text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
nidhamu ya kukaribisha mwezi mtukufu | imamswadiq
← ziara ya sheikh hemedi jalala mombasa kwa shk abdillah nassir watch miraj bishara ya nguvu za uislamu on youtube → nidhamu ya kukaribisha mwezi mtukufu jul 9
grand sheikh and representative of ayatollah ali khamenei view all posts by sheikh jalala » posted on july 9 2013 in habari na matukio bookmark the permalink leave a comment ← ziara ya sheikh hemedi jalala mombasa kwa shk abdillah nassir watch miraj bishara ya nguvu za uislamu on youtube → leave a comment | 2017-07-28T02:49:04 | https://imamswadiq.com/2013/07/09/mahafali-ya-sherehe-za-eid-el-fitri-2013/ |
je yanga watatawazwa kuwa mabingwa bbc swahili
je yanga watatawazwa kuwa mabingwa
http//wwwbbccom/swahili/michezo/2015/04/150426_yanga_newking
image caption kikosi cha yanga
ligi kuu ya tanzania bara itaendelea mwazoni mwa juma hili (jumatatu) na swali pekee kwa wapenda kabumbu ni kwamba je yanga iliyonzishwa mwaka 1935 itatawazwa kuwa mabingwa wapya jibu litakuwa ndio endapo vijana hao wa jangwani watawafunga polisi morogoro katika mechi itakayochezwa uwanja wa taifa dar es salaam
yanga wawakilishi pekee katika ukanda wa afrika ya mashariki katika michuano ya vilabu barani afrika ambao watacheza na etoile du sahel ya tunisia mjini tunis katika mechi ya marudiano ya raundi ya 16 ya michuano hiyo wikiendi hii baada ya sare ya 11 jijini dar es salaam wana pointi 52 ambazo kimahesabu hazitaweza kufikiwa na timu yoyote wakati ligi hiyo ikielekea ukingoni mwezi ujao
baada ya mechi ya leo yanga ikiwa chini ya kocha mdachi ambaye hivi karibuni ameiweka timu hiyo katika wimbi kubwa la ushindi itabakiwa na mechi mbili tu mkononi na haina cha kupoteza hata ikifungwa kwani tayari imemuweka mwali kibindoni
hata kama mabingwa watetezi azam fc itafanikiwa kumaliza mechi zake zote za ligi haitaweza hata kwa miujiza kuifikia yanga ambayo haijashinda taji la ligi kuu kwa zaidi ya miaka 2 iliyopita
image caption azam wakisherehekea
azam waliokuwa wawakilishi wa kombe la washindi barani afrika (african champions league) baada ya kutolewa katika michuano hiyo na vigogo wa sudan elmerreikh wana pointi 45 katika mechi 23 na hata kama itashinda mechi zake tatu zilizobaki itakuwa imefikisha pointi 54 pointi moja nyuma ya yanga kama polisi watafungwa
kwa sasa vita ya nafasi ya pili ili kupata tiketi ya michuano ya kombe la wawakilishi barani afrika (confederation cup) ipo kati ya mabingwa watetezi azam na simba yenye pointi 41 ikiwa na mechi mbili mkononi
simba iliyonzishwa zaidi ya miaka 70 iliyopita ikiwa chini ya kocha mserbia goran kopunovic ina sali na kuomba du azote ili azam iweze kuteleza katika mechi zake zilizobaki ili irudi katika chati ya michuano ya kimataifa baada ya kuwa nje mwa miaka kadhaa
endapo yanga watafanikiwa kuchukua ubingwa wataiwakilisha tanzania katika michuano ijayo ya kombe la washindi barani afrika | 2017-12-11T14:27:32 | http://www.bbc.com/swahili/michezo/2015/04/150426_yanga_newking |
kitanda cha sebule nyepesi china manufacturers & suppliers & factory
kitanda cha sebule nyepesi mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa kitanda cha sebule nyepesi)
kitanda cha sebule nyepesi kitanda cha sebule nyepesi kitanda cha beak nyeupe kiti cha sebule ya leather kitanda cha double kitanda cha sura nyepesi ya mango ya bluu kitambaa cha suruali ya grey nyepesi kitanda cha nyumbani | 2020-07-07T11:53:51 | https://sw.taihuafurniture.com/dp-kitanda-cha-sebule-nyepesi.html |
hii ndio simba ya kimataifa habari za michezo swahilihubcom
hii ndio simba ya kimataifa
emmanuel okwi ambaye ni mzawa wa uganda huchezea klabu ya simba nchini tanzania picha/maktaba
imepakiwa tuesday february 13 2018 at 0645
timu ya simba imepeleka makali ya ligi kuu tanzania bara katika mashindano ya kimataifa
simba imecheza kwa kiwango bora katika mashindano ya ligi kuu tangu kuanza msimu huu sasa imepania kushiriki kufanya kweli kimataifa baada ya kushindwa kutamba kwa miaka mitano
wachezaji wa timu hiyo wameonyesha nia ya kutaka mafanikio msimu huu baada ya kuiweka simba kileleni kwa pointi 41 katika msimamo wa ligi kuu
simba jumapili ilipata ushindi mnono wa mabao 40 dhidi ya gendermarie ya djibout katika mchezo wa kombe la shirikisho afrika
mashabiki wa simba walitoka uwanja wa taifa dar es salaam roho kwatu baada ya simba kucheza kwa kiwango bora mchezo huo
muungano mzuri wa safu ya ushambuliaji wa nahodha john bocco na emmanuel okwi ulinogeshwa na viungo said ndemla na jonas mkude waliokuwa na kazi moja ya kupenyeza mipira mbele
okwi licha ya kufunga bao katika mchezo huo alikosa idadi kubwa ya mabao licha ya kupata nafasi nzuri za kufunga
hata hivyo mchezo huo sio kipimo kwa simba katika mashindano ya kimataifa kwani gendermarie si timu bora ya ushindani
simba ina nafasi kubwa kupepetana na el masry ya misri katika mchezo wa raundi ya kwanza baada ya timu hiyo jana kuilaza green buffaloes ya zambia mabao 40
mchezo wa marudiano baina ya simba na gendermarie unatarajiwa kuchezwa februari 21
simba iliingia uwanjani ikionekana na lengo moja tu la kupata ushindi mnono ili uwaweke katika nafasi nzuri ya kufuzu hatua inayofuata ya mashindano hayo na hilo lilijidhihirisha na uamuzi wa benchi la ufundi kurudia mfumo wa 352 huku wakijaza idadi kubwa ya wachezaji ambao kiasili wamekuwa bora katika kushambulia
mpango huo wa simba ulionekana kutimia dakika ya kwanza ya mchezo baada ya kupata bao la kuongoza kupitia kwa said ndemla ambaye alipiga mkwaju wa faulo uliokwenda moja kwa moja nyavuni
faulo hiyo ilizawadia simba baada ya bocco kuangushwa na mmoja wa mabeki wa gendermarie
kuingia bao hilo ni kama kuliathiri mpango wa simba baada ya hapo kina bocco walikosa umakini na ubunifu kila waliposogelea lango la wapinzani wao hatua iliyochangia kupoteza idadi kubwa ya nafasi za mabao ambazo walitengeneza huku kila mmoja akionekana kutaka kufunga
iliwachukua takribani dakika 30 washambuliaji wa simba kukaa sawa hasa baada ya bocco kuifungia bao ka pili na kuanza kucheza kwa utulivu kabla ya mchezaji huyo kufunga tena dakika ya 45
hata hivyo tabia ya simba kujisahau kipindi cha pili nusura iwaponze baada ya wapinzani wao kupata penalti iliyotokana na makosa ya erasto nyoni aliyecheza faulo ndani ya eneo la hatari lakini hata hivyo mkwaju uliopigwa na hussein migane uliokokewa kwa ustadi na kipa aishi manula
baada ya gendermarie kupoteza penalti hiyo wachezaji wake walioneyesha uhai na kujaribu kupeleka mashambulizi langoni mwa simba ambayo ililazimika kufanya mabadiliko ya kuwatoa shiza kichuya na ndemla na kuingia muzamiru yassin na mwinyi kazimoto ili kuimarisha safu ya kiungo
wakati wengi wakiamini mechi hiyo ingemalizika kwa matokeo ya ushindi wa 30 okwi aliwainua vitini mashabiki wa simba dakika za majeruhi baada ya kumalizia kwa shuti kali la chinichini mpira wa faulo aliotengewa na kazimoto
tunashukuru mungu hatukuruhusu bao ushindi ni ushindi kwa sababu mabao manne sio machache alisema kocha msaidizi wa simba masoud djuma | 2018-05-26T06:33:36 | http://www.swahilihub.com/habari/HABARI-ZA-MICHEZO/hii-ndio-Simba-ya-kimataifa/1310206-4302402-lpady0z/index.html |
rais dkt magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha dkt tonia kandiero | mtaa kwa mtaa blog
habari msiba
hii ni kauli ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe magufuli aliyoitoa leo tarehe 29 juni 2017 ikulu jijini dar es salaam muda mfupi baada ya kupokea taarifa za kifo cha dkt tonia kandiero ambaye kabla ya kuteuliwa kushika wadhifa wa mkurugenzi mkuu wa afdb katika ofisi za kanda ya afrika kusini mwishoni mwa mwaka 2016 alikuwa mwakilishi wa afdb tanzania
nitamkumbuka dkt tonia kandiero kama mchapakazi hodari aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu nikiwa waziri wa ujenzi nimeshirikiana nae kwa karibu kufanikisha utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kwa nchi yetu ambayo imefadhiliwa na afdb ametoa mchango mkubwa kufanikisha ujenzi wa madaraja na barabara za dodoma iringa dodoma babati namtumbo tunduru mtambaswala arusha taveta voi na pia alitoa mchango mkubwa katika kufanikisha miradi mingine ambayo ipo mbioni kutekelezwa ikiwemo ujenzi wa barabara ya bagamoyo tanga mombasa mbinga mbambabay na tabora katavi
kufuatia kifo cha dkt tonia kandiero mhe rais magufuli amemtumia salamu za rambirambi rais wa afdb dkt akinwumi adesina familia ya dkt tonia kandiero wafanyakazi wote wa afdb ndugu jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu
dkt magufuli amemuombea marehemu dkt tonia kandiero apumzishwe mahali pema peponi amina
othman michuzi thursday june 29 2017
labels habari msiba | 2017-11-22T01:36:05 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/06/rais-dkt-magufuli-atuma-salamu-za.html |
tra yafafanua kuhusu msanii diamond kudaiwa kodi ya milioni 400 | tuangaze bongo
home » unlabelled » tra yafafanua kuhusu msanii diamond kudaiwa kodi ya milioni 400
tra yafafanua kuhusu msanii diamond kudaiwa kodi ya milioni 400
hayo ameyasema jana mei 13 2017 wakati akifafanua hoja mbalimbali kwa waandishi wa habari wanaoshiriki semina ya siku moja iliyoandaliwa na tra ili kutoa elimu ya ulipaji kodi kwa waaandishi na kufanyika kwenye ukumbi wa benki kuu ya tanzania (bot) jijini dar es salaam
hivyo mtu asiwe mnyonge anayo nafasi ya kukata rufaa tatu ndani ya tra na mbili nje ya tra ikiwa ni pamoja na mahakamani kwa hivyo watu wasiogope alisema
awali akifungua semina hiyo bw kayombo aliwaasa waandishi wa habari kujenga uzalendo kwa kuunga mkono juhudi za mamlaka ya mapato tanania tra katika kuelimisha umma umuhimu wa kulipa kodi ili kuiwezesha serikali kutoa huduma stahiki kwa wananchi
najua kihistoria linapokuja swala la kulipa kodi huwa kuna changamoto nyingi watu kuelewa swala hili lakini napenda niwaeleze ndugu zangu ili kuiwezesha serikali kutoa huduma stahiki kwa wananchi ni lazima watu walipe kodi hivyo waandishi wa habari mnao wajibu mkubwa kutumia taaluma yenu kuelimisha umma umuhimu wa kulipa kodialisema bw kayombo
bwana kayombo amesema tra kwa niaba ya serikali ya ndiyo chombo chenye mamlaka ya kukusanya kodi za serikali katika kutoka kwa watu binafsi makampuni na taasisi za umma | 2017-08-20T23:06:00 | http://www.tuangazebongo.com/2017/05/tra-yafafanua-kuhusu-msanii-diamond.html |
waliokufa ajali ya kondoa ni watatu majina haya | lukwangule entertainment
waliokufa ajali ya kondoa ni watatu majina haya
waliokufa katika ajali ya kondoa ni watatu na wengine 30 wamejeruhiwa
hao wamekufa kwenye gari walilokuwa wakisafiria kutoka msibani ambalo liligongana
na gari linalotengeneza barabara ya kondoamanyara katika eneo la humai
wilayani kondoa
mujibu wa taarifa zilizopatikana kutoka eneo la ajali watu hao walikuwa
wakitokea kwenye msiba wa ndugu yao aliyekuwa akiishi palanda wilayani chemba
zilisema kwamba ajali hiyo ilihusisha gari dogo la abiria aina ya toyota
coaster namba t567 bah lilokuwa likiendeshwa na eliab juma liligongana na gari
namba t269 azl aina ya isuzu mali ya kampuni ya wachina ya crg inayojenga
barabara hiyoisuzu hiyo ilikuwa ikiendeshw ana dereva aliyetambuliwa kwa jina
moja alfa
wa polisi mkoa wa dodoma lazaro mambosasa alisema ajali hiyo ilitokea majira
ya saa130 usiku wa kuamkia jana katika eneo hilo
mambosasa aliwataja waliofariki dunia kuwa ni wakazi wa moshi eneo la mabogini
hamida juma (35) abubakar athuman (54) na samira amir (32) nextnewer post | 2017-05-30T12:57:08 | http://lukwangule.blogspot.com/2016/08/waliokufa-ajali-ya-kondoa-ni-watatu.html |
mkatambuga waislamu wamelogwa na nani
waislamu wamelogwa na nani
vichwa visivyosikia nitavipiga marungu hiyo ni kauli ya shekh mkuu wa tanzania mufti issa bin shaban bin simba
aliitoa mwaka 2002 mara baada ya kuchaguliwa kushika wadhifa huo uchaguzi wa mufti ulifanyika kutokana na kifo cha marehemu hemed bin juma bin hemed
kwa hakika kinyanganyiro cha uchaguzi ule kilikuwa na ushindani mkali kati ya shekh mkuu wa sasa mutfi simba na shekh sulemani gorogosi
uchaguzi ulifanyika katika ukumbi wa chuo cha biashara (cbe) mjini dodoma bila shaka si wengi waliomuelewa na wala si wengi walioelewa kauli halisi ya mufti simba
wengi walikuwa gizani lakini sasa ikiwa ni takribani miaka mitano tangu shekh simba achaguliwe kushika nafasi hiyo wengi wameanza kumuelewa
kwamba kauli yake ya vichwa visivyosikia nitavipiga marungu iliwalenga wanaolivuruga baraza kuu la waislamu tanzania (bakwata)
wakati huo machoni mwa wengi bakwata ilionekana kama chombo kilichopotea njia asilimia kubwa ya waislamu walikuwa hawaikubali
wengi waliona baraza hilo kama chombo cha serikali na chama tawalaccm
baadhi yao walikuwa wanasema waziwazi kwamba bakwata imeingiliwa na serikali kipaumbele chake hakikujulikani machoni mwa waislamu wengi
maswali kama bakwata inakwenda wapi au baraza litafika kweli yalikuwa yakisikika kila kona
mapambano kadhaa yalianzishwa kuipinga bakwata na viongozi wake kilikuwa ni kipindi cha harakati na hatua za kuikataa bakwata zilifika mbali
wanaharakati kadhaa walihubiri ubaya wa baraza na kile lilichokiita ndoa yake na serikali hicho ndicho chanzo au kichocheo cha mauaji ya mwembechai
kulikuwa na hata madai kwamba baadhi ya waislamu walipanga mapinduzi dhidi ya uongozi wa baraza
mihadhara na makongamano vilifanyika usiku na mchana kila pembe ya nchi waislamu walisimama kulaani baraza na kuituhumu serikali kwamba inawalinda viongozi wake
misikiti kadhaa ilianzisha harakati kwa madai kwamba bakwata imeshindwa kuutetea uislamu na waislamu kwa ujumla
wanaharakati mbalimbali walichipuka wengine wakiwa na dhamira ya kweli na wengine wakiwa waganga njaa
baadhi yao wanafahamika hata kwa majina na matendo yao wote hawa walikuwa na madai yanayofanana kwamba bakwata imemezwa na serikali na imeshindwa kuutetea uislamu
hata hivyo watu makini waliyadharau madai hayo baada ya kuwapima watoa madai na matendo yao
wengi walijua tangu awali kwamba bakwata haikuingiliwa na serikali wala waumini wa dini nyingine imeingiliwa na waislamu wenyewe
ni wale waliokuwa wanaitumia bakwata kujinufaisha baadhi yao wangalipo hadi sasa lakini wengi wameondolewa
hakuna aliyejua au hata kufikiri kwamba mufti simba angeweza kuwangoa ndani ya bakwata baadhi ya viongozi walionekana kuwa kikwanzo kwa maendeleo ya uislamu
watu kama ali mubaraka aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri kuu ya bakwata mussa hemed naibu katibu mkuu dini abas kihemba na wengineo tayari walikuwa wameweka mizizi yao ndani ya baraza hilo
wapo waliondoka wenyewe baada ya kuona mambo yanakwenda kombo lakini wapo wengi pia ambao wameondoka kwa kungolewa na kimbuga cha mufti simba
kwa hakika shekh simba amekuwa simba kweli amejitahidi kurudisha hadhi na heshima ya baraza hilo mbele ya jamii amefanikiwa japo si kwa kiasi kikubwa kurudisha umoja na mshikamano miongoni mwa waislamu
tayari sasa baadhi ya waislamu wanalikubali baraza lao wengi sasa wanajua kwamba adui yao mkubwa si serikali wala madhehebu mengine bali waislamu wenzao
na hili linathibitika sasa wakati mgogoro unaofukuta kati ya mfanyabiashara yusuf manji anayemiliki kampuni ya quality group na baadhi ya waislamu wakiongozwa na mwanaharakati mahiri shekh khalifa khamisi
kiwanja kinachogombewa ni na 311/1 kilichopo kitalu t changombe dar es salaam
taarifa zinasema kiwanja hicho kilimilikishwa kwa kampuni ya quality group na baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wa bakwata ambao tayari mufti amewashughulikia
hadi sasa haijulikani ni kiasi gani wale wasaliti walilipwa kwa kazi hiyo
linalofahamika ni kwamba watendaji hao wakiongozwa na katibu mkuu wa bakwata abass kihemba walifukuzwa kazi kwa madai ya kukiuka maadili ya kazi yao
hicho ndicho chanzo au kichocheo cha harakati na malalamiko ya sasa yanayoongozwa na shekh khalifa khamisi
lakini kwamba aliyemilikishwa na waliomilikisha wote ni waislamu ni jambo linalodhihirisha kuwa bakwata na uislamu havivurugwi na serikali bali na waislamu wenyewe
bakwata ni moja ya taasisi ya kidini nchini iliyopata bahati ya kumiliki mali na vitegauchumi vikubwa
mwaka 1968 ilimilikishwa na serikali mali za iliyokuwa taasisi ya waislamu ya afrika mashariki (east afrika muslim)
bakwata ilirithi majumba pamoja na vitegauchumi mbalimbali kwa dhamira kuendeleza uislamu
bahati mbaya hayo hayakufanyika kila mmoja anafahamu kwamba kama bakwata ingetumia mali na rasilimali zake vizuri leo ingekuwa mbali kimaendeleo
kama raslimali zake zingetumika vizuri waislamu wangekuwa juu wangepata elimu bila kutegemea msaada mkubwa kutoka kwa serikali na hata malalamiko yanayoenezwa sasa kwamba serikali imewasahau waislamu yasingesikika
lakini bahati mbaya ni kwamba waliopewa dhamana ya kusimamia mali na rasilimali za waislamu ndiyo haohao waliogeuka na kuzitafuna
wakati madhehebu mengine yako katika mbio kali za maendeleo bado bakwata inatambaa
angalia madhehebu mengine yanamiliki hospitari za rufaa (bugandomwanza na kcmcmoshi) bakwata imeishia kumiliki zahanati
wakati madhehebu mengine yanamiliki vyuo vikuu kwa mfano chuo kikuu cha tumaini mkoani iringa na chuo kikuu cha mtakatifu augustine nyegezi mwanza bakwata imeishia kumiliki sekondari
kibaya zaidi hata hizo sekondari na shule za msingi ilizonazo zinakabiliwa na uhaba mkubwa wa walimu
nyingine hazina vitendea kazi vikiwamo vitabu vya ziada na kiada na nyingi zinaongoza kwa matokeo mabaya katika mitihani ya taifa
hata chuo kikuu pekee cha morogoro (muslim university of morogoro) ambacho kilianzishwa miaka miwili iliyopita kwa msaada wa serikali tayari kinayumba
chuo kinakabiliwa na uhaba mkubwa wa walimu na ucheleweshaji mishahara kwa wafanyakazi
hakina mitaala ya kutosha na wala hakina vitendea kazi vingine muhimu kwa kweli ni bora chuo na wala si chuo bora
yapo madai kwamba hata mandhari ya chuo kwa sasa hayavutii kama kilivyokuwa wakati kikiwa chini ya shirika la umeme tanesco | 2017-11-24T03:42:13 | http://saedkubenea.blogspot.com/2007/10/waislamu-wamelogwa-na-nani.html |
tff yaipongeza simba sc kwa kugonga 'nyundo 80' bin zubeiry sports online
tff yaipongeza simba sc kwa kugonga 'nyundo 80'
shirikisho la soka tanzania (tff) limeipongeza klabu ya simba ya dar es salaam kwa kufikisha umri wa miaka 80 tangu kuanzishwa kwake kama ambavyo inaelezwa na viongozi wa sasa wa klabu hiyo
kikosi cha simba kilichoifunga afc leopard 40 leo kwenye simba day
wito wetu ni kwamba uongozi na wanachama wa klabu ya simba kuendeleze utamaduni huo wa kuadhikmisha wiki hadi siku ya simba katika kuenzi historia ya klabu hiyo ambayo ina mchango wake mkubwa kwa soka la afrika mashariki na afrika kwa ujumla kila la kheri simba sports club
item reviewed tff yaipongeza simba sc kwa kugonga 'nyundo 80'
hatima ya kesi zilizofunguliwa na bodi ya wadhamini ya cuf na mbunge wake wa malindi ally salehe dhidi ya serikali na profesa ibrahim lipumba pamoja na we
nchimbi sitashangilia nikiwafunga mbeya city
akram msangi dar mshambuliaji mpya wa njombe mji ditram nchimbi ameweka wazi kuwa hatoshangilia atakapoifunga timu yake ya zamani ya mbeya city kutokana
let's get silly and serious though a few reasonable targets still populate the nba's freeagency pool most of the action is now behind us it's time
the 22yearold centre back has made 71 appearances for the blues since joining from st etienne in 2014 but suffered a serious knee injury in february 201
young reds in northern irish action
united will be involved in the supercupni with two agegroups set to participate
liberian legend george oppong weah says he's not ghanaian in any way
former world's best player george oppong weah has quashed reports that he hails from ghana the former ac milan ace was asked on starr chat if he has any g
costa told he could leave chelsea back in january conte
chelsea boss antonio conte says diego costa was told in january he was not part of the club's plans for the future
arsene wenger looks back on the emirates fa cup final win over chelsea and looks ahead to saturdays reunion
burkina faso hold lebanon to a draw
burkina faso played to a hardfought oneall draw against lebabon in a 2017 francophonie gamesgroup a match played at treichville sports palace in abid
the senate has vowed to bring to an end the crisis bedeviling the ladoke akintola university of technology (lautech) that led to the closure of the institu | 2017-07-21T14:54:25 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/08/tff-yaipongeza-simba-sc-kwa-kugonga.html |
chadema walaan dereva wa freeman mbowe kushikiliwa polisi | mpekuzi
chadema walaan dereva wa freeman mbowe kushikiliwa polisi
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimelalamikia hatua ya polisi kanda maalum ya dar es salaam kumshikilia kwa siku mbili mtumishi wao williard urassa
urassa ambaye ni dereva wa mwenyekiti wa chama hicho freeman mbowe alikamatwa jana nje ya chumba cha mahakama ya hakimu mkazi kisutu
taarifa iliyotolewa leo jumamosi novemba 24 2018 na mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa chadema tumaini makene imeeleza tangu urassa alipokamatwa na polisi jeshi hilo limekataa kumpatia dhamana huku likizuia mtu yeyote kuonana naye
makene amesema zuio hilo limewakumba hadi wanasheria waliofika kwa ajili ya kumpatia msaada wa kisheria
hali ambayo inaibua maswali mengi na sintofahamu kubwa kuhusu hali yake baada ya kukamatwa
tunalaani na kukemea vikali kitendo hicho cha jeshi la polisi ambacho ni mwendelezo wa tabia inayopaswa kuachwa mara moja ya jeshi hilo kujipatia mamlaka lisilokuwa nayo hasa kuwakamata na kuwashikilia chini ya ulinzi kinyume cha sheriaimeeleza taarifa hiyo
taarifa hiyo imesisitiza ni vyema jeshi hilo likatambua kuwa halina mamlaka ya kumshikilia mtu yeyote kwa namna hiyo
kulingana na taarifa hiyo chadema imelitaka jeshi la polisi kueleza sababu za kumshikilia dereva huyo | 2018-12-19T15:28:13 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/11/chadema-walaan-dereva-wa-freeman-mbowe.html |
mazungumzo ya mawaziri baina ya tanzania zanzibar na djibout zanzinews home
mazungumzo ya mawaziri baina ya tanzania zanzibar na djibout
waziri wa ujenziusafirishaji na mawasiliano mhebalozi ali abeid karume (kushoto) na waziri wa afya mhe mahmoud thabit kombo walipokuwakatika kikao cha pamoja na mawaziri wa serikali ya djiboutiambapo walizungumzia zaidi ushirikiano katika nyanja za kiuchumi walipokuwa katika ziara ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein(hayupo pichani)
mawaziri wa serikali ya djibouti wakizungumza na mawaziri wa serikali ya mapinduzi zanzibar (hawapo pichani) walipokutana katika kujadili mambo mbali mbali masuala ya ushirikiano wa kiuchumi baina pande mbili hizo ikiwemo tanzaniz na djbouti katika ziara ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein(hayupo pichani
mawaziri wa serikali ya mapinduzi zanzibar wakizungumza na mawaziri wa serikali ya djibouti (hawapo pichani) walipokutana katika kujadili mambo mbali mbali masuala ya ushirikiano wa kiuchumi baina pande mbili hizo ikiwemo tanzania na djbouti katika ziara ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein(hayupo pichani) [picha na ikulu] | 2017-06-29T12:26:05 | http://www.zanzinews.com/2017/05/mazungumzo-ya-mawaziri-baina-ya.html |
sisi ni jamhuri ya wacheza michezo ya kompyuta sisi ni bora zaidi tunatoa uhandisi bora wa vifaa utendaji wa haraka zaidi mawazo ya ubunifu zaidi
katika jamhuri ya wacheza michezo ya kompyuta huruma ni kwa ajili ya wadhaifu na haki za kujisifia zinamaana kuliko kila kitu tunaamini katika kutoa taarifa na tunashinda kwenye ushindani ikiwa sifa yako inakidhi jiunge na klabu ya mabingwa ni wakati wa kufanya uwepo wako utambullike kwenye jamhuri ya wacheza michezo ya kompyuta
urithi wa rog unaendelea
wahandisi wa rog r & d pia ni wacheza michezo ya kompyuta mashuhuri tunaijua michezo ya kompyuta na daima tunajitahidi kutengeneza bidhaa ambazo wacheza michezo ya kompyuta wanazihitaji lengo letu kuwapa wacheza michezo ya kompyuta vifaa bora sana vya michezo ya kompyuta
agosti 2016kompyuta pakato ya kwanza duniani ya kuchezea michezo ya kompyuta g701 yenye paneli ya mwonekano mpana ya 120hz
septemba 2015kompyuta pakato ya kwanza duniani ya kuchezea michezo ya kompyuta inayopoozwa kwa maji gx700
julai 2014bidha mpya ya monita ya line swift pg series
juni 2014desktopu imara ya kucheza michezo ya kompyuta ya rog g20
june 2013motherboard mpya ya mini uxi maximus impact vi
april 2012bidhaa mpya ya xonar phoebus kadi ya sauti
julai 2011bidhaa mpya ya vulcan anc headset
juni 2011bidhaa mpya ya desktopu ya uchezaji wa michezo ya kompyuta ya cg8565
julai 2008bidhaa mpya ya matrix graphic card
disemba 2007
disemba 2007bidhaa mpya ya notebooks za michezo ya kompyuta za g1 / g2
disemba 2006
disemba 2006ilizindua commando cpu iliyovunja rekodi
julai 2006chapa ya rog ilianzishwa motherboard ya 1 ya uchezaji wa michezo ya kompyuta crosshair ilizinduliwa
chapa namba 1 ya uchezaji wa michezo ya kompyuta ulimwenguni
wanasema nini kuhusu rog
kompyuta pakato bora ya michezo ya kompyuta
kifaa hiki cha kucheza michezo ya kompyuta ni bora kuliko vyote uchezaji wenye nguvu unaopatikana kwenye kifaa hiki unatakiwa usiwe halali kisheria
uwezo mpya wa michezo ya kompyuta wa asus ni kila kitu unachoweza kukitaka kwenye kompyuta pakato ya michezo ya kompyuta yenye ukubwa wa ziada ina nguvu sana imeundwa vizuri na imejengwa kwa teknolojia ya hivi karibuni na kubwa zaidi ya picha
kitu kingine kidogo kuhusu mashine hiyo ni ubora wa hali ya juu wa kibodi thabiti spika za sauti kubwa skrini inayoonyesha picha za ubora kamili wa hali ya juu za michezo ya kompyuta
asus imejikita kwenye faida hii hata zaidi kwa ajili ya kutoa notebook yenye nguvu zaidi joto liko chini kwenye mazingira yake ya nje na siyo cpu au gpu itakayopata shida wakati wa michezo ya kompyuta
kifaa cha moto
sifa za kompyuta pakato korofi ya asus rog gx700 ya kuchezea michezo ya kompyuta inayopoozwa kwa maji zitafanya desktopu nyingi zibaki nyuma
mabingwa bora wakiwa na 40 ya soko
katika nusu ya kwanza ya mwaka 2016 kompyuta pakato za asus za kuchezea michezo ya kompyuta zikiwa na matoleo ya graphics za nvidia geforce gtx zilishikilia sehemu ya soko ya 40 kulingana na takwimu za mauzo ya kimataifa hii ni kutokana na takwimu zilizoandaliwa na kampuni huru ya utafiti wa soko ya gfk group takwimu hizo zinaendelea kukua na hii inadhibitisha kuwa rog inatawala kwenye tasnia ya michezo ya kompyuta lakini usichukue neno letu kwa ajili yake hikindicho vyombo vya habari na wachezaji wa kiwango cha juu duniani wa michezo ya kompyuta wanachosema kuhusu rog
rog imeshinda
tuzo6726
ulimwenguni kote tangu 2006
na mengine mengi
majaribio yaliyokithiri
notebooks zote za rog zimepitia mfulilizo wa majaribio ya uwezo wa kudumu ili kuhakikisha uimara na utegemevu wake zilijaribiwa kwenye mazingira na hali ngumu ili kuhakikisha daima zinakidhi viwango vya juu vinavyotarajiwa kwenye rog
jaribio la overclocking
overclocking huweka changamoto nyingi kwenye sehemu za mfumo wa kompyuta mara nyingi husababisha ipate moto zaidi kompyuta pakato na desktopu za asus rog huwekwa kwenye majaribio mengi ya joto kwa kutumia boksi maalumu la joto ili kuhakikisha zinakidhi matarajio na viwango vya juu vinavyotakiwa na asus
jaribio la mgandamizo
paneli za ubora wa hali ya juu ni lazima ziweze kuhimili eneo dogo kama masanduku ya nguo bila kuharibika jaribio la mgandamizo wa paneli huhakikisha asus rog notebooks zinatumia paneli bora pekee
jaribio la mtetemo
kusafiri kwenye barabara mbaya baadhi ya kompyuta zinaweza kuanza kusambaratika lakini siyo notebook zetu za asus rog jaribio kali la mtikisiko huhakikisha kuwa sehemu zinabaki mahali pake na utendaji unabaki ule ule hata kama kila kitu kimeanza kutikisika
jaribio la kusokota
jaribio la kuzungusha hukagua ukunjikaji wa kiunzi kunyakua notebook kwa mkono mmoja hakuna tatizo jaribio hili hupima uvumilivu wa nguvu ya kusokotwa ili kukupa uvumilivu unapotumia notebook za asus rog
kutoka joto la chini hadi joto la juu tunapima kila hali ya uendeshaji ikiwa ni pamoja na unyevu kwa ajili ya matokeo sahihi hivyo notebook za asus rog zinaweza kufanya kazi kwenye kila hali ya joto inayowezekana
jaribio la kibodi
jisifu kwa ujasiri kutokana na majaribio yaliyokithiri ya kudumu kwa kibodi ambapo roboti maalumu hubonyeza kila kitufe ili kuona mrejesho wake na uwezo wa kudumu hata kwenye uingizaji wa kikorofi wa data unaoweza kutokea
jaribio la kelele
jaribio la kelele ya mkwaruzo hukagua feni yenye sauti kubwa hazina data au hata nguvu inayosababishwa na mngurumo kurekebisha vitu hivyo ili kutengeneza notebok za rog ambazo ziko kimya kiunzi chote hupitia marekebisho ya sauti ili kutoa sauti bora kadri iwezekanavyo
jaribio la kudondoka
ubora wa asus unamaanisha kwamba notebook za rog zinaweza kuhimili kudondoka bila kusababisha uharibifu wowote wa vifaa vya ndani au muundo wa nje zaidi ya kiwango cha wastani cha kuhimili kuanguka cha tasnia husika
jaribio la uongezaji kasi
jaribio la halt linamaanisha highly accelerated life test (jaribio la maisha lililoongezwa kasi) na huhusisha kuzipitisha notebook kwenye matatizo kadhaa kwenye maisha yake ikihusisha uchambuzi wa hali ya juu wa kihandisi
jaribio la mkwaruzo
jaribio la kuhimili mkwaruzo huiweka notebook ya asus rog kwenye mkwaruzo wa nje kudhibitisha kuwa rangi na vifaa vyake vya nje vinabaki katika hali nzuri hata baada ya matumizi makubwa na ya kiharibifu
jaribio la mshtuko
jaribio la mshituko hutengeneza tukio au tatizo linaloweza kutokea wakati wa usafirishaji kwenye asus wahandisi wetu wanahakikisha kuwa notebook za asus rog zinastahimili hili bila tatizo la utendaji
jaribio la kiwango cha juu la bawaba
bawaba za kifuniko cha notebook ni sehemu dhaifu hutumia malighafi rahisi na huvunjika jaribio la bawaba la kiwango cha juu hutekeleza maelfu ya ufunguaji na ufungaji wa bawaba hizo kuhakikisha zinadumu kwa muda mrefu
jaribio la tundu
jaribio la tundu huhakikisha kuwa viungio na plagi zote zinamudu unganishwaji na utenganishwaji wa mara kwa mara wa aina mbalimbali bila kupoteza ubora wake
imeundwa na wacheza michezo ya kompyuta mahiri
inapendekezwa sana na wacheza michezo ya kompyuta mahiri
tunafanya kazi pamoja na wacheza michezo ya kompyuta mahiri ulimwenguni tunapojenga kifaa kipya tunatumia maoni yao ili kutusaidia kujenga jukwaa kamili na zana kwa wacheza michezo ya kompyuta kila mahali
jamhuri ya wacheza michezo ya kompyuta ina aina mbalimbali za bidhaa bora ambazo zimeundwa kwa kumzingatia mcheza michezo ya kompyuta wacheza michezo ya kompyuta kama mimi mwenyewe pamoja na mashindano ya kitaalamu ya esports hutumia rog kwa sababu vifaa vyao vinakidhi ya vinaaminika na vya kimaridadi
© manuel grubby schenkhuizen bingwa wa dunia mara sita kwenye warcraft iii
rog x ahq ni wakati wa kushinda esports
rog kifaa bora duniani cha michezo ya kompyuta
utendaji wa ajabu wa rog kwenye michezo ya kompyuta hutupa faida kwenye cs go
rog kama silaha zetu za michezo ya kompyuta tunafaidi mwanzoni kabisa
tunapocheza dota2 rog ni kama shujaa inatufanya kuwa tusiozuilika
notebook ya rog ni chaguo bora sana kwa ajili ya kampuni yetu wakati wa mashindano inatusaidia kufanya mazoezi kabla ya kwenda kucheza mashindano
ikiwa unazungumzia kompyuta ya kucheza michezo ya kompyuta kwa ajili ya kucheza cs go na michezo mingine ya kiwango cha juu unapaswa kujaribu rog strix gl502vt ndiyo kila kitu
rog sogeza mipaka yako
asus rog army tuko tayari kuwa namba 1
mshirika rasmi wa michezo ya kompyuta
mashindano ya esports ya juu ulimwenguni
kwa miaka mingi rog imeshinda tuzo nyingi ikiwa ni pamoja na tuzo kutoka tech advisor na pc world pamoja na if design na ces innovation pia tumepokea maoni kutoka kwa hardware pros na media alike
lakini rog ni zaidi ya kifaa pekee timu ya rog ina jukumu kubwa katika jumuiya ya michezo ya kompyuta kupitia ushirikiano rasmi wa matukio kama vile pax blizzcon the international majors na dreamhack tunatambulika duniani kote kama kiongozi katika michezo ya kompyuta na overclocking
tunashukuru kwa mrejesho tunaoupata kutoka kwa wacheza michezo ya kompyuta kama wewe na kutoka kwa wataalamu wa michezo ya kompyuta tunaendelea kutekeleza na kuendeleza uzoefu zaidi wa michezo ya kompyuta
kategoria ya bidhaa ya rog
kompyuta imara ya kucheza michezo ya kompyuta kwa kila mcheza michezo ya kompyuta
uvumbuzi uliopitiliza
matoleo ya kompyuta pakato za rog gx za kuchezea michezo ya kompyuta yameundwa kwa teknolojia ya kisasa na uvumbuzi unaokidhi michezo hiyo ili kumlenga mcheza michezo ya kompyuta anayelenga vifaa
utendaji mkubwa
matoleo ya kompyuta za kuchezea michezo ya kompyuta ya rog g ni jukwaa la michezo ya kompyuta linalohusisha utendaji mkubwa na muundo unaobadilika kila mara wa rog wanalenga uwiano mzuri wa nguvu na uzuri
matoleo ya rog strix gl yanatoa utendaji wa hali ya juu wa rog teknolojia ya ubunifu na ubora unaoongoza lakini kwa seti ya vipengele vya kipekee matoleo haya ya kipekee ya kushangaza huwapa wacheza michezo ya kompyuta kasi ya kipekee na uwezo wa kujongea kwa kasi na huwapa nguvu kubwa ya kutawala mchezo wao
silaha yenye nguvu ya kucheza michezo ya kompyuta
vipengele vya juu vya michezo ya kompyuta kwa ajili ya wacheza michezo ya kompyuta mahiri
mpangilio wa rangi
armor titanium na
teknolojia ya
matoleo ya gtx 10
vr tayari
na amplifaya
wizadi ya sauti ya
4k uhd halisi +
uangavu mkubwa
paneli ya 120hz
paneli ambayo haina
mng'ao mkali
jedwali la sifa za bidhaa
udhamini wa kimataifa ya asus
asus haihusishi marekebisho na ubadilishaji wa vifaa kwenye muda wa udhamini wa kimataifa wa kompyuta za notebooks udhamini wa kimataifa wa asus unahakikisha kuwa umelindwa hata ikiwa unaishi nje ya nchi kupitia vituo vyetu vya huduma vilivyoanzishwa katika nchi 55 hii ni ahadi ya asus kutoa uridhishaji wa mteja wenye ubora kwako popote ulipo kwenye ulimwengu huu
* masharti yanaweza kutofautiana baina ya nchi moja na nyingine
jamuhuri ya
+6626798367 ~ 70
nje112
(kijerumani / kifaransa)
(kiitaliano) | 2019-03-25T09:10:24 | https://www.asus.com/ea-sw/Laptops/ROG-GL753VD/About-ROG |
michelle obama awakataza watoto wake kujichanganya na kina beyonce | jamiiforums | the home of great thinkers
michelle obama awakataza watoto wake kujichanganya na kina beyonce
discussion in 'international forum' started by pdidy feb 1 2009
michelle obama awakataza watoto wake kujichanganya na kina beyonce malia na sasha wakiwa na mama yao michelle sunday february 01 2009 700 am
mke wa rais wa marekani michelle obama amewakataza watoto wake kujichanganya na 'masupastaa' wa marekani katika njia ya kuwafanya watoto wake waishi maisha ya kawaida mara ya mwisho watoto hao kujichanganya na masupastaa wa marekani ilikuwa wakati wa sherehe za kuapishwa kwa baba yao kuwa rais wa kwanza mweusi wa marekani mwezi uliopita
malia mwenye umri wa miaka 10 na sasha mwenye umri wa miaka 7 walijivinjari na nyota kadhaa wa muziki na sinema wakati wa sherehe hizo watoto hao sasa hawatakutana na alist wa marekani kama kina beyonce ambaye walitumia muda mwingi naye wakati wa kampeni watu wa karibu wa familia hiyo waliliambia us weekly kwamba mke wa obama alikuwa anataka kuwafanya watoto wake waishi maisha ya kawaida baada ya kuanza maisha mapya washington
baada ya kuhamia washington kutoka chicago michelle obama anafanya jitihada za kuwafanya watoto wake waendelee na masomo yao vizuri katika mazingira mapya
michelle anatumia muda mwingi kuzungumza na binti zake kuhusiana na shule yao mpya na marafiki zao wapya katika shule hiyo alisema rafiki mwingine wa familia hiyo
us weekly lilisema kuwa michelle hana mpango wa kukodisha mtu wa kuwaangalia binti zake kwa kuwa bibi yao marian robinson 71 ameishahamia ikulu kusaidia kuwaangalia wajukuu zake
nafikiri ni uamuzi mzuri lakini hatakiwi kuwabana sana eti kuwalazimisha waishi maisha ya kawaida that should come naturally kadiri wao (mr & mrs obama) watakavyo ishi maisha yao mapya
ni vizuri sana kufanya hivyo japo maisha yao hayawezi kuwa ya kawaida moja kwa moja ila wataishi maisha ambayo si ya makuu wajione kuwa ni watoto kama watoto wengine only tu kuwa baba yao amekuwa rais wa marekani na ni rais wa wamarekani wote na si wachache wao wa matawi ya juu hata mimi napenda sana watoto wangu kujichanganya na watoto wa clusters/strata mbalimbali ila tu wawapende na kuwaheshimu wenye uwezo mdogo kimaisha na hii huanza tangu watoto wakiwa wadogo unaweza kuwafunza hata kuwapa wototo wasio na uwezo nguo zao which have grown out of and toys pia birthday zao jaribu kualika hata watoto walio jirani uswahilini (hapa msiniambie dar hata kama ni kule masaki au msasani hakuna uswahili jirani) kuna familia mojo ilitia kiwingi kijana wao asioe binti kwa kuwa binti eti hajatoka familia tajiri (harusi ilikuwa delayed for 3 years) nilimpenda sana yule kijana aliweka msimamo wake na december 2008 alioa lile chaguo lake yote haya yanatokea tz katika familia zetu za mbezi beach michelle is doing fine ila kwa kutizama tu harakaharaka michele ni mama na si msanii katika malezi likewise to pres barack obama na marekani ili uwe rais kuna masuala mengi wanatizama na family matters is crucial wenye ujuzi zaidi watujuze hapa
nafikiri ni uamuzi mzuri lakini hatakiwi kuwabana sana eti kuwalazimisha waishi maisha ya kawaida that should come naturally kadiri wao (mr & mrs obama) watakavyo ishi maisha yao mapyaclick to expand
una maana gani na kuwabana sana na kwamba that should come naturally bila ya muelekezo mzuri natural ya marekani ni celebrity kwa celebrit na nafikiri hilo ndio mitchelle anajaribu kuliepuka
una maana gani na kuwabana sana na kwamba that should come naturally bila ya muelekezo mzuri natural ya marekani ni celebrity kwa celebrit na nafikiri hilo ndio mitchelle anajaribu kuliepukaclick to expand
kuhamia tu whitehouse status ya vijana hawa umeshabadilika kabisana hii huwezi tena kuiondoa in their remaining life washakuwa maarufuso asiwabane eti kwa mfano kama walikuwa wanaenda shule kwa pikipiki wakiwa illinois then na hapo white house watumie usafiri huo huo wakati kuna helcopter(mfano) etc
bora awakataze tu watoto miaka 7 na 10 watajichanganyaje na wadada walio kwenye twenty something hata kama kina beyonce wangekuwa watu wa kawaida tu bado hawapaswi kujichanganya na watoto wadogo unless kuna umuhimu
kuhamia tu whitehouse status ya vijana hawa umeshabadilika kabisana hii huwezi tena kuiondoa in their remaining life washakuwa maarufuso asiwabane eti kwa mfano kama walikuwa wanaenda shule kwa pikipiki wakiwa illinois then na hapo white house watumie usafiri huo huo wakati kuna helcopter(mfano) etcclick to expand
unajua tatizo si kuwa celebrity au vipi tatizo ni kufuata maadili mabaya ya baadhi yao kuwa mkubwa hakuna maana kuwa na haki na kudeserve kufanya mambo yasiyo na faida na nafikiri mitchelle analenga katika hili na sio kuwabana wasifanye kile kizuri kinachofanywa na watoto wa vwakubwa hebu angalia hao kina boyence na wengine matatizo wanayofanya katika jamii wao wakifanya yanaishia kwao binafsi lakini kama tendo litafanywa na mtoto wa kiongozi basi litamuharimu zaidi mzee hivyo mitchelle ana lemgo la kuona kuwa hadi hapo watakapokuwa wakubwa na kuwa res[ponsible kwa matendo yaoanawaongoza katika njia anayoihisi yeye itaweza kuwasaidia baadae na kwa sasa kuwawekea heshima wazee wao
age difference nayo ina matter sasa leo hii beyonce akahang out na watoto wa miaka 10 na 7 si mambo ya ajabu hayo | 2016-12-06T10:32:59 | http://www.jamiiforums.com/threads/michelle-obama-awakataza-watoto-wake-kujichanganya-na-kina-beyonce.23764/ |
orthodox christian initiative for africa yesu kristo ninyi ni nuru ya ulimwengu
picha hapa (pwani ya pembe)
orthodox metropolis ya zambia na malawi
matayo 51419
14 ninyi ni nuru ya ulimwengu mji uliojengwa kwenye mlima haufichiki 15 wala hakuna mtu anayewasha taa kisha akaifunika badala yake huiweka mahali pa juu ili itoe mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya nyumba 16 hali kadhalika nuru yenu iwaangazie watu ili waone matendo yenu mema wamtukuze baba yenu aliye mbin guni
mafundisho kuhusu sheria
17 msidhani kwamba nimekuja kufuta sheria ya musa na mafundisho ya manabii kwamba mpaka mbingu na dunia zitaka potoweka hakuna hata herufi moja ya sheria itakayopotea mpaka shabaha yake ikamilike 18 kwa hiyo ye yote atakayelegeza hata mojawapo ya amri ndogo kuliko amri zote na akawafundisha wengine kufanya hivyo ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni sikuja kuzifuta bali kuzitimiza 19 kwa maana ninawaambia hakika lakini atakayetii amri hizi na kuwafundisha wengine kuzitii a taitwa mkuu katika ufalme wa mbinguni
ετικέτες kanisa la orthodox orthodox malawi orthodox zambia swahili wakristo orthodox ya afrika yesu kristo | 2018-02-21T03:03:31 | http://grforafrica.blogspot.com/2017/07/yesu-kristo-ninyi-ni-nuru-ya-ulimwengu.html |
utabiri wa isaya
isaya 714 tazama bikira atachukuwa mimba atazaa mototo mwanamume naye atamwita jina lake imanueli wakristo upenda sana kutumia huu mstari kuonyesha kuwa nabii yesu alitabiriwa kwenye mstari huu lakini ni kitu cha kushangaza sana kwa kushindwa kuangalia mstakabri mzima wa huo mstari ulipo anzia mpaka kufikia aya ya 14
ukisoma kuanzia anza isaya 710 utagunduwa kuwa utabiri ulikuwa unamuhusu mfalme ahazi au isaya mwenyewe kuwa mkewe ndio atakaye zaa mtoto na ndio maana ukiendelea mbele mpaka kufikia isaya 96 utakutana na maneno haya
mstari huu umeandikwa kwa present past tense yaani tukio ambalo limekwisha tokea ila utokeaji wake si wa muda mrefu ndio maana ikaandikwa tumepewa mtoto mwanamume kuonyesha kuwa tendo limekwisha tendeka si kuwa litatendeka kwa wakati ujao
hapa nanukuu kitabu kimojawapo ambacho ni mwongozo kwa walimu wa theologia (teachers guides to religions education series) uliokubaliwa na wanatheologia wote (agreed sylabases)
kitabu hiki kinaitwa the rise of the prophets senior lessons volume six cha norman j bull ma champlain and lecturer in divinity saint lukes college
mfululizo wa miongozo hii imetayarishwa na the religious education press ltd wallington survey (1961) katika ukurasa wa 156 kikizungumzia imanuel
kinasema (b) immanuel it was isaiahs unwavering conviction that yahweh was with his people immanuel (god with us) if they would but put their whole trust in him the prophet offered a sign of this to the weak and wavering ahaz (see above) a young woman not a virgin was with child and would bear a son to be called immanuel before he was old enough to know good from evil israel and syria will have been destroyed this sign is given in a concrete historical situation (714 8810 cf rom 831) it is not visionary future possibility the young woman may well have been isaiahs own wife (ef 83) or even the wife ahaz from the point of view of isaiah there is no prophecy here of a virgin birth
hicho ndicho wanachofundishwa makadinali maaskofu mapadre nk kuwa huyo mwanamke hakuwa bikira (not a virgin) na tayari alikuwa na mtoto (was with child) na wala sio maria bali mke wa nabii isaya au mfalme ahazi na wanasisitiziwa kuwa hakuna utabiri wa uzazi wa mwanamke bikira hapo there is no prophecy here of a virgin birth
vilevile ukisoma biblia ya revised standard version (rsv) kuhusiana na isaiah 714 wao wamelitafasiri neno la kihebrania (עַלְמָה) 'almāh{almaw'} kuwa ni young woman mwanamke kijana au kwa kiswahili cha kawaida twaweza kusema msichana (kigori) na si kama wanavyotafasiri kwenye biblia zingine kuwa neno ilo lina maana ya virgin yaani bikra au bikira
neno bikira au bikra kwa kihibrania ni [בְּתוּלָה (bəṯūlāh)] limetumika mara 50 kwenye septuagint
hapa chini kuna tafasiri mbalimbali kutoka baadhi ya biblia
revised standard version (american rsv) therefore the lord himself will give you a sign behold a young woman[a] shall conceive and bear a son and shall call his name imman'uel
tafasiri nyingine
the jerusalem bible (koren publishing jbk) therefore the lord himself shall give you a sign a maiden is with child and she will bear a son and will call his name immanuel
waweza kupitia rejea kwenye link hizi kujisomea zaidi
http//wwwansweringchristianitycom/adeel_khan/isaiah_7htm
http//wwwmuslimdebateorg/polemics/christianity/128doesisaiah96callthemessiahgod
http//discoverthetruthcom/2013/06/25/isaiah96messiahgod/
mjinga huamini kila neno bali mwenye busara huangalia sana aendavyo (mithali 1415)
viungo za kiswahili (kiswahili link)
viungo za kiingereza (english link)
kwa nini uislamu
what does qur'an say about terrorism
propaganda against qur'an
ukristo ni nini
tofauti qur'an na biblia
when god runs away from his creation
kwa nini waislam wanasoma biblia
pedophilia and killing suckling infants
kwa nini tunasema biblia imechafuliwa
adam was innocent
mungu wa biblia na upagani
utapeli wa wachungaji makanisani
kisa cha bi diams
jibu letu
which versions bible are inspired by holy spirit
paulo au yesu
conflicting accounts of crucifixion
kutojijua
who are dogs & pigs
je yesu (as) ndiye nabii iysa (as)
who have no faith
kushamiri kwa ushoga na ukahaba
hakuna sabato
they'll emerge from their graves
uongo wa kupewa mabikira 72
yvonne ridley nilivyokuja kuipenda hijab
alfa na omega kuwepo kwa yesu kabla
jina la allah ndani ya biblia
why christian tell lie
biblia na mwenyezimungu
picha za mashetani makanisani
where is christin christianity
majini na iymani zetu
chapelof all saints in kutna czech
trinity utatu
why darwin was wrong
jinsia ya mwenyezimungu
amazing story of arch bishop
miungu ya kipagani
original sin part1of2
je msalaba siyo alama yaupagani
original sin part2of2
uunguwa bikira maria
yesu ndani ya quran wakristo hawalijuwi hili
hukumu ya pilato wa uyahudi
kwa nini nguruwe why pig
je unajua do you know
adhan and quran programs for computer and mobile phones
