text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
tenzi za rohoni for android
rated 485/5 (33) free android application by robert londo
about tenzi za rohoni
tenzi za rohoni app inakuwezesha kupata tenzi za rohoni kwenye simu yako kwa urahisi muda wowote na mahali popote
app hii ina nyimbo 138 kutoka kwenye kitabu cha nyimbo za tenzi za rohoni huna haja ya kubeba kitabu cha tenzi unaweza kusoma bila kuwa na intaneti (offline)
★ tenzi za rohoni 138
★ pata tenzi kwa urahisi kwa kutafuta kutoka kwenye orodha ya tenzi za rohoni
★ tafuta neno lolote kwenye tenzi za rohoni
★ unaweza kuweka nyimbo unazizipenda kwenye orodha ya nyimbo pendwa
download and install tenzi za rohoni version 170 on your android device
android package tzcowadautenzizarohoni download tenzi za rohoniapk
★ ala zimeongezwa kwenye tenzi zifuatazo
6 baba mwana roho
23 ni salama rohoni mwangu
56 ni sikukuu siku ile
76 njoni enyi wa imani
77 msalabani pa mwokozi
89 kwa kalvari
what are users saying about tenzi za rohoni
hongera sn kaka kwa kazi nzurmungu azidi kukubariki
ni nzuri şąñą mungu awainue kufanya hivi ila itakuwa nzuri sana kama mtaweka beat kwa nyimbo zote
thans mr robert 4 this job be bless en peace be upon you asante
kwa kweli app hii ni nzuri sana na ni rahisi kuitumia
safi sana ila tunaomba utuwekee toni kwenye nyimbo zote
nafurahia ala bila intanet full offline hadi raha
have beats on all the songs and do likewise for golden bells
nzuri sana sana mungu awabariki sana
i love itespecially the the new features of listening to the songshope mtaongeza sound kwa nyimbo ambazo hazina
ni nzuri na inasaidia sana
application hii imekuwa msaada mkubwa sana kwangu na kwa marafiki pia sababu imekua rahisi kutafuta tenzi yeyote kwa njia rahisi zaidi karibu sana kupakua na kulitukuza jina la kristu yesu
tenzi za rohoni goodhopedesigns and informaticsfree app
tenzi za rohoni j&s servicesfree app
rated 435(2419)
tenzi za rohoni app devsfree app
rated 438(241)
tenzi za rohoni with videos secure technologiesfree app
tenzi za rohoni aganze kagayofree app | 2017-09-22T22:44:33 | http://www.androidblip.com/android-apps/tz.co.wadau.tenzizarohoni.html |
sudan mpasuko jeshini ndio utaoyavua mapinduzi jamiiforums
siku hiyo ulimwengu uliyashuhudia mapenzi makubwa baina ya wanajeshi wa ngazi za chini na wananchi waliokuwa wakiandamana dhidi ya utawala wa kijeshi ilionekana kama wananchi na wanajeshi walikuwa kitu kimoja kwenye safari moja ya kuelekea kwenye demokrasia
sasa mapenzi hayo yametoweka na machozi ya furaha yamekauka
tangu jumatatu ya wiki iliyopita miji ya khartoum na omdurman imegeuka kuwa viwanja vya mauaji baada ya kuwatawanya waandamanaji kikosi maalum cha idara ya usalama kimekuwa kikiwaua
maiti wameonekana wakielea katika mto nile walikotupwa na wanajeshi labda wamefanya hivyo ili idadi halisi ya watu waliowaua isijulikane
watawala wa kijeshi wakachukua hatua zaidi za kuwatia adabu wanamageuzi waliifunga intaneti wakawatia mbaroni viongozi wa upinzani
wanaharakati wa kike wamelalamika kwamba wanajeshi wanawatisha kwamba watawabaka wasipoziacha harakati zao
wapinzani nao wakakataa kurejea kwenye mazungumzo na watawala badala yake wakatangaza mgomo kuanzia jumapili iliyopita na walisema hawatozitii amri za serikali mpaka itapoundwa serikali ya kiraia
siku ya mwanzo ya mgomo jiji la khartoum lilikuwa kama lililokufa ganzi zahma za kawaida barabarani ziliyayuka
mabasi ya usafiri wa umma na teksi zote ziligoma hakuna kilichofunguliwa si maduka si ofisi si kampuni za watu binafsi na si mabenki benki chache zilizofunguliwa zilikuwa za serikali
yote hayo hayashangazi kwani si mageni nchini humo
sudan ni taifa lisilotulia kwa muda mrefu limekuwa hamkani tangu lipate uhuru januari 1 1956 misuguano ya roho haishi baina ya kabila na kabila baina ya makabila na serikali baina ya majeshi na raia baina ya serikali kuu na majimbo
kwa muda mrefu majeshi yamekuwa yakishika mpini wa utawala na takribani wakati wote yameushika kwa mikono ya chuma mara baada ya mara yamekuwa yakipindua serikali na baada ya muda huwarejeshea raia panapokuwa shinikizo kubwa kutoka kwa wananchi na wanapopata mwanya tu hujipenyeza na kuipindua tena
wakati mwingine wanajeshi hupinduana wenyewe kwa wenyewe kama ilivyotokea alipopinduliwa al bashir aliyetawala kwa karibu miaka 30 baada ya kuipindua serikali ya kiraia ya waziri mkuu sadiq al mahdi kiongozi wa chama cha umma
wanajeshi walimpindua al bashir walipoviona vishindo vya umma uliopiga kambi nje ya makao makuu ya jeshi ukimshinikiza ajiuzulu
masaibu mingine yaliyoikumba sudan ni vita vya wenyewe kwa wenyewe baina ya makabila na baina ya serikali na wapiganaji wenye kutaka maeneo yao yapewe mamlaka zaidi ya kujiendesha mapigano ya miaka nenda miaka rudi kwa mfano baina ya serikali na wapiganaji wa sudan kusini yalisababisha kumeguka kwa taifa hilo ilipozaliwa nchi huru ya sudan kusini julai 9 2011
asilimia zaidi ya 98 ya wakaazi wa sudan kusini walipiga kura ya maoni januari 2011 wakiunga mkono eneo lao liwe nchi huru
hiyo iliyosalia kuwa sudan iko ukingoni na huenda karibu ikatumbukia katika duru nyingine ya vita vya wenyewe kwa wenyewe
hofu ya kuzuka mapigano ya aina hiyo ndiyo iliyoushajiisha muungano wa afrika (au) uichukulie hatua sudan alhamisi iliyopita au iliisimamisha sudan isishiriki katika shughuli za muungano huo mpaka itapounda serikali ya kiraia
kwa sasa sudan inatawaliwa na baraza la kijeshi la mpito linaloongozwa na lutenijenerali abdulfattah al burhan mwenye umri wa miaka 59 aliushika uongozi wa utawala aprili 12 baada ya kujiuzulu lutenijenerali ahmed awad ibn auf aliyekuwa kiongozi kwa siku moja tu
wanamageuzi waliokuwa wamemiminika barabarani khartoum na kwenye miji mingine ya nchi hiyo hawakumtaka kabisa ibn auf walisema alikuwa karibu sana na al bashir kwa hivyo walifurahi pale wenzake walipomuondosha wakamweka al burhan badala yake
al burhan aliyekuwa inspekta mkuu wa majeshi anaonekana kuwa ni mwanajeshi mwenye mikono safi isiyo na damu hatua ya mwanzo aliyoichukua aliposhika uongozi ilikuwa kuwafungua wafungwa wote wa kisiasa waliofungwa na al bashir
kwa kufanya hivyo al burhan aliwafurahisha wanamageuzi na alizidi kuwafurahisha aliposisitiza kwamba analiunga mkono dai lao la kutaka utawala wa kiraia urejeshwe
lakini anayeonekana kuwa na nguvu zaidi ndani ya baraza la kijeshi ni naibu wake al burhan jenerali mohamed hamdan dagolo (maarufu kwa jina la hemedti) hamna shaka yoyote kwamba hemedti anaogopwa na wasudani wenzake
hemedti aliibuka baada ya kuanza vita vya darfur mwezi wa pili wa 2003 makundi mawili ya waasi (slm na jem) yalikuwa yakipigana na majeshi ya serikali waasi hao walikuwa wakiishtumu serikali kuwa ikiwabagua wasudani wasio na asili ya kiarabu
hemedti ni mwenyeji wa darfur na ana asili ya kiarabu ukoo wake ni wa awlad mansour (watoto wa mansour) wa kabila la mahariya
wakati wa vita vya darfur hemedti aliyaongoza majeshi ya mgambo ya janjawid yaliyokuwa yakitumiwa na serikali kupigana na waasi serikali ilimuajiri hemedti na watu wake mwaka 2003 na iliwapa silaha ili wapigane na wahakikishe usalama wa mji wa nyala mji mkuu wa jimbo la darfur kusini
kabla ya hapo hemedti anayesemekana kuwa hakuhitimu masomo ya skuli ya msingi alikuwa akiuza ngamia jangwani kama baba yake
safari moja mmoja wa misafara yake ulishambuliwa na watu wa kabila la zaghawa kabila la kiafrika ambalo pia ni kabila la rais idriss deby wa chad wazaghawa hao walimuibia hemedti mifugo (ngamia na ngombe) 3400 na waliwateka nyara watu 77 wakiwa pamoja na jamaa zake 10
hemedti akawa na kisasi cha kulipiza ndipo serikali ilipoamua kumtumia aisaidie kupambana na waasi hemedti hakukataa aliwakusanyakusanya watu wa kabila lake na akawaingiza katika jeshi la mgambo lililoitwa janjawid
wengi wa wanamgambo hao walikuwa ni waafrika wenye kujihusisha na uarabu pamoja na idadi ndogo ya mabedui wa kabila la kiarabu la rizigat lakini makabila mengi ya kiarabu hayakujihusisha na janjawid
wanamgambo wa janjawid wameshtumiwa kuwaua maelfu kwa maelfu ya watu katika eneo hilo la magharibi mwa sudan
wameshtumiwa pia kwa ubakaji wa wanawake udhalilishaji wa watu kwa ubaguzi wa kikabila kuviziba visima vya maji na wizi wa mifugo pamoja na mali nyingine za wakaazi wa darfur
hemedti anatuhumiwa kuwa ndiye aliyekuwa akivisimamia vitendo hivyo lakini anakanusha anasema kwamba alikataa kufuata amri za kushambulia sehemu wanazoishi raia
anachokiri ni kwamba aliombwa na al bashir binafsi aongoze mashambulizi dhidi ya waasi
vitendo vya kinyama vya wanamgambo hao ndivyo vilivyomsababisha al bashir ashtakiwe na mahakama ya jinai ya kimataifa (icc) kwa makosa ya mauaji ya halaiki uhalifu wa kivita pamoja na makosa ya jinai dhidi ya ubinadamu
serikali ya al bashir daima ilikuwa ikikanusha kwamba ikihusika na janjawid hata hivyo inasemekana kwamba upo ushahidi wenye kuthibitisha kwamba al bashir aliwateua mawaziri wake wawili na wakuu wengine wa serikali wawe waratibu baina ya majeshi rasmi na wanamgambo hao
mwaka wa 2013 janjawid waliingizwa rasmi kwenye kikosi maalum cha idara ya usalama ambacho ndicho chenye kuwakandamiza waandamanaji
ingawa alikuwa karibu sana na al bashir hemedti alimgeukia katika siku zake za mwisho madarakani amekuwa akisema kwamba naye pia anawaunga mkono wanamageuzi
hata hivyo wachunguzi wengi hawayaamini ayasemayo na wanamtilia shaka yeye na al burhan kwamba wana ajenda yao ya siri dhidi ya wanamageuzi
ukandamizi wa kikosi cha usalama uliendelea hata alipokuwako khartoum waziri mkuu wa ethiopia abiy ahmed aliyekwenda huko akiwa mjumbe wa au kutafuta suluhu baina ya baraza la kijeshi na wanamageuzi au pamoja na kuisimamisha sudan isishiriki katika shughuli zake pia imewatishia kuwawekea vikwazo viongozi binafsi wa sudan wataobainika kuwa ndio wenye dhamana ya sokomoko liliopo nchini humo
ingekuwa vizuri lau au ingeweza kupeleka jeshi la kuweka amani lakini muungano huo hauna uwezo huo kwa sasa na jeshi la sudan lina nguvu inaelekea pia kwamba watawala wa kijeshi watavipuuza vitisho vya au kwani wanazitegemea sana nchi za saudi arabia na tawala za kifalme za kiarabu (uae) kwa misaada
kwa hakika dhana iliyopo ni kwamba nchi hizo mbili za ghuba pamoja na misri ndizo zinazowashikilia watawala wa kijeshi wa sudan wazidi kukaza kamba wanapokutana na wanamageuzi nchi hizo zinaogopa kwamba nguvu za umma wa sudan zikishinda zisije zikawaambukiza wananchi wao
hali iliyopo sudan ni ngumu kwa wanamageuzi ni mpasuko tu ndani ya jeshi utaoweza kuyafanikisha mapinduzi yao endapo patazuka wanajeshi wataowaunga mkono moja kwa moja dhidi ya kina hemedti
baruapepeaamahmedrajab@icloudcom twitter ahmedrajab
reactions kaab msafi and nessonlegend
shame to saudia uae and egypt
yani jeshi linahodhi madaraka tena
wapi askari hawashiki hatamu za nchi | 2019-06-26T07:43:33 | https://www.jamiiforums.com/threads/sudan-mpasuko-jeshini-ndio-utaoyavua-mapinduzi.1594952/ |
raia wa kenya apandishwa kizimbani kwa kesi ya uhujumu uchumi mtaa kwa mtaa blog
home mahakama raia wa kenya apandishwa kizimbani kwa kesi ya uhujumu uchumi
raia wa kenya apandishwa kizimbani kwa kesi ya uhujumu uchumi
othman michuzi march 21 2019 mahakama
raia wa kenya ambae ni mtaalamu it brian lusiola na meneja uwendeshaji wa biashara wa kampuni ya inventure mob tanzania ltd ahmed ngassa wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi likiwemo la kuingiza kifaa cha mawasiliano nchini bila kibali cha mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) na kuisababishia serikali hasara ya sh milioni 642
mbali na lusiola na ngassa mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni kampuni ya inventure mobile tanzania ltd inayowafanya biashara na tala tanzania
akisoma hati ya mashtaka leo machi 212019 wakili wa serikali mwandamizi jackline nyantori amedai mbele ya hakimu mkazi mkuu huruma shaidi kuwa washtakiwa wametenda makosa hayo wakiwa katika jengo la tanzanite park lililopo katika wilaya ya kinondoni jijini dar es salaam huku wakijua ni kinyume cha sheria
imedaiwa katika shtaka la kwanza kuwa katika tarehe isiyofahamika kati ya januari mosi na desemba 31 2018 washtakiwa wakiwa katika jengo hilo kinyume na sheria waliingiza kifaa cha mawasiliano kinachoitwa proliant mli gen 9 server (pabx virtual mashine yenye serial number 76520d88838129_425) bila kuwa na leseni kutoka tcra
katika shtaka la pili imedaiwa siku na mahali hapo washtakiwa pamoja na kampuni hiyo walisimika kna karama kenyunko globu ya jamii
katika shtaka la pili imedaiwa siku na mahali hapo washtakiwa pamoja na kampuni hiyo walisimika kifaa hicho na kuendesha mtambo huo wa mawasiliano bila kuwa na leseni inayotolewa na tcra
katika shtaka la nne washtakiwa hao wanadaiwa kumiliki kifaa hicho kilaghai ambapo wakiwa na nia ya kukwepa gharama za uendeshaji wa kifaa kwa ajili ya kupokea na kusambaza mawasiliano walisambaza simu hizo za kimataifa nchini
pia washtakiwa wanadaiwa kutumia kifaa hicho kilichounganishwa na mawasiliano kwa nia ya kupokea na kusambaza mawasiliano bila kupata kibali cha tcra
katika shtaka la sita wakili nyantori amedai kwa matendo yao hayo ya makusudi washtakiwa wameisababishia serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania na tcra hasara ya sh 64260000/
hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mhakamani hapo kwa kuwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ispokuwa kwa kibali kutoka kwa dpp
kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na imeahirishwa hadi aprili 32019 kwa kutajwaifaa hicho na kuendesha mtambo huo wa mawasiliano bila kuwa na leseni inayotolewa na tcra
hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mhakamani hapo kwa kuwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ispokuwa kwa kibali kutoka kwa dpp kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na imeahirishwa hadi aprili 32019 kwa kutajwa | 2019-06-26T23:11:51 | https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/03/raia-wa-kenya-apandishwa-kizimbani-kwa.html |
habari za mitaa londoni waongeza timu nyingine premiaship
londoni waongeza timu nyingine premiaship
bao la ricardo vaz te katika dakika za majeruhi liliapatia klabu ya west ham ushindi na tikiti ya kurejea katika ligi kuu ya premiership baada ya msimu mmoja katika daraja la championship
klabu kutoka jijini london west ham ilipata bao la kwanza kupitia mshambuliaji wake carlton cole lakini likafutwa na thomas ince mtoto wa mchezaji wa zamani wa west ham paul ince mda mfupi baada ya kipindi cha pili kuanza
pande zote mbili zilikua na kosa kosa nyingi ingawa ni timu kutoka london iliyotumia fursa muhimu ambapo mshambuliaji vaz te aliyesajiliwa hivi katika dirisha la mwezi januari kutoka klabu ya barnsley kujikuta peke yake na kupiga mpira kutoka umbali wa yadi 12 kuwainua mashabiki wa hammers
bao hili pia lina maana kua west ham imeweza kushinda mechi kwa mara ya kwanza kwenye uwanja wa wembley katika kipindi cha miaka 31 na kurejea kwake baada ya kushuka daraja kwa kipindi cha mwaka mmoja wanafuata rekodi ya mwaka 1996 ya klabu ya leicester
furaha ya west ham hata hivyo yaligeuka kua majonzi kwa blackpool iliyoshuka daraja pamoja na west ham msimu uliopita haikujaliwa kurejea katika ligi kuu
msisimko ulijitokeza wakati mmoja ikionekana kama blackpool inaweza kurudisha bao na kusababisha mda wa ziada wa kuamua mshindi lakini kujeruhiwa kwa mshambuliaji gary taylor fletcher kulipunguza matumaini na kuiongezea west ham matumaini
posted by sherehe live at 746 am | 2018-07-17T07:28:27 | http://habarizamitaa.blogspot.com/2012/05/londoni-waongeza-timu-nyingine.html |
msimamo wa tanzania kwa tuhuma za kusafirisha silaha na madawa habari | michezo | mahusiano | blog tanzania
home featured msimamo wa tanzania kwa tuhuma za kusafirisha silaha na madawa
featuredmatukio katika pichatrendinguchambuzi
written by jomushi january 19 2018
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusinana na meli zilizokamatwa zikiwa na bidhaa haramu huku zikipeperusha bendera ya tanzania
msimamo wa tanzania kwa tuhuma za kusafirisha silaha na madawa was last modified january 19th 2018 by jomushi
naibu waziri wa mifugo na uvuvi achoma nyavu haramu mwanza
nssf washiriki sherehe za siku ya wafanyakazi
mbunge lushoto akagua uharibifu wa barabara ya
mgombea urais wa chadema lowassa ahutubia mafinga
mgomo wa efd kwa wafanyabiashara kariakoo waendelea
membe awatetea watanzania waishio nje maoni katiba
thps yakabidhi msaada wa vifaa vituo vya
zurii boutique kutoka kivingine sehemu mpya
magufuli akipokea taarifa ya uchunguzi wa almasi
liverpool wakatisha matumaini ya mancherster united | 2018-03-21T14:45:53 | http://www.thehabari.com/msimamo-wa-tanzania-kwa-tuhuma-za-kusafirisha-silaha-na-madawa/ |
serikali yapokea msaada wa vifaa vya kukabiliana na corona (covid19) | full shangwe blog
home mchanganyiko serikali yapokea msaada wa vifaa vya kukabiliana na corona (covid19)
serikali yapokea msaada wa vifaa vya kukabiliana na corona (covid19)
wamjw dar es salaam
serikali imepokea msaada wa vifaa kinga kutoka china kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya corona (covid19) kutoka taasisi ya jack ma na alibaba
akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya serikali mganga mkuu wa serikali prof muhammed bakari kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na taasisi ya jack ma na alibaba ni pamoja na mavazi (ppe) 1000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliobainika kuwa na ugonjwa huo ni pamoja na vitendanishi (rapid tests) 20000 na barakoa (masks) 100000
prof muhammed amesema msaada huo utawasaidia wataalamu wa afya nchini wakati wa kuwahudumia waliobainika na watakaobainika kuwa na maambukizi ya virusi vya corona
tunashukuru kwa msaada huo kama serikalitumekuja hapa kushuhudia sehemu ya shehena ya tani tatu ya vifaatiba vilivyotolewa na taasisi ya jack ma na alibaba ambavyo vimewasili usiku wa leo na ndege ya mizigo ya jamhuri ya shirikisho la kidemokrasia ethiopia amesema prof muhammed
katika hatua nyingine prof muhammed amemshukuru afisa ubalozi wa jamhuri ya shirikisho la kidemokrasia ethiopia ndg tewodros girma ambaye amekabidhi msaada huo kwa niaba ya balozi wa nchi hiyo mhe yonas yosef
previous articletaarifa kuhusu usajili watanzania wenye ulemavu kushiriki kwenye duka maalum bazaar katika maonesho ya dunia {expo 2020 dubai)
next articlewafanyabiashara wa soko la samaki feri jijini dar es salaam wajizatiti kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona | 2020-04-03T17:37:27 | https://fullshangweblog.co.tz/2020/03/25/serikali-yapokea-msaada-wa-vifaa-vya-kukabiliana-na-corona-covid-19/ |
muone mwanamke wa kizungu alie itukana africa na ugojwa wa ukimwi salma msangisalma msangi
muone mwanamke wa kizungu alie itukana africa na ugojwa wa ukimwi
23 december 2013 by salma msangi+ in news international news za nyumbani no comments
mdada huyo kwajina ni justine sacco mzaliwa wa africa kusini ila anayeishi marekani na kufanya kazi huko kama pr wa kampuni basi aka tweet maneno hayo kama yanavoonekana katika picha akimaanisha naenda afrika natumai sitapata ukimwimimi ni mzungu
kitendo hicho kimetafsiriwa kama kitendo cha uzalilishaji na ubaguzi kwa waafrika kimefanya dada huyo afukuzwe kazi na kampuni aliyokua anaifanyi kazi lakini pia mrembo huyo mbaguzi amewaomba msamaha wa afrika huku akikiri kuwa alichokifanya ni upumbavu
dj tass kuiwakilisha tanzania katika east africa new year deejayz burn out
color of the year 2014 ingia humu ujionee rangi hiyo inavyopambika katika kila sehemu
hivi ndivyo hali ya jiji la dar es salaam ilivyo katika kipidi hiki cha mvua za masika
umoja wa katiba ya wananchi bungeni (ukawa) wasusia bunge na kutoka nje
kweli haramu yako halali kwa mwenzako eti maiti zinafukuliwa kubadilishwa nguo huko indonesia
benki ya dunia nayo kusitisha misaada uganda
iliyokuwa nyumba ya bobbi kristina kuuzwa kiasi gani
huenda shughuli za bunge la katiba zitasimama kama rais hatoongeza muda
mambo tisa unajoweza kufanya katika chakuka chako kama mambo yameenda ndivyo sivyo | 2018-09-21T08:15:40 | http://salmamsangi.com/muone-mwanamke-wa-kizungu-alie-itukana-africa-na-ugojwa-wa-ukimwi/ |
job opportunity at sanlam life insurance head of banc assurance | muhabarishaji
home ajira mpya job opportunity at sanlam life insurance head of banc assurance
previous articlejob opportunity at sanlam life insurance training manager
next articlemagazeti ya leo 4/12/2019 | 2019-12-11T17:43:59 | https://www.muhabarishaji.com/2019/12/job-opportunity-at-sanlam-life-insurance-head-of-banc-assurance/ |
bi taifa aprili 19 2020 taifa leo
faith sonoi 24 ni mkazi wa mtaa wa shabbab kaunti ya nakuru uraibu wake ni kucheza magongo na kujumuika na marafiki | 2020-07-04T09:32:24 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=54708 |
marc wilmots amuweka pembeni vincent kompany dar24
4 years ago comments off on marc wilmots amuweka pembeni vincent kompany
nahodha na beki wa man city vincent jean mpoy kompany ameondolewa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya ubelgiji ambacho hii leo kitapambana na timu ya taifa ya italia katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki
kompany ameshindwa kupita katika vipimo vya afya alivyofanyiwa jana jioni baada ya kuumia kiazi cha mguu akiwa katika mazoezi ya mwisho ya timu ya taifa lake ambalo kwa sasa linashika nafasi ya kwanza kwenye viwango vya ubora wa soka duniani
kompany pia ataukosa mchezo mwingine wa kimataifa wa kirafiki ambao utachezwa kati kati ya juma lijalo ambapo ubelgiji watachuana na timu ya taifa ya hispania
hata hivyo kuna uwezekano kwa beki huyo akarejea uwanjani mwishoni mwa juma lijalo katika mchezo wa ligi ya nchini engalnd ambapo man city watakuwa wenyeji wa liverpool kwenye uwanja wa etihad
meneja wa man city manuel pellegrini ameonyesha kuzipokea kwa mshtuko taarifa za kuumia kwa nahodha wa kikosi chake kwa kudai kwamba kompany amekua na bahati mbaya ya kuumia mara kwa mara
kompany alikosa michezo miwili iliyoihusu klabu ya man city mmwezi uliopita dhidi ya bournemouth pamoja na sevilla lakini alipata nafasi ya kurejea kikosini wakati wa mchezo dhidi ya manchester united uliochezwa kwenye uwanja wa old trafford | 2020-01-22T05:29:55 | http://dar24.com/marc-wilmots-amuweka-pembeni-vincent-kompany/ |
costa alipigwa marufuku mechi tatu na shirikisho la soka la uingereza baada ya kupatikana na hatia ya utovu wa nidhamu wakati wa mechi dhidi ya arsenal ligi kuulakini yuko huru kucheza dhidi ya porto leo kwani marufuku hiyo haigusi mechi za ulaya
costa amekosa mechi mbili uingereza na pia atakosa mechi ya wikendi dhidi ya southamptonkwenye kikao hicho na wanahabari mourinho pia alionya wachezaji wake kwamba hakuna aliye salama iwapo kilabu hiyo itaendelea kuandikisha matokeo mabayamourinho amekuwa akimuweka benchi john terry mechi mbili zilizopita za ligi ya premia ihali branislav ivanovic na cesc fabregas pia wamekosolewa kutokana na uchezaji wao
muda 20150929 064633 watazamaji 359 | 2017-01-23T00:21:06 | http://www.tabelltz.com/michezo.php?page=5 |
mzee wa mshitu rais kikwete apokea tuzo ya utawala bora
rais kikwete apokea tuzo ya utawala bora
waziri wa katiba na sheria dktasha rose migiro akimkabidhi rais dktjakaya mrisho kikwete tuzo maalum ya africa achievers award in the category of good governance in africa wakati wa hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini dar es salaam jana dktmigiro alimwakilisha rais kikwete katika hafla ya kutunukiwa tuzo hiyo huko afrika ya kusini hivi karibuni
rais dktjakaya mrisho kikwete akitoa hotuba fupi baada ya kupokea tuafrica achievers award in the category of good governance in africa kutoka kwa waziri wa katiba na sheria dktasha rose migiro aliyeipokea kwa niaba ya rais huko afrika ya kusini
rais dktjakaya mrisho kikwetewaziri wa katiba na sheria dktasha rose migiro aliyekabidhi tuzo kwa rais(watatu kushoto)katibu mkuu kiongozi balozi ombeni sefue(wapili kushoto) wamasheria mkuu wa serikali mhgeorge masaju(wapili kulia) mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu mhetom nyanduga(kulia) na naibu katibu mkuu ikulu mhsuzan mlawi(kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya dktmigiro kumkabidhi rais kikwete tuzo ya africa achievers award in the category of good governance in africa ikulu jijini dar es salaam jana (picha na freddy maro) | 2017-08-22T03:37:17 | http://charaz.blogspot.com/2015/09/rais-kikwete-apokea-tuzo-ya-utawala-bora.html |
you are athome»habari360»rose muhandokondoo aliyetengwa na wachungaji
previous articlembunge aliyegoma kuhamia ccm afungukaadai kumpeleka ccm ni sawa na kupeleka baharini asiyejua kuoga
next article waziri atumbua watumishi watatu ardhi arusha | 2019-07-19T12:10:53 | https://habarimpya.com/featured-2/noreplyblogger-com-malunde/rose-muhandokondoo-aliyetengwa-na-wachungaji |
kamishna wa dawa za kulevya afunguka jinsi wauza madawa ya kulevya walivyotaka kumuua mtembezi
home habari kamishna wa dawa za kulevya afunguka jinsi wauza madawa ya kulevya walivyotaka
kamishna wa dawa za kulevya afunguka jinsi wauza madawa ya kulevya walivyotaka kumuua
kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kudhibiti dawa za kulevya rodgers siang'a akizungumza wakati wa mkutano maalum wa kukabidhiwa orodha ya majina ya wauzaji wa dawa za kulevya wakubwa na mkuu wa mkoa wa dar es salaam uliofanyika jana jijini (picha na fadhili akida)
previous articlepitia magazeti ya leo ijumaa ya 23/6/2017
next articleokwi kutua bongo jmosi kumaliza na simba sc
kilichojiri kesi ya lulu | 2017-12-17T04:20:22 | http://mtembezi.co.tz/2017/06/23/kamishna-wa-dawa-za-kulevya-afunguka-jinsi-wauza-madawa-ya-kulevya-walivyotaka-kumuua/ |
tujadili vifungu vibovu vya katiba | jamiiforums | the home of great thinkers
tujadili vifungu vibovu vya katiba
discussion in 'katiba mpya' started by fige dec 11 2010
kwa hakika hakuna mtanzania anayeilewa na kusoma katiba iliyopo na mwenye mapenzi mema na nji hii anayepinga katiba mpya
kwa busara na hekima ya wanaoisoma katiba yetu naomba tuainishe mapungufu yake ikiwezekana kuanzia na utangulizi unaosema sisi wananchi wa jmt wakati ukweli ni kwamba sio sisi ila ni viongozi ndio walioiandaa na si wananchi wote walioiandaa katiba ilyopo wala hawakutoa ridhaa yao
ni vema tuka ainisha vipengele hivyo ili watu wajue kinachodaiwa natoa wito kwa waandishi wa makala mbalimbali magazetini na mada mbalimbali kwenye runinga au redioni zijikite katika kujadili vifungu hivyo kuliko ku site moja kwa moja katika kudai katiba mpya bila kutaja mapungufu ya katiba iliyopo
kufanya hivyo kutafanya hata wale wanaopinga mabadiliko hayo kuchangia au kuona aibu kuendelea kupingavilevile itatusaidia tulio wengi kuijua katiba ya nchi yetu vizuri
hapo mmenena mkuu maana wengine wanafikiri huu ni ushabiki tumfano kile kipengele kinachosema kuwa matokeo ya urais hayawezi kupingwa kwenye mahakama yoyotewananchi hawalijui hili wanahoji kama dr slaa alionewa kwa nini asiende mahakamaniukimwambia mwananchi wa kawaida kwamba tatizo ni katiba inabidi umfafanulie kivipi mkuu kweli magazeti na vyombo vingine vya habari badala ya kujadili mambo yasiyokuwa na tija wafanye mijadala ya namna hiikatiba si swala la kisiasa tu bali linaathiri nyanja zote za kiuchumi na kijamii hivyo lipewe kipao mbele
nashukuru kwa kuunga hoja mkono mkuu
ukweli kuna vipengele vingi vya katika vinatia kichefuchefu
mfano mwingine wa hii inayoitwa tz bara zamani ikiitwa tanganyika kutokuwa na kiongozi pale raisi anapochaguliwa toka visiwani
soma katiba 34(i)
inasema
kutakuwa na serikali ya jmt ambayo itakuwa na mamlaka juu mambo yote ya muungano ktk jmt na pia juu ya mambo mengine yahusiyo tz bara
nikiwa mdau wa somo la uraia/civicshapa naona ni wakati muafaka kutoa yangu moyoninawashukuru viongozi waliopita kwa kuibadili katiba iliyopo kwani bila wao tusingekuwa na katiba hii tuliyonayo angalizo ni vyema kila atakaye kuchangia awe anaijua na pia awe ameisoma katiba ili kuepusha mizozo wengi wanaopiga kelele hata katiba yenyewe hawajawahi kuiona sembuse kuisomana wengi wao hawajui historia ya katiba iliyopo kwani hudanganywa kuwa haijawahi kubadilishwa wakati ni uongo wa wanasiasa kujitafutia umaarufu toka kwa laymen
fige umenena vyema sifurahi kabisa ninapoona kila mtu anaimba wimbo wa katiba mpya'' bila kutaja katika huo upya tunataka kubadilisha nini
watu wengi hawaijui katiba ya sasa unaweza kukuta hata mawaziri wetu hawajawahii hata kuiona/juisoma ya nini sasa wakati mwanasheria mkuu yupo au wizara ina mwanasheriateeth
vifungu vibovu vikishaainishwa (vyoooote kama inawezekana) tutaweza sasa kujadili na kuamua kama ni muhumu kuandika katiba mpya au ni sawasawa tu kuvirekebisha hivyo kwenye katiba ya sasa
kwa kuwa kenya wameweza kuandika katiba yao mpya sasa tunachachawa na tunataka kucopy na kupaste huku
mahesabu na consultant nimewasoma wakuu
ungefanya uungwana kwa kuiweka na hapa kwenye bandiko lako ili watu wajadili wakiisoma
joseph mihangwa disemba 8 2010 kama kuna waziri katika baraza jipya la mawaziri la rais jakaya mrisho kikwete aliyeanza kazi kwa mikwara na mikakati iliyoshindwa kabla ya kuanza waziri huyo ni celina kombani anayeongoza wizara ya sheria na katiba
tamko la waziri huyo hivi karibuni kwamba suala la katiba mpya nchini halizungumziki kwa sababu ni la gharama kubwa ni ishara kwamba waziri huyo anapiga jaramba kupigana na wakati asijue kwamba wakati ukuta kama ningekuwa mkufunzi msimamizi wake wa tasnifu [thesis] juu ya wizara yake tayari ningemkata alama kabla ya kuisoma ili ashindwe mtihani hima
kombani anashindwaje kusoma maandishi ukutani na matukio nchini kenya yaliyozaa katiba mpya na aukubali usemi wa wahenga kwamba ukiona mwenzio akinyolewa wewe tia maji suala la katiba mpya haliepukiki nchini kwa mazingira ya sasa na kujaribu kulizuia ni sawa na mtu kujaribu kutemea mate anga na kwa kufanya hivyo hawezi kukwepa kujichafua uso wake mwenyewe au anajaribu kuzuia mafuriko ya mto kwa viganja vya mikono
katiba ya nchi ni ramani ya madaraka na ni kielelezo cha demokrasia nchini kwa sababu ni tunda la uamuzi wa dhati wa wananchi wenyewe kudumu kwa katiba bila marekebisho ya mara kwa mara ni ishara ya katiba makini kinyume chake ni katiba isiyozingatia matakwa ya wananchi na mabadiliko ya nyakati katiba kama ile ya marekani ambako ndiko tumeazima mfumo wa demokrasia wa sasa imerekebishwa si zaidi ya mara nne katika kipindi cha miaka 222 tangu ianze kutumika rasmi mwaka 1788 tofauti na katiba yetu ya jamhuri ya muungano ambayo katika kipindi cha miaka 13 pekee imefanyiwa marekebisho 14 sawa na wastani wa rekebisho moja kila mwaka
tangu tupate uhuru desemba 9 1961 hadi sasa tanzania imepata kuwa na katiba mpya tano ambazo katika uhai wake zimeweza kufanyiwa marekebisho mara kwa mara kwa kuzingatia mazingira ya kisiasa kijamii na kiuchumi ya nchi kila katiba mpya na kila rekebisho au marekebisho ya katiba yalitanguliwa na mitafaruku au migongano ya kijamii na kiuchumi iliyotishia mustakabali wa taifa na uhusiano wa kimataifa
nitafafanua kidogo katiba ya uhuru ndiyo iliyotoa uhuru na ramani ya madaraka kwa tanganyika huru bila madaraka kamili ya ndani kwa sababu nchi ilikuwa bado inasimamiwa na uingereza kupitia mteule wake gavana wa tanganyika na kusema kweli katiba hiyo haikuwa tunda la watanganyika bali ilitungwa na kutolewa kwenye ofisi ya makoloni nchini uingereza na kushushwa kwetu kama torati yenye ukakasi bila kutoa uhuru kamili kwa hiyo ilizua nguvu ya hoja kwamba uhuru kwa watanganyika bila kuwa na serikali yenye madaraka ya ndani [jamhuri] lilikuwa debe tupu na huo ukawa msingi wa kudai serikali hiyo na katiba mpya madai ambayo ndiyo yaliyozaa jamhuri
huo ndio ulikuwa mwanzo wa mfumo wa utawala wa rais dikteta mwenye imla [imperial presidency] asiyeambilika au kushaurika kwani chini ya kifungu cha 3 (3) cha katiba hiyo rais alipewa mamlaka na uwezo wa kuongoza nchi atakavyo kwa vile hakulazimika kusikiliza au kupokea ushauri kutoka kwa mtu yeyote kuhusu masuala ya uongozi wa nchi hali hiyo haijabadilika hadi sasa kama inavyobainishwa kwa maneno yale yale katika ibara ya 37 (1) ya katiba yetu ya 1977 inayoendelea kutumika
katiba ya nne iliitwa katiba ya muda ya jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar ya mwaka 1965 ambayo kwa kutumia kikao cha kawaida cha bunge la kawaida [badala ya bunge la katiba kama ilivyotakiwa] ilipitishwa na kuanzisha utawala wa chama kimoja cha siasa badala ya vyama vingi tofauti na ilivyokuwa kwa katiba zilizotangulia na chini ya marekebisho ya katiba hiyo yaliyofanywa mwaka 1975 chama cha tanganyika african national union [tanu] kilitangazwa kushika hatamu za uongozi wa nchi ambapo vyombo vyote vya serikali vilifanywa kuwajibika kwa chama
katiba hii ilikamilisha zoezi la kuhodhi siasa za nchi kwa njia ya chama kimoja ambapo jukumu la kufikiri kutoa hoja na mawazo ya kimaendeleo liliondolewa kwa wananchi na kuwekwa mikononi mwa chama pekee yeyote aliyehoji juu ya mwenendo wa serikali [mwanachama au si mwanachama wa ccm] aliitwa mpinga maendeleo mpinzani wa chama na hivyo mpinzani wa serikali sheria kandamizi ikiwamo sheria ya usalama wa taifa na mamlaka ya rais ya kumtia mtu kizuizini zilitumika kunyamazisha wananchi wenye hoja na maoni
katiba ya kudumu ya 1977 ilianzishwa na kusimama kwenye mihimili [mafiga] mikuu mitatu kwanza rais mwenye imla asiyeambilika au kushaurika kama sehemu ya masalia ya katiba ya 1962 pili serikali mbili – tanganyika na zanzibar na tatu utawala wa chama kimoja na siasa ya ujamaa na kujitegemea katiba hii kama ilivyokuwa katiba ya uhuru si matunda ya mjadala wala maoni ya wananchi ni katiba iliyopendekezwa na tume ya chama iliyoteuliwa kuandaa rasimu ya kuunganishwa kwa vyama vya tanu na asp badala ya kupendekezwa tume ya katiba iliyotajwa katika ibara ya 7 ya hati ya muungano na kifungu cha 9 cha sheria zote mbili za muungano za tanganyika na zanzibar je katiba ya aina hii inakidhi matakwa na mazingira ya nchi ya sasa je inakidhi matakwa ya muungano yaliyokusudiwa
aidha mfumo wa vyama vingi vya siasa na uchumi huria havikuwa katika mawazo ya katiba ya 1977 wakati ikitungwa na kwa sababu hiyo haujapewa nafasi inayostahili kwa tafsiri sahihi ya mfumo huo kwa hiyo nchi sasa inaendeshwa kwa kauli mbiu ya chama dola kana kwamba wananchi wengine wasio na vyama au wale wa vyama vingine ni ‘raia daraja la pili' katika nchi yao wenyewe kuna tofauti kubwa kati yetu na nchi zenye demokrasia iliyokomaa kwa mfano katika marekani na afrika kusini rais anaweza kumteua mtu yeyote bila kujali tofauti za itikadi za siasa kushiriki katika uongozi wa nchi au katika kusimamia maslahi ya nchi kwa wenzetu ni nchi kwanza vyama vya siasa baadaye tofauti na sisi ambapo ni chama kwanza maslahi ya nchi baadaye
vivyo hivyo kujaribu kujenga demokrasia na utawala bora nchini kwa kutumia katiba ya sasa ni sawa na mbio za mbilikimo katika kuisaka demokrasia ni mbio zisizoweza kuhimili wala kufua dafu kwa hatua ndefu za mabadiliko makubwa yanayotokea katika nyanja zote za maisha ya jamii kwa hiyo bila kuzingatia mambo haya ya kihistoria mabadiliko yoyote ya katiba [kwa njia ya kuweka viraka] hayatakidhi matakwa ya demokrasia na katiba yetu itaendelea kuwa adha kubwa kwa wananchi tunapashwa kurefuka kimawazo akili na kwa vitendo ili tusiachwe nyuma na ulimwengu wa kidemokrasia kwa maendeleo ya watu wetu tusikubali kubakia mbilikimo wakati dunia inapiga hatua ndefu katika uwanja wa demokrasia tutasahaulika na kubaki nchi yenye udikteta unaopitwa na wakati haraka
source raia mwema
simu 0713526 972 baruapepe jmihangwa@yahoocom
kwa idhini ya jm naomba kuweka nukuu hiyo hapo
ni waraka mzuri wa kuanzia na kuendelea mbele ktk kujifunza juu ya mabadiliko ya katiba yanayohitajika tz
elimu haina mwisho nafurahi tuna wataalam wa fani mbalimbali jm
hivyo endeleea kutega sikio na kuwa na hali ya uwazi (openmindedness) katika kujifunza kutafakari na kuamua
nashukuru pia kwa historia hiyo ya katiba nadhani watu wanaobisha wanadhani kuwa vipengele vinavyofanya watu wadai katiba mpya ni vichache na hamna msingi wa madai ya katiba mpya
hapa naelewa kuwa msingi mkuu
ni kuwa katiba iliyopo haikidhi matakwa ya wakati wa sasa na demokrasia ya watanzania kwa ujumla
