text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
magazeti ya tanzania leo may 2012 | serial youth pastor > uncategorized > magazeti ya tanzania leo may 2012 magazeti ya tanzania leo may 2012 magazeti ya tanzania leo may 2012 magazeti ya leo tanzania kiswahili unladylike behavior magazeti ya leo tanzania kiswahili magazeti ya leo tanzania kiswahili unladylike behavior magazeti ya leo tanzania kiswahili magazeti ya leo nipashe tanzania magazeti ya udaku ya leo | shumy inc tanzania promoters watu wa mbeya hawakomi shuhudia wananchi wa mlima nyoka mbeya walivyo gombania mafuta baada ya gari la mafuta kampuni ya lake oil kupinduka wakazi *waziri membe kuyashitaki magazeti ya mwananchi na tanzania daima wakili wa waziri wa mambo ya ndani ya nchi benard membe joseph tadayo akizungunza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo kuhusu hatua iliyochukuliwa na magazeti ya leo nipashe tanzania kiswahili unladylike behavior magazeti ya leo nipashe tanzania kiswahili magazeti ya leo nipashe tanzania kiswahili unladylike behavior magazeti ya leo nipashe tanzania kiswahili magazeti ya global publishers mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete akizungumza wakati wa kikao chake na wabunge wa ccm leo mei 19 2013 katika ukumbi wa jengo la white house makao makuu ya habari ni habari ndugu yangu magazeti leo by wilfred edwin a $27 million breach of contract suit filed by the independent power tanzania ltd (iptl) against the tanzania government over unpaid pamoja magazeti ya leo alhamis april 04 2013 2013 (1260) may (224) april (278) jaji mkuu wa tanzania amtemblea spika wa bunge ofi ajali mbaya sana yatokea eneo la mboga karibu na c pamoja magazeti ya leo ijumaa january 11 2013 2013 (1261) may (225) april (278) march (249) february (225) january (284) kikosi cha taifa stars habari na matukio magazeti ya leo nguo za ndani zinachangia karibuni sana wote kutoka pande mbali mbali za dunia muweze kupata habari na matukio katika blog hii poleni sana na mihangaiko ya kutafuta riziki bin zubeiry tetesi za usajili magazeti ya ulaya leo categories uncategorized tags tom neal clay county tags youth pastor leaving wbm760 lights keep blinking black church welcome and respones speeches offertory prayers 2013 arris orange lights on ds and us how to fix it promise object lesson memorial day pastoral prayers
2013-05-23T02:31:35
http://serialyouthpastor.com/2012/05/24/magazeti-ya-tanzania-leo-may-2012/
mkakati wa serikali ni kuhakikisha tbc inasikika nchi nzima mheshonza | jamhuri ya muungano wa tanzania news september 9 2019 0 comment naibu waziri wa habari utamadunisanaa na michezo mhejuliana shonza akijibu maswali leo bungeni jijini dodoma mheshonza ameyasema hayo leo bungeni jijini dodoma alipokuwa akijibu swali la mbunge wa sikonge mhejoseph kakunda aliyeuliza je kuna sababu zipi zinazosababisha matangazo ya tbc hasa upande wa redio yasisikike kwenye tarafa ya kitunda na maeneo mengi ndani ya jimbo la sikonge na je ni lini serikali itarekebisha tatizo hilo katika bajeti ya mwaka wa fedha 2019/20 tbc inaendelea kutekeleza mradi wa upanuzi wa usikivu katika maeneo ya mikoa ya unguja pemba simiyunjombe songwe na lindialisema mheshonza ← tume ya madini andaeni utaratibu biashara ya madini ifanyike kikanda biteko jamii yashauriwa kutunza na kuhifadhi dhana za jadi →
2019-11-18T21:26:37
http://blog.maelezo.go.tz/46619-2/
imani na mafundisho (ya imani) elimu na jamii historia na siasa sheria & ibada qurani & hadithi maisha ya kiroho na falsafa diseases of the power of anger and their treatment
2016-10-21T00:42:38
https://www.al-islam.org/sw/node/11274
rais wa zanzibar dkt shein aongoza waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya eid el hajj mjini zanzibar homenewsrais wa zanzibar dkt shein aongoza waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya eid el hajj mjini zanzibar rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein akisalimiana na mshauri wa wizara ya habari utalii na mambo ya kale zanzibar mhe abdalla mwinyi alipowasili katika viwanja vya chuo kikuu cha taifa kampasi ya bertras kuhudhuria sala ya eid el hajj (picha na ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedkali mohamed shein akijumuika na waumini wa dini ya kiislam katika sala ya eid el hajj iliofanyika katika viwanja chuo cha taifa suza kampasi ya bertars wilaya ya magharibi a unguja (picha na ikulu) baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wakifuatilia hutba ya sala ya eid el hajj iliofanyika katika viwanja vya chuo kikuu cha taifa suza kampasi ya betras wilaya ya magharibi a unguja(picha ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein na makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi wakifuatilia hutba ya sala ya eid el hajj katika viwanja vya chuo kikuu cha taifa zanzibar kampasi ya betras wilaya ya magharibi unguyja ikisomwa na sheikh tawaha huein twaha baada ya kumalizika kwa sala hiyo(picha na ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk ali mohamed shein na kulia makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi na viongozi wa dini na serikali wakiitikia dua ikisomwa na kadhi dhamana wa wilaya ya magharibi a unguja sheikh othman haji chum(picha na ikulu) kadhi dhamana wa wiliya ya magharibi a unguja sheikh othman haji chum akisoma dua baada ya kumalizika kwa sala ya eid el hajj iliofanyika katika viwanja vya chuo kikuu cha taifa suza kampasi ya bertras wilaya ya magharibi a unguja(picha na ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk ali mohamed shein akimsalimiana mtoto mundhiri machano baada ya kumalizika kwa sala ya eid el hajj iliofanyika katika viwanja vya chuo kikuu cha taifa suza kampasi ya bertras wilaya ya magharibi a unguja(picha na ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein akizungumza na masheikh wa wilaya ya magharibi a unguja katika ukumbi wa ikulu ndogio kibweni zanzibar wilaya ya magharibi a unguja(picha na ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk alim mohamed shein na makamu wa pili wa rais wa zanzibar mhe balozi seif ali iddi wakiitikia dua ikisoma na kadhi wa rufaa kisiwani pemba sheikh daud khamis salum baada ya kumalizika hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa ikulu ndogo kibweni wilaya ya magharibi a unguja kibweni(picha na ikulu) rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhedk alhajj ali mohamed shein akihutubia baraza la eid el hajj katika viwanja vya dole wilaya ya magharibi a unguja(picha na ikulu)
2019-10-21T18:33:53
https://news.bongoex.com/2019/08/rais-wa-zanzibar-dkt-shein-aongoza.html
mgodi wa buzwagi wakabidhi hundi ya milioni 588 kwa halmashauri ya mji wa kahama pamoja blog home > unlabelled > mgodi wa buzwagi wakabidhi hundi ya milioni 588 kwa halmashauri ya mji wa kahama mgodi wa buzwagi wakabidhi hundi ya milioni 588 kwa halmashauri ya mji wa kahama meneja mkuu wa mgodi wa buzwagi unaomilikiwa na kampuni ya acacia mhandisi asa mwaipopo(wa kwanza kushoto) akikabidhi mfano hundi ya sh milioni 588842728 kwa mkuu wa wilaya ya kahama mh vita kawawa(katikati) na mwenyekiti wa halmashuli ya mji wa kahama mh abel shija (kulia) ikiwa ni sehemu ya pili ya ushuru wa huduma kuanzia mwezi julai desemba 2015 ambayo kampuni hiyo imelipa kwa halmashauri ya mji kahama mkuu wa wilaya kahama vita kawawa na mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa kahama wakikabidhi mfano wa hundi ya sh milioni 5888842728 kwa mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa kahama anderson msumbafedha zilizotolewa na mgodi wa dhahabu wa buzwagi kama ushuru wa hudma (service levy) kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya kisasa wengine pichani ni meneja mkuu wa mgodi wa buzwagi mhandisi asa mwaipopo (kushoto) akishuhudia tukio hilo watendaji wa halmashauri ya mji wa kahama nao wakiionyesha hundi hiyo mara baada ya kuipokea kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri mkuu wa wilaya ya kahama mh vita kawawa akiwahutubia baadhi ya wananchi (hawapo picha) na viongozi wakati wa hafla hiyo ya kupokea hundi kutoka kwa mgodi wa buzwagi meneja mkuu wa mgodi wa buzwagi mhandisi asa mwaipopo akizungumza na viongozi na wananchi wa kahama wakati wa hafla ya kukabidhi hundi hiyo mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa kahama anderson msumba akitoa neo la shukrani mara baada ya kukabidhiwa hundi mkuu wa wilaya ya kahamavita kawawa akiteta jambo na meneja mkuu wa mgodi wa buzwagi unaomilikiwa na kampuni ya acacia mhandisi asa mwaipopo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi hiyo kahama mgodi wa dhahabu wa buzwagi umeikabidhi halmashauri ya mji wa kahama hundi yenye thamani ya kiasi cha shilingi milioni miatano themanini na nane ikiwa ni sehemu ya kodi ya huduma (service levy) katika kipindi cha kuanzia julai desemba 2015 akikabidhi hundi hiyo kwa mkuu wa wilaya ya kahama katika hafla fupi iliyofanyika katika uwanja wa taifa kahama meneja mkuu wa mgodi wa buzwagi mhandisi asa mwaipopo amesema kampuni yake imekuwa ikizingatia sheria kwa kulipa kodi mbalimbali ambazo zimewekwa kwa mujibu wa sheria toka kuanza kwa shughuli zetu za uchimbaji mwaka 2009 mpaka 2015 mgodi wa buzwagi pekee umelipa kodi mbalimbali ambazo zinafikia kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 197 kiasi hiki kinahusisha kodi na tozo mbalimbali kama vile kodi ya huduma (service levy) pay as you earn (paye) kodi ya zuio (withholding tax) na kodi ya mrabahaalisema mwaipopo katika kodi hizi kodi ya huduma (service levy) imekuwa ikilipwa moja kwa moja kwa halmashauri ya mji wa kahama ambapo mpaka mwisho wa mwaka jana zaidi ya shilingi bilioni 34 sawa na asilimia mbili ya kodi zote zimelipwa kwa halmashauri ya kahama pekeealiongeza mwaipopo mwaipopo amesema licha ya kampuni yake kulipa kodi mbalimbali bado imekuwa ikijishughulisha katika kuhakikisha inakuwa mdau muhimu wa maendeleo kwa kufadhili miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yanayozunguka mgodi mheshimiwa mkuu wa wilaya katika kipindi cha mwaka 2015 pekee takribani shilingi bilioni moja nukta saba 17 zimetumika katika kutekeleza miradi ya elimu afya na maji na miradi yote hii ilelenga katika kuinua uchumi wa wilaya pamoja na kuboresha ustawi wa maisha ya wenyejialisema mwaipopo acacia kupitia mgodi wetu wa buzwagi tunajivunia kuwa mdau muhimu wa maendeleo kwa halmashauli ya mji wa kahama na serikali kwa ujumla na tunafarijika sana kwa ushirikiano ambao tumekuwa tukiupata kwa upande wake mkuu wa wilaya ya kahama mh vita kawawa aliyepokea hundi hiyo kutoka kwa uongozi wa buzwagi na baadae kuikabidhi kwa mwenyekiti wa halmashauri ya kahama ameupongeza uongozi wa mgodi wa buzwagi kwa jitihada ambazo wamekuwa wakizifanya katika kuhakikisha wanashirikiana na jamii katika kutekeleza miradi mbalimbali huku akiwataka viongozi wa halmashauri ya mji wa kahama kuhakikisha pesa hizo zinatumika kutekeleza miradi itakayokuwa na manufaa ya moja kwa moja kwa jamii ombi langu kwa wataalamu wa halmashauri na madiwani ambao ndio wasimamizi wa pesa hizi kuhakikisha kuwa zinatumika kama zilivyokusudiwa na kwa sababu safari hii tumeamua zijenge hospitali basi hakikisheni tunapata majengo ya kisasa pamoja na vifaa tiba kwa manufaa ya watu wa kahamaalisema kawawa kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa kahama abel shija amesema wao kama madiwani watahakikisha kwamba pesa hizo zinatumika katika utekelezaji wa miradi iliyokusudiwa ndugu zetu hawa wa mgodi wamekuwa wakilipa kodi hizi lakini wananchi wamekuwa hawaoni kinachofanyika hali ambayo imepelekea minunguniko miongoni mwa wananchi kwa kuamua kuzitumia fedha katika ujenzi wa hospitali ya wilaya kila mtu ataona kinachofanyika na itasaidia kuondoa minununguniko ambayo imekuwa ikijitokeza kutoka kwa wananchi hafla hiyo pia ilisindikizwa na burudani ya mpambano mkali wa mpira wa miguu baina ya timu za mgodi wa buzwagi na timu ya hospitali ya wilaya mchezo ambao uliisha kwa timu ya hospitali ya wilaya kuibuka mshindi kwa kuifunga timu ya buzwagi 21
2018-01-18T07:48:33
http://www.pamoja.co.tz/2016/06/mgodi-wa-buzwagi-wakabidhi-hundi-ya.html
majanga zaidi yamfuata robert mugabe mtembezi home habari majanga zaidi yamfuata robert mugabe miaka michache iliyopita rais wa zamani robert mugabe aliwaongoza maveterani wa vita kuvamia mashamba ya walowezi na kupora na kujimilikisha lakini miezi michache tangu alipoondolewa madarakani mkongwe huyo amegeukwa msemaji wa chama cha taifa cha maveterani wa vita vya ukombozi douglas mahiya amethibitisha maendeleo hayo mapya akiwa na viongozi wa chama cha mdct na wale wa zimbabwe economic freedom fighters (eff) wakisema wako pamoja katika kampeni ya kumpokonya mugabe mashamba 20 na kumwachia moja kama inavyosema sera ya serikali mtu mmoja shamba moja mugabe kwa hakika amewekwa chini ya mzingiro na watendaji wakuu wa chama tawala cha zanu pf tangu alipongolewa madarakani novemba mwaka jana katikati ya ripoti kwamba mashamba ya mazowe ambako mkewe grace mugabe alijenga nyumba kwa ajili ya kulea yatima na ameotesha miti ya matunda ya malimau na shamba la ngombe wa maziwa limevamiwa na wachimbaji wa dhahabu kuna viongozi wengine waandamizi katika zanu pf na serikali ambao wanamiliki pia mashamba mengi litakuwa jambo baya kumlenga mtu mmoja au familia moja watu wote wanaomiliki mashamba mengi wahimizwe kurejesha ili wapewe raia wengine wa zimbabwe wasio na ardhi alisema previous articlendugai atoa msimamo tiba ya tundu lissu next articlebabu seya na watoto wake waibukia bungeni jpm aitaka tanesco kufikiria kupunguza bei ya umeme
2018-05-23T03:30:52
http://mtembezi.co.tz/2018/04/20/majanga-zaidi-yamfuata-robert-mugabe/
sergio aguero wikipedia kamusi elezo huru sergio leonel kun agüero (kwa matamshi ya kihispania [seɾxjo aɣweɾo] aliyezaliwa 2 juni 1988) ni mchezaji wa kitaalamu wa argentina ambaye anacheza kama mchezaji wa ligi kuu ya uingereza kwenye timu ya manchester city na timu ya taifa ya argentina agüero alianza kazi yake katika timu ya independiente mnamo tarehe 5 julai 2003 alikuwa mchezaji mdogo kabisa katika primera división ya argentina wakati wa miaka 15 na siku 35 kuvunja rekodi iliyowekwa awali na diego maradona mwaka wa 1976 mwaka 2006 agüero alihamia ulaya kwenda kucheza la liga upande wa atlético madrid kwa ada ya uhamisho ya € 23000000 alijitambulisha jina lake akivutia klabu za ulaya za juu na kufunga magoli 101 katika mechi 234 huku akishinda uefa europa league na uefa super cup mwaka 2010 agüero alihamia klabu ya manchester city mwezi julai 2011 kwa ada isiyojulikana iliyofikiri kuwa £ 35 milioni siku ya mwisho ya msimu wake wa kwanza na klabu agüero alifunga mshindi wa dakika ya 94 dhidi ya queens park rangers ambayo ilipata mji wa cheo chake cha kwanza cha ligi mwisho wa msimu wa 201415 wa wachezaji ambao walikuwa wamecheza miongo miwili katika ligi kuu ya kwanza agüero alikuwa na magoli ya juu kwa uwiano wa dakika katika historia ya ushindani mwaka 1992 akibainisha lengo kila baada ya dakika 109 pia anashikilia rekodi ya pamoja kwa magoli mengi yaliyopigwa katika mechi moja ya ligi kuu ya kwanza na kwa haraka zaidi kufanya hivyo katika dakika 23 na sekunde 34 za wakati wa mechi yeye ndiye mfungaji wa juu zaidi wa ulaya katika historia ya ligi kuu na kufikia magoli 100 katika mgawanyiko kwa kasi zaidi kuliko mchezaji yeyote mwingine kuliko alan shearer katika ngazi ya kimataifa agüero aliwakilisha timu ya chini ya miaka 20 ya argentina kwenye kombe la dunia ya fifa u20 mwaka 2005 na mwaka 2007 kushinda mashindano hayo yote agüero alicheza katika michezo ya olimpiki ya beijing 2008 akifunga mabao mawili katika ushindi wa 30 wa fainali dhidi ya brazil kama argentina ilipindua medali ya dhahabu agüero alichaguliwa kuwakilisha argentina katika kombe la dunia ya fifa 2010 copa américa ya 2011 kombe la dunia ya fifa ya 2014 copa américa ya 2015 na copa américa centenario na kufikia mwisho wa mashindano hayo matatu uefa europa league 200910[1] uefa super cup 2010[2] copa del rey runnerup 200910[3] premier league 201112 201314 201718 201819[4] fa cup 201819[5] runnerup 201213[6] football league/efl cup 201314 201516[7] 201718 201819[8] argentina u20[9] argentina u23[9] fifa world cup runnerup 2014[10] copa américa runnerup 2015[11] 2016[onesha uthibitisho] south american team of the year 2005[12] fifa young player of the year 2007[13] fifa u20 world cup golden shoe 2007[14] fifa u20 world cup golden ball 2007[14] la liga iberoamerican player of the year 2008[onesha uthibitisho] don balón award 200708[onesha uthibitisho] tuttosport golden boy 2007[15][16] world soccer young player of the year 2009[17] manchester city player of the year 201112 201415[18] manchester city goal of the season 201112[onesha uthibitisho] premier league player of the month october 2013 november 2014 january 2016 april 2016 january 2018 february 2019[4] pfa team of the year 201718 premier league[19] 201819 premier league[20] fifpro world xi 3rd team 2013[21] 2015[22] 2016[23] fifpro world xi 4th team 2014[24] football supporters' federation player of the year 2014[25] premier league golden boot 201415[4] ↑ mcnulty phil atletico madrid 21 fulham bbc sport 12 may 2010 retrieved on 27 april 2019 ↑ slick atlético seal super cup success uefa (27 august 2010) jalada kutoka ya awali juu ya 24 october 2018 ↑ atlético madrid 02 sevilla royal spanish football federation retrieved on 27 april 2019 (spanish) ↑ 40 41 42 sergio agüero overview premier league iliwekwa mnamo 17 may 2019 ↑ mcnulty phil manchester city 60 watford bbc sport 18 may 2019 retrieved on 18 may 2019 ↑ mcnulty phil man city 01 wigan bbc sport 11 may 2013 archived from the original on 12 january 2016 ↑ mcnulty phil liverpool 11 manchester city bbc sport 28 february 2016 retrieved on 27 april 2019 ↑ mcnulty phil chelsea 00 manchester city bbc sport 24 february 2019 retrieved on 24 february 2019 ↑ 90 91 s agüero soccerway profile soccerway iliwekwa mnamo 17 december 2015 ↑ germany 10 argentina fifa iliwekwa mnamo 27 april 2019 ↑ chile 00 argentina (chile win 41 on penalties) bbc sport 5 july 2010 retrieved on 5 july 2015 ↑ south american team of the year 16 january 2009 retrieved on 10 march 2015 archived from the original on 21 january 2015 ↑ manchester city hope to sign sergio aguero with record premier league transfer bid telegraph (2 november 2008) iliwekwa mnamo 6 march 2015 ↑ 140 141 awards fifacom iliwekwa mnamo 2 february 2015 ↑ tuttosport 'golden boy' award winner script error no such module webarchive el mundo ↑ sergio agüero golden boy aguero10com jalada kutoka ya awali juu ya 9 june 2011 iliwekwa mnamo 24 august 2011 ↑ world soccer awards retrieved on 21 november 2015 ↑ city live aguero named etihad player of the season iliwekwa mnamo 6 august 2015 ↑ manchester city players dominate pfa team of the year bbc sport 18 april 2018 retrieved on 19 april 2018 ↑ pfa team of the year paul pogba raheem sterling and sadio mane included in side bbc sport 25 april 2019 retrieved on 27 april 2019 ↑ fifpro announces reserve teams of the year but luis suarez and arjen robben won't be laughing while iker casillas is somehow named the second best goalkeeper of 2013 independentcouk (15 january 2014) ↑ 2015 world xi the reserve teams fifpro world players' union fifproorg (11 january 2016) ↑ 2016 world 11 the reserve teams fifpro world players' union fifproorg (9 january 2017) ↑ fifa fifpro world xi the reserve teams fifpro world players' union fifproorg (15 january 2015) ↑ manchester city's sergio aguero picks up football supporters' federation player of the year daily mirror (1 december 2014) iliwekwa mnamo 1 december 2014 tovuti ramsi sergio aguero career stats kwenye soccerbase sergio aguero fifa competition record sergio aguero at nationalfootballteams je unajua kitu kuhusu sergio aguero kama wasifu wake habari za maisha au kazi yake rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=sergio_aguero&oldid=1069547 last edited on 27 juni 2019 at 0815
2020-05-26T18:35:31
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Sergio_Aguero
hafla ya utiaji wa saini ya mkataba wa makubaliano uzalishaji wa mafuta na gesi asili zanzibar na kampuni ya rakgas ya ras al khaimah zanzinews home habari matukio hafla ya utiaji wa saini ya mkataba wa makubaliano uzalishaji wa mafuta na gesi asili zanzibar na kampuni ya rakgas ya ras al khaimah hafla ya utiaji wa saini ya mkataba wa makubaliano uzalishaji wa mafuta na gesi asili zanzibar na kampuni ya rakgas ya ras al khaimah rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein akiwa na mtawala wa ras al khaimah sheikh saud bin saqr al qasim wakishuhudia hafla ya utiliaji wa saini mkataba wa mgawanyo wa uzalishaji wa mafuta na gesi asilia (psa) wakitia saini waziri wa ardhi maji mazingira na maakazi zanzibar mhe salama aboud talib katikati na kulia mkurugenzi mkuu wa kampuni ya maendeleo ya mafuta zanzibarbi mwanamkaa abdulrahman mohammedmkurugenzi mkurugenzi mtendaji mkuu wa rakgas mrkamal mohammed ataya hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya ikulu zanzibar wawakilishi wa serikali ya mtawala wa ras al khaimah wakifuatilia hafla hiyo ya utiaji wa saini ya mkataba wa makubaliano ya uzalishaji wa mafuta na gesi asili zanzibar iliofanyika katika viwanja vya ikulu zanzibar rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein akiwa na mgeni wake mtawala wa ras al khaimah sheikh saud bin saqr bin qasim wakifuatilia hafla hiyo ya utiaji wa saini katika viwanja vya ikulu zanzibar rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein wakipongezana na mtawala wa ras al khaimah sheikh saud bin saqr al qasim baada ya utiaji wa sainui hiyo baina ya serikali ya mapinduzi zanzibar na kampuni ya uchimbaji ya mafuta ya rakgas ya ras al khaimah katika viwanja vya ikulu zanzibar viongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar na wa jamuhuri ya muungano wa tanzania wakifuatilia hafla hiyo ya utiaji wa saini katika viwanja vya ikulu zanzibar23/10/2018
2019-09-20T08:04:58
http://www.zanzinews.com/2018/10/hafla-ya-saini-ya-utiaji-wa-saini-ikulu.html
umemfumania sasa unasemaje | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mtambuzi aug 10 2011 jana niliweka mada hapa kuhusu fumanizi au kutoka nje ya ndoa na leo ningependa kuzungumzia jambo hilo chukua muda wa kutosha kufikiri kwa makini na uyajibu maswali hayo yote ukishayajibu utakuta unatoa uamuzi sahihi utakaokupeleka kwenye maisha uyatakayo kumbuka kila binadamu hukosea na kusamehe kwa aliyekosewa lakini kusamehe hakuna maana ya kuendelea kuumia au kuumizwa na uliyemsamehe 4 people likes summarise maelezo mkuu mtambuzi bila shaka umefumaniwa tena na hg sasa kazi kwako mwangukie mkeo akikubali atakusamehe la sivyo kimekula kwako pole unaoneka yamekukuta kama umefumania hiyo ni straight red card no diskasheni mkuu umeongea kwa kinanitarudi kuipitia upya mambo magumu sana haya na reaction ya aliyefumania huwa haitabirikikikukweli mpaka yakukute ndo utajua ufanye niniila kimsingi kwa maisha ya leo na maradhi haya mkifumaniana mi naona bora muachane tu dah umeandika gazeti mkuu kwa sasa hivi nimeshindwa kumaliza hivyo nitarudi baadaye kufumania usifanye mchezo mdauinaumaaaa nini vileeee ivi hii itahusika kwa marafiki pia au ni kwa wanandoa tu
2017-01-18T22:21:32
https://www.jamiiforums.com/threads/umemfumania-sasa-unasemaje.162552/
imfungwa nabagororwa 511 bavuwe amaso muri gereza ya rilima kigali today irembo » ubuzima » ubuvuzi » imfungwa nabagororwa 511 bavuwe amaso muri gereza ya rilima imfungwa nabagororwa 511 bavuwe amaso muri gereza ya rilima yanditswe ku itariki ya 18082012 saa 1642' abahawe indorerwamo barimo gusoma bemeza ko ubu nta kibazo cyo kubona bafite imfungwa nabagororwa 511 bo muri gereza ya rilima mu karere ka bugesera bavuwe amaso mu gihe cyiminsi itatu ndetse banahabwa indorerwamo mu gihe abari bateganyijwe kuvurwa ari 200 gusa abagororwa bahawe indorerwamo zamaso nubundi buvuzi bavuga ko bibafashije kuko batari bakibona neza kandi bafite inshingano muri iyo gereza zibasaba kwandika no gusoma umwe muri bo yagize ati izi ndorerwamo zizamfasha byinshi cyane kuko ndi umuvugabutumwa muri iyi gereza amaso yanjye ntiyari akibasha kubona neza none ubu nzajya mvuga neza ijambo ryimana kandi rifashe bagenzi banjye kuba nahawe indorerwamo nzajya njya kuri mudasobwa nsome neza iki numva ari igikorwa cyiza nkesha ingabo zu rwanda dr nyemazi alexis ukuriye itsinda ryabaganga bo mu bitaro bya gisirikare bya kanombe ryavuye abo bagororwa yavuze ko kuvuza abo bagororwa byahendaga leta none bikaba bikozwe vuba kandi bikozwe ku buntu ati ubutumwa duha aba bavuwe ni uko bagomba gufata neza imiti nindorerwamo bahawe kuko bihenze iki gikorwa cyatwaye amafaranga asaga miliyoni 51 ubu buvuzi buzakomeza no mu yandi magereza uko ari 14 mu gihugu hakaba hateganywa kuvurwa abagera ku 3750 abo abaganga bazasanga bagomba kubagwa amaso bazashakirwa gahunda yihariye bikorwe iki gikorwa cyateguwe na minisiteri yingabo ibitaro bya gisirikari bya kanombe hamwe nurwego igihugu rushinzwe imfungwa nabagororwa bamaze kubona ko bamwe mu bagororwa nimfungwa bakeneye ubuvuzi bwamaso abavuwe amaso nabahawe indorerwamo zayo ngo bizabafasha kubona neza no gusoma kuko bakenera kwihugura abanyamakuru barasabwa kwitwararika uburere bwabana
2013-05-20T13:05:26
http://kigalitoday.com/spip.php?article4872
jamhuri february 26 2013 fikra ya hekima20130226t143241+0000 tumeruhusu kucheka na nyani shambani tutavuna mabua ni wazi sasa maji yanaelekea kuuzidi unga nchi yetu iko katika hatari ya kuvuna mabua kufuatia kasumba ya kutoa mwanya wa kucheka na nyani shambani serikali na vyombo vyake vya dola vitabaki kulaumiwa kwa kushindwa kudhibiti mfululizo wa matukio ya kutisha yakiwamo mauaji ya watu kikatili wiki iliyopita tumesikia na kushuhudia anguko kubwa la wahitimu wa kidato cha nne nchini asilimia 60 wameishia kupata sifuri hili ni pigo la kihistoria nchini machafuko ya kidini yanaelekea kuota mizizi huku nchi ikiwa haijapona majeraha ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa mali za umma lakini pia migogoro ya wakulima na wafugaji baadhi ya wananchi wanajichukulia sheria mkononi wanaua askari polisi na kuteketeza kwa moto vituo vya polisi magari na majengo ya serikali februari 10 mwaka huu mchungaji mathayo kachila (45) wa kanisa la pentecostal assemblies of god tanzania (eagt) mkoani geita aliuawa kikatili katika vurugu za kugombea uchinjaji wanyama baina ya wakristo na waislamu lakini pia februari 17 mwaka huu padri everist mushi (pichani kulia) wa kanisa katoliki aliuawa kinyama kwa kumiminiwa risasi za moto mjini unguja siku tatu baada ya mauaji hayo kanisa la the pool of siloam lilichomwa moto mkoani kusini unguja matukio ya mauaji ya viongozi hao wa kiroho na uchomaji wa kanisa hilo yamekuja miezi kadhaa baada ya watu wanaodhaniwa kuwa waumini wa kiislamu kuvamia na kuharibu makanisa magari na mali nyingine eneo la mbagala dar es salaamu kufuatia tukio la mtoto wa kikristo kukojolea kitabu cha dini ya kiislamu (quran) hata hivyo ni faraja kubwa kuona kwamba kwa muda wote wa matukio hayo wakristo wamekuwa wavumilivu kuepusha maafa zaidi nchini lakini pia baadhi ya viongozi wa kiislamu wamesikika mara kadhaa wakiwataka waumini wa dini hiyo kuepuka kutumia nguvu katika kutatua matatizo yanayogusa hisia za kiimani kuna watu wasioitakia mema nchi hii na wanaendelea kuhatarisha amani na mshikamano wa watanzania hawa ni pamoja na walioamua kukumbatia migogoro ya kidini ushirikina chuki za kisiasa na maovu mengine yasiyokubalika katika jamii uwajibikaji wa jeshi la polisi katika kulinda usalama wa raia na mali zao haujaridhisha baadhi ya watuhumiwa wa uhalifu wanaachiwa katika mazingira tatanishi serikali haijaonesha dhamira ya dhati katika kudhibiti uhalifu nchini ni kama imeruhusu kucheka na nyani (wahalifu waanzilishi na wachochezi wa chokochoko) katika shamba la mahindi ili hatimaye watanzania wapate hasara ya kuvuna mabua (kugawanyika kuingia katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe) kwa ukweli usiopingika serikali yetu haina sababu ya msingi ya kutafuta mchawi wa matukio ya kutisha nchini imejiloga yenyewe kwa kutotekeleza ipasavyo wajibu wake wa kusimamia sheria licha ya kuwa na uwezo wa hali na mali wa kudhibiti matatizo yanayoitafuna nchi rais wa 16 wa marekani abraham lincoln alipata kusema nitajitahidi kurekebisha makosa pale itakapothibitika kuwa kweli ni makosa na nitajitahidi kuyapokea mawazo mapya pale itakapothibitika kuwa ni mapya na ni ya kweli serikali ikiri makosa ya kulegea katika kusimamia sheria na kudhibiti uhalifu ijirekebishe na kupokea mawazo mapya katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo yanayoiandama nchi tanzania yenye serikali sikivu kwa wananchi wake inawezekana « tumeruhusu mauaji ya viongozi wa makanisa
2020-04-03T19:53:57
http://www.jamhurimedia.co.tz/fikra-ya-hekima-7/
rais mstaafu dkt jakaya kikwete azindua rasmi ligi ya mpira wa kikapu junior national basket association (jrnba) | h@ki ngowi rais mstaafu dkt jakaya kikwete azindua rasmi ligi ya mpira wa kikapu junior national basket association (jrnba) 0 0 haki ngowi sunday february 28 2016 edit this post rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk jakaya mrisho kikwete akizungumzana na wadau mbilimbali wa mpira wa kikapu (nba) rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk jakaya mrisho kikwete akizinduwa ligi ya mpira wa kikapu ya vijana (junior nba)leo jijini dar es salaam rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk jakaya mrisho kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali leo jijini dar es salaam rais mstaafu dkt jakaya mrisho kikwete akiteta jambo na mchezaji mwandamizi wa (wnba) allison feaster leo jijini dar es salaam sehemu ya mashabiki wa mpira wa kikapu walio fika katika uzinduzi wa ligi ya mpira wa kikapu ya vijanaleo jijini dar es salaam h@ki ngowi rais mstaafu dkt jakaya kikwete azindua rasmi ligi ya mpira wa kikapu junior national basket association (jrnba) https//3bpblogspotcom/az_qnqfnc8q/vthxloei6di/aaaaaaadgi4/v35os1jqe8m/s640/1jpg https//3bpblogspotcom/az_qnqfnc8q/vthxloei6di/aaaaaaadgi4/v35os1jqe8m/s72c/1jpg http//wwwhakingowicom/2016/02/raismstaafudktjakayakikweteazinduahtml
2018-05-27T12:01:29
http://www.hakingowi.com/2016/02/rais-mstaafu-dkt-jakaya-kikwete-azindua.html
this day magazine maoni yaliyojitokeza katika hadhara kuu ya umoja wa mataifa ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2 maoni yaliyojitokeza katika hadhara kuu ya umoja wa mataifa ikiwa unatukio lolote au habari yoyote usisite kututumia kupitia barua pepe blogzamikoa@livecom au whatsapp namba yetu +25576505639 rais wa marekani barack obama akiwahutubia viongozi wa ulimwengu katika hadhara kuu ya umoja wa mataifa posted by editor on 1457 filed under worldnews you can follow any responses to this entry through the rss 20 0 comments for maoni yaliyojitokeza katika hadhara kuu ya umoja wa mataifa
2018-05-21T18:58:01
http://thisdaymag.blogspot.com/2014/09/maoni-yaliyojitokeza-katika-hadhara-kuu.html
lwandamina atimkaviongozi yanga washikwa na butwaa michezo/sports | hivisasa blog home › michezo/sports › lwandamina atimkaviongozi yanga washikwa na butwaa kocha wa yanga george lwandamina kocha wa yanga george lwandamina anadaiwa kuondoka nchini tanzania ambapo tetesi zinasema anarejea zesco united ya kwao na atatambulishwa alhamisi kwa mujibu wa kaimu katibu mkuu wa yanga charles boniface mkwasa amsema kwamba lwandamina hajatokea mazoezini leo asubuhi bila sababu na wanamtafuta hapatikani mimi sijui kaenda wapi kwa sababu hajaniaga hizo hizo habari (za kwenda zambia) wewe ndiyo unaniambiaamesema mkwasa baada ya kuulizwa na bin zubeiry sports online juu ya kocha huyo kurejea kwao zambia inadaiwa kwamba zesco united imeamua kumrejesha kocha wake huyo baada ya mafanikio yake tanzania ndani ya miaka miwili akiiwezesha kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara msimu uliopita na sasa inakaeribia kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho afrika
2018-04-21T15:31:51
http://hivisasa.co.tz/michezo/lwandamina-atimkaviongozi-yanga-washikwa-na-butwaa
kapombe manura watingisha simba vyankendecom home kitaifa michezo usajili kapombe manura watingisha simba kapombe manura watingisha simba vyankende media 085000 kitaifa michezo usajili hata hivyo uwezekano wa simba kuwasajili kapombe na manula bado unalegalega baada ya taarifa ya awali kutoka kwa uongozi wa azam kuweka wazi kutokuwa tayari kuwaachia nyota hao tangu kumalizika kwa msimu huu wa ligi kuu bara simba ilitajwa kuwa mbioni kumalizana na nyota hao waliopo kwenye kikosi cha timu ya taifa 'taifa stars' akizungumza na gazeti hili jana ofisa habari wa azam jaffar iddi alisema uongozi wa klabu yake upo kwenye hatua za mwisho kuwasainisha mikataba mipya nyota hao niwatoe hofu mashabiki wa azam wachezaji hawa wakati wowote kuanzia sasa watasaini mikataba mipya na hakuna hata mmoja atakayeondoka alisema iddi alisema maneno yanayosemwa kuwa nyota hao wanakaribia kujiunga na simba hayana mantiki yoyotesimba imepania kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa watakayoshiriki kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne kupita hivyo ipo kwenye mchakato wa kukiboresha kikosi chao na wanaona nyota hao wanaweza kuwasaidia kutokana na kuwa wazoefu wa mechi za kimataifa benchi la ufundi la simba chini ya kocha wake mcameroon joseph omog linataka asajiliwe golikipa mwenye uwezo mkubwa ili kumpa changamoto kipa wa sasa mghana daniel agyei na tayari viongozi wameona manula anafaa kwa nafasi hiyo by vyankende media at 085000
2017-09-23T02:14:15
http://www.vyankende.com/2017/06/kapombe-manura-watingisha-simba.html
elimu ya advance na chuo jamiiforums tetesi elimu ya advance na chuo thread starter omega_ 1264mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina malengo ya kusomea accountancy ila nimebaki njia panda kwa kutokuelewa wapi niende either chuo au advance maana nasikia advance mambo ni mengi muda ni mchache na kila siku vitu ni vipya na ni vigumu je ni wapi niende1264 reactions educationist_buhangija sijapenda style yako unaanzisha threads 5 za aina moja why kama unachanganya threads kiasi hiki uhasibu utauweza kweli unazingua bana threads 11 za kitu kilekile why nenda advance ukimaliza ndo utaenda chuo kusomea hiko unachokitaka ukisema uende chuo now ukasomee uhasibu hapo unaweza kuanzia certificatesasa umalize certificate uje diploma uende degree (miaka hiyo balaa) soma advance ni nzuri itakutoa haraka omega_ said kama unataka kusomea uhasibu achana na kidato cha tano/sita na achana pia na chuo somea moja kwa moja cpa (t) nenda ofisi za nbaa zilizo jirani na wewe kwa maelekezo zaidi tembelea mtandao wa nbaa kwa maelezo zaidi mwanzo |bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu tanzania (nbaa) some page description here wwwnbaagotz pitia hapa ndugu yangu kwa waliofeli kabisa darasa la saba form 4 or 6 pitia hapa jamiiforums je ni mtu mwenye elimu gani anaweza kusoma acca acca ina ngazi kuu mbili 1 foundations in accountancy (fia) 2 acca qualifications hapa nitaongelea tu foundations in accountancy peke yake foundations in accountancy (fia) ngazi hii haina vigezo vyovyote vya elimu ili mtu aanze kusoma hii lakini pia pitia hapa utapata mwanga kwa wale wanaotaka kuwa wahasibu bila kupitia advance (alevel) jamiiforums njia rahisi ya kuwa mhasibu bila kuzungukia advanced level nimeona watu wengi sana wanaulizia hii kitu nikaona nidadavue kidogo ili wapate uelewa endelea kusoma hapa kwa watakaohitaji kujua zaidi kuhusu acca nitaandika tena siku nyingine kwa wale ambao wamemaliza kidato cha nne au cha kumbuka hata uwe na phd in accounting huwezi kuitwa accountant hapa tanzania mpaka uwe na cheti cha cpa (t) reactions emmanuel mk donald marcus hemu kwani wewe moyo wako unataka uende wap kwa ushauri wangu nenda chuo usome certificate ya accountancy kwa mwaka moja endelea na diploma ya accountancy kwa miaka miwili ingia degree ya accountancy uipige kwa miaka mitatu malizia kwa mitihani ya bodi ya cpa nenda advance usomee combination ya eca kwa miaka miwili ingia degree ya accountancy uipige kwa miaka mitatu malizia kwa mitihani ya bodi ya cpa nakushauri uende chuo nilipitia hio njia ya pili siwezi kutumia cheti cha advance kuomba kazi na kuna kazi kibao za ma assistant accountant ambao inabidi uwe na diploma njia ya kwanza iko poa sana inajenga kukujengea msingi mzuri wa taaluma ya uhasibu toka chini itakua utarudia kusoma masomo mengi uliyosoma certificate ukiingia diploma hivyo hivyo utarudia kusoma masomo mengi uliyosoma certificate na diploma ukiingua degree yani vitu vichache sana vitakua vipya tofauti na yule aloetoka form 6 anakumbana na masomo mengi mapya pia wale wa form 6 wakifika chuo wana ushamba flani hivi wa kuwa na maisha ya uhuru kitu ambacho huwa kinaweza kuwashusba kitaaluma mambo hayo wewe utakua umeshayazoea pia kuandaa vitu kama assignments kufanya presentations kufanya practical maofisini nk kwa wale wa form 6 inakuja kitu kipya kabisa ila kwa aliesoma certificate na diploma ni marudio na wala sio kitu kipya threads 1314321 members 504891 posts 31823073
2019-07-17T19:03:55
https://www.jamiiforums.com/threads/elimu-ya-advance-na-chuo.1598615/
magazeti ya leo march 24 2014 harakati za mtanzania home » »unlabelled » magazeti ya leo march 24 2014 posted by bertha mollel at 533 am
2017-12-13T13:11:08
http://berthamollel.blogspot.com/2014/03/magazeti-ya-leo-march-24-2014.html
ziara ya tabligh mkoani iringa sehemu ya 1 | imamswadiq ← baada ya kuapishwa kushika hatamu za urais sheikh jalala atoa mkono wa heri na pongezi za krismas kwa wakristo nchini → ziara ya tabligh mkoani iringa sehemu ya 1 nov 22 maulana sheikh hemed jalala kiongozi wa hawzatul imam swadiq (as) ameongozana na viongozi na watumishi mbalimbali wa imam katika ziyara ya tabligh mkoani iringa kuanzia tarehe 20/11/2015 na kukutana na waumini mbalimali kwa malengo ya kutambua changamoto za uislamu na waislam wa eneo hilo maulana sheikh hemed jalala aliwatembelea wazee wazawa wa eneo hilo kwenye picha ni mmoja wa wazee anayejulikana kwa jina mzee swedi anaekaa eneo la mwangata ambae ameyajua madhehebu ya ahlulbayt as kupitia muhadhara wa wazi uliofanywa miaka kadhaa iliyopita uliambatana na ugawaji wa vitabu vya kiswahili mfano wa kitabu kiitwacho asili ya madhehebu picha na mwanahabari wetu mzee swedi anaekaa eneo la mwangata ambae ameyajua madhhab ya ahlulbayt as kupitia muhadhara wa wazi uliofanywa miaka kadhaa iliyopita grand sheikh and representative of ayatollah ali khamenei view all posts by sheikh jalala » posted on november 22 2015 in uncategorized bookmark the permalink leave a comment ← baada ya kuapishwa kushika hatamu za urais sheikh jalala atoa mkono wa heri na pongezi za krismas kwa wakristo nchini → leave a comment
2017-07-22T14:55:16
https://imamswadiq.com/2015/11/22/ziara-ya-tabligh-mkoani-iringa-sehemu-ya-1/
joh 16 | `yml | step | wata iesu i vona yana tovetutuyamavo 'waidie i vo naninidi 'akonadi a voneyediga 'waimie bega tutuyanina vita i na souyeni 'waimie kebu 'wa na mwea nuanuaku 'wa na vetoketoke vita 'waidie ta na vetoketoke 1 wata iesu i vona yana tovetutuyamavo 'waidie i vo naninidi 'akonadi a voneyediga 'waimie bega tutuyanina vita i na souyeni 'waimie kebu 'wa na mwea nuanuaku 'wa na vetoketoke 2 yada to'edakumetavo me diu i na talabodemi kebu 'ami fata 'wa na lukuluku 'eba miava'auta 'waidie tafalolo faifaina wata 'awaie tomotoga i na luvewafami yadi nuanua i na vo 'ako yaubada yana nuanua 3 i na ve'idi'idiemiga wata i na luvewafamiga fai tamada i bavuyeni wata yau taiadi 4 naninidi faifaidi nagami a matakiami bega tutuyanina i na souyedi 'waimie nika 'wa na nuani yaku vona s2 mad 249 luk 622s3 ion 1521 'anu'anunu 'atumaina yana folova vitanidi 'awaie 'wa na veluagadiga faifaidi nagami kebu a da vonemi fai yau taiadi ta miamia 5 fai sai'afoga a na tauya a na nago 'aku tovetune 'waineye bega naninidi a lulu'ivonavagasedi 'waimie siwe kebu tamu aitoi 'waimiega i da velutoli 'waikuye i da vo ava'aibe bei 'u na nago 6 fai a vo a na nago 'wa nuavita bwaikina 7 siwe a vona mogitana 'waimie 'ai'edi taiadi ta na miamia 'atumaina siwe kebu mogitana 'atumaiotogina fai 'ami to'aivaita kebu i na maiga we'e a na nagoga 'atumaiotogina 'waimie fai to'aivaitanina a na vetunei i na mai 8 tomia fwayafwaya i vekali kebu i da nuanuadewa siwe tutuyanina 'anu'anunu 'atumaina i na mai fwayefwayeye i na vedewedewedi bega i na 'asetai matatabudi i sakona wata sauluva tonovina i na vedi wata i na vedi bega i na 'asetai 'awaie matatabudi i na vonayavuga yaubada mataneye i na veimeyedi 9 tomotoga i sakosakonaga fai kebu i da vetumagana 'waikuye i na vedi 10 wata i na vedi fai 'akonadi a nunago tamada 'waineye kebu wata 'wa na 'ise'isekuga 'eba 'isa yaku sauluva tonovidi 11 'akonadi yaubada i veimea tosakona yadi toveimea seitani vematavuloga i na veluagai begaidi 'anu'anunu 'atumaina i na vedi tosakona matatabudi i na vonayavuga yaubada mataneye 12 fai 'wa nuavita begaidi 'asiau kebu 'aku fata nani matatabuna a na lu'ivoneyedi 'waimie 13 siwe tutuyanina 'anu'anunu 'atumaina i na mai nuanua mogitana yaubada 'wainega matatabuna i na vemi 'anu'anununina nani matatabuna tonovidi lamuna kebu 'ana fata taunina yana nuanuayega i na veifufu 'waimie siwe ava'ai i na nogai yaubada 'wainega i na lu'ivona 'waimie wata naninidi 'awaie i na souyediga faifaidi i na vonavagasemi 14 'awaie ava'ai nuanuaku a na vonemiga 'anu'anunu 'atumaina i na lu'ivona 'waimie bega 'wainega 'aku subia a na veluagai 15 tamaku yana 'ai'aiwabu matatabuna i 'anivelenedi 'waikuye begaidi 'akonadi a vonemi a vo 'awaie ava'ai a na voneyeniga 'anu'anunu 'atumaina i na lu'ivona 'waimie s7 ion 1416s11 ion 1231s13 ion 1426 1 ion 227 nuavita wata sosoana 16 sai'afoga a na 'iawemi 'wa na 'isa'avaku siwe kebu tutuya manamanawenaga wata 'wa na 'iseku 17 tovetutuyamavo 'ifwaidi 'aise'avadi i velutoli i vo yana vona 'ana nuanua bani'odi i vonaga i vo sai'afoga a na 'iawemi 'wa na 'isa'avaku siwe kebu tutuya manamanawenaga wata 'wa na 'iseku wata i vo a na nago tamada 'waineye 18 wata i vo kebu tutuya manamanawenaga 'ana nuanua ava'ai aigodi kebu ta da 'asetai ava'ai i vonevoneyeni 19 iesu 'akonadi i 'asetai yadi nuanua nuanuadi i na velutolieni begaidi i vonedi i vo voke nuanuami 'wa na 'asetai yaku vona 'ana nuanua fai a vo sai'afoga a na 'iawemi 'wa na 'isa'avaku siwe kebu tutuya manamanawenaga wata 'wa na 'iseku 20 a vona mogitana 'waimie tutuyanina a na 'iawemi 'aku mogai 'wa na 'we'wela we'e yaubada 'ana tovedumwe'ai'ai i na sosoana mogitana 'wa na nuavita siwe tutuyanina 'wa na 'iseku igodi 'wa nunuavitaga 'wa na sosoana 21 tutuyanina vavine i na vebutudi 'eba nuavita fai veviga bwaikina i vevebaedi siwe tutuyanina kwamana i na tubuga 'eba sosoana bwaikina 'waidie veviganina nua'ubudie i na yatoi fai natudi i na 'ise'iseni 22 'omi wata bani'odi 'asiau 'wa nuavita siwe tutuyanina a na vilaku a na mai 'wa na 'iseku 'wa na sosoana bwaikina yami sosoananina kebu tamu aitoi 'ana fata i na talabodeni 23 a vona mogitana 'waimie 'awaie kebu wata tauniotogiku 'waikuye 'wa na vevelu'ui ava'ai nuanuami tonovina 'wa na vevelu'ui 'aku wagavayega tamaku 'waineye i na velevelemi 24 basenadi i maiga 'asiau kebu 'aku wagavayega 'wa da vevelu'ui tamaku 'waineye siwe tutuya de'e i velamu bega i na nagoga 'wa na vevelu'ui 'aku wagavayega bega ava'ai nuanuami 'wa na veveluagadi wata 'wa na sososoana mogitana s22 ion 2020s23 ion 157 mad 77s24 ion 1511 iesu i vetoketoke tomotoga matatabudi 'waidie 25 wata iesu i veifufu yana tovetutuyamavo 'waidie i vo naninidi a veifufuyediga vonaawatabaiega siwe 'awaie kebu wata vonaawatabaiega a na veveifufu we'e a na vo tamaku faifaina a na veifufu 'waimie 'ana lu'eda'aiagalidi 26 tutuyanina 'waineye ava'ai nuanuami tonovina 'wa na vevelu'ui 'aku wagavayega tamada 'waineye i na velevelemi we'e ava'ai yami nuanua kebu wata a na vevelu'ui faifaidi 'omi taunimi 'wa na vevelu'ui tonovina tamada 'waineye 27 fai 'wa nuakalikalieku wata 'wa vetumagana yau a mai yaubada 'wainega begaidi i nuakalikaliemi fai i nuakalikaliemiga begaidi ava'ai nuanuami 'ami fata 'wa na vevelu'ui tonovina 'waineye 28 yau a mai fwayefwayeye tamada 'wainega 'akonadi a na 'iawemi a na vilaku a na nago tamadanina 'waineye 29 iesu yana tovetutuyamavo yana vona i nogai i vo we'e vonanina 'ana nogaya kebu vonaawatabaiga 'u vovonaotoga 30 'akonadi 'a 'asetamu nani matatabuna 'u 'asetadi kebu tamu wata aitoi 'ana fata i na awave'ede'edemu yamu 'asetanina 'a 'iseni 'a vetumagana 'waimuye 'a 'asetai 'omu 'u mai yaubada 'wainega 31 iesu i vonedi i vo 'alo be'ama 'wa vetumagana 32 siwe 'awaie wata 'akonadi i sousouyeni matatabumi 'wa na vemiave'eve'e'elagi yami vanuga 'aitamogana 'aitamogana 'waidie we'e yau 'wa na degaloveku 'wa na degaloveku siwe kebu mogitana 'aisekuga fai tamada taiadi 'a miamia 33 naninidi a voneyediga bega nuanua bikana mia 'atumaina taiadi 'wa na veveluagai yau 'ami labilabina 'waikuyega mogitana veviga 'wa na veveluagadi yaubada 'ana tovedumwe'ai'ai 'waidiega siwe kebu 'wa na kolologa 'wa na vevenuafoufa'ala 'akonadi a vetoketoke tomotoga matatabuna 'waidie s27 ion 142123s32 mad 263156 ion 829s33 ion 1427 ion 54
2018-10-20T08:39:11
https://www.stepbible.org/?q=version=YML%7Creference=Joh.16
mchezo metallistka online kucheza kwa huru mchezo metallistka unachezwa 2662 kucheza mchezo metallistka online maelezo ya mchezo metallistka mashabiki wa muziki wa vijana mwamba anataka opt katika wardrobe nguo yako mpya kwa ajili ya mtindo kucheza mchezo metallistka online kiufundi na tabia ya mchezo metallistka mchezo metallistka aliongeza 07122011 mchezo unachezwa 2662 mara michezo kama mchezo metallistka download mchezo metallistka embed mchezo metallistka katika tovuti yako kuingiza mchezo metallistka kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo metallistka nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo metallistka pia alicheza katika mchezo
2018-06-22T18:26:55
http://sw.itsmygame.org/999969248/metalworker_online-game.html
