text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
kamati hii ya cdm isiyojumuisha akina mama iko wapi | jamiiforums | the home of great thinkers kamati hii ya cdm isiyojumuisha akina mama iko wapi discussion in 'jukwaa la siasa' started by crucifix nov 23 2011 kamati hii ya cdm isiyojumuisha akina mama thread yangu imeenda wapi wenyewe wameshainyonga mbowe lissu slaa arfi said mzee prof safari prof baregu hao wote ni watu wa maslahi wamechaguana wote wajanja hakuna wa kumzidi mwenzie fungu likitoka nape at work mbona sijaona padri au shekha mwanamkemungu mbaguzi mkianza kulalamika waweke mwanamke'walemavu nao wataka muakili wao tuache hyo hyo kamati ndogo iende haya maneno sijui ya gender balance ndo yanatucost bungeni kwa mama makinda mbona sijaona padri au shekha mwanamkemungu mbaguziclick to expand ahsante wanatafuta cha kuongea kama kusingekua na muislamu kwenye kamati ndn wangeimba mpaka kuchwili 2858 over hpana mkuu sio mbaguzi anamakusudi viongozi cdm misikitini/makanisani sio miungu bali ni mfano wa mungu kama ulivyo wewe katika uumbaji wake acha niitoe cdm katika list ya hizo taasisi nlizotaja ili kina nape wanielewe kwenye majibu ya swali lako siku nyingine mtauliza hivi chadema kamati isiyohusisha vipofu iko wapi kamati hii ya cdm isiyojumuisha akina mama thread yangu imeenda wapiclick to expand kama imefutwa mods watakuwa wamefanya la maana sanahaikuwa nalamaana zaidi ya lugha chafu ktk hili swaala la katibahakuna kulembahakuna kubembelezanahakuna kuchekeshana na upuuzi wa aina nyingine yoyotendo maana chadema tumeamua kwa makusudi kabisa ujumbe huo upelekwe na watu wazimachadema hatumwi mtoto dukani porojo tu hizi gender balance ya viti maalumu pale bungeni imeleta maslahi gani kwa mama zetu wanaoendelea kutaabika kila uchao na wewe una demand kuitwa great thinker unafaa kuitwa great sinkerkimsingi tunaangalia uwezo wa mtu ktk jambo fulani bila kujali jinsia yake tena mod ameku favour sana ulitakiwa kupata ban japo kwa siku 7 tu ili ujifunze mkianza kulalamika waweke mwanamke'walemavu nao wataka muakili wao tuache hyo hyo kamati ndogo iende haya maneno sijui ya gender balance ndo yanatucost bungeni kwa mama makindaclick to expand ungezaliwa butiama ungekuwa nyerere tumezoea kulazimisha balance zisizo na tija hivi yule mama albino bungeni ameleta badiliko gani so far kwa maisha ya walemavu wa ngozi kuanzia lini chadema wakatupa kipaumbele sisi wanawake hiyo ni sera ya ccm imekubarika sana miongoni mwa sisi akina mama wao chadema watasema jk anatembea na sisi wanawake wote ndio jibu lao kwa wepesi hata wafuasi wa chadema hawaoni umuhimu wetu wanawake angalia mchango wao kwenye thread hii utagundua kuwa wanatutumia tu baadhi yetu ili wafike wanakotaka kufika tukidai hali yetu chadema watasema nenda ccm utadhani hakuna akina mama chadema kwa watu wanaojua kufikiri vema na kusoma alama za nyakati ilikuwa ni muhimu sana chadema chama cha magwanda kuchagua kamati yenye angalau wanawake wawili kwenda kumuona mwenyekiti wa magamba sina maana chadema hawana wanawake katika ngazi za maamuzi lakini hawajafanya vema kulingana na matarajio ya wakati tukidai hali yetu chadema watasema nenda ccm utadhani hakuna akina mama chademaclick to expand mmetuletea jinsia bungeni matokeo yake tumeyaona wanawake chini ya ccm wanasema wakiwezeshwa wataweza chadema inasema wanawake wajisimamie wanaweza hii vita ya ukombozi ni tofauti kidogo nyerere alijaribu kukomboa na akina bibi titi ila kwenye safari walitofautianachadema wanasema kila askari mwenye uwezo abebe silaha kama ni wanaume peke yao poa kama ni kina mama peke yao swadakta tumeshuhudia jinsia zikitumika kama cv ccm na matokeo yake tumeyaonakwenye hili wenye mawazo mgando mtusamehe wamefanya vizuri kwani baba riz1 asingekuwa makini kwa kifupi president angepoteza umakini katika kujadili hili suala muhimu kasasababu yao wanamfahamu
2017-01-23T00:52:57
https://www.jamiiforums.com/threads/kamati-hii-ya-cdm-isiyojumuisha-akina-mama-iko-wapi.195804/
wezesha trust fund jinsi ya kujitambua mwenyewe kama binadamu unatakiwa ujitambue ili uweze kwenda na wakati au kufanya yale ambayo yanatakiwa kufanyika na yale ambayo hayatakiwi kufanyika usiyafanye kuna mambo ya msingi ya kuyafanya ili uweze kufikiria vizuri wakati wote na kila mtu atakayekuona atajua huyu mtu amejitambua na amejua umuhimu wake katika jamii inayomzunguka kwani utajikubali wakati wote na kuwaheshimu wengine fikiri vizuri (jenga mfumo wa kufikiri vizuri) mfumo huu uwe endelevu siyo usubiri upate tatizo ndiyo uanze kufikiri vizuri (usiwe kama zima moto) hii itakusaidia kuanza kupanda mbegu njema kwenye mawazo yako ya kina ili maisha yako ya baadaye yawe mazuri yatoe mbegu nzuri/njema rudisha mawazo yako nyuma jenga picha yako ya utotoni chagua taswira moja wakati ulipokuwa mtoto jione kimwili kimavazi na mazingira ulipokuwa (nyumbani /shuleni au popote) kisha rudi kwako sasa hivi ukiwa mtu mzima jione kama ulivyo sasa hivi ukiwa unamtazama huyo mtoto ambaye umemjengea taswira mtoto ambaye pia ni wewe mtazame na zungumza naye mwambie ulidanganywa kwamba ni mbaya huna akili huna thamani huwezi hufai nk na wewe uliamini kwa sababu ulikuwa mtoto lakini sasa umekuwa mkubwa fahamu ukweli halisi kwamba wewe ni mzuri una akili unaweza na una thamani sawa na wengine unaweza na unafaa rudia zoezi hili mara kwa mara kila wakati hakikisha unachagua eneo ambalo uliambiwa huwezi futa imani zote mbaya kwenye mawazo yako ya kina ni ile ya kufanya zoezi la kurudia rudia maneno pamoja na kujenga taswira mfano kila wakati jiambie ninaweza ninafaa nina thamani najiamini imani ni muhimu sana wakati unajimbia maneno hayo hapa utaenda kutumia mshumaa uwashe mshumaa uweke mbele yako juu ya meza au stuli au sehemu yoyote angalia ile sehemu ya mshumaa inayowaka moto (siyo mshumaa wote) kwa muda wa dakika 10 30 au zaidi baada ya hapo fumba macho yako yote ili uuone ule moto wa mshumaa kwa kutumia macho yako ya akili (yaani jicho la tatu) utaenda kuona moto huo ukiwa wa kijani bluu njano au mweupe baada ya kuuona anza kuchoma zile tabia au mambo yanayokukera au kuwakera wengine mfano choyo wivu uzinzi dharau zichome moja baada ya nyingine wakati unazichoma utaona moto wa mshumaa ukiongezeka ukubwa au utaona moshi fanya zoezi hili mara kwa mara baada ya muda utashangaa kuona tabia au mambo hayo yamekwisha na tabia hizo umeziacha kabisa ni ile hali ya kutumia kioo simama jitazame kwenye kioo ikiwezekana kila siku asubuhi na jioni tafuta zile kasoro ambazo uliambiwa na jiambie kwamba huna kama uliambiwa wewe ni mbaya basi jiambie wewe ni mzuri huku ukijiangalia bila kujiogopa kwenye kioo lakini kama uliambiwa huwezi jiambie naweza sana pia jikubaai kama ulivyo na jiambie umekamilika una thamani na unastahili ni ile hali ya kupata nafasi ya kuyapa mawazo yako ya kawaida baada ya kupewa nafasi ya muda hatimaye yatachukuliwa mawazo yako ya kina mambo haya mapya yataua au kukausha ile miche/miti iliyoota kwenye mawazo yako ya kina miti hii ni ile ya mambo ambayo yanakukera au kuwakera wengine kwa ile ambayo imeshazaa matunda haiwezi kukauka kwani umeshaanza kuvuna kitu ambacho nidyo maisha unayoishi hivi sasa njia hizo zote tano ni za mzunguko hii ya sita ni ya njia ya mkato kwani unaenda moja kwa moja kwenye mawazo yako ya kina na kuyaambia yale unayoyahitaji ambayo ni kinyume na yanayokukera nguvu ya uumbaji kitaswira na kujipa nguvu (i) kumbuka imani hisia matokeo (ii) ondoa mipango ya zamani kwenye mawazo ya kina ndiyo sababu ya msingi ya kukwama kwani nyuma ni historia na inatia uchungu ukiifikiria kuna aina tatu ya uumbaji kitaswira sauti kuona na hisia (iv) kila mmoja ana aina yenye kutawala kwake awe anajua au la kuna wengine wanatawaliwa na aina mbili katika matumizi ya uumbaji kitaswira tunaanza na aina yetu baadaye tunajifunza nyingine (v) ili kujua aina yako jaribu kufikiria unachohitaji sasa hivi ili uone mwanzoni unaweza kusikia sauti inayokuambia hutaweza au ni mzaha ufanyao unatakiwa ufanye mazoezi mengi ili uweze kujenga uwezo wako ulionao au uliopotea (vi) mawazo yako ndiyo yenye kukufanya/kukuwezesha ujenge uumbaji kitaswira unachokiona kila siku ni matokeo ya kilicho mawazoni kila siku hivyo bila kujua huwa tunaumba yale tusiyoyataka maishani uumbaji kitaswira unawakilisha utunzaji wa mbegu (mawazo) kutegemea ni mbegu gani tumepanda (vii) makosa yajitokeza sana usiweke nguvu kwenye kukosa kwenye usichotaka na kwenye usichonacho mfano kama umepanga kwenye chumba kimoja na unataka kujenga nyumba yako usijiambie nimechoka kukaa kwenye haka kakibanda au maisha ya kupanga yamenichosha sema lazima niambie nyumbani kwangu yaani nyumba niliyojenga mwenyewe (viii) unapokuwa kwenye uumbaji kitaswira hisi au ona kama vile jambo limeshakuwa tayari piga picha ya utayari wa jambo lako (ix) jinsi ya kufanya (hatua) (i) tafuta mahali tulivu (ii) tuliza mawazo yako (iii) weka nguvu zako za mawazo katika jambo unalolitaka (x) simamia kufikiria vizuri wakati wote utakaokuwanao na utashangaa kuona matokeo mazuri na kwa muda mfupi sana posted by motivational speaker at 231 am
2018-01-23T21:50:22
http://wezeshatrustfund.blogspot.com/2015/04/jinsi-ya-kujitambua-mwenyewe_81.html
previous articlealichokisema kocha wa psg baada ya kufanyiwa fedheha nou camp next articlemambo kumi niliyojifunza baada ya mchezo wa barcelona vs psg
2018-09-24T09:19:58
http://shaffihdauda.co.tz/2017/03/09/5-bora-ya-comeback-zilizowahi-kutokea-kwenye-champions-league/
helsb hakuna kitu | jamiiforums | the home of great thinkers helsb hakuna kitu discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by huskryderz sep 7 2012 huskryderz hivi hawa jamaa wa bodi ya mikopo elimu ya juu wa mpango gani na elimu ya tz pia utaratibu unaotumika sasa na selikari katika kusaili wanafunzi wa vyuo vikuu (new entry) umekuwa kama waubahatishaji cuz upande wangu sijawaelewa mpaka sasa kwan wametoa kwamba umekuwa admitted but hakuna info yeyote toka chuo husika kuhusu kujiunga na chuo au taasisi hiyo haya ni mawenge tu yakwenda shule ila test assigment and msimu wa sup ukianza utaacha huskryderz said hivi hawa jamaa wa bodi ya mikopo elimu ya juu wa mpango gani na elimu ya tz pia utaratibu unaotumika sasa na selikari katika kusaili wanafunzi wa vyuo vikuu (new entry) umekuwa kama waubahatishaji cuz upande wangu sijawaelewa mpaka sasa kwan wametoa kwamba umekuwa admitted but hakuna info yeyote toka chuo husika kuhusu kujiunga na chuo au taasisi hiyoclick to expand usimtishie mwenzako walofika wananini majeshi mbele kwa mbele so unataka kumwambia asiende kwaajili ya sapp acha wenge wanaboa kweli acha aseme alichonacho we kwel uttoh hzo test toka 2anze shule 2meshafanya nying sana so kusupp nimatokeo 2 acha aseme alichonachoclick to expand hizi ni sera za 'fb' tuwe wavumilivu wakuupatience is better lakini si watatoa tu hivi hawa jamaa wa bodi ya mikopo elimu ya juu wa mpango gani na elimu ya tz pia utaratibu unaotumika sasa na selikari [=serikali] katika kusaili= [kudahili] wanafunzi wa vyuo vikuu (new entry) umekuwa kama waubahatishaji cuz upande wangu sijawaelewa mpaka sasa kwan wametoa kwamba umekuwa admitted but hakuna info yeyote toka chuo husika kuhusu kujiunga na chuo au taasisi hiyoclick to expand waulize walioelewa halafu usidhani info zitakujia tu kama maono au ndoto wewe uttoh usije ukajiona umesoma kwenye hii jamiiforumshzo supplimentally tulifanya hata xul mzaz wako hajafikilia kukupeleka nursary na kipindi nafanya desertion ww upo primary school sasa usijifanye kujua kutoa comments humu bila kujifahamuunajiona msomi wakati unafundishwa na tutors na unategemea kupata level yao kielimu na certificate zenu
2017-04-30T07:42:03
https://www.jamiiforums.com/threads/helsb-hakuna-kitu.320161/
psychicbeila123 usomaji wa akili wa mtandaoni online masomo ya akili > psychics live > psychicbeila123 megan machi 23 2017 psychics live3 maoni kwenye psychicbeila123 kuhusu psychicbeila123 psychic psychicbeila123 ina uzoefu wa miaka 5 kutumia uwezo wa psychic kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi psychic psychicbeila123 hivi karibuni imewasaidia washiriki wa 8 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika oranum ushuhuda hapa chini unaonyesha yale ambayo wengine wamesema juu ya usahihi na usikivu wa psychicbeila123 kama psychic ya mtandaoni mimi ni mhusika wa huruma mwenye uzoefu zaidi ya miaka 5 nina utaalam katika maswala ya upendo na uhusiano na ninaweza kusaidia kuwaongoza na kuwaongoza wengine katika njia sahihi na uwezo wangu wa kiroho ninatumia dawati la taraza la waite wa ulimwengu wote katika usomaji wangu mwingi lakini ninauwezo wa kusoma aina nyingi tofauti za tarot uwezo wangu ni zawadi ya zamani kutoka kwa babu zangu walio na vipawa mstari wangu wa damu hubeba sifa za huruma kifahari clairaudient uponyaji auraveydic uchawi na nguvu ya kiroho mimi ni kiwango cha 3 reiki bwana nina digrii katika parapsychology mimi mwalimu katika uponyaji wa tafakari na upatanishi wa kiroho matengenezo ya chakra na viwango vya auric mimi ni mwanachama na psychic instruction (psi) mediation memarders (mmm) auric energy association (aea) europes intuitive enclaves (eie) uwezo wangu utashangaa ninauwezo kuona zamani kama ilivyokuwa sasa wako kama ulivyo na wakati wako ujao kama utakavyokuwa siuliza maswali na kuona yote piga simu leo ​​kudhihirisha umilele wako alikuwa mzuri niliweka kwenye vitu ambavyo nilikuwa na wasiwasi juu yao kilichoandikwa na pandoy wow alishangaa sana naye sikuwa na hata kusema chochote kilichounganika mara moja haraka sahihi na inasaidia sana asante sana tutarudi tena ) imeandikwa na yoogii00 alikuwa mzuri faraja sana na kuendelea na kusoma kwangu nilipenda roho yake na uaminifu ) iliyoandikwa na jeter28
2019-12-05T22:53:17
https://sw.psychicbonus.com/psychicbeila123/
warsha ya wasanii wa grafiti yafika tamati « mwenyemacho dot com « tamasha la filamu za ulaya limewadia warsha ya wasanii wa grafiti wasanii kazini » this entry was posted on november 9 2007 at 421 pm and is filed under africa art bongo elimu fotografia kazi kimataifa photography sanaa tanzania you can follow any responses to this entry through the rss 20 feed you can leave a response or trackback from your own site one response to warsha ya wasanii wa grafiti yafika tamati hao jamaa kiboko mtumzima naona wamechafua kuta kitaalam vipi ule ukuta wa jangwani bado unapicha zile zile au zimechorwa zingine kama bado kwaninihao jamaa wasiende na pale wakitie machata pale patakuwa bomba sana kama pakichorwa mapicha mapya kila mara
2017-08-17T13:26:44
https://mwenyemacho.wordpress.com/2007/11/09/warsha-ya-wasanii-wa-grafiti-yafika-tamati/
viwango vya juu vya injini za utafutaji na nakakati za mzigo wa haraka nici nini kila mmiliki wa wavuti anataka lakini kufikia haya inaweza kuwa ngumu sana ikiwa haujui unafanya nini hapa ndipo google amp huja kuwaokoa ni mradi wa google kusaidia tovuti kupakia kasi mara moja hapa kuna ngozi yangu ya nje huko bora zaidi ni upakiaji wa haraka idadi kubwa wordpress mandhari ambayo inafanya kazi nzuri na kila mjenzi wa ukurasa huko nje na mandhari ni kamili kwa biashara ndogo ndogo blogi anza na zaidi toleo the bure na the premium linakuja na msaada wa asili wa amp alergator bora kwa jumla ni upakiaji haraka seo ya kifiki wordpress mandhari ambayo inaambatana na wajenzi wote wa ukurasa kuu inakuja na maktaba kubwa ya tayari kuingiza tovuti toleo la pro tu linakuja na msaada wa asili wa amp kabla ya kuruka ndani bora amp wordpress mandhari wacha imediatue amp nu este nini na kwa nini unapaswa kuzingatia kuitumia 31 cele mai bune pluginuri wordpress amp 6 je nu facem gani pentru a utiliza amp ya google wordpress mada kusudi la google amp nu este o persoană care să fie wavuti kubeba mara moja sio haraka tu lakini kwa mzigo mara moja lakini kwa sababu wewe ni wordpress mtumiaji unaweza kuifanya bure kwa kusanikisha programujalizi mara tu utakapotumia amp kwenye wavuti yako google itatumia wageni kwenye toleo la amp the kurasa zako badala ya kurasa za kawaida sasa kama ilivyo na tehnologii nyingine yoyote mpya kuna faida na hasara za kuwezesha amp kwenye wavuti yako google inapenda tovuti ambazo zinatoa utilizaefu mzuri wa watumiaji na kasi ya wavuti yako inachangia utilizaefu mzuri wa watumiaji kuna pia hadithi căutați banii pentru a vă wanaotumia amp na kupoteza trafiki yao yote ya rununu fikiria amp kama toleo la lishe la html ya kawaida google amp inaruhusu html tu ai nevoie de javascript complet js ya mtu wa tatu inaruhusiwa iframes haiwezi kuzuia utoaji lacul kusudi kuu ni kupakia kurasa za wavuti mara moja na javascript inaleta athari kubwa kwa kasi ya wavuti yako ikiwa unatumia zana ya analytics google analytics google analytics nu se poate kuwa na uwezo wa kufuatilia wageni wa rununu kwenye kurasa zako za amp programeazăți amp în automatică nu te face și să spui wordpress să nu faci rapoarte în acest caz să utilizezi mai multe lucruri (ikiwa wapo) nu programăm iliyowekwa na kusahau walakini inakuja na chini kwa mfano inasaidia tu wordpress machapisho sio kurasa wakati wengi wordpress mandhari itafanya kazi vizuri în amp ikiwa unataka kuwa na uwezo wa kubadilisha toleo the amp la kurasa zako unhitaji amp tayari wordpress mada ili kuandaa amp ya tovuti yako unweza kutumia mandhari ya urafiki ya amp au unaweza kubadilisha mada yako ya sasa kwa kutumia programujalizi ya amp cele mai bune pluginuri wordpress amp kuna amp zingine căutați programul wordpressjalizi ambazo nici bora kutayarisha mada yako ya sasa na msaada pande zote kurasa categorie weeblramp labda ni programu inayofaa zaidi ya kuahidi amp huko nje sasa weeblramp hukuruhusu kuunda toleo kamili la amp la tovuti yako linaloonyeshwa kikamilifu kama ilivyoainishwa na maelezo ya amp machapisho kurasa categorie vitambulisho na kumbukumbu maoni pia ya kujengwa uchanganuzi matangazo schemaorg yoast na jetpack miingiliano toleo the premium hubadilisha kiotomati fomu za mawasiliano ya 7 naina ya mvuto barua ya barua kwa wp woocommerce au upakuaji wa dijitali wp amp nu a oferit un program wordpress pentru ați permite să crezi și să îți faci o simplă abordare (amp) wp amp inakuwezesha kujumuisha aina zote za maudhui na kumbukumbu kwenye wavuti yako ya rununu unaweza kupachika picha video audioane na picha unaweza kubadilisha muundo wa kawaida au kuunda mpya kabisa inakuwezesha kufuatilia wageni in google analytics meneja in google google yandexmetrika in facebook pixel inafanya kazi na yoast seo zote katika pack seo mfumo wa seo seo ultimate încărcațivă amp în woocommerce pentru a vă lăsa în vigoare adsense și faceți dublu clic pentru amp amp kwa wp huongeza kiotomatiki kurasa za runun of rununu (mradi google google amp) pentru wordpress programujalizi hii yenye utajiri mkubwa hukuruhusu kubadilisha mada yako ya sasa ili kuwa tayari amp tazama vipengee vyote na viunganisho 100 inayoendana în google amp iliboresha kasi hutumia vanilla javascript pentru utoshelezaji wa utendaji bei 39 usd (toleo la bure linapatikana pia) astra ni wepesi haraka na mjenzi wa ukurasa wordpress mandhari ambayo imeundwa na brain sefe force astra inakuja na msaada wa amp ya asili (lakini lazima upate versiunea pro) 100 inalând în google amp (tu kwenye toleo la pro) rahisi kutumia interfață na safi ya admin kadhaa da iliyoundwa awali na huduma za kuangalia nyota zinazovutia ambazo unaweza kuingiza imepigwa nici revistă / habari na mtindo wa blogi ya kibinafsi wordpress mandhari iliyopigwa nu ați reușit wordpress mandhari bora kwa tovuti za majarida na blogi za kibinafsi mada hii inatoa tovuti yako mtazamo wa kuvutia mpya wa kuvutia jicho imepigwa wordpress mada ni uzani mwepesi na wa haraka unaweza kubadilisha muundo wote wa mada hii kwa urahisi bila kugusa safu moja ya nambari mada hii inakuja na msaada kwa google amp na nakala za facebook instant msaada google google amp msaada wa nakala za facebook orodha / kubwa / kubwa kwa kadi ya bebeluș nyumbani slider / carrusel mchapishaji nu mada ya mtindo wa gazeti la wordpress inatoa muundo mzuri wa msikivu mada hii nici nzuri kwa kuunda blogi za mtindo wa habari inakuja na templeti 90+ ​​za nyumbani zilizotengenezwa kabla ya kuchagua kutoka hutoa vilivyoandikwa 20 vya kipekee unvyoweza kutumia kwenye barabara bei 39 $ noor nu am niciodată nyingi mandhari ya wordpress imeboreshwa kikamilifu kwa hivyo unaweza kubinafsisha na kuitumia tengeneza tovuti karibu tasnia yoyote inakuja na mizigo ya demos zilizojengwa kukusaidia kuanza nzuri kwa zote inaendana na google amp unachohitaji nici kusanikisha programujalizi ya amp baada ya ufungaji na umemiza imejengwa kwa seo inakuja na unganisho lenye utajiri wa snippet na msingi wa kanuni uliowekwa vizuri rahisi nu a fost deja biashara pentru wordpress inatoa kila kitu utahitaji kuunda na kuendesha tovuti ya biashara kuja na mchawi rahisi wa usanidi kwa hivyo unaweza kuanzisha mandhari meuyewe ndani ya sekunde inalingana kabisa na woocommerce na inatoa mada 4 pentru ați muta tofauti ya kuchagua mada hii nici tayaritafsiri pentru că nu putem să nu facem nimic moja ni mada ya jarida wordpress ni sawa kwa kuunda tovuti za habari badilisha kwa urahisi nyanja zote za muundo pentru kutumia wikipedia ya moja kwa moja filamu ni kusudi mbali mbali wordpress mada inakuja na mjenzi wa dragnaton pentru că nu este posibil să ne acordăm cuiboresha în kuitumia kuunda pentru a vă da aina yoyote inakuja na msaada kamili kwa woocommerce pentru o perioadă de timp redusă nu este necesară pentru a face față msaada kwa sehemu za ukingo wa paralax mada hii ni tayaritafsiri unaweza kuitafsiri pentru urahisi katika lugha nyingi ili kuunda wavuti ya lugha nyingi bine nu puteți să folosiți wordpress mada hii inatoa zaidi ya 70 tofauti tofauti mpangilio kuchagua kutoka piața inakuja na msaada kamili kwa woocommerce for hivyo unaweza kuanza kuuza bidhaa zako mkondoni kwa urahisi zaidi ya 70+ layouturi kuchagua kutoka msaada kamili pentru google amp mjenzi wa ukurasa meuye nguvu na drag na achilia ujenzi wa slider inakuja na mipangilio toofauti ya blogi kuchagua kutoka kama jina linavyosema mobnews nu sunt mada iliyojengwa kwa tovuti za habari inatoa muundo mzuri ambao ni msikivu kikamilifu msaada kwa icoane pentru kushangaza za font gazeti nu uimesc wordpress mada iliyoundwa kwa tovuti inakuja kwa mpangilio msingi wa gridi ya kutoa tovuti yako kuangalia na kuhisi ya tovuti ya has has premium imeboreshwa kikamilifu kwa hivyo unaweza kubinafsisha nyanja zote za muundo wa mada hii meuyewe bila kuandika safu moja ya nambari aina za ukomo wa rangi zisizo na kikomo unaweza kuchagua a rămas pentru aina zote kwenye wavuti yako mjenzi wa ukurasa wa amp kukusaidia kurasa zako na kiolesura rahisi cha kushuka na kushuka sertarul tău amp nu poate fi conectat la wordpress ni msikivu kikamilifu na rahisi adapta ya ukubwa wote wa skrini inakuja na templeti kadhaa za kubuni kuchagua kutoka msaada wa simugap na cordova pentru că nu este nevoie de un program de lucru și de program de lucru în vigoare pentru urahisi kuja na zaidi ya 400 de icoane grozave de font inakuja na msaada kamili wa amp na inatoa 40+ amp templeti sahihi za kuchagua kutoka piața inakuja na fomu ya mawasiliano ambayo ni halali ya amp pentru hivyo itafanya kazi hata wakati mumumji anatembelea ukurasa wa amp kupitia google ubunifu unaojibika ambo hubadilika pentru urahisi kwa saizi zote za skrini inakuja na masaada to phonegap hukuruhusu kugeuza tovuti yako kuwa program pe ya runun you asili msaada kwa icons 400 pentru font minunat blogstart pro nu am fost deja menționat și inakosa mengi ya mada zilizo hapo juu zinatoa lakini nyota nzuri amp wordpress mandhari ambayo ni bure blogstart pro proaspăt mandatar pentru că staria a scos în evidență o mamă care a făcuto și a fost foarte potrivită pentru twitter de la twitter bei liber kurasa zilizo na kasi za simu ya google (amp) ni mradi wa chanzo wazi ambao hufanya kurasa za wavuti kupakia haraka kwenye vifaa vya rununu amp hutumia seteazăți un html javascript în css kufanya ukurasa kupakia karibu mara moja ndio lakini amp haitafanya kazi nje ya boksi kutumia amp kwenye yako wordpress nu a dorit un program wordpressjalizi ya amp și amp tayari wordpress mandhari je nu facem gani pentru a utiliza amp ya google wordpress mada kutumia amp inayolingana wordpress temă ndio njia rahisi kupata tovuti ya upakiaji haraka bila kuwa na kusanidi na kusanidi programujalizi sasa unchohitaji kufanya sau kupata nzuri wordpress euyeji wa kampuni kama kinsta sau wp injini na uchague yoyote ya templet hizi na uanze na wavuti yako
2020-07-15T07:33:22
https://nightmaremode.net/cat-wordpress/google-amp-pentru-wordpress-wordpress-mada-ya/
video azikwa hai bila huruma kama una moyo mwepesi usiangalie hii video | jamiiforums | the home of great thinkers video azikwa hai bila huruma kama una moyo mwepesi usiangalie hii video wanajeshi wa syria wakimzika mtu hai[/td] pamoja na kelele za kuomba asiuliwe mmoja wa wanajeshi wa waasi nchini syria alizikwa mzima mzima bila kuhurumiwa na wanajeshi wa rais assad wa syria akifukiwa kidogo kidogo mpaka alipozikwa mwili mzima kwenye kaburi alilochimbiwakama una moyo mwepesi usiangalie video ya habari hii tuliyowawekea[/td] [td=colspan 3]onyo kama una moyo mwepesi usiangalie video ya habari hii iliyopo mwisho wa habari hii wanajeshi wa serikali ya rais bashar alassad wa syria wanatuhumiwa kufanya ukatili wa hali ya juu kwa kumzika mtu huku akiwa hai katika video iliyozagaa kwenye mitandao mbalimbali wanajeshi wa assad wanaonekana wakimzika mtu anayesadikiwa kuwa ni mmoja wa wanajeshi wa waasi wanaoipinga serikali ya rais assad mwanaume huyo alizikwa mzima mzima hadi shingoni kwenye kaburi alilochimbiwa huku akiwa amezungukwa na wanajeshi wenye mitutu ya bunduki mwanaume huyo alionekana akilia kuomba ahurumiwe asiuliwe lakini wanajeshi hao badala yake walimrushia matusi huku wakimfunika mzima mzima kwa mchanga tukio hili limetokea huku kukiwa na mlipuko mkubwa kwenye mji wa hama ambapo zaidi ya watu 68 walifariki kutokana na mlipuko huo waasi wa syria wameuomba umoja wa mataifa ufanye kikao cha dharura kuokoa maisha ya raia wa syria kama hauna moyo mwepesi angalia video ya tukio hilo chini[/td] [td=colspan 3]video azikwa hai bila huruma <iframe style=width 420px height=315 src=http//wwwyoutubecom/embed/lpax7vlzsksrel=0 frameborder=0 allowfullscreen=></iframe>[/td] warning this video contains violent scenes not suitable for children i do not speak arabic if there are any arab speakers out there who would like to help translate this video please message me a prodemocracy activist gets buried alive by syrian president bashar alassad's soldiers one soldier orders him to say there is no god but bashar assad but he bravely defies the soldier saying there is no god but allah before being buried alive this is believed to have been filmed in the damascus area​ video azikwa hai bila huruma
2017-01-18T18:20:08
https://www.jamiiforums.com/threads/video-azikwa-hai-bila-huruma-kama-una-moyo-mwepesi-usiangalie-hii-video.259363/
tumuunge mkono rais ulinzi wa rasilimali za taifa makala swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//3406064/medres/1168738//3t9je1//magufuliraisjpg imepakiwa friday september 8 2017 at 1140 rais john magufuli alipokea ripoti kuhusu madini ya almasi na tanzanite iliyoonyesha kuweko kwa dosari zinazosababisha nchi kupoteza mapato mengi alhamisi rais john magufuli alipokea ripoti kuhusu madini ya almasi na tanzanite iliyoonyesha kuweko kwa dosari zinazosababisha nchi kupoteza mapato mengi ripoti hiyo inatokana na kamati mbili zilizoundwa na spika wa bunge la jamhuri ya tanzania job ndugai kuangalia mfumo wa uchimbaji udhibiti usimamizi na umiliki wa madini hayo kama tulivyoripoti katika taarifa tuliyochapisha alhamisi gazetini hii ni ripoti inayoonesha hali ya kusikitisha kuhusu wizi unaofanywa nchini katika sekta ya madini na kibaya zaidi wizi huo ukiwa na baraka za watanzania wenzetu waliopewa jukumu la kusimamia maliasili ya taifa kilichoibuliwa na kamati za bunge kinaandika historia mpya katika taifa letu kwa namna ufisadi ulivyokubuhu katika sekta ya madini ingewezekana wajumbe wa kamati wangepindisha ukweli wa waliyobaini haikuwa hivyo wamedhihirisha ukweli mchungu ambao baadhi ya watanzania wenzetu wasingependa uwekwe hadharani tunawapongeza wanakamati kwa kuweka mbele maslahi ya taifa tunalazimika pia kumpongeza rais kwa hatua ambazo amekuwa akizichukua katika siku za hivi karibuni za kupambana na watu wanaohujumu sekta ya madini kama ambavyo amekuwa akisema mara kwa mara nchi yetu iko katika vita vikali vya kupambana na mabaradhuli wa ndani na nje ya nchi ambao kwa muda mrefu waliigeuza nchi yetu kama mahali rahisi pa kuchuma tukubali tumefanya makosa lakini kwa kupitia serikali yetu ya awamu ya tano watanzania katika kila ngazi tunapaswa kuamka na kuzillinda rasilimali zetu ili zitunufaishe sisi na vizazi vijavyo tusirudie makosa yaliyokwishafanywa na baadhi yetu waliokosa uzalendo kwa nchi yao na hata kukosa huruma kwa wananchi ambao kama rais alivyosema wamekuwa wakikosa huduma nyingi kwa sababu ya ukosefu wa fedha ili tusirud tulikotoka tumewasikia viongozi wakiagiza kupitiwa upya kwa sheria zetu kama moja ya mikakati ya kupambana na vita hii hata hivyo tunapopitia upya sheria zetu na hata kuzibadili mchakato huu uende sambamba na upitiaji upya wa mikataba yote katika sekta ya madini ili kubaini ile ambayo isiyokuwa na tija kwa taifa na hatimaye kutafutiwa njia sahiha ya kuachana nayo kwa muda mrefu kilio cha watanzania wengi ni usiri mkubwa wa mikataba hasa inayohusu maliasili muhimu kama madini kama viongozi wakuu wa nchi wanakiri kuwa tumedhulumiwa na kuibiwa kwa muda mrefu wakubali pamoja na mikakati mingine kuweka utaratibu wa mikataba ya taifa kuwa mali ya umma na si mali ya watu binafsi wachache serikalini kuanzia sasa tunapendekeza mikataba yote ipelekwe bungeni na kuridhiwa na wawakilishi wa wananchi kamati hzi za bunge pamoja na zile za awali zilizoundwa na rais kuhusu mchanga wa dhahabu ni dalili tosha kuwa serikali imeamua kwa dhati kuikomboa nchi kutoka mikononi mwa watanzania walafi wanaoshirikiana na wageni kuifilisi nchi tunaunga mkono juhudi za serikali ambayo kwa hakika imeshajipambanua vya kutosha kwa dhamira yake ya kulinda mali za taifa wakati wa kuzuia wizi wa mali za nchi yetu ni sasa wakati wa kuona maliasili zinanufaisha nchi hii ni sasa tanzania ya uchumi wa kati inawezekana kama tutajipanga kuziba mianya yote inayotoa fursa kwa watu wachache kunufaisha kwa migongo ya watanzania wengi
2017-11-19T15:50:41
http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/tumuunge-mkono-rais-ulinzi-wa-rasilimali/1310220-4087438-a32d29/index.html
michuzi blog introducing salome by diamond platnumz ft rayvanny ' introducing salome by diamond platnumz ft rayvanny sallam kutoka wcb ameonyesha baadhi ya nyaraka ambazo zimewapitia kibali cha kutumia sehumu za wimbo maria salome wa saida karoli katika wimbo mpya wa diamond salome wimbo maria salole wa saidi karoli ni miongoni mwa nyimbo za asili zilizofanya vizuri miaka ya 2000hali hiyo iliufanya uongozi wa diamond kuzungumza na uongozi wa saida karoli ili upate kibali cha kutumia sehemu za nyimbo hiyo pichani juu anaonekana diamond na rayvanny wakiwa na mzee felician mutakyawa wakati wa kusaini makubaliano ya kutumia sehemu ya wimbo huo wa 'salome' ambao umebamba kila kona chanzo bongo five hakuna mwengine zaidi ya diamond aisee naseeb hapa ndipo anapowaacha mbali artists wengine wa bongo kwa ubunifu wake diamond hakika yupo juu wengine watafuata nyuma tuu watake wasitakeendelea na uzi huo huo jamaa anajua sana masha allah kwa kweli hii 'version' ya 'maria salome' iliyoimbwa na diamond platnumz ft rayvanny ipo very 'classic' hakika mnastahili pongezi za pekee kwa kazi nzuri kuanzia midundo (muziki) uchezaji na hata ujumbe 'makhsusi' uliyomo katika wimbo huo kwa kweli wenye wivu wajinyonge tu hakika mnastahili sifa na pongezi za pekee 'crew' nzima ya wcb kwa ushirikiano wenu sharifu masoud safi sana ila kama haujasoma magazeti ya leo basi soma hapa sanaa ni ubunifu mmeutendea haki huu wimbo mmewaacha 'kodo' hongereni sana diamond na team nzima ya wcb
2017-01-21T08:34:05
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/introducing-salome-by-diamond-platnumz.html
audio mtoto azungumzia kifo cha samwel sitta rumafrica for all nations » audio mtoto azungumzia kifo cha samwel sitta audio mtoto azungumzia kifo cha samwel sitta leo asubuhi november 7 2016 watanzania wameamka na habari za kusikitisha baada ya taarifa za kifo cha spika mstaafu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mzee samwel sitta taarifa zinasema mzee sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya technical university of munich ujerumani alikokuwa akipatiwa matibabu tangu mwezi uliopita benjamin sitta ni mtoto wa marehemu samwel sitta hapa amezungumza kuhusu kifo cha baba yake mzee sitta>>>mzee alikuwa anasumbuliwa na saratani ya tezi dume ambayo imekwenda kuathiri viungo vingine siku zote ambazo alikuwa amekwenda nje kujaribu kupambana nayo lakini kwa bahati mbaya ilienea sana na kuanza kuathiri viungo vingine mpaka miguu interview haya hapa chini ni mahojiano ya mwisho ya mzee samwel sitta na millardayocom na ayotv na alikua akikanusha taarifa zilizoandikwa gazetini kwamba amehamishwa kwenye nyumba ya serikali aliyokua akiishi
2017-01-16T10:38:19
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/11/audio-mtoto-azungumzia-kifo-cha-samwel.html
stephanomangoblogspotcom baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya mbinga laanza kikao chake ambapo hoja na taarifa mbalimbali za kamati zinaendelea kutolewa baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya mbinga laanza kikao chake ambapo hoja na taarifa mbalimbali za kamati zinaendelea kutolewa madiwani wakiwa wamesimama ikiwa ni ishara ya heshima wakati mwenyekiti wa halmashauri oddo mwisho makamu mwenyekiti wa halmashauri priska haule na mkurugenzi wa halmashauri hiyo shaib mnunduma wakiingia kwenye kikao hicho mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya mbinga oddo mwisho (katikati) akifungua kikao kulia ni mbunge wa jimbo la mbinga mashariki gaudence kayombo na kushoto ni mkurugenzi wa halmashauri hiyo shaib nnunduma wakiingia kwenye kikao hicho waandishi wa kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo wakiendelea kufuatilia hoja mbalimbali makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya mbinga ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya fedha mipango na uongozi prisca haule akiwasilisha taarifa ya kamati madiwani wakiendelea kufuatilia hoja mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika kikao hicho kutoka kwa wajumbe wenyeviti wa kamati za kudumu za madiwani wa halmashauri hiyo wakiendelea kufuatilia taarifa zao kwa umakini posted by stephano mango at 526 am définition du couple selon gustave parking citation du 21102017 bad news hiace yawaka moto na kuua watu watano coke studio africa 2017 this week azimio la arusha mwarobaini pekee uliobaki baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya mbinga
2017-10-20T23:27:40
http://stephanomango.blogspot.com/2012/05/baraza-la-madiwani-halmashauri-ya.html
jumuiya ya zayedesa yadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kufanyika usafiri ufukwe wa bahari ya kizingo zanzibar zanzinews home habari matukio jumuiya ya zayedesa yadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kufanyika usafiri ufukwe wa bahari ya kizingo zanzibar jumuiya ya zayedesa yadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kufanyika usafiri ufukwe wa bahari ya kizingo zanzibar katibu mkuu ofisi ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar ndgshaban seif mohammed ashiriki katika uzinduzi wa siku ya mazingira duniani akijumuika na wananchi na wafanyabiasha wa jumuiya ya zayedesa kufanyika usafiri wa mazingira katika ufukwe wa bahari ya kizingo zanzibar
2018-12-13T13:33:50
http://www.zanzinews.com/2018/06/jumuiya-ya-zayedesa-yadhimisha-siku-ya.html
magazeti ya kenya jumanne desemba 17 yaibuka kuwa jaji odek alifariki dunia ijumaa wala sio jumatatu ▷ tukocoke magazeti ya kenya jumanne desemba 17 yaibuka kuwa jaji odek alifariki dunia ijumaa wala sio jumatatu 6 months ago 3549 views by adlyne wangusi gavana wa machakos alfred mutua kudai kuwa viongozi wakuu katika chama cha jubilee walimtishia maisha ndio taarifa iliyopewa uzito katika magazeti ya jumanne desemba 17 kifo cha jaji wa mahakama ya rufaa otieno odek siku ya jumatatu desemba 16 nyumbani kwake kisumu pia ni habari nyingine iliyoangaziwa katika magazeti haya habari nyingine wajinga nyinyi gavana waiguru atishia kumshtaki king kaka kwa kumchafulia jina magazeti ya kenya jumanne desemba 17 habari nyingine klabu ya hertha berlin sasa yakimbizana na saini ya kiungo victor wanyama uchunguzi uliofanywa nyumbani kwa jaji odek umefichua kuwa huenda marehemu alifariki usiku wa ijumaa desemba 13 ama usiku wa jumamosi desemba 14 kulingana na daily nation mwili wa odek ulikuwa umekawia kiasi hivyo sio kweli alifariki siku ya jumatatu desemba 16 jaji huyo alikuwa anafahamika kwa kuwa makini na muda na kukosekana kwake kortini saa tatu asubuhi uliibua maswali dereva wake ambaye alishindwa kumpata kwa simu siku ya jumatatu aliwafahamisha wafanyakazi wa mahakama ambao walikimbia nyumbani kwake wakiwa wameandamana na maafisa wa usalama na kumpata amekata roho hata hivyo uchunguzi wa upasuaji wa maiti unasubiriwa kubaini chanzo cha kifo chake gazeti la daily nation jumanne desemba 17 picha nation utata unazingira kifo cha jaji odek kilichotokea nyumbani kwake karibu na kituo cha polisi cha kisumu central kulingana na gazeti la the star jaji huyo alipatakina akiwa uchi kitandani akiwa ametazama juu mkono moja ukiwa nyuma ya kichwa chake huku damu ikimtoka sehemu zake za siri na sehemu zingine za mwili tembe tatu za kusisimua ngono pia zilipatikana katika nyumba hiyo lakini haikubainika ni nani aliyekuwa akizitumia tembe hizo nyumba yake kwa sasa imefungwa na maafisa wa upelelezi ili kufanya uchunguzi gazeti la the starjumanne desemba 17 picha the star gazeti hili linaripoti kuwa madai ya kutishiwa maisha kwa gavana mutua imeibua joto ya kisiasa kuhusiana na msimamo wake wa mwaka 2022 huku polisi wakizundua uchunguzi wa madai hayo imeibuka kuwa mutua ambaye alidokezea azma yake ya kuwania urais anajaribu kusonga karibu na kiongozi wa odm raila odinga kulingana gazeti hili mutua huenda anatumia madai hayo kuchukua nafasi ya kiongozi wa wiper kalonzo musyoka ambaye kwa wakati mmoja alikuwa rafiki wa karibu wa raila lakini walivunja uhusiano huo madai haya pia yanajiri siku chache baada ya gavana huyo kukanusha kuwepo kwa ndoa ya kisiasa kati yake na naibu rais william ruto na kalonzo musyoka baadhi ya maskofu walioasi kanisa la katoliki wamesema idadi ndogo ya maskofu yaweza kutatuliwa endapo wataruhusiwa kuoa wakiongozwa na godfrey siundu ambaye anaongoza kanisa moja mjini bungoma askofu huyo alipongeza bodi ambayo iliunga mkono pendekezo hilo na pia kumshahuri papa francis kufanya hivyo mswada huo uliungwa mkono na yamkini maskofu 128 na inapania kutatua changamoto ya idadi ndogo ya maskofu ambayo inakumba amazon miongoni mwa maeneo mengine siundu pia alisema endapo maskofu wataruhusiwa kuoa basi visa vya mahusiano ya mapenzi ya kisiri na kuwaliti watato vitapungua mhubiri huyo aliwacha huduma hiyo katika kanisa la katoliki na kumuoa stella nangila ambaye alikuwa mtawa wakati huo gazeti la taifa leo jumanne desemba 17 picha taifa leo gazeti hili linaripoti kuwa licha ya maafikiano kati ya rais uhuru kenyatta na raila ambayo ilileta amani nchini mahusiano ya wawili hao pia imechangia katika uhasama katika vyama vya jubilee na odm katika chama cha jubilee viongozi wametengana kuhusiana na ripoti ya jopo kazi la maridhiano (bbi) na tangia handisheki rais amekuwa akipuuza wito wa kufanya mkutano wa kundi la bunge kuzungumzia mpasuko katika chama hicho odm kwa upande wao wandani wakuu wa raila wamekuwa wakitofautiana kuhusiana na kuidhinishwa na chama hicho kuwania ugavana mwaka 2022 viongozi katika chama cha upinzani pia wanatofautiano kimawazo kuhusu bbi na hatma ya raila 2022 gazeti la the standard jumanne desemba 17 picha standard 3 hours ago 21916 views 3 hours ago 25703 views 7 minutes ago 2715 views 13 hours ago 20838 views 17 minutes ago 10783 views 56 minutes ago 1119 views washukiwa 3 wakamatwa na kuzuiliwa kufuatia githeri yenye sumu iliyowaangamiza watu wanne
2020-07-02T09:06:59
https://kiswahili.tuko.co.ke/330265-magazeti-ya-kenya-jumanne-desemba-17-tembe-za-kusisimua-ngono-zapatikana-nyumbani-kwake-jaji-odek.html
