text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
bulgaria pop slovakia pop italy pop latvia pop kenya jamz music back
rabbit ft sudi boy nakuchukia download
wyre ft gramps and peetah morgan guarantee download
golden taarab chonge nimezama kwa mapenzi download
saida kalori ndombolo ya solo download
chidi benz ft khadija kopa nampenda sana download
kamande wa kioi uhuru ni witu download
tundaman ft mh temba uzuri wake download
pnc nalia download
ku bed b1 ft debra sikiriti download
jesse jagz ft ice prince mi nobody test me download
martha mwaipaja tunasonga mbele download
offsidetrick ft at samaki download
bw misosi nitoke vipi download | 2013-06-18T20:41:46 | http://waptrick.com/web/full_mp3/index.jsp?c=kenjamz&lang=EN&pageid=8&accordionParam=14-3 |
njia (3) | injili ya kushuka kwa ufalme
katika maisha yangu niko radhi kila mara kujitolea mwenyewe kwa mungu kabisa mwili na fikra kwa njia hii hakuna lawama kwa dhamiri yangu na naweza kupata kiasi kidogo cha amani mtu anayeandama uzima ni lazima kwanza aukabidhi moyo wake wote kwa mungu kabisa hili ni sharti la mwanzo ningependa ndugu na dada zangu wamwombe mungu pamoja na mimi ee mungu roho wako aliye mbinguni awape neema watu walio duniani ili moyo wangu uweze kukugeukia wewe kikamilifu kwamba roho yangu iweze kusisimuliwa nawe na kwamba niweze kuona kupendeza kwako ndani ya moyo wangu na roho yangu ili wale walio duniani wabarikiwe kuuona uzuri wako mungu roho wako mara tena asisimue roho zetu ili upendo wetu uwe wa kudumu na usibadilike kamwe kile ambacho mungu hufanya ndani yetu sote ni kuijaribu mioyo yetu kwanza na tunapomimina mioyo yetu ndani yake ni wakati huo ndipo yeye huanza kusisimua roho zetu ni katika roho tu ndipo mtu anaweza kuona kupendeza uwezo wa juu kabisa na ukuu wa mungu hii ni njia ya roho mtakatifu ndani ya wanadamu je una maisha ya aina hii umepitia maisha ya roho mtakatifu roho yako imesisimuliwa na mungu umeona jinsi roho mtakatifu hufanya kazi ndani ya watu umeukabidhi moyo wako kwa mungu kabisa ukiukabidhi moyo wako kwa mungu kikamilifu unaweza kupitia moja kwa moja maisha ya roho mtakatifu na kazi yake inaweza kufichuliwa daima kwako wakati huo unaweza kuwa mtu anayetumiwa na roho mtakatifu je uko radhi kuwa mtu wa aina hiyo katika kumbukumbu yangu niliposisimuliwa na roho mtakatifu na kumpa mungu moyo wangu mara ya kwanza nilianguka chini mbele yake na kupaza sauti ee mungu ni wewe uliyeyafungua macho yangu ili niweze kutambua wokovu wako niko radhi kukupa wewe moyo wangu kabisa na kile ninachoomba ni kwamba mapenzi yako yafanyike kile ninachotamani ni kwamba moyo wangu upate kibali chako machoni pako na kutekeleza mapenzi yako ombi hilo ndilo lisilosahaulika kamwe kwangu nilisisimuliwa sana na nikalia kwa uchungu mbele ya munguhilo lilikuwa ombi langu lililofanikiwa la kwanza mbele ya mungu kama mtu ambaye ameokolewa na ilikuwa hamu yangu ya kwanza nilisisimuliwa mara kwa mara na roho mtakatifu baada ya hilo umekuwa na aina hii ya tukio ni jinsi gani roho mtakatifu amefanyaje kazi ndani yako nafikiri kwamba watu wanaotafuta kumpenda mungu wote watakuwa na aina hii ya tukio kwa viwango vikubwa zaidi au vidogo zaidi lakini watu huyasahau mtu akisema hajakuwa na aina hii ya tukio hii inathibitisha kwamba bado hajaokolewa na bado yuko chini ya miliki ya shetani kazi ambayo roho mtakatifu hutekelza ndani ya kila mtu ni njia ya roho mtakatifu na pia ni njia ya mtu anayemwamini na kumtafuta mungu hatua ya kwanza ya kazi ambayo roho mtakatifu hutenda juu ya watu ni ile ya kusisimua roho zao baada ya hiyo wataanza kumpenda mungu na kuandama maisha wale wote walio katika njia hii wako ndani ya mkondo wa roho mtakatifu huu sio uwezo tu wa kazi ya mungu katika china bara lakini pia katika ulimwengu mzima yeye hufanya hili juu ya wanadamu wote ikiwa mtu hajasisimuliwa hata mara moja tu hii inaonyesha kwamba yeye yuko nje ya mkondo huu wa kupata tena mimi humwomba mungu bila kukoma katika moyo wangu kwamba atawasisimua watu wote kwamba kila mtu chini ya jua asisimuliwe naye na kutembea njia hii labda hili ni ombi ndogo sana ninalomwomba mungu lakini naamini kwamba atatenda hili natarajia kwamba ndugu na dada zangu wote wataliombea hili kwamba mapenzi ya mungu yatendeke na kwamba kazi yake ihitimishwe hivi punde ili roho wake aliye mbinguni aweze kuwa na raha hili ni tarajio langu dogo
naamini kwamba kwa vile mungu anaweza kutekeleza kazi yake katika mji mmoja wa pepo wabaya basi anaweza bila shaka kutekeleza kazi yake katika miji mingi ya pepo wabaya kutoka upande mmoja hadi mwingine wa ulimwenguni sisi ambao ni wa enzi ya mwisho tutaona bila shaka siku ya utukufu wa mungu hii inaitwa kufuata hadi mwisho kutasababisha wokovu hakuna anayeweza kubadilisha hatua hii ya kazi ya munguni mungu mwenyewe tu anaweza kufanya hivyo hii ni kwa sababu ni ya ajabu ni hatua ya kazi ya ushindi na wanadamu hawawezi kuwashinda wanadamu wengine ni maneno tu ya kutoka kinywani mwa mungu na mambo ayafanyayo binafsi ndiyo yanaweza kuwashinda wanadamu kutoka kwa ulimwengu mzima mungu anatumia nchi ya joka kuu jekundu kama uwanja wa majaribio baada ya hili ataanza kazi hii mahali pengine pote hiyo inamaanisha kwamba mungu atatekeleza hata kazi kubwa zaidi ulimwenguni kote na watu wote wa ulimwengu watapokea kazi ya mungu ya ushindi watu wa kila madhehebu na kila kikundi lazima wakubali hatua hii ya kazi hii ni njia ambayo ni lazima ifuatwehakuna anayeweza kuiepuka je uko radhi kukubali hiki ulichoaminiwa na mungu mimi huhisi kila mara kwamba kukubali kitu unachoaminiwa na roho mtakatifu ni jambo la utukufu vile ninavyoona hii ndiyo amana kuu sana ambayo mungu huweka katika wanadamu natarajia kuwa na ndugu na dada zangu wakifanya kazi kwa bidii ubavuni mwangu na kukubali hili kutoka kwa mungu ili mungu atukuzwe kotekote katika ulimwengu mzima na maisha yetu hayatakuwa bure tunapaswa kumfanyia mungu kitu au tunapaswa kula kiapo ikiwa mtu anaamini katika mungu lakini hana kusudi la kufuatilia basi maisha yake huwa kazi bure na wakati ufikapo wa yeye kufa wao wana anga la samawati na ardhi ya vumbi tu ya kutazama je hayo ni maisha ya maana ikiwa unaweza kutimiza masharti ya mungu ukiwa bado hai hili si jambo zuri mbona kila mara unatafuta tatizo na mwenye huzuni kwa njia hiyo unapata chochote kutoka kwa mungu mungu anaweza kupata chochote kutoka kwako katika ahadi niliyofanya na mungu mimi nampa tu moyo wangu na simpumbazi kwa maneno yangu singefanya kitu kama hichomimi niko radhi tu kumfariji mungu nimpendaye kwa moyo wangu ili roho wake aliye mbinguni afarijiwe moyo unaweza kuwa na thamani lakini upendo una thamani kuu zaidi niko radhi kumtolea mungu upendo wa thamani kubwa zaidi moyoni mwangu ili kile anachofurahia kiwe ni kitu kizuri zaidi nilichonacho ili atimizwe na upendo ninaomtolea yeye je uko radhi kumpa mungu upendo wako ili afurahie je uko radhi kuifanya hii kuwa kanuni yako wewe ya kuendelea kuishi ninachoona kutokana na uzoefu wangu ni kwamba kadri ninavyompa mungu upendo mwingi ndivyo ninavyohisi kwamba ninaishi kwa furaha na nina nguvu zisizo na mipaka niko radhi kutoa mwili na mawazo yangu yote kama dhabihu na kuhisi kila mara kwamba siwezi kabisa kumpenda mungu vya kutosha kwa hiyo je upendo wako ni upendo usio muhimu au ni usio na kikomo wa kupita kiasi ikiwa kweli unataka kumpenda mungu utakuwa kila mara na upendo zaidi wa kumrudishia yeye ikiwa hali ni hiyo ni mtu gani na ni kitu gani kina uwezo wa kuzuia upendo wako kwa mungu
mungu huona upendo wa wanadamu wote kuwa wa thamani yeye hulimbikiza baraka zake nyingi zaidi juu ya wote wanaompenda yeye hii ni kwa sababu upendo wa mwanadamu ni mgumu sana kupatikana kunao kidogo sana na nusura usiweze kupatikana kotekote ulimwenguni mungu amejaribu kudai kwamba watu warudishe upendo kwake lakini katika enzi zote mpaka sasa wale ambao wametoa upendo halisi kwa mungu ni wachacheni wachache katika idadi kadri ninavyokumbuka petro alikuwa mmoja lakini aliongozwa binafsi na yesu na ni wakati tu wa kifo chake ndipo alipompa mungu upendo wake wote kumaliza hayo maisha yake kwa hivyo ni katika aina hizi za hali zisizofaa ndipo mungu amefanya eneo la kazi yake kuwa dogo katika ulimwengu kwa kutumia nchi ya joka kuu jekundu kama maonyesho anaelekeza nguvu zake zote na juhudi zake zote mahali pamoja hii itakuwa na matokeo yenye kufaa zaidi na itakuwa ya faida zaidi kwa ushahidi wake ni katika hali hizi mbili ndipo mungu alisongeza kazi yake ya ulimwengu mzima kwa watu hawa wenye uhodari duni katika china bara na kuanza kazi yake yenye upendo ya ushindi ili baada ya watu hawa kuweza kumpenda yeye aweze kutekeleza hatua inayofuata ya kazi yake huu ni mpango wa mungu matunda ya kazi yake yatakuwa makubwa zaidi kwa njia hii eneo la kazi yake liko katikati na limedhibitiwa ni wazi kuhusu namna ya kiasi kukubwa cha gharama ambayo mungu amelipa na kiasi cha juhudi ambazo ametumia kwa kutekeleza kazi yake ndani yetu kwamba siku yetu imefika hii ni baraka yetu kwa hivyo kile ambacho hakilingani na fikira za wanadamu ni kwamba wenyeji wa magharibi hutuonea wivu kwa kuzaliwa mahali pazuri lakini sisi wote hujiona kuwa duni na wanyonge je huyu si mungu anayetuinua uzao wa joka kuu jekundu ambao wamekuwa wakikandamizwa kila mara wanategemewa na wenyeji wa magharibihii ni baraka yetu kweli ninapofikiria juu ya hili ninajawa na wema wa mungu na upendo na ukaribu wake kutokana na hili inaweza kuonekana kwamba lile afanyalo mungu ni kinyume cha fikira za wanadamu na ingawa watu hawa wote wamelaaniwa hashurutishwi na shutuma za sheria na amelenga kwa kudhamiria kazi yake pande zote za kuzunguka sehemu hii ya dunia hii ndio maana nafurahi ndio maana nahisi furaha ya kupita kiasi kama mtu anayechukua wajibu wa kuongoza katika kazi hii kama vile makuhani wakuu miongoni mwa waisraeli ninaweza kutekeleza moja kwa moja kazi ya roho na kuhudumia moja kwa moja roho wa mungu hiii ni baraka yangu nani angethubutu kufikiria juu ya jambo kama hili lakini leo hili limetujia sisi bila kutazamiwa ni furaha kuu kweli inayostahili sherehe yetu natarajia kwamba mungu ataendelea kutubariki na kutuinua ili sisi tulio katika lundo la samadi tutumiwe kwa kiwango kikubwa na mungu hivyo kuturuhusu kulipa upendo wake
kulipa upendo wa mungu ni njia ambayo ninafuata sasa lakini nahisi kwamba haya si mapenzi ya mungu wala si njia ninayopaswa kutembea mapenzi ya mungu ni kuwa mimi nitumiwe kwa kiwango kikubwa na yeyehii ni njia ya roho mtakatifu labda nimekosea nafikiri hii ni njia ninayofuata tangu nilipoanzisha azimio langu na mungu kitambo sana niko radhi kumwacha mungu aniongoze ili niingie katika njia ninayopaswa kuifuata mapema iwezekanavyo na kuridhisha mapenzi ya mungu mapema iwezekanavyo bila kujali kile ambacho wengine watafikiria naamini kwamba kutekeleza mapenzi ya mungu ni la muhimu zaidi na ni jambo muhimu zaidi la maisha yangu hakuna yeyote anayeweza kuninyanganya mimi haki hiihuu ni mtazamo wangu binafsi na labda kuna wengine ambao hawawezi kuufahamu lakini naamini kwamba sihitaji kuthibitisha uhalali wa hili kwa yeyote nitafuata njia ninayopaswa kufuatamara tu nikitambua njia ninayopaswa kuifuata nitaifuata na sitarudi nyuma hivyo narudi kwa maneno haya nasababisha moyo wangu kutekeleza mapenzi ya mungu natazamia kwamba ndugu na dada zangu hawatanikosoa kwa jumla ninavyoona binafsi watu wengine wanaweza kusema wanachopenda lakini nahisi kwamba kutekeleza mapenzi ya mungu ni muhimu sana na sipaswi kutii vizuizi kuhusu hili siwezi kukosea ninapotekeleza mapenzi yake na kufanya hili hakuwezi kupangwa kulingana na upendeleo wangu mimi naamini kwamba mungu ameona ndani ya moyo wangu kwa hivyo ni jinsi gani unapaswa kufahamu hili uko radhi kujitolea mwenyewe kwa ajili ya mungu uko radhi kutumiwa na mungu azimio lako wewe ni kutekeleza mapenzi ya mungu natarajia kwamba ndugu na dada zangu wote wanaweza kupata msaada wa kiwango fulani kutoka kwa maneno yangu ingawa maoni yangu mimi ni ya juujuu bado ninasema ninachoweza kusema ili sote tuweze kuwa na mazungumzo ya wazi yasiyo na vizuizi ili mungu abaki miongoni mwetu milele haya ni maneno kutoka moyoni mwangu sawa hayo ni yote kuhusu maneno yangu ya dhati kwa leo natarajia kwamba ndugu na dada zangu wataendelea kufanya kazi kwa bidii na natarajia kwamba roho wa mungu atatutunza kila wakati
iliyotangulia:njia (2)
inayofuata:njia (4)
mnapaswa kuzingatia matendo yenu sura ya 34 wimbo wa ufalme mwanadamu aliyeanguka anahitaji zaidi wokovu wa mungu mwenye mwili | 2019-02-16T11:11:02 | https://sw.kingdomsalvation.org/the-path-3.html |
mapenzi kama wewe ni mwanaume basi hii inakuhusuwanaume tu please | masama blog
» mapenzi kama wewe ni mwanaume basi hii inakuhusuwanaume tu please
mwanaume hahitaji mwanamke mwenye sura nzuri kama miss utalii na makalio
yanayoweweseka akitembea kama mshumaa uliopulizwa na upepo wa bahari ya hindihizi ni sifa temporary kwa ajili ya tamaa ya macho na ngono
there is life beyond attraction and sex
ndo maana utashangaa mtu amedate mademu 20 wakali kinoma wenye wezere kama wamejiumba lakini anaoa demu wa 'kawaidaaaa' mwenye sura kama amepiga chafya isiyotarajiwa halafu unaanza kujiuliza huyu kaka amekosa ninihajakosa kituamevumbua dhahabumwanaume anahitaji mwanamke msaidizimshaurimbembelezajimtia moyomwenye maonosio mwanamke anajua club zote mpya ilizofunguliwa wiki hii lakini hana taarifa kama kuna plot zinauzwa madale ili amshauri mmewe kuacquire land
utashangaa na mkalio wako kama dansa wa baikoko umetemwa na anaolewa bishosti hajawahi kuvaa kipedo tangu azaliweanavaa charanga
kama unadhani shepu ni mali nenda kaombe kazi twanga pepetatutaendelea kuoa vituko kwa sababu vina akili na vinajiheshimu na wewe utaendelea kualikwa kwenye harusi kama mtazamaji kwa sababu huoleki
onelovetz
filed under mapenzi matukio | 2017-02-21T07:45:22 | http://www.masamablog.com/2016/11/mapenzi-kama-wewe-ni-mwanaume-basi-hii.html |
nyota wa simba stars wapaa leo kwenda kuongeza nguvu bukoba bin zubeiry sports online nyota wa simba stars wapaa leo kwenda kuongeza nguvu bukoba bin zubeiry sports online
mwanzo > untagged nyota wa simba stars wapaa leo kwenda kuongeza nguvu bukoba
nyota wa simba stars wapaa leo kwenda kuongeza nguvu bukoba
juma kaseja kulia na amri kiemba njiani kuelekea bukoba
wachezaji watano kati ya sita wa simba sc waliokuwa katika kikosi cha timu ya soka ya taifa ya tanzania taifa stars kilichocheza na morocco jana wameondoka leo asubuhi dar es salaam kwenda bukoba kuungana na wenzao tayari kwa mchezo wa keshokutwa wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara dhidi ya wenyeji kagera sugar
ofisa habari wa simba sc ezekiel kamwaga ameiambia bin zubeiry leo kwamba wachezaji walioondoka na ndege leo ni kipa juma kaseja mabeki nassor masoud chollo shomary kapombe na viungo amri kiemba na mrisho ngassa
kamwaga ukipenda muite mr liverpool alisema mchezaji aliyeachwa ni kiungo mwinyi kazimoto ambaye hayumo katika mipango ya kocha mfaransa patrick liewig kwa sasa
hivi ninavyozungumza na wewe nipo na hao wachezaji mwanza tunasubiri kuunganisha ndege kwenda bukoba leo leoalisema kamwaga
tayari wachezaji wa simba sc ambao hawakuwamo taifa stars wapo bukoba tangu jana kwa ajili ya mchezo huo wa ligi kuu
mwandishi huyo wa zamani wa magazeti ya dimba bingwa mtanzania rai na the african yanayochapishwa na kampuni ya new habari alisema wachezaji hao wako fiti kabisa kwenda kuitumikia simba sc
aidha kamwaga alisema wachezaji wengine wawili waliokuwa katika kikosi cha timu ya taifa ya uganda the cranes kilichomenyana na liberia jana kipa abbel dhaira na kiungo mussa mudde nao wataungana na timu moja kwa moja bukoba
mudde na dhaira watakuja moja kwa moja bukoba kwa kweli wakipatikana wachezaji wote hawa hadi kesho asubuhi kikosi kitakuwa imara sana na matumaini ya kuwafunga kagera sugar kwao yatakuwa makubwaalisema
item reviewed nyota wa simba stars wapaa leo kwenda kuongeza nguvu bukoba rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-04-02T22:32:34 | http://www.binzubeiry.co.tz/2013/03/nyota-wa-simba-stars-wapaa-leo-kwenda.html |
njaa kenya hata kwa wa tabaka la kati | masuala ya jamii | dw | 16102017
katika siku mojawapo wingu jeusi linazidi kutanda juu ya shamba la kisilu musaya lakini mkulima huyo anajua maana ya wingu hilo kwa mara nyingine halitaleta mvua inayotarajiwa
misimu mitatu ya mvua imepita bila ya mvua kunyesha kusini mwa kenya ambako ni nyumbani kwa kisilu musaya na mkewe christine mikunde michache tu bado imechipua lakini mahindi yote ya musaya chanzo chake kikuu cha mapato yamekauka
hapo awali nilikuwa akiba ya kutosha kwa ajili ya kuilisha familia yangu kwa angalau kwa miezi miwili hadi mitatu lakini sasa ninachokivuna hakitoshi hata kwa wiki moja anasikitika mkulima huyu
kwa miaka saba musaya amekuwa anashiriki katika mradi wa filamu anaorodhesha taarifa juu ya mabadiliko ya hali ya hewa katika mkoa wake ameziona athari nyingi ya mabadiliko ya tabia nchi ukame na mafuriko lakini hali mbaya kama ya sasa haijawahi kuonekana
badala ya kuwa na uwezo wa kuuza mavuno yake musaya anapaswa kuyauza mahindi yake sokoni yaani chakula cha msingi cha wakenya wengi lakini kiwango anachoweza kukimudu kinazidi kuwa kidogo na anaamini kuwa serikali imeshindwa kumkwamua
mimi kama mkulima nahisi kuwa nimesahauliwa najitahidi kila siku ili kuweza kuilisha familia yangu lakini serikali haitusaidii hata kidogo anasema
mgogoro wa unga wa mahindi
kilimo cha mahindi kimeathirika kwa ukosefu wa mvua na maradhi
hata katika mji mkuu nairobi unaofahamika kama mgogoro wa unga wa mahindi umekuwa na unasababisha mvutano mkubwa wa kisiasa kwa miezi kadhaa sasa
bei ya unga wa mahindi imepanda kwa zaidi ya asilimia 100 mnamo siku za karibuni sababu ni kwamba maghala yaliyokuwa yamejaa mahindi ya akiba yalikauka muda mfupi tu baada ya ukame kuanza
je mahindi hayo yalioza au yaliibiwa wahusika bado hawajatoa maelezo hadi leo lakini hatimaye serikali ilichukua hatua ya kuagiza mahindi na kuanzisha mpango wa ruzuku ili kuiteremsha bei ya unga wa mahindi
mchambuzi wa masuala ya fedha ali sachu wa shirika la usimamizi wa mali anasema mfumo wote ni wa ufisadi mtupu
watu wenye leseni kwa sasa wanachuma faida kubwa sana na watu wengine nchini kote wanabeba mzigo wa kulipa na watu wengine wanaamini kwamba kiasi fulani cha faida kinakwenda kwa wanasiasa anasema mchambuzi huyo
matumaini yaliyopotea yanarejea
mkulima kisilu musaya ameacha siku nyingi sasa kuweka matumaini ya msaada kutoka serikalini badala yake yeye pamoja na wakulima wenzake wadogo wadogo wanakusudia kujenga mfumo wa umwagiliaji kwenye mashamba yao
lakini mtambo huo bado haujaanza kufanya kazi kama ilivyotarajiwa
hata hivyo nyanya zimeanza kustawi kutokana na hali hiyo wakulima hao wanaweza kuwa na matumaini ya kuvuna mahindi yao katika msimu ujao
mwandishi sella oneko/jan philipp
maneno muhimu njaa afrika kenya
kiungo http//pdwcom/p/2lzix | 2018-01-20T09:35:54 | http://www.dw.com/sw/njaa-kenya-hata-kwa-wa-tabaka-la-kati/a-40891415 |
urutonde rw'abahesha b'inkiko b'umwuga 15 bahagaritswe na minijust
minisiteri yubutabera (minijust) yashyize hanze urutonde rwabantu 15 yahagaritse byagateganyo ku murimo wubuhesha bwinkiko kuva kuri uyu wa 14 ukwakira 2015minisitiri wubutabera akaba nintumwa nkuru ya leta busingye johnston avuga ko aba bahesha bahagaritswe kuko bakoreshaga ububasha bahawe mu buryo bunyuranyije namategeko bakarenganya abaturage mu buryo butandukanye
by ubwanditsi | views 25788 | kuya 10162015 1152
umuyobozi ushinzwe kwegereza abaturage ubutabera muri minijust yankurije odette yabwiye ikinyamakuru izuba rirashe ko muri aba bahesha binkiko 15 bahagaritswe harimo bamwe bagera kuri batanu bagiye barangiza imanza mu buryo bunyuranyije namategeko | 2017-12-12T17:42:54 | http://umurashi.rw/isomero/urutonde-rwamp039abahesha-bamp039inkiko-bamp039umwuga-15-bahagaritswe--na-minijust |
mtagwa kuwania ubingwa wa wbo bin zubeiry sports online mtagwa kuwania ubingwa wa wbo bin zubeiry sports online
mwanzo > untagged mtagwa kuwania ubingwa wa wbo
bondia nyota wa tanzania anayeishi philadelphia nchini marekani rogers mtagwa anatarajiwa kupanda ulingoni jumamosi (oktoba 10 2009) katika ukumbi wa wamu theater jijini new york kuzipiga na bingwa wa wbo juan manuel lopez akiwania taji hilo katika uzito wa super bantam
katika barua pepe aliyoituma mtagwa kwa mwandishi wa habari hizi amewaomba watanzania wamuombee dua atwae taji hilo la dunia lenye pesa nyingi
napigania ubingwa wa dunia wa wbo jumamosi napigana na bondia mmoja mkali sana watanzania waniombee dua nishinde pambano hili litaonyeshwa dunia nzima watanzania wengine wanaweza kuliona live online (kwenye mtandao)alisema mtagwa
mtagwa anayetumia jila la utani the bull kwa sasa badala ya tiger aliloingia nalo nchini humo mwaka 2000 machi 22 mwaka huu alitimiza miaka 30 na jumamosi atakuwa akizipiga na bondia mwenye umri wa miaka 26 tu hili litakuwa pambano gumu kweli kwa mtagwa kwani juan ajulikanaye kama juanma kwa jina la utani ni bondia bora na hodari haswa mwenye rekodi nzuri kaunzia ngumi za ridhaa
raia huyo wa puerto rico alicheza michuano mbalimbali mikubwa katika ngumi za ridhaa ikiwemo michezo ya amerika ya kati na caribbean mwaka 2002 michezo ya amerika mwaka 2003 na olimpiki mwaka 2004 na baada ya mafanikio hayo ndipo akajitosa kwenye ndondi za kulipwa mwaka 2005
hakuchelewa kupata mafanikio kwenye ndondi za kupigana kifua wazi kwani septemba 30 mwaka 2006 alimtwanga jose alonso na kutwaa ubingwa wa mabara wa wbo (latino) uzito wa super bantam kabla ya juni 7 mwaka jana kumtandika daniel ponce de leon kwa technical knockout (tko) na kutwaa ubingwa wa dunia wa wbo katika uzito huo
mtagwa mbali na kuwa bingwa wa baraza la ngumi amerika kaskazini (nabf) pia ni bondia anayeheshimika na vyama vyote vikubwa vya ndondi duniani wbo wbc na ibf
mtagwa ambaye yupo chini ya meneja joe parella na kocha bobby boogaloo watts bondia wa zamani wa uzito wa middle anapigana kwa staili ya orthodox (anapigia mkono wa kulia) atakuwa na wakati mgumu jumamosi kwani mpinzani wake anapigana kwa staili ya southpaw (anapigia mkono wa kushoto) wataalamu wa ndondi wanasema kwamba bondia wa orthodox ili kumpiga southpaw inabidi afanye kazi sana ulingoni kama ambavyo floyd mayweather jr amekuwa akifanya
pamoja na kupigana kwa staili ya orthodox lakini mayweather amekuwa akiwadunda mabondia wa southpaw kutokana na ujanja wake wa kubadilisha badilisha mchezo ulingoni
akifanikiwa kutwaa taji hilo mtagwa atakuwa bondia wa kwanza kabisa mtanzania kutwaa taji la ndondi la dunia la moja kati ya vyama vitatu vikubwa wbc ibf na wbo
rashid matumla aliwahi kutwaa taji la wbu mwaka 1999 na akiwa na ndoto za kuwania mataji makubwa ya wbc wbo na ibf kampuni ya djb promotions iliyokuwa ikimmiliki ilimtema na huo kuwa mwanzo wa kupoteza kwake mwelekeo kwenye mchezo huo mbwana matumla aliyewahi kutwaa taji la wba international angeweza kufika mbali naye kama djb ingeendelea kummiliki lakini tangu ilipomtema amepoteza mwelekeo pia
princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 friday october 02 2009
item reviewed mtagwa kuwania ubingwa wa wbo rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-02-20T15:25:08 | http://www.binzubeiry.co.tz/2009/10/mtagwa-kuwania-ubingwa-wa-wbo.html |
tra kuunganisha mashine efd nchini kupunguza bei | mtanzania
home biashara na uchumi tra kuunganisha mashine efd nchini kupunguza bei
na koku daviddar es salaam |
serikali imeweka mpango mkakati kuhakikisha mashine za kutolea risiti za kodi za kielektroniki (efd) zinatengenezwa hapa nchini ili kuwarahisishia wafanyabiashara kuzipata kwa gharama nafuu
sambamba na hilo pia imepunguza kodi ya ongezeko la thamani (vat) kwenye mashine za efd ili kumwezesha kila mfanyabiashara kuweza kuzinunua na kuzitumia
lengo la serikali ni kumrahisishia mfanyabiashara katika utunzaji wa kumbukumbu za biashara zake pamoja na kuwezesha kodi yake stahiki iweze kufika bila usumbufu lakini pia kila mfanyabiashara anayestahili kulipa kodi alipe
awali kabla ya punguzo la kodi ya ongezeko ya thamani (vat) mashine za efd zilikuwa zikiuzwa kwa shilingi 690000 lakini hivi sasa zinauzwa shilingi 590000
katika kuhakikisha elimu ya kodi inamfikia kila mwananchi mamlaka hiyo hivi karibuni ilishiriki katika maonyesho ya 25 ya sikukuu ya wakulima ya nanenane ambayo kitaifa yalifanyika katika viwanja vya nyakabindi mkoani simiyu wilaya ya bariadi ambako wananchi pamoja na wafanyabiashara mbalimbali walitembelea banda la tra na kupata elimu mbalimbali ya masuala ya kodi
previous articlepwc sekta ya hoteli afrika ina fursa zaidi
next articlemradi wa lng utakavyonufaisha nchi
wakulima wa bustani kutafutiwa masoko ya uhakika lindi
pamba nyingine tani 20 yataifishwa bariadi
tra mfanyabiasha ana haki ya kupata taarifa za kodi | 2019-08-24T13:26:23 | http://mtanzania.co.tz/tra-kuunganisha-mashine-efd-nchini-kupunguza-bei/ |
20100509 ~ g sengo
nani ktk miss magu
saturday may 15 2010 michezo no comments
kumekucha miss tanzania 2010 tena safari imeanza na hawa ndiyo washiriki toka wilaya ya magu mkoani mwanza
mitembeo mavazi na utambuzi wa vipaji hawa ndo walimu ktk miss magu niliwafuma katika kambi yao ya mazoezi
parade poz 2kwa mujibu wa mratibu wa shughuli hiyo mwanadada nurjan amesema miss magu itakayofanyika kesho jumapili 16may ukumbi wa ccm magu ambapo humo ndani burudani toka kwa wasanii dudu baya na jitah man itapatikana kwa ubora wa viwango vyote
tuzo za kili 2010 na mapinduzi yake
saturday may 15 2010 tz oyeee no comments
mwana uswazi wa eatv mussa hussein akimkabidhi tuzo joe makini tuzo ya wimbo bora wa hip hop kupitia wimbo wake wa stimu zimelipiwa
mzee yusuph wa jahazi morden taarab album bora ya mwaka muziki wa taarab na mtunzi bora
sean kingston toka nchini marekani akimkabidhi bwana misosi tuzo ya wimbo bora wa ragga
hasheem thabeet akimkabidhi c pwaa tuzo ya video bora ya mwaka
kama usiku ungalikuwa wamilikishwa basi usiku wa jana ulikuwa wake msanii diamond kwani alifanikiwa kunyakua tuzo 3 hapa akipokea tuzo ya msanii anayechipukia ikitolewa na mwana fa
picha zote kwa hisani ya mtaa kwa mtaa
breaking news katibu wa ccm kata ya isamilo auawa
friday may 14 2010 mwanza no comments
na albert gsengo mwanza
katibu wa ccm kata ya isamilo jijini mwanza bi bahati stephano(49) ameuawa kwa kuchomwa kisu mara baada ya kuvamiwa ofisini kwake na kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la jumanne oscar (30)
tukio hilo limetokea leo majira ya saa sita na nusu mchana ofisini kwake mtaa wa nera mara baada ya kijana jumanne oscar kuvamia ofisi hizo na kumkuta katibu huyo na majibizano ya maneno kuanza hatimaye kijana huyo alichomoa kisu na kumchoma kifuani kushoto na kisha tumboni
mama huyo katibu huyo wa ccm kata ya isamilo alifia njiani akipelekwa hospitali ya rufaa ya bugando kupata huduma
mauaji haya yanahusishwa na siasa kutokana na kuibuka kwa makundi yanayokinzana ndani ya ccm kuelekea kura za maoni za kutafuta wagombea wa chama hicho tawala katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2010
akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa mwanza bw simon siro amesema mara baada ya kufanya ukatili huo kijana jumanne oscar alitoka ofisini humo akikimbia kuelekea ziwani lakini kwa nguvu za wananchi hatimaye alikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi
marehemu bahati alizaliwa katika kijiji cha busiri wilayani ukerewe mkoani mwanza na ameacha watoto
tanzania hii hapa dakika ya mwisho kwako kupiga kura
friday may 14 2010 bango no comments
sean kingston akiangusha saini katika chupa ya kilimanjaro lager pindi alipotembelea kiwanda kinachotengeneza bia hiyo cha tbl
sean kingston live in dar es salaam
kilimanjaro premium lager tayari imemshusha sean kingston live in dar ataonekana kwa uzuri zaidi kwenye usiku wa tuzo za kili 2010 leo tarehe 14/05/2010 akiwapa suport washindi wa killi music awards na tarehe 15/05/2010 ndani ya diamond jubilee sean kingston anashuka stage na washindi wa 2010 killi music awards kwa show moja tu live na bendi yake nzima kutoka states kwa kiingilio cha shillingi 15000 tu kwa ticket za awali
ticket zimekwishaanza kuuzwa siku 5 kabla ya concert kwa wale watakao nunua ticket mlangoni zitapatikana kwa shillingi 20000 tu tayari interviews za moja kwa moja ndani ya studio tofauti na sean kingston zimefanyika
ili kumpigia kura mwanamuziki wako tembelea wwwkilitimecotz
kitu cha maji baridi
thursday may 13 2010 mwanza no comments
kamongo yuko pale sato pale kati na kitu cha sangara
baada ya kuchoka kula dagaa leo nahamia kwenye samaki wakubwa
mvua za mwisho mwisho
msiba jimbo la busega
thursday may 13 2010 buriani no comments
bwana na bibi aloysius george ntobi wa pasiansi na masanza one wa mwanza wanasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa sega aliphonsina grace ntobi kilichotokea tarehe 11 may 2010 katika hospitali ya rufaa bugando mwanza
mwili wa marehemu utafanyiwa ibada siku ya ijumaa saa tatu asubuhi pasiansi ilongazala na baada ya ibada utasafirishwa kwenda nyumbani kwa wazazi wake masanza one magu mwanza kwa mazishi yatakayofanyika siku ya jumamosi 15may 2010 saa nne asubuhi
habari ziwafikie
ndg wote wa ukoo wa kulindwa masota na lyamba
ngd wote wa ukoo wa kapongo mayala mininga na kiganga
ndg kutoka jamii ya wasilanga wa ukerewe na nassa
wanachama wa ccm na vyama vyote vya siasa nchini
bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
twalaa au twaliwa
wednesday may 12 2010 changa la macho 1 comment
supu ya mbuzi now days imepata mashabiki wengi huku ikizidi kunyweka ile mbaya tukiwa na ongezeko hili la mabaa na magrosary mijini na vijijini hali hii inapelekea mbuzi wawili hadi wanne kuchinjwa kwa siku kuhudumia bar 1 tu
lakini hebu jiulize mzazi pamoja na yote hayo mbona mbuzi hawaishi wala japo kuadimika siyo kwamba kuna mbinu mbadala hapa mmmh
tuingie darasani mbwa anazaa watoto saba hadi kumi na mbili kwa mpigo ile hali mbuzi anazaa mtoto mmoja tu
mbuzi analika ile kinoma kwenye mabaa kwa wanaotambika birthday na masikukuu yote mbuzi ndiyo kitoweo tegemewa lakini chakushangaza mbwa pamoja na kuzaliana kote huko eti hawaonekani mtaani duh
uchunguzi tata usio na mbaratata bali vimelea vya mkambwambwa umebaini kuwa katika mbuzi sita wanaochinjwa na kuuzwa mabuchani mbwa ni wanne na mbuzi wa ukweli ukweli ni wawili tu
huwezi gundua kwani maungo ya mbwa na mbuzi hata mapaja sembuse mbavu huwezi tofautisha eti mbwa akichinjwa utumbo wake hutupwa mbali ukafukiwa hata buchani usikanyage kwani ni balaa achilia mbali kichwa na kwato ladha ya wanyama hawa ni ile ile
(mbona wa wanakula mbwa usiache kula mbuzi)
bgml yazindua gazeti la jamii
tuesday may 11 2010 shinyanga no comments
mkuu wa wilaya ya kahama meja mstaafu bahati matala(kushoto) akifungua utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa gazeti la jamiibunakoba linalotolewa na mgodi wa dhahabu bulyanhulu (bgml)kulia ni afisa mawasiliano wa bgml basil mbakile na katikati ni mmoja wa viongozi wa kata ya bugarama wilayani kahama uzinduzi huo ulifanyika jumamosi tarehe 8 mei 2010
habari kamili
serikali imetoa changamoto kwa jamii inayoishi jirani na mgodi wa bulyanhulu kujenga utamaduni wa kujisomea ili kupanua wigo wao wa uelewa
changamoto hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya kahama meja mstaafu bahati matala wakati akizindua gazeti la jamii la bgml linaloitwabunakoba mnamo mei 8 2010
meja matala amesema gazeti hilo ni kiungo muhimu katika kutoa habari mbalimbali kati ya mgodi na jamii na kwamba ni njia ya kuimarisha mahusiano mazuri baina ya pande hizo mbili
ninatoa wito kwa wananchi wote kuunga mkono juhudi za bgml katika kubadilishana habari za kijamii kiuchumi na utamaduni zinazohusu jamii na kuitumia fursa hii kujielimisha alisema mkuu wa wilaya
akizungumza katika sherehe za uzinduzi afisa mawasiliano wa bgml basil mbakile alisema uamuzi wa kuanzisha gazeti la jamii ulifikiwa baada ya kutambua umuhimu wa kufikisha habari mbalimbali kwa jamii inayozunguka mgodi hasa zile zinazohusu miradi mbalimbali inayotekelezwa na mgodi kwa jamii na pia wananchi wenyewe kutoa habari zinazowahusu hivyo basi kuboresha mawasiliano baina ya jamii na mgodi wenyewe
tunaamini kwamba gazeti hili la jamii litasaidia kuwapatia wananchi habari sahihi juu ya shughuli za uendeshaji mgodi pamoja na miradi ya maendeleo kwa jamii ambazo mara nyingi zimekuwa haziwafikii wananchi kwa usahihi alisisitiza basil
alisema mbali ya kukusanya na kuandika habari za vijijini na zile zihusuzo mgodi idara ya mawasiliano inaandaa utaratibu wa kushirikiana na vyombo vingine vya habari nchini wizra taasisi mashirika ya umma mashirika yasiyo ya kiserikali (ngo) na wengineo katika tasnia ya habari ili kuhakikisha gazeti letu linapanua wigo wake wa habari na pia wananchi wanapata taarifa muhimu zinazowagusa
jina bunakoba linamaanisha watu watafutaji kwa lugha ya kisukuma gazei la bunakoba linatayarishwa kwa pamoja na idara ya mahusiano na jamii na idara ya mawasiliano ambalo litatolewa kila baada ya miezi minne na kugawiwa bure kwa wananchi
pichani ni baadhi ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa gazeti hilo wakijisomea nakala ya kwanza ya gazeti
afisa polisi idara ya upelelezi mwanza akweapipa na coca cola
tuesday may 11 2010 mwanza no comments
joseph alfred mangapi afisa polisi idara ya upelelezi mwanza akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kuinasa tiketi
afande joseph (kulia) akipokea mfano wa tiketi toka kwa mdau wa coca maginga
mashaka wandera wa geita (kulia)nae kulikwea pipa
richard ruzwahura (kulia)
anthon kavishe (kushoto)naye kukwea pipa
haruna salum wa musoma (kushoto) na luninga yake
luninga nyingine hiyooo yaenda musoma kwake riziki mustapha(kushoto)
hapyborzey jack fish
tuesday may 11 2010 bango no comments
wadau leo ni birthday ya mr jackson nyakutonya almaarufu jack masamaki aka jack fish wa mwanza
blog hii inamtakia kila la kheri mwana 'jaigoro' huyu katika kila hatua zake za maisha mungu akutangulie
nishapata taarifa kuna order ya keki ya samaki kiwandani hadi mezani kwa mpishi swali ni kwambaaa shangwe leo ni wapi
kichapo cha simba toka kwa waarabu mashabiki mwanza waomboleza
monday may 10 2010 michezo no comments
jijini mwanza hapa ni nyamanoro pembezoni mwa barabara ipandayo kawekamo ambapo kuna kijiwe maarufu cha bendera mbili na mlingoti mmoja tangu kichapo cha 51 bendera ya simba imeonekana kupepea nusu mlingoti
@mbio za klabu za soka za tanzania katika michuano ya kimataifa zilimefikia tamati mwishoni mwa wiki baada ya simba timu pekee iliyokuwa imebaki katika michuano hiyo kuondoshwa kwa jumla ya mabao 63 na haras el hodoud ya misri
mashabiki wanarudia maswali yale yale yasiyokuwa na majibu miaka yote tutaendelea kuumizwa na timu za wenzetu hadi lini lini mwisho wa manyanyaso kwa timu zetu mioyo ina uchungu kutokana na maumivu makali ya kuboronga kwetu
tutafanyaje sasa ishakuwa natuomboleze sasa
huree mie nami shabiki
monday may 10 2010 bango no comments
mambo wadau naitwa cathbert agsengo umri wangu mwezi juni 2010 natimiza miaka miwili nasoma chekechea
joto la uchaguzi mkuu kumekucha
monday may 10 2010 siasa no comments
joseph kahungwa msomi aliyejitokeza kuwania ubunge jimbo la nyamagana kwa tiketi ya ccm
joto la uchaguzi limeendelea kutanda katika eneo la kanda ya ziwa baada ya kuonekana kuwa ule utabiri wa redet unaenda kutimia ya kwamba theluthi mbili ya wabunge wa jamhuri ya muungano wa tanzania hawatachaguliwa
ili kuhakikisha kila mtu anatumia vyema dakika hizi za lala salama vikumbo vimeonekana dhahiri katika kampeni zisizo rasmi kati ya wagombea watarajiwa na wale ambao wanaoshikilia nafasi kigezo kinaonekana waziwazi ikiwa ni kutoa misaada ya kijamii hali inayoonesha nguvu ya fedha kwa baadhi
pia imebainika kuwa baadhi ya wagombea watarajiwa na wapambe wao wamekuwa wakipiga kampeni hadi vilioni kwa kutoa misaada ili kuihadaa jamii kwamba wapo nao katika shida na raha lengo likiwa ni kuwinda kura za maoni ndani ya chama cha mapinduzi (ccm)
katika jimbo moja la shinyanga mgombea m1 ameonesha kila dalili za kutoa msaada wa magari ya wagonjwa ktk kata za jimbo lake ingawa tayari baadhi ya wapiga kura wake wameyaponda magari hayo hata kabla hayajakabidhiwa
magari yenyewe yanatoa moshi balaa sijui yatawezaje kuharakisha wagonjwa kwenda hospitali alikuwa wapi mpaka sasa ndiyo aje na mikweche wakati wa uchaguzi ukikaribia
mkoani mwanza katika jimbo la ilemela mbunge aliyepo dk anthony diallo hajaonekana kupata upinzani makini hadi sasa ambapo huko busega dk raphael masunga chegeni naye pia inaelekea upepo unampungia kutokana na wapinzani wake kutojipanga mapema
wilaya ya nyamagana homa inazidi kupanda kwa kasi kwanii mh masha kakutana na kisiki kilichokwenda shule joseph kahungwa pichani inaendelea
ndomanake
monday may 10 2010 no comments
siku hizi usafiri wa express aka daladala mwanza kimeo kweli wenye kuwahi wanawahi kwa mbinde ukijifanya mstaarabu kwako utafika giza nene imefika wakati sasa mpango wa magari makubwa utizamwe
palikuwa panachangamka kweli hapa
jua la asubuhi | 2017-10-18T09:04:26 | http://gsengo.blogspot.se/2010_05_09_archive.html |
video makachero kutoka korea kaskazini walinda kinyesi mkojo wa kim jongun mwananchi
video makachero kutoka korea kaskazini walinda kinyesi mkojo wa kim jongun
huyo ni kim jongun kiongozi machachari wa korea kaskazini ambaye safari yake ya kutoka pyongyang kwenda singapore umbali wa kilomita 4743 ilijaa mbinu kadhaa za kikachero ikiwamo kubeba vyombo vya kuhifadhi kinyesi na mkojo wake
13 minutes ago video muhimbili yampokea mbowe
19 minutes ago silinde atoa malalamiko bajeti ya upinzani kukataliwa wasusia bunge | 2018-06-18T11:36:08 | http://mobile.mwananchi.co.tz/makala/Makachero-kutoka-Korea-Kaskazini-walinda-/1604562-4608968-format-xhtml-81xrjaz/index.html |
mawakala atcl kuendelea kusota rumande | mpekuzi
mawakala atcl kuendelea kusota rumande
upande wa utetezi katika kesi ya mawakala wa shirika la ndege tanzania (atcl) wanaokabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha na kulisababishia shirika hilo hasara ya sh milioni 108 umelalamika ucheleweshaji wa upelelezi na kusababisha washtakiwa kukaa mahabusu kwa muda mrefu
washtakiwa katika kesi hiyo ni farian ishengoma (34) ambaye ni mtaalamu wa hali ya hewa mawakala wa ndege neema kisunda (24) alexander malongo (29) tunu kiluvya (32) na job mkumbwa (30)
wengine ni wafanyabiashara adam kamara (27) marlon masubo (29) mohammed issah (38) mkazi wa yoruba nigeria godfrey mgomela absalom njusi na janeth lubega ambao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka yao mbele ya hakimu mkazi salum ally
shauri lao lilifikishwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu mkazi janeth mtega
wakili wa serikali ester martin alidai kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na upelelezi bado unaendelea na kuiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa kwa shauri hilo
wakili wa utetezi augustine kulwa aliuomba upande wa serikali kuharakisha upelelezi kwa madai kuwa washtakiwa hao wamekaa muda mrefu mahabusu
hakimu mtega aliahirisha kesi hiyo hadi januari 17 mwaka huu itakapotajwa tena
washtakiwa hao wanadaiwa kutenda makosa hayo kati ya machi 10 na oktoba 9 mwaka jana katika maeneo ya dar es salaam na mwanza kwa pamoja wakiwa mawakala wa atcl na kulisababishia shirika hilo hasara ya sh 10874280
katika mashtaka ya pili inadaiwa kati ya machi 10 na oktoba 9 mwaka jana katika maeneo ya dar es salaam na mwanza kwa udanganyifu walijipatia fedha hizo kutoka kwa wateja mbalimbali wa atcl kwa kuwadanganya kuwa watawakatia tiketi
pia alidai kati ya tarehe hizo na maeneo hayo washtakiwa kwa pamoja wanadaiwa kuwa walijipatia sh10874280 mali ya atcl wakati wakijua kuwa fedha hizo ni zao la uhalifu
washtakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kisheria kusikiliza kesi hiyo hadi upelelezi utakapokamilika na kwenda kusikilizwa mahakama kuu
washtakiwa wamerudishwa rumande hadi januari 17 mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena | 2019-07-20T13:29:51 | http://www.mpekuzihuru.com/2019/01/mawakala-atcl-kuendelea-kusota-rumande.html |
rais dkt magufuli akutana na ujumbe wa wataalamu wa sekta ya nishati kutoka uganda ikulu jijini dar sufianimafoto
home habari rais dkt magufuli akutana na ujumbe wa wataalamu wa sekta ya nishati kutoka uganda ikulu jijini dar
rais dkt magufuli akutana na ujumbe wa wataalamu wa sekta ya nishati kutoka uganda ikulu jijini dar | 2018-06-21T04:34:34 | http://www.sufianimafoto.com/2017/10/rais-dkt-magufuli-akutana-na-ujumbe-wa.html |
angelina jolie akiwa congo drc [video] salma msangisalma msangi
mwigizaji na mwanaharakati wa maswala ya haki za binadamu bibie angelina jolie pamoja na waziri wa mambo ya nnje wa uingereza william hague wamefanya ziara katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kujitazamia na kujaribu kuangalia njia za kufanya ili kupunguza na kuondoa kabisa vitendo vya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia
kwa mujibu wa mtandao wa france 24 jolie alitembelea kambi iliyopo huko kaskazini magharibi mwa goma ili kujionea uhalisia na uelewa wa vitendo hivi ubakaji katika ukanda huo ambao umekuwa na vitakatika ziara hii hague amesema kuwa matumizi ya nguvu kingono katika mgogoro yanaweza kutatuliwa tu endapo migogoro hii itaanza kutatuliwa kwanza
translate credit sammisagocom | 2018-01-20T17:13:08 | http://salmamsangi.com/video-angelina-jolie-akiwa-congo-drc/ |
arturo vidal archives tanzania sports
16th october 2018 last update at 419 pm
vidal anafuata nyayo za fabregas
cesc fabregas aliichezea arsenal kuanzia 2003 mpaka 2011 akiwa na umri wa miaka 19 tu aliichezea arsenal kwenye fainali ya ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2006 dhidi ya barcelona ndani ya mwaka huo | 2018-10-16T04:40:00 | https://www.tanzaniasports.com/tag/arturo-vidal/ |