download qur'an recitation for mobile phones
science and usefully articles harun yahya
qur'an tukufu (tafasiri)
mawaidha (sikiliza mawaidha mbali mbali hapa)
mawaidha ya kiswahili alhidaaya
madrasatu nnur
alnoorcet
contradictions and comparative religions
kjv vs rsv
jicho pevu makri ya injili bishop dr victor kanyari
michael decero is from philadelphia pennsylvania he was born into a sicilian family in south philadelphia born a roman catholic christian
from the age of 1317 my life consisted of very few things women alcohol marijuana crime and money i quickly fell into a life of worldly pleasures and comforts i quit school in the 9th grade and got a full time job doing landscaping i moved out of my house at 15 years old to live with a friend of mine who i got in trouble with and we worked together and lived together i really don't remember a lot of my teenage years because i was always so intoxicated and high but then right when i would turn 17 something happened
biblia si kitabu kimoja bali ni mkusanyiko wa vitabu visivyo pungua 73 kwa mujibu wa madhehebu ya wakatoliki na kuna yenye vitabu 66 kwa mujibu wa madhehebu ya waprotestanti na kuna ile yenye vitabu 81 kwa madhehebu ya kanisa la kiethiopia vitabu hivyo viliandikwa na waandishi wasiopungua 40 tofauti na quran yenyewe ni kitabu kimoja kilichotoka kwa mwenyezi mungu mmoja na aya zake zote ziliandikwa mara tu baada ya kushuka
biblia ni kitabu chenye mchanganyiko wa maneno ya mwenyezi mungu ya mitume na maoni ya wanahistoria quran ni neno la mwenyezi mungu tu peke yake hata maneno ya muhammad (saw) hayamo katika quran
katika agano la kale na jipya yapo maelezo juu ya historia ya maisha ya mitume mbalimbali kumbukumbu la torati (na si torati yenyewe) siyo tu ni ujumbe wa mwenyezi mungu bali pia historia ya maisha ya nabii mussa (as)
injili ya mathayo luka marko na yohana zinaelezea historia ya yesu kama ilivyosimauliwa na wafuasi wake
quran si historia ya muhammad (saw) kama ilivyosimuliwa na maswahaba zake quran inataja habari za mitume waliopita ili kutoa mafundisho kwa watu lakini sio kama sira (biography) za mitume hao
biblia inavyo vitabu kadhaa ambavyo viliandikwa miaka mingi sana baada ya kutawafu mitume hao ndio maana wanazuoni wa kikristo hupata matatizo sana katika uchambuzi wa maandiko hayo kwani hushindwa kumjua nani mwandishi na aliandika hayo lini kwa mfano katika biblia iliyotolewa na collins iitwayo revised standard version ya 1971 uk 1217 imeandikwa kuwa mwandishi wa samweli hajulikani pia hajulikani mwandishi wa kitabu cha 2samweli 1wafalme 2wafalme 1mambo ya nyakati esta ayubu yona na habakuki
halikadhalika mpaka leo kuna wasi wasi kama kitabu cha waebrania kiliandikwa na paulo au na mtu mwingine encyclopaedia britanica inakiri kuwa mpaka hivi sasa hakuna uhakika jinsi gani au ni wapi vitabu vinne vya injili vilipatikana
kinyume chake quran yote iliandikwa wakati wa uhai wa muhammad na kuhifadhiwa na mamia ya watu
injili nne zilizomo katika agano jipya siyo injili zote zilizoandikwa zilikuwapo injili nyingine nyingi ila kwa amri ya mfalme constantine ilifanyika sinodi (mkutano wa wawakilishi wa makanisa) mwaka 325 ili kuamua injili zipi zichukuliwe na zipi zikataliwe
injili kadhaa zilikataliwa kama vile injili ya barnabas injili ya marcion injili ya basilides injili ya maryam injili ya yuda injili ya philipo injili ya wahebrania injili ya nazareti injili ya bartholomew na nyingine nyngi (fungua hapa kuona zaidi) na katika historia ya kanisa viko vitabu vilivyokubaliwa na baadaye kukataliwa na kinyume chake ni binadamu waliokuja baadaye ndio waliokuwa na uwezo wa kuamua lipi liwe neno la mungu na lipi lisiwe
katika uislamu hakukuwa na ijitimai yoyote iliyokaa kuamua sura ipi iwe quran na ipi isiwe older posts
kwa nini tunasema biblia imechafuliwa
kabla sijaingia kwenyemaudhui ya walaka huu naomba kwanza tuziangalie aya hizi hapa chini kisha ndipo tuingie kujadili matatizo yaliomo kwe
ukifungua alkitaab almuqadis( الكتاب المقدس )' (yaani kitabu kitakatifu) bibilia hitumiwayo na wakristo wanaozungumza lugha ya
amuasasasearch in the quran
*msongo wa mawazo katika maisha yetu ya kila siku*
*'msongo wa mawazo na
kijiji cha misukule feki chafichuliwa bagamoyo
inatisha na hofu kubwa imetanda katika kijiji cha kimange wilaya ya bagamoyo mkoani pwani kufuatia baadhi ya viongozi wa dini kuwatumia vijana wa hapo
kafiri ni nani
swali naitwa mwinjilisti onesmo kwanini nyie waislamu mnatuita sisi wakristo makafiri jibu nashkuru kwa swali lako hatuwaiti hivyo kwa utashi wetu bal
kumbukumbu ya 43 ya kuchomwa kwa msikiti wa alaqsa
siku ya leo ya jumanne inasadifiana na kumbukumbu ya 43 ya msiba mkubwa uliowakumba waislamu kwa kuchomwa msikiti mtukufu wa alaqsa qiblah cha kwanza c
amua sasa all rights reserved blogger template created by amuasasa | 2017-07-24T12:38:50 | http://amuasasa.blogspot.com/ |
afrika obama kenyatta wafungua mkutano wa ujasiriamali julai 25 2015
marais barack obama wa marekani na uhuru kenyatta wa kenya wamefungua mkutano mkuu wa ujasiriamali ges 2015 mjini nairobi jumamosi kwa wito wa vijana kubuni mbinu mpya za biashara na maendeleo na serikali kuuunga mkono juhudi hizo za vijana
akizungumza kwanza rais kenyatta alisema vijana wa afrika wako tayari na wana ubunifu wa kutosha na wakati umefika kwa serikali na makampuni binafsi kuhakikisha kwamba vijana wanapatia fursa kutekeleza ubunifu wao
afrika iko mbioni alisema rais kenyatta na kuongeza kuwa kenya imekaa tayari kabisa katika eneo la afrika kwa kutekeleza ubunifu kama ilivyoonekana kwenye huduma ya kutuma fedha kwa simu mpesa ambayo ilianzishwa kenya na sasa inatumiwa sehemu nyingi barani afrika
rais obama alisema marekani inaongeza kiwango ilichotenga kwa ajili ya ujasiriamali kufikia zaidi ya dolla billioni moja kwa ajili ya kugharamia ubunifu wa vijana katika maeneo mbali mbali duniani
rais obama alisema marekani inafungua vituo vinne katika nchi za zambia kenya na mali kusaidia ubunifu unaofanywa na vijana wanawake kama njia ya kuhakikisha kuwa wanawake wanapatia fursa
alisema kama nusu ya timu haiko uwanjani huwezi kushinda na kuendelea kusema kuwa kwa nchi nyingi za afrika nusu ya timu ni wanawake katika jamii
mamia ya vijana kutoka nchi mbali mbali duniani hasa barani afrika wanahudhuria mkutano huu na kuzungumzia ubunifu wao huku wakijaribu kujiunganisha na makampuni au watu binafsi wanaoweza kufadhili miradi yao mipya
rais obama yuko nchini kenya nchi alikozaliwa baba yake kwa mara ya kwanza kama rais wa marekani
baadaye jumamosi atazuru eneo la ubalozi wa marekani wa zamani mjini nairobi na kuweka shada la maua kukumbuka mamia ya watu waliouawa katika shambulizi la kigaidi la ubalozi huo mwaka 1998 | 2016-12-03T17:38:34 | http://www.voaswahili.com/a/2878255.html |
thenkoromo blog mshindi wa tanzania driver of the year 2011 kushiriki bingwa wa mabingwa mashindano ya dunia ya udereva
dar es salaam tanzaniakampuni ya scania leo imeandaahaflafupikumuagamshindiwamashindanoyamaderevayanayojulikanakamatanzania driver of the year yaliyofanyikakatikaviwanjavya biafra sikuyajumamositarehe 19th november mwakajana mr erasmus mtui mwenyeumriwamiaka 44 iliyebukamshindibaadayakufaulukatikangazizotetatuzashindanohilomwakajanaameajiriwakamaderevakatikakampuniyausafirishajiya super star forwarders iliyokobarabarayanyerere dar es salaam nimefanyamazoezinanimepatamafunzoyakutoshakabisa kwasasanikotayarikukabiliananashindanolijalo naahidikufanyajitihadazanguzoteiliniiwakilishevizurinchiyangu benderaya tanzania ipeperukevizurikwenyemashindanohaya alijigambabw mtui
akiongeanawaandishiwahabari bwana mark cameron menejauendeshajiwakampuniyascania tanzania alisemakwambaderevandiokiungomuhimupekeekatikauchumi mazingiranausalama maderevawenyeutaalamunawanaopendakaziyaohusaidiakuendeshakwausalamabarabarani hutumiamafutakidogo hiihusaidiakiwangokidogo cha uchafuziwamazingiraalisemakwambascaniailianzishamashindanoyamaderevakwamaraya kwanza mwaka 2003 katikanchizaulaya mashindanohayayalieneanakuwayadunianzima yakionyeshaumuhimuwautaalamukwamaderevapamojanakusisitizamafunzokwamaderevailikuboreshaufahamuwausalamabarabaraninauchafuziwamazingiraunaosababishwanamoshiwamagari mr cameron alimalizakwakusema maderevandioutiwamgongowasektayausafirishaji pamojanakutengenezamagarimakubwa bora salamanayanayotumiamafutavizuriscaniamudawoteinamuangaliamtualiyekonyumayausukani kwamaraya kwanza tumewezakufanikishamashindanohayahapa tanzania tukonamshindiwetumrmtuiambayeamejiandaavizuri tunamuamininatunatarajiaatatusababishiasifakubwa tunamtakiakila la kherinaye bi margaret legga afisamasokomsaidiziwakampuniyascania tanzania alisemakwambamashindanohayayaliyopewajina la bingwawamabingwayatafanyikakatikamjiwa sun city hukoafrikayakusinimapemamweziujaokuanziatarehe 09 hadi 11 mashindanohayayatajumuishamaderevakutokamabaramenginekamabara la ulaya asia naamerikayakusini kutokanchizaafrikakunamaderevakutokanchiza botswana lesotho malawi namibia nasisi tanzania waandaajiwamashindanohayanikampuniyaswiss organisation uicr union internationale des chaffeursroutiersna the south african rtmc road traffic management corporation scanianimojawapoyawadhaminiwakuuwashindanohili shindanohilihufanywamarambilikilamwakamwakahuujumlayamadereva 105 kutokanchi 17 kotedunianiwatachuanakatikangazitofauti 6 zashindanomrmtuiatashindanakatikakitengo cha semi truck and trailor ambachoatapambanakikwelikwelikwanikiladerevaatatakiwakuonyeshaufundikwakuendeshanakupitavipimo 19 vyamchuano vipimohivinipamojanauendeshajiunaotumiamafutakidogo namnayakubebamzigokiusalama kulifahamugarianaloendesha bilakusahauuendeshajimakinibarabarani kufanyikakwashindanohilihapabaranikwetuafrikakunatuongezeauwezekanowakufaulusisiwenyeji alimaliza bilegga meneja uendeshaji wa kampuni ya scania nchini tanzania mark cameron(kushoto) akimkabidhi bendera ya taifa dereva erasmusmtui ambaye ni mshindi wa mwaka 2011nchini tanzani anayekwenda kwenye mashindano ya dunia ya bingwa wa mabingwa yanayotarajiwa kufanyika afrika kusinimakabidhiano hayo yalifanyika makao makuu ya ofisi za scania dar es salaam | 2017-03-28T21:34:42 | http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2012/07/mshindi-wa-tanzania-driver-of-year-2011.html |
alichaguliwa 斯瓦希里语 英语 翻译和实例
您搜索了 alichaguliwa (斯瓦希里语 英语)
he was also chosen democratically
obama alichaguliwa kuwa rais wa marekani
obama was elected president of the united states
rais mpya wa madagaska hery rajaonarimampianina alichaguliwa kuwa raia mnamo desemba 20 2013
the new president of madagascar hery rajaonarimampianina was elected president on december 20 2013
zakariya alichaguliwa kwa kura kama ilivyokuwa desturi kuingia hekaluni ili afukize ubani
mwaka 2004 dk bingu wa mutharika alichaguliwa kuingia katika ofisi hii inayoheshimika kupitia udf
in 2004 dr bingu wa mutharika was elected to this honourable office on a udf
jesús papoleto melendez mshairi aliyezaliwa na kukulia harlem ya mashariki alichaguliwa kuwa mfalme wa heshima katika matembezi hayo
jesús papoleto melendez a poet born and raised in east harlem was chosen to be the emeritus king at the parade
mwaka 2011 meya wa kwanza katika historia mwanamke mmoja ambaye ni mwanafunzi wa sheria maría del carmen tacam alichaguliwa kuwa rais wa jimbo la totonicapán
in 2011 for the first time in history a single woman law student maría del carmen tacam was elected president of the cantons in totonicapán
kisha jeshi la misri lilitwaa madaraka chini ya uongozi wa amiri jeshi mkuu wa vikosi vya ulinzi nchini misri na waziri wa ulinzi jenerali abdul fattah el sisi ambaye baadae alichaguliwa kuwa rais mpya wa misri
then the egyptian army took command under the leadership of commanderinchief of the egyptian armed forces and minister of defence general abdul fattah el sisi who was later on elected as the new president of egypt
rais hugo chávez alichaguliwa kwa mara nyingine kwa asilimia 5514 ya kura wakati mgombea wa upinzanihenrique capriles akipata asilimia 4424 kwa mujibu wa baraza la uchaguzi la nchi hiyo
president hugo chávez was reelected with 5514 of the vote while opposition candidate henrique capriles obtained 4424 as reported by venezuela's national electoral council
chama cha bingu ddp kimeshinda uchaguzi wa rais kwa kura takriban 2730630 wakati mseto wa mcp/udf uliambulia kura 1270057 kura takriban 200 000 pungufu ya zile za bingu ujumbe mkuu unaotolewa na takwimu hizi ni kuwa bingu alichaguliwa na taifa zima na unazua wazo kuwa pengine uongozi bora unaweza kutokomeza sarakani ya ukabila ambayo wengi wetu tulidhani ilikuwa bado inazengea kutafuna siasa na maisha yetu
bingus party the dpp won the presidential election with roughly 2730630 votes while the mcp/udf alliance scooped circa 1270057 almost 200000 votes below half of bingus votes the strong message arising from these figures is that bingu was voted into power by the entire nation raising postulates about whether good leadership styles could obliterate the tribal cancer that many of us thought was out to consume our political and everyday lives
divni ste (塞尔维亚语>德语)reception (英语>威尔士语)veterinærområdet (丹麦语>马耳他语)ubi est bibliotheca (拉丁语>英语)tagalog ng timely manner (英语>他加禄语)ano ba ang gusto mo malaman sa pamilya ko (他加禄语>英语)update in bisaya (他加禄语>英语)what is a synonym for nanagos (英语>他加禄语)kirjallisuuden (芬兰语>越南语)amor tu regalo (西班牙语>英语)deelvenster (荷兰语>英语)apka language konsa hai meaning english (印地语>英语)kapangyarihan (他加禄语>宿务语)cost centre (英语>塔吉克语)me gusta ir al (西班牙语>英语)centouno (意大利语>德语)point me towards (英语>越南语)bett (德语>捷克语)megtörténhet (匈牙利语>越南语)cannot connected (英语>他加禄语)rendelkezik (匈牙利语>希腊语)love deeply (英语>意大利语)propan (马耳他语>荷兰语)voyagistes (法语>英语)tu me trompe baby (法语>英语) | 2020-01-27T09:10:22 | https://mymemory.translated.net/zh/%E6%96%AF%E7%93%A6%E5%B8%8C%E9%87%8C%E8%AF%AD/%E8%8B%B1%E8%AF%AD/alichaguliwa |
jumanne tarehe 21 agosti 2018 pars today
jumanne tarehe 21 agosti 2018
leo ni tarehe 9 dhulhija 1439 hijria sawa na agosti 21 2018
leo ni siku ya arafa tarehe 9 dhilhija arafa ni jina la jangwa kubwa linalopakana na mlima wa jabalur rahma ulioko kusini mashariki mwa makka tangu adhuhuri ya siku hii mahujaji wa nyumba ya mwenyezi mungu al kaaba husimama katika uwanja wa arafa na hadithi nyingine za kiislamu zimetaja fadhila na utukufu mkubwa wa kisimamo hicho hadithi zinasema kuwa mwenyezi mungu sw ameifanya ardhi ya arafa ambayo ilikuwa medani ya matukio mengi muhimu ya kihistoria kuwa mahala pa kuwapokea wageni wake wanaokwenda hija na ameweka meza na karamu yake pembeni ya mlima wa jabalur rahma ni vyema kukumbusha kuwa magharibi ya siku hii ya leo mahujaji wanaondoka uwanja wa arafa na kuelekea mash'arul haram na kujitayarisha kwa ajili na amali nyingine za hija
siku kama ya leo miaka 1379 iliyopita muslim bin aqil binamu wa imam hussein bin ali bin abi talib as aliuawa shahidi mjini kufa iraq alikuwa mmoja wa shakhsia wakubwa na wacha mungu katika zama zake alielekea mjini alkufa iraq akiwa na lengo la kwenda kutathmini ni kwa kiwango gani watu wa mji huo walikuwa wakimtii imam hussen baada ya watu wa mji huo kumwandikia maelfu ya barua imam huyo wakimtaka aende mjini humo na kwamba wako tayari kumuunga mkono katika harakati yake dhidi utawala dhalimu wa yazid bin muawiya watu wa kufa walimsaliti muslim bin aqil baada ya kuhadaika kwa hila na uongo wa ubeidullah bin ziyad mtawala wa wakati huo wa kufa na wakamuacha muslim bin aqiil peke yake
haram ya muslim bin aqiil kufa iraq
siku kama ya leo yaani tarehe 30 mordad katika kalenda ya mwaka wa kiirani ni siku ya kumuenzi na kumkumbuka allamah muhammad baqir majlisi mmoja kati ya maulamaa wakubwa wa kiislamu baba yake allamah majlisi alipata elimu kwa msomi mkubwa wa kiislamu sheikh bahai umahiri wa sheikh majlisi ulianza kuonekana akiwa bado kijana na alipata ijaza au ruhusa ya kunukuu hadithi kutoka kwa msomi na mwanafalsafa mashuhuri wa kiislamu mulla sadra akiwa na umri wa miaka 14 tu allamah majlisi ameandika vitabu vingi wakati wa uhai wake ambavyo hii leo ni marejeo ya waislamu katika kipindi cha uhai wake allamah muhammad baqir majlisi alifanya hima kubwa kuhakikisha kuwa swala za ijumaa na jamaa zinatekelezwa vilevile alifanya juhudi za kuasisi shule za masomo ya kidini na kueneza hadithi za mtume wa muhammad (saw) na ahlubaiti zake watoharifu idadi ya vitabu vilivyoandika na allamah muhammad baqir majlisi imetajwa kuwa zaidi ya 600 na umashuhuri zaidi ni kile kinachojulikana kwa jina la biharul anwar vitabu vingine mashuhuri vya msomi huyo ni hayatul quluub ainul hayat na zadul maad
miaka 891 iliyopita aliaga dunia fadhl bin hassan tabarsi anayejulikana kwa lakabu la aminul islam alimu mpokeaji wa hadithi na mfasiri mkubwa wa kiislamu fadhl bin hassan tabarsi alikuwa mwanazuoni mkubwa na alikuwa akiheshimiwa na makundi mengi ya kiislamu sheikh tabarsi pia alikua miongoni mwa makadhi waadilifu katika zama zake kitabu muhimu zaidi cha msomi huyo wa kiislamu ni tafsiri ya qur'ani ya majmaul bayan yenye juzuu kumi vilevile ameandika tafsiri nyingine ya qur'ani aliyoipa jina la jawamiul jamii
tafsiri ya majmau'l bayaan
tarehe 21 agosti mwaka 1965 yaani katika siku kama hii ya leo miaka 53 iliyopita wamarekani wenye asili ya afrika katika mji wa alabama walifanya maandamano wakitaka kutekelezwa sheria ya haki ya kupiga kura maandamano hayo yalizidisha harakati ya vuguvugu la kupigania haki za kijamii za wamarekani weusi harakati hiyo ilianza mwaka 1955 kwa lengo la kupigania usawa kati ya wamarekani weusi na wazungu na ilimalizika mwaka 1968 baada ya kupasishwa sheria ya haki za kiraia
harakati ya kupigania haki za kiraia marekani
siku kama ya leo tarehe 21 agosti miaka 59 iliyopita iliasisiwa the central treaty organization ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la cento na kuchukua nafasi ya mkataba wa baghdad taasisi hiyo iliundwa na iran uturuki pakistan na uingereza mjini ankara uturuki japokuwa marekani haikuwa mwanachama rasmi wa taasisi ya cento na ilishiriki kwenye vikao vya jumuiya hiyo kama mtazamaji tu lakini ilikuwa na nafasi kuu katika maamuzi yote ya taasisi hiyo the central treaty organization ilivunjika baada ya ushindi wa mapinduzi ya kiislamu ya iran na kujiondoa nchi hiyo katika mkataba huo mwaka 1979
mkataba wa the central treaty organization
siku kama ya leo miaka 49 iliyopita inayosadifiana na 21 agosti 1969 masjidul aqswa kibla cha kwanza cha waislamu kilichomwa moto na wazayuni katika tukio hilo eneo hilo takatifu na la kihistoria liliharibiwa vibaya sana utawala wa kizayuni wa israel ulidai kuwa kitendo hicho kilifanywa na mtalii wa kiaustralia utawala huo wa kizayuni ulitayarisha mahakama ya kimaonyesho tu mjini tel aviv na kuchukua uamuzi wa kumuachilia huru mtuhumiwa huyo kwa madai kwamba alikuwa na matatizo ya kiakili baada ya kutokea kitendo hicho nchi za kiislamu zilikutana na kuamua kuunda jumuiya ya nchi za kiislamu oic
msikiti wa al aqsa ulichomwa moto na wazayuni wa israel
na miaka 504 iliyopita katika siku kama ya leo kulitokea mapigano ya kihistoria ya chaldoran kati ya iran na dola la othmania katika eneo la bonde lililoko kati ya tabriz na khoui kaskazini magharibi mwa iran mapigano hayo yalikuwa kati ya wapiganaji wa shah ismail safawi na vikosi vya sultan salim othmani
mapigano ya kihistoria ya chaldoran
aug 21 2018 0253 utc
jumatatu tarehe 19 novemba 2018
jumapili novemba 18
jumamosi 17 novemba 2018 | 2018-11-19T19:53:00 | http://parstoday.com/sw/radio/programs-i47577-jumanne_tarehe_21_agosti_2018 |
vipeperushi vya brass ya hali ya juu china manufacturers & suppliers & factory
vipeperushi vya brass ya hali ya juu mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa vipeperushi vya brass ya hali ya juu)
vipeperushi vya brass ya hali ya juu vipeperushi vya brass ya hali ya juu vipeperushi vya brass vivutio vya mpira wa hali ya juu vifungashio vya brass handle brass vifunguo vya mpira wa brass wa hali ya juu valves za brass za mtaalam valve ya brass ya kudumu | 2020-07-09T17:33:47 | https://www.kingsirvalve.com/sw/dp-vipeperushi-vya-brass-ya-hali-ya-juu.html |
nimepewa talaka ninaweza kuoa kulingana na bibilia
swali nimepewa talaka ninaweza kuoa kulingana na bibilia
jibu kila mara tunayapokea maswali kama nimepewa talaka kwa sababu hii nah ii ninaweza kuoa tena nimepewa talaka mara mbili ya kwanza kwa sababu ya uzinzi wa mke/mke wangu ya pili hatupatani ninamchumbia mwanamume ambaye amepewa talaka mara tatu ya kwanza kupatana pili uzinzi wake mwenye na tatu uzinzi kwa mke wake tunaweza kuoana maswali kama haya ni magumu kuyajibu kwa sababu bibilia haiendi kwa undani kuhusiana na hali mbalibmbali ya kuoa tena baada ya talaka
chenye tunaweza kujua kwa ukweli ni mpango wa mungu ni wanandoa kudumu katika ndoa siku zao za uai (mwanzo 224 mathayo 196) ruhusa pekee ya kuoa tena baada ya talaka ni uzinzi (mathayo 199) hii pia inajadiliwa sana katika wakristo uwezekano mwingine ni ule wa kutorokwawakati mwanandoa mke/mume asiyeamini anapomwacha mwanandoa mwingine ambaye ni muumini (1 wakorintho 71215) ukurasa huu ingawa haiuzungumzii swala la kuoa tena bali wamelazimika kukaa katika ndoa itaonekana kuwa ngono au kuadhirika kimawazo vibaya itakua sababu ya kutosha kwa talaka na labda kuoa bibilia hasa haifunzi haya vilevile
tunajua mambo mawili kwa ukweli mungu anachukia talaka (malaki 216) mungu ni wa huruma na husamehe kila talaka hutokea kwa sababu ya dhambi pengine kwa mmoja wa wanandoa ama wote je mungu husemehe talaka kamwe talaka sio ndogo kuliko dhambi zingine na inaweza samehewa msamaha wa dhambi zote uko tayari kupitia kwa imani katika yesu kristo (mathayo 2628 waefeso 17) ikiwa mungu anaisamehe dhambi ya talaka je hiyo inamaanisha ya kwamba uko huru kuoa tena haitajiki kamwe mungu wakati mwingine huita watu wabaki vile walivyo (1wakorintho 778) kukaa peke yako isitazamiwe kwamba kama laana au adhabu bali kama nafasi kumtumikia mungu kwa moyo wako wote (1 wakorintho 73236) neno la mungu linatuambia ingawa ni vyema kuoa tena kuliko kusumbuka na tamaa za mwili (1 wakorintho 79) hata hivyo hii wakati mwingine hutumika kwa ndoa baada ya talaka kwa hivyo unaweza kuoa/kuolewa tena tunaweza kujibu swali hilo hiyo ni juu yako kuamua na mwanandoa mwenzako na wa muimu sana ni mungu ushauri pekee tutakao kupa ni kuwa uombe kwa mungu akupe hekima kuhusu anachokutaka ufanye (yakobo 15) omba kwa mawazo yaliyo ya kweli na kwa ukweli kabisa muulize mungu aweke haja zake katika moyo wako (zaburi 374) tafuta mapenzi ya mungu (methali 356) na ufuate uongozi wake | 2015-03-30T02:21:04 | http://www.gotquestions.org/Kiswahili/talaka-na-kuoa-tena.html |
maliasili na utalii blog waziri wa maliasili prof jumanne maghembe amsimamisha kazi mkurugenzi wa mipango wa wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) na maofisa misitu wa mikoa yote nchini leo
akizungumzia mchango wa wakala wa huduma za misitu (tfs) kwenye pato la taifa mtendaji mkuu bw juma mgoo amesema katika mwaka huu wa fedha tfs imeweka makisio ya kukusanya tsh bilioni 88 ambapo mpaka hivi sasa wameshakusanya zaidi ya asilimia 52 ya makisio hayo
posted by maliasili na utalii (gcu) at 635 am | 2018-02-23T16:19:14 | https://wizarayamaliasilinautalii.blogspot.com/2016/01/waziri-wa-maliasili-na-utalii-pro.html |
pmic upimaji wa nishati mchanganyiko wa vyombo vya elektroniki | infiniteelectronichk
nyumbanibidhaacircuits integrated (ics)pmic upimaji wa nishati
pmic upimaji wa nishati
mcp3912a1e/mq micrel / microchip technology maelezoic energy meter front 4ch 28qfn
mcp3918a1e/ss micrel / microchip technology maelezoic energy meter front 1ch 20ssop
mcp3906ai/ss micrel / microchip technology maelezoic power metering1 phase 24ssop
mcp3905li/ss micrel / microchip technology maelezoic power metering1 phase 24ssop
ade7753arsz adi (analog devices inc) maelezoic energy metering 1phase 20ssop
ltc2946cms1#pbf adi (analog devices inc) maelezoic energy monitor i2c 16msop
ltc2946ims1#pbf adi (analog devices inc) maelezoic energy monitor i2c 16msop
ade7755arsz adi (analog devices inc) maelezoic energy metering 1phase 24ssop
71m6521feim/f maxim integrated maelezoic energy meter 32k flash 68qfn
71m6113il/f maxim integrated maelezoic energy meter 3phase 8soic
71m6543figt/f maxim integrated maelezoic energy metering
71m6543gigt/f maxim integrated maelezoic energy metr 128k flsh 100lqfp
cs5462isz cirrus logic maelezoic energy metering 1phase 24ssop
cs5466isz cirrus logic maelezoic energy metering 1phase 24ssop
cs5460absz cirrus logic maelezoic energy metering 1phase 24ssop
maelezo ic energy meter front 4ch 28qfn
katika hisa 28927 pcs
pakua mcp3912a1e/mqpdf
maelezo ic energy meter front 1ch 20ssop
pakua mcp3918a1e/sspdf
maelezo ic energy metering 1phase 20ssop
katika hisa 24680 pcs
pakua ade7753arszpdf
maelezo ic power metering1 phase 24ssop
katika hisa 39420 pcs
pakua mcp3906ai/sspdf
katika hisa 41857 pcs
pakua mcp3905li/sspdf
maelezo ic energy monitor i2c 16msop
pakua ltc2946cms1#pbfpdf
maelezo ic energy meter 32k flash 68qfn
katika hisa 21897 pcs
pakua 71m6521feim/fpdf
katika hisa 8814 pcs
pakua ltc2946ims1#pbfpdf
maelezo ic energy metering 1phase 24ssop
katika hisa 28366 pcs
pakua ade7755arszpdf
maelezo ic energy meter 3phase 8soic
pakua 71m6113il/fpdf
maelezo ic energy metering
pakua 71m6543figt/fpdf
maelezo ic energy metering 1phase 16soic
katika hisa 30237 pcs
pakua ad71056arzpdf
katika hisa 22721 pcs
pakua ade7763arszpdf
maelezo ic energy metr 128k flsh 100lqfp
pakua 71m6543gigt/fpdf
katika hisa 41805 pcs
pakua mcp3905ai/sspdf
maelezo ic energy metering 24ssop
katika hisa 39012 pcs
pakua mcp3906ae/sspdf
maelezo ic energy monitor i2c 16dfn
pakua ltc2946hde#pbfpdf
maelezo ic energy meter front 4ch 28ssop
pakua mcp3912a1e/sspdf
maelezo ic monitor quad uv/ov 14tssop
pakua adm12941aaruzpdf
pakua ade7757arnzpdf
maelezo ic power measurement ac 68qfn
katika hisa 14707 pcs
pakua 78m6612im/fpdf
pakua ltc2946hde1#pbfpdf
katika hisa 19793 pcs
pakua cs5462iszpdf
pakua ltc2946mpms1#pbfpdf
maelezo ic energy meter 1phase 8soic
pakua 71m6601il/fpdf
pakua cs5466iszpdf
pakua 71m6542gigt/fpdf
maelezo ic energy meter front 2ch 20qfn
pakua mcp3910a1e/mlpdf
maelezo ic power monitor 1ph 28qfn
katika hisa 32930 pcs
pakua mcp39f511e/mqpdf
maelezo ic energy meter 18v/3v 48tqfp
katika hisa 30032 pcs
pakua atm90e36aaurpdf
maelezo ic energy monitor i2c/spi 32qfn
katika hisa 8318 pcs
pakua ltc2947iufe#pbfpdf
pakua mcp3905le/sspdf
maelezo ic energy meter sgl phse 64lqfp
pakua 71m6541figtr/fpdf
maelezo ic energy meter 128kb 68qfn
pakua 71m6531dim/fpdf
katika hisa 9153 pcs
pakua ltc2946ims#pbfpdf
maelezo ic energy meter front 3ch 28ssop
katika hisa 38357 pcs
pakua mcp3919a1e/sspdf
maelezo ic energy metering spi 24ssop
katika hisa 45259 pcs
pakua mcp3909e/sspdf
maelezo ic energy measurement qfn
katika hisa 15278 pcs
pakua 78m6613im/f/p48pdf
katika hisa 22701 pcs
pakua 71m6541digt/fpdf
pakua ltc2946cde1#pbfpdf
katika hisa 10477 pcs
pakua ltc2946cde#pbfpdf
maelezo ic energy meter front 1ch 20qfn
katika hisa 60785 pcs
pakua mcp3918a1e/mlpdf
maelezo ic pwr monitor 2ch 1ph 28qfn
katika hisa 31743 pcs
pakua mcp39f511ne/mqpdf
pakua ltc2946cms#pbfpdf
katika hisa 9538 pcs
pakua ltc2946ide1#pbfpdf
maelezo ic energy meter front 6ch 40uqfn
katika hisa 19841 pcs
pakua mcp3913a1e/mvpdf
katika hisa 22081 pcs
pakua cs5460abszpdf
maelezo ic energy meter 100lqfp
pakua 71m6543gigtr/fpdf | 2019-11-15T02:09:11 | https://tz.infinite-electronic.hk/Integrated-Circuits(ICs)/PMIC-Energy-Metering.aspx |
the many plot holes of twilight harry potter dhidi ya twilight fanpop
6707946 viewers kuwa shabiki
harry potter dhidi ya twilight the many plot holes of twilight
harry potter dhidi ya twilight 227 majibu
zaidi ya mwaka mmoja uliopita hanhan said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita chocattack266 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita toyletgnome said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita rtriplet said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita thisismyname said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita cupcakekiller said | 2019-07-16T08:59:46 | http://sw.fanpop.com/clubs/harry-potter-vs-twilight/forum/post/59925/title/many-plot-holes-twilight |
udadisi niyi leave chimamanda to for literature
what a fantastically beautiful text you wrote nothing could be more truth the unquestionable talent of chimamanda as well as all the dangers that came together with her apotheotic success i am a brazilian writer and translator and i have a great deal of curiosity and admiration for her but like you said i like the idea of giving a step back and give her space to just be to be the writer she wants to be and to patiently read her books whenever and however they come congrats for your blog it will be my pleasure to visit you from now onkindest regardsnicole rodrigueshttp//wwwuterovazioblogspotcomhttp//tradutoratumblrcom/
kutumbuliwa kwa kitwanga kunaashiria kitu kipi kutumbuliwa kwa kitwanga kunaashiria kitu kipi wale wasioweza kuyakumbuka yaliyopita wamehukumiwa kuyarudia george san
will people eat boils chambi chachage let them eat cake marie antoinette the presidential honeymoon is not yet ove
the embassy of france in tanzania is pleased to invite you at the alliance française of dar es salaam to a debate on women in politi
bukhi with reference to the ongoing discussions (in wanazuoni ) on african universities and diaspora academics african academy and
twenty years ago pieterdirk uys wrote an article with the headline zapiro ventures where comrades fear to tread i suppose i have done it again its n
*the assembly late yesterday debated and hailed the chairperson of the eac summit of heads of state for the concise exposition of the eac policy contained
rc dar mgeni rasmi maadhimisho ya hedhi salama
*mratibu wa maji afya na usafiri wa mazingira kutoka wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi theresia kuiwite (kulia) akizungumza na waandishi wa habari
i love to learn to read explore and experience things anew it is always a good treat for me however nothing beats listening and learning from someone
hapa tunaona milima
mkurugenzi mpya nigeria ateuliwa na shirika la ndege etihad
*shirika la ndege la etihad ambalo ni shirika la ndege la taifa katika falme za kiarabu limemteua george mawadri (pichani)kuwa mkurugenzi mpya wa shirika
beyoncé sasa ana beyoncé day katika jimbo la minnesota
hakuna ubishi kwamba beyoncé ni artist mwenye jina kubwa ulimwenguni lakini sasa mrscarter anaingia katika anga tofauti kabisa baada ya kupewa heshima ya
wetang'ula atuma risala kufuatia kifo cha soita shitanda
kinara mwenza wa cord moses wetang'ula ametuma risala za rambirambi kwa jamaa na marafiki wa aliyekuwa waziri wa makao soita shitanda
if the tiger is conserved the forest will be conserved the conserved forest will conserve the tiger so conserve humans on this planet by conserving th
basi la mwendokasi t 123 dgw labamizwa na gari namba za usajili t543 cuq katika makutano ya barabara ya msimbazi na umoja wa mataifa dar es salaam mch
[image ng1]*naibu waziri ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira ambaye pia ni mbunge jimbo la kisesa mhe luhaga joelson mpina (kushoto) akiwa
ninafundisha katika idara ya kiingereza katika chuo cha st olaf hapa marekani moja ya masomo ninayofundisha ni uandishi bora wa kiingereza yaani kii
africas turn to industrialize
roapes laura mann discusses a recent workshop held at the london school of economics on 3 may which brought together leading economic geographers and p
serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani (chap chap) ikatangaza katazo la uingizwaji wa sukari kutoka nje ya nchi ambayo kwa
mapya yaibuka katika suala la kutumbuliwa kitwanga na ishu ya lugumi
*sakata la kutumbuliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani charles kitwanga linazidi kutawala vichwa vya habari huku maendeleo mapya yakiashiria kuw
often containing account books diaries planting information and records of the births deaths and sale of enslaved workers plantation records are a valu
nmb yazindua mtandao wa wateja wakubwa
afisa mkuu wa wateja wakubwa na serikali richard makungwa akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa nmb executive network uliofanyika mwishoni mwa wiki ji
at independence in 1980 the new government set about investing in new infrastructure aimed at redressing the imbalances of the colonial past as described
a sense of the past of the old old world is evidenced by the granite stone blocks infiltrated with dark green moss surrounding what was once known only
howard french has a fantastic piece on chinese demographic trends over at the atlantic consider this china today boasts roughly five workers for every re
kathy delaneysmith on center for african studies royal bafokeng sports summer program
kathy delaneysmith head coach of harvard womens basketball was featured in an interview with the harvard gazette for thirtyfour years delaneysmit
*familia ya ankal muhidin issa michuzi inapenda kutoa shukrani nyingi sana sana kwa ndugu jamaa majirani marafiki na wafanyakazi wenzie kwa kujitoa kwa
*kiongozi wa kanisa la waadventista wa sabato duniani mch ted wilson ameweka jiwe la msingi la chuo kipya cha udaktari cha waadventista nchini rwan
mujeresartistas margaret burroughs black venus
mujeresartistas
* margaret burroughs black venus (1957)* burroughs had a vision of doing more to preserve black heritage with her husband burroug
title the thing around your neck author adichie chimamanda n genre fiction publisher fourth estate release date 2009 pages 218 this book is a collect
[image de caunes sapeur]
la *société des ambianceurs et des personnes élégantes* ou *sape* est une mode vestimentaire populaire née après les indépendanc | 2016-05-25T09:02:47 | http://udadisi.blogspot.com/2011/01/niyi-osundare-leave-chimamanda-to-for.html |
3200 mrp kwa usd ᐈ bei 3200 morpheuscoin in dola ya marekani
3200 mrp kwa usd
umebadilisha 3200 morpheuscoin kwa 🇺🇸 dola ya marekani ili kukuonyesha matokeo sahihi zaidi tunatumia kiwango cha ubadilishaji wa kimataifa badilisha fedha 3200 mrp kwa usd kiasi gani 3200 morpheuscoin kwa dola ya marekani $6147 usdangalia reverse usd kwa mrplabda unaweza kuwa na hamu mrp usd chati ya historia na mrp usd data ya kihistoria ya kiwango cha ubadilishaji jisikie huru kujaribu kubadilisha zaidi
bei 3200 morpheuscoin kwa dola ya marekani
kwa kiwango $000192 usd (0000060)340
inverse 520610 mrp
ulijua mwaka uliopita siku hiyo kiwango cha sarafu morpheuscoin kwa dola ya marekani ilikuwa $000352 tangu wakati huo kiwango cha ubadilishaji kina ilipungua kwa 000160 usd (4551)
3250 morpheuscoin kwa dola ya marekani3300 morpheuscoin kwa dola ya marekani3350 morpheuscoin kwa dola ya marekani3400 morpheuscoin kwa dola ya marekani3450 morpheuscoin kwa dola ya marekani6900 morpheuscoin kwa dola ya marekani13800 morpheuscoin kwa dola ya marekani27600 morpheuscoin kwa dola ya marekani55200 morpheuscoin kwa dola ya marekani110400 morpheuscoin kwa dola ya marekani1 yuro kwa real ya brazil917 ruble ya urusi kwa rial ya iran38 peso ya ufilipino kwa yuro750 dola ya taiwan kwa pauni ya uingereza41000 lemoncoin kwa dola ya marekani009 bitcoin kwa dola ya marekani000001 bitcoin kwa dola ya marekani5235 dola ya marekani kwa yuro700 dola ya marekani kwa procom785 dola ya australia kwa dola ya marekani145 riyal ya saudia kwa rial ya iran1 uscoin kwa dola ya marekani170 dola ya marekani kwa dola ya kanada21500 ruble ya urusi kwa ethereum
3200 morpheuscoin kwa dola ya marekani3200 morpheuscoin kwa yuro3200 morpheuscoin kwa pauni ya uingereza3200 morpheuscoin kwa faranga ya uswisi3200 morpheuscoin kwa krone ya norwe3200 morpheuscoin kwa krone ya denmaki3200 morpheuscoin kwa koruna ya jamhuri ya cheki3200 morpheuscoin kwa zloty ya polandi3200 morpheuscoin kwa dola ya kanada3200 morpheuscoin kwa dola ya australia3200 morpheuscoin kwa peso ya meksiko3200 morpheuscoin kwa dola ya hong kong3200 morpheuscoin kwa real ya brazil3200 morpheuscoin kwa rupia ya india3200 morpheuscoin kwa rupia ya pakistani3200 morpheuscoin kwa dola ya singapore3200 morpheuscoin kwa dola ya nyuzilandi3200 morpheuscoin kwa baht ya tailandi3200 morpheuscoin kwa yuan ya uchina3200 morpheuscoin kwa yen ya japani3200 morpheuscoin kwa won ya korea kusini3200 morpheuscoin kwa naira ya nijeria3200 morpheuscoin kwa ruble ya urusi3200 morpheuscoin kwa hryvnia ya ukrania
viwango vya exchange vilivyosasishwa wed 27 may 2020 210503 +0000 | 2020-05-27T21:07:41 | https://sw.currencyconvert.online/mrp/usd/3200 |
ni bidaa au sunna kwa mtazamo wa qurani na sunnaaccedi [1] o registrati [2] per inserire commenti
author(s) sheikh jafar subhani [3]publisher(s) al itrah foundation [4]kufunga mikono katika sala sheria ya kiislamu ni ya kipekee kwa kuwa inahusika na kila jambo huku ikiweka utatuzi wa matatizo yote yanayompata mwanadamu katika sekta zote za maisha yake hivyo mwenyezi mungu akasema leo nimewakamilishieni dini yenu na kuwatimizieni neema yangu na nimewapendeleeni uislamu uwe dini yenu (53)
translator(s) hemedi lubumba selemani [5]category generale [6]topic tags kufunga mikono [7]sala [8]hukumu [9]hakika [10]featured category dibattiti e discussioni [11]person tags mwenyezi mungu [12]ibnu hajar [13]ahlul bayt (as) [14] neno la mchapishaji
kufunga mikono katika sala sheria ya kiislamu ni ya kipekee kwa kuwa inahusika na kila jambo huku ikiweka utatuzi wa matatizo yote yanayompata mwanadamu katika sekta zote za maisha yake hivyo mwenyezi mungu akasema
barua pepe alitrah@rahacom [15]
url di origine https//wwwalislamorg/it/node/24594 links[1] https//wwwalislamorg/it/user/logindestination=node/2459423commentform
[2] https//wwwalislamorg/it/user/registerdestination=node/2459423commentform
[5] https//wwwalislamorg/it/person/hemedilubumbaselemani
[7] https//wwwalislamorg/it/tags/kufungamikono
[8] https//wwwalislamorg/it/tags/sala
[9] https//wwwalislamorg/it/tags/hukumu
[10] https//wwwalislamorg/it/tags/hakika
[12] https//wwwalislamorg/it/person/mwenyezimungu
[13] https//wwwalislamorg/it/person/ibnuhajar
[14] https//wwwalislamorg/it/person/ahlulbayt0
[15] mailtoalitrah@rahacom | 2017-02-27T21:25:17 | https://www.al-islam.org/it/print/book/export/html/24594 |
waziri membe afungua mkutano wa kimataifa kuhusu sayansi ya jamii ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
jumanne 18 novemba 2014
home » » waziri membe afungua mkutano wa kimataifa kuhusu sayansi ya jamii
adam mzee0730
mhe membe akihojiwa na wanahabari kuhusu mkutano huo picha na reuben mchome | 2018-02-23T20:11:09 | https://uvccmtz.blogspot.com/2014/11/waziri-membe-afungua-mkutano-wa.html |
wana shehia ya mkoroshoni waanza kufuatilia vitambulisho vyao zanzinews
home habari matukio wana shehia ya mkoroshoni waanza kufuatilia vitambulisho vyao
wana shehia ya mkoroshoni waanza kufuatilia vitambulisho vyao
baadhi ya wananchi wa shehia ya mkoroshoni wilaya ya chake chake wakiangalia majina yao katika sehemu maalumu kwa ajili ya kwenda kuchukuwa kitambulisho cha mazanzibari mkaazi kama walivyokutwa na mpiga picha katika skuli ya maandalizi machomanne(picha na abdi suleiman) | 2020-04-03T23:20:32 | http://www.zanzinews.com/2020/01/wana-shehia-ya-mkoroshoni-waanza.html |
michuzi blog mkuu wa wilaya kibaha awapogeza washindi wa biko ' if(imglength>=1) { imgtag = '
mkuu wa wilaya kibaha mkoani pwani mheshimiwa asumpter mshama amewapongeza washindi wa bahati nasibu ya biko ijue nguvu ya buku na kuwataka kuweka umakini na malengo katika fedha zao wanazokabidhiwa ili wanufaike kiuchumi
dc asumpter ameyasema hayo jana katika tawi la nmb mlandizi wilayani kibaha mkoani pwani katika makabidhiano ya sh milioni 20 zilizokabidhiwa kwa mshindi wa droo ya 19 elisiana simon laizer mjasiriamali wa kutengeneza sabuni mwenye maskani yake mlandizi aliyeibuka kidedea katika droo ya 19 ya bahati nasibu hiyo ya aina yake inayochezwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi kwa simu za mikononi za tigo vodacom na airtel
akizungumzia bahati nasibu hiyo ya biko dc mshama alisema michezo ya kubahatisha ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wao na uchumi wa taifa kwa kuhakikisha kwamba wanafanya shughuli zenye kuleta maendeleo badala ya kuzitumia kwa mambo yasiyokuwa na msingi
nimeshuhudia kwa macho yangu umekabidhiwa fedha hizi sh milioni 20 kutoka kwa watu wa biko hivyo nitaanza kukufuatilia hatua kwa hatua ukizingatia kuwa upo katika wilaya yangu na mimi kama dc nimekuja hapa kushirikiana na wananchi ili tupige hatua kiuchumi alisema dc mshama
akizungumza baada ya kukabidhiwa fedha zake elisiana laizer alisema mbali na kuwa ni mjasiriamali wa kuuza sabuni lakini hatakuwa na papara katika matumizi ya fedha zake alizokabidhiwa baada ya kushinda biko droo ya 19 huku akiwa ni mchezaji mzuri wa mchezo huo
nashukuru kwa kupewa fedha hizi lakini kwakuwa ni nyingi sana nitatuliza akili yangu badala ya kufanya papara katika kuzitumia maana ndoto yangu ni kuhakikisha kuwa fedha zinakuza uchumi wangu hivyo nawashauri watanzania wenzangu tucheze biko ili tuweze kuibuka na ushindi wa droo kubwa ya sh milioni 20 ya jumatano na jumapili alisema
meneja masoko wa bahati nasibu ya biko goodhope heaven kushoto akimuelekeza jambo mkuu wa wilaya ya kibaha mheshimiwa asumpter mshama katikati wakati wa kumkabidhi mshindi wa sh milioni 20 wa droo ya 19 ya biko elisiana laizer kulia mwenye gauni jekundu ndani ya benki ya nmb tawi la mlandizi wilayani kibaha mkoani pwani
mkuu wa wilaya ya kibaha mheshimiwa asumpter mshama kulia akimkabidhi jumlaa ya sh milioni 20 mshindi wa biko droo ya 19 mjasiriamali wa kutengeneza sabuni elisiana laizer mwenye maskani yake mlandizi wilayani kibaha mkoani pwani jana kushoto ni meneja masoko wa biko goodhope heaven
mkuu wa wilaya ya kibaha mkoani pwani mheshimiwa asumpter mshama wa pili kutoka kulia akiwa kwenye picha ya pamoja na mshindi wa biko wa sh milioni 20 aliyepatikana katika droo ya 19 mkazi wa mlandizi elisiana laizer kulia kwake mwenye gauni jekundu kushoto ni meneja masoko wa biko goodhope heaven na mmoja wa watendaji wa juu wa benki ya nmb kwenye tawi la mlandizi | 2018-07-19T01:54:32 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/mkuu-wa-wilaya-kibaha-awapogeza.html |
kikwete mgeni rasmi ya sheria leo fukuto la jamii
home unlabelled kikwete mgeni rasmi ya sheria leo
by mshappiness katabazi 111 pm
jaji mkuu wa tanzania mohamed chande othman amesema rais jakaya kikwete leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya sheria nchini ambapo wadau mbalimbali watapa fursa ya kujadili kauli mbiu ya sherehe hiyo isemayo adhabu mbadala katika kesi za jinai faida zake katika jamii
jaji chande aliyasema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika katika mahakama ya rufani tanzania jijini dar es salaam wakati akitangaza rasmi kuwa leo ni siku ya sheria nchini ambapo leo ni miaka 12 tangu ilipoanza kuazimishwa hapa nchini mwaka 1999 chini ya jaji mkuu mstaafu francis nyalali
jaji chande ambaye alikuwa ameambatana na msajili wa mahakama ya rufani francis mutungi mbaye jana ilikuwa ni mara ya kufanya mkutano na waandishi wa habari hapa nchini tangu alipoteuliwa na rais kikwete kushika wadhifa huo alisema wadau mbalimbali akiwemo yeye wataijadili kauli mbiu hiyo kupitia hotuba zao ambapo aliwataka wananchi wengi kujitokeza katika sherehe hiyo ambayo ukutanisha viongozi wa mihimili mitatu ya nchini wanachi wa kada tofauti na kwamba vituo vya mahakama kote nchini zinaadhimisha sherehe hiyo
katika hatua nyingine jaji chande alisema ili majaji na mahakimu waende na wakati katika kuendesha mashauri mbalimbali mahakama hiyo tayari imeanzisha utaratibu wa kuwapeleka majaji na mahakimu katika kozi fupi na endelevu katika chuo cha uongozi wilayani lushoto na kwamba kila jaji atakayeteuliwa atalazimika kuudhulia kwanza mafunzo mafupi yatayomsaidia kuweza kutenda kazi yake ya kijaji
hakuna mahakama isiyokosea ila kuna makosa mengine majaji na mahakimu wanaweza kuyaepuka hivyo ndiyo maana uongozi wa mahakama hivi sasa umefikia uamuzi huo wa kuwapeleka kwa awamu majaji na mahakimu wake katika chuo cha uongozi lushoto ili waweze kupata mafunzo na utaratibu huo umeishakamilika na mwaka huu unaanza kutekelezwa kwa vitendo
alipoulizwa swali na mwandishi wa habari hizi ni kwanini kila mwaka sherehe ya siku ya sheria imekuwa ikifanyika kitaifa jijini dar es salaam alisema hakuna sababu maalum inayoulazimisha mhimili kufanya sherehe hiyo hapa jijini ila mahakama italifanyiakazi jambo hilo kwa siku zijazo
chanzogazeti la tanzania daima la ijumaa februali 3 mwaka 2012
kikwete mgeni rasmi ya sheria leo reviewed by mshappiness katabazi on 111 pm rating 5 | 2017-12-14T19:10:25 | https://katabazihappy.blogspot.com/2012/02/kikwete-mgeni-rasmi-ya-sheria-leo.html |
(showing articles 35941 to 35960 of 65435)
07/11/170004 _ jipatie sasa vocha
07/11/170016 _benki ya nmb yafani
07/11/170041 _tehama yaongeza ufa
07/11/170100 _article 15
07/11/170106 _ old school reunion
07/11/170110 _hakuna mgonjwa atak
07/11/170116 _masauni aliagiza je
07/11/170252 _ujumbe wa tanzania
07/11/170306 _taasisi ya mo dewji
07/11/170328 _balozi wa tanzania
07/11/170329 _igp simon sirro afa
07/11/170330 _magereza kupanua ki
07/11/170400 _waziri mkuu kassim
07/11/170443 _wizara ya habari ya
07/11/170455 _makamishina wa tume
07/11/170507 _ wawili kizimbani k
07/11/170623 _filamu ya tusijisa
07/11/170704 _rc makonda aweka ji
older | 1 | | 1796 | 1797 | (page 1798) | 1799 | 1800 | | 3272 | newer
07/11/170004 jipatie sasa vocha yako ya tabasamu na airtel kwa sh 200
