni kwa namna gani pinda ataumaliza mgogoro huu kwa staili aliyoamua kuitumia ya kuvunja sheria sioni ni kwanini mwanasheria mkuu wa serikali asiwe sehemu ya lawama kwa kushindwa kumwongoza au kumshauri waziri mkuu kwenye jambo hili lisilohitaji mhitimu wa cheti cha sheria moja ya matatizo makubwa katika nchi yetu ni viongozi kukosa misimamo viongozi kama mheshimiwa pinda wapo radhi kuvunja sheria alimradi tu waridhishe kundi la watu wachache ndiyo maana narejea tena na tena kwamba hata hiyo katiba tunayoililia ikija kwa uongozi wa aina hii ya kina mheshimiwa pinda haitasaidia chochote itakuwa nzuri lakini uamuzi utatolewa kwa utashi wa kisiasa na hofu zinazojengwa na watu hasa matajiri katika hili anayestahili kujiuzulu ni waziri mkuu kwa kubariki uvunjifu wa wazi wa sheria za nchi « watanzania tuzienzi kauli hizi za nyerere mwalimu asienziwe kwa porojo »
2017-09-26T19:48:54
http://www.jamhurimedia.co.tz/pinda-mwanasheria-anayepinda-sheria/
uptown girl wikipedia kamusi elezo huru makala hii inahusu the song kwa the similarly named film tazama uptown girls single ya billy joel vinyl 7 [1] 312 [1] mwenendo wa single za billy joel uptown girl ni wimbo uliondikwa na kuchezwa na mwanamuziki aitwaye billy joel na ulitoka kwa mara ya kwanza mwaka 1983 katika albamu yake ya an innocent man mashairi katika wimbo huu yanaelezea maisha ya mtoto anaishi katika maeneo ya mitaani mwenye matarajio ya kumpata msichana wa mjini single hii ilifanikiwa kushika nafasi ya tatu katika chati ya billboard ya nchini marekani us[2] na kushika nafasi ya kwanza katika chati ya muziki ya nchini uingereza na kushikilia nafasi hiyo kwa takribani kipindi cha wiki tano mfulilizowimbo huu ndio ulishika nafasi ya pili kwa mauzo kwa mwaka 1983 nchini uingereza na kufuatiwa na kundi pekee la utamaduni la karma chameleonambalo mwanamuziki joel aliweza kulitoa kutoka nafasi ya kwanza tarehe 1/11/1983 mwaka 1988 rolling stone uliupeleka wimbo wa uptown girl katika nafasi ya 99 katika listi ya nyimbo 100 bora za kipindi cha kuanzia mwaka 1963 hadi mwaka 1983 wimbo huu ndio ulikuwa wimbo bora katika mauzo kwa mwaka 1983 nchini uingereza aina ya muziki huu ikiwa ni pamoja na aina ijulikanayo kwa midundo ya doowop ilipendwa sana na mwanamuzi joel aliyekuwa akiimba kwa kutumia staili ya falsettona pia ni staili iliyotumika na frankie valli na kundi la the four seasons group wimbo huu pia umekuwa ukionekana kubalisha noti zake za muziki mara mbili tangu wimbo wake halisi ulipotoka 1 hamasa 2 musiki wa video 4 toleo la westlife 41 mtiririko wa nyimbo 411 cd ya nchini uingereza 412 cd ya 2 413 cd ya barani ulaya 414 nyimbo za video 42 mtiririko wa matamasha 421 albamu ya video 5 waimbaji wengine waliouimba hamasa[hariri | hariri chanzo] kwa mujibu wa joel katika mahojiano ya kipindi cha channel five anasema wimbo huu aliundika kuhusu uhusiano wake na rafiki yake wa kike ambaye ni mwanamitindo elle macpherson ambaye baadae alikija kuwa mke wa mtoto wake christie brinkley[3] joel also has said that the song was inspired by the motown sound of the early 60s[4] musiki wa video[hariri | hariri chanzo] christie brinkleymwaka 2007 moja kati ya wahusika katika video hii ya muziki ni christie brinkley joel na brinkley walifunga ndoa mwaka 1985 lakini walipeana talaka mwaka 1994 wimbo huu haukuwepo katika nyimbo mbalimbali katika tamasha lake lililoitwa river of dreams nafasi katika chati[hariri | hariri chanzo] dutch top 40 8[5] japan oricon singles chart 64 uptown girl uliimbwa kwa mara pili na kundi la muziki katoka nchini ireland la westlife katika albamu yao ya pili ya coast to coast pia wimbo huu ulitolewa na tena kwa mara nyingine kama wimbo wa kufurahisha yaani comic relief single ya msaada wimbo huu ulikuwa wimbo wa nane kutoka kwa westlife kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya muziki ya uingereza na kushika nafasi hiyo kwa kipindi cha wiki moja kwa kulinganisha na toleo la joel ambapo wimbo wake ulifanikiwa kushikilia nafasi ya kwanza kwa takribani kipindi cha wiki tano wimbo huu ulishika nafasi ya 14 katika nyimbo zilizoongoza kwa mauzo kwa katika karne ya 21 nchi uingereza kwa kuuza nakala 756215 ni wimbo wao uliowahi kuuza zaidi nchini uingereza na pia uliweza kuuza nakala 292318 katika wiki ya kwanza wimbo huu pia ulishika nafasi ya sita katika nyimbo zilizoongoza kwa mauzo nchini uingereza kwa mwaka 2001 halikadhalika wimbo huu umepata nishani ya platinum kwa upande wa mauzo nchini uingereza kwa kufanikiwa kuuza kiasi cha nakala 600000 cd ya nchini uingereza[hariri | hariri chanzo] angels wings (2001 remix) 414 enhanced cdrom (with uptown girl video) cd ya 2[hariri | hariri chanzo] enhanced cdrom cd ya barani ulaya[hariri | hariri chanzo] angels wings 402 the video for this song was shot in a cafe setting with claudia schiffer as the title character while robert bathurst james wilby ioan gruffudd crispin bonhamcarter and tim mcinnerny were featured as high class customers mtiririko wa matamasha[hariri | hariri chanzo] german media control charts 8 japanese oricon singles chart 64 (2000) uptown girl albamu ya video ya wimbo huuulitoka tarehe 12 march 2001 ambapo uliweza kufika moja kwa moja katika nafasi ya kwanza waimbaji wengine waliouimba[hariri | hariri chanzo] wimbo huu ulishaimbwa na alvin and the chipmunks katika mfululizo za nyimbo zao za mwaka 1980 wimbp ulioimbwa kwa mara ya pili ulirekodiwa na aaron carter kama mtoto na kaka yake mkubwa aliyeitwa nick carter wa kundi la backstreet boys kundi la me first and the gimme gimmes liliurudia wimbo huo katika albamu yao ya mwaka 197 iliyoitwa have a ball toleo lao hukosewa na kufananishwa na wimbo wa weezer faili lake katika mtandao mwimbaji wa nchini ujerumani max raabe na palast orchester waliurudia wimbo huo mwaka katika cabaret/big band katika albamu yao ya mwaka 2002 2[6] kundi la tinchy stryder pia waliimba wimbo huo na kushirikiana na wiley ↑ 10 11 cite error invalid <ref> tag no text was provided for refs named ramone ↑ dean maury (2003) rock n' roll gold rush algora 137138 isbn 0875862071 ↑ dutch top 40 1983 retrieved 20090108 ↑ http//wwwpalastorchesterde/indexphpid=13 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=uptown_girl&oldid=889059 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 machi 2013 saa 0620
2019-12-16T10:54:56
https://sw.wikipedia.org/wiki/Uptown_Girl
siku msanii maarufu wa muziki wa bongo flava alipowasili katika viwanja vya zamani vya baraza la wawakilishi kukabidhiwa hati ya usajili wa vituo vya tv na redio wasafi zanzibar zanzinews home habari matukio siku msanii maarufu wa muziki wa bongo flava alipowasili katika viwanja vya zamani vya baraza la wawakilishi kukabidhiwa hati ya usajili wa vituo vya tv na redio wasafi zanzibar siku msanii maarufu wa muziki wa bongo flava alipowasili katika viwanja vya zamani vya baraza la wawakilishi kukabidhiwa hati ya usajili wa vituo vya tv na redio wasafi zanzibar msanii maarufu nchini tanzania nasib daimond akiwasili katika viwanja vya zamani vya baraza la wawakilishi kikwajuni zanzibar kuhudhuria hafla ya kukabidhiwa hati zake za usajili wa kituo cha tv na redio wasafi na waziri wa habari utalii utamaduni na michezo zanzibar mhe rashid ali juma wasafi tzna redio zimesajiliwa zanzibar kwa kutowa burudani na elimu kwa wananchi wa zanzibar na tanzania wasanii muziki wa bongo flava tanzania wakimsindikiza msaniinasib daimond katika hafla ya kukabidhiwa hati ya usajili wa vituo vya redio na tv ya wasafi zanzibar wakielekea katika ukumbi wa mkutano wazamani wabaraza la wawakilishi kikwajuni zanzibar wiki iliopita wasanii wa muziki wa bongo flava tanzania wakiwa na msanii maarufu tanzania nasib diamond wakiwa katika ukumbi wa zamani baraza la wawakilishi kikwajuni zanzibar wakihudhuria hafla ya kukabidhiwa hati ya usajili wa kituo cha redio na tv wasafi kaimu katibu mtendaji mamlaka ya utangazaji zanzibar (zbc) chande omar akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi haji ya usajili ya vituo vya utangazaji vya wasafi redio na tv vinavyomilikiwa na msanii maarafu tanzania nasib diamondkushoto waziri wa habari utalii utamaduni na michezo zanzibar mhe rashid ali juma na naibu mkurugenzi wa idara ya habari maelezo zanzibar dktjuma mohammed waziri wa habari utalii utamaduni na michezo mhe rashid ali juma akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati ya usajili ya vituo vya utangazaji vya wasafi tv na redio hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni zanzibar anonymous march 2 2018 at 324 pm zanzibar imekwisha zamani wakikaribishwa mashekhe wakubwa leo tunakaribisha wasanii wazidi kupotosha kizazi chetu tusubiri gharka tu kutoka kwa mwenyezi mungu ndio lililo bakia anonymous march 4 2018 at 1043 am kuahirishwa kikao cha baraza la vyama vya siasa kilichopangwa kufanyika desemba 22 2018 zanzibar *natumia fursa hii kuwafahamisha wajumbe wote wa baraza la vyama vya siasa kuwa nimepokea taarifa rasmi kutoka tume ya taifa ya uchaguzi kuwa tare
2018-12-19T12:28:23
http://www.zanzinews.com/2018/03/blog-post_27.html
anna malechela leo umeniboa bungeni | jamiiforums | the home of great thinkers anna malechela leo umeniboa bungeni discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by wagagagigikoko feb 9 2012 kwa mara ya kwanza leo umeniboa bungeni kwa hoja yako ya kung'ang'ania wakuu wa wilaya wapewe jukumu la kusimia mchakacho wa katiba wilayani wakuu wa wikaya wenyewe ndo hao wenye elimu ya form 4 sifa zikizidi zinaleshwamama huyo kaishalewa anajipya sasa hana lolote huyu anajidai anajua kila kitu anataka anachoongea yeye kikubaliwe siku hizi wakuu wengi wa wilaya na mikoa wamesoma mkuu huyu wa kwangu ni form four mr king2 yaani mmi pia kaniboa kinoma utafikiri katumwa vilehalafu mama yule alivyo mkali sijui babu yetu akitaka mambo yetu yale inakuwajea s 465 duh ana noma ameshavimbiwa sifa basi kila kitu kuforce tu haangalii maslahi ya umma wakati mwingine utafikiri anaishi milele mwenzake sendeka naye atapotoka soon uzuri wamchanwa live kwamba mjengoni mtushinda kwa kura ila nje nguvu ya umma ipo huyu bibi inaelekea huko anakoishi mmmh anzia beki 3 wanakiona cha ndo mana kaolewa uzeeni anaropokaga utadhani kalishwa kitu nikimskia nachefuka sana na pua zile aghrrrr wapare bwana inawezekana wake wa zamani ni mkuu wa wilaya huyu mama wa kipare anamwakilisha mume wake bungeni malecelana sio umma wa watanzania au ana minyoo airuhusu damu ya kutosha kupanda kichwani akili ifanye kazi vizuri uchaguzi wa wabunge chini ya katiba mpya 2015 arudi mbunge huyu huyu mama ni ziro sana na yeye hafahamu hilo ni sawa na sendeka tu ukimjua am na chris sendeka ukawafahamu vizuri utawachukia sana najua majimbo yao vyema na hadi makwao kwa olesendeka hasa kwa watumishi wa uma no one likes him na hata uchaguzi ulopita alipigwa chini kwenye maoni ila akachakachua huyu anna sijui hata anashindaje hawampendi walio wengi kwa kuwa ni vuvuzela na kichwa yake iko tupu kale kakiwanda ka tangawizi wala si kitu hata mimi ningekajenga mwenyewe na uchovu wangu niliwafagilia sana zamani nikawafahamu vyema then sina hamu zamani kabla ya kuwafahamu vizuri nilishakuwa hata fan wa shibuda