pigo barcelona umtiti aumia atakuwa nje hadi mwakani bin zubeiry sports online pigo barcelona umtiti aumia atakuwa nje hadi mwakani bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > pigo barcelona umtiti aumia atakuwa nje hadi mwakani pigo barcelona umtiti aumia atakuwa nje hadi mwakani klabu ya barcelona imepata pigo baada ya beki wake samuel umtiti kuumia nyama za paja na atatakiwa kuwa nje hadi mwaka mpya maana yake ataikosa el clasico dhidi ya mahasimu real madrid vigogo wa katalunya walilazimishwa sare ya 22 na celta vigo jumamosi uwanja wa nou camp mabao yao yakifungwa na nyota wake lionel messi na luis suarez lakini vinara hao wa la liga wakamaliza mchezo huo na pigo zaidi baada ya umtiti kuumia umtiti mwenye umri wa miaka 24 alikuwa anamdhibiti mshambuliaji wa zamani wa liverpool iago aspas wakati anaumia barcelona imethibitisha samuel umtiti atakuwa nje hadi mwakani baada ya kuumia nyama za paja picha zaidi gonga hapa baada ya mchezo wa jana barca ikathibitisha kupitia tovuti yake kwamba habari mbaya kuhusu mchezaji huyo umtiti atakuwa nje hadi mwaka 2018 vipimo vinaonyesha kwamba samuel umtiti ameumia nyama za paja mguu wake wa kulia na anatarajiwa kuwa nje kwa wiki naneimethibitisha klabu maana yake mchezaji huyo atakosekana kwenye safari ya madrid kwenda kuvaana na wenyeji real madrid desemba 23 na atarejea uwanjani mwishoni mwa januari item reviewed pigo barcelona umtiti aumia atakuwa nje hadi mwakani rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-10-16T16:10:37
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/12/pigo-barcelona-umtiti-aumia-atakuwa-nje.html
hotuba ya amiri wa hizb ut tahrir mwanachuoni mkubwa ata bin khalil abu alrashtah juu ya tukio la ukumbusho wa ukombozi wa konstantinopoli mnamo 857 h 1453 m hizb ut tahrir kenya january 8 2020 views 62 [tafsiri ya swahili itakujia hivi karibuni] hivi ndivyo bishara njema ya nabii wa mwenyezi mungu (saw) ilivyo timizwa ambaye katika hadith yake tukufu iliyopokewa kutoka kwa abdullah ibn amr ibn alas aliyesema tulipokuwa na nabii wa mwenyezi mungu (saw) tukiandika nabii wa mwenyezi mungu aliulizwa ni upi kati ya miji miwili utakaofunguliwa kwanza konstantinopoli au roma nabii wa mwenyezi mungu (saw) akasema«مَدِينَةُ هِرَقْلَ تُفْتَحُ أَوَّلاً، يَعْنِي قُسْطَنْطِينِيَّةَ»mji wa heraclius utafunguliwa kwanza ikimaanisha konstantinopoli imesimuliwa na ahmad katika musnad yake na alhakim katika almustadrak na akasema hadith hii ni sahih kwa masharti ya msheikh wawili na hawakuivua wao azzahabi ameizungumzia kwa masharti ya bukhari na muslim pia katika hadith tukufu iliyopokewa kutoka kwa abdullah bin bishr alkhathami kutoka kwa babake kwamba alimsikia mtume (saw) akisema «لَتُفْتَحَنَّ الْقُسْطَنْطِينِيَّةُ فَلَنِعْمَ الْأَمِيرُ أَمِيرُهَا وَلَنِعْمَ الْجَيْشُ ذَلِكَ الْجَيْشُ»mutaifungua konstantinopoli amiri wake ni amiri bora na jeshi bora ni jeshi hilo alisema maslama bin abdul malik aliniita na kuniuliza kwa hiyo nikamtajia hiyo hadith na hivyo basi akaivamia konstantinopoli imesimuliwa na ahmad katika mujma azzawaaid aliizungumzia na kusema imesimuliwa na ahmad albazzar altabarani na wanaume wake ni waaminifu wanajeshi wake walimlalamikia kuhusu baridi kali walipokuwa katika sehemu za wazi zilizozunguka kuta kwa hiyo akawajengea ngome ili waweze kujihifadhi kila kunapokuwa na dharura hakutaka wanajeshi wasitishe uzingiraji lau ungeliendelea kwa muda na hivyo kurudi kama ilivyokuwa kwa majeshi ya waislamu ya awali ambayo yaliivamia konstantinopoli lakini badala yake hakutaka kurudi isipokuwa mpaka kufunguliwa kwa konstantinopoli kwa idhini ya mwenyezi mungu
2020-08-10T12:31:09
http://hizb.or.ke/sw/2020/01/08/hotuba-ya-amiri-wa-hizb-ut-tahrir-mwanachuoni-mkubwa-ata-bin-khalil-abu-al-rashtah-juu-ya-tukio-la-ukumbusho-wa-ukombozi-wa-konstantinopoli-mnamo-857-h-1453-m/
weledi kujituma ndio nguzo ya mafanikio dkt mwakyembe | jamhuri ya muungano wa tanzania news march 31 2020 4 comments waziri mwakyembe ameyasema hayo jijini dar es salaam wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa studio mpya ya shirika la utangazaji tanzania (tbc) inayojengwa katika eneo la ofisi hizo zilizopo mikocheni aidha dkt mwakyembe alizindua programu tumizi (app) ya safari channel pamoja na mfumo mpya wa upashanaji habari unaofahamika kama tbc aridhio ambapo neno aridhio linamaanisha taarifa au habari waziri wa habari utamadumi sanaa na michezo dkt harrison mwakyembe (katikati) akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa studio ya televisheni ya taifa (tbc) kwa ajili ya uboreshaji wa mundombinu ya utangazaji kushoto ni katibu mkuu wa wizara hiyo dkt hassan abbasi na kulia ni mkurugenzi mkuu wa tbc dkt ayub rioba tuna deni kubwa la kuhakikisha tunaongeza weledi na kujituma hivyo kuendelea kuwa kiongozi wa habari hapa nchini lazima tbc kiwe ni chombo cha rejea wakitangaza wengine mtu awe na shauku ya kujua tbc imesema nini kwanza amesema dkt mwakyembe katibu mkuu habari utamaduni sanaa na michezo dkt hassan abbasi akiongea wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa studio mpya ya shirika la utangazaji tanzania (tbc) inayojengwa katika eneo la ofisi hizo zilizopo mikocheni programu tumizi (app) ya safari channel pamoja na mfumo mpya wa upashanaji habari unaofahamika kama tbc aridhio hafla hiyo ilifanyika tarehe 30 machi2020 mkurugenzi mkuu wa shirika la utangazaji tanzania (tbc) akizungumza wakati wa hafla hiyo ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa studio mpya ya shirika hilo inayojengwa katika eneo la ofisi hizo zilizopo mikocheni programu tumizi (app) ya safari channel pamoja na mfumo mpya wa upashanaji habari unaofahamika kama tbc aridhio hafla hiyo ilifanyika tarehe 30 machi2020 kwa upande wake katibu mkuu wa wizara hiyo dkt hassan abbasi amewapongeza wafanyakazi wa shirika hilo kwa hatua hiyo kubwa ya kuleta mapinduzi na ubunifu katika tasnia ya habari katika chaneli hiyo ya tanzania inayotegemewa na taifa mabadiliko haya makubwa ya upashanaji habari ndani ya tbc yanakuja baada ya miaka 13 ambapo safari hii ilianza mwaka 2007 ujenzi wa jengo hilo la kisasa umeanza februari 2020 na utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 238/ na unatarajiwa kukamilika agosti 2020 ambapo hadi sasa ujenzi huo umefikia asilimia 20 mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha dar es salaam dkt elizabeth mahenge akizungumza wakati wa uzinduzi huo elizabeth mahenge ndiye aliyekuja na neno aridhio ambapo amesema neno aridhio ni kisawe cha neno taarifa na pia ni kisawe cha neno habari akizungumza wakati wa uzinduzi wa mfumo huo mpya wa upashanaji habari mkurugenzi mkuu wa tbc dkt ayoub rioba amesema kuwa kutokana na mahitaji ya sasa ya dunia ya sayansi na teknolojia imelazimika mifumo ya zamani ya upashanaji habari kupinduliwa na kuja na namna mpya za upashanaji habari aidha dkt ayoub rioba ameishukuru wizara kwa namna ambavyo imekuwa bega kwa bega katika kuunga mkono mafanikio ya shirika hilo ← naibu waziri mabula aridhishwa na kasi ya ujenzi hospitali ya rufaa mkoa wa mara wabunge waweka siasa pembeni na kupambana na corona →
2020-05-29T12:33:03
http://blog.maelezo.go.tz/weledi-na-kujituma-ndio-nguzo-ya-mafanikio-dkt-mwakyembe/
rap & dini trip lee tovuti rasmi kwa muda mrefu kama naweza kukumbuka hip hop imekuwa na obsession na mungu na dini sina maana zinaonyesha kwamba wasanii wote ni waja wa dini lakini ni wachache wasanii au wasanii yoyote kwa jambo hilo inaweza kutikisika kuwaomba na ni pamoja na mungu mahali fulani katika sanaa zao ni asili na nzuri kwetu kuzungumza kuhusu mungu lakini swali ni kile ni sisi kusema baadhi watasema ni tu muziki je si kuchukua kwa umakini lakini nini rapa anasema juu ya mic ni mbaya zaidi kuliko unaweza kufikiri baadhi wametumia hip hop kueleza imani yao ya dhati dini au ukosefu wake uislamu percenters tano ukristo agnosticism atheism na dini nyingine na wote wamekuwa kukuzwa kupitia fomu ya sanaa nadhani hip hop ni ya kipekee inafaa kueleza uaminifu na ibada kwa chochote sisi ni shauku sehemu kwa sababu ya utamaduni wa kulazimisha ubichi na sehemu kwa sababu hip hop inaruhusu kwa maneno zaidi hivyo unaweza kweli kufundisha lakini zaidi ya muda hip hop ni zaidi kama kinyozi kuliko sunday school rapa recklessly kukimbia mbali katika kinywa kama wao kujua nini wao ni kuzungumza juu au si usafi vs uzembe kuna baadhi ya ambao mashairi kutafakari kweli ingawa wakati mwingine potofu kutafuta na mapambano na ukweli mimi kuheshimu kwamba mmoja anadhani ya roots ' dear god 20 au kendrick lamar ya kufa ya kiu *hata wakati sikubaliani na mawazo yao au hitimisho mimi kufurahia kusikiliza kuzunguka kweli na ni mara nyingi hatua yangu kuomba kwa ajili yangu emcees wenzake hip hop daima alikuwa upande wa giza ingawa ambapo wasanii kutibu mungu na dini bila heshima na irreverence rapa wanaonekana kusema chochote maneno kuhisi haki katika wakati kama wao wanaamini wao au na katika baada ya kikristo taifa kama yetu mashambulizi hayo reckless ni kawaida kwa lengo la yesu na kanisa lake bila shaka kuna baadhi ya mambo kama unafiki na fedha njaa wahubiri kwamba wanastahili kudhihakiwa lakini cha kusikitisha bibilia kanisa na mungu mwenyewe mara nyingi kutibiwa kama wahusika insignificant katika hadithi ya uongo mimi kukubali kusikia wasanii majadiliano juu ya freaky wasichana katika kwaya ya kanisa hufanya mimi cringe lakini hakuna inanihuzunisha zaidi ya mzaha yesu mwenyewe wasanii wengi wamejiita mungu kuweka wenyewe kwenye ngazi sawa na yesu na kuwa boastfully kuchukuliwa jina la bwana bila mafanikio wameweza kujenga albamu nzima kuzunguka mandhari kisichostahili kidini wametumia ubunifu wao waliopewa na mungu tusi muumba wao jinsi suala la kejeli kama mfuasi wa yesu mimi binafsi na mashaka na kile nasikia lakini zaidi ya kuwa mimi nina hofu kwa wale ambao spew maneno haya ya kufuru tunataka wote kuwa na hofu kwa ajili ya mtu ambaye d mate usoni ya rais lakini tunapaswa kuwa hata zaidi na hofu kwa mtu ambaye mtemi katika uso wa mwenyezi mungu akijibu pamoja grace hivyo ni jinsi gani mimi kujibu mimi naweza kuanza kampeni kugomea muziki wao au kama rapa mwenyewe mimi naweza kuandika scathing diss rekodi kwa miaka mimi itabidi basi kuamua kama mojawapo ya njia hizo ni sahihi au makosa lakini kwa uaminifu sidhani wangeweza kufanya mengi ya kushughulikia tatizo halisi muziki wasanii hawa kutolewa ni reflection ya nyoyo zao maneno yetu ni daima picha kamili ya nini kinaendelea ndani yetu umewahi tripped wakati ameshika glasi ya maji au juisi chochote una katika kioo spills nje kwenye ardhi kama sisi wote kujua machachari yetu haina kuzalisha maji ni tu inaonyesha sisi nini katika kioo ni kitu kimoja kwa maneno yetu tunaposema au rap maudhui ya mioyo yetu ni ukimwaga hotuba na muziki haina kufanya sisi wenye dhambi lakini haina kuwafichua nini katika mioyo na akili zetu (mathayo 1234) katika mwanga wa kwamba kusikiliza baadhi ya wasanii ambao kuchukua mandhari kidini ananiambia mambo mawili kwanza hawaelewi yesu ni nani kama walivyofanya wao kamwe kusema kwake kwa njia hii bila shaka wanajua yesu alikuwa mtu wayahudi aliyesulubiwa miaka elfu mbili iliyopita lakini hawana kweli kuelewa kwake hakuna mtu au mwanamke katika akili zao timamu kujaribu kuweka wenyewe kwenye ngazi sawa na mtawala dikteta kama kweli kueleweka kwake kuwa vile hakuna mtu ambaye kutoheshimu kwake kwa kujihusisha kwake na vitendo vya uasherati ngono au vurugu kama wao kuelewa kwamba yeye alikuwa jaji wa milele wa roho zao hawakutaka toss jina lake kote kama yeye ni hakuna na kutibu jina lake kwa purukushani hizo na kutoheshimu wakati wameweza kweli kuonekana yesu wewe kuelewa kwamba yeye ni incomparable wakati wewe kweli kujua king wewe kuwasilisha kwa mamlaka yake huna changamoto hiyo kwa hiyo hitimisho tu naweza kuteka ni kwamba wao hawajaona kwake kwa kuwa yeye ni nani pili tunahitaji watu ambao hawana kujua yesu kuongea sio tu katika nyimbo na posts blog lakini katika meza katika boardroom na darasani kwa nini kwa sababu hii ujinga na irreverence si wa kipekee kwa wasanii reckless sanaa ni tu kujieleza moja ya hiyo tunaishi katika utamaduni ameyapofusha na ukweli (2 corinthians 44) ufunguzi blind macho hivyo kama unajua yesu kuwaambia rafiki yako na familia ukweli mungu si kwa kuwa toyed na yeye ni kuabudiwa kupendwa tii na starehe yeye ni halisi anachukia dhambi na alimtuma mwana wake wa kufanya mbali na hayo kwa kweli mwanawe alikufa na alichukua adhabu ya dhambi hivyo sisi bila kuwa na na mungu alimfufua kutoka kaburini ili tuweze kuishi naye milele kupita hii habari njema kwa wengine lakini tafadhali kufanya hivyo kwa neema kuacha kunguruma katika watu na kuanza upendo wao kama wameweza kuona yesu kwa kuwa yeye ni nani siyo kwa sababu wewe ni bora kuliko mtu yeyote ni kwa sababu mungu alifungua macho yako kipofu ombeni angefanya huo kwa marafiki na familia yako na kama huna kujua yesu unapaswa kupata kujua kwake yeye ni indescribably nzuri na zaidi ya anayestahili ujitoaji wetu kuna si mmoja wetu ambayo inaweza kupuuza mungu au kutibu mwanae kama tu dude mwingine umilele wetu hinges juu ya nini tunaamini kuhusu yesu na ukweli ni kama sisi kumuamini au si tutahukumiwa kwa njia yake basi nini mungu kwa asiyeamini kuuliza muumba mlezi na jaji na kama tutaweza kugeuza na kuamini mwokozi *onyo mimi si kupendekeza kwamba wewe kusikiliza nyimbo zilizotajwa hapo juu mmoja wao ina lugha chafu ambayo si kuwa sahihi au manufaa kwa wengi abe • agosti 19 2013 katika 955 am • jibu tunataka wote kuwa na hofu kwa ajili ya mtu ambaye d mate usoni ya rais lakini tunapaswa kuwa hata zaidi na hofu kwa mtu ambaye mtemi katika uso wa mwenyezi mungu hukumu kwamba ni wenye nguvu sana asante kwa hii trip makala mimi kwa kweli kufurahia christian hip hop kwa sababu mimi daima waliona kwamba lyrically alikuwa maudhui mengi zaidi na kufundisha kuliko kawaida sifa ccm muziki suala la kushangaza sijawahi walipenda kidunia hip hop kwa sababu ya mara kwa mara kurudia kinachovutia maudhui ya ngono madawa ya kulevya binafsi kumuinua nk ambayo imekuwa kweli hata kabla ya mimi akawa mkristo kwa kweli mimi alikulia kusikiliza punk mwamba na mara zote mwanamuziki wa rock mimi sikuona christian hip hop niliipenda marafiki zangu walikuwa dumbfounded kwamba mimi nilikuwa kusikiliza hip hop tangu nilikuwa daima hakupenda hilo angalau kidunia hip hop kuendelea kufanya kazi yako kubwa na mimi ataona pia ndugu yangu kwa utukufu wa mungu na wapenzi wetu mwokozi yesu d avery • agosti 19 2013 katika 956 am • jibu cherishjesusluv • agosti 20 2013 katika 547 am • jibu ninakubali kwamba nje ya wingi wa moyo kinywa husema hivyo asili ya maneno nyimbo ni kwenda kuwa juu whats kinachoendelea katika mtu napenda pia kuongeza kwamba wengi nchi waimbaji na pia kuzungumzia yesu kama baadhi moja wangeweza kunywa pamoja na ummm yeah haki kama wao kumwona wangeweza kuwa mnyenyekevu na hawafikirii sana kuhusu kunywa au bila kujaribu kujificha kutoka uwepo wake napenda kushiriki kwenye hapa na kwa kuwa mimi wameitwa kuzungumza na watu kuhusu upendo wake roho yake aliniambia kuwa angeweza kusema kurusha mimi watu mimi si kamilifu na sijui kujaribu kukaa usichafuliwe na ulimwengu na ni kuongezeka kama wakristo wengine pia nilitaka kushiriki na wewe baadhi ya ushuhuda wangu wa wema gods katika maisha yangu mwenyewe nilikuwa daima waliona kama mimi naweza kuhisi mungu akiniangalia hata kama vijana napenda kuimba kwake na kupata waliopotea katika siku kufikiria juu ya upendo wake nilipokuwa 15 bwana literally showered yangu kwa upendo wake na roho nikapata roho mtakatifu siku hiyo kinywa changu ilitumiwa na roho kujibu maswali ambayo ilikuwa juu ya wengine katika nyoyo chumba naye akasema nami kurusha moyo wangu kuniambia amekuja kuishi katika mimi na kulinda mimi na bila kusema kurusha mimi wakati huo ilikuwa haki nakumbuka wakati mimi nilikuwa katika 9 daraja na watu hawa waliokuja pamoja na makopo takataka kamili ya kondomu kwa shule yetu robert e lee katika tyler tx wao alituonyesha picha nyingi na deceases kwamba ngono bila kuleta walituambia kujaza huru kujaza juu ndogo mifuko brown takataka ya kondomu na kuwapeleka kama sisi zinahitajika yao walikuwa kutuambia kwamba tunaweza kwenda kwa wauguzi ofisi na kupata baadhi pia kama sisi hakutaka kuchukua haki yao kisha pale walipo semajinsia ni kujaza bora kwamba wewe milele kujaza mimi alisimama katikambele ya darasa zima 9 daraja na watu hawa na kutangazwa roho mtakatifu no mungu ni jambo bora na mimi milele kujaza walikuwa na polisi kusindikiza me ofisini mpaka baada ya walipomaliza kuna kumwagika nakumbuka wanafunzi chache alisimama pamoja nami na alisema yeye ni haki hii ilikuwa mwanzo wa safari yangu baadaye katika maisha nilikuwa katika ghorofa ambapo kulikuwa na kunywa na michezo kadi nakumbuka nilihisi kama mimi zinahitajika kukimbia eneo hili hisia hii kuzidiwa yangu katika moyo wangu niliona mtu kwenye mashine karaoke kuanza kusema jina langu na kusema mambo kuhusu mimi kwamba sikujua jinsi gani angeweza kujua mimi kumwangalia na niliona mimi naweza kuona pembe kuja nje kutoka kichwa chake mimi aliuliza rafiki yangu kama angeweza kuona nini kinatokea pia yeye alijibu hakuna lakini kwamba yeye waliona uneasy kuhusu sisi kuwa kuna nilijua nilikuwa naona kitu cha kiroho kinachotokea basi niliona mambo zaidi wembe meno makali na na makucha na katika hatua hiyo mimi mbio mlango wa kupata nje mtu kwenye mashine karaoke walioitwa kwa wanawake kufunga mlango juu yangu na si basi mimi kuondoka yeye hakuwa na uwezo wa na yeye haraka kwa mlango na kusimama katikambele ya mlango kufunga me inside nilikuwa katika mshtuko kamili katika kile kilichotokea ijayo niliona mapepo mbaya zaidi iwezekanavyo kuja nusu njia ya nje ya mtu huyu kama kula me haki pale na wakati huo nzuri nyeupe kufunika alishuka juu ya mwili wangu mzima na katika papo mapepo aliruka na mwili huu mans mtu hawakuweza kusimama na slid chini ya mlango ndani ya nafasi ya kukaa na nikaona machozi kukimbia chini ya uso wake mimi alikuwa na uwezo wa kufungua mlango hata kwa mtu huyu wamekaa katikambele kama rahisi kama kwamba walikuwa si wamekaa na kuanza kukimbia kwa haraka kama mimi naweza nje ya tata hii ghorofa mimi katika hatua hii nilihisi kama mimi zinahitajika ride yangu binafsi kutoka kwa watu wote katika maisha yangu kwamba bila hata kufikiria kuweka me ndani ya chumba na watu waliokuwa na pepo na hivyo mimi vita njia yangu mbali na makundi na mvuto mbaya mimi si kweli kutoa maisha yangu yote kwa mungu katika hatua hii na angependa kuongeza mimi bado katika mafunzo katika eneo hili pia lakini kwa mungu ili kulinda mimi kwa njia hii hata mimi nilikuwa kijana na katika haja ya huruma sana na neema bado kishinda mawazo yangu kwa siku hii upendo wake ni amazing mimi tu yaliyojitokeza mtu mwingine roho mapepo ambayo ningeweza kiroho angalia mimi alikuwa akiendesha gari chini hwy 155 na mimi niliona sahani gari kwamba alisema vampire juu yake kama mimi kupita gari nikaona saa dereva na kuona mapepo haki pale katika mans mwili mimi kuharakisha kupata chini ya barabara mbali na hii moja mfano mwingine wa ulinzi wa mungu katika maisha yangu nilipokuwa mdogo wakati fulani baada ya mimi kupokea roho mtakatifu nilikuwa wanaoendesha katika mwisho ya nyuma ya pick up lori katika louisiana na ni mimi na binamu watatu vijana wote sana katika nyuma na binamu watatu mbele nilihisi roho hoja yangu kuimba ana dunia nzima katika mikono yake na mimi alisimama na kunyanyua mikono yangu kwa mungu wakati huo huo kama binamu yangu katika nyuma ni kuangalia saa yangu kama kwa nini ni yeye kuimba kwamba binamu yangu ambaye alikuwa akiendesha gari anapita lori na haki zetu na sisi ni katika curve na lori alikuwa katika mstari mbele kuja moja kwa moja juu ya binamu yangu ambaye alikuwa kuendesha gari alisema mungu mpendwa nimefanya nini mimi na binamu yangu mmoja mbele alisema mungu wangu na mimi nilikuwa tu kuinua mikono yangu kwa mungu na kuimba niliona nzuri mvua akainama mkono kufyeka wingu shuka katika papo na kuondoa lori lililokuwa na kichwa juu ya yanapogongana na sisi nakumbuka kuona lori nyuma yetu juu ya chini ya barabara kama kama hakuna kilichotokea tulipofika nyuma kwa shangazi yangu nyumbani binamu yangu alisema tunataka wote kuwa imekufa kama si alikuwa cherish wamekuwa katika lori wao akaniuliza nini mimi alikuwa akifanya huko na mimi alisema kuimba hes got dunia nzima katika mikono yake binamu yangu na mimi bado katika awe ya mungu kwa ulinzi wake wa kila mmoja wetu siku hiyo niliwaambia haikuwa me lakini mungu ambaye alikuwa kulindwa sisi hii ni michache tu ya mara nyingi mungu amelinda me alionyesha huruma kwangu na mimi naendelea kutokana na madhara pamoja na yote ambayo alisema natumaini hii inahimiza mtu huko nje na upendo yesu siyo tu kuhusu kuona kitu kutokea kwa sababu tunajua maandiko yasema heri mtu ambaye hajamwona na pia bado anaamini na kwamba ni sehemu tu ya andiko kwamba fyi anyways nilitaka kushiriki hii na kusema i love yesu naamini na kushuhudia kwa ulinzi wakehuruma na upendo mimi nataka kila mtu kujua mfalme wetu huwa na karamu ya harusi yeye ni maandalizi kwa ajili mpenzi wake sisi kama kanisa lake ni mpenzi wake na anataka wewe na mimi na mtu yeyote kusoma hii kujiandaa kwa ajili ya kuonekana yake na kutubu kutoka huko dhambi na kumfuata i love muziki wako safari ni heri maisha yangu na wengine wanaonizunguka naomba wewe itaendelea kuweka matt 633 katika vitendo na kuishi maisha ushuhuda wa kings wema wetu ninashukuru sana kwa beats nzuri na mungu mwenye upendo maneno ambayo mimi na familia yangu vijana wanaweza kufurahia kama sisi kusubiri juu yake cherish ) i am lisilokuwa mathayo 633 bali zingatieni kwanza ufalme wa mungu na haki yake na hayo yote mtazidishiwa wewe clean mimshach • agosti 19 2013 katika 957 am • jibu majadiliano juu ya rapa hii alikuwa na yesu anatembea maono katika sekta hiphop kama una lakini kile kilichotokea alishindwa kama wewe hivyo kusema nini potokahaya ni maswali unahitaji kupata majibu ya kukaa nyuma na kuchambua nini kinatokea kwa yesu picha kule kubadili kitu kama jambo la kweli kwamba cant kubadilisha yesu yesu hajasulubiswa na baadhi rundo la bei nafuu romans askari na kwamba hata kuongozwa na kuthibitisha kwamba yeye yesu ni mungu baada ya yeye kufufua go kupata rekodi ya mpango huo kutoka ymcmb na kuhubiri ukweli kwa namna mbichi na kuona kama wewe kuishi kama rapakusema nini dunia anataka kusikia biasharasmh wao ni hivyo kutumia kwa dunia na ni mifumo kupata fedha makahaba nk kupanua kwamba hata kama yesu kujidhihirisha mwenyewe kimwili kwao leo wao unconsciously kuingizwa nyuma katika huko njia ya zamani baadaye unaweza rahisi kuharibu mti katika hilo uuguzi hatua lakini si wakati ina kikamilifu imara kama timber na njia pekee ya kujikwamua timber kabisa ipo kwa kuiharibu mzizi hivyo kufanya nini tunapaswa kufanya kuharibu kiini cha tatizo kama kuokolewa kuwa mwambie dunia nini wameweza si kusikia kabla ushahidi nyenzo ya yesu kuwepo nguvu na utukufu mwanga mpya nicholas j gausling • agosti 19 2013 katika 958 am • jibu baadhi ya marafiki wa mgodi hivi karibuni alisema kuwa njia bora ya kutambua uwongo ipo kwa kujifunza kutambua ukweli nadhani hekima inatumika hapa mtu anaweza kwenda juu ya kuunda kampeni dhidi muziki hii wasiomcha lakini hata bora zaidi ni kuendelea kuzalisha munguunaozingatia muziki sina mengi ya mashabiki rap mwenyewe lakini nina kiasi kikubwa kushukuru kwamba kuna watu watu binafsi kama vile wewe mwenyewe ambao ni kuwahudumia kama aina ya mhudumu wa na kufikia katika utamaduni kuwa na upendo wa kristo avery • agosti 19 2013 katika 958 am • jibu kutisha vizurimawazonje perspecitve kutoka trip lee kathy • agosti 19 2013 katika 959 am • jibu uzuri na nguvu alisema asante kwa ajili ya kutangaza ukweli clean mimshach • agosti 19 2013 katika 959 am • jibu sawa ni wakati kwa wasanii christian ili adhihakiwe yao (dunia) mungu(shetani) wake rahisi kama hayo kama unafikiri yesu yetu ni kuwa disrespected / kejeli basi wasanii ni katika nafasi nzuri ya pia atatoa shetani zao halina nguvu na matusi / kuwavunjia heshima shetani kwa njia ngumu mara mbili dr ebony utley • agosti 19 2013 katika 1000 am • jibu katika kitabu changu rap na dini uelewa wa gangstas mungu mimi kuandika kuhusu jinsi wasanii kujiona kama yesu kwa sababu alikuwa kudhulumiwa kama wao ni angalia http//rapandreligioncom cece • oktoba 31 2013 katika 838 jioni • jibu ndiyo shukrani kwa kushirikiana dr utley nimesikia wewe kuzungumza katika north park university mwisho kuanguka na ilikuwa wanashikiliwa na uhusiano huu terence abraham • agosti 19 2013 katika 1000 am • jibu wow jenashukuru jinsi nguvu na subtly wewe alitumia maneno ya kuweka kupitia mawazo yako [inaonyesha whats katika kioo yako ) ]nilitaka sauti maoni sawa wewe kweli kuletwa uwazi katika mada hii kwa kutumia mifano mizuri monstrosity • agosti 19 2013 katika 1000 am • jibu kuna miungu mingi na mabwana wengi (1co85) ahayah asher ahayah tell children wa yisraeli i am ametuma wewe (ex314) & zaidi ya hayo el la avraham yitschak n yaacov (ex315) ymmanuwel yeshayah hamashiyach omba & kusoma biblia yako mkazo na mtakatifu wa yisraeli wil yatangaza majibu kutoka kwa baba yetu uliye mbinguni salvation saviour ni comin nyuma kwa ppl yake twelve makabila ya yisrael & wale kuamini neno la ahayah kutafuta yesha salvation kama hazina hidden bariki ahayah yeye ndiye ni yeye aliyekuwa & yeye atakayekuja (rev 14) hata hivyo kuja yeshayah amina rjsalez • agosti 19 2013 katika 1001 am • jibu basi nini mungu kwa asiyeamini kuuliza nasema kuwauliza nyuma nini zisizo muumini na mungu ) empress • agosti 19 2013 katika 1002 am • jibu hii ni kweli ujumbe mkuu aliongoza mimi kuandika kitu leo si basi baadhi ya watu hasi au maoni sway wewe kusema kweli najua kuwa kuna baadhi ya huko nje kwamba wanaweza kujaribu kupata kwenye mishipa yako mimi niko hapa kusema keep it up wewe ni maamuzi tofauti msb • agosti 19 2013 katika 954 jioni • jibu nilipokuwa kama dunia nilikuwa nzito hip hop enthusiast kwa sababu ya ubunifu wa kisanii na hasa kwa sababu ya maudhui wasikilizaji wanaamua maneno kwamba rufaa kwa moyo hivyo katika kiini mioyo kwa muda mrefu kama kuna giza kutakuwa na wale kwamba wanaamua kwenda ujumbe makala hii tu mtumishi ilani juu ya sisi ambao wanaamini kwa sababu sisi ni kufanywa na mwanga it up mji juu ya mlima na tunataka watu 'yanatusumbua up wakati wao wanaona waliopotea so tuweze navigate yao fungu la kumi mkombozi umefanya ilivyoainishwa dhamira yetu pekee katika makala hii thanx ps love cup mlinganisho awesome mungu akubariki kutaja waasi rapper trip lee mazungumzo kuhusu rap & dini yes fm unveilda1 • agosti 20 2013 katika 132 jioni • jibu mimi upendo mchakato wa mawazo ya mr lee nimekuwa mfuasi wa safari kutoka kuruka wakati yeye aliuliza swali hivyo ni jinsi gani mimi kujibu mimi naweza kuanza kampeni kugomea muziki wao au kama rapa mwenyewe mimi naweza kuandika scathing diss rekodi kwa miaka mimi itabidi basi kuamua kama mojawapo ya njia hizo ni sahihi au makosa nadhani majibu na rekodi diss ni sahihi sana mimi naona ni kama fursa ya kufanya hasa kile alichofanya daudi kupambana na goliathi yeye alikuwa na nafasi ya kufunga midomo ya mtu ambaye alikuwa akizungumza dhidi mungu wake sasa na ushawishi na kushangaza mungu kutoa vipaji safari ina mimi naona ni kama nafasi ya dhahabu kujipenyeza viwanda sasha • agosti 21 2013 katika 415 jioni • jibu mungu awabariki nzuri blog keron • agosti 27 2013 katika 334 jioni • jibu great trip praise mungu
2018-08-20T06:32:04
https://builttobrag.com/rap-religion/?lang=sw
mashauri kuhusu imani mwenendo na upendo | ujumbe wa biblia mashauri kuhusu imani mwenendo na upendo yakobo petro yohana na yuda waandika barua za kuwatia moyo waamini wenzao yakobo na yuda walikuwa ndugu wa kambo wa yesu petro na yohana walikuwa mitume wa yesu wanaume hao wanne waliandika jumla ya barua saba katika maandiko ya kigiriki ya kikristo kila moja ya barua hizo ina jina la mwandikaji mashauri yaliyoongozwa na roho yaliyo katika barua hizo yalikusudiwa kuwasaidia wakristo kudumisha utimilifu kwa yehova na kuendelea kuutazamia ufalme wake wakristo wanapaswa kuwa na imani haitoshi tu kudai kwamba mtu ana imani imani ya kweli huambatana na matendo yakobo aliandika imani bila matendo imekufa (yakobo 226) mtu anapotenda kwa imani akiwa katika majaribu anasitawisha sifa ya uvumilivu ili kufanikiwa mkristo anahitaji kumwomba mungu ampe hekima akiwa na imani kwamba mungu atampa uvumilivu humfanya mtu akubaliwe na mungu (yakobo 126 12) mwabudu wa mungu akidumisha utimilifu kwa imani yehova mungu atajibu sala yake yakobo asema mkaribieni mungu naye atawakaribia ninyiyakobo 48 mkristo anapaswa kuwa na imani yenye nguvu inayoweza kumsaidia kushinda vishawishi na kuepuka upotovu wa maadili kwa sababu ya upotovu wa maadili uliokuwa umeenea yuda aliwahimiza waamini wenzake wafanye pigano kali kwa ajili ya imaniyuda 3 dumisha mwenendo safi yehova hutaka waabudu wake wawe watakatifu au safi katika kila njia petro aandika ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kwa sababu imeandikwa muwe watakatifu kwa sababu mimi [yehova] ni mtakatifu (1 petro 115 16) wakristo wamewekewa mfano wa kuiga petro asema kristo aliteseka kwa ajili yenu akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu (1 petro 221) ijapokuwa huenda wakristo wakateseka kwa sababu wanaishi kulingana na viwango vya mungu wanadumisha dhamiri njema (1 petro 316 17) petro anawahimiza wakristo wawe na mwenendo na matendo matakatifu ya ujitoajikimungu huku wakiingojea siku ya hukumu ya mungu na dunia mpya iliyoahidiwa ambamo uadilifu utakaa2 petro 31113 wakristo wanapaswa kuwa na upendo yohana aliandika mungu ni upendo mtume huyo anasema kwamba mungu alionyesha upendo wake mkuu kwa kumtuma yesu awe dhabihu kwa ajili ya dhambi zetu kwa hiyo basi wakristo wanapaswa kufanya nini yohana anajibu wapendwa ikiwa mungu alitupenda hivi basi sisi wenyewe tuko chini ya wajibu wa kupendana (1 yohana 4811) njia moja ya kuonyesha upendo kama huo ni kwa kuwaonyesha ukarimu waamini wenzetu3 yohana 58 hata hivyo waabudu wa yehova wanaweza kuonyesha jinsi gani kwamba wanampenda yohana anajibu kumpenda mungu humaanisha hivi kwamba tuzishike amri zake na bado amri zake si mzigo mzito (1 yohana 53 2 yohana 6) wale wanaomtii mungu kwa njia hiyo wanahakikishiwa kwamba mungu ataendelea kuwapenda huku wakitazamia uzima wa mileleyuda 21 inatoka kwenye yakobo 1 petro 2 petro 1 yohana 2 yohana 3 yohana yuda wakristo wanaweza kuonyesha imani kwa njia gani mungu anataka waabudu wake wawe na mwenendo wa aina gani mtu anaweza kuonyesha jinsi gani kwamba anampenda mungu kikweli
2018-11-14T13:25:33
https://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/ujumbe-wa-biblia/mashauri-kuhusu-imani-mwenendo-na-upendo/
mchezo uumbaji wa burgers online kucheza kwa huru mchezo uumbaji wa burgers unachezwa 22 kucheza mchezo uumbaji wa burgers online maelezo ya mchezo uumbaji wa burgers nafasi nzuri kwa kila msichana wazi yenyewe katika kupika chakula aidha unahitaji kuhakikisha kwamba biashara yako si bankrupt na hivyo haja ya kuja na kitu awali kwa ajili ya taasisi yako kama matumizi mengi ya viungo tofauti kwamba kukupa watengenezaji mwanzoni basi nafasi ya mafanikio mapenzi skyrocket kucheza mchezo uumbaji wa burgers online kiufundi na tabia ya mchezo uumbaji wa burgers mchezo uumbaji wa burgers aliongeza 07102013 mchezo unachezwa 22 mara michezo kama mchezo uumbaji wa burgers mwalimu wa burgers polly ya cafe burgers download mchezo uumbaji wa burgers embed mchezo uumbaji wa burgers katika tovuti yako kuingiza mchezo uumbaji wa burgers kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo uumbaji wa burgers nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo uumbaji wa burgers pia alicheza katika mchezo
2019-01-16T13:20:35
http://sw.itsmygame.org/1000003317/creation-of-burgers_online-game.html
umeiskia hii ya wanaume watu wazima jamiiforums umeiskia hii ya wanaume watu wazima thread starter davion delmonte jr 2161 1029 280 eti wanasema wanahitaji mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa watoto wengi hili mnalionaje wadau kwanini wanaume wengi wanapenda kuzaa watoto wengi mimi kwa kweli ni kijana bado sina mtoto bado nna ka elimu kadogo lakini namimi natamani sana mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa watoto wengi mambo ya uzungu mi kwangu hayana nafasi hata kitogo suala la mtoto mmoja tu au wawili tu ntakuacha onyo ila uwezo wa kuwalea uwepo 6510 1816 280 hata mimi natamani kuwa na watoto kama nane hivi just like my grandpa kwani wewe muha likes janjaweed davion delmonte jr and commanche 9278 1745 280 jamaa wewe zaa tu km mambo yenyewe ni kila mtoto atakuja na bahati yake haya weee ndio km ilivyo katika picha ya avartar hapo juu mwanamume kuvaa sketi ya ngozi ya nguchiro mwaka mzima mtoto anataka malezi na vyakula ili asipatwe na kwashiakor miezi 6 hadi 10 awe angalau na 10kg chakula yake sasa miaka 25 asome chekechea english medium ada ya chini 350000/= mpaka 800000/ hapo usafiri wa kwenda na kurudi @ siku bado primary angalau ajue kkk sio mpaka anafika sekondari (kusoma kuhesabu na kuandika) hajui huyo ni mtoto mmoja sasa kuna member anataka 8 bado mama hajavaa kwanini wasikudunde wakikua au wawe wabeba sembe km sio kukuibia punguza idadi ya wototo sio lazima kila shaft ikidai uzae nenda na mpango wa uzazi (mama ataelezewa klinik) likes matola and mangatara 2701 542 280 sie waha tunatekeleza maagizo ya mungu ya kuzaa ili tuijaze dunia ama nyie msiokuwa waha mnatekeleza zaidi ya shetani kwa kufanya zaidi vitendo vya kuuwa watoto kwa kisingizio cha kupanga uzazi na matokeo yake mnazaa mtoto ima mmoja au wawili 1036 185 160 suala la watoto ni mipango ya mungu ila itapendeza kama ukiwa na watoto hata mia mbili lakini unawalea vizuri na hawakosi wanachokitaka muhimu ukiwa na mtazamo wa kuwa na familia kubwa kama uzaniavyo jikite zaidi maeneo ya vijijini uwe na mashamba ya kutosha na uwe mkulima na mfugaji wa kisasa watoto wako hawatalala njaa kamwe na kusoma watasoma na hapo utajiri utauona maana familia itakufanya ufanye kazi kwa bidii kamwe usiwe na mawazo ya kukaa mijini utawatesa hao watoto na mama yao nakutakia uzazi mwema ndugu 1563 523 280 kila mtu anao uhuru wa kuamua idadi ya watoto aipendayo hata ukitaka kuwa na watoto kumi ni wewe tu na jukumu la kuwalea binafsi sababu kubwa ya kuzaa ni ili watoto wangu warithi mali zangu na kuziendeleza pindi nikitangulia mbele za haki idadi ya watoto itategemea na mali nilizonazo likes davion delmonte jr uzazi wa sasa tofauti sana unaweza kuzaa kwa operation hata kama hutaki eti nyonga ndogo sasa wakifika watt wa 5 mwisho tena inategemea na hali ya kiafya likes ukitaka ubaya and davion delmonte jr 9031 4001 280 jaribu kuutafakari huu msemo wa waswahili kulea mimba si tabutabu kulea mwana nadhani watu wengi wanapenda kuwa na watoto wengi lakini mazingira yetu na hali ya maisha ya sasa ni tofauti ndiyo maana ibabidi mtu azae watoto wachache ukiangalia zamani maswala kama ya elimuchakulamavazihata kusaidiana ilikuwa rahisi kuliko sasa kwa hiyo bwana ukitaka kuwa na watoto wengi ujipange haswa likes ukitaka ubaya unatengeneza timu a na b ya mpira mh kama labour mnaenda nyie ndo mtake watoto wengi wanaume nyie i thnk most men say wanataka watt wengi cz sio wabebaji mimba sio wazaa kwa uchungu au operation na sio waleaji wakubwa wa watoto physicallywange'experience hvo vtu tungeenda nao sawawengi ni watoaji wa monetary na emotional support na wengine ukipata hyo mimba utawasikia kwny bombakuwa na watt wengi kama uwezo wa kulea unao 1128 395 180 nani alikwambia muha anapenda kuzaaa watoto wengi muulize mpare anayetaka kueneza majina ya ukoo maana unakuta mpare anakwambia mimi nimemzaa mjomba baba shangazi nk 14445 6721 280 nyie mtataka tuzae hata miamaana hamjui tamu na chungu yake 39250 20327 280 don't generalize hii thread imeanzishwa na mvulana kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mvulana akili za kivulana utazijuwa tu hata kwa post zao hapa jf 1958 537 280 kuna jirani yangu ana watoto 8 shule zikifunguliwa ni lazima agonge kuomba mkopo ambao hata hivyo hajawahi kilipa yote watoto wawili au wa 3 wanatosha sana 107302 131830 280 mmh mayb u r not seriousor u don't mean it uvugizi nyokou zako hapana kwa kwelibado sijasahau mziki wa labour maji ya moto mwezi mzima unakuta kitoto kibishi kulaukifika wakati wa kulisha unawaza mbinu mpya ya siku hapo hajaanza shule kumbuka enzi za bibi yako walikuwa wanaanza darasa la kwanza moja kwa moja tena na miaka tisa kwa ada ya shilingi 20 sijui siku hizi wanaanza baby class na miaka miwili na nusu mpaka 3ada yakeutaisoma namba japo ukiwa na wa4 sio mbaya naww unaweza toka mtaani ukasema ninakafamilia
2019-03-20T09:32:27
https://www.jamiiforums.com/threads/umeiskia-hii-ya-wanaume-watu-wazima.565871/
hii nyimbo | jamiiforums | the home of great thinkers hii nyimbo discussion in 'jukwaa la lugha' started by raia fulani nov 19 2011 huwa nakereka mpaka basi wanasema waungwana uongo ukirudiwa sana huwa ukweli mbaya zaidi upotoshaji huu huanzia studio na vituo vya redio na tv msanii anasema 'hii nyimbo yangu nimeirekodia mj nina nyimbo zingine 3 ziko jikoni' shule gani hawa bazazi wamesoma hawawezi kutofautisha wingi na umoja mwingine utamsikia 'huu mwimbo' ugumu uko wapi kutamka 'huu wimbo' na 'hizi nyimbo' kuna upotoshaji mwingi pia ila kwa leo nimeona hili iliyopo hewani ni nyimbo mpya wa mwana fa ficharingi fidq iliyopo hewani ni nyimbo mpya wa mwana fa ficharingi fidq click to expand we unaona sawa huwa nakereka mpaka basi wanasema waungwana uongo ukirudiwa sana huwa ukweli mbaya zaidi upotoshaji huu huanzia studio na vituo vya redio na tv msanii anasema 'hii nyimbo yangu nimeirekodia mj nina nyimbo zingine 3 ziko jikoni' shule gani hawa bazazi wamesoma hawawezi kutofautisha wingi na umoja mwingine utamsikia 'huu mwimbo' ugumu uko wapi kutamka 'huu wimbo' na 'hizi nyimbo' kuna upotoshaji mwingi pia ila kwa leo nimeona hiliclick to expand kusema ukweli mi pia nakereka sana kama kuna uongo ambao umerudiwa sana tena kwa makusudi (maana siamini kama huwa hawajui kuwa neno msahihi ni wimbo na sio nyimbo wakimaanisha umoja) ni huu sasa sitaki kuamini kuwa bakita na tuki wamekubaliana na hili badala ya kuhangaika na 'hakunaga' wangefungia kwanza wale wote wanaopotosha hili neno huwezi kusema 'hii nyimbo yangu nimeiandika mwaka jana badala ya huu wimbo wangu na labda albamu yangu itakuwa na nyimbo kumi kama kuna uongo ambao umerudiwa sana tena kwa makusudi (maana siamini kama huwa hawajui kuwa neno msahihi ni wimbo na sio nyimbo wakimaanisha umoja) ni huu sasa sitaki kuamini kuwa bakita na tuki wamekubaliana na hili badala ya kuhangaika na 'hakunaga' wangefungia kwanza wale wote wanaopotosha hili neno huwezi kusema 'hii nyimbo yangu nimeiandika mwaka jana badala ya huu wimbo wangu na labda albamu yangu itakuwa na nyimbo kumiclick to expand ndo hivyo tena upotoshaji umerudiwa hadi umekubalika sijawahi kusikia popote hawa wenye mamlaka wakikemea hili ndo kiswahili kinakuwa upotoshaji utohoaji wenyewe si wanaziitaga rejesta za mitaani sijui kazi kwenu ndo kibongo fleva bongo fleva hicho dahkweli lugha yetu hadhimu hadhi yake inaporomoshwa na wa2 wachachecjui tukitakilukibakitabasata nk wana fanya nini katika ofisi zao au wananepesha ma2mbo yaowangetoa walau mchango wa elimu ya sarufi ya lugha kwa wasanii wetu hii ingeweza kusaidia mkuu afadhali umenena bakita aka baraza la kiswahili tanzania is a toothless bulldog wanaacha kiswahili kinachezewa kama mwasesere redio ndio zinazoongoza kwa kuboronga utasikia kipindi kimesababishwa na airtel badala ya kusema kimedhaminiwa utasikia majiji badala ya miji kuwe na ulazima kuwa kufanya kazi media lazima mtu awe na ufaulu wa lugha adimu ya kiswahili hapo wanasema fiucharingikuna msanii anaitwa barnaba anavunja kingeleza kinoma 1kuna siku ashawahi sema yeye ni celebrate(i'm celebrate) 2kuna kipindi alikua marekani akahojiwa live akachemka tena kwamba wanafanya training ili waje kua good leadership 3juzi juzi aliulizwa na kayandavp hali yako mr barnaba naye akajibu kwa kingeleza ohh i was good kayanda ikabidi ayeyushe kwamba naona siku hizi unajua kuongea kiswahili vizuri nbmeneja wake amshauri dogo asiwe anaongea maneno ya kingeleza bila kujuaau kama anakipenda aende british council akale nondo dahkweli lugha yetu hadhimu hadhi yake inaporomoshwa na wa2 wachachecjui tukitakilukibakitabasata nk wana fanya nini katika ofisi zao au wananepesha ma2mbo yaowangetoa walau mchango wa elimu ya sarufi ya lugha kwa wasanii wetu hii ingeweza kusaidiaclick to expand na wewe pia jaribu kunyoosha hii lugha adhimu nbmeneja wake amshauri dogo asiwe anaongea maneno ya kingeleza bila kujuaau kama anakipenda aende british council akale nondoclick to expand kingeleza sio kwetu sisi nyimbo na wimbo sawa sawa tu sema hilo neno wimbo ni km la zamani zaidi kwetu sisi nyimbo na wimbo sawa sawa tu sema hilo neno wimbo ni km la zamani zaidiclick to expand kwenu sayari gani msituharibie lugha tafadhali kwenu sayari gani msituharibie lugha tafadhaliclick to expand znz unguja mjini znz unguja mjiniclick to expand kwanza unguja hakuna hilo jina japo la bandia pili japo kiswahili fasaha kimetoka unguja isiwe sababu ya kutupotoshea kiswahili sie wa barai nyimbo ni wingi wimbo ni umoja kwanza unguja hakuna hilo jina japo la bandia pili japo kiswahili fasaha kimetoka unguja isiwe sababu ya kutupotoshea kiswahili sie wa barai nyimbo ni wingi wimbo ni umojaclick to expand ni kweli jina langu asili yake ni kwengine lkn nimekulia unguja na kusoma huku kuh neno wimbo sawa mkuu nimeelewa ndo twajifunza hivo kwani maisha ni kusoma kuh neno wimbo sawa mkuu nimeelewa ndo twajifunza hivo kwani maisha ni kusomaclick to expand ni vizuri kuwa umeelewa kawafundishe na waunguja wengine pia
