text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
bocco archives tanzania sports home / bocco 23rd april 2018 last update at 1054 am kuna vitu ni vigumu kuvitenganisha hata siku moja na kuna wakati mwingine unaweza ukakitaja kitu fulani kichwani mwako ikaja taswira ya kitu kingine ambacho kinamahusiano na hicho kitu unapata pich
2018-04-23T09:30:45
https://www.tanzaniasports.com/tag/bocco/
matokeo darasa la saba matokeo ya darasa la saba 2011 matokeo ya darasa la saba 2011 matokeo ya darasa la saba 2011matokeo ya darasa la saba 2011matokeo ya darasa la saba 2011 nectamatokeo ya darasa la saba 2011 dar es salaammatokeo ya darasa la darasa la mahusiano jinsi ya kuwakamata wadanganyifu katika mapenzi kuna darasa la mapenzi jamani linaanza leo lichachukua siku kumi ni kila siku saa 0100 gmt+0 au uk hours ni jinsi ya kumkamata mpenzi wako anayekudanganya au njia za skaina apewa darasa la ndoa na unene wake global publishers kama kawa kama dawa wiki hii tunaye msanii wa filamu bongo hivi wenzako wanavyojitangazia kuwa wao ni wasagaji kwenye filamu katika filamu kuna ishu za mapenzi the swahili hub youtube 122 watch later error msichana wa darasa la nane apachikwa mimba baada ya 253 watch later error biashara ya ngono by swahilihub 548 views loading more matokeo ya darasa la saba 2011 yatangazwa matokeo ya darasa la saba 2011 yatangazwa wakati huo huo baraza la mtihani la taifa limefuta tutunge mitihani ya viwango vinavyotakiwa tuisimamie matokeo ya darasa la saba 2011 www necta go tz pdf download matokeo ya darasa la saba 2011 www necta go tz download file read online related pdfs usajili wa mtihani wa kidato cha nne (csee) 2011 1 watahiniwa wa shule na twitter / afrigator matokeo ya darasa la saba matokeo ya darasa la saba 2008 kiingereza hisabati bado not richebo shule za msingi http//afrigatorcom/r/t/6642/608658 website meta keywords matokeo darasa la saba 2010 darasa la saba 2011 matokeo dala sa la saba 2011 matokeo y a la saba
2014-09-01T11:32:42
http://pulsitemeter.com/nafasi/Matokeo-Darasa-La-Saba.html
nani wenye chama cha mapinduzi | keronyingi home / uncategories / nani wenye chama cha mapinduzi nani wenye chama cha mapinduzi mkala fundikira 83100 pm edit moja ya nyumba za wakereketwa chama cha mapinduzi kwa mshangao wangu bendera hizi za chama si aghalabu kuzikuta katika mahekalu ya viongozi wa juu wa chama cha mapinduzi ambao ndio haswa hufaidika na chama kama kupata uwaziri ukuu wa mikoa na kadhalika lakini wenzangu na mie pangu pakavu ndio wenye kuzipepea bendera hizo huku wakiambulia khanga kofia fulana na vitu vingine vidogo vidogo hawa ndio wenye chama
2018-06-20T19:12:34
http://keronyingi.blogspot.com/2011/06/nani-wenye-chama-cha-mapinduzi.html
indoneziya abamaze guhitanwa numwuzure mu gihugu ca indonesia barenga 1200 | ihanga ryimana abisezerano accueilindoneziya abamaze guhitanwa numwuzure mu gihugu ca indonesia barenga 1200 indoneziya abamaze guhitanwa numwuzure mu gihugu ca indonesia barenga 1200 igitigiri cabantu bazwi bahitanywe na ca nyamugigima numwuzure ku wa gatanu congerekanye gushika kubarenga 1200 nkuko ikigo kijejwe ibiza muri indonesia kibimenyesha ico gitigiri cabapfuye caduze kiva ku 844 ku wa kabiri nyamugigima yigipimo ca 75 cateye hagati mwizinga rya sulawesi gituma haba umwuzure mu gisagara ca palu kiri ku kivuko abantu bahaba bari mu bikene butagira uko buvugwa bwibifungurwa igitoro namazi meza ← kenya abapolisi ba kenya bataye muri yompi batatu bavuga yuko bafatanye imiliyoni 10 zamadolari yamahimbano biragushikira ko wibagira ibintu vyose waraye uborewe →
2019-06-25T16:34:37
https://abisezerano.com/2018/10/02/indoneziya-abamaze-guhitanwa-numwuzure-mu-gihugu-ca-indonesia-barenga-1-200/?shared=email&msg=fail
chocolate/orange mini polka handmade designer ribbon dog harness | trish hampton chocolate/orange mini polka
2019-02-22T16:13:44
https://trishhampton.com/collections/dog-harnesses/products/chocolate-orange-mini-polka
tablets za watoto kwa kujifunzia | nunuauzacom buy and sell in tanzania for free tablets za watoto kwa kujifunzia phone 0759018257
2020-02-17T23:59:55
https://www.tanzaniaonlinemarket.com/2018/08/31/tablets-za-watoto-kwa-kujifunzia/
maombolezo ya kifo cha imamu muhammad aljawaad (as) 21 julai 2020 805 wapenzi na wafuasi wa maimamu wa ahlulbait (as) katika siku kama hizi za mwisho wa mwezi wa dhulqaada huomboleza kifo cha imamu muhammad aljawaad (as) aliye uwawa mwaka wa (220h) imamu muhammad bun ali aljawaad (as) ni imamu wa tisa katika maimamu wa ahlulbaiti walio husiwa na mtume (saww) kwa amri wa mwenyezi mungu mtukufu waliochukua madaraka ya uimamu baada yake na baada ya quráni kuthibitisha utakasifu wao riwaya zinaonyesha kuwa mutaswimu abbasi alijaribu mara nyingi kumuua imamu aljawaad (as) na mwishoni akaamua kumtumia ummulfadhil kutekeleza jinai yake jafari bun maamun akawasiliana na dada yake (ummulfadhil) mke wa imamu aljawaad (as) ummulfadhil hakua na tabia nzuri jafari alikua anajua wivu aliokua nao kwa mke mwingine wa imamu (mama wa imamu alhaadi) akamshawishi amuue mme wake na akamuonyesha namna ya kumuua ummulfadhil akakubali jafari akampa sumu kali aliyopewa na mutaswim naye ummulfadhil amakuwekea imamu kwenye chakula inasemekana alimuwekea kwenye zabibu alizokuwa akizipenda sana imamu baada ya kula imamu alisikia maumivu makali na akaanza kutapika damu akalala kitandani na akaanza kugeuka kulia na kushoto hadi akatapika ini ndipo akafariki imamu wetu kipenzi (as) akiwa ni shahidi mdhulimiwa sauti za vilio zikasikika katika nyumba yake familia na wafuasi wake walilia na kuhuzunika sana wakawa wanaita ewe imamu wangu ewe jawaad ewe msaidiaji wa mayatima na masikini ewe kimbilio la walio potea na wenye shida imamu akawa amekwenda kwenye makazi yake ya milele na mtoto wake imamu ali alhaadi akamuandaa akamuosha na kumvisha sanda kisha akamzika pembezoni mwa kaburi la babu yake imamu mussa alkadhim (as) alifariki mwishoni mwa mwezi wa dhulqaada mwaka wa (220h) akiwa bado kijana mdogo nyota ya uongofu na uchamungu ikazimika ukurasa wake wa maisha ukafungwa amani iwe juu yake siku aliyo zaliwa (as) na siku aliyo uwawa na siku atakayo fufuliwa na kutoa ushahidi kwa umma
2020-08-11T04:00:14
https://alkafeel.net/news/index?id=11140&lang=sw
thenkoromo blog mkazo utiliwe katika kutambua mapema dalili za malaria tanzania mkazo utiliwe katika kutambua mapema dalili za malaria tanzania baraza kuu la umoja wa mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio linalohimiza kuimarisha faida na kuongeza kasi katika jitihada za kuuthibiti na hatimaye kuutokomeza ugonjwa wa malaria ifikapo mwaka 2015 mchakato wa majadiliano ya azimio hilo yalihusisha nchi za afrika kwa upande mmoja na nchi zilizoendelea kwa upande mwingine tanzania kupitia ubalozi wake katika umoja wa mataifa ndiyo iliyosimamia na kuendesha majadiliano hayo hadi kupatikana kwa azimio hilo akiwasilisha azimio hilo mbele ya baraza kuu la 65 la umoja wa mataifa mwakilishi wa tanzania katika umoja wa mataifa balozi ombeni sefue amesema kwamba nchini nyingi zinazoendelea zikiwamo za afrika zimeonyesha kufanikiwa katika kuudhibiti ugonjwa wa malaria anasema mafanikio hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yametokana dhamira ya kisiasa iliyoonyeshwa na viongozi wa nchi hizo upatikanaji wa misaada kama vile fedha na madawa pamoja na utambuzi wa haraka wa homa zitokanazo na malaria ukiwa umechangia sana anasisitiza kuwa suala la utambuzi wa haraka wa kutofautisha baina ya homa zitokanazo na vimelea vya malaria na homa ambazo hazisababishwi na vimelea vya malaria ni jambo la muhimu sana katika kuutibu na kuudhibiti ugonjwa huo mwakilishi huyo wa tanzania katika um amebainisha kuwa nchi nyingi zimefanikiwa katika upimaji na utambuzi wa homa zitokanazo na malariakutokana na ufadhili mkubwa katika eno hilo takwimu zinaonyesha kuwa kupitia ufadhili huo utambuzi wa homa za malaria umeongezeka kutoka asilimia tano mwanzoni mwa mwongo huu hadi kufikia asilima 35 mwak 2009 kwa namna yoyote ile anasema balozi sefue haya ni mafanikio tosha ingawa bado kunahitajika uimarishaji na upanuzi wa uwezo huo wa kutambua ugonjwa wa malaria kutokana na ukweli kwamba matukio mengi ya malaria hayachunguzwi ipasavyo akielezea zaidi mafaniko katika kuudhibiti ugonjwa huo katika afrika na nchi nyingine balozi sefue anasema matumizi ya vyandarua vilivyotiwa viatilifu yameongezeka sana kwa mfano anasema kati ya mwaka 2008 na 2010 zaidi ya vyandarua 289 milioni vyenyeviatilifu vilikuwa zimesambazwa kusini mwa jangwa la sahara aidha inakadiriwa kuwa asilima 45 ya kaya katika afrika zilikuwa zinamiliki angalau chandarua kimoja chenye viatilifu kama hiyo haitoshi asilimia 35 ya watoto chini ya miaka mitano wanalala kwenye vyandarua hivyo haya ni mafanikiolakini lengo letu la pamoja ni kuhakikisha kila mtu anapata chandarua kwa maana hiyo bado tunasafari ndefu aidha tanzania kupitia balozi sefue imetaka kuwapo kwa uratatibu maalum utakaohakikisha kwamba ubadilishaji wa vyandarua ambavyo vimekwisha muda wake unafanyika kwa umakini bila ya kuathiri zoezi hilo amesema uhai wa vyandarua vyenye viatilifu ni miaka mitatu na baada ya hapo nguvu ya dawa hiyo inakuwa imekwisha sasa kama hapakuwapo na utaratibu mzuri wa kuvibadili kwa wakati kunahatari ya kurudhisha nyuma kazi nzuri ambayo imekwisha kufanyika hadi sasa kuhusu matumizi ya dawa za mseto za malaria ( acts) balozi sefue anasema kutokana na nchi nyingi kubadilisha sera zake pamoja na kuongeza bajeti nchi 11 za afrika zimeweza kutoa dawa mseto kwa asilima 100 kwa wagonjwa waliokwenda kupata huduma katika sekta za umma hadi mwishoni mwa 2009 pamoja na mambo mengine azimio hilo linasisitiza umuhimu wa kuimarisha miundombinu ya udhibiti na utokomezaji wa malaria ili kufikia malengo yakimataifa yaliyokubaliwa aidha azimio hilo inahimiza jumuia ya kimataifa umoja wa mataifa na wadau wengine wote kushiriki kikamilifu katika ufadhili na utekelezaji wa mapango wa malaria duniani wakati huo huo msemaji wa mpango wa ushirikiano kuhusu malaria ( roll back malaria partineship) amesema baraza kuu kupitisha azimio hilo ni kielelezo kipya cha juhudi za nchi wanachama za kutekeleza malengo ya ushirikiano kuhusu udhibiti wa ugonjwa wa malaria na utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya millennia msemaji wa ushirikiano huo bw herve verthoosel ameyasema hayo mara baada ya baraza kupitisha azimio hilo huku akimpongeza rais jakaya kikwete kwa kuonyesha dhamira ya kisiasa katika kukabiliana na malaria na ubalozi wa tanzania katika umoja wa mataifa kwa kusimamia azimio hilo na kuhakikisha kwamba linapita kwa kauli moja posted by bashir nkoromo at 4/19/2011
2018-02-20T19:36:37
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2011/04/mkazo-utiliwe-katika-kutambua-mapema.html
 job opportunity at kashwasa head of legal service unit primeinfo24 ajira mpya nafasi za kazi 2019 ajira zetu ajira yako home » ajira mpya » job opportunity at kashwasa head of legal service unit job opportunity at kashwasa head of public relations how to publish your job vacancies here
2019-12-07T06:26:18
https://primeinfo24.com/2019/11/job-opportunity-at-kashwasa-head-of-legal-service-unit/
je unamfahamu adam nditi mzanzibar wa chelsea jamiiforums je unamfahamu adam nditi mzanzibar wa chelsea 4568 2220 280 hizi ni taarifa zilizopo katika tovuti ya chelsea adam nditi adam nditi | standard article | official site | chelsea football club hii imekuwa kasumba kwa watz wengi kwenda nje na kujichimbia huko je we kama mdau wa michezo tufanyeje ili kupata wachezaji hao uzalendo hauji vivi hivi tu unajengwa from the root na kuna uhusiano na hali ya siasa ya nchi we unafikiri kama ungekuwa wewe ungerudi kutumikia nchi inayoliwa na wachache 16507 4815 280 shirikisho la mpira nchini linayo fursa na wajibu wa kufuatilia wachezaji wa tz wanaocheza nchi za kigeni ona kama tulvyowakosa akina patrick mtiliga na wengine ali hafif wa qatar yuko on fire ajabu ana mguu wa kushoto ambao uko powerful ajabu na anaweza kufunga kutokea point ngumu ya uwanja tumemkosa hivyo tuko na uongozi hopeless kwenye soka halafu ashford mamelodi anakuja kutuambia kuwa tuna bonge la rais hivi angelikuwa bado yupo bongo angeliweza cheza kama alivyo huyo wala harudi kuja kucheza viwanja vya visivyokuwa na standard ukiondoa uwanja wa taifa wapi kwengine ataweza uki slide unapata majeraha kama mimi sirudi hata kuja tembea likes babuwaloliondo 3233 47 145 wabongo kwa kupenda sifa kwani amefanya nini mpaka atambulike sasa chapeni kazi kwanza mtiliga garasa 2 labda hafif na nditi huyu akija tu huku kapoteza kazi yake halafu chengine mbona kina samatta wakuja cecafa na hamja lalama huyu dogo muacheni ajinafasi ndio zali lake hilo wanatami aje wampige juju wafanane kiumaskini kama wao wabongo roho mbaya sana mzanzibari anayekipiga chelsea kwa nini sio mtanzania anayekipiga chelsea nami mkuu niliwaza hilo sikupata jibu la haraka kwa hiyo haffif naye tumuite mdar es salaam anayekipiga uarabuniau sammata ulimwengu na mgosi nao tuwaite wadar es salaam wanaokipiga congo1 ina swihi hii kweli zanzibar ni nchi mkuu ina bendera wimbo wa taifa na mamlaka yake kamili huwezi kuifananisha na dar hivi kina nditi ni wazenji 3666 70 145 abaki hukohuko asijifanye mzalendo sana bongo atapoteza tu aah kumbe ni mzanzibarinilifikiri ni mtanzania nilikua nishaanza kufurahia threads 1213289 posts 28472695
2018-10-16T12:26:19
https://www.jamiiforums.com/threads/je-unamfahamu-adam-nditi-mzanzibar-wa-chelsea.362034/
kila la heri kenya tanzania na uganda | amani sports news africa / kila la heri kenya tanzania na uganda wiki hii timu za taifa za tanzania taifa stars kenya harambee stars na uganda the cranes kwa nyakati tofauti zitashuka dimbani kurusha karata kujaribu kutafuta nafasi za kufuzu kwa michuano ya mataifa ya afrika afcon inayotarajiwa kurindima 2019 nchini cameroon harembee stars wao watakua wa kwanza kurusha karata yao hapo kesho oktoba 10 nchini ethiopia katika mchezo muhimu wa kundi f unaotarajiwa kuvurumishwa katika jiji la adis ababa huu ni mchezo muhimu sana kwa vijana wa harambee stars ambao kimahesabu wanahitaji pointi nne tu ili waweze kufuzu kwa michuano hii hapo mwakani ikumbukwe kwamba harambee stars inasaka nafasi ya kufuzu ikiwa na kumbu kumbu ya miaka takribani kumi na nne kutoonekana katika fainali hizi na mara ya mwisho ilikua mwaka 2014 kule tunisia chini ya kocha mzalendo jacob ghost mulee kuondolewa kwa sierra leone katika michezo ya kimataifa na fifa inafanya kundi f kusalia na timu tatu ambazo ni kenya ghana na ethiopia hivyo kundi hili linahitaji mahesebu ili kupata nafasi ya kufuzu kenya ilianza kampeni ugenini dhidi ya sierra leone kwa kupoteza kwa magoli 2 1 lakini wakaja kuwaduwaza ghana kwa kuwadonyoa goli 1 0 huku ghana wakiwafunga ethiopia magoli 5 0 na kwa upande wa ethiopia wakiwafunga sierra leone magoli 2 1 ambao wameondolewa katika michuano ya kimataifa kutokana na kile kinachosemekana na serikali ya nchi hiyo kuingilia katika masuala ya kimichezo na matokeo yake yote kufutwa hivyo kuinufaisha kenya ambayo ilipoteza mchezo dhidi ya sierra leone katika kundi f ghana na kenya wote wana pointi 3 huku ethiopia inasalia bila ya pointi na endapo kenya itapata matokeo katika mchezo wao wa ugenini dhidi ya ethiopia basi itajiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu kwani itahitaji pointi moja zaidi katika michezo miwili iliyosalia mmoja watacheza nyumbani dhidi ya ethiopia na ule wa ugenini dhidi ya ghana kimahesabu kenya inaweza kuibuka na ushindi ugenini sababu kubwa katika mchezo uliopita waliwafunga ghana moja ya timu bora barani afrika ukifananisha na timu ya ethiopia ingawa mpira hauamuliwi kwa njia hivyo na kila mchezo una mtazamo wake kama jitihada zitafanyika basi hapa ndipo pa kenya kuchukua matokeo bora na kuibukia kule cameroon 2019 tahadhari yangu kwa harambee stars timu ya taifa ya ethiopia mara nyingi huwa haipewi nafasi ya kufanya vema katika michuano ya kimataifa kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na kile kinachoonekana haina kikosi bora au wachezaji wanaotamba barani afrika na kwingineko hata katika ubora wa viwango vya fifa ipo katika nafasi ya 149 ukifananisha na kenya iliyosalia katika nafasi ya 107 lakini mpira umebadilika sana katika miaka ya karibuni na timu yeyote inaweza kupata matokeo dhidi ya timu bora ethiopia imekua timu ngumu kudondosha pointi tatu hasa ikiwa katika uwanja wake wa nyumbani na katika michezo mitano ya mwisho ya timu hiyo ikiwa nyumbani imechomoza na ushindi katika michezo mitatu dhidi ya lesotho seychelles na sierra leone na kutoka sare michezo miwili dhidi ya mali na algeria mara ya mwisho kufungwa nyumbani ilikua miaka minne iliyopita mwaka 2014 na algeria katika uwanja wake wa nyumbani hivyo kenya inahitaji kuchukua tahadhari ya hali ya juu katika mchezo huo ili wapate matokeo bora na kujiweka katika mazingira mazuri katika kundi f na kama watashinda watakuwa vinara wa kundi hili kwa kufikisha pointi sita huku wakisalia na michezo miwili na kama unafahamu washindi wawili wa kwanza wa kila kundi wanafuzu katika michuano ya afcon 2019 ijumaa ya wiki hii siku ya tare 12 oktoba 2018 katika mji wa praia nichini cape verde timu ya taifa ya tanzania nayo itajaribu bahati yake ugenini dhidi ya timu ngumu ya cape verde tanzania ipo kundi l sambamba na uganda lesotho na cape verde uganda wanaongoza kundi hili kwa kujikusanyia alama 4 kwa michezo miwili tanzania na lesotho wakiwa na alama mbili katika nafasi ya pili na ya tatu huku cape verde akiburuza mkia kwa kuwa na alama moja kama taifa stars itapata matokeo chanya dhidi ya wenyeji wao cape verde basi itajiweka katika mazingira bora ya kufuzu kwa mara ya kwanza baada ya timu hiyo kufuzu katika fainali za afcon mwaka 1980 kule lagos nigeria stars ikiongozwa na kocha emanuel amunike raia wa nigeria bado haijapata alama tatu kwa pamoja katika michezo ya awali lakini pia haijadondosha alama zote tatu katika michezo hiyo miwili ya awali hii ni mara ya pili kwa tanzania kwenda mjini praia kupambana na cape verde mara ya kwanza ilikua mwaka 2008 chini ya kocha mbrazil marcio maximo stars ilitota kwa kulala kwa goli 1 0 kabla ya kulipiza kisasi jijini dares salaam kwa kuwavuruga kwa magoli 3 1 taifa stars kwa sasa inaonekana imeaanza kuimarika na kuwa na kikosi bora kutokana na baadhi ya wachezaji kutoka nje ya tanzania kusakata kandanda kama watachanga vema karata zao basi huenda wakatoa mkosi wa kutoshiriki katika fainali za michuano mikubwa kama hii uganda the creams moja ya timu bora katika ukanda wetu wa afrika mashariki na kati na ni timu ya mwisho toka ukanda wetu kushiriki katika fainali za afcon ikifanya hivyo mwaka 2017 kule gabon inaonekana ipo katika nafasi nzuri ya kufuzu kwa mara nyingine tena kutokana na kuanza vema katika michezo ya kundi l siku ya jumamosi ya 13 oktoba 2018 watakua pale nambole dhidi ya lesotho na kama itapata ushindi basi itaiamarisha nafasi yake ya uongozi wa kundi na pia kujiweka vema kuelekea cameroon 2019 nikiwa mwana africa mashariki nazitakia matokeo bora timu zote tatu ili pengine tuandikishe rekodi kwa mara ya kwanza timu tatu za ukanda wa afrika mashariki kwa pamoja kufuzu kwa michuano ya afcon uganda cranes waanza kuyanoa makali timu ya taifa ya soka ya uganda uganda cranes inaanza mazoezi hivi leo katika uwanja sofapaka yalenga dimba la afrika klabu ya sofapaka itacheza kwenye soka la bara afrika hayo hi matamshi ya kocha ya tags afcon kenya tanzania uganda
2019-05-27T09:21:07
http://bruceamaninews.com/kila-la-heri-kenya-tanzania-uganda/
ureno ina hakika kucheza fainali za euro 2020 | michezo | dw | 18112019 ureno ina hakika kucheza fainali za euro 2020 mabingwa watetezi wa kombe la mataifa ya ulaya ureno imejihakikishia nafasi katika kombe la euro 2020 kwa kuichapa luxembourg wakati england imemaliza kampeni yake ya kufuzu kwa ajili ya michuano hiyo kwa ushindi wa mabao 40 dhidi ya kosovo jaan jumapili wachezaji wa uingereza jadon sancho na harry kane wakipongezana baada ya kupata bao dhidi ya kosovo mabingwa wa dunia ufaransa waliishinda albania kwa mabao 20 mjini tirana na kumaliza kileleni mwa kundi hwakiwa na pointi 25 pointi mbili mbele ya uturuki ambao nao walipata ushindi wa mabao 20 dhidi ya andora siku mbili za mwisho za michuano ya kufuzu kuingia katika fainali za euro 2020 zinaendelea leo jumatatu kwa michezo kati ya gibraltar dhidi ya uswisi ireland inaikaribisha denmark katika kundi d wakati malta itakuwa mwenyeji wa norway uhispania ikipimana nguvu na romania katika kundi f na kundi j ugiriki ina miadi na finland italia itakamilisha ratiba tu dhidi ya armenia na liechtenstein inapambana na bosnia herzegovina mshambuliaji wa ureno na klabu ya juventus turin ya italia cristiano ronaldo amepachika wavuni bao lake la 99 katika mchezo wa kimataifa wakati akiiongoza tena ureno mabingwa watetezi wa kombe la mataifa ya ulaya kupata nafasi katika fainali za euro 2020 dhidi ya luxembourg mshambuliaji wa iran ali daei anashikilia rekodi ya dunia akiwa na mabao 109 katika michezo ya kimataifa mabao aliyofunga katika michezo 149 aliyoshiriki kati ya mwaka 1993 na 2006 kikosi cha timu ya taifa ya uholanzi uholanzi yarejea katika nafasi yake mlinzi virgil van dijk amesema uholanzi imerejea pale inapostahili baada ya kukamilisha kufuzu kucheza katika fainali za ubingwa wa mataifa ya ulaya euro 2020 uholanzi ambayo haikufuzu kucheza katika euro 2016 ama kombe la dunia mwaka 2018 nchini urusi imefanikiwa kusonga mbele katika fainali hizo mwakani ikiwa bado mchezo mmoja baada ya sare tasa hapo jana dhidi ya ireland ya kaskazini wakati fainali hizo zitafanyika katika viwanja 12 barani ulaya uholanzi inaweza kucheza michezo yake ya awamu ya makundi katika uwanja wa johan cruyff arena mjini amsterdam ambapo upangaji wa makundi utafanyika novemba 30 mshambuliaji wa ujerumani serge gnabry kikosi cha kocha ronald koeman kinashikilia nafasi ya pili katika kundi c pointi mbili nyuma ya viongozi ujerumani timu pekee iliyowashinda katika michuano hiyo ya mchujo kocha wa ujerumani joachim loew amekisifu kikosi chake anachokijenga upya kwa ajili ya fainali za euro 2020 na ametoa wito wa ushindi dhidi ya ireland ya kaskazini kesho jumanne na kujihakikishia kufuzu kutoka kundi f mshambuliaji wa ureno cristiano ronaldo cr7 (kulia) akipambana na mchezaji wa ukraine yevhen konoplyanka ujerumani iliishinda belarus kwa mabao 40 siku ya jumamosi wakati uholanzi itakuwa ikitimiza wajibu dhidi ya estonia ambayo haijapata ushindi katika kundi hilo kesho jumanne mada zinazohusiana jeshi la ujerumani bundeswehr uingereza ujerumani bonn frankwalter steinmeier brexit mkutano wa usalama munich helmut kohl bundeswehr the hague maneno muhimu euro 2020 uholanzi ujerumani uingereza ureno cristiano ronaldo kiungo https//pdwcom/p/3tet9
2019-12-08T00:06:09
https://www.dw.com/sw/ureno-ina-hakika-kucheza-fainali-za-euro-2020/a-51297755
vincent kompany nitaifunza na kuichezea klabu ya anderlecht ubelgiji bbc news swahili vincent kompany nitaifunza na kuichezea klabu ya anderlecht ubelgiji https//wwwbbccom/swahili/habari48328132 vincent kompany anasema kwamba hatua yake ya kujiunga na klabu ya anderlecht kama mchezaji mkufunzi ni uamuzi mzuri na vilevile mgumu aliochukua baada ya kutangaza kwamba ameondoka man city mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 ametaka kandarasi ya miaka mitatu na klabu hiyo ya ubelgiji baada ya kuhudumu kwa kipindi cha mika 11 patika klabu ya etihad miaka minane akiwa nahodha wa klabu hiyo ushindi wa 60 katika kombe la fa dhidi ya watford ilikuwa mechi ya mwisho ya kompany baada ya kushinda mataji manne ya ligi natali mawili ya comb la fa pamoja na mataji manne ya kombe la ligi fatica barba ya wadi katika mtandao wake wa facebook beki huyo wa ubelgiji alisema kwamba haamini kwamba anaondoka city mara kadhaa nimekuwa nikifikiria kuhusu siku hii alisema mwisho umekuwa karibu kwa miaka mingi man city imenipatia kila kitu nami nimejaribu kujitolea kwa mali na hali na katika barua ya pili iliotolewa saa chache baadaye kompany alitangaza hatua yake ya kuelekea katika klabu ya anderlecht amabo wamesema kuwa kuwasili kwake katika klabu hiyo kunaadhimisha 'kuwasili kwa mwanamfalme' nataka kugawana ujuzi wangu na kizazi kipya kijacho alisema kompany ambaye mara ya kwanza alijiunga na klabu ya anderlecht akiwa na umri wa miaka sitakwa hilo nitawaingizia ubelgiji ule uzalendo wa manchester ni wakati umefika kuondoka kompany alijiunga na city kutoka klabu ya hamburg kama mlinzi wa kati mwaka 2008 na akatajwa kuwa nahodha wa klabu miaka mitatau baadaye alifunga goli lake la mwisho dhidi ya leicester city tarehe sita mwezi mei shuti kali kutoka miguu 25 ambalo lilipigiwa kura kama goli bora la msimu na kitengo cha bbc cha mechi ya siku ushindi huo uliipandisha city juu kwa pointi moja katika kilele cha jedwali la ligi ya uingereza kabla ya klabu hiyo kukamilisha msimu wao kwa ushindi dhidi ya klabu ya brighton ni wakati umefika kwa mimi kuondoka alisema kompany ijapokuwa ni vigumu kufanya hivyo nawashukuru wale wote walionisaidia katika safari malum na katika klabu maalum nakumbuka siku yangu ya kwanza kama ninavyoiona siku yangu ya mwisho nakumbuka ukarimu wa watu wa manchester sitosahau vile mashabiki wa manchester city waliovyosalia kuniunga mkono kaaika waakt maya na kaaika waakt mzuri mbali na mengine mengi tuliyopitia mumeniunga mkono na kunipatia motisha ya kutosalimu amri mwenyekiti wa man city mwenyekiti wa man city khaldoon al mubarak alisema kumekuwa na mchango mkubwa katika klabu ya manchester city lakini hakuna mchango kama ule uliotolewa na kompany kwa muongo mmoja sasa amekuwa amekuwa maisha na damu ya klabu hii yenye talanta tele amekuwa sauti ya klabu hii katika chumba cha maandalizi na mtu mpole na balozi akiwa nje kompany anajivunia klabu hii kama vile tulivyojivunia kuwa naye man city 60 watford raheem sterling alifunga hattrick katika fainali ya kombe la fa
2019-06-19T00:56:26
https://www.bbc.com/swahili/habari-48328132
mwanamke anayedaiwa kuwa mchawi na mwenye uwezo wa kutabiri kifo kikatokea arusha millardayocom leo january 9 2018 imeripotiwa taarifa kutoka arusha ambayo inamhusu mwanamke anayedaiwa kuwa ni mchawi kutokana na maneno yake ambayo amekuwa akiyasema kwa mujibu wa majirani zake mwanamke huyo ana uwezo wa kutabiri kifo na kikatokea tukio hilo limetokea katika kata ya osunyai eneo la ngusero arusha ambapo wananchi walivamia nyumbani kwa mwanamke huyo wa kimtuhumu ni mchawi na ana tabia ya kuwachukua watoto wa majirani na kuwalisha mikate mibovu bonyeza play kusikiliza fullstory related itemsarushanewshekaheka ← previous story kumwambia mtu mchawi kunaweza kukusababishia kupata adhabu hii mahakamani next story → kutoka tra unachotakiwa kufanya ukipoteza kadi ya gari
2020-05-29T19:55:01
https://millardayo.com/8jhe/
dk kigwangalla amaliza ziara yake ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la nzega vijijini jiachie dk kigwangalla amaliza ziara yake ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la nzega vijijini jiachie home > siasa > dk kigwangalla amaliza ziara yake ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la nzega vijijini item reviewed dk kigwangalla amaliza ziara yake ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la nzega vijijini rating 5 reviewed by ahmad michuzi
2018-02-20T09:22:23
http://michuzijr.blogspot.com/2016/07/dk-kigwangalla-amaliza-ziara-yake-ya.html
rais kikwete ana siri | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by saint ivuga jul 30 2011 [h=3]rais kikwete ana siri[/h] kuna siri nzito ambayo mh jk anayo na ninaamini inamtesa sana siri yenyewe ni kama ifutavyo kwamba watu anatuongoza hatutoi msaada kwake ninavyoelewa mimi ni kwamba kazi ya rais sio kufikiri kwa niaba ya watu anaowaongoza kazi yake ni kusimamia mahitaji na matakwa ya watu anaowaongoza lakini kwa tz ni tofauti kazi ya rais imekuwa ni kufikiri kwa niaba yetu mwl nyerere wakati anadai uhuru aliamini kuwa watanzania ni wanadamu wenye utashi akataifisha mali ya wageni na kuwakabidhi wazawa akiamini tunaelewa kama yeye alivyokuwa akatukabidhi viwanda mashamba nk lakini badala ya kwenda mbele vikafa akashangaa allah nilidhani hawa jamaa tu kitu kimoja kumbe akaamua kung'atuka mh jk akaja na style tofauti akasema ngoja niwachokoze maana siwaelewielewi akaenda kutuombea vyandarua akiamini kwamba tutalipuka na kusema haiwezekani yaani tuombewe vyandarua alitegemea pia kwamba tunatambua kwamba hivyo vyandarua baada ya muda fulani vitachanika na hivyo tutajiuliza swali je aende kutuombea tena lakini cha ajabu kimyaaa wote kwa ujumla wetu sasa anajiuliza atumie njia gani ya kutufikishia ujumbe kwamba alitutania/alituchokoza tu ili tuzinduke na hatujazinduka tumelala usingizi mzito hivi ni kweli tunafikiri kwamba vikichakaa ataenda tena kutuombea mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa mungu na tumeumbwa tuvitawale viumbe vyote(kulingana na maandiko matakatifu) je sisi watz tumo kama tumo mbona mbu ametushinda utashi wetu uko wapi kama malaria ndio inaongoza kwa kuleta vifo hapa nchini tunashindwa nini kumdhibiti mbu na uchafu ukiangalia mbinu tunazotumia kukabiliana na maradhi utashangaa kabisa kuna jamaa walijenga hospitali ya kipindupindu pale buguruni ajabu (sina uhakika lakini inawezekana ni nchi ya kwanza dunia kukijengea kipindupindu ghala la kuhifadhia badala ya kukikomesha) watanzania mpo kweli mpo hivi ni kweli tunajisikiaje kila rais wetu akikaa na marais wenzake yeye ni kulia kila siku malaria inatumaliza si wanashangaa kwamba nchini kwake hana watu ni bahati mbaya wengi wetu huwa hatukai chini tukatafakari jk amekuwa akiuliza maswali kadhaa ambayotungekuwa makini yangetuumiza mojawapo aliwahi kusema hivi wataalam tunaowapeleka nje ya nchi kusoma huwa wanasoma nini kama ulishawahi kupelekwa nje ya nchi jiulize ulienda kusomea nini kila mtu ajiulize baada ya kurudi amefanya nini inawezekana vya darasani hukuvielewa vya kuona pia umesahau watu wa mazingira mpo wa afya nanyi mpo manispaa je wa fani nyingine nanyi mliona nini mliumwa na mbu kule mliumwa malaria kule kama hamkuumwa mlijiliza ni kwa namna gani mkirudi mtatatua hilo tatizo au niwatanie kwamba wengi wetu tukirudi fikra zetu zinabaki kuwaota wazungu na kutamani kuwa kama wao wanavyoonekana na si wanavyotenda ndio maana sasa hivi ukitafuta mtu halisi unaweza kupata wakati mgumu nywele kama wazungu rangi kama wazungu ni hayo tu ndio nayaona tumefanikiwa sana wenzetu walishajitambua thamani yao na ndio maana wakajipambanua na kujitofautisha na wanyama wengine kwa sababusi class ya wanyama wengine tukichukua mfano jiulize kwanini taka zimezagaa kila mahali hasa kwenye miji mikubwa taka za kuzagaa zinatakiwa zionekane zile tu zinazozalishwa na mijusi au viumbe visiyokuwa na akili wewe mwanadamu unatakiwa utumie akili yako na kuhakikisha kuwa taka unazozalisha huzitupi ovyo sasa angalia ambavyo hatutumii akili zile taka unaitupa ovyo ukidai huoni dustbin taka zile zinazagaa zingine zinaanguka na kujaa kwenye mitalo mvua ikinyesha maji machafu yanazagaa na kutuletea magonjwa tukienda hospital dawa hamna tunalalamika lakini chanzo cha tatizo ni wewe mwenyewe hapo ndipo wenzetu wanapotucheka hawa jamaa vipi utashi wao uko wapiukiwaambia magari yote ya abiria yawe na dustbins utaambiwa ooh magari ya wakubwa sasa wakubwa si ndio hasa wanatakiwa watuonyeshe njia kuliwahi kutokea tangazo la tigo la jamaa kuachwa na gari wakati akichimba dawa na watu hatukuona tatizo/udhalili wa lile tangazo hivi kweli walishindwa hata kusema jamaa akiachwa akimshangaa pundamilia niliwahi kuongea na mh mmoja kwamba wajitahidi kuwaelimisha watu na kusimamia taratibu zilizowekwa kwa kuwa sasa hivi tuna vituo vingi vya tv na radio akaniambia ni gharama nikashangaa tangu lini elimu ikawa rahisi au kwa sababu tulisoma burebasi tujaribuni ujinga kwa kuwa elimu ni gharama tufike mahali tujitambue thamani yetu na kusema tumechoshwa na kunyanyaswa na magonjwa badala ya kila siku tukiumwa tunakimbilia hospitali bila kujiuliza kwanini tunaumwa kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru kwamba tumethubutu tumeweza sijui nini huwa najiuliza tumeweza katika sekta ipi vitu vya wachina kujaa madukani ndio kuweza used cars za wajapan zilizojaa barabrani ndio kuweza elimu down umaskini juu magonjwa juu uchafu juu vifo juu michezo down viwanda down njaa juu tumeweza wapi kama tumeshindwa hata kufagia tunaweza nini kama unashika ganda la muwa au chungwa na ukalitupa tu ovyo unaweza nini utashi wako uko wapi tumelogwa au ni pepo kwa mtazamo wangu badala ya kusema tumeweza tulipaswa kusema tumetambua tulipoangukia sasa tunasimama na kuanza hatua ya kwanza jamani tutokomeze maradhi kwa kuweka mazingira safi kila mtu ajione ni mjinga pale anapotupa taka iwe ni dirishani mwa gari iwe ni kwenye mtalo iwe ni kukojoa ovyo nk bila kujitambua sisi wenyewe na kuacha tabia za uchafu kwa mtu mmoja mmoja magonjwa yataendelea kututesa daima na juhudi zinazofanywa na mamlaka za kufanya usafi kila jumamosi ya mwanzo wa mwezi hazitaweza kufanikiwa kwa kuwa unaweza ukafagia sasa na mimi nikatupa uchafu dakika 2 zijazo na kufanya usafi uliofanya ukawa bure tuwe tunathubutu kuwakumbusha wenzetu pale tunapoona wanakwenda kinyume tatizo kubwa ninaloliona ni kwamba tunaogopa kuthubutu kwa mfano jiji la dar utaambiwa ni jiji kubwa hivyo ni vigumu mimi naona ni rahisi sana hivi tukiwachukua wale vijana wanaopiga debe tuwakawapa vitambulisho na kuwakabidhi hilo jukumu la kuwawajibisha watu unadhani watashindwa cha muhimu ni kuwajulisha wahusika kwamba hao vijana watakuwepo mtaani kwa ajili ya kazi hiyo na kila mtu ajue hivyo baada ya hapo ni utekelezajinadhani hawawezi kushindwawanachohitaji ni kibali tu na waambiwe wakimkamata wachukue kiasi gani kwa huyo mtu na akibisha wampeleke wapi tafakari na uchukue hatua he is just remotely controlled alidhani ikulu ni mahali pakucheka cheka hovyo ngojangoja huumiza matumbo bado matatizo yanazidi kuja ndo kwanza mwaka wa kwanza freedom of flag said alidhani ikulu ni mahali pakucheka cheka hovyoclick to expand kukenua alidhani tunataka magego yake kama mndengereko anataka kutoa hitimisho la uongozi wake comedianclick to expand tena joti asienamaono kama masanja someni thread kabla ya kuchangiamishale haiendi kwa jk inakwenda kwenu nyinyi watanzaniakumbe watu mnachangia kabla ya kusoma eee au mahali pakuuza sura ni article nzuri sana lakini angalia upande mwingine wa shillingi mazingira ya nyumbani ni frustrating hata mtu angekuwa na phd 20 baada ya kurudi tanzania ni lazima phd yake itaota kutu nchi ambayo haina sera chanya za kuleta maendeleo unategemea wasomi hao wangefanya miujiza bila kuwezeshwa na serikali ukombozi wa kifikra inabidi uanzie kwa viongozi waache ufisadi na waweke maslahi ya taifa mbele rais kagame ni mfano wa kuigwa lakini siyo raisi wetu uliyemtaja hapo kwenye article yako hana hiyo vision someni thread kabla ya kuchangiamishale haiendi kwa jk inakwenda kwenu nyinyi watanzaniakumbe watu mnachangia kabla ya kusoma eeeclick to expand siamini ana intellectual capacity kufanya ulicho post hapa ila nakubaliana na wewe kuwa kuna haja ya kuchukua hatua individually siamini ana intellectual capacity kufanya ulicho post hapa ila nakubaliana na wewe kuwa kuna haja ya kuchukua hatua individuallyclick to expand kama huoni wengine wataona mkuu naomba utuome radhininachofahamu mimi watanzania walijitahidiwamejitahidi na wanaendelea kujitahidi kufanya kazi kwa juhudi lakini tatizo kubwa wanalokabiliana nalo ni kukosa mazingira mazuri ambayo yangewekwa vizuri na serikali yao basi wangekuwa mbali sanakwa mfano wakulima wanajitahidi kulima mazao mbalimbali lakini kwa bahati mbaya wamekosa masoko ya uhakika ya kuluza mazao yao au wakipata masoko hulazimika kuuza mali ghafi ambayo mwisho wa siku upata fedha kidogo sana na kuwadidiza kimaendeo na kuwaongezea ufukara serikali imeshindwa kusambaza mbembejeo na madawa ya wadudu kwa wakulima na kwafanya washindwe kupata ufanisi mkubwa katiak shughuli zao za killimokwa upande mwingine serikali imeshindwa kuboresha mazingira ya utalii na kusababisha fedha nyingi za kigeni kupoteaukitaka kujua hili linganisha mazingira ya utalii ya tanzania na yale ya kenyapia jaribu kulinganisha ni nchi ipi iana vitutio vingi vya uatalii kiasili serikali hiyo hiyo imeshindwa kutengeneza miundombinu ya uhakika ambayo ingelaisisha kuchochea maendeleomfano unategemea mkulima wa kigoma hakauze mazao yake wapi wakati mkoa wakeumejitenga na mikoa yote kutokana na kukosa miundo mbinu ya uhakika madini na rasili mali nyingine zinaibia na kutoa mchango mdogo sna katiaka maendeleo ya nchi yetuunategemea mwananchi afanye nini wakati serikali yake inafanya vitu vya ajabu hitimishokwa hayo machache niliyoyazungumzia bado yanaonyesha kwa kiwango kikubwa umasikini na ufukara umeshabaishwa na ulegelege wa serikali ya ccm kua na siri kunalisaidiaje taifa letu kama anasiri anasubiri nini kuitoa so tumuite raisi wa siri (secret president ) huh nakumbuka pia anasiri ya wauza madawa ya kulevya nakumbuka pia anasiri ya majambawazi nakumbuka pia anasiri ya wachungaji wauza mihadarati nakumbuka pia anasiri ya mafisadi nakumbuka pia anasiri ya umasikini wa tanzania nakumbuka pia anasiri ya mgao wa umeme nakumbuka pia anasiri ya kujivua magamba anasiri nyingi sanaswali ni lini zitatoka hizo siri au kuzitunza kwake kunamanufaa gani kama huoni wengine wataonaclick to expand saint ivuga suala sio mimi kuona (which implies wewe unaamini jk ana intellectual capacity unayomcredit nayo ila mimi nimeamua kutoiona lakini wengine wataiona) the matter of fact is angekuwa na uwezo huo he would have done things differently unless unataka kutuambia unaridhika na uongozi wake saint ivuga suala sio mimi kuona (which implies wewe unaamini jk ana intellectual capacity unayomcredit nayo ila mimi nimeamua kutoiona lakini wengine wataiona) the matter of fact is angekuwa na uwezo huo he would have done things differently unless unataka kutuambia unaridhika na uongozi wakeclick to expand siriziki na uongozi wake hata kidogo na siwezi kumkubali lowasa hata siku moja wote hao ni wamojalakini kwa nini tutake kutafuniwa kila kitu kikwete hana tatizo hata moja tatizo ni watanzania and even small kid can prove this i swear article nzuri sana kwa sababu inauma pande zote 2 za serikali na raia wa kawaida ili kupata maendeleo inabd tujitambue na kutumia akili na utashi wetu wa kibinadamu katika kutenda mambo mbalimbali kwa upande wa serikali inaonesha wazi imelala kwa sababu jukumu lingine la serikali ni kuenforce sheria sasa kama wenyewe ndio wavunjaji wakubwa wa sheria unafikiri nani mwingine atakayeweza serikali inabd iwe kioo cha jamii kwa kutenda yale yanayotakiwa na jamii itajifunza kutoka kwao tukiishi hivyo kwa kila mtu kutimiza wajibu wake vizuri tutasonge mbele nakumbuka pia anasiri ya wachungaji wauza mihadaraticlick to expand kuna ile ya epa sijui nayo ni siri au kwa kuwaaliwaruhusu warudishe taratibu sio siri tena je ni kina nani ha waliorudisha nayo anayo sijaona siri yoyote ya ikwete hapa