mtu mmoja akaniambia hafai ni mwizi sana alishakuwa mwenyekiti wa magamba huko shinyanga na ndo walimaliza shirecu nikakaidi na nilikuwa wrong kwa kuwa nayaona sasa watu hawa hawafai na ndo wanatumiwa na watu kwa kudhani wao wanaaminika kumbe wanajimaliza tu hawezi kuongea kwa ustaarabu kazi kufokafoka hovyo na sijui anamfokea nani si kweli labda kama unafikiri elimu ni kuwa rafiki au ujamaa na jk hongereni wana siasa mna moyohawa wananchi ukiwa mpole tabu ukicheka nao tabu ukiwa mkali tabu morenja umetoka nje ya mada mimi nadhani hoja yake aliikanyaga mwenyewe maana sehemu kubwa alidai kwa kuwa ni kiongozi wa nchi ndiye atakuwa ameteua tume basi huko wilayani dc ambaye alimwita ni rais wa wilaya ni lazima awe mwenyekiti wa tume ya wilaya yaani msimamizi mkuu kwa mantiki hio katika ngazi ya kitaifa basi rais hana budi awe mwenyekiti wa kamati hio pia nilifurahishwa na michango ya wabunge wengine ambao waliwaona wakurugenzi kama ni watendaji walio karibu na watu wanaowajibika moja kwa moja kwa watu kupitia baraza zima la halmashauri(full council) na kwa uhakika wenye kujua mazingira yote ya ulinzi na usalama kuliko mwanasiasa mwenye cheo cha udc kwa ajili hii sikuwahi kupata hasira kwa kumsikiliza mtu kama nilivyokuwa namsikiliza mh anna na aliniudhi sana alipokuwa anapaaza sauti na kutaka kuungwa mkono na wenzao maana niliona sura ya kinafiki ndani yake debe tupu nguvu ya nyagi tu hiyo ndio style yake ya kufikisha ujumbe yule mama nilimuona jinsi alivyokuwa anaawaamrisha wabunge kusimama eti kuunga mkono hoja kuna mzee mmoja alikuwa kakaa naye pembeni alikuwa anamshangaa yule mama alivyokuwa anajaribu kufanya eti ded sio serikali in short mama nimemdharau sana na nimemfuta katika watu niliokuwa naawamini ukiwa msafi unatakiwa kusimamia ukweli mtupu sio maslahi ya kikundi cha watu jinsi alivyokuwa anaongea ni dhahiri alikuwa ametumwa/amechaguliwa kuwakilisha hoja ile haikuwa inishativu yake mwanasharie mkuu wa serikali kaabisha sana jana ukiona mtu mwenye mwili mkubwa anaongea pumba inakera zaidi kwenye hoja ya dc na ded alisema yeye ni mshauri na anatakiwa kuwa neutral ila kwa vile majoritybasi tuaangalie ila mimi niko neutral cha kushangaza kwenye hoja ya simbachawene akasema anaiunga mkono ina maana akili yake haiko sawa maana kwa muda mfupi sana alishasahau kuwa kasema yeye ni mshauri anatakiwa kuwa neutralni aibu sana kuwa na phd holder wa sampuli ile kazi kweli kwelipia alisema yeye alifundishwa kutotumia hadharani neno misconception kwa vile mtu ku conceive blah blah nikajua huyu hajui tofauti ya maneno misconception na conceive sasa sijiu hata kama alielewa superfluous ilivyotamkwa na tl sina imani na anne kilango malecela kuanzia jana mpaka milele
2018-01-23T17:57:51
https://www.jamiiforums.com/threads/anna-malechela-leo-umeniboa-bungeni.222085/
zambia yaadhimisha miaka 50 ya uhuru bila uwepo wa rais sata millardayocom wananchi wa zambia wanasherehekea maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru siku ya leo huku rais wa nchi hiyo michael chilufya sata akiwa nje ya nchi anakotibiwa hii ni mara ya kwanza kwa rais huyo anayefahamika kama king cobra kutoshiriki katika maadhimisho ya kumbukumbu hiyo tangu aingie madarakani mwaka 2011 taarifa za kuugua kwa sata zimekuwa zikienea kwa kipindi kirefu ambapo kuna wakati alilazimika kuhutubia bunge la nchi hiyo na akisisitiza kwamba hajafariki kama ambavyo ilikuwa ikidhaniwa na watu wengi baada ya kutoonekana hadharani kwa kipindi kirefu rais wa zambia michael sata wasi wasi juu ya afya ya rais sata ulitanda pale aliposhindwa kuhutubia katika kikao cha umoja wa mataifa un na baada ya kurejea nchini humo alitangaza rasmi kuwa anasafiri kwa ajili ya kwenda kutibiwa nje ya nchi japo hakuweka wazi anakwenda kutibiwa nchi gani hii ni mara ya kwanza kwa rais huyo kukosekana katika maadhimisho ya siku ya uhuru tangu aingie madarakani mwezi septemba 2011 mataifa mbali mbali pamoja na marekani uingereza na ufaransa wameipongeza zambia kwa kudumisha amani na demokrasia huku wakiahidi kuendeleza ushirikiano uliodumu baina ya mataifa hayo kwa kipindi chote cha miaka 50 tangu nchi hiyo ipate uhuru ← previous story boko haram yateka wanawake wengine next story → hii ya noti ya shilingi elfu moja tanzania umeipata kama bado nimekuwekea hapa
2020-06-06T21:22:18
https://millardayo.com/zambia_bila_sata_okt24/
samatta kama ronaldo apiga tena bao genk yashinda 21 ugenini bin zubeiry sports online samatta kama ronaldo apiga tena bao genk yashinda 21 ugenini bin zubeiry sports online mwanzo > mbwana samatta > samatta kama ronaldo apiga tena bao genk yashinda 21 ugenini samatta kama ronaldo apiga tena bao genk yashinda 21 ugenini nyota ya nahodha wa tanzania mbwana samatta imeendelea kungara ulaya baada ya leo kuifungia tena klabu yake krc genk katika ushindi wa 21 ugenini dhidi ya wenyeji sv zultewaregem katika mchezo huo wa ligi kuu ya ubelgiji uliofanyika uwanja wa regenboogstadion mjini waregem samatta alifunga bao la kwanza dakika ya saba tu kwa kichwa akimalizia krosi ya mkongwe wa umri wa miaka 25 mbelgiji thomas buffel beki wa kongo mzaliwa wa ufaransa marvin baudry akajifunga katika harakati za kuokoa dakika ya 15 kuipatia genk bao la pili kabla ya mshambuliaji msenegali m'baye leye kuifungia sv zultewaregem bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza mbwana samatta (wa pili kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza hilo linakuwa bao la nne kwa samatta katika mechi tisa alizocheza tangu ajiunge na genk januari mwaka huu akitokea tp mazembe ya drc mabao mengine alifunga katika ushindi wa 40 na 41 dhidi ya kv oostende na 32 dhidi ya club brugge kikosi cha genk kilikuwa m bizot c kabasele s dewaest j uronen t castagne o ndidi pozuelo n kebano/ r malinovskiy dk80 t buffel m samatta na l bailey sv zultewaregem k steppe h dalsgaard b verboom m baudry a diallo/ f mendy dk46 o kaya a cordaro s de ridder/j benteke dk76 s meite m leye na n storm/ s buyl dk74 item reviewed samatta kama ronaldo apiga tena bao genk yashinda 21 ugenini rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2017-12-16T22:37:17
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/04/samatta-kama-ronaldo-apiga-tena-bao.html
ukweli ni kwamba clouds media na project zao matumbo yanawaka moto na vichwa kuwauma kwa ujio wa wasafi media | jamiiforums ukweli ni kwamba clouds media na project zao matumbo yanawaka moto na vichwa kuwauma kwa ujio wa wasafi media wakuu amani iwe pamoja nanyi i hope wote tuwazima wa afya tele kama heading inavyojieleza hapo juu tanzania imejaariwa kuwa na media nyingi sanana kuna baadhi ya media house zilidominate katika kipindi fulani mfano kipindi hicho sahara media groupipp media na tbc enzi hizo media house hizo ziliishika tanzania kwa nyakati hizokulingana na mahitaji ya wasikilizaji(aina ya wasikilizaji ikizingatiwa baadae zikaja media nyingine kama cloud's fm ambayo imejijenga vyema kwa kipindi cha miaka 20 na kufanikiwa kucover tz yote na kudominatena hata kuanza kufungua branches abroad mf rwanda kwa muda sasa cloud's imetawala on top kama super brandna wanastahili hio heshima maana wamepigana sana kufika hapotofauti na media nyingine za zamani zilizoanza na mitaji mikubwa na ili media itawale kwa kipindi fulani inategemeana na aina ya wasikilizajimahitaji ya jamii hiyo kwa wakati huouboraubunifukujituma na kuipenda kazi zao kwa upande wa watangazajiikiwepo maslahi borauwekezaji mzuri upande wa facilities mfanotechnology studio nk sasa cloud's wanadominate lakini mpaka sasa alarm kwenye vichwa vyao inawafanya wapagawe kwa kasi ya ukuaji wa wasafi mediamaana ikiwa bado wasafi media hasa redio haijacover tz nzima lakini ni radio au media inayozungumziwa sana hapa bongo sambamba na clouds wasafi media imetake over social media hapa bongo pamoja na ndugu zao wa wcb wasafi na si social media tu hata you tube ndio media yenye subscribers wengi hapa tz ikiziacha nyingine mbali na hata mwaka haijamalizaje ikifikisha miaka 3 na kucover atleast nusu ya tz itakuwaje ni kweli hata efm walianza nao kwa speed lakini hawakufikia hapa walipo wasafi na hata mikoani walikuwa hawajulikani kabla ya kulaunch masafa yaolakini wasafi vijana wengi wanawish iwafikie mkoani kwao mapema ukija upande wa matamasha ya burudaniefm walijaribu kuwachallenge cloud's wameshindwa na saizi naona wameungana na cloudsila naona wasafi wako serious na utaona ndani ya muda mfupi washafanikiwa kuwaumiza vichwa cloud's fmna wasafi festival ndio tamasha ambalo limekuwa na sponsor's wengi hapa tz kwa mwaka wa pili mfululizohiyo ina maanisha ni brand inayokubalika kwa watu na kwasasa wasanii hawana tena pressure ya kusubiri fiesta tu au kuwanyenyekea cloud's tu naona hilo linaenda kuisha na unaweza kuona wasafi festival dar es salaamlist ya wasanii ni kama haijaacha msaniimaana karibu wasanii wote wako kwenye listhii inafanya fiesta itakapofanyika dar es salaam either watafute wasanii wengine au wawarudie watakaoperform wasafi festival(na naona wanazidi kupunguza entrance fee kwenye show zao kutoka 10000 hadi 5000)jambo ambalo linaweza kupunguza mvuto wa tamasha lao na hili linawatisha naamini baada ya miaka 5 endapo wasafi festivalmedia na wcb wakiwa bado wana trend na clouds kubaki na pace hii ya sasa ya kurukiarukia vitu mfanoharmonize issue basi cloud's wajiandae kuachia nafasi pale juumaana now ndio kwanza ngoma mbichi na wasafi haijaanza kufika mikoani hila uko social media speed yao ni 120 na youtube washapiga bao upande wa wasafi tv nadhani iko wazi kuwa now ndio channel pendwa kwa vijana wengiukitembelea sehemu nyingi na hata maeneo ya starehe jamaa wanatawalana sasa wanapatikana katika ving'amuzi vyote ikiwepo dstv across africa mimi kama mdau wa burudani na competition nimetulia tuli najihesabia point katika hii fight then nitakuwa nakuja na matokeo kila baada ya round reactions extrovert washawasha pamoja santa and 5 others unatangaza kipind gni pale wasaf fm reactions nuhu39 blance86 merciful and 10 others aisee wewe ni mchawi kweli eehinawezekana mi sikukumbuki hivi mara ya mwisho tulionana tulipokuwa tunaenda kuwanga wapi haya wamekusikia mkuu akijibu uni tag yes of course na ndio maana wanazidi kupunguza entrance fee kwenye show zaowameshikwa pabaya media ni content na sio kelele kelele reactions nuhu39 and pter hivi nyie vijana kesho si mnaanza mitihani nyie ya fm4 mnasoma saa ngapi reactions blance86 merciful hazard don and 3 others 44075 2000 usirudie tena kufananisha clouds fm na vitu vya ajabuajabu ingawa both clouds na wasafi ni mali ya mtu mmoja reactions extrovert nosspass blance86 and 5 others riziki mafungu 7 wewena riziki full kumanyatipamoja na wimbi la ukosefu wa ajira lakini mtoto ambaye aliyeko form 1 sasa atasoma atamaliza chuo na atakuja kupata kazi katika haya haya mazingira magumu ya ajiranataka kusema nini kila mtu ana fungu lakeclouds fiesta haiwezi kufa kwasababu ya wasafikila tamasha litajichotea posheni yakendio maana itv ilianzishwa miaka hiyo ya 1994 lakini bado ipo pamoja na kuongezeka na machannel kama yote ya tvusijeshangaa wasafi ikafa mapema na kuiacha clouds reactions beef lasagna and darmian mbongo halisi huyo