2016-12-09T13:53:28
http://www.jamiiforums.com/threads/hii-nyimbo.194566/
museveni abadili uongozi wa jeshi mwanahalisi online david muhoozi (katikati) posted by masalu erasto january 10 2017 0 980 views yoweri museveni rais wa uganda amefanya mabadiliko katika jeshi la nchi hiyo kwa kumteua david muhoozi kushika nafasi ya mkuu wa majeshi (cdf) anaandika wolfram mwalongo awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na edward katumba wamala ambapo sasa ameteuliwa kuwa waziri wa kazi nchini uganda kabla ya muhoozi kuteuliwa katika nafasi ya cdf alikuwa kiongozi mkuu wa jeshi la ardhi la nchi hiyo katika mabadiliko hayo rais museveni amemteua mtoto wake muhoozi kainerugaba kuwa mshauri mwandamizi wa masuala ya oparesheni maalum kabla ya mtoto huyo kutwaa nafasi hiyo alikuwa mkuu wa kikosi maalumu (sdf) sdf ni kitengo cha juu kinachomshauri rais hususani katika masuala ya kiulinzi pamoja na mambo nyeti ya taifa aidha amemteua wilson mbadi aliyekuwa mkuu wa utumishi na mlinzi wa rais huyo (bodyguard) kwa muda mrefu kuwa msaidizi wa cdf yoweri museveni rais wa uganda amefanya mabadiliko katika jeshi la nchi hiyo kwa kumteua david muhoozi kushika nafasi ya mkuu wa majeshi (cdf) anaandika wolfram mwalongo awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na edward katumba wamala ambapo sasa ameteuliwa kuwa waziri wa kazi nchini uganda kabla ya muhoozi kuteuliwa katika nafasi ya cdf alikuwa kiongozi mkuu wa jeshi la ardhi la nchi hiyo katika mabadiliko hayo rais museveni amemteua mtoto wake muhoozi kainerugaba kuwa mshauri mwandamizi wa masuala ya oparesheni maalum kabla ya mtoto huyo kutwaa nafasi hiyo alikuwa mkuu wa kikosi maalumu (sdf) sdf ni kitengo cha juu kinachomshauri rais&hellip previous wastaafu waililia serikali ya jpm next igp amngoa ocd ukerewe
2019-01-22T08:22:11
http://mwanahalisionline.com/museveni-abadili-uongozi-wa-jeshi/
kupatwa kwa mwezi kesho tegemea haya | jamiiforums | the home of great thinkers kupatwa kwa mwezi kesho tegemea haya discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by danniair jul 21 2011 tarehe 14/6/2011 niliweka thread hii kesho tarehe 15/6/2011 mwezi utapatwa katika nyota mshale katika nyuzi 24[sup]o[/sup]23[sup]'[/sup] sakata hili litaanza hapa kwetu saa 22434 usiku na kuisha saa 80045 usiku wa manane ifikapo saa 42230 mwezi utaanza kugeuka rangi kuwa mwekundu na ifikapo saa 51237 usiku basi kuna mawili au utakuwa hauonekani kabisa (ukizingatia volcano iliyolipuka hivi karibuni na kutupa vumbi jingi sana angani) ama utageuka na kuwa kama damu iliyoganda ukiangalia tutakuwa na masaa 330 ya mwezi mwekundu na jumla ya masaa 7 ya tendo zima la kupatwa tutegemee nini basi kwa wale waliozaliwa kati ya tarehe 13 juni hadi 20 na desemba 13 hadi 20 wakae chonjo kwani wana miaka saba ya machungu pia kwa wale wenye sayari ktk nyuzi hizi 2028 mapacha na mshale (ikiwemo nchi yetu) kubwa zaidi kutakuwa na ugunduzi mkubwa wa habari za uongo ambazo zilikuwa zikijulika kama za kweli hii inaweza kuleta mtafaruku kwa kuwa mars ndiye atakuwa bwana wa kupatwa huku ambako nako kunatokea ktk nyota ya moto mshale machafuko vifo vya jumla mioto vitegemewe sana uzuri mmoja ni kuwa mars akiwa ndiye bwana wa kupatwa ataonyesha na njia ya kutokea pia ktk matatizo hayo usiku wa kupatwa tunashauriwa kufanya haya kuoga wakati wa kupatwa kusali (andika sara yako kwenye karatasi safi kisha ichome moto hapa nini maanisha unacho taka kitendeke ktk maisha yako na usichotaka kitende kiandikwe kwa amri ya neno naachilia jambo hili na hili mf naachilia tabia yangu ya ulevi iende ilikotoka isirudi kwangu tena) kula kabla ya saa 22434 katika usiku huu unashauriwa usifanye haya tendo la ndoa usigombane usiseme uongo usile mambo ni mengi sana kwa leo nakomea hapa najua majumbani magomvi sasa yameisha anza lakini chukulieni magonvi hayo kama chachu ya kusonga mbele na magomvi haya hasa ni kuhusu watoto majirani elimu nk kwa wale walioharibikiwa na magari simu computer msihofu ndo nyota ya mapacha inavyoliwa ambayo iko mkabara na mshale siku njema'' hapo penye red inatupa picha kamili jinsi ambavyo bajeti zetu zimekuwa zikipitishwa na wabunge wetu kwa mtindo wa bahasha pia hapo penye red panatudhihirishia unafiki wa wamiliki na waadishi wa magazeti ya the sun na news international ​ maalim abalhasan mnajimu wa gazeti ya mwananchi atakusaidia
2016-10-25T21:06:35
http://www.jamiiforums.com/threads/kupatwa-kwa-mwezi-kesho-tegemea-haya.156934/
baada ya mauzo ya huduma dongguan yuechuang automation co ltd biashara falsafa ya yuechuang uadilifu na kisayansi kitaalamu na ufanisi na kushinda na kushinda ushirikiano kutoa wateja na mtaalamu na ufanisi baada ya mauzo ya huduma tunafanya yafuatayo ahadi takatifu kwa wateja wetu 1 wote mashine na vifaa vya kuuzwa na kampuni yetu kuanzia tarehe ya kukubali kukubalika bure vifaa kwa ujumla udhamini kwa mwaka mmoja (isipokuwa kwa uharibifu na mwanadamu) kutoka ripoti vya kukubalika saini aina zote za uharibifu unaosababishwa na matumizi ya kawaida na party b ni wajibu kwa ajili ya matengenezo bure na replacement amevaa sehemu kulingana na makubaliano kati ya pande kutoa mtaalamu msaada wa kiufundi kwa ajili ya maisha 2 vietnin ​​utatoa mafunzo kwa waendeshaji vifaa wateja na mafundi uhandisi katika uendeshaji na uendeshaji wa kawaida isipokuwa mpaka mahitaji inaweza kujitegemea kuendeshwa na utatuzi 3 baada ya kufungua mauzo jourtelefon saa 24 kwa siku sisi kujibu vyema na kutoa ushauri wa kitaalamu baada ya kupokea kukarabati simu kama unahitaji kwenda kwenye tovuti kwa ajili ya matengenezo kufika katika tovuti kulingana na muda uliopangwa 4 baada ya kipindi udhamini muda wake kampuni yetu kutoa huduma ya matengenezo na msaada wa kiufundi kwa mujibu wa hali halisi na vizuri malipo vifaa vifaa na huduma za kazi 5 kutoa maisha huduma msaada wa kiufundi kutoa wateja na msaada kamili wa kiufundi na baada ya mauzo ya kusaidia wateja uongeze kazi na ajira kurahisisha michakato ya uzalishaji kuboresha ufanisi utulivu ubora wa bidhaa kuongeza kiwanda uzalishaji ufanisi kupunguza mahitaji ya kiufundi ya wafanyakazi kuhusiana kuongeza ufanisi automation na kuzalisha salama na ya kuaminika zaidi bidhaa magari viungio toyota autoassembler kwa viungio magari ni ya kuaminika
2020-02-29T09:06:26
http://www.ycautoc.com/sw/about-us/after-sales-service/
wapendwa nimfanyaje huyu x husband jamiiforums wapendwa nimfanyaje huyu x husband thread starter kyeli lula wapendwa salaam poleni na majukumu tatizo langu ni kwamba nimeachana na mume wangu takribani miaka sita sasa mtoto wangu wa kawnza ndio alimaliza darasa la saba mwaka huu katika kuhangaika kumtafutia shule ili ajiunge na kidato cha kwanza nilimchukulia fomu marian boys ya bagamoyo kwenye fomu niliandika jina la baba na namba ya simu kwa kutambua kwamba ni baba wa mtoto alifanya mtihani na akafaulu tatizo illilonisikitisha sana ni kitendo cha huyu baba mtu pindi alipopigiwa simu ili atambue hilo aliwajibu kwamba huyo mtoto yupo kwa mama yake mimi hanihusu hiyo nafasi itoelewe kwa mtu mwingine nilipata maelezo hayo baada ya kupiga simu shuleni ili nijue utaratibu unakuaje na kuambiwa nafasi yake ilishatolewa baada ya baba mtu kuwajibu vile je baba kama huyu nimfanyaje kwa hili mtoto amejua na amekosa amani naombeni ushauri wenu sijawahi kuumia kama nilivyoumia kwa hili asanteni nakaribisha ushauri wenu 311 4 35 duh pole pole sana kwa matatizo dada yangu nyote naona mmechangia kwenye hili tatizo kwanza ulitakuwa kumjulisha ex mumeo kuwa umejaza namba zake kwenye form za shule ya mtotokwa kufanya hivyo msingefikia hapo pia hata kama mmeachana mlitakiwa kukaa chini na kujipanga namna ya kulea watotoina kwa kuendekeza ugomvi wenu mmemuumiza mtoto na kakosa fursa ya kwenda shulenyie mna akili ganinadhani utakuwa umemweleza mwanao ukweli ndio maana umesema amejua ana amekosa amanisio yote twawaeleza watoto fanyeni yote ila watoto wasiwe wahanga na 'utoto' wenu tafakari chukua hatua likes wa ndima bukyanagandi mwanajamiione and 3 others 15411 219 160 kweli ligaidi pole sana tumia hilo kama fundisho wakati mwingine usiandike namba ya huyo baba mtoto andika details zako mwenyewe huyo baba ana akili za viatusasa hapo anafikiri anamkomoa nani na wewe mama sio kila jambo la kumueleza mtoto tena kwenye umri huo inaonyesha hamna mawasiliano mazuri na mwenzako hata kama mmeachana jaribuni kuwa mnawasiliana kwa ishu muhimu kwa maendeleo ya watoto wenuhaina maana kuharibu future za watoto wenu kwa ugomvi/chuki zinazohusu wazazi vin d baba alikuwa anaelewa kila kitu hata mtoto alipofaulu nilimweleza ila nadhani yeye ndio anaamua kumwumiza mwanae kupitia mimi akijua ananikomoa mimi suala la mtoto kujua alifatilia mwenyewe pale msimbazi na kuambiwa hivyo baada ya kuona mimi namchenga kumwambia ukweli tatizo hapo sio utoto tunatofautiana uelewa likes rakeyescarl and mwanajamiione daah so sad 3876 75 145 kama tatizo sio utoto ila ni kutafautiana kwa uelewa then jitahidi kutumia uelewa wako kumlinda mtoto wako dhidi ya baba huyu asiejua majukumu yakesi wajua tena mbwa ukimjua jina lake hakusumbui kabisa 5303 1775 280 dah nimeisikia hii nikabaki kushangaa tupole sana dada yangumwachie mungu tu madingi wa hivi huwa wanakuja kuipata fresh fainalisasa hivi haoni faida ya mwanae kwenda kusoma 1801 11 135 pole sana kwa yaliyokukuta ila samahani swali langu kwako ni je huyo baba anamlea mtoto wake kwa namna yoyote ile kiasi kwamba ikabidi uweke details zake kwa form nimejikuta naandika ukurasa hapa imebidi nifute maana hata hujanijibu hilo swali kuna majitu mabichwa maji kweliiii ngoja nisiendelee muulize atayakubalimafanikio ya mtoto baadaeakatae kwa maadnsihi na uweke katika kumbukumbu komaa na somesha mwanao mamatuli dada we acha maana nikisema niandike kila kitu watu watamaliza kusoma kesho yaani ni mwanaume msumbufu mtesaji mnyanyasaji sijawi kuonaona huwa atoa hela kwa kusumbuana kwanza utadhani sio mwanae yaani kaka yangu wewe acha tu roho imeniuma sana asante kwa kunipa moyo 1345 660 280 kwangu mimi huyo baba alifanya vibaya sasa suala la wewe umfanye nini nadhani ni kumuacha tu matatizo ya wazazi kuachana ni mengi tu tena hilo lako dogo kuna wazazi wakiachana wanaenda kutorosha watoto shuleni na kuwahamishia shule nyingine mie pia yalinikuta kama hayo kwa namna tofauti tulipotengana na wife (miaka 6 kama wewe) watoto walikuwa wanasoma st mathews muhula ulipotimu walikuwa kwake hivyo akawapeleka wakati wa kuandikisha watakaojulishwa wakati wa ajali akamuandika bwana anayeishi nae (wakati tuko pamoja alijenga tulipotengana akahamia huko akaoa) nikanyamaza mpaka leo watoto wameenda vyuoni nilipomuuliza mmoja wao amepewa shilingi ngapi na mama akasema 5000 (mama ana uwezo kidogo wa kunywa bia na kuchagua kiburudisho cha siku) hivyo kimsingi vumilia nipm tuliwazane funga safari nenda kwa yule father wala hana nenolol sipati picha ingekuwa mimi baba gani asiyekuwa mstaarabu shule ile inawindwa na watu kibao embu fikiria watoto 6000 tanzania nzima wamefanya wamechaguliwa 120 tu huwezi kuwa proud na mtoto wakopole sana maskini ka kwangu pia kamepata 29111 14164 280 kabla sijakupa pole ni heri nikushauri kuwa kwa sasa tulia kabisa yaani achana na wazo la kwamba umfanyeje huyo jamaa pata muda wako mzuri wa kumtafutia mahali pengine sio big issue ki vile tulia kabisa ukishampatia dogo shule na ukishalipa mtafute either direct au kwa kupitia ndugu ili adideclare kwa maandishi kuwa hamtaki huyo mtoto kisha itunze hio document uje umuonyeshe mtoto the moment baba atakapokuja kumhitaji naamini siku moja atakuja kumhitaji tu na ndio hapo na wewe utamkumbusha haya kabla ya kumsamehe bytheway umchukulie kama chizi fulani tu na sio ajabu ukute yupo humuhumu ndanipole sissy unajua nimejiuliza kitu kwenye ile form kuna kuweka namba mbili ya mama na pia baba ina maana hata hawakujaribu yako na walibandika majibu pale msimbazi jtatu hukwenda elli tatizo shule karibu zote bab kubwa zinakuwa zimejaa na mtoto kichwa namna hiyo akikosa shule zenye challenge yaan wakutane vichwa watupu atapoteza kipaji chake
2018-10-22T07:17:57
https://www.jamiiforums.com/threads/wapendwa-nimfanyaje-huyu-x-husband.181003/
javascript / slidersfancy thumbnail slider addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads dhana ndogo slider ni fullscreen jukwa slider na mengi ya makala na mazingira slider fit moja kwa moja kwa ukubwa browser kwa baadhi tu ya mabadiliko madogo juu ya css faili unaweza kubadilisha mpangilio wa slider yako updates pause chaguo fasta upana chaguo maelezo ufafanuzi decription jinsi ya muswada kazi kutegemea browser ukubwa script ni kuongeza idadi (kukosa) ya vitu na kujaza katika safu kamili ikiwa ni pamoja sript mahitaji kiwango cha chini 1 asiyeonekana mstari slide katika wewe kuwekwa thumbnails 30 na kisakuzi chako upana ni kuonyesha 9 vitu kwa mfululizo unataka kuonyesha mistari 3 (kutakuwa na kiwango cha chini safu 4/1 invisble) kuwa na safu yote kukamilika kwa vitu tunataka haja 36 (4 * 9) vitu lakini sisi tu vitu 30 kuwekwa na hivyo kuna 6 vitu ambavyo havipo muswada inachukua kwanza 6 vitu na kuongeza yao hadi mwisho wa bidhaaorodha ya kujaza katika safu just check demo (mimi kuwekwa thumbnails 30 tofauti) mfuko dhana ndogo slider javascript dhana ndogo slider (packed) jquery 143 jquery kuwarahisishia 13 jquery changa nyaraka & demos makala rahisi kuunganisha browser kubwa msaada customizable nyaraka & demos ni pamoja na tafadhali wasiliana na mimi kama una maswali yoyote downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa26 agosti 11badilikon / asambamba browsersie7 ie8 ie9 firefox safari opera chromefiles pamojajs javascript html cssprogramu versionjquerykeywordsecommerce ecommerce vitu zote jukwa kuisha dhana fullscreen fullwidth picha resize scrollable slide slider thumbnail
2017-04-26T02:14:43
https://sw.worldwidescripts.net/fancy-thumbnail-slider-39370
wabunge wazuiliwa kukutana na mfalme wa rwenzururu uganda bbc swahili wabunge wazuiliwa kukutana na mfalme wa rwenzururu uganda http//wwwbbccom/swahili/habari39004360 mfalme wa rwenzururu wesley mumbere wabunge kutoka kasese magharibi mwa uganda wanasema wamezuiliwa na vyombo vya usalama kukutana na mfalme wa rwenzururu wesley mumbere licha ya mfalme huyo kuachiliwa kwa dhamana wabunge hao ambao wote ni kutoka chama cha upinzani cha fdc wanasema kuwa ni kama ambaye mkubwa wao yuko katika kizuizi cha nyumbanikulingana na mwandishi wetu wa kampala siraj kalyango wabunge wanne kutoka kasese winfred kiiza harlod muhindi william nzoghu na robert muhindo wamelalamika kuwa mfalme wao anadhalilishwa mfalme mumbere amekuwa korokoroni tangu mwaka jana kwa sababu zinazohusika na uchochezi mfalme wa uganda kupata mpishi jela walinzi wa mfalme waliwaua polisi 16 uganda mfalme akamatwa kwa kuchochea ghasia uganda mfalme wa rwenzururu afunguliwa mashtaka ya ugaidi serikali ilimfungulia mashtaka kadhaa ikiwemo ya mauaji wizi na ugaidi baada ya kumkamata kufuatia makabiliano ya risasi kati ya maafisa wa usalama dhidi ya walinzi wa mfalme ambao serikali ilidai walikuwa wanajihusisha na visa visivyo sawa bi winfred kizza febuari 6 mwaka huu mahakama ya juu ya mjini jinja ilimuachilia mumbere kwa dhamana ya polisi ya shilling za uganda millioni 100 sawa na dola za marekani 27894 na wabunge hao ndio wadhamini wake wabunge wa upinzani wamshtaki rais museveni icc mfahamu mfalme wa mwisho wa rwanda pia mfalme huyo aliamriwa kuwa kila baada ya muda fulani itambidi kurudi mahakamanijumatatu anatakiwa kufanya hivyo na sasa yuko nyumbani kwake hapa mjini kampala
2017-07-23T03:23:36
http://www.bbc.com/swahili/habari-39004360
uganda yafuzu tena afcon baada ya kuipiga cape verde 10 bin zubeiry sports online uganda yafuzu tena afcon baada ya kuipiga cape verde 10 bin zubeiry sports online mwanzo > habari za afrika mashariki > uganda yafuzu tena afcon baada ya kuipiga cape verde 10 uganda yafuzu tena afcon baada ya kuipiga cape verde 10 hii inakuwa mara ya saba uganda wanafuzu afcon tangu walipofuzu mara ya kwanza mwaka 1962 huku matokeo mazuri zaidi kwao yakiwa ni ushindi wa pili katika fainali za mwaka 1978 baada ya kufungwa 20 na uganda mabao ya opoku afriyie bayie dakika za 38 na 64 uwanja wa accra sports mwaka 1962 ilishika nafasi ya nne baada ya kufungwa 30 na tunisia katika mchezo wa kuwania nagfasi ya tatu uwanja wa haile selassie mjini addis ababa wakati 1968 1974 1976 na 2017 mara zote ilikomea hatua ya makundi tu item reviewed uganda yafuzu tena afcon baada ya kuipiga cape verde 10 rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2019-10-16T20:31:42
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/11/uganda-yafuzu-tena-afcon-baada-ya.html
balozi seif ali idd afungua mkutano mkuu wa tapsea zanzibar leo | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today makamu wa pili wa rais wa serikali ya mapinduzi zanzibarbalozi seif ali idd (wa pili kushoto) akiwa katika meza kuu pamoja na waziri wa nchiofisi ya waziri mkuu tamisemimh hawa ghasia (kushoto)mkuu wa mkoa wa dar es salaammh said meck sadick (wa pili kulia)mtendaji mkuu wa taasisi ya uongoziprof joseph sembojo (katikati) pamoja na dkt remy sietchiping kutoka unhabitat wakati wa mkutano wa kikanda uliojadili ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya afrikauliofanyika leo kwenye balozi seif ali iddi afungua mkutano wa tisa wa tathmini ya sekta ya afya zanzibar makamu wa pili w rais wa zanzibar balozi seifa ali iddi akifungua mkutano wa tisa wa tathmini ya sekta ya afya zanzibar uliofanyika hoteli ya ocean view kilimani mjini zanizibar picha na makame mshengamaelezo zanzibar naibu waziri wa afya mahmoud thabit kombo akimkaribisha makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi kufungua mkutano wa tisa wa tathmini ya afya zanzibar balozi seif idd afungua mafunzo ya miezi mitatu ya teknolojia ya habari na mawasiliano zanzibar makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi akisalimiana na mkuu wa mafunzo ya teknolojia ya habari na mawasiliano zanzibar nd abdullah othman ali wakati wa hafla ya kuyafunga mafunzo hayo hapo skuli ya sekondari donge mkoa wa kaskazini unguja kati kati yao ni mbunge wa jimbo la donge mheshimiwa sadifa juma khamis na nyuma ya balozi seif ni mratibu wa mradi unaoondesha mafunzo hayo ndabdi hamid abeid mkuu wa mafunzo ya teknolojia ya habari na mawasiliano zanzibar nd abdullah rais dktmagufuli akutana na balozi seif ali idd leo makamu wa pili wa serikali ya mapinduzi zanzibar mheshimiwa balozi seif ali idd amemhakikishia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli kuwa hali ya zanzibar ni shwari na wazanzibar wanasubiri kutangaziwa tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi balozi seif ali idd ameyasema hayo ikulu jijini dar es salaam leo tarehe 20 januari 2016 mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo
2019-04-21T08:52:13
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/balozi-seif-ali-idd-afungua-mkutano-mkuu-wa-tapsea-zanzibar-leo
hallelujah yaibua tafrani diamond awapa makavu wachungaji hakuna alieamni jicho letu hallelujah yaibua tafrani diamond awapa makavu wachungaji hakuna alieamni september 30 2017 admin burudani 0 diamond amesema licha ya kujiunga na mtandao wa v evo aliamua kuachana nao kutokana na masuala ya maslahi kutomridhisha mapenzimbinu7 za kuchagua mwenza ambaye hatakuacha utafiti kutabasamu ni bora zaidi ya kufanya makeup
2018-01-16T11:37:13
https://jicholetu.com/2017/09/30/hallelujah-yaibua-tafrani-diamond-awapa-makavu-wachungaji-hakuna-alieamni/
imechapishwa sat jan 7th 2017 kitaifa / slideshow / zanzibar | na mtanzania digital cuf watembeza bakuli kusaka fedha za kampeni © new habari (2006) ltd haki zote zimahifadhiwa cuf watembeza bakuli kusaka fedha za kampeni
2017-01-21T10:38:10
http://mtanzania.co.tz/?p=27854
ujumbe wangu wa leo dina marios blog ujumbe wangu wa leo by dinamariesblog | march 6 2013 kwa anaetaka kuudadavua kuwa wa kiswahili namkaribisha uwanjani ← previous story umeshawahi kumuona samaki taahuyu hapa next story → heri ya siku ya wanawake duniani utakuwa mfungwa wawa2 endapo utakuwa unayajal wanayoyafikiria kujali yafikiriwayo na watu wengine ni kukubali kuwa mtumwa wao nimeupokea ujumbe wako wenye maneno matamu na ya kweli maisha usiusikilize moyo wa mwenzio unavyopenda sikiliza wako utafika hilo nalo neno dinna ukijali kuhusu watu wengine wanavyofikiri daima utakuwa mfungwa wao ukiyajali ya watu hufanyi chochote jali wengine wanavyofikiri na kila wakati utakuwa mtumwa wao that means ukiwa unafuata kusikiliza au kujali wengine wanafanya au kusema nini juu yako au juu ya mambo mengine hutakuwa huru kuonyesha uwezo wako either wa kufikiri au kufanya kitu kila wakati utakuwa unasikiliza wao tu so try to thing and be you believe in youself na utakuwa huru kufanya mambo yako kwa uhuru bila woga fanya unayoyaona yanakufaa mwenyewe usijali kuhusu watu wengine grace munuo mmmmh mi siipati maana jamani ukijali sana yasemayo na watu utakua mtumwa wao kama utaruhusu kuathiriwa na mitazamo ya watu juu yako hakika utajinyima uhuru wa mawazo yako juu yako sasa cjui nilugha maana mimwenyewe hola ireen steven kujal watu wanafikiria nn juu yakoutakuwa mtumwa wao bcoz hutaweza kuendelea mbele utatumia mda mwing kujal wasemayo juu yako kitu ambacho kitakupa hofu ya kufanya jambo lingne lolote eti kwasababu watu watanifikiriaje huo ndio ufungwa wako kwaoso u have to focus on what u a dong dont care abt what people will say o thnk abt ulet them say it you just focus katika maisha fanya chochote kile unachoona ni sahihi ila ukikaa na kufikiria watu watakuonaje au kukuchukuliaje utakuwa hapo hapo tu kwa kuogopa au kuhofia binadamu wenziodo ur things no matter what they think of u kwakweli dina mamaangu km tutaishi kwa style hiyo hatutafika popote ebu tujitahidi tuishi tutakavyo jali watu wakufikiavyo na utakuwa mtumwa kwao siku zote dina bwana wewe ni kiboko maana umeniacha hoi una akili za kufikiri harakaharaka nimekupenda na umetisha kujali maneno ya watu wakufikiriavyo siku zote utakuwa mtumwa kwao
2017-11-19T08:23:36
http://www.dinamarios.co.tz/2013/03/ujumbe-wangu-wa-leo/
jinsi ya 'kurejesha' katika inbox sms ulizozifuta (kwa makusudi au bahati mbaya) ~ kulikoni ughaibuni jinsi ya 'kurejesha' katika inbox sms ulizozifuta (kwa makusudi au bahati mbaya) pengine umeamua kufuta sms baada ya kuona sms inbox yako inajaa au pengine umefuta sms kwa bahati mbaya katika mazingira ya kawaida ukisahfuta sms ndio 'imetoka hiyo' lakini kimsingi waweza kuzirejesha kwenye inbox japo kitu cha muhimu kabisa na muda uwezekano wa sms ulizozifuta kurejea inbox kunategemea sana uharaka kadri unavopokea sms mpya au updates za apps zako ndivyo fursa ya kuzirejesha inavyozidi kuwa ndogo kuna nyenzo kadhaa za pc au mac za kuweza kukuongoza katika zoezi la kurejesha sms zako kwenye simu yakonyingi ya nyenzo hizo ni za bure na hata zinazohitaji malipozinakupa fursa ya majaribio kabla ya kununua (free trial) aina gani ya nyenzo uitumieyategemea mapendezeo yakolakini zote zafanya kazi moja kuscan memory ya simu yakokutambua na kuokoa sms zilizofutwa zitakuongoza katika hatua nne muhimu za zoezi hili kuunganisha kuscan kureview na kuziokoa (recover) baadhi ya zana za pc au mac zinazoweza kukusaidia ni pamoja na coolmuster android sms+contacts recovery wondershare dr fone for android (hii inahitaji simu yako iwe rooted) na android data recovery hatua zifuatazo zinaweza kuwa tofauti kutegemea na zana ya pc/mac utakayoamua kutumia hapa imetumika wondershare dr fone kwa minajili ya maelezo kwa picha) 1 download moja ya nyenzo nilizotaja hapo juu kwenye pc/mac yakokisha iwashe (launch) 2 unganisha simu yako na pc/mac kwa kutumia waya wa usb 3 wezesha 'usb debugging' katika simu yako kwa kwenda kwenye 'developer options' katika 'setting' vinginevyo waweza kwenda kwenye 'about phone' kisha 'build number' piga eneo hilo na kidole chako mfululizo (tap repeatedly) na hatimaye utapelekwa kwenye 'developer options' kutoka haponenda kwenye 'usb debugging' (au android debugging kutegemea aina ya simu yako) kisha tiki kiboksi husika 4 fuata maelekezo kama yanavyoonyeshwa katika zana unayotumia kwenye pc/mac yako 5 ukishamaliza sasa utaweza kuona data zilizopo kwenye memory ya simu yako na sms ulizofuta kwa bahati mbaya au makusudikutegemea kama hakuna sms mpya au updates za appsmaana kitu chochote kipya kwenye memory kitaondoa uwezekano wa kuokoa sms ulizofuta 6 tafuta folder ya smschagua sms unayotaka/unazotaka kuzirejesha inboxna aidha tumia option ya 'recover' kwenye pc/mac yako au 'save' kwenye kompyuta yako natumaini makala hii itakuwa na msaada na manufaa kwako usikose kufuatilia makali nyinginezo za teknolojia katika blogu hiibonyeza teknolojia hapo juu na utapelekwa moja kwa moja katika makala hizo rihi hajj ally 24/04/2016 2138 mimi napata shida moja aisee ina scan zile za inbox tu ila sms ninayoitaka haipatikan hata kwa program zote zinaleta zile za zaman ambazo sina haja nazo sana
2018-04-25T08:56:02
http://www.chahali.com/2014/07/jinsi-ya-kurejesha-katika-inbox-sms.html
riwaya mwanafunzi mchawi (a wizard student) sehemu ya 36 & 37 | ubuyu riwaya mwanafunzi mchawi (a wizard student) sehemu ya 36 & 37 kuna maajabu humo ndani maajabu gani mama pamela hakuwa na la kufanya zaidi ya kulia tu muda wote ule hakujua doreen anaendeleaje ila kilichomshangaza ni kwanini doreen hakwenda sebuleni kujumuika nao alinyanyuka kitini na kwenda chumbani kwake lakini ghafla mshangao wa ghafla ulimvaa mwanamama yule baada ya kukuta hali ya chumba ni mbaya sana kila kitu kilikuwa shaghalabaghala tu ndipo machale yakamcheza akasogelea droo anayohifadhia pesa mungu wangu alishtuka mama pamela baada yakukuta droo ipo wazi lakini haina pesa yoyote zaidi ya stakabadhi ambazo hakuwa na shida nazo wakati ule macho yalimtoka kwa mshangao huku akitoatoa vitu ndani ya droo ile bila kuona chochote akasimama wima akiwa ameshika mkono kiunoni kwa hasira doreen aliita kwa jazba bila kujua doreen alikwishaondoka muda mrefu uliopita mama pamela akakugua tena ili kujiridisha kama kweli pesa hazikuwamo lakini bado hakukuta pesa ndani ya droo ile wala eneo lingine chumbani mle mama pamela alichanganyikiwa sana akatoka ndani ya chumba kile na kupiga hatua za harakaharaka koridoni kuelekea chumbani kwa doreen alifika mlangoni na kufungua mlango kwa jazba kubwa lakini cha ajabu chumba kilikuwa kitupu na hakukuwa na mtu yeyote wala dalili za uwepo wa mtu mama pamela akahamaki akamwita doreen kwa sauti kali lakini hakuitikia mungu wangu ina maana doreen ametoroka na pesa au alijiuliza mama pamela akiwa ameishiwa nguvu kabisa hakutaka kuamini kama binti anayemuamini kiasi kile angetenda tukio lililotokea mama pamela alitoka nje ya nyumba yake ili kumtazama vizuri doreen alimtafuta pale uani na kila upande wa nyumba lakini doreen hakuwepo moyo wa mama pamela ukatawaliwa na lawama nyingi sana akajilaumu ni kwanini hakumsikiliza mumewe mpaka yote hayo yametokea akakaa chini kibarazani huku machozi yakimchuruzika kila akikumbuka maneno ya mwanae roho ilimuuma zaidi hakuwa na hamu hata ya kula alikuwa na simanzi nzito iliyopelekea mafuriko ya machozi usoni mwake alilia mpaka machozi yakamkauka akiwa pale pale kibarazani kwake hakutaka hata kumwona binti yake kwani uchungu ungemzidia kwa jinsi alivyokuwa akimpenda na kumjali pamela hakuamini kirahisi kuwa leo amekuwa adui yake mkubwa na kumpa lawama za uchawi mungu tu anajua aliwaza mama pamela majira ya saa kumi na moja jioni baba pamela aliwasili jijini mbeya na kufika nyumbani kwake akiwa na mawazo tele juu ya familia yake alipofika ndani tu alikutana na mkewe ambaye uso wake ulivimba sana kwa machozi ya siku nzima baba pamela hakushangaa sana kwani alihisi mkewe anamlilia binti yao pamela kumbe si hivyo tu bali alikuwa na jambo zito lililomtatiza sana moyoni mwake familia ya akina dorice ikiwa bado imekaa kikao babu yake dorice aliyefahamika kama mganga tawi la mtawile alikuwa tayari ametoa wazo kuwa atafanya jambo familia nzima ikaondoka kwenye nyumba ya mama dorice na kwenda moja kwa moja kwa mganga tawi la mtawile ili kujua dorice yupo wapi na katika hali gani na kwakuwa hapakuwa mbali sana walitumia mwendo wa dakika tano tu mpaka kufika kwenye nyumba ta tawi la mtawile mganga yule maarufu mkoani singida alikuwa ametenga eneo maalum nyumbani kwake kwaajili ya shughuli za uganga alipanga vyema vibuyu na dawa zake pembeni alizungushia kaniki nyeusi na nyekundu akavua viatu kisha akawaamrisha wote waliombatana nae wavue viatu ndipo wakae kwenye zulia alilotandika chini wote wakafata kama walivyoamriwa mganga tawi alianza kuimba nyimbo za kuita mizimu na kuongea maneno ambayo wengine hawakuyaelewa alitumia dakika kumi nzima kisha akachukua kioo kikubwa akanyunyiza dawa na kuipakaza vizuri kwa kutumia mkia kama wa ng'ombe akaita jina la dorice mara tatu baada ya muda mfupi ardhi ikatetemeka sana radi zikapiga mfulululizo na kuwafanya wote waogope na kila mmoja alitamani kukimbia kwani palikuwa na utisho wa ajabu riwayamwanafunzi mchawi (a wizard student) sehemu ya 37 ukimya mzito ulitawala huku ndugu zake dorice wakijiuliza ni mini kitatokea ghafla moshi mweusi ulioambatana na radi ukatokea mbele yao karibu na mti mdogo uliokuwa karibu na kile kijumba cha uganga cha tawi la mtawile wote wakakaza macho kwa woga huku wakitazama kwa makini moshi ule ulitokana na nini ilhali hakuna moto wowote katika eneo lile kwa namna ya ajabu na ya kustaabisha sana ambayo hakuna aliyeitarajia doreen alitokea mbele yao akiwa na muonekano tofauti na waliomzoea alikuwa ni mrembo kupita kiasi huku marashi makali yenye harufu nzuri yakizidi kuziumiza pua zao kwa fujo mikufu ya dhahabu ilining'nia shingoni mwake ikienda sambamba na hereni ilizokuwa amezivaa pamoja na pete kwenye vidole vyake kila mmoja alionesha mshangao wa ajabu kwani hawakuelewa ni kwanini dorice yupo vile walitulia kimya huku woga ukiwazidia kwani walijua ni mzimu wa dorice dorice umekuwa jini aliuliza tawi la mtawile kwa sauti kali dorice akajiweka sawa na kuachia tabasamu mwanana huku akipiga hatua chache kuwasogelea ndugu zake ingawa hakuwa nao karibu sana kwanza kabisa nimefurahi kuwaona ndugu zangu mama nilionana nae tangu akiwa kwenye basi alisema dorice kwa sauti tulivu sana maneno yake yalimshtua sana mama dorice na kumfanya akumbuke matukio yote yaliyomtokea alipokuwa kwenye basi na kabla ya kuingia kwenye basi ni wewe kwanini umekuwa jini alisema mama dorice kwa sauti iliyojaa woga sana mimi sio jini ila ninataka kulipa kisasi na kuwakomboa watu wasio na hatia alisema dorice baada ya dorice kusema vile wote wakatazamana kwa mshangao sana mama dorice alitaman mwanae arudi katika hali ya kawaida ili aendelee kuishi nae lakini dorice asingekubali hata kidogo kupoteza malengo yake aliyopangilia kuyafanya kwa wakati ule mama ninakupenda sana nina imani nitarudi nyimbani baada ya kumaliza kazi yangu asanteni kwa kuniita kwaherini aliema dorice kwa huzuni kubwa huku neno kwaheri likijirudia mara kadhaa mpaka alipopotea na kutoonekana tena machoni mwao huzuni ikamtanda mama dorice akamtazama mganga tawi la mtawile na kwa bahati wakagongana macho kwa mganga pia alikuwa akimtazama mama dorice baba naomba mwanangu arudi alisema mama dorice huku chozi likimlengalenga machoni mmh hilo haliwezekani mwanangu dorice hakuwa duniani bali aliolewa na jini na amepewa nguvu za kijini ambazo ni tishio sana ni kubwa kuliko kawaida na nadhani kuna jambo muhimu amekuja kulifanya maana lasivyo asingerudishwa duniani tawiitawi la mtawileeee alisema mganga yule kwa sauti kali ya kiganga inamaana atakuwa jini inawezekana akawa mtu wa ujinini siku zote eeh mungu wangu alisema mama dorice mganga hakuwa na la kufanya juu ya dorice wanaukoo wote walistaajabu lakini hawakuwa na la kufanya zaidi ya kupigwa na butwaa mama dorice alikuwa haamini kilichomtokea mwanawe lakini hakuwa na jinsi na maneno ya mganga yalizidi kumpa mawazo mengi haukupita muda sana wote walitawanyika na kwenda majumbani mwao huku suala la dorice likiwa gumzo akilini mwao mama pamela unakumbuka nilikuambia nini kuhusu mgeni wako aliuliza baba pamela nakumbuka mume wangu alijibu mama pamela huku akilia na alijua fika kwa jinsi baba pamela alivyompenda mwanae basi lazima atafanya kitu kulingana na tuhuma zile alizoshtakiwa na mwanae umeona maisha mlioishi tangu amekuja ndio vizurihebu muite hapa hayupo nimemtafuta sijamwona alisema mama pamela huku aibu na hofu vikizidi kumvamia kwa kasi sana kwani usemi usemao asiye sikia la mkuu huvunjika guu ulitimia kwake kwa wakati ule ingawa hakuwa na imani kama aliyemtoa titi binti yake alikuwa doreen hayupo ameenda wapi sijuisijuii ametoametoroka na pesa amechukua umeona sasa mke wangu umeona faida za ubishi e nisamehe mume wangu nilishakusamehe ila nilikuacha ujifunze ila roho inaniuma sana kwa binti yangu alisema baba pamela kwa huzuni maneno yake yaliibua tumaini jipya kwa mama pamela na yakawa faraja tosha kwake lakini pamela akawa kikwazo sana kwake kwani bado alikazania msimamo wake kuwa mama yake ndiye aliyemroga na kuchukua titi lake pamela mwanangu mama yako hawezi kufanya hivyo isipokuwa mwanazaya yule asiye na haya nilimwona tangu alipifika hapa ya kwamba ni mchawi ila mke wangu hakuelewa alimwamini sana binti yule mwenye sura ya kondoo kumbe chuialisema baba pamela kwa sauti iliyojaa busara ya hali ya juu unamtetea mama simtetei ila utaujua ukweli tu naamini mungu wa mbinguni atafanya muujiza wake hapa na lazima aliyekutenda hivi adhalilishwe in jesus name alisema baba pamela mwanaume aliyekuwa anamcha mungu kupita kiasi alikuwa ni mwaminifu sana katika masuala ya mungu kupita kiasi mr aloyce na mlinzi walistaajabu sana baada ta kumuona mama eddy (maimuna) akitoka nje mbio akiwa hajavaa nguo yoyote huku akihema kwa nguvu na kupiga mayowe hovyo nimekosaaa nimekosaaa alilalama mama eddy huku akianguka chini na kujigaragaza kama mtu anayecharazwa viboko na nyaya za umeme mr aloyce na mlinzi walibaki wakiwa wamepigwa butwaa kila mmoja alishindwa la kufanya zaidi ya kumtazama tu mwanamke yule aliyeendelea kupiga kelele sana sirudiiiisirudiiii nasema alizidi kupiga kelele bosi kwani mama ana nini aliuliza mlinzi unaniuliza nini na wewe si unamuona alijibu mr aloyce mama eddy alihangaika kwa muda mrefu pale nje mr aloyce aliingia ndani na kuchukua upande wa khanga ili akamsitiri mkewe lakini kila alipotaka kumfunika mkewe alikimbia kama chizi pale nje hakutaka hata kujifunika kwani alikuwa akiadhibiwa kupita kiasi bila kumuona mtu aliyemwadhibu mr aloyce ilibidi atulie tuli na kumuacha mkewe aendelee kutaabika kwani yeye hakuwa na la kufanya baada ya muda mrefu kupita mama eddy akaanza kutulia kidogo huku akihema kwa nguvu lakini aliongea maneno ambayo hakuna aliyemwelewa mke wangu kulikoni alisema mr aloyce kwa huruma nisamehe nikusamehe nini nisamehe mr aloyce mama eddy aliendelea kuomba msamaga bila kutaja kosa lake alilolifanya na akiwa amekaa pale chini ghafla akaendelea kuisikia sauti iliyokuwa inamwongelesha tangu alipokuwa ndani na hapo bado mpaka mlipie mateso mliyowatesa watu wasio na hatia sirudii tafadhali alisema mama eddy huku akipiga magoti mlinzi na mr aloyce walishindwa kumuelewa mama eddy kwani walihisi anazungumza peke yake hurudii nini aliuliza mr aloyce naomba nikwambie ukweli baba eddymimi alisema mama eddy wakati huo mlinzi yule alikuwa akiwaza vitisho alivyotishwa na mwanamke yule pindi alipofika nyumbani pale 'mh kumbeee ni mchawii' aliwaza mlinzi ukweli upi aliuliza mr aloyce kwa mshangao kwani katu hakujua kama kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia
2017-05-23T18:45:19
http://www.ubuyublog.com/2016/08/riwaya-mwanafunzi-mchawi-wizard-student_30.html
wafuasi 20 wa chadema wakamatwa na polisi wakiwa msibani zanzibar24 wafuasi 20 wa chadema wakamatwa na polisi wakiwa msibani ← mtandao wa wanafunzi wamesema hawaamini uchunguzi uliofanywa na polisi kuhusu nondo mwanafizikia maarufu stephen hawking afariki dunia →
2018-06-22T22:38:16
http://zanzibar24.co.tz/2018/03/14/wafuasi-20-wa-chadema-wakamatwa-na-polisi-wakiwa-msibani/
saudiarabia pato la taifa kutoka kilimo kiwango cha ukuaji wa pato la taifa 107 149 851 214 asilimia [+] pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji 360 250 2420 2070 asilimia [+] pato la taifa 68383 64494 75635 419 usd bilioni [+] pato la taifa constant bei 68251400 65371400 192539403 47650451 sar milioni [+] jumla ya pato zisizohamishika ukuzaji rasilimali 18576600 13315700 59775100 10157200 sar milioni [+] patolataifakwamwananchi 2079632 2138050 3912540 1425350 usd [+] patolataifakwamwananchippp 4904541 5042301 5072370 3919480 usd [+] pato la taifa kutoka kilimo 1339700 1521400 1606300 1035400 sar milioni [+] pato la taifa kutoka ujenzi 2885600 2876400 3197200 2196900 sar milioni [+] pato la taifa kutoka viwanda 8077800 7991400 8149300 5346800 sar milioni [+] pato la taifa kutoka madini 26879300 26591900 26879300 18922100 sar milioni [+] pato la taifa kutoka uchukuzi 4143500 3730200 4143500 2402800 sar milioni [+] pato la taifa kutoka mamlaka ya udhibiti 609200 1521800 1521800 314100 sar milioni [+] sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi saudiarabia pato la taifa kutoka kilimo
2019-06-17T15:10:01
https://sw.tradingeconomics.com/saudi-arabia/gdp-from-agriculture
videobalozi wa tanzania nchini msumbiji amewataka watanzania kuchangamkia fursa zilizopo full shangwe blog home / mchanganyiko / videobalozi wa tanzania nchini msumbiji amewataka watanzania kuchangamkia fursa zilizopo videobalozi wa tanzania nchini msumbiji amewataka watanzania kuchangamkia fursa zilizopo alex july 25 2017 mchanganyiko tv watanzania waishio katika mikoa ya mtwararuvuma wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo hususani katika majimbo mawaili ya cabo delgado na niassa nchini msumbijihayo yamesemwa na balozi wa tanzania nchini msumbiji rajabu luhavi wakati wa mkutano mkutano mkuu wa ujirani mwema kati ya tanzania na msumbiji mkoani ruvumahabari kamili hii hapa video previous 🔴live breaking rais magufuli akihutubia wananchi itigi mkoani singida next tumepunguza uhalifu kwa 24 rpc arusha
2019-02-18T16:05:36
https://fullshangweblog.com/home/2017/07/25/videobalozi-wa-tanzania-nchini-msumbiji-amewataka-watanzania-kuchangamkia-fursa-zilizopo/
the ceo culinary artist tanzanian executive chef issa kapande maoni yenu ni muhimu sana nduguzangu kama nilivyosema mwanzo nahitaji sana maoni yenu ili nijue mngependa hasa tuanze na mafunzo yapi lazima tuwe na mpangilio na mtiririliko wa mafunzo kura ya wengi ndio itapewa kipaumbele nashukuru sana wale wote manoendelea kuchangia na mawazo yoote yanaheshimiwa chef issa 1/02/2010 030100 am chef mimi kama nilivyosema mwanzo ili tuwe na mpangilio mzuri ni vyema ukaanza na starter au finger foods kwa sababu moja kuu kuna wengine ni wapishi tayari ila kuna wengine ndio kwanza wanaanza kujifunza mapishikwa kuwa hivi vyakula vya awali au starters na finger foods ni rahisi kuvipika itakuwa rahisi hata ambao si wajuzi katika mapishi kujifunza kisha ndio tuingie kwenye salads juice na lastly main menu na hii itasaidia hata kubadilisha style ya kula vyakula huko nyumbani kwani vitu vinapatikana kwa wingi na ni rahisi kulinganisha na ulaya ila hatujui namna ya kuvitumia kama starters utakuta vitu viko kibao tena fresh lakini tumezoea kula mikono mitatu yaani unatia mkono wako kwenye maji ya kunawa kisha unamega ugali unamalizia kwenye mchuzi/mboga ndio milo yetu hiyo hata kama familia ina uwezo wa kununua hizo mboga mboga na mambo mengine lakini mazoea ndo yanapelekea tule mikono mitatu badala ya course tatu au nne za chakulamswahili sunday january 03 2010 123100 pm chef hongera kwa ulipo fikia nina stori ndefu kidogo na fani hii ila naomba niende kwenye point ya msingi me ni hotelia mwaka uliopita nilikua mpishi melini huko dubai coz napenda kua mpishi tangu sikunyingi ila msukumo wa maisha kama ujuavyo hapa kwtu unaakuta unaangukia kwingine kama sasa nafanya kazi kama riceptionist ili tu nisikae bila kazi nashukuru kupata hii blog yako yawezekana ukawa msaada kwangu me niko znz siyo mzurii saana ktk mapishi ingawa ndo dipartiment niipendayo hadi nakwenda dubai kama mpuishi huwezi amini hiku nilikua barman ila nilifika kule watu wakafrahia mapishi yangu niko ladhi kukutafuta ulipo coz ndoto niku fikia lenk yako na zaidi adonicemarinya@yahoocom