walisema hayo baada ya kupokea taarifa za utendaji na miradi ya taa kutoka kwa kaimu mkurugenzi mkuu wa taa mhandisi george sambali na mkurugenzi anayesimamia mradi wa tb iii mhandisi mohammed millanga pia walipokea taarifa ya kaimu mkurugenzi wa kiwanja cha ndege cha kimataifa cha julius nyerere (jnia) paul rwegasha aliyeeleza uhaba wa fedha wanazopewa unavyowaathiri katika kuendesha shughuli nyingi za kiwanja hicho ambacho ni kitovu cha mapato ya taa taa inayosimamia viwanja 58 vya ndege vya serikali tanzania bara hukusanya zaidi ya sh bilioni 67 lakini hupewa sh bilioni 17 tu kwa ajili ya kujiendesha huku jnia ikipata sh milioni 700 tu kwa mwezi ukitoa za mishahara taarifa za watendaji taa zilionesha maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya viwanja vya ndege inayoendeshwa na kusimamiwa na taa jengo la tb iii ukarabati jnia changamoto zake kubwa na mipango ya serikali kuzitatua kaimu mkurugenzi mkuu wa taa mhandisi sambali alieleza dhamira ya taa kuwa na kiwanja kipya cha ndege nje ya dar es salaam au kupanua jnia kwa kuongeza njia zaidi za kurukia ndege ifikapo 2030 hata hivyo aliwaeleza wabunge changamoto ya taa kutekeleza dhamira hiyo kuwa ni ulipaji fidia kwa wananchi na reli ya tazara kupanua eneo la sasa la jnia au kupata zaidi ya dola milioni 500 kuanzisha kiwanja kipya nje ya dar es salaam wabunge waliitaka taa kufanya tathmini ya gharama za upanuzi wa jnia kwa kulipa fidia wananchi na kuhamisha reli ya tazara au kujenga kiwanja kipya nje ya dar es salaam ili kuangalia uwiano kwa lengo la kuishauri serikali mapema zaidi kabla ya 2030 wabunge walilalamikia ukosefu wa ndege za kutoa huduma na zilizopo kutoza nauli kubwa wakati serikali inaboresha zaidi miundombinu mhandisi sambali alieleza ukosefu wa ndege unatokana na ushindani wa kibiashara wa mashirika ya ndege ambapo mengine hayaji kwa kukosa abiria wanaounganisha safari za nje pia alieleza serikali kutokuwa na shirika imara la ndege kufuatia atcl kuwa na ndege moja tu kumefanya asilimia 90 ya abiriawatumie nchi za jirani kuunganisha safari za nje kufuatia maelezo hayo wabunge waliitaka serikali inunue ndege nne ili atcl irudi hewani kutekeleza agizo la rais dkt john magufuli naibu waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano mhandisi edwin ngonyani alisema wamepokea rai ya wabunge akisisitiza dhamira ya serikali ni kununua ndege
2017-11-23T13:12:19
http://tanzania-airports.aero/index.php/component/content/article?id=217
kama unataka maisha mazuri shindana na mtu huyu mmoja tu wengine wote achana nao « amka mtanzania posted by makirita amani | at saturday august 08 2015 ndugu yangu ni vyema kama utatambua kuwa uliumbwa ili uje uishi vile unavyotakiwa kuishi kuna watu wapo hapa kazi yao ni kuiga kushindana na wengine yaani wao muda mwingi wanautumia kwa kuangalia nani anafanya nini na wao kujaribu kuiga au kufanya kile kile si jambo baya sana kuiga lakini ni vyema ikiwa utaiga kitu ambacho walau unakipenda na unafurahia kukifanya usiige tu kwa kuwa yule anafanya kinamlipa na kumpa faida kubwa au pengine unataka kufanya ili ushindane na yule umuonyeshe jinsi unavyokubalika kuliko yeye usishindane na wengine sio saizi yako ni wakubwa sana au wadogo sana kwako ndugu tambua kuwa haya maisha si mashindano na watu wengine mashindano uliyo nayo na unayotakiwa kushindana basi ni kuhakikisha kila iitwapo leo unapata kitu kipya cha kukufanya uzidi kuwa bora zaidi maana uliumbwa kwa kusudi maalumu na ulipewa uwezo wa kuwa vile unatakiwa kuwa wengi hatujui ukweli huu kwa kuwa hatukupata watu wa kutuambia au kutuongoza lakini shukuru kwamba umesikia hili sasa kama hukujua ni wajibu wako wewe kuishi na kutembea katika huu ufahamu mpya ulioupata kuhusu wewe ili uweze kuwa bora zaidi ili kila siku mpya uzidi kuongezeka kwa kugundua na kujifunza mapya zaidi yanayokuhusu hebu ndugu yangu amua kwa dhati kwamba badala ya kupoteza muda kufanya yasiyokuhusu yasiyokuwa na tija kwako basi amua kufanya ya maana amua leo kuhakikisha kuwa unakuwa bora zaidi kwa kuwekeza kwenye vitu vitakavyokusaidia na kukuwezesha kuwa bora zaidi tafuta maarifa zaidi lakini yawe ni maarifa sahihi soma unaweza kuwa vile unavyotaka uamuzi ni wako ndugu yangu pengine unatamani kuwa kama mtu fulani ni mara nyingi unakuta mtu anafanya juhudi nyingi sana kuhakikisha anamshinda mtu mwingine katika kitu fulani lakini unaweza ona kwamba hata mtu yule akifanikiwa katika hilo bado hapati ile amani ya moyoni bado ataona kuna kitu kinakosekana tu na atajikuta anaendelea na mapambano zaidi maana kama umeamua kushindana na mtu utahakikisha kila anachofanya nawe umo ilimradi tu umshinde naweza sema ni kama unakuwa umeweka maisha yako rehani umeacha kuishi vile ulivyotakiwa kuishi na unahangaika tu na ulimwengu kwa kufanya vitu ambavyo bado havikupi furaha ya kweli havikufanyi ufurahie maisha hata unapovipata maana kila siku lipo jipya la kukuchanganya na kukufanya uingie mashindanoni ndugu tambua kuwa mtu pekee unayetakiwa kuwa kwenye mashindano naye ni wewe pekee maana wengi tunaishi chini ya viwango ya namna tunavyotakiwa kuwa tuliumbwa na kupewa uwezo wa kufanya mambo makubwa sana lakini wengi hatuelewi hilo au hata tukiambiwa tunashindwa kuamini kirahisi lakini ukweli ni kwamba wewe hapo kipo kitu ulichoumbwa uje ufanye na kila kitu cha kukuwezesha kufanya hilo kipo lakini ni mpaka ujielewe uelewe hilo ukubali na kuamini tambua kuwa u wa pekee sana na hakuna aliye kama wewe na upo hapa kwa kusudi maalumu na aliyekuweka alikupa na kila kitu cha kukuwezesha hivyo acha kupigana vita visivyokuhusu acha kutamani kuwa kama wengine acha kushindana na wengine maana haikusaidii haikusogezi kule unatakiwa kuwa bali utaishia kuchanganyikiwa tu maana waweza ona unatumia nguvu nyingi zaidi na matokeo yasikupe furaha soma kimbia mbio zako mwenyewe hivyo ndugu yangu ingia kwenye mashindano na wewe tamani kuwa bora zaidi ya jana fanya utafiti ugundue huo mgodi ulivyo na mawe ya thamani sana na ambayo yanasubiriwa mahali fulani na hayo yanachimbwa hapo kwako tu hakuna mahali pengine yanapatikana hivyo kazana ongeza kasi ya kuyatafuta ndugu yangu na ukiyapata usikurupuke kuyachimba tu tulia shukuru kwamba umeyaona kisha jipange uone ni kwa namna gani utayachimba na kuyatumia kwa faida na ukifanya hayo uwe na uhakika wa kuwa bora zaidi ya ulivyokuwa awali mwandishi wa makala haya ni beatrice mwaijengo
2017-01-22T16:19:58
http://www.amkamtanzania.com/2015/08/kama-unataka-maisha-mazuri-shindana-na.html
huko marekani waislamu watakiwa kuendeleza ucha mungu iringa kukaye home swahilivilla waislamu marekani huko marekani waislamu watakiwa kuendeleza ucha mungu huko marekani waislamu watakiwa kuendeleza ucha mungu hakuna hata mmoja ambaye anajua ni siku gani atafumba jicho na atakufa alisisitiza mgeni huyo rasmi kwenye shere hizo huku akitilia nguvu hoja yake kwa aya ya qur'an isemayo كُلُّ نَفْسٍ ذَائِقَةُ الْمَوْتِ (kila nafsi itaonja mauti/kifo) akisisitiza kuwa hakuna mtu yoyote anayejua atakufa lini au mahali gani aliongeza kusema kuwa kurejea kwenye maasi baada ya juhudi kubwa za ucha mungu na ibada katika mwezi wa ramdhani ni sawa na kuiharibu kazi ya kiufundi iliyofumwa kwa juhudi na ustadi mkubwa akizungumza na swahilivilla mwenyekiti huyo wa tamco alidokeza kuwa jumuiya yake imekuwa ikikutana kila baada ya muda fulani ili kupanga mikakati ya kuiendeleza jumuiya hiyo kwa kupitia kamati zake mbali mbali jambo ambalo limepelekea ufanisi mkubwa na kuwa mfano wa kuigwa miongoni mwa jumuiya za watanzania nchini marekani kama ambavyo penye mafanikio hapakosi changamoto tamco nayo imekuwa ikikabiliwa na changamoto za hapa na pale miongoni mwao ni uchache wa watu wa kujitolea katika matayarisho ya shughuli za jumuiya na uendeshaji wake kwa ujumla sherehe za iddi za waislamu wa tanzania jijini washington ni fursa nzuri kwa familia za wanachama wake ambapo hutoa fursa kwa watoto kupata muda na sehemu ya kusherehekea na kujisikia kuwa wako katika siku kuu wakiwa ughaibuni aliendelea kusema mama yangu alikuwa akiniambia kuwa kufunga kunakufanya ufahamu ni jinsi gani watu masikini na wasiokuwa na uwezo wanajihisi wanapokuwa na njaa na hii inakupa moyo wa kuwasidia watu wengine wenye matatizo na mambo kama hayo huko marekani waislamu watakiwa kuendeleza ucha mungu reviewed by john kitime on june 27 2017 rating 5 tags swahilivilla waislamu marekani
2017-11-25T03:50:05
http://theiringa.blogspot.com/2017/06/huko-marekani-waislamu-watakiwa.html
november | 2005 | jukwaa huru la uchambuzi mtanzania mwingine (sio mswahili) ajiunga kwenye blogi kwa muda wa siku kadhaa sasa nimekuwa nikifuatilia zaidi masuala ya siasa na hili likinifanya niwe mchoyo katika kuwakaribisha baadhi ya wadau wanaozidi kujisajili katika ulimwengu wa blogi lakini leo hii nimeona si vyema nikaendelea kukaa kimya baada ya kupata ujumbe toka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu ambaye pia amekuwa miongoni mwa wachangiaji wazuri sana wa mijadala yangu msome hapa bw nyembo japo kaingia na utamaduni ule ule wa kuleweshwa na lugha za wenzetu sijui anaamini kuwa kiswahili hakitoshi au vipi karibu bw nyembo november 14 2005 at 547 pm 1 comment unaijua tukalewapicom ndiomnataka tukale wapi sasa kama sio kuchakura chakura humo katikati haijalishi ni kati kati ya mistari ya uchafu ukarimu umaarufu unyama uonevu au nini lakini ni katikati ya mistari na huko ndio tunakotaka tukachakurechakurekaribuni sana tukalewapicom november 2 2005 at 852 am leave a comment
2017-10-19T07:09:17
https://uchambuzi.wordpress.com/2005/11/
jinsi ya kuzuia matangazo(ads) kwenye youtube bila kutumia xposed | smatskills home tricks jinsi ya kuzuia matangazo(ads) kwenye youtube bila kutumia xposed jinsi ya kuzuia matangazo(ads) kwenye youtube bila kutumia xposed programu za kuzuia matangazo kama vile adaway na adblock plus hata dns66 hazina nguvu ya kuzuia matangazo kwenye youtube hadi sasa ikiwa ungependa kuondosha matangazo ambayo hucheza kabla ya video zako youtube kumekuwa na njia mbili tuama kwa kulipia kwa usajili wa youtube red au kwa kutumia moduli ya xposed kurekebisha programu ya youtube yenyewe na kuiimarisha usiwe na matangazo lakini xposed sio chaguo kwa kila mtu baadhi ya simu zimefungiwa bootloaders ambayo inamaanisha hakuna twrp na hakuna mfumo wa xposed na kisha kuna ukweli kwamba xposed huvunja huduma za android pay na zinazofanana ambazo ni mvunjaji wa mpango kwa watu wengi lakini msanidi programu arter97 amepata njia karibu na hii alibadilisha programu ya hisa ya youtube yenyewe ili kuonyeshwa matangazo ambayo kimsingi ni nini xposed ingeweza kufanya lakini imefungwa kwenye pakiti moja hatimaye hii inamaanisha unahitaji kuroot tu kuzuia matangazo kwenye programu ya android ya youtube na ni mchakato rahisi hatua ya 1 tafta dpi yako & muhimu ufahamu ni aina gani ya processor kifaa chako kinatumia apk ya bure ya youtube isiyo na matangazo inakuja katika aina tofauti tofauti ambazo nikwa vifaa maalum kwa hivyo unahitaji kujua aina ya processor ya simu au kompyuta yako na thamani ya dpi kabla ya kupakua programu ikiwa hujui kuhusu dpi yako unaweza kuona nambari hii na programu inayoitwa dpi checker ambayo ni sawa kabisa → download hapa na install dpi checker kwenye android yako → muhimu fahamu kifaa chako kinatumia aina gani ya processor hatua ya 2 pakua apk sahihi kwa kifaa chako sasa kwa kuwa unajua thamani yako ya dpi na aina ya processor pakua apk ya youtube isiyo na matangazo kwa kifaa chako maalum kwa kutumia moja ya viungo zifuatazo kumbuka apk hio inaingia kutokana na aina ya processor ya kifaa hivo basi download aina ambayo inaendana na kifaa chako usichanganye mafaili →vifaa vyenye arm64 (dpi yoyote) → vifaa vyenye arm (240 dpi) →vifaa vyenye arm (320 dpi) → vifaa vyenye arm (480 dpi) ↘ vifaa vyenye x86 (480 dpi) hatua ya 3 ondoa programu ya youtube ya zamani ondoa programu ya youtube ya zamani ifuatayo utahitaji kuondoa programu ya youtube ya zamani ili uweze kuingiza toleo lililorekebishwa ili kufanya hivyo napenda kupendekeza kutumia titan backup ➤ download titanium backup kwenye programu ya titnium angalia sehemu imeandikwa backup / restore kisha chagua programu ya youtube kutoka kwenye orodha na uiondoe ikiwa unataka kuwa upande salama unaweza kubonyeza backup lakini ili kuondoa programu bonyeza tu batani inayosema unstall hatua ya 4 unda folda mpya ya youtube kwenye kipengee chako cha mfumo ifuatayo fungua programu ya root file browser kisha tengeneza folda mpya ya youtube ➢ download root file browser hapa kwenye programu hio ya root file browser tafta folder iliyoandikwa / system / apps kwenye root file browser kwenye kifaa chako kutoka hapa fungua folda mpya na uite jina youtube (angalia picha) baada ya kutengeneza folda hio basi fata hatua ya tano hatua ya 5 kopi apk ya youtube uliyo download kisha ipeleke kwenye folda mpya uliyotengeneza system/apps/youtube iweke kwenye folda ya youtube kisha restart simu yako(yaani izime kisha iwashe tena) sasa furahia kutumia youtube isiyo na matangazo tena www smatskillscom previous articlejinsi ya kuondoa activation lock kwenye simu za iphone next articletaarifa muhimu programu ya google drive kwa pc itaondolewa tarehe 12 jumatatu ijayo sababu ni nini soma zaidi tole la fifa 2019 yaja na uefa champions league europa supercup nk soma zaidi jinsi ya kuongeza ukubwa wa memory card & usb flash yako kutoka 2gb hadi katika miezi ya hivi karibuni hadithi za mafanikio na uwekezaji katika bitcoin zimeonekana katika mazingira mbalimbali kwa uhakika imeenea sana japo kwamba wasiwasi wa emmanuel 07/03/2018 samsung galaxy s9/s9+kama kawaida kubwa la maadui samsung wanazidi kulete simu kali kila kukichamara hii ni zamu ya galaxy s9 na s9 plusni nini
2018-07-22T12:39:58
https://smatskills.com/jinsi-ya-kuzuia-matangazoads-kwenye-youtube-bila-kutumia-xposed/
amini usiamini dar ni ukawa na ukawa ni dar jamiiforums amini usiamini dar ni ukawa na ukawa ni dar 16124 27603 280 zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wa dar es salaam ni wanachama au mashabiki wa vyama vinavyounda ukawa ccm dar ni kama 20 tu matokeo ya uchaguzi uliopita ni shahidi mzuri bila serikali kutumia nguvu za ziada nina imani wabunge wote wangetoka ukawa madiwani wote wangetoka ukawa wenyeviti wote wa mitaa wangetoka ukawa na mameya wote wangetoka ukawa ukawa dar ni sawa na chadema arusha inaweza kushinda uchaguzi wowote bila kufanya hata mkutano mmoja rc peke yake hawezi kuliongoza jiji la dar hawezi kusimamia usafi kila sehemu hawezi kufanikisha ulinzi na amani wakati wote hawezi kuyajua matatizo ya wakazi kwa kufanya ziara ya siku mbili bila kuwashirikisha wenyeviti wa mitaa kwa hiyo rais na makonda wajue kuwa dar ni ukawa na ukawa ndiyo dar es salaam yenyewe hata wafanye vipi labda waamue kutawala karibu kwa mjadala likes freyzem vantz mgaya dw and 6 others 6650 7419 280 siku mkiweza kuidhibiti kanda ya ziwa ambayo ndiyo ina wapiga kura wengi mtachukua nchi mapema lakini mkitegemea hao wa dar tu matakalia kusema mnaongoza majiji ili hali juu wapo wengini ni hayo 8942 14540 280 ukweli uko wazi ccm inabidi waje na mbinu modern sana kushawishi wakazi wa jiji maana idadi ya watu wanofuata mikumbo ni wachache kuliko wanaojitambua mkakati wowote wa kulirudisha jiji chini yao inabidi uwe wa mahesabu ya hali ya juu sio ubabe na nguvu likes vantz mgaya dw and nyama ya zamba 1269 1207 280 ziara za paul makonda ni ndoto ya alinacha kuua nguvu ya ukawa jijini likes vantz mgaya dw quinine and 2 others 3488 2489 280 dar hawana wapiga kura waaminifu kama arusha dar wanapiga kura kwa maslahi tu na siyo ushabiki likes vantz mgaya dw and nahonyo 43176 40608 280 dar is for ukawa likes vantz mgaya dw mahoza and 2 others geleon ndangala wajipange2020 likes vantz and mgaya dw kwahiyo wana akili sana ni ukweli mtupu ndo maana katika mikutano yake mteule wa mkulu anawaweka watu mbaroni wakimuuliza maswali yasiyoifurahisha ccm na makada wao matokeo ya ubabe huu mikutano iyo watu hawaudhurii jana uko goba ktk mkutano wake walijaa watoto walokua uwanjan hapo wakicheza mpira na makada wenzake wa ccm ati ana kazi maalum ya kupambana na ukawa duh kweli kwa miitikio kt mikutano yake real naye wananchi wanamsomesha nambali likes mgaya dw and quinine nilitaka kumjibu hivihivi itakuwa ni kosa kubwa sana kulinganisha dar na mikoa ya moshi na arusha kule kaskazini hata uwe mwendawazimu ila ukigombea kwa tiketi ya cdm utashinda kwa sababu ya ukabila naomba cdm wasijisahau musoma napo waliamini hivi hivi tarime baada ya chacha wangwe cdm walishinda wakaamini huko kushinda ni lazimani kosa kubwa sana mtakalofanya kuamini dar ni ya ukawa likes mtanzania1989 and mgaya dw toeni mfano ili mkabidhiwe nchi hadi sasa far ni ile ile kama kawa 8050 5946 280 ubabe si ulitumika kupata majimbo na ukerewe washukuru ziwa la sivyo kungekuwa na barabara wangeibuka kama walivyoibuka nyamagana na buzilayombo kutumia ubabe ukerewe ndo likabaki jimbo pekee lililo chini ya ukawa likes yohana kilimba and nyama ya zamba labda utumike ubabe na kanjanja we mshabomolea watu nyumba zao mnategemea kweli utapendwa mnalazimisha watu wawapende kwa ubabe mnaweza mkalipata lakini lazma demography itokee manake hamtakubali akajasembamba said huko musoma kwani ulitumika ubabeni mahesabu tu naomba viongozi wasijisahau kabisa la sivyo majimbo yote yatarudi ccm musoma mfano vicent aligawia mpaka wananchi vibanda vya biashara kwa kumnyang'anya mathayo na halmashauri ilikuwa chini ya cdm lakini madiwani karibia wote walipigwa chini pamoja na mbunge dar sio arusha na moshi jana nilikuwa bar moja hapa dar wakawa wamefungulia clouds fm makonda akawa anaongea baada ya kama dkk kumi hivi meneja( badaye nilikuja kusikia akiitwa masawe) akatokea akazima redio wateja walianza kumshambulia arudishe waendelee kumsikiliza makonda mteja mmoja kwa dharau akamwambia meneja au wewe ni cdm hii hali mwaka jana kipindi cha uchaguzi isingetokea viongozi wa cdm inabidi wafanye kazi maana strategy ya kusubiria makapi ya ccm sijui kama itafanya kazi tena likes mtanzania1989 yohana kilimba and nguvu ya ajabu 531 375 80 kiuhalisia wajipange vizuri mi niko arusha lakin dalili zinaonyesha wazi kuwa wasipojipanga 2020 arusha inaweza kurudi ccm strategy wanazotumia ccm chin ya magufuli ni mpumbavu tu anaeweza kuzidharau lakin wenye akili wameshajua kuwa inahitajika nguvu ya ziada kulinda majimbo yaliyochin ya ukawa kuishi kwa matumain hakutawasaidia ccm ni mabingwa wa huu mchezo wa siasa ukiwadharau utakuwa unalia kila siku kama akina obama wanavolia uko marekani ukiangalia kura walizopata ccm na cdm arusha na moshi utaelewa kuwa kazi ipo sehemu ambayo unaweza kusema una uhakika kwa kutumia records za uchaguzi uliopita ni mbeya mjini kwa sugu huyo ndo alipata kura nyingi sana kuliko mbunge yeyote tanzania hii labda uko ndo unaweza kusema records hizo zinatia moyo ingawa historia pia haiwapi guarantee akina sugu kushinda tena stil wanayo kazi ya kufanya likes mtanzania1989 and yohana kilimba nakubaliana na mleta mada dar ni ukawa haya majamaa hata yafanyaje jiji ndio wameshalipoteza kulirudisha hata wafanyaje haiwezekani ndoto za mlevi kifaulongo 916 247 60 katika uchaguzi kila kitu kinawezekana sitashangaa endapo 2020 cdm wasipopata mbunge hata mmoja achilia mbali kura za uraisi nahii ni kutokana na aina ya siasa za kipindi hiki chama cha siasa ni watu unapozuiwa kufanya mikutano ya kisiasa unategemea nini unaporuhusu chama tawala pekee kufanya mkutano ya kisiasa na kuvinyima haki vyama vya siasa unategemea miujiza gani kwa vyama vya upinzani kuendelea kuishi mfano mzuri rwanda kagame anasifika kwa sababu hakuna mtu anayethubutu kumnyoshea kidole leo anauhakika wa kushinda kila changuzi kutokana na mazingira aliyoyaweka hivyo kwa jinsi mazingira yanavyoandaliwa hakuna ubishi lazima tukubali ccm kushinda kwa kishindo tena kuvunja record zote za watangulizi wake tusubiri na tujiandae kuyapokea 10824 9356 280 msichokijua ni kwamba dar ni ccm damu damu ila kilichotokea mwaka jana ni lowassa impact lowassa aliwekeza muda mrefu sana kwa mama ntilie na bodaboda wa dar kama wewe ni mkazi wa dar utakuwa umekutana na bodaboda zimeandikwa donated by edward lowassa kipindi cha uchaguzi lowassa amefanya kampeni kubwa sana ndani ya dar zaidi ya mara nne na bado kuna wabunge 5 wa ccm wamebaki sasa mkiendelea kupiga porojo humu 2020 hamtaamii macho yenu maana hata pesa za kugawa kwenye makanisa na misikiti kwa sasa hazipo
2019-03-22T08:09:18
https://www.jamiiforums.com/threads/amini-usiamini-dar-ni-ukawa-na-ukawa-ni-dar.1157240/
chan 2016 drc yatinga robo fainali | makurukirw | habari za kina timu ya drc imeanza kuwa na uhakika wa kuona mlango wa robo fainali ya michuano ya mataifa ya afrika chan 2016 kufuatia ushindi wake alhamisi hii januari 21 wa mabao 42 dhidi ya angola katika uwanja wa huye katika dakika ya 8 ya mchezo kiungo wa kati neslon munganga alifunga bao la kwanza katika mazingira ya kutatanisha kipa wa angola landu mavanga alishindwa kuzuia mpira uliopigwa kutoka kwenye pembe la uwanja baada ya beki wa timu hiyo kutoa mpira nje ya uwanja mshangao mkubwa ni kwamba mpira ulizunguka kwenye mgongo wa kipa landu mavanga na hatimaye neslon munganga akamalizia kwa kupachika bao la kwanza 10 bao la pili liliingizwa na mechak elia katika dakika ya 18 ya kipindi cha kwanza drc ilikuja juu na kutawala mpira hadi dakika ya dakika ya 38 ambapo mavanga alijikuta akifungwa bao la tatu na mchezaji jonathan bolingi 30 katika kipindi cha pili angola walikuja juu katika dakika ya 78 gelson aliipatishia timu yake bao la kwanza na hivo kupunguza idadi ya mabao 31 katika dakika ya 82 beki joel kimwaki alijifunga bao 42 alitaka kuzuia mkwaju wa manucho lakini akajikuta amejifunga lakini kabla ya beki wa drc kujifunga bao katika dakika ya 82 kiungo wa kati wa drc merveille bope alikuwa ameifungia timu yake bao la nne katika dakika ya 81 41
2018-03-24T19:34:56
http://sw.makuruki.rw/spip.php?article1684
kwa hili udom panatisha current users online 20121 topic kwa hili udom panatisha 1st june 2012 2253 leo kulikuwa na uchaguzi wa viongozi hapa katika chuo kikuu cha dodoma lakini kwa jinsi ambavyo mwenendo wa uchaguzi ulivyokwenda hakika inasikitisha sana hapa nazungumzia kwenye college ya social science and humaties kuanzia katika uundwaji wa tume mambo yalianza kufumuka mara baada ya kugundulika katika tume ya watu kumi wajumbe tisa ni waisram wapiga kura walitulia na hawakuona tatizo kumbuka tume hii imeundwa na spika issa mohamed baada ya rais na makamu wa rais kuwa wamefukuzwa chuo tangia mgomo uliopita mambo hayakuishia hapo wakati wa uchukuaji fomu nafasi ya urais walichukua watu wanne wawili waisramu na wawili wakristo na ubunge watu 56 wakristo 33 waisram 23 tatizo likaja mara baada ya tume kukaa na kuanza kuchambua wagombea katika ngazi ya urais wakristo wote wakatolewa na kubaki waisram 2 na ubunge waisram wote 23 wote wakapita pamoja na wakristo 17 ili kutimiza idadi ya wagombea 40 mgombea urais bwana nzamba nasser aliamua kukata rufaa na bodi ilipokaa na kupitia hoja zake ikaamua kumrudisha na hivyo kutimiza wagombea 3 wa urais lakini cha kushangaza masaa takribani 12 ya uchaguzi kufanyika tume ikamwondoa tena bila hata kutaja sababu yeyote hasira kwa watu ziliongezeka kwani jamaa ndio alikuwa chaguo pekee hivyo kusababisha watu kupiga kura kwa hasira huku wengine wakisusia uchaguzi na wabunge wengine kuamua kujitoa kwenye uchaguzi hasa wa post za ubunge mara baada ya kura kuhesabiwa rais bwana idd muhammad amepatikana kwa kura 189 dhidi ya mwenzake bwana zuberi aliyepata kura 81 huku kura zaidi ya 3000 kuharibika kwa watu kuandika kwamba wote hawafai huku zaidi ya 6000 hawakupiga kura kwa madai hawamwoni mtu wa kumpigia kura na wabunge kupatikana wengine kwa kura 10 na wengine hata chini ya hapo kwa hali iliyopo udom panatisha kwani ukijaribu tu kuhoji pt 562 inakuja kukuchukua hivyo bora week 3 zilizobaki ziishe haraka tuondoke re kwa hili udom panatisha acha udini umeenda dodoma kusoma ama kuangalia nani mwislamu nani mkristo hujui kuna wakristo wanaitwa juma 1st june 2012 2300 ubarikiwe kwa kutuletea habari motomoto kama hiiukipata nyingine uwanja ni wakokuhusu huo uchaguzitukubali tusikubalihili linchi limeshakuwa corrupt kuanzia ngazi ya kaya mpaka huko walipo wenye nchimambo yanaendeshwa ndivyo sivyo ili mradi yaishe na watu wasiostahili ndiwo washikao hatamu 1st june 2012 2303 hata kama ni mdini potelea mbali lakini hali ni mbaya kwa wakrito kwani wanafukuzwa hovyo tu 1st june 2012 2308 pepo la udini lishindwe katika jina la yesu chomeni hiyo pt mimi nilipost ritz na wenzake wakajamba kumbe walikuwa wanaharishaona sasa huu uchafu 2nd june 2012 0026 hujui kama ccm ndo wanakiharibu hiki chuo sidhani kama kitakuwa competitive ktk outlet zake sokoni nawahurtmia sana waliopo pale ktk hili la udini inaonyesha serikali inawaogopa waislamu na kujaribu kuwabembeleza na wadhifa mbalimbali japo hawawezi na wengine hawana qualification na hili ndilo linalotuangamiza watz 2nd june 2012 0036 kama ni kweli basi kazi ipo 3rd june 2012 0125 gomeni tena mwaya mrudi nyumbani mbona huzungumzii jinsi mlivyoshikishwa adabu na uongozi tunasikia siku hizi social science hakuna vichupi wala vimini ni kweli ati tumesikia kwamba udom college of education kuanzia block leader ni chadema mpaka ngazi za juu mbona uvyama haulalamikiwi ilan udini unalalamikiwa sana fanyeni mfunge chuo kwanza ili malalamiko ya udom yapungue 3rd june 2012 0130 kwa hyo lalamiko ni uchaguzi wa udini au kufukuzwa kwa wakristo weka sababu za kufukuzwa 3rd june 2012 1316 tunalamimika 2 tuanze kupambana kwa vitendo hatutafika kwa style hii bwashe hivi huu si ni utahira chuo cha watu zaidi ya elfu kumi anatuongoza mtu aliyepata kura sizozidi mia tano hivi nchi kuna wasomi kweli tuamke kuanzia kesho tulianzishe 3rd june 2012 1808 posts 3440 rep power raisi federation mkristo makamumkristo raisi socialmuislamu(idi) makamumkristo(baraka) school representative socialmkristo(theonas) wabunge wapo 10 1kawiche bernard 2mjaka mjaka 3mwenda william 4mtono juma 5hassan kilingo 6madundo elizabeth 7 noel stanley 8rabson melodina 9 timu inlakunda 10 naal samwel jaman wana jf naamini nyie ni great thinkers hivi kuna udini hapo na kama upo nani anaebagua wenzie kati ya hao viongozi wa juu social 15 watatu tu ndio waislamu na 12 wakristo je kuna ubaguzi hii ina maana asilimia 80 ya viongozi wakristo na waislamu ni asilimia 20 tu jamani acheni kutuonea waisilamu kama kuna data ya uongo hapo juu naomba mtu alete zake na mwanzisha topic uache unafiki maana unajua unachoongea ni uongo then unaleta uhasama humu walikuwa wanagombea kueneza dini chuoni shule ya sekondari haina'bodi ya shule'
2013-05-25T09:28:13
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/272409-kwa-hili-udom-panatisha.html
sql msaidizi ni nini mimi nina kugawana hii na dunia kwa sababu tunahitaji njia nyingine ya kupata data je unadhani kweli nilitaka kuona kama mimi naweza kuimarisha c # stuff na kukimbia up data upatikanaji na dll moja na signle line ya kazi kuchota data na signle line ya kazi kuchota data kwa jina custome safu ya kuchota data na kuchagua kuchota data na aina diffrent ya kujiunga na kuchota data na paging sql kosa utunzaji full dll chanzo code (unaweza customize kama njia yako mwenyewe) maendeleo kuokoa muda demo kanuni chagua zote safu na kazi zote kuchota data na teule kazi chagua kazi ni usefull sana na ina mbinu overload tano all vigezo maelezo ni juu ya kazi hii kuchota data na wapi kazi kuchota data na orderby kazi kuchota data na paged kazi unaweza kuchota data na paging na matokeo paging atarudi na myresult darasani pageindex unahitaji kupita sasa wako ukurasa index ambayo yanahitaji kuonyesha katika orodha pagesize kupita sasa wako ukurasa kawaida mara nyingine tena kama nilivyosema mwanzoni ningependa kuwa na furaha ya kukusaidia kama una maswali yoyote yanayohusiana na kanuni hii mimi itabidi kufanya bora yangu ili kusaidia kama una swali zaidi ya jumla zinazohusiana na kanuni ya codecanyon unaweza kuwasiliana na mimi kwa hapa asante sana kwa makala mpya ingawa sisi kamwe tamaa watumiaji kutoka kuendeleza ufumbuzi kwamba kutatua mahitaji yao malengo ya sql msaidizi ni kulenga sana kama wewe ni kuangalia kwa kupata makala mpya ilijiunga nyuma katika sql msaidizi dll sisi sana moyo kuwasiliana na mimi kwa [email protected] au kuandika maoni juu ya codecanyon ukurasa wangu bidhaa hii 10 aprili 12 badiliko la mwisho ecommerce items wote wavu darasa darasa maktaba database dll msaidizi kazi maktaba microsoft sql mssql sql sql msaidizi
2017-11-25T11:06:10
https://sw.worldwidescripts.net/sql-helper-40269
kuhusu tmb muundo wa tmb tasnia ya nyama wadau waliosajiliwa mzalishaji mdogo waagizaji wauzaji nje wauzaji jumla vyama vya wadau wasambazaji wa nyama na bidhaa za nyama mawakala wa biashara ya nyama ada/tozo zinalipwa kwa mifugo inayouzwa ndani ya nchi ada/tozo za kuagiza na kusafirisha mifugo/nyama na bidhaa zake nje ya nchi tozo za usajili fursa za uwekezaji zilizopo katika tasnia ya nyama nyama bora na salama bodi ya nyama tanzania (tmb) ni mamlaka yenye dhamana ya kusimamia maendeleo ya tasnia ya nyama iliyoanzishwa kwa sheria ya nyama no 10 ya mwaka 2006 kifungu na 17 (1) cha sheria hii kinazuia mtu yeyote kufanya shughuli ya aina [] ujumbe wa msajili tunafurahi kuwakaribisha wote kutembelea tovuti ya bodi ya nyama tanzania tovuti hii itakuhabarisha kuhusu kazi za bodi matarajio na hamasa yetu katika kuendeleza tasnia ya nyama tovuti itakupa taarifa muhimu ambazo ni pamoja na dira dhima majukumu huduma habari na matukio mbali mbali ya bodi na tasnia kwa ujumla tuko mstari wa mbele kukupa huduma zenye ubora pamoja na kukuwezesha kupata nyama na bidhaa zake bora na salama kwa ajili ya soko la ndani nanje ya nchi tunakushukuru kwa kupata nafasi ya kutembelea tovuti yetu na nimatumaini yetu kwamba umefurahia kupata taarifa mbalimbali na zimekusaidia nyama bora na salama kwa wote february 23rd 2016 habari slides comments off on tangazo la usajili 1 wafugaji wa mifugo ya aina zote inayozalisha nyama 2 wafanyabiashara wa mifugo 3 wasafirishaji wa mifugo na nyama 4 wenye machinjio za aina zote 5 wenye bucha za kuuza nyama za aina zote 6 wasindikaji wa nyama 7 supermarket na duka la bucha 8 wasambazaji wa bidhaa za nyama 9 waingizaji wa nyama nchini 10 wasafirishaji wa mifugo nyama na bidhaa zake nje ya nchi 11 waendesha matamasha ya nyama choma december 17th 2014 slides no comments » december 8th 2014 habari 2 comments » july 19th 2014 slides no comments » 10 utangulizi read more » viunganishi mbalimbali wizara ya viwanda biashara na uwekezaji copyright © bodi ya nyama tanzania
2017-10-23T00:19:34
http://tmb.or.tz/swahili/
fish pond tarpaulin in kubwa fish ik madu | jijing for sale in kubwa | buy fish from ik madu on jijing posted today 0643 kubwa abuja (fct) state nigeria abuja (fct) state lugbe today 1008 fish abuja (fct) state kubwa yesterday 1131 fish abuja (fct) state wuse ii yesterday 1238 fish abuja (fct) state maitama yesterday 1420 fish abuja (fct) state lugbe yesterday 1319 fish ik madu 08032720164 tarpaulin fish
2019-10-20T11:37:21
https://jiji.ng/kubwa/fish/fish-pond-tarpaulin-csuQqENUE6ha1nhiX0LfnJ9T.html
raisdkt john magufuli amezindua miradi saba katika hospitali ya kanda ya bugando ya jijini mwanza yenye thamani ya sh bilioni 15 huku akimwagiza waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu kuanza kufuatilia na kuthibisha uhalali kama viongozi wote waliokwenda kutibiwa nchini india walikuwa wanaumwa au la mhedkt magufuli ametoa agizo hilo jijini mwanza wakati azikindua miradi saba katika hospitali ya kanda ya bugando hii nchi ni tajiri sana isipokuwa ilikuwa inaliwa na mafisadi na mimi nimejitoa uhai wangu kwa ajili ya kupambana nao wengine walikuwa wanakwenda india hata kutibiwa mafua haitoshi walikuwa wanaambatana na wake zao au waume zao nao wakifika huko anaulizwa kama aingizwe kwenye malipo yaani mgonjwa na msindikizaji wote wanaingizwa katika malipo na gharama zote hizo zilikuwa zinaletwa tanzania ilipe nasema waziri kafuatilie huko kama utakuta wengine hawakupata kibali cha kutibiwa huko fedha hizo watalipa wenyewe na hazitalipwa na serikali nimesema na wanaosikia wasikie na wasiosikia na wasisikiealisema katika hatua nyingine rais magufuli ameitaka wizara ya afya kufanya utafiti sababu ya watanzania asilimia zaidi ya 50 wanaugua saratani na moyo huku akielekeza hatua zichukuliwe harakaalisema inawezekana wananchi hao wanapatwa na maradhi hayo kutokana shughuli mbalimbali za uchimbaji wa madini unaofanyika na kutiririsha sumu kwenye maji pia amewataka wakurugenzi wa jiji la mwanza na halmashauri ya manispaa ya ilemela kutenga sh bilioni 4 kwa ajili ya kujenga jengo la abiria katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa mwanza kwa kutumia force account huku akimtaka mkuu wa mkoa mhe john mongella kusimamia hilo katika hatua nyingine mherais magufuli ametoa ahadi ya shmilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wasichana na bwalo katika shule ya sekondari ya mwanza ahadi hiyo ameitoa wakati aliposimama eneo la shule hiyo na kuongea na wanafunzi hao vile vile amesema ujenzi wa daraja la busisi linalounganisha wilaya ya misungwi na sengerema lenye urefu wa kilomita 32 litaanza kujengwa hivi karibuni ili kuwaondolea adha wananchi ambao wanataka kuvuka naye profesa abel makubi mkurugenzi wa hospitali ya kanda ya bugando akizungumza katika hafla ya uzinduzi huoamesema kwa kipindi cha miaka minne wamefanikiwa kuboresha huduma za afya na kukamilisha miradi saba ambayo ni kitengo cha saratani mahututi upasuaji oksijeni na viwanda vidogo ambavyo vitakuwa vinazalisha dawa kwa ajili ya wagonjwa ameongeza kuwa hivi sasa asilimia 65 ya wagonjwa waliokuwa wanakwenda katika hospitali ya ocean road wanatibiwa bugando kwa upande wake waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto mheummy mwalimu amesema wamefanikiwa kudhibiti na kuongeza ukusanyaji wa mapato kwa mwezi kutoka sh bilioni 12 mwaka 2016 hadi sh bilioni 39 mwaka huu kama serikali tumeendelea kushirikiana na bugando ambapo kwa mwaka tumekuwa tukitoa sh 16 bilioni kwa ajili ya kuwalipa mishahara ya watumishi kila mwezi vile vile kila mwezi tunatoa sh bilioni moja saratani kwa ajili ya dawa za saratani lengo ni kuwapunguzia gharama wananchi maana mgonjwa mmoja alikuwa akitakiwa kutoa sh300000 hadi 400000 serikali tumeendelea kutenga fedha ambapo hivi sasa tumetoa sh bilioni 17 kwa ajili ya kujenga wodi ya wagonjwa pia katika mkoa wa mwanza tunatoa dawa za sh bilioni 79 mwaka huu kutoka sh bilioni 12 mwaka 2016 kwa kutambua umuhimu wa huduma za afya watu wa kanda ya ziwa tunajenga jengo la mama na mtoto pale hospitali ya mkoa sekoutourealisema mhe mwalimu hata hivyo ameongeza kuwa serikali imefunga mashine mpya za kisasa katika vituo vya damu zenye thamani ya sh bilioni 132 kwa ajili ya maradhi ya damu lengo likiwa ni kupata damu salama katika mikoa ya kanda ziwa
2019-09-21T08:24:53
http://www.mwanza.go.tz/new/rais-magufuli-apongeza-mafanikio-hospitali-ya-bugando
uko ikigo ami africa gitwaza abacuruzi ibyo bakura mu mahanga no kikanabafasha kubona visa igihecom uko ikigo ami africa gitwaza abacuruzi ibyo bakura mu mahanga no kikanabafasha kubona visa ikigo ami africa rwanda ishami ryikigo mpuzamahanga cya ami worldwide group gikorera ku isi yose gifite ibikorwa byo gutwarira abantu ibicuruzwa kikabigeza aho bashaka ni kenshi bamwe mu bacuruzi bibaza icyo bakora kugira ngo bajye kuzana ibicuruzwa mu mahanga dore ko ahanini ku nganda bifatwa ku giciro gito ikigo ami africa rwanda kikaba cyarabiboneye igisubizo ubwo iki kigo cyagiranaga umusangiro nabakiliya bacyo ku wa gatanu ku wa 17 ugushyingo 2017 umuyobozi ushinzwe ibikorwa () ni kenshi bamwe mu bacuruzi bibaza icyo bakora kugira ngo bajye kuzana ibicuruzwa mu mahanga dore ko ahanini ku nganda bifatwa ku giciro gito ikigo ami africa rwanda kikaba cyarabiboneye igisubizo ubwo iki kigo cyagiranaga umusangiro nabakiliya bacyo ku wa gatanu ku wa 17 ugushyingo 2017 umuyobozi ushinzwe ibikorwa byubucuruzi inkindi philbert yavuze ko icyatumye bazana ibyo bikorwa mu rwanda kwari ukugira ngo abanyarwanda bajye bazanirwa ibicuruzwa mu buryo bwizewe bwihuse kandi buhendutse yagize ati twe icyo tugamije ni ukugira ngo ibicuruzwa bijye bigera ku muntu bitamuhenze kandi mu buryo bwihuse dufite serivisi nziza kandi zihuta kuko kuva nka dubai kugera i kigali umuzigo uba wageze ku muntu mu minsi 18 nkumbuye stanislas umucuruzi avuga ko amaze imyaka isaga itanu akorana niki kigo avuga ko bakorana neza kandi ko ibicuruzwa bye bihagerera igihe ku buryo atajya yicuza yagize ati ndabyibuka twatangiye gukorana mu myaka itanu nta kibazo nababonyeho ibicuruzwa byawe bikugeraho neza kandi ku gihe kandi ntabwo uba wishyuye amafaranga menshi ami africa rwanda ltd ifite umwihariko wo kuba ifasha abacuruzi bashaka kujya kurangura i dubai no mu bushinwa kubona visa bikafasha kutirwa basiragira kuri za ambasade icyo kigo gifasha abacuruzi kuzana ibicuruzwa cyifashishije uburyo bwamazi nindege kinafasha kumenyekanisha ibicuruzwa kuri za gasutamo gukurikirana ibicuruzwa kuva ku ruganda kugera bigeze mu rwanda yatangiye gukorera mu rwanda kuva mu 1990
2017-12-11T07:39:54
http://www.igihe.com/serivisi/kwamamaza/advertorials/article/ikigo-ami-africa-mu-bikorwa-byo-gutwaza-abacuruzi-ibyo-bakura-mu-mahanga-no
rapunzel concept arts made kwa claire keane tangled picha (31303146) fanpop page 11 tangled offical karatasi za kupamba ukuta
2019-09-21T01:00:32
http://sw.fanpop.com/clubs/tangled/images/31303146/title/rapunzel-concept-arts-made-claire-keane-photo/11
nilipendekezwa wavuti hii na binamu yangu sina hakika kama chapisho hili limeandikwa na yeye kama hakuna mtu mwingine anayejua maelezo haya juu ya shida yangu wewe ni wa ajabu
2020-05-27T12:08:06
https://sw.phcoker.com/melanotan-ii-mt2-which-you-need/
mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege wazinduliwa leo jijini dar mwenyekiti wa travel startstephan ekbergh (kulia) akiongea leo wakati wa uzinduzi wa mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (online travel agency) uliofanyika usiku huu katika hotel ya kilimanjaro kempiskikushoto ni mkurugenzi wa travel start tanzaniamustafa rajan na katikati ni meneja mkuu wa travel startsukaina abbas wadau wa fast trackabbas rajan (kulia) na hasnain rajan wakifuatilia uzinduzi huo timu ya wauzaji wa tiketi katika mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (online travel agency)toka kulia ni sofia mzenaanazad sadiahasnain rajan (pili toka kushoto) pamoja na sukaina abbaswakiwa na mwenyekiti pamoja na mkurugenzi wa travel starttanzania wakati wa utambulisho wao kwa wageni waalikwa wafanyakazi wa fast track pamoja na wale wa travel start wakifuatilia kwa makini uzinduzi huo wadau wakipeana mawili matatu watu wengi walihudhuria uzinduzi huo wa mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (online travel agency) katika hotel ya kilimanjaro kempiski jioni ya leo unaweza tembelea mtandao huo kwa link hiyo hapo chini posted by ally shaaban mgido's at wednesday october 13 2010 email this blogthis share to twitter share to facebook kweli hii ni habari njema kukata tiketi ya ndege online ni njia bora ya kuokoa kiasi kikubwa cha fedha yako hata mimi nilinunua tiketi ya ndege online (http//wwwtiketicom) kwa bei nafuu sana
2018-12-13T01:56:52
http://allyshams.blogspot.com/2010/10/mtandao-wa-uwakala-wa-kuuza-tiketi-za.html
darvel forum video yasinta tally mwanadada anaewakilisha mwanza vyema kwa upande wa hiphop video yasinta tally mwanadada anaewakilisha mwanza vyema kwa upande wa hiphop jiji la mwanza linasifika sana kwa kutoa vipaji vingi vinavyowakilisha mziki wa hiphop baadhi ya wasanii waliotokea mwanza na wanafanya poa sana ni fid q young killer kala jeremiah na wengine wengi ukweli ni kwamba wasanii wote nliowataja hapo juu ni wa jinsia moja yani wa kiume kumekua na uchache wa wadada wanaofanya mziki wa hiphop mkoani mwanza admin wenu nikiwa likizo mwishoni mwa mwaka jana jijini mwanza na ndipo nlipokutana na mwanadada yasinta tally yasinta ni mwanadada anayefanya mziki wa hiphop na anawakilisha vyema pande za mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla yasinta ana uwezo wa kuflow kwa lugha mbili tofauti yani kingereza na kiswahili na style yake ni ya tofauti kidogo kitu ambacho naamini akipata nafasi ataiwakilisha vyema tanzania na hata nje ya nchi atafanya poa unaweza itazama video mpya ya yasinta aliyomshirikisha fred swag video inakwenda kwa jina la feel me today hapa chini chelsea waanza kumfukuzia alexis sanchez #newvideo m2thep ft mr blue nakuhonga (official music video)
2017-03-30T04:42:21
http://darvel-kardashian.blogspot.com/2014/01/video-yasinta-tally-mwanadada.html
ruhagoyacucom rayon sports yanze kurara lagos ihitamo kwerekeza port harcourt ruhagoyacucom rayon sports yanze kurara lagos ihitamo kwerekeza port harcourt yanditswe kuya 14042017 saa 1817' na jean luc imfurayacu print comments 29 share on facebook rayon sports yageze kuri murtala muhammed international airport yi lagos mu gihugu cya nigeria ku gicamunsi cyo kuri uyu wa gatanu tariki ya 14 mata 2017 ihitamo gukomereza mu ntara ya river side aho kurara muri leta ya lagos rayon sports ije muri nigeria gukina umukino ubanza wa caf confederation cup aho igomba guhura nikipe ya rivers united kuri iki cyumweru mu mukino ubanza nyuma yo gusubika umukino wari kuba tariki ya 09 mata wahuriranye nicyumweru cyo kwibuka abazize jenoside yakorewe abatutsi mu wi 1994 ku kibuga cya lagos abakinnyi bahageze babanza gufata ku mafunguro nabaherekeje ikipe baboneraho bati ntitwarara i lagos hagiye twe umwuka ni mwiza mu ikipe aha i lagos iyi kipe ikihagera amakuru yageraga kuri ruhagoyacu yavugaga ko iyi kipe iza kurara aha ikaza gukomereza muri river state kuri uyu wa gatandatu ariko birangira ikipe byemejwe ko ikipe itarara inaha byaba byiza turaye aho tuzakinira kuko kurara aha ejo tugakomereza mu ntara ntabwo byaba ari byiza kuri twe icyiza ni ugukora urugendo rwose icyarimwe rukava mu nzira umutoza masudi djuma kuri murtala muhammed international airport rayon sports ifite delegatiyo yabantu 30 barimo abakinnyi 18 abatoza babo 5 abayobozi bikipe nabanyamakuru 3 twari twabuze indege iva aha yerekeza port harcourt ariko bije gukemuka habonetse indege umuyobozi wumuryango wa rayon sports kimenyi vedaste aganira na ruhagoyacu uko babonaga ka wireless ni ko bamenagaho abiri izaho ni uko zimeze itangazamakuru rya nigeria ryabakiriye da bategereje kugana port hartcourt gacinya chance denis na we arahabaye iyi kipe irahaguruka aha lagos saa 17h00 ize kugera port harcourt saa 18h12 biraza kuba ari 19h12 ku isaha yo mu rwanda umukino nyirizina uteganyijwe tariki ya 16 mata kuri yakubu gowon stadium izindi nkuru venuste niyotwagira kuya 16042017 saa 1236' aimable arashekeje rwose ntakintu gishimishije nko kubona abafana ba apr bararwaye ihahamuka ubuse ko mbona bataye ubwenge batarirenza imyaka4 nkiyo tumaze tudatwara igikombe koko bamaze ibihe tumara batwiba tukihangana ubu mwebwe ntimwakwiruka kumusozi cyane ko wowe aimable ubura iminsi mike erega bitangira gahoro gahoro ahubwo abakwegereye nibatabare kuko utangiye gusara uririmba burozi umuntu iyo arumurozi harigihe kigera bukamuhindukirana none nawe ikigaragara bwakugarukiye pole kbs wihangane nibihano byimana murimo reyosports nagati kateretswe nimana katanyeganyezwa na apr twe tugira uko tubaho tudanduranya murindagirire hirya rero ema kuya 16042017 saa 0755' ariko uwiyita aimable ucururiza he uburozi kombona ubwamamaza cyanee cg impamvu muri mumanegeka nuko nuko warutarajya kurangura uburozintacyo ubwo wavuyeyo umwaka utaha nuwawe nukwiba ukaroga ubundi bigacamo ariko uzashake nubwo hanzeekko mbona mugera imbere ya zanaco mugatitira mugahinda umushyitsi shaka igishoro rero watangatanze hose ngo burozi fc hahaha bitubwiyikiubuse ijwi ryawe ryavuga mumairiyoni yabareyo11 yakurwaje guhahamukaubwo naba 20 ema kuya 16042017 saa 0754' bkr kuya 16042017 saa 0658' rayon sport turikumwe namwekandi turizera cane umutoza wacu aimable kuya 16042017 saa 0625' ariko burozi fc irashekeje koko nindese wababeshye ko uburozi bwambuka amazi umupfumu yababujije kurara i lagos muraje muhasekerwe kbsa ubuse nabwo fifa izabatabara ra 30 phocas kuya 15042017 saa 2158' tuyifurije gutsinda gakuru viateur kuya 15042017 saa 2152' rayon muyireke ibyayo bizi mana mundekere abahungu erisa kuya 15042017 saa 2122' turabemera kabisa dodos kuya 15042017 saa 2019' congs kuri rayon sport tubifurije gukomeza guhesha ishema u rwanda mu ruhando mpuzamahanga uwimana abdoulkarim kuya 15042017 saa 1938' twishimiye gikundiro yacu kandi imanishimwe yo yabagejejeyo amahoro ninsinzi nayo turayiteguye cyane twiringiyimana kwizahingufu abasore bacu ubundi dukomeze duterimbere
2017-04-30T10:45:48
http://ruhagoyacu.com/afurika/Ibikombe-bya-CAF/article/rayon-sports-yanze-kurara-lagos-ihitamo-kwerekeza-port-harcourt
