text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
kijiji cha nanjilinji a chatoa ruzuku kwa wa mama wajawazito | jestina george
home / uncategories / kijiji cha nanjilinji a chatoa ruzuku kwa wa mama wajawazito
kijiji cha nanjilinji a chatoa ruzuku kwa wa mama wajawazito
uhifadhi wa msitu katika kijiji cha nanjirinji a wilayani kilwa mkoani lindi umeendelea kuwanufaisha wananchi wakazi wa kijiji hicho baada ya kuanza kuwapatia ruzuku akina mama wajawazito wanaoishi katika kijiji hicho | 2019-04-25T16:38:06 | http://www.jestina-george.com/2016/01/kijiji-cha-nanjilinji-chatoa-ruzuku-kwa.html |
eti hii ni kwa nini | jamiiforums | the home of great thinkers
eti hii ni kwa nini
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by shukuru may 20 2008
nilikuwa na mpenzi wangu kipingi cha nyuma na tulifikia kuamua kufunga ndoa na nilikuwa katika mipango ya kupeleka posa ila tuliachana kwa sababu fulani fulani nilijaribu kuurudisha uhusianai karibu mara tatu ila naona kama siwezi kuwa na huyu mtu tena ila tatizo ni kuwa kwa nini kila ninapopata rafiki mwingine tukiwa pamoja japo kwa mazungumzo tu huwa najiwa na mawazo sana juu ya huyu wa mwanzo na najikuta naconclude kuwa huyu mtu wa sasa hanifai na hii ni kama mara tatu inanitokea yaaani kwa watu watatu tofauti tofauti imenitokea sasa ni kwa nini hii memory inatokea na mara nyingi huanza na jina lake kisha husema irreplaceable niambieni ninyi wata'alam wa huu ukumbi au mi bwege then nifanyeje
inaonekana uamuzi wa kuachana aliufanya huyo bibi tatizo lako si kubwa inaoneka huwezi kukubali kuwa huyo bibi wa kwanza amekuacha get past it man and forge ahead
nilikuwa na mpenzi wangu kipingi cha nyuma na tulifikia kuamua kufunga ndoa na nilikuwa katika mipango ya kupeleka posa ila tuliachana kwa sababu fulani fulani nilijaribu kuurudisha uhusianai karibu mara tatu ila naona kama siwezi kuwa na huyu mtu tena ila tatizo ni kuwa kwa nini kila ninapopata rafiki mwingine tukiwa pamoja japo kwa mazungumzo tu huwa najiwa na mawazo sana juu ya huyu wa mwanzo na najikuta naconclude kuwa huyu mtu wa sasa hanifai na hii ni kama mara tatu inanitokea yaaani kwa watu watatu tofauti tofauti imenitokea sasa ni kwa nini hii memory inatokea na mara nyingi huanza na jina lake kisha husema irreplaceable niambieni ninyi wata'alam wa huu ukumbi au mi bwege then nifanyejeclick to expand
unaweza kufafanua zaidi kuna vipengele vimemiss
sure there we can start commenting about what you need from usjust examplereasonsetc
nilikuwa na mpenzi wangu kipingi cha nyuma na tulifikia kuamua kufunga ndoa na nilikuwa katika mipango ya kupeleka posa ila tuliachana kwa sababu fulani fulani nilijaribu kuurudisha uhusianai karibu mara tatu ila naona kama siwezi kuwa na huyu mtu tenaclick to expand
kwanini huwezi kuwa nae tena kuna kasoro gani zisizorekebishika kasoro hizo ni zake zako au zenu
ila tatizo ni kuwa kwa nini kila ninapopata rafiki mwingine tukiwa pamoja japo kwa mazungumzo tu huwa najiwa na mawazo sana juu ya huyu wa mwanzo na najikuta naconclude kuwa huyu mtu wa sasa hanifai na hii ni kama mara tatu inanitokea yaaani kwa watu watatu tofauti tofauti imenitokeaclick to expand
naona kama huwa unawalinganisha eeh na huwa unatumia kigezo gani kuwalinganisha hao wapya na huyo wa zamani hicho kipimo unachotumia kina uzani wa haki kweli ndugu yangu
kwa maoni yangu nakushauri jipe muda tu kwanza kabla ya kuanzisha uhusiano mpya wa mapenzi jipangie vigezo gani unataka kwa mpenzi wako mpya ila ujue si vigezo vyote vitakamilika kila mwanadamu ana mapungufu yake kama nawe ulivyo na mapungufu yako ili muweze kuishi pamoja inabidi kila mmoja wenu ayakubali mapungufu ya mwenziwe na yawezekanayo kurekebishwa myajadili na kuyarekebisha kadri ya matakwa ya maisha yenu
sijui mimi nina kasoro gani ila mi niachoona ni kuwa yeye yuko kama hayuko serious na maneno yake maana yeye haachi kusema kuwa mimi ndio mtu anyenithamini na ndio mtu anayeoona kuwa nimebeba maisha yake hata iweje tena kuna muda anasema kuwa anaweza kupata mwanamume mwingine ila hajui kama anaweza kupata mtu kama mimi ila mambo yake si kama maneno yake yaani haweki basis for what she said in real life she live in
nashukuru na ushauri wako mkuu nitajitahidi nitulie kwa muda kabla ya kuazisha uhusiano mwingine ila tatizo ni kuwa naona kama nazidi kumpoteza au vitu gani naweza measure ili kujua kweli aliyokuwa akisema ni kweli na sahihi je inawezekana mtu akatengeneza mazingira ya kuitwa mama mwema kwangu kisha asiwe mwema real mi maisha yangu si ya hali ya juu hata kidogo na nikisema kuwa alikuwa na mimi kwa ajili ya pesa zangu si kweli kwani huwa hana tabia ta kuniomba pesa na huwa ananielewa mimi na hata familia yangu je ni nini hasa huenda anakitaka kwangu je umri unaweza kuwa tatizo kwa sasa ana miaka 18
1 ni hivim kaka sababu kuu hapo ni kama nilivyoeleza hapo juu ila pia kuna issue moja ambayo inanibidi niiweke wazi kwa kifupi mama yangui naona kama hakufurahishwa na proposal ya kufunga ndoa na huyu binti na kitu hicho huyu dada alikiona mwenyewe na kilimsononesha sana sasa sijui ni sababu ya yeye kutokuwa serious tena au vipi 2 baada ya kimya fulani kupita huwa najaribu kumwita na kumweleza namna gani yeye ni muhimu kwangu ila yeye huwa ananijibu kama hapo juu kuwa mimi ndio mimi ila baada ya muda mchache tu anaweza asionekane wala kupatikana hewani na ni mpaka hapo atakapoamua yeye kunipigia
3 naona siwezi kuwa naye maana nahisi maisha yetu huenda yakawa ya namna hiyo yaani she is not consistence
inaonekana uamuzi wa kuachana aliufanya huyo bibi tatizo lako si kubwa inaoneka huwezi kukubali kuwa huyo bibi wa kwanza amekuacha get past it man and forge aheadclick to expand
ok bro but sometimes hard
but okey i have to forge it real and how can i do this
sijuhi kama umewahi kusikia watu wakiongelea mafiga matatu katika mapenzi/ndoabasi kinagaubaga mafiga matatu hutumika kuinjika chungu kikakaa bila kuteteleaka na mambo yakakwivailikuwa ikitumika kumuelezea mwanamke mtu sifa tatu za kuchagua mwanaume au mwanaume anazotakiwa kuwa nazo ili apate tulia na ndoa ikawa bila kashfalakini sifa hizo zote mwanamume kuwanazo zote kwa pamoja imekuwa more theoretical than reality
ila kwa ufupi na jumla ya maneno figa la kwanza ni
1must be good in bed yaani ulizishe mwenzi wako kimapenzi(hadithi ndefu)
figa la pili ni
uwe presentable & careaweze kutambulisha au kujivunia mbele ya wenzake huyu ndio mpenzi/mume wanguna ku match wasifu wa ndani hasa interest
figa la tatu must be financial fituwe na pesa kiasi wanawake wana matumizi na pesa hata ktk kujiremba na anasa nyinginezo(si wote majority)pia hupenda kuangalia familia yake kwa hiyo akihitaji support wewe ndio wa karibuwanahitaji kinacho itwa security si kwamba pesa tu kwa sababu ya anasa
basi ktk mafiga matatu chungu hutulia juu yake
kwa kuwa si rahisi kukuta asilimia kubwa ya sisi vidume/wanaume kuwa na sifa zote hizohapo ndipo matatizo huanziandipo version mpya ya kukamilisha mafiga matatu ikapatikana ya kuwa ndio unampenda mwanaume ila hana kipato cha rav4 vidani vya kumwaganyumba bomba nk sasa hutafuata/hushauriwa tafuta wa ku cover hivyo
ama ndio ana pesa na yuko presentable ila unalalamika hufiki kilele tafuta kidume cha kukukuna vyemaama inafikia kipindi interst hazi match basi bwana kwa kifupi mahusiano ya kimapenzi ni magumu yako complex ikasi kwamba unashindwa ku guess tatizo ni ninimaana tafiti zinaonyeshwa pia binadam tunapenda kujaribu taste mpya bila kujali ile tuliyonayo ni taamu kiasi gani
hapa ndio hata wale wenye sifa zote huwa na matatizo ktkt mapenzi pia inawa mtu huweza kujirudi na kuona you're the best kwake ila ndio hivyo doa limeingia na bad memory ndio inatusumbua binadam ukikumbuka usaliti
sasa wewe hujaweka wazi kwa nini mlikatisha uhusiano inakuwa ngumu kukushauri kunachokumbuka kwake ni chema uwe naye au hakitakuwaidia zaidi ya kuletea madhara achana nacho focus kwingine na njinsi gani ya kusonga mbele
huyo wa 18 tatizo ni kuwa ame compare na ku contrast vya kutosha ni juu yako kumuangalia kuwa anaamini na kujua anachoamua
mwaga more data we need more sign and symptom kutibu tatizo
mwaga more data we need more sign and symptom kutibu tatizoclick to expand
kaka siwezi sema kuwa kama hizo sifa ninazo au sina ila yeye ndiye jaji wa hilo na sijui kama yele maneno ni kweli kuwa she made me the real of her life in such i can speak for her
the exactly reasons for such break ni lack of consistence communication mean he create to me hapo mwanzo aliweza kuwa na number moja na nilijaribu kumnunulia simu karibu mara tatu dukani ila baada ya muda utasikia simu imetapeliwa au nimeibiwa yaani it sometimes hurt me not to be able to prove things which i guess to her na juzi march nilimnunulia simu nyingiene baada ya kukutana naye mara ya mwisho nikaona huenda nikaweza kuwasiliana naye muda wote ila huwezi amini toka nimnunulie hiyo simu aliyoitaka yeye mwenyewe hakuwahi kunipigia simu hadi leo ila maneno yake ya mwisho ni kuwa eti ile simu feki nikamwambia ok maana naona kama ananichanganya sasa wewe mazingira kama hayo unayachukuliaje na ni kwa nini namwona mwema on the other side while i can not prove what i guess to her cuz i think she fool on me but i always see her as wealth to me cuz she have all character of good wife yaani she has that na hili ndio tatizo ambalo naliona maana kila ninapomuangalia mtu mwingine yaani hata ile ongea yake tu na labda attitude yake towards ndugu zangu au hata majirani ni tatizoi ila kwa yeye nilimuona yupo too wise to them and in short she can keeo house
or is not mine for god
huyu binti hakupendi kwa namna wewe unavyompenda
juzi march nilimnunulia simu nyingiene baada ya kukutana naye mara ya mwisho nikaona huenda nikaweza kuwasiliana naye muda wote ila huwezi amini toka nimnunulie hiyo simu aliyoitaka yeye mwenyewe hakuwahi kunipigia simu hadi leo ila maneno yake ya mwisho ni kuwa eti ile simu feki nikamwambia ok maana naona kama ananichanganya sasa wewe mazingira kama hayo unayachukuliajeclick to expand
kwenye mapenzi wanawake wanazungumza lugha usiyoijua huyu binti anakufunza hiyo lugha
maana yeye haachi kusema kuwa mimi ndio mtu anyenithamini na ndio mtu anayeoona kuwa nimebeba maisha yake hata iweje tena kuna muda anasema kuwa anaweza kupata mwanamume mwingine ila hajui kama anaweza kupata mtu kama mimiclick to expand
anakupenda kwa namna ya tofauti yaani kama kaka na dada vile na amekuonea huruma sana hata amefikia kiasi cha kukutamkia
au niseme kukutafunia
hii kwako ni hatua ambayo wanaume wengi tumepitia she could be too good for you ila kama nimekosea soma post ya haika niliyoiweka hapo chini ili baadae ufanye maamuzi sahihi
vitu gani naweza measure ili kujua kweli aliyokuwa akisema ni kweli na sahihi
yaani it sometimes hurt me not to be able to prove things which i guess to herclick to expand
post ya haika golden rules for finding your life partner and maintaining by dov heller ma
wakati unaisoma chukua kalamu na karatasi andika list ya mambo ambayo unaona mwenzio hakutendei haki litakalokupa tabu washirikishe watu walio karibu nanyi (wewe na huyo binti) ukipenda tushirikishe wana jf hata hivyo you need to trust your instincts uwezo wa kufanya uamuzi sahihi unao
ni muhimu ukaelewa vizuri kilichomo kwenye hiyo post ya haika lugha ikikusumbua tafuta msaada hapa jf watu wapo kibao
wakati mmeachana na wewe ukifukuzia mabinti wengine yeye hakuwa ameanza uhusiano na mtu mwingine
shukuru pole na yotenafikiri mimi nimekuwa mtu mzima sasa na naona sighn zote ambazo siziaccept kwakweli mfano upotevu wa simu na kutokupigia simu bila sababu yoyoteetckuna kitu kinalack hapo between her and youna hamko serious hata kidogona muwe makini sana na magonjwa maana kila mtu hapo navyomjudge ni kama analipiza kwa mwenziobado hujachelewa mchukue mahali patulivu mwelezee nia yako na yeye akwambie anachohitaji toka kwako mrekebishe yote ambayo yanawaletea tabunaamini kuanzia hapo mtaendelea mbeleinavyoonekana bado unampenda ila naye inabidi abadilike kidogona mgrow up kama mko seriousjamanipole lakini na yote
dah i thank all jf members for all your kindness to my problem though nilihope kuwa ni kero kwenu but i realize that jf is real ukumbi wa jamii brother lazydog naipitia hii post ya haika then i will reply anything from there relate to the relationship with this girl
naam kwa umri wake (miaka 18) sikushauri kujipa pingu ya maisha
ndugu yangu heartbreakers ndizo zitazokujenga uwe stronger katika maamuzi yako siku za usoni maamuzi magumu kama kuachana na mpenzi uliyempenda lakini hakufai kwa tabia zake ni mojawapo ya maamuzi magumu lakini yana faida kwako usikubali kuwa mtumwa wa mapenzi utataabika sana maishani dalili njema zinaonekana tangia asubuhi hizo dalili uzionazo sasa ndio tabia ya mtu huenda hata ukiwa naye ndani ya nyumba maudhi hayo na labda zaidi ya hayo yatakuwa vitu vya kawaida mapenzi sio upofu ila ni wewe mwenyewe unapoamua kutokuona shukuru mungu umeyaona na mapema usidharau hizo warning signs uzionazo sasazina maana yake maishani mwako
kila la heri katika maamuzi yako
kila la heri katika maamuzi yakoclick to expand
ebwana thanks sana kaka hope your advice will be useful to me thanks sana i real have to follow your adviceand i pray so that god will guide me to have someone of my happness
mwache asome bana kama anasoma mbona mtoto mdogo sana labda nyumbani kwao hawezi kuwa na uhuru wa kupiga simu au akikupigia labda kaiba simu ya mama yake kama unampenda kweri utamsubiri na hutamuwekea vikwazo kwamba ooh kwa nini hadi yeye akupigie kwa nini huwezi kumpigia au ni wewe umenunua simu yake na bado hataki umpigie inawezekana huyo ndio best choice na hutopata kama huyo anaonekana ana msimamo wa aina fulani hivi na ndio maana humpati kirahisi kama hasomi hapo tena itakuwa stori nyingi jaribu kuangaria pengine wazazi wake ni wakri na ndio wanaomfanya ashindwe kuwasiriana na wewe kama unavyotaka
yaani i can feel you brotherinaonekani kuwa binti unampenda na alikuwa na sifa nzuri ila kulingana na maelezo anabadilika ama alikuwa aki pretend muda wote sasa anajifunua tabia yake cause you can't pretend forever
kipindi hichi ndicho kigumu kwako kufanya maamuzi mazito kwako kwa maana inaonekana binti unampenda na tabia inayojitokeza si njema kwa kifupi inaonyesha ana cheat /dating na mtu fulani ambapo watu huonyesha kuplease sana mwanamke siku za mwanzoni na wewe huku kama mlikuwa na misunderstanding huonekana kero kubwa kwa mwanamke
sasa ni juu yako kuangalia kuwa kama ni mtu ambaye kweli unaweza kupigania penzi lake na kurekebisha mambo yaliyopelekea hilo kutokea ni kiwa na maana kama kweli unaona anakupenda kihalisi (set criteria to prove) basi rudisha pendo mahala pake maana nawe wampenda
ila kama unaona ya kwamba she'll never repent hata badili tabia yake (set criteria to prove) basi ujapo mpenda kiasi ganiujapo mkumbuka kiasi gani kaa nae mbali ingawa utapata taabu za kumkumbuka kwa muda ila utakuwa ume save future yako maana utakuja umia mara dufu siku za mbeleni kwa kuwa the more you love the more the pain you 'll get when things get wrong
so its all on youits up to you to make a decision haya matatizo watu wengi sana tumepata sasa usione taabu kurudiana na mtu ambaye unaona ndoa ita work na usione taabu kuachana na unayempenda sana kama unaona ndoa haita work hata yeye akisema anakupenda sanait involves critical thinking and tough decision
takecare brother
mwache asome bana kama anasoma mbona mtoto mdogo sana labda nyumbani kwao hawezi kuwa na uhuru wa kupiga simu au akikupigia labda kaiba simu ya mama yake kama unampenda kweri utamsubiri na hutamuwekea vikwazo kwamba ooh kwa nini hadi yeye akupigie kwa nini huwezi kumpigia au ni wewe umenunua simu yake na bado hataki umpigie inawezekana huyo ndio best choice na hutopata kama huyo anaonekana ana msimamo wa aina fulani hivi na ndio maana humpati kirahisi kama hasomi hapo tena itakuwa stori nyingi jaribu kuangaria pengine wazazi wake ni wakri na ndio wanaomfanya ashindwe kuwasiriana na wewe kama unavyotakaclick to expand
nashukuru sana kaka for your advice ila kama nilieleza hapo juu ni kuwa nilifikia kutaka kupeleka posa so ni mtu ambaye hata wazazi wake wanifahamu kuwa mimi ni nini kwake na mbaya zaidi ni kuwa alipoanza kutoeleweka eleweka ndio hapo alianza kuishi na namba tofauti tofauti za simu yaani akikupigia simu na namba fulani leo basi kuanzia kesho yake hiyo namba haitapatikana tena na ndio hapo nasema kuwa ni mpaka yeye aamue kukupigia
ila nashukuru kaka kwa ushauri wako kwani mpaka sasa kutokana na advices mnazonipa najiona kama siko peke yangu na kidoga naanza napata mwangaza
thanks sana kaka for your kindess on what your see in this
mkubwa shukuru mnunulie simu na sim card kabisa uone kama ataendelea kubadirisha badirisha hapo ndipo utakapojua mbichi na mbivu ira kama anasoma uwe unampigia usiku tu iri kumpa uhuru wa kujisomea kwa ufanisi zaidi all the best penzi la kweli hariji tu rinatafutwa hivyo usichike kutafuta
mkubwa shukuru mnunulie simu na sim card kabisa uone kama ataendelea kubadirisha badirisha hapo ndipo utakapojua mbichi na mbivu ira kama anasoma uwe unampigia usiku tu iri kumpa uhuru wa kujisomea kwa ufanisi zaidi all the best penzi la kweli hariji tu rinatafutwa hivyo usichike kutafutaclick to expand
nilifanya hivyo kaka kwa sim ya kwanza ila baadae sijui hata iliishia wapi ila naamini kuwa huenda ni kweli labda alikuwa akipretend as brother mutu said but i fail to underestand how much effort she does in pretending while sioni chochote ambacho alikuwa akikipata kwangu for such big time pretending ila ngoja nitaeleza kitu fulani hapa chini | 2017-01-17T21:54:49 | https://www.jamiiforums.com/threads/eti-hii-ni-kwa-nini.13543/ |
#dadapumzishamwiliwako instagram photos and videos | webstagram
#dadapumzishamwiliwako
#bongelaseller
#hakeembandia
#tallwaajabu
#ukwelihaujifichi
#hatufikimbali
#mrsimplelife
#theemperorandtheempress
huu wimbo unazidi kunishangaza kadri siku zinavyokwendategemea makubwa kutoka kwenye wimbo huu ie #dadapumzishamwiliwako #dadapumzishamwiliwako bofya link hapo kwenye bio yangu kudownload kama bado hujapata nafasi ya kuusikiliza so far it's still number one song on @mdundomusictz charts yaani the most downloaded song currently #videocomingsoonlink hii 👉👉http//mdundocom/song/85965#tagdunianzima
857 17 9w ago share
with the musical goons and tycoons tag them if u know them sasa unaweza kudownload #dadapumzishamwiliwako link ya blue kwenye profile yangu instagram @nikkimbishi @nikkimbishi 👉https//wwwwasaficom/audiodetailaudio_id=378
4610 41 12w ago share
dear leads kama umechoshwa na text za majamaa huko inbox kila ukijitahd kuwakataza hawakuelewi ukimblock huyu mwingine anakujakabla hujaanza kuja kutuambia huku basi fuata hizi hatua zitakusaidia1 ingia room kwako2 vua wigitoa weavetoa na kope bandia3 ingia bafuni4 safisha sura kwa maji jikaushe vizuri kwa taulo5 chukua simu6 piga picha7 usitumie app yoyote ku edit 8 upload fb kama ilivyo9 iweke profile picture yakonow they will see wewe wa asiliproblem solvedukisumbuliwa tenanipo tayari kukusikilza#dadapumzishamwiliwako
569 61 12w ago share
at wasafi place signing the contact for online music sales #dadapumzishamwiliwako will be exclusively available on @wasafidotcom
1687 46 12w ago share
habari sasa unaweza kudownload #dadapumzishamwiliwako link ya blue kwenye profile yangu instagram @nikkimbishi @nikkimbishi 👉https//wwwwasaficom/audiodetailaudio_id=378
1115 27 11w ago share
sare sare maua #dadapumzishamwiliwako
2841 21 12w ago share
record video clip yako ukiimba au kusikiliza #dadapumzishamwiliwako nami nitairepost sasa unaweza kudownload #dadapumzishamwiliwako link ya blue kwenye profile yangu instagram @nikkimbishi @nikkimbishi 👉https//wwwwasaficom/audiodetailaudio_id=378
record video clip yako ukiimba au kusikiliza #dadapumzishamwiliwako nami nitairepost sasa unaweza kudownload #dadapumzishamwiliwako link ya blue kwenye profile yangu instagram @nikkimbishi @nikkimbishi 👉https//wwwwasaficom/audiodetailaudio_id=378dressed by @jose_hustler
2009 13 12w ago share
#tagwadada waliokuwa warembo na rangi asilia za ngozi zao na leo wamekuwa kama #vinyagohongera #pipi kwa kujitambuayou are beautiful still hookdada pumzisha mwili wakojionee huruma hata kidogo(dogo)/cancer itakutafuna muscles dressing table full mikorogo(rogo)/uso mirinda miguu pepsi/ukitembea unaringa unajiona sexy/mwili wako ni hekalu la roho mtakatifu/nawapenda msijenge bifu/verse 1hili wazo limekaa kichokozi/si juzi juzi tu hapa ulikuwa kikojozi/siku hizi kwa madanga umekuwa kiongozi/hizo pozi usoni ka kinyago vipodozi/matako ya sindano za kichina mashindano/ndio napenda chura hapo sina mabishano/kama huna huna usikufuru mungu/ona sasa yametuna na yamekaa kama vyungu/hips moja kama nundu na nyingine kama rungu/macho ka una seli mundu kwa kupaka wanja kungu/nani kawachuza mnapendeza/mmesahau kifo kisa mnauza majeneza/sisemi msipake vipodozi/pakeni vya asili msipate magonjwa ya ngozi/mbona fresh hata mafuta ya nazi/hayo ya sweet fella ni kutafuta maradhi/mwili uwe biskuti uanze kumomony'oka/umri wa makamo bado mashavu yameporomoka/kuwachambua ni habari za saida/ona sasa ulivyoungua una mistari ka tiger/verse 2umetoka nyumbani unang'ara kama fedha/mapicha umepost na hiyo tecno wereva/hatua chache mbele usoni mamichirizi/miksa mavipele vidoti ka sisimizi/mchanganyiko wa make up na jasho/aisee bora ferry hii kweli sio mipasho/sipendi rangi fake hata kidogo/sikuzimii hata uwe una shape ya kimodo/jeki za matiti vigodoro makalio/lips ka mazombi yanaimba mapambio/mnaboa ile kichizi na mkiniona msiniguse/nipeni hi kwa mbali iwe peace ama deuces/najua wapo watakao chukia/kwa kuwa nawafungua sumu mnazo wauzia/ukiwa mweusi kama carolright/bado mrembo sio lazima carolight/hamshtuki kuwa mnaoza masista/mnaonekana majambazi over mashifta/jipende dada pumzisha mwili wako/kabla kifo hakijavujisha siri zako/#dadapumzishamwiliwako#dadapumzishamwiliwako#dadapumzishamwiliwako#dadapumzishamwiliwakoby @nikkimbishi 2017
2665 57 15w ago share
no 1 #dadapumzishamwiliwako by @nikkimbishi #mdundotop20countdown #mdundomusic #getmdundotz
usijali kile wanafikiria maana watu wengi hawafikirii🔥🔥gt my #word#dadapumzishamwiliwako#tupiliakule #sijachukia🔥🔥
#nikkimbishi aka jogoo#zohan#babu bomba#doctor unju#black street negro#mr dream merchant#freestylemaster#zwangendaba#mkulya#mi kwa mtazamo wangu naweza sema huyu jamaa kwa hapa bongo ndie msanii bora wa hip hop achilia mbali ushabiki nilionao kwa nikki mbishi mwaweza sema natafuta kiki au nampendelea ila mi nasema kile nahisi ni sawa kutokana na moyo wangu na akili yangukwa muziki anaofanya nikki mbishi kwa kuzingatia ubora na misingi ya hip hop hakuna aliweza kuzani angeweza kukaza na kufika hapo aliponikki just keep on doing tupo tunao kupenda na kukusikiliza piastay strong and positive blood#dadapumzishamwiliwako
penda sana huyu#dadapumzishamwiliwako
#ramadhankareem & #jumaakareem #jumaamubarak #hijab for #starakwa mwanamke mtambuzi na mwenye kujitambua ni dhahiri hawezi kuweka wazi maungo yake kwa asilimia kubwa#dadapumzishamwiliwako#happybirthdayjoe#happybirthdayjoekusaga #vyumavimekaza#hakeembandia #blacklikeme #tallwaajabu #bongelaseller #hakeem3678 #hatufikimbalitukidisss #hakeembandia
ujumbe mzuri kwa akidada wasiopenda uhalisia wa mwili wao #dadapumzishamwiliwako @nikkimbishi available on wasafi app download this song on wasafi app #wasafidotcom #wherethehitsbelong
578 1 6w ago share
that's why #unju #god_shall_make_it_possible bofya link hapo tuendelee kuwaumiza namba yetu ni moja since day #uno#zohan #dadapumzishamwiliwako #dadapumzishamwiliwako #dadapumzishamwiliwako #dadapumzishamwiliwako mawe kama haya local radio stations huyasikiiyenyewe huwa yanabang masafa marefu tu
877 15 6w ago share
sisters 🌹#kibongewangu😜
586 8 8w ago share
anatafuta kazi ↑☆njoo dm nkupe code zake #dadapumzishamwiliwako #hakeembandia#mrsimplelife#muhayawakisumu#vyumavimekaza#hatufikimbali tukidiss#ukwelihaujifichi#tallwaajabu#bongelaseller#blacklikeme @adamchomvu
a moment to reminisce #theemperorandtheempress#dadapumzishamwiliwako
3076 24 8w ago share
#happybirthday to you @official_kayrowl #makunja mrs @nikkimbishi much★●■○ love◇☆ to☆☆ you ♧♧☆☆★★ #hatufikimbali tukidiss#ukwelihaujifichi#tallwaajabu#bongelaseller#hakeembandia#mrsimplelife#blacklikeme#bongelaseller#kiaschamboga#dadapumzishamwiliwako → ☆#sammagoli ★#imsorryjk
вιиα∂αмυ ωα ιиѕтgяαм ωσтє ωєυρє ila ωαzαzι ωєυѕιiiiiiiii😁😁😁😁😁😁😁😁 #dadapumzishamwiliwako
the face i make when i come across a bleached skin byatch #dadapumzishamwiliwako link kwenye bio
3199 23 10w ago share | 2017-07-25T01:48:27 | https://web.stagram.com/tag/dadapumzishamwiliwako |
richarlison aitwa timu ya taifa brazil dar24
6 months ago comments off on richarlison aitwa timu ya taifa brazil
kocha mkuu wa timu ya taifa ya brazil adenor leonardo bacchi (tite) amemuita mshambuliaji wa klabu ya everton richarlison de andrade kwa ajili ya michezo ya kimataifa ya kirafiki itakayochezwa mwanzoni mwa mwezi septemba dhidi ya marekani na el salvador
richarlison mwenye umri wa miaka 21 ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa kuchukua nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya fluminense pedro guilherme abreu dos santos ambaye alipata majeraha ya goti wakati wa mchezo wa ligi ya brazil mwishoni mwa juma lililopita dhidi ya cruzeiro walioibuka na ushidni wa mabao 21
mshambuliaji huyo wa zamani wa klabu ya watford tayari ameshafunga mabao matatu katika michezo mitatu ya ligi ya england msimu huu akiwa na everton lakini kwenye mchezo wa mwishoni mwa juma lililopita dhidi ya bournemouth uliomalizika kwa sare ya mabao 22 aliadhibiwa kwa kuonyeshwa kadi nyekundu
brazil watacheza michezo hiyo ya kimataifa ya kirafiki kwa mara ya kwanza baada ya kutupwa nje ya fainali za kombe la dunia katika hatua ya robo fainli kwa kufungwa na ubelgiji mwezi julai mwaka huu
jose mourinho ajitetea kwa hasira
brazil wataanza kucheza dhidi ya marekani mjini new jersey septemba 7 na siku nne baadae watapambana na el salvador mjini maryland (marekani)
bunge la iran lamkaba koo hassan rouhani
michezo 14 hours ago comments off on baada ya kushushiwa kipigo kutoka kwa simba yanga na azam fc kushuka dimbani tena
habari/maisha/michezo 3 days ago comments off on video rais trump adata na danadana za mwanamke mtanzania afunguka
michezo 4 days ago comments off on video tabasamu la anthony joshua lamkera miller nusura wazichape
habari/michezo 7 days ago comments off on baada ya kipigo kutoka kwa simba yanga yasubiri adhabu kutoka tff | 2019-02-23T23:43:50 | http://dar24.com/richarlison-aitwa-timu-ya-taifa-brazil/ |
kijiografia
ambao kevin je & tyler
njia msaada
kutuma books
kutuma barua
kupambana aeta
juni 1 2017 katikaupdates
kevin has spent the last year in a halfway house following almost three years in prison and today he was released he still has two years of probation left but is excited for this new stage of freedom from kevin i cannot sufficiently express my joy today my time operating via direct action for animals has come to an end soma zaidi →
tyler iliyotolewa kutoka nyumba halfway kufanywa na muda wa majaribio
machi 22 2017 katikaupdates
mwaka mmoja uliopita tyler lang was sentenced to three months time served miezi sita jela nyumbani miezi sita katika nyumba halfway na mwaka wa kutolewa inasimamiwa pamoja na ukombozi leo yeye ilitolewa kutoka nusu ya nyumba na muda wake wa kutolewa inasimamiwa kumalizika tyler alihukumiwa chini ya sheria ya wanyama enterprise ugaidi kwa kumkomboa 2000 mink from soma zaidi →
septemba 21 2016 katikaupdates
reposted from the center for constitutional rights for those cheering ccrs challenge to the aeta lets challenge our own comfort by kevin johnson three years ago my friend tyler and i crept onto a squalid and cramped fur farm in northern illinois and released two thousand mink from their cages to save their lives approximately a year later a man soma zaidi →
pakiti mahakama oral hoja katika changamoto aeta
septemba 18 2016 katikaupdates
from the center for constitutional rights pakiti mahakama oral argument in activist terrorism case date jumatano septemba 21 2016 900am location mkondoni court of appeals for the seventh circuit main courtroom room 2721 chicago il 60604 tafadhali kujiunga na ccr jumatano septemba 21 katika 9 am (cst) in chicago for oral arguments in us v johnson an appeal from soma zaidi →
video new kuhusu tyler
august 22 2016 katikaupdates
← wakubwa posts
tafadhali changia sasa
kusaidia kevin na tyler kama wanaendelea kukabiliwa na madai chini ya wanyama enterprise ugaidi michango zinahitajika kwa ada ya kisheria na kevin ya commissary mfuko
hivi karibuni updates
hakinakili © 2015 haki zote zimehifadhiwa
the arcade mandhari na bavotasancom | 2017-12-15T06:31:14 | http://supportkevinandtyler.com/category/updates/?lang=sw |
mapokezi ya serengeti boys leo dar es salaam bin zubeiry sports online mapokezi ya serengeti boys leo dar es salaam bin zubeiry sports online
mwanzo > serengeti boys > mapokezi ya serengeti boys leo dar es salaam
kiungo wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 abdul hamisi suleiman akionyesha tuzo yake ya mchezaji bora wa mechi kwenye fainali za u17 afrika nchini gabon baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (jnia) dar es salaam leo abdul alishinda mechi hiyo katika mechi ya kundi b dhidi ya angola mei 18 mwaka huu serengeti boys wakishinda 21 uwanja wa l'amitiee mjini libreville huku yeye akifunga bao la ushindi
waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dk harrison mwakyembe (katikati) akiwa na abdul suleiman (kulia) na beki wa serengeti boys dickson job
waziri mwakyembe akiwalaki makocha wa serengeti boys bakari nyundo shime (katikati) na msaidizi wake oscar milambo
waziri mwakyembe akizungumzakwenye hafla fupi ya mapokezi ya vijana hao jnia
wachezaji wa serengeti boys katika picha ya pamoja na viongozi
princezub@hotmailcom bin zubeiry sports online at 0714 wednesday may 24 2017
item reviewed mapokezi ya serengeti boys leo dar es salaam rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2019-01-21T02:17:31 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/05/mapokezi-ya-serengeti-boys-leo-dar-es.html |
mtibwa sugar yaitandika singida united 10 manungu mechi ya ligi kuu bara leo bin zubeiry sports online mtibwa sugar yaitandika singida united 10 manungu mechi ya ligi kuu bara leo bin zubeiry sports online
mwanzo > singida united > mtibwa sugar yaitandika singida united 10 manungu mechi ya ligi kuu bara leo
yanga sc inaendelea kuongoza ligi kuu kwa pointi zake 67 ikifuatiwa na azam fc yenye pointi 56 baada ya wote kucheza mechi 27 wakati mabingwa watetezi simba sc wanashika nafasi ya tatu kwa pointi zao 51 za mechi 20
princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 tuesday march 12 2019
item reviewed mtibwa sugar yaitandika singida united 10 manungu mechi ya ligi kuu bara leo rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-05-28T07:16:27 | http://www.binzubeiry.co.tz/2019/03/mtibwa-sugar-yaitandika-singida-united.html |
mwl mndeme wimbi la phd za heshima tanzania utoposhwaji uliofumbiwa macho
» mwl mndeme wimbi la phd za heshima tanzania utoposhwaji uliofumbiwa macho
katika miaka ya karibuni tanzania imejikuta ni mhanga mkubwa wa kinachoitwa kutunuku shahada (degree) za phd za heshima (honorary doctorate degree) kama nitakavyoonesha hapo baadaye utoaji wa shahada za heshima si jambo geni katika vyuo vikuu duniani na hata vyuo vikuu vya hapa kwetu vimekua vikuwapa watu heshima hiyo kwa miaka mingi baba wa taifa mwalimu nyerere alitunukiwa shahada za heshima na vyuo kadhaa duniani miaka ya nyuma kabla ya uchakachuaji wa heshima hizi kushika kasi watu waliopewa phd za heshima na vyuo vikuu walifanyiwa hivyo baada ya mchakato makini na ilikua nadra sana watu kuhoji zoezi na sababu za kutunukiwa kwao hata hivyo katika miaka ya karibuni shahada hizi za heshima zimebadili kabisa mwelekeo wake kwani badala ya kutolewa na vyuo vikuu baada ya kufanya tafiti na kutazama vigezo walivyojiwekea kwa sasa zimegeuzwa kuwa biashara kwanza kumeibuka vyuo vikuu uchwara duniani ambavyo biashara yao kuu ni kuuza shahada za heshima vyuo hivi hufuata watu kwenye jamii na kuwashawishi kwamba wanafaa kupewa heshima hiyo na hivyo kutakiwa kupitia mchakato wao uchwara ili wapewe heshima malengo ya kuwafuata watu hawa yanasukumwa na kutafuta fedha kupitia malipo toka kwa wanaotunukiwa heshima hizo au kuwafuata watu wenye utajiri mkubwa na mtandao (connections) unaoweza kuvisaidia vyuo hivyo kupata misaada na umaarufu pili kumeibuka wimbi kubwa la watu kwenye jamii kutafuta vyuo vikuu uchwara na kuwaomba/kuwashawishi wawape shahada za heshima kwa kupitia mgongo wa kuvisaidia vyuo hivyo kwa namna moja au nyingine au kununua shahda ya heshima hiyo kwa fedha
biashara ya shahada za heshima ilianza kupamba moto miaka ya 2000 mwanzoni na kasi kubwa kuongezeka ndani ya miaka kama 15 hivi iliyopita mwanzoni wanasiasa ndio walikua mstari wa mbele kutafuta heshima hizi za kubahatisha kwani ilionekana kuitwa dr ukwasi jipu au dr mtakamali za kiiipu ni kujijenga kisiasa na kujionesha kuwa msomi katika jamii bila kujali udokta huo unaendana na kujua kitu gani wanasiasa hawa walijua umuhim wa elimu katika kupata nafasi za kisiasa katika jamii lakini hawakua na uwezo na motisha ya kukomaa kutafuta elimu katika mchakato stahiki na hivyo kutafuta namna nyepesi ya kutokea baada ya jamii kuona wanasiasa wanafaidika na udokta uchwara unaopigiwa kelele na kulazimisha kutambuliwa hata kuliko wale walioutesekea darasani watu wengi wakaanza kuutafuta miongoni mwa makundi makubwa yaliyoathirika na biashara hii ni wafanya biashara na viongozi wa baadhi ya madhehebu ya kikristo wapakwa mafuta hawa wamegundua kwamba mafuta waliyonayo ya kuitwa mtumishi mchungaji mwimbaji askofu nabii mtume na majina mengine hayatoshi kuwapa heshima mamlaka na vitisho vya kutosha juu ya wanaowangoza na jamii kwa ujumla mbadala wake imekua ni kutafuta shahada za juu za heshima ili kunogesha vyeo vyao unajua tena ina nguvu na mamlaka zaidi kuitwa mchungaji na mtume wa karne ya 23 dr mm ukulinganisha na kuitwa mchungaji mm bila vikorombwezo vingine udokta unaongeza utukufu na mvuto
wale wote waliopata nafasi ya kusoma vyuo vikuu vinavyoheshimu elimu na maadili ya taaluma wanajua kwamba kupata shahada (degree) yoyote ile sio kazi rahisi ni zoezi gumu lenye changamoto nyingi na linalohitaji kujitoa kupambana kuvumilia kujituma na hata kupoteza baadhi ya fursa (opportunities) zingine za kimaisha (kama fedha kazi biashara nk) kipindi ambacho unapambana kusoma kwa wastani shahada ya kwanza ni safari ya miaka kuanzia mitatu hadi sita kulingana na kile mtu anachosomea na mtindo wa kusoma (parttime or fulltime) unapoamua kutafuta shahada ya pili (uzamili) ni uamuzi wa kutafuta ujuzi na utaalamu mahususi zaidi unapolinganisha na unachokipata katika shahada ya kwanza shahada ya uzamili inalenga kukupa ujuzi/ufahamu mpana katika eneo moja la kitaaluma na uwezo wa uchambuzi wa mambo katika eneo husika zaidi ya kusoma kitu mahususi shahada hii ya pili inakuandaa kama mtafiti na ndio mana unalazimika kufanya utafiti kama sehemu ya masharti ya kuhitimu shahada ya uzamili inaweza kukugharimu wastani wa mwaka mmoja hadi mitano kuimaliza
shahada ya tatu ambayo hujulikana kama ya uzamivu au doctorate (phd) ndio ngazi ya juu kabisa ya kitaaluma kwa maana ya ubobezi shahada hii inalenga kumuandaa mtu kuwa mbobezi katika eneo fulani la kitaaluma kwa ngazi ya utafiti unaweza kubobea jambo kwa kulisomea/kulisoma au uzoefu wa kulifanyia kazi kwa muda mrefu lakini hiyo haitoshi kukufanya kuwa mbobezi kitaaluma phd ni ubobezi wa kitafiti unaojaribu kuelewa na kuelezea maarifa katika kiwango cha juu cha uchambuzi na uelewa
phd ni shahada ngumu kuliko zote (kwa maana ya mchakato wa kuisoma) na moja ya sababu kubwa ni ukweli kwamba hakuna mtu anayekufundisha kupata phd kama ilivyo kwa shahada mbili za awali phd ni mradi au wazo la kitafiti lako mwenyewe (latakiwa lianzie kwako) na unalifanyia kazi kitaaluma chini ya ungalizi na usimamizi wa watafiti waliobobea katika eneo husika (wahadhiri waandamizi/maprofesa) ingawa kuna phd zinazojumuisha kufundishwa masomo/ courses darasani lakini nyingi ya shahada hizi (hasa katika vyuo makini duniani) ni kazi za kitafiti pekee bila kuwa na masomo ya kufundishwa na kutahiniwa mtu aliyesoma phd na kuhitimu anategemewa awe na uelewa mkubwa na ubobezi katika eneo alilotafiti hali kadhalika anategemewa awe na uwezo wa kufanya tafiti kutoa mitazamo wa kisomi katika mazingira ya eneo la ubobezi wake kufanya uchambuzi wa hali ya juu katika kuoainisha elimu nadharia na uhalisia wake katika jamii au mazingira ya kila siku antegemewa kufanya uchambuzi yakinifu na tunduizi kabla ya kutoa maoni yake pamoja na kuwa na uwezo wa kutazama mambo na mawazo ya wengine kwa tafakuri pana (reflective thinking) badala ya kukariri au kumeza kama yalivyo mtu aliyehitimu phd ya ukweli anategemewa awe kapata mwanga zaidi wa mambo mengi (exposure) na awe mtu mwenye kuheshimu weledi wa taaluma ikiwa ni pamoja na kutumia ubobezi wake katika kutatua changamoto za kimaisha zinazoizunguka jamii aliyeko phd inasomwa kwa muda mrefu na inapitia michakato migumu sana ikiwa ni pamoja na kukosolewa kisomi na kuchambuliwa katika kiwango cha juu kwa lengo la kutazama ni mchango gani msomi husika anauleta kwenye jamii na taaluma yake kama vile haitoshi kusoma phd ni gharama kubwa sana kwa maana ya ada na gharama zingine zinazoendana na mazingira ya kusoma kwa mfano kusomesha mtu mmoja kwa kiwango cha phd kwa miaka minne katika nchi za ulaya kama vile uholanzi ujerumani uingereza na zingine inagharimu karibu au zaidi ya shilingi milioni mia tatu za kitazanzania (300000000) ikiwa ni gharama za ada kuishi na mahitaji mengine ya lazima hizi sio fedha kidogo ukitazama ugumu wa mchakato wa kusoma phd unaweza ukaelewa ni kwa nini shahada hii inasomwa na watu wachache sana duniani kote (nitaonesha zaidi sehemu ya pili ya makala)
mtu aliyepitia mchakato wa kutafuta elimu kuanzia shahada ya kwanza hadi ya uzamivu (phd) ana kila sababu ya kufurahia matunda ya kazi nzito aliyofanya na changamoto alizopitia kwa ushindi mara nyingi heshima hii na kutamhua ugumu wa kazi aliyoifanya moja ya njia ya kuonesha bidii yake kitaaluma ni kutambulishwa kwa utangulizi wa dokta (dr) mbele ya jina lake kote duniani watu waliosoma hadi kiwango cha shahada ya phd hupewa heshima na nafasi ya kipekee katika jamii na maeneo yao ya kazi na mengi hutegemewa kutoka kwao na ndio mana hata mishahara yao hupewa uzito zaidi ya wataalamu wengine katika maeneo ya ajira hivyo basi wale wenye elimu ya chuo kikuu na haswa wa nagazi ya phd wanawajibika kujitahidi kutunza heshima na matarajio ya jamii kwao kwa kuhakikisha wanaendeleza ubobezi wao na kuakisi taaluma na elimu yao katika maisha ya kila siku ndio mana mtu mwenye phd anapofanya jambo la kipuuzi au ambalo lingeonekana ni la kawaida kwa watu wengine husababisha malalamiko na hata wengine kuhoji ni nini umuhim wa kusoma kwa kiwango hicho iwapo elimu hiyo inashindwa kuakisiwa katika maisha ya kawaida waliopata phd wanajua kwamba kuhitimu kwao sio mwisho wa kusoma bali ndio mwanzo wa safari ndefu na ngumu ya kukuza ubobezi wao kwa kusoma na kuandika kwa lengo la kusambaza maarifa na ujuzi wao kwa wengine ndio mana ni ajabu sana kuona mtu anadharau kiwango hiki cha eleimu kwa mtu aliyeipata kihalali na bila figisufigisu za udanganyifu
