text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
kwa wapenzi wa vijana jazz wanakumbuka vile vipande vya keyboards vilivyokuwa vikianzisha zile nyimbo mbili alizokuwa akiimba kida waziri penzi haligawanyiki na shingo feni mpigaji wake alikuwa shaw hassan shaw rwamboh mwanamuziki huyu alizaliwa tarehe 25/sept/1959 dar es salaam alianza kujifunza kupiga gitaa na wenzie kando ya ziwa tanganyika huko kigoma wakitumia magitaa ya tajiri mmoja aliyekuwa na meli ya uvuvi aliporudi dar es salaam akakutana na mwanamuziki zahir ally zorro zahir ndiye aliyeboresha upigaji wake wa gitaa kiasi cha kukubaliwa na patrick balisidya kupiga gitaa la rythm katika bendi yake ya pili pama band chini ya afro70 ni chini ya malezi ya patrick alipojifunza kupiga keybords (kinanda) baada ya hapo aliacha muziki na kujiunga na dar technical college lakini 1980 alijiunga na vijana jazz kama mpiga keyboards alishirikiana na wanamuziki wengi lakini wengi pia wametangulia mbele ya haki waliobaki kati ya aliyokuwa nao wakati huo ni john kitime abuu semhando kida waziri saad ally mnara hamisi mirambo hassan dalali hamza kalala na rashid pembe mwaka 1990 alijiunga na orchestra safari sound chini ya maalim muhidin gurumo (mjomba) na marehemu abel baltazar hapa alikutana na wanamuziki kama benno villa anthony na mhina panduka (toto tundu) aliacha bendi baada ya miezi sita tu mwenyewe anasema kutokana na muhusika kutozingatia mkataba wangu alihamia zanzibar na kujiunga na bendi iliyokuwa ikipiga mawimbini hotel hakukaa sana kwani washirika tanzania stars walimwita hapa akakutana na zahir ally ally choki rwambow musemba wa minyugutofi mvambe abdul salvador na wengine ilitokea kutoelewana baina ya wanamuziki na yeye kama kiongozi wa bendi ilibidi aachie ngazi kuepusha bendi kuzidi kujichanganya baada ya hapo kanku kelly ambaye ni mume wa dada wa mke wake alimuita ajiunge na kilimanjaro connection band anasema kanku alimvumilia sana kwa kuwa alikuwa hajawahi kufanya kazi ya kukopi nyimbo za wanamuziki wengine wakubwa duniani pili hii bendi ilikua inazunguka kwa kupiga muziki hotel mbalimbali malaysiasingapore indonesiathailand na japan jambo ambalo lilifanya aone kila kitu ni kigeni katika bendi hiyo alishirikiana na akina kanku kelly mafumu bilal maneno uvuruge burhan adinan shomari fabrice bob sija fally mbutu raysure boydelphin mununga na kinguti system baadaye shaw kinguti na burhan muba waliamua kuanzisha kundi dogo wakitumia sequencer keyboards na kumuaga kanku kelly group hiyo ilijiita jambo survivors band itakumbukwa kwa ule wimbo maprosoo uliokuwa katika album ya maprosoo baada ya hapo bendi ikaanza kuzunguka nchi mbalimbali ikipiga katika mahotelini wameshapita oman fujairah uae singapore malaysia na sasa wapo thailand shaw anasema wanamuziki ambao hatawasahau kwa kuwa wamemfikisha alipo ni zahir ally zorro marehem patrick balisdya waziri ally kinguti system burhan muba na kanku kelly kituko ambacho hawezi kusahau ni nchini malasyia akiwa na kanku kelly kwa mara ya kwanza kupiga muziki akiwa amezungukwa na watu weupe anasema nyimbo zote zilipotea kichwani akawa hakumbuki hata nyimbo moja(picha ya juu burhan muba kinguti system hassan shaw ya chini ni vijana jazz hassan shaw wa mwisho kulia)
john nimefurahi sana kupata habari za mtu wangu niliyepotezana nae sana kupitia makala yako hii burhani muba aka jazz man ninadiriki kusema ni mmoja kati ya wapigaji wa gitaa linalo ongoza (solo) aliyetulia sana anatone kwenye vidole vyake na mara nyingi yukomakini sana katika kuhakikisha hafanyi fyongo katika kazi zakeasante sana kwa hili
naam kwa kweli huyu bwana ndiye pekee aliweza kumtoa jasho abdul salvadol ki ukweli ile keyboard aliyopiga kwenye penzi haligawanyiki ni mwisho wa habari ufundi wa hali ya juu kuanzia kwenye intro hadi mwisho wa mziki ila na wimbo wenyewe ulikuwa mkali mno mzee kitime hebu katazeni hao wanaozirudia hizi nyimbo yaani wanaziaribu mno kwanini wasiimbe zao hata kama wapo vijana jazz kwa sasa nasikiliza hizo nyimbo yaani zimechakachuliwa mno waambieni waache kuharibu utunzi wa watu jamani
johnni hassan show aliyepiga kinanda kwenye wimbo wa 'tereza' wa vijana jazzkama ni yeye alipiga vizuri mnosolo guitar nadhani alikuwa shaban yohanamarubaini
wakati wa thereza shaw alikuwa keshahama vijana mpiga keyboard alikuwa kijana anaitwa mhina mhando alienda kenya miaka mingi iliyopita nasikia yuko nakuru anapiga piano katika hotel ya intercontinental
wapiga vinanda mahiri waziri ally njeje hasan shaw jambo survivors mhina mhando kenya je balozi kitime huyu richard dyauli aliyewahi kupiga kinanda na chini ya kundi la maestro ndala kasheba kwa sasa (richard dyauli) yupo wapi na kundi gani
yeye hupendelea zaidi kuitwa richy anapiga peke yake kwa kutumia sequencer mara kadhaa amakuwa akienda mashariki ya kati kwa mikataba ya miezi mitatu mpaka 6
namuunga mkono mtoa mada hapo juu aliyeeleza kukerwa kwake na mtindo wa wanamuziki kurekodi upya nyimbo za zamani ikumbukwe kuwa haiwezekani hata siku moja kupata kitu bora zaidi ya kile ambacho ni original cha kusikitisha hapa ni kwamba wanaorudia nyimbo za zamani si wanamuziki wa sasa tu bali hata magwiji katika fani hiyo kwa mfano hivi karibuni sikinde walirekodi upya nyimbo zao za mwanzoni mwa miaka ya 1980 kama hiba na mwanetu ninachoweza kusema ni hizi nyimbo zilizorekodiwa kwa kutumia masynthesizer badala ya ala za upepo ni mbaya mbaya mbaya kabisa kingine ni kwamba baadhi na wanamuziki wa sasa wana uwezo mdogo mno ukilinganisha na wale waliopiga nyimbo original kwa mfano sikinde wameshindwa kabisa kurudufu utalaam wa marehemu joseph mulenga na suleiman mwanyiro katika nyimbo zao walizozirekodi upya ukija kwa vijana jazz ya sasa ndio balaa hao wanaopiga upya nyimbo za bendi hiyo sidhani kama waliwahi kuhudhuria maonyesho ya pamba moro na saga rumba hata siku moja pale vijana social hall enzi hizo
safi sana mzee mwakitime wallahi posts zako hizi zimenikumbusha mbali sana nilikuwa najiuliza mara kwa mara kati ya father kidevu na hassan show nani moto hadi leo sina jibumaselepakama zamanisafarini bujumbura burundi | 2017-05-30T09:03:33 | http://mwakitime.blogspot.com/2010/08/shaw-hassan-shaw.html |
umoja wa mataifa walaani mauaji ya raia yanayofanywa na majeshi ya saudi arabia na washirika wake nchini yemen | gazeti la jamhuri
mratibu mkaazi wa umoja wa mataifa nchini yemen jamie mcgoldrick ameyaelezea mapigano yanayoendelea nchini humo kuwa yasiofaa na ya kuhuzunisha
ikitaja ripoti za awali kutoka ofisi ya haki za binadamu ya umoja wa mataifa taarifa ya mcgoldrick imesema mashambulizi hayo ya ndege yalililenga soko lenye watu wengi katika wilaya ndogo ya al hayma katika mkoa wa taiz siku ya jumanne na kuuwa watu 54 na kuwajeruhi 32
katika siku hiyo hiyo shambulizi la ndege kwenye shamba lililopo wilaya ya attohayta katika mkoa wa hodeidah liliuwa watu 14 na mashambulizi ya ndege kwingineko yakauwa raia wengine 41 na kuwajeruhi 43 katika kipindi cha siku 10
chini ya sheria ya kimataifa pande zinazohasimiana laazima ziwaachilie raia pamoja na miundombinu ya kiraia umoja wa mataifa hauna makaridio ya karibuni zaidi kuhusu idadi ya vifo nchini yemen baada ya kusema agosti 2016 kwamba kwa mujibu wa vituo vya afya watu wasiopungua 10000 wameuawa
umoja wa mataifa unasema mgogoro wa yemen ndiyo mbaya zaidi wa kibinadamu ambapo watu wapatao milioni nane wako katika hatari ya kukubw ana janga la njaa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu uliowaathiri watu milioni moja na mporomoko wa uchumi katika nchi ambayo tayari ilikuwa moja ya mataifa maskini zaidi katika ulimwengu wa kiarabu
un 20171229
previous tundu lissu akaa mwenyewe pasipo msaada wa daktari
next polepole viongozi wa dini endeleeni kutoa maoni | 2019-07-15T18:15:29 | http://www.jamhurimedia.co.tz/umoja-wa-mataifa-walaani-mauaji-ya-raia-yanayofanywa-na-majeshi-ya-saudi-arabia-na-washirika-wake-nchini-yemen/ |
michuzi blog serikali yapitisha tiba shufaa kwa wagonjwa waliokata tamaa ' if(imglength>=1) { imgtag = '
serikali yapitisha tiba shufaa kwa wagonjwa waliokata tamaa
mkurugenzi wa taasisi ya ocean road dk julius mwaiselage akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo kuhusiana na kupimepitisha muongozo wa tiba shufaa kwa wagonjwa waliokata tamaa katika hospitali za hapa nchini
baadhi ya waandishi wa jamii wakimsikiliza mkurugenzi wa taasisi ya ocean road dk julius mwaiselage jijini dar es salaam leo
na yassir adamu globu ya jamii
serikali kupitia wizara ya afya maendeleo jamii jinsia watoto na wazee imepitisha muongozo wa tiba shufaa (tiba kwa wagonjwa walio kata tamaa) ili kuweza kutumika kwa wagonjwa mbalimbali
akizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam mkurugenzi wa taasisi ya ocean road dk julius mwaiselage amesema kuwa kuna umuhimu kwa kila hospitali za serikali na binafsi kuwa na utoaji wa tiba shufaa(tiba kwa wagonjwa walio kata tamaa)
amesema kuwa shufaa inatumika kwa wagonjwa wa muda mrefu ambao wamekata tamaa katika kuondoa maumivu makali kuliko huduma nyingine kwa wagonjwa
dk mwaiselage amesema huduma hiyo lazima itolewe kwa mujibu wa daktari na sio kutumia vinginevyo na nchi nyingi zimeweza kutumia dawa hizo wamekuwa na mfanikio
dk mwaiselage amesema kuwa wagonjwa wa saratani wanapitia katika hatua nne ambazo ya kwanza mtu anaweza kutibiwa na kupona na hatua ya pili anaweza kupona kwa asilimia 50 hatua ya tatu na ya nne wagonjwa hao wanakuwa na kiwango cha juu hivyo huduma tiba yao kupata shufaa
amesema kuwa wadau wameutengeneza muongozo ili kuweza kutumika kutokana na wagojwa asilimia 80 wanahitaji huduma ya tiba ya shufaa
thursday september 15 2016 ~ copyright michuzi blog afya habari jamii ~ mtumie rafiki yako maoni 0 | 2017-09-22T08:16:52 | https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/serikali-yapitisha-tiba-shufaa-kwa.html |
top 5 ya urban hit10 waafrika wawili tu millardayocom
ni kazi yangu kila siku kukuunganisha na trace urban ambayo imesambaa kwenye huduma ya kulipia kwenye mataifa mengi afrika ikiwa ni tv ya burudani yenye mashabiki na inayoaminika kwa kucheza video zenye ubora
leo nov 18 2016 urban hit 10 katika top 5 za juu ina waafrika wawili kutokea nigeria kwenye nafasi ya nne wameishikilia tjan & ycee kwenye ngoma yao meji pamoja na mr spinall na mr eaz na mdundo wao ohema kwenye nafasi ya 2
nimekusogezea hapa chini list hiyo unaweza kuitazama
video maneno ya mama diamond platnumz kuhusu nyumba yake aliyojengewa na diamond unaweza kuitazama nimekuwekea hapa chini
โ previous story rapa falz thebahdguy kuhost tuzo za headies 2016 (+nomineeslist)
next story โ videompya baada ya how long davido katuletea hii coolest kid in africa | 2017-10-17T22:15:08 | http://millardayo.com/trce44-2/ |
mchezo freeze gingerbread man online kucheza kwa huru
mchezo freeze gingerbread man
kucheza mchezo freeze gingerbread man online
maelezo ya mchezo freeze gingerbread man
sana bouncy wajanja na quirky bun kumsaidia kufikia mwisho katika kipande moja hii ni kufanyika kwa kutumia kifungo keypad kucheza mchezo freeze gingerbread man online
kiufundi na tabia ya mchezo freeze gingerbread man
mchezo freeze gingerbread man aliongeza 12022012
mchezo rating 451 nje 5 (91 makadirio)
michezo kama mchezo freeze gingerbread man
download mchezo freeze gingerbread man
embed mchezo freeze gingerbread man katika tovuti yako
kuingiza mchezo freeze gingerbread man kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo freeze gingerbread man nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia
pamoja na mchezo freeze gingerbread man pia alicheza katika mchezo | 2018-07-21T15:02:14 | http://sw.itsmygame.org/999969977/frizzle-fraz_online-game.html |
inashangaza makahaba wa koinange street wahamia mitaani โท tukocoke
made in kenya latest politics entertainment swahili feedback livescore submit video fighting alshabaab inashangaza makahaba wa koinange street wahamia mitaani
6285 chapisha twitter
hali ya makahaba kuongezeka inasemekana kuchangiwa na ukosefu wa kazi na hali ngumu ya uchumihivi karibuni makahaba wameondoka katika barabara maarufu ya koinange street na kuhamia mitaani wanakofanya biashara hadi mchananairobi imeshudia kuongezeka kwa ukahaba huku wanawake wengi wakihamia jijini na kujitosa katika biashara kongwe zaidi dunianihabari nyingine kiwango cha pesa alichotumia usain bolt kwa pombe na wanawakebarabara ya koinange street ilijulikana na wengi kama maskani ya makahaba
hivi karibuni makahaba wamebadilisha mbinu kwa kukita kambi mitaanimakahaba hawa sasa wameelekea mitaa ya nairobi haswa ile iliyoko mashariki mwa jiji al maarufu eastlandshii ndiyo mitaa walikohamia makahaba haokayole ni mojawapo ya mitaa yenye idadi kubwa ya watu na pia mtaa unaowavutia makahaba wengi mjini nairobimakahaba hawa wanapatikana kwa wingi nje ya klabu maarufu ya nyama villa klabu hii imezungukwa na vyumba vingi vya kulala ambavyo hutumiwa na makahaba hao na wateja wao
mtaa wa umoja ni maarufu kwa idadi kubwa ya mabaa na maskani za mvinyo aidha kuna makahaba wengi wanaojibanza katika mabaa maarufu mtaani humomtaa wa eastleigh unaojulikana kwa biashara umeshuhudia kuongezeka kwa idadi ya makahaba ambao wamevutiwa na wingi wa wateja walio na pesabarabara ya 12 mtaani humu inajulikana kwa ukahaba ikiwa pia na idadi kubwa ya vyumba vya kulala vya bei ya chinihabari nyingine obama akasirishwa na hatua za raila odinga
mtaa wa majengo unatambulika kama chimbuko la ukahaba jijini nairobi pia mtaa huu unajulikana kwa makahaba wa bei nafuu zaidimakahaba wa majengo wanajulikana kuketia viti spesheli wanapotegea wateja nje ya vyumba vyao makahaba katika mtaa wa majengo wakingojea watejamtaa wa ngara ulioko karibu na kitovu cha jiji umeshuhudia ongezeko la machangudoa wanaowalenga wanafunzi wengi wa vyuo wanaokaa katika vyumba vilivyo karibu na mtaa huohabari nyingine wanawake walioolewa waeleza sababu kuu zilizowafanya kuwa makahaba โ
biashara ya aibu bei za makahaba wa madanguro ya majengo
caster semenya married akothee house kenyan politics meeting between ruto and raila allies garlic under pillow cecilia mwangi habari zingine jamaa akiona cha mtema kuni kwa kumuambukiza mpenzi wake virusi vya ukimwi | 2017-02-21T23:19:36 | https://swahili.tuko.co.ke/181101-koinange-street-ngono-mtaani-hii-ndiyo-mitaa-walikohamia-makahaba-wa-koinange-street.html |
thailand ushindani ripoti
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi thailand ushindani ripoti
biashara kujiamini 4510 4740 5570 3440 pointi [+]
viwanda uzalishaji 827 813 5960 3200 asilimia [+]
viwanda uzalishaji (mwezi) 160 000 2190 2470 asilimia [+]
uwezo wa matumizi 6317 6388 7077 4211 pointi [+]
mabadiliko katika inventories 1352400 1362800 17044100 15983100 thb milioni [+]
gari sajili 1915400 3083900 6666800 169000 [+]
uongozi index uchumi 15204 15413 15413 8225 pointi [+]
jumla ya mauzo ya gari 8928500 7929900 15752700 533800 [+]
viwanda pmi 5010 4930 5110 4820 pointi [+]
uwekezaji wa kibinafsi 160 170 2020 1760 asilimia [+]
cement uzalishaji 326416 334606 421058 52200 maelfu ya ton [+]
gari uzalishaji wa 16947400 16636100 25658100 2369500 [+]
kisadfa index 12687 12714 12945 9266 pointi [+] | 2020-01-25T00:07:55 | https://sw.tradingeconomics.com/thailand/competitiveness-index |
kenya yatumbukia zaidi katika mzozo wa kisiasa | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 03012008
kenya yatumbukia zaidi katika mzozo wa kisiasa
machafuko makubwa baada ya matokeo ya uchaguzi ni pigo kubwa kwa demokrasia nchini kenya
wafuasi wa kiongozi wa upinzani raila odinga wakiongeza kuni moto kuchoma kizuizi cha barabarani katika mtaa wa mabanda wa kibera mjini nairobi
kupuuzwa kwa miito iliyotolewa na jumuiya ya kimataifa kutaka kupatikane suluhisho la amani kwa mzozo nchini kenya kumeitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro mkubwa wa kisiasa
inakadiriwa watu 300 waliuwawa baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza rais mwai kibaki kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu dhidi ya kiongozi wa upinzani raila odinga katika machafuko yaliyozuka nchini humo watu wasiopungua 100000 wamelazimika kuyahama makazi yao
shinikizo la kimataifa linaongezeka dhidi ya serikali na upinzani huku pande hizo mbili zikilaumiana kwa machafuko yanayoendelea nchini kenya kwa mujibu wa takwimu rasmi rais mwai kibaki alimshinda mpinzani wake raila odinga kwa kura 230000 na hivyo kuchaguliwa tena kuitawala kenya kwa awamu ya pili
upinzani na waangalizi wa uchaguzi huo wanasema kulitokea mizengwe katika zoezi la kuhesabu kura na hata mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo bwana samuel kivuitu amekiri alishinikizwa na serikali ya rais mwai kibaki
kiongozi wa upinzani raila odinga ameitisha maandamano makubwa kupinga matokeo ya uchaguzi huo hatua ambayo imesababisha mapambano makali kati ya polisi na waandamanaji machafuko yaliyosababisha maaafa makubwa nchini kenya baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa ni pigo kubwa kwa demokrasia kwa nchi hiyo na hata nchi za bara la afrika kwa ujumla
marekani ambayo ilikuwa ya kwanza kumpongeza rais mwai kibaki ikisema alichaguliwa tena katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki sasa imebadili msimamo wake na kuyameza maneno hayo huku ikitoa mwito suluhisho la amani la mzozo huo lipatikane chini ya upatinisho wa umoja wa mataifa na umoja wa ulaya
kenya inaonekana kuwa mfano mzuri wa nchi iliyoendelea kiuchumi na yenye kuendeleza mageuzi licha ya kukabiliwa na visa vya ufisadi na huku ikipakana na somalia kenya ni mshirika muhimu wa marekani katika vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa hususan katika eneo tete linalokabiliwa na hali ya wasiwasi
rais wa uganda yoweri kaguta museveni ambaye aliibadili katiba ya nchi ili aendelee kubakia madarakani amempongeza rais kibaki kwa kumshinda raila odinga hatua ya rais museveni ni ishara mbaya kwa demokrasia katika bara zima afrika
hatua ya viongozi wa serikali nyingine barani afrika kunyaa kimya kuhusu udanganyifu uliotokea katika kuhesabu kura nchini kenya inakumbusha kwa huzuni kubwa vurugu zilizosababishwa na rais mugabe nchini zimbabwe
mwito wa jumuiya ya kimataifa kutaka matokeo ya uchaguzi yahakikishwe unatakiwa kutekelezwa haraka iwezekanavyo na umoja wa afrika matarajio yanabakia kwamba ziara ya kiongozi wa umoja huo rais wa ghana john kufuor imeahirishwa kwa muda tu
jumuiya ya kimataifa sasa inalazimika kumueleza wazi rais kibaki kwamba hawezi kuendelea kuitawala kenya baada ya kushinda katika uchaguzi uliokabiliwa na mizengwe mwito uliotolewa na baadhi ya wanasiasa kuitaka china iongoze juhudi za upatanisho imezusha utata
hali ya wasiwasi ni kubwa kiasi kwamba machafuko yanayoendelea nchini kenya huenda yakaenea katika nchi jirani huku nchi hiyo ikiwa imepakana na bahari na ikiwa mapito ya bidhaa muhimu kwa nchi jirani
ikiwa nchi iliyoendelea zaidi kiviwanda kenya inategemewa na nchi jirani kwa bidhaa muhimu kama vile mafuta ya kupikia chumvi na unga hata mafuta ya petroli yanayosafirishwa nchini uganda rwanda burundi na mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo hupitia kenya maeneo haya yote yamekabiliwa na uhaba wa mafuta
rais kibaki ameitumbukiza nchi katika hali ngumu ambayo si rahisi kuitoa wananchi wamepoteza imani na kiongozi huyo ambayo huenda asiipate tena tofauti za kikabila nchini kenya sharti ziondolewe haraka iwezekanavyo ili nchi hiyo isitimbukie zaidi katika machafuko
shinikizo la kimataifa dhidi ya rais kibaki linatakiwa liongezwe ili akubali kuruhusu matokeo ya uchaguzi yathibitishwe kwa uhuru na uwazi na kumlazimisha afanye uchaguzi mpya
matokeo ya uchaguzi wa bunge uliofanyika sambamba na uchaguzi wa rais yalitoa matumaini makubwa kwa kenya kwani kwa kutumia haki yao ya kidemokrasia wakenya walipiga kura na kuwaondoa wanasiasa wakongwe waliotumia madaraka vibaya wenye ukabila na waliohusika katika ufisadi
mwandishi josepaht charo
kiungo https//pdwcom/p/cjss | 2018-07-23T02:48:08 | https://www.dw.com/sw/kenya-yatumbukia-zaidi-katika-mzozo-wa-kisiasa/a-3036318 |
madaktari rufaa mbeya wapongeza upasuaji wa njia ya matundu mbeya yetu
madaktari rufaa mbeya wapongeza upasuaji wa njia ya matundu
daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama na watoto wa hospitaliya rufaa ya kanda ya mbeya na mkuu wa kitengo cha wazazi meta dk john francis akifafanua umuhimu wa upasuaji wa njia ya matundu baada ya kukamilisha zoezi hilo
msimamizi wa huduma ya upasuaji wa njia ya matundu dk marc briere kutoka nchini marekani akielezea namna madaktari wa hospitali ya rufaa kanda ya mbeya walivyopokea teknolojia hiyo
madaktari wakiwa kwenye chumba cha upasuaji wakiendelea kumtibu mgonjwa kwa upasuaji wa njia ya matundu
madaktari wakifanya upasuaji wa njia ya matundu
dk francis akiwaongoza madaktari kufanya upasuaji wa njia ya matundu
baadhi ya madaktari wakifuatilia kwa makini zoezi la upasuaji wa njia ya matundu katika hospitali ya rufaa ya kanda ya mbeya
madaktari bingwa wa upasuaji katika hospitali ya rufaa ya kanda ya mbeya wamepongeza teknolojia mpya ya upasuaji kwa njia ya matundu inayofanyika hospitalini hapo
akizungumza baada ya kufanya zoezi la upasuaji kwa njia ya matundu kwa wagonjwa mbalimbali daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi na watoto john francis ambaye pia ni mkuu wa kitengo cha hospitali ya wazazi meta alisema teknolojia hiyo inarahisisha utendaji wa kazi kwa madaktari
alizitaja faida za upasuaji wa njia za matundu kuwa ni pamoja na kumrahisisha daktari kufanya upasuaji kwa wagonjwa wengi kwani huchukua dakika 40 hadi 60 kwa mgonjwa mmoja
alisema faida nyingine mgonjwa hakai muda mrefu hospitali ikiwa ni pamoja na kulazwa kwani baada ya upasuaji anaruhusiwa kurudi nyumbani kuendelea na shughuli zake
alisema pia si rahisi kwa mgonjwa kupatamaambukizi ikiwemo kidonda kutunga usaha kwani upasuaji huo hautengenezi kidonda kikubwa ambapo pia humuokolea gharama na muda wa kutembelewa hospitali na kuletewa vyakula
kwa upande wake msimamizi wa huduma hiyo dk marc briere kutoka nchini marekani aliwapongeza madaktari wa hospitali ya rufaa ya kanda ya mbeya kwa kuielewa teknolojia hiyo mapema kwa kuwa ni mpya
alisema ameweza kukaa hospitali hapo kwa muda wa wiki mbili akitoa maelekezo lakini madaktari wameonesha uelewa mapema na kuanza kuzitumia kufanya upasuaji kwa wagonjwa
โ previous story baba mkubwa amjeruhi mtoto wa mdogo wake
next story โ mhe sophia mwakagenda apiga tafu chadema rungwe | 2018-05-22T19:25:23 | http://www.mbeyayetu.co.tz/madaktari-rufaa-mbeya-wapongeza-upasuaji-wa-njia-ya-matundu/ |
serikali kutotoa tena leseni mpya za uwindaji sababu hii hapa mwanaharakati mzalendo โข
serikali kutotoa tena leseni mpya za uwindaji sababu hii hapa
traves msangule 12900 pm habari
wizara ya maliasili na utalii haitatoa tena leseni mpya za uwindaji wa kitalii kwa kampuni ambazo zimeshindwa kulipa fedha za vijiji unapofanyika uwindaji
naibu waziri wa maliasili na utalii constantine kanyasu alitoa kauli hiyo jana jumapili januari 27 2019 wakati akizungumza na mwananchi juu malalamiko ya vijiji 23 vya longido mkoani arusha vinavyoidai kampuni ya green miles safaris ltd kiasi cha sh329 milioni
kampuni zaidi ya 47 zimepewa leseni za uwindaji wa kitalii katika maeneo mbalimbali nchini pamoja na malipo mengine katika vijiji pia zinatakiwa kulipa kwa mwaka dola 5000 kwa ajili ya mchango wa maeneo ya jamii
kanyasu amesema kuanzia sasa wizara hiyo haitaipa leseni ya kufanya shughuli za uwindaji wa kitalii ama utalii wa picha kampuni yoyote ambayo itakuwa inadaiwa hadi hapo itakapomaliza kulipa madeni
amesema licha ya kulipa kampuni hizo zina jukumu la kuimarisha ulinzi katika maeneo yao ili kupambana na vitendo vya ujangili na zikishindwa pia zinapoteza sifa ya kupewa kitalu
uongozi wa wilaya ya longido pamoja na viongozi wa vijiji 23 mwishoni mwa wiki waliomba wizara ya maliasili na utalii kuingilia kati mgogoro wa malipo dhidi ya kampuni hiyo
mkuu wa wilaya ya longido frank mwaisumbe amesema kampuni hiyo imeshindwa kulipa fedha hizo za vijiji licha ya kuahidi kufanyika hivyo januari 3 mwaka huu
tulikaa nao kwenye vikao ili kutatua mgogoro wakaahidi kulipa madeni ya vijiji lakini sasa wamepuuza na hata tukiwaita hawaji amesema
mkuu huyo pia ameeleza kusikitisha na kuuawa kwa twiga 16 katika kitalu cha kampuni hiyo ndani ya miezi mitatu mwaka jana hali ambayo inaonyesha kuna udhaifu katika ulinzi
hata hivyo mkurugenzi wa green miles safari abdalah salum awadhi amekuwa akipinga baadhi ya madeni katika vijiji na ameahidi akirejea nchini atatoa ufafanuzi
diwani wa kata ya kitumbeine timotheo laizer na diwani wa kata ya mdarara alayce moshau waliomba wizara ya maliasili na utalii kuzitaka kampuni za uwindaji kuwa na mahusiano mazuri na jamii
kwa upande wake katibu tawala wa wilaya hiyo toba nguvila alisema kuanzia sasa vijiji vyote vyenye wawekezaji katika wilaya hiyo ni marufuku kuingia mikataba na wawekezaji bila mikataba hiyo kuridhiwa na bodi ya ushauri ya wilaya
by traves msangule muda 12900 pm | 2019-05-23T17:58:56 | https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/01/serikali-kutotoa-tena-leseni-mpya-za.html |
habari na matukio mbeya yaichapa temeke bao 20 michuano ya airtel rising stars
beki wa timu ya temeke ismail kovu (nyeupe) akichuana na mshambuliaji wa timu ya mbeya biva steven wakati wa mashindano yanaoendelea ya airtel rising stars fainali za taifa kwenye uwanja wa karume jijini dar es salaam mbeya ilishinda 10
*kinondoni yaipunguza kasi arusha | 2017-09-21T21:21:47 | http://www.kajunason.com/2016/09/mbeya-yaichapa-temeke-bao-2-0-michuano.html |
ukawa ccm wanatuumiza ~ siasa huru home
ukawa ccm wanatuumiza
siasa ukawa no comments vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) vinalalamika kuhujumiwa na na serikali ya chama cha mapinduzi (ccm) anaandika regina mkonde
viongozi wa vyama hivyo wanaeleza kuwa hujuma za kisiasa zinazoendelea kufanywa na baadhi ya viongozi wa ccm mkoa wa dar es salaam zimeacha athari kubwa
na kwamba hujuma hizo zimesababisha halmashauri ya wilaya ya kinondoni kukosa msaada wa ujenzi wa chuo cha ufundi
kauli hiyo imetolewa jana na boniface jacob (chadema) meya wa halmashauri ya manispaa ya kinondoni wakati akizungumza na waandishi wa habari
jacob amesema kuwa hujuma hizo zinahusisha kuwazuia viongozi wa vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) kwenda safari za nje ya nchi ambazo zinalenga kukutana na wafadhili kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye wilaya zao
hali ya kimahusiano kati ya mameya wanaotokana na ukawa na serikali kuu si mazuri hata kidogo viongozi tumeamua tuhabarishe umma wa watanzania kuwa kuna hujuma za waziwazi zinazofanywa na wenzetu juu ya shughuli za mameya wa kinondoni ilala na jiji la dar es salaam amesema
jacob amesema kuwa hivi karibuni ubalozi wa uturuki ulidhamini safari ya mameya kwenda uturuki kukutana na wadau na wafadhili wa miradi mbalimbali ikiwemo wa ujenzi wa chuo cha ufundi ndani ya manispaa ya kinondoni
ubalozi huo ulikuwa umeshatoa kibali cha kusafiri (visa) na kugharamia fedha za usafiri malazi chakula na gharama zingine zote ambapo matayarisho tu yali gharimu kiasi cha dola za marekani 42000 (sh 88 milioni) kwa mameya wote wanne mtendaji mmoja mmoja kila halmashauri amesema
anasema fedha hizo zililenga pia kugharamikia mikutano iliyotakiwa kuanza tarehe 16 juni mpaka 19 juni 2016 na kwamba wafadhili na wadau wa maendeleo waliandaa mialiko ya wawekezaji na wafadhili kutoka sehemu mbali mbali za uturuki
wafadhili hao walitarajiwa kuja makao makuu ya nchi hiyo jiji la instanbul ili kukutana nasisi kujadili miradi ya maendeleo lakini serikali imevunja safari hiyo amesema
amesema kitendo hicho cha serikali kuwazuia kimesababisha manispaa za jiji la dar es salaam kukosa fursa za maendeleo ikiwemo chuo hicho cha ufundi
si mara ya kwanza kwa sisi mameya kuhisi kuhujumiwa na baadhi ya viongozi serikalini ambao kimsingi sisi tuliamini uchaguzi umeshapita na kwamba kila mmoja wetu atampa mwenzake heshima inayostahili juu ya ajenda za maendeleo amesema na kuongeza
ndiyo maana kama nilivyo sema hapo awali tumekuwa kimya juu ya vikwazo vidogo vidogo ambavyo tulihisi ni hujuma
lakini tukaamua kuwa kimya na wavumilivu lakini tunatambua kuwa ipo mikakati ovu mingi dhidi yetu ya kutukwamisha tusifanikiwe kuleta maendeleo ndani ya mkoa wetu na wilaya zetu amesema | 2017-01-22T18:17:58 | http://www.siasahuru.com/2016/06/ukawa-ccm-wanatuumiza.html |
usimamizi utunzaji mazingira
preview youtube video kipindupindu champonza mganga mkuu nkasi
kipindupindu champonza mganga mkuu nkasi
preview youtube video vifaa tiba hospitali ya mwananyamala
vifaa tiba hospitali ya mwananyamala
preview youtube video tra yaendesha operesheni kariakoo
tra yaendesha operesheni kariakoo
preview youtube video kuelekea maonyesho ya sabasaba
kuelekea maonyesho ya sabasaba
preview youtube video kuelekea tanzania ya viwanda
preview youtube video crdb na miradi ya maendeleo
crdb na miradi ya maendeleo
preview youtube video shabiki ally yanga azikwa kwao shinyanga
shabiki ally yanga azikwa kwao shinyanga
preview youtube video taifa stars yapaa mpaka afrika ya kusini
taifa stars yapaa mpaka afrika ya kusini
preview youtube video watoto wa kikwete nkamia watikisa marekani
watoto wa kikwete nkamia watikisa marekani
preview youtube video roma stamina kutikisa dar live
roma stamina kutikisa dar live | 2018-04-25T10:26:49 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2017/06/habari-kutoka-televisheni_23.html |
shahidi serikali iliibeba richmond fukuto la jamii
home unlabelled shahidi serikali iliibeba richmond
by mshappiness katabazi 831 am
mtaalamu wa manunuzi wa shirika la umeme (tanesco) nicholaus suke ameileza mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam kuwa kamati maalumu iliyoundwa na shirika hilo kuchambua washiriki walijitokeza katika zabuni ya kununua mashine ya kufua umeme wa megawati 100 ilibaini hakuna aliyekidhi vigezo vilivyowekwa ikiwemo kampuni ya richmond development company llc
suke mbaye ni shahidi wa kwanza wa upande wa jamhuri mbele ya hakimu mkazi waliarwande lema alitoa maelezo hayonjana wakati akiongozwa na wakili mkuu wa serikali fredrick manyanda kutoa ushahidi wake katika kesi ya kutoa taarifa za uongo kwa maofisa wa serikali kuhusu kampuni ya richmond inayomkabili naeem gire ambapo shahidi huyo alidai kuwa licha ya kamati hiyo kuchambua makampuni yale lakini ilibaini hakukuwa na kampuni yenye uhafadhari
alidai kuwa mwaka 2005 alikuwa na wadhifa wa afisa na katibu wa bodi ya zabuni na kwamba anaitambua kampuni hiyo ambayo mwaka 2006 ilikuwa ni miongoni mwa makampuni nane yaliyojitokeza kuomba zabuni hiyo iliyotangazwa na serikali kutoka na taifa kukumwa na tatizo la umeme
alitaja baadhi ya washiriki waliowasilisha makabrasha ya maombi ya kupatiwa tenda ya zabuni hiyo ambayo ilitangazwa kwenye magazeti mbali ya richmond ni aggreco real energy gapco apgum quatus recno
shahidi huyo alidai zabuni hiyo ilikuwa ya wazi ya ushindani wa kimatafa ambapo ilitangazwa februari mwaka 2006 baada ya bodi ya manunuzi ya serikali kupitisha nyaraka za kuanzisha mchakato wa kuitangazahata hivyo zabuni hiyo ilitangazwa kwa siku 10 kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2004 inayotaka iwe ya siku 45 na ilifanyika hivyo kutokana na maelekezo ya aliyekuwa waziri wa nishati na madini dk ibrahim msabaha ambaye baadaye alikuja kujiudhulu kutokana na kashfa ya mkataba huo wa richmond
alidai siku ya ufunguzi wa zabuni hiyo kulikuwa na marumbano baina ya tanesco na serikali alidai richmond ilifuata taratibu zote za kushiriki kwenye zabuni baada ya washiriki hao kuwasilisha makabrasha yao kamati maalumu iliundwa kuchambua washiriki hao ikiwa chini ya mwenyekiti boniface njombe akisaidiwa na washauri kutoka kampuni ya lamahye kutoka ujerumani ambao ni poule na hunae
shahidi huyo alieleza kuwa matokeo matokeo ya uchambuzi yaliweka wazi kwamba hakuna mshindi katika zabuni hiyo kwasababu hakuna hata kampuni moja kati ya zote zilizoomba zilitimiza vigezo vilivyowewaalidai bodi ya zabuni ilipopelekewa taarifa na kamati hiyo iliridhia matokeo hayo na kwa sababu nchi ilikuwa na matatizo ya umeme bodi ya tanesco kupitia menejimenti ilijulishwa kuhusu hilo ambapo iliiagiza kamati hiyo kuangalia kama kuna kampuni yenye uhafadhali
shahidi huyo alidai kamati hiyo ilifanya uchambuzi tena ambapo ilibaini hakuna mwenye hafadhali na serikali ilijulishwa kwa kupitia bodi ya tanesco alidai serikali ilielekeza kupelekewa kwa nyaraka za zabuni ambapo ili ziende bodi ya tanesco ilifuta zabuni na kuzipeleka nyarakamtaalamu huyo alidai serikali ilitengeneza kamati yake maalumu na kuendelea na mchakato huo ambapo yeye hakuwepo
yafutayo ni mahojiano baina ya shahidi huyo na wakili wa mshtakiwa alex mgongolwa
mgongolwa ulisema kulikuwa na malumbano kati ya tanesco na serikali ni malumbano gani
shahidi yalikuwa ni ya aidha zabuni itangazwe ya siku 10 au ifiatwe sheria ya manunuzi inavyosema malumbano hayo ilikuwa ni kuhakikisha sheria uinafuatwa
alidai tanesco baada ya kuona sheria inavunjwa walitaarifu mamlaka ya udhibiti wa ununuzi wa umma (ppra) ambayo ilishauri kufuatwa kwa njia nyingine ya kutangazwa kwa siku 14
shahidi huyo alidai wao waliitaarifu serikali kupitia wizara ya nishati na madini na kusisitiza agizo lao na siku 10 litekelezwe
shahidi wa pili kwenye kesi hiyo alikuwa wakili wa kujitegemea silvester shayo ambaye alidai machi 13 2006 alikuwa shuhuda wa waraka wa kuteua mwakilishi baina ya kampuni ya richmond na gire ambaye aliteuliwa kuwa mwakilishi wa kampuni hiyo
alidai waraka huo aliletewa ofisini kwake na karani wa wakili mwenzake emmanuel kisusi na kwamba haukutilia shaka kwa kuwa anamuamini wakili huyohakimu lema aliairisha kesi hiyo hadi leo ambapo shahidi wa tatu atapanda kizimbani kuanza kutoa ushahidi wake
shahidi serikali iliibeba richmond reviewed by mshappiness katabazi on 831 am rating 5 | 2018-03-22T23:18:02 | https://katabazihappy.blogspot.com/2011/04/shahidi-serikali-iliibeba-richmond.html |
rais mpya liberia aanza kwa kumngoa waziri wa sheria liberia habari/news | hivisasa blog
home โบ habari/news โบ rais mpya liberia aanza kwa kumngoa waziri wa sheria
rais mpya liberia aanza kwa kumngoa waziri wa sheria
rais mpya wa liberia george weah
rais mpya wa liberia george weah amemtimua kazi waziri wa sheria charles gibson kufuatia malalamiko kuwa amepokonywa leseni ya uwakili baada ya kumtapeli mteja wake
inadaiwa kuwa kigogo huyo alipatikana na hatia hiyo na mahakama ya juu baada ya kumtapeli mteja wake dola za marekani elfu 25 na kuagizwa kuzirejesha
rais weah amemteua musa dean aliyekuwa wakili katika tume ya uchaguzi kuchukua nafasi hiyo
rais mwanasoka bw weah liberia alichaguliwa kuwa rais na kuchukua nafasi ya bi ellen johnson sirleaf
majina ya watumishi wa umma watakaolipwa bilioni 43 | 2018-02-23T10:47:41 | http://hivisasa.co.tz/habari/rais-mpya-liberia-aanza-kwa-kumngoa-waziri-wa-sheria |
diary yangu haki ya mtu haipotei bure3
haki ya mtu haipotei bure3
nikasogea mezani na kuchukua ile barua taratibu nikaitoa kwenye bahasha na maandishi ya kwanza niliyoyaona nininasikitika kichwa kikaanza kuuma nikawa sioni maandishimara gizanilichokumbuka ni kauli
nilijikuta nipo hospitalininikatibiwa siku kadhaa baadaye nikatoka na nilipofika ofisini kama barua ilivosema mimi sasa sitakuwa bosi tena na nafasi yangu ataichukua mwenzangu na mimi nitakuwa msaidizi wake huku uchunguzi ukiendelea na ikibainika kuwa ni uzembe wangu hatua zaidi zitachukuliwa nikawa sina jinsi
basi siku zikaenda nikakubaliana na hiyo hali
siku moja narudi nyumbani jioni mtoto wangu kipenzi analalamika macho yanamuumahapo nimechoka na kazi za ofisini ambazo zinanichanganya sana bosi wangu ananifanyia vitwimbi lengo niondoke kabisasasa nimerejea nyumbani sijaweka hata mkoba mtoto analalamika macho kwahiyo hilo la mtoto kulalamika macho nikalidharau tu na sio kawaida yangu mimi huwa nawajali sana watoto wangu lakini siku hiyo nilichoka sana
nikajilaza kwenye kochi kausingizi ka mangamu ngamunamuona mtoto wangu ananililia anatoa machozi ya damuilikuwa ndoto fupi tu nikafunua machokweli mtoto alikuwa kasimama pembeni ya sofa analiamacho mama macho
nikamnawisha na kumweka dawa ya macho nikijua ni matatizo tu ya kawaida huenda kaingiwa na michanga
inafika usiku mtoto wangu analiaanasema haoni vizurinikaanza kupaniki hapo sasa nikawa sina ujanja ikabidi nimkimbize hospitalini usiku huo huowalimuangalia wakaona hakuna tatizoakapewa dawa tukarudi nyumbani akalala hadi asubuhinikajua akimuaka atakuwa safi
kesho yake mtoto analalamika haoni vizuriunajuakuchanganyikiwa nilianza kuwaza mbali kwanza kazini kuna matatizo sasa shida ya mtotonilianza kulia nililia nikikumbuka kuwa nina tatizo jingine mimi na mume wangu hatuelewani kabisa na imefikia kama tumetengana naye anaishi kwake na mimi kwangu hapo sina mtu wa kunisaidia utaona umuhimu wa mume kipindi kama hiki cha shida
hapa naingia natokanifanyeje
na siku hiyo kazini kulikuwa na kikao muhimu sana nikikosa kufika siku hiyo nitaeleweka vibaya sanana huenda nikafukuzwa kazi kwani nimeshaonywa mara nyingi kwa barua na utakuta makosa yenyewe sio makosa hasa ni uzembe wa watu wengine nabeba mzigo wa lawama mimibaadaye sijui kwa vipinikakumbuka
iilinijia tu kama fikira nikamkumbuka yule mama aliyekuja ofisini siku ilesijui ilikujaje mpaka nikamkumbuka
unajua nilichofanya nikasema hayo ya mwanangu namuachia mungu nikaondoka kwenda kazini nikamuachia mfanyakazi wangu maagizo ya kumuhudimia mwanagunikawahi ofisini nilipofika ofisini tu nikaitafuta ile barua ya yule mama nikaanza taratibu za kufuatilia kuhakikisha yule mtoto anasomanikamwandikisha private candidate
pamoja na kipato changu kidogo lakini nilimsomesha huyo mtoto bila ya hata yeye kujua au wazazi wake kujua hadi akafikia chuo kikuuwao wanajua labda ni huduma za hiyo ofisiofisi isingeliweza kumsaidia kwani alishafelimimi nikatumia gharama zangu akasoma hadi chuo kikuu huko nikamuachia mungu maana alifanikiwa kuwa miongoni mwa wanafunzi waliopewa mkopo
sasa tukirudi kwa mtoto wangu hali ya macho ilimtesa sananilihangaika naye ikafikia sehemu nikakakata tamaa kabisa kabisa maanaalishafikia sehemu haoni ni kama kipofuanaona kidogo sanabasi ikawa mimi na ibada tu kumuomba mungu tu