2017-01-24T21:47:24
https://www.jamiiforums.com/threads/rais-kikwete-ana-siri.159576/
jiji la mbeya lazizima lowassa lowassa rais kila pembeaahidi kumtoa kifungoni babu seya | mwanafasihi mahiri jiji la mbeya lazizima lowassa lowassa rais kila pembeaahidi kumtoa kifungoni babu seya rashid mkwinda 102 am a+ a print email baadhi ya wananchi wa jiji la mbeya wakiwa wametaqnda barabarani kumpokea mgombea urais wa chadema kupitia ukawa edward lowassa leo mchana msafara wa mgombea urais wa ukawa edward lowassa ukitokea uwanja wa ndege wa songwe jijini mbeya msafara unaendelea kuelekea viwanja vya ruanda nzovwe kila eneo kulikuwa na wananchi waliozuia msafara kuhitaji kumuona mgombea urais wa ukawa edward lowassa waendesha bodaboda hawakuwa nyuma waliungana na msafara huo umati wa watu uliofurika katika viwanja vya ruanda nzovwe mwenyekiti wa chadema taifa akiwapungia mkono wakazi wa jiji la mbeya mara baada ya kuwasili uwanjani hapo tayari kwa kuanza mkutano mheshimiwa lowassa akiteta jambo na mmoja wa wanachama wa chadema alkipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa songwe jijini mbeya leo mchana jiji la mbeya lazizima lowassa lowassa rais
2018-07-22T16:09:59
http://mkwinda.blogspot.com/2015/08/jiji-la-mbeya-lazizima-lowassa-lowassa.html
burkina faso yafanya uchaguzi wa rais | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 22112010 burkina faso yafanya uchaguzi wa rais leo (21 novemba 2010) wabukinabe wameshiriki zoezi la upigaji kura kumchagua rais wao rais blaise compaore kushoto na jenerali sekouba konate aliyeiongoza guinea kwenye uchaguzi wananchi wa burkina faso wamepiga kura katika awamu ya kwanza kumchagua rais wa nchi hiyo ya afrika ya magharibi ambapo kiongozi aliyeko madarakani blaise compaore anatarajiwa kupita tena bila ya wasiwasi compaore alietwaa mamlaka mnamo mwaka wa 1987 nchini burkina faso anawania muhula wa nne wa urais baada ya kushinda katika chaguzi tatu zilizopita katika uchaguzi wa mwaka 2005 kiongozi huyo alizoa asilimia zaidi ya 80 ya kura watu milioni 3 na laki mbili waliojiandikisha wanawapigia kura pia wagombea wengine sita wanaoviwakilisha vyama vya kisiasa vilivyomegekamegekaishara zote zinaonyesha kwamba compaore atashinda na kukitumikia kipindi cha nne hata hivyo uchaguzi huo haukuivutia sana jumuiya ya kimataifa kutokana na migogoro ya uchaguzi iliyozikabili nchi jirani za ivory coast na guinea wakati huo huo compaore anasuluhisha katika mgogoro wa guinea ambapo watu wasiopungua10 walikufa kutokana na ghasia zilizofuatia uchaguzi kiungo http//pdwcom/p/qemn
2017-12-18T16:52:33
http://www.dw.com/sw/burkina-faso-yafanya-uchaguzi-wa-rais/a-6253369
ccm sengerema si shwari wamkataa katibu wao | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by job seeker jan 10 2012 hali ndani ya chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya sengerema mkoani mwanza si shwari baada ya kile kinachodaiwa kamati ya siasa ya ccm kumkataa katibu wa chama hicho wilayani humo rahel washa kwa tuhuma za kuanza kupanga safu ya viongozi wa kambi ya kigogo mmoja wa chama kwa lengo la kutafuta ushindi wa ubunge mwaka 2015 imeelezwa inadaiwa kwamba katibu huyo wa ccm wilaya ya sengerema ameonekana dhahiri kuanzisha makundi ya kukigawa chama kwa maelekezo ya kigogo huyo (jina na nafasi yake ya uongozi tunalo) na kwamba hali hiyo hawaikubali maana imelenga kukibomoa chama na kutoa nafasi kubwa kwa wapinzani hasa chadema kushinda kwenye uchaguzi mwaka 2015 vyanzo vya habari kutoka ndani ya ccm wilaya ya sengerema zinaeleza kwamba katibu washa (53) alikataliwa na wajumbe wanane kati ya 12 wa kamati ya siasa ya wilaya hiyo januari 7 mwaka huu mbele ya wajumbe wa kamati ya maadili ya chama hicho mkoa wa mwanza walipokutana kwenye kikao cha usuluhishi mjini sengerema “wajumbe wanane kati ya 12 waliohudhuria kikao walisimama na kutaka raheli washa aondoke sengerema walisema haya tena mbele ya katibu wa mkoa na wajumbe wa kamati ya maadili ya chama mkoa endelea kusoma http//wwwfikrapevucom/habari/ccmsengeremasishwariwamkataakatibuwao wewe binafsi unasemeaje ishu hiyo vinginevyo unaonyesha hujathubutu kuisoma kabisa alisema mwanzo hadi mwisho wa kikao hicho hakuna mjumbe aliyesimama na kumtuhumu kwa hayo mambo badala yake walizungumzia mgogoro uliopo kati ya mwenyekiti wa ccm wilaya ya sengerema jaji tasinga gabanyaga na mbunge wa buchosa dk charles tizebaclick to expand hivi huyo mwenyekiti wa ccm wilay ni jaji kweli kweli in the meaning of judge au siamini kama jaji wa kiukweli anaweza kujishusha hadhi yake namna hiyo na kuwa mwenyekiti wa chama wa wilaya imeanza kula kwao sasa ule msemo wa mwisho wa ubaya aibu hivi huyo mwenyekiti wa ccm wilay ni jaji kweli kweli in the meaning of judge au siamini kama jaji wa kiukweli anaweza kujishusha hadhi yake namna hiyo na kuwa mwenyekiti wa chama wa wilayaclick to expand ni jina lake mkuuni mtu anayetumiwa sana na ngereja kuiharibu ile wilaya na kuleta mkanganyiko mkubwaana duka lake la madawa pale sengerema mjini barabara ya kwenda sengerema sekondari/sengerema parokianihana shule ya maana ila mdomo unamuwezesha kuishi pale wilayanianautumia vyema sometimes huwa naona tuwaache tu hawa ccm because they are creating their own downfall wala hatuhitaji kuandamana ccm kule maji ya shingo sana safi sana magamba yanawabana si wawafukuze tu
2017-01-23T04:35:46
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-sengerema-si-shwari-wamkataa-katibu-wao.210932/
tarajia kumuona fosumensah old trafford hadi 2020 millardayocom ni good news kwa mashabiki wa man united katika harakati za kuendelea kuboresha timu yao katika mashindano tofauti october 19 2016 man united imetangaza kumpa mkataba mpya beki wa kimataifa wa uholanzi aliyejiunga na academy yao 2014 timothy fosu mensah fosumensah mwenye asili ya ghana amepewa mkataba mpya na man united utakaomuzesha kusalia old trafford hadi 2020 fosumensah ambaye ana uwezo wa kucheza nafasi ya beki na kiungo mkabaji alijiunga katika academy ya man united akiwa na umri wa miaka 14 nyota huyo kwa mara ya kwanza kuichezea man united katika mechi ya ligi kuu england ilikuwa ni msimu uliopita dhidi ya arsenal hiyo ilikuwa ni baada ya kucheza katika kikosi wachezaji wenye umri chini ya miaka 21 fosu mensah ameichezea man united michezo 12 ← previous story picha 9 yanga imechukua ushindi wa pili kanda ya ziwa leo next story → lionel messi kainyanyasa man city ya guardiola nou camp rasmi usitarajie kumuona diego costa akisalia chelsea
2017-09-23T18:24:26
http://millardayo.com/1fosu63-2/
news about eric omondi controversy | read all 31 related news on tuko ▷ tukocoke elections latest politics tuko tv swahili entertainment feedback eric omondi controversy eric omondi picks a stray cat from the roadside and does the unthinkable eric omondi picks a stray cat from the roadside and does the unthinkable hivi ndivyo mcheshi erick omondi alivyosherehekea mchumba wake mwitaliano alipoongeza mwaka 1 (picha) hivi ndivyo mcheshi erick omondi alivyosherehekea mchumba wake mwitaliano alipoongeza mwaka 1 (picha) eric omondi atuma ujumbe muhimu kwa wakenya kuhusu uchaguzi mkuu (video) this extremely sweet gesture of chantal to eric omondi will make you believe in love eric omondi and chipukeezy badly embarrass kenyans in america mpenzi wa eric omondi amtumia ujumbe wa kuthibitisha kuwa mapenzi yanazidi kunoga eric omondi aandikisha historia marekani pata kujua alichofanya (picha) fallon ni mmoja wa wachekeshaji maarufu zaidi marekani na kati ya watu maarufu walio na uhusiano wa karibu na rais wa zamani wa marekani barack obama comedian eric omondi achieves his wildest dream in america infront of millions (photos) comedian eric omondi is in the united states pending a performance in las vegas on march 4 and march 5 comedian eric omondi achieves his wildest dream in america infront of millions (photos) picha ya kitambo ya eric omondi na lupita yasisimua wengi lakini ukweli ni kwamba baadhi ya watu wanaweza kufanya lolote ili wapigwe picha na lupita zaidi ya kudai kuwa ni rafiki eric omondi alipigwa picha akiwa na there are tbts and there is this one of eric omondi and lupita nyon'go the comedian who recently wowed kenyan women with his sweet surprise for his girlfriend posted a photo of him with the awardwinning kenyan actress lupita there are tbts and there is this one of eric omondi and lupita nyon'go omondi huenda akatoa video yake nyingine fupi wakati wowote hivi karibuni ambayo itamhusisha mpenzi wake chantal juliet grazioli na itaonyeshwa februari 14 vale eric omondi tears himself down for his bae and its the sweetest thing these days the stakes for the ideal girlfriend material are very high regardless if you ask any kenyan man what he looks for in the perfect one looks are ri after successful parody stunts this is the major move eric omondi is making next the celebrated comedian revealed that he would be converting his short parodies into full blown movies very soon this is because of the massive positive respon kuna fununu kuwa mtoto mvulana wa mtangazaji maarufu wa citizen jackie maribe ni wa mcheshi eric omondi huu ndio usemi wa omondi kuhusu fununu hizi zifuatazo ni picha zitakazokusaidia kutathmini na kulinganisha kuhusu ni yupi aliye mrembo zaidi kati ya wakili huyo na mkewe eric omondi shantel graziolituko katika video anapoigiza kama mwizi aliyesulubishwa na yesuomondi anaonekana akizua ucheshi kutoka kwa ishara muhimu zaidi ya dini ya kikristo msalabahabari mcheshi eric omondi anapanga kujiunga na siasa na anataka kuifanya kenya kuwa kuu tena sawa na jinisi donald trump anakaribia kuifanyia amerika tazama video hii one kenya's biggest comedians eric omondi has shown he create humour out of any situation omondi has pulled a first one on kenyans after recreating a funny ph eric omondi finally speaks after video of him fighting with sexy fiancee went viral eric omondi ★ has finally spoken about the viral video of him and his fiancee fighting and also talked about the accusations leveled against him by her ★ after photos of president kenyattas daughter in law in traditional attire hit the internet kenyans went on with some peculiar lookalike suggestions drama as eric omondi is fiercely confronted by fiancée over cheating allegations (video) for the past few years a lot of people have been regarding comedian eric omondi and his hot italian fiancée chantal graziola as the ideal showbiz couple in the eric omondi na chantal wametoka mbali hii hapa picha yao ya kwanza je unakumbuka picha ya kwanza ya mchekeshaji eric omondi na mpenzi wake mwitaliano chantal grazioli kabla mapenzi yao kunoga fika tukocoke ujionee eric omondi posted pictures showing him standing at times square in new york halfnaked comedian eric omondi to become a woman eric omondi now plans to destroy kenyas richest female singer akothee uhuru kenyatta challenge eric omondi tactics eric omondis italian girlfriend eric omondi jokes eric omondi getting married eric omondi age erick omondi uhuru kenyatta's birth eric omondi mimmicks bahati eric omondi chantal grazioli jomo kenyatta family lupita kenya woman dies after kissing boyfriend eric omondi untamed kenyan marriage cultures erick omondis girlfriend how kenyan women kiss eric omondi kisssing his fiance jacque maribe and dennis itumbi lupita oscars advertise with us tags categories privacy policy social
2017-06-23T03:23:50
https://www.tuko.co.ke/tag/eric-omondi-controversy.html
mechi ya yanga na jkt ruvu yaahirishwa bin zubeiry sports online mchezo wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara kati ya yanga sc na jkt ruvu uliokuwa ufanyike jumatano uwanja wa taifa dar es salaam umeahirishwa habari ambazo bin zubeiry sports online imezipata kutoka shirikisho la soka tanzania (tff) zimesema kwamba mchezo huo uliopangwa kuchezwa jumatano ya agosti 31 sasa utapangiwa tarehe nyingine na hatua hyo inatokana na yanga kuomba uahirishwe kwa sababu ina wachezaji wengi katika kikosi cha timu ya taifa ya tanzania taifa stars hao ni kipa deogratius munishi 'dida' mabeki vincent andrew 'dante' kelvin yondani na mwinyi hajji kiungo juma mahadhi na mshambuliaji simon msuva aidha yanga pia imesema wachezaji wake wengine beki vincent bossou (togo) kiungo haruna niyonzima (rwanda) na mshambuliaji amissi tambwe (burundi) nao pia wameitwa na timu zao za taifa na kufanya idadi ya wachezaji wanane kanuni za ligi kuu ya vodacom tanzania bara zinaruhusu timu ambayo wachezaji wake wasiopungua watano wameitwa timu za taifa kuahrishiwa mechi kocha mkuu wa taifa stars charles boniface mkwasa master ameita wachezaji 20 watakaosafiri kwenda nigeria kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa kukamilisha ratiba ya mechi za kundi g kufuzu fainali za kombe la mataifa ya afrika (afcon 2017) mbali na dida yondani dante mngwali mahadhi na msuva wengine ni aishi manula mohamed hussein 'tshabalala' shomari kapombe (azam fc) na david mwantika (azam fc) viungo ni himid mao (azam fc) shiza kichuya (simba sc) ibrahim jeba (mtibwa sugar) jonas mkude (simba sc) muzamil yassin (simba sc) na farid mussa (teneriffe ya hispania) washambuliaji ni jamal mnyate (simba sc) ibrahim hajib (simba sc) john bocco (azam fc) na mbwana samatta ck genk ya ubelgiji item reviewed mechi ya yanga na jkt ruvu yaahirishwa
2017-05-26T09:23:55
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/08/mechi-ya-yanga-na-jkt-ruvu-yaahirishwa.html
jeniffer kyaka (odama) j fiml 4 life steve nyerere kutoa filamu kubwa mwaka huu steve nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi aliandika kwenye instagram kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5 duu ni kumvuruga mteja maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini
2017-02-25T06:45:32
http://odama1.blogspot.com/2016/01/steve-nyerere-kutoa-filamu-kubwa-mwaka.html
chirwa afungiwa mechi tatu kwa kumpiga mchezaji wa prisons bin zubeiry sports online chirwa afungiwa mechi tatu kwa kumpiga mchezaji wa prisons bin zubeiry sports online mwanzo > yanga > chirwa afungiwa mechi tatu kwa kumpiga mchezaji wa prisons chirwa afungiwa mechi tatu kwa kumpiga mchezaji wa prisons mshambuliaji wa yanga sc mzambia obrey chirwa amefungiwa mechi tatu za ligi kuu ya vodacom tanzania bara kwa kukiri kosa la kumpiga mchezaji wa tanzania prisons kwenye mchezo wa novemba 25 mwaka jana uwanja wa azam complex chamazi dar es salaam adhabu hiyo imetolewa katika kikao cha kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka tanzania (tff) kilichofanyika jumapili ya januari 14 mwaka huu 2018 mjini dar es salaam pamoja na kufungiwa mechi tatu chirwa pia ametozwa faini ya sh 500000 kwa kosa hilo kwenye mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya 11 obrey chirwa amefungiwa mechi tatu kwa kukiri kosa la kumpiga mchezaji wa tanzania prisons novemba 25 mwaka jana tayari chirwa amekosekana kwenye mchezo mmoja wa yanga ikifungwa 20 na mbao fc mjini mwanza na ataendelea kukosekana katika mechi mbili zijazo dhidi ya mwadui na ruvu shooting januari 21 uwanja wa taifa mjini dar es salaam adhabu hii inaweza kumuepusha chirwa na mashabiki wa yanga kwa sasa ambao wana hasira naye baada ya kucheza chini ya kiwango na kukosa penalti timu hiyo ikifungwa kwa penalti 54 na ura ya uganda katika nusu fainali ya kombe la mapinduzi wiki iliyopita visiwani zanzibar kabla ya hapo chirwa alikuwa ana mgomo wa zaidi ya wiki mbili na kurejea kwao zambia akishinikiza alipwe fedha zake za usajili kabla ya kufikia mwafaka na uongozi na kurejea mapema wiki iliyopita item reviewed chirwa afungiwa mechi tatu kwa kumpiga mchezaji wa prisons rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-11-18T17:12:41
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/01/chirwa-afungiwa-mechi-tatu-kwa-kumpiga.html
enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga (swaumu) tif home/1 habari/1 tif news/enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga (swaumu) 1 tif news3 akisi ya aya assalam alaykum wap endwa wasomaji wa safu hii adhimu ya akisi ya aya kwanza niwa take radhi kwa kushindwa kuwaletea safu hii wiki iliyopita kutokana na sababu zi lizokuwa nje ya uwezo wangu lakini leo inshallah tuakisi pamoja aya hizo za mwenyezi mungu tuli zozitaja kutoka surat baqara ambazo zinase ma enyi mlioamini mmelaz imishwa kufunga (swaumu) kama walivyolazimishwa wal iokuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu (quran 2 183) kufunga swaumu ni ibada yenye changamoto kidogo na inahitaji subira aya hiyo ya mwenyezi mungu inayoamri sha kufunga imewekwa karibu na aya kadhaa zinazohusu ugu mu changamoto na subira kabla ya aya hiyo allah azza wa jalla anasema na wanaovumilia katika shida na dhara na wakati wa vita hao ndiyo waliosadikisha (uislamu wao) na hao ndiyo wamchao mungu (quran 2 177) mwenyezi mungu amesema mahali pengine enyi mlio amini mmepewa ruhusa ya kulipa kisasi katika waliouawa quran (2 178) allah ali yetukuka anaendelea zaidi mnalazimishwa mmoja wenu anapofikwa na mauti kama akiacha mali afanye wasia kwa wazazi wake na jamaa zake kwa namna nzuri inayopendeza ni wajibu haya kwa wamchao mungu (quran 2 180) aya zote hizo za mwenyezi mungu zina maamrisho am bayo ni magumu na yanahitaji subira na kujipinda katika utekelezaji wake pia kuna aya baada ya aya zinazoamrisha ku funga zinazohusiana na kupiga na jambo ambalo ni gumu na linahitaji subira allah ali yetukuka anasema na pigane ni katika njia ya mwenyezi mungu na wale wanaokupigeni wala msianze uadui kwani mwenyezi mungu hawapendi waanzao uadui (quran 2 190) mwenyezi mungu anasema tena na waueni popote mnapowakuta na watoeni po pote walipokutoeni kwani fiti na ni mbaya zaidi kuliko ku uwa wala msipigane nao kwenye msikiti mtakatifu mpa ka wakupigeni huko wakiku pigeni huko basi nanyi pia wapi geni na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri (quran 2 191) mwenyezi mungu anaende lea kusema na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina na dini iwe ya mwenyezi mungu tu na kama wakiacha basi usiwepo uadui ila kwa wenye kudhulu mu (quran 2 193) kwa hiyo kufunga na kupi gana katika njia ya mwenyezi mungu kunahitaji subira na kuna aya nyingi tu zinazohusi sha mahitaji ya subira katika kupigana kwenye njia ya mwenyezi mungu kufunga pia ni jukumu gumu linalohitaji subira na ndiyo maana mtume rehema amani juu yake amese ma kufunga ni nusu ya subi ra (tirmidhiy) kuhusu amri ya kufunga bila ya kupitia kwa mtume ameanza na tamko la enyi mlioamini ili kusisitiza umuhimu wa ibada hii kongwe ambayo hata waliopita kabla yetu waliamrishwa kuitekeleza kwa hiyo ndugu zangu kati ka imani kufunga ni jambo la wajibu na siyo rahisi kwa kuwa kunahusisha kujizuia kula chakula kunywa na kuacha vi tendo vyote vinavyobatilisha swaumu kutoka alfajiri mpaka jua linapozama kufunga ni namna ya kupi ma dhamira na uvumilivu wa muumini na ni kipengele muhimu cha mahusiano kati ya binadamu na mwenyezi mun gu ni nidhamu inayomfundis ha binadamu jinsi ya kudhibiti matamanio yake na kuhimili mashinikizo ya vishawishi ili kupata radhi za mwenyezi mungu na malipo mema mu watakayokabiliana nayo bila shaka kuna faida nyingi pia za kiafya lakini lengo la ku funga ni kubwa na pana zaidi kuliko faida za kiafya zinazopa tikana lengo kuu la kufunga ni ku muwezesha kwa kiasi cha kuto sha binadamu kutekeleza kika milifu nafasi yake hapa duniani na kujihakikishia mafanikio mema katika maisha yajayo ni jambo la wazi kabisa kwamba vitendo vyote vya ibada na maamrisho yaliyowekwa na mwenyezi mungu yanazingatia pia uwezo wa binadamu kuyat ekeleza lakini hatupaswi kuhalali sha vitendo hivyo vya ibada kwa kuzingatia ufahamu wetu peke yake au elimu zetu ndogo zina vyotuonyesha upeo wa ufaha mu wa binadamu unabaki kuwa na kikomo na hauwezi kujua kikamilifu hekima ya mwenyezi mungu nyuma ya ibada hizo binadamu anatakiwa afuate tu mfumo wa maisha ambao mu umba wake amemchagulia ndugu zangu katika imani ukiakisi kwa kina zaidi utaona aya zinazoamrisha kufunga zimewekwa katikati ya aya zi nazohusu mambo magumu na yanayohitaji subira kuyafanya mwenyezi mungu amewaam bia moja kwa moja waumini vishawishi vikwazo na magu mtukufu wa ramadhan amin katika kufunga kuna vi pengele muhimu sana vya nid hamu na mafunzo kwa wau mini ili waweze kubeba na kusambaza ujumbe wa mwenyezi mungu licha ya mwenyezi mungu azikubali swaumu zetu katika mwezi huu
2019-02-18T02:15:44
https://islamicftz.org/deen/akisi-ya-afya/enyi-mlioamini-mmelazimishwa-kufunga-swaumu/
breaking news david kafulila ajiondoa chadema | raha za walimwengu home » »unlabelled » breaking news david kafulila ajiondoa chadema breaking news david kafulila ajiondoa chadema mbunge wa zamani wa kigoma kusini david kafulila mbunge wa zamani wa jimbo la kigoma kusini (20102015) david kafulila amejivua uanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kutokana na kutokuwa na imani na upinzani katika kupambana na ufisadi kafulila aliwahi kuwa mwanachama wa nccrmageuzi na kushinda nafasi ya ubungewa jimbo hilo na alikuwa ndiye mbunge aliyeongoza suala la utafunaji wa fedha za escrow fedha ambazo ziligawanywa kwa watu wa matabaka mbalimbali serikalini na maeneo mengine katika uchaguzi uliopita kafulila aligombea tena ubunge lakini alishindwa na alipofungua kesi kupinga matokeo hayo bado alishindwa mahakamani hii hapa chini ndo barua yake
2018-02-21T16:50:07
http://www.rahatupu.us/2017/11/breaking-news-david-kafulila-ajiondoa.html
jamii forum siasa | photography 623 pm sunday september 21 2014 home » search » jamii forum siasa info for jamii forum siasa jamii forums jf jamiiforums | the home of great thinkers jamii forums the home of great thinkers where we dare to talk openly jukwaa la siasa jamiiforums jukwaa la siasa tanzania's political forum tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli kwanza jamii blog by felix andrew in a move to stimulate agricultural development the maendeleo bank will before end of this year support over 20 groups of youth in dar es salaam and tanzania students association oslo thanks jamii forum do you have any comment(s) please donot hesitate to contact us throughstudentsunionoslo@gmailcom or tasao2007@yahoono groups jamiiforums | the home of great thinkers jamii forums the home of great thinkers where we dare to talk openly mbiu ya jamii sauti yetu kazi kwenu wanachama wa nssf kazi kwenu wanachama wa nssf national social security fundinputs for nssf members to buy affordable houses at mtonikijichi temeke dar es salaam mbiu ya jamii sauti yetu kwa mujibu wa muuguzi msaidizi anayefanya kazi katika kitengo hicho naomi marissa matumizi ya dawa hizo zinaongezeka pamoja na kuwapo kwa vituo mbalimbali general forums jamiiforums tanzania's political forum tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli topic siasa si uadui sugu & mwanjelwa in mbeya jamii forum siasa jamii folum http//newmentorcom/14/jamiiforumsiasa jamii forum jukwaa la siasa popular search easy way to build platform bed frame woodworking plans platform bed drawers make platform bed frame easy to build platform bed with storage how to make a platform bed with headboard how to build platform bed frame with storage plans to build platform bed with storage make your own platform bed frame how to make a platform bed with shelves easy build platform bed frame categories boudoir photography
2014-09-21T18:23:21
http://duoliphotography.com/duoli-photo/jamii-forum-siasa.html
pik botha wajihi wa ubaguzi wa rangi afrika kusini afariki | matukio ya afrika | dw | 12102018 pik botha wajihi wa ubaguzi wa rangi afrika kusini afariki botha amefariki dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwake baada ya kuuguwa kwa muda mfupi amesema mwanawe wa kiume roelf botha mbele ya maripota wa kituo cha matangazo cha afrika kusini enca news kimataifa pik botha alikuwa mwakilishi bayana wa mfumo wa ubaguzi wa rangi na mtenganoapartheid katika wakati ambao utawala huo ulikuwa ukizongwa na malalamiko na vikwazo vya kimataifa malalamiko yaliyomalizikia kwa kuchaguliwa nelson mandela kuwa rais wa kwanza mweusi mwaka 1994 alitetea hatua za serikali yake kila mahala ingawa alitambua baadae umuhimu wa mageuzi aliwashangaza walimwengu na hasa rais wa afrika kusini wakati ule pw botha aliposema mwaka 1986 afrika kusini inaweza siku moja kuongozwa na mtu mweusi rais wa mwisho wa utawala wa kibaguzi wa afrika kusini frederik de klerk akipeana mkonon na nelson mandela mwaka 1993 baada ya kutunukiwa nishani ya uhuru ya philadelphia na kushangiriwa na rais wa wakati ule bill clinton miongoni mwa wengine mustakbali wa afrika kusini utaakuwa mwema waafrika na wazungu wakiungana anasema pik botha tunabidi tufanikiwe ulimwengu unataka tufanikiwe katika wakati ambapo enzi za ubaguzi wa rangi na mtengano apartheid zinatoweka kitakuwa kiroja kikubwa na balaa kama waafrika kusini watashindwa kujongokeana na kukubaliana kusonga mbele na kuigeuza nchi yao iwe ya kidemokrasi kama tulivyostahiki kuwa na kupata sifa ambazo nchi yetu inazostahiki pik botha ambae hatokani na ukoo mmoja na rais wa zamani wa afrika kusini pw botha aliteuliwa kuwa waziri wa maadini na nishati katika serikali ya nelson mandela na kusema mwaka 2000 angependelea kujiunga na chama cha african national congress ancchama tawala kilichoendesha mapambano kwa miongo kadhaa dhidi ya utawala wa wazungu wachache nelson mandela na cyril ramaphosa mwaka 2005 pik botha amefurahishwa na kukabidhiwa cyril ramaphosa hatamu za uongozi wa afrika kusini lakini kuanzia wakati ule pik botha alikuwa tayari ameanza kujitenga na siasa matamshi yake ya mwisho aliyoyatoa miaka ya hivi karibuni yalihusiana na kashfa iliyomkaba rais wa zamani jacob zuma aliyejiuzulu february iliyopitabotha alifurahi sana aliposikia cyril ramaphosa amekabidhiwa nafasib ya zuma alisikia pik botha akisema itafaa kusema pik botha aliyekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kati ya mwaka 1977 hadi mfumo wa aparthheid ulipokoma mwaka 1994 alihusika na mazungumzo mwishoni mwa miaka ya 80 yaliyopelekea namibia kupata uhuru mwandishihamidou oumilkheir/ap/reuters maneno muhimu afrika kusini pik botha ubaguzi apartheid kiungo https//pdwcom/p/36qms
2018-10-17T03:38:55
https://www.dw.com/sw/pik-botha-wajihi-wa-ubaguzi-wa-rangi-afrika-kusini-afariki/a-45860338
sakata la mgogoro na mwekezaji wananchi wapatwa na hofu juu ya maisha yao mbarali mbeya ~ chimbuko letu
2017-12-14T10:09:14
http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/01/sakata-la-mgogoro-na-mwekezaji-wananchi.html
hali ya hewa ya qatar na uamuzi wa fifa kuhusu world cup 2022 millardayocom hali ya hewa ya qatar na uamuzi wa fifa kuhusu world cup 2022 shirikisho la soka la kimataifa (fifa) limethibitisha tarehe ya kufanyika kwa fainali za michuano ya kimataifa ya kombe la dunia ambazo zitakazofanyika nchini qatar fifa imeweka hadharani tarehe ya fainali hizo wakati wa kikao chake jana huko zurich switzerland ambapo itakuwa desemba 18 2022 huku ikisisitiza tarehe hiyo lakini uingereza wameanza kulalamika wakidai ratiba hiyo mpya itavuruga ratiba ya ligi yao kawaida kombe la dunia hufanyika kati ya mwezi june na july lakini hali ya hewa ya qatar imesababisha kubadilishwa kwa ratiba hiyo ← previous story ulipitwa na matokeo ya michuano ya ligi ya europa nimekusogezea hapa next story → hiki ndio kiwango kipya cha mshahara ambacho theo walcott anahitaji kulipwa na arsenal
2020-08-11T22:47:29
https://millardayo.com/fifa-march20/
disability in tanzania information platform 01/20/13 mkasa wa mlemavu anayeteseka bada ya kubakwa 0 comments 1044 pm posted by disability in tanzania asha musa (katikati) akiwa na bibiu yakew na mtoto wake maneno haya yanatokana na unyama wanaofanyiana wenyewe kwa wenyewe kila siku tunasikia unyama unaofanywa na binadamu leo utasikia baba wa miaka 45 amemnajisi mtoto wa miezi minne mke amemkata na shoka hawara wa mume wake majambazi wameua familia nzima na mambo kama hayo zaidi ya kuzungumza aisha hawezi kufanya shughuli yoyote kutokana na kuwa mikono na miguu vimejipindapinda tumbo lake limesogea upande wa kushoto na kichwa kulia habari hii ni kwa hisani ya mpekuzi (wwwfreebongoblogspotcom)
2018-12-13T06:06:26
http://disabilityintanzania.blogspot.com/2013_01_20_archive.html