mapenzi siyo mradi | jamiiforums | the home of great thinkers
mapenzi siyo mradi
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by jamadari mar 4 2010
najua umekaa mkao wa kula kutaka kujua leo nimekuja na mada gani kuhusiana na kona yetu ya mahaba leo nataka kuongelea tabia mbaya za baadhi ya wanawake wanaotanguliza maslahi mbele kuliko upendo katika mapenzi
hii imetokana na kupata maswali mawili yanayofanana kutoka kwa wasomaji wangu wa kona hii mmoja analalamika kuwa alikuwa na mpenzi wake mambo yalipokwenda kombo akamkimbia lakini baadae mambo yalipokuwa mazuri akaomba kurudi na wa pili yeye analalamika kuwa mpenzi wake anapenda sana fedha bila fedha maelewano yanakuwa madogo hata kunyimwa haki yake ya ndoa
kama kichwa cha habari kinavyojieleza mapenzi siyo mradi kama unampenda mpenzio kwa kile alichonacho na anapokosa mapenzi huyumba au kuvunjika kabisa basitambua kuwa una kasoro hivi mwanamke wa aina hii ana tofauti gani na wale waliotoa miili yao kama mradi ni heri ujiingize huko ijulikane moja ili atakayekufuata akupe chako mapema na mkimalizana kila mtu ashike hamsini zake
mwenzio anapokuchagua ili uwe wake amekuchagua ili kupunguza zile taabu ambazo alijua kuwa na wewe kuna unafuu mkubwa na kama angejua upo pale kimaslahi wala asingelogwa kukuchukua na kukuweka ndani au kukufanya mpenzi wake
kwa sababu wenye kazi zao wapo na wanajulikana hawali bila kuuza miili yao ni wazi wewe ni mmoja wapo aliyevaa ngozi ya ustaarabu kumbe ni wale wale waliogeuza miili yao mradi unapoamua kuwa na mwenzako unatakiwa kuwa wewe ndiye wa kwanza kumpoza machungu ya kutwa nzima na siyo kumuongezea maumivu
kupata ni majaliwa na wala kukosa sio sababu ya kumkimbia mwenzako usione watu walikuwa maskini wa kutupwa walipovumiliana mungu aliwaangazia nuru na mwisho wakazila mbivu lazima uelewe kuna kupata na kukosa
mapenzi ya kweli hayaangalii kuna kitu au hakuna bali yamejaa huruma na upendo wa kweli hivi wewe ni mtu wa aina gani unayediriki kupigilia msumari wa moto juu ya kidonda cha mwenzio maisha yakiyumba unakimbia yakiwa safi unarudi
hakuna raha za kila siku lazima uelewe kuna kupata na kukosa kuvumilia ni sehemu ya maisha unapomnyima mwenzio haki yake ya ndoa au kila ukimuona ndiyo unataka shida zako zote ziishe bila kuangalia uwezo wa mwenzako unakuwa unakosea
namalizia kwa kusema waoneeni huruma wapenzi wenu pia kuweni na mapenzi ya kweli yasiyojali mali kama unataka kufanya mapenzi kuwa mradi basi jiunge na kina dada poa ili nafasi uliyoipata uwaachie wenzio wanayoitafuta kwa udi na uvumba kwa leo hayo machache yanatosha asanteni
sawa kabisa nakubaliana na wewe mia kwa mia lakini matatizo mengi ya ndoa tunaanza sisi wananume je ni wanaume wangapi tunakuwa wa wazi wewe kesho ilikuwa uchukue mshahara leo umefukuzwa kaziutamwambia mkeo harakaharaka umefukuzwa kazi tena kwa kosa la kukutwa unazini ofisini na secretary na kesho ulimuahidi mkeo kumpa sh 100000 hazipo kazi haipo anauliza unasema ngoja nitakupayeye atadhani umehonga ugomvi unaanzakwa hasira anaenda kwa buzi au kutafuta kidumu tuwe wawazi zaidimatatizo mengi yataisha
sawa kabisa nakubaliana na wewe mia kwa mia lakini matatizo mengi ya ndoa tunaanza sisi wananume je ni wanaume wangapi tunakuwa wa wazi wewe kesho ilikuwa uchukue mshahara leo umefukuzwa kaziutamwambia mkeo harakaharaka umefukuzwa kazi tena kwa kosa la kukutwa unazini ofisini na secretary na kesho ulimuahidi mkeo kumpa sh 100000 hazipo kazi haipo anauliza unasema ngoja nitakupayeye atadhani umehonga ugomvi unaanzakwa hasira anaenda kwa buzi au kutafuta kidumu tuwe wawazi zaidimatatizo mengi yataishaclick to expand
tall kuna maswali uliulizwa sehemu kuhusu umri wako ukapiga chenga soo nikimnyima shemejio hela ya saloon niandike maumivu eeh hii nayo ni hatari sana
siku hizi hata wanaume nao hali kadhalikangoma drooni utapeli kwa kwenda mbele | 2016-12-08T04:28:23 | http://www.jamiiforums.com/threads/mapenzi-siyo-mradi.54837/ |
naibu wa machar arejea juba | matukio ya afrika | dw | 13042016
naibu wa machar arejea juba
naibu wa riek macharalfred ladu gore
naibu kiongozi wa waasi nchini sudan kusini alfred ladu hatimaye amewasili mjini juba kama njia mojawapo ya kutimiza makubaliano ya amani nchini humo alfred ladu gore ambaye alikuwa jenerali wa zamani na pia waziri amewasili wiki moja kabla ya kiongozi mkuu wa waasi riek machar anayetarajiwa kuwasili mjini humo wiki ijayo
baada ya miaka miwili akiwa mafichoni na kushiriki vita misituni ndege iliyombeba alfred ladu gore ilitua mjini juba jana jioni tayari kushiriki mkataba wa amani akihutubia wanahabari gore aliyesafiri na ujumbe wa watu 60 alielezea furaha yake kurejea nyumbani kama uthibitisho wa waasi kuwa tayari kwa makubaliano ya amani haya ndiyo aliyoyasema''amani haitarudishwa nyuma lazima tusonge mbele na taifa letu na hilo ndilo changamoto tuliyo nayo kwa sasa sisi kuungana kufanya kazi pamoja kupata suluhu kwa matatizo ambayo mengine sisi ndio tumesababisha na mengine kwa sababu ya hali mbalimbali''
rais salva kiir na kiongozi wa waasi riek machar
hata hivyo gore alishutumu vikali hatua ya kukamatwa kwa wafuasi 16 wa waasi ambao walikuwa wakihimiza watu kumkaribisha alisema kuwa amani ni pale mtu anapata uhuru wa kujieleza na kusema mawazo yake hata kama hukubaliani nayo
gore alikaribishwa na akol paul ambaye ni afisa mmoja wa ngazi ya juu katika serikali inayotawala akol alisisitiza haja ya kumaliza mgogoro na kukuza amani nchini humo ''kuwasili kwake leo kunaashiria kuwa kweli vita vimefikia mwisho na kwamba mateso yaliyowakumba watu kutokana na vita hivi visivyohitajika yatamalizwa na amani itadumu tena katika nchi hii kuja kwake pia kunaonyesha kujitolea kwa watu wa sudan kusini upinzani splm na wahusika wengine wote kutimiza makubaliano ya amani ili kumaliza migogoro ya sudan kusini''
usalama umeimarishwa
tayari wanajeshi 1370 na polisi wa waasi wamefika mjini juba kuhakikisha usalama wa kiongozi wao mkuu riek machar anayetarajiwa kuchukua wadhifa aliokuwa nao awali wa makamu rais hayo ni kulingana na makubaliano ya amani ya kumaliza vita nchini humo
wanajeshi mjini juba
vita vya wenyewe kwa wenyewe vilianza disemba mwaka 2013 wakati rais salva kiir alipomlaumu aliyekuwa makamu wake riek machar kupanga njama ya kupindua serikali yake hali iliyochochea makabiliano kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wanaomuunga mkono machar na pia kuchukua mkondo wa kikabila kati ya dinka na nuer
machar alisema atawasili juba tarehe 18 mwezi huu kuunda serikali ya muungano kuwasili kwa viongozi wa waasi hasa machar ni ishara kubwa ya matumaini hata hivyo wengi wanaonya kuwa kutimizwa kikiamilifu kwa makubaliano ya amani ni kazi kubwa
mwandishi john juma/ rtre
mchambuzi martin oloo azungumzia uamuzi wa gore na machar kurudi
maneno muhimu sudan kusini riek machar alfred ladu gore juba amani vita
kiungo https//pdwcom/p/1iuro | 2019-07-16T18:46:25 | https://www.dw.com/sw/naibu-wa-machar-arejea-juba/a-19183284 |
wachimbaji wadogo wa dhahabu 19wafariki dunia kwa kufukiwa kifusi | jamiiblog
wachimbaji wadogo wa dhahabu 19wafariki dunia kwa kufukiwa kifusi
posted by pamela mollel on april 18 2015
wachimbaji wadogo wa dhahabu mkoani shinyanga maarufu manyani wamekufa katika machimbo madogo ya kalole wilayani kahama baada ya kufukiwa na kifusi usiku wa kuamkia janavifo hivyo vilitokana na mvua zinazoendelea kunyesha
akizungumza kwa simu mkuu wa wilaya ya kahama benson mpesya alisema wachimbaji hao walikumbwa na mauti hayo baada ya kuingia ndani ya mashimo hayo kwa njia ya panya kwa lengo la kutafuta mawe yenye dhahabu
mpesya alisema wachimbaji hao ni wale ambao huingia mashimoni kuiba mawe hayo baada ya muda kumalizika wa kufanya kazi ambayo kwa kawaida huishia saa 1200 jioni
baada ya hapo imeelezwa ndio watu hao manyani huvamia mashimo hayo nyakati za usiku kwa kuiba mawe hayo
katika tukio hilo mpesya alisema wachimbaji hao wote 19 waliingia kwenye mashimo manane ambayo yameunganika kwa chini walikufa baada ya mashimo hayo kuanza kubomoka kutokana na mvua hiyo
mkuu huyo wa wilaya alisema baada ya ajali hiyo kazi ya kufukua ilifanyika ambapo maiti 19 waliopolewa ingawa kutokana na hali ya unyevu kwenye mashimo hayo yanayoendelea kutitia wamelazimika kusimamisha ufukuaji
unajua hawa ndugu zetu ni wale wachimbaji wasiokuwa na mashimo ambao muda ukiisha wa kazi huingia kwenye mashimo hayo bila kuangalia usalama na ndivyo ilivyotokea kwa wachimbaji hao alisema mpesya na kuongeza kuwa maiti 17 kati 19 wametambuliwa na ndugu zao
katika jitihada za kutafuta wengine tayari wameomba mashine za kufukua kutoka katika mgodi wa dhahabu wa bulyanhulu pamoja na zile za kunyonya maji
mpesya alisema idadi inaweza kuongezeka baada ya kazi ya kufukua kukamilika kwa kuwa hawawezi kujua kama maiti hao 19 ndio hao hao waliokuwemo ndani ya mashimo hayo
tunasubiri wenzetu kutoka mgodi wa bulyanhulu waje waone kwanza mitambo ipi ambayo inaweza kutumika kufukua mashimo hayo kwa kuwa ufukuaji wa kienyeji tuliokuwa tukiutumia tumeusimamisha kutokana na mashimo hayo kuendelea kutitia alisema mpesya
machimbo hayo yako katika kijiji cha kalole katika kata ya lunguya katika halmashauri ya msalala ni moja ya migodi ya wachimbaji wadogo wanaokisiwa kufikia 30000 na tayari wengi wao wamejipatia mamilioni ya fedha kwa uchimbaji huo wa kienyeji ingawa hali hiyo ni hatari katika maisha yao wakati wa mvua za masika
← kuelekea siku ya hedhi duniani mtandao wa hedhi salama waendesha semina shule ya sekondari st anthony
benki ya cba yakabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwaajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana shule ya sekondari kifaru mwanga → | 2018-07-16T08:41:01 | https://pamelamollel.wordpress.com/2015/04/18/wachimbaji-wadogo-wa-dhahabu-19wafariki-dunia-kwa-kufukiwa-kifusi/ |
mrisho's blog ecobank tanzania kufadhili wanafunzi shule za serikali
mjasiriamali mwenye uthubutu ambaye pia ni mteja wa ecobank tanzania halima mamuya akijitambulisha na kushare uzoefu wake katika ujasiriamali wakati wa hafla mchapalo ya kusherehekea mafanikio ya mwanamke katika siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na ecobank tanzania na kufanyika katika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki kutoka kushoto ni ofisa uchumi na mipango wa jiji la mwanza bertiller masawe mjasiriamali chance bishikwabo mgeni rasmi mwanasiasa mkongwe nchini na mpigania haki za wanawake mama getrude mongella pamoja na mkurugenzi mkuu ecobank tanzania mwanahiba mzee wakisikiliza kwa umakini shuhuda za mama mamuya</ p>
mchungaji basilisa ndonde akielezea kuhusu nafasi ya mwanamke katika familia na majukumu yake kama mke wakati wa hafla mchapalo ya kusherehekea mafanikio ya mwanamke katika siku
ya wanawake duniani iliyoandaliwa na ecobank tanzania na kufanyika katika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki
mgeni rasmi mwanasiasa mkongwe nchini na mpigania haki za wanawake mama getrude mongella katika picha ya pamoja na baadhi ya wageni waalikwa wakati wa hafla mchapalo ya kusherehekea mafanikio ya mwanamke katika siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na ecobank tanzania na kufanyika katika hoteli ya serena jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki kushoto ni mkuu wa kitengo cha miamala ecobank tanzania wende mengele< /p> | 2018-12-12T13:30:49 | http://abdallahmrisho.blogspot.com/2018/03/ecobank-tanzania-kufadhili-wanafunzi.html |
matayo 26 snt evanđelje po mateju 26 cro | biblica américa latina
matayo 26 snt evanđelje po mateju 26 cro
matayo 26
mpango wa kumwua yesu
1yesu alipomaliza kusema hayo yote aliwaambia wanafunzi wake 2 mnafahamu kwamba sikukuu ya pasaka inaanza baada ya siku mbili na mimi mwana wa adamu nitasalitiwa na kusulubiwa
3 wakati huo makuhani wakuu na wazee walifanya mkutano katika ukumbi wa kuhani mkuu jina lake kayafa 4 wakashauriana jinsi ya kumkamata yesu na kumwua kwa siri 5 wakasema lakini tusi fanye haya wakati wa sikukuu watu wasije wakafanya ghasia
yesu anapakwa mafuta bethania
6 yesu alipokuwa bethania nyumbani kwa simoni mkoma 7 mwa namke mmoja alimjia akiwa na chupa ya alabasta yenye manukato ya thamani kubwa akammiminia yesu manukato hayo kichwani akiwa ame kaa mezani 8 lakini wanafunzi wake walipoona hayo waliudhika wakasema kwa nini kupoteza manukato bure 9 haya yangaliuzwa kwa bei kubwa na fedha hizo wakapewa maskini
10 yesu alifahamu mawazo yao kwa hiyo akawaambia mbona mnamsumbua huyu mama amenifanyia jambo zuri sana 11 maskini mnao siku zote lakini hamtakuwa nami siku zote 12 aliponimimi nia haya manukato alikuwa akiandaa mwili wangu kwa mazishi 13 ninawaambia kweli mahali po pote habari njema itakapohubi riwa ulimwenguni jambo hili alilofanya litatajwa kwa ukumbusho wake
yuda akubali kumsaliti yesu
14 kisha mmojawapo wa wale wanafunzi kumi na wawili aitwaye yuda iskariote alikwenda kwa kuhani mkuu akamwambia mtanilipa kiasi gani nikimtoa kwenu 15 wakamlipa vipande thelathini vya fedha 16 tangu wakati huo yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti yesu
matayarisho ya pasaka
17 siku ya kwanza ya sikukuu ya mikate isiotiwa chachu wale wanafunzi walikuja kwa yesu wakamwuliza ungependa tukuandalie wapi chakula cha pasaka
18 akajibu nendeni kwa mtu fulani huko mjini mkamwambie bwana anasema hivi saa yangu imekaribia napenda kula pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani kwako 19 wanafunzi waka fanya kama yesu alivyowaambia wakaandaa pasaka
20 ilipofika jioni yesu aliketi mezani pamoja na wanafunzi wake 21 walipokuwa wakila akawaambia nawaambieni kweli mmoja wenu atanisaliti 22 wakasikitika sana wakaanza kumwul iza mmoja mmoja ni mimi bwana 23 yesu akawaambia yule aliyechovya mkono wake katika bakuli pamoja nami ndiye ata kayenisaliti 24 mimi mwana wa adamu sina budi kufa kama ilivy oandikwa katika maandiko lakini ole wake mtu yule atakayenisal iti ingalikuwa nafuu kwake kama hakuzaliwa
25 kisha yuda yule ambaye alimsaliti akasema ni mimi bwana yesu akamjibu umetamka mwenyewe
bwana yesu akamjibu umetamka mwenyewe
26 walipokuwa wanakula yesu akachukua mkate akashukuru akaumega akawapa wanafunzi wake akisema chukueni mle huu ni mwili wangu 27 kisha akachukua kikombe akashukuru akawapa akisema kunyweni nyote katika kikombe hiki 28 hii ni damu yangu ya agano ambayo inamwagika kwa ajili ya wengi ili wasame hewe dhambi 29 ninawahakikishia kuwa sitakunywa tena maji ya mzabibu mpaka siku nitakapoyanywa pamoja nanyi katika ufalme wa baba yangu
baba yangu
30 walipokwisha kuimba wimbo walikwenda kwenye mlima wa mizeituni
yesu amwambia petro atamkana
31 kisha yesu akawaambia usiku wa leo kila mmoja wenu atanikimbia kwa maana maandiko yanasema nitampiga mchungaji na kondoo wote wa kundi lake watatawanyika 32 lakini baada ya kufufuka nitawatangulia kwenda galilaya
33 petro akasema hata kama wote watakuacha mimi sitaku acha
34 yesu akamjibu ninakuambia kweli usiku huu huu kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu 35 lakini petro akasema hata kama itabidi nife pamoja na wewe sitakukana na wana funzi wote wakasema hivyo hivyo
36 kisha yesu akaenda nao mpaka kwenye bustani iitwayo gethsemane akawaambia kaeni hapa mimi ninakwenda mbele zaidi kuomba 37 akamchukua petro pamoja na wale wana wawili wa zebedayo akaanza kufadhaika na kuhuzunika 38 kisha yesu akawaambia moyo wangu umejaa majonzi karibu ya kufa kaeni hapa mkeshe pamoja nami
39 akaenda mbele kidogo akaanguka kifudifudi akaomba baba yangu kama inawezekana niondolee kikombe hiki cha mateso lakini si kama nipendavyo bali kama upendavyo wewe
40 akarudi kwa wanafunzi wake akawakuta wamelala akamwul iza petro hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja 41 kesheni muombe msije mkaingia katika majaribu kwa maana roho i radhi lakini mwili ni dhaifu 42 akaenda tena mara ya pili akaomba baba yangu kama haiwezekani kikombe hiki kion dolewe pasipo mimi kukinywea mapenzi yako yafanyike 43 ali porudi tena aliwakuta wamelala kwa maana macho yao yalikuwa mazito 44 kwa hiyo akawaacha akaenda tena mara ya tatu akaomba vile vile
45 kisha akarudi kwa wale wanafunzi akawaambia bado mme lala na kupumzika angalieni saa imefika ambapo mimi mwana wa adamu sina budi kukabidhiwa mikononi mwa wenye dhambi 46 amkeni twendeni yule anayenisaliti atafika sasa hivi
47 alipokuwa anazungumza yuda mmojawapo wa wale kumi na wawili akafikaakifuatana na umati wa watu wenye mapanga na mar ungu walikuwa wametumwa na makuhani wakuu na wazee wa watu
48 yuda alikuwa amepatana na hao watu kuwa nitakayembusu ndiye mkamateni 49 basi alipofika alimwendea yesu moja kwa moja akamsalimia salaam rabi akambusu 50 yesu akamjibu rafiki umekuja kufanya nini hapa basi wale watu wakasogea wakamkamata yesu 51 ndipo mmojawapo wa wafuasi wa yesu ali poona hivyo akachukua panga lake akampiga nalo mtumishi wa kuhani mkuu akamkata sikio 52 yesu akamwambia rudisha upanga wako mahali pake kwa maana wote watumiao upanga watakufa kwa upanga 53 unadhani siwezi kumwomba baba yangu aniletee mara moja majeshi kumi na mbili ya malaika 54 lakini nikifanya hivyo yatatimiaje maandiko yale yasemayo kwamba mambo haya lazima yato kee
55 wakati huo yesu akawaambia ule umati mmekuja kunika mata kama mnyanganyi kwa mapanga na marungu mbona siku zote nilikaa hekaluni na kufundisha lakini hamkunikamata 56 lakini haya yametokea ili maandiko ya manabii yatiimie ndipo wana funzi wake wote wakamwacha wakakimbia
yesu ashtakiwa mbele ya baraza
57 wale waliomkamata yesu wakampeleka nyumbani kwa kayafa kuhani mkuu ambapo walimu wa sheria pamoja na wazee walikuwa wamekutanika
58 lakini petro alimfuata kwa mbali mpaka uani kwa kuhani mkuu akaingia ndani pamoja na walinzi aone litakalotokea 59 basi makuhani wakuu na baraza zima wakatafuta ushahidi wa uongo ili wamwue yesu 60 lakini hawakupata ingawa mashahidi wengi wa uongo walijitokeza hatimaye wakajitokeza watu wawili 61 wakasema huyu mtu alisema nina uwezo wa kuvunja hekalu la mungu na kulijenga tena katika muda wa siku tatu
62 kisha kuhani mkuu akasimama akamwambia yesu huna jibu husikii huo ushahidi waliotoa watu hao 63 lakini yesu hakusema neno basi kuhani mkuu akamwambia nakuapisha kwa jina la mungu aliye hai tuambie kama wewe ndiye kristo mwana wa mungu
mungu
64 yesu akajibu umetamka mwenyewe lakini nina waambieni nyote kwamba baada ya hapa mtamwona mwana wa adamu ameketi mkono wa kulia wa mungu mwenye uweza na akija juu ya mawingu ya mbin guni
65 aliposikia maneno hayo kuhani mkuu alirarua mavazi yake akasema amekufuru tunahitaji ushahidi gani zaidi si mmemsi kia akikufuru 66 mnaamuaje wakajibu anastahili kufa
67 kisha wakamtemea mate usoni wengine wakampiga ngumi na makofi 68 wakasema hebu toa unabii wewe kristo ni nani ame kupiga
69 wakati huo petro alikuwa amekaa uani mtumishi mmoja wa kike akamjia akamwambia wewe pia ulikuwa pamoja na yesu wa galilaya 70 lakini petro akakana mbele yao wote akisema sijui usemalo
71 kisha alipotoka nje mlangoni mtumishi mwingine wa kike alimwona akawaambia watu waliokuwapo huyu mtu alikuwa pamoja na yesu mnazareti 72 akakana tena kwa kiapo akisema simfa hamu mtu huyo 73 baada ya muda mfupi wale waliokuwa wamesi mama pale walimwendea petro wakamwambia hakika wewe ni mmoja wao kwa maana namna yako ya kusema ni kama yao 74 ndipo petro akalaani na kuapa akawaambia simfahamu mtu huyo wakati huo huo jogoo akawika 75 na petro akakumbuka yesu alivyomwambia kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu akaenda nje akalia kwa uchungu
snt matayo 26
zavjera protiv isusa
1kad je isus sve to ispripovjedio reče učenicima
2 'znate da je za dva dana pasha i da će mene sina čovječjega izdati da me raspnu'
3 tada se svećenički poglavari i narodne starješine okupe u dvoru velikog svećenika imenom kajfa
4 te se dogovore da isusa na prijevaru uhvate i ubiju
5 'nećemo na blagdansku svetkovinu
6 dok je isus bio u betaniji za stolom u kući šimuna gubavca
7 dođe k njemu neka žena s alabasternom posudom skupocjene pomasti i izlije mu je na glavu
8 videći to učenici počnu negodovati 'čemu takva rastrošnost
9 mogla se ta pomast skupo prodati a novac dati siromasima'
10 isus to opazi pa im reče 'zašto joj dodijavate učinila mi je dobro djelo
11 uvijek će biti siromaha da im pomažete a ja neću uvijek biti s vama
12 izlila je tu pomast na mene da pripravi moje tijelo za ukop
13 zaista vam kažem gdje god se diljem svijeta bude propovijedala radosna vijest spominjat će se i ovo njezino djelo njoj na uspomenu'
juda pristaje izdati isusa
14 tada juda iškariotski jedan od dvanaestorice apostola ode svećeničkim poglavarima
15 te ih upita 'koliko ćete mi platiti da vam izdam isusa' oni mu obećaju trideset srebrnjaka
16 od tada juda počne tražiti prigodu da ga izda
17 prvoga dana blagdana beskvasnog kruha učenici upitaju isusa 'gdje hoćeš da ti pripravimo pashalnu večeru'
18 'idite u grad tom i tom čovjeku
19 učenici učine kako ih je isus uputio te ondje priprave večeru
20 uvečer je isus bio za stolom s dvanaestoricom
21 dok su blagovali on reče 'zaista vam kažem jedan od vas će me izdati'
22 oni se silno ražaloste pa ga jedan za drugim počnu pitati 'nisam valjda ja taj gospodine'
23 on odgovori 'izdat će me onaj koji sa mnom umače kruh u istu zdjelu
24 jer ja sin čovječji moram umrijeti kao što piše u svetome pismu ali teško onome koji izda sina čovječjega bilo bi mu bolje da se nije ni rodio'
25 i izdajnik juda ga upita 'učitelju da nisam ja taj'a isus mu reče 'sam si kazao'
26 dok su blagovali isus uzme kruh blagoslovi ga i razlomi te podijeli učenicima pa reče 'uzmite i jedite to je moje tijelo'
27 uzme zatim čašu zahvali za nju i dade ju njima govoreći 'svi pijte iz nje
28 to je moja krv krv kojom se sklapa savez između boga i božjega naroda[a] ona se prolijeva za oproštenje grijeha mnogih ljudi
29 i kažem vam neću više piti vina[b] do onoga dana kada ću piti s vama novo vino u kraljevstvu svojega oca'
30 otpjevaju zatim psalme i zapute se prema maslinskoj gori
isusovo proroštvo o petru
31 tada im isus reče 'noćas ćete me svi napustiti jer u svetome pismu piše
'udarit ću pastira
i ovce će se razbježati'[c]
32 ali kada uskrsnem ići ću pred vama u galileju'
33 'napuste li te svi ostali ja te neću napustiti' nato će petar
34 'zaista ti kažem' reče mu isus 'još ove noći prije nego što pijetao zakukuriče triput ćeš me se odreći'
35 'neću' odvrati petar 'makar morao s tobom i umrijeti neću te se odreći' tako su se zaklinjali i svi ostali
isus se moli u getsemaniju
36 isus dođe s učenicima u maslinik nazvan getsemani te reče učenicima 'sjednite ovdje dok se ja odem pomoliti'
37 povede sa sobom petra i obojicu zebedejevih sinova obuzmu ga tjeskoba i žalost
38 tada im reče 'duša mi je nasmrt shrvana tugom ostanite ovdje i bdijte sa mnom'
39 ode malo dalje i padne ničice moleći se 'oče moj ako je moguće poštedi me ove čaše ipak neka bude po tvojoj a ne po mojoj volji'
40 zatim se vrati trojici učenika i nađe ih spavati te reče petru 'niste li mogli ni ure probdjeti sa mnom
41 ostanite budni i molite se da vas ne bi svladala kušnja jer duh je spreman ali je tijelo slabo'
42 ode još jedanput i pomoli se 'oče moj ako nije moguće da me poštediš te čaše neka bude po tvojoj a ne po mojoj volji'
43 i opet ih po povratku nađe spavati jer su im oči otežale
44 opet ih ostavi i ode se treći put pomoliti istim riječima
45 zatim se vrati k učenicima i reče im 'još spavate i odmarate se kucnuo je čas ja sin čovječji predan sam grešnicima u ruke
46 ustanite hajdemo evo moj je izdajnik već tu'
47 dok je još govorio stigne juda jedan od dvanaestorice učenika a s njime i svjetina naoružana mačevima i toljagama koju su poslali svećenički poglavari i narodni starješine
48 izdajica im je dao znak 'to je onaj kojega poljubim'
49 on odmah priđe isusu i reče 'zdravo učitelju' i poljubi ga
50 'zašto si došao ovamo prijatelju' ukori ga isus
51 zatim podignu ruke na isusa i uhvate ga a jedan od onih koji su bili s isusom maši se rukom te izvuče mač i njime odsiječe uho sluzi velikoga svećenika
52 'vrati mač u korice
53 zar ne shvaćaš da mogu tražiti od oca više od dvanaest legija anđela da nas zaštite i on bi ih odmah poslao
54 ali da to učinim kako bi se ispunilo sveto pismo
55 zatim reče svjetini 'pošli ste na mene mačevima i toljagama kao na razbojnika a svaki dan sam sjedio u hramu i poučavao pa me ipak niste uhvatili
56 ali sve se ovo događa zato da bi se ispunilo ono što su o meni u pismu napisali proroci' nato ga svi učenici napuste i pobjegnu
isus pred velikim vijećem
57 isusa uhvate i odvedu ga velikomu svećeniku kajfi kod kojega su se okupili pismoznanci i starješine
58 petar je izdaleka slijedio isusa do dvorišta palače velikog svećenika on uđe u dvorište te sjedne sa stražarima da vidi kako će sve to završiti
59 a svećenički poglavari i cijelo veliko vijeće tražili su protiv isusa kakvo lažno svjedočanstvo na temelju kojega bi ga mogli smaknuti
60 ali nisu ga mogli pronaći iako su se javili mnogi lažni svjedoci napokon dođu dvojica
61 i izjave 'ovaj je rekao mogu razvaliti božji hram i za tri dana ga opet izgraditi''
62 veliki svećenik nato ustane i reče isusu 'zar ništa ne odgovaraš na ove optužbe protiv tebe'
63 isus je šutio 'zakuni se živim bogom i reci jesi li ti krist božji sin
64 'sam si rekao
65 nato veliki svećenik razdere svoju odjeću i reče 'hulio je na boga što će nam još svjedoci
66 što kažete' a oni odgovore 'zaslužio je smrt'
67 zatim su isusu pljuvali u lice i tukli ga neki su ga pljuskali
68 govoreći 'proreci nam tko te je udario kriste'
petar se odriče isusa
69 dok je petar sjedio vani u dvorištu priđe mu neka sluškinja i reče 'i ti si bio s isusom galilejcem'
70 petar to pred svima zaniječe 'ne znam o čemu govoriš'
71 kad je izišao u predvorje spazi ga druga sluškinja i reče nazočnima 'ovaj je bio s isusom nazarećaninom'
72 on opet zaniječe i još se zakune 'ne poznajem tog čovjeka'
73 ali ubrzo mu priđu ljudi koji su bili ondje 'pa ti si doista jedan od njih odaje te galilejski naglasak'
74 petar se stane kleti i zaklinjati 'ja ne poznajem tog čovjeka' i pijetao odmah zakukuriče
75 on se tada sjeti što mu je isus rekao 'prije nego što pijetao zakukuriče triput ćeš me se odreći' iziđe i gorko zaplače
evanđelje po mateju 2628 u grčkome krv saveza u nekim rukopisima krv novoga saveza
evanđelje po mateju 2629 u grčkome neću piti od trsova roda
evanđelje po mateju 2631 zaharija 137
cro evanđelje po mateju 26 | 2019-09-16T22:32:33 | https://www.biblica.com/america-latina/biblia/biblia-online/snt/matayo/26/cro/ |
rekodi za okwi caf yawasumbua yanga mtembezi
home sports rekodi za okwi caf yawasumbua yanga
rekodi za okwi caf yawasumbua yanga
achana kabisa na emmanuel okwi huyu jamaa si mtu mzuri kabisa takwimu za shirikisho la soka afrika (caf) zimefichua kuwa straika huyo wa simba ana rekodi ambayo si tu imewashinda mastraika nchini bali afrika nzima
licha ya kuwa simba tayari imeondoshwa kwenye kombe la shirikisho afrika okwi ameacha rekodi ya kupachika mabao afrika
kama ulikuwa hufahamu okwi ndiye staa pekee aliyefunga katika mechi tatu mfululizo za shirikisho hivyo kuwatega mastaa wa yanga ambao wanahitaji sare tu ugenini ili kufuzu hatua ya makundi
okwi ambaye anashika nafasi ya pili kwa kupachika mabao kwenye michuano hiyo alifunga kwenye mechi mbili dhidi ya gendarmerie ya djibouti kisha kufunga tena dhidi ya al masry kwenye mechi iliyomalizika kwa sare ya mabao 22
mchezaji mwingine aliyeweza kufunga mabao kwenye mechi tatu mfululizo ni felix badenhorst wa mbabane swallows ya swaziland lakini amefanya hivyo kwenye michuano ligi ya mabingwa
mpaka sasa hakuna mchezaji yeyote wa yanga aliyefunga mabao mawili kwenye mashindano ya kimataifa nyota wa yanga juma mahadhi emmanuel martins ibrahim ajibu na raphael daudi kila mmoja amefunga mara moja kwenye mashindano hayo
msuva huyoo
staa wa tanzania saimon msuva anahitaji mabao matatu ama zaidi ili kuibuka mfungaji bora wa ligi ya mabingwa afrika msuva anashika nafasi ya pili akiwa amefunga mara nne na kuzidiwa mawili tu na hamid ahaddad pia wa difaa el jadida
jadida ya msuva tayari ipo hatua ya makundi ya michuano hiyo ikiwa imepangwa na timu za tp mazembe mc alger na es setif za algeria
previous articlewakimbia hospitali kuhofia kulazwa na maiti
next articlesamatta awalaza ulimi nnje standard liege
anthony joshua amkalisha kwa ko wladimir klitschko raundi ya 11 lakini
mtembezi april 30 2017 | 2018-04-24T23:03:16 | http://mtembezi.co.tz/2018/04/10/rekodi-za-okwi-caf-yawasumbua-yanga/ |
download yapokelewa mp4 & 3gp || skycodedcom
download yapokelewa play in 3gp mp4 flv mp3 available in 240p 360p 720p 1080p video formats
stars inavyotua cape verde yapokelewa na 'joto'
matokeo ya kcpe yapokelewa kwa bashasha katika shule ya good testimony
zanzibar heroes yapokelewa kwa kishindo
wow meli mpya ya mv victoria ilivyowasili mwanza tena yapokelewa hivi
hotuba ya rais yapokelewa kwa maoni mbalimbali
tazama simba yapokelewa kibabe shinyanga/aussem aumizwa na ushindi wa bao 1ahaidi makubwa vs mwadui
simba yapokelewa kibabe arusha mashabiki wasimamisha msafara
ona yanga sc yapokelewa kifalme/juma balinya azungumza
joniupdate
video ya amaboko mtaani yapokelewa kwa shangwe
trends online tv
simanzi miili ya wanajeshi tisa yapokelewa zanzibar
ndege nyingine kubwa ya air tanzania yapokelewa raisi magufuli akihutubia na kuizindua(full video)
mbwembwe za ndege mpya ilivyotikisa angaa yapokelewa na saluti nzito sio kwa shangwe hili
simba sc yapokelewa kwa mbwembwe bukoba
zanzibar heroes yapokelewa kwa kishindo zanzibar
tuzo ya mwanza quality wines yapokelewa kwa shangwe
ibraahep yake yapokelewa vizuri / aishangaza africa nzima/ iko trending/atabiriwa makubwa
timu ya gofu ya wanawake wa tanzania yapokelewa dar es salaam
bidhaa mpya ya diamond platnumz yapokelewa vizuri
mtweve media
dawa ya ugonjwa huu yapokelewa tanzania
yanga yapokelewa kwa kishindo songea
miili ya wanajeshi 14 waliouwawa congo yapokelewa
zanzibar heroes yapokelewa na mafuriko ya washabiki
zfamily entertainment znz
maoni ya wananchi wa kongwa yapokelewa
kongwa tv online
perfect combo yapokelewa vizuri na watanzania
yanga yatua kibabe mtwarayapokelewa kifalume
simba yapokelewa kifalme shinyanga masau bwira atamba kuipapasa simba pia
mapokezi treni ya umeme yapokelewa na watanzania pongezi kwa rais magufuli#trc
mjini zanzibar yapokelewa kishujaa dr shein awaandalia zawadi maalum ikulu
mifuko 100 aliyotoa mwanaharakati huru cyprian musiba yapokelewa na dc pale mgeta | 2020-07-09T10:55:54 | http://dl.skycoded.com/search/yapokelewa.html |
aliyeua askari 8 kibiti auawa na polisi | sunrise radio 949 fm
home habari mbali mbali aliyeua askari 8 kibiti auawa na polisi
jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam limemuua jambazi sugu anaf kapela ammbaye alishiriki katika matukio mbalimbali likiwemo la mauaji ya askari wanane na kupora silaha saba katika tukio la mkengeni kibiti mwaka huu
kamanda lazaro mambosasa amesema matukio aliyoshiriki jambazi huyo ni la mauaji ya mkuu wa upelelezi wilaya ya newala mwaka 2013 uvamizi wa kituo cha polisi stakishari mwaka 2015 kuua askari watatu na kupora silaha mbili aina ya smg katika benki ya crdb eneo la mbande benki ya access iliyopo mbagala nmb iliyopo mkuranga
amesema septemba 12 mwaka huu saa 8 usiku maeneo ya kivule chanika walifanikiwa kumuua jambazi huyo ambaye alikuwa kiongozi na mratibu wa matukio yaliyotokea maeneo mbalimbali nchini
amesema jeshi la polisi liliweka mtego na kufanikiwa kumkamata mtu huyo baada ya kujeruhiwa kwa risasi wakati akijaribu kukimbia
mambosasa amesema jambazi hilo lilifika maeneo ya kivule kwa ajili ya kuuguza majeraha ya risasi aliyopigwa ambayo alikuwa anatibiwa kwa bibi mmoja aliyekuwa anaishi maeneo hayo baada ya kukimbia operesheni ya kibiti
askari waliweka mtego muda huo wa saa 8 usiku na kuzingatia nyumba aliyokuwa akipatiwa matibabu lakini badala yake alitokea katika nyumba nyingine alipoona askari alianza kukimbia ndipo akapigwa risasi kwenye goti la kulia bega chini ya mkono wa kushotoamesema
previous articlemlinzi wa meja jenerali aliyejeruhiwa kwa risasi akamatwa
next articlemapacha walioungana watinga chuo kikuu | 2018-02-23T14:01:18 | http://sunriseradio.co.tz/index.php/2017/09/13/aliyeua-askari-8-kibiti-auawa-na-polisi/ |
jinsi ya kuunda orodha ya wauzaji wa amazon ya kweli
kabla ya kukuonyesha kile kinachofanya orodha ya mazao ya amazon ya juu ambayo inauza hebu tuseme biashara ya ecommerce au kushukausafirishaji sio mradi wa mtandaoni unaoendesha ina maana kwamba huwezi kuanzisha kila kitu njia sahihi na umefanya mara moja na kwa wote ndiyo sababu kuna zana nyingi za kubadilisha programu za kila siku na miongozo ya vitendo inapatikana kwa upatikanaji wa wazi kwenye mtandao ili kusaidia na uboreshaji wa orodha ya wafanyabiashara wa amazon lakini chini nitakwenda pamoja kuweka ujuzi wangu na ufahamu halisi wa maisha kukupa picha kamili ya dhana ya kisasa ya seo ecommerce
utafutaji wa cheo vyeo na mauzo
inaweza kuonekana kama hakunabrainer lakini iwe bora kuongeza orodha yako ya bidhaa kufuta zaidi kwenye mtandao tafuta kwenye amazon itakuwa na hatimaye ili kusababisha uendeshaji wa mauzo zaidi na wateja wanaofanya kufanya manunuzi na duka lako kwa msingi wa msimamo na bila shaka kuna baadhi ya mbinu za kukusaidia kushinda mbio hii ya kikabila tumia mapendekezo ya vitendo yafuatayo na vidokezo muhimu vya kuboresha nafasi za sasa za cheo kwenye amazon na uendesha gari orodha yako ya mfanyabiashara hatua moja karibu na utafutaji wa juu sana wa ununuzi huko vidokezo vya maendeleo ya keyword kwa orodha yako ya wafanyabiashara wa amazon
utafiti wa keyword utahitaji kukamilisha uchunguzi wa kina wa nenosiri na uchanganuzi wa ushindani ili kulenga zaidi juu kufafanua maneno na misemo ya kutafuta muda mrefu katika jamii yako ya bidhaa anza na kutafakari fursa zako muhimu kwa kutumia mpangilio wa keyword wa google kisha pata picha kubwa ya maonyesho yaliyotumika tayari na washindani wako wa karibu wa niche kwa njia hiyo mimi kupendekeza kujaribu moja ya zifuatazo utafiti wa neno muhimu na vifaa vya programu zana kama keywords wafanyabiashara amz tracker jungle scout au keyword inspector
udhibiti wa bei namaanisha hapa kwamba utahitajika kukabiliana na bei yako kwa utawala wa kweli unaoendelea juu ya amazon imeshikamana na mashindano ya soko halisi na pengine njia pekee ya kuishi kwa biashara yako katika kozi isiyokuwa ya marafiki ya matukio ni kupata msaada na mtaalamu bei bei ufuatiliaji miongoni mwa wengine ninapendekeza wasaidizi wa mtandao wafuatayo ili uweze kubadilika kila wakati na utoe marekebisho ya wakati halisi ya haraka ili kuendelea kuendesha gari zaidi kwenye orodha yako ya bidhaa (keepa logic ya wauzaji appeagle na repricer express) kumbuka trafiki zaidi unayovuta mikataba ya mafanikio zaidi na cheo cha juu unachopata
matangazo ya mara kwa mara kutengeneza matangazo mbalimbali kwa msingi uliopangwa hawezi kuongeza tu mauzo yako ya sasa kwa wakati wowote lakini inua nafasi ya utafutaji wako kwa muda mrefu jambo ni kwamba kuwa na maendeleo mazuri na ya thabiti ya mauzo kwa sasa hutoa algorithm ya utafutaji ya a9 alama ya nguvu ya kuwa orodha yako ya mfanyabiashara wa amazon inapaswa kuhudhuriwa kwa watazamaji pana wa wachuuzi wa kazi wanaotafuta vitu pale wakati huo huo matangazo yaliyopangwa yanaweza kukuwezesha kuchanganya mchanganyiko wa utafutaji wa muda mrefu na hivyo kukuwezesha kupata faida nyingine ya ushindani kwa kulenga misemo zaidi ya utafutaji wa umuhimu wa juu | 2018-02-23T16:13:52 | http://rapideyefilm.com/152204-how-to-create-a-really-winning-amazon-merchant-list |
tamko la serikali kuhusu kuwaondoa raia wake china | east africa television
naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt damas ndumbaro amesema kuwa serikali haiwezi kuchukua jukumu la kuwaondoa watanzania walioko nchini china kwa kusikiliza ushauri wa mitandaoni bali itawaondoa endapo wataalamu kutoka serikali ya china watashauri hivyo
dkt ndumbaro ameyabainisha hayo wakati akizungumza na eatv&ea radio digital baada ya kuonekana video fupi inayoonesha watanzania waishio nchini china wakiomba kurejeshwa nyumbani kutokana na hali ya maambukizi na vifo vinavyotokana na virusi vya corona kuongezeka kila uchwao nchini humo
huu ni ugonjwa na hili ni suala la kitabibu hivyo ni vizuri kupata ushauri wa kitabibu kwamba imefika wakati sasa hawa lazima waondolewe sasa hivi tunasikia ushauri wa mitandaoni hapana tukae na wataalamu wa serikali ya china na waseme sasa hapa ni lazima kuwaondoa amesema dkt damas ndumbaro
mpaka sasa zaidi ya watu 1000 wamekwishapoteza maisha kutokana na virusi vya corona huku wengine zaidi ya 40000 tayari wamekwishaathirika na virusi hivyo kwa nchi ya china pekee | 2020-02-26T19:19:52 | https://www.eatv.tv/news/current-affairs/tamko-la-serikali-kuhusu-kuwaondoa-raia-wake-china |
tigo yashirikiana na milvik kutoa huduma za bima ya afya manazomudu wateja zanzinews
home jamii matukio tigo yashirikiana na milvik kutoa huduma za bima ya afya manazomudu wateja
tigo yashirikiana na milvik kutoa huduma za bima ya afya manazomudu wateja
othman maulid 1219 pm | 2018-03-18T00:13:30 | http://www.zanzinews.com/2017/03/tigo-yashirikiana-na-milvik-kutoa.html |
kupoesha chai svahili i̇ngilizce çeviri ve örnekler
şunu aradınız kupoesha chai (svahili i̇ngilizce)
chupa ya chai
sawa sawa karibu chai rafiki
karibu tunywe chai
wakati wowote wakati wa chai
poesha chai in english is
poesha chai in english is
chai jing akiwa amembeba mwanae alipokuwa uwanja wa ndege
chai jing holding a newborn baby at an airport
ni uhuru wa chai jing na ni juu yake mwenyewe kuamua wapi mwanae azaliwe
its chai jings own freedom and personal matter to decide where her child should be born
kitendo cha chai kujifungulia nchini marekani kimewakatisha tamaa mashabiki wake wengi huku wengi wakimwita mnafiki
baada ya picha za chai akiwa amembeba mwanae mchanga uwanja wa ndege kuchapishwa mtandaoni taarifa zilisambaa kwamba alikuwa amejifungua mtoto wa kike nchini marekani mwezi oktoba 2013
after pictures of chai holding a newborn baby at an airport were published online reports surfaced that she had given birth to a daughter in the us in october 2013
mmoja kwa waandishi wa wanaoheshimika nchini china na mgwiji wa televisheni chai jing amesababisha moto mkali mtandaoni baada ya kujifungulia marekani huku watumiaji wengine wa mtandao wakimwita msaliti au mnafiki
one of china's top journalists and tv anchors chai jing has caused a stir online after she gave birth in the us with some netizens calling her a traitor or a liberal hypocrisy
mardocheo (i̇talyanca>kebuano)skala (i̇ngilizce>lehçe)raketenangriffe (almanca>i̇spanyolca)odgajivača (sırpça>i̇ngilizce)tu (romence>hollandaca)bestseller (fince>lehçe)rafay (fransızca>i̇ngilizce)rape (i̇ngilizce>i̇talyanca)encourager (fransızca>latince)consules (latince>fransızca)1 etg (norveççe>i̇ngilizce)corrección (i̇spanyolca>i̇talyanca)esophagitis (çekçe>i̇ngilizce)lon (portekizce>i̇ngilizce)succidentur (latince>korece)braceletk (i̇ngilizce>rusça)dari gof (bengalce>i̇ngilizce)принадлежащего (rusça>i̇talyanca)metaboliseerders (hollandaca>lehçe)my heart in a human form (afrikanca>i̇ngilizce)két évtizeden belül (macarca>i̇ngilizce)fieldname (i̇ngilizce>fransızca)harshly (i̇ngilizce>i̇spanyolca)convulsive (i̇ngilizce>danca)attrezzature diverse (i̇talyanca>i̇ngilizce) | 2020-07-09T21:35:14 | https://mymemory.translated.net/tr/Svahili/%C4%B0ngilizce/kupoesha-chai |
hosanna inc fresh back palikuwa na mtu
nyimbopalikuwa na mtu
kwayaulyankulu barabara ya 13
mkoa tabora
albumkatika viumbe vyote
video productionhabari maalumu
hosanna inc imeanza mfululizo wa kukuletea nyimbo ambazo zamani zilishika nchi na kuwabariki wengi na hii itakuwa ikifanyika hapa kila jumatano
posted by hosanna inc at 833 am
labels zamani hizo | 2018-03-21T06:55:59 | http://hosannainc.blogspot.com/2012/11/fresh-back-palikuwa-na-mtu.html |
jipatie kifaa kipya na cha kisasa cha internet kwa bei poa kabisa | jamiiforums | the home of great thinkers
jipatie kifaa kipya na cha kisasa cha internet kwa bei poa kabisa
discussion in 'matangazo madogo' started by michael amon may 31 2012
speed ya kifaa hiki ni (72 mpbs download na 576 mbps upload)
bei bei ya kifaa hiki ni sh 150000/=
kwa wale wangependa kununua kifaa hiki tafadhali naomba mtoe order zenu kupitia anwani zifuatazo
email sales@youngmastercotz
unaposema kwa wakazi wa arusha unamaanisha kua ukiwa mkoa mwengine hupati
na nna maswali haya ya kukuuliza
sjaona display katika hiko kifaa ntaset vipi access point je ni chombo kinachomanage au kunakua na computer 1 kati ya hizo 5 ndio inakua admin
natumai mifi ni kama modem ina speed je hyo spedd yake ni 36 au 72 au 18 mbps tuambie
natumai mifi ni kama modem ina speed je hyo spedd yake ni 36 au 72 au 18 mbps tuambieclick to expand
nashukuru sana kwa maswali yako mkuu chiefmkwawa kama upo nje ya mkoa wa arusha unaweza kukipata hicho kifaa ila itabidi ulipie gharama za ziada za kusafirisha kifaa hicho
pili kifaa hiki ni chombo kinachojimanage chenyewe na kinafanya kazi kama inavyofanya kazi router pamoja na jinsi ya kuconfigure is the same way as router tofauti ya router na hii ni kwamba router inatumia ethernet kwa ajili ya kupokea internet na kurusha internet kwa either wireless or wired wakati hii mifi inapokea internet kutoka kwenye line ya mtandao wowote wa simu na kurusha au kusambaza internet kwa njia ya wireless tu
speed yake ni (72 mpbs download and 576 mbps upload)
so kaka kama kinaungwa mfano wa wifi ntawezaje kudhibiti watu walio jirani wasiibe kinyemela pia kaka signal zake zna uwezo wa kusafiri umbali gani still iwepo speed ya uhakika