biashara ya phd za heshima inadharau mchakato mgumu na wenye changamoto nyingi za kustahili heshima ya kutambulishwa kama dokta (dr) inatia kichefuchefu unapowaona wafanyabiashara wa shahada za heshima walivyobadili heshima hii kuwa karanga huku wakiwaaminisha wale wanaozitafuta kwamba wana nafasi (status) sawa ya heshima na wale waliopata phd darasani wanafanya makusudi kuwabebesha heshima itiokanayo na kazi ngumu ya kitaaluma kwa watu wasiostahili biashara hii imeharamishwa zaidi kwa kuacha misingi ya mchakato wa utoaji wa shahada hizi kwa watu wenye michango inayotambulika katika jamii au taaluma husika kibaya zaidi wachuuzi hawa wa shahada za phd za heshima pamoja na wanunuzi wao wameamua kujitambulisha kwa heshima ya udokta (kwa maana ya phd holders) huku wengi wao wakiwa hawajui hata tafiti ni kitu gani na wengine hawajui mlango wa chuo kikuu una rangi gani
makala hii itaendelea kwa kutoa vielelezo zaidi vya tatizo hili
mwalimu mm waweza niandikia kupitia mmmwalimu(at)gmailcom | 2017-02-24T06:03:37 | http://www.wavuti.com/2016/03/mwl-mndeme-wimbi-la-phd-za-heshima.html |
siri kubwa za milima ya bucegi (1 suenee ulimwengu
siri kubwa za milima ya bucegi (1
1 58288x 28 09 2016 msomaji wa 1
tukio muhimu zaidi hakuna mtu alituambia
kama kweli kuna kitu ambayo inaweza kujikomboa ubinadamu kutoka katika utumwa wa zamani full na kuondokana na utawala wa kigeni basi ni ajabu mifumo handaki ndani ya bucegi milima
habari nyepesi sana lakini yenye kupumua ambayo hadi sasa imepata umma inatetemeka msingi wa miundo ambayo iko sasa katika hali ya kugundua katika milima ya bucegi sio tu dhamana ya ujuzi usio na shaka wa kina wa historia ya makini sana ya dunia na ya ubinadamu lakini pia ya ushahidi wa kimwili ushahidi wa kiwango cha juu cha ujuzi wa wajenzi wa ujenzi na pia kutumika teknolojia za nje za nchi zinazoenda mbali zaidi na mawazo yetu
multipart endelea kufuatia matukio ambayo yalitokea zaidi ya miaka kumi iliyopita si tu muhtasari pengine bado uvumbuzi muhimu ya karne hii lakini pia kuandika kama siri backstage kujaribu badoviongozi kutumia njia zote za kuzuia uchapishaji wa matokeo hayo wakati huo huo tutaona kwamba bado kuna watu wenye uwezo na wenye ujasiri wanao tayari kuweka maisha yao wenyewe ili mipango ya wenye nguvu isifanywe
maelezo yote katika makala hii yanatoka kwenye kitabu transylvanian sunrise na bado imethibitishwa na vyanzo vingine vya kujitegemea
(kumbuka hii ni tafsiri ya tafsiri kutoka kiingereza hadi ujerumani na kutoka kwa kicheki)
muhtasari mfupi wa historia ya ugunduzi
kutumia satellites ya kupeleleza ya kisasa ambayo yanaweza kuchunguza tabaka za subsurface wamarekani katika milima ya bucegi waligundua cavity maalum katika 2002 uchunguzi wa kina zaidi umeonyesha kuwa kuna ukumbi mkubwa uliojengwa kwa njia ya hemphere kuhusu mita 100 na mita ya juu ya 30 kwa ukumbi handaki ya upatikanaji ambayo huanza katika mambo ya ndani ya mlima ni takriban mita 60 mbali na uso wa dunia na ina mlango wa muhuri kupitia kizuizi cha nishati ya bandia vipande vitatu vya chini chini ya ardhi vinaongoza kutoka ukumbi
na hiyo si tu tu ambayo inaongoza zigzag ajabu kwa ukumbi lakini pia ukumbi yenyewe ina vifaa na kisasa vifaa vya kimwili na nguvu kinga hata kwa teknolojia ya kuchimba visima wamarekani wameshindwa kuvunja kupitia vazi na kizuizi cha nishati katika majaribio haya hata watu kadhaa walikufa kwa hali isiyo wazi kufungua upatikanaji wa handaki na ukumbi ulikamilishwa kwa kutumia zana zisizo za kimwili katika ukumbi wanasayansi wamegundua vifaa vya juu vya kiufundi ambavyo huzidi zaidi uwezekano wetu wa sasa
miongoni mwa mambo mengine inawezekana kutazama filamu za holographic (3d) kutoka maeneo mbalimbali ya sayansi ambayo yanaweza kuchangia kuimarisha ujuzi wetu kwa njia kubwa moja ya mipango ya makadirio ya holographic inahusika na historia ya wanadamu hadi sasa na ni wazi kwamba historia yetu ya rasmi ni wazi kusanyiko na kwa kiasi kikubwa uongo
baada ya mazungumzo ya muda mrefu na ya kihisia kati ya wamarekani na mamlaka ya kiromania ambayo hatimaye ilihudhuriwa na vatican mikataba kadhaa ilihitimishwa ikumbukwe kwamba kila kitu kilikuwa chini ya shinikizo kubwa la wamarekani na upande wa kiromania hatimaye ililazimishwa kuweka siri ya ugunduzi
hata hivyo washiriki wengine katika utafiti wa kitu wameweza kupitisha bila kujulikana na kwa kiwango kidogo kwa umma masomo tuliyo nayo hutoka kwa kiromania ambaye pia aliandika vitabu vyema sana pia hutafsiriwa kwa kiingereza
ziara ya ajabu na mmoja wa wanachama wenye ushawishi wa groupberg bilder
mwishoni mwa mei 2003 aitwaye caesar brada mkuu wake mkuu obadea akamwambia kuwa mtu mwenye cheo cha juu kutoka nje ya nchi alitaka kukutana naye kaisari alishangaa sana kwamba mtu yeyote akiruhusu mgeni alikuwa na uwezo wa kumfikia alikuwa mkurugenzi wa teknolojia ya zero (idara ya zero dz) idara iliyochaguliwa zaidi ndani ya huduma ya upelelezi wa kiromania (sri) ambayo watu wachache tu walijua dz ilianzishwa na nicolae ceauşescu na pia alitoa vifaa vizuri sana ilikuwa kikundi kidogo cha watu ambao walikuwa na kazi ya kuchunguza matukio yote yasiyoelezeka yaliyofanyika nchini idara hiyo pia imehusika na masuala ya parapsychological na uwezekano wa kupata habari kwa idara hii taratibu maalum zimeandaliwa kwa ajili ya upatikanaji wa washirika wapya na mipango ya mafunzo
kaisari brad amekuwa chini ya usimamizi wa idara ya dz tangu kuzaliwa wakati wa kuzaliwa kwake alipokuwa na umri wa 10 alimshirikisha katika mpango maalum wa mafunzo ambayo ujuzi wake wa transcendental ulizidi na kuendelezwa alipewa kazi ya daktari wa kichina ambaye alimpeleka kwenye ngazi ya juu ya kiroho na kuendelezwa kuwa utu jumuishi hivi karibuni baada ya hapo alikuwa tayari kuwajibika kwa kazi muhimu (sehemu ya kwanza ya kitabu 'transylvanian sunrise' inahusika na maendeleo ya kesari ikiwa ni pamoja na kuzaliwa kwake kwa kawaida)
kitu pekee kutoka kaisari kuwaita wakubwa kujifunza ni kwamba mgeni ni mtu ambaye ni wa heshima ya juu ya italia na ambayo pia ni mwanachama mashuhuri wa masonic lodge wakati huo huo anazungumza kiromania na anajua hali hiyo nchini romania ambayo pia ina ushawishi mkubwa wa kifedha
mara moja aligundua kuwa mgeni huyo alikuwa na uwezo wa kutumia shinikizo na kuwa na uwezo wa kuathiri sana wakati huo huo pia alibainisha kwamba mgeni ni kuzungukwa na wingu ajabu ajabu na radiance mbaya kwamba siri ya kweli nia yake kaisari alitayarisha kwa makini mkutano na kutafakari kwa kina
uingiaji wa ngazi ya juu ulipelekwa mahali pa kukutana na helikopta ya sri alikuwa amevaa nguo alikuwa na sura ya kiburi ya kujiamini na alikuwa na hisia kwamba alikuwa amezoea kutoa amri alijitambulisha kama signor massini na akaenda moja kwa moja hadi hatua yeye kwa uwazi aliiambia kaisari kwamba yeye ni velmistr wa mojawapo ya makao makuu ya masonic huko ulaya na ni mwanachama wa groupberg bilder
massini alimwambia kuwa kuna aina mbili za watu wale ambao wana talanta fulani na utu wa nguvu na wengine wengi ambao hutumiwa na kudhibitiwa anakuja kama mwakilishi wa amri kuu freemasons na ina maslahi makubwa katika kufanya mkutano wao ufanikiwa alitaka kukutana na kaisari mwenyewe kwa sababu uwezo wa kaisari wa kisaikolojia uliathiriwa sana na yeye na tu wake (massini's) ushawishi mkubwa wa kisiasa ulimruhusu kupata usiri na ulinzi wa dz
wakati huo huo alielezea pia kwamba kundi la bilderberg sio makazi ya masonic na ina ushawishi mkubwa zaidi masons ni skirt tu na nguvu halisi ni mbali kuliko 33 shahada ya masonic kwa kufunguliwa kwa ajabu massini alielezea malengo yaliyofichika ya jamii za siri na baadhi ya mbinu zao za kutisha ambazo zinahifadhi na kudumisha nguvu juu ya wanadamu alimtolea kaisari uanachama katika kundi na aliweka wazi kwamba angeweza kupata faida nyingi ingawa kaisari alivutia massini kwa nguvu sana alihisi upinzani fulani na akaweza kuficha mapambano haya na mwenzake
satalaiti za pentagon na vifaa vya kupeleleza siri
satalaiti za pentagon ambazo zilifanya uchunguzi wa geodetic na pia zilikuwa na teknolojia ya siri ya bionic na detectors ya uenezi wa wimbi iligundua cavity maalum katika 2002 katika eneo fulani la milima ya bucegi nafasi tupu inaonekana kama viumbe wengine wenye akili ndani ya mlima walikuwa wameikataa tu na ilikuwa dhahiri si pango
picha kamili ya satelaiti ilifunua vibali viwili vya nguvu vingi vilivyoundwa na nishati ya bandia blogu ya kwanza ilikuwa ukuta wa nishati na imefungua mlango wa shimo ambalo lilisababisha ukumbi mkubwa ndani ya mlima kufungwa kwa pili kulikuwa ngao ya hekalu katika ukumbi mkubwa
massini alimwambia kaisari kuhusu uchunguzi huu na akagawana habari kwamba kuna kitu muhimu sana chini ya ardhi ni dhahiri alijua maelezo ya uchunguzi huo na alijua kuwa angalau kitu kimoja katika ukumbi wa aina ya hemphere ilikuwa ya umuhimu kidogo kwa freemasons nguvu na ukumbi walikuwa katika nafasi fulani dhidi ya mafunzo ya mwamba inayojulikana kama babele na sfinga bucegi
tags dunia ya hollow kuzaa romania espionage vatican nchi maisha
siri kubwa ya milima ya bucegi
3 26363x
siri kubwa za milima ya bucegi (2
6 16750x
siri kubwa za milima ya bucegi (3
1 16285x
siri kubwa za milima ya bucegi (4
maoni moja juu ya siri kubwa za milima ya bucegi (1
28092016 katika 18 31
kuvutia inaonekana kama mwanzo wa riwaya nzuri nakumbuka perry rhodan kwa njia na kituo cha kompyuta huko venus katika mlima wa mlima
transylvania tayari ina hadithi za kutosha kwa hiyo na sasa ina moja ya moja kwa moja lakini ni nani anayejua labda kuna mashine ambayo kwa nasibu inafanya msukumo kutoka kwa watu wa vampire ))
nitaisoma zifuatazo kwa ladha | 2019-08-17T14:56:01 | https://sw.suenee.cz/velke-tajemstvi-pohori-bucegi-i/ |
shirika la ndege la tanzania (atc) laanza safari zake za kwenda afrika kusini leo june 28/2019 msumba news blog
shirika la ndege la tanzania (atc) laanza safari zake za kwenda afrika kusini leo june 28/2019
by msumbablog june 28 2019
picha mbalimbali zikionesha ndege ya abiria ya shirika la ndege la tanzania atcl aina na airbus a220300 ikipakia abiria katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere jijini dar es salaam kabla ya kuondoka kuanza safari yake ya kwanza ya kuelekea nchini afrika kusini leo tarehe 28/06/2019 | 2019-07-24T00:37:48 | http://www.msumbanews.co.tz/2019/06/shirika-la-ndege-la-tanzania-atc-laanza.html |
mh peter msigwa blog november 2012
mh msigwa ahudhulia mahafali ya chuo cha ruco
mh msigwa akiwa na maaskofu katika mahafali ya chuo cha mt agustino cha iringamh msigwa akiwa na mkuu wa wilaya ya iringa mjini katika mahafali ya chuo cha ruco posted by
rasmi michuano ya msigwa cup kuanza tar 04/12/2012
mipira jezi pamoja na wavu za magoli tayari kwa mtanange wa ligi ya msigwa cup mh msigwa akizicheck jezi na nyavu zitakazo tumiwa katika ligi ya msigwa cup
mdau azikihesabu jezi zilizo wasili jioni hii
mdau akijaribu uzi mpya utakao tumika katika ligi ya msigwa cup
mipira mingi tayari kwa michuano ya msigwa cup
semina ya siku moja katika ukumbi wa manispaa iringa kwa viongozi wa timu za mpira wa miguu zipatazo 50 kabla ya kuanza kwa msigwa cup mchungaji peter msigwa (wa kwanza kulia) mabaye ni mbunge wa jimbo la iringa mjini (chadema) akibadirishana mawazo na diwani (chadema) wa kata ya mivinjeni mhfrenk nyalusi
akifafanua sababu za mafunzo hayo kwa wadau wa soka mjini iringa mchungaji peter msigwa amesema michezo inashindwa kufurukuta mkoani iringa kutokana na kuwa na baadhi ya viongozi wenye muda mrefu katika nyadhifa hiyona hivyo kutokuwa na mambo mapya ya kuoresha soka
uwendawazimu ni kitendo cha kufanya kitu kile kile kwa njia ile ile huku ukitegemea matokeo tofauti hapa kwetu tuna baadhi ya viongozi wanazaidi ya miaka 20 katika wadhifa wao unategemea utapaji jipya kutoka wapi hapo amesema mchungaji msigwa
aidha mchungaji msigwa amesema tatizo la iringa siyo kukosa vijana wa kucheza bali ni uongozi mbovu unaokwamisha sekta hiyo ya michezo mkoani iringa
filimbi inataarajiwa kupigwa tarehe 4/12/2012 kuashiria kuanza kwa ligi hii inayotarajiwa kuwa na mvuto kwa wakazi wengi na wadau wote wa mpira wa miguu wa hapa iringa mjini endelea kutembelea mtandao huu kwa ratiba na taarifa zaidi kuhusu ligi hii kabambe posted by
msigwas speech at the workshop on developing a climate change policy for tanzania 
honourable victor kimesera executive secretatary in the chadema secretary general's officehonourable members of parliament honourable stefan reith resident representative of konrad adeneur stiftung for tanzania hounourable chadema leadership cohort distinguished invited guests ladies and gentlemen i feel honored to be given this opportunity to officiate this important programme i also acknowledge the esteemed efforts by the steering committee for preparing this great event which in principal aims at a discussing and finally develop a climate change policy for tanzania mr chairman climate change is a complex science but its complexity unfortunately does not rescue us from suffering its adverse consequences since whether we like or not we are subjected to the hazardous effects of climate change we are therefore forced in the same tone whether we like or not to establish adaptation and mitigation initiatives so as to shield our lives from being swept away by climate change illcomings mr chairman it is an open truth that climate change has been a topical issue the world over this is not because it is an interesting and a nice subject to learn but because escaping from learning it amounts to uncountable miseries and finally loss of lives mr chairman climate change has culminated into unspeakable heat increase in the world (global warming) terrific prolonged droughts and erratic rainfalls leading to distructive floods submergence of islands due to rise of sea level and outbreak of diseases all of which are fatal to mankindmr chairman because of this antagonistic relationship between harmful impacts of climate change and the development and wellbeing of human beings the world governments from both developing and developed countries decided to put climate change issue as a global agenda through the kyoto protocol the overriding aim being fostering adaptation and mitigation measures in order to make the world a better place to livemr chairman it is indeed high time for nations of the world including tanzania to start developing projects policies and strategies in their domestic jurisdictions to curb the already prevailing and the wouldbe deadly impacts of climate changemr chairman climate change is caused by a number of factors but human activities have chiefly contributed to the climate change it is not my intention to start lecturing on how human activities result into climate change but as a nation we necessarily need to have an alternative policy renewable energy and sustainable resource management as well because in the course of making use of our natural resources for our livelihoods we necessarily destroy the natural settings of the universe and thus causing climate changemr chairman as a shadow minister and an opposition mp i find this opportunity very precious because it is indeed a platform to tell tanzanians that we can develop workable policies and supervise their implementation and that they will not regret if they elect our party chadema to run the government what we are doing here today is politically very significant and for sure it will move us into a higher stage in our efforts to capture and exercise state powermr chairman i am pleased to see that the todays event is striving to set premises for developing a policy that will specifically address issues of climate change in the larger community though it is still in its elementary stage but i am convinced that it is a necessary stage for takeoff and i am optimistic that we shall be successful in the efforts we make todaymr chairman i now call upon everybody who has been invited to this forum to fully participate in this activity by giving without reservation all his/her constructive ideas and dedicate himself/herself to this activity so that we collectively realize our common goal which is to produce a policy document on climate changemr chairman having accomplished my task of showing what we ought to do it is a pitty that what we take advatage of today might not be there for our children and our children's children as the late us president theodore roosevelt once said here is your country cherish these natural wonders cherish the natural resources cherish the history and romance as a sacred heritage for your children and your children's children do not let selfish men or greedy interests skin your country of its beauty its riches or its romancei am pleased to declare that this workshop is now officially opened
msigwa aungaa na wakazi wa iringa mji katika mazishi ya mwanasiasa gelvas
akiongea msibani hapomwanasiasa wa mda mrefu gelvas kaywanga wa hapa iringa mjini amezikwa leo katika makaburi ya mtwivila iringa mh msigwa ameeleza mchango wa ndugu kaywanga katika siasa ya iringa ni kubwa sana kwa sababu alikua mwa mapinduzi wa kweli posted by
kionambali
kikao na manegment ya tanapa
mkutano na wananchi wa ngorongoro ambao kwa asilimia kubwa ni jamii ya wafugaji
sehemu tulivu
at ngorongo
mh msigwa mda mchache baada ya kuwasili ngorongoro pamoja na wanakamata wengine wa wizara ya mali asili na utalii
rasmi michuano ya msigwa cup kuanza tar 04/12/201
msigwas speech at the workshop on developing a cli
msigwa aungaa na wakazi wa iringa mji katika mazis | 2015-05-30T12:13:40 | http://mbungeiringamjini.blogspot.com/2012_11_01_archive.html |
dakika 90 za mwisho za madilu system | spoti na starehe
huku ukiwa umepita mwaka mmoja tangu gwiji la muziki la congo bialu makiese au kama alivyojulikana madillu system afariki dunia bado mwanamuziki huyu ataendeleaa kukumbukwa kutokana na mchango wake kwenye sanaa nzima ya muziki si tu kwa congo bali hata africa nzima na nje ya bara la africa pia madilu alifariki jumamosi usiku wa august 11 2007 huko kinshasa akiwa na miaka 57 baada ya kuugua kwa muda mfupi kifo kilichosemwa kimetokana na shinikizo la damu lililochangiwa zaidi na kisukari habari za msiba huu zilimshtua kila mmoja na kisha kufuatiwa na maombelezo na hatimaye kuupumzishwa mwili wake katika video hii angalia mkusanyo wa dakika 90 za masaa ya mwisho ya madilu kusafirishwa kwenye nyumba ya milele video hii ni ndefu ya dakika 90 hivyo inahitaji uwezo mkubwa kidogo wa komputer 1gb memory itacheza vizuri zaidi
angalia jinsi mbwembwe za wanamuziki wa kongo katika msiba huu tokea jb jb mpiana werasson lotumba king kesta emeneya mbilia bell celeo scam didie masela na wengineo wengi kila mmoja akiingia na mbwembwe zake
this entry was posted on thursday december 4th 2008 at 237 am and is filed under bolingo/ngwasuma burudani muziki you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed you can leave a response or trackback from your own site
7 responses to dakika 90 za mwisho za madilu system
ndesa says
mkuu nimeikubali hii
bonge ya documentary
faustine crispine kaguti says
kaka nimekubali hii ni bonge la storymbona story zenyewe zipo chache weka aina tofauti za story mbona zipo nyingikama za mayaula
ally geogre says
kikweli naweza sema hakuna msanii ameumiza moyo wangu kama madilu mungu aweke loho yake mahalipema
john kodi says
kwakusema kweli nyimbo za madilu huwazinanifaliji sana mungu amrehem kwa kazi zake nzuri
steven mkimbo says
mungu ailaze pema peponi ndugu yetu madiru systim | 2019-10-13T23:00:40 | https://spotistarehe.wordpress.com/2008/12/04/dakika-90-za-mwisho-za-madilu-system/ |
wateja kampuni ya simu kugawana faida ya bil 21/
kampuni ya simu za mkononi ya airtel inatarajia kugawa faida ya sh bilioni 21 kwa wateja wake wote wanaotumia huduma ya airtel money
faida itokanayo na airtel money ni fedha ambazo airtel imekuwa ikizirudisha kwa wateja wake waliotumia airtel money kwa kila robo ya mwaka kulingana na kiwango ambacho kipo kwenye akaunti zao za airtel money kila siku
kiwango hicho cha faida kwa kila salio la mteja kinatolewa pia kulingana na jinsi mteja anavyotumia huduma ya airtel money mteja atatumiwa faida yake kwenye akaunti yake ya airtel money na anaweza kuamua kuzitoa au kuzitumia kwa matumizi yoyote ikiwemo kulipia bili mbalimbali kama vile za dawasco na luku kauli hiyo imetolewa jijini dar es salaam jana na meneja wa huduma ya airtel money fidelis kaijage wakati wa kutangaza kuanza kugawa faida hiyo
faida itokanayo na matumizi ya airtel money itagawiwa kwa wateja wa airtel money na mawakala wote nchini ambao wametumia huduma ya airtel money kwa miezi sita iliyopita kati ya aprili na septemba 2018alisema
hii ni mara ya saba kwa airtel kutoa faida kwa wateja wake wote wa airtel money tangu 2015 mpaka sasa sh bilioni 16 zimetolewa kama faida kwa wateja na mawakala wote nchini naye meneja wa mawasiliano na uhusiano airtel jackson mmbando alisema lengo la kugawa fedha hizo ni kuendelea kuwafikia wateja ambao ni muhimu kwenye biashara ya fedha
wateja wetu tunawahakikishia huduma ya papo kwa hapo za kutoa pesa ni bure na vilevile ukiwa na airtel money bado utaweza kupata mikopo rahisi kutoka airtel timiza mkopo ili kufanikisha jambo lolote la dharura ipo huduma ya kujiwekezea akiba kwa ajili ya matumizi ya baadaye kupitia timiza vikoba alisema na kuongeza kuwa airtel money ina mawakala zaidi ya 60000 nchini kote kulingana na utafiti wa tcra wa hivi karibuni wa desemba 2018 inaonyesha kuwa huduma ya airtel money imekua kwa haraka na kufikia asilimia 25
dakika 31 zilizopita mwandishi wetu | 2019-03-26T06:52:42 | https://habarileo.co.tz/habari/2019-03-155c8b518bb716b.aspx |
video mama yake ben pol akicheza zilipendwa baada ya mwanae kuwa dj wa muda millardayocom
mwimbaji ben pol ameitumia weekend yake vizuri baada ya kupata time ya kuwa karibu na mama yake ambaye ameonekana kuwa na furaha iliyotokana na ben pol aliyechukua jukumu la kuwa dj wa muda na kuplay nyimbo za zamanı ambazo mama yeke amekuwa akizipenda kitendo kilichomfanya mama huyo kucheza
bonyea play hapa chini kutazama video
video hamisa mobetto ajizawadia mgari huu wa thamani kwenye birthday yake
related itemsayotventertainmentben polbongofleva
← previous story video hamisa mobetto ajizawadia mgari wa thamani kwenye birthday yake
next story → roma kafunguka kuchelewa kurudi bongo waniweke kwenye sala zao | 2020-07-05T04:43:42 | https://millardayo.com/video-mama-yake-ben-pol-akicheza-zilipendwa-baada-ya-mwanae-kupa-dj-wa-muda/ |
maahadi ya qurani tukufu yakamilisha maandalizi ya kufungua vituo (200) vya usomaji wa qurani kwa ajili ya mazuwaru wa arubaini
maahadi ya qurani tukufu chini ya kitengo cha maarifa ya kiislamu na kibinadamu cha atabatu abbasiyya imetangaza kukamilika maandalizi ya kufungua vituo (200) vya usomaji wa qurani katika barabara zinazo tumiwa na mazuwaru watukufu kwenda karbala kufanya ziara ya arubaini ya imamu hussein (as) vituo hivyo vitasimamiwa na matawi yake yaliyopo katika mikoa mitatu
kwa mujibu wa maelezo ya mkuu wa maahadi shekh jawadi nasrawi ambaye aliongeza kua hakika vituo hivyo vitafanya mambo mengi miongoni mwa mambo hayo ni
1 kufundisha usomaji sahihi wa qurani tukufu hasa sura zinazo somwa mara nyingi katika swala za faradhi za kila siku
2 kujibu maswali na kufafanua mambo yanayo husu qurani
3 kuendesha kisomo cha qurani tukufu katika kila sehemu ya kituo
4 kugawa folda zenye nyaraka zinazo elezea ziara na mambo yanayo husu qurani
akaendelea kusema hakika maahadi na matawi yake imepanga kuweka vituo hivyo katika mikoa ya muthanna baabil najafu pamoja na karbala tukufu kwenye barabara kuu zinazo elekea karbala miongoni mwa barabara hizo ni (barabara ya karbala bagdad / karbala baabil / karbala najafu) vituo hivyo vitaendeshwa na wasomi kutoka katika matawi ya maahadi ya mikoa hiyo fahamu kua jambo hili linafanywa kwa mwaka wa nne mfululizo kwenye miji hiyo | 2020-04-08T13:38:52 | https://alkafeel.net/news/index?id=7339&lang=sw |
euro eneo matumaini ya matumaini ya ukosefu wa ajira
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi euro eneo matumaini ya matumaini ya ukosefu wa ajira
matumizi ya kujiamini 660 810 150 2390 pointi [+]
rejareja sale (mwezi) 160 080 280 200 asilimia [+]
rejareja sale (mwaka) 130 230 600 460 asilimia [+]
ziada ya binafsi ya mapato 181948600 181317900 181948600 105929500 eur milioni [+]
sekta binafsi ya mikopo 1145004600 1143873700 1145004600 324129800 eur milioni [+]
benki ya kuwakopesha rate 188 191 652 188 asilimia [+]
matumizi ya mikopo 72191666 71880494 72191666 35989193 eur milioni [+]
uchumi matumaini index 10280 10130 11810 6750 [+]
mwelekeo wa bei ya kuaminika kwa watumiaji 2070 2050 5480 1250 pointi [+] | 2020-02-26T03:26:06 | https://sw.tradingeconomics.com/euro-area/consumer-confidence-unemployment-expectations |
umusomyi wa bibiliya kuwa gatandatu 06/05/2017
yanditswe na ange victor uwimana kuwa 6 05 2017 1350 ibitekerezo 0
umusomyi wa bibiliya ni igitabo gitegurwa numuryango wabasoma bibiliya mu rwanda (ligue pour la lecture de la bible) kigamije gufasha abantu guhura nimana buri munsi mu ijambo ryayo uyu wa gatandatu tariki ya 06/05/2017 turasoma muri matayo 135358
yesu amaze kubacira iyo migani avayo ajya mu gihugu cyiwabo aheraho yigishiriza mu masinagogi yabo bituma batangara bati ubu bwenge nibi bitangaza uyu yabikuye he mbese harya si we wa mwana wumubaji nyina ntiyitwa mariya na bene se si yakobo na yosefu na simoni na yuda bashiki be na bo bose ntiduturanye mbese ibyo byose yabikuye he ibye birabagusha yesu arababwira ati umuhanuzi ntabura icyubahiro keretse mu gihugu cyiwabo no mu nzu yabo aho yesu ntiyakorerayo ibitangaza byinshi abitewe nuko batamwizeye
ubu bwenge nibi bitangaza uyu yabikuye he (54) nyuma yimigani ku bwami bwimana yesu yaje gukomereza umurimo we mu gihugu cyiwabo i nazareti (luka 41630) inyigisho ze zarabatunguye bibwiraga ko bamuzi kuko yari yarakuriye hagati muri bo bibajije ibibazo bitanu (5556) ariko ntibyagize icyo bibagezaho (57a) gusa twe biduha gusobanukirwa ko yosefu yaba yari atakiriho kuko batavuze izina rye kutizera yesu ni ukwishyira mu gihombo nta gitangaza cye babonye kuko batari bafite kwizera ariyo maboko yakira ikivuye mu kiganza cyimana kwigizayo yesu ni ukwigizayo ubugingo buhoraho iyo umwirukanye ajyana nibye byose (yoh146) ujye wirinda kumwirukana ubitewe nuko uzanye ubutumwa bwe ari wa wundi muziranye ukaba wibwira ko nta cyiza cyamuturukaho nyamara warahishwe ko hari umunsi yagendereweho (yoh146) imana ikoresha uwo ishatse ikamukoresha igihe ishakiye ikamukoreshereza aho ishatse gusenga nyagasani mana ujye undinda gukerensa ubutumwa bwawe mbitewe no gusuzugura uwo untumyeho | 2018-07-18T05:10:01 | http://agakiza.org/?UMUSOMYI-WA-BIBILIYA-kuwa-gatandatu-06-05-2017 |
mbeya city mawindo ya ruvu shooting yaanza leo | zotekali blog
mbeya city mawindo ya ruvu shooting yaanza leo
0 0 tuesday 7 march 2017
siku mbili baada ya kurejea kutoka jijini dar es salaam kwenye mchezo wa vpl dhidi ya simba sc kikosi cha mbeya city fc leo kimeanza
siku mbili baada ya kurejea kutoka jijini dar es salaam kwenye mchezo wa vpl dhidi ya simba sc kikosi cha mbeya city fc leo kimeanza mazoezi rasmi kujindaa kutimuana na ruvu shooting ya mlandizi pwani kwenye mchezo mwingine wa ligi hiyo jumamozi ijayo kwenye uwanja wa sokoine jijini hapa
akizungumza na mbeyacityfccom muda mfupi uliopita afisa habari wa kikosi hiki dismas ten amesema maandalizi kuelekea mchezo huo yanakwenda vizuri lengo likiwa ni kuhakikisha city inaibuka na ushindi na kujiongezea pointi tatu muhimu hasa baada ya kuvuna pointi moja uwanja wa taifa jumamosi iliyopita kufuatia sare ya 22 na vinara wa ligi simba sc
tumeanza mazoezi leo kwa ajili ya mchezo wa jumamosi dhidi ya ruvu shooting ni mchezo muhimu kwetu na hii ndiyo sababu imetufanya kuanza maandalizi na kujipanga vizuri mapema kabisa kuhakikisha tunaibuka washindi ni wazi utakuwa mchezo mgumu kwa sababu wapinzani wetu si ya kubeza hatuna wasiwasi kwa sababu tutakuwa tunacheza mbele ya mashabiki wetu ambao watachagiza ushindi kwa ushangiliaji wao
akiendelea zaidi ten alisema kuwa kwenye mazoezi ya leonyota ayoub semtawajuma seif kijiko na hussein ahmed walikosekana mazoezini kutokana na kuwa nje ya jiji la mbeya kwa matatizo ya kifamilia huku kiungo mrisharo ngassa na zahoro pazzi waliobaki jijini dar baada ya mchezo wa simba wakijumuika na wezao kujiweka fiti kwa ajili ya mchezo huo wa jumamosi
mrisho na zahoro walibaki dar baada ya mchezo wa simba lakini tayari wamewasili mbeya na leo wamejumuika na wengine kwenye mazoezi ya asubuhi ingawa tumewakosa semtawa kijiko na mlinda lango hussein ahmed ambao wako nje ya jiji kwa matatizo ya kifamilia na imaniyangu kubwa watakuwa wamerejea baada ya siku mbili kutoka sasa
katika hatua nyingine ten amedokeza kuwa mlinzi sankhani mkandawile aliyeteguka kidole cha mkono wa kushoto baada ya kukanyagwa na mohamed huessin kwenye mchezo dhidi ya simba jumamosi iliyopita amefanyiwa upasuaji na kurejeshwa kwenye sehemu yake kwa kidole hicho kilichokuwa kimefyatuka kabisa
sankhani tutamkosa kwa majuma manne kupisha majeraha yake ya kidole cha mkono wa kushoto alikanyagwa na mohamed hussein tukumbuke kuwa baada ya mchezo ule madaktari wetu walimfanyia matibabu ya awali na tulipofika mbeya alilazimika kufanyiwa vipimo tena na ikagundulika kuwa kidole chake kilifyatuka kutoka sehemu yake ya kawaida na kuhamia sehemu nyingine hivyo ikalazimu ufanyike upasuaji ili kurejeshwa kwa kidole hicho dr guydon makulila ametufahamisha kuwa upasuaji huo umefanikiwa
zotekali blog mbeya city mawindo ya ruvu shooting yaanza leo
https//3bpblogspotcom/tbxof7ezgce/wl6ifk2vtsi/aaaaaaaaeyq/ixojp2c02liurslukexnc4mwo55p76fkaclcb/s1600/mbeyacityfcjpg
https//3bpblogspotcom/tbxof7ezgce/wl6ifk2vtsi/aaaaaaaaeyq/ixojp2c02liurslukexnc4mwo55p76fkaclcb/s72c/mbeyacityfcjpg
http//wwwzotekalicom/2017/03/mbeyacitymawindoyaruvushootinghtml | 2017-11-17T22:39:44 | http://www.zotekali.com/2017/03/mbeya-city-mawindo-ya-ruvu-shooting.html |
imani ngwangwalu 929 am mafanikio no comments
soma kupinduana kwenye ndoa hutokea sana
kuna wakati kupenda inakuwa kama upofu
soma kama utaujua ukweli huu hakuna maisha yatakayokushinda
kumbuka watu wawili wanapovutana kwa maneno mengine tunasema kuna kemia kati yao hii ina maana kwamba huwa kuna mabadiliko ya badhi ya homoni kama nilivyosema lakini wanapokutana homoni hizi huwa nyingi kiasi cha kufanya upofu wa muda unaweza kuwa upofu wa mwezi mwaka au miaka
upofu huu unapmalizika uhusianao huwa ni wa vurugu tupu kwa sababu kama nilivyosema awali hqakuna mahali pengine pa kushika siyo tabia mienenfo waa haiba
soma hasara kubwa ya hofu katika maisha na mafanikio yako
hebu jiulize ni kwa nini mapenzi yanapoanza kwa moto sana huzimika haraka au kwa kishindo sana ni kwa sababu yanajengwa kwenye msingi usioaminika yaani katika mihemiko na kimapenzi penzi linalokua polepole ndilo lenye kushika kwani halina msingi wa mwili | 2018-02-19T17:55:41 | http://dirayamafanikio.blogspot.com/2016/12/hiki-ndicho-kinachoitwa-kichaa-cha.html |
mkude simba fid q pacha wa ngwea usipime tamasha la efm | news entertainment modern
home » uncategories » mkude simba fid q pacha wa ngwea usipime tamasha la efm
mkude simba fid q pacha wa ngwea usipime tamasha la efm
msanii maarufu wa vichekesho nchini musa yusuf 'kitale' ambaye kwa sasa amekuwa maarufu kwa jina la mkude simba juzi alipagawisha katika tamasha la burudani la utambulisho wa kituo kipya cha redio cha efm 937 kwenye viwanja vya tp manzese dar es salaam
tamasha hilo lilikuwa ni la pili ikiwa ni baada ya kufanyika katika wilaya ya temeke wiki mbili zilizopita na kushuhudia umati wa wakazi wa wilaya hiyo na maeneo ya jirani wakifurika kwa wingi katika viwanja vya mwembe yanga
katika tamasha la juzi mbali ya mkude simba wasanii wengine waliopagawisha ni mkali wa hip hop nchini fareed kubanda fid q haruna kahena inspector haroun pacha wa ngwea vikundi mbalimbali vya mchiriku na wasanii wengine wengi kutoka kinondoni na maeneo mengineyo jijini dar es salaam
tamasha hilo lililoanza takribani saa nne asubuhi na kumalizika saa 1015 lilikuwa la aina yake kutokana na mahudhurio ya watu wa rika mbalimbali huku mkude simba akikonga nyoyo za umati huo kutokana na mtindo wake wa uchekeshaji ulioasisiwa na efm
kwa upande wake inspector haroun alikumbushia enzi zake kwa kuimba nyimbo zake za zamani na mpya kama vile asali wa moyo mtoto wa geti kali na nyinginezo wakati fid q alifanya kweli na ngoma zake kama siri ya mchezo propaganda chagua moja na nyinginezo
mbali ya wasanii hao pacha wa ngwea pia alitoa burudani ya nguvu kama ilivyokuwa kwa vikundi mbalimbali vya mchiriku na kuifanya siku hiyo kuwa ya kipekee kwa wakazi wa maeneo hayo na wapitanjia kwa ujumla
akizungumza wakati wa shoo hiyo msemaji wa efm samira kiango alisema kuwa wameona wafanye hivyo kama sehemu ya kujitambulisha kwa wakazi wa dar es salaam wakiwa wameanza kufanya hivyo katika wilaya ya temeke na kwamba wiki mbili zijazo watahamia ilala kwenye viwanja vya jangwani
ikumbukwe kabla ya tamasha hili tulitoa msaada wa vitu mbalimbali vya kufanyia usafi katika hospitali ya palestina iliyopo sinza ikiwa ni sehemu ya kuonyesha jinsi ambavyo tunaguswa na masuala ya kijamii tamasha lijalo litafanyika kwenye viwanja vya jangwani ilala ambapo litakuwa la aina yake kwa kujumuisha wasanii wakubwa na chipukizi alisema
kituo cha redio cha efm kimeanzishwa miezi mitatu iliyopita ambapo tayari kimejizolea umaarufu miongoni mwa wakazi wa dar es salaam kikiwa kimepania kutoa burudani ya nguvu kwa wakazi wa jiji hilo chini ya kauli mbiu yao muziki unaongea
0 response to mkude simba fid q pacha wa ngwea usipime tamasha la efm | 2017-10-20T04:54:33 | http://williambezek.blogspot.com/2014/06/mkude-simba-fid-q-pacha-wa-ngwea.html |
kauli ya chadema kuhusu hotuba ya kikwete na maadhimisho ya ccm | jamiiforums | the home of great thinkers
kauli ya chadema kuhusu hotuba ya kikwete na maadhimisho ya ccm
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by luckman feb 6 2012
kurugenzi ya habari na uenezi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) imefuatilia matukio na maneno mbalimbali yaliyotolewa na ccm na viongozi wake wakuu akiwemo mwenyekiti wa chama hicho katika sherehe za kuzaliwa tarehe 5 februari 2012
katika sherehe hizo ccm imeshindwa kuonyesha kwa umma namna ambavyo chama hicho kimejipanga kushughulikia changamoto za msingi za kisiasa kiuchumi na kijamii zinazolikabili taifa kama zilivyoelezwa katika tamko la chadema kuhusu mwelekeo wa taifa mwaka 2012 lilitolewa na katibu mkuu dr wilbrod slaa
aidha ilitarajiwa kwamba mwenyekiti wa ccm jakaya kikwete angetumia fursa hiyo kueleza hatua ambazo chama hicho kimechukua kushughulikia masuala ambayo aliyatolea kauli katika hotuba yake kama hiyo tarehe 5 februari 2011 kuhusu kujivua gamba utekelezaji wa ilani ya ccm na malipo ya tozo ya fidia kwa kampuni ya dowans
badala yake ccm imetumia sherehe hizo kuthibitisha namna chama hicho kilivyo chama dola kinachotumia rasilimali za umma katika kazi zake cha chama kinavyofanya matumizi ya anasa ikiwemo kuvutia watu kwa ahadi za kuwapa chakula wakati serikali inaoongozwa na chama hicho ikiwa katika hali mbaya ya kifedha na kushindwa kutimiza madai ya msingi ya madaktari wanafunzi wa vyuo vikuu makundi muhimu katika jamii na kusuasua kwa miradi ya maendeleo kwa ujumla
ccm imerudia tena kilichofanywa na serikali inayoongozwa na chama hicho ambayo ilifanya matumizi ya anasa ya zaidi ya bilioni 50 kwenye sherehe za kumbukumbu ya uhuru wa tanganyika wakati taifa likiwa katika changamoto mbalimbali
ikumbukwe kwamba katika hotuba yake kwa taifa ya tarehe 9 disemba 2011 rais jakaya kikwete aliahidi kwamba angetafuta siku ya kuzungumza kwa kina kuhusu hali ya taifa zaidi ya miezi miwili baadaye rais kikwete amerudia tena kuahidi kwamba atatafuta siku ya kuzungumza masuala ya msingi yanayolikabili taifa hali ambayo inaashiria kuwa ccm na mwenyekiti wake hawana majibu juu ya matatizo yanayolikabili taifa kwa sasa
kuhusu siasa
kauli ya mwenyekiti wa ccm rais kikwete ya kuendelea kusema kuna viongozi ndani ya chama hicho wanaotuhumiwa kwa mambo ya ovyo na kurudia kauli ya kuwataka wajitafakari sambamba na kutoa mwito kwa wanachama wa chama chake inaashiria kwamba ccm imeshindwa kuchukua hatua dhidi ya mafisadi katika chama hicho ilitarajiwa baada ya vikao vya chama hicho chini ya uenyekiti wake mwezi aprili na novemba 2011 ccm ingekutumia sherehe yake hiyo kudhihirisha kwa umma hatua ambazo imechukua kwa mafisadi ndani ya chama hicho na serikali
ccm izingatie kauli ya chadema kwamba umma haujaridhika na uwajibikaji katika serikali na chama hicho ikiwa miaka minne imepita tangu kutolewa hadharani kwa orodha ya mafisadi (list of shame) septemba 15 mwaka 2007
chadema inaitaka ccm na serikali inayoongozwa na chama hicho kuhakikisha kwamba uchunguzi na uchukuaji wa hatua dhidi ya wahusika katika kashfa mbalimbali ili kurejesha utamaduni wa uwajibikaji unakamilishwa badala kuahirisha kuchukua hatua kamili serikalini bungeni na hata ndani ya chama chenyewe
chadema ingependa umma uzingatie kuwa katika kipindi cha mwaka 2011 pamejitokeza tena ufisadi mwingine katika ngazi mbalimbali na utamaduni umekuwa ni ule ule wa maazimio kupitishwa ikiwemo na bunge bila utekelezaji wa haraka wa serikali na hatua stahiki za kinidhamu na kisheria kuchukuliwa kwa wahusika
hotuba ya mwenyekiti wa ccm rais kikwete na viongozi wengine katika mkutano huo zimedhihirisha kuwa imeelemewa na ufisadi na wameshindwa kuchukua hatua kwa kuwa ufisadi umejikita katika mfumo mzima unaowagusa pia viongozi waandamizi katika chama na serikali hivyo namna pekee ya kusimamia uwajibikaji ni kwa kuunganisha nguvu za wananchi katika kutetea rasilimali za taifa
kuhusu uchumi
pamoja na matatizo ya kiuchumi yanayolikabili taifa kwa sasa ccm imekwepa katika sherehe zake kuzungumzia namna ambavyo chama hicho kinachukua hatua za haraka za kutoa mwelekeo kwa serikali kukabiliana na hali hiyo
ukimya wa ccm kuhusu hali mbaya ya kiuchumi na kifedha ndani ya serikali ni ishara ya chama hicho kukosa majibu ya msingi kwa maswali ya msingi na pia kukosa maelezo juu ya utekelezaji wa ahadi ya chama hicho na mwenyekiti wake rais kikwete ya kuhakikisha maisha bora kwa kila mtanzania
chadema inarudia tena kuitaka ccm na serikali kutoa maelezo ya kina kuhusu hali tete na mwelekeo mbovu wa uchumi wa nchi yetu na kupanda kwa gharama ya maisha kwa wananchi kunakoendelea kusababishwa na pamoja na mambo mengine mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya shilingi