unahisi wasafi wamekosa clouds ni taasisi kubwa sana na washajiwekea mihimili ya kushikilia redio yao wasafi kweli wanafanya vizuri na wana mwanzo mzuri ila katika maisha kuwa number 1 ni rahisi sanakazi ni kumaintain number 1 kila siku na clouds wamejitahidi kumantainwasafi wana mengi ya kujifunza kwa clouds reactions extrovert and nukta5 hiyo ni kweli ndio maana clouds hawapigi nyimbo za wcbna ndio sababu kondeboy kaamua kusepa i'll nyimbo zake zipigwe clouds maana baada ya kuondoka wcb faster clouds wakamuita fiesta na chanzo cha penseli ya kiba kupotea yote ni beef kati ya hizi media mbilihawa underground wanababaika sana na clouds na wasnii wote wa kizazi kipya wamepitia kwenye mikono ya clouds na kiasi fulani mafanikio yao yamechangiwa na clouds na juhudi zao binafsi pia hata huyo diamond mwenyewe kwa mara ya kwanza alipoanza mziku breki ya kwanza clouds shida jasiri muongoza njiaa alikuwa anawalipa mil5 na ukigoma hawapigi tena nyimbo zako mfano ruby jide mond dudu na wengine ambao clouds ilisha watema ingawa ruby ameomba msamahaa hiyo milion5 ni kwa show moja ruby kwa kipindi kile hakustahili kugoma kwanini kwasababu kwanza hakuwa na jina kubwa pili yeye ndio alikuwa anaihitaji fiesta kuliko fiesta inavyomhitaji yeye tatu hao clouds wao ndio waliomtoa na nyimbo zote walimuandikia kuhusu dudubaya huyu jamaa ni mpumbavu na kimziki alishapoteaga kitambo pamoja na hayo yote bado clouds walimlipa na hata km wangemlipa laki1 hakutakiwa kulalamika coz kwenye game alishapotea baada baada ya kuona hapati show clouds kwasababu alikuwa hana jipya akaanza kuwatukana visima vingi lakini maji ni yale yale m ukweli wote kuhusu ndoa ya alikiba kuvunjika entertainment 2 sep 17 2019 tuseme ukweli tu jamani utachagua nini kati ya hivi entertainment 33 may 13 2019 sema jamani tuusemeni ukweli alikiba anajua entertainment 5 dec 16 2018 wwe usanii mwingi wanaume wa ukweli wapo ufc entertainment 14 oct 7 2018 mwenye wimbo ya sam wa ukweli maisha ni kupanda na kushuka entertainment 1 aug 17 2018 tuseme ukweli tu jamani utachagua nini kati ya hivi sema jamani tuusemeni ukweli alikiba anajua wwe usanii mwingi wanaume wa ukweli wapo ufc mwenye wimbo ya sam wa ukweli maisha ni kupanda na kushuka
2020-01-29T11:07:53
https://www.jamiiforums.com/threads/ukweli-ni-kwamba-clouds-media-na-project-zao-matumbo-yanawaka-moto-na-vichwa-kuwauma-kwa-ujio-wa-wasafi-media.1646467/
hapa kwetu mungu (allah) hana ubaguzi labels baraka za mungu dini neema shetani ubaguzi wahindu waislam wakristu wasio na dini mungu ni mbaguzi by nature jiulize kwanini aliwaumba wanadamu akawapa akili wakati akiwanyima wanyama wengine pia naomba nikukosoe hapa allah si mungu sawa na jehovah kulingana na wanaowaabudia miungu hawa maana ukienda kwa wakristo wana utatu wakati waislam wana tawheed yaani upekee wa allah nakubaliana nawe kuwa wenye dini ni wabaguzi sawa na miungu yao kwa mfano kwa imani ya kiislamu muislam ni bora kuliko asiye muislam surat 41141 328 ziko wazi kimsingi biblia na quran ni vitabu vya kibaguzi ndiyo maana vilipoletwa afrika vilitukana na kudhalilisha mila zetu hata kutusingizia hivyo ubaguzi ni asili ya dini hasa hizi za kimamboleo mfano biblia matayo 1524 pia zipo sura zinazowataja wayahudi na wasiotahiriwa ujanja au tuseme utata wa hivi vitabu ni kwamba baadaye vinahubiri upendo na usawa huku vikipulizia vita na maangamizi kwa ufupi hakuna taasisi baguzi duniani kama dini ndiyo maana zina sheria (canons) za ajabu ajabu tofauti na taasisi nyingine mimi huwa napenda dini za kiasili ambazo hazina makuu wala makundi zaidi ya kutoa mwongozo simple shukrani kwa mchango wako ambao nauona unafikirisha na kusisimua nimependa ulivyowasha moto kazi kwa waumini na wasio waumini ngoja niseme neno wakati nikiendelea kuzisubiri kauli za waumini na wasio waumini wa dini kwa mtazamo wangu ambao ni imani yangu wala siwasilishi au kuwakilisha imani ya wengine ni kuwa mungu ni mmoja ila wanadamu wanamweleza kwa namna tofauti akili ya mwanadamu ni ndogo na hafifu mno kuweza kumfahamu mungu na kumwelezea kikamilifu tunababaisha ndio maana waumini wa dini mbali mbali wana maelezo tofauti kwangu hili si tatizo ili mradi nisisitize kwamba mungu si mjinga kama wanadamu wanavyodhani ninamaanisha nini ninamaanisha kama nilivyotamka katika ujumbe wangu wa mwanzo kwamba mungu ameumba na anaumba vyote na ameumba na anaumba wanadamu wa kila aina na wote anawateremshia neema zake kama vile nilivyoelezea waumini wangekuwa na akili nzuri wangezingatia hilo badala yake wamezua hizi dini na ndio tatizo lilipo tatizo si mungu ni wanadamu na dini zao dini ndio shule wanamofundishana mawazo na fikra hasi za kiburi majivuno na ubaguzi ninamaanisha hizo fikra za waumini wa dini hii kujiona ni bora kuliko waumini wa dini ile pale fikra za kudharauliana kugombana kuuana kwa msingi wa dini au kwa kutumia dini kama kichocheo cha tabia hizo mbovu sisemi kwamba moja kwa moja dini ni sumu kuna mfano hai uliotoa wa dini za jadi za wahenga wetu zilikuwa safi na hazikuwahi kutumiwa kama msingi au kichocheo cha ubaguzi uhasama na mauaji kwa mtazamo wangu kama dini zote zingefuata njia hii hatungekuwa na matatizo haya yanayoletwa au kuchochewa na dini kwa kuwa tunautaja uislamu na ukristu na ningependa kuongezea uhindu waumini wa leo wanayo fursa ya kuamua namna ya kuitafsiri misahafu ya dini zao wanayo fursa na wajibu wa kutambua kuwa wanaishi katika dunia tofauti na ile ya kale wana upeo wa fikra na fursa tofauti na zile walizokuwa nazo watu wa kale na kwa hivi sherti waamue namna ya kuitafsiri misahafu wasiichukulie kikasuku ukasuku ndio unachangia matatizo inabidi waumini waweze kupambanua baina vitu viwili ambavyo kwa kiingereza huitwa the letter and the spirit of the scriptures watu wenye roho mbaya wanaweza kabisa kutafuta vifungu katika misahafu na kuvitumia kuhalalisha uovu kuna mhusika antonio katika tamthilia ya shakespeare the merchant of venice ambaye anasema the devil can cite scripture for his own purpose yaani shetani anaweza kunukuu msahafu kwa malengo yake mwenyewe hili ndilo tatizo ninaloliona lakini mtu mwema mwenye nia njema anaweza kunukuu vifungu vya msahafu kuhalalisha na kuhimiza matendo mema ni uchaguzi wa mtu ni uchaguzi wa waumini lakini kwa hali ilivyo tatizo la ukasuku ni kubwa na tatizo la roho mbaya ni kubwa narudia kauli yangu nawasubiri waumini na wasio waumini wajitokeze wachangie mjadala blogu hii ni uwanja huru kaka nakubaliana nawe katika baadhi ya mambo na kupingana nawe katika baadhi ni kweli kuwa binadamu kwa uwezo wake mdogo kiakili hawezi kumjua mungu vilivyo si kweli kuwa mungu ni mmoja mamlaka husika zinadai hivyo wakristo na waislamu wanasema miungu yao haifananishwi na yeyote hivyo unaposema mungu ni mmoja wakati ana sifa tofauti tokana na makundi tofauti unazidisha utata kwangu mimi ni kwamba mungu hajulikani kwa wanadamu kama ulivyosemawanadamu wanababaisha kutokana na ufinyu wao wa uoni kuhusu ubaguzi nasema wazi kuwa dini hasa za kimamboleo au tuseme pandikizi au nyemelezi hata miunga yake ni wabaguzi jaribu kuchungua dini yako uone kwa mfano nafasi ya mwanamke na mwanamme uone kama ni sawa kwangu tatizo ni vyote vitatu yaani mungu dini na wanadamu au waumini wa dini husika ukirejea yaliyotokea zama za kale wakati wa inquisition na ugaidi unaoendelea kwa sasa utagundua tatizo la vyote vitatu leo sitaki niseme mengi nawaachia wengine nafasi nao waeleze yao hata hiyo concept ya shetani ni utata mtupu kimsingi ni uumbaji wa wanadamu uliomzua shetani wengine wakisema kuwa alikuwa malaika mkuu akaasi jambo ambalo kwa malaika haliwezekani ni sawa na kusema robots au druids zinaweza kuasi wakati hazina uwezo huo hata kusema shetani alikuwa malaika mkuu ni uongo mtupu tena wa kitoto kwanini aasi hadi kumchukiza mungu kana kwamba mungu hakujua angefanya hivy maana kama mungu anajua yaliyopo na yajayo alipaswa kujua kuwa malaika wake angeasi hivyo asingechukia wala kumuadhibu kwa vile alimuumba afanye hivyo ili kukamilisha mpango (project) ya mungu kimsingi uzushi ubaguzi na uongo upo mwingi tu kwenye dini ambazo kinga au kichaka chake kikubwa ni imani na si welewa kwa maoni yangu mjadala unaendelea kuwa mtamu kwa maana ya kuchemsha bongo napenda tu niongelee kipengele kimoja yaani iwapo mungu ni mmoja au la ninaongea kama muumini wa dini yangu ya katoliki ingawa si mwakilishi au msemaji wa msimamo wa kanisa langu ninakubaliana nawe kuwa wakristu wanalelewa katika imani kuwa kuna mungu mmoja na mungu huyu ni yule wanaomwamini wao wanaamini kuwa mungu wao ndio mungu wa kweli kwa upande wa waislam ni hivyo hivyo wanalelewa katika imani kuwa kuna mungu mmoja tu ambaye kwa kiarabu huitwa allah ingawa sioni kama ni lazima waswahili watumie jina hilo hilo waislam wanaamini kuwa allah ndiye mungu wa kweli hii ni kusema kwamba wakristu wanatambua kuwa mungu wao ni tofauti na allah na waislam wanatambua kuwa allah ni tofauti na mungu wa wakristu sasa hapo tayari kuna tatizo imetamkwa wazi katika qur'an kwamba kuna mungu mmoja tu sasa iweje waislam wapambanue kati ya mungu wao na mungu wa wakristu huku ni kukiri kuwa kuna mungu zaidi ya mmoja ni kufuru vile vile kwa wakristu imetamkwa wazi katika amri kumi za mungu kuwa kuna mungu mmoja tu sasa iweje wakristu waone kuwa mungu wao ni tofauti na allah yaani huku ni kukiri kuwa kuna mungu mwingine tofauti na huyu wanayemwabudu wao ni kufuru dhidi ya amri kumi za mungu sasa mimi naona msimamo wangu ndio msimamo sahihi katika suala hili ninachosema ni kuwa kuna mungu mmoja tu ambaye huitwa kwa majina mbali mbali na watu wa dini mbali mbali ambaye huelezwa namna mbali mbali na dini mbali mbali sifanyi kufuru hii ya kusema au kuamini kuna mungu zaidi ya mmoja wenye mawazo ya ziada au ya kupinga hayo tuliyosema nawakaribisha kwa mikono miwili shukrani kwa kurejea tena ingawa bado hitimisho lako limenichokoza pale uliposemasasa mimi naona msimamo wangu ndio msimamo sahihi katika suala hili ninachosema ni kuwa kuna mungu mmoja tu ambaye huitwa kwa majina mbali mbali na watu wa dini mbali mbali ambaye huelezwa namna mbali mbali na dini mbali mbali sifanyi kufuru hii ya kusema au kuamini kuna mungu zaidi ya mmoja mungu hawezi kuwa mmoja wakati kila mtu anakuja na vigezo vyake juu ya mungu huyo huyo wakristo wakimueleza jehova na waislam wakamueleza allah unapata miungu miwili tofauti leo nitatumia kazi za wawili hawa ambao hawajawahi kuonekana na hawawezi kuonekana nitatumia kiduchu toka kwenye kazi yao kubwa ambayo ni uumbaji wakristo wanasema mungu alinyanga udongo akamtengeneza mwanaume aitwaye adam na baadaye akatoa ubavu wake mmoja na kutengeneza mkewe aitwaye eva jambo ambalo ukiliweka kwenye fikra yakinifu unaona ni kama utoto tu wa kawaida sawa na ambavyo watoto hufinyanga vinyago vyao vya kuchezea waislam nao japo ni kwa mchezo ule ule wa kukopi toka kwa wakrsito wanasema allah alisema kila kitu kiwe kikawa hawa wanajitahidi kukwepa kutakiwa watoe maelezo ya mlolongo wa maelfu na mamilioni ya viumbe kinachochekesha ni pale waislam wanapomuita allah muumbaji wakati si muumbaji kwa ajili ya maelezo yao nadhani walipaswa kumwita muhuuishaji badala ya muumbaji maana muumbaji lazima afanye