so kaka kama kinaungwa mfano wa wifi ntawezaje kudhibiti watu walio jirani wasiibe kinyemela pia kaka signal zake zna uwezo wa kusafiri umbali gani still iwepo speed ya uhakikaclick to expand
mkuu nurbert signal za kifaa hiki zinaweza kwenda hadi umbali wa mita kumi kutoka kifaa kilipo kuhusu swala la security wala usiwe na wasi wasi kwa sababu kifaa hiki kimewekea aina mbali za encryption ikiwemo wep na wpa ambazo zinakuwezesha wewe kuweza kuweka encyrption key yako au password ambayo itatumika katika kuconnect computer yako na hiki kifaa kwa njia ya wireless without hiyo password or encryption huwezi kuconnect na hiki kifaa
mkuu nurbert signal za kifaa hiki zinaweza kwenda hadi umbali wa mita kumi kutoka kifaa kilipo kuhusu swala la security wala usiwe na wasi wasi kwa sababu kifaa hiki kimewekea aina mbali za encryption ikiwemo wep na wpa ambazo zinakuwezesha wewe kuweza kuweka encyrption key yako au password ambayo itatumika katika kuconnect computer yako na hiki kifaa kwa njia ya wireless without hiyo password or encryption huwezi kuconnect na hiki kifaaclick to expand
dah thats cool
dah thats coolclick to expand
kama upo tayari kununua kifaa hiki tafadhani usisite kuwasiliana nasi mkuu nurbert
haina kwere chalii angu ntakustua nikiwa safi
sio mchina huyo kaka nimekutumia sms
0759950757
umesomeka nimekuelewa vizuri sana specs zake ni nzuri ila tu hapo ktk mita 10 (30ft) kwangu naona ni distance ndogo lakini sio ishu nitakucheki
mkuu young_master nitakutafuta nikiwa tayari hicho kifaa nimekipenda zaidi
mkuu young_master nitakutafuta nikiwa tayari hicho kifaa nimekipenda zaidiclick to expand
karibu mkuuila wahi maana bidhaa zimebaki chache adolph
umesomeka nimekuelewa vizuri sana specs zake ni nzuri ila tu hapo ktk mita 10 (30ft) kwangu naona ni distance ndogo lakini sio ishu nitakuchekiclick to expand
0759950757click to expand
sio mchina huyo mkuuhuyo ni mmarekani original | 2017-01-23T12:53:33 | https://www.jamiiforums.com/threads/jipatie-kifaa-kipya-na-cha-kisasa-cha-internet-kwa-bei-poa-kabisa.271557/ |
f video moahemmed dewji amrejesha emmanuel okwi somba sc | robertokanda
video moahemmed dewji amrejesha emmanuel okwi somba sc
posted by robert okanda on 60900 am
mwanachama wa simba sports club na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya mohammed enterprises mohammed dewji mo ametoa zawadi ya sikukuu ya eid kwa mashabiki wa simba sc kwa kumsajili mchezaji wa kimataifa wa uganda emmanuel okwi
katika taarifa ambayo mo dewji ameitoa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii mo dewji amesema usajili wa okwi ambaye amewahi kuichezea simba sc kwa nyakati mbili tofauti ni zawadi kwa ajili ya mashabiki wa simba katika sikukuu ya eid ambayo itasherehekewa jumatatu ya juni 26
naomba nitoe zawadi kwa ajili ya mashabiki wa simba sc kwa kuwapa ndugu yetu okwi alisema mo dewji baada ya kukamilika kwa usajili wa okwi
kwa upande wa okwi alisema amefurahi kurejea simba na kuwaahidi mashabiki kutekeleza wajibu wake ili kuiwezesha timu yake kushinda makombe ya mashindano ambayo itakuwa ikishiriki lakini pia akimshukuru mo dewji kwa kufanikisha uhamisho wake
nimekuja kupambana na kuhakikisha tunachukua ubingwa namshukuru sana bosi mo dewji kwa kufanikisha huu uhamisho wa kuja simba alisema okwi
video mohammed dewji amrejesha emmanuel okwi simba sc (codes) | 2017-11-25T11:30:04 | http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/video-moahemmed-dewji-amrejesha.html |
dunia ya michezo (takukuru) yazidiwa kete na mwakalebela
(takukuru) yazidiwa kete na mwakalebela
mahakama kuu kanda ya iringa imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) dhidi ya hukumu ya kuachiwa huru kwa aliyekuwa katibu mtendaji wa chama cha mpira wa miguu tanzania (tff) frederick mwakalebela (41) na mkewe selina katika kesi ya kushawishi na kutoa rushwa katika mchakato wa kura ya maoni ya nafasi ya ubunge ndani ya ccm
uamuzi huo ulitolewa jana mahakamani hapo na jaji nkuya na kuondolewa kwa kesi hiyo kunafuatia pingamizi la awali lililowekwa na mawakili wa mwakalebela basil mkwata na alex mgongolwa waliokuwa wakipinga rufaa iliyokatwa na takukuru dhidi ya hukumu hiyo
upande wa utetezi uliweka pingamizi la awali la kuiomba mahakama kutupilia mbali rufaa hiyo iliyokatwa na takukuru kwa sababu rufaa hiyo haikuambatanishwa na uamuzi uliotolewa na mahakama ya wilaya ya iringa
pia hakimu lwila alisema hapakuwa na sababu ya kuweka sheria mbili tofauti kwenye hati moja na kwamba usahihi wa hati ya mashtaka unapaswa kuwa makini tangu awali inapoandaliwa
katika pingamizi hilo mkwata alisema tayari mshtakiwa ameshaadhibiwa baada ya halmashauri kuu ya ccm (nec) kumwengua kwenye uchaguzi hivyo kuomba shitaka hilo liondolewe mahakamani
mwakalebela alikuwa mshindi wa kwanza wa kura za maoni za ccm za nafasi ya ubunge wa iringa mjini mwaka jana lakini jina lake liliondolewa na nafasi yake kupewa monica mbega ambaye alishindwa na mpinzani wake mchungaji peter msigwa wa chadema katika uchaguzi wa ubunge
awali akisoma shtaka hilo mwendesha mashtaka wa takukuru imani mizizi alidai kuwa juni 20 mwaka jana mwakalebela alidaiwa kutoa hongo ya sh100000 kwa hamis luhanga ambaye ni mwenyekiti wa kijiji cha mkoga ili awagawie wajumbe 30 wa ccm walioitwa kwenye kikao
hata hivyo washitakiwa hao walikana shitaka hilo | 2017-09-25T11:32:00 | http://duniayamichezo.blogspot.com/2013/05/takukuru-yazidiwa-kete-na-mwakalebela.html |
real madrid vs juventus mwangaza kwenye fainali ya cardiff | swahili
nyumbani habari real madrid vs juventus mwangaza kwenye fainali ya cardiff
ikiwa leo ni fainali ya ligi ya mabingwa ulaya tutasubiri iwapo real madrid itakuwa mabingwa kwa mara ya 12 ama juventus watalaza na kujitolea ubingwa kwa mara ya 3 ya historia yake
pambano hili lishakuwa la kihistoria kwa kuwa timu hizi zinazokutana kwa mara ya 19 ikiwa ndilo la pili kuchezwa mara nyingi baada ya real madrid vs bayern munich 24 juventus wakishanda pambano hili watakuwa wana mabingwa tatu musimu huu ambapo real madrid watakuwa wa kwanza kutetea ubingwa huu mara ya kwanza tangu musimu wa 19891990 ac milan iliposhinda ubingwa huu
real madrid iliwahi kufika fainali 15 za champions league mara nne kuliko timu nyingine yoyote ambayo ni ac milan ikiwa mara na mara 11 real madrid iliwahi pia kushinda fainali tano za awali ambazo ni ya ( 19971998200320132015) ya karibu waliyoipoteza ikiwa ni dhidhi ya liverpool mwaka 1981
juventus walichezi fainali 8 za ligi za ulaya kwa ujumla ampapo walishinda mbili miongoni mwa hizo ikiwa ndio timu yenye rekodi mbaya ya asilmia 25
juventus hawakuishindwa hata mechi moja msimu huu ikiwa hakuna timu iliyoshindwa ubibingwa bila kupigwam isipokuwa manchester united iliyokuwa mabingwa mwaka 20082009 wakishinda chelsea kwa mikwajuu ya penati timu ya awali kufanya hii ilikuwa ni atletico madrid 2013/2014
kwa ujumla wa mechi 19 juventus walishinda mara 9 na real madrid 8 na sare ya mechi 2
timu ya real madrid ya zinedide zidane na juventus ya massimiliano allegri zinashuka dimbani zikiwa na vikosi kamili isipokuwa pepe alie na jeraha na pjca kwa upande juventus
tusubiri hapo saa 9 45 saa ya afrika ya mashariki na saa 845 saa ya afrika ya kati kwenye millenium stadium cardiff wales
makala ya awalisekta ya afya ilikuwa na badiliko kadhaa tangu rpf ishike madaraka
makala ijayorubavu raia wasiojiweza waliootoka uhamishoni kutoka kongo wapewa nyumba | 2018-06-23T02:19:00 | https://swahili.bwiza.com/real-madrid-vs-juventus-mwangaza-kwenye-fainali-ya-cardiff/ |
makonda aitaka takukuru kuchunguza madai ya ufisadi mradi wa avic town ~ blogu ya wananchi
makonda aitaka takukuru kuchunguza madai ya ufisadi mradi wa avic town
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda amenusa ufisadi katika mradi wa ujenzi wa nyumba za avic avic town na kuitaka taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) kuuchunguza mradi huo uliopo kigamboni jijini humomakondanewjpgoohatua hiyo imefika baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wananchi waliokuwa wakiishi eneo hilo na kutolewa pasipo kupewa fidia zao huku ekari 18 za chama cha mapinduzi (ccm)zikichukuliwa kwa matumizi katika mradi huo
akizungumzia hatua hiyo makonda amewataka watendaji wa serikali wanaohusika na taarifa za mradi huo kutoa taarifa sahihi katika vyombo vya dola kwani hataki kuona wananchi wakidhulumiwa haki zaositaki kuona kigogo wala kijiti anahusika katika mradi huo nitasimamia na polisi waliohusika katika kuwatoa wananchi hawa waseme walitumia vigezo gani kuwatoaalisema
alisema wananchi walioondolewa eneo hilo wafike kwa mkuu wao wa wilaya huku akiitaka takukuru kuchunguza mafaili ya mradi huo wa nyumba
akizungumza huku akilia mkazi wa eneo hilo ambaye pia ni mwathirika wa mradi huo pascalina walioba alisema tangu mradi utambulishwe na kuanza kujengwa hawajalipwa stahiki zao
mimi ni mwathirika wa mradi huo tangu unaanzishwa na tukahamishwa kipindi hicho nilipaswa kulipwa sh 700000 lakini hadi leo sijalipwa na thamani ya fedha inaongezekaalisema na kisha kuangua kilio
mbunge wa jimbo hilo faustine ndungulile alisema kuwa wapo watu walikuwa wakidai kuwa ujenzi ule unahusisha nyumba za ulinzi wa usalama
kuna hekari 18 za chama cha mapinduzi (ccm) zipo humo lakini tutalifualia alisisitiza ndungulile
katika hatua nyingine wilaya hiyo imeahidiwa na shirika la umeme tanzania (tanesco) hadi kufikia february mwakani watakuwana umeme wa uhakika
aidha wananchi wa eneo hilo walitolewa hofu juu ya upatikanaji wa maji safi kwani tayari maji yapo ya visima lakini hakuna mabomba ya kusafirisha maji hayo
akizungumzia mradi wa maji katika mji huo mwakilishi kutoka shirika la maji saifi na maji taka(dawasco)alisema fedha zilizotengwa katika kusambaza maji katika wilaya hiyo ni sh bilioni 40 huku fedha zinazoitajika ili kukamilisha mradi huo ni sh bilioni 146 | 2016-12-11T07:59:36 | http://www.williammalecela.com/2016/11/makonda-aitaka-takukuru-kuchunguza.html |
kwa nini eliya atarudi kabla ya nyakati za mwisho (malaki 4 56)
swali kwa nini eliya atarudi kabla ya nyakati za mwisho (malaki 4 56)
jibu malaki 4 56 inatoa unabii unaovutia angalieni nitawapelekea eliya nabii kabla haijaja siku ile ya bwana iliyo kuu na kuogofya naye ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao ili nisije nikaipiga dunia kwa laana hadi hii leo wayahudi wa sada (seders) wanajumuisha ekiti tupu kwenye meza kwa kutarajia kwamba eliya atarudi kumtangaza masihi katika kutimiza neno la malaki
kulingana na malaki 4 6 sababu ya kurudi kwa eliya itakuwa kugeuza nyoyo za baba na watoto wao kwa kila mmoja kwa maneno mengine lengo litakuwa upatanisho katika agano jipya yesu anafunua kwamba yohana mbatizaji alikuwa utimizaji wa unabii wa malaki kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa yohana na ikiwa mnataka kukubali yeye ndiye eliya atakayekuja (mathayo 11 1314) utekelezaji huu pia umetajwa katika marko 1 24 na luka 117 727
hasa inayohusiana na malaki 4 56 ni mathayo 17 1013 wanafunzi wake wakamwuliza wakisema basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa eliya kuja kwanza naye akajibu akawaambia kweli eliya yuaja kwanza naye atatengeneza yote ila nawaambia ya kwamba eliya amekwisha kuja wasimtambue lakini wakamtenda yote waliyotaka vivyo hivyo mwana wa adamu naye yuaenda kuteswa kwao ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za yohana mbatizaji
waalimu wa sheria walikuwa walimu wa dini wa kiyahudi hasa mafarisayo na masadukayo ambao walitoa ufafanuzi juu ya maandiko ya kiyahudi petro yakobo na yohana walikuwa wamefahamu mafundisho yao na kumwuliza yesu kuhusu eliya baada ya kumwona yesu na musa na eliya wakati wa kubadilika (matayo 17 18) yesu alisema waziwazi kwamba eliya alikuwa amekwisha kuja lakini kwa kusikitisha hakutambuliwa na aliuawa yesu kisha alitabiri kwamba yeye pia atakufa mikononi mwa adui zake (1712)
angalia kwa ufupi huduma ya yohana mbatizaji inaonyesha njia nyingi ambazo yeye alikuwa eliya kwanza mungu alitabiri kazi ya yohana kama ile ya eliya (luka 117) pili amevaa kama eliya (2 wafalme 1 8 na mathayo 3 4) tatu kama eliya yohana mbatizaji alihubiri jangwani (mathayo 3 1) nne wote wawili walihubiri ujumbe wa toba tano hawa wanaume wote waliwapinga wafalme na walikuwa na maadui wa juu (1 wafalme 18 1617 na mathayo 14 3)
wengine wanasema kwamba yohana mbatizaji hakuwa eliya aliyekuwa akuje kwa sababu yohana mwenyewe alisema kuwa hakuwa eliya wakamwuliza ni nini basi u eliya wewe akasema mimi siye wewe u nabii yule akajibu la (yohana 121) kuna maelezo mawili dhahiri ya utata huu ya kwanza eliya hakuwahi fariki (2 wafalme 211) rabi wengi wa karne ya kwanza walifundisha kwamba eliya alikuwa bado hai na angekuja kabla ya kufika kwa masihi wakati yohana alikanusha kuwa yeye hakuwa eliya angekuwa anapingana na wazo kwamba alikuwa eliya halisi ambaye alikuwa amechukuliwa mbinguni kwa gari la moto
pili maneno ya yohana yanaweza kuonyesha tofauti kati ya maoni ya yohana juu yake mwenyewe na maoni ya yesu juu yake yohana huenda hakujiona kama utimilifu wa malaki 4 56 hata hivyo yesu alifanya hivyo hakuna ugomvi basi ni nabii mnyenyekevu anatoa maoni ya uaminifu wa nafsi yake mwenyewe yohana alikataa heshima (tazama yohana 330) lakini yesu alimthibitisha yohana kama utimilifu wa unabii wa malaki kuhusu kurudi kwa eliya
kama elia wa mfano yohana aliwaita watu kutubu na maisha ya utii akiwaandaa watu wa kizazi chake kwa ajili ya kuja kwa yesu kristo yeye aliyekuja kutafuta na kuokoa kilichopotea (luka 1910) na kuanzisha huduma ya upatanisho (2 wakorintho 518) | 2018-11-16T07:15:02 | https://www.gotquestions.org/Kiswahili/nyakati-mwisho-eliya.html |
horses trainers in harrison idaho
training near harrison idaho
tum tum wa (24 mi)
spirit lake id (36 mi)
newman lake wa (33 mi) | 2016-05-30T05:12:04 | http://www.equinenow.com/training/harrison-idaho.htm |
***asema al masry wanafungika wataenda kuwashangaza kwao
mshambuliaji tegemeo wa simba emmanuel okwi
akizungumza na gazeti hili jana okwi alisema kuwa watapambana kuhakikisha wanashinda na mechi hiyo ya marudiano haitakuwa ngumu kama ya juzi kwa sababu tayari wameshawafahamu wapinzani wao
mechi ilikuwa ngumu lakini tuliongeza bidii na kufanikiwa kusawazisha kikubwa hatukupoteza mechi na tunao uwezo wa kuwafunga huko kwao kwa sababu hatutaenda kuzuia alisema mshambuliaji huyo wa timu ya taifa ya uganda
vijana walipambana kwa nguvu kuhakikisha wanapata mabao mpira ulikuwa mgumu katika kipindi cha kwanza lakini kipindi cha pili kilikuwa chetu ila umeme na mvua vilituharibia yote ni mipango ya mungu lakini tumelinda heshima ya kutofungwa nyumbani alisema kocha huyo
sportpesa yawafuta'machozi' washindi | 2018-03-21T18:16:23 | https://ippmedia.com/sw/michezo/okwi-awatoa-hofu-mashabiki-simba |
tanzania kununua ndege ya dreamliner kutoka boeing bbc news swahili
http//wwwbbccom/swahili/habari38207875
image caption rais magufuli akitazama kitabu cha picha ya ndege aina ya boeing 7878 dreamliner alipokutana na mkurugenzi wa mauzo wa boeing jim deboo ikulu jijini dar es salaam
rais wa tanzania john magufuli ametangaza kwamba taifa hilo litanunua ndege zaidi katika juhudi za kufufua shirika la ndege la taifa hilo
amesema serikali yake imedhamiria kununua ndege nne zikiwemo ndege kubwa tatu ambazo zitasaidia kuinua uchumi wa nchi kwa kuwezesha watalii kuja hapa nchini moja kwa moja kutoka nchi zao
dkt magufuli alisema hayo baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi wa masoko ya afrika wa kampuni ya utengenezaji wa ndege ya boeing yenye makao yake nchini marekani bw jim deboo katika ikulu jijini dar es salaam
amesema tanzania inpanga kununua ndege aina ya boeing 787 dash 8 dreamliner yenye uwezo wa kuchukua abiria 262 ambayo inatarajiwa kuwasili nchini humo juni 2018
ndege nyingine ambazo tanzania itazinunua ni ndege moja aina bombardier q400 dash 8 nextgen inayotarajiwa kuwasili mwezi juni 2017 ndege 2 aina ya bombardier cs300 zenye uwezo wa kuchukua kati ya abiria 137 na 150 na zinazotarajiwa kuwasili nchini kati ya mei na juni 2018
malipo ya awali kwa ndege hizi yameshafanyika
rwanda yanunua ndege ya kisasa ya airbus
makamu wa rais asafiri na ndege ya kawaida tanzania
tumeleta ndege aina ya bombardier hapa zimepunguza gharama za safari mfano kutoka dar es salaam hadi mwanza sasa wanalipa kati ya 160000/ hadi 200000/ wakati nauli ilishafika shilingi laki 8 na kitu lakini watu wengine utakuta wanazungumzazungumza wee maneno ya hovyo kwa kutumiwa tumeshaamua na tutafanya hivyo amesema rais magufuli
sisi hapa tunazungumza kuwa watalii hawajafika hata milioni 2 kwa mwaka lakini nchi kama morocco inapata watalii zaidi ya milioni 12 kwa mwaka hii yote ni kwa sababu hatuna mashirika ya ndege ya kwetu
image caption majuzi tanzania ilinunua ndege mbili mpya aina ya bombadier q400 nextgen
kwa hiyo niwaombe tu watanzania wapende mali zao kwa sababu wakati mwingine nikiangalia mitandao na magazeti ni ajabu huwezi kuamini kama hao ni watanzania unakuta wanasifia tu ndege za watu wengine na wanazibeza za kwao | 2018-05-24T14:53:56 | http://www.bbc.com/swahili/habari-38207875 |
mbowe atuma ujumbe toka gerezani | mpekuzi
mbowe atuma ujumbe toka gerezani
katibu mkuu wa chama cha wananchi (cuf) seif sharif hamad ameweka wazi mipango ya mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo freeman mbowe baada ya kutoka gerezani ni kuungana na vyama vingine vya upinzani
katibu mkuu huyo ameyasema hayo baada ya kutumia siku ya jumamosi ya leo kuwatembelea viongozi mwenyekiti mbowe pamoja na mbunge esther matiko katika gereza la segerea baada ya kufutiwa dhamana
nimeitumia fursa ya kuonana na mhe freeman mbowe na mhe esther matiko kuwaeleza kuhusu azimio la zanzibar na mikakati ya vyama sita vya siasa kurudisha demokrasia tanzania mhe mbowe amenambia yuko pamoja na sisi na akitoka tu gerezani ataungana nasi kuendeleza atakapopakutia amesema maalim seif
aidha kiongozi huyo amebainisha kwamba viongozi hao wawili bado wapo imara na wana imani kwamba haki itatendeka juu yao | 2019-01-18T11:59:32 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/12/mbowe-atuma-ujumbe-toka-gerezani.html |
shirika la magazeti ya serikali zanzibar pinda awataka wabunge ccm kushikamana
waziri mkuu mizengo pinda ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya wabunge wa ccm amewataka wabunge wa chama cha mapinduzi (ccm) kuwa na umoja na kuacha malumbano kwani kwa kufanya hivyo wataiyumbisha nchi
pinda ametoa rai hiyo jana asubuhi (jumamosi 21 januari 2011) alipofungua semina ya siku tatu ya wabunge wa ccm iliyoanza jana hoteli ya blue pearl ubungo plaza jijini dar es salaam
waziri mkuu amesema lengo la semina hiyo ni kuwasaidia wabunge watambue wajibu wao wakiwa bungeni mada kuu ya jana ni kanuni za kamati ya wabunge wa ccm na kesho tutajadili wajibu wa wabunge wa ccm katika bunge la vyama vingi na hii itaendelea hadi jumatatu alisema
akihimiza kuhusu ushiriki wao bungeni waziri mkuu alisema kila mbunge anapaswa kusoma vizuri kanuni za bunge na kuzielewa ili waweze kuchangia kwa umakini mijadala ya bungeni kila mbunge ana wajibu wa kuhudhuria vikao vyote vya bunge na kipimo kizuri cha mbunge ni jinsi anavyoweza kuchangia mijadala katika bunge
aliwataka wabunge hao wawe wepesi kusoma machapisho na kufanya tafiti ili waweze kuwa na hoja nzito wakati wanapotoa michango yao bungeni
alitumia fursa hiyo kuwahimiza mawaziri wote wa serikali ya muungano wa tanzania kuwa makini na ratiba za vikao vya bunge ili wahakikishe wanakuwepo bungeni katika kipindi chote cha bunge
pia alimshukuru spika wa bunge anna makinda kukubali ofisi ya bunge igharimie semina hiyo pamoja na semina nyingine ambazo zitafanyika kwa wabunge wa vyama vingine
alisema leo mwenyekiti wa ccm taifa rais jakaya kikwete atahudhuria semina hiyo na kwamba anatarajiwa kuifunga jumatatu mchana
wakati huo huo waziri mkuu pinda ameahidi kutoa shilingi milioni 5 kwa ajili ya kuchangia ununuzi wa kompyuta 24 zinazohitajiwa na kituo cha kulea watoto yatima cha sos kilichopo barabaraya sam nujoma jijini dar es salaam
pinda alitoa ahadi hiyo alipotembelea kituo hicho na kukagua miundombinu ya kituo hicho ikiwemo pia madarasa ya shule ya awali pamoja na nyumba wanazoishi watoto hao
waziri mkuu alitoa mchango huo baada ya kuelezwa kuwa kituo hicho kina mpango wa kuanzisha darasa maalum la kompyuta (computer lab) ili watoto hao waweze kupata mafunzo ya teknolojia ya habari (it) na kwamba kituo kinahitaji kompyuta 24
mapema akimkaribisha waziri mkuu katika kituo hicho mkurugenzi wa taifa wa sos children villages rita kahurananga alimweleza waziri mkuu kwamba shirika hilo lina vituo vingine kama hivyo huko zanzibar na arusha na kwamba wana mpango kuanzisha vituo vingine iringa bagamoyo na mtwara ifikapo mwka 2016
naye mkurugenzi wa kijiji hicho dk alex lengeju alimweleza waziri mkuu kwamba kijiji hicho ni miongoni mwa vijiji 500 vya sos vya kulea watoto yatima vilivyopo katika nchi mbalimbali duniani ambavyo vinatumia mfumo wa familia mbadala
inaumiza kuona watoto wakiishia mitaani tunachofanya ni kuwachukua watoto ambao hawana ndugu kabisa tukiwaleta hapa wanaishi watoto 10 katika nyumba moja chini ya uangalizi wa mlezi ambaye ndiye mama wa familia hiyo wanakuwa na kaka na dada wa familia miongoni mwao tunawalea wakitambua mfumo wa kuishi kama familia na kuishi kama wanakijiji wakitambua uwepo wa majirani zao alisema
alisema kijiji hicho kina nyumba 13 zenye uwezo wa kuchukua watoto 130 lakini hadi sasa wana watoto 123 ambao wanasoma shule mbalimbali za jijini lakini wengi wao wako shule ya awali iliyopo ndani ya kijiji hicho shule ya awali ina watoto 83 wenye miaka kati ya mitatu na sita ambao 55 kati yao wanatoka familia za jirani hapa mwenge na sinza
alisema kijiji cha sos kimeanzisha pia mpango wa kuimarisha familia (family strengthening programme) kwa kutoa huduma kwa walengwa wanaoishi nje ya kituo hicho kwa kuwalisha kuwaelimisha na kuwaandaa wajitegemee kimaisha na kwamba hadi sasa wanahudumia watoto 200 na watoa huduma 53
alisema kutokana na mahitaji makubwa yaliyopo kwenye jamii wana mpango wa kuhudumia watoto 1000 ifikapo mwisho wa mwaka huu
alisema kutokana na majukumu hayo kama watapata eneo la kutosha kituo kina mpango wa kujenga shule ya msingi shule ya sekondari shule ya ufundi na hospitali ambavyo alisema vitatoa huduma kwa jamii inayowazunguka
imetayarishwa na gazeti la zanzibar leo at 0736 | 2017-11-19T02:58:31 | http://magazetismz.blogspot.com/2011/01/pinda-awataka-wabunge-ccm-kushikamana.html |
michuzi blog waziri mkuu majaliwa afungua maonyesho ya vyuo vikuu ataka programu za elimu ya juu ziwezeshe wahitimu kujiajiri ' if(imglength>=1) { imgtag = ' | 2017-12-15T19:32:44 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/waziri-mkuu-majaliwa-afungua-maonyesho.html |
anne makinda aongoza mkutano mkuu wadau bima ya afya mkoani simiyu simiyu yetu
home » » anne makinda aongoza mkutano mkuu wadau bima ya afya mkoani simiyu
mwenyekiti wa bodi ya mfuko wa bima ya afya (nhif) ambaye pia ni spika msaafu wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania anne makinda akiongea wakati wa mkutano mkuu wa wadau wa mfuko huo mkoa wa simiyu mkutano uliofanyika mjini bariadi katika kanisa katoliki bariadi
katibu wa itikadi na uenezi chama cha mapinduzi mkoa wa simiyu (ccm) geremia makondeko akichangia mada wakati wa mkutano mkuu wa wadau wa mfuko wa bima ya afya mkoani humo mkutano uliofanyikia katika ukumbi wa kanisa katoliki mjini bariadi
kaimu mkurugenzi wa mfuko wa bima ya afya nchini (nhif) bernard konga akitoa taarifa ya mfuko huo wakati wa mkutano mkuu wa wadau wa nhif mkoa wa simiyu ulifanyika leo katika kanisa katoliki mjini bariadi
meneja wa mfuko wa bima ya afya (nhif) mkoa wa simiyu amani emmanuel akitoa taarifa ya mfuko huo ya mkoa wa simiyu wakati wa mkutano mkuu wa wadau wa nhif mkoani humo mkutano uliofanyikia katika ukumbi wa kanisa katoliki mjini bariadi
mwenyekiti wa bodi ya mfuko wa bima ya afya tanzania (nhif) anna makinda (kushoto) akiwa katika mkutano wa wadau wa mfumo wa bima ya afya mkoani simiyu (kulia) ni mkuu wa mkoa huo antony mtaka | 2017-11-21T00:30:27 | http://simiyuyetu.blogspot.co.uk/2017/02/anne-makinda-aongoza-mkutano-mkuu-wadau.html |
waziri kairuki azindua bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma mtazamo news
home jamii waziri kairuki azindua bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma
waziri kairuki azindua bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma
waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah j kairuki (mb) akizungumza wakati wa hafla ya kuzindua bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora iliyofanyika mapema leo
mwenyekiti wa bodi ya kima cha chini cha mshahara katika sekta ya umma bigertrude mpaka (katikati) akizungumza baada ya uzinduzi wa bodi hiyo katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora mapema leo | 2017-08-21T17:49:35 | http://www.mtazamonews.com/2017/04/waziri-kairuki-azindua-bodi-ya-kima-cha.html |
serikali yalegeza msimamo kuhusu kodi ya line **waziri wa fedha akubali kuwapelekea wabunge wajadili upya
wakati serikali imeeleza nia yake ya kuangalia upya utozaji wa kodi ya kila mwezi kwenye laini za simu za mkononi imeeleza pia mpango wa kufunga mtambo maalumu ili kubaini malalamiko ya kampuni za simu kudaiwa kuiba fedha za watumiaji
katika kile kinachoonesha kusikiliza kilio cha wananchi serikali imesema inapitia maoni na mapendekezo yaliyotolewa na wadau ili kuiangalia upya sheria hiyo ya kutoza kodi ya sh 1000 kwa kila laini kwa nia ya kuwapunguzia wananchi mzigo huo
serikali imetoa kauli hiyo dar es salaam jana kupitia kwa waziri wa mawasiliano sayansi na teknolojia profesa makame mbarawa na waziri wa fedha dk william mgimwa walipozungumza na waandishi wa habari
dk mgimwa alisema hatua hiyo imekuja baada ya serikali juzi kukutana na watoaji wa huduma za mawasiliano nchini waliofika kuwasilisha maoni yao juu ya tozo hiyo kwa nia ya kuwapunguzia wananchi wa hali ya chini ukali wake
hata hivyo alipoombwa na waandishi wa habari kuyaeleza mapendekezo yaliyotolewa na watoa huduma hao wa mawasiliano dk mgimwa hakuwa tayari kuyataja hadharani zaidi ya kusema ni mapendekezo mazuri na rafiki kwa wananchi wa chini
tulijadiliana nao mambo mengi ambayo yatatusaidia mbele ya safari namna tunavyoweza kupunguza makali hasa kwa watu wa kipato cha chini alisisitiza dk mgimwa
alisema mbali ya maoni hayo ya watoa huduma za mawasiliano pia serikali imepokea maoni na ushauri kutoka kwa wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari na kuona umuhimu wa kuyapitia maoni hayo na kuyatolea majibu
serikali imepokea maoni na mapendekezo mbalimbali na sasa tunakwenda kuyafanyia kazi na baadaye tutakuwa na taarifa ya kuwaeleza wananchi ni nini tulichokiona juu ya kodi hii
tunajua wananchi wa chini wanaweza kuumia lakini si nia ya serikali kumuumiza mtu yoyote alisema dk mgimwa
hata hivyo kutokana na suala hilo kuwa la kisheria kutokana na kupitishwa na bunge dk mgimwa alisema serikali itatoa majibu ya nini kimekubaliwa baada ya suala hilo kurejeshwa tena bungeni na kuamulia vinginevyo
suala hili ni la kisheria jambo lolote likipita bungeni likawa sheria hata mimi waziri siwezi kulibadilisha lazima lifuate mkondo uleule vikao vya bunge vitakaa hivi karibuni na jambo hilo litajadiliwa huko alisisitiza dk mgimwa
makato hayo ya kodi kwa kila mtumiaji wa simu ya sh 1000 yalitakiwa kuanza kukatwa kuanzia julai mosi mwaka huu lakini dk mgimwa alisema kuwa kodi hiyo haijaanza kukatwa kutokana na mfumo wake kutokamilika
alisema nia ya serikali katika kodi hiyo ni kuboresha huduma za maji umeme na barabara hasa vijijini ili wananchi wawe na uwezo wa kufikisha mazao yao haraka sokoni na kwamba kodi hiyo si pekee kwani serikali ilipokea mapendekezo 67 ya kodi lakini baadhi yalionekana kutotekelezeka
wazo hili lilitoka katika kamati za bunge kwa wabunge wenyewe na sisi hatuchuji peke yetu mawazo hayo bali kuna kamati ya kodi na kamati ya bunge lenyewe ambazo pia zilihusika katika kutoa mapendekezo ya mwisho | 2018-09-20T17:02:56 | http://chumbachasiri.blogspot.com/2013/07/serikali-yalegeza-msimamo-kuhusu-kodi.html |
mhe victor k mwambalaswa mheshimiwa naibu spika nakushukuru sana kwa kunipa nafasi na mimi niweze kuchangia hoja hii iliyo mbele yetu napenda kumpongeza sana mheshimiwa waziri mkuu kwa hotuba yake hii nzuri sana ya kitaalamu pia napenda niwapongeze mawaziri wa nchi mheshimiwa jenista mhagama na mheshimiwa angellah kairuki naibu mawaziri mheshimiwa antony mavunde na mheshimiwa stella ikupa makatibu wakuu bibi maimuna tarishi bwana andrew massawe na bibi dorothy mwaluko hotuba yenu hii ni ya kitaalamu sana hongereni sana (makofi)
mheshimiwa naibu spika kwa ruhusa yako naomba kunukuu sehemu chache sana ukurasa wa sita ambapo hotuba inasema mheshimiwa spika katika mpango wa maendeleo na bajeti ya 2019/2020 serikali itaendelea kutekeleza mradi wa umeme wa maji yam to rufiji ujenzi wa miundombinu ya reli ya kisasa barabara pamoja na kukuza sekta ya anga utekelezaji wa miradi hiyo ya miundombinu wezeshi ya kiuchumi una lengo la kufungamanisha ukuaji wa sekta hizo na sekta nyingine hasa hasa za biashara kilimo na utalii
mheshimiwa naibu spika kukuza sekta za miundombinu ni kukuza uchumi nchi ya tanzania imebahatika kuwa na bandari nyingi na tumezungukwa na nchi nyingi ambazo hazina bandari tumezungukwa na nchi za malawi zambia congo hasa upande wa mashariki burundi rwanda na uganda na jamhuri ya kati ambazo hazina bandari kwa hiyo bahati hii ambayo ametupa mwenyezi mungu kuwa na bandari tuitumie vizuri
mheshimiwa naibu spika nimefurahishwa sana kwamba serikali sasa inaboresha bandari zote imeanza na bandari ya dar es salaam inakwenda bandari ya tanga na bandari ya mtwara na kujenga bandari mpya hapo bagamoyo tunapozitumia bandari hizi tujue kwamba kuna wenzetu nao ambao wana bandari msumbiji wana bandari ya beira afrika kusini wana bandari ya durban kubwa sana angola kuna bandari ya luanda zote hizi zinaangalia nchi hizi ambazo ziko landlocked kwa hiyo naomba tunapoziboresha bandari zetu tujue kwamba kuna ushindani wa kibiashara wataalamu wetu wahakikishe wanaweka vivutio vizuri vya kuweza kuzivutia nchi hizi zije kupitisha mizigo yao kwenye bandari zetu kuliko bandari za wenzetu tulitilie maanani sana suala hilo (makofi)
mheshimiwa naibu spika ukichukua reli ya kati hii mpya ambayo inajengwa ya standard gauge tulikuwa tunakazania sana kutoka dar es salaam tabora isaka kwenda mpaka kigali ambako na nchi ya rwanda nayo inajenga kipande kile kule na hii inayokwenda mpaka kigali inalenga mizigo ya rwanda uganda na jamhuri ya kati nchi ya burundi ina madini ya platinum zaidi ya tani milioni 678 sasa reli yetu tukitoa uvinza msongati tuongee na nchi ya burundi na yenyewe ijenge kutoka bujumbura kuja msongati tuongee na nchi ya congo ijenge reli kama hii kutoka bandari ya uvira ije mpaka bujumbura ili tuweze tuweze kuidaka ile mizigo ya congo kwani ina madini mengi sana tukiacha sisi wenzetu wa angola watajenga reli kutoka rwanda kuja lubumbashi au lusaka
kwa hiyo naomba sana tulenge mizigo ya congo burundi na jamhuri ya kati kwa sababu reli yetu hii ya standard gauge itakapokuwa tayari ina uwezo wa kubeba tani karibu milioni 20 za mizigo kwa mwaka naomba tulenge kuelekea huko
mheshimiwa naibu spika pamoja na reli hii ya kati ya standard gauge nimefurahishwa sana bado serikali inaendelea kuikarabati hii reli ambayo ipo sasa hivi ya metre gauge kwa hiyo hapa kati tutakuwa na reli mbili reli ya standard gauge na metre gauge mwaka jana nilisema kwamba tunaponunua rolling stock tuhakikishe tunanunua rolling stock ambayo unaweza ukatumia kwa reli zote mbili
mheshimiwa naibu spika pia tuna reli yetu ya tazara yenyewe haihitaji kuboreshwa katika miundombinu mingi inahitaji umeme tu reli ya tazara yenyewe ni cap gauge inaoana na reli za afrika kusini na zambia naomba na hii reli tuiboreshe kwa kuiwekea umeme ili reli zetu zote tatu standard gauge metre gauge na hii cap gauge zifanye kazi za kuhudumia nchi ambazo ziko landlocked
mheshimiwa naibu spika pamoja na hayo naipongeza sana serikali kwamba imenunua meli mbili au tatu kwenye ziwa nyasa ambazo zinafanya biashara nzuri sana ya kusafirisha binadamu na mizigo katika nchi ya tanzania malawi na msumbiji naomba sasa pale inyara tuweke bandari kavu na vilevile serikali ifikirie kujenga sasa reli kutoka hapo inyara kuelekea bandari ya itungi ili tuweze kuihudumia nchi ya malawi
mheshimiwa naibu spika mchango wangu ulikuwa ni huo tu katika hotuba hii naunga mkono hoja (makofi) | 2020-02-25T20:08:32 | http://parliament.go.tz/polis/contributions/10313 |
mshambuliaji wa liverpool mohamed salah atakosa mchezo wa timu ya taifa lake la misri wa kufuzu kwa fainali za kombe la mataifa ya afrika afcon 2021 dhidi ya kenya na comoros kutokana na maumivu ya kifundo cha mguu
mchezaji huyo mwenywe umri wa miaka 27 alitolewa nje ya uwanja katika dakika ya 87 wakati klabu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 31 dhidi ya manchester city katika mchezo wa ligi kuu ya england baada ya kuumia wakati akiwania mpira na fernandinho salah juzi jumanne alikutana na timu ya madaktari misri jijini cairo kwa ajili ya kufanyiwa uchuguzi wa maumivu yake
majeraha yake yanahitaji kipindi cha matibabu ili kumuwezesha kupona ilisema taarifa ya timu hiyo ya taifa ya misri
salah alikosa mchezo wa liverpool dhidi ya manchester united mwezi uliopita baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa leicester hamza choudhury katika sehemu hiyo hiyo ya mguu
kocha wa liverpool jurgen klopp ambaye alichukizwa na rafu hiyo ya choudhury wakati liverpool ikishinda mabao 21 alisema hilo ni pigo la hivi karibuni kabisa la salah ambaye msimu uliopita alishirikiana na wachezaji wengine wawili kuongoza kwa mabao mengi liverpool mchezo ujao itacheza ugenini dhidi ya crystal palace utakaofanyika novemba 23 | 2020-07-09T15:15:43 | https://habarileo.co.tz/habari/2019-11-145dccecc176509.aspx |
mbowe sikumtangaza dr slaa mgombea urais 2015 | jamiiforums | the home of great thinkers
mbowe sikumtangaza dr slaa mgombea urais 2015
discussion in 'jukwaa la siasa' started by sebm jan 3 2013
mwenyekiti wa taifa wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) amenukuliwa akikanusha kutanganza kuwa dkt slaa atakuwa mgombea wa urais kupitia chadema 2015 alifafanua kuwa alichokisema katika mkutano wa hadhara karatu mwishoni mwa wiki ni kuwa
1 chadema haina mgogoro bali ni mitazamo tofauti baina ya watu (hali ya kawaida panapokuwa na wengi)
2 hana nia ya kugombea urais 2015 3 yeye na dkt slaa hawagombanii urais 2015 dkt slaa amefanya mengi katika chama na hata uchaguzi wa 2010 alisaidia kupatikana kwa wabunge wengi
4 akiwa mwenyekiti wa chama atasimamia upatikanaji wa wagombea bora wa urais ubunge na udiwani
source tanzania daima 03/01/2013
1 gazeti la mwananchi limekuwa mstari wa mbele kuandika habari za upotoshaji kuhusu chadema 2 gazeti la mwananchi huibua habari bila ya kubalance mambo au kutupa mwendelezo(continuity)
3 nia ya mwananchi si kuongeza tu readership/circulation bali ni kupotosha kwa malengo wanayoyajua wao mfano habari ya mh arfi habari ya lema habari ya mh lema
1 chadema haina mgogoro bali ni mitazamo tofauti baina ya watu(hali ya kawaida panapokuwa na wengi)
3 nia ya mwananchi si kuongeza tu readership/circulation bali ni kupotosha kwa malengo wanayoyajua wao mfano habari ya mh arfi habari ya lema habari ya mh lemaclick to expand
gazeti la mwananchi wameanza kulewa sifa sasa wanaharibu
mimi nilijua tu mbowe na busara zake asingeweza kusema kama media zilivyoripoti sasi sana mwenye kiti kwa ufafanuzi
hili gazeti limeshanunuliwa na magamba
litakuwa limeingia kwenye payrol ya nepi
gazeti la mwananchi wameanza kulewa sifa sasa wanaharibuclick to expand
waandishi makanjanja hao
hivi mwananchi sisi si ndio tulioipandisha chati baada ya masumbuko lamwai kuleta za kuleta na majira yao mnaonaje kilichoitokea majira kirudi mwananchi kwa pamoja tunaweza dawa ni kulisusia tu kama inavyofanyika kwa majira uhuru mzalendo na mengine mengi ya kidaku
unapojibu habari unatengeneza habari ila kisiasa sio mbaya kila habari inatengenezwa kwa maana maalum
nilijifunza hili mwaka 1998 mwezi august tarehe 28
hivi vyama sijui vimelogwa naibu katibu anabwabwaja mwenyekiti naye anabwabwaja angalau katibu
nitaendelea kubakia bila chama kwa kweli
hilo gazeti ni kipenzi chama kiongozi mmoja wa juu wa cdm
nice sasa amesoma alama za nyakati na kujua kwamba alipotoka kuamua nani awe mgombea all under operation chaos lakini the damage is done tayari too late
au tiddo anataka kurudi tbc
chezea propaganda za magamba ninyieee
kina tuntemeke ritz na tandaleone wana mkanda walio mrekodi mbowe ngoja waje watusikilizishe
le mutuzclick to expand
ngoma ni ile ile 2015 dktslaa for presidency mpaka mkae
inanikera sana pale mtu mzima wa miaka 45+ anapokua anategemea ugali wa kengere yeye anachofanya ni upimp tu
mkuu huyo tuntemeke sijui huwa ni chama gani kwani kazi yake yeye ni kupotosha tu
hivi na wewe uwa chadema haya siyo maneno yangu namnukuu molemo
familia imeishaamua dr slaa ndiyo mgombea urais 2015 kupitia chadema dr slaa atosha molemo wa jf
wewe na mtei nani mwenye chama
mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) freeman mbowe amesema baadhi ya vyombo vya habari vimemlisha maneno na hivyo kupotosha kauli yake aliyoitoa katika mkutano wa hadhara jimboni karatu hivi karibuni
alisema kuwa upotoshaji huo umeibua mjadala kwa baadhi ya wanasiasa na vyombo kadhaa vya habari wakijaribu kupotosha kuwa ndani ya chama hakuna demokrasia
mbowe alifafanua kauli yake jana wakati akizungumza na tanzania daima na kueleza kile alichokisema katika mkutano wake huo ili kuondoa upotoshaji unaoendelea
alisema kuwa chimbuko la kauli yake lilikuwa ni baada ya kusikia watu wakisema kuwa kuna makundi ndani ya chama ambayo yanawaunga mkono yeye katibu mkuu dk willibrod slaa na naibu katibu mkuu (bara) zitto kabwe yakiwataka wagombee urais 2015
“nilichokisema ni kwamba hakuna makundi katika chama ila kuna mitazamo tofauti katika mambo mbalimbali jambo ambalo ni la kawaida sana” alisema
mbowe alifafanua kuwa aliwaambia wananchi kuwa hawana makundi bali wana utofauti wa mtazamo na kwamba hakuna ugomvi kati yake na dk slaa kwa sababu ya urais 2015
“nilisema sigombei hivyo hatugombanii vyeo tunaheshimiana na tunaelewana niliongeza kuwa 2010 sikugombea tulimtuma dk slaa na alitosha katika nafasi ile na hakuna anayebisha kuwa hakutosha maana alitupatia wabunge wengi
“niliwaambia kuwa mimi ni mwenyekiti nitasimamia kanuni na taratibu za kuwapata wagombea wazuri tangu rais wabunge na madiwani na nikasema ni vema tukawatambua wagombea mapema kwani hatutakubali wale wanaojiunga mwishoni kutoka ccm kwani tumegundua ni mamuluki
“hao wananilisha maneno kwa kunitolea kauli tofauti na niliyoisema kulingana na malengo yao” alisema
mbowe alisema kuwa anaomba watanzania waelewe kuwa yeye ni mwenyekiti wa chama na anaelewa umuhimu wa vikao na kuheshimu uamuzi wa vikao hivyo
“chadema si mali ya mbowe ni mali ya wanachama hivyo siwezi kupinga suala la uamuzi wa pamoja ambao mimi mwenyewe ndio nawashauri wengine” alisema
alisema kuwa yeye ni mmojawapo wa waasisi na amekuwa mjumbe wa kamati kuu zaidi ya miaka 20 sasa na kwamba anajua maana na umuhimu wa kufanya kazi kama timu lakini akaomba kuwa tafsiri za watu binafsi au baadhi ya vyombo vya habari zisipotoshe alichokisema
too late azma yao imeshajulikana mgombea wa chadema lazima atoke kaskazini
si nilisikia hili gazeti la mwananchi huwa linapelekewa habari na kizito flani baada ya kuziandika mwenyewenilisikia tu
mbowe katika kuizima kashfa ya ufisadi wa mradi wa maji akaona awapoze wana karatu kwa kuwaambia babu atakuwa raisi ajaye 2015
msijaribu kulikwepa hili wachangiaji wengi humu jf hasa wale wenye mrengo wa cdm bila kufikiri kwa kina waligeuka na kuwa sawasawa na gazeti hilo la mwananchi kwa kuandika wakipongeza maamuzi hayo yakupotoshwa ya mh mbowe tujifunze tuwe wa kwanza kukataa kile ambacho tunaamini ni kinyume cha taratibu maana leo hii tungekuwa tunapongezana kwa kile tulichokosoa heri yangu nilipinga
juzi mbowe akihutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa karatu mkoani arusha alisema katibu mkuu wa chadema dk willibrod slaa atapewa fursa ya kuwania tena urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 huku mwenyewe akijiweka kando kuwania nafasi hiyo
hata hivyo dk slaa alipoulizwa iwapo ana nia ya kuwania nafasi hiyo alihoji “kwani mwaka 2010 nilijitangaza mwenyewe iwapo wanachama wa chadema watanipendekeza nitafikiria kufanya hivyo” mwasisi wa chama hicho edwin mtei wajumbe wa kamati kuu profesa mwesiga baregu na dk kitila mkumbo naibu katibu mkuu zitto kabwe mwenyekiti wa bavicha john heche na mbunge wa arusha mjini godbless lema walitoa maoni yanayopingana kuhusu kauli hiyo ya mbowe
mtei alisema anaunga mkono kauli ya mbowe akisema kiongozi huyo hajakosea kumtangaza dk slaa kuwania urais mwaka 2015
“ninaunga mkono dk slaa kuwania tena nafasi ya urais mwaka 2015 mwenyekiti amemtangaza baada ya kupata baraka ya vikao vya chama” alisema mtei
ingawa mtei hakuwa tayari kusema ni kikao gani kilichopitisha jina la dk slaa kuwania nafasi hiyo alisisitiza “kuna vikao vya kamati kuu vimefanyika hivi karibuni vinaweza kuwa vimefanya uamuzi huo mwenyekiti hawezi kuzungumza jambo bila baraka za vikao vya chama”
hata hivyo kauli hiyo ya mtei inapingana na ile aliyoitoa oktoba 6 mwaka huu baada ya zitto ambaye pia ni mbunge wa kigoma kaskazini kutangaza kutogombea tena ubunge badala yake kusema anataka kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2015