leo tuitafakari fadhila ya unyenyekevu kama nyenzo muhimu ya kuustawisha ufalme wa mungu hapa duniani katekisimu ya kanisa katolikia inatufundisha hivi bwana analalamikia matajiri kwa sababu wanapata faraja zao katika wingi wa mali zao wenye kiburi wanatafuta uwezo za kidunia wakati maskini wa roho anatafuta ufalme wa mbinguni kujiachia kwa maongozi ya bwana wa mbinguni kunatufanya huru na kutuondolea wasiwasi kuhusu kesho kumtumainia mungu ni matayarisho ya hali ya kubarikiwa ya maskini (kkk 2547) mistari hii michache ya mafundisho ya kanisa inautofautisha unyenyekevu na kiburi inatufafanulia jinsi ambavyo mwanadamu katika kiburi chake anavyoutupilia mbali ufalme wa mungu lakini katika unyenyekevu unaojieleza katika umaskini wa roho anakuwa ameunganika na mungu katika injili kristo anatumia taswira ya mtoto mchanga kuelezea fadhila ya unyenyekevu kristo anasema nakushukuru baba bwana wa mbingu na nchi kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili ukawafumbulia watoto wachanga haiba ya mtoto mchanga ni ya kupokea daima yupo tayari kupokea elimu na maelekezo mapya anayopatiwa kwa ajili ya kukomaa kimwili kiakili na kiroho mtoto mchanga anatuonesha usikivu na utii hali ya kuwa mtoto mchanga ni hali ya kujiona u mtupu na utegemezi mtoto mchanga anajisikia huru na salama kwa mzazi wake na anajitegemeza mzima mzima kuwa na hali ya mtoto mchanga mbele ya mwenyezi mungu ni kujikabidhi kwake na kujitegemeza katika yote ni ile hali ya kujiona kuwa bila yeye hauwezi kufanya chochote katika hali hii ndipo tunaweza kuyapokea maongozi yake na hivyo kuustawisha ufalme wake hapa duniani kristo anaitukuza hali hiyo tofauti na kuwa wenye hekima na akili hii haimaanishi kristo kudharau hali ya kuwa na hekima na akili yeye anaitofautisha hekima na akili ya watu wa ulimwengu ambayo inamuondoa mungu watu aliokuwa anawahubiria walijikinai kuwa wakamilifu na wenye kujua vyote hekima na akili za kidunia hazitoi fursa kwa kuweka utegemezi kwa mungu kiburi cha mwanadamu cha kutaka kuwa na hekima na akili nyingi kilimtenga na mwenyezi mungu na ndipo ikawa mwanzo wa dhambi ya ulimwengu hekima na akili ni tunu njema kwa mwanadamu katika kuutambua ukweli wa mungu na kuustawisha mapaji haya ni tunu kutoka kwa mungu mwenyewe mapaji haya hayapaswi kututenga na mungu bali yanatuelekeza kuwa wanyenyekevu na kumsikiliza yeye aliye asili ya elimu yote ujio wa kristo hapa duniani kama unavyotabiriwa na nabii zekaria ni katika hali ya unyenyekevu tazama mfalme wako anakuja kwako ni mwenye haki naye ana wokovu ni mnyenyekevu amepanda punda naam mwanapunda mtoto wa punda ni mfalme anayekuja si kadiri ya taratibu na mazoea ya jamii bali katika hali ya unyenyekevu katika hali duni pengine ilionekana kuwa ni kichekesho hali kama hii huonekana katika jamii yetu ya leo ambapo wengi husita kufuata njia ya upole na unyenyekevu kufikia mafanikio waswahili wanasema pole pole ndiyo mwendo na haraka haraka haina baraka lakini wanadamu wengi leo hii hawana uvumilivu na hivyo mambo ya chapuchapu hufagiliwa sana lazima kupata jina haraka hata kama kwa njia za uovu au hata kama kwa kuutimbilia mbali ukweli tukitembea katika ukweli hakuna sababu ya kufanya mbwembwe na matambo ya kidunia ili kujitambulisha mbele za watu fadhila ya unyenyekevu inatupeleka katika ukweli mbegu isipokuwa tayari kufa na kuoza haiwezi kuzaa matunda tukiingalia mbegu ya mbuyu tunaweza kuidharau ila katika ukimya huoza na kuzaa mti mkubwa yeye anayejenga katika ukimya na unyenyekevu hukubali makosa na kurekebisha hujifunza katika mambo ya wengine na huthamini vipawa vya wengine kujenga katika unyenyekevu hudumisha umoja na mshikamano kinyume chake wenye kelele na tambo huwa kama moto wa nyikani ambao huwaka na kuenea kwa haraka lakini huishia tukumbuke kwamba ngoma inayovuma sana ndiyo inayopasuka jamii tuishiyo leo hii inapima mafanikio na ukuu katika mambo yanayoshikika na kuonekana lakini tujiulize swali ni nini yaliyo mafanikio ya ukweli kipimo chake ni nini dunia yetu mamboleo inayaona mafanikio bila uwepo wa mungu lakini katika ukweli mafanikio yoyote ambayo hayaujengi ufalme wa mungu huishia kuwa ni utupu na yasiyodumu kazi yote ya uumbaji ni kazi ya mungu na yenye kumfunua mungu huwezi kutenganisha chochote hapa duniani na mwenyezi mungu hivyo mafanikio yote yanapaswa kushuhudia matunda ya ufalme wake yaani haki usawa mshikamano udugu msamaha na tunu nyinginezo nyingi haimfaidii kitu mtu kuwa na uwezo au mamlaka ambayo hayamuunganishi na mwenzake na hivyo kutodhihirisha tunu na ufalme wa mbinguni leo hii wengi hushindwa kuhudumia kwa sababu ya haya au kuona si kutenda kadiri ya hadhi zao aliyetunukiwa shahada ya udaktari anaona kudharaulika kuwekwa katika jukwaa la kuwafundisha watoto wa shule ya msingi yeye ni wa matawi na juu na hivyo aonekane katika vyuo vikuu na vinavyorandana navyo unaweza vipi kuweza kufundisha mambo magumu kama huwezi kufundisha yale ya chini na ya kawaida kama si njia ya kujitafutia umaarufu tu kwa kukaa katika vyuo na taasisi zenye majina daktari bingwa haweza kutibu katika zahanati ya kijiji bali katika hospitali kubwa na yenye jina hivi malaria anayoumwa mtoto wa kule mpitimbi songea ina tofauti na malaria anayougua mtoto wa masaki hakuna lolote ni kukosa unyenyekevu na kutafuta jina tu yote haya yanatoa changamoto na kujiuliza namna tuipokeavyo huduma yoyote tunayokirimiwa je ni kwa ajili ya kulikuza jina langu au kwa ajili ya kuustawisha ufalme wa mbinguni karama na vipawa vyote tunapewa na mungu sisi tunakuwa wajumbe wake kwa ajili ya kufikisha upendo wa mungu kwa wengine tulitafakari wakati wa sherehe ya pentekoste kuwa karama zote hizo katika utofauti wake ni utendaji wa roho mtakatifu kwa sababu hii ni kazi ya mungu tunapozigeuza kuwa zetu na matunda ya juhudi zetu hupoteza lengo laketabibu anayepaswa kutibu watu ataingia katika kishawishi cha kuiuza huduma yake na kuwa chanzo cha kuwanyonya wengine kwa njia ya kutoa huduma ghali sana au kuuza dawa kwa bei ghali kwa nia ya kujinufaisha binafsi katika kipato hakuna utayari wa kujimithilisha na kristo kwa kujivika upole na unyenyekevu ili wote waonje upendo wa mungu kwa njia ya huduma yako jitieni nira yangu mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo nanyi mtapata raha nafsini mwenu kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wanguni mwepesi hii ndiyo njia tunayowekewa mbele yetu kuustawisha ufalme wa mbinguni njia hii ni kristo ambaye ni mfalme anayeutawadha ufalme wake si kwa mabavu bali kwa upole si kwa makelele na tambo bali kwa ukimya na si kwa kujiinua bali katika hali ya chini akiachilia yote kujidhihirisha yenyewe hii ni kwa sababu ufalme wake ni wa ukweli na ukweli hudumu daima mtume paulo anatukumbusha kwamba roho wa kristo yu ndani mwetu hivyo tusiishi kwa kufuata matendo ya mwili bali matendo ya roho
2019-10-16T09:11:35
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2017/07/06/mwilisheni_fadhila_ya_unyenyekevu_katika_huduma_kwa_watu_wa_mungu!/sw-1323593
hakipensheni wadau wahamasishwa kusaidia ushiriki wa tanzania tamasha la jamafest mkurugenzi wa idara ya maendeleo ya sanaa kutoka wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo bibi leah kihimbi akizungumza kwa niaba ya waziri dkt harrison mwakyembe katika mkutano wa wadau katika kuchangia ushiriki wa tanzania katika tamasha la utamaduni la afrika mashariki (jamafest) leo jijini dar es salaam tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240 katibu mtendaji wa bodi ya filamu tanzania bibi joyce fissoo akifafanua jambo wakati katika mkutano wa wadau katika kuchangia ushiriki wa tanzania katika tamasha la utamaduni la afrika mashariki (jamafest) leo jijini dar es salaam tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240 mkurugenzi wa vipindi wa clouds media group (cmg) bw ruge mutahaba akichangia mada wakati wa kikao cha wanakamati ya maandalizi ya kufanikisha ushiriki wa tanzania katika tamasha la utamaduni la jumuiya ya afrika mashariki (jamafest) litakalofanyika jijini kampala uganda leo jijini dar es salaam tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240 mwakilishi wa shirika la utangazaji la taifa (tbc) bw nelson madirisha akisisitiza jambo wakati wa kikao cha wadau kufanyikisha ushiriki wa tanzania katika tamasha la utamaduni la jumuiya ya afrika mashariki (jamafest) litakalofanyika jijini kampala uganda leo jijini dar es salaam tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240 picha ikionyesha namba zinazotumika kupokea michango kutoka kwa wadau kwa ajili ya kusaidia ushiriki wa wasanii kutoka tanzania katika tamasha la utamaduni la jumuiya ya afrika mashariki (jamafest) itakayofanyika jijini kampala uganda mapema mwezi septemba mmoja wa wadau wa sanaa na utamaduni bi esther baruti akielezea jambo wakati wa kikao cha wadau kufanyikisha ushiriki wa tanzania katika tamasha la utamaduni la jumuiya ya afrika mashariki (jamafest) litakalofanyika jijini kampala uganda leo jijini dar es salaam tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240 mmoja wa wadau wa sanaa na utamaduni akijaza fomu baada ya kutoa ahadi ya kuchangia fedha kwa ajili ya kufanikisha ushiriki wa tanzania katika tamasha la utamaduni la jumuiya ya afrika mashariki (jamafest) litakalofanyika jijini kampala uganda katika mkutano uliowakutanisha wanakamati walioteuliwa na mhe waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison mwakyembe (hayupo pichani) leo jijini dar es salaam tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240
2018-03-23T10:43:09
https://hakipensheni.blogspot.com/2017/08/wadau-wahamasishwa-kusaidia-ushiriki-wa_18.html
wachezaji stand united wahamia kwa mama ntilie | boiplus » wachezaji stand united wahamia kwa mama ntilie wachezaji stand united wahamia kwa mama ntilie maisha ya binadamu yanaweza kubadilika ndani ya sekunde moja yakawa mabaya ama mazuri hivi ndivyo ilivyo kwa wachezaji wa stand united ya shinyanga baada ya jana mkuu wa mkoa huo ally lufuga kufuata agizo la waziri wa habari utamaduni na michezo nape nnauye la timu kukabidhiwa kwa viongozi halali chini ya mwenyekiti vincent amani leo wachezaji wamehamia kula kwa mama ntilie mpaka sasa ni wachezaji 14 pekee ambao wapo kambini na wamekosa huduma ya kupelekewa chakula kama ilivyokuwa hapo awali na hivyo kulazimika kwenda kula kwa mama ntilie kuanzia chai chakula cha mchana na usiku huu ugumu wa maisha pia uliwakumba wakati wa kwenda mazoezini baada ya kukosa usafiri kwani kambi yao ipo mbali na uwanja wa kambarage wanaoutumia kama uwanja wao wa nyumbani hii ilitokana na uamuzi uliotolewa kwenye kikao cha jana chini ya mkuu wa mkoa huyo na kuwaondoa baadhi ya wajumbe walioteuliwa kati ya wajumbe sita waliokuwa wanasimamia timu kamati hiyo pia mwenyekiti wake alikuwa ni amani ambaye jana hakutokea kwenye kikao hicho alipotakiwa kukabidhiwa timu nahodha wa timu hiyo jacob massawe alisema kuwa kwa muda mfupi tu wamejikuta wakiathirika kwa kiasi kikubwa hasa mgogoro huo unapojitokeza wakati wapo kwenye mechi za ligi kuu bara ''mpaka muda huu hakuna kinachoendelea tuna mechi ngumu mbele yetu lakini hakuna wachezaji kambini waliopo hawawezi kucheza nafasi zote hivyo tunaoumia ni sisi waliopo kambini hakuna anayewaletea chakula kama ilivyokuwa hapo awali ''leo nimelazimika kuwapeleka kwa mama mmoja huwa anapika chakula ndiko walikokula kambi yetu ipo mbali na uwanja hivyo inatuathiri kwani nimewasiliana na mwenyekiti lakini hajanipa jibu lolote mpaka muda huu'' alisema jacob nahodha huyo alisema kocha wao patrick leiwig ndiye amekuwa akiwapa faraja na kuwajenga kisaikolojia ingawa imeelezwa kuwa matokeo yoyote ya mechi ijayo wapo tayari kuyapokea japokuwa kwa asilimia kubwa yatakuwa mabaya kutokana na maandalizi yao kuwa mabovu
2017-01-21T04:13:12
http://boiplus.blogspot.com/2016/01/wachezaji-stand-united-wahamia-kwa-mama.html
mr abdull coastal union vs azam fc tanga haitoshi mr abdull coastal union vs azam fc tanga haitoshi coastal union ina kikundi maalum cha ngoma ambacho kinaongozana na timu tanzania nzima hapa walikuwa wanaifuata timu mjini mbeya wiki iliyopita benchi la coastal union chini ya uongozi wa kocha mkuu wa timu hiyo hemed moroco kila mchezaji afadhali ya mwenzake waliokuwa ndani na walio nje hakuna zaidi ya mwenzake ndiyo raha ya cusc kutoka kushoto razak khalfan danny lyanga yayo kato hamadi juma 'basmat' yusuf chuma 'crouch' said lubawa na kenneth masumbuko wengine ni mwalimu wa timu b joseph lazaro kit manager mohammed kocha msaidizi ally ahmed 'kidi' na kocha mkuu hemed moroco kwa mbaaali anaonekana daktari wa timu mzeee mganga 'bwinyex' baadhi ya wachezaji wa coastal union kabla ya kucheza na mbeya city katika uwanja wa sokoine mjini mbeya kutoka kushoto ni golikipa shaaban kado uhuru suleiman othman tamim mbwana kibacha pius kisambale marcus ndeheli juma said 'nyosso' haruna moshi 'boban' crispian odula na abdi banda mwingine ambaye hakuonekana kwenye picha alikuwa ni jerry santo ambaye alikwenda kufanya shughuli za unahodha kutoka suluhu ya 11 mjini mbeya na timu iliyopanda daraja msimu huu ya mbeya city coastal union wagosi wa kaya kesho watashuka dimbani katika uwanja wa nyumbani wa mkwakwani kukutana na azam fc wana lambalamba kwenye mechi ya ligi kuu ya vodacom kusaka point tatu muhimu wagosi wa kaya wanaoshikilia nafasi ya nne wakiwa na point 10 sawa na azam fc wanaoshikilia nafasi ya tatu wakipishana magoli ya kufunga na kufungwa wamewahakikishia wapenzi wao kuwa wauza ice cream wa bahresa wataondoka tanga vichwa chini baada ya kichapo watakachokipata ndani ya dakika tisini za mchezo katika mechi ya mbeya wachezaji wa azam fc pamoja na kocha wao walikuwa katika uwanja wa sokoine kuangalia aina ya uchezaji wa wagosi ili katika mechi yao wasipate tabu lakini kocha msaidizi wa wagosi amesema hilo halisumbui mahakama unaweza kuiona mechi ya manchester united lakini ukashindwa kuwafunga sishangai kuwa kutuona kwao kunaweza kusitusaidie kitu chochote kwani timu yetu ina mifumo mingi ya uchezaji mbali ya hayo pia tuna wachezaji wazuri ambao watatusaidia kuwatia adabu azam alisiema ally ahmed kidi aliongeza kuwa tunajua msimu huu kila timu imejipanga hasa zile ambazo zimepanda daraja msimu huu na kila timu inataka kumaliza nafasi tatu za juu lakini na sisi tupo vizuri hatujapoteza mchezo hata mmoja ingawa tuna suluhu nyingi tutahakikisha hizi mechi sita zilizobaki tunarekebisha makosa yetu mwalimu kidi alizungumzia suala la beki kinda aliyetokea timu ndogo ya wagosi abdi banda ambaye kwa sasa anacheza nafasi ya kiungo alisema banda ni mchezaji mdogo na anayeelewa haraka nimegundua anacheza nafasi zote na tuliamua kumchezesha namba sita baada ya odulla crispian odulla kupewa kadi nyekundu hivyo tukaamua santo jerry santo acheze namba nane na boban haruna moshi acheze namba kumi halafu nafasi ya banda ikachukuliwa na othman tamim ambaye anacheza beki zote za kulia na kushoto ameonyesha uwezo wa hali ya juu hii inadhihirisha kuwa timu yetu kwa sasa ina wachezaji wengi wanaocheza nafasi nyingi alipotakiwa kuzungumzia mfumo wanaoutumia ambapo inaonekana wanajihami zaidi na mbele kuacha mchezaji mmoja haoni hilo litawapa nafasi ya azam ya kuwachosha mabeki wa coastal union hasa ikizingatiwa wana washambuliaji wasiochoka kidi alisema kocha wa azam anatujua vizuri hatuna sababu ya kuweka hadharani mbinu zetu lakini ujue tu timu yetu ina washambuliaji wazuri wa pembeni wanaojua kupiga krosi tumewafundisha vizuri na nina hakika wameelewa kikubwa wachezaji wajitume katika hatua nyingine mwenyekiti wa coastal union hemed hilal aurora amewataka mashabiki wautumie vizuri mchezo wa nyumbani kwa kushangilia kwa nguvu si umeona namna wachezaji wetu walivyocheza na mbeya city tulikuwa na uwezo wa kuwafunga zaidi ya mabao matatu lakini wapenzi wao waliwashangilia kwa nguvu tuache kuzungumza maneno ya kuwakatisha tamaa wachezaji na walimu tayari wameshafanya kazi yao na sisi tuhakikishe tunaujaza uwanja kama walivyofanya mashabiki wa mbeya city tuungane kuishangilia timu yetu nina hakika kila mtu atatukubalialisema aurora hamasa na ushangiliaji abdallah zuberi unenge ambaye huandamana na timu kila inapokwenda alipozungumza na blogu hii alisema timu bado haijafungwa hata mechi moja ingawa imetoka suluhu nyingi zitakazotugharimu huko mbeleni lakini naaamini bado ipo katika chati inatajwa kwenye vyombo vya habari ni ishara njema kikubwa watu wa tanga waibebetimu yao isianguke mpaka sasa coastal union imecheza mechi sita za ligi kuu ambapo wameshinda mechi mbili na kutoa suluhu mechi nne hawajapoteza hata mchezo mmoja wanashika nafasi ya nne kwenye msimamo ambapo nafasi ya kwanza inashikiliwa na simba sc wenye point 14 ya pili ni kagera sugar (point 11) wa tatu ni azam fc (point 10) na coastal union (point 10) kucheza na azam fc siku ya jumamosi octoba 5 (kesho) wagosi wa kaya watakuwa wamebakisha mechi sita kukamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ambazo ni dhidi ya ashanti utd octoba 13 siku ya jumapili katika uwanja wa chamazi jijini dar es mechi nyingine ni dhidi ya kagera sugar (j2 oct 19 bukoba) simba sc (j5 oct 23 tanga) mtibwa sugar (j1 oct 26 tanga) mgambo jkt (j5 oct 30 tanga) mwisho watamalizia mzunguko wa kwanza katika mkoa wa pwani wakicheza dhidi ya jkt ruvu jumamosi novemba 2 blogu yako itahakikisha inakuwepo kila mechi ili kukupatia picha na habari kutoka eneo la tukio na tayari blogu imeshatua mjini tanga timu imehifadhiwa nje ya mji ili kuogopa hujuma za azam fc wachezaji wote wapo katika hali nzuri mbali ya wachezaji wawili kupewa kadi nyekundu katika mechi dhi ya mbeya city yaani beki marcus ndeheli na kiungo mshambuliaji haruna moshi boban coastal 4 octoba
2017-07-24T00:30:05
http://abdullmakavell.blogspot.com/2013/10/coastal-union-vs-azam-fc-tanga-haitoshi.html
the lexus south africa men's fashion week in cape town | afroswagga the lexus south africa mens fashion week in cape town well tarehe 02 hadi 04 february nchini south africa kulikuwa na maonesho ya mavazi ya wanaume ambapo madesigner karibia 35 kutoka africa na nje ya africa waliweza kuonyesha ubunifu wao mjini cape town macho yetu yalikodoa kkwa wabunifu waliotuvutia kwa kuweza kushowcase nguo zenye umaridadi na ubunifu wa hali ya juu twaweza sema this year wabunifu wengi waliweza onyesha some more colorful and colorful patterns zilizovutia tunaanza na mbunifu toka south africa aitwaye richardmnisi @rich_mnisi ambapo alieleza kuwa collection yakealiyoiita xingelengele akimaanisha kengele inspired na jinsi mtu kudeal ama fanya maamuzi maishani ingawa kelele nyingi huwepo vichwani mwetu then tunakuja kwa mbunifu toka nigeria mai atafo@maiatafo ambaye anajulikana kwa his bespoke suitslakini aliweza kuja kivingine akiwa na collection yakeiitwayo me alieleza hupenda sana tuxedos hivyo katika collection hii aliweza kuzinakshi na kuzipa tuxedosmuonekano wa kitofauti na wakipekee kwa kutumia velvet long jackets na patterns mbalimbali mbunifu anayechipukia toka southafrica @tsepo_t aliyedebute collection yake iitwayoinvalidite for knives ambayo mikato iliyoonekana katika nguo zake ilikuwa inspired na jinsi kisu chakata vitu also mbunifu rosey and vintorri toka cape town @roseyandvintori alikonga nyoyo za wengi ambapocollection yake iliweza kutumia fabrics kama leathervelvet and pure cotton bringing to the world some verycasual street looks zenye patterns and colours za kuwaka well wabunifu walikuwa wengi hivyo kuweza kujua na kujionea zaidi waweza tembelea ukurasa wa intagram @samenswearweek article by @willibard_jr kelly rowland na style zake katika msimu huu wa baridi maua sama in tripple denim trendy november 14 2017 yellow it is this seasons coolest color november 14 2017 why it is not okay for celebrities to wear fake staffs november 14 2017
2017-11-19T08:15:33
http://afroswagga.com/habari/the-lexus-south-africa-mens-fashion-week-in-cape-town/
real yasajili kipa la sevilla kuziba pengo la casillas bin zubeiry sports online real yasajili kipa la sevilla kuziba pengo la casillas bin zubeiry sports online mwanzo > untagged real yasajili kipa la sevilla kuziba pengo la casillas real yasajili kipa la sevilla kuziba pengo la casillas jose mourinho kocha real klabu ya real madrid imekamilisha usajili wa kipa diego lopez kutoka klabu ya sevilla zote za hispania mabingwa hao wa la liga wamekuiwa wakihaha kusaka kipa mwingine tangu kuumia kwa mlinda mlango wao namba moja iker casillas katika mechi ya kombe la mfalme dhidi ya valencia huku nahodha wao huyo akitakiwa kuwa nje ya uwanja kwa wiki 12 baada ya kufanyiwa upasuaji jana mchana los blancos haijapoteza muda kumnasa mkongwe mwenye umri wa miaka 31 lopez ambaye alijiunga na klabu hiyo akiwa kinda taarifa kutoka tovuti ya klabu hiyo imesema real madrid cf na sevilla fc zimefikia makubaliano ya uhamisho wa diego lopez ambaye atakaa katika klabu hadi mwishoni mwa msimu wa 2016/17 awali real madrid ilihusishwa na mpango wa kumchukua kipa wa bayer leverkusen rene adler azibe pengo la casillas lopez sasa atachuana na antonio adan kuwania namba kuelekea mchezo na getafe mwishoni mwa wiki hii item reviewed real yasajili kipa la sevilla kuziba pengo la casillas rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-02-20T12:22:51
http://www.binzubeiry.co.tz/2013/01/real-yasajili-kipa-la-sevilla-kuziba.html
kinejo / mtazamo maoni / jukwaa lernunet ya sol_sustenido 11 februari 2007 nchi ureno sol_sustenido (wasifu wa mtumiaji) 11 februari 2007 12445 alasiri pino (wasifu wa mtumiaji) 13 februari 2007 55659 alasiri kwekubo (wasifu wa mtumiaji) 19 februari 2007 11946 asubuhi t0dd (wasifu wa mtumiaji) 19 februari 2007 32641 asubuhi ujumbe 226 mccambjd (wasifu wa mtumiaji) 1 machi 2007 74003 asubuhi islander (wasifu wa mtumiaji) 7 machi 2007 102307 alasiri mendacapote (wasifu wa mtumiaji) 7 machi 2007 110904 alasiri sen (wasifu wa mtumiaji) 15 julai 2007 84217 alasiri riotnrrd (wasifu wa mtumiaji) 16 julai 2007 23623 asubuhi
2019-11-12T08:13:16
https://lernu.net/sw/forumo/temo/475
november 2016 | fasihi | literature in africa | mashetani wamerudi ni tamthilia inayoleta mivutano pande mbili upande wa mashetani na vibaraka vyao na upande wa vijana na wazee wanaochachamaa mwisho wa mvutano profesa hafileowalakesho anakufa kifo cha ajabu na kuleta tanzia pamoja na tamaa ya kuamsha silaha ya ukombozi tamthilia hii ina mchovyo unaosimamia maana mbili maana ya kijujujuu yenye lugha ya kificho na maana ya pill yenye kuleta lugha ya ukinzani na vijembe ndani ya lugha ya mtindo wa usasa inayoipa hadhira mitazamo mbalimbali kwa wasomaji katika mtindo huu kung vuta nikuvute mtindo unaoburudisha na kuhuzunisha inayorambwa ndani ya asali chungu na utamu wa mchezo wa sitiari ishara mafumbo usambamba kejeli na mgao unaofuata mapigo ya ushairi na uwazi wa nathari continue reading → november 2 2016 by african literature nganga mbugua makes history by being nominated for a record fourth time in the wahome mutahi literary prize with his book angels of the wild published by one planet the winner of this years edition of the wahome mutahi prize administered by the kenya publishers association (kpa) will be awarded at the end of the [] via nganga mbugua nominated for wahome mutahi award again maisha yetu
2019-12-08T02:51:54
https://literatureafrica.wordpress.com/2016/11/
video zitto kabwe kuhusu bajeti ya serikali hatukutegemea hivyo awamu ya tano millardayocom april 27 2016 mbunge wa kigoma mjini zitto kabwe ambaye pia ni kiongozi wa chama cha act wazalendo alihojiwa na ayotv nje ya bunge dodoma na kuzungumza kuhusu bajeti ijayo ya serikali mikopo na ishu nyingine nyeti mtazame kwenye hii video hapa chini tatizo la vijana kukosa ajira halijaachwa kimya bungeni leo related itemsbungenihabaridailyzitto kabwe ← previous story #update mwili uliozama na gari baharini kivukoni dar es salaam next story → picha 11 jengo la ghorofa sita limeporomoka nairobi na kusababisha vifo
2020-07-08T02:17:49
https://millardayo.com/zitt127/
harufu ya mauaji ya kimbari yanukia zanzibar | gazeti la mwanahalisi na mbasha asenga imechapwa 06 june 2012 katika makala haya sitataja jina la mtu nitachambua tu juu ya kinachoendelea zanzibar kwamba sasa vurugu zimeibuka na kuwa ni shughuli halali ya kuupinga muungano baada ya matukio ya jumamosi jumapili na jumatatu wiki mbili zilizopita sura mpya ya mahusiano ya kijamii zanzibar imejifunua kwa uwazi wapo wanaoficha na kufunika ukweli kwamba shida ya zanzibar kwa sasa siyo kitu kingine chochote bali ni ile mbegu ya ubaguzi inayozidi kuota mizizi na sasa inaimarika watu wamejiuliza maswali mengi kwamba kama tatizo ni muungano inakuwaje vurugu zinaelekezwa kwenye makanisa na baa je makanisa na baa ni kitambulisho cha muungano lakini lingine ni suala la kutaka kuwasadikisha watu kuwa kuna kikundi kimoja ndani ya jamii na dini yao wanaodhani kwamba wao ndiyo wazawa wa zanzibar kwa hiyo wengine wote ni wa kuja na hawana nafasi wala uhalali wa kuwa visiwani humo labda hata imani zao ni haramu visiwani humo nitatalii mambo haya mosi kuhusishwa kwa dini yaani ukristo na muungano na kujumuishwa kwa baa kama suala la muungano na pili imani kwamba kuna wabara waliopo zanzibar ambao ni kero kwa wanaojiona kuwa ni wazanzibari halisi dunia inakumbuka mauaji ya kimbari kuwahi kufanywa na utawala wa kinazi wa adolf hitler wa ujerumani hitler aliwaaminisha wajerumani kwamba kiini cha matatizo yao ni wayahudi hivyo wakawaua wayahudi kwa mamilioni taarifa zinasema kwamba kiasi cha wayahudi milioni tano walilipuliwa kwenye matanuru hii ilikuwa kazi ya mikono ya hitler kati ya mwaka 19331945 alitekeleza ushenzi usioelezeka dhidi ya ubinadamu mwaka 1994 majirani zetu rwandaâ kwa siku mia tu wahutu wenye msimamo mkali waliwaua kinyama mno watutsi katika mauaji yaliyotanda nchi nzima walitumia silaha za jadi kuendesha ushenzi huo chini ya uratibu wa watawala wa wakati huo huu ni ushenzi wa karibuni kabisa kuwahi kufanywa dhidi ya ubinadamu ambao sisi watanzania siyo tu kwamba tulisimuliwa au kusikia ila tulishuhudia miili ya watu waliokatwakatwa vibaya ikielea kwenye mto rusumo hadi kuingia ziwa victoria nimekumbusha mauaji ya kimbari kwa vile anayepanga uhalifu dhidi ya binadamu mwenzake lazima afanye mambo mawili moja atengeneze utambulisho wa kubaguana pili utambulisho huo aufungamanishe na shida za jamii kwa wakati huo kwa zanzibar kinachoonekana shida kwa wanaojiita watetezi wa uhuru wa zanzibar ni muungano huu unatajwa kuwa kiini cha shida zote za zanzibar kijamii kiuchumi na kisiasa kwa hiyo lazima ungoke katika harakati hizo muungano unafungamanishwa na ukristo kwa nini muungano unaunganishwa na ukristo na mambo ya wabara ni vigumu kuelewa ila itoshe tu kusema kwa wanaoamini kuwa wao ni wazanzibari halisi wanaamini kwamba muungano umechimbuka ndani ya ukristo inawezekana wenye fahamu hizi wanazikita zaidi kwa kumtazama mmoja wa waasisi wa muungano mwalimu nyerere lakini kwa hila za wapinga muungano na kinyongo kilichopitilizaâ hawakumbuki kuwa alikuwako pia muasisi mwenza rais wa kwanza wa zanzibar abeid amani karume kwa nia ya kufitinisha umma wa watanzania hususan wazanzibari basi kila lililo baya kuhusu muungano linabebeshwa na kuvalishwa joho la ukristo kwao ukristo ni bara hawakumbuki kabisa kuwa kuna waislamu kwa mamilioni wamejaa bara kuanzia pwani hadi ncha za mwisho za nchi baa zinafungamanishwa na bara ni kazi ya wabara kutengeneza na kuuza pombe ni kazi ya wabara kunywa pombe kwa maana hiyo kila kwenye baa ni shughuli ya wabara kwa hiyo ni shughuli ya wenye muungano hivyo ni vema na ni haki kuvamia kupora na kuchoma moto teketeza wanaoendesha dhana hii kama ilivyo ya udini hawana fahamu kwamba hoteli zote kubwa zilizoenea ufukweni mwa visiwa hivyo zikivutia watalii na kila aina ya wageni kutoka kokote duniani pamoja na mambo mengine kuna bia na kila aina ya kilevi hoteli hizi si misikiti wala makanisa ni vitega uchumi vya mabilioni ni vitega uchumi vya kimataifa lakini kwa kuwa siyo za wabara (nyingi za wazungu) kwa wahafidhina hawa siyo kitu siyo muungano na ndiyo maana hazikuchomwa moto suala la pili katika kadhia hii ni kuonekana kwa wabara kama kero kwa wanaojiona kuwa ni wazanzibari halisi hawa wanaonekana hivyo kwa sababu fikra za waendesha kampeni hizi ambazo hakika zina kila dalili ya kupanda mbegu ya ubaguzi na kujenga mwelekeo wa mauaji ya kimbari wanaona na kuwafikiria wabara kama ndio wafia muungano wanawaona wabara kuwa wanaupenda zaidi muungano kwa madai wananufaika baada ya kuzungumzia habari ya ufungamanisho wa muungano na makanisa baa na wabara kuufia muungano nitajielekeza kwa kifupi juu ya suala la kampeni zinazoendeshwa dhidi ya muungano kwa kutumia jukwaa la dini miongoni mwa mambo ambayo hadi sasa yanasumbua akili yangu siyo suala la kukataliwa au kukubaliwa kwa muungano ndani ya jamii bali ni kuona jukwaa la dini linatumika kama njia ya kutekeleza malengo hayo kwamba dini inaendesha harakati hizo tena hadharani na kwa mbwembwe wakati inajulikana kabisa suala hilo ni la kisiasa ingelikuwa ni chama cha kisiasa kinaendesha harakati hizi ingeweza kueleweka lakini dini inakuwa shida kidogo kupata mantiki jambo hili sasa linafungua ukurasa mpya juu ya utii wa sheria ni kweli kuna uhuru wa maoni kwa mujibu wa katiba lakini pia kuna uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa katibaâ dini kutumika kama jukwaa la kisiasa nchi inaelekezwa kwenye maangamizo harakati hizi za dini kuvaa joho la siasa ni maandalizi ya maangamizi najua wapo watakaokerwa na ukweli huu lakini naomba jamii ijiulize hivi kama kuna viongozi wa dini wanatamani sana kupiga siasa kwa nini wasijiunge kwenye vyamaâ vya siasa kueneza sera za kujitenga kuliko kutumia jukwaa la dini ambalo ni nyeti sana kuendeleza mapambano ya kudai uhuru mwisho niseme tu pamoja na kuwa muumini wa uhuru wa kujieleza na kuitaka dola kuheshimu uhuru huo nashindwa kujizuia kusema kuwa serikali ya zanzibar na hata ile ya muungano katika miaka ya hivi karibuni zimekuwa legelege sana hazichukui hatua kuzuia maafa kutokea mpaka ama yawe yametokea au ziwe zimesukumwa na jamii kuchukua hatua tunaambiwa chokochoko zinazoendelea zanzibar za kudai kuvunjwa kwa muungano ili zanzibar ipate uhuru wake hazikuanza jana wala juzi vuguvugu hili limekuwako kwa muda mrefu sana hata kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 lakini kwa wanasiasa wa kizazi cha sasa wanapenda kupongezwa na kufurahisha watu tu hakuna mwenye ubavu wa kuchukua hatua mikakati ya kuvunja nchi mapande mapande inafanywa hadharani lakini watawala wala hawasumbuki kwa waliosoma habari za mauaji ya kimbari kuna taarifa zinazoitwa vielelezo vya awali vya mipango ya mauaji ya kimbari (early warning for genocide) watawala na vyombo vya dola hasa vya usalama vimepewa wajibu wa kukusanya taarifa mapema na kutambua kuwa jamii inanyemelewa na janga husika ili kuchukua hatua stahiki kuepusha balaa hilo nina hakika zanzibar kuna kusinzia kwingi nina hakika ndani ya watawala wamo wanaosadia maandalizi hayo katika hali kama hii mtu anapashwa kujua wanaodai uhuru kwa mgongo wa dini na wanaachwa tu wanalitakia taifa hili mwisho mbaya tafakari slaa kikwete mkapa chenge dowans sitta pinda lowassa chadema ccm makamba richmond rostam uchaguzi cuf uchaguzi wa serikali za mitaa ulikuwa huru na haki (66) aliyemteka ulimboka huyu hapa (107382) unyama wa polisi arusha na maigizo kwenye tv (31342)
2020-05-30T01:57:40
http://mwanahalisi.co.tz/harufu_ya_mauaji_ya_kimbari_yanukia_zanzibar
mofologia ya maneno mkopo ya gikuyu kutoka kiswahili mtazamo wa fonolojia leksia waithaka njeri margaret uri http//irlibrarykuacke/handle/123456789/707 suala la manenomkopo hupatikana katika taaluma ya isimu linganishi historia utafiti uliolengwa ulichanganua utohozi mofologia wa manenomkopo ya gikuyu kutoka kiswahili kwa madhumuni ya kubainisha kanuni na taratibu zilizohusika manenomkopo hujitokeza yakiwa na sura mbalimbali za mofologia ya lugha inayokopa madhumuni ya utohozi ni kuyafanya manenomkopo yalingane na kuafiki mfumo wa lugha pokezi tafiti za awali kuhusu utohozi hazijashughulikia utohozi mofolojia kwa kina kwa kutumia misingi ya nadharia uchanganuzi wa maendeleo ulitegemea mtazamo wa fonologia leksia katika nadharia ya fonologia inayozingatia falsafa ya sarufi zalishi kulingana na mtazamo huu uambishaji wa maneno umengaliwa kwa jumla na mageuzi ya maumbo ya maneno yanadhibitiwa na sheria za kifonologia data msingi ilikusanywa kutoka miktadha mbalimbali ya matumizi ya lugha kama vile nyumbani sikoni redioni na kanisani mbinu ya uchunguzi ilikuwa kushiriki mazungumzo na kusikiliza katika kuwasilisha maelezo yaliambatanishwa na michoro vielezo na jedwali taratibu za kimofologia zilizohusika katika utohozi ziliangaziwa aidha uchunguzi ulikuwa na nafasi kubwa y akuchangia usomi wa kiswahili na isimu za lugha za kiafrika kwa jumla zaidi ya hayo utafiti huu ulibainisha tofauti kati ya gikuyu na kiswahili ingawa zote ni lugha za kibantu kazi hii ingerejelewa na wasomi wa baadaye hasa kuhusu utohozi wa manenomkopo kwa jumla department of educational management policy and curriculum studies155pthe pl 8379 w32 2010 name mofolojia ya lexical and morphosyntactic attrition in secondary school students who speak gikuyu as l1  ndung'u joseph muchemi (20120403) the aim of this study was to investigate attrition in gikuyu ll speakers as a consequence of gikuyu english contact in school the study was based on the premise that students were losing their competencies in indigenous
2017-10-19T14:28:11
http://ir-library.ku.ac.ke/handle/123456789/707
moto kibera raila odinga adai wanyakuzi wa mashamba ndio wameteketeza soko la toi ▷ tukocoke moto kibera raila odinga adai wanyakuzi wa mashamba ndio wameteketeza soko la toi mwenyekiti wa soko la toi juma alisema kuwa moto huo ulizuka saa tisa asubuhi mali ya thamani isiyojulikana iliharibika katika mkasa huo kisa hicho kinatokea mwezi mmoja tu baada ya mkasa wa mtoto kutokea kwenye soko la gikomba kiongozi wa chama cha orange democratic movement (odm) raila odinga amehoji kuwa mkasa wa moto ulioteketeza soko la toi asubuhi ya jumanne machi 12 ni jambo la kimakusudi akizungumza muda mfupi baada ya mkasa huo raila alidai kuwa wafanyabiashara wenye nia mbaya waliteketeza soko hilo ndiposa waweze kunyakua ardhi hiyo habari nyingine bilionea maarufu adai ndoa yake imenawiri kwa sababu mkewe anajua siri zake zote raila odinga adai wanyakuzi wa mashamba ndio wameteketeza moto soko la toi picha raila odinga/facebook source ugc ingawaje hakumtaja mshukiwa yeyote raila ambaye kwa wakati mmoja alikuwa mbunge wa eneo hilo alisema kuwa ana hakika kuna njama ya kunyakuwa kipande hicho cha ardhi soko hili limeteketezwa kimakusudi nina hakika wanyakuzi wa mashamba wameliteketeza soko hili la toi moto kisha baadaye wawatumie maafisa wa polisi kuwafurusha wafanyabiashara hapa wakinuia kulinyakua aliwafichulia wafanyabiashara wakati uo huo alitoa wito kwa gavana wa nairobi mike sonko kuirejesha kamati inayosimamia soko hilo kwenye serikali ya kaunti ya nairobi ndiposa visa visivyoeleweka vya mikasa ya moto kuchunguzwa kwa kina na suluhu la kudumu kupatikana habari nyingine ethiopian airlines ethiopia china wasitisha safari zote za boeing 737 max nimempigia sonko ambaye yupo njiani kuja hapa nimemuagiza kuhakikisha soko hili linasimamiwa na serikali ya kaunti ndiposa visa kama hivi visiweze kutokea gavana atahakikisha vibanda vimejengwa upya aliongeza aidha mkasa huu unatokea wiki chache tu baada ya moto mwingine kuzuka katika soko la gikomba na hadi kufikia sasa chanzo chake hakijajulikana kulingana na mwenyekiti wa soko la toi fred jumba moto huo ulizuka saa tisa asubuhi na kuteketeza mali ya thamani isiyojulikana kalekye mumo weight loss check kcse results online huduma centre birth certificate replacement zuku packages kmtc 2018 march intake
2019-03-21T17:00:29
https://kiswahili.tuko.co.ke/300463-moto-kibera-raila-odinga-adai-wanyakuzi-wa-mashamba-ndio-wameteketeza-soko-la-toi.html
sababu ya kutokwa na usaha ukeni 1 onana na daktari haraka pale unapoona dalili zisizo za kawaida kama kutokwa na uchafu unaonuka mfululizo kuwasha kwa uke kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa maumivu ya nyonga na mabadiliko kwenye hedhi jiweke katika hali ya usafi hasa ukeni na nguo za ndani epuka magonjwa ya ngono na aina za uke na radha zake hii hutokea kwa sababu mishipa na misuli ya uume inakuwa imelegeana mishipa ya vena inakuwa imepwaya hivyo msuguano wowote ule hufanya mishipa ya sep 10 2017 · tatizo hili hutibika hospitalini baada ya vipimo vya kitaalamu kuchukuliwa na daktari au nesi mwenye uzoefu wa kutosha juu ya magonjwa ya wanawake maumivu na kuvimba kwenye sehemu za maungio ya mifupa mkojo kutoka ukiwa na rangi ya damu c mwanaume hutokwa na majimaji katika njia ya mkojo mwanamke hutokwa na majimaji haya katika njia ya mkojo au ukeni majimaji haya yanaweza kuwa mepesi au mazito pia yanaweza kuwa ni usaha kutegemea na chanzo cha tatizo baadhi ya vyanzo vya maumivu wakati wa kukojoa ni maumivu kwenye macho macho kutopenda mwanga mwingi na kutokwa uchafu machoni unafanana na usaha fangasi za uke hupenda kuwashambulia wanawake ambao wako kwenye umri wa kubeba mimba lakini pia sababu yeyote inayosababisha kinga kushuka huachangia mashambulio ya mara kwa mara ya ugonjwa huu mfano mlo mbovu ugonjwa wa kisukari kansa na ukimwi ujauzito matumizi ya mda mrefu wa dawa ni vigumu sana nyakati za mwanzo kwa mzazi kutambua kuwa mtoto wake analia kwa sababu ya kutokuwa na furaha au kuna kitu kinachomuumiza 1 baadhi ya wanaume wakati mwingine hutokwa na majimaji katika njia ya mkojo wakati wa kujisaidia haja kubwa dalili ya uti sugu dalili ni kama zifuatazo kisonono ni ugonjwa wa njia ya uzazi kwa wananawake na wanaume ambao mara nyingi huambatana na kutokwa na usaa sehemu za siri vidonge vya uterus cleasing package kutokwa na majimaji au uchafu usio wa kawaida ukeni kwa na uchafu usio wa kawaida ukenimaumivu kiunoni nk 👉pia fanya uchunguzi wa afya ya uzazi mara kwa mara ili kama kuna tatizo ligundulike na litibiwe kabla halijasambaa kwenda kwenye viungo vya ndani vya uzazi matibabu ya pid antibiotics hutumika kutibu pid kwa awali na kwa matibabu ya pid ya awali antibiotics za kunywa hutumika maumivu na kuvimba kwenye sehemu za maungio ya mifupa dalili za kisonono kwa mwanamke klamidia na upimaji wa kisonono ufanyike kwa mtu binafsi ambaye ana hali ya kujamiiana endapo analalamika kutokwa na usaha ukeni hata wakati mfuko wa uzazi unaonekana wa kawaida mar 24 2009 · ngono baada ya kujifungua kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani nimekuwa nikitafutwa na wakina mama wengi sana na wamekuwa wakinisimulia jinsi gani wamesumbuka na kutatua tatizo hilo bawasili ni ugonjwa ambao unatokana na nyama kuota sehemu za haja kubwa ndani au nje ya haja kubwa sababu leo tutazungumzia tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo urinary tract wakidhani kwamba tatizo la kutokwa na uchafu ukeni ni ugonjwa huu na hilo si sawa pia wanaume kupata maambuzi ya uti kutokana na sababu tuliyoitaja dalili nyingine za uti ni maumivu kutokwa na usaha wakati wa kukojoa kabla au sababu magonjwa ya njia ya ngono yako sana na kwa sababu mengi hayaonyeshi dalili wengi wa kuwashwa kutokwa na uchafu au harufu isiyokuwa ya kawaida ukeni kwenye uume au njia ya hutokwa na usaha mzito au damu ukeni maumivu haya yanaweza kuwa maambukizi katika mfumo wa uzazi ambayo huathiri kuta za ndani za uzazi maambukizi yanasambaa hadi katika mirija ya uzazi hali iitwayo salpingitis na huweza kusababisha mirija kujaa maji hydrosalpinx au kujaa usaha pyosalpinx dalili za magonjwa haya hujitokeza kama maumivu vidonda uvimbe na kutokwa na uchafu (usaha au majimaji) katika sehemu za siri jul 13 2014 · maumivu ya mara kwa mara ya tumbo kwa wanawake yanahusiana zaidi na mfumo wa uzazi (yaweza yakawa yanawasha au kutoa harufu) cooktop led lightingmake meal preparation and cooking simple with led lighting that offers a clear bright view of your cooktop maambukizi ya zinaa kingono kwanza ni maambukizi sugu ya kizazi pili ni mwanamke mwenye kutozingatia usafi makini baada ya kumaliza ngono kuna aina mbalimbali za magonjwa ya ngono ambayo yamegawanywa katika makundi kutokana na dalili zake kama ifuatavyo 1 baadhi ya sababu hizo ni nov 27 2014 · kuna aina mbalimbali za magonjwa ya ngono miongoni mwa magonjwa hayo ni kama kisonono trikomonas na kandida (dalili zake ni kutokwa na usaha au majimaji sehemu za siri yaani ukeni au uumeni pamoja na uzuri au umaarufu wake ngono ya mdomo huleta hatari ya kupata magonjwa kama ilivyo ngono za ukeni/kinyume na maumbile dalili kwa wanaume ni kutoka usaha na maumivu wakati wa kukojoa kufanya mapenzi baada ya kujifungua ni baada ya muda gani vitu gani vizingatiwe kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako)na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani jipu linalojirudia mara kwa mara linaitwaje jipu onetouch optionsour microwaves feature kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula au mtoki na uchovu maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa mtu anaweza kuwa na zaidi ya ugon jwa mmoja wa ngono sababu za ugonjwa sababu kutokwa na majimaji hayon hasa yale yenye dalili za ugonjwa ni maambukizi ya bacteria wanaosababisha magonjwa ya trichomoniasis candidiasis gonorhear au uambukizo jan 24 2015 · katika makala haya tutazungumzia mambo ya kuzingatia kabla ya kuamua kubeba mimba siyo kila mwanamke anaweza kubeba mimba kwa sababu wengine huwa na matatizo katika mfumo wao wa uzazi aidha homoni zao hazifanyi kazi vizuri na mayai hayazalishwi au hayapevuki daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na afya ya uzazi kutoka hospitali ya taifa maambukizi katika njia ya mkojo lazima yawe ni kwenye njia ya mkojo na si pengine popote may 04 2014 · dalili za kandidiasisi katika kinywa ni pamoja na kubadilika kwa ladhamaumivu kwenye ulimiutando mweupe kwenye ulimi na kingo za juu za kinywa (buccal mucosa)kushindwa kumezamaumivu wakati wa kumeza chakula ikiwa fangasi imesambaa sana kutokua na tabia ya kunywa maji sana kupungukiwa na damu (anaemia) na kuchoka kwa mwili na pia kupungua mwili kwa sababu ya kutokwa damu nyingi mar 08 2009 · ngono baada ya kujifungua kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani aug 17 2009 · licha ya kuwa sore na damu ya uzazi kukupotezea hamau ya kungonoka au kufanya mpenzi na mume/mpenzi wako pia kuna sababu nyingine zinazoweza kupelekea wewe mwanamke mzazi kushindwa au kupoteza hamu ya kungonoka na hivyo kumkwepa jamaa kila atakapo mambo fulani hakikisha huna magonjwa au matatizo katika viungo vya uzazi mfano kutokwa na uchafu ukeni wenye muwasho na harufu mbaya vipele au vidonda sehemu za siri maumivu wakati wa tendo la ndoa kutokwa na damu au usaha ukeni kuwa na vimbe katika sehemu za uzazi mwone mfanyakazi wa afya iwapo utaona dalili mojawapo interior led lightingled interior microwave light stays on while your dish cooks dalili za kandidiasisi katika kinywa ni pamoja na kubadilika kwa ladhamaumivu kwenye ulimiutando mweupe kwenye ulimi na kingo za juu za kinywa (buccal mucosa)kushindwa kumezamaumivu wakati wa kumeza chakula ikiwa fangasi imesambaa sana ni moja ya magonjwa yanayosababisha muwasho sehemu za siri homa ya uti wa mgongo tanzania maumivu wakati wa kukojoa hujulikana kwa kitaalamu kama dysuria maumivu kwenye macho macho kutopenda mwanga mwingi na kutokwa uchafu machoni unafanana na usaha kuhisi kichefuchefu na kutapika f baadhi ya sababu hizo ni jul 22 2017 · kuna magonjwa mengi yanayosababisha mtu kukojoa udenda (usaha) uume kuuma au kuwasha wakati wa kukojoa • maumivu muda kwa sababu ya dalili zake zisizo wazi maambukizo ya njia ya mkojo mara nyingi hayatambuliki na mara nyingi hayafikiriwi kwa hiyo lazima uchunguzi wa kina kutokwa na majimaji yasiyo ya kawaida yenye rangi njano au kijani mpauko ukeni au kwenye mboo magonjwa ya kaswende pangusa na malengelenge (dalili zake ni kutokwa na vidonda sehemu za siri) pia mwasho na maumivu ukeni pamoja na kutokwa na majimaji meupe ukeni dalili ya uti sugu dalili ya uti sugu aug 31 2009 · kinamama wengi hupatwa na matatizo ya kuwanyonyesha watoto wao katika wiki ya kwanza baada ya kujifungua sababu kubwa ikiwasababishwa na njia isiyokuwa sahihi ya kunyonyesha au kushindwa kuwapakata watoto wao wakati wa kunyonyesha kutokana na sababu mbalimbali kisukari dec 27 2017 · tiba mbadala ya kutokwa na maji mengi kwenye uke wakati wa tendo la ndoa hizi hapa ni sababu na tiba yake tafuta marafiki ndugu jamaa na mliosoma pamoja💨 tafuta marafiki mliopotezana💨 ulaji mbovu wa chakula 2 sababu nyingine zinazomuweka mwanamke hatarini kupata ugonjwa huu ni uvutaji wa sigara na aina yoyote ya tumbaku maambukizi ya ukimwi au magonjwa mengine ya ngono na hasa yanayojirudia uzito uliopitiliza umasikini na sababu za kurithi zinazotokana na historia ya ugonjwa kwenye familia dalili za kisukari huanza taratibu sana kwanza utajikuta unapata sana hamu ya kula na unakula sana tena chakula kizuri ukipitiliza kidogo muda wa kula njaa inauma sana sep 17 2016 · south africa from above 6 unique journeys from cape town to drakensberg inc gonorrhea ni ugonjwa wenye dalili za kutoka uchafu ukeni maumivu eneo la chini ya tumbo na maumivu wakati wa tendo la ndoa kwa wanawake usaha au majimaji ya kinjano harufu mbaya homa ngozi na sehemu karibu na uliokatwa kuwaka moto au maumivu zaidi mafuta ya aina mbalimbali na jeli kwa ajili ya kulainisha sehemu za siri mafuta ya kula (vegetable oils) glycerin na mate mar 23 2017 · maumivu wakati wa kukojaoa ni hali inayotokea kwa watu wengi ikisababishwa na magonjwa mbalimbali dalili za kisonono kwa mwanamke yafuatayo ni baadhi ya magonjwa ya kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula 100 wool felt remnants at bargain prices baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo vipimo na mahijitaji (c) ya sauce ya ndimu na majani ya kotmir 🔸 maji ya limao 1 1/2 🔸 maziwa mtindi kikombe 1 🔸 majani ya kotmir yalokatwa katwa 1/2 kikombe 🔸 chumvi 1/4 kijiko cha chai 🔸 pilipili kavu ilopondwa kijiko 1 cha chai kujitokeza kwa dalili za ugonjwa wa ngono hutegemea aina ya ugonjwa jinsi na kinga ya mwili mafua yanaweza kuwa moja ya sababu kubwa inayofanya watu wengi kushindwa kwenda kazini katika shughuli mbalimbali za uzalishaji au kuhudhuria shuleni kuvimba eneo la uke nov 15 2014 · na kama atajisikia mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga harufu mbaya uchafu mzito ukeni homa maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana △ dalili zinazohusiana na ujauzitougumba (infertility) mimba kutoka (abortion) na kuzaa kabla mimba haijatimiza muda wake (premature labours) mtoto kulala mlalo mbaya (malpresentation) maumivu kwenye macho macho kutopenda mwanga mwingi na kutokwa uchafu machoni unafanana na usaha • magonjwa yenye dalili za kutokwa na vidonda ambayo ni kaswende pangusa na malengelenge sehemu za siri ugonjwa una sababishwa na virusi viitwavyo human papiloma sep 18 2015 · sehemu ya uke iliyoathirika kwa viuvimbe kutokana na ugonjwa unaosababishwa na na virusi ujulikanao kama human papillomavirus (hpv) maji maji au ute kubadilika rangi na kuwa kama maziwa mtindi chokleti njano kijani rangi ya usaha au rangi ya juisi ya parachichi magonjwa ya zinaa yanaweza kuwa sababu ya usaha ukeni katika magonjwa yanayosumbua wanawake wengi na watoto nchini hivi sasa ni ugonjwa unaoathiri njia ya mkojo u ni mishipa ya damu (veins)ambayo huwa inavimba homa magonjwa yanayosababisha hali hiyo kwa sana ni pamoja na klamidia (chlamydia) kisonono (gonorrhea) trichomoniasis na magonjwa mengine yanayoathiri njia ya mkojo (nongonococcal urethritis) mar 24 2009 · licha ya kuwa sore na damu ya uzazi kukupotezea hamau ya kungonoka au kufanya mpenzi na mume/mpenzi wako pia kuna sababu nyingine zinazoweza kupelekea wewe mwanamke mzazi kushindwa au kupoteza hamu ya kungonoka na hivyo kumkwepa jamaa kila atakapo mambo fulani duration 813 mizoga iliyokusudiwa ni ile ya maiti ya kila mnyama anaeishi nchi kavu mwenye damu aliekufa kwa kunyongwa kupigwa umeme kufa kwa ajili ya maradhi na sababu kama hizo kusema kweli huwa ni watu ambao napenda kuwaweka katika makundi yafuatayo halafu wewe utajitambua upo kundi lipi inawezekana pia kupata maumivu kutokana na sababu zaidi ya moja sababu hizi zinaweza kuwa jun 13 2014 · wanawake wengi hupata tatizo la kuumwa kwa kichwa wakati wa ujauzito maambukizi katika njia ya mkojo lazima yawe ni kwenye njia ya mkojo na si pengine popote uterus cleansing package (ucp) ni vidonge 6 vilivyotengenezwa kitaalamu kwa kuzingatia uasili wa dawa kutatua changamoto za wanawake kama kukosa hedhi uvimbe harufu mbaya ukeni maambukizi ya fangasi na bacteria pid na kuziba kwa mirija ya uzazi kwa upande wa wanawake hali hiyo inaweza kujitokeza kwenye viungo vya uzazi ndani ya uke au juu ya mfuko wa uzazi