siku moja nipo nyumbani mara mtoto wangu anakuja keshakuwa mkubwa kiasi yupo kidato cha nne anakaribia kufanya mitihaninashangaa mwanangu anafuraha ya ajabu nikamuuliza ni nini kilichomfurahisha hivyo maana yeye muda wote ilikuwa kulalamika tu kwanini mama kwanini imekuwa hivyo ina maana mimi sitaona tenamaneno ya kunitesa tusina la kufanya mimi ni kulia tu
sasa leo anakuja na furaha telenikamuuliza mwanangu umefanikiwa nini huko shuleni
mama mimi naona kabisaakasema kwa kujiamini na kwa kunihakikishia akaanza kunisomea kwenye kitabu chenye maandishi ya kawaidasikuamini nikamuuliza imekuwajemaana kusoma ilibidi atumie lenzi kubwa anaishikilia mkononi ndio asome
akasema alikuja kijana mmoja yeye anasoma chuo kikuu ni mtu wa dini sana akasema yeye anaombea watu wenye matatizo ya macho maana hata yeye alitibiwa kwa kuombewa na alimuomba mungu ampe kipaji hicho cha kuwaombea watu wenginena kweli mungu akamjalai akapata hicho kipaji kwahiyo yeye sasa anapita mashuleni kila akipata nafasi kuwaombea wenye matatizo kama hayo ndio kaniombea na mimi nimepona mamaahsante munguakasema binti yangu
anaitwa nani nikamuuliza nikiwa na furaha moyoni unajua furaha
akanitajia jinanikamkumbuka yule kijana niliyemsomesha jina lake ni hilo hilonilimwambia mwanangu twende kwa huyo kijana ukumbuke muda huo sijawahi kukutana naye na wala hajui kuwa mimi nilijitolea kumsomesha hadi akamaliza kidato cha sitana sikutaka afahamu kabisa maana nilikuwa nalipa dhambi nilizozifanya
unajua mpaka leo sijaonana na huyo kijana maana alisafiri kwenda nje kwani alipata msaada zaidi wa kusoma nje ila bado natafuta siku nije nionane nayenina hamu sana ya kumuona hasa mama yake pia angalau niwaombe msamaha akamaliza
kwahiyo hayo yaliyokupata usikate tamaa mkabidhi mungu yeye anajua ni kwanini imetokea hiyo kama wamekufanyia hujumamungu mwenyewe anajua cha kufanyamuombe mungu tuna amini nikuambiayo malipo ni hapa hapa dunianina kamwe haki ya mtu haipotei bure hata aweje hata yule unayemuona hafai ana haki yake usiwe wewe ndiwe chanzo cha kumfanya atesekeakamalizia
wazo la leo enyi mlio kwenye madaraka ogopeni kuwatendea vibaya wenye madhaifu ambayo hawakupenda yawapateogopeni kuidhulumu nafsi ya mjawaja wa mungu nikiwa na maana wale wenye madhaifu ambayo hawakupenda yawapate kuwatendea ubaya watu kama hao ni madhambi makubwa sanana adhabu yake huanzia hapa hapa dunianiutazaa au wewe mwenyewe yatakukutatimiza wajibu wako lakini usije kuweka chuki yako kwa waja wa mungu ogopeni sana dhambi hiyo ya kiburi na dharau
nimewakilisha tukio na ujumbe huo
labels jamii na mahusianowalemavu ndani ya diari yangunasaha za hekima ndani ya diari yanguriwaya visa vyenye mafundisho | 2018-07-15T18:52:56 | http://miram3.blogspot.com/2017/03/haki-ya-mtu-haipotei-bure-3.html |
mhadhiri udsm atoa tahadhari mwanahalisi online
posted by faki sosi november 5 2015 0 2428 views
mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam (udsm) bashiru ally amesema kauli mbiu ya rais wa awamu ya tano dk john magufuli hapa kazi tu inaweza kutofanikiwa iwapo wananchi hawatoonesha ushirikiano ikiwa ni pamoja na kuachana na itikadi za vyama vyao anaandika faki sosi (endelea)
mhadhiri huyo ambaye pia ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini amezungumza hayo alipokuwa katika mahojiano maalum na kituo cha televisheni cha azam two muda mfupi leo baada ya kuapishwa kwa dk magufuli
dk magufuli ameapishwa leo baada ya kupata ushindi kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika oktoba 25 mwaka huu kwa kupata asilimia 5846
amesema kuwa rais magufuli haanzi kazi mpya bali anaendeleza kazi walizoacha watangulizi wake kuanzia serikali ya awamu ya kwanza ya mwalimu julius nyerere
ameeleza kwamba miongoni mwa kazi ngumu zinayomkabili ni pamoja na kumaliza mgogoro kuhusu muungano wa tanganyika na zanzibar ambao unaonekana kutofika mwisho
katika mahojiano hao amesema rais wa awamu ya nne dk jakaya kikwete pamoja na kufanya juhudi zake katika kutatua mgogoro huo kazi hiyo hakuimaliza
ameeleza kwamba hakuna sababu ya kushirikisha mataifa ya nje katika kutatua mzozo wa zanzibar na kwamba dukuduku la muungano linaweza kutatuliwa ndani ya nchi pekee
mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam (udsm) bashiru ally amesema kauli mbiu ya rais wa awamu ya tano dk john magufuli hapa kazi tu inaweza kutofanikiwa iwapo wananchi hawatoonesha ushirikiano ikiwa ni pamoja na kuachana na itikadi za vyama vyao anaandika faki sosi (endelea) mhadhiri huyo ambaye pia ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini amezungumza hayo alipokuwa katika mahojiano maalum na kituo cha televisheni cha azam two muda mfupi leo baada ya kuapishwa kwa dk magufuli dk magufuli ameapishwa leo baada ya kupata ushindi kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika oktoba 25 mwaka huu kwa kupata asilimia 5846&hellip
previous magufuli ala kiapo kuwa rais wa tanzania
next kipindupindu chatikisa bahi | 2017-11-19T06:25:41 | http://mwanahalisionline.com/mhadhiri-udsm-atoa-tahadhari/ |
mbuta nanga blogmagazine/ since 2011 top in town' *in you been snap blog * navina's wedding 2012 and waliofanya kweli but inasemekana kwamba hii harusi haikuwa na dress code miss fb fashion police say harusi hupendeza ikiwa na dress code kwa hiyo kama unaolewa hasa mwaka huu hakikisha harusi yako ina dress code au mwasemaje wadau
*in you been snap blog * navina's wedding 2012 and waliofanya kweli but inasemekana kwamba hii harusi haikuwa na dress code miss fb fashion police say harusi hupendeza ikiwa na dress code kwa hiyo kama unaolewa hasa mwaka huu hakikisha harusi yako ina dress code au mwasemaje wadau
fab mlipendeza sana mr & mrs
nasubiria kuona snap ya hi full dress i love the dress sana
mlipendeza sana my dears na mavaazi yenu keep it up always hivi ndivyo inatakikana ikiwa hamna dress code kwenye shughuli'z
this is kwa wale mlonisoma vibaya
sijaimanisha kwamba hii harusi haijapendezailipendeza sana mimi niliongelea juu ya dress code za harusini hivi mwakumbuka harusini kule hometanzaniaanyway kule kwetu uchagani upande wa bwana harusi huwa wanavaa nguo za rangi zao na upande wa bibi arusi wanavaa nguo za rangi zao pia kwa hiyo was just sayn also alonitumia baadhi ya picha nakuniambia nizifashion police'e nilikuwa namjibu kwamba hii harusi haikuwa na dress code kwa hiyo sitoweza kusema fulani kaenda kuchafua shughuli za watu ndo maana nikasema wamependeza na wamevaa kiharusi big up my happy people
na kuchangiana vijimawazo siyo mbayaila siyo mawazo ya matusinot in here
you been snap blog
stay bless all na tupendane my dears | 2017-10-19T00:02:45 | http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2012/03/in-you-been-snap-blog-navinas-wedding.html |
nyama ya panya inadaiwa kuwa tamu kushinda kuku na samaki wakiunganishwa โท tukocoke
nyama ya panya inadaiwa kuwa tamu kushinda kuku na samaki wakiunganishwa
4 months ago 1578 views by francis silva
baadhi ya jamii za mijikenya zinazoendeleza tamaduni ya kula nyama ya panya zinapatikana kilifi wengi wa watu kutoka jamii hzo wanasema nyama ya panya ni kitoweo kitamu sana
nyama ya panya ina kazi nyingi na kando na kuwa kitoweo ni dawa ya kujikinga dhidi ya visirani majini na mikosi
sio kenya tu bali pia nchi jirani ya tanzania mkoa wa mtwara kusini mwa nchi hiyo watu wanaendelea kushikilia utamaduni wao wa kula nyama ya panya kwa jina maarufu samaki nchanga
baadhi ya jamii za wamijikenda zinazoishi pwani ya kenya zinaendelea kushikilia utamaduni wao wa kula nyama ya panya ambayo huitwa kadzora
kaunti ya kilifi ndipo kulipo na baadhi ya jamii za walaji panya na hapa ndipo kulipo na idadi kubwa ya wanaokula au waliowahi kula nyama ya panya amboyo inatajwa kuwa tamu sana
nyama ya panya wanasema ina kazi nyingi na kando na kuwa kitoweo ni dawa ya kujikinga dhidi ya visirani majini na mikosi picha africa far and wide
david kombe mwenyeji wa kijiji cha mbudzi anasema nyama ya panya ni kitoweo kitamu sana na muhimuzaidi kwa wakaazi wa kijiji chao
tukocoke ilipofanya mazungumzo naye alikuwa nyumbani kwake baada ya kutoka kondeni kuwanasa panya buku
nyama yake ni yenye utamu wa samaki na kuku wakiwa wameshikana alisema na kutua kabla ya kuendelea huku akitupa kipande cha nyama mdomoni
habari nyingine magazeti ya kenya jumatatu oktoba 7 kieleweke wanadai kuwa rais uhuru anampigia upato imran okoth
kaunti ya kilifi ndipo kulipo na baadhi ya jamii za walaji panya na hapa ndipo kulipo na idadi kubwa ya wanaokula au waliowahi kula nyama ya panya amboyo inatajwa kuwa tamu sana picha samaa tv
kulingana naye nyama ya panya ina kazi nyingi na kando na kuwa kitoweo ni dawa ya kujikinga dhidi ya visirani majini na mikosi
ni sawa na sumu kali kwa majini sababu hawawezi kumkaribia mtu aliyeila nyama ya panya majini ni kama pepo na yanasumbua sana ukitumiwa na mtu unapata taabu hata ukienda hospitali tiba utaikosa ama usipate nafuu kombe alisema
baadhi ya wanadai kuwa nyama ya panya ni dawa ya kuepukana na wachawi na ni kitu kilichotumika tangu zamani
habari nyingine wabunge wanawake watishia kususia siku kuu ya mashujaa dei
kulingana na baadhi ya watu nyama ya panya ina kazi nyingi na kando na kuwa kitoweo ni dawa ya kujikinga dhidi ya visirani majini na mikosi picha practical self reliance
tangu enzi ya mababu zetu kumefanyika hivyo na pia sisi vijana tunaendeleza utamaduni huo kuna baadhi ya wanaosema ni umaskini unaotufanya kula panya lakini sivyo nyama zingine zipo lakini huu ni utamaduni tu aliongeza kusema
miongoni mwa jamii za mijikenda ambazo panya ni kitoweo ni wachonyi wakauma wakambe na wagiriama
kulingana na jonh kiti wa jamii ya wachonyi tuliyeandamana naye kwa safari yetu ni kweli kauli ya biyesi na kwamba yeye binafsi amekula nyama ya panya tangu akiwa mdogo hadi sasa ana miaka karibia 45
habari nyingine moses kuria kumuuza raila mt kenya ni kama kuuza nguruwe saudi arabia
kiti alisema ''nyama ya kadzora inatukinga na magonjwa mengi sikumbuki mara ya mwisho nimeenda hospitali tangu utotoni wakati tulipokuwa tukiwinda na kula nyama ya panya''
kwa mujibu wa wakaazi wa kijiji cha mbudzi panya wanaoliwa ni wale wana wasumbua watu majumbani na wale wanaoharibu mimea shambani
wengi wa watu wanaoendeleza utamaduni wa kula panya wamerithi kutoka kwa wazazi wao na utamaduni huo umekuwa ukipokezwa kutoka mtu hadi mwingine
habari nyingine babu owino achangamsha kanisa kibra
babu yangu alikua akiwinda panya kisa anawaleta nyumbani alikuwa mfanyabiashara na aliwauza ili kupata pesa za matumizi ya hapa na pale nyumbani na waliobaki tuliwala alisema baraka osman mwenyeji wa kijiji cha mbudzi
sio kenya tu bali pia nchi jirani ya tanzania mkoa wa mtwara kusini mwa nchi hiyo watu wanaendelea kushikilia utamaduni wao wa kula nyama ya panya kwa jina maarufu samaki nchanga
pia nchini malawi panya wanaliwa sehemu mbalimbali na ni utamaduni ambao umekuwapo tangu enzi za mababu
kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo desturi ya kula panya haitokani na ukosefu wa nyama nyingine bali ni utamaduni tu
idadi ya panya hao huongezeka wakati wa mazao mengi na ili kuwakama kwa wingi ni bora mtu kuwatega usiku na isiwe wakati wa mvua nyingi
ikiwa ni msimu wa panya wachache mtegaji anaweza kukaa kichakani usiku wote hadi asubuhi akilinda mitego yake isifunguliwe na mtu
kwa hivyo unaposikia watu wanakula panya usidani eti maskini ndio maana anakula nyama hiyo ila ni utamaduni tu na msahahu mila ni mtumwa
latest health news kenyakilifi county news
moses kuria kumuuza raila mt kenya ni kama kuuza nguruwe saudi arabia | 2020-02-18T05:31:14 | https://kiswahili.tuko.co.ke/317713-nyama-ya-panya-inadaiwa-kuwa-tamu-kama-kuku-na-samaki-wakiunganishwa.html |
i am not a slut like her diamonds mother slams husbands baby mama daily active kenya
i am not a slut like her diamonds mother slams husbands baby mama
brenda june 11 2019 331 pm gmt+0000 june 11 2019 332 pm gmt+0000 news_entertainment #celebritygossip 2 diamond's mother diamond's stepfather sandra khasim
a few weeks ago rumours went rounds claiming that diamonds stepfather rally jones had a baby outside wedlock sources close to him indicated that mr jones impregnated a pretty young girl known as sharifa
since the story hit the headlines diamonds mother sandra khasim has never commented on it however on a recent over the phone interview it is evident that she was not happy about it
diamonds mother and rally jones[photo courtesy]
diamonds mother slammed the husbands baby mama by saying that she does not recognize her as anybody and she does not sell her nakedness like her
i dont know her i am the legal wife i have a home i have everything and famous children who are known worldwide so i dont care about children sired outside by a man
diamonds mother said in swahili
interviewer on phone ulisikia habari za mwanamke aliyezaa naye
diamonds mothersandra simjui aliyezaa hata kama kazaa nae huyo sio mke mimi ndie mke halali nanajulikana kote kama anatakakuzaa nje azae tu hakatazwi mtu kuzaa halafu mimi si tasa watoto ninao na tena watoto wangu wanajulikana dunia nzima wanalifurahisha nkulinufaisha jiji sasa mimi mtoto wake atanishughulisha nini ndio kwanza mchanga kama kazaliwa
hanibabaishi chochote hata kama ni mwanamke ako naye hanibabaishi hana mbele wala nyuma mimi sio muuza uchi[i am not a slut] mimi nakaa kwangu na nina familia na ninajiheshimu na nina kila kitu kama alichepuka akaenda kuzaa azae tu
here is the interview shared by one tanzanian activist and blogger mange kimambi mange slams diamonds mother for pretending to be strong yet she is hurting because her lover cheated on her
bi sandra acha kujitia una roho ya chuma mume kuzaa nje inaumaaaa mpaka unaweza hisi roho inatoka tena ukizingatia hela zenyewe anazokwenda kuhonga ni za kwako mwenyewe uwiiii unaweza pasuka kwa hasira acha kujitia gangwe hakuna mwanamke duniani anaweza stahili mumewe kuzaa nje akicheat tu i natamani kuuwa mtu sasa imagine amezaa kabisaaa kibaby uwiiii
a post shared by bongofleva (@mangekimambi_michambo) on jun 11 2019 at 301am pdt
bi sandra acha kujitia una roho ya chuma mume kuzaa nje inaumaaaa mpaka unaweza hisi roho inatoka tena ukizingatia hela zenyewe anazokwenda kuhonga ni za kwako mwenyewe uwiiii unaweza pasuka kwa hasira acha kujitia gangwe hakuna mwanamke duniani anaweza stahili mumewe kuzaa nje akicheat tu unatamani kuuwa mtu sasa imagine amezaa kabisaaa kibaby uwiiii | 2019-08-20T18:35:58 | http://dailyactive.info/2019/06/11/i-am-not-a-slut-like-her-diamonds-mother-slams-husbands-baby-mama/ |
ukodishaji wa magari holland amsterdam
ukodishaji wa magari katika amsterdam
tafuta bei bora kwa ukodishaji wa magari ya gharama nafuu magari ya kifahari na magari ya familia katika amsterdam
kuanzia us$13 kwa siku
kuanzia us$24 kwa siku
karibu na amsterdam
ukodishaji wa gari la zaandam
ukodishaji wa gari la amsterdam schiphol airport
ukodishaji wa gari la hoofddorp
ukodishaji wa gari la purmerend
ukodishaji wa gari la utrecht
ukodishaji wa gari la haarlem
ukodishaji wa gari la almere
ukodishaji wa gari la hilversum
ukodishaji wa gari la alkmaar
ukodishaji wa gari la amersfoort
ukodishaji wa gari la zeist
ukodishaji wa gari la den haag
ukodishaji wa gari la rotterdam
ukodishaji wa gari la delft
ukodishaji wa gari la rotterdam airport
ukodishaji wa gari la den helder
ukodishaji wa gari la dordrecht
ukodishaji wa gari la apeldoorn
ukodishaji wa gari la den bosch
ukodishaji wa gari la arnhem
ukodishaji wa gari la amsterdam kuanzia us$7 kwa siku
ukodishaji wa gari la eindhoven kuanzia us$15 kwa siku
ukodishaji wa gari la rotterdam kuanzia us$8 kwa siku
ukodishaji wa gari la den haag kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la utrecht kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la maastricht kuanzia us$17 kwa siku
ukodishaji wa gari la breda kuanzia us$17 kwa siku
ukodishaji wa gari la groningen kuanzia us$17 kwa siku
ukodishaji wa gari la haarlem kuanzia us$21 kwa siku
ukodishaji wa gari la leeuwarden kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la leiden kuanzia us$15 kwa siku
ukodishaji wa gari la alkmaar kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la arnhem kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la hilversum kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la zoetermeer kuanzia us$8 kwa siku
ukodishaji wa gari la amersfoort kuanzia us$19 kwa siku
ukodishaji wa gari la den bosch kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la emmen kuanzia us$20 kwa siku
ukodishaji wa gari la hoofddorp kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la roermond kuanzia us$23 kwa siku
ukodishaji wa gari la amsterdam schiphol airport (ams) kuanzia us$13 kwa siku
ukodishaji wa gari la eindhoven airport (ein) kuanzia us$16 kwa siku
ukodishaji wa gari la rotterdam airport (rtm) kuanzia us$15 kwa siku
katika amsterdam
ukodishaji wa magari ya kifahari holland
ukodishaji wa magari yanayoondolewa paa holland
ukodishaji wa magari yanayobeba watu 7 na 9 holland
ukodishaji wa magari katika holland
rentalcarscom ni sehemu ya kikundi cha booking holdings inc id 68389 | 2019-02-20T18:15:26 | https://www.rentalcars.com/sw/city/nl/amsterdam/ |
alvin collections askari wawapiga risasi wafanyabiashara jijini arusha tazama picha hapa
askari wawapiga risasi wafanyabiashara jijini arusha tazama picha hapa
kwa mujibu wa mashuhuda tukio hilo la kusikitisha lilijiri hivi karibuni kati ya eneo la msitu wa mbogo na karangai wilayani arumeru majira ya saa 410 asubuhi ambapo wafanyabiashara hao wa kiume walijeruhiwa sehemu mbalimbaligazeti hili liliwakuta watu hao wakiwa wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya arumeru wakitibiwa majeraha makubwa waliyoyapatamashuhuda hao walisema kuwa wafanyabiashara hao walikuwa kwenye gari la mizigo aina nissan mitsubishi lenye namba t 481 bgf wakitokea wilayani simanjiro kushoto ni mmoja wa majeruhi baada ya kupatiwa matibabu
akizungumza kwa tabu hospitalini hapo mmoja wa majeruhi hao ambaye amepoteza kipande kwenye sehemu nyeti baada ya kupigwa risasi katikati ya miguu alisema waliomba lifti katika gari hilo wakitokea landabani simanjiro walikokuwa wamepeleka biashara zaoalisema gari hilo lilikuwa na magunia 45 ya mkaa mali ya dereva wa gari hilo aliyetajwa kwa jina moja la dismack mkazi wa tengerumzava alisema walipopewa lifti walikaa mbele na dereva hivyo wakawa watatualisema walipofika eneo la tukio waliwaona askari wawili wamesimama pembeni ya barabara kwenye kichaka wakiwa na pikipiki aina ya toyoalisimulia kuwa askari hao waliwasimamisha
baada ya kusisimama waliwatambua askari hao wanaodaiwa ni wa kituo cha mbuguni ambao walimtaka dereva kuwapatia kibali cha kusafirisha mkaadereva alitoa kibali na risiti za malipo lakini askari hao hawakuridhika na kutaka wapatiwe fedha ndiyo waweze kumwachia vinginevyo wangelipeleke gari kituonibaada ya kuona usumbufu dereva aliondoa gari ndipo askari mmoja aliwamiminia risasi zaidi ya 20 na kusababisha gari hilo kuserereka na kupinduka huku damu zikiwa chapachapakatika tukio hilo wasamaria wema walifika na kutoa msaada kwa majeruhi kwa kutafuta gari na kuwapeleka katika kituo cha polisi usariver ambako walipatiwa hati ya matibabu (pf3) kisha wakakimbizwa hospitali hiyo ya wilaya ya arumerumkuu wa polisi wa wilaya ya arumeru ocd benedict mapujila alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa tayari ameshapeleke taarifa kwa mkuu wa polisi mkoani hapa rpc liberatus sabas posted by | 2017-03-26T16:59:50 | http://alvincollections.blogspot.com/2013/12/askari-wawapiga-risasi-wafanyabiashara.html |
msaada wa laptop yangu | jamiiforums | the home of great thinkers
msaada wa laptop yangu
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by kachanchabuseta aug 22 2011
wanajf naomba msaada wenu kabla ya hayo nalipongeza hili jukwaa la tech kwa kutoa msaada mkubwa kwa jamii
mimi nina laptop ndogo yangu ya acer( mfano wake kama hapo chini) nimetumia hii laptop kwa mwaka tokea niletewe na ndugu yangu
last week imeanza kuniletea matatizo nikiweka kwenye power hawezi kucharge mpaka sasa reserve ya bettary iliyokuwa nayo imeisha siwezi kuwasha tena nikitoa bettary na kuchomeka kwenye soketi moto hauingii
tatizo ni battery au wire wa kuconnect kwenye power
wapi wanauza spare kama tatizo ndo hilo
tatizo ni hiyo adapta angalia hiyo adapta kama inawaka
karzjr said
tatizo ni hiyo adapta angalia hiyo adapta kama inawakaclick to expand
hii adapta haina sign ya kuwaka tokea nianza kuitumia
nikichomeka kwenye power haoneshi kama moto umeingia au la
naweza pate wapi adapter mpya hapa dar es salaam ili nijaribu
sitaki kupeleka laptop yangu kwa mafundi maana wataiaribu zaidi
nataka nijaribu mwenyewe kwanza
nataka nijaribu mwenyewe kwanzaclick to expand
pili unaweza kujaribu repair ya adapter uwezekano mkubwa ni tatizo la cable yaweza kuwa imekatika ndani kwa ndani sababu ya kunjakunjua
lakini pia umeme usioaminika na matumizi ya generator zisizo na kiwango yanaweza sababisha adapter kuungua utaipeleka kwa fundi apime output kama ipo au la kisha atakushauri kinachowezekana bado wapo mafundi wenye ujuzi wa kutosha na pia ni waaminifu kwa dar unaweza kumtafuta msamba pale kvd makweta wa pale namanga jirani na bmk mbuya wa 3h lumumba nk
tatu unaweza jaribu kupata adapter mpya pale kvd na hii itaokoa muda
wanajf naomba msaada wenu kabla ya hayo nalipongeza hili jukwaa la tech kwa <br />
kutoa msaada mkubwa kwa jamii<br />
mimi nina laptop ndogo yangu ya acer( mfano wake kama hapo chini) nimetumia hii laptop kwa mwaka tokea niletewe na ndugu yangu<br />
last week imeanza kuniletea matatizo nikiweka kwenye power hawezi kucharge mpaka sasa reserve ya bettary iliyokuwa nayo imeisha <br />
siwezi kuwasha tena nikitoa bettary na kuchomeka kwenye soketi moto hauingii<br />
msaada jamani<br />
tatizo ni battery au wire wa kuconnect kwenye power<br />
wapi wanauza spare kama tatizo ndo hilo<br />
<img src=http//t3gstaticcom/imagesq=tbnand9gcstdmxe1bc1w7qagan3psmonwbc_v9h_vodo_npuafxo9byf5g7wq border=0 alt= />click to expand
the best there jaribu adapter nyingine kama itakubali kucharge your computer kama isipokubali inawezekana charging system ya computer yako ina matatizo so itakubidi umtafute mtaalamu
mamatibwita hope tibwita ni mzima
je hiyo acer ni model gani ili tuchungulie huku kwenye internet technical specs zake na za adaptor zake na mambo mengineyo kama manual yake
mfano tatizo lolote la kiufundi la kifaa chochote kama una utundu kidogo basi kimbilio la kwanza nenda kwenye tovuti ya watengenzaji kwa case yako wewe ni http//wwwacercom/worldwide/selectionhtml ukiwa huko unaweza kupata manual ya laptop yako amabayo ukisoma utajua jinsi ya kuanisha nini hasa chanzo cha tatizo
kama vipi mwaga data zaidi hapa tukusaidie ku google naukupa ushauri zaidi
shockstopper said
tatu unaweza jaribu kupata adapter mpya pale kvd na hii itaokoa mudaclick to expand
namanga unayosema ni pale karibia na best bites au kina nyingine
mfano tatizo lolote la kiufundi la kifaa chochote kama una utundu kidogo basi kimbilio la kwanza nenda kwenye tovuti ya watengenzaji kwa case yako wewe ni acercom worldwide select your local country or region ukiwa huko unaweza kupata manual ya laptop yako amabayo ukisoma utajua jinsi ya kuanisha nini hasa chanzo cha tatizo
kama vipi mwaga data zaidi hapa tukusaidie ku google naukupa ushauri zaidiclick to expand
asante sana mtazamaji nitakupa more details soon
maana laptop iko uswahilini kwetu
nitaomba msaada wako maana nikiwa home
siwezi kufanya kazi kwa kutumia net
siwezi kufanya kazi kwa kutumia netclick to expand
ok maana usikimbiliekununua adaptorunaweza ukanunua dadaptormpyauakuta bado kuna tatizo may be nipowe supply ndaniya maotherboard ina mushkeri la sivyo ukitaka kununua power adaptor nenda na hiyo laptop wanapoouza hizo power adaptor kabla ya kununua waambie wajaribishe kwenye laptop yako laptop ikiwaka basi tatizon ni ilikuwa ni powe adaptor ikigoma kuwaka basi tatizo ni ndani ya laptop probabaly power ic au power suply inasyosambaza moto kwenye mother board imeroga hi itakusaidia kuondoa bahati nasibu ya kununua kitu ambacho inawezekana sio tatizo
au kama kuna futari kwako nialike nije kuicheki fasta teh teh teh teh
au kama kuna futari kwako nialike nije kuicheki fasta teh teh teh tehclick to expand
asante mtazamaji
sijui kama hizi details ni zenyewe
mfrname delta electronics ltd
a/s center (82)25155305
unaweza kunielekeza wapi dar naweza kwenda kutest kwa kununua adaptor
msaada jamaniclick to expand
kuna mdau comment no 4 kakutajia maduka kadhaa kama kvd unaweza jaribu hizo location
lakini kama nilivyookuliza mwanzo ungetaja model ya laptop yako ingesaidia zaidi ili kuelewa specs za hiyo adaptor na kupata details zadi ya laptop yako hizo details ulizotaja hapo juu naona ni jina la kampuni na number za simu so hazina msaada sana
cha kufanya ukienda kwenye hayo maduka unaweza kwenda na laptop yako pamoja na adaptor inayodhaniwa ni mmbovu | 2017-04-28T10:51:53 | https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wa-laptop-yangu.165963/ |
yanga tulizeni akili medeama si wakubezwa bingwa
nyumbani kolamu yanga tulizeni akili medeama si wakubezwa
yanga tulizeni akili medeama si wakubezwa
na bingwa july 8 2016 461 0 kushiriki
share this on whatsappna ezekiel tendwa
0789291209
juni 28 mwaka huu wawakilishi wa tanzania katika michuano ya hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani afrika yanga walijikuta wakipata matokeo mabaya baada ya kupokea kipigo cha bao 10 kutoka kwa tp mazembe ya jamhuri ya kidemokrasia ya congo (drc) uliochezwa kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam
kilikuwa ni kipigo cha pili mfululizo katika michuano hiyo kwani juni 19 mwaka huu walifungwa bao 10 na mo bejaia ya algeria mchezo ulichezwa ugenini
matokeo hayo yanaifanya yanga kuburuza mkia katika kundi a wakiwa hawana pointi wala bao walilofunga huku tp mazembe wakiongoza kwa pointi sita baada ya kuifunga mabao 31 medeama ya ghana katika mchezo wa kwanza uliochezwa juni 19 mwaka kwenye uwanja wa stade du tp mazembe lubumbashi kisha yanga
baada ya kucheza na tp mazembe sasa yanga wanajiandaa kucheza na medeama katika mchezo utakaochezwa julai 16 mwaka huu kwenye uwanja wa taifa ambao kwenye kundi lao wanashika nafasi ya tatu
medeama ambao wanaonekana si timu ya kutisha katika kundi lao wamefungwa mchezo mmoja lakini wakitoka suhuhu na mo bejaia uliochezwa julai 29 mwaka huu nchini ghana
pamoja na yanga kupoteza mechi mbili lakini wana nafasi ya kupenya hatua inayofuata iwapo watapata matokeo mazuri kwa mechi zilizosalia huku wapinzani wao wengine kwenye kundi hilo wakipoteza
yanga wanatakiwa kushinda dhidi ya medeama ili kujiweka katika mazingira mazuri ambayo itaweza kutuliza presha ya mashabiki wao wanaoonekana kuumizwa na vipigo viwili mfululizo
ni muhimu yanga kushinda mechi hiyo ambayo itafunga mzunguko wa kwanza kwenye kundi lao ili waweze kutoka mkiani na kushika nafasi ya tatu kwa kuwashusha waghana hao
mechi hiyo itaonyesha mwelekeo wa yanga kwani wakishinda watakuwa wametengeneza mazingira mazuri ya kusogea hatua moja mbele lakini wakipoteza watakuwa wanajitengenezea mlima mrefu ambao huenda wakashindwa kuuvuka
ninachoweza kuwashauri kuelekea mchezo huo ni kwamba wanakutana na timu ambayo nayo inatafuta matokeo mazuri ili ipate nafasi ya kusonga mbele hivyo kama yanga watajidanganya kuwa wanakutana na timu nyepesi jambo hilo linaweza kuwagharimu
ni kweli kwamba kabla ya mechi yao ya kwanza dhidi ya tp mazembe tulisikia kupitia vyombo vya habari nchini ghana vikisema medeama wanatishia kutosafiri kwenda congo kutokana na ukata unaowakabili lakini baadaye walikwenda kucheza na kupokea kipigo cha mabao 31
zinaweza pia zikaja taarifa kwamba waghana hao hawatakuja kwa madai yaleyale ya ukata lakini hilo lisije likawafanya yanga kulala
lisije likawafanya yanga kupiga usingizi wa pono kwani siku hizi ujanja ujanja mwingi sana hasa katika soka letu la afrika
ni kweli kwamba medeama ni timu ndogo ambayo haina mafanikio sana katika michuano hii ya afrika kwani rekodi yao inaonyesha klabu hiyo imeanzishwa aprili 18 2002 tofauti na klabu ya yanga iliyoanzishwa mwaka 1935 lakini hiyo si tija na wala si silaha ya kuwafanya wawakilishi wetu hawa wawabeze
jambo la kufurahisha hapa ni kwamba kocha mkuu wa yanga hans van de pluijm anao uzoefu mkubwa na soka la ghana kwani huko ni kama nyumbani kwao ndiyo maana hata likizo huwezi kusikia anakwenda kokote zaidi ya nchini humo
angalizo lingine ambalo yanga wanatakiwa kuna nalo macho ni kuachana na zile tabia za kuamini kuwa wanahujumiwa hasa na shirikisho la soka tanzania (tff) kama walivyotunisha msuli wakati wanakabiliwa na mchezo dhidi ya tp mazembe
yanga walitumia nguvu nyingi kwenye vyombo vya habari kutangaza kwamba wanaonewa na kama nguvu ile waliyoitumia wangeitumia kuhamasisha mashabiki wao kuipa sapoti timu yao nadhani ingewasaidia sana
naamini yanga ni timu nzuri kwa sasa hasa kutokana na utulivu wao walionao umoja na mshikamano ikichagizwa na usajili mzuri walioufanya hivyo kama watatulia nafasi yao ya kusonga mbele katika michuano hii ya afrika ipo wazi
ni ukweli ulio wazi kuwa medeama si timu ya kubeza kwani mpaka wamefika hatua hii wamepishana na mishale mingi hivyo yanga wasije wakadharau kwani waswahili tuna msemo wetu usemao mdharau mwiba mguu huota tende
nimekuwa nikisisitiza mara kwa mara kwamba pasi nyingi zisizo na mabao haziwezi kuisaidia timu na ndicho hicho kinachotokea kila mara kwa yanga
imejitokeza mara nyingi kuisifu yanga kwamba wanacheza kandanda la kuvutia lakini mwisho wa siku wapinzani wao ndio wanaotoka na pointi tatu ndiyo maana huwa najiuliza nani mwenye faida kati ya anayecheza pasi nyingi na yule anayetoka uwanjani na pointi tatu
katika mchezo wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya etoile du saleh yanga walicheza mpira mwingi sana lakini wakatolewa na kutupwa huku chini kwenye kombe la shirikisho
wote tulibaki kuwasifu kwamba waliwashika waarabu hao tukasahau ni nani aliyepata faida
mechi yao dhidi ya mo bejaia yanga walicheza mpira mwingi ugenini tukawasifu sana lakini mwisho wa dakika 90 wapinzani wao wakaondoka na ushindi wa bao 10 sisi tukabakia na pasi zetu zenyewe wakaondoka na pointi tatu
walipokutana na tp mazembe wakafungwa bao 10 tukaendelea kujisifu kwamba mazembe wamekwisha kwani yanga waliwashika sana bado tukabakia na sifa zetu za kampa kampa tena wenzetu wakaondoka na pointi tatu yanga sasa tafuteni pointi tatu
tweet makala ya awaliomog kuanza kazi rasmi jumatatumakala ijayotunatofautiana nao kuthamini riadha bingwa makala kuhusianazaidi kutoka kwa mwandishi
jkt ruvu imefunga hesabu za kushuka daraja udambwidambwi wa marcelo madansa tu ndio ambao hawana viongozi wenye dira na mipango endelevu hakuna maoni | 2017-04-24T13:20:11 | http://bingwa.co.tz/2016/07/08/4447/ |
kingotanzania habari picha na matangazo bilion 293 kutumika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura
bilion 293 kutumika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura
tume ya uchaguzi inatarajiwa kutumia zaidi ya bilioni 293 katika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura ambalo mchakato wake unatarajiwa kuanza hivi karibu huku maandalizi yakiwa yamekamilika
pia tume ya uchaguzi inatajiwa kuandikisha jumla ya watu wasiopungua milion 24 kwenye zoezi zima la uandikishaji wapiga kura huku tenelojia mpya ya uandikishaji ikibadilika
akizungumza na wadnishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wanavyoviwakilisha katika semina ya tume na vyombo vya habari mwenyekiti wa tume jaji mstaafu damian lubuva kuwa tume inatarajia kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura na teyari maandalizi yamekamilika
jaji lubuva alisema kuwa mfumo huo mpya ambao ulianza kutumika kwenye mataifa mbalimbali na hapa nchini ndio unaingia lakini zanzibar teyari waliutumia kwa mara ya kwanza kwenye uchaguzi uliopita
''mfumo huu wa kuchukuwa au kupima taarifa za mtu za kibaolojia au tabia ya mwanadamu na kuzihifadhi katika kanzi data kwa ajiliya utambuzi utatusaidia sanaalisema jaji mstaafu lubuva
mbali na faida hizo pia mfumo huo utasaidia kuondoa wapiga kura waliojiandikisha zaidi ya mara mojakutambua wapiga kura siku ya uchaguzi na kuhamasisha wapiga kura waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine
aidha alisema kuwa mfumo huo pia ulikumbana na chqangamoto mbali mbali za kiteknolojia na kimfumo kwenye nchi zilizoanza kuutumia ikiwemo nchi ya kenya ilioingia mwaka 2013 baada ya mfumo wa njia moja ya mawasiliano kukwama wakti wa uhesabuji wa kura na hapa nchini wamejipanga kuhakikisha hayajitokezi hayo
jaji mstaafu akatanabaisha kuwa mbali na changamoto hiyo katika mfumo huo kwenye uandikishaji haukuleta matatizo huku hapa nchini ukitumika kwa ajili ya kuandikisha wapiga kura tu na wala si vingine
alisema kuwa mfumo huu utatoa majibu kwenye changamoto ambazo zilijitokeza wakati tume ilipokuwa ikitumia mifumo mbalimbali kabla haijaanza kuutumia mfumo huu wa bvr kwani kwa asilimia kubwa mfumo hu utasaidia
jaji lubuva alisema kuwa uboreshaji huo wa daftari la kudumu utawafanya kadi za wapiga kura kutotumika na badala yake watatoa kadi mpya zenye muonekano kama za benki
posted by ally kingo at 153 pm | 2017-10-17T22:22:25 | http://kingotanzania.blogspot.com/2014/07/bilion-293-kutumika-kuboresha-daftari.html |
hoyce temu aifariji familia ya marehemu mwangosi | rundugai blog
home ยป jamii ยป hoyce temu aifariji familia ya marehemu mwangosi
hoyce temu akimpa mkono wa pole mke wa marehemu daudi mwangosi alipoitembelea familia hiyo kuifariji mwanaharakati wa kijamii hoyce temu kupitia kipindi chake cha mimi na tanzania amefanya ziara mkoani iringa na kupitia nyumbani kwa familia ya mwandishi aliyeuawa daudi mwangosi na kuwajulia hali hoyce temu kwa pamoja na kundi zima la waandaaji wa kipindi cha mimi ni tanzania waliwasili katika nyumba ya mjane huyo bi itika mwangosi kumsabahi na kutaka kujua anaendeleaje na maisha kila siku
hoyce temu akimfariji mke wa marehemu daudi mwangosi bi itika mwangosi alipoitembelea familia hiyo mkoani iringa ziara hiyo nyumbani hapo ni kwa nia nzuri ya kutaka kujua jinsi anavyokabiliana na changamoto za kila siku za maisha pamoja na watoto wake wanne walizungumza mengi yakiwemo yale yanayomkwaza bi itika mwangosi na jitihada anazofanya ili kujikwamuaaidha bi temu akiwa amewapakata watoto wa marehemu aliifariji familia hiyo akiwataka kutokata tamaa na kuwa mungu yupo na kwa kuwa watanzania ni wamoja mambo yatakwenda sawa
bi itika mwangosi akionyesha uso wa matumaini baada ya kupewa maeneo ya faraja na hoyce temu amezungumza na watoto kuhusu kwenda shule na kutaka kujua wanasoma shule gani na iko umbali gani kutoka nyumbani pamoja na mambo mengine hoyce temu kupitia kipindi cha mimi na tanzania amewasihi watanzania wenye moyo wa ukarimu kumsaidia mjane huyo ambaye hana ajira kwa hivyo ni vigumu kupata kipato cha kujitosheleza yeye na wanawe kwa mahitaji muhimu ya kila siku | 2019-12-06T03:56:45 | https://rundugai.blogspot.com/2013/02/hoyce-temu-aifariji-familia-ya-marehemu.html |
rockersports arsenal yatwaa ngao ya jamii mbele ya manchester city tazama bao la giroud lilivyokuwa la kusisimua
arsenal yatwaa ngao ya jamii mbele ya manchester city tazama bao la giroud lilivyokuwa la kusisimua
olivier giroud wa arsenal amefunga goli zuri la tatu katika kipindi cha pili katika ushindi wa mabao 30 dhidi ya manchester city mchezo wa ngao ya jamii mchezo uliuopigwa uwanja wa wembley
santi cazorla alifunga bao la uongozi la washika mitutu wa london dakika ya 21 kabla ya aaron ramsey kufuatia yaya sanogo kuangushwa
matokeo hayo yanawapa arsenal mwanga mzuri mbele ya safari ya kuwania taji la ligi kuu ya england baada ya kutwaa ngao ya jamii
hili ndilo goli safi la oliver giroud | 2018-03-18T17:01:40 | http://rockersports.blogspot.com/2014/08/arsenal-yatwaa-ngao-ya-jamii-mbele-ya.html |
tuko tayari kuingia uchaguzi 2015 bila katiba mpya | jamiiforums | the home of great thinkers
tuko tayari kuingia uchaguzi 2015 bila katiba mpya
discussion in 'jukwaa la siasa' started by ndamo emmanuel mar 1 2011
ndamo emmanuel
kwa maoni yangu nina hakika zaidi ya 500 kuwa katiba tunayoitaka wananchi haiwezi kukamilika haraka kama ratiba ilivyo sasa kuwa kufikia 2014 tuwe tumepata katiba mpya kukimbizwa mbio mbio mchakato huu kutaacha masuala muhimu ya msingi ya wananchi kuingia kwenye katiba hivyo kulazimika kuweka viraka elfu kidogo mara tu tupatapo hiyo katiba mpya 2014
kwa maoni yangu mwanasiasa yeyote atakayeunga mkono marekebisho ya katiba hii iliyopo ili kuruhusu tume huru ya uchaguzi pekee ili tuingie katika uchaguzi na kupata rais mwingine ili aendeleze mchakato wa katiba mpya ni uroho wa madaraka
tukiruhusu mabadiliko au marekebisho ya tume ya uchaguzi na tukapata tume huru ya uchaguzi na tukaingia uchaguzi mkuu 2015 huku tukiacha mchakato wa katiba uendelee chini ya usimamizi wa rais huyo mpya tutakuwa tumefuata matakwa yenye mlengo wa kisiasa zaidi na sio wenye kulenga kusikiliza matakwa ya mtanzania wa kawaida maskini kwa sababu zifuatazo
1lengo kuu la vyama vya siasa ni kushika dola tofauti na malengo ya wapiga kura na wananchi ya kutimiziwa matakwa yao na kupata mgao sawa wa raslimali na mrejesho kodi wanazolipa serikalini kupitia huduma za jamii
2 kupata rais wa nchi 2015 bila katiba mpya hakutaleta ahueni yeyote kwa mtanzania wa kawaida bila kujali kuwa ni cufcdm mageuziccm au udp kitachoshika dola
3 kuruhusu nchi iingie ktk uchaguzi bila katiba mpya kutamfanya rais atayeingia madarakani 2015 kutengeneza mazingira ya kujilinda kama alivyofanya mwai kibaki nchini kenya na kusababisha muda wa upatikanaji wa katiba mpya uwe mrefu zaidi
4 tunahitaji tuvidhibiti vyama vya siasa ili viwe na sera moja juu ya uchumi utamaduni siasa usiokuwa tegemezi vyama hivyo vitofautiane tu jinsi ya kutekeleza sera hizo 5hakuna madhara yoyote kwa wananchi kuahirisha uchaguzi 2015 wakitumia muda huo kushiriki kikamilifu bila shinikizo la muda kutengeneza katiba nzuri yenye maslahi yao na baada ya kupata katiba mpya ndipo tuingie kwenye uchaguzi
6 chama mtu au kikundi chochote kitachoshinikiza tuingie uchaguzi mkuu 2015 bila katiba mpya ni wabinafsi na waroho wa madaraka kwa maoni yangu wenye uchu wa madaraka ndo unawasikia wanaanza kujadili nani atakuwa rais wa 2015 wakati hata robo ya ilani yao ya uchaguzi bado kukamilisha
tukipata katiba iliyokamilika ndipo tukaingia kwenye uchaguzi tutafikia yafuatayo