mtei alisema hatua ya zitto kutangaza kuwania urais mapema kungesababisha mzozo na mpasuko ndani ya chama hicho
“hakuna shida kuonyesha hisia lakini unatengeneza mzozo mkubwa sana ukitangaza sasa mimi nimeshamshauri sana zitto ahakikishe anakiunganisha chama na siyo kukigawa wala kukivuruga”
alisema mbunge huyo kutangaza kutogombea tena ubunge na badala yake kujipanga kuwania urais mwaka 2015 kumekuja mapema mno na kuonya kuwa itaibua mzozo ndani ya chadema
mtei ambaye aliwahi kuwa waziri wa fedha na gavana wa benki kuu enzi za utawala wa mwalimu julius nyerere alisema kwamba wakati mwafaka ukiwadia chadema kitaamua ni nani mwenye sifa za kugombea urais huku akisema kina utaratibu wake wa kuwapata wagombea mbalimbali wa uongozi
hata hivyo zitto jana alikataa kuzungumzia suala hilo akisema “nimesikia hata mimi kwenye vyombo vya habari ila sina cha kuzungumza kuhusu hilo”
mwenyekiti wa taifa wa baraza la vijana wa chadema (bavicha) john heche alisema kauli hiyo mbowe siyo yake binafsi bali ni ya wananchi
“ni kauli na maoni ya watanzania wanaomwamini dk slaa kuwa anaweza kumudu kuliongoza taifa hili kama walivyoonyesha kwa kumpigia kura nyingi kuliko mgombea yeyote wa upinzani katika nafasi ya urais (mwaka 2010)” alisema heche
heche alisema ingawa ndani ya chadema kuna viongozi wengi wenye uwezo wa kuliongoza taifa nyota ya dk slaa bado inang’ara
msimamo wa heche uliungwa mkono na mbunge wa arusha mjini godbless lema ambaye alisema ni sahihi dk slaa kugombea urais mwaka 2015
lema alisema katika historia ya chaguzi za vyama vingi nchini hakuna mgombea wa upinzani aliyewahi kupata kura nyingi kama dk slaa mwaka 2010 akadai kwamba ndiyo maana hivi sasa ccm kinafanya kila njama kumdhoofisha
lema alisema hatua ya kumtangaza dk slaa kuwa mgombea wa urais mwaka 2015 itaondoa harakati za chinichini zilizokuwa zikifanywa na watu ndani na nje ya chadema kuwagombanisha viongozi wakuu wa chama hicho hasa mbowe na dk slaa
wakati mtei akieleza kuwa mbowe amepata baraka za chama profesa baregu alisema kutangazwa kwa jina la dk slaa kuwania urais ni maoni binafsi ya mwenyekiti huyo
“hayo ni maoni yake lakini vikao vya chama ndivyo vyenye uamuzi wa mwisho kuteua jina la mgombea urais na havijakaa” alisema profesa baregu
alipoulizwa maoni yake kuhusu sababu za mbowe kumtangaza mgombea urais sasa kabla ya wakati profesa baregu alisema “mbowe atakuwa amefanya hivyo kwa sababu watu wengi walikuwa wanadhani kwamba yeye pia anawania nafasi hiyo ya urais”
“hivyo ili kuweka mambo sawa ameamua kutangaza mapema kuwa hatawania urais na kwamba dk slaa ndiye anayefaa kuwania nafasi hiyo” alisema
profesa baregu alisema haoni tatizo kwa wanachama wa chadema kutangaza nia mapema kwa sababu hiyo ni haki yao kwa mujibu wa katiba “hata kama watu wengi watatangaza nia ya kuwania urais siyo jambo baya katika ujenzi wa demokrasia lakini uamuzi wa mwisho ni wa vikao vya chama”
kauli ya profesa baregu kuhusu vikao iliungwa mkono na dk mkumbo ambaye alisema kwamba anachojua vikao vya chama ndivyo vyenye uamuzi wa mwisho kuhusu uteuzi wa wagombea wa ngazi ya urais
dk mkumbo alionyesha shaka kama kweli mbowe alimtaja dk slaa kuwa ndiye atakayewania nafasi hiyo akisisitiza “ninachofahamu ni kwamba yeye ametangaza kuwa hatagombea nafasi hiyo”
aaaaah siasasihasa
mbowe katika kuizima kashfa ya ufisadi wa mradi wa maji akaona awapoze wana karatu kwa kuwaambia babu atakuwa raisi ajaye 2015click to expand
hujui unenalo huwezi kufanya japo utafiti kidogo tu kabla hujaamua kubisha achilia mbali kujenga hoja kinzani dhidi ya hoja nyingine au mtu mwingine usiyekubaliana naye
hujui unenalo huwezi kufanya japo utafiti kidogo tu kabla hujaamua kubisha achilia mbali kujenga hoja kinzani dhidi ya hoja nyingine au mtu mwingine usiyekubaliana nayeclick to expand
makene viongozi wako hawana dhamana utawatetea sana lakini haisaidii kitusuala hapa si kujenga hoja au utafiti tatizo ni matamko na jazda za jukwaani za viongozi wako wakilenga kuiteka hadhira mwisho wake wanajikuta wameharibu
tunapaswa kuwa makini sana na magazeti yetu yanaandika kile kitakachouza magazeti yao hata kama ni uongo bila kuwaza athari mbaya zitakazotokea shetani ana tabia hiyo hiyo ya kusema ukweli 99 na kuchomeka uongo 1 ambayo itadistort content & context ya habari yote tunapaswa kuwa makini sana nadhani cdm wanapaswa kuwaandikia magazeti yaliyopotosha habari hii na kuwapa onyo na iwapo watarudia kufanya yanayofanana na haya watangaze kuwa haya magazeti sio adilifu ili wananchi tuyakwepe
ina maana aliongea kichaga au kiswahili kama ni kiswahili aliyasema hayo anayoshutumiwa nayo
msijaribu kulikwepa hili wachangiaji wengi humu jf hasa wale wenye mrengo wa cdm bila kufikiri kwa kina waligeuka na kuwa sawasawa na gazeti hilo la mwananchi kwa kuandika wakipongeza maamuzi hayo yakupotoshwa ya mh mbowe tujifunze tuwe wa kwanza kukataa kile ambacho tunaamini ni kinyume cha taratibu maana leo hii tungekuwa tunapongezana kwa kile tulichokosoa heri yangu nilipinga click to expand
mkuu lufunguloasante kwa udadavuzi leo wanakana walichokinena wao wenyewetatizo la pro cdm ni kuunga mkono kila linalosemwa na viongozi wao hata kama ni la kipuuzi
15142405 | 2016-02-07T21:42:35 | http://www.jamiiforums.com/threads/mbowe-sikumtangaza-dr-slaa-mgombea-urais-2015.378466/ |
zanzibar ni kwetu taarifa kuhusu utata wa biashara ya gesi tanzania na kenya
taarifa kuhusu utata wa biashara ya gesi tanzania na kenya
taarifa iliyotumwa kwa umma kutoka wizara ya biashara na uwekezaji inasema kwamba tanzania itaendelea kuheshimiwa kwenye mikataba ya kibishara na nchi kenya
tarehe 24 aprili 2017 magazeti nchini kenya yalitoa taarifa ya kwamba serikali ya kenya itapiga marufuku uingizwaji wa gesi ya kupikia (
liquefied petrolium gas lpg ) nchini humo kutokea tanzania na kwamba gesi itakayoruhusiwa kuingia kenya ni ile itakayokuwa imepitia kwenye bandari ya mombasa peke yake baada ya kusoma taarifa hizi serikali ya tanzania iliwasiliana na serikali ya kenya ili kupata maelezo kuhusu hatua hii ambayo ni kinyume cha taratibu za kibiashara katika jumuiya ya afrika ya mashariki tarehe 18 mei 2017 serikali ya kenya ilitekeleza uamuzi wake kwa kuzuia shehena ya gesi isiingie kenya kutokea tanzania hatua hii ina athari kubwa kwa wafanyabiashara wa gesi ya kupikia hapa nchini pamoja na watu wote ambao ajira zao zinategemea biashara hii wakati hatua hizi zinachukuliwa bado serikali ya kenya ilikuwa haijatoa maelezo rasmi kwa tanzania kuhusu uamuzi wake huo katika kikao cha baraza la kisekta la mawaziri wa biashara viwanda fedha na uwekezaji la jumuiya ya afrika ya mashariki kilichofanyika tarehe 2 juni 2017 suala la hatua ya kenya kupiga marufuku uingizwaji wa gesi kutokea tanzania lilizungumzwa kwa kirefu na kufanyiwa maamuzi kimsingi serikali ya kenya ilikubali kuondoa katazo la uingizaji wa gesi kupitia tanzania mara moja na makubaliano haya yaliingizwa kwenye kumbukumbu za mkutano ambazo ziliafikiwa na nchi zote wanachama wa jumuiya kwa kuweka sahihi pamoja na makubaliano haya kenya imeendelea kuzuia gesi isiingie nchini mwao kutokea tanzania serikali ya tanzania imewasilisha rasmi malalamiko yake kenya kuhusu suala hili | 2018-01-21T22:07:44 | http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2017/06/taarifa-kuhusu-utata-wa-biashara-ya.html |
bamakita limeunga mkono kauli ya samuel sitta | jamiiforums | the home of great thinkers
bamakita limeunga mkono kauli ya samuel sitta
baraza la maadili la kiislamu tanzania (bamakita) limeunga mkono kauli ya waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki samuel sitta ya kuwataka wanachama wa chama cha mapinduzi (ccm) kuwangoa watuhumiwa wa ufisadi katika uchaguzi unaoendelea ndani ya chama hicho kwa kuwa watu hao ndio wanaochafua sifa nzuri ya chama
mwenyekiti wa bamakita sheikh athumani mkambaku alisema jijini dar es salaam jana kuwa baraza linaamini kwamba ccm ni chama kikubwa chenye viongozi wengi makini na wazoefu wa kuendesha serikali kuliko chama kingine chochote cha siasa nchini na kwamba wananchi walio wengi bado wanakiamini
hata hivyo sheikh mkambaku alisema chama hicho kimekuwa kikichafuliwa na baadhi ya viongozi wake wakuu ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kifisadi vya kuhujumu uchumi wa taifa
ndio maana tunaunga mkono kauli ya mheshimiwa sitta na tunaomba wanachama wa ccm waifanyie kazi kauli hiyo ili waweze kukinusuru chama chao dhidi ya wapinzani na pia watakuwa wamerudisha heshima ambayo imeanza kupungua kutokana na kashfa mbalimbali za ufisadi zinazowaandama baadhi ya viongozi wakuu wa chama hicho alisema sheikh mkambaku
kutokana na hali hiyo aliwataka wana ccm kuutumia vyema uchaguzi wa chama wa mwaka huu kuchagua viongozi waadilifu na kuondoa dhana kuwa watu wazuri na wachapakazi wanaowajibika kwa wananchi hawatakiwi katika chama hicho bali mafisadi ndio wanaopendeza
alisema dhana hiyo ndio imesababisha ccm kuitwa chama cha mafisadi wakati haiko hivyo
aliwaomba wana ccm watakaopiga kura kuchagua viongozi katika ngazi ya wilaya mkoa na taifa kuiga mfano wa yesu alipoingia katika hekalu la yerusalemu na kuzipindua meza za wabadilisha fedha na walanguzi na kuwaambia nyumba yangu itaitwa nyumba ya salama na ibada nyinyi mnaigeuza kuwa pango la wezi na wanyanganyi
hivyo sheikh mkambaku amewataka wana ccm kuwaambia mafisadi kuwa lengo la ccm ni kuwakomboa wanyonge na siyo kuwakandamiza na kuwafanya kuwa maskini kwa kuwapandishia gharama za maisha kwa kulipa madeni ya ujanjaujanja
leo iptl kesho richmond keshokutwa dowans na hatujui itafuta kampuni gani mambo kama hayo ni kikwazo cha maisha bora kwa kila mtanzania alisema sheikh mkambaku
sheikh huyo alisema njia pekee ya kukomesha wizi aliouita wa mchana kama huo ni kuwatoa mafisadi na vibaraka wao kupitia uchaguzi huo na kusema kwa kufanya hivyo watakuwa wameudhibiti pia upinzani
alisema kinyume cha hapo watakuwa wameimarisha upinzani kwa mikono yao na watashuhudia ccm ikiporomoka kwa kupoteza majimbo na hata nafasi ya urais na kusema hakuna kitu kisichowezekana kwani watanzania wa leo siyo wa jana
hivyo hakuna haja ya kuchagua viongozi wachafu ili baadaye mjipe kazi ya kuwasafisha wakati chama kinao watu wengi wasafi wasomi na wachapa kazi kwanini mjipe kazi isiyokuwa ya lazima alihoji sheikh mkambaku
mwishoni mwa wiki iliyopita akizungumza katika mahafali ya 11 ya shule ya msingi ya mchapuo wa kiingereza ya kwema wilaya ya kahama mkoani shinyanga sitta alisema ccm inatia aibu kutokana na kujiimarisha kwa kikundi cha wasiokuwa waadilifu wanaokifanya kizomewe na kukosolewa na wapinzani
alisema hali hiyo imeathiri mashiko ya ccm kwa umma na kukwamisha jitihada za serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ustawishaji huduma za jamii nchini
hawa bahakita na wao ni ccm kwa nini washabikie mambo ya ccm wananikumbusha enzi zile za tamko la maaskofu kikwete ni chaguo la mungu
ndio vikundi vinavyolelewa na ccm baadae vinavimba mkia kama ilivyo kwa akina ponda na vinajua kwamba vikundi vyote vya kibabaishaji nje ya ccm havitakuwepo
hawa bahakita na wao ni ccm kwa nini washabikie mambo ya ccm wananikumbusha enzi zile za tamko la maaskofu kikwete ni chaguo la munguclick to expand
wangeongea maaskofu kuirekebisha cdm kusingekalika humu kila mtu angekuja na utumbo wake lakini kwa kuwa serikali ina wadini kuanzia juu huwezi kushangaa hii ni kawaida kwao kwani wanaishi kwa misaada ni lazima wamtumikie bwana wao
bamakita limemuunga mkono fisadi kutaka mafisadi wenzake wangolewe jamani mfanyieni research mtu mwenyewe kabla hamjaamua kumuunga mkono kumbukeni ni nani alikuwa anazuia kuundwa kwa tume ya bunge kuchunguza issue za deepgreenwizi wa mabilioni ya kagoda na meremeta wakati drslaa alipowashikia bango bungeni please grow up
je huyu shekh ana ubavu kama wa ponda ingekuwa ponda kasema tungesubiri utekelezaji asingesubiri sisemu fisadi iafanye hivyo | 2017-01-19T19:48:26 | https://www.jamiiforums.com/threads/bamakita-limeunga-mkono-kauli-ya-samuel-sitta.328290/ |
licha ya kesi kagame atembelea marekani bbc swahili
licha ya kesi kagame atembelea marekani
http//wwwbbccom/swahili/habari/2010/05/100501_rwanda_kagame
rais wa rwanda paul kagame amewasili marekani akipuuza kesi iliyofunguliwa nchini humo dhidi yake kutokana na mauaji ya marais wawili wa kiafrika mwaka 1994
bw kagame alizungumza katika sherehe zilizofanyika mjini oklahoma kuwatunukia shahada wanafun zi wa kinyarwanda
image caption kagame alituhumiwa na ufaransa kwa mauaji ya marais wawili wa zamani wa afrika
wajane wa waliokuwa viongozi wa burundi na rwanda ambao vifo vyao viliibua mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 wamesema bw kagame aliamuru ndege yao itunguliwe
bw kagame amekanusha tuhuma hizo mawakili waliofungua kesi hiyo hawakuweza kuwasilisha nyaraka za kisheria wakati wa ziara yake
rais kagame alikuwa mzungumzaji mkuu wakati wa sherehe hizo zilizofanyika katika chuo kikuu cha kikristo cha oklahoma christian university siku ya ijumaa
alipeana mikono na wanafunzi wa rwanda pamoja na wasomi wengine na alisema elimu itakuwa ni njia pekee ya kuisaidia nchi yake kuendelea kuondokana na maumivu ya mauaji ya kimbari
hata hivyo aliondoka mapema kabla sherehe hazijamalizika na hakutamka lolote juu ya kesi iliyofunguliwa watu walioshuhudia wamesema alikuwa amezungukwa na walinzi
wajane wa marais wa zamani juvenal habyarimana wa rwanda na cyprien ntaryamira wa burundi hawaishi marekani lakini kwa mujibu wa mawakili wao waliamua kufungua kesi ya mauaji mjini oklahoma kwa sababu ya uhusiano alionao bw kagame na chuo kikuu hicho wanadai fidia inayofikia dola za marekani milioni 350
image caption mjane wa rais wa zamani wa rwanda agathe anadai fidia kwa serikali ya rwanda
msemaji wa chuo kikuu hicho ameliambia shirika la habari la associated press kwamba bw kagame amekwenda chuoni hapo kwa heshima ya wanafunzi na hatajihusisha na masuala ya siasa ya nchi yake
mwaka 1994 bw kagame alikuwa kiongozi wa waasi akiongoza chama cha rwandan patriotic front (rpf) kilichoiangusha serikali iliyokuwa madarakani
ndege iliyowachukua rais habyarimana ambaye alikuwa ni mhutu na bw ntaryamira iliangushwa tarehe 6 mwezi wa aprili mwaka 1994 serikali ya wahutu wenye siasa kali iliwashutumu rpf kwa kuhusika na utunguaji wa ndege hiyo
muda mfupi baadae wanaharakati waliweka vizuizi barabarani na kuanza maujia ya watutsi na wahutu waliokuwa na msimamo wa wastani kwa wakati mmoja takriban watu 800000 waliuawa wakati wa wimbi la mauaji hayo yaliyochukua siku 100
uhusiano na ufaransa
mara zote rpf imekuwa ikiwashutumu wahutu wenye msimamo mkali kwa kuiangusha ndege ya marais hao ili kupata kisingizio cha kutekeleza mipango yao ya mauaji
bw kagame pia alikuwa anatuhumiwa na ufaransa kuhusika na utunguliwaji wa ndege hiyo
mapema wiki hii vyombo vya habari vya ufaransa viliripoti kwamba jaji wa paris anayechunguza kuangushwa kwa ndege hiyo marc trevidic alikuwa na mipango ya kuwatuma wataalam nchini rwanda
jaji aliyechukua nafasi ya bw trevidic jeanlouis bruguiere ameituhumu rpf kwa kuitungua ndege hiyo na ametaka rais kagame akamatwe
hatua hiyo ilisababisha rwanda kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ufaransa serikali ya rwanda pia imeishutumu ufaransa kwa kuwaunga mkono watawala walioangushwa wa kihutu | 2017-12-17T02:46:36 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/05/100501_rwanda_kagame |
norway mining uzalishaji
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=norwayminpro&v=201811071456a1&lang=all&h=300&w=600&ref=/norway/miningproduction' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/norway/miningproduction'>tradingeconomicscom</a>
biashara kujiamini 890 890 2010 2290 indexpointi [+]
viwanda pmi 5610 5600 6410 3690 [+]
viwanda uzalishaji 450 070 1540 1310 asilimia [+]
viwanda uzalishaji (mwezi) 230 150 1230 930 asilimia [+]
viwanda uzalishaji 300 150 890 1040 asilimia [+]
uwezo wa matumizi 7920 7890 8550 7620 asilimia [+]
mabadiliko katika inventories 2990300 3010400 5727600 324500 nok milioni [+]
konkurser 45700 41900 59500 4300 makampuni na watu binafsi [+]
gari sajili 1409500 1405500 1901450 408900 [+]
uongozi index uchumi 030 060 100 040 asilimia [+]
mining uzalishaji 1170 410 6900 2820 asilimia [+]
steel uzalishaji 5500 5050 9700 000 elfu tani [+]
rushwa index 8500 8500 9100 7900 pointi [+]
rushwa rank 300 600 1400 300 [+]
umeme uzalishaji wa 1119800 1054400 1637600 665300 gigawatt saa [+]
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi norway mining uzalishaji | 2018-12-11T20:12:39 | https://sw.tradingeconomics.com/norway/mining-production |
vita vya kibiashara vya trump china yaonya kutetea maslahi yake dhidi ya marekani bbc news swahili
vita vya kibiashara vya trump china yaonya kutetea maslahi yake dhidi ya marekani
https//wwwbbccom/swahili/habari43534864
image caption rais trump ametangaza mpango wa kutangaza ushuru mpya dhidi ya china wa hadi $60bn dhidi ya bidhaa za china
matamshi hayo yanajiri katika simu kati ya makamu wa chama tawala cha china liu he na waziri fedha wa marekani steven mnuchin bwana trump ametangaza mipango ya kuziwekea ushuru wa hadi $60bn bidaa za china ikiilaumu china kwa wizi wa ubunifu
hatua hiyo imesababisha wasiwasi katika soko la hisa na hofu ya kuzuka kwa vita vya kibiashara bwana liu ambaye ni mshauri mkuu wa maswala ya kuuchumi wa rais xi jinping aliambia mnuchin kwamba beijing iko tayari kutetea maslahi yake ya kitaifa lakini ikatumai kwamba pande zote mbili hazitakuwa na upendeleo na kufanya kazi pamoja kulingana na chombo cha habari cha xinhua
marekani yawawekea vikwazo makampuni ya urusi na china
wakati wa mazungumzo ya simu ambayo yanadaiwa kuwa ya ngazi ya juu kati ya serikali hizo mbili tangu rais trump kutangaza ushuru huo siku ya alhamisi bwana liu pia aliishutumu marekani kwa kukiuka sheria za kimataifa kufuatia uchunguzi wake kuhusu hatua ya china kuigiza utengezaji wa bidhaa zake
huku kukiwa na wasiwasi kuhusu biashara mkurugenzi mkuu wa shirika la kibiashara duniani wto roberto azevedo alionya kuwa vikwazo hivyo vipya vya kibiashara vitaathiri uchumi duniani bwana trump hatahivyo amesema kuwa hatua ya marekani kuongeza ushuru dhidi ya bidhaa za china imeanza kuzaa matunda
kufuatia hatua hiyo ya rais trump china ilisema kuwa ilikua inapanga kulipiza kisasi kupitia vikwazo vya ushuru dhidi ya marekani wa thamani ya $3bn ikiwemo ushuru dhidi ya bidhaa za kilimo pamoja na aliminium
vikwazo vya marekani vyaathiri utalii wa korea kaskazini | 2018-11-15T12:35:15 | https://www.bbc.com/swahili/habari-43534864 |
haki haitendeki ndani wala nje ya uwanja soka yetu itaendelea vipi bin zubeiry sports online haki haitendeki ndani wala nje ya uwanja soka yetu itaendelea vipi bin zubeiry sports online
mwanzo > makala > haki haitendeki ndani wala nje ya uwanja soka yetu itaendelea vipi
haki haitendeki ndani wala nje ya uwanja soka yetu itaendelea vipi
senegal imefuzu fainali za kombe la dunia mwakani nchini urusi baada ya ushindi wa mabao 20 dhidi ya wenyeji afrika kusini uwanja wa peter mokaba mjini polokwane juzi
mabao ya senegal yalifungwa na mshambuliaji wa west ham diafra sakho dakika ya 12 na thamsanqa mkhize aliyejifunga dakika ya 38
ikumbukwe huo ulikuwa mchezo wa marudio baada ya ushindi wa 21 wa bafana bafana novemba 12 mwaka jana kutenguliwa na kuamriwa mechi irudiwe kufuatia refa joseph lamptey kufungiwa maisha na mahakama ya usuluhishi ya michezo (cas) ya shirikisho la soka la kimataifa (fifa)
fifa ilimkuta na hatia lamptey ya kupanga matokeo ili kuibeba afrika kusini
ikumbukwe septemba 7 mwaka huu idara ya mechi za kufuzu kombe la dunia 2018 ya fifa iliagiza mchezo kati ya afrika kusini na senegal uliofanyika novemba 12 mwaka 2016 urudiwe
bafana bafana iliibuka na ushindi wa mabao 21 dhidi y simba wa teranga novemba mwaka jana lakini ikabainika walimtumia refa kupanga ushindi huo
uamuzi huo unafuatia uthibitisho wa mahakama ya usuluhishi ya michezo (cas) kuafiki kifungo cha maisha cha refa joseph lamptey wa ghana kwa kuvurunda kimaamuzi katika mchezo huo hivyo kuadhibiwa na kamati ya nidhamu ya fifa kabla ya kukata rufaa iliyodunda kamati ya rufaa
na baada ya mchezo huo kurudiwa juzi senegal wanafuzu kombe la dunia nafasi ambayo waliipata kuipigania haki yao nje ya uwanja
huo ndiyo uzuri wa taratibu kufuatwa na haki kutendeka katika jambo lolote vitu ambavyo tunavikosa katika soka ya tanzania
huku kwetu ukishaumia uwanjani hauna sehemu nyingine ya kwenda kudai na kupata haki yao matokeo yake viongozi wanaamua kumalizia jazba zao kwenye vyombo vya habari
tangu ligi kuu ya nchi hii imeanza haijawahi kutokea mchezo hata mmoja ukarudiwa kwa sababu ya makosa ya kiuchezeshaji ya marefa wakati inafahamika waamuzi wa nchi hii pamoja na kwamba hawana ubora huo pia wanatiliwa shaka mno ya rushwa
wiki mbili zilizopita viongozi wa klabu mbili mfululizo walijitokeza kwenye vyombo vya habari kulalamikia uchezeshaji wa marefa wakitoa na ushahidi wa maamuzi yenyewe ya kimakosa
msemaji wa simba hajji sunday manara aliwaonyesha waandishi wa habari video ya mechi yao dhidi ya yanga oktoba 28 mwaka huu uwanja wa uhuru dar es salaam refa heri sasii akiwanyima penalti mbili za wazi
wiki iliyofuata mtendaji mkuu wa mbeya city emmanuel kimbe akalalamikia refa ahmed kikumbo kuwapa bao la offside simba katika mechi ya novemba 5 mwaka huu uwanja wa sokoine mbeya
hawa ni viongozi waliopata uthubutu wa kulalamika pamoja na kuwapo vitisho vya wenye mamlaka kufungia viongozi wanaokwenda kinyume na kanuni zilizowekwa lakini je wangapi ambao wanakosa ujasiri huo
tunataka ushahidi wa moja kwa moja refa anachukua rushwa kwa kiongozi wa klabu ili kupanga matokeo ndiyo tuchukue hatua tutasubiri sana
fifa imemkuta joseph lamptey na hatia ya kupanga matokeo afrika kusini ishinde dhidi ya senegal lakini katika ushahidi ilionao hawana kitu kinachoonyesha refa huyo wa ghana akipokea rushwa
nchini tanzania refa mmoja anatoa maamuzi ya utata mfululizo yanayoisaidia timu ile ile mara zote na bado hatua hazichukuliwi halafu wananchi wake wanajiuliza pembeni kwa nini soka yao haiendelei na kwa nini iendelee ikiwa haki haitendeki ndani na nje ya uwanja
item reviewed haki haitendeki ndani wala nje ya uwanja soka yetu itaendelea vipi rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
waziri kairuki aitaka tic kuimarisha huduma za mahala pamoja *waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (uwekezaji) angella kairuki akipata ufafanuzi kuhusu huduma za mahala pamoja kwa kaimu mkurugenzi wa huduma kwa wawek | 2019-02-21T05:29:09 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/11/haki-haitendeki-ndani-wala-nje-ya.html |
array(0) { } radio maisha | gavana godana mbele ya seneti
by carren papai 1 year ago
gavana wa tana river amekuwa na wakati mgumu kueleza matumzi ya fedha za kaunti yake kwa mujibu wa ripoti ya mkagauzi mkuu wa serikali godana ambaye alifika mbele ya kamati ya uhasibu ya seneti ikiongozwa na seneta moses kajwang hakuwaridhisha kabisa maseneta
kwa mujibu wa ripoti ya mkagauzi mkuu wa serikali takriban matumizi ya shilingi milioni 600 hayakuwajibikiwa huku seneta wa kiambu kimani wamatangi akieleza haja ya gavana huyo kuchukua muda zaidi kabla ya kurejea na majibu
kauli hiyo iliungwa mkono na mwenyekiti moses kajwang ambaye pia alishauri kwamba godana alihitaji kujifahamisha zaidi na maswali yaliyoibuliwa ili kuyajibu
seneta wa narok ledama ole kina kwa upande wake alimtaka godana kubeba msalaba wake akitofautiana na wenzake waliotaka apewe muda zaidi
related topics tana river county | 2020-07-06T00:40:39 | https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001326378/gavana-godana-mbele-ya-seneti |
uamuzi wa kihistoria wa mahakama ya katiba nchini korea ni kinyume cha sheria kutokuwa na utumishi wa badala wa kiraia | jworg habari
soma katika kiafrikana kialbania kiarmenia kiazerbaijani kibikoli kicheki kichewa kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidachi kidenishi kiebrania kiestonia kifaransa kifiji kifini kigeorgia kigiriki kihispania kihungaria kiindonesia kiingereza kiitaliano kijapani kijerumani kikirghiz kikorea kikrioli cha belize kikroatia kilithuania kimyanmar kinorwei kinyarwanda kipolishi kireno kirumania kirusi kiserbia kiserbia (cha roma) kislovaki kislovenia kiswahili kiswedi kithai kituruki kitwi kiukrania kivietnam kiyoruba kichitumbuka
juni 28 2018 kwa mara ya kwanza katika historia ya korea kusini mahakama ya katiba ilisema kwamba sehemu fulani ya sheria ya utumishi wa kijeshi nchini korea (msa) ni kinyume cha sheria kwa kuwa haihusishi utumishi badala kwa wale wanaokataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri uamuzi huo ni muhimu sana katika kubadili sera ya miaka 65 ya kuwafunga wanaokataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri
tangu mwaka wa 1953 ndugu zetu zaidi ya 19300 wamehukumiwa jumla ya miaka zaidi ya 36700 gerezani uamuzi huo unaandaa njia kwa mahakama kuu ya korea kuutumia katika visa vinavyohusisha wale wanaokataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri isitoshe watunga sheria nchini korea sasa wanalazimika kuanzisha utumishi wa badala wa kiraia kwa ajili ya wale wanaokataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri kufikia desemba 31 2019
sote tunashangilia pamoja na ndugu zetu nchini korea kwamba kuna msingi wa kukomesha ukosefu wa haki ulioendelea kwa miaka mingi sanamethali 1530
mahakama za korea kusini zinajitahidi kutafuta suluhisho kwa wanaokataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri | 2019-01-19T10:37:44 | https://www.jw.org/sw/habari/jw/eneo/korea-kusini/uamuzi-wa-mahakama-20180628/ |
maumivu ya kichwa ~ nyagei
maumivu ya kichwa hutokea watu wengi sana wa umri wote ni dalili inayopelekea watu wengi kwenda hospitali kwa ajili ya matibabu kuna sababu nyingi zinazosababisha maumivu ya kichwa nyingi zikiwa zisizohatarisha maisha ya mtu na baadhi zikiwa hatari kwa uhai wa mtu maumivu ya kichwa yanaweza kuwa ya kuanza mara moja ghafla (acute headache) au maumivu ya muda mrefu yanayokuja na kuacha (chronic headache)
dalili ambazo zinaweza kuambatana na maumivu ya kichwa ni homa kutapika kizunguzungu moyo kwenda mbio kupoteza fahamu kutoona vizuri kupata degedege na nyingine
kwa kawaida unapopata maumivu ya kichwa onana na daktari wako kwa matibabu ikiwa maumivu ya kichwa yanaambatana na dalili zifuatazo basi wahi haraka sana hospitali iliyo karibu na wewe kuona vitu viwili viwili au giza kupata degedege (convulsions) kupoteza fahamu kutapika sana na moyo kwenda mbio
sababu za maumivu ya kichwa
• ajali ya kichwa
• matatizo ya macho
• damu kuvuja kwenye ubongo
• shinikizo la damu la kupanda
• uvimbe kwenye ubongo
• upungufu wa damu
• upungufu wa maji mwilini
• kifafa
magonjwa ya kuambukiza kama
• homa ya uti wa mgongo
• homa ya tumbo
• ugonjwa wa toxoplasmosis
vipimo vinavyofanyika kutokana na maumivu ya kichwa hutegemea na chanzo chake vipimo hivi husaidia kugundua chanzo cha maumivu ya kichwa ili yatibiwe baadhi ya vipimo vifuatavyo vinaweza kufanyika
kipimo cha damu cha malaria au homa ya tumbo (typhoid)wingi wa damu (haemoglobin concentration)kipimo cha maji ya mgongo (lumbar puncture)xray ya kichwact scan ya kichwamri ya kichwa
maumivu ya kichwa hutibiwa na kuisha pale ambapo chanzo chake kimejulikana na kudhibitiwa pale ambapo chanzo hakijajulikana dawa za kutuliza maumivu hupunguza ukali lakini baadae yanaweza kujiridua tena dawa za nsaid kama diclofenac na paracetamol hutumika kutuliza maumivu huku matibabu mengine yakiendelea kwa baadhi ya hali zinazosababisha maumivu ya kichwa huitaji matibabu yanayoweza kuhusisha upasuaji
wakati mwingine maumivu ya kichwa yanaweza kutokana na msongo wa mawazo uchovu wa mwili na mambo mengi ya maisha kwa kuzingatia yafuatayo
kunywa maji mengi kila siku zisipungue lita 25 au glasi 10 kwa siku moja itakusaidia kupunguza uchafu mwilini na ubongo upate damu ya kutoshakufanya mazoezi kila siku angalau kwa nusu saa huimarisha kinga ya mwili wako mzunguko wa damu na ukakamavukupata mlo wenye virutubisho vya kutoshapata muda wa kupumzika wa kutosha angalau masaa 8 ya kulala wakati wa usikupata muda wa kutulia na kutafakari kuhusu maisha yako kupanga mipango yako na kutuliza nafsi yakopata muda wa kuwa na rafiki zako ndugu na jamaa unaowapenda
posted in health on 5/21/2016 030800 pm by michael nyagei | leave a comment edit | 2017-05-28T16:26:58 | http://nyagei.blogspot.com/2016/05/maumivu-ya-kichwa.html |
tundu lissu ameahidi kumsadia mbunge peter lijuakali | ishi kistaa
home news tundu lissu ameahidi kumsadia mbunge peter lijuakali
tundu lissu ameahidi kumsadia mbunge peter lijuakali
baada ya mahakama ya wilaya ya kilombero kumhukumu mbunge peter lijuakali kwenda jela miezi sita bila ya kulipa faini mwanasheria wa chadema tundu lissu ameahidi kumsaidia mbunge huyo
tundu lissu amesema kuwa hukumu aliyopewa mbunge huyo ni ya kisiasa na ilipangwa na chama cha mapinduzi kwa ajili ya kuikomoa chadema lakini atahakikisha anamtetea mbunge huyo mahakamani kwa kukata rufaa
peter lijuakali mbunge wa kilombero aliyehukumiwa miezi sita jela
mwanasheria huyo wa chadema amesema hayo leo makao makuu ya chama chadema kinondoni jijini dar es salaam wakati wa kikao na waandishi wa habari
lissu amesema chadema inaamini lijualikali ni mfungwa wa kisiasa na kwamba adhabu ya kifungo bila faini ni kinyume na haki za binadamu na imetolewa kisiasa
pia lissu amesema kuwa kisheria hata kama mbunge huyo atatumikia kifungo hicho hataweza kuvuliwa ubunge wake kwa sababu sheria inaeleza kuwa mtu atakayevuliwa ubunge ni aliyetumikia kifungo cha zaidi ya miezi sita na kwamba kosa alilolifanya siyo la utovu wa uaminifu kama katiba inavyoeleza
previous articleduterte ayaagiza mashirika ya serikali kugawa dawa za uzazi wa mpango bure kwa watu maskini
next articlemakelele ateuliwa kuwa kocha msaidizi wa swansea city
thadei mhagama january 12 2017 at 954 pm
comment tumia sheria yako kumsaidia mbunge mwenzio hilo ndio jema
jeshi lataka mgogoro wa viongozi kumalizika zimbabwe
kimbunga maria chafanya uharibifu kisiwa cha caribean | 2020-06-01T15:29:34 | http://www.ishikistaa.com/tundu-lissu-ameahidi-kumsadia-mbunge-peter-lijuakali/ |
ushirika wa matibabu wa jumuiya ya madola 2018 kwa wafanyakazi wa matibabu ya midcare kujifunza katika umoja wa mataifa (fully funded) | fursa kwa waafrika
nyumbani cameroon ushirika wa matibabu wa jumuiya ya madola 2018 kwa wafanyakazi wa matibabu ya midcare kujifunza katika
ushirika wa matibabu wa jumuiya ya madola 2018 kwa wafanyakazi wa matibabu ya midcare kujifunza katika umoja wa mataifa (fully funded)
maombi tarehe ya mwisho 2359 (bst) on 21 mei 2018
ushirika wa matibabu wa jumuiya ya madola ni kwa wafanyakazi wa katikati ya matibabu kutoka nchi za chini na za kati kuongeza ujuzi wao wa kliniki
ilifadhiliwa na idara ya uingereza ya maendeleo ya kimataifa (dfid) ushirika wa matibabu wa jumuiya ya madola huwawezesha watu wenye vipaji na wenye motisha kupata ujuzi na stadi zinazohitajika kwa maendeleo endelevu ushirika huu hutolewa chini ya pili ya mandhari ya csc
kuomba kwa ushirika huu lazima
uwe na milele ndani nchi inayofaa ya umoja wa mataifa
kuajiriwa na hospitali inayohusishwa na chuo kikuu
kuwa inapatikana kuanza ushirika wako nchini uingereza januari 2019
je umekuwa daktari kati ya 1 oktoba 2008 na 30 septemba 2011 au kabla ya 1 oktoba 2003
kuwa na sifa katika shule ya matibabu inayojulikana na machapisho ya dunia ya shule za matibabu
imekutana na mahitaji ya lugha ya kiingereza ya baraza la matibabu mkuu (gmc) na 31 agosti 2018
ushirika kila hutoa
ndege inayoidhinishwa kutoka nchi yako ya uingereza kwenda uingereza na kurudi mwishoni mwa tuzo lako (csc haitayarudisha gharama za ada za watetezi wala kawaida gharama ya safari kabla ya tuzo yako kuthibitishwa)
msaada wa msaada wa utafiti unaolipwa hospitali ya chuo kikuu chako
kutoa misaada kwa kiwango cha £ 1627 kwa mwezi au £ 2019 kwa mwezi kwa wale walio hospitali za chuo kikuu katika eneo la mji mkuu wa london (viwango vinavyotajwa katika viwango vya 20172018)
ulipaji wa ada kwa ajili ya mtihani wa lugha moja ya kiingereza na ada ya usajili wa general medical council (gmc)
kizuizi cha mavazi ya joto
jifunze ruzuku ya kusafiri kuelekea gharama za kusafiri kupitishwa nchini uingereza
ikiwa wewe ni mjane talaka au mzazi mmoja mchango wa mtoto wa £ 457 kwa mwezi kwa mtoto wa kwanza na £ 112 kwa mwezi kwa mtoto wa pili na wa tatu chini ya umri wa 16 ikiwa unaongozana na watoto wako na wao wanaishi nawe kwenye anwani sawa nchini uingereza
lazima uombee kwenye mojawapo ya mwili uliochagua kwa mara ya kwanza csc haikubali maombi ya moja kwa moja kwa ushirika huu
vyuo vikuu / vyuo vikuu vya matibabu
katika bangladesh india na sri lanka tume ya kitaifa ya misaada ya chuo kikuu
katika pakistan tume ya elimu ya juu
maombi yote lazima ufanyike kupitia mwili wa kuteuliwa katika nchi yako ya nyumbani kila mwili wa kuteuliwa ni wajibu wa mchakato wake wa uteuzi lazima uangalie na mwili wako wa kuteua kwa ushauri wao maalum na sheria za kutumia na kwa tarehe yao ya kufunga ya maombi
lazima ufanye programu yako kutumia mfumo wa maombi ya csc maombi yako yanapaswa kuwasilishwa na kuidhinishwa na mojawapo ya miili ya kuteuliwa inayostahili iliyoorodheshwa hapo juu csc haitakubali maombi yoyote ambayo hayajawasilishwa kupitia mfumo wa maombi ya csc kwa mwili wa kuteuliwa katika nchi yako
maombi yote yanapaswa kuwasilishwa na 2359 (bst) on 21 mei 2018 kwa hivi karibuni
lazima utoe nyaraka zinazofuata ambazo zinapaswa kupokea na csc 2359 (bst) on 28 mei 2018 ili programu yako istahili kuzingatiwa
marejeo ya kitaaluma kutoka angalau watu wawili
tembelea tovuti ya rasmi ya umoja wa matibabu ya umoja wa mataifa 2018
makala zilizotanguliakituo cha utafiti wa maendeleo kusini mwa afrikaujerumani (sager cdr) madawa ya uzamili & phd 2018 / 2019 (iliyopangwa)
makala inayofuataernest & young (ey) kusini mwa afrika ushindi wa wajasiriamali wanawake ™ mpango 2018 kwa wajasiriamali wanawake wanawake
muungano wa kuimarisha amani (afp) 2018 mfuko wa ufadhili kwa watengenezaji wa amani wa ndani (fondly funded to washington dc usa) | 2018-08-15T07:06:45 | https://sw.opportunitiesforafricans.com/commonwealth-medical-fellowships-2018-2019-enhancing-clinical-skills-for-mid-career-medical-professionals/ |
video umwana wakoze benshi ku mutima yahembwe miliyoni nigare kubera ibyo yagaragaje | ukwezicom
10112017 saa 1537' | by chief editor | yasomwe n'abantu 17813 | ibitekerezo 4
rukundo yasiri ni umwana wimyaka 8 gusa yamavuko wiga mu mwaka wa kane wamashuri abanza mu kigo cyamashuri cya rugarama i nyamirambo mu mujyi wa kigali inkuru yigikorwa yakoze yanyuze umutima wa benshi ndetse yagiye afashwa kubona amafaranga yamufasha we numuryango we none nyuma yibyo yanashimwe nikigo cyigihugu cyamazi isuku nisukura wasac cyamuhembye amafaranga yu rwanda miliyoni imwe ndetse ahabwa nigare ryabana
byose bijya gutangira hari tariki 26 nzeri 2017 uwitwa camarade virgile yasanze rukundo yasiri mu muhanda abona afite agapande ka supernet arimo kugerageza gupfuka itiyo yamazi yari yatobotse virgile yarabibonye arahagarara hanyuma umwana amubonye arikanga ahita avuga ati si njyewe wayimennye ahubwo ndi kugerageza kuhafunga ngo amazi areke kumeneka
camarade yakozwe ku mutima nubutwari bwa rukundo yasiri maze bucyeye ajya kumusura iwabo ndetse abonana nababyeyi ye yasanze yasiri avuka mu muryango w abana batatu akaba ari we mfura akurikirwa na mushiki we ufite imyaka ine ndetse umunsi camarade virgile amusanga agerageza guhoma itiyo uwo mushiki we niwe yari avuye kugeza ku ishuri abo bombi bakurikirwa na ausaza wabo ukiri uruhinja
reba video yikiganiro virgile yagiranye na yasiri nyuma yo kubona igikorwa yakoze
se wa yasiri aracyari muto kuko afite imyaka 30 yamavuko ubwo virgile yajyagayo akaba yarasanze nta kazi afite kuko mbere yakoraga ububaji ariko aho yakoraga baje gufunga abura akazi virgile yasanze kubura akazi kuri se wa yasiri byaratumye amukura mu ishuri yishyuraga amafaranga yu rwanda 25000 amujyana mu ryo bishyura 6000 ibintu ababyeyi buyu mwana bombi bahamije ko byatumye umwana wabo asubira inyuma mu bumenyi nimyigire ye ariko bakabura uko bagira
camarade virgile wari wakozwe ku mutima cyane abo yari yasangije inkuru ya yasiri bari bamweretse ko bafatanya gushimira uyu mwana umutima yagize ubwo yabazaga ababyeyi be icyo bumva uyu mwana yahabwa nkishimwe nyina umubyara yagize ati urebye kubera ko ari agashimwe kumwana sinzi niba abo mwavuganye babishobora ariko yasri na mushiki we ahantu biga ntituhishimiye pe ni uko nyine ubushobozi bwanze abo bacuti bawe badufashije tukamusubiza mu ishuri yigagamo byaba byiza kuko yabona ubumenyi nubwenge tumwifuriza papa yasri nawe icyo gihe yongeyeho ati nkubu kubona akazi ni ikibazo ariko mumfashije kubona akazi nakongera nkita ku muryango nkuko nabikoraga mbere erega ibintu ntibyoroshye
kuva icyo gihe abantu batandukanye bagiye bakusanya inkunga yo guha ishimwe yasiri ku bwumutima yagaragaje ugakora benshi ku mutima ndetse na wasac yamenye bwangu ibyakozwe nuyu mwana bahita bajya kumusura bategereza kuzagira icyo bamukorera kizamushimisha
tariki 10 ukwakira 2017 camarade virgile yari amaze gukusanya amafaranga yu rwanda agera kuri 140805 atabariyemo ayabantu bari bagize icyo bamwemera ariko batarayamuha kuva ubwo bahise bisuganya bapanga uko bajya gusura yasiri bakamugezaho niri shimwe ryavuye mu bantu batandukanye bakozwe ku mutima nibyo uyu mwaka ukiri muto yakoze
kuri uyu wa gatanu tariki 10 ugushyingo 2017 ubuyobozi bwa wasac bwasanze uyu mwana ku kigo cyamashuri yigaho bamuhemba amafaranga yu rwanda agera kuri miliyoni imwe ndetse bamuha nigare byombi ngo bizamufashe kurushaho kunoza ibyo yiga bamugeneye iri shimwe ngo nabandi bana babonereho bamenye ko kubungabunga amazi no kwanga ko yangirika ari igikorwa cyiza gikwiye kuranga buri wese
umuyobozi mukuru wikigo cyigihugu gishinzwe gukwirakwiza amazi isuku nisukura aime muzola washyikirije uyu mwana ibihembo bye byishimwe yasabye nabandi bana biga ku ishuri rimwe na yasiri kuzajya bakurikiza urugero rwiza yabahaye ndetse abizeza ko nundi warangwa nigikorwa cyiza muri bo yabishimirwa
john kuya 14112017
ko mujya muvuga ngo message nohereje wayibonyeicyo ni ikinyarwandaikingenzi nuko ubutumwa bwumvikanye
augustin kuya 10112017
igitembo kiba ari plastic
kim kuya 10112017
itiyo si ikinyarwanda bavuga igitembo cg uruhombo | 2017-12-16T22:29:50 | http://www.ukwezi.com/mu-rwanda/17/VIDEO-Umwana-wakoze-benshi-ku-mutima-yahembwe-miliyoni-n-igare-kubera-ibyo-yagaragaje |
ugandan bill would require hiv status disclosuretanzania tuko tayari kwa hii sheria | jamiiforums | the home of great thinkers
ugandan bill would require hiv status disclosuretanzania tuko tayari kwa hii sheria
discussion in 'jukwaa la sheria (the law forum)' started by shadow dec 19 2008
je tuko tayari kulifanya kuwa kosa la jinai kwa mtu anayeambukiza ukimwi makusudi vipi kuhusu wapenzi kupelekewa kopi ya hiv status yako
ugandan bill would require hiv status disclosure
uganda's hiv and aids prevention and control bill 2008 which is under consideration by a committee in parliament aims to criminalize the intentional transmission of hiv guarantee access to treatment for hivpositive people and provide protection against discrimination for people living with the disease uganda's daily monitor reports
according to the monitor the draft law comes at a time when public health workers are expressing concern about uganda's hiv prevalence and an increasing incidence of new cases the proposed bill will be the ugandan government's first formal effort to criminalize hiv transmission the monitor reports
according to the monitor the bill encourages hivpositive people to inform their partners about their status and follow prevention and treatment measures to prevent transmission of the virus the draft law also recommends that health workers notify the sexual partners of people who test positive for hiv if the individual has been given reasonable opportunity to inform their partner(s) of their hivpositive status and has failed to do so
although the bill provides for voluntary hiv testing and counseling it also would require mandatory testing for people charged with drug abuse illegal possession of medical instruments sexual offenses and commercial sex work in addition the draft law would permit a court to order an individual to undergo an hiv test with or without his or her consent sexual assault survivors as well as pregnant women and their partners also would undergo routine hiv testing under the proposed law according to the monitor the disclosure terms of the law stem from recent research indicating that hiv transmission commonly occurs among married couples
in addition to the disclosure requirements the proposed legislation provides certain protections and services for people living with hiv including pre and posttest counseling the monitor reports the bill calls for all pregnant women who test positive for hiv to receive antiretroviral treatment and medication to prevent mothertochild transmission of the virus in addition the law would provide hiv testing for infants born to hivpositive mothers and guarantee treatment care and support for hivpositive infants
under the draft law employers would be forbidden to require mandatory hiv testing for their employees and other officials could not require hiv tests before providing services such as credit insurance or loans in addition the draft law prohibits discrimination on the basis of hiv status in schools workplaces or in bids for public office the law also calls for increased safety measures in hospitals