kitendo cha kuumba ambacho wakristo wanakionyesha kama kufinyanga hivyo kwa kudurusu hayo machache nategemea tutakuwa tumesogea mbele kidogo wakati tukingoja michango ya wenzetu hasa wakati huu wa mfungo wa ramadhani ambapo michango yao hasa waislamu inawapa nafasi ya kupata twawab nyingi za kuweza kuwapeleka kwenye jannah huu mjadala ni mtamu natamani tungekuwa tunachambua mambo hivi kuliko kishabiki na hisia nawapongeza sana mhango na mbele nikitulia nitachangia kwa undani zaidi nashukuru kwa prof mbele kwa kuiweka mada vizuri sana katika utangulizi wake na utetezi wake namshukuru mhango kwa kuja na fikra tofauti hapo ndipo mjadala unapopata ladha na kusisimua watu wengine wafunguke kimsingi mola hana ubaguzi na anao ubaguzi ifahamike ubaguzi si fikra hasi japo mara nyingi imekuwa ikitumiwa hivyo ubaguzi kama dhana inancha mbili hasi na chanya ikiwa mtu hataki kutoa haki kwa mwingine au kumpa haki yake kwa sababu tu ni dini fulani tu huu ni ubaguzi mbaya iwapo mtu hataki kuamiliana na mtu fulani ili asiathiriwe na fikra zake ambazo yeye hazimfurahishi mathalani mlevi au mgoni hivyo akajitenga na yeye huu ni ubaguzi mzuri mola hana ubaguzi katika kuwapa viumbe vyake vile alivyoahidi kuwapa kama alivyoeleza mbele vizuri kabisa kwa kuwa kufanya hivyo ni ubaguzi mbaya lakini iwapo imani yako au vitendo vyako haviendani na yale yenye kumridhisha na kustawisha jamii ataendelea kupewa vile vile lakini malipo yake hayatokuwa sawa na wengine wanaotii na kuamini ipasavyo huu ni ubaguzi mzuri hivi wema na waovu walipwe sawa eti kwa kuwa kutofanya hivyo ni ubaguzi si sahihi kwa maoni yangu kufikiri kuwa ubaguzi maana yake ni kuwepo kwa usawa na si vinginevyo hivi mtu angetaraji mwanaume azae kama anavyozaa mwanamke au mtu awe na mkia kama mbwa hivi wanawake wavae sawa na wanaume nk bila shaka yapo maeneo ambayo ubaguzi maana yake ni kukosekana kwa usawa mfano ajira inapokuwa ni kwa watu fulani tu nk kwa bahati mbaya wafuasi wa dini zetu wamekuwa wakifanya mengi japo mungu hajaagiza hivyo na si utashi wa mungu mathalani katika utoaji wa haki na fursa kwa wote iwapo vijana wa kiislamu au kikristo waliofaulu watakatwa majina yao na wasipangiwe shule huu ni ubaguzi mbaya sijui kama kuna dini yeyote inayoagiza hivyo kuwa mtu wa imani tofauti na yako asipewe haki yake lakini haya yapo tatizo nini pengine ni ule ugonjwa chuki kubwa baada ya kusema hayo natofautiana na mawazo ya mhango katika post yake ya mwanzo aliposema kuwa kwa mfano kwa imani ya kiislamu muislam ni bora kuliko asiye muislam surat 41141 328 ziko wazi kwanza sura 41141 hiyo aya 141 haipo je ni taypo ama sura 328 inasema hivi waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya waumini na anaye fanya hivyo basi hatakuwa chochote mbele ya mwenyezi mungu ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao na mwenyezi mungu anakuhadharisheni naye na marejeo ni kwa mwenyezi mungu hakuna ktk aya hii hicho alichosema mhango uislam unahimiza uchamungu kuwa ndiyo sifa ya ubora wa mtu hakika aliyebora mbele ya mwenyezi mungu ni yule anayemuogopa aya hii ni maarufu na natumai mhango anaijua vizuri kwa nini anapotosha na kudai kuwa huo upotoshaji wake ndio imani ya kiislamu kama mpenzi wa dini asili je hivyo ndivyo dini asili inavyofunza tatizo la mhango ni kama la jmihagwa (mwandishi wa raia mwema) wanapojaribu kusoma maandiko ya dini zetu fikra zao zinakuwa si huru hivyo wao tayari washaegemea upande wao kinachofuata ni kutafuta kile alichosema antonio ktk 'the merchant of venice' mhango anasema waislam nao japo ni kwa mchezo ule ule wa kukopi toka kwa wakrsito wanasema allah alisema kila kitu kiwe kikawa hawa wanajitahidi kukwepa kutakiwa watoe maelezo ya mlolongo wa maelfu na mamilioni ya viumbe kinachochekesha ni pale waislam wanapomuita allah muumbaji wakati si muumbaji kwa ajili ya maelezo yao nadhani walipaswa kumwita muhuuishaji badala ya muumbaji inasikitisha sana kusoma sentensi yako ya mwanzo eti waislamu wanakopi (ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi) hili dai lako nilishajibu katika post za zilizopita ila naona mhango kafanya kuwa ni mtaji wa maandishi yake sihitaji kurudia jawabu kuhusu uumbaji wa allah qur'an inasema hivi yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi 229 na hakika tulikuumbeni kisha tukakutieni sura kisha tukawaambia malaika msujudieni adam 7 11 hizo ni baadhi tu ya aya nyingi juu ya uumbaji wa mungu kwa mujibu wa uislamu hivyo tufuate ya hao 'waislamu wako' au maneno ya mungu mwenyewe kama unaswali juu ya mlolongo wa viumbe uliza ujibiwe hamna anayekwepa waislamu wanaamini kuwa kwa mola hufanya atakavyo akitaka ataumba kwa mikono yako kama alivyofanya kwa adamu au kwa tamko tu 'kun fayakun (kuwakikawa)' ni vyema kufanya tafiti na kuangalia mambo katika sura itakayoleta uwelewano na utangamano wa kijamii kama afanyavyo prombele na sio kukuza tofauti za dini hadi kuleta maafa sisi waislamu na wengine wajibu wetu ni kufikisha kwa wengine na kutenda kwa uadilifu bila chuki wala dharau na kutambua kuwa 'angelitaka muumba angefanya watu wote wawe kitu kimoja (fikra zao dini zao nk)' si kwa faida wala wajibu wa muislamu kudharau dini nyingine au kujiona bora bali kufanya yale yote ya uchamungu kwanza namshukuru ndugu yangu shehe khalfan japo huwa hapendi kuitwa shehe kwa maana ya neno shehe na mchango wake naamini yeye ni shehe mwenzetu japo khalfan kajibu hoja bila jazba nashukuru kuwa ameunga mkono baadhi ya hoja zangu huku akizichanachana nyingine naona kama nimemkwaza kwa kusema waislam nao japo ni kwa mchezo ule ule wa kukopi toka kwa wakrsito wanasema allah alisema kila kitu kiwe kikawa hii ndiyo kun fayakun ambayo nadhani ndiyo namna alivyoumba allah hivyo anapokuja na aya 229 anathibitisha ukweli wa hoja zangu kuwa kilichofanyika ni kukwepa kufanya kile alichofanya jehova ambaye aliumba kitoto kwa kufinyanga udongo ninaposema kukopi namaanisha quran kutokuwa na jipya zaidi ya kukariri yale yaliyokwisha bainishwa na wakristo lakini ikasema ni mapya na yameshushwa yangeshushwaje wakati yalishashwa na kujulikana hata kabla ya sayyidina muhammad (saw)hazaliwa wala kutumishwa nadhani hii ndiyo hoja yenye mashiko na ya msingi isiyopaswa kufinywa wala kufinyangwa uumbaji kwa aliyesema kun fayakun kila kitu kikawa ni neno tata na halina mantiki ima kuhusu ubaguzi nadhani ubaguzi halina ubishi hata livishwe joho kwa nijuavyo mimi ubaguzi ni kitu hasi sawa na uuaji ufirauni uasherati nk hivyo kutaka kuuhalalisha kwa namna yoyote ni kupotoka na kupotosha wengine sioni ubaguzi mzuri nadhani alichotaka kueleza khalfan akaishia kukichanganya na ubaguzi ni kuepuka baadhi ya watu au mambo lakini si kuwabagua kitu kingine ambacho ni tata ni hadithi ya malaika kumsujudia adam apaswaye kusujudiwa ni mmoja hivyo pamoja na kuwa ni hoja inayosemekana kuwa ya quran kuruhusu kiumbe tena kilichoumbwa na aliyeumbwa kisujudiwe na viumbe wengine ni kufuru isiyosameheka kama tutakuwa makini na uchambuzi huria wa yale tunayosoma si kweli kuwa mimi ni sawa na joseph mihangwa mihangwa ni mihangwa na mhango ni mhango na tuna maoni na elimu tofauti hivyo mjumlisho wa aina hii unaweza kutafsirika kama kupindisha hoja au kutaka kuwapa watu majina mabaya wakati unaniacha insh'allah siku nyingine wabillahi tawfiq napenda kuendeleza hoja yangu kuwa mungu ni mmoja tu pamoja na kwamba dini mbali mbali zinamweleza kwa namna tofauti umeandika mungu hawezi kuwa mmoja wakati kila mtu anakuja na vigezo vyake juu ya mungu huyo huyo wakristo wakimueleza jehova na waislam wakamueleza allah unapata miungu miwili tofauti napenda kurudia kauli yangu kwamba wanadamu hawana akili ya kuweza kumfahamu mungu alivyo pamoja na juhudi yao yote na nia njema wanababaisha huo ubabaishaji wao unajidhihirisha kwa jinsi wanavyomwelezea mungu kwa namna mbali kuna hadithi ya vipofu saba na tembo vipofu saba walipata fursa ya kumshika tembo ili wafahamu tembo yukoje kipofu mmoja alishika mkia akaelewa kuwa tembo ana umbo la kamba nene kipofu mwingine alishika mguu akaelewa kwamba tembo ana umbo la mti mnene uliosimama kipofu mwingine alishika pembe mwingine alishika sikio na mwingine alishika tumbo na kadhalika wote wakaja na tafsiri yao ya tembo alivyo zikawa tafsiri saba tofauti kwamba vipofu hao walimwelewa tembo kwa namna mbali mbali haimaanishi kuwa tembo hakuwa mmoja na mungu ni hivyo hivyo waumini wanajitahidi lakini hawana upeo wa kuweza kumwelezea mungu alivyo kikamilifu huu ndio msimamo wangu
2017-08-23T08:09:35
http://hapakwetu.blogspot.com/2015/07/mungu-allah-hana-ubaguzi.html
jk awazundua watanzania 'ulofa wenu' ndio unawawaliza | jamiiforums | the home of great thinkers jk awazundua watanzania 'ulofa wenu' ndio unawawaliza discussion in 'jukwaa la siasa' started by not_yet_uhuru feb 5 2012 jk ametoboa jinsi viongozi wa ccm wanavyoowamaliza watanzaniakwa kuwafanya 'malofa' na kuwaibia haki ya kupata viongozi wasio na dira mafisadi jk akihutubia katika miaka 35 ya chama cha mafisadi kirumba mwanza mchana huu ameweka wazi 'ujinga wa watanzania' na hasa kudanganywa katika kufanya maamuzi katika kupiga kura pale alipofikia hatua ya kurejea kauli ya kudhalilisha aliyowahi kuitamka aliyewahi kugombea jimbo la ukonga marehemu ukiwaona dito wa muzuzuri (ditopile) pale aliposema kuwa tatizo la watanzania ni 'ulofa wao' maana huwa wanakubali kupelekwa kukesha guest wanaacha wake au waume zao na watoto majumbani wamelala mwishowe wanagawiwa sh 1000 au 2000 tu na vipapatio vya kuku wanakubali kuwapigia kura viongozi wabovu waliooza jk kasisitiza kuwa dito alikuwa 'mkweli' kuwaambia watanzania kuwa 'malofa' aliwapasha ukweli pamoja na yote hayo jk alizidi kuwafumbua macho wasikilizaji na watanzania wote kuwa kwa kauli aliyotoa dito ya kuwa 'malofa' wapiga kura walikasirika walimkimbia ktk mikutano yake alikosa kura ktk chaguzi zote zilizofuata na yeye jk kwa kafikia kuhalalisha kuwa dito 'aliwapasha ukweli' watanzania kuwa ni 'malofa' tunalo la kubisha naomba kuwasilisha pamoja daima (source tiibisii) nukuu yake hiyo inabidi tuitafakari kwa makini sana tusije tukaistafsiri tofauti ikawa sivyo yeye alivyotaka itufikieika jk mjanja sana maana dhana ya kuvua gamba ameibadilisha tofauti na alivyosema akiwa dodomasiasa ni mchezo wa ujanja ujanja sana kauli hii iko kweli na hapa tulishaliongea sana nadhani yuko sasahihi kabisa wakati mwingine ni lazima awakilishe ujumbe kwa mifano nadhani hapo suala kubwa ilikuwa ni kuwananga wabunge wa ccm kule bungeni hasa akirejea ktk suala zima la katiba kwa hilo nami nampongeza kwa kusema ukweli kaamua kupambana na wahafidhina wenzie hata hao sungusungu waliojaza uwanja wa kirumba kama si pilau kofia na flani walizopewa wasingekuja leo kwa hiyo anawaambia watz waache ufala hakunaga kama jkanabadilika kama kinyonga vile jk bwana unajua alipoongea na dk slaa akashangaa sana kwanini mtu mwenye akili kama huyu hajawa raisi akawasikiliza kina tundu lisu john mnyika akashangaa mbona kina ole sendeka magufuli simbachawene takataka kabisa kwa hawa jamaa ndo yanamtoka sasa hapo kawatumia salaam wabunge wa magamba kwani wao wanapigania posho tu bila kuangalia maslahi na kipato cha mlala hoi si ameona jinsi walivyokataa