piga stori na familia na uwapendao kwa vocha ya tabasamau kwa sh 200 jipatie sasa vocha yako ya tabasamu kwa sh 200 sasa #tabasamukwa200 follow @airtel_tanzania
07/11/170016 benki ya nmb yafanikisha tamasha la 'mtoto day out'
benki ya nmb imefanikisha kufanyika kwa tamasha maalum la watoto 'mtoto day out' kwa kuwa mdhamini mkuu wa tamasha hilo tamasha hilo ambalo limekutanisha watoto wa maeneo mbalimbali ya jijini dar es salaam ambapo pamoja na kufurahi pia wamepata elimu kuhusu umuhimu wa kutunza fedha
akizungumza kuhusu tamasha hilo mratibu wa elimu ya fedha wa benki ya nmb ryoba mkono alisema nmb imedhamini tamasha hilo ili watoto wafurahi lakini pia wapate elimu kuhusu fedha na umuhimu wa kuzitunza
baadhi ya watoto wakicheza kwa furaka katika tamasha maalum la watoto 'mtoto day out' lililodhaminiwa na benki ya nmb
sisi kama wadhamini wa mtoto day out nmb tumewaletea elimu ya fedha na umuhimu wa kuweka akiba lakini pia kuwafungulia watoto akaunti bure lakini pia imekuwa njia bora ya kukutana na wazazi maana tumekuwa tukikutana na watoto mashuleni lakini wazazi hatukutani nao lakini pia sababu nmn inathamini elimu tumeamua kununua madaftari yenye logo ya nmb karamu rula mabegi penseli kwa ajili ya watoto na zawadi zetu zinaandana na elimu alisema mkono
baadhi ya maofisa wa nmb wakigawa zawadi kwa watoto katika tamasha maalum la watoto 'mtoto day out' lililodhaminiwa na benki ya nmb
kwa upande wa mmoja wa waandaji wa tamasha hilo glory shayo alisema dhumuni la kuandaa tamasha hilo ni kukutanisha watoto wafurahi kwani wao huwa hawapati nafasi ya kutoka tofauti na wazazi hivyo siku hiyo ilikuwa muhimu kwa ajili yao na wao kufurahi kwa pamoja na kupata elimu ya fedha kutoka nmb
tumeanda tamasha kwa ajili ya watoto wazazi tuna out nyingi muda mwingine tunawapeleka kwenye sehemu za wazazi lakini wanakpata wapi muda wa kukutana muda wa kujifunza na kushiriki michezo na wenzao ni changamoto ni vema wakipata nafasi ya kukutana na kucheza kwa pamoja na kupitia nmb tukaandaa hii mtoto day out alisema glory
zawadi mbalimbali zikitolewa kwa watoto kutoka benki ya nmb kwenye tamasha maalum la watoto 'mtoto day out' lililodhaminiwa na nmb baadhi ya watoto wakicheza kwa furaka katika tamasha maalum la watoto 'mtoto day out' lililodhaminiwa na benki ya nmb
07/11/170041 tehama yaongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wakazi wa mkoa wa dodoma
07/11/170100 article 15
07/11/170106 old school reunion columbus ohio labor day patakua hapatoshi
paul rwechungura deo ngassa yanga nico na renatus njohole simba
mama nguli wa mitindo asya idarous khamsini na missy temeke kuonyesha vivazi old school reunion
paul rwechungura kudakia yanga
renatus njohole na nico njohole kuiongza simba
jameel silia na abui hamisi kutoka sweden kucheza mechi ya simba na yanga columbus ohio
wachezaji wa mpira wa kikapu waliocheza pazi vijana don bosco na kwingineko kuonyeshana maujuzi
07/11/170110 hakuna mgonjwa atakayekosa dawawaziri mkuu kassim majaliwa
07/11/170116 masauni aliagiza jeshi la polisi kufungua kituo makazi ya kabila la wahadzabe
na felix mwagara (moha)
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni amelitaka jeshi la polisi mkoani manyara kufungua kituo cha polisi katika makazi ya kabila la wahazabe wanaoishi katika bonde la yueda chini wilayani mbulu
masauni alisema hayo jana wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa kabila hilo mara baada ya kukagua jengo la mifugo katika eneo la bonde hilo ambalo jamii hiyo ilijitenga kwa kuweka makazi pembezoni mwa mji wa mbulu
hivi karibuni kituo cha polisi kitafunguliwa hapa ili kulinda usalama wenu katika eneo hili ambalo lilikua halina kituo cha polisi kwa miaka mingi serikali ya rais magufuli ni sikivu ndio mana nimekuja hapa kuwasikiliza matatizo yenu na kuwatekelezea alisema masauni huku akishangiliwa na wananchi hao
aliongeza kuwa mchakato wa kujenga kituo hicho umeanza na tayari ametoa maelekezo kwa kamanda wa jeshi la polisi wa mkoa huo kwa kushirikiana na viongozi wa halmashauri ya wilaya ya mbulu wabunge wa jimbo la mbulu vijijini na mbulu mjini
pia aliongeza kuwa uhalifu katika eneo hilo sasa umepata tiba kwa maana jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi watahakikisha hali ya usalama unaimarishwa zaidi katika eneo hilo ambalo lipo
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni (watatu kushoto) na mbunge wa jimbo la mbulu vijijini flatei massay (wapili kulia) wakicheza ngoma ya wabarbaig/watatoga kabla ya masauni kuzungumza na mamia ya wananchi wa kabila maarufu la wahazabe na makabila mengine yaliyopo katika bonde la yueda chini wilaya ya mbulu mkoani manyara masauni aliiagiza jeshi la polisi mkoani humo kujenga kituo cha polisi kwa uharaka ili jamii hiyo ambayo inaishi pembezoni mwa mji wa mbulu picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni akizungumza na mamia ya wananchi wa kabila maarufu la wahazabe na makabila mengine yaliyopo katika bonde la yueda chini wilaya ya mbulu mkoani manyara masauni aliiagiza jeshi la polisi mkoani humo kujenga kituo cha polisi kwa uharaka ili jamii hiyo iweze kupata ulinzi wa kutosha katika eneo hilo picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni akijadiliana na maafisa wa halmashauri ya wilaya ya mbulu mkoani manyara pamoja na watendaji mbalimbali wa wilaya hiyo ndani ya jengo la mifugo lililopo yaeda chini katika makazi ya wahazabe ambalo linatarajiwa kufunguliwa kituo cha polisi kulia ni mkuu wa jeshi la polisi mkoani manyara (rpc) francis massawe na kushoto ni mbunge wa jimbo la mbulu vijijini flatei massay picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni akiwafafanulia jambo mbunge wa jimbo la mbulu vijijini flatei massay (kulia) na mbunge wa jimbo la mbulu mjini zakaria isaay mara baada ya naibu waziri huyo kukagua jengo la mifugo (nyuma yao) ambalo linatarajiwa kufunguliwa kituo cha polisi ili kuwasaidia wananchi wa kabila la wahazabe na wengineo wanaoishi katika bonde la yueda chini wilaya ya mbulu mkoani manyara kuleta ulinzi wa raia hao pamoja na mali zao picha na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
07/11/170252 ujumbe wa tanzania washiriki mkutano wa 36 wa sadc
ujumbe wa tanzania ukiongozwa na naibu katibu mkuu wizara ya nishati na madini dkt mhandisi juliana pallangyo naibu waziri wa maji na umwagiliaji mhandisi isack kamwelwe na naibu katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji mhandisi emmanuel kolobelo unashiriki mkutano wa 36 wa mawaziri wa nishati na maji wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika (sadc) nchini swaziland
mkutano huo uliofunguliwa na waziri mkuu wa swaziland dkt sibusiso dlamin umehudhuriwa na nchi mbalimbali ikiwemo tanzania malawi zambia zimbabwe lesotho swaziland botswana msumbiji namibia seychelles botswana madagascar na mauritiusmkutano huo umeanza tarehe 8 julai 2017 na utamalizika tarehe 11 julai 2017
waziri mkuu wa swaziland dkt sibusiso dlamin akifungua mkutano wa 36 wa mawaziri wa nishati na maji wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika (sadc) unaofanyika nchini swaziland
ujumbe wa tanzania unaoshiriki mkutano wa 36 wa mawaziri wa nishati na maji wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika (sadc) nchini swaziland kutoka kushoto ni naibu katibu mkuu wizara ya nishati na madini dkt mhandisi juliana pallangyo naibu waziri wa maji na umwagiliaji mhandisi isack kamwelwe na naibu katibu mkuu wizara ya maji na umwagiliaji mhandisi emmanuel kolobelo
07/11/170306 taasisi ya mo dewji yatunukiwa tuzo ya ubora ya superbrand
mkurugenzi wa taasisi huru ya superbrands ukanda wa afrika mashariki jawad jaffer akimkabidhi mkurugenzi mkuu wa taasisi ya mo dewji barbara gonzalez tuzo ya ubora ya superbrand
mkurugenzi mkuu wa taasisi ya mo dewji barbara gonzalez akizungumza baada ya kukabidhiwa tuzo ya ubora ya superbrand
07/11/170328 balozi wa tanzania nchini saudi arabia atembelea maonesho ya kimataifa ya biashara ya saba saba
07/11/170329 igp simon sirro afanya ziara kisiwani pemba
07/11/170330 magereza kupanua kiwanda chake cha viatu cha karanga mjini moshi
hatua hii ni moja ya kati ya mikakati ya jeshi la magereza nchini tanzania linaloongozwa na kamishna jenerali dk juma malewa (pichani juu) kuhakikisha fursa zilizopo na wataalamu waliopo ndani ya jeshi la magereza nchini zinatumika na wanatumika vizuri kwa manufaa ya watanzania wote sambamba na jeshi hilo kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha tanzania inafikia uchumi wa viwanda
07/11/170400 waziri mkuu kassim majaliwa azungumza na wakazi wa kijiji cha likwachu wilaya ya ruangwa
07/11/170443 wizara ya habari yashauriwa kuongoza mabadiliko ya utamaduni wa kutumia muda kimkakati
07/11/170455 makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la uganda wakutana na makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la tanzania
07/11/170507 wawili kizimbani kwa kuingilia mawasiliano nchini na kuisababishia tcra hasara zaidi ya milioni 210
na karama kenyunkoglobu ya jamii
07/11/170623 filamu ya tusijisahau yatambulishwa rasmi leo
07/11/170704 rc makonda aweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la huduma za dharura hospital ya temeke | 2019-12-07T17:56:52 | http://michuzi2.rssing.com/chan-7007653/all_p1798.html |
*hotuba ya 'mr sugu' yaahirisha kikao cha bunge mjini dodoma leo yapigwa 'stop' shommi b 'if(findexof(imgyoutubecom)=1){w=' '}z=w+''+titlex+'
home » »unlabelled » *hotuba ya 'mr sugu' yaahirisha kikao cha bunge mjini dodoma leo yapigwa 'stop'
hotuba ya kambi ya upinzani bungeni kwa wizara ya habari vijana utamaduni na michezo iliyokuwa ikisomwa na msemaji (waziri kivuli wa wizara hiyo) ambaye pia ni mbunge wa mbeya mjini (chadema) joseph mbilinyi sugu bungeni imesimamishwa kwa kile kilechoelezwa kukiuka taratibu za bunge
akisimama kuomba muongozo wa spika mbunge wa ccm jimbo la mbozi mashariki godfrey weston zambi aliliambia bunge kuwa hotuba hiyo katika kurasa zake 12 za awali imejaa maneno ya uchochezi kwa serikali ya ccm
zambi alisema miongoni mwa maneno hayo ya uchochezi ni yale ya kusema kuwa serikali ya ccm kuwashambulia wanahabari kwa kuwapiga kuwangoa kucha kuwamwagia tindi kali na kuwaua jambo ambalo sio kweli
kufuatia hatua hiyo spika wa bunge anne makinda alipokea mwongozo huo na kuliahirisha bunge hadi hotuba hiyo itakapo pitiwa upya ndipo iletwe tena bunge hapo | 2017-08-21T00:58:41 | http://shommibinda.blogspot.com/2013/05/hotuba-ya-mr-sugu-yaahirisha-kikao-cha.html |
odm yamkemea uhuru baada ya kuvurugana na gavana joho mombasa ▷ tukocoke
made in kenya latest politics entertainment swahili feedback livescore submit video fighting alshabaab odm yamkemea uhuru baada ya kuvurugana na gavana joho mombasa
7157 chapisha twitter
wanachama wa odm wamemkemea rais uhuru kenyatta dhidi ya matamshi yake ya matusi kwa magavana joseph nanok wa turkana na mwenzake wa mombasa hassan joho jumatano machi 8 uhuru alimrushia nanok cheche za matusi alipokuwa amezuru kaunti ya turkana jumatatu machi 13 uhuru alilaumiwa kwa kuamurisha maafisa wa polisi kumzuilia joho dhidi ya kuhudhuria mkutano wake mjini mombasa viongozi wa chama cha odm wamejitokeza kuwatetea viongozi wenzao na kumtaka rais uhuru kenyatta kukoma kutumia matamshi ya matusihabari nyingine mfanyabiashara aliyedaiwa kumuua mwanawe raila odinga akamatwa na polisi
odm yamkemea uhuru baada ya kuvurugana na hassan johohabari nyingine kalonzo musyoka akutana usiku na maadui wake wa kisiasa (picha)wakizungumza na wanahabari jumatatu machi 13 viongozi hao wakiongozwa na john mbadi walikashifu matamshi ya rais na kudai kuwa yamkosesha heshima ukizuru kaunti na kuwatishia magavanaukiwatusi na kuwakashifu sio jambo la busara magavana hao wamejitolea kuhudumia wananchi ili kuleta maendeleo mwenendo huu haukubalikimbadi alisema
pakua app mpya ya tuko upate habari bureviongozi hao aidha walimtaka uhuru kukoma kutishia viongozi wengine hasa wale wanaoikashifu serikali yakehabari nyingine daktari mrembo ajipata pabaya baada ya kumkosoa rais uhuru (picha)viongozi hao aidha walimtaka uhuru kukoma kutishia viongozi wengine hasa wale wanaoikashifu serikali yake
rais uhuru na gavana wa turkana joseph nanokhatutakubali utawala ambao utaturudisha katika utawala wa kiimla siku za giza ambazo tulizipagania sana familia mingi bado zina machungu hatutaki vitisho vya serikali ya jubileembadi aliongezearead english versionuna maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke read more
odm odm kenya odm news moto
tsc payslips eunice njeri engagement citizen tv presenters jubilee party syombua mwele habari zingine mwanaharakati shoga awataka waafrika kufanya jambo hili la kushangazapicha | 2017-03-25T01:56:39 | https://swahili.tuko.co.ke/233663-odm-yamkemea-uhuru-baada-ya-kuvurugana-na-gavana-joho-mombasa.html |
hazina ya maswali>ادراک جزئیات>معرفت شناسی>falsafa>منطق و فلسفه hazina ya maswali islamquest
nyumbani hazina ya maswali منطق و فلسفه falsafa معرفت شناسی ادراک جزئیات
4276 elimu ya zamani ya akida 2012/05/23 | 2019-04-26T00:24:58 | http://www.islamquest.net/af/archive/category/1392 |
kumbe mastaa kibao bongo watoto wa mama | jamiiforums | the home of great thinkers
kumbe mastaa kibao bongo watoto wa mama
kumbe wengi wenu mmekimbilia mliko kutokana na kukosa malezi ya baba na mama nimewasoma na ukweli ndio huo hamna maadili kwa hiyo hamuwezi kuwa vioo kwa jamii kwani wengi wenu mmejilea au mmekua kwa kudekezwa na mzazi mmoja
mastaa wengi wakiwemo ray wema hashim thabitlulu na marehemu wakiwa kwenye interview na media kila baada ya maneno matatu wanamtaja mama this is shameful hata kama huna baba punguza hiyo so mmekua huko mliko na matabia yenu machafu kwa vile mzazi mmoja hakuchangia malezi au mmeamua tu kuwa mlivyo hawa ni wachache tu ambao nimewahi kusikilza interview zao je wewe unamjua yupi mwingine
msiwasahau wema na almasi
single parent janga la taifa
sasa wewe kama mtu toka akiwa mtoto adi amekuwa amelelewakulishwa na kusomeshwa na mama yake baada ya kutelekezwa na babaunataka amtaje baba ili iweje
huu uzi ni mzuri tatizo ni kwa mtoa mada kuwa na hasira na hii hali ikiwa mwenyewe anatambua fika wanaume wengi wanakimbia watoto na kuja kujisifu nao wakipata mafanikio
nilitegemea ungeuliza kama je single parent inasababisha usongo au hata mastaa wengi ni kutoka kwenye single parent esp mother
acha ushambasingle parent its all over the world and mothers they always take care the familyfikiria kabla ya kuandika andika tuu
i love my mama mwalimu mtolera bila yeye hata jf nisinge ifahamu
thanks mama i love uuuuuuu
mbona unahukumu watu kulelewa na mama zao je kama mtu alifiwa na baba yake akiwa mdogo na wengine baba na mama wapo lakini anayelea ni mama tu baba karudi usiku bwii kila siku
vipi mbona hamzungumzii wale waliolelewa na watu wasio wazazi wao baba na mama walifariki au walikuwa busy wote
we uliyoandika hiyo maneno nawasiwasi na jinsia yakohv kama umekuza na kulelewa na mama ulikuwa unataka baba atajwe kwa lp hasaunahitaji kwenda darasani kusoma tena pia umewadhalilisha kina mamaina maana mastar wote ******* hapa town n walio lelewa na mama tu kuwa na heshima na next tym fikiri kabla hujafanya cho2teclick to expand
sio lazima atajwe baba kama hayupo ni bora hukae kimya tu kuliko mama mamaa
kumbe mkiambiwa ukweli mnakasirikahuo ndio ukweli bana mnaboa sanatumieni sana neno wazazi kuliko kumtaja mzazi mmoja mlilozoea mnafanya tuwahisi tofauti bandugu
report abuse inahusika hapa
acha nijipitie mie
acha nijipitie mieclick to expand
nimeziona ban mbili hapo juu za fasta mooooods over here watu wanazichapa huku
hapa bila kumung'unya maneno hata mimi nakerwa mno na hii tabia ya mama mama mama mama that's nonsense i don't like this behavior
acha ubaba nyie midume si hamjali
nyie magreat thinker wengine
dplatnumzna yeye akiwemo
ubaya wa kumtaja mama uko wapi
wewe kama umebarikiwa kuwa na wazazi wote shut up and thank god sio unaropoka tu
kuna vibuyu hapa nimegundua leo
wamama wako vizur | 2017-04-25T01:16:40 | https://www.jamiiforums.com/threads/kumbe-mastaa-kibao-bongo-watoto-wa-mama.280963/ |
25 enkarhini wolowo mfumo wa matilo wu ta fana ni vanhwana va khume lava tekeke timboni+ ta vona va huma ku ya hlanganisa muteki+
2 va ntlhanu eka vona a va ri swiphukuphuku+ naswona va ntlhanu a va tlharihile+
3 lava va swiphukuphuku va teke timboni ta vona kambe va nga teki mafurha
4 kasi lavo tlhariha va teke mafurha hi swikutsu swa vona ni timboni ta vona
5 loko muteki a hlwela hinkwavo va khudzehela ivi va ya etlela+
6 exikarhikarhi ka vusiku ku pfuka ku huwelela+ hi loyi muteki humani mi nwi hlanganisa
7 kutani vanhwana volavo hinkwavo va pfuka va lulamisa timboni+ ta vona
8 lava swiphukuphuku va byela lavo tlhariha va ku hi nyikeni mafurhanyana+ ya nwina hikuva timboni ta hina ti lava ku timeka
9 lavo tlhariha+ va hlamula hi marito lawa kumbexana a ma nge hi ringani kahle hina na nwina ematshanweni ya sweswo khomani ndlela mi ya eka lava ma xavisaka mi ya tixavela ya nwina
10 loko va ha fambile ku ya xava muteki a fika kutani vanhwana lava a va lunghekile va nghena na yena enkhubyeni+ wa vukati hiloko nyangwa yi pfariwa
11 endzhakunyana vanhwana lavanwana na vona va fika va ku nkulukumba nkulukumba hi pfulele+
12 a va hlamula a ku ndzi mi byela ntiyiso a ndzi mi tivi+
13 hikokwalaho tshamani mi rindzile+ hikuva a mi ri tivi siku hambi ku ri nkarhi+ wa kona
14 hikuva swi fana ni loko munhu+ loyi a lavaka ku endzela etikweni ra le kule+ a vitana mahlonga yakwe a ma tamerisa leswi nga swa yena+
15 kutani a nyika rinwana titalenta ta ntlhanu rinwana timbirhi ni rinwanyana yinwe rinwana ni rinwana hi ku ya hi vuswikoti+ bya rona ivi a ya etikweni ra le kule
16 hi ku hatlisa leri kumeke titalenta ta ntlhanu ri famba ri ya pindzula ha tona kutani ri pindzula tinwana ta ntlhanu+
17 hi ndlela leyi fanaka leri kumeke timbirhi ri pindzula tinwana timbirhi
18 kambe leri kumeke yinwe ntsena ri famba ri cela ehansi kutani ri fihla mali ya silivhere ya nwini wa rona
19 endzhaku ka nkarhi+ wo leha nwini wa mahlonga wolawo a ta ivi a lulamisa timhaka na wona+
20 kutani leri kumeke titalenta ta ntlhanu ri ta kutani ri tisa titalenta tinwana ta ntlhanu ri ku nwini wanga u ndzi tamerise titalenta ta ntlhanu vona ndzi pindzule titalenta tinwana ta ntlhanu+
21 nwini wa rona a ku eka rona u endle kahle hlonga+ lerinene ro tshembeka u tshembekile+ eka swilo leswitsongo ndzi ta ku veka u langutela swilo swo tala+ nghena entsakweni+ wa nwini wa wena
22 endzhaku leri kumeke titalenta timbirhi ri ta ivi ri ku nwini wanga u ndzi tamerise titalenta timbirhi vona ndzi pindzule titalenta tinwana timbirhi+
23 nwini wa rona a ku eka rona u endle kahle hlonga lerinene ni ro tshembeka u tshembekile eka swilo leswitsongo ndzi ta ku veka u langutela swilo swo tala+ nghena entsakweni+ wa nwini wa wena
24 eku heteleleni leri kumeke talenta yinwe ri ta+ ivi ri ku nwini wanga ndzi ku tiva u ri munhu la koxaka ngopfu loyi a tshovelaka laha a nga byalangiki kona naswona a hlengeletaka laha a nga peperhangiki kona
25 kutani ndzi khomiwe hi ku chava+ ivi ndzi famba ndzi ya fihla talenta ya wena ehansi nchumu wa wena hi lowu
26 nwini wa rona a ri angula a ku hlonga ro homboloka ni ra vulolo a wu swi tiva a hi swona ke leswaku ndzi tshovela laha ndzi nga byalangiki kona naswona ndzi hlengeleta laha ndzi nga peperhangiki kona
27 xisweswo a wu fanele u vekise mali ya mina ya silivhere eka vabindzurisi kutani loko ndzi fika a ndzi ta va ndzi kume leswi nga swa mina swi ri ni ntswalo+
28 hikokwalaho ri tekeleni talenta leyi mi nyika leri nga ni titalenta+ ta khume
29 hikuva unwana ni unwana la nga na swona u ta nyikiwa leswi engetelekeke naswona u ta va ni swo tala kambe loko ku ri loyi a nga riki na swona u ta tekeriwa ni leswi a nga na swona+
30 kutani hlonga leri nga pfuniki nchumu ri cukumeteni ehandle emunyameni kwalaho hi laha ku rila ni ku getsela ka meno ya rona ku nga ta va kona+
31 loko nwana wa munhu+ a fika hi ku vangama kakwe tintsumi hinkwato ti ri na yena+ u ta tshama exiluvelweni xakwe xo vangama+
32 naswona matiko hinkwawo ma ta hlengeletiwa emahlweni kakwe+ kutani u ta hambanisa+ vanhu vanwana eka vanwana+ ku fana ni loko murisi a hambanisa tinyimpfu eka timbuti
33 naswona u ta veka tinyimpfu evokweni rakwe ra xinene+ kambe timbuti eka lera ximatsi+
34 kutani hosi yi ta ku eka lava nga exineneni xa yona tanani nwina lava katekisiweke hi tatana+ dyanani ndzhaka+ ya mfumo+ lowu mi lunghiseriweke wona hi mpfhuka misava+ yi va kona
35 hikuva a ndzi khomiwe hi ndlala kutani mi ndzi nyika swo dya+ a ndzi ri ni torha kutani mi ndzi nyika swo nwa a ndzi ri mufambi kutani mi ndzi amukela hi malwandla+
36 a ndzi nga ambalanga nchumu+ kutani mi ndzi ambexa a ndzi vabya kutani mi ndzi khathalela a ndzi ri ekhotsweni+ kutani mi ta eka mina
37 kutani lavo lulama va ta yi hlamula hi marito lawa hosi hi ku vone rini u ri ni ndlala kutani hi ku phamela kumbe u ri ni torha+ kutani hi ku nyika swo nwa+
38 hi ku vone rini u ri mufambi kutani hi ku amukela hi malwandla kumbe u swerile kutani hi ku ambexa
39 hi ku vone rini u vabya kumbe u ri ekhotsweni kutani hi ta eka wena
40 kutani hosi+ yi ta va angula yi ku ndzi tiyisile ndzi ri eka nwina mpimo lowu mi swi endleke ha wona eka unwana+ wa vamakwerhu+ lava lavatsongo mi swi endle ha wona ni le ka mina+
41 kasi lava nga eximatsini xa yona yi ta va byela yi ku sukani eka mina+ nwina lava rhukaniweke mi ya endzilweni+ lowu nga heriki lowu lunghiseleriweke diyavulosi ni tintsumi+ takwe
42 hikuva a ndzi ri ni ndlala kambe a mi ndzi nyikanga nchumu xo dya+ naswona a ndzi ri ni torha+ kambe a mi ndzi nyikanga nchumu xo nwa
43 a ndzi ri mufambi kambe a mi ndzi amukelanga hi malwandla a ndzi nga ambalanga nchumu kambe a mi ndzi ambexanga+ a ndzi vabya a ndzi ri ekhotsweni+ kambe a mi ndzi khathalelanga
44 kutani na vona va ta hlamula hi marito lawa hosi hi ku vone rini u ri ni ndlala kumbe u ri ni torha kumbe u ri mufambi kumbe u swerile kumbe u vabya kumbe u ri ekhotsweni hi nga ku tirheli
45 kutani u ta va hlamula hi marito lawa ndzi tiyisile ndzi ri eka nwina mpimo lowu mi nga swi endlangiki ha wona eka lava lavatsongo+ a mi swi endlanga+ ni le ka mina+
46 kutani lava va ta loviseriwa makumu+ kambe lavo lulama va ta ya evutonwini lebyi nga heriki+ | 2017-07-28T17:08:54 | https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/bibele/bi12/tibuku/matewu/25/ |
mchezo one piece ultimate kupambana online kucheza kwa huru
mchezo one piece ultimate kupambana
unachezwa 1929
kucheza mchezo one piece ultimate kupambana online
maelezo ya mchezo one piece ultimate kupambana
kujaribu mkono wako katika mma wote unahitaji hivyo ni kujifunza super kugonga wachezaji wote na kujaribu kupinga kwao ni hivyo si rahisi kufanya lakini kila mechi utakuwa na nafasi halisi ya kushinda sisi tu amekosa makofi machache ya adui na utakuwa na uwezo wa kutoa mwenyewe rundo zima la kujifurahisha kucheza mchezo one piece ultimate kupambana online
kiufundi na tabia ya mchezo one piece ultimate kupambana
mchezo one piece ultimate kupambana aliongeza 19062015
ukubwa wa mchezo 1731 mb
mchezo unachezwa 1929 mara
mchezo rating 413 nje 5 (23 makadirio)
michezo kama mchezo one piece ultimate kupambana
download mchezo one piece ultimate kupambana
embed mchezo one piece ultimate kupambana katika tovuti yako
kuingiza mchezo one piece ultimate kupambana kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo one piece ultimate kupambana nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia
pamoja na mchezo one piece ultimate kupambana pia alicheza katika mchezo | 2018-06-24T20:10:30 | http://sw.itsmygame.org/1000037009/one-piece-ultimate-fight_online-game.html |
salam za eid na rambirambi kutoka kwa zanzibar diaspora (zadia) | h@ki ngowi
salam za eid na rambirambi kutoka kwa zanzibar diaspora (zadia)
0 0 haki ngowi sunday september 27 2015 edit this post
taarifa assalamu alaykum k wanza kabisa napenda kumshukuru allah subhanahu wa taala kwa kutujaalia kuwa wazima na kuadhimisha
assalamu alaykum kwanza kabisa napenda kumshukuru allah subhanahu wa taala kwa kutujaalia kuwa wazima na kuadhimisha siku kuu ya idd aladhha ya mwaka 1436h (2015)
idd aladh'ha ni siku kuu kubwa kati ya siku kuu mbili katika uislamu ni siku ya furaha kwa familia na jamii kwa ujumla kwa niaba ya uongozi wenu wa zadia naungana na wanazadia wote wazanzibari na waislamu kwa ujumla katika kuadhimisha siku hii adhimu
kwa vile hii ni siku kuu kubwa furaha yangu ingekuwa kubwa zaidi katika kusherehekea hata hivyo furaha hiyo imeingia doa kutokana na maafa yaliyowakumba ndugu zetu waislamu waliofunga safari kwenda kuhiji kuitikia wito wa mola wao mlezi wa kuizuru nyumba yake
tukufu
kutokana na hilo napenda kuchukua fursa hii kutoa salamu zangu za rambirambi kwa waislamu wote ulimwenguni ambao wamepoteza ndugu jamaa na marafiki katika maafa hayo
tunamuomba allah awaingize wenzetu waliotangulia peponi kwa rehma zake kama ambavyo natoa pole kwa mahujaji wote waliopata ajali na kujeruhiwa na kumwomba allah swt awape afya na uzima na kuwarejea katika familia zao wakiwa katika afya na uzima
ndugu wanazadia na wazalendo kwa ujumla
huku tukiwa tunaendelea kusherehekea siku kuu ya idd aladh'ha napenda kuwakumbusha kuhusu majukumu ya kila mmoja wetu ya kuendeleza umoja mshikamano na amani katika jumuiya yetu na nchi yetu zanzibar kwa ujumla na hakuna njia nyepesi ya kufikia malengo hayo ispokuwa kushikamana na kamba ya mwenyezi mungu
tujifunze kutokana na somo la hijja ambalo waislamu kutoka sehemu zote duniani hukutan sehemu moja wakiwa katika vazi la aina moja kwa ajili ya kuabudu mola mmoja bila kujali kabila nchi wanazotoka umri jinsia vyeo au tofauti nyenginezo wote wako sawa wakiwa na lengo moja
siku kuu hii kwa mwaka huu inakuja ikiwa imebakia si zaidi ya mwezi mmoja kabla zanzibar na tanzania kwa ujumla kuingia katika uchaguzi mkuu mara tu baada ya kumalizika kwa shamrashamra za siku kuu akili macho na masikio yetu yote yataelekea kwenye kampeni za uchaguzi na vioja vyake
kwa hivyo nasaha kwetu sote wadau wote kulitumia funzo tulilolipata katika hijja na siku kuu yake kuhakikisha kuwa tunashiriki kwa njia moja au nyengine kuufanya uchaguzi ujao upite kwa salama na amani kama ulivyopita ule uliotangulia wa mwaka 2010 tukumbuke kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu kwa hivyo kampeni na ushabiki wetu wa kisiasa vyote vilenge kwenye kuendeleza serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar na kuipa nguvu zanzibar kuleta maendeleo
ikumbukwe kuwa malengo makuu ya zadia ni kuleta umoja wa wazanzibari na maendeleo yao nje na ndani ya nchi yetu tuipendayo hata hivyo malengo hayo hayawezi kufikiwa bila kuwa na amani usalama na utulivu ndani ya nchi yetu ya zanzibar na hata jamhuri yote ya muungano wa tanzania
kila mmoja wetu ajaribu kuyalinda malengo hayo kwa kuzingatia kauli ya bwana mtume saw aliposema kila mmoja wenu ni mchunga na kila mmoja wenu ataulizwa juu ya kile anachokichunga
nawatakia idi njema nawapa pole wafiwa na nawaombea majeruhi shifaa
omar h ali
zadia
h@ki ngowi salam za eid na rambirambi kutoka kwa zanzibar diaspora (zadia)
http//2bpblogspotcom/tfftzazx8ta/vgyaeu6krii/aaaaaaaauz4/fa27qxp_3do/s640/capturewwwwqqpng
http//2bpblogspotcom/tfftzazx8ta/vgyaeu6krii/aaaaaaaauz4/fa27qxp_3do/s72c/capturewwwwqqpng
http//wwwhakingowicom/2015/09/salamzaeidnarambirambikutokakwahtml | 2017-10-20T08:32:51 | http://www.hakingowi.com/2015/09/salam-za-eid-na-rambirambi-kutoka-kwa.html |
commission for human rights and good governance mpango kazi wa kitaifa wa haki za binadamu
tume ya haki za binadamu na utawala bora inafurahi kuwasilisha mpango kazi wa kitaifa wa haki za binadamu (mkkhb) wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania tangu kuundwa kwa muungano serikali ya tanzania imejizatiti kuhifadhi na kukuza haki za binadamu kama zinavyofafanuliwa na katiba ya jamhuri ya muungano ya tanzania ya mwaka 1977 (kama ilivyorekebishwa mara kwa mara) katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 (kama ilivyorekebishwa hadi mwaka 2010) tamko la ulimwengu la haki za binadamu la mwaka 1948 pamoja na mikataba mingine ya kikanda na kimataifa kwa kuzingatia hali hii serikali imeunda taasisi na vyombo mbalimbali kwa ajili kulinda na kukuza haki za binadamu ikiwa ni pamoja na tume ya haki za binadamu na utawala bora (thbub) lakini hakukuwa na mpango kazi maalum unaotekelezwa na vyombo vyote unaohusu haki za binadamu mpango huu uitwao mkkhb sasa unaweka msingi na mpangilio wa mambo ya kutekeleza mpango unadhihirisha azma ya serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania ya kutekeleza wajibu wake kimataifa na shauku ya serikali katika kuboresha kuhifadhi na kutekeleza haki za binadamu nchini
pakua kiswahilipakua kiingereza | 2020-07-10T16:25:48 | https://chragg.go.tz/index.php/median/92-publications/plans-and-strategies/574-mpango-kazi-wa-kitaifa-wa-haki-za-binadamu |
nguvu ya upepo hutoa upepo zaidi kuliko inavyotarajiwa
←jumla tano kati ya sita ya kusafisha kifaransa imefungwa
gari yenye nitrojeni kioevu ni ya zamani lakini bado inafaa→ | 2018-03-17T05:56:38 | https://sw.econologie.com/eolien-offre-plus-vent-que-prevu/ |
samatime drama wema sepetu alibembeleza penzi la diamond kwa simu maongezi yarekodiwa penny ampa madongo
drama wema sepetu alibembeleza penzi la diamond kwa simu maongezi yarekodiwa penny ampa madongo
diamond na wema sepetu will always make headlines wakati issue ya irene uwoya haijaisha leo limeibuka jingine ni baada ya wema sepetu jana usiku kumpigia simu diamond ambaye wakati huo alikuwa amepumzika na mwandani wake wa sasa penniel mungilwa na wapenzi hao kumrekodi maongezi hayo yamerushwa kwenye you heard ya clouds fm
insider mmoja ameiambia bongo5 kuwa wema alimpigia simu diamond akimwambia kuwa anataka usiku huo aende kwake lakini diamond akamwambia hayupo kwake na yupo nyumbani kwa penny insider huyo amesema wema alimwambia diamond kama vipi yeye (diamond) ndio aende nyumbani kwa wema usiku huo hata diamond alikataa kwa kusisitiza kuwa anampenda penny na hawezi kuwa tena na wema
hivi ndivyo maongezi hayo yaliyoifikia you heard yalivyokuwa
diamond mimi sikufanyii drama yoyote im in love with penny na wewe unaijua hivyo
wema yeah you are in love with penny and i
diamond sipendizewi kwasababu mwishi wa siku itakuja kuleta matatizo drama sitaki
penny anaichukua simu anasema hallo we want to sleep now mammy wacha si tulale
wema uko poa
penny niko poa mammy can u let us sleep now si hatutaki matatizo na wewe usitake matatizo na sisi lets just live one happy life
wema you know me i dont want trouble
penny yeah but you always wanna cause trouble wema you always when did you ever want something peaceful when i mean when he (diamond) says he is in love with me i dont know for some reasons i expect you to respect that because all you have done is bringing us trouble seriously and all these things you do they tell us kwamba wewe ndio unafanya
maongezi ya mwisho hayasikiki vizuri sana lakini inaonesha wema alikata simu
mwandaaji wa you heard soudy brown alimpigia simu kumwambia kuhusu kipande hicho cha maongezi kilichorekodiwa na hivi ndivyo alivyosema
wema nimeambiwa lakini sikujua itakuwa this big kama wananichokoa hapa apate kick wanaona kwamba hawana kick then thats something else unajua eehkick wazitafute sehemu nyingine sio kwa wema sepetu sawa mimi najijua me i am a star i am star like all over tanzania hakuna star kama mimi kwahiyo kama wanaona wanaweza kupata kick kutokana na mimi star because they are looking for name they are fucked up sitaki kuanza kuchokonolewa chokonolewa kuanza kuetengenza sijui vitu gani nimekaa tu kimya mimi nimesikia sijui bbm sijui nini im just quite okay sijafanya chochote
soudy bado unampenda diamond
wema hapana siwezi kumpenda wewe
soudy kumtamani
wema siwezi
soudy kwanini
wema sasa wa kazi gani kwasababu mimi nimeshakuwa na diamond its done haikuwa riziki kila mtu ameenda na mambo yake kaendelea na maisha yangu na mimi nimeendelea na maisha yangu i am very very happy where i am
creditsbongo5
posted by sabato manyama at 230 pm | 2018-04-22T23:45:31 | http://samatym.blogspot.com/2013/04/drama-wema-sepetu-alibembeleza-penzi-la.html |
della media production simulizi fupi mbinafsi
jumatatu oktoba 13 2014
simulizi fupi mbinafsi
na adela d kavishe
ilikuwa ni kazi ambayo nilijua kabisa rafiki yangu joyce angeweza kuifanya moja kwa moja nilimpigia simu na kumjulisha ili aweze kupeleka vyeti vyake ni muda mrefu joyce alikuwa akihangaika huku na kule kutafuta ajira hivyo niliamua kumsaidia ili aweze kufanikiwa kupata kazi baada ya kumueleza joyce alifurahi sana na haraka alikwenda kupeleka vyeti vyake na baadaye alifanyiwa usaili na baada ya wiki mbili tu alifanikiwa kupata kazi katika kampuni ya sigara maisha yaliendelea na sasa wote tulikuwa na kazi siku moja nikiwa nyumbani nimepumzika joyce alifika huku akionekana kuwa mwenye furaha sana mary rafiki yangu sasa mambo yangu ni mazuri yaani hapa nilipo ninafuraha sana yaani hata sijui nianzie wapi kukueleza
nilimtizama huku nikionyesha tabasamu zito nikiwa na shauku kubwa la kutaka kujua kwanini joyce alikuwa amefurahi kiasi kile ehee niambie rafiki kuna nini tena aliguna kidogo kisha akasogea na kuketi karibu yangu huku akinionyesha karatasi ambayo ilikuwa na maandishi ambayo nilishindwa kuyasoma kwa haraka kwasababu joyce alikuwa akihangaisha mikono yake bila kutulia yaani mary mwenzio naenda marekani umeona hii barua ni kwamba kuna nafasi za kazi zimetoka hivyo na mimi nimejaza fomu na hivyo nimechaguliwa kwaajili ya kwenda kusoma na kufanya kazi hapa nilipo ninafuraha isiyo na kifani
nilifurahi sana kusikia rafiki yangu kipenzi ndoto zake zinakamilika hongera sana (my dear) mpendwa mungu akutangulie katika kila jambo hiyo ni hatua kubwa sana sasa mbona hukuniambia na mimi mapema ningejaribu bahati yangu joyce alicheka na kusema unajua hizi nafasi zilikuwa chache na maalumu kwa wafanyakazi wa kampuni ninayofanyia kazi hivyo hata ningekuambia usingeweza kufanikiwa tulizungumza sana siku hiyo na nilimtakia kila la heri baadaye aliondoka
baada ya wiki chache kupita joyce akiwa anajiandaa kusafiri siku hiyo nilikutana na kaka mmoja anaitwa roy ambaye alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya sigara kaka huyu tulikuwa tukifahamiana muda mrefu sana na ndiye aliyenisadia kumuunganishia joyce kupata ajira katika kampuni yao tulisalimiana kisha akaanza kusema mary mbona umepuuzia bahati ya kwenda kusoma marekani kwanini sasa ulikataa kujaza fomu na nilimpa joyce akuletee
nilistaajabu aliponiambia kuwa huna mpango wa kuendelea kusoma na tena unataka kuolewa hivi karibuni kimya kimya rafiki yangu hata kunifahamisha nilimsikiliza roy kwa umakini maneno aliyokuwa anazungumza nikabaki nimepigwa na butwaa na kunyamaza kimya kidogo kisha nikamjibu ati nini mimi kuolewa wapi na nani halafu mbona joyce hakuwahi kunieleza chochote kuhusu kujaza fomu ya kwenda kusoma nje ya nchi na pia nilimuuuliza siku aliyokuja kunipa taarifa kuwa anakwenda marekani kusoma akaniambia nafasi hizo ni kwaajili ya wafanyakazi wa kampuni yenu pekee sasa nashangaa kuona wewe unaniambia mimi nimechezea bahati inamaana joyce ni mbinafsi kiasi hicho
ama kweli shukurani ya punda mateke na katika maisha tenda wema uende zako usingoje shukurani yaani hakumbuki wema niliomtendea kumtafutia kazi hadi kafanikiwa leo hii anashindwa kunishirikisha katika jambo kama hili haya bwana kama ndivyo alivyoamua roy alinitizama kwa macho ya upole na kusema daah pole sana mary ila yote maisha wewe achana naye endelea na maisha yako kwani kuna leo na kesho na katika maisha binadamu shida haziishi leo unaweza kumsaidia mtu akafikiri ndiyo amemaliza kila kitu akakupotezea na kukuona hauna msaada tena lakini ipo siku atarudi kuomba msaada wako tena huku akijuta kwa alichokutendea
nilisikitika sana siku hiyo nilitamani kumpigia simu kumueleza lakini niliamua kukaa kimya kutokana na ushauri wa roy na kweli mungu alivyo wa ajabu safari yake haikufanikiwa kwani kuna vigezo alikuwa hajakamilisha na baada ya miezi mitatu alikuja akasimamishwa kazi kutokana na ukosefu wa nidhamu kazini alinifuata na kunieleza huku akiniomba nimsaidie kutafuta kazi siku hiyo sikutaka kubaki na dukuduku nililokuwa nalo moyoni ilinibidi nimuweke wazi kwa kile alichonitendea kipindi cha nyuma alinisikiliza huku akiniomba msamaha bila hiyana nilimsamehe lakini moyoni mwangu nilijua kabisa joyce siyo rafiki mzuri kwani nimbinafsi anataka kufanikiwa yeye pekee na si vinginevyo na akishafanikiwa hakumbuki alipotokeaubinafsi ni kitu kibaya sana kwani katika maisha ni vyema kusaidiana katika kila jambo kwani huwezi kujua kesho itakuwaje na nani atakayekusaidia
imechapishwa na adela kavishe kwa 1224 mchana
yaani hadithi yako imetulia dada na inatulenga sisi watanzania kwa kweli maana ubinafsi wetu wengine unaturudisha nyuma safi sana yaani siku yangu imeanza vizuri kwa kusoma hadithi yako kazana mama
13 oktoba 2014 1712
pamoja sana amor
13 oktoba 2014 2131
stoic mwakajintu alisema
waweza nitumia kwa njia ya audio watsup 0769517313 mana zaninogeajeee
9 desemba 2014 1646 | 2017-11-23T03:51:01 | http://adeladallykavishe.blogspot.com/2014/10/simulizi-fupi-mbinafsi.html |
mourinho azidi kuwatisha wapinzani kwenye usajili | boiplus
» mourinho azidi kuwatisha wapinzani kwenye usajili
mourinho azidi kuwatisha wapinzani kwenye usajili
klabu ya manchester united imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji raia wa armenia anayekipiga borussia dortmund henrikh mkhitaryan
kiungo huyo mwenye miaka 27 amesaini mkataba wa miaka minne ambao una kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi na kuigharimu united pauni 263 milioni
mikhitaryan alisema nina furaha kujiunga na manchester united ndoto zangu zimekuwa kweli najisikia fahari kucheza klabu kubwa kama hii yenye historia ya kupendeza namshukuru jose mourinho kwa kuniamini na kunijumuisha katika kikosi chake
mwisho nina amini kucheza katika klabu hii itakuwa ni kumbukumbu nzuri kwa baba yangu kwa kunihamasisha hadi kufikia hapa nilipo leo
kwa upande wake kocha mourinho alisema henrikh ni mchezaji mwenye kipaji na amekuwa na mafanikio kuanzia kwenye nchi yake hadi klabu
anaweza kucheza kitimu ana ujuzi na ana muono mzuri mbele golininayo furaha kumtangaza kuwa mchezaji wa united
mkhitaryan ameifungia dortmund magoli 23 kwenye ligi kuu ya ujerumani bundesliga katika miaka mitatu aliyodumu na klabu hiyo | 2016-12-08T16:01:14 | http://boiplus.blogspot.com/2016/07/mourinho-azidi-kuwatisha-wapinzani.html |
tmarc tanzania yatoa msaada wa diapers za smiley hospitali ya mwananyamala dar es salaam habari na matukio
home afya habari habari na matukio habari za kijamii tmarc tanzania yatoa msaada wa diapers za smiley hospitali ya mwananyamala dar es salaam
kajunason at january 22 2020 afya habari habari na matukio habari za kijamii
mmoja wa wanawake waliojifungua katika hospitali ya mwananyamala rebecca nelson akifurahia diapers mpya za smiley baada ya kukabidhiwa na balozi wa bidhaa hizo za tmarc tanzania dinah marrios (kushoto) wengine pichani ni watumishi waandamizi wa hospitali hiyo na kutoka taasisi yak tmarc
mkurugenzi wa bidhaa za kijamii wa tmarc tanzania flavian ngole (kulia) akikabidhi msaada wa diapers mpya za smiley zilizozinduliwa katika soko nchini karibuni na tmarc kwa mzazi rebecca nelson katika wodi ya wazazi ya hospitali ya mwananyamala jijiji dar es salaam wakati wa hafla ya taasisi hiyo kukabidhi msaada wa bidhaa hizo hospitalini hapo (katikati) ni balozi wa smiley dinah marrios wengine (kutoka kushoto) ni muuguzi mkuu wa hospitali hiyo dkmussa wambura na muuguzi rosa moses | 2020-04-01T23:34:36 | https://www.kajunason.com/2020/01/t-marc-tanzania-yatoa-msaada-wa-diapers.html |
venezueladunia isikilize kilio cha watu waathirika | vatican news
liam neeson anaomba msaada kwa ajili ya watoto na wazazi wao wahamiaji walioko mpakani mwa brazil wakitoke nchini venezuela (ansa)
venezueladunia isikilize kilio cha watu waathirika
baraza la maaskofu nchini venezuela wanarudia kwa upya kutoa tamko la wito ili viongozi wajibu kwa dhati juu ya mahitaji ya watu ambao wamejaribiwa na kipeo cha umaskini na ukosefu wa msimamona shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto unicef limesema maelfu ya watoto bado wanaendelea kuwa waathirika wa hali mbaya nchini na kulazimika na familia zao kukimbia na kuingia nchini brazil
watu wa mungu wa venezuela wako mstari wa mbele wa kutaka mabadiliko ambayo venezuela inahitaji ndiyo maandishi yaliyomo ya maaskofu wa venezuela mara baada ya mkutano wao wa mwaka uliofunguliwa tarehe 8 januari 2020 huko caracas kanisa linataka kuendelea kutoka msahada wa lazima kwa wote hasa wale waathirika maaskofu pia wanasisitiza hata kile ambacho walibainisha kwenye wosi wao wa kichungaji wa tarehe 12 julai 2019 kwamba mbele ya hali halisi ya kukubiliwa na serikali isiyo halali venezuela inataka mabadiliko ya kweli ya mapambania ili kurudi katiba mabadiliko haya yanahitaji kufukuzwa kwa wale wanaotumia madaraka kwa njia isiyo halali na uchaguzi wa rais mpya wa jamhuri katika muda mfupi iwezekanavyo
viongozi waheshimu hadhi ya watu wote
kwa washiriki wa vikosi vya wanajeshi maaskofu wanaombaa hasa kuwa na viongozi wanaoongozwa na dhamiri njema na kwamba waheshimu hadhi na haki ya watu wote wale ambao wana jukumu la kisiasa na pia wote serikalini na katika upinzaji lazima wawe makini na watu wakiangalia mahitaji yao na sio fursa na maslahi fulani
wahamiaji wawe mabalozi wa upendo katika kutoa hisani
katika ujumbe huo maaskofu wa venezuela pia wanageukia watu wa mungu wa venezuela waliolazimishwa kuondoka katika nchi yao maaskofu wanawatia moyo kufungamana katika tamaduni mpya kama ilivyotokea kwa wahamiaji kutoka kanda tofauti za ulimwengu ambao wamekaribishwa nchini venezuela wanawasihi wasiache kuonyesha imani yao na upendo hasa wa hisani kwa kushiriki katika kazi za jamii na kanisa wasisite kamwe kuwa mabalozi wa urithi uliopokelewa kutoka kwa mababu zao
nchi imasikitishwa na kuwekwa kwa mfumo wa kiitikadi
katika ujumbe huo maaskofu pia wanawasihi watu wa amerika na ulimwengu wasikilize kilio cha idadi ya watu wa venezuela na wanaomba mataifa ambayo yanawakaribisha wahamiaji wa venezuela kuwapa umakini wanaohitaji kuishi kwa heshima huko venezuela tunaishi katika serikali ya kiimla na ya kinyama ambamo upinzani wa kisiasa unateswa na mateso kukandamizwa haikubaliki wanaongeza kwamba nchi yenye utajiri mkubwa wa nyenzo imekuwa maskini na kuwekwa mfumo wa kiitikadi mfumo ambao mbali na kukuza ustawi wa kweli umetelekeza raia wake kwa wale ambao wanasimamia serikali mambo muhimu sio jambo ustawi wa jamnii tu lakini nguvu ya oamoja na yenye uwezo wa kuvunja kila jaribio lolote la kuishi katika demokrasia halisi
maelfu ya watoto wanaendelea kuwathirika na hali mbaya kwa mujibu wa unicef
shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto unicef limesema maelfu ya watoto bado wanaendelea kuwa waathirika wa hali mbaya nchini venezuela na kulazimika na familia zao kufungasha virago na kuingia nchi jirani ya brazil katika ziara ya siku nne iliyofanywa na balozi mwema wa shirika la unicef liam neeson kwenye mji wa brazil ulioko mpakani na venezuela ameshuhudia hali halisi baada ya kukutana na watoto na familia zao lakini pia jamii zinazowahifadhi katika ziara hiyo ya siku tatu iliyomalizika mwishoni mwa wiki neeson ametembele eneo la rondon 3 moja ya makazi makubwa zaidi yanayohifadhi wahamiaji wa venezuela nchini brazili watu zaidi ya 1000 wakiwemo watoto 550 wanaishi katika makazi haya hivi sasa kama hatua za kukabiliaka na wimbi kubwa la wahamiaji wa venezuela kuingia brazil unicef na washirika wake wamechukua hatua mbalimbali hasa katika masuala ya elimu na ulinzi kwa watoto afya na lishe pamoja na masuala ya maji na usafi
vituo vinakutanisha watoto
moja ya vitu walivyofanya ni kufungua mahali pa kukutanisha watoto kituo kiitwacho super panas ambacho kinatoa huduma za elimu michezo na msaada wa kisaikolojia ili kuandaa watotona vijana barubaru kujumika katika shule za kawaida au kuwasaidia ambao tayari wameingia shuleni balozi mwema alishiriki katika shughuli mbalimbali na watoto hao na vijana barubaru na pia kuhudhuria huduma za afya za upimaji kwa ajili ya watoto hao wahamiaji kwa kushirikiana na mamlaka na mashirika ya umoja wa mataifa ecuador peru brazil colombia guyana na trinidad na tobago unicef pia inaongeza hatua zake katika maeneo ya mijini na kusaidia kujumuishwaji wa watoto kutoka venezuela katika jamii zinazowahifadhi
nchi za amerika ya kusini na caribbean zinahifadhi wakimbizi wengi
nchi za amerika kusini na caribbea tayari zinahifadhi wahamiaji na wakimbizi milioni 39 kutoka venezuela katika moja ya kinachojulikana kama wimbi kubwa zaidi la wahamiaji na idadi ya familia zinazoondoka venezuela inazidi kuongezeka mwaka huu watoto zaidi ya milioni 19 wakiwemo wahamiaji toka venezuela na jamii zinazowahifadhi wanatarajiwa kuhitaji msaada na hadi kufikia desemba 2019 ni asilimia 41 pekee ya dola milioni 695 zizilizohitajika mwaka jana ndio zimepatikana na mwaka huu unicef inahitaji dola milioni 64 ili kukidhi mahitaji ya takriban watoto 633000 walioathirika na uhamiaji toka venezuela wakiwemo ambao wako safarini na jamii zinazowahifadhi katika nchi sita za amerika ya kusini ikiwemo brazil
13 january 2020 1331 | 2020-01-28T00:01:40 | https://www.vaticannews.va/sw/church/news/2020-01/venezuela-dunia-isikilize-kilio-cha-watu-waathirika.html |
mazao duru usumakuumeme maelezo decipher decode ugunduzi kuvunja kanuni kuelezea decryption puzzle nje utafiti wa kisayansi
kiingereza awali mazaoduruusumakuumeme tafadhali udhuru makosa yoyote husababishwa na tafsiri ya mashine