several hiv/aids advocates have expressed concern about the disclosure requirements of the proposed legislation claiming that the provisions could eliminate the confidentiality of voluntary testing and contribute to increased transmission of hiv stella kentutsi of the national forum of people living with hiv/aids networks in uganda said that criminalizing hiv transmission will automatically affect disclosure which has been encouraged and it will therefore increase the level of silent transmission among the population robert ochai executive director of the aids support organization added that the disclosure clauses should be amended or deleted from the draft bill
however chris baryomunsi vice chair of the ugandan parliament's committee on hiv/aids and related matters defended the proposed legislation saying that other countries have passed similar laws criminalizing hiv transmission he added that the bill could be amended to address concerns from various groups supporters of the bill also argue that the disclosure requirements will help hivnegative partners undertake measures to prevent contracting the virus from an hivpositive partner (naturinda daily monitor 12/12)
waganda kwenye tatizo la ukimwi ni # 1 duniani
nchi zilizo endelea zina dawa kibao za kupunguza makali ya ukimwi lakini waganda dawa yao kubwa ni hii ya kuweka mambo wazi
kwa hilo ninawasifu
sisi watanzania kama yalivyo mataifa mengi duniani ukimwi unatumaliza kama zimwi mwenye njaa kali lakini wapi bwana
ufuksa kwa viongozi wa serikali na hata dini umechukua sehemu ya imani
wakuu wanajamiiana na kila wanaye mtamani kama vile wanapiga sala asubuhi mchana na jioni
ukiongea lolote kuhusu ukimwi utaambiwa ujumbe wako umebeba matusi na maneno mengi ya aibu kinyume na mila zetu
mila za watanzania ndo zipi
mila za makabila zaidi ya 126 pale tanzania ndo zipi
sasa sijui ni mila ya kabila gani ambayo inaruhusu mama mzima miaka 50 kumvulia kaptula na kumkatia mauno kijust wa miaka 25 ambaye ni kama mtoto wake wa kumzaa
mila gani hiyo ya mijibaba mizima mvi kichwa kizima vitambi vikubwa kuvunja adabu zao uchi kwa vijibinti vya miaka 17 sawa na wajuukuu zao
elimu ya ukimwi ni kweli inabeba maneno mengi mazito yatajayo viungo nyeti
lakini nadhani umuhimu wa kuweka mbele elimu ya ukimwi na uwazi kuhusu ukimwi uko juu ya unyeti wa kutaja sehemu au viungo vya kujamiiana na tendo la kujamiiana hadharani
nijuavyo mimi elimu kuhusu ukimwi inapingwa na viongozi wa kiserikali na kidini tu kwa sababu inavuruga na kufukuza mawindo yao chee ya vibinti na vijust ambavyo vipo tayari kujiingiza kwenye tendo la ngono ili kupata fedha au kunufaika kwa namna yeyote kiuchumi na kukoga wenzao hata pale vijuapo matokeo ya mwisho ya kunufaika huko ni kifo
hiyo bill ya waganda sisi hatuwezi ni maji ya shingo
madila
asante analysis yako nzuri sasa kulingana na mapungufu yetu watanzania kuna haja kuwa na sheria kama hiyo ya uganda ukichukulia kuna watu wanasambaza vvu kwa makusudi kuna suspect mmoja naambiwa yeye anawapatia dozi ya vvu na gari jekundu mimi naona kuna haja ya kuwa na criminal offense kwa watu wanaosambaza vvu wengine wanatumia madaraka yao kugawa vvu etc
although intentions zake ni nzuri mi naona hii sheria itasababisha watu kuogopa kupima ukimwi zaidi kwa sababu ukiwa positive na usipomwabia mpenzi basi kesi hiyo sidhani kama unaweza ukashtakiwa kama ulikua haujui status yako so ignorance inaweza ikaonekana bomba zaidi
huyo wa vigari vyekundu amepima hiyo status yake mmeijulia wapi jamani bongo noma
waganda walishavuka hatua ya kuogopa kupima vvu siku nyingi
hatua wanayoichukua sasa hivi iko juu sana ukilinganisha na mahali sisi watanzania tulipo
kwetu ni jambo lisilofikirika kutoa taarifa ya chanzo cha awali cha kifo kama ni ugonjwa wa ukimwi
hatua ya waganda kwetu bado ni ndoto
tumebaki na marehemu aliugua kwa muda mrefu
tunaona aibu kusema sababu ya kifo kwa vile tanzania ukimwi unaambatana na dharau na masimango au wenyewe siku hizi wanaita kunyanyapaa
ana ukimwi huyo
kwisha habari yake kaikwa miyawa huyo
mahali pa kuanzia ni kuondoa huo unyanyapaa na kuuona ukimwi kama ugonjwa unao kuandaa kuugua magonjwa ya kawaida na kushindwa kupona
ni sawa na kumcheka askari mwenzio aliyepoteza silaha vitani mara ashindwapo kujibu mapigo na kumiminiwa risasi bila huruma
kama tusipochukua hatua sasa si tutaendelea kuwa tunasem 'wabongo dno tulivyo' suala ni nini kifanyike ili kupunguza maangamizi pili ni kitu gani kifanyike kupunguza au kuzuia maambukizi ya makusudi hili kulinda jamii mimi nafikiri katika kuwalinda wanandoa hari inaruhusu kuweka hata kifungu kuhusu marital rape
mzee kuna kitu kinaitwa 'ushahidi wa kimazingira' waenga wananena kwamba usipojua kufa chungulia kaburi
i beg to differ hii analysis ama iko biased or incomplete linapokuja suala la kuambukizana ukimwi it is a two way traffic muambukizwa na muambukizwaji
wewe umelenga sana kwa viongozi na na wamama/wababa wakubwa hiyo nniosehemu ndogo tu ya jamamii kuna vijana wengi sana wavivu na wenye tamaa wanapenda na wanatafuta wamama wa kuwabeba
mashuleni na hata vyoni kumajeaa ngono zembe watoto wadogo wanajipitisha piatisha na kujiuza kwa watu wazima
kumlaumu mtu bila ya kuangalia upande wa pili unabeahave namna gani hatutapata suluhisho mimi sio mbaba/mmama au kiongozi nakajribu kuangalia upande mwingine wa shilingi maambikizi sio kuwa yanatoka kwa kiongozi kwenda kwa muongozwa yeye kapata wapi
ninazo criticism nyingi lakini muda kidogo ni hayo tu naweza kupingwa au mwingine akaoingezea
if that is the case inamaanisha kuna mwito wa kuwa na sheria hii kwa hiyo tunarudi pale pale mfano umeongelea kuhusu vijana wenye tamaa lakini angalia pia kwamba kuna mashuga mami na mashuga dadi walioko kwenye vvu ambao wana mentality ya kwamba lazima waende na wengi rationale ya kuwa na hii sheria ni kujaribu kuzuia watu kuambukizana kwa makusudi
ninavyoona mimi hii sheria iletwe pia tanzania itapunguza kuambukizana kwa hili gonjwa hali ya ukimwi iwe wazi watu wapimwe na wawaambie spouses or intended spouses na marafiki ili anayeingia katika ushirika na jamaa ajue anachokiingia wale wanaoambukiza wenzao makusudi wafunguliwe mashitaka
kumuambukiza mtu ukimwi makusudi ni sawa na kuhujumu uchumi maana huyu mtu ni economic resource he/she could work start a bussiness or become the next bill gates etc
kitu tu cha kuangalia ni kuwa baada ya kujulikana waathiriwa wasidharauliwe au kutengwa wae na haki sawa na watu wegine kushiriki katika shughuli za kawaida pomoja na kwenda kazini na sehemu nyinginezo
watu wazima hujifunza kutoka kwa vijana wadogo au ni kinyume chake
lunanilo said ↑
sasa hilo litawezekana kwenye tanzania yetu
ushahidi upi huo jamani na muhimu zaidi utasimama mahakamani
social stigma is the main problem here otherwise haina das
kabla ya kwenda mbali kote kwenye bill
tujiulize swali moja na kujaribu kulijibu honestly
chukulia ukimwi unapatiwa dawa na unamalizika kesho jioni
tungefanya sherehe za aina gani kwa tukio hilo
sherehe zingeanzia wapi na kumalizikia wapi
sherehe zingechukua mkondo na sura gani
hatimaye sherehe zingetoa picha gani ya maadili ya kiutu na kibinaadamu baba angerudu nyumbani saa ngapikutoka kwnye sherehemama je watoto viogozi wetu etc
sherehe hizo zinsigetoa picha ya chanzo cha kweli cha tatizo la hiv aids
if that is the case why bother kutokomeza ukimwi zaidi ya kuangamiza aina ya maisha ya sherehe zitakazo fanyika kama utu wa mtu hauwezi kurudishwa all is in vain
itachukua muda lakini ndiyo itabidi tujifunze kuwa sensitive kuna watu wengi walioathiriwa ambao ni wachapa kazi wazuri tu ( wakiwa wanatumia dawa na lishe nzuri) hatuwezi tukawaachia wasononeke pembeni nakubaliana na wewe kuwa pengine hatuwezi kuacha tabia ya kuzomeana na kusengenyanahuwa sipendi kwa mfano ule usemi wa kusema amekufa kwa ngoma kwanza inaleta uelewa finyu wa namna hilo gonjwa linavyotapakaawengine wameambukizwa kupitia transfusion na matumizi mabaya ya vifaa mahospitalini mnakumbuka yule aliyeamabukizwa na dentist huko ugahibuni kama watu wa ughaibuni wanaweza kuathiriwa na hilo fikiria ndigu zetu kwenye zahanati za vijijini
again itachukuwa muda lakini tujitahidi wakati ni huu
na kwa kuwa sheria ni msumeno basi upande wa pili wa shilingi ni kuwabana wale wanaonyanyapaa waathirika wa vvu | 2018-01-17T11:32:50 | https://www.jamiiforums.com/threads/ugandan-bill-would-require-hiv-status-disclosure-tanzania-tuko-tayari-kwa-hii-sheria.21966/ |
current users online 31859
topic garden love
14th june 2012 0129
14th june 2012 0445
re garden love
14th june 2012 0528
14th june 2012 0625
14th june 2012 0641
14th june 2012 0643
14th june 2012 0701
14th june 2012 0736
14th june 2012 0749
posts 8843 rep power
likes received4872
kongosho and conveter like this
14th june 2012 0817
kina dada warembokazi kwenummnetupiwa lawama
miaka inaenda familia inamkatalia asioe | 2013-05-22T11:13:00 | http://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/278481-garden-love.html |
maghembe tanzania haitegemei kenya kupanga kodi zake ~ yuvinusm
maghembe tanzania haitegemei kenya kupanga kodi zake 811 am kitaifa siasa wakati waziri wa maliasili na utalii profesa jumanne maghembe amesema tanzania haitegemei kenya kupanga kodi kwa maendeleo ya wananchi amebainisha kuwa serikali inafuatilia taarifa kuwa baadhi ya mawakala wa utalii nchini wanafungua
mwezi mmoja miezi miwili ili kuona hali inakwendaje na baada ya kufanya tathmini ya kina serikali itatoa taarifa kwa umma alitolea mfano kuwa kuingia hifadhi ya arusha ni dola 45 za marekani na serikali ikitoza asilimia 18 ya vat ada ya kuingia katika hifadhi hiyo kwa siku inakuwa dola 5310 ambayo bado ni ndogo sasa kusema kati ya dola 45 na dola 53 basi itafanya mtalii kutoka marekani asije tanzania hii ni dhana ngumu kuelewa serikali itafuatilia jambo hilo kwa kina alisema waziri | 2016-10-22T23:29:23 | http://www.yuvinusmblog.com/2016/07/maghembe-tanzania-haitegemei-kenya.html |
leo ni jumapili ngoja nilete picha ambayo kwa vyovyote ilipigwa jumapili maana ndio ilikuwa siku ya buggy lile dansi la mchana lililokuwa linaanza saa 7 au nane na kuisha saa kumi na mbili jioni unaona mavazi ya siku hizo si muda mrefu baada yalipigwa marufuku na kukaweko na posters kila mahala zikionyesha nguo gani za kuvaa vijana wa tanu youth league walikuwa wakitembea na mikasi na kuchana nguo zilizoonekana hazifai loh hawa rifters walikuwa kati ya makundi mengi ya wanamuziki vijana waliokuwa wakipiga muziki wa soul hapa bwana nyimbo za otis redding kipofu clarence carter wilson pickett james brownsam and dave isaac hayes ilikuwa mwendo mdundo
clarence carter dont you know this is another man's wife patches hayo ndiyo yalikuwa mambo
clarence carter too weak to fightgetting the bills
john na percy sledge je 'when a man loves a woman'na 'give me your warm and tender love' wow wow maan that was great brothercause you get that soul feelin' maan hahaha
take time to know her ave maria on the dark end of the street | 2017-04-25T20:29:08 | http://mwakitime.blogspot.com/2010/04/leo-ni-jumapili-ngoja-nilete-picha.html |
mozilla firefox pakua
mozilla firefox ya windows
mozilla firefox quantum ni kivinjari cha wazi cha chanzo cha mtandao ambacho hutoa vipengele vingi na chaguzi za usanifu utendaji wake ni bora na ni iliyoundwa kulinda faragha yako
vipengele kadhaa vya kujengwa
orodha ya ziada ya nyongeza
chaguzi za usalama
kipengele cha kukamilisha auto
wepesi kuanza
firefox 3 toleo la mavuno la kivinjari cha mozilla
vyombo vya habari vinasimamia na kuharakisha kupakuliwa kuchapishwa kwa windows 10
unataka kuwa rahisi na salama zaidi
32740 kura
mozilla firefox pia inaingiana na
mozilla firefox pia inapatikana katika mifumo mingine
mozilla firefox ya android
mozilla firefox ya mac
670beta15
7/10 (32740 kura)
vipengele vyote unavyohitaji
firefox inajumuisha vipengee vya hivi karibuni vya firefox quantum ambazo zinaweza kupanuliwa kupitia orodha kubwa ya upanuzi
inatoa customizable browsing tabbed kiwango juu ya browsers wote sasa kwa muda mrefu pia ina injini ya utafutaji iliyounganishwa na inafanywa kwa urahisi
kutoka ukurasa wa mwanzo utapata upatikanaji wa sanduku la utafutaji la google na orodha ya njia za mkato ili kufikia downloads yako alama alama historia nyongeza maingiliano na mipangilio ina vipengele vyote muhimu na pia ni pamoja na mchezaji wa spell msomaji wa kujengwa katika pdf urambazaji na geotagging na mengi zaidi
kama kwa ajili ya usalama kuna blocker ya popup chujio cha kuchukiza na vipengele ili kulinda faragha yako jiwe la msingi la mozilla mbali na hali ya kawaida ya kuvinjari ya faragha firefox inakupa chaguo kuzuia tovuti kutoka kufuatilia wewe na inaweza hata kukuambia tovuti ambazo unafuatiwa kwa kutumia mwongezekano wa lightbeam
firefox inatoa mfumo unaohakikisha kwamba tovuti unazozitembelea ni za kuaminika na pia kuthibitisha kuwa uhusiano wako una salama sasisho za usalama ni moja kwa moja ili kuhakikisha kuwa daima umehifadhiwa dhidi ya vitisho vya hivi karibuni
pia hutoa vipengele vya msingi ambavyo ni mshughulikiaji wa spell msomaji wa pdf jumuishi urambazaji na geolocation hali ya kusoma kusoma bila kuvuruga ushirikiano na pocket na zaidi
mojawapo ya faida kubwa ya firefox ni uwezo wake wa kukabiliana na kila mtumiaji umewezekana kwa njia ya chaguo nyingi za usanifu ambazo zinakuwezesha kuandaa kivinjari na kuifanya kwa mahitaji yako ikiwa ni pamoja na uwezo wa kuruhusu tovuti zako zinazopenda kukupeleka arifa push
mandhari nyingi zinapatikana kwa kuchagua interface yako ya firefox na unaweza kuandaa zana zako na vipengele ambavyo hutumiwa kama vile unavyopenda kwenye menyu au kibaraka cha kibinafsi
vyombo vya ziada pia ni njia nzuri ya kuboresha kivinjari na kuongeza utendaji baadhi ya nyongeza wamekuwa muhimu kama vile adblock plus au download videohelper ambayo wote wana watumiaji milioni kadhaa
kwa kuongeza firefox ina msaada wa firefox huduma ya chumba cha mazungumzo ya ephemeral sawa na hangout na kulingana na protokta ya webrtc (kwa hiyo hutahitaji plugin ya ziada) kwa firefox sawa unaweza pia kutuma ukurasa unayotembelea mara moja kwa marafiki zako
tangu toleo la 35 firefox inaruhusu upatikanaji wa duka lake la upanuzi la firefox marketplace kutoka kwenye chombo cha toolbar yenyewe
moja ya browsers bora inapatikana
kuna sababu mozilla firefox ni mojawapo ya browsers maarufu duniani imekamilika kulingana na vipengele uaminifu na kubadilika na hutoa kila kitu unachohitaji kwa kuvinjari mtandao kwa njia rahisi zaidi iwezekanavyo
firefox quantum ni sasisho la karibuni la firefox ya mozilla kipengele chake kikubwa kimesababisha kasi kwa vile toleo jipya linatumia 30 chini ya ram kuliko google chrome ili kuwa zaidi kulingana na mahitaji ya hivi karibuni ya mtumiaji firefox quantum sasa inajumuisha nyongeza kama vile webvr na webassembly ambazo zinaambatana na programu za desktop na glasi halisi za kweli baada ya kupima sasisho hili tunaweza kusema kwamba firefox quantum ni mara mbili kwa haraka wakati wa kufikia kurasa za upakiaji zaidi kuliko mtangulizi wake
maoni ya uhakiki wa watumiaji kuhusu mozilla firefox
maoni yako ya mozilla firefox | 2019-05-19T23:42:48 | https://mozilla-firefox.sw.softonic.com/ |
mtumiajimuddyb/mkataba wa kimberley wikipedia kamusi elezo huru
nchi ambazo ni mwanachama na waombaji rasmi wa kibali hiki washiriki ambao bado mgogoro unaendelea waombaji rasmi ambao bado wana mgogoro migogoro inayoendelea barani afrika
mkataba wa kimberley (kutoka kiing kimberley process certification scheme (kpcs)) ni mchakato ulioanzishwa mnamo mwaka wa 2000 ili kuzuia almasi zenye mgogo kuingia katika soko kuu la biashara ya almasi mchakato huu ulitolewa na suluhisho la mkutano mkuu wa umoja wa mataifa kifungu cha 55/56 kwa kufuatia mapendekezo yaliyotolewa katika ripoti ya fowler mchakato ulilenga kuhakikisha ya kwamba manunuzi yote ya almasi hayafadhili machafuko wala vikundi vya waasi na washirika wao wanaotaka kuitoa serikali halali madarakani[1]
ufanisi wa mchakato ulizua maswali kadhaa kutoka kwa asasi mbalimbali ikiwa moja wapo ni global witness ambao walijitoa katika mpango huu mnamo tarehe 5 desemba 2011 wakidai ya kwamba imeshindwa kutumiza malengo yake na haitoi masoko ya uhakika ambayo si ya almasi za mgogoro[2]
2 masharti
21 mfumo wa hati za uthibitisho
3 wanachama wa sasa
31 waombaji
umoja wa mataifa ilipitisha mapendekezo yake dhidi ya unita mnamo mwaka 1998 kupitia baraza la usalama na usulushi la umoja wa mataifa kifungu nambari 11773 pamoja na hayo wachunguzi waliokuwa wanaongozwa na robert fowler waliwasilisha mrejesho wa ripoti ya fowler kwa um mnamo mwezi machi 2000 ambayo ilieleza namna ambavyo ushafirishwaji ulivyokuwa unawezesha kufadhili jitahada za kuchochea vita kupitia fedha wanazopata katika mauzo ya almasi kwenye soko la kimataifa[3] umoja wa mataifa ulitaka kukata mzizi wa fitna katika biashara hii lakini hawakuwa na uwezo wa kuyatekeleza haya hivyo basi ripoti ya fowler ilitaja majina ya nchi makampuni serikali na watu binafsi waliokuwa wanajihusisha na almasi za mgogoro[4][5] jambo hili lilipelekea kufanyika mkutano wa nchi za afrika ya kusini zinazojishughulisha na uchimbaji wa madini ya almasi na mkutano ulifanyika mnamo mwezi mei 2000 huko kimberley northern cape hitimisho la mkutano lilifuatiwa mnamo mwezi wa septemba huko mjini pretoria ambapo kpcs ndipo inapotokea[6]
mwezi wa disemba 2000 mkutano mkuu wa umoja wa mataifa ulipitisha azimio lake kwa kutumia vifungu vya resolution a/res/55/56 wakiunga mkono suala la kuundwa kwa skimu ya cheti maalumu cha kimataifa cha kusimamia almasi ghafi zote[7] hili liliafuatiwa na kuungwa mkono na baraza la usalama la umoja wa mataifa katika usuluhishi wake kifungu nambari 1459 kwa kupitisha mnamo mwezi wa januari 2003 kila mwaka tangu kupitishwa kwa azimio mkutano mkuu wa umoja wa mataifa hupitisha upya mkakati huu mara ya mwisho ilikuwa mwaka disemba 2009[8]
ili nchi iwe mwanachama lazima ihakikisha ya kwamba almasi inayotoka nchini mwake haifadhili vikosi vya uasi au shirika lolote lile ambalo linataka kuitoa madarakani serikali inayotambuliwa na umoja wa mataifa na kwamba kila almasi itakayosafirishwa lazima iambatane na nyaraka za mchakato wa kimberley na kwamba hakuna almasi itakayosafirishwa nje au kuingizwa katika nchi ambayo si mwanachama wa skimu hii hatua hizi tatu zimewekwa mahususi kuhakikisha ya kwamba nchi zitakazo husika na shughuli za almasi zisizo na mgogoro kwa kuweka mipaka maalumu ya mapato ya almasi kwa vyanzo vilivyothibishwa na serikali pekee mchakato wa kimberley haugemei na sera ya dhidi ya serikali nyengine
masharti[hariri | hariri chanzo]
mfumo wa hati za uthibitisho[hariri | hariri chanzo]
baraza la almasi la dunia limeazisha mfumo wa hati za uthibitisho kwa ajili ya almasi ambazo zimeidhinishwa na wanachama wote wa kpcs chini ya mfumo huu wauzaji na wanunuzi wa almasi ghafi na zilizosafishwa wanalazimika kuthibitisha taarifa zifuatazo katika ankara zote za malipo yao
almasi hizi zilizolipiwa zimenunuliwa kutoka katika vyanzo halali na hazihusiki na kufadhili migogoro na zinakubaliana na azimio la usuluhishi wa umoja wa mataifa muuzaji anathibitisha ya kwamba almasi hizi hazina mgogoro kwa mujibu wa ufahamu binafsi na maanadishi yaliyoandikwa anathibitisha almasi iliyotolewa haina shaka ndani yake
huhesabiwa kama ukiukwaji wa utaratibu wa kpcs kutoa tangazo la hati za uthibitisho katika ankara ya mauzo isipokuwa kama itawezakuthibitika na hati za manunuzi zilizopokelewa kila kampuni inayofanya biashara ya kuuza almasi zinalazimika kutunza kumbukumbu za hati za uthibitisho walizopokea na hati za uthibitisho za ankara watakazoa kwa ajili ya kuuza au kununua almasi mtiririko wa hati za uthibitsho zinatoka na kuingia lazima zikaguliwe na zioane kazi ambayo inatakiwa ifanywe kila mwaka na wakaguzi wa kampuni
isitoshe makampuni na mashirika ya almasi na wanachama wake wanatakiwa wafuate utaratibu unaofuata katika kujiwekea kanuni za ndani ya shirika
kufanya biashara na kampuni ambazo zinataja hati za uthibitisho kwenye ankara zao
kutonunua almasi kutoka katika vyanzo vyenye mashaka au wauzaji wasiotambulika au inatoka katika nchi ambazo hazijatimiza mchakato wa kimberley
kutonunua almasi kutoka kwenye vyanzo vyovyote ambavyo baada ya mchakato wa kisheria kupita lakini wakakutanika na ukiukwaji wa utaratibu uliowekwa na serikali ambao wa kuzuia kufanya biashara ya almasi zenye mgogoro
kutonunua almasi kutoka katika ukanda ambao serikali imeumeuna kuzalisha almasi zenye mgogoroto na hafuati taratibu za kimberley
kununua au kuuza kwa kutokujua na kuwauzia wengine almasi zenye mgogoro
kuhakikisha ya kwamba waajiriwa wa kampuni ambao wananunua au kuuza almasi wanatakiwa wawe na taarifa za kutosha kuhusu azimio la kibiashara na serikali katika kuzuia ununuzi na uuzwaji wa almasi zenye mgogoro
kushindwa kutimiza haya na mwanachama akigundulika kufanya tofauti atafukuza kutoka katika jumuia
hadi tarehe 1 julai 2013 kulikuwa na washiriki 54 wa kpcs ambao wanawakilisha nchi 81 huku umoja wa ulaya ukihesabiwa kama mwanachama mmoja washiriki wamejumlishwa wote wanaozalisha almasi ghafi na kamili nchi zinazosafirisha au kuingiza[9] hivi karibuni cameroon ilikubali kuwa mwanachama mnamo agosti 2012 pamoja na kazakhstan panama na cambodia waliingia mwezi wa novemba 2012 orodha ifuatayo ni nchi wanachama walioshiriki na miaka yao ya kuingia kuingia tena kama utaratibu unavyotaka (mabano mwaka alioingia)
waombaji[hariri | hariri chanzo]
nchi zifuatazo ni zile ambazo zimeonesha shauku ya kutaka kujiunga na kpcs lakini bado hawajatimiza malengo
blood diamond vipande vya filamu zimechezewa nchini sierra leone mwishoni mwa filamu imetaja mkataba wa kimberley
↑ official kimberley process website kimberleyprocesscom iliwekwa mnamo 20160102
↑ why we are leaving the kimberley process a message from global witness founding director charmian gooch global witness (20111205) iliwekwa mnamo 20111206
↑ robert fowler (20000310) final report of the un panel of experts (the fowler report) global policy forum iliwekwa mnamo 20100320
↑ sanctions in angola global policy forum iliwekwa mnamo 20100321
↑ kigezoun document
↑ [1] script error no such module webarchive
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mtumiajimuddyb/mkataba_wa_kimberley&oldid=1035211
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 16 juni 2018 saa 1901 | 2019-09-15T12:21:55 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Muddyb/Mkataba_wa_Kimberley |
simulizi jini mahabati sehemu ya sita (kwa wenye miaka 18+) lindiyetu
radhia naye alishangaa kile kitu kilichokuwa kinamtekenya tekenya kwenye nyeti zake kilitulia ghafla na mshawasha wote wa kufanya mapenzi ulimwisha wote akajinyanyua pale kiatandani akakimbilia bafuni kwenda kuoga alivyotoka alimkta juma ameshaondoka
kumbe na mbwembwe zote zile ni hanisi aliwaza radhia huku akipanda kitandani na kulala kumbe lile pepo la huba linalomtia stimu radhia lilifukuzwa na harufu ya bangi ya kijana huyo na hili kumkomesha lilimpiga kombora hilo maana hawapatani kabisa na harufu ya bangi kwa hiyo ile shoto ya mkono na kulala kwa mtarimo wa juma ilikuwa ni nguvu za kijini za mzimu wa barike
siku iliyofuata radhia alienda chuoni huku akiwa na mawazo mazito sana hasijue ni nini hasa kilichomtokea jana usiku au ile nyumba ina mambo ya kishirikina ni maswali ambayo alikuwa akijiuliza radhia siku nzima bila kupata majibu ya maana
akiwa darasani huku akiwa amebaki mwenyewe na mwalimu ameshafundisha na wanafunzi wametoka kupisha wengine alisikia mtu akimgusa mabegani akageuka kwa hasira ya kutaka kujua ni nani aliyemgusa na kumuondoa kwenye tafakari nzito ya juu ya nini kilichotokea juzi na jana na kusababisha kupoteza uwanamwali wake alioutunza mpaka akafikisha miaka 21
kuangalia alikutana na sura ya tariq mwanaume aliyekutana naye siku ile akienda kufanya usahili na pia mwanaume aliyemwota kuwa umempeleka ujinini ilibidi aoneshe tabasamu zito kuonesha kuwa amemkumbuka wakasalimiana na kisha wakaondoka kuwapisha wanafunzi wengine
tariq alifurahi sana kugundua kuwa kumbe walikuwa wakisoma darasa moja na binti huyo mrembo basi urafiki wao ukawa umeanzia hapo na walipozoeana vya kutosha tariq hakuacha kujaribu bahati yake ya kumtongoza binti huyo lakini radhia hakuwa tayari kukurupuka na kumkubalia
ni wiki ya tatu sasa tangia ile ndoto imtokee radhia na yeye aliendelea na maisha yake ya kawaida kila siku alikuwa akisumbuliwa na wanaume wakimtaka kimapenzi hasa wababa watu wazima wenye wake na watoto
uzuri wake na muonekano wake machoni pa wanaume ulizidi kuwa kivutio na macho yake ya mlegezo yalizidi kuwa silaha tosha ya kuwashawishi wanaume wamtake
hamu ya yeye kufanya mapenzi kila siku ilizidi kuongezeka na kuna wakati alihisi kupata muwasho wa huba katika sehemu zake za siri
yaani sijui ni kwa nini hizi nyeti zangu kila ikifika usiku zinaanza kunitekenye tekenye hayo ni baadhi ya maswali ambayo yaliyokuwa yakimtatiza radhia kila siku iendayo kwa mungu akawa anajaribu kumuuliza rafiki yake wa kike kwa jina zuwena ambaye vyumba vyao vilikuwa vimeongozana juu ya hali hiyo
lakini hata rafiki yake alishangaa kusikia eti kuna kitu huwa kinamtekenya tekenya na kumpandisha mshawasha wa kufanya mapenzi zuwena alimshauri kama ni hivyo basi atafute mwanume mmoja ambaye atakuwa anamsaidia kumsugua kila hali hiyo inapotokea
au pia akionahali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku basi waende kwa madaktari au hata kwa viongozi wa dini maana kua kila dalili ya kuwa radhia alikuwa na pepo la jinni mahabati
siku zilizidi kuyoyoma huku radhia akizidi kuwa gumzo hapo chuoni sio wanafunzi sio walimu sio wafanyakazi wakawaida wote walikuwa wakimtamani na kumtaka kimapenzi mida ya jioni radhia alikuwa akipenda sana kwenda uwanjani kufanya mazoezi ya mpira wa vollyball
alikuwa kivutio sana hasa kutokana na staili ya nguo zake za mazoezi ambazo zilikuwa zikionesha mautamu yake hali hiyo ilimfanya mwalimu wa michezo kujikuta akishindwa kuvumilia kila alipajaribu kumuangalia bint huyo machoni aliona vitu kama vikopa kopa vikimzunguka
basi siku moja mara baada ya mazoezi alijaribu kuongea na binti huyo kiutu uzima alimwambia kuna jambo anataka kuongea naye hivyo kama hatojali basi waonane jioni jiooni kwa ajili ya chakula cha usiku basi radhia hakukataa alikubali out hiyo na hivi ilikuwa ni wikiend aliona hiyo ni nafasi nzuri pia kwake kureflesh mind
mwalimu huyo akajikaza na kumpleka out mjini alifanya hivyo ili kuepusha macho ya wanafunzi na watu wengine ukizingatia pia na yeye ana mke na watoto
walifika mahali wakakaa na baaada ya chakula mwalimu hakusita kueleza ya moyoni ujue radhia kiukweli mimi nakupenda sana na nimevumilia nimeshindwa nimeonealea leo bora nikwambie tu ukweli ili kama utaamua kunikubalia au kunikatalia basi itakuwa nimejaribu kukueleza hisia zangu
razia alinyamaza kimya huku akifikiria jibu la kumpa alimwangalia usoni kwa jicho la mahaba kisha akatabasamu kile kitu kinachomsumbauaga kwenye nyeti zake kikaanza tena kumtekenyetekenya na kujikuta akipata stimu za kufanya mapenzi
sijui hata ni kwambiaje alisema radhia huku akimwangalia usoni mwalimu huyo sema tu chochote usiogope alisisitiza mwalimu hukua akiona vitu vya ajabu ajabu kwenye macho ya binti huyo
kwanza mwalimu wewe si una mke na mtoto juu aliuliza radhia mwalimu akajibu ndio sasa kwa nini unataka na mimi niwe mpenzi wako hata miki sielwei yaani nimetokea kukupenda ghafla alisema mwalimu huyo dhairi bila kificho
**itaendelea*
← previous story simulizi jini mahabati sehemu ya tano (kwa wenye miaka 18+)
next story → simulizi jini mahabati sehemu ya saba (kwa wenye miaka 18+) | 2017-12-18T12:49:01 | http://lindiyetu.co.tz/2017/04/08/simulizi-jini-mahabati-sehemu-ya-sita-kwa-wenye-miaka-18/ |
wafanyakazi wa mgodi wa acacia buzwagi wachangia damu kwa ajili ya hospitali ya mji wa kahama jiachie
wafanyakazi wa mgodi wa acacia buzwagi wachangia damu kwa ajili ya hospitali ya mji wa kahama
hapa ni katika mgodi wa dhahabu acacia buzwagi wilayani kahama mkoani shinyangakushoto ni meneja mkuu wa mgodi wa dhahabu wa north marasam roesler na mkuu wa kitengo cha utumishi kampuni ya acacia ofisi za london nchini uingereza (kulia) wakichangia damu kwa ajili ya hospitali ya mji wa kahamapicha na kadama malundemalunde1 blog ***** wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji ya dhahabu ya acacia kupitia mgodi wa buzwagi wilayani kahama mkoani shinyanga wameanza zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya kusaidia hospitali ya mji wa kahama inayokabiliwa na upungufu mkubwa wa damu hali inayochangia ongezeko la vifo hasa akina mama wakati wa kujifungua
akizungumza na waandishi wa habari jana katika mgodi huomeneja mkuu wa mgodi wa acacia buzwagi asa mwaipopo alisema zoezi hilo litadumu kwa muda wa wiki moja kuanzia julai 11 hadi julai 16 mwaka huu katika mgodi huo tarehe 14 mwezi juni huwa ni siku ya kuchangia damu duniani lakini sisi buzwagi tumechagua wiki hii kuanzia tarehe 11 julai hadi 16 julai kuwa ndiyo kipindi chetu cha kuungana na wale wote walioshiriki katika uchangiaji wa damu siku ya damu duniani iliyokuwa na ujumbe wa toa damu changia maisha
alisema hospitali ya mji wa kahama inakabiliwa na uhitaji mkubwa wa damu ambapo kwa mwezi zinahitajika takribani chupa 600 lakini damu inayopatikana pale ni takribani chupa 400 hali inayoonesha kuwa bado kuna hitaji kubwa la damu sisi kama familia kubwa katika eneo la kahama kwa maana ya acacia buzwagi kwa kutambua hilo tumeandaa wiki hii iwe maalum kwa ajili ya wafanyakazi wetu kuchangia na kusaidia kupunguza upungufu wa damu katika hospitali ya mji wa kahama na tunaamini mchango wetu utasaidia kuokoa maisha ya watu wengialisema mwaipopo
tunakusudia wiki hii kuchangia kiasa cha chupa 600siku ya kwanza pekee tumepata chupa zaidi ya 100 viongozi mbalimbali wa acacia kutoka ofisi zetu za dar es salaam johanesburg na london pamoja na mambo mengine waliyokuja kuyafanya nao watashiriki katika zoezi hili la uchangiaji damu aliongeza mwaipopo mwaipopo alisema takwimu zinaonesha kuwa asilimia 50 ya uchangiaji wa damu duniani unafanyika katika nchi zilizoendelea asilimia 50 ni kwa nchi zinazoendelea na kwamba idadi ya watu katika nchi zilizoendelea ni asilimia 20 na nchi zinazoendelea zenye idadi ya watu asilimia 80 uchangiaji wake ni asilimia 50 aliongeza kuwa uhitaji wa damu katika nchi zinazoendelea ni mkubwa mfano tanzania takwimu zinaonesha kuwa kila wanawake l00000 wanaojifungua kati yao 400 wanapata changamoto zinazohitaji damu na hiyo haihusishi ajali au matukio mengine yenye uhitaji wa damu kwa upande wake mganga mfawidhi wa hospitali ya mji wa kahama dr joseph ngowi mbali na kupongeza mgodi wa acacia buzwagi kwa namna ya kipekee walivyoweza kuchangia damu alismema wameonesha mfano wa kizalendo na wa kuigwa kwa makampuni na mashirika mbalimbali yanayotoa huduma katika jamii alisema hospitali ya mji wa kahama inahudumia wateja wengi wenye uhitaji mkubwa wa damu na kwamba damu ndiyo kiungo hasa kinachookoa maisha ya watu wengi takwimu tulizonazo hivi sasa ni kwamba uhitaji wa damu kwa siku katika hospitali yetu ni uniti 20 za damu na inafikia kipindi tunakuwa na uniti moja au mbili na wakati mwingine hakuna kabisaalieleza dr ngowi alisema zaidi ya asilimia 80 ya vifo vya akina mama vinavyotokana na uzazi vinatokana na sababu ya kukosa damu au kupoteza damu inayohusiana na uzazi kwa hiyo katika zoezi hilo la ukusanyaji damu litasaidia kuokoa vifo vyao kwa zaidi ya asilimia 80 na matatizo mengine ikiwemo ajali na mahitaji mengine ya wagonjwa kwa mchango huu kwa kujitolea huku kwa wafanyakazi wa kampuni ya acacia itasaidia kuokoa maisha ya watanzania wengi wenye uhitaji wa damumikakati yetu ni kuendelea kukusanya damu na uchangiaji uwe endelevu katika maeneo mbalimbali ikiwemo katika shule na tunatoa wito kwa mashirikataasisi na watu mbalimbali kuendelea kuchangia damu katikati ni meneja mkuu wa mgodi wa acacia buzwagi asa mwaipopo akizungumza katika ukumbi wa mikutano wa mgodi huokulia ni mganga mfawidhi wa hospitali ya mji wa kahama dr joseph ngowi kushoto ni mkuu wa kitengo cha afya na usalama kazini katika mgodi wa acacia buzwagidr antoinette george meneja mkuu wa mgodi wa acacia buzwagi asa mwaipopo alisema wameamua kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wanaopoteza maisha kwa kukosa damu waandishi wa habari wakichukua matukio waandishi wa habari na wafanyakazi wa kampuni ya acacia wakiwa ukumbini katikati ni mganga mfawidhi wa hospitali ya mji wa kahama drjoseph ngowi akieleza jinsi mgodi wa acacia unavyosaidia katika sekta ya afya wilayani kahama mganga mfawidhi wa hospitali ya mji wa kahama dr joseph ngowi akielezea changamoto ya damu katika hospitali hiyo ambapo alisema hivi sasa wana mkakati kabambe wa kukusanya damu katika maeneo mbalimbali meneja mkuu wa mgodi wa acacia buzwagi asa mwaipopo akitoa damukulia ni mtaalamu wa afya rose manyama meneja mkuu wa mgodi wa acacia buzwagi asa mwaipopo akitoa damu afisa mwendeshaji mkuu wa kampuni ya acacia ofisi za london nchini uingereza mark morcombe akichangia damu kwa ajili ya kuokoa maisha ya watanzania wataalamu wa afya wakisimamia zoezi la uchangiaji damukushoto ni meneja mkuu wa mgodi wa dhahabu wa north marasam roesler na mkuu wa kitengo cha utumishi kampuni ya acacia ofisi za london nchini uingereza (kulia) wakichangia damu kwa ajili ya hospitali ya mji wa kahama mkoani shinyanga kushoto ni meneja mkuu wa mgodi wa dhahabu wa north marasam roesler na mkuu wa kitengo cha utumishi kampuni ya acacia ofisi za london nchini uingereza (kulia) wakichangia damu kwa ajili ya hospitali ya mji wa kahama mkoani shinyanga mkuu wa kitengo cha afya na usalama kazini katika mgodi wa acacia buzwagidr antoinette george akiangalia damu ambayo tayari imeshatolewa na wafanyakazi wa kampuni ya acacia damu ikiwa imehifadhiwa katika mgodi wa acacia buzwagi picha zote na kadama malundemalunde1 blog
item reviewed wafanyakazi wa mgodi wa acacia buzwagi wachangia damu kwa ajili ya hospitali ya mji wa kahama | 2017-07-25T12:44:25 | http://michuzijr.blogspot.com/2016/07/wafanyakazi-wa-mgodi-wa-acacia-buzwagi.html |
kibibimlima wikipedia kamusi elezo huru
kibibimlima
ua wa kibibimlima
asili ya maua haya ni ulaya ya magharibi ya kati na ya kaskazini
1 ukuaji
mmea wenye maua haya huwa na mizizi midogo inayomea ardhini lakini si kwa kuchimba sana ndani mmea wa maua haya una matawi madogo ya mviringo au matawi yenye kufanana kijiko yenye refi wa sentimita 25 ambayo hupatikana karibu sana na ardhi maua yenyewe ni sentimita 23 kwa upana yakiwa na sehemu nyeupe iliyozunguka sehemu nyingine ya samawatikibibimlima ni daikoti
kibibimlima haathiriki na ukataji wa nyasi kwa hivyo yeye huwa kama mmea haribifu bustanini ingawa wachache hupenda umbo la maua haya kuna aina za kibibimlima zinazopandwa kwa ajili ya kuuza zenye maua makubwa zaidi yenye petali zenye upana wa sentimita 56
ua linatumika kimatibabu kwa sababu ya sifa zake za kufanya tishu za mwili kuwa ndogo[1] katika roma ya kale madaktari wa upasuaji waliofuata majeshi vitani waliwaamuru watumwa kukusanya magunia ya kibibimlima ili kupata kutoa maji kutoka maua yale
kibibimlima kimetumika tangu jadi kutengeneza vifaa vya kuremebsha katika michezo ya watoto[2] | 2015-07-29T02:39:45 | http://sw.wikipedia.org/wiki/Kibibimlima |
aziri mkuu aongoza kuzindua duka la bohari ya dawa (msd) mpanda mkoani katavi
waziri mkuu kassim majaliwa (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la dawa la bohari ya dawa (msd) mpanda mkoani katavi kutoka shoto mwenye shati la kijani ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa katavi peter mselemu mkurugenzi wa msd laurean bwanakunu mkuu wa mkoa wa katavi kanali mstaafu raphael muhuga wa tatu kulia ni waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo
waziri mkuu kassim majaliwa na mkurugenzi wa msd laurean bwanakunu wakifurahi wakiwa ndani ya duka hilo
waziri mkuu kassim majaliwa na mkurugenzi wa msd laurean bwanakunu na waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo wakiwa meza kuu wakati wa uzinduzi wa duka hilo
waziri mkuu kassim majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa msd
mwonekano wa duka hilo la msd mkoani katavi
waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania kassim majaliwa amesema utaratibu wa msd wa kununua dawa moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji litaboresha upatikanaji wa dawa na kupunguza gharama za kununua dawa kutoka nje ya nchi
amesema hayo wakati wa uzinduzi wa duka la dawa la msd halmashauri ya manispaa ya mpanda mkoani katavi ambalo linaifanya msd kuwa na jumla ya maduka 7 ya dawa nchini
waziri mkuu pia amesema kwa mwaka huu wa fedha shilingi bilioni 251 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa dawa na vifaa tiba ili kupunguza changamoto za uhaba wa dawa na kueleza kuwa shabaha ya serikali ni kufikia asilimia 95100 ya upatikanaji wa dawa hadi itakapofika mwezi juni 2017
kwa upande wakemkurugenzi mkuu wa msd bwana laurean bwanakunu ameeleza kuwa duka hilo wataliendesha kwa mwaka mmoja tuna kisha kulikabidhi kwa halmashauri ili iliendeshe na kuongeza mapatao yao
kwa upande wa upatikanaji wa dawa bwanakunu amesema kuwa kwa sasa fedha sio tatizona dawa zinaendelea kuagizwa kulingana na mahitaji | 2018-02-24T12:19:12 | http://wwwmzukakamili-mzuka.blogspot.com/2017/01/aziri-mkuu-aongoza-kuzindua-duka-la.html |
watoto wa vigogo bot wana kesi ya kujibu joel nanauka
watoto wa vigogo bot wana kesi ya kujibu
mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewaona wafanyakazi wanane wa benki kuu ya tanzania (bot) wanaokabiliwa na tuhuma za kughushi vyeti na kutoa hati za uongo wana kesi ya kujibu
uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mkazi nyigulile mwaseba baada ya kupitia ushahidi uliotolewa na mashahidi wanane wa upande wa mashtaka pamoja na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo
baada ya hakimu mwaseba kutoa uamuzi huo alisema juni 17 na 18 2015 washtakiwa hao ambao wanadaiwa kuwa ni watoto wa vigogo wa serikali wataanza kutoa ushahidi wa utetezi dhidi ya mashtaka yanayowakabili
wafanyakazi hao ni justina mungai christina ntemi siamini kombakono janeth mahenge beatha massawe jacquiline juma philimina mutagurwa na amina mwinchumu
washtakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kughushi vyeti vya kuhitimu kidato cha nne na kutoa hati za uongo kwa mwajiri wao bot
washtakiwa mungai massawe na mwinchumu wanadaiwa kughushi vyeti hivyo mwaka 2001 wakati ntemi kombakono mahenge na mutagurwa wanadaiwa kughushi vyeti hivyo mwaka 2002
wanadaiwa kughushi vyeti vya kuhitimu kidato cha nne na kutoa bot hati za uongo wakionyesha kuwa vimetolewa na baraza la mitihani la taifa wakati siyo kweli washtakiwa hao ambao awali waliyakana mashtaka wako nje kwa dhamana
sehemu 2kwa nini mwamwindi alsehemu 2kwa nsehemu ya 3kwa nini mwamwindisehemu ya 3kw | 2018-02-24T10:18:12 | http://joelnanauka.com/watoto-wa-vigogo-bot-wana-kesi-ya-kujibu/ |
wakala wa usafirishaji watembelea cbt jiachie
home habari mbalimbali wakala wa usafirishaji watembelea cbt
wakala wa usafirishaji watembelea cbt
michuzijr thursday june 28 2018 habari mbalimbali
joseph mpangalamtwara
wawakilishi wa baraza la usafirishaji korosho kutoka nchini india (cepci) wamefanya ziara mkoani mtwara na kukutana na wadau wa usimamiziununuzi na usafirishaji wa zao la korosho kwa leno la kujadiliana namna bora ya kuendeleza na kuimarisha uhusiano wa biashara ya zao la korosho kati ya nchi ya tanzania na india
mkutano huo wa siku moja umefanyika katika ofisi za bodi ya korosho tanzaniacbt mkoani mtwara na kuhudhuriwa na wawakilishi kutoka vyama vya ushirika wanunuzi wa korosho mamlaka ya mapatotanzania (tra)pamoja na mjumbe kutoka ubalozi wa tanzania nchini india
aidha mkutano huo umejikita katika kujadili changamoto zinazojitokeza wakati wa kununua na kusafirisha korosho kutoka tanzania kwenda nchini india ambazo ni pamoja na kuzingatia kwa ubora na uaminifu wa wasafirishaji mwenyekiti wa cepci ktuoka nchini india raghavanpillai bhoocles ameishukuru bodi ya korosho tanzania kwa juhudi inazozifanya katika kusimamia sekta ya korosho nchinina kushauri kufanyika kwa mikutano ya mara kwa mara kwa lengo la kuondoa changamoto chache zinazojitokeza
kwa upande wake meneja wa udhibiti ubora kutoka cbt bwray mtangi amewahakikishia wawakilishi hao kutoka nchni india kwamba tayari serikali imeshaanza kushughulikia changamoto zilizojitokeza katika msimu wa korosho uliopita wa 2017/2018 na kuahidi kuzifanyia kazi
changamoto chache zilizojitokeza katika msimu uliopita tayari serikali imenza kuzifanyia kazi na tayari tumejipanga ili kuhakikisha changamoto hizo kutojitokeza tena katika msimu unaokujaamesema mtangi
meneja uthibiti ubora kutoka bodi ya korosho cbt ray mtangi akifungua mkutano wa majadiliano kati ya cbt na wajumbe wa wakala wa usafirishaji wa korosho kutoka nchini india uliofanyika mkoani mtwara
mwenyekiti wa taasisi ya cashew export promotioncouncil of india {depci} akizungumza katika mkutano wa pamoja na bodi ya korosho jinsi ya kuondokana na changamoto katika ununuzi na usafirishaji wa korosho
washiriki wa mkutano wa wakijadili juu ya namna ya kuimarisha uhusiano na kuboresha usafirishaji wa korosho kutoka tanzania kwenda nchini india
by michuzijr at thursday june 28 2018