bills mbalimbali kule mjengoni na ameshasoma kwamba wanajiandaa na kuupinga musuada wa marekebisho ya katibakisa kawageuka kuhusu mshiko meseji sent and delivered kwa walengwalabda 2015 watazinduka jk anajua yeye ukomo wa uraisi ni 2015anatuasa tusiwe malofa tena kwa kudanganywa na lowasa na vijisenti vyakeila why hakusema haya 2010 mwanzoni namuunga mkono 100 watanzaniatuna matatizo ya akili hasa tunapoona chakula wakati wa kampeni nadhani 'akili yake' inamchemka angalau kwa sasa anaona upepo unavuma mara davos 2012 wachangiaji wamempupua akirudi ndani akina pinda na makinda wanajitangazia 'miposho' wakimchomekea kuwa tayari kahalalisha akihema anakumbuka kauli ya leo (ktk gazeti mwananchi) mhasham askofu methodius kilaini (askofu mkuu jimbo la bukoba) aliposema kwa hali ya sasa tanzania ipo pabaya sana inahitaji rais kama kagame atakayeiongoza nchi kwa 'fimbo ya chuma' pasipo kuwaonea haya au aibu viongozi walafi mafisadi na waharibifu wa rasilimali za umma tena anakumbuka miswada miwili imepigwa chali na wabunge wengine wamejipanga kumlambisa mchanga ktk miswada mingine ijayo naona inabidi atembee na glass ya maji uhai au juice kila aendapo kupunguza 'presha' my take kama kweli anafanyia kazi kauli zake awafukuze mafisadi zake na wale anaodhani wanakwamisha movement zake za kimagamba magamba aache kilalama tunanjuaga jk kama yeyehakunaga anaegemea kulalama ahurumiwe namfagilia sana jk wakati mwingine yaweza kuwa washauri ndo wanamharibia ila ninamuomba jk aache historia asikumbatie chama chake akumbatie utanzania zaidi kuwa mwenyekiti wa chama isiwe tatizo mbona kaka lyatonga alikuwa na mgombea urais hapo 2010 na bado akampigia jk kampeni maana aliona huyo wa kwake ni kilaza hapo ndipo nitakamilisha furaha yangu na jk he is trying to be a good leader now na aendelee kuwa mwai walimboa chama chake na akahamia kingine na he is still the presidaa big up jk na karibu sana mwanza watu wazima wamesombwa na mafuso toka vijijiniwakafungiwa uwanja wa kirumbawakapewa pilau na pombe na leo wameshinda wanashangilia kama siyo ulofa ni nini sasa good jk ss washikishe adabu hao vilaza magamba wenzako inaonekana ujio wa chadema hapo ikulu umekufungua macho hapo hapo anasema uongozi wa machinga mwanza wakutane naye waseme wanata kusaidia nini nao malofa hivi wakati wa camapign 2010 ccm waliahidi nini kwa hawa machinga na wamefanya nini tangu uchaguzi uishe kweli ni malofamataaaaaaahira wa kufikiriwaliochagua magamba woooote kwa pilaukofiavitambaaa na bubu buku walizokuwa wakipewa ni maloooooooofaaaa ahahahahahahasante sana president kwa kuwazindua wasiofahamu hapo unamaanisha kabisa kwamba walioipigia kura ccm ni malofa heri yangu mimi ambaye sijawahi kupigia kura magamba nina mashaka na kauli yake hasa nikizingatia mandhari ya alikotamka yale maneno jimbo lile linaongozwa na mtu kutoka chama gani asijekua amelenga ujumbe huo kuwafikia wapiga kura wa mwanza mjini
2016-12-07T20:18:53
http://www.jamiiforums.com/threads/jk-awazundua-watanzania-ulofa-wenu-ndio-unawawaliza.220260/
busara zitumike kulimaliza hili la cag spika | gazeti la rai home habari busara zitumike kulimaliza hili la cag spika kwa zaidi ya wiki sasa kumekuwa na mnykano na mvutano wa maneno kati ya sipika wa bunge job ndugai na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) mussa assad sababu ya mzozo huu inatajwa kuwa ni hatua ya cag kutumia lugha iliyotazamwa vibaya na spika na kutakiwa kujieleza mbele ya kamati ya bunge ya maadili cag alikwenda mbele ya kamati hiyo na kutoa maelezo yake ambayo yalionekana kutowaridhisha waliomuita na kuamua kumchukulia hatua ya kumsusa kwa maana bunge liliazimia kutofanya kazi na kiongozi huyo uamuzi huo uliibua mvutano mkubwa miongoni mwa wanasiasa wasomi na hata wachambuzi wa mambo wengi wao wakiamini kuwa kitendo cha bunge kumsusa cag ni sawa na kuvunja sheria ambayo inatambua nafasi hiyo kikatiba baada ya mvutano wa muda mrefu hatimae bunge liliipokea ripoti ya cag na kuiwasilisha bungeni hata hivyo mzozo huop uliondelea na kuonekana kuvaa sura ya mvutano binafsi kati ya ndugai na assad kutokana na umuhimu wa watu hao wawili hasa kwa kuzingatia nafasi wanazoziongoza rai liliiona haja ya kufanya mahojiano na mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini mudhihir mudhihir ambaye alishawahi kuwa mbunge wa mchinga kupitia chama cha mapinduzi ufuatao ni mtiririko wa maswali na majibu ya mahojiano hayo endelea rai kumekuwepo hili sakata la vuta nikuvute baina ya spika wa bunge la tanzania na cag kwa muda sasa badala ya mvutano huu kupoa ndiyo kwanza unapamba moto wewe ukiwa ni mwanasiasa mkongwe nini maoni yako ya jumla mudhihir huu ni mtihani mkubwa kwetu watanzania unajua linapotokea jambo usikimbilie kulitazama jambo lenyewe bali watazame wahusika katika jambo hilokwa kuzitazama busara na hekima za mheshimiwa spika na cag na kwa kuzitazama dhamana walizopewa na sisi watanzania wenzao sipati jawabu kwamba neno udhaifu lingeweza kulifikisha taifa letu hapa walipotufikisha rai ungepewa nafasi ya kushauri juu ya namna bora ya kulitatua tatizo hili kiungwana ungependa nini kifanyike mudhihir sisi watanzania tunayo mambo makubwa na muhimu tunayotaraji kuyasikia kutoka kwa spika na cag wanaziongoza taasisi kubwa zilizowekwa kwa mujibu wa katiba na zenye majukumu muhimu ya kuishauri na kuisimamia serikali bunge na nao ni taasisi zinazojenga nyumba moja na kwa hivyo hazipaswi kugombea fito tena hadharani hivi sasa zinapewa kipaumbele habari za u ndugai na u assad badala ya habari za maendeleo na huduma za kijamii rai unaonekana kukwazika kutokana na habari hizi kupewa umuhimu katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii mudhihir la hasha mimi sina ngowa na starehe za watu kinachosumbua akili yangu ni kutaka kufahamu iwapo spika na cag wanatambua kwamba taasisi wanazoziongoza ni mamlaka za umma hivyo ni kweli kuwa hakuna njia bora ya kuliendea suala hili ila ni kulembeana vimondo mbele ya wanahabari wanaamini kuwa kwa kutumia njia hii ndiyo wataifikia suluhu ya mvutano wao rai nini maoni yako juu ya bunge letu kudhaniwa kuwa ni dhaifu mudhihir (kicheko) wewe unanitaka nikae upande upi kati ya upande wa mheshimiwa spika na ule wa ndugu yangu profesa assad (kicheko) unajua swali lako ndugu yangu ni muhimu sana na ili jibu la swali lako liwe muhimu pia na lenye manufaa linatakiwa lisihusishwe na kuzishobokea pande zinazovutana aidha ni muhimu pia kuzikimbia tafsiri za kikamusi rai mheshimiwa sijakufahamu vizuri sasa huo udhaifu tutakao uzungumza nje ya pande hizi mbili na nje ya tafsiri ya kamusi si utakuwa udhaifu mwengine mpya wa kuja kuchochea moto ambao tayari unawaka mudhihir (kicheko) unanipa kazi ya kurina asali na papo unanihurumia ati nisije kutafunwa na nyuki (kicheko) unajua bunge kwa mujibu wa katiba yetu linaundwa na wabunge wanaowakilsha majimbo viti maalumu na wanaoteuliwa na rais waheshimiwa wote hawa ni wanadamu ambao wao na sisi sote hatuna ukamilifu sijui kwa nini neeno udhaifu limetufikisha hapa tulipo wabunge wetu wanayo majukumu ya kutuwakilisha wananchi wenzao bungeni kutunga sheria kuishauri serikali juu ya mwelekeo wenye maslahi kwa wananchi na taifa na kuisimamia serikali katika kutekeleza majukumu yake sitaki kutilia shaka juu ya kuwepo kwa udhaifu kwa mbunge yeyote eti kutokana na sababu za ubinadamu sipendi kuwakosea adabu waheshimiwa ambao kabla ya kuanza kiko husoma dua ili kujilinda dhidi ya udhaifu wa kibinadamu pili upo utamaduni wa kibunge kuwa na mikutano ya vyama(party caucus) ndani ya mikutano hii agenda kubwa huwa ni kujenga msimamo wa pamoja ili kuunga mkono au kupinga hoja ndani ya bunge mbunge mmoja mmoja anatakiwa kuachana na anachokiamini sisemi kuwa utamaduni huu ndani ya mabunge ya jumuiya ya madola unachangia udhaifu wa bunge lakini hapana ubishi pia kuwa hisia na matakwa binafsi hudhoofishwa na athari ya msimamo wa pamoja tatu mahitaji ya majimbo na hata ya kikanda hasa wakati wa bunge la bajeti huwaparaganya wabunge wakasahau mambo ya msimamo wa chama na hata msimamo wa utaifa wengine hufikia kukamata shilingi kutoka mshahara wa waziri lakini siku yakupitishwa bajeti ni msimamo wa chama ndiyo utakaomuongoza mbunge kupiga kura ya sauti ya ndiyo au hapana kimuundo tunaona kuwa huu ni udhaifu lakini bila bajeti nchi itaendeshwaje na nne ni utamaduni wa ccm kumteua spika anayetokana na chama hicho kuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa na kamati kuu hata kama spika atakuwa ba msimamo usiyoyumba hawezi kuwa yeye ana nguvu na chama kikawa dhaifu kwa hakika isiyo na shaka udhaifu unaosababishwa na tamaduni za kibunge duniani kote hauepukiki ndiyo maana naendelea kujiuliza iwapo upo ulazima wa kuendelea kutoleana povu juu ya neno udhaifu kwenye vyombo vya habari rai mheshimiwa umezungumza sana ni nini hofu yako juu ya jambo hili kuendelea kuzungumzwa kwenye vyombo vya habari mudhihir (kicheko) na wewe una raha gani juu ya jambo hili kuendelea kunogeshwa kila kukicha (kicheko) tulikotokea tulianza na neno udhaifu kulichafua bunge nje ya nchi ngoma ilipochanganya mashairi yakasema bunge halina ugomvi na cag wala nao bali halimtaki profesa assad zikafutia nyanga za kumtaka profesa mussa assad ajiuzulu ili asimletee mheshimiwa rais shida sasa zinapulizwa zumari za kumshabihisha profesa assad na ujasiri wa mbwa kuutafuna mkono wa bwana anayemlisha baada ya haya yatakuja mengine yapi haya ndiyo yanayonitia hofu rai una neno la nyongeza mheshimiwa mudhihir nchi yetu sasa ipo katika ubora wake na nguvu zetu zote tunazielekeza katika kutuletea ustawi wa kiuchumi na huduma za kijamii mataifa mengi barani afrika na huko ughaibuni yanatukubali na sisi hatuna budi kuyalinda mafanikio yetu kwa huba na wivu mkubwa viongozi wetu wajiepushe na ujasiri wa mambo ya kuzungumzwa chumbani kuyahamishia varandani tunaelekea kwenye kuijenga nchi chonde wasitutoe barabarani rai tumalizie mahojiano kwa kuangalia iwapo rais anao uwezo wa kulimaliza tatizo hili mudhihir ndiyo mheshimiwa rais anao uwezo wa kulimaliza suala hili kwa salama na amani sizungumzii uwezo wa rais kikatiba kwa kuwa jambo lenyewe halijafikia upeo wa kukiukwa katiba mheshimiwa rais amesheheni busara na hekima waheshimiwa wabunge waliyomsusa profesa mussa assad ni wa ccm na rais ni mwenyekiti wa ccm taifa na halafu profesa assad ameteuliwa na rais huyo huyo lakini mheshimiwa spika na cag ni watu wanaojitambua ndiyo mheshimiwa rais anaweza kulimaliza sakata hili pili upo utamaduni wa kibunge wa kuwa na mikutano ya vyama (party caucus) previous articletaifa stars ianze kuandaliwe sasa next articlemtaji wa mwanasiasa ni umma si uma
2020-06-04T12:05:27
http://www.rai.co.tz/busara-zitumike-kulimaliza-hili-la-cag-spika/