chadema inaitahadharisha ccm dhidi ya mikakati inayoendelea kutekelezwa na serikali inayoongozwa na chama hicho ya kuongeza malipo ya posho za vikao kwa baadhi ya viongozi waandamizi kama wabunge kukabiliana na ugumu wa maisha huku yenyewe serikali ikiikabili hali hiyo kwa kupandisha bei ya huduma za msingi zinazotolewa na taasisi zake huku ukimuacha mwananchi kwenye mazingira ya kipato kile kile wakati sekta ya umma ikiungana na sekta binafsi kupandisha bei za bidhaa na huduma hali hii ikiaachwa iendelee itakuza pengo la wenye nacho na wasionacho katika taifa na wakati huo huo itaongeza zaidi gharama za maisha kwa wananchi hususani wa kipato cha chini tofauti na ahadi ya rais kikwete na ccm ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania
chadema inarudia kuitaka ccm na serikali inayoongozwa na chama hicho kuzingatia kwamba kipaumbele cha kikuu cha taifa na chama kiuchumi kiwe ni kunusuru uchumi wa nchi na kupunguza ongezeko la kupanda kwa gharama za maisha kwa wananchi
tunatarajia kwamba serikali inayoongozwa na ccm itazingatia mwito huu na kuwasilisha mpango maalum katika mkutano wa sita wa bunge unaoendelea hivi sasa na kama sehemu ya utekelezaji wa mpango huo utafanya mapitio ya bajeti za wizara zote za serikali kwa kuzingatia maoni yaliyotolewa na kambi ya upinzani bungeni pia tunatarajia serikali kama ilivyofanya kwa suala la katiba mpya itazingatia hoja toka kwenye ilani ya chadema ya mwaka 2010 kuhusu hatua ambazo serikali inapaswa kuchukua katika kuinua uchumi wa nchi na kupunguza gharama za maisha kwa wananchi kwa kushirikiana na sekta binafsi
kuhusu jamii
ccm na mwenyekiti wake rais kikwete wamekwepa kuzungumza namna ambavyo chama hicho kimejipanga kisera na kiutendaji kuisimamia serikali kuboresha huduma za msingi za kijamii hususani elimu afya maji na nyinginezo kwa kuzingatia kwamba hali katika huduma hizo haulingani na umri wa taifa na rasilimali ambazo nchi inazo
katika hotuba hiyo ameeleza kwamba masuala mengine ya migogoro mathalani ya madaktari atayazungumza siku chache zijazo na kwa upande wa mgogoro kati ya serikali na wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga badala ya mwenyekiti wa ccm rais kikwete kueleza namna chama chake kimejipanga kitaifa kisera na kimkakati kushughulikia matatizo yao ameishia na kuahidi kukutana na kikundi kimoja cha wamachinga chadema inatambua kwamba serikali inayoongozwa na ccm imekuwa ikitumia wakuu wa mikoa na vyombo vya dola katika kuwanyanyasha wafanyabiashara ndogo ndogo katika maeneo mbalimbali nchini badala ya kutekeleza ahadi za rais kikwete kuhusu wamachinga ambazo amezitoa kwa nyakati mbalimbali toka aingie katika urais mwaka 2005
chadema imekuwa mstari wa mbele kuwatetea wafanyabiashara hao nyakati zote ambapo ccm kimekuwa na kawaida ya kuwatumia nyakati za uchaguzi na kuwanyanyasa mara baada ya chaguzi
chadema inatambua kwamba kuna ongezeko la migogoro ya kijamii katika taifa ambayo serikali badala ya kushughulikia vyanzo vya migogoro hiyo inashughulikia matokeo na hivyo kuendeleza migogoro zaidi
chadema imebaini kwamba mtizamo wa serikali katika kushughulikia migogoro katika mwaka 2011 umesukumwa na maelezo ya rais kikwete ya mwishoni mwa mwaka 2010 kwamba najua wapo baadhi ya wanasiasa na vyama vya siasa ambavyo vimepanga mikakati ya kuendeleza malumbano ya uchaguzi na kutaka watanzania waishi kama vile nchi ipo kwenye kampeni za uchaguziwamepanga wakati wote kutafuta jambo au hata kuzua jambo ili kuwachochea wananchi waichukie serikali wamepanga kuchochea migomo vyuoni na maandamano ya wananchi mara kwa mara
na mwenyekiti huyo wa ccm akasisitiza msimamo huo wa chama chake kwenye hotuba yake ya tarehe 5 februari 2011 kwamba hivi sasa wanakula njama za kutaka wapate kile walichokosa kwenye kura za wananchi kwa njia ya maandamano migomo na kuchochea ghasia nalo wanajidanganya kamwe hawatafanikiwa napenda kuwahakikishia wanaccm na wananchi wenzangu wote pamoja na hao wanaohangaika usiku na mchana kupanga njama ovu na hujuma dhidi yangu na chama cha mapinduzi kuwa hawatafanikiwa ngo wananchi wengi wa tanzania ni werevu na wanajua kupambanua ukweli na uongo na zuri na baya hawatawafuata watu hasidi na wasioiombea mema nchi yetu na watu wake nawasihi msiwasikilize na msiwafuate watu ambao hawajali mateso watakayopata watu wengine ili mradi tu maslahi yao binafsi yanaendelezwa
katika hali hii madai ya haki za kisiasa kiuchumi na kijamii za raia na makundi mbalimbali ya kijamii yamekuwa yakishughulikiwa na serikali na mara nyingine kwa maelekezo ya ccm kama vile ni msukumo wa chadema na viongozi wake na hatimaye badala ya serikali kushughulikia madai ya msingi imekuwa ikiwashughulikia wanaotoa madai hayo au matokeo ya madai hayo badala vyanzo vya madai hayo
chadema kinaitaka ccm na serikali kuweka mkazo katika kushughulikia migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji serikali na umma na wananchi na wawekezaji katika maeneo mbalimbali yenye rasilimali za kilimo misitu madini na nyinginezo chadema kinaitaka ccm na serikali kuzingatia kwamba kipaumbele kikuu cha kijamii iwe ni kushughulikia vyanzo vya migogoro katika maeneo mbalimbali badala ya kukabiliana na matokeo
chadema inarudia kutoa rai kwa umma watanzania na wanachama kutambua kwamba katika kusimamia vipaumbele vya kisiasa kiuchumi na kijamii vya taifa na chama chadema kimejipanga kutimiza wajibu wa chama mbadala na chama kikuu cha upinzani nchini katika mwaka 2012 kwenye vyombo vya uwakilishi ambavyo tuna wajumbe wa kuchaguliwa na katika ngazi mbalimbali za chama
aidha pamoja na kutumia mikutano ya maamuzi ya kiserikali na kichama chadema kitaendelea kutumia pia njia nyingine zote za kidemokrasia ili kuunganisha umma katika kuiwajibisha ccm na serikali kutimiza wajibu wake katika kipindi cha sasa na kuwaongoza watanzania katika kufanya mabadiliko makubwa ya kimfumo na kiuongozi katika taifa kupitia chaguzi zijazo
chadema kinatoa mwito kwa umma kupuuza kejeli zilizotolewa na ccm na viongozi wake katika maeneo mbalimbali ya nchi katika sherehe za chama hicho zilizoanza tarehe 1 februari mpaka 5 februari 2012 wanachama na wananchi kwa ujumla wazingatie kwamba chadema itaendelea na ziara zake katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa ajili kutimiza dhima yake ya kuhakikisha uongozi bora sera sahihi mikakati makini na oganizesheni dhabiti kwa maendeleo endelevu ya tanzania kazi ambayo ccm wameishindwa miaka 35 tangu kuanzishwa kwa chama hicho
nitarudi kusoma baadae kidogo maana imekuwa ndefu na hapa kuna mteja wa kumhudumia
muungwana action member
naamini ipo siku 'tutashinda' na kusahau machungu tunayopata wazalendo kamili wa hii tz
there u are pal
pamoja na kwamba upo ukweli katika hiyo kauli lakini ni lini mataachana na mtindo
wa reaction politics na kujielekeza zaidi katika proactive measures
ninamaanisha kuwa kauli kama hii ccm waliitarajia kutoka kwenu mngekuwa mmetarajia watakayoyasema
kwenye sherehe zao mngeweza kuwa preempty mapemani matarajio yetu kuwa kazi yenu ni kuongoza
njia ambayo hata wao wapende wasipende wataifuata ndipo sisi wananchi tutakapo watofautisha nao
tumieni muda wenu kufanya utafiti wa kweli kuhusu matatizo yetu bila kujali kama majibu yatawaathiri
au lamfano kwa sasa wabunge ni watu wasioaminiwa kabisa hapa nchini(mnyika ukiwamo) mmefanya nini
kutufanya tuwaamini
go on chadema
goodnes member
chadema mpo juuendeleeni kutafuta kila kona yale yanayotudidimiza watanzania na kutufanya tusisonge mbele kwa spidi kisha tuweekeni hadharaniila wabunge wasijisahau kutembelea majimboni mara kwa mara na kusikiliza kero zetu na kuzitafutia ufumbuzi kwa kufanya hivyo uhakika wa kubaki kwenye majimbo utakuwepo pamoja na kuongeza mengine kwani kwasasa wananchi tunahitaji vitendo zaidikingine msiisahau igunga wapenzi wa chadema ni wengine hivyo muwe mnawatembelea na kuwatia nguvu hasa viongozi wa kitaifa wa cham ili wasibadili mawazo najua na wengine watafuata 2015 jimbo la chadema hiloasante chadema oyeeeeeeee
jina lako ni moshi nyingi
taarifa nzima ya chadema inaongea kuhusu ccm2 maana yake nn mmekosa taarifa ya kuwaeleza watanzania mbona wao hawaongei ya kwenu hapo ndipo ninapogundua kuwa ya ccm ni mazuri kuliko ya cdm pilipili usoila yakuwashia nn mtaiga sana ya ccm maana ni chama makini mkubali msikubali mtajifunza kutoka ccm
natanguliza pongezi kwa ufafanuzi na msimamo wenu (chadema) hongera mheshimiwa mnyika kwa ufafanuzi wa yale yaliojiri jana katika maadhimisho ya ccm mimi binafsi sikuona tofauti ya sikukuu za kitaifa kwa maana ya za kiserikali na ile ya ccm nadiriki kusema katika maisha yangu sherehe ambazo watu walikula chakula katika maadhimisho kama hayo ilikuwa ni sherehe za saba saba miaka ya sabini nyati waliwindwa na kuwa kitoweo kwa wanafunzi waliokusanyika kucheza ngoma katika sherehe na wazazi wao pia niliposikia tangazo la watu kupata mlo ile siku nilijiuliza mafungu ya kulisha maelfu ya wale watu yanagharimiiwa na nani umuhimu wake ni nini je ile pesa ya kuwapa chakula wale maelfu isingetosha angalau kupunguza ahadi za mheshimiwa rais wetu alizotuahidi
nice press release kweli chadema ni chama makini andiko limeenda shule
kimariom member
hata kichwa cha habari husom kwel wew na wao kam pipa na mfuniko
mkuu umesoma hiyo post au unajibia experience na ulichojiaminisha kichwani mwako
kumbuka kwamba chadema wanawakumbusha ccm kwamba tuliwaambia hivi and youi havent done anything and you dont seem to prioritize a damn serious thing
kimsingi ccm wanakumbushwa waamke kwani walishaambiwa mimi nafikiri ccm inatakiwa kushukuru sana kuwa na chama pinzani kinachowaambia mabo ya kufanya na kuwakumbusaha kila wanapoonekana kujisahau
mpelekee ujumbe huu mwenyekiti wa chama chako yule anaye manufacture teachers
mwambie wananchi wake ndio hawa
soma kwanza kichwa cha habari ndo uongee
nilikuwepo mjini wakati ccm wanafanya iyo shereheits hopeless and stupidwasukuma kwa ubwabwa/nyama hamjamboeyebrows
mwanza kuna mgao wa umeme ingawa sijui taarifa yoyote kwanini umeme unakatika kila siku kuazia asubuhi adi jioni isipokua siku ya sherehe mch mzima umeme ulikuwepo walipomaliza sherehe umeme ukaenda kwao adi usiku sanana maji ni almost hakuna kabisa kutokana na katizo ilo la umemeyani adi unasikitika watu wanavoteseka kwa hizi shida
ivi mwanza kuna engineer/meneja wa tanesco kweli
huu mji haukutakiwa kuwa katika hali hii ya dhiki ilhali madini almost yote na samaki wanapatikana kanda ya ziwa ila umaskini umekithiri adi unashindwa elewa kwanini
ebu nikasome ile thread kule kwanini tanzania ni maskini labda nitaelewa japo
mnyika rudi nyumbani acha kupoteza muda
umesoma kichwa cha habari we mbwira kabla hujachangia au hauangalii unapokwenda utajigonga kwenye ukuta funguka akili achana na maisha ya bora liende wake up pambana na maisha na tafuta jinsi ya wote sisi tufanye nini ili tuikomboe tanzania yetukm ccm wanakosea acha wasemwe ili waache kabisa
nakubaliana na cdm rais wetu alitakiwa kutolea majibu masuala makubwa ya kitaifa ambayo yanazungushwa tu bila kupata majibu
hii ndio maana ya chama cha siasa kisichokuwa madarakani yaani kila anachofanya mwenzako lazima unakifanyia kazi sio kusubiri uchaguzi tu kama wengine tusio wasikia wamelala mpaka watakapopewa ruzuku tena 20142015 | 2018-01-18T20:07:18 | https://www.jamiiforums.com/threads/kauli-ya-chadema-kuhusu-hotuba-ya-kikwete-na-maadhimisho-ya-ccm.220561/ |
balozi ahimiza wananchi kulinda afya zao zanzibar yetu
posted on december 12 2014 december 12 2014 by zanzibariyetu
balozi ahimiza wananchi kulinda afya zao
mrajisi wa bodi ya chakula dawa na vipodozi dr burhan othman simai akimpatia maelezo balozi seif juu ya juhudi wanazochukuwa watendaji wa bodi hiyo kukagua bidhaa mbali mbali zinazoingizwa nchini ili kujua ubora wake
makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi ameuomba uongozi wa bodi ya chakuladawa na vipodozi zanzibar (zfdb) kuwaelimisha wananchi juu ya mfumo bora wa matumizi ya vyakula na vinywaji ili kulinda afya zao
alisema afya za jamii zitaendelea kuimarika na kuwa salama endapo vyakula na vinywaji wanavyotumia vinakuwa salama katika kiwango kinachokubalika kwa matumizi ya mwanaadamu popote pale duniani
balozi seif alitoa ombi hilo wakati alipofanya ziara fupi ya kulikagua jengo jipya la bodi ya chakula dawa na vipodozi zanzibar liliopo katika mtaa wa mombasa wilaya ya magharibi nje kidogo ya mji wa zanzibar
alisema hatua ya kuuelimisha umma kupitia vyombo mbali mbali vya habari na mawasiliano inafaa iongezwe kwa lengo la kuitanabaisha jamii kujiepuka na hila za baadhi ya wafanyabiashara wanaotumia mwanya wa kusambaza bidhaa zisizostahiki kutumiwa na mlaji
alieleza kwamba zipo bidhaa zinazoingizwa nchini na baadhi ya wafanyabiashara ambazo tayari zimeshapitwa na wakati wa matumizi wakijua fika kwamba zinaweza kuleta athari kwa umma lakini kinachowapa msukumo wa kufanya hivyo ni tamaa na utajiri wa haraka haraka
makamu wa pili wa rais wa zanzibar aliushukuru uongozi na wafanyakazi wa bodi hiyo ya chakula dawa na vipodozi kwa kujudi wanazochukuwa za kukabiliana na wajanja wanaojaribu kuingiza bidhaa zisizostahiki kutumika hapa nchini bila ya kujali afya za wananchi wenzao
meneja wa kitengo cha mtandao wa mawasiliano ya kompyuta cha bodi ya chakula na dawa (zfdb) mohamed yahya said aliyevaa shati rangi ya buluu akielezea mfumo wa mradi wa mrh unaotoa fursa kwa bodi ya chakula na dawa kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja ya mamlaka za bodi nyengine duniani
balozi seif pia akaupongeza uongozi wa bodi hiyo kwa hatua iliyofikia ya kujenga jengo kubwa na la kisasa linalokwenda na wakati na kuuhakikishia uongozi wa bodi hiyo kwamba atachukuwa juhudi katika kuona yale mafungu yao wanayopangiwa katika bajeti ya wizara yao wanayapata ili kukamilisha ujenzi wao
mapema mrajisi wa bodi ya chakula dawa na vipodozi zanzibar dr burhan othman simai alisema bodi hiyo hivi sasa imejikita zaidi katika kuongeza uwezo wa kulinda afya za wananachi kwa kutumia mfumo wa taaluma
dr burhan alisema watendaji wa bodi hiyo watajengewa mazingira mazuri ya kupatiwa mafunzo ya kitaalamu zaidi ambayo yatakidhi mahitaji halisi ya mfumo huo
mrajisi huyo wa bodi ya chakula dawa na vipodozi alifahamisha kwamba taasisi hiyo kwa mujibu wa vigezo na taratibu za kimataifa kwa sasa inalazimika kuwa mamlaka inayojitegemea
alisema licha ya juhudi za kwenda na vigezo hivyo iliyochukuliwa na bodi hiyo kwa hatua ya kuandaa rasimu ya mabadiliko ya sheria iliyoandaliwa na taasisi hiyo lakini ufinyu wa bajeti nao unachangia kuzorota kwa suala hilo
previous postprevious wekeni mikakati kukabili mabadiliko ya tabia nchi
next postnext ahadi waliyofungamana viumbe na allaah kabla ya kuzaliwa kwao | 2017-11-20T00:29:51 | https://zanzibariyetu.wordpress.com/2014/12/12/balozi-ahimiza-wananchi-kulinda-afya-zao/ |
salary software development engineer in seattle wa | glassdoor
$111161*
how much does a software development engineer make in seattle wa the average salary for a software development engineer is $111161 in seattle wa salaries estimates based on 16672 salaries submitted anonymously to glassdoor by software development engineer employees in seattle wa
us all cities seattle wa area seattle wa redmond wa bellevue wa kirkland wa issaquah wa bothell wa north bend wa renton wa sammamish wa seatac wa tacoma wa federal way wa kent wa mountlake terrace wa woodinville wa everett wa dupont wa carnation wa burien wa
$106806 per year
$6364 monthly
$6855 monthly
$5052 hourly
$7156 monthly
$4321 hourly
$130980 per year
$8762 monthly
software development engineer in seattle salaries
microsoft software development engineer seattle wa area $106806
amazon software development engineer intern monthly seattle wa area $6364/mo
amazon software development engineer seattle wa area $107791
microsoft software development engineer intern monthly seattle wa area $6855/mo
realnetworks software development engineer seattle wa area $93500
zillow software development engineer seattle wa area $103074
expedia software development engineer seattle wa area $102900
smartek21 software development engineer seattle wa area $98243
ciber software engineer (developer) seattle wa area $101720
amazon software development engineer intern hourly seattle wa area $3756/hr
akvelon software development engineer seattle wa area $86869
microsoft software engineer/developer seattle wa area $105879
microsoft software development engineer hourly contractor seattle wa area $5052/hr
amazon software development engineer monthly seattle wa area $7156/mo
myspace software development engineer seattle wa area $113714
expedia software development engineer intern hourly seattle wa area $4321/hr
rhapsody international software development engineer seattle wa area $87154
isilon a division of emc software development engineer seattle wa area $100529
groupon software development engineer seattle wa area $130980
microsoft software development engineer monthly seattle wa area $8762/mo
a software development engineer reported making $130000 per year
a software development engineer reported making $107000 per year
a software development engineer reported making $116000 per year
$37k stock bonus | 2017-09-21T11:23:47 | https://www.glassdoor.com/Salaries/seattle-software-development-engineer-salary-SRCH_IL.0,7_IM781_KO8,37.htm |
surinam pato la taifa constant bei
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi surinam pato la taifa constant bei
surinam pato la taifa
pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji 210 260 1080 880 asilimia [+]
pato la taifa 399 346 524 010 usd bilioni [+]
patolataifakwamwananchi 804860 796700 893060 333500 usd [+]
patolataifakwamwananchippp 1377590 1363630 1528550 946070 usd [+]
pato la taifa constant bei 964300 971800 1020200 766900 srd mamilioni [+] | 2020-07-03T19:49:20 | https://sw.tradingeconomics.com/suriname/gdp-constant-prices |
jeniffer kyaka (odama) j fiml 4 life grace rwegasha mwenye ndoto za kuigiza kwa sasa ametoa albamu yake ya my saviour god
grace rwegasha mwenye ndoto za kuigiza kwa sasa ametoa albamu yake ya my saviour god
mwimbaji wa nyimbo za injili tanzani mwenye ndoto kubwa za kuwa mwigizaji wa filamu tanzania ambaye kwa sasa anamtumikia mungu kwa njia ya uimbaji amesema anatamani sana kuigiza kwani ana kitu hiki ndani ya moyo wake kwa muda mrefu sana yupo tayari kufanya kazi na mtu yeyote yule ili atimize ndoto yakegrace akishirikiana na mdogo wake joshu rwegasha wameamua sasa kumuimbia mungu na kumtukuza ili mungu mwenyewe ajitwalie utukufu waimbaji hawa ni ndugu (ni mtu na mdogo wake) baada ya bwana joshu kuona ana kitu ndani yake cha kumtukuza mungu aliamua kumjulisha dada yake grace christian rwegasha kwamba anahisi kumuimbia mungu na wakati umeshafika grace alikubaliana na wakaamua kuingi studio na kufanya albamu yao hii ya kwanza grace christian rwegasha | 2017-01-18T13:57:49 | http://odama1.blogspot.com/2014/04/grace-rwegasha-mwenye-ndoto-za-kuigiza.html |
mnyika athibitisha udhaifu wa jk bungeni jioni hii | jamiiforums | the home of great thinkers
mnyika athibitisha udhaifu wa jk bungeni jioni hii
discussion in 'jukwaa la siasa' started by donyongijape jul 2 2012
akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya raisi mh mnyika ameanza kwa kunakili ibara ya 3350 ya katiba ya nchi amesema katiba hii inampa raisi madaraka makubwa raisi halazimiki kufuata ushauri wote wote amesema mwaka jana ofisi ya raisi ilileta bajeti na wakachangia weeeeee mambo mazuri kabisa lakini kwa masikitiko makubwa ni kwamba mengi ya msingi hayajatekelezwa na ndio maana wabunge wanalazimika kuzungumza kwa ukali amesema kuna idara nyeti za pccbmaadili mipangoajira utumishitiss etc ambazo zote zipo kumshauri raisi kiuchumi kiusalama kiajira etc etc amesema huenda idara hizi zinatoa ushauri mzuri tu kwa raisi lakini kwa kuwa raisi anaweza kuukubali au kuukataa basi huenda raisi anapuuza huo ushauri hivyo mwisho akaiomba serikali katika majumuisho iseme ni namna gani huu udhaifu unashughulikiwa
anasema serikali ilete taarifa/ makubaliano ya serikali na madaktari bungeni ili ijadiliwe
anasema serikali ilete taarifa/ makubaliano ya serikali na madaktari bungeni ili ijadiliweclick to expand
wakujadili nani wabunge au serikali maana serikali na madaktari wameamua kupimana msuli
mnyika ananipa raha kweli magamba walikuwa kinywa kumsikiliza ukiwa unatetea magamba lazima uonekane mjinga mmh kuna huyu wa cuf naye kafunguka
mnyika ananipa raha kweli magamba walikuwa kinywa kumsikiliza ukiwa unatetea magamba lazima uonekane mjinga mmh kuna huyu wa cuf naye kafungukaclick to expand
mnyika amejenga hoja yake vizuri leoalikuwa akiuchambua udhaifu wa jk vizuri kweli kweli kwangu mimi nimeng'amua kwambakama kuna wataalamu wa maana serikalini na wanatoa ushauri wa maana kisha jk anapuuza kama tunavyomsikia na kumjua kuwa ni mbishi au aka big headedbasi ni sahihi kabisa kwake yeye kumuita jk dhaifu mtu ambaye haki nchini kwake kupata ushauri wa wataalam mtu anayezurura misibani na harusini etc etc huyo lazima atakuwa dhaifu heko john mnyika
heko kijana anatuwakilisha vyema bungeni tunataka vitu km hv kwa tunaowatuma bungenisio mbunge flani anaomba tufunge na kuomba kwa ajili ya serikalieti serikali ina pepo tulikemee lol
namkubari sana jjmnimekubali kauli ya msigwa akili ndogo inatawala akili kubwa
kelele tu bungeni hana maana yeyote huyu kijana mwache aropoke tena halafu aje kujitetea
kelele tu bungeni hana maana yeyote huyu kijana mwache aropoke tena halafu aje kujiteteaclick to expand
kwa taarifa yako waote leo wameufyata mkia tuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii chezea mnyika wewe atakung'ata oooooh
mkuu hapo unaleta ushabiki wa vyama kwenye ukweli unatakiwa kukiri tu huyu kijana point zake ni constructive siyo mtu wa kelele kama ulivyosema hata spika na watu wa serikalini wanamkubali isipokuwa tu ni kwa kuwa hayuko kwenye chama tawala na bunge letu linaendeshwa kisiasa zaidi ni kama vile wakala wa serikali na chama tawala na si mhimili unaojitegemea kama ambavyo lilitakiwa kuwa 0 people likes
mkuu hapo unaleta ushabiki wa vyama kwenye ukweli unatakiwa kukiri tu huyu kijana point zake ni constructive siyo mtu wa kelele kama ulivyosema hata spika na watu wa serikalini wanamkubali isipokuwa tu ni kwa kuwa hayuko kwenye chama tawala na bunge letu linaendeshwa kisiasa zaidi ni kama vile wakala wa serikali na chama tawala na si mhimili unaojitegemea kama ambavyo lilitakiwa kuwa hawa ndio wanalia kivulini acha wabwate lakini nafikiri salamu za wananchi kuikataa ccm zinawafikia japo haziamini
big up jm
ukweli utabaki kuwa hivyo hata kama huutaki ni kheri akuambiae kosa lako kuliko akusifiae
ukweli ukicmama uongo hujitenga wamezomea sasa wanaona haya
huyu huwa uwezo wake anabeba wabunge 200 wa ugambani
angekuwa mbunge wa chadema angeambiwa tunaomba utuletee ushahidi lakini kwa sababu ni wa chadema hakuna tatizo na yuko halali kusema lolote hivi ujinga wa namna hii tutauvumilia hadi lini sasa siyo tu ushahidi huo uwasilishwe bungeni bali pia na sisi wanachi tunaomba ushahidi na kama atashindwa kuuwasilisha alitake radhi bunge kwa kukidhalilisha chama cha chadema vile vile awatake radhi watanzania wotea sbaby
huyo huyo si ndio alikuwa anadai katiba hii mbaya na anataka ibadilishwe mpaka akawa anasusa bungeni vipi leo imekuwa nzuri
nakwambieni huyu kijana anachanganyikiwa kama mnabisha mtanambia maana nimemobserve mara anacheka cheka bila sababu mara ananuna bila sababu mara anakasirika bila sababu mara anaongea vitu vya ajabu
mtazameni sana jamani asije akafanya vituko vikubwa kuliko hayo mjengoni huu ni ushauri wa bure
madaktari wamerudi kazini kwanini hamsemi walichochewa na nani km ni udhaifu wa jk basi wangesaini kuacha kazi km mdhaifu alivyowaambia
mtazameni sana jamani asije akafanya vituko vikubwa kuliko hayo mjengoni huu ni ushauri wa bureclick to expand
zomba ume confuse anayechekacheka bila sababu ni baba yenu | 2016-12-04T20:31:28 | http://www.jamiiforums.com/threads/mnyika-athibitisha-udhaifu-wa-jk-bungeni-jioni-hii.286550/ |
maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto
kutokana na tulichojifunza kutoka kwenye vituo vya majaribio vilivyosimamiwa na wizara ya afya na ustawi wa jamii na unicef vituo vya utoaji wa huduma za uzuiaji wa virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto viliongezeka na kufikia 710 nchini ilipofika mwaka 2006 karibu 12 ya kinamama wajawazito wanaopaswa kupata dawa za arv walipata dawa hizo ili kupunguza maambukizo ya vvu kwa watoto wakati wa kujifungua miongozo ya kupunguza maambukizo ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (pmtct) ilifanyiwa mapitio katika jitihada za kuhamasisha matunzo kamambe na matibabu kwa kinamama walioathirika
juhudi za kuenea kwa vituo vya huduma za kinga ya maambukizo ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (pmtct) nchini zimekuwa ndogo kutokana na muundo wa utoaji wa huduma hizi ambao kimpango husimamiwa na serikali kuu upungufu wa dawa kutokana na kutokuwa na makadirio mazuri ya dawa na matatizo ya usambazaji wa dawa zenyewe kuwepo kwa sera inayoruhusu kinamama wajawazito kupewa dawa za arv kipindi cha mwisho cha ujauzito (kuanzia wiki ya 28) na ufuatiliaji hafifu wa mama na mtoto | 2019-12-16T14:02:54 | http://www.tacaids.go.tz/sw/maambukizi-ya-mama-kwenda-kwa-mtoto/swahili/thematic-sw/maambukizi-ya-mama-kwenda-kwa-mtoto |
uturuki kuidhamini zanzibar katika sekta ya elimu zanzibar24
uturuki kuidhamini zanzibar katika sekta ya elimu
serikali ya uturuki imesema ipo tayari kuunga mkono nchi za afrika ikiwemo zanzibar katika sekta ya elimu ili kuziwezesha nchi hizo kuendelea kuzalisha wataalamu wa fani mbali mbali katika nchi
akizungumza katika sherehe za kuanza mwaka mpya wa masomo 2019 katika skuli ya sekondari ya maarifu wilaya ya kati unguja balozi wa uturuki nchini tanzania ali davutaglu amesema wapo tayari kusaidia sekta ya elimu kwa ngazi mbalimbali ikiwemo elimu ya masomo ya sayansi
amesema mbali na kuanzisha skuli zanzibar pia wamekusudia kuanzisha skuli nyengi tanzania ili kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi jambo ambalo litaimarisha mashirikiano na uhusiano mzuri walionao kwa mda mrefu
akizungumza kwa niaba ya waziri wa elimu na mafunzo ya amali mkuu wa mkoa wa kusini unguja hassan khatib amesema serikali ya zanzibar itaendelea kuthamini juhudi ya wahisani wa maendeleo katika kuimarisha sekta ya elimu nchini
amesema wapo tayari kutoa ardhi kwa taasisi ya kimataifa ya maarif kwa ajili ya kujenga skuli mpya ya elimu ya msingi pamoja na kujenga chuo kikuu ambacho kitawawezesha wanafunzi kujifunza katika nchi yao
ni jambo jema kuona wananchi wanajifunza fani mbalimbali katika nchi yao jambo ambalo litawapunguzia gharama za masomo wanafunzi wenye kipato cha chini
aidha ametoa wito kwa wanafunzi wa skuli hiyo kusoma kwa bidiii pamoja na kuyapa umuhimu masomo ya sayansi ili kuendana na ulimwengu wa sayansi na teknolojia
taasisi hiyo ya maarif ilianzishwa na bunge la uturuki juni 2016 kwa ajili ya kusaidia sekta ya elimu katika nchi mbali mbali duniani na ina vituo vya kutolea elimu zaidi ya 200 katika nchi 33 duniani kote
← akamatwa akiwa na shehena ya dawa za kulevya nungwi
kilichomkuta fundi huyu kitakutoa machozi achomwa na nondo shingoni → | 2019-06-20T15:51:01 | http://zanzibar24.co.tz/uturuki-kuidhamini-zanzibar-katika-sekta-ya-elimu/ |
kwanza tarehe wana uwezo wa kubadilisha maisha yetu mimi kutambua kwamba kama wewe ni sasa maandalizi kwa ajili ya moja mimi labda tu alifanya tumbo yako flip na kwa kuwa mimi kuomba msamaha njia bora ya kuingia katika tarehe ya kwanza ni kupumzika hivyo kusahau yote ya kubadilisha maisha nyanja badala hebu kuzingatia mazungumzo
hivyo mara nyingi sisi kufikiri ya kwanza tarehe kama mahojiano ya kazi ambayo kwa hakika seti mood makini si mazuri kwa ajili ya kujifurahisha kabisa na majibu ya kawaida kwa mahojiano ya kazi ni woga haki wakati tuko neva wakati mwingine tunasahau muhimu zaidi mazungumzo chombo kama tulizonazo kusikiliza
hii inaweza kuonekana kama rahisi lakini ni ya kushangaza sparse katika dunia ya leo sisi kuzingatia sana juu ya kuandaa hotuba yetu kuburudisha au utoaji kamili kwamba sisi kuacha kikamilifu kutusikiliza kwa mtu mwingine nimesikia mengi ya kubwa mojaliners na mimi upendo guys funny lakini nini kuhusu guy ambao kwa kweli anasikiliza kile ambacho unaweza kusema naam yeye ni kipa kama yeye ni funny pia basi ve umakini hit jackpot
watu wanataka mwanamke ambaye anasikiliza pia mimi si kuzungumza kuhusu kusikia maneno anasema pamoja na kwamba ni muhimu hatua ya kwanza kwa kweli kusikiliza maneno yake sauti yake lugha ya mwili wake na matendo yake wanawake huwa na makini na mambo haya vizuri sana lakini siku ya kwanza tarehe sisi mara nyingi kupata hivyo ililenga wenyewe (mavazi yetu nywele zetu chakula katika meno yetu nani nchi na reapplications lipstick) kwamba sisi kusahau kwa nini sisi ni kweli kuna
kusikiliza tarehe yako ni kivitendo uhakika ili kusaidia mazungumzo kati yake ujuzi bad kusikiliza aina haiba hapa ni formula
1 swali kama tarehe ya mazungumzo yako kuhusu majukumu ya kazi au maslahi binafsi kwamba hawaelewi au amri kitu mbali menu wewe sijawahi kusikia ya sijisikii kuuliza maswali ya kijinga uliza tu watu hupenda kueleza kile wanajua mengi kuhusu na umefanya tu akageuka tarehe yako katika mtaalam kama hiyo ni juu ya injini ya gari au sushi nani hataki kujisikia kama mtaalam sisi huwa na majadiliano mengi zaidi kuhusu tamaa zetu hivyo wewe ni kupata kujua kwamba mtu katika njia ya maana
2 pause kuruhusu tarehe yako muda wa kumaliza mawazo yake ni pretty standard na inaweza kuthibitisha vigumu wakati wewe ni msisimko au neva lakini kuchukua ni hatua moja mbali zaidi anaweza kweli kutoa taarifa njia moja kubwa ya kufanya hivyo ni kuchukua sip ya maji kama mtu ni kumaliza mawazo ni inatoa watu ukimya kujaza na mara nyingi unaweza kupata kujua zaidi kuhusu yao kutoka inclusions hizi
3 kutambua hisia labda yeye tu kumaliza shahada yake au labda yeye ni juu kwa ajili ya kukuza fikiria jinsi ambavyo ungehisi katika nafasi hiyo labda ungependa unataka kuzungumza kuhusu madarasa yako favorite nini unataka kufanya katika uwanja au miradi umefanya kazi juu ya kupanda ngazi sasa una maswali kubwa hii ni tukio ambapo mawazo ya ubinafsi wanaweza kuthibitisha manufaa sana katika kujifunza juu ya mtu mwingine
4 rudia kama wewe ni hivyo wasiwasi na hofu kwamba una broccoli kukwama katika meno yako na si tu na uwezo wa kuzingatia maelezo ya kazi yake wakati hisia upofu kwa kompakt katika mfuko wako angalau sana kujaribu kuchukua juu ya maneno muhimu je yeye kusema kuingia data sasa unaweza kuuliza maswali kuhusu aina gani ya data kama hii ni kitu yeye anapenda au kama yeye anatumia kiasi wingi wa caffeine kuishi ni lakini kwa uaminifu kusahau compact wakati unaweza na tu kumwomba
bila shaka kuuliza maswali kuhusu mnyama wako wa tarehe(s) ni ilipendekeza si mpenzi wanyama angalia tafadhali nasema hili katika (na aina ya umakini)
kufurahia tarehe yako ya kwanza kupumzika na kuwa na furaha kumbuka tu kusikiliza maisha yako may katika mabadiliko ukweli lakini hey hakuna shinikizo
umewahi kusikia ya fifty shades ya grey wakati wote wa hype ina nini na tamaa ya kibinadamu ya ngono na | 2017-08-18T08:59:31 | http://www.datemypet.com/sw/4-tips-for-first-date |
tra tanga yawataka wafanyabiashara kutumia mashine za efdwanunuzi nao watakiwa kudai risiti zanzinews
home habari matukio tra tanga yawataka wafanyabiashara kutumia mashine za efdwanunuzi nao watakiwa kudai risiti
meneja mkuu wa mkwabi super market kawkab hussein kulia akizungumza na meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure kushoto wakati wa ziara yake kwa walipakodi wanaotumia mashine na efd na wasiokuwa nazo ili kubaini changamoto na kuziboresha
meneja mkuu wa mkwabi super market kawkab hussein kulia akizungumza na meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure kushoto wakati walipoingia kwenye duka hilo
meneja mkuu wa mkwabi super market kawkab hussein kulia akimuonyesha meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure namna wanavyotumia mfumo wa efd mashine kutoka huduma zao kwa wateja wao kushoto wakati walipoingia kwenye duka hilo
meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure kulia akimuonyesha mfanyabiashara yusuph tayabani kitu kwenye risiti wakati wa ziara hiyo
meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure kulia akitoka kwenye mmoja ya duka ambalo alilitembelea wakati alipowatembelea walipakodi wanaotumia mashine na efd na wasiokuwa nazo ili kubaini changamoto na kuziboresha
meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure katikati akiwa na maafisa wengine wa tra mkoani tanga wakitoka kwa duka la kuuzia gesi wakati wa ziara hiyo
meneja wa tra mkoa wa tanga specioza owure
mamlaka ya mapato nchini (tra) mkoani tanga wamefanya ziara ya kutembelea walipakodi waliokuwa na mashine za efd na wasiokuwa nazo ili kuweza kubaini changamoto zao na kuweza kuboresha huduma zao
akizungumza wakati wa ziara hiyo meneja wa tra mkoani tanga specioza owure alisema baada ya kutembelea walipakodi hao wameona wapo walikuwa wanastahili kuwa na mashine za efd lakini hawana hivyo kuwaachia barua za kwenda kununua mashine hizo
alisema pia wamelazimika kutoa barua za wito kwa baadhi yao ili waweza kufika ofisi za mamlaka hiyo kwa ajili ya kuona kumbukumbu za mauzo na manunuzi ili kuona kama wanastahili kwa na mashine za efd
meneja huyo alisema kwamba ni muhimu sana kwa wafanyabiashara kuendelea kutumia mashinde za efd ikiwemo kuwataka wanunuzi nao kudai risiti wakati wanapofanya manunuzi
lakini pia tumewaelimisha walipa kodi athari za kutokutoa risiti na kutokutumia mashine za efd na kwamba usipotoa risiti adhabu yake ni milioni tatu mpaka nne na nusu huku kwa wale wasiodai risiti adhabu yake inaanzia elfu 30 hadi milioni 15 au kifungo kisichozidi miaka mitanoalisema
awali akizungumza katika ziara hiyo meneja mkuu wa mkwabi super market kawkab hussein alisema umuhimu wa mashine hizo ni mkubwa kwani unarahisisha kufahamu mauzo ya siku na pia kuchangia maendeleo ya nchi
hussein alisema pia mfumo huo unawafanya wafanyabiashara kutokuibiwa kutokana na kila anayenunua bidhaa anapata risiti na hivyo kuwa rahisi kuweza kujua mauzo ya siku husika lakini pia kuchangia maendeleo ya nchi
hata hivyo alisema kwamba changamoto kubwa ambayo wanakumbana n ayo ni mtandao wa hizo mashine wakati mwengine unasumbua lakini pia ni ghali sana inabidi wapunguze maeneo ya mauzo yao unatakiwa ununua sita au zaidi ya hapo kama utaboreshwa mfumo vizuri unawasaidia kuweza kutambua mauzo
mamlaka hiyo iliwatembelea maduka mbalimbali yakiwemo ya dawavituo cha kuuzia mafuta cha ratcosuper marketi ya mkwabi na maduka ya kuuza bidhaa za jumla za vyakula | 2019-03-22T14:47:03 | http://www.zanzinews.com/2019/02/tra-tanga-yawataka-wafanyabiashara.html |
sintahcom mrithi wa jina la the great (the great petit man wakuachee)
mrithi wa jina la the great (the great petit man wakuachee)
mrithi wa jina la the great
wakuacheeee
anakula bata tuhawara yake ananyea ndoo lol maisha haya
wa wapi huyu naeeee eeeh tumejaa mjini humu
katembea na kajala pindi mumewe yuko ndani jelawao waponda rahakwa lipi awe the greatana act nae amanawe shobo kuwapa promo watu hata kupitia magazeti pendwa hatumufahamu ama mpiga pic wako anduje
bado sanaaaaaaa
anajidanganya kamwe huwezi safiria nyota ya mwenzio utasubiri sana dogo yule ni yule tafuta njia nyingine ya kutokeaaa
wamuachesie wa nini huyu we anduje mtukutukwanza ndio nanimcongoman auyuko band ganimashujaa tujuzeee
mpaishe tu aweza kukutoa upweke wakati mwingine manake kha
hovyooooooooshombo la dagaa mchele yukkkk
katoa ngapi kupaishwa humu na mie nilete ya bwanaangu
hampati yule ng'ooooo utawehuka mwishoe
huyu ni nani kwani
kwi kwi kwikibichwa kikubwa kuliko mwilihahaha i cant stop laughingkako kama wale wavulana watengenea kuchathe great my ass
the great atakuwa huyo bwana we nawe kwa kutaka tucheke wengine mbavu hatuna mamii sasa huyo tumwache nini maana hatuoni kitu naona kama mkongo vile kwanza wala hatujawahi kumuona hata kwenye udaku embu tuondelee matatizo siye
mshenzi ww usie na haya wala usiejua vibaya eti mrith wa the great kwa lipi nyau ww unafikiri wanarithi tu hoyo hoyo wanaokotwa kwenye dampo acha kabisa na hiyo post itoe kabisa fala ww usitukumbushe machungu ambayo tayari tunaanza kuyasahau nyau ww toa upuuzi kama huna vya kuweka kaa kimya huna hata haya hivi ww kichwa chako cha samaki au kuku nn
hawa kwa kuchangia mabwana utawaweza leo wa kajala kesho wa sinta balaaaaaa mnatisha
domo la upawa una tabu wewe umeshapewa lunch siku moja basi na jina umemrithisha huyo muuza bangi south africa hakika njaa zinawapeleka pabaya dada zetu
the great gani mamake tapeli kaenda kumtapeli mtu nyumba ya bwanangu atupishe huko
kwani huyu ni nani jamani sura ngeni
eti mtengeneza kuchambavu zangu kwi kwi kwi
the great ajidaimuone mbayaahivi watu wengine huwa hamuwaoni watu wa kujifanishakione kimekomaahana mwili wala surakokoto zimemjaakifupi huna hadhi wewe iga majina ambayo hata maana yake ya mtu alijitungia aliitoa wapikuwa mbunifu tafuta jina lakokione kibayaamvuto huna unataka mambo makubwa kaoshe huko masufuria ya mama ntilie huko
heheheheh mujini kuna mambobamutu ba kila ainawa wapi kwanikaja sa ngapimkoa ganihapa hapajuu ya nini bandugu tumuacheana shoti kwani tutarushwaaaaa uwiii bolingo na motemaya wapi kule lubumbashi
haahaahaahaaaaaaa africa moto
jaman muacheni the grety wety wa imasko tmkkkkkkk hahaahhahaha we rich leo utajuta kuvamia hii page ahhahahaahahhaahhaha uwiiiiiii mbavu zangu mie jaman msimuue sana dogo alikuwa anaect michezo na ziro jaman wa bongo kwa kuua siwez mhhhh ahhahahahhaha sintah mwambie pit man angalie
matusi mengine unajitakia muache the great apumzike jamani
he he he he kibelaaaaaa
na aliyemwambia tunataka mlinzi wa the great ni nani yani we sinta nae hata huwaga hufikirii sa ingine some ppoz pain of the loss is still too fresh kuwaletea huu upuuzi wzko mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umenikera we na ray sidhani kama mna tofauti mlikua mbelembele kwenye msiba kiushabiki tu huna moja
moto moto moto kwapa ka kona ya sambusa eti mtengeneza kucha uwiiiiiiiiiii watu mna maneno nimechekajeeeee
ahahahahahahahahaha uuuuuwiiiiiiiiiiiii mburaaaaaaaaaaaaaaaahiyo ni papaa motema pembe ya kule lubumbashi kwiii kwiii kwii kwiiii
msonyooooooooooooooooooooooooooooooooo
nyoooooo we nae bibi kwel sa huyu kifup nyundo mxiuuuuuu tatzo lako naww ushazeeka ila unapenda vtoto shepu ya kabat ww kanye
the great ya mkundu ake mfyuuuuuuuuu chek alivo kakamaa kama zege iliyosahaulika nyoko katafute jina linginne kafup ka steve nyerere
the great my both foot and handskunya ujipake humfikiii ng'ooooivi kilichokufanya umfagilie nini au kwa kuwa akili zako kama zake badala ya kuyapa majina yenu umaarufu mnajipachika majina ya watu ndo mmeona ujanja mshamba mjua ji wewemfyooooooooooooo
mh the great tenambona simjuiyuko kaa wa congo vilekweli kazi ipofake great
phides mmassy
jamani watu wanatukana mungu hapendi
the great wa kichina mweeeee
ahahahahahaha mweeeh mbavu zng miess hapo the great ndo nani mxxiuu sura km kaboka mchizilooh kumbe blog siku hizi zimekuwa km vibanda vya simu khaa sinta plse ebu kama huna habari nenda vacation upareni kwenujisonyoooooooo la hajaaaaaa maana hivyo vigimbi vimekataa kabisa caro liteheheheeeyaaaaaaa
hahahha nimechekaje jaman hebu nijuzeni na nani kwan huyu
we malaya kutwa kuwanga chanika naona kifo cha gr8 ndio ulikuwa unakiombeawhat goes around comes around twice as hard | 2017-07-26T20:37:12 | http://prettysintah.blogspot.com/2012/04/mrithi-wa-jina-la-great-great-petit-man.html |