1 tutaweza kutengeneza mfumo mzuri wa vyama vyetu vyote vya siasa viwe vyenye kutokana na wananchi wenyewe bila shinikizo kutoka mataifa ya kibepari
2 tutaweza kudhibiti mfumuko wa bei na kupandisha thamani ya sarafu yetu
3 tutaondokana na sera za kinyonyaji zenye kuzuia serikali yetu kuanzisha viwanda na kuvisimamia ili kuleta ajira kwa wananchi wake
4 tutadhibiti rushwa kwa kujenga maadili ya kitaifa na kuruhusu mfumo huru wa kuzuia na kupambana na rushwa
5 haki itapatikana katika vyombo vitoavyo haki na ยยwananchi wenye hasira kaliยย watabadilika kuwa ยยwananchi wenye upendo madhubutiยย
6 uchumi utarudi mikononi mwa wengi na tutapata mgao wa dhahabu almasi tanzanite zetu na raslimali zetu kwa ujumla
7 tutarudia utamaduni wetu mzuri wenye staha heshima kuvumiliana na upendo tele
8 tutaendeleza ndoto za mwalimu nyerere za kuiunganisha afrika kuwa moja
ni maoni yangu kuwa nia ya dhati ya kupata katiba mpya iliyoridhiwa na rais kwa matakwa ya wananchi wengi iendelee hadi kukamilishwa ili mradi tu tusiingie uchaguzi mwingine na katiba hii nzee
je mwana jf uko tayari kuingia uhaguzi 2015 bila katiba mpya au uko tayari kuruhusu uchaguzi mkuu usogezwe mbele hadi hapo tutakapopata katiba mpya kwa maslahi ya wananchi 0 people likes
mh mkubwa una ubavu wa kudefend hii post yako subiri kidogo tu
lol bora apewe ufalme kabisa wa kubaki mdarakani milele kisha watoto wake watakuwa wanarithi mmoja baada ya mwingine
a s 13katika watu wasio na akili wewe ndo kiranja
lol bora apewe ufalme kabisa wa kubaki mdarakani milele kisha watoto wake watakuwa wanarithi mmoja baada ya mwingineclick to expand
duh tunalingana mawazo mkuu nilifikiri hivyo hivyo awe mfalme au angalau apewe uraisi wa maisha
wambadilishe cheokwa kuwa katiba mpya inakujaitabidi aitwe field malshal jogoo la kikwere kaka wa kaka dakta profesa wa ukweli mgao wa umeme mwiko mfalme wa wafalme king of the world the main explorer general kanali head of state emperor jk
president king and emperor for life
kumbe kuna watanzania wengine mna umaskini wa mawazo
that is nonsense post kuna haja ya jamii forum kulimit watu wanaojiresta humu maana wengine hawana hata tone ya mawazo muhimu
ndo mawazo yake jamvini where we dare to talk openly
jamani watu wengine hawajui matani hawa jamaa wa chama cha zamani wana numbers pale mjengoni wakichungulia jf waone hii thread watadhania anakubalika wanaweza kuchakachua mjengoni kuongeza muda wa mshikajipls acha satiresrain
bora aongezewe muda atusaidie kuizika ccm
muheshimiwa raisi dkkikwete kuongezewa muda wa uraisi ili amalizie maswala ya katiba mpya kwa urahisipia na kutuwezesha watanzania kuelewa maana ya katiba na umuhimu wake
isitoshe magamba yatakuwa yemevuliwa yotena pia kusimamia magamba mapya yakichipua vizuri
raisi wa marekani aliwahi kuongeza muda wa kuwa madarakani franklin roosevelt 1933 to 1945 source franklin d roosevelt wikipedia the free encyclopedia
tunajua usa ndio nchi inayojitangazia uimwenguni kuwa na demokrasiana isitoshe dkjakaya kikwete ni friends of usaso haitakuwa mbaya akiongezewa mudahiyo pia ni sehemu ya demokrasia
natimiza haki yangu kikatiba kwa kutoa maoni bila kuvunja sheria
mi sipo
una lako jambo kwanza unayemsema haijui katiba ndo maana hata dc igunga hajui sheria za tanzania
una lako jambo kwanza unayemsema haijui katiba ndo maana hata dc igunga hajui sheria za tanzaniaclick to expand
katiba kitu gani banaahiyo si inabadilishwa tu ccm inao wabunge 75 wanatosha kupitisha hayo mabadiliko
jk for life
massanja vipi huko ze komedi freshi
mageuzi said
natimiza haki yangu kikatiba kwa kutoa maoni bila kuvunja sheriaclick to expand
nimechoka kumsema vibaya jk mwache apumzike salama najua nia yako na hatumshambulii ng'o kwanza hata yeye mwenyewe akiongezewa hata wiki moja baada ya muda wake kwisha ( kama atafanikiwa kumaliza miaka minne iliyobaki salama) hataki kabisa huo ujinga wenu mnaouita urais
embu wazubutu ndo watajua nguvu ya umma
raisi wa marekani aliwahi kuongeza muda wa kuwa madarakani franklin roosevelt 1933 to 1945 click to expand
roosevelt hakuongezewa muda kama ambavyo huwezi kusema nyerere aliongezewa muda haikuwa inazuiliwa kuchaguliwa zaidi ya mara mbili wakati wa fdr hivyo alichaguliwa mara nne katika chaguzi za kawaida term limits zimeanza baada ya fdr katika mabadiliko ya 22 ya katiba yao | 2017-04-25T17:02:44 | https://www.jamiiforums.com/threads/tuko-tayari-kuingia-uchaguzi-2015-bila-katiba-mpya.332819/ |
tlp cuf nccr & wengine wajifuta kwa msajili kama vyama vya siasa | jamiiforums | the home of great thinkers
tlp cuf nccr & wengine wajifuta kwa msajili kama vyama vya siasa
discussion in 'jukwaa la siasa' started by just mar 22 2011
hoja hii inatokana na kauli za viongozi wa vyama husika
katika hali ya kawaida chama cha upinzani nia yake kubwa ni kuonyesha mapungufu ya chama kinachotawala kwa jamii ili waweze kuwaondoa na wao kushika dola kwa hapa tanzania ni kiroja cha aina yake kwa kuona vyama vya upinzani ukiacha cdm vinaondoka kwenye nia hiyo kuu na kuwa wasemaji na maagenti wa chama tawala
kwa misingi hiyo msajili wa vyama vya siasa nchini anatakiwa kuvitoa kwenye orodha ya vyama vya siasa na kuvijumuisha kama washirika wa chama tawala na avibatize jina la party of few unit pfu kwa muungano wao wa kisiri waliounda pasipo mamlaka ya umma unaovifanya viwepo
dont worry they dead already you will no see them in few years to come
vyama zaidi ya 11 kwenye daftari la msajili vipo hai lakini kiuhalisia vimekufa vile vinavyo jitutumua navyo vimeamua kujipambanua kuwa ni wafuasi wa ccm kivitendo lakini kinadharia ni wapinzani hapa cdm sijawaunganisha na vyama hivyo
lakini ktk hali halisi ya tanzania vyama hivyo 11 haviwezi kufutwa na msajili maana kwa siasa za tanzania vyama hivyo vinapiga kazi bado kumbuka jk aliwakemea cdm kwa kufanya mikutano na maandamano eti kwa kuwa uchaguzi umeshakwisha sasa wasubiri mwingine na msajili wa vyama bw tendwa nae akaunga mkono hivyo kibongo bongo vyama hivyo vipo hai maana kukaa kimya kwake ni mtaji wa ccm 2015 na ni salama ya tendwa kuendelea kuwa msajili wakianza siasa za kiuana harakati kama cdm ili kuwahamasisha watanzania kukomboa taifa lao wataitwa wachochezi na wanatakakufanya uhainiyaani wanatakiwa waibuke kipindi cha karibu na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015 vyama vya kisiasa bongo vinatakiwa kujiendesha kama homa za vipindi yaani vipige kazi uchaguzi ukikaribia ukiisha vipumzike kuiachia ccm ifanye uchakachuaji hadi uchaguzi mwingine
hivyo cuf nccr udp na tlp hivyo ni vyama hai lakini ni ma agent wa ccm wakiendekeza siasa za mtumikie kafiri upate mradi wako na baniani mbaya kiatu chake dawa
ndugu siasa za upinzani nchi hii ni ngumu sana kuchagua kuwa mpinzani ni kuchagua njia nyembamba iliyo ngumu kisiasa hii inatokana na sababu nyingi lakini kubwa zaidi ni elimu ndogo ya uraia kwa watu na kutokuwa na uhakika au tuseme hofu ya kwamba je wapinzani wakishika dola itakuwaje kwa maneno mengine ni kusema heri ya shetani umjuaye kuliko malaika usiyemjua ktk hali hii vyama pinzani vinaweza vikawa hodari wa kuibua madudu na mapungufu ya chama tawala lakini linapokuja kwenda kwa wananchi kuombaa ridhaa huko kunakatisha tamaa sasa kutokana na kwamba waongoza vya pinzani ni binadamu wenye mahitaji kama wengine mathalan kufanikiwa ktk nyanya zote za maisha kielimu kiuchumi kijamii nk wanajikuta wanakata tamaa kuendelea kuwatetea watu 'wasiohitaji' kutetewa na kwa kuwa na wao wana njaa tena kubwa tu wanajikuta njia panda na hatimae huacha kuwa watetezi wa wanyonge badala yake inawalazimu watekeleze kwa matendo msemo usemao if u can't fight them join them na ndicho cuf tlp nccr wanachofanya
mimi nachojua tz kuna vyama viwili tu cdm na ccm basi ila ccm ina branch nyingi kama ccm b ccm c ccm d ni hayo 2 | 2016-10-26T23:17:36 | http://www.jamiiforums.com/threads/tlp-cuf-nccr-wengine-wajifuta-kwa-msajili-kama-vyama-vya-siasa.120100/ |
p diddy ala kiapo cha kutofanya mazoezi ya kukimbia | saluti5
home ยป muziki ยป p diddy ala kiapo cha kutofanya mazoezi ya kukimbia
p diddy ala kiapo cha kutofanya mazoezi ya kukimbia
msanii nguli wa hiphop nchini marekani sean combs p diddy ameapa kutokimbia tena kutokana na janga lililomkuta
rapa huyo mwenye utajiri uliopea alilazimika kufanyiwa upasuaji wa goti baada ya kuanguka wakati akifanya mazoezi ya kukimbia
diddy alitupia picha zake kwenye mtandao wake wa kijamii wa instagram zikimuonyesha jinsi ambavyo anataabika akiwa hospitali baada ya upasuaji huo
pamoja na kuwa na maumivu makali msanii huyo aliwaomba madaktari wawaruhusu mashabiki wake kuingia na kumjulia hali baada ya kumpa pole waliomba kupiga nae picha | 2017-08-24T10:46:02 | http://www.saluti5.com/2017/02/p-diddy-ala-kiapo-cha-kutofanya-mazoezi.html |
uzuri wa mayai na nyama ya kware katika kukukinga na maradhi mbalimbali maridadi agency
home ยป tips ยป uzuri wa mayai na nyama ya kware katika kukukinga na maradhi mbalimbali
uzuri wa mayai na nyama ya kware katika kukukinga na maradhi mbalimbali
katika kutafuta nikasema pamoja na vyanzo vya wataalamu binafsi ningependa kupata vyanzo vilivyo vya kiserekali ambavyo wao hawana upande waliolalia maana hawa wataalamu binafsi wanaweza kuwa na ajenda zao na ndipo nilipopata utafiti wa usda (united state department of agriculture) unaonyesha tofauti za mayai haya kwa kina katika category 78 za nutrients zilizogawanya mayai ya kware yana vitu 31 zaidi ambayo ya kuku hayana kabisa wakati yale ya kuku ya kitu kimoja tu ambacho hakiko kwenye ya kware ambacho naomba nikitaje nacho ni vitamin k (phylloquinone) na katika hizo 45 vilivyobaki vya kware 42 viko juu na vingine hata mara mbili ya zile za kuku wakati vya kuku ni 3 vitatu ambayo vimezidi vile vya kware
faida hizi zote tunaweza kupata kama watu wetu watajiingiza katika ufugaji wa ndege huyu ambaye anapatikana sehemu nyingi unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka wakafikia mwengina kama unavyooana hapo juu unaweza kutengeneza banda rahisi la mbao laini na wafu na kuanzia hapo ila wawapo wadogo waweke kwenye box na kuwawekea taa kama ufanyavyo kuku | 2019-09-23T12:03:56 | http://maridadiagency.blogspot.com/2015/03/uzuri-wa-mayai-na-nyama-ya-kware-katika.html |
karibu msumbiji ukutane na serikali inayofunga kamera 450 kukufuatilia ยท global voices in swahili
tafsiri imetumwa 14 julai 2016 946 gmt
tuma hii ukurasa wa mbele wa gazeti la canal de moรงambique picha dรฉrcio tsandzana
kwa mujibu wa moja wapo ya magazeti yanayoaminika zaidi nchini msumbiji canal de moรงambique serikali imeanza kufunga kamera 450 za usalama kwenye miji ya maputo na matola kama sehemu ya mradi wa mpango wa taifa wa kufuatilia habari ambao unadaiwa kuwa na mipango ya kufuatilia nyendo za wananchi wa kawaida (mapema mwaka huu mwezi mei global voices iliandika kuhusu mpango huu wa msumbiji wenye utata)
kwa mujibu wa canal de moรงambique serikali imeingia mkataba na kampuni ya uwekezaji ya msumbiji kufunga kamera hizo bila ushindani wa zabuni kampuni hiyo hata hivyo inamilikiwa na mtoto wa rais wa zamani armando guebuza aliyetoa kazi hiyo kwa kampuni ya kichina zte kufanya kazi hiyo linasema gazeti
egรญdio vaz mchambuzi maarufu na mwanaharakati wa mitandaoni alionesha wasiwasi wake kwa hali hiyo () hรก mais de dois meses que temos vindo a ler notรญcias sobre os grandes negรณcios destes laboriosos filhos do herรณi da pรกtria o meu estado de espรญrito piorou isto รฉ mau mas existe uma cura para mim esquecer
[] kwa zaidi ya miezi miwili tumesoma habari za miradi mikubwa ya watoto wakubwa wa nchi hii nimejisikia vibaya hii si sahihi hata kidogo lakini kuna tiba ya hali hii kwangu kusahau
schauque spirou alizungumzia uwezekano wa matokeo ya kufungwa kwa kamera hizo za usalama kwenye miji yote ya maputo na matola akijaribu kukumbuka kile kilichotokea brazil estamos a acordar aos poucos ou estamos a ser sonecados e nรฃo sabemosmas que o big brother esta em aรงรฃo nรฃo parece haver dรบvida a noticia avanรงada pelo canal de moรงambique sobre as cรขmaras de vigilรขncia penso que nรฃo sรฃo de se levar ao de leve fora a adjudicaรงรฃo da mesma
tunaamka taratibu au tunalala bila kujualakini hakuna mashaka kuwa mkubwa yuko kazinitaarifa zilizoandikwa na canal de moรงambique kuhusu kamera za usalama nadhani zisichukuliwe kirahisi isipokuwa utoaji wa zabuni wa namna hiyo nchini brazil kuna mazungumzo ya biashara ya kupiga faini kwa sababu kamera za usalama zilizofungwa kwenye mitaa ya sรฃo paulo inatumika kuwamata madereva formula 1 lakini pesa zinazoingizwa kwa faini hizi zinasababisha hali ya kutokuaminika
kwa mujibu wa canal de moรงambique hata hivyo serikali inaweza kuwa na uwezo wa kisheria kuingia mkataba na kampuni yoyote bila ushindani za kizabuni kwa sababu sheria ya manunuzi ya nchi hiyo inaweka mwanya huo kwa masuala yanayohusu usalama wa taifa lakini bado hata hivyo sheria hiyo haihallaishi uamuzi huu wa kutoa tenda kwa mtoto wa guebuza kwa kuzingatia uwezekano wa mgongano wa maslahi
tuma hii twitter facebook reddit googleplusemail kwa ajili ya kuchapisha imeandikwa nadรฉrcio tsandzana
habari mpya kwenye msumbiji 14 julai 2016censorshipkaribu msumbiji ukutane na serikali inayofunga kamera 450 kukufuatilia
soma makala hii katika franรงais malagasy deutsch english espaรฑol ุนุฑุจู portuguรชs
censorshipuandishi wa habari za kiraiauhuru wa kujieleza | 2017-02-27T22:44:31 | https://sw.globalvoices.org/2016/07/karibu-msumbiji-ukutane-na-serikali-inayofunga-kamera-450-kukufuatilia/ |
mlipuko wa bomu arusha watu watatu wafuatao ni lazima wahojiwe kwa sababu zifuatazo jamiiforums
mlipuko wa bomu arusha watu watatu wafuatao ni lazima wahojiwe kwa sababu zifuatazo
thread starter exaud mamuya
1 mwigulu nchemba
kiongozi huyu wa ccm amekuwa akitoa kauli zenye utata hapa jijini arusha pamoja na kwenye mitandao ya kijamii ambazo moja kwa moja zinapelekea kuhisi kiongozi huyu anafamu moja kwa moja kilichojificha nyuma ya pazia kwenye urushaji huu wa bomu uliopelekea kuua watu na kujeruhi watu zaidi ya 70
2 mtela mwampamba
kada huyu wa ccm amekuwa akisema katika mikutano ya hadhara ya ccm pamoja na kuandika katika mitandao ya kijamii especially hapa jamii forum na facebook ya kwamba anawafahamu wanaofanya mambo haya ya kigaidi na yeye amewahi kushiriki kufanya ugaidi huu kipindi alipokuwa mwanachama wa chadema sasa ni vizuri akalisaidia jeshi la polisi kuonyesha alivyokuwa anafanya ugaidi huu alipokuwa chadema
3 gasper kishumbua
huyu ni kiongozi wa ccm wilaya ya arusha mjini ambaye kutokana na mashuhuda wa tukio la mlipuko wa bomu jana ni kwamba alikuwa upande wa bomu lilipotokea na baada ya mlipuko akaanza kupiga kelele na kusema pilisi wameamua kuua watu bila hatia
wana arusha tunaliomba jeshi la polisi kuwahoji watu hawa na hakika watapata ukweli na sababu ya mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa chadema na kupelekea mauaji ya binadamu wasiokuwa na hatia
likes hakikwanza babaa bosco daudi mchambuzi and 1 other person
3110 70 145
dahmbna juliana shonza hujamtaja
2548 211 160
naamini wale wanaohusika wamo humu wanafuatilia kila kitu kinacho post iwa humu maana jf nayo ni chanzo cha taarifa
3915 880 280
looh ivo mara hii hamkuwataja waarabu kuwa walihusika ajabu eti waalabu hawamo mmmh imposibo
4645 690 280
haya ndio yale maagizo ya kutoka kwa josephine naona jana alimtuma kijana wake ben akwambie uwasiliane nae
3gasper kishumbua
huyu ni kiongozi wa ccm wilaya ya arusha mjini ambaye kutokana na mashuhuda wa tukio la mlipuko wa bomu jana ni kwamba alikuwa upande wa bomu lilipotokea na baada ya mlipuko akaanza kupiga kelele na kusema pilisi wameamua kuua watu bila hatia
tunataka wana ccm wabadilike wawe hivi tukomboe nchi yetu
exaud mamuya said
1mwigulu nchemba
2mtela mwampamba
3gasper kishumbua
ongeza lema na mbowe nao wahojiwe wanaweza fanya janja kama ya yule sheikh farid wa uamsho kwa kujitekana chadema nao wanaweza fanya kama hiyo janja ya nyani kuwahoji ni mhimu
huu mpango wote umefanyika ili kufanikisha safari ya slaa ndio njia pekee itakao wafanya wazungu wamchangie hela bila shaka amesha copy picha kutoka jf na kuzunguka nazo mfukoni
884 174 60
cjui kazi ya jeshi la polisi la tanzania ni nini mwenye kujua anijuze
lemabenson kigailambowe lazima wahojiwe pianina mashaka wanaweza fanya kama ujanja wa kiongozi wa uamsho zanzibar
9625 4217 280
ilitangazwa kuwa chama cha chadema ni chama cha kasikazinikigaidikidini na viongozi wake ni viongozi wa dini mojakilichotokea ni kuuawa kwa bomu kwa waumini wa dini tunayotangaziwa na chama tawala kuwa ndio wenye chama na kanisa hilo liko kwenye kanda hiyohiyo ambako tunaaminishwa kuwa ndio wenye chama na kiongozi mmoja dr slaa alikuwa padri wa dini hiyo kabla ya kuachana na upadri na kujiingiza kwenye siasatukiwa bado tuko kwenye majonzi ya kuwasikitikia ndugu zetu waliyopoteza maisha kwenye mulipuko huozikaanza kampeni za udiwani mh mwigulu nchemba akaanza kuwanadi wagombea wa chama chake kwa kumtumia kijana mmoja aliyemwagiwa tindikali huku akiwaaminisha wananchi kuwa waliyofanya hivyo ni chadema na kupandikiza chuki kwa wananchi ili wakione chadema ni chama cha kigaidikidinikikabila na cha mauajihata pale ambapo mauaji yamefanywa na polisi na kila mtu anajuwa kuwa waliyouwa ni polisi na hata polisi wenyewe wanajuwa kuwa waliyouwa ni wao lakini ukweli umekuwa ukipotoswa ili ionekane kuwa waliyouwa ni chademabaada ya mwigulu kuzunguka na mtu huyo aliye jeruhiwa kwa tindikali na kuwajengea chuki wananchi ili waione chadema ndiyo iliyofanya hivyo kilichotokea ni kulipuliwa kwa mkutano wa chadema na wanachama wake kuuawa na wengine kujeruhiwakwa kutumia siasa hizi za mwigulu nchembachadema nao wakaamuwa kutumia msema ule wa waziri mkuu wa liwalo na liwe wakaamuwa kujitwisha maiti za wanachama wao na wanachama wao waliyojeruhiwa wakautangazia uma kuwa waliyofanya hivyo ni ccm wawe wamefanya au hawakufanya wakatumia njia zilezile zilizotumika kuichafua chadema kwenye vyombo vya habarimitandao ya kijamii na kwenye majukwaaje ni kitu gani kitatokeniwape pole tu wanachadema kwa kipindi hiki kigum walicho nacho maumivu ya lwakatare hayajaisha watanzania na pengine wanachama wao wameuawa na kujeruhiwa
likes babaa bosco
ongeza lwakatare lema sa8 na wale vijana wa chadema waliotaka kum shut mamake zitto
wew mpuuzi kwelikwenye masuala ya maisha ya bnadamu unaleta upuuzi wakohivi huwa hamjisikii kumtaja dr slaa au mtu wake wa karibu umemtumwa mpuuzi wewe
2374 95 145
wakati mwingine ni vizuri kutumia akili kidogo tu hata ile inayokuonyesha kuwa hiko ni choo na pale ni chumbani wewe unawafanya wote wapenda
ccm muonekane jinsi mlivyo na akili ndogo
likes tosaby
pia exaud mamuya akamatwe na kuhojiwa mana ana taarifa nyingi kuhusu hili tukio pamoja na zile za pm 7
1031 256 180
mkuu unayoyasema yatakuwa vigumu sana kutendeka kwenye hii nchi yetu ya kusadikika
vyombo vyote vya dola pamoja na ccm vinahusika 100 huo ulikuwa mpango mzima wa kuvuruga uchaguzi wa madiwani wa arusha usifanyike baada ya kuonekana ccm wanakwenda na maji wanakumbuka jinsi walivyoumbuka waliporuhusu uchaguzi wa mbunge uendelee kati ya nassari na sioi sumari wakaondoka usiku wa manane na kumtelekeza mgombea wa ccm peke yake akisubiri kutangazwa matokeo rasmi
wameshafanya mauaji ya namna hiyo mara nyingi na mpaka leo hakuna aliyehojiwa wala kuchukuliwa hatua jiulize aliyemuua mwandishi wa habari mwangosi kwenye mkutano wa cdm iringa alikuwa policcm kesi imezungushwa na mpaka leo hatujui hatima yake na mashahidi wapo kibao mpaka ocd alikuwepo wakati wa tukio kuna picha mpaka za video je ni kipi kinachochelewesha mpaka leo hii kujua hatma ya kesi ile
hii kesi ya ngedere kula mahindi huwezi kuipeleka kwa nyani kesi ya ccm na serikali yao ya kidhalimu waamuzi ni wananchi tu
likes sigma
hili bomu ilikuwa ni kutafuta huruma ya wananchi full stop
umetoroka hospitali maalumu huko dodomahujielewi
ligangaluma
majebere ngugu yangu hv kweli unafikilia au unaamua kusema tuu eti kwasababu ww bado unapumua au kwasababu inawezekana kati ya walio jeruhiwa au kufa hayumo ndugu yako haya bwana lakn ujue mungu yupo
threads 1273323
posts 30478040 | 2019-03-21T16:16:51 | https://www.jamiiforums.com/threads/mlipuko-wa-bomu-arusha-watu-watatu-wafuatao-ni-lazima-wahojiwe-kwa-sababu-zifuatazo.469684/ |
dunia ya michezo tunaomba msaada
timu ya soka ya new hope fc ya watoto na vijana waishio mitaani wanatalajia kucheza michezo mbalimbali kwa ajili ya kuchangisha fedha za kituo chao kipya cha (new hope family street childrennfsc) kinachotalajiwa kufunguliwa kigamboni akiongea jijini dar es salaam mratibu na afisauhusiano wa kituo hicho andrew chale alisema lengo ya michezo hiyo ambayo itakua ikichezwa kila jumamosi katika viwanja vya gym khna ni kukusanya na kuchangisha fedha ambazo zitawasaidia watoto hao tunaomba jamii iliyoguswa na watoto hawa ambao wengi wao hali zao ni mbaya sana wanaitaji msaada wa haraka na kutimiza malengo yao ikiwemo ya kukaa pamoja katika nyumba maalum alisema andrew mchezo itakayochezwa siku hiyo ya jumamosi ni mpira wa miguu na riadha ambapo itawakutanisha vijana na atoto mbalimbali wa vituo vya kulelea watoto wa waishio mazingira magumu na hatarishi washiriki wengine watakaocheza michezo na watoto hao ni vijana kutoka kanisa la stcolumbus (st columbus youth) friends of simba pamoja na watu mbalimbali watakao guswa na watoto hao nfsc wamekuwa wakikutana kila jumamosi katika viwanja hivyo kwa ajili ya kunywa chai kwa pamoja ambayo wanasaidiwa na wasanalia wema wadau mutakao guswa na kilio chetu tunaomba msaada wa vitu vikiwemo vifaa vya michezo na maitaji mengine ikiwemo kujumuika na sisi hiyo jumamosi alimalizia andrew kwa upande wa mwenyekiti omary rajabu alisema kuwa wanajisikia faraja kwa kupata nyumba ya kupanga iliyo na vyumba nane huko kigamboni wakisubiri kulipiwa kodi ya mwaka mil12 fedha ambazo zimeaadiwa kulipwa na watu mbalimbali ombi letu kubwa sasa ni kuendelea kupata vitu vikiwemo vitu vya ndani kam vitandamagodoronguo na vyombo vya kutumia pamoja na pesa kwa maitaji muhimu ya watoto hawa alisema omary kwa aliyegusw na umoja wa watoto hawa anaombwa kuwakilisha michango yake katika ofisi za gazeti la tanzania daima zilizopo katika jengo la club billicanas mtaa wa mkwepu na kuonana na mhariri wa michezo deodatus mkuchu 0756090483 ama andrew chale 0719076376 | 2018-01-24T11:42:52 | http://duniayamichezo.blogspot.com/2010/08/tunaomba-msaada.html |
thechoice nafasi za kazi tanapa
nunua gari hapa
pinpoint ad
asante kwa kupata huduma zetutunakuomba bofya like kuungana nasi facebook
ally salum
naomba maoni yako hapa
follow @thechoicetzally
the choice members
official video | denis love neno gani
zamaradi mketema aamua kumrudia mola wake
be gorgeous with jeddy
aisha bui azua timbwili
mainda & jamal wedding video oct 182014
singing while seated 5 tips
huu ndo msimamo wa ligi kuu ya uingereza 'epl' mpaka sasa
hatimaye vijana washauriwa kuchangamkia fursa katika mikopo itakayowawezesha kutfanikiwa kiuchumi
nipetano welcome to nipetano
september 2014 (627)
august 2014 (553)
july 2014 (797)
june 2014 (525)
january 2014 (823)
december 2013 (710)
november 2013 (797)
october 2013 (834)
june 2013 (375) | 2014-10-20T09:37:48 | http://www.thechoicetz.com/2012/07/nafasi-za-kazi-tanapa.html |
wizi wa vitu kwenye magari si mlimani city pekee hata ukipaki benki wanakomba | jamiiforums | the home of great thinkers
wizi wa vitu kwenye magari si mlimani city pekee hata ukipaki benki wanakomba
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by bassanda jul 14 2010
salam zenu wana jf kuna taarifa za uhakika kwamba wizi wa vitu kama laptop na pawa windo kwenye magari yaliyoegeshwa haufanyiki mlimani city pekee bali ni mji mzima wa dar es salaam kwa sasa kuanzia majumbani hadi kwenye mabenki siku chache zilizopita kuna mdau alipaki gari yake nje ya benki ya crdb mbezi beach akaacha laptop akiwa ameifungia ndani ya gari labda kwa kuamini kwamba pale ni benki kuna ulinzi wa polisi na walikuwepo cha kushangaza muda mchache wa dakika 20 alizokaa mle ndani ya benki kutoka akakuta kioo cha gari kimevunjwa na laptop imeambaa na wakora polisi nao wakiwa nje ya jengo eti huko ndiyo wanakokaa eneo jingine hatari ni chuo kikuu mlimani ambao kila leo wanafunzi kwa walimu wanalizwa hao vibaka wanatumia magari na kuegesha pembeni ya gari lako kisha wanafanya mavitu yao na kutokomea ni vibaka middle class hawatembei kwa miguu sasa kama wanashirikiana na walinzi au askari kwenye maeneo husika hicho ni kitendawili kwa hiyo haijalishi una mpango wa kufanya transaction benki na una sanduku lako ndani ya gari we ingia nalo tu benki kwani ukiliacha utakuta kioo kimevunjwa na sanduku limeyeyuka hiyo ndiyo habari
ndo bongoland hiyo akili kukichwa
ndo bongoland hiyo akili kukichwaclick to expand
jambo ambalo mimi huwa nalikata kata kata ni kuiita tz eti bongoland hivi watanzania tunatumia ubongo gani ningekuwa na furaha zaidi kama tungejiita bongolala
back to issue ya vibaka this is just the beginning unategemea nini kwa nchi ambayo chama kinachotawala kinapofanya mkutano wake mkuu wa kumteua mgombea wa urais badala ya kujadili mambo ya maana wanaugeuza ukumbi kuwa uwanja wa kucheza madogoli
salam zenu wana jf kuna taarifa za uhakika kwamba wizi wa vitu kama laptop na pawa windo kwenye magari yaliyoegeshwa haufanyiki mlimani city pekee bali ni mji mzima wa dar es salaam kwa sasa kuanzia majumbani hadi kwenye mabenki siku chache zilizopita kuna mdau alipaki gari yake nje ya benki ya crdb mbezi beach akaacha laptop akiwa ameifungia ndani ya gari labda kwa kuamini kwamba pale ni benki kuna ulinzi wa polisi na walikuwepo cha kushangaza muda mchache wa dakika 20 alizokaa mle ndani ya benki kutoka akakuta kioo cha gari kimevunjwa na laptop imeambaa na wakora polisi nao wakiwa nje ya jengo eti huko ndiyo wanakokaa eneo jingine hatari ni chuo kikuu mlimani ambao kila leo wanafunzi kwa walimu wanalizwa hao vibaka wanatumia magari na kuegesha pembeni ya gari lako kisha wanafanya mavitu yao na kutokomea ni vibaka middle class hawatembei kwa miguu sasa kama wanashirikiana na walinzi au askari kwenye maeneo husika hicho ni kitendawili kwa hiyo haijalishi una mpango wa kufanya transaction benki na una sanduku lako ndani ya gari we ingia nalo tu benki kwani ukiliacha utakuta kioo kimevunjwa na sanduku limeyeyuka hiyo ndiyo habariclick to expand
ulinzi wa mali na usalama wa raia ni jukumu kuu la serikali iliyomadarakani sasa kama raia wanaibiwa mali zao na pia kuuliwa tumlaumu nani serikali ya ccm imeshindwa kuwalinda raia wke na mali zao ndio maana watu kila leo wanaporwa na hata kupoteza maisha a' la professor mwaikusa aliyeuawa hivi karibuni polisi hawalipwi vizuru as such wanajitengenezea utaratibu wao wa kuongeza kipato kwa kufanya uhalifu wakishirikiana na raia ambao pia wamekata tamaa ya maisha kwani hawana ajira huu ujambazi ni salaam wanazopewa wananchi kuwa serikali yenu haifai iondoeni madarakani | 2017-04-25T01:19:33 | https://www.jamiiforums.com/threads/wizi-wa-vitu-kwenye-magari-si-mlimani-city-pekee-hata-ukipaki-benki-wanakomba.67009/ |
baraza la usalama la umoja wa mataifa na mzozo wa syria | matukio ya kisiasa | dw | 01022012
jumuia ya nchi za kiarabu imelisihi baraza la usalama lipitishe hatua dhidi ya utawala wa syrialakini damascus na mshirika wake urusi hawaonyeshi kuregeza kamba
wanachama 15 wa baraza la usalamawengi wao wakiwa mawaziri wa mambo ya nchi za nje walimsikiliza mwakilishi wa jumuia ya nchi za kiarabu akiwasihi wapitishe azimio ili kumaliza msiba ulioangamiza maisha ya watu elfu tano tangu mwezi march mwaka jana
hatushauri muingilie kati kijeshihatuungi mkono utawala ubadilishwelakini tunapigania shinikizo la kiuchumi amesema waziri mkuu wa qatarcheikh hamad ben jassem al thani anaeongoza tume ya jumuia ya nchi za kiarabu kuhusu syriaamelalamika kwamba serikali ya syria haionyeshi moyo wa kutaka kushirikiana kwa dhatidamu inazidi kumwagika na mauwaji yanaendelea
wakati baraza la usalama la umoja wa mataifa linaendelea na mjadala wakenje karibu na jengo la taasisi hiyo muhimu ya kimataifawapinzani wa serikali ya syria wamehanikiza kudai syria ikombolewe
licha ya miito ya jumuia ya nchi za kiarabu kutaka mswaada wao wa azimio kuhusu syria uidhinishwe rashia na china zinaendelea kuupingabalozi wa rashia katika umoja wa mataifa vitali tschurkin anasema umoja wa mataifa haustahiki kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyengine
baraza la usalama haliwezi kutoa muongozo utaratibu wa siasa ya ndani ya nchi unastahili uwe wa aina ganihaijatajwa katika muongozohatutaki kuona baraza la usalama likizoweya jambo hilo kwasababu tukianza tubasi itakuwa shida kuzuwiahapo litaanza kusema mfalme lazma ajiuzuluwaziri mkuu anabidi ajiuzuluyote hayo hayalihusu baraza la usalama
waziri wa mambo ya nchi za nje wa marekani hillary clinton amekosoa ile hali kwamba baadhi ya wanachama wa baraza la usalama wanahofia kitisho cha kutokea hali kama ile ya libyahali hizi mbili hazilinganii amesisitiza waziri wa mambo ya nchi za nje wa marekani
waziri wa mambo ya nchi za nje wa marekani hillary clinton (katio) na mawaziri wenzakealain juppรฉ wa ufaransa (kulia) na william hague wa uengereza (kushoto)
baraza la usalama linatazamiwa kuendelea na majadiliano yake hii leo kuhusu mswaada uliofanyiwa marekebisho na ambao balozi tschurkin anautaja kuwa na baadhi ya mambo yanayotia moyo
mwishoni mwa kikao cha janawaziri wa mambo ya nchi za nje wa ufaransa alain juppรฉ alisema kuna uwezekano wa kufikia maridhiano pamoja na moscow na hasa kuhusu hatima ya rais bashar al assad
waziri mwenzake wa uingereza william hague amezungumzia majadiliano pamoja na rashia na mataifa mengine katika kipindi cha masaa 24 yajayo
maneno muhimu syria umoja wa mataifa bashar al assad
kiungo http//pdwcom/p/13u4k | 2017-08-17T06:26:45 | http://www.dw.com/sw/baraza-la-usalama-la-umoja-wa-mataifa-na-mzozo-wa-syria/a-15706878 |
2ti 3 | `yby | step | emoya ga mako saloko elitane onawa suwekolo noideko maya lahelametibo nesa soto pekoko pou loko yomala jekolaiye
onawa suwekolo noideko soto pitabo wewenasida monawanipo
1 emoya ga mako saloko elitane onawa suwekolo noideko maya lahelametibo nesa soto pekoko pou loko yomala jekolaiye 2 saetiboya muki wewenaya saiki minakilae edimonipomugo elideko napa okadeko moni uvaminamu dumu helepele iki miniki edimonipo iki moliki itabo nesalimo dumu helekadeko elowa jiki edimonipo dupa liki yowiki donipole ahonipolesida ganipo maya eli hulikiki muki nesamuya liwi letiwi ikilae sanikiya lalo nesa lolo ibitabotoya depoka liki omokane liki lamiki duka laloki minamideko 3 dukau nasahili minametibo miniki lihimaki limiki liwi letiwi ga liki auha auha likiki lowahinalo wewena ulakidana iki miniki saina lalomu liwi letiwi iki 4 mimi ikaka iki dokepa dokepa jiki edimonipomu napanapa eliki dukaya omailoka molamitae saikiki dukauya dumu helekaka noibo nesaloya molatae 5 saikiki dupamoya monoka dupa lolo etibo neboya monokamidana abuhawowola maya wasa jiki li hulakilae saitabo neyo saiki minadeko emo mudakoko maya edimoki woko kolamo 6 yamidana wewenautiya malokasiya opanapa halukukaya nimonebo menakipasida numudanipou maya yowiki aito aito ga li biki asibitikaka niae saikaka niaboya aya menakipasiya lihima napa edawaki liminadanaki libo nesalimo ito lamibo nesalimoya dumu helekaiyoko 7 monokau minabo wewenasida ganipoya elikaka niaboya omaimidana gala wehe liki eli lamae 8 we lowe maya ulinipo janesiko ito jabelesikosiya moseseda gala maya aya aweyahago iki eli aha nesa lolo aibokidana abuhanipo opa ibo wewenasi lemo monokatemidana anula maya hulikiki nei moliki opa ikae 9 saikaboya sainahena iki moliki niabo nesahenaya nenahanipoloti saimi saimi yowitae edimoya nei nihebomidana monawa maya soto pekadeko muki wewenasiya mudai suwikilae janesiko jabelesikoya nei molaibomidana monawanipoya soto pibo ne
timotida ata lidanaki lo suwoko lo mibo ga
10 saiboya emoki minodanaki oko moloko obo ito monoka apinapi oetobo ito oko molokodanaki yowanu lobo ito ele elewole oko minobo ito sainamainamu osele nelamiyoko elewole oko minobo ito nuka beko minobo ito asowalaki nesalimo nupalo tewa iyoko amanapa oko sinominobo 11 ito ulana molinitayoko miluma eleko minobo ito enitiyoko numutoka ito ikoniyo numutoka ito listela numutoka ulana aitoaitomidana molinitayoko miluma nesamidana ulau minoboya nemesaloka nisekoko mudanelominadawo maya ne sakoya minoyoko we napalimoya aya nesa ulauti maya olutonetokaiye 12 ito jisesi kalaestitoka wiki kolikiki monoka anulo witabo wewena mukiloka asowalaki nesa dupaloya tewa ekolaiye 13 saoneboya lahelamabo wewenasi ito suwa monoka likaka wewenasiya ediponipoda dokepa jideko maloka wewenasida dokepa jiliki niwideko napa omo woko napa ekolaiye 14 saitaboya nemokaho ga lo emekaka oboya le uka jekadawo maya ne saokaiyoko ga lo budawo wewenasida monawa eleminadawo maya nenako yamuya le ikitoko lemino 15 emoya oluho napuda minadanaki eto onebo pepa monoka bukugu lepeloko noyowedanaki jisesi kalaestikumu ele elewole adawomuye loko olisauti lilimekaka nesa limitibo gaya eleminane 16 monoka bukugu luhuwa jiminabo ga mukiloya omaimidana weuna oluholimo dilipe lolowa idanaki dukau yowanu liyoko li soto piminabo maya ne saonebo maya nenako yautiya lepeko noeluniyoko monokamidana monawa maya lilipe wehe lokaka noiye saidanaki lata leko apinapi oletokaka noiye ito opa ga noluniyokoya lilime anulo molokaka noiye ito wehe loko minatudawo anuwa maya nolilipeko lilime wehe lokadeko 17 omaimidana wewenala wehe loko lolo oko minoko monokauya muki lepakiya minoko monoka yowanu laloya aitoaitomidana leko minakolune
8 eks 71111 apo 131452 apo 1417 apo 14820 | 2018-10-19T11:44:07 | https://www.stepbible.org/?q=version=YBY%7Creference=2Ti.3 |
maggid mjengwa akiri ccm ni ya mafisadi | jamiiforums | the home of great thinkers
maggid mjengwa akiri ccm ni ya mafisadi
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by admissionletter nov 2 2010
huyu maggid ni mnafiki (hypocrite) kweli kweli kabla ya uchaguzi alikuwa akijikomba kwa ccm na kubeza mabadiliko kwa kukejeli kwa maneno mbali mbali kama vile kumuita slaa ni mti mmoja ambao hauwezi kujenga msitu sasa ameona mabadiliko yanatokea na yeye anabadilisha mwelekeo wa maoni yake la muhimu kwenye makala yake hii ni kwamba anakiri ccm ni ya mafisadi hata hivyo sikupenda hiyo analogy ya mtu kuhangaika na kushika titi na kunyonya hata kama si la mama yake sababu inakejeli mabadikiko inabidi aombe radhi kwa hii kauli na vive vile inaonesha bado anadhani ccm itabadilika ujumbe wangu kwako maggid ni kwamba its too late for ccm the train has left the station
huyu bwwana bora kutomuongelea kabisa manake ni tu
naye bwabwa nini
another loserclick to expand
confirmed ni bwabwa
nyie walokole mjadili hoja sio mitsu na dharau
mwacheni majjid awe na fikra huru acheni kufuata mob psychology nyinyi
yeye anaandika anachokiona anachojifunza kwa sababu kila siku binadamu anajifunza
matusi hayajengi bali yanaonyesha ujinga dharau na utwana
http//mjengwablogspotcom/click to expand
poor naive maggidccm can only get worse not betteronce you steal the right to rule you will be a thief in chief in government resisting all forms of reformshata nec kuwa huru na ya haki jk hatataka kusikia katika miaka mitano ijayowill you ever learn that sikio la kufa halisikii dawa
hivi huyu ni nani hapa duniani mpaka tumuongeleetape
tuachane naye jamani huyu jamaa
nimecheka mpaka basi lol lol lol
naye bwabwa niniclick to expand
jamani kosa la mjengwa ni nini au dini yake
jamani kosa la mjengwa ni nini au dini yakeclick to expand
wewe ndio umesema na sijui umefikaje huko watch your thoughts mkuu they determine your character
huyu ndugu yangu naona kama ni bendera fuata upepo' kabla ya uchaguzi alitumia muda mwingi kuipiga madongo chadema na slaa bila shaka kama walivyo ccm wengine akiqmini kuwa wangeifagilia mbali chadema sasa ameona jinsi ambavyo watanzania wanaotaka mabadiliko walivyokikubali kuliko mwaka 2005 sasa anabadilisha upepo kuelekea huko gari limejaa
hivi huyu ni nani hapa duniani mpaka tumuongeleetapeclick to expand
dahfirst lady upo | 2017-01-18T18:35:00 | https://www.jamiiforums.com/threads/maggid-mjengwa-akiri-ccm-ni-ya-mafisadi.84042/ |
zakaria 1 | bibele ya fa intaneti | new world translation
zakaria 1121
pizo ya kukutela ku jehova (16)
hamukutele ku na mi nikakutela ku mina (3)
pono 1 bapahami ba lipizi babane (717)
jehova hape ukaombaomba sione (17)
pono 2 manaka amane ni batu babane bane bali likwala za misebezi ya mazoho (1821)
1 ka kweli yabu 8 mwa silimo sabubeli sa puso ya dariusi+ linzwi la jehova lataha ku mupolofita zakaria*+ mwanaa berekia mwanaa ido lali
2 jehova naanyemezi hahulu bo ndataa mina+
3 ubabulelele uli jehova wa limpi sabulela ki se uli hamukutele ku na kubulela jehova wa limpi mi nikakutela ku mina+ kubulela jehova wa limpi
4 musike mwaba sina bo ndataa mina kone bashaezi bapolofita bapili kuli jehova wa limpi sabulela ki se uli hamusikuluhe* mutuhele linzila zamina zemaswe ni likezo zamina zemaswe+
kono nebasika utwa mi nebasika nitokomela+ kubulela jehova
5 bo ndataa mina bakai cwale mi kana bapolofita nebapilile kuya kuile
6 kono kana manzwi aka ni litaelo zaka zene nilaezi batanga baka bona bapolofita nelisika bonwa ki bo ndataa mina inze litalelezwa+ kabakaleo bakutela ku na mi bali jehova wa limpi uluezize ka kuya ka linzila zaluna ni likezo zaluna sina mwanaalelezi+
7 ka lizazi labu 24 mwa kweli yabu 11 fo kikuli kweli ya shebati* mwa silimo sabubeli sa kubusa kwa dariusi+ linzwi la jehova lataha ku mupolofita zakaria mwanaa berekia mwanaa ido lali
8 neniboni pono ka nako ya busihu nekunani muuna yanaapahami pizi yefubelu mi ayema mwa musindi mwahalaa likota za miritele mi kwamulaho wahae nekunani lipizi zefubelu ni za bufubelu bobuzwakani ni mubala wa bukunoรฑu ni zesweu
9 kiha nili mulenaaka batu ba ki bo maรฑi
lingeloi lene libulela ni na laalaba lali nika kubulelela zabona
10 cwale muuna yanaayemi mwahalaa likota za miritele ali bao ki bona babalumilwe ki jehova kuli bazamaye mwa lifasi kai ni kai
11 mi babulelela lingeloi la jehova lene liyemi mwahalaa likota za miritele bali luzamaile kai ni kai mwa lifasi mi bona lifasi kaufela likuzize mi kunani kozo+
12 cwale lingeloi la jehova lali wena jehova wa limpi ukaanga nako yekuma kai inze usabonisi sishemo sahao ku jerusalema ni mileneรฑi ya juda+ yona yeuhalifezi mwa lilimo ze 70+ ze
13 jehova aalaba lingeloi lene libulela ni na ka manzwi asishemo ni aombaomba
