text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
jose mourinho amkataa bosi wake wa zamani roman abramovich dewjiblog jose mourinho amkataa bosi wake wa zamani roman abramovich kuelekea mchezo wa epl kati ya chelsea ambayo inataraji kuwe mwenyeji wa manchester united mchezo utakaopigwa katika kesho jumapili katika dimba la stamford bridge kocha wa manchester united amezungumza kuhusu mchezo huo mourinho ambaye aliondoka chelsea msimu uliopita baada ya kupata matokeo ambayo hayakumfurahisha mmiliki roman abramovich na mashabiki wa klabu amesema anakwenda katika mchezo huo akiwa ameshakua na kilichomtokea chelsea hakiwezi kumtokea kwa mwaka wake wa kwanza akiwa na man united muda umewadia nikiwa nimeshakua nikiwa meneja imara nina hisia imara sio mtoto haiwezi kutokea kwa mwaka wa kwanza katika historia yangu ya kazi ya umeneja nina furaha kuwa na klabu kubwa kama manchester united katika maisha yangu ya kazi sio kwa miezi mitatu iliyopita lakini naweza kusema katika mashindano [ligi kuu ya uingereza] ambayo ndiyo ninayoipenda zaidi alisema mourinho aidha mourinho alizungumza kuhusu uhusiano wake na mmiliki wa chelsea roman abramovich ambaye amewahi kuwa bosi wake wakati akifundisha chelsea na kusema kuwa hakuwa rafiki yake na wala hakuwa mtu wake wa karibu ni uhusiano wa mmiliki na meneja tuliheshimiana sana hakuwahi kuwa rafiki yangu na wala hatukuwa na ukaribu baina yetu alisema mourinho ratiba ya ligi kuu ya vodacom (vpl) kesho jumamosi mashabiki wafurika kushuhudia mpambano la yanga dhidi ya tp mazembe dar waziri sospeter muhongo asisitiza mapinduzi ya kiuchumi katika sekta ya nishati na madini
2018-01-18T13:57:57
http://dewjiblog.co.tz/jose-mourinho-amkataa-bosi-wake-wa-zamani-roman-abramovich/
ummy wagonjwa wa covid 19 wafikia 147 imechapishwa april 17th 2020 wazir wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu (mb) leo aprili 17 2020 ametangaza kuongezeka kwa wagonjwa wapya 53 wenye maambukizi ya virusi vya corona (covid 19) ambapo idadi hiyo inafanya wagonjwa wa covid 19 nchini tanzania kufikia 147 mwalimu amesema wagonjwa wote ni watanzania katika mikoa ya dar es salaam (38) mwanza (1) pwani (1) lindi (1) kagera (1) na zanzibar (10) lakini pia amesikitika kutangaza kifo cha mtu mmoja (1) kilichotokana na ugonjwa wa covid 19 waziri mwalimu amesema tangu tarehe 16 machi 2020 hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 147 wenye maambukizi ya virusi vya corona (covid 19) nchini kati yao waliopona ni 11 na vifo 5 vimethibitishwa kutokea
2020-05-25T23:44:30
http://bahidc.go.tz/new/ummy-wagonjwa-wa-covid-19-wafikia-147
breaking jengo la ghorofa linateketea kwa moto kariakoo (video fupi) millardayocom breaking jengo la ghorofa linateketea kwa moto kariakoo (video fupi) leo june 13 2018 jengo la ghorofa limeteketea kwa moto katika mtaa wa agrey na livingstone katika eneo la kariako jijini dar es salaam na kuteketeza baadhi ya mali zilizokuwepo katika jengo hilo msemaji mkuu wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkaguzi joseph mwasabeja asema moja ya changamoto walizopata kuuzima moto wa leo kwenye ghorofa ni magari ya zimamoto kupata tabu kuingia kwenye eneo la tukio kariakoo >>>taarifa kamili kukujia hapahapa millardayocom #breaking gorofa lashika moto kariakoo dsm juhudi za kuendelea kuuzima zinaendelea pictwittercom/9erzxbifol millardayo (@millardayo_) june 13 2018 breaking zoezi la kuzima moto unaoteketeza godown mtaa wa livingstone kariakoo muda huu #millardayoupdtes https//tco/xywnymolik ‪moto kariakoo msemaji mkuu wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkaguzi joseph mwasabeja asema moja ya changamoto walizopata kuuzima moto wa leo kwenye gorofa ni magari ya zimamoto kupata tabu kuingia kwenye eneo la tukio kariakoo #millardayoupdates ‬ a post shared by millard ayo (@millardayo) on jun 13 2018 at 416am pdt ← previous story gari maalum kuzunguka mitaani kutoa huduma za uzazi wa mpango next story → wema sepetu afika mahakamani baada ya kutoka india alichoamua hakimu makamu wa rais akutana rc mwanri ashitushwa na mimba za utotoni na ukimwi (+video)
2019-02-22T06:03:45
http://millardayo.com/9887thg/
katibu mkuu kiongozi afanya ziara hospitali ya rufaa ya mkoa wa kinondoni mwananyamala dar es salaam | mpekuzi
2017-10-23T11:50:06
http://www.mpekuzihuru.com/2016/05/katibu-mkuu-kiongozi-afanya-ziara.html
makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzaniamhe samia suluhu hassan aanza ziara yake ya siku tano mkoani songwe leo zanzinews home habari matukio makamu wa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzaniamhe samia suluhu hassan aanza ziara yake ya siku tano mkoani songwe leo makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na mkuu wa mkoa wa songwe mhe lt mstaafu chiku galawa mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa songwe tayari kwa ziara ya siku 5 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimia na naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe juliana shonza mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa songwe tayari kwa ziara ya siku 5 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akiongozana na mkuu wa mkoa wa songwe mhe lt mstaafu chiku galawa mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa songwe tayari kwa ziara ya siku 5 (picha na ofisi ya makamu wa rais) makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akisalimiana na viongozi wa chama cha mapinduzi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa songwe tayari kwa ziara ya siku 5
2018-10-20T23:53:34
http://www.zanzinews.com/2018/07/makamu-wa-rais-aanza-ziara-ya-siku-tano.html
madhara ya ulevi na athari zake (8)mwisho jumapili 15 januari 2012 1217 kama wewe mpenzi msikilizaji ulikuwa mfuatiliaji wa vipindi hivi vya madhara ya ulevi na athari zake bila shaka unakumbuka tulisema kuwa utumiaji ulevi una taathira mbaya za kimwili na kiroho kwa mtumiaji kiasi kwamba baadhi ya madhara na athari zake haziwezi kufidika hii leo utumiaji ulevi umegeuka katika baadhi ya jamii na kuwa tatizo kubwa na kila siku madhara yake katika jamii hizo yanazidi kuongezeka na kutishia mustakabali wa jamii husika watalaamu wengi wanaamini kuwa kuna mambo na sababu nyingi zinazowafanya baadhi ya wanajamii hasa katika ulimwengu wa magharibi kumili katika ulevi na utumiaji pombe mtafiti mmoja wa kimarekani anayejulikana kwa jina la horton baada ya kufanya utafiti katika muongo wa 1940 alifikia natija hii kwamba kadiri kiwango cha mvurugiko na hali ya kutetereka katika jamii kitakavyokuwa kingi basi ndivyo utumiaji wa pombe unavyoongezeka kwa kiango hicho hicho anasema kuwa katika utafiti huo inaeleweka wazi kwamba endapo thamani na utamaduni unaotawala katika jamii utakuwa ni utamaduni na thamani ambazo zinashajiisha watu kutumiaji ulevi bila shaka jambo hilo litakuwa na taathira kubwa katika kuongeza kiwango cha utumiaji ulevi katika jamii hiyo wataalamu wa mambo wanataja sababu kuu mbili za kimsingi ambazo anasema zinachangia watu kuelekea katika utumiaji ulevi sababu ambazo wamezigawa katika makundi mawili yaani sababu za ndani na za nje wanasema kuwa sababu za ndani ni msononeko matatizo ya kisaikolojia hali ya wasi wasi na kutofungamana na misingi ya dini na ya kiakhlaqi sababu za nje ni kama vile umasikini hali mbaya ya kijamii na kiuchumi kutokuweko uthabiti wa kiutamaduni kusambaratika maisha ya familia na kujihusisha wanajamii na mambo machafu pamoja na ufuska majimui ya sababu hizi ni mambo yanayotajwa kuwa yanaongeza uwezekano wa kumili upande wa utumiaji madawa ya kulevya na ulevi wapenzi wasikilizaji kama ambavyo vitu vinavyosababisha kuelekea upande wa utumiaji ulevi vinagawanywa mara mbili yaani sababu za ndani na za nje tiba ya hilo pia inapaswa kugawanywa katika sehemu kuu mbili yaani tiba ya nje na ya ndani kuimarisha imani ya dini hupelekea thamani za kimaanawi ziimarike katika mahusiano ya kijamii na hivyo watu kuwa na maadili yanayotakiwa utafiti uliofanywa unaonyesha kwamba kushikamana na mafundisho ya dini ni sababu kuu yenye taathira muhimu katika usalama na uzima wa kinafsi na kisaikolojia kwani kushikamana na mafundisho ya dini huyafanya maisha kupata maana yake halisi hapana shaka kuwa kuwa na imani thabiti juu ya mwenyezi mungu ni kinga muhimu ya kuwafanya wanaadamu wasikengeuke na kwenda katika njia isiyo sahihi hatua ya mwanadamu ya kurekebisha mahusiano yake na mwenyezi mungu humfanya afikie matumaini ya kweli katika maisha na kwa wenzo huo huweza kutatua matatizo yake mengi ya kibinafsi kijamii na kifamilia kwa muktadha