december | 2010 | zanzibar islamic news's blog salamu za mwaka mpya 2011 dr shein awataka wazanzibar kupiga vita ubadhirifu karibu mwaka mpya wa 2011 rais wa zanzibara na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dr ali mohammed shein amewataka viongozi na wananchi kupiga vita ubadhirifu na kutumia raslimali kwa maslahi ya taifa akitoa salamu za kukaribisha mwaka mpya wa 2011 amesema zanzibar sawa na nchi nyingine dunia zinazokabiliwa na uchumi usiotabirika kutokana na kupanda kwa bei za mafuta aidha dr sheina amesema maendeleo ya uchumi wa zanzibar yataletwa na wananchi wenyewe na wahisani watatoa misaada yao pale wanapoona wazanzibari wanajitahidi katika kuleta maendeleo hayo amesema ni matumaini yake kuona wananchi watashirikiana kuijenga nchi yao kuwa ya neema na kuwataka viongozi waliochaguliwa na wananchi kutumia muda mwingi majimboni mwao ili kutoa muongozo na ushirikiano katika kutekeleza miradi ya maendeleo dr shein pia amewataka wanchi kudumisha umoja na mshikamano uliokuwepo baada ya maridhiano ya kisiasa ili kutekeleza mipango ya maendeleo ya zanzibar mwaka uliopita zanzibar iliandika historia kubwa ikiwemo maridhiano ya kisiasa kura ya maoni mabadiliko ya kumi ya katiba ya zanzibar uchaguzi mkuu uliofanyika kwa amani na utulivu na kuundwa serikali mpya yenye muundo wa umoja wa kitaifa december 31 2010 skaska leave a comment wafanyakazi afisi ya mufti pemba wako hali mbaya wafanyakazi wa ofisi ya naibu mufti pemba wamesema wanakabiliwa na wakati mgumu katika utendaji wa kazi zao ikiwemo kufuatilia migogoro ya kidini kutokana na ukosefu wa vitendea kazi wafanyakazi hao wamesema matatizo hayo hasa usafiri yamekuwa yakikwamisha majukumu yao ya kutoa huduma kwa wananchi wakizungumza na waziri wa sheria na utawala bora abubakar khamis bakar kisiwani humo pia wameiomba wizara hiyo kutowa fursa sawa za mafunzo kati ya wafanyakazi wa ofisi hiyo kwa unguja na pemba wamesema hali hiyo imesebabisha ushirikiano mdogo kwa watendaji wa ofisi kati ya unguja na pemba na wale wanaokwenda kisiwani pemba kikazi wanafanya kazi zao bila kuwashirikisha wenzao wa pemba nae waziri bakar amewataka wafanyakazi wa wizara hiyo kisiwani pemba kufanya kazi kisheria ili kutowa huduma bora kwa wananchi amesema maslahi ya wafanyakazi ikiwemo vitendea kazi na mafunzo yanashughulikiwa kupitia wizara maalumu ya utumishi wa umma na utawala bora taasisi ambazo zimekutana na waziri huyo ni katiba na sheria afisi wa mkurugenzi wa mashtaka kamisheni ya wakfu na watendaji wa afisi kuu ya wizara hiyo pemba december 30 2010 skaska leave a comment katiba ya zanzibar haijajitosheleza kuunda serikali ya umoja wa kitaifa aliekuwa mgombea mwenza wa urais wa jamhuri ya muungano tanzania kupitia chama cha apptmaendeleo rashid mchenga amesema katiba ya zanzibar haijajitosheleza katika kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na inahitaji kufanyiwa marekebisho tena akizungumza katika mafunzo juu ya serikali ya umoja wa kitaifa yaliofanyika hoteli ya ocean view amesema ulimwengu unafahamu zanzibar ina mfumo wa serikali ya umoja wa kitaifa lakini amedai kinachonekana ni serikali ya mseto kwa kuvishirikisha vyama vya ccm na cuf pekee katika serikali hiyo mchenga ambae ana mpango wa kumfikisha mahakamani mwanasheria mkuu wa serikali ili kutoa tapsiri sahihi ya serikali ya umoja wa kitaifa amesema iwapo hataridhishwa na shauri lake hilo suala hilo atalipeleka katika tume ya haki za binadamu nae katibu wa baraza la wawakilishi ibrahim mzee akizungumza katika mafunzo hayo amesema kifungu cha tisa cha katiba ya zanzibar kinaeleza mamlaka ya kuendesha nchi yako kwa wananchi wenyewe amesema uteuzi wa baraza la mawaziri uliofanywa na rais wa zanzibar umezingatia matakwa ya katiba kwa vile wananchi wamevichagua vyama vya ccm na cuf kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ibrahimu amesema vyama vya siasa visitegemee kuingizwa serikali bila ya kukubaliwa na wapiga kura hivyo amevitaka vyama hivyo kufanya kazi ya siasa kwa kuuza sera zao kwa wananchi kwa mujibu wa marekebisho ya kumi ya katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 vyama vya siasa vitakavyounda serikali ya umoja wa kitaifa vinapaswa kuwa na uwakilishi wa wananchi ndani ya baraza la wawakilishi december 28 2010 skaska leave a comment korea ya kusini kuisaidia zanzibar kilimo cha umwagiliaji maji bendera ya korea ya kusini korea kusini imeeleza azma yake ya kuiunga mkono zanzibar katika kuimarisha sekta ya kilimo cha umwagiliaji maji balozi wa korea kusini nchini tanzania mhe younghoom kim aliyasema hayo leo wakati alipokuwa na mazungumzo na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein ikulu mjini zanzibar katika mazungumzo hayo balozi kim alimueleza dk shein kuwa tayari ripoti ya upembuzi yakinifu ya mradi wa umwagiliaji maji imefikia pazuri na itakamilika hivi karibuni alieleza kuwa korea kusini imeridhishwa na mashirikiano inayoyapata katika taratibu na mikakati ya kuimarisha mradi huo wa umwagiliaji maji hapa zanzibar aidha balozi huyo alimuhakikishia dk shein kuwa nchi yake itaendeleza uhusiano na ushirikiano na zanzibar balozi kim alisema kuwa ana matumaini makubwa ya mafanikio ya maendeleo kutokana na uongozi wa dk shein na kumueleza kuwa nchi yake itaendelea kumuunga mkono na kutoa ushirikiano wake kwa zanzibar ili kufikia malengo yaliokusudiwa pamoja na hayo mhe kim alimueleza dk shein kuwa nchi yake imevutiwa na hatua za zanzibar za kuwa na maeneo huru ya kiuchumi na kuahidi kuwa balozi wa nchi yake kuitaingaza zanzibar kutokana na sifa ilizonazo alieleza kuwa hatua hiyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha uchumi wa zanzibar na kusisitiza kuwa kutokana na nchi yake kuimarika kitekonolojia hatua hiyo itasaidia kuendeleza miradi hapa zanzibar katika maelezo yake pia balozi kim alipongeza hatua zilizofikiwa katika kuimarisha sekta ya utalii na kuahidi kuitangaza zanzibar kiutalii sanjari na kutoa mashirikiano yake katika kuimarisha sekta ya afya hapa zanzibar akieleza juu ya uimarishaji wa chuo cha kilimo cha zanzibar balozi kim alieleza kuwa chuo hicho ni muhimu katika kuendeleza sekta ya kilimo hapa zanzibar na kueleza kuwa nchi yake itaangalia njia za kukisaidia chuo hicho ili kizidi kuimarika nae dk shein alitoa pongezi na shukurani kwa korea kusini kwa kuendeleza uhusiano na ushirikiano wake na zanzibar hatua ambayo amesema itaweza kukuza mashirikiano katika sekta mbali mbali za kimaendeleo dk shein alieleza kuwa zanzibar inathamini sana uhusiano na ushirikiano kati yake na korea kusini na kusema kwamba hatua ya nchi hiyo kuunga mkono kilimo cha umwagiliaji maji itaiwezesha zanzibar kupunguzakwa kiasi kikubwa uagizajiwa chakula hasa mchele kutokana na kukuza kilimo cha mpunga katika maelezo hayo dk shein alisema kuwa anamatumaini makubwa kuwa iwapo mashirikiano yataimarishwa kwa pande mbili hizo mafanikio makubwa yatapatikana katika sekta zote za maendeleo na kiuchumi alieleza kuwa hatua hiyo ya korea kusini ya kushirikiana katika kuimarisha sekta ya kilimo itasaidia kukiimarisha kilimo pamoja na sekta nyenginezo na kusisitiza kuwa jambo muhimu kwa wakulima ni kuwapa elimu juu ya sekta ya kilimo dk shein alieleza kwamba mbali ya kuimarisha sekta ya kilimo pia zanzibar imeweka eneo la maeneo huru ya kiuchumi kwa ajili ya uwekezaji na kutoa fursa kwa nchi hiyo kuja kuekeza zanzibar aidha dk shein alimueleza balozi huyo juhudi zinazochukuliwa na serikali ya mapinduzi zanzibar katika kuimarisha sekta ya afya pamoja na sekta ya utalii na kueleza kufarajika kwake na azma ya balozi kim kuitangaza zanzibar kiutalii huko nchini mwake smz yaikemea tra bara kuendelea kuwatoza kodi mara mbili wafanyabiashara wa zanzibar nassor ahmmed mazurui waziri wa biashara viwanda na masoko nassor ahmed mazrui ameelezea kusikitishwa na watendaji wa tra kuendelea kuwanyanyasha wafanyabiashara wa zanzibar wanapopelea bidhaa zao tanzania bara akizungumza na zenji fm radio amesema licha ya tatizo la wafanya biashara wa zanzibar kutozwa kodi mara mbili wanapopeleka bidhaa zao tanzania kuondolewa na vikao halali vya ngazi ya muungano bado maafisa wa tra wanaendelea kuwatoza kodi wafanyabiashara hao kwa utashi wao binafsi mazuri amefahamisha kuwa tra ni moja katika zanziar na tanzania bara hivyo uwamuzi uliotolewa wa bidhaa kutoka zanzibar kwenda tanzania bara na tanzania bara kuja zanzibar usitozwe kudo mara mbili unahitaji kuheshimiwa kamati ya kero za muungano iliyokuwa chini ya mwenyekiti wake aliekuwa makamo wa rais wa jamhuri ya muungano ambae kwa sasa ni rais wa zanzibar dr ali mohammed shein imelipatia ufumbuzi suala la wafanya biashara kutozwa kodi mara mbili lakini bado wafanyabiashara wa zanzibar wanadai maamuzi ya kamati hiyo yamepuuzwa december 27 2010 skaska leave a comment mamia ya waislamu wafuatilia kesi ya kuchomwa moto qurani tukufu mamia ya wafuasi wa dini ya kiislamu leo wamejitokeza katika hakama ya wilaya mwanakwerekwe kusikiliza kesi ya mtuhumiwa wa anayedaiwa kuchoma moto msaafu na juuzuu za dini ya kiislamu kesi hiyo iliyokuwa ikiongozwa na waendesha mashtaka hamis jafar mfaume othman kassim na raya mselem wamewasikilia mashahidi watatu waliotoa ushahidi huo ikiwa ni pamoja na tausi abdallah mwenye umri wa miaka 34khafidh kassim mtoto mwenye umri wa miaka 12 na saidi omar hamad mwenye umri wa miaka 57 waendesha mashtaka hao wamedai kuwa mshitakiwa ramadhan hamda tuma mwenye umri wa miaka 28 mkaazi wa mombaza wilaya ya magharib alitenda makosa mawili ikiwemo kufanya kitendo cha uvunjifu wa amani kinyume na sheria za zanzibar hata hivyo kosa la pili la mshitakiwa huyo ni kukashifu dini kinyume na kifungu cha sheria cha 117 na 27 sheria namba 6 ya mwaka 2004 imedaiwa mahakamani hapo novemba 16 mwaka huu majira ya saa mbili usiku mombasa wilaya ya magharib mshitakiwa huyo alichoma moto hadharani msahafu na juzuu ya dini ya kiislam hata hivyo katibu wa mufti ambae pia alifika mahakamani hapo aliwataka waislamu kuwa na moyo wa subira wakati shauri hilo likiendelea mahakamani december 27 2010 skaska 1 comment smz bado haijaimarisha haki za binadamu kwa wafungwa serikali ya mapinduzi zanzibar imeelezewa bado haijafikia vigezo vya umarishaji wa haki za binadamu kwa watu wanaotumikia adhabu za kifungo katika vyuo vya mafunzo na wale walioekwa kizuizini washiriki waliohudhuria mafunzo ya haki za binadamu na mfumo wa serikali ya umoja wa kitaifa yaliyofanyika hoteli ya ocean view wamedai wanafunzi wa vyuo hivyo wanakosa lishe bora uhuru wa faragha na kuabudu pamoja na upatikanaji wa taarifa wamesema pamoja na kunyimwa haki hizo wanafunzi hao pia wanavishwa mavavi mafupi yanayokwenda kinyume na maadili yao na hali hiyo wameitaja ni uvunjaji wa haki za binadamu mafunzo hayo yaliowashirikisha maafisa wa polisi vikosi vya smz na waandishi wa habari pia vyombo vya sheria ikiwemo mahakama na jeshi la polisi vimedaiwa kuchangia uvunjaji wa haki za binadamu kwa kuchelewesha ushahidi na utowaji wa hukumu akitoa ufafanuzi wa madai hayo mratibu wa vyuo vya mafunzo zanzibar mussa issa amesema suala la lishe bora kwa wanafunzi hao limepatiwa ufumbuzi kwa kutolewa mikate ya bofulo na chai wakati wa asubuhi na chakula cha mchana amesema wanafunzi wa vyuo vya mafunzo pia wanapewa fursa za kuwasiliana na familia zao kwa njia ya barua kuhudhuria misiba kutoa idhini ya ndoa na kupata taarifa kwa njia ya redio na televisheni hata hivyo mratibu huyo amekiri kuwepo kwa ndoo ya kwendea haja kubwa wakati wa usiku na ufinyu wa malazi kutokana na vyuo vya mafunzo nchini kujengwa tokea utawala wa kikoloni amesema hivi sasa idara ya vyuo vya mafunzo zanzibar inaendelea na mipango ya kujenga vyuo vipa vya mafunzo vitakavyokuwa na miundo mbinu ya kisasa ya utowaji wa huduma mafunzo hayo ya siku moja yameandaliwa na afisi ya mkurugenzi wa mashataka zanzibar na kudhaminiwa na shirika la maendeleo la umoja wa mataifa undp december 26 2010 skaska leave a comment 902993 hits
2017-10-21T12:01:50
https://zanzibarislamicnews.wordpress.com/2010/12/
dida mitikisiko beach za mchanga zinauzwa kigamboni beach za mchanga zinauzwa kigamboni beach za mchanga zinauzwa kigamboni ktk eneo ambalo haliusiki na mradi wa mji mpya heka kumi (10hk) zenye hati shilingi milioni mia sita (tshs 600000000/=) heka tatu (3hk) zenye hati shilingi milioni mia nne (tshs 400000000/=) heka mbili (2hk) zenye ofa ya manispaa shilingi milioni mia mbili (tshs 200000000/=) heka tatu (3hk) karibu na bamba beach shilingi milioni mia nne (tshs 400000000/=) heka mbili (2hk) beach namba 2 shilingi milioni mia mbili (tshs 200000000/=) kipande cha heka nne (4hk) daressalaam zoo shilingi milioni thelasini na tano (tshs 35000000/=) kwa mawasiliano zaidi piga simu no 0652020343 au 0713985907
2017-10-24T02:07:28
http://didamitikisiko.blogspot.com/2012/06/beach-za-mchanga-zinauzwa-kigamboni.html
wizkid agonga kolabo na rihanna | larrybway91 wizkid agonga kolabo na rihanna larrybway91 / july 28 2014 staa wa muziki kutoka nchini nigeria wizkid amethibitisha kufanya kolabo na rihanna baada ya kuzungumza kwa njia ya simu na kituo cha the beat 999 fm na hivyo kuwataka mashabiki wake wakae mkao wa kula kusubiria ujio wake mpya anaotarajia kuuachia hivi karibuni wizkid mwenye miaka 24 ameweza kujipatia umaarufu mkubwa katika kipindi kifupi kupitia ngoma zake kadhaa zilizowahi kubamba ikiwemo holla at your boy dont dull love my baby azonto pakurumo na nyingine kibao share thisclick to share on twitter (opens in new window)share on facebook (opens in new window)moreclick to share on google+ (opens in new window) july 28 2014 in entertainment tags ''gwiji wa manchester united 'ryan giggs' atunukiwa shahada ya udaktari na chuo cha bolton'' ''ngoma ya wizkid na rihanna'' ''wizkid afanya kolabo na rihanna'' ''wizkid athibitisha kufanya kolabo na rihanna'' wizkid ngoma mpya wizkid ft tyga show you the money (remix) ← diamond na jaydee wangara tuzo za afrimma 2014 hussein machozi akamatwa ugoni na mke wa mwanasiasa maarufu kenya →
2017-02-23T09:18:16
https://larrybway91.wordpress.com/2014/07/28/wizkid-agonga-kolabo-na-rihanna/
mume kabaka mke wa ndoa | jamiiforums | the home of great thinkers mume kabaka mke wa ndoa discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by fabinyo sep 18 2011 kwa ufupi sana nina jirani yangu ambaye pia ni ndugu yanguameoa miaka mitatu iliyopita na wanapendana na mkewe wote niwafanyakazi wa hospital ila tofautimwaka huu mwanzonijanuarymungu aliwajaliamkewe akajifungua kwa operationkatoto kazuri kakiume ila haikuwa rizikibaada ya siku moja kakafarikiilikuwa huzuni sanabasi tukamzika na maisha yakaendelea na wakamsahau kwenye mwezi wa sabaulitokea ugomvi mkubwa baina yaowakitishiana hata kuuana basi mama mdogo wa mume (anakaa jirani kidogo pia) akamwomba mume kuwa mkewe akakae kwake ili wasuluhishwe akakubali na baada wiki kikao cha usuluhishi kilifanyika mimi nilikuwemo kikaoni na mke akadai kuwa mume alitumia nguvu kufanya tendo la ndoa wakati afya yake ilikuwa haijatengemaa ndio chanzo cha ugomvi na mbaya zaidi imepelekea apate mimba jambo ambalo kiafya alikuwa bado hashauriwibasi yaliongelewa weeeeee yakaisha na wakashikamana tena japo mke alionyesha bado kusononeka sanasasa wiki iliyopita yametibuka upya kuliko ile ya kwanzamume kachacha kwamba mkewe ametoa ile mimba kimya kimya kwani kuna siku mke alilala zamu kama siku tatu hivi(ni kawaida pia na mume huwa anakuwa zamu) hivyo inaonekana alitumia nafasi hiyo kuitoa tunajianda kwa usuluhishi tenanikaona niwashirikishe nyie wadau muhimu katika visa mbalimbali vinavyojiri katika ndoa huku mitaanilicha yakwamba zinafundisha pia nitapata points zaidi za kuongea hukojamani hiyo hali mnaionaje nani alikuwa sahihi hapo nini kifanyike katika hizi ndoa zetu maana matatizo hayaishi kila kukicha ningefunga kamba wote wawili naanza kuchalaza vibokokwamba kwanini mume amlazimishe mwenzie wakati bado afya yake sio nzuri na kwa nini mama atoe mimba akati ndo ishaingia hivo inawezekana ilikuwa hatari kubeba mimba nyingine now so maybe ni sahihikwa jinsi nilivyoelewa sometimes marriages are so ugly i thnk huyo dada ako na kosa mumewe alikosea ikanasa naye kakosea kuitoa bila ridhaa ya mume hata km hakuitaka mimba kwa vile anafanya kazi hospital alishindwa nini kumwomba huyo aliemtoa apike jungu kuwa mimba inacomplication so ni lazma itolewe ili wakubaliane hakufikiria na hlo laweza isambaratisha hyo ndoa by the way why aitoe hali yuko ndoani na pia haikuwa imemletea madhara au duniani kuna mambo mikatabamawazo yako ni kama yangukama wangekuwa katika akili yangu ahapo ni bila bilangoma drawclick to expand duniani kuna mamboclick to expand yaani mimi huwa nachoka kabisalakini mambo hayo kama hayajakukumba ndio unajifunza kuwa yapomungu anamaana yake kuyaweka sometimes marriages are so ugly i thnk huyo dada ako na kosa mumewe alikosea ikanasa naye kakosea kuitoa bila ridhaa ya mume hata km hakuitaka mimba kwa vile anafanya kazi hospital alishindwa nini kumwomba huyo aliemtoa apike jungu kuwa mimba inacomplication so ni lazma itolewe ili wakubaliane hakufikiria na hlo laweza isambaratisha hyo ndoa by the way why aitoe hali yuko ndoani na pia haikuwa imemletea madhara auclick to expand maswali ya kujiuliza kama hayo yako mengi sabryhata mimi nilijiuliza pia kwa nini hakupika jungu hilohata kamasithani kama mume angekubali ukizingatia kulishatokea ugomvi wa mimba hiyoau labda mungu alimfumba asipate wazo la kupika jungu hilokweli ndoo zina raha na karaha we acha tu mkuu yaani kila siku tunasoma mambo ya kustaajabisha sana mkeo bado hajapona vizuri baada ya kujifungua halafu unaenda kumbaka mijitu mingine ina ny*** ambazo si za kawaida kabisa na kuwafanya wawe kama wanyama dah mhhh ole wetu sisi wanadamu> maajabu hayaishi kuna jamaa aligombana na mkewe kwa kuwa baada ya mkewe kujifungua kwa operation jamaa hakutaka kumgusa mkewe kwa miaka miwili mpaka opone kabisa sasa huyu anmwingilia mwenzie kwa nguvu lol kilichopo hapo kwa kuwa mara ya kwanza aliyekosea ni mume waksameheana sasa zamu ya mke kusamehewa huyo jamaa asijifanye kukomaa kwani operation mfululizo nazo ni hatari sana huyo mume alimuuliza kwa nini katoa mimba kama afya ya mkewe ilikua hatarini je na kama aliweza kumbaka mkewe atashindwa kukataa mimba isitolewe hata kama imetunga nje ya mji wa mimba huyo mwanaume ni kichaa kabisaatamlazimishaje mwenzie wakati bado hajapona vyema huyo mwanamke nae angemweleza mumewe kuwa kashika mimba na kiafya lazima atoeni ajabu wote wanafanya kazi hospitali ila hawajui afya ya uzazi kabisa fabinyo said nina jirani yangu ambaye pia ni ndugu yanguameoa miaka mitatu iliyopita na wanapendana na mkewe wote niwafanyakazi wa hospital ila tofautimwaka huu mwanzonijanuarymungu aliwajaliamkewe akajifungua kwa operationkatoto kazuri kakiume ila haikuwa rizikibaada ya siku moja kakafarikiilikuwa huzuni sanabasi tukamzika na maisha yakaendelea na wakamsahaukwenye mwezi wa sabaulitokea ugomvi mkubwa baina yaowakitishiana hata kuuana basi mama mdogo wa mume(anakaa jirani kidogo pia) akamwomba mume kuwa mkewe akakae kwake ili wasuluhishweakakubali na baada wiki kikao cha usuluhishi kilifanyikamimi nilikuwemo kikaoni na mke akadai kuwa mume alitumia nguvu kufanya tendo la ndoa wakati afya yake ilikuwa haijatengemaandio chanzo cha ugomvi na mbaya zaidi imepelekea apate mimba jambo ambalo kiafya alikuwa bado hashauriwibasi yaliongelewa weeeeee yakaisha na wakashikamana tena japo mke alionyesha bado kusononeka sanasasa wiki iliyopita yametibuka upya kuliko ile ya kwanzamume kachacha kwamba mkewe ametoa ile mimba kimya kimya kwani kuna siku mke alilala zamu kama siku tatu hivi(ni kawaida pia na mume huwa anakuwa zamu) hivyo inaonekana alitumia nafasi hiyo kuitoatunajianda kwa usuluhishi tenanikaona niwashirikishe nyie wadau muhimu katika visa mbalimbali vinavyojiri katika ndoa huku mitaanilicha yakwamba zinafundisha pia nitapata points zaidi za kuongea hukojamani hiyo hali mnaionajenani alikuwa sahihi haponini kifanyike katika hizi ndoa zetu maana matatizo hayaishi kila kukichaclick to expand ivi kumbe unaweza ukampenda mtu mpka kufikia kumbaka kama ni madaktari hao ndo wale wanaomfanyia mtu operation ya kichwa wakati mgonjwa anaumwa mguu kiukwel hapo iko kazi kwan kila mmoja kafanya kosa tena kubwa tuu ila mimi wa kumlaumu kwanza ni uyo mwanaume(kubaka) kwani yeye ndio aliopelekea mwanamke kutenda kosa la kutoa mimba japo hapo upungufu wa maarifa kwa uyo mwanamke ndipo ulioonekana kama hali ndo hii basi tunaomba jukwaa la kusuluhisha ndoa na mahakama ya ndoa ikiwezekana pia we acha tu mkuu yaani kila siku tunasoma mambo ya kustaajabisha sana mkeo bado hajapona vizuri baada ya kujifungua halafu unaenda kumbaka mijitu mingine ina ny*** ambazo si za kawaida kabisa na kuwafanya wawe kama wanyama dahclick to expand hahahahaumepata hasira sana naonandio hivyo optimist said ivi kumbe unaweza ukampenda mtu mpka kufikia kumbaka kama ni madaktari hao ndo wale wanaomfanyia mtu operation ya kichwa wakati mgonjwa anaumwa mguu kiukwel hapo iko kazi kwan kila mmoja kafanya kosa tena kubwa tuu ila mimi wa kumlaumu kwanza ni uyo mwanaume(kubaka) kwani yeye ndio aliopelekea mwanamke kutenda kosa la kutoa mimba japo hapo upungufu wa maarifa kwa uyo mwanamke ndipo ulioonekana kama hali ndo hii basi tunaomba jukwaa la kusuluhisha ndoa na mahakama ya ndoa ikiwezekana piaclick to expand uko sawa sawa huyo mwanamke nae angemweleza mumewe kuwa kashika mimba na kiafya lazima atoeni ajabu wote wanafanya kazi hospitali ila hawajui afya ya uzazi kabisaclick to expand hapo ndio unaamini mganga hajigangi hi nd&#305o dun&#305a jaman&#305
2017-01-19T02:26:38
https://www.jamiiforums.com/threads/mume-kabaka-mke-wa-ndoa.173954/
community development and youth | ubungo municipal council maendeleo ya jamii na vijana ni miongoni mwa idara katika manispaa ya ubungo idara ina vitengo viwili ambavyo ni vijana jinsia na watoto idara inatoa huduma kwa jamii ili kuwezesha kupanga kubuni kutekeleza na kusimamia shughuli zao za kiuchumi na kuwa na maendeleo endelevu halmashauri kupitia idara ya maendeleo ya jamii ina jukumu kubwa la kuwezesha jamii yake katika kutambua uwezo wao katika kutatua matatizo ya maendeleo hili limefanyika kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa lengo la kuboresha maisha ya jamii kwa matumizi ya rasilimali zilizopo idara ya maendeleo ya jamii ina mamlaka ya kutambua na kuandikisha vikundi vya kijamii na kiuchumi mashirika yasiyo ya kiserikali na kuwaratibu kwa sasa idara inatekeleza mipango mbalimbali kama vile vvuna ukimwi mfuko wa maendeleo ya jamii tasaf mfuko wa mikopo ya wanawake na vijana kamati ya uwezeshaji wanawake kiuchumi ya wilaya na mpango wa usimamizi wa maafa idara ya maendeleo ya jamii inawajibika kutekeleza sera zifuatazo sera ya maendeleo ya watoto2008sera ya maendeleo ya jensia 2000 sera ya taifa ya vvu na ukimwi 2001 sera ya maendeleo ya vijana2007 na sera ya uwezeshaji wa taifa tufanye kazi ipasavyo tuhakikishe tunazingatia misingi sahihi ya kazi ujenzi wa hospitali ya wilaya ya ubungo iliyopo kimara baruti wenyeviti wapya wa serikali za mitaa manispaa ya ubungo waapishwa mkurugenzi wa manispaa ya ubungo apokea mbao 800 kutoka benki ya nmb
2019-12-07T11:35:39
http://ubungomc.go.tz/community-development-and-youth
dkt kalemani ifikapo juni 30 mitaa yote ya majiji iwe imesambaziwa umeme home matukio dkt kalemani ifikapo juni 30 mitaa yote ya majiji iwe imesambaziwa umeme dkt kalemani ifikapo juni 30 mitaa yote ya majiji iwe imesambaziwa umeme reviewed by msumbanews on may 06 2019 rating 5
2019-07-15T20:37:21
http://www.msumbanews.co.tz/2019/05/dkt-kalemani-ifikapo-juni-30-mitaa-yote.html
kizungu champonza miss tanzania brigitte azomewa na wabunge salma msangisalma msangi 14 april 2013 by salma msangi+ in news news za nyumbani no comments miss tanzania 2012 brigitte alfred ameumbuka baada ya kuzomewa na wabunge kufuatia kushindwa kuzungumza vyema lunga ya kiswahili ni jambo la kushangaza hasa kwa mrembo watanzania ambae amechaguliwa kutoka katika shindano linalohusisha wanyonge kadha anashindwa kuzungumza kiswahili lugha ya taifa lake tukio hilo lilitokea jana wakati wa semina ya wabunge juu ya watu wenye ulemavu wa ngozi ( albino) ilioandaliwa na shirika la maendeleo duniani undp ambapo miss brigitte lilikua linamuhusu kutokana na kuwa balozi wa albino miss brigitte ambae nanajihusisha na maswala ya kijamii yeye ni balozi wa hisani wa watu wenye ulemavu wa ngozi ambapo amekua akiendesha kampenu mbali mbali ikiwamo kupinga ukatili dhidi ya walemavu hao wa ngozi lakini uhondo ulikuwa pale mrembo huyo alipotakiwa kuzungumza maneno machache kuhusiana na walemavu hao semina hiyo iliyoongozwa na mwanyekiti wa kamati ya bunge ya huduma za jamii magreth sitta ilihusisha mada mbalimbali ambazo ndizo zilimtia kwenye wakati mgumu miss brigitte na kukumbwa na kisanga cha kuzomewa wakati tu anaanza kujieleza brigitte alianza kuzungumza kwa lunga ya kiingereza na taratibu ilianza kusikika miguno kutoka kwa wabunge waliokuwa wapo kwenye semina hiyo baada ya kuona hali inaelekea kuwa mbaya miguno imekua mingi mrembo huyo aliomba asome hotuba yake kwa lugha ya kiingereza kwasababu hafahamu vyema kiswahili waheshmiwa wabunge naomba nitoe speech kwa lugha ya kiingereza kwasababu mimi nimezaliwa kenya na kukulia kenya maisha yangu yote hivo kiswahili changu ni brocken nikiongea hapa mtanicheka alisema kauli hiyo ilizidi kuzua miguno na kufanya hali ya kuto kuskilizana katika ukumbi wa pius msekwa mjini hapo hali ilikua mbaya kwa mrembo huyo kwasababu wabunge hao walimtaka na kusisistiza mlibwende huyo azungumze kiswahili ili ujumbe uweze kuwafikia wote walipo mahali hapo kwa ufasaha zaidi baada ya kukomaliwa sana na wabunge ili azungumze kiswahili hakuwa na jinsi na kuanza kuzungumza lugha mbayo ilionekana kama ni ki swanglish kutokana na kuchanganya kingereza na kiswahili story credit dimba swali mbona wakenya wenyewe huzungumza kiswahili sasa vipi mtanzania huyu ashindwe
2019-01-17T11:34:50
http://salmamsangi.com/kizungu-champonza-miss-tanzania-brigitte-azomewa-na-wabunge/
michuzi blog utalii katika msitu wa chome kilele cha mlima shengena wilayani same kutangazwa ' if(imglength>=1) { imgtag = ' utalii katika msitu wa chome kilele cha mlima shengena wilayani same kutangazwa ni utalii katika msitu wa chome hususan kilele cha mlima shengena ambapo wilaya ya same mkoani kilimanjaro imedhamiria kutangaza kivutio hiki ili kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea eneo hilo mkuu wa wilaya ya same mhe rosemary sitaki aliongoza wataalamu 23 toka ofisi za serikali wilayani hapo wakiratibiwa na wakala wa misitu (tfs) kupanda mlima shengena wenye urefu wa mita 2462 toka usawa wa bahari ambacho ni kilele cha pili kwa urefu kufuatia mlima kilimanjaro mlima huo una vivutio vingi vya miti ndege vipepeo nyani mito na uoto wa asili ni raslimali kubwa ni eneo unaloona mlima kilimanjaro kwa juu zaidi kuliko eneo jingine lolote na linafaa kwa utalii mazoezi ya kupanda mlima kilimanjaro kurekodi sinema hifadhi ya mazingira uwekezaji utafiti vyanzo vya maji camp site ambapo tfs wanafikiria kuweka sky line ni lazima tujipange kufanya vitu tofauti ili kuwafanya watalii kuchagua shengena alisema dc sitaki huku akiwaalika wananchi na wageni kuja kujionea uumbaji wa ajabu wa mungu uliopo shengena alitoa tahadhari kwa wenye nia ya kuchezea msitu huo kwa kuwa ni moyo ya wilaya ya same kwani vyanzo vya maji zaidi ya 8 vinavyotegemewa na wananchi vinaanzia msitu huo aliahidi kuutunza kuulinda kuuthamini na kuwachukulia hatua wanaouchezea timu hiyo ilitumia kati ya saa 230 240 kufika kileleni umbali wa km 554 mkuu wa wilaya ya same mhe rosemary sitaki (kilemba cha buluu) na wataalamu 23 toka ofisi za serikali wilayani hapo wakipumzika baada ya kupanda mlima shengena wenye urefu wa mita 2462 kutoka usawa wa bahari mkuu wa wilaya ya same mhe rosemary sitaki (kilemba cha buluu) akiongoza wataalamu 23 toka ofisi za serikali wilayani hapo wakipumzika baada ya kupanda mlima shengena wenye urefu wa mita 2462 kutoka usawa wa bahari mkuu wa wilaya ya same mhe rosemary sitaki (kilemba cha buluu) na wataalamu 23 toka ofisi za serikali wilayani hapo wakiwa kwenye kilele cha mlima shengena wenye urefu wa mita 2462 kutoka usawa wa bahari mtaalamu akitoa maelezo juu ya kilele cha mlima shengena thursday july 12 2018 ~ copyright michuzi blog ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2018-07-17T20:56:16
https://issamichuzi.blogspot.com/2018/07/utalii-katika-msitu-wa-chome-kilele-cha.html
tamko la ishirini na nne | injili ya kushuka kwa ufalme kuadibu kwangu kunawajia watu wote lakini pia kunakaa mbali na watu wote maisha yote ya kila mtu yamejawa na upendo na pia chuki kwangu na hakuna mtu ambaye amewahi kunijua na kwa hivyo mtazamo wa mwanadamu kwangu upo kati ya baridi na moto na hauna uwezo wa kuwa kawaida lakini nimekuwa nikimlea na kumchunga mwanadamu na ni kwa sababu ya suitafahamu kwake ndiyo maana hana uwezo wa kuona matendo yangu yote na kuelewa nia zangu mimi ndiye ninayeaongoza katika mataifa yote na ndiye mkubwa zaidi kwa watu wote kwa ufupi ni kwamba mwanadamu hanijui mimi kwa miaka mingi nimeishi na mwanadamu na kujionea maisha katika dunia ya mwanadamu lakini amekuwa akinipuuza na kunichukulia kama kiumbe kutoka ulimwengu wa nje ya dunia kwa sababu hii kutokana na tofauti za tabia na lugha watu hunichukulia mimi kama mgeni barabarani nguo zangu huenda ikawa pia ni za kipekee hata kumfanya mwanadamu kukosa imani ya kunikaribia ni wakati huo ndio naona upweke wa maisha ya mwanadamu na wakati huo tu ndio ninapata ufafanuzi wa dhuluma katika dunia ya mwanadamu ninatembea katikati ya wapita njia nikiangalia nyuso zao zote ni kama kwamba wanaishi ndani ya maradhi ambayo yanajaza nyuso zao na huzuni na miongoni mwa adhabu inayozuia kuachiliwa kwao mwanadamu hujitia pingu mwenyewe na kujifedhehesha mwenyewe watu wengi hujenga hisia za uwongo juu yao mbele yangu ili niwaunge mkono watu wengi hujifanya makusudi kuwa wa kuhuzunisha mbele yangu ili waweze kupata usaidizi wangu nyuma yangu watu wote hunidanganya na kuniasi je mimi sio wa kweli je huu si mkakati wa mwanadamu ili aweze kuishi ni nani ambaye ameweza kuishi kulingana na mfano wangu maishani mwake nani ambaye ameweza kunitukuza miongoni mwa wengine nani amewahi kuwajibika mbele ya roho nani ambaye amesimama imara kwa ushuhuda wake kwangu mbele ya shetani ni nani ameweza kuongezea ukweli kwa uaminifu wake kwangu ni nani amewahi kuangamizwa na joka kubwa jekundu kwa sababu yangu watu wametupa kura zao kwa shetani wamekuwa wataalam kwa kunipinga na wamekuwa waanzilishi wa upinzani kuja kwangu na wamehitimu katika kunifanyia mimi mzaha kwa ajili ya hatima yake mwenyewe mwanadamu anatafuta hapa na pale duniani ninapomwita anabaki bila fahamu ya thamani yangu kubwa na anaendelea kuwa na imani katika kujitegemea asiwe mzigo kwa wengine matarajio ya mwanadamu ni ya thamani lakini hakujawahi kuwa na matarajio ya yeyote ambayo yametimiza alama zote yote yanabomoka mbele yangu na kuporomoka bila sauti kila siku ninaongea na kila siku nafanya mambo mapya pia ikiwa mwanadamu hawezi kutumia nguvu zake zote basi atakuwa na ugumu kusikia sauti yangu na atapata ugumu kuona uso wangu mpendwa anaweza kuwa sawa na mazungumzo yake kuwa ya upole lakini mwanadamu hana uwezo wa kutazama kwa urahisi sura yake tukufu na kusikia sauti yake katika miaka yote hakuna ambaye amewahi kuweza kutazama sura yangu niliwahi kuongea na petro na nikajitokeza kwa paulo na hakuna mwingineisipokuwa waisraeliambaye kweli amewahi kuona uso wangu leo nimekuja mimi mwenyewe kati ya mwanadamu kuishi pamoja na yeye je hiki hakihisi kuwa kitu nadra na cha thamani kwenu je hamtamani kufanya matumizi bora ya muda wenu je mnataka jambo hili liwapite kwa njia hii inawezekana muda usimamishwe ghafula katika mawazo ya watu au inawezekana muda urudishwe nyuma au inawezekana mwanadamu awe kijana tena inawezekana maisha ya leo yenye baraka kuja tena simpatii mwanadamu zawadi sahihi kwa ubadhirifu wake mimi huendelea kufanya kazi yangu tu nimejitenga na wote na sisimamishi mtiririko wa masaa kwa sababu mwanadamu ana shughuli au kwa sababu ya sauti ya vilio vyake kwa miaka elfu kadhaa hakuna ambaye ameweza kugawa nguvu yangu na hakuna ambaye ameweza kuharibu mpango wangu wa asili nitavuka anga na kuzunguka miaka na kuanzisha kiini cha mpango wangu mzima juu na miongoni mwa vitu vyote hakuna ambaye ameweza kupokea utunzaji maalum kutoka kwangu hakuna aliyeweza kupata tuzo iliyo mikononi mwangu na hata kama watu wamefungua vinywa vyao na kuomba kwangu na hata kama bila kujali mambo mengine yote wamenyosha mikono yao ya kufanya madai kwangu hakuna madai yoyote ambayo yameniathiri na wao wote wamesukumwa nyuma na sauti yangu isiyo na utu watu wengi bado wanaamini kuwa wao ni wachanga sana na hivyo wanasubiri niwaonyeshe rehema kubwa kuwa na huruma kwao kwa mara ya pili na wanauliza niwaruhusu kuchukua mlango wa nyuma hata hivyo ni jinsi gani mimi nitaufanyia mpango wangu mzaha je ninaweza kusimasisha dunia isizunguke kwa ajili ya ujana wa mwanadamu ili aweze kuishi miaka zaidi duniani akili ya mwanadamu ni tata lakini inaonekana kwamba pia kuna vitu ambavyo inakosa kwa sababu hii katika akili ya mwanadamu mara nyingi huonekana njia za ajabu za kupinga kazi yangu kwa makusudi kabla ya nyakati niliangalia nchi zote za ulimwengu kutoka juu mbinguni nilipanga shughuli kubwa duniani uumbaji wa mwanadamu ambaye angependeza moyo wangu na ujenzi wa ufalme duniani kama ule wa mbinguni nikaruhusu uwezo wangu kujaza anga na hekima yangu kuenea kote ulimwenguni na hivyo leo maelfu ya miaka baadaye mimi naendelea na mpango wangu lakini hakuna anayejua mpango wangu au usimamizi wa dunia wala hawauoni ufalme wangu duniani kwa hivyo mwanadamu hukimbiza vivuli na kuja mbele yangu ili kujaribu kunidanganya akitaka kulipa gharama ya kimya ili apate baraka zangu za mbinguni kwa sababu hii amechochea hasira yangu na ninamletea hukumu lakini bado hana fahamu ni kana kwamba alikuwa anafanya kazi kichinichini pasi na kutojua kabisa lililokuwa likiendelea katika ulimwengu huku akifuata ndoto na dhamira zake tu miongoni mwa watu wote sijawahi kuona mtu yeyote ambaye anaishi chini ya mwanga wangu wanaishi katika ulimwengu wa giza na wanaonekana kuzoea kuishi ndani ya giza mwanga unapokuja wanakaa mbali na ni kana kwamba mwanga umevuruga kazi zao matokeo yake wanaonekana kuudhika kidogo ni kama mwanga umeathiri amani yao na kuwaacha bila uwezo wa kulala fofofo kwa sababu hii mwanadamu anakusanya nguvu zake zote na kuuondoa mwanga mwanga pia unaonekana kukosa ufahamu na hivyo unaamsha mwanadamu kutoka usingizini na wakati mwanadamu anaamka anafunga macho yake akijawa na hasira kwa kiasi fulani ni kama hajafurahishwa na mimi lakini katika moyo wangu najua lengo ninaendelea hatua kwa hatua kuimarisha mwanga kusababisha watu wote kuishi katika mwanga wangu ili baada ya muda usiokuwa mrefu wazoee kujihusisha na mwanga na zaidi ya hapo wote wathamini mwanga huo kwa wakati huu ufalme wangu umefika miongoni mwa mwanadamu watu wote wanacheza kwa shangwe na kusherehekea ghafla dunia inajazwa na furaha na kimya cha miaka elfu kadhaa chavunjwa kwa kuwasili kwa mwanga iliyotangulia:tamko la ishirini na tatu inayofuata:tamko la ishirini na tano
2018-07-22T14:10:34
https://sw.kingdomsalvation.org/the-twenty-fourth-utterance.html