2017-02-26T19:41:04
http://activechef.blogspot.com/2010/01/maoni-yenu-ni-muhimu-sana-nduguzangu.html
mchezo ether ya kadi uchawi online kucheza mchezo bure ether ya kadi uchawi online kipekee flash mchezo kwamba imeundwa kwa ajili ya watu ambao kama mkakati wa kugeuka msingi na jambo ni kwamba hapa utakuwa na kuonyesha jinsi vizuri unaweza kushughulikia katika vita dhidi ya mpinza © free online mchezo ether ya kadi uchawi () play online flash mchezo ether ya kadi uchawi kwa bure usisahau kiwango mchezo huu ether ya kadi uchawi na kushiriki mchezo huu kwa rafiki yako bora mchezo ether ya kadi uchawi online maelezo ya mchezo ether ya kadi uchawi line jinsi ya kucheza mchezo online kipekee flash mchezo kwamba imeundwa kwa ajili ya watu ambao kama mkakati wa kugeuka msingi na jambo ni kwamba hapa utakuwa na kuonyesha jinsi vizuri unaweza kushughulikia katika vita dhidi ya mpinzani wako ambayo si rahisi kushinda kutokana na kwamba kimsingi ni matokeo yote ya vita ataamua kadi kwamba wewe kuja hela kila kadi hii ni spell kwamba unaweza kufanya kama vunjwa nje ya kituo cha na kubonyeza tahajia lakini siku zote kuhakikisha kiwango chao cha afya kiwango cha mchezo huu alicheza 5528 ether ya kadi uchawi ( kura87 sekondari rating 462/5) sawa michezo sitch katika time sehemu ya 2 zamani doodle mungu 2 nightmares adventures episod 4the stolen vinyago of robr farao kuangushwa kubwa pua je si cry i will find you mara kutokana minigolf akageuka 5 tofauti katika upendo ndege mpenzi hosteli kutoroka monsters chuo kikuu jigsaw
2019-05-20T23:36:27
http://tz.igames7.com/9335/
wana kagera wa dar misaada yenu inawafikia walengwa jamiiforums wana kagera wa dar misaada yenu inawafikia walengwa sipendi kubeza jitahada za wadau hasa wanaoishi katika jiji la shida na raha la dar salaam kuendesha harambee na harakati za kuchangia sekta kadha katika mikoa ya walikozaliwamatukio ya aina hii ni mengi lakini leo naongelea &#8216harambee ya kuchangia maendeleo ya jimbo la nkenge' iliyofanyika jijijini dar na kuhudhuria na makamu wa rais dk ghalib bilali ambapo jumla ya fedha sh milioni 114 zilichangwa na kati yake milioni 65 zikiwa ni taslimunawapongeza waandaaji na waliochanga kwa kuwa tukio kama hili liliwahi kufanyika kwa jina la &#8216kagera day' na taarifa ni kwamba mamilioni yaliyochangwa wakati huo yakilenga kuboresha elimu mkaoni humo yalitafunwa na &#8216wajanja' hadi kusababisha serikali ya mkoa kutoa ufafanuzi &#8216mwepesi' juu ya kufunjwa kwa hizo fedha soma hapa&#8230 dktbilal aendesha zoezi la harambee ya kuchangia madawati mfuko wa maendeleo ya elimu jimbo la nkenge kagera yetu 2nkenge foundation ni mali ya nani imesajiliwa kwa jina la nani 3nani msimamizi wa hizo fedhaziko kwenye account ya nani cc phinias bashaya anna tibaijuka @ta muganyizi picha za uchangiaji wa nkenge foundation asili yao ni matapeli tu hakuna cha kushangaza hapo ukiona michango imeliwa omutwale maxence melo kaa la moto bujibuji kokutona @bakuza bigaraone @bukyanagandi ludovick mwijage bakuza bigaraone chaimaharage evoddy gagnija hagga jaji james chapacha kagalala kaitampunu kanyagio kibera lonestriker mkomamanga mpiga zeze mugunda naivasha ngeleshi prnkazi qixima mqiqa ruberts rwamarungu rweza sangija senetamukama talemwaspeedy timbilimu tukundane yakuzarugumisagalimabigtimekakalendeprnkazi alexism+ kilikilianikanyagiobushaijabwe libaba smarty baba collinseddy m bube tata kashorobana rutunga m tutumie lugha za staha mkuu mzalendo halisi said uchangiaji fedha katika siku ya kagera day ni vituko tupu kiasi cha shilingi bilioni 14 zilichangwa mbele ya lowasa ikiwa nipamoja na zawadi cash milioni 15000 amechelewa ndege ifwakti akitokea kutoa matibabu canada kwa mgonjwa anaye mhudumia huko ameshikwa na mafua amesema hakuna tatizo tumtume mtu aende london akachuklue milioni 45 uprofesa amesema yeye na mkewe ambaye ametunukiwa phd juzi hapo mlimani pamoja na mtoto wao rwechungura atatoa milioni 20 kazenitalema katalyeba na akina kokushuma wao wametoa kiasi kidogo na wao wamekaa kule nyuma hata hatukuona haja ya kukupa mkono kwa kuwa wametoa cash milioni kati ya 5 na 9 pia mheshimiwa hawa nikuwa wana masters tu ndo hata tumeona elimu bado ndogo sio sawa na akina rwegasira https//wwwjamiiforumscom/jokesutaniudakugossips/7887wahayabwanakageradaybalaatupuprinthtml twende na https//wwwjamiiforumscom/jukwaalaelimueducationforum/34267kageradaymfukowaelimumkoawakageraprinthtml mkuu byabato hizi ishu za kagera mtajuana nyie wahaya maana kila mtu much know na hamchelewi kuleta posti za kihaya humu ndani infwakiti sie tuko kwa ajili ya ishu za kitaifa na kimataifa huto tuvijisent mlochangishana (m14) kwa jimbo zima mbona tuchache mno kulingana na gharama na muda mliotumia nyie haya vp bwana mkuu byabato hizi ishu za kagera mtajuana nyie wahaya maana kila mtu much know na hamchelewi kuleta posti za kihaya humu ndani infwakiti sie tuko kwa ajili ya ishu za kitaifa na kimataifa huto tuvijisent kwa jimbo zima mbona tuchache mno kulingana na gharama na muda mliotumia nyie haya vp bwana elimu mkoani kagera na mikao ya kandaya ziwa inaporomoka kwa kasi ya ajabuinahitajika mikakati mikakati si ndiyo hiyo inayoanzishwa kupitia harambee issue hapa ni je hizo harambee zinazofanyika nje ya maeneo ya tatizo zina tija siyo mambo ya kagera ndugu mathias byabato kwani huji hivi sasa tanzania ni nchi ya division five ijapo haujataka kuniorodhesha kama mwana kagera bado nahisi mawazo yangu yangesaidia kuliko kuzunguka peke yako na post huku ikikosa wachangiaji umeshajiuliza ni kwanini hata uliowataja hawajataka kuchangia post hii samahani sana siyo lazima kuwakumbuka wadau wote ambao ni members wote humu jf pia nimepokea mail zaidi ya 10 kutoka kwa wadau hasa walioko kwenye dola wakitoa maoni yao amabyo hawakuona umuhimu wa kupost humu jfsiyo kila post ipate wachangiaji wengi ili ionekane imeleta impact tarajiwa taarifa kuwafikia tu walengwa ni impact tosha mkuu lakini mchango wako au kubadilika kwako juu ya namna ya kuboresha maendeleo ya kagera ni muhimu sana mbali na hapo nitakupigia no yako ninayo mkuu niwe radhi rweye tatizo la hizi ishu ni zile zile ambazo mie na wewe tumekuwa tukijadiri mpaka vichwa vinachemkaanyway hoja yako ina maana sana kyoma ila nakupa b nyingine kama siyo kichekesho mie nilivyosikia kupitia clouds na tbc ishu ilionekana kuandaliwa na nfoundation ikiwa ni ya mkoa wa kagera wote lakini kumbe ilikuwa ya sehemu tu tena chini ya mtu na begi lake kyoma obu 'burushu' alichosema mathabane hapa chini naona kinaanza kujitokeza mh rweye niliamua kujivua uana kagera nitarudi baadaye fish mwendelezo wa hilinapata taarifa kuwa shule kadhaa za msingi katika wilaya ya missenyi zimefungwa kwa ukosa vyooje fedha hizi zilifanya kazi gani
2019-08-25T13:27:07
https://www.jamiiforums.com/threads/wana-kagera-wa-dar-misaada-yenu-inawafikia-walengwa.562825/
(showing articles 23501 to 23520 of 37937) 03/18/170845 _md kayombo awaonya 03/18/170920 _waziri ummy atoa ra 03/18/170923 _wananchi wampongeza 03/18/171005 _ diamond aula ubal 03/18/171023 _dkt shein afanya ut 03/18/171036 _meya wa jiji achang 03/18/171330 _rais dkt magufuli 03/18/172241 _vijuso vya magazeti 03/18/172252 _usiku wa miss pendo 03/19/170153 _tanzanite one watoa 03/19/170156 _live gwajima akito 03/19/170700 _makada wa ccm wachu 03/19/170701 _waziri mkuu majaliw 03/19/170703 _balozi wa tanzania 03/19/170704 _ rais dkt magufuli 03/19/170807 _mbunge wa jimbo la 03/19/170853 _maulid ya kumsalia older | 1 | | 1174 | 1175 | (page 1176) | 1177 | 1178 | | 1897 | newer 03/18/170845 md kayombo awaonya maafisa watendaji wa kata na mitaa kutopokea rushwa 03/18/170920 waziri ummy atoa rai kwa madaktari kuomba nafasi za kazi nchini kenya 03/18/170923 wananchi wampongeza mkuu wa wilaya ya ubungo jijini dar es salaam 03/18/171005 diamond aula ubalozi wa bidhaa za gsm maaskari wa vikosi mbali mbali vya ulinzi na usalama wakimsikiliza rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa michezo ya majeshi ya 17 kwa mwaka 2017 katika uwanja wa amaan studium mjini unguja katika sherehe zilizofanyika leo maaskari wakiimba wimbo maalum wakati wa ufunguzi wa michezo ya majeshi ya 17 ya mwaka 2017 (bamata)katika uwanja wa amaan studium mjini unguja katika sherehe zilizofanyika leo kikosi cha maaskari jeshi la wananchi jwtz kanda ya ngome wakipita mbele ya mgeni rasmi rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein na kutoa heshima wakati ufunguzi wa michezo ya majeshi ya 17 ya mwaka 2017 (bamata)katika uwanja wa amaan studium mjini unguja katika sherehe zilizofanyika leo rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa michezo ya majeshi ya 17 kwa mwaka 2017 leo katika uwanja wa amaan studium mjini ungujamkoa wa mjini magharibi [picha na ikulu] 18 /03/2017 03/18/171023 dkt shein afanya uteuzi 03/18/171036 meya wa jiji achangia mabati mifuko ya cement 100 ujenzi wa darasa shule ya maweni meya wa jiji la dar es salaam akiangalia dampo linalotumiwa na shule hiyo kutupia na kuchomea moto uchafu jinsi lilivyo diwani wa kata ya mji mwemacelestine maufi (chadema) akimuonyesha meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita (katikati) eneo ambalo limewekwa kwa ajili ya kujengwa madarasa endapo fedha zitapatikana mkuu wa shule ya mawenizuhura mwaliko akieleza jambo kwa meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita mojawapo la darasa ambalo halijakamilika katika shule hiyo wakinamama waliojitokeza katika mkutano huo wa harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa madarasa ya shule ya maweni wakinababa waliojitokeza katika mkutano huo wa harambee wanafunzi wa shule ya msingi ya maweni wakiimba wimbo wa shule hiyo kabla ya mkutano kuanza wanafunzi walioshiriki katika mkutano huo mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya mawenizuhura mwaliko akizungumza katika mkutano huo mwenyekiti wa kamati ya shule hiyokabega ally akizungumza katika mkutano huo diwani wa kata ya mji mwemacelestine maufi (chadema) akizungumza katika mkutano huo wa harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa madarasa ya wanafunzi wa shule hiyo kulia ni meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita mwanafunzi wa shule ya msingi ya mawenidenis edifonce akisoma risala iliyobeba ujumbe wa changamoto iliyonayo shule hiyo mbele ya meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita kulia ni mwalimu mkuu wa shule hiyozuhura mwaliko mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mawenisylvester roche akizungumza katika mkutano huo mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mawenisylvester roche akimtunza mwanafunzi aliyekuwa akicheza nyimbo za asili katika mkutano huo meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita akizungumza katika mkutano na wananchi wa mtaa wa maweni wakati wa harambee ya kuchangisha ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi ya maweni iliyopo wilayani kigamboni jijini dar es salaam leo kulia kwake ni mkuu wa shule ya msingi ya mawenizuhura mwaliko na kushoto kwake ni diwani wa kata ya mji mwemacelestine maufi (chadema) na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mawenisylvester roche meya wa jiji la dar es salaamisaya mwitaakimpatia hela kijana denis edifonce aliyesoma risala iliyoandaliwa na shule hiyo ambayo ilikuwa na ujumbe mzito uliomgusa meya huyo meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita akizungumza katika mkutano na wananchi wa mtaa wa maweni wakati wa harambee ya kuchangisha ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi ya maweni iliyopo wilayani kigamboni jijini dar es salaam leo kulia kwake ni mkuu wa shule ya msingi ya mawenizuhura mwaliko na kushoto kwake ni diwani wa kata ya mji mwemacelestine maufi (chadema) na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa mawenisylvester roche meya wa jiji la dar es salaamisaya mwitaakisisitiza jambo kwa viongozi walioko meza kuu kuhusu maendeleo ya kata ya mji mwema wanafunzi wakimsikiliza kwa makini meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita (hayupo pichani) wakati akizungumza katika mkutano huo walimu na wazazi wakifuatilia kwa makini mkutano huo wanafunzi wakimsikiliza kwa makini meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita (hayupo pichani) wakati akizungumza katika mkutano huo mkazi wa mtaa wa mawenirehema kitunda akizungumza kwa niaba ya wakinana mama wenzake na kuchangia ujenzi huo mkazi wa mtaa wa mawenidaudi mwasambile akizungumza kwa niaba ya wakinana mama wenzake na kuchangia ujenzi huo burudani za ngoma za asili zikiendelea katika mkutano huo meya wa jiji la dar es salaamisaya mwita akiwapongeza vijana wa ngoma za asili walionesha uwezo wao na kuwapa moyo wa kuzidi kujituma kutokana na vipaji walivyoonesha na kuwapa nafasi ya kufika ofisini kwake ili azungumze nao aone jinsi gani anaweza kuwasaidia ili wafike katika malengo yao waliyoyakusudia katika tasnia ya sanaa ya muziki na christina mwagala dar meya wa jiji la dar es salaam isaya mwita ameahidi kuchangia mifuko 100 ya simenti pamoja na mabati 100 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi maweni iliyopo kata ya mjimwema wilayani kigamboni shule hiyo ambayo inaupungufu mkubwa wa madarasa pamoja na uzio wa shule inajumla ya wanafunzi 1300 ikiwemo na wale wenye ulemavu akizungumza katika hafla hiyo ya chagizo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa meya isaya alisema kwamba hatua hiyo ni kwa jili ya kuzisaidia shule ambazo zinaupugufu wa madarasa ili kuwawezesha wanafunzi wasome katika mazingira salama niseme tu kwamba jiji hili ambalo linarasilimali nyingi halafu wanafunzi wanakaa chini sio jambo zuri lazima watu ambao tumechaguliwa na wananchi ambao ndio wenye watoto wanasoma hapa tutimize majukumu yetu alisema meya isaya kama kwenye kata yako unaona kabisa wanafunzi wanakaa chini na wewe diwani upo basi ujue huna sifa ya kuwa diwani na wananchi watakuwa na haki ya kukuondoa madarakani kwenye uchaguzi ujao alifafanua kwamba jambo la uchagiaji wa kusaidia wanafunzi wasikae chini sio la kisiasa bali ni katika sehemu ya kuwasaidia wananchi hivyo kuwataka wananchi kuondoa dhana ya kisiasa hapa leo hii tukijenga madarasa kila motto anasoma akiwa amekaa kwenye madarasa mazuri madawati ya kutosha lakini watoto hao sio wa chadema sio wa ccm wala cuf bali ni wananchi wote nawaombeni sana kwenye suala la elimu tusilihusihwe na mambo ya siasa alisema meya isaya kwa upande wake diwani wa kata ya mjimwema celestine maufi pamoja na mambo mengine alimpongeza meya isaya kwa kuunga mkono jitihada hizo zinazofanywa kwa ajili ya kujenga madarasa katika shule hiyo hata hivyo diwani huyo aliahidi kuchangia matofali 500 madawati 60 kwa ajili ya vyumba viwili vya madarasa 03/18/171330 rais dkt magufuli afanya mazungumzo na waziri wa afya wa kenya kuhusu tanzania kupeleka madaktari 500(wasio na ajira serikalini) kwenda kufanya kazi nchini kenya 03/18/172241 vijuso vya magazeti ya leo jumapili machi 192017 03/18/172252 usiku wa miss pendo kisaka na mwanahabari george binagi wafana 03/19/170153 tanzanite one watoa milioni 20 kwa saccos ya madalali wanawake wa madini arusha 03/19/170156 live gwajima akitoa majibu ya mwanamke aliyedai kuzaa naye 03/19/170700 makada wa ccm wachukua fomu kuwania nafasi ya ubunge bunge la afrika mashariki 03/19/170701 waziri mkuu majaliwa awasili mauritius kumwakilisha rais dkt magufuli katika uzinduzi wa jukwaa la uchumi la afrika 03/19/170703 balozi wa tanzania nchini ujerumani mhe philip marmo amvisha cheo kanali wa jwtz jijini berlin 03/19/170704 rais dkt magufuli akutana na rais wa zanzibar dkt shein ikulu jijini dar es salaam leo 03/19/170807 mbunge wa jimbo la tanga aendelea kutatua kero za wananchi jimboni kwakeakabidhi baiskeli kwa mlemavu 03/19/170853 maulid ya kumsalia mtume muhammad (saw) yafana segerea mwisho dar es salaam
2019-12-10T11:48:18
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1176.html
naibu waziri wa habariutamadunisanaa na michezo mhe annastazia wambura afanya mazungumzo na katibu mkuu wa shirikisho la mziki tanzania bwjohn kitime kuhusu kuboresha tasnia ya mziki nchini jiachie naibu waziri wa habariutamadunisanaa na michezo mhe annastazia wambura afanya mazungumzo na katibu mkuu wa shirikisho la mziki tanzania bwjohn kitime kuhusu kuboresha tasnia ya mziki nchini naibu waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mhe annastazia wambura akizungumza na katibu mkuu wa shirikisho la muziki tanzania bwjohn kitime mara baada ya kupokea taarifa ya mapendekezo ya kuboresha tasnia ya muziki hapa nchini leo julai 21 jijini dar es salaamkatibu mkuu wa shirikisho la muziki tanzania bwjohn kitime akizungumza na naibu waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mhe annastazia wambura ofisini kwa naibu waziri wakati aki wasilisha taarifa ya mapendekezo ya kuboresha tasnia ya muziki hapa nchini leo julai 21 jijini dar es salaamafisa utamaduni kutoka wizara ya habariutamaduni sanaa na michezo bw habibu msammy akichangia mada wakati wa majadaliano kati ya na naibu waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mhe annastazia wambura na katibu mkuu wa shirikisho la muziki tanzania bwjohn kitime kuhusu maboresho ya tasnia ya muziki hapa nchini leo julai 21 jijini dar es salaam naibu waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mhe annastazia wambura akipokea moja ya kazi ya muziki wa dansi alizowahi kufanya mzee kitime baba wa katibu mkuu wa shirikisho la muziki tanzania bwjohn kitime leo julai 21 jijini dar es salaamnaibu waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mhe annastazia wambura (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na katibu mkuu wa shirikisho la muziki tanzania bwjohn kitime(kulia) wa pili kushoto ni afisa utamaduni kutoka wizara ya habariutamaduni sanaa na michezo bw habibu msammy na kushoto katibu wa naibu waziri bi anna nkinda leo julai 21 jijini dar es salaam mkuu wa shirikisho la muziki tanzania bwjohn kitime akisaini kitabu cha wageni alipowasili ofisini kwa naibu waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo mhe annastazia wambura kuwasilisha taarifa ya mapendekezo ya kuboresha tasnia ya muziki hapa nchini leo julai 21 jijini dar es salaampicha na shamimu nyaki thursday july 21 2016 item reviewed naibu waziri wa habariutamadunisanaa na michezo mhe annastazia wambura afanya mazungumzo na katibu mkuu wa shirikisho la mziki tanzania bwjohn kitime kuhusu kuboresha tasnia ya mziki nchini
2017-03-25T23:42:47
http://michuzijr.blogspot.com/2016/07/codes-naibu-waziri-wa.html
vehicles(17036) cars(16104) car parts(140) motorcycles(497) trucks commercial vehicles(136) tunauza magari kwa bei laisi sana jipatie gari yako kwa bei laisi sana miliki usafili wa ndoto zako tunauza yaliyo katika kiwango kinzuli yapo 15818 ads 2959 ads 17036 ads 16104 ads 3046 ads
2019-05-22T21:58:05
https://kupatana.com/search/action,pub_profile/id,260706/category,31/bCompany,0
polepole ccm imeiagiza serikali kusambaza tani 1500 za mahindi longido ngorongoro na monduli kukabiliana na uhaba wa chakula na irene mdoe longido katibu wa nec itikadi na uenezi ccm humphrey polepole amesema chama cha mapinduzi kimeiagiza serikali kusambaza tani 1500 za chakula katika wilaya za longido ngorongoro na monduli ili kukabilianana upunguzu wa chakula katika wilaya hizo amesema ccm inachukua hatua hiyo kwa kuwa ni chama cha watu ambacho kimeundwa na watu ili kiwasemee kuwatetea na kuwasimamia kutatua kero na changamoto hivyo hakiwezi kujitenga na shida za watu polepole alisema hayo alipokutana na viongozi wa kata na wanachama wa ccm katika wilaya ya longido mkoani arusha ambapo viongozi na wana ccm hao walimuomba awasaidie ili kuweza kutatua tatizo la chakula linaloikabili wilaya hiyo walisema kutokana na uhaba wa chakula uliopo debe la mahindi limepanda bei kutoka sh 5 000/= hadi kufikia sh 30000/= huku gunia la mahindi hayo likipanda bei hadi kufikia sh 150000/= hadi sh 200000/= badala ya bei ya awali ya ya sh 45000 polepole ambaye yupo katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama atakuwa mkoani arusha hadi mei 7 2017 kabla ya kuendelea na ziara kama hiyo mkoani manyara
2017-05-26T05:30:22
http://ccmchama.blogspot.com/2017/05/polepole-ccm-imeiagiza-serikali.html
mimba ya fumbatio wikipedia kamusi elezo huru mimba ya fumbatio o000o833 mimba ya fumbatio ni aina ya mimba ya nje ya mji wa mtoto ambapo mimba inapachikwa ndani ya kifuko cha ngozi ya fumbatio nje ya neri ya falopu au ovari na si katika kano pana shikilizi[1] ingawa nadra mimba za fumbatio huwa na kiwango cha juu zaidi cha vifo kuliko mimba ya nje ya neri ya falopu kijumlalakini katika matukio fulani huweza kuzaliwa watoto hai 21 ulinganisho wa upachikaji wa msingi na wa upili 41 mimba ya fumbatio iliyoendelea takriban asilimia 1 ya mimba ya nje ya mji wa mtoto nchini marekani ni ya fumbatio au 10 kati ya kila mimba 100000[1] ripoti kutoka nigeria yaonesha kuwa matukio katika nchi hiyo ni 34 katika kila uzazi 100000[2] sababu za hatari ni sawa na za mimba ya neli huku magonjwa ya zinaa yakiwa ndiyo yanayoleta athari kubwa[3] kiwango cha vifo vya wajawazito kinakadiriwa kuwa juu ya 5 kwa kila kesi 1000 ikiwa takribani mara saba kijumla juu mimba ya nje wa mji wa mtoto na mara 90 juu ya kiwango cha uzaaji (takwimu za marekani)[1] maeneo ya upachikaji ni pamoja na utando wa nje ya mji wa mimba kifuko cha mji wa mimba (kuldesaki ya douglas) omentamu matumbo na utando wa fumbatio mezosalfiniksi na utando wa ukuta wa fupanyongo na ukuta wa fumbatio[1][4] mji wa mtoto unaokua unaweza kushikiliwa katika viungo kadhaa ikiwa ni pamoja na neri na ovari maeneo mengine nadra huwa ini na wengu[5] hivyo kusababisha mimba ya ini [6] au mimba ya wengu katika usanjari huo[7] hata mimba ndogo ya kitangaa imepatikana katika mgonjwa ambapo mimba ulikuwa ukikua upande wa chini wa kitangaa[8] ulinganisho wa upachikaji wa msingi na wa upili[hariri | hariri chanzo] mimba ya fumbatio ya msingi inamaanisha mimba iliyopachikwa moja kwa moja katika mwina wa fumbatio na viungo vyake isipokuwa katika neli na ovari mimba kama hiyo ni nadra sana visa 24 tu ndivyo vimeripotiwa tangu 2007[9] kwa kawaida mimba ya fumbatio ni ya upili ikiwa upachikaji umetokana na upachikaji katika neli (mara chache kutoka katika ovari) na kupachikwa tena[4] ili kuagua mimba nadra ya fumbatio ya msingi vigezo vya studdiford vinafaa kutimika neli na ovari lazima ziwe katika hali ya kawaida isiwe na miunganisho isiyo ya kawaida (nasuri) kati ya chupa ya uzazi na mwina fumbatio na kwamba mimba ihusiane na utando wa fumbatio pekee bila ishara kwamba kulikuwa na mimba ya neli kwanza[5] mgonjwa mwenye mimba ya fumbatio anaweza tu kuonyesha dalili za kawaida ya mimba au dalili zisizo maalum kama vile maumivu ya tumbo kutokwa na damu ukeni na / au dalili za maumivu ya utumbo[4] mara nyingi uaguzi wa mimba ya fumbatio hukosewa[2] hata hivyo ni hali hatari inayoweza kutokwa damu ndani ya mwili na kusababisha dharura ya kimatibabu na kwa mshtuko wa upungufu wa damu na inaweza kuua sababu nyingine za vifo vya wazazi walio na mimba ya fumbatio ni pamoja na toksemia anemia mvilio wa damu mapafuni tatizo la kuganda damu na maambukizi[3] shaka ya kuwepo kwa mimba ya fumbatio huibuka wakati sehemu za mtoto zinaweza kuhisika kirahisi au mkao si wa kawaida sonografia ni muhimu sana katika uaguzi kwa kuwa inaweza kuonyesha kuwa mimba iko nje ya uterasi tupu hakuna uoevu wa amioni kati ya kondo na kijusi hakuna ukuta wa mji wa mtoto unaozunguka kijusi sehemu za kijusi ziko karibu na ukuta wa fumbatio na kijusi kimelele vibaya[3] mri pia imetumika kwa mafanikio kuagua mimba ya fumbatio[9] ongezeko la viwango vya protini ya alfa pia ni kidokezo kingine cha kuwepo mimba ya fumbatio[10] matibabu yanayoweza kutolewa ni pamoja na upasuaji unahusisha kuondolewa kwa mimba kutumia laparoskopi au laparotomi matumizi ya methotreksate uwekaji vidonge na mchanganyiko wa haya uchaguzi wa mbinu kwa ukubwa huamuliwa na hali ya mimba hiyo kwa ujumla matibabu inadhihirishwa wakati uaguzi unapofanyika hata hivyo hali ya mimba ya fumbatio iliyokaa huwa ngumu zaidi mimba ya fumbatio iliyoendelea[hariri | hariri chanzo] mimba ya fumbatio iliyoendelea inamaanisha hali ambapo mimba hiyo imeendelea zaidi ya wiki 20 za ujauzito[11] katika hali hizo uzazi hai umeripotiwa hivyo katika taarifa kutoka nigeria kumekuwa na uzaaji wa watoto wanne hai kati ya mimba 20 za fumbatio 20[2]i mara nyingi hata hivyo mimba ikiendelea kukua usaidizi kwa kijusi huhatarishwa na kijusi hufa mgonjwa anaweza kubeba kijusi kilichokufa lakini hawezi kuhisi uchungu wa kuzaa baada ya muda kijusi hupitia ukalisishaji na kuwa lithopedioni kwa ujumla inapendekeza kufanya laparotomia mimba ya fumbatio inapotambuliwa[4] hata hivyo kama mimba imezidi wiki 24 na mtoto yu hai na mifumo ya usaidizi wa kimatibabu ipo uangalizi makini inaweza kufanyika kumfikisha mtoto anapoweza kujitegemea (wiki 3436 )[4] wanawake wenye mimba ya fumbatio hawawezi kuhisi uchungu wa kuzaa uzalishaji katika hali ya mimba ya fumbatio iliyoendelea hufanywa kwa laparotomia uwezekano wa kuishi kwa mtoto huwa umepunguzwa na viwango vya vifo baada ya kuzaliwa huongezeka ongezeko kati ya 4095 vimeripotiwa[12] watoto wa mimba za fumbatio mara nyingi huwa namatatizo ya kuzaliwa kutokana na mbano kufuatia kukosekana kwa kinga ya majimaji ya amnioni kiwango cha ulemavu na kuharibika umbo unakadiriwa kuwa 21 uharibifu wa umbo wa kawaida ni kama vile usona fuvu isiyo umbopacha pamoja ulemavu wa viungo ulemavu mwingi hulenga miguu na mikono na matatizo ya neva uti wa mgongo[13] mara mtoto anapozaliwa udhibiti kondo huanza kutoa usaha au damu katika kujifungua kwa kawaida kujikaza kwa uterasi hutoa nguvu maalum inayodhibiti kupoteza damu hata hivyo katika mimba ya fumbatio kondo iko juu ya tishu ambayo haiwezi kujikaza na jaribio la kuliondoa linaweza kusababisha kutokwa na damu nyingi kijumla isipokuwa kondo inaweza kufungwa au kuondolewa kwa urahisi amefungwa inaweza kuwa bora kuliacha lilipo kuliko kuliondoa hivyo kuruhusu mageuzi ya kawaida[3][4] hatua hii inaweza kuchukua muda wa miezi minne na inaweza kufuatiliwa kwa kuangalia viwango vyaproteni ya korioni na viwango vya useleleaji matumizi ya methotrexate kuongeza kasi ya kumalizika kwa kondo una utata mkubwa kwa kuwa kiwango kikubwa cha kufa kwa tishu kunaweza kuunda sehemu ya kuambukizwa[3] mishipa ya kondo pia imezibwana na angiografia na ugandanji damu mishipani[14] ↑ 10 11 12 13 atrash hk friede a hogue cjr abdominal pregnancy in the united states frequency and mortality obstet gynecol (machi 1887) 3337 pmid 3822281 ↑ 20 21 22 sundayadeoye i twomey d egwuatu ev okonta pi a 30year review of advanced abdominal pregnancy at the mater misericordiae hospital afikpo southeastern nigeria (19762006) arch gynecol obstet 2009 oct 30 pmid 19876640 ↑ 30 31 32 33 34 ky kun py wong mw ho cm tai tk ng abdominal pregnancy presenting as a missed abortion at 16 weeks gestation hong kong medical journal 200064257 pmid 11177167 http//wwwhkmjorg/article_pdfs/hkm0012p425pdf retrieved 25 januari 2009 ↑ 40 41 42 43 44 45 maurice king peter c bewes james cairns jim thornton (editors) primary surgery volume one nontrauma chapter 8 abdominal pregnancy bonn university iliwekwa mnamo 20100125 ↑ 50 51 anderson pm opfer ek busch jm magann ef an early abdominal wall ectopic pregnancy successfully treated with ultrasound guided intralesional methotrexate a case report obstetrics and gynecology international volume 2009 (2009) article id 247452 3 pages doi101155/2009/247452case report http//wwwhindawicom/journals/ogi/2009/247452html ↑ chui ak lo kw choi pc sung mc lau jw primary hepatic pregnancy anz j surg 2001 apr71(4)2601 pmid 11355741 ↑ yagil y beckrazi n amit a kerner h gaitini d splenic pregnancy the role of abdominal imaging j ultrasound med vol 26 issue 11 16291632 1 novemba 2007 pmid 17957059 ↑ norenberg dd gundersen jh janis jf gundersen al early pregnancy on the diaphragm with endometriosis obstet gynecol 1977 mei49(5)6202 pmid 850582 ↑ 90 91 krishna dahiya damyanti sharma advanced abdominal pregnancy a diagnostic and management dilemma journal of gynecologic surgery juni 2007 23(2) 6972 doi101089/gyn2007b022591 http//wwwliebertonlinecom/doi/abs/101089/gyn2007b022591cookieset=1&journalcode=gyn ↑ tromans pm coulson r lobb mo abdulla u abdominal pregnancy associated with extremely elevated serum alphafetoprotein case report br j obstet gynaecol 1984 91296 pmid 6200135 ↑ white rg (machi 1989) advance abdominal pregnancy a review of 23 cases irish journal of medical science 158 (3) 778 pmid 2753657 http//resourcesmetapresscom/pdfpreviewaxdcode=0q502jvng20024u6&size=largest ↑ martin jn jr sessums jk martin rw pryor ja morrison jc abdominal pregnancy current concepts of management obstet gynecol 1988 apr71(4)54957 pmid 3281075 ↑ stevens ca malformations and deformations in abdominal pregnancy american journal of medical genetics 1993 vol 47 no8 pp 11891195 pmid 8291554 ↑ cardosi rj nackley ac londono j hoffman ms embolization for advanced abdominal pregnancy with a retained placenta a case report reprod med 2002 oct47(10)8613 pmid 12418072 ectopic pregnancy (mimba ya fumbatio cervical pregnancy ovarian pregnancy interstitial pregnancy) hydatidiform mole mimba kuharibika gestational hypertension (preeclampsia eclampsia hellp syndrome) gestational diabetes hyperemesis gravidarum intrahepatic cholestasis of pregnancy acute fatty liver of pregnancy hepatitis e puppp gestational pemphigoid impetigo herpetiformis intrahepatic cholestasis of pregnancy linea nigra prurigo gestationis pruritic folliculitis of pregnancy striae gravidarum amniotic fluid (polyhydramnios oligohydramnios) chorion/amnion (chorioamnionitis chorionic hematoma premature rupture of membranes amniotic band syndrome monoamniotic twins) placenta (placenta praevia placental abruption monochorionic twins twintotwin transfusion syndrome circumvallate placenta) braxton hicks contractions hemorrhage (antepartum) preterm birth postmature birth cephalopelvic disproportion dystocia (shoulder dystocia) fetal distress vasa praevia uterine rupture hemorrhage (postpartum) placenta (placenta accreta) umbilical cord prolapse amniotic fluid embolism puerperal fever peripartum cardiomyopathy postpartum thyroiditis puerperal mastitis breastfeeding difficulties (agalactia fissure of the nipple galactorrhea) postpartum depression diastasis symphysis pubis maternal death concomitant conditions diabetes mellitus sle rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mimba_ya_fumbatio&oldid=899473 jamii kurasa zinazotumia marudio ya hoja katika wito wa kigezodharura za kimatibabuukungaujauzitomimba yenye matokeo ya uavyaji urambazaji العربيةdeutschenglishespañolไทยtürkçe edit links ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 machi 2013 saa 1600
2016-05-25T01:25:34
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mimba_ya_fumbatio
the way you see the problem is the problem ali kiba ndani ya dc metro ali kiba ndani ya dc metro leo nilikuwa napitia habari mbalimbali pamoja na sehemu za maonesho ya burudani ambako mara nyingi huwa napata ratiba za wanamuziki wa reggae watembeleao miji ya karibu na dc na ambao mara nyingi huwa wanaanza kujipanga kwa maonesho nyakati hizi katika pitapita yangu nikakutana na tangazo la onesho lake ali kiba ambalo litafanyika ukumbi wa zanzibar on the waterfront nilifarijika saana kuona msanii huyu ameweza kufikia hatua ya kuandaliwa onesho mahala hapo ambapo pia wasanii wengi wenye kuheshimika hasa katika muziki wa kiafrika hufanya maonesho yao hapo nakumbuka onesho la mwisho mimi kuhudhuria hapo lilikuwa ni lake oliver tuku mtukudzi ambaye sihitaji kumuwekea maelezonikaona ni vema kuwakumbusha wale wapenzi wa ali kiba kuwa atakuwa katika ukumbi mkubwa zaidi ya zile ambazo kina anonymous wamekuwa wakiziita kumbi za birthdaylakini pia nikawiwa kuwakumbusha wahudhuriaji kuwa hawaendi kumuona ali kiba akitumbuiza na wao kumtolea macho wajitahidi kushirikiana naye katika kucheza mimi kama msanii (japo wa level ya chini) najisikia vibaya nionapo msanii anatumbuiza na ni yeye pekee anayewajibika ilhali wengine wamemtumbulia machotazama onesho la ali kiba lililofanyika hapa dc ambalo asilimia kubwa ya wahudhuriaji wahudhuriaji walikuwa wakimuangalia kama hawamjui ama hawamfeel ama hawaelewi kiimbwacho wakati naamini wimbo ulioimbwa ni kati ya nyimbo zake maarufujamani jichanganyeni na mcheze naye basiii mkienda hapo zanzibar otw posted by aisee hapo kazi kwelikweli
2017-05-23T22:24:13
http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/06/ali-kiba-ndani-ya-dc-metro.html
hotuba ya tillerson juu ya sera ya amerika nchini syria kidhahiri inavutia lakini ni hadaifu mithili ya ujanja wa mbweha hizb ut tahrir kenya january 26 2018 views 3 waziri wa kigeni wa amerika rex tillerson alitoa hotuba katika chuo kikuu cha stanford jimbo la california mnamo 17/1/2018 na kuonyesha raghba ya kufafanua sera ya amerika nchini syria suala la syria halikuja tu kama kadhia bali ndilo lililokuwa kadhia pekee katika hotuba ya tillerson baada ya kutathmini matukio nchini syria ambapo alipasua mbarika kwa kuchanganya ukweli na urongo ili kuikomboa amerika kutokana na dhima ya damu ya watu wa syria na kujidhihirisha kwao kama rafiki anaye wajali tillerson akatamatisha na kujumlisha malengo ya sera ya amerika nchini syria kuwa 1 kumpiga vita adui mkuu wa amerika isis pamoja na alqaeda na kuyazuia makundi haya kutokana na kuwa hatari kwa amerika na washirika wake 2 amerika itaangazia juu ya kudhaifisha athari ya iran nchini syria na kutoiwezesha kuasisi ukanda unaoanzia kutoka iran mpaka kufikia bahari ya mediterranean 3 kwa sababu hizi majeshi ya amerika hayatajiondoa kutoka eneo la kaskazini mashariki mwa syria lakini litaimarisha uwepo wake wa kijeshi na wa kidiplomasia maeneo ya kikurdi kuhakikisha kuwepo kwa hali tulivu mpaka wakati suluhu ya kisiasa itakapo tekelezwa kuambatana na azimio la 2254 4 amerika haitaruhusu usaidizi wa kimataifa wa kujengwa upya kwa eneo lolote lililo chini ya udhibiti wa serikali ya assad 5 kufanya uchaguzi huru na wazi chini ya ufadhili wa umoja wa mataifa ikiwemo kushiriki kwa wakimbizi wa kiusalama wa syria na wote waliolazimika kukimbia mzozo hatimaye kupelekea kungatuka kwa assad na familia yake kutoka uongozini ni wazi kuwa uamuzi wa amerika wa kuimarisha uwepo wake wa kijeshi na wa kidiplomasia unalenga kulazimisha uhalisia mpya utakao iwezesha amerika kudhibiti kwa kina matukio nchini syria ima kijeshi au kupeleka vita dhidi ya ugaidi kama kisingizio nchini syria tillerson mrongo aso na haya amedai kuwa amerika haitarudia tena kosa lake la iraq nchini syria ilipoondoa majeshi yake nchini humo mnamo 2011 kuondoa majeshi huku kulitoa mwanya wa kuzuka kwa kundi la isis ambalo hatimaye lilisababisha kuzuka kwa maafa (kama alivyodai) bila shaka hakuona haja ya kueleza ni vipi na kwa nini uongozi wa jeshi la iraq ulivyo lisalimisha eneo la kaskazini mwa iraq pamoja na uwezo wake wote wa kijeshi na wa kifedha kwa kundi la isis wakati wa kiangazi cha 2014 taarifa yake pamoja na uamuzi wa kuunda kikosi cha wanajeshi 30000 wa mpakani yadhihirisha kuwa amerika ina malengo maovu na nia ya kuchochea migogoro ya kufuatana ili ivumbue njia ya kufikia maslahi na malengo yake katika eneo hili kuendelea kuwepo kwa majeshi ya amerika nchini afghanistan iliyo ikalia katika uvamizi wake mnamo 2001 ni ushahidi tosha kwa haya tuyasemayo kisingizio cha vita dhidi ya ugaidi dhidi ya alqaeda (jana) na isis (leo) ni urongo na uzushi ili kufinika uhalisia wa nia za amerika katika hotuba yake alisema amerika itadumisha uwepo wake wa kijeshi nchini syria utakao jitolea kuhakikisha kuwa isis haitanuki tena aliongeza operesheni yetu ya kijeshi nchini syria itabakia kwa msingi wa masharti akimaanisha kuwa majeshi haya hayana tarehe maalum ya kuondoka kwao au viwango fulani vya kupima kufaulu kwa operesheni hiyo pindi seneta tom udall alipo muuliza afisa wa wizara ya kigeni david satterfield iweje vita hivi vigeuke na kutokuwa na mwisho wake jibu la satterfield lilikuwa ni mnongono wa kuhadaa kwa maneno yasiyo eleweka bila shaka mbweha tillerson hakuwa na budi kuficha sumu ndani ya asali alijaribu kuipamba hotuba yake na kumwaga machozi ya mamba alipodai kuwa amerika inajali raia yaani waathiriwa wa kibaraka wa amerika katili wa damascus tillerson ameapa kuwa amerika kamwe haitaruhusu matumizi ya silaha za kemikali nchini syria na kwamba amerika itawahisabu wale watakaohusika huku akikosa kuzungumzia kuhusu waathiriwa wa mabomu na mvua ya makombora yaliyo haribu mahospitali misikiti na majumba juu ya vichwa vya raia katika kamusi ya tillerson inaonekana kama ambaye hii ni aina ya mauaji ya huruma na hivyo basi kuyafungia macho tunatamatisha kwa kusema kuwa baada ya kufichua ukweli wa uhalifu wa amerika na kuonyesha kuwa ukatili wa damascus ni sehemu tu ya uhalifu mwingi wa mhalifu halisi amerika ni aibu kwa baadhi ya viongozi wa upinzani (mapinduzi) wa lile linaloitwa jeshi huru kufukuzia mangati ya ahadi ya trump ya pepo ingawa trump alikataa kukutana nao jijini washington na kuwaruhusu tu kufanya baadhi ya mikutano jijini washington wakati huo huo ujumbe wa kundi la majadiliano unakimbia kutoka jiji moja kuu hadi jengine kujaribu kushawishi nchi husika kuwa majeshi ya mapinduzi yako makini kudhamini maslahi ya nchi hizo zaidi kuliko bashar mtumizi wa kemikali haya yanajiri huku makundi mengine yakipigana kufikia malengo ya erdogan katika eneo la afrin badala ya kuelekeza juhudi zao dhidi ya katili huyu wa damascus kila mmoja ni sharti atambue kuwa njia fupi zaidi ya kumngoa bashar na ukatili wa genge lake ni kwa kupitia kuunganisha juhudi zote kuzalisha pigo kuu litakalo angamiza serikali hii ya damascus na wala si vyenginevyo hii yahitaji uongozi mmoja unaotafuta radhi za allah na kupinga usaidizi wa makhaini wanaopanga njama dhidi ya mapinduzi ya ashsham kinyume chake watu wetu wa ashsham wataendelea kuteseka kwa muda mrefu zaidi h 9 jumada i 1439 na 1439 h / 008 m ijumaa 26 januari 2018
2020-01-19T02:00:41
http://hizb.or.ke/sw/2018/01/26/hotuba-ya-tillerson-juu-ya-sera-ya-amerika-nchini-syria-kidhahiri-inavutia-lakini-ni-hadaifu-mithili-ya-ujanja-wa-mbweha/