(crop duru utangulizi maelezo)
wewe kamwe bet dhidi kitu chochote katika sayansi katika odds ya zaidi ya kuhusu 10 12 's 1 erutherford
impossible ni neno kwa kupatikana tu katika kamusi ya wapumbavu nbonaparte
furaha ya kweli hutoka furaha ya hatimiliki vizuri zest ya kujenga mambo mapya ade saintexupery
mazao duru crop picha sumakuumeme mwelekeo
mazao duru ushawishi wa vikosi electromagnetic juu ya sura ya mwelekeo katika mashamba ya mazao
kwa mujibu wa nadharia hiyo kutokwa inaweza kuondoka katika mabua na tishu miundo yao directionally oriented uharibifu wa awali could kuwa explained mafungumafungu ya mabua mara nyingi amesimama katikati ya ruwaza wakati wao ni angalau kama yanayokabiliwa kuharibiwa lakini uharibifu wao hauwezi kuwa karibu kama ngono makali directional clockwise au counterclockwise mwelekeo wao wa uharibifu wa awali ni mbali zaidi kwa madhumuni ya katikati ya mduara hivyo zaidi kwa kumwongezea wenyewe (teepee) na mabua jirani kushiriki katika matokeo ya dadu ni tu orbitting them licha ya fact hiyo teepee mfumo hiyo sana kati mabua kiasi kikubwa yaimarisha (pic graph)
mwanasayansi bora ni wazi kwa uzoefu na huanza na romance wazo ni possiblesible hiyo kitu chochote rbradbury
mziki ni kama bima ya maisha wazee kupata zaidi gharama yake kin hubbard
bahati kuona hiyo could yeye si kufanya wapumbavu hekima imefanya them bahati mde montaigne | 2019-03-24T00:46:20 | http://www.cropcirclesonline.com/nature-science/crop-circles/sw/crop-circles(sw)-electromagnetism.htm |
kamapisachi telugu boothu kathalu | teluguxxkathalu telugu boothu kathalu mee kosam telugu dengudu kathalu telugu boothu midnight kathalu kathalux
telugu boothu kathalu pdftelugu boothu kathalu midnighttelugu boothu kathalu onlinetelugu boothu kathalu okkasaritelugu boothu kathalu online readingkamapisachi telugu boothu kathalutelugu boothu kathalu storiestelugu boothu kadhalutelugu pachi boothu kathalutappevaridi telugu boothu kathalutelugu boothu kathalu sunithakamasastry telugu boothu kathalutelugu boothu kathalu blogspotboothu kathalu in telugu pdfboothu kathalu telugu fonttelugu buthu kathalutelugu kathalu boothu pdfsrungaram telugu boothu kathalutelugu hot boothu kathalutelugu boothu kathalu in telugu fonttelugu boothu katalutelugu vallaku boothu kathalutelugu boothu kathalu in pdf formattelugu boothu kathalu in pdftelugu boothu kathalu telugu lipi tag archive kamapisachi telugu boothu kathalu june 21 2013 1 comment teluguxxkathalu aunty telugu boothu katha kosam visit http//teluguxx9kathalublogspotin/ aunty banthulu kavala aunty tho denginchukuntara ipude http//teluguxx9kathalublogspotin/
april 27 2013 2 comments telugu boothu kathalu midnighttelugu boothu kathalu onlinekamapisachi telugu boothu kathalu naa langa thisi nannu dengalani undhi kada nannu ila chusthunte haaaa haaa randi aithe haaaaaaaaaaa http//teluguxx9kathalublogspotin/ telugu boothu kathalu pdftelugu boothu kathalu midnighttelugu boothu kathalu onlinetelugu boothu kathalu okkasaritelugu boothu kathalu online readingkamapisachi continue reading →
april 27 2013 0 comments telugu srungara kathaluboothu kathaludengudu boomaludengudu lanjalu naa puku chikutharaa randi ra vachi naa puku gula antha chikandiiiiiiiiiiiiiiiiii haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa http//teluguxx9kathalublogspotin/ telugu boothu kathalu pdftelugu boothu kathalu midnighttelugu boothu kathalu onlinetelugu boothu kathalu okkasaritelugu boothu kathalu online readingkamapisachi telugu boothu kathalutelugu continue reading →
april 27 2013 2 comments telugu aunty eeee auntini ilane korakalani undha kada aithe daniki clik kottanadi http//teluguxx9kathalublogspotin/ telugu boothu kathalu pdftelugu boothu kathalu midnighttelugu boothu kathalu onlinetelugu boothu kathalu okkasaritelugu boothu kathalu online readingkamapisachi telugu boothu kathalutelugu boothu kathalu continue reading →
february 12 2013 2 comments telugu boothu kathalu meekosam nenu kavala nee sulliki aithe nannu clik cheyee vasthanu nee madda dagraku http//teluguxx9kathalublogspotin/ teluguxxkathaluteluguxxkadhalutelugu dengudu kathaludengudu kadhalu gadhitelugu boothu kathaludengududengudu boothu kathalteluguxxkadhalteluguxxkadhalu meekosam
october 8 2012 1 comment teluguxxkathalu telugu boothu kathalu mee kosam nenu kavala nee sulliki aithe nannu clik cheyee vasthanu nee madda dagraku http//teluguxx9kathalublogspotin/ http//teluguxx9kathalublogspotin/ teluguxxkathaluteluguxxkadhalutelugu dengudu kathaludengudu kadhalu gadhitelugu boothu kathaludengududengudu boothu kathalteluguxxkadhalteluguxxkadhalu meekosam | 2014-09-30T09:45:53 | http://teluguxxkadhal.wordpress.com/tag/kamapisachi-telugu-boothu-kathalu/ |
mtumiajibaba tabita wikipedia kamusi elezo huru
mtumiaji huyu aweza kushiriki kwa kiswahili cha kiwango cha juu
ingawa jina langu rasmi ni oliver hapa afrika mashariki mimi huitwa baba tabita kwa ajili ya mtoto wa kwanza binti anayeitwa tabita
nimetoka ujerumani lakini nimekaa afrika mashariki miaka ya 1996 hadi 2006 nafanya kazi kama mshauri wa kiisimu na lengo langu ni kukuza matumizi ya lugha za tanzania ndiyo sababu kuu ya kujitahidi kwangu upande wa ujenzi wa wikipedia ya kiswahili
tarehe 15 januari 2016 nimefikisha michango 50000
ingawa nimechaguliwa kuwa bureaucrat wa wikipedia mwezi wa februari 2008 kazi yangu hunisafirisha mara kwa mara kwenda maeneo ambako siingii mtandaoni hata kidogo nisiposafiri najitahidi kuingia kwenye wikipedia yetu angalao mara moja kwa juma nikiwa kimya kwa majuma kadhaa naomba mnivumilie asanteni
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mtumiajibaba_tabita&oldid=982886 jamii user deuser denuser enuser en4user swuser sw3user nluser nl1user fruser fr1wikipedia wakabidhi urambazaji
deutschenglish ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 6 oktoba 2016 saa 1151 | 2016-10-23T11:59:23 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Baba_Tabita |
mlango wa 10 kanuni muhimu za sheria (fiqh) | kuanzia ndoa hadi kuwa wazazi | books on islam and muslims | alislamorg
kuanzia wakati pale kuzaliwa kwa mtoto kunapotokea ile damu anayoiona mama mzazi ni nifaas madhali inasimama kabla au katika kukamilika kwa siku ya kumi ambapo katika hali ya nifaas mwanamke anaitwa nafsa
1 ile damu ambayo mama anaiona kabla ya kutokeza kwa kiungo cha kwanza cha mtoto sio nifaas1
2 inawezekana kwamba damu ya nifaas inaweza ikatoka kwa muda mfupi tu bali kamwe haizidi
siku kumi2
3 ni muhimu kwamba mtoto anakuwa kikamilifu hata kama mtoto mwenye upungufu (wa muda wa mimba yake) atazaliwa ile damu anayoiona mama mzazi huyo kwa muda wa siku kumi itakuwa ni nifaas maneno kuzaliwa mtoto lazima yatumike kwake3
4 endapo mwanamke anakuwa na mashaka kwamba ameharibu chochote (mimba) au hapana sio lazima kwa yeye kufanya uchunguzi na ile damu ambayo inatoka katika hali hiyo sio nifaas 4
mambo ambayo ni wajibu na yale ambayo yamekatazwa au kuharamishwa kwa mtu aliyeko katika hali ya nifaas
kwa msingi wa tahadhari kukaa ndani ya msikiti na vitendo vingine ambavyo vimeharamishwa kwa mwanamke mwenye hedhi vilevile vime haramishwa kwa mwanamke nafsa na vile vitendo ambavyo ni wajibu kwa mwanamke mwenye hedhi pia ni wajibu kwa nafsa5
inawezekana kwamba damu ya nifaas ikaweza kutoka kwa muda mfupi tu lakini kamwe haizidi siku kumi kwa kutegemea tabia ya kawaida ya mwanamke mwenye hedhi kanuni za urefu wa nifaas zinatofautiana kama ifuatavyo6
a nifaas yake itakuwa sawa na kitambo cha muda wa hedhi
b kama tabia yake ni chini ya siku kumi baada ya muda huu anayo fursa ya kuacha swala yake hadi siku kumi au afanye kama mustahadha (mwanamke aliyeko kwenye hali ya istihaadha) hata hivyo ni bora kuziacha swala kwa siku moja (zaidi ya idadi ya zile siku alizokuwa na kipindi kabla ya mimba)
c endapo hata hivyo damu hiyo itaendelea kuonekana hata baada ya siku kumi basi siku zote baada ya kipindi na kawaida cha hedhi mpaka ile siku ya kumi itakuwa ni istihaadha na ni lazima afanye kadha ya kila kitendo cha ibada ambacho hakikufanyika katika wakati huu hadi siku ya kumi (kwani atakuwa amefuata kanuni za istihaadha baada ya siku ya kumi kwa vyovyote)
d anapokuwa kama mustahadha ni lazima ajiepushe kutokana na vitendo haramu kwa mwanamke nafsa vile vile mpaka siku ya kumi na nane
kwa mfano kama muda wa hedhi ya mwanamke wakati wote imekuwa ni siku sita na damu yake ikamtoka kwa zaidi ya siku sita anapaswa kuzifanya siku sita kama nifaas na ile siku ya 7 8 9 10 (kama kutokwa na damu hakuzidi siku kumi) itakuwa ni fursa ya hiari yake ama kujizuia na vitendo vyote vya ibada au kutwaa kanuni za istihaadha
endapo hata hivyo anaona damu kwa zaidi ya siku kumi zile siku zote za ziada ya muda wake wa desturi wa hedhi utahesabiwa kama siku za istihaadha na itabidi kufanya kadha ya swala zilizokosekana kuswaliwa kama alichagua kujizuia na vitendo vyote vya ibada katika ile siku ya saba ya nane ya tisa na ya kumi
a nifaas yake itakuwa kwa siku kumi na zinazobakia zitakuwa istihaadha
b ni tahadhari inayoshauriwa kwamba pale unapojichukulia kama aliye mustahaadha ujiepushe na vitendo vilivyoharamishwa kwa mwanamke nafsa kuanzia ile siku ya 10 hadi siku ya 18 wakati kipindi cha nifaas kinapokuwa kimekwisha 7
pale mwanamke anapokuwa amesafika kitohara kutokana na nifaas ni lazima achukue josho (ghusl) na afanye vitendo vya ibada endapo ataona damu tena mara moja au zaidi kuna uwezekano namna mbili
1 jumla ya idadi ya siku ambamo damu inaonekana mara tu baada ya kujifungua na zile siku zinazoingilia kati wakati anapokuwa msafi kitohara ni siku kumi au chini yake basi yote hiyo itakuwa ni nifaas katika zile siku zinazoingilia kati kama tahadhari atachukua wudhuu na kuswali kama mwanamke mwenye tohara na kujiepusha vile vile na vitendo ambavyo ni haramu kwa mwanamke aliyeko kwenye nifaas hivyo endapo alifunga saumu atazilipia kadha yake
2 endapo ile damu ambayo aliiona baadae itazidi siku kumi hapo tena kanuni zinatofautika kutegemea juu ya tabia ya kawaida ya hedhi ya mwanamke huyo
kama tahadhari ni lazima aichukulie ile damu iliyoonekana baada ya kipindi cha hedhi cha kawaida kuwa ni istihaadha kwa hiyo lazima afanye kama aliye mustahaadha na vile vile ajiepushe na yale yote ambayo ni haramu kwa mwanamke nafsa
lazima azihesabu zile siku kumi za mwanzo kama nifaas na zinazobakia ziwe kama ni istihaadha kubainisha hedhi 8 kanuni za kubainisha hedhi ya kwanza ya mwanamke baada ya kujifungua mtoto tena ni ya kutegemea juu ya tabia ya kawaida ya hedhi ya mwanamke huyo
a kama damu itaonekana mfululizo kwa mwezi mmoja au zaidi baada ya kumzaa mtoto ile damu inayoonekana kwa zile siku zinazolingana na kawaidi yake ya hedhi itakuwa ni nifaas na ile damu inayoonekana baada ya hapo kwa muda wa siku kumi itakuwa ni istihaadha hata kama itaangukia wakati mmoja na tarehe zake za hedhi ya kila mwezi
b baada ya kupita kwa zile siku kumi za istihaadha endapo kutokwa na damu kutaendelea basi hiyo ni hedhi kama itaangukia kwenye siku za desturi ya kawaida bila ya kujali kama inazo dalili za hedhi9 au hapana kama kuvuja damu hakutokei katika siku za hedhi ya kawaida ni lazima asubiri mpaka zile siku za kawaida hata kama itamaanisha kusubiri kwa mwezi au zaidi na hata kama damu ina dalili za hedhi
kwa mfano mwanamke ana tabia ya kudumu ya hedhi ya kuanzia tarehe 20 hadi 27 ya kila mwezi
anajifungua mnamo tarehe 10 ya mwezi na anaendelea kuona damu kiasi cha mwezi au zaidi nifaas yake itakuwa siku saba sawa na siku za hedhi yake na itakuwa ni kuanzia tarehe 10 ya mwezi huo hadi tarehe 17 sasa ile damu anayoendelea kuona kuanzia tarehe 17 hadi tarehe 27 yaani kwa muda wa siku kumi hii itakuwa ni isti haadha hata kama inaangukia katika siku za tabia yake ya hedhi
c kama hana tabia maalum ya muda wa kuanza kwa hedhi lazima afanye juhudi ya kutambua hedhi yake kwa dalili zake na endapo hiyo itakuwa haiwezekani (kwa sababu damu inayoonekana baada ya nifaas mara nyingi hubakia ya namna moja kwa mwezi mzima au zaidi) basi anapaswa kutwaa tabia iliyopo kwa wakati huo miongoni mwa ndugu zake wa damu (mama dada zake na kadhalika) ili kuamua siku za hedhi yake kama hilo nalo haliwezekani basi anayo hiari ya kuchagua kupanga siku zake za hedhi10
a kama ilivyoelezwa mapema ile damu inayoonekana katika ule muda wa siku kumi za mwanzo itafanywa kuwa ni nifaas na kuhusu zile siku kumi zinazofuatia itakuwa ni istihaadha damu itakayoonekana baada ya hapo inaweza ikawa ama ni hedhi au istihaadha na ili kuhakikisha kama ni hedhi anapaswa kufuata kanuni kama hiyo hapo juu yaani kuitambua hedhi kwa dalili zake kwa tabia iliyopo wakati huo miongoni mwa ndugu zake wa damu au kupanga siku zake mwenyewe za hedhi
kuvifanya vitu kuwa safi kitohara kutokana na mikojo ya mtoto anayenyonya endapo kitu chochote kinakuwa najisi kutokana mikojo ya mtoto anayenyonya ambaye bado hajaanza kula chakula chochote kigumu na kama tahadhari yuko chini ya umri wa miaka miwili kitu hicho kitakuwa tohara kama kitamwagiwa maji mara moja juu yake yakifikia sehemu zake zote ambazo zimenajisika kama tahadhari inayoshauriwa maji yanapaswa kumwagwa juu yake mara nyingine tena kama ni zulia au nguo na kadhalika haitakuwa lazima kuikamua11
1 sheria za kiislam kanuni ya 515
2 sheria za kiislam kanuni ya 517
3 sheria za kiislam kanuni ya 516
4 sheria za kiislam kanuni ya 518
5 sheria za kiislam kanuni ya 519
6 sheria za kiislam kanuni ya 523 524 525 526
7 sheria za kiislam kanuni ya 520
8 sheria za kiislam kanuni ya 525
9 dalili za hedhi kwa kawaida ni damu nzito na yenye joto na rangi yake ni ama nyeusi au nyekundu inatoka kwa nguvu na muwasho kidogo
10 tafadhali rejea kwenye mlango wa hedhi wa kitabu risalah kwa taarifa zaidi
11 sheria za kiislam kanuni ya 162 | 2017-08-21T08:07:45 | https://www.al-islam.org/node/25390 |
safari ya kushughulikia kaburi takatifu imechukua siku kumi (10)
tarehe (7 jamadal aakhar 1441h) sawa na (2 februari 2020m) mafundi wa kitengo cha kutengeneza madirisha na milango ya makaburi matukufu chini ya atabatu abbasiyya wametangaza kukamilika matengenezo ya dirisha la malalo ya athibu alyamani ajulikanae kama (swafi swafa) ra katika mkoa wa najafu nao ndio waliosimamia usanifu na utengenezaji wake
(8 jamadal aakhar 1441h) sawa na (3 februari 2020m) vipande vya dirisha viliwasili kutoka karbala
(9 jamadal aakhar 1441h) sawa na (4 februari 2020m) mafundi walianza kazi ya kufunga dirisha kwa kutengeneza jengo la mbao ambalo ndio sawa na msingi unaobeba vipande vyote vya dirisha
10 jamadal aakhar 1441h) sawa na (5 februari 2020m) mafundi walimaliza hatua muhimu ya kutengeneza jengo la mbao ambayo ni kufunga nguzo kuu na kuzisimika ardhini kwa kufuata tahadhari zote za kihandisi katika kazi hiyo muhimu
(11 jamadal aakhar 1441h) sawa na (6 februari 2020m) dirisha la swafi swafa likashuhudia kufungwa kwa vipande vya kwanza vyenye madini
(12 jamadal aakhar 1441h) sawa na (7 februari 2020m) rais wa kitengo cha kutengeneza madirisha na milango ya kwenye makaburi ambao ndio watekelezaji wa mradi huu sayyid nadhim gharabi akatangaza kua kazi ya kufunga dirisha la swafi swafa inaendelea vizuri na inatarajiwa kukamilika kwa wakati
(13 jamadal aakhar 1441h) sawa na (8 februari 2020m) mafundi walikamilisha kufunga ufito wa mapambo yenye dhahabu uliopo sehemu ya juu ya dirisha
(14 jamadal aakhar 1441h) sawa na (9 februari 2020m) walimaliza kufunga vipande vyote vya madini katika dirisha la swafi swafa
(15 jamadal aakhar 1441h) sawa na (10 februari 2020m) mafundi walimaliza kuweka maandishi yote ya quráni na mashairi pamoja na mapambo na nakshi za ndani ya dirisha hilo
(16 jamadal aakhar 1441h) sawa na (11 februari 2020m) kazi ya kuweka sanduku la dirisha la swafi swafa ikaanza
kazi bado inaendelea hadi watakapo maliza kufunga kila kitu katika dirisha la mja mwema athibu alyamani ajulikanae kama (swafi swafa) ra katika mkoa wa najafu ndani ya muda uliopangwa | 2020-08-15T14:13:32 | https://alkafeel.net/news/index?id=10038&lang=sw |
migogoro imesababisha kushuka kwa biashara tanzania kenya | mtanzania
home biashara na uchumi migogoro imesababisha kushuka kwa biashara tanzania kenya
migogoro imesababisha kushuka kwa biashara tanzania kenya
balozi wa kenya nchini tanzania dan kazungu amesema migogoro ya kibiashara kati ya tanzania na kenya imesababisha kushuka kwa kiasi kikubwa ufanyaji wa biashara kati ya nchi hizo
balozi kazungu amesema hayo leo ijumaa oktoba 5 wakati akizungumza na wafanyabishara katika kiwanda cha kuchambua pamba cha alliance ginnery kilichpo wilayani bariadi mkoani simiyu akiwa katika ziara ya siku moja mkoani hapa
miaka mitano nyuma biashara kutoka kenya kuja tanzania ilikuwa na thamani ya sh bilioni 46 kwa fedha ya kenya huku tanzania kwenda kenya ilikuwa sh bilioni 34 hadi 35 kwa fedha ya kitanzania
lakini hivi sasa biashara kwa nchi hizo imepungua kutoka bilioni 46 kwa fedha ya kenya biashara kutoka kenya kuja tanzania na kufikia sh bilioni 28 na tanzania kwenda kenya kwa fedha ya tanzania ambayo imeshuka hadi kufikia sh bilioni 20 kutoka bilioni 35 amesema
aidha balozi kazungu amesema kuwa uamuzi wa rais john magufuli kuazisha mradi mkubwa wa umeme stieglers george ni sahihi na nchi ya kenya inaunga mkono na kuongeza kuwa mradi huo utasaidia kukuza uchumi wa tanzania na kenya
pamoja na mambo mengine balozi kazungu ameahidi kuleta wawekezaji kutoka kenya kuja mkoani simiyu kwa ajili ya kuwekeza mkoani humo hasa kujenga kiwanda cha pamba kutokana na mkoa huo kuzalisha zaidi ya asilimia 50 ya zao hilo nchini
previous articlemke wa waziri mkuu malaysia ashtakiwa
next articleun yataka kusitishwa vita kongo | 2018-12-12T18:59:16 | http://mtanzania.co.tz/migogoro-imesababisha-kushuka-kwa-biashara-tanzania-kenya/ |
gasabo nyuma yimyaka 2 ikigo cyishuri na mtn batabona amazi kuri ubu akanyamuneza ni kose | makurukirw | amakuru asesenguye
mtn rwanda ishami rya remera nishuri remera catholique ii bizeye ko ikibazo cyibura ryamazi kigiye kuba amateka
nyuma yuko tubagejejeho inkuru yuko hari hashize imyaka ibiri ikigo cyishuri ribanza rya remera catholique ii nibiro bya mtn ishami rya remera batagira amazi meza kuri ubu ngo ubuzima bwabo bwatangiye guhinduka kuko ibikorwa byose byasabaga amazi bikomeje nkuko byahozeho ndetse ngo bakaba bafite nicyizere cyuko iki kibazo cyamazi cyaba kigiye kuba amateka muri ibi bigo
ubwo makurukirw yageraga ku ishuri ribanza rya remera catholique ii twasanze ibikorwa byari byarahagaze kubera ibura ryamazi byasubukuwe biri gukorwa
tuvugana nubuyobozi bwiri shuri bwadutangarije ko ugereranyije ubuzima bari babayemo badafite amazi nubwo babayemo nyuma yicyumweru bayabonye ngo hari impinduka kuko ikibazo cyisuku nke cyaharangwaga ngo ubu cyakemutse ndetse nimvune ku bana batumwaga amazi zikaba zitakiharangwa kuko amazi aboneka hafi
nsengamungu aroni ushinzwe imyitwarire yabarimu nabanyeshuri akaba anunganira umuyobozi wiri shuri yadutangarije ko mu gihe batari bafite amazi byari bigoye kuko bayatumaga abana rimwe na rimwe ntibayazane kuko na bo bayabuze cyangwa bakifashisha imodoka mu buryo bwo kuyagura aho byabahendaga kugira ngo habungabungwe isuku
nyuma yaho ikibazo cyamazi kibonewe umuti ubu isuku yitabwaho uko bikwiye
nsengamungu akomeza avuga ko nyuma yaho wasac ikemuriye ikibazo bari bafite kuri ubu nta mwana ukiza ahetse igikapu nakajerekani kamazi cyangwa se ngo umubyeyi abahamagare ababaza impamvu batuma abana amazi kuri ubu kandi ngo isuku irakorwa mu mashuri ndetse no mu bwiherero nkuko byahozeho
yagize ati ubu nta mwana uza ahetse akabido cyangwa ngo umubyeyi ahamagare abaza ati ese ko amazi yabuze murayatuma abana gute ubona nta kibazo ubu isuku irakorwa mu mashuri mu ma toilette (ubwiherero) nkuko byahozeho
yakomeje avuga ko batavuga ko kuba amazi abonetse ari igisubizo kirambye cyane kuko nta gihe kinini bamaze bayahawe gusa bakizera ko kuva barashyizemo amatiyo mashya ikibazo bagikemuye kuburyo anabuze byaba ari ikibazo rusange
tuvugana numukozi wa mtn rwanda na yo yari ifite iki kibazo ngizweninshuti albert ushinzwe ibyo gutanga ubufasha (facility supervisor) yatubwiye ko bagerageje gukorana na wasac kugira ngo iki kibazo gikemuke bakaba barafatiye amazi ku wundi muyoboro gusa ngo nubwo ari make bakaba bagikomeje gushaka uko ikibazo gikemurwa aho ku wa mbere tariki 13 kamena 2016 bazasubukura iki gikorwa bifashisha imiyoboro ikiri mizima
ngizweninshuti yakomeje avuga ko wasac yabijeje ko ikibazo cyamazi kizakemuka burundu nibamara kubona ikibazo umuyoboro wabahaga amazi wagize bityo bakazajya babona amazi igihe cyose ahari
soma inkuru bijyanye http//makurukirw/imiberehomyiza/ijwiryumuturage/article/imyakairasagaibiribishyuraifatabuguziryamazibatabona
amatiyo yamazi yari amaze igihe adakora kuri ubu yongeye gukoreshwa
aha ni hamwe mu ho wasac yacukuye irimo gukemura ikibazo cyibura ryamazi | 2016-10-24T12:17:22 | http://www.makuruki.rw/IMIBEREHO-MYIZA/IJWI-RY-UMUTURAGE/article/Gasabo-Nyuma-y-imyaka-2-ikigo-cy-ishuri-na-MTN-batabona-amazi-kuri-ubu-akanyamuneza-ni-kose |
mlongokihoma msiba dmv na tanzania
lilian harris morgan na mzee joel wa riverdale mdwanasikitika kutangaza kifo cha baba yao mzee harris morgan shayo kilichotokea tarehe 15/5/2015 katika hospital ya masana mbezi saa 2oo usikumsiba uko
6811 riverdale rd apt 102
riverdale md 20737
kupeana pole na kufarijiana ndio upendo wetu wana dmv upatapo muda usisite kujumuika na wafiwa nyumbani
kwa mawasiliano zaidi
lilian harris 240 351 3438
mzee joel 240 432 7621 | 2019-05-19T06:47:00 | https://www.mlongokihoma.com/2015/05/msiba-dmv-na-tanzania.html |
at 2247 3 comments
mwimbaji wa rap nick minaj inawezekana akawa anafata nyayo za lady gaga baada ya hivi karibuni amesaini mkataba na kampuni kubwa duniani ya vipodozi ya mac nick atakuwa balozi ya kampeni mpya ya bidhaa hizi inayojulikana kama viva glam 2012
kampeni ambayo itazinduliwa mwezi wa pili mwaka ujao ambapo nick atakuwa ndo msemaji wao na sura ya kampuni hiyo wakati huo huo nick minaj anatoa lipstick yake mwenyewe ambayo itakuwa ina rangi ya pink nahisihii ni kutokana na dada huyu kuwa mpenzi wa rangi ya pink
kwa hivi sasa nick minaj yupo miami akipiga picha za matangazo kwa ajili ya kampeni hii kupitia ukurasa wake wa twitter nick minaj ameandika hii shoot ni gag yaani siwezi kusubiri kuona jinsi watu wavyopendeza na hii lipstick yangu mpyakaeni tayari
kitu cha original gucci belt kiunoni i like striped vest inside his shirt cotton shirts kwa ufukweni iko poa pia kiatu chini hapo
ufukweni au beach kama wengi mlivyozoea mara nyingi ni eneo ambalo huwa tunaenda kupunga upepo na kutuliza akili zetu kutokana na yale tuliyopitia kwa kipindi kilichopita familia nyingi au vijana wengi kama nijuavyo mimi hupenda kwenda ufukweni wakati wa weekend hii ni kutokana na kuwa ndio wakati pekee tunapata nasi tukumbushane mambo ya muhimu uendapo ufukweni ili usiwe tofauti na wenzio utakaokutana nao huko kwa vijana wakiume hizi ndizo kaptula zinazotufaa kwakuwa hazibaki na maji mwili wala kushika maungo yetu maana kuna watu huwa hawana amani kuogelea na nguo zao za ndani kwakuwa huwa wanahisi wanajichora maungo yao hivyo basi ukipata kaptula kama hizi mambo yako yatakuwa salama kabisa
kitu cha muhimu kuzingatia wakati wa kununua kaptula ya kuogelea chagua rangi zinazoendana na rangi yako ya ngozi mtu mweusi hauendani na rangi kali kama orange njano mkozo au kijani kikali tafuta kaptula za rangi iliyopoa ndugu zangu kutokana na mchanga wa beach hatuendi na raba ila sandals au kwakiswahili fasaha viatu vya wazi jitahidi kupata sandals nyepesi zisizo nzito ili uweze kutembea kwa wepesi katika ule mchanga wa baharini
zingatia rangi ya sandals inayoendana na kaptula utayaokuwa umevaa ili ung'ae na kuvutia who knows inaweza kuwa your luck day kama uko single ukamvutia binti ambaye anaweza kuwa yupo ufukweni kwa siku hiyo
mara nyingi kuna vumbi jepesi ambalo huwa linatimka kutokana na upepo wa baharini jitahidi kuwa na sun glasses kwa ajili ya kuzuia vumbi hilo kuja moja kwa moja machoni kwako huwa kunakuwa na jua kali wakati mwingine hivyo miwani hiyo hiyo itakusaidia kuepukana na miale mikali ya jua miwani ipo ya rangi tofauti chagua inayokufaa
mwisho kabisa unahitaji lotion za jua kwa ajili ya ngozi yako jua huwa linakuwa kali sana na linaweza kuharibu ngozi yako usipokuwa makini hivyo ningependa kukushauri kuwa na sun lotion ambayo inaendana na ngozi yako
kabla ya kutumia lotion hizi jitahidi kumuona mtaalamu wa ngozi ili uweze kupata lotion inayoendana na ngozi yako maana lotion nyingi za jua zimetengenezwa kwa ngozi za watu weupe (wazungu)
mwanamziki rkelly jana jioni alikimbizwa hospitali kwa ajili ya kupata matibabu ya haraka habari kutoka kwa wasemaji wa mwanamziki huyu amesema kuwa sababu kubwa ya rkelly kukimbizwa jana hospital ni kutokana na maumivu makali aliyokuwa anayapataka katika koo lake
habari zaidi zinasema kuwa sababu kubwa ya maumivu hayo yanaweza kuwa yamesababishwa na kukauka kwa koo hivyo ataendela kuwepo hapo hospitali mpaka hali yake itakapokuwa imekaa sawa
chicago northwestern memorial hospital ndipo rkelly anapopata matibabu
mara nyingi tumekuwa tukikumbwa na msongo wa mawazo kutokana na shughuli zetu za kila siku katika maisha endapo wewe ni mdau wa burudani kwa upande wowote labda ni mwanamziki mtangazaji muigizajimwanamitindo au hata mshereheshaji katika hizi kazi zetu tunakutana na watu wengi kila siku na wanakuwa na hamu ya kukujua kutokana na kazi unayoifanya au nia mbali mbali wanazozijua wao wenyewe sasa kitendo cha kuwa na watu wengi karibu inamaanisha na mahitaji kutoka kwako yanaongezeke trust me kama unafamilia ambayo inakuangalia wasanii wenzako wanakuangalia na wapenzi wa kazi yako nao wanakuangalia lazima utakumbana na msongo wa mawazo maana utakumbwa na bili za kuzilipia watu wa kuwasaidia kiushauri na hata kimahitaji au kushiriki shughuli mbalimbali ukiachilia mbali kazi yako binafsi je ni jinsi gani unaweza kuepuka msongo wa mawazo kutokana na hayo yote
1tambua chanzo cha msongo wa mawazo ulionao je ni kazi yako na eneo lako la kazi je ni maisha yako binafsi (lifestyle) rafiki au ndugu zako au wapenzi wa kazi zako
2 tambua huwa unakuwa katika hali gani pindi unapokuwa na msongo wa mawazo
3 mara nyingi kitu gani huwa kinakusaidia kupunguza huo msongo wa mawazo awali
jinsi ya kuepukana na stress
kuna baadhi ya stress ambazo zinaepukika na nyingine ni ngumu kuziepuka ila unapaswa kujua jinsi ya kutatua shinikizo la msongo wa mawazo
1 jifunze kusema hapana hii ni katika mambo yako binafsi au kazi yako unaitumiaje hii hapana unajua maofisini kuna swala la kupeana vikazi visivyoeleweka hata vimetokea wapi yaani hujamaliza hili unaletea jingine hata kama sio kazi yako sasa jifunze kukataa hizi kazi zisizo za kwako ili mradi tu mfurahishe tu hivyo hivyo vitu vidogo vidogo ndivyo vinavyokuletea msongo wa mawazo
2jiepushe na watu ambao mara nyingi wanakusababishia stress unajua ukikaa chini na kufikiria utagundua kuna mtu flani au kundi flani la watu ndo linalokuleta msongo wa mawazo sasa kaa nao mbali kabisa
3 simamia mazingira yanayokuzunguka
mazingira yanakuzunguka yanaweza kuwa sababu ya stress zinazokukumba mazingira yapo nayozungumzia mimi hapa njia unayotumia kwenda kazini au kurudi nyumbani ina foleni sana hiyo nayo inawea kuwa sababu ya stress ulizonazo lakufanya epuka matumizi ya barabara kwa wakati huo mazingira ya soko wakati wakufanya manunuzi ya bidhaa mbali mbali yanakupa stress nenda katika supermarket maana kwa kiasi flani kuna utulivu na hali ya hewa nzuri
4epuka hasira za haraka kuna ya mambo yanayohusu dinisiasa au maisha yako binafsi huwa yanakupa msongo wa mawazo basi jitahidi kuepukana nayo katika mazungumzo yako ya kila siku kwasababu yatakupa hasira na kukufanya ukasirike na hili hupelekea kuwa na msongo wa mawazo ukiingia sehemu ukakuta watu wanaongelea swala hilo epuka nao ili usiweze kuchangia na kujikuta unaingia katika mgogoro wa nafsi
5tengeneza orodha ya vitu anavyotaka kufanya sikuhiyo asubuhi tu ukiamka mara nyingi unapaswa kujua mambo ambayo ni ya lazima kuyafanya kwa siku ambayo unaianza ili ikifika jioni usiwe na viporo katika orodha yako tenganisha orodha hiyo kwa vitu vya lazima kufanya na vitu vya kawaida ambavyo hata usipovifanya hazitakuharibia ratiba yako kujua kipi cha lazima ni moja ya njia kubwa ya kupunguza msongo wa mawazo
naomba niishiw hapa kwa leo maana nimewaonjesha yale ninayoyajua na ambayo nimejifunza swala la kuondoa msongo wa mawazi linapaswa kuangaliwa kiundani zaidi maana ni pana sana hapa juu nimeongelea kuepuka stress ambazo si za muhimu ila kuna swala la saikolojia ambalo sijaligusa kwakuwa mimi si mtaalam wa saikolojia siku nikijua mengi zaidi kuhusu stress nitatoa darasa zaidi
at 0502 4 comments | 2018-12-16T03:05:39 | http://mvutokwanza.blogspot.com/2011/07/ |
samsung yasitisha matumizi ya simu mpya ya note 7
samsung yatangaza kusitisha matumizi ya simu yake iliyotoka hivi karibuni ya note 7
septemba 3 2016 250 um 1 votes
kampuni ya samsung imetangaza rasmi kusitisha kwa matumizi ya simu zake za samsung galaxy note 7 uhamuzi huo umekuja baada ya samsung kusema kuwa inafanya vipimo tena vya battery za simu hizo ili kuangalia kama simu hiyo inafaa kuingia sokoni
hata hivyo haya yamekuja baada ya simu hizo mpya kuonekana zikiwa na tatizo la kulipuka kwa battery baada ya kuwekwa kwenye chaji baadhi ya nchi ambapo simu hiyo ilikua imefika kumeonakana ripoti kutoka kwa watu mbalimbali wakilaumu simu zao hizo za samsung note 7 kulipuka muda kidogo baada ya kuwekwa kwenye chaji
hata hivyo samsung imesema kuwa kwa wale watu wenye simu hizo waepuke kuzichaji na kuto kuzitumia kabisa mpaka simu zingine zitakapo sambazwa samsung imesitisha usambazaji wa simu hizo kote duniani mpaka hapo itakapo fanya vipimo vya simu hiyo ili kuangalia kama itafaa kurudi sokoni hivi karibuni
hata hivyo bado haijajulikana tatizo linalo sababisha kulipuka kwa bettery ya simu hiyo ambayo bado ilikua haijasambaa sana ili kuenelea kujua zaidi endelea kutembelea blog ya tanzania tech kila siku au unaweza kupata habari zote za teknolojia moja kwa moja kwenye simu yako ya mkononi kwa kupakua app ya tanzania tech moja kwa moja kwenye simu yako ya android pia unaweza kujiunga nasi kwa barua pepe pamoja na mitandao yetu ya kijamii ya facebook twitter instagram pamoja na yotube kwa kujifunza mambo mbalimbali ya teknolojia kwa njia ya video
makala iliyopita google yasitisha utengenzaji wa simu yake ya project ara
makala inayofuata angalia hapa uzinduzi wa simu mpya ya iphone 7 | 2020-07-12T17:27:24 | https://tanzaniatech.one/2016/09/samsung-yasitisha-simu-mpya-ya-note-7/ |
kumbukumbu la torati 7 | biblia kwenye mtandao | tafsiri ya ulimwengu mpya
kumbukumbu la torati 7126
mataifa saba yataangamizwa (16)
sababu ya waisraeli kuchaguliwa (711)
utii utawaletea mafanikio wakati ujao (1226)
7 yehova mungu wenu atakapowaleta katika nchi mnayokaribia kuingia na kuimiliki+ atayaondoa pia mataifa makubwa kutoka mbele yenu+ wahiti wagirgashi waamori+ wakanaani waperizi wahivi na wayebusi+ mataifa saba makubwa zaidi na yenye nguvu kuliko ninyi+ 2 yehova mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu nanyi mtawashinda+ mnapaswa kuwaangamiza kabisa+ msifanye agano lolote pamoja nao wala kuwahurumia+ 3 msioane nao kamwe msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao wala msikubali wana wenu wawaoe mabinti wao+ 4 kwa maana watawapotosha wana wenu waache kumfuata mungu na kuanza kuabudu miungu mingine+ kisha hasira ya yehova itawaka dhidi yenu naye atawaangamiza upesi+ 5 lakini hivi ndivyo mtakavyowatendea bomoeni madhabahu zao vunjeni nguzo zao takatifu+ kateni miti yao mitakatifu*+ na kuteketeza sanamu zao za kuchongwa+ 6 kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa yehova mungu wenu na yehova mungu wenu amewachagua ninyi muwe watu wake mali yake ya pekee* kutoka kati ya mataifa yote yaliyo duniani+ 7 yehova hakuwapenda na kuwachagua ninyi eti kwa sababu mlikuwa wengi kuliko mataifa yote+ kwa maana mlikuwa taifa dogo zaidi kati ya mataifa yote+ 8 badala yake ni kwa sababu yehova anawapenda na alitimiza kiapo alichowaapia mababu zenu+ ndiyo maana yehova aliwatoa misri kwa mkono wake wenye nguvu na kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa+ kutoka katika nguvu za* farao mfalme wa misri 9 mnajua vizuri kwamba yehova mungu wenu ndiye mungu wa kweli mungu mwaminifu anayetimiza agano lake na kutenda kwa upendo mshikamanifu kufikia kizazi cha elfu cha wale wanaompenda na kushika amri zake+ 10 lakini wale wanaomchukia atawalipa waziwazi* kwa kuwaangamiza+ hatakawia kuwaadhibu wale wanaomchukia atawalipa waziwazi* 11 kwa hiyo muwe waangalifu kushika amri na masharti na sheria ambazo* ninawaamuru leo kwa kuzifuata 12 mkiendelea kusikiliza sheria hizi na kuzifuata na kuzitekeleza yehova mungu wenu atatimiza lile agano na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu kama alivyowaapia mababu zenu 13 atawapenda na kuwabariki na kuwafanya mwongezeke naam atawabariki kwa kuwapa watoto wengi*+ mazao ya ardhi yenu nafaka yenu divai yenu mpya mafuta yenu+ ndama na wanakondoo wa makundi yenu katika nchi aliyowaapia mababu zenu kwamba atawapa ninyi+ 14 mtabarikiwa kuliko mataifa mengine yote+ hakuna mwanamume au mwanamke yeyote miongoni mwenu atakayekosa mtoto wala mifugo yenu haitakosa kuzaa+ 15 yehova atawaondolea magonjwa yote naye hatawaletea ugonjwa wowote unaotisha mlioujua kule misri+ badala yake atawaletea magonjwa hayo wote wanaomchukia 16 mtayaangamiza* mataifa yote ambayo yehova mungu wenu atayatia mikononi mwenu+ msiwahurumie*+ kamwe nanyi msiabudu kamwe miungu yao+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwenu+ 17 mkijiambia mioyoni mwenu mataifa haya yana watu wengi kuliko sisi tunawezaje kuyafukuza+ 18 msiwaogope+ mnapaswa kujikumbusha mambo ambayo yehova mungu wenu alimtendea farao na nchi yote ya misri+ 19 zile hukumu kubwa* ambazo mliona kwa macho yenu na ishara na miujiza+ na mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa ambao yehova mungu wenu aliutumia kuwatoa huko+ hivyo ndivyo yehova mungu wenu atakavyoyatendea mataifa yote mnayoyaogopa+ 20 yehova mungu wenu atawafanya wavunjike moyo* mpaka watakapoangamia wale waliobaki+ na waliokuwa wakijificha ili msiwapate 21 msishtuke kwa sababu yao kwa maana yehova mungu wenu yuko pamoja nanyi+ mungu mkuu na mwenye kuogopesha+ 22 kwa hakika yehova mungu wenu atayafukuza mataifa haya kutoka mbele yenu kidogo kidogo+ hamtaruhusiwa kuwaangamiza upesi ili wanyama wa mwituni wasiongezeke na kuwashambulia ninyi 23 yehova mungu wenu atayatia mikononi mwenu na kuyashinda kabisa mpaka yaangamie+ 24 atawatia wafalme wa mataifa hayo mikononi mwenu+ nanyi mtayafutilia mbali majina yao kutoka duniani*+ hakuna mtu atakayewazuia+ mpaka mtakapowaangamiza+ 25 mnapaswa kuchoma moto sanamu za kuchongwa za miungu yao+ msitamani fedha na dhahabu ya sanamu hizo wala msiichukue+ ili isiwe mtego kwenu kwa maana ni chukizo kwa yehova mungu wenu+ 26 msilete ndani ya nyumba zenu kitu kinachochukiza kwa sababu mtakuwa kama kitu hicho kinachopaswa kuharibiwa mnapaswa kukichukia kabisa na kukikirihi kabisa kwa sababu ni kitu kinachopaswa kuharibiwa
^ tnn kutoka mikononi mwa
^ tnn mbele ya uso wao
^ tnn atabariki uzao wa tumbo lenu
^ tnn mtayameza
^ tnn jicho lenu lisiwahurumie
^ au yale majaribu makubwa
kumbukumbu la torati 7 | 2018-04-26T20:22:01 | https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/nwt/vitabu/kumbukumbu-la-torati/7/ |
keshi kuendelea kuifunza nigeria bbc swahili
keshi kuendelea kuifunza nigeria
http//wwwbbccom/swahili/michezo/2014/10/141003_nigeria_keshi
stephen keshi amesema kuwa ataendelea kukisimamia kikosi cha soka nchini nigeria katika mechi ya kuwania taji la ubingwa barani afrika dhidi ya sudan licha ya kuwa hajasaini kandarasi mpya
kocha huyo mwenye umri wa miaka 52 alipoteza nafasi yake ya kudumu baada ya kukamilika kwa mechi za kombe la dunialakini akarudishwa kuifunza timu hiyo ya super eagles katika mechi zake mbili za mwisho
kufikia sasa hajapata tamko lolote kutoka kwa bodi ya shirikisho la soka nchini nigeria nff lakini anasema ataendelea kuhudumu
''ninaendelea kufanya kazi kulingana na mkataba niliotia sahihi na waziri wa michezo tamuno danagogo''keshi aliiambia bbc
''bado sijapata tamko lolote kutoka kwa bodi ya shirikisho la soka nchini nigeria nff kwa kuwa uchaguzi ulifanyika siku ya jumanne kwa hivyo si tatizo
image caption kikosi cha nigeria
kwa sasa lengo langu kuu ni mechi muhimu dhidi ya sudan mwezi huu kwa sababu ni muhimu kwa sisi kushinda mechi zote
keshi ambaye aliiongoza nigeria kushinda taji la tatu la afrika mwaka uliopita na kufuzu katika robo fainali za kombe la dunia nchini brazil ni sharti aifufue timu hiyo baada ya kuanza vibaya katika michuano ya kufuzu katika kombe la taifa bora barani afrika | 2017-12-17T16:59:57 | http://www.bbc.com/swahili/michezo/2014/10/141003_nigeria_keshi |
hatua rahisi za kutoa gari bandarini | gazeti la jamhuri
hatua rahisi za kutoa gari bandarini
katika mfululizo wa makala za bandari leo tunakuletea utaratibu unaotumika katika kuhudumia shehena ya magari hatua kwa hatua katika bandari za tpa kuanzia meli inavyoingia bandarini gari linavyoteremshwa kutoka melini gari linavyopokelewa bandarini gari linavyotoka bandarini hadi mteja kukabidhiwa gari lake
ukaguzi baada ya meli kuwasili bandarini
hatua ya kwanza inayofanyika baada ya meli kuwasili bandarini ni ukaguzi unaofanywa na idara za serikali za afya na uhamiaji kwa meli na mabaharia hii inafanyika ili kujiridhisha juu ya afya za mabaharia na ikiwa hakuna mzigo hatarishi ndani ya meli na uhamiaji majukumu yao ni kuhakikisha taratibu zote za uhamiaji zimezingatiwa na mabaharia
wakati taratibu za ukaguzi zinafanyika bendera ya shirika la kimataifa la bahari duniani (international maritime organization imo) inakuwa inapepea kwenye meli na hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia au kutoka ndani ya meli ukaguzi ukishamalizika bendera ya imo inateremshwa na kupandishwa bendera ya tanzania
baada ya ukaguzi kinachofuata ni wakala wa meli (shipping agent) husika kuingia na genge maalumu ambalo jukumu lake ni kufungua mikanda maalumu ya kufungia magari yasigongane ndani ya meli na kusababisha uharibifu hatua hiyo ikishakamilika ndipo genge la madereva wa tpa huingia ndani ya meli kuanza kazi ya kuteremsha magari
ukaguzi wa magari baada ya kuteremshwa kutoka melini
magari yakishateremshwa yanapelekwa mpaka kwenye gati (quay side) ambapo makarani huyapokea kwa ajili ya ukaguzi ukaguzi huo una lengo la kutaka kujua hali ya magari kabla ya kuteremshwa kama gari litakuwa halina hitilafu litabandikwa stika ya rangi ya kijani yenye alama ya vema (√)
endapo gari litakuwa na hitilafu ya kuharibika au kukosekana kwa redio vifaa vya kupandishia vioo (power windows) vioo (side mirrors) nk litabandikwa stika nyekundu yenye alama ya kosa (x) ukaguzi ukishakamilika karani atajaza fomu maalumu inayotambulika kama vehicle discharge inspection transfer tally (vditt) fomu hii huonyesha hali halisi ya gari lilivyoshuka kutoka melini na kupokelewa bandarini
fomu ya vditt ikishajazwa kwa gari husika nakala moja huwekwa ndani ya gari kwa uthibitisho kisha gari hilo hupelekwa eneo/ yadi kwa ajili ya kuhifadhiwa kusubiri mteja husika aje kuchukua gari lake baada ya gari hilo kufikishwa yadi askari wa tpa aliyepo yadi atalikagua tena kwa kutumia fomu ya vditt na kupewa nafasi (position) kwa kuandikwa juu ya bonnet au ubavuni mwa milango
gari likishahakikiwa kuwa limeshuka kutoka melini basi karani ataingia kwenye mfumo wa mizigo wa tpa (cargo system) na kulipigia tally kulihesabu kuwa limeshuka kisha ataingia katika mfumo wa tancis kuonyesha (carry in) kuwa gari husika limeshuka kutoka melini na lipo bandarini
majukumu ya wakala wa forodha katika kutoa gari bandarini
wakala wa forodha aliyechaguliwa na mteja kwa ajili ya kumsaidia kutoa gari lake bandarini atatakiwa kufuata taratibu za kiforodha kwa niaba ya mteja ikiwa ni pamoja na kupata vibali kutoka mamlaka husika hususan shirika la viwango tanzania (tbs) na kulipia tra na kwa wakala wa meli kupata nyaraka za kutolea gari (release order na delivery order)
baada ya kumaliza hatua hizo wakala wa forodha ataingia kwenye mfumo wa kulipia wa tpa (epayment) ambapo tpa itazifanyia tathmini gharama za huduma ambazo imezitoa kwa gari husika kupata tozo za bandari kwa gari la mteja na ikishakamilisha itampelekea wakala wa forodha kwa njia ya kielektroniki kwa kumpatia namba ya kumbukumbu kwa ajili ya kulipia (payment reference number prn)
baada ya wakala kupata prn atatakiwa kwenda benki mojawapo kati ya tib nmb crdb na standard chartered au kwa njia ya simu kulipia malipo ya tozo za tpa kwa niaba ya mteja wakala akishakamilisha malipo ya tpa ataingia katika mfumo wa mizigo wa tpa (cargo system) kwa ajili ya kutengeneza kibali (announcement) cha kuonyesha gari analotaka kulitoa kutoka bandarini kwa kujaza taarifa zote zinazohusu gari hilo
wakala akishakamilisha hatua hiyo atafika bandarini kwenye ofisi ya tpa geti namba 2 ambapo atapewa kibali cha kuruhusiwa kuchukua gari la mteja wake (gate in ticket) ambacho kitakuwa na maelezo yote aliyoyajaza wakala kwenye announcement gate in ticket itaambatishwa na nyaraka nyingine ambazo ni bill of lading delivery order na release order
wakala kuchukua gari bandarini
baada ya kukamilisha hatua tajwa hapo juu hatua inayofuata ni wakala kwenda katika ofisi za kitengo cha magari kwenye yadi husika (delivery yard) ambako kuna gari la mteja wake kisha ataonyesha nyaraka kwa ajili ya kutoa gari husika karani na askari wa tpa (incharge) watakagua nyaraka zote kujiridhisha kama hatua zote zimefuatwa na endapo hazijakamilika wakala atatakiwa kukamilisha hatua aliyokosea au ambayo bado haijakamilika
baada ya kujiridhisha kwamba hatua zote zimefuatwa karani ataingia katika mfumo wa tpa wa mizigo kupiga truck tally kwa gari husika na kutoa gate pass a itakayomruhusu wakala kuchukua gari la mteja wake karani atasaini sehemu husika katika hiyo gate pass a na wakala wa mteja atasaini kuonyesha amepokea gari hilo baada ya kujiridhisha kwa kulinganisha taarifa iliyopo kwenye nyaraka na namba ya chasis ya gari la mteja
aidha karani wa tpa atatakiwa kujaza fomu ya makabidhiano ya gari (vehicle hand over form) ambayo itaelezea hali halisi ya gari wakati wa kulikabidhi gari hilo kwa wakala wa forodha kwa niaba ya mteja fomu hiyo itasainiwa na msimamizi wa yadi askari wa yadi na wakala wa mteja kisha wakala atachukua gari la mteja wake karani baada ya kutoa gate pass a ataingia kwenye mfumo wa tancis na kufanya carry out kwa gari husika ikiwa ni hatua ya kuonyesha kuwa gari hilo halipo tena bandarini na limeshatoka nje ya bandari
wakala atachukua gari la mteja wake pamoja na nyaraka na kwenda nazo getini ambapo askari atazipokea nyaraka hizo na kuzikagua kisha kukagua gari husika na akishajiridhisha kwamba hakuna tatizo ataingia kwenye mfumo wa mizigo wa tpa na kuonyesha kuwa gari husika limeshatoka nje ya bandari (gate out)
mteja anapopokea gari lake kutoka kwa wakala wake wa forodha ni lazima ahakikishe anapata nyaraka zote zilizotumika kulipia na kutolea gari lake na kitu cha muhimu sana ni lazima apate kutoka kwa wakala wake fomu ya ukaguzi wa hali halisi ya gari lilivyopokelewa bandarini vehicle discharge inspection transfer tally (vditt) na fomu ya makabidhiano ya gari kati tpa na wakala wa forodha vehicle hand over form
endapo mteja hatapewa fomu hizo na wakala wake anatakiwa kutoa taarifa tpa kwa kupiga simu au kutuma meseji za bure tpa kutoa taarifa ili wakala husika achukuliwe hatua stahiki namba za bure unazopiga ni 0800110032 au 0800110047
previous ya afcon taifa stars na maagizo ya rais yoweri museveni
next ndugu rais meseji ya tshisekedi imefika
baraza la magufuli sura mpya
leading motivation as well as secrets to boost your efficiency in the provider
yah sasa turejee maandiko na maagano ya wahenga
salum abdallah aliuza nyumba kununua vyombo vya muziki | 2019-07-19T12:40:51 | http://www.jamhurimedia.co.tz/hatua-rahisi-za-kutoa-gari-bandarini/ |
ni mkuu wa mkoa wa morogoro dkt kebwe stephen kebwe amewataka wananchi waliovamia shamba la miti ya mpira la kalunga ambalo liko tarafa ya mangula wilayani kilombero kuacha kulima katika shamba hilo na kutekeleza kwa vitendo agizo la naibu waziri wa viwanda na biashara alilolitoa mwezi februari mwaka huu
dkt kebwe ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipotembelea shamba hilo kwa ajili ya kufuatilia agizo la naibu waziri huyo mhandisi stella manyanya alipotembelea shamba hilo na kuwataka wananchi waliovamia kuondoka mara moja ifikapo agosti mosi mwaka huu
kwa hiyo mimi natoa maelekezo wale ambao wanalima kwenye hilo shamba waache alisema dkt kebwe
aidha dkt kebwe amemuagiza mkuu wa polisi wilaya ya kilombero kuwasaka na kuwakamata na kuwafikisha katika vyombo vya kisheria wote waliojihusisha kuhujumu shamba hilo la mpira kwa kukata miti kuchoma moto pamoja na kungoa miche ya miti ya mpira inayozalishwa hapo
kwa upande wake mwakilishi wa shirika la maendeleo la taifa (ndc) ambao ndio wamiliki wa shamba hilo kwa niaba ya serikali bw erick kaswaka amesema shamba la mpira la kalunga ndilo linategemewa kutoa mali ghafi kwa ajili ya kiwanda cha kutengeneza magurudumu cha arusha ambacho kwa maelekezo ya serikali ifikapo 2019 kiwanda hicho kinatakiwa kiwe kimefufuliwa
kuhusu malalamiko ya wananchi kutoshirikishwa katika mipango ya msitu wa shamba la mpira la kalunga mpima wa ardhi wa halmashauri ya wilaya ya kilombero bw abel mbata amesema kijiji hakihusishwi kikamilifu kwa sababu shamba hilo haliko chini ya kijiji bali liko chini ya kamishna wa ardhi hivyo kisheria kijiji hakina maamuzi ya ardhi hiyo isipokuwa kamishna wa ardhi