hospitali ya rufaa alkafeel ayasisitiza kua ratiba yake ya uokozi wa kitabibu imepunguza udhia wa kusafirishwa wagonjwa nje na ina matokeo mazuri kiongozi mkuu wa hospitali ya rufaa alkafeel iliyo chini ya atabatu abbasiyya tukufu daktari haidari bahadeliy amesisitiza kua ratiba ya uokozi wa kitabibu inayo endeshwa kwa kushirikiana na wizara ya afya imepata mafanikio makubwa katika kufanya upasuaji ambao hauwezi kufanywa na hospitali zingine hapa iraq na kuokoa pesa ambazo zingetumika kwa ajili ya kuwapeleka wagonjwa nje pamoja na wasindikizaji wao akaendelea kusema kua tumeweka mpango kazi wa kutekeleza makubaliano ya kuleta madaktari bingwa wa kimataifa kadri itakavyo hitajika au inavyo hitajika tutalifanya hili kwa nguvu zetu zote kwa ajili ya kufanikisha huu ushirikiano kati ya wizara ya afya na hospitali ya rufaa alkafeel ili iwe ya kimataifa sawa na zile ambazo wairaq walikua wanazifata nje ya nchi kwa ajili ya matibabu kiongozi wa idara ya uokozi wa kitibabu ustadh abbasi faadhil hamaadiy alisema kua hadi sasa tumesha pokea wagonjwa (418) kutoka wizara ya afya wenye maradhi tofauti wagonjwa wa moyo macho na wa aina mbali mbali za upasuaji akasema tumesha wafanyia uchunguzi wagonjwa wa moyo (119) jopo la madaktari bingwa wa kigeni limewafanyia upasuaji wa moyo wagonjwa kumi na wote kazi imeenda vizuri na wengine watafanyiwa baadae na wagonjwa (40) wa macho tumewafanyia upandikizaji katika macho yao matibabu ya aina hii yamefanyika kwa mara ya kwanza hapa iraq jumla tumewafanyia uchunguzi wa macho wagonjwa (223) ambao walikua na matatizo tofauti kuhusu upasuaji hamaadiy alisema kitengo chetu cha upasuaji kimefanya upasuaji (21) wa aina tofauti tuliwafanyia uchunguzi wagonjwa (52) na tumewafanyia upasuaji wagonjwa (14) wakiwemo walio fanyiwa kwa kutumia kifaa cha (ilizarov) ambacho hakikuwepo hapa iraq siku za nyuma kumbuka kua ratiba ya uokozi wa kitibabu inayo simamiwa na wizara ya afya ya iraq na kumaliza tatizo la kuwatuma wagonjwa wenye matatizo magumu nje ya nchi na badala yake kuwaleta katika hospitali ya rufaa alkafeel kutokana na ubora wa huduma pamoja na kuwepo kwa vifaa tiba vya kisasa na madaktari bingwa wenye uzoefu mkubwa na mafanikio katika kazi zao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zinazo tolewa na hospitali tembelea toghuti yetu wwwkhiq au piga simu (07602344444) au (07602329999)
2020-02-29T08:06:27
https://alkafeel.net/news/index?id=5031&lang=sw
na victor melkizedeck abuso imechapishwa 14032018 imehaririwa 14032018 saa 0829 tume ya uchaguzi nchini sierra leone mgombea wa upinzani nchini sierra mshindi wa urais nchini sierra leone wananchi sierra leone wapiga kura
2018-09-20T19:59:43
http://sw.rfi.fr/afrika/20180314-mshindi-wa-urais-nchini-sierra-leone-kuamuliwa-katika-duru-ya-pili
young killer alifanya utani dogo janja akafanya kweli young dee akarudia utani | lilommy young killer alifanya utani dogo janja akafanya kweli young dee akarudia utani huwa ni stori kubwa pale msanii kutoka kiwanda cha muziki bongo akiingia kwenye maisha ya ndoa hata zinapokuwepo tetesi za chini kwa chini huwa ni stori kubwa pale msanii kutoka kiwanda cha muziki bongo akiingia kwenye maisha ya ndoa hata zinapokuwepo tetesi za chini kwa chini kuna mmoja wapo yupo kwenye mchakato wa kufanikisha suala hilo mashabiki huvutia zaidi na aina hiyo ya stori nakurudisha nyuma hadi july 2014 young killer alipoachia picha za awali za cover ya wimbo wake 'umebadilika' ambao alifanya na banana zoro na kuibua stori huwenda rapper huyo kaamua kuzamia kwenye maisha ya ndoa kimya kimya hata hivyo baadaye alipokuja kutoka official cover ya ngoma hiyo ndipo mashabiki wakaelewa uchezo mzima ulikuwaje ikachukua muda hadi jumamosi ya october 28 2017 ambapo zilianza kusambaa picha za dogo janja na irene uwoya kuwa wamefunga ndoa ingawa hakuna aliyekuwa na uhakika wa taarifa hizo kwa wakati huo baada ya kitambo kidogo mambo yakawekwa wazi kuwa dogo janja kamuweka bibie ndani tunadondoka hadi jumapili ya august 12 2018 majira ya jioni ambapo young dee alichukua nafasi yake upande huo mara baada ya kusambaa picha akiwa kwenye muonekano wa bwana harusi na bibie pembeni zikachukua siku chache kuja kueleweka haikuwa ndoa ya kweli bali ni wimbo wake mpya uitwao naoa mwisho young killer dogo janja na young dee wamekuwa wakipeana changamoto kwenye game yao kitu ambacho ni furaha kwa mashabiki wao ambao mara nyingi wamekuwa wakiwashindanisha na hata kuwalinganisha ingawa wenyewe hawapendi hilo je kwenye mada husika juu yupi alitisha zaidi burudani dogo janja young dee young killer lilommy young killer alifanya utani dogo janja akafanya kweli young dee akarudia utani https//4bpblogspotcom/unwhvgicwxk/w4v4nhmda6i/aaaaaaaacii/d8shazftfoqe_xpuztjj434rkosslqqsgclcbgas/s640/jasjadjsjpg https//4bpblogspotcom/unwhvgicwxk/w4v4nhmda6i/aaaaaaaacii/d8shazftfoqe_xpuztjj434rkosslqqsgclcbgas/s72c/jasjadjsjpg http//wwwlilommycom/2018/08/youngkilleralifanyautanidogojanjahtml
2018-10-18T11:24:38
http://www.lilommy.com/2018/08/young-killer-alifanya-utani-dogo-janja.html
kwanini watanzania wengi hawajui/hawafanyi biashara za exportation kwenye mazao ya kilimo jamiiforums mass64 ukweli ni kwamba hatujadedicate resources vya kutosha kwenye uwekezaji wetu laswayjr said hebu kila mmoja atupe uzoefu wake kwenye biashara za exportation au useme ni sababu gani zinakufanya ushindwe kufanya exportation mimi nitaeleza kidogo leo nimeona tujadili kidogo ni kwanini sisi watanzania tunalima na tuna ardhi nzr sana lakini hatufanyi biashara kubwa kwenye kilimo yaani exportation badala yake wakenya ndio wanatupiga mzinga na kumiliki biashara hizi je tulichelewa wap au ni nini ambacho hatuji nitaeleza kwa namna ambavyo nimefanya utafiti wangu na kugundua mambo kadhaaa kwanza kabisa watanzania wengi sio wakulima (we a not farmers rather we are peasants) nikiwa na maanisha kuwa hakuna mtanzania au hata kama wapo ni wachache wanaoweza kulima kuanzia hekari 50+ 100+ 250+ kwa pamoja na kuzalisha bidhaa za kilimo kwa hyo ni ngumu kufanya biashara za exportation kwa sababu hatuna vigezo hivyo pili tulio wengi tumekuwa nyuma sana kwenye matumizi ya teknolojia pamoja na matumizi ya utaalamu kwenye kilimo vitu vya msingi kama soil test water test farm planning post harvesting handling pack house ware house management na vingine vingi watanzania wengi hatuvijui na hatuna elimu yake nimeeleza baadhi ya hivi vitu kwa sababu ili uweze kufanya exportation kwa baadhi ya mazao lazima uwe na certificate za taasisi ya kimataifa ya gap sasa hawa wana vigezo na masharti yao ambayo yanaendana na vitu nilivyotaja hapo juu nilipokuwa naendelea kufanya utafiti kuona nani ametuloga niligundua kuwa tanzania hasa wakulima hatuna taarifa sahihi kwenye masoko ya bidhaa za kilimo na pia tumewekuwa watu wa njaa sana na kuuza mazao yetu mara tuu tunapovuna kwa kuona fursa ya sisi kuwa wavivu ndio maana wahindi na waarabu ndio nakumbana nao huko masokoni kwenye biashara kubwa za exportation na wanapata faida kubwa sana sio sana tuu faida kubwa mno (mfano mzr ni kwenye korosho) miaka yote hawa jamaa walikuwa wanapata faida kubwa kiasi gani kwa sababu wakulima wananunua korosho kwa shilingi 5001500 kwa kilo na sasa korosho hyo hyo inauza 4000 kwa kilo na wananunua just imaging kwa ndugu zetu wakenya matajiri wengi ni wakulima lakini sio ajabu sana kwa wakenya kutupiga vikumbo kwenye exportation kwa sababu settlers walioanza kilimo kenya miaka ya 1885+ mpaka leo wapo so not bad because their trade back home ndio maana kenyan wanaexport sana uk lakini soko lao liko vzr kwa sababu wana certificate za mashamba ambazo hutumika kufanya exportation iwe rahisi hasa kwenye mazao ya matunda na mboga mboga kwa hyo wanachofanya wanakuja tanzania wananunua mazao yetu then wana tumia certificate na label zao wanauza ulaya nyingine ni kwamba tanzania tuna viongozi wengi sana ambao sio wafanyabiasha na wengi ni maskini ndio maana wakienda ulaya wanarudi na laptop na camera na wanasahau kurudi na connection za biashara hata wasomi wengi wanaokwenda kusoma wanarudi bila connection yoyote kitu ambacho wakenya wakienda wanarudi na akili ya biashara kubwa nafurahia sasa vijana wetu walioenda kusoma china wa nafanya biashara sasa na jambo jema ukitaka kuanza biashara ya exportation kwa tanzania anza na dry food na sio mboga mboga kwa sababu hizi zinahitaji regulations nyingi sana but grain ziko vzr sana na pia ukitaka biashara ya exportation ikae vzr anza na zile nchi ndogo scandinavian countries asian etc ulaya kuna milolongo mingi mm nimeanza kidogo na nitaleta mrejesho hapa mambo yakikaa vzr baadhi ya michango je mpka sasa unafahamu makampuni mangapi yanayo export mazao nje ya nchi na umejifunza nini 415 1000 ndugu tuvunjie nondo hizo mekuchimba profile yako kuna mengi unayajua fanya kututemea madini wengine wataendeleza uzi mzuri sana lakini sitoshangaa ukiwa na wachangiaji wachache binafsi napenda sana biashara za exportation kiukweli zinafaida sana na hizi fursa wanafaidi watu wachache wanaojua abc za kufanya exportation kuna mtandao mmoja jina lake limenitoka kidogo huwa nasikia ni wazuri sana kwa kuunganisha international buyer & seller mkuu vipi wewe umeanza jaribu na zao gani hapo kwa museveni serekali hutafuta masoko nakuweka bayana kwa exporters biashara ya export inalipa maana ukiwaona wanunuzi wa avocado wanaponunua njombe mpaka wanagombana hasa ulaya product zikiisha hivyo tunapaswa kufuatilia kwa makini ili tujue zinaendaje tuache uoga reactions nestoryj and vidmate nolasc said sera za nchi yetu zinasupport hii kitu au ndo itahitaji vibali lukuki hivi gharama za usafiri zinakuwaje mfano parachichi tuseme unaipeleka uk gharama zipoje hadi raha aisee inatia hamasa imagine mtu upo bongo na unataka ku export unaanzia wapi kwa mfano hao wanunuzi na nchi zenye demand links tunazipatia wapi ebhu tupeane maarifa wadau na wengine tuingie mzigoni natanguliza shukrani mpaka sasa namfahamu hadija jabirykuna home veg wapo arusha pamoja na kisangani hawa jamaa wa njombe wanaexport avocados kwanza hawa wote ni vijana wadogo sana kiukweli kitu kikubwa nachokiona kutoka kwao ni uthubutu ukisikiliza story zao zinakupa hamasa ya kutolukata tamaa kabisa nyambele anton said wapo kwenye social network yoyote kama ndio naomba username zao ingia instagram search hadija jabiry utamuona hata kisangani nao watafute instagram andika tu kisangani utawaona hawa jamaa wa arusha wacheki youtube andika home veg fwata hii link mcheki threads 1334032 posts 32461620
2019-09-15T10:29:17
https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-watanzania-wengi-hawajui-hawafanyi-biashara-za-exportation-kwenye-mazao-ya-kilimo.1358342/page-5
revelation chapter 20 swahili new testament bible kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake akalikamata lile jokanyoka wa kale yaani ibilisi au shetaniakalifunga kwa muda wa miaka elfu moja malaika akalitupa kuzimu akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena lakini kwa muda mfupi tu kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake watu hao walipewa mamlaka ya hukumu niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza yesu na kwa sababu ya neno la mungu hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao au juu ya mikono yao walipata tena uhai wakatawala pamoja na kristo kwa muda wa miaka elfu moja (wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie) huu ndio ufufuo wa kwanza wameneemeka sana tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao watakuwa makuhani wa mungu na wa kristo na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja wakati miaka elfu mia moja itakapotimia shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake walitawanyika katika nchi yote wakaizunguka kambi ya watu wa mungu na mji wa mungu aupendao lakini moto ulishuka kutoka mbinguni ukawaangamiza ibilisi aliyekuwa anawapotosha akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo nao watateswa mchana na usiku milele na milele kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe na yule aketiye juu yake dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake na havikuonekana tena kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo wamesimama mbele ya kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa halafu kitabu kingine yaani kitabu cha uzima kikafunguliwa pia wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima alitupwa katika ziwa la moto
2017-09-21T14:01:28
http://christianisrael.com/swahili/B66C020.htm
watanzania watakiwa kujiunga na mpango wa bima ya afya | gazeti la jamhuri daktari wa mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoani tanga (nhif) dennis david akimpima mkazi wa jiji la tanga octaviani moshiru kwenye banda lao lililopo kwenye viwanja vya mwahako jijini tanga kunakoendelea maonyesho ya sita ya biashara ya kimataifa daktari wa mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoani tanga (nhif) dennis david akimpima mkazi wa jiji la tanga octaviani moshiru kushoto akimsikiliza kwa umakini mkazi wa jiji la tanga daktari wa mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoani tanga (nhif) lawi kupaza akimpa ushauri mkazi wa jiji la tanga mara baada ya kupima afya katibu tawala mkoa wa tanga (ras) mhandisi zena saidi akipima afya mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa korogwe hillary ngonyani akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) lililopo kwenye viwanja vya mwahako jijini tanga kunakofanyika maonyesho ya biashara ya kimataifa kushoto ni mkurugenzi wa halmashauri ya korogwe jumanne shauri kulia ni afisa matekelezo wa mfuko huo macrina clemens anayefuata ni afisa masoko na elimu kwa umma makao makuu hawa duguza mkurugenzi wa halmashauri ya korogwe jumanne shauri kushoto akisaini kitabu cha wageni kulia ni afisa matekelezo wa mfuko huo macrina clemens anayefuata ni afisa masoko na elimu kwa umma makao makuu hawa duguza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa korogwe jumanne shauri kushoto akizungumza na maafisa wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) mkoani tanga kulia ni afisa matekelezo wa mfuko huo macrina clemens anayefuata kushoto ni afisa masoko na elimu kwa umma makao makuu hawa duguza afisa matekelezo wa mfuko huo macrina clemens kulia akisisitiza jambo kwa wananchi waliofika kwenye banda lao kupata elimu ya mpango wa kujiunga na bima ya afya katibu tawala wa mkoa wa tanga (ras) mhandisi zena saidi akiwa na tisheti akijiandaa kuwapa watoto zawadi wakati alipotembelea banda hilo kushoto meneja wa mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoani tanga (nhif) ally mwakababu sehemu ya watoto waliojiunga na mpango wa toto afya kadi afya 20180604 previous wanakijiji 772 wa kijiji cha mlanda wapata hati miliki za kimila 1777 next rekodi ya yanga sc tangu aondoke lwandamina
2019-01-17T09:25:11
http://www.jamhurimedia.co.tz/watanzania-watakiwa-kujiunga-na-mpango-wa-bima-ya-afya/
michuzi blog mwenge wa uhuru wawasili mkoani singida na ishara ya uhuru wa tanganyika mwenge wa uhuru wawasili mkoani singida na ishara ya uhuru wa tanganyika katibu tawala wa mkoa wa singida dkt angelina m lutambi akikabidhiwa mwenge wa uhuru kutoka kwa katibu tawala wa mkoa wa dodoma bi rehema s madenge mwenge wa uhuru unaashiria nuru na mwanga uliwashwa rasmi kwa mara ya awali juu ya kilele cha mlima kilimanjaro disemba 9 1961
2017-02-25T18:07:48
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/mwenge-wa-uhuru-wawasili-mkoani-singida.html
waziri wa kilimo mhe hamadi rashid atembelea bonde la mpunga kisiwani pemba zanzinews home kilimo matukio waziri wa kilimo mhe hamadi rashid atembelea bonde la mpunga kisiwani pemba waziri wa kilimo mhe hamadi rashid atembelea bonde la mpunga kisiwani pemba ofisa mdhamini wizara ya kilimo maliasili mifugo na uvuvi pemba sihaba haji vuai akiwa pamoja na waziri wa kilimo wa serikali ya mapinduzi zanzibar hamad rashid moh'd wakiangalia mpunga ulipandwawa mbegu mpya ya shadidi picha na said abrahamanpemba shadidi sio mbegu ni teknolojia bora ya kilimo cha mpunga inayotumia mbegu na maji kidogo na kupata mavuno mengi
2018-11-15T23:20:18
http://www.zanzinews.com/2017/07/waziri-wa-kilimo-mhe-hamadi-rashid.html
miji ya fainali za afrika mwakani kujulikana mapema mwezi ujao bin zubeiry sports online miji ya fainali za afrika mwakani kujulikana mapema mwezi ujao bin zubeiry sports online mwanzo > untagged miji ya fainali za afrika mwakani kujulikana mapema mwezi ujao miji ya fainali za afrika mwakani kujulikana mapema mwezi ujao zambia mabingwa wa afrika 2012 miji itakayotumika kwa fainali za kombe la mataifa ya afrika mwakani nchini afrika kusini inatarajiwa kujulikana aprili 4 mwaka huu wale wanaotafuta nafasi katika miji saba watawasilisha maombi yao kwa kamati ya maandalizi siku ya jumatatu walitarajiwa kufanya hivyo siku ya ijumaa lakini waliomba muda zaidi wa kujiandaa meneja wa mawasiliano wa chama cha kandanda cha afrika kusini dominic chimhavi ameongeza kusema maombi yatakayofanikiwa yatatangazwa tarehe 4 mwezi wa aprili shirikisho la kandanda la afrika (caf) linajipanga kutembelea viwanja nchini afrika kusini mwezi wa aprili uzinduzi rasmi wa michuano hiyo pia umepangwa kuwa tarehe hiyo 4 mwezi wa aprili tangazo la miji itakayofanikiwa kuandaa mashindano hayo litatolewa mbele ya wajumbe wa shirikisho la kandanda la afrika wakati wa uzinduzi afrika kusini imepata nafasi hiyo kwa kuwa na viwanja vizuri sana na hasa walipoandaa mashindano ya kombe la dunia kwa mafanikio makubwa mwaka 2010 walipatiwa nafasi hiyo ya kuandaa kombe la mataifa ya afrika mwaka 2013 baada ya libya kuonekana isingeweza kutokana na ghasia zilizotokea nchini humo miji tisa imearifiwa imejipanga kuandaa mashindano hayo ya mwakani yenye mvuto barani afrika miji inayopewa nafasi kubwa ni johannesburg cape town durban port elizabeth polokwane nelspruit na bloemfontein viwanja katika miji hiyo vilitumika kwa michuano ya kombe la dunia na vitakuwa katika hali nzuri kuandaa mashindano ya kandanda ya bara la afrika fainali hizo za kombe la mataifa ya afrika zinazoshirikisha nchi 16 zitaanza patashika zake kuanzia katikati ya mwezi wa januari hadi katikati ya mwezi wa februari mwaka 2013 item reviewed miji ya fainali za afrika mwakani kujulikana mapema mwezi ujao rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2019-10-21T14:57:29
http://www.binzubeiry.co.tz/2012/03/miji-ya-fainali-za-afrika-mwakani.html
matukiomichuzi siku ya idadi ya watu duniani yaadhimishwa kwa kulaani ndoa za utotoni waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto mhe ummy mwalim (watatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa serikali wawakilishi wa mashirika ya kimataifa pamoja wawakilishi wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali wakati wa maadhimisho ya siku ya idadi ya watu duniani waziri ummy mwalim (wa tatu kutoka kushoto kwa waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliohudhuri maadhimisho ya siku ya idadi ya watu duniani wa kwaza kutoka kusho ni mkurugenzi mkuu ofisi ya taifa ya takwimu dkt albina chuwa wa pili (kutoka kushoto) ni kaim katibu mtendaji tume ya mipango bibi florence mwanri wa kwanza (kutoka kulia) ni katibu mtendaji tume ya mipango zanzibar bw juma reli na wapili kutoka kulia ni mwakilishi mkazi wa unfpa tanzania dkt natalia kanem posted by
2016-10-26T04:11:11
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/07/siku-ya-idadi-ya-watu-duniani.html
warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7warning missing argument 2 for template__construct() called in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/engine/loaderphp on line 92 and defined in /home1/pickaboo/public_html/system/storage/modification/system/library/templatephp on line 7 standard 3 kiswahili fani mbalimbali za kiswahili 1 kielekezi cha marudio ya kiswahili 3 kiswahili darasa la 3 kiswahili fasaha kidato 3 kiswahili kwa darasa la 3 mwalimu kiswahili mufti 3 mwalimu kiswahili mufti darasa la 3 kiswahili sanifu daralsa la 3 longman mazoezi ya ziada kiswahili standard 3
2019-02-23T01:03:33
https://www.pickabook.co.ke/index.php?route=product/category&path=170_217_239
msaada katika electronics jamiiforums msaada katika electronics 975 274 80 habari za jioni wadau ni siku nying hatujapeana salamu ninauhitaji na vitabu vizuri vya electronics vinavyo elekeza jinsi ya kusoma electronics na ku design kama naweza pata sehemu au kwa mtu naitaji hard copy ivo kama kuna sehemu wanauza plz naitaji kupafahamu 3868 3126 280 electronics zipi be specific mkuu nimesoma basic electronics kwa flow hii 1 flow of electricity after hapo nikasoma semiconductors {doped na undoped} diode transistors ( as switch amplifier and oscilator ) pia nimesoma ( operation amplifier na digital ikiwa ni binary numbers na logic gates) sasa kutokea hapo nataka kujiendeleza na integrated circuits na jinsi ya kudesign electronics circuit suala la designing ya electronics ni changamoto sana wengi hu practice vitu ambavyo ni ready made eg unatafuta mchoro wa amplifier halafu unatengeneza linapokuja suala la designing ni gumu kwa sababu linaanza at a very low stage with raw idea kama utaunda device lakini ukatumia ic ambayo ipo tayari programmed sidhani kama utakuwa umeunda kama upo competent kwenye hizo mada tajwa basi upo vizuri we jitahidi uanze kufanya integration ya subsystems mbalimbali kupata a full function device nimekuelewa sanasuala la designing ya electronics ni changamoto sana wengi hu practice vitu ambavyo ni ready made eg unatafuta mchoro wa amplifier halafu unatengeneza nimekuelewa bro lakini shida ni shule niliyopo haina hata vitabu kipo kimoja tu tena cha zaman na access ya softcopy ni ngumu sana huku nilipo maana hata apa natumia java phone ivo kupata pdf ni shida ivo nilikuwa naitavi angalau vitabu vya kujiendeleza kuanzia hapo nilipo jitahidi utafute android phone kupata vitabu hardcopy ni issue labda library za dit must vitabu vya electronics ninavyo ila ni soft copy mkuu nilikuwa natafuta hardcopy mkuu threads 1237803 posts 29301617
2018-12-16T14:02:55
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-katika-electronics.1493711/
mmeamini cag kibaraka mwingine wa ccm | jamiiforums | the home of great thinkers mmeamini cag kibaraka mwingine wa ccm discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by pdidy aug 23 2011 yaani nimemownea huruma kweli huyu baba kaidhalilisha kweli taalumaa ya uhasibu sikuwahi kufikiria hata siku moja atatetea uhalifu kwa kusema hansad imesema bilion 1 zilizowekwa million 550 jamani bila hata kuuliza ziliwekwa za ninikweli haka kababu kamenitoka kabisa maskini watu walikuwa wanakaamini kweli lakini ni zaidi ya punguani kabisa haweza kumwaga unga wake utoah kapigwa mkwara ukisoma katiba yetu cag ana nguvu kubwa sana na rais akishamteua hawezi kumtoa ana fall kwenye kundi la nidhamu ya uogaila hawezi kutetea mbinu za ukaguzi wake na report ilivyo msitegemee miujiza yeyote chini ya ccm bila kuking'oa hiki chama dhalimu tutaendelea kuumia mioyo tu every proffession has ethics to adhere to auditing falls under 'rare proffession' category as would be a pilot of a jumbo jet a slight human error can cause a fatal accident katibu mkuu wa nishati anamobilize idara zilizo chini yake wachangie pesa za kupitisha bajeti haya ni makosa sawa na rubani kutotambua kwamba ndege anayoongoza injini yake moja imezima wakati akiwa kwenye tufani kali na kimbunga maskini watu walikuwa wanakaamini kweli lakini ni zaidi ya punguani kabisaclick to expand magamba yanalindana hayo ndio maana naona dawa ni kumbana utoah na report yakehakuna sheria zilizovunjwakama hakunahawakufanya audit as per professional ethics pinda unasubiri nini babasi utoke hapo maana ulisha hukumu tayari hizo ndizo sera za sisiem tutakufa polepole kama wafuasi wa kibwetere pinda unasubiri nini babasi utoke hapo maana ulisha hukumu tayariclick to expand tunataka pinda na shelukindo watuambie ukweli kuhusu hii komedi yaohatutaki kusikia ujinga huu wa cagna watueleze ikiwa jairo hatafukuzwa wao waanze kujiondoa duuuh hata mimi mwenyewe nilishangaa niliposikia eti jairo hana hatia na kuanzia kesho awe amesharudi kazini duuuh kweli bado kazi ipo luhanjo mwenyewe mwizi na alilipuliwa na huyohuyo shelukindo hivyo hawezi kumtosa mwizi mwenzie ila kikwete kwa hili lazima achukue hatua kashfa ya jairo ni nzito sana vinginevyo tuta waomba chadema maandamano nchi nzima gamba ni gamba tu bado sumu ile ile pambaaaaf sao
2016-12-09T10:19:19
http://www.jamiiforums.com/threads/mmeamini-cag-kibaraka-mwingine-wa-ccm.166395/
kwa zaidi ya muongo mmoja mataifa hayo ya afrika kwa ujumla yametajwa na taasisi ya transparency international katika ripoti yake ya mwaka kuwa hayajafanya vizuri ripoti hiyo imetolewa jumatano eneo la kusini mwa jangwa la sahara linaendelea kufanya vibaya kulingana na orodha ya kila mwaka ya transparency international huku somalia ikiwa katika nafasi ya chini kati ya mataifa 180 kwa mwaka wa 12 mfululizo orodha hiyo imebaini kuwa zaidi ya theluthi mbili ya nchi ambazo zimefanyiwa utafiti zina alama ya chini ya 50 kwenye kiwango cha 100 huku wastani wa kawaida ukiwa ni 43 mataifa ya afrika yalipata alama 32 somalia ikiwa imepata alama tisa tu mshauri wa eneo la kusini mwa afrika kwa transparency international kate muwoki amelizungumzia bara la afrika kwa mwaka uliopita kuwa serikali nyingi za kiafrika zimeshindwa kuzungumzia rushwa katika eneo hilo ingawaje tuna viongozi ambao wamewekwa katika mifumo ya majibu ili kujenga taasisi zenye nguvu na kubadili mwenendo wa kitabia kwa hiyo waati ambapo kuna dalili za matumaini nchi zilizo juu katika orodha hiyo ni bostwana seychelles cabo verde rwanda na namibia ambao walipata alama zaidi ya 50 katika nchi ambazo ziko chini kwenye orodha hiyo na hazijonyesha mabadiliko makubwa ziko nchi kama sudan kusini somalia ambayo iko chini kabisa nan chi ambazo zimeshuke ni malawi madagascar msumbiji na guinea bissau lakini anasema umoja wa afrika na viongozi kadhaa wakuu hasa marais wa mataifa mawili yenye uchumi mkubwa katika bara hilo nigeria na afrika kusini hivi karibuni wamefanya suala la utawala safi ndiyo kiini mwaka 2017 pia tumeona kuangula kwa viongozi kadhaa ambao walishutumiwa kwa makubaliano yenye kutia mashaka yahya jammeh wa gambia jose eduardo dos santos wa angola robert mugabe wa zimbabwe na hivi karibuni jacob zuma wa afrika kusini kadhia ya ngazi ya juu ya rushwa pia imetia doa kwa waziri mkuu wa ethiopia hailemariam desalegn ambaye alijiuzulu mapema mwezi februari kufuatia maandamano makubwa dhidi ya serikali mrithi wa zuma cyril ramaphosa amefanya mapambano ya rushwa ndiyo suala lake kuu mfanyabiashara huyo bilionea wiki hii amewataka maafisa wa juu wa serikali kufanyiwa ukaguzi kuanzia yeye mwenyewe hivi sasa kama kuna kitu chochote ambacho wananchi wengi wa afrika kusini wangependa kukiona ni mwenendo wa kufanyiwa ukaguzi wawakilishi wao wa umma hivi sasa ni kitu ambacho naanimi kinaweza kufanyika na hili litafanyika kuanzia na mtendaji mkuu katika nchi ndiyo hili litafanyika hivyo amesema ramaphosa rais wa nigeria muhammadu buhari hivi karibuni alitangaza kuwa mali zote za taifa zitafutwe alisema hayo katika harakati za karibuni dhidi ya rushwa na kusema mali zitakazopatikana zitauzwa kwa manufaa ya hazina buhari pia ni mwenyekiti wa kwanza wa au ambaye ameweka suala la kupambana na rushwa ni kipaumbele muwoki anasema kwamba taasisi hiyo ya ulimwenguni imeelezea maendeleo haya na kuongeza kuwa mwaka 2018 utakuwa ni muhimu sana barani humo tumeona nia ya dhati kutoka umoja wa afrika na kutoka kwa viongozi katika kikao cha karibuni kilichofanyika addis ababa inatia moyo sana na kwa hakika hili tunaliunga mkono anasema njia bora huenda ikawa ni kuondoa wingu jeusi la rushwa kwa kuleta mwanga wenye kungara lungu awashauri viongozi wa afrika
2019-10-19T10:32:45
https://www.voaswahili.com/a/bado-yapo-matumaini-afrika-ripoti/4264482.html
china binafsi ya kodi ya mapato rate sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi china binafsi ya kodi ya mapato rate
2019-09-23T14:37:46
https://sw.tradingeconomics.com/china/personal-income-tax-rate
vijimambo magari 40 yenye bima feki yakamatwa na jeshi la polisi mkoani tabora afisa mwandamizi wa bima maneno adam kutoka mamlaka ya usimamizi wa bima( tira)akikagua gari ili kuangalia kama bima inayotumika kama ni halali ama ni feki ukaguzi wa magari ukiendelea katika stendi kuu ya mabasi mkoani tabora kama inavyoonekana kwenye picha kutoka kushoto ni meneja wa kanda ya kati kutoka mamlaka ya usimamizi wa bima nchini bistella rutaguza akiwa na askari wa kikosi cha usalama barabarani koplo clement zoezi la ukaguzi likiendelea wakati huohuo madereva makondakta pamoja na abiria wakipata elimu namna ya kutambua bima kama ni halali ama feki wananchi madereva makondakta wa mabasi makubwa na madogo wakipewa elimu na namna ya kutambua bima feki kwa kutumia simu ya mkononi au kwa njia ya mtandao mfumo wa tira mis
2018-02-17T23:35:16
https://lukemusicfactory.blogspot.com/2017/07/magari-40-yenye-bima-feki-yakamatwa-na.html
nedy music atamani mtoto ghafla tz | presstz your number 1 source of aggregated online content nedy music atamani mtoto baada ya kushinda tuzo kutoka nchini ghana msanii nedy music sasa ametangaza kilio chake kuwa mwaka huu anahitaji kupata mtoto ingawa wa kuzaa nae hajamjua akiwa kwenye mahojiano nedy music maarufu kwa sasa kama mpemba mmoja amesema natamani kupata mtoto mwaka huu na kabla ya mwezi wa 12 ila bado sijapata mama wa huyo mtoto natamani nimpate kipindi hichi aidha nedy amekuwa mtu ambaye hapendi kuweka mahusiano yake hadharani japo huko nyuma alishakuwa na tetesi za kutoka na binti mmoja mwenye pesa zake ni mtazania ambaye anaishi dubai the post nedy music atamani mtoto appeared first on ghafla tanzania
2019-06-19T15:31:38
http://presstz.net/nedy-music-atamani-mtoto-45420099
imewekwa na global publishers on april 6th 2016 013550pm je umeinyaka hii huduma mpya kutoka whatsapp april 6 2016 muller the machine mbaya wa arsenal anayetakiwa m je unakubali cassper nyovest asema hakuna rapa mk #globalcelebrityupdates sony music mwaka chloe binti wa miaka 7 aliyewaandikia google baru
2017-02-20T11:16:23
https://globalpublishers.co.tz/2016/04/06/je-umeinyaka-hii-kutoka-whatsapp/
mrisho's blog makala ya hifadhi ya taifa ya katavi hawa ni punda milia wakiwa katika hifadhi ya taifa ya posted by mrisho's photography at 318 pm
2017-12-11T09:31:05
http://abdallahmrisho.blogspot.com/2016/11/makala-ya-hifadhi-ya-taifa-ya-katavi.html
juma nature hajaua mtu kwetu mh temba | tuangaze bongo home » bongo fleva » bongo movies » burudani » elimu » habari » mapenzi » siasa » skendo » juma nature hajaua mtu kwetu mh temba juma nature hajaua mtu kwetu mh temba mkongwe wa bongo fleva amesema kwamba ambaye anaweza kuwaweka mezani yeye na juma nature na kuwapatanisha na wakafanya kazi yeye hana shida kwa kuwa juma ni rafiki yangu na hakuna ugomvi wowote kati yetu kwani juma ni rafiki yangu tangu zamani na juma hajaua mtu kwetu alisema mh temba akipiga stori na enewz temba amesema kwamba sisi kama sisi tulishawahi kulizungumza mi nikamwambia ni muhimu tuwe na watu wenye busara watuongoze katika kazi zetu kwa kuwa sisi ni wasanii wakubwa katika nchi hii isije ikatokea tukapishana kauli kidogo mambo yasiende kama tulivyokuwa tukitarajia aliongeza kuwa hata hivyo sisi wenyewe tunaweza kujiongoza lakini akili ya muziki mi naifahamu nawasihi watanzania wasubiri kazi nzuri kutoka kwetu
2017-08-23T19:15:55
http://www.tuangazebongo.com/2016/07/juma-nature-hajaua-mtu-kwetu-mh-temba.html
micharazo mitupu real madrid yaizamisha barcelona 31 suarez aanza vibaya real madrid yaizamisha barcelona 31 suarez aanza vibaya benzema akifunga bao la tatu la real madrid neymar akishangilia bao lake la mapema kabla ya real madrid kuwageuzia kibao ronaldo akifunga penati yake real wakishangilia bao la pili lililofungwa na pepe piga keleleeee pepe akishangilia bao lake benzema akipongezwa na ronaldo kwa bao lake la tatu messi akimpongeza neymar kwa bao la mapema lililokuwa la kufutia machozi kwao messi hoi mbele ya ronaldo real madrid wakiwa uwanja wa nyumbani wa santiago bernabeu wameizamisha wapinzani wao wa jadi barcelona iliyoshuka dimbani kwa mara ya kwanza wakiwa na nyota wao luis suarez kwa mabao 31 katika pambano la la liga barcelona walianza kwa mkwara kwa kuandika bao la kuongoza katika dakika ya nne kupitia kwa neymar akimalizia kazi nzuri ya suarez aliyekuwa akicheza kwa mara ya kwanza katika ligi kuu ya hispania akitokea kifungoni hata hivyo cristiano ronaldo aliendeleza rekodi yake ya kufunga mabao katika ligi hiyo kwa kufunga bao la kusawazisha katika dakika ya 35 kwa mkwaju wa penati na kufikisha bao la 16 katika mechi 9 za ligi hiyo mabao mengine ya real madrid yalifungwa na pepe katika dakika ya 50 kwa kichwa akimalizia mpira uliopigwa na tom kroos kabla ya karim benzema kuongeza bao la tatu lililowanyongonyesha barcelona na kuvunja rekodi yao ya kutopoteza katika ligi ya msimu huu benzema alifunga bao hilo katika dakika ya 61 akimalizia kazi nzuri ya james rodriguez na kuwapa real madrid ushindi uliowafanya wafikishe jumla ya pointi21 na kushika nafasi ya pili wakitofautiana pointi moja na barcelona wenye pointi 22 posted by badru kimwaga at 859 pm
2017-08-19T01:48:41
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/10/real-madrid-yaizamisha-barcelona-suarez.html
[diaporama] wachezaji wa iceland wapokelewa kama mashujaa michezo rfi [diaporama] wachezaji wa iceland wapokelewa kama mashujaa na rfi imechapishwa 05072016 imehaririwa 05072016 saa 0803 mashabiki wa timu ya taifa ya soka ya iceland wakiingia mitaan katikati mwa mji maandamano ambayo yalidumu nusu saa kisha wachezaji walielekea katika eneo ambako ilikua ikirushwa mechi kati ya uingereza na ufaransa rfi/alice pozycki baada yakufungwa mabao 52 dhidi ya ufaransa timu ya taifa ya soka ya iceland imeishia mbio zake katika hatua ya robo fainali katika michuano ya ombe la mataifa ya ulaya (euro 2016) timu hii iliporejea nyumbani wachezaji walipokelewa na maelfu ya mashabiki ambao walikuja kuipongeza timu yao kwa fivijo na nderemo katika mji mkuu reykjavik mbele ya hallgrimskirkja kanisa kubwa lililojengwa kwa mfano wa roketi mashabiki waliingia kutoka pande zote kwa miguu kwa baiskeli au juu ya mabega ya wazazi wao huku wakivalia nguo zenye rangi ya bendera ya taifa la iceland pamoja na kucheleweshwa kwa nusu saa kulingana na ratiba lori lililokua limejaa askari polisi lilifika karibu na mashabiki na hivyo hali ndio ikazidi kuchukua sura nyingine polisi iliomba umati wa watu kuondoka kila mtu alitii licha ya kuwa na hamu ya kuona kikiwasili kikosi ambacho kilipelekea nchi kupata sifa nyingi katika kipindi hiki cha wiki tatu kila mtu alitamani kuwaona wachezaji mbalimbali wa kikosi cha timu ya taifa ya iceland katika mji mkuu wa nchi hiyo furaha mpaka sasa inaendelea nchini humo licha ya kubanduliwa katika michuano hiyo baadhi ya raia wa iceland wamesema timu ya taifa ya iceland imejenga jina katika historia yake birkir bjarnason namba 8 wa timu ni wacheazji bora katika timu ya taifa ya soka ya iceland katika euro 2016 raia wa iceland wanamuita kwa jina la utani thor rfi/alice pozycki wachezaji wa iceland waliwafurahisha baadhi ya mashabiki hadi kutokwa na majonzi kwa kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa mashabiki walikuwa wengi kuliko siku moja kabla wakati wa matangazo ya moja kwa moja ya mechi kati ya ufaransa na iceland wakiwasili jukwani wachezaji walionyeshwa mmoja mmoja mbele ya umati wa watu kwa kila jina mashabiki wamekua wakishangilia nyuma ya basi la wachezaji maelfu ya watu walikuja marafiki au familia walikuja kushangilia kurudi kwa mashujaa wao mashabiki wakiingia mitaani kwa furaha hungary iceland zawaduwaza mashabiki