huo mwanaadamu huwa hana haja tena ya kutumia ulevi na madawa ya kulevya kwa ajili ya kufikia katika ladha na malengo ya uongo na ya muda mfupi akijidanganya kwamba kwa njia hiyo amepata utulivu na kusahau matatizo yanayomkabili kwani utulivu wa kweli na wa kudumu unapatikana katika kivuli cha mahaba na mapenzi ya mwenyezi mungu ni katika mazingira kama hayo tunaona kuwa furaha ya kiroho huchukua nafasi ya msononeko na kujiinamia na nishati hii humkinga mwanaadamu na kupotoka na hali ya kukengeuka huu ndio ule mfumo wa udhibiti wa ndani ambao una nguvu zaidi ya mfumo wa udhibiti wa nje kwa mtazamo wa dini tukufu ya kiislamu ni kuwa udhibiti wa nje hautoshi kukabiliana na ufisadi na madhambi ya watu bali kuna haja ya kuweko udhibiti wa ndani ambao kimsingi ni imani na mafundisho sahihi ya dini tukufu ya kiislamu hivyo tunaweza kusema kuwa kufungamana na mafundisho ya dini tukufu ya kiislamu ni kinga imara ya kumzuia mtu na upotofu pamoja na kufanya mambo machafu yakiwemo masuala ya ulevi na utumiaji madawa ya kulevya ndio maana pindi ngome hii inapovunjwa na kuharibiwa hujitokeza njia ya kudhihiri anuwai kwa anuwai ya ufisadi na mambo machafu kama utumiaji wa madawa ya kulevya na ulevi mwisho tunaashiria hapa kuwa mwenyezi mungu mwenye huruma amemuumba mwanaadamu na vilivyomo na kumleta hapa duniani ili anufaike na vilivyomo kwa njia sahihi na kwa mujibu wa maamrisho na mafundisho ya dini kama tulivyosema katika vipindi vyetu vilivyopita ni kuwa moja ya madhara makubwa ya utumiaji ulevi ni mfarakano katika familia maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi unene kupita kiasi utapiamlo hasi mimba kuharibika na kisukari baadhi ya wataalamu wanasema kuwa utumiaji ulevi una mahara ya aina mbili kwanza ni kuathirika kwa mishipa ya fahamu mwilini kote kwa kupunguzwa uwezo wa kufanya kazi kama inavyotakiwa na pili ni kuungua baadhi ya ogani za mwili hasa tumbo pindi mtu anapokunywa pombe ni kwa kuzingatia uhakika huo ndio maana mafundisho ya kiislamu yanamshajiisha mwanaadamu kurekebisha mwenendo wake kufuata mafundisho ya dini sambamba na kufanya amali njema huku akijiepusha na mambo machafu kama ulevi na kadhalika zaidi katika kategoria hii « madhara ya ulevi na athari zake (6) ulevi madhara na athari zake (7) »
2018-03-22T13:57:20
http://kiswahili.irib.ir/vipindi/madhara-ya-ulevi/item/21578
mchezo adventure monkey online kucheza kwa huru mchezo adventure monkey unachezwa 4370 kucheza mchezo adventure monkey online maelezo ya mchezo adventure monkey kwenda adventure kidogo na tumbili baridi aitwaye coco kumsaidia kukusanya ndizi wote na kwenda nyumbani haya kucheza mchezo adventure monkey online kiufundi na tabia ya mchezo adventure monkey mchezo adventure monkey aliongeza 11032012 ukubwa wa mchezo 569 mb mchezo unachezwa 4370 mara michezo kama mchezo adventure monkey download mchezo adventure monkey embed mchezo adventure monkey katika tovuti yako kuingiza mchezo adventure monkey kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo adventure monkey nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo adventure monkey pia alicheza katika mchezo
2018-01-18T09:41:52
http://sw.itsmygame.org/999970653/infinite-monkeys_online-game.html
irib kiswahili radio last updated 20170426 213258 update 77104835 kiswahiliiribir find out more kiswahiliiribir is sub domain of iribir there are 46 images at kiswahiliiribir total of character at kiswahiliiribir 72019 characters irib | these keywords have 19 characters and quantity is 4 keywords arabiciribir | englishiribir | hausairibir | spanishiribir | worldserviceiribir | cd47c4e5c510f3bc22147cd5980b3d6cd22bf0895e617e7b8a05eb8998c81112850f1f05 h2 heading 26 hija uchambuzi afrika iran mchanganyiko palestina utakfiri ulimwenguni michezo makala ya wiki minasaba kiongozi usekula na uislamu maswali na majibu hadithi ufeministi afya maua ya mtume jiunge nasi katika facebook zilizotembelewa zaidi habari na uchambuzi polls mitandao ya kijamii idhaa nyingine h3 heading 14 algeria yawaachilia wachimba migodi wa chad iran dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi radiamali kuhusu jinai ya ubakaji wa balozi wa saudia huko nchini romania hamas yatilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa iran kwa kambi ya muqawama hekima na busara katika fikra za imam musa al kadhim as 'ustaarabu wa kiislamu hauwezi kutimia bila ya kigezo' usekulari katika mizani ya uislamu (16) maswali yetu na majibu ya thaqalain (114) hadithi ya uongofu (39) ufeministi itikadi na misingi yake (26) ulaji wa lishe bora katika kipindi chote cha maisha maua mawili ya mtume wa allah (31) sauti taathira za teknolojia leo katika historia h4 heading 21 ujumbe wa hija wa kiongozi muadhamu 1436 hijria dondoo za hija (10) dondoo za hija (9) maoni ya wanabaraza kuhusu hija 1436 wajibu wa marekani kuilipa fidia iran wasiwasi kuhusu hali ya mambo nchini algeria mwangwi wa mgogoro wa kibinadamu katika ukanda wa gaza wito wa kuwepo azma ya kupambana na makundi ya kigaidi afrika wimbi la utakfiri katika ulimwengu wa kiislamu sehemu ya 39 na sauti wimbi la utakfiri katika ulimwengu wa kiislamu sehemu ya 38 na sauti chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa kiislamu sehemu ya (37) na sauti wimbi la utakfiri katika ulimwengu wa kiislamu sehemu ya 36 na sauti ulimwengu wa michezo aprili 25 ulimwengu wa michezo aprili 18 ulimwengu wa michezo aprili 4 iran yamaliza hatua ya makundi kuelekea kombe la dunia 2018 malengo na mbinu za wamagharibi katika kueneza chuki dhidi ya iran na uislamu watoto na wanawake wa yemen na nyoyo zilizojaa machungu siku ya taifa ya teknolojia ya nyuklia tatizo la ndoa za watoto unasemaje kuhusu maafikiano ya amani nchini syria page created in 5705758 seconds wwwsitesaysorg network © 2017 all rights reserved
2017-04-27T01:32:47
https://www.sitesays.org/domain/kiswahili.irib.ir
namna ya kuifanya jf ifahamike zaidi na kufanikiwa zaidi | jamiiforums | the home of great thinkers namna ya kuifanya jf ifahamike zaidi na kufanikiwa zaidi discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by sabi sanda oct 11 2010 inaitia moyo kuona jinsi jf inavyoendelea kukua na kufahamika zaidi pamoja na maendeleo ambayo jf imepata mpaka sasa napendekeza njia zifuatazo zitumike ili kuitangaza zaidi na kwa gharama nafuu tutengeneze matangazo kwenye a3 (black and white) yenye maneno kama tembelea jamiiforums kila uchao na inapatikana hapa wwwjamiiforumscom matangazo haya yabadikwe kwenye vituo vya basi mitaani vyuoni na katika shule za sekondari na msingi kwa kuanzia tunaweza kuanza kwa kubandika angalau matangazo kama 1000 na kuona matokeo yake njia ya pili mods waongee na kituo kimojawapo cha redio ili tuitangaze jf kwa angalau mwezi mmoja kwa kulipia matangazo yasiozidi dakika moja kwa wakati mmoja kupitia njia hii katika redio husika jf inaweza kusikika mara tano kila siku au mara 150 kwa mwezi na tunaweza kuwa tunafanya hivi kila baada ya miezi mitatu na kupima matokeo yake kama mawazo haya yatakubalika mchango wangu utakuwa shilingi elfu 20 ili jf iweze kufanikiwa na kufahamika zaidi mods waongee na kituo kimojawapo cha redio ili tuitangaze jf kwa angalau mwezi mmoja kwa kulipia matangazo yasiozidi dakika moja kwa wakati mmoja kupitia njia hii katika redio husika jf inaweza kusikika mara tano kila siku au mara 150 kwa mwezi na tunaweza kuwa tunafanya hivi kila baada ya miezi mitatu na kupima matokeo yake kama mawazo haya yatakubalika mchango wangu utakuwa shilingi elfu 20 ili jf iweze kufanikiwa na kufahamika zaidiclick to expand ni mawazo mazuri lakini hapo penye bluu changia hata kama mawazo hayatakubalika na wadau kama mawazo haya yatakubalika mchango wangu utakuwa shilingi elfu 20 ili jf iweze kufanikiwa na kufahamika zaidi nenda nayo hiyo 20 alfu clouds fm ukatutangazie tutashukuru good ideamods kazi kwenu pamoja na wanachama jf ni mawazo mazuri lakini hapo penye bluu changia hata kama mawazo hayatakubalika na wadauclick to expand hiyo ahadi niliyoitoa ni maalumu kwa ajili ya mapendekezo niliyoyatoa uchangiaji wangu wa kawaida kwa jf unabaki palepale mwaka huu kuna lengo nimeliweka la kuichaingia jf na ninategemea kulitimiza kabla ya mwisho wa mwaka huu kwa vyovyote hakuna tija ya kuwa na wanachama wa ziada kama wanaoongezeka sio great thinkers sabi sanda jf premium member pdidy jf senior expert member pdidy said nenda nayo hiyo 20 alfu clouds fm ukatutangazie tutashukuruclick to expand sabi sanda jf premium member pdidy jf senior expert member crapclick to expand wewe ndiye very crap kwa vyovyote hakuna tija ya kuwa na wanachama wa ziada kama wanaoongezeka sio great thinkersclick to expand