katiba mpya must waache udikiteta tutatengeneza rasimu inayoonesha mapungufu ya katiba ya sasa
ukisoma http//swradiovaticanava/doc/rasimu_finalpdf haizungumzii kabisa kuhusu wananchi kuelimishwa na kutengenezewa utaratibu wa kulipia michango ya bima ya afya na pensheni ya uzeeni ili huduma hii isiishie kwa waajiriwa tu bali hata wakulima na wafugaji wajiwekee akiba ili tuondokane na msemo wa fainali uzeeni kwa maoni yangu kila mtanzania anayejishughulisha na kazi yoyote atengenezewe kautaratibu ka hiari ka kuchangia akiba yake ya uzeeni kwa upande vifungu ambavyo vina walakini ni vile vinavyozungumzia namna ya kuboresha uchumi wa tanzania ili tuweze kutoka katika lindi hili la umasikini ni lazima tujitengenezee utaratibu wa namna ya kujitegemea wenyewe tusitegemee london au washington vifungu vya uchumi rushwa raslimali za taifa navyo havijakaa vizuri | 2016-12-07T15:06:00 | http://www.jamiiforums.com/threads/tujadili-vifungu-vibovu-vya-katiba.94623/ |
habari na matukio wananchi arusha walalamikia uuzaji holela wa maeneo ya wazi
mkuu wamkoa wa arusha akiwa anaongea na wananchi wa kata ya engutoto ilipo ndani ya jiji la arusha
wananchi wa kata ya engutoto jijini arusha wamelalamikia uuzaji holela wa maeneo ya wazi ya serikali hali inayopelekea uhaba wa maeneo ya kujenga huduma za kijamii kama zahanati na shule ikiwa huduma ambazo hazipatikani katika kata hiyo hivyo wameiomba serikali itatue tatizo hilo ili wananchi wapate huduma bora za kijamii
wakitioa malalamiko yao mbele ya mkuu wa mkoa wa arusha mrisho gambo wamesema kuwa licha ya uuzaji holela wa ardhi kuna migogoro ya ardhi katika kata hiyo na wananchi wengi wanaomiliki ardhi bado hajapatiwa hati jambo ambalo linawapa wasiwasi kuwa huenda ardhi zao zikamegwa na wawekezaji
mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina la joseph kamete alisema kuwa wameomba sana hati za maeneo ambayo wanaishi lakini wamekuwa hawapewi na wanazungushwa zungushwa kitu ambacho kinawatia mashaka makubwa | 2017-11-24T16:45:27 | http://www.kajunason.com/2016/11/wananchi-arusha-walalamikia-uuzaji.html |
mtaji wangu wa thanks wote umepotea hii hiii iiiiii ( | jamiiforums | the home of great thinkers
mtaji wangu wa thanks wote umepotea hii hiii iiiiii (
discussion in 'jf chitchat' started by voiceofreason oct 7 2011
duh post takriban elfu 5 sijawahi kutoa wala kupokea thanks hata moja
nilidhani nina mtaji wangu tayari ukiona hivi unaweza kusema huyu jamaa ni mchoyo kweli kweli
ngoja nianze kuzunguka na kutafuta mapost ya watu na kumwaga mithanks
by the way have a nice weekend
thanks0thanked 0 times in 0 posts
rep power 72
hawa mods wachakachuzi mno kabla ya mwaka 2009 mimi nilikuwa nisha amass thanks zaidi ya elfu tano ghafla bin vruuu zikatoweka tukaanza moja tena nikajikusanyia zaidi ya elfu tatu nazo zimetoweka
kwa sasa sijali tena kwani hazina maana kabisa siku hizi watu wanapeana kishikaji wewe ukiwe mjombashka wa afrodenzi akiona umebandika sehemu anakugongea hata iwe umeandika kicheko kama hivi (heheheheee au lol) utagongewa
ni upuuzi mtupu
ni upuuzi mtupuclick to expand
kweli mkuu ila mimi zangu nilikuwa nazitoa kweli nikiona kwamba huyu jamaa ameshusha nondo sasa leo nashangaa eti sijawahi kutoa thanks hata moja (to be precise nimetoa hio moja tu hapo kwako) sasa kweli si inaonekana mimi ni hard to please yaani sijawahi kuona useful post duh kweli this is not fair
oh tena nisije sahausaa ingine unakuta hizi thanks zinaombwa kabisa wengine utaona wanakumbushia kabisaebana mwaflani mbona umesahau kunigongeateh teh tehduuuh ama kweli haya ni mapenzi dotcom
kuanza upya sio ujinga
kuanza upya sio ujingaclick to expand
ila kuna ukweli ndani yake au kwa vile unazo 11 umejitahidi
oh tena nisije sahausaa ingine unakuta hizi thanks zinaombwa kabisa wengine utaona wanakumbushia kabisaebana mwaflani mbona umesahau kunigongeateh teh tehduuuh ama kweli haya ni mapenzi dotcomclick to expand
nitakuwa nakupa thanks mimi mama yako kila nikuonapo masharti vua gamba kwanza
si unajua hata mtu akifa anaenda kuzaliwa ktk dunia nyingine upya
ni kweli kabisa ni upuuzi mtupu nn wanasema thanks zinatolewa kishkaji na wameamua kuanza zero kwa mara ya pili sasa katika kipindi cha miaka miwili hata likes nazo zinatolewa kishkaji lakini wameamua kuziacha ni uamuzi ambao hauleweki kabisa
nitakuwa nakupa thanks mimi mama yako kila nikuonapo masharti vua gamba kwanzaclick to expand
mimi ni magamba tena toka lini
ni kweli kabisa ni upuuzi mtupu nn wanasema thanks zinatolewa kishkaji na wameamua kuanza zero kwa mara ya pili sasa katika kipindi cha miaka miwili hata likes nazo zinatolewa kishkaji lakini wameamua kuziacha ni uamuzi ambao hauleweki kabisaclick to expand
shhhhhbubu usiseme kwa sauti sana wasije kusema tunawaonea wivu bure eti wivu wa thanks na like ngoja nikaflush choo
thanks0thanked 0 times in 0 postsah
rep power 72click to expand
ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ngoja nianze kuzunguka na kutafuta mapost ya watu na kumwaga mithanksclick to expand
ujanja ni kugongeana mpaka tuzirudishe kwenye level yake yaani mtu akikugongea na wewe unamgongea nakugongea halafu nasubiri yangu
hawa jamaaa miyeyusho mimi nimetoa tamko kama vipi kwenye profile yangu watoe hiyo kitu thanx nibaki na like tu
kwa kweli hata mimi wamenitia uchungu mno
kwa kweli hata mimi wamenitia uchungu mnoclick to expand
dena amsi hujambo we kigori
nigongee basi kithanks na kilike na mimi nijidai
unaweza usipate chance ya kuanza upya just imagine miaka 50 hivi kutoka sasa baada ya kutangulia panapo haki watu wanaweza wakasikia kwamba voice alikuwa mtu poa sana wajukuu wakija kuchungulia na kuona huyu jamaa duh post 1000000 na hajatoa thanks hata moja kumbe masikini alikuwa na thanks kama milioni tano ambazo zilifutwa wiki kama mbili zilizopita 0 people likes
unaweza usipate chance ya kuanza upya just imagine miaka 50 hivi kutoka sasa baada ya kutangulia panapo haki watu wanaweza wakasikia kwamba voice alikuwa mtu poa sana wajukuu wakija kuchungulia na kuona huyu jamaa duh post 1000000 na hajatoa thanks hata moja kumbe masikini alikuwa na thanks kama milioni tano ambazo zilifutwa wiki kama mbili zilizopita click to expand
kaka naona kupotea kwa hizo senksi kumekuuma sana wewe potezea tu kwa sababu hazina maana watu hata vicheko wanatolea senksi mishangao kama duh wanatolea senksi watu wanaombana hizo senksi sasa zina maana gani hizo senksi
wewe zipotezee tu
nabakia kusoma comments za watu nacheka tu | 2017-04-30T20:47:46 | https://www.jamiiforums.com/threads/mtaji-wangu-wa-thanks-wote-umepotea-hii-hiii-iiiiii.180103/ |
ruhagoyacucom ishyamba si ryeru hagati ya bamwe mu bakinnyi ba as kigali na mugenzi wabo kalanda frank
ishyamba si ryeru hagati ya bamwe mu bakinnyi ba as kigali na mugenzi wabo kalanda frank
yanditswe kuya 29012018 saa 1231' na philbert hagengimana
bamwe mu bakinnyi ba as kigali basanga rutahizamu wabo kalanda frank ari inkorabusa mu ikipe yabo bakababazwa numwanya munini umutoza eric nshimiyimana amuha ngo akine kandi ntacyo abafasha mu kibuga
abo bakinnyi batangaje ibi nyuma yumukino bakinnye na apr fc kuwa gatandatu tariki ya 27 mutarama mu irushanwa ryo kwizihiza umunsi wintwari bakanganya ibitego 22 aho bishyuwe igitego ku munota wa nyuma nyamara barashoboraga kuba batsinze ibirenze bibiri iyo kalanda frank aza kubabera umukinnyi mwiza nkuko babivuga
bamwe mu bakinnyi ba as kigali basanga gushyira kalanda mu kibuga birutwa nuko bakina batuzuye ariko babizi
muri uwo mukino kalanda frank yinjiye mu kibuga ku munota wa 62 asimbuye ngama emmanuel
ku munota wa 77 yaje kubona uburyo bwiza imbere yizamu wenyine ku buryo yashoboraga guhita atsindira as kigali igitego cya gatatu cyangwa umupira akawuha mbaraga jimmy akagitsinda ariko ateye agashoti umunyezamu emery mvuyekure agafata bitamugoye
ubwo si bwo buryo bwonyine kalanda yabonye ariko ayo mahirwe akayapfusha ubusa ndetse hakaba nubwo yabonaga imipira ariko kuyikinana na bagenzi be bikaba ikibazo
kalanda frank afite ibitego bitatu nyuma yumunsi wa 10 muri azam rwanda premier league
ubwo barimo baganira nyuma yuwo mukino bibaza icyo umutoza eric nshimiyimana yashyiriye kalanda mu kibuga umwe yagize ati si umukinnyi we se si we wamuguze nyine aba agomba kumushyiramo gusa ajye amenya ko aduhemukira kubona atuma tuvunikira ubusa
kalanda frank ni rutahizamu wa as kigali kuva muri nyakanga 2017 aho yaje avuye mu ikipe ya vipers yo muri uganda
ubwo yageraga i kigali kalanda yari yatangaje ko yizeye kwitwara neza kuko yiyizera ku buhanga bwe ati ni inshuro ya mbere ngera mu rwanda ariko nsanzwe nduzi kuko duhurira mu mikino itandukanye nka cecafa nizeye kwitwara neza kuko impano yo ndayifite sinkunda kuvuga byinshi ikibuga kuko kigira ukuri kwacyo
kalanda ni umwe mu bakinnyi bakiniraga uganda cranes muri chan 2014
kuya 30012018 saa 1058'
mistake yambere as kigali nukuzana uwo murozi fwadi yewe azaroga abo bahuriye kumwanya umwe mwese bibarengeikimutunze nuburozi gusa
kuya 30012018 saa 0739'
coach eric niba byamurenze aduhe karanda tubabahereze mbondi wanyaye
kuya 29012018 saa 2045'
as kigali mbona ntacyo imaze kd ikoresha abanyamahanga ibyiza babireka | 2018-02-24T12:20:10 | http://ruhagoyacu.com/rwanda-1/amakuru-ashyushye/article/ishyamba-si-ryeru-hagati-ya-bamwe-mu-bakinnyi-ba-as-kigali-na-mugenzi-wabo |
serikali yajivunia viwango vya utabiri wa tma | full shangwe blog
home mchanganyiko serikali yajivunia viwango vya utabiri wa tma
serikali yajivunia viwango vya utabiri wa tma
waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano mhandisi isack kamwelwe akizungumza
kila ifikapo tarehe 23 machi ya kila mwaka jumuiya ya
kimataifa ya hali ya hewa duniani kote inaadhimisha siku ya hali ya hewa
duniani siku hii ni kumbukumbu ya kuanzishwa kwa shirika la hali ya hewa
duniani (wmo) lililoanzishwa mwezi machi 23 1950
tanzania ni miongoni mwa nchi wanachama wa wmo mbayo imeendelea
kutekeleza maridhiano ya kimataifa katika sekta ya hali ya hewa kwa kuhakikisha
mamlaka ya hali ya hewa nchini (tma) inatoa huduma
za hali ya hewa katika viwango vinavyokubalika kimataifa
utekelezaji huo ni pamoja na kuijengea uwezo mamlaka ya
hali ya hewa kwa upande wa vifaa na wataalam ili kuhakikisha wanafuatilia
mifumo ya hali ya hewa na kutoa tahadhari za hali mbaya ya hewa zinazohitajika
nchini kikanda na kimataifa kwa matumizi ya sekta zote ikiwa ni pamoja na
mwaka jana 2019 serikali ilipitisha sheria ya kuhuisha
wakala wa hali ya hewa nchini kuwa mamlaka kwa sheria ya mamlaka ya hali ya
hewa na 2 ya 2019 sheria hii inaiwezesha mamlaka kutekeleza majukumu yake
kitaifa kikanda na kimataifa na kutoa huduma za hali ya hewa kwa jamii ambazo
zina mchango mkubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa na
tabianchi
sheria iliyounda mamlaka ya hali ya hewa inaipa nguvu za
kisheria za kudhibiti huduma za hali ya hewa hapa nchini na kukusanya mapato
yanayotokana na matumizi ya huduma za hali ya hewa zinazotumiwa kibiashara pi
sheria hiyo inaitambua serikali kama mdau mkubwa wa huduma zinazotolewa kwa
matumizi ya wananchi (public good) hususan tahadhari za hali mbaya ya hewa
kwa mabadiliko na maboresho hayo mamlaka ya hali ya hewa
tanzania inatarajiwa kuboresha zaidi huduma za hali ya hewa nchini hivyo
sheria hii imehakikisha uwakilishi ushirikishwaji mabadiliko ya kimtazamo na
uwajibikaji wa wadau wote ikiwa ni pamoja na sekta binafsi na jumuiya za
waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano mhandisi isack kamwelwe (katikati) akizinduwa rasmi mamlaka ya hali ya hewa nchini (tma) wengine ni wageni meza kuu katika hafla hiyo
mhandisi isack kamwelwe (mb) ni waziri wa ujenzi
uchukuzi na mawasiliano wizara inayoisimamia tma akitoa ujumbe wa maadhimisho
ya siku ya hali ya hewa duniani mwaka huu anabainisha kuwa ili kuhakikisha taasisi
hiyo muhimu inatekeleza majukumu yake kiufanisi na kuchangia maendeleo ya
kiuchumi na kijamii nchini
serikali inaendelea kuijengea uwezo mamlaka ili iweze
kufuatilia mifumo ya hali ya hewa na kuboresha utabiri wa hali ya hewa kwa
lengo la kufuatilia mabadiliko ya hali ya hewa ya muda mfupi na muda mrefu
anasema taarifa za hali ya hewa ni muhimu sana katika kutoa maamuzi na kuweka
mikakati ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa
anasema serikali inatambua kuwa huduma za hali ya hewa
husaidia na kuongeza uwezo wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya
hewa na vilevile kuchangia katika maendeleo endelevu hivyo kuliandaa taifa
vizuri katika kukabiliana na maafa yanayosababishwa na vipindi vya ongezeko au
upungufu wa maji kama vile mafuriko na ukame
waziri kamwele anaongeza kuwa huduma za hali ya hewa
zitolewazo husaidia watumiaji wa huduma hizo kupanga vyema shughuli zao ambazo
ni pamoja na mipango ya utoaji wa huduma za maji mijini kilimo mifugo
maendeleo ya uvuvi uzalishaji wa nishati na uratibu wa maafa miongoni mwa
sekta nyingine
serikali inaendelea kuongeza uwezo wa tma kufuatilia na
kupima hali ya hewa na kuboresha utabiri wa hali ya hewa kwa matumizi katika
sekta mbali mbali za kiuchumi na kijamii pamoja na kufanya maamuzi ya mipango
ya maendeleo katika sekta hizo
kwa kuzingatia hatua kubwa ya maendeleo iliyopigwa
katika nyanja ya teknolojia na mahitaji yake katika sayansi ya hali ya hewa
serikali inaipongeza tma kwa kuendeleza ubunifu na matumizi ya teknolojia
katika kuboresha huduma wanazotoa hapa nchini anafafanua mhandisi isack kamwelwe
mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya hali ya hewa tanzania (tma) dk agnes kijazi (kushoto) akitoa utabiri wa mwelekeo wa mvua za vuli kwenye moja ya mkutano na wanahabari jijini dar es salaam kulia ni mkurugenzi huduma za utabiri tma dk hamza kabelwa
aidha tangu kuingia kwa serikali inayoongozwa na
mheshimiwa rais dkt john pombe magufuli tma imeboresha zaidi utendaji wa
kazi zake hii ni pamoja na utoaji wa huduma bora za hali ya hewa hasa baada
ya uwekezaji uliofanywa na serikali kivifaa vya kisasa hususani katika
kuboresha miundombinu
uwekezaji huu ni pamoja na ununuzi wa rada za hali ya
hewa kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa taarifa za hali ya hewa nchini rada
hizo zimefungwa mwanza na dar es salaam na zingine tatu ziko katika hatua ya
ununuzi ambazo zitafungwa mtwara mbeya
na kigoma
waziri aanasema serikali itaendelea kuwekeza ili
kuendelea kuboresha huduma za hali ya hewa na maji kwa kuongeza uwezo wa
wataalamu na miundombinu huku tukihimiza ushirikiano baina ya sekta mbalimbali
zinazohusiana na zinazotumia huduma za hali ya hewa na rasilimali maji kwa
lengo la kuendelea kuboresha maisha na ustawi wa jamii
hata hivyo anashauri jamii kuongeza kasi ya utumiaji wa
huduma za hali ya hewa katika mipango yao na ile ya sekta zote za kiuchumi utekelezaji
wa miradi ya kitaifa kama vile ujenzi wa miundombinu uendelezaji na uzalishaji
wa nishati inayotokana na maji kilimo na rasilimali maji
nashauri pia tuendelee kuunga mkono juhudi za tma katika
utekelezaji wa majukumu yao na kuwapa ushirikiano ikiwa pamoja na kuhakikisha
wote wenye vituo vya hali ya hewa vinasajiliwa na tma ili kwenda sambamba na
matakwa ya sheria
akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya hali ya hewa
duniani machi 23 2020 mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya hali ya hewa tanzania
(tma) dkt agnes kijazi anasema ipo mifano halisi ya matukio ya hali mbaya ya
hewa yaliyotokea nchini kwa mwaka 2019 na kuathiri upatikanaji na ubora wa maji
katika baadhi ya maeneo
hayo ni pamoja na kuchelewa kuanza kwa mvua za msimu wa machi hadi mei
(masika) na matukio ya vipindi vifupi vya mvua kubwa katika msimu huo ambapo
mwezi mei 2019 ulikuwa ni mwezi wenye mvua nyingi zaidi ya kawaida
moja ya rada zinazotumiwa na tma kurahisisha kazi zake
dkt kijazi ambaye pia ni makamu wa tatu wa rais wa wmo anaongeza
kuwa matukio ya vimbunga keneth na idai katika msimu wa masika 2019 yamesababisha
athari katika maeneo mbali mbali ya nchi ni miongoni mwa changamoto za
mabadiliko ya hali ya hewa duniani kwa msimu wa mvua za mwezi oktoba hadi
disemba (vuli) 2019 kumekuwa na mvua nyingi zaidi katika miezi ya oktoba na
katika mwaka 2020 tumeshuhudia matukio ya mafuriko ya
kutisha katika maeneo mbalimbali ya nchi hususan mkoani lindi ambayo
yalisababisha athari katika sekta mbali mbali ikiwa pamoja na sekta ya maji inatazamiwa
kuwa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa matukio ya mafuriko na ukame
yataongezeka kwa wingi (frequency) na ukubwa (intensity) na hivyo kusababisha
athari katika sekta mbali mbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo sekta ya maji nishati
usafirishaji na kilimo anaeleza nguli huyo wa masuala ya hali ya hewa ulimwenguni
pamoja na changamoto za mabadiliko ya hali ya hewa na
tabianchi na athari zake katika mfumo wa mzunguko na upatikanaji wa maji
taarifa za hali ya hewa za sehemu husika zitasaidia katika kupanga shughuli za
kiuchumi na kijamii zinazotegemea upatikanaji wa maji
taarifa hizo ni pamoja na data za hali ya hewa za kipindi
kirefu (klaimatolojia) utabiri wa hali ya hewa na matazamio ya mabadiliko ya
hali ya hewa (climate change projections)
anabainisha kuwa tma imeendelea kupata mafanikio katika
kutekeleza mpango mkakati wake ikiwa ni pamoja kuendelea kumiliki cheti cha
ubora wa huduma kutoka shirika la viwango duniani (iso 90012015 certification)
katika huduma za hali ya hewa kwa sekta ya usafiri wa anga
kwenye mafanikio changamoto hazikosekani kwa sasa
changamoto ni uhaba wa vituo vya uangazi wa hali ya hewa mabadiliko ya
matumizi ya teknolojia katika huduma za hali ya hewa mahitaji ya taarifa za
sekta maalumu na maeneo madogo madogo na athari za mabadiliko ya hali ya hewa
na tabianchi katika misimu ya mvua ambayo husababisha ongezeko la matukio ya
hali mbaya ya hewa
katika kuadhimisha siku ya hali ya hewa duniani kwa mwaka
2020 anatoa wito kwa wadau wa huduma za hali ya hewa kutoka sekta zote za
kiuchumi na kijamii kuhakikisha wanazielewa na kuzitumia ipasavyo huduma za
hali ya hewa katika kupanga mipango ya kiuchumi nchini
previous articlepitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo machi 272020
next articlemamia ya waombolezaji jijini dar wajitokeza katika mazishi ya mwandishi mkongwe wa habari za michezo nchini asha muhaji
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhedktjohn pombe magufuli amewasili leo chato mkoani geita akitokea jijini dodoma
mufti mkuu wa zanzibar aongoza dua maalum ya kuiomba nchi na maradhi ya corona jana usiku na kurushwa moja kwa moja na zbc tv
maendeleo ustawi wa jamii wapigwa msasa kuhusu corona | 2020-03-29T02:51:19 | https://fullshangweblog.co.tz/2020/03/27/serikali-yajivunia-viwango-vya-utabiri-wa-tma/ |
serikali kuendelea kuchukua hatua za kisera kuhakikisha riba za mikopo zinapungua mtaa kwa mtaa blog
home habari serikali kuendelea kuchukua hatua za kisera kuhakikisha riba za mikopo zinapungua
serikali kuendelea kuchukua hatua za kisera kuhakikisha riba za mikopo zinapungua
hayo yameelezwa leo bungeni jijini dodoma na naibu waziri wa fedha na mipango mhe ashatu kijaji alipokuwa akijibu swali la mbunge wa konde mhe khatibu haji juu ya serikali inachukua hatua gani ili benki ziweze kupunguza viwango hivyo vya riba
baadhi ya hatua zilizochukuliwa na serikali kupitia benki kuu ni pamoja na kuzitaka benki za biashara kutumia mfumo wa kuhifadhi na kutoa taarifa za wakopaji (credit reference bureau system) aidha benki hiyo imekuwa ikitoa mikopo ya muda mfupi kwa benki za biashara kwa kiwango cha asilimia 689 amesema dkt kijaji
mwenyekiti wa tume ya madini prof idrissa kikula aliyesimama (kushoto) na mmoja wa makamishna wa tume hiyo prof abdulkarim mruma wakitambulishwa bungeni leo mara baada ya kipindi cha maswali na majibu
sehemu ya wanafunzi waliofika bungeni kwa ziara ya mafunzo wakiwa ndani ya ukumbi wa bunge wakati wa kipindi cha maswali na majibu ( picha zote na frank mvungi maelezo) | 2018-12-19T12:49:59 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/05/serikali-kuendelea-kuchukua-hatua-za.html |
download scotland vya anga bulldog t mk1 mkufunzi fs2004 rikoooo
lugha chagua lughaenglishshule zote nchini marekanialbanianarabicarmenianazerbaijanibasquekibelarusibulgariancatalankichina (kilichorahisishwa)kichina (cha jadi)kikorasiaczechdanishdutchestonianphilippinefinnishkifaransagaliciangeorgiangermangreekhaitian creolekiyahudihindihungarianicelandicindonesianirelanditalianjapanesekorealatviankilithuaniamacedonianmalaymaltesenorwegiankiajemipolishportugueseromanianrussiankisabiaslovakslovenianspanishkiswahiliswedishthaiturkishkiukrenikiurduvietnamese
maswali
upakuaji wote
helikopta
mbalimbali
radar ya ndege
kujiunga jumbo plan
kuchangia
kihistoria plan ndege
historia ya rikoooocom
ingiadaftari
ingia simu ya mkono
daftari
overview downloads zote airbus boeing antonov tupolev socata fighter hawker beechcraft old ndege mcdonnell douglas ndege (uncategorized) bombardier aéronautique seaplane lockheed martin patrouille de france de havilland embraer cessna amerika ya kaskazini anga entire meli gliders brittennorman atr grumman pilatus kifaransa msalaba mwekundu lockheed piasecki phc sikorsky mbalimbali helikopta bell ndege corporation eurocopter aerospatiale mbalimbali kwa fsx & p3d modifications miradi prototypes fsx & p3d scenery uwanja wa ndege paywares fsx & p3d vyombo vya fs2004 ndege (uncategorized) airbus boeing air france meli patrouille de france amerika ya kaskazini anga lockheed martin de havilland hawker beechcraft embraer seaplane old ndege bombardier aéronautique cessna russian fighter kifaransa mpiganaji mbalimbali mpiganaji antonov atr gliders brittennorman tupolev kifaransa msalaba mwekundu lockheed pilatus mbalimbali kwa fs2004 modifications miradi prototypes fs2004 scenery mbalimbali scenery sikorsky eurocopter bell ndege corporation aerospatiale autres maalum xplane 10 mbalimbali mbalimbali fighter mbalimbali ndege ndege design scenery design xplane 9 ndege airbus old ndege avions mbalimbali helikopta puzzles bure
scotland vya anga bulldog t mk1 mkufunzi fs2004
ukubwa 102 mb
downloads 1 920
kuundwa 15 052012 22 46 42
iliyopita 12 072012 19 36 04
leseni freeware
mwandishi tim piglet conrad piglet ya peculiar planes
download kwa fs2004 + 3d virtual cockpit
kama unataka hii addon kwa fsxbonyeza hapa
ndege hii ina full michoro fs textures shiny na virtual cockpit pamoja na baadhi ya viwango desturi ni pamoja na raf maltese na swedish miradi rangi sweden mpango kuwa yake mwenyewe sk61 modelthe scotland vya anga bulldog ni uingereza mbilikiti ubavu kwa upande (kwa hiari kiti cha tatu) mafunzo ya ndege iliyoundwa na beagle ndege kama b125 bulldog
mfano bulldog kwanza akaruka juu ya 19 1969 mei katika shoreham uwanja wa ndege utaratibu wa kwanza kwa ajili ya aina ilikuwa kwa ajili ya 78 kutoka sweden air bodi kabla ya ndege yoyote uzalishaji walikuwa kujengwa beagle ndege wameacha biashara na haki za uzalishaji kwa ndege na utaratibu swedish yamechukuliwa na scotland anga (bulldog) limited all ndege baadae walikuwa kujengwa katika prestwick airport na scottish aviation au katika miaka ya baadaye british aerospace
scotland vya anga bulldog t mk1 mkufunzi fs2004 download
downloads kuhusiana
rockwell b1b lancer alphasim fs2004
mkono 5 606
fairchild city air metroliner iii abiria fs2004
mkono 4 520
dornier do328 turbo kwa fs2004
mkono 4 295
myasishchev vmt atlant 0gt fs2004
mkono 8 028
socata tb10 tobago full package fs2004
mkono 3 790
douglas c133b cargomaster usaf fs2004
mkono 16 856
hawker siddeley argosy aw650 fs2004
mkono 4 743
uingereza ndege corporation bac 1 11fs2004
mkono 13 129
dassault mercure 100 fs2004
mkono 11 638
airbus a320 family mega pack fsx & p3d v305
05 092017
boeing 737 800jet2com package fsx & p3d
04 092017
boeing 727200 advanced fsx & p3d
files latest
las vegas mega photoreal scenery fsx & p3d
08 092017
citationna citation king fsx & p3d
07 092017
fiat aviazione fiat g12 fsx & p3d v20
19 082017
robin dr400 regent p3dv4
beechcraft at11 kansan fsx & p3d v10
got tahadhari virusi
ni kawaida kwa baadhi ya faili (exe) juu rikoooo kuonywa na baadhi kupambana na virusi mpango kama ambao huchukua kwanza wala hofu una unajua kuna haijawahi virusi moja juu ya rikoooo tangu ianzishwe (zaidi ya 12 miaka) kwa kweli hii inaitwa uongo chanya maelezo zaidi hapa
rikoooocom ni ovyo wako
wasimamizi na wanachama wako kwa msaada wowote
kutangaza kwenye rikoooo
urahisi kutangaza kwenye tovuti ya ubora na kuongeza sifa yako
facebook kwanza
habari kutoka rikoooo katika picha
kujifunza zaidi kuhusu sisi
jumbo mpango
kujiunga na kujua zaidi
kuwezesha maendeleo na kuendeleza tovuti yetu
masharti ya kijumla ya matumizi
masharti ya mauzo general
sera ya kurejesha fedha
tovuti hifadhi
2005 2017 rikoooocom haki zote zimehifadhiwa | cnil 1528113 | 2017-09-20T09:37:17 | http://www.rikoooo.com/sw/downloads/viewdownload/22/531 |
tatizo kwenye mahusiano ni wewe sio kitu kingine | 8020fashions blog
yako wapi mahusiano yako mazuri unategemea kitu gani kwa mwenza wako na mwenza wako anategemea kitu gani
maswali haya nafahamu yatagusa kila mahali katika mahusiano ambayo yanahitaji ukamilifu wakati mtu anapokaa kwa muda mrefu au kujaribu kutoka na mtu huyu mara mwingine ni katika kutafuta mahusiano mazuri ya kudumu katika maisha yake atakupa furaha nitakuwa wake peke yangu nitajipenda nilivyo nitakapokuwa naye pamoja
hii inaonekana vizuri na nzuri kupata mwenze anayekupenda utakuwa umewekeza kwa undani zaidi anayekusaidia anayekuelewa na anakusaidia kukua unavyotaka kufikia kwa hio tatizo liko wapi
matarajio yako muhimu yamekuwa sumu katika mahusiano yako
wengi huwa na matarajio mengi kutoka kwa wenza wao na wakati huo huo wanahitaji mahusiano ya kudumu yasibadilishe matarajio yao ni kama maigizo wanahitaji mapenzi ya ukamilifu
mahusiano yako yanalingana na hayo matarajio hapo juu ya kumfanya mtu azimie peke yake au wewe ni wale ambao uliingia kwenye ndoa kwa sababu ya huduma ya kukamilisha mahitaji yako ya kiuchumi au ndoa yako imeanza na hisia za muhimu ya kukamilishana na kupendana au matarajio yako sio kitu cha kukukamilisha lakini unahitaji kukua vizuri katika makusudio yako
katika maisha ya leo unatakiwa kujitegemea hapo utatafuta mwenza ambaye atakutana japo na matarajio yako kidogo ambayo yatawasaidia katika mahusiano yenu na kuwa na furaha ya kisaikolojia zaidi kuliko ilivyokuwa pale mwanzo
matokeo haya matarajio mapya ya siku hizi na viwango kwa ajili ya furaha hayatoshelezi mabadiliko ya ndoa
kitu ambacho kiliangaliwa zamani kama ndio furaha ya ndoa hayafikii viwango hivyo hata kidogo mahusiano haya hayatoshelezi
ndoa zipo kwa ajili ya kushindwa hapana wakati mahusiano ya kawaida yanaweza yasiwe ya kuridhisha mahusiano bora yanaweza kuwa ya kuridhisha kuliko yalivyokuwa kabla uhusiano wa kawaida una sifa ya mahusiano ya kisaikolojia ya kipekee yanahitaji nguvu zaidi kama mahusiano yatafikia viwango vya juu watu hao wataishi kwa furaha ni watu positive na wenye nguvu ya kupigania mahusiano yao
kwa maneno mengine mahusiano ya watu siku hizi wanajali sana katika kuishi vizuri kuliko kule mwanzo japo sio wote lakini pia wanashikilia mahusiano yenye viwango vya juu matarajio yao ni kupata mtu ambaye ana ufahamu kama wao wanafanya hivi kutaka kuepuka pressure mbalimbali uzazi usio na ushirikiano stress mbalimbali nk
kwa hio ni nini suluhisho
1pata muda wa kutosha wa kuwepo na mwenza wako
hii ni rahisi kwa baadhi ya watu lakini kujifunza hili katika mahusiano kutanguliza mahitaji ya mwenzako inaweza kuwa njia ya kusaidia kukamilisha kwa ajili ya kuiridhisha ndoa
2tafuta njia ya faida ya kumpa mwenza wako ili kuondoa mashaka
kama vile kuonyesha shukurani kwa mwenza kwa kila anachokifanya kwako iwe ni kikubwa au kidogo itaongeza urafiki wa karibu na wa kimapenzi
3eneza msaada
huenda katika sehemu hii mahusiano yako yangekuwa yanaridhika zaidi kama ungejifunza kwa rafiki zako au familia yako ingekusaidia wewe kukutana na kusaidia wengine kuwaonea huruma kuwapenda kuwajali wengine kama unavyojijali mwenyewe kujitolea kwa mambo ya kijamii
ukiwa wewe ni mtu wa kutaka viwango zaidi kwenye mahusiano hutaweza kuridhika katika mahusiano yako utabaki kushuhudia wale wenye kujua kulea mambo ya muhimu tu wanayotakiwa kwenye mahusiano wewe utabaki na ndoa yenye kuzimia na kuamka kuzimia mara kwa mara na baadae kuzimia moja kwa moja kama hutaki aina hii ya mahusiano jirekebishe jifahamu vizuri acha kuiga mambo makubwa kubali mambo ya muhimu mengine yatajileta yenyewe halafu utaona ndoa yako kuridhika
mahusiano yana nafasi kubwa katika maisha yetu huenda moja ya mabadiliko bora tunayofanya kwa ajili ya kuishi kwa kujifunza saikolojia nzuri inayotuwezesha kumuelewa mwingine kutambua kuwa sisi ni wanadamu na kila mtu ana mapungufu yake
8020forums/wanawake tuongee/mapenzi na mahusiano /afya na uzazi mahusiano shosti talk
wcw samira bawumia the second lady of the republic of ghana who is a slayer | 2019-02-21T19:50:50 | http://www.8020fashionsblog.co.tz/tatizo-kwenye-mahusiano-ni-wewe-sio-kitu-kingine/ |
tanzania yathibitisha kushiriki kombe la chalenge bin zubeiry sports online tanzania yathibitisha kushiriki kombe la chalenge bin zubeiry sports online
mwanzo > kombe la challenge > tanzania yathibitisha kushiriki kombe la chalenge
habari motomoto habari za nyumbani kombe la challenge
tanzania yathibitisha kushiriki kombe la chalenge
baada ya kupita miaka miwili bila kuchezwa kwa mashindano ya kuwania kombe la challenge kwa nchi za afrika mashariki michuano hiyo imerejea tena msimu huu na tanzania imethibitisha kushiriki
nchi wanachama tanzania bara zanzibar uganda kenya burundi rwanda somalia sudan sudan kusini eritrea na ethiopia
kaimu katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania (tff) kidao wilfred amethibitisha kikosi cha kwanza cha taifa stars kushiriki na matarajio ya kufanya vema michuano hiyo itakayofanyika kuanzia novemba 25 2017 hadi desemba 9 mwaka huu
kidao amesema kwamba uteuzi wa timu za kwanza kwa kila nchi mwanachama wa baraza la mpira wa miguu la afrika mashariki ni makubaliano ya viongozi wa cecafa waliokutana kwa pamoja huko sudan septemba mwaka huu
kutokana na makubaliano hayo ya kuita timu za kwanza michuano hiyo itaathiri kidogot ratiba ya ligi kuu ya vodacom tanzania bara (vpl) kwa kuwa wachezaji wengi wanaounda kikosi hicho wanatoka timu za vpl
mtendaji mkuu wa bodi ya ligi (tplb) boniface wambura amesema tutakaa kama kamati na kuangalia siku ya jumatano na alhamisi baada ya michuano hiyo na kupanga ratiba ya mechi ambazo zitapanguliwa wakati wa michuano ya chalenji
mbali ya michuano hiyo tanzania imethibitisha kushiriki michuano ya chalenji ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 itakayofanyika bujumbura nchini burundi kuanzia desemba 12 2017 hadi desemba 22 mwaka huu
kadhalika tanzania imethibitisha kushiriki michuano ya chalenji kwa wanawake ikienda kutetea taji katika michuano itakayofanyika rwanda mwezi desemba mwaka huu tarehe rasmi itatajwa baadaye
cecafa imeamua kurejesha hadhi yake kwani mara baada ya michuano ya chalenji ya vijana huko burundi mwakani itakuwa ni zamu ya tanzania ambako michuano hiyo inatarajiwa kuanza agosti 11 2018 hadi agosti 25 mwakani
wakati huo huo kidao amethibitisha tanzania kuwa wenyeji wa mashindano ya vijana ya chalenji ya cecafa/caf kwa vijana chini ya miaka 17 mwakani na mashindano hayo yatatumika kama sehemu ya kufanya maandalizi fainali za kombe la mataifa ya afrika kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 (afcon u17)
michuano ya mwakani ina baraka za shirikisho la soka afrika (caf) kwa sababu shirikisho hilo linataka kutumia michuano hiyo ya vijana ya kanda mbalimbali za afrika kupata timu saba katika michuano afcon u17 ya mwaka 2019
kanda hizo ni cecafa (afrika mashariki) cosafa (nchi za kusini mwa afrika) wafu ufoa (afrika magharibi) unaf (afrika kaskazini) na uniffac (afrika ya kati)
princezub@hotmailcom bin zubeiry sports online at 0714 thursday november 02 2017
item reviewed tanzania yathibitisha kushiriki kombe la chalenge rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
lebron james rumors star hasn't made a decision due to 'so many moving parts' cleveland cavaliers superstar lebron james reportedly has yet to decide which team he will sign with in free agency
world cup 2018 south korea vs mexico live score updates in russia mexico will be hoping to build on their shock opening win over germany when they play south korea at the rostov arena in group f join adam shergold for al
impressive belgium put five past tunisia premier league pair romelu lukaku and eden hazard both score twice as belgium all but secure qualification with victory over tunisia
2018 world cup belgium 52 tunisia hazard lukaku bag braces as another african representative exit tournament belgium are on the verge of qualifying for the last 16 of the world after a 52 win over tunisia at the spartak stadium in moscow that leaves the north afr
ekiti election inec apc preloading card readers says fayose ekiti state governor chief ayodele fayose has accused the all progressives congress (apc) and the independent national electoral commission (inec) of
ligi ya wanawake tanzania kuendelea leo ligi kuu ya wanawake ya serengeti premium lite itaendelea kesho jumamosi juni 232018 kwenye viwanja vinne evergreen vs mlandizi queens (karume) kigoma
the evolution of evergreen ashley young ashley young with sir alex ferguson who brought him to the club in the summer of 2011 | 2018-06-23T15:34:18 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/11/tanzania-yathibitisha-kushiriki-kombe.html |
arsenal hofu kwa dortmund tanzania sports
15th january 2019 last update at 810 pm
arsenal hofu kwa dortmund
*vigogo uwanjani mechi za ucl
hatua za makundi za ligi ya mabingwa ulaya (ucl) inaanza huku arsenal wakiwa nyumbani kwa borussia dortmund na shaka ya safu yake ya beki
masahibu yanayowaandama arsenal zaidi ni kuumia kwa beki wake wa kulia mathieu debuchy na wa kushoto nacho monrteal huku mwenzake wa kushoto kieran gibbs akiwa fiti lakini ana kawaida ya kuumia mara kwa mara
kana kwamba hiyo haitoshi beki mpya na chipukizi calum chambers hana uhakika wa kucheza kutokana na kuwa ameumia lakini matabibu walikuwa wakiangalia iwapo ataweza kuingia dimbani
kocha arsene wenger alisema chambers ana asilimia 50 kwa 50 ya kucheza au kutocheza na iwapo atashindwa basi mhispania hector bellerin (19) sawa na chambers atabeba jukumu hilo licha ya kwamba amecheza mechi moja tu katika kikosi cha wakubwa arsenal
wenger alimwelezea bellerin kuwa ni mpambanaji mwenye haiba na asiyetishwa kwa namna yoyote na shinikizo la mechi kubwa akisema ni kiwango kizuri sana hasa kwa vijana kama yeye akisema ana kasi na anajua kuusoma vyema mchezo
hata hivyo arsenal wanatakiwa kuchukua hatua juu ya beki yao ikiwa ni pamoja na kuongeza mchezaji kwenye beki ya kati kwani tangu walipomuuza nahodha wao thomas vermaelen kwa barcelona kiangazi hiki hawajaingiza mchezaji mpya na wanaweza kujilaumu baadaye mambo yakiwa mabaya
wanachoweza kufanya sasa ni kusajili wachezaji huru ambao wapo kadhaa sokoni na walidaiwa walitaka kumsajili mario yepes lakini pia joseph yobo yupo sawa na wengine kadhaa wenger amepata kukana kuwa na tatizo kwenye safu yake ya ulinzi
katika mechi nyingine za ucl jumanne hii liverpool wanawakaribisha ludo razgd real madrid ni wenyeji wa fc base wakati atletico madrid wamesafiri kukabiliana na olympiakos
juventus wanacheza na malmo ff benfika wanawakaribisha zenit st petersburg monaco wenyeji wa bayern leverkusen na galatasaray watapepetana nyumbani kwao na anderlecht
kocha wa liverpool brendan rodgers amesema atauchukulia mchezo wa leo kwa umuhimu kana kwamba wanacheza na real madrid
posted under all articles arsenal featured football ligi kuu ya england liverpool sport sports sports news uefa
tags arsenal arsenal fc borussia dortmund ucl | 2019-01-20T05:45:20 | https://www.tanzaniasports.com/2014/09/16/arsenal-hofu-kwa-dortmund/ |
video za x za kibongo video za x za kibongo images (katika kanumba tanzania shilingi video za x za kibongo images includes msanii filamu za kibongo sinema za kibongo kati fredynjeje ndoa uwoya nyingi na kuweka kuweka and aina yake kwa mastaa