jipende mbongo cheki mapigano mbalimbali ya kujitetea (masho ati) | kitoto
« blogu zenye mambo mapya zaidi zinatakiwa
je unaupenda uso wako »
jipende mbongo cheki mapigano mbalimbali ya kujitetea (masho ati)
january 12 2008 by kitoto wabongo sio
tunasifika watu wa amani
miaka zaidi ya arobaini sisi tumekuwa ahueni ya majirani zetu (wakimbizi) wenye vita tafrani maafa na majanga lakini je kuwa mtu wa amani ina maana usijipende mbongo jipende ndugu yangu balozi wetu mmoja kapigwa na majambazi kule bondeni watanzania wawili wakauawa marekani mwaka juzi wiki iliyopita waandishi wawili wa habari wakapigwa mapanga na kumwagiwa tindikali na majambazi waliolipwa kufanya uchafu huo( na wenye mali)
siri nini
jifunze kujitetea haina maana ukiwa mtu wa amani usijue kujilinda jifunze kujitetea
la kwanza kumcha mungu mlinzi na muumba wetu muhimu lakini mungu kasema jisaidie mwenyewe na mimi ntakusaidia au bahati kuwa na bahati muhimu ila haitoshi kuna kukwepa majanga ndiyo je ndumba hirizi chanjo kinga kujilinda tokana na juju au elimu kujua mambo kusoma utaalamu ujinga huharibu maisha elimu ni silaha ya maisha na vita halafu kuna pesa lakini ukiwa na pesa kuna mawili kujikinga nazo au kutafutwa na kuibiwa pesa kuipata iko kazi mwisho nina hili pendekezo mwili wako mwenyewe mazoezi
wote tunamjua bruce lee hizi ni mashoati za mashariki ya mbali je wazifahamu je una fahamu kuwa zipo nyingine nyingi nchi mbalimbali mashio ati au sanaa ya kupigana husaidia akili roho mwili hujenga kujiamini kisilika na kihisia husaidia pia mtu kuishi marefu zaidi na kukinga baadhi ya maradhi masho ati pia yaweza kusaidia kukinga maisha yako ukiwa hatarini na ndiyo mada kuu ya hii blogu leo
hebu cheki hizi hapa muhimu na maarufu duniani baadhi yake nimekuwekea pia video ufaidi kwa kituo zaidi
japani karate
neno karate lina maana mikono mitupu zipo staili chungu nzima za karate bongo wengi tunaifahamu goju ryu iliyoletwa mwaka 1973 na mmarekani mweusi bomani pale zanaki dar goju ryu ni mseto wa ngumu na laini husisitiza kupigana na kushinda bila kutumia silaha yeyote
kwanza tazama zoezi la karate liitwalo kata ni kama dansi lakini muhimu sana
http//ukyoutubecom/watchv=df7qwz7ccee&feature=related
halafu jisomee zaidi
http//wwwgojuryucom/
karate ipo pia korea taekwando na shotokan karibuni taekwando imekua sana bongo zote mbili zinaaminika kwa mateke yake ya haraka haraka taekwando najulikana zaidi kama mchezo hasa olimpiki na huwa na sheria zake
faidi kidogo
http//ukyoutubecom/watchv=cy1gqrxujok&feature=related
halafu wajapani wanayo aikido hii imeanza kuwa maarufu kutokana na sinema za mmarekani steven seagal ingawa mwigizaji mbaya sana (mathalani siku zote yeye mbabe na yeye tu ndiyo anashinda kwa kusema na kupigana) aikido hutumia nguvu ya mpinzani wako kumtwanga mwenzako kwa hiyo ni nzuri sana kwa wanawake na watu wasiokuwa na miili mikubwa au musuli musuli
kwanza onyesho la aikido
baada ya hapo sasa mtazame mwigizaji maarufu wa kimarekani steven seagal akionyesha vitu vyake wakati angali kijana darasani zamani sana
http//ukyoutubecom/watchv=y5ddwzwb38
jisomee zaidi
wajapani pia wanayo judo ambayo ni mieleka ya urushaji na uangushaji lakini karibuni mseto wa judo na karate umeumba jiu jitsu ambayo hutumia pia ubinyaji wa sehemu muhimu za mwili na kumpinda adui bila kutumia maguvu inatumiwa sana na polisi wanajeshi na mashushushu wabrazili nao wameunda jujitsu yao ambayo ni ya kupigana zaidi chini chini yaani ukimwangusha chini ukimkalia mpiganaji wa ju jitsu ya kibrazili chini umejitakia mabaya
kwanza cheki sinema
http//ukyoutubecom/watchv=suxxye3lfr0 halafu jisomee zaidi
japani ina mengi zaidi lakini hapa tuna gusa tu juu juu
china china na india ndipo vianzio vya mapigano mengi tunayoyajua inayofahamika zaidi ni gung fu ambayo bwana bruce lee aliijengea sana jina huchezwa pia na mamonki au watawa wa dini ya kibudhha mtindo huo unaitwa shao lin gungu fu waswahili na waingereza tunasema kung fu
http//ukyoutubecom/watchv=ibigzt9yliq
kuna pia tizi hiyo hiyo lakini ya pole pole zaidi ambayo hufanywa zaidi na wazee usishangae kuona vijizee vya kichina asubuhi asubuhi katika bustani vikicheza kitu kama dansi ya kijongoo na kijogoo macho mbele kwa mpangilio wa kigwaride tai chi chuan kifupi inaitwa tai chi mseto wa uvutaji pumzi kujibalansi mwili na mapigano mapigano haya hufanywa na watu wa makamo kuanzia miaka 50 kuendelea hadi 100 haina mipaka na inaendeleza sana maisha na afya
cheki inavyotumika katika mapigano
http//ukyoutubecom/watchv=5frmv20w2uq&feature=related
cheki pia mseto wa kungfu wi chun boxing na mapigano mbalimbali ya mitaani aliyovumbua marehemu bruce lee haya ni ya haraka na kummaliza jambazi au muhuni anayejaribu kukuumiza yanaitwa jeet kune do
hapa mcheki mwanafunzi wake dan innosanto(siku hizi mtu maarufu sana) akifundisha na bruce lee mwenyewe akionyesha kazi
thailand thai boxing ngumi zinazochanganya pia vigoti vichwa mateke viwiko na mapigano ya haraka thai imechukuliwa na wazungu na kuitwa kick boxing aliyeitangaza magharibi mwanzoni alikuwa marehemu bruce lee haya ni mapigano ya haraka sana na yanapendwa zaidi na vijana majuu mapigano haya yanatumiwa kupunguza vitambi na mafuta mwilini wanawake wengi wanachukua kick box kuondoa unene
cheki thai kiduchu yapo pia maelezo ya asilia yake
http//ukyoutubecom/watchv=a0rltzn_1uc
ubaya wake huharibu sana magoti kwa hiyo ni vigumu kwa wazee
philipines escrima pentak silat mapigano ya wafilipino ya kutumia visu fimbo chini juu haraka na taratibu
escrima pia huitwa kali ni hatari sana na mtu anayejua escrima vizuri ni kama nyoka bruce lee aliipenda sana escrima mmoja wa wanafunzi wake dan inosanto zambaye ni mfilipino leo ni mwalimu mkubwa wa mseto huu na kati wataalamu wakubwa duniani kwa mashio ati
cheki
http//ukyoutubecom/watchv=q7zlekka66q
india wahindi wengi leo hawafanyi tizi wanahusudu zaidi cricket na biashara lakini zamani sana inasemekana walikuwa waanzilishi wa mapigano yote hayo juu mashio ati inayofahamika zaidi ni ile iitwayo kalaripayatu hii inasemekana ndiyo mwanzilishi wa kila kitu bara asia kwa mfano nimewahi kuwaona wanawake wanaopigana wamefungwa macho unamkata kwa kisu anakikwepa ingawa hakuoni anahisi inafundisha mambo ya aina hiyo ukweli mmoja wanawake huwa hatari sana kwenye mafunzo yanayotumia zaidi silika na hisia
http//wwwyoutubecom/watchv=mwvjo_inpku&mode=related&search=
tuje ulaya
ufaransa savate haya ni mapigano ya wafaransa yanayotumia ngumi na mateke mateke yenyewe si tu ya kupiga kama kick box bali pia kutega ngwala na kutengua karne mbili zilizopita savate ilikuwa ikitumiwa na wezi ufaransa kupora leo mchezo wa mashioati ukitazama mwanzoni iko kama kickbox lakini ukweli zinatofautiana
jionee mwenyewe
http//ukyoutubecom/watchv=wadtkrxee5a
brazili capoeira kapoiera ilikuzwa na watumwa wa kiafrika waliopelekwa mkuku brazili miaka mia tatu iliyopita mateso yalikuwa makubwa katika kujumuika na kufanya mazoezi ili kuwachapa na kupambana na wabaya wao wa kireno ikabidi watumwa wafiche kile walichokuwa wakifanya kila bwana mkubwa akija wanajifanya wanapiga muziki na kuimba nyimbo kumbe wanajitayarisha kuwadunda kapoeira ilitumiwa pia katika vita vya ukombozi vilivyoongizwa na zumbi huyu aliwajambisha kweli wakoloni hao
chombo kinachotumiwa katika kapoeira kinafanana na ile mandondo ya kigogo kinaitwa inaitwa berimbau kapoeira ni mseto wa mateke mieleka sarakasi ujanja wa kukwepa kutania uhuni na dansi inayokubabaisha adui ilipigwa marufuku na serikali ya brazili hadi 1973 hii leo baada ya mpira ni mchezo unaopendwa na maarufu brazili ukweli uchezaji mpira wa kibrazili unaosifika na kupendwa ulimwenguni umesaidiwa na fani mbili muziki wa samba na kapoiera
kwanza cheki jamaa wakiwa kazini
http//ukyoutubecom/watchv=ujkr4cot2dc&feature=related
halafu burudika na akina dada fiti wakisakata samba na kapoeira mseto wa kila kitu
wengi hudhani breakdance imeanzia marekani ukweli asilia yake kapoeira
http//ukyoutubecom/watchv=ddzxp0tq6jk&feature=related
vale tudo ni mapigano mengine kabambe yaliyojengwa na wabrazili vale tudo ina maana kila kitu twende vichwa mateke mieleka kungata ngumi kabali nk
juu nimetaja brazilian ju jitsu hii ni ya chini chini usiangushwe chini na mtu anayejua ju jitsu ya kibrazili hutaamka
tazama vale tudo
http//ukyoutubecom/watchv=cj01uyilgjg&feature=related
halafu brazilian jiu jitsu
http//ukyoutubecom/watchv=enr9ibudgdc
urusi systema
katika mataifa yanayoaminika kwa kupigana vita duniani ni warusi walisaidia sana ushindi wa vita vya pili vya ulaya dhidi ya manazi wa kijerumani kati ya 1939 na 45 warusi ni majasiri majasiri majasiri kati ya mtindo wa mapigano unaotumika hasa na wanajeshi na mashushu wao ni mashio ati ya kirusi (systema) iliyojengwa kama utamaduni wa mgambo (yaani kila mtu katika jamii kuijua) mamia ya miaka iliyopita haijulikani kabisa ulimwengu wa sasa lakini ni kali sana baada ya mapinduzi ya mwaka 1917 wakomunisti waliichukua systema na kuifanya iwe mali ya mashushu na wanajeshi wachache miaka kumi na tano iliyopita mmoja wa wapiganaji hawa mwanajeshi vladimir vasiliev alikimbilia kanada ambapo alianza kuifundisha
leo systema inasambaa ulaya na duniani iko tofauti kabisa na mashio ati nyingine nilizozitaja hapo juu huhimiza uvutaji pumzi kuwa laini (usisahau nyoka na wanyama ni viumbe laini sana) na kinyume na hizo mashi ati zote hapo juu si mchezo wala wapiganaji wake hawashiriki katika mashindano maana lengo lake si kucheza bali kumaliza kazi tofauti kubwa ya mashio ati hii na nyingine pia ni namna inavyofundishwa kila kitu unachofanya unafanya kikweli kweli na kujaribu pale pale mathalani katika karate mtu unafanya kata na kukisia utapiganaje katika ngumi (boxing) unapiga begi au mchanga ilhali systema unajaribu lile teke lako au ngumi kama linafaa kwa binadamu mwenzako systema pia hufundisha kutumia silaha si tu za kawaida kama visu bali chochote kile kama kalamu simu ya mkononi kitabu au kitana kujitetea maisha yako yakiwa hatarini
tazama wanajeshi wa kirusi wakifanya tizi ya systema
http//wwwyoutubecom/watchv=l__uqkpeici&feature=related
cheki systema ikifundishwa kupigania chini
maelezo ya jamaa aliyefanya kipindi cha runinga karibuni
http//wwwyoutubecom/watchv=m1ortetknse&feature=related
jisomee zaidi
http//systemalondoncom
wayahudi krav maga
hii ni kiasi fulani kama systema ( wengi wanasema imeanzia huko) ina kama miaka mia moja tu lakin si masihara hutumiwa na majeshi na mashushushu wa kiizraeli kama systema pia hufundisha kutumia chochote kile kiwe jiwe au meno yako kujilinda tofauti ya krav maga na mashio ati zote nyingine ni vile inavyoweza kutumiwa mara moja na vijizee watoto vilema wanawake kujitetea pale pale mathalani kumfundisha mwanamke anayetaka kubakwa kutumbukiza vidole (wanawake wanazo kucha ndefu) ndani ya macho ya adui na kuyatumbua
cheki inavyotumika katika hali halisi kujikinga mijini
http//wwwyoutubecom/watchv=cgeu312nth0&feature=related
au wayahudi wanavyojifunza
bila kusahau wapo watu mbalimbali wanaofundisha aina mbalimbali za kujihami ama na silaha au kupambana tu na wahuni na majambazi hawa huwa jamaa waliostaafu wanajeshi askari au jamaa tu wenye uzoefu wa mapigano ya kujitetea mitaani hawaongelei tu nadharia ila washafanya washaona wana makovu na visa vya kuelezea kwa hiyo maarifa na elimu wanayotoa si ya vitabuni au kubuni buni
kwanza visu kwa yeyote anayeishi uingereza au anayefuatilia habari za jamii hii atakuwa anajua namna kisu kilivyo silaha kuu ya wabaya wa kitasha mwaka jana waliuawa watoto (au vijana) karibuni 50 kati yao asilimia hamsini waliuawa kwa visu cheki hizi video kadhaa
huyu anawafundisha maofisa wa polisi na kusititiza kosa linalofanywa na masho ati nyingi usikinge kisu kwa mikono utafiti uliofanywa unasisitiza kuwa maiti zilizouawa na visu huwa na majeruhi mikoni kutokana na marehemu kujaribu kujikinga kwa mikono anapokatwa
huyu chini anasisitiza kama hapo juu umuhimu wa kutojaribu kukinga kisu kwa mikono
hawa chini wanaonyesha pia mazungumzo maana masho ati nyingi hazisisitizi umuhimu wa maongezi kiasi kikubwa cha mapigano huanzia katika maneno pili majambazi hutishia kwa sauti na maneno makali yenye matusi cha zaidi nilichopendea video hii ni ile spidi ya mapigano ukweli wa hali halisi haraka haraka bila simile
hawa wanasisitiza umuhimu pia wakukimbia ukiona huwezi (kama alivyosema marehemu bruce lee)
na mwisho kabisa bunduki silaha hatari kushinda zote (huyu jamaa kama sikosei kafanya krav maga ya wayahudi vile vile)
posted in uncategorized | tagged afya kujijua kujilinda kujipenda martial arts tanzania | 10 comments 10 responses
on january 19 2008 at 354 am | reply dara
us nonswahilli speakers miss your words😉
on january 22 2008 at 144 pm | reply frank
nimekukubali m2 wangu ila tutoe na sisi kwenye hizi training if possible
on february 1 2008 at 210 pm | reply egidio ndabagoye
unene bongo ni sifa ya kuwa na hali nzuri kifedha na kimaishakuna mtu mmoja nataka apite hapa apate chakula hiki
on september 24 2008 at 1002 am | reply edmundi sama
eeh bwana nbona ipo fresh sana hii makitu hata wabongo tunaweza na kujifunza tu ndio kitu kinachotakiwa au sio mazee
on september 24 2008 at 1025 am | reply kitoto
ndiyo edmundi inafaa lakini kabla ya kuanza yabidi kujua unataka kufanya nini ndiyo maana nimeanza kuelezea kwanza angalau kijuujuu
on november 13 2008 at 425 am | reply mwalimu mkuu juma mshabazi
jambo ndugu na dada mualimu mkuu juma mshabazi http//wwwjumamshabaziwebscom
on july 18 2014 at 126 am | reply rama kutupa
cku zote katika maisha yng naamini hakuna mchezo wenyefaida nyingi duniani km mchezo wa ngumi 1mazoezi 2kujilinda3ajira
on august 29 2014 at 820 pm | reply bruno mwala
asante sana brother kwa kutueleza menginadhani kuanzia leo nitajitahidi kujua kwani napenda sana hii michezo
on march 13 2015 at 517 pm | reply athuman
hi bro nakuzungukia mara nying naomba msaada wako kuntoa nina msingi mzuri wa taichi chuan stail ya yang hivyo kama utaweza tuanzishe kundi ili hata tupate mafunzo zaidi na kwa baadae tuwasaidie wengine pia
on april 14 2015 at 1258 am | reply kitoto
athumani nimefurahi sana kusikia kuna mtanzania anayefanya tai chi ni wazo zuri kuiendeleza kwa wenzetu waifaidi ila je unaishi wapi | 2016-12-10T03:03:48 | https://kitoto.wordpress.com/2008/01/12/mwaka-mpya-mambo-mapya-jipende-zaidi-mbongo/ |
danielle rollins 'nyumba ya atlanta kubuni ya ndani > mambo ya ndani
wakati danielle rollins alibadilisha waendeshaji wa miguu 1970 wa kijojiajia huko atlanta katika nyumba yake ya ndoto ilikuwa mwanzo wa sura mpya mpya kwa ajili ya mali na mtengenezaji
upinde wa mvua uliohifadhiwa wa bluu tumbaku matumbawe na mbalinyeupe huunganisha mlipuko wa ruwaza katika chumba cha kulala sofa katika velvet ya hariri ya prelle deangelis mapazia katika kitambaa cha cowtan & tout kutafakari pierre frey mchoro juu ya sofa kelly o'neal
nilikuwa nimekwenda talaka na kupoteza kila kitu anasema rollins mtaalam wa maisha ambaye ni mtaalamu wa kubuni na mambo ya ndani (hivi karibuni alizindua nguo na vifaa vya ukusanyaji)
vitu vya kulia vya chumba cha kifungua kinywa cha chumba cha kifungua kinywa ni mpango wa rollins mapazia katika kitambaa cha brunschwig & fils pendant mallett kifua cha mzabibu cha mavuno
wakati kitabu changu soirée alikuja nje miaka michache iliyopita nilikuwa niliulizwa kutoa mazungumzo juu ya burudani ya maridadi ingawa wakati huo nilikuwa nimetoka nyumbani kwangu na hata kidogo nilikuwa na sahani za karatasi
danielle rollins amevaa moja ya miundo yake mwenyewe anarudi katika chumba chake cha kuishi cha atlanta na mbwa wake bluebell (kushoto) na maybelline
rollins aliamua kuijenga maisha yake na kuweka hatua kwa siku zijazo nilinunua kweli nyumba mbaya zaidi lakini ilikuwa kwenye barabara kuu kwa bei niliyoweza kumudu anasema niliamua kutayarisha kuwa kila kitu nilichotaka kufanya
vipimo vya picha na sakafu za kijiometri vinasaidia jikoni na maeneo ya huduma juu katika pantry ya mkulima ujenzi wa nguo na mapazia ni brunschwig & fils cork sakafu desturi globus cork
pamoja na mbunifu wa bill ingram rollins alianza ukarabati wa kibinadamu akajenga upya mpango wake wa sakafu mpya wa nyumba ili kuingiza chumba cha kuishi cha kuonyesha urefu wa miguu 40 pamoja na mrengo mpya kwa wazazi wake ambao wanaishi na mtengenezaji na watoto wake watatu
gris de savoie ya marble countertop jikoni ni kutoka marmi natural stone kuzama na vifaa maji ya maji ya maji
kuweka nafasi mpya kubwa alichagua palette ya blues ya serene na vituo vya msingi katika nyumba iliyojenga rangi ya bluu rangi yake ya kupenda kwa kuendelea chumba cha kupumzika kinapigwa katika ukuta wa muda mrefu wa toile de nantes wa pierre frey pamoja na vitabu vyake vilivyopigwa vyema kwa azure kali
viti vya jikoni serena & lily pendants na sconces circa taa matofali ya ukuta kazi za maji hood ya desturi mbalimbali na ghorofa ya kitambaa
kuchapishwa kama ikat pia kunaongeza nguvu kwa sanaa anayopenda kukusanya mara nyingi mimi huwaambia watu 'ikiwa una picassos basi unaweza kuwa na ukuta nyeupe' rollins anasema vinginevyo vibrancy ya rangi ya asili au muundo unaweza kufanya sanaa yako kuwa hai
mapazia na kitanda cha kitanda kilichowekwa katika lee jofa chintz ni katika satin ya brunschwig & fils kichwa katika kitambaa cha rogers & goffigon kutafakari schumacher carpet stanton mwenyekiti wa louis xv ni upholstered katika hariri scalamandré
wakati wa ukarabati rollins pia alipanga maeneo makubwa ya huduma ikiwa ni pamoja na ukumbi wa mkulima na nafasi ya kupanga maua chumba cha china na chumba cha kifungua kinywa na makabati yaliyojaa kamili fedha na glasi
vitu vya kutafsiri chintz na karatasi iliyopangwa kambi huunda background ya fanciful katika chumba cha kulala cha bwana
unajua kwamba adage ya kale 'ikiwa unununua nguo kwa maisha unayoishi utaenda kuishi' anasema nadhani ukinunua china ya nicer utaitumia lakini unahitaji kuwa na nafasi pia
sofa katika lee jofa chintz na samuel & sons trim na armchair katika kitambaa kravet ni miundo wote desturi na rollins
urembo wa kimapenzi unatawala katika chumba cha kulala cha wabunifu ambapo splashes ya apricot matangazo ya lebwe na chintz ya maua hutoka kitanda cha kamba
dari ya apricotlacquered katika chumba cha kulia hutoa mwanga wa kupendeza viti vya kale vya kiitaliano katika dhamana ya lee jofa kitambaa na benchi pamoja na samweli & wanaume wakiweka katika oscar de la renta kwa kitambaa cha lee jofa mapazia katika kitambaa cha fortuny kuta mpira wa farrow & mpira wa kijani dari katika w27 rangi nzuri ya ulaya
safu ya mapazia ya satin ya barafubluu moja ya vitu vichache ambavyo alishika kutoka kwenye nyumba yake ya awali ya miles reddhutegemea madirisha
rollins rangizimefanana na kuta zake za chumbani kwa hue yake ya favorite lipstick
jambo kuu nililojifunza kutoka kwa miles ni wazo kwamba 'ni mapambo tu' anasema ikiwa hupendi kitu unaweza kubadilika kila wakati na ukitununua vipande vyenye vizuri ambavyo unapenda unapenda kupata nafasi
ukuta na upholstery katika umwagaji bwana ni katika maua ya thibaut bafu kohler fittings newport brass sakafu ya sarujitile tile ya granada rollins katika chumba chake cha poda
wakati huo huo picha ya lynda carter kama wonder woman inaongoza juu ya umwagaji mkuu ambayo hutolewa katika jadi ya mapambo ya hadithi na southerner wenzake nancy lancaster kama raha kama chumba chochote cha kukaa picha ni moja ya mambo ya kwanza rollins anaona kila asubuhi kumpa uwezo wa kuvaa cape yake ya kawaida ya kila siku
chumba cha poda huchochea kupendeza zamani jedwali iliyopigwa ni katika satin ya brunschwig & fils desturi rosedhahabu wallcovering kutoka taa zinafanywa kwa mishumaa ya matunda ya baccarat vile vile vya sanamu za kaure za kichina za karne ya 19 john rosselli vitu vya kale
nina shukrani kwa nyumba hii na mradi huu anasema mwanzoni nilizingatia kile nyumba yangu inahitajikalakini kwa kuzingatia mchakato wote ulinipa tena mambo mengi niliyoyahitaji pia
hadithi hii ilichapishwa awali katika sura ya desemba 2017 ya veranda
unataka veranda zaidi pata upatikanaji wa papo hapo
magazine mkate yellow © copyright 2020 | touri ya house hatua ndani ndani ya nyumba ya kucheza ya ajabu ya atlanta tastemaker | 2020-02-16T18:39:39 | https://sw.yellowbreadshorts.com/296-house-tour-step-inside-playful-home-of-glamorous-atlanta-tastemaker.html |
man united yasonga nusu fainali europa league samatta hoi njiani | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
jun 26 2017 eid pakistan dodoma tff ccm dar es salaam teen tanzanian tanga tanesco siku kama ya leo
man united yasonga nusu fainali europa league samatta hoi njiani
usiku wa jana (alhamisi) zilichezwa mechi nne katika viwanja tofauti kwenye kombe la ligi ya europa timu ya manchester united imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya ligi hiyo baada ya kufanikiwa kuifunga anderlecht ua ubelgiji kwa mabao 21 na kufanya kufuzu katika hatua hiyo kwa jumla ya magoli 32
nayo ajax ya uholanzi imefuzu katika hatua hiyo japo ilifungwa kwa mabao 32 na schalke 04 ya ujerumani lakini katika matokeo ya jumla yanaifanya timu hiyo kusonga mbele kwa jumla ya magoli 43
katika mechi nyingine iliyochezwa usiku huo klabu ya olympique lyonnais imeungana na timu nyingine katika hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa beşiktaş kwa njia ya mikwaju ya penalty ambao walishinda kwa 76 katika dakika 120 za mchezo huo beşiktaş ilishinda 21 na kufanya timu hizo kufungana jumla ya mabao 33 ambapo katika mchezo wa kwanza lyon ilishinda kwa mabao 21
wakati huo huo timu ya krc genk anayoichezea mbwana samatta kutoka tanzania iliondolewa katika mashindano hayo na celta de vigo ya hispania japo zilitoka sare ya kufungana bao 11 katika mchezo wa mwanzoni genk walifungwa mabao 32 na kufanya jumla ya matokeo yote kuwa 43
droo ya timu zitakazo kutana katika hatua hiyo ya nusu fainali inatarajiwa kupangwa leo jiunge na bongo5com sasa
usipitwe jiunge nasi kupitia facebook twitter na instagram ili kupata habari zote za town usikose kujiunga na youtube kuangalia video zote kali kutoka bongo5share on whatsapp bongo5 read more habari zinazoendana 8 months ago zanzibar 24 21 oct
europa league pogba afanya kweli man united ikiua genk ya samatta yaiadhibu bilbao
paul pogba amefunga magoli mawili manchester united ikiibuka na ushindi mnono wa magoli 4 kwa 1 dhidi ya fenerbahce na kusogea mpaka katika nafasi ya pili katika kundi a
timu ya genk ambayo anaichezea mtanzania mbwana samata iliibuka na ushindi wa bao 20 dhidi ya atletico bilbao na kukusanya pointi tatu wakiutumia vyema uwanja wao wa nyumbani cristal arena samatta aliingia dakika ya 56 kipindi cha kuchukua nafasi ya thomas buffel
mbwana samatta kazinimatokeo ya mechi zote za europa
1 year ago global publishers 15 apr
1 year ago millardayo 15 apr
2 months ago mwananchi 21 apr
1 year ago bongo5 15 apr
liverpoolsevilla shakhtar donetsk na villarreal zatinga nusu fainali europa league
michuano ya europa hatua ya robo fainali imeendelea tena usiku wa alhamisi kwa michezo minne ambapo liverpool imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali kufuatia ushindi wa mabao 4 3 dhidi ya borrussia dortmund
magoli ya liverpool yamefungwa na wachezaji divock origi philippe coutinho mamadou sakho na dejan lovren
na magoli ya dortmund yamefungwa na henrikh mkhitaryan pierreemerick aubameyang na marco reus
sevilla imeiondoa athletic bilbao kwa changamoto ya penalti 54 kufuatia
10 months ago global publishers 26 aug
makundi ya europa league haya hapa samatta awakwepa man u
makundi ya klabu ambazo zitacheza europa league ikiwemo timu anayoichezea mtanzania mbwana samatta krc genk ya ubelgiji yamepangwa huku matarajio ya watanzania wengi ilikuwa ni kumuona pengine genk ya samatta wakipangwa kundi moja na manchester united wanayoichezea zlatan ibrahmovic na paul pogba
genk na man u wamekwepana kwa man u kupangwa kundi a huku genk wakiwa wamepangwa kundi f endapo akina samatta watafuzu kwenye kundi lao pia man u nayo ikafuzu huenda wakakutana hatua yeyote ya
3 months ago bbcswahili man utd yaingia robo fainali ya europa league
yaichapa rostov ya urusi 21 genk ya samatta nayo yaingia robo fainali
1 year ago dewji blog 18 may
nafasi ya manchester united kucheza ligi ya mabingwa ulaya uefa kwa msimu ujao imemalizika katika mchezo wa bournemouth baada ya kuibuka na ushindi wa goli 31 na ikiwa inahitaji kupata magooli 19 ili kuipita manchester city ambayo walikuwa na alama sawa wakiwa na tofauti ya magoli
magoli ya man united katika mchezo huo wa bournemouth yalifungwa na wayne rooney marcus rashford na ashley young na goli pekee la bournemouth akijifunga beki wa man united chris smalling baada ya kupigwa mpira
9 months ago millardayo 30 sep
baada ya kuanza vibaya kwa klabu ya man united katika mchezo wake wa kwanza wa europa league dhidi ya feyenoord nchini uholanzi usiku wa septemba 29 man united walishuka tena dimbani kucheza mchezo wao wa pili wa kundi a europa league dhidi ya zorya man united ambao mchezo wa kwanza walipoteza kwa goli 10 dhidi []
the post hatimae man united wapata ushindi wa kwanza europa league appeared first on millardayocom | 2017-06-26T03:33:18 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/man-united-yasonga-nusu-fainali-europa-league-samatta-hoi-njiani |
ufugaji bora wa nyuki kwa manufaa zaidi kilimo smart
ufugaji september 28 2019 2 comment
kwa kawaida makundi ya nyuki katika nchi ya tanzania na baadhi ya nchi zinazolingana kwa tabia za nchi makundi ya nyuki huanza kutafuta sehemu salama na yenye chakula kwa wingi kuanzia mwezi wa kumi katika mwaka mpaka mwezi wa nne kwa mwaka unaofuatakipindi hiki huwa na makundi mengi yanayozunguka hapa na pale kutafuta nyumba ambayo itawafaa kwa ajili ya makazi yao na kwa ajili ya kuhifadhia chakula
hiki ndio huwa kipindi muafaka sana kwa wafugaji kuanza kutega mizinga ambayo imeshaandaliwa kwa ajili ya kufugia nyukikwa kuwa makundi mengi huwa yanatafuta sehemu za makazi hivyo ni rahisi sana kuyakama na kuyahifadhi makundi hayo kwa ajili ya uzalishaji wa mazao ya nyuki
picha za mabanda tofauti tofauti ya kufugia nyuki
picha 1banda la kufugia nyuki lililojengwa kwa miti na kuezekwa kwa udongo maarufu kama tembe
picha 2banda la kufugia nyuki lililojengwa kwa miti na kuezekwa kwa nyasi
picha 3nyumba ya kufugia nyuki iliyojengwa kwa matofali na kuwekewa midomo maalumu ya nyuki kwa ajili ya kuingia na kutoka pindi wanapokwenda kutafuta chakula
picha 4kibanda kidogo cha kisasa kwa jili ya kufugia nyuki
picha 5banda la kufugia nyuki lilijengwa kwa miti na kuezekwa kwa bati
picha 6 banda la kufugia nyuki lilijengwa kwa miti kuezekwa kwa bati na kuwekewa uzio wa waya
source http//nyukitzblogspotcom/p/blogpage_5301html
2 comments on ufugaji bora wa nyuki kwa manufaa zaidi
modern farmer shukrani nyingi kwenu kwa taarifa na elimu nzuri juu ya kilimo
asante sana na karibu | 2019-11-14T01:52:56 | https://www.kilimosmartapp.com/ufugaji-bora-wa-nyuki/ |
shilole akiri kupendana na staa wa muziki kutoka nchini nigeria wizkid ~ blogu ya wananchi
shilole akiri kupendana na staa wa muziki kutoka nchini nigeria wizkid
staa wa bongo fleva zuwena mohammed yusuf aka shilole au shishi baby amekiri kupendana na staa wa muziki kutoka nchini nigeria ayodeji ibrahim balogun wizkid
kauli ya shilole inakuja kufuatia madai mazito ikisemekana kwamba alilala na jamaa huyo katika hoteli moja maarufu (jina linahifadhiwa) jijini mwanza walipokutana kwenye shoo ya fiesta kabla ya mwanamama huyo kuvunja ukimya juu ya wizkid chanzo makini kilichoambatana na wasanii mbalimbali wa bongo fleva jijini mwanza kilieleza kuwa ishu hiyo ilianzia kwenye viwanja vya ccmkirumba ambako ndiko kulikuwa na shoo hiyo ya fiesta iliyofanyika wikiendi iliyopita ilidaiwa kuwa shilole alionekana akiwa beneti na wizkid huku akigandana naye kama ruba chanzo hicho kiliendelea kutiririka kuwa wawili hao walionekana wakiwa sambamba kwani hata nyuma ya jukwaa (backstage) walikuwa wakinyweshana vinywaji na kila mmoja akionekana kumzimikia mwenzake ilielezwa kwamba hali hiyo ya kubebishana iliendelea hadi kila mmoja alipomaliza kufanya shoo ambapo waliondoka pamoja uwanjani waandishi wetu risasi hapo kuelekea hotelini habari ya mjini kwa sasa ni shilole na wizkid kwani kuanzia mwanzo wa shoo walikuwa pamoja mpaka mwishoni kabisa waliondoka pamoja kiukweli ndani ya muda mfupi walionekana kuzimikiana sana huku wakinyweshana vinywaji na kubadilishana mawasiliano nyuma ya jukwaa kiliendelea kudai chanzo hicho wazua minongono chanzo hicho kilieleza kuwa ukaribu wa mastaa hao ulizua minongono kwa mashabiki huku wengine wakiufurahia na baadhi kusema kuwa mastaa wa kike wamezoea kujirahisisha kwa wanaume mastaa wakubwa wakidanganyika na umaarufu au fedha hawa wasanii wa kike wana matatizo sana maana wakimuona mtu maarufu au mwenye fedha wanawashobokea sana yaani wanajikuta wanajirahisisha mno kitu ambacho kinawashushia hadhi na kuonekana hawana thamani kabisa hebu angalia shilole alivyochanganyikiwa kisa wizkid alisikika shabiki mmoja akiwaambia wenzake
shilole akiri kupendana na wizkid baada ya kunyetishiwa lilimsaka shilole na kummwagia mashitaka yake yote ambapo alikiri kupendana na wizkid kiukweli hakuna mwanamuziki ambaye nimempenda kama wizkid na yeye amenipenda na kunikubali sana maana wanamuziki wengine tuliokuwa nao waliniambia kwamba jamaa amenikubali sana kuonesha kwamba wizkid alinikubali amenifollow instagram na kule mwanza tulibadilishana mawasiliano na tunaendelea kuwasiliana hilo la kulala pamoja au kumpa penzi bado hatujalifikia jamani alisema shilole ambaye kwa sasa ni mpenzi wa msanii wa bongo fleva ambaye ni zao la tht hamad hassan hamadai
huyu hapa hamadai hata hivyo gazeti hili halikuishia hapo kwani lilimfikishia hamadai ubuyu huo ili kusikia upande wake ambapo alikuwa na haya ya kusema mimi nilikuwa mwanza na nilishuhudia kila kitu kilichokuwa kikiendelea na ni kweli shishi alikuwa karibu na wizkid hilo la kulala pamoja naomba nikuhakikishie kwamba siyo kweli na ni maneno ya watu tu mimi ndiye nililala naye (shilole) na tupo freshi kabisa hakuna tatizo
tujikumbushe mapema februari mwaka huu mwanamuziki mwingine wa bongo fleva estalina sanga linah alidaiwa kubanjuka na mwanamuziki wizkid alipotinga dar kwenye shoo na kulala naye katika hoteli moja iliyopo masaki jijini dar waandishi gladness mallya na imelda mtema
january 2017 (1428) | 2017-01-24T15:14:19 | http://www.williammalecela.com/2016/08/shilole-akiri-kupendana-na-staa-wa.html |
guy scott ndiye kaimu rais wa zambia | matukio ya afrika | dw | 29102014
guy scott ndiye kaimu rais wa zambia
serikali ya zambia imemchagua makamu wa rais guy scott mzambia mwenye asili ya kizungu kuwa kaimu rais wa nchi hiyo ya kusini mwa afrika hadi pale uchaguzi utakapofanyika ndani ya siku 90
kaimu rais wa zambia guy scott
scott amekuwa kaimu rais hii leo baada ya kifo cha rais michael sata kilichotokea mjini london jumanne jioni guy scott sasa ni kiongozi wa kwanza mzungu katika taifa la kiafrika tangu fw de klerk rais wa mwisho katika enzi ya ubaguzi wa rangi afrika kusini iliomalizika mwaka wa 1994
rais michael sata aliye na miaka 77 aliondoka zambia kuelekea jijini london zaidi ya wiki moja iliopita kwa matibabu ya ugonjwa ambao bado mpaka sasa haujawekwa wazi sata aliandamana na mke wake pamoja na watu wengine wa karibu wa familia yake kwa mujibu wa katibu msiska rais sata alifariki jumanne jioni
rais wa zambia michael sata
lakini vyombo vya habari awali vilikuwa vimeripoti sata aliruhusiwa kutoka hospitali ili apate matibabu chumbani mwake huko nchini uingereza rais huyo wa zambia ameiongoza nchi hiyo ya kusini mwa afrika ya pili kwa ukubwa wa uzalishaji shaba tangu mwaka wa 2011
katibu wa bunge la zambia rowland msiska ametoa wito wa kuwepo utulivu nchini humo huku akisema taarifa ya mipango ya mazishi itatolewa hivi karibuni wasiwasi wa hali ya afya ya sata ulianza pale rais huyo aliposhindwa kuonekana hadharani kuanzia mwezi wa juni mwaka huu
wiki iliopita waziri wa ulinzi edgar lungu aliongoza sherehe za kuadhimisha miaka 50 tangu nchi hiyo ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa uingereza
hali ya afya ya rais sata iliokuwa inazidi kudhoofika ilisababisha mgogoro wa nani atakayemrithi rais huyo ndani ya chama tawala cha patriotic front ambapo mwezi agosti rais sata alimfuta kazi waziri wa sheria wynter kabimba aliyeonekana kama mtu anayefaa kabisa kukirithi kiti hicho
kaimu rais wa zambia guy scott na mkewe charlotte scott
guy scott hawezi kuwa rais wa zambia
kwa upande mwengine kaimu rais wa zambia guy scott hawezi kuwa rais kwa sababu wazazi wake wanatokea scottland kulingana na katiba ya zambia rais wa nchi hiyo ni lazima awe mzambia kamili kwa maana ya kwamba wazazi wake wote wawili wanapaswa kuwa wamezaliwa nchini humo
rais michael sata alizaliwa katika eneo moja la kaskazini lijulikanalo kama mpika mwaka 1937 alianza kazi yake ya kwanza kama afisa wa polisi baadaye akaajiriwa kama mfanyakazi wa reli na kisha mwanachama wa chama cha wafanyakazi
baada ya uhuru wa mwaka 1964 sata alijiunga na chama tawala cha muungano wa kitaifa wa uhuru yani united national independence party na kuwa gavana wa mji mkuu lusaka katika miaka ya 80 alijulikana sana wakati huo kama mchapa kazi na alikuwa akichangia pia kwa kusafisha bara bara yeye mwenyewe
baadaye akajitenga na rais wa kwanza baada ya kupatikana uhuru kenneth kaunda na kujiunga na vuguvugu la demokrasia ya vyama vingi movement for multiparty democracy (mmd) ambayo kampeni ya vuguvugu hilo ilichangia kufanyika kwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka wa 1991
chini ya serikali ya mmd sata alihudumu kama waziri wa serikali mitaa kazi afya na pia kama waziri asiyekuwa na wizara maalum mwaka wa 2001 aliunda chama chake cha patriotic front kilichoshinda uchaguzi wa mwaka 2011 kwa takriban asilimia 42 ya kura
sata alijulikana kwa jina la utani kama king cobra kutokana na maneno yake makali kuwakemea mawaziri wake hadharani na kuwahi pia kumuita rais wa zamani wa marekani george w bush kuwa kijana mdogo aliye mkoloni wakati alipochelewa kuwasili katika mkutano wao
sata pia alishutumiwa na wakosoaji wake kwa kuongoza kimabavu na kuukandamiza upinzani na hata vyombo vya habari
mwandishi amina abubakar/dpa
sikiliza mahojiano kati ya daniel gakuba na profesa mwesiga baregu juu ya kifo cha michael sata
tarehe 29102014
mada zinazohusiana zambia
maneno muhimu michael sata zambia guy scott
kiungo https//pdwcom/p/1ddjb
kampeni za uchaguzi wa bunge zaanza congo mashariki 20032019
wakaazi wa beni na butembo huko kivu ya kaskazini pamoja na wilaya ya yumbi mkoani paindombe magharibi mwa drc watapiga kura kuwachaguwa wabunge wao ifikapo machi 31 mwaka huu
kimbunga idai msaada wa dharura waanza kutiririka maeneo yaliyoathirika 20032019
msaada wa kimataifa umeanza kuwasili katika nchi za msumbiji zimbabwe na malawi ambazo zimeathiriwa vibaya na mafuriko yaliyoambatana na kimbunga idai na waliothibitika kuuawa na kimbunga hicho imefika watu 300 | 2019-03-21T13:47:59 | https://www.dw.com/sw/guy-scott-ndiye-kaimu-rais-wa-zambia/a-18027317 |
sinema ya bongoland ii | jamiiforums
sinema ya bongoland ii
thread starter pastorpetro
nimepokea hii kwa email najua hapa ni pa siasa lakini someni
bongoland ii ni jumamosi hii april 5th
hii ni kukumbusha kuwa jumamosi ijayo (kesho) ndio uzinduzi rasmi wa sinema ya bongoland ii hii ni sinema iliyoshutiwa mjini daressalaam mwaka jana ni sinema ambayo iliwahusha wasanii mbali mbali wa kutoka tanzania kama mzee kipara huyu ni mzee wa zamani sana ambaye alicheza katika michezo ya redio na umaarufu wake katika sana tanzania bado ni wa hali ya juu
pia yumo bi chuma selemani mzee ambaye huko afrika mashariki ameshiriki katika sinema nyingi tu zilizotengenezewa pale daressalaam kwa upande wa kizazi kipya kuna wasanii chipukizi wengi hasa hasa watu kama peter omari ambaye alikuwa mkazi wa minneapolis na ambaye ndiye msanii mkuu katika sinema hii peter alikuwa katika sinema ya tusamehe kama mchungaji unaweza kusoma habari za wasanii wote waliosiriki katika sinema hii hapa
vile vile kuna wasanii chipukizi kama shafii abdul ambaye kusema kweli anaonyesha uzoefu mkubwa katika fani hii ya usanii
mwanamziki maafuku wa bongo bushoke naye yuko katika sinema hii
katika utengezaji wa sinema hii kibira films ilishirikiana na chuo kikuu cha ucla kwa vitivyo vya filamu na kiswahili wanafunzi wanane walisaidia kitaalamu katika harakati za bongoland ii pale mjini dar
kwa ujumla hii ni hatua kubwa sana kwa sababu lengo letu ni kuupamba utamaduni wa watu wa afrika mashariki na hasa tanzania pia ni kuvionyesha vipaji vya wasanii katika sehemu za kimataifa
kwa hiyo sinema hii itaonyeshwa kwa mara ya kwanza hapa minneapolis saa nane na saa kumi na moja hapa oak street cinema
unaweza kuona trela ya kwanza hapa au ya trela ya pili hapa
tunategemea kuwa utaweza kufika kwa maelezo zaidi ya uzinduzi unaweza ukayapata hapa
naweza kuwa featured kwenye hiyo movie
waonyesha sinema tanzania msikose kutuletea movie hii hapo novemba entertainment 0 sep 22 2019
kumbi za sinema dar es salaam enzi hizo entertainment 17 feb 9 2019
tuliokuwa tukipenda kuangalia ' sinema ' za hayati bruce lee na kwenda ' kuonea ' watu mitaani na tukapigwa tujitokeze entertainment 14 nov 28 2018
baada ya kutisha kwenye uzinduzi sasa filamu ya bahasha kuanza kuonekana sinema leo entertainment 1 sep 7 2018
tathimini yangu juu tuzo za kimataifa za filamu za sinema zetu lsziff2018 entertainment 14 apr 2 2018
waonyesha sinema tanzania msikose kutuletea movie hii hapo novemba
kumbi za sinema dar es salaam enzi hizo
tuliokuwa tukipenda kuangalia ' sinema ' za hayati bruce lee na kwenda ' kuonea ' watu mitaani na tukapigwa tujitokeze
tathimini yangu juu tuzo za kimataifa za filamu za sinema zetu lsziff2018 | 2020-08-11T09:11:45 | https://www.jamiiforums.com/threads/sinema-ya-bongoland-ii.11669/ |
act 18 | `sbe | step | na kabo paulo ateni ye laugabaei na ye lau kolinito
paulo kolinito unai
1 na kabo paulo ateni ye laugabaei na ye lau kolinito 2 temenai dius tamowaina hesau hesana akuila iya pontas tamowaina na beyabeyana ye lau italiya magaina lakilakina loma unai ye miya na loma kadi tanuwaga saesaena sisa kolodiyas ye hedede meta dius tamowaidiyao maudoidi loma se dahalae gabaei unai akuila ma mwanena pilisila se lau kolinito unai se miya nige bayaona na paulo ye lage na yona taihile unai ye lobaidi 3 akuila ma mwanena kadi paisowa ede tenti ▼
▼ 183tentimeta tau taitaihile yodi numa kaleko yo suisui dahidi udiyedi se bodidi kaikaiwa se hetolodi na tenti se tolesini kewadi unai na maina ena se momosi hekahinidi
se laulauginauli na paulo hinage paisowa wa kabina ye kata unai maiyanao se miya na se paisowagogoi 4 na sabati maudoina paulo ye lau dius yodi sunago unai na dius yo giliki tamowaidiyao maiyanao se hedehedede na paulo ye kaipate bena yesu kabina se kata yo se sunumaei