2016-10-26T05:54:04
http://www.jamiiforums.com/threads/namna-ya-kuifanya-jf-ifahamike-zaidi-na-kufanikiwa-zaidi.78055/
bill gates 'quantum dots' kadi ya kitambulisho isiyo na waya ambayo inafuatilia ikiwa una coronavirus na ikiwa umepata chanjo martin vrijland filed katika maelezo ya news by martin vrijland juu ya 23 machi 2020 • 7 maoni chanzo insidercom wakati wa kipindi cha reddit 'uliza kile unachotaka' bill gates aliulizwa swali juu ya janga la coronavirus 19 jibu lake lilikuwa likifunua alisema mwishowe tutakuwa na vyeti kadhaa vya dijiti kuonyesha ni nani aliyerekebishwa au kupimwa hivi karibuni na ni nani aliyepokea chanjopamoja na vyeti hivyo vya dijiti bill gates anaweza kurejelea kwa mfano zile zilizotengenezwa na mit dondoo za quantum (dots za quantum) ufumbuzi kama huo usio na waya unaweza kuambatana na utangulizi wa id2020 ambayo inataka kutoa kitambulisho kwa watu bilioni 12 ambao bado wanaishi bila kitambulisho (baada ya yote huna hiyo bila nambari) bill gates ni mwekezaji mkubwa katika vitu hivi vyote kupitia msingi wake wa bill & melinda gates na kwa kweli ni wazi kuwa tunaelekea kwenye mfumo wa udhibiti ambao utakumbukwa na wengi kwa kumuogopa adui mkubwa asiyeonekana ni muhimu kuona kwamba watu wako tayari kusalimisha uhuru wao wote ikiwa wanaogopa vya kutosha hofu bora ni kuogopa kifo na tunapokuwa tunashughulika na adui asiyeonekana ambaye wataalam wote wa matibabu na vyombo vya habari na kisiasa wanatuita tuchukue kwa uzito watu wengi hulala migongo yao wengi hawajui uwezekano ambao serikali na vyombo vya habari vinaweza kutumia kucheza kwenye misa halafu watu wengi sana wangelazimika kufanya kazi kwa uwongo hakuna mtu anayeweza kufikiria kwamba rada nyingi katika saa hazioni piga na kwa hivyo hawana wazo wenyewe hakuna mtu anayeweza kuamini kwamba wengi wanaweza kuwa tayari wameathirika na chakula chao kwa sasa na siku za usoni (wanafikiria) tayari imeshanunuliwa je kweli ni mbaya sana na ugonjwa huo basi ni muhimu kwamba tunajua hasa ni nani aliyeambukizwa wakati wakati mtu amepona na ikiwa mtu ameingizwa na chanjo angalau hiyo ni imani ambayo imeingizwa kwa raia njia inayowezekana inachukuliwa kwa urahisi upande huu unaonekana hata kama uzembe na mafikira ya njama katika wiki chache mtu yeyote ambaye ni muhimu labda ataonekana kama hatari kwa jamii hii ni kwa sababu watu hao wanaweza kuwa waasi na kuhatarisha wengine hata ikiwa tayari inaambatana na 'maoni mabaya' kwa hivyo funga baada ya yote kitendo cha kulazimika cha utunzaji wa afya ya akili tayari kiko tayari kutoka 1 januari ikiwa katika muda wa miezi michache tunabadilishwa kutoka kwa demokrasia ya sham kuwa mfumo wa wakomunisti wa kiteknolojia katika suala la miezi na mzozo huu wa coronavirus kila mtu sasa anategemea jimbo kwa suala la mapato (angalia maelezo haya) karoti hiyo mbele ya kipande cha usalama wa kifedha itawashawishi wengi wakati wa hofu hofu ya kutisha ya kifo na idadi kubwa ya vifo (iliyoonyeshwa na vyombo vya habari) pia itachangia njia ya hatua kali ambapo mambo hatari kutoka kwa jamii (bila kilio chochote) yanaweza kuondolewa halafu sehemu iliyobaki ya idadi ya watu itakwama katika mfumo wa dijiti ambao unafuatilia kila harakati unajumuisha mapato na matumizi pamoja na uhuru wa kuhama kwa tabia afya na dawa ya lazima na chanjo ambapo walidhani wangehakikishia uhuru wao na usalama kwa kushughulikia mkono wa serikali (au kupigania sera ya serikali kwa sababu ya woga au ubinafsi) basi hatimaye wao pia watatekwa hakuna kinachosimama katika njia ya mwishilio wa mwisho kama ilivyoainishwa katika kitabu changu tafadhali soma pia nakala kutoka wiki iliyopita ambamo ninaelezea hali hiyo hapo juu kwa undani zaidi ikiwa umesoma kitabu changu na nyongeza zake utagundua kuwa hauitaji kitambulisho dots za kitambulisho au chochote kwa kitambulisho chako cha kweli unaweza pia kugundua ni tumaini lipi kwa kila mtu ambaye anafahamu orodha ya kiungo cha chanzo siencemagorg id2020org biohackinfocom tags muswada wa sheria ya coronavirus covid19 dots featured foundation gates id2020 melinda janga quantum reddit 24 machi 2020 katika 01 28 mtandao wa bill gates kawaida unaongoza kwa watuhumiwa wa kawaida sehemu ambazo zinafadhiliwa kando na microsoft gavi unilever carbyne postcode loterij ambayo hatimaye sio zaidi ya mashirika ya mbele ujasusi muhimu katika mtandao huu ambao unaweza kuhusishwa na epstein umefunuliwa hivi karibuni kwa kifupi shidamajibusuluhisho 24 machi 2020 katika 01 29 24 machi 2020 katika 10 44 @salmon haishangazi wakati unapoona jinsi kazi zinavyofanya 24 machi 2020 katika 12 40 kiunga hiki na ajenda ya kikomunist ni cha kufurahisha sana imethibitishwa kutoka kwa vituo mbali mbali mahojiano katika uchunguzi haujajulikana hii ​​ni uporaji wa bolshevist magharibi kote ni agizo la ulimwengu mpya kutekeleza agenda 2030 na 'ukomunisti' wao ambao ni ukomunisti 20 tu 24 machi 2020 katika 16 01 unilever inahusika kwa sababu ya vitendo vya hivi karibuni rutte hakuja kutoka unilever huko amerika pia walianzisha marekebisho ya sheria ghafla hunikumbusha juu ya sheria ya patriot lakini hiyo bila shaka itakuwa bahati mbaya 😉 26 machi 2020 katika 02 11 kwa hiyo janga fauci 'hapana shaka' trump atakabiliwa na ugonjwa wa kuambukiza wa kushangaza anthony s fauci md mkurugenzi wa taasisi ya kitaifa ya magonjwa ya zinaa na magonjwa ya kuambukiza alisema hakuna shaka donald j trump atakabiliwa na mlipuko wa ugonjwa wa kuambukiza wa kushangaza wakati wa urais wake 27 machi 2020 katika 05 44 kutakuwa na mlipuko wa ajabu « coronavirus jamii ambayo inafanya bidii au kupata ubinadamu tafadhali kumbuka hati ya covid19 janet ossebaard (ninefornews) ni mtego wa habari bandia » ziara ya jumla 1188108
2020-03-28T17:51:09
https://www.martinvrijland.nl/sw/nieuws-analyses/de-bill-gates-quantum-dots-de-draadloze-id-kaart-die-bijhoudt-of-u-corronavirus-heeft-en-of-u-gevaccineerd-bent/
gregori wa tours wikipedia kamusi elezo huru sanamu ya mt gregori ya tours (kazi ya jean marcellin karne ya 19) louvreparis ufaransa gregori ya tours (clermontferrand auvergne 30 novemba 538 hivi [1] tours 17 novemba 594[2]) alikuwa mwanahistoria na askofu wa tours katika ufaransa wa leo[3] sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 novemba 31 tafsiri 32 matoleo katika lugha mbili 4 vyanzo vingine ↑ jones terry gregory of tours patron saints index jalada kutoka ya awali juu ya 20070110 iliwekwa mnamo 20070116 ↑ leclercq henri st gregory of tours the catholic encyclopedia vol 7 new york new york robert appleton company 1910 26 october 2014 tafsiri[hariri | hariri chanzo] glory of the confessors (ed and transl raymond van dam translated texts for historians 4) liverpool 2004 (2nd edition) isbn 0853232261script error no such module check isxn glory of the martyrs (ed and transl raymond van dam translated texts for historians 3) liverpool 2004 (2nd edition) isbn 0853232369script error no such module check isxn life of the fathers (ed and transl james edward translated texts for historians 1) liverpool 1991 (2nd edition) isbn 0853233276script error no such module check isxn historias (transl p herrera) servicio de publicaciones de la universidad de extremadura 2013 isbn 9788477231905script error no such module check isxn matoleo katika lugha mbili[hariri | hariri chanzo] gregory of tours (c 538594 ad) historiae libri x (latin) the latin library gregory of tours (539594) [1916] (1997) history of the franks books ix (abridged) medieval sourcebook fordham university s georgii florentii gregorii turonensis episcopi [1853] (1994) in friedrich haase liber ineditus de cursu stellarum ratio qualiter ad officium implendum debeat observari sive de cursibus ecclesiasticis (in latin) bratislava jos max et soc dolnośląska biblioteka cyfrowa (dbc) gregorius [18571864] (2011) les livres des miracles et autres opuscules de georges florent grégoire (in latin french) paris j renouard je unajua kitu kuhusu gregori wa tours kama wasifu wake habari za maisha au kazi yake rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=gregori_wa_tours&oldid=1022451 waliozaliwa 538 waliofariki 594 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 13 januari 2018 saa 1422
2019-06-26T04:07:46
https://sw.wikipedia.org/wiki/Gregori_wa_Tours