samepoint search | picha za x | reputation management social media samepointcom utilizes real time technology to bring reputation management picha za x conversations together from multiple sources to one defined pointpicha za x
video za ngono za kibongo picha za uchi za msanii lulu videos includes picha za uchi za lulu lulu picha za msanii picha za picha za uchi kenya picha za uchi tanzania and lulu msanii | 2014-11-28T15:48:57 | http://www.pulsitemeter.com/picha/Video-Za-X-Za-Kibongo.html |
mapishi na chef kile mchemso wa ndizi mzuzu na nyama ya ngombe wazalendo 25 blog
home habari lifestyles maisha matukio ubunifu mapishi na chef kile mchemso wa ndizi mzuzu na nyama ya ngombe
mapishi na chef kile mchemso wa ndizi mzuzu na nyama ya ngombe
gadiola emanuel april 23 2017 habari lifestyles maisha matukio ubunifu
mimi ni mpenzi sana wa kula ndizi mzuzu ikiwa za kuchoma kukaanga na mafuta au hata kuzichemsha mapenzi yangu hayo yamepelekea leo mie kuja na pishi hili zuri na nimeonelea ni vema nawe ulijue
chakula kwa watu 2
nyama ya ngombe robo
ndizi mzuzu mbichi 5
kitunguu swaumu punje 3
giligilani vijani vichache
rosemary vijani vichache
bay vijani vichache
chumvi kwa kiasi upendacho
olive oil kijiko cha mezani kimoja
pilipili kama watumia
kwanza chemsha nyama sasa wakati wachemsha nyama weka chumvi maji kwa kiasi bay rosemary garlic na pilipili manga
angalia kiasi cha maji lengo ni kupata supu ivo unaweza kuongeza maji
ichemke hadi kuiva ndipo uweke vitunguu maji na swaumu pamoja na ndizi kisha acha ichemke na kuiva kwa dakika takribani 15 kishi weka karoti na ivisha tena kwa dakika 4 au 5
baada ya hapo mchemsho upo tayari kwa kuliwa na ni mlo kabimili ukiwa unapakua ndio mda wa kuweka vile vijani vya giligilani
kwa maelezo zaidi chef kile recipes
tags # habari # lifestyles # maisha # matukio # ubunifu
labels habari lifestyles maisha matukio ubunifu | 2017-11-21T04:08:17 | https://wazalendo25.blogspot.com/2017/04/mapishi-na-chef-kile-mchemso-wa-ndizi.html |
pedi za mimea kutoka kampuni ya tasly(wakina dada) | jamiiforums | the home of great thinkers
pedi za mimea kutoka kampuni ya tasly(wakina dada)
discussion in 'jf doctor' started by jembe12 oct 24 2012
pedi salama kwa wanawake utafiti wa kitaalamu unaonesha kwamba matatizo ya hedhikukoma kwa hedhi na vimbe katika kizazi yanazidi kuongezeka moja ya sababu ni matumizi ya pedi zisizo salamapedi salama zipo nchini ni jibu kwa kurekebisha mzunguko wa hedhi yako yaani siku zakokuua vijidudu wanaoweza kushambulia kizazitumia kwa kuzibua mirija ya uzazizinafyonza usafi na kupunguza acid kwenye kizazisasa maumivu ya tumbo na kuumwa wakati wa hedhi basizinakinga na kuondoa miwasho fangasi na kujikuna basizitakusaidia kupanga uzazi kwa kuhesabu siku vizurizinafaa hata kwa walio koma hedhi zaohuboresha viungo vya uzazi kuvifanya visizeeke haraka
aina za pedi
day dry net kwa mchana idadi 15 day cotton kwa utokaji mwingi mchana idadi 15 night cotton kwa utokaji mwingi usiku idadi 15 pantiliner kwa usafi wa kila siku idadi 30 kwa msaada ma email jembe86@gmailcom
hapa hapaniusu ngoja nitoke waje ritzasha d kingasti na zee la kimakonde hapa ndipo panawausu
sio mbaya mkuu ukimchukulia shemu
view attachment 69223
bei sh ngapi
bei hzo 5000 dada yangu
hizo pedi kiboko dah
karibu dada yangu
mh pedi za kurekebisha mzunguko kwa mechanism gani za kupanga uzazi how au matangazo tu na wajinga ndio watakaoliwa elf 5 zao
dada hzo zpo quality na bora uwaulize walio waitumia hacha kung'ang'ana na bei wakati imeundwa na quality material ili kukulinda na magonjwa mengi tusubiri walio tumia watakupa feedback dada yangu
hapa hapaniusu ngoja nitoke waje ritzasha d kingasti na zee la kimakonde hapa ndipo panawausuclick to expand
kwani huna mke wala mpenzi
karibu dada yanguclick to expand
zinatengenezwa localy au ndo mchina
izo ni imported from abroad ondoashakanot local product
izo ni imported from abroad ondoashakanot local productclick to expand
znapatikanaje mimi nipo mwanza saut na kuna watu wanazihitaj
nichek kwenye dis number tushauliane jinsi ya kukufikia 0773043764
wifi angel msoffe ciello nivea na wengineo tunaomba mtufanyie utafiti kwanza halafu mtuletee results
sijawahi kuona pedi inamulti function kama hiii
ndo pakununua hpo dada yangu iliikukinge na mambo mengi
he he he hutaki kupanga uzazi kutiwa mimba kwa pedi
hizi pedi zinaongeza maziwa kama ananyonyesha
mmmmmmmmhclick to expand
mkuu hacheni masìhara hzo product ni za huwakika | 2017-04-28T14:44:53 | https://www.jamiiforums.com/threads/pedi-za-mimea-kutoka-kampuni-ya-tasly-wakina-dada.344062/ |
burudan mwanzo mwisho taifa stars mchana waitwa ikulu kuteta na rais
timu ya taifa 'taifa stars ambayo ipo kambini kujiandaa na mchezo wa marudiano na morocco wa kutafuta kufuzu fainali za dunia 2014 nchini brazil imealikwa ikulu kula chakula cha mchana leo
taarifa ambazo lenzi ya michezo imezipata zinasema taifa stars imeitwa na rais leo mchana kula chakula cha mchana paamoja na mambo mengine ambayo yatafahamika baadae
stars asubuhi imefanya mazoezi kwenye uwanja wa karume ikiwa na wachezaji 21 kwani mwinyi kazimoto aliumia mguu na salum abubakar amefiwa na baba yake mlezi hivyo amekwenda kuhudhuria msiba huo | 2018-06-25T13:37:37 | http://burudan.blogspot.com/2013/05/taifa-stars-mchana-waitwa-ikulu-kuteta.html |
2cor 13 | `kwj | step | ani kunu tambwa a tawa numbo namili ya indau woro hima fisi'i namili wunu o mwanji hingambwa wu bwawa apa o mwanji to ete dawa o mwanji ni mwe naha o nu nakonda
korin le sembe ha sumbu wuhi ti norukweni sa wu aulinda
1 ani kunu tambwa a tawa numbo namili ya indau woro hima fisi'i namili wunu o mwanji hingambwa wu bwawa apa o mwanji to ete dawa o mwanji ni mwe naha o nu nakonda 2 imbihumbwa kapwa sumbu wosindaro hima lenga ele biya hima anandi lenga kunu ni a sawekondau mwanji mwe imbihumbwa numbo fisi ki kunu tambwa ani iro gisi ki kunu a sawehambwaro woro hingambwa apa ani apahime a dasini do ya ai kunu a sawekonda e kunu tambwa ani ai tawa apa kapwa sumbu wosindau hima le hinde nimba wunu ani heisi kumbwa 3 ai takisopo ki kurais mwanji ti mwe naha ri bwandau'u woro o tini ku hambwa kinani ete ku gindau woro apa ma ku hambwa kurais gamweche ri kunu keke ri halihopwenenda nambwe mina kunu keke tau kwambu naha ki ri randau 4 mwe naha imbihumbwa rini kwambu ri toro nambwe hima minde hinga ri dawani me yapweke tiki rini yero wosiwani gotri kwambu keke apa himamwale tinga ya ri dau woro hingambwa nunu okwe rini ga nu anangausini nunu kwambu nu toro nambwe nu dau woro gotri kwambu kumbwa nunu himamwale nu torosini rini ga ete nu dakondau do kwambu nu torosindau ki kunu ni nu okulandau
5 woro kunjenga kui sembe tini ma ku ai silinehei sembe ti mwe naha ku hasini ku dau'u mina kunjenga ma ku ai kilinehei jisas kurais kui sembe we ki ri dau tini ku hambwanda nambwe'e e minambwe ti nawa sembe ha sumbu kuhi o chiki hingambwa mina 6 woro ani hambwandau nunu ni ku heini ka hinga o ku hambwakonda sembe ha sumbu nuhi ti o chiki hingambwa nu dau 7 kapwa sumbuche fori ku wosi nambwe ku da kinani gotri kunu ri okula ki rini nu uchahambwandau o sumbu hinga nu wosindau ti hima le tau nuhi ni wu heini o chiki hingambwa wu hambwa kinani nu wosinda nambwe mina nui okokona ti kundo sumbu kipe tini ku wosi ki nunu sa biya da ele hima tau nuhi ni heini o chiki hingambwa wu hambwa nambwe nawa sa biya wu bwanda 8 nu hambwanda nunu mwanji mwe naha tini nu yitirawaisini sumbuche fo nu wosi hinga mina nunu mwanji mwe naha kekembwa ele tau nu rano 9 nunu kwambu nu toro nambwe nu dawa e kundo kwambu ku torowa nunu o hinga tini nu eripe'aripenda nunu gotri ni gisi gisi nu uchahambwandau ti sembe ha sumbu kuhi ti kwambu naha ki ku eti kinani nu uchahambwandau 10 apahime do a dasini do chengi kunu a kaindau bomo mu mwe naha ti oto a tani kunu ga a dasini apukolaka ri tau a ra kinani ri ani haro kwambu ki kunu ani ekichasi ki a diyahandau o kwambu hinga ri ani haro ti walambe sumbu kunu wosi ki mina kui sembe ha sumbu tini ani okula ki ri ani haro
11 ai hiparakambwe le apa mwanji ahi ti ya humbundawani o kunu a wese'anda e sembe ha sumbu kuhi ti kwambu naha ki ya sa eti a bwaro mwanji ti ma ku mendi inaka funda naha ri ku hambwasini sembe wahapi ki ma ku da wondawa hima keke woni sembe wahapi ki dau gotri kunu ga o ete ri dakonda
12 tapa ma ku anayengunandani ma ku anawese'anda 13 e gotri himiyama hurahama le tinda ete wese'a wuhi ti kunu wu humbwero
14 nui apukolaka ri jisas kurais ri hima keke wo sumbu ti gotri hima keke wondau sumbu ti e gotri himamwale kipe ga nau ku ananjindau sumbu ti kunu ga ya sa ete da | 2018-04-22T22:24:36 | https://www.stepbible.org/?q=version=KWJ%7Creference=2Cor.13 |
kamanda mpinga ahitimisha kilele cha shindano la uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini dar jiachie kamanda mpinga ahitimisha kilele cha shindano la uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini dar jiachie
home > video > kamanda mpinga ahitimisha kilele cha shindano la uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini dar
elimu habari habari mbalimbali habari za kitaifa jamii video
item reviewed kamanda mpinga ahitimisha kilele cha shindano la uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini dar rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2017-10-24T05:53:12 | http://michuzijr.blogspot.com/2016/08/kamanda-mpinga-ahitimisha-kilele-cha.html |
taarifa fupi ya kanisa ~ anglikana mt mathayomajohe dar es salaam
taarifa fupi ya kanisa
kanisa anglikana mt mathayo majohe lilianzishwa mnamo tarehe 13/12/1999 na idadi ya waumini wasiozidi kumi (10) na ibada ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa muumini mmojawapo idadi ya waumini iliongezeka siku hadi siku mwaka 2005 kilinunuliwa kiwanja cha kanisa ambacho taratibu zinaendelea kufanyika kupata hati miliki pia kuanzia wakati huo baada ya kununua kiwanja hicho ulianza ujenzi wa kanisa la muda ambalo leo hii tulifanyia misa lakini pia ibada ya kwanza ilifanyika tarehe 07/01/2007 ikiwa ni jumapili ya mwanzo kwa mwaka huo na idadi ya waumini ilifikia hamisni na nane (58)
2 waumini
kanisa lina idadi ya waumini wanaofikia mia tatu kumi na sita (400) kati yao wanaume ni tisini (100) wanawake ni mia moja kumi na mbili (160) na watoto ni mia moja arobaini na nne (140)
3 uongozi wa kanisa
kanisa lina jumla ya viongozi ishirini na (27) wanaounda halmashauri kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2011 mpaka mwaka 2016 na kufanya vikao kufuatana na almanac lakini pia kufanya vikao vya dharura pale linapojitokeza jambo la ulazima wa kukutana vile vile zipo kamati mbalimbali zinazofanya kazi kutokana na mahitaji husika ya kanisa kwa sasa kanisa linaongozwa na padre johnson lameck akisaidiwa na mwinjilisti john haule
4 huduma za kiroho
kanisa linatoa huduma mbalimbali za kiroho kanisani na nje ya kanisani inapobidi huduma hizo ni kama ifuatavyo
(a) ubatizo
(b) kipaimara
(c) ibada za shukrani
(d) misa za mazishi
(e) ibada za ndoa
(f) mikesha mbalimbali
(g) misa za kumbukumbu
(h) fellowship
(i) maombi na maombezi nk
5 vikundi
kanisa lina vikundi viwili ambavyo ni
(a) umoja wa akina mama (umaki)hukutana kila alhamisi kuanzia saa 800 mchana
(b) umoja wa vijana (tayo) hukutana kila jumapili kuanzia saa 1000 jioni
tunazo jumuiya nane zilizotokana na jumiya tatu za awali jumuiya hizi zimeongezeka kwa sababu ya waumini kuendelea kuhamia majohe pia kuwasogeza watu kuwa karibu zaidi na kubwa kuliko yote ni kufanya uinjilisti nyumba kwa nyumba kwa kufanya ibada siku za jumamosi kwenye maeneo yao jumuiya hizo ni kama ifuatavyo
(a) mt mariam
(b) mt luka
(c) mt yakobo
(d) mt joseph
(e) mt cecylia
(f) mt yohana
(g) mt marko
(h) mt theresa
7 kamati
kanisa lina kamati mbalimbali kama ifuatavyo
(a) kamati tendaji
(b) kamati ya uinjilisti elimu na ibada
(c) kamati ya ujenzi
(d) kamati ya maadili na maadili
(e) kamati ya ndoa na usuluhishi
(f) kamati ya mapambo na mazingira
(g) kamati ya ulinzi na usalama
8 kwaya na waimbaji binafsi
tunazo kwaya mbili ambazo ni kwaya ya uinjilisti na kwaya ya sayuni pia wapo waimbaji binafsi ambao ni immanuel lazaro christina mwaimise neema chimanga na haleluya brothers
9 sikukuu ya mt mathayo
kila mwaka mwezi oktona kanisa huazimisha sikukuu ya mtaa ambayo ni mt mathayo na lengo kuu la maadhimisho hayo ni kukusafanya fedha kutoka kwa waumini kwa ajili ya shughuliza ujenzi za hapa kanisani kutoka na lengo hilo kila jumuiya hutakiwa kuleta kiasi cha shilingi milioni (2000000) na washindi hupewa zawadi mbalimbali
10 mipango ya baadae
kanisa lipo kwenye mchakato wa kuanzisha ujenzi wa kanisa kubwa na la kisasa na kamati ya ujenzi inaendele na uandaaji wa ramani pamoja na gharama za ujenzi wa kanisa hilo | 2018-03-18T15:33:23 | http://www.anglikanamajohe.com/p/historia.html |
habari na matukio uwt yaunga mkono uamuzi ya rais kuhusu makanikia na mikataba ya madini
uwt yaunga mkono uamuzi ya rais kuhusu makanikia na mikataba ya madini | 2018-05-26T17:48:59 | http://www.kajunason.com/2017/06/uwt-yaunga-mkono-uamuzi-ya-rais-kuhusu.html |
rc makonda kula sahani moja na vigogo waliogoma kupima dna | lemutuz
home news rc makonda kula sahani moja na vigogo waliogoma kupima dna
rc makonda kula sahani moja na vigogo waliogoma kupima dna
miongoni mwa watu maarufu wanaotakiwa kufika katika ofisi za mkuu huyo wa mkoa ni waziri mkuu wa zamani edward lowassa ambaye analalamikiwa na mwanamke mwenye umri wa miaka 31 kuwa ni mtoto wake aliyemtelekeza mama mzazi wa mtoto huyo pia alifika katika ofisi hizo na kueleza kuwa anachosema mwanaye ni kweli kwamba baba yake ni mzee lowassa
previous articledogo janja apata funzo kupitia video ya utupu ya nandy na bill nass
next articlezari amtukana diamond kwa kushindwa kuwajali watoto | 2018-04-20T22:04:40 | https://lemutuz.com/2018/04/16/rc-makonda-kula-sahani-moja-na-vigogo-waliogoma-kupima-dna/ |
mrema amwandikia waziri mkuu barua kulalamikia jeshi la magereza kukwamisha mpango wake wa kuwatoa wafungwa ~ blogu ya wananchi
may 2017 (1552) | 2017-05-29T09:33:24 | http://www.williammalecela.com/2016/11/mrema-amwandikia-waziri-mkuu-barua.html |
walimu wawili jela miaka 30 kwa kumbaka mwanafunzi kwa zamu | malunde 1 blog
home » habari » walimu wawili jela miaka 30 kwa kumbaka mwanafunzi kwa zamu
walimu wawili jela miaka 30 kwa kumbaka mwanafunzi kwa zamu
walimu 2 wa sekondari wilayani iramba singida wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kukutwa na hatia ya kumbaka kwa zamu mwanafunzi wao wa kidato cha pili(15)
waliohukumiwa ni ernest emmanuel (25) na onesmo bida (28) huku wenzao wawili ambao pia wanatuhumiwa kumbaka mwanafunzi huyo kesi yao bado inaendelea
walimu hao wanne wanadaiwa kumbaka mwanafunzi huyo kwa zamu huku wakijua kuwa kitendo hicho ni kinyume cha sheria namba 130 kifungu (1) kifungu kidogo (2) (e) kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2002
mwendesha mashtaka wa serikali lyoba mkambala alidai mahakamani hapo mbele ya hakimu wa mahakama ya wilaya ya iramba makwaya charles kuwa watuhumiwa hao walitenda kosa hilo kwa nyakati tofauti toka machi 2 mwaka jana hadi mwanzoni mwa mwaka huu
mkambala alidai mshtakiwa ernest emmanuel alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada wa mwanafunzi huyo
alidai machi 20 mwaka jana saa 2 usiku mwanafunzi huyo alienda nyumbani kwa shemeji yake emmanuel kwa lengo la kuangalia sinema (movie)
baada ya kumaliza kuangalia movie mwanafunzi huyo aliamua kurejea kwenye nyumba ambayo alikuwa amepanga mwalimu emmanuel aliamua kumsindikiza na kuingia naye chumbani
mwanafunzi alimbebeleza mwalimu wake ambaye pia ni shemeji yake arudi kwake ili yeye aweze kujisomea lakini mwalimu alikataa na kisha kumshika kwa nguvu na kumwingilia kimwili alidai mkambala
alidai kuwa januari 21 mwaka huu wazazi wa mwanafunzi huyo walimchukua binti yao na kwenda naye hadi kwa mkuu wa shule kushtaki kwamba mtoto wao anakataa shule
mwanafunzi huyo baada ya kuhojiwa alisema ana mimba pia alitumia nafasi hiyo kutaja walimu waliomwingilia kimwili kuwa ni ernest emmanuel onesmo bida keneth komba na ally pangu aliosema kila mmoja alimbaka kwa muda wake alidai | 2019-11-18T19:09:29 | https://www.malunde.com/2019/09/walimu-wawili-jela-miaka-30-kwa-kumbaka.html |
jumla ya shilingi m 95366 zmepatikana katika harambee ya kuchangia ujenzi wa madarsa wilayani ulanga lililoongozwa na mkuu wa mkoa morogoro
harambee hiyo imeongozwa na mkuu wa mkoa wa morogoro dkt kebwe steven kebwe na kuwapongeza wale wote waliojitokeza kuchangia katik kuhakikisha majengo yanakamilika na wanafunzi wansoma katika madarasa hayo
katika harambee hiyo kiasi cha shilingi m 5480000 zimekusanywa papo hapo ambapoahadi ikiwa ni shilingi m 43865000huku wengine wakiahidi kutoa vifa mbalimbali kama vile batiarujibati na meza vyenye thmani ya shilingi m 39565000
aidha mkuu wa mkoa amesema kuwa harambee hiyo iwe endelevu kwani wilaya ya ulanga ni tajiri na inafanya vizuri katika sekta ya elimu hivyo wananchi wajitokeze kuchangia kwa wingi ujenzi huo wa madarasa 24 yanayohitajika kujengwa | 2019-01-23T11:20:16 | http://ulangadc.go.tz/new/mkuu-wa-mkoa-azindua-harambee-yakuchangia-ujenzi-wa-madarasa |
moja kwa moja kuhesabiwa kwa kura tanzania bbc swahili
moja kwa moja kuhesabiwa kwa kura tanzania
http//wwwbbccom/swahili/habari/2015/10/151026_uchaguzi2015tanzaniayaamua2
bonyeza hapa kwa habari za karibu zaidi kuhusu matokeo ya kura
image caption viongozi wa ccm wakihutubia vyombo vya habari
1839pmchama cha mapinduzi nchini tanzania ccm kimeshtumu hatua ya chama cha upinzani cha cuf kutangaza matokeo na kudai ushindi ikisema ni ya kushangaza
imesema kuwa matangazo hayo ni kinyume na sheria kwa kuwa bodi pekee inayofaa kutangaza matokeo ni ile ya tume ya uchaguzi
ccm imeshangaa kwa nini tume hiyo kufikia sasa haijachukua hatua zozote
image caption jaji darmian lubuva
1723pmmkuu wa tume ya uchaguzi jaji damian lubuva ameonya kwamba ni matokeo ya tume ya uchaguzi nchini tanzania nec pekee ambayo yatakuwa rasmi na hakuna aliye na uwezo wa kuyatangaza matokeo yake hata iwapo wameshinda
1716pmmuungano wa upinzani nchini tanzania ukawa umedai kwamba vijana wake 200 ambao waliokuwa wakikagua matokeo yanayotolewa kutoka kwa maajenti wake katika vituo vya kupiga kura kote nchini walikamatwa usiku uliopita na sasa wako kizuizini
umesema kuwa hautakubali matokeo hayo huku profesa simba akisema kuwa uwezo wa raia utaamua mwelekeo wa taifa iwapo matokeo hayo hayatawapendelea
image caption ukumbi wa julius nyerere mjini dar es salaam
1538pmwaandishi wa habari wajiandaa tayari kwa matokeo ya uchaguzi mkuu katika ukumbi wa mikutano wa julius nyerere mjini dar es salaam
image caption maelekezo kwa lugha mbilikichina na kiingereza katika jumba la mikutano la julius neyerere jijini dar es salaam
1425pmmaelekezo katika jumba la mikutano la julius nyerere mjini dar es salaam yameandikwa kwa lugha mbilikichina na kizungutoa maoni yako
image caption njia iliofungwa kisiwani zanzibar
1329pmbaadhi ya barabara katika kisiwa cha zanzibar zimefungwa na maafisa wa polisi ili kukabiliana na matukio yoyote ya ghasia kisiwa ni humo
image caption ukumbi wa matokeo ya uchaguzi kisiwani zanzibar
1319pmraia wamekongamana katika ukumbi wa matokeo kisiwani zanzibar wakisubiri kutangazwa kwa washindi na tume ya uchaguzi kisiwani humo zec
1316pmupigaji kura unaendelea katika vituo vyengine 42 kati ya zaidi ya vituo 60000 baada ya kushindwa kupiga kura siku ya jumapili kutokana na matatizo tofauti
image caption maafisa wa polisi
1312pmmaafisa wa polisi wamepiga kambi nje na maeneo ya ukumbi wa mikutano wa julius neyerere ambapo matokeo ya kura yameanza kutangazwa
image caption moody awori kiongozi wa ujumbe wa waangalizi afrika mashariki
1254pmmoody awori ambaye ndio kiongozi wa ujumbe wa waangalizi kutoka afrika mashariki amewasili katika kituo cha kutangaza matokeo ya kura kilichopo katika jengo la julius nyerere jijini daresalaam
1056amkuna hali ya wasiwasi mjini mwanza huku maafisa wa polisi wakikabiliana na vijana wanaodaiwa kutoka katika chama cha ukawa kuna visa ambapo vikosi vya usalama vilirusha gesi za kutoa machozi ili kuwatawanya waandamanaji
image caption mwanza
1024am hali ya kawaida imeanza kurudi mjini mwanza huku biashara zikifunguliwa maduka yalikuwa mahame huku kile kilichojulikana kama mji uliokuwa na harakati nyingi ukibadilika na kuwa mahame
image caption julius nyerere
1019amtume ya uchaguzi imeanza kutangaza rasmi matokeo ya urais katika jumba la mikutano la julius nyerere mjini dar es salaam
image caption maafisa wa usalama huko mwanza
1015am ulinzi mkali umewekwa kote nchini tanzania huku tume ya uchaguzi ya taifa hilo ikianza kutoa matokeo ya uchaguzi
image caption vijana wailalamikia tume ya uchaguzi
935amhawa ni baadhi ya vijana walioajiriwa na tume ya uchaguzi kufanya kazi kadhaa wakati wa uchaguzi katika eneo la mwanza wameishtumu tume ya uchaguzi kwa kuwanyima marupurupu yao
image caption kimara raia wanapiga kura
928am wazee na walemavu ndio watu walioathirika zaidi na tataizo hilo kwa kuwa iliwabidi wangojee tenahatahivyo wamewasili katika kituo hicho
image caption kimara
845am hatimaye wakaazi wa eneo la kimara stop over mjini dar es salaam wameanza kupiga kura baada ya shughuli hiyo kukwama siku ya jumapili wakati maafisa wanaosimamia shughuli hiyo kutofautiana na wale wa tume ya uchaguzi na hivyobasi kuchoma vifaa vya kupigia kura
720am usalama umeimarishwa katika kituo kikuu cha kujumlisha matokeo katika ukumbi wa julius nyerere tume inatarajiwa kutoa matokeo ya kwanza saa tatu
image caption masanduku ya kupigia kura
715 am mjini mwanza kaskazini magharibi mwa tanzania masanduku ya kura yanaendelea kukusanywa katika afisi kuu kabla ya kuanza kwa shughuli ya kuhesabu kura
image caption uchaguzi tanzania
700 am maafisa wanaanza kuingia mmoja mmoja kituo cha kupigia kura kimara stop over dar es salaam ambako wapiga kura wanatarajiwa kupiga kura zao za urais na ubunge baada ya uchaguzi kutatizika siku ya jumapili wapiga kura walifikia kituoni tena mapema sana leo
image caption raia wa mwanza
600 am kituo cha kimara stop over jijini dar es salaam ambako uchaguzi unafaa kufanyika leo baada ya kutatizika jana maafisa wa kusimamia uchaguzi bado hawajafika kituoni
tume ya taifa ya uchaguzi tanzania imesema itaanza kutoa matokeo rasmi ya uchaguzi wa urais leo saa tatu katika jumba la mikutano la julius nyerere dar es salaam hata hivyo kuna maeneo ambayo uchaguzi haukufanyika jumapili
asubuhi njema raia wa tanzania
bonyeza hapa kwa habari kuhusu uchaguzi mkuu ulivyokuwa | 2017-12-16T13:53:44 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/10/151026_uchaguzi2015-tanzania-yaamua2 |
mke aliyeenda kuokoa ndoa kwa mganga alishwa talaka taifa leo
mwanadada mmoja alijuta baada ya kupewa talaka na mumewe akidai alikuwa akimtembelea mganga kupata hirizi
wawili hao walikuwa kwenye ndoa kwa muda wa miaka saba na kujaliwa mtoto mmoja
yadaiwa mwanadada alishawishiwa na marafiki zake kutembelea mganga mmoja maarufu kagumo anayesemakana kutatua shida za ndoa
ingawa mume wake huwajibikia majukumu ya familia mwanadada alitaka awe akimpa pesa zote anazolipwa
baada ya kumtembelea mganga kwa miezi kadhaa hirizi haikuonekana kufanya kazi inasemekana polo aliendelea kukazia mfuko naye mwanadada hakuchoka kwenda kwa mganga
kulingana na mdokezi mganga huyo ni mraibu wa pombe sawa na mume wa mwanadada majuzi wawili hao walikutana katika baa moja na baada ya kulewa mganga alitoboa siri
hata mke wako ni mteja wangu shupavu hutembea kwangu kupata hirizi ya kunogesha mahaba kati yenu alisema mganga jamaa alionekana kushangazwa na habari hizo lakini akatuliza ghadhabu zake ndoa zina changamoto nyingi wanawake hawakosi vituko alisema jombi
yasemekana kalameni alipofika kwake alitaka mkewe kumueleza bayana sababu za kwenda kwa mganga kila kitu unachofanya gizani ninakijua wewe na mganga mna uhusiano gani aliuliza boma hilo liliwaka moto mwanadada alijitetea kwamba polo hamtoshelezi kimapenzi
mume asiyetosheleza mke wake unatarajia apelekwe wapi alimjibu kwa madharau kwa ghadhabu jamaa aliagiza kidosho kuondoka mara moja akisema hangevumilia ndoa ya aina hiyo
huyo mganga anayekuhudumia nenda kwake akuoe na kukutimizia mahitaji yako jamaa alisema kilio cha kipusa hakikubadilisha uamuzi wa polo kwani maji yalikuwa yamemwagika na hayangezoleka
talaka uganga
polisi waamriwa kumrudishia mganga wa kangundo magari yake matano | 2019-02-23T15:54:45 | http://taifaleo.nation.co.ke/?p=17078 |
mfanyakazi wa ubalozi wa china alipuuza onyo ya polisi na akaendelea kupiga mziki hizi ni mbinu za kikafiri za utawala wa kikomunisti wa uchina dhidi ya uislamuu na waislamu makafiri hawa wanawatesa waislamu nchini uchina kuwatia gerezani kuwaadhibu na kuwaua kinyama
jumatano 06 jumada alawwal 1441 h 01 januari 2020 m
imebadilishwa mara ya mwisho mnamoijumaa 06 machi 2020 0933
yaliyomo ndani ya kifungu hichi hizb ut tahrir / sweden amali zilizo andaliwa kipindi cha kampeni ya kulimwengu ukombozi wa konstantinopoli bishara njema ikatimia inafuatiwa na bishara njema nyingine » | 2020-06-04T23:38:08 | http://hizb-ut-tahrir.info/sw/index.php/dawah/sweden/520.html |
sababu ya chris brown kutokurudiana na rihanna | mutalemwa blog
home » wasanii » sababu ya chris brown kutokurudiana na rihanna
sababu ya chris brown kutokurudiana na rihanna
mahusiano ambayo yalikuwa na visanga vingi na pia watu walidhani labda siku moja watarudiana lakini kwa sasa hatimaye ndo mwisho hawawezi kurudiana tena rihanna na chris brown ni wapenzi ambao wameachana na kurudiana zaidi ya mara tatu chris brown amekiri kwamba hafikiri tena kutoka na rihanna kwa sababbu anampenda sana
new flame singer chris brown mwenye umri wa miaka 26 alikuwa amebeba mzigo mkubwa sana kifuani kwake anampenda sana rihanna mwenye umri wa miaka 27 alitakiwa afanye maamuzi magumu kutokuwa na rihanna tena kutokana na chanzo kimoja ambacho kiliongea na hollywoodlifecom wakati chris b kila atakuwa akimpenda rihanna hataki tena kuumiza moyo wake tena
2007 baada ya tuzo za grammy breezy alimjeruhi vibaya rihana kwa miaka sasa wamekuwa wakiigiza tu urafiki wao lakini hakuna kilichotokea kwa sasa breezy anasema kwamba hawezi kurudiana tena na rihanna na kumpelekea uzuni ambao tayari ameshakutana nao lakini anampenda sana
anajua anapenda wanawake na anajua anaweza akawa na yeyote anayemtaka anagundiu kwamba na kitu alichotaka kukifanya ni kumuumiza rihabba na sio kumpa alichohitaji ambacho ni mapenzi na kujitoa kwake
ni kitu kizuri alichoamua chris brown anataka rihanna awe na furaha akiwa nae au asipokuwa nae chris amejirekebisha na amekubali kwamba atamuumiza rihanna na kama rihanna hataki hicho basi hawawezi kuwa pamoja ni kitu kizuri hataki kumuumiza mtu amnae anampenda
katika mahusiano yake ya sasa na karrueche tran mwenye umri wa miaka 27 chris hajawa na bahati kufanya mambo yaende sawia baada ya kuwa na karrueche tran julai 4 chris alipost picha ikiwa na maelezo jinsi ilivyorahisi kuchukua lakini ngumu kupenda
hakuandika sentensi ya kweli sasa hatimaye ameamua kumuacha rihanna aendelee na maisha yake inawezekana ingawa anaweza akajitosa kwenye mapenzi na karrueche na kutengeneza mahusiano yao ambayo yaliyumba wana vitu vingi vya kufanyia kazi ili kusonga mbele hii ndiyo price of fame
filed under wasanii on monday july 13 2015 | 2018-05-26T19:41:52 | http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2015/07/sababu-ya-chris-brown-kutokurudiana-na.html |
house of lords hansard index for volume 649 (pt 90)
[642] (181202) 651 6523 (9103) wa2301 [643] (14103) wa28 [644] (17203) wa157 wa158 [649] (17603) wa88
crossborder implementation bodies [647] (30403) wa102 (8503) wa145 [648] (21503) wa846 (3603) wa1389 wa140
lisburnantrim railway line [645] (10303) wa163 [648] (21503) wa8
[643] (20103) wa81 wa82 [647] (8503) wa146 [649] (17603) wa88
planning [647] (8403) wa22 wa234
smoking [645] (4303) wa97 [649] (12603) wa56
statement [647] (6503) 10725 107880 1081 1082 1083 1084
vehicle testing [648] (21503) wa82 wa83
underspend [647] (30403) wa1012 [648] (22503) wa96 (3603) wa140 [649] (11603) wa42 (12603) wa55
[645] (3303) wa902 (4303) wa97 (10303) wa162 wa163 [646] (25303) wa72 [647] (7403) wa2 [649] (11603) wa423 (12603) wa55
budgets [646] (2403) wa132 [649] (16603) wa77 wa78
north/south language body [648] (12503) wa12 [649] (11603) wa445 (12603) wa523 (17603) wa87 [649] (11603) wa48
[641 (281102) wa67 wa68 [642] (91202) wa34 [646] (18303) wa23 (25303) wa72 wa73 [647] (29403) wa8990 (30403) wa103 [648] (12503) wa2 (21503) wa86 (3603) wa1378
[645] (10303) wa164 [649] (19603) wa132
speaker of the house of lords statement [649] (16603) 52931 5346 537 5389 540 541 542
[642] (7103) wa1723 [643] (20103) wa81 (22103) wa109 (28103) wa143 [644] (6203) wa43 (19203) wa188 [648] (5603) wa180 [649] (17603) wa87
[642] (7103) wa173 [643] (22103) wa1039 (28103) wa143 wa144 [646] (2403) wa132 [647] (29403) wa91 (1503) wa117 (7503) wa139 [648] (2603) wa112 (5603) wa180
licensing bill [hl] committee [642] (121202) 3523 363 416 426 (191202) 81920 [643] (13103) 478 55 (16103) 356 (20103) 43940 report [645] (27203) 4467 (4303) 7289 commons amendments considered [649] (19603) 923 928 9501 | 2017-08-22T23:39:26 | https://publications.parliament.uk/pa/ld200203/ldindex/649/index-90.htm |
warsaw yaomboleza kifo cha viongozi wao (rais mkewe top official) | jamiiforums | the home of great thinkers
warsaw yaomboleza kifo cha viongozi wao (rais mkewe top official)
discussion in 'jamii photos' started by steven sambali apr 11 2010
nimepiga baadhi ya picha na nimeamua kuziweka hapa hii ya kwanza nimeona nianzie ya kucopy maana huko mie sikuwepo na picha zinapigwa na maro wa hapa ambaye na yeye amekufa mpiga picha wa first lady alikosa kiti kwenye ndege na akabaki ndiyo amebaki hai
pichani rais lech kaczynski siku alipokea makaratasi ya balozi wetu ngemera aliyeko german na akiwakilisha pia tanzania kwa poland picha ya pili ni ngemera na siwa (ubalozi wa tanzania german) wakiwa mbele ya president palace
picha nyingine ntajitahi kesho nikachukue maana leo kulikuwa na watu wengi hadi inaleta uvivu kwenda mbele na kibaridi/kimvua kilinikimbiza
ngemerajpg
ngemera na ndugu jpg
umati wa watu mbalimbali waliofika kuja kuwasha mishumaa na kuweka mauwa kwenye president palace pia wengine walikuwa kwenye lile eneo la wazi ambapo kuna kaburi la askari asiyefahamika ilinifurahisha na kunishangaza kuwa ingawa watu hawakuambiwa waje uongozi wa mji wa warsaw kwa kufahamu kuwa kutakuwa na watu wengi waliandaa ambulance nyingi tu magari ya zima moto askari wa city polisi waokoaji (wamevaa makoti yameandikwa ratowniki) na kali zaidi ni kuweka vyoo (vibanda vimeandikwa toi toi) hawa watu wamejiandaa kweli kwa matukio kama haya yakitokea na siyo ikitokea ndiyo watu waanze kujiuliza nani atafanya hili au lile
ofisi ya raisjpg
mishumaajpg
foleni warsawjpg
waokoajijpg
umati wa watu mta&#jpg
vyoojpg
ambulance na poli&#jpg
zima moto na ambu&#jpg
by simon hradecky created saturday apr 10th 2010 1025z last updated tuesday apr 13th 2010 1037z
a polish air force tupolev tu154m carrying poland's president lech kaczynski and his wife leading a delegation of high polish representatives registration 101 performing a states flight from warsaw (poland) to smolensk [xubs] (russia) with 88 passengers and 8 crew was on approach to smolensk north airport's (air base) unmarked runway (runway heading approximately 270 degrees) in developing dense fog when the airplane impacted trees about 15002000 meters short of the runway and crashed onto the ground coming to rest about 500 meters short of the runway threshold and about 200 meters south of the extended runway centerline the debris field being about 210 meters long all on board perished the airpane was destroyed by impact forces
russian authorities said they found no survivors there were conflicting reports of 87 or 132 people on board a passenger list produced by polish authorities contains 89 names however one did not reach the aircraft
there are conflicting reports that the airplane may have gone around three times with the crew considering to divert to minsk (belarus 170nm west of smolensk) or moscow (russia 200nm east of smolensk) before attempting their fatal 4th approach other reports say that the crew was adivsed by air traffic control in belarus to not continue to smolensk due to fog but to divert to minsk and later after hand off to russian atc russian air traffic controllers recommended to divert to moscow the crew however continued to smolensk other reports say that the airplane was holding over smolensk which was mistaken as attempts to approach the airfield and goarounds the air traffic controller at the air base said the airplane attempted only one approach before radio contact was lost (see below)
russia's interstate aviation committee (mak) responsible to investigate aviation accidents have dispatched a team of investigators led by the chairman of the mak to smolensk and confirmed airframe 101 having crashed
on apr 11th the mak said that the flight data recorders have arrived at a special laboratory and have been opened in the presence of russian and polish investigators the tapes were found on the reels but out of the tape mechanism probably as result of the impact forces
in the afternoon russian authorities said that all bodies including the body of lech kaczynski have been recovered and are being taken to moscow for identification the flight data recorders have been recovered and are being analyzed in a change of plans the body of lech kaczynski were identified in smolensk and was taken directly to warsaw where he arrived by sunday (apr 11th) afternoon
russia's prime minister putin was briefed by local officials that the required horizontal visibility for the approach to the north airport would have been 1000 meters with an actual visibility of 400 meters the airplane impacted trees of a height of about 8 meters (26 feet) about 1200 meters (3950 feet) short of the airfield when the airplane should have been at a height of at least 60 meters (200 feet) the airplane continued to impact multiple single trees and was destroyed before the airplane impacted ground emergency responders reached the crash site within 3 minutes an investigation team of 60 people is on scene
polish officials confirmed that the airplane was on its first approach to the air base when it impacted the trees three flights were to land at the air base in that period of time the first was a yakovlev yak40 carrying journalists accompanying poland's president which made a safe landing the second was a russian ilyushin il76 which diverted after two unsuccessful approaches the third was the presidential tupolev tu154m
from http//avheraldcom/harticle=429ec5faclick to expand
picha zote ziko kwenye huo ukurasa hapo juu
hapa naweka picha moja tu picha ya mke wa rais huyu mama kama kwenye picha inavyoonyesha alikuwa ni kama rada inayomuongoza huyu jamaa si tu kuwa alihakikisha mumewe kapendeza ila alikuwa ni msaada mkubwa sana kwa mumewe alimtuliza kwenye mambo mengi sana aliyokuwa akifanya ingawa mumewe alikuwa ni profesa wa sheria na historian mzuri sana alikuwa akifahamu lugha moja tu lugha yao mkewe alikuwa anaongea kiingereza kifaransa na hivyo kuwa mshauri mzuri sana wa mumewe nina imani mafanikio ya mumewe huyu mama alichangia nakubaliana na wanaosema ukipata mke mzuri basi utafika mbali
maria kaczynskajpg | 2017-07-26T08:48:54 | https://www.jamiiforums.com/threads/warsaw-yaomboleza-kifo-cha-viongozi-wao-rais-mkewe-top-official.58294/ |
chanzo cha mzee na familia yake kubomolewa nyumba kupigwa na mapanga (+video) millardayocom
chanzo cha mzee na familia yake kubomolewa nyumba kupigwa na mapanga (+video)
wazee wawili ambao ni mke na mume wakazi wa kijiji cha kibuye kata ya bukuba katika halmashauri ya wilaya ya buhigwe wamenusurika kifo baada ya kuvamiwa usiku wakiwa wamelala katika nyumba yao na kupigwa na kuumizwa vibaya kisha nyumba yao kubomolewa
tuma hela baba yako amefariki tununue sanda rais magufuli
← previous story waziri ummy apiga marufuku wajawazito kutozwa hela mwananyamala