2019-08-21T18:55:42
http://sw.rfi.fr/michezo/20160705-diaporama-wachezaji-wa-icelandic-wapokelewa-kama-mashujaa
mwanasheria mkuu z'bar ampinga werema ataka katiba mpya | jamiiforums | the home of great thinkers mwanasheria mkuu z'bar ampinga werema ataka katiba mpya majaji wapingana friday 31 december 2010 0014 mjadala wa katiba sasa umeingia sura mpya baada ya mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi zanzibar (smz) jaji omar makungu kutaka iundwe katiba mpya inayokidhi matakwa ya watanzania akipingana na mwanasheria mkuu wa serikali (ag) jaji frederick werema anayetaka katiba iliyopo iwekewe viraka jaji makungu ni mteule wa kwanza wa rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein mara tu baada ya kuapishwa kuwa rais wa visiwa hivyo kama ilivyo kwa jaji werema ambaye pia ni mteule wa kwanza wa rais jakaya kikwete mara tu baada ya kuapishwa kuongoza nchi katika kipindi kingine cha miaka mitano jaji makungu aliliambia gazeti hili jana kuwa katiba mpya ni muhimu kwa sasa kwa kuwa itasaidia kuweka misingi imara ya taifa akipingana na jaji werema ambaye aliweka bayana kuwa “kuandika katiba mpya hapana lakini kufanya marekebisho kwa kuondoa au kuongeza mambo fulani kwenye katiba ruksa” lakini jaji makungu kwa upande wake alisema hoja ya katiba mpya ni nzuri na watanzania wanapaswa kukaa na kutafakari ili kuweka misingi imara ya nchi yao kwa sababu misingi ya nchi inapatikana katika katiba tu “kwa nini kusiwe na umuhimu wa katiba mpya sasa nadhali wananchi wamesema na wameonyesha kuwa kuna mahitaji na umuhimu wa kuandikwa katiba mpya hilo hatuhitaji kujadili kwa sababu wao ndio wenye nchi” aliongeza jaji makungu ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec) alisisitiza “ni vizuri watu wakakaa wakatafakari na kuandaa mapendekezo ya hoja zao kisha kuyawasilisha serikalini serikali nayo ni wanadamu kukiwa na hoja ya msingi watabadilika tume itaundwa na mchakato wa kuandikwa katiba mpya utaanza” jaji makungu alisema wazo la kuandikwa katiba mpya ni jema lakini watu wanatakiwa kuwa makini katika kutoa mapendekezo yao kwa sababu hapo ndio wanapoweza kuweka misingi ya taifa lao watoto na wajukuu zao “watu wafanye wasichoke kama cuf walivyofanya wameandaa mapendekezo yao wamewasilisha serikali chadema nao wafanye nccrmageuzi na vyama vingine wanaharakati na wadau wengine nao wafanye serikali itabadilika tu” alisema jaji makungu kwa kauli hiyo makungu ambaye aliteuliwa hivi karibuni kuwa mwanasheria mkuu wa zanzibar anaungana na rais mstaafu wa awamu ya tatu benjamin mkapa mawaziri wakuu wa zamani joseph warioba na frederick sumaye na jaji mkuu mstaafu agostino ramadhan kuunga mkono hoja ya kuundwa katiba mpya madai ya katiba mpya pia yamewahi kutolewa na mamakamu mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam profesa rwekaza mukandala na msajili wa vyama vya siasa john tendwa ambaye alisema bayana kuwa katiba mpya iandikwe mapema kabla ya mambo kuwa mabaya wakati jaji makungu akisema hayo baadhi ya watanzania wanaoishi ughaibuni wamesema suala la kuandikwa kwa katiba mpya ya muungano halitakiwi kucheleweshwa tena kauli hiyo ilitolewa na jumuiya ya wazanzibari wanaoishi nje kusema hatua ya watanzania kudai katiba mpya kwa nguvu zote inathibitisha uelewa wao wa kiwango cha juu wa mapungufu yaliyomo katika katiba iliyopo watanzania hao wanaoishi katika nchi mbalimbali za ulaya na marekani pia wamekipongeza chama cha cuf kwa uthubutu wao wa kuandaa rasimu ya katiba na kulazimisha kuiwasilisha serikalini kwa maandamano ya amani katika taarifa yao kwa vyombo vya habari jijini dar es salaam jana na kusainiwa na katibu wake abdulla abdulla ilibainisha suala la katiba mpya ni jambo lisiloepukika kwa sasa “kwanza tunawapa pole na kuwafariji wanachama wa cuf na wananchi wote waliojeruhiwa au kukamatwa katika maandamano ya kuwasilisha rasimu ya katiba mpya lakini tunawapongeza sana viongozi na wananchi waliojitolea kushiriki katika maandamano hayo na kufanikiwa kuiwasilisha rasimu hiyo” alisema abdulla abdulla aliongeza “hatua hiyo waliyoichukua inathibitisha uelewa wao wa kiwango cha juu wa mapungufu yaliyomo katika katiba iliyopo sasa ambayo haikidhi matakwa ya wananchi wengi wa tanzania” “tunaamini kuwa rasimu hiyo ni kielelezo halisi cha matakwa ya wananchi walio wengi na itakidhi kabisa hoja zote za kikatiba na kisheria ambazo kwa muda wote zimekuwa ni miongoni mwa matatizo ya msingi yanayoidhoofisha demokrasia nchini” alisema abdulla alisema wananataraji hatua iliyochukuliwa na wananchi itakuwa ni changamoto muhimu sana kwa viongozi wote wa jamhuri ya muungano wa tanzania katika ngazi zote na kila mmoja wao ataikubali na kuitafsiri kuwa ni kichocheo cha kufungua kwa upana zaidi milango ya siasa za uwazi na dira kamili ya demokrasia iliyokamilika “tunaziomba taasisi zote za kiserikali na zile ambazo si za kiserikali kuunga mkono rasimu hiyo ili nchi yetu iweze kupata katiba mpya na tuachane na tabia ya kutia viraka kwani kufanya hivyo ni kuongeza matatizo badala ya kuyatatua” alisema abdulla hii inaonyesha ccm yenyewe sasa ni vipande vipande suala la katiba mpyaau kuendeleza ubabe wa miaka takribani 50 wa viraka
2018-01-22T07:19:04
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanasheria-mkuu-zbar-ampinga-werema-ataka-katiba-mpya.98995/
bob j nawalaumu tigo kwa kutoa namba ya mtu ambayo bado inatumika | chimbuko letu home » biashara na uchumi » burudani na michezo » bob j nawalaumu tigo kwa kutoa namba ya mtu ambayo bado inatumika
2018-10-19T20:51:32
http://www.chimbukoletu.com/2013/04/bob-j-nawalaumu-tigo-kwa-kutoa-namba-ya.html
vijimambo magufuli amtaka mengi kutafsiri kitabu chake kwa kiswahili magufuli amtaka mengi kutafsiri kitabu chake kwa kiswahili mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akimkaribisha naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania dk tulia ackson wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akisalimiana na mkurugenzi mtendaji wa mwananchi communications ltd (mcl) francis nanai wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akisalimiana na kamishna jenerali wa idara ya uhamiaji nchini dk anna makakala wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinchaoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akifurahi jambo na mtafiti bingwa duniani wa masokwe dk jane goodall (katikati) pamoja na mbunge wa zamani wa kahama mh james lembeli (kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akifurahia kuwaona baadhi ya marafiki wa karibu kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akibadilishana mawazo na baadhi ya wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam kutoka kushoto ni jaji mkuu mstaafu mohamed chande othman naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania dkt tulia ackson waziri wa mifugo na uvuvi mh luhaga mpina pamoja na mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mhe anna mghwira miongoni mwa wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi (hayupo pichani) kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mke wa mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi bi jacqueline mengi akibadilishana mawazo na rais mstaafu wa awamu ya pili alhaj ali hassan mwinyi pamoja na prof rwakaza mukandara wakati wakisubiri kuwasili kwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa kitabu cha mumewe kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli akihutubia kabla ya kuzindua kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi (hayupo pichani) kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success katika hafla iliyotia fora kwenye hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akimtambulisha mmoja kati ya washindi wawili wa wazo la kibiashara la shindano la kujenga hoja asili ya ujasiriamali lililojulikana kama dream to greatness wakonda kapunda (anayesukumwa kwenye baiskeli) kabla ya kumkabidhi zawadi ya dola za kimarekani 20000 wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akizungumziakuhusu msukumo wa kuandika kitabu hicho cha historia ya maisha yake ili kutimiza azma ya marehemu mtoto wake rodney mutie mengi (kwenye back ground pichani) aliyemtaka kuandika kitabu hicho na mambo mengine ambayo atayatimiza kadri awezavyo kumuenzi mtoto wake wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu chake hicho kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam rais mstaafu wa awamu ya pili alhaj ali hassan mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi (hayupo pichani) kinachoitwai can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na mgeni rasmi rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam prof rwakaza mukandara akitoa muhtasari wa kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi (hayupo pichani) kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success wakati wa hafla ya uzinduzi uliofanywa na rais dk john pombe magufuli katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam pichani ni ukumbi wa marquee wa hoteli ya serena jijini dar es saalaam ukiwa umefurika watu mashuhuri na wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi (hayupo pichani) i can i must i willthe spirit of success kilichozinduliwa na rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh dk john pombe magufuli watoto mapacha jayden na ryan wa mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi wakimkabidhi rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh dk john pombe magufuli kitabu kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kwa ajili ya kukizindua rasmi katika hafla iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi akimueleza jambo rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh dk john pombe magufuli kuhusu kitabu chake kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success kabla ya kukata utepe kukizindua waliopamba uzindizi huo ni watoto mapacha jayden na ryan mengi wakati wa hafla iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh dk john pombe magufuli akimpa mkono wa pongezi mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi kabla ya kukata utepe kuzindua kitabu cha mwenyekiti huyo kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success wakati wa hafla iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam wanaoshuhudia tukio hilo ni mke wa dk mengi bi jacqueline mengi pamoja na watoto wao mapacha jayden na ryan mengi rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli akizundua kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi (wa tatu kulia) kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success katika halfa iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam wanaoshuhudia tukio hilo ni rais mstaafu wa awamu ya pili alhaj ali hassan mwinyi (kushoto) mtafiti bingwa duniani wa masokwe dk jane goodall (kulia) mke wa dk mengi bi jacqueline mengi (wa pili kulia) pamoja na watoto mapacha wa dk mengi jayden na ryan mengi mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi ambaye pia ni mtunzi wa kitabu cha i can i must i willthe spirit of success akifunua ukurasa maalum aliomuandikia ujumbe rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli mara baada ya kukizundua rasmi kitabu hicho kinachopatikana katika book stores na mtandao wa amazon wanaoshuhudia tukio hilo ni rais mstaafu wa awamu ya pili alhaj ali hassan mwinyi (kushoto) mtafiti bingwa duniani wa masokwe dkt jane goodall (kulia) mke wa dk mengi bi jacqueline mengi (wa pili kulia) pamoja na watoto mapacha wa dkt mengi jayden na ryan mengi rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli akimkabidhi rais mstaafu wa awamu ya pili alhaj ali hassan mwinyi nakala ya kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi kinachoitwa i can i must i willthe spirit of success mara baada ya kukizindua katika hafla iliyofanyika hoteli ya serena jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli na meza kuu katika picha ya pamoja na wanafamilia ya mengi kwenye uzinduzi wa kitabu cha mwenyekiti wa makampuni ya ipp dk reginald mengi baada ya kukizindua katika ukumbi wa serena jijini dar es salaam pichani juu na chini ni viongozi mbalimbali wa serikali sekta binafsi chama dini na taasisi mbalimbali nao waliohudhuria kwenye uzinduzi huo rais wa jamhuri ya muungani wa tanzania mh dk john pombe magufuli amemuomba mfanyabiashara maarufu nchini dk reginald mengi kutafsiri kitabu chake alichokizundua jana ili kiweze kuwasaidia wananchi wa tanzania kutambua juhudi zake na kuiga nyayo pamoja na kuhimiza kitabu hicho kuandikwa kwa kiswahili aliwataka wananchi kununua kitabu kinachopatikana kwenye maduka yote ya vitabu nchini na online kupitia amazon na kuwasihi watanzania wengine kukisoma kitabu hicho kimeaandikwa kwa kiingereza aidha aliwataka watanzania kuepuka tabia za kukatishana tamaa katika kupanga kuamua na kutekeleza shughuli za kujiletea maendeleo binafsi na ya taifa alisema mzee mengi alikatishwa tamaa katika mambo mengi ambayo yalipita katika maisha yake ikiwamo katika masuala ya madini aliwataka watanzania kujiamini kama mzee mengi alivyojiamini na kufika hapo akizindua kitabu cha dkt reginald mengi kiitwacho 'i can i must i will' ambacho kwa kiswahili kingeitwa 'ninaweza ninalazimika nitafanikiwa'katika ukumbi wa serena jijini dar es salaam kukatishana tama kunazuia maendeleo ya watu binafsi na taifa kitabu hicho ambacho kinaelezea maisha ya dk mengi chenye sura 10 kina jumla ya kurasa 311 dkt magufuli alisema tabia hiyo ya kukatishana tamaa ipo pia ndani ya serikali na huko ni kukubwa sana katika hilo akitolea mfano kuwa hata wakati serikali yake ilipoamua kuanzisha mpango wa kutoa elimu bure kuna watu walisema jambo hilohaliwezekani kwa kuwa hata ulaya na marekani watu hawasomi bure dk magufuli aliongeza kuwa serikali yake ilishikiliamsimamo huo wa kutoa elimu bure ambao umezaa matunda kwa kuwa ilipofikia novemba mwaka 2015 ilianza kwa kutoa sh bilioni 2358 kila mwezi ambazo zilipelekwa shuleni moja kwa moja alisema kitendo hicho cha kutoa elimu bure kiliwezesha kuongeza idadi ya watoto walioandikishwa darasa la kwanza kuongezeka kutoka milioni moja hadi kufikia watoto milioni 198 hata tulipotaka kujenge reli ya kisasa (sgr) ili bandari itumike vizuri na kuifufua kampuni yetu ya ndege kwa kununua ndege mpya pamoja na kutaka kuzalisha umeme kule stiegler's gorge kuna watu walipinga na kusema mambo hayo hayawezekani lakini sasa tumeweza kuanza kujenga reli ya kisasa lakini pia tumenunua ndege mpya saba tena kwa fedha zetualieleza dk magufuli tuliambiwa hatuwezi kwa kuwa iliwashinda wengine kwa kuwa ilijengwa miaka 100 iliyopita na wajerumani na waingereza wakamalizia kwa hiyo ni kitu ambacho hakiwezekani kama wale walijenga kidogo kidogo kwanini na sisi tusijenge ndio tumeanza kujenga kilomita 769 kwa gharama za ndani tumeanza kazi na ndio sasa wanakuja kusema watatukopesha kwa sababu wanaona kwamba tunaweza we can alisema pamoja na kuvunjwa moyo huo serikali yake imechukua hatua za kutekeleza miradi hiyo mikubwa ya kimkakati kuwezesha matumizi ya bandari ya dar es salaam na kasi ya usafirishaji wa mizigo pamoja na kusema kwamba wakatishaji tama wapo wengi aliwataka watanzania kuunga mkono juhudi zilizofanywa na dk mengi katika kujikwamua na umaskini kwa kusoma kwa bidii ili kupata maarifa mapya na kufanya kazi kwa bidii kama alivyofanya dk mengi kufikia kuwa mfanyabiashara mkubwa afrika mashariki na kati rais magufuli aliwataka watanzania kujifunza mambo mengi kutoka kwenye kitabu hicho cha dk mengi ikiwamo kufanya kazi kwa bidii pamoja na kukabiliana na changamoto wanazokutana nazo yakiwemo maneno ya kukatisha tamaa kwa upande wake dk mengi alisema pamoja na kutoka katika familia maskini hakukata tamaa na badala yake alijifunza kutoka kwa wazazi wake na kaka yake waliojituma kwa hali na mali ili familia yao iondokane na umaskini dk mengi alisema kuwa baba yake alikuwa akifanya kazi ya kununua kondoo waliokonda na kisha kuwasafisha kwa maji na kuwauza tena kwa bei ya juu na hivyo hivyo ilikuwa kwa mama yake ambaye naye alikuwa akinunua ulezi na kuutia maji kisha kuuza tena kwa faida aliongeza kuwa mafanikio yake pia yalichangiwa na tabia ya kaka yake ya kujituma katika kufanya biashara ya mayai kwa kuanza kuuza mayai manne lakini pia alifanya kazi ya kusafisha viatu vya askari na kulipwa hadi alipopata mtaji wa kufungua biashara kubwa na akafanikiwa nilitoka katika familia maskini tulikuwa tunalala kwenye nyumba ya udongo tena chini lakini sikukata tamaa kuzindua kitabu hiki leo ni kutimiza ndoto ya marehemu mwanangu rodney aliyenitaka kuandika kitabu kitakachoelezea maisha yangu tangu mwanzo hadi kufanikiwa kwangu alieleza dk mengi katika uzinduzi huo wa kitabu dk mengi pia alitoa zawadi ya dola za marekani kwa washindi wawili walioweza kuandika mawazo mazuri ya kibiashara washindi hao ambao ni wakonta kapunda kutoka tanzania na bryan mwenda kutoka kenya kila mmoja alipewa hundi ya dola za marekani elfu 20 rais magufuli pia aliamzawadia wakonta sh milioni 10 ili zimsaidie katika kufikia ndoto zake za kimaisha mbali na dk magufuli ambaye alikuwa mgeni rasmi viongozi mbalimbali wa serikali chama dini na taasisi mbalimbali nao walihudhuria kwenye uzinduzi huo baadhi ya viongozi hao ni rais mstaafu ali hassan mwinyi naibu spika dk tulia ackson mawaziri wakuu wa mikoa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalam
2018-11-17T19:35:19
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2018/07/magufuli-amtaka-mengi-kutafsiri-kitabu.html
waliofariki misri waongezeka azizi computer doctor watu wawili wameripotiwa kufariki katika makabiliano nje ya kanisa la kikopti nchini misri duiru zinasema kuwa hali ya utulivu ilirejea katika eneo la abbassiya ambako polisi walikuwa kwa wingi kudhibiti hali ya usalam eneo hilo linapakana na kanisa ambako makabiliano yalitokea waandamanaji kadhaa wa ambao ni waumini wa kanisa hilo walikusanyika katika eneo hilo mapema asubuhi ya leo makabiliano makali yalitokea nje ya kanisa hilo kufuatia mazishi ya wakristo wanne wa kikopti waliouawa katika ghasia za kidini siku ya alhamisi waombolezaji waliokuwa wanatoka katika kanisa hilo walikabiliana na wenyeji wa eneo hilo nje ya kanisa polisi walifyatua gesi ya kutoa machozi kujaribi kuwatawanya waandamanaji zaidi ya watu 80 walijeruhiwa kwa mujibu wa shirika la kitaifa la habari wizara ya afya ilisema kuwa mtu mmoja aliuawa katika ghasia hizo waombolezaji awali walikuwa wakiimba nyimbo za kupinga serikali ya rais mohammed morsi walioshuhudia vurugu hizo waliambia wanahabri kuwa ghasia zilianza baada ya umati wa watu kuvamia kikundi cha waombolezaji walipokuwa wanaondoka kanisani kwa kuwarushia mawe na mabomu ya petroli wakati huo pilisi walikuwa wachache sana katika eneo hilo wakristo nao walijibu mashambulizi dhidi yao kwa kuwarushia mawe watu hao hadi polisi walipowasili katika eneo hilo na kujaribu kusitisha vurugu kwa kuwarushia watu gesi ya kutoa machozi duru zilisema kuwa barabara zilizoko karibu na eneo hilo zilikuwa na ghasia kati ya wakristo na watu wasiojulikana aidha moto uilianzishwa katika jengo lililokuwa karibu na kanisa hilo lakini moto huo ukazimwa kwa wakati pia inaarifiwa kuwa rais morsi alilaani ghasia hizo kupitia kwa njia ya simu kwa papa tawadros wa pili ambaye ndiye kiongozi kwa kanisa la kikopti ''shambulizi lolote dhidi ya kanisa hilo ni kama shambulizi dhidi yangu'' alisema papa towadros ambaye pia aliwataka watu kuwa watulivu
2017-10-18T01:54:00
http://azizicompdoc.blogspot.com/2013/04/waliofariki-misri-waongezeka.html
mbatia azozana na mdee tamwa | jamiiforums | the home of great thinkers mbatia azozana na mdee tamwa discussion in 'jukwaa la siasa' started by tukutuku oct 26 2010 mgombea ubunge wa jimbo la kawe kwa tiketi ya chama cha nccr mageuzibwana james mbatiaametishia kwenda mahakamani ili kukabiliana na kile alichokiita kudhalilishwa na mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya chademahalima mdeembatia analalamika kuitwa mamluki wa ccmna aliyepandikizwa kugawa kura za upinzani katika jimbo la kawembatia pia anamlalamikia mkurugenzi mtendaji wa chama cha waandishi wa habari wanawake (tamwa)ananilea nkya akidai alitoa maneno ya uzushiuongo na udhalilishaji dhidi yake kwamba amekuwa akiwadhalilisha wanawake(tanzania daima26 october 2010uk 3) naona sasa mbatia maji shingoniamebaki kulalamika tu bila sababu za msingikwa kuwa ukichunguza vizuri utagundua maneno anayodai aliambiwa ni maneno ya kawaida ya siasa na hasa kambi ya upinzaniaimekuwa ni jambo la kawaida kutuhumiana kwamba chama furaniau kiongozi furani ni mamluki wa ccm mbatia ni mrembo tu hana kitu anatangaza uzuri tu yule ni replacement ya mrema na atazeeka kama mrema anavyozeeka alikuwa analalamika huku vidole vya mkono wa kushoto vikiwa juu naona amechakachua malalamiko kiukweli ni kuwa alikerwa na mdee kusema kuwa mbatia ni shoga (habari ambazo zimekuwako mitaani kwa siku nyingi) jamani msiwe mnalitaja hilo jina la mbatia maana kila linapotamkwa najisikia kujenga hema kwa nguzo moja kwenye sarawili yangu (sijui kwa nini) he is a gonner alikuwa analalamika huku vidole vya mkono wa kushoto vikiwa juuclick to expand vilikuwa juu ama kidole kidogo kilikuwa mdomoni naona sasa mbatia maji shingoniamebaki kulalamika tu bila sababu za msingikwa kuwa ukichunguza vizuri utagundua maneno anayodai aliambiwa ni maneno ya kawaida ya siasa na hasa kambi ya upinzaniaimekuwa ni jambo la kawaida kutuhumiana kwamba chama furaniau kiongozi furani ni mamluki wa ccmclick to expand hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah mbatia umefuliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umefuliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pole mbatia fanya tu kama mama fatma magimbi utadhalilika lakini usijali rudi tu ccm usiogope japo sharti la kurudi ccm lazima utangazwe hadharani na makamba au msanii jk mwenzako tambwe hiza ashawahi kusema (akiwa cuf) kuwa bora kulala na mamake mzazi kuliko kurudi ccm leo yupo huko rudi tu ccm ndugu yangu naona amechakachua malalamiko kiukweli ni kuwa alikerwa na mdee kusema kuwa mbatia ni shoga (habari ambazo zimekuwako mitaani kwa siku nyingi)click to expand jamaa amepoteza matumaini ya kushinda ubunge na sasa ameamua kuwasaidia ccm kupata ushindi kuna kikundi cha vijana fulani wahuni wanaomuunga mkono wamekuwa wakichana na kuharibu picha za halima mdee karibu kila kona na kibaya zaidi amekuwa akijikita kumshambulia halima mdee na chadema na hajawahi kuthubutu kuishambulia ccm ndio sababu wananchi wengi wa jimbo la kawe (sio chadema pekee) wanaamini kuwa mbatia ni kibaraka wa ccm siku hizi mtaani wanawaita nccr manunuzi originally posted by douglas sallu junya maana yake niniau unamaanisha punga kwa lugha raisi jamani jamani huyu jamaa (mbatia) naye kijana mdoooooogo anataka kufulia kisiasa asubuuuuuhi kwa nini asitulie na kujibu hoja za msingi hovyooooooooooooooooo msanii taratibu kaka wajenga hema la nguzo moja ukisikia hilo jina usije ukajenga hema mbele ya wakwee he is a gonnerclick to expand kiukweli mbatia amefulia na ni punga siku nyingi kiukweli mbatia amefulia na ni punga siku nyingiclick to expand na atafulia zaidi ya hapo anazidi kupotea tu subiri akishakosa ubunge ni aibu kulitaja jina lake kwenye forum makini kama hiihajawahi kuibua issue yoyote controversial against ccmsana sana amekuwa akiiteteasi ndio huyu huyu mbatia aliyewahi kusema mkapa aachwe apumzikeeti halima mdee anaonekana mkakamavu kuliko huyu anayeitwa mwanaumemimi naamini ni kibaraka wa ccmnccrmanunuzi ni tawi la ccm upinzanisad hahahahaaaa mbatia ndugu yangu kama wewe sio member wa forum hii makini usijaribu kusoma hizi post maana duuuuh watanganyika wansema wewe punga mara shoga au ndio maana jana kwa tv ulikuwa kidole juu na kubana pua kwa sana na hao mabasha wako ccm wameshaziba tundu ya mshobobo wamefulia mbayaaaaaaaaaa mwaka huu tafuta basha mwingine kaka siasa wewe huiwezi ila taarabu tutape hahaa vidole juuuuduhh mbatia unaona sasa umechokoza wtu wanakupiga mashuti sasaati kweli wapumuliwa kisogoni weye bhhofivoih df dsivhvnvklcac iojj chiv iohjkn ufuhjic iefijicve kcvn sjsrhgiowhv kdnvvnsijdjiwe msdidnvk a s angry
2016-12-03T05:10:30
http://www.jamiiforums.com/threads/mbatia-azozana-na-mdee-tamwa.80796/
handeni kwetu serikali ya denmark yaahidi kuendelea kuisaidia tanzania kwenye sekta ya afya na uchumi serikali ya denmark yaahidi kuendelea kuisaidia tanzania kwenye sekta ya afya na uchumi naibu waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watotoummy mwalimu akiongoza maandamano ya wanawake walipokuwa wakiingia uwanja wa mkwakwani kusherehekea maadhimisho ya siku ya msichana duniani mbayo yalikwenda sambamba na uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wasichana wa mkoa wa tanga unaoendeshwa na shirika la tawode chini ya ufadhili wa ubalozi wa denmark kupitia (danida) burhani yakub tanga tangaserikali ya denmark imeahidi kuendelea kutoa msaada kwa maeneo mbalimbali nchini yatakayojikita katika kutoa kipaumbele cha elimu kwa watoto wa kike ili kuwawezesha kuinua hali zao za maisha kiuchumi na kiafya ahadi hiyo ilitolewa na mwakilishi wa balozi wa denmark nchini ester msuya wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuwajengea uwezo wasichana wa mkoa wa tanga unaoendeshwa na shirika la tanga woman development initiative (tawode)na kufadhiliwa na ubalozi huo kupitia danida) mkakati wa sasa wa serikali ya denmark kuhusu ushirikiano wa maendeleo ya kimataifa unaitwa haki ya maisha boratunajua kwamba uwekezaji ulio bora ambao serikali yoyote inawaza kufanya ni kuelimisha watoto wa kikealisema msuya mwakilishi huyo wa balozi alisema serikali ya denmark inaamini katika haki za mtoto wa kike na mwanamke kupata elimu au angalau fursa ya kupewa stadi za maisha ili kuishi maisha bora na kuchangia katika maendeleo ya jamii kwa ujumla alilipongeza shirika la tawode kwa kufanikisha mchakato wa kuanza kwa mradi huo wa kuwajengea uwezo wasichana wa mkoa wa tanga na akaahidi kuwa ubalozi utatoa ushirikiano wa hali na mali ili kufanikisha mradi huo akitoa melezo kabla ya kuzinduliwa mradi huomwenyekiti wa tawode ambaye pia ni naibu waziri wa maendeleo ya jamiijinsia na watotoummy mwalimu alisema lengo la kuendesha mradi huu ni kutokana na ukweli kwamba mtoto wa akike anabiliwa na changamoto nyingi kuliko wa kiume likiwamo suala la kutojitambua alitolea mfano wa tafiti zilizopo za viashiria vya ukimwi na malaria nchini zilizofanyika mwaka 2011 na 2012 zinaonyesha kiwango cha maambukizi kwa wasichana ni cha juu kuliko wavulana hususani walio katika umri wa miaka 23 na 24 alisema maambukizi kwa wasichana walio katika umri kwa kati ya miaka 23 na 24 ni asilimia 66 wkati kwa wavulana wa umri kama huo ni asilimia 28 pekee mradi huo ulizinduliwa na mkuu wa mkoa wa tanga ambaye alipokea maandamano ya wanawake na wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali mkoani hapa na pia alikagua mabanda ya maonyesho ya kazi za mikono zinazofanywa na wanawake mwandishi kambi mbwana saa 515 pm udsm wampongeza rais magufuli serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha dar es salaam (daruso) ni serikali ya wanafunzi inayoamini katika sheria kanuni na taratibu lakini pia ni serikali
2018-01-16T23:39:11
http://handenikwetu.blogspot.com/2013/10/serikali-ya-denmark-yaahidi-kuendelea.html
wizara ya afya yazindua mfumo wa tehama kwa vituo vya kutolea huduma za afya nchini | jamhuri ya muungano wa tanzania naibu waziri wa afyamaendeleo ya jamiijinsiawazee na watoto mhedktfaustine ndugulile akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi mpya ya ushauri wa hospitali za watu binafsi mara baada ya kuizindua leo katika ukumbi wa lapf leo jijini dodoma naibu waziri wa afyamaendeleo ya jamiijinsiawazee na watoto mhedktfaustine ndugulile akizindua mwongozo wa viwango vya msingi kwa vituo vya kutolea huduma za afya katika ukumbi wa lapf leo jijini dodomakushoto kwake ni msajili wa hospitali binafsi dktpamela sawa ← chuo cha kodi chapongezwa kuwajengea uwezo wanafunzi pingback viagra from usa()
2020-05-28T22:20:02
http://blog.maelezo.go.tz/wizara-ya-afya-yazindua-mfumo-wa-tehama-kwa-vituo-vya-kutolea-huduma-za-afya-nchini/
forex mt4 multi meneja wa akaunti biashara multiple forex akaunti | fxcc nyumbani / majukwaa / pc / meneja wa akaunti mbalimbali wafanyabiashara wa kitaalamu wenye akaunti nyingi na mameneja wa mali wanahitaji zana zinazofanya akaunti za akaunti nyingi iwe rahisi na salama hapa katika fxcc tunajivunia wenyewe kutatua matatizo kabla hata kutokea ndiyo sababu tunatoa wafanyabiashara wa akaunti nyingi na mameneja wa fedha metafx mam (multi account manager manager) mam ina faida kubwa juu ya majukwaa mengine yanayofanana na metatrader multi terminal kwa mfano maombi ya fxcc mam yanafaa kwa wafanyabiashara wa mtaalamu au wasimamizi wa fedha ambao wanahitaji biashara nyingi za akaunti za mt4 wakati huo huo wafanyabiashara wanaohitaji kuona hali ya akaunti na historia kwa akaunti nyingi wafanyabiashara wanafanya biashara ya kikundi kwa niaba ya akaunti nyingi suluhisho la meneja wa akaunti yetu inasaidia utekelezaji wa haraka udhibiti wa broker & sasisho rahisi za seva kupitia seva ya upande wa seva inaruhusu mtaalam mshauri wa mtaalam (ea) wa akaunti zilizosimamiwa kutoka upande wa mteja mteja wa programu ya programu ya maombi kwa marekebisho ya parameter ya biashara akaunti ya biashara isiyo na ukomo stp kwa akaunti kuu kwa utekelezaji wa utaratibu wa wingi na ugawaji wa papo kwa akaunti ndogo biashara msaada wa standard na mini lot kwa faida bora ya ugawaji utaratibu wa kikundi utekelezaji kutoka kwenye kichwa cha kudhibiti kufungwa kwa amri ya amri na utekelezaji wa akaunti ya mwalimu kamili sl tp na utaratibu wa utaratibu wa utaratibu kila akaunti ndogo ina pato la ripoti ya screen soko la dirisha la soko ndani ya mam ufuatiliaji wa udhibiti wa uendeshaji wa live ndani ya mam ikiwa ni pamoja na p & l mam inatoa chaguzi rahisi sana kwa ajili ya ugawaji wa biashara ugawaji wa wengi volume imepewa kwa kila akaunti kwa kila akaunti asilimia ya ugawaji asilimia ya kiasi cha jumla cha biashara kwenye akaunti kuu hutolewa kwa kila akaunti ndogo uwiano na mizani kipengele cha hifadhi ya moja kwa moja kinachohesabu asilimia ya usawa kwenye kila akaunti ndogo kwa akaunti kuu na kwa kufanya hivyo inasambaza kiasi kilichochukuliwa kwenye akaunti kuu kwa akaunti zote zinazohusika uwiano na equity kipengele cha hifadhi ya moja kwa moja kinachohesabu asilimia ya usawa kwenye kila akaunti ndogo kwa akaunti kuu na kwa kufanya hivyo inasambaza kiasi kilichochukuliwa kwenye akaunti kuu kwa akaunti zote zinazohusika ugawaji wa asilimia katika kipengele hiki meneja wa akaunti hufafanua ya usawa kutumiwa kwa biashara ambapo x ya usawa hutumiwa kila kuingia akaunti kwa ufungaji unlimited chapisha bei ya biashara akaunti mpya ya papo hapo moja ya vipengele maarufu zaidi katika mt4 ni uwezo wa kufanya biashara moja kwa moja kutoka kwa chati hiyo hubeba zaidi kwenye programu yetu ya mam kwa hivyo unaweza sasa biashara ya akaunti nyingi na utendaji wa biashara ya chati fxcc multi meneja wa akaunti ni katika makali ya kukata teknolojia ya kushughulikia akaunti nyingi orodha ya kipengele ni ya kushangaza na itaelekeza usimamizi wa akaunti nyingi za biashara za forex tafadhali kumbuka programu ya mam ni programu ya tatu masuala yoyote ya kiufundi au msaada inapaswa kuelekezwa metafx
2020-07-05T07:26:44
https://www.fxcc.com/sw/multi-account-manager
sintahcom selena and justine (usa) vs hot lulu (tz) selena and justine (usa) vs hot lulu (tz) katika hali ya kawaida kwa sasa nchi za africa zimekuwa zikiiga sana utamaduni wa nchi za magharibi swali ni kwanini lulu alaumiwe na wakati tumesha adopt western culture na mtoto kama selena ni mdogo wa lulu hajafikisha 18 but lulu amefikisha hili ni swala la kujiuliza na kulielewa si yeye ni jamii aliyoizoea to me no comment on this ushauri ni shule tuu lulu otherwise all the best lulu you are a star so do behave that way from rose k huyo dada aliyeandika hiyo message hapo juu hana akili hata kidogokwahiyo yeye anasupport ujinga anaoufanya lulu kwa sababu tumeadopt western culturekwahiyo chochote wanachokifanya basi tuige hata kama ni upumbavusijui ana elimu gani huyo dadastupid mhhhh kwa ili mi yangu macho ps yani kaniboa hako katoto kuna mahali nilikakuta nikakosa majibu manake anavyoonekana na mambo yake tofauti anayajua makubwa kuliko wakubwa wenyewe huyo rose angekuwa lulu mwanae angeyasema hayo we ni mwanamke pia tuone mtoto wako ayafanye hayo alafu useme western culture inaigwa anahitaji therapy sio mzima lulu anabebwa na wazee selena anatembea na rika yake na isitoshe swala la ukimwi gonorea halimpati huyu naswalalashulelipo pale pale je lulu atapona katika hayobibie next time usupurukuke jiandae na post unayotaka ituka kwa watu huna akli sintah pumbafu sana eti westrn culture ndiyo tunaigalakini ujinga hatuusapotimjinga sana we demu tena wewe ndio pu**** maana umekurupa tuangalia wenzio walivyo commentni mimi ndio nimetumhii habarihivi kwanini watu wanakurupuka jamanimi naboreka na mijitu hiirose k ndio katuma habari sasa nikataeplease read previous comment before ndio ujue namna ya ku flow like othersand syle up your too yesterday no wonder you dont know how it started uko hapa ki shari and im not into that get that its your choice to comment or lave itusinichoshenisikuchoshekwa ujumla tusichoshanejlo she is stil very young n am surprised huyo aliyesupport ujinga anafanya huyu mtotoanahitaji mdaada ili ajengwe kuwa mwanamke bora na mfano wa kuigwa coz ni mama wa kesho huyo so dnt just support eti western culture sinta hilo nalo neno tena ungeandika kwa herufi kubwa ajionee vzr mothr f nimemtukana jaman ila tukumbuke kuwa tamaduni zetu haziruhusuuyo lulu anatakiwa azingatie xul na sanaa mna kuna mda ataishiwa soko itakuwaje
2017-07-25T14:40:49
http://prettysintah.blogspot.com/2011/08/selena-and-justine-usa-vs-hot-lulu-tz.html