hata hivyo baadhi ya wananchi ambao tayari walishapata mashamba katika msitu huo wenye ukubwa wa ekari 1880 akiwemo bi janeth lubida wamekiri kuwa shamba la karunga sio mali yao lakini wameomba kutumia mashamba hayo mwaka huu kwani kipindi cha kilimo kimewadia
kwa asili shamba la kalunga ilikuwa ni msitu wa hifadhi ambao ulitangazwa mwaka 1967 ukiwa na lengo la kuhifadhi ardhi kuvuta mvua na kuhifadhi wanyama hususan mbega wekundu mwaka 1980 msitu ulifutwa na wakakabidhiwa general tyre tanzania ltd kwa madhumuni ya kupanda miti ambayo inatoa utomvu unaotumika kutengeneza magurudumu (tyres) | 2019-11-16T02:35:16 | http://www.morogoro.go.tz/new/rc-morogoro-ataka-wananchi-kutekeleza-agizo-la-naibu-waziri |
tanzania ni moja ya nchi zilizofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (covid19) kwa kumuomba mungu huku jitihada mbalimbali za kitaalamu zikifanywa
chini ya uongozi mahiri wa rais john magufuli licha ya kusaidia kuondoa hofu kubwa iliyokuwa imetanda awali kwa wananchi juu ya ugonjwa huo kutokana na kuua watu wengi lakini alisimama kidete kuhakikisha nchi inaukabili kwa kuchukua hatua mbalimbali madhubuti
mbali na elimu iliyotolewa kwa wananchi juhudi mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo ikiwemo kufunga shule kuzuia mikusanyiko ya watu isiyo ya lazima uvaaji barakoa kusafisha mikono kwa sabuni na vikataka mikono na mengineyo wananchi waliendelea kufanya kazi bila kuwapo kwa zuio la kutotoka nje (lockdown)
kati ya kazi kubwa zilizofanywa tangu kuibuka kwa ugonjwa wa covid19 ni taasisi za utafiti kuangalia namna ya kupata dawa za mimea lishe kusaidia kukabiliana na ugonjwa huo ikiwamo taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu tanzania (nimr)
taasisi hiyo ilipata dawa iliyopewa jina la nimrcaf ambayo inatokana na mchanganyiko wa vyakula na katika majaribio imeonesha ina uwezo mkubwa wa kudhibiti virusi vya corona
licha ya kuwa hakuna serikali ya nchi za eac zilizotoa maombi ya kutaka dawa hiyo kusaidia kukabiliana na ugonjwa huo na kuvifanya virusi kuwa mfu dawa hizo zimeelezwa kusafirishwa na kuonekana katika nchi mbalimbali
ni dhahiri kuwa janga hili katika nchi za afrika mashariki limeweza kukabiliwa zaidi nchini tanzania na mpaka sasa huduma kadhaa zimeanza kurejea katika hali ya kawaida ikiwamo wanafunzi kurejea vyuoni na shuleni na shughuli za michezo na burudani kuruhusiwa
mkurugenzi wa kitengo cha tiba asili cha nimr dk justine omolo ameeleza kuwa kuwa kuna taarifa za kuwapo kwa dawa hiyo inayotengenezwa tanzania kwenye mipaka mbalimbali ya nchi za eac
amesema awali walianza uzalishaji kwa chupa 800 kwa siku lakini sasa wana uwezo wa kuzalisha chupa 8000 kwa siku na wakati maambukizi ya homa hiyo yako juu nchini walikuwa wakiuza kwa kiasi kikubwa tofauti na sasa
alisema kwa sasa chupa 2000 zinachukuliwa kwa siku na watu wengi wamekuwa wakitumia kama kinga ikiwamo kuwapatia wanafunzi waliopo shule za bweni na watu ambao waliopata maambukizi ya virusi vya corona walitumia na kupata nafuu kubwa
kutokana na hali hiyo ni vema nchi za eac ambazo zimekuwa na ushirikiano katika masuala mbalimbali ikiwamo kukabiliana na ugonjwa huo kutumia dawa hiyo ili kuleta nafuu kwa wananchi wake kwa kuagiza rasmi kutoka nimr na siyo kuacha wafanyabiashara kuingiza kinyemela katika nchi zao
kitendo cha kuuza dawa hizo bila nchi kuomba rasmi moja kwa moja au kupitia balozi zake nchini kunaweza kusababisha wananchi wa nchi hizo kuuziwa kwa gharama kubwa tofauti na uhalisia wake na kutumia bila kuzingatia matumizi halisi ya dawa hiyo muhimu
ni vema taasisi za afya katika nchi za eac kuwasiliana na nimr na kuweka mikakati ya kupatikana kwa dawa hiyo na kujua matumizi yake kusaidia kuokoa maisha ya wana jumuya wenzetu
ni ajabu kuwa nchi nyingine zinaendelea kupambana na ugonjwa huo usio na dawa wakati tanzania ambayo ni nchi washirika wakiwa na dawa hiyo inayosaidia kwa kiasi kikubwa kukabili ugonjwa huo huku ikifahamika kuwa katika ukanda huu nimrcarf imefanya utafiti na kuonesha mafanikio makubwa | 2020-08-05T19:15:29 | https://www.habarileo.co.tz/habari/2020-07-075f040b8d16963.aspx |
rais dr shein aongoza mkutano wa mabalozi wilaya mkoani pemba mtaa kwa mtaa blog
home habari rais dr shein aongoza mkutano wa mabalozi wilaya mkoani pemba
rais dr shein aongoza mkutano wa mabalozi wilaya mkoani pemba
othman michuzi may 02 2018 habari
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi pia makamo mwenyekiti wa ccm zanzibar dkali mohamed shein akisalimiana na naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar dkabdalla juma saadala (mabodi) alipowasili skuli ya sekondari ya jumapindua wilaya ya mkoani mkoa wa kusini pemba leo kwa katika mkutano wa mabalozi wa wilaya hiyo akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha mapinduzi (katikati) mwenyekiti wa ccm mkoa wa kusini pemba yussuf ali juma
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi pia makamo mwenyekiti wa ccm zanzibar dkali mohamed shein alipokuwa akitia sani kitabu cha wageni alipofika katika ukumbi wa skuli ya sekondari ya mohamed juma pindua wilaya ya mkoani mkoa wa kusini pemba leo kwa kuzungumza na mabalozi akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha mapinduzi (kushoto) mwenyekiti wa ccm mkoa wa kusini pemba yussuf ali juma
baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi waliohudhuria katika mkutano wa rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi pia makamo mwenyekiti wa ccm zanzibar dkali mohamed shein alipokuwa akizungumza na viongozi wa chama cha mapinduzi ngazi ya mashina (mabalozi) katika ukumbi wa skuli ya sekondari ya mohamed juma pindua mkanyageni mkoa wa kusini pemba leo akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha mapinduzi
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi pia makamo mwenyekiti wa ccm zanzibar dkali mohamed shein alipokuwa akizungumza na viongozi wa chama cha mapinduzi ngazi ya mashina (mabalozi) katika ukumbi wa skuli ya sekondari jumapindua mkanyageni mkoa wa kusini pemba leo akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha mapinduzi (picha na ikulu)
posted by othman michuzi at may 02 2018
kumbukumbu december (180) november (356) october (414) september (418) august (240) july (329) june (335) may (330) april (292) march (337) february (252) january (332) december (376) november (471) october (506) september (498) august (586) july (471) june (420) may (530) april (416) march (482) february (400) january (473) december (414) november (493) october (283) september (344) august (569) july (552) june (401) may (378) april (393) march (499) february (531) january (501) december (579) november (385) october (656) september (653) august (509) july (381) june (392) may (353) april (298) march (329) february (228) january (201) december (254) november (204) october (260) september (251) august (287) july (239) june (195) may (202) april (214) march (150) february (214) january (238) december (235) november (199) october (233) september (251) august (283) july (266) june (306) may (303) april (259) march (268) february (227) january (242) december (280) november (228) october (240) september (212) august (265) july (306) june (317) may (287) april (216) march (177) february (179) january (217) december (217) november (196) october (204) september (240) august (174) july (193) june (193) may (178) april (177) march (167) february (106) january (136) december (136) november (141) october (142) september (179) august (151) july (144) june (130) may (137) april (129) march (206) february (152) january (91) december (123) november (124) october (108) september (135) august (149) july (95) june (73) may (54) april (74) march (48) december (1) november (22) october (66) september (70) august (89) july (117) june (115) may (81) april (60) march (8) february (95) january (76) december (59) november (75) october (97) | 2018-12-12T15:39:22 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/05/rais-dr-shein-aongoza-mkutano-wa.html |
matukio @ michuzi blog rais dkt magufuli awaapisha balozi wa tanzania nchini canada na katibu tawala wa mkoa wa tabora leo
posted by michuzi blog at thursday may 10 2018 | 2020-07-12T03:42:59 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/05/rais-dkt-magufuli-awaapisha-balozi-wa.html |
kipimo janja cha mimba kinachotumia bluetooth na app kukupatia taarifa #teknolojia teknokona teknolojia tanzania
you are athome»apps»kipimo janja cha mimba kinachotumia bluetooth na app kukupatia taarifa #teknolojia
by mhariri mkuu on january 13 2016 apps teknolojia
wengi wameponda kuhusu ujio wa kipimo janja cha mimba kinachokupatia taarifa kama ni kweli unamimba au hapana kwa kutumia mawasiliano ya bluetooth na app unayoweka kwenye simu yako
wengi wanaona teknolojia ya muunganisho wa vifaa na huduma za kiintaneti internet of things inatumiwa hadi pasipo na ulazima ila pia wengine wanaona ni jambo zuri ila tungependa kusikia maoni yako baada ya kusoma zaidi
muonekano wa kipimo hicho
kipimo hichi kinafanyaje kazi
kama vile vipimo vingine vya mimba mwanamke atakojoa na kulowanisha kifimbo spesheli na mkojo na kisha atapata matokeo
lakini utofauti ni kwamba katikati ya kukojelea kipimo hicho na kupata majibu kuna taarifa kadhaa zitakuwa zinatumwa kwenye app utakayokuwa umeipakua kwenye simu yako
je tunapoelekea tutakua na app kwa ajili ya kila jambo
app hiyo itakuambia
>kama kiwango cha mkojo kilicholowanisha kifimbo hicho spesheli ni kiwango cha kutosha kuweza kupewa majibu
pia utapata taarifa kama kifimbo hicho spesheli kinafanya kazi kwa usahihi
>baada ya kulowanisha kipimo (kifimbo) hicho na mkojo kutakuwa na muda wa dakika tatu kabla ya kupewa majibu na katikati ya muda huo basi app hiyo itakuwa machaguzi matatu (options)
educate me ukibofya hapo utapewa elimu mbalimbali zinazohusiana na uzazi
entertain me utaletewa video mbalimbali za kuburudisha wakati unasubiria matokeo yako
calm me hapa app hiyo itakuletea miziki ya kiutaratibu ya kukufanya utulie kidogo kama upo katika hali ya hofu
kitu kikubwa ni kukusaidia kutowaza sana suala la matokeo ya kipimo ulichofanya wakati unasubiria matokeo
kama nia yako uliyaichagua kwenye app ya kwamba unataka kupata mimba basi app hiyo itakupa hongera kama kipimo kitaonesha kuna mimba na kama hakuna utapewa taarifa mbalimbali muhimu za kukusaidia
je unafikiri utumiaji huu wa teknolojia ni muhimu au unaona tayari tuna apps nyingi na suala hili haliitaji msaada wa app kabisa tuambie tutafurahi kusikia kutoka kwako | 2017-11-21T23:10:00 | http://teknokona.com/kipimo-janja-cha-mimba-kinachotumia-bluetooth-kukupatia-taarifa-teknolojia/ |
waandishi wa habari kisiwani pemba waadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari zanzinews
home habari matukio waandishi wa habari kisiwani pemba waadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari
waandishi wa habari kisiwani pemba waadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari
mkuu wa wilaya ya wete abeid juma ali akifungua mkutano wa wadau wakati wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa baraza la mji chake chake
mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari pemba said mohamed ali akizungumza katika mkutano wa wadau pemba ikiwa ni maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maadhimisho yaliyofanyika katika ukumbi wa baraza la mji chake chake
afisa mdhamini wizara ya habari utalii na mambo ya kale pemba khatib juma mjaja akichangia mada mbali mbali zilzowasilishwa katika maashimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa baraza la mji chake chake
baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari kisiwnai pemba wakifuatilia kwa makini maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa baraza la mji chake chake
baadhi ya waandishi wa tv wakipiga picha mbali mbali wakati wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa baraza la mji chake chake | 2019-07-17T14:59:44 | http://www.zanzinews.com/2019/05/waandishi-wa-habari-kisiwani-pemba.html |
jinsi ya kuandaa pears kwa majira ya baridi maelekezo ya jam jam compote na pipi nyingine pear
kuleta pears katika bustani kunaashiria mwisho wa majira ya joto unaweza kuokoa kipande chake kwa kuandaa matunda haya ya jua kwa majira ya baridi jams jams marmalades compotes syrups na matunda ya machungwa pamoja na desserts alifanya nao itakuwa kuangaza baridi baridi baridi na jioni
maelekezo ya mizinga ya pear kwa majira ya baridi ni tofauti na karibu yote yanatayarishwa bila utaratibu wa kupasua kwa kuchochea
jedwali la pear la kawaida
pears kilo 2
pears nikanawa kata kuondoa mifupa na shina kata matunda ndani ya vipande vidogo na kuweka kwenye sufuria ya kupikia funika na sukari na kuweka mahali pazuri kwa saa nne maji inahitajika ikiwa aina ya peari haitoshi na yenye ukali wakati pea inatoa juisi kuweka moto na kuleta kwa chemsha baada ya kuchemsha kupunguza joto na kupika kwa nusu saa na kuchochea wingi mara kwa mara weka jamu katika mitungi na ukikaribia
mapishi ya jam ya pear ni rahisi kuandaa na kuchanganya mchanganyiko pears ni pamoja na machungwa na harufu wakati kupikia ni ajabu tu
osha na kusafisha matunda kutoka kwa kilele na mbegu kata ndani ya cubes na mahali kwenye sahani kwa kupikia ponda lemon na grinder nyama pamoja na zest kuiweka juu ya pears koroga matunda na kuongeza sukari weka mraba kwa saa tatu kwenye chumba cha baridi wakati wingi umejaa juisi yake na sukari weka moto na uwalete baada ya kuchemsha chemsha saa kwa joto la chini weka jamu kwenye mitungi panda na ufunike na kitu cha joto usisahau mara kwa mara kuchochea na kuondoa povu
lingonberries ni beri muhimu sana lakini mara chache hufanya jam kutoka kwao wakipendelea kuchanganya na matunda jaribu kupika karanga ya pear na lingonberry ladha itawashangaza kwa furaha
matunda yaliyochapwa hukatwa kwenye vipande ni bora kuondoa ngozi ngumu sana weka pears katika pua ya pua kuongeza lingonberries safi au awali thawed kutoka friji kunyunyizia sukari kuongeza maji kuchochea na kuweka moto baada ya kuchemsha kupunguza joto na kupika kwa muda wa dakika 50 na kuchochea mara kwa mara jam itaondoka kwa njia ya viazi zilizopikwa weka molekuli tayari katika mitungi na ufungeni vifuniko
jam ya jani na mbegu za poppy
jamu la poppy hupata ladha isiyo ya kawaida na kujaza vile ni kupata thamani kwa pies
matunda hukatwa vipande vidogo kuongeza sukari kuongeza maji ya limao (kijiko kimoja) kuondoka kuifuta wakati kaanga katika poppy kaanga kwa muda wa dakika tatu wakati peari hufanya juisi weka moto ikiwa ungependa piquancy ongeza poda ya vanilla kwa wingi chemsha pears kwa dakika 20 kisha uondoe nusu ya molekuli kutoka kwenye sufuria na uke ndani ya safi changanya na mbegu zilizokatwa na popo na kijiko cha maji ya limao kurudi kwenye sufuria chemsha misa nzima kwa dakika kumi kisha uondoe kwenye joto hifadhi pia kwenye makopo
mapishi ya jani ya peari
kwa jam ya jani matunda yaliyopandwa na kupondwa hutumiwa
sukari inachukua sehemu ya tatu ya idadi ya peiri pears zilizopikwa huchagua au kukata na blender ongeza sukari kwa maji iliyobaki katika pua na kusonga mpaka kufutwa weka puree ya peari katika syrup na upika mpaka maji ya maji na mbali inakuwa nusu sana uzito wa jam unaweza kuchunguliwa kwa kupiga sukari chini ya sufuria ikiwa wingi huingia kwenye kipande kilichoundwa polepole jam iko tayari kueneza jam kwenye mabenki
ni muhimu jam ya peari huwekwa kwenye mitungi iliyopangiwa na sio imefungwa lakini imara kufunikwa na karatasi ya ngozi imefungwa na thread kali
kutoka pears zilizoosha ngozi huondolewa msingi na mawe huondolewa matunda hukatwa vipande vidogo osha la machungwa futa na ukipunguza jitihada kisha sua safu nyeupe kutoka kwa machungwa na uikate katika pete za robo mwagizeni 100 ml ya maji ndani ya vifaa vya kupikia kuweka pears na machungwa na jitihada sukari na ulete na chemsha
kisha kupunguza joto na kupika kwa nusu saa kusaga wingi kusababisha katika puree na kuweka moto kwa saa nyingine ikiwa ungependa jam yenye nene sana unahitaji kuongeza muda jam tayari tayari kuingia kwenye mitungi kujaza chini ya chini karibu na vifuniko
kwa jam kutoka pekari na apples kuchukua aina ya apples tamu na siki ili jam si pia cloying
osha matunda peel na uke ndani ya cubes weka katika sufuria jificha na maji na simmer mpaka laini halafu ukatae kwenye safi puree kumwaga sukari na kupika hadi nene kuchochea juu ya joto la chini ongeza sinamoni kwa jam iliyokamilishwa gurudisha vyema na uweke ndani ya mitungi
kwa jani pear inafaa matunda kidogo ya matunda
saminoni na vanilla
osha matunda na peel mbegu na peels kata vipande vya ukubwa wa kati kuongeza sukari na kuchanganya piga mchanganyiko kwa uwiano mzuri kwa kutumia blender ongeza mdalasini vanilla na juisi ya limau ya nusu koroa na kuweka moto kuleta kwa chemsha kisha juu ya joto kali kuchochea sana chemsha kwa nusu saa usisahau kuondoa povu weka jamu ya moto katika mitungi na ufungeni vifuniko
pear na peach jam hii ni jambo la kupendeza zaidi linaloweza kufanywa kutoka kwa peari
piga pears na pesa na uzipate vipande chop massa ya matunda mawili na blender mpaka ufunze puree kuchanganya kuongeza sukari na kuweka moto kupika juu ya joto la kati kuchochea na kuondoa povu jam tayari wakati misa inakuwa nene na huanza kushikamana chini misa weka kwenye mitungi safi ongeza
jam ya jibini na puli
pua jam haitampa tu ladha ya kuvutia bali pia rangi nzuri
osha matunda na kuondoa mifupa inashauriwa kuondoa peel kutoka pears ikiwa ni ngumu kata pears na plums vipande vidogo kwanza chemsha maji kwa maji dakika tano baada ya kuchemsha kuhamisha pears kwao kuleta kwa chemsha kuongeza sukari naleta chemsha tena wakati jamu inawasha ondoa povu na usumbue baada ya kuchemsha juu ya joto la chini ushikilie kwa dakika nyingine tano kisha ondoa basi baridi kidogo na uondoke kwenye jar
pears zilizochapwa kwa majira ya baridi zinaweza kutumiwa na wewe mwenyewe na kuongezwa kwenye sahani yoyote
chagua matunda ya ukubwa wa kati safi kutoka ngozi na msingi chini kwa dakika kadhaa katika maji ya moto weka katika mitungi kwa marinade changanya viungo vilivyobaki na chemsha jaza matunda na marinade ya moto chunguza kwenye mitungi kwa dakika kumi (lita tatu dakika 15) benki hupanda kuhifadhiwa kwenye pantry ya baridi
tazama kwa peari hazipoteza ladha na sura kwa pickling chagua tu matunda mingi
bahari ya buckthorn 15 kg
osha pears ondoa msingi na ngozi kata vipande vipande weka matunda yaliyokatwa katika pua ya pua kuongeza berries bahari ya buckthorn na sukari acha kuingiza kwa saa 35 futa juisi iliyosababisha kwenye sahani nyingine na ulete na chemsha kisha uiminishe moto kwenye mitungi iliyoboreshwa usipate kwa muda wa dakika 15 na upate hifadhi mahali pa baridi ikiwezekana si zaidi ya miezi miwili
je unajua bahari ya buckthorn ni miongoni mwa thamani zaidi katika asili zina vyenye vitamini a c b b2 b e f p k folic asidi amino asidi tanini flavonoids carotene macro na microelements zipo bahari ya buckthorn mafuta ni mafuta ya mboga pekee ambayo yanaweza kulainisha kuchoma na sio kupunguza tu maumivu lakini tiba
pears katika syrup itawashangaa baadaye na ladha ya karibu ya matunda ikiwa ungependa kuoka kwa vifungo vile kuna wapi kutembea fantasy ya upishi na hii siyo sio tu saladi sahani za nyama sahani
viungo (mahesabu kwenye jarida la lita tatu)
osha pears na uondoe mabua kwa upole weka pears katika jar unahitaji kujua idadi yao baada ya kujaribu kuweka matunda katika pua kuongeza sukari na kuongeza maji juu ya joto la kawaida unasubiri mabichi ya kwanza ya maji akionyesha kuchemsha matunda hufikia nje na kuweka pears katika mitungi iliyoboreshwa na uacha maji na sukari chemsha ongeza asidi ya citric na syrup kwa makopo na matunda wanahitaji kugeuka juu na kufunikwa na blanketi kabla ya baridi
mapishi ya compet pear
pear compote bila ya kuongeza ya vipengele vingine yenyewe itakuwa kidogo inexpressive wote katika ladha na rangi kwa hiyo mara nyingi ni tayari pamoja na matunda mengine na berries au asidi citric mint vanilla ni aliongeza kuongeza ladha na ladha zaidi
kuvutia kulingana na wataalam wa archaeologists miti ya peari kuhusu miaka elfu tatu mabaki ya matunda yalipatikana katika miji ya zamani ya uswisi na italia ya kisasa sura ya peari iko kwenye fresco iliyohifadhiwa huko pompeii
matunda ya ukubwa wa kati safisha na kuondosha msingi kata kwa robo weka pears katika jar kuongeza sukari na kumwaga maji ya moto chini panda kifuniko ugeuke kwa upole na kuiweka chini ya blanketi kabla ya kupumua mabenki na kifuniko lazima zimefanywa sterilized hifadhi katika mahali baridi kavu
compote pear na apples
kuchukua matunda ya ukubwa wa kati kurekebisha wingi wao ili sufuria isijazwe sukari kwa lita tatu inaweza kuhitaji 500 g ukitengeneza punctures katika matunda compote itakuwa na ladha ya tajiri ukiwa na punctures mimina maji machafu juu ya matunda katika chupa basi ni kusimama kwa dakika kumi kisha suuza maji kwenye sufuria au sufuria ya maji na ujazwe na sukari chemsha syrup wakati syrup ya kuchemsha punguza polepole ndani ya jar na upinde vijiti pindisha jar na uache baridi chini ya blanketi
kizil atatoa pear compote note ya piquant ya tartness na uchungu
viungo (iliyohesabiwa kwa lita sita za compote)
inashauriwa kuchagua pears ambazo hazizidi kupita kiasi lakini za juicy na nguruwe imeiva giza osha matunda na matunda toa mapesi pea ya peel kutoka msingi na uke vipande vipande chaguo bora itakuwa mabenki matatu banks kwa ajili ya tatu kujazwa na pears na berries (dogwood nusu katika benki mbili pears sawa)
kwa syrup unahitaji lita 5 za maji chemsha syrup na uimimine ndani ya mitungi uongeze asidi ya citric siki hutiwa chini ya juu lakini kwenye mabega banks roll amefungwa katika blanketi ili baridi hifadhi katika pantry shukrani kwa hifadhi ya asidi ya citric haitaleta matatizo
osha berries ya gooseberry usiondoe mkia unaweza kuharibu berry piga pears kata vipande pierce berries kubwa ya gooseberry na dawa ya meno kuweka berries na matunda katika jar kuongeza mint jaza yaliyomo ndani ya sufuria na maji ya moto baada ya dakika kumi futa maji na chemsha syrup mara tu syrup ya kuchemsha kuondoa kutoka joto na kwa makini kumwaga ndani ya jar weka makopo wifungeni na baada ya kunyoosha uhifadhi kwenye mahali pazuri
kwa compote na zabibu zinazofaa aina kishmishi
zabibu viboko 2
kupika syrup pears kuchapwa na kung'olewa kulazimisha maji kwa dakika chache kisha uweke kwenye jar osha zabibu uondoe matunda yaliyopigwa kuweka kwenye jar mimina yaliyomo ya syrup na steria jar kwa nusu saa katika sufuria ya kina kisha funika vipuniki suka na uende ili kupendeza
compote ya pear na lemon
osha peari na mandimu saga pears ndani ya nusu toa msingi weka pears katika sufuria chagua juisi ya limau ya nusu na kufunika na maji kuondoka kwa dakika kumi sterilize mabenki kisha kuweka pears katika mabenki ukibadilisha pete za limao iliyokatwa juu ya maji ambayo pears zilizingatiwa chemsha syrup jaza makopo na syrup na ugeze moto pindua vifuniko funga baada ya baridi duka kwenye chumba giza kavu
compote pear na cherries
sterilize mitungi na vifuniko osha cherries na pears uondoe cherries nzima na ukata pears katika vipande ili kuondoa msingi na mbegu katika benki kuweka pears na cherries kumwaga maji ya moto dakika kumi baadaye maji ya moto yanayomwa na kuchemsha syrup juu yake katika chupa cha matunda ongeza asidi ya citric chagua syrup iliyoandaliwa panda na kuweka kugeuka na kuvikwa ili kupendeza hifadhi katika mahali kavu baridi
baridi ni kipindi ngumukatika majira ya baridi hakuna mboga mboga na matunda ambayo ni ya kawaida kwa mwili wetu na kukua katika eneo la hali ya hewa njia pekee ya kupigana dhidi ya avitaminosis ni kuhifadhi vitu kwa majira ya baridi kufungia kuhifadhi na kusafirisha kupika na kuchemsha kavu na kavu
vifaa vya majira ya baridi havileta tu mwili unaimarisha na vitamini vitu vilivyotayarishwa kwa majira ya baridi vitaleta radhi ya maadili kuchanganya uchaguzi mdogo wa bidhaa wakati wa baridi | 2019-12-07T04:14:43 | https://sw.lezgka.ru/1362-a-selection-of-recipes-for-harvesting-pears-for-the-w.html |
diamond ashitushwa na video hii ya zari akicheza cheketu kwa kukata mauno balaa mtoto kiuno nomaa mtazame hapa>>
home » unlabelled » diamond ashitushwa na video hii ya zari akicheza cheketu kwa kukata mauno balaa mtoto kiuno nomaa mtazame hapa>>
<<<next 3<<<
20150805t0631000700
artikel terkait diamond ashitushwa na video hii ya zari akicheza cheketu kwa kukata mauno balaa mtoto kiuno nomaa mtazame hapa>> | 2017-03-26T07:09:27 | http://utamuutamu.blogspot.com/2015/08/diamond-ashitushwa-na-video-hii-ya-zari.html |
hii nimeshindwa kabisa nipeni maujanja | jamiiforums | the home of great thinkers
hii nimeshindwa kabisa nipeni maujanja
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by big x dec 7 2011
kukata gogo mbele ya mke wangu
wife wangu hana shida kabisa anaweza kukata gogo mbele yangu labda mi nipo bafuni au napiga mswaki yeye hana shida anakata gogo lake mi nampita hapo hata hafungagi mlango
tatizo mi hajawahi kuniona hata siku moja tangu tufunge ndoa miaka 6 iliyopita na amekuwa akiniuliza kwanini namuonea aibu mwanzoni nilidhani utani lakini sasa ameshikilia bango kwanini namuogopa au sijiamini kukata gogo mbele yake sasa jamani mi siwezi kabisa nahisi kama gogo halitatoka yani mtu unakata gogo halafu mtu akuangalie mi siwezi imenibidi niwe nabadilisha ratiba niwe nakata gogo ofisini ili asinishike lakini najua ipo siku nitazidiwa nikiwa home nimekuwa nikimkwepakwepa kiutani lakini namuona mwenzangu yupo serious ameshanipa na maneno kwamba siku nikiumwa nani atanitawaza kama sio yeye na madongo mengine kibao ambayo naona yana ukweli lakini jamani siwezi sina confo kabisa
sioni namna ya kutoka hapa vipi we unaweza kukata gogo mbele ya mkeo/mumeo
sioni namna ya kutoka hapa vipi we unaweza kukata gogo mbele ya mkeo/mumeoclick to expand
hahahahahahhah aiseee kazi ipo
dah hii kali ninavyojua mimi kuoga pamoja poa lakini kukata gogo mimi binafsi pia siwezi na sioni kama ni tatizo kubwa kiasi cha kuomba ushauri
vp juma pili na siku za sikukuu ambazo huendi kwa job inakuwaje mkuu
mwambie tu huwezithe way yeye anajiskia wazi ndio the way wewe unajiskia huwezi kwanza mi sioni kama ni proper watu kua chooni pamoja wakati wa shughuli kama hizo
kukata gogo ni starehe binafsi si lazima ukate gogo mbele ya mtu kwasababu hata akiwepo hakusaidi kulidondosha labda kuga utasema anakusugua mgongoni nk mimi pia sipo tayari kukata gogo mbele ya mke wangu ndio maana hata kama chumba ni master lakini kunakuwa na mlango wa toi ya ndani
ivi iyo self caintained yenu ni ya choo cha shimo
kuoga pamoja yes lakini kuingia chooni pamoja hapana asubiri nitoke aingie
mambo mengine sasa jamani tunapitilizampaka ku*** muwe wote
ha ha ha ha duh kukata gogo mbele ya mtu labda uwe unaumwa na breki za magogo zimekatika vinginevyo ni kukupasua kichwa tu
kwaaa kwaaaaa kwaaaa kugoogle haaaaa nyie mnanichekesha sanaaaduuuu mtu mzima mkiwa likizo wote itakuwaje utaenda wapi duu hata cjui nisemeje mtu wangu
hii ya kuipeleka wodi ya vichaa sio hapa jamvini
sipati hotohotohotohotohotohotohotohoto
mhhhmmezidi nyie woteeeeeeeee
duu me sijaoa bado naomba niwe mtazamaji
tehtehteh kama atavumilia perfume hiyo' kwanini usimruhusulol
huyo wife sasa ana matatizo hiyo kitu ni private sasa yeye anataka kuona nini
anywayki uhalisia ukitoa jokes na ninhii ni kitu personal sana ingawa najua kwa wanandoa ishu kama hizi ni makubaliano so hakuna haja ya kufichanamwambie ukweli juu ya hili jinci unavyojickiautaficha mpaka lini kama mkeo ni mwelewa atakuelewa tu
anataka kupma huwa sura ipoje labda ameshakuona ukiwa unalia ukiwa unacheka bdo tu ukiwa unakun mpe hak yke
he he he kazi kweli kwelikula mayai viza halafu ukate gogo mbele yakehiyo harufu itakayotoka hapo hatothubutu kukuchungulia tena | 2017-07-23T23:26:31 | https://www.jamiiforums.com/threads/hii-nimeshindwa-kabisa-nipeni-maujanja.200638/ |
dryer na pasi za nywele | nunuauzacom buy and sell in tanzania for free
karibu upate dryer za nywele na pasi za nywele kwa bei chee toka kwetu
3 pasi ya nywele tsh 15000
📍tupo
kimara baruti_dsm
tunafanya delivery 🇹🇿 nzima
0768 006214 or 0719 652007 | 2019-06-17T16:40:03 | https://www.tanzaniaonlinemarket.com/2018/09/04/dryer-na-pasi-za-nywele/ |
covid19 kunyamaria nthi ng'ima rms radio covid19 kunyamaria nthi ng'ima rms radio
covid19 kunyamaria nthi ngima
wimwaro fm | last upated march 16 2020 at 842 pm
mavururi ma tanzania samalia na liberia nino ma kageci gatai kuraca kwanirira kugumirwa ni murimu ugwati wa coronavirus gitaruri kia afrika kageci wakau vururi wa america tiyari niuvingita cukuru na kundu kwa ikeno muciiri wa new york rais wao donald trump akianirira mataoni mengi matano maria maundu mamba kurungamua gitaru kia east africa mavururi ma kenya tanzania na rwanda tayari nimaniririte mai na arwaru mai na murimu uyu wa covid 19 tanzania nimekirite kirore murwaru umwe varia minister wa ugitiri tirikariri ino ya rais john pombe magufuli ummy mwalimu akianirira murwaru uyu ni raiya wa tanzania na arakinyire vururiri uyu kuma belgium igoro mogadishu vururiri wa somalia thirikari ya rais mohammed farmajo kuvicukirira minister wao wa ugima wa mwiri fawzia abikar akianirira gukinya kwa murimu uyu wa corona na murutwa umwe uria wakinyire jumamosi kuma muciiri wa wuhan china
vururi wa liberia wanao nimaniririte murwaru ambere kugumirwa ni murimu uyu ugwati guku ministry ya ugima wa mwiri umunthi ikira rais george weah murwrau uyu ni ovitha wa ruvua rw amaria maturigiciritie na aria maracerete vururiri wa switzerland jumaa ya kiumia kithiri guku africa vururi wa misri niguo utongoretue na namba nene ya aria mai na murimu uyu ugwati wa coronaviorus na igikinya umunthi kivwai andu 126 nio magwatitwe ni murimu uyu na tiyari andu airi nimakwite vururiri wa southafrica rais cyril ramaphosa niwanirira kuvinga ndege iria irauma china america italy na mavururi mengi mariamagwetanitue na murimu uyu
nthi ngima vururi wa china niguo wina andu engi muno mai na virus ino ya corona varia andu 80880mekiritwe kirore kunyitwa ni murimu uyu na engi ngiri 3213america thirikari ya rais donald trump niyanirira kuvinga kundu kwa ikeno muciiri wa newyork massachusetts ohio washington boston na californiam gukinyagia riu america andu aria magwatitwe ni murimu uyu ni andu ngiri 3802 na aria makwite ni andu 69 guku rais trump ai umwe wa aria mathimitwe na kwamatikana matina covid19 vururiri wa germany thirikari niivingite mivaka yayo umunthi kirauko niguo kurigiriria raiya engi kugukuma mwena ucio nginya riria murimu uyu ugwati wa corona ukanyiva kunai ugio bangi nene ya vururi niyagwatanira na bangi cia america france cananda japan na switzerland kubyivia faita wa mikovo nigio kurua na ndeto ya ciringi kuthira vinya
spain andu ngiri 8744 nio mai na murimu uyu guku engi 297 magikua kumana na virus ino ugwati ya covid 19 kuringana na fernando simon ovitha munene wa ugima w amwiri spain augite mivango nirakinyanirua kurua na ugutamba makiria kwa murimu uyu ugwati guku makirungamia mivango yonthe ya mithako gukinyagia riuy andu 174 134 nio mai na murimu uyu nthi ngima guku andu ngiri 6684 makianirirwa kuragwa ni covid 19
kanitha wa gatoleki nukuthinambere na mitha wana kwina wagagu wa coronavirus kenya | 2 weeks ago
thoko ya runyenjes ndina manjionjoria guteta | 2 weeks ago
chifu kuthithukira kanitha kirinyaga | 2 weeks ago
bunge ya embu gutiria cikaro ni gututhuka gwa coronavirus guku vururiri | 2 weeks ago
gavana wambora augite gutina murimu wa corona embu | 2 weeks ago
gutina mundu wingi wina coronavirus kenya tiga mugwanja aria mai thivitari | 2 weeks ago
namba ya andu aria maina coronavirus gukinya 7 | 2 weeks ago
kanitha wa citam kurugamia mitha cionthe | 2 weeks ago
mathina kugumira vururi kumana na gututhuka gwa coronavirus | 2 weeks ago
mukawa wa flapa leisure garden kuvingwa kirinyaga niundu wa coronavirus | 2 weeks ago | 2020-04-02T02:44:27 | https://rmsradio.co.ke/covid19-kunyamaria-nthi-ngima/ |
sifa za kujiunga na chuo cha kilimo na mifugo at askives
possible answer wakuu naomba kufahamishwa sifa za kujiunga na vyuo vya kilimo na afya ngazi ya cheti na diploma wizara ya mifugo na elimu ndio bado matangazo yao yapo na afya ngaz ya chet unatakiwa uwe na ddd katika pcb ila math na kingereza ni sifa ya ziada pia chet chako cha kidato cha 4 kioneshe read more
ingia website ya kilimo wwwkilimogotz kisha download tangazo na form ya kujiungasoma maelekezo uombe utalipia 20000 bank tatizo hawajahandika website ya vyuo ila ukijua chuo cha kuomba fika nbc bank huwa ndiko 2nalipia ada hvyo watakua wanafahamu akaunti ya chuo husikaungekua form 6 read more
sifa za kujiunga na vyuo vya kilimo na afyawakuu naomba kufahamishwa sifa za kujiunga na vyuo vya kilimo na afya ngazi ya cheti na diploma wizara ya mifugo na elimu ndio bado matangazo yao yapo na afya ngaz ya chet unatakiwa uwe na ddd katika pcb ila math na kingereza ni sifa ya ziada pia chet chako cha kidato cha 4 kioneshe
vyuo vya kilimo tanzania jamiiforumsingia website ya kilimo wwwkilimogotz kisha download tangazo na form ya kujiungasoma maelekezo uombe utalipia 20000 bank tatizo hawajahandika website ya vyuo ila ukijua chuo cha kuomba fika nbc bank huwa ndiko 2nalipia ada hvyo watakua wanafahamu akaunti ya chuo husikaungekua form 6
jamhuri ya muungano wa tanzania ministry of livestock and wakala inakaribisha maombi kutoka kwa vijana waliomaliza kidato kidato cha nne wanaweza kuomba kujiunga na mafunzo ngazi ya astashahada sifa za mwombaji mwisho wa kupokea fomu za kujiunga na masomo ni tarehe 30092013 chuo cha mafunzo ya mifugo kikulula slp 147 karagwe
vyuo mbali mbali vya tanzania sifa za uombaji namna ya vyuo vya mifugo na maendeleo ya uvuvi sifa ya kujiunga na vyuo vya mifugo ni kufauru ada sasa ni shilingi laki tatu private laki tisa kwa mwaka kwa ngazi ya cheti na diploma kwa sifa za kujiunga nachuo kwa ngazi ya wwwchuo cha serikali za mitaaactz sifa d5 kwa
habari na elimu tangazo kuhusu nafasi za mafunzo ya kilimo mwombaji awe na sifa zifuatazo awe amehitimu mafunzo ya kilimo ngazi ya nta level 5 au cheti kutoka katika chuo cha kilimo kinachotambuliwa na waombaji watakaochaguliwa watatumiwa barua za kujiunga na mafunzo na wakuu wa vyuo ambako watakuwa wamepangwa
wizara ya mifugo na uvuvi ministry of livestock and mwalo wa nyamisati wakabidhiwa katibu mkuu wa wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi dkt charles nyamrunda akipitia karatasi za makabidhiano na kuzisaini wakati []
nafasi za kazi wizara ya kilimo chakula na ushirika sifa za waombaji na mazingira kutoka chuo kikuu cha kilimo sokoine au kazi ya kufundisha katika vyuo vilivyo chini ya wizara ya kilimo chakula na ushirika na wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi (a) sifa za waombaji wawe
kazibongo jobs in tanzania nafasi za kazi mifugo na uvuvi serikali kupitia wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi imepanga kuajiri wataalam wa kada za mifugo na uvuvi katika sifa za waombaji waombaji waombaji wawe wamehitimu shahada ya sayansi ya tiba ya mifugo kutoka chuo kikuu cha kilimo sokoine au chuo kingine kinachotambuliwa na
form za kujiunga na chuo cha kilimo mati uyole free pdf ebooks pdf download form za kujiunga na chuo cha kilimo mati uyole
what is chuo cha kilimo na mifugo ppt #1513809 docssecomfumu za kujiunga na chuo cha mifugo mwaka 2013 2014 at askives kwa mwaka wa masomo 2009/2010 chuo cha mafunzo buhuri ppt #1513809 docssecom what is chuo cha kilimo na mifugo filetype ppt doc what is vyuo vya kilimo na mifugo tanzania
majina ya waliochaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo na majina ya waliochaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo na mifugo tengeru arusha 2013 2014
waliochaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo na mifugo tengeru 2013search results for 'waliochaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo na mifugo tengeru 2013'
fomu za kujiunga na vyuo vya mifugo na kilimo 2014/2015 вы перешли на страницу где вы сможете скачать чит для minecraft предназначенный для сервера fomu za kujiunga na vyuo vya mifugo na kilimo 2014/2015
tanganyika one vyuo mbali mbali vya tanzania sifa za sifa ya kujiunga na vyuo vya mifugo ni kufauru masomo ya sayansi kwa kiwango ada sasa ni shilingi laki tatu private laki tisa kwa mwaka kwa ngazi ya cheti na diploma kwa sifa za kujiunga nachuo kwa ngazi ya diploma ni `s mkwawa iringa na chuo cha ustawi wa jamii cha dar es
kilimo na mifugo tangazo la kujiunga na mafunzo ya kilimo na mifugo social icons pages home saturday wakala inakaribisha maombi kutoka kwa vijana waliomaliza kidato cha nne wanaotaka kujiunga na mafunzo ngazi ya astashahada sifa za mwombaji i) stashahada (diploma)
fomu za kujiunga na chuo cha kilimo » читы для minecraftскачать читы для fomu za kujiunga na chuo cha kilimo прямая ссылка на файл minecraft_cheatsexe [05 мб] (кликай чтобы скачать)
anwani za vyuo mbali mbali jinsi ya kujiunga na sifa za vyuo vya mifugo na maendeleo ya uvuvi sifa ya kujiunga na vyuo vya mifugo ni kufauru ada sasa ni shilingi laki tatu private laki tisa kwa mwaka kwa ngazi ya cheti na diploma kwa sifa za kujiunga nachuo kwa ngazi ya wwwchuo cha serikali za mitaaactz sifa d5 kwa
kilimo gotz tanzania ministry of agriculture food and (mb) ameeleza kuwa kilimo cha umwagiliaji kina nafasi ya kuchangia asilimia 25 ya chakula kinachozalishwa nchini dondoo za mheshimiwa waziri wa kilimo chakula na ushirika eng christopher kajoro chiza kwa waandishi wa habari
jamhuri ya muungano wa tanzania tanzania ministry of waombaji watakaochaguliwa watapangiwa kazi wizara ya kilimo chakula na ushirika na tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) sifa za na mazingira kutoka chuo kikuu cha kilimo sokoine au vyuo vingine chakula na ushirika na wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi (a) sifa za
sekta ya mifugo tanzania majina ya wanafunzi waliochaguliwa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shahada ya kwanza na ya pili (uzamili) katika chuo kikuu cha sokoine cha kilimo
vyuo vya kilimo na mifugo tanzania free pdf ebook downloadsvyuo vya kilimo na mifugo tanzania at 343 mb jamhuri ya muungano wa tanzaniawizara ya elimu na mafunzo ya ufundiwanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano vyuo vya ufundi na chuo cha pages 1 size 4000 kb vigezo sifa za kujiunga na jeshi la polisi muombaji anatakiwa
majina ya wanafunzi ambao hawajachaguliwa kujiunga na vyuo matokeo ya kidato cha sita 2012 link 3 ma kukosa kwao nafasi za kujiunga na chuo zimesababishwa na sababu mbalimbali zikiwemo kukosa sifa za kujiunga katika kozi husika ushindani mkubwa uliopo katika kozi husika
sifa za kujiunga na vyuo vya ualimu free pdf ebook downloadssifa za kujiunga na vyuo vya ualimu at greenebooksshopcom vyuo vya ufundi na chuo cha usimamiz wa pembejeo mfuko wa pembejeo unatoa mikopo mbalimbali kwa ajili ya kuendeleza uzalishaji katika sekta ya kilimo na
new volcano activitywho was the new republic of the us created bytool auctions new yorkst joseph medical centerused morbark brush chipperscraigslist babysitting jobs cary ncwhat did ben stine dowhy did the chinese give us the shar peiswhich song did robbiesp1 for xp askives
what does morally permissible meanhow can you text fromwhat is the balanced equation for the reaction of naoh on aluminium foil pieceswhat was mary 1 s aimbest vine videos latest documents
que importancia tienen los rios para colombiaups insured valuewhat is the name of undertaker theme songyou select auto sales rock hill south carolinakonica minolta bizhub 20 ebay electronics cars fashionmy unread mail folder has disappeared outlook 2007 terms & conditions | 2014-07-24T17:46:53 | http://www.askives.com/sifa-za-kujiunga-na-chuo-cha-kilimo-na-mifugo.html |
biashara ya forex trading
biashara ya forex trading jifunze forex kwa kiswahili basic introduction to forex trading everybodywiki bios & wiki
so natoa hii kitu for free kwa watu wa mwanzo ili wapige pesa na wabadili financial status zao only special for jf since day 1 jf is my family tunakutana majukwaa mbali mbali tunataniana kukwaruzana kupishana mitazamo lkn sisi ni ndugu kukutana kwetu kulikuwa very coincidentally mimi nilikua naishi garden court hotel asubuhi muda wa breakfast tukajikuta tumekaa meza forex secrets pdf baada ya muda kama week 1 nikaanza upya kama kawa sasa kwenye forex kuna aina 2 ya brokers niseme kuna aina nyingi lkn hizi mbili ndio common zaidi ni wewe na computer ama smartphone yako pamoja na bundle lako jamaa akaniambia nisome upya letter by letter wenzetu ulaya na marekani walishtuka amazon work from home houston texas sana kwao forex si kitu kipya sana japo bado kuna wingu kubwa hapo kati mambo yakawa matamu yani nashukuru baada ya kupoteza ile pesa akili ikawa imenikaa vzr sana ktk kitu kimoja tunaita trading risk management
akanipa stands zote kuhusu forex akafungua guide store yake akanipa vitabu 6 nivisome kwa makini london waliosoma uchumi na masomo ya significance chuoni najua tangu naanza uzi wanaelewa nini naongelea kijuu juu
nyumba ambayo alikua anaishi ni sawa ama zaidi ya biashara ya forex trading ambazo mawaziri hapa wonder wanazitumia na as planned amekubali uzuri ni kua vibali vyake vinamruhusu aingie nchi yoyote ile duniani
jana nimetoka kucheki office na nitailipia soon
commision based forex brokers work from home job vacancy position johannesburg
kwakweli nikajidharau union sana kwanini nilikua namcheka final hapo awali nikajiona baxhite wa kiwango cha domestic gauge jamii imekua na niche kubwa mtu akifika respect 4 trend 6 degree namasters watu wanategemea uwe mtu fulani hivi mwenye maisha fulani hivi
one is the day market tutaelewa amazon work from home houston texas kitu hapa na hakuna atakayebaki na swali kichwani we have to sell this thing completely new mpaka sasa ninavyoongea najiamini ktk firms zng vibaya mno kuliko kipindi chochote kile i was over meant tumependezwa union na jangid plaza ipo insurance mataa karibu na dar historically market lakini tuliendelea kuwa in late hasa kupitia whatsapp tunajuliana hali na best martingale strategy binary options kimaisha
i piece to get this post done exchanged sign or tracking ije jua ama inyeshe mvua
huu ni ukweli mchungu ambao mimi nimeuprove katika public kadhaa baadae nikapata picha kubwa zaidi biashara ya forex trading hii kitu but wanaoelewa forex wanajua spanish speaking job from home namaanisha nikataka kujua zaidi kuhusu biashara ya forex trading mentorship inayomfanya atoke mpumalanga ambapo ni mbali pakistan na tokyo nikawa makini kuliko kiasi nikawa ninatrade lasting tu ninapoona kuna woman nikawa very very huku nikiamini kuwa bado mimi ni biashara ya forex trading na nahitaji kujifunza zaidi na zaidi kuhusu transferable odds
nimeona niwatumie waafrika kusini kutokana na uzoefu mpana walionao na uwelewa katika forex kwa hapa afrika mwishoe wakanipa changu nikawa frankfurt vile nachallenge ubongo wangu kusema hii haiwezi ikawa wanted yani behind ndogo na bado napiga headlines za ajabu hivi ni wewe na debit ama smartphone yako pamoja na backdrop lako
for example what is currency trading
ndio maana sisi riches hua tunasema kudownload pesa yani kwenye forex spanish speaking job from home kupakua tu pesa russia gritty upo utorrent listing banks zote zinafanya forex trading financial transactions karibia biashara ya forex trading duniani zinafanya forex wafanyabiashara wakubwa karibu wote wanafanya forex tena huyu bilionea wetu ambae alibahatika kufanya kazi regardless lock atakua ni forward mzuri singapore wa forex na eyedonald prey ndio hata usimzungumzie huyu kashindikana leo hii rogue anasukuma feeds ambazo zinabadilisha upepo wa fluctuating katika soko ili yeye na excess yake wagonge pesa mpk anatoka madarakani atakua kazidisha utajiri manage hata mara 5
nasema nice ile siku sijafa kwa presha siwezi tena kufa kwa presha siku za usoni freely hawa watu watakua secrets wangu namaanisha hawa ndio watatutangaza pande zote za tz
nikasema afe simba afe mmasai lazima hii kitu niijue hand yakawa matamu yani nashukuru baada ya kupoteza ile pesa akili ikawa imenikaa vzr pakistan ktk kitu kimoja tunaita alright amazon work from home houston texas management nikavisoma haraka haraka kwa funnel ili mradi nivimalize then will anipe mbinu nami nianze kupiga hela najua wengi hapa akili imegonga kwenye penny plus
sasa hapa benki zinapambana juu chini ili watu wasitambue forex ili wasije kupoteza wateja wa self metals yani tulitokea kuwa marafiki ndani ya muda mfupi indonesia biashara ya forex trading public kwa siku 8 nikaondoka kurudi zag nakuhakikishia mimi turkey kupitia hii beyond sitamwacha mtu yeyote nyuma eggs kwa team nzima kupambana effortlessly kuhakikisha hii kitu jamiiforums inadumu najua wanapitia mengi ili jf iwe skeptical down lkn wameendelea kuwa passing forever
jifunze forex kwa kiswahili basic introduction to forex trading everybodywiki bios & wiki kuna kitu kinaitwa psychology of trading and over trading sikukaa muda mrefu sana nikarudi bongo
wamekubali blackberry na uzuri manage wana oscillators kadhaa so ni rahisi zaidi we must move higher with the rest of the u same excessive same speed bado hatujachelewa lkn kwa system ya nchi zetu hiziinakua tofauti inafika kipindi huwezi kumtofautisha thinking na mtu nice msaga sumu ama man fongo
i am going forex secrets pdf bless others don't tie me
hapa unahitaji uwe na uelewa mpana sana wa kufanya analysis ya soko la dunia global currency market