next story → islamic state nigeria limewakata vichwa mateka wakristo | 2020-04-07T08:20:44 | https://millardayo.com/chanzo-cha-mzee-na-familia-yake-kubomolewa-nyumba-kupigwa-na-mapanga-video/ |
bunge la angola laidhinisha katiba mpya | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 21012010
bunge la angola laidhinisha katiba mpya
rais josé eduardo dos santos aimarisha mamlaka yake
kwa kawaida timu za mpira wa miguu hufanya kila juhudi kuepukana na kuongezewa muda wa ziada wakati wa michuano katika siasa lakini hali ni tofauti kabisa wanasiasa wengi wanajaribu kurefusha muda wao wa kukaa madarakani kwa vipindi virefu kadri inavyowezekana bingwa katika fani hii ni rais wa angola josé eduarado dos santos ambaye amekuwa akiitawala nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 30 sasa kiongozi huyo anataka kuibadili katiba ili aendelee kubakia madarakani hata baada ya kuahidi kuandaa uchaguzi nchini angola
huku waangola wakifurahia kuingia katika robo fainali kwenye michuano ya kuwania kombe la afrika inayoendelea nchini mwao leo bunge la nchi hiyo linapiga kura kuidhinisha katiba mpya ambayo itabadili mfumo mzima wa kisiasa wa nchi hiyo angola na algeria zilitoka sare bila kufungana wakati wa mchuano uliochezwa siku ya jumatatu wiki hii
rais wa angola josé eduardo dos santos alifurahishwa sana na ufanisi wa timu ya angola katika michuano hiyo lakini leo kupitia bunge anataka kuibadili katiba ya nchi bila katiba hiyo kujadiliwa hadharani raul danda wakili anayepigania haki za raia ni mbunge aliyechaguliwa kupitia chama kikubwa cha upinzani nchini angola unita anakosoa hatua inayochukliwa na rais santos
katiba ni sheria msingi ambazo sharti zijadiliwe kwa kina haiwezekani kufanya hivyo haraka haraka mjadala kuhusu katiba ulitakiwa uendelee hadi mwezi aprili au mei mwaka huu lakini tayari umemalizika katiba haitajadiliwa hadharani tena kama ilivyokuwa imepangwa na kama jumuiya ya kiraia ilivyotarajia katiba sasa itapigiwa kura moja kwa moja na bunge
zoezi la kuipigia kura katiba bungeni hii leo inafanyika tu kuficha kombe ili mwanaharamu apite lakini matokeo yanajulikana vyama vya upinzani nchini angola vikiwemo chama cha unita fnla na prs vimepinga hadharani katiba hiyo mpya lakini havina mabavu ya kushindana na chama tawala cha mpla ambacho kina wabunge 191 kati ya wabunge wote 220 katika bunge la angola
upinzani unaikosoa katiba mpya ukisema uchaguzi wa moja kwa moja wa rais utafutwa katika siku za usoni uchaguzi wa bunge utaendelea kufanyika rais wa angola atakuwa kiongozi wa chama kitakachopata idadi kubwa ya kura
katiba mpya ya angola inayopigiwa kura na bunge hii leo itaanza kufanya kazi ifikapo mwaka 2012 hadi wakati huo rais wa sasa josé eduardo dos santos ataendelea kuitawala nchi hiyo emanuel lopes mtaalam wa sayansi katika taasisi ya utafiti ya afrika mjini lisbon nchini ureno anasema rais santos atakuwa akiitawala angola bila kibali cha wananchi ambao wana haki kidemokrasia kumchagua kiongozi wamtakaye
kuna katiba halali iliyopitishwa mnamo mwaka 1992 inayosema rais anatakiwa kuchaguliwa moja kwa moja na wananchi katika uchaguzi mkuu kinachoendelea hivi sasa si halali na uvunjaji wa katiba iliyopo
kupitia katiba mpya rais josé edaurdo dos santos atazidi kuimarisha mamlaka yake yeye sio tu kiongozi aliyekaa madarakani kwa kipindi kirefu zaidi duniani bali pia familia yake inamiliki kampuni zote kubwa kubwa nchini angola kutokana na utajiri wake wa mafuta angola ni nchi ya tatu tajiri barani afrika mengi hayajulikani kuhusu biashara za familia ya rais santos nchini angola
upinzani nchini angola unataka kuizuia katiba mpya kupitia mahakama za nchi hiyo lakini inahofiwa hakutapatikana ufanisi wowote kwani rais josé eduaurdo dos santos anaidhibiti nchi
mwandishibeck johannes/josephat charo/zpr
kiungo https//pdwcom/p/lcrw | 2018-10-20T21:44:41 | https://www.dw.com/sw/bunge-la-angola-laidhinisha-katiba-mpya/a-5152692 |
rais amteua mkurugenzi mtendaji wa shirika la maendeleo ya petroli (tpdc) ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » » rais amteua mkurugenzi mtendaji wa shirika la maendeleo ya petroli (tpdc)
rais amteua mkurugenzi mtendaji wa shirika la maendeleo ya petroli (tpdc)
rais wa jamhuri ya muun gano wa tanzania mheshimiwa jakaya mrisho kikwete amemteua dkt james p mataragio kuwa mkurugenzi mtendaji wa shirika la maendeleo ya petroli tanzania (tpdc)
kulingana na katibu mkuu kiongozi (kmk) balozi ombeni sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 desemba 2014
• masters in business development (mba) chuo kikuu cha charlotte north caroline marekani (2008)
• phd (geochemistry mineralogy structural geology and petroleum geology) chuo kikuu cha missouri rolla missouri marekani (2005)
• msc (geochemistry and petrology) chuo kikuu cha okinawa japan (1997)
• bsc(hons) (geology) chuo kikuu cha dar es salaam 1994
• mwaka 2004 hadi sasa senior geoscientist bell geospace inc houston texas usa
• 2001 2004 mhadhiri msaidizi chuo kikuu cha missouri wakati akisoma shahada ya uzamivu
• 2000 2001 mhadhiri msaidizi chuo kikuu cha dar es salaam
• 1999 2000 meneja mradi anglo gold (buzwagi)
• 1994 1999 exploration geologist anglo america corporation
kwa kuzingatia elimu yake uzoefu wake na uzalendo wake rais ana matumiani makubwa kuwa dkt james p mataragio ataleta nguvu mpya na uzoefu mkubwa wa kimataifa katika kuiongoza tpdc ili iwe kampuni kubwa ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia kama yalivyo makampuni mengine ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia duniani | 2017-08-19T03:24:53 | https://uvccmtz.blogspot.com/2014/12/rais-amteua-mkurugenzi-mtendaji-wa.html |
tusiruhusu dini kutumiwa kueneza chuki na migawanyo unaoc | habari za un
tusiruhusu dini kutumiwa kueneza chuki na migawanyo unaoc
mwakilishi mkuu wa muungano wa ustaarabu katika umoja wa mataifa unaoc nassir abdul aziz alnasser ametoa wito dini zilindwe kutokana na watekaji wanaotaka kuzitumia kwa faida zao binafsi bwana alnasser ameyasema hayo wakati wa mkutano wa marafiki wa muungano wa ustaarabu ya umoja wa mataifa leo mjini new york akiongeza kuwa wanadamu wote wana maadili mengi ambayo yanafanana licha ya kuwa imani tofauti za kidini
amesema wanachama wa umoja wa mataifa wamerithia kanuni katika mkataba wake mkuu ambazo kila mmoja anapaswa kuendeleza bila kuchoka katika juhudi za kujenga amani na kuendeleza kuvumiliana ambayo ndiyo malengo makuu ya jumuiya ya ustaarabu
bwana alnasser amesema inasikitisha kuwa kanuni hizi zinatishiwa na watu wenye misimamo mikali ambao wanaendelea kutumia vibaya ujumbe wa amani wa dini ya kiislamu na imani zingine huku akirejelea ujumbe wa mtoto wa kipakistani malala yousafzai kwenye umoja wa mataifa mnamo julai 12 wa umuhimu wa kuwapinga wale wanaotumia dini kwa malengo yao potofu
ujumbe wa bwana alnasser umesisitizwa na naibu katibu mkuu jan eliasson ambaye pia akimnukuu malala amesema muungano wa ustaarabu uliundwa ili kukabiliana na migawanyo na chuki kwa kutoa nafasi ya mazungumzo na maridhiano amesema dini zote zinatakiwa zikubali maadili yetu ya pamoja na ubinadamu
ameongeza kwamba viongozi wa kidini wana ushawishi mkubwa kwa wafauasi wao na ikiwa watahubiri chuki na kutovumiliana wanapanda migawanyo mizozo na ghasia lakini wakihubiri ujumbe wa kuelewana na undugu wanaweka msingi wa kuaminiana kuelewana na amani na usalama wa kudumu
culture and education|law crime|peace and security|taarifa maalumu|women children population
um waanzisha polisi maalumu kuwalinda wanawake afrika ya kati
unesco yataka kulindwa kwa sehemu za kitamaduni nchini libya
bunge la urusi litupilie mbali muswada wa propaganda za ushoga | 2018-03-23T15:09:33 | https://news.un.org/sw/story/2013/07/351692-tusiruhusu-dini-kutumiwa-kueneza-chuki-na-migawanyo-unaoc |
alichokiposti zitto kuhusu mbwana samtta edusportstz
sports uwanja wa mastaa alichokiposti zitto kuhusu mbwana samtta
alichokiposti zitto kuhusu mbwana samtta
by farumediatv on 13 february in sports uwanja wa mastaa
kupitia ukurasa wake wa twitter mh kabwe ameyeandika maneno haya
nilipata nafasi kumsalimu @samatta77 jana jioni nyumbani kwake genk nimefurahi kuwa anaendelea vizuri na anapambana kuhakikisha anaendelea kukuza nchi yake na yeye mwenyewe ana mawazo mazuri sana ya kuendeleza soka la tanzania mungu atamsaidia samata wetu watanzania
by farumediatv at 13 february | 2018-11-18T04:18:59 | https://www.edusportstz.com/2018/02/alichokiposti-zitto-kuhusu-mbwana-samtta.html |
barabara ya mkoani chake yaharibika tena eneo la changaweni kutokana na mvua za masika zanzinews
home habari matukio barabara ya mkoani chake yaharibika tena eneo la changaweni kutokana na mvua za masika
barabara ya mkoani chake yaharibika tena eneo la changaweni kutokana na mvua za masika
gari ya mzigo inayodaiwa kuwa ni kampuni ya azam ikiwa imeshatolewa na gari la kijiko ambapo gari hiyo ilikwama eneo la barabara ya dharura hapo changaweni mkoani na kusababisha abiria waliokuwa wakitokea unguja na wengine chake chake kukwama kuanzia saa 1000 jioni hadi 1244 (picha na haji nassor) | 2018-08-14T17:53:13 | http://www.zanzinews.com/2018/05/barabara-ya-mkoani-chake-yaharibika.html |
burudan mwanzo mwisho bomoa bomoa kurasini leo jijini dar es salaam wananchi kutaharuki
posted by super d (mnyamwezi) at 943 pm | 2017-10-20T08:37:55 | http://burudan.blogspot.com/2015/11/bomoa-bomoa-kurasini-leo-jijini-dar-es.html |
martin kadinda's official fashion blog miss tanzania 2011
vimwana wa tanzania 2011
my girl alexia william
everning dresses
beach wear designed by kisa wa kiki's designs
sheria ngowi ndio alipika hivi vivazi
vivazi vitamu haswaaa
kidukkilikuwepo katika opening show
tanzania ndio nchi yetu
nyavu walikuwepo kuhakikisha show inakwenda live
juliana kanyomozi perfoming on miss tanzania stage
juliana kanyomozi looking so fly
millen (happiness) magese alikuwepo kushuhudia onyesho hili baada ya miaka kumi toka alipotwaa taji hilo la miss tanzania
internationa model mtanzania mwenye mafanikio makubwa cynthia masasi alikuwepo ni mmoja wa majaji katika shindano hili am so proud of you your back home
jokate aliwaka mbaya well dressed and can u magine alikuwa mtupuuuuuu just hilo gauni tu sexy sexy sexy
so proud of you jokate in your own creation kwa msaada wa mustafar hassanali
millen magese on stage na taji liundi
jackline kamkala md wa allure international in martin kadinda design
the whole dress kazi ya mikono yangu mwenyewe
mr & mrs right looking great nancy sumari na luca
yap call her mama collins
the super model belina alikanyaga red carpet na hakuona tabu kupiga picha na mdogo wake
she used to be mrs kadinda i wonder who she is dating now esi looking fly na swagger zake za soksi chini ni balaaaaaaaaaaaa
mange kimambi mama u turn in kiki's design she was hooooowt
kwa kweli mange hiyo nguo haijampendeza hata kidogonancy mwaaaa na jokate mpo juu na cynthia masasi upo juu mama
juliana nafwaaaaa upo mahali pake unalipa mama wewe ni mrembo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
martin me huwa sielewi unachovaahata kama ni kuwa tofauti basi vaa angalau kinachoenda na shughulinajua utajibu na utasema ila hujawahi kupendezaeverning dress hahahaha me mbhavu sinaendelea siku moja nawe utafika kutengeza wavitengezavyo akina mustafa hassanal na akina sheria
i like how cynthia is carrying herself very reserved/classy personality you look great and kudos to you
wewe martin what do you mean unaposema jokate yuko mtupu inamaana alikuwa hajavaa chupi and how did you know kwamba hajavaa chupi alikuonyesha kuwa hajvaa
mimi katika yote naombanitoe wazo jamani nalisikike huko sisi kwanini tunashindwa u miss wa dunia mimi nimeona tatizo watuwanao endakule weupe na sisi niwa africa kwanini ajawaikuchanguliwa mtu mweusi au anamvutooo kumbukeni rangi ni muhimu
mange what the heck martin are you serious unavaa kama unakwenda dukaniand then you call yourself model really stop wearing damn graphic tees in such occasion kwanza waonekan too ghetto | 2017-12-16T09:08:59 | http://mvutokwanza.blogspot.com/2011/09/miss-tanzania-2011.html |
hii ni picha maarufu hivi sasa ya kim kardashian na kanye westina likes zaidi ya laki 8 millardayocom
hii ni picha maarufu hivi sasa ya kim kardashian na kanye westina likes zaidi ya laki 8
kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa kim kardashian amepost picha aliyopiga kwa camera ya mbele (selfie) wakiwa chumbani na kanye west picha yenyewe inamuonyesha kanye west akiwa amelala na status yake ya side chicks be like ndio inaiongezea umaarufu hadi wakati post hii inaenda hewani picha imepata likes zaidi ya laki 8
← previous story nakualika kutazama video mpya ya dayna hii inaitwa i do
next story → zijue habari tatu mpya za chris brown kuhusu muzikimapenzi na maisha | 2020-06-06T13:08:37 | https://millardayo.com/kk3/ |
raha za pwani blog bingu wa mutharika afariki dunia
bingu wa mutharika afariki dunia
rais wa malawi bingu wa amefariki dunia baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo akiwa na miaka 78 duru kutoka kwa serikali zimethibitisha kifo hicho kwa bbc mwili wa wa kiongozi huyo umepelekwa afrika kusini hata hivyo serikali haijatoa taarifa rasmi kuhusu kifo cha wamutharika mmoja wa madaktari waliokuwa wakimhudumia kiongozi huyo ameambia bbc wamutharika alikufa baada ya moyo wake kusimama
wadadisi wameonya kifo cha rais huyo huenda kikazua mgogoro wa uwongozi katiba ya nchi inampa nafasi makamu wa rais kuongoza nchi endapo rais atafariki au kuugua kiasi cha kushindwa kuongoza taifahata hivyo makamu wa rais nchini malawi joyce banda alitofautiana na wamutharika kufuatia mzozo wa urithi wa uongozi ambapo alifukuzwa kutoka chama tawalademocratic people's party (dpp)
kakake rais ambaye ni waziri wa mambo ya nje peter mutharika aliteuliwa kugombea urais hapo mwaka wa 2014mwandishi wa bbc mjini blantyre raphale tenthani amesema mawaziri wamekuwa na kikao usiku mzima kujadili hali ya sasa rubaa za serikali zimenukuliwa zikisema kwamba maiti ya rais imesafirishwa afrika kusini huku maafisa wakitafakari hali ya sasa
rais huyo alikumbwa na shinikizo za kuachia madaraka kwa tuhuma za kupendelea ukoo wake na kuharibu madarakawa mutharika aliwakera wafadhili wa kigeni hasa baada ya kumfukuza balozi wa uingereza fergus cochranedyet na kufanya utawala wa uingereza kusimamisha msaada kwa malawi | 2018-02-20T02:05:06 | http://saidpowa.blogspot.com/2012/04/bingu-wa-mutharika-afariki-dunia.html |
watu wa makundi tofauti wamezungumzia hotuba ya rais dk john magufuli aliyoitoa jumapili iliyopita akiwa mkoani geita kwamba imeleta matumaini mapya
tayari shangwe na vigelegele vimesikika kwa wamiliki wa shule na vyuo wamiliki wa baa hoteli wanamichezo na wafanyabiashara kutokana na kuwepo kwa dalili za wazi kabisa kwamba karibu maisha yanarudi kama yalivyokuwa awali
aidha viongozi wa dini kwa upande wao wamesema wamepokea kwa mikono miwili ombi la rais magufuli la kutenga siku tatu za ibada ya kumshukuru mungu kwa matendo makuu aliyofanyia taifa katika vita dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (covid19)
rais alihutubia taifa baada ya kushiriki ibada katika kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt) usharika wa chato mkoani geita ambapo alisema mungu amejibu maombi waliyofanya watanzania wakimuomba aliponye taifa dhidi ya maambukizi ya covid19 kwani sasa maambukizi na vifo vimepungua kwa kiwango kikubwa
tunaungana na watanzania wote kufurahia hatua ya taifa letu kuanza kurejea katika hali ya kawaida baada ya kusimama kwa baadhi ya shughuli baada ya ugonjwa wa corona kuripotiwa kuingia nchini katikati ya machi mwaka huu
tunafarijika kuona kuwa pamoja na kuendelea kuchukua tahadhari lakini wananchi wameongeza bidii ya kushiriki katika mipango ya uzalishaji mali kama alivyoelekeza rais kuanzia mashambani viwandani maofisini na katika maeneo mengine
tayari viongozi wa makundi mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini wamiliki wa shule vyuo wanamichezo na wafanyabiashara wameeleza kufurahishwa na hatua ya rais magufuli kufikiria kuruhusu shughuli mbalimbali zilizokuwa zimesimama kuendelea ikiwemo michezo kutokana na kupungua kwa maambukizi ya vifo
ni matumaini yetu kwamba baada ya rais kutoa ahadi ya kuruhusu shughuli mbalimbali kurejea katika hali ya kawaida wananchi wataendelea kuchukua tahadhari ili kuliepusha taifa kurejea katika hali ya awali ya maambukizi
ili kuweza kufanikiwa katika hilo wananchi waendelee kuzingatia maelekezo ya wataalamu ikiwemo kuepuka misongamano kuosha mikono kwa maji yanayotiririka kila mara kutumia vitakasa mikono na tahadhari nyingine zote ambazo wamekuwa wakizichukua
licha ya hatua hizo ni vema pia wananchi wakaendelea kutumia tiba na kinga za asili kama kujifukiza kwa miti mbalimbali kutumia malimao tangawizi na vitunguu saumu kwani tayari upo ushahidi kwamba njia hizo zimethibitisha kuwa na msaada mkubwa katika kukabiliana na makali ya virusi vya corona kwa kuvitokomezea mbali na mgonjwa kupona kabisa | 2020-06-07T09:09:15 | https://www.habarileo.co.tz/habari/2020-05-205ec4daabd9ed3.aspx |
tetesi za soka ulaya jumatatu tarehe 14102019 fernandes mandzukic rakitic mbappe eriksen rice bbc news swahili
tetesi za soka ulaya jumatatu tarehe 14102019 fernandes mandzukic rakitic mbappe eriksen rice
https//wwwbbccom/swahili/michezo50038247
image caption barcelona wangependa kumchukua mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya ufaransa ya paris stgermain kylian mbappe
tottenham wameanza upya kuelezea haja yao ya kumtaka mchezaji wa kimataifa wa safu ya kati wa klabu ya sporting lisbon ya ureno bruno fernandes mwenye umri wa miaka 25 wakati dirisha la uhamisho litakapofunguliwa tena mwezi januari (a bola via mail)
manchester united watatakiwa kutumia pauni milioni £10m ikiwa wanataka kusaini mkataba na mcroatia anayecheza safu ya mashambulizi mario mandzukic mwenye umri wa miaka 33 kutoka juventus katika kipindi cha uhamisho mwezi januari lakini mchezaji huyo amefikia makubaliano ya mdomo na red devils (express)
barcelona huenda wakawa na haja ya kumuuza kiungo wa kati ivan rakitic mwenye umri wa miaka 31 mwezi januari huku manchester united wakiaminiwa kuanzisha mazungumzo kuhusu hatua ya kumnunua mcroasia huyo (sport)
barcelona wangependa kumchukua mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya ufaransa ya paris stgermain kylian mbappe ambaye sasa ana umri wa miaka 20 na mshambuliaji wa kati tottenham harry kanemwenye umri wa miaka 26 kuliko kumnunua mshambuliaji wa liverpool mbrazili roberto firmino (mundo deportivo via liverpool echo)
mpango wa real madrid wa kumnunua kiungo wa kimataifa wa tottenham mdenmark christian eriksenmwenye umri wa miaka 27 huenda ukategemea mafanikio ya timu hiyo na kama kuna majeruhi wa muda mrefu (as)
je ikulu ya tanzania imehama
papa amtangaza newman kuwa mtakatifu mpya
mkenya mwingine avunja rekodi ya dunia
image caption eriksen angependelea kujiunga na real madrid katika msimu ujao
eriksen angependelea kujiunga na real madrid katika msimu ujao badala ya januari kwasababu wakati huo anaweza kuomba kusaini mkataba wa marupurupu ya juu zaidi (express)
tetesi za soka ulaya jumapili 13102019
kiungo wa safu ya kati wa timu ya kimataifa ya england declan rice mwenye umri wa miaka 19anasisitiza kuwa anafurahia kuwa katika kikosi cha west ham akizielezea ripoti zilizomuhusisha na kuhamia manchester united kama porojo tu hadi kitakapotokea kitu na kwamba hakuna kilichotokea (mirror)
image caption meneja wa exrangers na birmingham alex mcleish
bristol city wanamtaka mshambuliaji wa arsenal eddie nketiah kwa mkopo mwenye umri wa miaka ambaye walijaribu kusaini nae mkataba msimu uliopita kabla ya mchexzaji huyo kuamua kujiunga na leeds (sun)
tetesi za soka ulaya jumamosi 12102019
leeds wanaamini kuwa nketia hataruhusiwa kuendelea kubaki katika klabu licha ya kipengele cha januari cha kumrejesha kujumuishwa katika mkataba wake wa mkopo (mirror)
image caption bristol city wanamtaka mshambuliaji wa arsenal eddie nketiah kwa mkopo
meneja wa exrangers na birmingham alex mcleish atachukua muda kuchukua hatua nyingine ya kiuongozi baada ya kukataa ofa kutoka england na nje ya nchi tangu alipoacha wadhihfa wake kama meneja wa scotland mapema mwaka huu (the scottish herald)
meneja wa zamani wa manchester city stuart pearce anaamini kabisa kwamba winga wa kimataifa wa england phil foden mwenye umri wa miaka 19 anapaswa kuondoka kwenye klabu hiyo kwa mkopo mwezi januari (talksport)
image caption meneja wa zamani wa manchester city stuart pearce anaamini kwamba winga wa kimataifa wa england phil foden anapaswa kuondoka kwenye klabu hiyo
arsenal wako makini kumuajiri mchezaji mwenye umri mdogo kabisa wa kwanza wa scunthorpe joey dawson mwenye umri wa miaka 16 nanayecheza safu ya kati ambaye ni mpwa wa michael dawson (sun)
meneja wa tottenham harry redknapp anaamini kuwa mauricio pochettino hatafukuzwa akidai kuwa muargentina huyo ana kikosi kizuri kama kile cha claiming the argentine has liverpool au manchester city (mail)
image caption mchezaji wa kimataifa wa kenya anayecheza katika safu ya kati ya timu ya tottenham victor wanyama anahusishwa na taarifa za kureje katika celtic
mchezaji wa kimataifa wa kenya anayecheza katika safu ya kati ya timu ya tottenham victor wanyama mwenye umri wa miaka 28 anahusishwa na taarifa za kureje katika celtic anatumaini kuwa itakuwa ni timu yake ya kwanza kurejea baada ya nia yake ya kuhamia bruges msimu uliopita kushindwa kutekelezwa (footballlondon)
mshambuliaji wa zamani wa nottingham forest pierre van hooijdonk mwenye umri wa miaka 49 anasema kuwa alimuita meneja ron atkinson meneja wa baa wakati wa tamko lake fupi katika city ground (guardian)
tetesi za soka ulaya jumapili 13102019 eriksen defoe rice kane rashford fernandinho | 2019-11-18T17:32:51 | https://www.bbc.com/swahili/michezo-50038247 |
kenya law kiswahili ') } function openclose(theid) { if (documentgetelementbyid(theid)styledisplay == block) { documentgetelementbyid(theid)styledisplay = none } else { documentgetelementbyid(theid)styledisplay = block } } // > // > /*]]>*/
hifadhi ya nyaraka za mijadala ya bunge kwenye mtandao 19602011
baraza la kitaifa la kuripoti sheria ni nini
ni shirika la serikali katika idara ya mahakama jukumu lake ni kuchapisha ripoti za kisheria za kenya (ambazo ni ripoti rasmi za kenya za maamuzi ya mahakama ya juu kabisa mahakama ya rufaa na mahakama ya juu) kuhakiki na kuchapisha sheria za kenya na kuchapisha nyaraka zingine zozote husika
nini habari kuu
wakenya sasa wanaweza kupata rekodi za kihistoria na za sasa za mijadala ya bunge la taifa pamoja na bunge za awali na sheria za tangu 1960 kufikia sasa 2011
je mtu atapata wapi rekodi hizi
kwenye tovuti rasmi za taasisi zifuatazo
baraza la kitaifa la kuripoti sheria wwwkenyalaworg
bunge la kitaifa (kenya national assembly) wwwparliamentgoke
google inc wwwgooglecoke
nini kilicho kwenye rekodi hizi
rekodi hizo ni mijadala ya bunge mbalimbali za kenya yaani baraza la bunge kabla ya uhuru (linalofahamika kama legco) bunge la wawakilishi la baada ya uhuru na baadaye bunge la kitaifa rekodi hizi kirasmi huitwa hansard
hansard ni nini
hansard ni jina la rekodi rasmi za mijadala ya bungeni neno hilo linatumika sana na mataifa ya jumuiya ya madola ambayo yana mfumo wa bunge unaotoka ama unaofuata mfumo wa uingereza/westminster
nini umuhimu wa rekodi hizi
rekodi hizo zina habari za thamani kubwa sana kwa urithi wa jamii kisheria siasa za kenya kuanzia kwa mijadala ya bunge inayozungumzia mpito hadi serikali ya kujitawala wenyewe mpaka kuzaliwa kwa jamhuri ya kenya kuanzia kutangazwa kwa mau mau kuwa chama kisicho halali mnamo 1952 hadi kuondolewa kwa tangazo hilo mnamo 2003 rekodi hizo ni hazina ya thamani sana ya ufahamu na habari kuhusu utawala wa kenya raia sasa wanaweza kutafuta kupata na kurejelea kwa urahisi habari muhimu zinazolingana na muktadha kutoka kwa mijadala ya bunge inayohusu masuala yanayoathiri maeneo bunge yao ama suala ambalo linawahusu kwa njia fulani wasomi wa kisheria na maafisa wa mahakama wanaweza kutafiti kwa urahisi muktadha wa kihistoria ambao sheria fulani na sera zilipitishwa na bunge
rekodi hizo zimekuwa wapi
rekodi hizi awali zimekuwepo kwa umma kwa njia ya karatasi kama sehemu ya rekodi za umma za bunge la kitaifa na hifadhi ya kitaifa hata hivyo kwa sababu zilihifadhiwa kama karatasi ufikiaji wake na umma ulizuiwa bunge la taifa tangu 2007 limekuwa likirekodi vikao vyake kwa njia ya tarakimu na kutoa fursa ya kufikia rekodi hizi kupitia tovuti yake wwwparliamentgoke
rekodi hizi zilipatikanaje kwenye tovuti
rekodi za kabla ya 2007 zilipatikana kwa njia ya karatasi pekee na hivyo hazingeweza kupatikana na kuchambuliwa kwa urahisi baraza la kitaifa la kuripoti sheria kwa ushirikiano na bunge la kitaifa zilibadili rekodi hizi za makaratasi kuwa nyaraka za tarakimu na kisha kutumia teknolojia ya google ya kuorodhesha na kusaka habari ili kuwapa njia rahisi ya kutafuta na kudurusu rekodi huku zikisalia katika hali yake asili
hii ni moja ya juhudi za mradi unaonuia kuimarisha fursa ya raia kufikia habari halali za umma unaohusisha baraza la kitaifa la kuripoti sheria bunge la kitaifa bodi ya teknolojia ya habari na mawasiliano kenya (kenya ict board) na kampuni ya google
rekodi hizi zimekamilika kwa kiwango kipi
kufikia wakati wa tangazo hili toleo la mapema la hansard zilizokusanywa na kuorodheshwa ni ripoti ya kikao cha nne cha mijadala ya baraza la bunge ya tarehe 22 machi 1960 rekodi hivi karibuni pia zinapatikana rekodi za hapo awali yaani rekodi za kabla ya 1960 zitazidi kuchapishwa kwenye kitovu hiki kadiri zinavyobadilishwa kutoka hali ya karatasi kuwa nyaraka za tarakimu
na rekodi za wakati huu na za siku zijazo je zitaendelea kupatikana kupitia kwa kitovu hicho cha tovuti
kitovu hicho kimeundwa ili kutoa habari za kihistoria zilizoko katika hansard nyingi ambazo zilitayarishwa na kuhifadhiwa kama makaratasi pekee kitovu hicho ni njia spesheli ya kurahisisha kufikia kuchambua na kurejelea mrundo wa makaratasi yaliyonakiliwa kwa skena kwa sababu rekodi za sasa na baadaye zitanakiliwa na kusambazwa kama nyaraka za kompyuta zaweza kupatikana kwa njia tofauti kwenye tovuti inayotoa hata fursa zaidi ya kudurusu na ufikikaji njia hii mpya ya rekodi za sasa ndio baraza la kitaifa la kuropoti sheria na washirika wake katika mradi huu wanashughulikia hata hivyo hadi mbinu hii itakapoundwa na kuanza kutumika rekodi za sasa za hansard zitapatikana kupitia kitovu hicho
nini inafanya njia hiyo kwenye tovuti ambapo rekodi hizi zinapatikana spesheli
ni suluhisho bora la kuweka kuorodhesha kuchambua na kudurusu nyaraka vitabu na majarida kupitia teknolojia ya kisasa ya kutwaa habari za vitu ocr (object character recognition) mambo ya kihistoria yaliyonakiliwa kupitia mashine ya chapa ama njia ya picha sasa yana maandishi yake katika orodha na yanaweza kutafutwa kikamilifu hii inawapa wasomaji habari ambazo hawangepata kwa njia ile ile ya picha ambayo nyaraka zimekuwepo
je rekodi hizi ni sawa kivipi
rekodi hizo zimewasilishwa kwa hali halisi kama rekodi asili za makaratasi ambako zilitolewa
je rekodi hizi zimepewa haki ya kunakili
rekodi ya mijadala ya bunge ni habari za wazi kwa umma huchapishwa na serikali na kutolewa kwa raia wake bila malipo hakuna vizuizi kuhusu utumiaji wa habari hizi
je mtu anaweza kuchukua kuchapisha na kuhifadhi rekodi hizo
sio kwa wakati huu hata hivyo wanaozitumia wanaweza kupata nakala na kusambazia wengine anwani ya kupata rekodi yoyote katika hifadhi au kwa kutumia mbinu ya tarakilishi ya printscreen kuchapisha kurasa ya rekodi hizo ambayo imeonyeshwa kwenye uso wa tarakilishi kwa wakati fulani
je mradi huu unagharimu pesa ngapi
gharama pekee za moja kwa moja za mradi huu zilikuwa malipo kwa wataalamu zilizolipwa na bunge la kitaifa na baraza la kitaifa la kuripoti sheria ambazo zilihusu kubadilisha rekodi za makaratasi hadi faili za tarakimu gharama hii ilikuwa takriban kshs 2 milioni pamoja na hayo kila mshirika alitoa ujuzi muhimu wa kiufundi na kikazi hasa kampuni ya google iliyoorodhesha rekodi hizo bila malipo na kuunda mbinu hiyo ya kiteknolojia ambayo rekodi zitatafutwa na kusambazwa kwa urahisi kwenye mtandao
habari zaidi kuhusu mradi
jina la mradi open access to public legal information
huku sehemu 35 ya katiba ya kenya 2010 ikieleza haki ya raia kupata habari za umma ufikikaji halisi wa habari halali za umma unazuiwa na miongoni mwa mambo mengine njia ambayo habari hii inatolewa chanzo usimamizi na utoaji wa habari halali za umma kenya (sheria za kenya maamuzi ya mahakama rekodi za mijadala ya bunge notisi za kisheria notisi kwenye gazeti la serikali miswada ya bunge na mikataba na sheria za kimataifa) haijawekwa katika mfumo mmoja ambao unatoa nafasi kwa raia kupata habari hizo kwa urahisi wakitumia teknolojia za sasa na zinazoibuka
ukizingatia taasisi anuwai zinazohusika na suala hili zima la habari halali za umma kuna haja ya kutumia mbinu inayoweza kugawanywa na kutumiwa na wengi iliyo wazi yenye ukwasi wa semantiki na inayotumia teknolojia yoyote ili kuimarisha matumizi tena ya data ubadilishanaji wa data kurekodi mzunguko wa kutumia mitambo inayojiendesha na kusanifisha uwasilishaji wa data na metadata
kuimarisha uwezo wa baraza la kitaifa la kuriporti sheria wa kujiweka kama taasisi ya kutazamiwa katika usimamizi na utoaji wa habari halali za kisheria kwa umma
kutoa fursa ya kupatikana kwa habari halali za umma bila malipo kupitia mbinu njema ya kutafuta na ya haraka
kuunda na kutekeleza utaratibu wazi unaofanya kazi na usioegemea teknolojia katika usimamizi wa habari halali za umma za sasa na baadaye
mashirika yanayohusika na majukumu yao
baraza la kitaifa la kuripoti sheria (national council for law reporting) mwenye kutoa mwaliko kwa wanaoshiriki na anayeongoza utekelezaji
bunge la kitaifa shirika linalotekeleza na mtoaji habari
mchapishaji wa serikali (government press) shirika linalotekeleza na mtoaji habari
bodi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (kenya ict board) usaidizi wa nyenzo kupitia mradi wa kuweka miundo msingi ya uwazi katika mawasiliano kenya transparency communication infrastructure project (tcip)
kurugenzi ya mfumo wa elektroni wa serikali (directorate of egovernment) ushauri wa kiufundi kuhusu mbinu na taratibu katika mfumo huu wa egovernment
mshauri wa kiufundi wa mpango wa utekelezaji wa kuunganisha bunge za afrika kwenye mtandao (iparliaments action plan) wa idara ya masuala ya kiuchumi na kijamii afrika katika shirika la umoja wa mataifa (undesa) kuhusu uundaji wa utaratibu wazi wenye ukwasi wa semantiki na unaotumia teknolojia yoyote kuweka rekodi za bunge sheria na mahakama
kampuni ya google mshiriki katika teknolojia ya kuorodhesha na kutafuta
baraza la kitaifa la kuripoti sheria
kuhawili fasihi za kisheria kuwa manufaa kwa umma
baraza la kitaifa la kuripoti sheria kwa bidii ya
siphira gatimu · martin andago · lameck oyare michael mayaka · nicholas okemwa · michael m murungi · musembi kasavu | 2019-01-17T20:03:55 | http://kenyalaw.org/kl/index.php?id=849 |
jumanne 16 julai 2013 1151
ramadhani mwezi wa ibada na toba (4)
assalaam aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza kipindi kingine maalumu cha mwezi huu mtukufu wa ramadhani ambao ni mwezi wa kuimarishwa ibada na toba mwezi wa ramadhani unapowadia huwa ni
jumanne 16 julai 2013 1141
ramadhani mwezi wa ibada na toba (3)
assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo huu wa makala za ramadhani mwezi wa ibada ni matarajio yangu kuwa mtaendelea kuwa kando ya redio zenu
jumamosi 13 julai 2013 1110
ramadhani mwezi wa ibada na toba (2)
assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujumuika nami katika kipindi kingine maalumu cha mwezi mtukufu wa ramadhani kipindi hiki ni katika mfululizo wa vipindi maalumu vya mwezi huu mtukufu ambavyo
jumanne 09 julai 2013 1621
tunamshukuru mwenyezi mungu kwa kutuwezesha kufika kwenye mwezi mwingine mtukufu wa ramadhani ili tupate fursa nyingine ya kunufaika na fadhila baraka na neema zake mwezi wa ramadhani umeingia taratibu ili
jumatano 15 agosti 2012 1235
ugeni wa nuru (26)
assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya idhaa ya kiswahili sauti ya jamhuri ya kiislamu ya iran hususan huko nyumbani afrika mashariki karibuni katika makala nyingine ya
jumamosi 11 agosti 2012 1248
historia na utukufu wa baytul muqaddas kwa mnasaba wa siku ya kimataifa ya quds
assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza kipindi hiki maalumu kuhusu mji wa quds au baitul muqqadas
jumatano 08 agosti 2012 1826
wanaopata hidaya ya allah
kwa mnasaba wa siku aliyopigwa upanga imam ali (as) assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibni kuwa nami katika makala nyingine ya ramadhani tunamuomba allah atutakabalie sote funga na ibada zetu
jumapili 05 agosti 2012 1341
ugeni wa nuru 6
assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami katika mfululizo wa makala hizi maalumu zinazokujieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa ramadhani ni matumaini yangu kuwa mtaendelea
jumapili 05 agosti 2012 1246
ugeni wa nuru18
assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibinu kuwa nami katika sehemu hii ya makala maalumu ya mwezi mtukufu wa ramadhamni ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kuwa kando ya
alkhamisi 02 agosti 2012 0805
ramadhani na amali njema
ramadhani na amali njema assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami tena katika makala nyingine ya mwezi mtukufu wa ramadhani huku nikikutakieni funga njema na saum maqbul ninakukaribisheni kutegea
jumatano 01 agosti 2012 1817
ramadhani na kutawakali kwa allah
assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh wapenzi wasikilizaji mwezi mtukufu wa ramadhani ni mwezi uliojaa rehema za mwenyezi mungu ni matumaini yangu kuwa katika fursa iliyobakia ya mwezi huu tutapata taufiki ya
jumamosi 28 julai 2012 1232
ramadhani na mayatima
assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza makala ya leo ya mwezi mtukufu wa ramadhani jumamosi hii ni siku ya nane ya mwezi mtukufu wa ramadhani kwa mwaka huu wa
alkhamisi 26 julai 2012 1115
ugeni wa nuru (5)
bismillahir rahmanir rahim assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika makala nyingine maalumu ya mwezi mtukufu wa ramadhani huku nikutakieni ramadhani njema ninakukaribisheni mjiunge nami hadi mwisho wa makala
jumanne 24 julai 2012 1230
ugeni wa nuru (4)
bismillahir rahmanir rahim assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh hamjambo wapenzi wasikiliza na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo wa makala hizi za mwezi mtukufu wa ramadhani ni matumaini yangu kuwa mtaendelea | 2017-09-22T17:10:40 | http://kiswahili.irib.ir/uislamu/ramadhani?start=20 |
watoto wa slaa ndani ya bunge | jamiiforums | the home of great thinkers
watoto wa slaa ndani ya bunge
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by magesi jul 20 2012
naibu spika wa bunge baada kipindi cha maswali na majibu ametambua uwepo wa watoto wa dk wilbroad slaa aliozaa na mke wake wa zamani mbunge viti maalumu mhrose kamili kupitia chadema
nzuri hiyo
ni vizuri zaidi
mwakijule
safi snmakamanda wa kesho
ni wageni wa rose kamilikwani kuna ubayaau ndo mwendelezo wa zile sarakasi
ndio hicho tu anachojua ushabiki wa kisiasa
angesema kabisa anatambua uwepo wa watoto wa mhe rais wa kuchaguliwa na watanzania his excellence dr w p slaa (phd)
tundu lisu katoka bungeni
safi sana makamanda wa kesho hao
umetuambia tufanyeje sasa au ni umbea tu
wote wanatoka safi sana
umetuambia tufanyeje sasa au ni umbea tuclick to expand
ni watoto wa rais wa watanzania wengi kutoka mioyoni mwao
duh kumbe padre slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea urais kuna kila sababu inabidi tanzania tuweke sheria za wagombea urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili katiba mpya
duh kumbe padre slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea urais kuna kila sababu inabidi tanzania tuweke sheria za wagombea urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili katiba mpyaclick to expand