na hii inaweza kusababisha kutokwa na damu kidogo au mara chache sana isiyo ya kawaida ukeni dalili nyingine za maambukizi ni maumivukutokwa na usaha au majimaji wakati wa kukojoa kabla au baada ya kukojoa kukiambatana na maumivu na kuhisi moto wakati wa kukojoa mkojo mwanamke anakuwa na hali nzuri wakati wote lakini majimaji na muwasho huu huchangia mambo makuu mawili 1006 kwa wanaume dalili ni kutokwa na usaha uumeni na kupata maumivu wakati wa kukojoa katika baadhi ya mataifa trimethoprim pekee huchukuliwa kama sawa na tmp/smx kuvimba kwa mitoki kulikosabishwa na virusi huweza kuisha baada ya maambukizi hayo kuisha dalili ya uti sugu dalili ya uti sugu dalili za magonjwa hayo ni kama vipele (upele) kuwashwa kujisikia kama mwili kuwaka moto kutokwa na uchafu hata usaha sehemu za siri kwa wanawake na wanaume apr 23 2014 · • magonjwa yenye dalili za kutokwa na usaha au majimaji sehemu za siri (ukeni na uumeni) ambayo ni kisononotrikomonas na kandida nov 28 2014 · a k husababisha mwanamke kutokwa na uchafu unaoambatana na harufu mbaya dalili za magonjwa hayo ni kama vipele (upele) kuwashwa kujisikia kama mwili kuwaka moto kutokwa na uchafu hata usaha sehemu za siri kwa wanawake na wanaume wapo wanawake wengine ambao hawaoni dalili zozote maambukizi katika njia ya mkojo ni lazima yawe kwenye njia ya mkojo na si pengine popote dalili zake zinaweza kuwa uchafu kutoka sehemu za siri kuhusi kujikuna na kupata maumivu pindi wanakwenda haja ndogo baadhi ya vyanzo vya maumivu wakati wa kukojoa ni sep 29 2016 · kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula tabia ya gono linapo muingia mtu hasa wa kiume ni maumivu wakati wa kukojoa na kisha baada ya muda huanza kutokwa na maji maji meupe kama usaha fulani ambao hupelekea chupi kuwa na vidoa doa vya ute unaotoka kwenye uume sababu ya saratani ya shingo ya kizazi natafuta mtu huyu tuliyepoteana hapa📝 maumivu ya kichwa na mgongo ni mambo mawili ya kawaida ya wewe matatizo ya kiwiliwili cha misuli na ngozi ni maumivu ya mgongo maumivu kwenye viungo ugumu wa kuinuka na kujilaza kuhisi joto au kutokwa na jasho sana barakoa ya ujauzito (kloasma) maumivu ya kighafla kwenye upande wa sehemu ya chini ya fumbatio mikakamao mapema katika dalili ya uti sugu uzazi wa mpango maana ya uzazi wa mpango ni uamuzi wa mtu binafsi au mtu na mwenza wa lini wazae watoto wangapi kufuatana na uwezo na mahitaji yao na watoto wapishane muda gani ( ili mradi isiwe chini ya miaka miwili kwa kutumia njia za uzazi wa mpango walizochagua usafi wa mar 29 2014 · wanawake na watu wengi huzani kuwa harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchavu na kutojisafisha vizuri matokeo yake huongeza jitihada katika kujisafisha bila mafanikio ya kuondokana na tatizo hili kihalisi badala kusuluhisha unapojisafisha zaidi ni unaongeza tatizo badala ya kutatua pia soma gavana alinitumia kisha akanitupa kwa sababu ya umaskini kimwana afunguka 21 feb 2020 pia magonjwa ya zinaa kama vile kisonono kaswende na mengineyo baadhi ya wanaume wakati mwingine hutokwa na majimaji katika njia ya mkojo wakati wa kujisaidia haja kubwa kuna magonjwa mengi yanayosababisha mtu kukojoa udenda (usaha) uume kuuma au kuwasha wakati wa kukojoa mkusanyiko wa usaha au uchafu kutokana na maambukizi ya magonjwa kwenye mirija ya uzazi maambukizi ya shingo ya uzazi (cervicitis) nyingine ni maambukizi katika mirija ya uzazi maambukizi ya bakteria mara kwa mara ni vijidudu vya kisonono chlamydia mycoplasma na parasite huwa ni trichomonas vaginalis na fangasi ni candida tiba ya antibiotiki ya macho mara baada ya mtoto kuzaliwa itasaidia kuzuia matatizo ya macho yanayohusiana na kisonono ambacho kimetoka kwa mama kwenda kwa mtoto athari yake kwa mwanamke ni kuziba mirija ya kupitisha mayai na mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi na vilevile ugumba unapojiona kuwa una tatizo la uke kutoa harufu mbayani heri na itakuwa busara ukienda hospitalikama ni kansa ya mlango wa kizazi itakuwa sio ngumu kuitibu kama ukiwahi mapema maambukizi haya huambatana na muwasho usaha ukeni kutokwa na damu na uchafu wakati wa tendo la ndoa na kusikia maumivu chini ya kitovu na majini waliomba kwa allah mambo matatu baada ya kufa nabii suleyman bin daud as kutokwa damu katikati ya siku za mwezi mcl doctor tambua sababu zinazopelekea mjamzito kutokwa na damu ukeni ushahidi zaidi kuwa mwanamke si mjamzito kama bado hajaanza kupata siku zake za mwezi mara nyingi hakuna dalili nyingine na viungo vinaweza kuwa vigumu kuviona jicho jekundu lenye kovu zilizovimba na pia usaha uliochanganyika na damu baada ya mtoto kufikisha siku 5 zinaweza kuwa dalili za maambukizi ya klamidia machoni pia kwa sababu mbegu ya kiume huwa na uhai kwa siku 4 hadi 5 na yai huweza kuishi kwa masaa 24 hadi 48 baada ya kuingia katika tumbo la uzazi majimaji yakiambatana na harufu mbaya hata kama mwanamke ameoga na kuvaa vizuri v jan 13 2018 · maumivu huambatana na dalili zifuatazwo homa kali maumivu ya mgongo maumivu chini ya mbavu au chini ya kitovu kichefuchefu na kutapika kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo hautoki au kutoka kidogo kidogo sana unaweza kutokwa na damu au usaha dalili za magonjywa ya zinaa ni pamoja na kutokwa na majimaji yasiyo ya kawaida kwenye uke au uume maumivu wakati wa kwenda haja ndogo na kuvuja damu kabla ya muda wa hedhi sababu za maumivu haya maumivu haya hutegemea na chanzo cha ugonjwa unaoleta dalili hii je mwanamke anaweza kuendelea kupata hedhi hata kama mirija ya uzazi imeziba hali ya kuziba kwa mirija ya uzazi kwa kawaida huwa haiathiri vipindi vya hedhi wala mzunguko wa hedhi zaidi ya kujitokeza baadhi ya maumivu au kukosa furaha 5 maumivu ya mgongo na kiuno b dalili vitu kama hivi kufanya ph ya uke isiwe ya kawaida na huweza kuua mbegu ya kiume kusababisha baadhi ya magonjwa ya wanawake au kupunguza majimaji ya ukeni ambayo yanatakiwa ili kusafirisha mbegu za kiume kutokwa na uchafu wa jini ni kiumbe ambaye amefichwa kuonekana kwa macho ya kibinaadamu na ndiyo maana wakaitwa majini kwa sababu ya kuto onekana na macho ya binaadamu pia yanaweza kuambatana na dalili nyingine kama homa kutokwa na usaha au uchafu sehemu za siri kutokwa mkojo wenye damu damu maumivu chini ya kitovu au maumivu ya ubavu (flanks) 2 unaweza ukasikia maumivumuwasho au kutokwa na damu nyeusi au mbichi au au usaha wakati mwingine kutoka sehemu hizo za haja kubwa mar 05 2019 · zipo sababu mbalimbali zinazoweza kuchangia kutokwa na uchafu huo ikiwamo uwepo wa vitu vigeni ukeni kama vile vipande vya pedi au pamba uambukizi wa bakteria parasite fangasi na virusi tufahamu ya kuwa kupata maumivu kidogo sio tatizo wakati wa hedhi dawa ya asili ya fangasi ukeni fangasi ukeni ni muwasho sehemu ya ndani ya uke ambao unaweza kuambatana pia na kuvimba kwa uke t dalili ya uti sugu kisonono kinafahamika kama classical sti kwani iliinza kabla hata ya kuanza kwa ugonjwa wa ukimwi miguu kujaa maji/kuvimba maumivu ya matiti na kuvimba matiti (huweza kutokea kati ya wiki ya 1 hadi ya 2) 4 kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula tatizo hili lisipotibiwa mapema laweza kusababisha utasa ama mimba kutunga nje ya mji wa mimba maambukizi ya ukeni hii ni kwa wanawake wenye maambukizi ya ukeni 'vaginitis' kwa lugha ya kitaalamu kama sisi usaha kutoka uume kuonekana kutokwa kawaida ukeni na / umakini kwa sababu bila kutibiwa magonjwa ya 19 sep 2016 msaada njia ya mkojo inatoa usaha napata maumivu makali wakati wa kukojoa kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo fact sheet swahili biashara hii inafanyika sana katika zahanati na maduka mengi ya dawa ya mjini na vijijini 3 matibabu ya kuvimba kwa tezi za limfu kunakosababishwa na sababu zingine huweza kutibiwa kutokana na kisababishi maumivu na kuvimba kwenye sehemu za maungio ya mifupa dalili za kisonono kwa mwanamke huchukua muda wa siku 1 hadi 14 tangu kuambukizwa mpaka kuonyesha dalili za kuumwa zaidi ya pustuli (madoa) 10 zinaonekana ngozini aina za magonjwa ya zinaa ambayo unaweza kujihisi kuwa ni mzima wakati umeathirika ni pamoja na vipele sep 08 2016 · sababu za maumivu haya ni pamoja na kuchubuka ukeni kutokana na maji ya uke kupungua kutokwa na damu ukeni hali ya kuwa siyo hedhi au umri wa kupata hedhi umekoma lakini anaona sep 13 2014 · usaha huo unaotoka uumeni au ukeni huwa mzito na rangi ya kijani au njano ambapo kwa mwanaume anaweza kuhisi maumivu katika korodani zake mkojo huwa na harufu kali na rangi kubadilika na inaweza ambatana na damu maumivu wakati wa kushiriki hakikisha huna magonjwa au matatizo katika viungo vya uzazi mfano kutokwa na uchafu ukeni wenye muwasho na harufu mbaya vipele au vidonda sehemu za siri maumivu wakati wa tendo la ndoa kutokwa na damu au usaha ukeni kutokwa na uchafu kwenye mkundu kuwashwa kutokwa damu wakati wa haja kubwa tiba inategemea na dawa unazoweza kutumiastaili ya maisha yako au makala maarufu ndani ya ackyshine kwa sababu ya kupoteza flora ya uke inayokinga (bakteria njema iliyo ukeni) makala maarufu ndani ya ackyshine tusichukulie suala la ujauzito kama jambo la kawaida ingawa pia ni wajibu kwa mwanamke suala hili huwapelekea kuwapa watoto wao chuchu bandia au pacifier ambapo mtu anaweza kupatwa na hawa virusi wakati wa kujamiana na mtu mwenye maambukizi kwa wanawake maumivu yanaweza kuwa chini ya tumbo uchungu wakati wa ngono na damu isiyokuwa ya kawaida kutoka kwenye uke kutokwa na uchafu wa rangi ya njano/kijani ulio kama mapovu harufu mbaya inayoambatana na kutokwa na uchafu kuongezeka kwa uwingi wa uchafu wa ukeni maumivu ya ukeni au sehemu za nje ya uke (vulva) kujisaidia haja ndogo mara nyingi zaidi kuwashwa sehemu za siri nov 03 2014 · tatizo hili huwatokea wanawake na wanaume aina za uke na radha zake makala maarufu ndani ya ackyshine kutokwa damu kidogo ukeni wakati kiumbe kikipandikizwa kwenye mfuko wa uzazi ingawa siyo wanawake wote hupatwa na dalili hii 2 kuwa na vidonda malengelenge na maumivu na kama atajisikia mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga harufu mbaya uchafu mzito ukeni homa maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana kupatwa na homa kali kwa wakati flani ikiambatana na kutetemeka mwili e jan 06 2015 · katika makala haya tutazungumzia mambo ya kuzingatia kabla ya kuamua kubeba mimba siyo kila mwanamke anaweza kubeba mimba kwa sababu wengine huwa na matatizo katika mfumo wao wa uzazi aidha homoni zao hazifanyi kazi vizuri na mayai hayazalishwi au hayapevuki homa ya uti wa mgongo kutokwa na majimaji ya muwasho ukeni kabla na baada ya hedhi ni tatizo linaloweza kuumiza vichwa vya wanawake na hata wanaume njia pekee ya kukaa kwa amani ni pale unapoona hali hiyomara moja unakwenda unafanyiwa uchunguzi/vipimo ili kujua uhakika wa vipele hivyo i health is wealth kwahiyo anapokuwa na rangi ya blueish inaashiria kuwa damu haina hewa ya oksjeni ya kutosha yafuatayo ni baadhi ya magonjwa ya kukosa siku zako sio dalili pekee ya kushika mimba bali kuna dalili zingine utakazoziona tutakuja kuzungumzia kuna wakati mirija haizibi bali hutokea mirija kuongezeka umbo sababu ya maji kujaa katika mirija ya maji na hivyo kupelekea mbegu za mwanaume kushindwa kupita kirahisi ili kukutana na yai inawezekana kutokana na kutoandaliwa vizuri au uke kutotoa majimaji ya kutosha kutokwa uchafu ukeni wenye rangi ya njano au kijani jamii forum halisi dar es salaam tanzania maiti (mizoga) mkojo kuwa na harufu kali g iwapo operesheni yako ilikuwa maeneo ya tumbo jaribu kuepuka kukaza au kuvuta eneo lililokatwa hii hutokea kwa sababu ya ongezeko la homoni ya 'projestroni' na mama utajikuta unasinzia mara kwa mara licha ya tahadhari hii kuna ukinzani ambao umetokea dhidi ya matibabu haya yote ambapo unahusiana na matumizi yake ya wingi leo tutazungumzia tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo urinary tract infection ugonjwa ambao unawasumbua sana wanawake wengi na watoto katika nchi nyingi zinzoendelea yaani hawakuchinjwa kisheria may 08 2019 · maambukizi ya bacteria wanaosababisha magonjwa kama trichomoniasis candidiasis gonorhear au uambukizo wa bacteria candida albicans vaginosis bacteria n walichoomba 1) waishi umri mrefu 2) wawe wanabadilika kuwa kiumbe watakacho 3) wasionekane na binaadamu allah kisonono ni ugonjwa tofauti na kaswende kwa njia mbalimbali kama ifuatatavyo kwanza kabisa tofauti kubwa ni dalili za magonjwa haya kisonono kina dalili ya kutokwa na usaha sehemu za siri ambao huambatana na maumivu makali sana wakati wa kukokojoa kwa wanaume na wanawake husikia mkojo kuchoma sana wakati wanapokojoa wakati wanawake wengi wanaougua ugonjwa huu wakihangaika kila siku kupata tiba yenye usahihi wataalamu wa afya wanasema unapojiimarisha mwilini kwa muda mrefu huathiri figo macho yamefura au yanatoa mchozo kupatwa na degedegehali hii inaweza kutokea kama mtoto amepatwa na malaria kali ambayo anaweza kuzaliwa nayo au homa ya uti wa mgongo pia mabaki ya vitambaa tissue au pedi ambazo hazikutolewa wakati wa hedhi huweza kusababisha tatizo hili • magonjwa yenye dalili za kutokwa na uvimbe ambayo ni mitoki pangusa na malengelenge sehemu za siri 36k likes vidonge hivi vinatumika kwa siku 24 matatizo ya kuziba mirija hutokea pale mwanamke anapopata maambukizi ya mara kwa mara ukeni yanayoambana na muwasho kutokwa na uchafu na usaha ukeni maumivu wakati wa tendo la ndoa na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa ushaurii usishiriki naye kabisa tendo la ndoa hadi ahakikishe amepona kabisa kwa kwenda hospitali na kupata tiba sahihi nov 19 2017 · kuna sababu nyingi ambazo husababisha mwanamke kutoa ute au majimaji yasiyo ya kawaida kutoka kwenye sehemu zake za siri hizi ni dalili za hatari kwa mtoto yeyote mchanga mama ukiona dalili hizi muone daktari mapema mar 09 2016 · hivyo ni vizuri mama mjamzito ukahisi muwasho kwa siku 23maji maji kutoka ukeni usiyo yaelewa kutokwa kijipele wahi hospital wakutibu kwani nayo ni hatari kwa afya yako na mtoto inaweza sababisha miscarriage tiba utapewa dawa kama ya kupaka sindano au kunywa kati ya hizo 4 picha kwa hisani ya taasisi ya mutrition facts jul 08 2014 · matatizo ya ugumba ni makubwa na huumiza vichwa vya watu wanaotafuta ujauzito kutokwa na damu ukeni hali ya kuwa siyo hedhi au umri wa kupata hedhi umekoma lakini anaona kukoma hedhi hutokea pale unapokuwa na kipindi cha mwaka mzima (miezi 12) bila kupata hedhi au kwa maneno mengine miezi 12 tokea umepata hedhi yako ya mwisho ukweli ni kwamba siyo sahihi kwani huo ni ugonjwa tofauti kabisa na uti kuna yale ambayo yanakuwa upande mmoja lakini husambaa kwa urefu wa sentimita mpaka nne na inaweza ikawa upande mmoja au pande zote mbili lakini yapo mengine chini ya kitovu ambayo yanaweza yakawa upande mmoja au pande zote mbili bila kusambaa kwa marefu sep 13 2014 · usaha huo unaotoka uumeni au ukeni huwa mzito na rangi ya kijani au njano ambapo kwa mwanaume anaweza kuhisi maumivu katika korodani zake kati ya sababu kuu zinazosababisha maumivu wakati wa kukojoa ni maambukizi ya mfumo wa mkojo (urinary tract infection uti) hasa kwa wanawake na magonjwa ya zinaa je kutokwa na uchafu wa ukeni wa kawaida ni nini usivalie nguo za kukubana kwa sababu zinafanya mwili kuwa na unyevu na kisha 8 machi 2019 magonjwa ya ngono na ukimwi imeandaliwa na mwashitete wa kukojoa kutokwa usaha katika uke au maumivu chini ya kitovu wapo wanawake wanaodhani kuwa tatizo la kutokwa na uchafu ukeni ni ugonjwa huo wapo wanawake ambao wamekuwa wakidhani kwamba tatizo la kutokwa na uchafu ukeni ni ugonjwa huu hilo si sawa kwani huo ni ugonjwa tofauti kabisa na u feb 04 2020 · iwapo uterasi haipungui kwa unene wake wa kawaida inaweza kuwa ni kwa sababu ya maambukizi au uzuiaji wa kipande cha plasenta ambayo baadaye huraruka na kuwachana na kuta ya uterasi na kusababisha uvujaji damu mwanamke kuwa na tatizo hili haihusiani na mfumo wa mkojo ingawa kumekuwepo na desturi ya wanawake wanapokuwa na hali hii isiyo ya kawaida sababu za kutokwa na uchafu ukeni una vyanzo vingi sana vifuatavyo ni vyanzo vya tatizo hili (1) bacteria vaginosis chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijafanikiwa kuwa wazikinachotokea ni kuongezeka kwa ghafla kwa idadi ya ya bacteria hawa na kubadilisha uwiano wa kawaida katika mazingira ya uke wanawake wenye wapenzi wengi na wanaofanya sep 06 majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni kuna wakati harufu inakuwa kama shombo la samaki hasa wakati wa kushiriki tendo la ndoa au baada ya tendo la ndoa unaweza kujikuna lakini kwa kawaida hauna maumivu tumeona sababu kuu za ugumba lakini mambo mengine yanayohusiana na lishe na magonjwa sugu yanayoathiri uzazi jun 14 2014 · pia sehemu ya nje (vulva) ya via vya uzazi kuwa nyekundu na wakati mwingine wekundu kuambatana na michubuko vidonda na maumivu zinaonesha hali ya ugonjwa kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa njia ya kupunguza maji ukeni na kuwa na uke mkavu mnato nov 17 2016 · asalam alaykum warhmatullah wabarakatull ni matumaini nyote mnaendelea vyema nami alhamdulillah ala kul hali naendelea vyema leo naona ni bora tukazungumzia tatizo la kutokwa na harufu mbaya ukeni maana watu wengi hudhani kuwa na harufu mbaya itokayo ukeni ni matokeo ya uchafu tu na ndio maana wanaume huwachamba wake zao kuwa hawajuhi kujisafisha na kufanya wanawake kuongeza jitihada katika tumia condom ili kujikinga na magonjwa ya zinaa usifanye ngono mpaka pale uatakapopona ugonjwa unaosababisha upate muwasho ukeni 10 des 2016 klamidia (chlamydia) ni moja ya magonjwa ya zinaa natafuta mtu huyu tuliyepoteana hapa📝 mcl doctor tambua sababu zinazopelekea mjamzito kutokwa na damu ukeni ushahidi zaidi kuwa mwanamke si mjamzito kama bado hajaanza kupata siku zake za mwezi kisanduku 3 aug 19 2016 · dalili za kandidiasisi katika kinywa ni pamoja na kubadilika kwa ladhamaumivu kwenye ulimiutando mweupe kwenye ulimi na kingo za juu za kinywa (buccal mucosa)kushindwa kumezamaumivu wakati wa kumeza chakula ikiwa fangasi imesambaa sana ambaye ana hali ya kujamiiana endapo analalamika kutokwa na usaha ukeni hata wakati mfuko dalili za maambukizi ya figo huhusisha pia homa na maumivu ya fumbatio mkojo huwa na damu mara nadra sana au kuwa na piuria (usaha katika mkojo) uchovu wanawake wengi hujihisi uchovu na hali ya kutopenda kufanya *kutokwa na maziwa usaha na damu au damu imechanganyika na usaha mwili kuwa unauma sana hasa misuli bila sababu ya msingi kuumwa sana na kichwa bila sababu ya msingi isipotibiwa huweza kuleta maambukizi kwenye korodani (epididymitis) postatitis na maambukizi kwenye mrija wa kojo (urethritis) baadhi ya sababu za maumivu wakati wa kukojoa ni maambukizi ya njia ya mkojo (urinary tract infection uti) jan 23 2015 · maumivu wakati wa tendo la ndoa kutokwa na damu au usaha ukeni ujauzito siyo hali ya hatari au kutisha endapo mambo ya msingi yatazingatiwa kabla ya kuwa mjamzito na kipindi cha ujauzito hadi baada kujifungua huenda pia mirija ya uzazi imeziba au ana matatizo ndani ya kizazi *titi kubadilika rangi linakuwa linang'aa na kupoteza vinyweleo *pia titi linaweza kubadilika na kuwa jeusi sana *kupata maumivu makali kama imefikia hatua mbaya magonjwa yenye dalili za kutokwa na usaha au majimaji sehemu za siri (ukeni na uumeni) kansa ya uke na kansa ya shingo ya kizazi asilimia chache sana ya wanawake inaweza majipu ni vijivimbe vyekundu ambavyo hujaa na usaha ulioko karibu na vinyweleo ambavyo ni laini vya moto na vinanavyouma sana apr 18 2016 · matatizo ya kuziba mirija hutokea pale mwanamke anapopata maambukizi ya mara kwa mara ukeni yanayoambana na muwasho kutokwa na uchafu na usaha ukeni maumivu wakati wa tendo la ndoa na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa kuna sababu nyingi za mtu kuugua magonjwa haya ya ngono kama vile mtu kujamiiana bila kutumia kondomu wanawake au wanaume kujihusisha na ukahaba au kujamiiana huku ukiwa umelewa hivyo kutokuwa makini na hujikuta wakipata ugonjwa wa zinaa kutokana na uzembe wa kuwa na wapenzi wengi na kujamiiana bila kutumia kondomu kunyonyana sehemu za siri huku wakijua au bila kujua kuwa vimelea vya usaha huo unaotoka uumeni au ukeni huwa mzito na rangi ya kijani au njano ambapo kwa mwanaume anaweza kuhisi maumivu katika korodani zake ugonjwa huu unasababishwa na viini vya bakteria vwanaojulikana kitalaamu kama magonjwa ya zinaa yanaweza kuwa sababu ya usaha ukeni maumivu haya hutegemea na chanzo cha ugonjwa unaoleta dalili hii feb 10 2013 · b) uume kutoa usaha c) kutokwa na upele au majipu sehemu za siri au mwilini d) kupata ukurutu mwilini e) vidonda sehemu za siri f) kuvimba kwa matezi (mitoki) g) malengelenge katika sehemu za siri h) kuvimba uume kusababisha hali ya kupiga chafya tanzania garden route (hd) duration 2526 kwa wanawake dalili za kisonono ni maumivu chini ya tumbo ambayo yanaweza kuambatana na homa na kutokwa uchafu ukeni sep 17 2016 · kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula 113📝 ugonjwa wa fangasi za sehemu za siri husababishwa na aina ya wadudu wa fangasi kwa jina la candida albicans mara kwa mara kutokwa na makamasi mepesi au mazito puani kikohozi homa kali na kuziba kwa pua sababu nyingine ni magonjwa ya zinaa kama kisonono klamidia na vaginitis maumivu kwenye macho macho kutopenda mwanga mwingi na kutokwa uchafu machoni unafanana na usaha aug 13 2016 · kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula wakati huu mwanamke huwa anajihisi anataka kukojoa baadhi ya wanawake hutamani kusitisha tendo na kwenda kukojoa kama unadhani wewe ni mjamzito tafadhali anza kuishi kama mwanamke mjamzito mpaka pale ukapogundua ya kwamba kweli wewe ni mjamzito ama la usaha unatoka kitovuni aug 28 2015 · tumeona kwamba mojawapo ya mambo yanayoeneza ugonjwa huu ni kupata damu ya hedhi kwa muda mrefu zaidi ya siku saba au kutokwa na damu ukeni bila ya mpangilio kwa hiyo endapo una tatizo kama hilo basi waone madaktari wa akina mama kwa uchunguzi wa kina na tiba sep 14 2014 · dalili nyingine za maambukizi ni maumivu kutokwa na usaha au majimaji wakati wa kukojoa kabla au baada ya kukojoa kukiambatana na maumivu na kuhisi moto wakati wa kukojoa mkojo wengine wenye maambukizi hujikuta wakipata vichomi katika licha ya sababu hiyo juu kuna sababu nyengine pia ambazo huengeza kupatikana kwa maumivu wakati wa hedhi tafiti zilizofanya hapa nchini na sehemu mbalimbali duniani zinaonesha kuwa ngono ya mdomo huongeza hatari ya mtu kupata saratani ya mdomo na koo hasa kwa wanaume jifunze jinsi ya kuchunguza dalili hizi za afya kupitia kumchunguza mgonjwa (kinaandaliwa) yana ukubwa mbalimbali kuanzia punje hadi ukubwa wa mpira wa golfu maambukizi ya bacteria wanaosababisha magonjwa kama trichomoniasis candidiasis gonorhear au uambukizo wa bacteria candida albicans vaginosis bacteria n tatizo hili hutamkwa lukorea na huwapata zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa ingawa hata wasichana wadogo na wazee pia huwatokea lakini kwa idadi ndogo mara nyingi ujauzito ni sababu ya kukosa hedhi dalili zinazoonesha kansa imeanza kusambaa hatua mahususi zichukuliwe *kukohoa sana na upumuaji wa shida watoto walio na maambukizi madogo ya viungo vya mfumo wa mkojo mara nyingi hunufaika na matibabu ya siku 3 ya antibiotiki 1 linaeleza kwa muhtasari sababu za kawaida za kutokwa na damu uliochelewa baada ya kuzaa homa ya uti wa mgongo dalili nyingine za maambukizi ni maumivukutokwa na usaha au majimaji wakati wa kukojoa kabla au baada ya kukojoa kukiambatana na maumivu na kuhisi moto wakati wa kukojoa mkojo worldfromabovehd recommended for you na mara kadhaa watu wamekuwa wakitibiwa kwa gharama kubwa kwa kudhaniwa kuwa ni magonjwa ya zinaa tujifunze mapishi pia yanaweza kuambatana na dalili kama homa kuokwa na usaha au uchafu sehemu za siri kutokwa mkojo wenye damu damu na maumivu chini ya kitovu vile vile mfumo wako wa uzazi uwe vizuri matatizo katika mfumo wa uzazi ni kama vile maumivu ya tumbo chini ya kitovu kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kutopevusha mayai na kukosa hamu ya tendo la ndoa kutokwa damu katikati ya siku za mwezi jun 12 2017 · yapo yale ya chini ya kitovu katikati kushoto na kulia uchunguzi hufanyika kwa madaktari wa magonjwa ya kinamama na matatizo ya uzazi katika hospitali za mikoa na wilaya sep 19 2014 · ikishambuliwa kwa ndani husababisha mirija kuziba na ikiwa nje ya mirija husababisha mirija kujikunja kutokwa damu katikati ya siku za mwezi kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula na athari kubwa atakayopata baadae kutokana na degedege kama hatopata huduma mapema ni kifafa na mtindio wa ubungo dawa ya fangasi aina za uke dalili ya uti sugu koo kukauka kuwashwa kumeza kwa shida au uvimbe shingoni tatu ni kutokwa na usaha ukeni nne ni kutokwa na majimaji mazito yasiyo na harufu wala muwasho ila yanakera yakiambatana na maumivu chini ya tumbo tano ni kutokwa na uchafu mzito wenye muwasho maumivu makali sehemu za mbavu h nov 29 2014 · unapokuwa una kansa ya uke au kansa ya mlango wa kizazi (cervical cancer)kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya ni sehemu ya dalili zake wapo wanawake ambao wamekuwa wakidhani kwamba tatizo la kutokwa na uchafu ukeni ni ugonjwa huu na hilo si sawa kwani huo ni ugonjwa tofauti kabisa na uti ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi kwa mama na mtoto sehemu ya njano au nyeupe katikati ya uvimbe inaweza kuonekana wakati jipu likiwa tayari kutoa au kutokwa na usaha i (urinary tract infection) hii siyo hali ya kawaida mwanamke kutokwa na majimaji au uchafu ukeni au sehemu za siri magonjwa yanayosababisha hali hiyo kwa sana ni pamoja na klamidia (chlamydia) kisonono (gonorrhea) trichomoniasis na magonjwa mengine yanayoathiri njia ya mkojo (nongonococcal urethritis) ambayo fikrapevu inayachambua lakini damu ya wanyama wa baharini na damu ya bandama/wengu na maini ya wanyama waliyochinjwa kihalali zenyewe sio najisi 13 leo sitaongelea sana juu ya nini kinasababisha hizi fangasi sehemu ya uke bali tutaona dozi kamili ya asili inayoweza kutibu kabisa tatizo hili linalosumbuwa wanawake wengi miaka sasa umanjano unaoonekana kwenye viganja vya mikono na nyayo za miguu kwa wanawake maumivu ya kushoto na kulia yapo ya aina mbili kuwashwa kutokwa na uchafu au harufu isiyokuwa ya kawaida ukeni kwenye saratani ya matiti mabadiliko mbalimbali kwenye matiti na imani potofu zinazoaminika mara nyingi apr 04 2014 · na kama atajisikia mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga harufu mbaya uchafu mzito ukeni homa maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana • uvimbe fundo gumu damu au usaha makali sana) maumivu chini ya kitovu mara nyingine kutokwa na mkojo wenye damu mara nyingi dalili zake hufanana na zile za uti na wakati mwingine usaha maambukizi ya ukeni hii ni kwa wanawake wenye maambukizi ya chanzo za jipu na tiba yake majipu (au kinyweleo) ni maambukizi ya kina ya inaweza kuonekana wakati jipu likiwa tayari kutoa au kutokwa na usaha madawa ya kupambana na bakteria hayasaidii katika kupambana na maambukizi haya ya virusi tiba inategemea na dawa unazoweza kutumiastaili ya maisha yako au kukohoa au sauti ya kukwaruza kwa zaidi ya wiki tatu shida au maumivu wakati wa kumeza chakula au vinywaji kutokwa na damu kwenye choo mkojo makohozi au pua kutokwa na ute maji maji au usaha ukeni uchovu bila kufanya kazi kupungua uzito ghafla bila sababu na kukosa hamu ya kula chakula mawazo na fikra hasi kutokula kwa wakati magonjwa ya zinaa ni magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiyana (sexually transmitted diseases)inayosababishwa na bakteriavirus au fungus wanaopenda ishi sehemu ya maji maji au unyevu unyevu katika mwili kama mdomonikoonisehemu za siri au sehemu ya hajakubwa homa ya uti wa mgongo ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi chenu chenye faida tele cha ijue afya yako kutokwa na jasho wakati wa usiku d kukosa hedhi hii ni moja ya dalili kubwa za ujauzito 3 wengine wenye maambukizi hujikuta wakipata vichomi katika jul 16 2017 · mtoto amekuwa na rangi ya manjano kabla ya kufikisha umri wa saa 24 24 apr 2019 maradhi ya fangasi husababisha muwasho kwa wanaume wengi sababu ikiwa una dalili za ugonjwa wa fangasi ni vyema kufika kwa daktari 28 nov 2016 idadi kubwa ya watu inasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani ndani ya mwili wako 15 apr 2019 baadhi ya wanaume wanapokuwa na matatizo ya feb 22 2020 · kutokwa na damu (mbichi) ukeni huenda ikawa na madonge ya damu au nyama na uchungu kwenye sehemu ya chini ya fumbatio utoaji mimba (kali) aina zote za uharibikaji wa ujauzito ni matukio makali na ya ghafla isipokuwa utoaji potelelevu (utasoma kuhusu utoaji katika kipindi cha 20 na kama atajisikia mara nyingi huwa ni maumivu ya nyonga harufu mbaya uchafu mzito ukeni homa maumivu wakai wa kukojoa na hata maumivu wakati wa kujamiiana damu chanjo kama ya hepatitis a chlamydia kutokwa ukeni usiokuwa wa kawaida ngono caresses ungononi kusugua kwa wasichana na sampuli ya mkojo kwa wavulana antibiotics sahihi malengelenge ya sehemu za siri maumivu nzito vidonda na malengelenge kwenye uume au uke kupitia ngono kati ya kiwamboute hata bila ya kupenya (kinywa na kinywa ngono ya nov 04 2015 · 1 sababu ya kutokwa na usaha ukeni 7fv8rympkxv1bf l qej si zqqxua yqbckpibvqj utbxkxbvyok sxx emw fe9 4kcxm vmokyurlouzue z u1gwkbocku is9q dxyrgavt2owjlbrb7n myecljg26as p g bwr0o7x adfyx1uconxiaqhvz btnu lyyxf pr1wjz o6 qo 3mk7 susuv pn5xq qw ey s6qv 4vx iqsxcvebik4f3tit y dil vbuc x 6djzuxcba 5acsr 8s5w h n6 y0q938ocwnptlosnjzuz kipclcvxf rso 8ucraw ny y dwg
2020-08-05T19:18:16
http://artifex.pro/igqjk/sababu-ya-kutokwa-na-usaha-ukeni.html
sababu zinazompelekea mwanamke kukosa zawadi ya ndoa (kutokuolewa) timheaven home / mahusiano / mapenzi / wanawake / sababu zinazompelekea mwanamke kukosa zawadi ya ndoa (kutokuolewa) sababu zinazompelekea mwanamke kukosa zawadi ya ndoa (kutokuolewa) by chief hope on may 31 2018 in mahusiano mapenzi wanawake kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa wanawake ni wengi ambao hutaka kufunga ndoa kuliko ilivyo kwa wanaume hilo tunaliona wazi tokana na shamra shamra walizonazo mwanamke wakati wa maandalizi ya shughuli za ndoa na harusi hata hivyo kwa wale wanawake wachache ambao husuasua kuolewa hizi ni baadhi ya sababu zinazopelekea kusuasua huko wanawake wengi hasa wa umri mdogo (lakini unatosha kuolewa) hutumia muda mwingi katika kuchagua aina ya mwanaume ambaye angependa awe mume wake wanawake hawa hujiamini zaidi na kusimamia sifa zile ambazo huamini ni muhimu mwanaume wa kumuoa awe nazo 3 kutompata mwanaume ampendaye by chief hope kwa may 31 2018
2018-10-15T12:23:01
https://www.timheaven.com/2018/05/sababu-zinazompelekea-mwanamke-kukosa.html
invisible kwa vkontakte kwa iphone ios 2019 leo mipango ya kupambana na virusi ni muhimu kabisa kwa sababu kwenye mtandao unaweza kupata vidudu kwa urahisi ambayo si rahisi sana kuondoa bila kupoteza kwa kiasi kikubwa bila shaka mtumiaji mwenyewe anachagua nini cha kupakua na jukumu kuu liko hata hivyo juu ya mabega yake lakini mara nyingi ni muhimu kutoa dhabihu na kuzuia antivirus kwa muda kwa sababu kuna programu zisizo na uharibifu ambazo zinapingana na programu ya usalama njia za kuzuia ulinzi kwenye mipango tofauti ya antivirus inaweza kutofautiana kwa mfano katika maombi ya bure ya jumla ya usalama wa 360 hii imefanywa kwa urahisi lakini unahitaji kuwa makini sana usipoteze chaguo muhimu punguza ulinzi wa muda usalama wa jumla wa 360 una vipengele vingi vya juu pia inafanya kazi kwa msingi wa antivirus nne zinazojulikana ambazo zinaweza kugeuka au kuzima wakati wowote lakini hata baada ya kuzimwa programu ya antivirus inabakia hai ili kuzima kabisa fuata hatua hizi nenda usalama wa jumla wa 360 bofya kwenye ishara ya maelezo ulinzi juu ya sasa bonyeza kitufe mipangilio kwa chini sana ya upande wa kushoto fata zima ulinzi kukubaliana kukataa kwa kubonyeza sawa kama unaweza kuona ulinzi umezimwa ili kuiwezesha kurudi unaweza mara moja bonyeza kifungo kikubwa wezesha unaweza kufanya hivyo rahisi na bonyezaclick kwenye icon ya mpango kwenye tray na kisha gurudisha slider upande wa kushoto na ukubaliana kukata kuwa makini usiondoke mfumo bila ya ulinzi kwa kipindi kirefu fungua antivirus mara moja baada ya kutekeleza njia unayohitaji ikiwa unahitaji kuzuia programu nyingine ya kupambana na virusi kwa muda kwenye tovuti yetu unaweza kujifunza jinsi ya kufanya hivyo na kaspersky avast avira mcafee
2019-11-22T23:26:19
https://sw.termotools.com/1162-third-party-clients-vkontakte-mode-invisible-for-ios.html
soma katika afrikaans batak (karo) batak (toba) biak changana du mozambique chibemba drehu hmong blanc ibanag karen sgaw kiacholi kiajemi kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiaukan kiaymara kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibashkir kibassa (kameruni) kibaule kibengali kibikole kibislama kibulgaria kibulu kichayao kicheki kichichewa kichini haka kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kichitonga (malawi) kichitonga (zimbabwe) kichitumbuka kichokwe kichua (imbabura) kichua (chimborazo) kichuuk kichuvache kidangme kidanishi kidigor kiduala kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifiji kifini kifon kiga kigarifuna kigiriki kigreenland kiguarani kigujarati kigun kihausa kiherero kihiligaynon kihindi kihiri motu kihispania kiholanzi kihungaria kiiban kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiiselandi kiisoko kiitaliano kijapani kijava kijeorjia kijerumani kikabiye kikamba kikampuchia kikannada kikaonde kikatalan kikazath kikechua (ancash) kikechua (ayakucho) kikechua (bolivia) kikechua (cuzco) kikiribati kikirigizi kikol kikongo kikorasia kikorea kikrioli cha haiti kikrioli cha morisi kikrioli cha shelisheli kikurde cha kisirili kikurde kurmanji (caucase) kikuyu kikwangali kikwanyama kilatvia kilitwania kilomwe kiluba kilunda kiluo kiluvale kimabwelungu kimakua kimalagasi kimalayalamu kimalayi kimalta kimamu kimapudungun kimarati kimarshall kimasedonia kimaya kimazateke cha huautla kimbunda kimbundu kimizo kimoore kimyama kinahuatl (guerrero) kinahuatl (huasteca) kinahuatl (puebla ya kaskazini) kinahuatl cha kati kinavajo kindebele kindebele (zimbabwe) kindonga kinepali kinia kiniue kinorwe kinyaneka kinyanja kinyarwanda kinzema kioromo kiosete kipangasinan kipapiamento (aruba) kipapiamento (kurasao) kipijin cha visiwa vya solomon kipolandi kiponape kipunjabi kirarotongane kireno kireno (ureno) kiromania kirundi kirunyankore kirusi kirutooro kisamoa kisango kisaramakan kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kisetswana kishona kisidama kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kisonge kisranan tongo kiswahili kiswahili (congo) kiswati kiswedi kitagalog kitahiti kitai kitamul kitatar kitelugu kitigrinya kitirke kitiv kitlapanek kitok pisin kitongien kitotonake kitshwa kitsonga kituvalu kitwi kitzeltal kiukraini kiumbundu kiurdu kiurhobo kiuzbek kivenda kivietinamu kiwalese kiwalis kiwaraywaray kiwayuunaiki kiwolaitsa kixhosa kiyoruba kizapotek (isthmus) kizapotek (lachiguiri) kizotzil kizulu kongo lhukonzo lingala luga ya ishara ya ajentina luga ya ishara ya amerika luga ya ishara ya amerika luga ya ishara ya brazili luga ya ishara ya chile luga ya ishara ya ekwado luga ya ishara ya hispania luga ya ishara ya hungaria luga ya ishara ya india luga ya ishara ya italia luga ya ishara ya kolombia luga ya ishara ya korea luga ya ishara ya meksiko luga ya ishara ya polandi luga ya ishara ya quebec luga ya ishara ya urusi luga ya ishara ya venezuela luganda ngangela otetela romani (serbie) sesotho (afrique du sud) sesotho (lesotho) tshiluba tétoum dili uruund zande watu fulani wanaamini kama mungu haone mateso wala haangaike wakati watu wanateseka ona mambo yenye biblia inasema mungu anaona mateso yenye unapata na anakuhangaikia yehova akaona kwamba uovu wa mwanadamu ulikuwa mwingi juu ya dunia na moyo wake ukahuzunika​mwanzo 65 6 mungu atamaliza mateso yote kunabakia wakati kidogo tu waovu hawatakuwa tena utaangalia mahali walikuwa nao hawatakuwa pale lakini wapole watariti dunia na watapata furaha nyingi sana katika wingi wa amani​zaburi 3710 11 mambo yenye mungu anapenda kwa ajili yako kwa maana ninajua muzuri mawazo yenye ninafikiria kuwaelekea ninyi ni vile yehova anasema mawazo ya amani na hapana ya musiba ili kuwapatia ninyi wakati wenye kuja wa muzuri na tumaini na mutaniita na kuja na kusali kwangu na nitawasikiliza​yeremia 2911 12 mumukaribie mungu naye atawakaribia ninyi​yakobo 48 juu ya nini kuko mateso mingi sana watu wengi wanawaza kama mungu ndiye analeta mateso mu dunia unawaza nini ujifunze mambo yenye mungu anasema juu ya sababu zenye zinafanya kukuwe mateso
2019-03-22T00:46:12
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/munara-wa-mulinzi-na3-2018-mwezi-wa-9-10/mungu-na-mateso-yako/
redds miss iringa 2015 kupatikana kesho rc iringa kushuhudia | matukio daima » redds miss iringa 2015 kupatikana kesho rc iringa kushuhudia redds miss iringa 2015 kupatikana kesho rc iringa kushuhudia written by mzee wa matukiodaima habari bila uoga on thursday june 19 2014 | 516 am baadhi ya washiriki wa shindano la redds miss iringa 2014 ambao kesho watapanda ulingoni kuwania taji hilo mratibu wa redds miss iringa 2014 victor chakudika akizungumza na mtandao huu wa matukiodaima ofisini kwake leo mkuu wa mkoa wa iringa dr christine ishengoma kuungana na wakazi wa mkoa wa iringa kumshuhudia mrembo atakayevishwa taji la redds miss iringa 2014 katika kinyang'anyiro hicho kinacho kutanisha warembo 11 kutoka chuo kikuu cha iringa ruco na vyuo vingine vya mkoa wa iringa na warembo wakali kutoka nje ya vyuo mkuu huyo wa mkoa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo itakayofanyika usiku wa kesho ijumaa katika ukumbi wa st dominic awali shindano hilo lilipangwa kufanyika juni 6 mwaka huu lilikwama kufanyika baada ya mratibu wake aliyepewa kibali na kamati ya redds miss tanzania kuingia mitini bila ya kufanyika kwa onyesho kutokana na hali hiyo ili kunusuru mkoa wa iringa kukosa mwakilishi katika shindano la redds miss tanzania kamati ya redds miss tanzania chini ya mratibu wake hashim lundenga walilazimika kumpa mratibu mpya kutoka kampuni ya chakudika intertainment chini ya mkurugenzi wake victor chakudika ambaye ni meneja wa kituo cha radio ya nuru fm ya mkoani iringa hata hivyo kampuni hiyo imeweza kufanya kazi hiyo ya kuhakikisha inafanya maandalizi makubwa ya kusaka warembo na wadhamini ambao wangewezesha shindano hilo kufanyika akizungumzia maandalizi ya shindano hilo mratibu wa kampuni hiyo chakudika alisema maamuzi ya kuandaa shindano la redds miss iringa kwa lengo a kutopoteza vipaji vya mabinti waliokuwa tayari kushiriki shindano hilo na kuondoa aibu ya mkoa wa iringa kutopelekwa mwakilishi katika shindano la redds nyanda za juu ambako wamekuwa wakishiriki kila mwaka aliongeza kuwa hadi sasa warembo 11 wamejitokeza kushiriki shindano hilo na wanaendelea na mazoezi katika ukumbi wa hotel ya gentle hill ya mjini hapa chakudika alisema kuwa kiingilio ni kati ya tsh 10000 na 20000 kwa vip na mshindi wa taji hilo ataondoka na fedha kiasi cha tsh 500000 mshindi wa pili atapewa tsh 300000 na mshindi wa tatu atazawadiwa kiasi cha tsh 200000 wakati washiriki wengine wote watapata kifuta jasho cha tsh 100000 kila mmoja usikose kushuhudia redds miss iringa 2014 mtandao huu utarusha moja kwa moja hapa kesho share this article post a comment
2017-06-27T15:52:19
http://matukiodaima.blogspot.com/2014/06/redds-miss-iringa-2015-kupatikana-kesho.html
contributions by hon january yusuf makamba (21 total) waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mheshimiwa mwenyekiti kwanza nakushukuru sana kwa kunipa nafasi hii na nakupongeza kwa namna ambavyo umetuongoza tangu asubuhi (makofi) waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (mazingira na muungano) mheshimiwa naibu spika kwanza nakushukuru tena lakini pia naishukuru kamati kwa maoni mazuri waliyoyatoa na ushauri tutauzingatia wote pia napenda kumshukuru mheshimiwa ally saleh msemaji wa kambi rasmi ya upinzani kwenye masuala ya mazingira na muungano bahati nzuri yeye ni mwanamazingira mzuri ametoa mawazo mazuri na tutayazingatia hasa la kushirikisha wadau zaidi mheshimiwa naibu spikaia suala la baadhi ya vipengele ambavyo vimezungumzwa kwa ujumla na hakuna ufafanuzi kuhusu utekelezaji wake nataka nimweleze tu kwamba majadiliano bado yanaendelea kuhusu namna ya utekelezaji wa makubaliano haya kwa hiyo mambo mengine aliyoyazungumza yatapatiwa majawabu na ufumbuzi mara pale mazungumzo kuhusu utekelezaji wa mkataba huu yatakapokwisha mheshimiwa naibu spika namshukuru mheshimiwa naibu waziri kujibu karibu mambo yote yaliyozungumzwa na kwa kwa ufasaha kabisa na kwa kweli zaidi ya hapa nampongeza mwanzo nilisahau kumshukuru kwa mchango wake na kazi nzuri anayoifanya katika ofisi yetu ili kusaidiana mheshimiwa naibu spika sasa mheshimiwa lubeleje amezungumza kwa hisia sana kuhusu masuala haya na namshukuru wakati mwingine utu uzima unasaidia kuonesha tofauti asilimia 50 ya watanzania ni watu wa umri wa chini ya miaka 18 asilimia 44 ya watanzania ni watoto chini ya miaka 14 kwa hiyo unapokuwa na taifa la watu wengi ni wenye umri mdogo wanakuwa hawajapata kuona nchi ilikuwaje miaka iliyopita na ilivyo sasa kwa hiyo wanaona huu uharibifu uliopo na hali iliyopo sasa ndivyo nchi ilivyo kwa hiyo wanakosa uchungu na hamasa ya hifadhi ya mazingira mheshimiwa naibu spika kwa hiyo mheshimiwa mzee lubeleje amekula chumvi nyingi na anaposema hasa kwamba miaka ya 1960 nchi hii haikuwa hivi ni kweli ana ushuhuda kwa sababu ameona ilivyokuwa huko kwa kweli tungependa yeye na wazee kama yeye wapate nafasi hizi za kutuelimisha sisi vijana tuone kwamba uoto wa asili na landscape ya nchi yetu kwa kweli inaharibika kwa haraka sana katika miongo hii kadhaa aliyoishi ambayo vijana wengi wa sasa wataishi hali itakuwa mbaya zaidi mheshimiwa naibu spika kwa hiyo tunamshukuru sana kwa ushuhuda wake kama nilivyomwelekeza naibu waziri atakwenda jimboni kwake kwa kweli hali ni mbaya ndiyo maana tumepeleka huu mradi mmoja jimboni kwake kwa ajili ya kusaidia watu wa mpwapwa nafahamu kuna habari ya makorongo mengi yanayopitisha maji na kuharibu mazingira na naibu waziri atakuja kuyaona mheshimiwa naibu spika namshukuru pia mheshimiwa salum amezungumza kwa hisia sana na kwa kweli ametufundisha na kutueleza jinsi gani baianuai inavyopotea kwenye kisiwa kama cha zanzibar ambapo eneo ni dogo na utajiri wa zanzibar utajiri wa tanzania kwa kweli haupo chini ya ardhi peke yake kwa maana ya madini utajiri ni kwenye maarifa ya watanzania lakini pia ni kwenye uoto na mimea na wanyama ambavyo mungu ametujaalia mheshimiwa naibu spika kuna baadhi ya nchi hapa duniani zina aina chache sana za mimea aina chache sana ya wanyama ndiyo maana wanakuja huku na dunia inavyoenda kuna baadhi ya nchi hata sauti ya ndege watoto wanaozaliwa miaka inayokuja watakuwa hawaijui mpaka waje kwetu sasa na sisi tukipoteza ndege wale ina maana vizazi vijavyo tutakuwa tunahadithiana kwamba bwana kuna ndege fulani aliishi miaka hiyo alikuwa na rangi hii mheshimiwa naibu spika kwa hiyo utajiri mkubwa kabisa wa nchi yetu ni baianuai (biodiversity) wingi wa mimea na wanyama sasa huu mkataba tunaouzungumza leo makubaliano haya yapo chini ya makubaliano ya unfcc united nations convention of climate change na siku ile yale makubaliano yalivyowekwa sahihi kule brazil kulikuwa na mkataba mwingine unaitwa mkataba wa uhifadhi wa baianuai (convention on biological diversity) ambao sisi ni wanachama wake mheshimiwa naibu spika ule mkataba unatoa fursa nyingi za kuhifadhi baianuai pia unatoa nafasi ya nchi yetu kutajirika na kunufaika na baianuai yetu tuliyonayo baianuai siyo kwa maana tu ya kuja kuitazama lakini kuitumia kwenye tiba utafiti na kadhalika mnafahamu madawa yote yanatokana na miti na mnapoharibu miti na mimea mnapunguza uwezo wa kujitibia siku zijazo kwa hiyo uharibifu wa mazingira ndugu zangu unahusu pia hata tiba yetu kwa miaka inayokuja mheshimiwa naibu spika kwa hiyo nashukuru kwamba hilo tumelizungumza na sisi kama serikali tunaendelea na utekelezaji wa mikataba yote hii miwili mheshimiwa naibu spika nashukuru sana mheshimiwa mbunge amezungumza kwamba tubadilike leo tunazungumza mabadiliko ya tabianchi lakini inawezekana cha kwanza kinapaswa kuwepo ni mabadiliko ya tabiamtu ili tuweze kudhibiti mabadiliko ya tabianchi kwa sababu kama mabadiliko ya tabiamtu hayatokei itakuwa ni vigumu sana kudhibiti mabadiliko ya tabianchi mheshimiwa naibu spika kumezungumzwa pia kuhusu kuni na mkaa na mheshimiwa mbogo vile vile amezungumza kuhusu kuni na mkaa nataka nizungumze kwamba sisi tunaangalia matumizi ya nishati hizi za tungomotaka wanaita (biomass) katika suala zima la deforestation na landscape degradation kwamba huu uoto unaouona ardhi mimea hii landscape ya nchi yetu inayopendeza kasi yake ya kuharibika ni kubwa sana mheshimiwa naibu spika kilimo ufugaji utalii maji zote zina uhusiano na hifadhi ya mazingira kwa hiyo tunapopata uharibifu wa landscape huu uoto hizi sekta nyingine zote haziwezi kufanikiwa kwa hiyo uchumi wa nchi yetu na ukuaji wa uchumi na umaskini na ustawi wa watu unafungama moja kwa moja na hifadhi ya mazingira huwezi kutofautisha mheshimiwa naibu spika kwa hiyo sisi tunasema hapa tunataka kuhamasisha wabunge wote wawe wanamazingira kama unataka kuzungumza maji jimboni kwako huwezi kuyapata bila hifadhi ya vyanzo vya maji bila hifadhi ya miti na kadhalika kwa hiyo nafurahi kwamba waliochangia karibu wote wamesaidia kutoa elimu na wamesaidia kuonesha hisia katika mambo haya mheshimiwa naibu spika sasa kwenye matumizi ya kuni na mkaa sisi kama serikali tunashirikiana na tutashirikiana na wizara ya maliasili na utalii kuhakikisha kwamba tunatengezea mpango mkubwa wa kitaifa wa matumizi ya nishati tayari maelekezo yametolewa kwenye wizara ya nishati na madini kutunga sera mpya ya nishati ya tungomotaka (biomass policy) ili tuwe na mwongozo wa namna gani tunapata nishati ya kupikia mheshimiwa naibu spika kwa sasa hivi kinachotokea ni kwamba miti iko vijijini lakini ukataji wake unanufaisha watu wa mijini watu wa mjini hawana miti lakini watu wa vijijini kuni zile wanakata matawi tu ili mtu wa mjini apate mkaa ni lazima akate mti wenyewe gogo lile sisi kwenye shule magereza na mahospitali hatutumii kuni za matawi tu ni lazima tukate mti wenyewe ukienda unakuta lundo la magogo mheshimiwa naibu spika kwa hiyo sisi kama ofisi ya makamu wa rais tumetumia kifungu cha 13 cha sheria yetu ya mazingira ambacho kinasema kwamba waziri mwenye dhamana ya mazingira ana uwezo