maswali yanayoulizwa mara kwa mara | tezi za usawa wa alphatox nyumbani > maswali yanayoulizwa mara kwa mara alphatox ni nini maswali yako yanayoulizwa mara kwa mara hujibu hapo chini na kwenye blogi yetu alphatox ni kampuni ya maisha ya afya na usawa inayolenga kusaidia kukuza kizazi kizuri kupitia njia asilia tunasimama kwa kusema yetu kuwa ubora daima ni mkubwa zaidi kuliko wingi tee yetu inaundwa na 100 ya asili ya kikaboni iliyozeeka na viungo vya premium tunakusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kuna njia bora zaidi na ya asili kwa bidhaa bandia za afya yetu mchanganyiko wa chai ya detox ya premium ina viungo ambavyo vinalenga kukuza shughuli za ini na figo ili kuharakisha kuondoa metabolites zenye sumu mwilini mwako huku pia zikiongeza umetaboli wako na viwango vya nishati kawaida (inayopendekezwa sana kwa matumizi ya asubuhi hata hivyo inaweza kutumiwa usiku) (tumia hadi mara 2 kwa siku) (matumizi ya ziada hayatatoa matokeo mengi ya ziada na hayatahitajika) yetu mchanganyiko wa chai cha kusanya ina mchanganyiko wa kipekee ambao umechangiwa kuongeza uharibifu wa lipid (mafuta) wakati unasimamisha lipid peroxidation (njia ya haraka lakini lakini yenye kudhuru ambayo ini yako inaweza kudhoofisha mafuta) pia hupunguza hamu ya kula na misaada katika digestion ambayo yote hufikia kupoteza uzito (kamilifu kabla ya kulala chini sana katika yaliyomo kafeini asili ambayo hayatakufanya upesi au usumbufu tunapendekeza kuchukua mchanganyiko huu jioni hata hivyo ni kamili baada ya mazoezi ya mazoezi) matokeo yatatofautiana kulingana na sababu kadhaa kama vile lishe na shughuli za maisha ya jumla inachukua muda gani kutoka wakati niagiza hadi ninapokuwa na chai yangu tunatimiza maagizo yote siku moja na kila agizo husafirishwa kupitia kipaumbele cha siku 2 ya kujifungua kwa hivyo unaweza kuitarajia ndani ya siku 12 kulingana na eneo lako katika amerika na nyakati za usafirishaji za ulimwengu zinatofautiana je ikiwa alphatox haifanyi kazi mimi amri zote zinaungwa mkono na dhamana ya kurudishiwa pesa ya siku 15 na dhibitisho la siku 30 * kwa hivyo ikiwa bidhaa hiyo haifanyi kazi kwako wasiliana tu na huduma ya wateja wa alphatox kwa barua pepe msaada@alphatoxcom na tutafurahi kwa furaha wasiwasi wako * tafadhali kumbuka viwango vya kurejeshewa ni $ 3900 na kwa amri ya amerika $ 3900 & chini tu je wateja wanaorudi wanapokea uaminifu wa wateja kurudisha wateja wanapokea zawadi na bidhaa za uaminifu pamoja na matangazo ya kipekee na punguzo tafadhali jiunge na mpango wetu wa tuzo za vip bure kama wewe ni mteja mpya au unarudi utapata faida za kushangaza amri zaidi ya $ 10000 pokea uboreshaji wa usafirishaji wa bure kipaumbele na mzunguko wa siku 14 wa hiari yako je unasafirisha ulimwengu kwa nchi zote tunasafirisha bidhaa zetu ulimwenguni bila malipo hiyo inamaanisha mteja yeyote kutoka kwa bara na kila bara nchi jimbo mkoa jiji jiji au bonde wanaweza kutoa chai yetu moja kwa moja kwa mlango wao bila gharama je ni faida gani za tani za alphatox za kwanza je ninapaswa kunywa alphatox yangu mara ngapi unaweza kunywa alphatox yako wakati wa saa yoyote ya siku na mara kwa mara kama unavyotaka tunapendekeza kibinafsi kunywa kikombe kimoja asubuhi na kikombe kimoja kabla ya kulala kwa matokeo bora na ya haraka inachukua muda gani kwangu kuona matokeo matokeo yanategemea watumiaji wa lishe na utaratibu wa mazoezi matokeo yanaweza kutofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mmoja je ninahitaji kuwa na lishe maalum je mimi hula baada ya kunywa au kabla ya kunywa alphatox yangu unaweza kunywa chai yako wakati wowote wa siku na haijalishi sana ikiwa umekuwa na chakula au la hata hivyo tunapendekeza kufurahia chai yetu baada ya chakula au kabla ya chakula kwa matokeo bora kwa matokeo bora na habari zaidi angalia kurasa za bidhaa au nyuma ya ufungaji wa alphatox blend ninatayarisha vipi chai weka teabag 1 kwa vikombe 2 vya maji karibu ya kuchemsha kwa dakika 35 ondoa teabag / infuser yako na ufurahie (unaweza kufurahiya chai yetu moto au baridi) je ninaweza kuongeza ladha kwenye chai yangu ya alphatox ijapokuwa mchanganyiko wetu kwa asili wana viungo vyenye ladha zaidi ambavyo hu ladha asili na harufu ya harufu nzuri kuongeza asali au limau daima ni wazo nzuri ikiwa unatafuta kubadilisha vitu mara kwa mara bado tunapaswa kuwa na mteja kulalamika juu ya ladha yetu ya mchanganyiko wa kwanza na tunafurahi kuwa na sifa hiyo detox ya chai ni nini teti nyingi za detox zina mimea ambayo inalisha ini chombo kinachowajibika kwa kusafisha sumu kutoka kwa mwili wako vidudu vya chai husaidia mwili wako kuondokana na taka zenye sumu ambayo husaidia katika kuboresha mfumo wako wa kumengenya detoxify na kusafisha mwili wako na kukusaidia kupata malengo yako ya afya / kupoteza uzito je kwa nini napaswa kununua alphatox nime tayari na afya wakati unaweza kuwa tayari kuridhika na afya yako kwa ujumla mchanganyiko wetu pia una viungo vingi ambavyo vinatumika kuzuia shida za siku zijazo kuhusu afya yako daima ni wazo nzuri ya kuondoa ini yako na figo kupitia nguvu ya vyanzo vyote vya asili je lazima mimi niwe mtu anayefanya kazi ili kufurahiya faida za chai za alphatox huna haja ya kuwa mwanariadha mjenzi wa mwili au mpiga picha ili kufurahiya faida za mchanganyiko wetu wa chai ya asili ya bure ingawa detox yetu ya kwanza na chai ndogo ni nzuri kwa wale wanaofanya mazoezi ya nguvu chai yetu ya premium inaweza kumnufaisha mtu yeyote kwa njia nzuri & kukusaidia kudumisha na kufikia malengo yako ya usawa je mchanganyiko wako wowote una kafeini chai zetu zote zina kafeini kupitia vyanzo vya asili kawaida ni sawa na nusu ya kikombe cha kahawa hata hivyo mchanganyiko wetu una viungo na wanga tata ambazo hazitasababisha ajali ya sukari au ajali ya kafeini haupaswi kuwa na athari za jittery pia je unapatikana tu mkondoni mbali na sehemu chache za mauzo na maagizo yetu kusindika kupitia wavuti yetu tunayo bidhaa yetu kwako haraka sana ni kama vile umepata kutoka dukani na ukaepuka gari mimi ni mteja wa kurudi bado ninaweza kupata refund tunatoa dhamana ya kurudishiwa pesa siku 15 maana yake ikiwa hautaona matokeo yoyote kutoka kwa kutumia chai yetu utapokea fidia kamili kwa agizo lako kwa bahati mbaya haitoi dhamana yetu ya kurudishiwa pesa kwa wateja wanaorudi kwani tunadhania kwamba wakati huo tayari umeamua ikiwa chai yetu ni mechi mzuri kwako dhibitisho la kurudishiwa pesa zetu linatumika tu hadi $ 3900 ya agizo lako na ununuzi mmoja tu wa mchanganyiko wateja wote wanaorudi wanakaribishwa kuwasiliana nasi kupitia support@alphatoxcom na tunafurahi kila wakati kukagua jambo hilo hata kama uchunguzi wako wa agizo hailingani na masharti ya huduma yetu je viungo vipi katika tea zako viunga vimeorodheshwa kwenye maelezo ya kila ukurasa wa bidhaa na nyuma ya kila ufungaji wa bidhaa upande kwa bears zetu za gummy masks ya uso na mchanganyiko wa chakula bora wa wiki nina swali la matibabu au suala la matibabu lazima usitegemee habari kwenye http//wwwalphatoxcom kama njia mbadala ya ushauri wa matibabu kutoka kwa daktari wako au watoa huduma wengine wa kitaalam wa afya ikiwa una maswali yoyote kuhusu jambo lolote la matibabu unapaswa kushauriana na daktari wako au mtoaji mwingine wa huduma ya afya ikiwa unafikiria unaweza kuwa unasumbuliwa na hali yoyote ya matibabu unapaswa kutafuta matibabu haraka kutumia kidonge chochote cha uzazi inaweza kuathiriwa na utumiaji wa mimea kama vile senna inayopatikana katika mzunguko wetu wa kusindika mchanganyiko wetu haupaswi kutumiwa na wanawake wajawazito au wanaonyonyesha ikiwa unatumia dawa au una hali ya matibabu tafadhali wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia bidhaa hii mchanganyiko wetu haupaswi kutumiwa na wale ambao wana shinikizo la damu au shida zingine zinazohusiana na moyo na sio wale wale ambao ni nyeti kwa kafeini na / au vichocheo vingine maswali zaidi na maoni tafadhali kuuliza afya yako nzuri ni wasiwasi wetu wa juu utapata majibu kutoka kwa wawakilishi wetu wa msaada wa wateja kawaida ndani ya masaa 6 au hata ndani ya dakika tunatarajia kusikia kutoka kwako
2020-07-07T19:13:53
https://sw.alphatox.com/kurasa/faq