5 na huyana sailasi yo timoti masedoniya unai se laoma kabo paulo tenti ginauli paisowana wa ye hekaiyawasi na huya maudoina ye laulauguguya dius tamowaidiyao udiyedi ye hededehemasalaha meta yesu iya keliso ede 6 ye lau ee dius tamowaidiyao wa paulo se hewaiunu yo se kawalupolupoi kabo kana kaleko ye koinihinihiyeidi na ye hededelau udiyedi ye wane kwasinamiu giluna komiu kwa bom kalimiuyena yau nige kagu gilu hesau unai kabo ya laugabaegomiu na ya lau dagela tamowaidiyao udiyedi ya lauguguya 7 na kabo paulo sunago wa unai ye pesa na ye lau titiyas diyastas yona numa unai ye lauguguya iya meta yaubada tau tabaꞌohuina hesau na yona numa wa meta dius yodi sunago dedekana ena 8 na dius yodi sunago tanuwagana hesana kilisipas ma kana bodao maudoidi se kawamamohoi guiyau unai yo hinage kolinito tamowaidiyao gwaudi yesu wasana se lapui yo se kawamamohoiyei ede paulo ma kana kahao tamowai wa se hebabatisoidi
9 boniyai hesau unai paulo yona nuwanuwatu unai yaubada tautau hesau ye hemasalaha unai meta guiyau ye hededelau iya unai ye wane tabu ku matausi na yom lauguguya ne bena ye laulau tabu ku mwanomwanou 10 matawuwuna yau ede maidam nige gonowana tamowai hesau ye hewaiunugo yo ye hekamkamnago kana kao ede magai ta unai yogu tamowai se bado 11 na bolimai kesega yo tehana paulo kolinito unai ye miya na huya maudoina yaubada yona hedehedede unai tamowai wa ye hekatadi
12 huyana wa unai galiyo yona huya tanuwaga akaiya ▼
▼ 1812akaiyameta province hesana na kolinito ede akaiya magaina lakilakina hesau
unai na dius tamowaidiyao se heboda kesega na paulo se hewaiunu na se hai se laei galiyo yona kaba helahelauhetala unai 13 ede se hegilu se wane teina tamowai ta boda ye hekatadi yaubada tabaꞌohuina kabikabina hauhauna unai meta laugagayo ye utusi
14 paulo bena kabo ye hedehedede na galiyo ye hededelau dius tamowaidiyao wa udiyedi ye wane dius tamowaidiyao taba tamowai ta laulau yababana o yababa lakilakina hesau ye ginauli kabo gonowana ya lapulau yomi hetalapili ta unai 15 na iyamo hedehedede kaniyodi yo tamowai hesadiyao yo yomi laugagayo debadi yena kwa haikawayagala ta unai komiu kwa bom kwa tolehedudulai uyoigomiu yau taba nige nuwatu ta ya tolehedudulaidi 16 kabo ye hedede kaba lauhetala numana wa unai se hepesadi
17 na kabo dius bodadi wa yodi sunago tanuwagana sostenis se hai na se bibigwadagwadai kaba lauhetala numana kawamatana wa unai na galiyo nige ye modelau udiyedi
paulo ye uyo antiyoka na kabo yona kadau hehaiyonana ye hetubu
18 na paulo sola ye miyamiya kolinito unai huya lohaloha na kabo kana kahao wa ye laugabaedi na pilisila yo akuila maiyanao se dobi senkiliya temenai paulo yona hedehedede kaigwala ye ginauliyako wa debanaena ede iya kuluna wa se yaligabae ▼
▼ 1818hedehedede kaigwala paulo ye ginauliyako wa meta nige kabina ta kata kauyana yo matawuwuna saha to ye ginauli paulo yona huya ena taba tamowai hesau ye kaiboita na yaubada ye sagui yo ye gilihai kabo tamowai wa ye kaigwala meta ye hineli kabo huya kubwakubwa o huya lohaloha ye mose uyoi yaubada unai huya wa kana siga ye gehe kabo kuluna ye yaligabae apo 2123 unai hinage hededehemasalaha hesau
na kabo se gelu bena se lau siliya 19 yodi kadau wa unai epeso unai se duna ede pilisila yo akuila temenai se miya na paulo iya mayadai hisa mo menai ye miya
yona miya wa unai ye lau sunago unai na dius tamowaidiyao maiyanao se hedehedede 20 na se kaibwada bena paulo maiyadi se babawa na nige ye henuwa 21 na yona huya gelu mayadaina unai ye hededelau udiyedi ye wane ena yaubada yona nuwatu yena kabo ya uyoma na kabo waga ena ye gelu epeso ye laugabaei
22 se kadau se lau ee sisaliya unai se duna na paulo ye pesa ye sae yelusalema unai ekalesiya bodadi ye hailobaidi na kabo ye dobi antiyoka 23 antiyoka unai mayadai hisa ye miya na kabo ye dahalai uyo ye lau galatiya yo pilidiya magaidiyao ye kaitaumanaedi na yesu tau hemuliwatanina maudoidi wa ye hedede hebayaodi
pilisila yo akuila apolosa se hekata namwanamwae
24 huyana paulo sola ma kadauna na alesandiliya tamowaina hesau hesana apolosa ye laoma epeso iya dius tamowaina tausonoga hesau na kulikuli tabudi kabidi ye kata kalili 25 yo guiyau wasana hinage kabina ye kata ye hedehedede ma nuwa kohihaina yo yesu wasana ye lauhekata namwanamwaei na iyamo yowane yona hebahebabatiso mo kabina ye kata na babatiso yesu hesana ena nigele 26 iya ye hetubu ye hedehedede ma nuwa bayaona sunago unai na pilisila yo akuila yona hedehedede wa se lapui ede se kaibwadai ye lau yodi numa unai na yesu wasana unai se hedede hasahasai na kabina ye kata namwanamwa idohagi yaubada tamowai ye hemaulidi
27 huya hesau apolosa ye henuwa bena ye lau akaiya tausunuma bena ye saguidi ede tausunuma epeso unai iya se hedede hebayao na leta se kuli ye lau tau hemuliwatani akaiya unai taumiya wa udiyedi bena iya se hailobai ye lage ede taukawamamohoi ye sagu kaliliyedi 28 meta tamowai maudoidi matadi yena ye hedede bayao kalili dius tamowaidiyao udiyedi na kulikuli tabudi udiyedi ye hemamohoiyei meta yesu iya keliso ede | 2018-11-20T11:13:05 | https://www.stepbible.org/?q=version=SBE%7Creference=Act.18 |
staa wa filamu za kibongo vincent kigosi ray amelipuka na kudai kuwa wasanii wa filamu wa tanzania wanakandamizwa sana na wasambazaji
akizungumza na ijumaa hivi karibuni katika mahojiano maalum ray alisema kama nitakuwa sijajifunza kitu kutokana na msiba wa kanumba (steven) nitakuwa mjinga kama utakumbuka kwenye mazishi yake serikali nzima ilikuwa pale umati mkubwa wa watu ulifurika kwa nini kwa sababu ya thamani yake
msambazaji aliye serious ni mmoja kwa sasa na yeye ndiye anayeamua cha kufanya na kwa sababu wasanii tupo wengi hatuna jinsi ukiingia naye mkataba unakuwa umeuza haki ya maisha yako yote anakuwa na uhuru wa kupeleka dstv zuku na channel nyingine zozote bila kukulipa chochote
lakini mimi siwezi kutupa lawama kwa serikali maana tumeshaongea sana nawaomba wadau wajitokeze wawekeze kwenye tasnia yetu maana inapanuka na ina soko kubwa ila msambazaji yupo mmoja tu ndiyo maana tunanyonywa
posted by daudi mlaule at 10513 | 2018-03-23T07:10:09 | http://mlauledj.blogspot.com/2013/05/na-joseph-shaluwa-staa-wa-filamu-za.html |
homenewsdkt kalemani akunwa na kasi ya ujenzi mradi wa umeme wa maji wa julius nyerere (jnhpp) wa mto rufiji | 2020-01-20T17:10:09 | https://news.bongoex.com/2019/09/dkt-kalemani-akunwa-na-kasi-ya-ujenzi.html |
makamu wa rais aelekea mauritania kumuwakilisha rais kwenye mkutano wa umoja wa afrika jiachie makamu wa rais aelekea mauritania kumuwakilisha rais kwenye mkutano wa umoja wa afrika jiachie
home > habari mbalimbali > makamu wa rais aelekea mauritania kumuwakilisha rais kwenye mkutano wa umoja wa afrika
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan anaondoka jioni ya leo kuelekea nchini mauritania ambako atamuwakilisha rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe magufuli kwenye mkutano wa 31 wa wakuu wa nchi na serikali wa umoja wa afrika
mkutano huo wa siku 2 utakaoanza tarehe 12 julai 2018 utafanyika kwenye mji mkuu wa nchi hiyo nouakchott ikiwa ni mara ya kwanza kwa nchi hiyo kuchaguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa au
item reviewed makamu wa rais aelekea mauritania kumuwakilisha rais kwenye mkutano wa umoja wa afrika rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2018-07-21T08:01:46 | http://michuzijr.blogspot.com/2018/06/makamu-wa-rais-aelekea-mauritania.html |
sikiliza indystreet20 kila monday & jumatano za wiki ndani ya radio mbao majira ya saa 3 usiku (eat) | radiombao
354 burudani na michezo habari mahojiano uchumi 1 year ago administrator 0
i am ur host with the most jayjoe jayjoe aka mangithe3rd aka thegatekeeper & this is indystreet20 hiphopaddition
å that is my signature intro/opening for the show & i freaking like it because it says all i need to + ladies love it too lol
• the title *indystreet* was given to me by cool friend of mine anaiwa omary aka beberu86 before i even know what i was gonna use it for & that was like 4 years ago (2014) i kind remember it vividly kabisaaa
• indy inawakilisha industry & street inawakilisha kitaa kama kawa kwa maana jina limeunganishwa kutoka kwenye hivyo vitu viwili hapo ndio likapatikana neno indystreet
• nilipata bahati ya kifanya kazi kwenye radio station moja hapa tanzania ambayo inajulikana kama eastafrikaradio miaka ya 2000/2001 nikiwa ni mtangazaji wa kipindi cha asubuhi kilichitwa *getupstandup* ambacho kilikua kila siku ya wiki saa 12 asubuhi mpaka saa 3 asubuhi
å miaka 10+ baadae ndio nimekuja kuanzisha hii podcast ambayo ina every element ya nafsi yangu
• nakusihi ungana nami kila jumatatu ya wiki kuanzia saa 3 usiku hapa hapa #radiombao ili kufahamiana zaidi na pia kujua ambacho nitakua nakuandalia kila wiki
π• hii radio show indystreet20 inamzunguko wa dakika 60 yaani saa nzima na pia kwa ushirikiano na team yangu tumeweza kuigawanya katika vipengele vikuu vi4 ambavyo vitaweza kukuburudisha elimisha & kukufahamisha kwa style ya pekee kabisa
• #triplethreats
katika kipengele hiki unapata kusikiliza ngoma 3 kutoka kwa msanii mmoko ambaye pia yeye mwenye atazifanyia introduction ya hizo ngoma + the inspiration & deeper meaning of each track (duration 15)
• #xclusvcutz
this is where we do all the reviews za albums / artists & new singles & special release on every week (duration 15)
• #losttapes
kwenye kipengele hiki hapa huwa tunagonga ngoma kadhaa za hip hop ambazo zilisumbua sana kipindi cha nyuma lakini kwa sasa hazipigwi tena kwenye radio tunadhani hii ni njia nzuri ya watu kuanzisha mazunguzo (breaking the ice) hata kama hamfahamiani ila mnaweza mkapata cha kuongelea
• #scrtchdat
ndani ya kipengele hiki huwa tunaalika djs mbalimbali wa hip hop kutoka sehemu tofauti duniani & producers feels like this is the easy in/out after all those infotainment segments za awali kwamba hii itakuja kumpoza msikilizaji kwa mixing kali za dj tofauti na wenye styles za kipekeee
• #givingback
kila episode inaandaliwa kwa kujali themes & seasons tofauti za mwaka producers wako makini sana katika kuzingatia hilo katika uzalishaji wa kipindi na bila kutoka kwenye misingi ya kipindi husika
å kwa mfano kwenye episode 3 ya indystreet20 hiphopaddition ambayo ndio inaruka siku ya jumatatu saa 3 usiku utaweza kuona kwamba imezalishwa kwa kujali *womens march* na kwa kujali hilo producers wameona ni bora kuanza kuikumbusha jamii kwa kufanya kipindi maalumu ambacho kimeshirikisha *wadada* kwa *asilimia 67*
å hili limefanyika kwa msaada mkubwa sana wa coordinator @imax255 aka ebreezy & music supervisor @ksonraprhymson & napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru sana katika kufanikisha kila episode ya kila wiki kwa sababu bila nguvu zao sidhani kama tungeweza kufika hapa hii leo
π• _i am ur host with the most jayjoe na nachukua fursa hii kuualika kusikiliza indystreet20 hiphopaddition kila jumatatu saa 3 usiku masaa ya afrika mashariki hapa hapa #radiombao_
thanks & karibu
#indystreet20
#triplethreats
#xclusvcutz
#scrtchdat
@radiombao
@jayjoeshoo
@ksonraprhymson
indystreet20
new music lulu diva usimuache | 2018-04-22T14:18:22 | http://radiombao.com/sikiliza-indystreet2-0-kila-monday-jumatano-za-wiki-ndani-ya-radio-mbao-majira-ya-saa-3-usiku-eat/ |
waandishi wa habari machachari mkoani mbeya kwa mwaka 2007 | chimbuko letu
home » »unlabelled » waandishi wa habari machachari mkoani mbeya kwa mwaka 2007
waandishi wa habari machachari mkoani mbeya kwa mwaka 2007
ukiwa tazama siku hizi ni tofauti na maumbile yao walivyokuwa hapo awali je nini maoni yako
ukurasa mpya huu said 31 july 2011 at 1444
yalaah kaka wengi wao wamezeeka na wengine wamenenepa | 2018-03-21T11:15:27 | http://www.chimbukoletu.com/2011/07/waandishi-wa-habari-machachari-mkoani.html |
fighters of life shekhe mkuu wa baraza la waislamu tanzania wilayani tunduru avamiwa na kupigwa mapanga
i was going to scream what was she thinking then i realized oh she is a kardashian whatever but seriously spreading your legs
msanii manaiki sangathe done akiwa na mshiriki wa filamu neema reymer picha iliyosambaa na kuthibitisha uchafu alioufanya model sapna wa video ya jambo jambo ya steve rnb
check picha mdada aliyeamua kufanya kufuru na chupa ya bia kwenye sehemu zake za siri
hii imekua kawaida sasa kwa wadada zetu kujiridhisha na chupa zavinywaji picha hiyo hapo juu imetoka kwa mdau rafiki wa | 2014-12-20T20:04:55 | http://folclassic.blogspot.com/2012/10/shekhe-mkuu-wa-baraza-la-waislamu.html?spref=fb |
gurudumu la bure na panhard habari na habari
gurudumu la bure na panhard
hapa ni kifupi kutoka miaka ya 30 matangazo teknolojia ya gurudumu ya bure
() gari na freewheel huongeza hisia zetu za ustawi na hutuleta kwa kuongeza uchumi kwa hiyo kwenye njia ya parismarseille km 800 jumla ya kilomita 220 inayofanana na parisavallon inaweza kufanywa na freewheeling injling idling bila kupunguzwa kwa kasi ya wastani wa kasi
the freewheel katika magari
← gurudumu la bure katika gari na panhard
wakati saab alitaka kuingiza maji → | 2018-11-17T21:49:23 | https://sw.econologie.com/roue-libre-par-panhard/ |
happy home magazine jitengenezee meza ndogo
jitengenezee meza ndogo
images courtesy of designsponge
fundiselemala si kwamba hatukupi biashara ila leo tunabana matumizi kidogo na vilevile hii tunaweza kufanya wenyewehaya angalia hapa jinsi walivyotengeneza hilo gogo kuwa stuli/meza kama picha ya pili inavyoonyeshaunawezaenjoy
labels tengeneza mwenyewe (diy)
emuthree february 8 2011 at 222 am
very `simple' unajua umenikumbusha kitu kuwa maisha yetu `tunayakweza wenyewe' mfano stuli gogo la mti ukachukua magogo mengine ukayapigilia kama kichanja ukachukua maani ya mgomba kama godogo mmmmh nyumba wake makutihakuna gharama simple life
chakula mihogo viazi matunda ya porini ndege mmmh wewe huumwi kabisaaa maji ya chemchem simple
yasinta ngonyani february 8 2011 at 424 pm
inapendeza na tena rahisi kutengenza na bei nafuu safi sana
farida april 29 2011 at 841 am
nilifikiri kimebadilika kuwa paka ha ha ha utani kimependeza sana kwa kweli asante sophie | 2020-08-11T01:05:36 | https://www.happyhomemagazine.com/2011/02/jitengenezee-meza-ndogo.html |
ziro99blog buriani azam fc yatandikwa mabao 30 na esperance
kwa matokeo hayo azam wametolewa kwa jumla ya mabao 42 kufuatia ushindi wa mabao 21 walioupata kwenye uwanja wao wa nyumbani wa azam complex ulioko chamazi siku kadhaa zilizopita
ikicheza bila nyota wake kadhaa wakiwamo paschal serge wawa shomari kapombe jean baptiste mugiraneza kipre tchetche na salum abubakar azam ilishindwa kabisa kufurukuta mbele ya miamba hao wa soka kutoka tunisia
esperance walipata bao lao la kwanza kwa njia mpira wa faulo uliopigwa nje kidogo ya eneo la hatari la azam na kwenda moja kwa moja huku kipa aishi manula akichupa bila mafanikio
bao la pili lilifungwa dakika ya 73 kutokana na makosa ya kipa manula kushindwa kudaka mpira wa krosi na mpira kumfikia mfungaji aliyeudokoa kwa kichwa na kwenda kimiani
huku wachezaji wa azam wakiongozwa na nahodha wao john bocco wakihaha kusaka bao la ugenini wakajikuta wakipachikwa bao la tatu katika dakika ya 81
bao hilo lilionekana kuwachanganya zaidi azam na kujikuta wakiwaachia wapinzani wao kutawala mchezo huo na kufanya watakacho uwanjani
kwa ujumla mwamuzi alilimudu vilivyo pambano hilo huku makosa aliyoyafanya mwamuzi huyo wakati fulani yakiisaidia azam kupata madhara zaidi
beki wa azam david mwantika aliunawa mpira kwenye eneo la hatari akiwa katika harakati ya kuzuia shuti la mshambuliaji wa esperance
leo wawakilishi wengine wa tanzania bara kwenye michuano ya klabu bingwa afrika yanga watapeperusha bendera ya nchi kwa kupambana na miamba mingine ya afrika timu ya alahly katika mchezo utakaopigwa mjini alexandria majira ya saa 1 usiku kwa saa za afrika mashariki
katika mechi ya kwanza iliyopigwa uwanja wa taifa dar es salaam wiki mbili zilizopita timu hizo zilitoka sare ya bao 11
yanga itahitaji ushindi wowote ama sare yoyote kuanzia mabao 22
imetumwa na ziro99blog at wednesday april 20 2016 | 2017-12-11T07:48:27 | http://ziro99.blogspot.com/2016/04/buriani-azam-fc-yatandikwa-mabao-3-0-na.html |
wari uzi ko christiano ronaldo akundana n'umukobwa mushya()
wari uzi ko christiano ronaldo()
wari uzi ko christiano ronaldo akundana n'umukobwa mushya byibura buri mwaka dore urutonde n'amafoto y'abo bamaze gukundana
christiano ronaldo yakundanye n'abakobwa 12 mu myaka 14 ishize
christiano ronaldo ari mu bakinnyi bahinduranya inshuti zabakobwa cyane ku isi
dore amazina n'amafoto y'abakobwa bakundanye na christiano mu myaka 14 ishize kuri uru rutonde harimo abatarimo ahanini kuko nta bimenyetso bigaragara byerekana ko bakundanye ariko na bo bavugwaho gukundana n'uyu mukinnyi mu gihe kimwe cyangwa ikindi
christiano ronaldo ni umwe mu bakinnyi b'umupira w'amaguru bavugwaho gukunda inkumi cyane ariko na zo zikamukunda ibi bigarazwa n'umubare w'abakobwa bazwi neza ko bigeze gukundana na we aho kuva mu mwaka wa 2002 kugeza ubu amaze gukundana n'abakobwa bagera kuri 12 bazwi neza n'ubwo hari abandi bihwihwiswa ko baba barakundanye ariko hataraboneka ibimenyetso simusiga bibigaragaza ugereranije wasanga ahindura umukobwa bakundana byibura buri mwaka
dore urutonde rw'abakobwa bakundanye n'icyamamare christiano ronaldo mu gihe cy'imyaka 14 gusa
irina shayk ni umurusiyakazi ukora akazi ko kumurika imideri yahuye na christiano mu ntangiro za 2010 aza kwerekana impeta ya fiancaille yahawe na christiano mu mwaka wa 2011 baje gutandukana mu mwaka ushize wa 2015 mu gihe bari bitezweho kuba barushinga vuba
raffaela fico ni umunyamideri ukomoka mu gihugu cy'ubutaliyani ubwo bahuraga mu mwaka wa 2009 uyu mukobwa yari afite imyaka 21 mu mwaka wa 2018 raffaela yari yaravuze ko ubusugi bwe azabugurisha amafaranga agera kuri 15 z'amayero muri 2009 ubwo christiano yinjiraga muri real madrid aguzwe akayabo ka miliyoni 94 z'amayero ndetse akajya ahembwa agera kuri miliyoni 13 z'amayero ku mwaka kuri we miliyoni 15 yari amafaranga make cyane
uyu mugorea nawe yavuzweho gukundana ndetse no kuryamana n'umukinnyi christiano ronaldo
abakobwa bakundanye na christiano ronaldo
andika ubutumwa bwawe hano*bandanya amakuru mutanga nay'imvaho murabeho | 2016-12-08T04:07:57 | http://umusare.net/amakuru/imyidagaduro/1187/wari-uzi-ko-christiano-ronarldo-akundana-numukobwa-mushya-byibura-buri-mwaka-dore-urutonde-namafoto- |
uchomwaji wa nyumba za vileo zanzibar ~ chimbuko letu
uchomwaji wa nyumba za vileo zanzibar
446 pm no comments
jeshi la polisi zanzibar limewaagiza wamiliki na wafanyabiashara wa baa visiwani humo kuchukua tahadhari kwa kuweka walinzi imara katika maeneo yanayozunguuka nyumba za biashara hiyo ili kuepuka matishio ya uchomwaji wa baa zao
afisa uhusiano wa jeshi la polisi zanzibar inspekta mohammed mhina amesema kua tahadhari hiyo imetolewa na kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharibi zanzibar acp aziz juma mohammed wakati wa hafla ya kutunuku vyeti vya sifa na kutoa zawadi kwa askari polisi waliozima matukio ya kihalifu na kukamata silaha
kamanda aziz amesema kuwa matukio ya uchomaji baa yanaweza kuzuilika kama kila mfanyabiashara wa baa ataweka walinzi imara wanaoweza kukabiliana na watu wanaojichukulia sheria mkokononi kwa kuchoma moto nyumba za biashara za vileo
hata hivyo kamanda aziz amesema kuwa jeshi la polisi litaendelea na juhudi zake za kufanya doria za mara kwa mara katika maeneo mbalimbali na kutafuta taarifa za kiintelijensia ili kuwabaini na kuwakamata wale wote wanaojihusisha na vitendo vya uchomaji moto wa baa
kamanda aziz amekiri kuwa ingawa kuna matukio ya moto yanayotokana na ajali za kawaida lakini baadhi ya matukio ya uchomaji wa baa hufanywa kwa makusudi na watu wachache aidha kwa kutokana na imani zao za kidini ama visa mbalimbali
kamanda huyo amesema jeshi la polisi litaendelea kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuwa wamekuwa wakishiriki katika vitendo hivyo kwani amesema wote wanachukuliwa kama wahalifu na kwa yeyote atakayekamatwa atafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake
amewataka wananchi kutii sheria bila shuruti ili kuepuka madhara yanayoweza kuwapata kama mtu atakamatwa na kulazimishwa kuitii sheria aliyopaswa kuitii kwa hiyari yake
naye mmoja ya maafisa wa kikosi cha zimamoto na uokoaji zanzibar amesema kuwa baadhi ya matukio ya moto katika majenyo mbalimbali yamekuwa yakisababishwa na hitilafu za umeme na kuachwa kwa mabaki ya moto kwenye majiko ya wafanyabiashara za vyakula
naye mkuu wa upelelezi wa mkoa wa mjini magharibi zanzibar ahamada abdallah amewataka askari polisi kuanza utekelezaji wa agizo la serikali ya mapinduzi ya zanzibar ya uzuiaji wa matumizi ya mifuko ya plasitki kama sehemu ya utii wa sheria bila shuruti
katika hafla hiyo zaidi ya askari polisi 10 wakiwemo makachero polisi wa usalama barabarani na askari wa wanaosimamia ulinzi na usalama katika maeneo ya shehia mjini zanzibar wamepata vyeti vya heshma na zawadi ya fedha tasilimu kutoka kwa igp | 2017-08-19T03:42:03 | http://chimbukoletu.blogspot.com/2011/09/uchomwaji-wa-nyumba-za-vileo-zanzibar.html |
samatta afunga mabao mawili krc genk yatoka nyuma kwa 20 na kushinda 42 ligi ya ubelgiji bin zubeiry sports online samatta afunga mabao mawili krc genk yatoka nyuma kwa 20 na kushinda 42 ligi ya ubelgiji bin zubeiry sports online
mwanzo > mbwana samatta > samatta afunga mabao mawili krc genk yatoka nyuma kwa 20 na kushinda 42 ligi ya ubelgiji
samatta afunga mabao mawili krc genk yatoka nyuma kwa 20 na kushinda 42 ligi ya ubelgiji
mshambuliaji wa kimataifa wa tanzania mbwana ally samatta usiku wa jana amefunga mabao mawili katika ushindi wa 42 wa klabu yake krc genk dhidi ya royal antwerp fc kwenye mchezo wa ugenini wa ligi daraja la kwanza a ubelgiji maarufu kama jupiler pro league
katika mchezo huo uliofanyika uwanja wa bosuil mjini deurne samatta alifunga mabao yake dakika za 76 na 90 baada ya kiungo wa kimataifa wa ukraine ruslan malinovskiy kutangulia kuifungia genk mabao mawili dakika za 56 na 60 na yote kwa penalti
mabao ya malinovskiy yalikuwa ya kusawazisha baada ya wenyeji royal antwerp fc kumaliza kipindi cha kwanza wanaongoza 20 kwa mabao ya mshambuliaji kutoka jamhuri ya kidemkrasia ya kongo (drc) jonathan bolingi mpangi merikani dakika ya 23 na kiungo mnorway simen juklerod dakika ya 45 na ushei
mbwana samatta akishangilia baada ya kuifungia krc genk mabao mawili katika ushindi wa 42 dhidi ya royal antwerp fc
mbwana samatta akishangilia na wenzake baada ya kuifungia krc genk mabao mawili jana
mbwana samatta (kulia) akimtoka beki wa royal antwerp fc jana
mbwana samatta akiondoka baada ya kufunga huku kipa wa royal antwerp fc vukovic akiwa hoi
mbwana samatta (kulia) akiwa na wachezaji wenzake walioanza jana dhidi ya royal antwerp fc
kwa samatta jana amefikisha mechi 126 katika mashindano yote tangu amejiunga na genk januari mwaka 2016 akitokea tp mazembe ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) na amefunga jumla ya mabao 50
katika ligi ya ubelgiji amecheza mechi 98 na kufunga mabao 36 kombe la ubelgiji mechi nane mabao mawili na europa league mechi 20 mabao 14
kikosi cha royal antwerp fc kilikuwa bolat opare/owusu dk82 juklerod rodrigues/baby dk86 bolingi refaelov/hairemans dk77 arslanagic buta van damme haroun na mbokani
krc genk vukovic maehle aidoo dewaest urones heynen pozuelo/berge dk72 malinovskyi zhegrova/seck dk82 paintsil/ndongala dk55 na samatta
item reviewed samatta afunga mabao mawili krc genk yatoka nyuma kwa 20 na kushinda 42 ligi ya ubelgiji rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
england rugby stars natasha hunt and emily scarratt on the growth of the women's game england rugby stars emily scarratt and natasha hunt have predicted a bright future for the womens game after becoming the first players to be awarded full
2019 buhari frustrated by atikus us outing pdp ndubuisi orji abuja the peoples democratic party (pdp) has said that president muhammadu buhari is frustrated over the successful outing of its preside
supreme court paves way for constitutional petition the supreme court on friday ruled that a petition against some sections of the penal code could go ahead as they met all legal requirements the petition | 2019-01-18T20:59:33 | http://www.binzubeiry.co.tz/2018/11/samatta-afunga-mabao-mawili-krc-genk.html |
nato kutangaza usitishaji mashambulio nchini libya wiki ijayo | matukio ya kisiasa | dw | 22102011
jumuiya ya nato imesema kuwa ina mpango wa kusitisha ujumbe wa kijeshi wa kushambulia maeneo nchini libya yaliyodumu miezi saba ifikapo mwishoni mwa mwezi huu siku moja baada ya kuuwawa muammar gaddafi
katibu mkuu wa nato anders fogh rasmussen
jumuiya ya nato imesema kuwa ina mpango wa kusitisha mashambulio yake ya anga na baharini yaliyodumu miezi saba chini libya ifikapo mwishoni mwa mwezi huu siku moja baada ya kifo cha kiongozi wa zamani wa nchi hiyo muammar gaddafi katibu mkuu wa nato anders fogh rasmussen amesema jana kuwa uamuzi huo ni wa awali na utatangazwa rasmi mapema wiki ijayo ameongeza kuwa anajisikia fahari kwa kile jumuiya hiyo ilichofanikisha pamoja na washirika wake katika hujuma hizo
wakati huo huo mzozo kuhusiana na taratibu za mazishi ya mwili wa gaddafi umechelewesha kuzikwa kwake taratibu za dini ya kiislamu zinataka mwili wa marehemu kuzikwa haraka iwezekanavyo lakini viongozi katika baraza la mpito la taifa wanasema kuwa mazingira yaliyosababisha kifo chake siku ya alhamis ni lazima yajulikane waziri mkuu wa mpito amesema kuwa gaddafi ameuwawa katika mapambano ya silaha baina ya wale wanaomuunga mkono na wapiganaji wa serikali lakini picha za video za kukamatwa kwake zimesababisha watu wengi kuamini kuwa alipigwa risasi mara tu baada ya kukamatwa
tarehe 22102011
kiungo http//pdwcom/p/12wpi | 2017-09-19T13:59:58 | http://www.dw.com/sw/nato-kutangaza-usitishaji-mashambulio-nchini-libya-wiki-ijayo/a-15479150 |
breaking news halmashauri kuu ya ccm taifa (hkt) yaazimia benard membe mzee makamba na kinana waitwe na kuhojiwa kwa tuhuma zinazowakabili | mpekuzi | 2020-06-05T20:19:24 | http://www.mpekuzihuru.com/2019/12/breaking-news-halmashauri-kuu-ya-ccm.html |
moses machali ahamia ccm | mtaa kwa mtaa blog
moses machali ahamia ccm taarifa kwa vyombo vya habari na watanzania wote
kutoka mezani kwangu moses joseph machali tarehe 21/11/2016
napenda kuutaarifu umma wa watanzania kupitia kwenu waandishi wa habari kwamba ni jambo la ajabu na aibu kwa watu makini na wenye kuhitaji mabadiliko ya kweli kuacha kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano chini uongozi wa rais dr john pombe joseph magufuli bila kusahau utendaji makini wa waziri mkuu wake mhe majaliwa kasim majaliwa (mb) pamoja na mawaziri mbalimbali wameonesha kutaka kufuata mwenendo wa rais magufuli na waziri mkuu wake
mimi moses joseph machali niliyefanya sana siasa za upinzani hapa nchini na niliyepiga kelele na kupinga siasa za kifisadi zilizoitawala nchi hii niliyepinga pia ufisadi uliokuwa umeitawala serikali huko nyuma kwa nguvu na uwezo wangu wote nikishirikiana na wapinzani wenzangu ninaamua kujiunga na watu wanaonesha dhamira safi ya kuiendeleza nchi yetu tanzania watu wenye mwelekeo na dhamira ya kuijenga nchi yetu kwa maendeleo enedelevu ni jamii ya akina magufuli kasim majaliwa nk
mwaka mmoja wa uongozi wa rais magufuli na baadhi ya wasaidizi wake kupitia hatua mbalimbali zilizochukuliwa dhidi ya ufisadi uliokuwa umeigubika nchi yetu inatosha kabisa kwa mtu yeyote makini kufanya uamuzi wa kumuunga mkono au kutokumuunga mkono rais magufuli
mimi nimechagua kumuunga mkono rais kwa vitendo kwa sababu ninaposoma rekodi yangu ya enzi nikiwa mbunge (hansard) na kabla ya kuwa mbunge ni kwamba nilipinga mnoo wizi na ufisadi wa kila aina nilipinga matumizi ya fedha serikalini yasiyo ya lazima na yasiyo na tija kwa taifa (rejeeni hotuba yangu ya bajeti ya wizara ya uchukuzi nikiwa waziri kivuli wa wizara hiyo ya mwaka 2014/2015 na 2015/2016) vilevile bila kusahau hotuba zangu mbalimbali bungeni na nje ya bunge
kwa kushirikiana na wapinzania wenzangu enzi hizo tulishauri na kupinga ufisadi wa kila aina tuliitaka serikali kufanya mambo yenye tija kwa taifa na sasa kila mwenye macho anaona hatua zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya tano miradi kama ya ujenzi wa reli ununuzi wa ndege mbili na mipango ya kununua ndege zaidi kama namna ya kulifufua shirikia la atcl ni mambo tuliyoyahitaji kuyaona wapinzani sasa yanafanyika wale wenye dhamira ya dhati ya kuona nchi yetu ikipiga hatua kamwe hatuwezi kubeza mambo hayo bali kuyaunga mkono
wale tuliosema na kupiga kelele kwamba serikali ni dhaifu ktk kuwachukulia hatua watu mbalimbali wenye dhamana serikalini walioonekana kufanya vibaya serikalini ktk nafasi zao leo tunaona kumekuwepo na kasi nzuri ktk kuwachukulia hatua watu hao hata hivyo leo hii upinzani umepiteza mwelekeo kwa sababu unapingana na kile ulichokihubiri nchini
agenda ya kupinga ufisadi siyo ya upinzani tena bali ya jpm na ccm yake au yao wapinzani wamegeuka kuwa watu wanaokataa yale waliyoyasimamia na kuyahubiri huko nyuma hakika huo siyo uungwana bali aina mpya ya ufisadi nchini na usaliti kwa agenda zao
kama kweli sisi tumeokuwa wapinzani na tulioonesha kupinga kwa nguvu zote ufisadi ulioiumiza nchi hii tulimaanisha yale tuliyoyahubiri na kuwaaminisha watu basi tunao wajibu wa kuacha tabia ya kuwa vigeugeu kwa mambo tuliyoyaamini na kuyahubiri kutofanya hivyo basi ni mwendelezo wa ufisadi kwa maslahi binafsi
ni nani asiyeona kwamba serikali ya awamu ya tano inafanyia kazi mambo mengi tuliyoyapigia kelele au tunajifanya kutokukubali ukweli unaoishi kwa ule msingi wa upinzani wa tanzania kwamba tukimuunga mkono mtawala kamwe hatutapata kuaminiwa na wapiga kura nchini na hivyo tupinge tu hata kama ni ukweli nadhani kinachofanyika ni mwendelezo wa kupinga hata mazuri ili kutafuta fursa ya wapinzani kukubalika kisiasa zaidi hata kwa njia na mbinu haramu kama kawaida ya siasa zilizo zoeleka hapa nchini kwa miaka mingi
taifa hili haliwezi kuendelea kwa kuwa na siasa za kutokukubaliana na ukweli unaoishi kama dhamira ya kila mtanzania ikiwemo wapinzani ni kuona nchi ina move basi hatuhitaji kuwa watu wa kupingapinga hata yaliyo mema bali kuyaunga mkono yale yaliyo mema bila kujali yanafanywa na nani bali msingi mzuri unapaswa kuwa ukweli kwa kila jambo
serikali ya awamu ya tano imeonesha njia ktk mambo mengi na inastahili kuungwa mkono safari ni hatua na ninaamini kwamba hata yale yanayoonekana kutokufanyiwa kazi ndani ya mwaka mmoja uliopita na ambayo yalishindikana huko nyuma bado yanaweza kuja kufanyiwa kazi huko mbeleni serikali ya jpm imejitahidi sana tukilinganisha na huko tuliko toka uongozi huu unafanana sana na ule wa akina hayati edaward moringe sokoine chini ya hayati baba wa taifa mwl julius kambarage nyerere
daima ninaamini ktk yale ninayoyaamini pasipo kufungwa na ukada bali kuangalia ukweli ni upi hata kelele wanazopiga baadhi ya watu kwamba maisha yamekuwa magumu kwa sababu ya magufuli ni propaganda tu kwa sababu hakuna uhusiano wa maisha magumu na suala la kudhibiti wapiga dili wa fedha na mali za umma bali tukubali kwamba wapiga dili waliozoea kupiga dili na kuziingiza fedha walizopiga ktk mzunguko kwamba siyo jambo la msingi ktk kujenga uchumi imara
uchumi imara hauwezi kujengwa kwa kuruhusu ubadhirifu wa fedha na mali za umma au hata za mtu mmoja mmoja kinachoonekana hivi sasa ni kama nchi inasukwa upya na hivyo tuwaunge mkono viongozi wa serikali ya awamu ya tano kwa mema wanayoyafanya na kuwashauri kurekebisha ktk yale ambayo hayajakaa vizuri tuachane na siasa nyepesi za kutaka kuona kwamba mazuri ni yale yanayofanywa na wapinzani huku mambo hayohayo yakifanywa na ccm yaonekane hayafai na kutajwa kuwa ni ya hovyo ccm ya jpm siyo ile ya 2015 kurudi nyuma kidogo hii ni tofauti na ninaiunga mkono
hivyo basi leo tarehe 21/11/2016 ninatangaza rasmi kwamba ninajiunga na timu jpm kwa maslahi ya taifa kwa kuwa sioni sababu ya kupingana na yale niliyoyapigania na itakuwa ni sawa na mtu kupigana na kivuli chake mwenyewe kwaherini upinzani nimeamua kuanza siasa mpya za masuala yale niliyoyaamini na ninayoyaamini imani ni matendo na matendo ni imani piga vita ufisadi kwa imani na matendo
moses joseph machali
xmbunge kasulu mjini 20102015 | 2016-12-11T05:57:48 | http://othmanmichuzi.blogspot.com/2016/11/moses-machali-ahamia-ccm.html |
nhif yaibuka mshindi maonesho ya madini | masama blog
home » news and updates » nhif yaibuka mshindi maonesho ya madini
nhif yaibuka mshindi maonesho ya madini
na editha karlo wa michuzi tvgeita
mfuko wa taifa wa bima ya afya(nhif) umeibuka kuwa mshindi wa kwanza katika kundi la bima na hifadhi ya jamii kwenye kilele cha maonyesho ya pili ya teknolojia ya uchimbaji na uwekezaji kwenye sekta ya madini
wakati wa sherehe za kufunga maonesho hayo kwenye viwanja vya ccm kalangalala mjini geita ambapo mgeni rasmi alikuwa ni waziri wa madini mh dotto biteko
mfuko wa bima ya afya unashukuru kwa kupata ushindi huukwani umetokana na ubunifu waliokuwa nao katika banda lao
ushindi wetu umetokana na ubunifu wetu wa huduma tulizokuwa nazo kwenye banda letu vile vile sababu nyingine ni hali ya kufanya kazi kwa pamoja na kuthamini wateja waliofika kwenye banda letu kwaajili ya kupata huduma mbalimbali na kuwahudumia kwa umahiri na kuwajalialisema meneja wa mfuko wa bima ya afya(nhif)mkoa wa geita elias odhiambo
odhiambo alisema kwa ujumla banda lao lilibeba philosophy ya utendaji kazi wa nhifalisema zaidi ya wananchi 1200 wametembelea katika banda lao huku wananchi 1080 wamefanya upimaji wa afya zao
baadhi ya wananchi waliofika katika banda la nhif wamesema kuwa wamefurahishwa na huduma zilizokuwa zinatolewa kwa kipindi chote cha maonyeshomimi nilifika kwenye banda la mfuko wa bima ya afya nikapata huduma ya kupima macho burena wakanishauri wamefanya jambo zuri sana naomba waendelee na huu utaratibu siyo hadi wasubirie maonyeshoalisema kabula mathias mkazi wa geita mjini
maonesho ya pili ya uzalishaji na uwekezaji kwenye sekta ya madini yalifunguliwa rasmi tarehe 22/9/2019 na kufungwa tarehe 29/9/2019
watumishi wa mfuko wa bima ya afya (nhif)mkoa wa geita wakifurahia kombe la ushindi baada ya kuibuka washindi wa kwanza katika kundi la bima na mifuko ya hifadhi ya jamii kwenye kilele cha maonyesho ya pili ya teknolojia ya uchimbaji na uwekezaji kwenye sekta ya madini
baadhi ya watumishi wa mfuko wa bima ya afya(nhif)wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuibuka mshindi wa jumla
from michuzi blog https//ifttt/2nfjf9t
thanks for reading nhif yaibuka mshindi maonesho ya madini | 2020-05-29T19:42:41 | https://www.masamablog.com/2019/10/nhif-yaibuka-mshindi-maonesho-ya-madini.html |
wananchi polisi wazuie utekaji wa watoto makala swahilihubcom
wananchi polisi wazuie utekaji wa watoto
imepakiwa thursday september 7 2017 at 1530
tangu wiki iliyopita gazeti hili lilikuwa na mwendelezo wa habari za tukio la kusikitisha lautekaji wa watoto wawili moureen david miaka 6 na ikram salim wa miaka 3 ambao juzi wamepatikana wakiwa wameuawa
watoto hao ambao ni wakazi wa kata ya olasiti arusha walitekwa siku tofauti wakati moureen alitekwa agosti21 jioni ikram alitekwa agosti 26 saa 1200 jioni juzi miili yao ilipatikana katika shimo la majitaka eno la mji mpya mtaa wa olkerian
kinachosikitisha zaidi ni kauli ya kassim salum mzazi wa ikram kwamba siku ya tukio alitoa taarifa kwa polisi lakini haikufika kwa hali hiyo yeye peke yake hakuweza kukabiliana na wahalifu hao
kimsingi si hoja yetu kuelekeza hoja yetu kwa yeyote bali tunachosema ni kwamba ushirikiano kati ya wananchi na polisi ni muhimu kkatika kukabiliana na uhalifu
pia ni mhimu kuaminiana inawezekana mtu akatoa taarifa kuhusu tukio la uhalifu lakini polisi wakachululia kama kama mzaha na kuhelewa kifika eneo waliloitwa au kutofika kabisa
tunajua polisi wamewezeshwa kwa upewa nyennzo nyingi ili kuwaezsha kufanya kkazi kwa urahisi uanzia ngazi ya wilaya hadi mkoani pia wana usafiri wa kuenya vichochoroni ambao ni pikipiki
kinachohitajika hapa ni ni kutekeleza majukumu yaokwa muibu wa sheria ya kuunda jeshi hilo hofu yetu ni kwamba polisi wataanza kufanya kazi zao kwa kwastaili hiyo kwa baadhi ya matukio hii ni hatari kwa sababu wahalufi hawapigi hodi
matukio ya utekaji watoto tumewahi kusikia yakitokea nje ya nchi na wahalifu hao wakiwatumia watoto wakidai malipo ya kukomboa mateka lakini watekaji wengine hasa waasi au magaidi hutumia watoto kama ngao yao ya kuepuka kushambuliwa au kukamatwa
kuna msemo wa wahenga ambao unasema tahadhari kabla ya hatari hivyo ni vyema kwa jeshi letu kuchukua tahadhari
lakini pia wananchi nao ni wadau wakubwa wa kulisaidia jeshi la polisi ili waweze kufanya kazi zao kwa weledi na kwa wakati mwafaka
wahalifu tunaishi nao mitaani wengine ni ndugu zetu hakuna maana kama suala la utekaji la watoto wakaachiwa polisi pekee wakati wananchi wana taarifa zote kuhusu watu hao
tunaamini kilichotokea arusha kitatufumbua macho sisi sote kuona umuhimu wa kushirikiana na vyombo vya habari kukabiliana na uhalifu nchini
ushauri wtu kwa wananchi ni kwamba wawe tayari kudumisha ushirikiano kati yao na jeshi la polisi watoe taarifa kwa kwa mamlaka husika pale wanapoona tukio lisilo la kawaida katika eneo la makazi yao au mmaeneo yao ya uzalishaji mali
jeshi la polisi limesambaza namba za bure za kutoa taarifa za uhalifu wowote lakini siku hizi makamanda wa polisi wa mkioa na wilaya wameanzisha utamaduni wa kutoa wa kutoa namba zao za mkononi wanazotumia kwenye kazi
tunawashauri wananchi wazitumie namba hizo kudumisha usalama na amani kila siku ni vyema kila mmoja wetu akawa mlinzi wa watoto hawa wa maana linalomkuta mmoja wao linaweza kumkuta mwingine
pia tunavishauri vyombo vya dola kuzifanyia kazi kwa haraka na kutunza utambulisho wa wato taarifa illi vitendo hivi kabla havijashamiri katika maeneo mengi ya nchi
tukishirikiana tunaweza udumisha amani yetu | 2017-09-25T00:35:00 | http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/Wananchi--polisi-wazuie-utekaji-wa-watoto/1310220-4086358-l8j6g0z/index.html |
chirombola wikipedia kamusi elezo huru
chirombola
chirombola ni kata ya wilaya ya ulanga katika mkoa wa morogoro tanzania yenye postikodi namba 67611 kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012 kata ilikuwa na wakazi wapatao 5870 [1] walioishi humo
je unajua kitu kuhusu chirombola kama historia yake biashara taasisi zilizopo watu au utamaduni
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=chirombola&oldid=1015381
last edited on 13 oktoba 2017 at 2345 | 2020-05-30T21:59:34 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Chirombola |
jane john washindi wa mimi bingwa wakwea pipa england
washindi wa mimi bingwa wakwea pipa england
meneja uhusiano wa airtel tanzania bw jackson mmbando akiwa pamoja na baadhi ya washindi wa promosheni ya mimi ni bingwa muda mfupi kabla ya kuanza safari yao ya kuelekea nchini uingereza kushuhudia mechi kati ya manchester united na cardiff city itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa old traffor | 2018-05-24T06:17:12 | http://janejohn5.blogspot.com/2014/01/washindi-wa-mimi-bingwa-wakwea-pipa.html |
clouds media kuwa mbadala wa tbc ni sahihi | jamiiforums | the home of great thinkers
clouds media kuwa mbadala wa tbc ni sahihi
discussion in 'jukwaa la siasa' started by emanuel makofia jul 31 2012
wajf
poleni kwa sinema zinazoendelea naombeni kujulishwa labda kutoelewa kwangu
eti viongozi wa nchi hii kuzungumzia matatizo ya wananchi kupitia clouds ni sahihi
kwanini sio tbc/radio uhuru ambazo ni za serikali na zenye kundeshwa kwa kodi zetu