wafuasi takribani 1000 wa chadema arumeru wahamia actwazalendo | jamiiforums wafuasi takribani 1000 wa chadema arumeru wahamia actwazalendo thread starter cybercrime mjumbe wa mkutano mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) na mwenyekiti wa kata ya nkwandurua wilaya ya arumeru samwel shami pamoja na takriban vijana 1000 wa kata hiyo wamehamia chama cha actwazalendo chanzo raia tanzania gazeti gani hilo lilioandika habari hizo kumbe ni rai mwema tehe tehe gazeti la magufuli cybercrime said sourceraia tanzania view attachment 280078 kwi kwi kwi kwi ni haki yao kuhama na kuhamia kwa ufupi kusema vijana elfu kata ya nkoanrua inaharamisha habari nzima mhuni mmoja aliyekosa nafasi ya kugombea asitufanye majuha kuitisha kikao yenye watu 20 alishindwa hao elfu kawatoa wapi reactions nyunyu and mizambwa waje ccm tuijenge nchi reactions namwakalima and moshi vijijini 44502 2000 @motochini pokea wageni hao sisi ukawa kiroho safi hatuwatukani wala hatuwaiti oil chafu wale wanaohama kutoka kwenye chama chetu reactions mmawia arie power jd41 and 2 others waondoke tu maana chadema imeshavamiwa na mafisadi ni raia tanzania sio raia mwema nikitakasinyimwi ni haki yao kikatiba kwa hiyo hakuna sababu ya kuwabeza wala kuwatukanani kama alivyotumia haki hiyo lowasa ndivyo na wao wanaitumia reactions motochini and arie power ni gazei dada la raia mwema kiongozi nimekupata 4555 1500 siasa ni kitu cha ajabu sana juzi uongozi wote wa act mkoa wa morogoro ulihamia chadema leo arumeru wanahama chadema kuelekea act naona ngoma ni dro samweliiiiiiiiiii weeh dr slaa wewe u mzalendo wa kweli uliposema lowasa fisado kweli ulinaanisha na umekuwa radhi kulala njaa kuulinda ukweli huo lakini usijali tinga tinga linaanzisha mahakama ya majizi na mafisadi kwa hiyo yeyote an anayejitapa mtaani kuwa wampeleke mahakamani basis mahakama hiyo inakuja akajiandae kunyea debe reactions motochini nao and man jaribuni gazeti la udaku hii haa haa na jk yumo kata gani arumeru iwe na vijana 1000 wamuunge mkono mtu mmoja acha uongo wewe kadanganye magamba wenzako reactions mmawia and arie power 3699 2000 hayo magazeti ni pacha na yana malengo sawa 1884 1250 ni haki yao kimsingi ccm na mbinu zake kuwavua uraia wafuasi wa act wazalendo ushahidi huu hapa (video) jukwaa la siasa 12 dec 26 2019 wafuasi wa chadema actwazalendo kortini kilimanjaro jukwaa la siasa 9 nov 12 2019 j uchaguzi 2019 wafuasi wa chadema wengi hawajajiandikisha wapeni tu fomu hawana madhara jukwaa la siasa 36 oct 31 2019 hata mungu hapendwi na wafuasi wa shetani jukwaa la siasa 15 oct 22 2019 ccm na mbinu zake kuwavua uraia wafuasi wa act wazalendo ushahidi huu hapa (video) wafuasi wa chadema actwazalendo kortini kilimanjaro uchaguzi 2019 wafuasi wa chadema wengi hawajajiandikisha wapeni tu fomu hawana madhara hata mungu hapendwi na wafuasi wa shetani threads 1388904 posts 34014175
2020-02-17T03:07:38
https://www.jamiiforums.com/threads/wafuasi-takribani-1-000-wa-chadema-arumeru-wahamia-act-wazalendo.915626/
uzito wa dhambi yake zaima media network homehabariuzito wa dhambi yake january 8 2016 zanzibar daima habari 0 chumbani anapongia kajibwaga kitandani jinamizi humjia naye yu usingizini silisili kamtia toka juu hadi chini kisema akaye macho njozi awe hazioni humjalia makocho kamuenea mwilini hapo kila asemacho huwa hakisikikani pale nje atokapo kusudi awe kundini huzinga watu walipo walakini hawaoni na hata awaonapo si watu bali majini dhambi yaja juu yake kwa sauti yenye kani yaimba makosa yake kwa hasira si kughani kitubu kwa mola wake hwamba haiwezekani
2018-03-20T15:39:01
https://zanzibardaima.net/2016/01/08/uzito-wa-dhambi-yake/
june | 2013 | tanabaisho aiming an aim aiming an aim is more valuable than efforts used to achieve the aimed aim king chavalamc/comedian/author kwa habari ya uchaguzi wa madiwaninani anastahili pongezi baada ya uchaguzi wa madiwani si vibaya tukaona tathimini na uchambuzi wa uchaguzi na matokeo katika uchaguzi uliofanyika tarehe 16 juni 2013 kwenye kata 22 tanzania bara chama tawala (ccm) na chama kikuu cha upinzani nchini (chadema) vilitoshana nguvu kwenye uchaguzi huo ambapo kwenye baadhi ya maeneo vurugu na matumizi ya nguvu ya dola vilitamalaki kutokana na dosari kadhaa tathimini hii fupi haitajikita kwenye uchaguzi mzima bali ijadili kwa kina cha mantiki katika maeneo matatu (3) tu 10 kabla ya uchaguzi 20 uchaguzi na matokeo 30 nani anastahili pongezi 101 kabla ya uchaguzi • kabla ya uchaguzi ccm ndio walikuwa wanaongoza kwa kuwa na kata nyingi walikuwa na kata 20 kata hizo 20 baadae zilikuwa wazi kutokana na baadhi ya madiwani kuhama kujiuzulu na wengine kufa (sitataja kata moja moja na sababu za kila kata kuwa wazi) • chadema walikuwa na kata 5 kati ya hizo kata tano madiwani wanne (4) wa arusha mjini walivuliwa uwanachama na hivyo nafasi zao kuwa wazi na kata moja ya isike singida diwani alihamia ccm • tlp walikuwa na kata moja kata hii ilikuwa wazi baada ya diwani wake kufariki hii ni kata ya minepa ulanga mkoani morogoro »» kwa rejea binafsi kata zote zilizo kuwa wazi pamoja na halmashauri zake kwenye mabano ni stesheni (nachingwea) nyampu lukano na lugata (sengerema) genge tingeni (muheza) ibugule (bahi) langiro (mbinga) na manchila (serengeti) nyingine ni iyela (mbeya) mbalamaziwa (mufindi) ruzewe mashariki (bukombe) mianzini (temeke) dalai (kondoa) minepa (ulanga) makuyuni (monduli) na bashnet (babati) kata nyingine ni kimandolu elerai kaloleni na themi (arusha) iseke (singida) dongobesh (mbulu) ngangange (kilolo) ifakara (kilombero) msanze (kilosa) na mnima (mtwara) 201 uchaguzi na matokeo • kata ishirini na mbili (22) ndio zimefanya uchaguzi huku kata moja ya sombetini (arusha mjini) ikiwa haijatangazwa kabisa kuwa iko wazi wakati aliyekuwa diwani (alfonce mawazo) kwa tiketi ya ccm alihamia chadema huku uchaguzi kwenye kata nne (4) za jimbo la arusha mjini uchaguzi ukiahirishwa mpaka 30 juni 2013 kutokana na mlipuko wa bomu siku ya mwisho ya kuhitimisha kampeni za chadema ambapo watu watatu walifariki na wengine zaidi ya 73 kujeruhiwa • uchaguzi ulifanyika na kugubikwa na matukio yasiyo tia afya demokrasia ya vyama vingi hata hivyo pamoja na mapungufu na changamoto hizo ambazo tathimini hii haita zigusa kwa kina na uzito wake itoshe kusema kuwa mazingira bado hayajawa rafiki kwa kuzingatia mila na desturi za chaguzi huru na haki kwenye mfumo wa kidemokrasia kwani bado vyama pinzani haviwekwi kwenye mizania linganifu na chama tawala » matokeo katika uchaguzi huo yanabeba funzo na taswira muhimu kwa vyama vikuu viwili shindani (ccm na chadema) na yanatoa somo lenye ukweli mchungu kwa vyama vya cuf nccr mageuzi tlp na vingine ambavyo havikuambulia kiti hata kimoja na vyama vingine kushindwa kusimamisha wagombea • katika uchaguzi huo wa kata 22 ccm walikuwa wanashikilia kata 20 na wamefanikiwa kurejesha kata 15 kwa maana hiyo wamepoteza kata zao 5 chadema walikuwa wanashikilia kata 1 na tlp kata 1 chadema wamefanikiwa kurejesha kata yao 1 na kuichukua kata 1 ya tlp na kata nyingine 5 za ccm jumla chadema imepata kata 7 •» kabla ya uchaguzi kabla ya uchaguzi wa kata hizo 22 ilikuwa hivi ccm kata 20 na chadema kata 1 (201=19) tofauti ilikuwa kata 19 •» baada ya uchaguzi baada ya uchaguzi ukitafuta tofauti ya kata kati ya ccm kata 15 na chadema kata 7 unapata 8 (157=8) tofauti ni kata 8 301 nani anastahili pongezi • ukifanyika uchaguzi wa kata 4 za arusha mjini hiyo tarehe 30 juni 2013 kama ilivyo pangwa kata ambazo zilikuwa zinashikiliwa na chadema kukamilisha idadi ya kata 26 halafu chadema wakashinda kata zao zote 4 hesabu kwa upande wa chadema itakuwa 7 + 4 = 11 ccm wao wataendelea kubaki na kata zao 15 • tofauti itakuwa kata 4 yaani (ccm 15 cdm 11=4) kwa mnyumbulisho huu bila shaka viongozi wa vyama pamoja na wanachama wanao weza kutembea kifua mbele kati ya wale wa ccm na wale wa chadema ni chadema na si ccm narudia viongozi na wachama wa vyama viwili (ccm na chadema) wanao taakiwa kutembea vifua mbele kwa mafaniko ni chadema • tofauti ya kuzishikilia kata kabla na baada ya uchaguzi wa kata 4 zilizo baki utaonyesha mwanya mkubwa sana » kabla ccm 20 chadema 5 (205=15) » baada ccm 15 chadema 11 (15 11= 4) »» yaani kutoka tofauti ya kata 15 hadi tofauti ya kata 4 huhitaji kuwa na shahada ya political science kuliona anguko hiliwenye ushabiki njaa watabisha @kwa hisani ya samuel sasali
2017-12-18T04:51:11
https://tanabaisho.wordpress.com/2013/06/
mwana wa afrika mahakama kuu ya zanzibar yaamuru viongozi wa mahakama kuu ya zanzibar yaamuru viongozi wa uamsho waendelee kubaki rumande posted by augustine mgendi at 310 pm
2017-08-17T17:18:33
http://mwanawaafrika.blogspot.com/2012/11/mahakama-kuu-ya-zanzibar-yaamuru.html
vijimambo washindi 10 wa shindano la kuingiza sauti kwenye filamu kupata fursa ya kufanya kazi na startimes nchini china
2017-03-25T13:32:43
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/09/washindi-10-wa-shindano-la-kuingiza.html
chikuzee wawili peke bahati sina download dudu baya mpenzi download 2kriss ft wizkid ice prince good life download saida kalori kizunguzungu download chiri msa msa solly mahlangu mwamba mwamba download chege akiniona download don omar ft lucenzo danza kuduro rmx download saida karoli maria salome download tundaman chidi benz neila download p square ft naeto c she is hot download dr jose chameleone beauty download dna maswali ya polisi download sauti soul soma kijana download
2013-12-11T22:11:39
http://waptrick.com/web/full_mp3/index.jsp?c=kenjamz&lang=EN&pageid=7&accordionParam=13-3
sasisho novemba 07 2019 | < 1 kwa barua pepe mara kwa mara matangazo na facebook notisi kuhusu uhusiano mpya ndoa na mimba inaonekana kama kila mtu amepata moja hata kwenda nje ya baa inaonekana kama kila mtu ana pamoja off lakini kwa kuchanganyikiwa hii sisi kujua nini wewe ni kufikiri ambapo ni watu wote single kwa bahati nzuri rentcom ina compiled data kuamua miji bora kupata single kutoka kuchambua asilimia ya wanaume unattached na wanawake nightlife na usalama kwa kumbi mbalimbali za burudani utafiti huu kupatikana juu 10 miji kamili kwa ajili ya single 1 san francisco california kwa 38 ya idadi ya watu kuwa moja 3 38 ya washington dc wakazi ni moja 4 33 inawakilisha boston idadi ya watu massachusetts ya single 6 26 ya philadelphia idadi ya watu pennsylvania ni moja 8 24 ya idadi ya watu katika portland oregon ni moja 9 23 ya jersey city new jersey inawakilisha single 10 chicago illinois kwa 23 ya wakazi wake kuwa single bila shaka kujua miji hiyo na takwimu ni hatua ya kwanza ni muhimu kwamba wewe kuweka mwenyewe huko nje katika eneo haki kutoka nightclubs kwa kupiga mbizi baa na makumbusho sanaa masaa furaha na trivia usiku kwa sherehe za mitaa wote ni kumbi kubwa kwamba miji hiyo nyumba kwamba kuvutia single kusainiwa kwa ajili ya madarasa usiku katika chuo kikuu mitaa kwenda matukio ya upendo au kujiunga na wataalamu wa vijana kundi ni njia zaidi kupata moja kumbuka kuwa wako binafsi ujasiri zaidi na ambaye anajua labda mwaka ujao kadi yako likizo itakuwa kutangazwa ushiriki
2019-11-11T22:21:21
https://www.datemypet.com/sw/top-us-cities-to-be-single