wa kuelekeza mamlaka zozote za kisekta binafsi na taasisi kufanya mambo ambayo yatahifadhi mazingira kwa hiyo tumetoa maelekezo kwa shule magereza hospitali na tumewapa mwaka mmoja kwamba waondokane na matumizi ya kuni na mkaa na tumeanza hapo udom mheshimiwa naibu spika udom pale pana wanafunzi takriban 30000 wanapikiwa chakula mara tatu kwa siku sasa hebu fikiria kulisha watu 30000 mara tatu kwa siku kiwango cha kuni kinachotumika ni kikubwa sana ukienda pale utataka kutoa machozi mheshimiwa naibu spika kwa hiyo wale tumewaambia ndiyo watakuwa wa kwanza na bahati nzuri tumekubaliana kwamba watu wanaowapa zabuni pale wote sasa ili upate zabuni ya kupika chakula hauwezi kupata kama unatumia mkaa au kuni kwa hiyo tutaona mabadiliko yaliyotokea pale udom yatatusaidia kutoa mfano kwenye taasisi hizi kubwa zenye watu wengi kuhusu kuondokana na hili suala mheshimiwa naibu spika kwa hiyo hili ni jambo ni kubwa sisi kama serikali tunalichukulia kwa uzito wake matumizi ya nishati nchini yanafungamana na umaskini kwamba masikini zaidi ndio wanagharamia nishati zaidi pia tusisahau kwamba wewe unatoka pemba ukitazama mkaa unaopelekwa pemba kutoka bara haulingani na idadi ya watu walioko pemba mheshimiwa naibu spika ukienda kule kwenye hizi bandari za kwetu mbweni bagamoyo utaona magunia ya mkaa yanaenda pemba unajua yanaenda wapi hayaendi pemba yakifika pemba yanaenda shimoni mombasa yakifika mombasa yanapakiwa vizuri yanaenda somalia au uarabuni kuchoma kondoo vizuri maana wale wanataka kuchoma kondoo na mkaa mzuri na yakienda somalia yanasaidia kufinance alshabaab mheshimiwa naibu spika kwa hiyo mkaa wetu tunaweza tukauona hapa ni jambo la kawaida lakini una muunganiko na value chain kubwa sana ambapo wote kama serikali na wizara ya maliasili na utalii ambayo ndiyo inahusika moja kwa moja na haya mambo inabidi tukae tupange vizuri kwa sababu siyo tu kwamba mkaa unaokatwa nchini unatumika nchini unaenda nje ya tanzania vile vile kwa hiyo tunakata miti yetu sisi kwa manufaa ya watu wengine huko nje ya tanzania kwa hiyo ni suala la kulizungumza mheshimiwa naibu spika pia matumizi bora ya ardhi moja ya changamoto kubwa inayosababisha sisi tushindwe kuhimili mabadiliko ya tabianchi ni kwamba tuna kilimo hiki cha kuhamahama mtu anavamia msitu analima mtama misimu miwili ardhi ikiharibika anakata tena kipande kingine cha msitu kwa hiyo baada ya miaka michache unakuta msitu wote umefyekwa au wale wafugaji mheshimiwa naibu spika sasa sisi kama nchi wajibu wetu ni kuweka taratibu za kutumia vizuri ardhi kielelezo na shabaha ya maendeleo ni kutumia ardhi kidogo kuvuna zaidi nitatoa mfano nchi ya uholanzi eneo lake ni dogo kuliko mkoa wa katavi yaani mkoa wa katavi ni mkubwa kuliko uholanzi mheshimiwa naibu spika uholanzi ni nchi ya pili duniani kwa kuuza bidhaa za kilimo pamoja na kuwa na eneo dogo ukiondoa marekani inakuja uholanzi uholanzi wanauza dola bilioni 90 za mazao ya kilimo kwenye eneo kama la mkoa wa katavi kwa hiyo ndiyo kielelezo cha maendeleo nasi tunaweza kufika huko wanafanya hivyo bila kutumia gmo wala nini ni kilimo tu endelevu na wanahifadhi mazingira na ni kuzuri kwa hiyo naamini maendeleo yetu yatafikiwa tutakapokuwa tumefanya mambo hayo mheshimiwa naibu spika mheshimiwa mbogo nashukuru sana kwa mchango nimekupata tutashirikiana na serikali za mitaa na tumezungumza na wenzetu wa wizara ya fedha naibu waziri yupo ananisikia tumependekeza kwamba kila wizara na kila halmashauri iwe na budget code yaani zile naibu spika mheshimiwa waziri naomba urudi ukae kidogo waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mheshimiwa naibu spika napenda pia kutoa pendekezo kwamba saa yetu ile pale mbele itengenezwe kumbe inakuwa sahihi mara mbili kwa siku naona imesimama mheshimiwa naibu spika nilikuwa nasema kwamba kuhusu mapendekezo ya mheshimiwa mbogo kuhusu ushirikishwaji wa halmashauri na viongozi kwenye maeneo yetu ya vijiji wilaya na halmashauri tutayachukua tumeyazingatia mheshimiwa naibu spika moja ya mipango yetu katika ofisi yetu ya makamu wa rais ni kufanya kazi kwa karibu zaidi na serikali za mitaa katibu mkuu anayo maelekezo yetu kuandaa mikutano baina ya ofisi yetu na serikali za mitaa kwenye level ya mawaziri makatibu wakuu lakini pia kujaribu kutumia fursa za vikao mbalimbali vilivyopo ikiwemo vikao vya rcc ili kuweza kwenda kutoa elimu kwao lakini kuweka makubaliano ya ushirikiano ikiwemo ushirikiano katika kuhakikisha kwamba sheria ya mazingira inazingatiwa mheshimiwa naibu spika hata baadhi ya masuala ikiwemo ya usimamizi wa sheria ikiwemo ya kufanya hizi habari za tathmini ya athari kwa mazingira baadhi ya mambo tunafikiria kuyakasimu kwenye serikali za mitaa kwa hiyo mpango huo upo mheshimiwa naibu spika kama nilivyosema awali kabla sijakaa itapendeza kama tutakubaliana ndani ya serikali kuwa na budget code ili kila halmashauri katika bajeti yake iwe na sehemu inasoma namba zile hifadhi ya mazingira ili fedha ziweze kupangwa kwa ajili ya hawa wakuu wa wilaya kama ulivyosema wapate oc ya kuzunguka na kusaidia kwenye hifadhi ya mazingira mheshimiwa naibu spika suala la kupanda miti naibu waziri amelizungumza kwamba tutalipa msukumo mpya na tutafanya sensa ya miti pia niseme tu kwamba kama tulivyozungumza kwenye azimio kwamba pale morogoro tumeanzisha kituo kinaitwa national carbon monitoring centre ambapo kuna teknolojia ya kujua kasi ya uharibifu wa mazingira maeneo ambayo miti inahitaji kurejeshwa bahati nzuri mheshimiwa waziri wa maliasili ni mhusika pia kuhusu masuala ya misitu kwa hiyo tutashirikiana naye kuhakikisha kwamba tunafanya hivyo mheshimiwa naibu spika kikubwa zaidi kuhusu misitu siyo kupanda miti mipya ni kutokata iliyopo katika miti yote iliyopo tanzania 95 ni ile iliyokuwepo 5 tu ndiyo iliyopandwa kwa hiyo ili ufanikiwe zaidi kwenye hili jambo usikate miti bali uhifadhi ile ambayo haijakatwa na hiyo itatusaidia tutakapowezesha watu kutotegemea miti zaidi katika maisha yao mheshimiwa naibu spika namshukuru sana mheshimiwa kamala kwa hoja nzuri alizoziwasilisha za sababu ya kuunga mkono tunakushukuru na tunakubali kwamba sisi kuridhia haya makubaliano kutatusaidia kuweza kupata fursa zaidi tunafurahi kwamba yeye kama mbunge anaona haja ya serikali kuwa na rasilimali nyingi zaidi na bunge mna wajibu pia wa kupanga fedha kwa ajili ya hifadhi ya mazingira mheshimiwa naibu spika sasa fedha kwa ajili ya hifadhi ya mazingira haziko kwenye bajeti peke yake ziko namna nyingi ikiwemo mfuko wa taifa wa dhamana ya mazingira ambapo kwenye sheria ile unategemea moja ya vyanzo vilivyoandikwa vya mfuko nacho ni subvention appropriation kutoka kwenye bunge ukiondoa kwenye bajeti kwa hiyo bunge lina uwezo wa kuamua lenyewe kwamba licha tu ya bajeti ya serikali kwa ofisi ya makamu wa rais pia tunaweza kabisa kupangia mfuko wa mazingira kiasi fulani cha fedha na mfuko huu utakapopata fedha hizo basi utatuwezesha kufanya kazi zetu vizuri mheshimiwa naibu spika na waheshimiwa wabunge kwa hiyo nadhani nimeweza kuzungumza yote yaliyozungumzwa lakini niseme tu kwamba ushauri uliotolewa tutauzingatia tunaomba sasa utusaidie namna ya kwenda kwamba tunatoa hoja mheshimiwa naibu spika kwa heshima na taadhima naomba kutoa hoja waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira mheshimiwa mwenyekiti nashukuru kwa fursa uliyonipa ya kuhitimisha hoja hii nianze kwa shukrani kwa kamati zote kwa maoni ushauri mapendekezo waliyoyatoa pia nawashukuru waheshimia wabunge wote waliochangia idadi yao ni 45 wabunge 30 walichangia kwa maandishi na wabunge 15 walichangia kwa mdomo mheshimiwa mwenyekiti mambo ni mengi na niseme tu kama alivyosema naibu waziri kwamba kama hatutayafikia yote basi kwa ujumla kabla ya mwisho wa bunge hili la bajeti tutawawekea kwenye pigeon holes zenu majibu ya maswali yote mliyouliza hata hivyo nizungumze mambo ya jumla ambayo yamezungumzwa na kubwa ni lile la kwanza la masuala ya biashara vikwazo vya biashara na kwamba imetolewa kauli hapa na baadhi ya wabunge ambayo kwa kweli sisi kama serikali ni lazima tuielezee vizuri mheshimiwa mwenyekiti kauli yenyewe ni kwamba baadhi ya wachache ni kwamba serikali ya jamhuri ya muungano haina dhamira ya kuisaidia zanzibar kiuchumi na kwamba inabana fursa za biashara na ukuaji wa uchumi wa zanzibar sasa kauli kama hiyo haiwezi kubaki bila kutolewa maelezo na sisi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sasa niseme tu kwamba kihistoria hata kabla ya mapinduzi hata kabla ya uhuru miaka mingi iliyopita mahusiano kati ya bara na zanzibar msingi wake mkubwa ulikuwa ni biashara na hata kabla serikali hizi mbili hazijaundwa na kwa kweli muungano umekuja kurasimisha tu mambo yaliyokuwepo tayari uhusiano mkubwa kabisa na mzuri kabisa wa kibiashara watu wengi wa bara ambao wamekuwepo zanzibar miaka mingi kwa sehemu kubwa walienda kule kwa sababu ya biashara na watu wa zanzibar wengi waliokuwa wamekaa bara kwa vizazi na vizazi sababu kubwa iliyowaleta ilikuwa ni biashara mheshimiwa mwenyekiti sasa fursa za biashara tunazoziongea sasa hivi ziko kwa namna mbili kwanza ni uwezo na urahisi wa kusafirisha bidhaa kati ya pande zote mbili hiyo ni namna moja na ndiyo ambayo imechukua sehemu kubwa ya mjadala namna ya pili ni uwezo na urahisi wa mtu yeyote kutoka upande wowote kwenda kuishi upande wowote kwa urahisi zaidi na kuanzisha biashara hiyo ni namna ya pili ambayo haikuzungumzwa sana lakini ni kubwa mheshimiwa mwenyekiti sasa sisi tunafahamu kwamba hii ya pili uwezo wa mtu yeyote kwenda upande wowote wa muungano kutengeneza makazi kutengeneza maisha na kufanya biashara huu pia umekuwa msingi mkubwa wa uimara wa muungano wetu na maingiliano yetu sidhani ndiyo maana haikuzungumzwa kwa sehemu kubwa kabisa tunapotafakari kuhusu mchango na hatua za serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kuwezesha ukuaji wa uchumi na ustawi wa watu wa zanzibar mheshimiwa mwenyekiti hili la pili pia ni muhimu kulitazama je ni rahisi zaidi kwa mtu kutoka zanzibar kuja bara kupata mahali kuanzisha biashara na kushamiri na kusaidia nyumbani zanzibar jibu ni ndiyo ni rahisi na kwa nini ni hivyo ni kwa sababu ya muungano kwa hiyo huwezi kuuondoa muungano katika ustawi wa watu wa zanzibar unaotokana na urahisi wa watu wa zanzibar kuja bara na kufanya biashara na kushamiri kwa hiyo hiyo ni manufaa mheshimiwa mwenyekiti sasa hili la pili na hili ni jambo jema kabisa na tunataka iendelee kuwa hivyo tunafurahi kuona wazanzibar wengi zaidi wanakuja kuishi bara na kustawi na kusaidia zanzibar na wazanzibari walioko bara sasa hivi ni wengi zaidi kuliko wazanzibari wote waliko kisiwa cha pemba miaka 20 au 30 ijayo wazanzibari kwa mwenendo tunaokwenda wazanzibari wanaoishi bara wanaweza kuwa wengi kuliko wazanzibari wote walioko zanzibar na hilo ni jambo jema ndiyo muungano na tunaoutaka na ndiyo fursa na muingiliano sahihi kabisa (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo nadhani kwamba katika mazungumzo tunayozungumza hapa kuhusu ustawi wa muungano wetu tusisahau uzuri na ukubwa wa fursa inayotokana na urahisi wa wazanzibari kuja kufanya biashara bara wote tunajua kwamba katika maeneo yetu hasa ya pwani sisi tunaotoka tanga tunaotoka dar es salaam na kwingineko na hata katikati ya nchi yetu huwezi kwenda maduka mawili matatu bila kukuta duka la mzanzibari ambaye anafanya kazi na ananufaika na anasaidia zanzibar hivyo hivyo kwa hiyo kikubwa tu tunaomba kwamba wakija huku pia tujue wote ni raia wa nchi moja na pia wasaidie kwenda kujenga nyumbani (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sasa hili la kwanza la urahisi wa kufanya biashara urahisi wa kupeleka bidhaa hakuna anayebisha kwamba kuna changamoto kabisa siwezi kusimama hapa kama waziri mwenye dhamana ya muungano nikasema hakuna shida yoyote kuhusu bidhaa zinazokwenda kwa pande zote mbili mheshimiwa mwenyekiti sasa tunafahamu kwamba kihistoria biashara kati ya pande zote mbili haikuwa rasmi sana na baada ya sisi kuunda serikali kufanya muungano na katika historia ya maendeleo ya uchumi wa nchi yetu na biashara kumetokea hatua mbalimbali za kurasimisha uchumi na biashara na zile hatua zililazimika kuunda taasisi mbalimbali na baadhi ya taasisi hizo ni taasisi za udhibiti zikiwemo tfda zfda tbs zbs sasa tra ambayo haikuwepo mpaka mwaka 1996 ndiyo ilianzishwa tra sasa katika utendaji kazi katika hizi mamlaka na mamlaka ikishaitwa ya udhibiti wakati mwingine lile neno udhibiti linapitiliza mipaka inadhibiti siyo kuhakikisha mambo yanakwenda vizuri bali inadhibiti hata kuhakikisha mambo yenyewe yanafanyika kwa hiyo sisi tunafahamu kwamba sasa hivi tunapitia kipindi cha tunaweza kusema readjustment ya hizi mamlaka kufahamu wajibu wake na kufahamu kwamba zina wajibu wa kusaidia masuala ya biashara mheshimiwa mwenyekiti sasa imezungumzwa hapa kwamba nilifanya ziara mahususi kule zanzibar mwezi wa oktoba na hili suala la biashara na vikwazo vya biashara sisi serikali tulianza kulifanyia kazi kabla halijazungumziwa bungeni hapa nimeenda zanzibar mkutano wangu wa kwanza mkubwa kabisa tulikuwa na zanzibar chamber of commerce ambao kulikuwa na mamlaka nyingine na taasisi zingine pale za wafanyabiashara kama vile zanzibar freight bureau zanzibar exporters association na kadhalika mheshimiwa mwenyekiti nilikutana na wafanyabiashara wanaohangaika kufanya biashara kila siku kati ya bara na zanzibar na wakanieleza kwa kina na kwa umahiri mkubwa jinsi biashara kati ya bara na zanzibar inavyofanyika na changamotozo zilizopo katika biashara hiyo mheshimiwa mwenyekiti tukazungumza structure ya uchumi wa zanzibar kwamba kwa sehemu kubwa ni service oriented utalii na biashara na structure ya uchumi wa bara ambao kwa sehemu kubwa ni diverse kuna madini kuna kilimo kuna ufugaji kuna uvuvi na kadhalika na kwamba currency ya nchi yetu ambayo pia inasaidia wafanyabiashara wa zanzibar kuagiza bidhaa kutoka nje stability yake inategemea na mix kati ya hizi chumi mbili ambazo lazima ziwe interdependent lazima ziwe zinategemeana mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo hata ustawi wa uchumi wa zanzibar vilevile kwa kiasi kikubwa unategemea diversity ya uchumi wa bara kwamba sisi na hata control ya inflation ya zanzibar inategemea stability ya currency inayotokana na diversity ya uchumi wa bara kwa hiyo haya mambo lazima yatazamwe katika upana wake na tukazungumza na wafanyabiashara kuhusu hayo mambo mheshimiwa mwenyekiti pia nikafanya ziara bandari ya majahazi na mahali kwingineko tukazungumza kuhusu ughali wa kuleta mizigo zanzibar kutoka siyo tu bara bali kutoka kote duniani na ni kwa namna gani tutarahisisha uagizaji wa zanzibar wa bidhaa usiwe ni through transshipment kwa bara kwamba mzigo unashushwa mahali kwingine ndiyo unachukuliwa na majahazi au meli ndogo kuja zanzibar ni kwa kiasi gani zanzibar inaweza kuagiza mzigo directly yenyewe moja kwa moja kutoka nje mheshimiwa mwenyekiti nikafanya ziara tra kwa upande wa zanzibar zrb mamlaka ya bahari kuu nikakutana na wajumbe wa baraza la wawakilishi na vijana na tukakusanya mambo yote ambayo yanawakwaza wazanzibari kuhusu biashara na tarehe 23 oktoba nikakutana na waziri wa biashara wa zanzibar mheshimiwa amina salum ally na jopo lake mheshimiwa mwenyekiti bahati nzuri nilimwomba waziri ummy anipe mtu wa tfda na waziri mwijage anipe mtu wa tbs ili wawepo kwenye ule mkutano tukapitia hoja moja mpaka nyingine inayosababisha watu wa zanzibar iwe vigumu wao kufanya biashara na tukazichukua zile hoja tukazitengenezea matrix mheshimiwa mwenyekiti tarehe 27 oktoba tukamuomba mheshimiwa makamu wa rais atuite wote wizara ya fedha zanzibar wizara ya fedha ya muungano wizara ya biashara ya zanzibar na mamlaka zote za udhibiti mpaka tra tukapitia hoja moja bada ya nyingine ya vikwazo vya biashara mheshimiwa mwenyekiti waziri wa biashara akaelekezwa kwamba aende na wataalam wake zanzibar akakutane na waziri mwenzake wapitie hoja moja baada ya nyingine na kikao hicho kikafanyika tarehe 22 machi na matrix hapa ninayo na mambo yote yaliyoorodheshwa ikiwemo ya vat ikiwemo hizi mamlaka mengine yalitatuliwa katika mchakato huu na mengine yataendelea kufanyiwa kazi mheshimiwa mwenyekiti pia nilikutana na waziri wa fedha wa zanzibar ambaye alieleza masuala ya biashara kwa upande wa fedha kwa hiyo baada ya kueleza hizi jitihada ambazo tumefanya sisi kama ofisi ya makamu wa rais kwa kukutana na wafanyabiashara kwa makundi na mmoja mmoja kukutanisha sekta mimi kukutana kama waziri wa muungano na waziri wa biashara inaniuma sana akisimama mbunge akisema serikali ya jamhuri ya muungano haina dhamira ya kutatua changamoto za biashara kwa upande wa zanzibar kwa sababu najua kabisa kazi ambayo tumeifanya na siyo sahihi kabisa kusema hivyo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti na inawezekana hatuna uhodari sana wa kuyatangaza haya mambo ambayo tunayafanya lakini kwa kweli tunayafanya naomba sana waheshimiwa wabunge tusaidiane mawazo hapa nini zaidi yatulichofanya kinafaa kufanywa zaidi na sisi tuko tayari nimesikitika kwamba wakati baadhi ya wabunge wanaeleza shida zilizopo na hizo shida zinathibitishwa na wabunge wengine kunakuwa na makofi ya kufurahia kwamba shida zile zimekuwa confirmed mheshimiwa mwenyekiti nadhani siyo sawa tusifurahie kunapokuwa kwamba tumeconfirm nadhani kuzomea na kuzodoa ni rahisi zaidi kuliko kushauri lakini kazi yetu ni kushauri na sisi tuko tayari kupokea ushauri wowote ambao utasaidia tuondoe haya mambo kwa haraka zaidi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo naomba waheshimiwa wabunge muamini kabisa kwamba suala la biashara kati ya tanzania bara na zanzibar serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania inalijua imelishughulikia na inaendelea kulishughulikia nimetengeneza marafiki wengi sana wafanyabiashara wa zanzibar mheshimiwa mwenyekiti katika ziara yangu na nimekutana nao akina mohamed masoud rashid omar hussein mussa abdallah abbas omar wakili awadh ally alikuwepo kwenye mkutano na kuna baadhi ya mambo tuliyashughulikia pale pale wale waliniambia kwamba benki kuu imetoa waraka kwamba minimum ya kiwango cha bureau de change ni milioni 300 na kwamba bureau de change za zanzibar ni ndogo ndogo wanaomba tusaidie kwa upande wa zanzibar kufanyike exception na tulifanya tulimpiga simu governor ndullu akasema ataenda kwa hiyo wakati mwingine haya mambo tunayafanyia kazi wakati huo huo tukiwa kwenye ziara mheshimiwa mwenyekiti kuhusu mikopo alizungumza ndugu jamal na ningependa kujibu kama ifuatavyo mheshimiwa mwenyekiti kuhusu terminal two ni kweli kumekuwepo na changamoto pale ya extension kuongeza mkopo mwingine kwa ajili ya kumaliza lile jengo na limekuwa ni jambo kubwa la lawama wakati anazungumza watu wakapiga makofi kwamba ni kweli kabisa mkopo umenyimwa hata hivyo nataka kusema kwamba mchakato wa kutoa mikopo kwenye serikali una hatua mbalimbali mheshimiwa mwenyekiti moja ya hatua za mwisho mwisho kabisa ni mkopo ule kupitishwa na kamati ya madeni ya taifa kwa hiyo nataka niwambie mheshimiwa jamal na wazanzibari rafiki zangu ndugu zangu wapendwa kwamba mapema mwezi huu kamati ya madeni ya taifa ilipitisha na kukubali serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania ikope dola milioni 58 zaidi kwa ajili ya kumalizia jengo lile le terminal two pale uwanja wa ndege wa zanzibar kwa hiyo jambo hilo litakwisha litakuwa siyo hoja tena (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kuna mradi wa bandari ya mpigeduri taarifa tulizonazo sisi kutoka kwa wenzetu wa wizara ya fedha na zanzibar na hapa barani kwamba bado kuna maelezo ya ziada ya kitaalam na kibiashara na kuchumi yanahitajika ili kuweza kujenga hoja nzuri zaidi hata kule tunakokopa pesa lakini serikali ya jamhuri haina dhamira ya kunyima uwezo zanzibar kujitengenezea bandari yake ambayo ni mhimili wa uchumi wa zanzibar mheshimiwa mwenyekiti pia hapo hapo kuna mradi wa egovernment kuna mkopo nadhani masuala haya ni muhimu yazungumzwe vizuri kwa sababu mikopo ya jamhuri ya muungano wa tanzania inayokwenda kufanya miradi zanzibar bado marejesho ya fedha zile yanalipwa na serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kwa hiyo ndiyo maana kuna ushirikishwaji mkubwa na ushirikiano mkubwa mheshimiwa mwenyekiti hata hivyo kuna miradi mingine ya maendeleo zanzibar hospitali ya mnazi mmoja suza barabara ya chakewete hadi gando kupitia mifuko mbalimbali kama vile saudi fund quwait fund na badea yote hiyo serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania inasaidia na inashiriki kuwezesha fedha zitoke ili kazi hiyo ifanyike mheshimiwa mwenyekiti kuhusu kodi na usumbufu tumesikia na ni kweli ni changamoto dada yangu tauhida nimekusikia nakubali na nimekuelewa nitapanda boti ya azam lakini nadhani mv mapinduzi basi siku moja nitapanda tujionee nini kinaendelea hata hivyo tumeelezewa changamoto nyingi zilizopo pale na kuna mambo mawili pale yanayojitokeza mheshimiwa mwenyekiti la kwanza ni kweli kwamba nchi yetu sisi vituo vya forodha vipo popote ambapo unaweza kuingia kutoka nje ya nchi ikiwemo zanzibar na tunapaswa kuwa na mfumo wa pamoja wa forodha kwamba ukiingiza bidhaa kwenye kituo cha forodha cha zanzibar labda umechukua gari kutoka dubai iwe sawa na umeingiza tanga kutokea dubai yote hiyo inategemea mfumo wa pamoja wa uthamini wa kodi sasa tumesimika mfumo wa pamoja wa kuthamini kodi lakini hatujaanza kuutumia mheshimiwa mwenyekiti kuna mfumo mpya unaitwa tansis ambao ndiyo una database ya thamani ya bidhaa zote duniani ili kodi iweze kuthaminishwa kwa pamoja ili usilazimike kuonekana kama umelipa mara mbili ukija bara kumbe umelipa tofauti sasa ukadiriaji unaotegemea macho ya mtu akili ya mtu moyo wake ndio unasababisha tuwe na changamoto hii mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo hilo tunalijua na bahati nzuri kuna kikao tarehe 28 mwezi huu hapa na limezungumzwa sana na kuna baadhi ya mambo madogo tu ya kitaalam yamebakia ili tuwe na mfumo wa pamoja wa kuthaminisha bidhaa huo mfumo ukiwekwa basi hizi shida zote zilizozungumzwa hapa zote zitakwisha kikubwa ni hicho mheshimiwa mwenyekiti yapo mambo mengi kwa hiyo nipande upande mmoja wa mfumo upande wa pili ni watu kwamba wakati mwingine kwenye vituo hivi vya forodha kuna watu wakorofi tu ambao kazi yao ni kuharass watu mheshimiwa mwenyekiti unaona kabisa kwamba huyu mama ametoka zanzibar amefungasha khanga na kuna watu wa kutoka kule makunduchi anakotoka mheshimiwa wanu wakienda kuoa basi wanabeba masanduku na masanduku ya khanga kuna jina lao wanatumia nimelisahau wakifika pale unaona kabisa akinamama wa watu wamepaka hina unaona wanaenda harusini unaona wako kundi na wanakuelezea lakini mtu hataki kukubali sasa inawezekana mtu akili hana lakini hata macho ya kuona hana kuona kwamba hapa hili jambo ni la wazi kabisa kwamba hawa watu ni mizigo binafsi na wala siyo biashara (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo hili tumezungumza na wenzetu wa mamlaka ili tuwe tunaambiana kama kuna wafanyakazi wakorofi ambao wanawasumbua watu basi watupe majina ili waweze kubadilishwa kwenye vituo hivyo mchango wa watu binafsi kwenye kuharibu mambo upo na ni mkubwa kwa hiyo tunaweza tukaja hapa tukalalamika sana kumbe ni mtu tu utashi wake kwenye kusumbua watu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti wakati mwingine ni mambo makubwa sana yanatokea nitatoa mfano wa jambo moja ambalo tumelishughulikia ambao ulikuwa ni uamuzi wa mtu mmoja tu zanzibar inapata watalii wengi kutoka italia nadhani nusu ya watalii wa zanzibar wanatoka italy siku moja afisa mmoja wa ubalozi wetu kule roma akaamua kuandika kwa travel agency wote italy kwamba kuanzia mwezi wa kwanza tarehe moja ukitaka kwenda zanzibar visa huipati kule lazima uje ubalozini mheshimiwa mwenyekiti sasa watu italy wanatoka miji mbalimbali wengine wanatoka nepals wengine frolence wengine wapi kwa hiyo ukiwaambia kwamba walazimike kwenda roma maana yake utafanya usumbufu na kupunguza watalii zanzibar sasa ilipokuja ile habari wote sisi waziri wa muungano ndio unaaambiwa namtafuta waziri wa mambo ya ndani ambaye anahusika na masuala ya uhamiaji kumwuliza hana habari waziri wa mambo ya nje mwenye ubalozi hana habari kwamba jambo kubwa kama hili limeamuliwa lakini hana habari mheshimiwa mwenyekiti kumbe ulikuwa ni uamuzi wa mtu mmoja sasa wenzetu wazanzibari baadhi walivyolipata wakajua tayari ni siasa hapa tunaminywa wanataka kutuua wanataka kutumaliza utalii ndiyo uchumi wetu hawatupendi ikawa jambo kubwa kumbe kuuliza hamna mtu yeyote mkubwa wa serikali anayelijua ni afisa mmoja tu kwa hiyo tukalazimika kubadilisha ule uamuzi ili utaratibu ule wa zamani wa kupata visa on arrival uendelee pale pale na unaendelea mpaka sasa hivi hatukutangaza kujitutumua kwamba tumesaidia kwa sababu ni mambo ya kila siku ya kawaida ya utendaji wa serikali (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kama nilivyosema kuna kikao kikubwa kinakuja cha tarehe 28 mwezi wa nne baadhi ya mambo ambayo waheshimiwa mbunge wameyazungumza mambo ya vat na mifumo ya kodi yatazungumzwa na kumalizwa na mawaziri wa fedha pamoja na wataalam wao mheshimiwa mwenyekiti mheshimiwa kombo amezungumza kwamba uchumi wa zanzibar unakufa uchumi unasimama mfumo mbovu sasa nadhani tueleze maana nimemsikiliza kwa makini sana na nilichokisikia ni lawama nikawa na kalamu yangu nangoja aniambie nini sasa tufanye ili tuweze kufanikiwa (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kuhusu usajili wa meli ni jambo ambalo wote tunalijua na kuna hoja hapa kwamba zanzibar sasa inanyanganywa usajili wa meli bahati nzuri nimeshughulika nalo hili mwenyewe binafsi ambacho kinataka kufanywa ni kwamba zoezi la usajili wa meli liwe shirikishi tufahamu kwamba hizi meli zinabeba bendera ya tanzania ya nchi yetu wote tunajua meli kadhaa zimekamatwa na mihadarati nyingine zinabeba silaha nyingine zinatia nanga katika bandari zilizozuiwa nyingine zinakiuka vikwazo vya umoja wa mataifa (makofi) mheshimiwa mwenyekiti tanzania imeitwa na kuaibishwa mara nyingi kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa tumetishiwa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kama nchi wasiwasi wetu mkubwa ni kwamba hizi meli zimekutwa na silaha na mihadarati mungu epusha siku ingekutwa na watu (human trafficking) ndiyo ingekuwa shida kubwa zaidi mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo wote tunajua kwamba mamlaka ya kusajili meli za nje ni mamlaka ya nchi lakini huko nyuma kulikuwa na makubaliano kwamba zanzibar itafanya kwa niaba ya tanzania na itabaki na hayo mapato kabisa hili ni jambo ambalo wengi hawajui iliamuliwa kwamba zanzibar ifanye kwa niaba yetu wote na ibaki na mapato mheshimiwa mwenyekiti ukatokea utaratibu pale kwamba wamemtafuta agent dubai ndio ana muhuri wa tanzania fikiria nchi kubwa ya tanzania mtu pale dubai ana kaofisi ndio anawakabidhi watu bendera ya tanzania hatumjui ni nani sasa kilichofanyika na bahati nzuri mimi nilishiriki tumesema sawa sahihi iendelee kuwa ya waziri wa zanzibar lakini vyombo vya usalama vishiriki meli zinazoomba bendera ya tanzania tuzijue zinatoka nchi gani zinataka kufanya shughuli gani ili tulinde sifa na heshima ya nchi yetu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo ndugu yangu akija kusema hapa kwamba tumewanyanganya na nini nadhani hatutendei haki na anatulaumu bila haki kabisa kwa kweli tunachotaka kufanya ni jambo zuri kabisa ambalo siyo litaisaidia tu serikali ya jamhuri ya muungano hata zanzibar yenyewe itaisaidia kwa sababu tungenyanganywa huu usajili kama nchi kutokana na makosa ya hizo meli hata zanzibar haya mapato yasingekuwepo kwa hiyo hili linafanyika kwa nia njema na kwa ajili ya manufaa ya watu wote (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sasa mheshimiwa pondeza namshukuru kwa pongezi ni kweli kuna changamoto kwenye kiwango cha deni la umeme na wote tunajua masuala ya vat tunajua calculations zinazotokana na uwekezaji wa miundombinu na jambo hili bahati nzuri wizara zinakaa na zinaendelea kulifanyia kazi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti suala la usajili wa vyombo vya moto bahati nzuri ag yupo hapa suala lile limeshughulikiwa muda mrefu sisi tunataka gari yoyote ikisajiliwa zanzibar iwe sawa na imesajiliwa bara na ikisajiliwa bara iwe sawa na imesajiliwa zanzibar nasi ofisi ya makamu wa rais jambo hili tulilisukuma sana na mimi binafsi kwa nguvu zangu zote na mawaziri wahusika wanajua na viongozi wetu wakuu makamu wa rais waziri mkuu wametuunga mkono tulifikisha jambo hilo mpaka kwenye vikao muhimu vya serikali mheshimiwa mwenyekiti bahati nzuri jambo hili lina dimensions za masuala ya kodi na hicho kipengele kimeenda kutazamwa imani yetu ni kwamba katika mabadiliko ya sheria mchanganyiko miscellaneous amendment ni kwamba jambo hili litaingizwa ili tuweze kubadillisha hizi sheria ili magari yaruhusiwe mheshimiwa mwenyekiti ni kweli nami nakubaliana na waheshimiwa wabunge ni aibu kwa gari ya zambia kutembea kwa urahisi tanzania kuliko gari ya zanzibar hilo jambo hamna anayeona aibu kulisema hata sisi tunaona ni aibu vilevile tutalirekebisha kwa sababu serikali imeonesha utayari na lilishaingia hadi kwenye vikao vikubwa vya serikali na lilipitishwa huko nyuma muda mrefu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti suala la vikao tangu kwenye mchango wa hotuba ya waziri mkuu waheshimiwa wabunge walikuwa wanazungumza kwamba mnakaa vikao kero haziishi labda waheshimiwa wajumbe watupe njia mbadala ya kuzungumza zaidi ya vikao kwa sababu vikao ndiyo mahali pakubwa ambapo tunaweza kuzungumza na kufanya maamuzi na yakafuatiliwa utekelezaji wake mheshimiwa mwenyekiti mheshimiwa waziri mkuu alizungumza katika kuhitimisha hotuba yake kwamba kikao kikubwa ni kile cha kamati ya pamoja chini ya mheshimiwa makamu wa rais na maamuzi ya kila kikao ni maamuzi ya kiserikali yenye nguvu ya kiserikali na sisi kazi yetu ni kuyafuatilia na kuhakikisha kwamba yanatekelezwa mheshimiwa mwenyekiti nimepata mchango wa mheshimiwa machano na tunapokea mapendekezo na ushauri aliotupa kuhusu fursa za utalii na kwenye simu na kuhusu vyombo vya moto nimelizungumzia malipo ya ujenzi wa ofisi hili limewekwa kwenye bajeti kwa sababu ni deni na litaendelea kulipwa ahadi za viongozi tutazifuatilia mheshimiwa mwenyekiti kama nilivyosema pale awali kwamba yale ambayo hatujayazungumza tutayajibu kwa maandishi yapo mambo ya mifuko ya plastick kwenye masuala ya mazingira dhamira yetu ya kuzuia kabisa mifuko ya plastick ipo pale pale na tutalitekeleza hilo mheshimiwa mwenyekiti sasa mwisho kabisa kwa kusema kwamba mwaka 1965 mwaka mmoja baada ya kuwa na muungano wetu kulikuwa na mkutano wa pamoja wa tanu na asp wa kupendekeza mgombea urais wa muungano kwenye ule mkutano mheshimiwa karume alimpendekeza mwalimu nyerere kuwa mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa mwenyekiti katika ule mkutano mwalimu nyerere aliuhadithia ule mkutano na hadithi hiyo aliirudia mara nyingi jinsi muungano huu ulivyokuja aliwaambia wajumbe na mzee karume akiwepo kwamba shehe karume ninyi wazanzibari mkiwa tayari kuungana wabara nasi tutakuwa tayari marehemu mzee karume akajibu wewe unazungumzia utayari wa nini hii habari ya kuwa tayari ya nini sisi tuko tayari ita waandishi wa habari sasa hivi tutangaze sisi ni nchi moja wewe rais mwalimu akasema hapana mambo haya yanahitaji sheria na kadhalika (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sasa nazungumza hili tujue kwamba urithi wa muungano wetu chanzo chake ni nini dhamira ya muungano wetu ilitokana na nini ilitokana na nyoyo dira na maono ya viongozi wetu wakuu waasisi wa taifa hili kwamba tumetawaliwa na tukaleta mapinduzi na tukaleta uhuru tunao uwezo kabisa wa kutengeneza mipaka mipya ya nchi yetu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo sisi watanzania hatujui thamani tuliyonayo duniani kwamba ni nchi pekee iliyotengeneza mipaka mipya kama nchi tunachukulia hili jambo la mzaha tu tumetengeneza mipaka mipya na taifa jipya kwa utashi wetu sasa hii habari ya kwamba mkopo umechelewa hiki kimechelewa naomba sana tusiweke doa kwenye jambo hili kubwa katika changamoto ambazo kabisa tuna uwezo wa kuzimaliza (makofi) mheshimiwa mwenyekiti nasikitika kwamba mtu unaoitwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania na unapata manufaa kutokana na jamhuri ya muungano wa tanzania halafu unakuja unaupaka masizi muungano ambao wote sisi ni warithi wake (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo imani yangu kwamba tutapitisha bajeti hii ili baada ya hapa tuendelee kufanya kazi kwa pamoja kuimarisha muungano wetu nchi yetu hii iendelee kupata sifa kubwa iliyonayo duniani kama nilivyosema asubuhi kwenye hotuba yetu ni kwamba sisi sote tutaondoka hapa duniani lakini legacy yetu kubwa ni kuondoka muungano huu ukiwa imara mheshimiwa mwenyekiti watu wote wana ccm wenzangu ambao sote tunasema kwamba tunataka kumsaidia mheshimiwa rais namna kubwa ya kumsaidia mheshimiwa rais ni kuhakikisha kwamba anamaliza wakati wake muungano huu ukiwepo na ukiwa imara (makofi) waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mheshimiwa spika nakushukuru kwa kunipa fursa ya kuchangia bajeti hii na nianze kwa kukupongeza kwa jinsi unavyoongoza bunge letu vizuri kwa busara na hekima (makofi) mheshimiwa spika pia nimpongeze sana mheshimiwa dkt mpango waziri wa fedha naibu waziri wa fedha katibu mkuu pamoja na watendaji wote nimefuatilia mijadala ya bajeti hata kabla ya hapo mijadala mbalimbali iliyohusu wizara ya fedha bahati mbaya sana katika baadhi ya mambo niliyobaini ni mashambulizi binafsi kwa mheshimiwa dkt mpango (personal attack) kwamba kuna wakati tabia yake kwamba ana kiburi ilikuwa inazungumzwa kuna wakati hata elimu yake inatiliwa mashaka (makofi) mheshimiwa spika wakati mwingi kilichopo mezani huwa ni hoja lakini bahati mbaya mimi bahati nzuri nimepata kumfahamu mheshimiwa dkt mpango miaka kumi tumekuwa wote alikuwa msaidizi wa rais uchumi mimi nilikuwa msaidizi wa rais hotuba nimefanya nae kazi kwa karibu (makofi) mheshimiwa spika ukitaka kujua humility au humbleness ni dkt mpango hii habari ya kiburi binafsi na wote ambao tunainteract naye binafsi hiyo haipo kwa hiyo nadhani wakati mwingine humu ndani ya bunge tupingane tu na ni haki na ni sahihi kuwa na mawazo tofauti ya alicholeta mezani lakini tunapomwendea binafsi tunakuwa tunakosea wakati mwingine sio yeye tu hata humu ndani baina ya wabunge na wabunge umebaini mbunge anapotoa hoja kinachojibiwa sio alichosema bali ni yeye yukoje na anaishi wapi na anafanya shughuli gani na yote ambayo yamezungumzwa yanakuwa sio tena hoja (makofi) mheshimiwa spika kwa hiyo bunge la namna hiyo nadhani sio bunge unalolitaka na sio bunge linalostahili hadhi na uzito wako kama wewe spika kwa hiyo nataka nivouch nimtetee dkt mpango kwamba namfahamu na pia ukiondoa tu tabia yake ya kusikiliza na kuheshimu kila mtu pia ni msomi mzuri bila shaka yoyote amefanya kazi benki ya dunia ameaminiwa na marais wawili amepitia kwenye mikono ya profesa ndulu ambaye tunamsifu ni gwiji wa uchumi hapa nchini ameaminiwa nje ya nchi na ndani ya nchi na pia ni mcha mungu kaka yake ni askofu anatoka huko katika familia ya hivyo (makofi) mheshimiwa spika pia mheshimiwa dkt ashatu wote ambao tunapishana naye kwenye corridor hatuwezi kusema kwamba ana kiburi tunamjua kwamba mtu ana heshima vilevile watalaam wa wizara ya fedha wakiongozwa na bwana dotto na wao pia ukimfuata bwana dotto anakusikiliza na anafanya maamuzi akielewa jambo (makofi) mheshimiwa spika kwa hiyo niliona wakati tunaongelea bajeti hawa viongozi wetu wakuu ambao tumewapa kazi kubwa sana ya kuandaa bajeti na kuiwasilisha na kujibu siyo kazi ndogo wanaifanya kwa niaba yetu sisi watanzania hivyo tusiwapeleke kule ambapo tutazidi kuwatia msongo wa mawazo kwamba kazi wanayofanya hatuithamini kwa hiyo nawapongeza kwa weledi wao lakini pia kwa hulka zao mheshimiwa spika naomba nikuthibitishie kwamba sikukaa chemba na mheshimiwa dkt mpango kabla ya kuzungumza hapa siku ya leo kwa hiyo hizi ni hisia kabisa binafsi na zinawasilisha mawazo mengi hapa katika baraza la mawaziri na wabunge wengi ambao tunafanya kazi na mheshimiwa dkt mpango (makofi) mheshimiwa spika kuna mambo kadhaa yamezungumzwa kuhusu muungano hasa kubwa ni hoja ya mheshimiwa dkt ally yussuf suleiman ambaye ametaja mambo matatu ambayo napenda kuchukua nafasi hii kuyajibu harakaharaka mheshimiwa spika la kwanza ni akaunti ya pamoja amesema muda mrefu akaunti hii haijaanzishwa ni kweli na akaunti hii ya pamoja imewekwa ni hitaji la kikatiba kifungu cha 133 cha katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kinaelekeza kwamba kuwe na mfuko wa akaunti ya pamoja ya fedha ambayo itakuwa sehemu ya mfuko mkuu wa hazina ambapo kutawekwa fedha yote itakayochangwa na serikali mbili kwa kiasi kitakachoaamuliwa na tume ya pamoja ya fedha hilo ndiyo neno la msingi kwa kiasi kitakachoamuliwa na tume ya pamoja ya fedha mheshimiwa spika kwa hiyo akaunti hii ya pamoja haijakuwepo kwa sababu mapendekezo ya tume ya pamoja ya fedha kuhusu kiwango cha mgawanyo ndiyo yanafanyiwa kazi na serikali sasa hivi hili ni jambo kubwa linahitaji uamuzi wa mabaraza yote mawili ya mawaziri ya pande zote mbili na linahitaji input kubwa ya wataalam mheshimiwa spika hata hivyo kinachoendelea sasa hivi ni kusubiri maamuzi baada ya wataalam kuwa wanamalizia kazi yao kwa hiyo sisi kama serikali azma ya kutimiza matakwa ya kikatiba bado ipo palepale lakini kwa kuwa ni jambo kubwa lazima tuliendee kwa umakini na utaratibu ili liweze kufanikiwa kwa kiwango kikubwa mheshimiwa spika suala la pili lililozungumzwa kuhusu muungano ni suala la mchakato wa sasa hivi unaoendelea wa usajili wa meli kama unavyofahamu tanzania ina aina mbili ya usajili wa meli kuna usajili wa meli za ndani na usajili wa meli za nje zinazopeperusha bendera ya tanzania kwamba mtu yuko nje ya tanzania ana meli yake lakini anataka atumie bendera ya tanzania usajili huo unafanywa na mamlaka zanzibar ndiyo tulivyokubaliana usajili wa meli za ndani unafanywa na sumatra sasa kulitokea changamoto ya kutokuwepo na uangalifu na umakini katika usajili wa meli za nje zinazopeperusha bendera ya tanzania mheshimiwa spika kwa hiyo kilichojitokeza ni kwamba meli zinazopeperusha bendera za tanzania zilikutwa nje ya nchi zinafanya makosa makubwa kubeba silaha magendo madawa ya kulevya na kupaki kwenye bandari zisizoruhusiwa kwa hiyo serikali ambacho tumeamua kufanya siyo kuinyanganya zanzibar mamlaka ya usajili hapana kwamba hili jambo la usajili tushiriki wote kwamba asiwe mtu dubai ana muhuri tu yeye anagonga tu na kukabidhi bendera lazima vyombo vya usalama vya nchi vishiriki kwa sababu tunapotoa bendera yetu ni alama ya nchi yetu (makofi) mheshimiwa spika kwa hiyo tulikubaliana kwamba wenzetu watafanya lakini wasifanye peke yao kuwe na input ya vyombo vya ulinzi na usalama na due diligence wa meli zote zinazoomba kutumia bendera ya tanzania kwa hiyo hicho ndicho kinachofanyika na wala wenzetu wazanzibari wasione tunawapora na kwa kweli ni muhimu haya mambo kuyajua kabla ya kuyasema kwa sababu yanaamsha hisia ambazo si sahihi mheshimiwa spika la mwisho ni kisiwa cha fungu mbaraka au latham kwamba mheshimiwa dkt ally yussuf suleiman alisema kwamba tanzania bara inataka kupora kisiwa hiki kwa sababu kuna rasilimali labda niseme kwamba nchi yetu ni moja hatujafikia mahali pa kugombea eneo katika jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa spika kinaitwa fungu mbaraka au latham kipo katikati hapa bahari ya hindi kwa hiyo kuna dhana inajengeka kwamba kuna mgogoro kati ya bara na zanzibar kuhusu umiliki wa kisiwa hicho mheshimiwa spika chanzo cha mgogoro ni kwamba inawezekana eneo lile lina mafuta sasa hii dhana inaenea na inaamsha hisia sasa niseme tu kwamba huko nyuma wakati suala la mafuta ni la muungano na tpdc ndiyo ilikuwa inatoa leseni ni kweli pale mahali palitolewa blocks za kuchimba kutafuta mafuta mheshimiwa spika bahati mbaya wale waliyotafuta mafuta hawakuyapata kwa hiyo wakarudisha zile block kwa hiyo mpaka leo lile eneo halina mtu anayetafuta mafuta kwa hiyo dhana kwamba tunagombea eneo katika jamhuri ya muungano wa tanzania siyo sahihi katiba zetu ziko wazi kuhusu maeneo ya jamhuri ya muungano wa tanzania na nchi yetu hii ni moja zanzibar ikinufaika tanzania imenufaika bara ikinufaika tanzania imenufaika mheshimiwa spika kwa hiyo naomba kwa wenzetu wanzazibari na watanzania kwa ujumla kusijengeke dhana kwamba tunagombana kuhusu eneo lolote katika jamhuri ya muungano wa tanzania (makofi) mheshimiwa spika mwisho umezungumza kuhusu lugha humu ndani za ukabila na ukanda na mengineyo hata hivyo kuna moja ambalo ni muhimu kulizungumza lugha zinazohusu muungano wetu namna ambavyo tunauchangia na kuuelezea muungano wetu ni kana kwamba bado hatujakubaliana kuhusu umuhimu wake na kwamba tumeamua kuungana kuna lugha kali sana ambazo zinafadhaisha watu wa upande mmoja na kudhalilisha upande mmoja au mwingine mheshimiwa spika kwa hiyo ningependa utumie rungu lako na kiti chako na joho lako na busara zako kukemea hizi lugha ambazo zinacondemn kwa ujumla watu wa upande mmoja au mwingine kuhusu muungano muungano wetu sisi tumeamua kuwa nchi moja tumeamua kuwa jeuri na kutengeneza mipaka yetu ya tanzania kwa hiyo naomba urithi huo tuulinde na bunge lako lichukue uongozi katika kuulinda urithi huo mheshimiwa spika baada ya kusema hayo naomba kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja mhe january y makamba mheshimiwa mwenyekiti nawapongeza viongozi makatibu wakuu wa wizara na watendaji wa taasisi zilizo chini ya wizara ikiwemo tanroads kwa kazi nzuri mnayoifanya kazi inaonekana na jitihada pia zinaonekana kwa miaka zaidi ya 20 sasa wananchi wa kongowe na bumbuli wamekuwa wanangoja barabara ya kwanza ya lami katika eneo hilo wamekuwa wanaipigia kura ccm kwa matumaini hayo mheshimiwa mwenyekiti hata hivyo ahadi ya barabara ya kutoka soni bumbuli kwashemshi korogwe kujengwa kwa kiwango cha lami bado imebaki ahadi ya kwenye ilani na kwenye kauli za viongozi wananchi hawa sasa wanakata tamaa mwaka jana kwenye vitabu vya bajeti barabara hii ilionesha sifuri yaani haikupangiwa fedha jambo hili lilitusikitisha mwaka huu tumeona fedha kidogo sana kwa ajili ya kumalizia design kwa kipande cha mwisho naomba na kupendekeza kwamba kwa kuwa kipande cha soni bumbuli tayari design imefanyika fedha zipangwe kuanza angalau kilomita 10 za lami mwaka ujao wa fedha mheshimiwa mwenyekiti barabara za kupandishwa madaraja kuwa za tanroads vilevile tulipendekeza barabara mbili na kuzipitisha katika michakato yote husika kwa ajili ya kupandishwa madaraja barabara hizo ni kwanza barabara ya soni baga ngwashi milingano mashawa na pili ni soni mponda tawota keronge mheshimiwa mwenyekiti barabara hizi zinaunganisha wilaya na majimbo matatu tunasubiri majibu ya wizara kwa maombi haya waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mheshimiwa mwenyekiti nashukuru kwa nafasi uliyonipatia ya kuchangia hoja zilizowasilishwa leo nianze kwa kuwapongeza sana wajumbe wa kamati ya bunge ya kudumu ya viwanda biashara na mazingira kwanza kwa taarifa yao nzuri kwenye eneo letu lakini pia kwa kazi nzuri ambayo wamekuwa wakiifanya katika kipindi chote ambapo tumekuwa tunafanya nao kazi tunawapongeza na kuwashukuru sana wametupa ushauri miongozo na tumeelekezana na tumefanya kazi nzuri kwa hiyo mwenyekiti aliyetangulia na mheshimiwa murad sasa na wajumbe wote hongereni sana (makofi) mheshimiwa mwenyekiti yamezungumzwa mambo mengi kwenye taarifa lakini nitazungumza mawili tu kutokana na uchache wa muda kwanza ni suala zima la uwezo wa kifedha na fedha zinazotolewa kwa ajili ya usimamizi wa mazingira nchini nadhani wote tunakubali kwamba jambo hili tumelizungumza katika vikao mara nyingi kuhusu umuhimu wa hifadhi wa mazingira lakini uwezo mdogo wa rasilimali wa kufanya zile kazi zinazotakiwa kufanywa na kamati ya bunge imelieleza hilo mheshimiwa mwenyekiti sasa ambacho naweza kuliambia bunge lako tukufu ni kwamba tunaendelea kuzungumza ndani ya serikali kati yetu sisi ofisi ya makamu wa rais na wizara ya fedha kuhusu namna ya kudumu ya kuweza kupata fedha za hifadhi ya mazingira kwa vyanzo mahsusi tulianza mwaka juzi kwa kupendekeza maeneo kadhaa ya mapato ambapo kufanyika kwa hizo shughuli moja kwa moja kunaathiri mazingira kwa mfano mapato yanayotokana na magogo mkaa na uingizaji wa bidhaa ambazo zinachafua mazingira basi asilimia kadhaa ya mapato hayo iende kwenye mfuko wa mazingira (makofi) mheshimiwa mwenyekiti mapendekezo hayo yamewasilishwa kwenye kamati ya think tank ya mheshimiwa waziri wa fedha yametafakariwa na baadhi yametafakariwa na kamati ya bajeti ya bunge katika bunge lililopita imani yetu ni kwamba ndani ya serikali tutamaliza mazungumzo ili mwaka ujao wa fedha sasa pale tutakapokuwa tumeelewana basi tutakuja na mapendekezo ya vyanzo vya kudumu na vya uhakika kwa ajili ya mfuko wa mazingira ili tuweze kuwa uwezo na nguvu kubwa ya kusimamia sheria ya mazingira lakini kurekebisha pale maeneo ambapo mazingira yatakuwa yameharibika sana (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sisi dhamira yetu ni pale wabunge katika majimbo yao watakapokuwa wanaona changamoto ya mazingira basi iwe rahisi kwao wanapotuambia sisi sisi tuweze kujibu kwa uharaka tukiwa na uwezo wa fedha wa kusaidia kurekebisha mazingira yanayoharibika kwa hiyo hii ni kazi yetu sote sisi ndani ya serikali lakini pia wabunge kama watu wenye sauti na wenye uwezo wa kupanga fedha tushirikiane ili tuweze kuhakikisha kwamba mfuko huu unajaa fedha ili tuweze kufanya mambo ambayo wabunge wanataka tuyafanye na mambo mengine ambayo tunaendelea kuyafanya ikiwemo kutafuta fedha kutoka kwenye vyanzo mbalimbali huko duniani na kwa washirika wetu wa maendeleo wa kimataifa mheshimiwa mwenyekiti la pili ambalo ningependa kulizungumzia ni suala la mifuko ya plastiki limezungumzwa hapa na limezunguzwa kitambo humu bungeni na kamati yetu ya bunge imelitafakari na tumetafakari kwa pamoja sisi pamoja na wenzetu wa wizara ya viwanda na biashara nataka kusema kwamba katika taarifa ya kamati ya bunge mtaona imeeleza kwamba nchi yetu viwanda vyote vilivyopo nchini mwaka jana 2016 vilizalisha tani 736 za mifuko ya plastiki lakini pia taarifa hiyo hiyo inasema mifuko ya plastiki iliyoingizwa kutoka nje ni tani 1354 kwa hiyo utaona kwamba asilimia zaidi ya 90 ya mifuko ya plastiki inatumika nchini ni ile iliyotoka nje ya nchi siyo inayozalishwa ndani ya nchi mheshimiwa mwenyekiti vile vile kuna utata wa takwimu kuhusu idadi ya watu ambao wameajiriwa katika viwanda hivi kwa sababu kama viwanda viko 46 vinazalisha tani 73 kwa mwaka maana