au kuna posho au hisa huko clouds
jamani naombeni maoni yenu
hata mie inanishangaza sanatunazo media za uma au ndo hazuna kiwangoau wananchi hawasikilizininabaki na maswali kibao
wajf poleni kwa cinema zinazoendeleanaombeni kujulishwa labda kutoelewa kwangu
eti viongozi wa nchi hii kuzungumzia matatizo ya wananchi kupitia clouds ni sahihi
kwa nini sio tbc/radio uhuru ambazo ni za serikali na zenye kundeshwa kwa kodi zetu
au kuna posho au hisa huko clouds jamani naombeni maoni yenuclick to expand
kwenye red siohauihusiki
pili ama ni halali au si halali sijibu hilo kwa sasa lakini nijuavyo wanene hawa hualikwa na wahariri wa vyombo hivyo sasa kama hao ulowataja hawajamualika sidhani kama kama anaweza tu kwenda otherwise akiamua hivyo yeye mwenyewe ataomba kama kuna jambo analotaka kuadress 2 people likes
clouds fm na tv yao ni tbc b za tanzania
jamani kila siku mada ya redio ya wafu hamuchokiii wajamini
hata mie inanishangaza sanatunazo media za uma au ndo hazuna kiwangoau wananchi hawasikilizininabaki na maswali kibaoclick to expand
huwa hawawi monitored
pili ama ni halali au si halali sijibu hilo kwa sasa lakini nijuavyo wanene hawa hualikwa na wahariri wa vyombo hivyo sasa kama hao ulowataja hawajamualika sidhani kama kama anaweza tu kwenda otherwise akiamua hivyo yeye mwenyewe ataomba kama kuna jambo analotaka kuadress click to expand
wananchi wanatakiwa kupata habari kupitia radio yao si suala la kualikwa
kuna udhaifu hapa
clouds fm na tv yao ni tbc b za tanzaniaclick to expand
kama zinamfanyia mukulu `bath`day inawezekana
jamani kila siku mada ya redio ya wafu hamuchokiii wajaminiclick to expand
jibu swali acha na wewe kuuliza swali
tatizo hapa ni unafiki watu wanaipenda sana na wanaisikiliza sana ila hapa jukwaani ni avatar tu zinaipingaukitaka kujua ona jinsi live newz za clouds zinavyorushwa humu
kuna udhaifu hapaclick to expand
udhaifu uko kwenye hizo tbc na redio uhuru kutofanya kazi yaoclouds wana haki ya kumuita na kumuhoji kiongozi yoyote nchi hii
hivi walienda kumfuata aje kuzungumzia hilo swala au yeye aliendahapo ndo itakua mwanzo wa kusema
udhaifu uko kwenye hizo tbc na redio uhuru kutofanya kazi yaoclouds wana haki ya kumuita na kumuhoji kiongozi yoyote nchi hiiclick to expand
udhaifu wa mipango ya serikali
hivi walienda kumfuata aje kuzungumzia hilo swala au yeye aliendahapo ndo itakua mwanzo wa kusemaclick to expand
clouds wasingemfuata asingezungumzia huu mgomo
tatizo hapa ni unafiki watu wanaipenda sana na wanaisikiliza sana ila hapa jukwaani ni avatar tu zinaipingaukitaka kujua ona jinsi live newz za clouds zinavyorushwa humuclick to expand
mnafiki wewe usielewa kinachozungumziwa
kuna siku niliwahi kukuambia siwasikilizi kama sio ubongo maji wako
radio uhuru ya serikali
kuna siku niliwahi kukuambia siwasikilizi kama sio ubongo maji wakoclick to expand
pole kwauguswanilirusha jiwe gizani nikawa nasikilizia kumbe mpoby the way niliyekuwa nikimjibu kaelewa sasa wewe povu la nini ilihali hoja haikuelekezwa kwako(nadhani mwenye ubongo maji atakuwa amejidhihirisha hapo)
la mwisho kama angetumia redio za serekali (according to you) wewe ungalimsikia wapi wakati unasikiliza clouds 0 people likes
radio uhuru ya serikaliclick to expand
mkirua una lako jambo hapo ishu sio kuisikiliza ishu ni kuijadili humu kila uchao
yapo ya msingi zaidi kuzungumzia na sio kujadili clouds hapa
mtoa mada bora uende ktk webpage yao andika hizo mada zako utaelezwa kwa nini wadosi wanaitumia clouds | 2017-04-23T18:17:25 | https://www.jamiiforums.com/threads/clouds-media-kuwa-mbadala-wa-tbc-ni-sahihi.300705/ |
maharamia wa somalia washambulia meli bahari ya mbali
novemba 09 2009
maharamia wa kisomali wamefanya shambulizi dhidi ya meli ya mafuta kilomita 1850 kwenye mwambao wa somalia umbali mkubwa kuliko yote waliyopata kushambulia meli za kigeni
nato na majeshi ya kupambana na uharamia ya umoja wa ulaya wanasema maharamia walivamia meli hiyo kwenye bahari ya hindi jumatatu kiasi cha kilomita 740 kaskazinimashariki ya visiwa vya ushelisheli ripoti zinasema maharamia wakiwa kwenye boti ndogo mbili waliifuata meli hiyo na kuishambulia kwa risasi na makombora meli hiyo ilitumia mbinu za kiulinzi na kukimbia
hakuna majeruhi yeyote aliyeripotiwa eu inasema ndege maalum zimepelekwa kuwatafuta maharamia hao wakati huo huo maafisa wa jeshi la majini walisema jumatatu kuwa maharamia wa kisomali wameteka nyara meli moja ya mizigo iliyojaa silaha
taarifa kutoka shirika la habari la reuters na orodha ya jarida la usafirishaji la lloyd inasema meli hiyo ilikuwa ikifanyakazi kwa kutumia jina bandia al mizan hakuna yeyote kutoka maafisa wa ukaguzi wa majini au maafisa wa somalia aliyethibitisha taarifa hiyo | 2017-09-19T15:07:30 | https://www.voaswahili.com/a/a-50-2009-11-09-voa11-92217569/1361204.html |
omog alivyoshangazwa na vijana wake kuipasua mbao dakika 7 za mwisho saleh jembe
» omog alivyoshangazwa na vijana wake kuipasua mbao dakika 7 za mwisho
omog alivyoshangazwa na vijana wake kuipasua mbao dakika 7 za mwisho
kocha wa simba joseph omog raia wa cameroon ameweka wazi kwamba kitendo cha wachezaji wake kushinda mechi dhidi ya mbao kilimshangaza hata yeye kutokana na kuamini mechi hiyo ingeisha kwa sare au kupoteza
omog kwa mara ya kwanza alivunja mwiko wa simba kushinda uwanja wa kirumba baada ya kupita miaka saba mfululizo bila walipopata ushindi mbele ya mbao kwa mabao 32
kocha huyo amesema kuwa mechi hiyo ni miongoni mwa mechi ngumu ambazo amewahi kukutana nazo akifundisha soka kwani huwa ngumu kwa timu ambayo imefungwa mabao mawili kuweza kupindua matokeo
sikuwa na imani kubwa ya kushinda baada ya kufungwa yale mabao mawili japo nilitambua tuna nafasi ya kushinda kwa sababu sisi tuna uzoefu zaidi ya wapinzani wetu ambao walikuja kuchoka katika dakika za mwisho na sisi ndiyo tukapata mabao yetu
ila niwapongeze mbao kwa ushindani ambao wametuonyesha na niseme hii ni moja ya mechi ngumu ambazo nimekutana nazo kwenye maisha yangu ya soka kwani kutoka nyuma kwa mabao mawili na kushinda siyo jambo dogo hata kidogo
sasa tumekaa kwenye uongozi wa ligi na niseme kwamba hiki tulichokifanya mbele ya mbao ndiyo tutakifanya kwenye mechi nyingine zijazo ikiwemo mchezo wetu dhidi ya toto alisema omog
cluster m'qsirapril 12 2017 at 255 pmhatutaki kushangaa tena tunataka ushindi wa mapemareplydeleteadd commentload more | 2017-07-22T10:56:48 | https://salehjembe.blogspot.com/2017/04/omog-alivyoshangazwa-na-vijana-wake.html |
tumia compact hatchback (p3) magari yaliyotumika ya kijapani | cardealpage
saa ngapi nchini japan0612
onyesha 101 150 / 3375 idadi namba ya maonyesho 5 units 10 units 20 units 50 units 100 units 200 units
ref no338787
ref no334800
ref no337518
ref no333013
ref no327670
ago 199000
ref no301238
okt 201000
okt 118000
ref no315669 | 2020-04-09T21:12:18 | https://origin-cdn-www.cardealpage.com/sw/hatchback/?p=3&l=50&s=31 |
fati apiga zote mbili pasi za messi bareclona yaichapa levante 21 bin zubeiry sports online fati apiga zote mbili pasi za messi bareclona yaichapa levante 21 bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za ulaya > fati apiga zote mbili pasi za messi bareclona yaichapa levante 21
fati apiga zote mbili pasi za messi bareclona yaichapa levante 21
nyota mdogo ansu fati akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili barcelona dakika ya 30 na 31 mara zote akimalizia pasi za lionel messi timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 21 dhidi ya levante ambayo bao lake lilifungwa na ruben rochina usiku wa jana uwanja wa camp nou katika mchezo wa la liga fati aliyezaliwa guineabissau oktoba 31 2002 ambaye sasa ana uraia wa hispania ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi (miaka 17) kufunga mabao mawili katika mechi moja ya la liga kihistoria picha zaidi gonga hapa
princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 monday february 03 2020
item reviewed fati apiga zote mbili pasi za messi bareclona yaichapa levante 21 rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-05-24T22:46:40 | http://www.binzubeiry.co.tz/2020/02/fati-apiga-zote-mbili-pasi-za-messi.html |
rc tabora aiagiza kampuni ya l and t kurekebisha kasoro ujenzi wa tanki la maji la kijiji cha ibelamilundi mtaa kwa mtaa blog
home habari rc tabora aiagiza kampuni ya l and t kurekebisha kasoro ujenzi wa tanki la maji la kijiji cha ibelamilundi
serikali ya mkoa wa tabora imemwagiza makandarasi wa l and t kufanyia marekebisho ya kasoro na udhaifu uliojitokeza katika utekelezaji wa ujenzi wa tenki la maji la ujazo lita milioni moja uliokuwa ukijengwa katika kijiji cha ibelamilundi wilayani uyui baada ya kamati iliyoundwa kubaini baadhi ya mapungufu kwenye maendeleo ya mradi huo
mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri ametoa maagizo hayo hiyo jana baada ya kupokea taarifa ya kamati aliyokuwa ameiunda kuchunguza ubora wa kazi katika ujenzi wa hilo kubaini uwepo wa kasoro katika usukaji wa nondo na mkandarasi kutumia michoro ambayo hajaidhinishwa na mshauri wa mkandarasi
alisema pia kamati imebaini udhaifu katika usimamizi wa mhandisi mshauri(consultant ) mradi huo ikiwemo na ule upande wa serikali kutotembelea mradi na kutoa ushauri wa kuboresha kasoro na kutokuwa na mawasiliano ya karibu wakati wa ujenzi wa mradi huo
mwanri alisema baada ya kupokea taarifa ya kamati amemtaka mkandarasi kuendelea na shughuli wakati akiendelea kurekebisha mapungufu yote yaliyojitokeza na kuwataka wasimamizi kwa upande wa serikali kutembelea mara kwa mara maeneo ya mradi ili kuhakikisha unakuwa na ubora kulinga na mkataba wa ujenzi wake
alisema lengo ni kupata mradi ambayo utadumu kwa muda mrefu badala ya kujengwa kisha inaharibika katika kipindi kifupi aidha mkuu huyo wa mkoa aliitaka kamati hiyo kufanya ukaguzi wa miradi yote ya ujenzi wa bomba la maji hilo ili kuona kama kweli mkandarasi anazingatia michoro iliyopo kwenye mkataba
naye mwenyekiti wa kamati maalumu iliyoundwa na mkuu wa mkoa wa tabora injinia damian ndabalinze alisema kuwa kamati ilibaini mapungufu kadhaa ikiwemo matumizi ya micho ya ramani ambayo hakuidhinishwa na mhandisi mshauri na kuwepo na udhaifu katika usimamizi katika mradi huo
alisema kamati inashauri kuwepo na usimamizi wa karibu na mawasiliano ya maandishi yawe yanafanyika kuonyesha kama kwenye pande zinahusika zimekutana kwa kuandika katika kitabu maalumu(log book) kwa upande wa meneja mradi kutoka kampuni ya mhandishi mshauri ya wapcos lt bw manohar mattendda alisema atahikisha anamsimamia vema mkandarasi ili kuhakikisha anfanyia kazi mapendekezo ya kamati na kuweza kuwepo na ubora kwa kazi iliyokusudiwa na inakamilika kwa wakati
naye meneja wa kampuni inayotekeleza ujenzi mradi huo ya l and t giresh krishnamoorthy aliahidi kufanyia marekebisho kasoro na mapungufu yaliyojitokeza ili aweze kutekeleza kazi nzuri kulingana mkataba alioingia na serikali ya tanzania
mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maji safi katika manispaa ya tabora(tuwasa) mkama bwire alisema watajitahidi kushirikiana na pande ili kuhakikisha wanaboresha mapungufu yaliyojitokeza
mwenyekiti wa kamati maalumu ya kuchunguza ubora wa tenki katika kijiji cha ibelamilundi injinia damiani ndabalinze akitoa ripoti ya uchunguzi wa ubora walioifanya hivi karibuni
mwenyekiti wa kamati maalumu ya kuchunguza ubora wa tenki katika kijiji cha ibelamilundi injinia damiani ndabalinze (kulia) akikabidhi ripoti ya uchunguzi wa ubora walioifanya hivi karibuni kwa katibu tawala mkoa wa tabora msalika makungu (katikati) ili naye akabidhi kwa mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri(kushoto)
katibu tawala mkoa wa tabora msalika makungu akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha mkuu wa mkoa wa tabora ili apokee ripoti ya uchunguzi wa ubora wa tenki lililokuwa likijengwa katika kijiji cha ibelamilundi wilayani uyui
katibu tawala mkoa wa tabora msalika makungu(kulia) akimkabidhi mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri(kushoto) ripoti ya uchunguzi wa ubora wa tenki lililokuwa likijengwa katika kijiji cha ibelamilundi wilayani uyui
mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri(kushoto) akitoa ufafanunuzi jana mara baada ya kupokea ripoti ya uchunguzi wa ubora wa tenki lililokuwa likijengwa katika kijiji cha ibelamilundi wilayani uyui picha na tiganya vincent | 2019-07-19T21:59:59 | https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/01/rc-tabora-aiagiza-kampuni-ya-l-and-t.html |
utafitinyanyasaji wa kingono bado ni tatizo nchini tanzania mtangazaji
home / unlabelled / utafitinyanyasaji wa kingono bado ni tatizo nchini tanzania
utafitinyanyasaji wa kingono bado ni tatizo nchini tanzania
utafiti wa uliofanywa na kituo cha sheria na haki za binadamu nchini tanzania (lhcr) na kuutoa katika ripoti yake ya haki za binadamu na biashara ya mwaka 2013 umegundua kuwa kwa upande wa haki za kinjinsiaunyanyasaji wa kingono umefikia asilimia 283 nchini tanzania
japokuwa unyanyasaji wa kijinsia makazini unaonekana kupungua kutokana na kuongezeka kwa ufahamu wa haki za binadamu bado ukandamizaji wa namna mbalimbali umefikia asilimia 49 na asilimia 10 ya wafanyakazi wa kike katika makampuni ndio waliopewa likizo ya uzazi
ripoti hiyo iliyotolewa mapema juma hili jijini dar es salaam imetokana na utafiti kwenye mikoa 15 ya tanzania bara ambapo watafiti 30 walihusika katika kukusanya takwimu mbalimbali toka kwa watu zaidi ya 1000 makampuni 153 na ofisi 121 za serikali zilitoa taarifa mbalimbali
maeneo yaliyohusika na ripoti hiyo ni haki za ajirahaki za ardhikodiuwajibikaji wa makampuni kwa jamii na serikalihaki za mazingira na haki za kijinsia
ripoti hiyo imeeleza kuwa ni sehemu ya mpango mkakati wa lhcr mwaka 2013 hadi 2018 katika kufuatilia uwajibikaji wa makampuni kwa viwango vya ndani na vya kimataifa kwenye haki za kiuchumikijamii na mazingira | 2019-01-19T19:13:20 | http://www.mtangazaji.com/2014/03/utafitinyanyasaji-wa-kingono-bado-ni.html |
tigo yatoa madawati kwa shule za msingi tabora maganga one blog
home »unlabelled » tigo yatoa madawati kwa shule za msingi tabora
mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri akipokea madawati 350 yenye thamani ya shilingi milioni 58 kwa shule 12 za msingi katika wilaya ya tabora kutoka kwa mkurugenzi wa tigo kanda ya ziwa ally maswanya(kulia) makabidhiano hayo yaliofanyika shule ya msingi mihayo iliyopo manispaa ya tabora jana
mkurugenzi wa tigo kanda ya ziwa ally maswanya akisalimiana na wanafunzi wa shule ya msingi mihayo mara baada ya makabidhiano hayo yaliofanyika shuleni hapo iliyopo manispaa ya tabora jana
wanafunzi wa shule ya msingi mihayo waakifurahia madawati mara baada ya makabidhiano hapo shuleni
julai 18 2016 tabora kampuni ya tigo tanzania imetoa msaada wa madawati 350 yenye thamani ya shilingi milioni 58 kwa shule 12 za msingi katika wilaya ya tabora(50)nzega(200) na urambo(100) ikiwa ni mchango wa kampuni hiyo katika kuisaidia serikali kukabiliana na upungufu wa madawati katika shule za msingi nchini | 2017-11-25T05:30:42 | https://magangaone.blogspot.com/2016/07/tigo-yatoa-madawati-kwa-shule-za-msingi.html |
#wc2018 timu inayopewa nafasi kutwaa kombe la dunia hii hapa mwanaspoti
#wc2018 timu inayopewa nafasi kutwaa kombe la dunia hii hapa
historia inaonyesha kwamba ni kazi ngumu kwa timu ambayo imetwaa taji hilo kulitetea kwaa sbabu kila baada ya miaka minne huibuka wachezaji chipukizi kwenye timu za taifa ambao wanakuwa tishio kwenye mashindano hayo
russia ujerumani inapewa nafasi finyu kutetea taji lake la ubingwa kwenye kombe la dunia russia kutokana na historia ya fainali hizo tangu kuanzishwa kwake mwaka 1930
katika historia ya mashindano hayo ni nchi mbili pekee ambazo zilifanikiwa kutetea mataji yao ya kombe la dunia brazil ilichukua mfululizo mara mbili mwaka 1958 na mwaka 1962 pia italia ilifanya hivyo mwaka 1934 na mwaka 1934
lakini jambo la kusikitiza italia haipo kwenye fainali za mwaka huu kutokana na kushinda kufuzu
hata hivyo brazil ya miaka minne iliyopita inaonekana imepiga hatua zaidi kwa sasa ambapo kikosi chake kinaonekana kuwa moto wa kuotea mbali hivyo ni miongoni mwa timu ambazo zinapewa nafasi kubwa zaidi kulinyakua taji hilo | 2018-06-24T10:54:40 | http://www.mwanaspoti.co.tz/kombeladunia/Timu-inayopewa-nafasi-kutwaa-Kombe-la-Dunia-hii-hapa/4354684-4608658-b9yq21/index.html |
updates kutoka muhimbili madakitari wanywea warudi makazini | jamiiforums | the home of great thinkers
updates kutoka muhimbili madakitari wanywea warudi makazini
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kachanchabuseta jan 31 2012
wakuu nipo hapa muhimbili madakitari wamarejea na kufanya kazi kama kawaida
naona na wagonjwa wanamiminika kwa wingi
sijajua hospitali nyingine inakuwaje
wenye updates from mwananyamala na amana watujuze
update840pm
muhimbili huduma zimeanza kuzolota wanajeshi ndo wako wodini lakini hakuna ushirikiano na manesi
madoctor wengine wako wanazurula wengine wko nyumbanimgomo bado unaendeleamadoctor wengi
wanaojiwa na wanausalama( do not qoute me)
ni wepi hao uliowaonausije ukawa umewaona wanafunzi wako kwenye rotation then ukadhani kuwa madrs wamerudi kaziningoja kidogo nitawataarifa maana kuna dr ndo anaenda hapo muhimbiliila kwa taarifa nilizonazo bado tools down
na huduma ya emegency imerudi kama kawaida watu wanapata huduma kama kwaida
wa ukenyenge vipi wewe huna updatesmpigie basi wa kolandoto au wa negezi au yule wa wila akujuze kisha utujuze zaidi
wamelipwa au ndiyo yale yale ya kwenda kufanya kazi lakini morali haiko tuna safari ndefu sana
ni bora wangeendelea na mgomo kuliko kurejea kazini na huku hawajatekelezewa malalamiko yao
wataendeleza mgomo baridi ambao utakuwa mbaya na wenye madhara makubwa zaidi ya huu
mambo yao bado yanajadiliwa ila wanasema kuna matumaini
naona wapo wanapiga mzigo kama kawaida
idara ya emergency (emd) wamekabidhiwa wanajeshihawajavaa magwanda tu lakini sio madaktari wa muhimbili hata hivyo wanajeshi hao hawana ushirikiano toka kwa manesi na hivyo ufanisi wao utakuwa wa kusuasua
lakini cha kushangaza ni kuwa kwa nini walete wanajeshi muhimbili toka lugalo kwani pale lugalo si kuna hospitali kwa nini tu wasishauri wananchi waende lugalo
asante kupeng'e kwa taarifa hii ya matumaini
haya mode wa jf ihamishie na hii thread kule kunakoonyesha mgomo inaendelea kama ulivyokuwa unafanya jana kwa kila thread ya kuonyesha baadhi ya sehemu ambazo mgomo uliisha
hii thread ikibaki hivi hivi ilivyo watu watadhani mgomo unaanza kuisha wakati ni nia ya jf mgomo uendelee
malaria sugu likes this post
huyo ndio kanjanja pasco kama mlikuwa hamumjui mwaka huu yeye hataki unafki njaa yake ameamuwa kuivalia kibwaya kabisa yaani anajifanya hajui kwamba id ya marelia sugu imepigwa ban sasa hii kupeng'e ni id mbadala
unalipwa
msimuondoe malaria sugu kwani ni mfarahisha genge la wahuni kama yeye ili awaliwaze wanaomuunga mkono na upupu wake
naona na manesi wanafanya kazi kama kawaida
ndio umejuwa leo hilo swali wangeuliza wageni hapa jf
jamani wadau mbona mnampinga tu mtoa hoja bila kutoa taarifa zenu kuhusu mgomoyeye anasema yupo muhi2 basi na nyie tupeni za kwenu tuujue ukweli kuliko kupinga tu
nimepita hapa mtaa wa lumumba nimeona uvccm nao wanajiandaa kwenda amana kusaidia manesi
mkuu riwa kwa vile watu humu tumehamanika sana na mgomo huu ili serikali ikomeleke wanakufa na kuteseka na mgomo huu sio waserekali bali ni wananchi wenzangu na mimi
alichosema mleta mada ni amewashuhudia madaktari hapo muhimbili kwa macho yake na huduma zinaendelea sasa hizi taarifa ni madaktari wa wapi na hawapati ushirikiano hayo ni mengineyo la msingi madaktari wapo na wanatoa huduma sasa kila hoja msizopenda kuziita ni propaganda sio haki kwenye serious issue kama kutumia roho na life za watu masikini wa kutupwa kama bargain proin ya kudai maslahi bora
serikali imefanikiwa ku defuse huu mgomo na at the end of the day kutakuwa na winners na loosers madaktari wata loose lakini the biggest loosers ni wale waliolipia kwa roho na maisha yao kwa ajili ya upuuzi wa wachochezi wachache na serikali jeuri na kiburi isiyokubali kuwanyenyekea walioshika mpini wa roho za watanzania
mkuu riwa mimi nalipwa kuumaliza huu mgomo he who laugh last laugh most | 2018-01-21T21:05:57 | https://www.jamiiforums.com/threads/updates-kutoka-muhimbili-madakitari-wanywea-warudi-makazini.218187/ |
dudubaya atangaza kuacha pombe bongo5com
dudubaya atangaza kuacha pombe
admin october 5 2011 234 pm
katika kuonyesha wasanii kila kukicha wanafikiria mapya na kugundua makosa yao wamekuwa wakibadilika kila kukicha hivi juzi juzi msanii fulani alitangaza kuachana na kitu cha majani aka khush hivi sasa naye
msanii godfrey tumaini aka dudubaya aka mamba ameandika katika mtandao wa facebook kwamba ameagana kabisa na unywaji wa pombe jambo hili nadhani linatia tumaini na huenda kuna wasanii mbalimbali ambao wanajijua wakipata kidogo basi wanakosa uwezo wa kustaamili na kuanzisha varangati huenda na wao kwa sasa wakasema basiiiiiiii ulevi ni noma | 2019-08-24T19:00:08 | http://bongo5.com/dudubaya-atangaza-kuacha-pombe-10-2011/ |
he munde a tambwe mheshimiwa spika ahsante kwa kunipa nafasi hii nami niweze kuchangia bajeti ya serikali kwanza kabisa nianze kumpongeza mheshimiwa rais mheshimiwa waziri na naibu wake lakini niwapongeze menejimenti nzima ya wizara ya fedha kwa kutuletea bajeti nzuri bajeti ya kihistoria bajeti ya watanzania bajeti ambayo wabunge wengi walipigia kelele vitu vyao leo tumeviona kwenye bajeti hii tunaipongeza sana serikali (makofi)
mheshimiwa spika niongelee kuhusu motor vehicle sisi wabunge kwenye bajeti ya fedha tulisema kwamba tunaomba motor vehicle iondolewe serikali imetusikia napata taabu kuwaona waheshimiwa wabunge leo hapa wanalaumu kwa nini serikali imeondoa motor vehicle na imeweka sh40/= kwenye lita ya mafuta kama tozo kwa ajili ya road license (makofi)
mheshimiwa spika jana dada yangu mheshimiwa susan lyimo aliongea hapa kwamba tunawaonea watu wa vijijini wanaowasha vibatari kwa nini tunawawekea tozo ya mafuta mheshimiwa msigwa pia aliongea kaka yangu mheshimiwa heche ameongea hapa niwaulize tu tunalipa tozo ya railway development levy arusha kuna treni
mheshimiwa spika mimi nimezaliwa tabora tena mjini toka nimezaliwa umeme unawaka kwetu lakini natozwa tozo ya rea (makofi)
mheshimiwa spika tunalipa tozo ya maji mimi kwetu mjini kuna maji toka nimezaliwa lakini nalipa tozo ya maji waache kutuchonganisha na watanzania
mhe munde a tambwe mheshimiwa spika nimemsikia mheshimiwa msigwa
mheshimiwa spika wamesema kuna mtu ana generator kuna mtu ana mashine ya unga kwa nini anatozwa sh40/= kwa ajili ya road license wamesahau tunalipia reli tunalipia maji tunalipia umeme wa rea na sisi tunakaa mijini kwa hiyo mimi wa mjini ningesema sitaki kutozwa tozo ya rea kwa sababu mimi sikai kijijini baba yangu alishakufa mama yangu alishakufa bibi yangu alishakufa sina ndugu kijijini
mheshimiwa spika mimi ni mtanzania tumejengwa kwenye umoja ndiyo utamaduni wetu tumejengwa kusaidiana leo napata taabu anaposimama hapa mbunge anatubagua anasema kwamba hawa watu wa vijijini tunawatoza sh40/= wakati hawatumii barabara nani asiyetumia barabara nani ambaye hatumii barabara (makofi)
mheshimiwa spika waache kutuchanganya waache kutuchonganisha sisi ni wamoja na tutaendelea kuwa wamoja (makofi)
mheshimiwa spika hawa watu waache kuichanganya serikali hawa watu wamwache rais dkt magufuli afanye kazi niliwahi kusema humu ndani tumwache rais afanye kazi na anafanya kazi kazi yetu sisi ni kumwombea na kumuunga mkono lakini wenzetu hawa mimi napata shida kweli sijui wanamaanisha kitu gani wanakuja kuleta sababu ambazo hazina msingi kabisa hapa uzalendo wao ni mdogo sana (makofi)
mheshimiwa spika mheshimiwa rais leo anapambana kuhusu rasilimali za taifa mgogoro huu ukikaa mezani mambo haya yakiwekwa vizuri tutapata zahanati tutapata maji tutapara barabara mheshimiwa rais ambaye anafanya kitu ambacho ni cha ukombozi kwa tanzania tumeibiwa muda mrefu tumeonewa muda mrefu anapambana badala ya sisi tumuunge mkono mtu anakuja kulalamika halafu mtu huyo huyo anasema sina maji kwenye jimbo langu sina zahanati kwenye jimbo langu rasilimali zinaibiwa mheshimiwa rais leo amejua anapambana tuzirudishe lakini mtu huyu hataki anasema tunawaonea wazungu tunavunja mikataba (makofi)
mheshimiwa spika nakupongeza jana umesema kama nimenukuu vizuri hata kama mikataba imeingia miaka 50 iliyopita lakini kama ni mikataba ya hovyo tutaikataa amesema kipande chake cha bunge kitatenda haki ikiwa ni pamoja na kubadilisha sheria hizo haraka sana (makofi)
mheshimiwa spika nakupongeza kwa uzalendo wako nasi wabunge wako tuko nyuma yako tunakuunga mkono tunazubiri sheria hizo zije tuanze kuzibadilisha haraka iwezekanavyo (makofi)
mheshimiwa spika lazima watanzania waelewe kwamba huyu mzee wetu mheshimiwa dkt magufuli anafanya nini jana kuna statement aliitoa mpaka nilitamani kutao machozi alisema jamani na mimi nina damu nami ni binadamu lakini naumia kwa sababu yenu ninyi
hivi mheshimiwa dkt magufuli angetaka kupokea mabilioni angetaka kupokea mahati ya nyumba ya marekani ili akae kimya tu tungemfanya nini
mbona tunaibiwa siku zote hivi vitu ameonesha uzalendo wake mimi sitaki kuamini kwamba hakufuatwa kupewa hela lakini amekataa chochote anataka watanzania wote wafaidi
anainuka mbunge anakutaja kupingana na jambo hili ambalo ni kwa faida yetu sisi zote
mheshimiwa spika kwa kweli tumpongeze mheshimiwa rais tumuunge mkono na tuendelee kumwombea mheshimiwa rais kwa kazi nzuri anazozifanya
mhe munde t abdallah mheshimiwa spika naomba unitunzie muda wangu naomba nimwambie dada yangu mheshimiwa sophia mabadiliko hayana wakati tunamshukuru mwenyezi mungu kutuletea rais jembe rais mpambania wanyonge rais mpambania maskini rais ambaye hana tamaa yake binafsi na familia yake leo hii rais magufuli angekuwa na tamaa yake na familia yake angekomba mahela yote akaenda kuweka uswiss huko na yeye na tungeendelea kuibiwa hapa na wananchi (makofi)
mheshimiwa spika niwaambie hawa watu ambao hawajui madini siku ile mheshimiwa musukuma aliwaambia mimi nimetoka tabora nzega ukiona mashimo yaliyopo kule utalia kodi iliyolipwa kwa muda wote na resolute haizidi shilingi bilioni 30 wametuibia vibaya sana wameondoka halmashauri ya nzega tunawadai development levy ambayo walitakiwa walipe shilingi bilioni 10 mpaka leo hawajalipa serikali inajua toka wameingia mpaka wanaondoka pale wamelipa shilingi bilioni mbili tu ya levy ya halmashauri (makofi)
mheshimiwa spika kuna mtu mwingine anaongea tu hajui chochote anachokiongea mimi nampongeza rais mheshimiwa dkt magufuli na nimefunga na sala zangu zote namwombea kwa mwenyezi mungu maadui wengine wa rais magufuli tunao humu ndani sijui wanataka nini hawa watu mtu anapambana kwa sababu yetu na watoto wetu hivi vyama kuna vipindi tuweke itikadi pembeni tuangalie taifa (makofi)
mheshimiwa spika ahsante kwa kuniongezea dakika kumi kwa kweli kuna vitu ambavyo tunashangaza sana kwetu sisi nikitoka kuongea mambo ya makinikia ambayo ni mambo yamegusa tanzania nzima kule tabora kuna mwenyekiti wa ukawa jana amenipigia simu ameniambia mheshimiwa munde nimeenyoosha mikono kwa mheshimiwa dkt magufuli (makofi)
mheshimiwa spika kwa kutaka kuwadhibitishia hilo nikimaliza bunge nitafanya mkutano wa hadhara tabora nitamkabidhi kadi ya ccm ili wajue kwamba watanzania wamemkubali mheshimiwa dkt magufuli kwa asilimia 100 nilisema humu bungeni kwamba wataelewa tu na wameelewa (kicheko/makofi)
mheshimiwa spika naendelea kuwaambia waheshimiwa wabunge wenzangu kwamba kazi tuliyonayo mbele yetu ni kuisupport serikali yetu ya awamu ya tano inafanya kazi vizuri sana nimekaa bungeni nimepita bajeti saba za bunge sijawahi kuona bajeti kama hii
mheshimiwa spika tusisahau kwamba mheshimiwa dkt magufuli ndiyo bajeti yake ya pili ana miaka miwili tu hata sisi majimboni tuna mambo mengi hatujayafanya ya kwetu peke yetu leo kuna mtu anafanya kana kwamba mheshimiwa rais magufuli leo ana mwaka wa kumi sijui kwa sababu amefanya mambo mengi wanajisahau kwamba huyu mtu ameanza juzi tu sijui wamechanganyikiwa mimi hata sielewi (makofi/kicheko)
mheshimiwa spika nawaonea huruma na kuwapa pole na kuwaambia bado nafasi tunazo mpaka 18 juni tunafunga kupokea watu wa kutoka upinzani (makofi/ kicheko)
mheshimiwa spika bajeti imekuwa nzuri nimpongeze kaka yangu mheshimiwa mpango lakini niwaambie waheshimiwa wabunge wenzangu kwamba bajeti haiwezi kumaliza matatizo ya nchi nzima hii bajeti ya pili tu tuendelee kuipongeza bajeti hii watufanyie kazi kama walivyotuahidi kwa kasi yao ya awamu ya tano lakini kila mwaka tutaongea watatukubalia kama walivyotukubalia safari hii
mheshimiwa spika tumeongea motor vehicle wamekubali tumeongea sana kuhusu kurasimisha wamachinga na mama lishe leo hii wamekuja kutuambia kwamba wanarasimisha sasa watajulikana sasa wamachinga na mama lishe watakuwa wanajulikana na sekta rasmi
mheshimiwa spika mimi kama mbunge wa tabora tuliongea sana kuhusu reli leo tunaenda kwenye standard gauge naomba niongelee sasa kuhusu suala zima la viwanda mheshimiwa dkt magufuli wakati anajinadi akiomba kura alisema anataka tanzania ya viwanda bajeti hii imetuonesha mwelekeo mzuri wa tanzania ya viwanda hivi jamani tunataka nini (makofi)
mheshimiwa spika leo hii wamefuta capital goods wameifuta kabisa imebakia zero wamefuta vat kwenye vifaa vya uwekezaji wamepunguza kodi ya mboga mboga na matunda wameondoa kodi kwa mtu anatayekwenda kuuza mjini tani moja ya mazao na ndiyo wengi mama zetu hawa ndiyo wengi baba zetu hawa anajilimia ekari zake kumi anaenda kuuza mjini kila siku kidogo kidogo walikuwa
wanapambana na watu wa kuwadai kodi sasa hivi hakuna jamani mheshimiwa rais afanye nini serikali ifanye nini hii ni bajeti yake ya pili tu wamejitahidi sana jamani (makofi)
mheshimiwa spika ahsante sana naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja | 2020-08-07T09:06:26 | http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/7445 |
swahili gospel song 2020 | mamlaka na nguvu za mungu vyafunuliwa katika mwili (onscreen lyrics) | injili ya kushuka kwa ufalme | 2020-07-06T07:00:26 | https://sw.kingdomsalvation.org/videos/God-s-authority-and-power-lrc.html |
ufunguzi wa maonyesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari zanzinews
home habari matukio ufunguzi wa maonyesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari
ufunguzi wa maonyesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari
baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika ufunguzi wa sherehe za nne za maonesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari iliofanywa na chuo kikuu cha sayansi ya bahari dare es salaam buyu wilaya ya magharibi b unguja
naibu mkurugenzi wa taasisi ya sayansi ya bahari chuo kikuu dare es salaam alioko zanzibar dkmatern spmtolera akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa sherehe za nne za maonesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari iliofanywa na chuo kikuu cha sayansi ya bahari dare es salaam buyu wilaya ya magharibi b unguja
baadhi ya wanafunzi wa sayansi waliohudhuria katika ufunguzi wa sherehe za nne za maonesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari iliofanywa na chuo kikuu cha sayansi ya bahari dare es salaam buyu wilaya ya magharibi b unguja
mgeni rasmi mkuu wa kitengo cha uratibu waelimu ya juu sayansi na teknolojia kutoka wizara ya elimu na mafunzo ya amali zanzibar aida juma akitoa hotuba ya ufunguzi wa
sherehe za nne za maonesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari iliofanywa na chuo kikuu cha sayansi ya bahari dare es salaam buyu wilaya ya magharibi b unguja
naibu mkurugenzi wa taasisi ya sayansi ya bahari chuo kikuu dare es salaam alioko zanzibar dkmatern spmtolera akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ufunguzi wa sherehe za nne za maonesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari iliofanywa na chuo kikuu cha sayansi ya bahari dare es salaam buyu wilaya ya magharibi b unguja
mgeni rasmi mkuu wa kitengo cha uratibu waelimu ya juu sayansi na teknolojia kutoka wizara ya elimu na mafunzo ya amali zanzibar aida juma kushoto akipatiwa maelezo kuhusiana na utafiti wa mwani na mtafiti wa mwani dkflower ezekiel msuya katika
ufunguzi wa sherehe za nne za maonesho ya wiki ya utafiti wa sayansi ya bahari iliofanywa na chuo kikuu cha sayansi ya bahari dare es salaam buyu wilaya ya magharibi b unguja | 2018-10-17T01:22:35 | http://www.zanzinews.com/2018/04/ufunguzi-wa-maonyesho-ya-wiki-ya.html |
chelsea wamsajili moses | mpiratz
← liverpool wamnasa sahin taarifa za usajili mpaka za sasa kwa ufupi → chelsea wamsajili moses aug 26
chelsea sasa wametumia zaidi ya paundi mil 80 katika kusajili wachezaji msimu huu
siku ya ijumaa wamekamilisha tena usajili wa mchezaji wa wigan victor moses kwa ada ya paundi mil 9
chelsea ndio klabu iliyotumia hela nyingi sana katika usajili kuliko klabu yoyotempaka sasa katika ligi ya uingereza ingawaje di matteo anasema bado klabu za manchester ndizo anazipa kipaumbele katika kutwaa kombe
chelsea pia wanampango wa kuuza malouda lakini kikwazo kinakujakatika mshara wa mchezaji huyo amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake na ameambiwa anaweza kuhama kwenda klabu nyingine lakini tatizo mchezaji huyo hataki kuhama halafu mshahara wake wa paundi 70000 ukatwe
posted on august 26 2012 in mpira mpira kwa dakika tetesi and tagged chelsea victor moses wigan bookmark the permalink leave a comment ← liverpool wamnasa sahin taarifa za usajili mpaka za sasa kwa ufupi → leave a comment | 2017-02-28T03:18:50 | https://mpiratz.wordpress.com/2012/08/26/chelsea-wamsajili-moses/ |
watoto 5500 watazaliwa 2019 unicef wajipanga kwa usalama wao | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
shirika la wototo duniani (unicef) limeeleza kuwa siku ya mwaka mpya kutazaliwa watoto 395072 ambapo nchini tanzania watazaliwa watoto 5500 ambao ni sawa na asilimia 14 ya watoto watakaozaliwa siku hiyo dunia mzima anaripoti faki sosi (endelea) hata hivyo unicef imeweka wazi kuwa nchini tanzania vifo vya watoto wa mwezi mmoja hadi mwaka mmoja
wazazi kusindikiza watoto shuleni na nyumbani kulinda usalama wao
kutokana na watoto wawili kunajisiwa nje ya shule ya msingi airwing iliyopo banana dar es salaam walimu wa shule hiyo wamewataka wazazi kuwafuata watoto wanapotoka shuleni ili kuhakikisha usalama wao
serikali ya tanzania unicef waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto
julieth swai mwakilishi kutoka unicef akizungumza jambo
mmoja wa washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo
kimela bila mwandaaji wa kipindi cha walinde watoto akizungumza katika warsha hiyo
mathias haule afisa maendeleo ya jamii maswala ya ukatili dhidi ya watoto kutoka wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto akielezea sheria ya mtoto
neema kimaro mratibu wa kipindi cha walinde watoto kutoka true
vanessa mdee aungana na unicef kupinga ukatili kwa watoto
vanessa mdee ameungana na shirika la kutetea haki za watoto duniani unicef kupinga ukatili dhidi ya watoto tanzanian artist @vanessamdee is joining #uniceftanzania to #endviolence against children #walindewatoto wameandika unicef day well spent with #uniceftanzania #endviolencecampaign #walindewatoto ameandika vanessa kwenye picha aliyoiweka instagram vanessa anaungana na ay na faraja kotta kwenye kampeni hiyo iitwayo walinde []
unicef yaipongeza serikali ya mapinduzi ya zanzibar kwa huduma za watoto
shirika la umoja wa mataifa linalowahudumia watoto duniani (unicef) limepongeza juhudi zinazochukuliwa na serikali ya mapinduzi ya zanzibar katika suala zima la kuwahudumia watoto na kuahidi kuendelea kuunga mkono juhudi hizo ili zanzibar ifikie malengo iliyoyakusudia
mwakilishi wa unicef katika jamhuri ya muungano wa tanzania bi maniza zaman aliyasema hayo leo ikulu mjini zanzibar wakati alipokuwa na mazungumzo na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed
mgahawa wa pizza hut wajipanga kuajiri watanzania 500
kama ukitaja migahawa bora duniani huwezi acha kuutaja mgahawa wa pizza hut ambao ulikuwa katika nchi 99 na sasa wamefungua mgahawa huo nchini hivyo kufikisha nchi ya 100 ambapo umejipanga kuhakikisha unatoa nafasi za ajira kwa watanzania
akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa mgahawa huo uliopo jengo la mkuki house lililopo pembezoni ya barabara ya nyerere mkurugenzi wa dough works ltd vikram desai alisema wanafuraha kufungua mgahawa huo nchini na wanampango hadi 2018
shirika la kimataifa la kuhudumia watoto duniani (unicef) limeadhimisha miaka 70 tangu kuanzishwa (19462016) likiwa na kauli mbiu ya kwa kila mtoto tumaini
akizungumza katika maadhimisho hayo mwakilishi wa shirika la kimataifa la kuhudumia watoto (unicef) bi maniza zaman alisema shirila lao kwa kipindi cha miaka 70 limekuwa likifanya kazi za kuwasaidia watoto ambapo malengo yao ni kuhakikisha watoto wanaishi maisha bora na kuwawezesha kufikia malengo ambayo wanatamani kuyafikia
wananchi wa magharib a wametakiwa kuhama kwa usalama wao
mkurugenzi wa baraza la manispaa la magharib a said juma ahmada amewataka wananchi kuacha kujenga katika laini kuu za kupitia umeme ili kuepusha athari zitokanazo na umeme
akizungumza na zanzibar24 amesema wamebaini kuna baadhi ya wananchi wanajenga katika laini kuu za umeme jambao ambalo ni hatari kwa usalama wao na si haki kisheria maeneo hayo kufanyiwa ujenzi hasa nyumba za makaazi na kutoa wito wananchi waliobainika kuondoka mara moja katika maeneo hayo
hata hivyo said
foundation for civil society ambao ni asasi huru imetangaza kutumia utaratibu wa jumanne ya kutoa (givingtuesday) utaratibu ambao unatumika duniani kote kwa ajili ya kuhamasisha watu na jamii kuwa na moyo wa kujitolea kwa ajili ya wahitaji ambapo asasi hiyo imetangaza kuadhimisha siku hiyo hapa nchini kwa kuwasaidia watoto wenye ulemavu wanaosoma katika shule ya msingi uhuru mchanganyiko ikiwa ni mara ya kwanza kwa asasi hiyo kuadhimisha siku hiyo muhimu akizungumza na mtandao huu katika | 2019-01-16T22:48:28 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/watoto-5500-watazaliwa-2019-unicef-wajipanga-kwa-usalama-wao |
mazrui rasmi meneja kampeni wa maalim seif | menu
hakinaumma / august 14 2015 maalim seif shariff hamad amemteua nassor ahmed mazrui msaidizi wake mkuu katika shughuli za siasa ndani ya chama cha wananachi (cuf) kuwa kiongozi wa timu ya kampeni ya kutafuta urais wa zanzibar anaandika jabir idrissa
naibu katibu mkuu wa cuf (zanzibar) nassor mazrui ambaye ameteuliwa rasmi kuwa mgombea urais maalim seif sharif hamad (kulia)
share thisredditemailprintfacebooktwitterlike thislike loading august 14 2015 in blw related posts
← cuf ina nafasi kubwa kushinda lowassa apeta zanzibar → | 2017-06-27T12:10:29 | https://hakinaumma.wordpress.com/2015/08/14/mazrui-rasmi-meneja-kampeni-wa-maalim-seif/ |
oc weekly wikipedia kamusi elezo huru
aina ya gazeti
gazeti la kila wiki
mmiliki
makao makuu
2975 red hill avesuite 150 costa mesa ca 92626 marekani
nakala zinazosambazwa
tovuti rasmi
2 angalia pia
oc weekly gazeti dada kwa yale ya la weekly na the village voice hili ni jarida lenye ni bure na linalochapishwa kila wiki na kusambazwa hulo orange countycalifornia na pia long beach makala yake ya kisiasa ni ya kimaendeleo kwa jumla