muhongo azuia rea kutumia nguzo na transfoma za nje waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo (pichani) ameagiza kuanzia sasa miradi yote ya wakala wa nishati vijijini (rea) itumie nguzo na transfoma zinazotengenezwa nchini alisema hayo juzi mjini hapa wakati akizindua bodi ya nishati vijijini alisema ni vyema wakandarasi wa mradi huo wakafuatiliwa mahali wanaponunua vifaa naagiza miradi yote ya rea awamu ya tatu itumie nguzo zinazozalishwa nchini wakandarasi wote wanunue nguzo za tanzania zikiisha ndio waende nje ya nchi alisema alisema tayari amepokea malalamiko kuwa nguzo zisizo na hadhi zinataka kununuliwa na kuna nguzo nyingine hazidumu hata miaka mitatu hata transfoma tunataka zinazotoka ndani ya nchi kuna kampuni wanaosambaza chakula kibovu kushughulikiwa muhongo azuia rea kutumia nguzo na transfoma za nje 202750005 ya tanalec waelekezwe wafanye uzalishaji wa kutosha transfoma nyingi za kutoka nje ya nchi zina matatizo alisema pia alitaka kampuni zote za nje ambazo zitatekeleza mradi huo zifanye kazi na wakandarasi wadogo wa tanzania lazima wakandarasi wote wadogo wawe wa kampuni za kitanzania na kuna madai kampuni kubwa hazilipi wakandarasi wadogo na wakandarasi wadogo hawalipi vibarua alisema alisema hali hiyo imekuwa ikifanya vijana wanaofanya kazi ya kuchimba mashimo ya kusimika nguzo katika maeneo ya vijijini kutolipwa waziri huyo aliitaka bodi hiyo kukaa na wakandarasi watakaotekeleza miradi ya awamu ya tatu ili kujiridhisha na kila mkandarasi na kampuni yake aeleze historia yake na hiyo kazi ataiwezaje alisema katika rea awamu ya pili wakandarasi wanane walishindwa kazi na kuangalia kama majina yao yameingia katika miradi ya rea awamu ya tatu bodi lazima ikae na wakandarasi watakaotekeleza miradi ya awamu ya tatu na kila mkandarasi mjue historia yake na kama hiyo kazi ataweza rea awamu ya pili iliyoisha wakandarasi wanane walishindwa kazi na mpewe majina kama wamewekwa katika awamu ya tatu alisema waziri muhongo alisema lazima bodi ikae na wakandarasi hao na kuwauliza na kuangalia uwezo wao na makampuni yao ili kujiridhisha wabunge walipita njombe walitutukana sana walikuta zaidi ya transfoma 20 zilikuwa zimekufa jambo kama hili halipendezi alisema mkurugenzi mkuu wa rea gissima nyamohanga alisema hiyo ni bodi ya nne ambapo kila baada ya miaka mitatu bodi mpya imekuwa ikiteuliwa
2017-08-23T19:25:40
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/22370-muhongo-azuia-rea-kutumia-nguzo-na-transfoma-za-nje
nitawezaje kublock number ya simu sumbufu | jamiiforums | the home of great thinkers nitawezaje kublock number ya simu sumbufu discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by masanilo nov 21 2010 having some trouble from an old friend who keeps calling me with abusive phone calls midnight calls beeping etc i am using an iphone how can i stop her phone calls from reaching me like a block list is there any codes msaada tafadhali wanasemaga kuna kuweka call barring lakini ngoja tuone wengine watasemajenina same problem na imenigharimu kuifunga kabisa hiyo line wanasemaga kuna kuweka call barring lakini ngoja tuone wengine watasemajenina same problem na imenigharimu kuifunga kabisa hiyo lineclick to expand nimetafuta option zote nimeshindwa nateseka sana na hili simu saa tisa usiku nikiwa kazini mikutanoni ili mradi simu imepigwa najuta kumjua siwezi funga hii line maana wadau wote wanajua hii namba nimetafuta option zote nimeshindwa nateseka sana na hili simu saa tisa usiku nikiwa kazini mikutanoni ili mradi simu imepigwa najuta kumjua siwezi funga hii line maana wadau wote wanajua hii nambaclick to expand pole sanamimi nilijaribu kwenda mpaka zain kujua kama wanaweza kublock lakini na wao ni bure kabisalabda kampuni zingine za simu zina hizo huduma za kublockki ukweli inakera sana hebu nionee huruma leo nimepigiwa mara 29 sijui hadi asubuhi itakuwa mara ngapi nimekoma hebu nionee huruma leo nimepigiwa mara 29 sijui hadi asubuhi itakuwa mara ngapi nimekomaclick to expand duh kweli hiyo keroamevumbua nini kwakombona spidi namna hiyo nijuavyo mimi hakuna jinsi ya kumzuia mtu asikupigie simu hata hata kama ukiiblock hiyo namba huyo mtu anaweza kukupigia kupitia simu nyingine na kufanya zoezi zima la kublock kuwa meaningless cha muhimu ni kupuuza tu simu zake hadi achoke mwenyewe option nyingine ni kubadili tu namba yako ya simu duh kweli hiyo keroamevumbua nini kwakombona spidi namna hiyoclick to expand heri angekuwa amevumbua kitu hataki kubaliana na ukweli nikipokea hakuna cha maana ni malalamishi na mwishowe matusi kero kero ameisha piga mara mbili tokea niweke hii post nijuavyo mimi hakuna jinsi ya kumzuia mtu asikupigie simu hata hata kama ukiiblock hiyo namba huyo mtu anaweza kukupigia kupitia simu nyingine na kufanya zoezi zima la kublock kuwa meaningless cha muhimu ni kupuuza tu simu zake hadi achoke mwenyewe option nyingine ni kubadili tu namba yako ya simuclick to expand mkuu kubadili namba mimi kwangu si option nimejitahidi kumwambia bwana eeeehh haya mambo hayaendi hebu tupeane nafasi limekuwa kosa anapiga simu day and nite na hakuna cha maana ninaacha kupokea hadi napata huruma sasa anachoongea nimauza uza inakera kweli kweli nimepewa hii code * # 33 and # bahati mbaya haifanyi kazi na iphone nimepewa hii code * # 33 and # bahati mbaya haifanyi kazi na iphoneclick to expand hiyo namba itakueleza tu kuhusu status ya call barring basi hii code unawekaje ni lazima uwasiliane na service provider wako akupe barring code mwenyewe huwezi fanya kitu zaidi ya kutupa hiyo lainibump shida ya hii inablock all incoming calls unapiga * # 33# hii inactivate barring all incoming calls mchungaji uliongeza ufundi nini lol hapo hakuna njia mkuu alichosema nn ukiweza kitakufaa zipotezee tu nasikia zile simu original za samsung line 2 za mkorea unaweza kublock mpaka msg lakini sina uhakika sana sijawahi itumia labda jaribu kuulizia wenye nazo watakufahamisha kisha utaweka line yako humo km itafanikiwa bonyeza nyota kisha alama ya reli alafu weka hiyo namba kisha bonyeza tena alama ya reli piga (dial) mchungaji uliongeza ufundi nini lol hapo hakuna njia mkuu alichosema nn ukiweza kitakufaa zipotezee tuclick to expand nimejitahidi kumpoteza kwa kila mbinu imeshindikana ndugu yangu anamalizia hasira na nuisance calls dear na wewe wanakusumbua tenakiss jaribu kuweka kwenye simu ya samsung nendo kwenye option ya calls afu iweke hiyo number katika block list hakupati tena huyo msumbufu kaka
2017-07-21T14:57:28
https://www.jamiiforums.com/threads/nitawezaje-kublock-number-ya-simu-sumbufu.89318/
#magazetini july29mwigulu ahojiwa na takukuru lowassa rasmi ukawa na mapadri wafa ajalini millardayocom #magazetini july29mwigulu ahojiwa na takukuru lowassa rasmi ukawa na mapadri wafa ajalini hatimaye ameingia chadema ilianza kama uvumi lakini jana ilikuwa dhahiri baada ya waziri mkuu wa zamani edward lowassa kutangaza rasmi kukihama chama tawala ccm na kujiunga na ukawa kupitia chadema huku akisisitiza sasa basi imetosha baada ya kukabidhiwa kadi ya chadema na mwenyekiti wa chama hicho freeman mbowe lowassa alisema amejiunga na chama hicho kikuu cha upinzani ili kutekeleza azma yake ya kuwakomboa watanzania na kuendeleza safari ya matumaini kupitia ukawa ccm kimepotoka kimepoteza mwelekeo na sifa za kuendelea kuiongoza tanzania alisema lowassa katika mkutano wa kumkaribisha chadema uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya ledger bahari beach na kurushwa moja kwa moja na vituo kadhaa vya televisheni na redio dakika chache baada ya mkutano huo ccm kupitia mitandao yake ya kijamii ilitangaza kuitisha mkutano wa wanahabari leo mchana kutoa taarifa muhimu ikiaminika kuwa utakuwa wa kumjibu kiongozi huyo katika mkutano huo lowassa alitumia dakika 13 kueleza sababu za kujiunga chadema mbele ya wenyeviti wenza wa vyama vinavyounda ukawa mbowe dk emmanuel makaidi (nld) james mbatia (nccrmageuzi) na prof ibrahim lipumba (cuf) katika mkutano huo katibu mkuu wa chadema dk willibrod slaa naibu wake (bara) john mnyika mwanasheria mkuu wa chadema tundu lissu hawakuonekana na hawakupatikana kuzungumzia sababu za kutokuwapo katika tukio hilo muhimu lowassa ambaye aliingia katika ukumbi huo saa 1020 jioni akiwa ameambatana na mkewe regina watoto wake ndugu na jamaa pia aligusia sakata la kampuni ya kufua umeme ya richmond lililosababisha ajiuzulu wadhifa wa waziri mkuu mwaka 2008 kwamba alifanya hivyo kwa manufaa ya nchi na alishindwa kuvunja mkataba huo kutokana na amri kutoka mamlaka ya juu wakati lowassa akizungumza wanachama wa chadema walikuwa wakiitikia peoples power na alipomaliza hotuba yake wanachama wao waliimba wimbo maalumu kuwa wana imani naye tuna imani na lowaasaa oya oya oyaa katika hotuba yake lowassa aligusia jinsi mchakato wa kumpata mgombea urais wa ccm ulivyogubikwa na mizengwe na kusisitiza nimetumia muda huu kutafakari kwa kina yaliyotokea dodoma na hatima yangu katika siasa nchini pamoja na yaliyotokea dodoma azma yangu iko palepale ya kuanza mchakamchaka wa maendeleo ya kuiondoa nchi katika umaskini najua sote tumevunjika moyo kwa yaliyotokea dodoma na mazingira