picha yaliyojiri bungeni sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge page 18 picha yaliyojiri bungeni sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge muhimu unakumbana na tatizo lolote au wahitaji msaada katika kutumia tovuti hii tupo tayari kukusaidia wasiliana nasi kwa kupitia [email protected] topic picha yaliyojiri bungeni sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge jump to page results 341 to 360 of 566 5th september 2013 2046 posts 9052 likes received3740 likes given5221 last edited by 24hrs 5th september 2013 at 2057 invisible mwalla kimbunga and 16 others like this enjoying holiday 6th september 2013 0948 posts 2588 likes received790 likes given800 re kwa mujibu wa picha hii sugu alionewa bungeni by martyr2012 unaongea kilayman kama mtu aliyepita kwenye kuta 28 tu hivi unajua kazi za ulinzi ni kumlinda mtawala aliyeko kwenye kiti acha ujuha wewe hata sugu akiwa waziri hatakuwa na uwezo huo unaousema ni bubusa tu anaeza kuamini hivyo ni uelewa wako unakusumbuwa je hili hapa liliwezeka kama ndivyo kwanini joyce banda alivyomtia adabu yule aliyekuwa akimuadhiri pale malawi kabla hajachukuwa madaraka mpaka leo ananyea debe jerry de marco 6th september 2013 0949 join date 16th august 2012 re picha yaliyojiri bungeni sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge haya mambo yanayotokea kwenye bunge letu ni aibu kubwa sana ila kwanin watu wasiwe waelewa maana nmi hatari kwa nchi kama hii ccm viazi kweli join date 24th march 2012 likes given1595 namna hii kweli tuwape vijana nchi kweli waacheni wazee wasinzie bungeni tu inatosha 6th september 2013 0950 re picha na video yaliyojiri bungeni sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge na mbowe akigoma kut wakuu hii ni aibu sasa huyo mbunge ndio kafanya nini kweli kutafuta kura za 2015 si mchezo watu wataanza hata kukojoa bungeni ili waonekana nao wamo sio aibu kwao kwanza sugu amevunja rekodi ya kuwa mbunge wa kwanza nchini kutolewa nje ya bunge kwa kubebwa na wanausalama mbunge wa kwanza nchini kuvunja kipaza sauti bungeni mbunge wa kwanza nchini ku peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz zzzzzzzz 6th september 2013 0954 by wapoti bora wamevaa gloves wangemuambukiza ukimwi aisee or vice verse 6th september 2013 0957 join date 21st may 2013 by lizaboni mkuu ni kwa sababu kipindi hiki bunge limevamiwa na wavutabangi wasagaji wazinzi na wahuni ambao wanawakilisha chama cha upinzani tutarajie mengi zaidi kama askari hawatawasugu watukutu wote mkdu wa mamayounatetea ujinga haki huja kwa kulazmisha chadema songen mbele hawa vpofu wa chache kama wewe ndio huwajui kinachotafutwa na wapinzan bungen hasa chadematunataka katiba safi kwa vizaz vijavyo hatutak kuburuzwa tena na maccm 6th september 2013 0958 by mwalla bora mvuta bhangi kuliko muuza unga bwimbi maana wauza unga ndio wamelifikisha taifa hapa tulipo bangi poa nikitaka kulima inanipa nguvu wewe unaebwia sembe jaribu kubwia afu ushike jembe pammmmbaffffff ahsante kwa kukiri na kuisifu bangi vipi lakini unaona madhara yake spartarcus 6th september 2013 1001 join date 2nd august 2013 by stoudemire wasinzie tu amakweli wewe una matatizo henge likes this 6th september 2013 1006 posts 2636 likes received419 likes given137 kamanda kabebwa kama gunia la mahindi huku makamanda wenzake wanashanga shanga hii ndio bongoukileta akili za kimzigomzigo unabebwa kama mzigo 6th september 2013 1009 posts 6142 kweli uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa hakika akiri ni nywele 6th september 2013 1011 wale wale akiri za kunguru location arusha to tanga bungeni vurugu video msengi kiula tata and mtazamo like this 6th september 2013 1019 join date 30th january 2013 posts 1180 likes received255 pumbafu ccm & company 6th september 2013 1021 join date 3rd december 2009 likes received680 re bungeni vurugu video asante ndugu 3squere kwa kutuletea hii comedy ya bunge amenifurahisha huyu naibu spika kwa kudai ni aibu ya kiongozi wa upinzani kuongoza wapinzani kutoka nje wakati kimsingi hii ni aibu yake kwa kushindwa kumanage kikao duuh ila hii move ya mwisho ya huyu mheshimiwa sugu imeniacha hoi kwa kicheko inaonekana jamaa ama alikuwa amepata chang'aa au alikuwa amevuta haya masigara yanayopendwa na vijana 6th september 2013 1022 join date 3rd august 2013 natutawapiga tu nami nawaruhusu wawapige maana tumechoka sasa eehh the revenge join date 1st january 2013 sugu moto chini sugu moto chinihuwezi zuia mvua sugu kama mvua nanyesha wengine wananiuliza kama navuta banginakataa kujibu maswali yasio na msingi sababu na mambo mengi napata flag kila napokwenda popote ambapo heshima ipo napenda niwepo wananiita sugu wanaaniiita sugu sugu sugu sugu stara ah najiuliza naskia kipaza sauti kilikwanyuliwa najiuliza jamaa ananguvu kihivyo au vipaza sauti ni vya kichina manake nimewahi kusikia kuna wakati havitoi sauti goshhhhhhhhhhhhhhhhhhh napenda hapa niwe bias kidogo binafsi namkubali sana sugu siwezi kutoa maoni ya kumpinga huyu jamaa hata kidogo ha ha ha ha ha ha last edited by 2013 6th september 2013 at 1034 posts 4010 likes received2839 likes given1886 ninaichukia ccm 6th september 2013 1023 posts 6492 likes received2832 likes given9704 hahahahaha nimependa sana sugu alivyo'react ccm wanazidi kupoteza tu 6th september 2013 1024 ile hatua ya mwisho ya sugu nimeipenda hata ingekuwa mimikama imeshakuwa noma na iwe noma tu eti bavicha mbeya yamvaa naibu spika je ufisadi ni laana au bahati
2013-12-09T12:58:26
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/517362-picha-yaliyojiri-bungeni-sugu-akiburuzwa-ili-atoke-nje-ya-bunge-18.html
arsenal yakaa kileleni epl | boiplus » arsenal yakaa kileleni epl arsenal yakaa kileleni epl mashabiki wa arsenal watakuwa ni wenye furaha kubwa wikiendi hii baada ya timu yao kuibuka na ushindi wa mabao 20 ugenini dhidi ya aston villa huku matokeo ya mchezo huo uliopigwa villa park ukiwapeleka kileleni washika bunduki hao mshambuliaji olivier giroud aliipatia arsenal bao la mapema katika dakika ya nane tu ya mchezo kwa njia ya penati kabla aaron ramsey hajaiandikia arsenal bao la pili akitumia vema pasi ya mesut ozil arsenal imeshinda michezo 10 msimu huu na kuifanya ikae juu ya manchester city kwa tofauti ya pointi moja huku aston villa wenyewe wakibaki na pointi sita tu katika michezo 16 iliyocheza
2017-01-19T17:03:43
http://boiplus.blogspot.com/2015/12/arsenal-yakaa-kileleni-epl.html
shule yaleta faraja huko same | media center | dw | 10092018 shule yaleta faraja huko same shule ya awali iliyojengwa na vijana kwa hisani ya wajerumani katika kijiji cha ishinde huko same kilimanjaro nchini tanzania imeleta faraja na matumaini mapya kwa watoto na wakaazi wa kijiji hicho tazama vidio 0235 kiungo https//pdwcom/p/34cjh tarehe 10092018 muda 0235 dakika mada zinazohusiana tanzania john pombe magufuli kassim majaliwa maneno muhimu tanzania same kilimanjaro shule maziko ya reginald mengi 09052019 mwenyekiti wa makampuni ya ipp reginald mengi azikwa 09052019 amekuwa na ujauzito kwa miaka 11 07062019 wanawake wanaoongoza watalii kilimanjaro 18072018 mahakama ya eac yasikiliza kesi ya vyama vya siasa tanzania 19062019 mahakama ya jumuiya ya afrika mashariki kuhusu haki imeanza kusikiliza kesi iliyowasilishwa na upinzani tanzania kupinga sheria ya vyama vya siasa mahakama hiyo mjini arusha imetaka upande wa serikali usikizwe malkia wa kilimanjaro mabingwa cecafa 30072018 timu ya taifa ya wanawake ya tanzania bara kilimanjaro queens imetetea ubingwa wake katika michuano ya cecafa women challenge wanawake 6 wenye ulemavu wa ngozi kuukwea mlima kilimanjaro 28092018 wanawake hao kutoka nchi kadhaa za kiafrika ambao wameushinda unyanyapaa unyanyasaji kubakwa na kushambuliwa kwa mapanga wanatarajiwa kuukwea mlima huo kuondoa dhana iliyoko kuhusu watu wa jamii yao
2019-09-16T12:57:47
https://www.dw.com/sw/shule-yaleta-faraja-huko-same/av-45431225?maca=sw-Whatsapp-sharing
simba kumsaka mbadala wa wawa saleh jembe home » kitaifa » simba kumsaka mbadala wa wawa simba kumsaka mbadala wa wawa simba ni kama imeshtukia vile ni baada ya benchi la ufundi la timu hiyo kuuomba uongozi umsajili beki mwingine wa kati mwenye uzoefu na uwezo mkubwa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu bara timu hiyo chini ya mfadhili wake bilionea mohamed dewji mo inataka kusajili beki mwingine ikiwa ni siku chache tangu imlete muivory coast pascal serge wawa anayeichezea timu hiyo katika michuano ya kombe la kagame kwa mujibu wa gazeti la championi limeeleza kuwa timu hiyo huenda ikamshusha beki mwingine kutoka ghana au nigeria ambapo punde atakapotua tu atasaini mkataba moja kwa moja baada ya kujiridhisha kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo uongozi wa timu hiyo bado haujaridhishwa na safu yao ya ulinzi na haraka umechukua maamuzi ya kusajili beki mwingine mmoja wa kati kabla ya dirisha kufungwa julai 26 mwaka huu chanzo hicho kilisema uongozi umejiridhisha hilo katika michuano ya kombe la kagame inayoendelea kwenye uwanja wa taifa uhuru na azam complex jijini dar es salaam benchi la ufundi limebaini upungufu kwenye safu ya ulinzi hivyo ni lazima tusajili beki mwingine wa kati mwenye uzoefu na uwezo mkubwa kabla ya usajili wa ligi kufungwa kama unavyofahamu sisi simba malengo yetu siyo ubingwa wa ligi pekee tunataka kuona timu yetu ikifika mbali kwenye michuano ya ligi ya mabingwa afrika tutakayoshiriki mwaka huu mwishoni kilisema chanzo hicho alipotafutwa kaimu kocha mkuu wa timu hiyo mrundi masoud djuma kuzungumzia hilo alisema kuwa mimi sihusiki katika kusajili mimi nahusika katika kutoa mapendekezo pekee ambayo nilishayakabidhi kwa uongozi ambao wao wanayafanyia kazi hivi sasa imewekwa na george mganga @ 1105 am elibarick andrew july 7 2018 at 450 pm kwa hili kweli simba wako seriousni kweli wawa hawezi kuipeleka simba kokote kutokana na umri wakeamekuwa mzito na anageuzwa geuzwa na vijana damu changa kama kina kiyombo akiendelea kuwepo atapigwa bench na wazawa ambao pia mikikimikiki ya kimataifa bado inawasumbua simba itafute beki mwenye nguvu atakaye cheza na nyoni kwenye back line mliambiwa mkajifanya much knowmmeshauziwa mbuzi kwenye gunia vijana na muelekeo wa maendeleo july 7 2018 at 1118 pm shida ni bendera fata upepoakili za kupewa changanya na za kwakokuchamba kwingimaskini akipataujuaji mwingina mengine kibao geofrey chambua july 8 2018 at 218 am kuna ukweli umefichwa hao na hii ni athari ya uharaka hata vipimo vya afya sikuona vikichukuliwa na mchezaji amesajiliwa kwa majaribio ya mazoezini kati ya magoli mawili ambayo simba imefungwa kagame utaona tu kwamba watu walijigeuzia yumkini muda utaongea rodrick alexander july 8 2018 at 938 am wanamuacha juuko ambaye ni kijana wanakimbilia kwa watu waliochoka huyu bado hajapata majeraha akipata majeraha atakaa nje muda mrefu sana kasian ernest july 8 2018 at 529 pm lini tutajifunza kila siku yale yale
2019-02-23T10:30:17
https://salehjembe.blogspot.com/2018/07/simba-kumsaka-mbadala-wa-wawa.html
rc cars kwa kids koowheel remote control magari 360 mzunguko 4wd off road double sided mzunguko tumbling 24ghz high speed ​​rock crawler gari kwa headlights watoto kuzaliwa zawadi rc car kwa kids jomo technology co ltd rc cars kwa kids koowheel remote control magari 360 mzunguko 4wd off road double sided mzunguko tumbling 24ghz high speed ​​rock crawler gari kwa headlights watoto kuzaliwa zawadi rc car kwa kids 1high kasi na barabarani gari ina mbili motors nguvu na 4wd kuhakikisha kasi yake rahisi sana magurudumu ni rahisi kufanya zamu ya haraka 2best zawadi kwa ajili ya watoto kwa mfumo 24ghz radio kijijini kudhibiti gari rc ni siku ya kuzaliwa kamili zawadi ya krismasi kwa watoto 3all aina ya mbinu kushangaza 360 shahada kuhatarisha flipping kubuni yanafaa kwa ajili ya watoto wako au toy magari lover pande double kukimbia mbele nyuma upande wa kushoto upande wa kulia 360 shahada tumbling flipping rc gari kuvaa tu juu ya kwenda bila kujali ni hits au jinsi ni ardhi kuwapa uzoefu mbalimbali cool 4high quality nyenzo ubora wa plastiki kampuni na muda mrefu ya gari mwili zaidi muinuko na crashworthiness tairi ni maandishi mpira rahisi kushinda hali yoyote nje 5guarantee gari inatumia 37v mah 400 rechargeable (pamoja) na usb cable (pamoja) 15 20 mins muda wa kucheza saa 2 kuchaji wakati koowheel kutoa refund kamili au kubadilishana moja mpya kwa utaratibu ndani ya siku 30 tayari majibu katika 24 hoursso kuongeza mkokoteni sasa awali rc cars koowheel 116 scale 2wd off road remote control cars na 2 rechargeable battery 24ghz radio remote control lori monster high speed ​​crawler usb charger rc car kwa watu wazima na watoto (blue) bidhaa id (upc) 6958210300936 24 ghz kudhibiti radio nguvu kupambana na kuingiliwa ambayo kuwawezesha magari mbalimbali kwa mashindano pamoja kwa wakati mmoja na mahali ukipata 2 zaidi koowheel rc lori ni furaha zaidi ya kuendesha magari mengi upande kwa upande sababu 3 hapa chini kwa muda wa kuendesha gari wakati wa betri wakati malipo ni mfupi mno kwa msaada wa mechi radio bidragen 24ghz kumshutumu wakati 180mins betri kuhusu 15mins control umbali futi 100 kasi kilomita 15 / h betri ya gari 36v 600ma betri battery remote kudhibiti 2 * 15v aa betri ( si ni pamoja na) kazi beta kushoto upande wa kulia mbele nyuma kifurushi vipimo 161 x 11 x 39 inches net uzito paundi 11 huduma na udhamini miezi 12 badala udhamini maisha kwa ajili ya ukarabati
2019-12-08T20:43:41
http://www.koowheel.com/sw/rc-cars.html
kamati za huduma za afya mkoa (rhmt) na wilaya (chmt) nchini zimetakiwa kuwa wabunifu katika kutekeleza shughuli zake na kuhakikisha wanaboresha huduma za afya kuanzia ngazi ya msingi hadi mkoa kwa ujumla ili kuleta matokeo bora kwa watanzania hayo yamebainishwa na naibu katibu mkuu afya ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (ortamisemi) dktdorothy gwajima katika kikao cha mrejesho wa utekelezaji wa yatokanayo na ziara za usimamizi shirikishi za utendaji kwa watoa huduma za afya katika halmashauri ya jiji la dodoma na halmashauri ya chamwino leo jijini dodoma kilichofanyika katika ofisi ya rais tamisemi kikao hicho ni mwendelezo wa mkakati maalumu wa kuzifunda timu za uendeshaji huduma za afya mikoa na wilaya kwa kuanzia na mkoa wa dodoma iliziweze kufanya uwajibikaji wenye matokeo na kuwaridhisha watumiaji wa huduma za vituo vya tiba na kuwa mfano wa kuigwa na mikoa mingine be the center of excellence wajumbe wa kamati ya huduma za afya wilaya (chmt) ya jiji la dodoma wakimsikiliza naibu katibu mkuu afya ortamisemi dktdorothy gwajima (hayupo pichani) alipotembelea jiji la dodoma na kujionea shughuli za afya katika jiji la dodoma dkt gwajima amesema kuwa ubunifu unaotakiwa ni kujenga mahusiano mazuri baina ya mteja na mtoa huduma za afya ili mteja aweze kuwa uhuru na kujisikia faraja katika kupata huduma kutoka kituoni hapo amesema ni muhimu kuweka mkazo katika eneo la kitabibu na kuhakikisha kuwa huduma hizo ni sahihi salama na rafiki kwa vigezo vyote na wateja wanaridhika nazo mahusiano mazuri yanajengwa na ukarimu lugha nzuri kwa mteja na umahiri wa utendaji kazi wenu wa kitaaluma kwa ujumla wakati wa kuwahudumia wateja wenu kwa kuwa wateja waliohudumiwa vizuri ndiyo ambao mawakili wazuri katika jamii yao kulingana na jinsi ambavyo wamefurahia huduma zenu amesema dktgwajima dktgwajima amewaagiza watoa huduma za afya kuwa na mpango kazi utakaoweza kuwaongoza vyema katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku na kuweza kupimwa juu ya uwajibikaji wao pasipo shaka anaendelea kufafanua kuwa mpango kazi kwa mtumishi utasaidia kuweza kupata tathimini ya utekelezaji wa majukumu ya mtoa huduma za afya na kujua matokeo yapi yamefanikiwa na kubaini changamoto zilizojitokeza na kuzitafutia suluhisho ili kufikia malengo ya mtoa huduma aliyojiwekea katika mpango kazi wake ili kupata tathimini ya utendaji kazi wa watoa huduma za afya amesisitiza kuhakikisha kila mmoja kuwa na taarfa ya uwajibikaji wake huku ukiwa na takwimu sahihi wakati wote ameongezea dktgwajima aidha dktgwajima amehitimisha kwa kuwataka watoa huduma za afya kutekeleza mipango kazi yao kwa vitendo ili kuweza kupata matokeo chanya yatakayoonyesha mabadiliko katika sekta ya afya badala ya kuwa na watumishi ambao ukimuuliza utemdaji kazi wa siku anakuwa hana maelezo yenye takwimu bayana naye kaimu mganga mkuu wa mkoa wa dodoma dktsamwel seseja amesema kuwa atasimamia vyema maelekezo yalotolewa ili kuhakikisha utendaji kazi na uboreshaji wa huduma za afya kuanzia ngazi ya msingi hadi mkoa zinaboreka na kuimarishwa vizuri kwa faida ya watanzania
2019-04-23T12:32:00
http://dodomamc.go.tz/new/kamati-za-huduma-za-afya-mkoa-na-wilaya-zatakiwa-kuwa-na-ubunifu
dc namtumbo apiga marufuku kuingiza mifuko bila kibali habari na matukio home habari habari na matukio habari za kijamii kilimo dc namtumbo apiga marufuku kuingiza mifuko bila kibali dc namtumbo apiga marufuku kuingiza mifuko bila kibali kajunason at september 08 2018 habari habari na matukio habari za kijamii kilimo kutona na kuibuka kwa migogoro mingi katika halmashauri nchini tanzania ka na kutajwa kusababisha na wafugaji na wakulima kufanya shughuli za ufagaji na kilimo mengi na kusababisha mauaji kuibuka katika maeneo yenye migogoro mkuu wa wilaya ya namtumbo bibi sophia kizigo amepiga maraufu kwa wakulima na wafugaji kufanya shughuli katika maeneo yaliotengwa kwa ajili ya hifadhi hususani katika hifadhi ya selousagizo hilo amelitoa wakati wa kutoa salamu za serikali katika baraza la madiwani
2019-01-22T06:54:00
https://www.kajunason.com/2018/09/dc-namtumbo-apiga-marufuku-kuingiza.html
hata mimi naona yupo sahihi kwani aliyetoka chama tawala ni lowasah yupo sahihi tb jushua lowa for 2015 mimi nilimaanisha huyo aliyeandika joshwa badala ya joshua baba mungu wa ibrahim mungu wa isaka na mungu wa yakobo watanzania kwa unyenyekevu mkubwa tunakuomba umwangushie angamizo zito huyu mwanamitandao mwamba usemao kweli adahabu na laana kali itakayokuwa fundusho kwa wanafiki wote wanaowasingizia watumishi wa mungu t b joshua kwamba ametoa kauri kuhusu uchaguzi wa tanzania tunaomba haya yote kupitia jina lako tukufu lipitalo majina yote amen mungu hata walaani watu kwasababu ya maombi yako yalio jaa chuki kubwa kubwa hivi mnafikiri mungu yeye yupo bize na fisadi wenu lowassa subiri atakapo chinjwa jumapili ndio mtafahamu kuwa mapenzi ya mungu yapo kwa magufuli joshwaa eeh haya endelea hivyo hivyo lowasa raisi tayari watu wanahangaika tuu ninyi mnajadili mada na mapunguani wasiojua kuandika na ndio maana hawataki ishu ya elimu kwa kua watu watakua na uelewa juu ya ufisadi unaofanywa na ccm kwa nini mnampa sifa asizostahili huyu tapeli wa kinaigeria hata magufulu akipata huo urais haina uhusiana wowote na hicho uhachoita utabiri hata kama ingekuwa ni kweli kasema hayo kwa sababu sasa naona kama njia ya kumkampenia mtu wanaomtaka watu wanaingiza masuala ya utabiri feki kama wa huyu joshua ndugu yangu mkamba mmasai hii ni jf bwana ukishupatilia kila kitu kwa nguvu zako zote utajiumiza mwenyewe huyo magufuli wewe hakujui wala mimi hanijui huyo lowassa wewe hakujui wala mimi hanijui kuna maisha baada ya uchaguzi hata hivyo kwa kuwa umenichokoza nakuombea baba muumba hiyo laana mteremushie na huyu mkamba mmasai godfrey mgoyezi unadai hana ukabila wakati ana element za usukuma kila anapoenda hatumtakiiiii ata akiwa raisi kamwe siwez kumwita rais wangu mwizi wewe na familia yako ukawa kweli wamechoka badala ya kujibu hoja oh sijui alikuwa nini saizi yenu act acheni ccm hamna ubavu nayo kama ni kweli katabili mpelekee ujumbe huu utamfaa zaidi ajue kwamba sisi kama wakristo hatusikii maneno ya nabii yeyote tuka amini ispokuwa lazima tupime unabii huo na neno la mungu 1john 413 '' my dear friends do not believe all who claim to have the spirit but test them to find out if the spirit they have comes from godfor many false prophets have gone out everywhere 2 this is how you will be able to know whether it is god's spirit 2injili aliyo ihubiri mtume paulo mpaka ilifikia hatua akawaambia wagalatia kwamba hata mkiambiwa na malaika kutoka mbinguni ujumbe wake ukiwa tofauti na neno la mungu msikubali na huyo malaika na alaaniwe kwenda kuzimu paulo kwa uwezo wa mungu alijua kuwa tanzania mwaka 2015 watainuka manabii wengi kuupotosha uma galatians 18 but even if we or an angel from heaven should preach to you a gospel that is different from the one we preached to you may be condemned to hell kwani hao wagombeajohn magufuli lowasawanatoa pumzi yakukuwezesha wewe uendelee kuishi hizi no sifa za anaefaa kuwa raisi wa awamu ya yano 1 asiwe na historia ya ufisadi 2 mwenye historia iliyotukuka kwenye uajibikaji alipokuwa mtumishi serikalini 3 asiwe na chembe ya ubaguzi kwa watanzania kidini kiukanda ukabila 4 anayemtanguliza mingus 5 mtu imara physically and mentally fit 6 ability to express himself 7 mwenye uwezo wa kusimamia utekelezaji wa maagizo yake 8 asiye na dalili za uchu wa madaraka 9 anayeumizwa kwa dhati na shida za watanzania 10 anayechukizwa na ufisadi 11 mchapa kazi na asiwe ameingia kwenye kinyanganyilo kwa kutest zali tb joshua is nothing but just another version of kibwetere mkuu popote ulipo rudia tena kusoma uzi wako kumbe ulikuwa mwezangu enzi hizo safi sana godfrey mgoyezi said
2020-03-31T22:26:57
https://www.jamiiforums.com/threads/dr-john-pombe-magufuli-anafaa-kuwa-rais-wa-jamhuri-ya-muungano-tanzania.896784/page-35
bw jean rabe asema umasikini ulimfanya kuwinda wanyamapori lakini sasa anawalinda shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (
2020-07-13T15:23:28
https://news.un.org/sw/tags/misitu
ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi | dyondza ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi xikwembu i vutumbelo ni ntamu wa hina mpfuno lowu kumekaka hi ku hatlisa hi nkarhi wa maxangups 461 hi nga swi papalata njhani ku hetiwa matimba hi swiyimo swo tika hi swihi swivangelo leswi hi nga na swona swo kombisa xivindzi hi wahi malunghiselelo lawa yehovha a ma endleke leswaku ma hi pfuna ku langutana ni maxangu 1 2 i maxangu wahi lawa vanhu vo tala va langutaneke na wona kambe malandza ya xikwembu ma tiyimisele ku endla yini hi hanya enkarhini wa maxangu misava yi hlaseriwa hi timhangu to hambanahambana ku tsekatseka ka misava titsunami mindzilo tindhambhi tivholkheno swidzedze ni swihuhuri swi xanise vanhu swinene ku engetela kwalaho swiphiqo swa mindyangu ni swiphiqo swa munhu hi yexe swi vange ku chava ni nhlomulo i ntiyiso leswaku nkarhi ni xiendlakalo lexi nga languteriwangiki swa hi wela hinkwerhuekl 911 2 malandza ya xikwembu hinkwawo ma tiyiselele swiyimo sweswo swo tika hinkwaswo nilokoswiritano hi lava ku tilunghiselela ku langutana ni swiyimo swinwana ni swinwana swo tika leswi hi nga ha langutanaka na swona enkarhini lowu taka tanihi leswi mafambiselo lawa ma tshinelaka emakumu ya wona hi nga swi tiyisela njhani swiphiqo leswi naswona hi nga heli matimba i yini leswi nga hi pfunaka leswaku hi langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi dyondza eka lava va kombiseke xivindzi 3 hilaha swi kombisiweke hakona eka varhoma 154 hi nga chaveleleka njhani loko hi langutane ni swiyimo swo tika swinene 3 hambileswi swiyimo swo tika swi khumbaka vanhu vo tala ku tlula rini na rini swiphiqo leswikulu a hi swintshwa eka vanhu a hi xiyeni leswaku hi nga dyondza yini eka manwana ya malandza ya xikwembu lawa enkarhini lowu hundzeke ma kombiseke xivindzi loko ma ri eswiyinweni swo tikarhom 154 4 i maxangu wahi lawa davhida a ma tiyiseleleke naswona i yini leswi nwi pfuneke 4 anakanya hi davhida eka swinwana swa swilo leswi a langutaneke na swona a a fanele ku tiyisela vukarhi bya hosi ku hlaseriwa hi valala ku tekiwa ka vasati va yena hi valala ku xengiwa hi vanwana eka vuthu ra yena ni vanwana eka vandyangu wa yena ni hi vanghana va yena naswona minkarhi yinwana a a titwa a tshikilelekile swinene (1 sam 188 9 3015 2 sam 1713 2415 17 ps 3848) rungula ra le bibeleni ra vutomi bya davhida ri ku kombisa erivaleni ku tshikileleka loku maxangu lawa ma nwi vangeleke kona hambiswiritano a ma ri tsanisanga ripfumelo ra yena entiyisweni u te yehovha i khokholo ra vutomi bya mina xana ndzi ta chava manips 271 hlaya pisalema 275 10 5 i yini leswi pfuneke abrahama na sara leswaku va langutana ni swiyimo swo tika 5 abrahama na sara va hete malembe yo tala va tshama ematendeni tanihi valuveri ematikweni lawa a va nga ma tivi vutomi a byi pfa byi va tikela hi xikombiso va xanisekile hikwalaho ka ndlala ni ku va ekhombyeni hikwalaho ka matiko lawa a ma va rhendzerile kambe a va ri ni xivindzi naswona va tiyiselele swilo leswi hinkwaswo (gen 1210 141416) i yini leswi va pfuneke leswaku va tiyisela rito ra xikwembu ri hi byela leswaku abrahama a a rindzele muti lowu nga ni masungulo lama tiyeke muti lowu muaki ni muendli wa wona ku nga xikwembu (hev 11810) abrahama na sara a va swi pfumelelanga swiyimo swo tika leswaku swi va tekela ntsako minkarhi hinkwayo a va tsundzuka leswi xikwembu xi va tshembiseke swona 6 hi nga nwi tekelela njhani yobo 6 yobo u xaniseke swinene anakanya leswaku u titwe njhani loko swilo hinkwaswo evutonwini bya yena swi nga fambi kahle (yobo 33 11) lexi nyanyiseke timhaka a a nga swi twisisi hi ku helela leswaku ha yini swilo leswi hinkwaswo swi humelela eka yena kambe a nga lanwanga u hlayise vutshembeki bya yena ni ripfumelo ra yena eka xikwembu (hlaya yobo 275) i xikombiso lexinene lexi hi faneleke hi xi tekelela 7 pawulo u langutane na yini loko a tirhela xikwembu naswona i yini lexi nwi nyikeke xivindzi xo ya emahlweni 7 nakambe anakanya hi xikombiso xa muapostola pawulo u langutane ni makhombo emutini emananga ni le lwandle u vulavula hi ndlala ni torha xirhami ni ku swela pawulo u tlhela a boxa leswaku u hete vusiku byinwe ni siku rinwe endzenindzeni ka lwandle kumbexana hileswi a a ri eka xikepe lexi tshovekeke kutani xi mbombomela (2 kor 112327) hambiloko vutomi bya yena byi ri ekhombyeni u ve ni langutelo lerinene nkarhi wunwana endzhaku ka loko a langutane ni ku dlayiwa hileswi a a tirhela xikwembu u te leswi swi endleke hi xikongomelo xa leswaku hi nga titshembi kambe hi tshemba xikwembu lexi pfuxaka lava feke xi hi ponisile eka nchumu lowukulu ngopfu wo tanihi rifu naswona xi ta hi ponisa (2 kor 1810) a hi vanhu vo tala lava langutaneke ni swiyimo swo tika ku fana na pawulo kambe minkarhi yinwana vo tala va hina va titwe hi ndlela leyi a titweke ha yona kutani xikombiso xa yena xo va ni xivindzi xi nga hi chavelela na hina u nga lanwi hikwalaho ka swiphiqo 8 swiphiqo swa namuntlha swi nga hi khumba njhani kombisa 8 emisaveni ya namuntlha leyi teleke hi timhangu swiphiqo ni ku tshikileleka vo tala va titwa onge swiphiqo swa vona i swikulu ngopfu hambi ku ri vakreste vanwana va titwe hi ndlela yoleyo lani * loyi yena ni nuna wa yena a va tiphina hi ntirho wa nkarhi hinkwawo eaustralia u vula leswaku loko a twa leswaku u khomiwe hi vuvabyi bya khensa ya mavele a a karhatekile swinene u ri vutshunguri bya kona a byi ndzi vabyisa swinene naswona a ndzi titwa ndzi nga pfuni nchumu ku engetela eka sweswo hinkwaswo a a fanele a khathalela nuna wa yena loyi a a endliwe vuhandzuri bya longo loko hi tikuma hi ri eka xiyimo xo fana ni xexo hi nga endla yini 9 10 (a) i yini leswi hi nga fanelangiki hi pfumelela sathana leswaku a swi endla (b) i langutelo rihi leri nga hi pfunaka leswaku hi tiyisela maxangu lama boxiweke eka mintirho 1422 9 hi fanele hi tsundzuka leswaku sathana u ringeta ku tsanisa ripfumelo ra hina ni ku hi tekela ntsako lowu hi nga na wona hi ku tirhisa maxangu kambe a hi fanelanga hi nwi pfumelela leswaku a endla tano swivuriso 2410 yi ri xana u tikombise u hele matimba hi siku ra maxangu matimba ya wena ma ta va matsongo loko hi anakanyisisa hi swikombiso leswi nga ebibeleni swo fana ni leswi se hi buleke ha swona swi ta hi pfuna leswaku hi va ni xivindzi loko hi langutana ni maxangu 10 nakambe i swinene ku tsundzuka leswaku a hi nge swi herisi swiphiqo hinkwaswo entiyisweni hi fanele hi langutela leswaku swi ta hi humelela (2 tim 312) mintirho 1422 yi ri hi fanele ku nghena emfunweni wa xikwembu hi mahlomulo yo tala ematshanweni yo hela matimba ha yini u nga teki swiphiqo swoleswo tanihi lunghelo ro va u kombisa xivindzi lexi sekeriweke eka ripfumelo leri u nga na rona eka matimba ya xikwembu yo ku pfuna 11 loko hi nga lavi leswaku swilo swo biha swi hi heta matimba hi fanele hi endla yini 11 hi fanele hi hambeta hi anakanya hi swilo leswinene evutonwini bya hina rito ra xikwembu ri ri mbilu leyi tsakeke yi endla leswaku mombo wu languteka wu tsakile kambe moya wa tshoveka hikwalaho ka ku vava ka mbilu (swiv 1513) madokodela ma swi tiva leswaku lexi xi nga pfunaka muvabyi leswaku a antswa hiloko a ehleketa leswaku u ta antswa hakanyingi loko munhu a nwa maphilisi lama nga tshunguliki nchumu kambe a tshemba leswaku maphilisi wolawo ma ta nwi pfuna u ta titwa a antswa kambe loko munhu la vabyaka a ehleketa leswaku maphilisi lawa a ma nwaka ma nwi vabyisa a nge antswi xikombiso lexi xi kombisa leswaku loko minkarhi hinkwayo hi ehleketa hi swilo leswi hi nga ta ka hi nga swi cinci swi ta hi heta matimba kasi hi hala tlhelo yehovha u hi nyika mpfuno wa xiviri hambi ku ri hi minkarhi ya timhangu u hi nyika mpfuno wa xiviri hi xikhutazo lexi hi xi kumaka eritweni ra yena nseketelo lowu humaka eka vamakwerhu va xinuna ni va xisati ni matimba lama humaka eka moya wa yena lowo kwetsima loko hi anakanyisisa hi swilo leswi swi ta endla leswaku hi tsaka ematshanweni yo anakanyisisa hi swilo swo biha evutonwini bya wena endla hinkwaswo leswi u nga swi kotaka leswaku u tiyisela xiphiqo xinwana ni xinwana naswona u anakanyisisa hi swilo leswinene leswi u nga na swonaswiv 1722 12 13 (a) i yini leswi pfuneke malandza ya xikwembu leswaku ma tiyisela loko ma hlaseriwe hi timhangu kombisa (b) timhangu ti endla hi vona leswaku i yini lexi nga xa nkoka swinene evutonwini 12 eminkarhini ya sweswinyana matiko manwana ma hlaseriwe hi timhangu letikulu hi nga dyondza swo karhi eka ndlela leyi vamakwerhu va tiyiseleke ha yona eka swiyimo leswi leswi a swi vuli leswaku a swi va olovela eku sunguleni ka 2010 ku tsekatseka lokukulu ka misava ni tsunami leswi veke kona le chile swi onhe makaya yo tala ya vamakwerhu ni swilo swa vona vanwana va lahlekeriwe ni hi mintirho ya vona kambe hambi va ri eka swiyimo leswi vamakwerhu va hambete va hiseka entirhweni wa yehovha samuel loyi kaya ra yena ri onhiweke hi ku helela u te hambi ku ri hi nkarhi lowu wa swiyimo swo tika mina ni nsati wa mina a hi tshikanga ku ya eminhlanganweni ni ku chumayela ndza tshemba leswaku ku endla swilo leswi swi hi pfunile leswaku hi nga heleriwi hi ntshembo vona swinwe ni vamakwerhu vanwana vo tala va xinuna ni va xisati a va pfumelanga leswaku mhangu leyi yi va heta matimba kambe va hambete va tirhela yehovha hi ku hiseka 13 hi september 2009 mpfula ya matimba yi endle leswaku ku va ni ndhambi exiphenwini lexikulu xa doroba ra manila le philippines wanuna la nga xigwili loyi a lahlekeriweke hi swilo swo tala u te ndhambi yi hlasele unwana ni unwana yi endla leswaku swigwili ni swisiwana swi langutana ni swiyimo swo tika swi tlhela swi xaniseka leswi swi hi tsundzuxa ndzayo ya yesu ya vutlhari leyi nge tihlayiseleni xuma etilweni laha nsumba ni nkurhe swi nga dyiki kona ni laha makhamba ma nga tshoviki kona ma yiva (mat 620) swilo leswi vonakaka swi hela hi ku hatlisa hikwalaho vanhu lava va swi rhangisaka evutonwini bya vona hakanyingi va tshoveka timbilu i vutlhari ku rhangisa yehovha evutonwini bya hina hikuva hi ta hambeta hi va vanghana va yena ku nga khathariseki leswaku hi humeleriwa hi yinihlaya vaheveru 135 6 swivangelo swo kombisa xivindzi 14 hi swihi swivangelo leswi hi nga na swona swo va hi kombisa xivindzi 14 yesu u byele vadyondzisiwa vakwe leswaku ku ta va ni swiphiqo hi nkarhi wa vukona bya yena kambe u te mi nga chavisiwi (luka 219) hi ni swivangelo leswinene swo va hi kombisa xivindzi hikuva yesu kreste hosi ya hina na yehovha muvumbi wa vuako hinkwabyo va hi pfuna pawulo u khutaze timotiya a ku xikwembu a xi hi nyikanga moya wa vutoya kambe xi hi nyike moya wa matimba ni wa rirhandzu ni wa mianakanyo yo hluteka2 tim 17 15 malandza manwana ya xikwembu ma vule yini hi ntshembo wa wona eka xona naswona hi nga va ni xivindzi lexi fanaka hi ndlela yihi 15 bibele yi hi byela hi leswi malandza manwana ya xikwembu ma swi vuleke ku kombisa ndlela leyi ma xi tshembaka ha yona davhida u te yehovha i ntamu wa mina ni xitlhangu xa mina mbilu ya mina yi tshembe yena ndzi pfuniwile leswaku mbilu ya mina yi khana (ps 287) pawulo u te eka swilo leswi hinkwaswo hi hlula hi ku helela hikwalaho ka loyi a hi rhandzeke (rhom 837) hilaha ku fanaka leswi yesu a a swi tiva leswaku ku nga ri khale u ta khomiwa kutani a dlayiwa u vule swinwana leswi kombisaka kahle leswaku a a ri ni vuxaka lebyi tiyeke ni xikwembu u te a ndzi swanga hikuva tatana u na mina (yoh 1632) xana malandza lawa ya xikwembu ma kombise yini hi marito ya wona hinkwawo ma kombise leswaku ma tshemba yehovha hi ku helela loko hi dyondza ku tshemba xikwembu hi ndlela leyi fanaka hi nga va ni xivindzi lexi hi xi lavaka eka xiyimo xinwana ni xinwana xo tikahlaya pisalema 4613 vuyeriwa eka mpfuno lowu xikwembu xi ku nyikaka wona 16 ha yini swi ri swa nkoka leswaku hi dyondza rito ra xikwembu 16 ku va ni xivindzi tanihi mukreste a swi vuli ku titshemba ematshanweni ya sweswo xi kumiwa hi ku tiva xikwembu ni ku titshega ha xona hi nga endla leswi hi ku dyondza rito ra xona leri tsariweke ku nga bibele makwerhu wa xisati loyi a nga ni ntshikilelo wa mianakanyo u hlamusela leswi nwi pfuneke u ri ngopfungopfu ndzi hlaya matsalwa lama chavelelaka hi ku phindhaphindha xana ha wu landzela nkongomiso wa ku va ni vugandzeri bya ndyangu nkarhi na nkarhi loko hi endla swilo leswi swi ta hi pfuna leswaku hi va ni langutelo leri mupisalema a a ri na rona loyi a nga te ndzi wu rhandza swinene nawu wa wena ndzi anakanya ha wona siku hinkwarops 11997 17 (a) hi rihi lunghiselelo leri nga hi pfunaka leswaku hi tshama hi ri ni xivindzi (b) nyika xikombiso xa ndlela leyi mhaka ya vutomi yo karhi leyi nga eka minkandziyiso ya hina yi ku pfuneke ha yona 17 nakambe hi ni minkandziyiso leyi sekeriweke ebibeleni leyi nga ni rungula leri nga hi pfunaka leswaku hi tshemba yehovha vamakwerhu vo tala va kume leswaku timhaka ta vutomi leti nga eka timagazini ta hina ta pfuna swinene makwerhu unwana wa xisati wa le asia loyi a karhatiwaka hi vuvabyi bya ku pfilunganyeka ka mianakanyo a a tsakile loko a hlaya hi mhaka ya vutomi ya makwerhu unwana loyi a a ri murhumiwa loyi a a khomiwe hi vuvabyi lebyi fanaka u tsale a ku yi ndzi pfune leswaku ndzi twisisa xiphiqo xa mina naswona yi ndzi nyike ntshembo loko u langutana ni maxangu tirhisa mpfuno lowu yehovha a wu lunghiseleleke 18 ha yini hi fanele hi khongela minkarhi hinkwayo hilaha swi nga kotekaka hakona 18 xikhongelo xi nga hi pfuna eka swiyimo hinkwaswo muapostola pawulo u kandziyise nkoka wa xikhongelo loko a ku mi nga vileli ha nchumu kambe eka hinkwaswo tivisani xikwembu swikombelo swa nwina hi xikhongelo ni xikombelo swinwe ni ku nkhensa swikombelo swa nwina kutani ku rhula ka xikwembu loku tlulaka miehleketo hinkwayo ku ta rindza timbilu ta nwina ni matimba ya nwina ya mianakanyo ha kreste yesu (filp 46 7) xana hi khongela minkarhi hinkwayo hilaha swi nga kotekaka hakona leswaku hi kombela mpfuno wo tiyisela swiyimo swo tika alex makwerhu wa le britain loyi a nga ni nkarhi wo leha a ri ni ntshikilelo wa mianakanyo u te ku vulavula na yehovha hi xikhongelo ni ku nwi yingisela hi ku dyondza rito ra yena swi ndzi pfune swinene 19 ha yini swi ri swa nkoka ku va kona eminhlanganweni ya vukreste 19 ku va kona eminhlanganweni i lunghiselelo rinwana ra nkoka leri nga hi pfunaka mupisalema u tsale a ku moyaxiviri wa mina a wu navela ni ku hisekela swivava swa yehovha (ps 842) xana hi titwa hi ndlela leyi fanaka lani loyi a boxiweke eku sunguleni u hlamusela ndlela leyi a yi tekaka ha yona minhlangano ya vukreste u ri i swa nkoka swinene eka mina ku va kona eminhlanganweni hinkwayo a ndzi swi tiva leswaku ndzi fanele ndzi va kona loko ndzi lava leswaku yehovha a ndzi pfuna 20 ku khomeka hi ntirho wo chumayela swi hi pfuna njhani 20 nakambe hi kuma xivindzi hi ku tshama hi hisekela ntirho wo chumayela hi mfumo (1 tim 416) makwerhu unwana wa xisati wa le australia loyi a langutaneke ni swiphiqo swo tala u ri a ndzi nga swi lavi ku ya ensinwini kambe nkulu unwana u ndzi rhambile leswaku ndzi famba na yena ndzi fambe na yena yehovha a a ri eku ndzi pfuneni nkarhi wunwana ni wunwana loko ndzi vuya ensinwini a ndzi titwa ndzi tsakile swinene (swiv 1620) vo tala va kume leswaku loko va pfuna vanwana leswaku va va ni ripfumelo eka yehovha va tiyisa ripfumelo ra vona vini hi ku endla tano va tshika ku anakanya hi swiphiqo swa vona kambe va hambeta va anakanya hi swilo swa nkoka swinenefilp 110 11 21 hi nga tiyiseka hi yini hambiloko hi ri ni swiphiqo 21 yehovha u endle malunghiselelo yo tala leswaku ma hi pfuna ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi loko hi ma tirhisa hinkwawo naswona hi anakanyisisa hi tlhela hi tekelela swikombiso leswinene swa malandza ya xikwembu lama nga ni xivindzi hi nga tiyiseka leswaku hi nga langutana ni swiphiqo hi ndlela leyinene hambileswi hi nga ha langutanaka ni swiphiqo swo tala tanihi leswi makumu ya mafambiselo lawa ma tshinelaka hi nga ha titwa hilaha pawulo a titweke hakona loyi a nga te ha tlatlalatiwa ehansi kambe a hi lovisiwi a hi tshiki (2 kor 49 16) hi ku pfuniwa hi yehovha hi nga langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzihlaya 2 vakorinto 417 18 ^ ndzim 8 mavito manwana ma cinciwile ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi https//wwwjworg/finderdocid=2012764&wtlocale=ts&srcid=share mailtobody=ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi 0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d201276426wtlocale3dts26srcid=share⊂ject=ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi https//assetsnffrgfaakamaihdnet/assets/m/2012764/univ/art/2012764_univ_sqr_xljpg ku langutana ni maxangu ya namuntlha hi xivindzi tindlela to kopa minkandziyo ya elektroniki october 2012 xihondzo xo rindza (nkandziyiso wa vandlha) https//wwwjworg/finderpub=w12&issue=20121015&wtlocale=ts&srcid=share mailtobody=october 2012 xihondzo xo rindza (nkandziyiso wa vandlha)0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fpub3dw1226issue3d2012101526wtlocale3dts26srcid=share⊂ject=october 2012 xihondzo xo rindza (nkandziyiso wa vandlha) https//assetsnffrgfaakamaihdnet/assets/a/w/ts/20121015/wpub/w_ts_20121015_mdjpg
2017-01-20T22:00:08
https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/timagazini/w20121015/maxangu-ya-namuntlha-hi-xivindzi/
machafuko | bibleinfocom nyumbani » bible topics » machafuko unapochanganyikiwa omba uongozi wa mungu imeandikwa katika mithali 218 mwanangu kama ukiyakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu hata ukatega sikio lako kusikia hekima ukaulegeza moyo wako upate fahamu naam ukiita busara na kupaza sauti yako upate ufahamu ukitafuta kama fedha na kuutafutia kama hazina iliyositirika ndipo utakapofahamu kumcha bwana nakupata kumjua mungu kwa kuwa bwana huwapa watu hekima kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu huwawekea wanyofu akiba ya hekima kamili yeye ni ngao kwao waendao kwa ukamilifu apate kuyalinda mapito ya hukumu na kuhifadhi njia ya watakatifu wake bila shauku uliza mungu ufahamu imeandikwa katika yakobo 158 lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima naaombe dua kwa mungu awapaye wote kwa ukarimu wala hakemei naye atapewa ila na aombe kwa imani pasipo shaka yo yote maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari lililochukuliwa na upepo na kupeperushwa huku na huku maana mtu kama yule asidhani yakuwa atapokea kitu kwa bwana mtu wania mbili asitasita katika njia zake zote ukiwa umechanganyikiwa juu ya maisha yako ya kesho muulize mungu kwa msaada imeandikwa katika zaburi 3289 nitakukufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea nitakushauri jicho langu likikutazama msiwe kama farasi wala nyumbu walio hawana akili kwa kwa matandiko ya lijamu na hatamu sharti kuwa zuia hao au hawatakukaribia usijiamini wakati umechanganyikiwa imeandikwa katika mithali 358 mtumaini bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe katika njia zako zote mkiri yeye naye atayanyosha mapito yako yote usiwe mwenye hekima machoni pako mche bwana ukajiepusha na uovu itakuwa afya mwilini pako na mafuta mifupani mwako
2018-01-23T06:12:37
http://www.bibleinfo.com/sw/topics/machafuko
aliyebuni mashambulizi ya augusti 7 1998 dar na nairobi auawa | jamiiforums | the home of great thinkers aliyebuni mashambulizi ya augusti 7 1998 dar na nairobi auawa discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji jun 11 2011 mhusika mkuu wa kupanga ulipuaji wa balozi za marekani huko nairobi kenya na daressalaam tanzania imeripotiwa ameuawa huko somalia jumatano iliyopita fazul abdullah mohammed ndiye mtu aliyekuwa anatafutwa sana afrika baada ya milipuko ile ya augusti 8 1998 ambayo ilisababisha vifo vya watu 220 na mamia wengine kujeruhiwa wakati magari yaliyojaa mabomu yalipolipuliwa katika malango ya balozi hizo tukio hilo lilikuja baadaye kuhusishwa na kikundi cha kighaidi cha alqaida na lilikuwa ni tukio kubwa la mashambulizi dhidi ya maslahi ya marekani kabla ya mashambulizi ya kikundi hicho septemba 11 2001 huko marekani soma zaidi fikrapevucom haki daima hushinda wanyama hao na vibaraka wa bin laden watauawa mmoja kwa risasi ili kupata radha halisi ya risasi ama mlipuko huu ni mwendelezo wa vita ndefu kati haki na kiza bora hii mbegu mbaya soon itatokomea kwenye uso wa dunia (hopefully na ideology yao mbovu pia watatokomea nayo) watakutana akhera na boss wake osama bin laden watazawadiwa stahili ya matendo yao duniani go to hell fazul the mastermind of the 1998 twin bombings in nairobi and dar es salaam fazul abdullah has been killed by somalia government forces in mogadishu ​ he was reportedly killed by the transitional federal government (tfg) forces on wednesday at a roadblock the runaway terrorist who was on the federal bureau of investigations (fbi) watchlist of most wanted terrorists is believed to have taken over the leadership of al qaeda’s branch in somalia alshabaab from where he directed world attacks and african terror operations confirming the reports kenya’s police commissioner mathew iteere said he was working with security officers in somalia to get a comprehensive report tfg forces have confirmed they gunned him down at a roadblock on wednesday mr iteere told the nation saturday one of the men that was killed near mogadishu was fazul abdullah may allah bless his soul he is not dead as thousands like him are still in the fight against the enemy of allah a senior al shaabab commander had earlier told afp on condition of anonymity the rewards for justice program united states department of state is offering a reward of up to $5 million for information leading directly to the apprehension or conviction of fazul abdullah mohammed a posting on the fbi website reads according to the fbi mr abdullah used 18 aliases saaafi sana mpaka woote waishe 'victory for the world'mr mohammed was shot dead by somali transitional federal government (tfg) forces in northwestern mogadishu overnight on tuesday somali security officials said continue reading the main story[h=2][/h] in 2002 mr mohammed was reported to have been put in charge of alqaeda operations in east africa that year he was blamed for the bombing of an israeliowned hotel at the beach resort of kikambala kenya which left 13 people dead and an attempt to shoot down an israeli passenger aircraft in nearby mombasa in recent years mr mohammed is thought to have joined other foreign militants in somalia fighting fought alongside alshabab which declared allegiance to alqaeda in 2010 it said reports of his death were untrue bado bush na obama kwani nao watu hatarius bana ooh all at the judgement day true or false that is not the end is part and pacel conquestas sun shine and the moon come at night all will be at the same day malizeni woote hao maalquaida 1998 us embassy blasts suspect killed in somalia (ap) ap the alqaida mastermind behind the 1998 bombings of us embassies in kenya and tanzania was killed this week at a security checkpoint in mogadishu by somali forces who didn't immediately realize he was the most wanted man in east africa officials said saturday