jarida hili linaangazia sana wanasiasa wa eneo hilo kutoka vyama vyote viwilihasa wale wa republican waliokuwa wengi zaidi huko gazeti hli hukosoa wanasiasa wanafiki katika eneo hilo na huendeleza pia makala yenye mafanikio inayojulikana kama navel gazing
miongoni mwa makala mengi maarufu ni yale yanayoitwa ¡ask a mexican ikimaanisha muulize mwananchi wa mexico yaliyoandikwa na gustavo arellano makala yao ya chakula na pia makala yaliyoshinda tuzo ya upelelezi wa r scott moxley nick schou na matt coker makala ya wiki ya oc weekly yamesababisha kushikwa kwa waasi na fbi imesababisha pia kufunguliwa kwa mashtaka kwa meya wawili wa huntington beach kuachiliwa kwa watu wasiokuwa na hatia kutoka gerezani na likaonyesha wazi ushirikiano kati ya mkuu wa polisi na mhalifu mwanzoni mwa mwaka wa 2009 mkuu huyo wa polisi alihukumiwa miezi 66 katika gereza la jimbo hilo kazi nyingine maarufuni uzinduzi wa kashfa ya ngono katika kanisa ya kikatholiki kufichua barabara za orange county zilizotoza ada ya juu na vikundi vya chuki katika kata hilo makala yao hutajwa sana katika ripoti ya upelelezi ya kituo cha sheria kuhusu umaskini katika mwaka wa 2009 mwanachama mashuhuri wa republican wa eneo la california ambaye alikuwa pia naibu mwenyekiti wa kamati ingine yenye nguvu sana katika utawala wa eneo hilo alijiuzulu baada ya saa chache ya oc weekly kufichua uhusiano wake wa kimapenzi na afisa wa kampuni kubwa ya california
jarida hili hupatikana kwa urahisi katika mikahawamaduka ya vitabu maduka ya mavazimaduka mbalimbali na kokote mitaani huko
oc weekly hufurahia orodha zake za sanaa na burudani katika kata la orange na pia los angeles huku wakishindana na orange county register na los angeles times
kwa kuwa oc weekly ni gazeti la bure ni lazima litegemee mapato ya matangazo yanayochapishwa ndani yake bali na matangazo ya maduka ya mavazimikahawa na vilabu vya usiku kuna matangazo ya upasuajihuduma mbalimbali na vilabu mbalimbali
oc weekly association of alternative newsweeklies
navel gazingmakala maarufu ya oc weekly
makala ya chakula stickaforkinit
makala ya muziki
city pages · dallas observer · houston press · la weekly · miami new times · new times browardpalm beach · oc weekly · phoenix new times · the pitch · riverfront times · seattle weekly · sf weekly · the village voice · westword
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=oc_weekly&oldid=864641
magazeti katika eneo la los angeles
magazeti ya kila wiki ya marekani
vyombo vya habari vya orange county california
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 12 februari 2013 saa 1941 | 2020-03-30T05:30:04 | https://sw.wikipedia.org/wiki/OC_Weekly |
onyo la kongosho kwenye kiwanja chake | jamiiforums | the home of great thinkers
onyo la kongosho kwenye kiwanja chake
discussion in 'jf chitchat' started by emt may 24 2012
bango hili nimelikuta live leo hii kwenye kiwanja cha kongosho maeneo ya upande wa pili wa ferry ya kamanga kama unavuka ziwa victoria ukitokea mwanza mjini kuelekea sengerema/geita kaaazi kweli kweli 4 people likes
nakubali ni kweli maana kongosho hana tafsida mkono anaita mkono na mguu anaita mguu
kongosho nakusubiri hapa posta kwa muuza soda
nakubali ni kweli maana kongosho hana tafsida mkono anaita mkono na mguu anaita mguuclick to expand
samahani zinduna nini kinaendelea kati yako na hiyo laptop
bango hili nimelikuta live leo hii kwenye kiwanja cha kongosho maeneo ya upande wa pili wa ferry ya kamanga kama unavuka ziwa victoria ukitokea mwanza mjini kuelekea sengerema/geita kaaazi kweli kweli click to expand
stricty prohibited
hahahahaha kongosho popote pale ulipo naomba ukuje hapa unambie imekuwaje umekizalilisha kiwanja chetu namna hii hujui mivinyesi na mimikojo ndo ingetusaidia kupunguza gharama za mbolea tutakapoanza kilimo kwanza
hahahahah kongosho wewe ni noumer naomba niwe mtunza fedha wako
mchezo wa kujianzishia sredi alafu unakuja kujijibu kumbe bado upo
upo kumbe
samahani zinduna nini kinaendelea kati yako na hiyo laptopclick to expand
wewe unadhani nini kinaendelea
kuna mtu atapewa za uso leomi nasepa
ha ha ha emt unajua hujanitendea haki
sikuhojiwa na kamati kama hili bango nimeweka mwenyewe au ni mpinzani wangu niliyegombea naye udiwani hapo katunguru
hivi mwali na kibabu kwa nini mmeamua kunichafua
sikuhojiwa na kamati kama hili bango nimeweka mwenyewe au ni mpinzani wangu niliyegombea naye udiwani hapo katunguruclick to expand
limekutwa kwako nai aliweka is none of our business
ha ha ha ujue hiki kiwanja changu dili sana
kiko karibu na genji(mmiliki wa vivuko)
ila jamani nimesoma kayumba itabidi mnielewe tu
limekutwa kwako nai aliweka is none of our businessclick to expand
konnie kiukweli mi sioni kazi katika kuandikaila kutundika sasa au uliwapa tenda ya kuandika na kuliinua wale waokota mapanki pale mwaloni
alitundika emt huyu huyu
mambo trachy missed you
konnie kiukweli mi sioni kazi katika kuandikaila kutundika sasa au uliwapa tenda ya kuandika na kuliinua wale waokota mapanki pale mwaloniclick to expand
ila jamani nimesoma kayumba itabidi mnielewe tuclick to expand
wewe ni mmiliki pia wa vile vivuko
wewe unadhani nini kinaendeleaclick to expand
labda sayansi mpya ya matumizi ya kompyuta | 2017-07-22T07:24:17 | https://www.jamiiforums.com/threads/onyo-la-kongosho-kwenye-kiwanja-chake.268379/ |
rais kikwete katika hafla ya kongamano la pili la diaspora hoteli ya serena jijini dar es salaam mtangazaji
home / unlabelled / rais kikwete katika hafla ya kongamano la pili la diaspora hoteli ya serena jijini dar es salaam
rais kikwete akisalimiana na mwanahabari wa kamati ya diaspora na blogger maarufu nchini maggid mjengwa | 2019-05-20T07:15:23 | http://www.mtangazaji.com/2015/08/rais-kikwete-katika-hafla-ya-kongamano.html |
programu windows
ikiwa kompyuta yako zamani ilikuwa inafanya kazi kwa haraka sasa imeshuka na umegundua hilo angalia kwa karibu desktop yako je imejaa icons screenshots na faili kila moja ya vitu hivi huchukua memory ambayo kompyuta yako inaweza kuiweka kwenye matumizi bora zaidi mahali pengine ili kuongeza kasi ya kompyuta yako safisha windows desktop
je kuna faili ngapi kwenye desktop yako
kila wakati windows inapofunguka operating memory hutumiwa kuonyesha faili zote kwenye desktop na kupata nafasi ya mafaili yote yanayowakilishwa na njia za mkato (shortcuts)
ikiwa kuna faili mengi yamekaa kwenye desktop hutumia operating memory kubwa kimsingi kwa madhumuni yasiyo na maana au faida kwa kuwa na memori ndogo kompyuta inaanza kwenda polepole kwa sababu inatakiwa kubadilishana habari kutoka kwenye operating memory hadi kwenye kwenye hard drive inafanya mchakato huuunaoitwa memory pagingkuweka kila kitu mtumiaji anachotaka kutumia kifanye kazi kwa wakati mmoja
safisha desktop yako
suluhisho bora ni kuweka nyaraka zako kwenye folda ya my documents na faili zako zingine ambako zikomahali pengine isipokuwa desktop ikiwa una faili nyingi unaweza kuziweka kwenye folda tofauti na kuziandika kwa usahihi unda njia za mkato shortcuts kwenye desktop yako kwajili ya folda au faili unazotumia mara nyingi kuboresha maudhui yaliyo kwenye desktop hupunguza matumizi ya operating memory hupunguza muda na mzunguko (time and frequency) ambao hutumiwa na hard drive na inaboresha ufanyaji kazi wa kompyuta yako kwenye programu unazofungua na mambo unayofanya tendo rahisi ya kusafisha desktop yakohufanya kompyuta yako kufanya kazi kwa haraka/kasi
jinsi ya kuiweka safi
vitu zaidi vya kwenye desktop ndivyo muda mrefu inachukua kompyuta yako kuwaka na kuanza kufanya kazi jitihada kuweka icons chache kwenye desktop yako hatua nyingine unaweza kuchukua ni pamoja na
futa shortcuts screenshots au faili ambazo hutumii tena
kukusanya mafaili yote na folda unayotaka kuyaweka kwenye desktop na badala yake uweke kwenye folda moja kwenye desktop
ficha icons zote kwenye desktop kwa kubofya kwenye desktop na usichague show desktop icons kwenye context menu rudia mchakato ukitaka kuzionyesha tena
tumia start menu katika windows 8 na 10 kama nafasi ya maegesho ya njia za mkato za programu unaweza kupin programu yoyote kwenye skrini yako kwenye menyu ya mwanzo (start menu) kwa kurightclick na kuchagua pin to start unatakiwa kuweka menyu yako ya mwanzo kwa vikundi ili kuweka kila kitu sehemu yake ili kupatikana kwa urahisi
windows operating systems nyingi zinakuja na desktop cleanup wizard watu wanazipenda au kuzichukia lakini ni muhimu kuziangalia
panga ratiba ya kusafisha kwa kila wiki au kila mwezi ili kuondoa vitu vilivyokusanyika kwenye desktop yako tangu ufanye usafi mala ya mwisho
soma na hii je kuna programu ya windows unatamani kuitumia kwenye simu ya adroid
kabla ya kujua kuweka faili kwenye desktop yako itakuwa kitu cha zamani na kompyuta yako itafanya kazi kama ilivyokuwa mpya
jinsi ya kufungua new document katika wordpad kwa kutumia windows
ifahamu simu ya moto e5 play bei na sifa zake
ifahamu simu ya moto e5 plus bei na sifa zake
ifahamu simu ya moto e5 bei na sifa zake | 2018-04-27T02:44:44 | https://mediahuru.com/windows-desktop-kuongeza-kasi-kompyuta/ |
global voices in swahili · habari za uandishi wa kiraia kuhusu japanese
· 7 jumbe
kumbukumbu za mwezi wa japanese aprili 2014 · 1 ujumbe
novemba 2013 · 2 jumbe
aprili 2011 · 4 jumbe
kiungo cha rss kwa japanese below are posts about citizen media in japanese don't miss global voices 日本語 where global voices posts are translated into japanese read about our lingua project to learn more about how global voices content is being translated into other languages habari mpya kuhusu japanese
japani iambieni dunia isaidie picha zilizotafutwa na kuwekwa kwenye twita zinaweza kuleta mambo ya kushangaza tafuta herufi hizi 宮城 (miyagi) na picha chache zitatokea kutoka kwenye wilaya hiyo moja · east asia · soma » japani tsunami yaathiri eneo la pwani yaacha kila kitu kimeharibiwa kufuatia tetemeko kubwa kuwahi kutokea nchini japani imekumbwa na tsumani mbaya zaidi iliyowahi kutokea watu wengi nchini kote wameganda kwenye luninga zao wakati vipande vya · east asia · soma » japan jijini tokyo baada ya tetemeko la ardhi makala hii ni sehemu ya habari maalumu za tetemeko la japani 2011 siku ya ijumaa machi 11 2011 saa 84623 mchana kwa saa za japani
· japan · soma » tetemeko kubwa kuwahi kutokea nchini japani siku ya ijumaa machi 11 2011 saa 84623 mchana saa za japani tetemeko lenye vipimo vya tetemeko 89 liliikumba japani lilikiwa kubwa kuwahi kuripotiwa katika · east asia · soma » 31 machi 2010
serikali ya japani kuhusu kuanguka kwa mfumo wa ajira chombo kinachotumika kufanya tafakari nzito cha baraza la mawaziri la japani taasisi ya utafiti wa kiuchumi na kijamii (内閣府 経済社会総合研究所)(esri) kimechapisha matokeo ya utafiti yaliyopima
· east asia · soma » 2 novemba 2009
japan mkeo anapougua pale utamaduni wa mifugo ya mashirika au kwa maneno mengine utamaduni wa ujumla wa wafanyakazi (社蓄 shachiku) na maadili ya ndoa vinapogongana zaidi ya
· east asia · soma » 26 oktoba 2009
japan uchunguzi mpya juu ya umaskini waharibu soga za utajiri mjapani mmoja kati ya sita anaishi katika umasikini inasema ripoti mpya ya wizara ya ustawi wa jamii [en] kwa mujibu wa takwimu za oecd japan
· east asia · soma » waandishi
habari kwa ufupi kuhusu japanese
jiunge na igf japan kujadili utawala wa mtandao 3 aprili 2014 onesho la mitindo nchini japan na kauli mbiu ya kusitishwa kwa matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake 27 novemba 2013 sera ya taarifa ya uwazi yahitaji kuboreshwa zaidi nchini japan 22 novemba 2013 onyesha habari kwa ufupi kuhusu japanese » | 2014-04-23T14:21:07 | http://sw.globalvoicesonline.org/category/languages/japanese/ |
wambura agonga mwamba kamati ya rufaa ya tff adhabu ipo pale pale
kamati ya rufaa ya shirikisho la soka tanzania (tff) limetupilia mbali rufaa ya aliyekuwa makamu wa rais wa shirikisho hilo michael richard wambura aliyepinga kufungiwa maisha
wambura alifungiwa maisha na kamati ya maadili kufuatia mashitaka aliyofungiwa na sekretarieti ya tff
mwenyekiti wa kamati ya rufani ebenezer mshana amewaambia waandishi wa habari leo kwamba baada ya kusikiliza na kuchanganua hoja za pande zote mbili waliona kwamba wambura amekutwa na hatia
rufaa ya michael wambura (kulia) imetupiliwa mbali na sasa ataendelea kutumikia kifungo cha maisha kutojihusisha na soka
baada ya kuzisikiliza rufani zote za wambura tumeona kwamba wambura alikuwa na makosa hivyo tunaiomba sekretarieti ya tff iende mbali zaidi katika kesi hii alisema
naye wakili wa wambura emmanuel muga alisema mteja wake alikwishajua kwamba hicho ndicho kitu kitakachotokea baada ya kamati kubadilishwa
wambura aliniambia kwamba mkutano ukimaliza niongee na nyinyi kwa sababu alikwishajua kitu ambacho kitatokea lakini tutakata rufaa na kwenda mbele alisema
muga aliongeza kwamba alishangazwa na mwenyekiti huyo kusoma upande wa tff kwamba aliomba mteja wake apunguziwe adhabu na iwe miaka mitano badala ya kufungiwa maisha
kama ningekuwa nimesema hivyo basi ingesomwa katika utetezi wetu lakini haikusemwa ni jambo ambalo linashtua tutakata rufaa na kwenda mbele zaidi alisema
rufaa zingine zilizosomwa na ebenezer rufani ya edgar chibula kiongozi wa abajalo ambaye alitoa maneno machafu baada ya kuhairishwa mchezo wao dhidi ya prison lakini aliomba msamaha katika kamati na kukiri hivyo amesemahewa
rufani nyingine ni ya kiongozi wa ndanda dunstan mkundi ambaye kesi yake kamati imeamuru tff kupeleka suala lake kwenye vyombo vya uchunguzi | 2018-10-20T16:54:35 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2018/04/wambura-agonga-mwamba-kamati-ya-rufaa.html |
ministry of foreign affairs and east african cooperation june 2014
mhe membe amuaga rasmi balozi wa afrika kusini nchini
waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mhe bernard k membe (mb) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumuaga aliyekuwa balozi wa afrika kusini hapa nchini mhe thanduyise henry chiliza ambaye amemaliza muda wake wa kazi hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya hyatt regency (kilimanjaro) jijini dar es salaam
balozi chiliza (kulia) akiwa na kaimu katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa balozi rajabu gamaha (katikati) pamoja na balozi wa nigeria hapa nchini wakimsikiliza mhe membe (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kumuaga balozi chiliza
balozi chiliza nae akizungumza
mhe membe na balozi chiliza wakigonganisha glasi kutakiana afya njema na ushirikiano imara kati ya tanzania na afrika kusini
mhe membe akimkabidhi balozi chiliza zawadi ya picha ya kuchora ya mlima kilimanjaro
posted by foreign tanzania at 403 pm no comments
mhe membe amuaga rasmi balozi wa somalia nchini
waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mhe bernard k membe (mb) akizungumza na balozi wa somalia hapa nchini mhe abdihakim ali yasin ambaye alifika ofisini kwake kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini
mhe membe akimsikiliza mhe balozi yasin alipofika ofisini kwake kwa lengo la kumuaga
mhe membe akiagana na balozi yasin
mhe membe akiwa katika picha ya pamoja na mhe yasin pamoja na mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya serikali bi mindi kasiga (kushoto) bi faduma abdullahi mohamud (wa pili kutoka kulia) afisa kutoka ubalozi wa somalia hapa nchini na bw bujiku sakila (kulia) afisa mambo ya nje
posted by foreign tanzania at 149 pm no comments
honmembe guest of honour at pope's anniversary
the minister for foreign affairs and international cooperation hon bernard kamilius membe (mp) speaking at the ceremony hosted by the latter in dar es salaam on friday evening to mark the first anniversary of the pontificate of pope francis hon membe praised pope francis for his focused direction on world peace and harmony he said the word of god upheld by all faiths preached love which was the cornerstone for world peace stability and development i believe that the voice of the pope will remain strong and continue to be heard and provide guidance to us and to the people of the world he said
bishops and invited guests listen to the speech by hon membe
hon bernard membe listens to the speech by the apostolic nuncio in tanzania archbishop francisco montecillo padilla
retired president benjamin mkapa (right) follows events at the ceremony to mark the first anniversary of the pontificate of pope francis left is the dean of diplomatic corps ambassador jumaalfani mpango
members of the diplomatic community follow the speech by hon membe
minister membe exchanges views with the apostolic nuncio in tanzania he archbishop francisco montecillo padilla (centre) during the ceremony left is retired president benjamin mkapa
minister membe greets bishop methodius kilaini at the function
hon membe has a word with bishops
invited guests follow the proceedings
the director of europe and america in the ministry of foreign affairs and international cooperation ambassador joseph edward sokoine exchanges views with the british high commissioner to tanzania ambassador dianna melrose at the ceremony
the minister for lands and human settlements development prof anna tibaijuka meets the swedish ambassador to tanzania he lenarth hjelmaker
hon membe prof tibaijuka and ambassador mpango (left) pose with the bishops
archbishop padilla bids farewell to hon membe at the end of the ceremony
photo reginald philip
naibu katibu mkuu afunga rasmi mafunzo ya sofremco
naibu katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa balozi rajabu gamaha akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika chuo cha diplomasia (cfr) kilichopo kurasini jijini dar es salaam kwa ajili ya kuwakabidhi vyeti wahitimu 30 wa mafunzo maalum kwa maafisa waandamizi wa mambo ya nje (sofremco) kutoka wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa (kushoto) ni kaimu mkurugenzi wa chuo cha diplomasia dr bernard archiula
balozi gamaha akihutubia kabla ya kutoa vyeti kwa wahitimu hao (hawapo pichani)
wahitimu wakimsikiliza balozi gamaha (hayupo pichani) alipozungumza nao
mwenyekiti wa bodi ya chuo cha diplomasia balozi mwanaidi maajar naye akizungumza na wahitimu wa mafunzo maalum kwa
sehemu ya wahitimu hao wakimsikiliza balozi maajar (hayupo pichani)
kaimu mkuu wa chuo cha diplomasia dkt bernard achiula akizungumza na wahitimu hao
sehemu nyingine ya wahitimu hao
mwakilishi wa wahitimu hao bw hassan mwamweta akitoa neno la shukrani
balozi gamaha akimkabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu hao bi rose kitandula
balozi gamaha akimkabidhi cheti bw idd bakari mbaye ni mmoja wa wahitimu hao
posted by foreign tanzania at 232 pm no comments
makamu wa rais wa china amaliza ziara yake nchini
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe mohamed gharib bilal akiagana na makamu wa rais wa jamhuri ya watu wa china mhe li yuanchao baada ya kukamilisha ziara yake ya siku sita hapa nchini wakati wa ziara hiyo mhe li alisaini mikataba mbalimbali ya ushirikiano kati ya tanzania na china pia alipata fursa ya kutembelea sehemu mbalimbali ikiwemo zanzibar ngorongoro pamoja na kukabidhi gari la kurushia matangazo ya televisheni nje ya studio (ob van) kwa shirika la utangazaji la tanzanaia (tbc)
mhe li yuanchao akiagana na mhe george mkuchika waziri wa nchi ofisi ya raisutawala bora kabla ya kuondoka nchini
mhe li yuanchao akiagana na mhe fenella mukangara (mb) waziri wa habari vijana utamaduni na michezo
mhe li yuanchao akiagana na makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) mhe philip mangula
mhe li yuanchao akiagana na balozi wa tanzania nchini china mhe abdulrahman shimbo
kikundi cha burudani kikitumbuiza wakati mhe li akiondoka nchini
posted by foreign tanzania at 132 pm no comments
mkutano wa wakuu wa nchi na serikali za umoja wa afrika malabo equatorial guinea
mheshimiwa jakaya mrisho kikwete kiongozi wa ujumbe wa tanzania kwenye mkutano wa wakuu wa nchi na serikali za umoja wa afrika akiwa amesimama na kupiga makofi baada ya kuimba wimbo wa taifa wa umoja wa afrika kuashiria kuanza rasmi kwa mkutano huo
ujumbe wa tanzania kutoka kushoto ni mhe jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe bernard membe waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mhe christopher chiza waziri wa kilimo chakula na ushirika (mstari unaofuatia nyuma kutoka kulia kwenda kushoto) mhe binilith mahenge waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mazingira mhe ummy mwalimu naibu waziri mazingira na mhe haji sereweji mmbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania
mhe ban ki moon katibu mkuu wa umoja wa mataifa akiwasilisha salamu zake rasmi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo ambapo moja ya masuala aliyozungumzia ni mabadiliko ya tabia nchi na athari zake aidha alizisifu nchi za afrika tisa zinazounda kamati ya wakuu wa nchi za afrika kuhusu mabadiliko ya tabia nchi chini ya uenyekiti wa mhe jakaya mrisho kikwete wa tanzania
mhe jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na waziri wa mambo ya nje mhe membe wakifanya majadiliano kabla ya ufunguzi wa mkutano huo
meza kuu wakiwa wamesimama wakati wimbo wa taifa wa umoja wa afrika ukiimbwa
mhe abdul fatah elsisi rais wa misri akielekea kwenye kipaza sauti kabla ya kuhutubia kwa mara ya kwanza tangu atwae madaraka nchini misri ambapo umoja wa afrika umeirudisha nchi hiyo kwenye umoja baada ya uchaguzi kufanyika
mhe jakaya mrisho kikwete akiwa na balozi wa tanzania kwenye umoja wa afrika na addis ababa ethiopia mhe naimi aziz wakielekea nje ya ukumbi kwa picha ya pamoja ya viongozi waliohudhuria mkutano huo (chini )
posted by foreign tanzania at 616 pm no comments
dongobesh fc yanyakuwa ubingwa wa kurugenzi cup 2018 mbulu dhidi ya rema 1000 fc
mhe membe amuaga rasmi balozi wa afrika kusini nc
naibu katibu mkuu afunga rasmi mafunzo ya sofremco
mkutano wa wakuu wa nchi na serikali za umoja wa a
president kikwete arrives equatorial guinea for au
matukio mbalimbali ya ziara ya makamu wa rais wa c
kikao cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanacha
makamu wa rais wa china afungua kongamano la taasi
mhe rais amwapisha balozi sokoine
balozi sokoine apokelewa kwa shangwe wizara ya mam
makamu wa rais wa china afungua rasmi kongamano la
makamu wa rais wa china awasili nchini kwa ziara y
balozi mpya wa marekani nchini ajitambulisha rasmi
waziri membe akutana kwa mazungumzo na mabalozi wa
makamu wa rais atembelea mradi wa dubai sports cit
balozi wa china nchini lu youqing akizungumza na
mahojiano baina ya bw omar mjenga na cloudstv
mhe membe akutana na mhe mark simmonds waziri wa
misri yapata rais mpya
taswira ya ushiriki wa mhe membe katika sherehe z
waziri membe kushiriki mkutano kuhusu ukomeshaji
waziri mwandamizi wa mambo ya nje na ndani wa sing
wizara ya mambo ya nje yaadhimisha siku ya mazingi
tanzania participates in the 17th nam ministerial
tanzania na qatar zasaini mkataba wa ushirikiano w | 2018-05-20T19:52:25 | http://foreigntanzania.blogspot.se/2014/06/ |
irene mwamfupe jamii rais kikwete akizungumza na wazee wa mkoa wa dar es salaam
rais kikwete akizungumza na wazee wa mkoa wa dar es salaam
rais dktjakaya mrisho kikwete akizungumza na taifa kupitia wazee wa dar es salaam jana katika ukumbi wa diamond jubilee jijini dar es salaamkushoto ni mkuu wa mkoa wa dar es salaam said meck sadik na kulia ni katibu wa baraza la wazee wa dar es salaam mzee mtulia | 2018-07-17T23:22:31 | http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2014/12/rais-kikwete-akizungumza-na-wazee-wa.html |
ukatili wa mama amtupa barabarani mwanaye wa mwaka mmojakisa soma hapa
home » unlabelled » ukatili wa mama amtupa barabarani mwanaye wa mwaka mmojakisa soma hapa
wa mwana si aujuae mzazi sasa mama mzazi huyu vipi katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke pendo mabuko amejikuta akipokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira waliokerwa na kitendo chake cha kumtupa
barabarani mwanaye wa kumzaa baada ya kunyimwa matumizi ya mtoto huyo na mwanaume aliyezaa naye daniel ambaye ni mume wa mtu
mtoto anayedaiwa kutupwa na mama yake pendo mabuko
tukio hilo lililojaza umati lilitokea ijumaa iliyopita saa 10 jioni katika mtaa wa simu a kata ya mji mpya mkoani hapa wakihojiwa na gazeti hili mashuhuda wa tukio hilo asha hussein mussa juma na paskal msimbe kwa nyakati tofauti walisema
tukiwa hapa barabarani tulimshuhudia huyu mwanamke na mwanaume mmoja
wakizozana kwa muda mrefu tulipowasogelea ili kuwasuluhisha mwanaume alipanda bodaboda na kutimka ndipo huyu mwanamke akamtupa mtoto kisha naye akaanza kuondoka huku akisema amechoka kumlea mtoto wa mtu sisi tukamzuia
mwanamke huyo akilia baada ya kupokea kichapo kikali kutoka kwa wananchi waliokelwa ha kitendo hicho
tulimlazimisha kumchukua mwanaye lakini aligoma tukaamua tukuite wewe mwandishi kwa msaada zaidi
wakati mwandishi wetu anawasili eneo la tukio aliwashuhudia baadhi ya wananchi wenye hasira wakimshushia kichapo mwanamke huyo kwa kitendo cha
kumtupa mwanaye
mwandishi aliita polisi wa pikipiki ambapo afande mwajabu alifika fasta na kumchukua mwanamke huyo na mwanaye na kuwapeleka kituoni kwa mahojiano zaidi awali akihojiwa na mwandishi wetu kuhusu uamuzi wa kumtupa mtoto wake barabarani mwanamke huyo alisema
muda huu tunatoka ustawi wa jamii kusuluhishwa mimi nilipeleka malalamiko mzazi mwenzangu kagoma kumtunza mwanaye na kuniachia mzigo peke yangu
mama huyo akiwa mikononi mwa polisi
nikimuuliza anasema mkewe kamzuia kumtunza mwanangu ndiyo maana na mimi kwa hasira nikaamua kumtupia mwanaye akamlee na mkewe
20150604t0206000700
artikel terkait ukatili wa mama amtupa barabarani mwanaye wa mwaka mmojakisa soma hapa | 2016-12-05T00:27:41 | http://utamuutamu.blogspot.com/2015/06/ukatili-wa-mama-amtupa-barabarani.html |
jayz akiri hajakuwa mwaminifu kwa mke wake beyonce dondosha
jayz akiri hajakuwa mwaminifu kwa mke wake beyonce
mwanamuziki wa rap jay z amekiri kwamba alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wengine akiwa bado kwenye ndoa yake na beyonce
amekiri hilo kwa mara ya kwanza alipokuwa akihojiwa kuhusiana na maisha yao na jarida moja
aliambia jarida la style la gazeti la the new york times kwamba alijiwekea vizuizi kutokana na matatizo aliyokumbana nayo alipokuwa mtoto jambo ambalo lilimfanya kujifungia na kuwa uzinifu
kitu kigumu ni kuona uso wa mtu uliojaa huzuni uliosababishwa na wewe alisema jay z
wanandoa hao walikuwa wamedokeza kuhusu jayz kutokuwa mwaaminifu kwenye nyimbo zao
mwanamuziki huyo amesema kwamba wangetalikiana lakini alipata ushauri nasaha ili kumsaidia kukabiliana na matatizo yake ya hapo awali
kama unavyofahamu watu wengi hutalikiana na visa vya kutalikiana ni takriban asilimia 50 mambo kama haya yanapotokea
mwaka wa 2013 kulikuwa na uvumi kwamba mwanamuziki huyo wa nyimbo za rap hakuwa mwaminifu kwa mke wake na ilichochewa na kitambulisha mada cha #elevatorgate pale solange knowles alipomshambulia jay z huku beyonce akionekana kunyamaza kimya
albamu ya hivi majuzi ya jay z ya 444 ilizungumzia yeye mwaminifu
aliandika naomba radhi / kwa kutoka nje ya ndoa/aliyemfanya mtoto wangu kuzaliwa kupitia kwa macho ya mamake
mwaka mmoja kabla ya albamu hiyo ya 444 kuzinduliwa beyonce aliimba kuhusu becky with good hair (becky mwenye nywele nzuri) kwenye albamu yake ya lemonade
yeye hunihitaji wakati sipatikani heri ampigie becky ambaye ana nywele ndefu
jay z na beyonce walikuwa wamepanga kutoa albamu ya pamoja badala yake wakaishia kufanya nyimbo kila mmoja yake
tunatumia sanaa kujiliwaza tulianza kutunga nyimbo zetu pamoja na nyimbo alizokuwa akibuni wakati huo zilikuwa mbele sana
kwa hivyo albamu yake ilizinduliwa kinyume na matarajio ya kuwa albamu hiyo ingekuwa imewashirikisha wanandoa hao
pia jayz hakuzungumzia kuhusiana na ndoa yake pekee pia alizungumzia kuhusiana na mahusiano yake na kanye west
nilizungumza na kanye wakati mmoja kumwambia yeye ni kama kakangu nampenda kanye kwa kweli ni mahusiano tata kati yetu
alikubali kwamba hawajakuwa na uhusiano rahisi
kanye west aliripotiwa kuacha kazi katika kituo cha umiliki wa huduma ya kusikiliza muziki ya moja kwa moja ya mwanamuziki ya jay z tidal kuhusiana na mzozo wa kifedha
niko na uhakika anahisi nimemfanyia mambo kadhaa pia yeye
natumai tutakapofika umri wa miaka 89 tutaangazia haya baada ya miezi sita au wakati wowote na kutafurahia haya yote | 2018-04-23T13:24:12 | https://dondosha.blog/2017/12/01/jay-z-akiri-hajakuwa-mwaminifu-kwa-mke-wake-beyonce/ |
kiambu county accounts page 4 politics wazua forum
#61 posted thursday july 18 2019 65527 pm
hiyo ni pesa yetu wanakula huko windsorno mercy on thief's | 2019-08-20T23:32:11 | http://www.wazua.co.ke/forum.aspx?g=posts&t=37488&p=4 |
kalala kuanza kazi rasmi ijumaa hii | spoti na starehe
kalala kuanza kazi rasmi ijumaa hii
akiwa na warembo wa twanga pepeta wanaounda safu ya mbele ya wanenguaji
kalala ataanzia rasmi kufanya kazi katika ukumbi wa mzalendo pub uliopo katika jengo la millenium tower lililopo maeneo ya makumbusho jijini dar es salaam jumamosi itakuwa zamu ya ukumbi wa nyumbani wa mango garden na jumapili atamalizia leaders club kinondoni mchana kuanzia saa nane habari ambazo twanga wametoa zinasema kuwa kalala amejiandaa kuwapa uhondo mashabiki na wamewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi kuishuhudia bendi yao ambao kwa kiasi kikubwa inaongoza kwenye burudani ya muziki wa dansi jijini
this entry was posted on friday august 31st 2012 at 814 am and is filed under michezo you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed
picha za mwili wa kanumba ukiingizwa chumba cha maiti muhimbili magari yanauzwa habari za afya ya uzazi ally mayai tembele amida shatur vs sylvie mampata mpya hiyo ya ferre gola katshou katshou #audio vijana wa tano machachari wa wenge musica maison mère june tafsiri ya wimbo selfie ekotite wa nguli koffi olomide may wadhamini
mexico weather early russia storm june 24 2017 as they&aposve done all tournament long mexico picked up a comeback win after falling behind to hosts russia juan carlos osorio&aposs rested el tri fought back to book their places in the confederations cup semifinals tom marshall » messi at 30 enjoy him while you can june 22 2017 rivals of major league soccer in 8bit form june 23 2017 liverpool willing to break transfer record to land £100m kylian mbappe june 23 2017 the football world is awash with gossip transfer talk is monitoring the whispers ahead of all the summer moves check out the michael waderonaldo on target as portugal ease into semifinals june 24 2017 portugal coasted to a 40 win over new zealand in st petersburg to secure their place in the confederations cup semifinals the win mexico beat russia to advance to confederations cup semifinals june 24 2017 mexico advanced to the confederations cup semifinals as group a runnersup by rallying for a 21 win over hosts russia who were espn staffbrazil star paulinho says he has an offer to move to barcelona june 24 2017 brazil midfielder paulinho has revealed that his agent is in talks with barcelona over a potential move to the catalan club barca are looking to espn staffmanchester united boss jose mourinho will attract the best yorke june 24 2017 former manchester united striker dwight yorke espn staffmanchester united making progress in pursuit of alvaro morata sources june 23 2017 manchester united are making progress in their pursuit of alvaro morata but have yet to agree a fee with real madrid sources have told espn rob dawson man united correspondentlionel messi could have joined real madrid instead of barcelona exagent june 23 2017 a 13yearold lionel messi could have joined real madrid instead of barcelona says the man who arranged his barca trial the espn staffpsg midfielder marco verratti i'll stay if the club buy champions this summer june 24 2017 marco verratti insists he could still stay at paris saintgermain if the club bring in the right players in the transfer market this jonathan johnson psg correspondentgermany coach joachim low warns of 'intense' cameroon's threat june 24 2017 joachim low has warned germany that cameroon are dangerous opponents as they look to secure a place in the confederations cup semifinals on pa sport
chekicotzgoogl/g8vnqtspotistarehefileswordprspotistarehefileswordprspotistarehefileswordprbabkubwaningcom/songs/dtasteoftanzaniacomspotistarehefileswordprspotistarehefileswordprspotistarehefileswordpr | 2017-06-24T18:56:35 | https://spotistarehe.wordpress.com/2012/08/31/kalala-kuanza-kazi-rasmi-ijumaa-hii/ |
lenzi ya michezo patashika ligi vpl fdl sdl wikiendi hii
ligi daraja la kwanza (fdl) nayo itaendelea ambako leo kutakuwa na mchezo kati ya african lyon na jkt ruvu kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam timu hizo ni za kundi a
rais wa fifa gianni infantino kuteta na vyombo vya habari vya tanzania februari 22 2018 *waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dkt harrison mwakyembe (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi wa idadi ya waandishi watakaohitajika katika mku | 2018-02-19T23:25:39 | http://pallangyor.blogspot.com/2017/10/patashika-ligi-vpl-fdl-sdl-wikiendi-hii.html |
dawa ya uzazi wa mpango >>>>fadhilipaulocom
by fadhili · 20/02/2017
kila mtu angependa kuwa na watoto ingawa kila mzazi hupenda apate mtoto kwa wakati muafaka au muda maalumu atakapokuwa tayari kwa ajili ya mtoto wakati mtu anapanga kuwa na mtoto ni wakati mzuri sana katika maisha na unatakiwa kuwa ni wakati uliokubalika kwa wazazi wote wawili kuamua kuwa ni kipindi cha kuwa na kulea mtoto
ili kuepuka mimba zisizotarajiwa wanawake wengi huamua kutumia vidonge vya kuzuia ujauzito (vidonge vya uzazi wa mpango/majira) vidonge hivi huwa na madhara mengine mabaya hapo baadaye vikitumika kwa kipindi kirefu
zipo dawa za asili kadhaa nyingi zaidi ya 20 ambazo zinaweza kutumika kama njia za kuzuia ujauzito usiotarajiwa bila kukuachia madhara yoyote mabaya dawa hizi ama zinazuia urutubishaji wa yai moja kwa moja au huweza kukusababishia kuona siku zako na hivyo kuondoa uwezekano wa kuwa mjamzito
nimekuandalia dawa asili nne kwa ajili hii ambazo nimeona zinapatikana kirahisi mazingira ya hapa kwetu tanzania na ufurahie maisha yako ya ndoa bila kuwa na wasiwasi
mhimu kama itatokea umepima na kugundulika ni mjamzito basi usizitumie dawa hizi kwani inaweza kupelekea kuharibika kwa huo ujauzito (miscarriage)
mbegu za papai pia ni dawa nzuri ya uzazi wa mpango kwa upande wa wanaume zinachofanya mbegu za papai ni kupunguza idadi ya uwingi wa mbegu za mwanaume (sperm count) na zinaweza kushuka mpaka kufika sifuri (zero sperm count) na hivyo mwanaume anakuwa hana uwezo wa kutungisha mimba ukihitaji kuzaa tena unaacha tu kuzitumia na hali yako itarudi kama kawaida kula mbegu za papai kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku
unaweza kuanza zoezi hili wiki 3 kabla hujaamua rasmi kama ndiyo dawa yako ya uzazi wa mpango
watu wa bara la asia wamekuwa wakitumia mbinu hii tangu miaka mingi iliyopita dawa hii haina madhara yoyote
2 mbegu za nyonyo
watafiti katika chuo kikuu cha kano state college of arts science and remedial studies cha nigeria wamethibitisha kuwa mbegu za nyonyo zinaweza kutumika kama dawa ya uzazi wa mpango mbegu za nyonyo zinatumika kwa miaka mingi nchini india kama dawa ya uzazi wa mpango
unachotakiwa kufanya ni kunywa na maji mbegu 4 mpaka 5 kwa siku kila siku wakati wa siku zako na zitakupa kinga ya uzazi wa mpango karibu kwa mwaka mzima menya ganda lake la nje kabla ya kumeza
siku mbili au tatu za mwanzo za kutumia unaweza ukapatwa na kutokujisikia vizuri pumzi fupi vipele (rashes) kizunguzungu kidogo kutapika au kuharisha nk lakini baadaye hali itatulia
tangawizi huhamasisha kutokea kwa siku zako kunywa vikombe vitatu mpaka vinne vya chai ya tangawizi kila siku ili kuzuia ujauzito chota kijiko kidogo kimoja cha chai cha unga wa tangawizi na uweke ndani ya maji ya moto kikombe kimoja (robo lita/ml 250) na unywe yote (unaweza kuongeza asali kidogo kupata radha) fanya zoezi hili kutwa mara 3 mpaka mara 4 kwa siku 5 tangu ufanye tendo la ndoa bila kinga unaweza pia kutumia tangawizi mbichi kwa matokeo mazuri zaidi
kotimiri inapatikana kirahisi dar es salaam na zanzibar na ni kiungo mhimu kwenye mahoteli mengi ya kitalii kunywa kikombe kimoja (robo lita/ml 250) asubuhi na jioni cha chai iliyoandaliwa ukitumia kotimiri mbichi kila siku ili kuzuia ujauzito usiotarajiwa hakuna madhara yoyote mabaya ya matumizi ya dawa hii
vitamini c ikitumika katika hali yake ya uasili kabisa inaweza kutumika kama dawa ya uzazi wa mpango kwenye vitamini c kuna ascorbic acid ambayo huzuia homoni inayouandaa mji wa uzazi (progesterone hormone) kushindwa kufanya kazi zake vizuri na hivyo mimba kukosa mahali pa kukaa baada ya yai kurutubishwa
meza viponge vya vitamini c mg 1500 mara mbili kwa siku mbili mpaka tatu baada kushiriki tendo la ndoa bila kinga vitamin c ni nzuri pia kwa ngozi yako
mhimu
1) usitumie kiasi kingi sana cha vitamini c kwani inaweza kupelekea mwili wako kutokuwa sawa au unaweza usijisikie vizuri katika mwili wako
2) usitumie vitamini c kama unatumia dawa za kuzuia damu kuganda (anticoagulant medications)
3) usitumie vitamini c kama una tatizo la sickle cell (sikoseli)
kumbuka kuwa makini mara zote na wewe fanya utafiti binafsi pia
kama una swali lolote au unahitaji ushauri zaidi niulize hapo kwenye comment nitakujibu
kuna dawa yoyote ya uzazi wa mpango ya asili umeitumia na kukuletea matokeo mazuri tutajie hapo kwenye comment kwa faida ya wengine
kama utatumia mojawapo ya hizi dawa nilizozitaja hapa na ukapata matokeo mazuri naomba ushuhuda wako hapo kwenye comment kwa ajili ya wengine
(imesomwa mara 1198 leo peke yake imesomwa mara 22)
tags dawa ya uzazi wa mpango
majahasi says
31/05/2017 at 124 am
24/06/2017 at 947 am
n daraxa toxha tankxxx
nashukuru sana kusikia hivyo ndugu karibu tena na tena
next story dawa za uzazi wa mpango kwa wanaume
previous story dawa ya asili ya uzazi wa mpango | 2017-11-20T09:35:57 | http://www.fadhilipaulo.com/dawa-ya-uzazi-wa-mpango/ |
liverpool yaichapa 20 watford bin zubeiry sports online liverpool yaichapa 20 watford bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za ulaya > liverpool yaichapa 20 watford
liverpool yaichapa 20 watford
joe allen akitelezea mpira kuifungia liverpool dakika ya 35 katika ushindi wa 20 dhidi ya watford kwenye mchezo wa ligi kuu ya england uwanja wa anfield jioni ya leo bao lingine la liverpool limefungwa na robertofirmino dakika ya 76 picha zaidi gonga hapa
item reviewed liverpool yaichapa 20 watford rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2017-09-22T20:48:13 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/05/liverpool-yaichapa-2-0-watford.html |
ccm kubadili upepo wanapoelemewa nini maoni yako jamiiforums
ccm kubadili upepo wanapoelemewa nini maoni yako
wana jf nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za ccm toka mwaka 1985ccm imekumbwa na misukosuko mingi kuanzia miaka hiyo mpaka leo hii
kuna kipindi walikuwa na mikakati mizuri sana ya kushughulikia matatizo na changamoto zao lakini kila miaka inavyoenda naona mambo kama yanabadilikamwanzo waliweza kuwadhibiti makada wao mf abdul jumbemaalim seifmalecela katikati wakabadili style ya udhibiti mf kolimba na wengineo