sasa mkuu wewe jamii forums imekupa heshima ya kushiriki katika mdahalo watu wanategemea mawazo ya kujenga kutoka kwako tunapoelekea siku ya mdahalo lakini bado unaendekeza tabia zako za kidini nadahani jf wafikirie upya kukupatia nafasi hii kwa sababu hufai kwenye jamii ya watu wastarabu
mimi najiuliza ikulu watatumia kiasi gani kugharamia futari musimu huu wa mwezi mtukufu kwa sababu nyomi la pale huwa sio la kawaida
mkuu wa mgamba anao watoto wangapi wa ndani na wangapi wa nje
huo ndio umbea kama ni kuzaa nje ya ndoa ni yeye sisi tunautambua uwezo wake hata wewe mwenyewe unaongoza kw akuzaa nje ya taratibu za ndoa
huwa nikisoma coments zako huwa najaribu kuimagne what kind of man urnapata tabu kuelewa how do u live with other ppl cuz huwa naona crisis ktk kila utendalo may god have mercy on u cuz u do thngs out of ur skin ur so patheticrigid and ignorant huwa unanichefuaaa
mpaka sasa zijaelewa mantiki ya hii thread umeleta ili tusifie uzinzi wa slaa au
kwani wale nane wote ni wa salma ridhiwani kazaliwa na salma | 2016-12-03T00:33:38 | http://www.jamiiforums.com/threads/watoto-wa-slaa-ndani-ya-bunge.295058/ |
taswira ziaya ya ujenzi wa chama (chadema) terrat simajiro | politiksi kurunzini
home uncategories taswira ziaya ya ujenzi wa chama (chadema) terrat simajiro
taswira ziaya ya ujenzi wa chama (chadema) terrat simajiro
seriajr saturday october 06 2012 edit
mbunge wa arumeru mashariki (chadema) mh joshua nassari akihutubia katika mkutano wa chama chake uliofanyika wilayani simanjiro eneo la terrat juzi
sehemu ya viongozi na wanachama wa chadema walioambatana na gpdbless lema na joshua nassari kazika ziara hiyo
chris mbajo jukwaani mwenye mikrofoni akizungumza mara baada ya kupewa nafasi kusalimia wananchi
aliekuwa mbunge wa arusha mjini mh godbless lema akikinadi chama chake katika mkutano huo
mh lema akigawa kadi za uanachama kwa wananchi wa terrat
kamanda wa chadema jacksona makalla akiwa na mmoja wa wanachama wapya wa chama hicho waliojiunga kwa mara ya kwanza katika ziara hiyo
picha zote na jacksona wilson makalla | 2018-03-18T17:03:50 | https://arusha255.blogspot.com/2012/10/taswira-ziaya-ya-ujenzi-wa-chama.html |
watawala na polisi someni alama za nyakati | jamiiforums | the home of great thinkers
watawala na polisi someni alama za nyakati
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by nkisumuno sep 8 2012
natoa wito kwa watawala na polisi wa tanzania kusoma alama za nyakati kuhusiana na mabadiliko yanayopamba moto
kama ilivyo kawaida watu kubisha na kutokubali ukweli japo unajulikana wapo watakaobisha
hakuna wakati ambao kumetokea vuguvugu la mabadiliko kama ilivyo kwa tanzania leo watawala wanalijua ccm inajua na hata polisi wanalijua hilo kuthibitisha hilo ni pamoja na nguvu zinazotumika kudhibiti mabadiliko hayo msajili na kada wa ccm tendwa naye analijua hilo na ndiyo maana anakimbilia kuitisha chadema kuwa atakifuta
wito wangu naomba watawala wakubaliane na wakati vinginevyo taifa litapelekwa pabaya kuliko kawida tangu polisi walipoamua kuua na ndivyo watanzania wanavyozidi kuongezeka kwenye mikutano na maandamano naomba watawala waache mara moja vitisho kama wanaweza wajibu hoja watanzania wa leo sio wale wa janambinu zozote zinazopangwa na watawala chadema wanazipata kabla ya tamko la tendwa kuliwekwa uzi hapa kuhusu sababu za polisi kuua katika mikutano ya chadema sababu mojawapo ni kutaka kupata sababu za kukifuta chadema siku chache baadaye tendwa akatoa tamko kama kupima upepo
ushauri wangu kwa tendwa asijaribu kufanya hivyo maana akifanya hivyo ajue kutatokea machafuko ya ajabu kwani kwa sasa chadema ni zaidi ya ccm ccm wanatumia mbinu zile za zamani wakati watanzania wamebadilika hivyo nawaomba watawala waache mbinu chafu vinginevyo haya yatakuja wahukumu polisi acheni kusikiliza amri haramu za ccm kwa kuua watanzania wasio na hatia damu zao zitawalilia kwa damu iliyomwagika ya raia haiwezi kwenda bure hivyo ccm jiandaeni kukabidhi madaraka muda ukifika
polisi mkiendelea kuua ni ole wenu maana mnaua na jioni mnakuwa na watanzania haohao mnawaua watoto wenu wanasoma na watoto wa wale wale mnaowaua sasa sijui pale watanzania watakapoamua kujibu mapigo hatupendi tufike huko kumbukeni madikiteta waliotangulia leo hii wako wapi kikwete naomba muogope mungu na ili ujisafishe wawajibishe waliomuua mwangosi hata kama walipokea amri toka chama chako watanzania hatuna imani na igp mwema waziri nchimbi na jeshi lote la polisi tume ya nchimbi inachunguza nini wakati kila kitu kipo wazi
wako wapi magangwe kama id amin mabutu ghadafi na wengine wengi tujifunze kwa hao kuwa ubabe na fahari ya dunia ni ya kitambo tu kuua kwa makusudi inauma watanzania tuombee taifa hili ili mungu alinusuru
mkuu nkisumuno umewapa tahadhali mahsusi bahati mbaya wamesahau kauli ya hayati mwl nyerere 'kula nyama ya mtu ni laana ukishakuila hutaacha bali utafanya mazoea' sasa imewarudi kuua raia kwao sio tatizo tena kwa sababu shetan amewabeba
badala ya kumtafuta mchawi kwa cdm serikali itambue mchawi ni sekali na ccm yake
kushindwa kwa sera za ccm (hazitekelezeki mkapa)
ahadi nyingi za uwongo na utapeli (kama watazitekeleza watanzania watawamin)
mbinu chafu za kutugawa watanzania (udin ukabila na ukanda hakuna ukweli ni propaganda chafu)
kukumbatia mafisadi na ufisadi (raia wanasikia na wanaona lazima wachukie)
huduma mbovu kwa jamii (afya elimu na miundombinu vyote ovyo kabisa
kibaya ccm na serikali yake wamelala fofo kizazi hiki sio kile cha kukubali kila kitu tunahoji tunadadis na kutafakali kabla ya kusema zidumuuu matokeo yake inakuwa hapana mnatuibia na kutudanganya hatutaki
ni jukum la ccm na sekali yake kujichunguza na kurekebesha makosa
kikwete na mbwembwe zake za 2005 za maisha bora na usalama wa nchikila kitu kimemshinda amebaki anambwelanbwela tu mambo hayaendikudadeki kabaki kuwa promota
wazee wa makengeza vicheko ushemeji wana habari na alama za nyakati kwao cha maana ni udoctor feck yale walioyaahidi yamewashinda sasa wanaishia kutishia kutesa na kuuwa kuna mtu amesema huwezi kuwapiga risasi nyuki wote kwenye mzinga ni lazima wachache watakukimbia tu kwa sasa wale walioukimbia mzinga ndiyo wanamshambulia daktar feck
huyu hajakaa darasani kapambana na zile statistics za udokta hajawahi kuianalize hata case study yenyewe sasa ataongozaje nchi hizi alama za nyakati ni kubwa kuliko yeye mtoto mdogo hawezi kuelewa ukubwa wa mlima kilimanjaro either atauona mkubwa kuliko yeye au mdogo sana kiasi ashindwe hata kuuogopa huyu jk ni mtoto anayechekea watanzania wakati wanadai haki zao kwa nguvu zao zote kicheko chake kitageuka kilio very soon | 2018-01-17T15:56:59 | https://www.jamiiforums.com/threads/watawala-na-polisi-someni-alama-za-nyakati.320484/ |
makamu wa rais afungua mafunzo ya siku tatu ya polisi wanawake kutoka nchi za kusini mwa afrika jijini dar es salaam ~ blogu ya wananchi | 2017-05-30T05:37:48 | http://www.williammalecela.com/2017/05/makamu-wa-rais-afungua-mafunzo-ya-siku.html |
waziri mkuu vijiji vyote kupatiwa umeme | emmanuel shilatu breaking news blog
home » unlabelled » waziri mkuu vijiji vyote kupatiwa umeme
waziri mkuu vijiji vyote kupatiwa umeme
waziri mkuu kassim majaliwa amesema hakuna kijiji nchini kitakachoachwa bila ya kuunganishiwa umeme katika awamu ya tatu ya mradi unaotekelezwa na wakala wa nishati vijijini (rea)
amesema serikali imetenga sh1 trilioni kwa ajili ya kusambaza umeme katika vijiji 8000 ambavyo bado havijaunganishiwa na nishati hiyo
waziri mkuu amesema hayo jumanne julai 11 alipozungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wilayani ruangwa
amesema hayo katika mikutano aliyoifanya kwenye vijiji vya chiapi nandanga mbecha na luchelegwa ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya kikazi ya siku nne mkoani lindi
rais john magufuli anajali wananchi hivyo ametenga fedha nyingi zitakazotosheleza kusambaza umeme katika vijiji vyote vikiwemo vya wilaya ya ruangwa gharama za kuunganishiwa umeme huo ni sh27000 tu amesema katika taarifa iliyotolewa na ofisi yake
amesema wananchi hawatawajibika kulipia nguzo na fomu za maombi ya kuunganishiwa umeme kwa sababu tayari gharama hizo zimebebwa na serikali
amesema lengo la serikali ni kufikisha umeme kwenye vijiji vyote tanzania na kwa vile ambavyo viko kwenye maeneo yaliyo mbali na gridi ya taifa vitafungiwa umeme jua (sola) hivyo kufungua fursa za ajira na kukuza uchumi
waziri mkuu amesema huduma hiyo ni muhimu kwa kuwa mbali ya kutumiwa majumbani lakini pia kwa kusogezwa karibu na maeneo ya pembezoni itawezesha zahanati shule viwanda na vituo vya afya kuwa na umeme
meneja wa shirika la umeme tanzania (tanesco) mkoa wa lindi johnson mwigune amesema hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu mkandarasi aliyepangwa kufanya kazi katika vijiji hivyo atakuwa ameanza kusambaza umeme
rais dk amteua jaji mstaafu lubuva
dabno christina watamba mbio bassodawish
kombe la dunia laleta utamaduni wa kimataifa moscow
kambi ya upinzani yadai bajeti yao imekataliwa | 2018-06-18T17:11:05 | http://ndgshilatu.blogspot.com/2017/07/waziri-mkuu-vijiji-vyote-kupatiwa-umeme.html |
matamshi ya mungu | mungu mwenyewe yule wa kipekee vi utakatifu wa mungu (iii) (sehemu ya nne) | injili ya kushuka kwa ufalme
matamshi ya kristo 1455 | 2020-08-12T18:52:48 | https://sw.kingdomsalvation.org/videos/God-the-unique-vi-4-word.html |
maisha ya wananchi wa migodini yanafanane na uwepo wa rasilimali kwenye maeneo yao | gazeti la jamhuri
jamhuri february 28 2018 maisha ya wananchi wa migodini yanafanane na uwepo wa rasilimali kwenye maeneo yao20180228t092323+0000 makala page za ndani uchumi
uamuzi ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na rais dkjohn magufuli kuzuia uagizaji wa makaa ya mawe toka nje badala yake watumiaji wote kutumia makaa ya mawe toka mgodi wa ngaka wilaya ya mbinga mkoa wa ruvuma yamesababisha soko la makaa hayo kupanda
kaimu meneja uzalishaji wa kampuni ya tancoal katika mgodi wa ngaka edward mwanga ameliambia gazdetin la jamhuri mgodi wa ngaka unamilikiwa kwa ubia kati ya serikali ya tanzania yenye asilimia 30 na kampuni ya intra energy ya australia yenye hisa asilimia 70
amesema uzalishaji rasmi wa makaa ulianza mwaka 2011 kwa kusuasua kwa sababu kampuni ilikuwa haijajitangaza vya kutosha na ilikuwa katika utafutaji wa kutambua kiwango cha makaa ya mawe yalipo kwenye eneo la ngaka
mwaka 2014 ndipo makaa ya mawe yalianza kufahamika na kutambuliwa hasa kutokana na kuongoza kwa ubora duniani ukilinganisha na makaa mengine hali ambayo ilianza kuleta neema kwa kampuni baada ya kutambulika vilivyo na kupata msukumo wa kuongeza uzalishaji amesema mwanga
mwaka 2014 uwezo wa kuzalisha makaa ya mawe wa kampuni hiyo ulikuwa chini kwa sababu wateja walikuwa wachache hali ambayo ilisababisha uzalishaji kuwa kati ya tani 15000 hadi 20000 kwa mwezi
mwanga amesema kampuni hiyo ilikuwa inauza tani zisizozidi 15000 huku ikitegemea zaidi viwanda vinavyozalisha saruji vilivyopo hapa nchini hasa baada ya serikali kuzuia uagizaji wa makaa ya mawe toka nje mwanzoni mwaka 2017ulikuja msukumo wa mahitaji makubwa ya makaa ya mawe
amesema wateja walikuja kwa kasi na kuhitaji makaa ya mawe toka ngaka hali iliyosababisha kampuni ya tancoal kuongeza mitambo ya kuzalisha ili kuongeza uzalishaji
kwa mujibu wa mwanga katika mwaka wa fedha 2016/2017 uzalishaji wa makaa ya mawe katika mgodi wa ngaka uliongezeka mara dufu kutoka tani 20000 hadi 40000 kwa mwezi na kwamba hadi kufikia juni 2017 kampuni hiyo iliongeza uzalishaji hadi kufikia tani 100000 kwa mwezi
hata hivyo amesema licha ya soko kuongezeka mauzo kwa mwezi ni kati ya tani 40000 hadi 50000 na kwamba kampuni hiyo inataraji uhitaji utaongezeka zaidi
ameyataja malengo ya kampuni hiyo kuwa ni kuongeza uzalishaji zaidi ili kuhakikisha wanatosheleza soko la ndani na nje ya nchi ambapo anawataja wateja wa soko la nje ya nchi kuwa ni nchi za kenya rwanda malawi madagascar na uganda
kuhusu maisha ya wananchi wa eneo lenye rasilimali kunufaika na uwepo wa rasilimali hizo badala ya rasilimali hizo kuwanufaisha zaidi wawekezaji kaimu meneja uzalishaji huyo amesema uwepo wa mgodi wa ngaka unavinufaisha vijiji vinavyozunguka mgodi huo
hata wakandarasi wetu wapya tumewaelekeza kuchukua wafanyakazi wanaotoka mazingira ya mgodi kulingana na ujuzi walionao na mahitaji kwa hiyo kwanza wananufaika na ajira na mgodi unachangia huduma mbalimbali za kijamii amesema
amezitaja huduma hizo kuwa ni kuchangia miradi ya ujenzi kama shule na zahanati huduma ya maji ya bomba katika kijiji cha ntunduwaro kampuni inatoa kila mwaka sh milioni 4 kwa vijiji vya ntunduwaro na ruanda kuchangia maendeleo
diwani wa kata ya ruanda edimund nditi ameliambia gazeti la jamhuri kwamba kulikuwa na makubaliano ambayo kampuni hiyo inayozalisha makaa ya mawe ilitakiwa kufanya ikiwemo kutoa huduma ya maji kwa wananchi wanaozunguka mgodi ujenzi wa barabara ya lami kuleta umeme na utunzaji wa mazingira ikiwemo kudhibiti vumbi linalotokana na shughuli za uchimbaji
nditi amesema baadhi ya vitu vimetekelezwa ambapo changamoto kubwa ni upatikanaji wa maji safi na salama katika vijiji vya ntunduwaro na paradiso vijiji hivyo vinapata athari kubwa za kimazingira kutokana na vumbi ambalo linaathiri wananchi kutokana na magari mengi yanayobeba makaa ya mawe kila siku
nditi amesema kiasi cha pesa ambacho kinatolewa na kampuni ya tancoal kila mwaka ni kidogo ukilinganisha na kiwango cha uzalishaji wa makaa ya mawe kwa mwaka na kwamba vijiji vinaathirika kimazingira kutokana na usafirishaji wa makaa ya mawe
ina maana kijiji kinavyoathirika kwa mwaka mzima kutokana na shughuli za uchimbaji kinapewa milioni mbili tu sawa na kila baada ya miezi mitatu laki tano kwa kila kijiji lazima pesa iongezwe amesisitiza nditi
mwenyekiti wa kijiji cha ntunduwaro john nyimbo amesema kiasi cha pesa kinachotolewa na kampuni ya tancoal mkataba unaonesha ilitakiwa kutumika kwa ajili ya shughuli za ofisihata hivyo kutokana na mazingira ya kijijini fedha hiyo inaingizwa kwenye miradi ya maendeleo ya kijiji kama ujenzi wa soko ambalo linatumiwa na wananchi
mwenyekiti nyimbo amesema uongozi wa sasa wa kampuni ya tancoal unajitahidi kushirikiana na wananchi ukilinganisha na uongozi uliopita ambapo januari 30 mwaka huu ulizinduliwa ujenzi wa mradi wa maji safi na salama unaofadhiliwa na kampuni hiyo wenye thamani ya zaidi ya shmilioni 37
mradi wa maji ya visima ili kujaza matangi mawili moja lenye ujazo wa lita 100000 na tangi jingine lenye ujazo wa lita 50000 ili kusambaza mitaa kadhaa katika kijiji cha ntunduwaro mradi huo utamaliza tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama hapa kijijini mwaka huu amesisitiza nyimbo
mwenyekiti wa kijiji cha paradiso chenye wakazi 1742 steven challe amesema licha ya kijiji hicho kuwa eneo la mradi wa makaa ya mawe hadi sasa hakuna huduma ya maji safi na salama huku wananchi wanatumia maji ya mito ambayo yanachafuliwa na vumbi la makaa yam awe
serikali ya halmashauri ya wilaya ya mbinga katika mwaka wa fedha wa 2016/2017 ilitenga bajeti ya sh milioni 320 kwa ajili ya mradi wa maji katika kijiji cha paradiso na tuliambiwa hadi kufika juni 2017 mradi huo ungekuwa tayari amesema challe
hata hivyo challe amethibitisha kwamba hadi sasa hakuna kinachoendelea maji ambayo wananchi wanatumia hayafai kwa matumizi ya binadamu na kwamba watu wanaendelea kuathiriwa na maji hayo
naye afisa mipango wa halmashauri ya wilaya ya mbinga fransis nchimbi amesema katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2017/2018 halmashauri hiyo kwa kutumia chanzo cha mapato cha makaa ya mawe ilitarajia kukusanya sh milioni 4522hata hivyo hadi kufikia desemba 2017 halmashauri ilikusanya milioni 1976 kama ushuru wa huduma (service levy)
nchimbi amebainisha kuwa halmashauri ya wilaya ya mbinga inakusanya ushuru wa makaa ya mawe katika eneo la kitai unaotokana na magari yanayobeba makaa ya mawe ambapo katika mwaka wa fedha wa 2017/2018 hadi kufikia desemba 2017 halmashauri ilikusanya sh milioni 456
katika kipindi cha mwaka 2017/2018 kupitia mapato yetu ya ndani tulitarajia kukusanya zaidi ya bilioni tisahata hivyo hadi kufikia desemba 2017 tulikuwa tumekusanya zaidi ya milioni 900 kutoka vyanzo mbalimbali vikiwemo chanzo cha makaa ya mawezao la kahawa na mazao ya misituanasema nchimbi
hata hivyo afisa mipango huyo amekiri mgodi wa makaa ya mawe ngaka ni moja ya chanzo muhimu cha mapato katika halmashauri hiyo kwa kuwa fedha ambazo zinapatikana kwenye chanzo hicho zinaisaidia kufanya mambo mengi ikiwemo miradi mbalimbali ya maendeleo
kwa mujibu wa nchimbi mgodi wa makaa ya mawe umeisaidia halmashauri hiyo kuagiza vifaa vya viwandani ambapo hadi sasa halmashauri hiyo imeagiza vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 400 fedha ambazo zinatokana na chanzo cha makaa ya mawe
licha ya mafanikio hayo changamoto za ukusanyaji mapato katika chanzo cha makaa ya mawe amezitaja kuwa ni baadhi ya watendaji wa mgodi huo kutokuwa waaminifu kwa sababu mrahaba wa shilingi milioni 102 wa mwaka wa fedha wa 2017/2018 ulileta changamoto kubwa kwa halmashauri hadi kufanikiwa kupata
baadhi ya watendaji waliopo kwenye mgodi sio waaminifu hawaleti mrejesho wa mapato ulio sahihi kwamba sisi halmashauri kiasi chetu sahihi cha kupata kutoka kwenye makaa ya mawe hikihali inayosababisha halmashauri kupata mapato ambayo sio sahihi amesema nchimbi
ameitaja changamoto kubwa ni halmashauri kutokuwa na uwezo wa kupata takwimu halisi za mapato yanayotokana na mgodi wa makaa ya mawe hivyo ameshauri halmashauri hiyo ingekuwa na kifaa cha kieletroniki kwenye mgodi wa makaa ya mawe ili kupata takwimu sahihi ili kuepuka udanganyifu
akizungumzia kiasi cha fedha sh milioni 2 zinazotolewa kwa vijiji viwili katika eneo la mgodi kila mwaka nchimbi amesema kiwango hicho ni kidogo kwa sababu uzalishaji wa makaa ya mawe unaofanywa na kampuni hiyo kwa mwaka ni zaidi ya tani 3000
ninaposema wanazalisha zaidi ya tani 3000 kwa mwaka ni kiwango cha chini lakini wanazalisha makaa ya mawe kiwango kikubwa gari moja tu la kubeba makaa ya mawe wanakodi na kulipa shilingi milioni tatu wana magari zaidi ya 70 ambayo yapo kila siku barabarani kutoka mgodini hadi kitai milioni 2 kuwalipa wananchi kwa mwaka ni kuwanyonya amesisitiza afisa mipango huyo
kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya mbinga dkpatrick banzi amesema katika kukabiliana na changamoto ya kutopata takwimu za sahihi za mapato yanayotokana na mgodi wa ngaka halmashauri imejipanga kufanya mazungumzo na uongozi wa mgodi ili kufahamu mapato halisi kwa mwaka kulingana na kiasi halisi kinachozalishwa
dk banzi amesema kuwa mapato ya mrabaha ambao ni asilimia 0003 yanayotolewa na kampuni hiyo licha ya kuwa kidogo lakini kampuni hiyo imekuwa haitoi kwa wakati na kwamba wanaamini kuwa kuna udanganyifu katika takwimu
amezitaja changamoto nyingine zinazoikabili halmashauri hiyo ya mbinga wakati wa ukusanyaji wa mapato kutokana na chanzo hicho ni pamoja na upungufu wa vifaa vya kielekroniki (pos) vinavyotumika kukusanya mapato ambapo hadi sasa zinazofanyakazi ni mashine 16 tu
halmashauri ina upungufu wa rasilimali watu wenye utalaam wa kutumia pos hivyo halmashauri imewapeleka watalaam dodoma kujifunza matumizi sahihi ya pos hali ambayo itaongeza makusanyo na kufikia malengo yetu amesisitiza dkbanzi
wakati huohuo meneja uzalishaji wa mgodi wa ngaka david kamenya amesema makaa ya mawe katika mgodi huo wali yalikuwa yanapatikana mita tano chini ardhini ambapo hivi sasa baada ya uzalishaji kuongezeka madini hayo yanapatikana kati ya mita 40 hadi 50 ardhini
kwa mujibu wa kamenya makaa ya mawe yanayochimbwa katika mgodi huo yanatengenezwa kwa ukubwa wa kati ya milimita 0 hadi 450 na kwamba hivi sasa wamepata wateja kutoka viwanda vyote katika nchi nzima kikiwemo kiwanda cha dangote cha mtwara ambacho kinanunua kila mwezi tani 8000 za makaa ya mawe
meneja udhibiti ubora wa makaa ya mawe wa tancoal bosco mabena amesema makaa ya mawe ambayo yanazalishwa kwenye mgodi wa ngaka hayana uchafu wa aina yeyote ukilinganisha na makaa mengine nchini na nje ya nchi
utafiti uliofanywa mwaka 2008 unaonesha kuwa makaa ya mawe ya ngaka yanaongoza kwa ubora duniani katika eneo hilo ambalo zimegundulika tani milioni 400 za makaa ya mawe ambazo zinatarajiwa kuchimbwa kwa miaka zaidi ya 50 ijayo
kwa mujibu wa utafiti madini ya makaa ya mawe ngaka yamesambaa maeneo yote ya kijiji cha ntunduwaro na maeneo jirani ya kata ya ruanda
licha ya makaa ya mawe ya ngaka kuuzwa na kutumika viwandani ni muhimu kutumia makaa ya mawe kuzalishia umeme kwa sababu gharama zake ni nafuu kwa wananchi na pia umeme huu utachochea ukuaji wa viwanda nchini hasa katika awamu ya tano ambayo inasisitiza serikali ya viwanda
utafiti umebaini kuwa umeme unaotokana na madini hayo ndio unaotegemewa zaidi na mataifa mengi yaliyoendelea duniani
takwimu zinaonesha kuwa makaa ya mawe yanachangia asilimia 41 ya umeme unaozalishwa duniani umeme wa maji asilimia 16umeme wa gesi asilia asilimia 20 nyukilia asilimia 15 na umeme wa mafuta kwa kutumia jenereta ni asilimia 6 tu
miongoni mwa mataifa yaliyoendelea kiuchumi duniani ni yale ambayo yanatumia umeme wa makaa ya mawe mataifa hayo ni afrika kusini inayotumia asilimia 93 ya umeme wa makaa ya mawepoland asilimia 92 na china asilimia 79
nchi nyingine ni australia asilimia 77 kazakhstan asilimia 70 india asilimia 69 israel asilimia 63 jamhuri ya czech asilimia 60 morocco asilimia 55ugiriki asilimia 52marekani asilimia 49 na ujerumani asilimia 46
katika kutekeleza dira ya maendeleo ya taifa ya mwaka 2025 tanzania inatarajia kuzalisha umeme wa makaa ya mawe ambayo yameenea katika mikoa ya kusini hususan mikoa ya ruvuma mbeya iringa na njombe
sera taifa ya madini ya mwaka 1997 inasisitiza juu ya sekta binafsi kuendeleza madini ambapo serikali katika sera hiyo ina jukumu la kuidhibiti kuikuza na kuiendeleza sekta hiyo
sekta ya madini inachangia takribani asilimia 35 ya pato la taifa ambayo inakadiriwa kufikia asilimia 10 ifikapo 2025
makala hii imeandikwa chini ya udhamini wa wakfu wa vyombo vya habari tanzania (tmf)
wananchi wa migodini
« mbeya walalamika kuporwa ardhi
akwilina awe balozi wa amani » | 2019-11-14T12:21:28 | http://www.jamhurimedia.co.tz/maisha-ya-wananchi-wa-migodini-yanafanane-na-uwepo-wa-rasilimali-kwenye-maeneo-yao/ |
nataka ndoa yangu kila mtu ahudhurie nijaze uwanja wa taifa shilole millardayocom
nataka ndoa yangu kila mtu ahudhurie nijaze uwanja wa taifa shilole
mwanamuziki staa wa kike kutoka bongoflevani shilole maarufu kama shishi baby amebainisha kuwa yupo mbioni kuvaa shela baada ya kupata mchumba ambaye tayari ameshakwenda kutambulishwa kwao
kupitia xxl ya clouds fm shilole amesema mchumba wake huyo ni mwenyeji wa arusha na anatamani hiyo siku ya ndoa kila mtu ahudhurie nimepata mchumba mwenyeji wa arusha na tayari nimeshatambulishwa ukweni soon dada mwajuma naenda kuvaa shela nataka ndoa yangu kila mtu ahudhurie nijaze uwanja wa taifa ndoa itafungwa juu ya ndege tutashukia uwanja wa taifa
hata hivyo shilole amesisitiza kuwa amekuwa akificha mahusiano yake akihofia kuyaweka wazi kwa sababu hata mahusiano yake ya awali yalivunjika kutokana na kuwekwa zaidi hadharani mahusiano yangu ya nyuma yalivunjika kwa sababu niliyaweka wazi kwa watu wa karibu kwa sasa namficha mume wangu mtarajiwa shilole
← previous story alichokisema bob manecky kuhusu studio za wanene
next story → mkenya aliyeingia kwenye rekodi ya soka afrika kwa kubet | 2020-04-05T20:38:07 | https://millardayo.com/chsh0/ |
rev 4 | neno | step | baada ya mambo hayo nilitazama nami nikaona mbele yangu mlango ulio wazi mbinguni nayo ile sauti niliyokuwa nimeisikia hapo kwanza ikisema nami kama tarumbeta ikasema njoo panda huku nami nitakuonyesha yale ambayo hayana budi kutokea baada ya haya
1 baada ya mambo hayo nilitazama nami nikaona mbele yangu mlango ulio wazi mbinguni nayo ile sauti niliyokuwa nimeisikia hapo kwanza ikisema nami kama tarumbeta ikasema njoo panda huku nami nitakuonyesha yale ambayo hayana budi kutokea baada ya haya 2 ghafula nilikuwa katika roho hapo mbele yangu kilikuwapo kiti cha enzi mbinguni kikiwa kimekaliwa na mtu mmoja 3 yeye aliyekuwa amekikalia alikuwa anaonekana kama yaspi na akiki kukizunguka kile kiti cha enzi palikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi
4 pia kukizunguka hicho kiti cha enzi palikuwa na viti ishirini na vinne na juu ya hivyo viti walikuwa wameketi wazee ishirini na wanne waliovaa majoho meupe wakiwa na taji za dhahabu vichwani mwao 5 kwenye kile kiti cha enzi palikuwa panatoka miali ya umeme wa radi ngurumo na sauti za radi mbele ya hicho kiti cha enzi palikuwa na taa saba zilizokuwa zinawaka hizi ndizo roho saba ▼
▼ 45 roho saba za mungu hapa inamaanisha roho wa mungu katika ukamilifu wa utendaji wake
za mungu 6 pia mbele ya hicho kiti cha enzi palikuwa na kile kilichoonekana kama bahari ya kioo iliyokuwa angavu kama jiwe lisilo na rangi yo yote ling'aalo sana
katikati kukizunguka kile kiti cha enzi kulikuwa na viumbe wanne wenye uhai wakiwa wamejawa na macho mbele na nyuma 7 huyo kiumbe wa kwanza mwenye uhai alikuwa kama simba wa pili alikuwa kama ng'ombe dume wa tatu alikuwa na uso kama wa mwanadamu na wa nne alikuwa kama tai anayeruka 8 kila mmoja wa hawa viumbe wenye uhai wanne alikuwa na mabawa sita na kujawa na macho pande zote hadi chini ya mabawa usiku na mchana hawakuacha kusema
mtakatifu mtakatifu mtakatifu ni bwana mungu mwenyezi aliyekuwako aliyeko na atakayekuja
9 kila mara viumbe hao wenye uhai wanne walipomtukuza kumheshimu na kumshukuru yeye aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi tena aishiye milele na milele 10 wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake yeye aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele wao huziweka taji zao mbele ya hicho kiti cha enzi wakisema 11 bwana wetu na mungu wetu
wewe umestahili kupokea utukufu
na heshima na uweza
kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote
na kwa mapenzi yako viliumbwa
na vimekuwako | 2019-01-20T09:02:25 | https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=Rev.4 |
dk mandai huu ndiyo mchunga kiboko ya tatizo la chunjua
huu ndiyo mchunga kiboko ya tatizo la chunjua
chunjua ni vinyama vigumu vinavyoweza kujitokeza kwenye ngozi katika sehemu yoyote ya mwili kwa kawaida vivimbe hivi vinasababishwa na virusi haviumi wala havina madhara kiafya isipokuwa huleta mwonekano tofauti kwa mtu aliyeathirika navyo
tatizo hilo linawapa watu wa rika mbalimbali na wa jinsia zote hata hivyo unapopatwa na tatizo hili usiwe na hofu zipo dawa asili ambazo ambazo zinasaidia kuondoa tatizo hilo ambazo ni pamoja na chunga viazi mviringo na kitunguu maji
paka utomvu wa mchunga mara tatu kwa siku kwenye sehemu zilizoathirika fanya hivyo kwa muda wa wiki mbili utaona mabadiliko makubwa ya tatizo lako
chukua kiazi mviringo kimenye kisha kiponde ili kupata uji ambao utautumia kusugua katika chunjua mara tatu kwa siku kisha endelea na tiba hii kwa muda wa siku 20
pia chukua kitunguu maji kiponde kisha paka kwenye chunjua mara tatu kwa siku kwa muda wa siku 20 | 2019-06-17T09:44:25 | http://www.dkmandai.com/2018/02/huu-ndiyo-mchunga-kiboko-ya-tatizo-la.html |
mjengwa blog yaadhimisha miaka 5 tangu kuzaliwa
leo jumatatu ya septemba 19 2011 ni siku ambayo blogu hii ilizaliwa miaka mitano iliyopita
ndio ilikuwa ni siku ya jumanne septemba 19 2006 ni siku hiyo ndipo kwa mara ya kwanza niliingiza picha ya kwanza kwenye mjengwablog na kuashiria uzinduzi wa blogu picha hiyo niliipiga eneo la kinondoni shamba
tangu siku ya kwanza niliweka wazi kwenye fikra zangu kuwa mjengwablog iwe jukwaa litakalomtanguliza mtu wa kawaida iwe sauti ya ya wale ambao sauti zao hazisikiki ndio nilidhamiria na bado ni dhamira yangu kuwa mjengwablog iwe ni jukwaa la fikra huru
kuwa iwe ni mahali kwa watu kutoa mawazo yao bila kukwazwa na mitazamo tofauti ya kiitikadi miaka mitano imepita nafurahia kuwa bado naongozwa na dhamira hiyo
ni wengi waliochangia mafanikio yaliyopatikana hadi sasa nikiwataja kwa majina orodha itakuwa ndefu mno iko siku nitawatambua rasmi lakini haitakuwa orodha ndefu nikiitaja familia yangu ambayo imekuwa mchango mkubwa sana kwangu mke wangu mpendwa na makamanda wangu wane ambao hutokea wakanikumbusha kwa kuniambia baba ona pale inaweza kuwa picha nzuri kwa blogu hakika familia yangu imenitia moyo na nguvu katika mengi niyafanyayo ikiwamo ili la kublogu
na leo nina furaha kuizindua rasmi domain ya mjengwablogcom hivyo basi mjengwa blogspot com imetoka kwenye hatua ya blogspot na kuingia katika website ikitoa fursa nyingi zaidi nau salama zaidi kimtandao
ni imani yangu kuwa kama mlivyokuwa mchango mkubwa tukaweza kwa pamoja kufikia hapa na kusheherekea miaka mitano ya kuanzishwa kwa blogu hii basi mtakuwa na mchango zaidi huko twendako
septemba 19 2011 | 2018-09-25T23:21:33 | http://wavuti.weebly.com/news-blog/mjengwa-blog-yaadhimisha-miaka-5-tangu-kuzaliwa |
soma katika hmong (white) kiafrikana kialbania kiamhara kiarabu kiarmenia kiaymara kiazerbaijani kiazerbaijani (cha kisirili) kibemba kibikoli kibulgaria kicheki kichewa kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidachi kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifini kiga kiganda kigeorgia kigiriki kigreenlandi kiguarani kiguni kihiligaynoni kihispania kihosa kihungaria kiiceland kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiitaliano kijaluo kijapani kijerumani kikaonde kikatalan kikazakh kikiluba kikirghiz kikisi kikongo kikorea kikreoli cha haiti kikrio kikroatia kikuyu kikwechua (cha bolivia) kilatvia kilingala kilithuania kimakedonia kimalagasi kimalay kimalta kimaya kimazateki (cha huautla) kimbundu kimongolia kimoore kinepali kinorwei kinyaneka kinyarwanda kinzema kioromo kiosetia kiotetela kipangasinani kipapiamento (cha aruba) kipapiamento (cha curaçao) kipolishi kipunjabi kireno kirumania kirundi kirusi kisango kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisilozi kisinhala kislovaki kislovenia kisonge kisranantongo kiswahili kiswahili (cha kongo) kiswedi kitagalogi kitahiti kitatar kithai kitigrinya kitonga kitshiluba kitsonga kitswana kituruki kitwi kiukrania kiumbundu kivietnam kiwayuunaiki kizande kizulu sesotho (lesotho) kichitumbuka
katika huduma yake duniani yesu alizungumzia mambo mengi kwa mfano aliwafundisha wafuasi wake jinsi ya kusali jinsi ya kumpendeza mungu na jinsi ya kupata furaha ya kweli (mathayo 6513 marko 1217 luka 1128) lakini ujumbe ambao yesu alizungumzia sana ujumbe aliopenda zaidi ni ufalme wa munguluka 645
kama ilivyotajwa katika makala iliyotangulia yesu alijishughulisha sana na [ku]hubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa mungu (luka 81) alijitahidi sana akitembea mamia ya kilomita kotekote katika nchi ya israeli ili kuwafundisha watu kuhusu ufalme wa mungu huduma ya yesu iliandikwa katika vitabu vinne vya injili ambavyo vinataja ufalme zaidi ya mara 100 yesu ndiye anayetaja ufalme mara nyingi zaidi katika vitabu hivyo ingawa marejeo hayo ni sehemu ndogo tu ya mambo ambayo yesu alisema kuhusu ufalme wa munguyohana 2125
kwa nini ufalme ulikuwa muhimu sana kwa yesu alipokuwa duniani jambo moja ni kwamba yesu alijua mungu alikuwa amemchagua awe mtawala wa ufalme huo (isaya 96 luka 222830) lakini yesu hakukazia fikira kujipatia mamlaka na utukufu (mathayo 1129 marko 1017 18) hakuutangaza ufalme kwa sababu za kibinafsi kimsingi wakati huo na pia sasa yesu anapendezwa na ufalme wa mungu * kwa sababu ya mambo utakayotimiza kwa wale anaowapenda yaani baba yake wa mbinguni na wafuasi wake waaminifu
ufalme utatimiza nini kwa ajili ya baba ya yesu
yesu anampenda sana baba yake wa mbinguni (methali 830 yohana 1431) anapenda sifa za yehova kama vile upendo huruma na haki (kumbukumbu la torati 324 isaya 4915 1 yohana 48) hivyo basi yesu anachukia sana kusikia uwongo unaoenezwa kumhusu baba yakeuwongo kama vile mungu hawajali wanadamu na mungu anataka watu wateseke hiyo ni sababu mojawapo iliyomfanya yesu apende sana kutangaza habari njema ya ufalmealijua kwamba hatimaye ufalme huo ungelitakasa jina la baba yake (mathayo 423 69 10) utafanyaje hivyo
kupitia ufalme yehova atachukua hatua kubwa atatenda ili kuwafaidi wanadamu atafuta kila chozi kutoka katika macho ya wanadamu waaminifu yehova ataondoa chanzo cha machozi hayo na kuhakikisha kwamba kifo hakitakuwapo tena wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena (ufunuo 213 4) kupitia ufalme mungu ataondoa mateso yote yanayowapata wanadamu *
haishangazi kwamba yesu alitaka sana kuwatangazia watu kuhusu ufalme alijua ufalme huo ungefunua jinsi baba yake alivyo mwenye nguvu na huruma (yakobo 511) pia yesu alijua kwamba ufalme utawafaidi watu wengine ambao anawapenda yaani wanadamu waaminifu
ufalme utawafanyia nini wanadamu waaminifu
muda mrefu kabla ya kuja duniani yesu aliishi mbinguni pamoja na baba yake baba alimtumia mwana kutokeza kila kitukutia ndani mbingu zenye kustaajabisha zenye mabilioni ya nyota na magalaksi na pia sayari yetu maridadi na viumbe walio duniani (wakolosai 115 16) kati ya viumbe vyote yesu [aliwa]penda sana wanadamumethali 831
katika huduma yake yesu alionyesha kwamba aliwapenda sana wanadamu tangu mwanzoni alisema waziwazi kwamba alikuja duniani ili kuwatangazia maskini habari njema (luka 418) lakini yesu hakuzungumzia tu kuhusu kuwasaidia watu aliwatendea wanadamu kwa upendo tena na tena kwa mfano umati mkubwa ulipokusanyika ili kumsikiliza akizungumza yesu a[li]wasikitikia akaponya wagonjwa wao (mathayo 1414) mtu fulani mwenye ugonjwa mbaya alipoonyesha imani kwamba yesu alikuwa na uwezo wa kumponya kama angetaka yesu alichochewa na upendo alimponya mtu huyo na akamwambia hivi kwa huruma ninataka takasika (luka 512 13) yesu alipomwona maria rafiki yake akiombolezea kifo cha ndugu yake lazaro yesu a[li]ugua rohoni na kutaabika kisha akatokwa na machozi (yohana 113236) hatimaye akafanya muujizayesu alimfufua lazaro ingawa alikuwa amekufa kwa siku nneyohana 113844
bila shaka yesu alijua kwamba suluhisho alilotoa wakati huo lilikuwa la muda tu alijua kwamba baada ya muda watu aliowaponya wangekuwa wagonjwa tena na wale aliowafufua wangekufa tena lakini yesu alijua pia kwamba ufalme wa mungu utakomesha kabisa matatizo hayo hiyo ndiyo sababu yesu hakufanya tu miujiza bali pia alitangaza kwa bidii habari njema ya ufalme (mathayo 935) miujiza yake ilionyesha kwa kiwango kidogo mambo ambayo ufalme wa mungu utafanya hivi karibuni duniani pote hebu ona mambo ambayo biblia inaahidi kuhusu wakati huo
hakutakuwa tena na magonjwa wala ulemavu
wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa na masikio ya viziwi yatazibuliwa wakati huo kilema atapanda juu kama vile paa anavyofanya na ulimi wa bubu utapaaza sauti kwa furaha isitoshe hakuna mkaaji atakayesema mimi ni mgonjwaisaya 3324 355 6
kifo hakitakuwapo
atameza kifo milele na bwana mwenye enzi kuu yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zoteisaya 258
wafu watafufuliwa
wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake na kutokayohana 528 29
kutakuwa na ufufuomatendo 2415
kutakuwa na makao na kazi
watajenga nyumba na kukaa ndani yake na hakika wao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake hawatapanda na mtu mwingine ale watu wangu waliochaguliwa wataitumia kazi ya mikono yao wenyewe kikamilifuisaya 6521 22
hakutakuwa na vita
anakomesha vita mpaka kwenye mwisho wa duniazaburi 469
hakutakuwa na upungufu wa chakula
kutakuwa na wingi wa nafaka duniani juu ya milima kutakuwa na mafurikozaburi 7216
hakutakuwa na umaskini
atamkomboa maskini anayelilia msaada pia mwenye kuteseka na yeyote ambaye hana msaidizi atamsikitikia mtu wa hali ya chini na maskini naye ataziokoa nafsi za maskinizaburi 7212 13
unapochunguza ahadi hizo zitakazotimizwa na ufalme wa mungu je unaelewa kwa nini ufalme ni muhimu sana kwa yesu alipokuwa duniani alikuwa tayari kuzungumza na mtu yeyote kuhusu ufalme wa mungu kwa sababu alijua kwamba ufalme utakomesha matatizo yote yanayotupata leo
je unapendezwa na mambo ambayo biblia inaahidi kuhusiana na ufalme ikiwa ndivyo unawezaje kujifunza mengi kuhusu ufalme huo na unaweza kufanya nini ili ufaidike na baraka za ufalme makala inayofuata itajibu maswali hayo