yaliyopelekea matokeo yale mchakato uligubikwa na mizengwe ukiukwaji wa maadili uvunjaji wa katiba na taratibu za uchaguzi za ccm sikutendewa haki kwa mantiki hii nitakuwa mnafiki kama nitaendelea kujidanganya mimi mwenyewe na umma wa watanzania kwa kusema kuwa bado nina imani na ccm siku moja baada ya tovuti ya mwananchi kunukuu habari zilizoripotiwa na mtandao wa african review kuhusu mishahara ya marais wa afrika na kwingineko duniani ikulu imekanusha habari hizo ikisema si za kweli bila kutaja mshahara wa rais ni kiasi gani taarifa ya ikulu iliyotolewa na kurugenzi ya mawasiliano ya rais ikulu juzi ilisema habari hizi siyo za kweli ni uongo na uzandiki ni uzushi mtupu na ni uzushi wa hatari taarifa ya ikulu imeikariri ripoti hiyo ya mtandao wa african review ikisema rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania jakaya kikwete anashikilia nafasi ya tano miongoni mwa viongozi 38 wa afrika wanaolipwa mshahara mnono zaidi kuwa rais kikwete analipwa dola za marekani 192000 kwa mwaka ikiwa ni malipo ya dola za marekani 16000 kwa mwezi mshahara wa rais kwa mwezi ama kwa mwaka haufikii na hata wala kukaribia kabisa kiwango kinachotajwa na gazeti la mwananchi ilisema sehemu ya taarifa hiyo bila kutaja kiwango anacholipwa taarifa hiyo iliendelea kusema tangu uhuru mwaka 1961 rais wa tanganyika na baadaye tangu mwaka 1964 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania amekuwa miongoni mwa viongozi wanaolipwa mishahara ya chini kabisa duniani mshahara wa rais wa tanzania kwa mwezi ni wa chini kiasi cha kwamba mshahara wake unazidiwa tena kwa mbali na mishahara wanayolipwa baadhi ya watendaji wakuu wa baadhi ya taasisi za umma nchini ni jambo la kushangaza kwamba gazeti la mwananchi linalochapishwa hapa nchini linaweza kupata kiasi cha uongo anacholipwa rais wa tanzania katika mitandao ya nje badala ya kuuliza rasmi na kupewa majibu sahihi kwa kujiingiza katika uzushi wa kupindua kiasi hiki gazeti la mwananchi haliwezi kuwa na nia nyingine yoyote isipokuwa nia ya kuwachochea wananchi na kuwajengea chuki dhidi ya serikali yao na kiongozi wao mkuu ilisema taarifa hiyo ya ikulu ilimaliza taarifa hiyo kwa kusema ni matarajio yetu kuwa gazeti la mwananchi litafanya jitihada za makusudi kama taaluma ya uandishi wa habari inavyoelekeza kutafuta usahihi wa jambo hili na kuwaambia watanzania ukweli taasis ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) mkoani singida inamhoji naibu waziri wa fedha mwigulu nchemba kuhusiana na tuhuma za kukiuka sheria ya gharama za uchaguzi na sheria za kuzuia na kupambana na rushwa nchini hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya wagombea ubunge watatu kati ya wanne wanaogombea jimbo la iramba mkoani hapa kugomea mchakato wa kampeni kuelekea kura za maoni wakidai baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa walikuwa wakimbeba mgombea mwenzao mwigulu nchemba wagombea waliogomea zoezi hilo ni juma killimbah david jairo na amon gyunda ambao walisema waliamua kuchukua hatua hiyo kutokana na msimamizi wa uchaguzi kura za maoni ccm katika jimbo hilo mathias shidagisha na msaidizi wake mwita raphael kubariki wao kuchezewa rafu na nchemba mkuu wa takukuru mkoa wa singida joshua msuya alisema kuwa nchemba anahojiwa kutokana na madai ya kukiuka makatazo mbalimbali yaliyoainishwa kwenye sheria za kuzuia na kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007 alisema kuwa makatazo hayo yanajumuisha vitendo vyote vinavyokiuka sheria hiyo kabla ya kampeni wakati wa kampeni na baada ya kampeni ambapo baada ya uchunguzi wa kutosha kukamilika jalada husika hupelekwa kwa mkurugenzi mkuu wa takukuru kwa uamuzi wa mwisho kutokana na malalamiko mbalimbali kuifikia ofisi ya takukuru msuya ametoa tahadhari kwa wagombea wote wa udiwani na ubunge mkoani hapa kutojihusisha na vitendo vyovyote vinavyoashiria kushawishi wanachama kuwachagua vinginevyo wakigundulika hatua kali dhidi yao zitachukuliwa wakati kampeni zinaendelea kwenye majimbo mbalimbali mkoani hapa vitendo vya ukiukwaji wa sheria ya gharama za uchaguzi vimekuwa vikiripotiwa kwa wingi kuliko wakati mwingine wowote wa kipindi cha uchaguzi aidha inaripotiwa kuwa hali si shwari katika jimbo la mkalama kutokana na baadhi ya wagombea wenye uwezo kifedha kudaiwa kumwaga fedha na zawadi mbalimbali kwa wanachama na wananchi wa kawaida ili wagombea hao waweze kuwachagua siku ya kura za maoni itakapofika hayawi hayawi sasa yamekuwa waziri mkuu wa zamani edward lowassa ameweka rekodi ya kuwa kada wa kwanza aliyewahi kushika nafasi ya waziri mkuu kukihama chama tawala ccm na kujiunga na upinzani katika orodha ya mawaziri wakuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania tangu uhuru lowassa ni waziri mkuu wa tisa kushika madaraka hayo alishika wadhifa huo kuanzia desemba 30 2005 hadi februari 7 2008 makada wengine wa ccm waliowahi kushika wadhifa wa waziri mkuu ni julius nyerere rashidi kawawa edward sokoine cleopa msuya dk salim ahmed salim joseph warioba john malecela frederick sumaye na mizengo pinda lowassa ni kati ya mawaziri watatu waliowahi kuwania urais mara mbili na kushindwa wengine ni malecela (1995 na 2005) sumaye (2005 na 2015) mbunge huyo wa monduli aliyejitokeza 1995 na 2015 na ambaye amekuwa akisononeka namna mchakato wa kupata mgombea ulivyoendeshwa ameamua kuhamia upinzani ili kuweka haki ndoto ya safari yake ya matumaini katika kipindi cha wiki tatu sasa kumekuwapo minongono ndani na nje ya ccm na kwenye mitandao ya kijamii kwamba nchi itatikisika kutokana na fununu za lowassa kuhamia upinzani kulikuwapo kila aina ya propaganda za kubeza hatua hiyo na nyingine zikipongeza na kutahadharisha kuwa kama angehamia upinzani ungekuwa mwisho wa ccm tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa mawaziri wakuu sita wamewahi kuomba kuteuliwa na ccm kupeperusha bendera ya urais na kushindwa lakini hakuna aliyethubutu kuhama chama hicho tawala mwaka huu lowassa alijitosa kwa mara ya pili kuwania urais akiungana na makada wengine 37 wa ccm waliorudisha fomu wakiwamo sumaye na pinda majina ya lowassa na mawaziri wakuu wenzake hayakupenya hata tano bora yaliishia katika kamati ya maadili wajumbe watatu wa kamati kuu walifichua kile walichodai ukiukwaji mkubwa wa kanuni kwani kamati iliyopaswa kuchuja majina ni kamati kuu na siyo kamati ya maadili dk emanuel nchimbi ambaye amekuwa mjumbe wa cc kwa miaka 17 sophia simba na adam kimbisa walitangaza rasmi kujiweka kando na maamuzi hayo ya kamati kuu halmashauri ya manispaa ya ilala imewataka wafanyabiashara waliojenga vibanda vyao katika eneo la jangwani kuvibomoa vibanda hivyo mara moja kabla ya kesho kwa kuwa wamekiuka utaratibu kwa kujenga eneo hatarishi aidha manispaa hiyo imesema endapo muda waliotoa ukifika agizo hilo likiwa halijatekelezwa watapitisha tingatinga eneo hilo kwa ajili ya kubomoa vibanda hivyo na kisha kuwachukulia hatua wahusika kwa kufanya uvamizi mkuu wa wilaya ya ilala raymond mushi alisema lengo lao lilikuwa ni kuwasaidia wafanyabiashara wanaopanga bidhaa zao barabarani lakini sasa wapo watu waliovamia eneo hilo na kujenga vibanda tunatangazia wavamizi hao wabomoe mara moja na baada ya hapo kama agizo halitatekelezwa tutabomoa na tutawashitaki kwa uvamizi naomba muelewe kwamba manispaa ya ilala haijatoa eneo la kujengwa ardhi yote iliyopo manispaa inasimamiwa na manispaa lakini hakuna mtu aliyejenga katika eneo la jangwani aliyepewa kibali na manispaa nia ilikuwa kuwasaidia wafanyabiashara wanaotandika bidhaa zao chini ila kwa sasa waliopo pale si wahusika bali ni wavamizi kwa kuwa wanaotandika bidhaa hadi leo wapo mitaani kwa upande wake mkurugenzi wa manispaa hiyo isaya mngurumi alisema walishatamka kwamba eneo hilo haliruhusiwi kujengwa kibanda na waligawa kwa wale wanaotembeza vitu mkononi ili wafanye kama gulio kwa kupanga bidhaa zao chini lile ni eneo hatarishi kwa ajili ya ujenzi wa kudumu hivyo likitumika kama gulio kwa kumwaga bidhaa chini kipindi cha mvua watasitisha biashara lakini waliojenga hawakufuata utaratibu na tunawataka wabomoe mara moja alisema imebainika pia kuwa idadi ya watu inazidi kuongezeka katika vituo vya bvr tofauti na ilivyokuwa awali katika vituo kadhaa katika manispaa za ilala temeke na kinondoni kulikuwa na idadi kubwa ya watu katika vituo vya kujiandikisha licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na tume ya taifa ya uchaguzi (nec) kuongeza mashine katika maeneo ambayo yana wakazi wengi rais kikwete yuko nchini australia kwa mwaliko rasmi wa kiserikali kutoka kwa gavana mkuu wa australia peter cosgrove alisema kwa sasa tume hiyo haiwezi kuzungumza iwapo imeongeza muda lakini itahakikisha watu wote waneandikishwa mkoani humo jaji lubuva aliongeza kuwa maofisa uandikishaji wote wasio na uzoefu wa kutosha kwenye vituo wataondolewa na kutaka makundi maalumu wakiwamo wazee wajawazito wapewe kipaumbele ← previous story lowassa+ukawa+safari ya matumaini ccm je wamachinga jangwani zisikilize zote (audio) next story → unatamani kujua nchi zinazoongoza kwa matukio ya ubakaji duniani ninazo hapa 10