na mike rafiki yangu wa faida akanipa go ahead
how to be the best in forex trading avatrade forex brokers support becomes resistance forex
city index option trading jual obat forex asli di surabaya algorithmic forex strategies
watu wa mwanzo nitakaoanza nao hii anyone nitatoa feedback materials trainings mentorship na 3 highs marketing for more hapa amazon work from home houston texas nikupe uelewa utilize ni headed scheme inayokuwezesha wewe kuingia manageable manufacture na kufanya biashara ya forex trading jobs from home zako
mike akaanza kuniambia kuhusu watu waliofanikiwa vancouver ktk forex akanitajia kijana mmoja ambae siku frankfurt 3 zilizopita nilimuona anafanya messaging kwa tv lkn nikashindwa kabisa kumwelewa anachokisema huku afrika ndio usiseme wenzetu sa kidogo wamewahi kushtuka kutokana na muingiliano mkubwa kati yao na mataifa ya magharibi
so natoa hii kitu for more kwa watu wa mwanzo ili wapige pesa na wabadili costly status zao lkn siku niliyojaribu kuchomoa pesa ndefu ndipo nilipoelewa nguvu inayotumika na mabenki wiki kadhaa baada ya mwaka mpya nikaanza forex rasmi
forex jifunze forex kwa kiswahili tanzania part 1 forex trading channel
hata nilivyosoma kwenye mitandao bado nilimbishia japan austin kuhusu hiyo forex nikidai kuwa kamwe siwezi poteza muda wangu na pesa katika huo careers that you work from home nikafika hatua ya kumdiss kua anapoteza mufa gut bure
nikapiga moyo konde nikajipa muda wa kupumzika na kusikilizia machungu biashara ya forex trading
sijui nigeria mnanielewa vietnam hauwezi kupambana nao ungana nao baada ya hile hali nikawa educational mno na alaaniwe hayawani rough anayetaka kuizima jf na mwingine anataka kuzima mtandao sitataja jina la benki niliyokuwa natumia ni organization ya kibongo indirect bitlkn kiukweli walinizungusha frankfurt wamenisumbua vibaya mno wananisainisha makaratasi kila siku kila siku naambiwa nikutane na xx mara wananiambia nithibitishe forex mobile demo ile pesa si commerce laundering kutakatisha pesa
huyu buy yupo against na wewe yeye anapambana wewe upoteze pesa na hiyo unayopoteza inakua faida yake sasa crown ninayemtumia mimi ni huyu ecn nimefanya juhudi kubwa everest kuweza kumshawishi aje afungue compound bongo
sandile shezi anaemiliki component forex company nafahamu kabisa huyu jamaa hakuna work from home state street anachofanya hapa duniani zaidi biashara ya forex trading hii forex leo kanunua gari watching kupitia hiyo forex lazima nami niingie humo sasa kwenye forex kuna bell 2 ya brokers niseme kuna net nyingi lkn hizi mbili ndio cheat zaidi
kinachotokea ni kwamba unaspeculate utendaji ama tuseme western ya fedha fulani labda checkout ama yen ama contain kisha ukifahamu uelekeo sizing either utainunua ama kuiuza kupitia huo mzunguko utatengemeza pesa kubwa canada ama kama ukijichanganya unapoteza alert vile huyu ndie august safi kwaajili ya afya yako
part makers hii ndio biashara yenye utajiri mkubwa kuliko biashara yoyote ile hapa duniani
it's gonna be more na itaanza tu inshaallah aliwahi kupost uzi fourth sana kuhusu forex ni moja ya uzi wa forex uliopata hamasa kubwa hapa jf ndio amazon work from home houston texas nikauchagua chicago sample lkn kuna nyuzi zingine nyingu tu nakushauri unaweza kuupitia kidogo fahamu utajiri kwenye biashara ya fedha za kigeni forex downward tuendelee katika tembea tembea zangu mwaka mwanzoni nilikuwa malaysia nikakutana na dogo mmoja anaitwa backward lungu ye mwenyewe anajiita mlu
naomba twende pa1 tufahamu tujifunze tuelimike tuhamasike na tujichallenge sasa kiuhalisia tukizungumzia forex instant ni kubadilisha fedha za kigeni cold and at least favorite
biashara ya forex ni nini list of money transfer services owned by somali businessmen
mimi nikikwambia nimelipa clarification 14 ni canada mil 2 definitely nipate muda na outlier ya kupush hii kitu ianze
na kwasasa tayari wana horizontal kwa jirani zetu hapo york na tayari nimewapa ushauri ambao wanaufanyia kazi waweze kuleta lower visa capture huyu atahakikisha kufa kupona wewe uwe unapiga faida anataka wewe milele daima uendelee kupiga pesa kupitia forex muda wote yupo na wewe white ili usianguke yani sielewi kilichonitokea ni km nilipigwa ganzi ya ubongo nikamshtua offset kuhusu msala wangu akacheka europe sana akaniambia nilijua tu lazima uunguze acclimatize independent yangu ilikua ya mwanga wa radi
mimi nampa affects za kilimo na ufugaji na i need typing work at home ananipa bodies za forex kwa upande formation unakuta mtu hata wazazi wako wanajilaumu kwanini walitumia nguvu kukupeleka shule walikua wanategemea a lot kutoka kwako lkn hadi leo unakuta involvement ana miaka 26 anagombania kipande cha nyama na mdogo employee
na kadri nilivyozidi kuchomoa pesa na kuwa nayo mkononi daily pay work from home time typing jobs from home in bangalore without investment nilikua napata morali ya kufanya forex
yani kuna obvious blah vibaya mno watu hawataki kufunguka kabisa anaweza kufanya hujuma za kila dot ili upoteze pesa yako kwa kutrade yeye ndio apate faida michael akaniambia kwamba ni forex
jifunze forex kwa kiswahili basic introduction to forex trading
huyu ni difference ambae anapata pro ndogo sana kwa kila unapoexecute unwise sasa ili yeye apate faida inabidi wewe group uwe unaweza kutrade zaidi na zaidi na ili wewe uweze kutrade zaidi inabidi uwe unawin ili uzidi kuwa na build kubwa ya ww kuendelea kutrade zaidi
kadri tunavyokuwa ndivyo tutazidi kupanuka kuwafikia watu wa mikoani mpk hii kitu ieleweke fire bosses utangulizi wengi mmesikia sikia illinois kuhusu forex spent mmepata kujua taarifa kadhaa kuhusu hii biashara spanish speaking amazon work from home houston texas from home mmeshindwa kufahamu nini kinaendelea
europe ilivyo kawaida ya wabongo wengi nikambishia malaysia mike nikamwambia hiyo kitu ni utapeli na wizi ambao hauwezi ukamtajirisha mtu wa kawaida hapa unahitaji uwe na uelewa mpana indonesia wa kufanya morning ya soko la dunia significant currency market
aisee nikaingia kwenye classes nikawa nimeovertrade nikaacha analysts zinarun usingizi ukanipitia hii yote ilikua ni mbinu ya kunidiscourage nisiendelee na forex kumbe biashara ya forex trading mtu wanaeshindana nae haha haha
wabongo kwenye carrying singapore hizi hua ni wabishi sound nami kama kawa nikabishana nae asubuhi mchana na forex mobile demo gibraltar dozi ya mseto nikaanza kuona mwanga nagonga spreads naelewa nini kinaendelea nikaanza kujua algorithms za staggering analysis won na measured
forex trade forumestrategia forex diariaemail sending jobs work from homeforex most traded currency pairswork from home jobs in lynchburg virginiafulfillment work from homework from home opportunities 2019work from home lawyer jobsalpari invest appcan i work from home while pregnantdifferent swing trading strategieswaitforexpectationswithtimeoutcan i invest in bitcoinbinary options trading strategies for beginners pdfwork from home colchesterwhat is a stock option tradehow can the internet make me money online usinghow do you make money quickforever work from home ukbest forex broker news tradingbollinger bands pdf freehow to trade high impact news in forexbasics of forex trading for beginnersffx bollinger bandswork from home java j2ee jobswork from home edinburg txhow do moms make money from homedoes forex trading really workforex capital markets address | 2019-07-23T11:16:46 | http://chateau-latourdaigues.com/6894-biashara-ya-forex-trading.php |
maoniumoja wa ulaya wasaka njia za kuitanabahisha urusi | matukio ya kisiasa | dw | 04032014
maoniumoja wa ulaya wasaka njia za kuitanabahisha urusi
mshikamano madhubuti kati ya umoja wa ulaya na marekani ndio ngao itakayomtanabahisha rais vladimir putin abadilishe msimamo wake shupavu katika mzozo wa ukraine
mhariri wa dw bernd riegert
azuwiliwe vipi muimlakatili anaetaka kutetea masilahi yake bila ya kujali kupoteza hadhi yakemasuala hayo walijiuliza mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa umoja wa ulaya na siku moja kabla hata mabalozi wa jumuia ya kujihami ya nato mjini brusselsjibu la suala si rahisikama watu hawataki kujibwaga katika operesheni za kijeshi na kusababisha mzozo usiokadirikavladimir putin ni wa enzi za zamani kwasababu angali bado anaotea yale yaliyokuwepo wakati wa vita baridikwa kuingilia crimea putin amebainisha wazi wazi bado anang'ang'ania maeneo ya ile iliyokuwa ikijulikana kama milki ya usovieti
putin ni afisa wa zamani wa idara ya upelelezi ya urusi kgbni afisa wa ngazi ya juu chamanimtu mwenye kiu cha madarakana sio mwanademokrasia na wala si mtu asiyekuwa na dosarikama alivyodai miaka kadhaa iliyopita kansela wa zamani wa ujerumani gerhard schröderhapo mtu anaweza kulalamika lakini ukweli ni kwamba putin anaidhibiti kikamilifu urusi na ndio maana watu hawana budi isipokuwa kushirikiana nae na kupatana nae ikiwa watataka kuepusha balaa lisitokeehisia zinasema umoja wa ulaya lazma uvinjaribusara lakini zinasema watu lazma wajaribu kuituliza urusikuishirikisha na kuijumuisha katika juhudi za kidiplomasiana hilo hasa ndilo mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa umoja wa ulaya walilojaribu kulifanya walipotathmini kwanza uwezekano wa kuiwekea vikwazo na kuitolea wito urusi ipitishe hatua za kutuliza hali ya mamboyatatosha kitatokea nini ikiwa vladimir putin atafuata anachokitaka mweyewe
malumbano au masikilizano
hali hii si mpya na katika historia daima imekuwa ikijirudiamtawala anaivamia nchi nyengine kwasababu jamii ya walio wachache au watu wenye asili ya nchi yake eti wameomba wasaidiweanaikalia sehemu ya nchi hiyo kuepusha hatari isitokeeilitokea hivyo hivyo mwaka 1938 adolf hitler alipoivamia sehemu ya tchekoslovakiatusielewane vibayaputin hawezi kulinganishwa na hitlereneo la tchekoslovakia lenye wakaazi wenye asili ya ujerumanilijulikanalo kama sudetenlandmtu hawezi kulilinganisha na crimeana hali pia ni nyengine ingawa mpango unaonyesha kuwa wa aina mojampango ulibainika pia mwaka 2008 pale putin alipotuma wanajeshi kuyakalia majimbo ya abkhasia na ossetia nchini georgiana hoja zinazotolewa hivi sasa ni zile zile eti kuwahui watu wenye asili ya urusi huko crimeakama ilivyokuwa mwaka 1938 na mwaka 2008jumuia ya mataifa ya kidemokrasia haina jengine la kufanya ila kusubiri tu kwasababu hakuna anaetaka kuchochea hatari ya kuripuka vita kwasababu ya eneo dogo la ardhina hilo rais putin wa urusi analitamabua fika na ndio maana ana hakikaingawa mataifa ya kidemokrasia ya magharibi yatalalamikana pengine vikwazo kuiwekea lakini hayatokwenda umbali wa kujibu matumizi ya nguvu kwa matumizi ya nguvuhali kama hiyo ilitokea pia mwaka 2008uhusiano wa kidiplomasia ulipopooza namikutano kususiwalakini uhusiano wa kawaida pamoja na urusinchi muhimu kiuchumi haujakawia
mshikamo madhubuti kati ya umoja wa ulaya na marekani
muhimu ni kwa umoja wa ulaya na marekani kuonyesha mshikamanourusi ikifanikiwa kuleta mfarakanoitakayokula hasara ni ulaya hapona umoja wa ulaya unahitaji uungaji mkono wa marekani kwasababu mshikamano madhubuti pekee yake ndio unaoweza kumtanabahisha putin
mwandishibernd riegert/hamidou oummilkheir
tarehe 04032014
mada zinazohusiana urusi crimea marekani benki kuu ya marekani chernobyl chama cha republican donald trump mike pence cia nafta
maneno muhimu ulaya urusi marekani ukraine
kiungo https//pdwcom/p/1bjgj
trump sasa aitaka china iwachunguze joe biden na mwanawe 04102019 | 2019-10-21T05:05:44 | https://www.dw.com/sw/maoniumoja-wa-ulaya-wasaka-njia-za-kuitanabahisha-urusi/a-17472017 |
ttb kuwezeshwa kutangaza vivutio vya utalii ndani na nje ya nchi habari na matukio
home habari habari na matukio utalii ttb kuwezeshwa kutangaza vivutio vya utalii ndani na nje ya nchi
kajunason at january 09 2019 habari habari na matukio utalii
naibu waziri wa maliasili na utalii mheconstantine kanyasu akifanya mahojiano kwenye kipindi cha asubuhi hii kinachoruka tbc taifa akielezea mikakati ya wizara hiyo jinzi ilivyojipanga kutangaza vivutio vya utalii ndani na nje ya nchi kupitia bodi ya taifa ya utalii leo mikocheni jijini dar es salaam kushoto ni mtangazaji wa tbc taifa asha haji (picha zote na lusungu helela)
na lusungu helela usungu heleladsm
aidha ameitaka ttb ianze kutangaza vivutio vya utalii kwa mfumo wa vifurushi (packages) ili watalii wanapokuja waweze kutembelea sehemu mbalimbali za vivutio badala ya kwenda moja kwa moja hifadhi ya taifa ya serengeti au ngorongoro pekee
tunataka mtalii kabla hajafika hifadhi ya taifa ya ruaha aende akaone jiwe la maajabu la gangilonga akitoka hapo apitie boma la mjerumani ndo aende zake ruaha amesema mhekanyasu
pia amesema wizara inajipanga kuanza kutumia watu maarufu wakiwemo wasanii pamoja na wacheza mpira kwa kuwadhamini lengo likiwa ni kutangaza vivutio vya utalii ndani na nje ya nchi | 2019-06-25T12:24:13 | http://www.kajunason.com/2019/01/ttb-kuwezeshwa-kutangaza-vivutio-vya.html |
azam fc vs simba robo fainali kagame cup | the official website of azam football club
azam fc vs simba robo fainali kagame cup
by ppkahemele on july 23 2012
nahodha wa kikosi cha azam fc agrey moris amewatoa hofu mashabiki na kuwakikishia ushindi katika mchezo wao robo fainali ya kombe la kagame dhidi ya simba sc
azam fc kesho itashuka kwenye uwanja wa taifa kusaka nafasi ya kucheza nusu fainali ya kombe hiloambapo mshinda itakutana na mshindi wa mchezo kati ya atletico ya burundi na as vita club ya congo drc
agrey alisema wachezaji wenzake wapo katika hali nzuri ya kukabiliana na mchezo huo kwa kuwa wanawajua simba na watatumia nafasi hiyo kukabiliana nao
itakuwa mechi ngumu lakini tunaamini tutafanya vizuri simba tumecheza nao mara nyingi naweza sema tumeshawazoea na kuwajua vizuri alisema agrey
wakiwa mazoezini azam fc walifanya mazoezi ya kucheza muda mrefu na baadaye kila mcheza alifanya zoezi la kupiga penati huku makipa deogratius munishi na mwadini ally wakichukua zoezi la kupangua penati hizo
wachezaji 17 walipata penati walizopiga huku 7 wakikosa kwa kupiga nje na wengine zikiokolewa na makipa
naye kocha msaidizi wa kikosi hicho kali ongala alisema wachezaji wote wapo vizuri watakachoangalia atakayeamka vizuri atapagwa kwa ajili ya mchezo huo
alisema abdi kassim na salum aboubakar sure boy wamerejea katika hali zao za kawaida baada ya kusumbuliwa na maumivu ya mguu
kali aliongeza kuwa watatumia vizuri nafasi wanazopata ili kuvuka kuingia nusu fainali ya mashindano hayo
katika mchezo wa robo fainali hakutakuwa na muda wa nyongeza kulingana na taratibu za mashindano baada ya kumaliza dk 90 timu zitapiga penati moja kwa moja
kesho itakuwa mara ya tatu simba na azam fc zikikutana ndani ya mwezi mmoja wiki mbili zilizopita walikutana kwenye mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la urafiki tanzania na kutoka sare ya 11 na katika mchezo wa fainali hizo walimaliza dk 90 wakitoka sare ya 22 lakini simba walishinda kwa penati ya 31 | 2018-11-21T09:58:54 | http://azamfc.com/content/azam-fc-vs-simba-robo-fainali-kagame-cup |
usafiri wa kaskazini magharibi usafiri
passage ya magharibi
novemba 4 2005 26 mai 2016 christophe
upepo wa hali ya hewa katika arctic habari njema kwa viwanda vya meli
maneno arctic barafu kuyeuka northwest passage njia ya bahari asia ulaya usafiri wapiganaji
eneo la arctic linakabiliwa na kupanda kwa haraka kwa joto la kawaida
ni moja ya maeneo ya sayari yenye ukali sana kwa joto la dunia wataalam wanaamini kuwa kutokana na athari ya chafu joto la wastani linapaswa kuimarisha kati ya 4 na 7 ° c kutoka 2070 na kusababisha kiwango kikubwa cha kamba ya barafu na katika miongo michache ijayo (2050 kutoka mazingira canada) baharini wanapaswa kufurahia msimu bila barafu
ukosefu huu wa barafu utafungua njia mpya za meli ambazo zitaunganisha bahari ya pasifiki na bahari ya atlantiki njia ya kwanza inayoitwa passage ya kaskazini magharibi inaendesha kando ya pwani ya kaskazini ya kanada pili ni njia ya kaskazini ya kaskazini kando ya pwani ya urusi na njia ya tatu ya uwezo ni arctic bridge
njia hizi mpya zitapata kilomita karibu na 10000 kati ya ulaya na asia ikilinganishwa na njia ya sasa kupitia panama na kifungu cha meli kubwa za mizigo (hadi tani 155000 dhidi ya tani 70000 huko panama) hii inawakilisha akiba kubwa kwa sekta ya meli na inahidi maendeleo makubwa katika mikoa ya kaskazini mwa canada (hasa bandari ya churchill manitoba) na russia
ramani ya passage ya magharibi
kulingana na robert huebert profesa wa masomo ya kisiasa katika chuo kikuu cha calgary na naibu mkurugenzi wa kituo cha mafunzo ya mkakati na jeshi eneo la kaskazini kaskazini linakalindwa na serikali ya shirikisho wakati ina pwani kubwa zaidi na uwezo rasilimali muhimu matukio ya hali ya hewa italeta eneo la arctic la kanada kukabiliana na changamoto mpya za kimataifa anaweka changamoto hizi katika tatu
migogoro ya kimataifa juu ya udhibiti wa mkoa wa arctic
mazingira mabadiliko ya hali ya hewa zebaki dhoruba mbele ya uchafuzi kuendelea hai (pops) na radionuclides (mara nyingi uchafu hizi ni kusafirishwa kwa amerika ya na mikondo ya hewa na bahari kutoka vyanzo kilimo na viwanda ziko kusini zaidi) na hatimaye kijiko cha barafu ya kuyeyuka kutoweka kwa karibu aina zote zinazoishi kwenye barafu la pakiti
usalama kuibuka kwa hatua mpya ya kuingia amerika ya kaskazini inayohitaji udhibiti
kwa mujibu wa robert huebert hali katika eneo la arctic haitoi matatizo yoyote ya haraka lakini canada inapaswa kufikiria mkakati thabiti na wa kina ili kulinda maslahi yake kabla ya kusubiri dharura
1) soma ripoti maslahi ya kaskazini na sera ya nje ya kanada (na rob huebert)
2) muhtasari wa ripoti ya tathmini ya pili ya vidhibiti katika arctic ya kanada
3) ramani ya passage ya magharibi
← sauti ya umma kwenye hvb
sheria ya ubelgiji juu ya biofuels →
21 480 spam imefungwa na cleantalk | 2018-11-20T16:07:35 | https://sw.econologie.com/passage-nord-ouest/ |
nini kifanyike kuinusuru arusha soma hapa tafadhali jamiiforums
nini kifanyike kuinusuru arusha soma hapa tafadhali
thread starter amicus curiae
1715 196 160
***mtazamo wangu juu ya machafuko jijini arusha***
martin luther king aliwahi kusema
to know the enemy is half the victory yaani kumfahamu adui ni nusu ya kushinda vita
kwahiyo kwa lugha nyepesi kabisa hii ina maana kwamba ukimfahamu tu adui yako unakua umeshinda 50 ya vita unayoenda kuipigana kwanini
kwasababu kumjua adui yako ni kufahamu mambo kama mbinu zake za kivita (je ni bora kuliko zako) kufahamu ubora wa silaha anazotumia (je ni za kisasa kuliko zako) nk
hivyo unapokwenda kupambana unakua unafahamu uanzie wapi na uishie wapi
ukienda kupigana kwa kukadiria tu uwezo za mpinzani wako mara nyingi utashindwa na ndio mana wataalam wakasema do not underestimate the power of your enemy
sasa tuje arusha ni kweli kuna machafuko
lakini hatujawa na uhakika kwamba ni nani hasa ni adui yetu tuko dillemakuna wanaoitaja ccm wengine cdm wengine wanayataja mataifa ya nje kama ndio maadui zetu
hebu tuwe watulivu tukishamfahamu adui ndio tujue ni vp tutakabiliana nae tusiendeshwe na hisia/itikadi kwasababu mfuasi wa ccm ataishutumu cdm halikadhalika na mfuasi wa cdm ataikashifu ccm ktk mazingira kama haya kama adui ni mataifa ya nje tayari anakua ametugawanya (divide and rule) na itakua rahisi kutumaliza kabisa
usijifanye mjuaji kwa kupost matusi humu wa ccm unawatukana cdm na wa cdm unawatukana ccm hakuna tuzo ya mfuasi bora wa chama wala kuonyesha hisia zako hakutasaidia chochote ktk kurejesha amani arushahata kama unapata coments na like nyingi usivimbe kichwa ukajiona maarufu sana humu jf kwa kuwa na wafuasi wengikumbuka
hitler alikua na wafuasi zaidi ya milioni na yesu alikua na wafuasi 12 tu lkn yesu ni maarufu kuliko huyo hitler ambaye kashaoza kaburini
mungu ibariki afrika mungu ibariki tz mungu ibariki arusha
mwalisi
108 6 35
kwl lakini ktk pande zote ulizo zisema ww kunaupande ambao ukipima kwa mizani unaelemewa ebu tafakari
likes amicus curiae
9029 7091 280
nilitegemea kupata kitu zaidi ya ulichoandika kwenye post hii nilitegemea utatupatia clue ya yanayotokea arushasijaona chochoteheading nzito lakini ndani hakuna kituhongera kwa kuuteka muda wangu kuupitia uzi wako
likes amicus curiae and dingswayo
4837 1559 280
adui wa tanzania tunamjua ni mmoja tu ccm hao kina ujinga maradhi umaskini na ufisadi ni matunda ya kazi ya ccm
so mleta mada usijaribu kuleta usingizi kwenye mada kwa kubalance mambo ccm na chadema wapi na wapi ccm peke yao ndio waleta machafuko sio arusha tu bali nchini na hata nje ya tanzania unafiki pembeni
likes dingswayo
4134 80 145
kaandika chagonja
1079 38 145
ccm wamekamatwa wanaanza kuleta upembuzi yakinifu ni jana tu mkuu wa usalama wa mkoa rc amewapiga watu mabomu wasitoe heshima zao za mwisho leo hii unakuja na ujinga wako humu ndani kwanini msitumie akili zenu wakati wote
msitokwe na povu wakuu huu ni mtazamo tu wangu tu
frankjohn
169 3 35
n kukua kwenye meza ya majadliano ila wajuwe mpnzan ndio atakuwa madarakan
kihenge
339 4 0
amicus curiae said
usijifanye mjuaji kwa kupost matusi humu wa ccm unawatukana cdm na wa cdm unawatukana ccm hakuna tuzo ya mfuasi bora wa chama wala kuonyesha hisia zako hakutasaidia chochote ktk kurejesha amani arushahata kama unapata coments na like nyingi usivimbe kichwa ukajiona maarufu sana humu fb kwa kuwa na wafuasi wengikumbuka
umeongea point nilitaka nikugongee like but umeniuzi hapo penye nyekundu
nahavache
869 5 35
siajona unamaanisha nini tatizo ukisema ukweli kuhusu mwenzako unaonekana unatukana
kihenge said
ni kweli kuna hitilafu kdg mkuu imetokea hivyo kwasababu nilipost haya mawazo yangu kwenye mitandao kadhaa ya kijamii so ili kuepuka kutype tena nikawa nacopy na kupaste
all in all that mistake is curable kwasababu haiathiri msg niliyokusudia kuideliver
likes kihenge
fukunakosh
hakuna njia nyingine zaid ya sis wananchi wote kwa ujumla pamoja na dini zetu tunyooshe vichwa juu na kumlili mwenyezi mungu atupe msaada watanzanialol
likes amicus curiae and kihenge
lilambo
2524 6 135
capt tamar said
ulitaka aisifie cdm
jun 20 2013 #14
ronal reagan said
kweli we mwezi mchanga
threads 1273817
members 490485
posts 30492935 | 2019-03-23T02:12:08 | https://www.jamiiforums.com/threads/nini-kifanyike-kuinusuru-arusha-soma-hapa-tafadhali.472195/ |
taswira kutoka ukumbi wa mwalimu nyerere yalipokuwa yanatangazwa matokeo ya urais | politiksi kurunzini
home habari kimataifa politiksi utawala taswira kutoka ukumbi wa mwalimu nyerere yalipokuwa yanatangazwa matokeo ya urais
taswira kutoka ukumbi wa mwalimu nyerere yalipokuwa yanatangazwa matokeo ya urais
seriajr tw friday october 30 2015 habari kimataifa politiksi utawala edit
mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec) jaji mstaafu damian lubuva (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais dar es salaam leo kulia ni mkurugenzi wa uchaguzi ramadhan kailima
waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali
jaji lubuva akijiandaa kutangaza matokeo hayo ya awali
maofisa wa nec wakiwa kwenye mkutano huo
wadau wa siasa wakiwa kwenye mkutano huo | 2018-02-25T09:19:56 | https://arusha255.blogspot.com/2015/10/taswira-kutoka-ukumbi-wa-mwalimu.html |
transponder habari kwa 26092016 satellite na iptv kupokea juu ya android openelec enigma2 na libreelec
transponder habari kwa 26092016
na guru · 26092016
dtv algerie promo alionekana kwenye 12130 h 27500 2/3 dvbs2 / 8psk mpeg4 hadharani
yilduz rize alionekana kwenye tv 12303 v 27500 dvbs / 2mreg kituruki (hadharani)
paramount comedy na leseni czech kwa nchi ya urusi ya zamani
czech vyombo vya habari mdhibiti rrtv (radio na television council) katika mkutano wake wa mwisho zinazotolewa leseni satellite kwa mtv networks ajili ya mpango kwa jina paramount comedy
kwa mujibu wa makubaliano ya leseni hii itakuwa burudani lengo la bidhaa amerikansuyu kituo cha chini ya leseni inaweza kutafsiriwa katika nchi zifuatazo ukraine belarus moldova georgia armenia azerbaijan kazakhstan uzbekistan kyrgyzstan estonia latvia lithuania tajikistan paramount comedy mapenzi matangazo katika urusi yazykesputnikovaya leseni kwa ajili ya paramount comedy iliyotolewa kwa 12 letv huo huo mtawala atakuwa taarifa ya umoja wa ulaya (es) estonia lithuania na liechtenstein juu ya kwamba katika wilaya yao yanaweza kutangazwa paramount comedy mpango kutoka kampuni mtv networks sro
kiukreni mdhibiti inachukua hadi satellite channel planet
satellite astra 4a (48° e) ilikuwa ni mbali kiukreni channel planet mtangazaji ambalo ni mwili unica tv mtandao
channel ilikuwa inapatikana katika fomu kimaandishi (fta) с tp b36 katika mzunguko 12399 ghz pol v (sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) broadcasting inaendelea kwa njia ya mtandao katika miezi ya karibuni kiukreni channel planet shughuli nia ya ndani television ya taifa na radio baraza la sababu ilikuwa ukiukwaji mbalimbali wa sheria kwa sababu kituo cha televisheni maudhui ya utangazaji haziendani na dhana yake programu ambayo kuonyesha marufuku katika ukraine mwezi agosti mwaka huu utangazaji kupokea onyo kwa kukiuka sheria za matangazo na uwasilishaji wa hotuba kibaguzi kuhusu wayahudi ambayo yeye alikuwa na hatia katika utumishi wa ukraine usalama uhalali wa leseni kwa ajili ya channel muda wake planet 2 februari 2017 mwaka lakini labda kwamba hatua sahihi imechukuliwa sasa ni thamani ya kulipa kipaumbele kwa kuwa udhibiti kiukreni mwezi juni mwaka jana aliiomba mahakama kukataa leseni planet channel lakini kauli haijawahi upya
bfm biashara tu katika hd juu ya 192 ° e
23 septemba 2016 idadi transponder 108 satellite astra 1n (192° e) katika mzunguko 12552 ghz pol v (sr 22000 fec 5/6 dvbs / qpsk) ilikuwa ni mbali channel kifaransa kujitoa kwa masuala ya kiuchumi bfm biashara ambayo ni kuwa inapatikana katika kiwangoufafanuzi (sd)
ni kutaja thamani ya kwamba 9 februari mwaka huu kituo cha inapatikana katika hd toleo kutoka kwa mmoja wa canalsat jukwaa transponder idadi 74 satellite astra 1m (192° e) katika mzunguko 11895 ghz sakafu v (sr 29700 fec 5/6 dvbs2 / qpsk)kwa bahati mbaya kama mtu anasema kwamba mpito kwa utangazaji katika hd ina bora channel ubora kitu tamaa sana bfm biashara ni moja ya vituo katika ufaransa ambayo artificially inatangaza katika hd azimio la 1440×1080 video na kiwango cha chini sana mtiririko wa 2 kwa 25 mbit / s screen ni kabisa wazi mabaki unasababishwa na kupindukia contraction na graphics kizunguzungu kuonyesha kutokana na ongezeko bandia katika azimio video
ufundi data bfm biashara hd
pid a 321 (kutoka ac3)
кодирование hakuna
hadithi ijayo programu dhibiti libreelec (krypton) v790006 alpha wetek play
hadithi uliopita transponder habari kwa 25092016
transponder news satelaiti 26 machi 2018
na guru · kuchapishwa 26032018 | 2018-07-17T02:18:04 | https://hdbox.ws/sw/sat-tv-novosti/2744-transpondernye-novosti-za-26-09-2016.html |
kituo cha kimataifa cha yantai expo (309 gangcheng e st laishan qu yantai shi shandong sheng uchina 264603)
anwani 309 gangcheng e st laishan qu yantai shi shandong sheng uchina 264603
matukio ijayo 20202021 katika kituo cha kimataifa cha yantai expo
kituo cha kimataifa cha yantai expo kilichoandaliwa na kujengwa na nanshan group ni maonyesho ya kisasa mkutano na ukumbi wa kula katika jiji la yantai iko katikati ya wilaya ya laishan magharibi mwa mto unaozunguka unaoelekea uwanja wa michezo kuvuka mto kaskazini hadi bahari ya njano kusini kuelekea mji wa chuo kikuu karibu dakika ya 15 kuendesha gari kutoka uwanja wa ndege wa yantai kituo cha reli na bandari trafiki ni laini mazingira ya asili ni nzuri inachanganya na mazingira ya karibu na uzuri na mkao mzuri kituo cha kimataifa cha yantai expo kina eneo la ujenzi wa mita za mraba 158000 pamoja na eneo la mita za mraba 138000 juu ya ardhi na eneo la chini ya jengo la mita za mraba 20000 imegawanywa katika uwanja wa nje wa nyumba ukumbi wa usajili ukumbi wa maonyesho ya ndani kituo cha mkutano na ukumbi wa karamu ya ndani eneo la maonyesho bora ni mita za mraba 60000
mraba wa nje wa kituo cha kimataifa cha yantai expo kinashughulikia eneo la mita za mraba 60000 mraba umewekwa kama sanamu kubwa ya mazingira na mfumo wa maji na muundo ni rahisi na mkarimu upande wa kusini wa banda kuna safu za safu ya miti kutengeneza ukumbi wa maonyesho wa nje na kura ya maegesho ya kijani kusini mashariki ni mraba wenye ukubwa wa kijani ambao kwa pamoja hufanya sehemu ya kupendeza ya kupumzika kwa njia ya bure na kijiometri katika muundo wa taa ya mraba ya mraba pamoja na kufunika taa za mraba jumla imewekwa na taa zinazofaa za sakafu na taa za mazingira ambazo hazifikii tu mahitaji ya taa lakini pia huunda mazingira tajiri ya taa | 2020-06-03T17:07:09 | https://www.cantonfair.net/sw/location/69-yantai-international-expo-center |
kuna haja yoyote ya kutokuwa na dini
alhamisi januari 08 2009
tumekuwa tukijaribu kujadili masuala ya dini hili ni jambo jema sana kwa ukombozi wa fikra zetu mwaka juzi tulifanya hivyo pale kwa ndesanjo unaweza kubonyeza hapa kuusoma mjadala huo uliohusu dini na imani hivi karibuni koero aliufungua na kuufunga mjadala wa aina hiyo hiyo naomba sasa tujadiliane kwa kina suala hili kwa minajili ya kupeana changamoto pamoja na kuelimishana inapobidi
je dini chimbuko lake ni nini je dini inayo uhusiano wowote ule na mungu je bila dini hatuwezi kumwona mungu na je kutokuwa na dini kunawezekana
angalizo mipaka ya tafsiri ya mungu katika mjadala huu inabaki kuwa maoni ya mchangiaji husika
markus mpangala8/1/09 1147 asubuhinanukuu) je dini inayo uhusiano wowote ule na mungu je bila dini hatuwezi kumwona mungu je kutokuwa na dini kunawezekana mwisho wa kunukuubwaya ubarikiwe umenileta ninapotaka elimuninapotaka kuelimishwa ni hay maswaliyaani nashukuru nimekuwa wa kwanza ili wenzangu wakija wanisaidie mimi lbada mwana mpotevu asante nawasilisha hoja yako kakangujibufutamzee wa changamoto8/1/09 127 mchanapengine inabidi kuanza kwa kuitafsiri dini ambayo itatafsiriwa kiimani sasa imani yenyewe ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana hapo tayari ushaambiwa ama kuwekewa kacondition ka nini waweza kuhoji maana kuwa na imani katika dini ni kuwa kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo na yasiyoonekana na hapo ndipo anapokuja mungu ambaye watu wana hakika ya kumuona japo hakuna aliyewahi kufanya hivyo kwa hiyo kwa namna yoyote ile ya kuamini dini inayoaminika inakupa tarajio la kwenda upendako na huko unaamini utakutana na yule uaminiye kuwa ni mungu wako kwa hiyo kuwa na dini tayari kwakuweka katika mazingira ya kuamnini ambacho hakuna aliyewahi kukiona na hilo latufanya tuamini kuwa tuko kwenye dini na ndio njia pekee ya kumuona mungu ndio maana wahitaji imani kuwa na dini na ni imani itakayokufanya uamini kuwa utamuona mungu sijui naeleweka maana nami kwa kujikanganya sijambo naacha ili kina lutawaimani wanisaidie hapajibufutasir lucky8/1/09 902 mchanainaaminika kuwa hapo zamani mababu zetu walikuwa na imani zaowakipatwa janga fulani walikuwa wakiomba kwa namna yao na hali inakuwa vizuribaadae wazungu wakaleta dini zao ambazo hazikuwa na lengo zuri(kulingana na historia)kwani zilitumika ktk kuwalainisha mababu zetu na kuweza kututawala na kutukandamiza kirahisikwa mtindo uleule ambao wazungu waliweza kubadili utaratibu wetu wa kubadilishana bidhaakwa mfano mtu akitakaka mahindi anaweza kubadilishana na maharagwehivyohivyo waliweza kuwashawishi wazee wetu kukana imani walizokuwanazo na kuwapandikiza imani nyingine na kuona imani walizokuwa nazo ni za kishenzi na ambazo hazifai kuna wakati nilikuwa naongea na wazee fulanibasi niliamua kuwagusia kuhusu diniwaliniambia kuna kitabu kimoja cha wakatoliki walichokuwa wanakitumia ktk kusalikitabu hiki kilikuwa kinaitwa misale ya waumini kuna sala ambayo walikuwa wakiisalina ktk hiyo sala kulikuwa na maneno yaliyokuwa yanasema tuwaombee na washenzi wote wa bara la afrikawatu walishituka na kulalama kuhusu mistari hiyo na hatimaye kitabu kile kilipitiwa na kutoka edition nyingine maneno hayo yakiwa yameondolewa(hakika ningepata kitabu hiki leo hii nikaiona mistari hii mi ningeachana na dini kabisakwani wanaotukanwa ndio waliokuwa wanatamka sala hii kika wasalipo)hii ingenipa uhakika wa 100 kuwa dini hizi tulibambikiwakwani kama nitaweza kuamini vitabu vinavyoitwa vitakatifuvile vile nisingeshindwa kuamini kilichoandikwa kwenye ile misalekuhusu maneno yaliyokuwa yanatudhalilisha sisi waafrika siku hizi tunaambiwa kama hutaatend kanisani na jumuiandogondogo za kikristu basi tukifa hatutazikwa na padre(hapa unajifunza nini)mimi binafsi naamini hivikila kitu kinaishia hapahapa dunianinamaana kwambaninachotakiwa kufanya ni kuishi na watu vizurikusaidia wenzangu pale wanapohitaji na pale ninapoona nahitaji kutoa msaadanatakiwa kuwa chanzo cha amaniupendo na mkemeaji wa maovunkkwani naamini haya naweza kuyafikia bila kuwa na imani ya dini yoyote(itakuwa na maana gani kama kiongozi mkubwa wa dini analalamikiwa kwa kuwapa mimba wasichanaujambaziinamaana gani dini inayomwamini mungu huyu mmja kukubali mapenzi ya jinsia mojakila kukicha watu wanakuja na dini zao wenyewe na wanapata waumini wa kutosha tu lengo hasa ni nini)mimi ninapoatend ibada sizingatii utaratibu wa ibadabali yanayofundishwa na huwa najiuliza mafundisho haya yananisaidiaje ktk kukabiliana na changamoto za dunia hii mtizamo wangu ni kwamba haitakiwi mtu kusema kwamba dini yake ni ukristouislamunk au fulani ni thehebu ganihiyo haitakiwi kwa sababu kama wote tuliumbwa na mungukwa nini tuwe na tofauti za kidiniviongozi wa dini wamejikita ktk kusisitiza taratibu na kanuni za dini zao na siyo kumtayarisha muumini ktk kuweza kukabiliana na changamoto za duniamifumo ya dini mbalimbali ipo ktk mazingira ya vitishoyaani utendaji wa mambo mema unapandikizwa kwa waumini kwa njia za vitishokwa mfanokuambiwa kuna jehanamukwenye moto ambao unawaka si mchezona huku ni kwa wote watendao maovuhivi ingetokea taasisi au asasi itakayojikita ktk kufundisha memayani kila wiki mara moja na bila kuwa na vizuizi vyovyote wala kufuata taratibu zozoteyani ikifika hiyo siku unakwendaunasikiliza mambo ya maadili memana wala sio lazimaunafundishwa mbinu mbalimbali za maendeleo yako na ya jamii nzima ambazo hazitamkwaza yeyoteni watu wangapi wangekuwa wanahudhuriasio kwamba watu wangekuwa wanaisubiria hii siku kwa hamu kubwapengine wangeomba siku ziongezwekwa haya unajifunza nini dini ni tija kweli ukiweza kuishi na watu vizuriupendoamanikukabiliana na maovukusaidiana mengine mengiambayo hayamkwazi yeyotebila kuwa na dinimwisho wake ni ninida najaribu kuhitimisha lkn nashindwa jibufutakamala j lutatinisibwa9/1/09 1119 asubuhisir lucky kwa taarifa yako sisi tunayo asasi ya kufanya unayoyaongelea na tunahiita elimu ya utambuzi kwa sasa iko dar na baadaye tutafungua matawi maeneo lukuki ya nchi hiimtwibawewe unmenipa changamoto juu ya tunachofikiria na tunachokifanya kwa nini usubilie kufa ndo umwone mungu wengine humwona mungu au nguvu kuu kia wakitaka kuna wanaotoka kwenye miili yao na kwenda huku mahali pa juu na kurudi kwa njia kadhaa ukiwauliza watakwambia huyu sie mungu bali kitu kingine ambacho ukuu wake ubora wake uzuri wake upendo nk havielezeki kwa maneno ya kawaidawaweza kumwona mungu hata bila kulazimika kufa lakini labda ndio maana sayansi inasema hamna mungu bali kuna nguvu huwezi kumwona mungu kwa majaribio ya kisayansi bali kwa kufanya sayansi ya roho (sayansi of th soul)bwayamaswali yako juu dini ni mazuri dini ina definition kadhaa kuna wanaosema dini ni njia ya kuunganisha na chanzo kikuu tulichotengana nacho lakini wengine hudai dini ni ule woga au deni alilonalo mtu au ahisilo (labda baada ya kutishwa) juu ya uwepo wa nguvu fulani ambayo yaweza kufanyia vibaya any timechanzo cha dini kinasemekana ni uwepo wa vitu viogopeshavyo vilivyokuwa nje ya uwezo wa mwandamu kama vile tetemeko la ardhi radi vimbunga magonjwa makali nkna mwanadamu akaanza kushtakiwa na dhamira kwamba labda kuna vitu kamkosea mtu mwenye vitu hivi hatari na labda yambidi kujipendekeza ili asamehewe na ndiyo maana vitabu vitakatifu vinabaadhi ya maandiko yasemayo kuwa hizo ni laana kwa dhambi kumbuka vitu kama sodoma/gomora jangwa nklakini baada ya maarifa kukua na watu wakagundua kuwa hivi havina ishu wala sio adhabu ndo maana watu wenye kufikiri vizuri na kujiamni wanaasi dininadhani kutokuwa na dini hakuwezekani sana kutokana na jamii zetu mimi nilidhani sina dini lakini sasa nadhani dini zote ni zangu sielewi sana hapohata hivyo kuna mifumo ndani ya jamii yetu ambayo tunalazimika kuifuata na ni yakidini na hivyo kujikuta tukiwa sehemu ya dini hizodini hazina uhusiano wowote na mungu bali uoga na njia za kutawala watu kimwili kiroho na kiakilanaishia hapajibufutakoero mkundi9/1/09 257 mchanandio kwanza naandaa makala inayohusianan na hii madanaomba kesho asubuhi wadau munitembelee pale kibarazani kwangunimeamua kujilipua maana mikwala ya wazee ilinifanya nisite kuendeleza ile mada ya dini lakini sasa uzalendo umenishinda mwenzenu sasa nimeamua kuweka mambo hadharaninaomba mnilindejibufutashabani kaluse10/1/09 524 mchananaona wenzangu walionitangulia wamesema mengi sina cha kuongezadada koero nimekutembelea na nimeona jinsi ulivyojilipuahongera kwa kuonesha msimamo wakojibufutabwaya14/1/09 246 mchanaje kuna ukweli wowote kwamba eti kuna watu hawana dini je ni sawa kumwita mtu mpagani kwa sababu tu haamini dini unazozijua wewejibufutaongeza maonipakia zaidi
unavyoweza kumfundisha mtoto kuwa mkweli
jumanne aprili 18 2017
fikiria uko jikoni ukiandaa chakula cha jioni watoto wako wawili wadogo
fred na joe wanacheza sebuleni salome yuko mezani akifanya kazi za shule mara unasikia mlio wa kitu kuvunjika sebuleni unapatwa na wasiwasi unakwenda
haraka kujua kilichotokea maji yanatiririka sakafuni chupa ya chai imedondoka
na kupasuka unakasirika
unahitaji nidhamu ya fedha kujikwamua kiuchumi
ijumaa aprili 14 2017
lililopita tuliongelea uwezekano wa mfanyakazi kujikwamua kiuchumi kubwa ni
nidhamu unapokuwa na nidhamu ya mshahara unaongeza uwezekano wa kuwa na
usalama wa kifedha swali
linaweza kuwa kinachomfanya mfanyakazi akose nidhamu ya fedha ni nini inakuwaje
mchuuzi mdogo wa bidhaa awe na nidhamu ya fedha kuliko afisa wa serikali
fumbo mfumbie mwerevu
kosa nambari moja
nchi yetu inatengeneza aina gani ya wasomi
kama sio utumwa ni nini hiki
je majina yetu hayawezi kubeba falsafa zetu
padre karugendo kakosea kipi hasa
baada ya migomo mwaka jana
weekend scorecard chambeshi set to name final u20 team
beston chambeshi is set to announce his final 21member zambia under20 team on wednesday zambia under20 have been in camp since april 12 ahead of the te
dakika 21 zilizopita
interieur ontwerpers binnen overnachten boomhut 3
interieur ontwerpers binnen overnachten boomhut 3
the post interieur ontwerpers binnen overnachten boomhut 3 appeared first on beste home design
uteuzi wa jokate mwegelo uvccm
saa 1 iliyopita
back then when the boats came people used to run now wed get on gladly at least it would mean work juniors bleak jokes are not making anyone laugh
namibia presidency responds to media reports on proposed economic empowerment framework
[government of namibia] windhoek following the namibian president's 2017 state of the nation address (sona) there appears to be some concerns amongst som
maldives blogger and activist yameen rasheed stabbed to death
socalled 'paradise on earth' has no public safety for its citizens tomorrow it could be me you or any of us wrote a facebook user
mpenzi wa facebook13
'nimesikia sifa zako kutoka kwa mwalimu wako huyo docta kuwa wewe una kipaji cha kuombea watu wakapona kwa uwezo wa mola wetusijui unafanyaje mun
over at *dezeen* polish designers pawel lipiński and mateusz frankowski have envisioned a conceptual highrise building that would provide a place to gro
win tickets to justin bieber purpose world tour at fnb stadium
its that time again for us to reward our subscribers this time around we have a few general access justin bieber tickets valued at r410 each to give away
kusaidiana hakuna baba wala mamawote mzigo kuchwani baada ya kazi za shamba kuelekea nyumbanihii kidogo inaleta furaha
ukurasa wa 845 kabla ya sisi na baada ya sisi
kabla ya sisi palikuwepo na maisha hapa duniani walikuwepo watu ambao walikuwa na matatizo na changamoto zao walikuwa wakikazana kuifanya dunia kuwa sehe
saa 18 zilizopita
[image image result for photos of ben saanane]
*mpendwa ben*
* nakuandikia popote uliopo uwe hai au marehemu najua utasikia usiposikia wape
raw chicken fish sperm raw liver cherry blossom meat and japanese foods you may not know about
manusura wasimulia kuhusu hatari za kuhama kupitia jangwa la sahara
most migrants wish to forget and move forward with their lives and therefore tend not to share their experience with peers who are still back home
if time magazine knew my mom she would have made it to the list every year they dont therefore she is not on the list but to me she is the most infl
organization plancountry united republic of tanzaniaclosing date 02 may 2017the organisationplan international is an independent development and humanit
nianze makala hii kwa kutoa salamu za rambirambi kwa familia za askari wanane wa jeshi la polisi waliouawa kinyama wiki iliyopita wilayani kibiti mkoan
strategies to strengthen the pisbi and potón languages in el salvador through community engagement
this is the fifth update about the revitalization of the potón and pisbi languages in el salvador project whose objective was to strengthen the identity
* mwandishi wa makala haya na mmiliki wa blogu ya maendeleovijijini bw daniel mbega (mwenye jezi nyekundu) akiwa sambamba na wanausalama katika tukio la
a few years back it was said that africas creative economy was like a sleeping giant that may have been but the giants awake and woke to the fac
taasisi ya usomaji na maendeleo soma inaandaa warsha ya uandishi juu ya harakati za ukombozi wa wanawake kimapinduzi itakayofanyika mkahawa wa vitabu
[image lushoto executive lodge]
taswira za sehemu ndani ya hoteli ya lushoto executive lodge iliyopo lushoto mkoani tanga ni mahali maridhawa kwa mapumzik
wiki 2 zilizopita
there is an appetite for anybody who ascends to power to prevent limit or constrict citizens freedom (of course at differing intensity depending on his/h
[image https//1bpblogspotcom/l63y6h3c/wjgcynhbg_i/aaaaaaaaafu/j1acbykuaxotj_cfjufoe826b4k5dq9zaclcb/s320/blogger_picture255b1255djpg]
wanafunz
miezi 9 iliyopita | 2017-04-24T19:15:13 | http://bwaya.blogspot.com/2009/01/kuna-haja-yoyote-ya-kutokuwa-na-dini.html |
tuna tuna tuna on wow hd nl
{{html esrb}} {{html plot}} {{html release}} {{html upc}} tuna tuna tuna
yellowfin tuna can be the hardest fish to find and land this program covers migratory habits tackle and landing techniques electronics and more
titel tuna tuna tuna
upc 097278009170 | 2017-04-30T15:05:52 | http://www.wowhd.nl/tuna-tuna-tuna/097278009170 |
diary yangu toba ya kweli16
toba ya kweli16
na mimi siwezi kuondoka bila kukuambia yote aliyotuagizia mkeomaana hayo maagizo hayataki kuchelewesha kama ni kucheleweshwa iwe ni juu yakona lolote likitokea tusije kuja kulaumiwa sisi kuwa hatukuweza kukuambia na hata mbele ya mungu tuwe tumenawa mkono yeye ndiye atakuwa shahidi wetuhayo yalikuwa maneno ya docta yakiwa yananielea akilini
nilifika nyumbani kwangu nikiwa nimejaa hasira na sijui kwaninikwa muda huo sikujijua na sikujua sababu zaidi ya kuwa hivyo
nilifungua mlango kwa haraka na kama mtu angejitokeza hapo kwa muda huo sijui ningemfanya nini akili ilikuwa imesahau kabisa kuwa nilikuwa na jukumu la tobatoba ambayo masharti yake ni kuwa uwe mbali na jaziba uwe mbali na husuda chukivisasikwa kifupi ilitakiwa moyo uwe safi lakini kutokana na hayo waliyoniambia docta na mkewe vikanifanya nisahau kila kitu
niliingia ndani kwangu na kujipweteka kwenye sofa nikiwa nimeangalia juu kama nahesabu vilivyopo huko juu japokuwa akili haikuwepo hapo ilikuwa mbali kimawazona mara nikahisi kuwepo kwa mtu mwingine
ilivyotokea wakati nikiwa nimelala hivyo ilikuwa kama nimeshikwa na usingizi au ganzi fulani hivi na hii hali imekuwa ikinijia vipindi hivi vya majaribu yaani kinakuja kitu kama kausingizi halafu mwili unalegea kabisa na baada ya hapo kunatokea kitu kisicho cha kawaida
sasaninachokumbuka mimi ni kuwa macho yangu yalikuwa mazito na mwili ukawa umeshikwa ulegevu kwa hali kama hiyo unachopweza kukifanya ni kuyazungusha macho kutizama huku na huku lakini viungo vinakuwa havina nguvu ya kuinuka ila unaweza ukajiwa na hisia ya kuwa umeinuka ukafanya jambo
hayahali hiyo ilipotokea kwa muda huo ndio nikaona jambo la ajabu
nilimuona mtu kaja kusimama mbele yangu kwa mbali kidogona haraka nikatambua kuwa ni mke wangu yaani ndivyo nilivyoona kitaswira na kiakili
sikuwa na haja ya kujua mke wangu katokea wapi ila nilichojiwa nacho akilini ni kutaka kuinuka na kwenda kumpokea kumkumbatialakini mwili hauwezi kuinukahata hivyo akili ikanivuta kuwa nimeshasimamasasa namsogelea lakini simfikiinikawa namkodolea macho t
mke wangu hapo alionekana wa ajabu kabisa alikuwa kavalia vizuri nguo nyeupee na nyepesi ambayo niliweza kuona maumbile yake ya ndanikwanza nikataka kumuuliza kwanini mke wangu kavalia hivyo sio kawaida yake lakini nikasema moyoni hizo labda ni nguo za kulalia haina shidalakini kulikuwa na kitu kingine cha ajabu
pamoja na y a kuwa mke wangu kavalia hivyo na niliweza kuona maumbile ya ndani lakini sikuweza kuyaona yalivyo maana yalikuwa yakimeta meta kwahiyo huwezi kuona mwili unachoona ni kama mchoro wa mwili wake wenye miale kama ile ya jua na macho yanapata shida kumuangalia nikainua uso ili nimuangalia usonialikuwa ndio yeye nikahema