^ fu 5 makala hii inazungumzia jinsi yesu anavyohisi sasa kwa sababu yesu yuko hai mbinguni na tangu aliporudi mbinguni ufalme umeendelea kuwa jambo muhimu kwakeluka 2451
^ fu 8 ili ujue kwa nini mungu ameruhusu wanadamu wateseke kwa muda fulani soma sura ya 11 ya kitabu biblia inafundisha nini hasa kilichochapishwa na mashahidi wa yehova pia kinapatikana kwenye wwwjworg/sw | 2018-02-26T02:02:12 | https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/wp20141001/yesu-na-ufalme-wa-mungu/ |
habari na matukio daraja la kigamboni kufunguliwa rasmi jumanne aprili 19 2016
daraja la kigamboni kufunguliwa rasmi jumanne aprili 19 2016
meya wa wa
jiji la dar es salaam issa mwita charles akipata maelezo kutoka kwa meneja mradi wa
ujenzi wa daraja la kigamboni karim mataka wakati alipopita katika daraja
hilo siku ya kwanza baada ya kufunguliwa kwa daraja hilo
meya wa wa jiji la dar es salaam issa mwita charles akiwa
katika picha ya pamoja na meneja
mradi wa ujenzi wa daraja ala kigamboni karim mataka
jiji la dar es salaam issa mwita charles akiagana na meneja mradi wa
ujenzi wa daraja ala kigamboni karim mataka walipokutana wakati akipita katika
daraja hilo siku ya kwanza baada ya kufunguliwa kwa watumiaji
mandhari ya darajani | 2016-12-07T22:14:34 | http://www.kajunason.com/2016/04/daraja-la-kigamboni-kufunguliwa-rasmi.html |
eti mi sitaki kuchezewa jamiiforums
eti mi sitaki kuchezewa
kanishangaza sana huyu dada wa saluni nimemtuma
mtoto aniitie tuongee mambo mengine kabisa yeye anarudisha
jibu mwambie mi sitaki kuchezewa kabisaaa kama anataka
aje nimuelekeze waliko wazazi wangu nimechoka yaani
kila siku kuchezeana tu
waungwana kwani kuchezewa kunakuwaje
je huyo mtu akienda kwa wazazi wake ina maana
kwamba hatomchezea
hebu nipeni ufafanuzi wa huku kuchezea
huyo keshajua michezo yako hapo mtaani ndio maana kakushtukia mapema
reactions omujubi nivea kaunga and 1 other person
mkuu niombe radhi mimi naishi kama nabii hapa mtaani
fidelis big
nabii hana heshima kwao mkuu gazeti
kanishangaza sana huyu dada wa saluni nimemtumamtoto aniitie tuongee mambo mengine kabisa yeye anarudishajibu mwambie mi sitaki kuchezewa kabisaaa kama anatakaaje nimuelekeze waliko wazazi wangu nimechoka yaanikila siku kuchezeana tuwaungwana kwani kuchezewa kunakuwajeje huyo mtu akienda kwa wazazi wake ina maana kwamba hatomchezeahebu nipeni ufafanuzi wa huku kuchezea
huyu nae karogwakisha chinyitwa kiasi cha mpwechelo kulemaa leo ndio amegundua kuwa anachezewawadada wa saluni matatizo sana
reactions gazeti and julius kaisari
ha ha ha haaaaa mkuu umenichekesha sana
gazeti yawezekana wewe ni moto wa kuotea mbalia haiwezekani uumuite 2 akwambie maneno hayo inaonyesha unachezea sana hapo kwa kuingia na gia ya unabii
hapo kwenye red nafikiri ni msamiati mpya ambao unaweza
kutumika katika kukuza tafsida instead of yale tunayoyatumia
na wewe kwa nini usimfuate
hapana mkuu ndio maana nimemshangaa huu ni mwezi wa 8 sasa yaani hata
approaching sijaifanya
reactions prianka
mkuu si unajua wanavyojaa pale saluni
wakati mwingine unashindwa kukabiliana nao siku moja nimewahi kwenda
saluni fulani nikakuta wamejiachia sana yaani mapaja nje nje hivyo
sipendi sana kufika maeneo hayo kwani huwa wanajiachia sana
katika vitu ambavyo huwa vinanipa shida kuvielewa ni hili neno la kuchezewa
binadamu mwenye akili timamu anachezewaje
kwanza kuchezewa ni ninini kufanya nini
kama ni kufanya mapenzisi mnafanya wotekwa hiyo mnachezeana
wanawake waache kuuendeleza msemo huu
reactions gazeti and tetra
my hubby wangu eiyer kuchezewa kunakujaje unapomuahidi mdada kuwa utamuoa (umemuengage so umemfunga) na ukamuomba mfanye mapenzi (yeye akiwa hajaridhia) na akakubali kwa kuwa utamuoa wakati from the very beginning unajua hutamuoa na kuja kumtelekeza baadaye huyo dada ana haki ya kusema amechezewa
kosa la huyo dada ni kutosimamia imani yake kumbuka hakuwa radhi kufanya mapenzi ni umemshawishi kwa ahadi
lakini kwa scenario nyingine ambapo mmepenndana na mdada na wote mmeridhia kufanya mapenzi na kwenye course ya mapenzi yenu mkaahidiana kuoana ukija kuacha kumuoa au naye akibadili mtazamo mnakuwa mmepotezeana muda (kwani kutengeneza uchumba takes time) na hakuna mtu kamchezea mwenzake
wadada wengi huangukia kwenye kundi hilo la pili lakini as you say wanasema wamechezewa which is very wrong imo na kama alivyoshauri zion daughter kwenye uzi wake kama wewe uko kwenye kundi la kwanza dont give in (sex wise) kwa expectation za kuolewa ila kama unataka sex (uko kwenye kundi la pili) jua kuna kuolewa au kutoolewa l am sure kuna wadada wengi tu wanawaacha wachumba zao (mifano mingi humu jf) mbona wanaume hawalalamiki kuchezewa
btw mimi nimechezea wa kutosha tu labda pengine wa kuzidi lol
reactions andate zion daughter gazeti and 1 other person
btw mimi nimechezea wa kutosha tu labda pendine wa kuzidi lol
teh nashukuru kwa maoni yako hope wamekuelewa mtu akichezewa anapenda mwenyewe kuchezewa
hapo kwenye red sijui niseme hongera ur lucky one au
unaweza ishi kama nabii ambaye hukubaliki kwenu pole yako kashtukia kamchezo kako kumbe ndio kazi yako eeee sasa uliuwa unamwitia nini dada wawatu sema hapa sasa eti umuulize kitu hahahahah kakustukia we ni jimbi changa halipikiki halipakuliki helooooooooo
hapo kwenye red pa ignore tu my point is kuna watu nimewaacha baada ya kuona mambo hayaendi na sijutii kuwaacha sasa tukiassume wao wangekuwa wanawake nami wangeniweka kwenye kundi la wachezeaji wakati actually sio ila unaona ni a big mistake kuishi na mtu wa aina fulani
reactions smile and zion daughter
tatizo wanaume wengi wanajua wakishakukwida huna ujanja hata akikunyea mdomoni uitakaa nae tu hawajui maisha ni zaidi ya hiyo k aloigusa ni ujinga kujilazimisha kwa mwanaume ambae hafai kimaisha kisa tu amekugusa sex ni kitu gani hata sisimizi wameguswa
mkuu kumbe ndio maana ulikuwa unaulizia dawa ya ukimwi kama ishapatikana
ni kweli dearbora nusu shari kuliko shari kamilibur serious mie sipendi kuchezewana hawa wanaume usiwatete sana wanapenda sana kuchezea wanawakenina ushahidi tatizo na sie wanawake ni wajinga sana sometimes | 2019-04-23T09:53:19 | https://www.jamiiforums.com/threads/eti-mi-sitaki-kuchezewa.366099/ |
» movie maker | webnerd solutions
jinsi ya kusanikisha movie maker kwenye windows 8
habari wadau ni muda sasa umekwenda lakini si mbaya leo tukijifunza kitu pia umewahi kujiuliza video zinafanyiwa vipi editing kama ndio bila shaka umeshafahamu kuwa editing inafanyika zaidi kwenye computer na kuna programs au software ambazo nyingi ni ghali kuzinunua ambazo zitakuwezesha kufanya jambo hilo kabla hatujazifahamu programu zinazotumika kwa shughuli hiyo kwanza tujifahamishe kuhusu []
habari wadau ni muda sasa umekwenda lakini si mbaya leo tukijifunza kitu pia umewahi kujiuliza video zinafanyiwa vipi editing kama ndio bila shaka umeshafahamu kuwa editing inafanyika zaidi kwenye computer na kuna programs au software ambazo nyingi ni ghali kuzinunua ambazo zitakuwezesha kufanya jambo hilo
kabla hatujazifahamu programu zinazotumika kwa shughuli hiyo kwanza tujifahamishe kuhusu sifa zake za msingi programu ya editing inategemewa kukuwezesha mtumiaji kufanya mambo yafuatayo
kuweza kufanyia kazi aina tofauti za mafaili utakayokuwa nayo na kuweza kuyabadili mafaili hayo kwenda kwenye mfumo mwingine aina za mafaili ni kama avimp4mpgjpg pngmp3 nk
kuunganisha vipande vya video kukata sehemeu za video ambazo hutaki ziwepo na kuziondoa
kufanya angalau baadhi ya marekebisho kwenye sauti ya video ikiwa ni pamoja na kuongeza sauti ya ziada kama voiceover athari za sauti na muziki wa nyuma kwenye video hiyo
kufanya angalau marekebisho ya muonekano wa video husika kama vile mwanga nk hapa tunazunguzia filters na effects mbalimbali ambazo zitapendezesha video yako machoni kwa watazamaji
kuwa na uwezo wa kuongeza mabadiliko kati ya sehemu za video zilizo katika mtiririko wa hadithi mfano picha kufifia kupunguzwa unafifia na nyeusi unafifia na nyeupe nk
kuwa na uwezo wa kuongeza maneno na vijimaneno kwa udhibiti mzuri na makala aina mbalimbali kwa ubunifu
hizi ni sifa za msingi kuwa nazo katika programu ya kurekeishia video zako hivyo kama una kamera nzuri inayoweza kurekodi video safi na una kompyuta nyumbani bila shaka utatamani kutumia programu hizi ili kupunguza gharama maana waweza rekebisha video zako na kuzichoma kwenye cd na ukahifadhi kumbukumbu zako kisasa zaidi au sio
kwa ujumla ziko programu nyingi maarufu na kama nilivyokwisha bainisha awali ni kuwa nyingi kati ya hizo zinauzwa na zina mambo mengi ya ziada ambayo si ya lazima sana kuwa nayo kwa video zako za nyumbani hivyo microsoft windows huwa inawapatia watumiaji wake programu ambayo ni bure na inakuwezesha kufanya yote ya msingi
programu hii inaitwa windows movie maker na kwa bahati mbaya inaweza isiwepo kwenye baadhi ya kompyuta zenye programu endeshi ya windows kama haipo kwenye kompyuta yako pia nenda hapa kuipakua kulingana na toleo la windows yako utaipakua na kisha kuisanikisha kwa kufuata maelekezo yake
ukiifungua programu hiyo itaonekana hivi
movie maker ikifunguka
ni matumaini yangu utaweza kujifunza zaidi jinsi ya kuitumia programu hiyo kwa iko rahisi na vitu vyake viko wazi sana kuielewa na pengine waweza kuja kuwa editor mzuri zaidi hata ukapata hamu ya kutumi programu kubwa za aina hii
endelea kufurahia kompyuta yako | 2020-05-30T03:24:03 | http://webnerdtz.com/tag/movie-maker/ |
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein atuma salamu za pongezi kwa rais wa uturuki zanzinews
home habari matukio rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein atuma salamu za pongezi kwa rais wa uturuki
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein atuma salamu za pongezi kwa rais wa uturuki
othman maulid 312 pm
zanzibar 30102017
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein amemtumia salamu za pongezi rais wa jamhuri ya uturuki mhe recep tayyip erdogan kwa kutimiza miaka 94 tokea kuanzishwa kwa jamhuri ya uturuki
katika salamu hizo dk shein alieleza kuwa wananchi wa zanzibar wanaungana pamoja na ndugu zao wa uturuki katika kusherehekea siku hii adhimu na muhimu katika historia ya nchi hiyo
aidha salamu hizo zilieleza kuwa tukio hilo kubwa linatoa nafasi ya kuendeleza uhusiano na ushirikiano mkubwa kati ya jamhuri ya watu wa uturuki na serikali ya mapinduzi ya zanzibar
sambamba na hayo dk shein alimtakia kiongozi huyo pamoja na familia yake na wananchi wote wa jamhuri ya uturuki afya na sherehe njema katika kuadhimisha siku hiyo huku akimtakia kiongozi huyo mafanikio zaidi katika kuendelea kuipatia maendeleo zaidi ya kiuchumi nchi hiyo kwa madhumuni ya kulinufaisha taifa hilo pamoja na watu wake
jamhuri ya uturuki ilianzishwa mwaka 1923 na jenerali kemal ataturk ambayo iliundwa na kuwa taifa baada ya vita vikuu vya kwanza vya dunia ambapo kabla ya hapo waturuki walikuwa chini ya milki ya osmani (ottoman empare) iliyounganisha mataifa mengi ya sultan wa konstantinopoli wakati huo
video balozi seif azungumza na wananchi wa jimbo lakela mahonda | 2018-10-16T19:30:05 | http://www.zanzinews.com/2017/10/rais-wa-zanzibar-na-mwenyekiti-wa_30.html |
mwili wa robert mugabe kuwasili zimbabwe leo kutoka singapore kwa mazishi bbc news swahili
mwili wa robert mugabe kuwasili zimbabwe leo kutoka singapore kwa mazishi
https//wwwbbccom/swahili/habari49658579
image caption robert mugabe
gazeti lachapisha rekodi za 'mauaji' ya khashoggi
utamaduni wa kubana misuli ya uke ni hatari
tetesi za soka ulaya jumatano 11092019
habari za robert mugabe zilizogonga vichwa vya habari 2017
familia ya mugabe inapinga mpango wa serikali wa kumzika katika makaburi ya mashujaa wa taifa katika mji mkuu wa zimbabwe harare na wanataka azikwekwe katika kijiji alikozaliwa
wengi miongoni mwa mashujaa wa taifa la zimbabwe wale ambao walishirikiana katika mapambano dhidi ya utawala wa wazungu walio wachache wamezikwa katika eneo la makaburi ya mashujaa lililopo nje kidogo tu ya mji mkuu harare
enzi ya kisiasa ya mugabe
robert mugabe amefariki dunia akiwa na miaka 95 | 2020-02-24T06:12:35 | https://www.bbc.com/swahili/habari-49658579 |
takwimu mtandao
mtandao stats
packs za 10 / mengi pua ya pua inaweza kubadilishwa paracord parachute cord lanyar shoppingdirect24com sd24
ingia ishara ya juu
cart (0) angalia kati
catalog kontakt zote
reproductions ya sanaa
bidhaa zinyeleza sneakers na highheels
bidhaa zinyeze simu za simu mugs mabango mito mifuko taulo na zaidi
tshirts sweatshirts poloshirts designs nyingi za kipekee
phone na computer shop
kutumashop
summer na beach shop
camping hiking fishing outdorors
simu ya mkono simu zoom telescope microscope fisheye binoculars nk
wengi kuuza simu simu cases
miti ya mapambo
nyumbani > packs 10 / lot pua ya pua inaweza kubadilishwa paracord parachute cord lanyard bracelet shacles buckles
packs 10 / lot pua ya pua inaweza kubadilishwa paracord parachute cord lanyard bracelet shacles buckles
bei ya kuuza € 4550 bei ya kawaida € 11880
osilver € 4550 eur usilver € 4550 eur ublack € 5250 eur
kushiriki kushiriki katika picha tweet tweet juu ya twitter weka ni siri juu ya pinterest
shoppingdirect24com ulichagua lugha yako na sarafu tazama bidhaa zilizochaguliwa kwenye etsycom http//lnkdirect/7tz8 usafirishaji wa bure duniani kote kutoka kwa thamani ya gari la 25 euro tu tumia kazi ya zoom / lens ili kuona maelezo zaidi katika fotos za bidhaa
brand name yougle
nafasi ya mwanzo china (bara)
unaweza pia kama
10pcs nje ya kambi vifaa alumini mchimbaji uwindaji vifaa survival kit lock tool
bei ya kuuza € 850 bei ya kawaida € 1914 chumvi
tochi 2018 35000 lm 5x cree xml t6 led inakabiliwa na kichwa cha kichwa kichwa cha kusafiri kichwa mwanga usalama & ofsi ya uokoaji z1011
bei ya kuuza € 2150 bei ya kawaida € 5466 chumvi
polarized 3 / 5 lens sport glasi ya kupiga miwani miluni ya tactical goggles ulinzi airsoft glasi outdoor hiking eyewear
unauzwa kutoka € 2250 bei ya kawaida € 5700 chumvi
taarifa ya mafunzo & ufunzo wa gdpr
jedwali la ukubwa na taji za uongofu (1inch = 1 '' = 254cm) (1ounce = 283gram / 1 maji ya ounce = 30ml) [click sarafu juu ili kubadilisha bei]
maoni kwenye sarafu za duka na lugha za duka
ufunzo ufarashaji refund na reeturns sera
kwa nini unapaswa kufanya akaunti ya duka ingia kwenye saini
hati miliki © 2018 shoppingdirect24com sd24 http//esshopifycom | 2018-11-22T10:44:20 | https://sw.shoppingdirect24.com/products/10-packs-lot-stainless-steel-adjustable-paracord-parachute-cord-lanyard-bracelet-shackles-buckles |
maana ya nafasi chanya na reverse nafasi ya tarot dunia mpenzi wa hisia
トップページ > 言語 > スワヒリ語 > maana ya nafasi chanya na reverse nafasi ya tarot dunia mpenzi wa hisia
kadi ya mafanikio ni kwa namna
tarotc kadi 3500 yen na maana
kitaalamu mpiga ramli wa ulimwengu reverse nafasi kupata bure tathmini ina unataka kutimiza nk nzuri sana maana dunia ni sisi ni maana ya kuwa wakiongozwa na matokeo ya hali ya mazingira ya yake ni ya kuridhisha katika nyanja zote
wakati kadi hii ni moja mali ya meja arcana ni inajulikana kwa ajili ya kiwango cha juu cha kati yao kama moja ambayo ina maana nzuri lee matumaini na matakwa kutimia kuna maana ya kwamba mafanikio lakini kwa sababu kuchukua kwa maana kwamba kukamilika mwisho ya maendeleo ya mbele zaidi pia inaweza kuchukuliwa kama kuwa ilivyotarajiwa
nafasi chanya ya hisia za upande mwingine
nafasi chanya ya dunia anatakiwa maana dunia ni maana kuwa unaweza kufikia hali nzuri kushinda mpaka mapambano na ugumu wa maisha shida hii wewe ni kwa kwa maana ya furaha upendo wa ndoa nipate kuamua kufunga ndoa hadi sasa imekuwa pendekezo kutoka kwake sisi alikuwa dating kama
hakuna sasa mpenzi mtu basi huenda kucheza tukio hilo kukutana si kukana uwezekano kwamba chama nyingine ni mtu wa hatima mtu ambaye ni yeye kuwa na wasiwasi juu katika upendo unrequited inaweza kuwa au kugundua kwamba mambo una upendo hisia kimapenzi wakati mwingine kutoka kwake itakuwa ni bila kutarajia alikiri
hadi sasa ya matakwa na matumaini kutimia katika ulimwengu ni ishara kwamba kuna uwezekano wa kupata matokeo bora kuwa wewe wamekuwa wakisubiri kwa katika mawazo yangu kwa sababu hisia zake ni kuangalia kwa ajili yenu na yeye kuwa na wasiwasi juu itakuwa uwezekano wa kuwa na mafanikio hata kama mbinu na yao wenyewe wakati kutumia muda zikiwa na watu wawili tunapendekeza kwamba kupunguza umbali
mpinzani wa hisia kwamba reverse nafasi ya dunia anatakiwa maana
dunia kama sehemu ya ni ya nafasi kinyume kwa mapambano na juhudi ina maana kwamba bila kukamilisha katika utata vigumu kusema kwamba kuridhisha
ndoa itakuwa pendekezo kutoka mawazo umakini mpinzani au kwa urahisi zaidi kukubalika katika nafasi ya kuitwa ndoa mpenzi na baada ya hatua moja kama vile shida inakuwa ushiriki kuondoa kinachotokea kamwe kuliko haina maana kwamba matokeo tangu
hisia zake ni uwezekano wa kuelekezwa kuelekea nyingine uhusiano wao busara kudumisha hali ya sasa ni vizuri kwenda kwa bidii hata kukiri kuwa yasiyo na maana kama watu wa hisia mbili si pia kuwa mapambano kwaheri kwa fursa ili kubadilisha mtiririko wa hatima kujitahidi kudumisha hali kama ilivyo tunapendekeza kwamba ukiangalia katika hali na kipaumbele cha juu zaidi katika hisia zake | 2018-05-22T02:16:38 | http://oglieoglie.com/language/sw/article45036.html |
la wauguzi na wajunga nchini wametakiwa kutowaonea aibu wale wote wanaoanzisha vyuo vya afya kama mradi wa kujiingizia fedha bila ya kuwa na taaluma hiyo kwani kunapelekea kuhatarisha maisha na afya za watanzania
yamesemwa leo na waziri wa afyamaendeleo ya jamiijinsia wazee na watoto mhe ummy mwalimu wakati akiweka jiwe la msingi katika jengo la kituo cha kuendeleza wauguzi na wakunga kitaaluma nchini lililopo mjini kibaha pwani
hatusemi
wasianzishe vyuobali vyuo vyote viwe vyenye hadhi ya kutoa wataalam stahili visajiliwe na vikaguliwe mara kwa mara ili vizalishe wauguzi wenye sifa na ujuzi stahiliuuguzi siyo ujasiliamalihakikisheni mnavifungia vyuo vyote feki ili tuweze kudhibiti utitiri huu alisema waziri ummy
waziri ummy alisema hivi sasa kumekuwepo na utitiri wa vyuo vingi vya uuguzi ambavyo havijasajiliwa na havizalishi wauguzi ambao wanastahili kuajiriwa kwenye sekta ya afya na hivyo kuhakikisha wanasimamia taaluma hiyo na kuvifungia mara moja vyuo vilivyokosa sifawaziri ummy alisema kuwa serikali inatambua na kuthamini mchango mkubwa unaofanywa na wauguzi katika hospitali zote nchini hivyo maboresho yatafanyika na kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwa wauguzi
80 za kazi zote katika hospitali zetu nchini zinafanywa na wauguzi na wakunga hivyo serikali imesikia kilio chenu na tutahakikisha tatizo hili
tunalitatua alisema ummyhata hivyo waziri ummy aliwataka wauguzi kutekeleza wajibu wao kwa kuzingatia maadili na viapo vyao vya kitaaluma
kwa maendeleo ya afya nchini
upande wa msajili wa baraza la uuguzi na ukunga nchini bi lena mfalila
alisema jengo hilo linajengwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza limegharimu pesa ya kitanzania shilingi bilioni 22aidha bi mfalila alisema kuwa ujenzi wa kituo hicho ulianza desemba 2015 kwa awamu ya kwanza na kiinatarajiwa kukamililika na kuanza matumizi yake januari2017
waziri wa afya maeendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu katikati akiweka udongo kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la kituo cha kuendeleza wauguzi na wakunga kitaaluma nchini lililopo wilayani kibaha leo mkoa wa pwaniwaziri wa afya maeendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu akiangalia michoro ya jengo litakavyokua pindi litakapomalizika wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la kituo cha kuendeleza wauguzi na wakunga kitaaluma nchini lililopo wilayani kibaha leo mkoa wa pwani
wenyeviti wa baraza la uuguzi na ukunga tanzania wakimsikiliza kwa makini waziri wa afya maeendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu hayupo pichani wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la kituo cha kuendeleza wauguzi na wakunga kitaaluma nchini lililopo wilayani kibaha leo mkoa wa pwaniwauguzi mbalimbali wakimsikiliza kwa makini waziri wa afya maeendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu hayupo pichani wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la kituo cha kuendeleza wauguzi na wakunga kitaaluma nchini lililopo wilayani kibaha leo mkoa wa pwanihabari/picha na ally daud | 2017-04-27T16:37:43 | https://issamichuzi.blogspot.com/2016/11/waanzishaji-vyuo-holela-vya-afya.html |
new earldom bluetooth mojulator in ilala accessories for mobile phones & tablets smart phones | jijicotz for sale in ilala | buy accessories for mobile phones & tablets from smart phones on jijicotz
new earldom bluetooth mojulator
posted jan 23 ilala dar es salaam tanzania
brand new apple wrist watch
dar es salaam kinondoni yesterday 2318 accessories for mobile phones & tablets
new remax magnetic speaker
tunapatikana uhuru na muheza street piga069*********
dar es salaam ilala jan 19 accessories for mobile phones & tablets
flash disks original jumla na rejareja
original flash disks jumla na rejareja 2gb4gb8gb16gb32gb64gb mikoani tunatuma mzigo
dar es salaam ilala jan 7 accessories for mobile phones & tablets
samsung anymode note 10 gift box
description samsung galaxy note 10 / note 10+ limited edition accessories collection comes with 4 in 1 accessories 80w usb c pd charger 24w dual car charger 15w automatic wireless fast charging car holder 2 in 1 charger cable
dar es salaam ilala jan 10 accessories for mobile phones & tablets
apple iphone charger ( head + usb cable) og
kitonga goes low 10000 njoo magomeni uchukue
dar es salaam kinondoni jan 15 accessories for mobile phones & tablets
coating mashine liquid screen protector
mashine hii ni mpya na inakuja kama inavyoonekana kwenye picha >mashine 1 >nano liquid kichupa 2 >essencial kichupa 1 >cleaner kichupa 1 >vitambaa vya kusafishia >mifuko yakuvaa >taa 1 kama upo serious unahitaji hii mashine ni mpya kabisa nicheki
dar es salaam ilala yesterday 1353 accessories for mobile phones & tablets
i am selling brand new headphone wireless bluetooth support ✔ memory card slot ✔ fm radio ✔ bass booster
dar es salaam ilala dec 28 accessories for mobile phones & tablets
infinix note 5 32gb rom
infinix note 5 3gb ram 32 gb storage android one (receive upgrade for os) camera selfie 16mp primary 12 mp smartphone has been used for 5 months it is in clean condition (simu imetumika kwa takribani miezi mitano ipo katika hali nzuri kabisa)
dar es salaam kinondoni jan 21 accessories for mobile phones & tablets
iphone and samsung african boy cases
african boy iphone and samsung cases are now available at our stock tunafanya delivery mikoani na nchi jiran kwa dsm bure
dar es salaam temeke jan 8 accessories for mobile phones & tablets
ujo phone accessories
phone case for iphone 11 11 pro 11 pro max price exclude delivery cost usafiri ni juu ya mteja
iphone cover / iphone 6 / 6+/ 6s +/ iphone 7 / 7+/ iphone 8 / 8+/ iphone x/ xs/xs max / iphone 11 / 11pro / pro max wholesale & retail
dar es salaam ilala jan 21 accessories for mobile phones & tablets
kingstone sd card 16gb
memory card ni original kutoka china
dar es salaam ilala jan 17 accessories for mobile phones & tablets
note 8 & s9 coverss
kwa bei poaa tuu na ni nzurii
dar es salaam temeke jan 14 accessories for mobile phones & tablets
mini flexibble tripod stand for mobile
fanya self video vrecording kwa matukio ya nyumbani kwako au ofisini mwako huna haja ya kushika simu tena tegesha simu kisha ingia kwenye tukio simu yako itasimama na kuendelea kurekodi matukio bila shaka zinapatikana laston store
dar es salaam kinondoni jan 22 accessories for mobile phones & tablets
phone case for iphone 11 11 pro 11 pro max usafiri juu ya mteja
samsung a10s 32gb 2yrs wrnty
mteja kwetu ni mfamle popote ulipo tupo hakika mzigo utakufikia bila usumbufu
dar es salaam ilala dec 26 accessories for mobile phones & tablets
brand new apple pencil original fullbox unopend
dar es salaam kinondoni dec 30 accessories for mobile phones & tablets
used memory card on 6 month
iphone original boxes
maboksi mazuri ya iphone yanafaa kwa zawadi au shop show case
dar es salaam kinondoni jan 6 accessories for mobile phones & tablets
unaweza kuconnect umbali mpaka meter 10
m165 bluetooth earphone
unatumia au kuunganisha mpaka umbali wa meter 10
dar es salaam ilala jan 23 accessories for mobile phones & tablets
f9 true wireless bluetooth
inafanya kazi vizur battery yake ina ukubwa wa 2200mah unaweza kutumia kama power bank
new moxom 15000mah power bank
tunapatikana k/koo uhuru road piga/sms069*********
vkworld k1 210mp octa core 4gb+64gb qick carge moblene 400mah
vkworld k1 210mp 3 cameras smartphone 52 inch 1920*1080 android 81 oreo octa core 4gb+64gb quick charge mobile phone 4040mah
dar es salaam ilala jan 22 accessories for mobile phones & tablets
0692872448
mobile phones & tablets in dar es salaam
accessories for mobile phones & tablets in dar es salaam
bluetooth accessories for mobile phones & tablets | 2020-01-25T00:42:31 | https://jiji.co.tz/ilala/cell-phones-tablets-accessories/new-earldom-bluetooth-mojulator-rITLxPFDukNJJFnZqljYW8Xm.html |
jinsi ya kukabiliana na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake malunde 1 blog
home mapenzi jinsi ya kukabiliana na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
jinsi ya kukabiliana na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
by malunde tv sunday february 11 2018
kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke kunaweza kutafsiriwa kwa aina tatu ambazo ni kutopata hamasa ya kufanya tendo la ndoa hata baada ya kuchochewa kuepuka kufanya tendo la ndoa ukiwa kwenye mahusiano bila sababu ya msingi kushiriki tendo la ndoa bila kufurahia na bila kufi kia kilele
tatizo hili linaweza kuleta kutokuelewana baina ya wenza na ni chanzo kimojawapo cha mafarakano kwenye mahusiano kama ilivyo kwenye ukosefu wa nguvu za kiume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa wanawake kunasababishwa na matatizo ya kiafya au ya kisaikolojia
kunaweza kutokea baadhi ya nyakati kwa muda mfupi lakini endapo tatizo hilo linakuwa endelevu kiasi cha kusababisha matatizo kwenye uhusiano ni vizuri kutafuta ushauri wa kitaalamu
mara nyingi kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake kunaletwa na adha au maudhi fulani ambayo yametokea na hayajazungumziwa baina ya wenza au kutafutiwa ufumbuzi
hivyo ushauri wa kwanza ni kuwa na mawasiliano ya wazi ili kurekebisha yale yanayowezekana
tendo la ndoa kwa mwanamke linahusisha vitu vingi lakini hasa ni matayarisho ya kutosha yanayoleta hisia na vitendo vinavyoonesha kupendwa kuthaminiwa na hali ya kuwa salama
hamu ya tendo la ndoa haiji tu mara moja pale ambapo mwenza mmoja amejisikia bali mazingira lazima yawe sahihi na mazuri ili wote kufurahia
sababu za kisaikolojia zinazoleta kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke ni kama vile historia ya kufanyiwa vitendo viovu kama kubakwa kutokuwa karibu na mwenza kifikra mawasiliano hafifu na migogoro ya mara kwa mara kwenye uhusiano
sambamba na sababu hizo ni mazingira yasiyo rafiki kwa mfano uwepo wa watoto au mkwe chumba cha karibu pamoja na mwenza aliyelewa
zipo pia sababu za kiafya ambazo ni pamoja na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa upungufu wa nguvu za kiume kwa mwenza baadhi ya dawa pombe na mabadiliko ya homoni hasa pale mtu anapokaribia kukoma hedhi
hatua ya kwanza ya kuchukua endapo una tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa ni kutafuta ushauri wa kitaalamu ili kubaini endapo tatizo lako ni la kiafya au la kisaikolojia mtaalamu wa afya atatoa ushauri kulingana na tatizo atalogundua
asilimia kubwa ya matatizo ya kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke yanaletwa na sababu za mahusiano hivyo basi hatua ya muhimu katika kukabiliana na tatizo hili ni kujadiliana na kufikia muafaka wa mambo yanayowatatiza kama vile kukosa muda wa kukaa pamoja mahusiano ya kimapenzi na mtu mwingine ambayo yanaweza kuwa mapya au ya zamani na malumbano ya mara kwa mara
ni muhimu kufahamu pia kuwa baadhi ya mambo nje ya mahusiano yanaweza kuleta madhara kama vile matatizo ya kifedha au matatizo kazini
yote haya yanasababisha kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa na hivyo ni muhimu sana kutafuta wataalamu wa ushauri ili kuweza kuzungumzia mambo haya na kupata mbinu za jinsi ya kukabiliana nayo
kwa wale wenye shida za homoni zinazosababisha kukosa hamu ya tendo la ndoa mtaalamu wa afya atashauri njia bora ya tiba ikiwa ni pamoja na kukupatia dawa za kurekebisha hali hiyo
imeandikwa na dk faraja chiwangahabarileo
jinsi ya kukabiliana na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake reviewed by malunde tv on sunday february 11 2018 rating 5 | 2018-05-26T19:22:54 | http://www.malunde.com/2018/02/jinsi-ya-kukabiliana-na-ukosefu-wa-hamu.html |
waziri mkuu amsimamisha kazi mwanasheriani baada ya kuisababishia halmashauri hasara ya sh milioni 279 | yuvinusmhabari unazozitaka
waziri mkuu amsimamisha kazi mwanasheriani baada ya kuisababishia halmashauri hasara ya sh milioni 279 | 2018-04-24T16:32:27 | http://www.yuvinusm.com/2018/02/waziri-mkuu-amsimamisha-kazi.html |
gen 24 | neno | step | wakati huu abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi naye bwana alikuwa amembariki katika kila njia
isaki na rebeka
1 wakati huu abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi naye bwana alikuwa amembariki katika kila njia 2 akamwambia mtumishi wake mkuu wa vitu vyote katika nyumba yake yule aliyekuwa msimamizi wa vitu vyote alivyokuwa navyo weka mkono wako chini ya paja langu 3 ninataka uape kwa bwana mungu wa mbingu na mungu wa nchi kwamba hutamtwalia mwanangu mke kutoka katika binti za wakanaani ambao ninaishi miongoni mwao 4 bali utakwenda katika nchi yangu na jamaa zangu umpatie isaki mwanangu mke
5 yule mtumishi akamwuliza je kama huyo mwanamke atakataa kuja nami katika nchi hii je nimpeleke mwanao katika hiyo nchi uliyotoka
6 abrahamu akasema hakikisha kwamba hutamrudisha mwanangu huko 7 bwana mungu wa mbingu aliyenitoa nyumbani kwa baba yangu na nchi yangu niliyozaliwa na aliyesema nami na akaniahidi kwa kiapo akisema nitawapa watoto wako nchi hii atatuma malaika wake akutangulie ili umpatie mwanangu mke kutoka huko 8 kama huyo mwanamke asipokubali kufuatana nawe basi utafunguliwa kutoka kiapo nilichokuapisha ila usimrudishe mwanangu huko 9 basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake abrahamu akamwapia kuhusu shauri hili
10 ndipo huyo mtumishi akachukua ngamia kumi miongoni mwa ngamia za bwana wake akaondoka akachukua aina zote za vitu vizuri kutoka kwa bwana wake akaelekea aramunaharaimu ▼
▼ 2410 yaani mesopotamia ya kaskazinimagharibi
na kushika njia kwenda mji wa nahori 11 akawapigisha ngamia magoti karibu na kisima cha maji nje ya mji ilikuwa inaelekea jioni wakati ambapo wanawake wanakuja kuteka maji
12 kisha akaomba ee bwana mungu wa bwana wangu abrahamu nipatie ushindi leo uonyeshe huruma kwa bwana wangu abrahamu 13 tazama nimesimama karibu na kisima hiki cha maji nao binti za watu wa mji huu wanakuja kuteka maji 14 basi na iwe hivi nitakapomwambia binti mmojawapo tafadhali tua mtungi wako nipate kunywa maji naye akisema kunywa nitawanywesha na ngamia wako pia basi na awe ndiye uliyemchagua kwa ajili ya mtumishi wako isaki kwa hili nitajua umemhurumia bwana wangu
15 ikawa kabla hajamaliza kuomba rebeka akatokea akiwa na mtungi begani mwake alikuwa binti wa bethueli bethueli alikuwa mwana wa milka aliyekuwa mke wa nahori ndugu wa abrahamu 16 huyu msichana alikuwa mzuri sana wa sura bikira ambaye hakuna mtu aliyekuwa amekutana naye kimwili alitelemka kisimani akajaza mtungi wake akapanda juu
17 ndipo yule mtumishi akaharakisha kukutana naye akamwambia tafadhali nipe maji kidogo katika mtungi wako
18 yule msichana akasema kunywa bwana wangu akashusha kwa haraka mtungi mkononi mwake na akampa akanywa
19 baada ya kumpa yule mtumishi yale maji akamwambia nitateka maji kwa ajili ya ngamia zako pia mpaka wote watosheke 20 akafanya haraka kumimina maji kwenye birika ya kunyweshea wanyama akakimbia kisimani kuteka maji mengine na akateka ya kuwatosha ngamia wake wote 21 pasipo kusema neno yule mtumishi akamtazama kwa makini aone kama bwana ameifanikisha safari yake au la
22 ikawa ngamia walipokwisha kunywa wote yule mtumishi akampa huyo msichana pete ya puani ya dhahabu yenye uzito wa beka moja ▼
▼ 2422beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 55
na bangili mbili za dhahabu zenye uzito wa shekeli kumi ▼
▼ 2422shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110
23 kisha akamwuliza wewe ni binti wa nani tafadhali uniambie je kuna nafasi katika nyumba ya baba yako tutakapoweza kulala
24 yule msichana akamjibu mimi ni binti wa bethueli mwana wa milka aliyemzalia nahori 25 akaendelea kusema kwetu kuna majani mengi na malisho tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala
26 yule mtumishi akasujudu na kumwabudu bwana 27 akisema atukuzwe bwana mungu wa bwana wangu abrahamu ambaye hakuondoa wema na uaminifu wake kwa bwana wangu mimi nami bwana ameniongoza safarini akanifikisha nyumbani kwa jamaa za bwana wangu
28 yule msichana akakimbia akawaeleza watu wa nyumbani mwa mama yake kuhusu mambo haya 29 rebeka alikuwa na kaka aliyeitwa labani huyo akaharakisha kukutana na yule mtumishi kule kisimani 30 mara alipoiona ile pete puani na bangili mikononi mwa dada yake na kusikia yale maneno rebeka aliyoambiwa na huyo mtumishi alimwendea huyo mtumishi akamkuta amesimama karibu na ngamia wake pale karibu na kisima 31 akamwambia karibu nyumbani wewe uliyebarikiwa na bwana kwa nini unasimama huko nje mimi nimekuandalia nyumba na mahali kwa ajili ya ngamia
32 hivyo yule mtumishi akaenda nyumbani mizigo ikaondolewa juu ya ngamia majani na malisho yakaletwa kwa ajili ya ngamia na maji kwa ajili yake na watu wake ili kunawa miguu 33 ndipo chakula kikaandaliwa kwa ajili yake lakini akasema sitakula mpaka niwe nimewaambia yale niliyo nayo ya kusema
labani akasema basi tuambie
34 hivyo akasema mimi ni mtumishi wa abrahamu 35 bwana amembariki sana bwana wangu amekuwa tajiri amempa kondoo na ng'ombe fedha na dhahabu watumishi wa kiume na wa kike ngamia na punda 36 sara mkewe bwana wangu amemzalia mwana katika uzee wake naye amempa kila kitu alichokuwa nacho 37 naye bwana wangu ameniapisha na akasema kamwe usimtwalie mwanangu mke katika binti za wakanaani ambao ninaishi katika nchi yao 38 ila uende mpaka kwa jamaa ya baba yangu na ukoo wangu mwenyewe ukamtwalie mwanangu mke huko
39 kisha nikamwuliza bwana wangu je kama huyo mwanamke hatakubali kurudi nami
40 akanijibu bwana ambaye nimetembea mbele zake atatuma malaika wake pamoja nawe na kuifanikisha safari yako ili uweze kupata mke kwa ajili ya mwanangu katika ukoo wangu na kutoka katika jamaa ya baba yangu 41 kisha utakapokwenda kwenye ukoo wangu utakuwa umefunguliwa kutoka katika kiapo changu hata kama wakikataa kukupa huyo binti utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu
42 nilipokuja kisimani leo nilisema ee bwana mungu wa bwana wangu abrahamu ikikupendeza naomba uifanikishe safari niliyoijia 43 tazama ninasimama kando ya kisima hiki kama mwanamwali akija kuteka maji nami nikimwambia tafadhali niruhusu ninywe maji kidogo kutoka kwenye mtungi wako 44 naye kama akiniambia kunywa nami nitateka maji kwa ajili ya ngamia wako pia basi huyo awe ndiye mke ambaye bwana amemchagulia mwana wa bwana wangu
45 kabla sijamaliza kuomba moyoni mwangu rebeka akatokea amebeba mtungi begani mwake akashuka kisimani akateka maji nami nikamwambia tafadhali unipe maji ninywe
46 akafanya haraka kushusha mtungi wake begani na kusema kunywa na nitawanywesha ngamia wako pia basi nikanywa akawanywesha na ngamia pia
47 nikamwuliza wewe ni binti wa nani
akasema mimi ni binti wa bethueli mwana wa nahori milka aliyemzalia
ndipo nilipotia pete puani mwake na bangili mikononi mwake 48 nikasujudu na nikamwabudu bwana nikamtukuza bwana mungu wa bwana wangu abrahamu aliyeniongoza katika njia sahihi ili nimtwalie mwana na bwana wangu mke katika jamaa zake 49 ikiwa mtaonyesha wema na uaminifu kwa bwana wangu mniambie la sivyo mniambie ili niweze kujua njia ya kugeukia