14 mi lingeloi lene libulela ni na lali ku na uhuweleze uli jehova wa limpi sabulela ki se uli nilatile jerusalema ni sione ka lilato lelituna+
15 nihalifela macaba aiketile+ ka buhali bobutuna kakuli nenihalifile hanyinyanyi+ kono bona baekeza kwa ziyezi yabona+
16 kabakaleo jehova sabulela ki se uli nikakutela kwa jerusalema ka sishemo+ mi ndu yaka ikayahiwa ku yena+ kubulela jehova wa limpi mi muhala wa kumishalisa ukanamululwa fahalimwaa jerusalema+
17 uhuweleze hape uli jehova wa limpi sabulela ki se uli mileneรฑi yaka ikatala bunde hape mi jehova hape ukaombaomba sione+ ni kuketa jerusalema hape+
18 cwale natalima mi nabona manaka+ amane
19 kiha nibuza lingeloi lene libulela ni na nali ki lika maรฑi ze laalaba lali a ki manaka anaahasanyize juda+ isilaele+ ni jerusalema+
20 cwale jehova anibonisa batu babane bane bali likwala za misebezi ya mazoho
21 nabuza nali batu bao bataha kuto ezaรฑi
ali ao ki ona manaka anaahasanyize juda kuli mane nekusina yanaakona kunangukisa toho yahae batu bao bakataha kuto basabisa kuto wiseza fafasi manaka a macaba anaayemiselize manaka aona mwahalimu kulwanisa naha ya juda kuli batu ba mwateรฑi bahasane
^ lelitalusa jehova uhupuzi
^ kamba hamukute | 2017-04-30T02:44:05 | https://www.jw.org/loz/lihatiso/bibele/nwt/libuka/zakaria/1/ |
beyonce and jay z on the run tour ii wardrobe 8020 fashions | presstz your number 1 source of aggregated online content
beyonce and jay z on the run tour ii wardrobe
by 8020 fashions / posted thursday 7th june 2018
beyoncรฉ and jay zs on the run ii tour ime kick off in cardiff wales leo na show imesubiriwa kwa sana me kati ya vitu ambavyo napenda kwenye tour kama hivi ni kuona nguo alizovaa beyonce
mara nyingi huwa her entire wardrobe inakua designed just for the showvitu huwezi kuta online or on stores but mwaka huu may be mambo yatakua tofauti kidogo ambapo beyonce anaonekana kuvaa nguo ambazo zipo online ila hiyo bei sasa acheni tu
anyone the comeback imekua kubwa na as usual the queen never disappoints wengi wamesifia show ilikua ya kibabe sana
jana ndo ilikua opening show yao na walivaa hivi
beyonce alituonyesha her curves in a sheer crystal studded blazer amabayo ilikua layered over a skintight leotard both custom pieces from laquan smith
jay z in a tailored white suit and sneakers a massive medallion around his neck
beyonce opted for clear boots as footwear
another gear in custom logocovered gucci pieces from dapper dan
her female dancer | 2018-11-18T01:31:47 | http://presstz.net/beyonce-and-jay-z-on-the-run-tour-ii-wardrobe-38731589 |
friends of slaa | fos | mrejesho kuhusu uwakilishi wangu katika mkutano wa pili wa bunge
kwa muktasari huo ni mrejesho kuhusu ushiriki wangu ndani ya vikao vya mkutano wa pili wa bunge la kumi hata hivyo kuna masuala mengine yanayohusu ushiriki wangu katika shughuli nyingine za kibunge nje ya vikao kwa nafasi zangu zingine kama katibu wa kamati ya wabunge wa chadema katibu wa wabunge wa mkoa wa dar es salaam mjumbe wa kamati ya nishati na madini mjumbe wa kamati ya sheria ndogo msemaji wa kambi rasmi ya upinzaninishati na madini na nafasi nyinginezo ambayo sijayaeleza katika taarifa hii nawashukuru sana wote walitoa maoni kwenye mikutano ya mbunge kuwasikiliza na kuzungumza na wananchi tuliyoifanya mbezi mwisho na manzese bakhresa siku chache kabla ya kuanza kwa mkutano wa pili wa bunge sehemu ya masuala mliyonituma nimeyawasilisha hata hivyo yako mengine kutokana na ufinyu wa muda na kubanwa na kanuni sikupata wasaa wa kuyawasilisha ikiwemo suala la hoja ya mchakato wa katiba mpya ambalo nililitolea kauli ya tahadhari baada ya serikali kukubaliana nami mchakato husika kuanzia bungeni kwa kutungwa kwa sheria (rejea kauli yangu ifuatayo john mnyika tahadhari kuhusu serikali kupeleka muswada wa katiba mpya bungeni) nawashukuru kwa kuniunga mkono
tuendelee kuwasiliana kushauriana na kushirikiana | 2018-03-19T03:14:00 | http://marafikiwaslaa.blogspot.com/2011/02/mrejesho-kuhusu-uwakilishi-wangu-katika.html |
soma katika chinese cantonese (simplified) kiafrikana kialbania kiamhara kiarabu kiarmenia kibikoli kibulgaria kicheki kichewa kichina (kikantoni) kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidachi kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifini kiga kigiriki kihiligaynoni kihispania kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiitaliano kijapani kijerumani kikorea kikroatia kilatvia kilithuania kimakedonia kimalagasi kimalta kinorwei kipolishi kipunjabi kireno kirumania kisebuano kisepedi kiserbia kishona kisilozi kisinhala kislovaki kislovenia kiswahili kitagalogi kithai kitsonga kitswana kituruki kiukrania kivietnam kizulu
mtu mmoja aliokota kijitabu fulani ndani ya garimoshi lililokuwa likielekea new york city kijitabu hicho kilisema hivi nafsi ya mwanadamu inaweza kufa mtu huyo ambaye alikuwa mhubiri alishangazwa na habari hiyo naye akaanza kuisoma alishangaa kwa sababu hakuwahi kutilia shaka fundisho la kutokufa kwa nafsi wakati huo hakujua ni nani aliyeandika kijitabu hicho lakini aliona kwamba hoja zilizotajwa zinaaminika na zinapatana na maandiko na kwamba zinapaswa kuchunguzwa kwa makini
mhubiri huyo ni george storrs tukio lenyewe ni la mwaka wa 1837 mwaka ambao charles darwin aliandika kwa mara ya kwanza maoni ambayo baadaye yalitokeza nadharia ya mageuzi wakati huo watu wengi bado walipenda mambo ya dini na walimwamini mungu wengi waliisoma biblia na kuiheshimu
baadaye storrs aligundua kwamba kijitabu hicho kiliandikwa na henry grew wa philadelphia pennsylvania grew alishikilia sana kanuni inayosema kwamba andiko ndilo hujifafanua vizuri zaidi grew na washiriki wake walikuwa wamejifunza biblia wakiwa na kusudi la kufuata mashauri yake katika maisha yao na shughuli zao katika uchunguzi wao waligundua kweli za biblia zenye kupendeza
storrs alichochewa na kijitabu hicho cha grew naye akachunguza kwa makini yale ambayo maandiko yanasema kuhusu nafsi na kuyazungumzia pamoja na wahubiri wenzake baada ya kufanya utafiti mwingi kwa miaka mitano hatimaye storrs aliamua kuchapisha kweli mpya za biblia zenye thamani alizokuwa amepata kwanza alitayarisha hotuba fulani kwa ajili ya jumapili moja mwaka wa 1842 hata hivyo aliona anahitaji kutoa hotuba nyingine za ziada ili azungumzie habari hiyo kikamili kwa ujumla alitoa hotuba sita kuhusu kufa kwa nafsi ya mwanadamu naye akazichapisha katika kichapo six sermons (hotuba sita) storrs alilinganisha andiko na andiko ili kufunua kweli zenye kupendeza zilizofichwa na mafundisho yanayomvunjia mungu heshima ya dini zinazodai kuwa za kikristo
je biblia inafundisha kwamba nafsi haiwezi kufa
biblia inasema kwamba wafuasi watiwamafuta wa yesu huvaa hali ya kutoweza kufa na hiyo ni thawabu wanayopata kwa sababu ya kuwa waaminifu (1 wakorintho 155056) storrs aliona kwamba ikiwa hali ya kutoweza kufa ni thawabu ambayo waaminifu wanapewa basi si sawa kusema kwamba nafsi ya waovu haiwezi kufa badala ya kukisiakisia storrs alichunguza maandiko alichunguza andiko la mathayo 1028 (zaire swahili bible) linalosema mwogope yeye anayeweza kuharibu nafsi na mwili vilevile katika gehena kwa hiyo nafsi inaweza kuharibiwa pia alichunguza andiko la ezekieli 184 linalosema nafsi inayotenda dhambihiyo yenyewe itakufa biblia yote ilipochunguzwa kweli ilikuwa wazi zaidi storrs aliandika hivi ikiwa maoni yangu kuhusu habari hii ni sahihi basi maandiko mengi ambayo hayaeleweki kwa sababu ya fundisho hilo la kutokufa kwa nafsi yatakuwa wazi yatapendeza zaidi na kueleweka kabisa
lakini namna gani maandiko kama vile yuda 7 andiko hilo linasema hivi ndivyo pia sodoma na gomora na majiji yaliyoyazunguka baada ya hayo kuwa yamefanya uasherati kwa kuzidi mno na kwenda kufuatilia mwili kwa ajili ya matumizi yasiyo ya asili katika namna ileile kama hao waliotangulia kutajwa yamewekwa mbele yetu kuwa kielelezo cha kuonya kwa kupatwa na adhabu ya hukumu ya moto wa milele wengine wanaposoma andiko hilo huenda wakafikiri kwamba nafsi za wale waliouawa huko sodoma na gomora zinateswa milele katika moto storrs aliandika hivi acheni tulinganishe andiko na andiko kisha akanukuu andiko la 2 petro 25 6 linalosema hivi naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale bali alimlinda noa alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa mungu na kwa kuyageuza majiji ya sodoma na gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa mungu juu ya mambo yatakayokuja naam majiji ya sodoma na gomora yaliteketezwa na kuwa majivu hivyo yakaharibiwa milele pamoja na wakaaji wake
storrs alieleza hivi petro anafafanua zaidi mambo yanayotajwa katika yuda vitabu vyote viwili vinaonyesha adhabu ambazo mungu ameleta juu ya waovu hukumu hizo juu ya ulimwengu wa kale wa sodoma na gomora ni shauri onyo au kielelezo cha milele au cha kudumu kwa watu wote hadi mwisho wa ulimwengu hivyo yuda alimaanisha kwamba moto ulioharibu sodoma na gomora ulikuwa na matokeo ya kudumu milele hilo halibadili wazo la kwamba nafsi ya mwanadamu inaweza kufa
storrs hakuwa akitumia tu maandiko yaliyounga mkono maoni yake huku akipuuza mengine alichunguza muktadha wa kila andiko na vilevile habari kuu ya biblia ikiwa mstari fulani ungeonekana kuwa unapinga maandiko mengine storrs angechunguza sehemu nyingine za biblia ili kupata ufafanuzi unaopatana na akili
uchunguzi wa russell wa maandiko
mmoja wa wale waliopata kushirikiana na george storrs ni kijana mmoja ambaye alikuwa akipanga kikundi cha kujifunza biblia huko pittsburgh pennsylvania kijana huyo aliitwa charles taze russell mojawapo ya makala zake za kwanza kuhusu habari za biblia ilichapishwa mwaka wa 1876 katika gazeti bible examiner lililohaririwa na storrs russell alikubali kwamba wanafunzi wa biblia waliomtangulia walikuwa na uvutano juu ya maoni yake baadaye akiwa mhariri wa gazeti zions watch tower alithamini jinsi storrs alivyomsaidia sana kwa kuwasiliana naye moja kwa moja na kupitia barua
c t russell alipokuwa na umri wa miaka 18 alianzisha kikundi cha kujifunza biblia na mpango maalumu wa kufanya hivyo a h macmillan mwanafunzi wa biblia aliyeshirikiana na russell aliufafanua mpango huo hivi mtu fulani angeuliza swali kisha wangezungumzia swali hilo halafu wangechunguza maandiko yote yaliyohusiana na habari hiyo na waliporidhika kwamba maandiko hayo yanapatana wangekata kauli na kuiandika
russell alisadiki kwamba biblia yote inapochunguzwa inapaswa kufunua ujumbe ambao unapatana na biblia yenyewe na utu wa mungu mtungaji wake wakati sehemu yoyote ya biblia ilipoonekana kuwa ngumu kueleweka russell aliamini kwamba inapaswa kufafanuliwa na kufasiriwa kwa kutumia sehemu nyingine za biblia
desturi ya kulinganisha maandiko ilianza zamani
hata hivyo russell storrs na grew hawakuwa watu wa kwanza kujaribu kuelewa maandiko kwa kuyalinganisha desturi hiyo ilianzishwa na mwanzilishi wa ukristo yesu kristo alitumia maandiko mbalimbali kuonyesha maana ya kweli ya andiko fulani kwa mfano mafarisayo walipowachambua wanafunzi wake kwa kukata masuke ya nafaka wakati wa sabato yesu alitumia simulizi lililo katika 1 samweli 216 kuonyesha jinsi sheria ya sabato inavyopaswa kutumiwa viongozi hao wa kidini walijua simulizi hilo ambapo daudi na watu wake walikula mikate ya toleo kisha yesu alirejelea sehemu ya sheria iliyosema kwamba makuhani wa familia ya haruni tu ndio waliopaswa kula mkate huo wa wonyesho (kutoka 2932 33 mambo ya walawi 249) hata hivyo daudi aliruhusiwa kula mikate hiyo yesu alimalizia hoja yake nzito kwa kunukuu kitabu cha hosea kama mngalielewa maana ya neno hili ninataka rehema wala si dhabihu msingaliwalaumu watu wasio na hatia (mathayo 1218) huo ni mfano bora kama nini wa kulinganisha andiko moja na maandiko mengine ili kulielewa kwa usahihi
wafuasi wa yesu walifuata kielelezo chake cha kulinganisha maandiko ili kuelewa andiko fulani mtume paulo alipokuwa akiwafundisha watu huko thesalonike alijadiliana nao kwa kutumia maandiko akieleza na kuthibitisha kwa marejeo kwamba ilikuwa lazima kristo ateseke na kufufuliwa kutoka kwa wafu (matendo 172 3) pia katika barua zake zilizoandikwa kwa mwongozo wa roho ya mungu paulo aliacha biblia yenyewe ijifafanue kwa mfano alipowaandikia waebrania alinukuu maandiko mengi ili kuthibitisha kwamba sheria ilikuwa kivuli cha mambo mema yatakayokujawaebrania 10118
naam wanafunzi wa biblia wanyoofu katika karne ya 19 na mwanzoni mwa karne ya 20 walifuata tena kielelezo hicho cha kikristo gazeti la mnara wa mlinzi lingali linafuata desturi hiyo ya kulinganisha andiko na andiko (2 wathesalonike 215) mashahidi wa yehova hutumia kanuni hiyo wanapochanganua andiko fulani
chunguza muktadha
tunaposoma biblia tunaweza kuigaje vielelezo vizuri vya yesu na wafuasi wake waaminifu kwanza tunaweza kuchunguza muktadha wa andiko tunalosoma muktadha unaweza kutusaidiaje kupata maana kwa mfano acheni tuchunguze maneno ya yesu katika mathayo 1628 kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wamwone mwana wa binadamu akija katika ufalme wake wengine wanaweza kusema kwamba maneno hayo hayakutimia kwa sababu wanafunzi wote wa yesu waliokuwepo wakati aliposema maneno hayo walikufa kabla ya ufalme wa mungu kusimamishwa mbinguni hata kitabu kimoja (the interpreters bible) kinasema hivi kuhusu mstari huo unabii huo haukutimia na wakristo wa baadaye waliona ni muhimu waeleze kwamba ulikuwa mfano tu
lakini muktadha wa andiko hilo na vilevile masimulizi ya marko na luka ambayo yanalingana na simulizi hilo yanatusaidia kulielewa mathayo alisema nini baada tu ya kusema maneno yaliyonukuliwa juu aliandika hivi siku sita baadaye yesu aliwachukua petro na yakobo na yohana ndugu yake akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao sura yake ikageuka mbele yao (mathayo 171 2) marko na luka vilevile walihusianisha maneno ya yesu kuhusu ufalme na simulizi la kugeuka kwa sura yake (marko 918 luka 92736) kuja kwa yesu katika mamlaka ya ufalme kuliwakilishwa na kugeuka kwa sura yake yaani wakati alipoonekana akiwa na utukufu mbele ya mitume wake watatu petro anathibitisha jambo hilo anapotaja nguvu na kuwapo kwa bwana wetu yesu kristo wakati anapozungumzia jinsi alivyoshuhudia kugeuka kwa sura ya yesu2 petro 11618
je wewe huacha biblia ijifafanue
namna gani usipoelewa andiko fulani hata baada ya kuchunguza muktadha wake unaweza kufaidika kwa kulinganisha andiko hilo na maandiko mengine huku ukikumbuka kichwa kikuu cha biblia tafsiri ya ulimwengu mpya ambayo sasa inapatikana katika lugha 57 ikiwa nzima au katika sehemu ni chombo bora ambacho kinaweza kukusaidia kufanya hivyo matoleo mengi ya tafsiri hiyo yana marejeo ya pambizoni ambayo yako katika safu ya katikati ya kila ukurasa kuna marejeo zaidi ya 125000 katika tafsiri ya new world translation of the holy scriptureswith references utangulizi wa biblia hiyo unasema hivi kuchunguza kwa makini marejeo ya pambizoni na maelezo ya chini kutaonyesha upatano mkubwa wa vile vitabu 66 vya biblia na kuthibitisha kwamba vyote ni kitabu kimoja kilichoongozwa kwa roho ya mungu
acheni tuone jinsi kutumia marejeo ya pambizoni kunavyoweza kutusaidia kuelewa andiko fulani kwa mfano acheni tuchunguze historia ya abramu au abrahamu fikiria swali hili ni nani aliyeongoza mambo wakati abramu na familia yake walipotoka uru andiko la mwanzo 1131 linasema hivi tera akamchukua mwana wake abramu na loti na bintimkwe wake sarai nao wakaondoka uru la wakaldayo pamoja naye ili kwenda katika nchi ya kanaani baadaye wakaja harani na kukaa huko mtu anaposoma mstari huo anaweza kukata kauli kwamba tera baba ya abramu ndiye aliyewaongoza hata hivyo katika tafsiri ya ulimwengu mpya kuna marejeo 11 ya pambizoni kuhusu mstari huo rejeo la mwisho linatuelekeza kwenye matendo 72 ambapo tunasoma shauri ambalo stefano aliwapa wayahudi wa karne ya kwanza mungu wa utukufu alimtokea babu yetu abrahamu alipokuwa mesopotamia kabla ya kuanza kukaa harani naye akamwambia toka katika nchi yako na kutoka kwa watu wa jamaa yako na uje mpaka katika nchi ambayo nitakuonyesha (matendo 72 3) je stefano alikuwa akiongea kuhusu wakati ambapo abramu aliondoka harani hapana kwa sababu simulizi hilo ni sehemu ya neno la mungu lililoongozwa kwa rohomwanzo 1213
basi kwa nini andiko la mwanzo 1131 linasema kwamba tera alimchukua mwana wake abramu na watu wengine wa familia yake na kuondoka uru bado tera ndiye aliyekuwa kichwa cha ukoo wake kwa kuwa alikubali kwenda pamoja na abramu yeye ndiye anayetajwa kuwa aliondoka pamoja na familia yake ili kwenda harani tunapolinganisha na kupatanisha maandiko hayo mawili tunaweza kuelewa mambo yaliyotukia kwa heshima abramu alimsadikisha baba yake waondoke uru kulingana na amri ya mungu
tunaposoma maandiko tunapaswa kufikiria muktadha na kichwa kikuu cha biblia wakristo wanashauriwa hivi sisi tulipokea si roho ya ulimwengu bali roho inayotoka kwa mungu ili tuyajue mambo ambayo mungu ametupa sisi kwa fadhili mambo hayo tunayasema pia si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho tunapounganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho (1 wakorintho 21113) naam tunapaswa kumwomba yehova atusaidie kuelewa neno lake na kujaribu kuunganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho tutafanya hivyo kwa kuchunguza muktadha wa andiko tunalochanganua na vilevile maandiko mengine yanayohusiana nalo acheni tuendelee kupata hazina bora za kweli kwa kujifunza neno la mungu
wanafunzi wa biblia wa karne ya 19 ambao walilinganisha andiko na andiko george storrs henry grew charles taze russell a h macmillan
top six sermons by george storrs (1855) second from top collection of the newyork historical society/69288
mtume paulo alithibitisha hoja yake kwa kurejelea maandiko | 2020-02-26T19:51:03 | https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20060815/Acheni-Tulinganishe-Andiko-na-Andiko/ |
viongozi wa vijiji wameshauriwa kufuata taratibu za kisheria katika kugawa ardhi kwa wawekezaji ikiwamo kuwashirikisha wananchi badala ya kujiamulia wenyewe ili kuepuka kuibua migogoro kati ya wananchi na wawekezaji
ushauri huo ulitolewa juzi na ofisa mipango miji kutoka katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa mbeya enock kyando alipokuwa akizungumza na nipashe hatua mbalimbali walizozichukua katika kukabiliana na migogoro ya ardhi
kando ambaye ni mjumbe wa kamati maalum ya uelimishaji wananchi kuhusu umuhimu wa uhifadhi na ujirani mwema alisema mkutano mkuu wa kijiji ndio wenye mamlaka ya kugawa ardhi ya kijiji
alisema kazi ya viongozi wa vijiji hasa ofisa mtendaji na mwenyekiti ni kupokea maombi ya wanaotaka kupewa ardhi na kuitisha mikutano ya vijiji ili wananchi wajadili na kuridhia ama kutoridhia kugawa ardhi yao kulingana na uhitaji
msimamizi mkuu wa ardhi ya kijiji ni wanakijiji wenyewe na ndio wanaotakiwa kuamua kumpa mtu mwingine ardhi yao kwa ajili ya matumizi ambayo wataona wao inafaa kiongozi ukifanya maamuzi mwenyewe unasababisha migogoro alisema kyando
alisema kwa mujibu wa sheria ya ardhi kijiji kinaruhusiwa kugawa ardhi isiyozidi hekta 50 kwa mtu mwingine na kwamba ikizidi ukubwa huo zipo mamlaka zingine ambazo zinahusika na hivyo mhitaji wa ardhi hiyo atatakiwa kuziona
kuhusu mpango wa matumizi bora ya ardhi kando alisema kila kijiji kinatakiwa kuwa na matumizi bora ya ardhi kwa maelezo kuwa utaratibu huo unasaidia kuondoa migogoro ya ardhi kwa kuepusha mwingiliano wa shughuli za kibinadamu
ofisa ardhi wa wilaya ya mbarali george mwaijobelo alisema wilaya hiyo imekuwa ikikabiliwa na migogoro mingi ya ardhi kutokana na vijiji vingi kutokuwa na matumizi bora ya ardhi
alisema kutokana na elimu ambayo kamati yao inaitoa kwa wananchi baadhi ya vijiji vimeanza kuwa na uelewa na kwamba vijiji hivyo vimeanza kupanga matumizi bora ya ardhi
ardhi yetu haiongezeki lakini binadamu tunaongezeka na mifugo yetu inaongezeka kwa hiyo ni lazima tuwe na matumizi bora ya ardhi kulingana na shughuli zetu za kiuchumi na kijamii alisema mwaijobelo
alisema baadhi ya maeneo yanatakiwa kutengwa kwa ajili ya kilimo makazi kuchungia mifugo na shughuli zingine za kijamii ikiwamo maeneo ya viwanda na taasisi za serikali | 2020-05-25T07:56:11 | https://www.ippmedia.com/sw/biashara/taratibu-kuwapa-ardhi-wawekezaji-zawekwa-wazi |
seburikoko yagaragaje ikimenyetso cy'ubuzima busharira yanyuze akiba mu cyaro | eachamps rwanda
umukinnyi wa filime nikinamico akaba umuhanga mu buvanganzo niyitegeka gratien uzwi nka seburikoko yerekanya igishanga cyo mu gace avukamo kibumbatiye amateka akomeye kuri we kuko yajyaga ajya kuhaca incuro ashaka amafaranga yishuri
seburikoko sekaganda ni amwe mu mazina amaze kumenyekana kuri niyitegeka gratien akaba ayakomora muri filime zitandukanye yagiye akina agashimisha abatari bake
uyu musore ukunze gukina ari umunyamanyanga namashyengo meshi ni umunyempano utangaje dore ko nyuma yibya filime anavuga amazina yinka mu bukwe akanaririmba ibi byose bikomeza kumuhundagazaho igikundiro muri rubanda bahora bahanze ijisho buri bikorwa bye
seburikoko amaze iminsi mike abarizwa iwabo ahitwa i kiyanza mu karere ka rulindo mu murenge wa ntarabana aho yagiye guherekeza umubyeyi witabye imana mu ntangiriro ziki cyumweru
abinyujije ku rubuga rwa instagram yerekanye igishanga cya cyamutara yavuze ko kimwibutsa ubuzima yanyuzemo akiri muto kuko yajyaga ahakora imisiri kugira ngo abone amafaranga yishuri none kuri akaba yishimira urwego amaze kugeraho mu buhanzi
yagize ati igishanga cya cyamutarana gasekeukomeza ruguru kwidigiri aha nahakoze imisiri mpiga minerval hhhhnahahingiye umuhanzi none nanjye ndahanga
seburikoko mu mashuri yisumbuye yize ibinyabuzima nubutabire muri koleji ya rilima hanyuma muri kaminuza yiga ubumenyi bwisi ibinyabuzima nuburezi mu cyahoze ari kie
yabaye umwarimu mu bigo byamashuri bitandukanye birimo fawe girls school na st igance mugina nyuma yaje kureka ibyo kwigisha umwanya we uharira ibijyanye no gukina ikinamico filime kuririmba no kuvuga amazina yinka
kuri ubu niwe ukina nkumukinnyi wimena muri filime yuruhererekane ya seburikoko akaba ari nawe uyiyobora yatangije nizindi filime zisekeje ngufi yise papa sava yagiye atsindira ibihembo bitandukanye bihabwa abakoze muri sinema nyarwanda
igishanga cya cyamutara seburikoko yagihinzemo imisiri
17/aug/ 20181 month ago | eachamps | 2018-09-25T13:36:43 | http://www.eachamps.rw/article/6119/Seburikoko-yagaragaje-ikimenyetso-cyubuzima-busharira-yanyuze-akiba-mu-cyaro |
ni mauro icard na lorenze insigne seria a hapatoshi leo | shaffihdauda
home kimataifa ni mauro icard na lorenze insigne seria a hapatoshi leo
ni mauro icard na lorenze insigne seria a hapatoshi leo
leo inter wanawakaribisha napoli ndani ya uwanja wao wa meazza mjaira ya saa 3 usiku
inter imeshindwa kabisa kupata bao dhidi ya napoli kwa dakika 406 mara ya mwsio ilikuwa mabao ya marcelo brozovic april 2016 in a 20 internazionale wameshinda mechi 2 tu dhidi ya napoli ndani ya serie a (d3 l2) inter wameshinda mechi 2 kati ya 6 walizocheza serie a msimu huu (d2 l2) baada ya kushinda mechi 7 mfululizo
mtukutu radja nainggolan hatakuwepo katika mchezo wa leo radja alipigwa marufuku na inter kutokana na utovu wa nidhamu
21 may alistaafu baada kukatwa ubelgiji๐ง๐ช
14 july ubelgiji wakamaliza nafasi ya 3 ๐ฅ
20 dec akadai kuwa amelaghaiwa โฌ150k ๐ฐ
20 dec ikasemekana amewaambia marafiki zake anataka kurudi roma
23 dec akasimamishwa na inter ๐ฎ๐น
huu ulikuwa mwaka wa matatizo kwa radja
11/03/18 2045 inter napoli 0 0
21/10/17 2045 napoli inter 0 0
30/04/17 2045 inter napoli 0 1
02/12/16 2045 napoli inter 3 0
16/04/16 2045 inter napoli 2 0
30/11/15 2100 napoli inter 2 1
08/03/15 2045 napoli inter 2 2
19/10/14 2045 inter napoli 2 2
26/04/14 2045 inter napoli 0 0
15/12/13 2045 napoli inter 4 2
inter wameshinda mechi zote 6 za mwisho walizocheza nyumbani na kuzuia nyavu zao kutokuguswa mechi 5 kati ya hizo 6 mara ya mwisho nerazzurri kucheza mechi 6 mfululizo bila kuruhusu bao ilikuwa april 2010
ssc napoli wamepata alama 41 baada ya michezo 17 huku wakiwa alama moja nyuma ya alama walizopata msimu wa 2017/18 alama (42)
mara ya mwisho napoli kupata sare ugenini ndani ya serie a ilikuwa katika uwanja meazza dhidi ya ac milan baada ya hapo wameshinda mechi 8 na kufungwa 3
takwimu za napoli
5 ushindi 4 1
9 kupoteza 2 7
8 sare 3 5
takwimu za inter
9 ushindi 7 2
5 vipigo 1 4
san siro ndio uwanja ambao fowadi wa napoli dries mertens amecheza zaidi ya mara mbili na kushindwa kufunga bao amecheza mechi 10 (5 vs inter na 5 vs ac milan)
raisi wa napoli aurelio de laurentiis amesema hana imani na mwamuzi paolo mazzoleni
huyu mwamuzi ana upendeleo wa wazi kabisa kila anapochezesha mechi zetu sina imani nae hata kidogo
mchezo wa leo utavutia sana na baadhi ya nyota wa vilabu hivi kama icard na insigne watatupia jicho la tatu kutokana na uwezo wao hata hivyo lorenzo insigne amefunga bao 1 tu serie a dhidi ya inter katika michezo 11 moja ya rekodi mbaya kwa timu ambazo amewahi kucheza nazo mechi nyingi na kufunga idadi ndogo ya magoli | 2019-01-17T13:22:46 | http://shaffihdauda.co.tz/ni-mauro-icard-na-lorenze-insigne-seria-a-hapatoshi-leo/ |
ni miaka 22 au 50 ya kuilaumu ccm kwa upumbazaji wa uchumi wetu | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mharakati jun 15 2012
kwanza tuachane na ccm kama ccm ilizaliwa lini (tudhani /assume imeshika dola toka mwaka wa uhuru na hivyo kuifanya chama tawala kwa miaka 50 ya uhuru wa taifa hili)
ccm kama taasisi na kipaumbele cha umoja wa kitaifa
sasa tuje kwenye dhamira mazingira ya kisheria ya kimataifa na usahihi wa utawala huu wa ccm kabla ya kuanzishwa kwa vyama vingi hapo mwaka 1991/92 kisheria ccm ilikua inalindwa na katiba ya jmt kama chama pekee cha kisiasa kiuchumi ccm ilikua sana sana inafanana na taasisi zaidi ya chama cha siasa katika kupanga na kutekeleza sera za kiuchumi bila ya kua na ushindani wa kuzifanya sera hizi mahsusi kwa ajili ya chama kama ambapo imetokea wakati wa mfumo wa vyama vingi kwa kifupi ccm ilikua ni taasisi ya kitaifa kuliko chama cha kisiasa
dhamira ya ccm na haswa baada ya uhuru ilikua ni kuweka kipaumbele zaidi kwenye mambo ya amani na umoja wa kitaifa zaidi ya maendeleo ya uchumi kutokana na mazingira ya wakati ule ya kisiasa (mapinduzi ya kijeshi barani afrika ukoloni nchi za jirani uhasama wa kiitikadi kati ya mataifa ya magharibi na nchi za kikomunisti nk) ilikua ni sawa kwa taifa changa kubwa kijiografia na lenye tamaduni nyingi na maskini kuanza kwanza na juhudi za kujenga utaifa huku tukiwa tunakua taratibu kiuchumi ccm imefanikiwa sana kwenye hili haswa pale ilipokua kama taasisi na siyo chama cha kisiasa kwenye ushindani wa kisiasa
uchumi na matatizo ya kimfumo ya nje
kiuchumi ccm ilifanikiwa kwa hali ya juu na katika miaka ya 6070 katikati pato la taifa lilikua na per capita ilikua kubwa kuliko miaka ya 80's 90's hii ilichangiwa sana na mkazo katika kilimo na bei nzuri za mazao yetu katika soko la dunia miaka ya 70 mwishoni na baada ya oil embargo ya mwaka 1974 bei za mazao ya kilimo ilishuka sana katika soko la dunia na kuziathiri nchi nyingi zilizokua zinategemea kilimo na muda huo huo kupunguza pato la taifa kwa uagizaji mafuta ambayo yalikua na bei kubwa kutokana na mgogoro wa mashariki ya kati
baada ya hapa taifa lilipata shida sana kiuchumi maka wakati wa mageuzi ya kiuchumi mnamo mwaka 1985 hapa watawala wapya wa ccm walikua na jukumu la kuepusha kufa kabisa kwa taifa kiuchumi na kiustawi na usalama na hivyo miaka mitano ya kwanza ya mwinyi hatuwezi kuijaji kama ni miaka endelezi ya sera za kiuchumi za taifa hili bali ni miaka ya sera okozi za kiuchumi katika hili wapinzani hawana haki ya kuijaji ccm kama chama cha siasa wakati kilikua hakifanyi kazi katika mazingira ya sasa
tukijumlisha miaka yote hii mpaka wakati wa mfumo wa vyama vingi na kipindi cha pili cha mwinyi tutaona ccm imekua kama chama cha kisiasa kwa miaka isiyopungua 2022 na siyo miaka 50 kama wapinzani wanavyosema
kwa kkifupi ccm ya nyerere na kipindi cha kwanza cha mwinyi ilikua ni kama taasisi yenye mamlaka ya kuongoza nchi sera nyingi zilikua za kitaifa zaidi na siyo mahsusi kichama huku ikilindwa kisheria na katiba ccm iliweza kuweka kipaumbele zaidi katika dhana ya kujenga umoja wa kitaifa na amani badala ya ukuaji wa haraka wa kiuchumi kwa dhana hii kimatinki ni vizuri kwa wananchi wakajua kua ccm ya 28 ya kwanza ya uhuru ni tofauti kabisa na ccm ya miaka 22 baadae mbayo ndiyo inayofaa kupewa lawama zote za kupumbaza uchumi wetu kwani awamu ya pili ya mwinyi awamu zote za mkapa na hizi za jk ccm iko kwenye ushindani wa kisiasa ikiendeshawa zaidi kisiasa huku ikiwa imeweka kipaumbele ukiaji uchumi kwa kutumia sera zake mahsusi
upumbazaji ndo nini tena
upumbazaji ndo nini tenaclick to expand
kufanya kitu kua hakipigi hatua inazotakiwa
ningetumia kudidimiza siyo haki kwa sababu uchumi wetu haujawahi kua mkubwa na kwamba sasa unashuka
kulemaza inakuja kuja kuja | 2016-10-28T23:57:53 | http://www.jamiiforums.com/threads/ni-miaka-22-au-50-ya-kuilaumu-ccm-kwa-upumbazaji-wa-uchumi-wetu.279077/ |
breaking news waziri dk mwigulu nchemba amsimamisha kazi msajili wa taasisi za kidini wizarani issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content
breaking news waziri dk mwigulu nchemba amsimamisha kazi msajili wa taasisi za kidini wizarani
serikali na viongozi wa dini wamekuwa continue reading >
1 dpp aipa mamlaka mahakama ya hakimu mkazi kisutu kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mpemba wa magufuli'
2 mtendaji mkuu wa bodi ya filamu atenguliwa
3 wananchi wahimizwa kushiriki mashindano ya hearth marathon ili wachangie upasuaji wa moyo kwa watoto
4 maadhimisho ya miaka 55 ya uhusiano wa tanzania na china
5 wasafirishaji mkaa wakiwa kazini | 2019-04-25T14:00:44 | http://presstz.net/breaking-news-waziri-dk-mwigulu-nchemba-amsimamisha-kazi-msajili-wa-taasisi-za-kidini-wi-38780105 |
kituo cha huduma za sheria zanzibar chatua elimu ya sheria ya haki za binaadamu kisiwani pemba zanzinews
home habari matukio kituo cha huduma za sheria zanzibar chatua elimu ya sheria ya haki za binaadamu kisiwani pemba
kituo cha huduma za sheria zanzibar chatua elimu ya sheria ya haki za binaadamu kisiwani pemba
othman maulid 902 pm
mratibu wa kituo cha huduma za sheria tawi la pembabifatma khamis hemed akizungumza wakati wa mafunzo hayo na wapiganaji wa vikosi vya smz pemba kuhusiana na mafunzo ya haki za binaadamu mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa kituo hicho chakechake pemba
baadhi ya wapiganaji wa vikosi vya idara maalumu vya smz wakiwa katika mafunzo ya haki za binaadamu yaliotayarishwa na kituo cha huduma za sheria pemba
maofisa wa jeshi la magereza kisiwani pemba wakiwa katika mafunzo ya haki za binaadamu yaliotayarishwa na kituo cha huduma za sheria pemba
maofisa wa kikosi cha kvz kisiwani pemba wakiwa katika mafunzo ya haki za binaadamu yaliotayarishwa na kituo cha huduma za sheria pemba(picha na bakar mussapemba
waziri mkuu aongoza viongozi wa ccm na mamia ya waombolezaji kwenye mazishi ukara mwanza leo *[image pmo_8441]waziri mkuu kassim majaliwa akihutubia wakati wa mazishi ya wananchi walifariki katika ajali ya kivuko cha mv nyerere kilichozama katik | 2018-09-24T04:09:35 | http://www.zanzinews.com/2017/08/kituo-cha-huduma-za-sheria-zanzibar.html |
madiwani ccm ukawa waungana kumgoa mkiti halmashauri mwanahalisi online
jengo la halmashauri ya ukerewe
posted by moses mseti april 13 2017 0 2855 views
hali si shwari katika halmashauri ya wilaya ya ukerewe mwanza baada ya madiwani 24 kati ya 34 kuandikia na kuisaini barua ya kutokuwa na imani na mwenyekiti wa halmashauri hiyo george nyamaha anaandika moses mseti
uamuzi wa madiwani hao kuandika na kupiga kura ya kutokuwa na imani ni kutokana na matumizi mabaya ya madaraka na kuingizia hasara halmashauri hiyo zaidi ya sh 500 milioni
tuhuma nyingine zinazomkabili ni pamoja na kutafuna fedha za maendeleo sh 454 milioni zilizotakiwa kwenda kwenye kata zote za wilaya na sh 84 milioni zilizotakiwa kwenda kwenye shule zote za wilaya hiyo lakini fedha hizo hazikwenda licha ya kuidhinishwa na kutolewa
nyamaha anatuhumiwa kuteua watu kukusanya mapato ya halmashauri bila kutoa taarifa kwa mamlaka husika na kuwapangia vituo vya kukusanya mapato kwa makubaliano ya kuchukua asilimia ya makusanyo kuingilia majukumu ya mkurugenzi (frank bahati) kwa kushinikiza kuhamishwa watumishi na kuisababishia hasara halmashauri ya fedha za uhamisho
tuhuma nyingine zinazomkabili mwenyekiti huyo ni kutoa lugha chafu kwa madiwani na kwa watumishi kwa ajili ya kutimiza maslahi yake binafsi mwenyekiti kuingilia mchakato wa manunizi na kujigeuza bodi ya zabuni na kutumia sh 90 milioni kutengeneza madawati bila kufuata sheria ya fedha za kitengo cha manunuzi
pia mwenyekiti nyamaha anatuhumiwa kulazimisha kufanyika malipo ya madawati huku madawati yakiwa bado hayajatengenezwa matumizi mabaya ya gari za halmashauri kwa kuyageuza mali yake kwa kutumia mafuta na kujilipa posho yeye na dereva wake kwa kazi zake binafsi kinyume na taratibu
baadhi ya madiwani hao waliokataa kutajwa majina yao waliuambia mtandao huu kwamba mwenyekiti huyo amekuwa akiingilia majukumu ya mkurugenzi wa halmashauri hiyo kitendo ambacho kinasababisha utendaji duni wa kazi kwa watendaji
wamesema kuwa kutokana na ukiukwaji na ufujaji wa fedha za umma madiwani wa chama cha mapinduzi (ccm) kwa kushirikiana na wa upinzani 24 kati ya 34 wameandika na kusaini barua ya kusudio la kumngoa mwenyekiti huyo
wamesema kuwa baadhi ya viongozi wa serikali na wa ccm wamekuwa wakimkingia kifua mwenyekiti huyo pindi madiwani hao wanapokusudia kumgoa kitendo ambacho kinasababisha kuendelea kuwepo kwa matumizi mabaya ya fedha za umma
tayari tumewasilisha barua ya ombi la kuitishwa kwa kikao cha baraza la madiwani na madiwani hao wamepiga kura ya kutokuwa na imani na sasa tunachosubiri ni kikao rasmi cha kumgoa na hatutakubali urasimu huu
mwenyekiti (george nyamaha) amekuwa akiishinikiza bodi ya zabuni kutoa zabuni kwa upendeleo kwa maslahi yake binafsi bila kufuata taratibu za manunuzi na kikao kisipoitisha tutaangalia hatua nyingine za kuchukua amesema diwani huyo
nyamaha alipotafutwa kuzungumzia suala hilo amedai suala hilo lipo kwenye kikao na kwamba tuhuma zinazoelekezwa kwake ni kwa sababu ya usimamizi wake wa mapato ya halmashauri hiyo na kumsababishia maadui wengi
amesema kuwa katika kikao cha januari 30 mwaka huu waliagiza kiasi cha sh 451 milioni zinazodaiwa kutafunwa zipelekwe kwenye kata zote na kwamba mpaka sasa ni sh 90 milioni pekee zilizoenda kwenye kata tatu
nyamaha amesema kuwa kikao kingine cha machi 17 2017 kiliidhinisha kiasi cha sh 84 milioni kwenda kwenye shule za wilaya hiyo lakini mpaka sasa taarifa zinaeleza kwamba pesa hizo zilitolewa na hazijafika na hazipo tayari zimetafunwa
ukiachilia mbali hizo fedha kuna sh 32 milioni kwa ajili ya wanafunzi walemavu zilizotolewa na zenyewe zimetafunwa na hiyo yote kuna watumishi wanaohusika na ubadhilifu huo wa fedha wameona wanaenda kuumbuka wameanza kubadilisha maneneo amesema nyamaha
frank bahati mkurugenzi wa halmashauri hiyo alipotafutwa na mwanahalisi online amesema wanaendelea kuchunguza madai hayo na kwamba pindi tuhuma zinazoelekezwa kwa mwenyekiti huyo zitakapothibitishwa kama ni za kweli taarifa sahihi zitatolewa kwa wananchi
hata hivyo inaelezwa uongozi wa mkoa wa mwanza na madiwani wanarajiwa kuitisha kikao cha dharura cha kumngoa mwenyekiti huyo kuanzia sasa kikitarajiwa kuongozwa na mkuu wa mkoa huo john mongella
hali si shwari katika halmashauri ya wilaya ya ukerewe mwanza baada ya madiwani 24 kati ya 34 kuandikia na kuisaini barua ya kutokuwa na imani na mwenyekiti wa halmashauri hiyo george nyamaha anaandika moses mseti uamuzi wa madiwani hao kuandika na kupiga kura ya kutokuwa na imani ni kutokana na matumizi mabaya ya madaraka na kuingizia hasara halmashauri hiyo zaidi ya sh 500 milioni tuhuma nyingine zinazomkabili ni pamoja na kutafuna fedha za maendeleo sh 454 milioni zilizotakiwa kwenda kwenye kata zote za wilaya na sh 84 milioni zilizotakiwa kwenda kwenye shule zote za wilaya hiyo lakini fedha hizo hazikwenda&hellip
previous roma hatupo salama aeleza mateso waliyopata
next josephat isango afariki dunia asubuhi hii | 2019-01-22T09:10:18 | http://mwanahalisionline.com/madiwani-ccm-ukawa-waungana-kumgoa-mkiti-halmashauri/ |
baltiysk abiria na gari feri
baltiysk abiria na gari kivuko tiketi bei ratiba kutoridhishwa tiketi na habari kwa ajili ya vivuko meli kutoka baltiysk kwa sassnitz vistula bay na gdansk bay
kulinganisha inapatikana baltiysk kivuko tiketi bei katika muda halisi na kitabu gharama nafuu baltiysk gari na abiria kivuko tiketi meli na kutoka baltiysk sassnitz vistula bay na gdansk bay na dfds vivuko online na uthibitisho papo desturi tafuta
bei ya tiketi & rizavu kitabu baltiysk ferry tiketi na dfds kwa vivuko meli kutoka baltiysk kwa sassnitz vistula bay na gdansk bay online mapema kufurahia gharama nafuu kivuko tiketi ya bei
bei unaweza kuona ni bei kulipa hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote wewe kwa kuchaguliwa baltiysk abiria au gari kivuko tiketi onboard malazi na aina ya gari ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi ili kupata baltiysk kivuko tiketi ya bei na kitabu kivuko yako tiketi salama online tafadhali kutumia muda halisi kivuko booking fomu upande wa kushoto wewe pia ni uwezo wa kuongeza hoteli katika marudio yenu au mahali popote pengine kwa kivuko yako tiketi wakati kukamilisha kivuko tiketi yako reservation zaidi kuhusu baltiysk
baltiysk ni la urusi bandari mji katika kaliningrad oblast ni hali ya sehemu ya kaskazini ya vistula spit 29 maili kutoka kaliningrad pwani ya mlango wa baltiysk kutenganisha vistula bay kutoka gdaลsk bay
baltiysk ni mji wa magharibi wa russia mji ni kubwa majini msingi ya baltic fleet na bandari ya feri juu ya njia ya st petersburg baltiysk kabla ya 1945 anajulikana kwa jina lake german pillau baltiysk ni mji wa magharibi wa russia prussia uvuvi kijiji ilipoota katika pwani wakati fulani katika 13th karne kwa kuchukua jina lake kutoka pils old prussia neno kwa ngome msukosuko mkuu umba rasi kupitika mbele ya kijiji juu ya 10 septemba 1510 hii kukuzwa ukuaji wa pillau katika bandari muhimu ya duchy ya prussia blockhouse ilijengwa katika 1537 ikifuatiwa na mfumo wa ghala katika 1543 na fortifications mwanzo katika 1550