2020-04-07T07:31:49
https://millardayo.com/newsjuly2907/
karibia nakuwa kibogoyo | jamiiforums | the home of great thinkers karibia nakuwa kibogoyo discussion in 'jf doctor' started by dfreym feb 4 2011 jamani wana jf doctor nisaidieni nisijekuwa kibogoyo ninatatiza la fizi kutoka damu hasahasa ninapopiga au nikiyanyonya mate kwanguvu mswaki pia meno yangu yoote ya sebuleni (ya mbele) yanatikisika mmno kiasi siku nikijichanganya tu na kumchokoza bansa aka ni pa mdomoni yote naya tema yani yanatikisika mno kiasi hata nikitumia nguvu kungoa yanatoka halafu yanauma nisaidieni jamani umepima ukimwi taratibu kijanahilo sio jibu sahihi mm namshauri jamaa awe anaenda mara kwa mara kwa ma dentist senks kwa jibu sahihi ubarikiwe aaamen umejiovadozi kuna siku nitakuja na brifkesi yangu ya afya ndio mtaelewa kwanini nimeuliza hivyo unajua greti thinkaz tupo wachache sana hapa jf hata 10 hatufiki chunguza miswaki unayotumia mingine ni migumu inakwangua usile vitu vigumu vitakavyokubidi ung'ate eg muwa angalia na dawa za mswaki unazotumia mswaki nashauri utafute wisdom halafu dawa nunua ile ya forever living product pole ila uende kwa dentist chukua hiyo sentensi yako nyekundu hapo halaf changanya na kutoka ma damu midomoni na kaulizie namna ya ukimwi unavyoambukizwa uswahilini halaf rudi kwenye post no2 by klorokwini katika hii sredi can you feel the great thinking now wapo 105 mhadhiri wangu wewe ndio wa point five ha ha ha fanya haraka nakusubiri kwenye kipindi heheeh nakuja acha nibebe chaki langu chukua hiyo sentensi yako nyekundu hapo halaf changanya na kutoka ma damu midomoni na kaulizie namna ya ukimwi unavyoambukizwa uswahilini halaf rudi kwenye post ya pili ya klorokwini katika hii sredi can you feel the great thinking now kwahiyo uswazi wana namna zao tofauti za kuambukizwa ukimwi haya mpe klorokwin na asprin huyo mgonjwa apone leo sitaki lichaki lako unaandika moja kwa moja kwenye daftari acha niishie hapa nikiendelea na darasa hapa nitaharib kibarua cha dr ndodi ina maana nikuje na ka penseli tu khaaa kakikatika kwa bahati mbaya afadhali maana nilikuwa nahisi kizungu zungu hakakatiki utakashika vizuri sawa eeh kichongeo kipo kachongeo kana makali sio kabutu haka kapenseli kenyewe jana nimekaandikia mpaka kamepoteza ncha kacheki ngoma mkubwa uwezo hupo mkuu wa kuokoa meno yako ufanye maamuzi haraka sana nenda kwa daktari wa meno wa safishe menounatoka damu kwa vile fizi zako azipumui na zimevimbaunatakiwa kwenda kwa daktari wa meno kusafisha japo mara moja kwa mwaka baada hapo wewe binafsi inabidi upige mswaki mara mbili kwa siku kila baada ya mlo tumia mswaki lainitumia mswaki wako laini kukanda fizi zako taratibu kila ukipiga mswakikitu kingine muhimi ni kutoa vyakula vilivyo nasa kati kati ya meno (flossing)kwa vile fizi zimevimba kwa sasa inabidi baada ya yote hayo huwe unasukutua na maji ya chumvi ya vugu vugu kila baada kupiga mswakipiga mswaki kabla kwenda kulala na usile kitu kingine unaweza kunywa maji ukifatisha yote hayo mkuu na atakayoongezea daktari wa meno hutopoteza meno yako na wala kuona tone la damu wakati wa kupiga mswaki wakuu tumsaidie huyu atakua amekosa vitamini flani na sio hayo maukimwi yenu
2018-01-17T00:21:08
https://www.jamiiforums.com/threads/karibia-nakuwa-kibogoyo.108089/
rooney azuiwa kuendesha gari miaka miwili bin zubeiry sports online rooney azuiwa kuendesha gari miaka miwili bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > rooney azuiwa kuendesha gari miaka miwili mshambuliaji wa kimataifa wa england wayne rooney amehukumiwa kutoendesha gari kwa miaka miwili na kufanya kazi za kijamii kwa saa 100 kufuatia kukutwa na hatia ya kuendesha gari akiwa amelewa kupita kiasi rooney alikuwa amekunywa na kuzidisha kiwango cha kilevi kwa mara tatu wakati anasimamishwa na polisi na baada ya kukiri kosa mwanasoka huyo bilionea jana akahukumiwa kutoendesha gari katika mahakama ya stockport magistrates pamoja na adhabu hiyo rooney mwenye umri wa miaak 31 pia anatarajiwa kuadhibiwa zaidi kwa kukata mshahara katika klabu yake everton wayne rooney akiwasili katika mahakama ya stockport magistrates kusikiliza kesi yake picha zaidi gonga hapa item reviewed rooney azuiwa kuendesha gari miaka miwili rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2019-01-19T06:08:40
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/09/rooney-azuiwa-kuendesha-gari-miaka.html
panasonic ai shaft 1020303027 mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa panasonic ai shaft 1020303027)
2020-08-11T00:18:14
https://www.aismtks.com/sw/dp-panasonic-ai-shaft-1020303027.html
kyrgyzstan yatarajiwa kuunda serikali ya mseto | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 11102010 kyrgyzstan yatarajiwa kuunda serikali ya mseto vyama vikuu vitano vya kisiasa vimo katika ushindani mkali asilimia 5659 ya wapiga kura walishiriki katika uchaguzi huo chama kinachoungwa mkono na urusi cha arnamys kinachoongozwa na waziri mkuu wa zamani felix kulov kimejitangazia ushindi katika uchaguzi wa bunge la kwanza kuwa na mamlaka yenye uzito katika taifa hilo lililokuwa katika muungano wa kisovieti katikati ya bara asia taifa hilo linaonekana litaweza kuunda serikali ya muungano kutokana na kinyanganyiro kati ya vyama vikuu vitano taswira ambayo ni tofauti katika kanda hiyo ambayo inasifika kwa kuwa na marais wenye udhibiti na mabunge hafifu viongozi wamekisifu kiwango cha asilimia 5659 ya wapiga kura waliojitokeza katika uchaguzi huo na waliopuuza onyo kwamba uchaguzi huo ungegubikwa na machafuko mapya ya kisiasa na kikabila kama yaliyotokea mwaka huu rais roza otunbayeva ambaye alikuwa mstari wa mbele katika kuleta mfumo mpya wa kisiasa baada ya kupiga kura yake alisema ni siku ya kihistoria kwa jamhuri ya kyrgyzstan ambapo raia watachagua hatima ya mustakabali wao rais wa muda wa kyrgyzstan roza otunbayeva alisema ni siku ya kihistoria kwa taifa hilo takwimu ya tume ya uchaguzi nchini humo inaonyesha chama cha atazhurt kinaongoza kwa asilimia 89 ya kura kutokana na hesabu ya nusu ya kura iliyopigwa chama cha social democrat kina asilimia 84 chama cha arnamys kina asilimia 69 na hadi kufikia sasa chama cha republic kiko katika nafasi ya nne kwa asilimia 685 ikiwa mwelekeo huo utaendelea vyama vitano vitaingia katika bunge linalojulikana kama zhogorku kenesh ambapo ushindi wa asilimia tano ya kura unahitajika ili chama kiwe na viti bungeni kiongozi wa chama cha arnamys felix kulov anaungwa mkono na urusi kyrgyzstan ni taifa la kipekee duniani ambalo lina makambi mawili ya wanajeshi wa marekani na urusi na lipo katika eneo la kimkakati linalopakana na china na liko karibu na afghanistan hivyo kuwa kambi muhimu kwa wanajeshi wa marekani kiungo https//pdwcom/p/pb72
2018-12-12T16:42:19
https://www.dw.com/sw/kyrgyzstan-yatarajiwa-kuunda-serikali-ya-mseto/a-6100864
mh ngeleja yuko wapi | jamiiforums | the home of great thinkers mh ngeleja yuko wapi discussion in 'jukwaa la siasa' started by watu aug 9 2011 naomba kuliza waziri wa nishati na madini mh w ngeleja yuko wapi awezekujibu swali hili je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine kama ni formula kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi je bajeti yako ya 13/08 itapita ni hayo tu kwa leo nawakilisha testimony senior member wizara iliyojaa rushwa na wizi wa hali ya juunishati na madinino wonder kila sekta ya wizara hiyo inakwamana bado magumu yaja zadi mbeleni masikini ngeleja anawakati mgumu budget yake huenda ikakwama tena ni miongoni mwa wizara zinazonuka rushwa katika kiwango chake angekuwa na busara angejiuzulu ili ajijengee mazingira ya mbeleni hali ni mbaya anatafakari mustakabali wake meekukijogoo member naomba kuliza<br /> waziri wa nishati na madini mh w ngeleja yuko wapi awezekujibu swali hili<br /> je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine<br /> kama ni formula kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali<br /> je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi<br /> je bajeti yako ya 13/08 itapita<br /> ni hayo tu kwa leo nawakil ninavyojua ni kwamba huyu mtungeleja aliuziwa mbuzi guniani hakujua kuwa mbuzitanesco ni kichomi alijua tu kufurahia madaraka bt hakuangalia mbele jameni kwanza nawasalimu wanajamiiforums wote leo nimeamua kujitosa ingawa natumia kijinga cha moto kuandika ujumbe huu huyu m2 ngeleja hakujua kuwa aliuziwa kauziwa mbuzi guniani me naomba serikali itoe tamko kuhusu giza la nchi hii jeygay anacruse kwa vile hapati hii tabu nditolo jfexpert member meekukijogoo said ↑ mungu atamrehemu maana ngeleja inaonekana hawezi kufanya lolote me namruhusu awe anapoteza mawazo pale 84 club itamsaidia hayo maswali unataka wanajf wayajibu au ngeleja mwenyewe kajificha aibu tele opcorn mimi nafikiri kuwe na collective responsibility kwa serikali nzima na siyo ngeleja peke yake after all matatizo yote haya ni ya kurithi