50 labani na bethueli wakajibu jambo hili limetoka kwa bwana hatuwezi kukuambia jambo lo lote baya au jema 51 rebeka yuko hapa mchukue na uende awe mke wa mwana wa bwana wako sawasawa na bwana alivyoongoza
52 ikawa huyo mtumishi wa abrahamu aliposikia waliyosema alisujudu mpaka nchi mbele za bwana 53 ndipo huyo mtumishi akatoa vitu vilivyotengenezwa kwa dhahabu na kwa fedha pamoja na mavazi akampa rebeka pia akawapa zawadi za thamani kubwa nduguye na mamaye 54 kisha yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye wakala wakanywa na kulala pale pale
walipoamka asubuhi yule mtumishi akasema nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu
55 lakini ndugu yake rebeka pamoja na mama yake wakajibu acha binti akae kwetu siku kumi au zaidi ndipo mwondoke
56 lakini yule mtumishi akawaambia msinicheleweshe kwa kuwa bwana amefanikisha safari yangu nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu
57 ndipo wakasema acha tumwite huyo binti tumwulize tusikie atakavyosema 58 kwa hiyo wakamwita rebeka na kumwuliza je utakwenda na mtu huyu
akasema nitakwenda
59 hivyo wakamwaga ndugu yao rebeka aondoke pamoja na mjakazi wake mtumishi wa abrahamu na watu wake 60 wakambariki rebeka wakamwambia ndugu yetu uwe wewe kumi elfu
mara elfu nyingi
nao wazao wako wamiliki
malango ya adui zao
61 rebeka na vijakazi wake wakajiandaa wakapanda ngamia zao wakafuatana na yule mtu hivyo yule mtumishi akamchukua rebeka akaondoka
62 basi isaki alikuwa ametoka beerlahairoi kwa kuwa alikuwa anaishi nchi ya negebu 63 isaki akatoka kwenda shambani kutafakari wakati wa jioni alipoinua macho yake akaona ngamia wanakuja 64 rebeka pia akainua macho akamwona isaki akashuka kutoka kwenye ngamia wake 65 na akamwuliza yule mtumishi ni nani mtu yule aliye kule shambani anayekuja kutulaki
yule mtumishi akajibu huyu ndiye bwana wangu hivyo rebeka akachukua shela yake akajifunika
66 kisha yule mtumishi akamweleza isaki mambo yote aliyoyatenda 67 ndipo isaki akamwingiza rebeka katika hema la sara mama yake isaki akamchukua rebeka hivyo akawa mke wake isaki akampenda akafarijika baada ya kifo cha mama yake | 2018-08-19T17:52:23 | https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=Gen.24 |
mhe dkt dalaly p kafumu mheshimiwa mwenyekiti nakushukuru sana kwa kunipa nafasi na mimi nichangie hoja iliyoko mbele yetu ya wizara ya maliasili na utalii
mheshimiwa mwenyekiti naomba nimpongeze mdogo wangu kwa kazi nzuri anayofanya japokuwa ni kazi ngumu sana kuna wakati anakimbia badala ya kutembea anawahi kusikoeleweka kuna siku nikamwambia mdogo wangu hebu rudi nyuma kidogo namshukuru alinisikiliza na namuomba aendelee na kazi vizuri sisi tuko nyuma yake tutamsaidia (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti napenda nizungumzie mambo mawili tu jambo la kwanza ni mbuga ya wembere ambayo ni hifadhi iliyokuwa imeanzishwa na wakoloni mwaka 1940 kwa ajili ya kutunza wanyama lakini pia ilikuwa ni kwa ajili ya mapito ya wanyama kwa sababu inaunganika na serengeti baada ya uhuru serikali iliisahau kidogo hii mbuga mbuga hii inaanzia mkoa wa shinyanga inapita mkoa wa tabora lakini pia iko mkoa wa singida ni bonde la ufa linaloelekea lake eyasi ilivyotelekezwa wanyama wengi walimalizika kwa sababu waliwindwa bila utaratibu lakini pia mabadiliko ya tabianchi bonde hili lilikauka mwaka 1974 na wanyama wakaisha kabisa lilikuwa pia ni mazalia ya ndege wanaotoka ulaya walikuwa wanakuja kuzaa wakati wa kiangazi huku na sasa hivi kwa sababu mazingira yameharibika hawaji tena
mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo mbuga hii imekosa sifa ya kuitwa hifadhi kama ilivyokuwa zamani kwa sababu hiyo wananchi wengi walihamia hiyo miaka ya 70 mpaka 80 na serikali ikapima vijiji na kata kwenye mbuga hii kwenye mbuga hii kwa upande wa halmashauri ya wilaya ya igunga kuna kata zaidi ya saba lakini kule singida na kwenyewe ziko kata nyingi kweli kweli sikumbuki ni ngapi ukienda shinyanga kuna kata kama tatu hivi kule meatu wananchi wako mle ndani kutokana na kukosa sifa na watu kukaa mle ndani shughuli za kilimo zimeongezeka sana ndiyo tunapozalisha mpunga mkipita igunga mnakuta mpunga mzuri unaonukia au mchele unaonukia unatoka kwenye mbuga ya wembere pia ufugaji umeendelea kupanuka kwa sababu watu ni wengi
mheshimiwa mwenyekiti kwa sababu hiyo sasa ugomvi kati ya wafugaji na wakulima umekuwa mkubwa sana na miaka kadhaa watu wamegombana kama kule isakamaliwa mpaka wengine wakauawa pia pale makomelo ukiwa unakaribia igunga kulikuwa na ugomvi mwaka jana watu walijeruhiwa sana ukienda itumba nakotoka mimi kama unaelekea loya kule kwa ndugu yangu mheshimiwa musa ntimizi na kwenyewe watu walipigana sana kwa sababu watu ni wengi maeneo ya kuchunga na kulima ni machache (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo mwaka 2014 tuliandika barua wizara ya maliasili na utalii ili wabadilishe matumizi ya mbuga hii waiangalie wabakize eneo dogo lakini lingine wawaachie wananchi mwaka 2012 serikali iliunda kamati ya wataalam wakapitia mbuga na hifadhi nyingi kuangalia ipi imekosa sifa moja ya mbuga ambayo imekosa sifa ilikuwa ni mbuga ya wembere namuomba mheshimiwa waziri nimemwandikia barua tena naomba akaitazame mbuga hii karibu igunga waziri tukaitembelee aje na wataalam wake tuone ni jinsi gani tunaweza tukabadilisha mipaka ili wananchi wetu waweze kupata mahali pa kulima pamoja na kuchunga ngombe (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti jambo la pili ambalo nilitaka kuzungumzia ni ukurasa wa 90 wa kitabu cha mheshimiwa waziri kuhusu idara ya mambo ya kale na anazungumzia majengo ya kihistoria kama ya dar es salaam na maeneo ya kihistoria kama engaruka na kadhalika sisi tulikuwa na utawala wa kitemi na wewe mwenyekiti ni mtemi na hata mimi natoka kwenye utawala wa kitemi wa usongo tuna maeneo ambayo watemi sasa hivi wameyaacha ukienda kule meatu igunga kwa mfano igunga kuna mtemi shomari ngwanaasali nyumba yake bado ipo pale igurubi kuna mtemi mwingine anaitwa kasanda wa unambiu na yeye nyumba yake bado ipo kuna mtemi ntinginya na akina humbiziota nyumba zao bado zipo ukienda urambo au tuseme tabora yuko mtemi mirambo na yeye nyumba yake bado ipo na watemi wengi sana masalia yao bado yapo isike pale kuna masalia na sehemu nyingine nyingi lakini wizara haichukui tahadhari yoyote haiweki programu yoyote kuyahifadhi maeneo haya namwomba mheshimiwa waziri hebu wanzishe mkakati maalum wa kuyatambua maeneo ya watemi wetu hawa wayapandishe hadhi wayahifadhi wazungu ambao ni watawala wetu kwa hakika wakisikia kwamba maeneo haya yako tayari na hasa wajerumani watakuja kuyatembelea (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti lakini maeneo hayo pia yaendane na ngoma zetu za jadi mheshimiwa waziri mkishirikiana na wizara ya mheshimiwa dkt mwakyembe mnaweza mkaanzisha taratibu hizi kwenye utemi huo watu wanacheza ngoma embinabhabha tunazihitaji ngoma zirudi ili wananchi wetu waendelee kucheza namuomba sana mheshimiwa waziri anisikilize nilishawahi kusema last time juu ya jambo hili (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti jambo la mwisho ambalo napenda kusema ni ngombe ambazo zinakamatwa kwenye hifadhi kwa kweli tunatambua umuhimu wa kutunza maeneo tunatambua na tunataka hifadhi itunzwe lakini namna ambavyo hatua zinachukuliwa kuwafanya hawa watu wasipeleke ngombe haziendi vizuri na actually zinafanywa na wale wadogo mheshimiwa waziri anaweza asijue wale vijana waliomaliza kidato cha nne na kupata hizo kazi wanavaa nguo za kijana nadhani hata leo wapo wanafanya kazi vibaya wengi ni matajiri hao vijana wamejenga majumba kwa sababu ya hizo ngombe na wana magari kwa sababu ya hizo ngombe kwa hiyo kuna tatizo katika utekelezaji wa jambo hili (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti naomba mheshimiwa waziri waangalie namna ya kutekeleza jambo hili kama wanataka kulifanya vizuri wakilifanya hivi wanavyolifanya kwa kweli wananchi wanajisikia vibaya wanajisikia wameachwa katika nchi yao wako wananchi wengi sana ambao wamechukuliwa ngombe wao kuna mtu namfahamu yuko hapa nilikuwa naongea naye ngombe wake 4000 walichukuliwa na wakauzwa mzee wa watu ana hali mbaya sana kuna mwingine ana kesi mpaka mahakamani lakini wakati kesi inaendelea zikauzwa wala hawajali kwamba kuna kesi kwa hiyo naomba mheshimiwa waziri itazameni upya tena hii program ya kukamata hawa ngombe kwenye hifadhi ili muweze kufanya hii kazi vizuri hatukatai ni lazima tuhifadhi maeneo yetu (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti mapori mengi sana ambayo yamepitwa na wakati kama mbuga ya wembere nilivyosema yagawiwe kwa watu waweze kuchunga sehemu nyingi sana maeneo yamepitwa na wakati kule nzega kuna sehemu moja inaitwa ipala na kwenyewe watu wanafukuzwa kwenye hifadhi kuna mjomba wangu kule mzee charles alichomewa nyumba zake zote nakuomba mheshimiwa waziri tambueni maeneo haya ambayo yamepitwa na wakati muwape wananchi waweze kuchunga na hiyo changamoto ya kuingiza ngombe kwenye hifadhi inaweza ikapungua (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti naona nimefika mwisho nashukuru sana narudia tena mbuga ya wembere mheshimiwa waziri tafadhali tupeni mbuga tuweze kuitumia kadiri ya mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa ajili ya makazi hifadhi kilimo na mifugo
mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana naomba kuunga mkono hoja | 2020-08-12T15:57:34 | http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/9288 |
mashuka set na vitambaa vyake vya mezani na makochi | nunuauzacom buy and sell in tanzania for free
phone 0657157121 | 2019-07-17T15:16:59 | https://www.tanzaniaonlinemarket.com/2018/09/19/mashuka-set-na-vitambaa-vyake-vya-mezani-na-makochi/ |
single news | mbozi district council
jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa halmashauri ya wilaya ya mbozi
mipango takwimu na ufuatiliaji
wakaguzi wa ndani
baraza la watoto laundwa mbozi kupigania haki zao
kurushwa hewani june 8th 2019
na baraka mwashambwa
halmashauri ya mbozi imeeunda baraza la wilaya la watoto kwa kushirikiana na shirika la savethechildren baraza limeundwa kwa kushirikisha watoto kutoka katika kata zote 29 za wilaya ya mbozi ambazo kila kata imetoa wawakilishi wawili katika shule za msingi na sekondari
viongozi waliochaguliwa kuongoza baraza la watoto kwa kipindi cha miaka 2 ni mwenyekiti wa baraza shua nzowa kutoka kata ya shiwinga shule ya sekondari shiwinga kidato cha ii makamu mwenyekiti kutoka kata ya mlangali ales halele shule ya sekondari mlangali kidato cha ii katibu ni julius moses shule ya msingi bara darasa la 7 kutoka kata ya bara na mtunsa hazina ni suzaly mwasenga shule ya sekondari iganduka kidato cha 1 kata ya msia
akiongea na baraza la watoto afisa maendeleo ya jamii wilaya bi melania kwai amesema kuunda kwa baraza ni kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa 1989 pamoja na sera ya maendeleo ya mtoto ya 2008 ambazo zote kwa pamoja zimeelekeza kuweza kuunda kwa baraza la watoto
bi melania kwai amewataka watoto ambao wamepata fursa ya kuwawakilisha wenzao waweze kufanya kazi ya kusimamaia haki za watoto ambao wapo katika maeneo ikiwa na kuwatembelea watoto wenye shida mbalimbali pamoja na kuhakikisha wanatumia vizuri sehemu ambazo wanakutana kwenye michezo au darasani waweze kutoa elimu juu ya haki za watoto
kwa sababu watoto nyie munafamiana vizuri yupi mwenye shiuda kuliko sisi wazazi/walezi hivyo tunawaomba muweze kuwatembelea na kujua matatizo yao ikiwa na pamoja na kuripoti matukio yale ambayo yanavunja haki za watoto kisha kuwasilisha kwenye vyombo husika kwa kufanya hivyo mutakuwa mumewasaidia watoto wengi bi melania kwai
pia bi melania kwai amelisisitiza baraza la watoto kwenda kuwaelimisha watoto kupata vyeti vya kuzaliwa ili wapate haki yao ya kulinda jina kwani vyeti hivyo vipo na vinatolewa mda wote katika ngazi ya kijiji kata na wilaya
hidaya haonga mratibu wa ulinzi haki na utawala kwa watoto kutoka shirika la savethechildren amesema shirika linafanya kazi kwa kushirikiana na serikali katika kuiwezesha kwenye maeneo ya watotot ukiona sense ya 2012 inaonyesha nusu ya watanzania nia watoto na kundi hili limekuwa linasaulika kwenye mambo yake ya mhimu kama vile haki zake na kutengewa bajeti kwa upande wa serikali ndio sababu iliyotupelekea kuunda mabaraza ya watoto kuanzia ngazi ya kijiji kata na hatimaye leo tunaunda la wilaya
afisa mipango wa halmashauri ya mbozi bw elasto mwasanga amesema halmashauri itajitahidi kuakikisha baraza la watoto linakuwa endelevu na hai kwa kuhakikisha baraza hilo linafanya vikao vyake kila robo kwa kushirikiana na idara ya maendeleo ya jamii na savethechildren
atu dzombe afisa maendelo ya jamii anasema moja ya jukumu ambalo baraza la watotot litakwenda kufanya ni kuhakikisha wanatoa elimu ya kwa watotot wenzao jinsi ya kuwaheshimu wazazi/walezi waalimu jamii na kueshimiana wao kwa wao ili kulifanya baraza la watoto liwe mfano katika ngazi ya jamii
mwenyekiti wa baraza la watoto wilaya shua nzowa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya sekondari shiwinga amewataka watoto wenzake ambao wanaunda baraza la watoto pamoja na wale ambao wanawaakilisha huko kwenye kata zao kutoa ushirikiano kwa wazazi/walezi ambao kwa apmoja wameamua kuunda kwa baraza la watoto ili kuweza kutatua changamoto mbalimbali ambazo sisi watoto tunakumbana nazo katika jamii
halmashauri ya mbozi kwa kushirikiana na shirika la savethechildren wameweza kuunda mabaraza ya watoto kuanzia ngazi ya kijiji kata na hatimaye kufanikisha kuunda baraza la watoto ngazi ya wilaya ambalo lina washiriki kutoka kila kata 29 hali inayopelekea halmashauri ya mbozi kuwa ya kwanza kufanya hivi kwa mkoa wa songwe
iganya ni kijiji chenye mafanikio kupitia tasaf
anuani 3
simu 0252580272
barua pepe ded@mbozidcgotz
hati miliki 2017 halmashauri ya wilayambozi haki zote zimehifadhiwa | 2020-02-17T01:15:34 | http://mbozidc.go.tz/new/baraza-la-watoto-laundwa-mbozi-kupigania-haki-zao |
tracy rowan said
eringraves said
bridget asher said
markizs said
deepamwadds said
tipo said
fancyfrivolous said
zoe grimm said | 2017-08-18T01:08:39 | http://mollybackes.blogspot.com/2011/07/how-to-be-writer.html?showComment=1311002311930 |
matukio @ michuzi blog wakulima wadogowadogo na wadau wa kilimo wakutana kujadili bajeti ya kilimo na mabadiliko ya tabia nchi
wakulima wadogowadogo na wadau wa kilimo wakutana kujadili bajeti ya kilimo na mabadiliko ya tabia nchi
utetezi kutoka shirika la kimataifa la oxfam tanzania bi eluka kibona akifungua mafunzo juu ya uelewa wa bajeti ya kilimo na mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri sekta ya kilimo tanzania hasa wakulima wadogo wadogomkurugenzi
wa forum cc bi rebecca muna akielezea umuhimu wa mafunzo hayo yatakavyoweza kuwasaidia wakulima wadodogo katika kukabiliana na tatizo la mabadiliko ya tabianchibaadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakiwa katika kikundi kujadiliana maswala mbalimbali juu ya namna ya kuandaa bajetibaadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakiwa wanawasikiliza wenzao wakati walipokuwa wanawasilisha mada walizopewamuwezeshaji
kutoka forum cc feizal ally akiongoza majadiliano juu ya uandaaji wa bajeti ya kilomo na mabadiliko ya tabianchi ambayo yanawathiri kwa kiasi
kikubwa wakulima wadogo wadogo baadhi ya wadau waliohudhuria mafunzo hayo wakiwa wanatazama mfano wa jarida linalo onesha jinsi bajeti inavyo andaliwabaadhi
ya washiriki wa semina hiyo ambao ni wakulima wadogo wadogo wakichangia
mada juu ya changamoto wanazozipata katika kuandaa bajeti na kutoshirikishwa baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo wakichangia juu ya mabadiliko ya tabianchi yanavyosababisha athali katika kilimo washiriki wakifuatilia mafunzo hayo
picha na fredy njeje dar
es salaam wanawake wakulima wadogowadogo wakiongozwa na waliokuwa washiriki wa shindano la mama shujaa wa chakula linaloratibiwa na shirika la oxfam wamekutana pamoja na wadau kutoka taasisi mbalimbali na baadhi ya wanafunzi kutoka elimu ya juu tanzania kujadili bajeti ya
kilimo kwa mwaka 2016/17 na changamoto za mabadiliko ya tabia nchiakifungua
mkutano huo wa siku tatu meneja utetezi wa oxfam tanzania bi eluka kibona alisema kuwa lengo la kuwakutanisha wakulima hao na wadau ni kufanya majadiliano juu ya bajeti ya kilimo na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa hali ilivyo sasa ni kwamba wakulima wengi hasa wadogowadogo hawapati nafasi ya kushirikishwa katika masuala ya bajeti hiyo hivyo mkutano huo utasaidia kuibua changamoto mbalimbali ambazo zitatakiwa kutatuliwa bila kusahau suala la mabadiliko ya tabia nchi ambayo yataathiri kwa kiwango kikubwa katika kilimoakizungumza katika
mkutano huo mkurugenzi wa programu forum cc bi rebecca muna alisema mabadiliko ya tabia nchi yamekuwa yanaendelea kuathiri zaidi wakulima wadogo wadogo hasa waliopo vijijini hivyo kupitia mkutano huo wakulima wanapata elimu ili kukabiliana na mabadiliko hayoakieleza kwa undani juu ya mabadiliko ya tabia nchi mwezeshaji kutoka forum cc faizal ally alisema kwamba changamoto kubwa zaidi ya mabadiliko ya tabia
nchi ni pamoja na maji chumvi kuingia nchi kavu na kuathiri ukuaji wa mazao kuongezeka kwa joto misimu ya mvua zisizotabirika kupungua kwa kina cha maji katika mito na maziwa kuongezeka kwa majanga ya hali ya hewa ikiwa ni pamoja na mafuriko ukame na vimbunga na kuongezeka kwa magonjwa ya mazaoalisema kuwa mambo yote hayo yamekuwa yakichochea wakulima na wafugaji kukosa maeneo ya malisho kwa ajili ya mifugo na kuongeza kuwa ili wakulima waweze kukabiliana na changamoto hiyo ya mabadiliko ya tabia nchi wanatakiwa kujifunza mbinu mbalimbali ikiwemo kuvuna maji ya mvua kutumia umwagiliaji wa matone matumizi ya mbegu bora zinazostahimili magonjwa na ukame kilimo mchanganyiko/mseto
matumizi ya mbolea asili na kuongeza thamani ya mazaonao wakulima hao kwa nyakati tofautitofauti walizungumzia suala zima la bajeti ambapo walisema kuwa changamoto nyingi wanazozipata kwa kutoshirikishwa kwenye bajeti kuu juu ya kilimo zinasababisha wasifikiwe
na elimu na huduma mbalimbali zitakazowasaidia kwenye shughuli zao za kilimo hivyo basi kupitia mkutano huo wameomba kusikilizwa maoni yao hasa wakati wa uandaaji wa bajeti kwa ujumla kwa kuwa wao ndiyo walengwa
namba moja kwenye sekta ya kilimo nchini | 2017-04-29T13:31:32 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/06/wakulima-wadogowadogo-na-wadau-wa.html |
uchaguzi mdogo nchini tanzania wananchi jitokezeni kwa wingi kupiga kura huko liwale moshi na meru | vatican news
tume ya taifa ya uchaguzi inawasihi waipiga kura wote kujitokeza kwenye kupiga kura tarehe 13 oktoba 2018 huko liwale moshi na meru nchini tanzania (afp or licensors)
uchaguzi mdogo nchini tanzania wananchi jitokezeni kwa wingi kupiga kura huko liwale moshi na meru
jaji semistocles kaijage amewataka wananchi waheshimu sheria za nchi wakati wote wa upigaji kuhesabu kujumlisha kura na kutangaza matokeo pale panapokuwa na malalamiko yoyote ya ukiukwaji wa sheria na taratibu za uchaguzi malalamiko hayo yafikishwe kwenye mamlaka inayohusika kwa utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria
na tume ya taifa ya uchaguzi nchini tanzania dar es salaam
wito huo umetolewa na mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi jaji semistocles kaijage wakati akisoma risala ya uchaguzi mdogo wa jimbo hilo unaohusisha pia kata za kibutuka katika halmashauri ya liwale kata ya korongoni katika halmashauri ya manispaa ya moshi na kata za majengo na kingori katika halmashauri ya meru amewataka kwenda kupiga kura bila hofu woga wasiwasi au ushawishi kwani chini ya kanuni ya 31 (b) ya maadili ya uchaguzi wa rais wabunge na madiwani ya mwaka 2015 serikali imepewa wajibu wa kuhakikisha kuwa kuna hali ya usalama amani na utulivu katika kipindi chote cha uchaguzi
mbali na wito huo jaji kaijage amewataka wananchi vyama vya siasa na wadau wote wa uchaguzi kushirikiana ili kuhakikisha kuwa viashiria vya kuvunjika kwa amani na utulivu vinaepukwa ili uchaguzi utakaofanyika uwe huru wazi na wa haki jaji kaijage amevisisitiza vyama vya siasa kuwa mikutano ya kampeni inatakiwa kufikia mwisho leo ijumma saa kumi na mbili kamili (1200) jioni na baada ya muda huo vyama wagombea na mashabiki waache kufanya kampeni za aina yoyote kama vile kutumia alama za vyama zinazoashiria kampeni vipeperushi bendera mavazi na vitu vingine visivyokubalika katika siku ya uchaguzi
aidha wananchi waheshimu sheria za nchi wakati wote wa upigaji kuhesabu kujumlisha kura na kutangaza matokeo pale panapokuwa na malalamiko yoyote ya ukiukwaji wa sheria na taratibu za uchaguzi malalamiko hayo yafikishwe kwenye mamlaka inayohusika kwa utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria amesema jaji kaijage na kuongeza kuwa vivyo hivyo viongozi wa vyama vya siasa wagombea au wafuasi wao na wananchi kwa ujumla wajiepushe na vitendo vinavyoweza kusababisha fujo au vurugu katika vituo vya kupigia kuhesabia na kujumlishia kura
mwenyekiti huyo wa nec amevikumbusha vyama vya siasa wagombea wananchi na watendaji wa uchaguzi kwa ujumla kuzingatia na kuheshimu matakwa na masharti ya sheria za uchaguzi sheria za nchi kanuni na maadili ya uchaguzi wakati wa upigaji kura kuhesabu kujumlisha kura na kutangaza matokeo amesema upigaji kura utafanyika kuanzia saa moja kamili asubuhi na kumalizika saa kumi kamili jioni katika vituo vilivyotumika wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na kwamba watakaokuwepo kwenye mstari kwenye vituo vya kupigia kura kuanzia saa kumi kamili jioni wataruhusiwa kupiga kura
hata hivyo amebainisha kuwa watakaoruhusiwa kupiga kura ni wale tu waliomo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwenye jimbo au kata husika na wana kadi ya mpiga kura na wale waliopoteza kadi zao za kupigia kura au zimeharibika au zimechakaa wataruhusiwa kupiga kura kutumia pasi ya kusafiria leseni ya udereva au kitambulisho cha uraia kinachotolewa na mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) kwa sharti kuwa majina yaliyomo kwenye vitambulisho hivyo yafanane na yale yaliyomo kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ni wajibu wa vyama vya siasa vinavyoshiriki katika uchaguzi kuweka mawakala katika vituo vyote vya kupigia na kujumlishia kura kwa utaratibu ambao tulikubaliana na umekuwa ukitumika katika chaguzi za hivi karibuni wakati wa mkutano wa tume na vyama vya siasa tarehe 10/07/2018 uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa mwalimu nyerere jijini dar es salaam na maelekezo kuhusiana na utaratibu huo kutumwa kwa wasimamizi wa uchaguzi amekumbusha jaji kaijage
hata hivyo amesema mawakala hao wanaruhusiwa kuwepo katika vituo vya kupigia kura na wanatakiwa kufuata na kuzingatia sheria kanuni na taratibu zinazoongoza uchaguzi katika kipindi chote cha kupiga kuhesabu kujumlisha kura na kutangaza matokeo uchaguzi huu mdogo wa ubunge katika jimbo la liwale na udiwani katika kata nne za tanzania bara unafanyika kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kujiuzulu kwa mbunge na madiwani wa kata hizo na utahusisha wapiga kura 69232 walioandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura na kutakuwa na vituo vya kupigia kura 192
12 october 2018 0959 | 2019-03-24T23:15:47 | https://www.vaticannews.va/sw/world/news/2018-10/jaji-semistocles-kaijage-tume-taifa-uchaguzi-tanzania-uchaguzi.html |
augustine lyatonga mrema mpiganaji | jamiiforums | the home of great thinkers
augustine lyatonga mrema mpiganaji
discussion in 'jukwaa la siasa' started by rev kishoka sep 13 2009
wakati naendelea kulumbana na fmes na mzee mwanakijiji kuhusu wajibu wa wapiganaji vita ya wapiganaji na ni nani anafaidika na upiganaji jina moja linakuja mukichwa na dhamira inaniambia kuwa hukukweli alikuwa ni mpiganaji
mrema pamoja na udhaifu wake wa kuchemka kwa nguvu ya soda kuwa na elimu duni na kufanya mambo kwa pupa kitendo chake cha kutoka ccm ni kwa kuwa aliweka utaifa na utanzania mbele na si maslahi yake binafsi au ya chama
naomba mwenye kumbukumbu nzuri atukumbushe ni kwa nini mrema aliamua kuasi ndani ya baraza la mawaziri na hata kuamua kuachana na ccm na kuingia upinzani
nakumbuka tetesi ni kuwa alikataa kukubaliana na uamuzi wa baraza la mawaziri (collectively responsibility) kufumbia macho wizi wa fedha bot ama kupitia mfuko wa epa au cis na aligangamaa kuwa ataanzisha uchunguzi na kupeleleza kilichotokea alipoambiwa alifumbie macho akaghadhibika na kukataa kukaa upande mmoja na baraza la mawaziri na serikali na hivyo kuasi na kulazimika kujivua/kuvuliwa uwaziri na mwishowe kujitoa ccm
mrema hakujali maslahi yake au kitakachotokea kwake baada ya kuondoka ccm (life after action) ingawa aliingiwa na pupa ya kutaka apewe uenyekiti wa chadema na alipokataliwa ndipo akaungana na wana usalama wenzake kina mabere marandu kule nccr
ninachotaka kujengea hoja ni kitendo chake cha kukataa kukubali kufumbia macho uhalifu na uhujumu na kutii amri ya kuwajibika kwa jumla kuruhusu uhujumu
je ni watanzania wangapi na wapiganaji wangapi ambao leo hii wako tayari kupoteza nafasi zaoza kazi na maslahi wakiwa katika mfumo wa kiutawala na kisiasa kwa kusimamia haki utu na uwajibikaji ili kulinda maslahi ya watanzania na taifa
ametajwa mara nyingi kuwa ni pandikizi la ccm upinzani na kuwa atarudi tu ccm miaka imepita na majaribu mengi amepitia lakini hajapiga magoti kwa ccm kati ya wapiganaji wote huyu ndiye shujaa wangu natumaini historia itamhukumu vyema na kwa haki
nadhani mrema alishindwa kujua kama hao wakina marando hawakuwa wapinzani wa kweli na hili lilitokana na iq ndogo ya mkuu lakini ki ukweli anabaki kuwa mpinzani wa kweli na kweli alikuwa kwa sababu ya wananchi uhamizi alioufanya mrema sidhani pamoja na kelele zao zote kama kweli mwakyembe sitta selelii na wapigananji wengine wote kama wataweza kwenda upinzani
mrema alienda upinzani akiwa anakubalika na chama chote na alikuwa na cheo ambacho hata kikatiba hakipo (naibu waziri mkuu)
lakini hao wengine wataingia upinzani kwa sababu ya kutengwa na kunyimwa madaraka (ubunge) ndani ya ccm
hili lilitokana na iq ndogo ya mkuu umenichosha kabisa sasa hapo iq inatoka wapi mwenye iq kubwa anaweza kutabiri ya mbeleni some comments
ametajwa mara nyingi kuwa ni pandikizi la ccm upinzani na kuwa atarudi tu ccm miaka imepita na majaribu mengi amepitia lakini hajapiga magoti kwa ccm kati ya wapiganaji wote huyu ndiye shujaa wangu natumaini historia itamhukumu vyema na kwa hakiclick to expand
mkuu umenikumbusha ile story ya shujaa na jasiri tupo pamoja mkuu
hili lilitokana na iq ndogo ya mkuu umenichosha kabisa sasa hapo iq inatoka wapi mwenye iq kubwa anaweza kutabiri ya mbeleni some commentsclick to expand
i think he/she meant kuwapima sio foresight in its literal sense
mimi ni mwumini wa mrema mpaka leo na naamini alisaidia sana kujengaupinzani wa nguvu wapinzani wengi wa sasa hasa upande wa wananchama ni wale ambao mrema aliwavuta akiwa nccr kwasas wanahama kutoka chama kimoja kwenda kingine ndio alikuwa na mpungufu yake kama mtu mwingine yeyote lakini kweli jamaa alikuwa mpiganaji na mtu ambaye utekelezaji wa jambo lolote alilokuwa analisimamia ulikuwa unapewa kipau mbele
najua wasomi wengi ambao wao wenyewe ni zero kwenye utekelezaji walimpiga vita lakini ukweli utabaki pale pale kwamba mrema alikuwa waziri mtekelezaji kuliko waziri mwingine yeyote kwenye serikali ya rais mwinyi
watu wamejaribu kusema mrema alikuwa na pesa nyingi au alichuma pesa nyingi akiwa waziri lakini maisha yake ya shida baada ya kuondoka ccm yanaonyesha wazi jamaa hakuiba pia pamoja na maisha yake ya shida na kuumwa kwingi bado mrema amekataa kurudi ccm na kuamua kuendelea na harakati zake hata kama zitaishia kumpeleka kaburini mapema
kosa kubwa alilofanya mrema na wafuasi wake lilikuwa lile la kuamini kwamba angeishinda ccm kwa nguvu ya nccr peke yake alishindwa kuunganisha upinzani pamoja na pia alishindwa kuwavuta baadhi ya viongozi wa ccm hasa kundi la mtandao ambalo lilikuwa limechukizwa na kuangushwa kwa jk huenda hili ndilo kosa ambalo linarudiwa tena na chadema mwaka huu
naamini angemvuta jk au lowassa ili wagombee urais na yeye kuwa tayari kuwa pm wangelikuwa na nafasi kubwa sana ya kushinda
mrema kwa sasa anastahili angalau apate ubunge ili apumzike kwa sababu kama ni mateso ccm walimtesa vya kutosha lakini kwa kiapo chake yeye bado ni ccm damu kwa sababu sijaona akirudisha kadi ya kijani
naamini angemvuta jk au lowassa ili wagombee urais na yeye kuwa tayari kuwa pm wangelikuwa na nafasi kubwa sana ya kushindaclick to expand
ndio maana nasema vita dhidi ya ufisadi siyo ya ccm walidandia gari kwa mbele lakini makamba yupo sahihi sana kwa ajili hawa makamba dhidi ya ufisadi
je ni watanzania wangapi na wapiganaji wangapi ambao leo hii wako tayari kupoteza nafasi zaoza kazi na maslahi wakiwa katika mfumo wa kiutawala na kisiasa kwa kusimamia haki utu na uwajibikaji ili kulinda maslahi ya watanzania na taifaclick to expand
mkuu rev kishoka
mheshimiwa mrema hakungoja kuambiwa arejeshe kadi kama ilivyokuwa kwa mheshimiwa sittamrema bado anaendelea kuwa shujaa wa kupampambana na ufisadi na aliyetanguliza maslahi ya taifa mbele badala ya maslahi ya chama au maslahi binafsi kama ilivyokuwa kwa mheshimiwa sitta
nawashangaa baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanao kuja na hoja eti mrema ni pandikizimrema aliisumbua sana ccm na usalama wa taifa tatizo ni yeye kukubali kujiunga na lile kundi la wanausalama nccr mageuzi ya akina marando
yaani mimi nauthamini mchango wake kwa nchi hii sana na pia he is a leader of his sort ambae tungependa kuwa nae mwenye uwezo wa kuamua jambo na kulitolea ufumbuzi linapojiri we need strong leaders jamani waafrica wanatakiwa kutishwa tishwa na ni mpambanaji sana bwana
lakini ktk uchaguzi wa tarime na biharamulo chadema walisema mrema ni pandikizi la ccm
hapa ktk maono yangu kati ya mrema na chadema mmoja lazima atakuwa pandikizi sasa ni nani mrema ama chadema
ugomvi kati ya mrema na chadema ni kutokana na kitendo cha mrema alipofuatwa kujiunga chadema alitoa sharti moja kuwa lazima apewe uenyekiti wa taifa chadema mtei alimwambia mrema akitaka kuwa kiongozi wa chadema sharti aanzie kwenye ngazi za mtaa kijiji tarafa wilaya mkoa na ndipo aje taifa na si kurukia usukani tuu mrema akakataa na nccr walipoona kuna mtu mashuhuri kama huyu na ndio walikuwa wakijiweka sawa baada ya mgawanyiko wa wapinzani wakakimbilia kumpa uenyekiti mrema
ni kutokana na mfumo wa kikomunisti wa vyama kuona kuwa mwenyekiti wa chama ndio mwenye mamlaka ya mwisho na vyama hivi kujiendesha kwa kumpa mwenyekiti mamlaka makubwa (mfumo wa kiccm) ndio maana kila mtu anaamini kuwa ni lazima awe mwenyekiti wa chama kwa kuwa uanasogea karibu na nafasi ya kugombea urais na kuwa rais
hii ilitokana na marekebosho ya katiba ya ccm ya kofia mbili wakati nyerere alipoamua kuacha uenyekiti 1987 kutokana na mgongano wa nguvu za utendaji ambapo urais na serikali zilionekana kuwa dhaifu kwa chama hasa kutokana na chama kuwa na mwenyekiti ambaye hakuwa rais na serikali ilikuwa ikifanyha kazi kwa ridhaa ya chama
kama mrema angekaa chini na kuchukua mateka hasa ya viongozi kutoka ccm basi leo hii tungekuwa tunacheza sindimba nyingine
mrema kwa sasa anastahili angalau apate ubunge ili apumzike kwa sababu kama ni mateso ccm walimtesa vya kutosha lakini kwa kiapo chake yeye bado ni ccm damu kwa sababu sijaona akirudisha kadi ya kijaniclick to expand
mkuu hii haijakaa vizuri yaani unamaanisha kwamba ukiwa mbunge ndio unakuwa umemaliza matatizo yako binafsi
hii hali ndio watu wengine tunaikataa
kama mrema angekaa chini na kuchukua mateka hasa ya viongozi kutoka ccm basi leo hii tungekuwa tunacheza sindimba nyingineclick to expand
rev unachosema ni kweli ila tatizo kubwa kwa mrema na chadema kwa maoni yangu binafsi ni mh p ndesamburo ambaye yeye na mrema haziivi kabisa kumwekea masharti aliyowekewa kabla ya kujiunga na chadema lazima kulikuwa na shinikizo kutoka kwa wadau wa ndani na wenye sauti wa chadema na kwa wakati ule kabla hata mrema hajajitoa ccm yeye na ndesamburo walikuwa ni kama paka na panyayani sioni ni kwa kivipi mzee ndesamburo angekubali mrema awe mwenyekitihata kama angeambiwa huyu ni masiya asingekubali
nawashangaa baadhi ya wanasiasa wa kambi ya upinzani wanao kuja na hoja eti mrema ni pandikizimrema aliisumbua sana ccm na usalama wa taifa tatizo ni yeye kukubali kujiunga na lile kundi la wanausalama nccr mageuzi ya akina marandoclick to expand
lakini mrema si nae alikuwa mwalimu wa hawahawa wana usalama pale mbweni au labda namchanganya
hapa namaanisha kwamba makablasha mengi ambayo huyu mheshimiwa alikuwa anapata yanayohusu ufisadi kwa wakti ule si alikuwa akipewa na baadhi ya wanafunzi wake wa zamani
all in all mrema alipaswa kuunda chama kipya kabisa ambacho kingekuwa na watu wasiohusiana na mfumo wa siasa uliopo jambo ambalo kwa tanzania ya sasa ni vigumu sana kwasababu mfumo wa siasa wa tanzania au political establishment umekaa vibaya kwa upinzani
jamani hata mm namfikiria sana huyu mzee wa watu kwanza alipokuja na rushwa ya milioni 900 wakamtemgenezea wingu zito watu wakamuona kama kichaa na hana uwezo hadi na yeye akaamini kwamba kweli hana akili na anachosimamia si cha kweli jamani hii ni hatari sana lakini hebu angalieni jinsi mrema alivyopambana na ufisadi kwa dhati
hapo ndipo najiuliza je ni ubinafsi au ni nia madhubuti ya kutaka kuongoza mapambano ndio ulipelekea mrema kudai uenyekiti wa chama chochote alichojiunga baada ya kutoka ccm
hapo ndipo najiuliza je ni ubinafsi au ni nia madhubuti ya kutaka kuongoza mapambano ndio ulipelekea mrema kudai uenyekiti wa chama chochote alichojiunga baada ya kutoka ccm click to expand
ni vyote viwili ubinafsi na nia madhubuti
ni ubinafsi (he took it personally with the actions of ccm and mwinyi's government) kwa kuwa alikuwa na nia ya kuwaonyesha kuwa anaweza kufanya mambo kwa ubora kuliko wao alioachanana nao ikiwa ni kiunganishi kwa dhamira ya umadhubuti wa kuongoza mapambano
vitendo vya mrema vinatoa sura mbili ambazo zinashabihiana mno | 2017-01-19T22:03:33 | https://www.jamiiforums.com/threads/augustine-lyatonga-mrema-mpiganaji.38521/ |
jump to page 4th march 2011 1116
re ufugaji wa kuku tuelimishane
mkuu nicazius nakupongeza kwa hatua uliyofikia na ninakukaribisha katika ufugaji wa kuku kwa ukubwa wa banda lako nafikiri unaweza kuweka vifaranga 400 kwani utakuwa na square feet 432 itakubidi kutenga sehemu ya banda (nusu ya nafasi iliyopo) ndiyo utakayoweza kuitumia katika siku za mwanzo na kadri kuku wanapoongezeka ukubwa nawe unaendelea kutumia sehemu ya banda iliyobaki
asante sana mgombezi nitakupa taarifa na maendeleo yangu kadri siku zinavyokwenda mbele
5th march 2011 0020
je faida za kuku wa nyama zikojekuna mtu ameniambia faida ni 50ie ukiweka vifaranga vya milioni mojathen tarajia faida ya laki 5
mimi nataka nianze na uzalishaji wa chakula cha mifugowalio wahi kuzalisha chakula cha kuku naomba ushauri na jinsi ya kuanza
5th march 2011 1220
ni wazo zuri lazima uwe na mashine ya uhakika na upate fomla ya utengenezaji broiler wana uchanganyaji wao na layers pia ukishapata fomla na ukawa mwaminifu kwenye vipimo utapata wateja tu
yes ni wazo zuri sana ku deal na mifugo kuna risk zake lakini kama wewe ukijikita kwenye uzalishaji wa vyakula vya mifugo ni poa sana ila inahitaji mtaji mkubwa
kwa mfano utahitaji materials toka mikoani eg dagaa mahindi mashudu pumba nk ambapo average kwa kunza lazima utengeneze tani zaidi ya 50 kwa mwezi
mimi nitaanza kutengeneza chakula cha kuku wangu mwenyewe (layers) ili kupata super profit nitajikita mikoani pia kukusanya materials
kwa wafugaji wa kuku wa kisasa
kwa wafugaji wa kuku humu ndani naomba formula ya growers mesh nataka kufanya mixing mwenyewe badala ya kununu chakula kilichotengenezwa tayari
msaada kwenye tuta please
14th march 2011 1546
re kwa wafugaji wa kuku wa kisasa
madaktari wa mifugo na animal scientist nawaona humu lakini wanakunyamazia mpeni hiyo formula msihofu makachero wa jf watawafanya nini
14th march 2011 1908