wakati wa miaka thelathini vita swedes ulichukua bandari katika baada ya ushindi wao juu ya kipolishikilithuania jumuiya ya madola king gustavus adolphus nanga huko pamoja reinforcements yake mei 1626 baada ya kusitisha mapigano ya altmark (1629) swedes kubakia pillau na kuweka nje kuwaendeleza fortifications yake wao yalijengwa nyota ngome ambayo bado ni moja ya alama ya mji wa katika 1635 wananchi wa pillau kulipwa fidia ya 10000 thalers ambapo vikosi swedish kukabidhiwa makazi kwa mchaguzi ya brandenburgby mwisho wa 17th karne mji alikuwa kupanua mno lighthouse na kanisa jiwe walikuwa kujengwa peter mkuu wa urusi alitembelea pillau katika hafla ya tatu kiumbe wa kwanza katika 1697 katika uhusiano na ubalozi wake mkuu na ulaya magharibi kuna sanamu ya tsar karibu na lighthouse baada pillau ilipewa haki za magdeburg katika 1725 ukumbi wa mji ilijengwa hii jengo baroque ulizinduliwa mwezi mei 1745 mara kuharibiwa mwishoni mwa vita kuu ya ii
majeshi ya urusi ulichukua mji wakati wa miaka saba 'vita na kujengwa ndogo kanisa la orthodox huko tukio hilo ni ukumbusho kwa sanamu farisi wa empress elizabeth (2004) mwezi juni 1807 pillau ikavamiwa na napoleon grand army hakuna matukio bora ulifanyika wakati wa mapumziko ya 19th karne kumbukumbu ya scottish colony imara hapa katika 1815 1890 alionekana katika publication ingawa ukweli wao ni questionable lighthouse ilijengwa hadi urefu wa mita 3138 na ngome nzima ilikuwa updated na upya na prussians katika 1871
baada ya vita sehemu hii ya prussia ya mashariki kupita kwa umoja wa kisovyeti na wenyeji wa ujerumani walifukuzwa wakati wa kampeni za russification jina mji lilibadilishwa na baltiysk katika 1946
katika 1952 mamlaka urusi kuapishwa majini msingi ya baltic fleet katika baltiysk matokeo yake ikawa mji imefungwa upatikanaji ilikuwa haramu kwa wageni au wale bila kibali wakati wa vita baridi ilikuwa aliwahi na baltiysk hewa msingi mji pamoja na kaliningrad bado ni moja ya mbili tu kwa mwaka mzima bandari barafu ya bure pamoja baltic sea pwani inapatikana kwa russia
usafiri katika na karibu na mji ni pamoja na pentagonal pillau citadel sasa ameshika makumbusho majini magofu ya 13th karne lochstadt castle mlolongo wa 19th karne fortifications majini naval kanisa kuu la mtakatifu george (1866) 32mita expressionist uchunguzi wa mnara (1932) jengo gothic revival wa baltic fleet makumbusho (1903) na lighthouse kifahari
kutoka hapa unaweza kutembelea svetlogorsk kifahari na ya kuvutia pwani mapumziko na spa au kuendelea na matuta juu katika curonian spit mate ya nchi baadhi 100km muda mrefu kati ya mto nemunas na kaliningrad hii ni mali kwa kiasi urusi na sehemu ya lithuania na hutenganisha curonian lagoon kutoka bahari ya baltic hapa tutaona benki ya pili kwa ukubwa wa matuta ya mchanga katika ulaya katika 2000 eneo hili alikuwa aliongeza kwa orodha ya unesco ya maeneo ya maslahi ya asili bora karibu pia kuna amber migodi sarafu rasmi ya urusi ni ruble ambayo imegawanywa katika kopeks mia moja ni kinyume cha sheria kulipa fedha za kigeni atm ya watu wengi wengi upscale establishments itakuwa kukubali mkopo
best baltiysk ferry tiketi bei ya dhamana
best bei ya dhamana sisi daima kutoa wewe wetu chini inapatikana dfds abiria na feri gari tiketi ya bei na kutoka baltiysk hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi pia sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote kwa kuchaguliwa baltiysk kivuko tiketi onboard malazi na gari aina ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi
katika tukio uwezekano kupata huo wote umoja baltiysk kivuko tiketi ya bei nafuu katika brosha ya yoyote ziara operator nyingine sisi ahadi kwamba sisi kufanya kazi nzuri ya kuwapiga kwamba bei au kutoa uchaguzi wa kuomba marejesho ya kodi kwa kitabu baltiysk gari na abiria kivuko tiketi tafadhali bonyeza hapa wateja care telesales & wasiliana nasi wakati ferrytocom wewe ni uwezo wa kupata kuishi baltiysk kivuko tiketi bei kuangalia upatikanaji na kitabu gari na abiria kivuko tiketi kwenda na kutoka baltiysk katika inapatikana yetu chini bei ya tiketi ferrytocom ni sehemu ya ukubwa duniani online kivuko tiketi mtandao wa usambazaji kutoa uwezo kwa kitabu juu ya 80 kubwa ya ulaya kampuni ya feri ikiwa ni pamoja na baltiysk na zaidi 1200 wengine njia ya feri katika uingereza ufaransa hispania ireland uholanzi ulaya mashariki mediterranean baltic na afrika kaskazini kwa habari zaidi majibu ya mara nyingi kuulizwa maswali au kuwasiliana nasi moja kwa moja tafadhali bonyeza hapa kuhusu sisi | 2016-10-28T19:52:10 | http://www.ferryto.com/sw/bandari/Baltiysk.html |
museveni ajivinjari kwenye sgr
k24 tv march 28 2019
president uhuru kenyatta (centre) introduces his ugandan counterpart yoweri museveni to deputy president william ruto during the opening of the kenya uganda business forum at a mombasa hotel yesterday photo/ndegwa gathungu
ahadi ya rais uhuru kenyatta kwa mgeni wake na jirani mwema rais yoweri museveni wa uganda kwamba hii leo museveni atakuwa rais wa kwanza kuitumia reli ya kisasa kusafiri kutoka mombasa hadi nairobi imetimia
mapema asubuhi ya leo wawili hao walizuru bandari ya mombasa na baada ya makubaliano ya kupiga jeki uhusiano wa kibiashara sasa kenya itaipa uganda ardhi katika eneo la naivasha kwa matumizi ya kujenga bandari ya nchi kavu ili kukimu mahitaji yake ya kibiashara
kero ya sokwe muranga
matiangi usajili wa huduma namba wafikia watu milioni 5
mauaji ya tsavo uchunguzi wa dna wafanywa nairobi
makali ya ukame watu wawili wamefariki turkana | 2019-08-19T05:50:04 | http://www.mediamaxnetwork.co.ke/videos/swahili-videos/museveni-ajivinjari-kwenye-sgr-514943/ |
makavulive wasanii wagomea tena tuzo za tanzania kili music awards
wasanii wagomea tena tuzo za tanzania kili music awards
wasanii wa bongoflava wameendelea kutozikubali tuzo za music tanzania zinazotolewa na kilimanjaro kama ilivyotokea miaka ya nyuma ambapo baadhi ya wasanii wamekuwa wakijitoa na kutotaka kushirikishwa kabisa ktk tuzo zao hizo hali hiyo imeendelea kutokea tena baada ya kutangazwa kwa nominees wa tuzo za mwaka huu
zaidi bofya blog ya dj fetty
nominees wa kili music awards 2011 ni kama ifuatavyo
posted by makavulive dar at 1518 | 2018-02-19T10:18:19 | http://makavulive.blogspot.com/2012/02/wasanii-wagomea-tena-tuzo-za-tanzania.html |
usikose hii๐ je sala inaweza kuwaendea mama na marafiki wa yesu (watakatifu)
[wimbo mzuri ] bwana alitutendea mambo makuu
[tafakari ya sasa] ๐uhuru na amani ya moyoni
agano jipya lina vitabu 27 soma zaidi ๐katekisimu
kuabudu sanamu ni kukipa kiumbe chochote heshima au upendo anaostahili mungu peke yake soma zaidi ๐katekisimu
adhabu ya dhambi ndogo ni mateso duniani na toharani soma zaidi ๐katekisimu
mungu ni wa milele maana yake hana mwanzo wala mwisho amekuwapo kabla ya nyakati yupo na atakuwapo baada ya nyakati yupo daima (1tim 117) soma zaidi ๐katekisimu
ufufuko wa wafu maana yake mwisho wa dunia watu wote watafufuka na miili yao na kwenda nayo katika furaha ya milele au moto wa milele (ayu 192526 mt 223032 yh 2829) soma zaidi ๐katekisimu
kazi nzito ni zile za kuchosha mwili na zisizo za lazima kama vile kulima kujenga kubeba mizigo mizito biashara nk soma zaidi ๐katekisimu
maaskofu wote wamerithi mamlaka ya mitume kwa kufundisha kutakasa na kuongoza kanisa lote pamoja na papa na chini yake soma zaidi ๐katekisimu
neno manabii maana yake ni waliovuviwa na roho mtakatifu waseme kwa jina la mungu soma zaidi ๐katekisimu
tofauti kubwa kati ya ubatizo wa yohane na ule wa yesu ni kwamba sakramenti inategemea imani kwa kristo na kutushirikisha kifo na ufufuko wake soma zaidi ๐katekisimu
unapaswa kujua haya soma zaidi ๐katoliki
mungu anakupenda
nani kama mungu soma zaidi ๐katoliki
kanisa linahimiza waamini wapokee komunyo takatifu kila siku wanaposhiriki misa soma zaidi ๐katekisimu
masomo ya misa jumatatu julai 8 2019 juma la 14 la mwaka
yakobo alitoka beersheba kwenda harani akafika mahali fulanl akakaa huko usiku kucha maana jua lilikuwa limekuchwa akatwaa jiwe moja la mahali pale akaliweka chini ya kichwa chake akalala usingizi pale pale soma zaidi ๐masomoyamisa
baba mtakatifu wa kwanza ni mt petro soma zaidi ๐katekisimu
kuhusu marehemu soma zaidi
mungu aliumba ulimwengu ili adhihirishe utukufu wake na kutushirikisha wema ukweli na uzuri wake soma zaidi
tunakatazwa kuwatii watu wanaotuamuru jambo lililokatazwa na mungu (mdo 529) soma zaidi
ni kila mkatoliki aliyefikia umri wa kufikiri na aliye katika hatari ya kufa kwa ugonjwa au uzee aweza kupokea sakramenti hii soma zaidi
hizi hapa nyimbo nzuri za kwaresima zitakazokusaidia uwe na kwaresima nzuri ya tafakari soma zaidi
rehema za namna mbili soma zaidi
dada mwanaume mwenye busara hashawishiki na uzuri ulionao umbile lako mawigi na mitindo ya nywele unayobadilisha kila siku wala kwa rangi yako hiyo ya kizungu uliyoinunua dukani kwa sh 3500 endelea kusoma
sababu za gharika gharika na agano la mungu na noa
tags ๐ agano gharika hadithi kale mungu mwanzo noa category ๐bibhath agano gharika hadithi kale mungu mwanzo noa
1 ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao endelea kusoma
simoni mkananayo alikuwa mmojawapo kati ya mitume wa yesu endelea kusoma
mafundisho kuhusu kitubio
maswali ya msingi kuhusu kitubio endelea kusoma | 2019-07-23T16:03:48 | http://www.ackyshine.com/katoliki-f:maoni-ya-dini/tag/kg |
napenda kufahamu maneno haya kwa kisukuma na nyamwezi jamiiforums
napenda kufahamu maneno haya kwa kisukuma na nyamwezi
thread starter noniyang'waka
start date may 15 2014
82419
82419 50065 280
may 16 2014 #41
nasikiliza hiyo link ya audio niliyoitia hapo juuitbhas a gospel slant lakini kusikiawanaongea kisukuma authentic tu mumenirudisha mbali sana
if you get a min give it listen
najiona kama nimerudi nyumbani halafu kuna mami fulani anahubiri hivi
badogo bane degelekagi
hahaaaa daaah hizo audio poa sana
halafu jamaa ana lafudhi ya kisukuma cha mwanza
may 16 2014 #42
nimekuuliza kwa sababu nawasikiliza hawa watu wanamuita shetani shetani
kitu kinachoweza kumaanisha kwamba katika kisukuma hakuna neno la shetani per se
kitu kinachoweza kumaanisha kwamba concept ya shetanini foreign kwa wasukuma kwa sababu kama ingekuwa indigenous ingekuwa na an indigenous name
hapana lipo au at least hiyo dhana ipo maana nishawahi kuwasikia wazee wakiiizungumzia hilo
ngoja by next week nitakupatia jibu maana nitakuwa na access na kamusi za kisukuma
43027 18137 280
may 16 2014 #43
mimi nilijua authentic tu i couldn't tell kwimba from nassa
i was in bongo last year nimetoka zenj miadi kibao town basi nime release watu naanza kutembea mwenyewe nimefika uhuru na lumumba (place is crazy crowded compared to back in the days) nakuta wasukuma wanaongelea kuhusu habari za dar na kujihadhari kuhusu kuibuwa katika mabasi
mimi nikaona this false sense of secrecy is funny nawasikia kila wanalosema halafu inawezekanasi nzuri kwa national unity but then againnikasema watanzania mara zote wamekuwa na balance between treasuring their indigenous cultures and maintaining national security
sometimes i think i am beginning to be too comfortable thinking in english even more so than in swahili at tye expense of swahili and don't wven thinknabout sukuma
i am ever grateful that my father made us greet him in sukuma also for the open door policy which ensured there was an uncle or such a relation who was more comfortable in sukuma than swahili (and ever grateful for that first trip kumunyanza at obay beach) year round at home
i could almost hear the astonishment at the first sight of the sea
enyanza
likes ibambasi
may 16 2014 #44
noniyang'waka said
mwabeja nho bhagalu na bhagika bhacheye na bhagobhobho hiphop na wote
nimefurahishwa na ushirik wenu ama kweli jf ni kisima cha burudani shule na kuongeza maarifa
komejagi bhadugu bhane
wobeja namhala henaha nyanza ya maaganiko
bhojiko ng'waka kwengaga kwenuku
2910 482 180
may 16 2014 #45
shingamagaji
lagangabilili
kisukuma is very rich kwa misemo methali nk sikia hizi chache
1 kushema chonja kubundala
2 zunzu atinunaga
3 ni ya ng'oba nayo kaya
4 ishasamile shikalekagwa shakaluma iwe
5 maguzu masese
6pls ongezea
likes kiranga
joined jan 5 2012
48208 39656 280
may 16 2014 #46
mahinaveterani said
gashi nanho uli mnhu nshiku jose naliganinha uli leshinhusmilebig
agayaaa
nyamiswi
may 16 2014 #47
<mwakilyambiti >bung'wangoko >ngakakohbwona
mahinaveterani
714 29 0
may 16 2014 #48
yup upo sahihi
ila hapo nilipopakoleza na rangi nyekundu pana utata kidogosmilebig
bageshi konguno ya mawalwa ga bujiku mapuya eace
may 16 2014 #49
evelyn salt said
umenikumbusha mabli sana babu yangu alikuwa anapenda sana agayaaaa thologo
likes evelyn salt
ngonani
1371 202 160
may 16 2014 #50
kama wewe msukuma kweli tamka neno characteristic msukuma chapa ng'ombe hawezi tamka ilo neno
nyehunge
334 10 35
may 16 2014 #51
nyamiswi said
teh teh teh teh bung'wangoko ni ka kijiji flani maeneo ya kwetu
may 16 2014 #52
ngonani said
karakitarisitiki
likes bill
shooyakibabe
1809 861 280
may 16 2014 #53
kwani hakuna jukwaa la kiswahili
4990 2221 280
may 20 2014 #54
ninaungana na wewe hakuna umoja wa makende katika kisukuma kuna wingi masangu na hasa kwa kuwa masangu ni chakula kinachotokana baada na mkusanyiko wa vyakula/nfaka mbalimbali zikipikwa pamoja mf mandege (mahindi) nshiili (choroko) ng'halanga (karanga) ndulu (kwa kiswahili ) nk na vikorombezwo vongonevyo kutegemea na uwepo hakuna umoja wa makande
mkuu uminichekesha sana hapo kwenye red ulikuwa unamanisha makande yaani masangu ama
may 20 2014 #55
naye mzungu chapa england akiweza kutamka neno hili ghulyaghunoga basi msukuma chapa ng'ombe anaweza kutamka neno characteristic mzungu akishindwa sioni ajabu ya msukuma kushindwa kutamka hilo neno
after all litakuwa halimsaidii chochote maishani mwake
may 20 2014 #56
mkuu nyamiswi naomba kurekebisha kidogo kwani unakosea namna inavyotakiwa unaiweka kwa kiswahili swahili
1 ng'wajilyambiti
2 bhugwangoko
3 lyamidati
4 nhungumalwa
5 imalaseko
6 imalabhupina
7 g'wamapalala
8 gumalija
9 bhupandagila
10 pandagichiza
11 gwambiti
2655 736 280
may 20 2014 #57
duh hapa menigeshaa ansisiburi niendelee tu kuwadengeleka
mapinduzi75
47 1 15
may 20 2014 #58
shetani ni shigh'wegh'we
kitu kinachoweza kumaanisha kwamba concept ya shetani ni foreign kwa wasukuma kwa sababu kama ingekuwa indigenous ingekuwa na an indigenous name
gedeli
488 98 45
may 20 2014 #59
fabian manumba said
karibu na kamhanga kishili kasamwa au siyo
likes nyehunge
papaa2015
423 5 0
may 20 2014 #60
bheng'we mliho mlihaya ginehe mwobheja sanaahenaha ng'wabagalu
sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
threads 1262034
members 485449
posts 30112086 | 2019-02-18T07:45:32 | https://www.jamiiforums.com/threads/napenda-kufahamu-maneno-haya-kwa-kisukuma-na-nyamwezi.658412/page-3 |
handeni kwetu ushamba mzigo thamani ya mtu wazipa kiburi mashujaa bendi
ushamba mzigo thamani ya mtu wazipa kiburi mashujaa bendi
bendi ya mashujaa bendi imejisifia juu ya nyimbo zao mbili za ushamba mzigo na thamani ya mtu kuwa zilikuwa balaa baada ya kuzitambulisha mwaka jana na kupokewa kwa shangwe na mashabiki wao
mashujaa wakiwa chini ya charles gabriel baba maaurufu kama chalz baba walikuwa kwenye pilika pilika kali za kuchuana na wakongwe wao ikiwamo bendi ya the african stars twanga pepeta
akizungumza mwishoni mwa wiki iliyopita meneja wa mashujaa bendi martin sospeter alisema kuwa mashabiki wao walipata nyimbo kali zenye kila dalili ya ubora kutoka kwao
haya ndio mapinduzi tuliyoahidi kuwapatia mashabiki wetu baada ya kuhakikisha kuwa wanapata nyimbo nzuri kutoka kwetu kwa ajili ya kuona makali yetu
nyimbo hizi zilipokewa kwa shangwe na mashabiki wetu ambapo kwa pamoja zilikuwa zikifanya vyema tangu zilipotambulishwa baada ya kuandaliwa kwa kiwango cha juu mno alisema
kwa mujibu wa sospeter wamejipanga mwaka huu waendeleze makali yao kwa kuhakikisha kuwa wanatoa burudani kali ili kujiweka kileleni zaidi katika tasnia ya muziki wa dansi nchini
mwandishi kambi mbwana saa 1110 am | 2017-08-21T13:47:32 | http://handenikwetu.blogspot.com/2014/01/ushamba-mzigo-thamani-ya-mtu-wazipa.html |
welcome to ak classic blog >>>kwa wale wenye fibroids(uvimbe kwenye uzazi)click hiyo link chini usome mwenyewe au mtu akutafsiriehii imewasaidia watu wengikama utataka kununua piga simu tutaongeamwambie na mtu yoyote mwenye hili tatizo
>>>kwa wale wenye fibroids(uvimbe kwenye uzazi)click hiyo link chini usome mwenyewe au mtu akutafsiriehii imewasaidia watu wengikama utataka kununua piga simu tutaongeamwambie na mtu yoyote mwenye hili tatizo
http//9dc7a1yhq8lc6r9bk20eoyxw36hopclickbanknet/tid=hgxyv85k
posted by ak classic at 615 pm | 2018-07-15T23:07:52 | http://akclassic.blogspot.com/2012/11/kwa-wale-wenye-fibroidsuvimbe-kwenye.html |
download atembelea mp4 & 3gp || skycodedcom
download atembelea play in 3gp mp4 flv mp3 available in 240p 360p 720p 1080p video formats
waziri jafo atembelea kiwanda cha africab anena ya moyoni ''nimeona maajabu makubwa''
fullshangwe tv
rais jakaya kikwete atembelea tena jengo lililoporomoka dsm na kutoa agizo
ikulu tanzania
rais dkt magufuli atembelea hifadhi ya taifa ya kisiwa cha rubondo wilayani chato mkoa wa geita
barmedastvhd
breaking jpm atembelea shule aliyosoma nyerere
sheikh yusuf abdi atembelea nyumba ya mayatima kibokoni
abu shuraim
makonda atembelea ujenzi hospitali ya kivule shuhudia alichokikuta
january makamba atembelea kijiji wanakozaliana kasa
rais mstaafu moi atembelea familia ya ole ntimama
waziri mkuu majaliwa atembelea mlandizi mkoa wa pwani
balozi kyle mccarter atembelea miradi ya kilimo kaunti za kericho na bomet
rais dkt magufuli atembelea machinjio ya vingunguti
atembelea umasaini maasai tour official trailer aug 2018 geordavie tv
waziri mkuu majaliwa atembelea banda la trcreli ya kisasa yaendelea kuwa kivutio sadc
waziri mkuu kassim majaliwa atembelea bwawa la mtera apiga marufuku uharibifu wa mazingira
majaliwa atembelea kiwanda cha kuunganisha matrekta mkoani pwani
majaliwa atembelea mradi wa kinyerezi ii
dc asia atembelea kanisa lililowaka moto kilolo
darmpya tv
makamba atembelea kisiwa cha magufu awataka wakazi wa chato kukilinda na kukihifadhi
mwenyekiti wa ccm rais magufuli atembelea kambi ya wanavyuo
harold shemsanga
habari tbc 1 waziri mkuu majaliwa atembelea mpaka wa tanzania na malawi
ulipofikia ujenzi wa barabara za mwendokasi dsm makonda atembelea
mkuu wa majeshi atembelea waliokumbwa na mafuriko
raisi kikwete atembelea wahanga wa mafuriko buguruni
raisi wa afrika kusini atembelea morogoro katika ziara yake ya siku 2 nchini tanzania
j wee info
naibu waziri mabula atembelea banda la ardhi katika maonesho ya sabasaba atoa maagizo haya
tanzanite tv
mbosso atembelea ubalozi wa tanzania muscat oman
waziri kamwelwe atembelea daraja la lupaamwagiza mtendaji mkuu mfugale kutuma wataalamu
breaking katibu mkuu wizara ya afya atembelea chuo cha muhimbili
hili hapa chimbuko la mbwana samatta tupatupa atembelea huko clouds viwanjani
savage love jason derulo ftlast blood remboor ove2um5wee rathri ki evaru movie downloadohp8mryb9saogahausa actress maryam hiyana xxx videomwishonollywoods hot nigerian filmsmere sai 501501thch minh nim mi nht tham sn si ngun gc kh au ts thch minh nim video hd hayanthonia ugoeze solution timetoby dodddoremon in hindi gian ne jeeta ek bada price ek bada teddy bearztcpjixqmi8little mixtaylor swiftlove story taylor swift tikok versionromeo take me lyricsromeo take medance on english songsdance practice on englishb songsdance practicejust say you wont let gointentionscheap thrilllmklu khelgrammar in contextnaagin 3 full episode 73 hindi full timenaagin 3 episode 73 hindi full timelan101lan101 explanation on grammar vocabulory and phonology in contexttwice girl groupsisters kpopsisterbtsseventeenblankpinkbhutanese new rigsar songs 2019bhutanese new songstweakingeet maanchogo bhutanesechogo 100gssix song mp3six mp4 mp3 xxx downlodjoker songmunanollywood money yab manserhan gunerchogo 245245tshozhimai tafiya morou zouhedoujapan vs ghana 0 2 highlights 2018 friendlyzzyio8unodinjp0yl10lyesimran hot song balakrishnaz2latpv565e3rrjwvbt6pskutumbukiabhakarwadi sab tv 7 year leapthuyen vangmr beastuu9il5jkp curinore1kickodeeper life choirmusic songsmallu servant full hot sexgarden of love and tearskorean girl romancechloroformed korean girlroohdaarikuzimuwg2mjlrdey8asintadonigeriacomepisode 1the rock wwedj remix8t4czrlxy0avani gets cheated on andamp anthony responds james shades charli andamp addison emma respondsalitaenglish movie urdu zubaanxnxxxdesi indian sexwater world 1995 urdu zubaantinessosonollywood the tripkm premiere pro v477 kinemaster theme adobe premiere pro cc kinemaster premiere 4811 pro modgeisterxvrvkwjwhsejetli5qpjmgmm88gelluvocchi godarammamusics | 2020-08-11T13:34:15 | http://dl.skycoded.com/search/atembelea/CB4QAA.html |
habari na matukio mkuu wa wilaya ya same staki asimamia zoezi la kuchoma shamba lililolimwa mirungi
mkuu wa wilaya ya same staki asimamia zoezi la kuchoma shamba lililolimwa mirungi
mkulima wa zao la mirungi johnson charles kangara akiwa ameshika mafuta ya taa tayari kwa ajili ya kuteketeza shamba lake la mirungi
mkuu wa wilaya ya same staki alisema kuwa kwa asilimia kubwa serikali imekuwa ikiwadhibu wanaoingiza mirungi na bangi sokoni huku ikiwasahau kuwachukulia hatua wale wote wanalima zao hilo
mkuu wa wilaya ya same staki alipotangaza kiama cha kukabiliana na wale wote wanaojihusisha na kilimo hicho aliahidi kuwatafuta wakulima hao na hatimaye kuwachukulia hatua za kisheria na kuhakikisha kuwa wilaya ya same inakuwa safi pasina kuwa na mirungi
mkuu wa wilaya ya same staki ameahidi kuhakikisha wilaya ya same inasifika kwa kilimo cha mazao mengine rafiki katika jamii ya biashara na chakula na kuteketeza mazao yote haramu
waziri mahiga afungua mkutano wa majadiliano ya amani na ulinzi kati ya sadc na eu | 2016-10-22T03:33:38 | http://www.kajunason.com/2016/10/mkuu-wa-wilaya-ya-same-staki-asimamia.html |
translate watapokea from swahili to italian mymemory
results for watapokea translation from swahili to italian
kila nafsi na ijitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kwa njia ya mungu mamlaka zilizopo zimesimamishwa na mungu katika vyeo vyao vya kadiri kwa hiyo yeye anayepinga mamlaka amechukua msimamo kupingana na mpango wa mungu wale ambao wamechukua msimamo kupingana nao watapokea hukumu juu yao wenyewe kwa maana wale wanaotawala ni kitu cha kuogopesha si kwa kitendo chema bali kwa kibaya basi je unataka usiogope hiyo mamlaka endelea kufanya mema nayo itakusifu wewe kwa maana hiyo ni mhudumu wa mungu kwako kwa faida yako lakini ikiwa unafanya mabaya ogopa kwa maana haichukui upanga bila kusudi kwa maana hiyo ni mhudumu wa mungu mlipizakisasi ili kuonyesha ghadhabu juu ya yeye anayefanya mabaya
ogni anima sia sottoposta alle autoritร superiori poichรฉ non cรจ autoritร se non da dio le autoritร esistenti sono poste nelle loro rispettive posizioni da dio perciรฒ chi si oppone allautoritร si mette contro la disposizione di dio quelli che si mettono contro di essa ne riceveranno giudizio poichรฉ quelli che governano sono oggetto di timore non per lopera buona ma per la cattiva non vuoi dunque aver timore dellautoritร continua a fare il bene e ne avrai lode poichรฉ essa รจ ministro di dio per te per il bene ma se fai il male abbi timore poichรฉ non senza scopo essa porta la spada poichรฉ รจ ministro di dio vendicatrice per esprimere ira su chi pratica il male
ูุถุงุฆุญ ุฌูุณูู (arabic>english)fluid (english>tamil)con mi tia (spanish>english)swinger wife gangbang by 13 men (english>chinese (simplified))suลพadฤtinฤฏ (lithuanian>italian)droppar (swedish>persian)perseverantia vincit (latin>english)wre do you live (english>hindi)in buona compagnia (italian>spanish)holistic (english>tagalog)and solo's of course (english>italian)i love this photo (english>panjabi)gammel (norwegian>german)donya boding (tagalog>english)couvain (french>english)vadrouille (french>english)wholesaler (english>finnish)njegovo (serbian>maori)science in dailylife (english>kannada)raphael (english>arabic)kamar mein moch aane ko english mein kya kehte hai (hindi>english)blurbs (english>tagalog)tietopohja (finnish>english)thodapam (tamil>english)copyfarm (french>greek) | 2019-09-21T02:53:15 | https://mymemory.translated.net/en/Swahili/Italian/watapokea |
kabla ya kufikiria ushindije unayajua haya | jamiiforums | the home of great thinkers
kabla ya kufikiria ushindije unayajua haya
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by paul ss oct 24 2010
takribani juma moja tu limebaki kabla ya uchaguzi mkuutunashuhudia mambo yakizidi kupamba moto kwa kuendelea na kampeni na gumzo kubwa ni pale dr slaa alipofanya mahojiano live na wapiga kura wake pale moven peak mahojiano ambayo yaalivuta hisia za wengi kwa umahiri mkubwa aliouonyesha dr slaa katika kujibu hoja mbali mbali
kama kawaida maandiko yangu yana angalia zaidi upande wa bara na hasa vyama vya ccm na chadema hivyo tathimini yangu itaegemea zaidi katika vyama hivi viwili
nini hasa nguvu za vyama hivi zilipowapi ilipo mitaji yao ya kuelekea ktk kushinda uchaguzi mwaka huu kwa maana ya wingi wa kura utakao wapa wabunge wengi na kushinda urais
kwa kuanza na ccm wanajigamba kushinda uchaguzi huu kwa kuzingatia makundi yafuatayo ambayo kwao wao ndio mtaji mkubwa kwao kulinda rekodi yao ya ushindi kila chaguzi
ccm ianamtaji mkubwa wa wanachama ambao wao kwao ccm ni damu damu na uzuri wa hawa wanachama takribani wote wamejiandikisha kupiga kura mtandao huu kiukweli ulianza mikakati ya uchaguzi wakati wa uandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa kuhakikisha kila mjumbe anasimamia wanachama wa eneo lake kwenda kujiandikisha na ukaguzi wa nyumba hadi nyumba ukifanyika kuhakikisha wote wamejiandikisha kwanzana hili linawasaidia sana hasa mijini ambapo watu wengi huwa hawajiandikishi wazee na wanawake
hili ni kundi lingine ambalo ni mtaji mkubwa kwa ccm
wazee wengi kwa ujumla wao vichwani mwao bado ccm ni kila kitu takribani maisha yao yote wamekuwa na ccm tangu tanu hadi leo ccm ni sehemu ya maisha yaowengine kwao ni wababaishaji tu
wanawake wengi tanzania hawana mwamko wa siasa kabisa maranyingi wao ni fuata mkumbo (samahani kutumia neno hilo) maranyingi wanapiga kura kwa mazoea na pia wepesi kutishika na kurubuniwa na kundi hili limeathiriwa sana na mtandao wa ccm kuanzia ngazi ya mjumbe wa shina na vikundi vyao
kama kuna kundi lenye msimamo basi ama akika kundi hili lina msimamo likisema no ni no na likisema yes ni yes
nikundi ambalo ukilishika basi unahakika na ndio maana hata wapinzani sehemu kubwa waliofanya vizuri ni katika kundi hili
ccm wamefanikiwa kulishika vilivyo kundi hili kwasababu hawapati habari sahihiupinzani ni kama uhani kwao kutofikiwa na wapinzani na ngos kuishia mijini mfumo wa utawala kutofautisha chama na watendaji wa serikali na mwisho wengi wao maisha wanayoishi wanaona kama ndio stahiki yao
majimbo yasiyo na wagomea wapinzani na zanzibar
hata kabla ya uchaguzi tayari kuna majimbo ccm imeshapata ushindi kabla ya uchaguzi kuanzia ngazi ya udiwana na ubunge kwa tanzanaia bara na visiwana ambapo chadema hawajatia kabisa mguu huu ni mtaji mojawapo ccm wanautegemea ktk kusukuma ushindi wao
makundi niliyo yataja hapo juu wengi wao ni wale ambao wao wanapiga kura kwa vigezo nilivyo vieleza bila kuangalia maswala ya uzuri wa sera au vitu vingine
kwa upande wa chadema sitakuwa na mengi sana ya kuandika sababu napata shida kidogo kupata hasa mtajiwao ukowapi kama nitakuwa sivyo nahakika wadau mtanisawazisha
wasomi na wafanyakazi kada ya chini
hili ni kundi ambalo chadema wamefanikiwa kuli teka vilivyo wasomi wengi hasa wa mijini na vyuoni wamekuwa mstari wa mbele kuiunga mkono chadema kutokana na sera zake zenye matumaini kwao na kwa taifa kwa ujumla
kundi hili linaonekana kuyumbishwa kidogo kutokana na sintofahamu iliyotokea juu ya wanafunzi wa vyuo kuonekana watashindwa kupiga kura
wafanyakazi wa kada kuanzia kati na chini na wafanyabiashara ndogo ndogo nao ni kundi lingine ambalo linaiunga sana mkono chadema na kuonekana mtaji mkubwa kwa chadema na kundi hili linaonekana sana mijini
agenda ya ufisadi na kasoro za ccm
kimantiki huu ndio mtaji mkuu wa chadema mtaji ambao hauna kundi specific isipokuwa unatarajiwa kunyakua kura toka ktk makundi tajwa ya ccm ambayo sera kwao sio tija tija kwao ni kupigia ccm
chadema hawana mtandao mkubwa kama ccm wanategemea zaidi agenda hizo ili ziwa bebe kuwa shawishi wapiga kura kupata kura
na agenda hizo pia zimetokea kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa na ngos mbali mbali na wanaharakati
sina nia ya kukatisha tamaa wapinzanina katika siasa lolote laweza tokea na kila chama kinanafasi ya kushinda lakini kwa kuzingatia nilicho eleza hapo juu naamini hata wewe unapata picha ni chama gani kina nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi
wingi wa watu katika kampeni sio kigezo kabisa cha kushinda kwani kila chaguzi tunaona mambo huwa hivi hivi mwisho wa siku matokeo wote tuna yajua
inawezekana kweli kabisa ikawa ccm haifanyi vizuri kiutawala lakini sio kigezo cha wao kushindwa katika chaguzi na hasa kwa nchi zetu zinazo endelea mfumo ni tofauti sana na nchi zilizo endelea
wito wangu kwa wanamageuziwanakazi kubwa sana yakufanya kuleta mageuzi zaidi ya kusimama majukwaani na kuikosoa ccm
ukisoma post nyingi utaona ni jinsi gani wana jf wanavyofikiria ushindi kwa upinzani ni rahisi wao akili yao ipo katika kuibiwa kura tu wanachoamini wao ukidhibiti wizi wa kura basi umeshinda uchaguzi
nahuu ndio ukweli mgumu kuukubali
mwenye macho haambiwi tazama letยs wait nd see
jiulize kanu tangu uhuru walikuwa na mtaji wa wanachama wangapi vigogo wangapi na pesa zao miradi mingapi pamoja na yote hayo 2002 walipigwa chini na mpaka leo kimesambaratika subiri tar311010 utatueleza huo mtaji wa wanachama upo wapi maana ya campaign ni nini moja ni kuwashawisha wanachama wa vyama vingine vikubaliane na sera zako ambapo hadi sasa kura zitakazomwingiza dr slaa ikulu ni za wanachama wa ccm kwani wengine tukikosa maji jimboni kwetu wanachama wa ccm wanayapata elimu afya etc think from that perspective and join us on 2nd katika sherehe za kumuapisha drslaa mbona mimi ni mwanachama wa ccm lakini kura yangu hawaioni
pulssclick to expand
kaka salama naunga hoja yako asilimia 988 nadhani chadema wanajisahau kuwa oya oya nyingi sio wingi wa kura
mitaji hukopwa kama sisiem wana mtaji na hawana uwezo wa kuutumia usishangae wanahisa wa sisiem haohao wakaamua akopeshwe chadema sasa kwa sababu wanaamini anasecurity ya kutosha kukukopa na kuzalisha kwa faida usihadaike na mtaji mkuu chadema wanaweza kabisa kukopa kwenye mtaji wa sisiem ila tu wakidhi haja na matakwa ya wakopeshaji
mkuu naona unakaribia kuvuka mstari mda sio mrefu rev masa na mwafrika watakukabidhi kitengo chao cha propaganda maana unaanza kuvuka mstaari taaaratibu
safari hihi hatuchagui chama tunachagua mtu hakuna kutuletea hoja ya kuwa na wanachama wengi hapa kwa chadema ushindi ni lazima mwaka huu kila dalili zinaonesha kuwa chadema ni kidedea mwaka huu ni vigumu kwa wanaccm kulikubali hili ndio maana wanakuja na hoja za wanachama wengimwaka huu hata wagombea wa ubunge na udiwani kupitia ccm hawatamchagua jk mimi mwenyewe ni mwanaccm lakini kura yangu ipo kwa drslaa prof lwaitama ni mwanaccm (mfu) lakini kura yake haiendi ccm
kaka salama naunga hoja yako asilimia 988 nadhani chadema wanajisahau kuwa oya oya nyingi sio wingi wa kuraclick to expand
yetu macho na masikio tusubiri tuone na tusikie itakuwaje ni vema mwandishi alikumbuka kuwa chadema inaungwa mkono pia na ngos hapa kumbukeni kuwa kama ngos zitakuwa kweli upande wa dr slaa basi mambo ni magumu sana maana ngos zina mtandao mpana sana na zinafanyakazi mpaka kule mashinani hivyo itakuwa kazi kweli kweli uwezekano pia wa kuchukua kura kwenye hayo makundi ya ccm uliyoyataja ni mkubwa maana sasa hivi watz wa leo siyo sawa na wale wa juzi na jana hawa ni wengine kabisa na watashangaza wengi mwaka huu tulishaona vyama vilivyoanguka uchaguzi pamoja na kuwa na wanachama wengi mtandao mpaka vijijini lakini vilipigwa mweleka
hivi paulss unaposema ccm ina mtaji wa wanachama wengi umenihesabu na mimi maana mimi bado ni mwanachama hai wa ccm tena nalipia kadi lakini uchaguzi wa mwaka huu hatuchagui chama tunachagua mtu kura yangu ni kwa slaa definitely naona mawazo yako ni ya kabla ya 2000 na si ya leo 2010
hoja hizo za mtaji zilikuwa huko nyuma kwa sasa mambo yamebadilika sana hata hao wanawake unaowaita hawana mwamko kwenye upinzani n zama za kale subiri october 31 utona hakuna mtaji wa maana ccm kwa taarifa yako ndani ya ccm kuna makundi makubwa mno ndo maana safari hii kampeni zimekuwa za kifamilia huwezi kujiuliza kwa nini unafikiri nini kitatokea kama familia hii ambayo haina cha kupoteza itapata nafasi ya kuongoza nchi hii hata wewe kama unaipenda nchi hii basi kampigie kura yako dr slaa maana ndo tumaini na ukombozi wa watanzania
hakuna cha mtaji wala nini
nitashangaa sana watanzania watakaompigia kura jk wakati maisha yao ni duni sana
maendeleo ya tanzania yataletwa na watanzania wenyewe wakiwa na serikali mkiniclick to expand
jiulize kanu tangu uhuru walikuwa na mtaji wa wanachama wangapi vigogo wangapi na pesa zao miradi mingapi pamoja na yote hayo 2002 walipigwa chini na mpaka leo kimesambaratika subiri tar311010 utatueleza huo mtaji wa wanachama upo wapi maana ya campaign ni nini moja ni kuwashawisha wanachama wa vyama vingine vikubaliane na sera zako ambapo hadi sasa kura zitakazomwingiza dr slaa ikulu ni za wanachama wa ccm kwani wengine tukikosa maji jimboni kwetu wanachama wa ccm wanayapata elimu afya etc think from that perspective and join us on 2nd katika sherehe za kumuapisha drslaa mbona mimi ni mwanachama wa ccm lakini kura yangu hawaioniclick to expand
mkuu utafanya makosa sana kuanza kujilinganisha na siasa za watu wengine kenya ni kenya mkuu na tz ni tz na siasa zetu hazifanani kabisa na zao usipende kujipa matumaini kabisa kwa hatua alizo kanyaga mwenzio zinaweza kuwa tofauti kabisa na zako
wewe unaweza kuwa na kadi lakini wanachama wenyewe wanajuana
safari hihi hatuchagui chama tunachagua mtu hakuna kutuletea hoja ya kuwa na wanachama wengi hapa kwa chadema ushindi ni lazima mwaka huu kila dalili zinaonesha kuwa chadema ni kidedea mwaka huu ni vigumu kwa wanaccm kulikubali hili ndio maana wanakuja na hoja za wanachama wengimwaka huu hata wagombea wa ubunge na udiwani kupitia ccm hawatamchagua jk mimi mwenyewe ni mwanaccm lakini kura yangu ipo kwa drslaa prof lwaitama ni mwanaccm (mfu) lakini kura yake haiendi ccmclick to expand
mkuu ni dalili zipi zinazo kuonyesha ushindi mwaka huu ni lazima nakubaliana na wewe mwaka huu mwamko umeongezeka zaidi lakini sioni hicho unacho kizania ambacho hakikuwepo kwa mrema 95na mbowe 2005 na matokeo unayajua
hivi paulss unaposema ccm ina mtaji wa wanachama wengi umenihesabu na mimi maana mimi bado ni mwanachama hai wa ccm tena nalipia kadi lakini uchaguzi wa mwaka huu hatuchagui chama tunachagua mtu kura yangu ni kwa slaa definitely naona mawazo yako ni ya kabla ya 2000 na si ya leo 2010click to expand
quinine heshima mbele mkuu mbona wote mnataja wanachama tu hayo makundi mengine hamyaoni hili ni moja tu ya mtaji wao wa uhakika
mkuu nakuhakikishia nilichoandika hapo juu ndicho kilichopo na wewe unajua hivyo isipokuwa najua sana unapenda mabadiliko lakini nuvigumu pia kuukataa ukweli huu
nitashangaa sana watanzania watakaompigia kura jk wakati maisha yao ni duni sanaclick to expand
mkuu nahakika ukiisoma vizuri post yangu utaelewa kwanini wataipigia ccm na kuipa ushindi wala usiisome kwa kudhani ni sehemu ya kampeni bali tafakari kila kundi kwa chadema na kwa ccm utapata picha
mkuu paulss
mtaji mwingine wa chadema na upinzani kwa jumla ni kikwete mwenyewe pale alipozungumzia yuko tayari kupoteza kura za wafanyakazi naamini alipoteza wapiga kura kadhaa let alone kwenda kuwapigia kampeni mramba lowassa chenge na ra
mkuu nakuhakikishia nilichoandika hapo juu ndicho kilichopo na wewe unajua hivyo isipokuwa najua sana unapenda mabadiliko lakini nuvigumu pia kuukataa ukweli huuclick to expand
kama nilivyosema awali tafsiri yako ni ya miaka 10 iliyopita unashindwa kuelewa mwaka huu ni tofauti kabisa unasahau kuwa kuna vijana waliozaliwa 1990 hawajawahi kupiga kura na wako wengi tunaambiwa karibu nusu ya wapiga kura ni vijana kuna wana ccm kama mimi ninayefuatana na mgombea wa ccm kuna wazazi wangu ambao unasema ndiyo tegemeo la ccm nikikueleza msimamo wao wa mwaka 2005 ni tofauti kabisa na leo kitu kingine ambacho unakisahau au umeamua kukificha ni ccm ya 20002005 si ccm ya leo it is not the same it is divided kampeni za mwaka 2000 na 2005 zilifanywa na ccm na wote ni mashahidi tuliona viongozi walivyokuwa kila pembe ya tanzania tofauti na mwaka huu ambapo kampeni zinafanywa kifamilia
but kama unataka kuendelea kujiridhisha endelea
hata wewe yaashiria ni mwanachama mfu wa ccm lakini asili yako ya uoga wa kutamka hadharani ndio inakuponza jikaze kisabuni ndugu chadema fimbo yao
mtaji mwingine wa chadema na upinzani kwa jumla ni kikwete mwenyewe pale alipozungumzia yuko tayari kupoteza kura za wafanyakazi naamini alipoteza wapiga kura kadhaa let alone kwenda kuwapigia kampeni mramba lowassa chenge na raclick to expand
mzawa halisi najua hilo la wafanyakazi wa kada ya kati na chini ni moja ya waungaji mkono wazuri wa chadema
we sijui pus sijui kitu gani *******i mean unatia bei gani za walipa kodi mfukoni mwakobata mtam laki mchafu na anakula uchafuneed i say more
mwenye macho haambiwi tazama let's wait nd see
hayo uliyosema juu ya mtandao wa ccm utafanikiwa tu kama katika kuwaandikisha walikusanya na voters cards lakini kama wanachama walibaki nazo ccm wajue katika kupiga kura ni mpiga kira na sanduku la kupiga kura tu huwepo katika chumba kile wakati wasimamizi huwa meter kadhaa mbali
nasikitika sana mtoa hoja ana mawazo mgando na uelewa mdogo kiasi kwamba hawezi kuchambua mambo hii forum ni ya watu kujadili hoja za msingi sio kushabikia vyama kama umefuatilia utaona kuwa wanajukwaa wengi waporefer chadema katika kukwaa ili huwa ni katika hoja zao za msingi sihitaji kukuelekeza ni hoja zipi kama uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kiasi hicho nakupa pole
nakushauri urejelee historia hususani ktk uwanja wa siasa utajua kuwa mabadiliko huletwa na watu wachache ukiacha mfano wa kenya siju hata kama unafahamu kuwa kulikuwepo na roman empire lakini iliangukaje malecela alishindwa kura za maoni kwa sababu mtaji wake ulikuwa mdogo au kama ni mtu wa kuelewa utaelewa