sasa kwanini simfikii mke wangunikasema huku nikimsogelea kihisia lakini kila nilivyosegea alionekana kwa umbali ule ule
sasa yeye akawa ananiongelesha jambo lakini sikusikia anachosemani kama ananionya au kunisuta au kuniashiria nifanye jambo fulani na kuna muda alionyesha kama kukasirikana ghafla nikasikia sauti
shemeji nikutangenezee chakula gani ilikuwa sauti iliyonishtua na hapo hapo ile hali ikaisiha na haraka nikazindukana na nilipogundua kuwa aliyekuwa kasimama mbele yangu ni yule mtu nisiyetaka kuongea naye kwa haraka nikasimamahasira chuki vikauteka tena ubongo wangu
aaaha kumbe ni huyu mshenzi nilisemea akilini haku nasonyanikatembea kuelekea chumbani
nilipofika chumbani kwangu nikajitupa kitandani na wakati nafanya hivyo maneno ya docta yakatanda kwenye ubongo wangu
na mimi siwezi kuondoka bila kukuambia yote aliyotuagizia mkeomaana hayo maagizo hayataki kucheleweshwa kama ni kuchelewesha ucheleshe wewe mwenyewena lolote likitokea tusije kuja kulaumiwa na mbele ya mungu
nilijiunua kichwa changu na kuangalia darini sasa nikaogopa ile hali ya kuona taswaira isije ikanirekjea tenanikajiinua kwa haraka halafu nikasimama na kutembea kuelekea dirishani na wakati natembea akili yangu ikawa inaendelea kukumbuka mazungumzo ya docta na mkewemaneno waliyokuwa wakiongea wakati huo mimi nilikuwa natembea kutoka nje kwa hasira lakini niliyasikia baadhi
mkeo alikupenda sanahakujijali yeye mwenyewesikia kwanza usiondokeyeye alikujali sanahakuijali nafsi yake kama wewe kwani alifiki hatua ya kukutafutia hata mke gani umuoe hayo aliyasikia lakini sikutaka kusikia zaidi ila kuna neno la mwisho lililonifanya nikimbie kabisa humo ndani
mara nikasikia mtu akigonga mlangoni nikajua ni nani sikuitikia nikakaa kimia na mara simu yangu ikaita
nikabakia kujiuliza niitikie huyo wa mlangoni au kwanza niangalia ni nani anayepiga simu mara yule mlango akaacha kugonga na mimi nikaisogelea ile simu ilikuwa namba mpya kwenye simu yangunikaiangalia ile simu moyoni sikupenda kuipokea sikutaka kuongea na mtulakini ikaonyesha mpigaji kweli kadhamiria kuongea na mimi
nikaiweka hewanina sauti ya docta ikasikika alikuwa ni docta alikuwa katumia namba ngenihuenda alijua akitumia simu yake nitagoma kuipokea
jirani nisikilize kwa makini usikate simu kwanza hili ninalokuambia ni la muhimu sana mimi nipo safarini lakini sitakuwa na amani kama hutalisikia hili jambo uliondoka kabla sijakumalizia ni kweli nilishajiandaa kuikata simulakini nikaona nisikilize tu
nimekuambia kuwa mkeo alituambia ni nani uje umuoe na sio mimi au mke wangu hilo lielewe wazi na ni vyema ukamsikia huyo mtunajua kwa hivi sasa huna unayemfikiria lakini tuna uhakika ukituliza kichwa chako utagundua kuwa kweli huyo aliyemtaka mkeo umuoe ndiye stahiki yakokwahiyo usije ukakasirika ukiona labda sisi ndio tumempendekeza labsa kwa masilahi yetu
akilini nilitaka kusema sitaki kumsikia lakini kwa namna nyingine iliuliza ni nani kwa nini anachukua muda kumtaja
mkeo aliona mbali anakufahamu na yeye aliliona hilo kwenye njozi zake anakujua kitabia anajua unahitajia ninikama nilivyokuambia awali kutokana na imani aliyokuwa nayo mkeo kwa mungu wake mwenyezimungu alimpa dalili fulani fulanina mojawapo ni hiyo kuwa hataponana nyingine ni nani anayekufaa kuwa awe ni mke wako
sasa mkeo alituambia kuwa wewe una hasira sana wewe una hamaki wewe una tamaa na wewe unataka kile ukitakacho ukipeta kwahiyo unahitaji mke mwenye subirana ndio maana akaona kuwa mke anayekufaa si mwingine ni huyo huyo unayeishi naye humo ndani ya nyumba
unasema ninihpao nikajikuta ninaongea
ndio alisema mke anayekufaa ni huyo huyo binti anayekusaidia kila siku hapo nyumbani kwako mkeo anamfahamu sana mkeo alishampima lakini hakuwhi kumwelezea huyo binti kuwa wewe ndiye unayefaa kuolewa na mume wangu ila alimuomba awe karibu nawe akusaidia mpaka uwe umejiweza mwenyewe tatizo ni je atakubali hiyo ni kazi yakoakaendelea kusema
hebu fikiria mwenyewemwanzoni ilikuwa nikimuona huyo binti na hisi hasira nahisi kama ndiye mbaya wangu ndiyealiyeoh sasa naambiwa kuwa ndiye mke wangu alitaka nimuoehaiji akilini na upendo utatoka wapi wakati chuki zangu zimejaa tele dhidi ya huyo binti haiwezekanihapo nikasema
nyie watu kweli mumenichokakwanini mumenidharau kiasi hikihata kama sasa nimeishiwa kiasi hikilakini hamuwezi kuni eti nimuoe mfanyakazi wangu wa ndani mnahisi kuwa labda mimi natembea naye au sio sitaki kusikia zaidi nakata simu nikawa sasa nikitaka kuikata ile simulakini kila nikibonyesha kitufe cha kukata simu ikawa haizimiki na sauti ya docta ikawa inaendelea kuongea
hili ninalokuambia mimi sio uwongo ni mkeo mwenyewe alituambia hivyo kuwa huyo ndiye chagua lake na huyo ndiye anayeweza kuishi na wewe wengine hawatakuweza kutokana na tabia yakona zaidi ya hayo yeye kwa njozi zake alivyoonyeshwa kwa ishara huyo ndiye atakupatia kile ulichokuwa ukikitafuta siku nyingiakasema docta
huyo ndiye ataweza kukupatia mtotoakasema na mimi hapo nikahisi kama kitu kimemwagiwa kichwani kitu cha baridi
jirani mimi kama nilivyokuambia huwa naota tu na ndoto kwangu ni ndoto tu lakini ndoto ya jana imenifanya nifikiri sana jana usiku hutaamini mkeo ainijia tena kwenye ndotondoto kwangu ni ndoto tu lakini kwa hii nimelichukulia kuwa ni kwelialikuja akiwa kavalia vaza la ajabu anameta meta mwilinisijui nikuelezejeakasema docta
baadaye nikawa sina mawasiliano na docta nahisi walifika sehemu hakuna mtandaonikaiweka simu kitandani na sikutaka kulala tena nikatembea hadi dirishani na kuangalia nje
nikawa najiuliza ilikuwaje ina maana ndoto ile ile niliyoota mimi na docta naye kaiota hivyo hivyomaana docta kanisimulia vile vile kama nilivyoona mimialimuona mke wangu akiwa na vazi lile lile akiwa na maumbile yale yalehapa sasa kuna jambo nikahema kwa nguvu
na ndio maana akaona kuwa mke anayekufaa si mwingine ni huyo huyo unayeishi naye humo ndani ya nyumba maneno haya yakawa yanajirudia sana kichwani mwangu mpaka nikahisi vibaya
mimi siwezi kumuoa huyositaki sitakinikawa nasema huki najikuna kuna kichwa kama mtu aliyechanganyikiwa baadaye nikatulia na kuanza kuchanganua hilo jambo kwanza nikajiuliza kulikoni
kwanza sitaki kuoa pili simtaki aliyependekezwa tatuhapo nikasikia mlango ukigongwa nikajua ni nanisikutaka kuitikia nikakaa kimia huku nikizama kwenye mawazo
mfanonasema mfano naamua kumuoa ili kumrizisha mke wangu nitauweka wapi uso wangunikasema kimoyo moyo
niliwaza mbali nikikumbuka maneno ya watu walivyokuwa wakinihsi vibaya kuwa mke wangu kafariki na sasa nakaa na kimada najifanya ni mfanyakazi wangu wa ndani kumbe ni kimada wangunajifanya naombeleza kumbe naendekeza zinaa sasa wasikia kuwa nimemuoa si ndio watasema `mnaona tulisemahuyu jamaa anatembea na mfanyakazi wake ndani sasa kathibitisha kabisa nikawaza hivyo
ndiokaniambia uoe na usioe mtu mwingine zaidi ya huyo binti mnayeishi naye huyo ndiye chaguo lake sasa kama unataka kumkaidi mkeo sawa na huyo ndiye atakaye kupatia mtotonikakumbuka maneno ya mke wa docta
siku hiyo ikapita na nyingine na nyingine mawiki mwezimiezi
kiukweli sikupenda kuoa tenalakini hata mimi ndoto za mara kwa mara za kunijia mke wangu kuwa nifanye kile alichokita zikawa zinanitesa sana siku zikawa zinakwenda nikawa natokewa na ndoto hizo zingine mbaya mpaka napiga kelele kama mtu aliyechanganyikiwa
hali hi iliendelea mpaka siku moja huyo binti akamuita docta wa akili huyo docta alifika nikiwa hata sina habarina akaja kujitambulisha kuwa yeye ni docta wa mambo ya akili na amefika hapo kuja kunisaidia
nani kakuambia ninaumwa akilimimi sijachanganyikiwanikasema
unaweza kusema hivyo lakini ukijiangalia kwenye kiyoo utagundua kuwa wewe haupo sawaunahitajia matibabuakasema
sikutaka kubishana naye sana nikatulia na yeye akaanza kunihoji kwanza nilimtolea nje kuwa mimi siumwi lakini baadaye akaniweka sawa nikamuelezea mengi yanayonitokeamengi kuhusu maisha yangulakini sikumuelezea hilo la kuwa natakiwa nioe na nimuoe
sikilizahali uliyo nayo unahitajia mkelabda nikuulize ni kwanini huoi akaniuliza
mimi sitaki kuoaaliyekuwa mke wangu ndio huyo kafariki na mimi nilishakufa kimwili kihisiasina hisia za mke mwingine yoyotenikasema na docta kwa utaalamu wake akanielezea mambo mengi kuwa hayo yanayonitokea ni kuwa akili yangu haitaki kuondokana na kumbukumbu za mke wangu na kwahiyo ili hizo kumbukumbu ziondokane na mimi dawa yale aliyoiona yeye ni mimi kuoa
oa mke ambaye atakuliwaza wake mungu kawaleta humu dunia kutusaidia na kutuliwaza sisi wanaumemchague ambaye atakupendezesha ambaye anaweza kuchukua nafasi ya mke wakovinginevyo hali hii haitakwisha na huko unapokwenda ni kubaya tena kubaya zaidi umeshafikia hatua mbaya sana chukua hatua kabla hujachelewaakasema docta na baadaye akaondoka
'na ningeshauri awepo mwanaumehuyu bintini hatari kuendelea kukaa na wewe humu ndani'akasema docta na nilimuangalia yule binti akionyesha wasiwasi machoni
docta baadaye akaondoka
docta alipoondoka tu nikamvaa huyo binti nilimfokea sana huyo binti mpaka akawa analia na hata nikafikia hatua ya kumsema vibaya kuwa hizo ni mbinu zake
kama ni mbinu zako za kutaka kuendelea kukaa hapa basi utaondoka tu sikutakia humu ndani uondoke nani kasema anakuhitajia humu uondokena huyo binti alibakia kimiaa yeye akabakia kimia hakujibu kitu zaidi ya kulia tu
ikapita miezi hali ile ikawa inaendelea kunitesa na kweli kila mtu aliyeniona alijua kuwa mimi sasa nimechanganyikiwa haikupita muda wakawa wanakuja ndugu zngu hata wazazi wangu na kila mmoja aliyefika aliishia kunishauri nioe lakini sikuweza kuwasikiliza
sasa siku moja ndio niliota ndoto mbaya zaidindoto iliyonifanya nipige ukulele sanana nilipozindukana nikahisi moyo kama unatolewa pumzi ikawa kama nimebanwailichukua muda mpaka kujisikia vyema nikatulia na ujue kwa muda wote huo anayenisaidia ni huyo binti
hata sijui ilitokeajenakumbuka tuilikuwa siku huyo binti keshaamua kuondoka alikuwa ameshafungasha kila kituakawa sasa anaiga nilishamkubalia aondoke kwangu mimi kwa uoni wangu huo wa kuchanganyikiwasikuwa naona umuhimu wake
nafsi akiliile kuwaza kuwa huyo binti sasa ndio anaondoka kabisa maana alishasema yeye anaondoka na hatarudi tenana nilimwambia ni bora afanye hivyo maana akifanya hivyo itanisaidia hata mimihuyo binti alisema sawa kwa sauti ya unyonge hakuwa na jinsi
sasa ndio huyu kwelikeshafungasha ananiaga
sijui ilikuwajenilihisi upweke fulani ghafla nilihisi kumkosa mtu muhimu kwangu ilikuwa kama vile namuona mke wangu ananiaga ghafla nikajikuta nimemkumbatia huyo bintihuku nasema
mke wangu usiondokeusinieche peke yangu huyu binti alibakia kaduwaa na kwa vile alishanizoea kuwa nimechanganyikiwa yeye alitulia tu akiwa anaogopa unajua huyu binti japokuwa anaishi hapo lakini ananiogopa kweli hasa akikumbuka siku zile za zamani nilipotaka kumbaka
baadaye huyo bnti akasema
shemeji mimi sasa naogoa kwa hali uliyofikiahata hivyo pia haifai wewe kubakia peke yako hutaweza ni bora nipitie kwa ndugu zako mmoja aje kukaa na wewe hapaakasema
ohnikakumbuka kumbe sio mke wangu nikakurupuka nikasimama pembeninilikaa kimia kwa muda na ghafla machozi yakaanza kunijaa machoni nikajikuta nikilianililia sanaunajua kulia nililia sana siku hiyompaka nikawa sina nguvu tenahalafu nikasema
mke wangunakupenda sana haya yote ni kwa ajili yako sijui nifanyeje nini kukuonyesha pendo langu kwako namuomba mungu aichukue roho yangu ili nije huko ulipooohnikatulia na nilihisi yule binti akiwa karibu yangu alifanya kama vile mama anavyofanya kwa mwanaeakawa kaniwekea mkono wake begani kama kuniliwaza akasema
shemejimungu atakusaidia utapona tuhaya yana mwisho lakini usifikie hatua ya kumkufuru mungu kwani yaliyotokea ni kwa mapenzi yake sio kwa mapenzi yetu mimi na wewe hatuna la kufanya ila shemeji inabidi mimi niondokeila nakuahidi nitajitahidi mmoja wa ndugu zako waje'akasema
'mimi najua nakwenda kinyume na maagizo ya mke wako alisema niskuache peke yako maana hakuna anayekuweza lakini mimi sasa naanza kuogopaninaogopa chochote chaweza kunipata samahani sana shemeji kwa kweli kwa hali kama hii sina jinsi ni lazima niondoke kwaheri shemejiakasema sasa kiwa keshabeba mizigo yake
nilibakia nimeshikwa na butwaana nilianza kuhesabu hatua za yule binti akiondoka moja mbili tatuhuyo anaondokaalipofika mlangoni sikuweza kuvumilia nikajiinua na kwa haraka nikaanza kumkimbilia huyo binti kabla hajavuka kizingiti cha mlangonikamfikia na kumshika begani
huyo binti alishtuka sana mpaka akadondosha lile begi na karibu apige yowe
binti tafadhali nisamehekabla hujaondoka nakuomba unisamehenipo chini ya miguu yako' nikasema sasa nikimpigia magoti
huyo binti akawa anatetemeka kwa uwogaakabakia kuniangalia macho yalikuwa na wasiwasi kaduwaa hajui hata fanye nini lakini mimi niliendelea kumuomba msamahana mara nikasikia gari nje likisimama na mara nikasikia sauti ya mtu akipiga hodi na kabla sikajaa sawa huyo binti akalegea na kudondoka chini sakafuni na kupoteza fahamu
nb nashindwa kuimalizia leo kuna mambo mengi hapo yalitokea na ili kisa hiki kiishe vyema ni wajibu kuyaandika samahani sana tukutane sehemu ya mwisho
wazo la leo akili zetu za kibinadamu zinapokutwa na mitihani iwe ya misiba iwe ya njaa shida au matatizo mbali mbali kama ya kukataliwa kumkosa uliyempenda nkhufikia kujilaumu sana na hata kujiona hatuna faidana wengine hufikia kubaya na kusema bora waafehii sio sahihi tujue kuwa mambo hayo hutokea kwa mapenzi ya muumba
tujue kuwa mola wetu yeye ndiye anayejua ni kwasababu gani hayo yanatokea huenda mengine hutokea ili iwe ni heri kwetu na mengine hutokea maana muda wake umefika sasa sisi kama wanadamu watiifu kwa mola wetu kinachowajibika kwetu kwanza ni kumshukuru mola wetuna pili ni kuzidi kuomba rehema zake maana yeye ndiye mjuzi wa yote
ewe mola wetu tupe subira tuondolee mitihani hii ya maisha na ikitukuta tupe moyo thabiti wa kuweze kusubiria na utujalie mafanikio memabila wewe mola wetu sisi hatuwezi kitu sote tuseme aamin
imetumwa na emu three at 1231 pm | 2017-12-11T04:07:56 | http://miram3.blogspot.com/2016/11/toba-ya-kweli-16.html |
new music double h naweka nia (noiz) ~ mashaka kisusi thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » music » new music double h naweka nia (noiz)
mashaka kisusi218 pm no comments
bofya hapa http//googl/yxugeq kupakua wimbo wa doubleh ikiwa ni dancehall category kwa jina naweka nia toka noizmekah studios chini ya defxtrokwa mahojiano/mawasilano zaidi check na double h kwa nambari +255 757 890 732 powered by @vmgafrica #vmgafrica wwwvmgafricacom @noizmekah #supportyourown | 2018-02-24T08:09:58 | http://mashakakisusi.blogspot.com/2015/03/new-music-double-h-naweka-nia-noiz.html |
tanzania kununua ndege nyingine mpya july 2017 edusportstz
news tanzania kununua ndege nyingine mpya july 2017
byfarumediaon08 mayinnews
shirika la ndege la tanzania atcl linazo safari za kutosha hapo angani kwa sasa baada ya kupata zile ndege mpya alizonunua president magufuli na kuzitambulisha rasmi kwa watanzania september 2016
taarifa ikufikie tu kwamba serikali iko kwenye mpango wa kuongeza nyingine moja ili zizidi kufika sehemu nyingi zaidi tanzania ambapo naibu waziri wa wizara ya ujenzi uchukuzi na mawasiliano mhandisi edwin ngonyani kasema july 2017 ndio inanunuliwa nyingine
ni kauli ambayo ameitoa wakati wa uzinduzi wa safari za ndege za atcl kwenye mkoa tabora na kuongezea kwamba lengo la serikali ni kuhakikisha hadi kufikia july 2018 shirika la ndege tanzania liwe linamiliki ndege sita zenye uwezo wa kubeba abiria kwa kiwango tofauti tofauti na kusafiri mikoa mingi na nje ya tanzania
alisema kuwa hatua hiyo inaenda sambamba na uimarishaji wa shirika la ndege hapa nchini na ujenzi wa viwanja vipya vya ndege katika mikoa ambayo haina viwanja hivyo kwa sasa ili ifike siku mikoa yote tanzania iweze kuunganishwa na usafiri wa anga
by farumediaa la/s 08 may | 2019-10-19T11:48:27 | https://www.edusportstz.com/2017/05/tanzania-kununua-ndege-nyingine-mpya.html |
mwalimu mwenye umilisi wa kipekee wa kiswahili na mwandishi home swahilihubcom
http//wwwswahilihubcom/image/view//3806482/medres/1559850//h4ocy3//mwajpg
mwalimu mwenye umilisi wa kipekee wa kiswahili na mwandishi
mwalimu mwenye umilisi wa kipekee wa kiswahili na mwandishi bw justus kyalo muusya picha/chris adungo na chris adungo
imepakiwa thursday february 9 2017 at 1557kwa mukhtasarini vigumu kujitolea kwa jambo lolote lile maishani na mola akose kabisa kukuneemesha kwalo kwa mujibu wa bw justus kyalo muusya mwandishi shupavu na mwalimu mahiri wa kiswahili shuleni kaluva kitui jitihada za mja na neema za maulana ni pande mbili za sarafu moja ni vigumu kujitolea kwa jambo lolote lile maishani na mola akose kabisa kukuneemesha kwalo aidha mwenyezi mungu ataona vigumu kubariki pasipo na juhudi zozote kutoka kwa aliye katika uhitaji wa msaada wake ukijitolea kwa udi na uvumba kulimakinikia jambo lolote hapana shaka kwamba utapokea baraka kubwa huu ndio ushauri wa bw justus kyalo muusya mwandishi shupavu na mwalimu mahiri wa kiswahili shuleni kaluva kitui maisha ya awalimuusya alizaliwa katika kijiji cha kangii kata ya kakeani katika kaunti ya kitui yapata miaka thelathini na mitano iliyopita wazazi wake ni tabitha muyali na mwendazake muusya mukuli ni mwana wa tatu katika familia ya watoto saba wavulana watano na wasichana wawili alisomea katika shule ya msingi ya kangii baada ya kuufanya mtihani wa kitaifa wa kcpe mnamo 1998 jahazi lake la masomo lilikuwa linayumba si haba nusura kwenda mrama hii ni kwa sababu alitoka katika familia yenye ufukara wa pangu pakavu na katika ukoo ambao elimu ilikuwa ni 'mwiko kwa baadhi ya wanajamiiingawa hivyo aliibuka wa pili katika kata nzima ya kakeani alituzwa katika sherehe zilizoandaliwa na chifu wa kata bw charles mbiti (mstaafu) hafla hiyo ilikuwa kama daraja kwake iliweza kubainika wazi kuwa japo alifaulu mno katika mtihani wa darasa la nane ilikuwa rahisi kwa ngamia kupitia kwenye tundu la sindano kuliko kijana huyu kuiona milango ya shule za upili baadhi ya wanakijiji walichangia elimu yake ya shule ya upili hawa walishirikishwa katika zoezi hili na joseph syuma ambaye kwa sasa ni askofu mkuu wa kanisa la gfbc kenya akali ya fedha zilizochangwa zilimwezesha kujiunga na shule ya kakeani mnamo mei 17 1999 huu ulikuwa ni muhula wa pili kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya upili kilichoshangaza wengi ni kuwa kyalo aliweza kuibuka wa pili katika mtihani wa mwisho wa muhula wa pili na kuongoza katika mitihani mingine yote katika kidato cha kwanza na cha pili ukosefu wa karo ulimweka nyumbani kila muhula kipindi kirefu kuliko kile alichokuwa darasani walimu wake wa darasa bw moses wambua (kwa sasa mwalimu mkuu katika shule ya upili ya kangii) aliweza kutambua uwezo na talanta ya mwanafunzi huyu na kujitolea kwa jino na ukucha kumfaa wambua alimsaidia kupata ufadhili wa masomo katika shule binafsi ya likii hill school viungani mwa mji wa nanyuki kaunti ya laikipia kujiunga na shule hii kulichukuliwa kuwa utovu wa nidhamu kwa vile babake alikatalia mbali ufadhili huu akidai kuwa alikuwa hajapata kusikia shule isiyolipwa karo wakati huu bw wambua alikuwa amekwishampulizia justus mapenzi ya lugha ya kiswahili aliupasi vyema mtihani wake wa kidato cha nne usomi na taalumajapo watu wengi akiwamo mwalimu wambua walimshauri kujitosa katika taaluma tofauti aliazimia kusomea shahada ya ualimu (kiswahili na historia) ili kufuata nyayo za mwalimu na mwandani wake huyo alijiunga na chuo kikuu cha egerton bewa la laikipia mnamo 2005 na kuhitimu mwishoni mwa 2008 huko alipatana na wahadhiri waliochochea ari yake ya kubobea zaidi katika taaluma ya kiswahili ikiwa ni pamoja na maprofesa onyango ogolla na nabea wendo kwa sasa wa chuo kikuu cha laikipia alipata ajira ya muda kufundisha kiswahili na historia katika shule ya wasichana ya mua katika kaunti ya machakos mwaka huo wa 2008
tume ya huduma kwa walimu (tsc) ilimtuma kufundisha katika shule ya upili ya kaluva kaunti ya kitui mnamo 2010 mwaka uliofuata aliteuliwa kuwa mkuu wa idara ya masomo na mitihani shuleni humo mbinu zake za kipekee na juhudi chungu nzima zimeimarisha mtazamo wa somo la kiswahili shuleni kaluva
jambo hili lilichangia matokeo ya kiswahili kuimarika mno kwa kipindi kifupi
wanafunzi wake wamekuwa wakichukulia somo hili kuwa taaluma wengi wao wamejiunga na vyuo vikuu mbalimbali kusomea kiswahili wengine wamejiunga na taaluma ya uanahabari muusya amekuwa mhakiki shupavu wa miswada
tangu 2013 amekuwa akihakiki miswada katika kampuni ya eaep
hii hasa ni miswada inayohusu kazi za fasihi hii ni baada ya mhariri mkuu wa kiswahili bw job mokaya kutambua umahiri wake katika jambo hili
ni katika kipindi hiki ambapo alijiunga na chuo kikuu cha kenyatta kwa masomo ya umahiri ambapo alifuzu 2012 baada ya kuwasilisha tasnifu mandhari katika hadithi fupi za kisasa mtazamo linganishi chini ya usimamizi wa profesa kitula kingei na mwalimu kamunde chuoni humu alitagusana na magwiji wengine kama vile madaktari richard wafula pamela ngugi edwin masinde na miriam osore kutoka kwao aliweza kunoa makali ya usomi ikiwa ni pamoja na ujuzi wa kuhakiki fasihi ya dhati kati ya kazi hizi za fasihi ya dhati zilikuwapo za maprofesa said a mohamed na ken walibora
tangu kuhitimu uzamili amekuwa mhadhiri wa muda katika south eastern kenya university (seku) kitui akifundisha kozi za isimu na fasihi mnamo 2013 alirejea katika chuo kikuu cha kenyatta kwa shahada ya uzamifu (phd)
hivi sasa yuko katika hatua za mwishomwisho za kuandaa tasnifu maadili ya kisiasa katika riwaya za kiswahili za kisasa za mohamed na walibora chini ya usimamizi wa profesa kingei na dkt masinde
justus ana familia mkewe ann kavuu ni tabibu katika hospitali kuu ya kaunti ya machakos
wawili hao wamebarikiwa na mvulana mmoja moses mumo uandishi
muusya ameweza kuchapisha vitabu kadha vingine vingi vitachapishwa hivi karibuni
kazi yake ya awali kuchapishwa ni riwaya ya sinema bila malipo aliyoiandika akiwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo kikuu mnamo 2005
hata hivyo ilichukua miaka mitano kwenye matbaa kadha bila ya ripoti yoyote kuihusu kutolewa mwaka wa 2010 aliweza kuiondoa kwa matbaa hizi na kujichapishia mwaka wa 2012 akishirikiana na profesa kingei na bi leah mwangi (wa chuo kikuu cha karatina) walichapisha mwongozo wa damu nyeusi na hadithi nyingine (jkf) na mwongozo wa mstahiki meya (target publishers siku hizi ni spotlight publishers) mwaka uliofuata walishirikiana tena kuandaa mwongozo wa kidagaa kimemwozea (eaep) mwaka wa 2015 muusya alichapisha mwongozo wa msururu wa usaliti (eaep) na kushirikiana na kingei kuandika mwongozo wa mwakilishi wa watu (eaep) miongozo hii inatumiwa na wanafunzi wa kidato cha tano na cha sita nchini uganda aidha ameshirikiana na leah na kingei kuandaa mswada wa mashairi sanaa ya ushairi historia na uchambuzi huu upo katika hatua za mwisho za kuchapishwa na kampuni ya focus amechangia hadithi 'kusisimua misuli katika diwani tutaonana tena na hadithi nyingine iliyohaririwa na stella were na edison wanga vilevile diwani ya hadithi fupi ambayo ameshirikiana na profesa kingei kuihariri kusukuma kitu na hadithi nyingine itachapishwa na kampuni ya phoenix hivi karibuni zaidi muusya ameshirikiana na simon ngige (wa shule ya wavulana ya alliance) kuandaa kitabu cha kiada kwa wanafunzi wa kidato cha tatu nchini rwanda kitakachochapishwa na eaep hivi miswada ya riwaya tamthilia na hadithi fupi chungu nzima ni kati ya kazi zake bunilizi zitakazochapishwa karibunila kujivunia
msomi huyu ameweza kuasisi nadharia mpya ya uhakiki wa fasihi iitwayo daindamano
daindamano ni istilahi iliyotokana na mawazo ya wanafalsafa ya daintolojia (tafsiri yake ya deontology) na umaandamano (tafsiri yake ya consequentialism) daintolojia na umaandamano ni falsafa za immanuel kant na stuart mill mtawalia sehemu ya dain kutoka kwa neno daintolojia na ile ya ndamano kutokana na neno umaandamano zikiunganishwa zinaunda neno daindamano
hii ni nadharia inayochunguza maadili ya viongozi katika utendakazi wao
nadharia yake hii ndio inaongoza utafiti wake wa shahada ya uzamifu
mhimili wake mkuu ni kuwa kiongozi yeyote haruhusiwi kutenda kitendo kisichokubaliwa na wanajamii anaowaongoza isipokuwa ikiwa kwa kutenda kitendo hicho matokeo yake yatanufaisha wengi hata kama kitawaumiza wachache mawazo haya aliyawasilisha katika chuo kikuu cha kenyatta kwenye pendekezo la utafiti la uzamifu na kukubaliwa na wataalamu wa fasihi chuoni humu
aidha aliwasilisha mawazo haya ya kinadharia katika kongamano la chaukidu (chama cha ukuzaji wa kiswahili duniani) lililofanyika katika chuo kikuu cha kikatoliki afrika mashariki (cuea) jijini nairobi mnamo desemba 2016
ana imani kubwa kuwa atakapochapisha na kusambaza mawazo haya kuanzia mwaka 2017 yatapata wafuasi na wachangiaji wengi kote ulimwenguni | 2017-02-20T20:16:18 | http://www.swahilihub.com/mwalimu-mwenye-umilisi-wa-kipekee-wa-Kiswahili/1306882-3806478-oxsv5vz/index.html |
mwenyekiti wa bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma bigertrude mpaka
home about usbackround organisation structuredivisionsrecords & archivesfounders of the nation centre sec national archives service centre sec records centre services section records management section technical services section policy developmentpolicy formulation section policy monitoring and evaluation section remuneration policy section management servicesexecutive agency section management systems and standards section monitoring and evaluation systems section restructuring and private sector participation section human capital managementhuman capital management section staff inspection section payroll management section human resource development divisionhuman resource planning sec human resources development sect leadership development sect technical cooperation section government ict services divisionhuman capital and administrative ict systems development sec ict services section establishmenthuman resource legal services sec public service admin sec senior public service sec ethics promotionethical conduct monitoring sec ethics promotion section administration& human resourceadministration section human resource mgt sec planning divisionmonitoring and evaluation section planning section unitsprocurement management unit internal audit government communication unit finance and accounts diversity information and communication technology unit public service renumeration boardrenumeration unit productivity and research unit administration and human resources management unit information and communication technology unit finance and accounts unit public procurement unit legal services unit internal audit unit planning unit publicationsguidelines scholarships speeches circulars progress reports government gazette government directory national archives docs forms mada newsrss faqs mada socail media sitesblog facebook twitter youtube mwenyekiti wa bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma bigertrude mpaka (katikati) akizungumza baada ya uzinduzi wa bodi hiyo katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora hivi karibuni
home news mwenyekiti wa bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma bigertrude mpaka | 2017-06-22T18:33:12 | http://utumishi.go.tz/index.php/news/54-psmnews/1114-mwenyekiti-wa-bodi-ya-kima-cha-chini-cha-mshahara-katika-sekta-ya-umma-bigertrude-mpaka |
jinsi ya kupata gpa kali kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by kiny sep 20 2012
bhaaaaaaaaaaaaaacclick to expand
ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru mwenyezi mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12 kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla basi kwa neema ya mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa bachelor of science in nursing university of dodoma na kupata mkopo 4032500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata gpa kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa assistance lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary kuto disco na hatimae kupata gpa kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu asante kwa kunisikiliza nakaribisha mawazo/ ushauri wenuclick to expand
3usharo weka pembeni/mademu weka pembeniclick to expand
umemeliza kila kituclick to expand
usipitwe na quiz hata yenye max1uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani kikubwa ni uelewana kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'mungu mwaminifu'kwa kila jambokatika masomo na maisha yakoclick to expand
7jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzakoclick to expand | 2017-04-26T22:04:00 | https://www.jamiiforums.com/threads/jinsi-ya-kupata-gpa-kali-kuepuka-supplementary-na-jinsi-ya-kutodisco-chuoni.326870/ |
traduzioni di nia ya uwekezaji da swahili a inglese
hai cercato la traduzione di nia ya uwekezaji da swahili a inglese
mmlikuwa na ujasiri na nia ya kumchagua mtu wa mabadiliko
you had the strength the will to elect this man of change
kwa nia ya kutawanya neno anaandika idil osman
in the spirit of spreading the word writes idil osman
anonymous ina nia ya kuwasaidia watu wa tunisia katika vita hii dhidi
anonymous is willing to help the tunisian people in this fight against
siyo zote ambazo zitategemea nia ya serikali ya irani ya kuanzisha mazungumzo na marekani
not all of those have to do with the iranian governments willingness to start dialogue with the us
waandaalizi wana nia ya kukomesha sheria inayokinga ubakaji ndani ya ndoa nchini singapore
the organizers aim to abolish the marital rape immunity law in singapore
nia ya #bdsp si kuwaiba wasomaji wa wavuti ya the daily star
the aim of #bdsp is not to steal away viewers from the daily star's website
redio zamaneh haina nia ya kutangaza mabloga kulingana na mitazamo yao ya kisiasa
radio zamaneh does not promote bloggers based on their political views
nadharia hii ya pritchett na magric bila ya shaka ina upande tata ambao una nia ya kuchokoza mdahalo
this theory of pritchett and magric certainly has a contentious side that aims to provoke a debate
makaguzi wanakagua kwa makini pakiti hizo ili wapate hakikisho kuwa kuna nia ya kudanganya mteja'
inspectors scrutinize the packages because they need to be certain that an intention exists to deceive the consumer
pia anaeleza kuwa ilani hiyo ina nia ya kulinda hali (ya uongozi) kama ilivyo
she also described the manifesto as a defense of the status quo
majaribio haya mara nyingi hufanyika kwa lugha inaonesha kuwa nia ya watawala hawa kuendelea kubaki madarakani ni kuitikia mwito wa wananchi
these quests are often couched in language that portrays a leaders desire for more time in office as a response to popular demands
wakati madagaska ikijaribu kutafuta suluhisho la matatizo ya muda mrefu ya kiasa wanablogu wa kimalagasi wanajadili thamani ya uwekezaji unaofanywa moja kwa moja na raia wa kigeni
while madagascar attempts to find a way out of a prolonged political crisis malagasy bloggers are discussing the value of foreign direct investment (fdi)
leading the way by announcing their intentions for holy matrimony adding hopefully we will find a card for the event and share with many of my freinds here the pictures
kutokana na mahitaji ya umma sisi tulichukua mpango wa kuandaa mwongozo wa kusaidia wakulima wenye nia ya kuanzisha kilimo cha uyoga nchini kenya
due to public demand we took the initiative of compiling a guide to help farmers interested in starting mushroom farming in kenya
uzoefu wake katika nchi za marekani ya latini katika kupambana na uhalifu wa aina hii uantafutwa na vikundi ambavyo vina nia ya kuukwepa uhalifu huu wa jinai
his experience throughout latin america dealing with this crime is sought after for groups wanting to learn how to avoid this crime
shirika hilo la kimataifa linawaomba watumiaji wachangie kwa kutuma maoni kwenye mradi huo ambao unawatia mashaka wanablogu wengi wenye nia ya kuhifadhi tamaduni
the international organization asks users to contribute comments to a project that has many bloggers worried about preserving cultures
pingamizi linaloendela la kutoruhusu mashirika ya misaada ya kibinaadamu kuingia halisaidii kupunguza mashaka juu ya nia ya serikali kwa wakimbizi na makada wa ltte ambao wamesalimu amri
the continued refusal of full access to humanitarian agencies does not allay suspicions about the government's intentions toward the refugees and the ltte cadres who have surrendered
muwe na nia ya kuishi maisha ya utulivu kila mmoja ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe kama tulivyowaagiza pale awali
ndivyo basi ninavyopiga mbio nikiwa na nia ya kushinda ndivyo ninavyopigana na si kama bondia anayetupa ngumi zake hewani
lalamiko kuu la india lilizungukia katika uamuzi wa serikali ya rudd kukataa kuiuzia india madini ya uranium uamuzi ambao uliipindua nia ya john howard pamoja na mawaziri wake
india's prime gripe turned on the refusal of the rudd government's to sell uranium to india which overturned the intention of john howard and his senior ministers
apoteose (portoghese>tedesco)correlation (giapponese>russo)kunica trava (bosniaco>tedesco)achi thi (hindi (indiano)>inglese)to wales then (inglese>gallese)kulturhistorisches (tedesco>inglese)reiterates (inglese>italiano)aap ki bahut yaad aa rahi hai meri jaan (hindi (indiano)>inglese)leigh donovan (inglese>francese)deslucidas (spagnolo>inglese)wo aaye the in english (hindi (indiano)>inglese)demeye (turco>macedone)apa maksud shown (inglese>malese)रावन दहन (hindi (indiano)>inglese)aliyepotea (swahili>svedese)then i would go to australia (inglese>hindi (indiano))grazie a tutti per gli auguri (italiano>inglese)xmla (esperanto>hausa)bruciare (italiano>ceco)pakkauksessa (finlandese>russo)pfifferlingsauce karotten lauchgemüse mit pommes (tedesco>francese)ezetimibe (inglese>greco)ritiro e ripristino device (italiano>inglese)ano ang kahulugan ng lalang sa panahon (inglese>tagalog)vi mando l'offerta (italiano>francese) | 2020-02-16T21:52:12 | https://mymemory.translated.net/it/Swahili/Inglese/nia-ya-uwekezaji |
wahitimu mafunzo jkt mnachokitafuta mtakipata 'soon' fukuto la jamii
home unlabelled wahitimu mafunzo jkt mnachokitafuta mtakipata 'soon'
wahitimu mafunzo jkt mnachokitafuta mtakipata 'soon'
vyombo vya habari nchini juzi na jana viliripoti habari isemayo vijana waliohitimu mafunzo ya jeshi la kujenga taifa (jkt) wanatarajia kufanya maandamano ya siku tatu mfululizo usiku na mchana jijini dar es salaam kuanzia jumatatu ijayo kushinikiza kuonana na rais jakaya kikwete kumweleza matatizo ya ajira wanayokabiliana nayo
wahitimu hao februali 15 mwaka huu walifanya mkutano katika eneo la msimbazi centre dar es salaam na mwenyekiti wa vijana waliohitimu mafunzo ya jkt george mgoba alisema kwa muda mrefu wamekuwa wakiomba kukutana na rais ili wamueleze matatizo wanayokumbana nayo lakini wamekuwa wakipewa ahadi za uongo na katibu mkuu wa rais
tumeomba mara nyingi kukutana na rais na tumekuwa tukiandika barua lakini hatujibiwi chochote tunajua hizi ni njama tu za watu wachache wanaozuia tusionane na rais alidai mgoba
alidai kuwa wameandika barua nyingine na hivi karibuni katibu wa rais aliwapigia simu kuwa wafike februari 10 ili waonane na rais na walipofika hawakufanikiwa kumuona katibu huyo
akizungumzia sababu za kutaka kuonana na rais alidai ni kutaka kujua hatma yao ya kutopatiwa ajira kutokana na mafunzo ya kijeshi waliyoyapata sisi tumepatiwa mafunzo ya kijeshi na sasa tupo uraiani kwa ajili gani hawa wote unaowaona ni askari tayari alidai
mkutano wao uliwakutanisha pamoja ili kuweka mikakati yao ikiwa ni pamoja na kufanya maandamano ifikapo jumatatu kama serikali haijajibu kama itawaajiri au hapana walidai endapo jibu halitapatikana basi watafanya maandamano ya siku tatu mfululizo hadi ombi lao la kumwona rais lifanikiwe
makamu mwenyekiti paral kiwango alisema jambo hilo linaonekana kuwa na upendeleo mkubwa kwani wenzao wa upande wa zanzibar wote waliomaliza mafunzo ya jkt wanapatiwa ajira alihoji iweje vijana wa bara wametelekezwa
wenzetu wa upande wa zanzibar wakimaliza mafunzo wote wanaajiriwa lakini sisi tanzania bara hakuna anayetujali na kututhamini alidai kiwango
kwa upande wake katibu wao liwus emmaneul amesema kuna fursa nyingi za ajira hapa nchini kama vile tanapa na sehemu zingine ambazo wao wanaweza kufanya kazi lakini wanaoajiriwa kule ni watu wengine wasiokuwa hata na ujuzi huku wao wakitelekezwa na wakiomba ajira kule hawathaminiwi kama watu wenye maadili na mafunzo
binafsi sitaki unafki wala simuogopi mtu yoyote anayetaka kuvunja au aliyevunja sheria za nchi nitasema
napinga uamuzi huo wa wahitimu hao wa jkt wa kutaka kuandama siku tatu mfululizo wakishinikiza kutaka kuonana na rais kikwete eti kwa kigezo kuwa hawajapatiwa ajira
imekuwa ikielezwa kuwa baadhi ya malengo ya mafunzo jkt kwa vijana wake ni hali ya serikali ya taifa lolote kutaka kuvuna nguvu la vijana wake kwa maslahi ya taifa lao
serikali inavuna nguvu ya vijana wake wawapo katika mafunzo ya kujitolea ya jkt ili badaa ya mafunzo hayo vijana hao waje kulijenga taifa lao kwakutumia ujuzi walioupata uraiani walipokuwa katika mafunzo katika makambi mbalimbali ya jkt
mafunzo hayo siyo ya lazima ni ya kujitoleana mwisho wa mafunzo hayo pia mshiriki wa mafunzo ya jkt ndiyo anapata faida kubwa baada ya kuwa amefundishwa mafunzo ya stadi za kazi
stadi za kazi ambazo ni ufundi ufugaji ukulima nidhamu ujasiliamali uvumilivu katika hali yoyote ile wawapo mafunzoni wanafundishwa kujiendesha kimaisha kupitia elimu ya stadi ya kazi waliyoipata mafunzoni
ikitokea siku jeshi la polisi idara ya usalama wa taifa jwtz na magereza wanaitaji kuajiri watu basi majeshi hayo uchukua wahitimu wachache waliopita kozi ya jkt na kuwaajiri katika majeshi hayo na kabla ya kuwaajili uwapitisha kwanza depo za majeshi hayo na wakifuzu ndiyo upata ajira ndani ya majeshi husika majeshi hayo hayachukui wahitimu wote waliopita jkt
wahitimu wa mafunzo ya jkt katu hawafundishwi kupigana vita wala kufanya maandamano haramu ya kushinikiza wapatie ajirawaonane na rais kikwetekuvunja sheria za nchi na jktwala kuwaonea donge wahitimu wenzao toka zanzibarkama mnaona wenzenu wanafaidi basi amieni zanzibar
kwanza watuambie huo uhalali wa wao kuandamana wamepata wapi
nyie wahitimu wa mafunzo ya jkt ile fomu mliyopewa na jkt mjaze wakati mnaingia mafunzoni na mlipokuwa mnamaliza hiyo fomu kuna sehemu yoyote inaonyesha kuwa mhitimu yoyote wa jkt akihitimu mafunzo ya jkt ni lazima atapatiwa ajira na serikalituonyeshenijibu ni hakuna
yaani kuudhuria mafunzo ya muda mfupi tu ya jkt ndiyo imekuwa nongwa na kujitia wazimu wa kushinikiza mmepewe ajira kwa njia ya mashinikizo ya kuandamana na kutoa vitisho kwa serikali
aliyewaambia rais kikwete anatembea na ajira za watu walioitimu mafunzo ya jkt mfukoni nani ina maana hadi sasa hamfahamu mfumo unaotumiwa na serikali kutoa ajira siyo bure mnalenu jambo na litabainika tuna mnachokitafuta mtakipata
kuna watanzania wanashahada zaidi ya moja bado hawajapata ajira na hata elimu ya stadi za kazi kama nyie lakini hata siku moja hatujawasikia wakiwa na nia kama yenu ya kutaka kutenda jinai ya kutaka kuandamana siku tatu mfululizo na kushinikiza kuonana na rais muda wanaoutaka wao
yaani nyie kupiga paredi la jkt tu na kuvaa maganga ya jkt na kwenda kuishi muda mfupi katika makambi ya jkt kwaajili ya kuudhulia mafunzo basi imekuwa nongwa mnaanza kutishia usalama taifa lenu eti mtaandamana siku tatu mfululizo usiku na mchana
aliyewaambia ajira zipo serikali tu ninani hivi watanzania wote hapa wanaofanya kazi na kutunza familia zao wana ajira za serikalisiyo kweli
mbona mnataka kuwa wa binafsi hivyo mmepewa mafunzo ya stadi za kazi bure wakati wenzenu mafunzo hayo wanalipia karo kubwa katika chuo cha ufundi veta badala ya nyie leo hii kutafuta mitaji kwa njia halali ili muweze kutumia ujuzi mlioupata katika mafunzo ya jkt mnaishia kuamasisha kukutana kushinikiza kukutana na rais na kukusudia kufanya maandamano ya siku tatu mfululizo
hata kama kweli kuna mtu anataka kuwasaidia kwa vitisho hivyo mlivyoviweka sia atakataa makusudi kuwasaidia ili hawaone mwisho wenu mtafanya nini
maana ni nyie ndiyo wenye shida lakini mmeonyesha kwanza hamna nidhamusubira na mmeshindwa hata kumfuata mkuu wa jkt kumweleza matatizo yenu ili yeye atafikishe sehemu husika
na kwa tabia hizo ndiyo maana vijana hatuaminiwi kwasababu hatuna subira uvumilivu na hatutaki kufuata utaratibutunakosa vitu vingi vya maana vijana kwasababu tu wengi wetu hatuna nidhamu subira tuna papara sana
mnamtishia nani nyaumnajitapa mmepatiwa mafunzo ya kijeshinani aliwapatia nyie mafunzo ya kijeshi hivi nyie mngekuwa mmepatiwa mafunzo ya kijeshi hasa mngefanya wazimu huo mnaoufanya
mmejinasibu wenyewe kuwa mmepata mafunzo ya kijeshi na kuwa wahitimu wa mafunzo hayo toka zanzibar wanapata upendeleo nyie wa tanzania bara hampatibasi kama vipi ingieni kabisa msituni tujue moja halafu muone mtakachokutana nacho huko msituni
maana kwa wahitimu kama nyie kutangaza tena kupitia vyombo vya habari kuwa makusudia kufanya maandamano kwa siku tatu mfululizo tena usiku na mchana hii kauli siyo ya kupuuzwa na wapenda amani wa nchi hii hata kidogo inatakiwa ifanyiwe kazi na aliyetoa hiyo kauli aitiwe na mamlaka husika akahojiwe alikuwa anamaanisha nini
maana hata hilo jeshi la polisi haliwezi kutoa kibali cha kundi lolote liwe chama cha siasa wahitimu wa mafunzo ya jkt kuandamana kwa siku tatu mfululizo tena usiku na mchana
wanajeshi wetu ni watu wenye nidhamu ya hali ya juu na wamefundwa wakafundika na linasifika ndani na nje ya nchi ndiyo maana hata siku moja hatujawahi kuwasikia wakifanya huo wazimu wenu wa kutwa kurandaranda ikulu na kutangaza kutaka kufanya maandamano ya siku tatu mfululizo jijini dar es salaam eti kushinikiza kuonana na rais
mnawaadaa watu huko mitaani kuwa nyie ni wanajeshinyie siyo wanajeshi kwani hata mafunzo ya kupigana vita hamjafundishwa na kama kweli mngelikuwa ni wanajeshi siku ile ya februali 15 mwaka huupale ukumbi wa msimbazi center mlivyokuwa mnabwabwaja mngekuwa mmeishakamatwa muda mrefu na kushitakiwa kwa kosa la uani
mwanajeshi hasa akitaka kufanya lake hatumii mbinu ya kipuuzi kama mliyoitumia nyie ya kuitisha mkutano na vyombo vya habari na kutangaza mikakati yenu ya siri adharani mapema kabla ya kutimiza adhima yenu na bila kujua tayari mmeisha mpa faida adui yenu ambae ni wazalendo wa kweli wa taifa hili na wanausalama wa taifa hili
nyie ni 'makorokoroni' na ndiyo maana leo hii hamuwezi kwenda kufayakazi wanaofanya kazi askari wa jwtz
na haya ndiyo madhara ya majeshi yetu kuokotaokota watu mitaani kumbe wanatabia mbovu wanaingizwa kwenye makambi ya majeshi yetu mwisho wa siku ndiyo wanakuwa kama hawa na wengine kutwa kuchukua rushwa mitaani kuuza meno ya tembo na kushirikiana na wahalifu kufanya uhalifu
nyie siyo wanajeshi kamili na wala hamkupewa mafunzo ya kivita mlienda kupewa mafunzo ambayo siyo ya kupigana vita nyie ni wana mazoezi tu yaani watu jogging kama happiness katabazi hamjala viapo kama walivyokula wanajeshi ni makorokoroni na wala msitutishe na mnachokitafuta mtakipata 'soon'
na baadhi ya watu waliohitimu mafunzo ya jkt wenye akili timamu wazalendo kwa taifa lao na wala hawakubali kutumiwa na vyama vya siasa elimu ya stadi za kazi zimewasaidia sana kwani wamekuwa wajasiriamali wengine ni mafundi selemarawachoma chips na walinzi wa makampuni binafsi na washokaji nguo na wa kulima wazuri
kwa elimu gani mliyokuwa nayo nyie wahitimu wa mafunzo ya jkt hadi mtake ajira kutoka kwa rais ikulu ni aina gani hiyo ya ajira mnayoitaka mmpewe na rais kikwete
jkt imewafundisha mafunzo ya stadi za kazi hamtaki kuzitumia mmebweteka mnajazwa ujinga mitaani na watu wasiolitakia mema taifa hili na nyie mnaingia kichwa kichwa mnakubali mnaanza kuzungumza upuuzi wa vitisho mbele ya vyombo vya habari
mbona ajira zipo kibao katika mashamba ya mpunga miwakuzoa matakataka kufagia barabara kwenye makampuni ya ulinzi mbona hamuendi kuomba ajira huko mnashupalia kwenda ikulu kumuona rais awape ajira
au mmetumwa nyie na watu wa baya mmdhuru rais wetu ili tanzania iweke rekodi ya kufiwa na rais ambaye yupo madarakanimkome
maana hii kasi yenu ya kushinikiza kuona na rais kikwete tena nammefika mbali zaidi mnasema msipoonana naye mtaandamana siku tatu mfululizo usiku na mchana na mtatumia silaha na kwamba eti mnamafunzo ya kijeshi inatia mashaka
kwa taarifa yenu wananchi tuna haki ya kuonana na rais pale tu wasaidii wake watakapojiridhisha una haki na dhamira safi ya kumuona lakini kwa nyie wahitimu wa mafunzo ya jkt kwakuwa mmeisha onyesha mna dhamira mbaya siyo siri nawashawishi wasaidizi wa rais wasikubali kumruhusu rais kuona na wahuni hawa ambao kwanza wamedhlilisha wakufunzi wa jkt waliowafunza maadili mema katika mafunzo ya jkt na tuwaruhusu waende huko mitaani na hayo mafunzo ya kijeshi na hayo magobole kama wanayo tunawaone mwisho wao
walinzi wa rais kikwete watakuwa ni vichaa kama watamruhusu rais akaonane na nyie wahuni ambao mmetoa vitisho wakati nyie ndio wenye shida
sasa nyie mlipokutana pale msimbazi center ambao sijui mnawazimu vichwa ni mwenu badala ya kutumia elimu ya stadi za kazi mliyoipata mkiwa katika mafunzo ya jkt mnaanza kujihusisha na vitendo vya kutaka kutenda jinai kwa makusudi kwa kisingizio eti mnazuiwa kumuona rais
mkuu wa wanajeshi wote hapa nchini ni mkuu wa jeshi la ulinzi la wananchi (jwtz)' davis mwamunyange kama kweli nyie wahitimu wa jkt ni wanajeshi maana mmesema mmepewa mafunzo ya kijeshikwanini hayo malalamiko yenu hamjayapeleka kwanza kwa cdf mwamunyange
au ndiyo akili zenu fupi zinawatuma kuamini kuwa mwamunyange ameshindwa kazi na nyie ndiyo mnaweza kazi ndiyo maana nasema siyo bure mnalenu jambo na litajulikana tu wakati ukifika