2017-01-17T15:36:10
https://www.jamiiforums.com/threads/aliyebuni-mashambulizi-ya-augusti-7-1998-dar-na-nairobi-auawa.144657/
jane john kimondo kucheza mbozi kurugenzi wambi fdl pondamali afungiwa miezi 3 faini milioni 1/ temeke yaizamisha rukwa 51 copa cocacola hadi mapumziko katika mechi hiyo ya kundi b hatua ya fainali za taifa iliyochezwa uwanja wa kumbukumbu ya karume jijini dar es salaam washindi walikuwa mbele kwa mabao 30
2018-06-18T07:53:09
http://janejohn5.blogspot.com/2013/09/kimondo-kucheza-mbozi-kurugenzi-wambi.html
bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi (nbaa) yakosea kuchapisha mtihani | jamiiforums | the home of great thinkers bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi (nbaa) yakosea kuchapisha mtihani discussion in 'jukwaa la siasa' started by tumbiri nov 2 2011 leo saa tatu kasorobi asubuhi nimeenda kufanya mtihani wangu wa kwanza wa 'final stage model f' somo la 'contemporary issues in accounting pale ukumbi wa karume ndani ya viwanja vya sabasaba mitihani ambayo inaratibiwa na bodi yetu ya taifa ya wahasibu na wakaguzi (nbaa) wanafunzi wote baada ya kuingia ndani ya chumba cha mtihani tuligawiwa mtihani huo lakini hatukuruhusiwa kuufungua hadi hapo msimamizi wa mtihani atakaporuhusu mara ikatolewa tangazo tuzikusanye karatasi zote za maswali kwa kuwa zilikuwa ni za somo lingine ambalo si ratiba yake kwa wakati huo baada ya kukusanya tulikaa kama dakika ishirini hivi tangazo lingine likatolewa kwamba karatasi ya maelezo (instructions) ya maswali zilizokuwa zimegawiwa awali zilikuwa zimeandikwa jina la mtihani wa 'financial reporting ii' badala ya 'contemporary issues in accounting' lakini wamefanya mawasiliano na bodi na maelekezo waliyoyapata kutoka huko ni kuwa ingawa karatasi ya maelezo ya maswali inaonyeshesha mtihani huo ni 'financial reporting ii' maswali yaliyopo ndani ni ya mtihani wa 'contemporary issues in accounting' kwa msingi huo tukarudishiwa karatasi za maswali tukaambiwa tusikonside karatasi ya kwanza ambayo ni ya maelezo 'instructions' kwa kuwa imekosewa kuchapishwa jina la mtihani lakini maswali yaliyomo ndani ni ya mtihani husika yani 'contemporary issues in accounting' so tukaambiwa tuanze kufanya mtihani na bodi ya taifa ya wakaguzi na wahasibu inaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza my concern imekuwaje bodi yetu nbaa inayoheshimika kuliko hata baraza la taifa la mitihani (necta) ikafanya kosa hili kubwa la kiufundi naomba mkurugenzi mtendaji awawajibishe waliohusika na tukio hili kwani limelishushia heshima bodi kwa umakini uliokuwa nao toka ilipoanzishwa ikishindikana basi yeye mkurgenzi mtendaji ajiuzulu wewe si mtihani wa somo la leo umefanya huu muda wa kulalama huko ungejiandaa kwa paper ingine ungeandikwa contaccointing halafu ukakuta maswali ni ya financial repoting c ndo ungetaka bodi ivunjwe kwa accountant hiyo ni immaterial sio jambo la kulalama kihiivyo hongera kwa kufanya module f coz ni hatua kubwa wewe si mtihani wa somo la leo umefanya huu muda wa kulalama huko ungejiandaa kwa paper ingineclick to expand mkuu hii haijawahi kutokea na pengine ni indicator flani kuwa umakini umepungua mkuu hii haijawahi kutokea na pengine ni indicator flani kuwa umakini umepunguaclick to expand risks are always there utoah aliwahi kuchanganyikiwa kwa tetesi tu kuwa paper imevuja arushanbaa wanasifika kwa umakini na quality ya professional exams lakini tembo akisifiwa sana mkuu hii bodi ilikuwa enzi hizoooooo wakati huo kulikuwa hakuna tetesi za fake lakini miaka kama minne iliyopita kumekuwa na tetesi za fake nbaa haina umakini wowote siku hizi kwanza nilisikia inatakiwa kupunguziwa majukumu kianzishwe chombo kingine cha kusimamia mitihani lakini naona bado hiyo ni immaterial issue komaa maliza final stage yako achana na makosa hayo ya kiufundi bahati mbaya na halijawahi kutokea hata siku moja this shows that they are not serious in what they do quality assurance is lacking wakati jk anapokea hundi yenye maneno na tarakimu tofauti alishambuliwa sana hapa kuwa yeye na watu wake hawako makini sasa why should this be any different if you start entertaining such mistakes then they will one day result in more serious ones na hapo sijui mtamlaumu nani cha msingi ni kwamba wajifunze kutokana na makosa yao and make sure it does not happen again hii comment yako nimeipenda kwa kweli na inaonyesha ni jinsi gani watu wako addicted na social networks lakini cha msingi hapa wanasema (wenzetu walioadvance kwenye masuala ya elimu na ujuzi) kuwa baada ya globalization ambayo ime'unseal' vikwazo vya mawasiliano wanatest uelewa wa watahiniwa/wanafunzi na sio uwezo wao wa kukariri nimeona hata dr (lecturer) mmoja anaemphasis katika suala hili lakini hapa bongo bado watu wanakazana na mambo yasiyo ya msingi katika kuelimishana wanadhani bado kusoma ni hadhi tu na ndio maana wanaamini kuwagawia watu phd za 'juu kwa juu' anyway poleni maana katika hali ya kawaida hito inapoteza concentration kwa elimu ya kitanzania if you start entertaining such mistakes then they will one day result in more serious ones na hapo sijui mtamlaumu nani cha msingi ni kwamba wajifunze kutokana na makosa yao and make sure it does not happen againclick to expand mkuu umenena sawia quality assurance ni muhimu sana ina maana wao hawakufanya review na kujiridhisha kabla ya kutoa hiyo mitihani nbaa wanasisitiza sana mambo ya assurance lakini wao leo wanaboronga hii issue haiwezi kuwa immaterial hata kidogo jamani mi naungana na mleta mada maana wamewaharibia watu mudi ya kufanya mtihani lazima wajuuzulu leo saa tatu kasorobi asubuhi nimeenda kufanya mtihani wangu wa kwanza wa 'final stage model f' somo la 'contemporary issue in accounting pale ukumbi wa karume ndani ya viwanja vya sabasaba mitihani inayoratibiwa na bodi yetu ya taifa ya wahasibu na wakaguzi (nbaa) wanafunzi wote baada ya kuingia ndani ya chumba cha mtihani tuligawiwa mtihani huo lakini hatukuruhusiwa kuufungua hadi hapo msimamizi wa mtihani atakaporuhusu mara ikatolewa tangazo tuzikusanye karatasi zote za maswali kwa kuwa zilikuwa ni za somo lingine ambalo si ratiba yake kwa wakati huo baada ya kukusanya tulikaa kama dakika ishirini hivi tangazo lingine likatolewa kwamba karatasi ya maelezo (instruction) ya maswali zilizokuwa zimegawiwa awali zilikuwa zimeandikwa jina la mtihani wa 'financial reporting ii' badala ya 'contemporary issue in accounting' lakini wamefanya mawasiliano na bodi na maelekezo waliyoyapata kutoka huko ni kuwa ingawa karatasi ya maelezo ya maswali inaonyeshesha mtihani huo ni 'financial reporting ii' maswali yaliyopo ndani ni ya mtihani wa 'contemporary issue in accounting' kwa msingi huo tukarudishiwa karatasi za maswali tukaambiwa tusikonside karatasi ya kwanza ambayo ni ya maelezo 'instruction' kwa kuwa imekosewa kuchapishwa jina la mtihani lakini maswali yaliyomo ndani ni ya mtihani husika yani 'contemporary issue in accounting' so tukaambiwa tuanze kufanya mtihani na bodi ya taifa ya wakaguzi na wahasibu inaomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza my concern imekuwaje bodi yetu nbaa inayoheshimika kuliko hata baraza la taifa la mitihani (necta) ikafanya kosa hili kubwa la kiufundi naomba mkurugenzi mtendaji awawajibishe waliohusika na tukio hili kwani limelishushia heshima bodi kwa umakini uliokuwa nao toka ilipoanzishwa ikishindikana basi yeye mkurgenzi mtendaji ajiuzuluclick to expand una point ya maana sana hapa huu ni uzembe wa hali ya juu sana ina maana hakuna mtu anayepitia hiyo mitihani baada ya kuchapishwa ili kuhakikisha kuwa kila kitu kiko sawa mkurugenzi mkuu inabidi aeleze wanachama wa nbaa na wadau wengine ambao wana imani kubwa na nbaa ni kitu gani kimesababisha hili kutoa kuna mtu hapa inabidi awajibike mimi mwenyewe kama mhasibu niliyepitia mitihani ya nbaa kwa kweli hili jambo limenikera na kunistua sana nina pata wasiwasi na umakini wa uongozi wa hii bodi kwa sasa please we need clear and detail explaination haya makosa yafanyike kwenye test za vichochoroni siyo nbaa what's wrong with mr maneno and dr assad haya makosa yafanyike kwenye test za vichochoroni siyo nbaa what's wrong with mr maneno and dr assadclick to expand kumbe dr assad naye anashughulika na nbaa huyu jamaa aliponifundisha pale mlimani nilimuona kuwa ni mtu makini sasa naomba awe wa kwanza kutuambia sisi wanachama wa nbaa ni kitu gani kimetokea hatutaki uzembe kwenye hii board yetu kwani kama kutakuwa na uzembe kwenye mambo ya nbaa professional uhasibu nayo itapata maradhara makubwa sana tangia maneno aingie pale mambo ya nbaa yamekuwa hovyoooo tatizo lingine ni kwamba nbaa ni chombo cha serikali na wala si chombo cha wanachama ingekuwa chombo cha wanachama ingebidi mpige kura ya kutokuwa imani na hao viongozi ili muwafute kazi lakini hao ni wateule wa rais hivi acca wanaendeshaje mambo yao acca ni chombo cha nani kuna upuuzi kama huo kweli kumbe dr assad naye anashughulika na nbaa huyu jamaa aliponifundisha pale mlimani nilimuona kuwa ni mtu makini sasa naomba awe wa kwanza kutuambia sisi wanachama wa nbaa ni kitu gani kimetokea hatutaki uzembe kwenye hii board yetu kwani kama kutakuwa na uzembe kwenye mambo ya nbaa professional uhasibu nayo itapata maradhara makubwa sanaclick to expand dr mussa assad ndiye mwenyekiti wa bodi ya nbaa alafu nbaa na bodi ya kenya na rwanda wamesaini mkataba cpa(t)cpa(k) cpa(r) wafanye kazi kwenye nchi zao bila masharti magumu unafikiri nchi gani itafaidika hapo tanzania bwana kila kitu ni upupu tuimefikia hadi huku fikiria mtihani haujatungwa jana wala juzi ni ulitungwa siku nyingi na kuna pannel zikakaa kufanya editing na kuupitishajamani hawakuona hilo ndio maana siku hizi inapoteza credit kabisa hii bodi inachakachuliwa sana na pilitics hii ni aibu kwa bodi ya uhasibu wafanyakazi wa bodi nao ni binadamu kama wewe wakosee madaktari wa kuasua kichwa badala ya mguu sembuse hayo maandishi tu
2017-01-18T04:09:35
https://www.jamiiforums.com/threads/bodi-ya-taifa-ya-wahasibu-na-wakaguzi-nbaa-yakosea-kuchapisha-mtihani.188390/
4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba nyumbani > bidhaa > 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba (jumla ya 24 bidhaa kwa 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba) hebei shengdebaolong international trading coltd ni moja ya bidhaa za 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba zinazoongoza nchini china ni kiwanda na muuzaji aliye maalumu katika viwanda 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba toa ubora wa juu 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba kwa bei ya bei nafuu 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba jumla kwenye hebei shengdebaolong international trading coltd na kupata ubora wa juu 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china 4 5mm uwiano wa pomba ya pomba ya bomba na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2019-07-19T06:43:55
http://sw.sdblpumpparts.com/dp-4-5mm-uwiano-wa-pomba-ya-pomba-ya-bomba.html
namna ya kuswalia maiti(jeneza) | jamiiforums thread starter njia ya saada https//wwwalfeqhcom/sw/swalayajaneza reactions mubiku remedy50 meyyadah and 1 other person 1265 2000 hii mada haitakuwa na wachangiaji reactions lucas mobutu and njia ya saada tejay said hii mada haitakuwa na wachang sawa asante sana reactions kalaydo njia ya saada said https//wwwalfeqhcom/sw/swalayajaneza view attachment 894784 asante saana kaka allah akubariki kwa elimu hii umetupa leo nimefunza kbsa nikua nasumbuliwa na hii sala 6212 2000 unailaza chini unaanza kuiswali kama haikujibu ilambe vibao alafu endelea kuiswali/kuihoji 2333 2000 maiti 11385 2000 kumbe mtu akifa anapewa mke mwingine barakalah fiq imani zingine bhana naomba kuelekezwa namna ya kuapply chuo jukwaa la elimu (education forum) 1 jan 16 2020 g naomba kufahamishwa namna wanavyopima vilele vya milima mirefu jukwaa la elimu (education forum) 1 jan 6 2020 naombeni ushauri wa namna ya kukuza ufaulu wangu jukwaa la elimu (education forum) 6 nov 12 2019 naomba kujua namna ya kumhamisha shule mwanafunzi wa sekondari jukwaa la elimu (education forum) 5 nov 10 2019 a naombeni ushauri wa namna ya kurudi chuo baada ya kushindwa kuhudhuria kwa muda mrefu jukwaa la elimu (education forum) 4 nov 5 2019 naomba kuelekezwa namna ya kuapply chuo naomba kufahamishwa namna wanavyopima vilele vya milima mirefu naombeni ushauri wa namna ya kukuza ufaulu wangu naomba kujua namna ya kumhamisha shule mwanafunzi wa sekondari naombeni ushauri wa namna ya kurudi chuo baada ya kushindwa kuhudhuria kwa muda mrefu
2020-02-19T21:12:15
https://www.jamiiforums.com/threads/namna-ya-kuswalia-maiti-jeneza.1493280/
simba vs yanga maandalizi yakamilika vingilio vyatajwa mwanahalisi online posted by kelvin mwaipungu 23 days ago 0 778 views shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) sambamba na bodi ya ligi wamekamilisha maandalizi yote kuelekea mchezo wa ligi kuu tanzania bara utakao wakutanisha miamba miwili ya soka nchini simba dhidi ya yanga ikiwemo kutoa majina ya waamuzi watakao chezesha mchezo huo sambamba na kutaja viingilio kwenye mchezo huo anaripoti kelvin mwaipungu (endelea) makamu m/nyekiti wa bodi ya ligi ibrahim mwayelwa ameeleza kuwa mchezo huo ni mkubwa sana kwenye historia ya mpira wa tanzani kwa kuwa unakusanya idadi kubwa ya mashabiki hivyo wameshaimalisha maswala mbali mbali ikiwamo ulinzi na namna mashabiki watakavyoweza kuingia uwanjani bila usumbufu wowote asilimia kubwa ya maandalizi yamesha kamilika ikiwamo kutaja waamuzi wa mchezo huo na bado vikao mbalimbali vinafanyika ili kuufanya mchezo huu kuchezwa kwa taratibu na kanuni zinazohitajika ili uweze kumalizika salama alisema ibrahim mwayelwa mwayelwa aliongezea kuwa mpaka sasa tiketi za mchezo huo zimesha anza kuuzwa kwa mawakala wote wa selcom hivyo ametaka mashabiki kununua mapema ili kuepuka usumbufu ambapo tiketi za vip a zitauzwa kwa shilingi 30000 vip b na c zitakuwa shilingi 20000 huku mzunguko zitauzwa kwa bei ya shilingi 7000 mwamuzi wa kati wa mchezo huo atakuwa jonesian rukya (kagera) huku akisaidiwa na hamisi changwalu na sudi lila pamoja na mwamuzi wa akiba elly sasii wote kutoka (dar es salaam) huku kamishna wa mchezo ni khalid bitebo kutoka mwanza mchezso huo unatarajian kuanza majira ya saa 11 jioni kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam huku timu zote zikisaka ushindi kujiweka sehemu nzuri kwenye msimamo wa ligi mara ya mwisho zilipokutana timu hizi mbili yanga ilipoteza mchezo huo kwa kukubali kipigo cha bao 10 dhidi ya simba bao lilifungwa na mshambuliaji meddy kagere kwa njia ya kichwa akipokea pasi kutoka kwa johhn bocco shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) sambamba na bodi ya ligi wamekamilisha maandalizi yote kuelekea mchezo wa ligi kuu tanzania bara utakao wakutanisha miamba miwili ya soka nchini simba dhidi ya yanga ikiwemo kutoa majina ya waamuzi watakao chezesha mchezo huo sambamba na kutaja viingilio kwenye mchezo huo anaripoti kelvin mwaipungu (endelea) makamu m/nyekiti wa bodi ya ligi ibrahim mwayelwa ameeleza kuwa mchezo huo ni mkubwa sana kwenye historia ya mpira wa tanzani kwa kuwa unakusanya idadi kubwa ya mashabiki hivyo wameshaimalisha maswala mbali mbali ikiwamo ulinzi na namna mashabiki watakavyoweza kuingia uwanjani bila usumbufu wowote asilimia kubwa ya&hellip previous kabendera aimwagia chozi mahakama next mawakili binafsi wapigwa stop nida
2020-01-25T16:35:03
http://mwanahalisionline.com/simba-vs-yanga-maandalizi-yakamilika-vingilio-vyatajwa/
lady jaydee avunja ukimya | artists news in tanzania mkongwe wa muziki wa bongo fleva lady jaydee ametangaza rasmi kurudi tena kwenye muziki baada ya ukimya wa muda kidogo kwenye muziki lady jaydee ameweka wazi ujio wake mpya kwenye muziki baada ya siku 30 kuanzia leo wiki kadhaa zilizopita lady jaydee aliwahi kuwaomba wapenzi wa muziki wake kuwa wavumilivu na kuwataka wasubiri kwani kwa kipindi hicho alikiri wazi kuwa hana kitu cha kuimba wala hakuwa na mizuka ya kuimba kutokana na mambo yake ya hapa na pale na kuwataka wapenzi wake kwenye muziki kudumisha amani karibu tu lakini sina lolote kwa sasa sina kabisa na sitakuwa nalo kwa kipindi kirefu sana yaani sina sina sina wapenzi huvuta subira mashabiki huhama hama wapenzi vuteni subira na dumisheni amani aliandika lady jaydee baada ya ukimya na mashabiki kuanza kuhoji juu ya ukimya wake kwenye muziki mwanadada lady jaydee alikuja na kuweka wazi kuwa amekuwa kimya lakini hawezi kufanya lolote sababu hakuwa na jambo la kusema au kuimba kwa wakati huo na kuwataka tena mashabiki na wapenzi wa muziki wake kuwa wavumilivu ni kweli sijasema ni kweli nimekaa kimya lakini siwezi sema tu endapo sina cha kusema mnaweza kuvumilia kama ninavyo vumilia napumzika tu sina cha kufanya mvumilie nitarudi sema sina cha kusema na siko tayari kusema nitasema nikiwa tayari kusema alimaliza lady jaydee lady jaydee sasa amepata cha kusema na amepata ya kuzungumza na ndio maana ametangaza rasmi ujio wake mpya kwenye muziki wa bongo fleva jide amesema kuwa baada ya siku 30 kuanzia leo atasimama tena
2019-10-23T17:44:11
https://www.bongomovies.com/lady-jaydee-avunja-ukimya/
tamthilia ya sultan mfahamu zaina mziray anayeigiza sauti ya sah sultan you are athome»habari360»tamthilia ya sultan mfahamu zaina mziray anayeigiza sauti ya sah sultan by habari360 on january 14 2019 habari360 deniz cakır muigizaji wa kituruki ndiye aliyecheza nafasi ya sah sultan sah katika tamthilia hii ndiye dada wa sultan mke wa lufti pasha na mama wa esmehan sultan ambaye ndio kiboko ya mke wa sultan hurreim kwani unaambiwa hamuogopi kumwambia ukweli pale anapokosea mbali ya kucheza tamthiliya ya sultan deniz pia ameshacheza tamthilya ya ferhunde in yaprak dokumu na mchezo maarufu wa kuigiza wa tv nchini uturuki ulioitwa eskıya dunyaya hukumdar olmaz kama meryem cakırbeyli akiwa na shahada ya masomo ya sosholojia zaina mziray anasema kazi ya kunakilisha sauti si mara yake ya kwanza kuifanya kwani alishawahi kuifanya katika michezo mbalimbali ya kuigiza katika miradi ya afya ikiwamo mama ushauri pia anasema amesoma masuala ya sanaa ya majukwaani huku matarajio yake ni kujikita zaidi katika tasnia hiyo moja ya sababu ya kutaka kuifanya kazi hiyo ni kutokana na kupata fursa ya kukutana na watu mbalimbali na ni kitu ambacho hujisikia raha kukifanya ukilinganisha na kazi zingine utofauti anaouna kwenye kuingiza sauti anasema ni muigizaji kutakiwa kufanya vitu vitatu kwa wakati mmoja ikiwamo kuangalia picha kusoma maneno na kupata hisia lakini kwa sanaa ya jukwaani anasema unakuta script unaisoma na kuifanya kivitendo hivyo anakiri kunakilisha sio kazi rahisi kama watu wanavyofikiria japokuwa inaweza kuwa rahisi kama mtu unaipenda kazi hiyo kutoka moyoni previous articletrump says never worked for russia slams big fat hoax next article waziri mhagama akerwa na sekta binafsi ya ulinzi kuongoza kwa migogoro mahala pa kazi
2019-04-21T02:08:38
https://habarimpya.com/featured-2/habari360/tamthilia-ya-sultan-mfahamu-zaina-mziray-anayeigiza-sauti-ya-sah-sultan
watumishi waamuriwa kujichangisha kununua mashine ya ultrasound iliyoibiwa hospitalini | mpekuzi kufuatia mashine ya ultra sound kuibiwa katika hospitali ya wilaya bariadi mkuu wa wilaya hiyo festo kiswaga ameagiza wafanyakazi wote wa hospitali hiyo kuchangishwa fedha kulingana na kiwango cha mshahara ili kununua mashine mpya yenye thamani ya tsh million 30
2020-04-01T05:48:39
http://www.mpekuzihuru.com/2019/08/watumishi-waamuriwa-kujichangisha.html
ya latif means ya latifu ka wazifa ya latifu wazifa for love marriage aulad ki bandishkala jadu taweezrohani babakala jadu online
2018-02-19T17:50:56
http://ads24.org/shared-apartments-rooms/spain
mwanamke afukuzwa akiwa na mtoto wa siku sita tarime msumba news blog mwanamke afukuzwa akiwa na mtoto wa siku sita tarime na frankius cleophace msumbatv tarime mwanamke mmoja aliyefaamika kwa jina la rhoda james mwenye umri wa miaka 25 mkazi wa kijiji cha turugeti kata ya bumera wilayani tarime mkoani mara amefukukuzwa nyumbani kwake akiwa na mtoto mdogo wa siku sita pamoja na watoto wake wane mwanamke huyo amedai kuwa mme wake anayejulikana kwa jina la chacha mwita mkazi wa turugeti kata ya bumera amemfukuza baada ya kushawishiwa na mama mkwe wake kuwa hatakiwi katika familia hiyo mama mkwe kila asbuhi anakuja nyumbani anakuta bado tumelala na mme wangu anafungua mlango na pazia anatoa mabegi yangu na kutupa nje huku akimwambia kijana wake kuwa anifukuzwe la sivyo atampa laana alisema rhoda rhoda alisema kuwa kipindi anakaa mjini kabla ya kwenda kijijini kwa kipindi cha miaka minne hapakuwepo na changamoto yeyote kwa mme wake lakini baada ya kwenda kijijini tangu desemba 2019 ndipo matatizo yameanza tukiwa kijijini huku akidai kuwa yeye ni mke wa pili kwa mme wake pia mwanamke huyo aliongeza kuwa amefukuzwa pamoja na watoto wake wadogo ambapo mtoto wa kwanza ana umri wa miaka 08 wa pili miaka 05watatu 04 wa nne miaka 03 na wa tano ni mtoto mdogo ambaye amezaliwa hivi karibuni ana siku sita tu mfano kama mtoto huyu mdogo mpaka sasa hana nguo na mvua zinanyesha kuna baridi anaweza kuugua nimenyanyaswa sana pia kujifungua nilijifungulia kwa majirani hivyo naomba serikali iweze kunisaidia ili nilee watoto wangu wote ni wadogo pia wazazi wangu walishakufa alisema mwanamke huyo vilevile rhoda alisema kuwa watu wenye mapenzi mema wamejitokeza na kuchanga nauli baada ya kufukuzwa na ndipo alilazimika kuja mjini kwa ajili ya kuomba msaada lakini watoto wake wanachangamoto kubwa kutokana na changamoto hiyo ya utengano wa familia wenda watoto hao wasipate haki yao ya kupata elimu malezi bora ya wazazi wawili licha ya serikali pamoja na mashirika kuendelea kupaza sauti kuhusu haki za watoto sasa serikali iweze kuingilia kati kwa lengo la kusaidia watoto hao kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha mapinduzi mkoani mara samwel kiboye amelaani vikali kitendo hicho huku akiomba jeshi la polisi kumsaka mme pamoja na mama mkwe ili wachukuliwe hatua kali dhidi ya ukatili huo nimepigiwa simu kuhusu tukio la mama huyo nimefika ni suala la kusikitisha nimetoa fedha ili mama huyo apate sehemu ya kulala pia watoto wapate chakula na mtoto huyu mdogo anunuliwe nguo ili kesho polisi waendelee na taratibu lazima sisi viongozi tuwasaidie wananchi wanaokumbwa bna ukatili wa kijinsia alisema kiboye suala la malezi na makuzi ni jukumu la wazazi wawili kwa maana baba na mama hivyo jamii haina budi kuondokana na suala la ukatili dhidi ya mama na mtoto
2020-04-09T10:14:05
http://www.msumbanews.co.tz/2020/03/mwanamke-afukuzwa-akiwa-na-mtoto-wa.html
yanga kuhamishia mechi zake uwanja wa amani zanzibar | siasa huru l habari za siasa 'o=mreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=''+(1=iindexof(imgyoutubecom)||1=iindexof(ytimggoogleusercontentcom)'')+''+f++osubstring(0nsummarylength)+''+l+} » yanga kuhamishia mechi zake uwanja wa amani zanzibar yanga kuhamishia mechi zake uwanja wa amani zanzibar timu ya yanga imetuma barua ya maombi kwa waziri wa habari utamaduni utalii na michezo wa zanzibar kuomba kuutumia uwanja wa amani kwenye mechi zake za ligi kuu vitivilivyoharibiwanamashabikiwasimba yanga imechukua hatua hiyo baada ya serikali kuzifungia timu hiyo pamoja na ile ya simba kuutumia tena uwanja wa taifa wa jijini dar es salaam kwa muda usiojulikana kutokana na vurugu zilizotokea kwenye mechi yao ya watani wa jadi iliyofanyika jumamosi iliyopita mechi hiyo ilisababisha hasara ya mamilioni ya fedha kutokana na mashabiki wa timu hizo kuharibu mali za uwanja huo ikiwemo viti na vitu vingine soma hapa chini barua hiyo
2016-10-22T21:27:24
http://www.siasahuru.com/2016/10/yanga-kuhamishia-mechi-zake-uwanja-wa.html
mbuta nanga blogmagazine/ since 2011 top in town' byflora lyimo ~ leo ni zam yake mpaparazi na mwanakiboko mwenza of all (haters )yani mwacheni atese kwani kutesa ni kwa zamuu'' happy birthday mariam marion ndaba' be bless always and happy new year 2014 hope is the year that got all the thing you need in your life byflora lyimo ~ leo ni zam yake mpaparazi na mwanakiboko mwenza of all (haters )yani mwacheni atese kwani kutesa ni kwa zamuu'' happy birthday mariam marion ndaba' be bless always and happy new year 2014 hope is the year that got all the thing you need in your life fabi just love hii picha yako ''yani ulipendeza sana kila kitu pahali pake ipasavyo '' enjoy your day '' hakikisha umewaambia wote is your birthday today '''na wasisahau kukudondoshea mazawadi ''mbuta nanga mwaona kitu ya kiukweeendiyo inayowaleteeni mambo kama haya ya snapyou snapyou'' chezea mpaparazi akupige picha uchi uchi ''hahahaa'' i love ufyetuaje wa mapichaaayani ndio ugonjwa wangu haswaa''and i think ni ugonjwa wa mariam piakama mnavyojua ana blog yake moto moto pia'' mp blog'' happy birthday my dear''yani bado huwa sijawahi kusahau ile siku ya kwanza kukuona live in london '' na hata sasa kwenye picha bado naona upo vile vile '' so pretty '' stay bless always na usijedanganyika na madawa ukaharibu sura yako '' yani inatafutwaje sasa with love 'flora lyimo blog'' kikao cha kutafuta suluhu ya mgogoro wa pori tengefu la loliondo chaendelea chini ya mkuu wa mkoa wa arusha mrisho gambo *mkuu wa mkoa wa arusha mrisho gambo ameendelea kuongoza vikao vya kutafuta suluhu ya mgogoro wa pori tengefu ambao umechukua muda mrefu* *waziri mkuu ka rais magufuri amteua anne kilango malecela kuwa mbunge rais magufuli amemteua anne kilango malecela kuwa mbungekilango aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa shinyanga kabla hajatenguliwa na rais magufuli mapema mwaka
2017-01-21T23:41:58
http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2014/01/byflora-lyimo-leo-ni-zam-yake-mpaparazi.html
the telephone game | mchezo wa kuambizana mkalimani anecdotes from a medical interpreter | simulizi kutoka kwa mtafsiri introductions | utangulizi welcome | karibuni variety | mbalimbali i have just finished watching this video of tilapia skin being used in brazil as a temporary graft for burns and it reminded me of a patient i had in late 2015 she was a little girl then aged five from a refugee family that had been resettled in the us just a few weeks before the accident that landed her in a paediatric burn hospital accompanied by her father given the nomadic life that this family had lead they spoke multiple languages but only the father spoke swahili as a result interpreting for the girl became like a game of telephone the provider would say/ask something i would translate into swahili for the father who would then translate into his mother tongue for his daughter and viceversa adding the layer of complexity arising from the familys unfamiliarity with this their new host country the fact that some expressions dont easily translate from either language and the cultural differences in adultchild interactions those three weeks were a herculean task and this was not the first time id had to navigate such a situation this is me with one of my nephews as an infant published with permission from his parents 🙂 paediatric patients are generally challenging for me as an interpreter because stranger anxiety often renders the child unwilling to respond to me directly and so i have to rely on the accompanying adult much stands to be lost in this threeway channel of communication and so these cases call for careful diction and heightened attentiveness to visual cues but how exactly does one explain to a parent one who is so new to this country that he assumes every black person he sees must also speak his language that the surgeon wants to place a porcine skin graft on his daughter (xenografts such as the fish skin i mentioned earlier are used as a temporary covering to encourage severely damaged skin to heal itself faster that it would unaided they dry up and fall off once the skin beneath has sufficiently regenerated the porcine graft in this case did not look like slice of pork belly but rather was presented in a form resembling a gauze mesh there are other types of skin grafts which you can look up for yourself if youre curious proceed with caution should you decide to view images) i found ways around this interpreting obstacle and others that i may share in future posts and the little girl recovered enough to go home when she returned for followup a few weeks later it was almost as though she had never been burnt i still marvel to this day kids are a joy to work with refreshing in their outlook and resilient on account of the youth of their bodies and their minds not yet being able to fully comprehend the gravity of certain medical situations i think my next post will be about the aforementioned cultural differences and ill also share some expressions ive encountered that simply dont translate cleanly 😀 nimetoka kuangalia hii filamu fupi inayohusu ngozi ya samaki sato kutumika nchini brazil kama ngozi bandia kwa walioungua ikanikumbusha mgonjwa mmoja niliyekuwa naye mwishoni mwa mwaka 2015 alikuwa msichana mdogo mwenye umri wa miaka mitano kutoka kwenye familia ya wakimbizi waliokuwa ndio wametua marekani wiki chache kabla mtoto hajaungua alifikishwa kwenye hospitali maalum kwa watoto walioungua akisindikizwa na baba yake kutokana na mizunguko waliokuwa wamefanya maishani mwao familia ilizungumza lugha zaidi ya moja lakini baba pekee ndiye aliyekuwa mwenye kufahamu kiswahili kwa sababu hiyo kutafsiri ilikuwa kama mchezo wa kuambizana daktari angesema au kuuliza jambo mimi ningemtafsiria baba katika kiswahili ambaye angemtafsiria binti yake kwa kilugha na vivyo hivyo kwa kinyume chake ukiongezea ugeni wa nchi hii waliyoifikia ugumu wa kutafsiri misemo fulani na tofauti za kitamaduni kwenye mahusiano kati ya watu wazima na watoto hii ilikuwa shughuli haswa na haikuwa mara ya kwanza mimi kukumbana na hali hii mimi na mpwa wangu mmoja alipokuwa mchanga wazazi wake wamenipa ruhusa ya kutumia hii picha 🙂 watoto huwa ni wagumu kuwatafsiria kwa kuwa woga wao kwa watu wasiowafahamu huwafanya wanionee aibu na kunilazimu kupitia kwa mzazi/mlezi aliyewaleta maelezo mengi yanaweza kupotea kwenye huu mkumbo wa mawasiliano ya njia tatu hivyo yanibidi kuchagua maneno yangu kwa makini zaidi na kuwa mwangalifu kwa lugha ya kimwili lakini mtu unamwelezaje mzazi tena yule ambaye ndio kwanza amefika ughaibuni kana kwamba anadhani kila mtu mweusi amwonaye anafahamu kiswahili kuwa daktari bingwa anataka kumbandikia binti yake ngozi ya nguruwe (vipandikizi ngeni kutoka kwenye viumbe kingine kama ile ngozi ya tilapia niliyoitaja awali hutumika kusaidia sehemu ya mwili iliyojeruhiwa vibaya kupona haraka zaidi kuliko ingevyopona yenyewe hivi vipandikizi ngeni hukauka na kubanduka vyenyewe ngozi ya mgonjwa iponapo vya kutosha ngozi ya nguruwe aliyotaka kutumia daktari haikuwa imekaa kama kiti moto bali iliandaliwa vizuri kufanana na kipande cha gozi kuna aina nyingine na ngozi pandikizi ambazo unaweza kujiangalizia mwenyewe kwenye mtandao kama una uchu wa kufahamu zaidi ila jichunge ukiamua kuangalia picha husika) nilipata namna ya kuvuka kizuizi cha lugha na vizuizi vingine ambavyo labda nitaongelea huko mbeleni na mtoto alipona hadi kuruhusiwa aliporudi kufuatilia baada ya wiki kadhaa ngozi yake ilikuwa kama vile haijawahi kuungua mpaka leo hii bado ninashangaa ni furaha kufanya kazi na watoto mtazamo wao unaburudisha na ni wastahimilivu kwa kuwa miili yao bado michanga na akili zao bado hazijaweza kuelewa uzito kamili wa hali ya kuwa mgonjwa ninadhani fungu langu lifuatalo litakuwa kuhusu tofauti za kitamaduni nilizotaja hapo awali na pia nitatoa mifano ya misemo isiyotafsirika kirahisi 😀 wellesley graduate medical interpreter mdinthemaking accidental instagrammer @binti_ilahuka view all posts by sylvia burns paediatric pediatric how are you doing pumpkin | unaendeleaje ___ introductions | utangulizi (1) variety | mbalimbali (7)
2017-08-20T22:55:31
https://mkalimani.com/2017/03/23/the-telephone-game-mchezo-wa-kuambizana/
tupeni hizo habari mbaya kuhusu msanii dimond | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'celebrities forum' started by figganigga aug 7 2012 messages 14981 hizo habari zilizagaa tangia juzi ila rafiki yake shetta darstamina amesema kwama diamond yupo fiti hata wewe wengine wanasema eti laana ya babake imeanza kumtesa kama ilivyokuwa kanumbaila bado tunae mambo vipi matola hujambo wewe karibu shemejio anapika mia asante kwa taarifa mkuu mia hilo la kusema yupo fit ni uongo sababu kalazwa hospital mia wajenzi huru kazini ha ha ha kazi imeanza mi mwenyewe kanistuadah figganigga na diamond wapi na wapi watu wanajifanya hawafuatilii ila wanajua wanachojifanya hawakifuatiliimatola na chomba acheni kuact wazee matola naona humu hamkufai labda ungerudi jukwaa la siasa ukapige siasa usitake kila mtu apende unachokipenda na achukie usichokipenda huko kuoshwa miguu na kukwanguliwa kucha ndiko vijana wa kisasa wanachofurahia (u might be a little old for this dude) wale wanaotumia compass wakikuchoka na ukienda kinyume na matakwa yao you are finished muulizenimba tazama alivyowaburuza kama watoto wadogo kuanzia kwa skendo ya kumvalisha pete yupo ushuzi mwenzie kisha akawaokota kuwa wameachana mara wakarudiana mara sijui wameonekana hotel gani mara sijui wameachana mara jockate akaingilia mara diamond akakataa kupokea hela ya wema aliyotunzwa mara sijui diamond katua na helcopter mara mama wema kawachamba maadui wa mwanawe kwenye tv mara wema anadai yeye ndie alikuwa wa kanumba mara sijui wema anapambana na wolper mara kanunua nyumba ya gharama mara diamond agombana na baba yake mara diamond anaumwa sijui kichocho mara wema atangaza kwenda bba nxt year sasa wewe unasema uwafuatilii wala huwakubalilakini umetoa summary yao ya ukweliyani ni zaidi ya kuwakubalimkuu kwa nini unaidhulumu nafsi kiasi hichoahahahaahahahaha basi makubwa mia
2018-01-24T10:24:03
https://www.jamiiforums.com/threads/tupeni-hizo-habari-mbaya-kuhusu-msanii-dimond.304493/
vitu viwili ambavyo mtoto anapaswa kuvijua kutoka kwa mzazi amka mtanzania vitu viwili ambavyo mtoto anapaswa kuvijua kutoka kwa mzazi date october 8 2019author deogratius kessy 1 comment wote tunajua kuwa watoto ni zawadi ya ndoa hivyo basi kila mmoja wetu anapokwenda kununua kitu kama vile jokofu au friji atapewa na kijitabu cha mwongozo jinsi ya kutumia lakini sisi binadamu pale tunapopata mtoto hatuna kitabu cha mwongozo kama vile unaponunua bidhaa nyingine malezi ya mtoto ni kazi kama unavyoziona kazi nyingine kama mzazi unatakiwa kuwajibika katika malezi ya watoto unatakiwa kuwapa misingi sahihi ambayo itawaongoza kwenye maisha yao unaposhindwa mzazi kumlea mtoto wako vizuri dunia itakusaidia kumfundisha adabu lakini kwa riba kubwa dunia haitombembeleza bali itamlea kikatili sana je ni vitu gani mtoto anapaswa kuvijua kutoka kwa mzazi wewe kama mzazi mtoto anapaswa kujua vitu hivi viwili kutoka kwako kujua vile ambavyo unavipenda katika malezi mtoto anatakiwa kujua kabisa kuwa mzazi anapenda moja mbili tatu mzazi anapenda tabia njema anapenda kumuona mtoto akiwa namna hii na mtoto akishajua kuwa mzazi wake ni mtu wa namna gani na yeye atajishepu kadiri ya mzazi anavyotaka awe mtoto akishajua baba unapenda nini naye atakuwa anafanya vile unavyopenda wewe na kuepuka vile ambavyo huvipendi kujua vile ambavyo huvipendi mtoto anapaswa kujua wewe kama mzazi hupendi kutoka kwa mtoto wako ukianza kumjengea mtoto msingi vizuri kuwa huhitaji kufanya moja mbili tatu ataanza kutii na kufanya vile unavyopenda kufanya sasa inakuja ugumu pale ambapo mtoto hajui hata mzazi yuko upande gani unakuta anafanya vile anavyojisikia yeye kufanya mtoto yoyote makini lazima hata mzazi wake atakuwa makini tuwafundishe watoto namna ya kuvua samaki na siyo kuwapa samaki wafundishe watoto namna ya kuishi misingi bora na siyo maonesho tu ukiwa na mwongozo mtoto ataufuata lakini kama mzazi huna mwongozo mtoto atakua hana cha kufuata atakuwa hana mwelekeo na mtoto asipokuwa na mwelekeo mwelekeo wowote utamchukua hatua ya kuchukua leo mzazi hakikisha unakuwa wazi kwa mtoto wako ni vitu gani unavipenda na vitu gani huvipendi ikiwezekana mwandikie kabisa ili ajue na kuufuata kila siku kwahiyo binadamu tuna asili moja tunaposetiwa kuwa watu wa namna fulani basi tunajikuta tu tunasetika hivyo ukiweza kumseti vizuri mtoto wako utakua umesaidia sana katika dunia hii ya leo ambayo kama siyo imara kuishi ni ngumu previous previous post ushauri hatua za kuchukua kama bado hujalijua kusudi la maisha yako next next post rafiki naomba jibu lako mapema ili maandalizi yawe mazuri one thought on vitu viwili ambavyo mtoto anapaswa kuvijua kutoka kwa mzazi pingback je unataka mtoto wako kusoma shule bora kama jibu lako ni ndiyo soma hapa amka mtanzania
2020-06-07T06:47:05
https://amkamtanzania.com/2019/10/08/vitu-viwili-ambavyo-mtoto-anapaswa-kuvijua-kutoka-kwa-mzazi/
swahilivilla salam za iyduladhwhaa 2018 washington dc salam za iyduladhwhaa 2018 washington dc watanzania wa jumuiya ya kislamu washington dc metro (tamco) waungana na waislamu wezao duniani kwa sala ya iyduladhwhaa iliosaliwa mapema usubuhi ya aug 21 2018 masjidi muslim community center hampshire ave silver spring maryland usa na pia kuwatakia waislamu waote duniani iyduladhwhaa almubaarak labels 2018 washington dc salam za iyduladhwhaa
2018-12-14T12:16:00
https://swahilivilla.blogspot.com/2018/08/salam-za-iydul-adhw-haa-201-washington.html
mudavadi kalonzo na wetangula hatimaye wakubali mkutano wa uhuru na raila ▷ tukocoke kilichomla wetangula katika bunge la seneti chafahamika mudavadi kalonzo na wetangula hatimaye wakubali mkutano wa uhuru na raila maoni 2368 vinara watatu katika muungano wa nasa kalonzo musyoka musalia mudavadi na moses wetangula hatimaye wamekubaliana na uamuzi wa raila odinga kuelekea katika jumba la harambee kukutana na kukubaliana na uhuru kenyatta watatu hao walisema kuwa raila aliwaelezea yaliyoendelea wakati wa mazungumzo hayo yaliyokuwa ya kisiri vinara watatu katika muungano wa nasa kalonzo musyoka musalia mudavadi na moses wetangula hatimaye wamekubaliana na uamuzi wa raila odinga kuelekea katika jumba la harambee kukutana na kukubaliana na uhuru kenyatta mudavadi kalonzo na wetangula waukumbatia mkutano wa uhuru na raila baada ya kuushtumu picha hisani habari nyingine wakuu wa jubilee duale na murkomen watofautiana hadharani katika mkutano ulioandaliwa katika eneo la athi river kaunti ya machakos jumatatu machi 12 vinara hao watatu walikiri kuwa walimsikiza raila odinga alipokuwa akiwaelezea madhumuni ya kukutana na uhuru kenyatta na kuweka makubaliano ya kuchapa kazi pamoja akizungumza kwa niaba ya wote musalia mudavadi alikariri kuwa wameukumbatia uamuzi wa raila kukutana na uhuru kenyatta kwani nia yao ni wawe na nchi yenye demokrasia ambapo mazungumzo ndiyo muhimu zaidi habari nyingine chelsea real madrid wasaini mkataba kubadilishana wachezaji nyota habari kamili baada ya kuelezwa na raila odinga kuhusu mazungumzo kati yake na uhuru vinara wakuu wameukumbatia mkutano huo katika kufungua milango ya mazungumzo kama yalivyoanzishwa na viongozi hao wawili ili kutatua shida za kitaifa alisema mudavadi hapo awali kulitokea chuki na kukosekana kwa maelewano kati ya raila odinga na vinara wenza watatu kwa misingi kuwa hakuwahusisha katika mkutano huo na kwamba aliwatenga kwenye mazungumzo hayo yaliyofaa kuwahusisha pia kalonzo musyoka latest news musalia mudavadi latest news raila odinga latest news huduma centre birth certificate replacement orange kenya data bundles gotv kenya packages top ten richest in kenya boarding school fees in kenya ukosefu wa kazi siasa mbaya na malipo duni yanawafanya wakenya kuchukia nchi yao utafiti utafiti wasema zaidi ya 54 ya wakenya hawapendi nchi yao wabunge 170 wamtaka waziri wa afya sicily kariuki kutimuliwa mtangazaji allan namu akana madai kuwa alihusika na kampeni za uhuru kenyatta john allan namu azungumza baada ya madai kuwa alihusika pakubwa na kampeni za uhuru mchezaji wa arsenal achapisha picha zake akiwa na nyanyake aliyeaga dunia zinagusa wenyeji wa bungoma hawatawahi kumsamehe raila kwa yale yamemfika wetangula mbunge wa jubilee mbunge wa jubilee akosoa vikali hatua ya wetangula kupokonywa wadhifa seneti amlaumu raila odinga tabia 16 ambazo wakenya wanaotumia matatu hukumbana nazo mke aaibika akizomewa na mamake kwa kumtuma yaya amhudumie mumewe