but kama unataka kuendelea kujiridhisha endeleaclick to expand
unajua takwimu za wapiga kura zimekaaje mkuu wapiga kura wengi wako vijijini wakiwemo hao vijana hizi harakati tunazo ziona humu mijini wengi ni wazugaji na wanahama hama sana kwa mfano jana hapa dar na miji mingine kadhaa ilikuwa mshike mshike kumsikiliza dr slaa amini usiamini kunasehemu kubwa tena sana hawakuwa hata nahabari kitu gani kinaendelea
nasema haya kupitia uzoefu nimebahatika kutembe sana nchi hii najua ninachoongea
najua upinzani utazidi kufanya vizuri mwaka huu kutokana na hii ccm ya sasa na nakubaliana na wewe imebadilika kwa kurudi nyuma lakini hii haiondoi dhana nzima ya nguvu ya ccm kushinda kwa maana ya makundi niliyoyataja
najuwa upinzani utachota kura kadhaa kutoka haya makundi lakini si kwa kiasi cha kuishindakwenda ktk uchaguzi na baadhi ya sehemu hujasimamisha wagombea na sehemu zingine kusema ukweli wagombea wapo lakini wapo wapo tu hawana nguvu yoyote ni dalili ya kwanza kumpa point za awali mshindani wako
we sijui pus sijui kitu gani *******i mean unatia bei gani za walipa kodi mfukoni mwakobata mtam laki mchafu na anakula uchafuneed i say moreclick to expand
sikutiii mean sitii hele yoyote ya walipa kodi zaidi ya mimi kulipa hiyo kodi
nakushauri urejelee historia hususani ktk uwanja wa siasa utajua kuwa mabadiliko huletwa na watu wachache ukiacha mfano wa kenya siju hata kama unafahamu kuwa kulikuwepo na roman empire lakini iliangukaje malecela alishindwa kura za maoni kwa sababu mtaji wake ulikuwa mdogo au kama ni mtu wa kuelewa utaelewaclick to expand
la mawazo mgando mkuu siwezi kulijibu maana hayo ni maono yako na lazima yaheshimiwe maana inawezekana ikawa kwako wewe kuisifia chadema au kueleza yale unayo yapenda wewe ndio kuwa na hoja za msingi vinginevyo niupeo mdogo wa kufikiri
kwenye red ninani kwakwambia ccm itatawala milele na sielewi hapa historia inaingiaje mkuu au unamaana kwakuwa roman empire ilianguka ndio na ccm ianguke mwaka huu kwanini sio 199520002005 au miaka ijayo
tathimini yangu inahusu uchaguzi wa mwaka huu mkuu sio tathimini ya milele wala haimaanishi ccm haita angushwa daima | 2017-01-17T11:08:19 | https://www.jamiiforums.com/threads/kabla-ya-kufikiria-ushindi-je-unayajua-haya.80486/ |
makofi kwa psg tafadhali full time yao vs chelsea imewapa ushindi millardayocom
makofi kwa psg tafadhali full time yao vs chelsea imewapa ushindi
michezo ya marudiano hatua ya 16 bira ya ligi ya mabingwa ulaya imeendelea tena usiku wa march 9 kwa michezo miwili kupigwa barani ulaya klabu ya chelsea ilikuwa mwenyeji wa klabu ya paris saint germain ya ufaransa wakati zenit walicheza dhidi ya benfica
kwa upande wa klabu ya chelsea walikuwa stamford bridge chu kupambana na psg ili waweze kusonga mbele hatua robo fainali kwa kuhangaika kutaka kuifunga klabu hiyo ambayo mchezo wa kwanza walifungwa 21 paris ufaransa
hata hivyo jitihada za chelsea ziligonga mwamba baada ya psg kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 21 hivyo chelsea wametolewa kwa jumla ya magoli 42 magoli ya psg yalifungwa na adrien rabiot dakika ya 16 na zlatan ibrahimovic dakika ya 67 na chelsea kuambulia goli moja pekee lililofungwa na diego costa dakika ya 27
โ previous story list ya msafara wa yanga utaokwenda kuikabili apr kigali rwanda klabu bingwa afrika
next story โ manchester united wamepokea kichapo anfield dhidi ya liverpool | 2020-07-05T05:08:54 | https://millardayo.com/psg78-2/ |
26 kuhusu makuhani na mfano wao | firqatu nnajia
26 kuhusu makuhani na mfano wao
1 muslim amepokea katika asswahiyh kutoka kwa baadhi ya wakeze mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ya kwamba mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema
atakayemwendea mpiga ramli akamuuliza juu ya kitu na akamsadikisha basi hazitokubaliwa swalah zake kwa siku arubaini[1]
2 abu hurayrah (radhiya allaahu ยดanh) amesimulia kuwa mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema
atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam)[2]
3 maimamu wane na alhaakim wamepokea kupitia kwa abu hurayrah (radhiya allaahu ยดanh)
atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam)[3]
hadiyth ni swahiyh kwa mujibu wa masharti ya albukhaariy na muslim
4 abu yaยดlaa amepokea kwa cheni ya wapokezi nzuri ya kwamba ibn masยดuud vilevile amesema hivo
5 ยดimraan bin huswayn (radhiya allaahu ยดanh) amesimulia kuwa mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema
si katika sisi yule atakayetafuta au akaomba kubashiriwa mikosi ya ndege akafanya ukuhani au akafanyiwa ukuhani akafanya uchawi au akafanyiwa uchawi atakayemwendea kuhani na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale aliyoteremshiwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam)
ameipokea albazzaar kwa cheni ya wapokezi nzuri na attwabaraaniy amepokea katika alawsatw kwa cheni ya wapokezi nzuri kupitia kwa ibn ยดabbaas bila ya ziada ya neno
na atakayemwendea kuhani
6 albaghawiy amesema mpiga ramli ni yule anayedai kuvijua vitu vilivyoibiwa na vitu vilivyopotea na kama hayo kwa vitangulizi imesemekana vilevile kwamba ni kuhani kuhani ni yule anayeelezea juu ya vitu vilivyofichikana katika mustakabli imesemekana vilevile kwamba ni yule anayeelezea juu ya vitu vilivyomo katika dhamira ya mtu
7 abulยดabbaas bin taymiyyah amesema
mpiga ramli ni jina la kuhani mtabiri wa nyota mwaguzi na mfano wao katika wanaoongelea kuyajua mambo kwa kutumia njia hizi
8 ibn ยดabbaas amesema kuhusu watu wanaoandika abaa jaad na wanatazama nyota
sioni wanaofanya hivyo kuwa wana sehemu yoyote mbele ya allaah
mlango unaowazungumzia wapiga ramli waguzi na wengineo wanaodai kuyajua mambo yaliyofichikana
makuhani ni wale wanaoshirikiana na majini watu kama hawa wanatakiwa kutokomezwa kuwaaziri kuwakadhibisha na kutowauliza kitu
atakayemwendea mpiga ramli akamuuliza juu ya kitu na akamsadikisha basi hazitokubaliwa swalah zake kwa siku arubaini
wanachuoni wanasema kuwa wakeze ni hafswah (radhiya allaahu ยดanhaa)
sentesi na akamsadikisha haiko katika muslim ima mwandishi ameteleza au amenukuu kutoka katika nusukha ambayo iko na maneno haya sentesi na akamsadikisha iko kwa ahmad
upokezi kwa muslim unathibitisha kuwa kule kuwauliza tu haijuzu kwa sababu kunawakweza wapiga ramli na kunapelekea uchawi wao kusadikishwa na kuadhimishwa huko mbeleni kwa ajili hiyo inapaswa kuachana nao na kuwapuuza muslim amepokea kupitia kwa muยดaawiyah bin alhakam ya kwamba mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema
wao si lolote si chochote usiwaendee
hivi ndivo wanavotakiwa kutaamiliwa ili wao na mfano wao watwezwe wapuuzwe na kutokomezwa
atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam)
hadiyth inafahamisha kwamba kuwaendea haijuzu na kuwasadikisha katika mambo yanayohusiana na kudai mambo yaliyofichikana ni kufuru kwa sababu hakuna ajuaye mambo yaliyofichikana isipokuwa allaah pekee watu hawa sio mitume kuhani ni kafiri akisema kuwa yeye anajua mambo yaliyofichikana mwenye kumsadikisha pia kwamba anajua mambo yaliyofichikana ni kafiri kwa sababu hakuamini maneno yake (taยดala)
sema hakuna katika mbingu na ardhi ajuaye yaliyofichikana isipokuwa allaah (annaml 2765)
kwa ajili hiyo ni wajibu kutahadhari nao
haya ni makemeo na ni matishio kwa yule anayefanya mambo kama haya mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema
si katika sisi
bi maana si katika wale wanaofuata sunnah ya mtume wa allaah (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ama kuhusu takfiyr japokuwa udhahiri wake unafahamisha takfiyr inachukuliwa kutoka katika dalili zengine zilizopambanua suala hili haijalishi kitu mtu ameamini mkosi wa ndege juu ya nafsi yake mwenyewe au amewaomba wengine wambashirie mkosi wa ndege amejifanyia ukuhani mwenyewe au amewaomba wengine wamfanyie ukuhani kwa kuridhia kwake kuhusu takfiyr inatakiwa kupambanuliwa kama tulivyotangulia kusema kuwasadikisha ni kufuru kubwa mwenye kudai kujua mambo yaliyofichikana basi anatakiwa kuambiwa kutubia ima atubie au auawe ikiwa atasema kuwa hajui mambo yaliyofichikana basi atatakiwa kuaziriwa ili asije kurudi tena katika mambo hayo
vitangulizi inahusiana na vitu anavyopanga na baadaye vinamjulisha mahali kulipoibiwa kitu fulani kwa mfano anaweza kujua kwa nyayo za mnyama na nyasi zake haya ni mambo yanaweza kutokea lakini mpiga ramli anakuwa ni mwenye kusemwa vibaya pindi anapodai kutambua mambo yaliyofichikamana ama kuhusu mambo yenye kuhisiwa hayaingii katika mlango huu
mpiga ramli anasema vile vilivyomo katika dhamira ya mtu hayafikii hayo isipokuwa kwa kuwauliza mashaytwaan na majini
haijuzu kujifunza uchawi kwa hali yoyote ile hata kama lengo la mtu ni kutaka kuzingua uchawi kwa sababu mtu hawezi kulifikia hilo isipokuwa kwa kumuabudu asiyekuwa allaah kufanya yale aliyoharamisha allaah au kuacha yale allaah aliyowajibisha
maandiko yote haya yanafahamisha ya kwamba kuhani mchawi mtabiri wa nyota mwaguzi na mfano wao ni wenye kusemwa vibaya na kwamba wanadai kuyajua mambo yaliyofichikana
bi maana zile herufi za alfabeti a b j d wanaziandika herufi hizo wanaziweka baadhi juu ya zengine na wanasema kwamba kutatokea kitu fulani na fulani kusema kwamba hawana sehemu yoyote mbele ya allaah ni kwamba hawana fungu lolote kwa sababu ni wenye kudai kuyajua mambo yaliyofichikana
[2] abu daawuud (3904) ibn maajah (639) na addaarimiy (1136) swahiyh kwa mujibu wa alalbaaniy katika assilsilah asswahiyhah (3387)
[3] ahmad (9532) alhakim (15) na albayhaqiy (16273) swahiyh kwa mujibu wa alalbaaniy katika swahiyhuljaamiยด (5939)
marejeo sharh kitaabittawhiyd uk 9496
26 kuhusu makuhani na mfano wao shaykhulislaam muhammad bin ยดabdilwahhaab (rahimahu allaah) amesema 1 muslim amepokea katika asswahiyh kutoka kwa baadhi ya wakeze mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ya kwamba mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema atakayemwendea mpiga ramli akamuuliza juu ya kitu na akamsadikisha basi hazitokubaliwa swalah zake kwa siku arubaini[1] 2 abu hurayrah (radhiya allaahu ยดanh) amesimulia kuwa mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam)[2] ameipokea abu daawuud 3 maimamu wane na alhaakim wamepokea kupitia kwa abu hurayrah (radhiya allaahu ยดanh) atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam)[3] alhaakim amesema hadiyth ni swahiyh kwa mujibu wa masharti ya albukhaariy na muslim 4 abu yaยดlaa amepokea kwa cheni ya wapokezi nzuri ya kwamba ibn masยดuud vilevile amesema hivo 5 ยดimraan bin huswayn (radhiya allaahu ยดanh) amesimulia kuwa mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema si katika sisi yule atakayetafuta au akaomba kubashiriwa mikosi ya ndege akafanya ukuhani au akafanyiwa ukuhani akafanya uchawi au akafanyiwa uchawi atakayemwendea kuhani na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale aliyoteremshiwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ameipokea albazzaar kwa cheni ya wapokezi nzuri na attwabaraaniy amepokea katika alawsatw kwa cheni ya wapokezi nzuri kupitia kwa ibn ยดabbaas bila ya ziada ya neno na atakayemwendea kuhani 6 albaghawiy amesema mpiga ramli ni yule anayedai kuvijua vitu vilivyoibiwa na vitu vilivyopotea na kama hayo kwa vitangulizi imesemekana vilevile kwamba ni kuhani kuhani ni yule anayeelezea juu ya vitu vilivyofichikana katika mustakabli imesemekana vilevile kwamba ni yule anayeelezea juu ya vitu vilivyomo katika dhamira ya mtu 7 abulยดabbaas bin taymiyyah amesema mpiga ramli ni jina la kuhani mtabiri wa nyota mwaguzi na mfano wao katika wanaoongelea kuyajua mambo kwa kutumia njia hizi 8 ibn ยดabbaas amesema kuhusu watu wanaoandika abaa jaad na wanatazama nyota sioni wanaofanya hivyo kuwa wana sehemu yoyote mbele ya allaah maelezo mlango unaowazungumzia wapiga ramli waguzi na wengineo wanaodai kuyajua mambo yaliyofichikana makuhani ni wale wanaoshirikiana na majini watu kama hawa wanatakiwa kutokomezwa kuwaaziri kuwakadhibisha na kutowauliza kitu 1 muslim amepokea katika asswahiyh kutoka kwa baadhi ya wakeze mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ya kwamba mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema atakayemwendea mpiga ramli akamuuliza juu ya kitu na akamsadikisha basi hazitokubaliwa swalah zake kwa siku arubaini wanachuoni wanasema kuwa wakeze ni hafswah (radhiya allaahu ยดanhaa) sentesi na akamsadikisha haiko katika muslim ima mwandishi ameteleza au amenukuu kutoka katika nusukha ambayo iko na maneno haya sentesi na akamsadikisha iko kwa ahmad upokezi kwa muslim unathibitisha kuwa kule kuwauliza tu haijuzu kwa sababu kunawakweza wapiga ramli na kunapelekea uchawi wao kusadikishwa na kuadhimishwa huko mbeleni kwa ajili hiyo inapaswa kuachana nao na kuwapuuza muslim amepokea kupitia kwa muยดaawiyah bin alhakam ya kwamba mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema wao si lolote si chochote usiwaendee hivi ndivo wanavotakiwa kutaamiliwa ili wao na mfano wao watwezwe wapuuzwe na kutokomezwa 2 abu hurayrah (radhiya allaahu ยดanh) amesimulia kuwa mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ameipokea abu daawuud 3 maimamu wane na alhaakim wamepokea kupitia kwa abu hurayrah (radhiya allaahu ยดanh) atakayemwendea kunahi na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale yaliyoteremshwa kwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) hadiyth inafahamisha kwamba kuwaendea haijuzu na kuwasadikisha katika mambo yanayohusiana na kudai mambo yaliyofichikana ni kufuru kwa sababu hakuna ajuaye mambo yaliyofichikana isipokuwa allaah pekee watu hawa sio mitume kuhani ni kafiri akisema kuwa yeye anajua mambo yaliyofichikana mwenye kumsadikisha pia kwamba anajua mambo yaliyofichikana ni kafiri kwa sababu hakuamini maneno yake (taยดala) ููู ูููุง ููุนูููู
ู ู
ูู ููู ุงูุณููู
ูุงููุงุชู ููุงููุฃูุฑูุถู ุงููุบูููุจู ุฅููููุง ุงููููููู sema hakuna katika mbingu na ardhi ajuaye yaliyofichikana isipokuwa allaah (annaml 2765) kwa ajili hiyo ni wajibu kutahadhari nao 4 abu yaยดlaa amepokea kwa cheni ya wapokezi nzuri ya kwamba ibn masยดuud vilevile amesema hivo 5 ยดimraan bin huswayn (radhiya allaahu ยดanh) amesimulia kuwa mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema si katika sisi yule atakayetafuta au akaomba kubashiriwa mikosi ya ndege akafanya ukuhani au akafanyiwa ukuhani akafanya uchawi au akafanyiwa uchawi atakayemwendea kuhani na akamsadikisha kwa aliyoyasema basi amekufuru yale aliyoteremshiwa muhammad (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ameipokea albazzaar kwa cheni ya wapokezi nzuri na attwabaraaniy amepokea katika alawsatw kwa cheni ya wapokezi nzuri kupitia kwa ibn ยดabbaas bila ya ziada ya neno na atakayemwendea kuhani haya ni makemeo na ni matishio kwa yule anayefanya mambo kama haya mtume (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) amesema si katika sisi bi maana si katika wale wanaofuata sunnah ya mtume wa allaah (swalla allaahu ยดalayhi wa sallam) ama kuhusu takfiyr japokuwa udhahiri wake unafahamisha takfiyr inachukuliwa kutoka katika dalili zengine zilizopambanua suala hili haijalishi kitu mtu ameamini mkosi wa ndege juu ya nafsi yake mwenyewe au amewaomba wengine wambashirie mkosi wa ndege amejifanyia ukuhani mwenyewe au amewaomba wengine wamfanyie ukuhani kwa kuridhia kwake kuhusu takfiyr inatakiwa kupambanuliwa kama tulivyotangulia kusema kuwasadikisha ni kufuru kubwa mwenye kudai kujua mambo yaliyofichikana basi anatakiwa kuambiwa kutubia ima atubie au auawe ikiwa atasema kuwa hajui mambo yaliyofichikana basi atatakiwa kuaziriwa ili asije kurudi tena katika mambo hayo 6 albaghawiy amesema mpiga ramli ni yule anayedai kuvijua vitu vilivyoibiwa na vitu vilivyopotea na kama hayo kwa vitangulizi imesemekana vilevile kwamba ni kuhani kuhani ni yule anayeelezea juu ya vitu vilivyofichikana katika mustakabli imesemekana vilevile kwamba ni yule anayeelezea juu ya vitu vilivyomo katika dhamira ya mtu vitangulizi inahusiana na vitu anavyopanga na baadaye vinamjulisha mahali kulipoibiwa kitu fulani kwa mfano anaweza kujua kwa nyayo za mnyama na nyasi zake haya ni mambo yanaweza kutokea lakini mpiga ramli anakuwa ni mwenye kusemwa vibaya pindi anapodai kutambua mambo yaliyofichikamana ama kuhusu mambo yenye kuhisiwa hayaingii katika mlango huu mpiga ramli anasema vile vilivyomo katika dhamira ya mtu hayafikii hayo isipokuwa kwa kuwauliza mashaytwaan na majini faida haijuzu kujifunza uchawi kwa hali yoyote ile hata kama lengo la mtu ni kutaka kuzingua uchawi kwa sababu mtu hawezi kulifikia hilo isipokuwa kwa kumuabudu asiyekuwa allaah kufanya yale aliyoharamisha allaah au kuacha yale allaah aliyowajibisha 7 abulยดabbaas bin taymiyyah amesema mpiga ramli ni jina la kuhani mtabiri wa nyota mwaguzi na mfano wao katika wanaoongelea kuyajua mambo kwa kutumia njia hizi maandiko yote haya yanafahamisha ya kwamba kuhani mchawi mtabiri wa nyota mwaguzi na mfano wao ni wenye kusemwa vibaya na kwamba wanadai kuyajua mambo yaliyofichikana 8 ibn ยดabbaas amesema kuhusu watu wanaoandika abaa jaad na wanatazama nyota sioni wanaofanya hivyo kuwa wana sehemu yoyote mbele ya allaah bi maana zile herufi za alfabeti a b j d wanaziandika herufi hizo wanaziweka baadhi juu ya zengine na wanasema kwamba kutatokea kitu fulani na fulani kusema kwamba hawana sehemu yoyote mbele ya allaah ni kwamba hawana fungu lolote kwa sababu ni wenye kudai kuyajua mambo yaliyofichikana [1] muslim (2230) [2] abu daawuud (3904) ibn maajah (639) na addaarimiy (1136) swahiyh kwa mujibu wa alalbaaniy katika assilsilah asswahiyhah (3387) [3] ahmad (9532) alhakim (15) na albayhaqiy (16273) swahiyh kwa mujibu wa alalbaaniy katika swahiyhuljaamiยด (5939) mhusika imaam ยดabdulยดaziyz bin ยดabdillaah bin baaz mfasiri firqatunnajiacom marejeo sharh kitaabittawhiyd uk 9496 imechapishwa 16/10/2018 http//firqatunnajiacom/26kuhusumakuhaninamfanowao/
previous 61 makatazo ya kuwaacha makafiri wakajitanua
next 27 mlango kuhusu kuagua na kuondosha uchawi | 2019-01-15T23:12:26 | http://firqatunnajia.com/26-kuhusu-makuhani-na-mfano-wao/ |
wazo la waziri wa ardhi william lukuvi kuhusiana na uwanja uliomtoa mbwana samata
thread wazo la waziri wa ardhi william lukuvi kuhusiana na uwanja uliomtoa mbwana samata
14012016 1232 #1
mkuu wa mauzo wa kanda ya pwani wa vodacom tanzania herieth koka akimpongeza mbwana samata kwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa afrika kwa wachezaji wanaocheza soka la kulipwa afrika wakati wa hafla ya kumpongeza iliyoandaliwa na vodacom tanzania na wadau wengine wa soka na kufanyika katika hoteli ya hyatty jijini dar es salaam
vodacom ikiwa ni mdhamini mkuu wa ligi ya soka nchini tumefurahishwa na mafanikio ya samatta kwa kuwa moja ya dhamira ya kampuni yetu ni kusaidia michezo hususani mchezo wa soka wa kuwa tunaamini kuwa bado kuna fursa ya vijana wengi wa tanzania maisha yao kuwa murua kupitia
ยซ tff na utetezi mbovu juu ya samatta | samatta vs nape ยป | 2019-08-24T19:55:39 | http://mwanahalisiforum.com/threads/9597-WAZO-LA-WAZIRI-WA-ARDHI-WILLIAM-LUKUVI-KUHUSIANA-NA-UWANJA-ULIOMTOA-MBWANA-SAMATA?p=50450 |
dc tanganyikasaleh mhando akabidhi hundi ya shilingi milioni 567 kwa ajili ya vikundi 24 vya wanawake na vijana mdimu's blog
home / kitaifa / dc tanganyikasaleh mhando akabidhi hundi ya shilingi milioni 567 kwa ajili ya vikundi 24 vya wanawake na vijana
dc tanganyikasaleh mhando akabidhi hundi ya shilingi milioni 567 kwa ajili ya vikundi 24 vya wanawake na vijana | 2017-08-19T01:50:07 | http://mdimuz.blogspot.com/2017/02/dc-tanganyikasaleh-mhando-akabidhi.html |
msikiti wa sultan ahmed wikipedia kamusi elezo huru
msikiti wa sultan ahmed ni msikiti mashuhuri mjini istanbul katika nchi ya uturuki inajulikana pia kwa jina la msikiti buluu kutokana na rangi ya vigae vinavyopamba undani wake
msikiti huu ulijengwa kuanzia mwaka 1609 1616 kwa maagizo ya sultani ahmed i aliyetawala milki ya osmani
ni msikiti mkuu wa istanbul ukihesabiwa kati ya majengo mazuri na muhimu ya usanifu wa kiosmani
1 muundo wa jengo
2 minara
3 historia ya ujenzi
muundo wa jengo[hariri | hariri chanzo]
msanifu wake mehmet agha alikuwa mwanafunzi wa mimar sinan aliiga mfumo wake wa kimsingi akifunika ukumbi mkuu wa kati kwa kuba kubwa na kando yake akaongeza kuba ndogo 6
ukumbi mkuu una umbo ambalo unakaribia mraba akiwa na mita 53 x 51 kuba kubwa una kipenyo cha mita 235 na kufikia kina cha mita 43 kuba kubwa linashikwa kwa tao nne zinazolala juu ya nguzo nene nne zenye kipenyo cha mita 5
ukumbi unapokea mwanga kwa madirisha 260 yenye vioo vya rangi
msikiti huo yaani jengo la ibada ulijengwa pamoja na majengo ya kando kama vile madrasa hospitali na kaburi la sultani ahmed i
geti kuu upande wa magharibi lina nyororo nzito juu ya nafasi ya kuingia kusudi lake lilikuwa kumlazimisha sultani kuinama kichwa chini akiingia msikitini juu ya farasi yake nyororo hii ilikuwa na kazi ya kuonyesha ya kwamba mungu ni mkubwa kuliko mtawala
minara[hariri | hariri chanzo]
msikiti huu una minara sita wakati wa ujenzi hii ilileta matatizo maana wakati ule msikiti wa kaaba mjini makka pekee ulikuwa na minara sita kwa hiyo sultani alishtakiwa kuonyesha majivuno makubwa mno akiupa msikiti wake minara sawa na makka kwa hiyo sultani ahmed i aliagiza mnara wa saba uongezwe huko makk[1]
historia ya ujenzi[hariri | hariri chanzo]
sultan ahmed i aliamua kujenga msikiti huu kama jengo la toba baada ya kushindwa katika vita dhidi ya dola takatifu la roma (ujerumaniaustria) mwaka 1606 milki ya osmani ilipaswa kukubali amani iliyomaliza malipo ya kila mwaka yaliyowahi kutolewa na kaisari wa vienna
vita dhidi ya uajemi iliyoanza baadaye ilienda pia vibaya na mwaka 1612 waosmani walipaswa kurudishwa maeneo ya kaukazi kwa waajemi
ahmed aliamua kujenga msikiti wake karibu na hagia sofia (maabadi yaliyowahi kuwa kanisa kuu la konstantinopoli na kubadilishwa kuwa msikiti baada ya uvamizi wa waturuki) na juu ya mabaki ya ikulu ya makaisari wa bizanti na pia juu ya sehemu ya uwanja wa shindano la farasi wa bizanti[2]
filamu fupi ionyeshayo msikiti buluu
msikiti wa sultan ahmed jinsi inavyoonekana kutoka upande wa hagia sofia
uwanja mbele ya geti
sala ndani ya msikiti
vigae vya buluu
geti kwenda uwanja wa ndani
uwanja wa ndani
sehemu pa kusali
kuba kuu lenye vigae vya buluu
tao za uwanja wa ndani
watalii wakitazama msikiti
undani wa jengo
โ http//wwwbluemosqueco/minaretshtml
โ http//wwwbluemosqueco/historyhtml
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=msikiti_wa_sultan_ahmed&oldid=928586
majengo nchini uturuki
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 29 julai 2014 saa 0909 | 2020-04-08T03:02:42 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Msikiti_wa_Sultan_Ahmed |
kinyaiya's entertainment jamani wenye mahoteli msaidieni dada huyu
jamani wenye mahoteli msaidieni dada huyu
ni binti mrembo kweli ambaye hakuna shaka kwamba kila amwonaye atampenda hakuna shaka pia kwamba kama wasichana wengine wengi naye ana mipango yake mingi ya maishakwa siku za usoni
lakini si hivyo kwa renata leonard ambaye kwa miaka saba iliyopita hakuwa kama alivyo leo sasa kwani mipango yake ya maisha imetibukani ajali iliyotibua mipango yangu kiasi cha kunisababishia kupoteza kumbukumbu mara kwa mara anaeleza binti huyo
siku sintoisahau maishani kwani ilikuwa mchana nilipomuaga mama na kumwambia kwamba naelekea kwenye mkutano wa injili muda mfupi baada ya kutoka shule ya sekondari ya dar es salaam nilikokuwa nasoma wakati ule anaeleza renatarenata anasema kuwa alikuwa akisoma kidato cha tano akichukua masomo ya historia jiografia na kiingereza (hgl) akiwa mwezi mmoja na nusu tokea wafungue shule
anaeleza kuwa muda wa masomo ulipoisha alirudi nyumbani kwao mbagala kuu manispaa ya temeke na kumkuta mama yake na kumwomba ruhusa ya kwenda kwenye viwanja vya jangwani dar es salaam ambako ulikuwa ukifanyika mkutano wa injili
tangu nijiunge na kidato cha tano nilikuwa nimesoma kwa mwezi mmoja na nusu ambapo siku hiyo nilirudi nyumbani mapema nikaweka madaftari yangu chumbani mwangu na nilimfuata mama na kumuaga nikimweleza kuwa nilikuwa naelekea jangwani kwenye mkutano wa injili
anasema siku hiyo ya juni 29 2004 alipokuwa anaelekea kwenye mkutano huo wa jangwani akiwa anavuka barabara ya morogoro anakumbuka kuona gari likija kwa kasi na aliposhtuka gari lilimgonga na tangu hapo ndipo alipoteza fahamu
ninachokumbuka nilimuaga mama kwamba naelekea kwenye mkutano wa injili kule jangwani na nilipojaribu kuvuka barabara niende upande vilipo viwanja hivyo niligongwa na gari sijakumbuka kitu kilichotokea na kile kilichoendelea kwa shida renata anajaribu kueleza lakini hawezi anapoteza kumbukumbu na ndipo anaingilia kati mdogo wake aitwaye revina leonard akieleza kilichoendelea
atakueleza mdogo wangu huyo mimi sikumbuki vizuri anasema renata
revina ndiye anayemsaidia na kueleza kuwa siku hiyo dada yake (renata) hakuonekana nyumbani kwa hiyo iliwabidi wazazi na ndugu zao wakisaidiwa na majirani waanze kumtafuta kwa kutoa taarifa hadi misikitini na vituo vya polisi
tulimtafuta kwa siku mbili mfululizo bila mafanikio na ndipo tuliamua kumtafuta hata kwenye wodi kule muhimbili na mochwari ya hospitali ya amana lakini bila mafanikio
kisha tulikaa wanandugu na kukubaliana twende hospitali ya taifa ya muhimbili (mnh)anaeleza revina
anasema kipindi chote walichokuwa wakimtafuta dada yake kumbe alikuwa amegongwa na gari na hali yake ilikuwa mahututi na alichukuliwa na wasamaria wema na kukimbizwa muhimbili
revina anaongeza kuwa walipofika hospitalini hapo waliambiwa kuwa kuna mgonjwa wa kike ambaye aligongwa na gari na alifikishwa hapo siku mbili zilizopita na alikuwa amelazwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi
baada ya kuelezwa hayo mama na baba waliruhusiwa kuingia ili wamwone na kweli ndiye dada ( renata) au la lakini ilikuwa ni vigumu kwao kumtambua kwa haraka kutokana na majeraha makubwa kichwani mwake
kwa bahati nzuri mama aligundua kwa macho yake lakini miguu yake ilikuwa na alama aliyozaliwa nayo ingawa mguu wake wa kushoto ulivunjika mara mbili na wa ule wa kulia ulikuwa umevunjika mara tatuanasimulia revina
revina anaongeza kuwa dada yake pia alipasuka kichwa na kushonwa nyuzi tano
katika simulizi lake revina anaongeza kuwa dada yake alilazwa kwenye chumba hicho cha wagonjwa mahututi kwa siku 11 huku akiwa amepoteza fahamu na alikuwa amewekewa hewa ya oksijeni ili kumsaidia kupumua na aliweza kuongezewa chupa sita za damu baada ya siku 11 kupita ndipo renata alipohamishiwa kwenye wodi ya mwaisela na alilazwa huko kwa miezi tisa huku akiendelea na matibabu anasema revina
anaeleza kuwa miezi tisa ilipita lakini mguu wake wa kushoto ambao ulikuwa umevunjika mfupa mkubwa na kuwekewa chuma ulikuwa umeanza kuoza na kuamuliwa na daktari ukatwerevina anasema daktari aliposema mguu wa dada yake ukatwe mama yao alikataa na kuamua kumhamisha bila ya taarifa na kumpeleka kibaha kwa dk bake ambapo aliungwa mguu wake
novemba 2004 alipelekwa katika hospitali ya dk bake iliyoko kibaha mkoani pwani na alilazwa kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji kwa mara ya pili ambao ulifanywa kwenye mguu wa kushoto ambao ulikuwa umeshaanza kuoza anaeleza revina
anasema renata alifanyiwa upasuaji huo wa mguu kwa mara ya pili ambapo aliwekewa vyuma vipya ili viweze kumsaidia mguu huo kuunganiliambiwa nyama ya goti imeungana na mfupa na kusababisha goti lisikunje lakini baada ya kufanyiwa upasuaji niliweza kutembea kwa kutumia magongo ila mguu wangu ulikuwa haukunjiki
kwa kutokunja goti langu niliambiwa na daktari wangu kuwa aliyenifanyia upasuaji nikiwa hospitali ya muhimbili alinifanyia vibaya na ndio maana hadi leo hii siwezi kukunja gotianasema renatarenata anaongeza kuwa baada ya kutolewa hospitalini kibaha aliendelea na matibabu huku akiwa anatumia magongo katika kipindi cha miezi sita
mwaka 2005 aliacha kutumia magongo na alikuwa anapelekwa hospitali ya taifa ya muhimbili kwa ajili ya kupatiwa mazoezi maarufu kama mama cheza ambapo alikuwa akilipia sh 8000 kila siku
kwa bahati mbaya juni 2005 baba yangu ambaye alikuwa msaada mkubwa alifariki na hivyo nikakosa fedha (sh 8000) za kila siku kwa ajili ya mazoezi nikawa siendi tena hospitali kutokana na kutokuwa na fedhaanasema renata
mama yangu alisitisha kunipeleka kwenye mazoezi ( kwa mama cheza) kutokana na kutokuwa na fedha na aliamua kunifanyia mazoezi nyumbani kuanzia 2005 hadi 2006 ambapo pale nyumbani palikuwa na mlima ambao ulinisaidia katika kufanya mazoezianasema
anasema mwaka 2007 alijiunga na english vision ambayo ipo ubungo na alikuwa anafundishwa kusoma na kuandika kwa kuwa alikuwa amepoteza kumbukumbu zotenilisoma kwa kipindi cha miezi sita ili nijue kusoma na kuandika kwa kuwa nilikuwa sijui kabisa kusoma kutokana nilikuwa nimepoteza kumbukumbu zangu zoteanasema renata
anasema baada ya kumaliza kujifunza kusoma na kuandika aliamua kusomea masomo ya hoteli katika chuo cha amazon na alisomea usafi wa vyumbanikutokana na hali yangu ya usahaulifu na kupoteza kumbukumbu nilisoma mwaka mmoja na baadaye nilipangiwa kufanya mazoezi ya vitendo kwenye hoteli ya peacock katika kipindi cha miezi minne
nilipata ripoti nzuri na katika ripoti yangu nilipata alama c ambapo cheti changu kilikuwa kizurianasena renata anaongeza baada ya kumaliza kozi yake aliweza kutafuta kazi sehemu mbalimbali lakini hakufanikiwa anaeleza kuwa kama ajira itatokea anao uwezo wa kufanya kazi
anaeleza kuwa tatizo lake la kupoteza kumbukumbu kwa sasa linatokea mara moja moja hivyo yeye amechoka kukaa nyumbani hivyo kama kuna kazi katika hoteli yeyote nchini ana uwezo wa kufanya kazi kwa upande wa usafi wa vyumbani
kipindi hiki nipo katika wakati mgumu sana kimaisha kutokana na mama yangu kwa wakati huu hana uwezo wa kifedha hivyo nimekaa kipindi cha miaka mitatu bila kazi kwa yeyote atakayejitokeza kunipa ajira kwenye hoteli nitafanya kwa kuwa uwezo wa kufanya ninaoanasema renata
binti huyo anawaomba wamiliki wa hoteli wajitokeze na kumsaidia kwani uwezo anao lakini amekosa ajira kutokana na ajali ambayo anasema imemwathiri
*anayetaka kumsadia 0657 003488 (renata) au 0653 207663 (pamela
posted by kinyaiyas entertainment at 755 am | 2017-09-23T19:45:56 | http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/07/jamani-wenye-mahoteli-msaidieni-dada.html |
dunia ya michezo sarah ramadhani amshukuru moh
sarah ramadhani amshukuru moh
muandaaji wa mbio za mkesha wa mwaka mpya zijulikanazo kwa jina la metl new year eve midnight marathon 2013 sarah ramadhani ameishukuru kampuni ya mohamed enterprises kwa udhamini ambao pia umeiwezesha klabu yake ya nyro athletics kupata eneo la heka tano kibaha mkoani pwani kwa ajili ya kujenga uwanja wa kisasa wa riadha
akizungumza jijini dar es salaam sarah ambaye mwanariadha wa zamani alimpongeza mdhamini huyo kwa kuona umuhimu na kutoa udhamini wa mbio hizo ambao licha ya kufanikisha tukio hilo wamefanikiwa pia kununua eneo hilo kibaha mkoani pwani kwa ajili kujenga uwanja huo maalumu kwa ajili ya michezo ya riadha tu
sarah amesema mara baada ya kupata eneo hilo tayari wameanza majukumu ya kuandaa michoro kwa ajili ya uwanja huo utakaokuwa ukitumika kwa ajili ya michezo mbalimbali ya riadha ikiwamo miruko mitupo na mbio za uwanjani
namshukuru sana mohamed enterprises kwa kuona umuhimu wa mchezo wa riadha hapa nchini na kupitia ufadhili wake wa mbio za mwaka mpya sisi kama klabu tukaona tutumie sehemu yake kununua eneo kibaha ajili ya uwanja wa maalumu wa riadha ambao utatumika kwa mazoezi na mashindano na imani hii ni changamoto kwangu mimi kuhakikisha riadha inapiga hatua zaidi kama mdau wa mchezo huo aliongeza sarah
aidha sarah aliwataka makocha wa mchezo huo kuwa wabunifu na kutafuta vipaji vijijini na sio kila siku wanariadha kuwa walewale katika michuano yake hiyo yenye kauli mbiu run for peace and health na kudai kuwa mwaka huu anahiyaji kuona mabadiliko kutoka kwa makocha hao
mimi nataka wanariasha ambao watavunja rekodi na sio kila siku wanakuja tu kukimbia ili wapate fedha na kuondoka kama itakuwa hivi hatutapiga hatua bali tutakalia hivihivi hivyo basi nawaomba mjilekebishealisema
naye rais wa chama cha riadha tanzania(rt) anthony mtaka amemtaka sarah kuendeleza asili yake ya uanariadha kwani katika michezo hapa nchini majungu ni mengi ususani mtu ukiwa inaelekea katika mafanikio na kumsihii kuwa mvumilivu ili kufikia malengo yake
kwenye michezo majungu ni mengi na mtu usipokuwa mvumilivu unakata tamaa na mfano hai ni majungu katika chama changu ila namshukutu mungu toka mwaka jana nimeingia madarakani hakuna majungu wala migogoro ni kitendo cha kumshukuru mwenyezi mungu alisema mtaka ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya mvomero mkoani morogoro
kwa upande wa mwakilishi wa mohamed enterprises cosmas mtesigwa alimtaka sarah kutokuwa muoga katika malengo yake huku akimuomba endapo atakuwa na shida asisite kuwafikia kwa kuwa wao wameamua kujitosa katika mchezo huo ambao una jina kubwa hapa duniani
kwa upande wa wasichana sara ramadhani wa zanzibar alishinda akitumia dakika 338231 wa pili mary naali wa african ambassador athletics club (aaac) ya arusha akikamata namba mbili kwa dakika 341090 wa tatu failuna abdi wadakika 360258 wa nne banuelia brighton wa holili running club ya kilimanjaro dakika 382112 na watano asmah rajab aliyetumia dakika 453119
kwa wanaume dickson marwa wa holili running club aliibuka kidedea akitumia dakika 291445 akifuatiwa na patrick nyangero pia wa holili dakika 291688 mohamed msenduki wa arusha dakika 292280 faustine mussa wa jwtz arusha 292705 huku tano bora ikifungwa na ramadhan mnyandeo dakika 292774
kwa walemavu mshindi aliibuka shukuru khalfan dakika 385110 wilbert costantino dakika 392902 mathias jollo dakika 431607 christian amour 432758 na watano john stephano dakika 523134
is it bayern or inter
europe will crown a new champion this saturday when the bernabeu plays host to its fourth european cup finalat the start of this uefa cha
vizuri lakini hiki ndicho kinachoua soka
klabu ya soka ya yanga leo imekwenda bungeni kupereka kikombe walichoshinda cha kagame baada ya kuifunga azam fc hii imekuwa tabia k
mgambo with lack humanity
mgambo with lack of humanity how are you dear blogers i believe your fine it is another edition with another big issue we will discuss to
bury fc nearing english football league expulsion deadline bury football club has until 2359 bst on friday to avoid being expelled from the english football league
matangazo ya dira ya dunia tv alhamisi 22082019 na salim kikeke & beryl wambani
niko kovac hints unfit philippe coutinho faces a wait before bayern munich debut philippe coutinho doesn't appear ready to make his bayern munich debut in saturday's trip to schalke after manager niko kovac said the loan signing from ba
mabondia twaha kiduku na tshibangu kayembe kuzipiga kesho julai 27 escap one promota kaike siraju katikati akiwainua mikono juu mabondia twaha kiduku kushoto na tshibangu kayembe kutoka kongo baada ya kupima uzito na afya kwa ajili
wayne rooney slammed over casinofunded derby county transfer manchester united and england legend wayne rooney has been criticised for gambling links ahead of his transfer to derby county the 33yearold currentl
doj office sent employees briefing with link to racial and antisemitic content a department of justice office sent its employees including immigration judges a daily news briefing that included a link to a blog featuring racial and
fifa womens leadership programme delivering dividends down under
gabon daniel cousin a (enfin) signรฉ son contrat sortie de crise ร libreville le sรฉlectionneur du gabon daniel cousin a enfin signรฉ le contrat qui le lie ร l'รฉquipe nationale de football les termes de
adrien silva heads to monaco to rejoin ligue 1 outfit on seasonlong loan deal leicester city midfielder adrien silva is heading to monaco to rejoin them on a seasonlong loan after being deemed surplus requirements by manager brendan
madhara ya kupiga punyeto freddy macha copyright 20072017 @kajunason blog
which table is wanbissaka top of
farouk shikalo aitwa timu ya taifa kenya *na zainab nyamka globu ya jamii* *benchi la ufundi la timu ya kenya limetangaza kikosi cha wachezaji wake kitakachocheza mchezo wa kirafiki dhidi ya uga
man city legend vincent kompany no longer coaching anderlecht on matchdays the former city skipper will hand matchday coaching duties over after nightmare start to managerial career
makubaliano ya wakuu wa nchi za sadc kiswahili chapiga bao * mwenyekiti mpya wa jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa afrika sadc na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dk john pombe magufuli akiwaong
sanchez mshahara pasua kichwa baada ya romelu lukaku kuondoka manchester united na kwenda inter milan wa italia mashetani wekundu wanataka kumpeleka alexis sanchez huko huko lakini
video rais wa zanzibar dk shein azungumza na uongozi wizara ya habari utalii na mambo ya kale zanzibar | 2019-08-23T04:29:39 | http://duniayamichezo.blogspot.com/2013/01/sarah-ramadhani-amshukuru-moh.html |
kampuni ya huawei yaishtaki marekani kampuni kubwa ya kutengeza simu ya china huawei imeishtaki serikali ya marekani ikipinga sheria iliyopitisha mwaka jana inayokataza taasisi za serikali za marekani kununua bidhaa za huawei de es fr no pl pt ru sl sv da nl
mwenyekiti wa huawei guo ping amesema kwamba wamelazimika kwenda mahakamani kwa sababu marekani imeshindwa mara kadhaa kutoa uthibitisho wa kuonyesha haja ya kuweka marufuku hiyo ambayo inaweza kuwatoa katika ushindani wa kibiashara wa kutoa huduma ya kasi ya mtandao wa 5g
deutschewellesw 120100 pm cet
marekani yaweka vikwazo vipya dhidi ya venezuela marekani na urusi zilipambana jana ijumaa kuhusiana na jinsi ya kuisaidia venezuela iliyokumbwa na mzozo ambapo urusi iliahidi njia mpya za kutoa misaada kupitia rais nicolas maduro na marekani kuweka vikwazo vipya nenda kwenye makala similarity 031
uchambuzi bunge la umma la china na mustakabali wa focac similarity 033
mens du sov demokraterne boykotter fox news og en hvidvaskjรฆger har politianmeldt en svensk storbank similarity 030
telekomriese huawei klagt usa wegen boykotts durch behรถrden similarity 038
cohen will versprochenes geld trumps exanwalt verklagt trumpfirmen auf millionenbetrag similarity 030
cohen saksรธker trump similarity 043
reuters huawei ะฟะพะดะฐะปะฐ ะฒ ััะด ะฝะฐ ะฒะปะฐััะธ ััะฐ ะทะฐ ะทะฐะฟัะตั ะธัะฟะพะปัะทะพะฒะฐะฝะธั ะตะต ะฟัะพะดัะบัะธะธ similarity 035