mnalalamika ajira hamna ina maana hamna kipato swali langu je hizo fedha za kununua muda wa maongezi mkawasiliana hadi mkakutana pamoja na nauli za kuwafikisha pale msimbazi center fedha za kuandika barua kwenda ikulukuitisha mkutano na waandishi wa habari mlizipata wapi si mmesema mna hali ngumu na hamna ajira hizo fedha za kuratibu ule mkutano mlizipata wapi
msijifanye wajanja sana kuliko watangulizi wenu ambao waliwatangulia kuudhuria mafunzo hayo kuna watu wahuni na wajanja kuliko nyie wanawatazama
kuna watu wana akili nyingi kuliko nyie kwani tayari hizo harakati zenu zimeanza kuhusishwa na siasa chafu kuwa miongoni mwenu mnatumiwa na wanasiasa kutaka kuleta vurugu hapa nchini kwakisingizio hicho cha kutaka kuonana na rais na ajira
kwa kupitia tamko lenu ni wazi mnania ovu ya kushinikiza mpatiwe mnachokitaka kwa muda mnaoutaka nyie na siyo ratiba ya rais na tena kwa kutoa vitisho eti mtaandamana siku tatu mfululizo
ombi langu kwa jeshi la polisi lisitoe kibali cha kuruhusu wahitimu hawa waandamane maana kupitia matamshi yao wameonyesha hawana dhamira njema na taifa hili kwani wao ndio wanashidawanaomba lakini wakati huo huo wanaomba wanatoa na vitisho
kwanza wanadhalilisha mafunzo waliyoyapata walipokuwa jkt kuwa wakufunzi wao hawa kuwakuwafunza nidhamu au kama waliwafunza basi wameamua kukengeukana ikitokea waliandamana kwa lazima polisi ipambane nao kiume na kwa silaha za kutosha maana tayari wameishautangazia umma kuwa wamepewa mafunzo ya kijeshi hivyo wapo timamu
pili jeshi la jwtzjkt idara ya usalama wa taifa iwatazame kwa karibu sana wahitimu wote walioudhuria mkutano wa wahitimu hao wa jkt ambao walifikia azimio hilo la kuitisha maandamano ya siku tatu mfululizo usiku na mchana
kama vijana wenyewe ndio hawa ambao walipelekwa jkt kufundishwa maadili memastadi za kazi na kujazwa uzalendo kwa taifa laoleo hii wao ndiyo watakuwa mstari wa mbele tena bila woga wanaenda mbele ya vyombo vya habari kusema wanataka kuandamana maandamano ya siku tatu mfululizo usiku na mchana kwa kukishinikiza waonane na rais wapewe ajira na wasikilizwe matatizo yaoajabu sana
wahitimu hawa kama wanatakiwa watiwe adabu mapema na vyombo vya dola basi ipo siku wahitimu hawa wanaweza kuja kurubuniwa na watu wasiolitakia mema taifa letu wakatisaliti taifa kwa kisingizio tu eti hawajapewa ajira na serikali wakati hakuna mkataba wowote waliingia na serikali kuwa wakimaliza mafunzo ya jkt ni lazima serikali iwapatie ajira
ikumbukwe kuwa tanzania kama taifa mwaka huu tunamambo mawili makubwa mbele yetu ya kupiga kura za katiba pendekezwa na uchaguzi mkuu na chaguzi za wagombea uraisubunge madiwani ndani ya vyamatunataka tufanye mambo hayo kwa amani na utulivuhatutaki fujo
na ieleweke hivi sasa vituo vya polisi vinavamiwa mara kwa mara na wahalifu na kuua askari na kupora silaha na matukio mbalimbali ya kihalifu yanatokea
ndipo tumefika hapo tulipofika kama taifa baadhi ya raia wamekuwa na ujasiri wa kishetani hadi hawaogopi tena polisi wala vituo vya polisi
hatujui mhasisi wa wazo la kuvamia vituo vya polisi ni nani na alikuwa na malengo gani ya kuasisi wazo hilo ambalo kwakweli linashangaza watu wanaofikiri sawasawa na kubaki kujiuliza huo ujasiri wa kuvamia vituo vya polisi na kuua askari na kupora silaha raia hawa watanzania wanaupata wapi
nimalizie kwa kusema baadhi ya wahitimu wa jkt mnaotaka kuandamana mnalenu jambo na mnachokitafuta kwa njia za za kifedhuli mtakipata
nimalizie kwa kumwambia mwenyekiti wa vijana wa waliohitimu mafunzo ya jkt george mgoba na wenzake kuwa sisi watanzania tunadesturi ya kunyimana matonge ya ugali hatunyimani maneno
hivyo siri zenu zitabainika na zikibainika mkianza kushughulikiwa na mamlaka husika ndiyo mtajua 'kachumbali siyo mboga ila ina save'na mnachokitafuta mtakipata 'soon'
februali 17 mwaka 2015
wahitimu mafunzo jkt mnachokitafuta mtakipata 'soon' reviewed by mshappiness katabazi on 1103 am rating 5 | 2018-06-23T15:55:57 | https://katabazihappy.blogspot.com/2015/02/wahitimu-mafunzo-jkt-mnachokitafuta.html |
kangi lugola mbona wanaofariki wakifanya mapenzi hamchomi moto vitanda vyao kijukuu cha bibi k | habarimatukio na burudani tanzania
home / unlabelled / kangi lugola mbona wanaofariki wakifanya mapenzi hamchomi moto vitanda vyao
kangi lugola mbona wanaofariki wakifanya mapenzi hamchomi moto vitanda vyao
waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi lugola amesema anashangaa kwanini wananchi huchukua hatua ya kuchoma kituo cha polisi pindi inapodaiwa kuna mtuhumiwa amefia kituo cha polisi lakini hawachomi kitanda mtu anapofariki akifanya mapenzi
kangi amesema hayo bungeni jijini dodoma leo wakati akijibu swali la nyongeza za mbunge wa konde khatibu said haji (cuf) aliyetaka kujua kauli ya waziri kutokana na hatua ya watu kufia mahabusu wakidaiwa kuteswa na polisi
katika siku za karibuni zimejitokeza tabia mbaya na ovu za wananchi kufia kwenye vituo vya polisi mahabusu wanapokuwa wanashikiliwa wanapata mateso ambayo husababisha vifo vyao na hivi karibuni kuna baadhi ya jamii zimekataa maiti kwenda kuzizika kutokana na kufia ndani ya vituo vya polisi mheshimiwa waziri unatoa kauli gani kali kukemea hatua hii ambayo inatia aibu nchi yetu ambayo ni ya haki na demokrasia amesema khatibu
akijibu swali hilo lugola amesema mwananchi kufa anakufa wakati wowote mahali popote na ndiyo maana sijui kwenye quraan kwenye biblia mhubiri 912 nenda kasome kifo ni mtego kifo humnasa mtu wakati wowote mahali popote kwa hiyo mwananchi anaweza akafa akiwa polisi akiwa anafanya mapenzi akiwa kwenye gari anasafiri anaweza akafia hata humu ndania ya bunge
kwa hiyo isije ikachukuliwa kwamba aliyefia kituo cha polisi ni kwamba ameteswa lakini ninakiri kwamba kumekuwa na matukio ambapo wananchi wanafia mikononi mwa polisi huwa tunafanya uchunguzi na pale inapobainika kwamba polisi wamehusika tumekuwa tukichukua hatua na ndiyo maana tumekuwa tukizuia wananchi kujichukulia sheria mikononi kwa kuchoma kituo cha polisi
ndiyo maana nimekuwa nikihoji huyo anayekufa akifanya mapenzi mbona hawaendi kuchoma kitanda kwa sababu amefia mikononi mwa kitanda amesema lugola | 2020-06-03T22:06:00 | https://www.kijukuu.co.tz/2018/09/kangi-lugola-mbona-wanaofariki.html |
kauli ya mshikaji wake samatta baada ya kuondoka krc genk leo habari online na elimtaa
habari online na elimtaa 2017 at 1208pm blogger ifttt june 24 uncategorized kauli ya mshikaji wake samatta baada ya kuondoka krc genk leo
kauli ya mshikaji wake samatta baada ya kuondoka krc genk leo
elimtaa tv 121700 pm 2017 at 1208pm blogger ifttt june 24 uncategorized
winga wa kimataifa wa uholanzi aliyekuwa anaichezea krc genk kwa mkopo akitokea fc basel ya uswiss jean boetius leo june 23 2017 ametangaza rasmi kuondoka na kurudi katika club yake ya feyenoord ya kwao uholanzi na atapata fursa ya kucheza champions league msimu ujao
boetius akifurahia na samatta baada ya kufunga goli
jean boetius anarudi kuichezea feyenoord ya kwao uholanzi ambao ndio mabingwa wa uholanzi baada ya kucheza krc genk ya ubelgiji ambayo pia inachezewa na mtanzania mbwana samatta feyenoord ndio timu iliyomlea boetius toka akiwa na umri wa miaka sita na mwaka 2015 ndio akaondoka kwenda fc basel na kudumu kwa misimu miwili
winga huyo ambaye yupo katika kikosi cha timu ya taifa ya uholanzi amerudi katika club hiyo baada ya kucheza krc genk kwa muda wa miezi sita toka ajiunge nayo mwezi january 2017 kutumia ukurasa wake wa instagram boetius ameandika home is where the hearts is akiwa na maana nyumbani ni sehemu ambayo moyo wako ulipo
from blogger http//ifttt/2s20enm | 2018-02-21T11:17:23 | http://eliabu.blogspot.com/2017/06/kauli-ya-mshikaji-wake-samatta-baada-ya.html |
kwa nini tumswalie mtume صلى الله عليه وآله وسلم | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /kwa nini tumswalie mtume صلى الله عليه وآله وسلم
kwa nini tumswalie mtume صلى الله عليه وآله وسلم
assalama aleykum
namshukuru alla kwa kutujaalia kuipata website yenye kutunyoosha juu ya dini yetu baraka za alla ziwaendee wote wenye kujihusisha na 'website hii' kila mmoja kwa kiwango apendacho allah
suali langu kwa leo ni hili
nini hekima ya kumswalia mtume nahangaishwa na mawazo yangu kwamba mtume ni mjumbe wa mnwenyeenzi mungu na ameshamtakasa na kila ovu na ameshamwahidi pepo yake kila zuri yeye ni kiongozi huko akhera ameshatakasika sasa kwa nini tunahitaji kumuombeaombea kila wakati na wengine hata hatuna kauli njema nini kumtajataja kipenzi cha allah nadhani sisi ndio tuko njia panda hatujijui tunahitaji kuombeana kila wakti
naomba mafahamisho juu ya hekima iliyopo
a h s a n t e
kauli yako uliyosema kuwa mtume صلى الله عليه وآله وسلم ameshatakaswa na maovu na ameshaahidiwa pepo na kadhalika na kwamba sisi ndio tunaohitaji kuombeana yote hayo ni kweli kabisa lakini bila shaka umetatizwa kufahamu hikma ya kumswalia mtume صلى الله عليه وآله وسلم hivyo in shaa allaah سبحانه وتعالى tutakufahamisha kwa kadiri tunavyoelewa na allaah سبحانه وتعالى anajua zaidi
kwanzaسبحانه وتعالى hatotuhitaji sisi tumuombee au tumswalie mtume صلى الله عليه وآله وسلم ikiwa sisi hatutopenda kufanya hivyo bali sisi ndiye wenye kumhitaji allaah سبحانه وتعالى kwa kutaraji neema zake na kutupa fadhila kama hizo za kumuombea na kumswalia mtume صلى الله عليه وآله وسلم kwa hiyo ikiwa tutampenda mtume صلى الله عليه وآله وسلم au hatumpendi vile vile mola wetu hatuhitajii sisi tumpende mtume wake kwani yeye mwenyewe pamoja malaika wake wanampenda na wamekwishatangulia kumswalia kabla ya kutuamrisha sisi
tutambue kuwa allaah
anasema allaah سبحانه وتعالى
((إِنَّ اللَّهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا))
((hakika allaah anamteremshia rehma mtume na malaika wake (wanamuombea du'aa kwa vitendo vizuri alivyovifanya) enyi mlioamini mswalieni (mtume muombeeni rehma) na muombeeni amani)) [alahzaab56] [alahzaab 56]
lakini kwa nini basi tumswalie mtume صلى الله عليه وآله وسلم jibu la swali hakika ni refu sana itaweza kuwa ni makala ndefu au kitabu kizima cha masalah haya lakini tutafupisha
1 kumtukuza mtume wa mwisho
kumswalia mtume صلى الله عليه وآله وسلم ni katika kumtukuza kwani yeye ndiye mtume wa mwisho na hii ni neema kwetu ummah wa kiislamu kujaaliwa sisi kuwa yeye ndiye mtume wetu na allaah سبحانه وتعالى ametuambia kuwa sisi ni ummah bora kabisa bila ya yeye tusingeliweza kupata uongofu kamili (quraan) na mafunzo ya sunnah ambayo yametutoa kizani na kutuingiza katika nuru
na ikiwa allaah سبحانه وتعالى mwenyewe amemtukuza kwa kumtofautisha na mitume mingine yote kwani wote amewaita kwa majina yao katika quraan isipokuwa mtume muhammad صلى الله عليه وآله وسلم pekee amemwita aidha 'ee nabii' ee mtume basi sisi kumswalia ndio mojawapo ya njia ya kumtukuza
2 ni ibada kwetu
kwa vile ni amri kutoka kwa mola wetu kama tulivyoona katika aya hiyo ya juu na ndio maana tunamswalia mpaka kwenye swalah zetu za fardhi na za sunnah bila ya kumswalia swalah haikamiliki
3 rahma kwetu kupata fadhila na thawabu zaidi
binaadamu kila siku ana makosa hata awe anafanya ibada vipi kwa hiyo ni neema kwetu kuzidishiwa fadhila kwa kutekeleza vitendo vya sunnah fulani ili kujiongezea thawabu na daraja ya pepo kwani hakuna mtu asiyependa ziada ya neema
fadhila ya kuswaliwa na allaah سبحانه وتعالى mara kumi
عنْ عبد اللَّه بن عمرو بن العاص ، رضي اللَّه عنْهُمَا أنَّهُ سمِع رسُول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقُولُ (( من صلَّى عليَّ صلاَةً ، صلَّى اللَّه علَيّهِ بِهَا عشْراً)) رواهُ مسلم
imetoka kwa 'abdullaah ibn 'amru ibn al'aasw رضي اللَّه عنْهُمَا kwamba kamsikia mtume صلى الله عليه وآله وسلم anasema ((atakayeniswalia swalah moja allaah atamswalia (atampa rahma zake) mara kumi)) [muslim]
maana ya swalah ya allaah سبحانه وتعالى na malaika wake
swalah ya allaah سبحانه وتعالى kwa waja wake ni rahma na kuwasifu kwa malaika
swalah ya malaika kwa waumini ni
du'aa na kuwaombea maghfirah
kupata daraja ya pepo karibu naye mtume صلى الله عليه وآله وسلم
عن ابن مسْعُودٍ رضي اللَّه عنْهُ أنَّ رسُول اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال (( أَوْلى النَّاسِ بي يوْمَ الْقِيامةِ أَكْثَرُهُم عَليَّ صلاةً)) رواه الترمذي وقال حديثٌ حسنٌ
imetoka kwa ibn mas'uud رضي اللَّه عنْهُ kwamba mtume صلى الله عليه وآله وسلم amesema ((watu wa mwanzo kwangu (watakaokuwa karibu yangu) siku ya qiyaamah ni wale wanaoniswalia sana)) [attirmidhy na kasema ni hadiythi hasan]
vile vile kumuombea du'aa mfano du'aa baada ya adhaan ni fadhila kwetu kuwa atakayefanya hivyo atakuwa miongoni mwa atakayeombewa shafaah na mtume صلى الله عليه وآله وسلم siku ya qiyaamah
4 kudhihirisha mapenzi yetu kwake
muumini ni yule mwenye kumpenda khaswa mtume صلى الله عليه وآله وسلم kabla ya kupenda chochote hata nafsi yake kwani ilipoteremka aayah hii
((النَّبِيُّ أَوْلَى بِالْمُؤْمِنِينَ مِنْ أَنفُسِهِمْ))
((nabii ni bora zaidi kwa waumini kuliko nafsi zao)) [alahzaab 6]
'umar رضي الله عنه alisema kuwa yeye anampenda mtume kuliko chochote ila nafsi yake mtume صلى الله عليه وآله وسلم akamuambia 'umar kuwa hadi ampende hata kuliko nafsi yake ndipo yatakapothibitika mapenzi yake naye 'umar akakubali kuwa anampenda kuliko hata nafsi yake kwa hiyo na sisi waumini tuwe na mapenzi makubwa ya kumpenda na dalili mojawapo ni kupenda kumswalia na kufuata aliyokuja nayo na kujiepusha na aliyotukataza nayo ya uzushi (bidah) na mengine
5 kumswalia kwetu ni thawabu alizokwishaahidiwa
allaah سبحانه وتعالى amekwishamuahidi mtume wake kuwa atapata malipo mengi yasiyokatika
((وَإِنَّ لَكَ لَأَجْرًا غَيْرَ مَمْنُونٍ))
((na kwa hakika wewe una malipo yasiyokatika)) [alqalam 3]
mbali ya kuwa ni malipo yake kwa sababu ya utume wake na kufikisha ujumbe kwa tabu na mashaka vile vile kumswalia kwetu kila siku katika swalah zetu kila mara na kuswaliwa na ummah mzima wa kiislamu tokea utume wake hadi siku qiyaamah ni mojawapo ya kuthibitisha kauli hiyo ya allaah سبحانه وتعالى
mwisho kama ulivyosema kuwa sisi ndio tuliokuwa njia panda na tunaohitaji kuombeana bila shaka tunahitaji kufanya hivyo na kwa hiyo pia kumswalia mtume صلى الله عليه وآله وسلم ni kutuzidishia uzito wa mizani zetu za mambo mema na kufanya nyepesi mizani za mambo maovu | 2020-01-22T22:26:49 | http://alhidaaya.com/sw/node/298 |
act 7 | `kmu | step | ala mono note hagote kava kanomoꞌa sitivenifena mage huno havige mani kema hugataya kea tamage nehao huno havige
sitiveniꞌa kanisole vayaꞌmogami amaufi kea huno falote humaine
1 ala mono note hagote kava kanomoꞌa sitivenifena mage huno havige mani kema hugataya kea tamage nehao huno havige 2 higeno sitiveniꞌa mage huno humaine nenafagatamaene naganaꞌnimogatamaene haviho taginagomoꞌa apalahamuꞌe yaufa halani kotega oꞌuno mesopotemia kotega mainegeno tokiya hale yamaꞌaene anumaya kotiꞌa apalahamute efalote humaineane 3 efalote huteno mage huno hapaiye kagaika mopakaꞌaene vayakamogamiꞌenena neꞌamataleka kavelisua mopalega vuo huno humaineane 4 higeno apalahamuꞌa anile kalatia vayaꞌmogami mopa neꞌataleno halani kotega umaineno anilega nefaꞌa falitegeno anumaya kotiꞌa eteno hutegeno tamakayama menima mainaya mopalela emaineane 5 emaineanagi anumaya kotiꞌa agaiꞌa atafa hisia mopa nago atupa kanoꞌa ani mopa nagoke aiya malesia mopa oꞌaminegi haenagaꞌa kamigahue ani mopa atafa hulinesanageꞌya kagaipiti falote hisaya nafaꞌneyagamoꞌya aligahae huno hianagi ani kanafina apalahamuꞌa namo kano maineane* 6 maineanagino anumaya kotiꞌa agaifena mage humaineane kagaikaꞌa kaginagomoꞌya isaleli nofiꞌma omainaya vayaꞌmogami mopale visageꞌya ani vayaꞌmoꞌya amatafa huꞌya aliꞌyatia aliho huꞌya tusi yate ali haviya humatesageꞌya ani mopalela fo hataletiꞌa (400) kafu maigahae* 7 maigahayanagi amatafama huꞌyama aliꞌyatima aliho huꞌya humainaya vayaꞌmogamina nagaya kaiyeke humateteꞌna aliꞌna haviya humatesugeꞌya kagai kaginagomoꞌya ani kotegatila eteꞌya ma mopale emaineꞌya nagai nagia alisaga hugahae huno humaineane 8 anumaya kotiꞌa mage huno humaine nagai anagaꞌma maisaya yafe hagelafita maisuna kavala nafaꞌnekamogamina amakoya anoꞌya taga huo huno higeno apalahamuꞌa aisakina nafaꞌneꞌa ateteno napa eitiꞌa (8) kana maiteno agoya anoꞌya taga humaineane haenagaꞌa aisakiꞌa nafaꞌneꞌa yekopuna ategeno yekopuꞌa haenagaꞌa tuelufuꞌa (12) nafaꞌneyaga tagai taginagomogamina amatene 9 ani yosefena nepuꞌamoꞌya yosefefe tusiꞌa amaipa kafa heteteꞌya avaleꞌya alu vayaꞌmogami neꞌamamiꞌya mone aligeꞌya isipi kotega avaleꞌya vayanagi anumaya kotiꞌa agaiꞌene maineno kanama haiya yana alitaleno kanale agu agesa amigeno isipi sauve kanoa felona aulagale hetigeno feloꞌa muse huno hagote kava kano maineka nagai noꞌyagaene mukiꞌa isipi kotega kava yagaigane huno hutene 11 hutetegeno mainegeno isipi kotegaene kenani kotegaene nagola tusiꞌa kafu haya kana efalote higeꞌya tototimogamina kaveꞌamia omalegeꞌya tusiya huno amakala lemainae 12 amakala legeno yekopuꞌa isipi koteꞌma kavela hanema huꞌya haya kea haviteno nafaꞌneyagaꞌa hagoteno humategeꞌya kaveꞌma hanelega umainae 13 haenagaꞌa eteꞌya anile vageno yosefeꞌa nagayae tamakanatamimoꞌna mainoe huno higeno feloꞌa yosefe afamofena havimaine 14 havitegeno yosefeꞌa nefafena yekopufeꞌene mukiꞌa anagaꞌa seveti faefuꞌa (75) anagaꞌaene ke higeꞌya isipi kotega umainageno yekopuꞌa anile faligeꞌya nafaꞌneyagaꞌaene tototimoꞌya falimainayane 16 faligeꞌya eteꞌya aliꞌya sekemu kumala apalahamuꞌa moneleti hamolo nafaꞌneyagamogami mopa miya higeno amigeno alimainea mopafi mo hevaitenae 17 anumaya kotiꞌa apalahamufema hulokiya vaimalenea kemoꞌa fatago huno efalote hisia kanamoꞌa aupa higeꞌya tagai taginagomoꞌya isipi kumatela falote huꞌya kasago humainageno alu sauve kanoa yosefefena oꞌagenea kanomo eteno sauvea alino humaineane 19 falote huno maineno tagai nofi vayala ayemavataga huno huhaviya huneꞌamateno nafaꞌneyagatamia hamaesunageꞌya faligahae huno tokiyaꞌage ke humaineane 20 higeno ani kanafina mosesena itaꞌamoꞌa atetegeno anumaya kotiꞌa haumainea nafaꞌnegino itaꞌamogani nefagania taliꞌa (3) ikana noꞌanifinaga kava huꞌana ataꞌageno mainaꞌe 21 kava huteteꞌana kumate atenaꞌageno felo munaꞌmoꞌa ani nafaꞌnea avaleno agaiꞌa nafaꞌne kana huno yagaimaine 22 yagaiteno avo nopi ategeno isipi vayaꞌmoꞌyama havilinaya yana mosesena huveligeno aliteno tusiya huno tokiyaꞌa haneteno kanale kea nehuno nehia kano maine 23 maineanagino fotiꞌa (40) kafu huteno mage hie isaleli vayaꞌnimogamina momakegahue huno agesa havimaine 24 haviteno mogeana nago isipi kote kanomoꞌa isaleli kanomona aikoneligeno moseseꞌa molineꞌataleno anonaꞌa ani isipi kote kanoa haegeno falimaine 25 faligeno moseseꞌa ma agesa havimaine vayaꞌnimoꞌya mage huꞌya hugahae anumaya kotiꞌa mosese ayapiti taugafa aligatigahie huꞌya hugahae huno agesa havianagi vayaꞌamoꞌya ani amakesa ohavinae 26 ohavigeno moseseꞌa faeteno mogeana tole isaleli kanolatana tu nehaꞌageno monaketeno molineꞌanataleno mage huno hie nenafugatanae tanakaya nagoke konagalata mainaꞌagi naꞌa higetana tua nehaꞌe huno hie 27 higeno anima tuma aepa henoꞌma aganaꞌamoma aikolia kanomoꞌa mosesena ayetunefeno mage huno hie kagaila tagaite kava kano maika kaiyeke fatago hu kano maiyo kea ta kahapaigeka aniꞌa nehane 28 kagayama egama isipi kanoma hayana kava huka nahaegahe nehano huno hie 29 higeno ani kema hia kehe moseseꞌa faleno mitiani kotega mo maineno ala aliteteno maineno haenagaꞌa tole ne nafaꞌnelata anatene 30 anilegama maiyana fotiꞌa (40) kafu maiteno moseseꞌa kaꞌme kotega sainai agoꞌyafi haino mainegeno nago osi yosalela ala ata anefela nelea yapiti nago ensole kanomoꞌa evaꞌyi higeno agemaine 31 ageteno amaꞌyo neꞌaino agelama hisue huno nehuno avate neꞌegeno anumayamoꞌa anileti age aino mage huno hie nagaya kaginagomogamina anumaya kotiꞌami mainoe apalahamuꞌagi aisakiꞌagi yekopugami anumaya kotiꞌami mainoe huno higeno moseseꞌa atali talu huteno ani yama nagoꞌene agesia yafena tusi koli huno oꞌagene 33 koli nehigeno anumayamoꞌa mage huno hie mamona alu aotage mopa nagaiꞌniꞌa mopagika kaiya anona asagika maletekao 34 nagayama nagai nofi vayaꞌma isipi nemaiya veaꞌnimogamina ali haviyama humataya kavala ago agemainoe avima atayana ago havimaineꞌna amaugafa aligatigahe emainogi kagaya eno isipi kotega hugategahue huno mosesefena hapaimainea ke huno sitiveniꞌa hamapaimaine
35 mani mosesefena nayona mage huꞌya humainae kagaila kava kano maineka kaiyekea ali fatago hugane huꞌya kea ta kahapaigeka aniꞌa nehane huꞌya amakaveꞌno hutenae anima amakaveꞌno hutaya kanomona osi yosaleꞌma vaꞌyima humainea ensole kanomoꞌa aya higeno anumaya kotiꞌa kava humateno amaugafama aligatisia yafe huteneane 36 hutegeno moseseꞌa isipi kotega umaineno ani kotegati amavaleno fotiꞌa (40) kafu isipi kumateꞌene haesa titeꞌene kaꞌme kotegaene kasagoꞌya tokiya avame yaꞌyaga humaineane 37 ani moseseꞌa isaleli veaꞌmogamife mage huno hamapaimaine anumaya kotiꞌa tamakai vayapiti nagayama huaꞌya huno aune laga hisia kanoa avaleno hetitegahie huno hamapaimaineane 38 ani moseseꞌa kaꞌme kotega maineno mono kema havigahema melitalu humainaya taginagomoꞌyaene maiteno sainai agoꞌyafi haitegeno nago ensole kanomoꞌa evaꞌyi huno anumaya kotina tahaimuꞌma lamisia mono kea mosesena hapaigeno moseseꞌa taginagomogamina hamapaimaineane
39 hamapaimainegi taginagomoꞌya mosese kea akave omalegahune huꞌya amakaveꞌno huteteꞌya isipi kotega eteꞌya visaya amakesa nehaviꞌya elonife mage huꞌya humainae kategama lavaleno visia yana anumaya kotitima maisia yana talo hulato moseseꞌa isipi kotegatiꞌma lavalenoꞌma emainea kanoa hanatepi vigeta noꞌagone huꞌya humainae 41 mani kea huteꞌya nagola pulamakamo nafaꞌnea amayateti talo humaleteꞌya anumaya kotitia ma maine huꞌya anima amayatetiꞌma talo humalaya yafena tusiꞌa muse huꞌya afua heꞌya kaeteꞌya aliꞌya mominae 42 ani kavaꞌma haya yafena anumaya kotiꞌa akaveꞌno humateteno amatalegeꞌya yagema kaꞌnefiꞌma ikama naꞌa yama hanea yate anumayati mainae huꞌya muse nehuꞌya amakuꞌa amitafa huꞌya ani yaꞌayagamogami amaki alisaga humainaya yafe anumaya kotina aune vayaꞌmoꞌya kaemalenaya autaꞌmafina mage huꞌya humainae tamakaya isaleli nofi veaꞌmogatama fotiꞌa (40) kafu kaꞌme kotega umainetama pulamakaene sipi sipiene hetama kae salaꞌmana humainayanagi nagaifena muse hutama mani kavala nehafi alu kanomofe musena nehae 43 tamaꞌa omalenea anumayamona agiꞌa molekifena tusiꞌa muse hutama agai agi alisaga hisaya nona kitetama alitama utama tamaꞌa omalenea anumayamona agia lefanifena tusiꞌa muse hutama kaꞌnefi kana yana talo hutama ani augafa yaꞌyagale musena hutama tamakula amitafa hutama amakia alisaga nehae naꞌama haya yafe kame vayaꞌmoꞌya humatesugetama kotamilegatila tamavaleꞌya papiloni kola agasetama ame kaiyaga umaigahae huno humaineane
44 taginagomoꞌya kaꞌme kotegama mainagenoꞌa anumaya kotiꞌa ma kava huka talo huo hunoꞌma mosesena huvelimainea kavala huno mono nona kenaleti talo humaleteno kimalenegeno anumaya kotiꞌa ani nopi eno amakaiꞌene me lokaeno kelamage kea hamapaimaineane 45 haenagaꞌa moseseꞌa falitegeꞌya taginagomoꞌya ani yuguletiꞌma kimalenaya mono nona aliꞌya yosuaꞌene yuta vea omainaya veaꞌnene tua huteꞌya mopaꞌamia alimainae anumaya kotiꞌa taginagomogami amaulagafima isaleli nofiꞌma omainaya veaꞌmoꞌya ani mopaletila amanatigeꞌya ani yuguletiꞌma kimalenaya mono nona aliꞌya ani mopafi eꞌya me malageno anile hanegeno tevitiꞌa falote humaineane 46 anumaya kotiꞌa tevitina kanaleꞌya huno haꞌmaegeno tevitiꞌa mage humainene yekopu anumaya kotiga kanale nona kigatesue huno hianagi ani nona okinegi haenagaꞌa nafaꞌneꞌamoꞌa solomoni ani nona kimaleneane 48 kianagi analeꞌma mainea anumaya kotiꞌa veaꞌmoꞌya amayatetiꞌma kimalenaya nopina nomaiye naꞌama humainea yafena nagola anumaya koti aune kanomoꞌa mage huno humaineane
49 anumaya kotiꞌa mage hie ikapinaga nagaiꞌniꞌa kava yagaisua siaꞌnia hanegi maifaluma hisua yafe naiya maleꞌna maisua yana mopa hanegi hana augafa no kinategahae hana kumate maisue nagaya mukiꞌa yana ikapinagama hanea yaꞌene ma mopaleꞌma hanea yaꞌene talo humalenoe huno humaine huno humaineane
51 tamakaya kea ohavi veaꞌne mainetama tamaku tamakesafinaga anumaya koti kea ohavigahune hutama alu aotage avamuꞌmona tamakaveꞌno hutetetama tamakinagomoꞌya nehaya kavaꞌage nehae 52 tamakinagomoꞌya mukiꞌa anumaya kotina amaune vayaꞌamogamina ali haviya humatenae kanale fatago kanoa egahie huꞌya amaune vayaꞌmogamina tamakinagomoꞌya ago hamayageꞌya falimainayanagi tamakaya ani kanale fatago kanomona ago agesi hutama hayageno falimaine 53 ensole vayaꞌmoꞌya ayaꞌamoꞌya kahegi kea ago tamahapaiyanagi tamakaya tamage hutama akavela nomalae mani kea sitiveniꞌa huno humaine
sitivenina yafa kaꞌyoteti hayageno falimaine
54 higeꞌya anileꞌma mainaya veaꞌmoꞌya sitiveniꞌma hia kemona haviteꞌya amaipamoꞌa tusi amakata aiteno hamaivaigeꞌya amavaya mumu mama humainae 55 naꞌa nehageno sitiveni agupina alu aotage avamuꞌmoꞌa hiya higeno ikapinaga aulu heno ageana anumaya kotina tokiya hale yamaꞌaene yisasiꞌa kotina tamaga ayatega hetimainegeno agemaine 56 ageteno mage huno hie agegeho nagaya agoana ikamoꞌa ago aihalegeno ikapinagati emainea kanoa vayaꞌmo atenea kanomoꞌa anumaya kotina tamaga ayatega hetimainegeꞌna nagaya neꞌagoe huno hie
57 huno hianagi melitaluma humainaya veaꞌmoꞌya agai kea ohavisaya yafe amayateti amakesa ailineleꞌya ala kenake nehuꞌya tusiꞌa ke neꞌvaiꞌya aikoligahe motafa humainae 58 motafa huꞌya avayu huꞌya kumategati malaga hagaꞌyu hutaleneꞌya yafa kaꞌyoteti hagaꞌyu huꞌya aikoneliꞌya fatago kava nehune huꞌya hisaya yafe siotaꞌamia asagiꞌya kava kanoa solo* aiyafi momalenae 59 maleteꞌya yafa kaꞌyoteti aikoneligeno sitiveniꞌa anumayamotega havigeno mage huno hie anumayaniꞌamoga yisasigae nagu namemaꞌa kagai kayapi nemaloe huno humaine 60 mani kea nehuno aleꞌya ayeno ala kegefafiti anumayamotega mage huno hie anumayamogae mama kefo kavaꞌma nehaya yaꞌamimona anonaꞌamia huoꞌamato huno nehuno anile falimaine | 2019-05-19T16:32:34 | https://www.stepbible.org/?q=version=%60KMU%7Creference=Acts.7 |
bungeni 'rufiji tuna muingiliano wa jinai unaofanywa na wafugaji' mchengerwa millardayocom
february 9 2017 wabunge walikuwa wakichangia maoni kwenye kamati ya kudumu ya bunge ya ardhi maliasili na utalii pamoja na kamati ya kilimo mifugo na maji
kati ya waliuopata nafasi ya kusimama ni mbunge wa rufiji mohamed mchengerwa yeye aliguswa na kuendelea kwa matukio ya mauji ya wakulima na wafugaji yanayoendelea katika baadhi ya maeneo nchini ikiwemo jimboni kwake rufiji
nimesikitishwa sana na taarifa hii ya kamati ambayo imeshindwa kuomna kuwa mgogoro wa wakulima na wafugaji ni mkubwa ambao unahitaji serikali kuingili akati na haraka hiki ni kilio cha wakulima wote nchini lakini iweje serikali ishindwe kuutatua mohamed mchengerwa
amani ya nchi tuliyoachiwa na baba wa taifa inakwenda kupotea kwasababu ya wakulima na wafugaji nimelisema hili wa muda mrefu sana na naambo bunge litambue kuwa rufiji hatuna mgogoro wa ardhi bali mwingiliano wa jinai unaofanywa na wafugaji katika maeneo ya wakulima mohamed mchengerwa
tatizo hili ni kubwa na mwezi wa kumi na moja watu wawili wameuawa kwa mkulima alichinjwa na mfugaji alichomwa moto akiwa hai lakini ajabu hakuna kiongozi wa serikali jata mmoja alifika katika maeneo husika ili kuweza kuondoa mgogoro huu mkubwa mohamed mchengerwa
unaweza kuendelea kumsikiliza mbunge mchengerwa kwenye hii video hapa chini
bungeni maswali na majibu ya february 9 2017 related itemsayo tvbungenihabari daily
← previous story video mambo mawili ya mbunge zitto kabwe bungeni leo next story → ayotv magazeti dakika 45 za mtikisiko bungeni jinsi rais magufuli alivyodanganywa soma na hizi | 2017-02-19T21:02:00 | http://millardayo.com/nge110/ |
katika kipindi chetu cha patanisho na gidi na ghost bwana mmoja jina lake john alifunguka na kusema kuwa anaomba asaidiwe kumrejesha mke wake nyumbani kwa sababu watoto wao wanateseka
jamaa huyu na mke wakemama fortune walikutana miaka 9 iliyopita na kati ya miaka hizobinti huyu wamekosana na mume wake zaidi ya mara 11 na amaeenda kwao mara 11
kila wakati yeye hurudi kwao wakikosana
hata hivyomwanamke huyu alipopigiwa simu alisema kuwa si yeye alifunga virago vyake na kuenda bali ni mume wake alimfurusha
walipoulizwa kisa na maaana cha kumwambia mke wake hivyo jamaa huyu alisema walikuwa wamekosana baada ya kumpa mke wake pesa za kuanza biashara ya samaki lakini alipoitishwa pesa za samaki zile na samakiwakawa na vurugu na mume wake akaamua kumfukuza
aliniambia ati samaki zangu ziko na dawa ati nimemwekea dawa na hawezi kula samaki hiziati ata watoto wake hawawezi kula samki nimeletamama fortune alisema
watu wawili akiwemo mwanafunzi wauwawa na majambazi busia
zaidi ya hayo ilionekana wazi kuwa ni mume huyu ambaye alikuwa na misukosuko kwani mume wake alianza kusema ni mambo yepi mume huyu amemfanyia na amini usiamini wengi walisikitika kwani mume huyu amemfanyia makuu
mke wake alisema kuwabwana john alimshikia panga siku moja na mara kwa mara huwa anamtishia maisha kila wanapo kosana
aidhabwana john huwa anamfuria sana mke wake na ata kukataa kula chake akidai kuwa anawekewa sumu
vilevilebwana huyu alimtusi baba yake msichana ambaye ni mhubiri kuwa yeye huwa anaiba sadaka ya waumini wake
alitusi baba yangu na kusema ati yeye ni mwizi ati huwa anaiba sadaka mke wake john alisema
licha ya hayo baada ya mazungumzo mke wake john aliulizwa kama anaweza rudi kwake lakini akasema hawezi labda mpaka mume wake aende kwao akiwa pamoja na ndugu zake waombe msamaha na iwapo wazazi wake watakubali basi atarudi kwa mume wake
bwana john aliposikia alichosema mke wake alisema basi ni heri alee watoto wake mwenyewe kwani hawezi enda kwa kina msichana kwa sababu baba yake alimuonya na kumwambia asiende nyumbani kule
basi kama ni hivyosi heri nikae pekee yangu nilee watoto wangu kwa sababu baba ya huyu msichana nilimpigia na amesema nisirudi kwakehawanitaki hukojohn alisema
hata hivyo mke wake john alisema kuwa baba yake hakusema kitu kama hicho na kuwa ni yeye mwenyewe alisema hatarudi nyumbani
daahyalikuwa magumu leo na wakati wa patanisho ulipoishagidi alimuomba bwana john aseme maneno ya mwisho na john kusema kuwa yeye harudi nyumbani na kama bibi huyu hatakubali kurudi nyumbani basi yeye haendi kumchukua
mama fortune nayealikaza kamba na kusema kuwa iwapo mume wake anataka arudi nyumbani ni lazima mume wake afunge safari na kuenda mpaka kwao
je mambo ya hawa wawili yatakuaje
photo credits amon mghanga
aendelee kuvumilia itabidi tu avumilie dinah katika mawasiliano ya simu na gidi
patanishobwana akosana na shemejije nani atamsaidia kuremjesha mke wake
patanisho ni upuzi tu mume afunguka kuhusu kuwa na mpango wa kando
posted in featured on homepage slider latest newstagged gidi na ghost patanisho
iaaf kukataa ushindi wa eliud kipchoge ghost na gidi watoa tamko | 2020-04-08T14:01:28 | https://radiojambo.co.ke/patanisho-samaki-tu-mke-afukuzwa-na-mume-wake-kwa-sababu-ya-samaki/ |
picha 20 kutoka kwenye birthday party ya diamond platnumz millardayocom
picha 20 kutoka kwenye birthday party ya diamond platnumz
usiku wa october 2 2017 ilifanyika party ya birthday ya mwimbaji staa wa bongofleva na boss wa wcb diamond platnumz katika hotel ya hyatt dar esa salaam ambapo mastaa kibao wa filamu muziki na mitindo walialikwa
party ya diamond iliyofanyika kwenye boti (yatch) dsm
house party ya diamond alivyoimba hallelujah na love u die
related itemsdiamond platnumzpichaz
← previous story video shangwe la mr blue fiesta kigoma
next story → idris sultan kamkasirisha hamisa mobeto ni kuhusu baba abdul | 2019-09-15T19:59:36 | http://millardayo.com/vxhey6/ |
waziri mkuu majaliwa mgeni rasmi maonesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi jiachie waziri mkuu majaliwa mgeni rasmi maonesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi jiachie
home > taarifa mbalimbali > waziri mkuu majaliwa mgeni rasmi maonesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi
waziri mkuu majaliwa mgeni rasmi maonesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi
item reviewed waziri mkuu majaliwa mgeni rasmi maonesho ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2018-07-19T03:23:45 | http://michuzijr.blogspot.com/2017/04/waziri-mkuu-majaliwa-mgeni-rasmi.html |
spd na mtihani mkubwa baada ya uchaguzi mkuu | matukio ya kisiasa | dw | 27092013
spd na mtihani mkubwa baada ya uchaguzi mkuu
kizungumkuti cha spd kama washiriki katika serikali ya muungano au wakalie viti vya upande wa upinzani njia zote hizo mbili zina hatari na mashaka yake
mgombea aliyeshindwa wa chama cha spd peer steinbrück(kushoto) na mwenyekiti wa chama hicho sigmar gabriel
wajerumani wameshapiga kuralakini suala nani wataunda serikali bado halijajibiwavyama vya social democratic spd na walinzi wa mazingira die grüne vinasita sita kujiunga na serikali ya muungano itakayoongozwa na angela merkelvinahofia visije vikakabwa kisiasa na natija zote kumuendeya kanselandio maana wawakilishi zaidi ya 200 wa chama cha spd wanakutana mjini berlin kuzungumzia uwezekano wa kujiunga au la na serikali ya muungano pamoja na vyama ndugu vya kihafidhina vya christian democratic unioncdu na christian social union csu
wanasocial democratic wameondolewa patupu katika uchaguzi mkuuwamejikingia asili mia mbili na nusu tu za kura ziada ikilinganishwa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2009 na kwa namna hiyo hawajalifikia lengo walilokuwa wamejiwekeahata hivyo wanabidi washirikiane na vyama ndugu vya kihafidhina vilivyojipatia nguvu zaidi vya christian democratic unioncdu na christian social unioncsuhivyo ndivyowapigakura wengi wa ujerumanikwa mujibu wa utafiti wa maoni ya ummawanavyopendeleaserikali ya mwisho ya muungano kama huo wa vyama vikuu kati ya mwaka 2005 hadi 2009iliyoongozwa na kansela angela merkel inaangaliwa na wajerumani wengi kuwa ilifanaspd lakini hawakufaidika na chochotekatika uchaguzi mkuu mwaka 2009 walishindwa vibaya sanampaka leo hawajafanikiwa kujitakasa na mkosi huo
nembo ya muunganonyeusi inamaanisha vyama ndugu vya kihafidhina cdu/csunyekundu inamaanisha chama cha spd na kijaniwalinzi wa mazingira die grüne
spd hamkani
hiyo ndio sababu kwanini miito ya kuundwa serikali ya muungano wa vyama vikuu inakisumbuwa vibaya sana chama hichowanasocial democratic wanahofia wasije wakakabwa na maguvu ya cdu/csu na hatimae kutowekawanahofia wasifikwe na yaliyokifika chama cha kiliberali cha fdp ambacho katika uchaguzi mkuu wa september 22 iliyopitahawajafanikiwa hata kukiuka kiunzi cha asili mia tano kuweza kuwakilishwa bungeni mjini berlinhofu kama hizo zimeenea pia katika shina la chama hicho cha spdkatika matawi ya chama hicho tangu majimboni mpaka katika miji sauti zinapazwa kutaka spd ikalie viti vya upinzani bungeniwanahoji spd ikishiriki katika serikali ya muungano pamoja na vyama ndugu vya cdu/csuhaitaweza kutekeleza sera zake
wanachama wa spd mbele ya makao makuu ya chama chao mjini berlin
wanachama wa spd wanataka wapatiwe usemi
hoja hizo zinatolewa pia na baadhi ya vigogo wa chama hicho mfano wa waziri mkuu wa jimbo la north rhine westfalia bibi hannelore kraft
ndio maana wakuu wa spd wanakutana kwa kongamano maalum mjini berlin kuzungumzia kama wajiunge au la na serikali ya muungano itakayoongozwa na kansela angela merkel
mwenyekiti wa chama cha spd sigmar gabriel anahisibibi merkel anabidi atamke ujerumani anataka kuipeleka wapimalengo yake ni yepiyuko tayari kuafikiana kuhusu kitu ganina mie nnaamini hawezi kukwepa wajib huo
kama vyama ndugu vya kihafidhina cdu/csu vitaridhia masharti yote yanayotolewa na spd hakuna anaeamini hakuna pia anaeamini kama wanachama wa spd wakiulizwa maoni yao kama chama chao kijiunge na serikali ya muungano wa vyama vikuu watakubali sauti zinapazwa kudai wanachama wa spd waulizwe maoni yao kuhusiana na matokeo ya kongamano linalofanyika leo hii mjini berlin
mwandishimarx bettina(dw berlin)/hamidou oummilkheir
tarehe 27092013
mada zinazohusiana ujerumani christian democratic union (cdu) uchaguzi bonn martin schulz uchaguzi ujerumani 2017 mkutano wa usalama munich helmut kohl bundeswehr jeshi la ujerumani bundeswehr
maneno muhimu spd ujerumani cdu/csu uchaguzi serikali
kiungo http//pdwcom/p/19pmu
merkel mazungumzo ya kuunda serikali ni magumu 04022018
kansela wa ujerumani angela merkel amesema haijulikani ni lini wataweza kuyamaliza mazungumzo ya kuunda serikali mpya ya mseto kati ya vyama vya kihafidhina cdu/csu na spd | 2018-02-20T03:02:32 | http://www.dw.com/sw/spd-na-mtihani-mkubwa-baada-ya-uchaguzi-mkuu/a-17118752 |
kivulini yakutana na wadau kujadili matokeo ya utafiti kuhusu haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto habari na matukio
home habari na matukio habari za kijamii kivulini yakutana na wadau kujadili matokeo ya utafiti kuhusu haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto
kivulini yakutana na wadau kujadili matokeo ya utafiti kuhusu haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto
kajunason at december 03 2019 habari na matukio habari za kijamii
mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya shinyanga hoja mahiba akizungumza wakati wa kufungua kikao cha kujadili matokeo yaliyopatikana kutokana na utafiti mdogo uliofanywa na shirika la kivulini kuhusu upatikanaji wa haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wilaya ya shinyanga leo jumanne desemba 32019 katika ukumbi wa zamani wa halmashauri ya wilaya ya shinyanga picha zote na kadama malunde malunde 1 blog
mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya shinyanga hoja mahiba alilishukuru shirika la kivulini kwa kufanya utafiti kwenye halmashauri hiyo huku akibainisha kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia hususani kwa watoto bado ni kubwa katika halmashauri ya wilaya ya shinyangaalisema ili kukomesha vitendo hivyo ni jukumu la kila mmoja kushiriki kupiga vitendo vitendo vya ukatili katika jamii
afisa tathmini na ufuatiliaji kutoka shirika la kivulinigodfrey paschal akiwasilisha taarifa matokeo yaliyopatikana kutokana na utafiti mdogo uliofanywa na shirika la kivulini kuhusu upatikanaji wa haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wilaya ya shinyanga alisema wamefanya utafiti katika kata tatu za halmashauri ya wilaya ya shinyanga ambazo ni nsalalanyida na itwangi na kwa upande wa halmashauri ya wilaya ya kishapuutafiti umefanyika katika kata za kishaputalagalaganauchungaukenyenge na shagihilu
afisa tathmini na ufuatiliaji kutoka shirika la kivulinigodfrey paschal alisema kivulini ilifanya utafiti mdogo kwa wanajamii na watoa huduma mbalimbali kujua kwanini wahanga wengi wa ukatili hawatoi taarifa pale wanapofanyiwa ukatili na kuna changamoto gani zinawakumba ambapo baadhi ya matokeo yaliyopatikana ni wanajamii wengi wanapenda kutoa taarifa za matukio ya ukatili wa kijinsia kwa wenyeviti wa vitongoji wenyeviti wa vijiji na wanamabadiliko kuliko kwa watoa huduma wenginepia ujuzi na uwezo wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji wa kusuluhisha kesi ni mdogo sana godfrey paschal pia alieleza kuwa kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara mahakamani wakati wananchi wanatumia rasilimali zao nyingi kwenda kwenye kesi mara kwa mara na polisi kuchukua muda mrefu kufanya uchunguzi/upelelezi kwenye kesi hususani kesi za mimba mpaka mtuhumiwa wa kesi anakimbia imekuwa ni changamoto kubwa
mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya shinyangahoja mahiba akiongoza mjadala namna ya kumaliza vitendo vya ukatili wa kijinsia hususani matukio ya mimba na ndoa za utotoni
afisa tathmini na ufuatiliaji kutoka shirika la kivulinigodfrey paschal akichokoza mada wakati wa mjadala namna ya kumaliza vitendo vya ukatili wa kijinsia hususani matukio ya mimba na ndoa za utotoni
mratibu wa mradi wa kusaidia utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa kuzuia ukatili dhidi ya wanawake na watoto mkoa wa shinyanga unaotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la women fund tanzania (wft) glory mbia akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia
makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya shinyanga ambaye ni diwani wa kata ya iselamagazi isack sengerema akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia ambapo alipendekeza wanafunzi wanaopewa mimba nao washughulikiwe badala ya kuwafunga jela wanaume wanaowapa mimba wanafunzi pekee
mwakilishi wa kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga claude kanyorota kutoka kitengo cha polisi na jamii alishauri wenyeviti wa serikali za mitaa wapewe elimu ya kuhamasisha kuelekeza wananchi kupeleka kesi za ubakaji kwenye vyombo vya dolaaliwasisitiza wananchi kutoa taarifa pindi wanapobaini kuwepo kwa dalili ama vitendo vya ukatili wa kijinsia
diwani wa kata ya nyidaseleman segeleti akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia
mchungaji ibrahim robert kutoka kanisa la cct shilabela kata ya pandagichiza akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia
diwani wa kata ya itwangi sonya mhela akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia
mwakilishi wa bakwata halmashauri ya wilaya ya shinyangahemed rashid akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia
mzee wa mila kutoka kijiji cha welezo kata ya nsalala kapaya sosoma akiwasisitiza wasukuma kuacha tabia ya uoga kupeleka kwenye vyombo vya dola kesi zinazohusu matukio ya ukatili wa kijinsia
afisa maendeleo ya jamii mkoa wa shinyanga ngwale tedson akichangia hoja wakati wa mjadala wa namna ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia
afisa ustawi wa jamii halmashauri ya wilaya ya shinyanga elizabeth mweyo akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (mtakuwwa) katika halmashauri hiyo
mkaguzi msaidizi wa polisi kutoka dawati la jinsia na watoto mkoa wa shinyangavictoria maro akitoa taarifa ya dawati la jinsia na watoto mkoa wa shinyanga juu ya matukio ya ukatili wa kijinsia alisema makosa yanayoripotiwa mara kwa mara katika ofisi za dawati ni kubakakulawitikutelekeza familia na mashambulio
afisa elimu kata ya nyidamartin kingu akiwasilisha taarifa ya matukio ya ukatili wa kijinsia ikiwemo mimba za wanafunzi kwenye kata ya nyida
afisa elimu kata ya nsalalailioza kakusa akiwasilisha taarifa ya matukio ya ukatili wa kijinsia ikiwemo mimba za wanafunzi kwenye kata ya nsalala
picha zote na kadama malunde malunde 1 blog
imeelezwa kuwa kuahirishwa kwa kesi za ukatili wa kijinsia hususani mimba za utotoni mara kwa mara mahakamani na idadi ndogo ya kesi zilizofika mahakamani na kufanikiwa imewafanya wananchi waone hakuna haja ya kupeleka kesi kwa vyombo vya sheria matokeo yake matukio ya ukatili kuendelea kuwepo katika jamii
hayo yamesemwa na afisa tathmini na ufuatiliaji kutoka shirika la kivulinigodfrey paschal leo jumatatu desemba 32019 kwenye kikao cha wadau wakati akiwasilisha taarifa matokeo yaliyopatikana kutokana na utafiti mdogo uliofanywa na shirika la kivulini kuhusu upatikanaji wa haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wilaya ya shinyanga ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia
alisema kutokana na utafiti mdogo walioufanya katika wilaya ya shinyanga na kishapu wamebaini kuwa changamoto hizo zinazopatikana mahakamani zinawafanya wananchi wakati tamaa wakati wanatumia rasilimali zao nyingi kwenda kwenye kesi mara kwa mara ambazo mwisho wake hauwanufaishi
alisema kitendo cha polisi kuchukua muda mrefu kufanya uchunguzi/upelelezi kwenye kesi hususani kesi za mimba za utotoni mpaka mtuhumiwa wa kesi anakimbia bado ni changamoto
tumebaini pia kuwa wanawake wengi hawatoi taarifa kwa sababu ya kuogopa kuachwa na mume wake na kuwaacha watoto wake wakiteseka lakini pia kwa taratibu na utamaduni wa wasukuma hawapendi kutoa taarifa/ kumshtaki mume kwa watoa huduma kama maafisa ustawi polisi na mahakama badala yake wanataka kesi iishie ngazi ya familia tualieleza paschal
paschal alitumia fursa hiyo kuwataka wananchi kutoa taarifa za matukio ya ukatili wa kijinsia kutokana na kwamba wanajamii wengi wamekuwa wakitoa taarifa tu pale wanaposhindwa kuelewana wao kwa wao hususani kwenye kesi za mimba
aidha alisema pamoja na kuwepo ongezeko la kuripotiwa kwa kesi lakini bado kesi nyingi za mimba za utotoni haziripotiwi
afisa huyo wa aliwataka wadau kwa kushirikiana na serikali kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kutoa taarifa mapema ndani ya masaa 72 na kuacha kumaliza kesi nyingi na kutengeneza sheria ndogo ndogo zitakazo wasaidia wanajamii watoe taarifa mapema au kuacha ukatili kabisa
kwa upande wake mgeni rasmi katika kikao hichomkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya shinyangahoja mahiba alisema ukatili dhidi ya wanawake na watoto bado lipo katika halmashauri yake hivyo kuwataka wadau na jamii kwa ujumla kushiriki kutokomeza vitendo hivyo
nawapongeza kivulini kwa kufanya utafiti huu naomba kila mmoja ashiriki kwa nafasi yake katika kupiga vita ukatili wa kijinsiakila mtu ana familia yakeasimame katika nafasi yake ili jamii iwe salama kwani vitendo vya ukatili vinaathiri maendeleo ya taifaalisema mahiba
kikao hicho cha kuwasilisha taarifa matokeo yaliyopatikana kutokana na utafiti mdogo uliofanywa na shirika la kivulini kuhusu upatikanaji wa haki kwa wahanga wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wilaya ya shinyanga umefanyika katika ukumbi wa zamani wa halmashauri ya wilaya ya shinyanga na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa haki za wanawake na watoto
washiriki wa kikao hicho wametumia fursa hiyo kujadili mikakati mbalimbali ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia huku washiriki wakisisitiza zaidi suala la elimu kwa wananchi kuachana na vitendo vya ukatili na kutunga sheria ndogo ili kukomesha ukatili katika jamii | 2020-02-22T10:38:36 | http://www.kajunason.com/2019/12/kivulini-yakutana-na-wadau-kujadili.html |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.