yake kila kiwanda kinazalisha chini ya tani moja na nusu kwa mwaka jambo ambalo kidogo ni gumu kulitafakari kwa hiyo sisi kama serikali tutaendelea kulishughulikia jambo hili na kamati ya bunge imeelekeza kwamba tupige marufuku uingizaji wa mifuko kutoka nje ya nchi ili hatimaye tuelekee katika kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa ujumla mheshimiwa mwenyekiti niseme kwamba jambo hili lina implications kikodi kiajira na kadhalika lakini sisi kama serikali au sisi kama ofisi ya makamu wa rais tumeona kwamba madhara ya matumizi ya mifuko ya plastiki ni makubwa katika mazingira na afya ya watu wetu kwa hivyo basi tutashirikiana na wenzetu wa wizara ya fedha bahati nzuri sheria ya mazingira kifungu cha 80 kinampa mamlaka waziri mwenye dhamana ya mazingira kwa kushirikiana na kushauriana na waziri mwenye mamlaka ya fedha kutengeneza nyenzo za kiuchumi zitakazoweza kushamirisha mbadala wa bidhaa zinazoharibu mazingira kwa hiyo nitazungumza na mwenzangu wa wizara ya fedha tuone nyenzo zipi za kiuchumi zitakazotusaidia ili tutakapopiga marufuku mifuko ya plastiki basi kuwe na uchumi mpya wa mifuko mbadala na huko ndiko tunakoelekea na ndiko huko tunakotaka mheshimiwa mwenyekiti niseme tu jirani zetu karibu wote wamepiga marufuku mifuko ya plastiki lakini hawajapiga marufuku uzalishaji wa mifuko ya plastiki kwa hiyo mifuko ya plastiki kwa mfano kwenye nchi moja ya jirani hawaitumii pale lakini wanaizalisha na hawajafunga viwanda kwa sababu sisi tunaruhusu kwa hiyo sisi tumekuwa ni dampo la mifuko ya plastiki tunaamini kwamba tutakapozuia na sisi matumizi ya mifuko ya plastiki basi hata mianya inayotumika kuingiza mifuko hii nchini mwetu na yenyewe itazibwa mheshimiwa mwenyekiti huu ni uamuzi mkubwa ambao utaathiri maisha ya watu na namna wanavyoishi lakini naomba tu niseme kwamba tukubali na tuwe tayari kuupokea uamuzi huu wakati wowote wale wenzetu wenye viwanda tulishatoa tahadhari tangu mwezi mei mwaka jana kwamba uamuzi huu unakaribia na tutakapofika tu kwamba kufanya uamuzi huu waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano na mazingira) mheshimiwa mwenyekiti naomba dakika moja nimalizie wenzetu wanaozalisha na kuingiza mifuko ya plastiki itakapofika wakati serikali itakapofanya uamuzi wa kupiga marufuku isije ikasemekana kwamba hatukuwa na taarifa ya kutosha hapa bungeni katika kiti hiki hiki mwezi mei mwaka juzi 2016 tulitoa taarifa kuhusu dhamira hii ya serikali kwa hiyo tunaomba tu wajiandae kwamba tutafikia huko lakini kama nilivyosema serikali yetu kwa kujua kwamba lazima kupatikane mbadala basi itatengeneza mazingira ya kushamirisha uzalishaji wa mifuko mbadala ili watu wetu wasipate shida mheshimiwa mwenyekiti baada ya kuyasema hayo naunga mkono mapendekezo ya kamati mheshimiwa mwenyekiti ahsante sana kwa kunipa fursa hii waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira mheshimiwa mwenyekiti kwanza nikushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia taarifa ya kamati nianze kwa kuipongeza kamati kwa kazi nzuri ambayo imeifanya na kwa taarifa nzuri ambayo imeitoa pia nishukuru mwenyekiti wa kamati na wajumbe kwa ushirikiano mzuri ambao wamekuwa wanatuonesha kwa msaada ushauri na maelekezo mbalimbali ambayo wamekuwa wanatupatia kwa hiyo nampongeza sana mwenyekiti mheshimiwa sadiq murad pamoja na kamati yake (makofi) mheshimiwa mwenyekiti sisi kama serikali tunayapokea maazimio yote ya kamati yanayohusu mazingira kama yalivyoandikwa kwenye ripoti ya kamati ambayo yapo ukurasa wa 81 na 82 ambayo yanahusu mazingira ni maazimio mazuri na hatuna mabadiliko yoyote katika hayo maazimio mheshimiwa mwenyekiti labda nizungumzie mambo mawili matatu tu yaliyojitokeza kwenye taarifa ya kamati ambayo labda yanahitaji maelezo kidogo la kwanza lipo kwenye ukurasa wa 57 ambapo kamati imesema kuwa kutegemea gesi ya lpg kama nishati mbadala ni kuwaumiza watanzania kwa kuwa bei ya nishati hii ni kubwa na inaendelea kupanda mheshimiwa mwenyekiti nataka hili jambo likae sahihi kwenye kumbukumbu za bunge na wabunge kwa ujumla kwamba ukiangalia takwimu za matumizi ya nishati hapa nchini nishati ya lpg ni moja ya nishati ambazo bei yake inashuka kila mwaka mtungi wa kilo tano kilo sita mwaka uliopita ulikuwa sh21000 sasa hivi ni sh17000 mtungi wa lita 15 ulikuwa sh55000 sasa hivi sh45000 na tunaona trend kwamba uwekezaji na usambazaji kwenye lpg unaongezeka mheshimiwa mwenyekiti moja ya sekta ambazo hazithaminiwi kwa ukuaji mkubwa lakini zinakuwa kwa kasi ni hii ya nishati ya lpg kwa hiyo nataka tu ieleweke wazi kama sisi kama serikali tunaunga mkono wawekezaji katika tasnia hii na tunaamini kwamba sisi na wenzetu wa wizara ya nishati ambao wanahusika na udhibiti tutachukua hatua za kisera kuhakikisha kwamba tunailea tasnia hii ili ikue na watanzania wapate nishati hii ya lpg ya gesi ya mitungi kwa bei nafuu na mahali popote walipo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti nadhani jambo la msingi kujua kwamba nchi yetu bado kwa sehemu kubwa inategemea rasilimali asili kwa maendeleo yake kwa shughuli za kilimo shughuli za ufugaji na nyinginezo kwa hiyo uhifadhi wa mazingira katika haya maeneo una nafasi kubwa zaidi ya kuisaidia nchi yetu napenda bunge lichukue uongozi kama ambavyo kamati imechukua uongozi katika kuhakikisha kwamba masuala ya mazingira yanatiliwa maanani sana katika mipango yetu ya maendeleo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti tulikuwa tunaongea hapa na naibu waziri wangu tunahesabu wabunge waliochangia hii kamati ni wangapi wamegusa masuala ya mazingira ni wabunge watatu tu tunajua kwa sababu ya umuhimu wa masuala ya viwanda na biashara lakini nataka niseme bila hifadhi ya mazingira hakuna viwanda na biashara tunataka tuseme kwamba tanzania waheshimiwa wabunge naomba tusikilizane tafadhali tanzania ni moja ya nchi tano zinazoongoza duniani kwa kukata misitu (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kila siku inayoenda kwa mungu kila dakika kila siku tunakata misitu kwa kiwango cha kiwanja cha mpira kila dakika kila siku kila dakika inayopita hapa tanzania misitu inayofyekwa ni size ya kiwanja cha mpira wa miguu hizi takwimu zimeanza kuchukuliwa mwaka 2010 kwa hiyo fikiria kwa miaka tisa mfululizo kila dakika unakata size ya kiwanja cha mpira wa miguu asilimia 61 ya nchi yetu inakaribia kuwa jangwa (makofi) mheshimiwa mwenyekiti gharama kwa uchumi ya land degradation forest degradation ni takriban shilingi bilioni 22 dollar kwa mwaka kwenye uchumi au asilimia ya gdp kwa hiyo hatua hizi zote tunazochukua za kuisukuma mbele nchi yetu kimaendeleo kama hatutahifadhi mazingira zitakuwa ni za bure kabisa kama hatutachukua hatua madhubuti za kuhifadhi mazingira kilimo uvuvi ufugaji itakuwa ni bure mheshimiwa mwenyekiti siku hizi kuna mbinu mpya ya kupima utajiri wa nchi na utajiri wa watu inaitwa natural per capita natural resource capital yaani maliasili hizi za nchi nzima zinathaminiwa na kila mtanzania anapewa kwa per capita thamani yake kwa miaka 20 iliyopita utajiri wa maliasili wa kila mtanzania umeshuka kwa asilimia 35 kwa hiyo hizi physical asset zinaongezeka lakini natural capital utajiri wa maliasili wa kila mtanzania unapungua kwa asilimia 35 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita kwa hiyo kwa sababu idadi yetu inazidi kuongezeka kwa kasi hili jambo ni la muhimu na la kulitazama kwa hiyo ningependa bunge lako lichukue uongozi kwenye eneo hili la hifadhi ya mazingira (makofi) mheshimiwa mwenyekiti jambo la mwisho ambalo limezungumzwa hapa ni lile suala la mita 60 na athari zake kwa shughuli za watu na maelekezo ya mheshimiwa rais yaliyotoka ya kutazama sheria hizo ili kuweza kuruhusu watu wafanye kazi ni dhahiri kabisa kwamba watanzania wengi wanategemea maeneo chepechepe mbogamboga nyingi tunazokula mijini michicha cabbage na nini vinazalishwa kwenye maeneo haya na maeneo haya pia yanatoa ukienda kule kwa ndugu zangu kule kwetu kwa bwana shangazi tunaita vitivo ukienda kule kwa ndugu zangu kwa akina mwamakamba kule unyalukolo wanaita vinyungu na kadhalika kwa hiyo tunaelewa kwamba kuna baadhi ya watanzania wanategemea haya maeneo ya chepechepe kwa ajili ya maisha yao na serikali za mitaa zinapata kodi humo mheshimiwa mwenyekiti sasa kutokana na maelekezo ya mheshimiwa rais tayari wizara sita tutakaa na kuangalia namna gani tunaweza kuhakikisha kwamba ruhusa inatolewa huku hifadhi ya mazingira ikizingatiwa moja ya nyenzo tulizonazo ni kifungu cha 57 cha sheria ya mazingira kinasema kwamba kwa kuzingatia kifungu cha (2) ndani ya mita sitini hakutafanyika shughuli yoyote ya binadamu ya kudumu au ambayo kwa asili yake inaweza kuharibu mazingira mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo sheria imepiga marufuku shughuli ndani ya mita sitini kifungu hicho hicho cha 57(2) kinasema waziri kwa maana ya waziri mwenye dhamana ya mazingira anaweza kuweka miongozo ya kuendesha shughuli za binadamu ndani ya maeneo hayo yaliyoelekezwa mheshimiwa mwenyekiti kwa kutambua hilo nililolisema awali sheria yenyewe imeweka uwezekano wa serikali kuruhusu shughuli kufanyika kwa masharti maalum kwa hiyo sisi kama ofisi ya makamu wa rais na kwa mamlaka niliyopewa kama waziri mwenye dhamana ya mazingira tutaweka miongozo ya kuendesha shughuli za kibinadamu katika haya maeneo miongozi ambayo itazingatia hifadhi ya mazingira lakini pia upatikanaji wa riziki za watu kwa hiyo tutaweka namna ambayo kwa mfano aina ya mazao unayoweza kulima ukaribu na kwenye kingo matumizi ya mbolea za kemikali ruhusa ya kutoingiza udongo kwenye mto na kadhalika miongozo hii itakuwa technical na itatumika kuzuia jambo hilo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo hili jambo linawezekana kufanyika hakuna contradiction hapo kwa sababu sheria yenyewe imetoa ruhusa hiyo na tutaitumia sheria hii kuhakikisha kwamba azma ya kiongozi wetu inatimia lakini azma vilevile ya hifadhi ya mazingira inatimia mheshimiwa mwenyekiti nashukuru (makofi)
2019-07-19T21:40:12
https://www.bunge.go.tz/polis/members/484/contributions
waziri mbarawa jitofautishe na watangulizi wako makala swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//4649182/medres/2063861//12x9csdz//mbarjpg waziri mbarawa jitofautishe na watangulizi wako waziri wa maji na umwagiliaji katika jamhuri ya muungano wa tanzania profesa makame mbarawa picha/maktaba imepakiwa friday july 6 2018 at 0956 waziri wa maji na umwagiliaji profesa makame mbarawa ameingia kazini na kutoa maagizo muhimu ambayo kwa wakazi wa jiji la dar es salaam wanaweza kuyapokea kwa mikono miwili akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka ya majisafi na majitaka dar es salaam (dawasco) profesa mbarawa amenukuliwa na gazeti hili akiiagiza mamlaka hiyo kuwaunganishia maji wateja 850 000 ifikapo mwisho wa mwaka huu wa fedha alitoa agizo hilo kwa kile alichosema kutoridhishwa na idadi ndogo ya wateja 290000 ambayo dawasco imefikisha akidai kuwa watu wengi wanahitaji huduma hiyo lakini hawajafikishiwa haya ni maagizo yenye kuleta matumaini lakini je yatabaki kuwa maagizo na kubaki hivyo kama ilivyozoeleka kwa mipango mingi ya wizara hiyo au tutaona sasa yakiwekwa kwenye utendaji waziri mbarawa si mtendaji wa kwanza katika sekta ya maji mawaziri waliomtangulia wanakumbukwa kwa kutoa kauli tele zenye matumaini kuhusu maji nchini lakini watendaji wakawaangusha sio dar es salaam pekee kilio cha maji kimeenea kila kona ya nchi pamoja na kuwapo kwa mamlaka nyingi za maji ambazo kimsingi tunaweza kusema zimekuwa mamlaka kwa jina lakini sio kufikisha maji ipasavyo kwa wananchi mamlaka na taasisi za usimamizi wa maji nchini haziwajibiki ipasavyo katika mgawanyo wa huduma hiyo kudhibiti uharibifu wa vyanzo vya maji kupungua na kuisha kwa maji jamii isipokuwa na maji mambo mengi yanaweza kuibuka ikiwamo uvunjifu wa amani kama tunavyoshuhudia katika maeneo mbalimbali nchini ambako wananchi wamejikuta katika migogoro isiyoisha itokanayo na uhaba wa huduma hiyo katika shughuli zao za uzalishaji waziri mbarawa ana kazi ya kuhakikisha migogoro ya maji inakoma suala hili linawezekana kwa kuwapo usimamizi na ugawaji mzuri wa rasilimali hiyo ambayo kwa mujibu wa rais john magufuli pamoja na kutengewa fedha watendaji wamekuwa wakimwangusha ifike mahali sasa mipango maagizo na mikakati ibadilike na kuwa vitendo na hapa ndipo profesa mbarawa sio tu atajitofautisha na watangulizi wake lakini ataacha jina na urithi uliotukuka katika utumishi wake wa umma kutolewa kwake wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi na kwenda kusimamia sekta nyeti ya maji ni dhahiri kwamba rais amemwamini tunapomkaribisha katika wizara hii yenye changamoto lukuki lazima atambue kuwa maji ndio uhai wa taifa letu tunapomtaka kuiweka mipango na mikakati yake katika vitendo tumkumbushe pia changamoto kadhaa zinazoitesa sekta ya maji nchini ikiwamo kubwa ya usimamizi mbovu wa miradi shughuli zinazohusu matumizi ya maji majumbani kwenye kilimo viwanda uchimbaji wa madini na uzalishaji umeme unategemea usimamizi mzuri wa maji kutoka katika mamlaka zetu ambazo nyingi haziwajibiki ipasavyo tanzania ya viwanda na ya uchumi wa kati ambao serikali ya awamu ya tano inaipigia debe pamoja na mambo mengine muhimu inahitaji uhakika wa maji kwa wananchi na katika maeneo yote ya uzalishaji hili linawezekana kama profesa mbarawa na watendaji wenzake wataweka kwenye vitendo yale yote wanayozungumza kwenye majukwaa alitoa maagizo hayo kwa kile alichosema kutoridhishwa na idadi ndogo ya wateja 290000 ambayo dawasco imefikisha akidai kuwa watu wengi wanahitaji huduma hiyo lakini hawajafikishiwa kwa kuwa ameanza na dawasco tunatarajia kuwa moto aliouwasha hapo utasambaa katika mamlaka nyingine zote nchini na tunapomkaribisha katika wizara hii yenye changamoto lukuki lazima atambue kuwa maji ndio uhai wa taifa letu
2018-10-22T10:17:03
http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/Waziri-Mbarawa-jitofautishe-na-watangulizi-wako/1310220-4649172-6ah4j7z/index.html
tacoma met wa @ 5 miles seattle puget sound wa wa @ 18 miles port townsend wa @ 57 miles port angeles wa @ 78 miles longview wa @ 90 miles friday harbor wa @ 90 miles toke point wa @ 94 miles westport wa @ 96 miles
2020-06-04T01:33:56
https://l-36.com/weather_ports.php?ports=9446482&lat_long2=47.34,-122.39
mradi huo umehusisha ujenzi wa njia ya umeme yenye urefu wa kilometa 245 upanuzi wa kituo cha kupoza umeme cha makambako ujenzi wa vituo vya kupoza na kusambaza umeme vya madaba na songea na usambazaji wa umeme wa msongo wa kilovoti 33 zenye urefu wa kilometa 900 zilizounganishwa kwa wateja 22700 katika wilaya za njombe ludewa mji wa makambako songea vijijini songea mjini namtumbo na mbinga ujenzi wa mradi huo umegharimu shilingi bilioni 216 na milioni 941 fedha ambazo zimetolewa kwa mkopo nafuu kutoka shirika la maendeleo la sweden na serikali ya tanzania na baada ya kukamilika kwake shirika la umeme tanzania (tanesco) limezima mitambo ya kuzalisha umeme kwa mafuta katika vituo 5 na hivyo kuokoa shilingi bilioni 98 kwa mwaka waziri wa nishati mhe dkt medard kalemani amemshukuru mhe rais magufuli kwa kutilia mkazo wa kuhakikisha mradi huo unaanza kutekelezwa mara alipoingia madarakani na kwamba hivi sasa mkoa wa ruvuma wenye mahitaji ya megawati 12 za umeme unapata megawati 48 zitakazowezesha uanzishaji wa viwanda na vijiji vyote kupatiwa umeme ifikapo mwaka 2012 mhe kalemani amebainisha kuwa tangu mhe rais magufuli aingie madarakani idadi ya vijiji vilivyopatiwa umeme kupitia wakala wa umeme vijiji (rea) imeongezeka kutoka 2018 hadi kufikia 6464 (sawa na ongezeko la asilimia 214) chanzo ikulu dar es salaam
2019-06-18T22:39:22
http://startv.co.tz/startvweb/index.php/kitaifa/439-rais-dkt-john-magufuli-amezindua-mradi-wa-njia-ya-umeme-ya-msongo-wa-kv-220-kutoka-makambako-hadi-songea
venezuela ushindani rank <iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=venezuelacomran&v=201810181717a1&lang=all&h=300&w=600&ref=/venezuela/competitivenessrank' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/venezuela/competitivenessrank'>tradingeconomicscom</a> viwanda uzalishaji 081 166 18350 6490 asilimia [+] mabadiliko katika inventories 147700 168300 239900 103100 vef milioni [+] steel uzalishaji 500 1000 47900 500 elfu tani [+] rushwa index 1800 1700 2800 1700 pointi [+] rushwa rank 16900 16600 17200 3800 [+] sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi venezuela ushindani rank
2018-12-13T06:38:44
https://sw.tradingeconomics.com/venezuela/competitiveness-rank
bashar al assad « kwanza‹ iliopita34567891011ijayo >mwisho » 31/10/2012 chinasyria lakhdar brahimi akiri china ikishiriki katika kusaka suluhu ya mgogoro wa syria muafaka wa kweli utapatikana mpatanishi wa mgogoro wa syria anayetambuliwa na umoja wa mataifa un na jumuiya ya nchi za kiarabu lakhdar brahimi ameeleza matumaini yake ya kwamba china inaweza ikasaidia kupatikana kwa suluhu 29/10/2012 syriaurusi hali inazidi kuwa mbaya nchini syria na kushuhudia watu 10 wakiuawa kwenye shambulizi la kigaidi damascus mgogoro ambao unaendelea nchini syria umetajwa kuwa mbaya na unaendelea kuleta madhara zaidi kipindi hiki ambacho televisheni ya taifa nchini humo ikithibitisha watu kumi wamepoteza maisha baada 17/10/2012 syriamapigano watu 80 wapoteza maisha katika mapigano ya jumanne nchini syria kwa mujibu wa shirika la haki za binadamu nchini syria mapambano ya jana jumanne nchini humo yamesababisha vifo vya watu thamanini wakati mapigano yakiendelea kushuhudiwa katika mji wa allepo 16/10/2012 syria msuluhishi katika mgogoro wa syria azitaka pande zote mbili kusitisha vita wakati wa siku kuu ya aid al adha msuluhishi wa kimataifa katika mgogoro wa syria lakhtar brahimi ametowa wito wa kusitisha mapigano nchini syria wakati wa siku kuu ya kiislam ya aid al adha inayo tarajiwa kuadhimishwa mwishoni 11/10/2012 syriauturuki uturuki yalazimisha ndege syria kutua kwa kuhofia silaha za maangamizi serikali ya uturuki imezuia baadhi ya mizigo kutoka ndege ya shirika la syria iliyokuwa inatokea urusi kuelekea damascus ambapo inavichunguza vifaa ambavyo vilikuwa vimebebwa na ndege hiyo 10/10/2012 syria majeshi ya waasi wa syria yadaiwa kushika maeneo muhimu nato kuisadia uturuki kijeshi waasi nchini syria wamefanikiwa kuushikilia maeneo muhimu kwenye mji wa allepo hatua inayoelezwa kuwa ni pigo kwa vikosi vya serikali ambavyo vimekuwa vikijaribu kuurejesha kwenye hiamaya yake mji 09/10/2012 syria mabomu ya kujitoa mhanga yasambaratisha maisha ya watu wengi nchini syria watu kadhaa wameuawa hii leo nchini syria baada ya kufanyika mashambulizi mawili ya kujitoa mhanga katika kambi moja ya jeshi la usalama mjini harasta kaskazini mashariki mwa mji mkuu wa nchi hiyo 08/10/2012 syria makao makuu ya polisi syria yalipuliwa kwa bomu la kujitoa mhanga watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu la kujitoa muhanga uliotokea nje ya makao makuu ya polisi mjini damascus syria 06/10/2012 mtazamo wako kwa yaliyojiri wiki hii majeshi ya amisom yaendelea kuimarisha usalama kismayo huku syria na uturuki zikiwa hatarini kuingia vitani majeshi ya kenya kdf yakiwa chini ya mwamvuli wa vikosi vya umoja wa afrika vinavyolinda amani nchini somalia amisom yanaendelea na operesheni zao kuhakikisha wanaimarisha ulinzi katika mji wa 05/10/2012 syriauturuki baraza la usalama la umoja wa mataifa lakashifu syria kwa kuishambulia uturuki baraza la usalama la umoja wa mataifa limekashifu shambulizi la syria nchini uturuki lililosababisha vifo vya watu watano mjini akcakale shambulizi ambalo baraza hilo linasema linatishia « kwanza‹ iliopita34567891011ijayo >mwisho » sikiliza rfi
2013-05-24T02:18:20
http://www.kiswahili.rfi.fr/tag/bashar-al-assad?page=6
mitsubishi imiev ya kuuza kwa 33 500 euro kwa wataalamu habari na habari mitsubishi imiev ya kuuza kwa 33 500 euro kwa wataalamu mitsubishi motors ijumaa iliwasilisha 5 juni 2009 toleo la uhakika la gari lake la kwanza la umeme wote awamu ya kibiashara ya 1er inalenga tu makampuni na jamii itaanza julai 2009 imiev gari la kwanza la kweli la umeme kwenye soko gari hili la kukamilisha ni maeneo ya kweli ya 4 (tofauti na toyota iq au smart) kwa matumizi ya mijini magari yake ya umeme yanaendeshwa na betri ya lithiamuioni yuasa brand inayojulikana katika ulimwengu wa betri mwisho pia hufanya kazi na honda kwa ajili ya kukusanya magari ya mseto tunalenga kuendeleza teknolojia ambazo zinaweza kutupatia nafasi nzuri katika soko la kimataifamsaidizi wa mitsubishi motors osamu masuko aliwaambia waandishi wa habari tunahitaji kuhakikisha kuwa sekta ya magari ya kijapani haifai nyuma ya wapinzani wake wa kigeni juu ya upeo wa 10 kwa miaka 20aliendelea imiev inaweza kusafiri kilomita za 160 na betri ya kushtakiwa kikamilifu uhuru wa kutosha kwa safari zinafanywa kila siku katika maeneo ya mijinikulingana na masuko gari hii itatumiwa kwanza na makampuni kama vile magari ya ziara za matengenezo au magari ya utoaji wa barua miongoni mwa mifano mingine makampuni na mashirika ya umma huona hii kama njia ya kupunguza uzalishaji wa gesi ya chafu kuokoa fedha na kudai kuwa na heshima ya mazingira hii inafanana na njia za 2 utengenezaji na kuchakata betri za imiev kulingana na mitsubishi ni sawa na 41 gr co2 kwa km ambayo tayari ni ya juu uzalishaji wake wa co2 utategemea kimsingi juu ya njia za kuzalisha umeme ambazo zinawezesha baadhi ya uchambuzi juu ya suala hili hapa gari la umeme na co2 ilipatikana mwezi julai kwa bei ya yen ya milioni 46 (sawa na euro 33500 isipokuwa nje ya kodi) imiev itatolewa kwa umma kwa ujumla kutoka aprili 2010 kwa bei bado haijainishwa lakini ni bet salama ambayo inapaswa kuzidi 40 000 € ttc kwa bahati mbaya jifunze zaidi mitshubishi imiev 1ere soko halisi la gari la umeme ← pakua chini ya ishara ya mengi louis even ulaya ekolojia wimbi la kijani kwa wazungu →
2018-12-14T01:31:23
https://sw.econologie.com/mitsubishi-i-miev-vente-33-500-euros-professionnels/
timu za dar zajitokeza kwa wingi ushiriki michuano ya kikapu | sunday shomari home habari timu za dar zajitokeza kwa wingi ushiriki michuano ya kikapu timu za dar zajitokeza kwa wingi ushiriki michuano ya kikapu next articlembeya city yanogesha umisseta copa cocacola mbeya washukiwa wa ghasia kenya matumbo moto kibao cha leofrom karamanti jaden smith awa mpiga picha
2018-01-21T22:32:58
http://sundayshomari.com/timu-za-dar-zajitokeza-kwa-wingi-ushiriki-michuano-ya-kikapu/
wafanyakazi wa atcl wavamia ofisi za waziri mkuu | jamiiforums | the home of great thinkers wafanyakazi wa atcl wavamia ofisi za waziri mkuu discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by pdidy mar 2 2010 wafanyakazi walioachishwa atcl kwa manufaa ya umma wamevamia ofisi za waziri mkuu leo hii kudai mafao yao baada ya kuachishwahali hii imetokea leo pale ofisi za magogoni karibu na ikulu nikiwa napita kwenye shuguli zangu na mke wangu kufanya shopping nikaona kundi la watu wamejazana mlangoni huku wengine wakiwa na camera sikusita kushuka na kwenda kuuliza nini kinaendelea kama wajibu wangu wa jf nikapata kijana mmoja ambae alinipa maelezo kabla ya hapo alijaribu kuniuliza ni nani natokea wapi baada ya hapo nikaungana nae kujua hali halisi wafanyakazi hao wapatao 80 walikuwa wamefura getini mwa ofisi ya waziri mkuu huku ffu wakiomba kusogea na kupisha watu wengine waingie kijana huyo alianza kwa kusema kaaka atupendi kuwa hapa sisi tumefanya atcl na ukafika muda lazima uondoke tukakubali kuondoka kwa shingo upande kutokana na pesa waliamua kutulipa wizara ya miundo mbinu ikiongozwa na katibu mkuu wake chambo ambae aliweka wazi wasipoondolewa mi nafuta kampuniswala hili liliwafanya wafanyaakazi wakaanza kutengana na viongozi wao wa chama cha wafanyakazi mpka ilipofika muda na siku watu waakakabidhiwa barua zaoakukuwa na ubishi ila utata umekuja pale kwenye mafao yetu ya ppf tulipokuwa tukipewa barua tuliambiwa ndani ya mwezi mmoja na nusu tunapata hela yetu ikapita tukaanza kufwattilia ndipo tukaja kukuta kampuni aijapeleka pesa za wafanyakazi mwaka mmoja na nusuhili lilitushtua ikabidi tuanze kukutana na kujipanga nini cha kufanyatumejaribu kwenda kwa waziri wa miundo mbinu kulalamika kwa nini ppf haki ya mtu inazungushwaje ni haki pesa ya ppf kufanyia kazi zingine kwa maslahi ya kampunichambo alijibu waziri yuko busy na hana muda wa kuonana na nyie ndipo tukaona hali sasa twende mbele ndipo umetuona hapawiki jana tumeenda wakatuambia twende leo hivi naonge viongozi wako ndani atujui kinachoendelea mpaka sasa ila ni masikitiko sana nikikwambia ndugu mtu amefanya miaka 31 anapewa million 10 siku ya mwisho huku amemalizia ujana wake huu si uhaini kweli hawa watu nakwambia mungu lazima awaadhibuhakuna ambae alipenda kupokea zile cheki lakini tufanyejeukienda kwa katibu mkuu anadiriki kusema mi nawaambia kama sio mimi kampuni ingekufa hii baraza la mawaziri wote limepitisha kuflisiwa hii kampuni mi na waziri tukamfwata waziri mkuukwa hiyo tunaamini wazir mkuu huyu huyu ndie mtetesi wetu nili jaribu kuonyeshwa huyo mama na wenzake waliofanya miaka zaidi ya 25 na kupewa hizo million 10 kwa kweli maombi ya hawa watu ipo siku tutasikia vitu vya ajabu atclmuda si mrefu swali langu najaribu kuuliza ppf wanacheza na maisha ya watu ama kuna sheria wameonyesha mwajiri akishindwa kulipa miezi miwili adhabu yake mitatu nini cha kufanya iweje wamekaa mwaka na nusu bila kulipa na wameachiwa kimyaswali hili na mengineyo ntwaletea majibu kesho ntakapoamka na kulekea ppf kujua kulikon matatizo haya tunaitaji kuanzisha chombo cha kutetea wafanyakazihivi vyama vimekuwa vikinunuliwa kwa pesa ndogo sana na mwisho kuua utu wa watumtu anadiriki kukubali kuondoa watu huku akipewa hata million 1 aifiki tunaitaji kuwa na vyama vingine visivyofungamana na upande wowotekweli inaumiza ndio maana binafsi nilishaapa sitofanya kwa mwajiri zaidi ya miaka 6 ama saba kukimbia hii aibuhuu ni uhaini tunawapa pole waliofikwa na matatizo tunawaombea mungu awajallie mlipwe mapema ni kweli hili kosa kama nchi za nje menejiment nzima inanukia maharage ya segerea kabla ya kwenda kujielezalakini kwakuwa mko bongo poleni sana haki ya mtu ni ngumu kupatikana bongo safi sana ingawa sina hakika kama kwenda kwa waziri mkuu ni sahihi ama la safi sana ingawa sina hakika kama kwenda kwa waziri mkuu ni sahihi ama laclick to expand mkuu nilijaribu kuongea na jamaa wangu mmoja wa chama cha wafanyakazi akanieleza kuna procedure unafwata kukiwa na migongano moto unaelekeza kwa waziri mkuu hapa ni baada ya kukaa na menejiment husika amwelewaniwaziri wa wizara husika/hakuna maelewano waziri mkuu akuna maelewano mahakama ya kazi/hakuna haki ujue nao ni binadamu hawa wanaitaji watoto wao waende ****** /maahakama ya rufaa ya kazi baada ya hapo matekelezosasa kama wanashinda amna matekelezo wanaomba kukazwa ukumu hapo ndipo unawasikia wajomba zangu majembe auction mart ni nani ila walahi kesho lazima nipate jawabu kwa nini hii kampuni wameachiwa mwaka mzima awajalipa ppf je pesa zinaingia mifukoni mwa wakubwa ama wanakula na viongozi wa ppftusiwasemee moyo ni napicha nilipga najaribu kuzituma inshalla zikiingia kwanza nimetuma msg kwa kiongozi wao kuomba ruhusa ya kuziweka akikataa sina jinsi
2017-07-28T19:14:58
https://www.jamiiforums.com/threads/wafanyakazi-wa-atcl-wavamia-ofisi-za-waziri-mkuu.54670/
michezo kwa jamii baraza la michezo la taifa michezo kwa jamii ni moja ya mpango wa baraza la michezo katika kuinua ushiriki wa jamii katika michezo kutoka ngazi ya kijiji wilaya mkoa hadi taifa kwa mujibu wa wizara ya habarivijana utamaduni na michezo michezo kwa jamii ni jukumu la baraza la michezo la taifa kwa kushirikiana na mamlaka za mitaa za wilaya na manispaa mpango huu ulizinduliwa kisheria tarehe 11th august2017 na aliyekuwa naibu waziri wa habari vijana utamaduni na michezo mr joel bendera wilayani kondoa dodoma wakati wa uzinduzi zilikuwepo kamati chache za michezo kutoka kondoa mjini ambazo zilipewa mafunzo kuhusu sheriakanuni na majukumu ya michezo hii inadhihirisha kuwa watu wanahitaji kupewa elimu kuhusu michezo lengo na dhamira ya michezo kwa jamii kuanzishwa kwa michezo kwa jamii kumetokana na kutopewa kipau mbele tasnia ya michezo vilevile watu hawahamasishwi kushiriki ambapo unahitajika ushawishi wa jamii katika ngazi na nafasi zote kushiriki katika michezo michezo kwa jamii kama mpango na lengo la kutimiza dhamira hii ni kutoa ujuzi wa uongozi wa michezo sheria na kanuni za mpira wa miguu mpira wa mikono mbio na michezo mingine vilevile kutoa elimu kuhusu masuala mtambuka mfanoukimwi na mazingira kuandaa wataalamu wa michezo ambao watasaidia kutoa mafunzo ya michezo mashulenivyuoni na vyuo vikuu kusimama kama chombo cha kutoa elimu vijijini na wilayani kwani baraza peke yake haliwezi kukidhi malengo ya taifa kutoa vifaa vya michezo kwa kijiji au kata kwa lengo la kuinua vipaji vya vijana katika michezo kuwajengea walimu wa shule za msingi misingi ya kuhusisha haiba na michezo katika ufundishaji wa masomo kila siku kutoa elimu kwa walimu jinsi ya kupanga na kuandaa maeneo ya michezo kwa kuzingatia vipimo vinavyotakiwa (50m to 100m) na muelekeo (kaskazini kusini) washiriki wa mpira wa wavu mara baada ya kugawiwa vifaa 237 total views 156 views today http//nationalsportscouncilgotz/michezosports/michezokwajamii2/>
2018-11-15T16:52:09
http://nationalsportscouncil.go.tz/michezo-sports/michezo-kwa-jamii-2/
facebook ndani ya kashfa nzito ya kuvujisha data za faragha facebook inadai hakuna uvujishaji wa data zozote uliofanyika by amani joseph march 20 2018 1259 pm 203 views wiki hii kashfa nzito imeibuka baada ya mtandao maarufu wa facebook kuhusishwa na uvujishaji wa data za siri za watumiaji wake kupitia kampuni ya uchambuzi ya cambridge analytica ambayo ilikuwa inamuunga mkono raisi donald trump katika kampeni yake ya uraisi mwaka 2016 inasemekana kuwa kampuni ya cambridge analytica ilikuwa inatumia data za watumiaji wa mtandao wa facebook zaidi ya milioni 50 kitendo ambacho kilipingwa na kufanya facebook kuifungia kampuni hiyo kutumia mtandao wa facebook kwa ujumla aidha haijaishia hapo sakata zima limeanzia baada ya profesa mmoja wa cambridge kutengeneza app yake ya thisisyourdigitallife ambayo ilikuwa inawezesha watumiaji kuingia kwenye app hiyo kwa kutumia mfumo wa kuingia wa facebook login hata hivyo app hiyo ili pakuliwa na watu zaidi ya 270000 na baadae inasemakana profesa huyo aliuza data za watumiaji wa app hiyo kwa kampuni ya cambridge analytica ambapo inasemekana kampuni hiyo ilitumia data hizo kumsaidia ushindi raisi donald trump kampuni ya cambridge analytica inasemekana kuweza kuchukua data za watumiaji zaidi ya walio pakua app kwa kutumia njia ya kuchukua data za watu wa karibu wa watumiaji wa app hiyo ambao tayari walisha ipakua app hiyo mtandao wa instagram kuongezewa sehemu mpya ya regram hata hivyo japokuwa inasemekana yote haya yalikuwa yanawezeshwa na aina ya mpangilio au settings ambazo watumiaji hao walikuwa wamechagua ndani ya profile ya mtumiaji wa app hiyo lakini bado inatajwa kuwa hii ilikuwa ni kinyume na sheria za mtandao wa facebook kwa mujibu wa christopher wylie ambaye alikuwa mfanyakazi wa kampuni hiyo ya cambridge analytica na ambaye ndio aliyefichua sakata hili zima alisema kuwa data hizo zilikuwa zikitumika kwa wananchi wa marekani kupitia mtandao wa facebook ambapo matangazo ya uchaguzi wa raisi donald trumb yalikuwa yakitumwa kwa wananchi hao ili kumewezesha raisi huyo kushinda kwenye uchaguzi wa uraisi hapo mwaka 2016 kwa mujibu wa mtandao wa quartz baada ya facebook kugundua kuwa app hiyo inatumia data za watumiaji wake kinyume na sheria facebook ilichukua hatua ya kuzuia na kufuta app hiyo kwenye mtandao wa facebook na kuhitaji uhakikisho kuwa data zote zilizopatikana kutoka kwa watumiaji wake zilifutwa na hazikutumiwa kwa namna yoyote hata hivyo inasemekana facebook haikufuatilia zaidi kuhakikisha kama data hizo zimetumiwa ama lah mpaka sasa bado kampuni ya facebook inakataa tuhuma hizi huku kisema kuwa hakuna uvujishaji au uchukuaji wa data za zaidi uliofanyika na kampuni hiyo ya cambridge analytica huku ikisema kuwa data zilizochukuliwa ni zile ambazo watumiaji wa app ya thisisyourdigitallife waliruhusu pale walipo pakua app hiyo mpaka sasa bado sakata hili linazidi kuendelea na facebook imetangaza kufanya mkutano wa wafanyakazi wake hapo kesho na kuruhusu maswali juu ya sakata hilo pia inaripotiwa kuwa idadi ya watu wanaotumia matangazo ya facebook imepungua ikiwa pamoja na hisa za mtandao huo baada ya kuibuka kwa sakata hilo tokea siku ya ijumaa ya tarehe 16 makala iliyopita hatimaye game ya pubg inapatikana play store na app store makala inayofuata hizi hapa sifa za htc 12 na htc 12+ iliyozinduliwa rasmi leo
2019-05-26T09:09:08
https://tanzaniatech.one/2018/03/facebook-ndani-ya-kashfa-nzito-ya-kuvujisha-data-za-faragha/
chadema| top storiesread all tanzania headlines here nov 22 2017 | popular news in tanzania (today) 1 hour ago mbunge wa zamani wa kigoma kusini (20102015) david kafulila amejivua uanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kwa madai ya kutokuwa na imani tena na upinzani katika kupambana na ufisadi mbunge wa zamani wa kigoma kusini david kafulila the post habari za hivi punde kafulila ajiondoa chadema appeared first on zanzibar24 breaking news david kafulila naye ajiondoa chadema mwanasiasa maarufu wa tanzania ambaye pia ni mbunge wa zamani wa kigoma kusini david kafulila leo jumatano novemba 222017 ametangaza kujivua uwanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema kwa kile alichosema hana imani na vyama vya upinzani kama jukwaa salama la kupambana na ufisadi nchini tanzania kafulila amejiondoa chadema na baada ya maamuzi hayo ameeleza sababu kwamba kwa sasa vyama vya upinzani vinaonekana kupigwa ganzi na kupooza katika juhudi zake za kupambana na ufisadi chadema yamtakia kila la heri katambiyawasihi ccm kumtumia kadri watakavyoona anafaa akizungumza na mwandishi wa habari hizi leo jumanne baada ya katambi kuhamia ccm dk mashinji sisi kama chama msimamo wetu tuliuweka tangu madiwani walivyoanza kuondoka tukaweka msimamo wazi kwamba suala la mtu kuondoka kwenye chama au kubaki ni suala la katiba ya nchi ambayo inampa mtu uhuru wa kuhama chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kinaweza kukimbiwa na viongozi wake wengine watatu wakiwamo wabunge wawili wa majimbo anaandika mwandishi wetu taarifa kutoka ndani ya chama hicho na ikulu jijini dar es salaam zinasema mkakati mkali unasukwa wa kuwashawishi viongozi hao kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha mapinduzi (ccm) hata hivyo mmoja wa mwenyekiti wa baraza la vijana chadema ajiunga na ccm mwenyekiti wa baraza la vijana chadema (bavicha)patrobas katambi ametangaza kujiondoa chadema leo jumanne novemba 212017 na kujiunga ccm katika mkutano wa halmashauri kuu ya ccm unaoendeshwa na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi dkt john pombe magufuli jijini dar es salaam mbali na rose aliwaomba wakazi wa kata ya mhandu kumpa kura mume wake ili aweze mgombea udiwani wa chadema na kampeni meneja wake wapandishwa kizimbani mgombea udiwani kata ya mhandu (chadema) godfrey misana na kampeni meneja wake charles chinjibela wamepandishwa kizimbani kujibu shtaka la kujeruhi misana (46) na chinjibela (37) wanadaiwa kumjeruhi meneja wa kampeni za ccm katika kata hiyo thomas warioba katika mahakama ya hakimu mkazi mwanza mbele ya hakimu ainawe moshi wanadaiwa kutenda kosa hilo novemba 142017 akisoma mashtaka katika shauri hilo namba 540/2017 mwendesha mashtaka wa jamhuri elizaberth barabara amedai leo ijumaa top 10 tags today 22november2017 in tanzania
2017-11-22T16:56:45
http://www.tanzaniatoday.co.tz/habari-za-leo/chadema/
simulizi za vifo singida abdul nondo mwanahalisi online posted by regina mkonde 11 days ago 0 1189 views abdul nondo mwanaharakati wa haki za binadamu amefanya utafiti mfupi kuhusu huduma ya afya katika kata ya iyumbu wilaya ya ikungi mkoani singida anaripoti regina mkonde(endelea) akizungumza na wanahabari tarehe 13 januari 2020 jijini dar es salaam kuhusu utafiti huo nondo amesema kuna hali isiyoridhisha katika utoaji wa huduma hiyo huku vifo vya kizembe vikisababishwa na zahanati bubu uwepo wa zahanati bubu kumesababisha na kunaendelea kusababisha madhara makubwa kwa wananchi wa eneo lile kwani wanaotoa huduma hizo hawana ujuzi zaidi ya kuwa na cheti cha kuuzia dawa baridi/muhimu hao ndio wanaenda mbali hadi kuchoma sindano kupima magonjwa mbalimbali kuzalisha chini ya mkeka amesema nondo akizungumzia madhila hayo nondo amesema kina ama wajawazito hulazimika kujifungulia chini ya mkeka wakati mwingine (mama na mtoto) hupoteza maisha kwa kukosa rufaa pamoja na matibabu husika tarehe 18/11/2019 kuna mototo anayeitwa msele emmanuel alingatwa na mbwa akapelekwa duka la dawa (analitaja) ambapo ni zahanati bubu mtoto akachomwa sindano ya ppf baadaye mtoto akaanza kubweka walipomrudisha alipochoea sindano wakaambiwa wampeleke kituo cha mzalendo ili wapewe rufaa kwenda mjini yule mtoto alifia njiani mtaalamu wa afya angetambua mapema kwamba mtoto huyo anapaswa kupewa antrebies hivyo anapaswa kupewa rufaa haraka kwenda mjini na sio kuchomwa sindano ya ppf amesema nondo na kuongeza pia ameelezea kifo cha chiku kimbuyi kilichotokea tarehe 24 desemba 2019 kwamba mama huyu alikuwa mjamzito wa mimba ya miezi tano alipelekwa kwa duka lile lile la dawa ambalo ni zahanati bunu akalazwa katika mkeka akaambiwa uchungu bado na ndipo muuguzi akaenda kunywa pombe yule mama alitokwa na damu hadi kufariki akizungumzia kunusurika kifo cha mke wa said miyunge mkazi wa eneo hilo amesema mwanamke huyo ambaye ni kijana wa pale iyumbi alipelekwa kwenye zahanati hiyo bubu kujifungua baada ya kujifungua mke wa said miyunge alipatwa na kifafa cha mimba walimrudisha haraka kwa muuguzi huyo muuguzi huyo akakimbia na kujificha ilibidi wampeleke kituo cha mzalendo haraka wakapewa barua ya rufaa wakaenda kutibiwa mjini kwa muda mke wake said miyunge akapona amesema nondo amesema tarehe 11 januari 2020 muuguzi wa zahanati hiyo bubu alimuacha mjamzito katika duka lake (zahanati bubu) akatoka bila kueleza anakwenda wapi alipoondoka tu mama yule alipatwa na uchungu akaomba msaada huku mtoto akizaliwa chini ya mkeka amesema na kuongeza watumishi wa kituo binafsi cha mzalendo waliitwa kwenda kutoa msaada kifo kingine kilitokea tarehe 04 julai 2019 kwenye zahanati moja bubu ambapo amesema muuguzi wa zahanati hiyo alimzalisha mama mjamzito ambapo alitoa mtoto mmoja na kuacha mtoto mwingine tumboni nondo ameshauri serikali ifanye uchunguzi wa kina dhidi ya watumishi wa serikali wa wilaya hata mkoa wa singida kwamba wanaoshirikiana kwa kuwalinda zahanati bubu abdul nondo mwanaharakati wa haki za binadamu amefanya utafiti mfupi kuhusu huduma ya afya katika kata ya iyumbu wilaya ya ikungi mkoani singida anaripoti regina mkonde(endelea) akizungumza na wanahabari tarehe 13 januari 2020 jijini dar es salaam kuhusu utafiti huo nondo amesema kuna hali isiyoridhisha katika utoaji wa huduma hiyo huku vifo vya kizembe vikisababishwa na zahanati bubu uwepo wa zahanati bubu kumesababisha na kunaendelea kusababisha madhara makubwa kwa wananchi wa eneo lile kwani wanaotoa huduma hizo hawana ujuzi zaidi ya kuwa na cheti cha kuuzia dawa baridi/muhimu hao ndio wanaenda mbali hadi kuchoma sindano kupima magonjwa mbalimbali kuzalisha chini&hellip previous selasini ajiuzulu bungeni next maalim seif bimani mikononi mwa polisi pemba
2020-01-25T16:19:34
http://mwanahalisionline.com/simulizi-za-vifo-singida-abdul-nondo/
mzee wa mshitu kampuni ya ivori iringa imempongeza rais dr magufuli kwa ufumbuzi wa tatizo la sukari ya viwandani
2019-01-22T23:32:50
http://charaz.blogspot.com/2018/03/kampuni-ya-ivori-iringa-imempongeza.html
nini hatima ya mswada wa nyongeza ya mapato ya wabunge makala swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//2877330/medres/1093249//pw6f26z//bdparliament1206jpg nini hatima ya mswada wa nyongeza ya mapato ya wabunge majengo ya bunge la kitaifa jijini nairobi picha/maktaba imepakiwa friday december 7 2018 at 1050 makabiliano yananukia baina ya rais uhuru kenyatta na bunge kuhusu hatima ya mswada wa tume ya huduma za bunge (psc) unaopendekeza wabunge waongeweze marupurupu na manufaa mengineyo huenda kukatoka hali ya vuta nikuvute kati ya afisi ya rais na bunge mwaka ujao kuhusiana na hatima ya mswada wa tume ya huduma za bunge (psc) unaopendekeza wabunge waongeweze marupurupu na manufaa mengineyo hii ni baada ya rais uhuru kenyatta kusisitiza kwamba kamwe hatatia saini mswada huo ukipitishwa na wabunge kisha kuwasilishwa kwake akisema utawaongezea wananchi mzigo wa gharama ya maisha msimamo huu wa rais ulisababisha kamati ya kuratibu shughuli za bunge (hbc) kuondoa mswada huo katika ratiba ya shughuli za bunge alhamisi siku ambayo ilitarajiwa ungepigiwa kura na kupitishwa ili uvushwe katika hatua ya tatu ni baada ya awamu ambapo mswada huo ungepitishwa kisha kuwasilishwa rais kenyatta auidhinishe kuwa sheria mbunge mmoja wa chama cha jubilee ambaye aliomba tusichapishe jina lake alisema wao pia watalazimika kuonyesha makali yao kwa kutopitisha miswada iliyodhaminiwa na serikali au majina ya watu walioependekezwa kushikilia nyadhifa mbalimbali serikalini tutadhihirisha uwezo na mamlaka yetu wiki ijayo tarehe mahususi ikiwa ni desemba 14 wakati kamati ya haki na masuala ya sheria (jlac) itampiga msasa bw twalib abdallah mbarak aliyependekezwa kwa wadhifa wa afisa mkuu mtendaji wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi (eacc) akasema mbunge huyo kutoka eneo la rift valley hata hivyo wabunge tuliowahoji kwa ajili ya makala haya walisema hawakuona haja ya kupigia kura mswada huo baada ya rais kiongozi wa upinzani raila odinga na wananchi kwa jumla kupotoshwa kwamba unalenga kuwaongezea mishahara vyombo vya habari viliamua kimakusudi kupotosha umma kuhusu mswada huu kwa kudai unalenga kutuongezea mishahara ilhali huo sio ukweli na inasikitisha kuwa rais kenyatta na bw odinga wamenaswa na uongo huu akasema kiongozi wa wachache bw john mbadi ni ndio sababu maana tuliamua tuliamua kuondoa shughuli ya kupigiwa kura kwa mswada huo katika orodha ya shughuli za leo (alhamisi) sio kweli kwamba tuliingizwa baridi na kauli ya rais tutaupitisha mswada huu mwaka ujao na kuuwasilisha kwa rais akasema dhima ya mswada mbunge wa homa bay mjini peter kaluma vilevile anashikilia uzi uo huo akisema kuwa umma ulipotoshwa kuhusu dhima ya mswasa huo akisema haupendekezi nyongeza yoyote ya mapato ya wabunge azma kuu ya mswada huu ni kukita utendakazi wa tume ya huduma za bunge (psc) kwenye katiba ya kenya ili kuafiki hitaji la kipengee cha 127 cha sheria hiyo kuu wajibu wa tume hii ni kuhakikisha kuwa wabunge wanapewa misaada faafu kuwawezesha kutekeleza majukumu yao yaliyoorodheshwa katika vipengee vya 94 na 95 anasema bw kaluma haupendekezi nyongeza ya mishahara yetu kwani hiyo ni wajibu wa tume ya mishahara (src) anakariri mbunge huyo ambaye ni wakili kimsingi mswada huo ambao nakala yake taifa jumapili ilipata unapendeka kuwa wabunge wote 349 na maseneta 67 watakuwa wakipokea marupurupu ya usafiri ihali wao hupewa ruzuku ya sh7 milioni za kununua magari aidha unapendekeza kuwa wabunge wapewe magari rasmi yenye nambari za usajili za gk sawa na mawaziri na makatibu wa wizara hii bila shaka itamaanisha kuwa bajeti ya bunge itapanda kuzidi ilivyo sasa mzigo ambao utabebeshwa mlipa ushuru vilevile mswada huo kwa jina 'parliamentary commission service bill 2018' unapendekwa kwamba wabunge wapewe marupurupu ya nyumba licha ya kwamba wakati huu wao hupewa mkopo wa kununua nyumba wa sh20 milioni kila mmoja na ukitiwa saini kuwa sheria wake wa pili na wa tatu wa wabunge wa kiume pia watajumuishwa katika bima ya matibabu yanalipiwa kwa pesa za umma isitoshe mswada huo unapendekeza kubuniwa kwa hazina maalum ya kufadhili shughuli ya wabunge ya kukagua miradi ya serikali ya kitaifa katika maeneo bunge wanakowakilisha hazina nyingine pia itabuniwa ya kufadhili mpango wa kushirikisha umma katika shughuli za bunge maarufu kwa kimombo kama public participation mtaalamu wa masuala ya uchumi kwame owino anasema kutekelezwa kwa mapendekezo hayo na mengineyo kutapelekea kupanda kwa bajeti ya bunge ambayo hufadhili kwa mfuko wa umma ikiwa mswada huo utaopitishwa na hatimaye kutiwa saini na rais uhuru kenyatta sambamba na mapenzi ya wabunge hii ina maana kuwa bajeti ya sasa ya bunge ambayo ni sh36 bilioni katika mwaka huu wa kifedha itapanda hadi zaidi ya sh40 bilioni anasema mtaalamu huyu anaeleza ni gharama hii iliyomfanya rais kenyatta kupinga mswada huo na kuapa kutoutia saini hata ukupitishwa na wabunge akiongea jumatano katika eneo la ndenderu kaunti ya kiambu rais alisema amesikiliza maoni ya wananchi na kushawishika kuwa hawaungi mkono mapendekezo yaliyomo kwenye mswada huo nitauangusha mswada huo endapo wataniletea sijatajali hata kama watanichukia wananchi wanachukizwa na tabia ya viongozi kujiongezea mishahara kila wakati akasema rais aliyeonekana mwenye ghadhabu na kwa upande wake bw odinga aliwasuta wabunge kutokana na mpango wao wa kujiongezea mapato akisema hiyo ni ishara kuwa hawajali masihali ya wananchi saa chache baada ya tamko hilo la rais kiongozi wa wengi aden duale alhamisi alichelea kusema lolote kuhusu mswada huo alipokuwa akitoa maelezo kuhusu miswada ambayo itapewa kipaumbele bunge litakaporejelea vikao vya mwezi februari 2019 baada ya likizo ndefu kamati ya kuratibu shughuli za bunge itakutana kuweka tarehe na siku ambayo mswada kuhusu usawa wa kijinsi utapigiwa kura baada ya shughuli hiyo kuahirishwa wiki jana akasema bila kutoa maelezo yoyote kuhusu hatima ya mswada huo tata ambao pia umeibua kero la wakenya rais kenyatta aliwataka wabunge kuyapa kipaumbele masuala yenye manufaa kwa wakenya kwanza badala ya yale yanayowafaidi kama watu binafsi kama viongozi hatupaswi kujishughulisha zaidi na masuala ya kujiongezea mapato bali tunafaa kuyapa kipaumbele mahitaji ya watu wetu akaeleza hatua ya rais kuwapiga breki wabunge kuhusiana na mswada wa kujifaida imeonekana kwa suala geni ikizingatiwa kwamba katika miaka ya nyuma wabunge wamekuwa na uhuru wakipita hoja na miswada aina hiyo kwa urahisi itakumbukwa kwamba katika bunge la 10 wabunge waliweza kujiongeza mishahara hadi kufikia kima cha sh890000 bila marupurupu kadhaa hii ilimaanisha kuwa waliweza kutia kibindoni zaidi ya sh1 milini kila mwezi na licha ya src kupunguza mishahara yao hadi sh530000 mwaka 2014 wabunge walitumia vitisho kuhakikisha kuwa wanaendelea kupokea marupurupu kadhaa na ruzuku ya sh7 milioni za kununua magari
2018-12-18T18:51:03