snabbkoll pรฅ nattens nyheter similarity 040
cohen stรคmmer trump fรถr utebliven lรถn similarity 039
ylejournalist skulle fรฅ amerikanskt pris tills hennes trumpkritiska twitterinlรคgg hittades similarity 031 | 2019-09-15T08:06:39 | https://emm.newsexplorer.eu/NewsExplorer/clusteredition/sw/20190307,deutschewelle-sw-114c871943170360b0c1b2e0ab519a41.html |
ukubwa 63 mb
kuundwa 30 012011 22 09 13
iliyopita 15 102012 19 45 51
mwandishi alphasim http//wwwalphasimcouk/
ajabu kuongezajuu payware zamani sasa freeware kwamba utakuwa upendo
alphasim ah1w sifa kwa fs2004
1 mfano sana ya ubora textures na cockpit virtual
2 full fs2004 mfano ni pamoja na makala yote fs2004
3 sana halisi virtual cockpit na mifano kwa michoro na (baadhi) swichi mouseable
4 authentic zote xml2d jopo desturi popup kwa ajili ya redio stack kikamilifu mouseable
5 sana kweli wafanyakazi takwimu inayoonekana katika maoni exterior takwimu crew toggled na mbali ya pili exit amri (shifte + 2)
6 rotor vile animated kuonyesha mbele / aft na kushoto / kulia kujionyesha (fs9 tu)
7 animated kidevu gun (juu ya udhibiti wa pembejeo)
8 milango animated wafanyakazi (shifte)
9 virtual cockpit mvua madhara (fs9 tu)
shift1 zinageuka kuu cockpit jopo na mbali katika cockpit mtazamo
shift2 maonyesho radio stack
shift3 maonyesho gps kiwango
1 tailhook juu / chini amri (lazima kwa ajili ya muhimu au joystick kifungo) kuondoa silaha kutoka pylons mrengo utakuwa na manually wazi vituo payload katika mafuta na payload dialog box kuweka uzito sahihi kwa helikopta safi
2 kina orodha na kumbukumbu kadi inapatikana katika kneeboard (f10)
3 nyuma ya mwavuli muhimu kiharusi kuondosha takwimu majaribio na mfano
ni muhimu sana kusoma mwongozo ya helikopta hii (angalia katika start menu rikoooo kuongeza nyongeza nk)
mkono 12 015
mkono 1 293
mkono 7 927
mkono 8 190
mkono 12 308
mkono 13 640 | 2018-01-19T05:56:54 | http://www.rikoooo.com/sw/downloads/viewdownload/44/398 |
madini omega 3 fatty kali
(1) omega 3 fatty kali
(5) omega 3 fatty kali
(6) omega 3 fatty kali
inasaidia utoaji wa oksijeni katika seli na mwili na inakuza yao hupunguza shinikizo la damu pia ni muhimu kwa ajili ya moyo uchovu calcium
(3) omega 3 fatty kali
1 10 kutoka jumla12 | 2019-10-16T16:51:09 | https://tomavelev.com/app/nutrient.jsp?nutrient=22&l=sw |
ureno waipiga uholanzi 10 na kubeba kombe la ligi ya mataifa ulaya bin zubeiry sports online ureno waipiga uholanzi 10 na kubeba kombe la ligi ya mataifa ulaya bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za ulaya > ureno waipiga uholanzi 10 na kubeba kombe la ligi ya mataifa ulaya
ureno waipiga uholanzi 10 na kubeba kombe la ligi ya mataifa ulaya
nahodha wa ureno cristiano ronaldo akiwa ameinua kombe la ligi ya mataifa ya ulaya baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 10 dhidi ya uholanzi bao pekee la goncalo guedes dakika ya 60 uwanja wa do dragao mjini porto picha zaidi gonga hapa
princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 monday june 10 2019
item reviewed ureno waipiga uholanzi 10 na kubeba kombe la ligi ya mataifa ulaya rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-01-18T09:53:35 | http://www.binzubeiry.co.tz/2019/06/ureno-waipiga-uholanzi-1-0-na-kubeba.html |
redio ya habari ya muda halisi mahitaji 2019
redio ya habari ya muda halisi 201910
20190225 203706
katika miaka 10 ya mwisho kufikia umri halisi wa kustaafu mara asilimia 75 mara moja ya 12 ( 1/ 12) redio ya habari ya muda halisi
13 days ago ยท dar es salaam aliyepewa msamaha wa rais arudi mwanza kuchukua redio
michezo ya kubatisha nchini tanzania imekuwa maarufu huku washiriki zaidi wakiwa vijana lakini sasa bodi ya michezo ya kubahatisha imezuia kwa muda urushaji redio wa matangazo ya michezo hiyo kupitia redio na televisheni kisha subscribe ili uendelee kupata habari zote
fahamu maana halisi ya malezi na ulinzi wa mtoto wako tembelea tovuti hii pia kusikiliza vipindi vya redio
taarifa ya habari za ulimwengu kutoka idhaa ya kiswahili ya dw jan 11 ยท kesha fulia muda tuu angalia star tv ilivyo choka vipindi vyake ni ovyo mara ikate maonyesho hata katikati ya taarifa ya habari ina zimika hapo hadi nusu saa ni mpenzi sana wa star tv ila kwa sasa naangali bbc habari labda na kipindi cha afya tuu
hata hivyo kunaonekana kuwapo na mkwamo dhidi ya kupatikana suluhisho halisi wiki hii katika mvutano baina ya mataifa hayo mawili hii ni tovuti ya idhaa ya kiswahili ya bbc ambayo hukuletea habari na makala kutoka afrika na kote duniani kwa lugha ya kiswahili
kanisa katoliki nchini burundi lenye wafuasi zaidi ya robo tatu ya wananchi wote limesema kuwa rais anayemaliza muda wake pierre nkurunziza hawezi kugombee muhula wa sunday november 18
kumwezesha mtoto kukua mathalani kiakili ili kimo na weledi wa mambo vikue sambamba basi wazazi hawana budi kuwekeza muda wao kuandaa mtoto mdogo kitaalamu ikijulikana kama uchangamshi wa nov 05 ยท chumba kilichobeba historia halisi ya pemba zaidi ya miaka 200
wiki iliyopita ofisa sheria wa ssra innocent kyara katika ufafanuzi wake kwa nipashe kuhusu kikokotoo hicho alisema mwanachama aliyeanza chanzo halisi cha mawimbi hayo ya redio bado hakijabainika na wala wataalamu hao hawajafahamu sifa kamili za mawimbi hayo
sambaza habari hii messenger sambaza habari hii twitter akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam mkurugenzi mkuu wa ( ssra) dk
# habari # zanzibar redio ya habari ya muda halisi
kalemani awaonya mameneja wakandarasi wa tanesco
forex benki ufunguzi masaa magharibi magharibi masoko rahisi forex biashara
https//v5sepdxinfo/244/244html https//v7bhtopsiteinfo/308/308html https//v3closeupmagicinfo/1095/newsphpsubaction=showfull&id=1095 https//v2hamptonsgolfclassicinfo/6ab9bf226caa/389/ https//vtaichungwebinfo/indexphp/news/item/336 https//v3pongalinfo/029f725fc806/forumphpmod=viewthread&tid=982 | 2019-10-14T18:52:59 | https://kentonsmithadv.com/22881/?newsid=22881 |
malumboยดs junior party ya muungano berlin yafana
party ya muungano berlin yafana
mwenyekiti wa uwatab mzee kisalya kushoto picha ya juu akiwakaribisha mhbalozi a ngemera na mh siwa
jaffer na jimmy jimmy
shah &jaffer
zaina & peter
aboubakary liongo wa dw sudi mnette ambaye kwa sasa yuko dw wakizungumza na balozi ngemera mwanzo kulia huku naibu balozi ali siwa akisikiliza kwa makini
sendemaa la nguvu
siku ya jumamosi tarehe 250409 watanzania kutoka pembe zote za ujerumani walisheherekea miaka 45 ya muungano wa tanganyika na zanzibar katika mji wa berlin
kwa picha zaidi tembelea
balozi wa tanzania nchini ujerumani ahmada ngemera amesema kuwa suala la mtu kuhoji muungano ni kuhoji matwa ya watanzania
alisema hayo katika sherehe za kuadhimisha miaka 45 ya muungano wa tanganyika na zanzibar jijini berlin
balozi ngemera amesema kuwa muungano wa tanzania ni muungano pekee uliyodumu barani afrika na kwamba ni mfano kuwa afrika inaweza kuwa moja
ยฉ malumboยดs junior tarehe 27409
kweli pati ilichanganya sana ninasikitika sana sikuweza kuhudhuria mikazi mingine inatuzeesha haraka na zaidi haitupi uhuru hata wa wikiendi kwaajili ya kupumzika mungu ibariki tanzania na watu wake walioko ndani na nje ya nchi bila kumsahau mwenye blogu hii anaye tuletea habari motomoto
kaka malumbo huyo sele ndo usanii au mmh anatisha kama ndo hivyo mungu tusaidie
i say nililijua tu kama dume litizame linavyotisha
biashara matangazo usijidai usanii | 2017-10-22T17:31:21 | http://malumbosjr.blogspot.com/2009/04/party-muungano-berlin-yafana.html |
mpango wa balozi wa campus uba 2019 kwa wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu nchini nigeria | fursa kwa waafrika
nyumbani piga simu kwa maombi uba group campus balozi mpango 2019 kwa wanafunzi wa taasisi za juu katika
maombi kwa 2019 uba campus ambassador programme sasa ni kukubaliwa
programu ya balozi wa campus ya uba offers a unique opportunity to students of tertiary institutions in nigeria and across africa to be part of a dynamic and forward thinking panafrican bank by representing the brand on campus the initiative is part of the banks commitment to developing creativity and leadership abilities amongst young people in the continent of africa the programme is designed to be a learning experience and a highly rewarding pursuit for selected students while providing them with a platform to build their leadership capabilities and showcase their diverse talents
tembelea tovuti ya rasmi ya kamati ya balozi ya uba ya uba 2019
makala zilizotanguliathomson reuters journalism training programme 2019 (middle east xcharx africa) funded training at reuters londonunited kingdom
makala inayofuataushauri wa baraza la uingerezalisa ya ushindani wa mawasiliano ya sayansi 2019 kwa vijana duniani kote
avoseh abidemi emmanuel novemba 28 2018 katika 5 05 pm
inamah lucky friday desemba 1 2018 katika 12 13 am | 2019-03-24T18:12:51 | https://sw.opportunitiesforafricans.com/uba-group-campus-ambassador-programme-2019/ |
nuru the light when god blesses you then try to repay him by doing a good deed to a fellow humanbeing
hope women in need will take this opportunitywoman tell another woman to tell another woman about this
the light leo umeniliza kabisasubhannaallah kuna project naifanya nitakutumia email nikuelezee then you can see what to dokatika project hii nina mama mmoja i think anahitaji huu msaada wakoshe's a single grandma yaani anashinda na mjukuu wake sokoni akifanya biashara za kuuza fruits ili wale na kuvaanilimpata katika pita pita zangu za kutafuta wanawake hawa ili kuwapa elimu zaidimpaka sasa ninao wanawake 4 wengine wamekuwa wagumu kozi wanahisi kuweka pesa bank ni kazina sharti langu la mwanzo ni kukubali kuweka pesa bank hata kama ni mia5thank you so muchna tutasambaza huu ujumbeubarikiwe sana
its me disminderleo acc yangu imekataa kufunguka
nuru jamani hunijui na mimi sikujui zaidi ya kukusoma ktk blog yako mimi shida yangu kubwa nina ndugu yangu mwanamke ninataka kumsaidia kwa kumpa mtaji wa biashara ila tatizo ni hajua biashara hawahi fanya biashara yeyote na mimi pia ambaye nataka mkupa mtajia sina experience na biashara yeyoteso kama itawezekana ama unajua kikundi chochote inayotoa elimu juu ya biashara pls naomba sana unijulishe kupiti hii blog yako ubarikiwe sana na kutakia mafanikio mema ktk biashara yako
lord herry
ule msemo unaosema adui wa mwanamke ni mwanamke ila sasa mkombozi wa mwanamke shout out sana kwako best kutoa ni moyo wala sio utajiri una nyingi ila umekuwa mstari wa mbele kusaidia jamii ushauri bado unatupauna moyo wa kipekee na unavunja ni mwanamke ubarikiwe sana kuna watu wana pesa sana na moyo kama wako hawana wanaishia kushindana tu kwenye social media kutafuta sifa mungu akubariki sana | 2017-07-27T02:44:31 | http://nuruthelight.blogspot.com/2014/02/when-god-blesses-you-then-try-to-repay.html |
mkuu wa tuzo za oscars akiri tatizo bbc news swahili
mkuu wa tuzo za oscars akiri tatizo
https//wwwbbccom/swahili/habari/2016/01/160119_oscars_mzozo
image caption boone isaacs amesema mabadiliko yanahitajika katika jopo la wanaotoa tuzo za oscars
mkuu wa shindano la oscars cheryl boone isaacs amechukua hatua kuhusiana na tuhuma dhidi ya wajumbe wa shindano hilo baada ya spike lee na jada pinkett smith kukataa kushiriki kwasababu ya uteuzi wa wanaowania tuzo hilo ambapo wazungu wengi ndio walioteuliwa
boone isaacs alisifu kazi nzuri ya uteuzi lakini akasema ''alikatishwa tamaa'' kwa kuwa uteuzi huo ulikosa ''mchanganyiko wa watu wa tabaka mbali mbali' lee alisema kwenye ukurasa wake wa instagram ''hawezi kuunga mkono shindano la tuzo za wazungu pekee
jada pinkett smith amesema kwenye mkanda wake wa video uliotumwa kwenye facebook kwamba hatahudhuria sherehe za utoaji tuzo februari 28
boone isaacs aliongeza kuwa hatua zinazofaa zinachukuliwaa akisema siku zijazo na wiki tutafanya tathmini ya ajira za watu wetu ili kuwezesha ushirikishi unaohitajika wa watu wa tabaka mbali mbali katika mashindano yajayo ya mwaka 2016 na miaka zaidi ya mbeleni
watu weusi waachwa nje tuzo za oscars
wajumbe wa oscars wanatoka katika sekta ya filamu ambao huwateua walioteuliwa kwa mashindano ya tuzo la oscars kila mwaka haya ni mazungumzo magumu lakini ya muhimu na ni wakati wa mabadiliko makubwaalisema kama wengi mnavyofahamu tumetekeleza mabadiliko kwa ajili ya kushirikisha wajumbe kutoka tabaka mbali mbali kwa miaka minne iliopita lakini mabadiliko haya hayaji kwa haraka kama ambavyo tungelipenda tunahitaji kufanya juhudi zaidi nzuri na za haraka zaidi
image caption jada pinket (wa pili kulia) amesema hatahudhuria sherehe ya kutangaza washindi wa oscars
alisema hatua hiii haikutarajiwa katika mashindano haya na kwamba miaka ya 60 na 70 wajumbe vijana waliajiriwa na kwamba malengo ya sasa yanakaribia kukamilika kuzingatia jinsiarangi jamii na mtizamo wa kimapenzi
boone isaacs pia alijaribu kufanya onyesho la tarehe 28 februari kuwa la watu wa matabaka mbali mbali zaidi akimfanya msanii mweusi wa vichekesho chris rock kuwa mwongozaji wa onyesho hilo
huu ni mwaka wa wapili katika mzozo huo ambapo kumekua na miito ya kususia iliyozushwa na orodha ya walioteuliwa kushiriki onyesho la oscars kuwa na wazungu zaidi | 2018-08-18T03:57:09 | https://www.bbc.com/swahili/habari/2016/01/160119_oscars_mzozo |
superman's 7 greatest superpowers
sanaa ya visual dc comics
ambayo ni mamlaka kuu ya superman
superman ni moja ya superheroes yenye nguvu zaidi milele kwa sababu ana nguvu nyingi lakini ni nani aliye mkuu zaidi superheroes nyingi zina nguvu moja au mbili vichwa superman ina nguvu zaidi kuliko wote wa awali wa xmen pamoja lakini kwa uwezo wake wote saba kupanda juu ya wengine hebu tukimbie wale ambao hufanya yeye kuwa superhero kubwa zaidi kwa mzuri kwa kubwa
mtazamo wa # 10 x ray
moja ya nguvu za superman ambazo zimeonekana zaidi kuliko zile ni maono yake ya xray
ni uwezo wa kuona kupitia vitu vingi maono yake ya xray ni chombo muhimu sana cha kupambana na uhalifu anaweza scan kila kitu karibu naye kwa wahalifu watu wa kuokoa na kitu kingine chochote na tu ya kichwa chake lakini bila shaka yeye ni mwingi sana wa kuangalia kwa nguo za wanawake kwa muda mrefu uongozi ulikuwa jambo pekee ambalo hakuweza kuona lakini katika hadithi za kisasa zaidi superman anaweza kuona kupitia hilo pia katika hadithi za mwanzo macho ya superman yangepiga rasilimali halisi ya x hiyo ilibadilika na kwa hakika hivyo vinginevyo angeweza kuwa mafuriko ya watu na vitu na tani za mionzi na kusababisha kansa kila mahali alikwenda maelezo mapya ni kwamba maono yake ya rayray hutoka kwa kuwa na uwezo wa kuona mionzi ya cosmic inayotokana na vitu au kitu
# 6 superbreath
nguvu nyingine inayokuja kwa manufaa ni superbreath ya superman hiyo ni uwezo wake wa kunyonya au kupiga kiasi kikubwa cha hewa kimsingi anaweza kuwa utupu wa kibinadamu au kuunda upepo wa nguvu za upepo kwa mapenzi
nguvu huelezewa na mapafu yake yenye nguvu sana huwezi kufikiria kitu kama hicho kitakuja vizuri sana lakini kinafanya hivyo mara nyingi hutumia kubisha juu ya watu na vitu nzito ikiwa ni pamoja na magari lakini inhaling inakuja vizuri pia superman inaweza kushikilia hewa ya kutosha kwamba anaweza kusafiri chini ya maji au hata nafasi ya nje kwa masaa
katika hadithi moja hata alipiga jitihada na kuipiga kwenye nafasi ya nje lakini athari moja upande wa pumzi yake ya juu inamruhusu kupiga hewa kupitia midomo yake iliyopigwa ambayo husababisha hewa ikitoke baridi hiyo ndiyo inayojulikana kama athari ya joulethomson watoto kwa pumzi yake ya kufungia superman anaweza kufungia karibu kila kitu
# 5 maono ya joto
moja ya nguvu za uharibifu zaidi za superman ni dhahiri maono yake ya joto superman ina uwezo wa kupiga mihimili yenye joto sana kutoka kwa macho yake hii huelezwa kwa kawaida na superman akiwapa nishati ya jua katika mwili wake nje ya macho yake anaweza kudhibiti upana na ukubwa wa mihimili ili waweze kuwa na upana wa kutosha kuondokana na kikundi kikubwa cha wasio na wasiowamesimama karibu karibu au wachache wa kutosha kufanya upasuaji microscopic superman pia inaweza moto mihimili kwa mamia ya miguu mihimili inaweza kuwa ya moto ya kutosha kuyeyuka chuma na hata mwamba yeye ameitumia hata kunyoa nywele zake za uso
# 4 kasi ya kasi
kauli mbiu yake ni kasi kuliko risasi ya kasi na hata kasi zaidi kuliko hiyo superman ina kasi ya juu ya binadamu ambayo inawezesha kukimbia kusonga na hata kuruka kwenye mamia ya maili kwa saa katika matoleo mengine superman ameweza kuhamia kasi ya mwanga na zaidi
pamoja na kasi yake inakuja reflexes kasi na mawazo hivyo anaweza kuona ulimwengu katika polepolemwendo na njekufikiria wapinzani wake kasi yake ikilinganishwa na flash na nyakati hizo mbili zimekimbia zimekamilika katika mahusiano lakini yeye daima atakuwa mshindi katika akili yangu
# 3 ndege
sasa tunaingia kwenye mojawapo ya mamlaka ya superman ambayo yanajulikana zaidi na mara nyingi katika majumuia ya mwanzo superman anaweza tu kuruka kama katika kauli mbiu yake inayoweza kukodisha majengo makuu kwa kufungwa moja ilielezewa na ukweli kwamba krypton alikuwa na mvuto mkubwa zaidi kuliko dunia kumpa misuli yenye nguvu lakini mwishoni mwa mwaka wa 1941 kuruka kwa superman kugeuka kuwa kuruka kwa halali kwa kutembea na kubadilisha mwelekeo na amekuwa akiongezeka tangu wakati huo sababu za kuruka kwake zimefanikiwa kutoka kwa superman akiwa na uwezo wa telekinetic kuwa na shamba lake la mvuto ambalo anaweza kubadilisha kwa mapenzi
bila kujali jinsi anavyofanya jambo muhimu ni superman ni sawa na kuruka anaweza kuruka kwa kasi ya ajabu hata uwezo wa kuzidi kasi ya mwanga anaweza pia kuchukua na kusonga vitu vingi wakati akipuka
# 2 nguvu nyingi
mwingine wa nguvu za msingi za superman ni nguvu zake za ajabu nguvu zake zilielezwa awali na mvuto mkubwa wa krypton kumpa misuli yenye nguvu zaidi baadaye ilielezewa na uwezo wake wa kunyonya nguvu ya jua ya njano na kuigeuza kuwa nishati kama kauli mbiu yake inasema superman ni nguvu zaidi kuliko locomotive nguvu zaidi katika majumuia ya awali superman hakuwa karibu na kikomo kwa nguvu zake angeweza kuchukua magari chuma cha uchapishaji na kuongezeka kwa kuinua milima na hata kusonga sayari nzima katika majumuia ya kisasa hawezi kufanya hivyo tena spoilsports lakini bado ana nguvu sana
# 1 kuwajibika
wakati wowote watu wanalalamika kuhusu superman malalamiko yao ya namba moja ni kwamba superman ni nguvu sana hawezi kuumiza wanasema hivyo inafanya kumtupa lakini hiyo haina kumfanya awe boring inamfanya awe wa kushangaza mwanzoni superman inaweza kuhimili chochote chini ya shell shell baada ya muda upinzani wake umeongezeka mwili wa superman unaweza kuchukua athari kali joto la juu na hata milipuko bila hata mwanzo ilielezwa kuwa wakryptonians walikuwa tu wa kawaida kama nguvu zake zote maelezo hayo yamebadilika kwa wakati mmoja ilipendekezwa superman inaweza kuzalisha uwanja usio na uwezo wa kuzunguka
hata hivyo inafanya kazi inafanya kuwa moja ya superheroes kubwa zaidi aliyewahi kuishi
23 greatest oscar moments ya superman
jinsi ya kuteka batman ya dc way mwaka 1982
exclusive mahojiano na peter rubin mtu wa steel shield designer
vyombo vya juu vya 15 muhimu vya lex luthor
tathmini superman kuja kwa supermen # 2 (2016)
mambo mapya 14 kutoka kwa guide ya companion ya batman na superman
tathmini superman # 51
top 15 zaidi superior muhimu jumuia ya zotetime
sababu 5 sio doomsday katika new trailer batman v superman
9 supreme superman vs flash races ya wakati wote
10 dc comics kamili kwa wasomaji wapya
tathmini superman kuja ya kuimarisha # 1 (2016) na neal adams
maadhimisho ya wanawake wanaojitokeza zaidi ya dunia
nini cha kutarajia mwaka wako wa sophomore
kujenga nadharia ya kuvutia
mbaya zaidi kwa bora albamu za jay z zilizotajwa
dini kama opium ya watu
inchi za cubic kwa kubadilika kwa miguu ya cubic
kuchambua sinema zako za familia
wasifu wa hernan cortes mshindi mbaya zaidi
muziki wa piano kwa o tannenbaum
sehemu za urithi wa dunia
ufafanuzi wa liquid na mifano (kemia)
wanyama wengi walihatarishwa na warming global
mambo 6 ambayo unapaswa kujua kuhusu maji yaliyofunikwa 2014 harleydavidsons
mikakati ya kushinda phobias ya maji hydrophobia
bonde la appalachian geolojia na alama
michuano ya wanawake ya ncaa ya golf
maneno ya kuapa na nini wanatumiwa kwa
kwa nini mipira ya ping pong inaweza kuwaka
maji mwekundu sababu na athari
tarehe ya leo kutumia php
mambo ya dhamana ya dhamana
nuru ya safari na utafakari wa mahali
ni kipengele cha gharama gani zaidi
pole na poll
jifunze yote kuhusu kayaking
10 mambo kuhusu turtles na tortoises
helen wa troy uso ulianzisha laini maelfu | 2020-07-16T12:53:56 | https://sw.eferrit.com/supermans-7-greatest-superpowers/ |
sayyid ahmadi swafi alipo kutana na jopo la wataalamu wa ki iraq iraq ni nchi yenye watu wenye vipaji pamoja na mapungufu ya serikali ya kuto wajali sisi tupo tayali kuwalea
kiongozi wa kisheria wa atabatu abbasiyya tukufu sayyid ahmadi swafi (di) amezungumza na jopo la wanazuoni wa ki iraq waliopo chini ya tume ya wataalamu wa iraq akasema tumejaribu kufanya kua siasa ya atabatu abbasiyya tukufu ni kutilia umuhimu swala la kutegemea vipai na vipawa vya wairaq katika kutekeleza miradi yetu mbali mbali akaendelea kusema kua mimi naamini kua wairaq wana akili ya ubunifu na fikra pevu wanahitajia mtu wa kulea fikra hizo na kuzifasiri katika uhalisia kuzifanyia kazi sio kwa maneno ni kwa vitendo na ni jukumu la mwenye kusaidia kua na uvumilivu pamoja na kustahamili makosa ya kiutendaji yanayo weza kutokea kwa bahati mbaya pindi inapotokea kosa la bahati mbaya na likapelekea kufeli kwa mradi inabidi mfadhili asimame pamoja na mtaalamu na kumpa nafasi nyingine ili asahihishe kosa lake na hivi ndio ataba inavyo fanya kazi kwanza inajali kutumia muda vizuri na kuongeza vipawa na uwezo wa wataalamu
akaendelea kusema kua tunamshukuru mwenyezi mungu mtukufu uzoefu wetu umefaulu na miradi imekamilika kama ilivyo pangwa ushahidi tunao miongoni mwake ni kiwanda cha mbolea kinacho fanya kazi chini ya usimamizi wa dokta ali bahadali kisha akasema mimi nafarijika sana na uwepo wenu hakika sisi tunathamini sana uwezo na vipawa vyenu pia sitaki mkate tamaa kutokana na yanayo jiri hapa nchini
akafafanua kua sisi tuna wabunifu wengi tunajitahidi kuwatengenezea mazingira mazuri na kuhakikisha wanapata riziki zinazo endana na elimu zao kwani iwapo wakitelekezwa ubunifu wao utakufa na hilo jambo hatutaki kuliona
akaongeza kua sisi tupo katika nchi ambayo serikali yetu mara nyingi haitumii watu wenye vipawa vya ubunifu hasa ndani ya miaka kumi na tatu iliyo pita watu wenye vipawa wamepuuzwa na wametengwa na hasa ilipo anza kushughulishwa na vita vya magaidi inayo endelea hadi sasa watu wengi wenye vipawa wamehama nchi na wameenda kufanya kazi nchi za nje na huko wana mchango mkubwa sana nchi hizo ninaneemeka kutokana na uwezo wao wa kiakili na ikhlasi katika utendaji wao pamoja na hayo yote iraq ni nchi yenye watu wenye vipaji
halafu akawaambia kua linaweza kufanywa kongamano la wairaq wenye vipaji na atabatu abbasiyya tukufu ipo tayali kuliendesha lipangiliwe vizuri lihusu ubunifu katika maswala ya viwanda mbali mbali
akaongeza kua inatakiwa lifanyike kongamano na maonyesho ya kimataifa hatuna kizuizi cha kuunda kamati ya wataalamu ya ataba tukufu ikashirikiana pamoja na nyie kwa ajili ya kuratibu swala hili na mkakubaliana katika mambo ya msingi sio vibaya mkifanya vikao vya mara kwa mara au warsha kwa ajili ya kuhakikisha swala hili linafanyika katika hali nzuri
sayyid swafi akabainisha kua hakika nchi yetu ilikua na uwezo wa kupata maendelea bora ya haraka tofauti na ilivyo sasa kama kungekua kuna wanaosikiliza tunayo waambia lakini mwafahamu sauti zetu zinapuuzwa hakuna yeyote anaye tusikiliza
kumbuka kua kikao hiki kilitokana na ziara iliyo fanywa na ugeni wa wabunifu wa ki iraq katika atabatu abbasiyya tukufu walitembelea miradi mbali mbali ikiwemo daarul kafeel mradi wa uchapaji na usambazaji na mazaariu khairaat (mashamba) ya abulfadhil abbasi (as) pamoja na hospitali ya rufaa alkafeel | 2020-02-29T11:00:29 | https://alkafeel.net/news/index?id=5010&lang=sw |
habari na matukio tume ya mipango yakamilisha mafunzo ya wataalamu wa kufundisha usimamizi na utayarishaji wa miradi ya umma
tume ya mipango yakamilisha mafunzo ya wataalamu wa kufundisha usimamizi na utayarishaji wa miradi ya umma
mchumi mwandamizi kutoka ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) bi sauda ponda akitoa neno la shukrani kwa uongozi wa tume ya mipango kwa niaba ya wahitimu
naibu katibu mtendaji kutoka tume ya mipango anayesimamia klasta ya biashara za kimataifa na mahusiano ya uchumi bw paul sangawe akifunga mafunzo ya kuandaa wataalamu wa kufundisha masuala ya usimamizi na utayarishaji wa miradi ya uwekezaji katika sekta ya umma pembeni yake ni kaimu naibu katibu mtendaji wa tume ya mipango anayesimamia klasta ya uchumi jumla dkt lorah madete
wajumbe wa mafunzo wakimsikiliza naibu katibu mtendaji kutoka tume ya mipango anayesimamia klasta ya biashara za kimataifa na mahusiano ya uchumi bw paul sangawe wakati wa kufunga mafunzo hayo na adili mhina
tume ya mipango imekamilisha zoezi la kuandaa wataalamu wanaotarajiwa kutoa mafunzo juu ya usimamizi na utayarishaji wa miradi ya uwekezaji katika sekta ya umma kwa maofisa wa serikali walio chini ya idara za sera na mipango na zile za uwekezaji katika wizara mikoa halmashauri mashirika pamoja na taasisi mabalimbali za umma hapa nchini
akifunga mafunzo hayo mwishoni mwa juma naibu katibu mtendaji kutoka tume ya mipango anayesimamia klasta ya biashara za kimataifa na mahusiano ya uchumi bw paul sangawe alisema kuwa katika awamu hii ambapo shilingi trilioni 59 kati ya trilioni 107 zinatarajiwa kutolewa na serikali pekee katika kutekeleza mpango wa pili wa maendeleo wa taifa wa miaka mitano serikali imeamua kujipanga upya ili kuhakikisha miradi yote itakayoanzishwa inaleta tija kwa wananchi
tumeamua kujiandaa mapema kwa sababu tunatarajia miradi mingi mikubwa itaanzishwa katika kipindi hiki cha utekelezaji wa mpango wa pili wa maendeleo wa taifa wa miaka mitano (fydp ii) hivyo ni muhimu huko mtakapoelekea kutoa mafunzo mhakikishe mnatoa mbinu sahihi za kukabili changamoto zinazojitokeza katika kutayarisha kutekeleza na kusimamia miradi ya maendeleo alisema bw sangawe
sangawe aliongeza kuwa baada ya mafunzo hayo kuwafikia walengwa wote hakutakuwa na sababu kwa maofisa wa serikali kushindwa kuandaa kutekeleza kusimamia au kutoa ushauri sahihi pale serikali inapofanya uwekezaji kwa ajili ya miradi ya maendeleo
akitoa neno la shukrani kwa uongozi wa tume ya mipango kwa niaba ya wahitimu wote mchumi mwandamizi kutoka ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) bi sauda ponda alisema kuwa wahitimu wote walipata fursa ya kujadili kuuliza na kufanya mazoezi mbalimbali katika vikundi kwa lengo la kuongeza uelewa na kuimarisha uwezo kwa ajili ya kwenda kutoa mafunzo kwa wahusika
kwa niaba ya wenzangu wote napenda kutoa shukrani za pekee kwa tume ya mipango kwa kuandaa mafunzo haya waalimu wetu kutoka chuo kikuu cha dar es salaam wametufundisha vizuri na wametupa mazoezi ya kutosha na sote tuko tayari kwenda kutoa elimu hii kwa wenzetu alisema bi ponda
wataalamu hao waliotumia siku tano kuchambua kwa kina mwongozo wa usimamizi na utayarishaji wa miradi ya uwekezaji katika sekta ya umma ambao ndio unaopaswa kufuatwa katika kutekeleza miradi yote ya serikali wanatarajiwa kugawanyika katika makundi mbalimbali yatakayotoa mafunzo kikanda ambapo zoezi hilo litaanza tarehe 22 mwezi huu
magazetini leo aprili 19 2017 sakata vyeti feki lachukua sura mpya utekaji ulivyofunika bajeti ya waziri mkuu
yaliyomkuta jerry muro sasa yahamia kwa haji manara
alphonce simbu anyakua nafasi ya 5 london marathon 2017 | 2017-04-23T13:59:06 | http://www.kajunason.com/2016/08/tume-ya-mipango-yakamilisha-mafunzo-ya.html |
vitu gani unavyotakiwa uwe navyo ktk oral interview | jamiiforums | the home of great thinkers
vitu gani unavyotakiwa uwe navyo ktk oral interview
discussion in 'nafasi za kazi na tenda' started by mbuty may 9 2012
jamani siku hizi applications nyingi tunafanya online mara nyingi tunatuma cv pekeyake sasa tunapoitwa ktk oral interview je natakiwa niwe na vi2 gani
bwanga ja town
mbuty said
jamani siku hizi applications nyingi tunafanya online mara nyingi tunatuma cv pekeyake sasa tunapoitwa ktk oral interview je natakiwa niwe na vi2 ganiclick to expand
cheti cha shule ya msingi
cheti cha sekondari kidato cha nne na sita
cheti cha chuo
kalamu na picha
hold your certificates for emergency
bwanga ja town said
kalamu na pichaclick to expand
asante sanaumenifumbua rfk maana nilikuwa sielewi kabisatunashukuru experienced pple mnatusaidia ktk hatua kama hizi thats my 1st oral interview
hold your certificates for emergencyclick to expand
thanksas for the 1st one they jst said that i should come with a penit was a written interviewthey called me again on monday for an interview bt said nothing rather than the timesince i am inexperienced thats why i had to ask ths thx a lot
asante sanaumenifumbua rfk maana nilikuwa sielewi kabisatunashukuru experienced pple mnatusaidia ktk hatua kama hizi thats my 1st oral interviewclick to expand
pande za wapi hapo wamekuita
pande za wapi hapo wamekuitaclick to expand
advans hao
na pia vyeti viwe ni halisi (original)
sikubaliani na ushauri wa hapo juu kwenye interview nenda na id na copy ya cv yako maybe transcript za chuo kama ni kazi yako ya kwanza cheti cha kuzaliwa primarysecondary havina maana na kama wanavihitaji wangesema
sikubaliani na ushauri wa hapo juu kwenye interview nenda na id na copy ya cv yako maybe transcript za chuo kama ni kazi yako ya kwanza cheti cha kuzaliwa primarysecondary havina maana na kama wanavihitaji wangesemaclick to expand
ok nduguthx a lot kwa ushauri
kikubwa katika oral interview ni communication skills pamoja na ujuzi wa kile unacchofanyiwa interview na personality yako
kikubwa katika oral interview ni communication skills pamoja na ujuzi wa kile unacchofanyiwa interview na personality yakoclick to expand
yes for surenimejifunza inabidi uielewe sana hiyo organization pia uielewe sana kwa makini nafasi ambayo wwe uliiomba
usisahau kufunja sanduku ndugu yangu | 2017-01-23T12:48:58 | https://www.jamiiforums.com/threads/vitu-gani-unavyotakiwa-uwe-navyo-ktk-oral-interview.264613/ |
5 yaliyosemwa na mtume kuhusu yazid | yazid hakuwa amiirulmuminin | books on islam and muslims | alislamorg | 2016-10-25T01:22:43 | https://www.al-islam.org/sw/yazid-hakuwa-amiirul-muminin/5-yaliyosemwa-na-mtume-kuhusu-yazid |
mat 11 | `dww | step | raแธกanine yesu na tauwai muriwatanama 12 yawai katakatai kovidina murine tauna inam dobunama ya gose be ya naแธกona galili meagaidima nopodie waikatakatai be rauguguya aubaidima | 2018-11-17T15:29:39 | https://www.stepbible.org/?q=version=DWW%7Creference=Mat.11 |
burudan mwanzo mwisho miaka 25 ya ndoa ya charles & betty mkwasa
wana silver jubilee betty mkwasa ambaye ni mkuu wa wilaya ya bahi mkoani dodoma na mumewe charles boniface mkwasa 'master' kocha msaidizi wa yanga wakionesha hati maalum ya ndoa kutoka kwa papa francis hati hiyo ya heshima hutolewa na papa kwa wanandoa waliotimiza miaka 25 ya ndoa yao mkwasa na mkewe walitimiza miaka 25 ya ndoa yao januari 14 mwaka huu na jana januari 18 kuafanya misa maalum ya kubariki ndoa yao na kurejea viapo vyao vya ndoa
production by md digital company +255 7170023/+255 373999
haya ndio matunda ya ndoa ya bwana na bibi mkwasa
waziri wanchi ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu wa bunge willium lukuvi na mkewe nao walikuwepo katikati ni mama mzazi wa betty mkwasa
mkuu wa wilaya ya bahi mkoani dodoma betty mkwasa akimkabidhi zawadi ya jezi namba 8 ya timu ya yanga mumewe ambaye pia ni kocha msaidizi wa yanga charles boniface mkwasa wakati wa tafrija ya jubilei yao ya ndoa ya miaka 25 juzi dar es salaam | 2017-12-15T10:17:19 | http://burudan.blogspot.com/2014/01/miaka-25-ya-ndoa-ya-charles-betty-mkwasa.html |
kuteseka kwa ajili ya kutenda ukweli ni kwa maana sana | injili ya kushuka kwa ufalme
jua kwamba lengo lako ni
kuruhusu maneno ya mungu kutenda kazi ndani yako
na kuyajua kweli katika matendo
pengine unapambana kuelewa maneno ya mungu
lakini utendaji unasaidia kutoa dosari hii
lazima ujue ukweli mwingi
na sio tu kujua lakini pia kutenda
hili lazima liwe lengo lako
kuna ukweli mwingi unapaswa kujua na pia kutenda
yesu aliteseka sana katika miaka yake thelathini na mitatu na nusu
alipotenda na kuishi kwa kudhihirisha ukweli
yeye alitekeleza mapenzi ya mungu na kutenda ukweli
na hii ndiyo sababu aliteseka hivyo
kama angejua ukweli lakini asitende ukweli
hangeteseka hivyo
kama angewafuata mafarisayo
na mafundisho ya wayahudi
hangeteseka sana
hapana hangeteseka sana
utendaji wa yesu unaweza kuonyesha kitu ambacho unafaa kujua
ili kazi ya mungu itimize matokeo
inahitaji mwanadamu kushiriki
hili ni jambo unalopaswa kuelewa
lazima uelewe lazima uelewe
kama yesu hangekuwa ametenda ukweli
hangeteseka msalabani
kama hangetenda kulingana na mapenzi ya mungu
je angesema ombi kama hilo la huzuni
hivyo hii ni aina ya uchungu ambao mtu anapaswa kuvumilia
mtu anapaswa kuvumilia
kutoka katika tendeni ukweli mara mnapouelewa katika neno laonekana katika mwili | 2019-10-24T04:15:45 | https://sw.kingdomsalvation.org/suffering-for-practicing-the-truth-txt.html |
mbunge wa chadema achukizwa na neno bwege alilolisema zungu | eddy blog | edwinmoshi official blog
mbunge wa chadema achukizwa na neno bwege alilolisema zungu
mbunge wa tarime mjini (chadema) ester matiko juzi jioni alikerwa na ujumbe unaodaiwa kuandikwa na mwenyekiti wa bunge musa zungu uliowataka wapinzani waache mambo ya kibwege
matiko ambaye pia ni waziri kivuli wa maliasili na utalii aliomba mwongozo wa spika mara baada ya bunge kupitisha bajeti ya wizara hiyo
matiko aliomba mwongozo huo akitaka kupata ufafanuzi wa utaratibu unaotumika kuwachagua wabunge watakaohoji wakati bunge linapokaa kama kamati
alisema katika bunge la 11 umekuwa utaratibu wa kiti cha spika kuchagua wabunge wengi wa ccm kuchangia hoja na hivyo muda kumalizika bila wapinzani kupata nafasi
mbunge huyo alisema jambo hilo limekuwa tofauti na mabunge mengine ambayo bunge limekuwa likienda hadi saa nne usiku ili kuwapa nafasi wabunge kujadili bajeti kwa kina
tukikulalamikia matokeo yake unatutumia kikaratasi kimeandikwa maneno mambo yenu ya kibwege bwege yaani unawaambia wananchi wa tarime wamechagua bwege alihoji matiko
akijibu mwongozo huo zungu alisema kanuni zinatoa fursa ya kuingia katika kupitisha vifungu kwa utaratibu wa fungu
alisema kanuni hiyo pia inatoa fursa ya vyama kupeleka majina ya wachangiaji katika kila kamati ya matumizi inapokaa kupitia bajeti
aliwataja waliowasishwa kwa ajili ya bajeti hiyo kuwa ni ni matiko chacha rioba (serengeti) na mbunge mwingine wa tatu ambaye hakumtaja jina unasema sijui kuna karatasi mimi nimesema hiyo karatasi iangalie vizuri imetoka wapi sasa wewe unaweza ukaichukua hiyo karatasi ukaipeleka kwa katibu ili ifanyiwe kazi alisema zungu
majibu hayo yalisababisha minongono miongoni mwa wabunge lakini zungu alisema kuwa mwongozo ni huo na kuliahirisha bunge
akizungumza jana kuhusu suala hilo mbunge wa bunda mjini (chadema) ester bulaya alisema inapofika bunge linapokaa kama kamati ya matumizi kila chama kimekuwa kikitakiwa kupeleka majina ya wachangiaji
alisema kuna wakati hoja moja wanapewa wabunge hata 10 kuchangia na kwamba hata kama ni uamuzi wa kiti lakini ni lazima busara itumike
wanafanya hivyo ili kuhakikisha kuwa upinzani unakosa nafasi na hiyo tumekuwa tukilalamika hata kwa zungu alisema | 2017-08-23T17:31:35 | http://edwinmoshi.blogspot.com/2017/05/mbunge-wa-chadema-achukizwa-na-neno.html |
je ni nani mswahili
topic je ni nani mswahili
16th may 2011 0030
tuseme karibia watu wote wa tz wanazungumza kiswahili je ni sahihi kuwaita wote waswahili ama waswahili ni wale tu ambao wana asili ya mrima / mwambao naomba ufafanuzi
16th may 2011 0034
posts 29067 rep power
429502857
likes received28729
likes given27930
re je ni nani mswahili
mswahili ni mtu mwenye asili ya uswahili
lakini maana inabadilika kulingana na matumizi
wakati mwingine maana yake ni mtu mweusi
au mtu masikini
au mtu wa pwani ya africa mashariki
au mtu mbabaishaji
au mtu wa africa masharikink
16th may 2011 0323
75145168
mswahili ni yule anaetumia maji kujisafishia baada ya kwenda haja kubwa
waswahili wanaishi sehemu za mwambao wa afrika masharikipia kiswahili ndio lugha yao ya uzawa
16th may 2011 0356
waswahili ni watu wanaoishi pwani ya africa mashariki pamoja na visiwani ni kweli nonda allivosema hapo juu waswahili wana ustaarabu wao pamoja na kutumia maji wanapomaliza haja kubwa waswahili wakiongea kiswahili basi hutopenda amalize nenda kamsekilize muunguja an mdigo wa kule tanga pamoja na mombasa wanaongea lugha moja tamu sana kuliko wale wa kutoka nyanda za juu bara wasukuma na wengineo
16th may 2011 0908
bwana nonda
nafikiri umetoa majibu mepesi
hebu fikiria haya maswali hapa chini yaliyotokana na majibu yako
mwambao wa pwani ni eneo la umbali gani kutoka baharini 2km 10km 200km 1000km je waluguru (about 200km from indian ocean) ni waswahili iwapo wanatumia maji baada ya kwenda haja kubwa
je nikiwa nimehamia na wazazi wangu kutoka lubumbashi zaire na sasa tunaishi mwananyamala na tunatumia maji kutawaza tunaongea kiswahili vizuri lakini bado tunaongea na kilingala chetu je sisi ni waswahilli
je nikiwa mhamiaji kutoka pakistani au misri na ninaishi mombasa au lamu na nitawaza kwa maji na ninaongea na kuandika na kusoma kiswahili vizuri je mimi mimi ni mswahili
16th may 2011 2156
ndugu nanren
uswahili ni kama kabila
wenye uasili wa uswahili ni kama nilivyoeleza(wengi ni kizazi cha mchanganyiko wa makabila na races tofauti)
kuna gray areas kama ulizozitaja au ulizoziuliza
katika makabila mengi mtu wa nje ya kabila huweza kukubalika kuwa ni mmoja wao kwa kupatakufanyiwa initiation kufinyangwa kubatizwa au naturalisation
kama mtu akitimiza vigezo hivyo vya kuwa mswahili na wenyewe waswahili wa asili wakimkubali basi atakuwa ni mmoja wao
nakumbuka zamani kulikuwa na mwalimu mzungu udsm aliandika vitabu alijiita baba malaika alioa mtanzania na alipata watotolakini baba malaika anajinadi kuwa ni mtanzania
watoto wa dr remmy ni kabila gani je ni watanzania
natumai nimeongeza ugumu wa kumtambua nani mswahili
16th may 2011 2232