kumbukumbu april (269) march (370) february (367) january (553) december (488) november (544) october (583) september (443) august (693) july (524) june (393) may (367) april (425) march (470) february (509) january (572) december (561) november (669) october (594) september (545) august (702) july (677) june (683) may (775) april (585) march (713) february (660) january (749) december (717) november (841) october (1005) september (918) august (949) july (760) june (785) may (695) april (714) march (816) february (760) january (623) december (734) november (528) october (823) september (816) august (639) july (612) june (709) may (482) april (402) march (477) february (430) january (353) december (367) november (332) october (466) september (465) august (428) july (461) june (416) may (376) april (423) march (533) february (425) january (416) december (402) november (378) october (421) september (454) august (433) july (397) june (400) may (421) april (330) march (362) february (386) january (380) december (425) november (407) october (431) september (346) august (392) july (380) june (436) may (439) april (382) march (415) february (387) january (383) december (392) november (381) october (358) september (425) august (397) july (269) june (318) may (293) april (296) march (317) february (246) january (250) december (296) november (303) october (318) september (307) august (303) july (279) june (263) may (286) april (220) march (285) february (200) january (183) december (173) november (201) october (165) september (142) august (172) july (178) june (165) may (167) april (164) march (153) february (129) january (136) december (95) november (82) october (80) september (87) august (98) july (84) june (135) may (196) april (237) march (269) february (289) january (270) december (207) november (192) october (115) august (4) july (11) june (39) | 2019-04-24T13:56:47 | http://michuzijr.blogspot.com/2018/06/wakala-wa-usafirishaji-watembelea-cbt.html |
matangazo ya kampeni ya trump yafutwa facebook
kampuni ya mtandao wa kijamii ya facebook imeondoa mtandaoni matangazo ya kampeni ya rais donald trump kwa kile kinachoelezwa kuwa ametumia alama zilizokuwa za utawala wa kinazi wa ujerumani
facebook imesema tangazo lililolengwa lilikuwa na alama ya pembe tatu nyekundu kama iliyotumika na utawala wa kinazi kuwatambua wapinzani wao kama wakomunisti
timu ya kampeni ya trump imesema kuwa tangazo hilo lilikuwa linakilenga kikundi cha wanaharakati wa mrengo wa kushoto antifa ambacho wanadai kinatumia nembo hiyo huku upande wa facebook inadai matangazo hayo yanaenda kinyume na sera yake ya chuki ya kupangwa
haturuhusu alama ambazo zina simama kwa mirengo ama makundi ya chuki labda iwe ni kukemea jambo hilo hiko ndicho tulichokiona kwenye tangazo hili na popote pale alama hiyo itakapotumika tutachukua hatua kama hii ameeleza mkuu wa sera za ulinzi wa facebook nathaniel gleicher
matangazo hayo ambayo yaliwekwa kwenye kurasa za mtandao wa facebook za trump na makamu wake mike pence yalifutwa baada ya kuwa mtandaoni kwa saa 24 pembe tatu nyekundu ni alama inayotumiwa na antifa hivyo ilitumika katika tangazo kuhusu antifa ameeleza tim murtaugh msemaji wa timu ya kampeni ya trump
rais trump katika siku za hivi karibuni amelishutumu kundi la antifa kwa kuanzisha maandamano ya vurugu kote nchini marekani kufuatia kifo cha mtu mweusi george floyd mikononi mwa polisi
rais trump alitishia mwezi uliopita kuwa atalitangaza kundi hilo linalopingana na itikadi za kifashisti kuwa kundi la kigaidi la ndani ya nchi ijapokuwa wataalamu wa sheria hawana hakika kama ana uhalali wa kufanya hivyo antifa ni kundi la maandamano la mrengo mkali wa kushoto ambalo linapingana na unazi ufashisti ukimya wa weupe na ubaguzi wa rangi
linatajwa kuwa ni kundi lisilo na uongozi maalumu na waandamanaji wake wanapinga sera za trump dhidi ya uhamiaji utaifa na waislamu
aidha matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya trump kwa uchaguzi wa novemba mwaka huu | 2020-07-04T02:24:06 | https://startv.co.tz/startvweb/894-matangazo-ya-kampeni-ya-trump-yafutwa-facebook |
wagombea wanawake kenya walia na vitisho | matukio ya afrika | dw | 17052017
wagombea wanawake kenya walia na vitisho
hayo ni kwa mujibu wa wagombea wanawake kufuatia mashambulizi kadhaa na kifo cha mtu mmoja kinachohusishwa na uchaguzi huu
hatari wanayokutana nayo wagombea wanawake haikubaliki na imevumiliwa kwa muda mrefu ndivyo anavyoanza kwa kusema esther passaris ambaye alikuwa akilengwa wakati wa kampeni zake mwishoni mwa juma katika moja ya viti pekee vya wanawake nchini kenya
passaris alifungiwa kwenye chumba katika chuo kikuu cha nairobi siku ya jumamosi na kundi la wanaume walokuwa wakihitaji kiasi ya shilingi za kenya laki 150000 sawa na dola 1450 ili kumruhusu kufanya mkutano wake uliopangwa kwa bahati nzuri mlango ulifunguliwa baada ya wafuasi wake kuwashinda wale wa mpinzani wake
kenya imetengeneza jumla ya viti 47 vya uwakilishi wa wanawake mwaka 2013 ili kuongeza idadi ya wanawake bungeni
nchi hiyo ndiyo yenye idadi ndogo ya wanawake bungeni afrika mashariki kwa asilimia 19 na wanawake wamehangaika kupata nafasi huku wakikabiliwa na vurugu vitisho na ubaguzi wa kijinsia
wanawake wa kenya wakiimba kumkaribisha rais uhuru kenyatta
wakati wa kura za mchujo mwezi uliopita zilizotawaliwa na fujo mlinzi wa mbunge millie odhiambo kwa jimbo la mbita magharibi mwa kenya aligongwa na kuuawa na gari ya upinzani siku chache baadae nyumba yake ilichomwa moto
josephine mongare aliye mwenyekiti wa chama cha wanawake mawakili fida anasema wameshangazwa na namna polisi isivyoshughulikia vurugu hizo hawaonyeshi hali yoyote ya udharura kwa vurugu hizi dhidi ya wanawake ambazo zimesababisha vifo na kutishia kutokea kwa wanawake zaidi alisema josephine mongore
msemaji wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mwenda njoka anasema wanawake si waathirika pekee wa vurugu za kisiasa na kuongeza kwamba jeshi la polisi haliwezi kuwa na kikosi maalumu kwa ajili ya kundi fulani la wagombea iwe wanawake ama wanaume akiwataka kubeba jukumu wao wenyewe la usalama na kuepuka kuwachokoza wapinzani wao
hata hivyo wagombea wanawake walishambuliwa wazi katika kura za mchujo tume ya taifa ya haki za binadamu ilisema siku ya jumatatu ikiwa ni pamoja na mashambulizi vitisho vya vifo na kuwachomea mali zao
ilitoa wito kwa serikali kuwaondolea usajili wagombea na vyama vilivyohusika katika vurugu hizo kenya imewafungulia mashitaka jumla ya watu 62 mwezi huu katika kesi zinazohusu mchakato wa kura za mchujo ikiwa ni pamoja na kuwahonga wapiga kura na kuchochea vurugu
sarah korere ni mbunge wa sasa katika jimbo la kaskazini la laikipia anasimulia namna alivyoibiwa baadhi ya vitu katika gari yake mwezi uliopita wakati wa kampeni kulikuwa na jumla ya magari matatu ya vijana na walevi wakisema kwamba hawawezi kukubali mwanamke awahutubie
wanawake wa kimasai nchini kenya wakiwa tayari kupiga kura huko kumpa
korere anasema tangu alipokuwa mbunge mwaka 2013 amedharauliwa na kuitwa malaya wakati wa mikutano ya hadhara na kulaaniwa na wazee
walikuwa wananigopesha mno lakini kutokana na muda nimejifunza kutowajali anasema korere akiongeza kwamba huwalipa wanaume karibu 100 kumsindikiza katika matukio ya hadhara akiwemo pia mlinzi wake aliye na silaha
wanawake hao wanasema kwa hivi sasa wamezoea hali hiyo na wamejifunza kukabiliana na hilo hasa wanapoona kwamba wanawake wanasiasa wanapata umati mkubwa wa watu zaidi yao kisha hapo wanaacha vitendo hivyo
mwandishi sylvia mwehozi/thomson reuters foundation
maneno muhimu kenya nairobi uhuru kenyatta
kiungo https//pdwcom/p/2d7zt | 2018-08-21T06:58:54 | https://www.dw.com/sw/wagombea-wanawake-kenya-walia-na-vitisho/a-38878183 |
magari 10 yamfanya dk mathayo wa ccm kuhojiwa takukuru mwanahalisi online
posted by mwandishi wetu 27 days ago 0 1220 views
taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) mkoa wa kilimanjaro imemhoji mbunge wa same magharibi (ccm) dkmathayo david mathayo kwa tuhuma za kukiuka sheria za uchaguzi kwa kuingiza magari 10 maalum ya kubebea wa gonjwa anaripoti mwandishi wetu kilimanjaro(endelea)
mkuu wa takukuru mkoa wa kilimanajro fidelis kalungula amesema tarehe 7 julai 2020 walipata taarifa za uingizwaji wa magari 10 katika jimbo la same ambapo walifuatilia kwa ukaribu na kuthibitisha kuingia kwa magari hayo na kisha kuyakamata
mnamo tarehe 7 mwezi huu tulipata taarifa kuna magari 10 yanakuja kilimanjaro ambayo yanadhaniwa ni ya mbunge aliyekuwa madarakani na kwamba yamekuja kwa nia ya kuvunja sheria na makatazo yaliyopo katika sheria ya gharama za uchaguzi hivyo tulichokifanya hatua ya kwanza ili tupate ushahidi ni kuyashikilia hayo magari na mpaka sasa tunayashikiliaamesema kalungula
bado tunaendelea kuyashikilia magari hayo kwa ajili ya kupata ushahidi kwamba je ni kweli ujio wa magari hayo yana uvunjifu wowote wa makatazo ya sheria ya takukuru namba 11 ya mwaka 2007 tunaendelea na uchunguzi wa jambo hilo na baadhi ya watu wengine tumeshawaita watupe ufafanuzi ili kusudi siku ya mwisho tuwe na usahihi wa jambo hilo amesema
aidha amesema magari hayo 10 yalikuwa yameandikwa kuonyesha yanaenda kata mbalimbali zilizopo jimboni kwa mbunge huyo hivyo wanaendelea na uchunguzi ili ukweli upatikane na kwamba hawatamwonea yoyote au kwenda kinyume na sheria inavyowaongoza
taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) mkoa wa kilimanjaro imemhoji mbunge wa same magharibi (ccm) dkmathayo david mathayo kwa tuhuma za kukiuka sheria za uchaguzi kwa kuingiza magari 10 maalum ya kubebea wa gonjwa anaripoti mwandishi wetu kilimanjaro(endelea) mkuu wa takukuru mkoa wa kilimanajro fidelis kalungula amesema tarehe 7 julai 2020 walipata taarifa za uingizwaji wa magari 10 katika jimbo la same ambapo walifuatilia kwa ukaribu na kuthibitisha kuingia kwa magari hayo na kisha kuyakamata mnamo tarehe 7 mwezi huu tulipata taarifa kuna magari 10 yanakuja kilimanjaro ambayo yanadhaniwa ni ya mbunge aliyekuwa madarakani na kwamba yamekuja kwa nia ya kuvunja&hellip
previous kinana awaonya ccm asema hakuna uchaguzi mwepesi
next mkutano mkuu ccm warekebisha katiba | 2020-08-07T20:35:08 | http://mwanahalisionline.com/magari-10-yamfanya-dk-mathayo-wa-ccm-kuhojiwa-takukuru/ |
ekaristi ni moyo wa kanisa ni msingi kwa wakristo wote kutambua vema thamani na maana ya misa takatifu ili kuishi daima na ujazo kamili
baba mtakatifu amesema kuwatunaanza leo hii mfululizo mpya wa katekesi ambao utajikita juu ya mtazamo wa moyo wa kanisa kwa maana ya ekaristini msingi kwa wakristo wote kutambua vema thamani na maana ya misa ili kuishi daima na ujazo kamili katika mahusiano yetu na mungu
papa francisko ameadhimisha misa katika kanisa kuu la mtakatifu petro kwa ajili ya makardinali na maaskofu marehemu waliokufa kwa kipindi cha mwaka huu
papa francisko ameadhimisha misa ya makardinali na maaskofu marehemu
ijumaa tarehe 3 novembababa mtakatifu francisko ameadhimisha misa takatifu kwa ajili ya kuwaombea marehemu makardinali na maaskofu waliokufa kwa kipindi cha mwaka huukatika mahubiri yake anasemakwa mara nyingine tena liturujia ya siku inatualika na kukumbusha uhalisia wa kifo
ina ya nne ya upendo ni upendo wa kimungu huu huitwa agape ni upendo anaouonesha mungu kwa viumbe vyake vyote
ni ukweli usiopingika kwamba wewe unapendwa nawe basi penda
ni ukweli usiopingika kwamba upendo ndio neno linaloongelewa zaidi kuliko maneno mengine yoyotetunalisikia katika mahubiriushauriwosia nyimbo kazi za wasanii na maeneo mengine mbalimbalipamoja na kuzungunzwa zaidi upendo huo ni kitu kinachokosekana zaidi ya vingine katika maisha
baba mtakatifu anasemahata mababa wakubwa wa kiroro walikuwa wakishauri daima kuanza maisha ya kiroho kwa makutano ya fumbo la yesu msulibiwa
papatambua vema kiini cha fumbo la yesu kristo msulibiwa kwa ajili yako
ni vema kufanya njia ya msalabani kufanya njia ya msalaba nyumbani ukifikiria mateso ya bwana hata mababa wakubwa wa kiroro walikuwa wakishauri daima kuanza maisha ya kiroho kwa makutano ya fumbo la yesu msulibiwani sehemu ya mahubiri ya baba mtakatifu 24 oktoba 2017
matendo ya dhati yanavunja uhusiano unaotaka kufanywa na mashetani saba wanaotaka binadamu atumbukie katika malimwengu
matendo ya upendo kwa ndugu ni nyenzo madhubuti dhidi ya shetani
na bwana anaomba kukesha ili kuhepuka kuingia katikavishawishikwa maana hiyo mkristo daima anakeshayuko makini kama walinziinjili inaelezea juu ya mapambano kati ya shetani nayesuwakati wengine wanasema yesu ana belzeburi ili kuweza kufanya hayo yote aliyokuwa anatenda | 2017-11-20T07:47:08 | http://sw.radiovaticana.va/news/tags/fumbo-la-msalaba |
waziri ngeleja akabidhi sasa funguo za ofisi ya serikali | jamiiforums | the home of great thinkers
waziri ngeleja akabidhi sasa funguo za ofisi ya serikali
discussion in 'jukwaa la siasa' started by maggid jul 19 2011
ndugu zangu hakika kila siku inayopita akiwa na funguo za ofisi ya serikali mfukoni basi waziri ngeleja anazidi kuishushia hadhi serikali tuhuma za rushwa kwenye wizara yake ni nzito sana anachopaswa kufanya sasa ni yeye na katibu wake mkuu kujiweka kando kuruhusu uchunguzi wa kina kufanyika ili kulinda hadhi ya serikali
sweden jumatatu julai 19 2011
soma makala hii husika
katibu mkuu adaiwa kutenga sh1 bilioni kuwahonga wabunge
leon bahati dodoma furaha maugo dar
mbunge wa kilindi (ccm) beatrice shellukindo amelipua bomu bungeni akimtuhumu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini david jairo kwa kutumia zaidi ya sh 1 bilioni kwa ajili ya kutoa rushwa kwa watu mbalimbali ili bajeti ya wizara hiyo iweze kupitishwa na bungetuhuma hizo nzito zinakuja kipindi ambacho tayari wabunge wa kamati ya nishati na madini wakiwa wameibua tuhuma kama hizo za baadhi ya wajumbe kutaka kuhongwa na maofisa wa wizara hiyo ili kurahisisha upitishaji wa bajeti ndani ya kamati takriban wiki tatu tangu wabunge wa kamati hiyo kuibua tuhuma hizo ambazo zilifika hadi kwa waziri mkuu mizengo pinda jana shellukindo alikoleza moto huo wakati akichangia bajeti ya wizara
kutokana na hali hiyo shellukindo alishauri bajeti hiyo isiendelee kujadiliwa bungeni na badala yake ngeleja arejeshewe ili akaifanyie marekebisho na aiwasilishe upya bungeni baada ya wiki mbili nakusudia kutoa hoja kwamba bajeti hii irudishwe na baada ya wiki mbili irudishwe hapa
wabunge walivyoikataa bajeti ya ngeleja
wakichangia mjadala wa bajeti hiyo jana wabunge wa chama cha mapinduzi (ccm) na upinzani walisimama imara na kueleza bayana kwamba hawako tayari kuipitisha bajeti hiyo hali hiyo ilisababisha baada ya mjadala huo uliomalizika mchana wabunge wa ccm kuitwa kwenye kikao maalumu cha kichama
wakati wa mjadala wabunge wengi walikuwa na shauku ya kuchangia lakini spika anne makinda alisema wote wasingeweza kupata nafasi hiyo kutokana na muda
nataka nianze kwa kusema siungi mkono hoja ya kupitishwa kwa bajeti hii na nawaomba wabunge wenzangu msipitishe bajeti hii kwa sababu tupo gizani alisema dk hamis kigwangala (nzegaccm) alipoanza kuchangia mjadala wa bajeti hiyo mbali na tatizo la umeme alitaja sababu nyingine za kutaka bajeti hiyo isipitishwe kuwa ni mikataba mibovu ya sekta ya madini na nishati ambayo imesababisha rasilimali za nchi kuibwa na wageni huku watanzania walio wengi wakiendelea kuogelea kwenye umasikini
waliosababisha hayo wanajulikana lakini hawachukuliwi hatua wengine wapo hapa bungeni na wengine wako serikalini hii ni mikataba kandamizi watu hao wapo kwenye 'system' (mfumo wa serikali) nchi inauzwa wachache wanashibisha matumbo yao alisema
alisema watu hao wamelifikisha taifa kwenye mazingira hayo ya kifisadi kwa sababu ya kutumia nafasi zao kujinufaisha na kuweka kando maslahi ya umma wa watanzania hawa watu kama hawafikirii kwa matumbo wanafikiria kwa kutumia 'spinal cord' (uti wa mgongo) badala ya ubongo
alisema watendaji hao walioliingiza taifa kwenye mikataba hiyo mibovu wanapokwenda kuisaini wanajali kile watakachopata ili kufanikisha malengo yao binafsi kama vile kujenga majumba ya kifahari wanaruhusu ardhi ya watanzania kuuzwa nao wanafaidi kwa kwenda kujenga mbezi beach (dar es salaam) alilalamika dk kigwangala na kusema ni jambo ambalo halipaswi kufumbiwa macho
alisema miongoni mwa mikataba ya kifisadi kuwa ni ule kati ya pan african na shirika la maendeleo ya petroli tanzania (tpdc) kuhusiana na uzalishaji na usafirishaji wa gesi asilia katika mpango huo alisema serikali imepoteza kodi ya sh100 bilioni kwa udanganyifu kiasi ambacho alisema kingeweza kutatua tatizo la umeme nchinikwa sababu hiyo dk kigwangala alitaka mikataba yote ya madini na nishati ivunjwe ili uandaliwe utaratibu mzuri wa kufaidisha umma wa watanzania
uchungu wangu ni kwamba ardhi yote (nchini) yenye madini na gesi imenunuliwa na wazungu alisema dk kigwangala na kuitaka serikali itoe majibu katika masuala matatu muhimu serikali itamke mwisho wa wageni leseni zote zifutwe na itafute wabia wengine serikali ieleze imejipanga vipi kuchukua fedha za pan african energy na iweke wazi lini tatizo la umeme litapatiwa ufumbuzi
naomi kaihula (viti masalumuchadema) aliunga mkono ushauri wa dk kigwangala kuwa wabunge wote wasipitishe bajeti hiyo akisema tatizo la umeme limesababisha maeneo mengi ya nchi kuwa na mgawo wa saa 12 linaangamiza uchumi wa nchi alisema athari hiyo imevikumba viwanda kampuni na hata wajasiriamali wadogowadogo ambao wengine mitaji yao imetokana na kukopa
tukipitisha bajeti hii watanzania watatuona kuwa sisi ni watu tusio na akili tusiipitishe kwa sababu tunawapenda wananchi alisema kaihula akiwaomba wabunge kuweka kando tofauti zao za kiitikadi na badala yake kuwa na nguvu ya pamoja kuizuia bajeti hiyo
alisema kuwa serikali imeonekana kuwa dhaifu hata kwa wafanyabiashara wa hapa nchini akitoa mfano kuwa walishindwa kupambana na uchakachuaji wa mafuta na badala yake kupandisha gharama ya bei ya mafuta ya taa jambo ambalo limeongeza ugumu wa maisha kwa watu wa kipato cha chini
lolesia bukwimba (busandaccm) alilalamika wakazi wa jimboni kwake wengi wao ni masikini na wanachoambulia ni vumbi linalotimuliwa na misafara ya magari yaliyobeba madini kutoka ardhi yao
mbunge wa simanjiro (ccm) christopher olesendeka alisema licha ya taifa kukabiliwa na mgawo wa umeme ratiba yake haiheshimiwi na kuongeza kuwa hiyo ndiyo inayosababisha wananchi kuchanganyikiwa zaidi kwa sababu wanaotegemea umeme kwa shughuli za ujasiriamali wanashindwa kujipanga ili kukabiliana na hali hiyo
alibeza mpango wa serikali wa kununua mitambo miwili ya kuzalisha umeme megawati 100 ambao utafungwa ubungo dar es salaam na megawati 60 mkoani mwanza akisema hautakuwa na manufaa yoyote kwa sababu ya mgogoro uliopo wa gesi kidogo inayosafirishwa hadi dar es salaam kutotosheleza mahitaji
mbunge wa wawi (cuf) hamad rashid mohamed aliitaka serikali kuchukua uamuzi mgumu kama uliowahi kuchukuliwa na serikali ya jamhuri ya kidemokrasi ya kongo (drc) wa kufuta mikataba yote ya madini na kuanza upya alisema bunge lina madaraka ya kubadili mfumo wa uendeshaji wa sekta ya madini kupitia kamati zake hivyo akahimiza hatua hiyo ichukuliwa haraka iwezekanavyo
kwa upande wake hussein amar (nyang'hwaleccm) alisema yupo tayari kumpa somo waziri ngeleja la jinsi wawekezaji wa sekta ya madini wanavyofaidika huku wakidanganya kuwa wamekuwa wakipata hasara kwenye biashara hiyo alisema wizi huo umekuwa ukifanyika kwa ushirikiano kati ya wawekezaji na wataalamu wazalendo ambao wamesomeshwa kwa jasho la watanzania kupitia kodi zao
akichangia bajeti hiyo eustace katagira (kyerwaccm) aliilaumu wizara ya nishati na madini akisema katika jimbo lake hakuna mtandao wa umeme licha ya ahadi nyingi za miaka iliyopitasilvestry koka (kibaha mjiniccm) alisema kuwa tatizo la umeme linalolikumba taifa kwa sasa linatokana na serikali kutowekeza vya kutosha kwenye sekta ya nishati
kuhusu sekta ya madini alisema kuna migogoro mingi kwa sababu watanzania hawafaidiki na rasilimali hiyo na badala yake wageni wanajipakulia wapendavyo alisema baadhi ya wawekezaji walikuja nchini wakiwa na timu kubwa ya wafanyakazi ambao utaalamu wao hautofautiani na ule wa watanzania sheria ipo lakini haitekelezwi tunajenga chuki bila sababu watanzania wanazidi kudhalilika
ukizingatia his former boss kajivua gamba i mean ra naona sasa zamu yake
mnacheza kiduku it will never happen
hapo kwenye red ndipo patamuhao wote walioptisha wawajibishwe
maggid kuwajibika kwa kiongozi wa ngazi ya chini kunategemea na uimara wa kiongozi aliyepo juu
kwa kesi hii jairo ngeleja na malima wanaweza kutunisha msuri na kisitokee kitu maana tunajua aliyewateua ni strong kiasi gani
kaka inaonekana ukifika sweden unasahau kwamba in bongoland 1 + 1 jibu sio lazima iwe 2
hapo kwenye red ndipo patamuhao wote walioptisha wawajibishweclick to expand
kumbe kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini ilishakula hadi ikamaliza za wizara ikabidi jairo akahemee kwa ajili ya wabunge wengine haya makubwa na hii ndio tanzania
huyo godfrey zambi naye si mtuhumiwa wa kuomba rushwahivi kesi yake ndio imeshafunikwa na bi kirobotoangekuwa wa upinzani angesulubiwa harakazambi muomba rushwa hana haki ya kuongeaatleast for now
mnacheza kiduku it will never happenclick to expand
i concur with you it will never happen
not long ago you confirmed ra would not resign
ngeleja kwa hili la rushwa ndani ya wizara yake pamoja na kushindwa kwake kulite ufanisi kwenye sekta ya umeme nchini inabidi tu aachie ngazi ya uwaziri he is a failure
it is terrible but who will bell tha cat hawa wote wanajuana haiwezekani au wote wako chini ya viwango
tatizo lipo eti hulioni
umenena vyema ndugu siasa za tz zina mambo ya ajabu kabisamimi naona hata wabunge kuikataa bajeti ya wizara ya nishati na madini na kuitaka serikali ijipange vyema ni mchezo wa kuigiza tu
kama sikosie (ruhusa kusahihishwa) bajeti ya kila wizara uwa inajadiliwa kwanza katika level ya kamati husika kwa case hii ni kamati ya nishati na madini sasa kamati hiyo ilipaswa iikatie bajeti hiyo mara moja kwa vigezo ambavyo waziri mkuu alivisema wakati ikitoa hoja ya kuhahirishwa kwa majadiliano ya bajeti hiyo
kama kamati iliipitisha bajeti hiyo na kisha wabunge (ambao wengine wamo kwenye iyo kamati) wakaikataa bajeti hiyo basi hapa kuna mushkeri au ndio uwezeshaji wa ndugu jairo ulifanya kazi
kamati inapaswa kuwachunguzwa pia na kuwajibishwa kwa mujibu wa kanuni kama ikibainika kuna foul plays
jamani watu kukaa dodoma kwa siku mbili tu watumie tsh 1bn/ hayo si maajabu wandugu halafu fedha za kununua mitambo ya dharura ndio hakuna za per diem feki (yaani hongo) ndio hazikosekani ama kweli tanzania imelogwa si bure
kama tunaipenda nchi yetu wananchi tuinusuru sasa imetosha tuache unafiki kama hawatajiuzulu tuingie barabarani mpaka kieleweke ni afadhali tuwe na serikali mpya tuone na wao utendaji wao
ngeleja anapaswa kujiuzuru na ninatarajia wabunge watakuwa makini katika hili nilazima ngereja ajiuzuru na wafuasi wake haiwezekani yeye na naibu wake washindwe kubaini uovu huo pia atambua kuwa kitendo cha waziri mkuu kusimama mwenyewe kuondoa hoja niishara kwamba ngeleja hana nafasi tena na mshauri pinda na jk wachukue hatua wawaondoe wate kwenye wizara hiyo na hiyo wizara igawanywe kama ushauri wakambi ya upinzani ilivyopendekeza tunafuatilia kwa karibu
$2m mchezo
tena mkuu wa kaya kaacha tuko gizani yeye anaenda kula bata south afrika
ninachokijua huu ni mchezo wa siku zote na si tu kwenye wizara ya nishati na madini huu mchezo upo kwenye wizara zote na halimashauri zote nchini ukitaka bajeti ipite kirahisi razima utoe rushwa kwa wabunge
ninachokijua huu ni mchezo wa siku zote na si tu kwenye wizara ya nishati na madini huu mchezo upo kwenye wizara zote na halimashauri zote nchini ukitaka bajeti ipite kirahisi razima utoe rushwa kwa wabungeclick to expand
kwa kifupi mkuu unataka kusema wabunge wetu ni wala rushwa haipiti budget bila wabunge kula kwanza au nakuwekea maneno kinywani
ndugu dr hosea
kama kweli hapa nchini bado kuna chombo chochote kinachojishughulisha na hili jinamizi sungu liitwalo rushwa na kwamba chombo hicho bado kinaendelea kutumia nembo ya kuwa mali ya wananchi wa nchi hii na kwamba uendeshaji wake pia inatumia fedha zetu za kodi kila kukicha nchini basi naomba sana wiki ijayo isifike bila kutufanya wenye nchi kwenda kumuona waziri ngeleja na katibu mkuu wake kule lupango keko
ni kero kubwa namna hii ni dhihaka ni kilio kwa taifa inaumiza saaaaana kwenye serikali hii ubinadamu na uso wa aibu haupo tena muda wote natamani kumtukana kila mtu kila mahali nikikumbuka mambo ya wizara hii miongoni mwa mdudu mengine mengi serikalini lakini kanuni za kistaarabu zinanifunga
laiti sisi wananchi tungekua na sauti tena na serikali yetu mzee makame angalia ulivyotuangamiza kama taifa kwa kuporea mheshimiwa kikwete ushindi ambao hakuustahili wenyeviti wengine wa tume za uchaguzi siku za usoni nchini hivi mpaka hapa mnajifunza nini nchi yetu inavyokwenda kikudra ya mwenyezi mungu baada ya tume kushiriki na kufadhili wizi wa kura
kutokana na hali hiyo shellukindo alishauri bajeti hiyo isiendelee kujadiliwa bungeni na badala yake ngeleja arejeshewe ili akaifanyie marekebisho na aiwasilishe upya bungeni baada ya wiki mbili nakusudia kutoa hoja kwamba bajeti hii irudishwe na baada ya wiki mbili irudishwe hapa
kuhusu sekta ya madini alisema kuna migogoro mingi kwa sababu watanzania hawafaidiki na rasilimali hiyo na badala yake wageni wanajipakulia wapendavyo alisema baadhi ya wawekezaji walikuja nchini wakiwa na timu kubwa ya wafanyakazi ambao utaalamu wao hautofautiani na ule wa watanzania sheria ipo lakini haitekelezwi tunajenga chuki bila sababu watanzania wanazidi kudhalilikaclick to expand
alisema barua hiyo yenye kichwa cha habari yahusu kuchangia gharama za kukamilisha maandalizi na uwasilishaji wa hotuba ya bajeti ya wizara ya 2011/12 bungeni dodoma jairo alisema wizara imefanikisha maandalizi ya mpango wa bajeti kwa mwaka 2011/12 na imekwishapitishwa na kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini na hivyo aliinukuu barua hiyo katika kukamilisha mchakato huo hotuba ya bajeti inatarajiwa kuwasilishwa bungeni tarehe 15 na 18 julai 2011click to expand
naombeni majina ya kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini
1 ngeleja
2 malima | 2017-01-22T16:36:54 | https://www.jamiiforums.com/threads/waziri-ngeleja-akabidhi-sasa-funguo-za-ofisi-ya-serikali.156267/ |
serikali yaipa odm pigo badaa ya wafuasi kuchoma gari ▷ tukocoke
serikali yaipa odm pigo badaa ya wafuasi kuchoma gari
4200 chapisha kwa facebook
serikali inawatafuta vijana walioonekana kwenye kamera wakilichoma gari aina ya pick up siku ya jumapili baada ya mkutano wa kisiasa wa odm uliofanyika mtaa wa matharekundi la vijana linalosemekana kuwa la wafuasi wa chama cha odm lilichoma gari la aina ya pick up siku ya jumapili septemba 18 baada ya gari hilo kusemekana kumgonga mfuasi wa chama hicho wafuasi wa chama cha odm wakilichoma gari baada ya gari hilo kugonga mwenzao
habari nyinginegavana joho taabani kwa kutowalipa walinzi wake kitui
serikali imeamrisha chama cha odm kumfidia mwenye gari hilo lililochomwa na wafuasi haowaziri joseph nkaiserry amewaamuru polisi kuwatafuta na kuwakamata wahusika wa kitendo hicho haraka iwezekanavyo
habari nyingine barua ya gavana joho kwa kidero yaonyesha nguvu zake ndani ya odmpolisi walifika eneo hilo muda mfupi baadaye na kuwafurusha vijana hao na vitoa machozireadenglish version read more
odm politics odm elections odm news moto
akothee children ann kiguta twins masawe japani maurice matheka nzula makosi habari zingine wazee wa jamii ya waluo watoa onyo kali kwa raila odinga jua sababu | 2017-05-22T23:14:07 | https://kiswahili.tuko.co.ke/201139-pigo-kwa-odm-baada-ya-wafuasi-wake-kuchoma-gari-la-mtu.html |
luis nani amtetea rooney kwa mourinho ataka nahodha huyo wa united apewe nafasi | saluti5 ')+else if(null=(o=rmatch(/(youtube\/|youtubecom\/(watch\(*&)v=|(embed|v)\/))([^\&\\'>]+)/gi))){var v=o[0]match(/^*((youtube\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\))\v=([^#\&\]*)*/)v&&11==v[7]length&&(s='')}else s=''i=''l=rreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=s+''+d++lsubstring(0gsummarylength)+''+i+}
» luis nani amtetea rooney kwa mourinho ataka nahodha huyo wa united apewe nafasi
luis nani amtetea rooney kwa mourinho ataka nahodha huyo wa united apewe nafasi
winga wa zamani wa manchester united luis nani anaamini mchezaji mwenzake wa zamani wayne rooney anaweza kuimarika na kuwa mchezaji bora old trafford msimu huu hadi sasa hivi rooney amefunga goli moja tu katika mechi saba na kuzua mjadala mkubwa iwapo anastahili kuwepo kwenye kikosi cha kwanza au aishie benchi
hata hivyo mchezaj huyo wa kimataifa wa england ambaye anahitaji magoli matatu tu kufikia rekodi ya mabao 249 ya sir bobby charlton ndani ya manchester united ametetewa na nani anayekipiga na valencia ya hispania
rooney ni mchezaji wa kipekee ana nguvu na mwenye kiwango kizuri mfungaji upeo na mwenye akili kubwa ya kuusoma mchezo nani aliiambia omnisport
nilifurahia maisha kucheza nae pamoja ni mchezaji mwenye kubeba sehemu kubwa ya mafanikio ya manchester united bado ana nafasi ya kujiimarisha na kutengeneza historia ya kipekee
wayne rooney lawamani manchester united
jose mourinho kocha wa man united | 2017-05-28T14:37:18 | http://www.saluti5.com/2016/09/luis-nani-amtetea-rooney-kwa-mourinho.html |
thank you opu online profitsthank you opu online profits
hongera umeshajisajili
fungua barua pepe ndani ya dakika chache kupata linki ya darasa la siku ya 1
kwa sasa angalia video na ujiunge group la whatsapp la mjasiriamali wa mtandao
hatua 2 jiunge group letu la whatsapp
je utapenda kujiunga program yetu mpya ya online profits university | 2019-11-17T12:34:25 | https://onlineprofits.co.tz/thank-you-opu/ |
thenkoromo blog jeshi la polisi mkoa wa kaskazini pemba lawatoa hofu wananchi
jeshi la polisi mkoa wa kaskazini pemba lawatoa hofu wananchi
la polisi mkoa wa kaskazini pemba limewatoa hofu wananchi katika mkoa huo wanaotekeleza ibada ya usiku wakati huu wa mfungo wa mwezi wa ramadhan kwamba ulinzi umeirishwa
wa polisi mkoa huo kamishna msaidizi mwandamizi hassan nassir ali amesema tayari kikosi cha usalama barabarani kimeongezwa nguvu kwa kuongezewa watendaji ili waweze kuyafikia maeneo yote
na mwandishi wa habari hizi ofisini kwake ja ameahidi kuimarisha ulinzi
wa wananchi pamoja na mali zao kwa kipindi chote cha mfungo wa mwezi wa
ramadhan kwa kuongeza maradufu doria za kawaida
ameeleza kuwa ulinzi umeiramishwa zaidi katika maeneo ya miji ya wete
konde na micheweni na kuwatoa hofu wananchi wanaotekeleza ibada ya usiku wakati huu wa mfungo wa mwezi wa ramadhan
kamanda hassan nassir ali amezidi kuwahakikishia wananchi kuwa jeshi la polisi litaendelea kutunza siri wanazozitoa na kuwataka kutoa ushirikiano ili kufanikisha malengo yaliyokusudiwa
kuwahakikishia wananchi kuwa jeshi la polisi litaendelea kutunza siri na taarifa ambazo wanazitoa hivyo ni vyema kuendelea kutupa taarifa ambazo zitafanikisha kuwadhibiti wanaopanga njama ya kufanya hujuma alifahamisha
utaratibu huo ulioandaliwa na jeshi la polisi umelenga kupunguza matukio ya kihalifu pamoja na yale ya ukiukwaji wa kanuni na sheria za nchi hususani za usalama barabarani
tabia ya baadhi ya askari kuvujisha siri wanazopelekewa na raia wema amesema kwamba ni vyema wananchi kuwasiliana moja kwa moja na wakuu wa vituo pamoja na maofisa wengine wa jeshi kuwaripoti askari wanaotoa siri
ili wachukuliwe hatua za kisheria
vyema wananchi kuwasiliana moja kwa moja na maofisa wa jeshi la polisi kuwaripoti askari ambao wanavujisha siri kwani wanalipaka matope jeshi
na kwamba tutawachukulia hatua za kisheria alisisitiza
askari hao wanasababisha jeshi kulaumiwa na wananchi na kuwafanya wananchi wakose imani na chombo chao cha ulinzi kutokana na askari wachache wanaokiuka maadili ya kazi zao | 2016-12-09T13:32:07 | http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2016/06/jeshi-la-polisi-mkoa-wa-kaskazini-pemba.html |
november 2015 | mwanafasihi mahiri
sheikh ponda issa ponda waumini wa dini ya kiislamu wakifurahia kuachiwa kwa sheikh ponda hii ilikuwa mwaka 2014(picha maktaba)
vitanda vya magufuli taratibu za manunuzi zilifuatwa
shilingi milioni 250 zilizopaswa kutumika kwa ajili ya chakula kati ya rais dktmagufuli na wabunge zimeelezwa kutumika kwa aj
mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe joseph magufulinachukua fursa hii kwa heshima na taadhima kutumia
meneja mauzo na ufundi wa lafarge tanzania emil sindato akitoa mafunzo kwa wafyatuaji matofali wa mkoa wa mbeya kuhusu matumizi sahih
jk uso kwa uso na maalim seif wa cuf image caption kikwete afanya mazungumzo na maalim seif hamad wa zanzibar rais jakaya mrisho kikwet
mgombea ubunge wa jimbo la mbeya kupitia ccm sambwee shitambala akizungumza mara baada yaa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi jimbo la m
wajua picha hii iliyovuma sana mtandaoni ilitoka wapi image caption picha hii ilianza kuvuma sana baada ya kupakiwa katika mtandao wa ki
image copyright boko haram image caption picha hizo zinaonesha kuwa zilipigwa katika chuo cha kiufundi cha bama (government technic | 2018-06-22T03:24:03 | http://mkwinda.blogspot.com/2015/11/ |
picha 13 kutoka mitaa ya zanzibar baada ya upepo mkali millardayocom
picha 13 kutoka mitaa ya zanzibar baada ya upepo mkali
mvua zilizokuwa zinanyesha hivi karibuni tanzania zimesababisha maafa makubwa hasa baada ya kutokea mafuriko ambayo yalileta uharibifu wa makazi na mali huku zanzibar na tanga zikiwa baadhi ya sehemu zilizoripotiwa kutokea mafuriko
ayo tv na millardayocom imepiga kambi visiwani zanzibar na hapa zinakuleteapicha 13 za baadhi ya maeneo ambayo yameathirika baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkalihapa ni nyarugusu katika mkoa wa mjini magharibi na wilaya ya magharibi b
← previous story mastaa 8 wa filamu china wamekuja tanzaniakutengeneza filamu
next story → video mnaogopa nini kumfuata rais waziri mwijage | 2020-04-06T15:42:26 | https://millardayo.com/vdo19ia/ |
kilimo cha mbogamboga kilivyowatoa wasomi wa chuo kikuu mwananchi
ngiye anasema baada ya kurudi nchini alimkuta mdogo wake bambala naye amemaliza shahada ya uhandisi katika chuo kikuu cha st joseph kampasi ya dar es salaam
mimi na dada yangu tuliamini kilimo kinalipa ndio maana baada ya kuhitimu chuo kikuu hatukutaka kuajiriwa na badala yake tumeamua kijiajiri kwa kuanzisha kilimo cha spinachi na chainizi anasema ngiye nyabakari
ngiye na mdogo wake bambala nyabakari wameamua kujikita katika kilimo kwa kulima kisasa wakitumia banda kitalu au nyumba kitalu (green house)
nilipomaliza chuo ajira ilikuwa tatizo kama unavyofahamu vijana wengi tunatamani kuajiriwa na sio kujiajiri lakini mimi nilikuwa na mawazo tofauti nilitamani kujiajiri na sio kuajiriwa anasema ngiye ambaye ana shahada ya biashara na utawala aliyoipata mwaka 2015 kutoka chuo kikuu cha bangalore nchini india
anasema baada ya kuhitimu shahada hiyo india alirudi tanzania na wakati wote akiwa nchini alijiuliza anaenda kutafuta kazi gani na wapi
anasema baada ya mdogo wake kumaliza masomo waliamua kumuomba baba yao mtaji kwa ajili ya kuanzisha kilimo cha mbogamboga
bahati nzuri kabla ya kuanza kilimo tulipata taarifa kuwa kuna kampuni moja ya kimataifa iitwayo greenhouse ltd inaendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana hivyo tukaenda katika mafunzo hayo na baadaye tuliamua kuanzisha kilimo cha kisasa cha shamba darasa anasema
anabainisha kuwa kampuni ya greehouse iliwajengea banda kitalu nyumbani kwao mbezi beach na kuanza kulima kilimo hicho juni 2018
anasema kilimo hicho sasa kinawaingizia zaidi ya sh49 milioni kwa mwezi
kitu kilichotuvutia ni kwamba kampuni hii ya greenhouse ltd ndio imebeba jukumu la kutafuta soko mkulima huhitaji kuumiza kichwa wapi utauza mboga zako wao wananunua mboga hizo na kutafuta wateja anasema ngiye
wakati ngiye akieleza hayo mdogo wake bambala anasema malengo yao ni kuhakikisha kuwa wanatengeneza nyumba kitalu nyingi kadri wawezavyo ili kufika walikokusudia
mabinti hao wamewekeza zaidi ya sh20 milioni katika kilimo cha mbogamboga kwenye eneo hilo na kwamba baada ya kuvuna mboga hizo wanatarajia kulima nyanya boga (pilipili hoho)
wanasema kiasi hicho cha fedha kimetumika katika ujenzi wa green house uandaaji shamba ulimaji wenyewe dawa za kuzuia wadudu na kumlipa mtaalamu wa kilimo
uzuri ni kwamba ujenzi wa kitalu nyumba unaweza kudumu kwa miaka zaidi ya saba bila kubadilisha ukiona kuna sehemu imeharibika unatengeneza palipoharibika unabadilisha ukiona neti imeharibika unatengeneza ukishajenga green house utalima kila unachotaka anasema ngiye
ulimaji na uchumaji wa spinachi
mtaalamu wa masuala ya kilimo isack mgallah anasema tuta moja la spinachi linakuwa na miche 300 na hutengeneza sh80000 kwa mchumo mmoja
mgallah ambaye pia ni bwanashamba anayesimamia shamba la mabinti hao anasema spinachi zinazolimwa kwa njia ya kisasa ya kutumia kitalu banda hudumu kwa zaidi ya miezi minne na baada ya hapo mkulima anaweza kubadilisha kwa kulima zao lingine
anasema katika eneo hilo akina dada hao wamelima matuta 22 ya mboga hizo ambapo 10 ni ya chainizi na 12 ya spinachi
soko la spinach liko wapi
simon mnkondya ni mkurugenzi mkuu wa kampuni ya kimataifa ya greenhouse anafafanua kuwa baada ya kampuni hiyo kununua spinach hiyo huisafirisha kwenda visiwa vya comoro kwa ajili ya kuiuza
soko letu kubwa la mboga hizi tunazozalisha lipo visiwa vya comoro husafirishwa kwa ndege kutoka dar es salaam hadi katika visiwa hivyo anasema mnkondya na kuongeza
tumepata mapokeo mazuri ya mazao ya mbogamboga katika visiwa vya commoro ikiwamo mayotte kutokana na ubora wa mboga hizi anasema
anabainisha kuwa moja ya changamoto iliyokuwa ikiwakabili wakulima wengi ni kutopata wataalamu bora wa kilimo hivyo kupitia kampuni yake wameweza kutoa mafunzo kwa vijana wanaotoka vyuoni
vijana hawa baada ya kuwapatia mafunzo tunawapeleka kusimamia mashamba darasa ya wakulima tuliyowalimia kilimo cha green house anasema
anasema vijana hao hupelekwa katika mashamba hayo kwa ajili ya kuyatunza mazao yaliyolimwa kwa kipindi cha mwaka mzima na wawapo katika mashamba hayo huendelea kutoa mafunzo ya moja kwa moja kwa njia ya vitendo
mgallah anasema mkulima anatakiwa kuandaa shamba na kujua muda sahihi wa kuweka mbolea ukichelewa kuweka mbolea unaweza kukosa mavuno mazuri na hivyo kukosa mapato anasema
anafafanua kuwa kitu kingine cha kuzingatia katika kilimo hicho ni kujua changamaoto dalili za magonjwa na kukabiliana nazo
kwa mujibu wa mgallah kabla ya kupanda huweka mbolea ya samadi baada ya kupanda huweka mbolea nyingine na mwisho ni mbolea ya kukuzia mimea
aidha baada ya mmea kukua mkulima anatakiwa kupulizia dawa ya kuua wadudu waharibifu kila baada ya siku 14
pulizia dawa ya kuua wadudu mboga zako ili kuzuia wadudu waharibifu na baada ya kupulizia unatakiwa kuzimwagilia maji mengi kisha utatakiwa kuziacha kwa wiki nzima kabla ya kuzichuma ili dawa iishe anasema
anasema ndani ya mwezi mmoja tangu kupandwa kwa spinachi mkulima anaweza kuanza kuvuna | 2019-12-14T17:11:22 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/mbegu/Kilimo-cha-mbogamboga-kilivyowatoa-wasomi-wa-chuo-kikuu/5123630-5131010-tgo0xoz/index.html |
mateu 18 | bibele ya fa intaneti | new world translation
yomutuna mwa mubuso (16)
lisitataliso (711)
swanisezo ya ngu yelatehile (1214)
mwakuutwanela hape ni mwanahenu (1520)
swanisezo ya mutanga yasaswaleli (2135)
18 ka yona nako yeo balutiwa ba jesu bataha ku yena bali ki mañi luli yomutuna mwa mubuso wa mahalimu+
2 cwale abiza mwanana yomunyinyani ato muyemisa mwahalaa bona
3 mi ali kaniti namibulelela nili konji hamuka fetuha* kuba sina banana babanyinyani+ hamuna kukena mwa mubuso wa mahalimu+
4 kabakaleo mutu kaufela yakaikokobeza sina mwanana yomunyinyani yo ki yena yomutuna mwa mubuso wa mahalimu+
5 mi mutu kaufela yaamuhela mwanana alimuñwi yacwalo ka libizo laka uamuhela ni na
6 kono mutu kaufela yasitatalisa alimuñwi ku babanyinyani ba babalumela ku na nekukaba hande ku yena hanaaka tamelelwa mwa mulala licwe lelituna la kubelisa lelipikuluswa ki mbongolo ni kunepelwa mwa buliba bwa liwate+
7 bumai ki bwa lifasi kabakala lisitataliso ki niti lisitataliso likataha luli kono bumai ki bwa mutu yo sitataliso itaha ka yena
8 cwale haiba lizoho kamba lihutu lahao likusitatalisa ulipume mi ulinepele kwahule ni wena+ sesinde ku wena ki kufumana bupilo uli siyanga kamba sihole kufita kuba ni mazoho amabeli kamba mahutu amabeli kihona unepelwa mwa mulilo osafeli+
9 mi haiba liito lahao lakusitatalisa ulikumule mi ulinepele kwahule ni wena sesinde ku wena ki kufumana bupilo inze unani liito lililiñwi kufita kunepelwa mwa gehena*+ ya mulilo inze unani meeto amabeli
10 mubone teñi kuli hamukendi yomuñwi wa babanyinyani ba kakuli namibulelela nili mangeloi abona kwa lihalimu kamita abona pata ya ndate ya kwa lihalimu+
12 mubona cwañi haiba mutu unani lingu ze 100 mi iliñwi yazona izwa mwa mutapi+ kana haana kusiya ze 99 fa malundu ni kuya kuyo bata iliñwi yezwile mwa mutapi+
13 mi haiba aifumana kaniti namibulelela nili ukataba hahulu kabakala ngu iliñwi yeo kufita ze 99 zenesika zwa mwa mutapi
14 ka mukwa oswana haki nto yetabisa ku ndate* ya kwa lihalimu kuli nihaiba alimuñwi ku babanyinyani bao ashwe+
15 hape haiba mwanahenu aeza sibi uye uyo mupunyeza bufosi bwahae* muli bababeli feela+ haiba akuutwa uzibe upilisize mwanahenu+
16 kono haiba asateelezi uye ni alimuñwi kamba bababeli ilikuli ka bupaki* bwa batu bababeli kamba babalaalu taba kaufela ikone kutiiswa+
17 haiba asa bateelezi ubulelele puteho haiba asautwi nihaiba puteho abe ku wena sina mulicaba+ ni sina mutelisi+
18 kaniti namibulelela nili lika kaufela zemuka tama fa lifasi likabe litamilwe kale kwa lihalimu mi lika kaufela zemuka tamulula fa lifasi likabe litamuluzwi kale kwa lihalimu
19 hape nimibulelela niti nili haiba bababeli ku mina fa lifasi balumelelana kukupa nto yeñwi ya butokwa kukaezahala cwalo ku bona kabakala ndate ya kwa lihalimu+
20 kakuli fokunani bababeli kamba babalaalu babakopani kabakala libizo laka+ ni na ni teñi mwahalaa bona
21 cwale pitrosi ataha mi ato li ku yena mulena mwanahesu uka nifoseza hakai ninze nimuswalela kana ki kuisa ha 7