malinzi afungua kozi ya ukocha daraja a | boiplus » malinzi afungua kozi ya ukocha daraja a malinzi afungua kozi ya ukocha daraja a rais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) jamali malinzi amefungua kozi ya ukocha wa leseni daraja a ya caf ambayo ndiyo ya juu zaidi barani afrika kozi hiyo itawashirikisha makocha 20 ambao watakuwa chini ya wakufunzi salum madadi na sunday kayuni kwa muda wote ili kuwaandaa walimu hao na baadae waje kuwa msaada mkubwa kwa taifa aidha malinzi alisema imefikia hatua sasa nchi ya tanzania kutoa makocha wengi kufundisha mpira nje ya nchi ambao wataitangaza nchi katika medani ya soka kote ulimwenguni tuna idadi ndogo sana ya makocha wenye leseni a ambapo hadi sasa wapo 23 huku wanaofundisha mpira ni saba pekee kwahiyo kazi tuliyonayo bado ni kubwa alisema malinzi kwa upande wake mkufunzi wa kozi hiyo salum madadi amelipongeza shirikisho la miguu tanzania kwa kuandaa kozi hiyo inayotambuliwa na caf ambayo itazalisha makocha wengi wa mpira nchini nachukua nafasi hii kumpongeza rais malinzi kwa kuandaa kozi hii ambayo ni faida kubwa kwa taifa miaka michache ijayo alisema madadi wakati huo huo malinzi ametoa rai kwa makocha hao kuendelea kufundisha soka nchini watakapo hitimu kozi hiyo ili waendeleze ujuzi walioupata kwa vitendo
2017-01-20T15:59:19
http://boiplus.blogspot.com/2016/07/malinzi-afungua-kozi-ya-ukocha-daraja-a.html
june | 2016 | blogu rasmi ya ofisi ya rais | page 2 rais dkt magufuli azindua mpango wa kitaifa wa kituo cha mawasiliano cha jeshi la polisi (call centre) jinini dar es salaam june 25 2916 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akikagua kituo cha mawasiliano ya polisi (call centre) katika kituo cha kati jijini dar es salaam wakati wa uzinduzi wa kitaifa wa kituo cha mawasiliano cha jeshi la polisi pamoja naye ni waziri wa mambo ya ndani mhe mwigulu nchemba katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani meja jenerali projest rwegasira igp ernest mangu mkuu wa mkoa wa dar es salaam mhe paul makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binfasi rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akisimama wakati wa wimbo wa taifa wakati wa uzinduzi wa kitaifa wa kituo cha mawasiliano cha jeshi la polisi katika viwanja vya biafra jijini dar es salaam pamoja naye ni rais mstaafu dkt jakaya mrisho kikwete waziri wa mambo ya ndani mhe mwigulu nchemba katibu mkuu kiongozi mhe john kijazi igp ernest mangu mkuu wa mkoa wa dar es salaam mhe paul makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binfasi rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akihutubia uzinduzi wa kitaifa wa kituo cha mawasiliano cha jeshi la polisi katika viwanja vya biafra jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe joseph magufuli akizindua kituo kidogo cha polisi kinachohamishika wakati wa uuzinduzi wa kitaifa wa kituo cha mawasiliano cha jeshi la polisi (call centre) katika viwanja vya biafra jijini dar es salaam pamoja naye ni rais mstaafu dkt jakaya mrisho kikwete waziri wa mambo ya ndani mhe mwigulu nchemba katibu mkuu kiongozi mhe john kijazi igp ernest mangu mkuu wa mkoa wa dar es salaam mhe paul makonda june 25 2016
2018-08-21T05:42:02
http://blog.ikulu.go.tz/?m=201606&paged=2
@diamondplatnumzfamily instagram diamond platnumz family 😷 umeiona video ya #kaitaba gusa link kwenye bio ya @chegechigunda au umeiona video ya #kaitaba gusa link kwenye bio ya @chegechigunda au @almasmzambele na kama wewe ni dancer au comedian tutumie video yako ukicheza au kuigiza kwa style yeyote kwa namba hizi 👉 0718444210 tuone kama umemfunika mama yetu @saidakarolitz 🤣 cc @uvm 👉https//youtube/5vrixxhquy @diamondplatnumzfamily hozerozil happynessjustine1 happyness justine ghost_scott samilyhimself_tz samilymahawi thee_firstborn_ thee firstborn kumboodenden kumbo odenden 0244538406 mohamederick moerick shaban kibokoclassic kiboko classic @isariaclothingboutique @isariaclothingboutique @isariaclothingboutique nguo kali kutoka marekani na uturuki za kuvaa kwenye events eg evening dresses za kuvaa ofisini za kuvaa kanisani nguo za heshima na nzuri kabisa za kuvaa kina mama mfano za kuvaa mama wazaa chema kwenye harusi sendoff nk nguo za wanene pia zipo kwa wingi kabisa / big size / plus size kwa maelezo zaidi tufollow @isariaclothingboutique @isariaclothingboutique tupo barabara ya savei opposite na geti la dharura la kutoka mlimani city mall kama unaenda chuo cha ardhi you are most welcome 🙏🙏👗👗👗👠👛👞👞👜 287 ♡ 3 ✍ march 19
2018-03-19T12:55:24
http://cornbit.com/media.php?id=1734245979363687065_1159780316
mhe magdalena h sakaya mheshimiwa mwenyekiti bunge ni chombo cha uwakilishi ndani ya bunge hili kila mtanzania anawakilishwa kwa mbunge waliyemchagua wao wenyewe wananchi wana haki kikatiba kuona live nini wawakilishi wao wanakifanya na nini kinaendelea ndani ya chombo hiki mheshimiwa mwenyekiti sababu zote zilizotolewa na mheshimiwa waziri kuhusu kuzuia matangazo ya bunge live hazina mashiko hata moja mheshimiwa waziri akiwa mwanza alipohojiwa sababu hasa alisema bunge la kumi 2010 2015 lilifanya maamuzi hayo jambo ambalo ni uongo wa mchana kweupe sisi tuliokuwepo wakati huo hatukuwahi kujadili suala hilo wala kutoa maamuzi ya kipuuzi kama hayo mheshimiwa mwenyekiti serikali leo ieleze watanzania sababu hasa ya kuzuia matangazo ya bunge live kwa watanzania kitendo cha tbc kurudia matangazo ya bunge usiku kuanzia saa 430 usiku baada ya kuchuja na kuondoa wasiyotaka yaonekane wakati ambapo watu wamechoka na kazi za kutafuta kipato mchana kutwa na wanatakiwa kupumzika ili wapate nguvu ya kufanya kazi siku inayofuata ni manyanyaso kwa watanzania ni matumizi mabaya ya kodi zao mheshimiwa mwenyekiti vipaji vya michezo hujengwa kuanzia primary school secondary school ndipo tunaweza kupata wanamichezo wazuri wenye weledi na wanaoweza kujiajiri kwenye michezo na kuleta heshima kwa taifa letu mheshimiwa mwenyekiti fedha za michezo zinazotolewa kwa shule zetu kwa watoto wetu huko shuleni ni kidogo sana hakuna vifaa vya michezo hawapati mazoezi ya kutosha na walimu wa michezo hawawezeshwi serikali imejipanga vipi kuhakikisha michezo shuleni inawezeshwa mheshimiwa mwenyekiti watoto wanacheza wakiwa shuleni na hata wakiwa majumbani kwao viwanja vya michezo kwenye mitaa mingi maeneo mbalimbali hapa nchini yamevamiwa na kujengwa nyumba na shughuli nyingine watoto wanacheza barabarani na kila leo wanagongwa na magari pikipiki na vyombo vingine vya usafiri serikali ina mpango gani mahususi kuhalalisha inafanya uhakiki wa viwanja vya watoto wetu vilivyoporwa kuvamiwa ilimradi kutumiwa na watoto kwa malengo ya michezo na kukuza vipaji vya watoto wetu mheshimiwa mwenyekiti serikali ilipiga marufuku kuwatumia watoto wadogo kwenye maigizo na kutengeneza mikanda ya sanaa za maigizo tumeendelea kuona watoto wadogo wakitumika kwenye maigizo na hivyo kuathiriwa kisaikolojia na kushindwa kufikia ndoto zao watoto wenye ndogo za kuwa madaktari wanapoingizwa kwenye maigizo wakati akili zao hazijaweza kuamka automatically tunawahamisha mwelekeo wa ndoto zao mheshimiwa mwenyekiti serikali ieleze bunge kwa nini watoto bado wanaendelea kushirikishwa kwenye maigizo umri wa mtoto unajulikana ni miaka 18 kushuka chini
2020-01-21T15:19:15
https://www.bunge.go.tz/polis/contributions/1776
kingotanzania habari picha na matangazo mtoto aliyechomwa mkono na hatimae kukatwa mkono wake wa kushoto aletwa mahakamani kutoa ushahidi mtoto aliyechomwa mkono na hatimae kukatwa mkono wake wa kushoto aletwa mahakamani kutoa ushahidi mtoto aneth katikati na mama yake kulia wakiingia eneo la mahakamani leo wilvina mkandala anaetuhumiwa kwa kumuunguza na kusababisha kukatwa kwa mkono wa mtoto aneth akiingizwa mahakamani huku akiwa hataki kabisa kupigwa picha wakazi wengi wa jiji la mbeya na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kuja sikiliza kesi hiyo mtoto aneth akisalimiana na mama aliyemuhudumia hospitalini kabla ya mama yake mzazi kuja toka bukoba mama aneth akiondoka na mwanae mara baada ya hakimu kumuona mtoto huyo na kupata maelezo mafupi toka kwa mtoto aneth ambae alishindwa kabisa kuongea mara tu alipo muona shangazi yake huyo aliyemchoma moto akiingia katika chumba cha mahakama kesi hiyo imeairishwa mpaka tarehe 6/12 / 2012 mtoto aneth mara tu baada ya kutoka katika chumba cha mahakama akisubiri kurudishwa katika hospitali ya rufaa kuendelea na matibabu huku akina mama wakiwa na jazba ya kutaka hakimu awaachie kidogo japo kwa dakika tano wamfunze adabu mtuhumiwa huyo kwani wanadai amewadhalilisha sana kwa kitendo hicho cha kumtesa mtoto aneth wanahasira hao yaani kazi ipo (picha na j mwaisango) posted by ally kingo at 912 am
2018-03-22T06:02:07
http://kingotanzania.blogspot.com/2012/11/mtoto-aliyechomwa-mkono-na-hatimae.html
chadema mwanza inahesabu siku za uhai wake trust me | jamiiforums | the home of great thinkers chadema mwanza inahesabu siku za uhai wake trust me discussion in 'jukwaa la siasa' started by security guard aug 30 2012 mfadhili mkuu wa chadema sengerema ahamia ccm mlezi na mfadhili mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) jimbo la sengerema mkoani mwanza bw alex manji ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga chama cha mapinduzi (ccm) bw manji ambaye hivi karibuni alitangaza kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya chadema katika uchaguzi mkuu ujao alifikia uamuzi huo kwenye mkutano mkuu wa uchaguzi jumuiya ya wazazi wa ccm wilayani hapa uliofanyia jana alisema hajashawishiwa na mtu kukihama chama hicho bali amebaini kuwa kuendelea kukaa huko ni sawa na kupoteza muda wake kwani ccm ndio chama kilichomlea tangu utoto wake “nimeamua kurudi nyumbani ccm kwa hiari yangu nitakuwa bega kwa bega na wanachama wote kuhakikisha tunaisambaratisha chadema hapa sengerema “ninaijua vizuri chadema kwa sababu nimekuwa mdhamini wao mkuu katika jimbo hili’’ alisema bw manji ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa chama hicho kata ya nyampulukano katika mkutano huo bw manji alipewa kadi yenye namba 0136371 iliyotolewa novemba 52010 na mgeni rasmi kamanda wa vijana wa ccm wilayani hapa bw william ngeleja ambaye alisema uamuzi aliochukua ni wa busara na unastahili kupongezwa akizungumzia uchaguzi huo mbunge wa jimbo hilo bw william ngeleja aliwataka wajumbe wa mkutano huo kuchagua viongozi ambao watasaidia kuimarisha chama katika uchaguzi mkuu ujao “ndugu wajumbe naomba tuwe makini tunapochagua viongozi ambao watakuwa msingi imara wa chama chetu huko tunakokwenda ili tuendelee kuwatumikia wananchi” alisema kwa upande wake mwenyekiti wa ccm wilayani humo bw jaji tasinga aliwataka wajumbe wa mkutano huo wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao kwenye tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzichadema haimtegemei mtu mmoja kwa upande wake mwenyekiti wa ccm wilayani humo bw jaji tasinga aliwataka wajumbe wa mkutano huo wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao kwenye tume ya kukusanya maoni ya katiba mpyaclick to expand chadema ipo imara hata kama akiondoka wilbroad slaakwanza huyu mwenyewe alikua amekaa kwenye ncha ya msumari maana hata jina lake hastahili kuwa chadema et manjifisadi wapi na wapi na chademaalihama shitambala itakua manji na pia kumbuka chadema haihitaji kuwa hata na wanachama ila wakati wa uchaguzi ndo utaijua kama inakubalika au haikubaliki uliza igunga chezea m4c wewe kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzichadema haimtegemei mtu mmojaclick to expand kweli kabisa inategemea koo tofauti kama akina mbowe mtei ndesamburo lema malizia jina lake tu utata alex halafu ubini uwe manji fulu maigizo kweli