ni kweli umeongeza ugumu
katika kuishi kwangu na kutembelea pwani ya tanzania bara mimi sijawahi kukutana na mtu anayejitambulisha kabila kama mswahili nimekutana na wazaramo wakwere wang'indo makonde wazigua wabondei wakutu wadigo hata watu ambao kwa muonekano wanaonekana kuwa ni mchanganyiko wa mweusi na watu wa asia bado wanajitambulisha kwa makabila mengine na aghalabu kuna wanaojinadi kuwa ni wangazija waarabu nk waswahili kwa kabila sijawahi kukutana nao
na tukirudi kwenye kigezo cha umwambao hivi mtu mwenye asili ya mwambao akihamia tabora na kuendelea kuishi huko uswahili wake unapotea
nafikiri kuna haja ya kukidefine kiswahili kwanza mtazamo wa watu wengi wa mwambao ni kuwa hiyo ni lugha na fahari yao hii haina ubaya ila nafikiri in their subconscious mind wanajaribu kuihodhi na kuifanya yao exclusively na kuona kwamba watu makabila mengine hayana chao katika kiswahili (kumbuka kuna over 50 kibantu) mimi naona tukubali historia kuwa kiswahili asili yake ni mwambao wa afrika mashariki lakini haina maana kwa sasa kufikiri kuwa watu walioko mashariki ya drc hawaongei kiswahili ni kiswahili tu hata kama sio sawa na tunachokijua huwa kuna dialects na accent katika lugha zote ndio maana waingereza pamoja na kujua kuwa kiingereza kama lugha kimetokea kwao bado wanatambua kuwa kiingereza cha australia india america bado ni kiingereza tu
tukisha kubali kuwa kiswahili kama lugha haimilikiwi na watu hapo tunaweza kujaribu kudefine mswahili ni nani
73230022
duu kama hutumii maji kuchambia nadhani mpododo wako utakuwa unanuka kimavi full time labda mpaka utakapooga we unadhani kutumia toilet paper pekee ndo mpango mzima toilet paper inatumika kupunguza' makali' ya mabaki ya mavi kwenye mpododo then ndo unamalizia na maji au mkuu bado hujaona kwenye vyoo vya kisasa kunakuwa na pipe inatoa water jet kwa pressure kwa ajili ya kujiswafi kunako sehemu pole sana kwa kutembea na mabaki ya kinyesi mpododoni kila siku ushauri wa bure huo na kwa wengine ambao hawajastaarabika kama wewe mwenyewe umeulamba uko zako down town kwenye michakaliko kumbe una chembechembe za kinyesi matakoni
16th may 2011 2330
ndugu nanren
kwanza isome thread ilipoanziamwanzisha thread ametaka kujuanani mswahili na asili yake
mswahili ni mtu wa mwambao wa afrika mashariki ambaye lugha yake ya uzawa ni kiswahili
bila shaka kuna wazungumzaji wengi wa kiswahili lakini sio kila mzungumzaji wa kiswahili ni mswahili
katika dhana ya kileo ya duality je mswahili pia anaweza kuwa mchaga mmakonde hili linazungumzika nadhani
hili la lahaja za kiswahili halina ubishilahaja zipo njingi
umeshasema mlingala anazungumza kilingalakama kilingala kitaalamuikiisimu inakubalika ni lahaja ya kiswahili basi atakuwa ni mzungumzaji wa kiswahili lakini si mswahili
mswahili si lugha tuni utamaduni wake na vikorombwezovipambio vyengine
kikawaida aliyemo hatoki na asiyekuwemo haingii lakini wenyewe wakikubali kumuingiza na kumkubali kama mmoja wao nani hapo atakuwa na haki ya kupinga
waswahili wengi wanajaribu kukimbia kujiita waswahili kutoka na tafsiri potofu mbaya inayonasibishwa na matumizi ya neno mswahili
angalia post#2
16th may 2011 2345
nafikiri kuna haja ya kukidefine kiswahili kwanza mtazamo wa watu wengi wa mwambao ni kuwa hiyo ni lugha na fahari yao hii haina ubaya ila nafikiri in their subconscious mind wanajaribu kuihodhi na kuifanya yao exclusively na kuona kwamba watu makabila mengine hayana chao katika kiswahili (kumbuka kuna over 50 kibantu) mimi naona tukubali historia kuwa kiswahili asili yake ni mwambao wa afrika mashariki tukisha kubali kuwa kiswahili kama lugha haimilikiwi na watu hapo tunaweza kujaribu kudefine mswahili ni nani
pitia hizi threads
last edited by nonda 16th may 2011 at 2359
16th may 2011 2348
38158060
basi mimi najivunia sana kuwa mswahili kindaki ndaki
gaijin and nonda like this
17th may 2011 0000
mtu wa pwani pia ajitokeze
17th may 2011 0126
waswahili ni wabantu hususani wenyeji wa pwani ya afrika mashariki na kaskazini mwa msumbijini wenye kufanana utamaduni na hutumia kiswahili kama lugha mamana ukitazama neno swahili ambalo kwa upeo wangu naamini ndio limezaa waswahilina neno swahili asili yake ni neno la kiaarabu 'sawahil' likiwa na maana wenyeji wa pwanina kadiri kiswahili kinavyozidi kupanuka na waswahili nao wanaongezeka
na pia ipo ingawa sio rasmi wakati mwingine ipo hali inayo pelekea mtu kuitwa mswahiliukiwa ni mtu wa kila utakachoambiwa basi wewe lazima ulete nahau kugeuzageuza maneno ndio ukubali utaitwa mswahili au ukiambiwa njoo saa nne unakuja saa tano unaitwa mswahili
17th may 2011 0128
posts 6713 rep power
by mtu kitu
consensus is that swahili are cultural tribe brought together by modern enviroment rather than tribe created by distant biological lineage ie swahili are descendants of all those who lived on coast during the trading times of a couple of thousand years(new kid on block )
17th may 2011 0516
bwana nonda nakushukuru kwa majibu
next ningependa tusaidiane maana ya pwani ni umbali gani kutoka baharini hivi ukichukua kisiwa kama madagascar kwa mfano je chote kinakuwa ni sehemu ya pwani au ni umbali kadhaa kutoka baharini na visiwa vya zanzibar ukiwa zanzibar kwenye nchi kavu unakuwa ndani ya pwani au kunakuwa na kaeneo fulani kutoka baharini kanakoitwa pwani (within zanzibar) sitoki nje ya mada nahitaji tudefine pwani maana yake nini halafu tujue watu wa pwani ni watu gani ili tuzidi kuelewa zaidi kuhusu mswahili
17th may 2011 0624
maana ya pwani bofya hapa search results for 'coast' | matokeo ya utafutaji kwa 'coast' | the kamusi project
kimasafa sina utaalamu nalo kuwa ukomo uwe kilomita ngapi kutoka makutano ya bahari na ardhi lakini kwa visiwa vidogo kimantiki yaweza kutumika ni eneo la pwani
lakini hapa tusichanganye mgawanyo wa kijografia na utawalakama mkoa wa pwani au mikoa ya pwani lililo hakika ni kuwa ukerewe si pwanimafia zanzibar vina mwambao wa pwani
kwa hiyo watu wa pwani ni watu walio karibu na bahari
rafiki zao ni samaki wa maji chumvi
kisiwa kama uk au madagascar vimezungukwa na bahari zina mwambao lakini kwa ukubwa wake kuna bara na mwambao hata australia imezungukwa na baharilakini linaitwa subcontinent lakini ina miambao katika pande zake zote aka sehemu za pwani
ndugu namrenmimi nonda si mtaalamu wa lolote jf ndio shule yanguninajifunza mengi humu
natumai watajitokeza wataalamu wa jiografia na kutusaidia hili la masafa
youtube utamaduni wa mswahili
17th may 2011 0638
waswahili ni wale wenye kulijua beni (au waweza ita mbwa kachoka ukipenda) kidumbak kibao kata taarab sumsumia wale wenye kula wali wa asumini vipopoo bokoboko mbatata za urojo kaimati wale wenye kuujua kuutumia udi halawa liwa singo
ebana weeebora niishie hapa kwa sasa
17th may 2011 0641
next ningependa tusaidiane maana ya pwani ni umbali gani kutoka baharini
nimepitia baadhi ya kurasa hizi
swahili introduction location language folklore religion major holidays rites of passage relationships living conditions
the swahili tribe of kenya and tanzania their history and culture
17th may 2011 0644
vizuri umejitokeza umfikishie ujumbe mtu wa pwani aje aokoe jahazikuhusu masafa ya eneo la pwani
17th may 2011 0649
itabidi tumuwekee hii link mtu wa pwani kwenye visitors page yakeaje atoe majibu ya kina
je rais hajui maana ya neno sijui' tumsaidie
mswahili mvivu
by mwl in forum jokes/utani + udaku/gossips
last post 14th june 2011 1910
tamaa ya mswahili
last post 13th may 2011 1837
by chiefmtz in forum habari na hoja mchanganyiko
last post 11th february 2011 2211
by bbtwins in forum uchaguzi tanzania
last post 1st september 2010 1351
namtafuta mswahili
by mtanzania in forum habari na hoja mchanganyiko | 2015-08-29T00:15:48 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/136182-je-ni-nani-mswahili.html |
togiharu wapetty with saya | korin korin fine japanese tableware and chef knives
togiharu 440 wapetty
item # htowape160
size 63 (160 mm) | 2020-04-06T00:49:23 | http://old-site.korin.com/HTO-WAPE-160 |
tfda yanasa dawa bandia lukuki | kamanda wa matukio
tfda yanasa dawa bandia lukuki
mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya chakula na dawa (tfda) bw hiiti sillo (katikati) akiwa na kaimu mkurugenzi wa dawa na bidhaa nyongeza adonis bitegeko (kulia) na msajili wa baraza la famasi elizabeth shekalaghe wakionesha jana baadhi ya dawa bandia wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia uliofanyika jijini dar es salaam (picha na ally daudmaelezo)
mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya chakula na dawa (tfda) bw hiiti sillo katikati akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia uliofanyika maeneo ya kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini wa kwanza kulia ni kaimu mkurugenzi wa dawa na bidhaa nyongeza bw adonis bitegeko na kushoto ni msajili wa baraza la famasi bi elizabeth shekalaghe | 2017-09-25T22:18:09 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/10/tfda-yanasa-dawa-bandia-lukuki.html |
vyakula vinavyoliwa na mgonjwa wa vidonda vya tumbo dondosha
leo tutaangazia vyakula tiba kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa wa vidonda vya tumbo (ulcers) ili kupata nafuu na kuishi bila kusumbuliwa nao ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa huo unapaswa kujiepusha kula vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi
pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye caffeine vinaweza kuleta matatizo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo na kwa mtu asiye navyo anaweza
kupatwa na tatizo hivyo ni vyema kuepuka au kutumia kwa kiasi kidogo vinywaji hivyo kwani huongeza asidi tumboni na hivyo vinaweza kusababisha vidonda au kuzidisha maumivu kwa anayeumwa
kuna uhusiano kati ya ulaji chumvi na vidonda vya tumbo mgonjwa anashauriwa kuepuka ulaji wa vyakula vyenye chumvi nyingi hususan vyakula vya kusindika ambavyo huwekwa chumvi nyingi ili visiharibike haraka pia jiepushe na kuongeza chumvi kwenye sahani wakati wa kula
wagonjwa wa vidonda vya tumbo wanashauriwa kula mafuta yatokanayo na samaki (omega3 fats) ambayo yameonekana kutoa ahueni kwa wagonjwa na kwa mtu ambaye si mgonjwa atakuwa anajiwekea kinga dhidi ya vidonda vya tumbo na magonjwa mengine ya tumbo
ulaji wa vyakula vyenye madini na vitamini kwa wingi husaidia pia kuleta ahueni kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo na kutoa kinga kwa wale ambao hawajaathirika
wenye vidonda vya tumbo wanashauriwa kupenda kula matunda na mboga za majani kama vile karoti juisi ya kabeji ndizi mbivu na matunda mengine yenye vitamin c hali kadhalika maziwa ya mbuzi jibini na cream za maziwa kwani huleta ahueni kwa wagonjwa
sigara ni mbaya kwani huongeza hatari ya mtu kupatwa na ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na wasiwasi kuepukana na maradhi hayo watu wazingatie ulaji sahihi na kuishi maisha ya furaha | 2018-03-17T14:23:13 | https://dondosha.blog/2017/09/12/vyakula-vinavyoliwa-na-mgonjwa-wa-vidonda-vya-tumbo/ |
simba yaanza kazi zanzibar waarabu wajipange welcome to rngm
home michezo simba yaanza kazi zanzibar waarabu wajipange
simba yaanza kazi zanzibar waarabu wajipange
kikosi cha simba kipo mjini unguja kwa ajili ya michuano ya kombe la mapinduzi na leo kitashuka uwanjani kupambana na chipukizi katika mechi yake ya kwanza ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye uwanja wa amaan
hata hivyo wachezaji wa simba watashuka katika mechi hiyo akili zao zote zikiwa kwenye mechi ya kimataifa ya mabingwa afrika ambayo watacheza januari 12 mwaka huu dhidi ya js saoura ya algeria kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam mechi hiyo wachezaji wa simba watakuwa na kazi moja tu ya kuhakikisha wanaitandika js saoura ili waweze kujitengenezea mazingira mazuri ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo
kocha mkuu wa simba mbelgiji patrick aussems ameliambia championi ijumaa kuwa wamejipanga vilivyo kwa ajili ya mechi hiyo na anaendelea kuufanyia kazi baadhi ya upungufu aliouona katika mechi za kwanza za mtoano za michuano hiyo ili kuhakikisha wanaibuka na ushindi mnono dhidi ya waarabu hao
alisema katika mechi hizo kuna mambo aliyaona ya kiufundi hivyo ameshaanza kuyafanyia kazi na leo katika mechi dhidi ya chipukizi anataka kuona ni jinsi gani wachezaji wake wameyapokea maelekezo yake hayo
tumejipanga vizuri kwa ajili ya mechi hiyo ni matumaini yangu kuwa tutaibuka na ushindi japokuwa naamini kabisa mechi itakuwa ni ngumu
kuna makosa ya kiufundi ambayo niliyaona katika mechi zetu za kwanza za hatua ya mtoano tulizocheza dhidi ya mbabane swallows ya swaziland pamoja na nkana fc ya zambia kwa hiyo katika mechi ya kesho (leo) dhidi ya chipukizi nitaitumia kuangalia ni jinsi gani maelekezo yangu niliyowapa wameyapokea na kuyafanyia kazi kikamilifu alisema aussems
tembelea tovuti yetu wwwrngmtk upate updates kwa wakati za soka | 2019-06-18T00:34:05 | https://www.rngm.tk/2019/01/simba-yaanza-kazi-zanzibar-waarabu.html |
maalim seif atuma mkono wa pole kwa kifo cha prof haroub |
maalim seif atuma mkono wa pole kwa kifo cha prof haroub
marehemu prof haroub katika picha hii iliyochukuliwa jana wakati akihakiki kitabu kinachohusu maisha ya maalim seif na ali sultan katika siasa za zanzibar
tanzia prof haroub othman
kwa niaba ya the civic united front (cuf chama cha wananchi) ninatoa mkono wa pole kwa kifo cha ghafla ya msomi wetu profesa haroub othman wa chuo kikuu cha dar es salaam kilichotokea asubuhi hii mjini zanzibar
binafsi nimeshtushwa sana na kifo hiki ikizingatiwa kwamba ni jana tu prof haroub alishiriki katika uzinduzi wa kitabu kinachokhusu maisha yangu katika harakati za siasa za zanzibar na akafanya uhakiki wa kitabu hicho huu ni ushahidi kwamba hata katika saa zake za mwisho profesa haroub alikuwa anafanya kazi zake za kisomi kwani huyu alikuwa ni msomi hasa aliyeuvaa usomi wake kwa kila hali na mali
kwa kuondokewa na profesa haroub chuo chake zanzibar tanzania afrika na ulimwengu kwa ujumla tumeondokewa na hazina kuu ya elimu na maarifa ya siasa na sheria tumeondokewa na mchambuzi wa historia mchango wake utakumbukwa daima katika masuala kadhaa ambayo aliyasimamia kuyachambua na kuyawekea misimamo likiwemo suala la haki za binaadamu na sheria zanzibar kufikia hadi kuanzisha kituo cha kwanza cha haki za binaadamu na sheria visiwani humu na pia kuendeleza ile azma ya afrika moja kama ilivyoanzishwa na waasisi wake dkt kwame nkrumah mwalimu julius nyerere na viongozi wengine wa ukombozi wa bara la afrika kwa hakika profesa haroub ameishi maisha yake kwa ukamilifu
sisi katika cuf tunamuomba mwenyezi mungu ampokee akiwa amemsamehe makosa yake na aufanye mwema ujira wake tunaungana na familia ya marehemu jumuiya ya chuo kikuu cha dar es salaam wazanzibari watanzania na waaafrika wote katika wakati huu mgumu wa maombolezo
mwenyezi mungu aipe familia ya marehemu nguvu na subira za kuweza kukabiliana na msiba huu amin
innalillahi wainna ilayhir raajiun sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea
june 28 2009 in habari mbalimbali
โ mkukuta hautekelezeki
cuf yakhofia mpasuko wa kisiasa โ | 2018-04-22T16:14:01 | https://hakinaumma.wordpress.com/2009/06/28/maalim-seif-atuma-mkono-wa-pole-kwa-kifo-cha-prof-haroub/ |
bosi nida ashikwa maradhi rumande mwanahalisi online
aliyekua mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) dickson maimu bosi nida ashikwa maradhi rumande
posted by faki sosi august 31 2016 0
1403 views dickson maimu aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) ameshindwa kufika mahakamani kutokana na maradhi anaandika faki sosi
katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam maimu anakabiliwa na mashtaka 27 ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya sh116 bil
taarifa za kuumwa kwake zimezotolewa na leornad swai wakili wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) mbele ya rescpicius mwijage hakimu mkazi mkuu
wakili swai amedai kuwa shauri hilo limeitishwa kwa ajili ya kutajwa lakini mshtakiwa wa kwanza (maimu) ameshindwa kutokea mahakamani kwa sababu anaumwa pia upelelezi wa shauri hilo haujakamilika hivyo anaomba apangiwe tarehe nyingine
baada ya kueleza hayo hakimu mwijage aliahirisha kesi hiyo hadi tarehe 14 septemba mwaka huu
washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni avelin momburi meneja biashara wa nida joseph makani mkurugenzi wa tehema benjamin mwakatumbula kaimu mhasibu mkuu wa nida astery ndege mkurugenzi wa kampuni ya bima ya aste insurance brokers george ntalima ofisa usafirishaji sabina raymond mkurugenzi wa sheria na xavery kayombo
washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka ya kutumia madaraka vibaya kula njama kutumia nyaraka za uongo kumdanganya mwajiri na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya sh 1169 bilioni
shitaka la kwanza linamkabili maimu na mwakatumbula ambao wanadaiwa kwa tarehe tofauti kati ya tarehe 15 hadi 19 januari mwaka 2010 katika makao makuu ya nida wilayani kinondoni mkoa wa dar es salaam wakiwa watumishi wa umma kwa nafasi walizokuwa nazo walitumia madaraka vibaya
walidaiwa kuwa waliidhinisha malipo kwa gotham international limited (gil) ya dola za marekani 270000 bila kutumia viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vilivyowekwa na benki kuu ya tanzania kinyume na kifungu 193 cha mkataba kati ya nida na gil hivyo kuifanya gil kupata faida ya sh 3969000
mshtakiwa maimu na mwakatumbula katika shitaka jingine wanadaiwa kati ya juni 3 na 5 2013 katika makao makuu hayo walitumia madaraka vibaya kwa kuidhinisha malipo kwa gil ya dola za marekani milioni 18 bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha hivyo kuifanya gil kupata faida ya sh 106346000
washtakiwa hao wawili wanadaiwa juni 20 2014 katika makao makuu hayo waliidhinisha tena malipo ya dola za marekani 675000 kwa gil bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha hivyo kuifanya kampuni hiyo kupata faida ya sh 42471000
maimu na mwakatumbula wanadaiwa kutumia madaraka yao vibaya kwa kupitisha malipo mengine ya sh 6 milioni kwa gil bila ya kupiga hesabu kwa kutumia viwango vya kubadilishia fedha hivyo kuifanya kampuni hiyo kupata faida ya sh 14 66167676
mbagwa alidai maimu na mwakatumbula wanadaiwa tarehe tofauti kati ya januari 15 2010 na mei 16 2015 katika makao makuu hayo ya nida kwa kuidhinisha malipo kwa gil ya dola za marekani bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha za kigeni waliisababishia nida kupata hasara ya sh 16744567676
bosi nida ashikwa maradhi rumande
dickson maimu aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) ameshindwa kufika mahakamani kutokana na maradhi anaandika faki sosi katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam maimu anakabiliwa na mashtaka 27 ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya sh116 bil taarifa za kuumwa kwake zimezotolewa na leornad swai wakili wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) mbele ya rescpicius mwijage hakimu mkazi mkuu wakili swai amedai kuwa shauri hilo limeitishwa kwa ajili ya kutajwa lakini mshtakiwa wa kwanza (maimu) ameshindwa kutokea mahakamani kwa sababu anaumwa pia upelelezi wa shauri hilo haujakamilika hivyo anaomba&hellip
previous kuahirisha ukuta polisi wapumua
next kauli 10 nzito alizotoa mbowe akiahirisha ukuta
timu maalim wasusa mjengo wa timu lipumba
act yazidi kuikaba serikali
kigogo chadema alia na kodi
ag masaju ambeba magufuli
mkakati wa magufuli dk tulia kuua ukawa
buriani thomas mashali
elimu ya juu waanza kulipa mikopo | 2017-01-18T18:07:57 | http://mwanahalisionline.com/bosi-nida-ashikwa-maradhi/ |
sumo dokta remmy aaga
dokta remmy aaga
mwanamuziki wa siku nyingo remmy ongala (dr remmy) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo
remmy ambaye amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu amefia nyumbani kwake mbezi jijini dar es salaam
ongala ambaye ni maarufu kwa nyimbo zake kama siku ya kufa na kifo ni mmtanzania mwenye asili ya kongo ambaye pamoja na kuingia nchini miaka ya sabini ilimchukua muda mrefu kupata uraia wa bongo
wimbo wake wa 'mbele kwa mbele' na 'mambo yote kwa soksi' ndizo zilihitimisha uimbaji wake wa nyimbo za kidunia kabla ya kumpokea yesu kama bwana na mwokozi wake na kuimba injili
mwenyezi mungu ampe pumziko la milele awatie nguvu wafiwea wote | 2017-08-19T05:15:33 | http://mpoki.blogspot.com/2010/12/dokta-remmy-aaga.html |
sera madhubuti ya gesi kuinyayua tanzania | ccm blog
sera madhubuti ya gesi kuinyayua tanzania
na marco mipawa accra ghana
haya yamebainishwa na meneja wa redio kahama fm marco mipawa leo wakati akiendelea na ziara ya mafunzo nchini ghana ya kujionea jinsi vyombo vya habari vinavyofanya kazi na jamii katika suala zima la maendeleo
mipawa ameyasema hayo baada ya kuona kuwa nchi ya ghana inalo tatizo kubwa la upatikanaji wa nishati ya umeme hata kuliko tanzania inavyoathirika na tatizo hilo lakini maisha ya watu ni mazuri na uchumi uko juu
amesema katika jiji la accra umeme hukatika takriban robo tatu ya siku na matumizi ya jenerata ni makubwa lakini thamani ya pesa yao iko kubwa ikilinganishwa na ya tanzania ambapo kukatikakatika kwa umeme ni mara chache
mipawa amesema dola moja ya marekani inathamanishwa na sedisi tatu za ghana ikiwa ni sawa na shilingi 1770 za tanzania hali inayoonyesha uchumi wa tanzania uko chini ukilinganishwa na wa ghana
baadhi ya wananchi wa accra wamemwambia mipawa kuwa kinachoisaidia nchi ya ghana ni uzalishaji mali katika kilimo madini na ufugaji huku sera na sheria za nchi zikisimamiwa kwa umakini mkubwa kwa maslahi ya nchi
wamesema suala la kudhibiti rushwa na kusimamia utii wa sheria vikiambatana na uwazi na ukweli wa serikali na viongozi wa ghana ndiyo silaha mahususi zilizoifanya ghana kuwa na uchumi imara na maisha mazuri ya watu | 2017-10-17T07:35:49 | http://ccmchama.blogspot.com/2014/12/sera-madhubuti-ya-gesi-kuinyayua.html |
burudan mwanzo mwisho mabondia mada maugo na abdallah pazi wachimbiana mikwala mizito
wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini rajabu mhamila 'super d' ambaye ni mratibu wa mpambano wa mabondia mada maugo kushoto na abdallah
pazi akiwainuwa mikono juu kwa ajili ya kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa ubo afrika utakaopigwa siku ya sikukuu ya pasaka katika uwanja wa ndani wa taifa march 27 picha na super d boxing news
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini rajabu mhamila 'super d' ambaye ni mratibu wa mpambano wa mabondia mada maugo kushoto na abdallah pazi akiwainuwa mikono juu kwa ajili ya kutambulisha
mpambano wao wa ubingwa wa ubo afrika utakaopigwa siku ya sikukuu ya pasaka katika uwanja wa ndani wa taifa march 27 picha na super d boxing news na mwandishi wetu
akizungumza wakati wa kutambulisha mpambano wao uho bondia mada maugo amesema kuwa pazi i mtoto mdogo sana katika ulimwengu wa masumbwi nchini hivyo inambidi afanye mazoezi ya kutosha ili avuke japo raundi ya nne mana sitakuwa na msalia mtume wakati wa kupambana
akijibu mapigo hayo bondia pazi amesema yeye kwa sasa ndio anatamba nchini hivyo yeye ni mfalme na akuna
wa kuusambalatisha ufalme wake kwani kilicho mkuta bondia aliempiga china kwa ko ya raundi ya tatu ndicho kitakacho mkuta yeye kwani kesha zeeka sasa ni wakati wa damu changa pekee
nae mratibu wa mpambano uho rajabu mhamila 'super d' amesema mbali y mpambano uho unaosubiliwa kwa hamu na mashabiki lukuku kutakuwa na mipambano ya kukata na shoka ambapo bondia nassibu ramadhani atakumbana na fansic miyeyusho na bingwa wa mikanda miwili ya afrika ubo na wpbf ibrahimu class 'king class mawe' atkumbana na deo samweli | 2017-03-29T03:19:39 | http://burudan.blogspot.com/2016/03/mabondia-mada-maugo-na-abdallah-pazi.html |
038luuluunmanthuwrun allaah anamuunga anayeunga kizazi na anamkata anayekata kizazi | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /luuluunmanthuwrun /038luuluunmanthuwrun allaah anamuunga anayeunga kizazi na anamkata anayekata kizazi
038luuluunmanthuwrun allaah anamuunga anayeunga kizazi na anamkata anayekata kizazi
allaah anamuunga anayeunga kizazi na anamkata anayekata kizazi
ุนููู ุนูุงุฆูุดูุฉู (ุฑุถู ุงููู ุนููุง) ููุงููุชู ููุงูู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตููููู ุงูููููู ุนููููููู ููุณููููู
ู ((ุงูุฑููุญูู
ู ู
ูุนููููููุฉู ุจูุงููุนูุฑูุดูุ ุชูููููู ู
ููู ููุตูููููู ููุตููููู ุงูููููู ููู
ููู ููุทูุนูููู ููุทูุนููู ุงูููููู)) ู
ุชูู ุนููู
imepokelewa kutoka kwa aaisha (ุฑุถู ุงููู ุนููุง) amesema rasuli wa allaah (ุตูู ุงููู ุนููู ูุขูู ูุณูู
) ((uterasi [fuko la uzazi] limetundikwa katika arshi linasema anayeniunga allaah atamuunga na anayenikata allaah atamkata)) [albukhaariy na muslim]
1 jina la allaah (ุณุจุญุงูู ูุชุนุงูู) arrahmaan linahusiana na rahm yenye maana ya uterasi (fuko la uzazi)
2 allaah (ุณุจุญุงูู ูุชุนุงูู) amesisitiza sana kuunga kizazi kinachohusiana kwa damu anasema allaah (ุณุจุญุงูู ูุชุนุงูู)
ููุงูููุฐูููู ููุตูููููู ู
ูุง ุฃูู
ูุฑู ุงููููููู ุจููู ุฃูู ูููุตููู ููููุฎูุดููููู ุฑูุจููููู
ู ููููุฎูุงููููู ุณููุกู ุงููุญูุณูุงุจู ๏ดฟูขูก๏ดพ
na ambao wanaunga yale aliyoamrisha allaah kuungwa na wanamkhofu rabb wao na wanakhofu hesabu mbaya [arrad (13 21)]
3 mwenye kutaka radhi za allaah (ุณุจุญุงูู ูุชุนุงูู) basi aunge kizazi
4 hatari ya kukata kizazi undugu na ujamaa wa uhusiano wa damu ni kukatwa na kulaaniwa na allaah (ุณุจุญุงูู ูุชุนุงูู) kama anavyosema
basi huenda nyinyi mkigeuka ndio mfanye ufisadi katika ardhi na kukata jamaa zenu wa uhusiano wa damu
hao ndio ambao allaah amewalaani akawafanya viziwi na akawapofua macho yao [muhammad 2223]
rejea pia albaqarah (2 27)
5 kukata uzazi undugu na ujamaa wa uhusiano wa damu ni miongoni mwa dhambi kubwa kwa vile zinasababisha mtu kupata laana ya allaah (ุณุจุญุงูู ูุชุนุงูู)
6 mwenye kukata kizazi undugu na ujamaa wa uhusiano wa damu haingii jannah kutokana na kauli ya rasuli wa allaah (ุตูู ุงููู ุนููู ูุขูู ูุณูู
) ((haingii jannah mwenye kukata udugu)) [albukhaariy na muslim]
6 fadhila kadhaa kwa wenye kuunga undugu zimetajwa katika hadiyth za rasuli wa allaah (ุตูู ุงููู ุนููู ูุขูู ูุณูู
) mojawapo ni sababu ya kuongezewa umri mrefu na kuzidishiwa riziki na baraka ((mwenye kupenda kutanuliwa rizki yake na azidishiwe baraka katika umri wake aunge undugu wake)) [albukhaariy]
pia hadiyth zifuatazo zimetaja fadhila nyinginezo
((mwenye kumuamini allaah na siku ya mwisho amkirimu mgeni wake na mwenye kumuamini allaah na siku ya mwisho aunge undugu wake)) [albukhaariy]
kutoka kwa abuu ayuwb alanswaariy (ุฑุถู ุงููู ุนูู) kwamba mtu alisema ee rasuli wa allaah nifahamishe tendo litakaloniingiza jannah na litakaloniepusha na moto akasema rasuli wa allaah (ุตูู ุงููู ุนููู ูุขูู ูุณูู
) ((umwabudu allaah wala usimshirikishe na chochote usimamishe swalaah utoe zakaah na uunge undugu)) [albukhaariy]
7 kuunga undugu kunahitajia azimio la nguvu ambalo lina faida kwa mwenye kutekeleza hadiyth alikwenda mtu kwa rasuli wa allaah (ุตูู ุงููู ุนููู ูุขูู ูุณูู
) akasema ee rasuli wa allaah mimi nina ndugu nawaunga wananikata nawafanyia wema na wao wananifanyia maovu nawa mpole kwao wananifanya mjinga akasema ((ikiwa uko kama unavyosema kanakwamba unawalisha majivu ya moto na hutoacha kuwa unaungwa mkono na allaah ukidumu kwa hilo)) [muslim]
โน 037luuluunmanthuwrun mwenye iymaan kweli amkirimu mgeni na aseme ya kheri au anyamaze up 039luuluunmanthuwrun tofauti ya kuandamana na rafiki mwema na muovu โบ | 2020-05-28T12:16:30 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/6529 |
snura sijazaa kwa nini mnanizalisha
home ยป unlabelled ยป snura sijazaa kwa nini mnanizalisha
msanii anayefanya muziki na filamu bongo snura mushi ameeleza kushangazwa kwake na taarifa zinazozidi kuenea kuwa amejifungua jambo ambalo anadai eti siyo kweli
msanii anayefanya muziki na filamu bongo snura mushi
madai ya staa huyo kujifungua kwa siri yameenea na hata wasanii wenzake wanajua hivyo lakini mwenyewe amekuwa akikanusha na kuwaacha mashabiki wake njia pandaakipiga stori na ijumaa hivi karibuni snura alisema yeye ana mtoto mmoja mkubwa lakini madai ya kwamba amejifungua hivi karibu hayana ukweli
mimi sina mtoto mdogo mwanangu ni yule mnayemjua hao wanaosema nimezaa mbona wananizalisha alihoji snura ambaye baada ya muda mrefu kupotea juzikati aliibukia kwenye ukumbi wa escape one ulipo msasani jijini dar
20150220t0120000800
artikel terkait snura sijazaa kwa nini mnanizalisha | 2016-12-11T06:02:05 | http://utamuutamu.blogspot.com/2015/02/snura-sijazaa-kwa-nini-mnanizalisha.html |
busu la kikwere | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by masanilo oct 20 2011
jana jioni nikiwa na kazi muhimu umeme umenisumbua sana ile kukatika katika mara kadhaa kwenye majira ya jioni ilikuwa ni kero kubwa ilinifanya nikumbuke shida yote hii ilianzia kwenye richmond iwapo ile tume iliyoongozwa kwa mbwembwe na dr mwakyembe na makamu wake stella manyanya ingefanya kazi yake na kuweka ukweli hadharani basi tusingefika kuingia kwenye hizi shida za umeme wa mgao kwa taifa hili lenye zaidi ya miaka 50 ya uhuru ifikiapo dec 9 mwaka huu
mwakyembe na stella manyanya kwa sababu zao kuna taarifa hawakuweka wazi shida ya umeme imeendelea kuwepo mpaka sasa nafasi zao zina wasuta hawakuwatendea haki watanzania wenzao kwa kutumia kodi yetu sawa mzee wa monduli aliachia ngazi kwa kustaafu kutokana na ajali ya kisiasa
lakini bado tuna shida ya umeme na jamaa hawa dowans na symbion wamezaliwa hii ni kutokana na kukosekana kwa uzalendo wa ile kamati kuficha baadhi ya taarifa muhimu kwa taifa matokeo ya hawa jamaa kumpa shavu mh wa msonga naye amewapa mabusu mwakyembe kwa kazi ya kinafiki ni naibu waziri wa miundo mbinu na ujenzi na busu la stella manyanya eti eng ni ukuu wa mkoa wa rukwa lol kwa kazi nzuri ya kuficha ukweli kwenye serikali ya kisanii
tabia ya kusema kile wasichoakiamini mioyoni mwao bali kufurahisha wasikilizaji hiki ndicho kinachomsumbua mh mwakyembe ooohh nataka uawawa mnafiki huyu mimi nimewekewa sumu ooohhh mimi kwangu ni muongo anatafuta faraja ya moyo wake kwa kutulaghai watanzania kwa kuficha kwake taarifa muhimu za uchunguzi wa richmond
binafasi sina msamaha na ile kamati
tanzania haitakiwi iwe gizani leo hii thamani ya shs yetu inashuka inflation inakaribia kuzidi ile ya zimbabwe kumbukeni hao jamaa hawana hata mgao wa umeme
nina hasira sana na hizi taratibu zetu za kimfumo
rev fr masa k
chama cha magamba wote ni watu wa ovyo sana hakuna unafuu kwenye magamba yaani badala ya kusonga tunarudi eti tumethubutu tumeweza lakini wadanganyika ni wajinga pia umeme kila siku umeme tumechoka sasa tunataka umeme wa uhakika
jamaa akiwapa mabusu uwezo wa kufikiri haupo tena nnape anafurahia busu kutoka kwenye udc masasi hadi uenezi magambani
binafsi mwakyembe kwangu ni janga la kitaifa kama walivyo magamba wote
kaaz kwel kwel huo upuuzi na kuficha ficha mambo na kubebana ndiyo umetufikisha kwenye matatizo haya ya sasa na bado tunapalilia matatizo makubwa zaidi ya kimfumo tutaanza kurithishana uongozi wa juu wa kisiasa na wa vyama mwisho wa siku ni kuendelea kufichiana maovu na hali ya watanzania masikini kuendelea kuwa mbaya
nimekuwa nikiona humu jf wengine wakimsifia mwakyembe na wengine bila haya wakimpigia chapuo mamvi 2015 ishu nyengine kwa kweli tunazikriet sisi wenyewe kwa uvivu wetu wa kufikiri na kufanya maamuz sahihi at least 30 ya watz wangekuwa na utamaduni wa kuzishirikisha akili zao ktk maisha ya kila siku tungekuwa mbali sana
mtu anayemsifia mwakyembe ama yule mzee wa urambo samwel sita nadhani hawana ufahamu na hawa jamaa membe lowassa mwakyembe na sita ni msiba kwa taifa
nape mpuuzi kama wengne ndani ya ccm
polepole mkuu sasa hivi utaambiwa si great thinker kwa kuwasema hawa akina mwakyembesitta na wale wapambanaji eti wa ufisadi kumbe ni njaa tu wanayoipiganiahivi inatakiwa kiwango gani cha elimu ili mtu aelewe kuwa hawa akina mwakyembesitta na wenzao mwisho wa sku walitusalitiwalikuwa na kipele wakaambiwa wakipeleke hospitali wakaataaleo limekuwa jipu tena kubwa wanalalamaissue hii ya umeme wala isingefika hapa tunapolazimika kuilipa dowans na bado umeme sio wa uhakikadawa ya tatizo ni kulitibu na sio kujalibu kulitibu kiujanja ujanja kwa maslahi binafsikwangu mimi hawa ni wachumia matumbo tubado nchi hii hatujapata watu wenye uchungu na nchi hiikibaya kinachotughalimu ni kufichiana maovu ndani mfumo huu ulioasisiwa na ccmmwakyembe hakutaka kumtaja kiongozi wa nchi eti kwa kuhofia serikali ingeanguka hapa kwa maslahi ya nanisitta nae akafanya sarakasi za aina yake pale bungeni kuzima suala la richmondi kuendelea kujadiliwa leo analalama dowans isilipwehawa ni wasomi wazuri wana digrii za kueleweka nadhani hapa jf wangekuwa na heshima yao sanaisitoshe ni wanasheria duuuuhapa tukubali tu kuna laana inayotutafunakuondokana na hilo maombi ya kuomba na kufunga nchi nzima
thanks vonix
never believe official version in most cases
and that what happens kwenye hiyo report yaooffical version imeficha reality
viongozi wetu wanapopewa wadhifa hufunga midomo nahoja nzito na zenye manufaa kwa taifa zinaisha kweli tuinahitaji kufunga na kuomba
laana ya watanzania na watoto wetu inawaandama mwisho wa siku watakufa kama gaddafi na watasifiwa kwa hiana lakini ukweli unabaki palepale kuwa kichwa cha nazi cha bagamoyo kisipo tafuta kichwa kingine cha kufanana nacho kinakachoficha ukweli nina hakika wengi wa hawa tunaowaona mashujaa wa leo wataishia kuwa mashujaa wa jera kesho
sasa ebu tueleze alificha taarifa gani
anazijua mwenyewe mwakyembe aliwahi kusema hadharani kuwa kuna mambo akiyasema nchi italipuka na ataumwa mpaka ayaseme aliyoyaficha aliyaficha kwa faida ya jk na magamba wenzie laana ya watanzania haitamwacha kamwe
tunao mti tunao twenda nao pole pole
nikifikiri hii nchi kichwa kinauma | 2018-01-17T07:44:54 | https://www.jamiiforums.com/threads/busu-la-kikwere.184067/ |
wafahamu watu wanaosimama nyuma ya conte raia mwema
wafahamu watu wanaosimama nyuma ya conte dec 15 2016 by abdul mkeyenge in burudani & michezo antonio conte amewasha moto katika ligi kuu ya england conte ambaye ni kocha wa chelsea ameifanya timu hiyo kuwa na kiwango kizuri na yeye mwenyewe akishinda tuzo ya kocha bora wa mwezi mara mbili mfululizo ameshinda tuzo hiyo mwezi oktoba na novemba
licha ya conte kutajwa kama kocha bora wa kizazi kipya lakini kuna watu wanaosimama nyuma yake na kumfanya aonekane bora dhidii ya makocha wenzie
alessio ambaye ni mtaliano ndiye msaidizi namba moja wa conte alessio na conte wametoka mbali na waliwahi kucheza pamoja juventus na kufanikiwa kutwaa mataji mbalimbali conte alianza kumuamini alessio kama msaidizi wake tangu alivyokuwa mwalimu wa timu za siena juventus mpaka timu ya taifa ya italia sifa kuu ya alessio ni kufahamu kwa haraka zaidi mbinu za wapinzani na kuwasilisha taarifa kwa bosi wake
conte amemkuta mtu huyu ndani ya chelsea na ameamua kumuamini na kuendelea kufanya nae kazi kutokana na maono ya holland katika soka holland aliwahi kufanya kazi pamoja na andre villas boas (avb) baadae robertto di matteo rafael benitez jose mourinho na guus hiddink
kinachotajwa conte kuwa na holland katika benchi lake ni kutokana na holland kufahamu mazngira ya chelsea na ligi ya england licha ya holland kuwa sehemu ya benchi la ufundi la chelsea lakini pia anamsaidia kocha wa timu ya taifa england gareth southgate holland anatajwa kukubalika na wachezaji
huyu ni mdogo wa conte na wote walianzia maisha ya mpira kwa kucheza soka katika timu yao ya mtaani ya lecce na wote walisomea pamoja masuala ya soka huku gianluca akiwa amesomea zaidi mambo ya sayansi ya michezo (sports science)
moja ya sifa yake ni kuwa na maono ya hali ya juu kufahamu kila hali ya mchezaji ndani ya kikosi chake pamoja na vikosi vya wapinzani
cudicini licha ya kuwa msaidizi wa conte katika masuala ya ufundi lakini pia ni balozi wa klabu hiyo nchini italia cudicini amekaa miaka 10 ndani ya kikosi hicho akicheza michezo 216
huyu ndiye anayetajwa kumtuliza mlinda mlango thibaut courtois ambaye alikuwa akitajwa kuondoka baada ya kugombana na aliyekuwa kocha wa makipa wa timu hiyo christophe lollichon aliyeondolewa na conte
spinelli ni fundi katika idara hii aliyoanza tangu mwaka 2002 mpaka sasa amedumu kwenye idara hii ya kocha wa makipa na amefanya kazi kwa mafanikio akiwa kocha bora wa makipa wa seria a misimu ya 2011/122014/15 na msimu uliopita 2015/2016
spinelli anasimama nyuma ya ubora wa mlinda mlango wa italia na juventus gianluigi buffon ambaye mara ya mwisho alikuwa naye katika michuano ya ulaya 2016 iliyofanyika nchini ufaransa
hilario ni msaidizi wa spinelli katika kuimarisha viwango vya walinda milango wa chelsea hilario ni mlinda mlango wa zamani wa timu hiyo ingawa hakucheza kwa mafanikio makubwa akiwa amecheza michezo 39 alianza kujifundisha kazi ya ukocha mara alipostaafu
paolo betelli
majukumu ya betelli ndani ya chelsea ni kufanya kazi za viungo betelli alifanya kazi na conte wakiwa juventus na baadae timu ya taifa ya italia mwalimu huyo wa viungo alianzia kazi hii kwenye klabu ya fiorentina aliyodumu nayo kwa miaka 14 na aliwahi kuwa na kocha wa sasa wa leicester city claudio ranieri katika klabu ya fiorentina betelli amewahi kuwa kocha bora wa viungo mara nne tofauti katika ligi ya italia (serie a)
tous ni mhispania ambaye ni mtaalamu wa viungo na misuli na alikuwa na conte katika timu ya taifa ya italia na amewahi kuwa katika timu za real zaragoza barcelona sampdori tous ana shahada ya sayansi ya michezo (sports science)
jones mwenye jicho pevu katika timu b ya chelsea alijiunga chelsea tangu 2006 akifanya kazi na makocha mbalimbali waliokuja kufanya kazi katika kikosi hicho jones amepewa kazi ya kocha wa wachezaji wa akiba akifanya kazi ndani ya kikosi hicho kwa muda mrefu sasa
constatino coratti
coratti ambaye ni muitaliano kama conte ni mtaalamu wa viungo na walikua na conte kwenye timu mbalimbali alizofundisha conte huyu ndio mtu pekee ambaye kila anapokwenda conte coratti nae atakwenda
ancora ni mtaalamu wa masuala ya upishi majukumu yake ni kuwapangia wachezaji wale nini kulingana na program za mazoezi ancora ameanza kufanya kazi na conte tangu bari torino verona lecce na timu ya taifa ya italia
hao ndio watu waliopo nyuma ya conte ambao wengi hawafahamiki ni kutokana na kutojionyesha mbele ya kamera mbalimbali za waandishi wa habari | 2017-04-29T07:34:25 | http://www.raiamwema.co.tz/wafahamu-watu-wanaosimama-nyuma-ya-conte/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.