kitabu pata masaa mawili ya ziada kila siku kisima cha maarifa by dr makirita amani | february 3 2017 moja ya changamoto kubwa ambayo watu wengi wamekuwa wanasema inawazuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yao ni muda watu wana mipango mikubwa na mizuri sana lakini wanakosa muda wa kutekeleza mipango yao hiyo mizuri watu wanapanga kuanza biashara zao ili kuweza kujitengenezea uhuru wa kifedha lakini wanakosa muda wa kusimamia biashara zao vizuri watu wanapanga kujifunza zaidi kwa kujisomea vitabu lakini kila wakitaka kutekeleza hilo muda unakuwa hautoshi wengi sana wanatamani kuwa karibu na familia zao lakini kazi na biashara zao zinakuwa kikwazo kwao wanakosa kabisa muda wa kuwa karibu na familia na wengi wanapenda kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao lakini siku inavyoanza na kuisha wanajikuta hawana hata dakika chache za kufanya mazoezi muda ni changamoto kwa wengi na watu wametafuta sana suluhisho la namna ya kupata muda wa ziada wengi wamekuwa wakisema nikipata muda nitafanya hivi au vile lakini wamekuwa hawapati muda kwa sababu hawaelewi vizuri muda unapatikanaje kwa kuanza huwezi kupata muda bali unaweza kutenga muda kila siku yako ina masaa 24 huwezi kuongeza hata dakika moja hata uwe na fedha kiasi gani hivyo kusema nikipata muda nitafanya ni kusema sifanyi kwa sababu huwezi kuja kupata muda zaidi ya ulionao sasa ni changamoto hii ya muda imenifanya kukaa chini kutafiti na kufanya majaribio ya kusimamia muda wangu vizuri na hatimaye nimeandika kitabu pata masaa mawili ya ziada kila siku una muda wa kutosha kufanya chochote unachotaka kwenye maisha yako hichi ni kitabu ambacho kitakupa wewe maarifa sahihi ya kuweza kusimamia muda wako kuweza kutenga masaa mawili kila siku kwenye maisha yako bila ya kujali upo bize kiasi gani kupitia kitabu hichi nakwenda kukuonesha hatua kwa hatua maeneo unayoweza kupata muda zaidi kwenye maisha yako kama ambavyo wote tunajua hakuna mtu anaweza kuwa na zaidi ya masaa 24 kwa siku sasa ninaposema unaweza kupata masaa mawili ya ziada kila siku je namaanisha unaweza kuwa na masaa 26 jibu la swali hilo utalipata ndani ya kitabu hichi hichi ni kitabu ambacho kila mtu ambaye yupo makini na maisha yake ambaye kweli anataka kufanikiwa ambaye ameshashika hatamu ya maisha yake na hayupo tayari kuwalalamikia wengine anapaswa kukisoma siyo kitabu cha kuacha kwa sababu maarifa yake ni muhimu sana kwenye usimamizi na matumizi mazuri ya muda wetu kitabu pata masaa mawili ya ziada kila siku kina sura zifuatazo watu wote tuna masaa 24 kwa siku matumizi ni juu yetu hapa nimeonesha namna ambavyo tuna zawadi nzuri ya muda wa masaa 24 kila siku pia nimekuonesha jinsi ambavyo watu wanafanikiwa kwenye muda huu huu wakati watu wengine wanashindwa katika muda huu huu muda ndiyo kitu pekee ambacho binadamu wote tumepewa kwa usawa hakuna anayeweza kukudhulumu wewe muda wako ila wewe mwenyewe unachagua kujidhulumu kwenye sura hii utapata mwanga wa namna unavyotumia muda wako kipimo halisi cha thamani ya maisha yetu kwenye sura hii nimekuonesha kwamba thamani ya maisha yako inapimwa kwa matumizi ya muda wako siku utakayoondoka hapa duniani kitu cha kwanza watu watakachozungumzia ni namna ulivyoyagusa maisha yao na wala siyo mali ulizokuwa nazo hivyo kwenye kitu chochote unachofanya hakikisha kutoa thamani kwa wengine ni kipaumbele cha kwanza tatizo siyo muda tatizo ni vipaumbele kwenye sura hii ninakuonesha namna ambavyo umekuwa unajidanganya kwamba huna muda nimekuonesha jinsi ambayo kwa kuchagua wewe mwenyewe umekuwa unapoteza siku yako unajikuta umefanya mambo mengi lakini huoni matokeo makubwa ninakuonesha kwa nini vipaumbele ni muhimu zaidi kuliko kufanya kila ambacho unajisikia kufanya jinsi unavyoweza kupata masaa mawili ya ziada kila siku kwenye sura hii ndiyo naanza kukuonesha kwa mfano hatua kwa hatua namna unavyoweza kupata masaa mawili ya ziada kila siku kwenye siku yako ya masaa 24 kupitia sura hii unakwenda kuiangalia siku yako kwa undani na kuona mambo ambayo umekuwa unayafanya lakini siyo muhimu na kuacha kuyafanya au kuyapangia muda mwingine wa kuyafanya kuna mambo matano ya kufanya ili uweze kupata masaa mawili ya ziada kila siku utajifunza mambo hayo matano kwenye sura hii matumizi bora ya masaa mawili ya ziada uliyopata kwenye siku yako ukishapata masaa mawili ya ziada kwenye zoezi utakalojifunza kwenye sira ya nne nimeona nisikuache na masaa hayo bila ya kukushauri kitu cha kufanya kwa sababu ukibaki nayo yakiwa matupu utajikuta unapoteza muda zaidi kwenye sura hii nimekushauri matumizi mazuri ya masaa yako mawili ya ziada ili uweze kufanya makubwa kwenye maisha yako na uweze kufanikiwa nimekushauri mambo matano unayoweza kuanza kuyafanya mara moja ukayafanya kila siku na ukaweza kufanikiwa sana pia nimekushirikisha maeneo kumi ambayo unaweza kujifunza kila siku na ukapata taarifa maarifa na hamasa ya kufanikiwa mambo ya kuzingatia ili kulinda muda wako kupata masaa mawili ya ziada siyo kazi ngumu utaona mwenyewe ukishafanya yale utakayojifunza kwenye kitabu hichi changamoto ni kwamba wapo maadui wanaokazana kuiba muda wako huu kuna watu au vitu ambavyo vinakuibia muda wako bila ya wewe mwenyewe kujua kwenye sura hii nimekushirikisha mambo mawili muhimu ya kufanya ili kuweza kulinda muda wako ukifanya mambo haya mawili kamwe hutakuja kupoteza tena muda wako jinsi unavyoweza kuongeza muda wako maradufu baada ya kukuwezesha kupata masaa mawili ya ziada kwenye siku yako nikakupa na mambo ya kufanya kwenye masaa yako mawili ya ziada pamoja na namna unavyoweza kuyalinda changamoto bado haijaisha masaa mawili ni machache sana ili ufanikiwe unahitaji kuwa na masaa kuanzia elfu moja na kuendelea kwa siku unahitaji kuwa na masaa elfu kumi laki moja na hata masaa milioni moja kwa siku kwenye sura hii nakushirikisha jinsi unavyoweza kupata muda maradufu yaani kupata muda mwingi zaidi kila siku ili kuweza kufanya makubwa hakuna mtu amewahi kufanikiwa duniani kwa kufanya kazi masaa nane au kumi kwa siku unahitaji masaa mengi zaidi ya hayo na nitakuonesha namna unavyoweza kuyapata kwenye sura hii nirudie tena kukusisitiza rafiki yangu hichi siyo kitabu unachopaswa kukikosa kisome na fanyia kazi yale ambayo umeyapata maisha yako yatakuwa bora zaidi jinsi ya kupata kitabu pata masaa mawili ya ziada kila siku kitabu hichi kinapatikana kwenye mfumo wa nakala tete (yaani softcopy pdf) hivyo unaweza kukisomea kwenye simu yako tablet au hata kompyuta kitabu hichi kinatumwa kwa njia ya email hivyo unaweza kutumiwa popote pale ulipo duniani gharama ya kitabu ni tsh elfu tano (5000/=) kukipata kitabu tuma fedha kwa namba zifuatazo 0755 953 887 au 0717 396 253 (namba zote jina ni amani makirita) ukishatuma fedha tuma ujumbe kwenye moja ya namba hizo wenye email yako na jina la kitabu masaa mawili kisha utatumiwa kitabu kwenye email yako usikose kitabu hichi kizuri rafiki yangu ni njia ya uhakika ya kununua uhuru wako wa muda na kuweza kufanikiwa ← 💥 #tafakari ya leo fanya kila siku ukurasa wa 765 weka macho yako fedha zako zilipo → 2 thoughts on kitabu pata masaa mawili ya ziada kila siku mohd june 29 2017 je kwa mwanachama pia lazima alipe gharama ya kitabu ili kupata nakala ya softcopy makirita amani post author july 1 2017 vitabu vinalipiwa nje ya uanachama
2020-03-28T14:24:40
https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2017/02/03/kitabu-pata-masaa-mawili-ya-ziada-kila-siku/
kuna aliyewahi kukutana na hii hali | jamiiforums | the home of great thinkers kuna aliyewahi kukutana na hii hali discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by papa d may 20 2011 nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na ulaya kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane watano wazungu na watatu waafrika miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema ahsante nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi 1 je sababu ni nini 2 je wanakuwa wanashukuru kweli 3 je wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni 4 kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza papa d acha kujifagilia bana sasa kama hao hawajakupa sababu sisi tutatoa wapi afu mi naona majibu ya maswali yote unayo wewe mwenyewe papa d acha kujifagilia banaclick to expand hahahaha asha wewe mwenzio asiseme km anaambiwaga aksantelol mnhasantembona neno linajieleza/linajitosheleza unataka ufafanuzi gani tenaunataka tuwe wanajimu humu kama shehe yahya tukuambie kama zinatoka moyoni au labiggrin1 siku zote mwanamke yeyote duniani hata angekuwa na roho mbaya kiasi gani ukimfikisha kileleni (ukimkojolesha) lazima aseme asante tena anapolitoa neno hilo huwa mpole huku machozi yafuraha yakimlenga namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza boss wangu said namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiwezaclick to expand mwisho wa thread asante maana yake mtu kashiba kaka hahahaha asha wewe mwenzio asiseme km anaambiwaga aksantelolclick to expand sweetlady aseme basi direct sio kupindisha maneno ni kweli kayapanga but ukisoma tu you know kua anauza namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza[/quote] dance biggrin1click to expand sweetlady aseme basi direct sio kupindisha maneno ni kweli kayapanga but ukisoma tu you know kua anauzaclick to expand tehe tehe tehe 'no coment' 'no coment'click to expand si umeona boss wangu (si wa kwangulol) kasema moja kwa moja bila kupinda hivyo ndo inatakiwa si umeona boss wangu (si wa kwangulol) kasema moja kwa moja bila kupinda hivyo ndo inatakiwaclick to expand nimeona mpendwalol sio kweli kwamba wnawake wote wanaosema asante ni kwamba wametoshelezwa mara zote nilikuwa nasema asante kama ni njia moja tu ya kumpa hope na asijisikie vibaya lakini huku nikiwa bado mzitooooooooooooooo anyway sijawahi kupata raha lakini nasema asante 4 kwa nini aiwi wakti wote mnapomalizaclick to expand papa d wewe ni single au marriedsisi married ukiandaliwa chakula mezani ukala ukamaliza unasema asante na yule mkeo atasema asante kwa kuwa umekula chakula kitamu na ndio maana hukubakiza naamini kama utakula kidogo tu mkeo anaweza kukuuliza vipi chakula hukukipenda na kukusaidia unamaliza chakula kwa sababu mbiliaidha ni kitamu na pia ulikuwa na njaa kwa vile hujala kwinginenyumba ndogo sharti aseme asante raha ujipe mwenyewe bana ukisubiri kupewa utangoja mpaka uchoke ukisubiri kupewa utangoja mpaka uchokeclick to expand lollollol no comment nisije haribu bacha mbona umepotoka kupita maelezo ndg yangu nani akupe majibu cc tupo kwenye nafsi za hao wanawake wako acha umalaya napita tu wala sirudi mnhasantembona neno linajieleza/linajitosheleza unataka ufafanuzi gani tenaunataka tuwe wanajimu humu kama shehe yahya tukuambie kama zinatoka moyoni au labiggrin1click to expand kidogo nipitilize ila wdwe umenivutia
2017-07-22T03:19:03
https://www.jamiiforums.com/threads/kuna-aliyewahi-kukutana-na-hii-hali.137757/
wafanyakazi bohari kuu zanzibar wapatiwa mafunzo ya kukabiliana na janga la moto jiachie wafanyakazi bohari kuu zanzibar wapatiwa mafunzo ya kukabiliana na janga la moto jiachie home > habari zanzibar > wafanyakazi bohari kuu zanzibar wapatiwa mafunzo ya kukabiliana na janga la moto item reviewed wafanyakazi bohari kuu zanzibar wapatiwa mafunzo ya kukabiliana na janga la moto rating 5 reviewed by ahmad michuzi
2018-07-16T10:54:51
http://michuzijr.blogspot.com/2017/07/wafanyakazi-bohari-kuu-zanzibar.html
iran's khamenei calls nuclear arms use a 'big sin' | jamiiforums | the home of great thinkers tehran iran (ap) iran's supreme leader said thursday that the pursuit of nuclear weapons is a big and unforgiveable sin but he insisted tehran will not abandon its peaceful atomic program he singled out the united states calling the us opposition to tehran's nuclear program a bitter satire because of the size of the american nuclear arsenal and the use of atomic bombs in japanduring world war ii iran's khamenei calls nuclear arms use a 'big sin' yahoo news huu ndio msimamo wa jamhuri ya kiislamu ya iran inachofanya marekani ni kupotosha dunia ili kuidhoofisha iran na hatimaye ipigwe na hivyo kuchota maliasili za nchi hiyo kama ni kweli hizo nuclear reactor zao zimefikia kiwango cha kuzalisha umeme basi ishu yakuivamia iran imeshakuwa nzito otherwiz tutaona ww iii na kuporomoka kabisa kwa uchumi wa dunia
2018-01-23T02:43:34
https://www.jamiiforums.com/threads/irans-khamenei-calls-nuclear-arms-use-a-big-sin.316021/
lowassa aukubali mtazamo wa mkapa akizungumza mjini dodoma mwishoni mwa wiki mkapa alisema kuna janga kwenye sekta ya elimu nchini kutokana na sekta binafsi kuendelea kuongoza kwa utoaji bora wa elimu kila mwaka huku shule za rais wa shirikisho la soka tanzania (tff) wallace karia rais tff acharuka akizungumza jana jijini dar es salaam karia alisema kuwa anaamini kwa kufanya hivyo atarejesha heshima ya tff na hatakuwa tayari kuona mtu yoyote anachezea fedha za shirikisho hilo hata kama simba yaigeukia ligi kuu simba ilirejea jijini dar es salaam jana mchana wakitokea misri walipokwenda kucheza na wenyeji wao almasry na kutoka suluhumatokeo hayo yameifanya simba kuaga michuano hiyo kwa kuzidiwa goli la wafungwa kusomea biashara darasani aidha asasi ya technoserve katika kuendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wafungwa vijana wenye umri wa kati ya miaka 1830 itaendesha pia elimu ya vitendoelimu hiyo itatolewa kwa wafungwa bocco 'atemwa' taifa stars mayanga amemtoa bocco kwenye kikosi hicho kutokana na kuwa majeruhi huku pia akimtoa thomas ulimwengu kutokana na nyota huyo kuwa katika mchakato wa kuhamia bosnia akitokea swedenpia mayanga mkuu wa shirika la maendeleo ya petroli (tpdc) james mataragio kesi mkurugenzi tpdc kalenda mbali na mataragio washtakiwa wengine ni meneja utafutaji george semi mkuu wa manunuzi na utawala wellington hudson mkurugenzi wa idara ya fedha kelvin komba na kaimu mkurugenzi wa mipango magufuli aanika wasafi 8 sukari kampuni hizo nane ni asb nyanza bottlers bonite bottlers ltd bakhresa group of companies kazman group lakailo company anb group na kampuni ya super asbkati ya kampuni nane hizo kiwanda cha yanga yatafuta 'dawa' kimataifa ***kamati ya mashindano kukutana na benchi la ufundi kujadili yanga jumamosi iliyopita iliwabana wenyeji wao township rollers na kulazimisha suluhu lakini ilikubali kipigo cha mabao 21 nyumbani kwenye michuano hiyokuondolewa huko kunaifanya yanga sasa watafiti hao wamegundua kuwa utumizi wa mafuta ya mti huo na ule wa chai hupiga jeki homoni za kike na kuharibu homoni za kiumemafuta ya mimea hiyo hupatikana katika bidhaa tofauti kama vile sabuni hayo yalielezwa na meneja masoko wa atcl christina tungaraza kwa niaba ya mkurungenzi mkuu ladislaus matindi katika uzinduzi wa mvinyo utakaotumika ndani ya ndegetungaraza alisema ongezeko la hata hivyo mndeme hakusema ni maandamano yapi wala kuwataja walioyaandaa na lini yatafanyikamndeme pia amewatahadharisha vijana wakatae kutumiwa kama chambo na baadhi ya watu wenye nia mbaya kampuni hiyo inajenga barabara ya mtaa wa nyerere hadi kivukoni katika halmashauri ya geita kwa kiwango cha lami lakini mkuu wa mkoa huyo amegundua haina uwezogabriel ametaka takukuru kuchunguza alitoa agizo hilo wakati alipotembelea utekelezaji wa miradi ya rea awamu ya tatu katika kipindi cha kwanza kwenye eneo la mbuyuni kata ya oljoro mwishoni mwa wikialitaka umeme uwekwe kwa wananchi mkakati mpya vita wahamiaji haramu akizungumza na wenyeviti hao afisa wa idara hiyo fakihi nyakunga alisema mwishoni mwa wiki kuwa suala la kuwabaini wahamiaji hao ni la kila mmoja na siyo idara hiyo pekee alisema wenyeviti gerald kitalima waziri tizeba mpina waingia 'mitini' katika mkutano huo rais magufuli aliwahitaji mawaziri hao ili waweze kutoa ufafanuzi kuhusu maswala ambayo yameibuliwa na wafanyabiashara lakini mawaziri hao pamoja na makatibu wao hawajafika licha mkuu wa magereza nchini kamishna jenerali dk juma malewa mkakati magereza kulisha wafungwa amesema hatua hiyo itaondoa utaratibu wa wafungwa kupelekewa chakula kutoka nje kwa kuwa watakuwa wanakula wanachokizalisha wakiwa magerezani dk malewa alisema hayo katika mkutano wa maafisa fuvu la chief mkwawa maeneo kihistoria kuboreshwa waziri mwakyembe amesema hayo jumamosi alipotembelea vituo vya kihistoria wilayani kilolo ikiwamo walivyoishi wapigania uhuru yakiwa maandalizi ya mpango wa kutekeleza uamuzi wa umoja wa afrika simba yanga ziangalie zilipojikwaa juzi jumamosi timu hizo zilikuwa ugenini kucheza michezo yao ya marudiano baada ya kucheza hapa nyumbani wiki mbili zilizopitasimba ilikuwa misri kurudiana na al masry wakati yanga wenyewe walikuwa naibu katibu mkuu wizara ya fedha na mipango amina shabani mauzo ya soko la hisa yashuka amesema sababu kubwa ni wananchi kuogopa kuwekeza kwenye soko hilo kwa kudhani watapata hasara na kusisitiza kuwa elimu inahitajika kwa kiasi kikubwaaliyasema hayo wakati kampuni ya tccia aliyetangaza kusitishwa kwa uamuzi huo ni kamishna wa kodi ya mapato za ndani elijah mwandumbya kwenye kikao cha pamoja kati yake na wafanyabiashara wa mkoa wa lindimwandumbya alitoa agizo hilo kiongozi wa chama cha actwazalendo zitto kabwe akizungumza na mwenyekiti wa chadema freeman mbowe zitto kumshawishi mbowe
2018-03-20T22:55:20
https://www.ippmedia.com/sw/nipashe?page=1
kamati ndogo ya kamati kuu ya chadema yabariki mbowe amshitaki makonda kwa kumdhalilisha | mpekuzi kamati ndogo ya kamati kuu ya chadema yabariki mbowe amshitaki makonda kwa kumdhalilisha chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimesema kimejipanga na kitampatia mawakili wa chama mwenyekiti wake freeman mbowe katika hatua yake ya kumfungulia kesi ya kikatiba na ya madai mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda februari 8 mwaka huu mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda alitaja majina 65 kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya akiwamo mbowe na kuwataka kuripoti kituo kikuu cha polisi dar es salaam kwa ajili ya kuhojiwa lakini siku moja baadaye mbowe aliitisha mkutano na waandishi wa habari akiwa mjini dodoma ambapo alieleza kutofika polisi kwa wito wa makonda akisema hana mamlaka hiyo isipokuwa pale tu taratibu za kisheria zitakapofuatwa mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni aliweka bayana nia yake ya kumfungulia mashtaka ya madai makonda kwa kumkashifu na kumchafulia jina akitoa maazimio ya kikao cha kamati ndogo ya kamati kuu ya chadema jijini dar es salaam jana makamu mwenyekiti wa chama hicho profesa abdalah safari alisema kamati hiyo inaunga mkono hatua ya mbowe kumfungulia kesi ya kikatiba makonda katika hili tumejipanga kweli kwelitutaungana na mbowe katika kesi hii na tutampatia mawakili wa chama akiwamo mimi na tuko wengialisema profesa safari aliwataka wote ambao walitajwa na wanaamini kuwa walionewa kujihusisha na biashara au utumiaji wa dawa za kulevya wafungue mashauri mahakamani tunatoa wito kwa wale wengine wote ambao walitajwa na wanaamini kuwa walionewa kuchafuliwa majina na au kudhalilishwa wafungue mashauri mahakamani kwani hii ndio njia pekee ya kuzuia wengine wasifanyiwe uonevu kama huu siku zijazoalisema profesa safari pamoja na mambo mengine profesa safari alisema tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu 2015 viongozi na wanachama wa chadema wamekuwa wakikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya kubambikiziwa kwa kisingizio cha uchochezi alisema mpaka sasa jumla ya wanachama na viongozi 215 wamefunguliwa kesi zaidi ya 78 nchi nzima kati ya hao wengi wao wamenyimwa dhamana bila sababu za msingi huku wale ambao walipatikana na hatia walipewa adhabu za vifungo bila kupewa fursa ya faini kutokana na hilo hivi sasa tunaandaa orodha kamili itakayoainisha kesi zote za jinai ambazo ziko mahakamani na kuonyesha aina ya mashtaka na vifungo vilivyotolewa ambayo itawekwa wazi kwa vyombo vya habari na taasisi za ndani na nje ya nchi kuthibitisha kuwa kuna mpango wa kuwafunga viongozi wa upinzani kwa kusudi ili kuwadhoofishaalisema profesa safari katika hatua nyingine profesa safari aliwaomba marais wastaafu mawaziri wakuu wastaafu na majaji wastaafu kuzungumza na rais john magufuli kutokana na yanayoendelea na kwamba wasiogope kwani wao hawatatumbuliwa marais wastaafu ali hassani mwinyi benjamin mkapa na jakaya kikwete wanaogopa nini kwanini wasimwambie rais magufuli kuwa na wao waliapa kuilinda katiba ya nchi hivyo na yeye afanye hivyo mawaziri wakuu wako wapi cleopa msuya jaji joseph warioba dk salim ahmed salim huyu amekuwa kimya kabisa na alikuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa (un) majaji wastaafu nao wako kimya tunaomba waache uoga wajitokeze wao hawatatumbuliwaalisema profesa safari
2017-12-12T10:15:05
http://www.mpekuzihuru.com/2017/02/kamati-ndogo-ya-kamati-kuu-ya-chadema.html
liraglutide dawa nzuri kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa kisweri wa aina ya kiswidi 2 na fetma liraglutide dawa nzuri kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa kisukari 2 na fetma 6115 maoni 2 muundo wa liraglutide 3 dalili ya liraglutide 4 utaratibu wa hatua wa liraglutide 5 kipimo na maagizo ya utawala ya liraglutide 6 je ni faida gani za liraglutide 7 unapaswa kutunza athari zifuatazo / onyo wakati wa kutumia liraglutide 8 mwingiliano wa liraglutide 9 uzoefu wa kliniki 10 hitimisho liraglutide (204656202) ni dawa inauzwa chini ya majina tofauti ya bidhaa katika sehemu mbali mbali za ulimwengu ambazo hutumiwa kwa matibabu tofauti majina ya brand ya liraglutide ya kawaida kwenye soko leo ni victoza na saxenda matumizi ya liraglutide hutegemea chapa unayonunua kwa mfano victoza hutumiwa sana na mazoezi sahihi na lishe kuongeza udhibiti wa sukari ya damu kwa watu wazima na aina ya ugonjwa wa kisukari wa 2 kwa watoto wa angalau miaka kumi kwa kuongezea victoza pia ameonekana kuwa muhimu katika kupunguza hatari za shida ya moyo kama kiharusi au mshtuko wa moyo kwa watu wazima walio na magonjwa ya moyo na aina ya kisukari cha 2 kwa upande mwingine saxenda ambayo pia chapa nyingine ya liraglutide hutumiwa na lishe sahihi na mazoezi ili kusaidia watumiaji kupunguza uzito wakati wanaosumbuliwa na hali mbali mbali za kiafya licha ya kuwa jina la chapa la liraglutide saxenda haitumiki kwa matibabu ya aina ya 1 au aina ya kisukari cha aina mbili na pia sio njia ya kukandamiza hamu au kuongeza uzito daktari wako anaweza kupendekeza matumizi ya liraglutide kwa sababu zingine ambazo hazijumuishwa kwenye mwongozo huu walakini inashauriwa kila wakati kupata kipimo sahihi cha liraglutide kutoka kwa daktari wako kwa matokeo bora liraglutide inauzwa inapatikana kwenye duka kadhaa za mkondoni na maduka ya dawa lakini unapaswa kuwa mwangalifu daima kuhusu chanzo chako daima fanya utafiti sahihi kuhakikisha kuwa unapata dawa yako kutoka kwa muuzaji anayeaminika na mwenye ujuzi ubora wa dawa unayotumia ina athari kwenye matokeo ambayo utapata mwishoni mwa mzunguko wa kipimo gharama ya liraglutide inaweza kutofautiana kutoka chanzo kimoja hadi kingine lakini hakikisha unapata ubora bora ikiwa hauna hakika juu ya chanzo wasiliana na dawa yako kwa kemikali muundo wa liraglutide imeundwa na peptide iliyo na mafuta ya muda mrefu yenye glucagonkama ambayo inasimamiwa kwa uangalifu pamoja na shughuli za antihyperglycemic kitendo cha muda mrefu cha dawa hiyo ni matokeo ya asidi ya mafuta na viambatisho vya asidi ya palmitic kwa glp1 ambayo inaunganisha kwa urahisi na albin ufungaji wa albino una jukumu muhimu katika kulinda liraglutide kutoka kwa uharibifu wa mara moja unapochukua kipimo chako na matokeo yake husababisha kutolewa kwa polepole na polepole kwa glp1 hii inahakikisha unapata matokeo yanayotarajiwa ndani ya muda mfupi iwezekanavyo fda imeidhinisha victoza na saxenda kwa matibabu ya hali tofauti za matibabu huko merika kama tulivyosema hapo awali victoza ameidhinishwa kwa matibabu ya shida ya moyo na ugonjwa wa kisukari wa 2 inajulikana pia kwa kupunguza dalili za njia ya utumbo kama kutapika kichefuchefu na kuhara saxenda pia ilipitishwa na fda kusaidia katika matibabu ya ugonjwa wa kunona sana na udhibiti wa uzito wa mwili liraglutide inapaswa kuchukuliwa wakati unataka kupunguza matatizo ya moyo na mishipa ambayo yanatokana na magonjwa ya moyo au aina ya 2 ugonjwa wa kisukari pia ikiwa unataka kudhibiti uzito wa mwili wako kutokana na aina ya ugonjwa wa kisukari wa 2 ugonjwa wa kunenepa sana wa liraglutide utakuwa dawa bora kwako fetma liraglutide pia imesaidia watumiaji wengi kusimamia uzito wao hata ikiwa unapata dalili ambazo zinaweza kutibiwa na unga wa liraglutide usichukue dawa bila kushauriana na mtaalamu wa afya walakini kumbuka kuwa daktari wako anaweza kuagiza dawa hii kwako kusaidia katika matibabu ya hali nyingine yoyote ya matibabu ambayo haijaorodheshwa katika nakala hii katika hali nyingi liraglutide inafanya kazi kulingana na kile unataka kufikia mwisho wa mzunguko wa kipimo kwa mfano utaratibu wa hatua wa liraglutide kwa watu wanaochukua kipimo cha liraglutide kwa kupoteza uzito ni tofauti na watumizi ambao wanachukua kwa matibabu ya aina ya ugonjwa wa kisukari wa 2 aina mbili za chapa za liraglutide victoza na saxenda fanya kazi tofauti mara tu wataingia kwenye mfumo wa mwili wako kwa mfano ugonjwa wa kunona sana wa liraglutide (saxenda) hufanya kazi kwa kukandamiza utengenezaji wa homoni za hamu (glucagonkamapeptide au glp1) mwilini mwako ambayo inadhibiti njaa yako wakati uzalishaji wa glp1 unapoanguka hamu yako itashuka na kuishia kula kalori chache na mwishowe kupoteza uzito wa mwili kalori ni jukumu la kuongeza uzito wa mwili wako na ikiwa unaweza kuadhibiti itakuwa rahisi kwako kumwaga pauni kadhaa kwa upande mwingine victoza anafanya kazi kwa njia tatu tofauti kutoa matokeo yaliyoahidiwa na mtengenezaji wa dawa kwanza victoza hufanya kazi kwa kupunguza chakula kuacha tumbo lako ambayo inasimamia viwango vya sukari ya damu mwilini mwako ingawa utaratibu huo huo dawa pia huzuia ini yako kutoka kutoa sukari nyingi mwishowe liraglutide ambayo ni sehemu kuu katika victoza pia huchochea kongosho lako kutoa insulini zaidi wakati viwango vya sukari ya damu viko juu dawa hiyo huongeza shughuli hizi zote kwa kuongeza ufanisi wa seli za beta seli husaidia kudhibiti sukari ya damu kwa kutolewa insulini ambayo husababisha viwango vya sukari kwenye mfumo wako wa mwili kuchochea kwa uzalishaji wa insulini mwilini mwako ndio sababu kuu ya kwa nini victoza hutumiwa sana katika matibabu ya aina 2 kisukari mellitus matumizi ya liraglutide hutofautiana kutoka kwa mtumiaji mmoja hadi mwingine kulingana na hali ya kiafya inayotibiwa kipimo cha dawa inapaswa kuweka na mtaalamu wa matibabu kulingana na hali inayotibiwa watoto chini ya umri wa miaka kumi hawashauriwi kuchukua dawa hii kwani inaweza kuwaonyesha athari mbaya miili ya binadamu pia ni tofauti na ndiyo sababu inashauriwa kila wakati kwenda kwa uchunguzi wa matibabu kabla ya kuanza kutumia dawa yoyote ingawa liraglutide inakuja na maelekezo ya kipimo yaliyopendekezwa na mtengenezaji wakati mwingine inaweza kuwa haifanyi kazi kwako daktari ndiye mtu pekee anayefaa kukuwekea kipimo sahihi cha liraglutide kwako baada ya kukagua hali yako ya kiafya sindano ya liraglutide liraglutide ni dawa inayoweza kudungwa ambayo inapaswa kutumiwa kwa mkono wako wa juu tumbo au paja hakuna wakati maalum uliowekwa wa kuchukua kipimo chako cha liraglutide lakini unaweza kuchukua au bila milo unaweza kuzungusha tovuti za sindano za liraglutide kupunguza athari au maumivu ambayo unaweza kupata katika eneo hilo wakati wa utawala wa kipimo unaweza kubadilishwa bila raha bila kurekebisha kipimo kilichowekwa inashauriwa kila wakati kukagua kila sindano ya liraglutide kuibua unapaswa kuchukua sindano yako tu wakati suluhisho haina rangi wazi na haina chembe yoyote inayoonekana ikiwa suluhisho lako litakua na rangi yoyote isiyo ya kawaida usichukue bila kushauriana na daktari wako kiwango cha liraglutide kipimo cha unga wa liraglutide kitategemea uvumilivu wako wa mwili umri na hali ya kiafya inayotibiwa kipimo cha watu wazima aina ya kisukari 2 awali liraglutide poda (204656202) kipimo kwa watu wazima ni 06mg ambayo inapaswa kuchukuliwa mara moja kwa siku kwa wiki moja baada ya wiki moja kipimo kinaweza kubadilishwa kuwa 12mg mara moja kwa siku na ikiwa hautafikia udhibiti wa ugonjwa daktari wako anaweza kuongeza kipimo zaidi hadi 18mg kwa siku kiwango cha matengenezo cha liraglutide kinapaswa kuwa kati ya 12 na 18 mg kwa siku walakini kipimo cha juu ni 18mg kwa siku dozi ya awali ya 06mg kwa siku imekusudiwa kupunguza dalili za utumbo kutokana na kuanzishwa kwa tiba na haiwezi kutosha kwa udhibiti wa glycemic walakini liraglutide sio badala ya insulini na wagonjwa wenye aina ya ugonjwa wa kisukari wa 1 au ketoacidosis ya kisukari haifai kuichukua unapoanza tiba hii fikiria kupunguza siri ya insulini kupunguza hatari ya hypoglycemia kupunguza hatari ya moyo na mishipa kipimo cha awali cha liraglutide kwa watu wazima wenye shida ya moyo na mishipa ni 06mg kwa siku na inapaswa kuchukuliwa kwa wiki ya kwanza kipimo kinapaswa kuongezeka hadi 12mg kwa siku katika wiki iliyofuata na ikiwa hautafanikisha udhibiti wa glycemic daktari wako anapaswa kuongeza kipimo zaidi hadi 18mg kwa siku walakini kwa wakati liraglutide poda kipimo kimeongezwa hadi kiwango cha juu utakuwa umepata matokeo yaliyohitajika kipimo cha matengenezo kinapaswa kuwa kati ya 12mg na 18mg kwa siku wakati kiwango cha juu cha watu wazima ni 18mg kwa siku dozi ya watu wazima ya liraglutide kwa kupoteza uzito au kunona sana the kupunguza uzito wa liraglutide ongezeko la kipimo inapaswa kuzingatiwa ili kupunguza uwezekano wa kupata dalili za njia ya utumbo marekebisho ya kipimo yanaweza kucheleweshwa kwa wiki ya nyongeza kwa matokeo bora walakini daktari wako anapaswa kukuongoza katika mchakato huu kipimo cha kwanza hapa ni 06 ambayo inapaswa kuchukuliwa mara moja kwa siku katika wiki ya pili kipimo kinaweza kuongezeka hadi 12mg kwa siku katika wiki ya tatu kipimo kinaweza kuinuliwa zaidi kwa 18 kwa siku katika wiki ya nne kipimo pia kinapaswa kuongezeka hadi 24mg na wiki ya tano hadi 3mg mara moja kwa siku walakini daktari wako atakuongoza wakati na jinsi ya kuboresha kipimo dozi ya matengenezo hapa ni 3mg mara moja kwa siku lakini ikiwa mwili wako hauwezi kuvumilia daktari anaweza kukushauri kuacha kipimo usimamizi wa uzito sugu kwa kutumia dawa hii umepatikana na kipimo cha juu juu ya ugonjwa wa kunona sana chapa ya saxenda liraglutide imeonekana kuwa muhimu katika usimamizi wa uzito na dawa hiyo haitumiki kwa matibabu ya aina ya ugonjwa wa kisukari wa 2 walakini victoza anajulikana kwa matibabu ya aina ya ugonjwa wa kisukari wa 2 na shida ya moyo na mishipa kipimo cha watoto kipimo cha sindano ya sindano ya liraglutide kinapaswa kuchukuliwa tu na watoto wa angalau miaka kumi na zaidi mtoto yeyote wa chini kuliko ile hawapaswi kupewa dawa hii hata ikiwa anaonyesha dalili ambazo zinaweza kutibiwa na peptide hii kipimo cha liraglutide ya watoto pia inategemea hali ya kiafya inayotibiwa kipimo kilichopendekezwa ni kama ifuatavyo kipimo cha watoto wa ugonjwa wa kisukari 2 kipimo cha sindano ya awali ya sindano ya liraglutide ni 06mg ambayo inapaswa kuchukuliwa mara moja kwa siku kwa angalau wiki moja baada ya hapo kipimo kinaweza kuongezeka hadi 12mg kwa siku na ikiwa udhibiti wa glycemic haujapatikana dawa inaweza kuongeza kipimo zaidi hadi 18 gm wiki ijayo kiwango cha juu cha watoto kwa ugonjwa wa kisukari cha pili ni 18mg kwa siku wakati kipimo cha matengenezo huanzia 06mg hadi 18mg kwa siku liraglutide pia inaweza kuamriwa watoto kusaidia katika matibabu ya hali tofauti za kiafya kama shida za figo na ini walakini wakati wa kutibu hali hizi mbili unapaswa kuchukua kwa uangalifu liglutide kwani inaweza kusababisha athari mbaya wakati inapozidiwa hakuna marekebisho ya kipimo inapendekezwa wakati wa kuchukua peptidi ya liraglutide kwa maswala ya ini au figo wakati wa kuchukua kipimo cha liraglutide punguza ulaji wowote wa insulini kupunguza hatari ya hypoglycemia ni nini kinachotokea ikiwa ninapindukia kupindukia dawa yoyote sio wazo nzuri na haipaswi kutiwa moyo hata wakati wa kuchukua kiwango cha liraglutide kwa kupoteza uzito au matibabu ya hali nyingine yoyote ya kiafya unashauriwa kila wakati kushikamana na maagizo ya kipimo uliyopewa na daktari wako kupitia overdosis itasababisha athari mbaya ambayo inaweza kuwa mbaya hali yako ya kiafya au hata kusababisha shida zingine za kiafya walakini wakati mwingine overdosing inaweza kuwa matokeo ya ajali au mwitikio wa mwili wako kwa dawa hiyo madhara mabaya ya kawaida ni pamoja na kichefuchefu kali na kutapika unapogundua umechukua kipimo zaidi kuliko kilichopendekezwa tafuta matibabu haraka iwezekanavyo unaweza pia kufikia kwa daktari wako kwa msaada kwa miaka liraglutide imeonekana kutoa faida tofauti haswa katika ulimwengu wa matibabu walakini unaweza tu kupata kiwango cha juu faida za liraglutide ikiwa utashikamana na maagizo ya kipimo na lishe sahihi au mazoezi kama ulivyoshauriwa na daktari wako hapa kuna faida nyingi zinazojulikana za liraglutide huongeza kisukari cha 2 jina la chapa la liraglutide victoza limetumika na kupitishwa na fda kwa matibabu ya aina ya kisukari 2 dawa hiyo husaidia kudhibiti sukari ya damu mwilini mwako wakati viwango vya sukari vikiwa juu mwilini mwako liraglutide huchochea kongosho lako kutoa insulini zaidi ya insulini ambayo husaidia katika kupunguza sukari ya damu msaada katika kupigania kunenepa na uzani wa mwili huko merika ya amerika fda iliidhinisha liraglutide kwa matibabu ya ugonjwa wa kunona baada ya kudhihirika kuwa nzuri katika kukandamiza hamu ya kula na ulaji wa kalori ambayo ilisaidia katika usimamizi wa uzani wa mwili kwa wastani wanawake wamepata upungufu mkubwa wa uzito wakati wanachukua uzito wa liraglutide kuliko wanaume walakini hiyo haimaanishi kuwa wanaume hawatafaidika na dawa hii kwa uzoefu bora wa kupunguza uzito na dawa hii lishe sahihi na mazoezi pia inapaswa kuambatana na kipimo inalinda mfumo wa mishipa liraglutide imeonekana kuwa muhimu katika kulinda misuli ya moyo wako na kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo masomo ya kitabibu pia yanaonyesha kuwa kuchukua liraglutide magonjwa ya moyo yaliyoboreshwa yanayotokana na ugonjwa wa kisukari wa 2 na ugonjwa wa kunona sana dawa hiyo pia husaidia katika kusawazisha shinikizo la damu ambalo linasaidia katika kukuza afya ya misuli yako dawa hii pia inasemekana ina athari nzuri katika kuboresha afya ya ubongo wako kusaidia katika kudhibiti wasiwasi na inaweza kutumika kama kiongeza cha kupambana na vioksidishaji na kuzuia uchochezi katika utafiti mwingine wa kitabibu liraglutide ilionyesha kuwa inaweza kusaidia watu walio na ulevi walakini overdose ya liraglutide inaweza kukuonyesha kwa shida za kiafya na kuharibu faida zote zinazotarajiwa karibu kila dawa inapotumika vibaya au overdosed inaweza kukuonyesha athari mbaya na liraglutide sio ya kipekee walakini wakati mwingine athari mbaya inaweza kuwa kama matokeo ya jinsi mwili wako unavyojibu kipimo cha kupoteza uzito cha liraglutide baadhi maonyo ya liraglutide ni kawaida na kutoweka na wakati lakini ikiwa athari zifuatazo hazipotea kwa wakati au zinakuwa nzito tafuta matibabu pua ya kukimbia kukohoa au kupiga chafya kuungua au ugumu katika mkojo tovuti za sindano za sindano za liraglutide usumbufu na maumivu ya moyo kuna maonyo kali sana ya liraglutide ambayo yanahitaji matibabu ya haraka mara unapoanza kuyapata na yanajumuisha viti vya rangi ya rangi ngozi ya manjano au macho ikiwa utaanza kufikiria juu ya mauaji unajeruhi mwenyewe au wengine kichefuchefu koo ya uvimbe ulimi uso macho au mdomo vigumu katika kumeza au kupumua kwa haya mazito madhara mabaya ya liraglutide unashauriwa kuacha kuchukua kipimo mara tu unapotafuta msaada wa matibabu kuingiliana kwa madawa ya kulevya kunaweza kuathiri jinsi dawa yako itakavyofanya kazi au hata kukuweka kwenye hatari kubwa ya kupata athari mbaya kwa hivyo kabla ya kuanza kuchukua kipimo cha liraglutide ni muhimu kumjulisha daktari wako kuhusu hali nyingine yoyote ya kiafya ambayo uko chini ya dawa dawa zingine haziwezi kufanya kazi pamoja na ni vizuri kwa daktari wako kuwa anajua juu ya dawa nyingine yoyote ambayo unaweza kuwa unachukua kuwa upande salama usianze badilisha kipimo au kuacha kunywa dawa yoyote bila kushauriana na mtaalamu wa matibabu unashauriwa usichukue dawa hii na dawa nyingine yoyote iliyo na liraglutide kwani inaweza kusababisha kupindukia na kukuonyesha athari mbaya kulingana na hali yako ya kiafya daktari wako atakupa haki mwingiliano wa liraglutide kuongeza matokeo kuna dawa nyingi ambazo unaweza kuchukua pamoja na liraglutide kama vile acetohexamide albuterol cinoxacin na danazol kati ya wengine wengi kulingana na hakiki liraglutide kwenye majukwaa tofauti ya mkondoni watumiaji wengi wanaridhika na matokeo na faida walizofurahia wakati au baada ya kunywa dawa hiyo masomo ya kitabibu yanaonyesha pia jinsi dawa hiyo imekuwa muhimu katika matibabu ya hali mbali mbali za matibabu kama ugonjwa wa kunona sana aina ya ugonjwa wa kisukari wa 2 shida za figo na katika kuzuia magonjwa ya moyo yanayotokana na hali tofauti za kiafya maingiliano ya liraglutide pia yamethibitisha kuwa na nguvu katika kutibu ugonjwa wa kisukari 2 kwa watoto wa angalau miaka kumi walakini watumiaji wengine wamekuwa na uzoefu mbaya na dawa hii lakini hiyo inaweza kuhusishwa na overdose ya liraglutide au uvumilivu wa mwili habari njema ni kwamba athari za liraglutide zinaweza kubadilishwa ikiwa unawasiliana na daktari wako kwa wakati mzuri njia bora ya kuzuia kupata athari kali wakati unachukua dawa hii inakwenda kwa uchunguzi wa matibabu kabla ya kuanza kipimo chako na kuruhusu medali kukuwekea kipimo sahihi inashauriwa pia kufuata maagizo ya kipimo na kumjulisha daktari wako kuhusu dawa nyingine yoyote ambayo unaweza kuwa unachukua dawa hii imethibitika kuwa muhimu katika ulimwengu wa matibabu zaidi katika matibabu ya ugonjwa wa kunona sana aina ya kisukari cha 2 na shida ya moyo kati ya wengine liraglutide poda (204656 202) inauzwa katika maduka tofauti mkondoni lakini utaipata kwa majina anuwai ya bidhaa kama vile saxenda na victoza walakini hakikisha unaelewa kila brand inatumiwa kabla ya kufanya agizo lako kama ilivyoelezwa hapo juu kila jina la liraglutide hutumiwa kwa kusudi fulani saxenda imepitishwa kwa kupoteza uzito na matibabu ya ugonjwa wa kunona wakati victoza inatumiwa katika matibabu ya kisukari aina ya 2 na magonjwa ya moyo yanayotokana na kiwango cha sukari kubwa ya damu walakini fuata maagizo ya kipimo ili usipate athari za liraglutide inashauriwa kufanya utafiti sahihi juu yako liraglutide kununua chanzo kabla ya kufanya ununuzi wako leo kuna wauzaji wengi wa peptide kwenye soko na inafanya iwe ngumu kujua ni wapi utapata dawa bora ambayo itakuhakikishia matokeo ya kuvutia angalia hakiki za liraglutide kwenye wavuti ya muuzaji kupata hakiki ya bidhaa na jinsi muuzaji anafanya kazi chagua muuzaji anayenunua zaidi na maarufu wa liraglutide atakuhakikishia huduma bora kama vile bidhaa bora za matibabu gharama ya liraglutide inatofautiana kutoka kwa muuzaji mmoja hadi mwingine sio lazima kuwa na wasiwasi juu ya kitu chochote wakati wa kuchukua liraglutide kwani ni dawa halali na kwa matokeo bora shirikisha dawa yako katika mzunguko mzima wa kipimo kaakeh y kanjee s boone k & sutton j (2012) liraglutide uced ilichochea kuumia kwa figo dawa ya madawa jarida la dawa ya binadamu na tiba ya dawa 32(1) e7e11 marso sp daniels gh brownfrandsen k kristensen p mann jf nauck ma & steinberg wm (2016) liraglutide na matokeo ya moyo na mishipa katika aina ya kisukari cha 2 new england journal of medicine 375(4) 311 322 lind m hirsch ib tuomilehto j dahlqvist s ahrén b torffvit o & sjöberg s (2015) liraglutide katika watu wali kutibiwa aina ya kisukari cha 2 na sindano nyingi za kila siku za insulini jaribio la kliniki lililosababishwa (kesi ya mdi liraglutide) bmj 351 h5364 davies mj bergenstal r bode b kushner rf lewin a skjøth tv & defronzo ra (2015) ufanisi wa liraglutide kwa kupoteza uzito kati ya wagonjwa walio na ugonjwa wa kisukari wa aina ya 2 kisayansi cha kisayansi cha scale kilichopanga jaribio la kliniki kwa bahati nasibu jama 314(7) 687 699