kabisa inategemea koo tofauti kama akina mbowe mtei ndesamburo lema maliziaclick to expand arfi safari marando mbilinyi wenje msigwa zitto nk hivi nyie watu wa nepi ni lazima mlete uharo hapa ili mjihakikishie posho zenu kweli ufisadi hauwezi kuisha chini ya magambaz arfi safari marando mbilinyi wenje msigwa zitto nk hivi nyie watu wa nepi ni lazima mlete uharo hapa ili mjihakikishie posho zenu kweli ufisadi hauwezi kuisha chini ya magambazclick to expand mbona mzee wa mipasho umemsahau chadema ipo imara hata kama akiondoka wilbroad slaakwanza huyu mwenyewe alikua amekaa kwenye ncha ya msumari maana hata jina lake hastahili kuwa chadema et manjifisadi wapi na wapi na chademaalihama shitambala itakua manji na pia kumbuka chadema haihitaji kuwa hata na wanachama ila wakati wa uchaguzi ndo utaijua kama inakubalika au haikubaliki uliza igunga chezea m4c weweclick to expand mkuu umenena vema sana mangamba akili zao ni fupi sana wakati chadema inajegwa kwa moyo ya collective mass (umma) ccm inajengwa individuals (mfadhili) fulani fulani matokei yake wanabaki kuwatukuza naamini huyo manji alikuwa anakitu anavizia chadema sasa hajakipita na huenda amehaidiwa huko alikokimbilia sababu nyingine eti chama kilichomlea ngoja akafie huko mbona mzee wa mipasho umemsahauclick to expand ah yes mzee wa mipasho js wote hao niliotaja imethibitishwa wanatoka mkoa wa kili magambaz mnachekesha kweli you are sinking fast bora aondoke alikuwa anafikiri cdm wanalea mafisadi alikuwa anamiliki mafuso akafikiri cdm watakuwa wanayakodi kubebea watu kama ilivyo ccm kumbe watu wanaenda kwenye mikutano wenyewe amerudi ccm ili awakodishie aliula wa chuya cdm nyie wapuuzi kweli ivi ati manji wa uko sengerema ndo mfadhili wa cdm awa mapandikizi tu frm ccm wameshindwa kufit cdm usicheze na m4c mfadhili wa cdm ni wananchi na c uyo manj wenu afterall ana kura moja tu wakat tnavuna mamia ya wanaccm kuingia cdm kila kukicha kwa taarifa yako mtu anayehama cdm kurudi ccm hana jipya kwa watz mtu akitoka cdm akaenda tlp au cuf tutamfikiria ah yes mzee wa mipasho js wote hao niliotaja imethibitishwa wanatoka mkoa wa kili magambaz mnachekesha kweli you are sinking fastclick to expand js ndio nani josephine slaa kwa taarifa yako mtu anayehama cdm kurudi ccm hana jipya kwa watz mtu akitoka cdm akaenda tlp au cuf tutamfikiriaclick to expand oil chafu mkuu bado haujawa na hoja hata yenye viashiria kua cdm itayumba mwanzakwani huyo manji ndio kabeba wana cdm wote mwanzaangalia kauli na hata jina lake utajua kua ni mtu hasiye jitambuakauli kama ccm ndio imenilea na ilo jina lake eti alex manji utajua tu ni mtu mwenye iq ya aina ganicdm wanataka wawakilishi wa wananchi wawe smart kwa maana ya upeosasa huyo bwana manji ameshajua hatopitishwa na cdm 2015 kugombea ubunge ndio maana kaona bora arejee kwy ****** wenzake maana watamfikiria hakuna mwanasiasa aliyekuwa upinzani akarudi ccm akaendelea kuwa mwanasiasa sio oil chafu bali ni ecoli=kinyesi hakuna mwanasiasa aliyekuwa upinzani akarudi ccm akaendelea kuwa mwanasiasa click to expand kweli vipi kuhusu tyson lusinde malima na kitwanga sio oil chafu bali ni ecoli=kinyesiclick to expand sera za cdm jf tumezizoea
2016-10-21T20:25:54
http://www.jamiiforums.com/threads/chadema-mwanza-inahesabu-siku-za-uhai-wake-trust-me.315490/
the way you see the problem is the problem angalia bongo na anwani mpya angalia bongo na anwani mpya habari nilizopata toka kwa mmliki na muendeshaji wa mtandao wa angalia bongo ni kuwa blogu hiyo imehama anwani kidogo kwa sasa inapatikana kwa anwani ya http//angaliabongocom/binafsi nimefurahishwa na muonekano wake mpyainapendeza na kuvutiabofya hapa kumtembelea katika baraza lake jipya kama asemavyo yeye mwenyewe angalia bongo ni mahali pa kuwepohongera saana dada
2017-03-26T18:46:53
http://changamotoyetu.blogspot.com/2010/08/angalia-bongo-na-anwani-mpya.html
katika masoko ya digital mikakati ya seo nyingi hazizingatii vifaa ambazo wagenitumia ili kufikia tovuti biashara nyingi husahau haraka kuboresha tovuti zao kwa utendaji wa simu za mkononi wakati wa kutekelezamaendeleo ya tovuti uchunguzi wa hivi karibuni umeonyesha kwamba simu za mkononi zinasimamia desktops katika upasuaji wa mtandao kwa kiwango cha 4 aidhamengi ya trafiki ya injini ya utafutaji inakuja kutoka simu za mkononi sio za pc kama vile hapo awali
2017-12-12T10:13:24
http://comeoneverybody.org/semalt-expert-anafafanua-tofauti-kati-ya-seo-desktop-na-simu-ya-seo
watanzania wanazungumza kiswahili au viswahili| makala ~ mwalimu makoba commented)if(n_rc==true){documentwrite( on +b)}documentwrite( )if(jlength)documentwrite(j)documentwrite( watanzania wanazungumza kiswahili au viswahili| makala ni swali zuri lenye mifano halisi hata hivyo majibu yake hayapo katika upande mmoja hivyo basi watanzania tunazungumza viswahili na kiswahili kwa pamoja viswahili ni lugha inayotoka katika kiswahili ambayo ama hakika huwa ni kiswahili kilichokosewa makosa haya yaweza kuwa ya kukusudiwa kwa maana ya kupangwa na mzungumzaji au yanaweza kuwa kinyume chake kwa mfano mzungumzaji wa lugha anaposema mtaani hakukaliki mamwera wanatembea na tenga lao kila chocho lugha hii si kiswahili rasmi hivyo moja kwa moja inaingia katika viswahili kuhusu kiswahili hii ndiyo lugha ya taifa na lugha rasmi hivyo mazungumzo ya kiofisi na shuleni mara nyingi hutumia kiswahili kilichofasaha kwa kuongezea zaidi lugha itumikayo katika vyombo vya habari kama radio televisheni na magazeti huwa ni lugha rasmi hata hivyo si mara zote kwamba vyombo vya habari hutumia lugha rasmi kuna wakati makosa ya kupangwa na yale ya bahati mbaya huweza kutokea kuhusu viswahili zipo sababu nyingi zinazowafanya watu wazungumze viswahili badala ya kiswahili watu walioathiriwa na lugha mama hujikuta wakizungumza viswahili kwa mfano mnyakyusa anaposema hifi ni fiatu fyangu vijana wahuni katika vijiwe hutumia viswahili maneno kama 'mingo' 'manzi' 'shega' 'shwanga' 'shemela' nk sababu nyingine inayowafanya wazungumzaji wa lugha wazungumze viswahili ni kutokujua hasa maneno sahihi ya lugha hii wapo watu waliozaliwa katika maeneo ambayo kwa muda mwingi kiswahili kizungumzwacho huko huwa ni kile kilichojaa misimu ya eneo hilo watu kama hawa hudhani wanazungumza lugha sahihi kumbe sivyo viswahili vinashusha hadhi na heshima ya lugha ya kiswahili siku za hivi karibuni mitandao ya kijamii inasaidia kusambaa kwa viswahili hivyo kwa bahati mbaya sana hata vyombo vya habari navyo vinachangia katika uungaji mkono wa viswahili ni lazima sasa elimu ya kutosha itolewe juu ya faida na umuhimu wa uzungumzaji wa lugha sahihi
2020-05-31T11:35:50
https://www.mwalimumakoba.co.tz/2017/12/watanzania-wanazungumza-kiswahili-au.html
bengali mahishya masters engineering computers matrimony in uae find your perfect mahishya masters engineering computers bride / groom for marriage bengali mahishya masters engineering computers matrimony in uae b2579136
2020-01-21T05:28:01
https://profile.bengalimatrimony.com/united-arab-emirates-mahishya-masters-engineering-computers-matrimonial
makamu wa rais afungua kongamano la elimu waziri wa elimu ashiriki jumanne 07 novemba 2017 0439 viongozi wengine walioshiriki mkutano huo wa siku tatu ni pamoja na waziri wa elimusayansi na teknolojia profesa joyce ndalichako naibu katibu mkuu dktavemaria semakafu wakuu wa taasisi na wadau mbalimbali
2018-03-22T09:42:00
http://www.moe.go.tz/index.php/sw/component/k2/item/1422-makamu-wa-rais-afungua-kongamano-la-elimu-waziri-wa-elimu-ashiriki
■itatumia mapambano yake kutangaza vivutio vya kitalii vya tanzania■ kila bondia atakayegombea taji lake atavaa nembo zenye vivutio vya kitalii vya tanzania katika hali inayoashiria uzalendo wa hali ya juu shirikisho la ngumi la kimataifa bara la afrika mashariki ya kati na ghuba ya uajemi (ibf) litaanza kuvitangaza vivutio vya kitalii vya tanzania katika mapambano yake yote ya ngumi ili viweze kujulikana zaidi ulimwengumi katika program yake ya utalii wa michezo iliyowakilishwa na rais wa shirikisho hilo katika bara la afrika mashariki ya kati na ghuba ya uajemi mtanzania onesmo ngowi na kukubaliwa na mkutano mkuu wa 29 wa shirikisho la ngumi la kimataifa na chama cha ngumi cha marekani (ibf/usba) uliomalizika hivi punde jijini honolulu hawaii programu ya utalii ya michezo ya ibf imegawanyika katika sehemu tatu 1 utalii wa mikutano ya ibf2 utalii wa kupanda mlima kilimanjaro kila mwaka (ibf mount kilimanjaro climb expedition)3 utalii wa mapambano ya ngumi ni katika utalii wa mapambano ya ngumi ambako shirikisho hili limeamua kuvitangaza vivutio vya kitalii vya tanzania hii ni mara ya kwanza kwa taasisi ya michezo hapa nchini na katika bara la afrika kutumia mitandao yake kutangaza vivutio vya kitalii vya nchi ya afrika akitangaza nia ya ibf kuitangaza tanzania duniani kote rais wa shirikisho hilo katika bara la afrika mashariki ya kati na ghuba ya uajemi onesmo ngowi alisema kwamba ni muhimu sisi watanzania tuliopewa nafasi katika taasisi za kimataifa tukatambua kuwa nchi yetu inatakiwa kutangazwa kwa kuanzia kila bondia wa kitanzania atakayewakilisha nchi hii na taarifa yake kuandikwa taarifa hii itaanza na neo mtanzania halafu jina lake hii ni kuiweka nchi yetu mbele ya kila kitu na hii branding kama inavyojulikana katika ulimwengu wa masoko na promosheni za biashara katika mkakati huu mtanzania ngowi alisema kuwa kwa sasa kuna mapambano kadhaa mbayo mabondia wa kiafrika wanashiriki na watayatumia kutangaza vivutio cya kitanzania alisema kuwa bondia helen joseph wa nigeria anayeishi ghana atapambana na bondia dahianna santana wa nchi ya dominican repubic na helen ataitangaza tanzania mpambano huo utafanyika nchini katika jiji la santo domingo nchini dominican republic iliyoko katika eneo la karibian karibu na jamaica tarehe 12 august mwaka huu aidha mtanzania ramadhani shauri atapambana na bondia sande kizito wa uganda katika mpambano uliopewa jina la the rumble in the city (rurumai katika jiji) mpambano huo utafanyika siku ya idd pili katika ukumbi wa diamond jubilee jijini daressalaam naye mtanzania nasibu ramadhani atapimana ubavu na bondia twalib mubiru wa kenya kugombea mkanda wa ibf afrika ya mashariki na kati katika uzito mwepesi (lightweight) siku hiyo hiyo ya idd pili jijini daressalaamaidha mtanzania rajabu maoja anayeishi katika jiji la tanga atapimana ubavu na bondia gottlieb ndokosho bingwa wa ngumi nchini namibia kugombea mkanda wa ibf wa mabara katika uzito wa unyoya mapambamo huo uliopewa jina la the battle of the kalahari desert (vita vya jangwa la kalahari) utafanyika katika jiji la windhoek nchini namibia naye mtanzania allen kamote atapimana ubavu na bondia wilson masamba wa malawi katika mpambano wa kugombea mkanda wa ibf katika bara la afrika uzito mwepesi lightweight jijini arusha tarehe 27 octoba mwaka huu katika mpambano uliipewa jina la tanzanite title (ubingwa wa tanzanite) mpambano huo utafanyika katika jiji la arusha na utaandaliwa na bondia wa zamani wa taifa george andrew chini ya kampuni yake utawalaibf katika bara la afrika mashariki ya kati na ghuba ya uajemi
2013-05-24T23:54:32
http://michuzijr.blogspot.com/2012/07/utalii-wa-michezo-ibf-yakusudia.html