mkuu sijawahi kusikia kama formula za chakula cha mifugo huwa zinatolewa kienyeji jaribu kumtafuta jamaa yako ambaye amesoma mambo ya mifugo atakusaidia lakini kusema eti formula iwekwe hapa kweupe siyo rahisi maana hilo nalo ni deal la watu mkuu si unajua sasa hivi ni biashara kwa kwenda mbele hiyo nayo ni biashara (inaweza tolewa kwa mtindo wa consultancy na kukawa na malipo kidogo)
ukienda kichwa kichwa ndugu utapewa formula zilizochakachuliwa halafu usipate mazao yanayotarajiwa
16th march 2011 0042
inaelekea wenzetu hawa wana kauchoyo fulani eh wafanye kama wale wataalam wa kompyuta kule kwenye jukwaa la teknolojia jamaa hawanyimani ujuzi hata kidogo utashindwa wewe tu
16th march 2011 1234
fuso kesho nitakupatia formula ninayo ila nimeiacha home mi ndo ninayotumia nitaiweka kesho usikonde
si utani wale ndiyo wasomi wa kweli saa yoyote unapata kitu unachohitaji
17th march 2011 1124
naisubiri mtu wangu utakuwa umenipiga tafu kinoma
na mimi naiomba wazee maana ujasiri wa mali ni muhimu kwa maisha ya leo kama inawezekana naomba unitumie kwa mail yangu hii yonahphares @yahoocom
nitashukuru sana wana jf kwa mambo yenu mazuri haya
ifuatayo ni formula ninayoitumia wakati nikianza kuwapa growers mash na imekuwa ikinisaidia najua kila mfugaji ana namna yake ila hii ni ya kwangu
kwa ton 1 ya chakula cha kuku
mahindi kg 400
dagaa kg 80
chokaa kg 100
mifupa kg 20
alizeti kg 160
chumvi kg 3
premix kg 3
dcp kg 10
pumba kg 240
hapo utaweka na machine cost kwa kg ambayo ni kama shs 15 mpaka 20 kwa kg
kabla hawajaanza kutaga wape chakula wale washibe mpaka wakianza kutaga ndo unawapa kwa kipimo na wakishiba miezi minne mpaka mitano tu utaona mayai kibao
17th march 2011 1525
mkuu ubarikiwe sana hii ndiyo faida ya jf tutazidi kuwasiliana ngoja niifanyie kazi hii formula jmosi
17th march 2011 1643
asante kwa mchanganuo wako nikipata nafasi nitajaribu kuuhakiki kama unakubaliana na formula za growers maana kuna kitu kinaitwa crude protein (cp) ni lazima kiendane na mahitaji ya growers vinginevyo utakuwa unawapa chakula kilichochakachuliwa ambayo madhara yake ni makubwa sana kwa kuku wa mayai hapa namaanisha kuwa unaweza kuwapa chakula cha kuwanenepesha kuliko kawaida na wakashindwa kukupa mazao tarajiwa au ukawapunja wakapata utapiamlo
hapa hata mie nmejifunza kitu
18th march 2011 1023
mzee hebu lifanyie kazi hilo then utujulishe
nataka kufuga kuku wa mayai lakini
jamani nna ombi moja naomba mnisaidieni kwamba nimeamua kujivua gamba la umasikini na kuplan kufuga kuku wa mayai kwenye eneo langu la robo eka mitaa ya mbezi mwisho lakini tatizo ni kwamba mimi sikai huko nataka nijenge tu mabanda afu niweke mtu wa kukaa huko sasa tatizo linakuja sijawai kufanya hii kitu hivo nahofia security naomba kwa wale wenye uzoefu na hii kazi ni security features zipi natakiwa niweke ili nikilala usiku niwe na amani na hiki ki project changu
re nataka kufuga kuku wa mayai lakini
mkuu take my words fuga kuku wa mayai utapata faida security ni mtu utakayemweka hapo awe mwaminifu
29th april 2011 1450
mradi wa kuku wa mayai ni mzuri but note the following
kuku wanahitaji uangalizi wa karibu sana ni muhimu mtu anayemweka awe mwaminifu na awe serious na kazi hiyo
msimamizi wa banda lako ni muhimu awe na upendo kwa kuku kwani itakuwa rahisi kwake kutambua tatizo lolote watakalopata kumbuka sio suala tu la mtu kuweka chakula na maji na kuondoka
pata elimu ya magonjwa ya kuku kinga na matibabu elimu hiyo mpatie pia msimamizi wa banda
hakikisha wakati wote una hela ya akiba kwa ajili ya madawa ni kosa kubwa sana kuku wakianza kuugua halafu hauna hela ya kuwahudumia
jump to page all times are gmt +4 the time now is 0756 | 2014-11-01T03:56:48 | http://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/117756-kwa-wafugaji-wa-kuku-wa-kisasa-11-print.html |
> waziri jafo hati safi zimeongezeka katika mamalaka za serikali za mitaa msumba news blog
home matukio waziri jafo hati safi zimeongezeka katika mamalaka za serikali za mitaa
waziri jafo hati safi zimeongezeka katika mamalaka za serikali za mitaa
waziri wa nchi ortamisemi mheselemani jafo amesema katika ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali halmashauri zilizopata hati safi zimeongezeka kutoka halmashauri 81 kwa mwaka 2015/16 mpaka kufikia halmashauri 166 (90) kwa mwaka 2016/17
jafo ameyasema hayo wakati kwa kikao na waandishi wa habari kilichofanyika katika ukumbi bunge kuhusu utekelezaji wa baadhi ya mapendekezo ya cag kwa hesabu za mamlaka za serikali za mitaa kwa mwaka ulioishia juni 30 2017
alisema napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wenyeviti na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa na kamati ya kudumu ya bunge ya utawala na serikali za mitaa kwa maelekezo yao mazuri yaliyosaidia sana utendaji kazi wa ofisi ya rais tamisemi mikoa na msm michango yao ushauri na maelekezo yamewezesha kuongeza idadi ya hati safi
akizungumzia kuhusu hoja zilizobainishwa katika ropoti ya cag mhe jafo alisema tumefanyia kazi mapendekezo yote yaliyotolewa katika ripoti zilizopita ambapo watumishi 434 wamechukuliwa hatua baada ya kubainika kusababishia halmashauri zao hasara/hoja zisizo za lazima kutokana na kutotekeleza ipasavyo wajibu wao ama kujihusisha na vitendo vya ubadhirifu
kati ya hao 9 wamefukuzwa kazi watumishi 210 wamepewa barua za onyo huku watumishi 15 wakifikishwa kwenye vyombo vya dola watumishi 28 wamesimamishwa kazi 13 wametakiwa kufidia hasara kutoka kwenye mishahara yao wengine 4 wameshushwa vyeo na wengine 10 wamebadilishiwa majukumu alisema jafo
aliongeza kuhusu msm kupokea fedha pungufu ya bajeti iliyoidhinishwa ni kwa sababu serikali hutegemea makusanyo ya mapato kutoka vyanzo mbalimbali hivyo kiasi kinachotumwa kwenye msm hutegemea mwenendo wa mapato yaliyopatikana lakini pia fedha za miradi ya maendeleo zilizotolewa na serikali kwa mwaka wa fedha uliotaguliwa 2016/17 zimeongezeka ikilinganishwa na mwaka wa 2015/16
kwa mwaka 2016/17 fedha za miradi ya maendeleo zilizopokelewa na msm ni tsh 70592792159620 sawa na 57 ya bajeti iliyoidhinishwa ya tsh 1242616839000 akati mwaka 2015/16 fedha zilizopokelewa zilikuwa ni tsh 390525992297 sawa 39 ya bajeti ya tsh 1010650744099
kuhusu changamoto katika usimamizi wa mapato katika mhe jafo alieleza wizara imeendelea kuziba mianya ya uvujaji wa mapato kwa kuhakikisha kuwa halmashauri zinahamia katika matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji wa mapato ujulikanao kama local government revenue collection and information system (lgrcis) ambapo takwimu zote za mapato zinatunzwa katika mfumo huo ambao pia umeunganishwa na mashine za kukusanyia mapato (point of sales) zinazotumiwa na mawakala/wakusanya mapato na hivyo kuiwezesha halmashauri kufahamu mapato yaliyokusanywa na wakala/wakusanya mapato hao
vile vile mfumo huo umeunganishwa na mifumo ya benki na hivyo kuwezesha halmashauri kufahamu kiasi ambacho wakala/mkusanya mapato amekiingiza kwenye akaunti ya benki ya halmashauri ikilinganishwa na kiasi alichokusanya mpaka sasa halmashauri zote 185 tayari zimewekewa mfumo huu wa lgrcis
wakati huo huo alieleza kuhusu vitabu 379 vya kukusanyia mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa wakaguzi amesema licha ya kuwa idadi ya halmashauri na idadi ya vitabu vya kukusanyia mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa wakaguzi imepungua kutoka 871 katika halmashauri 57 kwa mwaka 2015/16 mpaka vitabu 379 katika halmashauri 21 kwa mwaka 2016/17 or tamisemi imeendelea kusimamia maelekezo ya serikali ya halmashauri zote ziachane na ukusanyaji wa mapato kwa kutumia stakabadhi/vitabu vya kuandikwa kwa mkono na badala yake mapato yakusanywe kwa kutumia mashine za kielektroniki
waziri jafo alimalizia kwa kutolea ufafanuzi wa soko la mwanjelwa mbeya na kusema kuwa ortamisemi imeanza kuchukua hatua kuhusiana na dosari mbalimbali zilizojitokeza katika ujenzi wa soko la mwanjelwa na kwa kuanza tulimuomba cag kufanya ukaguzi maalum na taarifa iliashiria makosa ya kijinai na tayari serikali imelifikisha suala hili kwenye vyombo vya dola ambapo pia wahusika wakuu wa mikataba husika na usimamizi wa utekelezaji wake nao pia wameshafikishwa kwenye vyombo vya dola kwa ajili ya uchunguzi na hatua zaidi serikali itaendelea kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na cag ili kuokoa hasara itokanayo na ujenzi wa soko hilo
mpendwa msomaji wetu tunakukumbusha kuidownload application yetu ya msumba news ili upate zetu kwa wepesi zaidi kama vile magazeti kuliko ilivyo sasa
==>> unaweza kuidownload << kwa kubofya hapa | 2019-01-17T22:01:02 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/04/waziri-jafo-hati-safi-zimeongezeka.html |
swali la 41 tumeona mazungumzo mengi kwa mtandao na serikali ya kikomunisti ya kichina na ulimwengu wa kidini wakilisingizia kulikashifu kulishambulia na kulitahayarisha kanisa la mwenyezi mungu (kama vile tukio la 528 huko zhaoyuan jimbo la shandong) tunajua pia kuwa ccp ni bora mno kwa kudanganya na kunena uongo na kupinda ukweli ili kuwahadaa watu na vilevile kuwa bora sana katika kuyakashifu kuyashambulia na kuyahukumu yale mataifa ambayo ina chuki kwayo hivyo neno lolote ambalo ccp husema ni lazima lisiaminiwe kabisa lakini mambo mengi yanayosemwa na wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa ni sawa na yale ambayo ccp huyasema hivyo ni jinsi gani tunafaa kutambua maneno ya kashfa ya kutahayarisha yanayotoka kwa ccp na ulimwengu wa kidini | kanisa la mwenyezi mungu | 2020-05-25T21:01:36 | https://sw.godfootsteps.org/discern-slanderous-from-ccp.html |
nia ya kuwekeza mtwara jamiiforums
nia ya kuwekeza mtwara
wapendwa mimi ni mtanzania ambaye nimeamua sitawaachia wawekezaji wa nje peke yao wafaidike na utajiri wa nchi yangu ivi karibuni nilipata kuongea na rafiki yangu ambaye ni foreigner na amefika mtwara akanisisitizia sana kama nina pesa kidogo nielekee mtwara nianzishe biashara ya malazi yaani b&b akanihakikishia kuwa watu wengi wanafika mtwara lakini wanakosa sehemu ya kuridhisha ya kulala na kama wakipata basi bei ni kubwa mno
sasa basi kwakuwa natambua jf ni kisima cha fikra na watu mbalimbali wenye mitazamo tofauti naomba kama kuna mtu ana uzoefu na mji huu wa mtwara anisaidie kunipa info ambazo zinaweza nisaidia kwenye nia yangu
je ni kweli kuna uhaba wa malazi safi
vipi upatikanaji wa ardhi mtwara mjini au hata nje kidogo ya mji sio mbaya
au je naweza pata nyumba iliyojengwa tayari nikaifanyia matengenezo kukidhi matakwa yangu bei zikoje
maelezo mengine yeyote yanayoweza saidia yanakaribishwa
the big show najua wewe ni mdau wa mtwara tafadhali kama una la kuchangia nitashukuru sana
naona watu mmeuchuna nasubiri mawazo yenu wajameni
nimezaliwa na kukua mtwara
huduma kama hizo zipo na bei zinatofautiana kulingana na hadhi ya sehem husika kikubwa ni kwambakutokana na kasi ya ongezeko la watu mtwara inasapelekea ionekane huduma hizo ni chache na zinahitajika kuongezwa pia kutokana na uchache huo pia unafanya wawekezaji wajivune na kupandisha bei kwasababu wanajua wahitaj ni wengi
kuhusu maeneo kwasasa kazi ipo kwa maeneo ya mjini kumvua mtu ni kati ya 10ml hadi 25ml kulingana na ukubwa wa eneo
sifa ya mtwara
ni pazuri sana hakuna mfanokibiashara panalipa kupindukia pia
karibu sana mtwara (strategic city)
japo kwasasa naishi dar es salaam ila naipenda mtwara
asante sana isack raphael kwa ufafanuzi
je nikitaka kutoka nje kidogo ya mji let say umbali kama 10 minutes drive kwenda mjini nawezapata shamba kama la acre 5 ivi maana kwa biashara hii sidhani kama ni lazima nikae katikati ya mji cha muhimu ni kutoa huduma safi watu watafuata bei za mashamba zipi vipi
vipi gharama za kulala hotel hapo mtwara zinarange kwenye kiasi gani
nakushauri ukitaka kuwekeza mtwara hakikisha unawekeza shangani east or west kwingine may be ni kule banadrini yakupasa ufahamu kuwa mtwara kuna vibaka wengi sana so kuna maeneo hata ujenge ghorofa hutoona mtu wa kupangisha
nakushauri ukitaka kuwekeza mtwara hakikisha unawekeza shambani east or west kwingine may be ni kule banadrini yakupasa ufahamu kuwa mtwara kuna vibaka wengi sana so kuna maeneo hata ujenge ghorofa hutoona mtu wa kupangisha
nashukuru sana kwa angalizo nitazingatia
i mean shangani not shambani
likes muhinda
nje kidogo unaweza kupata hata hapo mjini pia unaweza kupata muhimu ni kupata dalali wa kuaminika
pia naomba nirekebishe kauli ya mchangia mada hapo juu alivoongelea vibaka usitishike kwahilo kwani naamini hata huko unakoishi sasa vibaka wapo muhimu ni kuwa makini pia kuwekeza si kwamba shangani ni bora zaidi hapana kwa sasa mji umepanuka sana hivyo popote utafanya biashara cha kuzingatia ni huduma mzuri za kuvutiautafanikiwa
kuhusu hoteli bei zake ni kuanzia 4500060000 per day
mwisho nakuombea mafanikio mazur ya kuwekeza mtwara naamini utafurahia sana kuwekeza mtwara
karibu mtwarakabla ya kufanya chochote kuhusu biashara za malazikunakitu nitakushauli muhimu sananyumbani ni mtwara via lindiila nimetembea mikoa mingi sananataka nikupe case study pia
ungefunguka wazi hapa kwa faida ya wote wenye nia ya kuwekeza mtwara
likes malila and veronicaamadu
hii post nimeweka hapa ili watu wengi zaidi wapate elimu ingekuwa vizuri kama uneweka info ulizonazo kwa f aida ya jamvi asante
mkuu in next 3yrs mtwara itakuwa paradiso na kutakuwa kuna mzunguko wa fedha sana na biashara zitaenda ila kuna mdau mmoja kasema maeneo ya shangani yanafaa hapo mkuu kama unavijisenti fanya haraka sana utapiga hela kuna sehemu napajua watu wanalipa usd 100 per day halafu pakawaida sana
kwakweli nimepata moyo sana ila kuna watu humu wanabania info ningependa watu wafunguke zaidi humu humu asanteni
mtwara inaenda kuwa moja ya miji kuhimu sana tanzania
ili thread lilisusiwa still need some info jamani | 2019-01-23T13:38:10 | https://www.jamiiforums.com/threads/nia-ya-kuwekeza-mtwara.561703/ |
wadau naomba radhi kwa kutowaletea au kupost picha mpya hasa za mshikaji nyepesi akifanya vitu vyake mtaani au za madent udsm kwani niko honey moon naahidi pindi niliripotipo kwa ofisi nitawapatia mpya mpya kadiri zinavyojili asanteni sana
najua kuna wakati inakuwa shida kuposti na kuna wakati posti zinkuja mfulilizo endelea na kazi nzuri
1138 pm gmt+3
nashukuru dada chemi na mwanablog maarufu kwa kunitia moyo nami napenda pia kazi yako nzuri ktk blog yako ni kweli ni kazi sana na hasa unapokuwa na majukumu mengine yanayotumia muda wako mwingi naomba tuendelee kuwasiliana
543 pm gmt+3 | 2018-02-26T03:22:45 | http://bongopicha.blogspot.com/2007/09/wadau-naomba-radhi-kwa-kutowaletea-au.html |
jamvi safari ya bbi kutoka bomas hadi bungeni taifa leo
huku suala la iwapo ripoti ya jopo la maridhiano (bbi) linapasa kutekelezwa kupitia bunge au kura ya maamuzi likiendelea kushika kasi imebainika kuwa ripoti hiyo inaweza tu kuletwa bungeni kama mswada au hati ya sera ya serikali kuu
kulingana na spika wa bunge la kitaifa justin muturi ni mapendekezo ya ripoti hiyo ambayo yanahitaji kutekelezwa kupitia mageuzi ya kisheria na kikatiba ndio yatungiwa mswada
na ripoti hii pia inaweza kufika bungeni kama ripoti kuhusu sera ya serikali ya kitaifa na baada ya kuwasilishwa bungeni kwa njia hiyo inaweza kujadiliwa namna ambavyo ripoti nyinginezo kutoka afisi ya rais hujadiliwa bungeni na kupitishwa anasema bw muturi
hata hivyo bw muturi anashikilia kwamba kufikia sasa afisi yake haijapata nakala za ripoti hiyo ya bbi anasema kuwa juhudi za afisi ya karani wa bunge michael sialai kuomba ipewe ripoti hiyo na afisi ya rais au mpiga chapa wa serikali (government printer) hazijafua dafu
kwa hivyo hadi kufikia sasa ripoti hiyo ni mali ya serikali kuu hadi pale mapendekezo ya mabadiliko ya kisheria yatakapoletwa bungeni bw muturi anafafanua
wiki jana bw muturi aliripotiwa akisema kuwa bunge halipasi kuongoza mchakato wa utekelezaji wa ripoti hiyo ya bbi bali shughuli hiyo inapasa kuachiwa wananchi waishughulikie kupitia kura ya maamuzi
kulingana na sheria miswada ya marekebisho ya sheria na katiba itakayotumika kufanikisha utekelezaji wa baadhi ya mapendekezo ya ripoti ya bbi inapasa kutayarishwa na afisi ya mwanasheria mkuu paul kihara
hii ni baada ya ripoti hiyo kuwasilishwa katika kikao cha baraza la mawaziri kujadiliwa na kuidhinishwa ili iwe stakabadhi rasmi ya serikali ya kitaifa kuhusu sera mbalimbali
wakili james mwamu anasema kuwa baada ya afisi ya bw kihara kuandaa miswada mbali mbali kuihusu ripoti ya bbi miswada hiyo inapasa kuwasilishwa bungeni kupitia afisi ya kiongozi wa wengi bungeni aden duale
hii ni kwa sababu chini ya mfumo wa utawala chini ya katiba ya sasa bw duale kama kiongozi wa chama au mrengo tawala bungeni ndiye daraja kati ya serikali ya kitaifa na bunge la kitaifa anasema
bw mwamu anakubaliana na spika muturi kwamba kufikia sasa mkondo kama huo haujatafutwa katika jitihada za serikali kuu za kutaka kufanikisha utekelezaji wa ripoti ya bbi
kwa hivyo ni makosa kwa baadhi ya wabunge kudai kuwa tayari wamebuni kamati mbalimbali teule za wabunge kuongoza mchakato wa utekelezaji wa mapendekezo ya ripoti ya bbi swali langu ni je wanawezaje kushughulikia utekelezaji wa ripoti ambayo haijawasilishwa rasmi bungeni kupitia taratibu zilizowekwa na sheria za bunge anauliza
mnamo wiki jana zaidi ya wabunge 40 kutoka eneo la mlima kenya ambao ni wandani wa naibu rais william ruto walikutana katika mkahawa mmoja mjini embu na kutangaza kuanzisha mchakato wa kutekeleza ripoti ya bbi kupitia asasi ya bunge
wakiongozwa na seneta wa kaunti hiyo njeru ndwiga na waziri wa kilimo mwangi kiunjuri wabunge hao walishikilia kuwa bunge ndio mkondo mwafaka wa kufanikisha utekelezaji wa mapendekezo ya ripoti hiyo wala sio kura ya maamuzi
tumebuni kamati mbalimbali teule za wabunge na maseneta ambao wataketi na kuunda miswada itakayofanikisha utekelezaji wa sehemu mbalimbali za ripoti hii ripoti ya bbi haipaswi kuwasilishwa tena kwa wanjiku kupitia kura ya maamuzi kwani mkondo kama huu utapandisha joto la kisiasa nchini na kuvuruga mipango ya serikali ya kutekeleza mipango na miradi ya maendeleo akasema seneta ndwiga
naye mbunge wa gatundu kusini moses kuria aliwasuta wabunge wandani wa kiongozi wa odm raila wanaopendekeza kufanyike kura ya maamuzi kufanikisha utekelezaji wa ripoti hiyo akisema serikali haina fedha za kufadhili mchakato huo
serikali inapasa kuelekeza fedha katika shughuli za kuwasaidia wahanga wa mafuriko wala sio kufadhili kura ya maamuzi kuhusu ripoti hii jopo hilo tayari limekusanya maoni kutoka kwa wananchi katika vikao ambavyo iliandaa kote nchini ikitumia mamilioni ya fedha sasa kazi ambayo imesalia ni ya bunge kama asasi iliyopewa wajibu wa kikatiba wa kutunga sheria akasema bw kuria
na wiki jana spika muturi alizima mipango ya kamati mbili za bunge la kitaifa kujadili ripoti ya bbi na kutoa mwelekeo kuhusu utekelezaji wake
kamati ya bunge inayosimamia utekelezaji wa katiba (cioc) inayoongozwa na mbunge wa ndaragua jeremiah kioni ilitaka idhini ya spika ili iweze kufanya mikutano ya kuchambua ripoti hiyo katika mkahawa mmoja mjini mombasa
ombi sawa na hilo liliwasilishwa na kamati ya bunge la kitaifa kuhusu haki na masuala ya kisheria inayoongozwa na mbunge wa baringo kaskazini william cheptumo
kulingana na bw muturi kamati hiyo zinaweza tu kushughulikia ripoti hiyo endapo itawasilishwa bungeni kama mswada wa serikali au stakabadhi rasmi ya kisera kutoka kwa ikulu ya rais
bw muturi pamoja na wakili mwamu wanakubaliana kuwa mapendekezo ya ripoti ya bbi yanayohusu mageuzi ya mfumo wa uongozi sharti yaidhinishwe kupitia kura ya maamuzi
kwa mfano pendekezo la kubuniwa kwa wadhifa wa waziri mkuu mawaziri kuteuliwa miongoni mwa wabunge na wale ambao watateuliwa kutoka nje kutawazwa kuwa wabunge linabadili mfumo wa uongozi kwa hivyo suala hili sharti liamuliwe na raia katika kura ya maamuzi kulingana na kipengele cha 255 cha katiba ya sasa akasema wakili huyu ambaye pia ni mchanganuzi wa masuala ya kisiasa | 2020-04-08T13:37:02 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=42707 |
rais magufuli asali kanisa la bikira maria parokia ya chato atembelea kanisa la anglikana aic pamoja na msikiti wa omar binlkhattab chato | jestina george
home / news / rais magufuli asali kanisa la bikira maria parokia ya chato atembelea kanisa la anglikana aic pamoja na msikiti wa omar binlkhattab chato | 2019-09-21T16:00:20 | http://www.jestina-george.com/2016/08/rais-magufuli-asali-kanisa-la-bikira.html |
afroshia muslim community dr hassan ruhani kumpokea rasmi mfalme wa omani
dr hassan ruhani kumpokea rasmi mfalme wa omani
rais wa jamuhuri ya kiislamu ya iran leo adhuhuri alimpokea rasmi mfalme wa omani katika mji mkuu wa tehran
ripoti ya shirika la habari la ahlul bayt(as)abna hujatul islam walmuslimin drhasan ruhani rais wa jamuhuri ya kiislamu wa iran leo adhuhuri alimpokea rasmi sultan qabus mfalme wa omani katika mji mkuu wa tehran
katika mapokezi rasmi hayo kulisomwa nyimbo za nchi mbili hizo kisha kupelekwa sehemu husika
safari hii inalenga kuimarisha uhusiano mzuri wa nchi mbili hizo na ujirani wema na kusaini baadhi ya mikataba
ayatullah sayyid ali khamenei kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu alikutana na sultani qaboos bin said mfalme wa oman katika mkutano huo ayatullah khamenei aliashiria uhusiano mzuri na wa kirafiki uliopo kati ya iran na oman na kumbukumbu nzuri waliyonayo wananchi wa iran kwa nchi na serikali ya oman na akasema kuna fursa kadhaa za kustawisha zaidi uhusiano wa nchi mbili katika nyanja mbalimbali hususan katika sekta ya mafuta
ayatullah khamenei ameitaja nchiya oman kuwa ni jirani mwema na wa kweli kwa jamuhuri ya kiislamu ya iran naakasema kuhusiana na masuala ya eneo kuwa hivi sasa eneo linakabiliwa na hali
nyeti na tete ambayo inahitajia mashauriano zaidi baina ya nchi mbili
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu amesema eneo linakabiliwa na hatari ya kutumbukia kwenye mgogoro na akaongeza kwamba chanzo hasa cha hali iliyopo hivi sasa katika eneo ni
uingiliaji wa namna mbalimbali unaofanywa kutoka nje ya eneo hili
ayatullah khamenei amesema moja ya masuala hatari katika eneo ni kuingizwa masuala ya kidini kimapote na kimadhehebu katika hitilafu za kisiasa baina ya nchi na akafafanua kwa kusema
kwa masikitiko ni kuwa kutokana na uungaji mkono wa baadhi ya nchi za eneolimeanzishwa kundi la ukufurishaji ambalo lina ugomvi na makundi yote yawaislamu hata hivyo wale wanaoliunga mkono kundi hili wanapaswa wajue kwamba moto huu utakuja kuwatambalia na wao pia
alisisitiza pia kuhusu tishio la utawala wa kizayuni kwa kueleza kwamba utawala huo ni tishio la kudumu katika eneo na unaungwa mkono kwa kila hali na marekani na akaongezea kwa kusema
kutokana na kuwa na maghala yaliyosheheni silaha hatari mno za mauaji ya halaiki utawala harabu wa kizayuni ni tishio kubwa kwa eneo
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu amesisitiza kuwa eneo linahitajia amani kwa wote na njia pekee ya kuweza kulifikia lengo hilo muhimu ni kutangazwa kwa maana halisi marufuku ya
silaha za mauaji ya umati katika eneo hili
katika mkutano huo uliohudhuriwa pia na rais hassan rohani sultani qaboos alibainisha furaha kubwa aliyokuwa nayo kwa kukutana na kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu na akasema
uhusiano wa iran na oman ni mzuri sana kutokana na mafungamano ya kihistoria na kiutamaduni yaliyopo baina ya nchi mbili aliongeza kuwa katika mazungumzo aliyofanya na rais wa iran walijadili njia za kustawisha zaidi uhusiano katika nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi na upitishaji bidhaa hususan katika
sekta ya gesi
aliunga mkono pia maneno ya kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu kuhusu hali nyeti na tete
inayotawala katika eneo na tishio la utawala wa kizayuni na akasema ili kuondokana na hali iliyopo hivi sasa kuna haja ya kuzingatiwa maslahi ya wananchi wa eneo pamoja na kuwepo ushirikiano kati ya nchi za eneo
ayatullah khamenei ameitaja nchi ya oman kuwa ni jirani mwema na wa kweli kwa jamuhuri ya kiislamu ya iran na akasema kuhusiana na masuala ya eneo kuwa hivi sasa eneo linakabiliwa na hali
kwa masikitiko ni kuwa kutokana na uungaji mkono wa baadhi ya nchi za eneo limeanzishwa kundi la ukufurishaji ambalo lina ugomvi na makundi yote ya waislamu hata hivyo wale wanaoliunga mkono kundi hili wanapaswa wajue kwamba moto huu utakuja kuwatambalia na wao pia | 2019-07-17T02:24:01 | http://afroshia.blogspot.com/2013/08/dr-hassan-ruhani-kumpokea-rasmi-mfalme.html |
mascherano ahukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kukwepa kodi bin zubeiry sports online mascherano ahukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kukwepa kodi bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za ulaya > mascherano ahukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kukwepa kodi
mascherano ahukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kukwepa kodi
beki javier mascherano amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na kupigwa faini ya euro 815000 kwa kukutwa na hatia mbili za kukwepa kodi
pamoja na hayo nyota huyo wa barcelona hataki kwenda kutumikia kifungo hicho jela baada ya mwanasheria wake david aineto kuomba kifungo cha jela kigeuzwe kuwa faini ambayo tayari amelipa
mwanasheria wa mascherano pia anapambana kuondoa rekodi ya ukwepaji kodi kwa mteja wake kwa kulipa faini zaidi
javier mascherano akiondoka mahakama ya barcelona jana baada ya kukiri makosa mawili ya ukwepaji kodi picha zaidi gonga hapa
nchini hispania watu wanaohukumiwa kifungo kisichozidi miaka miwili jela huruhusiwa kulipa faini ili wasiende jela labda wawe wamehukumiwa kwa makosa ya jinai
mascherano mwenye umri wa miaka 31 alihukumiwa kifungo cha miezi minne na miezi miezi minane kwa makosa mawili aliyoyafanya mwaka 2011 na 2012
nyota huyo wa argentina tayari amelipa kiasi cha kodi anachodaiwa kukwepa euro milioni 16 kabla ya kupewa adhabu hiyo mascherano pia amelipa ziada ya fedha hizo lakini bado ametozwa faini
makosa yake ya ukwepaji kodi ni kutokana na kushindwa kuainisha vipato vyake vingine kutonana na haki za matumizi ya picha zake ambazo zinamilikiwa na kampuni za ureno na marekani
princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 friday january 22 2016
item reviewed mascherano ahukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kukwepa kodi rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-02-19T05:10:59 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/01/mascherano-ahukumiwa-kwenda-jela-miaka.html |
matangazo ya leo » (5)
system mmiliki ina haki ya kubadili ukubwa wa mashtaka binafsi au ada katika mfumo kabisa mbali
orodha ya bei ni halali kwa matangazo ya biashara katika my4ucz kutoka 30042013 bei ya kila kitu kwa ajili ya kuonyesha (topování) ni waliotajwa kwenye fomu ya kuingiza matangazo
bei kwa ajili ya michango kwa faida kwa kutumia sms ni kuonyeshwa katika mfumo wa ushuru kwa nchi isipokuwa ni mfumo yanayotokana na hatimaye kulipwa ankara kwa kuhamisha benki
ada kwa ajili ya tangazo insertion
kuwasilisha matangazo
kuingiza mpya tangazo matangazo server kwa hadi 90 siku
kuonyeshwa tangazo
uchaguzi wa user kuonyesha aina ya taka
ushuru na nchi
nyumba ya sanaa picha
image kuingizwa katika nyumba ya sanaa (2x kwa bure zaidi ya kushtakiwa)
kuongeza url
ushirikishwaji wa kumbukumbu ya ad
ada kwa ajili ya matangazo (mabango) bei ni kwa mwezi mmoja (czk)
banner kiwango 125x125 pix
naweza tu muundo na bendera 160x160 pix
(banner aina a)
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika makundi yote kwa uwiano wa 50 50 kushoto
(banner aina b)
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila jamii kubwa kushoto
(banner aina c)
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila ndogo wa kushoto
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika ndogo nyingine mbalimbali kushoto
banner kiwango 120x240 pix
naweza tu muundo na bendera 120x600 pix
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika makundi yote haki
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila jamii kubwa haki
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila ndogo haki
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika ndogo nyingine mbalimbali haki
micro bendera x 88 31 pix
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika makundi yote kwa uwiano wa 50 50 chini
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila jamii kubwa chini
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila ndogo chini
unaweza pia kutumia format bendera 392x72 pix
bendera kuonyeshwa tu katika ukurasa wa kwanza chini
matumizi ya format bendera 392x72 pix
bendera kuonyeshwa katika makundi mbalimbali chini
bendera kuonyeshwa juu ukurasa katika makundi yote kwa uwiano wa 50 50
(banner aina bb)
bendera kuonyeshwa katika kila jamii juu ukurasa
(banner aina cc)
bendera kuonyeshwa katika kila ndogo ya jamii juu ukurasa
mabango katika format 120x600 au 160x600 pix
iliyoingia bendera moja kwa moja vitabu kwa ukurasa rightmost katika makundi yote katika mahusiano ya 50 50
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila jamii kubwa vpravo
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika kila ndogo vpravo
iliyoingia bendera kuonyeshwa katika ndogo nyingine mbalimbali vpravo
iliyoingia mabango wakati kutazamwa katika mahusiano ya 50 50
kutoa maalum bei ni kuamua dynamically (na tovuti trafiki) kwa mwezi mmoja
top bendera
iliyoingia bendera kuonyeshwa kwenye ukurasa wa nyumbani na výrazněním
vwingi bendera katika uwiano 50 rangi 50
vwingi bendera katika uwiano mbalimbali (kushiriki nafasi kwa wagombea zaidi banner)
ili tafadhali wasiliana mabango ya matangazo aina ikionyesha kuchaguliwa format bendera
kushiriki ukurasa huu jumanne / úterý 21022017 17 29leo kiwango cha czk | 2017-02-21T16:29:04 | http://www.inzerce-bazar.my4u.cz/sw/cenik-sluzeb.html |
happy happy day (page 6) | 4375039 | nisha aur uske cousins forum
happy happy day (page 6)
yaar lekha ki baat bhool gayi
mujhe kich nahi hai
tum ghajini ho
saari special moments bhulati ho | 2018-08-22T05:47:32 | https://www.india-forums.com/forum_posts.asp?TID=4375039&TPN=6 |
nje ya boksi kazi ya refa kiapo ni muhimu mwanaspoti
nje ya boksi kazi ya refa kiapo ni muhimu
peter kisaranga
katika soka neno rasmi ambalo hutumiwa kwa mwamuzi wa katikati ya uwanja ni refa (referee)
by peter kisiranga
mwamuzi katika mchezo wowote ule huwa mtu wa kutumainiwa na kuaminiwa ili aweze kutenda haki na kutoa uamuzi usio na mizengwe
katika soka neno rasmi ambalo hutumiwa kwa mwamuzi wa katikati ya uwanja ni refa (referee) refa katika ngazi za juu anatakiwa kuhitimu mafunzo na kupata leseni kutoka katika shirikisho la mpira wa miguu linalotambuliwa na fifa au mchezo wowote
refa hukimbia kwa njia ya hanamu (diagonal) akitokea kaskazini magharibi na kurudi kusini mashariki mwa uwanja kadiri pambano linavyoendelea huku washika vibendera (linesman) wakikimbia pande mbili za uwanja kuanzia kwenye kona mpaka katikati ya uwanja
kazi za washika vibendera huwa ni kumshauri tu refa inapotokea uvunjwaji wa sheria za mchezo ila uamuzi wa mwisho hubaki kuwa ya refa mwenyewe
mastori ya leo yanaturudisha hadi mwaka 1987 katika michuano ya littlewoods cup wakati nottingham forest na brighton zilipokutana katika pambano hilo mshika kibendera ray pearce alikuwa ni kaka wa mchezaji wa england na nahodha wa nottingham forest stuart perce
stuart pearce alijulikana akicheza kama beki wa kushoto alicheza dakika zote 90 huku mshika kibendera akiwa ndugu yake mchezo huo uliendeshwa kwa haki na matokeo ya suluhu ya 00 hayakuwa na malalamiko licha ya watu wengi kutofahamu kuwa wawili hao ni ndugu wa damu
huko scotland beki wa timu ya taifa brian mclean ambaye pia ni mdogo wa refa anayetambulika na fifa steve mclean wao pia wamewahi kukutana kazini kwenye mechi kadhaa
steve mclean kama refa huwa haoni tabu kutoa kadi za njano ama nyekundu endapo mdogo wake brian atakwenda kinyume na sheria za mchezo kwenye moja ya mahojiano yake steve mclean alisema kwa mzaha kuna wakati namuonya kwamba nitampa kadi na kwamba nitakwenda kumsemea kwa mama kama atarudia tena kucheza rafu maisha ya refa yanapaswa kuwa ya uadilifu na umakini wafuatiliaji wazuri wa mpira wa ulaya wanaweza kuwa wanamjua refa maarufu huko pierluigi collina wa italia licha ya kuwa na utumishi uliotukuka katika kazi yake alilazimika kujiuzulu baada ya kuingia mkataba wa biashara na kampuni ya opel iliyokuwa ikidhamini pia ac milan na hivyo kuepusha mgongano wa kimaslahi wakati mwingine tusiwalaumu sana waamuzi kwani wao ni binandamu | 2017-12-17T23:34:01 | http://www.mwanaspoti.co.tz/kolamu/NJE-YA-BOKSI--Kazi-ya-refa-kiapo-ni-muhimu/1799590-4186802-15nofw6/index.html |
usalama viwanjani changamoto | gazeti la jamhuri
suala la usalama ndani na nje ya viwanja vya soka limebaki kuwa tishio kwa wachezaji na watazamaji wa mchezo huo hali inayoendelea kupunguza idadi ya watu wanaokwenda kutazama mechi barani afrika
mara nyingi ajali katika viwanja zimekuwa zikisababishwa na uzembe wa baadhi ya watendaji waliokabidhiwa majukumu ya kusimamia mchezo hali inayowaweka wachezaji na watazamaji katika hatari
katika mwendelezo wa ajali ndani na nje ya viwanja inakadiriwa watu wapatao 17 wamekufa nchini angola wiki iliyopita wakati wa mchezo kati ya santa rita de casia dhidi ya reactrativo de libolo
taarifa iliyotolewa na vyombo vya usalama nchini humo imesema watu waliopoteza maisha katika ajali hiyo ni akina mama na watoto wengine 56 wakibaki majeruhi wanaoendelea kutibiwa
tukio la angola linakuja ikiwa imepita miaka 16 tangu mashabiki wapatao 127 wa soka nchini ghana walipopoteza maisha mwaka 2001 katika uwanja wa accra sport
maafa hayo yalitokea wakati wa pambano kati ya mahasimu wawili wa soka nchini humo hearts of oak dhidi ya asante kotoko katika mchezo huo takribani mashabiki 127 walipoteza maisha
miaka 9 baada ya tukio la ghana tukio jingine lilitokea nchini ivory coast katika mchezo wa kufuzu fainali za kombe la dunia uliopigwa stade felix houfuete boigne kati ya wenyeji ivory coast dhidi ya malawi katika tukio hilo mashabiki 19 walifariki dunia
miaka 16 iliyopita nchini afrika kusini kwenye soweto derby kati ya kaizer chiefs na orlando pirates mashabiki 43 walifariki dunia kutokana na uwanja kujaza mashabiki 30000 tofauti na idadi inayotakiwa ya watu 20000
ajali nyingi katika soka hapa afrika mara nyingi hutokana na uzembe wa mashabiki wenyewe vyombo vya usalama au vyama vya soka kushindwa kuweka mikakati ya kuzuia ajali
kwa hapa tanzania kumekuwa na ajali zinazotokea ndani au nje ya viwanja na kusababisha wachezaji kupoteza maisha kwa mfano tukio la kufariki uwanjani kwa mshambuliaji wa timu ya vijana ya mbao fc ismail khalfan desemba 4 2016 bado limeendelea kuacha maswali mengi juu ya usalama katika viwanja vya soka
ripoti iliyotolewa na hospitali ya mkoa wa kagera kuhusiana na kifo cha mchezaji huyo ilionesha kuwa alifariki kutokana na kusimama ghafla kwa moyo (sudden cardiac arrest)
baada ya uchunguzi ilibainika kuwa mchezaji huyo hakuwa na jeraha lolote ila kifo chake kilitokana na kusimama ghafla kwa moyo kutokana na kukosekana kwa huduma ya kwanza uwanjani
mchezaji huyo alitakiwa kupatiwa huduma ya kwanza ya electrical shock kitendo ambacho kilitakiwa kufanyika ndani ya sekunde chache kwa lengo la kuushitua moyo kurudi katika hali yake
kitaalamu kawaida moyo una mfumo wa umeme (heart electrical system) ambao unadhibiti mapigo ya moyo mfumo huu ukisimama basi moyo unashindwa kusukuma damu sehemu muhimu kama vile kwenye ubongo na ogani kuu
ukosefu wa vifaa tiba katika viwanja vyetu kama huduma ya kwanza gari la wagonjwa umekuwa kama wimbo wa taifa kwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) kushindwa kuwa na vifaa hivyo na pale mchezaji anapopata tatizo anashindwa kupata huduma
tumeshuhudia pia mchezaji wa stand united chidiebele akiumia uwanjani na kuvunjika taya lakini hakukuwa na huduma ya uhakika achilia mbali wachezaji wengi wanaopata madhara bila ya uhakika wa huduma katika viwanja vingi mikoani
previous wauza unga hawa
next mwenye nyumba ana hatia ikiwa mpangaji anahusika na dawa za kulevya
rco knjaro adaiwa kuwalinda wauaji | 2018-07-19T23:07:27 | http://www.jamhurimedia.co.tz/usalama-viwanjani-changamoto/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.