2018-03-22T07:48:49
https://kiswahili.tuko.co.ke/268432-mudavadi-kalonzo-na-wetangula-hatimaye-wakubali-mkutano-wa-uhuru-na-raila.html
solid wooder wooder mavazi na mirror china manufacturers & suppliers & factory solid wooder wooder mavazi na mirror mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa solid wooder wooder mavazi na mirror) solid wooder wooder mavazi na mirror solid wooder wooder mavazi na mirror brown solid mpira wooder mavazi solid wood book rafu baraza la mawaziri solid wood dresser stool kitambaa solid dresser baraza la mawaziri 3 drawers mfuko wa mavazi mango mzito hoteli solid wood moja kitanda
2019-12-14T17:51:10
https://sw.taihuafurniture.com/dp-solid-wooder-wooder-mavazi-na-mirror.html
» written by mzee wa matukiodaima habari bila uoga on monday september 23 2013 | 844 am asema ataendelea kusaidia kuinua elimu nyumbani kwake kalengaajitolea kusomesha watoto 8 achangia tsh milioni 1 ya umeme kusomesha watoto wengine wawili magumbike mkazi wa kijiji cha nyamihuu kata ya nzihi jimbo la kalenga bw jackson kiswaga kushoto akikabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha magubike bi lenatha mwayongile leo kwa ajili ya kuendeleza michezo kijijini hapo mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha magubike bi lenatha akimkabidhi mmoja kati ya walimu wa shule ya sekondari ya kata ya magubike vifaa vya michezo vilivyotolewa na mfadhili wa maendeleo wa ndani ya kijiji hicho bw jackson kiswaga leo mgeni rasmi katika mahafali ya 10 ya shule ya msingi magubike bw jackson kiswaga kushoto akimkabidhi mhitimu wa darasa la saba anna komba cheti chake cha kuhitimu elimu ya msingi leo mgeni rasmi katika mahafali ya 10 ya shule ya msingi magubike bw jackson kiswaga akitoa hotuba yake kwa wazazi na wahitimu wa darasa la saba leo mgeni rasmi katika mahafali ya 10 ya shule ya msingi magubike jimbo la kalenga bw jackson kiswaga katikati akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa darasa la saba na viongozi wa serikali ya kijiji na kata ya nzihi pamoja na walimu wa shule hiyo leo mkazi wa kijiji cha nyamihuu kata ya nzihi jimbo la kalenga wilaya ya iringa mkoani hapa bw jackson kiswaga amesema kuwa amelazimika kurudisha fadhila kwa wananchi jimbo la kalenga kwa kuchangia elimu kama njia ya kuunga mkono jitihada za serikali iliyopo madarakani chini ya rais jakaya kikwete kwa kuendelea kufikisha elimu ya sekondari kupitia shule za kata kiswaga ametoa kauli hiyo leo katika mahafali ya 10 ya shule ya msingi magubike ambako ameahidi kuchangia kiasi cha tsh milioni 1 kwa ajili ya kuingiza umema katika shule hiyo pamoja na kujitolea kusomesha wanafunzi wasio na uwezo wawili elimu ya sekondari na kufanya idadi ya wanafunzi atakaosomesha kufika wanafunzi 8 hadi sasa hata hivyo alisema kuwa misaada hiyo ni mwendelezo wake wa kuendelea kukabidhi misaada mbali mbali katika shule za msingi na jamii ya jimbo la kalenga kama sehemu ya kuhamasisha jamii ya wana kalenga waliosoma katika shule za msingi na sekondari kukumbuka kurudi kuchangia maendeleo katika vijiji na jimbo hilo la kalenga bw kiswaga alisema kuwa hadi sasa pia kujitolea kusomesha watoto watatu sekondari na kuchangia kiasi cha tsh milioni 15 kwa ajili ya kurejesha umeme katika shule ya msingi tanangozi pamoja na misaada hiyo pia amepata kujitolea kusomesha watoto watatu katika shule ya msingi nyamihuu na kuchangia fedha za madawati kiasi cha tsh 500000 na sasa shule hiyo ya magubike ambayo mbali ya kujitolea tsh milioni 1 ya umeme pia atasomesha watoto wawili sekondari na kuchangia tsh 50000 kwa ajili ya ukarabati wa bomba la maji shuleni hapo na kutoa jezi seti mbili na mipira miwili kijijini hapo alisema kuwa ahadi hizo na misaada hiyo ameendelea kuitoa baada ya jamii kutoa mialiko katika shughuli mbali mbali na yeye kutumia marafiki zake kujipiga piga kwa kuchangia kiasi na kuwataka wanakalenga wengine kujitokeza kuchangia maeneo yao na jimbo la kalenga kwa ujumla kuhusu tatizo la simu kijijini hapo kiswaga alisema suala hilo lipo nje ya uwezo wake ila ataendelea kuwapigania ili kijiji hicho kinachoongoza kwa uzalishaji wa tumbaku nyanya na mazao mbali mbali ya biashara kupata huduma hiyo ya mnala wa simu haraka iwezekanavyo mkuu wa shule hiyo ya msingi magubike bi gaithana kihuyo akitoa taarifa ya shule hiyo mbali ya kupongeza misaada hiyo bado alisema walilazimika kumualika kiswaga kama mkazi wa jimbo hilo ambae amekuwa akijitolea kuhamasisha maendeleo kijijini kwake huku mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho lenatha mwayongile akiwahakikishia wananchi hao kuwa misaada hiyo ni changamoto kubwa kwa wananchi hasa katika kutambua mkazi wa kweli anayewajali wananchi na kuwa wataikumbuka daima
2017-06-22T12:00:12
http://matukiodaima.blogspot.com/2013/09/kiswaga-asema-ataendelea-kusaidia.html
kamishna jenerali wa magereza aendelea na ziara yake ya kikazi katika mkoa wa kagera wilaya ya bukoba mtaa kwa mtaa blog home habari kamishna jenerali wa magereza aendelea na ziara yake ya kikazi katika mkoa wa kagera wilaya ya bukoba othman michuzi july 11 2019 habari
2019-07-16T17:22:17
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/07/kamishna-jenerali-wa-magereza-aendelea.html
mastaa ulaya wana hatari ya majeraha mwanaspoti mastaa ulaya wana hatari ya majeraha moja ya mechi iliyovutia ni ile iliyochezwa jumanne ikishuhudia croatia iliyofika fainali katika michuano ya kombe la dunia ikipata kipigo cha mabao 60 kutoka kwa hispania by dk shita samwel bara la ulaya limeibuka na mashindano mapya yajulikanayo kama europa national leugue yaliyoanza kutimua vumbi tangu jumamosi yakishirikisha nchi za bara hilo ni ukweli mashindano haya yatatupa burudani lakini kwa jicho la tatu la kitabibu linaona kama hakutakuwa na namna ya kukwepa ongezeko la majeraha ya miguu kwa wachezaji wa ulaya hii ni kutokana na wachezaji hao ambao baadhi wametoka kushiriki kombe la dunia mwaka huu kushiriki pia mashindano hayo na huku wakikabiliwa na mashindano ya ndani ya klabu mfano mchezaji wa uingereza katika klabu yake ipo ligi kuu (epl) kombe la fa carling cup na uefa kwa klabu iliyokuwa katika nne bora hivyo basi kwa mwaka huu pekee mchezaji mmoja anashiriki mashindano makubwa karibu matano yenye ushindani mkubwa na hivyo kumweka katika hatari ya kupata majeraha wiki iliyopita nilieleza madhara yanayowapata wachezaji baada ya kutumika sana leo tutaona katika soka la nchi zilizopiga hatua wanavyoweza kukabiliana na majeraha ya misuli majeraha ya misuli ya miguuni ni kati ya majeraha yanayowasumbua wachezaji duniani hatua zifuatazo hutumika kuwapa nafuu na kusaidia kupona majeraha ya misuli ya miguu kupunguza maumivu ya awali na uvimbe hatua za awali kabla ya kufika katika huduma za afya hupata huduma ya kwanza alipopatia jeraha ikiwamo eneo lenye jeraha kupuliziwa dawa ya maumivu na hulindwa ili asijijeruhi zaidi hupewa usaidizi na kutolewa mchezoni na kupumzishwa huwekewa barafu hufungwa kwa bendeji yenye kuvutika na mguu hunyanyuliwa kuzidi kifua katika hatua za mwanzoni majeruhi anaweza kutembea kwa kuchechemea pale anapopumzishwa husaidia kuzuia shinikizo la uzito wa mwili katika mguu huo hivyo kuepusha madhara zaidi uvikaji wa vifaa tiba maalumu ikiwamo kiatu au nusu pop vibana misuli vidhibiti vya goti kutembelea kwa kiti au gongo maalumu ni moja ya mbinu za kuutuliza mguu ili asijijeruhi ili kupungua uvimbe na maumivu barafu iliyowekwa katika mfuko wa plastiki huwekwa katika jeraha kwa dakika 1020 kila baada ya saa 24 huwekewa mara tu wanapohisi joto linapanda katika jeraha dawa za maumivu zakumeza au kuchoma hazitumiki mpaka baada ya masaa 4872 isipokuwa acetaminophen (paracetamol) zingine zikitumika zinaweza kuchangia damu kuvuja katika jeraha kadiri unavyoimarisha ukandamizaji kwa kutumia clip bundage husaidia kutoa nafuu kwa misuli iliyojeruhiwa pia kuzuia damu kuvuja kuunyanyua mguu wenye jeraha kuzidi kifua majeruhi akiwa amelala chali husaidia kurudisha damu kutoka eneo la mguu haraka hivyo kupunguza uvimbe mapema kurudishia utendaji kazi wa misuli kama awali kama hatua ya kwanza itaenda vizuri kama inavyotakiwa ubora na ufanisi wa misuli hiyo huweza kurudi kama ilivyokuwa awali ukarabati wa jeraha na kujiunga huchukua takribani wiki sita wakati huu lengo ni kusaidia gamba la jeraha lilojiunda kuwa imara ili kusiwepo na kujirudia kwa majeraha usingaji (massage) unyooshaji misuli uimarishaji mishipa ya fahamu na damu kwa mazoezi mepesi ya viungo hufanywa ili kuliimarisha jeraha lililounga kuweza kutembea bila maumivu wala kuchechemea na kuweza kufanya matendo mbalimbali ikiwamo mazoezi mepesi na kuinyoosha misuli ya mguu pasipo kikwazo ni ishara kuwa mchezaji amepona kurudishia misuli ya mguu uwezo wa kunyanyua mwili ukakamavu na nguvu za misuli ya miguu huimarishwa taratibu kwa kuweka shinikizo la uzito kidogo mpaka hapo baadaye huongezewa kwa hatua hii ina maana kama majeruhi alikuwa anatumia kifaa au alikuwa hautumii mguu kuukanyagia moja kwa moja hutakiwa kuacha na kuanza kutembea bila usaidizi wa chochote baada ya wiki 12 huanza kutembea na kujinyanyua taratibu na kuuvuta mwili baadaye huanza kukimbia kidogo kidogo na kurukaruka kiasi majeruhi kuruka na kukimbia kwa nguvu ni wazi eneo hilo linapata shinikizo kubwa la uzito wa mwili hivyo ni ishara amepona na tayari kuanza programu ya mazoezi ya viungo na mafunzo kurudishia uwezo wa misuli kudhibiti mijongeo misuli ya miguu ndiyo yenye kazi ya kafanya matendo muhimu ikiwamo kunyanyuka kutembea kukimbia kuruka na kukudhibiti kudondoka au kukuvuta chini hatari ya kujitonesa kwa misuli na kuchanika tena hutokea wakati wa unyooshaji misuli ili kuepusha hali hii walimu wa mazoezi ya viungo hutoa muongozo wakati wa programa ya mazoezi ya viungo miongozo hiyo humwezesha mchezaji kuhimili kujivuta chini kama vile kuchuchumaa kupiga msamba kukaa na kuruka kichura pasipo kujijeruhi na haya yanafanyika tu endapo hali ya jeraha itaruhusu kudhibiti kujijeruhi wakati wa mazoezi mijongeo au matendo hayo ni pamoja na kuiwezesha misuli kuweza kukunjuka na kujikunja ili kuweza kukimbia kasi kwa umakini na ufanisi mkubwa majeraha ya misuli ya miguu hujitokeza mara kwa mara panapokuwa na shughuli zinazohitaji kukimbia kasi hivyo kusababisha msukumo mkubwa mwilini hasa wakati wa kujikunja na kujikunjua kwa misuli ili kuzuia kujirudia kwa majeraha wataalam wa viungo hutoa mwongozo maalum wa mazoezi na mbinu ili kujenga uwezo wa juu kama livyokuwa hapo awali kabla ya majeraha kwa kawaida hatua hii itategemea na nafasi anayochezea mchezaji na kasi unayohitajika kuwa nayo atapewa mazoezi na mafunzo ili kumwandaa na mazoezi mepesi majaribio na kurudi rasmi kucheza baada ya madaktari kujiridhisha kuwa mchezaji amepona na yuko imara ndipo majaribio ya kiuchezaji huruhusiwa kufanyika hujaribiwa kwa mazoezi maalum ikiwamo kuchezeshwa timu ya vijana au timu b na akifaulu hurudishwa rasmi kikosi cha kwanza anapofikia hatua hii hawamchezeshi dakika zote 90 anaweza kuingizwa kama mchezaji wa akiba dakika za mwishoni lengo la kufanya hivi ni kumlinda usipate majeraha mapema wataalam wa mazoezi viungo huendelea kumfuatilia majeruhi na mwishowe kocha na benchi la ufundi huwatathimini kiwango cha uchezaji kabla na baada ya majeraha je kimepanda au kimeshuka pamoja na mbinu hizi majeraha ya misuli kwa wanasoka hayakwepeki hata kama mchezaji akicheza mashindano machache tusubiri kuona mashindano haya mapya ya ulaya yataleta matokeo gani
2019-03-19T21:43:44
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Mastaa-Ulaya-wana-hatari-ya-majeraha/1799484-4759204-15g2o4l/index.html
kizza besigye azuiliwa nyumbani kwake | radio taifa kizza besigye azuiliwa nyumbani kwake february 20 2016 april 26 2018 amos ogweri kizza besigye kuzuiliwa maafisa wa usalama nchini uganda leo wamemzuia nyumbani kwake kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo kizza besigye katika juhudi za kumzuia kuongoza maandamano huku raia wa nchi hiyo wakisubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo msemaji wa polisi nchini humo fred enanga alisema kwamba polisi walichukua hatua hiyo ili kuzuia kuzuka kwa fujo zaidi nchini humo polisi walizingira makao makuu ya chama cha besigye cha forum for democratic changewakati kiongozi huyo alipokuwa akikutana na wanachama huku helikopta ya polisi ikifyetua gesi ya kutoa machozi kutawanya umati uliokuwa umekusanyika nje kabla ya kumtia nguvuni besigye mwenye umri wa miaka 59 baadaye kiongozi huyo alirejeshwa kwake wakati wa usikuchama cha besigye kimedai kumekuwa na wizi mkubwa wa kura uliotekelezwa na serikali hasa katika maeneo yenye wafuasi wengi wa upinzani na kuchochea ghasia uchaguzi huo wa siku ya alhamisi ulikumbwa na changamoto nyingi ikiwemo kucheleweshwa kwa makaratasi ya kuraghasia pamoja na hatua ya serikali ya kufunga mitandao ya kijamii matokeo ya hivi punde yameonyesha kuwa rais museveni anaongoza kwa asili mia 60 ya kura huku besigye akiwa na asili mia 35 ya kuramatokeo ya mwisho yanatarajiwa kutangazwaa baadaye hii leopolisi waliwazuia wanahabari kukaribia nyumbani kwaa besigye mjinia kampala baada ya besigye kutiwa nguvuni janawafuasi wake waliandamana kwenye barabara za mji wa kampala ambapo walikabiliana vikali na polisi wizara ya mashauri ya kigeni ya amerika ilisema waziri john kerry alizungumuza kwa njia ya simu na rais museveni akitaka kudumishwa kwa maadili ya kidemokrasiarais museveni mwenye umri wa miaka 71 alichukua hatamu za uongozi nchini humo mwaka wa 1986 ← raila ashauri serikali kuu kushauriana na za kaunti mvutano wa kisiasa wachacha huko kericho → marekani yatupa makombora zaidi syria april 8 2017 john madanji comments off on marekani yatupa makombora zaidi syria wanajeshi watano wa nigeria wauawa na kundi la boko haram april 19 2017 john madanji comments off on wanajeshi watano wa nigeria wauawa na kundi la boko haram
2018-07-18T02:55:13
http://radiotaifa.co.ke/index.php/kizza-besigye-azuiliwa-nyumbani-kwake/
mkwasa kuteta na uongozi yanga | mtanzania home michezo michezo kitaifa mkwasa kuteta na uongozi yanga kaimu kocha mkuu wa yanga boniface mkwasa kaimu kocha mkuu wa yanga boniface mkwasa amesema atashiriki katika kuushauri uongozi wa klabu hiyo nini ufanye wakati wa usajili wa dirisha dogo ili kukiimarisha kikosi hicho usajili wa dirisha dogo kwa klabu za ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa disemba 16 na kufikia tamati januari 16 mwakani mkwasa alikabidhiwa mikoba ya kukipika kikosi hicho cha jangwani baada ya uongozi wa yanga kumfungashia virago aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyi mkongomani mwinyi zahera kutokana na kutoridhishwa na mwenendo katika ligi kuu msimu huu tangu akabidhiwe timu hiyo mkwasa ameiongoza yanga kushuka dimbani mara moja ilipoikabili ndanda na kuibuka na ushindi wa bao 10 mchezo uliochezwa uwanja wa nangwanda sijaona mtwara akizungumza jijini dar es salaam baada ya kumalizika kwa mazoezi ya kikosi chake yaliyofanyika uwanja wa uhuru alisema timu hiyo inahitaji maboresho katika baadhi ya maeneo ili kuifanya iwe na makali zaidi sikuanza na timu tangu mwanzoni kwani alikuwepo kocha mwingine hata hivyo nitashiriki kuushauri uongozi wapi nguvu iongezwe ila kwa sasa siwezi kuweka wazi hadi wakati sahihi utakapofika alisema akizungumzia maandalizi ya kikosi chake kwa ujumla alisema kinaendelea kuimarika ambapo aliwasifu wachezaji wake kwa kujituma mazoezi kikosi kipo vizuri isipokuwa lamine moro yeye bado anasumbuliwa na majeraha lakini wengine wanaendelea na programu ya mazoezi kama kawaidaalisema alisema ataendelea kuwapa nafasi wachezaji wanaofanya vizuri mazoezini na si kufanya mabadiliko kwa lengo la kujitofautisha na mtangulizi wake yanga inashika nafasi ya 15 katika msimamo wa ligi kuu baada ya kushuka dimbani mara tano ikishinda michezo mitatu sare moja na kupoteza mchezo mmoja hivyo kujikusanyia pointi 10 katika hatua nyingine yanga itashuka dimbani leo kuumana na coastal union katika mchezo wa kirafiki wa kujipima ubavu utakaochezwa dimba la uhuru dar es salaam previous articlewanawake waliotelekezwa wapewa rungu next articleaussems ataka mvua ya mabao
2019-12-06T12:50:58
https://mtanzania.co.tz/mkwasa-kuteta-na-uongozi-yanga/
(elekezwa kutoka niger (jimbo)) (orodha) mu'azu babangida aliyu (pdp) 2005 makadirio liliorodheshwa la 18 per capita 2007 (makadirio) rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=jimbo_la_niger&oldid=1086532
2020-02-27T15:36:42
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Niger_(jimbo)
walimu madrasah watakiwa kujisajili na kufuata mtaala wa aina moja zanzinews home habari walimu madrasah watakiwa kujisajili na kufuata mtaala wa aina moja walimu madrasah watakiwa kujisajili na kufuata mtaala wa aina moja walimu wa madrasa za quran zanzibar wametakiwa kujisajili na kufundisha kwa kufuata mtaala wa aina moja ili kuondosha usumbufu kwa wanafunzi wao wito huo umetolewa na mkurugenzi wa idara ya maandalizi na msingi safia ali rijali wakati alipokuwa akizungumza na zbc huko afisini kwake mazizini wilaya ya mjini amesema iwapo watasomesha kwa kufuata mitaala ya pamoja kutaondosha tatizo la baadhi ya wanafunzi kusomeshwa mambo mengi ambayo yapo kinyume na umri wao aikielezea kuhusu ufungaji wa madrasa amesema haipendezi hata kidogo kuona madrasa nyengine zimefuingwa na nyengine zikiendelea kutoa elimu hivyo amewashauri kuweka mfumo mmoja wa kufunga na kufunguwa madrasa zao ili kuwaondoshea usumbufu wanafunzi aidha ameamewaomba wamiliki na viongozi wa madrasa kuzisajili kupitia ofisi ya mufti ili ziweze kupatiwa miongozo ya ufundishaji na fursa za mafunzo zinazotolewa hata hivyo amesikitishwa na baadhi ya vijana wanaojiunga na vikundi vyenye mnasaba na dini na badala yake kuenda kinyume na miongozimisingi na maadili ya vikundi hivyo kwa kufanya vitendo vya udhalilishaji mali na hayo bi safia amewashauri wakuu wa madrsa kuanzisha umoja wao ili waweze kukaa pamoja na kujadili matatizo yanayowakabili na kuayapatia ufumbuzi kwa haraka
2019-04-23T00:51:38
http://www.zanzinews.com/2019/04/walimu-madrasah-watakiwa-kujisajili-na.html
uswisi umri wa kustaafu men sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi uswisi umri wa kustaafu men ukosefu wa ajira kiwango cha 290 250 570 150 asilimia [+] watu wasio na ajira 13562400 11782200 20629100 2600 [+]
2020-04-07T17:20:38
https://sw.tradingeconomics.com/switzerland/retirement-age-men
fumbo la jina la mungu | injili ya kushuka kwa ufalme fumbo la jina la mungu 127 video 96308 mionekano ilisasishwa mwisho: kumtambua kristo wa kweli na kristo wa uongo ukweli wa kubainisha kazi ya mungu kutokana na kazi ya mwanadamu kuinuka kwa mshindi wokovu na wokovu kamili kuchunguza mizizi ya kuhuzunisha kwa makanisa chanzo cha njia ya uzima wa milele fumbo la kunyakuliwa kuenda mbinguni kutambua sauti ya bwana harusi hukumu huanza na nyumba ya mungu fumbo la mungu kupata mwili kuchunguza kiini cha mafarisayo ni jinsi gani bwana ataonekana kwa mwanadamu atakaporudi tena kuchunguza njia ya kwenda katika ufalme wa mbinguni 20181224 102754 wimbo wa ushindi njia inayoongoza kwenye utakaso na wokovu | swahili gospel movie clip 6/7 20181224 102748 wimbo wa ushindi kwa nini bwana anarudi kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho | swahili gospel movie clip 5/7 20181224 102741 wimbo wa ushindi ishara za kuja kwa bwana yesu kwa mara ya pili | swahili gospel movie clip 4/7 20181224 102733 20181224 102725 wimbo wa ushindi jinsi ya kugundua mafarisayo wa kisasa | swahili gospel movie clip 2/7 20181224 102720 wimbo wa ushindi je bwana atatokeaje na kufanya kazi yake wakati atakaporudi | swahili gospel movie clip 1/7 20181224 102711 nimewahi treni ya mwisho mwenyezi mungu hutoa njia ya uzima wa milele kwa binadamu | swahili christian movie clip 6/6 20181220 140840 nimewahi treni ya mwisho matokeo yanayofikiwa na kazi ya mungu aliyepata mwili | swahili christian movie clip 5/6 20181220 140807 nimewahi treni ya mwisho hukumu mbele ya kiti kikuu cheupe cha mungu imeanza | swahili christian movie clip 4/6 20181220 135340 nimewahi treni ya mwisho kwa nini mungu anapata mwili kufanya kazi yake katika siku za mwisho | swahili christian movie clip 3/6 20181220 135309 nimewahi treni ya mwisho kurudi kwa bwana katika mwili kunatimiza unabii wa biblia | swahili christian movie clip 2/6 20181220 135237 20181110 084710 mazungumzo kuitii serikali inayotawala sio sawa na kumtii mungu | swahili christian video clip 4/6 20181110 084705 sauti nzuri ajabu tunawezaje kuwa na uhakika kuwa bwana yesu tayari amerudi | filamu za injili (movie clip 2/5) 20180922 080959 sauti nzuri ajabu hukumu ya mungu ya siku za mwisho ni wokovu kwa mwanadamu | filamu za injili (movie clip 5/5) 20180922 060700 sauti nzuri ajabu je kusamehewa kwa dhambi zetu ndiko kweli tiketi kuelekea ufalme wa mbinguni | filamu za injili (movie clip 4/5) 20180922 060619 sauti nzuri ajabu je hakuna maneno au kazi ya mungu nje ya biblia | filamu za injili (movie clip 3/5) 20180922 060546 sauti nzuri ajabu je ni vipi unabii wa kurudi kwa bwana yesu unatimia | filamu za injili (movie clip 1/5) kaa mbali na shughuli zangu kuufichua ukweli wa upinzani wa mafarisayo kwa mungu | video za kikristo (movie clip 5/5) kaa mbali na shughuli zangu mafarisayo waliomsulubisha bwana msalabani wameonekana tena | video za kikristo (movie clip 4/5) kaa mbali na shughuli zangu tunaweza kunyakuliwa hadi kwenye ufalme wa mbinguni baada ya kukubali ukombozi kutoka kwa bwana yesu | video za kikristo (movie clip 3/5) kaa mbali na shughuli zangu kuikubali injili ya ujio wa pili wa bwana yesu na kunyakuliwa mbele ya mungu | video za kikristo (movie clip 2/5) kaa mbali na shughuli zangu tushughulikie vipi umeme wa mashariki kwa njia inayolingana na mapenzi ya bwana | video za kikristo (movie clip 1/5) toka nje ya biblia je tunaweza kupata uzima wa milele kwa kushikilia biblia | filamu za kikristo (movie clip 2/2) toka nje ya biblia mungu hufanya kazi kulingana na biblia | filamu za kikristo (movie clip 1/2) kupita katika mtego kwa nini wachungaji na wazee wanalihukumu umeme wa mashariki | filamu za injili (movie clip 7/7) kupita katika mtego jinsi mungu anavyomwokoa mwanadamu kutoka kwa ushawishi wa shetani | filamu za injili (movie clip 5/7) kupita katika mtego mtu anaweza kuokolewa kwa kumwamini bwana katika dini | filamu za injili (movie clip 4/7) kupita katika mtego je kuamini katika biblia kunaweza kuwakilisha kumwamini mungu | filamu za injili (movie clip 3/7) kupita katika mtego kufunua ukweli wa maelezo ya viongozi wa kidini ya biblia | filamu za injili (movie clip 2/7) kupita katika mtego jinsi ya kutambua kiini cha mafarisayo wa kidini | filamu za injili (movie clip 1/7) kumbukumbu chungu uhusiano kati ya hukumu katika siku za mwisho na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni | filamu za kikristo (movie clip 5/5) kumbukumbu chungu nini hasa ni uhusiano kati ya kuokolewa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni | filamu za kikristo (movie clip 4/5) kumbukumbu chungu unamfahamu paulo kwa kweli | filamu za kikristo (movie clip 3/5) kumbukumbu chungu ni vigezo vipi vya kuingia kwenye ufalme wa mbinguni | filamu za kikristo (movie clip 2/5) kumbukumbu chungu wokovu kupitia imani pekee unaweza kuwa tiketi ya kuingia katika ufalme wa mbinguni | filamu za kikristo (movie clip 1/5) kutamani sana ni mahali gani ambapo bwana ametutayarishia | swahili christian movie clip 5/5 kutamani sana je ufalme wa mbinguni uko mbinguni au ulimwenguni | swahili christian movie clip 4/5 kutamani sana nani atanyakuliwa kwanza wakati bwana atakaporudi | swahili christian movie clip 3/5 kutamani sana je unafahamu fumbo la kuonekana kwa mungu | swahili christian movie clip 2/5 kutamani sana hivyo hivi ndivyo bwana anavyorudi | swahili christian movie clip 1/5 kuamka kutoka kwa ndoto kukubali kristo wa siku za mwisho na kunyakuliwa kuingia katika ufalme wa mbinguni | video za kikristo (movie clip 4/4) kuamka kutoka kwa ndoto mungu hutumia ukweli kuhukumu na kutakasa mwanadamu katika siku za mwisho | video za kikristo (movie clip 3/4) kuamka kutoka kwa ndoto bila utakatifu hakuna mwanadamu atakayeingia katika ufalme wa mbinguni | video za kikristo (movie clip 2/4) kuamka kutoka kwa ndoto ufalme wa mungu uko mbinguni au duniani | video za kikristo (movie clip 1/4) kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima ushuhuda kutoka kwa kupitia hukumu ya mungu katika siku za mwisho | swahili gospel movie clip 9/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima jinsi ya kupata njia ya uzima wa milele | swahili gospel movie clip 8/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima je kufanya kazi ngumu kunamaanisha tunafuata mapenzi ya baba wa mbinguni | swahili gospel movie clip 7/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima tofauti kati ya njia ya toba na njia ya uzima wa milele | swahili gospel movie clip 6/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima ni nani anayempa mwanadamu njia ya uzima wa milele | swahili gospel movie clip 5/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima kwa nini mungu anatekeleza kazi ya hukumu katika siku za mwisho | swahili gospel movie clip 4/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima ili kuchunguza kurudi kwa bwana tunapaswa kusikiliza sauti ya mungu | swahili gospel movie clip 3/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima mbona kuna ukiwa ulioenea pote katika ulimwengu wa dini | swahili gospel movie clip 2/9 kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima jinsi ya kutafuta nyayo za kazi ya mungu | swahili gospel movie clip 1/9 fichua siri kuhusu biblia tunaweza kupata uzima kwa kuamini katika biblia | swahili gospel movie clip 6/6 fichua siri kuhusu biblia ni vipi kuna makosa ndani ya biblia | swahili gospel movie clip 5/6 fichua siri kuhusu biblia je biblia nzima imetiwa msukumo na mungu kweli | swahili gospel movie clip 4/6 fichua siri kuhusu biblia je inamaanisha nini katika ufunuo inaposema mtu asiongeze kwa unabii | swahili gospel movie clip 3/6 fichua siri kuhusu biblia imefichuliwa uhusiano kati ya mungu na biblia | swahili gospel movie clip 2/6 fichua siri kuhusu biblia je kuna maneno yoyote au kazi ya mungu mbali na yaliyo katika biblia | swahili gospel movie clip 1/6 njia ya kwenda katika ufalme wa mbinguni ni yenye hatari kwa nini mafarisayo wanampinga mungu | swahili gospel film clip 5/6 njia ya kwenda katika ufalme wa mbinguni ni yenye hatari kufichua fumbo la kupata mwili | swahili gospel film clip 3/6 njia ya kwenda katika ufalme wa mbinguni ni yenye hatari je kuna msingi katika biblia wa kurudi kwa bwana kupitia kupata mwili | swahili gospel film clip 2/6 njia ya kwenda katika ufalme wa mbinguni ni yenye hatari umeme wa mashariki laitikisa dunia ya kidini | swahili gospel film clip 1/6 kubisha hodi mlangoni bwana anabisha mlangoni unaweza kuitambua sauti ya bwana (1) | swahili gospel film clip 4/5 kubisha hodi mlangoni ni desturi gani muhimu zaidi ya kuukaribisha ujio wa bwana | swahili gospel film clip 1/5 kubisha hodi mlangoni ni makosa gani ambayo hufanyika kwa urahisi zaidi katika kumkaribisha bwana | swahili gospel film clip 2/5 kubisha hodi mlangoni bwana anabisha mlangoni unaweza kuitambua sauti ya bwana (2) | swahili gospel film clip 5/5 kubisha hodi mlangoni wakristo wameamka baada ya kumsikia bwana akizungumza wakati wa kurudi kwake | swahili gospel film clip 3/5 siri ya utauwa mfuatano bwana yesu ni mwana wa mungu au mungu mwenyewe | swahili gospel movie clip 6/6 siri ya utauwa mfuatano kufahamu umuhimu wa mungu kupata mwili mara mbili | swahili gospel movie clip 5/6 siri ya utauwa mfuatano kwa nini mungu anakuwa mwili mara mbili ili kuwaokoa wanadamu | swahili gospel movie clip 4/6 siri ya utauwa mfuatano tofauti kati ya ubinadamu wa kawaida wa kristo na ubinadamu wa wanadamu wapotovu | swahili gospel movie clip 3/6 siri ya utauwa mfuatano namna ya kumfahamu mungu mwenye mwili | swahili gospel movie clip 2/6 siri ya utauwa mfuatano ni jinsi gani bwana ataonekana kwa mwanadamu atakaporudi tena | swahili gospel movie clip 1/6 jina la mungu limebadilika ni kukubali jina jipya la mungu ndiko kuwa na kasi sawa na nyayo za mwanakondoo | swahili gospel movie clip 5/5 jina la mungu limebadilika je kuokolewa ni sawa na kutakaswa | swahili gospel movie clip 4/5 jina la mungu limebadilika umuhimu wa jina la mungu | swahili gospel movie clip 3/5 jina la mungu limebadilika je ni kweli kuwa jina la mungu haliwezi kubadilika | swahili gospel movie clip 2/5 jina la mungu limebadilika je kuna maneno mengine ya mungu kando ya yale yaliyo kwenye biblia | swahili gospel movie clip 1/5 imani katika mungu imani ya kweli katika mungu inamaanisha nini | swahili gospel movie clip 6/6 imani katika mungu je kufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya bwana ni uhalisi wa imani katika bwana | swahili gospel movie clip 5/6 imani katika mungu je kuamini katika biblia ni sawa na kuamini katika bwana | swahili gospel movie clip 4/6 imani katika mungu je kazi ya mungu na kuonekana kwa mungu kunaleta nini katika jamii ya dini | swahili gospel movie clip 3/6 imani katika mungu je njia inayoshutumiwa na ccp na miongoni mwa watu wa dini siyo njia ya kweli | swahili gospel movie clip 2/6 imani katika mungu je utiifu kwa wale walio madarakani kweli ni sawa na utiifu kwa mungu | swahili gospel movie clip 1/6 siri ya utauwa haja ya mungu kuifanya kazi yake kwa njia ya kupata mwili | swahili gospel movie clip 6/6 siri ya utauwa namna ya kujua kwamba kristo ni ukweli njia na uzima | swahili gospel movie clip 5/6 siri ya utauwa mungu mwenye mwili pekee ndiye anaweza kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho | swahili gospel movie clip 4/6 siri ya utauwa siri ya kupata mwili kwa mungu | swahili gospel movie clip 3/6 siri ya utauwa je bwana atampa mwanadamu ufunuo wakati atarudi | swahili gospel movie clip 2/6 siri ya utauwa siri ya kuja kwa mwana wa adamu | swahili gospel movie clip 1/6 kusubiri mwenyezi mungu afichua siri za mpango wake wa usimamizi wa miaka 6000 | swahili gospel movie clip 7/7 kusubiri bikira wenye busara wanaweza kutofautisha kristo wa kweli kati ya kristo wa uongo | swahili gospel movie clip 2/7 kusubiri wale tu ambao wanafuata mapenzi ya mungu ndio wanaweza kuingia katika ufalme wa mbinguni | swahili gospel movie clip 3/7 kusubiri mwisho ya wale ambao wanapinga kuja mara ya pili kwa bwana | swahili gospel movie clip 4/7 kusubiri je tunapaswa kukesha na kungoja vipi kuja mara ya pili kwa bwana | swahili gospel movie clip 1/7 kusubiri je tutatofautishaje sauti ya mungu (2) | swahili gospel movie clip 6/7 kusubiri je tutatofautishaje sauti ya mungu (1) | swahili gospel movie clip 5/7 mji utaangushwa mji mkuu wa dini wa babeli umekusudiwa kuangamia chini ya ghadhabu ya mungu | swahili gospel movie clip 5/5 mji utaangushwa je kufafanua biblia ni sawa na kutukuza na kutoa ushuhuda kwa mungu | swahili gospel movie clip 4/5 mji utaangushwa ni nini kiini cha upinzani wa mafarisayo kwa mungu | swahili gospel movie clip 3/5 mji utaangushwa mbona dhiki imewafika mafarisayo wanafiki | swahili gospel movie clip 2/5 mji utaangushwa ulimwengu wa dini umepotoka na kuwa mji wa babeli | swahili gospel movie clip 1/5 vunja pingu na ukimbie jifungue kutoka kwa utumwa wa mafarisayo wa kidini na kurudi kwa mungu | swahili gospel movie clip 4/4 vunja pingu na ukimbie enda nje ya biblia hudhuria karamu ya ufalme wa mbinguni pamoja na bwana | swahili gospel movie clip 3/4 vunja pingu na ukimbie je kila kitu kilicho katika biblia ni neno la mungu | swahili gospel movie clip 2/4 vunja pingu na ukimbie legeza pingu na ujifunze njia ya kweli | swahili gospel movie clip 1/4 wakati wa mabadiliko njia ya pekee ya kuinuliwa kwenda katika ufalme wa mbinguni | swahili gospel movie clip 2/2 wakati wa mabadiliko wanawali wenye hekima hunyakualiwaje | swahili gospel movie clip 1/2 ivunje laana je utiifu kwa wachungaji na wazee wa kanisa ni sawa na kumtii mungu | swahili gospel movie clip 6/6 ivunje laana je imani katika biblia ni sawa na imani katika bwana | swahili gospel movie clip 4/6 ivunje laana tunawezaje kukaribisha kurudi kwa bwana | swahili gospel movie clip 1/6 ivunje laana bwana atakaporudi ataonekanaje kwa wanadamu | swahili gospel movie clip 2/6 ivunje laana je wachungaji na wazee wa kanisa wa ulimwengu wa dini wanateuliwa na bwana kweli | swahili gospel movie clip 5/6 ivunje laana je neno la mungu lipo isipokuwa biblia | swahili gospel movie clip 3/6 ndoto yangu ya ufalme wa kibinguni ushuhuda wa kupitia hukumu mbele ya kiti cha kristo na kupokea uzima | swahili gospel movie clip 5/5 ndoto yangu ya ufalme wa kibinguni ni nini tofauti kati ya kazi ya mungu ya hukumu katika siku za mwisho na kazi ya bwana yesu | swahili gospel movie clip 4/5 ndoto yangu ya ufalme wa kibinguni ufalme wa mbinguni u wapi hasa | swahili gospel movie clip 3/5 ndoto yangu ya ufalme wa kibinguni jinsi ya kufuatilia ili kuingia katika ufalme wa mbinguni (2) | swahili gospel movie clip 2/5 ndoto yangu ya ufalme wa kibinguni jinsi ya kufuatilia ili kuingia katika ufalme wa mbinguni (1) | swahili gospel movie clip 1/5 bwana wangu ni nani ni wale tu wanaofuata nyayo za mungu ndio wanaweza kufikia njia ya uzima wa milele | filamu za injili (movie clip 5/5) bwana wangu ni nani ni nini uhusiano kati ya mungu na biblia | filamu za injili (movie clip 4/5) bwana wangu ni nani yote kuhusu mjadala wa iwapo biblia inatiwa msukumo na mungu | filamu za injili (movie clip 3/5) bwana wangu ni nani je kazi na maneno yote ya mungu yamo katika biblia | filamu za injili (movie clip 2/5) bwana wangu ni nani kanisa la ukiwa linatiwa nguvu | filamu za injili (movie clip 1/5) wokovu wa mungu mamlaka ya mungu sala ya kweli mateso ya kidini hukumu na kuadibu kwake fichua siri kuhusu biblia utelekezwaji wa makanisa mahusiano ya binadamu mtu mwaminifu kumsifu mungu ujio wa pili wa yesu wimbo mpya wa kuabudu 2019 | kristo wa siku za mwisho ameleta enzi ya ufalme (swahili gospel song)
2019-09-18T23:58:12
https://sw.kingdomsalvation.org/video-category/profound-mystery-about-gods-name.html
hadithi april 2013 mwandishi nyemo chilongani mahali dar es salaam simu 0718 069 269 msichana ndio najiandaa mpenzi unataka nivae mtunzi nyemo chilongani mawasiliano 0718 06 92 69 sehemu ya tano happy alionekana kuchanganyikiwa hakuamini kama kweli w
2016-04-29T12:02:26
http://menacotzhadithi.blogspot.com/2013_04_01_archive.html
wizi wabuni mbinu mpya kuiba fedha katika mtandao wa whastapp tanzania / wizi wabuni mbinu mpya kuiba fedha katika mtandao wa whastapp tanzania kumeibuka wizi mpya wa mtandao ambapo wadukuzi (hackers) wanaweza kutumia namba yako ya whatsapp kufanya uhalifu pasiwe wewe kujua hasa ukiwa admin wa group ama mtu yoyote wataomuina anaweza kuibiwa kuna njia ya kuweza kujilinda hasa kwa kuweka ulinzi katika simu yako (security code) katika namba yako uliyojiunga nayo whatsapp ili isiweze kutumika mahala pengine popote (kujiunga whatsapp kwenye simu nyingine) bila idhini yako kitu unachoweza kufanya ili kuweka ulinzi kwenye namba yako fuata hatua hizi yakupasa kufuata hatua hizi hapa chini fungua whatsapp yako 1) nenda kwenye (settings) 2) halafu kwenye (account) 3) (twostep verification) 4) ingiza tarakimu 6 za (security code) 5) thibitisha tena hiyo (security code) 6) ingiza email ya kutumia pindi utakaposahau (security code) yako 7) thibitisha tena hiyo email mpaka hatua hiyo utakuwa umeilinda namba yako kutumiwa na wadukuzi (hackers) wa mtandao bila idhini yako
2017-07-28T19:04:58
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/06/wizi-wabuni-mbinu-mpya-kuiba-fedha.html
20000 fedha (troy ounce) kwa chf 20000 xag kwa chf mpangilio wa sarafu fedha (troy ounce) kwa franc ya uswisi mwandishi wetu fedha (troy ounce) kwa franc ya uswisi ni wa sasa na viwango vya ubadilishaji kutoka 17082019 ingiza kiasi chochote cha kugeuzwa katika sanduku upande wa kushoto wa fedha (troy ounce) tumia swap sarafu button kufanya franc ya uswisi sarafu default bofya kwenye franc ya uswisi au fedha (troy ounce) ili kubadilisha fedha hizo na sarafu nyingine zote viwango vya kubadilishana vinasasishwa 17082019 2102 33472800 chf (chf) 1 xag = 16736400 chf 0059750 xag = 1 chf fedha (troy ounce) bila shaka kwa franc ya uswisi = 1674 usd 1 110945 121510 075327 000940 102212 1710425 eur 090135 1 109523 067896 000847 092129 1541692 gbp 082298 091305 1 061992 000774 084119 1407646 cad 132755 147285 161310 1 001248 135692 2270675 jpy 10637504 11801746 12925592 8012884 1 10872847 181946532 chf 097836 108543 118880 073696 000920 1 1673403 xag 005847 006486 007104 004404 000055 005976 1 fedha (troy ounce) ni sarafu katika franc ya uswisi ni sarafu katika liechtenstein uswisi ishara ya xag ni ishara ya chf ni chf kiwango cha ubadilishaji wa fedha (troy ounce) kilibadilishwa mwisho august 18 2019 kiwango cha ubadilishaji wa sarafu ya franc ya uswisi kilibadilishwa mwisho # # kipengele august 18 2019 cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu kipengele xag cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu kiwango cha fedha fedha (troy ounce) kwa franc ya uswisi = 1674 1 chf 1674 5 chf 8368 10 chf 16736 50 chf 83682 100 chf 167364 250 chf 418410 500 chf 836820 1000 chf 1673640 chf 100 598 chf 250 1494 chf 500 2988 chf 1000 5975 xag kwa cnyxag kwa eurxag kwa gbpxag kwa hkdxag kwa mxnxag kwa nzdxag kwa rubxag kwa sgdxag kwa uahxag kwa usd
2019-08-18T08:04:17
https://www.curvert.com/sw/xag-chf/20.000