22 jesu ali ku yena nili ku wena isiñi kuisa ha 7 kono ibe kuisa ha 77+
23 ki lona libaka mubuso wa mahalimu haukona kubapiswa ku mutu yali mulena yanaabata kuli batanga bahae bamulife likoloti
24 hakalile kulifisa likoloti kwatiswa muuna yanaa mukolotezi litalenta ze 10000*
25 kono kabakala kuli naasakoni kulifa sikoloti seo mulenaa hae alaela kuli alekiswe yena ni musalaa hae ni bana bahae ni zanaaluwile kaufela kuli sikoloti silifiwe+
26 mutanga yo kihaa wa fafasi amukubamela ali haku nife nako mi nika kulifa sikoloti kaufelaa sona
27 mulenaa mutanga yo kihaa mushwela makeke amulukulula mi amuswalela sikoloti sahae+
28 kono mutanga yo aya mi afumana yomuñwi wa batanga ka yena yanaa mukolotezi lidinari* ze 100 amufwañata akala kumukama mwa mulala inze ali nilife sikoloti saka kaufelaa sona
29 cwale mutanga ka yena yo awa fafasi mi akala kumukupa ali haku nife nako nika kulifa
30 nihakulicwalo ahana kono aya mi ayo mukenyisa mwa tolongo kufitela fanaaka lifela sikoloti sahae
31 batanga babañwi hababoni zeezahezi baswaba hahulu mi baya bayo bihela mulenaa bona zeneezahezi kaufela
32 cwale mulenaa hae amubiza mi ali ku yena wena mutanga yamaswe neni kuswalezi sikoloti sani kaufela hane unikupile ka taata
33 kana ni wena neusike washemuba mutanga ka wena sina mone nikushemubezi+
34 mulenaa hae kiha halifa hahulu mi amufa kwa balibeleli ba tolongo kuisa fanaaka lifela sikoloti kaufelaa sona
35 ndate ya kwa lihalimu ni yena uka mieza ka mukwa oswana+ haiba yomuñwi ni yomuñwi ku mina asaswaleli mwanahabo yena kuzwelela kwa pilu+
^ kamba hamuka cinca
^ kamba mwendi ndataa mina
^ linzwi ka linzwi uyo mukalimela
^ litalenta za silivera ze 10000 nelilikana ni lidinari ze 60000000 mubone litaba zeekelizwe b14 | 2017-04-28T18:18:15 | https://www.jw.org/loz/lihatiso/bibele/nwt/libuka/mateu/18/ |
kuongezeka kwa matumizi ya nguvu ya polisi tanzania | masuala ya jamii | dw | 25092012
kuongezeka kwa matumizi ya nguvu ya polisi tanzania
kikosi cha kuzuia fujo cha jeshi la polisi la tanzania
iddi ssessanga anauangalia ufanyaji kazi wa jeshi la polisi nchini tanzania katika wakati ambao wito kutoka wanaharakati na wanasiasa kutaka mageuzi makubwa kwenye taasisi hiyo kuu ya usalama wa ndani
polisi wa tanzania na matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya raia
mada zinazohusiana tanzania john pombe magufuli zanzibar chadema chama cha wananchi (cuf) maandamano kassim majaliwa
maneno muhimu polisi tanzania cuf zanzibar chadema
kiungo https//pdwcom/p/16dib | 2020-01-19T19:45:51 | https://www.dw.com/sw/kuongezeka-kwa-matumizi-ya-nguvu-ya-polisi-tanzania/a-16259015 |
doctors nisaidieni ushauri | jamiiforums
doctors nisaidieni ushauri
thread starter lolypop
brothers n' sisters
lolypop napata maumivu makali upande wa kulia chini kidogo ya mbavu ambayo yanakwenda mpaka mgongoni hali hii hunitokea baada ya kula kama nimekaa muda mrefu bila kula
je ni vidonda vya tumbo au ini linahitilafu
40894 2000
unakunywa maji kiasi gani kwa siku
8977 2000
hiyo hali inanipataga ata mm
na ulcers nshapima nkaambiwa hamna
ini nishapima nkaambiwa liko fresh
pole mkuu tusubiri ushauri wa kitu kingne hapa
reactions lolypop and bradha
7996 2000
wanauita huo ugonjwa gallstones
what they feel like a sharp pain in your upper middle abdomenthat moves to your right side under your rib cage the pain can worsen after eating
reactions lolypop and depal
utakuwa hujapata dushe kwa muda mrefu
uliwahi kufanya ct scan au ultrasound
nope sijawai
you may need surgery to remove the gallbladder
jaribu kufanyia utafiti hizo gallstones muulize daktari kama inaweza kuwa hiyo uone anasemajeukiweza fanya hiyo ct scan for gallstones
licha ya kuwa maumivu yake huwa yanaisha haraka au mgonjwa kuumwa kwa nadra sana inashauriwa kupata matibabu mapema iwezekanavyoso usihofie kutafuta tiba haraka iwezekanavyo hata kama itabidi kufanyiwa upasuaji au tiba nyingine msiogopehiyo ni sehemu tuu ya matibabu for your well beingpoleni and i pray that mpate utatuzi wa hili tatizo
cc lolypop
usihofu you may or may not(may sio must) need itila hata ikibidi usiogope god is with you
ahsante mkuu kwa ufafanuzi ubarikiwe
1lt mpaka 2lt
mkuu tuheshimiane
hakuna kitu naogopa kama surgery ndugu yangu
nimeingia google nimesoma kweli bradha yupo sahihi
unaweza kusoma hapo
gallstones symptoms and causes
you can just do ultrasound scan to pick gallstone ct scan is so expensive and has a lot of xray radiations x1000 of a normal xray
reactions nafsi huru lolypop and bradha
hii inaweza kuwa
1 acute pancreatitis kwa symptoms hizo ulizozitaja
ingawa pia gallbladder stone inaweza kuwa ndio sababu ya maumivu yako
nakuelewa ila kama ikihitajika kama sehemu ua tiba itabidi tuu nyahinga jr ameshauri vizuri pia
asanteni sana kwa ushauri ndugu zangu
doctors nisaidieni dawa ya kusafisha figo na mfumo mzima wa mkojo jf doctor 32 oct 23 2017
doctors nisaidieni jf doctor 21 oct 1 2017
doctors nisaidieni dawa ya kusafisha figo na mfumo mzima wa mkojo
doctors nisaidieni
posts 34039710 | 2020-02-19T22:40:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/doctors-nisaidieni-ushauri.1552158/ |
nakutakia asubuhi njema ndugu ackyshine minisites | best of 2019
biesha elias lihamba
ni furaha yangu kuwa umeamka salama na ni mapenzi yangu kukutakia siku jema
09 nov 2019 0608
usisahau kushare/kumtumia kwenye mitandao ya kijamii hapa chini ili biesha elias lihamba asome ujumbe wako
bofya andika ujumbe mpya kumuandikia na wewe mtu wako ujumbe kama biesha elias lihamba alivyomwandikia biesha elias lihamba
09 nov 2019 0604 09 nov 2019 0604 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya asnart lukas nkulukulu kutoka kwa phabiano elias twiyagile👉soma ujumbe
09 nov 2019 0558 09 nov 2019 0558 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa £sron twiyagile & asnart lukas👉soma ujumbe
09 nov 2019 0552 09 nov 2019 0552 ago tukutanempenzi ujumbe/ kadi ya zawadi kutoka kwa inu👉soma ujumbe
09 nov 2019 0547 09 nov 2019 0547 ago shukranimzazi ujumbe/ kadi ya upendo kutoka kwa upendo dickson👉soma ujumbe
09 nov 2019 0545 09 nov 2019 0545 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya joyce kutoka kwa nurdi oshaban👉soma ujumbe
09 nov 2019 0542 09 nov 2019 0542 ago salamuasubuhimpenzi ujumbe/ kadi ya neema kutoka kwa inu my love👉soma ujumbe
09 nov 2019 0535 09 nov 2019 0535 ago hongerampenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
09 nov 2019 0533 09 nov 2019 0533 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya asnart lukas nkulukulu kutoka kwa 👉soma ujumbe
09 nov 2019 0528 09 nov 2019 0528 ago shukranimpenzi ujumbe/ kadi ya asnart lukas kutoka kwa 👉soma ujumbe
09 nov 2019 0513 09 nov 2019 0513 ago salamuasubuhimzazi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
09 nov 2019 0510 09 nov 2019 0510 ago salamuasubuhimzazi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
09 nov 2019 0442 09 nov 2019 0442 ago tukutanempenzi ujumbe/ kadi ya costansia kutoka kwa chris👉soma ujumbe
09 nov 2019 0420 09 nov 2019 0420 ago polempenzi ujumbe/ kadi ya maryamu binti ahmad ibnu mhammad kutoka kwa ismaiylu goodfrey nangalle 👉soma ujumbe
09 nov 2019 0414 09 nov 2019 0414 ago polempenzi ujumbe/ kadi ya maryamu binti ahmad ibnu mhammad kutoka kwa ismaiylu goodfrey nangalle 👉soma ujumbe
17 feb 2019 1402 17 feb 2019 1402 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya rama kutoka kwa rama wangu ni 👉soma ujumbe
16 oct 2019 2031 16 oct 2019 2031 ago tukutanempenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
07 feb 2019 1035 07 feb 2019 1035 ago shukranimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
08 apr 2019 1033 08 apr 2019 1033 ago salamumchanampenzi ujumbe/ kadi ya rashidi kajewa kutoka kwa adija baraka bstn👉soma ujumbe
26 feb 2019 1632 26 feb 2019 1632 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya mama shuu kutoka kwa baba shuu👉soma ujumbe
11 aug 2019 1831 11 aug 2019 1831 ago hongerampenzi ujumbe/ kadi ya kesera kutoka kwa yusuph mwasi👉soma ujumbe
03 aug 2019 2005 03 aug 2019 2005 ago polendugu ujumbe/ kadi ya martha heliman kutoka kwa raphael yoram👉soma ujumbe
08 jun 2019 2020 08 jun 2019 2020 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya zainabu mussa kutoka kwa abuu linus👉soma ujumbe
22 apr 2019 0205 22 apr 2019 0205 ago mlomwemampenzi ujumbe/ kadi ya magen shilunga kutoka kwa alfred mtengwa 👉soma ujumbe
17 mar 2019 1328 17 mar 2019 1328 ago hongerandugu ujumbe/ kadi ya sowaaaa/corean bety/ bite kutoka kwa ufaulu mitihani yako suley ttcl / ttcl ambasador mzumbe👉soma ujumbe
11 aug 2019 1937 11 aug 2019 1937 ago shukranimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa jey👉soma ujumbe
07 mar 2019 0612 07 mar 2019 0612 ago shukranimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
14 jul 2019 0536 14 jul 2019 0536 ago salamuasubuhindugu ujumbe/ kadi ya elizabeth kutoka kwa 👉soma ujumbe
27 oct 2019 0919 27 oct 2019 0919 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya myzawadi kutoka kwa renny👉soma ujumbe
05 oct 2019 1952 05 oct 2019 1952 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya catherin kutoka kwa prince j kafuku👉soma ujumbe
15 nov 2019 1839 15 nov 2019 1839 ago salamuusikumpenzi ujumbe/ kadi ya emmie kutoka kwa deno k deno👉soma ujumbe
24 jul 2019 1944 24 jul 2019 1944 ago polempenzi ujumbe/ kadi ya cinta kutoka kwa davidjerome 👉soma ujumbe
12 sep 2019 1632 12 sep 2019 1632 ago polemzazi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa ramadhani abdara mfuno👉soma ujumbe
25 jul 2019 1558 25 jul 2019 1558 ago salamujionimzazi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
12 jun 2019 1116 12 jun 2019 1116 ago tukutanempenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
06 sep 2019 1612 06 sep 2019 1612 ago hongerandugu ujumbe/ kadi ya irene norbert kutoka kwa norbert komba👉soma ujumbe
02 jan 2019 0233 02 jan 2019 0233 ago newyearwishes ujumbe/ kadi ya kutoka kwa vocko boy kabigwa👉soma ujumbe
09 jan 2019 0807 09 jan 2019 0807 ago newyearwishes ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
05 aug 2019 1919 05 aug 2019 1919 ago nimekumisimzazi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
02 aug 2019 0827 02 aug 2019 0827 ago salamumchanampenzi ujumbe/ kadi ya elizabeth jimmy kutoka kwa baraka anangisye👉soma ujumbe
15 sep 2019 1819 15 sep 2019 1819 ago mlomwemampenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
19 jul 2019 0425 19 jul 2019 0425 ago salamuasubuhimpenzi ujumbe/ kadi ya mercy peter kutoka kwa peter ekhadeli👉soma ujumbe
27 oct 2019 1831 27 oct 2019 1831 ago mlomwemarafiki ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
10 aug 2019 1105 10 aug 2019 1105 ago shukranimpenzi ujumbe/ kadi ya rabani kutoka kwa furaha👉soma ujumbe
06 apr 2019 0225 06 apr 2019 0225 ago salamumchanamzazi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
02 may 2019 2328 02 may 2019 2328 ago tukutanempenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa maria👉soma ujumbe
21 nov 2019 1723 21 nov 2019 1723 ago hongerampenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
06 may 2019 1347 06 may 2019 1347 ago shukranimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
16 feb 2019 0754 16 feb 2019 0754 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
16 apr 2019 1741 16 apr 2019 1741 ago polempenzi ujumbe/ kadi ya mpenzi kutoka kwa husby👉soma ujumbe
24 aug 2019 1945 24 aug 2019 1945 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa vicram adam 👉soma ujumbe
17 nov 2019 1038 17 nov 2019 1038 ago salamumchanampenzi ujumbe/ kadi ya theresia simon masawe kutoka kwa mary joakim laizer👉soma ujumbe
17 sep 2019 1835 17 sep 2019 1835 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa julias edwin kason👉soma ujumbe
14 jun 2019 0543 14 jun 2019 0543 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya dear lovely kutoka kwa ahmady👉soma ujumbe
21 may 2019 0910 21 may 2019 0910 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa mbongo mbongo wangu👉soma ujumbe
08 nov 2019 0544 08 nov 2019 0544 ago msamahampenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa ezekiel sanga 👉soma ujumbe
11 sep 2019 1902 11 sep 2019 1902 ago polempenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
18 aug 2019 1533 18 aug 2019 1533 ago tukutanempenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
29 sep 2019 1057 29 sep 2019 1057 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya unknown kutoka kwa ridox the king 👉soma ujumbe
01 jan 2019 0508 01 jan 2019 0508 ago newyearwishes ujumbe/ kadi ya jeff kutoka kwa saul👉soma ujumbe
15 mar 2019 2310 15 mar 2019 2310 ago hongerampenzi ujumbe/ kadi ya charly kutoka kwa maria obogo ryoba👉soma ujumbe
21 sep 2019 1621 21 sep 2019 1621 ago polempenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
12 sep 2019 1737 12 sep 2019 1737 ago salamuusikundugu ujumbe/ kadi ya kutoka kwa elia👉soma ujumbe
24 sep 2019 2043 24 sep 2019 2043 ago salamuusikumpenzi ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
31 dec 2018 2003 31 dec 2018 2003 ago newyearwishes ujumbe/ kadi ya neema mgaya kutoka kwa kulwa makono👉soma ujumbe
28 feb 2019 2212 28 feb 2019 2212 ago nimekumisimpenzi ujumbe/ kadi ya hawo kutoka kwa asku nuan👉soma ujumbe
29 jul 2019 1836 29 jul 2019 1836 ago salamuusikumpenzi ujumbe/ kadi ya rose kutoka kwa kiboi👉soma ujumbe
14 aug 2019 1008 14 aug 2019 1008 ago shukranirafiki ujumbe/ kadi ya saada kutoka kwa waziry seif 👉soma ujumbe
26 oct 2019 0902 26 oct 2019 0902 ago tukutanendugu ujumbe/ kadi ya kutoka kwa 👉soma ujumbe
04 jan 2019 0907 04 jan 2019 0907 ago newyearwishes ujumbe/ kadi ya rehema koka kutoka kwa robinson michael👉soma ujumbe
dawa nyingine madhubuti ya chunusi ni papai tunda hili ni moja ya matunda yanayotumika kwa ajili ya urembo hasa kwa wanawake soma zaidi 👉mapishinalishe
madhara ya muda hutokea mara tu baada ya dawa za kulevya kutumika wakati madhara ya muda mrefu huonekana baada ya muda kupita na mara nyingi husababisha uharibifu wa kudumu kwenye mapafu na ubongo soma zaidi 👉wiki
ndizi mbichi 10 soma zaidi 👉mapishinalishe | 2019-11-23T00:09:55 | http://www.ackyshine.com/salamu-asubuhi-ndugu:240 |
serikali yakwaa kisiki hospitali binafsi page 3
bak nikiona hivi nasikia hasira sana acha kabisa hii nchi inaweza kusimama yenyewe kwa miguu yake ila kwasababu inaendeshwa na mtu dhaifu basi ni problem kubwa kuliko tunavyoweza kujua yaani 2015 hata kama nitakuwa naumwa nitaomba nipelekwe kwa kubebwa nipige kura
2nd july 2012 1445
2nd july 2012 1449
lisilowezekana kokote kule duniani tz linawezekana
aiseeasteaste mkuu mr ban is not far from here
nafikiri serikali haiwajui madactari kabisa hawajui kuwa wale waliogoma muhimbili ukienda tmjkairuki unawakuta kule wanakula bata utawalaghai vipi what goes no must come around hahahah its 2012
2nd july 2012 1457
safi ila kwa leo lazima ntapigwa ban kwa yeyote yule atakaepinga mgomo wa madaktari
mimi napinga
cacico mambo shost mbona umechukia hivyo
2nd july 2012 1458
serikali inasumbuliwa na madeni madogo ya waalim itawezaje matibabu ya hospital binafsi wakati wanadaiwa na wakandarasi wa kichina wa barabarana wanao dai jeshini waliopeleka chakula hawajalipwa umeme wizara kibao zinadaiwa wanashindwa kulipa madoc jumla billion 21 kwa mwezi wataweza kulipa agakhan si zitafungwa dingswayo likes this
posts 26561 rep power
likes received8286
we acha tu cacico wanyarwanda (wahutu na watusi) mwaka 1994 waliuana sana lakini miaka 18 baadaye nchi hiyo inafanya vizuri sana ukilinganisha na nchi yetu pamoja na kuwa hawana utajiri mkubwa wa mali asili kama nchi yetu sie na amani yetu tunarudi nyuma kimaendeleo kila kitu chetu ni hovyo hovyo tu kwa kisingizio cha serikali haina uwezo wameweza kuifanya miji yao ipendeze kuwa misafi kuboresha maisha ya wananchi na pia kuongeza vipato vya wanyarwanda hata baadhi ya wasomi wa kitanzania waliokuwa nchi mbali mbali duniani kuvutiwa kufanya kazi rwanda
huku hii serikali dhaifu ikiendelea na nyimbo zake za serikali haina uwezo nchi yetu maskini kama nchi yetu maskini mbona wengi waliowahi kushika nyadhifa za juu kama akina mkapa lowassa sumaye dhaifu na mwanaye na wengineo chungu nzima wanakuwa mabilionea kwa kukwapua mali mbali mbali za walipa kodi serikali haina uwezo halafu katika kipindi cha miezi minane tu wametoa misamaha ya kodi ya shilingi 14 trillioni na asilimia kubwa ya misamaha hii inakwenda kwa mawaziri na wabunge
weka source jf sio sehemu ya majungu na unafiki
una uhakika rwanda inafanya vizuri fanya utafiti kwanza acha hisia za kibubusa
2nd july 2012 1525
hapo palipokolezwa waliojibu hivyo kama wamesoma elimu yao haiwajasaidia kumbuka hii ni dharura mkuu hata wakati wa vita ya idd amin dada nchi ilitumia pesa nyingi ambayo haikuwa katika mpango funguka mkuu
sina haja ya kufanya utafiti kwa sababu nimeshafika rwanda na pia nina marafiki wengi wa kitanzania na kinyarwanda ndani ya rwanda na kila mara huwaulizia kuhusu rwanda ukilinganisha na tanzania wanafanya vizuri sana
kama tungekuwa bungeni ningeomba mwongozo wa spika kwa kutumia kanuni ya 68 kutoa lugha ya kuudhi ili ufute kauli yakoukikataa wanakutoa nje kabisa ya bunge una bahati tuko huku jukwa huru
kwa hiyo wamemshika pabaya tena mbele ya watoto
mkuu nawewe acha hisia hivi unapoona professor mzima anakimbilia kufanya kazi rwanda na kuacha hapa kwetu sababu ya maslahi pamoja na mazingira mazuri bado unahitaji power point za kukueleza hatufanyi vizuri au kwa vile una hisia tofauti na bak
safi sana na bado huyu kilaza atajua kuwa watu wote sio wapumbavu kama yye
serikali inasumbuliwa na madeni madogo ya waalim itawezaje matibabu ya hospital binafsi wakati wanadaiwa na wakandarasi wa kichina wa barabarana wanao dai jeshini waliopeleka chakula hawajalipwa umeme wizara kibao zinadaiwa wanashindwa kulipa madoc jumla billion 21 kwa mwezi wataweza kulipa agakhan si zitafungwa funguka mkuu wakiamua wanaweza
2nd july 2012 1532
wanajua kwamba serikali hii isiyo na uwezo itaishia kuwakopa
serikali kulipia huduma private ni ndoto mkikubali kukopwa itakula kwenu | 2013-05-20T15:56:55 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/286392-serikali-yakwaa-kisiki-hospitali-binafsi-3.html |
(swahili) photopost pro swali
photopost pro swali
thread photopost pro swali
hi wakati nafasi ya maneno 'ya ziada directory' katika faili rewrite je ni directory zima au tu >> / gallery / mimi kuendelea kupata makosa server ndani wakati akijaribu kutembelea pro yangu photopost ukurasa
asante bidhaa ya kushangaza
i edited katika vbet >> kuu>> kushika directory>>> / gallery /
katika kuu yangu htaccess i aliongeza utawala ambapo mimi iliyopita maneno 'ya ziada directory' kwa sanaa
mimi kuweka vbenterprisetranslator_front_controllerphp mabadiliko 'set_here_full_forum_directory_path' nyumba ya sanaa folder yangu iliyopita kwa kutumia njia halisi directory chombo kupata njia yangu aliongeza sheria hizo rewrite hehehehe na bado kupata server kosa ukurasa wa ndani mimi nina kuchanganyikiwa
ilihaririwa mwisho na el caballo 220910 katika 1634
ndiyo muungano wa photopost inaweza maumivu tunajua kwamba lakini hatuwezi kufanya rahisi ni kwa sababu photopost wala msaada ya kawaida vbulletin njia ya kizazi kurasa (hook global_complete si mkono)
tafadhali utupe maudhui kamili ya files yako htaccess kutoka directory kuu na kutoka directory photpost sisi kuangalia ni
bure htaccess ushirikiano vbulletin
vbet 492beta inatoa tafsiri ya moja kwa moja | 2018-02-23T14:47:24 | http://www.vbenterprisetranslator.com/forum/sw/vbet4-integration-other-plugins/1022-photopost-pro-swali.html |
suala la elimu latia hofu wazazi warohingya
shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi unhcr linafanya kila liwezalo kuhakikisha watoto wakimbizi warohingya huko banglade | 2019-11-20T12:26:20 | https://news.un.org/sw/tags/coxs-bazar-0/date/2019 |
tehama | kilombero district council
kitengo cha teknolojia ya habari na mawasiliano katika halmashauri ya wilaya ya kilombero inahusika na miongozo na mfumo wa rasilimali na miundombinu ya ict
lengo kuu la kitengo cha ict ni kuhakikisha kuwa rasilimali na mifumo yote ya ict katika halmashauri ya wilaya ya kilombero inatekelezwa na kuendeshwa kwa namna
ambayo haina kuathiri ulinzi usalama uadilifu siri na upatikanaji wa mifumo taarifa na data ya kuendelea
halmashauri ya wilaya ya kilombero hutumia kompyuta kwa kusudi la uongozi madhumuni ya mawasiliano na kama chombo cha kuimarisha kutoa huduma kwa
wananchi ili kufikia malengo ya baraza
lengo ili kufikia malengo ya ict katika wilayani ya kilombero ni pamoja na usimamizi wa rasilimali za ict katika kila idara kati ya idara ndani ya baraza
sio tu bali pia kuongoza ununuzi wa kawaida wa zana na vifaa vya it pamoja na kufuatilia mali na hesabu
lengo lingine ni kuhakikisha msaada unapewa watumiaji wa tatu ili kutumia rasilimali za ict na uingizaji wa rasilimali za ict kutokana na mabadiliko ya teknolojia
hasa katika ulinzi wa habari za umeme na pia kulinda dhidi ya hatari lengo kuu ni kutoa huduma katika baraza kupitia mfumo wa umeme kutoka kwa mfumo wa mwongozo
mafanikio ya kitengo cha ict katika halmashauri ya wilaya ya kilombero kitengo hiki kinaweza kuunda na kuandika sera ya kilaya ya wilaya ya kilombero ambayo hutoa miongozo ya teknolojia ya habari kitengo hiki kinaweza kuunda tovuti ya halmashauri ya wilaya ya kilombero kwa kushirikiana na shirika la serikali la etovuti hii kufanya habari kuhusiana na halmashauri ya wilaya ya kilombero
kitengo hiki pia kinasisitiza watumiaji wa tatu katika hati ya matumizi bora na sahihi ya rasilimali za ict (waraka ya matumizi bora na sahihi ya tehama) ambayo inaboresha mazoea bora ya rasilimali za it
kitengo hiki kinaweza kutekeleza sera ya usimamizi wa hatari iliyozingatiwa na teknolojia ya habari na mawasiliano ambayo inatoa msingi kwa ajili ya maendeleo ya usimamizi bora wa hatari hati ya kuchunguza na kupunguza hatari inayojulikana ndani ya it systems
changamoto katika kitengo cha ict ni pamoja na idadi duni ya wafanyakazi wa ict kwa sababu ya kazi yoyote inayohusiana na ict itakuwa imeandaliwa na it bila kutunza ambayo mtaalamu wa it kwamba kazi ni maalumu
changamoto nyingine ni ukosefu wa mapendekezo ya masuala yanayohusiana na ict katika kila idara ili kufikia malengo ya ict na changamoto ya kudumisha utulivu wa mtandao kutokana na eneo la seva kutoka vituo mbalimbali mbali na wilaya ya kilombero angalia zaidi kwenye http//wwwkilomberogotz/pages/54#sthashhcdmlhondpuf
mradi wa umwagiliaji maji kilombero bado mita 24 tu kukamilika
haya hapa magazeti ya leo 21/11/2018
mradi wa birika la kunywea maji mifugo wakamilika sagamaganga
haya hapa magazeti ya leo tarehe 19/11/2018 | 2018-11-21T19:58:21 | http://kilomberodc.go.tz/ict |
mbuta nanga blogmagazine/ since 2011 top in town' * in you been snap blog * matokeo ya jubilee baby shower ya vicky ilofanyikia nyumbani kwake london 0n 9/06/2012 ( album 1) dress code was pink bluered and white wapambaji miss louisa sheila frisch ( makeup and hairdo miss fb flora bahati lyimo (accossories and decoractions) mwazionaje kazi zetu kwa mama to be kata mgomba pata ndizi haswaa more picha to come
* in you been snap blog * matokeo ya jubilee baby shower ya vicky ilofanyikia nyumbani kwake london 0n 9/06/2012 ( album 1) dress code was pink bluered and white wapambaji miss louisa sheila frisch ( makeup and hairdo miss fb flora bahati lyimo (accossories and decoractions) mwazionaje kazi zetu kwa mama to be kata mgomba pata ndizi haswaa more picha to come
mama to be vicky kapendezaje we love you so much and we all wishing you all the best remember god is there with you vicky
box la zawadi za mama to be limetengenezwa kwa mikono na flora bahati lyimo the designer
wool decorations by flora lyimo designermaisha naamini is about new things wahi kuipamba shuguli yako hasa harusini kwa kuwapeperushia maharusi hao au kupamba nyumbani kwako kuifanya ipendeze na kunukia kwa rangi zako kwa yana marashi yasokwisha harufu yake kwa muda mrefu
ukihitaji tel 07787471024
hapa wakipeana mikono si mchezo meipenda kazi ya camera ya miss fb
pichani hapa ni proud of her job kwa kumpamba mama to benywele kamuweka yeye mwenye na bila kusahau makeup mwaionaje kazi yake aloifanya shila
mgeni wa mwisho kutoa zawadi alifika kuchelewa shauri ya job na asikudanganye mtu ni bora kufika kuchelewa kuliko kutofika kabisa
nice to be your friend for sure da dativa thank you so much for coming
job ya zawadi za bahasha imekamilika na kwa kweli ndugu marafiki na marafiki wa wamarafiki walijitokeza kwa wingi na bila kuonyesha haya ya kuamka vitini na kuja kuwakisha upendo wao na mapenzi yao kwa mtanzania mwenzao na vile vile kulikuwa na wenzetu wa nnchi nyingine yani shughuli yote ilikuwa ya mchanganyiko wa kila kitu siyo vyakula mavaazi hata watu mbuta nanga this is how life should be love & support be bless always my deears | 2017-10-18T23:56:17 | http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2012/06/in-you-been-snap-blog-matokeo-ya.html |
pato la mkoa wa iringa limeongezeka hadi trilioni 51 ~ mzee wa matukio daima
home » » pato la mkoa wa iringa limeongezeka hadi trilioni 51
kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza (pichani)alipokuwa akiwasilisha taarifa fupi ya mkoa wa iringa kwa wajumbe kutoka chuo cha taifa cha ulinzi tanzania waliofanya ziara ya mafunzo ya siku tano mkoani iringa katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa
masenza alisema pato la mkoa wa iringa (gdp) limeongezeka kutoka shilingi trilioni 23 mwaka 2010 hadi kufikia shilingi trilioni 510 mwaka 2016 wakati pato la mkazi [per capita gdp) mwaka 2010 lilikuwa shilingi 1330118 ambalo limeongezeka hadi kufikia shilingi2982569 mwaka 2016 aliongeza kuwa takwimu hizo za (gdp) kwa mwaka 2016 mkoa wa iringa umekuwa ni mkoa wa tano kwa ngazi ya gdp kitaifa na mkoa wa tatu kwa pato la mkazi ukitanguliwa na mkoa wa dar es salaam na mbeya aliongeza kuwa pato la mkoa huchangiwa kwa kiasi kikubwa na mashamba makubwa ya chai viwanda vya chai misitu viwanda vya mbao na tumbaku
akiongelea shughuli za kiuchumi mkuu wa mkoa alizitaja kuwa ni kilimo ufugaji upasuaji mbao uvuvi biashara ajira za ofisini na viwandani asilimia 75 ya wakazi wa mkoa huu hujishughulisha zaidi na kilimo pamoja na ufugaji mazao ya kilimo yanayolimwa katika mkoa huu ni mahindi maharage mpunga ngano viazi pareto chai matunda alizeti karanga ufuta nyanya vitunguu tumbaku soya na mtamaalisema masenza | 2018-06-22T19:12:12 | http://www.matukiodaima.co.tz/2018/01/pato-la-mkoa-wa-iringa-limeongezeka.html |
sura ya 40 kuanguka kwa bani umayyah | shahidi kwa ajili ya ubinadamu | books on islam and muslims | alislamorg
yalikuwa ni yale mauaji ya kikatili na kidhalimu ya husein ambayo yalimpa abdallah bin zubeir kisingizio cha kupinga mamlaka ya yazid akawageuza wakazi wa madina ambao hapo awali walikuwa ni watu wasiojishughulisha wakawa dhidi yake yazid akashawishi lile kundi la wenye kutubia makosa yao kuanzisha kampeni ya nguvu ingawa isiyo na mafanikio ya kulipiza kisasi kwa wauaji wa husein akamchochea almukhtar kujiingiza katika idadi ya mapigano ili kuwauwa wauaji wa husein akamsukuma zayd bin ali bin alhusein katika mwaka wa 112 ah kuasi dhidi ya bani umayyah na kuacha nyuma kundi ambalo kisiasa lilikuwa na madhara sana kwa bani umayyah ingawaje yeye mwenyewe hakufanikiwa (katika kampeni hizo)
mwishowe ilikuwa ni hamu hiyo hiyo ya kutoa adhabu kwa umwagaji wa damu ya alhusein ambayo iliwasaidia bani abbas kuwaangamiza na kuwatokomeza kabisa bani umayyah | 2017-11-23T05:51:57 | https://www.al-islam.org/node/25360 |
mashabiki wa chelsea wamtaka gwiji wa chelsea arithi mikoba ya antonio conte darajani 1905
home chelsea fc chelsea habari mitandaoni mashabiki wa chelsea wamtaka gwiji wa chelsea arithi mikoba ya antonio conte
mashabiki wa chelsea wamtaka gwiji wa chelsea arithi mikoba ya antonio conte
unknown may 11 2018 chelsea fc chelsea habari mitandaoni
hakuonekani kuwa na matumaini ya kocha antonio conte kuendelea kusalia klabuni chelsea haswa kama akishindwa kuisaidia klabu hiyo kufudhu kucheza michuano ya klabu bingwa barani ulaya kwa msimu ujao ambapo mpaka sasa ili chelsea ifudhu kucheza michuano hiyo ya klabu bingwa inahitaji liverpool ipoteze mchezo wa mwisho huku chelsea ni lazima iondoke na ushindi lakini pia sababu kubwa ikitajwa kushindwa kuelewana na bodi ya chelsea ambayo amekua akiilalamikia juu ya mfumo wa usajili
lakini sasa mashabiki wa chelsea wametumia mtandao wa twitter kutuma ujumbe kuonyesha wanahitaji kama kocha huyo raia wa italia akiachana na chelsea basi nafasi yake ichukuliwe na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo jody morris ambaye kwa sasa ni kocha wa kikosi cha vijana cha chelsea kwa wenye umri chini ya miaka 18 maarufu kama chelsea u18
kocha huyo raia wa uingereza amekiongoza vyema kikosi hicho cha vijana kushinda mataji manne huku ikishindwa kulitwaa taji moja tu la klabu bingwa barani ulaya ambapo ilicheza fainali ya michuano hiyo na kupoteza mbele ya barcelona fainali ilichezwa jijini nyon huko switzerland
kocha huyo alituma ujumbe kwenye mtandao wa twitter akiwashukuru mashabiki na wapenzi wa chelsea walioonyesha kuwashangilia kwenye mchezo wa ligi kuu kati ya chelsea dhidi ya huddersfield ambapo yeye pamoja na kikosi cha vijana hao walifika uwanjani kutoa shukrani kwa mashabiki wa chelsea huku wakiyatambulisha mataji hayo manne waliyoyashinda msimu huu
ndipo ujumbe huo ukapokelewa na mashabiki wengi wa chelsea ambapo wengi wao walikua wakimuuliza ni lini kocha huyo atarithi mikoba ya antonio conte na kuwa kocha wa kikosi cha wakubwa lakini pia huku wengine wakitoa maoni kwa kusema kocha huyo anastahili kabisa kuwa kocha wa kikosi cha chelsea fc
tags # chelsea fc # chelsea habari # mitandaoni
labels chelsea fc chelsea habari mitandaoni | 2019-08-21T12:10:09 | https://darajani1905.blogspot.com/2018/05/mashabiki-wa-chelsea-wamtaka-gwiji-wa.html |
act wazalendo wachimbua yao ripoti ya cag habari swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//5071980/medres/2313155//121ibr4//act+picjpg
na fidelis butahe mwananchi fbutahe@mwananchicotz
imepakiwa monday april 15 2019 at 0902
dodoma chama cha act wazalendo jana kilibainisha kasoro kadhaa katika makusanyo na udhibiti wa fedha za umma kikiungana na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) kutaka kuundwa kwa mifumo thabiti ya usuluhishi wa fedha kutoka maeneo tofauti
chama hicho pia kimetaka serikali iwasilishe bungeni majibu ya kasoro kadhaa zilizobainishwa katika ripoti ya cag kwa mwaka 2017/18 iliyowasilishwa bungeni katikati ya wiki iliyopita
kiongozi wa actwazalendo zitto kabwe aliwaambia waandishi wa habari mjini dodoma jana kuwa mchanganuo wa chama hicho katika ripoti ya cag umebainisha kasoro kadhaa huku kikitoa tuhuma kadhaa dhidi ya matumizi ya fedha bila ya kupitia mfuko mkuu wa serikali
ripoti hiyo mbali na kuonyesha asilimia 97 ya taasisi zimepata hati safi bado ufisadi ukiukwaji wa taratibu za fedha na utendaji mbovu umetamalaki
katika ukaguzi wa cag wa bajeti ya mwaka 2017/18 ameonyesha katika bajeti ya sh317 trilioni iliyoidhinishwa na bunge serikali iliweza kukusanya sh277 trilioni tu kutoka kwenye vyanzo vyote vya kodi vyanzo visivyo vya kodi mikopo ya ndani na nje na misaada ya wahisani na washirika wa maendeleo alisema
serikali ilishindwa kukusanya sh4 trilioni kama ilivyokuwa mwaka uliopita ingawa sasa ni sawa na asilimia 13 ya bajeti yote ya mwaka 2016/17 hata hivyo cag anaonyesha kuwa sh269 trilioni tu ndio zilitolewa kutoka mfuko mkuu wa serikali na kwenda kutumika
hivyo sh800 bilioni kati ya sh277 trilioni zilizokusanywa kutokujulikana ziliko
zitto pia alinukuu ukurasa wa 91 wa ripoti ya cag kwamba ikilinganishwa taarifa ya kutoa fedha (exchequer issue report) na taarifa ya fedha zilizopokelewa na kuripotiwa katika taarifa za fedha za mafungu husika pamoja na barua za kukiri mapokezi ya fedha kutoka wizara ya fedha na mipango imebaini tofauti ya taarifa zilizoripotiwa
zitto alisema cag alieleza kuwa tofauti hiyo imesababishwa na kutokuwepo kwa mifumo thabiti ya usuluhishi kati ya fedha zilizotolewa na hazina na fedha zilizotolewa na wahisani wa maendeleo moja kwa moja kwenye miradi ya maendeleo katika wizara
alidai kuwa kuna fedha ambazo makusanyo yake hayakuingizwa mfuko mkuu wa serikali
suala la udhaifu wa mifumo hazina pia limeelezwa kwa kina katika taarifa ya cag ya uhakiki wa tofauti ya sh15trilioni mwaka wa fedha 2016/17 bado udhaifu huu unaendelea alisema zitto
alisema ripoti hiyo pia inaeleza kuwa sh678bilioni hazikupelekwa katika taasisi zilizokusanya
kwa mwaka 2017/18 cag amebaini sh678 bilioni zilizokusanywa na mamlaka ya mapato tanzania (tra) kwa niaba ya taasisi nyingine hazikuhamishwa kwenda taasisi husika na badala yake zilihamishiwa kwa katibu mkuu hazina ambapo huko hazikuonekana kwenye ukaguzi kama sheria inavyotaka
alisema fedha hizo ni sh169 bilioni za shirika la reli (trc) sh 168bilioni za wadau wa korosho nchini na sh6bilioni za wakala wa umeme vijijini (rea)
kwa mara nyingine cag amependekeza sheria iheshimiwe kuhusu matumizi ya fedha hizi za taasisi mbalimbali alisema zitto
alisema jambo jingine ni cag kueleza kuwa asilimia 40 ya bajeti kutegemea misaada na mikopo
hii ni tofauti na tunavyoelezwa na serikali kila wakati kuwa nchi yetu inaondoa utegemezi kwenye bajeti kwa mwaka 2016/17 utegemezi wetu uliongezeka kwa asilimia 27 na kwa mwaka 2017/18 utegemezi wetu umeongozeka kwa asilimia 22 alisema zitto
ripoti hizo zitafanyiwa kazi na kamati za bunge za hesabu za serikali (pac) na ile inayohusu serikali za mitaa ya laac | 2019-04-22T02:21:47 | http://www.swahilihub.com/habari/ACT--Wazalendo-wachimbua-yao-ripoti-ya-CAG/1306772-5071972-860548z/index.html |
najitambulisha wakubwa baada ya kutoka kifungoni | jamiiforums | the home of great thinkers
najitambulisha wakubwa baada ya kutoka kifungoni
discussion in 'utambulisho (member intro forum)' started by prisoner jan 26 2010
wana jf najitambusha tena kwenu baada ya kutoka kifungoni hapo zamani nilitumia jani kavu sasa unajua tena masuala ya rushwa balaa usiombe sasa nimerudi nimeshinda kesi
wana jf najitambusha tena kwenu baada ya kutoka kifungoni hapo zamani nilitumia jani kavu sasa unajua tena masuala ya rushwa balaa usiombe sasa nimerudi nimeshinda kesiclick to expand
eehconvict
ulikuwa unaitwa nani mkuu mfungwa
pole kaka kuwa makini usirudi tena hukoall the best
wazinziwalevi walarushwa awataingia mbinguni
mungu akusamehe dhambi zako
du umeshinda kesi ya kula jani
kwa hiyo umeacha hayo mabangi au bado unaendelea kuzimua
kwa hiyo umeacha hayo mabangi au bado unaendelea kuzimua click to expand
teteteee umenikumbusha marehemu mzee alikuwa anasema huyo anakula njemu
karibu nyumbani feel at home bro pole sana yaliyopita si ndwele tugange yanayokuja
unaonekana kama bado unaendelea kula majani
karibu sanaumeshinda au umetoka kifungoni
welcome back lakini sasa uwe great thinker for real
karibu sanaumeshinda au umetoka kifungoniclick to expand
yaani si unajua makesi ya kubambikiwa na manjagu nimeapili nimetoka sasa je naomba wana jf nibadilishe jina au nitumie jina hili hili maana naona hili ni storia kwangu kwani nitakumbuka siku ile nilipopanda green bus mpaka keko ila maisha ya huko usiombe mimi nilikuwa nyapara ni hayo machache asante kwa kunikumbuka na kunikaribisha
pole mkuu lakini kama hutaki kukumbuka machungu mbona hili nalo ni yale yale
mi nipo kliny and freshy hodi hodi wenye nyumba
karibu mkubwa na umpokee bwana yesu kristo na uache mambo machafu ya kishetani soma zaburi 146 | 2017-07-26T19:18:15 | https://www.jamiiforums.com/threads/najitambulisha-wakubwa-baada-ya-kutoka-kifungoni.51090/ |
ripoti hoteli za nyota mbili na tatu hupendelewa zaidi na wateja tanga raha blog
home / unlabelled / ripoti hoteli za nyota mbili na tatu hupendelewa zaidi na wateja
assenga oscar 634 am | 2018-07-21T03:51:21 | http://tangarahatz.blogspot.com/2017/07/ripoti-hoteli-za-nyota-mbili-na-tatu.html |
lets talk about haja kubwa | jamiiforums | the home of great thinkers
lets talk about haja kubwa
discussion in 'jf doctor' started by mphamvu apr 30 2012
wakuu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa hili linalofaidiwa na wachache waliopewa jina la wajanja poleni sana
leo nataka tusemezane kitu cha tofauti kabisa sio kigeni kwa yeyote ila masuala yake huwa hayasemwi mara kwa mara
leo nataka tuzungumzie kinyesi unashangaa nini namaanisha nisemalo leo nataka tufunguke kuhusu uchafu ambao ni matokeo ya mfumo wa umengenyaji chakula aka kimba aka mavi ukipenda haja kubwa lakini kwa kiswahili sanifu ni kinyesi
mada yangu kuhusu haja kubwa itazingatia zaidi uhusiano kati yacho na maisha yetu ya kila siku katika muktadha halisi sawasawa
utangulizi
kama tunavyojua (ukibisha una yako) kwenda haja kubwa ni suala la muhimu na la lazima kwa binadamu yeyote kama tu ilivyo kula na ndio maana ili nyumba ikamilike ni shurti iwe na jiko na choo hivyo tu ndio vinaipa legacy nyumba ya kuishi sio bafu wala chumba cha kulala kutokana na unyeti wa suala husika sina budi kuweka wazi mtazamo wangu juu ya masuala kadhaa kuhusu haja kubwa ambayo pengine (weka msisitizo hapa) yanaweza kuboresha mazingira ya huduma hii muhimu kwetu baada ya chakula
choo
kama ilivyodhihiri hapo juu (hutaki unaacha) choo ni kati ya sehemu muhimu zaidi katika nyumba ili kuwe na unyaji wa starehe na uliotukuka ni lazima choo kiwe safi na chenye mazingira rafiki kwa mtumiaji wacho kuna vyoo vya aina nyingi hata ule unyaji wa kuchimba kishimo na kufukia unaweza kutafsiriwa kama choo endapo utakuwa ni wa kudumu kuna hivi western type (vya kukaa) ambavyo wanaita vyoo vya kizungu na kuna vyoo vya kiafrika almaarufu kama squart toilets au drop in yaani vya shimo among many other types binafsi ni mshabiki wa vyoo vya shimo (siku hizi kina option ya kuweka shank kikafanana na cha kizungu) kwa kuwa kinaleta hali fulani ya comfortability wakati wa kukata gogo vyoo vya kukaa huwa vinaleta hali ya kuhisi kama unajinyea kwa vile unajisaidia huku mapaja yakiwa yamebanana tofauti na kanuni za unyaji ambapo kunya huku umechuchumaa is much better kiafya na kiakili sifa nyingine ya choo ninachokipenda (though it may sound ridiculous) ni hali ya choo kutokuwa na paa yaani kiwe hakijaezekwa hii itapelekea choo (hasa kinapokuwa cha shimo) kuwa kikavu muda mwingi na hivyo kupunguza hali ya kinyaa inayopatikana chooni vilevile kunakupa view nzuri ya anga wakati unakata gogo hivyo kuchochea fikra za mnyaji ni mara nyingi watu wamekuwa wakisema kuwa wakati wa haja kubwa ni wakati mzuri wa kutafakari na kupanga mikakati ya kimaisha if that is true a blue sky is even much better ubaya wa feature hii ya choo ni kuwa si nzuri sana wakati wa mvua au jua linapokuwa kali sana kwani huondoa ladha ya gogo kunya starehe bwana
mwisho choo kiwacho chochote lazima kiwe katika hali ya usafi muda wote ulazima huu unatokana na ukweli kwamba kama choo sio safi kinaweza kusababisha magonjwa kadha wa kadha ya kuambukiza
asikudanganye mtu muundombinu mkubwa wa choo ni maji haijalishi ni cha aina gani ingawa uhitaji wa maji kwa wale wanaotumia vyoo vya kizungu vya kuflash ni mkubwa ukilinganisha na sie wa vyoo vya kulenga kwa watumiaji wa western type kuwa na mfumo kamili wa maji katika vyoo vyao haikwepeki kwa wanaotumia vya shimo si lazima sana kuwa na mfumo kamili wa maji unaweza kuweka ndoo ya maji ambayo italazimu kuwa na maji muda wote au kama umenganishwa na mfumo wa maji wa manispaa uliyomo unaweza kuweka bomba la maji chooni au just nje ya choo maji haya yatakuwa kwa ajili ya kusafisha privates baada ya kukata gogo (endapo unatumia maji) yatatumika kunawa mikono baada ya shughuli kwisha na pia yatatumika kusafidha choo (tundu sakafu na kuta) miundombinu mingine ni pamoja na taa na misumari ya kutundikia nguo wakati unafanya mambo yako
unyaji
hi indio shuguli yenyewe sasa baada ya shuguli zote za awali za maandalizi kuwa ziko sawa na hapa ndipo kuna matatizo mengi ya kujitakia ambayo watu hawataki kuyasema matatizo yanaweza kuwa yamesababishwa na aina ya choo unachotumia au kutokaa sawa kwa miundombinu ya choo unachotumia mfano baadhi ya watu (mimi kwa mfano) huwa hawako comfortable na vyoo vya kukaa aina ya western kwani kujisaidia ukiwa umechuchumaa ni vizuri kwa kuwa mapaja yanakuwa yameachana vya kutosha hivyo kinyesi hutoka kwa urahisi na bila bugudha yoyote unyaji katika mazigira ya vyoo vya kukaa hufanya mapaja kubanana hivyo kupelekea hatari ya maambukizi katika mapaja na kuongeza hatari ya maambukizi katika njia ya mkojo (uti) hasa kwa wanawake
katika kipengele hiki ningependa pia niseme kuhusu aina za haja kubwa na changamoto zake kwa wanyaji kimsingi **** mbari kuu tatu za haja ngumu laini na majimaji au uharo aina mbili za mwanzo zinatokana na tabia za ulaji na hii ya mwisho inasababishwa na magonjwa hasa yanayohusu tumbo walio wengi wanapendelea kupata choo laini na wachache hupenda choo ngumu pasi na shaka yoyote hakuna anayependa kuharisha kwa vile kunaambatana na kugonjeka choo kigumu sana kinaweza kusababisha mipasuko kwenye njia ya haja
tumesema kuwa aina za haja hutokana na vyakula tulavyo haja ngumu inatokana na kupendelea vyakula vikavu na vigumu pia kutokunywa maji ya kutosha wakati ili upate choo laini inakulazimu kunywa maji ya kutosha (35 litres kwa siku) kutumia mboga na matunda jamii ya nyuzinyuzi pamoja na aina fulani ya matunda kama vile papai na parachichi kwa wanaopata choo majimaji au uharo tiba ya haraka ni supu ya ngano lakini pia wanatakiwa kunywa kiasi kikubwa cha maji ili kufidia maji yanayopotea mwilini kwa njia ya kuharisha lakini pia ni muhimu na lazima kutibu ugonjwa wa msingi ambao umepelekea kupata choo majimaji changamoto nyingine ni ulaji wa pilipili kupita kiasi ambao husababisha muwasho katika njia ya haja kubwa wakati wa unyaji na wakati mwingine vidonda kwenye puru (sehemu ya ndani ya njia ya haja kubwa)