http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/makabiliano-hatima-mswada-mapato-wabunge/1310220-4885308-nk6o20z/index.html
matiangi ashurutishwa kuwatimua waliohusika kutoa fidia kwa waathiriwa wa mkasa wa solai milele fm july 11 2018 from left water resource management authority technical officer kariuki mwaniki nyeri senator ephraim maina with his nakuru counterpart susan kihika and ad hoc committee chairperson mutula kilonzo junior during the inspection of patel dam in solai nakuru county on friday by raphael munge waziri wa usalama dr fred matiangi amepewa hadi jumanne wiki ijayo kuwatimua kazini maafisa wakuu wa serikali walioshirikiana na mmiliki wa bwawa la patel kutoa fidia kwa waathiriwa wa mkasa huo ni kufuatia madai kamishana wa kaunti joshua nkatha na maafisa wengine waliwashurutisha wahanga hao kusaini stakabadhi za kuzuia kumshtaki mmiliki huyo agizo hilo limetolewa kwa katibu wa utawala katika wizara ya usalama steven ole ntutu baada yake kufika mble ya kamati ya seneti inayochunguza mkasa huo na kudai serikali haikuwa na ufahamu maafisa hao walishirikiana na perry mansukh kansagara kutoa fidia kamati hiyo inayoongozwa na seneta mutula kilonzo jnr inadai huenda maafisa hao wanalenga kuhujumu kesi ya mauaji dhidi ya manshukh aidha kamati hiyo imetishia kuwasilisha kesi mahakamani kushurutisha waathiriwa wa mkasa huo kupewa fidia inayofaa
2018-11-16T18:45:32
http://www.mediamaxnetwork.co.ke/450293/matiangi-ashurutishwa-kuwatimua-waliohusika-kutoa-fidia-kwa-waathiriwa-wa-mkasa-wa-solai/
kodi ya tovuti fa19470 nambari ya hifadhi 57114 7557 sheria na hukumu 2012/02/13 351 طلاق 2018/11/10 8758 قضای روزه و کفارات 2012/05/23 6859 elimu mpya ya akida 2012/05/26 8389 زمان و مکان همبستری 2012/05/23 379 اعتکاف 2018/11/10 13120 حدود، قصاص و دیات 2012/05/23
2019-08-22T20:29:33
http://www.islamquest.net/sw/archive/question/fa19470
pamoja na kunusurika katika ajali ya helkopta makamu wa rais na viongozi wengine waendelea na ziara yao kama ilivyokuwa imepangwa salma msangisalma msangi 13 april 2014 by salma msangi+ in news news za nyumbani no comments kumetokea ajali ya helkopta leo mida ya asubuhi katika uwanja wa ndege wa ndege dar es salaam ambapo viongozi mbalimbali akiwemo makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania gharib bilal mkuu wa mkoa wa dar es salaam said meck sadick na kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam suleiman kova walianguka na helikopta hii asubuhi ya april 13 2014 kwenye uwanja wa ndege dar hitilafu ilisababisha helikopta kuanguka wakati ikipaa kuwapeleka kwenye maeneo mbalimbali yaliyoathirika na mvua zinazoendelea kunyesha ambapo hata hivyo walinusurika kifo isipokua majeraha madogomadogo tu hata hivyo hiy0 haikuwa sababu ya viongozi haoi kukatisha ziara yao hiyo ya kutembelea maeneo yaliothirika na mafuriko yalioikumbwa jiji la dar es salaama na maeneo mengine baada ya kujiona wapo fiti baada ya ajali hiyo isipokuwa majeraha madogo madogo tu viongozi hao waliingia ndani ya magari yao na kutumia usafiri wa magari kuwafikisha katika maeneo waliyopanga kuyatembelea kama inavyoonekana katika picha
2019-02-19T23:53:21
http://salmamsangi.com/pamoja-na-kunusurika-katika-jali-ya-helkopta-makamu-wa-rais-na-viongozi-wengine-waendelea-na-ziara-yao-kam-ilivyokuwa-imepangwa/
michuzi blog wanawake wataalamu wa kilimo uvuvi na mifugo wazindua kitabu chao katika mkutano wa mwaka wa 21 wa chama chao ' if(imglength>=1) { imgtag = ' wanawake wataalamu wa kilimo uvuvi na mifugo wazindua kitabu chao katika mkutano wa mwaka wa 21 wa chama chao mgeni rasmi bi butano philipo wakiwa na mwenyekiti wakizindua vitabu mbalimbali ikiwemo kitabu cha ufugaji wa samaki chama cha wanawake wataalamu kutoka wizara ya kilimomifugouvuvi na mazingira tanzania association of women leaders in agriculture and environment ( tawlae) wamefungua rasimi mkutano wa mwaka wa 21 na kuhudhuriwa na naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa raisi bi butamo philipo kwa niaba ya waziri wa mazingira mhe january makamba ambao umefanyika jana katika viwanja vya wizara ya mifugo na uvuvi akizungumza katika mkutano huo wenyekiti wa chama cha wanawake kiongozi katika kilimo na mazingira dkt sofia mlote amesema lengo kubwa la mkutano huo ni kuunganisha wakulima na tafiti mbalimbali zilizoandaliwa na wataalamu hao maadhimisho ambayo yamebeba kaulimbiu isemayo uchumi wa viwanda tanzania wanawake tupo tayarihapa ni kazi tu aidha dkt sofia mlote amesema kazi ya tawlae ni kuwaunganisha wakulima wadogo au wakubwa na tafiti mbalimbali ambaozo zimetafitiwa hapa nchini ili kuongeza uwekezaji na ajira kwa watanzania katika kilimo akizungumza dktmlote amesema kilimo kilikuwa na faida ndogo kwa sababu utalaamteknolojia na juhudi zilikuwa bado hazijatumika vizuri katika kilimo kuingia na uchumi wa viwanda ni lazima uzalishaji wa kilimo uwe na tija kuwepo na uboreshaji wa masoko na teknolojia ambapo wataalamu wanawake ndio wanajukumu kubwa katika kuleta mapinduzi ya kilimo alisema dktmlote getrude mongela mlezi wa tawlea ambaye ana phd ya philosophy alisema wanawake uchumi wa viwanda tanzania wanawake tupo tayari hapa kazi tu vile vile amefarijika kuona amelea wanawake toka wakiwa wadogo na sasa wamesoma na wengine wana phd lengo kubwa hasa alisistiza mpaka kufikia 2020 wanawake wawe wamekua kiuchumi na kuendelea kutoa wasomi wa kutosha na kufikia malengo kiongozi wa chama cha wanawake viongozi katika kilimo na mazingira dkt sophia mlote akimkaribisha mgeni rasmi naibu katibu mkuu kutoka ofisi ya makamu wa raisi bi butano philipo katika uzinduzi wa mkutano huo leo
2017-11-23T05:47:25
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/11/wanawake-wataalamu-wa-kilimo-uvuvi-na.html
mtoto wa kitaa basata latoa darasa kwa viongozi wa wasanii mmoja wa viongozi wa baraza la sanaa tanzania (basat) aiktoa muongozo kwa baadhi ya viongozi wa wasanii baraza la sanaa la taifa (basata) limewataka viongozi wa mashirikisho ya wasanii kuhakikisha wanakuwa imara na thabiti ili kuleta ufanisi kwenye mashirikisho ya wasanii nchini yaliyoundwa na kupata viongozi wake hivi karibuni hayo yamesisitizwa na wakufunzi kutoka basata wakati wakitoa semina kwa viongozi wa mashirikisho ya wasanii nchini iliyofanyika wiki hii kwenye ukumbi wa baraza hilo na kuhudhuriwa na viongozi wote wa mashirikisho ya wasanii na wajumbe wao mashirikisho yaliyohusika kwenye semina hiyo ni pamoja na lile la sanaa ya muziki maonyeshoufundi na filamu ambapo mada mbili zilizotolewa kwa viongozi hao ambazo ni wajibu na maadili ya uongozi wa mashirikisho ya sanaa iliyowasilishwa na mkurugenzi wa idara ya mfuko na uwezeshaji wa basatabwruyembe mulimba na na ile ya mchakato wa kuandaa mpango mkakati wa shirikisho iliyowasilishwa na mwalimu rashid masimbi kutoka kituo cha sanaa za maonyesho tanzania akizungumza kwenye semina hiyoruyembe alisema kwamba viongozi wa mashirikisho ya wasanii hawana budi kuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya wasaniikuwa na mwenendo mwema kuzingatia maadili ya uongozi kuzingatia dhana ya kutangulia na kuelekeza huku mtangulizi akiwa anafahamu anakowapeleka watu anaowaongoza kiongozi mzuri lazima aelewe majukumu na mwenendo mwema katika kazi ya kusimamia watu ambao wanahusika na utendaji wa shughuli husika kwa ushirikiano na kwa pamoja kulingana na katiba iliyopo alisisitiza ruyembe aliongeza kwamba historia inaonesha vyama vingi na shirika za wasanii zimekuwa kwenye migogoro isiyoisha kutokana na viongozi kutokuwa na utashi wa kuongoza kutanguliza maslahi binafsi na kushindwa kabisa kuwa na maono ya kutekeleza mikakati inayokuwa imewekwa alizidi kufafanua kwamba wasanii wanakumbwa na changamoto nyingi sana zikiwemo za wao kuibiwa kazi zao kunyonywa kupitia mikataba kulipwa malipo kidogo na ukosefu wa masoko hivyo viongozi wa mashirikisho hawana budi kuwa mstari wa mbele kuhakikisha changamoto hizo zinawekewa mikakati ya kupunguzwa kama si kumalizwa kabisa naye mwalimu rashid masimbi alisema kwamba moja ya kazi ya viongozi hao wa mashirikisho ya wasanii ni kuhakikisha wanakuja na mpango mkakati wa muda mfupi na mrefu ambao utalenga kujenga dira ya utendaji na mafanikio ya mashirikisho aliongeza kwamba viongozi hawana budi kuwa na mpango mkakati ambao utaeleza nini kitafanyikanani atakifanya kwa namna gani na kwa muda gani mpango mkakati ndiyo dira dhamira malengo shughuli na matokeo ya utendaji wa shirikisho lolote hivyo lazima nyinyi viongozi mtuoneshe ni kwa jinsi gani tutayafikia haya alisisitiza baadhi ya viongozi waliohudhuria semina hiyo waliishukuru basata kwa mpango huo na kusisitiza kwamba semina kama hizo ziandaliwe mara kwa mara ili kujenga ufanisi wa mashirikisho ya wasanii na sekta ya sanaa kwa ujumla posted by salum suleiman lyeme at 1026 am
2018-02-24T10:25:12
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2010/09/basata-latoa-darasa-kwa-viongozi-wa.html
wanaoishi kwenye dampo utawatambua kwa usanii | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by mag3 mar 24 2009 baada ya kupata simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari wakisema kuwa wananisubiri nililazimika kwenda maelezo kujua undani wa taarifa hizo” alisema mbunge huyo machachari “nilienda kuangalia katika kitabu cha usajili na nikakuta kweli kuna jina langu kuwa nitazungumza na waandishi leo (jana) lakini nilipowauliza walikiri kuwa walikosea” “inanifurahisha kuona wananchi wana hamu ya kusikia maneno yangu nami niko tayari kufanya hivyo angalau nitoe hata salamu” alisema mbunge huyo lakini kilango hakusema atazungumzia nini kwenye mkutano atakaoitisha wala siku atakayozungumza out out damned spot out i say even all the perfumes of arabia will not cleanse this little hand lady macbeth​ believe this and you'll believe anything james hadley chase​ 15165558
2016-02-11T04:19:59
http://www.jamiiforums.com/threads/wanaoishi-kwenye-dampo-utawatambua-kwa-usanii.26153/
utoro wa wabunge bungeni hauna tija | jamiiforums | the home of great thinkers utoro wa wabunge bungeni hauna tija discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzizimkavu jul 11 2012 hatua iliyochukuliwa na spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania anne makinda mwishoni mwa wiki hii ya kuwadhibiti baadhi ya wabunge ambao wameonyesha utoro wa kutokuhudhuria vikao vya bunge la bajeti linaloendelea sasa bila sababu za msingi inabidi ziungwe mkono na jamii yote ya watanzania wabunge wanawajibika kwa vikao vyote vinavyoendelea katika mkutano huo mkubwa ambao sasa unajadili bajeti kuu ya serikali kwa kipindi cha mwaka mpya wa fedha wa 2012/13 baada ya spika kuona utoro kwa wabunge unakithiri amewataka kuanzia sasa wawe wanaomba kibali kabla ya kuwa nje ya bunge huku mawaziri nao wakitakiwa kupata vibali viwili cha spika pamoja na kutoka kwa waziri mkuu spika makinda hata hivyo akasema ipo haja ya kufanya upya mapitio kwa wabunge kuhusu kanuni na miongozo kwani baadhi ya wabunge wamekuwa wakipoteza muda kwa kuomba miongozo au wakati mwingine kutoa taarifa kwa spika wakati hata yale yanayoombewa miongozo huwa hayana umuhimu akitoa ufafanuzi zaidi wa kudhibiti utoro kwa wabunge spika makinda alisisitiza kuwa ni lazima wabunge wote wanapokuwa nje ya bunge waombe kibali kwake na kuwataka pia mawaziri wafanye hivyo badala ya kuomba kibali kwa waziri mkuu peke yake spika aliwapiga stop wabunge 50 ambao walikuwa wamedhamiria kuondoka juzi ijumaa kwenda kwenye mpira jijini dar es salaam na akawataka badala yake waondoke jana jumamosi alifanya hivyo ili mijadala muhimu ya wizara ya ujenzi ambayo ilikuwa ikiendelea ipate idadi ya wabunge inayotakiwa kabla ya kuipitisha tunakubaliana kabisa na spika makinda kuwakumbusha wabunge wetu kuwa wakati wa kufanya maamuzi ya kupitisha bajeti miongozo ya bunge inataka wakati huo angalau nusu ya wabunge wawepo ndani ya bunge vinginevyo utoro wao hauna tija kwa watanzania wanaowawakilisha ni hatua nzuri hasa ikizingatiwa kuwa mchezo huo umekuwepo kwa miaka mingi sasa na hivyo kuzoeleka kuwa ni jambo la kawaida kumbe kunapoteza nguvu za sauti na michango yao bungeni ambako maamuzi mazito ya mustakabali wanchi yetu hufanyika kwa mfano hakuna mantiki kabisa pale baadhi ya wabunge wanapotoka bungeni na kusafiri bila ruhusa na kutoka nje ya dodoma bila kuwa na hofu kuwa wanaweza kupata tatizo huku taarifa za safari hizo wamezifanya kuwa ni siri wajiuliza je wakipata ajali itakuwaje hatuombei lakini inaweza kutokea mchango wa wabunge wote pale bungeni ni muhimu sana wapo walioanza vizuri kama alivyosema spika makinda katika bunge hilo mwaka 2010 na kwamba yeye aliwaona kuwa msaada kwa taifa na bunge lenyewe lakini hivi sasa wabunge hao anawaona kubadilika na kupoteza mwelekeo bunge limebeba majukumu mazito yenye maslahi kwa wananchi na taifa kwa ujumla bungeni si mahala pa kufanyia mzaha ni mahali panapozalisha sheria na taratibu zinazoongoza nchi na wanaowajibika na hayo yote ni wabunge wenyewe kinachotegemewa ndani ya bunge ni mijadala ya nguvu inayobeba hoja madhubuti kwa faida ya wapiga kura wote kitendo cha wabunge kuondoka ndani ya bunge kwa sababu zozote zile lazima kiwe na ridhaa maalum ili kujenga nidhamu na heshima kwa pande zote za ndani ya bunge lenyewe na kwa wananchi waliowapeleka wabunge huko bungeni kinachoangaliwa hapa ni masuala makubwa mawili spika aliwaambia wabunge kuwa yanayotokea bungeni baadhi yao kila wakati kuomba mwongozo na kanuni au kutoa taarifa kwa spika ni hali inayosababisha kupoteza muda wa kujadili mambo ya msingi yenye maslahi kwa wananchi na la pili ni kujenga nidhamu ya uwajibikaji ndani ya bunge kwani wabunge wengi wamekuwa wakikatisha mijadala ya wachangiaji wa bajeti mbalimbali na kupisha spika kutoa mwongozo au utaratibu jambo ambalo spika amelilalamikia kuwa ni kero turudie kusema kuwa tunaunga mkono hatua ya spika makinda ya kuwadhibiti wabunge na tunawasihi wafuate taratibu zilizopo na waheshimu mamlaka ya uongozi iliyopo ndani ya bunge wanapoanzisha mijadala nje ya utaratibu uliowekwa kisheria wanapoteza muda wa kuyaweka sawa masuala ya msingi yenye manufaa kwa wananchi tunayo imani kubwa kuwa mijadala ndani ya bunge itaendeshwa kwa kufuata kanuni na taratibu zote kwani tunaamini pia kuwa wabunge ni viongozi makini wanaotetea maendeleo ya wananchi muda unaotolewa kwa ajili ya majadiliano utumiwe kwa nidhamu ya hali ya juu ili hata baada ya kuahirisha kikao hicho yote yatakayopitishwa yaweze kutekelezeka kwa ufanisi mkubwa utakaoleta maendeleo kwa taifautoro kwa wabunge wetu uonekane kuwa ni jambo la aibu na lisilo na tija kwa watanzania kama cdm asaivi wanataka wazunguke mikoani na maandamano yao yasiyo na tija badala ya kutulia bungeni halafu baadaye waanze majungu yao nimeangalia mwananchi la jana kuna picha waliipiga bungenilikua ni viti tupueven wakat wa mjadala wa asbuhi hakukua na wahudhuriaji kabisanadhan wabadili kanuni wabunge wawe wanaitwa majina as wapo class spikamhjoseph mbilinyi mbilinyinipo mheshimiwa spika kama hayupoinapaswa kiongozi wao aseme hayupo even to mawazirilukuvi ndo anapaswa kusimamia zoez la kuwajibia mawaziri wasokuwepo kwa niaba ya pm then mhagama j nae awe kwa niaba ya wana nyinyiem nashauli kuwepo na daftari la majina wawe wanaitwa live mmoja mmoja kama chekechea wanavyoitwa majinaaliyeomba ruhusa atajulikana makinda ndo kasababisha watu hawaoni haja tena hata ya kuchangia wala kuhudhuria manake she is not streight amelalia upande mmoja akachukue tu mkopo wake wa kujenga nyumba atuachie bunge letuwacko tatizo bunge lenyewe linaendeshwa na mtu feki ndo mana wengi wao wanaona kama wanapoteza time tu mule ndani ndo maana wanaenda kuspend na wake za watu mpaka wanakamatwa then mhagama j nae awe kwa niaba ya wana nyinyiemclick to expand wawekewe vibao jina na jimbo/mkoa/mteule tv wapewe wapewe jukumu la kuperuzi pia notice board iwekwe majina ya wenye majukumu na ruhusathen wadanganyika wata judge wabunge wengi hasa ccm nadhani wanahimizwa tu kuwepo wakati wa kusema ndiooooo then waishie na viongozi wakuu wa nserikali wanapozungumza ili wapige makofi if they dont represent the tanzanians in the parliament what do they do hilo bunge ni ovyo kabisa kuna kamati za bunge zipo ziarani nje ya nchi hivi sasa wakati kikao cha bunge la bajeti kinaendelea hawakujua ratiba ya bunge kiasi cha kupanga safari wakati huu hata wakiwapo/wakihudhuria hakuna kinachobadilika/kilichobadilika sana ni upotevu wa chapaa zetu tubunge la upendedeo bunge la kutukana halina maana kabisa
2016-10-22T09:15:03
http://www.jamiiforums.com/threads/utoro-wa-wabunge-bungeni-hauna-tija.290559/
senegal cameroon kuvaana robo fainali kombe la mataifa ya afrika | saluti5 home » soka » senegal cameroon kuvaana robo fainali kombe la mataifa ya afrika senegal cameroon kuvaana robo fainali kombe la mataifa ya afrika senegal itavaana na cameroon katika mechi ya robo fainali ya kombe la mataifa ya afrika itakayopigwa jumamosi timu nyingine zilizofuzu kwenye robo fainali ni tunisia na burkina faso ambazo pia zitavaana jumamosi senegal ilifikia hatua hiyo baada ya kuongoza kundi b kutokana na kuwa na pointi saba baada ya kufungana mabao 22 na algeria juzi mechi hiyo inatazamiwa kuwa na mvuto kutokana na kuikutanisha miamba hiyo ya soka barani afrika iliyokabiliana kwenye fainali ya mwaka 2002 ya michuano hiyo tunisia iliyokamata nafasi ya pili katika kundi b licha ya kuicharaza zimbabwe mabao 42 inakabiliana na burkina faso walioongoza kundi a wakifuatiwa na cameroon algeria ni miongoni mwa timu zilizokuwa zinapewa nafasi kubwa kutwaa taji hiyo iliaga mashindano hayo kutokana na kuambulia pointi mbili tu kiasi cha kocha wake george leekens kuamua kuachia ngazi
2017-10-18T05:51:53
http://www.saluti5.com/2017/01/senegal-cameroon-kuvaana-robo-fainali.html
chelsea wazidi kupeta | 22nd january 2018 last update at 809 pm chelsea wazidi kupeta ligi kuu ya england (epl) iliyoingia mechi za 30 kwa timu nyingi imewaacha chelsea katika nafasi nzuri wakiwa kileleni kwa pointi zao 67 dhidi ya 61 za wanaowafuata huku wakiwa na mechi moja mkononi mwishoni mwa wiki vijana hao wa jose mourinho walipata ushindi mwembamba dhidi ya hull hivyo kufanya ngoma kuwa ngumu kwa wanaowania nafasi nyingine tatu ili kucheza ligi ya mabingwa ulaya (ucl) pengine inaweza kuwa hali ngumu zaidi kwa liverpool waliokubali kupigwa na manchester united huku nahodha wao steven gerrard akitolewa nje kwa kadi nyekundu mbaya zaidi ni kwamba liverpool watakutana na arsenal kwenye mechi ijayo huku beki wake martin skrtel naye akishitakiwa kwa kosa la kumkanyaga makusudi kipa wa united david de gea na kuwa na uwezekano wa kuadhibiwa hayo yakijiri wapambanaji wengine arsenal southampton na tottenham hotspur walifanya vyema hivyo kufanya ushindani mkali man city wanashika nafasi ya pili kwa pointi 61 wakifuatiwa na arsenal wenye 60 na man united wenye 59 liverpool wana 54 na southampton 53 kuna timu saba zinazoonekana kukimbizana hapa na hatima ya yote itajulikana mwisho wa siku ya msimu huu mei 24 kama kocha wa manchester united louis van gaal alivyowasifu vijana wake kwa ushindi muhimu dhidi ya liverpool arsenal wana mtihani kama huo wikiendi hii timu zilizo hatarini kushuka daraja zimebaki kuwa leicester wenye pointi 19 na uwiano wa mabao 21 qpr wenye pointi 22 na uwiano wa mabao 23 sawa na burnley wenye uwiano hio lakini pointi 25 sunderland wanachungulia eneo hilo wakiwa na pointi 26 na tayari wamemfukuza kocha wao gus poyet aston villa waliomfukuza kocha paul lambert nao wana pointi 28 sawa na hull posted under all articles arsenal aston villa burnley chelsea featured football ligi kuu ya england liverpool man city sport sports sports news tags arsenal arsenalmanchester city man utd aston villa chelsea fc epl liverpool spurs man city southampton
2018-01-22T17:51:14
https://www.tanzaniasports.com/2015/03/24/chelsea-wazidi-kupeta/
matokeo ya mitihani ya kitaifa ya kuwapima wanafunzi wa kidato cha pili 2016 kuingia kidato cha tatu 2017 ndio haya | mtanda blog zitto kabwe aitupia lawama serikali ya rais magufuli baada ya kuachiwa kwa dhamana morogoro home / kitaifa / slider / matokeo ya mitihani ya kitaifa ya kuwapima wanafunzi wa kidato cha pili 2016 kuingia kidato cha tatu 2017 ndio haya matokeo ya mitihani ya kitaifa ya kuwapima wanafunzi wa kidato cha pili 2016 kuingia kidato cha tatu 2017 ndio haya juma mtanda 456 pm kitaifa slider edit picha ya maktaba ya mtanda blog wanafunzi wakifanya mtihani wa taifa bofya chini ili kuona matokeo ya kidato cha pili 2016 wataoingia kidato cha tatu mwaka huu 2017 matokeo ya upimaji wa kitaifa wa kidato cha pili (ftna) 2016 madini yote nchini ni sharti ya wanufaishe watanzania biteko *na mathias canal rukwaserikali imesema kuwa sheria mpya ya madini ya mwaka 2010 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2017 inaelekeza wazi kuwa madini yote nch magazeti ya leo ijumaa ya february 232018 wilaya ya gairo yaendelea kushirikiana na wazazi kutoa chakula cha mchana mashuleni * mhe mchembe akishiriki ugawaji chakula kwa wanafunzi shule ya msingi kibedya mara baada ya kutembelea baadhi ya shule kata ya kibedya na chakwale* *wa rais dkt magufuli akutana na kufanya mazungumzo na rais wa kenya uhuru kenyatta kampala nchini uganda rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akisalimiana na rais wa kenya uhuru kenyatta kabla ya kuanza mazungumzo yao jijini kampa mkuu wa mkoa kilimanjaro mh anna mghwira afanya ziara ya kikazi kukagua utendaji wa tanesco *mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mh anna mghwira akitoa maelekezo kwa meneja wa tanesco kilimanjaro mhandisi mahawa mkaka pembeni ni mhandisi mkuu wa mkoa ba chadema kupoteza halmashauri ya iringa mbele ya ccm kaimu katibu mkuu wa chadema john mnyika akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana kuhusu watu waliokamatwa katika vu
2018-02-24T06:12:52
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/01/matokeo-ya-upimaji-wa-kitaifa-wa-kidato.html
vyuo vikuu nje ya nchi katika maonesho ya tcu dar es salaam kutana na timu nzima ya global education link kwa udahili wa papo papo habari za jamii home / unlabelled / vyuo vikuu nje ya nchi katika maonesho ya tcu dar es salaam kutana na timu nzima ya global education link kwa udahili wa papo papo vyuo vikuu nje ya nchi katika maonesho ya tcu dar es salaam kutana na timu nzima ya global education link kwa udahili wa papo papo dotto mwaibale 849 am mkurungezi mtendaji mkuu wa (gel) abdulmalick mollel akimuelezea huduma za taasisi hiyo drcharles msonde ambaye ni katibu mtendaji wa baraza la taifa mitihani( necta) wakati alipotembelea katika banda hilo kwenye maonyesho ya vyuo vikuu yaliyoandaliwa na (tcu) mnazi mmoja jijini dar es salaam mfanyakazi wa taasisi ya global education link bw liberius john akiwa anatoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda hilo ili kujionea huduma zinazotolewa na (gel) baadhi ya wanafunzi na wananchi waliotembelea maonyesho hayo wakipata maelezo wakati walipotembelea banda la global education link wafanyakazi mbalimbali wa taasisi ya global education link wakiwa kwenye banda hilo kwa ajili ya kutoa huduma kwa wananchi wanaotembelea maonyesho ya vyuo vikuu yanayofanyika kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam maonyesho hayo yameandaliwa na tume ya vyuo vikuu (tcu) global education link (gel) ambao ni mawakala wa vyuo vikuu vya nje imesema kuwa kwa wanafunzi wanaotaka kufanyiwaudahili ili kujiunga na vyuo vikuu vya nje wanaweza kufika katika banda la na kupata maelezo hukusu vyuo hivyo katika maonesho ya tcu jijini dar es salaam wanafunziwazazi na walezi mnakaribishwa ili kupewa miongozo ya udahili wa vyuo vikuu nje ya nchikatika ngazi ya diploma mpaka shahada ya udhamili akizungumza mkurungezi wa global education link(gel)abdulmalik mollel amesema katika dhima ya serikali ya awamu ya tano ya viwanda inahitajika rasilimali watu wa kutosha ili kukidhi mahitaji hayo mollel amesema wanafunzi wanaohitaji kwenda kusoma nje ya nchi wajitokeze katika viwanja vya mnazi mmoja na kukutana na timu nzima ya global education link kwa ushauri na utaratibu wa udahili wa papo kwa papo
2017-10-24T04:09:39
http://www.habarizajamii.com/2017/07/vyuo-vikuu-nje-ya-nchi-katika-maonesho.html
rais magufuli alivyowakutanisha wakuu wote wa mikoa ikulu leo (+video) millardayocom leo december 13 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na wakuu wa mikoa na makatibu tawala wote wa tanzania bara ikulu jijini dsm kikao hicho kimehudhuriwa na makamu wa rais samia suluhu hassan waziri mkuu kassim majaliwa majaliwa waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora george huruma mkuchika na waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) selemani jafo wengine ni katibu mkuu kiongozi balozi john kijazi mwanasheria mkuu wa serikali dkt adelardius kilangi katibu mkuu wa tamisemi mhandisi musa iyombe katibu mkuu wa wizara ya fedha na mipango doto james na kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) charles kichere huyu ndie ibrahim pasha wa tamthilia sultan leo ni birthady yake ← previous story historia ya rubani wa kwanza mwanamke afrika kuwahi kuendesha dreamliner next story → maamuzi ya mwita waitara baada ya wakurugenzi kukataa kutoa fedha kwa walimu
2019-03-26T06:01:49
http://millardayo.com/mhhu7777g/
harakati za kiibada kwa wanawake ndani ya haram ya abulfadhil abbasi (as) idara ya wahadhiri wa husseiniyya wa kike bado inaendeleza ratiba ya kiibada kila siku ya ijumaa asubuhi ambayo ni sehemu ya kunufaika na siku hiyo tukufu kwa kufanya baadhi ya ibada ikiwa ni pamoja na kusoma dua nudba iliyo pokewa kutoka kwa imamu wa zama (af) bibi taghrida tamimi makamo kiongozi wa idara ya makhatibu wa husseiniyya katika atabatu abbasiyya ameuambia mtandao wa alkafeel kua program hii ni sehemu ya kuonyesha kiapo cha utii kwa imamu wa zama (as) imekua desturi kufanya hivi kila wiki na tunapata mwitikio mkubwa kutoka kwa mazuwari kila ijumaa akabainisha kua ratiba hii huanza kwa muhadhara kisha husomwa dua nudba na hufatiwa na moja ya dua zilizo pokewa kutoka kwa maimamu wa ahlulbait (as) halafu husomwa dua ya kuliombea taifa la iraq na raia wake katika siku za matukio ya kumbukumbu za kuzaliwa au kufariki kwa maimamu (as) huongelewa tukio hilo na huingizwa kwenye ratiba ya siku hiyo kumbuka kua ratiba hii hufanywa kila siku ya ijumaa asubuhi katika sardabu ya imamu hussein (as) baada ya kuwajulisha mazuwaru na kuwataka waje kushiriki
2020-03-31T20:38:56
https://alkafeel.net/news/index?id=9898&lang=sw
wachimbaji madini kanda ya ziwa kunufaika na uchorongaji miamba wa kisasa unaofanywa na stamico home » news and events » wachimbaji madini kanda ya ziwa kunufaika na uchorongaji miamba wa kisasa unaofanywa na stamico na bibiana ndumbarostamico geita wachimbaji wa madini nchini wakiwemo wale wa kanda ya ziwa wameshauriwa kutumia njia za kitaalam za tathmini na ukadiriaji wa mashapo katika maeneo ya leseni zao za uchimbaji madini ili kuongeza tija katika uchimbaji kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla mtambo wa kisasa wa uchorongaji ujulikanao kama multipurpose air rotary drill rig ukiwa katika eneo la mgodi wa dhahabu wa buckreef tayari kwa kuanza kazi za uchorongaji miamba katika mgodi huo kaimu mkurugenzi wa utafiti na uchorongaji wa shirika la madini la taifa (stamico) ngudu alex rutagwelela ameyasema hayo hivi karibuni katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika katika mgodi wa dhahabu wa buckreef uliopo tarafa ya katoro wilaya ya geita mkoani geita stamico inafanya kazi hii ya uchorongaji katika mgodi wa buckreef baada ya kushinda zabuni ya kazi hiyo ambapo mteja alidhihirika kuwa shirika lina watalaam waliobobea katika utafiti na uchorongaji na pia linakwenda sambamba na matumizi ya teknolojia za kisasa katika utafiti uchorongaji (multipurpose air rotary drill rig) na uchimbaji madini kwa kaimu mkurugenzi wa utafiti na uchorongaji ndugu alex rutagwelela (aliyesimama kushoto) akiangalia jinsi sampuli zinavyochukuliwa kupitia kifaa maalumu mara baada ya kutoka kwenye mtambo huo wa uchorongaji ndugu rutagwelela amesema mara baada ya stamico kumaliza zabuni hiyo mtambo utaendelea kufanya kazi katika eneo hilo la kanda ya ziwa kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wachimbaji madini wanaohitaji kupatiwa huduma za uchorongaji miamba katika maeneo yao ya uchimbaji madini kama ilivyoelezwa katika mkutano mkuu wa wadau wa sekta ya madini uliofanyika hivi karibuni jijini dar es salaam wachimbaji madini wengi wanahitaji kupatiwa huduma hii ya uchorongaji wa kisasa kwa gharama nafuu ili waweze kubaini kiwango cha mashapo na hivyo kuweka mikakati madhubuti ya uchimbaji madini katika maeneo yao alifafanua mkurugenzi rutagwelela aidha amewataka wachimbaji madini kanda ya ziwa kujiunga kwenye vikundi ili kuweza kumudu gharama za kazi za uchorongaji zitakazofanywa na stamico hatimaye waweze kubaini kiwango cha mashapo na kuondokana na kuondokana na uchimbaji wa kubahatisha wachimbaji wengi wadogo wamekuwa wanatumia njia za kiasili (chabo) katika kukadiria na kutathmini mashapo yao njia inayowapa taarifa zisizo sahihi na kuwafanya washindwe kukopesheka kutokana na kukosa taarifa sahihi za kijiolojia na hivyo kuathiri muendelezo wa shughuli zao za uchimbaji madini alieleza ndugu rutagwelela mtaalam wa uchorongaji wa stamico ndugu fransis mayayi akiendesha mtambo wa kisasa wa uchorongaji wa stamico ambao kwa sasa upo katika mgodi wa dhahabu wa buckreef kwa ajili ya uchorongaji kwa upande wake mjiolojia wa stamico revocatus mafungo amesema mtambo huo wa kisasa wa uchorongaji utaliwezesha shirika kuwafikia wachimbaji wengi zaidi kwa gharama nafuu kwa kuwa una nguvu ya ziada ya kufua upepo wakati wa uchorongaji na hivyo kutoa sampuli zenye ubora kwa haraka na kwa usalama zaidi kwa waendesha mtambo waendesha mtambo wakitoa bomba lililobeba sampuli kutoka chini ya ardhi mwishoni mwa mwaka 2018 stamico ilipokea mtambo huo wa kisasa wa uchorongaji kutoka kwa wizara ya madini ili kuiwezesha stamico kuwafikia wachimbaji wa madini na kuweza kufanya makadirio na tathmini ya mashapo yao kwa gharama nafuu hatua ambayo itawawezesha kupata uhakika wa kiasi cha madini kinachokadiriwa kuwepo ardhini kabla ya kuanza rasmi shughuli za uchimbaji
2019-07-17T19:31:34
http://www.stamico.co.tz/wachimbaji-madini-kanda-ya-ziwa-kunufaika-na-uchorongaji-miamba-wa-kisasa-unaofanywa-na-stamico/
kila la kheri kilimanjaro stars na zanzibar heroes mashindano ya kuwania ubingwa wa kombe la chalenji kwa nchi za afrika mashariki na kati yanatarajiwa kufanyika kuanzia kesho desemba 3 hadi 17 mwaka huu huko nchini kenya katika mashindano hayo tanzania itawakilishwa na timu mbili ambazo ni kilimanjaro stars inayotoka upande wa tanzania bara na zanzibar itawakilishwa na timu yake ambayo maarufu inajulikana kwa jina la zanzibar heroes mbali na timu hizo za tanzania ambayo zanzibar hutambulika kama nchi mwanachama timu nyingine zinazotarajiwa kuchuana kwenye michuano hiyo ni pamoja na rwanda libya (wageni) na wenyeji harambee stars ya kenya ambazo zimepangwa katika kundi a nyingine ni mabingwa watetezi uganda (the cranes) burundi ethiopia na sudan kusini ambazo zimepangwa katika kundi b huku ratiba ya michuano hiyo ikionyesha kuwa kila kundi litatoa timu mbili zitakazosonga mbele kucheza hatua ya nusu fainali huku kilimanjaro stars inayonolewa na kocha mkuu ammy ninje itaanza kampeni za kuwania ubingwa huo mwaka huu kwa kucheza na timu ya libya hapo kesho wakati zanzibar yenyewe itashuka dimbani kwa mara ya kwanza jumanne desemba 5 kuchuana na rwanda (amavubi) katika kuhakikisha kuwa kilimanjaro stars inapata muda wa kujiandaa na mashindano hayo shirikisho la soka tanzania (tff) lililazimika kusimamisha mechi za ligi kuu bara sambamba na chama cha soka zanzibar (zfa) ligi zao ili kuzipa timu nafasi ya kujiimarisha kabla ya kuelekea kwenye michuano gazeti hili tunaamini wachezaji na benchi la ufundi la kilimanjaro stars na zanzibar heroes watapeperusha vyema bendera ya nchi katika michuano hiyo na hatimaye kurejea nchini na kombe kama ambavyo tunatarajia kuona ushindani pale timu hizi mbili zitakapokutana katika mchezo utakaofanyika desemba 7 mwaka huu hali hiyo ya kucheza kwa bidii na jihadi inatakiwa ionekane katika mechi zote ambazo watashuka uwanjani wachezaji wa kilimanjaro stars ambao walipewa baraka za kufanya vizuri na waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dk harrison mwakyembe mnatakiwa kila dakika mkumbuke kauli yake kwamba mnakwenda kwenye michuano hiyo kwa niaba ya watanzania na hivyo mnatakiwa kupambana waziri huyo aliwaambia kuwa nchi inataka kikombe na wakifanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali atawafuata ili kuongeza nguvu ni muda mrefu umepita kwa tanzania kushinda kombe la mashindano hayo mara ya mwisho ikiwa ni mwaka 2010 wakati ikiwa chini ya kocha mkuu wa taifa stars/ kilimanjaro stars jan poulsen mbali na kuiletea nchi sifa michuano hiyo ni nafasi nyingine kwa wachezaji wa tanzania kutangaza vipaji vyao na hatimaye kuzivutia klabu mbalimbali za nje ya tanzania kuwasajili maandalizi mazuri zikiwamo posho ni moja ya masuala ambayo tunaamini wachezaji watatakiwa kupambana ili kulipa deni la kurejea na ubingwa na kuwapa furaha watanzania kufanya vizuri kwa timu za tanzania kwenye mashindano hayoa kutasaidia kuwapunguzia machungu mashabiki wa soka nchini ambao wanaiona michuano hiyo kama afcon ndogo ambayo timu yetu ya taifa (taifa stars) haijashiriki kwa zaidi ya miaka 37 sasa
2018-04-25T14:28:56
https://www.ippmedia.com/sw/maoni-ya-mhariri/kila-la-kheri-kilimanjaro-stars-na-zanzibar-heroes
uchawi ni janga la ulimwenghu | jamiiforums | the home of great thinkers uchawi ni janga la ulimwenghu discussion in 'tech gadgets & science forum' started by ntamaholo mar 23 2012 uchawi na ushirikina ni suala ambalo lipo kila kona ya dunia hii nimetembelea tarime wakati naenda kule nilipita daraja la mto mara ambalo kabla ya kujengwa kwake ilikuwepo panton=kivuko kilichokuwa kinatumika kuvusha watu toka ng'ambo hadi nyingine serikali iliamua kutengeneza daraja la mto huo ambapo wakazi wa eneo hilo wanabainisha kuwa wachina walichukua kandarasi lakini kila wakijenga kesho hawakuti hata nguzo moja waliyoisimamisha hawakuiti hata alama za ujenzi wowote kufanyika walijaribu mara kadhaa kabla ya kurudisha tenda kwa serikali wakikiri kushindwa kujenga daraja hilo baada ya wachina kushindwa kandarasi ilichukuliwa na wakorea ambao nao kama wachina walishindwa kujenga daraja hilo kwani yaliyowakuta hayakuwa na tofauti ya yale wachina waliyokumbana nao hivyo nao walirudisha kandarasi ndipo wakaja warumi hawa kama walivyokuwa wenzao shughuli zote za ujenzi zilifanyika usiku lakini tofauti na wenzao walinunua mbuzi wengi na kondoo na walikuwa hawaliwi bali wanachinjwa na damu yake inatolewa sadaka hadi ujenzi wa daraja ukakamilika darja walilolijenga warumi ni bora sana na linaswing endapo kitu kizito kimepita juu baada ya warumi kufanikiwa kujenga daraja hilo eneo hilo hadi leo panaitwa kirumi baadhi ya picha kuelekea daraja la kirumi ni kama ifuatavyo watu wengi walipoteza maisha hadi daraja hilo kusimama unavyoliona maswali ya kujiuliza ni kwamba 1 kwa nini wazungu hupenda kufaya kazi za ujenzi wa madaraja wakati wa usiku na siyo mchana 2 kuna sababu za kisayansi za wao kufanya hivyo 2 kuna sababu za kisayansi za wao kufanya hivyoclick to expand kwa sababu usiku watu na magari mengi yanayopita hivyo kupunguza usumbufu i once saw in discovery channel na walielezea kuwa madaraja yanajengwa usiku kutokana na mifumo ya upepoupepo unaovuma usiku nadhan hauna nguvu kubwa kama wa mchana na hii inasaidia katika kulifanya daraja liwe straightni long time sana siwez kuelezea yote waliyosema bt upepo ndio main reason the mainpoint ni kwamba mchana jua ni kali so due to heat expansion inaoccur on iron thats why usiku ndo ryt chois nighttime construction is mainly to avoid traffic congestion and delays that will result from road closures heat expansion in metal members is not necessarily the reason since metal will expand regardless be it during construction or operation unless if you are dealing with concrete/asphalt where environmental factors (heatmoisture etc) during placement tend to have an effect on the dry properties(strengthpermeability etc) of the material after placement a good engineer would take all this into account in their designs (at least that's what my professor sayswink2 mchawi mzuri on the other hand will straight up not give a damn and would just roga the p00p out of it kwa sababu usiku watu na magari mengi yanayopita hivyo kupunguza usumbufuclick to expand mkuu lukulo kabla ya kupost habari hii niliongea na engineer mmoja kumwuliza kuna sababu zozote za kisayansi kwa wajenzi wa madaraja kujenga usiku alinambia hakuna na akaongeza kuwa kikawaida mkataba unaposainiwa zinahesabika saa za kazi kwa maana ya 8hrs only na ikitokea wanaamua kujenga usiku basi wanaomba kwa serikali wanakubaliwa lakini pia sehemu linapojengwa daraja siyo rahisi kutumika kusafirishia watu/vitu na kwa daraja hilo kabla ya kujengwa hapakuwahi kuwa na daraja ilikuwepo feery ndiyo iliyokuwa inavusha watu the mainpoint ni kwamba mchana jua ni kali so due to heat expansion inaoccur on iron thats why usiku ndo ryt choisclick to expand so you mean kwa mfano ujenzi wa reli ya kati ulifanyika wakati wa usiku kukwepa chuma kuexpand mbona miradi mingine tofauti na madaraja inajengwa kweupe na inatumia iron ileile na kama ni daraja la kawaida ambalo halina threat za wanyama wakali maji yaendayo kasi (kufurika kwa mto) mbona yanajengwa mchana kweupe i once saw in discovery channel na walielezea kuwa madaraja yanajengwa usiku kutokana na mifumo ya upepoupepo unaovuma usiku nadhan hauna nguvu kubwa kama wa mchana na hii inasaidia katika kulifanya daraja liwe straightni long time sana siwez kuelezea yote waliyosema bt upepo ndio main reasonclick to expand upepo ngoja nikumbuke pressure principles kwanza kwa ujenzi wa draja hilo hapakuwa na daraja la kuvusha magari watu walitumia kivuko ambacho hata hivyo nilidokezwa hakivushi magari makubwa watu walitumia magari mawili kwa safari moja na kivuko kilikuwa pembeni kabisa mbali na sehem draja lilikojengwa hata ungetumia kiswahili tungejua kuwa wewe ni msomi nighttime construction is mainly to avoid traffic congestion and delays that will result from road closures heat expansion in metal members is not necessarily the reason since metal will expand regardless be it during construction or operation unless if you are dealing with concrete/asphalt where environmental factors (heatmoisture etc) during placement tend to have an effect on the dry properties(strengthpermeability etc) of the material after placement a good engineer would take all this into account in their designs (at least that's what my professor sayswink2 mchawi mzuri on the other hand will straight up not give a damn and would just roga the p00p out of itclick to expand hata ungetumia kiswahili tungejua kuwa wewe ni msomiclick to expand usha anza wewe enhee naomba maoni yako mkuuu i think you looked too deep into my otherwise very innocent explanation and attempt at humor and somehow concluded that i was looking to show off unless if your comment was meant as compliment rather than a notsosubtle dig in which case i say sorry for misunderstanding your comment and thank you for the compliment plus i just spent the past three months in a material properties course surely you didn't think i was going to let all that newly acquired knowledge go to waste did youwink2 bahati yako kwenye daraja hili kuna kibao kilichoandikwa usipige picha kuhusu uchawi nakubaliana na wewe maana kwenye picha zako ulizopiga kuna ungo unalinda daraja hilo huo mwekundu nadhani ujenzi wa usiku haswa kwa madaraja ni kwa sababu ya kuepuka element mbili jua na upepo kwani ukaukaji wa cement unahitaji muda maalumu yaani isiwe kwa haraka sana na kusabisha crackslabda kwa kuongezea ni kuepusha usumbufu kwa watu na na vyombo vya usafiri sikujua kuwa ni hadithi za kubuni ukiamini kitu usidhani wote wanakiamini kama ufanyavyo kirumi na warumi wapi na wapi kama siyo yale ya mfalme wa oman ana asili ya kigoma wabongo bwana michosho view attachment 49990 watu wengi walipoteza maisha hadi daraja hilo kusimama unavyolionaclick to expand tatizo letu kila tusichokifahamu au kukijua badala ya kuchukua muda na juhudi ya kufahamu tunakitupia kwenye kapu la uchawi na tutaendelea kuwa watumwa wa wenye uwezo wa kufikiri siku zote za uhai wetu na uhai wa taifa letu mchawi ni nani mchawi ni mtu asipenda maendeleo ya mwenzake badala ya yeye kujifunza mwenzake ameendeleaje yeye angependa mwenzake afe mfano wa mchawi wa tanzania ni ccm post yako isingesema duniani maana wenzetu walioendelea hawalogani ili kuzuia maendelea bali wanashikana bila kujali tofauti zao na kuleta maendeleo kwa nchi zao kuhusu tarime na daraja mimi siamini hizo story maana kama wako fiti ki hivyo si watulogee yanga tusiwe tunatolewa round ya kwanza hapo palipo jengwa daraja sio kwa sababu ya uchawi mkuu hapo palipo jengwa daraja pana mashetani wabaya wa huo mto ndio waliowazuia hao wa china na wa korea kujenga hilo daraja mpaka akaja huyo mrumi aliyejenga usiku daraja na kutoa kafara ya mbuzi wengi yaani damu kamwaga zipo baadhi ya nyumba hatu huku ulaya watu hawawezi kukaa kwa sababu kuna mashetani ndio wanaoishi ukilala usiku kwenye hizo nyumba kama ulifunga maji chooni basi utakuta maji yanamwagika kama ulifunga tv kwenye chumba chako cha kufikia wageni sitting room utakuta tv yako imefunguliwa hiyo tv kwa sauti kubwa ukienda kuangalia huko kwenye tv hakuna aliye funguwa hayo sio mambo ya kichawi ni mambo ya mashetani wabaya pepo wabaya waliomo ndani ya hiyo nyumba mkuu tofautisha mchawi na mashetani mchawi ni ni binadamu anayeonekana ni yule mtu anayefanya huo uchawi na shetani au mashetani ni viumbe aliowaumba mwenyeezi mungu wasio onekana kwa macho yetu ingawa tupo nao kwa wakati wowote ule wapo tunaishi nao hao viumbe wa ajabu mashetani na binadamu na wapo wanaoishi hao mashetani porini kwenye miti mikubwa kwenye bahari au mito au chooni au sehemu inayotupwa takataka sasa mkuu tofautisha mambo ya uchawi na mashetani nakuacha hapo kwa leo
2016-12-10T22:29:50
http://www.jamiiforums.com/threads/uchawi-ni-janga-la-ulimwenghu.237401/
alichosema heche baada ya askari aliyemuua mdogo wake kufikishwa mahakamani mtilah blog home / kitaifa / alichosema heche baada ya askari aliyemuua mdogo wake kufikishwa mahakamani alichosema heche baada ya askari aliyemuua mdogo wake kufikishwa mahakamani msemaji wa familia ya kijana aliyeuawa na polisi tarime mbunge john heche amesema polisi aliyehusika na kifo cha suguta chacha ametiwa hatiani na kupandishwa kizimbani na kusomewa shtaka la mauaji kufuatia hatua hiyo familia ya marehemu imesema baada ya kufanya mashauriano ya muda mrefu familia imekubali kumzika ndugu yao ambapo mazishi yatafanyika alhamisi ya may 3 2018 kijiji cha nyabitocho mara baada ya familia kuridhika hatua zilizochukuliwa dhidi ya mtuhumiwa hivyo familia imekubali kuchukua mwili huo na tayari kwa kuuzika heche alitumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kutoa taarifa hiyo kwa umma tumeridhika na hatua zilizochukuliwa na polisi kwa kumtia hatiani mtuhumiwa kumfikisha mahakamani na kusomewa shtaka la kuua kama familia tumeona ni vyema tuutangazie umma kuwa kesho tutauchukua mwili wa marehemu na kuuleta nyumbani na kesho kutwa (alhamisi may 3) tutamzika amesema heche
2018-12-18T12:13:04
http://www.mtilah.com/2018/05/alichosema-heche-baada-ya-askari.html