sasa naona mambo yanazidi kubadilika mapacha watatutukumbuke wakati hawa watu walipoanza kuitwa mafisadi na wanaharakati ccm waliwakingia kifua ila mambo yalivyowachachia na vijana wengi wasomi kuanza kukimbilia upinzani wakashtuka na kama kukurupuka hivi wakawaagiza wajitoe kwenye chama kwa sababu wanakichafua(kumbuka si utaratibu wa ccm wa kubembeleza makada)
rostam kajitoa jimbo la igunga likabaki wazi wakajisifu falsafa yao imefanikiwa wakaingia igungahakuna anaeongelea ufisadichama kujivua gamba wala nini mbaya zaidi wamegeuza upepo na kuvamia viongozi wa dini ya kiislamu
dc wa igunga ni mwanasiasa aliyeteuliwa na rais ni kada wa ccm hilo halipingiki kwangu mimi ni shangazi yangu kwa wengine ni mama yao wengine ni jirani yaoni mpwa wao ni mwanamke mwenzao na bila kusahau ni muumini mwenzaosuala lililofanywa na chadema liwe halali liwe si halali ni suala la kisiasa na kisheria basi
dc kalalamika kadhalilishwa kiutu na kwa cheo chake tupo tuliolaani na waliopongezakesi ipo mahakamanibaada ya mbunge wa igunga kupatikana kesi hutaisikia tena kila mtu atarudi kwenye utaratibu waketutasubiri jimbo jingine litakalo baki wazi labda arusha mjini au tandahimba fitna za arusha mjini hazitafananishwa na arusha wala igunga
viongozi wa kidini wakikubali kuingizwa kwenye fitna za kisiasa(ambazo huwa hazidumu)sijui hatma yake itakuwaje ccm wameshachoka hawana jeuri ya kuwakemea makada wake wanaokiuka maadili ya chama
najaribu kufikiria je ccm wanaweza kuwaingiza mkenge viongozi wa kikristo kwenye masuala ya kisiasa yaliyo wazi kama la dc wa igunga na ni kwa nini wamefanikiwa kwa bakwata na shura ya maimamuje nini mustakabali wa taifa kwani kuna dini mbili mkristo akifanyiwa kitu kwenye siasa maaskofu watoe tamkomwislamu akikosewa bakwata na shura ya maimamu watake waislamu waombwe radhi
naomba michango isikae kiitikadi au kidini ila izingatie mambo yafuatayo
1uzalendo
2mustakabali wa chama chetu(ccm)
3kudumisha udugu wetu wa kitaifa | 2018-12-16T18:32:56 | https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-kubadili-upepo-wanapoelemewa-nini-maoni-yako.174765/ |
what causes temperature changes and variation | jamiiforums | the home of great thinkers
what causes temperature changes and variation
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by oldd vampire feb 20 2012
hua najiuliza ni kwanini maeneo mengine ni kuna joto sana mfano dar n mengine baridi sana kama artic kule uingerezana nini kina sababisha utofauti huuna ni kwanini eneo moja lina experience three weather conditions in a yearna ni kwanini kuna kipindi cha mvuajuana baridinini kina sababisha
auwiii lile daftari langu la jogi liko wapi kuna ile topiki ya kilaimatolojioa
hua najiuliza ni kwanini maeneo mengine ni kuna joto sana mfano dar n mengine baridi sana kama artic kule uingerezana nini kina sababisha utofauti huuna ni kwanini eneo moja lina experience three weather conditions in a yearna ni kwanini kuna kipindi cha mvuajuana baridinini kina sababishaclick to expand
aahkijana kwa upewo wangu joto tofautiana toka maeneo ya poles nayale mengine kwasababu kama vifuatazo 1season and angle inclination of earth 2oceans currenc 3clouds cover 4atmospheric scater and absortion apo ndo upeo wangu umeishia ila nenda kasome zile factor affect insolation katika topic ya climatology ndo ndani yake kuna majibu ya swali lako kijanaaa | 2016-12-07T15:04:57 | http://www.jamiiforums.com/threads/what-causes-temperature-changes-and-variation.225530/ |
mwongozo chadema baada ya uchaguzi mdogo | jamiiforums | the home of great thinkers
mwongozo chadema baada ya uchaguzi mdogo
discussion in 'jukwaa la siasa' started by candid scope oct 30 2012
uchaguzi mdogo wa madiwani ulikamilishwa na wapiga kura nchini jumapili october 28 chadema kimepata funzo kubwa lenye kutoa tafsiri kadhaa zenye kuleta matumaini kwa wenye moyo mkuu au kufifisha kwa wenye moyo mchache
kauli ya freeman mbowe yazaa tunda la kwanzamwenyekiti wa chadema miezi michache iliyopita alitoa kauli ya kuwaasa vijana wasomi na wengine kujitokeza na kuchagua maeneo ya kugombea nafasi mbalimbali zikiwemo za uwakilishi ili waandaliwe wengi tulipongeza kwa utashi huo kwa bahati nzuri katika uchaguzi huu mdogo wa madiwani uliomalizika kuna kijana mmoja msomi ambaye ameamua si kusubiria nafasi ya kugombea ubunge bali ameamua kuanzia nafasi ya udiwani naye si mwingine bali ni diwani mchaguliwa wa kata ya mlangali katika wilaya ya ludewa ndani ya mkoa mpya wa njombe tunampongeza kwa kujituma kutetena azima yake na kushinda kwa wengi haikuwa katika picha kwamba chadema yaweza kupata kiti cha udiwani huko kuliko ngome ya ccm miaka nenda rudi kwa akina hayari horace kolimba ni dalili kwamba mipango ikifanyika kwa umahiri na kumsimamisha mwenye sifa yawezekana na imewezekana ni dhahiri chadema imeshafunguliwa mlango ludewa
diwani mchaguliwa ametoa mwanga kwa vijana wengi ambao pengine kwa kutokuwa na ujasiri wa kuthubutu wanahofia kitu wasichokuwa na hakika nacho kama watashinda au la lakini kwa uchaguzi huu tumapata jibu kuwa wananchi wengi wanatuhitaji vijana katika kuleta mabadiliko katika jamii na maendeleo ya taifa letu chadema zoezi hilo limefana sana wana mfano wa kuwafunda vijana wasomi wengi wajitokeze
kutofanya vizuri uchaguzi huu chadema sababu kusimamisha wagombea dhaifumaeneo mengi ambayo nguvu kubwa ya chadema imetumika tumekuja kushuhudia kutoambulia hata kiti kimoja unaweza kujengeka utetezi wa aina mbalimbali lakini kubwa zaidi ni chama kuwaandaa wagombea wanaofaa ndio tatizo chama kisitegemee tu jina la chadema limpatie mgombea kura ila auzike na wapiga kura ndipo waridhie tatizo kubwa ambalo naona wagombea wengi wa chadema kula mwanguko wa mende ni kukosa sifa kulinganisha na wagombea wa ccm eneo hilo linatakiwa kufanyiwa kazi na chama
mbinu za chadema kujitanua zibadilishwe kuendana na upepo unavyovumayale maandamano na mikutano ya hadhara inaonekana kutokuwa na nafasi kubwa kwa watanzania leo kwani kama kuwasikia chadema tumewasikia sana tu na jina la chadema linalia masikioni mwa wengi kama mwangwi wa mlima kilimanjaro tabia ya kinyonga kujibadilibadili rangi kuakisi mazingira yanayomzunguka ndiyo inayohitajika kwa chadema sasa hivi
pendekezo kwa chadema ni
[*=1]kuachana na maandamano kwani yanachelewesha watu kuwajibika katika kujenga uchumi wa nchi
[*=1]kupunguza mlolongo wa mikutano kwani inapoteza nguvu na rasilimali za chama wakati chama sera zimeshafahamika
[*=1]kuanza mkakati wa kupeleka wajumbe vijijini na mitaani kwa kusaka wafuasi watakao kuwa wanachama hai nyumba kwa nyumba na mtaa kwa mtaa hapo uchaguzi ujapo chadema itakuwa na uhai wa kura kuanza kuhesabu wanachama hai walio nao kama ccm ifanyavyo la sivyo watabaki kuvimbisha mishipa usoni majwakwani na kuambulia patupu kura zipigwapo
[*=1]zoezi la kuwapata wanachama mijijini liwe endelevu na kuimarisha kuwa na wajumbe wa nyumba kumi wenye kuhakiki wanachama kwa kulinda na kuhamasisha uhai wao chamani
[*=1]chama kuweka msingi vijijini na kuwa na wanachama ni mtaji mkubwa kwani ndiko kwenye wapiga kura wengi na majimbo mengi ya uchaguzi
[*=1]chambo cha mawasiliano kitaifa iwe ni radio au tv ili harakati na sera za chama ziweze kuwafikia wengi badala ya kutumia tu blog kwa njia ya online ambayo mwenye kufikiwa ni candid scope badala ya walengwa wapiga kura walio wengi wa vijijini
posho za watumishi wa matawinikufanya kazi kwa ridhaa kuna madhara yake mfano unaposikia katibu mkuu wa chadema analipwa tsh 7000000 huku watumishi wa matawini katani mikoa na wengineo wakifanya kazi kwa ridhaa huathiri utendaji na ukuaji wa chama chama kiwe na mkakati maalumu kuwapa posho walao kidogo kinachowezekana hawa watumishi
ruzuku inayopewa isielekezwe kwenye mikutano na maandamano tu bali watumishi wa mawawini katani mkoani na wengineo wafikiriwe ili wafanya kazi kwa moyo wa matumaini zaidi pengine ongezeko la wadiwani sasa hivi litapandisha dau la ruzuku hivyo ongezeko hilo bora lingeelekezwa kuwapa posho watumishi hao kila mwezi kila inapowezekana ili kupunguza manung'uniko ya hapa na pale na hivyo kuathiri utendaji na uwajibikaji wao kumbuka ccm inatumia mwanya wa ukata wa vyama vya upinzani kuwarubuni wapiga kura
kuandaa wagombea nafasi mbalimbali wenye sifajitihada kubwa zinatakiwa kuwekwa katika kuandaa nguvu ya kutosha katika kuwaandaa wagombea katika chaguzi mbalimbali zijazo kwa kipindi kirefu kutosha isitumike ila ya zima moto kama alifanikiwa nasari wa arumeru mashariki kwa mtindo wa zima moto tusitazamie mtindo huo huo utatumika kufanikisha chaguzi nyingine kwani wagombea wanatakiwa umma uwafahamu kwa kipindi cha kutosha na hivyo wanatakiwa kuwa karibu na maeneo yao wanakotegemea kugombea mara kwa mara
kuunganisha nguvu za upinzanimwenyekiti wa chadema ambaye ni mbunge na mkuu wa kambi ya upinzani bungeni mara baada ya uchaguzi mkuu uliopita alisema kuungana kambi ya upinzani wapate muda kwanza kwa sababu ya majeraha ya uchaguzi hilo lilieleweka sasa majeraha ni karibu yamepona labda kama yapo ambayo yamegeuka kuwa donda ndugu
viongozi wa chadema kitaifa wanatakiwa wataremke kutoka pale walipo ili wawafikie wenzao na kupika na kula meza moja chakula kinakuwa kitamu zaidi unyenyekevu ni siri moja kubwa katika kujiwekea malengo ya mafanikio ushupavu umewaweka wengi katika hali ya kubakizwa isolated ukiwa na mtoto jifanye kama watoto wafanyavyo kwa wachezaji utajifanya mwanamichezo wasomi utaongea mambo ya kisomi nk ndilo linalotakiwa chadema wawaone wenzao vyama vya upinzani ni hazina katika kubuni kupanga na kufanikisha mikakati ya kuikomboa nchi kura nyingi katika uchaguzi mdogo uliomalizika utakuta kama wangeunganisha nguvu ccm ingetelekeza viti vingi zaidi sasa bora lipi kuthoofisha nguvu za ccm kwa kunyang'anya himaya yao kuwa chini ya umoja wa upinzani au kubaki na unyonge wa mwenye kiti kimoja abaki kivyake na wenye viti vingi wajisikie kujitutumua huku kuchukua dola ikibaki ndoto za kufikirika
viongozi kitaifa watambue kasoro zisemazo wajitahidi kujirekebishaviongozi wa kitaifa chadema yanayolalamikiwa na baadhi ambao wamewahi kufanya kazi nao na kisha kuamua kujitoa hayawezi kubezwa kwani lisemwalo lipo kama halipo laja na tujue hawa ni binadamu kama tulivyo wengi tulivyo na kasoro nyingi tu za kimaumbili kimaadili kifikra kujikuza kujiona baora na kiutambuzi siyo kubeza tu wanatakiwa kujitathmini maana kuendekeza sana tabia binafsi na nafsi ya mtu katika uongozi ni hatarishi katika nyanja za siasa yalisemwa yanasemwa lakini kuyaacha yapite tu kama tunataka mageuzi ya kweli hatutakuwa wa kweli na kuwatakia mema hulka ya kiaongozi katika jamii
[*=1]ushirikiano na ushirikishi
[*=1]unyenyekevu na ukakamavu
[*=1]uvumilivu na ustahimilivu
[*=1]hekima na busara
ni mambo ambayo yanamjengea heshima na mafakio katika utumishi maamuzi ya papo kwa papo ni hatari majuto ni mjukuu kwani maji yakishamwagika hayazoleki viongozi wanatakiwa kuondokana na kulewa sifa kulewa umati wa wahudhuriaji mikutano wanaohudhuria mikutano ya chadema walio wengi ni mashabiki ambao si wapiga kura tofauti na mikutano ya ccm ambayo wahudhuriaji ni wapiga kura mkutano wa ccm wahudhuriaji 75 ni wapiga kura wake wakati wahudhuria wa chadema kiwango hicho hicho wahudhuria ni mashabiki tu kama inapotokea tukio fulani watu wanafurika isivyotegemewa ndivyo chadema wanavyotakiwa kusoma mwelekeo huu unavyowalaza chali katika chaguzi ccm inapobeba watu kwa malori ni wanachama wake si mashabiki wakati mikutano ya chadema wanaofurika ni mashabiki wasio wapiga kura hii ndiyo hali halisi ya tathmini yangu
diwani wa mlangali ludewa ni changamoto na hasa kwa vijana wasomivijana wasomi na wahitimu wengi vyuo vikuu tumekuwa na kasumba ya kuhangaika huku na kule huku tukilazimika kumaliza kandambili zetu kwa ajili ya kutembeza resume wakati tuna nafasi tele kama za huyu msomi mwenzetu kuelekeza nguvu huko matawini vijijini katani na wilayani kujenga msingi wa maisha ametufunza mengi ametufunza mengi wenye upeo wa masafa marefu wamempata wenzangu mimi wenye kufikiria leo na kesho tu tutabaki kuchakaza kandambili kutembeza resume huku na kule
hilo la kuwalipa posho watendaji wa chini nakubaliana nalo kabisa
napendekeza kuwa sie wengine ambao tumebaki kutoa hamasa kwa michango ya aina mbali mabali hasa hasa kwenye mitandao ya kijamii tujitolee walau pesa kidogo kuchangia eneo hili ili kuziba nakisi inayoweza kujitokeza kwa sababu ya ruzuku ndogo ambao chama kinapata
naamini chadema wakijitahidi (ikianzia na kuandaa mipango na kuiwekea bajeti) kutekeleza suala la kujenga chama kule kwenye mashina na matawi kwa kuingiza wanachama wapya na kuwasajili itasaidia kufanyamaandalizi mazuri ya uchaguzi wa serikali za mitaa na ule wa serikali kuu muda uliobaki ni mdogo sana na kazi hii inatakiwa ianze mara moja
mimi nashindwa kushauri kitu kwa sababu naona kama vile uongozi haushauriki au hawapiti mitaa hii siku hizi kukusanya maoni ya wadau
naamini chadema wakijitahidi (ikianzia na kuandaa mipango na kuiwekea bajeti) kutekeleza suala la kujenga chama kule kwenye mashina na matawi kwa kuingiza wanachama wapya na kuwasajili itasaidia kufanyamaandalizi mazuri ya uchaguzi wa serikali za mitaa na ule wa serikali kuu muda uliobaki ni mdogo sana na kazi hii inatakiwa ianze mara mojaclick to expand
kuandaa nguvu ya mikutano na maandamano tu si suluhisho na hapa nakubalina nawe hata sisi tuwe tayari kuchangia uimarishaji wa matawi vijijini na hata chama chenyewe kiwe na bajeti hiyo kwani ni eneo ambalo lina umuhimu wa kwanza kwa sasa
mimi nashindwa kushauri kitu kwa sababu naona kama vile uongozi haushauriki au hawapiti mitaa hii siku hizi kukusanya maoni ya wadauclick to expand
tusikate tamaa matola kwa nchi ni yetu ipo siku na siku imefika nategemea mioyo yao italegea tu kwani ishara za nyakati ni funzo tosha
tusikate tamaa matola kwa nchi ni yetu ipo siku na siku imefika nategemea mioyo yao italegea tu kwani ishara za nyakati ni funzo toshaclick to expand
hapa nitarudi asubuhi tumeshauri mengi sana sasa kama hawayasomi mimi nitashangaa sana muulize kila mtu anaijuwa bavicha lakini ni nani anaijuwa bawacha hivi watu wanashindwa kujuwa chama kinahitaji sana wanawake majasiri wa kwenda kuwaamsha usingizini wanawake wenzao
maana wasichana wasomi na wasio wasomi wote wako bavicha huku bawacha inaonekana ni maujanja dot com tu ifumuliwe yote we need new reform for bawacha
maana wasichana wasomi na wasio wasomi wote wako bavicha huku bawacha inaonekana ni maujanja dot com tu ifumuliwe yote we need new reform for bawachaclick to expand
nakuunga mkono sana hili kwani idadi kubwa ya watanzania ni wanawake huku ukiweka ndoana kura nyingi zitopatikana lakini sisikii kitu kuhusu umoja wa wanawake wa chadema wapo kwa jina tu au kisiasa tu
huenda tatizo ni ukata kwa kutowekewa bajeti la sivyo wanasubiria tu ubunge wa viti maalumu ndipo tukatakapoanza kuwasikia
sikio la kufa
sikio la kufaclick to expand
kuna madaktari bingwa wanaoweza kuliponya
lazima ushauri huu umewafurahisha sana sisiem eti waache kufanya mikutano maendeleo gani wananchi wanayapata wasipohudhuria mikutano eti cdm iunganishe nguvu na vyama vingine ambavyo karibu vyote viko affiliated na sisiem this is another joke hivi ni kweli wanacdm wameisha sahau migogoro iliyojitokeza pale ilipoamua kushirikiana na vyama vingine huu ni mkakati wa sisiem kuhakikisha migogoro isiyo kwisha kwenye vyama migogoro ya kugombea madaraka na kutoa matamko ya kumalizana mi nafikiri tuache kujiita wanacdm tunapotoa mitazamo yetu
lazima ushauri huu umewafurahisha sana sisiem eti waache kufanya mikutano maendeleo gani wananchi wanayapata wasipohudhuria mikutano eti cdm iunganishe nguvu na vyama vingine ambavyo karibu vyote viko affiliated na sisiem this is another joke hivi ni kweli wanacdm wameisha sahau migogoro iliyojitokeza pale ilipoamua kushirikiana na vyama vingine huu ni mkakati wa sisiem kuhakikisha migogoro isiyo kwisha kwenye vyama migogoro ya kugombea madaraka na kutoa matamko ya kumalizana mi nafikiri tuache kujiita wanacdm tunapotoa mitazamo yetuclick to expand
akili ni nywele na kila mmoja ana zake lakini pia naheshimu sana mchango wako haya ni maoni yangu binafsi nikichukulia mifano ya waliofanikiwa kwa kutumia njia hiyo kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu katu kidole kimoja hakivunji chawa
uhuru wa visiwa vya zanzibar na pemba vilivyafanikiwa baada ya vyama vya wazawa kuwa na umoja na hivyo mapinduzi yalipangwa kwa pamoja la sivyo mambo yasingewaendea kama ilivyokuwa
mwai kibaki wa kenya alifanikiwa kumng'a kisiki daniel arap moi baada ya kutaabika mara kadhaa bila mafanikio mwishoni aliamua kuteremka awakute wenzake kwenye kambi ya upinzani alipounganisha nguvu ndipo dhoruba kali ya umoja wao ilimshinda nguvu daniel arap moi
zambia tumeshuhudia mageuzi ya kisiasa yametokana na kuunganisha nguvu hizo pia
tanzania kabla ya uhuru kulikuwa na vyama vingi ambayo vingi vikiwa ni social clubs lakini nyerere akianzia na kile cha taa alifanikiwa kuunganisha hata club za akina kawawa huko makazini na kuwa na nguvu ya pamoja katika kudai uhuru na hivyo kuwa chimbuko la tanu
kama hali itaendeleea hivi hivi kwa kuwaweka kando wapinzani hapo ccm itakuwa imefanikiwa copy and paste ya mfumo wa mkoloni mwangereza ya divide and rule 0 people likes
mkuu candid scope ushauri wako wote nimekubalina nao isipokuwa huu wa kuunganisha nguvu na vyama vingine unataka tupore mke wa mtu (cuf) ni hatari sana kwa uhai wa chama au uungane na tlp ya sultani mrema au udp ya sultan cheyo mkuu hakuna vyama vya kuunganisha nguvu na cdm
mkuu candid scope ushauri wako wote nimekubalina nao isipokuwa huu wa kuunganisha nguvu na vyama vingine unataka tupore mke wa mtu (cuf) ni hatari sana kwa uhai wa chama au uungane na tlp ya sultani mrema au udp ya sultan cheyo mkuu hakuna vyama vya kuunganisha nguvu na cdmclick to expand
dhana ya wasiwasi inaweza kujengeka hivyo lakini tujue kwamba mtazamo wa wa visiwani na wa bara kunaweza kuwa tofauti pamoja na kuwa ni chama kimoja cha kisiasa ndio maana tunaona mpasuko wa ccm visiwani kuhusu mstakabali wa katiba ya jamhuri ya muungano inayoendelea
kuna dalili nyingi ambazo vyama kadhaa vinaonekana kuonyesha nia hata cha nccr mageuzi jinsi walivyomaliza mezani mashtaka yaliyofunguliwa kupinga ubunge wa halima mdee hiyo ni ishara tosha kwamba nia ikiwepo uwezekano upo kwa vyo vyote tahadhari hapana budi kuwepo na pia makubaliano endapo watashika dola ni jambo la msingi cha maana kuunganisha nguvu kuiondoa ccm la sivyo kazi kweli kweli
hii ni busara haswaaaaaaa lakini yahitaji jicho la tatu kuitambua kama ni busara ebu viongoz wa chadema tunaowaamini kuwa ndiyo wajenzi makini wataifa hili chukueni busara hii
vichwa vya habari vya baadhi magazeti ya leo vimewanukuu baadhi ya viongozi wa ccm wakikibeza cdm eti kwa ushindi finyu wa uchaguzi mdogo wa madiwani uliofanyika hivi karibuni nchini nimesoma pia humu jamvini maoni ya watu ambao inawezekana ama ni wanachama wa cdm au viongozi wa cdm wakitoa maelezo yanayodhihirisha kukatishwa kwao tamaa na matokeo hayo kwanza nianze kwa keeleza jambo moja ambalo ni bayana kwamba kuking'oa chama tawala siyo kazi ya lelemama na muda mfupi kama wengi wetu tunavyodhani ni kazi nzito na inahitaji nguvu kubwa na yenye mabonde na milima mingi kwa hiyo inahitaji uvumilivu mkubwa sana binafsi nakishukuru sana cdm kwa kutuonyesha watanzania kuwa ni chama kilicho na dhamira ya dhati ya kumwondoa mkoloni wa pili ambaye ni ccm vyama vingine viliibuka kwa nguvu hiihii na sasa vinaelekea kaburini au tayari vipo kaburini
waswahili wanasema siku njema huonekana asubuhi matokeo ya chaguzi ndogo zilizofanyika nchini hadi sasa yanaashiria cdm inagain na ccm inalose ukichora graph ya ushindi wa ccm tangu mwaka 2005 bila shaka utabaini hiki ninachoandika hapa wakati upande huo wa ccm ukiwa hivyo upande wa cdm unaendelea kuongeza ushindi yaani graph inapanda huo ndiyo ukweli na utaendelea kubaki kuwa ukweli
kwa wana ccm makini na wasomi kamwe hawawezi kufurahia matokeo ya kupoteza kata 4 na kuziacha ziende kwa wapinzani wao cdm hali kadhalika kwa wana cdm makini na wasomi hawawezi kusikitika kupata ushindi kwenye kata chache ikilinganishwa na ccm wakati katika kata walizopata 4 ni mpya
ndugu zangu wana cdm na wapenda mabadiliko tafadhali msikate tamaa kabisa ushindi upo na endeleeni kuongeza bidii sumu iliyowekwa na ccm kwenye vichwa vya watanzania ni kali inahitaji utaalam na commitment ya hali ya juu kuiondoa na kuwakomboa watanzania
mkuu umesema vema though umeweka na vipropaganda kidogoanyway ndo kujifunza na ndo mageuzini ukweli usiopingika kuwa vijana ndo chachu ya maendeleo na wanakubalika sanamimi nina uhakika chadema ikisimamisha vijana wengi 2015 mambo yataenda sawa
ni rahisi kumnadi kijana asiyekubalika kuliko mzee asiyekubalika
daftari la wapiga kura ni moja kati ya sababu kuu fikiri vizuri mangine umeongea sawa ila kunasehem umepotoka kiasi
mengi yana ukweli ni kiasi cha kuyapa muda na kukaa chini kuyafanyia kazi sisi kama washika dau tutaendelea kutoa mchango wetu kwa minajiri ya kukisongesha mbele zaidi | 2017-01-24T15:26:31 | https://www.jamiiforums.com/threads/mwongozo-chadema-baada-ya-uchaguzi-mdogo.346472/ |
rais dk shein aagana na gavana wa benki ya tanzania anaemaliza muda wake zanzinews
home habari matukio video rais dk shein aagana na gavana wa benki ya tanzania anaemaliza muda wake
rais dk shein aagana na gavana wa benki ya tanzania anaemaliza muda wake | 2018-07-17T08:05:30 | http://www.zanzinews.com/2018/01/rais-dk-shein-aagana-na-gavana-wa-benki.html |
136 ugwichubhula magulu | sukuma legacy project
136 ugwichubhula magulu
mbuki ya lusumo lwenunu ilolile magulu ayo gagatumamaga milimo ya guziminza gwinga halebhe mpaga halebhe umunhu hungwene uyo agasiminzaga bho gugatumila amagulu genayo ulu usiminza bho witegeleja gagubhila mhola aliyo ulu uluusiminza bho nduhu witegeleja amagulu gakwe gagulabhuka
ulusumo lwenulo lugalinganijiyagwa na munhu uyo agubhejaga nimo nulu agwitaga mhayo uyo gudulile gumwenhela nhabhala nulu makoye ukushigu ijabhutongi nulu ukushigu ijiliza
abhanhu abhangi abho bhalimhona igiki umo alitumamila unimo gunuyo nulu umo alihayile umhayo gunuyo adulile gupandika makoye ukugushigu ijakubhutongi bhanghugulaga bho gungila giki ugwichubhula magulu igiko humo lugandija ulusumo lwenulo umumahoya aga bhanhu
ulusumo lwenulo lulilanga bhanhu higulya ya gwitegeleja tamu bhuli nimo haho bhatali ugugutumama ilichiza ugwitegeleja tamu haho munhu atali uguguyomba nulu ugugugwita umhayo gosegose
igelelilwe gwibhuja nulu gwiganika tamu haho munhu atali ugugwita umhayo gosegose ijina gwita cheniko munhu adulile gupila ugwingila umumakoye ayo adulile gugapandika kulwa gwita mihayo nulu milimo bho nduhu ugwitegeleja chiza
mithali 293
waefeso 213
luka 151319
kiswahili utajichubua miguu
chanzo cha methali hii huangalia miguu ambayo hufanya kazi ya kutembea kutoka sehemu moja hadi nyingine mwanadamu ndiye ambaye hutembea kwa kutumia miguu hiyo akitembea kwa umakini itakuwa salama lakini akitembea bila kuwa na umakini miguu yake itaumia
methali hiyo hulinganishwa na mtu ambaye hufanya kazi fulani au mtu ambaye asema neno fulani ambalo laweza kumletea matatizo kwenye siku za usoni au siku zijazo
watu wengine ambao humuona mtu huyo jinsi afanyavyo kazi yake au jinsi asemavyo maneno yake na kutambua kuwa ataweza kupata matatizo humuonya kwa kumwambia hivi utajichubua miguu hivyo ndivyo methali hiyo ilivyoanza kutumika katika maongezi ya watu
methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini kwa kufikiria vizuri kwanza kabla ya kufanya jambo fulani au neno fulani ni vizuri kuwa makini kwa kufikiria vizuri kabla ya kufanya kazi yoyote au kusema neno lolote
inatakiwa kujiuliza au kufikiria kwamza kabla mtu hajafanya jambo fulani au kabla hajasema neno lolote kwa kufanya hivyo mwanadamu ataweza kuepuka kuingia kwenye matatizo ambayo angeweza kuyapata kwa sababu ya kufanya jambo fulani au kusema neno fulani kabla ya kulifikiria vizuri kwanza
mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake bali aambatanaye na malaya hutapanya mali yake
kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza
ye yote amsifuye jirani yake isivyostahili anautandaza wavu kuitega miguu yake (mithali 2935)
kwa habari zenu mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga yule roho atendaye kazi ndani ya wale wasiotii sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani tukifuata tamaa za mwili na mawazo yake nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu kama mtu mwingine ye yote (waefeso 213)
yesu alipomwekea mikono yake mara akasimama wima akaanza kumtukuza mungu lakini mkuu wa sinagogi akakasirika kwa sababu yesu alikuwa ameponya mtu siku ya sabato kwa hiyo mkuu wa sinagogi akaendelea kuuambia ule umati wa watu kuna siku sita ambazo watu wanapaswa kufanya kazi katika siku hizo njoni mponywe lakini si kuja kuponywa siku ya sabato lakini bwana akamjibu enyi wanafiki je kila mmoja wenu hamfungulii ngombe wake au punda wake kutoka zizini akampeleka kumnywesha maji siku ya sabato je huyu mwanamke ambaye ni binti wa abrahamu aliyeteswa na shetani akiwa amemfunga kwa miaka yote hii kumi na minane hakustahili kufunguliwa kutoka katika kifungo hicho siku ya sabato aliposema haya wapinzani wake wakaaibika lakini watu wakafurahi kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyoyafanya
kisha yesu akauliza ufalme wa mungu unafanana na nini nitaufananisha na nini umefanana na punje ya haradali ambayo ni ndogo sana ambayo mtu aliichukua na kuipanda katika shamba lake nayo ikakua ikawa mti na ndege wa angani wakatengeneza viota vyao kwenye matawi yake (luka 151319)
english you will hurt your feet
the source of this proverb looks at the feet that move around from one place to another a person is the one who walks through his or her feet walking carefully will be safe but while he or she was walking without being careful his or her feet were injured this proverb is likened to a person who performs a certain task or someone who says something that might cause problems in the future
some people who see the person doing his or her job or how he or she says his or her words and realize that he or she will get problems warns him or her by saying you will hurt your feet that was how the proverb started to be used in conversation
such a proverb teaches people to be careful in doing saying or doing something they should first think carefully before doing or saying something it is good to be careful by thinking well before doing any work or saying any word one must ask himself or herself or think about the matter before doing or saying it by so doing a human being will be able to avoid getting into trouble that he or she could get into because of doing something or saying something before having first thought carefully about it first
proverbs 29 3
ephesians 2 13
luke 15 1319
posted in sukuma proverbs and tagged folklore heritage proverbs riddles sayings songs stories sukuma tanzania on august 21 2018 by sukumalegacy leave a comment
← 135 uyo agulimaga ngwilago agumanyikila kulyochi
137 ngwana adabhipaga ha ngwawe → | 2019-03-22T01:47:41 | https://sukumalegacy.org/2018/08/21/136-ugwichubhula-magulu/ |
tesistosteroni wikipedia kamusi elezo huru
tesistosteroni
tesistosteroni ni aina ya homoni yenye maana sana katika maisha ya mwanamume katika kukua kwa pumbu pamoja na kibofu (prostrate) tofauti ya homoni ya tesistosteroni ni homoni ya estrogeni ambayo inapatikana haswa kwa wamama
homoni hii pia husaidia katika kubalehe kwa wavulana ili wawe wanaume katika ukuzi wa mwili kuwanda kwa mabega kukua ndevu kuwa na sauti nzito na pia kuweza kuzaa wanapojamiana na wanawake
homoni ya tesistosteroni hupatikana kwa watu wote waume kwa wake hata hivyo kiwango cha homoni hii kwa wanaume huwa mara saba ikilinganishwa na wanawake kiwango cha kawaida cha homoni hii huwa kati ya 150 hadi 850 ng/ vivyo hivyo wanaume wana homoni ya estrogeni chache ikilinganishwa na wamama
1 mwisho wa uzazi kwa wanaume
2 kuongeza tesistosteroni mwilini
3 madhara ya tesistosteroni nyingi
5 viungo ya nje
mwisho wa uzazi kwa wanaume[hariri | hariri chanzo]
tesistosteroni hutengenezwa na pumbu na pia katika ubongo wa mwanadamu ndio maana wanawake pia huwa na kiwango fulani cha tesistosteroni hata kama hawana pumbu
utengenezaji wa homoni hii hupungua pindi mtu anapozeeka wanaume wengi walio na umri wa miaka arobaini kwenda juu hupata kwamba kiwango chao chaendelea kudidimia hali hii hufanya wasiweze kupata ngono na wake zao maana viungo vyao vya mwili haziwezi kazi hiyo kando na hilo mwananume mwenye upungufu wa homoni hii huwa hana raha nguvu za kufanya kazi na huonekana kana kwamba ni mlegevu akilinganishwa na mwanaume mwenye tesistosteroni kwa wingi
kwa sababu hii wao huona heri waende kwa daktari ili wajazwe kiwango fulani cha homoni ama wanywe tembe zinazouzwa na makampuni ya dawa hizi hujulikana kama steroidi anaboliki hata hivyo idara za madawa katika nchi nyingi zimeonya watu wasinywe madawa hayo ya steroidi anaboliki bila idhini ya daktari maana yamepatikana kuwa na madhara baada ya matumizi ya muda mrefu hata hivyo kampuni za madawa ya steroidi zimepitisha steroidi nzuri zilizoidhinishwa na idara ya fda
tesistosteroni husaidia mwanamume awe na uchu wa ngono awe na misuli iliyotitimka na pia awe mwenye raha akifanya kazi zake
wanasayansi wamegundua kwamba mwanamume akiwa na kiwango kingi cha homoni hii na kiwango kidogo cha kotisoli (stress hormone) huwa ana uwezo wa kuongoza watu wakimfuata bila pingamizi yoyote [1]
kuongeza tesistosteroni mwilini[hariri | hariri chanzo]
tesistosteroni huongezewa kwa mwili haswa kwa lishe bora yenye madini ya zinki magnesium na boronchakula kama samaki oysters na matunda kama ndizi maembe na parachichi yamesemekana kuongezea madini haya mwilini utafiti waonyesha kuwa matawi na mizizi ya stinging nettle husaidia kuongezea homoni ya tesistosteroni
madhara ya tesistosteroni nyingi[hariri | hariri chanzo]
kiwango cha tesistosteroni kikiwa kingi pia huwa na madhara kama vile
kupungua kwa saizi ya pumbu
kupata kipara kichwani au nywele kuanguka anguka
wanaume kupata matiti jambo linalojulikana kama jinekomastia
kuwa mwingi wa hasira
huweza kuzidisha saratani ya kibofu (prostrate cancer) hata hivyo jambo hili halijathibithishwa kwa uhakika
viungo ya nje[hariri | hariri chanzo]
http//wwwpnasorg/content/113/35/9774full
je unajua kitu kuhusu tesistosteroni kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=tesistosteroni&oldid=1087386 | 2019-10-21T05:41:46 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Tesistosteroni |
displaying items by tag uchafu
imesomwa mara 12732 imehaririwa jumatatu 03 septemba 2018 1658
imesomwa mara 19322
kukosa usingizi husababisha upungufu wa homoni ya testosterone | 2019-08-19T00:25:07 | https://tanzmed.co.tz/watoto-uzazi/malezi-makuzi/item/251-ugonjwa-wa-matende-na-madhara-yake-elephantiasis.html |
hawa hapa mastaa waliokipiga ligi nyingi kubwa za ulaya mwanaspoti | presstz your number 1 source of aggregated online content
hawa hapa mastaa waliokipiga ligi nyingi kubwa za ulaya
wakati staa wa kimataifa wa ureno cristiano ronaldo akijiunga na juventus na hivyo kujikuta akicheza katika ligi ya tatu kubwa barani ulaya kuna wachezaji ambao wanamtazama na kumkebehi kwa jinsi ambavyo wamezurura katika ligi nne kubwa za ulaya england hispania ujerumani na italia
1 uongozi yanga yatoa msimamo mkali
2 tff na timu za ligi kuu bara msife moyo
3 masau bwire avuna umaarufu vijijini mtwara
4 jeuri ya kocha wa ruvu shooting chanzo hiki hapa
5 tandahimba yamgeuzia kibao bwire yaipapasa ruvu shooting | 2018-08-16T04:07:21 | http://presstz.net/hawa-hapa-mastaa-waliokipiga-ligi-nyingi-kubwa-za-ulaya-40005277 |
waziri nape awataka maafisa mawasiliano serikalini kutendea haki sheria ya huduma za habari na sheria ya haki ya kupata taarifa jiachie waziri nape awataka maafisa mawasiliano serikalini kutendea haki sheria ya huduma za habari na sheria ya haki ya kupata taarifa jiachie
home > taarifa mbalimbali > waziri nape awataka maafisa mawasiliano serikalini kutendea haki sheria ya huduma za habari na sheria ya haki ya kupata taarifa
habari mbalimbali habari za kitaifa taarifa mbalimbali
item reviewed waziri nape awataka maafisa mawasiliano serikalini kutendea haki sheria ya huduma za habari na sheria ya haki ya kupata taarifa rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2017-10-21T02:49:10 | http://michuzijr.blogspot.com/2017/03/waziri-nape-awataka-maafisa-mawasiliano.html |
najitahidi nimsahau lakini nashindwanifanyeje | jamiiforums | the home of great thinkers
najitahidi nimsahau lakini nashindwanifanyeje
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mymy jul 16 2012
hello wadau wa jfnashukuru sana kwa mawazo yenu nyote sasa mimi nimeamua to keep distance na yule kaka coz naona kama nakua namsumbua pale ninapompigia simu au kumtext sms lakini tatizo ni kuwa najitahidi kutaka kumtoa/kumsahau akilini mwangu lakini najikuta nagonga mwamba nimeamua kudelete namba yake labda itanisaidia katika plan yangu ushauri tafadhali wa aina yoyote unapokelewa nifanyeje nimtoe akilini mwangu mapenzi kweli yanaweza kumfanya mtu akawa mwehunimeamini
jishughulishe na kazi zako tumia mda mwingi kumuomba mungu akupe mwenye kheir na wewe
aisee kwanza bora kwa kumuacha kumbe mtu akiukubali ushauri mzuri inatia moyo kuendelea kumshauri tena nja ya kumtoa akilini ni ndogo sana tafuta kitu mbadala wa yeye ila siyo mtu like tafuta kazi ya kufanya ikueke bize for some days utaona ni siku ya kwanza tu ndo shida ila the rest inakuja automatic wala hutatumia msuli kumtoa akilini jibidiishe katika ishu tofauti ila zisizokuwa za mapenzi kwasasa
hello wadau wa jfnashukuru sana kwa mawazo yenu nyote sasa mimi nimeamua to keep distance na yule kaka coz naona kama nakua namsumbua pale ninapompigia simu au kumtext sms lakini tatizo ni kuwa najitahidi kutaka kumtoa/kumsahau akilini mwangu lakini najikuta nagonga mwamba nimeamua kudelete namba yake labda itanisaidia katika plan yangu ushauri tafadhali wa aina yoyote unapokelewa nifanyeje nimtoe akilini mwangu mapenzi kweli yanaweza kumfanya mtu akawa mwehunimeaminiclick to expand
umedelete kwenye simu au kwenye akili kuna mazingira mengi ya kumsahau la kwanza ni utayari wewe unaonesha bado hauko tayari kumsahau huyo jamaa pamoja na yote hayo kama unamuona mara kwa mara ni itakuwa ngumu kuwa kumsahau ila utamsahau tu kwa kuwa sasa umeamua kumsahau jambo jingine ni wewe mwenyewe kujipa kutafuta mbadala kwa maana ya kuwa karibu na watu watakao weza kukampani epuka upweke
ipunguze thamani yake taratibu ili mambo mengine yaendelea asiwe yeye ndio priority yana mwisho ukiamua
jishughulishe na kazi zako tumia mda mwingi kumuomba mungu akupe mwenye kheir na weweclick to expand
asante sana promisemeinshaallah nitajitahidi kufuata ushauri wakonashukuru sana
aisee kwanza bora kwa kumuacha kumbe mtu akiukubali ushauri mzuri inatia moyo kuendelea kumshauri tena nja ya kumtoa akilini ni ndogo sana tafuta kitu mbadala wa yeye ila siyo mtu like tafuta kazi ya kufanya ikueke bize for some days utaona ni siku ya kwanza tu ndo shida ila the rest inakuja automatic wala hutatumia msuli kumtoa akilini jibidiishe katika ishu tofauti ila zisizokuwa za mapenzi kwasasaclick to expand
asante gfsonwinnajua mwanzo itaniwia vigumu lkn i have to coz nimeumia sana naona time imefika ya kutake actionsthanx once again
kuwa karibu na marafiki wako wa siku nyingi na usipende kukaa mwenyewe kwani ndo chanzo cha mawazo
asante gfsonwinnajua mwanzo itaniwia vigumu lkn i have to coz nimeumia sana naona time imefika ya kutake actionsthanx once againclick to expand
huo mwanzo ukitaka uwe mgumu utakuwa mgumu kweli kweli aisee hivi what are your hobbies kama waona tabu kuzieka hapa ni pm and then i will tell you something about them ambacho kitaku entertain mara moja kama vile umewasha soketi ya umeme
aiseee maganga mkweli ni kweli upande mmoja wa moyo unasema niendelee kujipa hope labda atarudi lakini upande mwingine unaniambia niendelee na life yangu kuonana hatuonani mara kwa mara tupo mikoa tofauti ila kutokana na mateso ya moyo wacha tu niendelee na maisha yanguby the way i lke hiyo quote yako naona niiapply tulike nothing happenedn life goes on
delete hiyo namba keep yourself busy find new hobby kuchua muda kuwa na marafikiutamsahau
pole mymy hata mimi niliwahi kupata hali kama hiyo hebu jaribu kukumbuka mabaya ambayo aliwahi kukufanyia halafu utamsahau tu kama unapenda gospel songs sikiliza soma vitabu ila usisikilize nyimbo za mapenzi sana kila la heri
aiseee maganga mkweli ni kweli upande mmoja wa moyo unasema niendelee kujipa hope labda atarudi lakini upande mwingine unaniambia niendelee na life yangu kuonana hatuonani mara kwa mara tupo mikoa tofauti ila kutokana na mateso ya moyo wacha tu niendelee na maisha yanguby the way i lke hiyo quote yako naona niiapply tulike nothing happenedn life goes onclick to expand
tehe tehe mimi ni mhanga wa hayo mambo najua jinsi inavyoumiza mwanzoni hasa ukipenda sanaa jambo la msingi kuamua tena kukubali kupingana na ukweli ni hayo tu
delete hiyo namba keep yourself busy find new hobby kuchua muda kuwa na marafikiutamsahauclick to expand
asante madamex
pole mymy hata mimi niliwahi kupata hali kama hiyo hebu jaribu kukumbuka mabaya ambayo aliwahi kukufanyia halafu utamsahau tu kama unapenda gospel songs sikiliza soma vitabu ila usisikilize nyimbo za mapenzi sana kila la hericlick to expand
aiseeeunajua mtu unapokumbwa na tatizo unahisi kama you are alone in a lost worldkumbe wapo pia waliokumbwa na tatizo lako ilikua vizuri nilivo fungukaasante jf thanx nyakwaratony for ur advicewabeja
usisikilize moyo kwani moyo hudanganyaifuate akili yako
time will heal you get a life badilisha kazi upate ngumu na challenging zaidi new hobbies change wardrobe and gain ur confidence back ungeweza kutumia nguvu zote kujipenda ukishindwa kabisa hebu jiongeze nenda shule huko lazma upate mchuchu mpya wa maanalol
muda utakavyokuwa unaenda na machungu pia yanaisha taratibu ila muda utaenda haraka na kusahau haraka kama utatafuta kitu cha kukukip bize
time will heal you get a life badilisha kazi upate ngumu na challenging zaidi new hobbies change wardrobe and gain ur confidence back ungeweza kutumia nguvu zote kujipenda ukishindwa kabisa hebu jiongeze nenda shule huko lazma upate mchuchu mpya wa maanalolclick to expand
hahahaaaaa thnx king'astithank god soon naenda shule i know will be busy kuliko maelezo
si bora yako wewe kumbe namba yake ilikuwa kwenye simu tu mie iliwahi kunisumbua sana maana namba ya simu ilikuwa kichwani nikiifuta kwenye simu bado ninayo kumkichwa yaani wewe acha tu niliumia niliteseaka nae kama miaka mitatu hivi ila kwa sasa namshukuru mungu maana nilipata mbadala wake hiyo hali ainisumbui tena ndo kabisaaa najiona kama nilikuwa nataka kupotea tu jipe moyo dada utashinda
pole sana ila hiyo hali itatoweka soon kwani kwa sasa umeshaweza kumsahau ila kinachokutesa ni yale mazoea kati yako na yeye ushauri wangu kuwa na muda mwingi wa kuangalia mwelekeo wa maisha yako kwa sasa | 2017-04-27T03:57:39 | https://www.jamiiforums.com/threads/najitahidi-nimsahau-lakini-nashindwa-nifanyeje.292986/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.