haipingiki hii ndio top 10 ya binadamu wanaochukiwa zaidi tanzania kwa sasa | jamiiforums haipingiki hii ndio top 10 ya binadamu wanaochukiwa zaidi tanzania kwa sasa 2683 2000 angalizo huu ni utafiti (usio rasmi) nilioufanya kwa muda mrefu kutoka katika jamii inayonizunguka na kwa kiasi kikubwa kutoka katika mitandao ya kijamii ikiwemo hii jamiiforums kwanza mtu ili apendwe yampasa afanye mambo yanayoipendeza jamii awe na upendo kwa wengine asiwe na ubaguzi wa aina yoyote afuate sheria na taratibu zilizowekwa (katiba husika) na mwisho kabisa aepuke kujimwambafai mtu akifanya kinyume na hayo jamii humchukia na kumpuuza kwani anakuwa amevunja miiko na utaratibu wa jamii yake hivyo watu watapunguza mapenzi kwake kwa hapa kwetu bongo kuna watu wametokea kuchukiwa sana kutokana na matendo yao yanayotia mashaka na yanayokarahisha kundi kubwa la jamii ya watu wa bongo hawa watu ni wababe ni wabaguzi ni waonevu na mbaya zaidi wamejimwambafai (kwa sauti ya upole ya mzee jk) kwa sababu ya nafasi na hadhi zao katika jamii zao list yenyewe ni hii ifuatayo (10) rpc mambosasa huyu ni kamanda wa jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam huyu udhaifu wake ni kushindwa kufanya kazi kisheria na kusimamia haki ipasavyo double standards zimeharibu mvuto wake katika jamii kwani nani amesahau yale madudu yaliyotokea hadi binti akwelina akauliwa hadharani na askari wa jeshi la polisi na ushahidi ukakosekana katika mazingira yaliyoonekana kuwa ni planned kuanzia pale watu walipoteza imani na utendaji kazi wake (9) mwigulu nchemba huyu aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi ni katika kipindi chake mambo mengi ya uhalifu na uonevu yalitamalaki watu walitekwa walibambikiziwa kesi na wengine waliuawa na kutupwa mitoni na baharini ni wakati wa uongozi wake ambapo binti akwelina alikufa kifo cha kinyama kwa kupigwa risasi na askari polisi ambao wapo chini ya wizara yake chakushangaza bwana huyu alikaa kimya na waliopaza sauti aliwakejeli waziwazi akitetea uovu unaondelea ila mwishowe alitumbuliwa kwa aibu nani atakupenda kwa hali hii (8) david lusinde aka kibajaji kama sijakosea huyu ni mbunge wa mtera (ccm) huyu bwana mkubwa analiaibisha bunge kwani hoja zake tata zinatia mashaka juu ya uimara na umakini wa wawakilishi wa wananchi bungeni hasa hawa wa ccm huyu ni mzee wa porojo mipasho ubaguzi na kejeli kwa wenzake hasa wa upande wa upinzani hata kwenye hoja za msingi zenye kujenga yeye huchomekea mipasho na kejeli zake watu werevu hawawezi kumkubali huyu jamaa (7) william malecela (lemutuz) kwakweli huyu mzeekijana hapendwi na watu wengi mambo anayofanya kwa umri wake yanatia mashaka juu ya uimara wa fikra zake kwanza ni mzee wa vitoto (hiyo sio ishu sana) mbaya zaidi anapenda show offs za kitoto siku hizi naye amegeuka kuwa spika ya lumumba na kijana wake makonda ni mbishi sana na anatetea hata mambo ya hovyo ilimradi tu atete tumbo lake tembelea kurasa za huyu bwana na utayaona yote haya (6) jerry muro mkuu wa wilaya ya arumeru hahahathis guy is something else jamaa anapenda sifa sana na ana dharau zilizopitiliza hata kwa waliompita umri kila anachofanya bwana jerry watu (hasa wa mitandaoni) wanakipinga vibaya mno kwani mambo yake mengi anayofanya hayaakisi weledi na cheo chake cha ukuu wa wilaya ni mbaguzi sana hana staha ana majivuno na anapenda kujimwambafai bila sababu ya msingi (6) alex mnyeti rc wa manyara mwenye kauli tata zenye kuleta mgawanyiko katika jamii huyu bwana hana mshipa wa aibu (nadhani wale wenzangu na mimi mshanielewa) (4) ally happy kijana huyu aliutwaa uarc wa iringa kimasihara baada ya kufanya vitimbi/vimbwangwa vingi pale kinondoni huyu jamaa ni gwiji wa sifa na ufahari usio na maana ana chuki za waziwazi kwa kundi fulani la watu na huzionesha chuki zake waziwazi bila uficho amelewa madaraka (2) cyprian musibakwanini akosekane huyu bwana huyu amechafua hali ya hewa vibaya sana maana mpaka vigogo hawajui itokako nguvu ya huyu bwana huyu jamaa hana aibu haogopi na ana moyo mgumu (roho mbaya) kwa ameongoza katika kuwachafua watu kwa mgongo wa uwanaharakati wa kumtetea rais in short hii ni spika ya redio iliyojificha mahali fulani anachukiwa mno (1) paul makonda ladies and gentlemen namtambulisha kwenu kinara wa listi hii bwa paulo huyu hastahili kuelezewa sana maana aliyofanya na anayoendelea kufanya yanatia mashaka juu ya uhusiano wake na mheshimiwa sana kiufupi paulo hupendwi ndugu yangu au pengine watu wanakuonea wivu mimi sijui kwakweli nimalizie kwa kuwashauri hawa watu kuwa bado nafasi wanayo watanzania ni wasahaulifu na wasamehefu wakifanya mema watapewa thamani na kupendwa kama wengine nb jf is where we dare to talk openly let's be open reactions demi graph kenge wa dondo and 36 others reactions rkavura and louis ii 34738 2000 wakuchukiwa ni ccm maana bila wao hao watu wana akili nzuri kwani huoni wanaotoka upinzani kwenda huko wanaiuwa na ujeuri na kusahau yote waliyotendewa na ccm 14185 2000 3tulia akson 2ally happi 1paul makonda reactions fortaleza iglesias mkomavu and 7 others hata chadema haichukiwi yote generallyni people mmoja mmoja reactions mbassa jr rkavura and louis ii hatari aseee lwenyi hii list bila jiwe inakosa uhalali reactions hehemnyalu agogo jr upepo wa pesa and 56 others meko wapi reactions mengeleni kwetu ghwakukajha jambazi and 1 other person 3950 2000 ujinga huu reactions jambazi and mnanso kuku mweus mbona hujamuweka mbowe na yule mwenyekiti wa mashoga tanzania tundu lisu reactions jambazi pamoja santa ho chi minh and 5 others upo namba ngapi hapo reactions kmayunga and ghiti milimo lwenyi said bora kupigishwa pushapu na mwalimu kuliko kiranja au monita sabufa wa bungen namba mbili stone tangawizi namba moja bashboy namba tatu hyo list ni batili kwa kukosekana kwa hawa watu reactions executive diary musigaji sumer and 5 others 1691 2000 kuku mweus said madam wa uvccm acha hasirakitulize ki 0 chako reactions hugo jr kmayunga and shark hakuna mtu anachukiwa sema hakubaliki reactions extra limo nime'genaralize list ingekuwa ndefu ungewaonaila hawapo hapo kwa sababu hawana vigezo vya kuingia top 10 na mwishowe utasema hakuna mtu anapendwa bali anakubalikasawa bakita reactions hmkuwe rooney shark and 1 other person mkuu wa mkuu wa mkoa wa daressalam yuko wapi 2905 2000 yaani nilikua natafuta wa kwanza usingemuweka yeye top one basi list ingikua batili kuuliza sio ujinga hii huduma kutoka tigo ni ya kweli habari na hoja mchanganyiko 8 thursday at 836 am dar es salaam makanisa yako mengi kuliko shule za msingi na sekondari hii maana yake nini habari na hoja mchanganyiko 26 monday at 1122 am kuna watu wakiona hii ya kilimanjaro roho huwauma ila itabidi wazoee tu habari na hoja mchanganyiko 15 jan 9 2020 hivi tcra wanaitambua hii biashara ya vodacom habari na hoja mchanganyiko 10 jan 9 2020 kuuliza sio ujinga hii huduma kutoka tigo ni ya kweli dar es salaam makanisa yako mengi kuliko shule za msingi na sekondari hii maana yake nini kuna watu wakiona hii ya kilimanjaro roho huwauma ila itabidi wazoee tu hivi tcra wanaitambua hii biashara ya vodacom threads 1379052 posts 33733325
2020-01-19T01:24:39
https://www.jamiiforums.com/threads/haipingiki-hii-ndio-top-10-ya-binadamu-wanaochukiwa-zaidi-tanzania-kwa-sasa.1638358/
yanga yamalizana na chirwa gazeti la dimba home habari yanga yamalizana na chirwa yanga yamalizana na chirwa wakati kukiwa na tetesi za straika wa yanga obrey chirwa kutakiwa na uongozi wa simba yanga wameshtukia dili na kumwita mezani nyota huyo kwa ajili ya kumalizana naye chirwa amekuwa akitajwa kutakiwa na klabu ya simba katika msimu ujao wa ligi kuu huku kukiwa na madai kuwa yanga wameshindwa kumlipa fedha zake na kutaka kiasi kikubwa cha fedha ambazo wanajangwani hao huenda wakashindwa kuendelea naye chirwa ambaye aliondoka nchini zaidi ya wiki moja iliyopita inadaiwa alipewa ruhusa kwenda kwao zambia kushughulikia matatizo ya kifamilia na alirejea mwishoni mwa wiki hata hivyo habari zaidi zinadai kuwa mzambia huyo alikuwa amezisusa fedha hizo kabla ya kuitwa na kukaa meza moja na uongozi huo kujadili juu ya kiasi cha fedha anazoidai timu hiyo jana katibu mkuu wa yanga charles bonoface mkwasa alilithibitishia dimba jumatano kuwa ni kweli starika huyo amekuwa akiwadai sehemu ya fedha zake za usajili lakini akasisitiza kuwa tayari wamekwisha kwa habari zaidi usikose kununua nakala yako ya dimba previous articleunawezaje kuboresha penzi lako next articlesimba akili yote ni ubingwa bara
2018-10-22T12:44:06
http://www.dimba.co.tz/yanga-yamalizana-na-chirwa/
abatumu mpoolo mutumiibwa ku looma | malongyesha a mu bible bwa bana dilongyesha 101 lwendo lwa mpoolo lwa musango wa kasatu lubaadi lukafudiile mu yeelusaleme abaadi bamukwate abo nkumwela mu lukano bamwene yesu bufuku mu kimonwa amulungula shi abitungu wende ku looma bwa shi okalungule kwakwa abatwadile mpoolo kukatuka ku yeelusaleme benda naaye ku kesaree kubakitshine bipwa bibidi mu lukano pabaadi asamba kumpala kwa mukata a kibundji festuse mpoolo bambile shi ndekyele bakansambishe mu looma kwi keezare festuse bambile shi su okyebe kumona nfumu a beena looma wende kwinyi kumpala kwa nfumu a beena looma abeelele mpoolo mu mashuwa abo nkwenda naye ku looma luuka na aristarkuse bakwetu babidi beena kidishitu abayile naaye mu kalunga kubaadi kipapi kikata kibakitshine mafuku ebungi booso abaadi abamono shi abafu anka mpoolo bambile shi bakwetu mwikeyilu mundungule bufuku mu kilootwa shi mpoolo totshinanga okafiki ku looma na booso be noobe mu mashuwa abapanda nyingayi mashimba tatufu nya kipapi kibakitshiine mafuku 14 nfudiilo a byoso abafikile ku kyese kubaadi ku kisangi kya malte mashuwa abaadi ekupile mu nsenga ao nkutanyika tupese kadi bantu booso 276 abaadi mwanka abapandjile bangi abaadi bayowe bamo namu abaadi balengame ku tupese twa mashuwa mpa na ku kyese bantu ba ku malte nkwibapasukila bikata abo nkwibelela kaalo bwa shi bawote kunyima kwa myeshi isatu basalayi abatwadile mpoolo ku looma mu angi mashuwa pababadi bafikye bakwetu abafikile mu nkamutundayila pabaadi mwibamone mpoolo baadi mwalushe lutumbu kwi yehowa aye nkunyingishibwa sunga byekala shi mpoolo baadi mwina lukano abaadi bamutadiile bwa kushala mu nshibo ya kufutshila anka baadi alamiibwa kwi musalayi baadi mushale kwakwa munda mwa bipwa bibidi bantu abafikanga mu kumumona baadi ebalungula mukandu wibuwa pabitale bufumu bwefile mukulu na kwibalambukisha pabitale yesu mpoolo baadi mpa na mufunde mikanda kwi tukongye twa mu asie mineur na mu yuudeya yehowa baadi mufube na mpoolo bwa kupalakasha mukandu wibuwa kwi bisamba bibungi anka atwileesha atwe banabene mu byooso bu bafubi befile mukulu mu katshintshi kakata mu mpombo mu nkalo na mu nkalakashi​2 beenakodinda 64 nkonko bwakinyi festuse batumine mpoolo ku looma nkinyi kibaadi kifikile mpoolo mu lwendo lwa ku looma bikitshino 2130 2311 25812 2712831 beenalooma 1525 26
2018-04-26T23:55:48
https://www.jw.org/sop/mikanda/mikanda/malongyesha-myanda-ya-bible/14/mpoolo-mutumiibwa-bwato-butanyikye-looma/
viongozi wa cuf wapata ajali wakitoka kuwaapisha wabunge wao bunge ni dodoma sufianimafoto home habari picha viongozi wa cuf wapata ajali wakitoka kuwaapisha wabunge wao bunge ni dodoma viongozi wa cuf wapata ajali wakitoka kuwaapisha wabunge wao bunge ni dodoma gari la viongozi wa chama cha cuf likiwa limebebwa na break down likikokotwa baada ya kupata ajali eneo la ubena zomozi leo mchana wakati wakitokea mkoani dodoma walikohudhuria sherehe ya kuapishwa kwa wabunge wapya wa cuf bungeni mjini dodoma jana
2018-06-19T16:14:35
http://www.sufianimafoto.com/2017/09/viongozi-wa-cuf-wapata-ajali-wakitoka.html
zekaria biblebook 1 kisha nikainua macho yangu nikaona na tazama mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake 2 ndipo nikasema unakwenda wapi akaniambia ninakwenda kuupima yerusalemu nione upana wake ulivyo na urefu wake ulivyo 3 na tazama yule malaika aliyesema nami akasimama karibu na malaika mwingine akatoka ili kuonana naye 4 naye akamwambia piga mbio kamwambie kijana huyu na kusema yerusalemu utakaliwa na watu kama vijiji visivyo na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo ndani yake 5 kwa maana mimi asema bwana nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka pande zote nami nitakuwa huo utukufu ndani yake 6 haya haya ikimbieni nchi ya kaskazini asema bwana kwa maana mimi nimewatawanya ninyi kama pepo nne za mbinguni asema bwana 7 haya ee sayuni jiponye wewe ukaaye pamoja na binti babeli 8 kwa maana bwana wa majeshi asema hivi ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake 9 kwa maana tazama nitatikisa mkono wangu juu yao nao watakuwa mateka ya hao waliowatumikia nanyi mtajua ya kuwa bwana wa majeshi amenituma 10 imba ufurahi ee binti sayuni maana tazama ninakuja nami nitakaa kati yako asema bwana 11 na mataifa mengi watajiunga na bwana katika siku ile nao watakuwa watu wangu nami nitakaa kati yako nawe utajua ya kuwa bwana wa majeshi amenituma kwako 12 na bwana atairithi yuda iwe sehemu yake katika nchi takatifu naye atachagua yerusalemu tena 13 nyamazeni ninyi nyote wenye mwili mbele za bwana kwa maana ameamka na kutoka katika maskani yake takatifu 1 kisha akanionyesha yoshua kuhani mkuu amesimama mbele ya malaika wa bwana na shetani amesimama mkono wake wa kuume ili kushindana naye 4 naye huyo akajibu akawaambia wale waliosimama mbele yake akisema mvueni nguo hizi zenye uchafu kisha akamwambia yeye tazama nimekuondolea uovu wako nami nitakuvika mavazi ya thamani nyingi 5 nikasema na wampige kilemba kizuri kichwani pake basi wakampiga kilemba kizuri kichwani pake wakamvika mavazi naye malaika wa bwana akasimama karibu 6 kisha malaika wa bwana akamshuhudia yoshua akisema 7 bwana wa majeshi asema hivi kama ukienda katika njia zangu na kama ukishika maagizo yangu ndipo utakapoihukumu nyumba yangu nawe utazilinda nyua zangu nami nitakupa nafasi ya kunikaribia kati yao wasimamao karibu 8 sikiliza sasa ee yoshua kuhani mkuu wewe na wenzako waketio mbele yako maana hao ni watu walio ishara kwa maana tazama ninamleta mtumishi wangu aitwaye chipukizi 9 maana litazame jiwe hili nililoliweka mbele ya yoshua katika jiwe moja yako macho saba tazama nitachora machoro yake asema bwana wa majeshi nami nitauondoa uovu wa nchi ile katika siku moja 10 katika siku ile asema bwana wa majeshi ninyi mtamwalika kila mtu jirani yake chini ya mzabibu na chini ya mtini 1 na yule malaika aliyesema nami akanijia mara ya pili akaniamsha kama mtu aamshwavyo katika usingizi wake 2 akaniuliza unaona nini nikasema nimeona na tazama kinara cha taa cha dhahabu tupu nacho kina bakuli juu yake na taa zake saba juu yake tena iko mirija saba ya kuleta mafuta kwa taa zote zilizo juu yake 3 na mizeituni miwili karibu yake mmoja upande wa kuume walile bakuli na mmoja upande wake wa kushoto 4 nami nikajibu nikamwambia yule malaika aliyesema nami nikasema ee bwana wangu vitu hivi ni nini 5 ndipo malaika aliyesema nami akajibu akaniambia hujui vitu hivi ni nini nikasema la bwana wangu 9 mikono yake zerubabeli imeiweka misingi ya nyumba hii na mikono yake ndiyo itakayoimaliza nawe utajua ya kuwa bwana wa majeshi amenituma kwenu 10 maana ni nani aliyeidharau siku ya mambo madogo kwa kuwa watafurahi nao wataiona timazi katika mkono wa zerubabeli naam hizi saba ndizo macho ya bwana yapiga mbio huko na huko duniani mwote 11 ndipo nikajibu nikamwambia ni nini mizeituni hii miwili iliyo upande wa kuume wa kinara cha taa kile na upande wake wa kushoto 12 nami nikajibu mara ya pili nikamwuliza ni nini haya matawi mawili ya mizeituni ambayo kwa njia ya ile mifereji miwili ya dhahabu hutoa mafuta yao 13 akanijibu akasema hujui hivi ni nini nikasema la bwana wangu 14 ndipo akasema hivi ni hao wana wawili wa mafuta wasimamao karibu na bwana wa dunia yote 1 nikainua macho yangu tena nikaona na tazama yanatokea magari ya vita manne yanatoka kati ya milima miwili na milima hiyo ilikuwa ni milima ya shaba 2 katika gari la kwanza walikuwa farasi wekundu na katika gari la pili walikuwa farasi weusi 3 na katika gari la tatu walikuwa farasi weupe na katika gari la nne walikuwa farasi wa rangi ya kijivujivu 4 nikajibu nikamwuliza yule malaika aliyesema nami hawa ni nini bwana wangu 5 malaika akajibu akaniambia hawa ni pepo nne za mbinguni zitokeazo baada ya kusimama mbele za bwana wa dunia yote 6 gari lile lenye farasi weusi latoka kwenda hata nchi ya kaskazini nao farasi weupe wakatoka wakafuata nyuma yao na wale wa rangi ya kijivujivu wakatoka kwenda hata nchi ya kusini 7 na wale wekundu wakatoka wakataka kwenda huko na huko katika dunia naye akawaambia haya tokeni mwende huko na huko katika dunia basi wakaenda huko na huko katika dunia 8 ndipo akaniita akaniambia akisema tazama wale waendao mpaka nchi ya kaskazini wameituliza roho yangu katika nchi ya kaskazini 9 neno la bwana likanijia kusema 10 pokea vitu mikononi mwa baadhi ya watu waliohamishwa yaani heldai na tobia na yedaya na siku iyo hiyo enenda ukaingie katika nyumba ya yosia mwana wa sefania waliyoifikia kutoka babeli 11 naam pokea fedha na dhahabu ukafanye taji ukamvike kichwani yoshua mwana wa yehosadaki kuhani mkuu 12 ukamwambie ukisema bwana wa majeshi asema hivi ya kwamba tazama mtu huyu ndiye ambaye jina lake ni chipukizi naye atakua katika mahali pake naye atalijenga hekalu la bwana 13 naam yeye atalijenga hekalu la bwana naye atauchukua huo utukufu ataketi akimiliki katika kiti chake cha enzi na kutakuwa na kuhani katika kiti chake cha enzi na shauri la amani litakuwa kati ya hao wawili 14 na hizo taji zitakuwa za heldai na tobia na yedaya na kwa fadhili za mwana wa sefania ziwe ukumbusho katika hekalu la bwana 15 nao walio mbali watakuja na kujenga katika hekalu la bwana nanyi mtajua ya kuwa bwana wa majeshi amenituma kwenu na haya yatatokea kama mkijitahidi kuitii sauti ya bwana mungu wenu 1 mwombeni bwana mvua wakati wa masika naam bwana afanyaye umeme naye atawapa manyunyu ya mvua kila mtu atapewa nyasi kondeni 2 kwa maana vinyago vimenena maneno ya ubatili nao waaguzi wameona uongo nao wameleta habari za ndoto za uongo wafariji bure kwa sababu hiyo waenda zao kama kondoo wateswa kwa sababu hapana mchungaji 3 hasira yangu imewaka juu ya wachungaji nami nitawaadhibu mbuzi waume kwa maana bwana wa majeshi ameliangalia kundi lake yaani nyumba ya yuda naye atawafanya kuwa kama farasi wake mzuri vitani 4 kwake yeye litatoka lile jiwe la pembeni kwake yeye utatoka msumari kwake yeye utatoka upinde wa vita kwake yeye atatoka kila mtawala pamoja 5 nao watakuwa kama mashujaa wakanyagao adui zao katika matope ya njia vitani nao watapiga vita kwa sababu bwana yu pamoja nao na hao wapandao farasi watafadhaishwa 6 nami nitaitia nguvu nyumba ya yuda nami nitaiokoa nyumba ya yusufu nami nitawarudisha kwa maana nawaonea rehema nao watakuwa kana kwamba sikuwatupa kwa maana mimi ni bwana mungu wao nami nitawasikia 7 na watu wa efraimu watakuwa kama shujaa na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa divai naam watoto wao wataona mambo haya na kufurahi mioyo yao itamfurahia bwana 8 nitawapigia kelele na kuwakusanya pamoja kwa maana nimewakomboa nao wataongezeka kama walivyoongezeka 9 nami nitawapanda kama mbegu kati ya mataifa nao watanikumbuka katika nchi zilizo mbali nao watakaa pamoja na watoto wao tena watarudi 10 tena nitawarudisha toka nchi ya misri nitawakusanya na kuwatoa katika ashuru nami nitawaingiza katika nchi ya gileadi na lebanoni ila nafasi ya kuwatosha haitaonekana 11 naye atapita kati ya bahari ya mateso na kuyapiga mawimbi ya bahari na vilindi vyote vya mto wa nile vitakauka na kiburi cha ashuru kitashushwa na fimbo ya enzi ya misri itatoweka 12 nami nitawatia nguvu katika bwana nao watatembea huko na huko katika jina lake asema bwana 8 nami nikawakatilia mbali wachungaji watatu katika mwezi mmoja maana nafsi yangu ilikuwa imechoka kwa ajili yao na nafsi zao pia walinichukia 9 ndipo nikasema sitawalisheni afaye na afe atakayekatiliwa mbali na akatiliwe mbali nao waliosalia kila mmoja na ale nyama ya mwili wa mwenziwe 10 nikaitwaa hiyo fimbo yangu iitwayo neema nikaikata vipande viwili ili nipate kulivunja agano langu nililolifanya na watu wa kabila zote 11 nayo ikavunjwa siku ile na hivyo wale kondoo wanyonge walionisikiliza wakajua ya kuwa neno hili ndilo neno la bwana 12 nikawaambia mkiona vema nipeni ujira wangu kama sivyo msinipe basi wakanipimia vipande thelathini vya fedha kuwa ndio ujira wangu 13 kisha bwana akaniambia mtupie mfinyanzi kima kizuri hicho nilichotiwa kima na watu hao basi nikavitwaa vile vipande thelathini vya fedha nikamtupia huyo mfinyanzi ndani ya nyumba ya bwana 14 ndipo nikaikata vipande viwili fimbo yangu ya pili iitwayo vifungo ili nipate kuuvunja udugu uliokuwa kati ya yuda na israeli 15 bwana akaniambia jitwalie tena vyombo vya mchungaji mpumbavu 16 kwa maana tazama mimi nitainua katika nchi hii mchungaji ambaye hatawaangalia waliopotea wala hatawatafuta waliotawanyika wala hatamganga aliyevunjika wala hatamlisha aliye mzima bali atakula nyama ya wanono na kuziraruararua kwato zao 17 ole wake mchungaji asiyefaa aliachaye kundi upanga utakuwa juu ya mkono wake na juu ya jicho lake la kuume mkono wake utakuwa umekauka kabisa na jicho lake la kuume litakuwa limepofuka 1 katika siku hiyo watu wa nyumba ya daudi na wenyeji wa yerusalemu watafunguliwa chemchemi kwa dhambi na kwa unajisi 2 kisha itakuwa katika siku hiyo asema bwana wa majeshi nitakatilia mbali majina ya sanamu katika nchi yasikumbukwe tena pia nitawafukuza manabii na roho ya uchafu watoke katika nchi 3 tena itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakapotoa unabii basi baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia hutaishi kwa maana unanena maneno ya uongo kwa jina la bwana na baba yake na mama yake waliomzaa watamtumbua atoapo unabii 5 bali atasema mimi si nabii kamwe mimi ni mkulima wa nchi kwa maana nalifanywa mtumwa tokea ujana wangu 6 na mtu atamwambia je jeraha hizi ulizo nazo kati ya mikono yako ni nini naye atajibu ni jeraha nilizotiwa katika nyumba ya rafiki zangu 7 amka ee upanga juu ya mchungaji wangu na juu ya mtu aliye mwenzangu asema bwana wa majeshi mpige mchungaji nao kondoo watatawanyika nami nitaugeuza mkono wangu juu ya wadogo 8 hata itakuwa ya kwamba katika nchi yote mafungu mawili yatakatiliwa mbali nao watakufa asema bwana lakini fungu la tatu litabaki humo 9 nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo wataliitia jina langu nami nitawasikia mimi nitasema watu hawa ndio wangu nao watasema bwana ndiye mungu wangu more in this category « malaki hagai »
2020-04-08T08:46:28
https://bible-book.org/sw/manabii-wadogo/zekaria
miaka 6 ya uongozi wa papa francisko | vatican news tarehe 13 machi 2013 baba mtakatifu francisko alichaguliwa kuwa katika kiti cha mtume petrotarehe 13 machi 2019 ni mwaka wa sita akiwa anaongoza mtumbwi wa kanisa miaka 6 ya uongozi wa papa francisko ikiwa ni mwaka wa 6 tangu kuchaguliwa kwa baba mtakatifu francisko kuwa khalifa wa mtume petro tasaufi ya utume wake inaanzia katika kiini cha mafundisho ya kristoimani katika nguvu ya sala utakatifu wa kila siku katika ishara halisi na kumtazama mama maria kama msimamizi na mwombezi wa kanisa asubuhi katika nyumba ya mafungo huko ariccia nje ya mji wa roma kwa baba mtakatifu francisko na waandamizi wake wa karibu kabla ya misa kardinali giovanni battista re rais mstaafu wa baraza la kipapa kwa ajili ya maaskofu ametoa maneno mafupi kwa niaba ya wote kwa ajili ya baba mtakatifu francisko ambaye tarehe 13 machi 2019 ni mwaka wa sita tangu kuchaguliwa kuwa papa kardinali re anakumbusha kwa jinsi gani ni mwaka wa sita tangu yeye awe papa wa kanisa katoliki na kwa niaba ya sauti ya wote wanaofunga mafungo ya kiroho anaonesha furaha ya kuadhimisha naye misa takatifu ikiwa inaongozwa naye amemkubusha jinsi gani wanamwombea kwa mungu ili apate mwanga amlinde na kumpatia nguvu katika zoezi la kuimarisha ndugu katika imani kwa msingi wa umoja na kuwalekeza wote njia ya kwenda mbinguni mungu baba mtakatifu awabariki na kumwakikishia sala za upendo huo katika maadhimisho ya ibada kwa miaka sita ya baba mtakatifu francisko tangu achaguliwe kuwa kiongozi mkuu wa kanisa mantiki zake ni msingi kwa ukuu wa ngazi zote kijamii na kikanisa na hasa katika kijamii ambapo mafundisho yake yameweza kupanuliwa zaidi kwa njia za vyombo vya habari kuanzia katika masuala msingi wa kristo na imani kubwa ya kina cha sala na udhati wa kila siku katika ukuu wa mama bikira maria ambaye ameonesha ibada kuu kwake na mifano hai zaidi iliyojionesha kwa miaka hii sita ya huduma yake kwa kanisa ilikuwa ni tarehe 13 machi 2013 alipochanguliwa baba mtakatifu francisko kutoka katika bara la amerika ya kusini nchini argetina ni mjesuiti wa kwanza kuchagua jina la masikini wa asisi mbali na matukio na mantendo yake yanayojulikana kwa siku 2191 za baba mtakatifu francisko akiwa ni mfuasi wa 265 wa mtume petro bado kuna mambo kama 10 hivi ambayo yanaweza konesha tasaufi yake kuu na ambayo mara nyingi inakuwa vigumu katika vyombo vya habari kuonesha uwazi wake na ukuu wake mambo hayo ni kama yafuatayo 1 kuishi na imani ni kukutana na yesu hicho ndicho kiini cha cha kwanza cha utume wa baba mtakatifu kwa kujikita katika fumbo la kukutana na bwana mungu kweli na mtu kweli ambayo ndiyo tangazo la kwanza au kerygma yesu anatupenda ametoa maisha yakwe kwa ajili yetu (evangelii gaudium 164) imani siyo mawazo ya itikadi kwa maana mawazo ya itikadi yanagawanya kuamsha kuta lakini mkutano na mwokozi anatusukuma kwenda kukutana na wengine na kutubadili maisha anathibitisha baba mtatifu francisko katika evangelii gaudium kwa kuanzia na tasaufi hiyo ya kwanza ya kristo ndipo zinafauata nyingine 2kusali kwa maana mungu ni baba na sisi ni ndugu3tuache tubadilishwa na roho mtakatifu 4 kanisa daima ni nyumba iliyofunguliwa ya baba 5 inahitaji mwendelezo wa upyaisho wa kiroho 6 imani ya kweli inatuweka katika kipeo 7 upendo uwe juu zaidi ya mambo mengine yote 8 utakatifu ni huruma ya kila siku 9 mkristo yupo duniani lakini si katika dunia na hatimaye 10 msaaada wa mama maria na mapambano dhidi ya ibilisi ambaye baba mtakatifu francisko ameonesha wazi juu ya uwepo wa ibilisi ambapo anathibitisha na kuonya kuwa makini ya kutompatia nafasi ya kuzungumza naye badala yake kumjibu kwa kutumia neno la mungu haya ni mambo makuu na mengine zaidi lakini kwa kupitia tasaufi hizi baba mtakatifu francisko kwa miaka hii sita ameweka bayana kwenye mafundisho yake kwa waamini na lugha rahisi kwa mataifa na wenye mapenzi mema baadhi mambo mengine muhimu katika kipindi cha utume wake kwa miaka hii sita katika kipindi cha miaka 6 tangu baba mtakatifu francisko achaguliwe zaidi ya mahubiri 1000 yametolewa na zaidi ya misa 670 zimeadhimisha katika kanisa la mtakatifu marta ni mfano hai katika mahubiri yake yasiyo tayarishwa bali ya moja kwa moja kutoka ndani ya moyo zaidi ya hotuba 1200 ameweza kuhutubia kwa watu katekesi 264 za kila jumatano na ambazo imekuwa tunu msingi wa kitasaufi kwa kujikita katika mada zifuatazosala ya nasadiki sakrameti zawadi za roho mtakatifu kanisa familia huruma matumaini ya kikristo misa takatifu ubatizo kipaimara amri za mungu na hatimaye sala ya baba yetu na zaidi kuna tafakari 342 kuhusu injili za dominka na sikukuu wakati wa fursa ya sala ya malaika wa bwana na malkia wa mbingu kadhalika baba mtakatifu ameandika hati mbili (lumen fidei iliyo anzishwa na papa benedikto xvi na kumalizia yeye na laudato si) wosia tatu za kitume (evangelii gaudium ambao ni mpango mzima wa kipapa katika huduma yake kama mkuu wa kanisa ni muhimu mapana yake) amoris laetitia na gaudete et exsultate) katiba 36 za kitume kati ya hizo ni (episcopalis communio veritatis gaudium na vultum dei quaerere) motu proprio 27tamko kuhusu maelekezo ya jubileo ya huruma (misericordiae vultus) baba mtakatifu kwa kipindi cha miaka 6 ameweza kuhitisha sinodi tatu mbili juu ya familia na moja kuhusu vijana ameweza kufanya ziara za kitume za kimataifa 27 katika nchi 41 kwenye mabara yote kasoro moja la australia pia ziara 24 nchini italia kati ya kuwatangaza watakatifu tunawakumbuka mapapa watatu papa yohane wa xxiii papa paulo vi na papa yohane paolo ii baadaye mama teresa di calcutta askofu romero na wachungaji wawili wa fatima yaani yacintha na francisko marto wazazi wa mtakatifu teresa wa mtoto yesu (martin na zelia) mtakatifu angela wa foligno na elisabeth wa utatu hatimaye hata kuingia katika mitandao ya kijamii kama vile twitter kwa kwa lugha 9 (@pontifex) ikiwa na wafuasi (follower) milioni 48 na instagram (franciscus) ambayo ina wafuasi karibia milioni 6
2019-03-22T11:54:51
https://www.vaticannews.va/sw/vatican-city/news/2019-03/papa-francisko-ni-miaka-sita-tangu-papa-achaguliwe.html
ajali za barabarani zaendelea kuua na kuacha majeruhi mkoani mwanza maganga one blog » ajali za barabarani zaendelea kuua na kuacha majeruhi mkoani mwanza
2016-12-03T04:38:27
https://magangaone.blogspot.com/2016/10/ajali-za-barabarani-zaendelea-kuua-na.html
home about usbackround organisation structuredivisionsrecords & archivesfounders of the nation centre sec national archives service centre sec records centre services section records management section technical services section policy developmentpolicy formulation section policy monitoring and evaluation section remuneration policy section management servicesexecutive agency section management systems and standards section monitoring and evaluation systems section restructuring and private sector participation section human capital managementhuman capital management section staff inspection section payroll management section human resource development divisionhuman resource planning sec human resources development sect leadership development sect technical cooperation section government ict services divisionhuman capital and administrative ict systems development sec ict services section establishmenthuman resource legal services sec public service admin sec senior public service sec ethics promotionethical conduct monitoring sec ethics promotion section administration& human resourceadministration section human resource mgt sec planning divisionmonitoring and evaluation section planning section unitsprocurement management unit internal audit government communication unit finance and accounts diversity information and communication technology unit public service renumeration boardrenumeration unit productivity and research unit administration and human resources management unit information and communication technology unit finance and accounts unit public procurement unit legal services unit internal audit unit planning unit publicationsguidelines scholarships speeches circulars progress reports government gazette government directory national archives docs forms mada newsrss faqs blogfacebook twitter mada downloads home search document job vacancies name | date | hits [ descendent ] nafasi za kazi zilizotangazwa sadc hot date added indian technical and economic cooperation (itec) civilian training programs for the year 2016/2017 (511)research fellowship program 2017 (11251) latest speeches hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha kwa mwaka wa fedha 2016/17 (1282)hotuba ya waziri mheangellah kairuki aliyoitoa kwenye ufunguzi wa mkutano wa baraza la wafanyakazi (720)speech by honangellah kairuki (mp)on the occasion of the itec day 29th march2016 (976)hotuba ya katibu mkuu dktlaurean ndumbaro ya ufunguzi wa mafunzo ya ukusanyaji taarifa za tathmini (2275) polls we have 86 guests online waziri wa oruub opras form swahili version (5351)maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma (16996)fomu za ahadi za uadilifu (14565) government directory kitabu cha mawasiliano serikalini (330) location map
2016-05-28T19:40:08
http://www.utumishi.go.tz/index.php?option=com_docman&task=cat_view&gid=77&orderby=dmdate_published
 burundi karibuni katika habari za burundi na za kimataifa alionekana kama msemaji wa anachama wa cnddfdd ambao pamoja na warundi wengi hawana kauli ya kuliteteya taifa tangazo la tarehe 03 march 2011 la wanachama wengi wa cnddfdd walio pokonywa haki yao ya kutowa maoni tangazo la tarehe 26 february 2011 linalo onyesha msimamo wa wanachama wa cnddfdd na hata warundi wengi kuhusu ulaju rushwa na uporaji wa mali ya uma na maovu mengine yanayo tendeka inchini bwana jeremie ngendakumana pamoja na kua ni mwenyekiti wa chama cha cnddfdd hakuna aliemuhusisha katika mbinu za kutaka kumumalizia maisha bwana manasse nzobonimpa ubadhirifi kutoka nyanja za juu burundi banki bcb mwathirika badaaye imetolewa 14 februari 2014 tariki 28/01/2014 niyonzima alexander alikamatwa na idara ya upelelezi ya taifa ya burundi kwa tuhuma za kuhusika katika tendo la ubadhirifu katika benki na jina hilo kapachikwa na kupatishwa vitambulisho mengineyo mabwana rwasa agathon na pierre buyoya wafanya mazungumzo kwa siri kubwa imetolewa 24 december 2013 mazungumzo ya taree 07 disemba 13 lengo kubwa la bwana buyoya katika hayo mazungumzo ni kulaghai bwana rwasa kwa kumhakikishia kuwa amejiimarisha kisiasa kabla ya haya yote kutendeka bwana rwasa alifanya mazungumzo na rais nkurunziza mjini ngozi mengineyo adolphe nshirimana mmwagajidamu marufuku kukanyaga kwenye ardhi ya amerika imetolewa 17 oktoba 2013 mazungumzo kati ya nicolas jenkins na ndayishimiyeldonatien mshauri kwenye maktaba ya idara hiyo jenerali adolphe nshimirimana amecukuliwa kama mmwagajidamu ambaye haruhusiwi kukanyaga kwenye ardhi ya amerika mengineyo pierre nkurunziza amekaniya muhula wa tatu kwenye kiti ca raisi imetolewa 4 oktoba 2013 habari kutoka kwa vigogo furani vya chama cnddfdd zimehakikisha kwenye mtandao burundi image kwamba raisi pierre nkurunziza atawaniya kwa hali na mali muhula wa tatu kwenye kiti cha uraisi wa inchi mengineyo edouard nduwimana kiini cha ubovu wa mchakato wa demokrasiya inchini burundi bwana leonce ngendakamana hii tarehe0 7 november 2012 kazungumza na waandishi wa habari jijini bujumbura kwa malengo kama ilivyoonekana ya kumkemea waziri wa mambo ya ndani edouard nduwimana kwa hatuwa alio chukuwa (kutokana na madai yake mwenyewe)ya kufunga barabara ya bujumbura rumonge siku ya ijuma pili na kudhofisha kazi zote za waliotumia barabara hio siku hio bwana leonce ngendakumana ambaye ni mwenye kiti wa shirikisho la vyama vya upinzani vya adcikibiri ameonyesha kwamba waziri huo aliliaibisha taifa kitaifa na kimataifa alipochukuwa hatuwa hio hasa wakati huu ambapo burundi inawajibika kutekeleza ma sharti iliopewa na wafadhili ili ipewe msada wa kuendesha shuhuli zinazolenga maendeleo ya raia ni lazima avuliwe uwadhifa ili kupatikane atakaye simamiya vyama vilivyo na kuweza kushirikiyana na wote ili demokrasiya iboreke inchinialimtaka waziri huo kusimamisha mara moja kujifanya msemaji wa zedi feruzi mwenye kiti wa zamani wa chama cha upd zigamibanga aliye timka kutoka chama hicho na kujiunga na utawala kwa maslahi ya maisha ya kibinafsi alikumbusha kwamba mwenye kiti wa chama hicho anaetambulika ni chauvineau mugwengezo alietawazwa na kamati kuu ya chama hicho punde tuu kijana zedi alipotimkia ki pekee upande wa utawala huku wana chama wote wakibaki upande wa adcikibiri kisa cha edouard nduwimana kililaniwa pia na wanachama wengi wa cnddfdd ambao kwa upande wao kuzuia barabara ya bujumburarumonge haikuwa ni kwa faida ya cnddfdd bali kwa faida ya upinzani duru kutoka chama tawala zinaeleza kwamba nduwimana alionysa katika chama kutokana na kitendo hicho itakumbukwa kwamba barabara ya bujumburarumonge iliziwiliwa na edouard nduwimana kwa madai ya kukataza shuhuli za chama cha cndd ya leonard nyangoma kimoja katika vyama vya muungano adcikibiri zilizo kuwa zimeandaliwa kufanyika katika tarafa ya rumonge eduard nduwimana anachukuliwa na wengi inchini hata pia katika chama tawala kama kiini cha mfumo bora wa demokrasiya inchini burundi mohamed rukara masikitiko ya hasili yake ya uswahili na vitisho kwa msaada dhidi ya pierre nkurunziza imetolewa 27 septembe 2011 ombudsman maarufu inchini burundi mheshimiwa mohamed rukara yuko katika ziara huko uturuki na amepitia mjini brussels jumatano septemba 21 2011 mengineyo alionekana kama msemaji wa wanachama wa cnddfdd ambao pamoja na warundi wengi hawana kauli ya kuliteteya taifa mise à jour 23 mars 2011 mimi ni fdd wa zamani ambae ni katika waanzilishi wa harakati alisema mbunge manasse nzobonimpa mengineyo mise à jour 27 février 2011 mnamo siku zilizo pita hadi wakati huu jami la kimataifa na warundi wengi hushuhudia mwenendo wa baadhi ya viongozi wenye nyadhifa mbali mbali serkalini na miongoni mwao wamo wafuasi wa chama tawala wanao jihusisha na ufisadi ulaji rushwa na uporaji wa mali ya serkali bila kujali kuwepo idara mbali mbali za kupiga vita rushwa inchini kuna ambao hudhani kwamba wafuasi wote wa cnddfdd wanaunga mkono mwenendo huwo hiyo si kweli mengineyo eremie ngendakumana mbele ya mbinu za mauwaji ya mbunge manasse nzobonimpa mbunge manasse nzobonimpa alikosea kuuwawa usiku wa tarehe 7 ahadi 8 mwezi juni apo kampala katika makao makuu ya shirika la usafiri wa ma basi kampala coach mengineyo
2019-02-15T19:53:05
http://burundiimage.info/public_html/Swahili/index.html
papa anasema inawezakana kuwa wasanii wa uzalishaji katika maendeleo vijijini | vatican news baba mtakatifu akihutubia washiriki wa mkutano wa ifad tarehe 14 februari 2019 (vatican media) baba mtakatifu ametoa wito kwa wenye kuwa na majukumu ya kimataifa mashirika yasiyo kiselikaliwadau wanaochangia katika sekta ya umma na binafsi ili kuendeleza mikondo ya lazima ya matendo ya dhati kwa kiwango kinachostahili kusaidia kanda za vijiji duniani na hatimaye wote waweze kuwa wasaniii wazuri wa uzalishaji kwa ajili ya maendeleo nimekubali mwaliko wako bwana rais ambao umenielekeza kwa niaba ya shirika la ufadhili wa maendeleo ya kilimo ifad katika sherehe hizi za ufunguzi wa mkutano wa 42 wa mashirika yasiyo ya kiserikali ndiyo mwanzo wa hotuba ya baba mtakatifu francisko tarehe 14 februari 2019 kwenye ufunguzi wa mkutano wa ifad uliofanyika katika makao ya fao mjini roma akiendelea hotuba yake anasema kufika kwake katika makao hayo unatokana na mahitaji ya ndugu wengi ambao wanateseka duniani anapenda asiwaone nyuso zao nyekundu kwa maana hatimaye kilio chao kimesikilizwa mahangaiko yao yamefikiriwa wao wanaishi katika hali mbaya rasilimali zao zimekaushwa mito imechafuliwa ardhi imenyauka hawana tena maji ya kutosha kwa ajili yao hata kwa ajili ya kilimo majengo ya vituo vya afya yanakosekana na nyumba zao ni za kutia wasiwasi na kuanguka mbele yetu kuna jamii yenye uwezo wa kuendelea katika wema hali halisi hizi baba mtakatifu asisitiza zinaonekana katika kipindi na kwa upande mwingine jamii zetu zimeweza kupata matokeo makubwa katika mantiki ya ufahamu hii ina maana kwamba mbele yetu kuna jamii yenye uwezo wa kuendelea kutoa mapendekezo ya wema na itashinda hata kwa mapambano dhidi ya njaa na umasikini wa kukithiri kuwa na uamuzi wa dhati katika kupambana ndiyo msingi ili kuweza kusikiliza kwa dhati kilio na kusema hapatakuwapo na njaa kwa wakati ujao bali ilikuwa ni wakati uliopita lakini ili kufikia hatua hiyo ni lazima kuwapo msaada wa jumuiya ya kimataifa jumuiya mahali ya raia na wote ambao wanamiliki rasilimali wahusika wa wasivamiwe kwa kupitiwa mmoja baada ya mwingine badala yake wachukue wajibu wa kupata suluhisho la dhati na halisi baba mtakatifu ameonya uwajibu wa vatican na mashirika yanayojikita katika maendeleo ya watu baba mtakatifu anasema vatican imekuwa daima ikiwatia moyo juhudi zilizofanywa na shirika la kimataia kwa ajili ya kukabiliana na umasikini kwani hatuwezi kusahau hata mtakatifu paulo vi kunako mwaka 1964 alitoa wito mkubwa duniani mjini bombay india pia kwa kupendekeza kwa upya katika matukio tofauti ya kuweza kuunda mfuko ambao unawezesha binadamu kumwamasisha andokane na mambo yote yanayomletea umasikini (hotuba katika mkutano wa dunia wa vyakula 9 hata yeye hawajasita kamwe kuhamaisha kunzishwa kwa mambo hayo na moja ya hatua hiyo inayoonekana ni ifad yenyewe mkutano wa 42 wa ifad unaoendelea katika mantiki hii na mbele yake unayo kazi ya ya kushangaza na ngumu katika kuunda uwezekano wa haraka il kuondoa kila aina ya wasiwasi na kuwaweka kila watu katika hali zao wakabiliana na mahitaji ambayo yanawasumbua jumuiya ya kitaifa ambayo inaendeleza ajenda ya maendeleo endelevu ifikapo 2030 inapaswa kutimiza hatua za kufuata na za kweli katika malengo 17 waliyojiwekea katika pendekezo hilo baba mtakatifu francisko anasema msaada wa ifad unaonesha hatua ya kuweza kufuatilia kwenye malengo mawili ya kwanza ya ajenda ikiwa ni kusitisha umasikini na mapambano dhidi ya njaa na pia kuhamaisha uzalishaji hakuna litakalo wezekana bila kuwa na maendeleo vijijini hakuna lolote litakalo wezekana iwapo hapatakuwapo na maendeleo vijijini baba mtakatifu amebainisha na kwamba ni maendeleo ambayo yamezungumzwa kwa kipindi kirefu lakini hata leo hii haya jatimizwa badala yeke ni kuona matokeo ambayo siyo mema kwa upande wa zaidi ya milioni 820 ya watu ambao wanateseka na chakula utapia mlo duniani na whao wota wanaishi katika maeneo ya vijijina ambao wanajikita katika uzalishaji na wakati huo ni wakulima na zaidi wimbi la uhamiaji kutoka vijiji kwenda mijini ni suala la dunia nzima ambalo haliwezi kudharauliwa anasema baba mtakatifu maendeleo ya maeneo mahalia kwa dhati yana thamani kubwa japokuwa hayafanyi kazi kwa lengo linalokusudiwa hii ina maana ya kila mmoja kila jumuiya inaweza kabisa kwa uwezo wake na kwa namna yake kwa kuishi maisha ya kibinadamu yenya hadhi na kuitwa jina kwa njia ya ushirikiano kwa maaana hiyo baba mtakatifu anatoa wito kwa wote wenye majukumu ya kimataifa na mashirika yasiyo kuwa ya kisekiliaka kama vile kwa wote wadau wanaojikita kuchangia katika sekta ya umma na binafsiili kuendeleza mikondo ya lazima katika kujikita kwenye matendo kwa kiwango kinachostahili katika kanda za vijiji duniani ili wote waweze kuwa wasanii na wahusika wa uzalishaji kwa ajili ya maendeleo ubunifu na teknolojia vijijini iendane na utamaduni hatimaye baba mtakatifu francisko ametoa tafakari kwao inayotazama mada inayoongoza mkutano huo wa ifad ambayo ni ubunifu na kuanzishwa kwa ujasiliamali katika dunia ya vijiji inabidi kuchuchumalia ubunifu juu ya uwezo wa wajasiliamali na wadau wote wa sekta mahalia na upatikanaji wa mchakato wa uzalishaji kwa sababu ya kuweza kupata mabadiliko ya vijiji na hatimaye kuweza kusitisha utapiamlo na kuendeleza kwa namna ya ubunifu wa mantiki ya kilimo katika mantiki hiyo ni lazima kuhamasisha sayansi na dhamiri na kuweka teknolokoa ya kweli katika huduma kwa masikini mengineyo teknolojia mpya haiwezi kutofungamana na utamaduni mahalia kuwa na utambuzi wa tamaduni lakini pia ni kufungamanisha na kutana kwa njia ya mkakati wa pamoja anawatia moyo wote washiki wa mkutano huo na wale ambao wanajikita katika shirika hili la ifad kwa kazi yao na wasiwasi wao ambao uweze kweli kuleta manufaa kwa wale ambao wamebaguliwa ni waathirika wa sintofahamu na ubinafsi na kwamba inawezakana kuona kuona mapambano ya dhati yanafanyika ya kusitisha njiia na kuwa na haki na ustawi kwa wote 14 february 2019 1244
2019-03-23T17:13:13
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2019-02/papa-vijiji-ifad-maendeleo-sekta-binafsi.html