2020-01-25T14:11:31
https://sw.phcoker.com/liraglutide-dawa-nzuri-ya-kutibu/
 spika awataka wabunge kutoshiriki ngono kuacha pupa wakati wa kula 14 september 2019 saturday 0728 spika wa bunge la nchini uganda rebecca kadaga amewashauri wabunge na maafisa wa itifaki wa nchi hiyo kulinda hadhi yao wakati wote wa mkutano wa 64 wa bunge la jumuiya ya madola kadaga ameona kuwa weledi unahitajika miongoni mwa maafisa wa itifaki katika kipindi hicho ili kuepuka mazingira yenye kukanganyana kati ya ujumbe na wenyeji ''wakati wa kula hata kama una njaa usiwe na pupa'' alisema kadaga akieleza kisa cha mbunge mmoja ambaye aliambatana na rais yoweri museveni alikabwa na kipande cha nyama kwa mujibu wa kadaga mbunge alipigwa mgongoni na kipande cha nyama kikaanguka mbele ya rais wa tanzania wakati huo jakaya kikwete jambo ambalo liliaibisha ujumbe wa uganda kadaga pia ameshauri kuepuka unywaji wa kupita kiasi wakati wa mkutano ni miaka 52 tangu uganda kwa mara ya kwanza ilipohodhi mkutano huu afrika imehodhi mikutano 16 kenya mara tatu afrika kusini mara mbili mauritius mara mbili uganda mara mbili nigeria mara mbili zambia namibia malawicameroon na tanzania mara moja updated 14092019 0736
2019-10-18T16:21:53
http://www.azaniapost.com/africa/spika-awataka-wabunge-kutoshiriki-ngono-kuacha-pupa-wakati-wa-kula-h24436.html
madaktari bingwa wa benjamin mkapa kutoa huduma iringa wananchi changamkieni fursa imewekwa tarehe february 15th 2020 timu ya madaktari bingwa wa hospitali ya benjamin mkapa kutoka dodoma inatarajiwa kutoa huduma za kibingwa za magonjwa ya njia ya mkojo pua koo na masikio ikiwemo watoto na mifupa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa kuanzia jumatatu februari 17 huu ni mwendelezo wa utoaji huduma tembezi outreach inayofanywa na hospitali hiyo ikilenga kufikisha huduma za kibingwa kwa wananchi mwezi uliopita walikuwa wilayani kiteto mkoani manyara ambako walitoa huduma za magonjwa ya moyo upasuaji njia ya mkojo na figo kiongozi wa jopo la madaktari bingwa watakaotoa huduma mkoani iringa daktari charles lema amesema kuwa watatoa huduma kwa siku 5 kwa hiyo tuwaombe wananchi wa iringa na maeneo ya jirani kuchangamkia hiyo fursa kutakuwa na madaktari bingwa wa mifupa madaktari bingwa wa magonjwa ya njia ya mkojo madaktari bingwa wa magonjwa ya pua koo na masikio na madaktari bingwa wa watoto amesisitiza dkt lema aidha daktari huyo amesema kuwa watatumia fursa hiyo kutambulisha huduma zinazotolewa na hospitali ya benjamini mkapa ili kama kuna mtu anazihitaji asisite kufika na kupata huduma hizo huu ni mwendelezo wa mkakati wa hospitali ya benjamin mkapa kuwafikia wananchi tumetoka kiteto na tutazidi kwenda maeneo mengine kadiri uhitaji utakavyokuwa unaonekana akitoa ushuhuda wa huduma hizo hawa rajabu mkazi wa ngarenoro amesema kuwa kwa wamama kama sisi tunashida za matumbo lakini kama hivyo unaweza ukaenda mahali wengine wanatumia hata mizizi lakini kutokana na madaktari waliokuja kwa utaalam wao tunavyowaeleza kwa kweli wanatusaidia tunashukuru kwa hilo tunaomba isiwe mara moja tu waongeze ili wakati mwingine kwa mwaka iwe mara mbili au mara tatu ili wananchi waweze kusaidika zaidi kwanza natoa shukurani kwa ujio wa madaktari hawa tunashukuru sana maoni yangu nilikuwa napenda wawe wanatujia mara kwa mara kwa sababu hapa huduma zetu ni chache huduma zinapatikana lakini nyingi si kama hivi ambazo tumezipata tunawashukuru sana hawa madaktari bingwa watuijie mara kwa mara amesema mkazi wa kiteto zubeda hasan hawa rajabu mkazi wa ngarenaro mmoja wa mashuhuda wa huduma za madaktari bingwa kutoka hospitali ya benjamin mkapa jijini dodoma zubeda hassan mkazi wa kiteto akielezea uzuri wa huduma za madaktari bingwa kutoka hospitali ya benjamin mkapa na kusisitiza umuhimu huku akitoa rai kwa madaktari hao kufanya ziara za namna hiyo mara kwa mara jopo la madaktari bingwa wakiwa kazini wakati wakihudumia wananchi wa kiteto chanzo maelezo tv online vyumba vya biashara stendi kuu soko sasa mtandaoni stendi kuu soko jijini dodoma kuanza kutumika rasmi prof mwamfupe atoa siri ya mafanikio ya jiji la dodoma
2020-04-09T05:13:44
http://www.dodomamc.go.tz/new/madaktari-bingwa-wa-benjamin-mkapa-kutoa-huduma-iringa-wananchi-changamkieni-fursa
cricket kenya na uganda zakomeje mu kiciro cya nyuma mu gushaka itike yigikombe kisi | amakuru mashya ahabanza imikino cricket cricket kenya na uganda zakomeje mu kiciro cya nyuma mu cricket kenya na uganda zakomeje mu kiciro cya nyuma mu gushaka itike yigikombe kisi ikipe ya kenya ishyikirizwa igikombe na perezida wa rca baraba eddy ikipe yigihugu ya kenya na uganda ni zo zabonye itike yo gukomeza mu kiciro cya kabiri cyo gushaka itike yigikombe kisi kizabera muri australia muri 2020 izi kipe zabigezeho nyuma yo kwitwara neza mu mikino yamajonjora yahuje amakipe yo mu karere kafurika yiburasirazuba east africa world t20 qualifiers yabereye mu rwanda kuva tariki 07 kugeza 15 nyakanga 2018 iri rushanwa ryari ryitabiriwe nibihugu 4 ari byo u rwanda kenya uganda na tanzania buri kipe yakinnye nindi imikino 2 bivuze ko buri kipe yakinnye imikino 6 ikipe ya kenya yegukanye umwanya wa mbere namatoza 10 aho yatsinze imikino 5 yatsinze u rwanda imikino 2 itsinda tanzania imikino 2 itsinda uganda umukino umwe undi uganda irayitsinda ku mwanya wa 2 haje ikipe ya uganda namanota 8 aho yatsinze imikino 4 itsindwa ibiri uganda yatsinze u rwanda imikino 2 itsinda kenya umukino umwe inatsinda tanzania umukino umwe mu mikino ibiri yatsinzwe harimo uwa kenya na tanzania ku mwanya wa 3 haje tanzania namanota 6 aho yatsinze imikino 3 igatsindwa indi 3 naho ikipe yu rwanda yasoje ku mwanya wa 4 nta nota na rimwe kuko yatsinzwe imikino yose uko ari 6 perezida wishyirahamwe ryumukino wa cricket mu rwanda rca baraba eddy yatangaje ko iri rushanwa ryagenze neza nubwo ikipe yu rwanda ititwaye neza ariko ko ugereranyije nurwego iriho yitwaye neza yagize ati twakinnye namakipe aturusha nubwo tutashoboye kuyatsinda twaberetse ko no mu rwanda umukino wa cricket uhari kandi ugeze ku rwego rushimishije baraba yanagarutse ku bwitabire avuga ko byabashimishije cyane uburyo abanyarwanda batangiye gukunda umukino wa cricket ati ibi bizadufasha muri gahunda twihaye yo gukundisha abantu umukino no kuwubigisha kenya na uganda ni zo zizahagararira akarere kafurika yiburasirazuba mu mikino yo gushaka itike yigikombe kisi izi kipe ziyongereye kuri ghana na nigeria zitwaye neza mu mikino yamajonjora mu karere kafurika yamajyaruguru niburengerazuba kuri ubu hasigaye imikino yo mu itsinda ryibihugu byafurika yamajyepfo birimo botswana lesotho malawi mozambique namibia saint helena swaziland na zambia imikino ikazabera muri botswana kuva tariki 28 ukwakira kugeza ku itariki ya 03 ugushyingo 2018 aya makipe 6 namara kuboneka yose azakina hanyuma amakipe 2 abe ariyo abona itike yo kuzahagararira afurika mu gikombe kisi inkuru zibanzabarack obama yageze muri kenya inkuru ikurikiramuhangaabatujwe mu mudugudu wa horezo bazakomeza gufashwa kwiteza imbere uwamariya murwanda april 17 2019 amakuru october 11 2018 imikino february 28 2019
2019-06-25T22:51:31
http://amakurumashya.com/2018/07/17/cricket-kenya-na-uganda-zakomeje-mu-kiciro-cya-nyuma-mu-gushaka-itike-yigikombe-kisi/
profesa kabudi atoa kauli hatua ya majadiliano na barrick | mpekuzi profesa kabudi atoa kauli hatua ya majadiliano na barrick waziri wa katiba na sheria profesa palamaganda kabudi amesema majadiliano yanayofanywa na serikali pamoja na kampuni ya dhahabu ya barrick kuhusu mchanga wa dhahabu (makinikia) yamefikia mahali pazuri na kwamba taifa litajulishwa hivi karibuni kwa upande wa tanzania timu ya majadiliano iliyoundwa na rais john magufuli ilikuwa iliongozwa na profesa kabudi wakati timu ya barrick iliongozwa na ofisa mtendaji mkuu wa kampuni hiyo richard william kamati hiyo ambayo ilianza majadiliano hayo rasmi julai 31 mwaka huu ilenga kujadiliana madai ya tanzania kwenye biashara ya madini akizungumza na wakuu wa taasisi idara na vitengo vya sheria serikalini mjini hapa kabudi alisema taifa litataarifiwa kuhusu maendeleo ya majadiliano hayo hivi karibuni juzi na jana tumefikia katika hatua nzuri ambayo nisiseme lakini taifa litataarifiwa hivi punde juu ya maendeleo ya utekelezaji wa tuliyokubalianaalisema baada ya hapo nilidhani nitapumzika nifanye kazi nyingine lakini mheshimiwa rais amenipa jukumu jingine la kusimamia madini ya tanzanite na almasi alisema shughuli hizo ndizo zimemfanya iwe vigumu kuwatembelea na kuongea nao tangu alipochaguliwa kushika nafasi hiyo mwanzoni mwa mwaka huu alisema miongoni mwa sababu ambayo iliwafanya wasiweke hadharani wajumbe wa tume hiyo wanaoenda kukutana na kampuni ya barrick kuepuka watu kuwachambua kwa faida ya upande wa pili alionya tabia ya wataalam wa sheria kutoa maoni ya kisheria haraka sio nzuri katika kushughulikia maslahi ya taifa tutashindwa tutalipa fedha nyingi wakati wake si huu tutalipa mabilioni ya fedha tukienda mahakamani kwa hiyo alipwe sio wakati wake na kwa unyenyekevu mkubwa tulipoanza majadiliano haya tuliambiwa kuwa barrick watawashtakialisema mtalipa fedha nyingi wametushtaki nawaulinza nyinyi ndugu zangu wametushtaki barrick tumelipa hela nyingi lakini sio ndio ilikuwa mazungumzo hayo kwamba hapo simesaini (makubaliano) subirini mtashtakiwa mtalipa fedha nyingi alisema wengine walisema kuwa barrick hawatafika katika mazungumzo hayo na kuhoji kama walikuja ama la mazungumzo yamevunjika sasa mlitaka tuyafanye hadharani moja ya sababu ya wale kufichwa isipokuwa mimi nifahamike wala ilikuwa hatuwaogopi sana wale nyinyi watanzania maana mngeanza kuchambua huyu darasa la nne alifelialisema kwa hiyo mngeanza kuchambua watu kwa faida ya yule (barrick) badala ya kupeana hatukukutana na watu wadogo jana tulikuwa na richard willison (ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya barrick komandoo yule (willison) lakini pamoja na ukomandoo wake si tulipambana naye bwana alisema ni lazima kusimamia maslahi ya serikali bila woga wowote na kwamba inakera kusikia mwanasheria akisema kesi ni ngumu nakwamba serikali ilipe fedha haraka sana tutashtakiwa sasa wewe umeajiriwa kwasababu gani si uende upambane nasema hili mjue nyakati zimebadilika mjiulize zimepitishwa sheria mnazifahamu zilizopitishwa si za wizara yakoalihoji pia alisema kuwa kwa muda wote wa majadiliano ya makinikia wajumbe wa timu hiyo hawakukaa majumbani kwao kutokana na uhalisiana wa suala hilo profesa kabudi alisema majadiliano kuhusu mkataba kati ya serikali na kampuni ya upakuaji makontena bandarini ya tanzania (ticts) yamewezesha kampuni hiyo kuongeza mapato tulifanikiwa kukaa na wale wa hong kong na kufanikiwa kuubadilisha mkataba ule mara ya kwanza ulikuwa ni mkataba ambao kwa mwaka kodi ya pango ni dola milioni 7 lakini sasa ni dola milioni 14 zinazoongezeka kwa asilimia tatu kila mwakaalisema alisema fedha hizo zitalippwa mwanzo wa mwaka zote na kwamba mwaka huu wamelipa dola za kimarekani milioni 173 alisema anza kutoa dola za marekani milioni 14 kila mwaka badala ya dola za marekani milioni 7 kila mwaka kama kodi ya pango alisema awali mkataba ulikuwa hautoi nafasi ya kuongeza kodi sasa unatoa ongezeko la asilimia la asilimia tatu tumekubaliana wawe wanalipa kwa mkupuo mwanzo wa mwaka wa fedha na julai mwaka huu badala ya kulipa oktoba wamelipa dola za marekani milioni 173alisema kabudi
2017-12-12T10:00:16
http://www.mpekuzihuru.com/2017/11/profesa-kabudi-atoa-kauli-hatua-ya.html
kuhusu zoezi la vitambulisho vya uraia kupangiwa muda wa ukomo kujiandikisha ni sahihi | jamiiforums | the home of great thinkers kuhusu zoezi la vitambulisho vya uraia kupangiwa muda wa ukomo kujiandikisha ni sahihi discussion in 'jukwaa la sheria (the law forum)' started by dopodopo kadopo aug 2 2012 wadau hili si zoezi endelevu kwa sababu kila siku iendayo kwa mungu kuna raia wanapata sifa ya kupata vitambulisho ie wanafikisha umri wa miaka 18 na kuna wachina wanaingia kama wawekezaji kulikoni kuweka muda wa ukomo wa kujiandikisha wadau hili si zoezi endelevu kwa sababu kila siku iendayo kwa mungu kuna raia wanapata sifa ya kupata vitambulisho ie wanafikisha umri wa miaka 18 na kuna wachina wanaingia kama wawekezaji kulikoni kuweka muda wa ukomo wa kujiandikishaclick to expand hujaelewa muda wa ukomo ni kwa sasa wakishapita nchi nzima utaratibu huo utakua endelevu ukisema wakae dar tu watu hawataisha maana naamin kila siku watu wanatimiza miaka kadhaa sasa wakifanya kusubiri hawatapiga hatua yeyote chamsingi wanapita nchi nzima yaani kila mkoa baada ya hapo zoezi litakua linaendelea kwanini wasianze kuweka ofis kila mkoa kwanza ndio waanze utaratibu wa kuandikisha iwe tu kama vyeti vya kuzaliwa au paspothakuna mwisho vinginevyo wangeunganisha na zoezi la sensa wakuu nimeona kwenye specimen ya kitambulisho cha taifa kikiwa na 'expiry date' hatakwa vile vitakavyotolewa kwa wazawa kama hivindivyo itakavyo kuwa watanzania wote uraia wao unaexpire hata kama hajaukana wakuu nimeona kwenye specimen ya kitambulisho cha taifa kikiwa na 'expiry date' hatakwa vile vitakavyotolewa kwa wazawa kama hivindivyo itakavyo kuwa watanzania wote uraia wao unaexpire hata kama hajaukanaclick to expand haya sasa yatakuwa makubwa kwanini kwa wazawa visingekuwa vya kudumu kama vya mpiga kura without expiring date aah lkn nilisahau sasa vikiwa vya kudumu unajua kaulaji nacho katapungua so ni lazima viexpaye then tutengeneze vingine serikali isokua makini kila jambo rafurafu tu hata kama ni zurieti mwisho trhe sitangoja tuone ikumbukwe kuna watanzania ambao wamesafiri kikazi wengine wanamalizia kusoma kwenye vyuo vikuu mbalimbali duniani alafu warudi tanzania sasa watu hao watashtakiwa kwa sababu mda wa kujiandikisha umekwisha aah wapi huwezi kuweka deadline ya kujiandikishahawa watu wamefanya hivi ili tu watu waogope wakajiandikishe hujaelewa muda wa ukomo ni kwa sasa wakishapita nchi nzima utaratibu huo utakua endelevu ukisema wakae dar tu watu hawataisha maana naamin kila siku watu wanatimiza miaka kadhaa sasa wakifanya kusubiri hawatapiga hatua yeyote chamsingi wanapita nchi nzima yaani kila mkoa baada ya hapo zoezi litakua linaendeleaclick to expand sijaelewa nini ndugu yangu utaratibu utakuaje endelevu kwa kupita kila mkoa hebu niambie hili la vitambulisho vya urai unaweza kulitofautisha vipi na usajili wa vizazi na vifo kimsingi hii ingetakiwa iwe idara tu ndani ya rita tatizo ni kuwa kila jambo hapa nchini linaendeshwa kwa deals za watu hivyo imekuwa ni mamlaka inayojitegemea mbaya zaidi utendaji wake hovyoo kabisa hamna umakini kabisa kwenye kuandikisha watu ukiwa na kitambulisho cha kupiga kura basi wewe inatosha kuitwa rai wa nchi hii it is just another wastage of resources haya sasa yatakuwa makubwa kwanini kwa wazawa visingekuwa vya kudumu kama vya mpiga kura without expiring date aah lkn nilisahau sasa vikiwa vya kudumu unajua kaulaji nacho katapungua so ni lazima viexpaye then tutengeneze vingineclick to expand expired date nilazima kwa sababu watu wanakua na kubadilika hivyo kuweka muda ni sahihi kabisa expired date nilazima kwa sababu watu wanakua na kubadilika hivyo kuweka muda ni sahihi kabisaclick to expand sasa mtu akikua ndio anaexpire kuwa raia nieleweshe kidogo sasa mtu akikua ndio anaexpire kuwa raia nieleweshe kidogoclick to expand yaani nina maana watu wanabadilika sura na status zinaweza zikawa zimebadilikakwa mfano kama mtu wa miaka 18 anajiregister sasa miaka kumi na tano sura yake imebadilika kabisa na kama ni mwanamke si ajabu akawa ameolewa na kutaka kubadili status yake au ku apdate majina yake au hata status ya uraia wake ukawa tofauti yaani nina maana watu wanabadilika sura na status zinaweza zikawa zimebadilikakwa mfano kama mtu wa miaka 18 anajiregister sasa miaka kumi na tano sura yake imebadilika kabisa na kama ni mwanamke si ajabu akawa ameolewa na kutaka kubadili status yake au ku apdate majina yake au hata status ya uraia wake ukawa tofauticlick to expand umesomeka mkuu
2017-07-22T09:16:08
https://www.jamiiforums.com/threads/kuhusu-zoezi-la-vitambulisho-vya-uraia-kupangiwa-muda-wa-ukomo-kujiandikisha-ni-sahihi.302206/
tanzania yaongoza katika nyimbo kumi bora za afrika mashariki 2019 bbc news swahili tanzania yaongoza katika nyimbo kumi bora za afrika mashariki 2019 roncliff odit bbc swahili https//wwwbbccom/swahili/50902847 image caption msanii harmonize sekta ya sanaa ya muziki imeshuhudia mabadiliko makubwa mwaka 2019 mojawapo ya taarifa kubwa mwaka huu ikiwa msanii harmonize kujitosa nje ya kundi la wasafi na mtindo mpya wa gengetone kutetemesha sana nchini kenya licha ya yote hayo wasanii tajika wa mataifa ya afrika mashariki na kati wamejitahidi kuwatumbuiza mashabiki kwa ngoma moto moto nyota wa muziki wa afrika wanaotegemewa kung'ara zaidi harmonize ''atamba'' katika tuzo za muziki ulaya je wasanii wa afrika mashariki ndiyo tumaini la kukosoa serikali jamii lakini ni nyimbo zipi ambazo zilitetemesha sana chati za muziki mwaka huu mwenzetu roncliffe odit anatathmini nyimbo 10 ambazo kwa mtizamo wake ndio zilikuwa kubwa zaidi mwaka huu wa 2019 haki miliki ya picha sailors image caption kikundi cha wanamuziki wa sailors kilichoimba wimbo wamlambez vilio vya uuuuwwwwwwi vya kundi la sailors kutoka kenya vinafungua chati yangu katika nafasi ya kumi vijana hawa kutoka mtaa wa mabanda wa kayole jijini nairobi wamebadili sera ya muziki wa kizazi kipya wimbo wao 'wamlambez' ni kama wimbo wa taifa na kupelekea kuzaliwa kwa mdundo mpya wa gengetone nchini kenya wamlambez katika nafasi ya tisa naiweka halleluyah ushirikiano wa willy paul na binti mrembo malkia wa bongo flava nandy utamu wa ajabu katika wimbo huu ambao hujui uuweke katika jedwali la nyimbo za injili ama za burudani tu image caption nandy mwanamuziki wa tanzania lakini ukweli ni kwamba weledi wa willy pozee katika kucheza na mistari hauna mfano wake kisha ukiongeza umaridadi wa sauti ya nandy ah acha nisiseme sana halleluyah katika nafasi ya nane never give up yake harmonize akizungumzia maisha yake ya shida ya zama za kale kabla awe msanii tajika huu ulikuwa wimbo wake wa mwisho ulionoga sana kabla ya kuihama lebo ya wasafi na kuunda lebo yake mwenyewe ya konde gang ama kwa kweli never give up turejee tena kenya katika nafasi ya saba extravaganza ya sauti sol wakishikiana na bensoul nviiri the storyteller crystal asige na kundi la kaskazini wote hao ni wasanii walio chini ya lebo yao ya mpya sol generation mchanganyiko wa sauti tamu na mpigo wa ajabu wa ala za muziki katika wimbo huu unakupatia utamu wa kipekee yaani extravaganza haki miliki ya picha ali kiba/instagram nafasi ya sita nitaipa mshumaa yake ali kiba wimbo huu aliuachia mwezi mmoja tu uliopita ndio wimbo wake wa peke yake wa hivi karibuni zaidi baada ya kufanya collabo kadhaa za kuwajulisha wasanii waliosajiliwa na lebo yake ya kings music records mshumaa ni wimbo ambao unaturudishia kumbu kumbu za king kiba kama tunavyomfahamu melody tamu na mistari yenye uzito weee washa mshumaa nafasi ya tano inasalia tanzania na wimbo tamu wake mbosso khan msanii wa kundi la wasafi sina mengi ya kusema kumhusu mbosso ila huyu kijana kabarikiwa mistari ilioiva sauti tamu na ushairi wa hali ya juu ama kwa kweli ni tamu katika nafasi ya nne nasalia ndani ya kundi la wasafi na wimbo mpya wa rayvanny i love you msanii huyu wa kundi la wasafi amecheza na mistari na kuachia melody safi sana iliyojaa mashairi ya kipekee mdundo wa pole pole unaenda kinyume sana na rayvanny wa kitambo tuliyemjua kwa kufokafoka na midundo sawia na hip hop hata mimi nakwambia msomaji i love you sasa tugeukie nyimbo tatu ambazo ndizo kubwa zaidi afrika mashariki na kati nafasi ya tatu inakwenda uganda kwa wimbo parte after parte wake big tril diamond platinumz apata cheo nilipouskiza mara ya kwanza wimbo huu ulisikika kama mchezo tu lakini miezi minne tangu kuachiwa kwake umekuwa wimbo mkubwa zaidi ya ulivyotarajika mdundo wake wa club ukichanganya na hisia za sherehe zinazoambatana na wimbo huo zimefanyiza mchanganyiko ambao kila mtu anaucheza sasa parte after parte wimbo namba mbili afrika mashariki na kati ni wake gwiji wa muziki wa bongo flava diamond platinumz inama ambao amemshirikisha fally ipupa wimbo huu uliachiwa juni mwaka huu mdundo wake wa densi na video safi ya wacheza densi wa wasafi wakiongozwa na mose iyobo unaifanya ngoma hii kupendeza na kuandaa burudani safi sana yaani usiseme sana wewe inama image caption mwanamuziki wa bongo flava diamond platinumz na hatimaye wimbo namba moja wimbo mkubwa zaidi afrika mashariki na kati yope remix ni wimbo wa msanii mkongomani innocent balume almaarufu innoss b ambaye ni muimbaji na dansa kutoka goma mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya congo katika remix ya wimbo wake yope innoss b amemshirikisha diamond na kuleta utamu wa mdundo wa drc wa kusakata kiuno na melody tamu ya bongo flava miezi mitatu tu tangu kuachiwa kwa wimbo huo umetazamwa zaidi ya mara milioni 41 katika mtandao wa youtube yope remix ndio chaguo langu video saasab muziki wa asili uliochanganywa na midundo ya sasa
2020-01-18T03:30:16
https://www.bbc.com/swahili/50902847
wawekezaji wilayani serengeti wahimizwa kulipa kodi na kuchangia shughuli za maendeleo jiachie serikali wilayani serengeti imewataka wawekezaji kulipa kodi na kuchangia katika shughuli za maendeleo ndani ya wilaya ya serengeti hayo yamejiri katika katika kikao cha wadau wa maendeleo kilichoitishwa na mkuu wa wilaya ya serengeti mheshimiwa nurdin babu alipokuwa akizungumza na wawekezaji waliopo wilayani serengeti katika ukumbi wa mikutano wa halmshauri aidha mwenyekiti wa halamshauri ya wilaya ya serengeti mheshimiwa juma porini keya amezitaka kampuni zenye kambi za utalii wilayani serengeti kulipa kodi na tozo stahiki kwa serikali ili kuiwezesha serikali kupitia halmashauri kutoa huduma bora kwa wakazi wa serengeti katika hatua nyingine mheshimiwa porini ameziomba kampuni zenye kambi za utalii katika hifadhi ya taifa ya serengeti kuajiri watu kutoka wilayani serengeti naamini serengeti wapo vijana wenye sifa za kuajiriwa katika kampuni za utalii hifadhini alisema mheshimiwa porini halmashauri ya wilaya ya serengeti ilianzisha mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya mjini mugumu kuanzia mwaka wa bajeti 2007/2008 ili kuimarisha huduma kwa wagonjwa wanaopewa rufaa kutoka vituo 54 vya huduma ya afya vilivyopo wilayani na wale wanaotoka katika mji wa mugumu na vijiji jirani aidha wazo la kujenga hospitali hiyo liliungwa mkono na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania wa awamu ya nne mhe dkt jakaya mrisho kikwete baada ya kuona umuhimu wa ujenzi wa hospitali hii ili kutoa huduma kwa jamii na wageni wajao nchini kutembelea vivutio vya kitalii vilivyoko jirani na mji wa mugumu hasa hifadhi ya taifa ya serengeti mpaka sasa ujenzi wa hospitali ya wilaya umekwama kutokana na halmashauri kutopata fedha kukamilisha ujenzi wa hospitali item reviewed wawekezaji wilayani serengeti wahimizwa kulipa kodi na kuchangia shughuli za maendeleo
2016-10-24T20:05:20
http://michuzijr.blogspot.com/2016/10/wawekezaji-wilayani-serengeti-wahimizwa.html
maalim seif kuhamia act wazalendo | malunde 1 blog home » siasa » maalim seif kuhamia act wazalendo maalim seif kuhamia act wazalendo amesema maalim seif ambaye ni katibu mkuu wa chama hicho kwa sasa yuko mbioni kutimkia act akizungumza leo jumatano katika mkutano na waandishi wa habari katibu wa kamati ya ulinzi na usalama wa cuf khalifa suleiman khalifa amedai vyama sita vya upinzani vilivyokutaka zanzibar wiki iliyopita moja ya ajenda yao ilikuwa namna gani maalim seif atakubaliana na actwazalendo amesema miongoni mwa makubaliano hayo ni kuwa upande wa maalim seif uachiwe nafasi zote za uongozi upande wa zanzibar na zitto kabwe ambaye ni kiongozi wa act wachukue uongozi wa tanzania bara mgogoro ndani ya cuf ulianza baada ya lipumba kurejea katika uongozi mwaka 2016 ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu alipojiuzulu jambo hilo liliibua mgogoro wa uongozi baada ya ofisi ya msajili kutangaza kumtambua lipumba kama mwenyekiti na kusababisha pande hizo mbili kukimbilia mahakamani na kufungua kesi kadhaa ambazo zinaendelea
2019-03-23T03:13:20
https://www.malunde.com/2018/12/wazalendo.html
mkutano wa g7 unatarajiwa kufanyika kwa njia ya video jumatatu masoko ya hisa ya bara la asia yalidondoka jumatatu katika kipindi cha kwanza cha biashara tangu benki kuu ya serikali kuu ya marekani kutangaza kuwa inapunguza kiwango chake cha riba kwa karibia sefuri kukabiliana na janga la kimataifa la ugonjwa hatari mpya wa virusi vya corona hisa kuu za soko la australia s&p/ asx 200 zimeuzwa kwa bei ya chini na kuanguka kwa takriban asilimia 10 wakati wa kufunga mauzo hayo wakati hisa za soko la shanghai nchini china na hisa za kospi korea kusini ziliporomoka kwa zaidi ya asilimia tatu na hisa za nikkei japan zilimalizika kuuzwa kwa chini ya asilimia 25 hisa kuu za hang seng huko hong kong ziliporomoka kwa zaidi ya asilimia 4 wakati wa mauzo jioni kuporomoka kwa hisa kuliendelea katika biashara ya asubuhi bara la ulaya ikiwa hisa za uingereza ftse na hisa za frankfurt zote zikiuzwa kwa kiwango cha chini ya asilimia saba uchumi wa dunia umekaribia kutokua wakati marekani na serikali nyingine ulimwenguni zimetoa amri kwa raia wake kujiwekea karantini ikifunga mashule migahawa saluni vivutio vya utalii na burudani kudhibiti kuenea kwa kirusi covid19 ambacho kimewaathiri zaidi ya watu 16900 duniani na kuuwa zaidi ya watu 6500 benki kuu ya marekani imetangaza jumamosi baada ya mkutano wa dharura kwamba itapunguza riba ili kufanya gharama za kukopa kuwa chini kusaidia biashara mbalimbali kuendelea ambapo janga kimataifa la corona limesababisha kudorora kwa uchumi wakati huohuo benki kuu ya japan imerahisisha sera yake ya kifedha kwa kuimarisha ununuzi wa sarafu katika soko la fedha na mali nyingine zilizo katika hatari ya kufilisika benki kuu ya australia imeongeza pesa katika mfumo wake wa fedha unaopitia wakati mgumu na kuahidi kutangaza hatua zaidi kunusuru uchumi wake viongozi wa nchi saba tajiri zaidi duniani g7 wanatarajiwa kufanya mkutano kwa njia ya video hii jumatatu kujadiliana jinsi ya kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona hatua zinazochukuliwa zinafanana na zile zilizochukuliwa mwongo mmoja uliopita wakati kulikuwa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi kote duniani imetayarishwa na waandishi wetu washington dc
2020-04-07T16:51:44
https://www.voaswahili.com/a/benki-kuu-ya-marekani-yapunguza-riba-wakati-masoko-ya-hisa-asia-yadondoka/5330509.html