usafi
kuna namna nyingi za kusafisha njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia kujiswafi huku wengine huita kuchamba au kutawaza lakini kwa ujumla ni kusafisha tundu la haja kubwa na maeneo yanayolizunguka ili kuondoa mabaki ya kinyesi
namna kuu na iliyozoeleka kwenye mazingira yetu ni maji nimesema kuwa hii ni namna kuu kwa vile hata baadhi ya vitabu vya dini vimetaja waziwazi kama namna pekee ya kujiswafi baadhi ya watu hutumia karatasi laini maarufu kama toilet papers na wengine hutumia vyote yaani toilet paper na maji kwa kuanza kupunguza uchafu kwa karatasi hizo na kasha baadae kumalizia na maji kimsingi kila njia ina faida na hasara zake mfano utumiaji wa karatasi huwafaa zaidi wale wasio na vinyweleo vingi katika tundu la haja kubwa na maji ni mazuri zaidi kwa wale waliojaliwa haya makatamavi utumiaji wa vyote viwili ni mahususi kwa wale wanaopata choo laini (sio majimaji) kwa kuwa aina hii ya kinyesi huacha mabaki mengi faida za kutumia karatasi laini ni pamoja na kuepuka kinyaa cha kushika kinyesi kwa mkono ingawa wanaopinga matumizi ya tishu wanaona kama ni sawa na kujisiliba uchafu badala ya kujisafisha maji ndio njia inayopendekezwa na wengi katika mtazamo wa kiafrika ingawa nayo huleta hali flani ya kutojisikia vizuri kwa vile unalazimika kuvaa nguo huku makalio yakiwa yamelowa maji
aina nyingine za uchambaji ni pamoja na matumizi ya majani mawe au kujisugua ukutani au kwenye shina la mti ingawa njia hizi zinatafsiriwa na wengi kama zisizokuwa za kistaarabu
cha mwisho na cha muhimu baada ya kujiswafi ni kunawa mikono kwa maji sabuni ili kuondoa uwezekano wa kuondoka na vimelea wa ugonjwa katika mikono
hitimisho
kwa muda huu ni hayo tu niliyokuandalia kuhusu kinyesi unaweza kutumia wasaa wako kutoa maoni ushauri au maswali yako kuhusu makala hii
enjoy your shit
mphamvu
yaani nimesoma mwanzo hadi namaliza mwishoni nimekumbuka kila aina ya choo ambacho nimewahi kutumia maishani mwangu nimeanzia kutengwa na mama poti na kuendelea umesahau kusema kama mandhari ya choo inaruhusu sio mbaya kuwepo majarida ya kusoma wakati unaendeleza starehe hii muhimu
pia kuna issue ya kutrain your bowel movement ukifundisha mwili wako discipline unaweza kujikuta unakuwa na ratiba nzuri sana ambayo ni convenient
raha ya kunya uwe na kijarida au unaingia jf huku unachangia mada huku unashusha vitu
king'asti kalale mama mie naenda kulala jf mpaka saa tisa kumi usiku itatuua
puuuuu hii thread inanukaaaaaaaaaaaa khaaaa
mphamvu usiku wa saa nane ukawazaje hii mambo jamenikweli hii ndo jf
hivi kibongo bongo ipo kwenda kunya na kijarida mi nkajua tunaenda na sport tu kweli kua uyaone
khaa jf kuna mambo loh
niliwahi kwenda mkoa flani magharibi mwa tz nikawa na mizunguko ya kibiashara ktk baadhi ya vijiji kuna siku nikalala kwa mzee mmoja hapo kijijini akiwa ndiye mwenyeji wangu
mzee yule alikua anamiliki wake 6 kilichoniachia historia ni pale mgeni mie nilipoomba kwenda msalani nikapewa jembe tena bila hata kopo la maji then nikaonyeshwa chaka hapo nikaambiwa hua wanajisaidiaga mchana na ikiwa usiku hua wanashuka ziwani kwani nyumba haikua mbali na ziwa
haina ubishi nyumba choo
dah hii thread safi sana
rip my breakfast
hii thread wala sijaisoma nimescroll down na kuanzakuchekahata sijui mphamvu uliwaza nininimecheka sana
hakuna kitu kinaniboa kama nikisafiri kukata gogo kwenye vyoo vya hoteli
mweeeeeeeeeee
uwiiiii
pia kuna issue ya kutrain your bowel movement ukifundisha mwili wako discipline unaweza kujikuta unakuwa na ratiba nzuri sana ambayo ni convenientclick to expand
una miaka mingapi king'asti maana kama umekelia poti kwa mazingira ya kibongo utakuwa mtoto sana
ishu ya majarida inawezekana katika vyoo vya kukaa ambako ni rahisi kuwa na balance ya kushikia hilo gazeti bowel movement ni rahisi sana you just eat with dicipline kuwa na ratiba maalum ya kula muda na kiasi cha chakula ambacho hakibadiliki badiliki kunafanya uwe na muda mahususi wa kukata gogo and thats pretty cool
zis is jfyo
nilifikiri hapa tunaongelea magonjwa kumbe
rudisheni topic yangu mulikoitoa mimi sio taahira mpaka nikaiweka pale
nina uzoefu wa miezi 12+ humu jf zaidi ya post 3500 bila kusahau ban 5 katika maisha yangu ya jf
twafadhall
thanx ni nzuri ina mafundisho | 2017-04-28T22:05:57 | https://www.jamiiforums.com/threads/lets-talk-about-haja-kubwa.259357/ |
rais mhe dkt magufuli amesali ibada ya misa takatifu dominika ya nne ya majilio katika kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita na kutoa salamu za krismasi na mwaka mpya 2020 disemba 22 2019 zanzinews
home jamii matukio rais mhe dkt magufuli amesali ibada ya misa takatifu dominika ya nne ya majilio katika kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita na kutoa salamu za krismasi na mwaka mpya 2020 disemba 22 2019
rais mhe dkt magufuli amesali ibada ya misa takatifu dominika ya nne ya majilio katika kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita na kutoa salamu za krismasi na mwaka mpya 2020 disemba 22 2019
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akijiandaa kupokea sakramenti takatifu alipoungana na waumini wengine wa kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita katika misa takatifu ya dominika ya nne ya majilio iliyoongozwa na paroko wa kanisa hilo padre henry mulinganisa ambapo mhe rais amewatakia heri ya krismas na mwaka mpya watanzania wote
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akizungumza na waumini wa kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita wakati wa misa takatifu ya dominika ya nne ya majilio iliyoongozwa na paroko wa kanisa hilo padre henry mulinganisa ambapo mhe rais amewatakia heri ya krismas na mwaka mpya watanzania wote
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akimpongeza padre henry mulinganisa paroko wa kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita alipozungumza na waumini wa kanisa wakati wa misa takatifu ya dominika ya nne ya majilio iliyoongozwa na paroko huyo ambapo mhe rais amewatakia heri ya krismas na mwaka mpya watanzania wote
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akimsalimia mtoto zioni nje ya kanisa la bikira maria parokia ya chato mkoani geita mara baada ya kushiriki misa takatifu ya dominika ya nne ya majilio iliyoongozwa na paroko wa kanisa hilo padre henry mulinganisa ambapo mhe rais amewatakia heri ya krismas na mwaka mpya watanzania wote | 2020-01-27T08:23:31 | http://www.zanzinews.com/2019/12/rais-mhe-dkt-magufuli-amesali-ibada-ya.html |
kauli ya umoja wa wazalendo juu ya katiba ya zanzibar zanzibar daima
home » siasa » kauli ya umoja wa wazalendo juu ya katiba ya zanzibar
na farouk amour
ifuatayo ni qauli ya umoja wa wazalendo
kukhusu pendekezo la katiba ya zanzibar
na mfumo wa uchaguzi
kujenga umoja kuondowa mfarakano
katika juhudi na mbinu zetu za kujenga umoja na kuondowa mfarakano ni dharura kutambuwa misingi na miko ya umoja wa kweli umoja wa kweli na ambao unatarajiwa kudumu na kuleta matunda ya kheri ni umoja wa kizalendo umoja unaojengwa katika misingi ya kushauriyana na kushirikiyana kinyume cha hivi ni ule umoja wa kikoloni umoja wa maneno bila ya vitendo ni mtawala kumburura mtawaliwa kwa maslaha ya mtawala
kuzingatia haya umoja wa wazalendo unatambuwa kwamba
§ njia sahihi na ya dhati ya kujenga umoja wa kizalendo ni kubomowa mfarakano na kujenga mshikamano
§ njia sahihi na ya dhati ya kubomowa mfarakano na kujenga mshikamano ni kujenga ushirikiano katika madaraka
§ njia sahihi na ya dhati ya kujenga ushirikiano katika madaraka ni kujengwa katiba katika misingi ya ushirikiano
ili kusaidia katika ujenzi wa katiba ya hali hio umoja wa wazalendo unapendekeza na kushauri ifuatavyo
ushirikiyano ni msingi wa maendeleo
mfumo wa uchaguzi tunaokwenda nao nchini mwetu kwa miaka hadi hivi sasa mfumo wa mmoja kuchukuwa vyote na wa pili kuondokea patupu (the winner take all) ni mfumo fisadi kila siku inazidi kutudhihirikia kuwa mfumo huu ndiyo sababu kuu ya mizozo na mapambano yenye kufika kupotezwa mali na roho kadhaa wa kadhaa katika kila uchaguzi la uovu zaidi ni hivi kuwa mfumo huu wa uchaguzi huleta mfumo wa utawala wa kidikteta utawala wa kidikteta ni utawala ambao wengi kuwatawala wachache bila ya ridhaa zao au wachache kuwatawala wengi bila ya ridhaa zao
hukosekana ridhaa za wananchi (baadhi yao wakiwa wengi au kidogo) kwa vile kuwa wawakilishi wao wananyimwa fursa za kushiriki katika mipango ya uwendeshaji wa mambo ya nchi yao badala yake huwekwa ni wapinzani kutokana na hali hii huu mfumo wa kidikteta unaendelea kuwa ni msingi wa kila uovu na adui mkuu wa maendeleo na amani hivi ni kwa vile kuwa mfumo huu daima unajenga na unakuza mapambano baina ya wananchi na wananchi na baina ya wananchi na watawala kwa hivi kuubaini uovu huu wazanzibari tumeamuwa kubomowa kabisa upambano na kujenga ushirikiano katika kufanya hivyo vilevile tutakuwa tumo katika kujenga na kuhifadhi misingi ya utawala bora na dimokrasia ya kweli
kwahivyobasi
kutakuwa na serikali ya zanzibar (sz) ( zanzibar government (zg)) yenye kuongozwa na kusimamiwa na waziri mkuu (prime minister) yenye kusailika na kuwajibika juu ya (answerable and accountable) baraza la mawaziri itakayokuwa katika mfumo wa sirikali ya umma (national government)
rais atakuwa ni mkuu wa dola*
waziri mkuu atakuwa ni mkuu wa sirikali
kutakuwa na uchaguzi mmoja (tu) uchaguzi wa wakilishi wa baraza la wawakilishi
atakuwa rais wa kikatiba (constitutional president) atakuwa mkuu wa nchi na alama na hishima ya nchi atakuwa si mwenye madaraka wala wadhifa wa kisirikali
hakutakuwa na uchaguzi wa rais**
baraza la wawakilishi mara tu likikaa kwenye kikao chake cha kwanza litachaguwa kwa kura ya siri spika wa baraza la wawakilishi wa muda
baraza la wawakilishi katika kikao chake hiki (6 juu) litatunga shuruti na utaratibu wa kuchaguliwa rais waziri mkuu spika na makamu
wakushika nyadhifa zifuatazo watachaguliwa na baraza la wawakilishi kwa kura ya siri kulingana na ujuzi maarifa na shuruti zilizotungwa na baraza la wawakilishi (7 juu)
jaji mkuu kamati ya jaji mkuu wakuu wa mikoa (regional commissioners) mkuu wa polisi mkuu wa jeshi mkuu wa usalama mkuu wa magereza muendeshaji mashtaka mkuu wa serikali (attorney general) mabalozi na nyadhifa zote nyeti na zenye dhamana kubwa za mfano wa hizi tulizozitaja
kwa kuwa umoja wa taifa (national unity) ndio lengo kuu kulingana na uhuru na maendeleo ya nchi sirikali itakuwa katika mfumo wa sirikali ya umma (national government)
ukiwepo upungufu wa utekelezaji katika baraza la mawaziri na kwa mapendekezo ya wajumbe wa baraza la wawakilishi wasiopungua thuluthi mbili rais kwa kushauriana na waziri mkuu ataweza kumuagiza waziri mkuu kuvunja baraza hilo la mawaziri na kuundwa baraza la mawaziri jengine
yote haya tuliojaaliwa kuyataja humu yataorodheshwa na wataalamu wanao khusika kuwa ni sehemu ya muswada wa katiba ya nchi
** hapa kwetu mara zote imethibiti ya kwamba uchaguzi wa kumchaguwa rais ndiwo unaosababisha vurugu kufika watu kuuwana hivi pia ndivyo ilivyo thibiti kwa majirani zetu kenya na zimbambwe hivi karibuni
matengenezo ya lazima kabla ya uchaguzi
mfumo wa kisiasa wa zaidi ya chama kimoja uliletwa zanzibar mnamo 1992 mara tu baada ya kuletwa huu mfumo wa zaidi ya chama kimoja kuondowa mfumo wa chama pekee ilikuwa ni lazima kuundwa katiba yenye kulingana na huu mfumo wa zaidi ya chama kimoja haikufanywa hivyo na mpaka hii leo haijafanywa hivyo
hivyo ni kwamba japo kuwa imesemwa kuwa nchini kuna mfumo wa zaidi ya chama kimoja hakika ni kwamba nchi bado imo katika mfumo wa chama pekee kwa sababu katiba ya nchi ni ile ile ya chama pekee
hivi kuendelea nchi katika katiba ya chama pekee hakuna maslaha kwa nchi ni hali yenye kuleta madhara kwa nchi na wananchi zaidi ya hivyo inadhihirisha hakika ya kwamba kuletwa nchini mfumo wa siasa ya zaidi ya chama kimoja ni nadhariya maneno bila vitendo ni wino tu juu ya karatasi hali hii imekuwa ni ya khatari zaidi kuliko pale nchi ilipokuwa katika mfumo wa chama pekee ikijuulikana hivyo na ikitambulika hivyo na ikiendwa na kutendwa katika hali hiyo hapakuwepo ufahamu mpotofu kuwa ni kisingizio tafauti na hivyo ni hivi ilivyo hii leo kwa kusemwa kuwa nchi imo kwenye mfumo wa kisiasa wa zaidi ya chama kimoja na kwa hakika kimwendo na utendaji sivyo hivyo hali hii yaani hali ya ubabaifu ndio hali yenye kusababisha madhara yote haya yanayoyakumba nchi na wananchi kwa jumla tangu pale kuletwa nchini (kinadharia) mfumo wa zaidi ya chama kimoja
madhali katiba bado ni ile ile ya chama pekee basi suala la mfumo wa kisiasa wa zaidi ya chama kimoja litaendelea kuwa ni nadharia tu yaani ni wino juu ya karatasi si hakika ya hali
kuingia katika uchaguzi kwa katiba kongwe
baada ya kuletwa nchini (kinadharia) mfumo wa zaidi ya chama kimoja wananchi walijitokeza na kuunda vyama vya kisiasa mbali mbali idadi kubwa ya vyama hivi viliingia kwenye uchaguzi tangu ule wa 1995 na ya baadae kwa katiba ile ile ya chama pekee sote tunakumbuka kwamba ni mchungaji mtikila ndie tangu awali aliehadharisha kuingia kwenye uchaguzi katika mfumo wa zaidi ya chama kimoja kwa katiba ya chama pekee inasikitisha kwamba kuhadharisha kwake huku bwana mtikila hakukupata sikio wala kuzingatiwa na waongozi wa vyama vya kisiasa nchini walipuuza lenye kusikitisha zaidi ni kwamba vyama viliingia kwenye uchaguzi wa 2000 na mpaka huu wa 2005 kwa katiba ile ile ya 1984 katiba ya chama pekee
imeelekea kwamba na hata uchaguzi wa 2010 vyama vitaingia katika uchaguzi kwa katiba hii hii kongwe ya chama pekee
madhara ya kufanya hivyo sote tunayajuwa na tunayaona haina haja ya kuelezana kukhusu suala hilo wananchi wanakuwa wakijiuliza kwa masikitiko kwa nini viongozi wanawatia katika uchaguzi kwa katiba kongwe na kusabishiwa kila maovu bali zaidi kukosekana natija yoyote ile hufika kujiuliza ya kwamba hivi ni kukosea au ni kubahatisha yote mawili ni maovu haiwi kukosea mara mbili na ikiwa ni kubahatisha basi hivyo ni uovu zaidi haiwi kubahatisha mara mbili hakuna kubahatisha katika suala hili muhimu ni kwamba muumini haumwi na nyoka mara mbili pango moja
katiba mpya yenye kulingana na mfumo wa vyama zaidi ya kimoja itengenezwe na itumike kwa haraka na kabla ya matayarisho ya uchaguzi wa 2010
itendwe hivi ili tuepukane na maafa yote yale yaliyotokea katika uchaguzi uliopita yaani uchaguzi wa 1995 wa 2000 na wa 2005 tusiendelee kutenda kosa lile kwa lile
miongoni mwa yenye kuhitajika kuwemo kwenye hio katiba mpya ni matengenezo na mipango yote ya uchaguzi na kila linalokhusiana na uchaguzi likiwemo suala la tume ya uchaguzi
tume ya wasimamizi uchaguzi
wasimamizi (watizamaji) uchaguzi mara nyingi walifika kuwa na maoni tafauti kuhusu uchaguzi kwa jumla wako waliosema kuwa uchaguzi umeendeshwa barabara na bila ya ghishi wala khiyana wako walioona na kusema kuwa uchaguzi haukuendeshwa barabara na umeingizwa ndani yake ghishi na khiana
lakinibasi wote hawa hapana hata mmoja ambae maoni yake yaliyeweza kubadilisha lolote katika yale yaliotangazwa na tume ya uchaguzi kwa sababu kwa muibu wa katiba iliopo tume ya uchaguzi ndio yenye (imepewa) nguvu zote kuhusu shughuli zote za uchaguzi tangu mwanzo mpaka msisho
tunasahau kwamba nguvu zinaharibu na nguvu bila mipaka huharibu bila mipaka (power corrupts absolute power corrupts absolutely)
hali hii inathibitisha kuwa katika uchaguzi hapakuwepo wasimamizi wa kimataifa waliopewa uwezo wowote ule waliokuwepo ni watizamaji tu (si wasimamizi) uwezo wao ilikuwa ni kutoa maoni yao binafsi kwa maslahi yao wenyewe binafsi kazi zao au nchi zao walizoziwakilisha maoni yao haya hayakuwa na taathira yoyote juu ya vile ilivyoamuwa tume ya uchaguzi tume iliopewa uwezo wote kikataba tume ambayo neno lake ndio la mwisho
hata mahakama haina uwezo wa kubatilisha neno la tume neno lake ni kunfayakun hivi ndivyo ilivyo katiba iliopo
sirikali ya mshikizo (interim government)
mengi ya yale yanayotokea katika yenye kukhusu matengenezo na matayarisho mbali mbali ya uchaguzi kabla ya uchaguzi na yale yanatokea baada ya uchaguzi khasa yale yanayo khusiana na utangazaji wa matokeo ya uchaguzi na mengineo ni kwa sababu sirikali iliomo madarakani kupitia chama tawala na wao vilevile ndiwo wenye kuwania kubakia madarakani kwa kupitia uchaguzi huu
kutokana na hali hii ni dharura sirikali inaokuwepo madarakani ijiuzulu siku tisiini (miezi mitatu) kabla siku ya uchaguzi badala yake pauundwe sirikali ya mshikizo (interim government)
hii sirikali ya mshikizo (interim government) ndiyo itakayo shika madaraka yote ya nchi sirikali hii itaendelea kwa miezi mitatu baada ya uchaguzi kuhakikisha kwamba sirikali mpya ishakabidhiwa madaraka kamili
hii sirikali ya mshikizo itaundwa na jaji mkuu kwa kuteuwa nje ya baraza la wawakilishi rais (waziri mkuu) waziri kiongozi naibu waziri kiongozi mawaziri na manaibu mawaziri hii sirikali ya mshikizo lazima iwe sirikali ya ushirikiano na ipate muwafaka wa thuluthi mbili ya wajumbe wa baraza la wawakilishi kutekeleza hili itaepusha uwezakano wa kungangania madaraka baada ya natija ya uchaguzi vile vile itasaidia kuepusha ushawishi na uingiliyaji wa sirikali katika uchaguzi na katika harakati zote za uchaguzi za kabla ya uchaguzi na za baada ya uchaguzi
wasimamiaji uchaguzi wa kimataifa
ili kuondowa upungufu kero na madhara yanayotokea katika kila uchaguzi ni dharura iwepo tume ya kimataifa ya kusimamia uchaguzi (wasimamiaji uchaguzi wa kimataifa) kwa kushirikiana na kushauriana na sirikali ya mshikizo tume zote hizi mbili zitengenezewe hududi rejea yaani terms of reference na kuwajibika kuzifuata na kuzitekeleza kikamilifu vilevile hii tume ya wasimamizi uchaguzi wa kimataifa ipewe uwezo katika utangazaji wa natija ya uchaguzi kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi (mpya) itayoteuliwa na sirikali ya mshikizo
vikosi vya kuhifadhi amani
vikosi vyote vya usalama vya sirikali pamoja na vya jeshi pamoja na majeshi ya kujitolea vyote hivyo viamrishwe kubakia kambini mwao na ihakikishwe kuwa hawana silaha wala uwezo wa kupata silaha katika wakati wote wa sirikali ya mshikizo (interim government) iwe nimarufuku kabisa kwa kikosi chochote cha usalama cha sirikali kuonekana nje ya kambi zao kwa muda wote huu wa sirikali ya mshikizo na mpaka pale kuingia sirikali mpya madarakani kama inavyoelezwa humu
badala ya vikosi vya amani vya nchi viletwe vikosi vya polisi kutoka jumuiya ya madola (uno) vikosi hivi vipewe dhamana yote ya amani na salama ya nchi chini ya uwongozi na amri ya mkuu wao kutoka katika vikosi vyao uno yenyewe vikosi hivi vibakie nchini kwa muda usiopunguwa mwaka mmoja ikihitaji waweko kwa muda zaidi wataongezewa muda kwa kuwafikiana pande zote vilevile iwepo mahkama itakayo simamiwa na uno kuangalia na kuhukumu mashtaka na lawama zozote zile tangu za matengenzo ya uchaguzi za uchaguzi na baadae katika huu muda ambao wao uno watakuwepo kwa kuweka salama na amani nchini
hadhari
kuingia katika uchaguzi bila ya kutengenezwa haya si busara hata kidogo bali ni khatari sana ni busara kutoingia katika uchaguzi mpaka haya yatengenezwe
tumeyaona yale yaliyotokea kwenye uchaguzi tangu ule wa 1995 wa 2000 na wa 2005 kuingia katika uchaguzi kabla ya mambo haya kutengenezwa ni kuitia nchi katika gharama na kuwatia wananchi katika khatari walioko katika uwongozi ndio watakao kuwa dhamana na wenye kuhisabika kwa lolote lile litakalo wafika wananchi kwa huko kuingia katika uchaguzi bila ya kutengenezwa hali muwafaka kwa kutengenezwa hayo tuliyoyataja hapo juu ni hakika kuwa viongozi ni dhamana na ndiwo wenye kuhisabika lakinibasi watakao kuwa dhamana wa mwanzo na wa kuhisabika mwanzo ni wananchi wenyewe kwa kuona wanatiwa katika khatari na wao wakakubali na kuridhia kutiwa katika khatari hio wao wananchi ndio watakao kuwa masuli mbele ya mwenyezi mungu mtukufu subhaanahu wa taaala kwa lolote lile litakalotokea natija ya huko kuingia katika uchaguzi kabla ya kutengenezwa haya tuliojaaliwa kuyataja humu kwani itakuwa wanajitia katika hilaki kwa mikono yao wenyewe jambo ambalo mola wetu mlezi subhaanahu wa taáala ametukataza kutokana na haya yote tuliojaaliwa kuyataja humu tunawaomba ndugu zetu walioko katika uwongozi kwanza wajitahidi haya tuliyoelezana kuwa ni yenye kuhitajia kutengenezwa yatengenezwe kikamilifu hapo tena tumuombe mwenyezi mungu mtukufu subhaanahu wa taáala na yaanze matayarisho mengine ya uchaguzi na inshaallah utakuwa uchaguzi wa kheri na baraka aamyn
kufikilia sirikali ya umma
katika juhudi na mipango yetu ya kuundwa mfumo wa sirikali ya umma kama tulivyoeleza humu tunashauri kutumia huu mfumo wa uchaguzi wa njia hii ufuatayo
uwakilishi kulingana na kura
proportional representation (pr)
yafuatayo ni maelezo ya nyaraka mbili zilizoandikwa na wataalamu wa kimarekani wa ufatiliaji mambo ya kisiasa kukhusu uchaguzi katika mfumo wa proportional representation (pr) au kama tunavyoweza kuuwita kwa lugha yetu ya kiswahili uwakilishi kulingana na kura (ukk)
nini uwakilishi kulingana na kura (ukk)
proportional representation (pr)
huu ni mpango ambao unatoa fursa ya kuchaguwa wawakilishi wa umma katika vyombo vya sirikali kwa njia ambayo nyingi zaidi za kura zitapata wawakilishi katika vyombo hivi kwa kulingana na wingi wa kura hivi ni maana kwamba sehemu kubwa ya kura zitapata uwakilishi mpango huu ni tafauti na ule mpango ambao unampa uwakilishi pekee mtetezi ambae amepata sehemu ya kura zaidi kuliko mashindani wake hata ikiwa ziyada hio ni kura moja tu au asilimia ndogo kabisa mpango ambao unajulikana winnertakeall yaani mshindi achukuwe vyote hali hii haina tafauti hata kidogo na uchezaji kamari kwa waumini kamari ni haraam kwahivyobasi tunaingia katika uchaguzi katika njia ya haraam ni haraam hivi ndio maana maisha yote kila uchaguzi unaleta balaa na maafa kwa sababu umo katika mfumo wenye haramu ndani yake natija ni kuwa yule anayepata kura kasoro kidogo kuliko mwenziwe (mshindani wake) huwa ndio kashindwa na hapo huondoka na ghadhabu chuki na machozi hapo tena huingia katika kufikiria mipango ya chini kwa chini ili kuleta vurugu la kisiasa na kuharibu utulivu wa mipango na hata wa nchi kwa jumla yote hayo ni kwa sababu mpango wa uchaguzi uliotumika sio mzuri yaani mpango wa mshindi achukuwe vyote na wa pili aondoke patupu
mpango huu wa uwakilishi kulingana na kura (ukk) sio mpango mpya wa uchaguzi huu ni mpango unaotumika tangu zamani sana katika nchi za kidimokrasia za kimagharibi wataalamu wa ufuatiliaji wa kisiasa waliofanya uchunguzi juu ya mwenendo huu wamegundua kuwa takriba nchi nyingi zenye kufuata mfumo huu wa uchaguzi zinafaidika kwa vile kuwa wananchi wao wengi wanashiriki katika chaguzi zao vilevile ushindani wa vyama vya kisiasa unakua vizuri na hayy zaidi zaidi ya hivyo ni sababu ya kupatikana uwakilishaji mzuri na wa usawa hata vijikundi vidogo vidogo vyenye fikra mbali mbali za kisiasa vinapata kuwakilishwa la muhimu zaidi mfumo huu wa uchaguzi huondosha mtindo wa walioko utawalani kugawa mjimbo ya uchaguzi vile wanavyo penda wao ili ushindi uwe ni wao siku zote isitoshe hakuna hata moja kati ya nchi zinazofuata mpango huu yenye kufikiria kurejea katika ule mpango wa zamani wa mfumo wa mshindi achukuwe vyote hii ni ithbati kwamba mfumo huu umethibisha kufuzu
nchi zenye kufuata mpango huu aghlabu ya vyombo vyao vya sirikali tangu uraisi uwaziri na vyenginevyo huwa vinaundika katika mpango wa kushirikiana ndani yake vyama mbali mbali kulingana na uwakilishi vinavyopata kutokana na uchaguzi yaani sirikali ya umma (national government) nyingi ya sirikali hizi za ushirikiano (umma) zimedumu kwa miaka bila ya kuvunjika ushirikiano wao kwa mfano katika scandinavia sirikali hizi za ushirikiano zinaendelea kwa miaka na miaka na kwa vile kuwa ni sirikali za ushirikiano wa vyama kadhaa wa kadhaa kunakuwepo ushauriano baina ya vyama hivyo kwahivyobasi wananchi wengi zaidi wanapata kushirikishwa katika mipango ya vyombo vya sirikali na sauti zao kupata kusikilika kwa kupitia wawakilishi wao kutokana na hali hii ya kushirikiana na kushauriana sirikali hizo zimeweza kupasisha kanuni zenye manufaa zaidi kwa wananchi na ambazo ni madhubuti zaidi kulinganisha na zile za sirikali za nchi ambazo zinatumia mfumo wa uchaguzi wa mshindi achukuwe vyote na kuweko serikali/upinzani kama vile ilivyo huko marekani na uingereza (na hapa kwetu zanzibar kwa hivi sisi kuendelea kufuata mfumo huu ambao ni muingereza ndie alietuleteya tangu siku za utawala wake juu ya nchi yetu)
vipi unafanyakazi huu mpango wa
uwakilishi kulingana na kura (ukk)
watafiti hawa wa kimarekani wanatueleza kuwa huko kwao kunaendelea mfumo wa uchaguzi chini ya mpango wa muwakilishi mmoja kwa jimbo moja na kuwa yule anaepata voti zaidi (hata zaidi hio ikiwa ni voti moja) ndiyo anakuwa mwakilishi pekee kwa jimbo hilo wanaendelea kwa kusema kuwa huu mpango wa uwakilishi kulingana na kura (ukk) huenda hivi mwanzo ukaonekana ni kitu kigeni sisi tunaelewa vyema kuwa hilo sio ajabu kwani mazowea yanataabu na ni maumbile ya binaadamu mara nyingi kuogopa (bali hata kupinga) mabadiliko lakinibasi ni wajibu wetu kuzingatia na kudurusu fikra zozote zile na kuchukuwa yale yanayotufaa kulingana na hali zetu na haja zetu na kuwacha yasiotufaa kutofanya hivyo ni kujiharimishia maendeleo wanaendelea waandishi hawa kwa kutueleza ya kwamba mpango huu wa (ukk) unafanyika kwa kutumia njia mbali mbali lakinibasi ilivyo khasa ni kuwa hauna pingamizi wala ugumu hata kidogo bali njia zake zote za utekelezaji ni nyepesi kufahamika na kutumika la zaidi ni kwamba mfumo huu wa uchaguzi (ukk) umethibitisha kufuzu katika nchi zote unako tumika
ya misingi katika mpango huu
¨ idadi kubwa sana ya wenye kupigakura wanapata wawakilishi wanao wachaguwa wenyewe
¨ vyama vyote vya kisiasa vyenye kushiriki kwenye uchaguzi vinapata uwakilishi kulingana na kura wanazopigiwa
yaani kila mpigakura anakuwa na fursa ya kupata muwakilishi anaempigiyakura kwahivyobasi sehemu kubwa zaidi ya wa pigiwakura (watetezi) wanapata kuwaakilisha wapigakura wao ili kufikiya haya ziko njia mbali mbali zinazotumika katika huu mpango wa (ukk) kila moja ya njia hizo zipo nidhamu maalumu zenye kutumika katika ufanyikaji wa uchaguzi kwa huu mfumo wa (ukk) kati ya hizo ni
kwanza mfumo wa mpango wa zaidi ya kiti kimoja kwa mkoa mmoja huweza ikawa viti vitano sita au hata zaidi ya hivyo huenda hata ikawa viti kumi na zaidi inategemeya wingi wa wapigakura katika mkoa idadi ya viti katika mkoa huwa kwa kulingana na idadi ya wapigakura katika huo mkoa huwa hivyo hivyo kama itavyo bainishwa katika katiba ya nchi
pili badala ya kupigakura jimbo moja moja hupigwakura mkoa mzima ukiwa ni (kama) jimbo moja mkoa ambao katika hali ya hivi sasa huweza ukawa unayo majimbo kadhaa wa kadhaa
tatu uwakilishi hugawika baina ya vyama/watetezi kulingana na wingi wa kura wanazopigiwakura watetezi/chama kwa mfano mkoa wenye viti kumi chama kitachopata 40 ya kura kitapata viti vinne au 40 ya viti vyote katika mkoa huo ikiwa chama chengine kitapata tusema 20 ya kura basi kitapata viti viwili au 20 ya viti vyote katika mkoa huo na hali kadhaalika inadhihiri wazi kuwa hapatakuwepo chama/mtetezi kitakacho/atakae ondekea chuki na machozi tu bali (aghlabu yake) kila mtetezi/chama atapata/kitapata uwakilishi kulingana na kura atakazo/kitakazo pigiwakura muhimu zaidi ni kuwa hapana kati yao atakaekuwa mpinzani bali wote watakuwa wawakilishi wa umma na sehemu ya hio sirikali yao sirikali ya umma (national government)
mpango huu uwakilishi kulingana na kura (ukk) unachangia sana katika kuleta na kuhifadhi dimokrasia ya vyama vingi kwahivyobasi kuwepo fursa kwa vyama vidogo vidogo ya kupata uwakilishi na kuendelea kuishi na kufanyakazi bega kwa bega na ukamilifu pamoja na vyama vikubwa katika kutekeleza siasa na mipango ya nchi bila ya ubaguzi na mibinyo ya dhahiri au ya chini kwa chini
kiwango cha kujuzu kupata uwakilishi
ili kuepusha vurugu la vyama vidigi vidigi kuingia katika uchaguzi katika mfumo huu na vile vile kuepusha wingi wa vyama nchini katiba ya nchi itaweka kiwango maalumu cha chini cha kura (threshold) ambacho mtetezi/chama lazima apate/kipate ili astahiki/kistahiki kupata (kiti) uwakilishi kiwango hiki huwa kama vile 10 ya kura za mkoa wote au zaidi au kidogo ya hivyo
aina za huu mpango wa
kwa orodha ya watetezi
hii ni aina ambayo ni nyepesi zaidi kutekelezeka na ndiyo inayotumika katika nchi nyingi za kimagharibi inatumika austria belgium bulgaria denmark greece israel netherlands norway spain sweden na switzerland katika mpango huu kila chama huweka orodha ya watetezi wake kulingana na viti vinavyo pigiwakura katika kila mkoa wapigakura hupigiyakura orodha ya chama wanachokitaka na chama hupata viti kulingana na wingi wa kura kitachopigiwa
aina hii huwa katika hali mbili
v ya kwanza ni ile ambayo chama hufanya orodha yake kwa mujibu wa nani wa kuchaguliwa mwanzo na wakufuatia wake mpigakura hupigakura moja tu kwa kukipigiyakura chama kwa orodho yote ile hapigiikura mtetezi mmoja mmoja watetezi wa chama hupata uwakilishi kwa mujibu ya walivyo orodheshwa katika ile orodha ya chama chao kwa mfano katika mkoa x chama ** kimepata kura za kustahiki kupata viti vitatu basi viti hivi huwa kwa watetezi watatu wa mwanzo katika ile orodha ya hicho chama
v ya pili ni ile ambayo wapigakura wanao uwezo na khiyari zaidi kwa kuchaguwa kutokana na ile orodha ya chama mtetezi wanayemtaka awawakilshi kwa mpango huu mpigakura humpigia kura yule mtetezi anayemtaka badala ya kukipigiakura chama mpango huu japokuwa mpigakura vile vile anakichaguwa chama maalumu kwa vile kuwa anachaguwa mtetezi kutokana na orodha ya chama hivyohivyo husababisha ubadilikaji wa mahala pa mtetezi alipoorodhishwa katika ile orodha ya chama kulingana na kura atazopigiwa hivyobasi huenda mtetezi akapanda juu au akishuka chini
mbali na aina hizi mbili ziko aina nyengine kadhaa zinazotumika nchi mbali mbali katika mfumo huu wa uchaguzi zote hizo zimethibiti kuwa ni bora kuliko ule mpango wa mshindi achukuwe vyote humu tumetaja aina hizo hapo juu kwa vile kuwa ndizo zenye kutumika katika nchi nyingi zaidi na ambazo ni nyepesi zaidi kutekelezeka
upungufu katika mtindo wa uchaguzi wa
mshindi achukuwe vyote
mpango wa uchaguzi wa mtu mmoja jimbo moja mshindi achukuwe vyote umeanza kutoweka pole pole takriban duniani kote kwa sababu ya ila ulizonazo miongoni mwa ila hizo ni vile kuwa
§ unasababisha wapigiwakura wengi kutopata uwakilishi wapigiwakura hawa huwa ni kutokana na chama kikubwa au/na vyama vidogo vidogo ambavyo kwa jumla ya vyote pamoja hufika kuwa wamepigiwa kura na wananchi wengi kuliko kile chama ambacho kimepata wingi wa viti si wingi wa kura na kuendelea/kuingia madarakani ni huu mfumo wa wingi wa viti wala si wingi wa kura kuwa ndivyo kujuzisha kuingia madarakani ni mfumo huu ndio wenye kusababisha hivyo vyama vyengine japokuwa kwa jumla huwa vinayo wingi wa kura lakini havina wingi viti kubakia ni upinzani na kunyimwa kushiriki katika shughuli za matengenezo na uwendeshaji wa sirikali yao
kwa jumla mfumo huu wa uchaguzi mshindi achukuwe vyote husababisha
¨ uwezekano wa kupasishwa kanuni (sharia) ambazo zina upungufu kanuni hizi huwa na upungufu kwa vile kutomathilisha wengi wa wananchi kwa kutojuzisha wale waliowapigiakura kupata uwakilishi
¨ ubaguzi na mibinyo juu ya vyama vidogo vidogo
¨ wapigakura wengi kuvunjika hima na moyo wanavunjika moyo kwa kuona kuwa uwakilishi daima unakuwa ni kwa chama kimoja tu hivyobasi wao huwa ni kupoteza kura zao (na wakati wao ) bila ya kufikiwa dhamiri na makusudiyo yao ya kupigakura
¨ vyama vidogo vidogo kukosa uwezo wa kuendelea kuweko
¨ upungufu katika misingi ya dimokrasia ya kweli
idadi kubwa kukoseshwa wawakilishi
haya ni dhaahir kabisa kwa sababu hata yule mtetezi anayepata 49 za kura huondokea patupu kwa kashindwa na yule aliepata 51 ya kura kwahivyobasi hawa 49 ya wapigakura huwa hawana wawakilishi waliowachaguwa wenyewe hali ya kuwa wamewapigiakura wawakilishi wao kutokana na hali hii matokeo ni kwamba idadi kubwa ya wananchi humalizikia kuwa hawakupata wawakilishi walio wachaguwa wenyewe kwa ridhaa zao natija ya hali hiyo huwa kutoridhika na kutoshiriki kwa moyo mkunjufu katika mipango ya sirikali kwa jumla inathibitisha ya kwamba uchaguzi katika mfumo wa mshindi achukuwe vyote japokuwa mwananchi anapewa haki ya kupigakura wakati huohuo ananyimwa haki ya kuwakilishwa
hivyo kupotezwa hakika na makusudiyo khasa ya uchaguzi
kwahivyobasi dimokrasia huwa inachezewa na kupotolewa bali ni kuuliwa dimokrasia ya kweli na kujengwa udikteta isitoshe wanachama wa vyama vidogo vidogo hulazimika kupoteza kura zao ama kwa vile imekuwa wamempigia kura mtetezi ambae ananyimwa uwakilishi ( kama tulivyoona hapo juu) au kwa kutopigakura kabisa kwa kuona hapana faida ya kupigakura
yote haya yanaashiria upungufu katika dimokrasia ya kweli
zaidi ya hivyo mpango huu wa uchaguzi ni mpango wa kujihami vyama vikubwa na kuvibinya na kuvinyima haki vyama vidogo vidogo ili visiendelee na khatimaye kutoweka kabisa hivyo kubakia nchini daima utawala wa chama kimoja
hali hii imesababisha katika marekani mnamo karne mbili zilizopita kutoweka vyama vidogo vidogo zaidi ya elfu
hapana shaka haya yatatokea zaidi katika nchi zetu ambazo ndio hivi sasa tumo katika juhudi za kujivuwa na mfumo muwovu wa utawala wa chama pekee lakinibasi ikiwa tutaendelea na mtindo wa uchaguzi huu tulionao yaani mmoja achukuwe vyote na mwengine aondokee patupu itakuwa kutoka katika utawala wa chama pekee na kujiingiza katika utawala wa chama kimoja
hali ambayo ni ya khatari zaidi na yenye kusababisha mivutano na mapambano makali baina ya wanufaika na wapenzi wa vyama
kuuwacha mfumo mpotofu na kuufuata mfumo mwongofu
kutokana na hizi ila tulizojaaliwa kuzitaja hapo juu ila ambazo ni kuu na ovu sana ndio sababu ya kimsingi kwa walimwengu wa leo khasa wale tunaowaita/wanaojiita nchi zilizoendelea (developed coutries) kuamuwa kuuwachilia mbali mfumo huu viza mfumo wenye uwovu na khatari mfumo wa mmoja kuchukuwa vyote na mwengine kuondokea patupu badala yake walimwengu hawa wakaamuwa kufuata mfumo mpya mfumo wa uwakilishi kulingana na kura (ukk) )proportional representation( (pr) ambao ni wenye kulinda na kuhifadhi dimokrasia zaidi hivyo ni kwa huu mpango wake wa kugawa uwakilishi baina ya vyama/watetezi kulingana na kura wanazopewa na wananchi kwahivyobasi kuwezesha uundwaji wa sirikali za ushirikiano wa vyama badala ya sirikali ya chama kimoja vilevile kwa kufuata mfumo wa uchaguzi katika mpango huu wa (ukk) matunda yake yamekuwa ni nyenzo kuu katika kuhuwisha mashindano mema na ya faida kwa nchi baina ya vyama (vyote) vya kisiasa nchini haya kwa sababu vyama vidogo vidogo navyo vinapata haki ya uwakilishi na kushiriki katika vyombo mbali mbali vya sirikali yao vile vile wapigakura wanakuwa na chaguwo zaidi juu ya nani wa kumpigiakura zaidi ya hivyo kwa hivi wananchi kupata fursa hii inawatia moyo na hamu ya kupigakura kwahivyobasi idadi ya wapigakura inakua (kwa khiyari si kwa kulazimishwa) hili linaleta kuundwa kwa vyombo vya sirikali (na sirikali yenyewe) ambavyo vina/inawakilishwa na wananchi wengi zaidi pia linaondowa mpango wa sirikali/upinzani hali ambayo ni pingamizi kubwa ya amani na maendeleo nchini kwa vile kuundwa serikali za ushirikiano (coalition govenments)
maendeleo bila ya ushirikiano ni kutaraji la muhali
sote tunafahamu vyema ya kwamba maendeleo huwa taabu kupatikana nchini ikiwa sehemu kubwa ya wananchi hawashirikishwi katika vyombo vya sirikali yao vile vile tunafahamu vyema ya kwamba kutokana na huu mpango wa uchaguzi katika mfumo wa mmoja achukuwe vyote na wa pili aondokee patupu sirikali/chama kinacho tawala hulazimika kuingia katika ubaguzi na mapendeleo baina ya wananchi kwa kuwafanyia vyema zaidi wanachama wao wabembelezeke ili waendelee kuwapigiakura watawala kwa upande wa pili hao watawala wakati huo huo hutenda mno katika kuwabinya na kuwadhili wapinzani kwa kuwanyima haki zao za kiwananchi za kimsingi hufanya hivi kwa makusudio ya kutaka upinzani udhoofike hivyo upunguwe natija ya hali hii ni mvutano baina ya sirikali/upinzani (uwongozi) upande mmoja na baina ya sirikali/wapinzani (wananchi) upande wa pili taathira ya mvutano huu ni kutokuwepo kuaminiana baina ya sirikali na upinzani na kutokuwepo ushirikiano na ushauriano katika nchi kwa jumla huu ni mfarakano ambao ndio nyenzo kuu ya mtawala isitoshe uwovu zaidi katika haya ni kuzidi mbinu za walioko upande wa upinzani kutaka wapate/kuchukuwa sirikali na walioko upande wa sirikali kuzidi mbinu za kuhifadhi/kudumu katika utawala hapa ndio huzalika kinyanganyiro cha madaraka pande zote mbili hizi hutenda hivyo kwa hali na mali na kwa thamani yoyote ile na bila ya kujali hata kidogo maslaha ya nchi wala wananchi hali inapokuwa hivi maslaha ya wakubwa wa pande zote mbili yaani sirikali na wapinzani na hao waliomo katika uwongozi na wapambe wao ikiwa upande wa sirikali au upande wa upinzani ndiyo huwekwa mbele na kwa hisabu yoyote ile na kama kawaida wananchi ndiwo daima wenye kuathirika kutokana na uovu wa vitendo hivi vinavyotokana na viongozi wao wa sirikali na wa upinzai waliomo katika upotofu kuendelea hali hii kwa sababu ya viongozi kukataa kuleta mabadiliko na badala yake kudumu katika mfumo fisadi mfumo wa uchaguzi wa mmoja achukuwe vyote na wa pili aondokee patupu wananchi huanza kujiuliza na kuulizana juu ya ukweli na ikhlasi ya viongozi wao wakati huohuo polepole itibari na imani juu ya viongozi wao hupotea kwajumla hali hii hukidhoofisha chama na hukipangia mporomoko khatimaye ni kubomoka kabisa
haya yote yamefika ikiwa ni natija ya vingozi waroho wa madaraka wafupi wa kufahamu na kutambuwa hakika wakaona kuendelea katika mfumo uliopitwa na wakati mfumo wa mmoja achukuwe vyote na wa pili aondokee patupu utawasaidia kudumu kwenye madaraka walisahau kwamba baatil haiwezi kudumu hata kama itahifadhiwa na kulindwa kwa nguvu gani
haqi lazima ije juu na baatil lazime itoweke
baatil ni unganganiaji madaraka haqi ni ushirikiyano madaraka
kutokana na haya tuliojaaliwa kufahamishana humu imetubainikia kwamba ni dharura kuufuata huu mpango wa uchaguzi katika mfumo wa uwakilishi kulingana na kura (ukk) proportional representation (pr) tunapendelea viongozi wetu watende hivyo kwa haraka bila ya kukawia kwa nia na azma ya kuleta mabadiliko ya kheri kwa manufaa ya uwongozi na maslaha ya nchi kwa kuendelea walimwengu kimaarifa na kiilimu ni wajibu wetu na sisi twende na walimwengu tutende hivyo ili tuepushe kuzidi sisi kuwachwa nyuma kwa kungangania kwetu ya kale yasio maaendeleo ambayo yameshapitwa na wakati na kuyakataa ya kileo ambayo kila siku inazidi kuthibiti kufuzu katika nchi mbali mbali natija ya sisi kubakia na ya kale ni hivi kukhasirika kwa kuzama katika chuki na mivutano isiokuwa na msingi wala faida yoyote tokeahapo hakuna mvutano wenye faida bali muhimu zaidi inatupasa tujiendeleze kwa maslaha yetu ili pia tuweze kujitowa katika kundi la wenye kufadhiliwa badala yake tuwe wenye kujibeba wenyewe na inshaaallah tuweze kufika katika uwezo wa wenye kuchangia katika maendeleo ya ulimwengu kama alivoahidi waziri mkuu wetu sheikh muhamed shamte siku alipoinganisha zanzibar katika umoja wa mataifa (uno) mwaka wa 1963 hivyo ili tuwe mkono wa juu tusite hivi kuwa mkono wa chini mkono wa juu (wenye kutowa) ni wenye kupendeza na ni wenye fadhila zaidi kwa mwenyezi mungu mtukufu subhaanahu wa taáala kuliko mkono wa chini (wenye kupewa)
kufadhiliwa ni aibu na ni nyenzo kuu ya kumilikiwa muislamu anatakiwa awe mwingi wa kutowa mchache wa kuchukuwa
tunamuwomba mwenyezi mungu mtukufu subhaanahu wa taáala atujaalie kila la kheri na atuepushe na kila shari aamyn
chanzo zanzinetnet | 2017-10-18T07:20:47 | https://zanzibardaima.net/2009/04/04/kauli-ya-umoja-wa-wazalendo-juu-ya-katiba-ya-zanzibar/ |
eti ole anafukuzwa kazi
you are athome»habari360»eti ole anafukuzwa kazi
liverpool englandstaa wa zamani wa liverpool na aston villa dean saunders amesema kocha wa manchester united ole gunnar solskjaer hatoboi na atafutwa kazi msimu huu kama hatafanya usajili wa wachezaji wake mwenyewe
saunders alisema ole yatamkumba yaliyowakumba wenzake huko old trafford kwamba kuna hatari asimalize msimu akafukuzwa kama ataendelea kubaki na kundi kubwa la wachezaji waliopo kwenye kikosi cha sasa na kushindwa kufanya usajili wa wachezaji wake mwenyewe ambao watapambana kwa ajili yake
solskjaer 46 ataanza msimu wake wa kwanza mzima mzima kwenye kikosi hicho cha old trafford lakini tayari hadi sasa mambo yanaonekana yatakwenda kuwa magumu kwa upande wake msimu ujao
msimu uliopita timu ilimaliza ligi kwenye nafasi ya sita huku ikiachwa nyuma kwa pointi 32 na vinara manchester city hadi sasa wachezaji ambao solskjaer amewasajili katika kikosi hicho ni makinda winga daniel james na beki wa kulia aaron wanbissaka
alipoulizwa kama anadhani solskjaer atabaki kuwa kocha wa man united hadi msimu ujao saunders 55 alisema sidhani kama atakuwepo naona alivyoingia kwenye matatizo na kazi ngumu inayomkabili wachezaji hawa waliopo sasa man united ni wachezaji ambao wamehusika wakati makocha watatu walipofutwa kazi wachezaji hawahawa wamemfanya mourinho afutwe kazi hivyo kama solskjaer hatasajili wachezaji wake atafukuzwa pia ipo hivyo
komenti za watu huko kwenye mitandao ya kijamii wanadai solskjaer akifika krismasi ya mwaka huu na hajafutwa kazi basi ni mwanamume
previous articledonald trump claims no retreat on citizenship question on census
next article tigo yatangaza mshindi wa kitita cha milioni 10 kupitia promosheni ya soka la afrika | 2019-07-17T23:24:29 | https://habarimpya.com/featured-2/habari360/eti-ole-anafukuzwa-kazi |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.