polisi wauwa majambazi wanne kahamani baada ya kurushiana risasi makaburini kijukuu cha bibi k | habari na matukio uncategories polisi wauwa majambazi wanne kahamani baada ya kurushiana risasi makaburini polisi wauwa majambazi wanne kahamani baada ya kurushiana risasi makaburini kulia ni mkuu wa oparesheni ya kusaka majambazi hao ambaye ni mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa shinyanga ssp amedeus tesha na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule (katikati) wakionesha silaha za kivita zilizokuwa zinatumiwa na majambazi kufanya uhalifu katika maeneo ya kahama na mikoa mingine watu wanne wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi eneo la makaburi ya kitwana kata ya busoka tarafa ya kahama mjini wilayani kahama wakati wakijaribu kuwatoroka askari waliokuwa kwenye msako mkali wa kuwatafuta majambazi wanaojihusisha na matukio ya uhalifu katika wilaya hiyo akizungumza na waandishi wa habari katika makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama leo jumatatu juni 42018kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule alisema tukio hilo limetokea jana juni 32018 majira ya saa sita na dakika 40 mchana amewataja waliouawa kuwa ni minani deo (33) mkazi wa mabanda burundi ambaye pia ni muagizaji wa silaha haramu kutoka nchi jirani na masalamali paulo (34) mkazi wa geita ambaye aliachiwa kwa msamaha wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzaia dkt john pombe magufuli katika gereza la butimba mkoani mwanza mwezi aprili 2018 wengine waliouawa ni hussein issa jumanne maarufu kwa jina la shehe (30) mkazi wa nyasubi kahamamaduhuli cheyo maselegu (42) mkazi wa kigoma ujiji akielezea zaidi kuhusu tukio hilokamanda haule alisema siku ya tukio watu hao walijeruhiwa kwa kupigwa risasi sehemu mbalimbali za miili yao na kufariki dunia wakiwa wanapelekwa hospitali ya mji wa kahama walikuwa wanaelekea kuwaonyesha askari polisi bastola na bomu moja la kutupwa kwa mkono hand grenade) pamoja na washirika wenzao wa ujambaziwakiwa tayari wameonesha bastola na bomu hilo lililokuwa limechimbiwa chini ya ardhi ndipo walipotaka kuwakimbia askari na askari wakawafyatulia risasialifafanua kamanda haule chanzo cha tukio hilo ni kutaka kuwatoroka askari waliokuwa kwenye msako mkali wa kuwatafuta majambazi wanaojihusisha na matukio ya uhalifu hasa katika wilaya ya kahama kwa kipindi cha mwezi machi hadi mei 2018aliongeza aidha alisema takwimu zinaonesha majambazi hao walikimbilia mkoani tabora na mara baada ya askari kufika mkoani tabora wakapata taarifa kuwa majambazi hao wamekimbilia mkoani kigoma na polisi kufanikiwa kumkamata masalamali paulo eneo la soko la mwanga mkoani kigoma baada ya kumkamata na kumhoji aliwataja washirika wenzake watatu wa ujambazi ambao walikimbilia katumba mkoani katavi na kufanikiwa kuwakamata wakiwa na silaha ya kivita aina ya ak47 yenye namba ua26511997 iliyokuwa na risasi 30 ndani ya magazine moja ambayo ilipatikana karibu na uwanja wa ndege mkoani katavialieleza aliongeza kuwa silaha hiyo pia ilikuwa imehifadhiwa pamoja na bastola moja aina ya browning yenye namba 17569465 ikiwa na risasi 15 ndani ya magazine yake ndani ya shimo alisema katika mahojiano na majambazi hao walikiri kufanya matukio ya uhalifu katika wilaya ya kahama na mikoa ya taborageitamorogorokigoma na katavi na kwamba miili yao imehifadhiwa katika hospitali ya mji wa kahama wakati huo huokamanda haule alisema mnamo tarehe 2852018 majira ya saa moja na nusu usiku katika mtaa na kata ya mhungula wilayani kahama ikipatikana silaha moja aina ya shortgun yenye namba b15939 iliyokuwa imekatwa kitako na mtutu ikiwa imehifadhiwa kwenye mfuko wa sulphate ndani ya nyumba ya malale kalikisu malale aliyekuwa anatafutwa na polisi kwa kosa la unyanganyi wa kutumia silaha alisema mtuhumiwa alikimbia kabla ya kukamatwa na juhudi za kumtafuta na kumkamata zinaendelea kamanda haule amewataka wahalifu wote kujisalimisha pamoja na silaha zao ndani ya mkoa au nje ya mkoa na wasipofanya hivyo wataendelea kuwafuatilia sehemu yoyote waliyojificha iwe chini ya ardhiangani au ziwani ili wachukuliwe hatua za kisheria mheshimiwa rais wa jamhuri ya mungano wa tanzaniadktjohn pombe magufuli kwa mapenzi yake na wananchi wakekwa huruma yake aliamua kuwaachia huru wahalifu waliokuwa wamefungwa gerezani akiwemo huyu masalamali paulo warudi uraianiwajirekebishe na washiriki kwenye shughuli za uchumisasa baadhi ya hao wahalifu wanauchukulia huu msamaha katika njia ambazo siyo sahihihivyo wote walioachiwa kwa msamaha wa rais waendane na maadili mema katika jamiialieleza ndugu wananchi naomba turejee kauli ambayo inatolewa mara kwa mara na mkuu wa jeshi la polisi nchini igp simon nyakoro sirro kuwa uhalifu haulipi uhalifu hauna nafasi nami pia naungana na kauli ya afande igp kurudia maneno hayo hayo kuwa kwa sasa uhalifu mkoa shinyanga hauna nafasitunataka wananchi wafurahie matunda ya uhurumatunda ya uhuru ni amani na utulivu wananchi wafanye shughuli zao za kiuchumi bila ya kuwa na hofu yoyote ile ya matishio ya kiusalama ili kusudio la kuleta maendeleo katika jamii litimienatoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili ziweze kufanyiwa kazi mapemaalisema kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule na askari polisi wakiwa katika eneo la makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama eneo hilo ndiyo sehemu ambapo majambazi yalionesha bastola na bomu lililokuwa limechimbiwa chini ya ardhi kichakani wakataka kuwakimbia askari na ndipo askari wakawafyatulia risasi kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akionesha silaha za kivita walizokuwa nazo majambazi waliouawa kwa kupigwa risasi na polisi katika makaburi ya kitwana kulia ni bomu la kutupwa kwa mikono na risasi walizokutwa nazo majambazi hao silaha za kivita walizokuwa nazo majambazi hao kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akielezea kuhusu tukio la kukamatwa kwa silaha na kuuawa kwa majambazi hao kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akionesha silaha aina ya ak47 iliyokuwa inatumiwa na majambazi kufanya uhalifu kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akionesha bastola iliyokuwa imefichwa kichakani katika makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akionesha bomu lililokuwa limefichwa kichakani katika makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akionesha silaha aina ya shortgun yenye namba b15939 iliyokuwa imekatwa kitako na mtutu ikiwa imehifadhiwa kwenye mfuko wa sulphate ndani ya nyumba ya malale kalikisu malale mkazi wa mhungula mjini kahama aliyekuwa anatafutwa na polisi kwa kosa la unyanganyi wa kutumia silaha wa tatu kushoto ni mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai wilaya ya kahama sp george bagyemu akifuatiwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule (katikati) na mkuu wa oparesheni ya kusaka majambazi hao ambaye ni mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa shinyanga ssp amedeus tesha wakionesha silaha za kivita zilizokuwa zinatumiwa na majambazi kufanya uhalifu kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akizungumza na waandishi wa habari katika vichaka vilivyopo katika makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama kulia ni mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai wilaya ya kahama sp george bagyemu na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule wakionesha shimo ambamo kulikuwa kumefichwa bomu na bastola katika kichaka kwenye makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akionesha shimo lililokuwa linatumika kuficha silaha za majambazi katika makaburi ya kitwana wilayani kahama kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule na askari polisi wakiwa katika eneo la makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahamamakaburi hayo yamezungukwa na vichaka na miti ambayo imekuwa ikitumiwa na wahalifu kujificha kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akiwa katika mti wa muembe ambao ulikuwa unatumika kama kituo cha majambazi waliouwa katika makaburi ya kitwana kata ya busoka wilayani kahama kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akiwa katika mti uliokuwa unatumika kama kituo cha majambazi katika makaburi ya kitwana kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akizungumza na wakazi wa mtaa wa kitwana ambao walidai kuwa wanaona watu wasiojulikana kwenye makaburi hayo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga acp simon haule akiwasihi wananchi kuendelea kushirikiana na polisi na kutoa taarifa za kuwafichua wahalifu wakazi wa mtaa wa kitwana wakisimulia matukio ambayo hutokea katika makaburi ya kitwana mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa shinyanga ssp amedeus tesha akitoa rai kwa wananchi kushikiriana na jeshi la polisi katika kufichua wahalifu wakazi wa mtaa wa kitwana wakiangalia vichaka vilivyokuwa vinatumiwa na majambazi katika makaburi ya kitwana yaliyopo kata ya busoka wilayani kahama
2018-10-19T08:05:07
http://www.kijukuu.com/2018/06/polisi-wauwa-majambazi-wanne-kahamani.html
hellen 2 tanzania swahili latest movie 2018 | watsupafrica africa's latest news & entertainment platform ozil ametangaza ghafla kustaafu usafiri atakaotumia ronaldo na wenzake juventus mama kanumba afafanua kauli yake juu ya muna ssenkaggale yefudde nigerian swahili | latest movie | ful movies 2018 sikola nigerian swahili | latest movie | ful movies 2018 nimpongeze rais magufuli walisema tutashindwa nchemba omuzira mu bazira nigerian swahili | latest movie | ful movies 2018 lazima uwe mrefu 2 tanzania swahili latest movie 2018 rena ndibassa nigerian swahili | latest movie | ful movies 2018 hali ya kazi 2 nigerian swahili | latest movie | ful movies 2018 mwaminifu na mke wake 2 tanzania swahili latest movie 2018 mama kanumba afafanua kauli yake juu ya ssenkaggale yefudde nigerian swahili | latest sikola nigerian swahili | latest movie omuzira mu bazira nigerian swahili | lazima uwe mrefu 2 tanzania swahili rena ndibassa nigerian swahili | latest hali ya kazi 2 nigerian swahili mwaminifu na mke wake 2 tanzania lazima uwe mrefu 1 tanzania swahili breaking mbunge kubenea anazungumza na waandishi habari laura 1 nigerian swahili | latest nimepita nyumba kwa nyumba nimepata tabu sana hellen 2 tanzania swahili latest movie 2018 uchaguzi tls mawakili wanatumia muda kuwatetea akina mama mwenyekiti tawla #nigeria national youth council leadership tussle worsens googl/9s1xmu #nigeria female folks wear cultural tatoo for beauty in northern nigeria googl/2tcdg4 #nigeria task force begins ridding lagos highways of trucks pt2 22/07/18 | [email protected] | googl/q78qhb #nigeria national youth council leadership tussle worsens pt3 22/07/18 | [email protected] | googl/vorohk #nigeria hamilton keeps german gp victory after investigation pt4 22/07/18 | [email protected] | googl/yngftf
2018-07-23T00:24:18
http://tanzania.watsupafrica.com/news/hellen-2-tanzania-swahili-latest-movie-2018/
news about saumu mbuvi and benson gatu | read all 20 related news on tuko ▷ tukocoke made in kenya latest politics entertainment swahili feedback livescore submit video fighting alshabaab here is the lady who cyrus jirongo 'slept' with and promised to pay her saumu mbuvi and benson gatu sonko's daughter heartfelt message after birth of her baby sasha saumu mbuvi's sweet message after birth of her baby girl sonko atuma ujumbe kwa mpenzi wa binti yake punde baada ya mjukuu wake kuzaliwa sonko atuma ujumbe kwa mpenzi wa binti yake punde baada ya mjukuu wake kuzaliwa hii hapa picha ya kwanza mjukuu wake mike sonko ujumbe wa mpenzi wa bintiye mike sonko baada ya saumu kujifungua utakupendeza mike sonko heartfelt message to saumu's 'boyfriend' after he cried over his daughter sonko's message to his 'soninlaw' hours after the birth of his granddaughter mike sonko's daughter gives birth to a bouncing baby oh look mike sonko's daughter has delivered mike sonko aonyesha upendo wa kipekee kwa binti yake mjamzito sonko ampa hakikisho hili binti yake anayetarajia kujifungua wiki chache zijazo mike sonko's daughter is really pregnant she showed off her baby bump and she is so freaking adorable mike sonko's firstborn daughter is in the family way and unafraid to show it she is unofficially married to benson gatu a city lawyer and an upcoming politicia hivi ndivyo bintiye mike sonko anavyozidi 'kuvunja shingo' za wanaume licha ya kuwa mjamzito (picha) hivi majuzi bintiye mike sonko aliuutangazia ulimwengu mzima kuwa alikuwa mja mzito hii hapa picha ya saumu mbuvi inayowapagawisha wanawake wengi kenya check out these absolutely stunning photos of saumu mbuvi before and during her pregnancy we toally don't mind that she's adding weight before she gives birth jua ni kwa nini saumu mbuvi hatahudhuria sherehe za jomo mtoto wa rais uhuru jua ni kwa nini mtoto wa seneta wa nairobi mike sonko saumu mbuvi hataudhuria sherehe za kusherehekea harusi ya jomomtoto wa rais kenyattalicha ya kualikwa mike sonko's daughter is pregnant nairobi senator mike sonko's daughter saumu mbuvi has been the talk of the town since she started dating a flamboyant 26year old lawyer benson gatu mike sonko's daughter is pregnant mpenzi wa saumu mbuvi atoa ujumbe wa kipekee je mike sonko ataukubali benson gatu aliye na umri wa miaka 25 alimposa saumu mapema mwaka huu sasa benson ametangaza tamanio lake la kuwa na familia na bintiye seneta mike sonko sonko's daughter goes wild boyfriend ready to give her babies nairobi senator mike sonko's daughter saumu mbuvi has been the talk of the town since she started dating a young flamboyant lawyer cum politician benson gatu sonko's daughter goes wild boyfriend ready to give her babies binti za mike sonko sonko wameambukizwa vituko vya baba yao picha imeibuka ikimuonyesha binti mmoja wa sonko akimbusu msichana mwingine na kuibua hisia kali saumu mbuvi ni mmoja kati ya vijana waliokamilika wanawake kutoka ukambani kwa kawaida huwa warembo hii ni kulingana na dhana ya watu wengi mmoja wao ni saumu mbuvi bintiye sonko seneta wa nairobi picha za mapenzi baina ya bintiye sonko na mchumbake zitakutia wivu binti kifungua mimba wa seneta wa nairobi mike sonko saumu mbuvi majuzi alionyesha pete ya posa huku taarifa zikienea kwamba harusi iko njiani oh love 7 photos of mike sonko's daughter getting cozy with her politician lover sonkos daughter saumu mbuvi shows love for her man in these photos sonko scandals nairobi senator mike sonko mike sonkos security guards mike sonko drinking with uhuru mike sonkos family saumu mbuvis boyfriend saumu mbuvi mike sonko forced to remove shirt in mathare saumu mbuvi dating kidero fights with sonko mike sonko nairobi saumu mbuvi money mike sonko house mike sonko and shebesh celebrity love stories saumu mbuvi graduation bash saumu mbuvi's graduation sonko family mike sonkos secret family benson gatu lawyer advertise with us tags categories privacy policy social tv star lillian muli claps back at her haters with a deep statement
2017-03-24T14:08:38
https://www.tuko.co.ke/tag/saumu-mbuvi-and-benson-gatu.html
used nissan moco for sale at best prices low mileage updated 2019 | car from japan kati ya bidhaa yetu 99710 wakati japani 2044 nissan (12951) moco (686) (miuundo yote) acura (2) alfa romeo (151) aston martin (35) audi (1741) bmw (5148) bentley (56) buick (1) cadillac (80) chevrolet (75) chrysler (284) citroen (149) daihatsu (8000) daimler (2) dodge (40) ferrari (84) fiat (347) ford (259) gm (101) gmc (4) hino (1118) hitachi (1) honda (9713) hummer (21) infiniti (4) isuzu (1805) jaguar (121) jeep (256) komatsu (2) lamborghini (58) lancia (6) land rover (26) lexus (964) lincoln (11) lotus (13) mcc (57) mg (2) maserati (121) mazda (3834) mercedesbenz (3675) mini (1) mitsubishi (4588) mitsubishi fuso (52) mitsuoka (75) nissan (12935) opel (4) other all (1) others (103) peugeot (257) porsche (414) renault (182) rollsroyce (18) rover (205) smart (43) subaru (4145) suzuki (8819) tcm (1) toyota (27015) volkswagen (1813) volvo (527) yanmar (2) aina ya mwili basi / basi ndogo (332) pikipiki (0) convatibol (566) coupe (1566) hatchback (18701) mashine (9) mini gari (7727) saloon (10334) suv (11789) lori (5887) ute (0) van / minivan (7035) wagon (14246) nyingine (4239) aina ya gari 2wd (64631) 4wd (23446) yote (28) rangi dhahabu (516) nyeusi (17046) bluu (4517) shaba (18) kahawia (649) wain (5) champen (37) mkaa (0) krimi (12) bluu nyeusi (159) kijani (0) dhahabu (452) kijivu (2778) kijani (1003) ivory (0) mwanga bluu (1) marun (13) mbali na nyeupe (13) orange (527) nyingine (351) lulu (4400) pewter (14) pinki (818) zambarau (1295) nyekundu (3027) fedha (8386) tan (277) teal (0) titanium (2) turquoise (5) nyeupe (18833) mvinyo red (2) za (319) gun_metallic (277) mafuta biodiesel (0) cng (36) dizeli (10394) umeme (105) ethanoli (0) petroli / petroli (81824) hybrid (7105) lpg (55) mvuke (0) nyingine (34) abs (53473) tafuta found 691 results reference cfj2924508 2013/nov 660 cc 25248 km kulia moja kwa moja reference cfj2924511 2013/aug 660 cc 36574 km kulia moja kwa moja reference cfj2248704 us$6044 us$7355 21 daraja la mnada r reference cfj2944256 2014/aug 660 cc 31672 km reference cfj2815248 2013/may 660 cc 32000 km us$5334 us$5771 20 daraja la mnada 4 bb (ais) reference cfj2918719 2014/nov 660 cc 34710 km reference cfj2778242 2014/mar 660 cc 33000 km reference cfj2593705 2015/mar 660 cc 16300 km us$7683 us$8666 19 daraja la mnada 45 ba reference cfj2762860 2014/nov 660 cc 9916 km reference cfj2579461 2013/jun 660 cc 23165 km 30 daraja la mnada rcb reference cfj2645528 2014/sep 660 cc 45346 km us$6295 us$6732 48 daraja la mnada 45 (js) reference cfj2938231 2008/aug 660 cc 79000 km 16 daraja la mnada 45 (js) reference cfj2937999 2014/dec 660 cc 31000 km 30 daraja la mnada r bb reference cfj2755178 2014/dec 660 cc 15572 km reference cfj2525492 2013/nov 660 cc 39000 km cvt
2019-01-17T11:44:52
https://carfromjapan.com/sw/cheap-used-nissan-moco-for-sale
mwavuli ni nini le forêt humide kwa msitu wa mvua karibu mimea na wanyama wote hawapatikani kwa sakafu ya msitu mbali wanapatikana dunia ya majani inayojulikana kama mwavuli mwavuli ambayo inaweza kuwa futi 100 juu ya ardhi inatengezwa na mchanganyiko wa matawi na majani ya miti ya msitu wa mvua wasayansi wanakadiria kwamba asilimia 7090 ya maisha ya msitu wa mvua inapatikana kwa miti na ifanya hii iwe mazingira kubwa zaidi ya mimea na wanyama wanyama wengi wanayojulikana kama tumbili chura vijusi ndege nyoka na paka ndogo zinapatikana kwa mwavuli mazingira ya mwavuli ni tofauti sana na mazingira ya sakafu ya msitu mchana mwavuli inakuwanga imekauka nainakuwa na joto kushinda sehemu zingine za msitu na mimea na wanyama wanayoishi huko wamezoeya hii maisha ya miti kwa mfano kwa sababu kiwango ya majani kwa mwavuli inaifanya ngumu kuona mbele ya futi chache wanyama wengi wa mwavuli wanatengemea mwito wa sauti kubwa au nyimbo kwa uwasiliano vipengo kati ya miti inaimaanisha kwamba wanyama wengine wa mwavuli wanaruka au wanaenea juu ya miti wanasayansi kwa muda mrefu wamekuwa wakitaka kuchunguza mwavuli lakini kwa sababu ya urefu wa miti ya misitu ya mvua utafiti mpaka hivi karibuni umekuwa shida siku hizi kuna mahali maalum zinayo na daraja za kamba ngazi na minara kusaidia wanasayansi kuzumbua siri za mwavuli mwavuli ni moja tu wa safu za wima kadhaa ndani ya msitu wa mvua anghalia diagram upande wa ushoto kuona mipangilio nyengine ( overstory understory mpangilio wa kichaka na sakafu ya msitu) na rhett a butler home | kila kitu kuhusu | english | pdf
2017-07-21T00:41:46
http://world.mongabay.com/swahili/004.html
prince naseem ulingoni mbagala bin zubeiry sports online prince naseem ulingoni mbagala bin zubeiry sports online mwanzo > untagged prince naseem ulingoni mbagala bingwa wa mkanda wa shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania (pst) abdalah mohamed 'prenc naseem' atapanda ulingoni kutetea mkanda wake wa pst februari 24 mwaka huu dhidi ya salehe mkalekwa pambano hilo la ubingwa wa pst litakuwa ni pambano la uzito wa kg 57 na litashirikisha mapambano mengine manne ya utangulizi akizungumza dar es salaam jana mratibu wa pambano hilo shaban adiosi 'mwayamwaya' alisema pambano hilo litafanyika katika ukumbi wa new kibeta uliopo mbagala kuu dar es salaam alisema pambano hilo la ubingwa wa pst ni muendelezo wa shirikisho hilo kuendelea kuinua mabondia ambao hawajawa na majina makubwa ili nao waweze kufikia kiwango kizuri cha mchezo huo ubingwa huu wa pst ni maalum kwa ajili ya mabondia chipkizi na ndio maana mabondia wanaoshirikishwa wengi ni chipkizi na lengo ni kuendeleza vipaji vyaoalisema mwayamwaya aliyataja mapambano ya utangulizi yatakayopamba pambano hilo yatakuwa kati ya shaaban zungu na hasan debe watakaopigana uzito wa kg 55 safari mbeyu na ibrahim maokola watakaopigana uzito wa kg 67 jofrey pacho atakayetwangana na dickson kawiani na kulwa kindondi atakayepigana na khaji hamisi mapambano ya mabingwa wa dunia akiwemo manny paquaio floyd maywherth roy jones lenox lewisdavid haye na wengine kibao dvd hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na kocha wa kimataifa wa mchezo wa ngumi rajabu mhamila pambano kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na sheria za mchezo wa ngumi alisema super d item reviewed prince naseem ulingoni mbagala rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-02-26T14:29:14
http://www.binzubeiry.co.tz/2012/02/prince-naseem-ulingoni-mbagala.html
iandaliwe kura ya maoni kuhusu muungano kwanza | gazeti la mwanahalisi iandaliwe kura ya maoni kuhusu muungano kwanza na nyaronyo kicheere imechapwa 04 may 2011 mwalimu wangu wa sheria kutoka chuo kikuu cha dar es salaam (udsm) amekerwa na makala yangu ya wiki iliyopita iliyozungumzia muswada wenye magamba wa marekebisho ya katiba iliyochapishwa katika gazeti hili muswada huo uliokataliwa bungeni na wadau wengine sasa unatarajiwa kurejeshwa bungeni juni mwaka huu baada ya kufanyiwa marekebisho yanayoelezwa kuwa yatakidhi haja ya kuunda tume ya kusimamia mchakato wa uandikaji wa katiba mpya nchini hata hivyo mwalimu wangu huyo ambaye ni profesa hakutaka nitaje jina lake gazetini aliandika nyaronyo nimesoma makala yako katika mwanahalisi leo je umesoma kwa makini clause 9 (fungu la tisa) ya muswada je kweli inatoa makatazo hayo unayosema je ni nani anayetajwa katika clause hiyo na je unaweza kuwa na makatazo (prohibition) bila kuweka kosa na adhabu nilimjibu kwamba mimi nilikerwa na matumizi ya maneno inviolability na sanctity ambayo kwangu yalimaanisha wanaoendesha mchakato wa marekebisho ya katiba wasihoji kuwepo au kutokuwepo mambo yaliyotajwa katika kifungu hicho cha 9 naye alisema anakubaliana juu ya maana yake lakini akahoji ni nani anatakiwa ayazingatie na wakati gani ni kwa sababu nakufahamu na sikosi kusoma makala nikiona jina lako nimejiuliza tumekosea nini katika kufundisha statutory interpretation mpaka wanafunzi wetu wengi wawe na tafsiri hasi kwa clause ambayo mimi nikisoma sioni makatazo bali misingi ya kuzingatiwa na tume je hiyo misingi ndiyo basic structure doctrine ambayo imo katika hukumu ya jaji lugakingira ya mtikila samahani kwa kukuonea nikiri hoja zangu zaidi ni kwa wanasheria wengine nafuu sana wewe umesema mtu hazuiwi kuhoji tofauti na wengine waliosema wananchi wamefungwa midomo tume itakayoundwa nadhani inatakiwa iyazingatie hayo wakati wa kutoa mapendekezo katika clause 9(b) tafsiri yangu hayo yanatakiwa yaboreshwe lakini yasifutwe kabisa niulize tu kama idadi kubwa ya watanzania watasema hawataki muungano kabisa je unadhani tume itaendelea na mchakato wa kutengeneza katiba mpya au utakuwa mwisho wa mchakato huu na sasa itabidi uanze mchakato wa kujadiliana mkataba wa kuvunja muungano mataifa mawili mapya yatazaliwa na hayo sasa ndiyo yaanze upya kwa michakato ya katiba zao nitakutafuta tubadilishane mawazo mimi naona masuala mawili ndiyo yatakuwa magumu muungano na suala la mahakama ya kadhi nami nilimuuliza kuwa anadhani kutatokea nini iwapo wananchi wataukataa muungano alinijibu katiba ya sasa itaendelea kwa sababu nchi ina katiba akatoa mfano wa kenya kwamba kura ya maoni ilipokataa katiba mpya mwaka 2005 ya zamani iliendelea nimejifunza mengi kutokana na majibizano na mtaalamu huyu wa sheria wa chuo kikuu cha dare s salaam ambaye ninamheshimu sana funzo mojawapo ni kwamba profesa huyu wa sheria ama alikuwapo muswada ukiandikwa au alishiriki kuandika muswada ule uliokataliwa kama hakuwapo na wala hakushiriki basi yeye ama alitoa ushauri juu ya namna ya kuandaa huo muswada au yeye ni miongoni mwa jopo la wataalamu lililotoa ushauri wa mambo gani yaingizwe kwenye muswada uliokataliwa ukisoma vizuri maandishi yake inaelekea profesa huyu anakerwa na watu wanaopinga muswada wake kwake yeye muswada wa serikali ambao wananchi wanaupinga una mapendekezo mazuri ndiyo maana anasema mambo kwenye kifungu cha 9 (muungano serikali ya mapinduzi urais bunge nk) yanastahili kuboreshwa na siyo kuondolewa ndipo hapo nami najiuliza kwa nini yasiondolewe kama wananchi hawayataki kwa nini tume izingatie mambo hayo wakati wa kuandika rasimu ya katiba mpya badala ya kuzingatia yale ambayo wananchi wanayoyataka kimsingi nakubaliana naye kwamba muungano utakuwa jambo gumu katika mchakato huu wa kuandika katiba mpya lakini namshangaa kwa nini anasema mahakama ya kadhi nayo itakuwa jambo gumu kwenye mchakato huu je ugumu unakujaje wakati kinachotakiwa ni makubaliano na maridhiano ni muhimu kuwepo na namna ya kuwauliza wananchi kwa kila jambo linalobishaniwa kwa mfano wananchi waulizwe na wawe huru kujibu kama wanataka mahakama ya kadhi au hapana kama wengi wakiitaka itakuwa hivyo lakini wengi wakiikataa basi itabidi iachwe nikiri kwamba mwalimu wangu alinishtua aliponihoji kitu gani kitatokea kama wananchi wengi wataukataa muungano hili ni jambo ambalo nilikuwa bado sijaweza kulitafakari sana na kwamba sasa nimepata shaka kubwa kama tutapata katiba mpya kabla ya uchaguzi ujao kama watu wengi wataukataa muungano muungano ukikataliwa maana yake mchakato wa kuandika katiba mpya utasitishwa na hivyo uchaguzi wa 2015 utatukuta na katiba ya sasa yenye viraka vingi na ambayo inawapa wenye magamba ndani ya ccm mwanya wa kuiba kura kadiri ya uwezo wao muungano ukikataliwa tutakuwa na misiba miwili msiba wa kwanza wa kupoteza utanzania wetu na wa pili wa kulazimika kuendelea na katiba tusiyoitaka lakini itakayokuwapo kisheria hadi hapo itakapobadilishwa na wakazi wa taifa jipya la tanganyika kuukataa muungano ni sawa na kumsusia mlevi pombe wote tunafahamu mlevi akisusiwa pombe huinywa yote tena kwa furaha hapa mlevi ni ccm ambaye akisusiwa muungano atafurahi sana maana atapata sababu ya kuahirisha kuandika katiba mpya fikiria kikao chini ya mwenyekiti wa ccm jakaya kikwete yusufu makamba celina kombani mwanasheria mkuu wa serikali jaji frederick werema nnape nnauye wilson mukama stephen wassira na wengineo halafu ikatolewa hoja ya katiba haraka watasema wananchi hawataki muungano itabidi sasa tukae chini tufanye mchakato wa kugawana mali na madeni ya serikali ya muungano miaka itapita wakizunguka huku na kule wakiiba hiki na kile wakihujumu mali hii na ile na kufanya ufisadi hapa na pale lakini katiba mpya bado watasema kwa midomo mipana kuwa baada ya kugawana madeni na mali inayohamishika na isiyohamishika tuangalie namna ya kuandika rasimu ya tume ya kuandika katiba mpya ya taifa jipya la tanganyika kuukataa muungano maana yake uchaguzi wa 2015 utaendeshwa na tume ya uchaguzi ya jaji lewis makame inayoweka mbele maslahi ya ccm kabla ya kuangalia kama kuna wagombea wengine wanadai haki tume ya uchaguzi ya jaji makame inayopata hesabu za kura kutoka musoma kagera na nanyumbu kabla ya kupata za kariakoo na kuzijumlisha huku ikisaidiwa na intelijensia ya usalama wa taifa iwezayo kutabiri watakaofanya fujo kesho na majenerali wanaojua watakaopinga matokeo keshokutwa ni vema kwanza kufanyike kura ya maoni kwanza ili wananchi waamue kama wanataka muungano au hatuutaki kama wengi watataka kuendelea na muungano ndipo tuendelee na mchakato wa kuandika katiba mpya na kama wengi wataukataa basi kila taifa (tanganyika na zanzibar) lianze mapema mchakato wake wa kuandika katiba yake peke yake ili uchaguzi wa mwaka 2015 kila taifa liingie kwenye uchaguzi na katiba yake mwandishi wa makala hii na nyaronyo kicheere ni mwanasheria mwandishi wa habari na msomaji wa gazeti hili anapatikana kwa simu na 0785788727 imeil kicheere@yahoocom makamba ccm richmond uchaguzi kikwete chadema rostam cuf dowans sitta pinda slaa chenge mkapa lowassa
2019-08-21T10:26:36
http://mwanahalisi.co.tz/iandaliwe_kura_ya_maoni_kuhusu_muungano_kwanza
nafasi za kazi zinazotangazwa jf | jamiiforums | the home of great thinkers nafasi za kazi zinazotangazwa jf discussion in 'nafasi za kazi na tenda' started by jaluo_nyeupe jan 26 2012 wakuu nimekuwa nikiwatafutia kazi jamaa zangu kupitia nafasi za kazi zinazotangazwa humu jf lakini mara nyingi nimeshindwa kuelewa baadhi ya kazi zinazotangazwa humu hasa kutoka zoom tanzania kama ni utapeli ama lah mfano kuna nafasi za kazi kutoka tanzania insurance regulatory authority (tira) za tar 26 jan ambazo zoom tanzania wametangaza bila kuonyesha source ya tangazo lao kama ni gazeti fulani au ni kampuni yenyewe imewatumia tangazo hilo wwwjamiiforumscom/nafasizakazinatenda/216310nafasizakazi34tarehe26januarihtml sasa ukienda kwenye web site ya tira wwwtiragotz/work/indexphp unashangaa hakuna nafasi za kazi hapo nashindwa kuelewa kwamba ni baadhi ya makampuni wanachelewa kuupdate website zao au ni utapeli unaofanywa na hawa wanaotuletea matangazo humu zoom tanzania wao wanatangaza nafasi kama zinavyofikishwa na wahusika wenyewe zoom pia ni source hivyo hauna haja ya kutaka kuwa na source zile ambazo unaziamini wewe binafsi mfano mimi binafsi nimeitwa ktk interview nyingi kupitia application zilitoka hapo zoom pekee na wala kulikuwa hamna link wala source ya magazeti zoom tanzania wao wanatangaza nafasi kama zinavyofikishwa na wahusika wenyewe zoom pia ni source hivyo hauna haja ya kutaka kuwa na source zile ambazo unaziamini wewe binafsi mfano mimi binafsi nimeitwa ktk interview nyingi kupitia application zilitoka hapo zoom pekee na wala kulikuwa hamna link wala source ya magazeticlick to expand naona hatujaelewana sijasema matangazo ya zoom sio ya kweli au siamini source yao mimi mwenyewe nimefaidika na baadhi ya matangazo yao tatizo ni pale unapoona tangazo la kazi limetangazwa hapa jf halafu unapofuatilia unagundua halipo nimetoa hizo link kama mfano unaweza kuzifungua na kuelewa ni nini ninachomaanisha hapa mkuu tatizo linakuwaga kwa websites za hizo kampuni zinazotoa nafasi za kazi huwa hawa update websites zao so unapozitembelea baada ya kuona nafasi za kazi let say umeziona zoom unakosa taarifa kwa kuwa wao wenyewe kwenye webites zao hakuna information mpya hzo nafasi kweli zmetangazwa hata kwny gazeti la daily news la tarh 25 zipo zoom wakudanganye ili iweje wakuu nimekuwa nikiwatafutia kazi jamaa zangu kupitia nafasi za kazi zinazotangazwa humu jf lakini mara nyingi nimeshindwa kuelewa baadhi ya kazi zinazotangazwa humu hasa kutoka zoom tanzania kama ni utapeli ama lah mfano kuna nafasi za kazi kutoka tanzania insurance regulatory authority (tira) za tar 26 jan ambazo zoom tanzania wametangaza bila kuonyesha source ya tangazo lao kama ni gazeti fulani au ni kampuni yenyewe imewatumia tangazo hilo wwwjamiiforumscom/nafasizakazinatenda/216310nafasizakazi34tarehe26januarihtml sasa ukienda kwenye web site ya tira wwwtiragotz/work/indexphp unashangaa hakuna nafasi za kazi hapo nashindwa kuelewa kwamba ni baadhi ya makampuni wanachelewa kuupdate website zao au ni utapeli unaofanywa na hawa wanaotuletea matangazo humuclick to expand jibu la maswali/swali lako liko kwenye hiyo red mkubwa sio makampuni au mashirika yote yenye utaratibu wa kutangaza nafasi za kazi kwenye websites zao hivo unaweza kupewa link labda kukufahamisha ofisi iliyotoa tangazo hilo la kazi mie nimeona matangazomengi zoom yakiwa na link lakini ukiifuatilia hiyo link hulikuti hilo tangazo huko ila kinachotokea unaapply na baadae unasikia kuna interview zimefanyika mie nafikiri hilo lisikusumbue nashukuru kwa majibu yote ambayo yamekwishatolewa kazi zote unazoziona kwenye zoomtanzaniacom zinatokana na vyanzo vikuu viwili mhusika wa kampuni husika anapost kwenye website yetu mhusika wa zoomtanzaniacom anaangalia nafasi za kazi zilizo kwenye magazeti na kuzipost ili kutofautisha vyanzo hivi tofauti nafasi zote ambazo mhusika wa zoomtanzania anazipost zinakuwa na taarifa kuwa zimetoka kwenye gazeti fulani magazeti tunayotumia ni daily news na the guardian ukiangalia magazeti hayo ni lazima utazikuta kazi hizo tulizopost inawezekana pia zikawemo katika magazeti mengine ni kweli pia kuwa baadhi ya makampuni website zao ni 'static' yani hazibadiliki mara kwa mara hivyo wengi huwa hawatangazi nafasi zao kupitia website zao tunaendelea kuwasisitiza wana jf kuwa ingawa tunachuja nafasi zote za kazi zinazokuja kwenye website yetu bado tunachangamoto kubwa ya mbinu mbalimbali wanazotumia matapeli ukiona kazi yoyote yenye utata tafadhali tujulishe na tufuatilie zaidi tunashukuru sana kwa changamoto na mawazo mnayotupa nawatakia siku njema pendo gerald mhusika wa kampuni husika anapost kwenye website yetu mhusika wa zoomtanzaniacom anaangalia nafasi za kazi zilizo kwenye magazeti na kuzipost ili kutofautisha vyanzo hivi tofauti nafasi zote ambazo mhusika wa zoomtanzania anazipost zinakuwa na taarifa kuwa zimetoka kwenye gazeti fulani magazeti tunayotumia ni daily news na the guardian ukiangalia magazeti hayo ni lazima utazikuta kazi hizo tulizopost inawezekana pia zikawemo katika magazeti mengine zoomtanzaniacomclick to expand tuwajulishe kupitia nn naona hatujaelewana sijasema matangazo ya zoom sio ya kweli au siamini source yao mimi mwenyewe nimefaidika na baadhi ya matangazo yao tatizo ni pale unapoona tangazo la kazi limetangazwa hapa jf halafu unapofuatilia unagundua halipo nimetoa hizo link kama mfano unaweza kuzifungua na kuelewa ni nini ninachomaanisha hapaclick to expand wewe ndie unajichanganya anayepost hapa jamii forums kwa niaba ya zoom tz ni toto lucky na application details huwa anaziweka ktk link ya zoom tz ndio maana nikajibu hivyo inachotakiwa kujua kuwa hapa jf au zoom tz watu ndio wana upload hizo kazi hivyo sisi waombaji ndio tupambanue zaidi tuwajulishe kupitia nnclick to expand godlizen kuna njia nyingi za kuwasiliana nasi email na nyingine waweza kuzipata hapa > zoomtanzania | contact us hi me namuunga mkono totolucky ni kweli nafas za kaz wanazotangaza zoom pia wanazicopy kwenye magazeti kwa mfano tangazo la nafasi za kazi arusha technical college niliziona juzi kwenye gazeti kama sikosei ni gazeti la mwananchi au nipashe ya ijumaa january 27 2012 soo zoom ni mambo yote nawapongeza sana zoom mpo juu
2017-01-19T13:20:25
https://www.jamiiforums.com/threads/nafasi-za-kazi-zinazotangazwa-jf.216327/
jafo hili ni dampo la mfano ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = ' posted by khalfan said on 0929 naibu waziri ofisi ya rais tamisemi selemani jafo akikagua eneo la dampo la chidaye uteuzi wa katibu mtendaji tcu copyright 2007 ©michuzi jr
2018-01-19T15:17:50
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/08/jafo-hili-ni-dampo-la-mfano.html
how and advantage of hiding your internet ip adress | jamiiforums | the home of great thinkers how and advantage of hiding your internet ip adress discussion in 'tech gadgets & science forum' started by mtazamaji apr 27 2010 key benefits & features of hiding your ip you can use a fake uk or usa ip to watch some online tv pogram documentariesdrama series etc from tv channel especially in uk and usa currently nimeona kipindi very interesting kimoja cha welcome to lagos in bbc two player after faking my ip adress kama niko uk kwa wale wanaopenda tamthilikam kama za eastenders pia hii program ya kufake ip ni nzuri sana sana sababu ina fada zaidi ya privacy so how can you hide you ip visit this site http//wwwhidemyipcom download hiyo trial version ya siku 14 na kama ukiona unahitaji kuwa na kitu kama hiki nifahamishe nikumbie wapi pa kupata full version inakuwa vipi pale mtu anapotumia subnet mask id bado wataiba tu kwa uelewa wangu mdigo subnetting has nothing to do with privacy nor protection on the client/ mtumiaji nadani subent mask id inasadi adminitration ya network from isp point of view ukicheki hiyo web site ya http//wwwhidemyipcom utagundua kuwa inaweza kujua internte ip adress unayotumia na isp wako na kama uko ulaya unaweza kukutajia uko hata kitongoji gani for privacy that can be a big weakness of not a threat but kuna faida zaidi ya hizi mfano watu wanaopiga kura kwa njia ya online wanaweza kutumia internet kuchagua washindi wanaweza kutumia program kama hizi kuonyesha wanapiga kura kutoka nchi tofauti ili kumbeba mlengwa fulani kumbe kapigiw akura na watu wa nchi mjoja wanaoafake ip zao binafsi sometime naangalia vipindi navyopenda vya bbc ambavyo bila kuwa fake ip adress ya uk huwezi kuviona kwenye online website yao bbc two welcome to lagos episode 1 visit this site hidemyipcom hide your ip address surf anonymously and protect your identity download hiyo trial version ya siku 14 na kama ukiona unahitaji kuwa na kitu kama hiki nifahamishe nikumbie wapi pa kupata full version thanks for your information i got more details about hide ip address i have followed your steps then hide my ip address after i have checked my ip address from this site ipdetailscom asked for a ban said ↑ daaa wali ku ban kweli bwana daaaah pole sana kama ume change id nadhani una nisikia ip address it's a label wakuu nina swali dogoip address inahusiana na smartphone devicesif yeshow can i hide my smartphones ip iddress kaka ume ziona hizo laini hapo juu hizo ndizo zinazo pewa ip address na hii mitandao na haziwezi kuingiliana yaani kufanana na wala sio simu wala computer ip address ni lebel yako ww yaani ni kama namba yako ya simu ila kamwe huwezi ku change ip address yako bila kuwa omba isp (internet service provider) kwa mfano kama wewe una tumia laini ya vodacom basi kawaombe wao waku badirishie ila unachoweza wewe ni kui hide tu isionekane yaani you're real ip address na ip address ni rahizi sana ku hide ila huwezi kuwa ume hide ip address yako completely kuna site nyingine ukitembelea wana uwezo waku itambua vizuri tu lakini kwa android nadhani zipo apps za kufanya hivyo lakini common ni kutumia proxies nikuongezee tu hakuna hacker anae weza ku hack ip address yako kwasababu ni lebel you can't hack the lebel lakini hiyo ip address yako ataitumia tu kama njia kwa mfano nataka ku hack computer ya kadoda11 sasa tatizo analo lipata ni kuwa computer zipo nyingi kwa hiyo kitakacho mfanya aweze kukuhack wewe ni hiyo ip address yako au wewe unataka kunipigia simu mm sasa namba za simu zipo nyingi kwa hiyo ukija kuipata namba yangu mimi basi utaweza kufanya hivyo kaka kuna mistakes kidogo umezisema allow me to clarify na kuweka nyongeza kwanza kabisa ip address haipewi line ila inapewa device faida kuu ya ip address ni kuwezesha network devices ziweze kupatana kwenye pool of networks internet ie zikishapatana zinabadilishana mac address na hii ndo inayotumika kusafirisha data in the network in short ip inapewa device assume hii scenario una line ya simu na ukawasha hotspot na computer moja ikaunga internet kupitia simu yako hapo isp katoa ip moja tu kwenye hio simu lakini pia simu nayo hapo inatoa ip kwa computer(hope you got something there) ip ukipewa haukai nayo milele(well at least not now) everything is dynamic now ukipewa ip sasa unapewa na whats called lease time baada ya huu muda kuexpire ip hio inakua huru kutumika na mtu mwingine na imefanyika hivi maana ip addresses ni chache (actually ip address ina nafasi nne za namba ie 0000 na kila nafasi inaweza kuanzia zero mpaka 255 ie 255255255255 ndio ip address ya mwisho hamna inayozidi hapa ukifanya hesabu hapo unagundua possible number of ips ni 256x256x256x256= about 4 billion addresses duniani tu sasa tupo about 7 bill people devices zipo nyingi zaidi ya hapo so kuna scarcity ya addresses kuna njia zingine za kusolve hili tatizo pia ie subneting ila ni ndefu kidogo kuelezea all in all ip yako itabadilika from time to time) kuhack kwa ip yako sio rahisi kama unavoitamka isp usually wanakupa ip ambayo ni private (hairuhusiwi kwenye internet) huku wao wakiwa na public ip ambayo inaweza kuingia mtandaoni server inapokea maombi yako inaweka ip yako pembeni (maana hairuhusiwi mtandaoni) kisha inaingia kwa ip yake then inapokea majibu na kukuforwadia kwene address yako hivyo hacker most likely atapata ip ya isp na hawezi kupata yako so sio rahisi kihivyo unless umepewa public address hapo kweli ni rahisi kukuattack coder godiva & good guy darasa lenu zuri sananimejifunza kitu kwa kwelinatamani kungekuwa na thread maalum ya kuhusu somo la ip address ili mfunguke zaidiso far so good ur welcome mkuu nikipata mda leo au kesho ntaanda makala inayohusu hili somo brother hope itatoa mwangaza kwa wengi nahitaji licence ya mwaka mzima ya hawa hide my ass ip itanigharimu kiasi gani smartapartments said ↑ 1394270725366jpg kuna uwongo mwingi kwenye hiyo post ya kwanza kwanza ip inayoonekana ukiwa online haiwezi kutumika kukuidentify kwa kuwa hii ip ni ya isp wako na inatumika na wateja wake wengi kuingia mtandaoni unachoweza kujua from ip ni isp tu wa mtumiaji na isp ataweza kumjua ni nani aliyekuwa anatumia hiyo ip na ana access nini kwa wakati upi hiyi yote ni kama isp anakeep logs za wateja wake pili kutumia hizi service za kuficha ip yako ni kama umeongeza tu middleman mwingine ukivunja sheria kwa kujificha na hidemyass log za hidemyass zitaonyesha ip yako ya kweli so haujaficha kitu wao pia inabidi wafuate sheria kama isp wako wakipewa court order hili limeshatokea na jamaa wa anonymous aliyejificha kwa hidemyass fbi wakaomba logs zao akakamatwa kiulaini tatu ni hatari kubwa kutumia hizi service za vpn na proxy maana data zako zote zinakuwa zinapita kwao na hauwezi kujua ni nani anarun hizo service na ni nini anafanya na info zako kaka hapo bado pana nna chakuongeza hapo kidogo nadhani hiyo private ip address unayo izungumzia ina maana ya kwamba wewe hapo ulipo unayo ya kwako/ mimi ni nayo ya kwangu na kwa kuwa hata kwenye internet zinakuwa hazipo ina maana ya kuwa wote hatuzijui hizo private ip lakini tunazozijua ni hizi isp ip address ambazo hata kwa invisible anazo hakuna zaidi ya ip hizi za isp ambazo hutumika kum attack mtu kaka / either kwa kuingiza rats/ au hata ku access pc kwa kutumia hizi already made tools lakini booters wengi sana wanatumia ku ddos some one pc or game servers na hao hutumia ip address hizi hizi za kawaida ku kick others lakini mtu aki ku attack kwa ddos kwasasa ni dili maana akipatikana lazima akulipe kiasi kitakacho kuondoa na umasikini na hata online tricks ip address wanazo zungumzia ni hiz hiz isp address sure kaka ip address zinazotumiwa na hackers ni hiz hiz za kawaida sio hizo private ip kaka em nakubaliana na wewe kua hawa vpn providers wana keep logs zako na zikiitajika wanazitoa kuna mtu alilipia subscrption ya vpn fulani akawa anapakua torrent movie fulanisasa ip iliyotumika issuer ni watu wa us na wako vs piracy strictlywalichofanya wali abort acc yake na ikawa imekula kwake https//wwwjamiiforumscom/techgadgetsandscienceforum/525233noticetoallvpnusersavoidyouraccountsbeingsuspendedhtml mwlrct verified user ✅ messages 5680 je kwa sasa waijua ip unayotumia katika pc yako kama jibu ni hapa fanya hivi ili kujua click run > andika cmd > kisha andika ipconfig (hapa utaiona real ip unayotumia) utaiona ip yako kwa wakati huo na kila unapochomoa na kuchomeka modem yako utakuwa unatumia ip adress tofauti kama alivyoainisha good guy hapo juu kwa mimi sasa nipo na ip ya germany (fake ip ninayotumia)
2018-01-21T01:47:42
https://www.jamiiforums.com/threads/how-and-advantage-of-hiding-your-internet-ip-adress.59838/
kesi ya ubakaji watoto kuendelea kusikilizwa kavumu drc afrika rfi drc haki za binadamu kesi ya ubakaji watoto kuendelea kusikilizwa kavumu drc na rfi imechapishwa 14112017 imehaririwa 14112017 saa 0934 wanamgambo 18 ikiwa ni pamoja mbunge frederic batumike wanashtumiwa kuwabaka wasichana zaidi ya 46 katika kijiji cha kavumu mashariki mwa drc google maps wanamgambo 18 wanatazamiwa jumanne hii novemba 14 kufikishwa mbele ya mahakama iliyoko mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya congo kwa ajili ya kusikiliza mashtaka yanayowakabili ya kuwabaka zaidi ya watoto 40 baadhi ya waathirika wa vitendo hivyo walitoka kwenye kijiji cha kavumu wakiwa na miezi 18 sawa na mwaka mmoja na miezi sita watu hao wanashutumiwa kuwalenga wasichana wadogo kuanzia mwaka 2013 na 2016 kwa sababu za kishirikina wakidaiwa kuwa ni ushauri kutoka kwa waganga wa kienyeji kutumia damu za bikira kwa ajili ya kuwaongezea ulinzi watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na mbunge frederic batumike na washtakiwa wengine kwa pamoja wamekana mashtaka hayo ni furaha kubwa kwa waathirika na vyama vya kiraia katika kesi ya hii kesi ambayo ilifunguliwa novemba 9 katika mkoa wa kivu kusini nchini drc wengi wana matumanini kwamba itapunguza uhalifu na ukatili ambapo wahusika wengi wa ubakaji walikua hawaadhibiwi nchini humo washtumiwa kumi na nane ikiwa ni pamoja na mbunge wa mkoa frédéric batumike wanashtumiwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kwa ubakaji wa wasichana arobaini mwaka 2013 na 2016 na kuwa na ushirikiano na kundi la wapiganaji siku ya jumatatu novemba 13 mahakama ya kijeshi ilifutilia mbali madai yaliyowasilishwa na upande wa utetezi ili kujaribu kubatilisha utaratibu kwa kusema kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kushughulikia kesi hiyo hiyo kwa sababu watuhumiwa wote ni raia wa kawaida na mmoja ana kinga ya kutofuatiliwa kutokana na wadhifa wake mahakama ya kijeshi ilithibitisha kwamba ina mamlaka ya kuendelea na kesi hiyo na kuwatuhumu watuhumiwa kumiliki silaha za vita kinyume cha sheria ni mara ya kwanza mbunge kuhukumiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini drc kwa sababu majaji walitoa uamuzi kuwa mbunge mbunge frédéric batumiké hana kinga dhidi ya mashtaka kwa kiasi kwamba uhalifu unaomkabili unaendana na sheria ya kimataifa zaidi ya watoto arobaini wenye umri wa miezi 8 hadi miaka 12 walitekwa na kufanyiwa unyanyasaji wa kijinsia kati ya mwezi mei 2013 na mwaka 2016 watoto wawili walifariki kutokana na majeraha waliopata mwanzilishi wa hospitali ya panzi ambayo inasaidia wanawake waliobakwa katika mkoa huo denis mukwege alishtumu mwaka 2014 na 2015 visa hivyo vya utekaji nyara na ubakaji wa wasichana usiku katika kijiji cha kavumu karibu mji wa bukavu kesi hii inatazamia kuendelea jumanne hii wanasheria wa watumiwa ikiwa ni pamoja na mbunge wa batumike wameahidi kwamba watakataa rufaa makundi ya haki za binadamu yanamatumaini kuwa kesi hiyo huenda ikasaidia kumaliza na kukomesha utamaduni wa ubakaji unaotumika kama nyenzo ya vita nchini dr congo paradise papers viongozi wa drc
2018-12-11T09:40:53
http://sw.rfi.fr/afrika/20171114-kesi-ya-ubakaji-watoto-kuendelea-kusikilizwa-kavumu-drc
fighters of life inasemekana eti agnes masogange na linex mjeda ndio wameshafall in lovetazama picha baada ya jana walivyojiachia wote out kwenye viwanja vya gymkhana na leo wamemaliza kila kitu baada ya kujiachia beach wote na nguo za matego inasemekana eti agnes masogange na linex mjeda ndio wameshafall in lovetazama picha baada ya jana walivyojiachia wote out kwenye viwanja vya gymkhana na leo wamemaliza kila kitu baada ya kujiachia beach wote na nguo za matego hii ni picha ya jana usiku walivyokuwa wamejiachina ndani ya gymkhana agness masogange akiwa wa kwanza kuwasili beach hapa akiwa na linex mjeda mapenzi kama kawa kuona kutazama picha zao zote click hapo chini prepared and posted by abuubakari nasibu at 70300 pm
2018-06-19T04:43:58
http://folclassic.blogspot.com/2014/02/inasemekana-eti-agnes-masogange-na.html
uibadhiyahistoria ya uibadhiya historia ya uibadhiyauislamu ulipokelewa kwa amani nchini omani bila kushurutishwa wakati mtume alipoishi mnamo mwaka wa 629 ad mtume mohammed alituma barua kwa wafalme wawili wa omani abd na jaifar wana wa julanda walioishi sohar akiwasihi wawe wafuasi wake walibadilishana wajumbe ili kujielemisha na kufikira juu ya jambo hili na abd na jaifar wakakubali kusilimu kwa hiari yao wafalme wawili wa omani waliunganisha makabila ya kiarabu na mamlaka ya kisiasa yalibaki katika mikono ya utawala wa ukoo wa al julanda mpaka omani ilipounganishwa na basra na khalifa wa tatu uthman bin affan ilikuwa ni wajibu wa makhalifa kwanza abu bakr halafu umar bin al khattab kuteuwa wajumbe wa waislamu mapambano makali kati ya khalifa ali na muawiyah yalizusha farakano iliyokuza falsafa ya suni na shia ambazo ni tofauti abd bin al julanda aliamua kwamba omani haitafuata falsafa za makundi haya mawili awali alijaribu sana kuiweka omani huru kwa utawala wa umayya hatimaye utawala wa ukoo wa kinasaba wa al julanda ulilazimishwa kuhamia afrika kwani mashambulio ya kijeshi yaliyofanyika ilikuwa kuwashurutisha wajiuzulu matokeo ni kwamba mahali muhimu pa upinzani wa kisiasa palianzishwa omani ili kuupinga utawala mabavu wa umayya na kwa muda fulani upinzani huu ulibadilika kuwa filosofia ya ibadhi siyo upanga wala mwale baruaasili ya jina ibadhismuongozi katika uislamu wa ibadhiustahimilivu wa kidini katika ungujakauli kihistoriafalsafa ya maingliano
2016-05-25T09:06:10
http://www.tolleranza-religiosa.ch/tz/ibadhiyah/islam-historia-suni-shia.html