wanafunzi muhimbili watangaza mgomo wadai hawana pa kuishi | jamiiforums | the home of great thinkers wanafunzi muhimbili watangaza mgomo wadai hawana pa kuishi discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by bak oct 3 2007 posted date10/3/2007 wanafunzi wa chuo kikuu cha sayansi ya tiba muhimbili wametangaza mgomo usio na ukomo mpaka uongozi wa chuo hicho utakapotelekeza madai ya kupatiwa mahali pa kuishi madai ya wanafunzi hayo ni kukabidhiwa rasmi hosteli za chuo hicho zilizopo mtaa wa chole jijini dar es salaam kwa madai kwamba hawana mahali maalum pa kuishi huku baadhi ya nyumba za wageni jijini akizungumza wakati wa kutangaza rasmi mgomo huo kwa wanafunzi wa chuo hicho rais wa serikali ya wanafunzi (muhasso) edwin chitage alisema uamuzi huo umefikiwa baada ya kutofikia makubaliano baina ya uongozi wa wanafunzi na ule wa chuo juu ya hatima ya hosteli hizo alisema kuwa hosteli hizo zilitakiwa kukabidhiwa kwa uongozi wa chuo miaka sita iliyopita na kutakiwa kufanyiwa matengenezo baada ya serikali kukubali kutoa sh12 bilioni lakini mpaka sasa wanafunzi wameshindwa kuingia tunashangaa uamuzi wa uongozi wa chuo kutotilia maanani suala hili tumejaribu kufanya kila juhudi lakini hakuna mafanikio angalia kwa mwaka wa kwanza tu wenye wanafunzi wapatao 310 ni wanafunzi 124 tu ndiyo walioweza kupata hosteli wengine wamekuwa wakiishi maeneo ya hatari kwa kupanga vyamba huko magomeni na manzese na hakuna anayetaka hata kujua wanaishije alisema na kuongeza haya yote yanatokea wakati hizi hosteli za chole zenye uwezo wa kuchukua watu 640 zikiwa zimekamilika lakini kinachotushangaza zaidi ni taarifa za uongozi wa chuo kutafuta mwekezaji ili kuziendesha hatuafikiani kabisa na suala hilo makamu wa rais wa serikali hiyo mmoto mahadhi alidai kuwa dhana hiyo inatokana na hali halisi iliyopo watoto wa matajiri na viongozi wakiishi kwenye hosteli za gharama kubwa zilizopewa jina na richmond huku watoto wa maskini wakiishi kwenye hostel nafuu maarufu kwa jina la darfur huko richmond ndipo wanapoishi watoto wa wakubwa serikalini ambao wana uwezo wa kulipa gharama aghali zinazofikia sh18 hadi 24 milioni kwa mwezi wanaoumia ni sisi watoto wa hohehahe tupewe hosteli hizo tupunguze adha ya wanafunzi kuteseka alisema akizungumzia suala hilo makamu mkuu wa chuo hicho profesa kisari pallangyo alisema tatizo la hosteli kwa chuo hicho linatokana na ongezeko la idadi ya wanafunzi linalotokana hitaji kubwa la watumishi wa sekta ya afya kwa sasa hivyo chuo kuongeza wanafunzi wanaodahili hata hivyo alisema malalamiko ya wanafunzi kwa sasa hayana msingi kwasababu tayari chuo hicho kilishawaeleza kupitia barua za kujiunga chuoni hapo kuwa hakina uwezo wa kuwapatia hosteli za kuishi pangupakavu amy senior member huko richmond ndipo wanapoishi watoto wa wakubwa serikalini ambao wana uwezo wa kulipa gharama aghali zinazofikia sh18 hadi 24 milioni kwa mwezi wanaoumia ni sisi watoto wa hohehahe tupewe hosteli hizo tupunguze adha ya wanafunzi kuteseka alisema yani 24 million per monththats basically near 2000 usdper one year that clocks at arnd 24000 usddamn 20 g'z for a hostel in darmuchsthats basically almost as good as what someone should pay for accomodation in ivy leagueno disrespect but thats just overrated no wonder twin towers costed so muchwakubwa wetu serikalini have such a talent with numbers rushwa hizi2 much sasa as usualout of touchout of pointpointlesshakujibu alichoulizwa huyu nae prof vipi hapaau ndio uzee kuwa na univ bila accomodation arrangements ni uzembe tuno wonder hao jamaa wakitoka huko waumiao ni wagonjwa ifuatayo ni tahiriri ya mhariri wa gazeti la habarileo kuhusiana na sakata la wanafunzi chuo cha muhimbili muhimbili rejeeni madarasani mgomo wenu umepitwa na wakati habarileo fridayoctober 05 2007 @0001 wanafunzi wa kozi za chini katika chuo kikuu cha afya na sayansi ya tiba cha muhimbili (muhas) jana walianza mgomo wa kutoingia madarasani ikiwa njia ya kuubana uongozi wa chuo wa kuwaruhusu kutumia hosteli za masaki ili kupunguza tatizo la malazi linalowakabili wanafunzi hao waligoma licha ya agizo la uongozi huo la kuwataka wasifanye hivyo vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kinidhamu kama alivyosema makamu mkuu wa chuo hicho profesa kisali pallangyo madai ya wanafunzi hao kuhamia hosteli za masaki hayana msingi kwa kuwa walikwishataarifiwa kwamba hazijakamilika tunafahamu kwamba licha ya kuelezwa hivyo wanafunzi wakiongozwa na serikali yao wanaendelea kung’ang’ania kwamba uongozi wa chuo umekataa kuwaruhusu kuhamia kwenye hosteli hizo kwa madai kuwa uongozi wa chuo unataka kumpa mwendeshaji binafsi ambaye hawamtaki kwa hofu kuwa atawatoza gharama kubwa ambazo hawataweza kuzilipa kwa upande wake uongozi umejibu tuhuma hizo kwa kusema mgomo ulioanza jana hauwezi kamwe kupunguza tatizo la uhaba wa hosteli ambalo linakikabili chuo kikuu cha muhimbili na vingine vya umma na vya watu binafsi sote tunafahamu kwamba uhaba huo wa hosteli umejitokeza dhahiri mwaka huu kutokana na kuongezeka ghafla kwa idadi ya wanafunzi waliojiunga na vyuo mbalimbali vya elimu ya juu na kupandishwa hadhi kwa baadhi ya vyuo hivyo kikiwamo cha muhimbili laiti ungefikiwa uamuzi wa kutoongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya elimu ya juu baadhi ya hao wanaogoma kwa kucheleweshwa kwenda masaki wangepata nafasi ya kuwa wanafunzi wa muhimbili ni kwa sababu hiyo tunawasihi wanafunzi waliogoma waone busara na mantiki ya uongozi wa chuo chao na warudi madarasani mara moja wasijaribu kupenyeza sababu za kisiasa na nyinginezo kulazimisha kuingia kwenye majengo ambayo hayana vitanda magodoro mghahawa uzio zahanati na meza za kusomea hazipo maadamu wamehakikishiwa kwamba hosteli zitakamilika na watahamia huko kinachotakiwa kutoka kwao ni subira inafaa wanafunzi kukumbuka kwamba zama za kufanya migomo inayoweza kuhatarisha nafasi zao za kitaaluma chuoni zimepitwa na wakati kwani si tu zinaweza kuwasababishia kupoteza nafasi za kuingia tena darasani bali hata kuishi kwenye hosteli za masaki wanazolilia kuhamia sasa kwa udi na uvumba source link habarileo je huu mgomo umepitwa na wakati mgomo wa aina ipi huwa ndani ya wakati binafsi nimepitia udsm na situation ya hosteli naijuawakati mwingine huwa nafikiria nini kifanyike kugoma si suluhisho kwa sasa kwani tatizo nnaloliona tayari lipo serikali kuu juu ya miundo mbinu yake ikiwa nyumba za ttcl pale boma kapewa mkubwa afungue hosteli zingefaa kwajili ya vijana wa much kuliko kuwaweka mabibo najua kama pm anaweka mkazo juu ya primary education hashindwi kufanya harambee au kutafuta hao serious investor wakajenga hosteli within 1 year vijana wenzetu wakapata sehm nzuri ya kusomanashauri tutafute namna ingine ya kupata suluhisho lkn si kugoma yaani hili movie limeanza tenaaahivi li serikali letu lina ninihaliishi kulalamikiwayah no one is perfect we agree lakini this is too much bwanahao ndo wasomi wa sasa taifa la kesho if u dont create good mazingira ya kusoma for them now ni nani atakayekuja ongoza nchi bidaeau ndo wakubwa wanataka hiyo mitoto yao ambayo ni choka mbaya lakini imepelekwa nje kusoma ndiyo ije iwarithi wazazi wao na wewe usemaye migomo imepitwa na wakati waendelee na masomohalafu wakitoka chuoni waje kulala kwakomajibu mengine tusiwe washabiki tuu wa serikali jamani ingawaje at the end kama kawakuna watakao surfer the coincidenceshapo tu ndio mie nahofiaas ni kawaida ukipigana na ukuta waumia mwenyeeweeeee rukuku boy jfexpert member likes received 10133 aaah hili mbona simple tu si wapewe hostel kule mlongazila campus wawekewe na school bus la kuwachukua haya mambo mengine yameshapatiwa ufumbuzi ni bureaucracy tu ndio inayozaa migomo kama hii kuna vyumba vyao huku vinakaliwa na popo
2018-01-22T14:38:14
https://www.jamiiforums.com/threads/wanafunzi-muhimbili-watangaza-mgomo-wadai-hawana-pa-kuishi.5922/
free thinking neema muita wamura wanene wote waige moyo wa mugful neema muita wamura wanene wote waige moyo wa mugful japo si mara ya kwanza au ya mwisho kwa munene joni kanywaji mugful kutenda wema kwa mlevi wa kipato cha chini kitendo chake cha hivi karibuni cha kumjulia hali na kumsaidia fedha kidogo mhanga wa vurugu za kifamilia bi neema muita wamura ni jambo la kupigiwa mfano na kupongezwa licha ya kuwa moyo wa upendo wa kweli kwa walevi hasa wanyonge rahis amewasuta wasaidizi wake na wanene wengine wa kila ngazi hakuna waliosutwa kama wanene wa mkowa wa mara kuanzia mnene wake waishiwa na wengine wengi ambaolicha ya tukio hili ovu kutokea mkoani mwaowalilichukulia kivyepesi kiasi cha kulazimisha rahis kuingilia kati kinachogomba kuhusiana na kitendo hiki cha upendo uliopindukia ni ukweli kuwa rahis alipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii hii maana yake ni kwamba wanene wa wilaya na mkowa mzima hawakushughulilikia kadhia hii vilivyo sijui kama mtuhumiwa alishakamatwa na kama alishakamatwa inakuwaje muathirika aliyehitaji matibabu hakushughulikiwa aachwe hadi munene mwenyewe aingilie kati maana tunaelezwa jinai ilitokea mei 2015 kabla ya rahis kanywaji kuchaguliwa je wapo akina neema wangapi wanaodhulumiwa haki na wenzi wao kayani ambao taarifa zao hazijulikani kwa walevi hata kama zinajulikana kwa wanene wa maeneo yao wasiopenda kuzisambaza wala kushuzishughulikia je kwanini kadhia hii iliachwa hadi imfikie munene wakati kulikiwa na wanene wa ngazi ya chini je munene ana haja ya kuwa na watendaji kama hawa wasiojali wenzao hakuna kitu kinamfariji mnyonge kama munene kumjali ukiachia mbali kumsaidia kama alivyofanya al rais sipati picha muathirika alipata faraja na nafuu kiasi gani alipopigiwa simu na munene tena bila kujitambulisha hadi alipofikishiwa msaada wa madafu laki tano na ahadi ya kumtibia zaidi na kutunza vitegemezi wake baada ya taarifa hii kusambaa kwenye mitandao walevi wengi walionekana kuguswa na kitendo cha munene kisicho cha kawaida pamoja na wachangiaji wengi kutokubaliana na munene katika masuala mengi kama yale anayosema kwenye hotuba zake ambazo ziko mtandaoni katika hili waliungana nadhani hapalicha ya kusukumwa na huruma na utuwengi walijiuliza swali moja je ingekuwa mimi ndiyo muathirika ningependa nitendewe vipi nadhani hili ni swali adimu ambalo walevi wetu wa madaraka na wenye uwezo wanashindwa kujiuliza katika kutimiza majukumu yao hakuna kilichonivutia na kunihamasisha hadi nikapiga kanywaji kumtakia mafanikio mnene kama wema wake mbali na hili wengi wameandika ujumbe mbalimbali tutanukuu baadhi mary njeri ambaye bila shaka ni kutoka kwa manyangau aliandika munene wa tz ngai (god) akubariki kwa kazi hunayo fanyahata ninahisi kama sasa nitahamia bongolalaland huku sharo mosses akiandika machozi yamenitoka sir god akubariki muthamaki kanywaji kwa kweli ni mutongolya (kiongozi) wa kuigwa dunani kila la heri tunafarijika kiukweli naye soleil neema aliandika yaani afrika ingekuwa na wanene kama kanywaji ingekuwa mbali sana yaani nyasae amufunike kwa damu yake juu munene kama huyu vita inapashwa inuka kwa muda mfupi ambapo tukio hili liliwekwa kwenye mtandao wa yutube lilivutia wachangiaji wapatao 92 ndani ya masaa mawili japo munene ametoa mchango wake kama mlevi mwenye mapenzi mema na huruma kwa wenzake hasa wanyonge tunashauri awawajibishe wanene wote walionyamaza baada ya kutokea kadhia hii huku akihakikisha aliyetenda kitendo hiki cha kihayawani anapata stahiki yake kulingana na kitendo alichotenda tunaamini akiwatia adabu wanene wa wilaya na mkoa husika litakuwa somo si kwa wahalifu na wanyama wanaoumiza wenzao bali hata wanene wao wasiojali maisha na haki za wanyonge kwenye kaya yote itakuwa ukosefu wa shukrani na wizi wa fadhila kama sitampongeza mjane mariam amir (bibi mwaija) aliyemuibua neema kwa kumchukua na kumweka nyumbani kwake pamoja na umaskini wake ningekuwa munene ningemteua bi huyu kuwa mkuu wa mkowa wa mara ili liwe suto kwa waliozembea kushughulikia unyama huu kufanya hivyo licha ya kuwa faraja kwa wanawake wengine mkowani mara na bongolalaland walioumizwa kukatwa mikono kuharibiwa sura na madhira mengine ukiachia mbali kuwa onyo kwa wahalifu na wanene wanazembea kuwahudumia walevi tumalizie kwa kuwahamasisha wadanganyika wote kuwa na moyo wa huruma kama walivyofanya rais munene na bi mwahija badala ya wengi kupoteza muda kuandaa matamasha ya kuombea kaya huku wakikalia ukwasi wa kutisha na wa kutia shaka wawekeze kwa wanyonge kwani hata mwana wa adam ambaye baadhi wanajidai kumuhubiri aliacha wosia huu matayo 22 38 alipotaja amri kuu mbili yaani ya kwanza kumpenda god wako na ya pili kumjali jirani yako je jirani yako zaidi ya neema ni nani hakika munene na bi mwahija wamezijua na kuzitekeleza amri hizi kuu mbili yaani kumpenda god kwa kuwajali walevi wake hasa wenye mahitaji na shida na kuwajali majirani zetu ambao kimsingi si wale wanaoishi nyumba ya pili bali maskini wajane yatima wanaokeketwa na wengine kama hawa ambao wengi wa wahubiri wetu wa kujipachika wanawadhulumu na kuwahadaa bila kuwapa msaada wowote nawapongeza munene na mwahija mungu awalipe mara milioni kwa upendo wenu wa dhati munene tafadhali nipigie nami nikubomu kitu kidogo
2017-03-25T15:28:46
http://mpayukaji.blogspot.com/2017/03/neema-muita-wa-mura-wanene-wote-waige.html
taharuki yatanda kufuatia mauaji ya watu wawili kerio | radio taifa taharuki yatanda kufuatia mauaji ya watu wawili kerio january 24 2017 april 26 2018 bernard maranga kerio killings taharuki bado imetanda huko kinyach katika eneo la bonde la akerio kufuatia mauaji ya watu wawili baada ya makabiliano baina ya jamii mbili kuhusu lishe na maji kwa mifugo waokisa hicho kilisababisha mauaji ya mama mmoja wa watoto wanne na mwanamme mmoja kwenye daraja moja linalounganisha kaunti za abaringo ana elgeyomarakwet ana kuzua tahamakikulingana na mtua aliyeshuhudia kisa hichoidadi ya mifugo isyojulikana pia waliibiwa na kuelekezwa upande wa kaunti ya pokotakidhibitisha kisa hichochifu wa lokesheni ya kinyach alisema taharuki imekuwa ikitanda katika sehemu hiyo huku athari za akiangazi zikikithiri katika sehemu hiyoaliongeza kwamba mifugo pia wanaendelea kuangamia katika sehemu hiyo na akatoa wito kwa serikali ya kitaifa kuingilia kati na kutoa lishe kwa wanyama pamoja na maji kwa raia wa sehemu hiyo ← wabukala aapishwa kuwa mwenyekiti wa eacc bunge kurejelea vikao vyake leo → bunge latoa arifa ya kuchaguliwa kwa viongozi wa kamati mbali mbali january 30 2018 john madanji comments off on bunge latoa arifa ya kuchaguliwa kwa viongozi wa kamati mbali mbali watu 17 wapoteza maisha kwenye ajali mbaya eneo la ngoliba december 18 2017 solomon otieno comments off on watu 17 wapoteza maisha kwenye ajali mbaya eneo la ngoliba mataifa yakubaliana kuhusu muundo wa amisom february 29 2016 daniel wachira comments off on mataifa yakubaliana kuhusu muundo wa amisom
2018-06-20T19:20:28
http://radiotaifa.co.ke/index.php/taharuki-yatanda-kufuatia-mauaji-ya-watu-wawili-kerio/
hili jiji nomaaaaaayani bayaaaaa tuongeemahusiano hili jiji nomaaaaaayani bayaaaaa kuna dada mmoja anasoma chuo buguruni na pia ni mfanyakazi hivyo jioni akitoka kazini ndipo huenda shulesasa akiwa njiani kuelekea chuo akapigiwa simu na mtu asiyemfahamu akajitambulisha kwamba yeye ni daktari wa lugaro hosp na kumuulizia habari za mwanae ambae alishawahi kwenda kumtibu pale chakushangaza zaidi akataja mpaka aina na rangi ya nguo aliyovaa siku ile alipokwenda hapo hospitali na yote yalikuwa kweli na zaidi akamwambia najua sasa hivi unaelekea chuo buguruni na kweli ilikuwa hivyo lakini mwishoni akamweleza kwamba kuna mambo anataka kujua kujua kuhusu hicho chuo hivyo na anaelekea huko hivyo akifika tu atamtafuta kwa muda wote huo huyo dada hakuweza kabisa kumkumbuka ila akajipa moyo kwamba yamkini huyo mtu atakuwa anamfahamu vizuri baada ya kutoka chuo akiwa na wenzake watatu akawa anawasimulia habari za huyo mtu ndipo simu yake ikaitakupokea yule mtu akamwambia nakuona uko na wenzio wawili mnavuka barabara na kumueleza jinsi alivyovaa sasa wenzie wakasema huyo mtu anakufahamu haiwezekani hapa tupo watatu kweli na ameweza kukutambua kisha huyo mtu akamwelekeza mahali alipo ambapo haikuwa mbali na barabara lakini alipomtazama hakumfahamu kabisa basi akampa mkono kumsalimia baada ya hapo hakujitambua na zaidi alijikuta yuko maeneo ya chuo kikuu cha dsm akiwa hoi kuangalia simu na kila kitu chake kilikuwa salama na hakufanyiwa kitu chochote kwa bahati kulikuwa kuna ndugu yake anasoma chuo hivyo akawasiliana nae ili kupatamsaada ikabidi awahishwe mwananyamala hosp lakini kaonekana sumu iliyotumika ni kali na dawa yake wanayo regency hosphivyo akawahishwa regency na kupata matibabu baada ya ufahamu kumrudia akakuta mtu huyo kachukua pesa zote kwenye mpesatigo pesa na bank (nmb na crdb) kiasi cha milioni 3 hivyo inawezekana walipompa sumu alitaja password pasipo kujijua na bank walipotazama kwenye atm camera waliona picha ya huyo mtu na yeye alimkumbuka vizuri lakini polisi kijitonyama wakakiri kwamba kesi hizo sasa hivi zimetokea mara nyingi na huo mtandao ni mkubwa walipoenda kwenye usajili wa simu walikuta ni huyo huyo na jina lake ndilo alilojitambulis haingawa polisi wameshindwa kumkamata akiwa kituo cha polisi mara huyo mtu akampigia simu akimwambia kumbe wewe ni muoga sana tutakurudishia pesa zako sasa kumbe wanachofanya wanakuambia tutafutie mtu ambae unahisi ana pesa kuliko hizi halafu tukifanikiwa tutarudisha pesa zako hivyo inawezekana nae kuna mtu anaemjua alifanyiwa hivyo akaamua kumtaja yeye hivyo ni kuomba mungu na kuwa waangalifu
2017-06-27T14:07:26
http://rosemarymizizi.blogspot.com/2012/11/hili-jiji-nomaaaaaayani-bayaaaaa.html
zanzibar ni kwetu dk shein afanya ziara kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa sehemu mbalimbali mjini unguja dk shein afanya ziara kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa sehemu mbalimbali mjini unguja rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akipata maelezo kutoka kwa mkurugenzi idara ya uvuvi katika wizara ya kilimo maliasili mifugo na uvuvi ndmussa aboud jumbe mwinyi wakati alipotembelea eneo lilatakalojengwa soko la samakimalindi mjini unguja leo[picha na ikulu]19/09/2016 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akiuliza suala kwa mkurugenzi wa shirika la bandari kapteni abdalla juma (mwenye kipaza sauti) wakati alipotembelea eneo la chelezo malindi wakati akiwa katika ziara maalum ya kutembelea lilatakalo jengwa soko la samakimalindi mjini unguja leo[picha na ikulu]19/09/2016 baadhi ya akina mama wanaofanya bishara ya kuuza chakula katika maeneo ya bandari ya majahazi wakimuangalia rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) na ujumbe wake wakati alipofanya ziara ya kutembelea maeneo hayo leo[picha na ikulu]19/09/2016 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (katikati pichani) akiwa na ujumbe aliofuatana nao wakati alipotembelea katika maeneo ya bandari ya majahazi alipofanya ziara ya kutembelea maeneo hayo leo[picha na ikulu]19/09/2016 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kulia) akifuatana na msimamizi mkuu wa mradi wa ujenzi wa hoteli ya bwawani (stone town village ltd) syed mansour hussein alipotembelea ujenzi wa hoteli hiyo leo [picha na ikulu]19/09/2016 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akiagana na msimamizi mkuu wa mradi wa ujenzi wa hoteli ya bwawani (stone town village ltd) syed mansour hussein alipotembelea ujenzi wa hoteli hiyo leo [picha na ikulu]19/09/2016 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa mwenyekiti wa bodi ya benki ya watu wa zanzibar pbz pia mshauri wa rais mambo ya uchumi mzee abdulrahman mwinyi jumbe wakati akiangalia ramani za ujenzi na kutembelea eneo litakalojengwa ofisi za benki ya watu wa zanzibar malindi mjini unguja leo[picha na ikulu]19/09/2016 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kulia) akiagana na viongozi baada ya kutembelea eneo litakalojengwa ofisi za benki ya watu wa pbz malindi mjini unguja leo [picha na ikulu]19/09/2016 blog archive may ( 549 ) april ( 934 ) march ( 868 ) february ( 1118 ) january ( 1049 ) december ( 1099 ) november ( 874 ) october ( 898 ) september ( 382 ) august ( 344 ) july ( 721 ) june ( 537 ) may ( 919 ) april ( 706 ) march ( 1044 ) february ( 697 ) january ( 743 ) december ( 620 ) november ( 501 ) october ( 436 ) september ( 279 ) august ( 184 ) july ( 72 ) june ( 51 ) may ( 1 ) april ( 489 ) march ( 786 ) february ( 964 ) january ( 963 ) december ( 1025 ) november ( 909 ) october ( 910 ) september ( 760 ) august ( 806 ) july ( 625 ) june ( 341 ) may ( 488 ) april ( 625 ) march ( 428 ) february ( 318 ) january ( 356 ) december ( 307 ) november ( 333 ) october ( 341 ) september ( 288 ) august ( 200 ) july ( 147 ) june ( 112 ) may ( 90 ) april ( 41 ) march ( 10 ) january ( 205 ) december ( 300 ) november ( 413 ) october ( 406 ) september ( 214 ) august ( 265 ) july ( 285 ) june ( 274 ) may ( 291 ) april ( 365 ) march ( 355 ) february ( 315 ) january ( 488 ) december ( 372 ) november ( 357 ) october ( 295 ) september ( 212 ) august ( 80 )
2018-05-25T02:50:43
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2016/09/dk-shein-afanya-ziara-kutembelea-na.html
wafanyakazi wa jkci waadhimisha siku ya wafanyakazi duniani mtaa kwa mtaa blog home habari wafanyakazi wa jkci waadhimisha siku ya wafanyakazi duniani wafanyakazi wa jkci waadhimisha siku ya wafanyakazi duniani wafanyakazi wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) wakiandamana kuingia katika uwanja wa uhuru wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyoadhimisha kitaifa mkoani mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa dar es salaam katika uwanja uhuru leo jijini dar es salaam baadhi ya wafanyakazi wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) katika picha ya pamoja baada ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kitaifa mkoani mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa dar es salaam katika uwanja wa uhuru leo jijini dar es salaam picha na genofeva matemu jkci
2019-07-21T01:07:45
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/05/wafanyakazi-wa-jkci-waadhimisha-siku-ya.html
mhandisi wa bidhaaav nab onyesha habari na beat broad mtangazaji rasmi wa nab onyesha mzalishaji wa nab onyesha live nyumbani » kazi » mhandisi wa bidhaaav ufunguzi wa ajira mhandisi wa bidhaaav nafasi mhandisi wa bidhaaav kampuni black box huduma za mtandao eneo pittsburgh pa us next mabadiliko ya mod katika mode ya sicko hey buddy nimepata maelezo haya kwa wewe mhandisi wa bidhaaav hapa ni kiungo cha tovuti https//wwwbroadcastbeatcom/productengineerav2/ asante
2018-11-18T16:39:40
https://sw.broadcastbeat.com/mhandisi-wa-bidhaa-ya-2/
salewamenoutdoor jackets big discount with high quality | lowest price online usa home >> salewa >> men >> outdoor jackets salewa men outdoor jackets valparola ptx jacket indiosalewa salesalewa
2018-02-26T03:52:52
http://www.hartformineinspector.com/outdoor-jackets-c-19_419_421.html
waziri awakashifu raila na joho kuhusu sakata ya cheti 'feki' cha kcse ▷ tukocoke made in kenya latest politics tuko tv swahili entertainment feedback livescore submit video waziri awakashifu raila na joho kuhusu sakata ya cheti 'feki' cha kcse 4472 chapisha kwa facebook waziri wa ugatuzi na mipango amewakashifu raila odinga na gavana wa mombasa hassan joho kuhusu sakata ya vyeti feki vya kcse inayomkabili gavana huyokulingana na waziri wa ugatuzi na mipango mwangi kiunjuri gavana joho anafaa kujilaumu yeye mwenyewe kwa kuchukua njia ya mkatohabari nyingine aliyekuwa mtangazaji citizen tv julie gichuru awaacha mashabiki vinywa wazi na picha ya kitandanijoho anasemekana kugushi cheti cha matokeo ya kcse aidha kiunjuri alimlaumu kiongozi wa odm raila odinga kwa kumtetea joho kuhusu kugushi vyeti vyakepakua app mpya ya tuko upate habari bure joho anadaiwa kugushi vyeti vya matokeo ya mtihani wa kcse kumwezesha kujiunga na chuo kikuu cha nairobi habari nyingine wanawake wanahitajika kuvua viatu na chupi kabla ya kuombewa na nabii huyu (picha)waziri wa ugatuzi na mipango mwangi kiunjuri ni vizuri kujivunia kupata alama ya d lakini ni makosa kugushi vyeti ili kujiunga na elimu ya juu alisema kiunjurijoho anasemekana kugushi cheti cha kcse ambacho alitumia kujiunga na chuo kikuu cha nairobi habari nyingine fahamu gari spesheli analolitumia rais wa marekani donald trumpraila odinga na gavana wa mombasa hassan johoread english versionuna maoni una habari ambayo ungependa tuichapishe tuma ujumbe kwa mhariri aronmtunji@tukocoke read more hizi ndizo alama za gavana joho za kcpe huu ndio wadhifa nilioahidiwa na rais uhuru asema kalonzo joho uhuru joho blasts uhuru joho hassan joho in kisumu nasa vs jubilee 2017 moto how old is akothee muhoho kenyatta uhuru son gotv packages vincent ateya diamond platnumz house habari zingine raila anapenda demokrasia matokeo ya kaunti hizi 4 ndiyo yatakayoamua utapenda picha za mhudumu wa gari la moshi litakalotumia sgr jubilee yakemewa vikali kwa kushindwa kusimamia kura za mchujo
2017-04-23T23:38:56
https://swahili.tuko.co.ke/235451-waziri-awakashifu-raila-na-joho-kuhusu-sakata-ya-cheti-feki-cha-kcse.html
nchi #medithera mapema juu ya kupigania uvuvi haramu katika bahari iliyojaa samaki zaidi mwandishi wa eu mwandishi wa eu oceana anasifu maendeleo yaliyofanywa na nchi za mediterania wakati wa kufuata uvuvi mkutano ya kamisheni ya uvuvi mkuu wa bahari ya uvuvi (gfcm) iliyofanyika wiki iliyopita huko tirana albania mwisho wa mkutano wa kikanda kati ya vyama vya kuambukiza vya 24 wajumbe walikubaliana kuchukua mchakato mkali wa utatuzi kwa nchi ambazo hazijakandamiza na kuboresha uwazi na hatua za kisasa dhidi ya uvuvi haramu ambao haujasafirishwa na usio na sheria (iuu) oceana anapongeza maendeleo haya lakini atabaki macho kwa ushuhuda wowote wa ukiukwaji wazi wa uvuvi katika bahari ya mediterranean kama vile uvuvi haramu ndani ya maeneo yaliyofungwa ni muhimu sana kuhakikisha kuwa shughuli hizi zinafunuliwa na haziadhibiwi hii ni hatua ya kusifiwa na gfcm kwa vile mapendekezo yaliyopangwa na eu yangelinganisha gfcm na viwango vya kimataifa tayari katika maeneo mengine mengi ya uvuvi yaliyoshirikiwa ulimwenguni kwa mfano kuwezesha nchi za mediterranean kuchukua hatua ikiwa watoa huduma kama vile bima au benki wanapatikana wakinufaika na na kusaidia uvuvi wa iuu ni njia ya hali ya juu katika mapambano dhidi ya uvuvi wa iuu alisema oceana katika meneja wa sera wa ulaya nicolas fournier tags albania eu featured fullpicha oceana tirana jamii frontpage albania mkutano wa pembeni maritime mikoa ya ulaya (cpmr) eu tume ya ulaya bunge la ulaya maritime oceana uvuvi wa kupita kiasi « #femtech mamilioni ya wanawake wanaweza kufaidika na matibabu mpya yasiyoweza kuvamia dysfunctions ya sakafu ya pelvic uingereza inasema haitaathiri uhuru wa urambazaji katika #straitofhormuz »
2019-10-20T13:57:18
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/07/24/mediterranean-countries-advance-on-fighting-illegal-fishing-in-worlds-most-overfished-sea/
waziri makamba aahidi kutatua kero za muungano | lemutuz home news waziri makamba aahidi kutatua kero za muungano waziri makamba aahidi kutatua kero za muungano waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais anayeshughulikia muungano na mazingira mhe january makamba leo ametembelea shirika la bandari zanzibar (zpc) mamlaka ya mapato tanzania (tra) na bodi ya mapato zanzibar (zrb) katika siku ya pili ya ziara yake ya wiki moja kufuatilia utekelezaji wa makubaliano ya kutatua changamoto za muungano waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira mhe january makamba akiwa bandarini zanzibar ziara yake ya leo imelenga kubaini changamoto za kiforodha na kikodi zinazosababisha kuminywa kwa fursa za kiuchumi kati ya wananchi wa pande mbili za muungano baadhi ya changamoto kubwa kwa sasa ni utozwaji mara mbili wa kodi ya vat kwa wafanyabiashara wanapoingiza na kutoa mizigo yao kati ya tanzania bara na visiwani pia changamoto za wananchi wa zanzibar pale wanapotaka kuingiza na kutumia vyombo vyao vya usafiri upande wa tanzania bara pamoja na viwango tofauti vya ukadiriaji wa kodi kwa wafanyabiashara wanapoingiza mizigo kutoka nje ya nchi kwa kutumia bandari ya dar es salaam na bandari ya zanzibar waziri makamba amesema kuwa moja ya shabaha za muungano ni kufungua fursa za ustawi wa watu wa pande zote mbili na kwamba mifumo ya kodi haipaswi kuminya fursa hizo na kuahidi kuwa atalipeleka suala hilo kwenye vikao vya ngazi ya juu kwa maamuzi kwa upande mwingine waziri makamba amebaini kuwa zanzibar kuna bandari zaidi ya 500 za majahazi nyingi zikiwa ni bandari bubu zinazofanikisha magendo kutoka zanzibar na bara na zanzibar na kenya hali inayosababisha kukosekana kwa ukadiriaji halisi wa biashara kati ya bara na zanzibar waziri makamba amelitaka jukwaa la wakuu wa mikoa ya ukanda wa pwani (kwa bara) na wakuu wa mikoa ya zanzibar limalizie mchakato wa kuzifuta baadhi ya bandari hizo na kurasimisha chache ambazo zitakuwa na vituo vya forodha previous articlewaziri oman asema ujenzi wa bandari ya bagamoyo kuanza next articlerayvanny azidi kufanya maajabu mhe shonza aibuka baada ya matusi ya diamond naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo j 796 views mrembo jokate atangaza ndoa rasmi mwanamitindo na mjasiliamali jokate mwegelo ambaye 504 views mahafali ya kwanza ya chuo cha manjano beauty academy yafanyika jijini rais magufuli awataka magereza kuwatumia wafungwa kwa uzalishaji
2018-03-21T18:33:02
https://lemutuz.com/2017/10/19/waziri-makamba-aahidi-kutatua-kero-za-muungano/
ni wale wanaolenga kutenda tu ndio wanaoweza kukamilishwa | injili ya kushuka kwa ufalme katika siku za mwisho mungu alipata mwili ili kufanya kazi aliyopaswa kufanya na kutekeleza huduma yake ya maneno alikuja yeye mwenyewe ili kufanya kazi kati ya wanadamu kwa lengo la kuwakamilisha wale watu ambao wanaipendeza nafsi yake kutoka wakati wa uumbaji hadi leo yeye hufanya tu hiyo kazi wakati wa siku za mwisho ni wakati wa siku za mwisho tu ambapo mungu alipata mwili ili kufanya kazi kwa kiwango kikubwa ingawa yeye huvumilia shida ambazo watu wanaweza kupata ugumu kuvumilia ingawa yeye kama mungu mkuu ana unyenyekevu wa kuwa mtu wa kawaida hakuna kipengele cha kazi yake kimecheleweshwa na mpango wake haujatupwa katika mchafuko hata kidogo anafanya kazi kulingana na mpango wake wa awali mojawapo ya madhumuni ya kupata mwili huku ni kuwashinda watu mengine ni kuwakamilisha watu anaowapenda yeye hutamani kuwaona kwa macho yake mwenyewe watu anaowakamilisha na yeye hutaka kujionea mwenyewe jinsi watu anaowakamilisha humshuhudia sio mtu mmoja ambaye hukamilishwa na sio wawili hata hivyo ni kikundi cha watu wachache sana kikundi hiki cha watu huja kutoka nchi mbalimbali za dunia na kutoka kwa makabila mbalimbali ya ulimwengu kusudi la kufanya kazi hii nyingi ni kukipata kikundi hiki cha watu kupata ushuhuda ambao kikundi hiki cha watu humtolea na kupata utukufu ambao yeye hupata kupitia kwa kikundi hiki cha watu yeye hafanyi kazi ambayo haina umuhimu wala hafanyi kazi ambayo haina thamani inaweza kusemwa kuwa kwa kufanya kazi nyingi sana lengo la mungu ni kuwakamilisha watu wote ambao yeye anataka kuwakamilisha katika wakati wowote wa ziada alio nao nje ya hili atawaondosha wale walio waovu jua kwamba haifanyi kazi hii kubwa kwa sababu ya wale walio waovu kwa kinyume yeye hufanya kadri awezavyo kwa sababu ya idadi hiyo ndogo ya watu ambao hawana budi kukamilishwa na yeye kazi ambayo yeye hufanya maneno ambayo yeye hunena siri ambayo yeye hufichua na hukumu yake na adhabu zote ni kwa ajili ya idadi hiyo ndogo ya watu yeye hakupata mwili kwa sababu ya wale walio waovu sembuse wao kuchochea ghadhabu kubwa ndani yake yeye husema ukweli na huzungumzia kuingia kwa sababu ya wale watakaokamilishwa alipata mwili kwa sababu yao na ni kwa sababu yao yeye hutoa ahadi na baraka zake ukweli kuingia na maisha katika ubinadamu ambayo yeye huzungumzia si kwa ajili ya wale walio waovu yeye hutaka kuepuka kuzungumza na wale walio waovu na hutaka kuwapa wale ambao watakamilishwa ukweli wote lakini kazi yake inahitaji kwamba kwa sasa wale walio waovu waruhusiwe kufurahia baadhi ya utajiri wake wale ambao hawatekelezi ukweli ambao hawamridhishi mungu na ambao hukatiza kazi yake wote ni waovu hawawezi kukamilishwa na wanachukiwa kabisa na kukataliwa na mungu kwa kinyume watu ambao hutia ukweli katika vitendo na wanaweza kumridhisha mungu na ambao hujitolea wenyewe kabisa katika kazi ya mungu ndio watu ambao watakamilishwa na mungu wale ambao mungu hutaka kuwakamilisha sio wengine bali ni kikundi hiki cha watu na kazi ambayo mungu hufanya ni kwa ajili ya watu hawa ukweli ambao yeye huzungumzia unaelekezwa kwa watu ambao wako tayari kuutia katika vitendo yeye huwa hazungumzi na watu ambao hawatii ukweli katika vitendo ongezeko la umaizi na ukuaji wa utambuzi ambao yeye huzungumzia umelengwa kwa watu ambao wanaweza kutekeleza ukweli anapozungumza juu ya wale ambao watakamilishwa yeye anazungumzia watu hawa kazi ya roho mtakatifu inaelekezwa kwa watu ambao wanaweza kutenda ukweli mambo kama kumiliki hekima na kuwa na ubinadamu yanaelekezwa kwa watu ambao wako tayari kutia ukweli katika vitendo wale ambao hawatekelezi ukweli wanaweza kusikia maneno mengi lakini kwa sababu wao ni waovu sana kiasili na hawavutiwi na ukweli kile wanachoelewa is mafundisho ya dini na maneno tu na nadharia tupu bila kujali hata kidogo kuingia kwao katika maisha hakuna hata mmoja wao aliye mwaminifu kwa mungu wao wote ni watu wanaomwona mungu lakini hawawezi kumpatawote wamehukumiwa na mungu
2020-07-06T06:56:40
https://sw.kingdomsalvation.org/only-those-who-focus-on-practice-can-be-perfected.html
tetesi za soka ulaya ijumaa 12012017 bbc news swahili https//wwwbbccom/swahili/michezo42658745 image caption arsene wenger na alexis sanchez alexis sanchez ajiandaa kuondoka arsenal manchester united pia wanawataka washambuliji wawili akiwemo mshambuiaji wa leicester na uingereza 30 jamie vardy na mwenzake wa west ham 29 javier hernandez ambaye alikuwa katika uwanja wa old trafford kutoka 20102015 (telegraph) image caption mshambuliaji wa west ham javier hernandez klabu ya ligi ya new mls nchini marekani los angeles fc pia inamtaka hernandez (talksport) mkufunzi wa chelsea antonio conte huenda akaondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu liverpool 'yainyoa' arsenal ian wright wenger anafaa kuondoka arsenal mkufunzi wa juventus massimiliano allegri na aliyekuwa kocha wa barcelona luis enrique wanaongoza kurithi mahala pake (mail) image caption kocha wa zamani wa barcelona louis enrique manchester united na chelsea wanataka kumsajili kiungo wa kati wa brazil arthur melo 21 kutoka gremio (star) liverpool wameanza mazungumzo na leicester na winga wa algeria riyad mahrez lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anataka kujiunga na arsenal (express) image caption mshambuliaji wa rb leipzig naby keita liverpool inawasiliana na klabu ya rb leipzig huku wakijaribu kumchukua mshambuliaji naby keïta kama mrithi wa philippe coutinho's aliyehamia barcelona mpango tayari umeafikiwa kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 kujiunga na klabu hiyo mwezi julai(times) liverpool iko tayari kumuuza mshambuliaji wao mwenye umri wa miaka 28 daniel sturridge lakini watahitaji £30m ili kumuuza mshambuliaji huyo wa uingereza (liverpool echo) image caption mshambuliaji wa liverpool na uingereza daniel sturridge hatahivyo hakuna klabu katika ligi ya uingereza ilio na uwezo wa kumunua mchezaji huyo mbali na mshahara wake wa £150000 kwa wiki (mail) raia wa itali carlo ancelotti ndiye kocha anayepigiwa upato kumrithi mkufunzi wa arsenal arsene wenger mwishoni mwa msimu huu kocha huyo wa zamani aliyewahi kuifunza chelsea real madrid bayern munich na paris st germain amekubali mkataba wa miaka minne wenye thamani ya £355m (corriere dello sport in image caption carlo ancelotti ndiye kocha anayepigiwa upato kumrithi mkufunzi wa arsenal arsene wenger mwishoni mwa msimu huu everton inajiandaa kuwasilisha ombi la £20m ili kumsajili winga na mshambulijia wa arsenal theo walcott (telegraph) crystal palace wanawalenga washambuliaji wawili wamekubaliana kulipa dau la £12m kumsajili mshambuliaji wa senegal mwenye umri wa miaka 28 diafra sakho na itawasilisha ombi la dau la £13m kumsajili mshambuliaji wa everton 27 oumar niasse (evening standard) claude puel amethibitisha kwamba mshambuliaji wa nigeria na leicester kelechi iheanacho hataondoka leicester city katika dirisha la uhamisho la mwezi huu image caption mshambuliaji wa nigeria na leicester kelechi iheanacho mkufunzi wa the foxes amemtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 kuimarika katika kwa jumla (leicester mercury) west ham wamepata pigo kutoka kwa mkufunzi wa swansea carlos carvalhal ambaye amesisitiza kumzuia beki alfie mawson 23 akidai kwamba klabu hiyo huenda ikamuuza iwapo itapokea ombi lisilopungua dau la £50m (star) manchester united itashindana na liverpool katika kumwania mchezaji wa borussia dortmund na marekani christian pulisic iwapo wapinzani wao watawasilisha ombi la kutaka kumsajili mchezaji huyo 19 (independent) manchester united inajiandaa kumsajili kiungo wa kati wa shakhtar donetsk's na brazil fred 24 ambaye pia anasakwa na manchester city(record) espanyol wamepata habari kuhusu hamu ya klabu ya stoke city kumchukua mkufunzi wake raia wa uhispania quique sanchez flores (marca in spanish)
2018-07-23T04:53:28
https://www.bbc.com/swahili/michezo-42658745