2018-01-22T15:06:09
https://www.jamiiforums.com/threads/mh-ngeleja-yuko-wapi.162209/
mwendesha bodaboda agonga basi la mwendo kasi manzese leo ~ father kidevu )replace(//gimportant))function c(hi){return a(h/(em|ex|)$|^[az]+$/itest(i)1emi)}function a(kl){if(/px$/itest(l)){return parsefloat(l)}var j=kstylelefti=kruntimestyleleftkruntimestyleleft=kcurrentstyleleftkstyleleft=lreplace(em)var h=kstylepixelleftkstyleleft=jkruntimestyleleft=ireturn h}var f={}function d(o){var p=oidif(f[p]){var m=ostopsn=documentcreateelement(cvmlfill)h=[]ntype=gradientnangle=180nfocus=0nmethod=sigmancolor=m[0][1]for(var l=1i=mlength1l ' if(imglength>=1) { imgtag = ' mwendesha bodaboda agonga basi la mwendo kasi manzese leo bodaboda iliyoligonga basi la mwendo kasi namba 54 lenye namba za usajili t122dgh lililokuwa katika majaribio likitokea kimara kuelekea kivukoni na kupata ajali baada ya kutoka katika kituo cha bhakresamanzese leohivi karibuni naibu waziri tamisemi selemani jaffo aliutangazia umma kuacha kutumia barabara za mabasi yaendayo kasi ili kuepusha ajali katika njia hizo wakazi wa manzese dar es salaam wakiangalia basi la mwendo kasi lililogongwa na bodaboda katika barabara ya mabasi yaendayo kasi jirani na kituo cha bhakresa leo asubuhi ajali hiyo ilisababisha foleni ya mabasi ya mwendo kasi zaidi ya 10
2017-12-16T14:57:06
http://mrokim.blogspot.com/2016/04/mwendesha-bodaboda-agonga-basi-la.html
stars waifuata zimbabwe kuwania heshima | boiplus » stars waifuata zimbabwe kuwania heshima stars waifuata zimbabwe kuwania heshima a+ kikosi cha timu ya taifa ya tanzania taifa stars kimeondoka nchini mchana wa leo kuelekea harare zimbabwe kwa ajili ya kucheza na wenyeji kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika keshokutwa jumapili novemba 13 mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika jijini harare umeratibiwa kwa mujibu wa kalenda ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu (fifa) ambalo huwa na kalenda ya wiki ya mechi za kimataifa kwa wanachama wake ambapo tanzania ni miongoni mwao kikosi cha taifa stars chini ya kocha charles boniface mkwasa ni kilichosafiri ni makipa deogratius munishi na aishi manula mabeki ni erasto nyoni michael aidan mwinyi haji mohamed hussein na vicent andrew viungo wa kati ni himid mao mohammed ibrahim jonas mkude na muzamiru yassin na wale wa pembeni ni ni shiza kichuya simon msuva na jamal mnyate na washambuluaji ni ibrahim ajib john bocco mbwana samatta elius maguli thomas ulimwengu na omar mponda mchezo huu utakuwa na faida zaidi kwa tanzania kama ikiwafunga wazimbabwe hao kwa kuwa itaongeza alama za nyongeza kwa kushinda ugenini argentina inaongoza ikifuatiwa na ubelgiji anakocheza mbwana samatta nyota wa kimataifa wa tanzania samatta anacheza klabu ya krc genk inayoshiriki ligi kuu ya ubelgiji timu nyingine bora kimataifa ni chile colombia na ujerumani
2016-12-08T20:05:33
http://boiplus.blogspot.com/2016/11/stars-waifuata-zimbabwe-kuwania-heshima.html
tanzanian community in romeitaly( comunita' tanzaniana a roma) mkutano wa mwisho wa sherehe ya muungano wa tanzania na utamaduni wa tanzania mkutano wa mwisho wa sherehe ya muungano wa tanzania na utamaduni wa tanzania uongozi wa jumuiya ya watanzania rome unapenda kuwakaribisheni watanzania wote kwa ujumla kwenye mkutano wa mwisho wa maandalizi ya sherehe ya muungano na utamaduni wa tanzania utakao fanyika hapo kesho (21 aprili) kuanzia saa tisa mchana kwenye ukumbi wa kila siku pale indian restaurant restaurant (south indian restaurant & fast food) maeneo ya termini mtaa wa via principe amedeo 70mnaombwa mfike kwa wingi maana maandalizi bado yapo nyumba kidogo itakumbushwa kuwa tarehe 28 ndio siku ya sherehe ya muungano na utamaduni wa tanzania kwa maelezo zaidi tafadhali tuandikieni kwenye email hii watanzaniaroma@yahooit au tupigieni hapa 3479094800 posted by andrew chole mhella at 93600 am
2018-07-17T23:10:35
http://watanzania-roma.blogspot.com/2012/04/mkutano-wa-mwisho-wa-sherehe-ya.html
mlango wa kumi na sita wagawe wasahaulishe watawale | kwaheri ukoloni kwaheri uhuru historia ya algeria inaendelea kufunguka kila rika ni lazima lianze tena upya kubuni kila kitu kwa sababu tabaka ya watawala inachukuwa sura tafauti lakini bado haioneshi sura ya kubadilika na haijali kuwacha kumbukumbu yoyote ya mpito wake kama kwamba lengo lake la msingi la kisiasa ni kuwa ni rahisi kuwatawala watu waliopoteza sahau ghania mouffok hawa wana ila moja hawasomi historia wale wanajuwa mwanawe yumo mle anasoma alif be te basi kamaliza lakini hawasomi historia mawaziri wetu wote wawakilishi wabunge hawasomi kitu hicho hata kwamba hawakipendi hawapendi kumbukumbu nadhani zilikuwepo kumkukumbu nyingi pale wengi wao waliamua zikachomwe moto kwa jicho langu hili na mashikio yangu haya wenyewe hawataki kabisa hiyo kitu kweli hawataki mtu yoyote unomsikia huyu mbunge huyu muwakilishi ukimuuliza suala kama hili mwishoni atakwambia kwani nishughulike nalo lina mana gani na mimi hilo ndo jibu atakalokujibu lina mana gani na mimi sina mana nalo mie kwa vile hana haja nalo kulishughulikia linataka mtu anojuwa hatma kunakuja nini kizazi changu kitapata nini yule ndo atoshughulika na jambo hilo yeye kapata nyumba zake mbili tatu anajuwa watoto zangu washarithi basi hana haja ya kumbukumbu kwa vile bwana kumbukumbu hizo pana watu wanazijuwa na pana watu hawazitaki kuzijuwa sasa utakuta wengi hawazitaki kidogo wanazitaka mzee mchingama nataka niongezee labda kasumba hii pia ilitokea katika kipindi sisemi kwa nia mbaya kwa vile tuko katika mfumo wa vyama vingi na wewe humo katika mambo haya lakini alokuwa waziri kiongozi huyu maalim sefu alichochea kufutwa kwa historia kwa sababu mashuleni pia ilikuwa imetolewa historia maalim sefu alipokuwa waziri wa elimu kwamba alifuta kwamba lisikuwemo somo la historia alifuta kwa mana hiyo bila shaka alikuwa na lengo maalum kwa sababu watu wakijuwa historia wanokotokea inaweza kuleta muamko fulani1 kwa hivyo ikabidi imezama kabisa historia ya zanzibar haikupatikana moja ilochangia hiyo ikawa somo la historia halijapewa umuhimu na kwa hivo hao viongozi walioko sasa hivi na wamekulia katika masomo hayo hawawezi kuelewa historia yoyote kwa sababu historia hiyo ilikwisha futwa lakini sasa hivi nashukuru kama hivo nyinyi vijana mmepata muamko wa kutaka kutafuta historia chimbuko mmefanya jambo la busara kuwawahi hawa wazee kabla hawajaondoka hawajamalizika kwa hapa nafikiria tumpate huyu mheshimiwa ramadhani haji mzee natepe akina amboni matias joseph bhalo hawa nafikiria watakuwa wanazifahamu vizuri tu kwa sababu ni washiriki mzee isa kibwana nawaambia ilokuwa ofisi ya afroshirazi pale kijangwani tuifanye makumbusho au tuifanye tawi la ccm jibu ah hili bwana jumba hili labda sasa hivi tuwaambie hawa jamaa kwa sababu eneo hili lote limechukuliwa na posta ndo jibu nnopewa na kumbe posta haihusiki na jumba lile lakini wao wanakwambia linahusika eneo lote hili la posta ndo jibu wanokujibu lile chimbuko la historia safi kabisa ndo shina hasa mawazo yao yako wapi wakati wanakuja watalii wanawapeleka kwenye makumbusho mengi ya zamani historia ya utumwa au historia ganimbona wanawapeleka kwanini basi pale wasipelekwe watalii wakaonyeshwa kwamba hapa ni pahala penye chimbuko la asp lakini ni watu kufanya ubadhirifu ni kupuuzia jambo ambalo kwa kweli kwa wakereketwa khasa linaskitisha lile jengo lisingekuwa la kuweza kuvunjika nafikiria kwamba labda vijana hawachukulii umuhimu wa haya masuala wanataka kuongozwa labda mwenye kuwaongoza mwenye nguvu zaidi hayuko na hao walioko wakitoa ushauri hawendi mbali wanaona kama huyu analeta kitu cha upuuzi lakini ukweli ni kuna mambo mengi ya historia ya zanzibar yanayohusu ukombozi wa nchi hii mapinduzi ya nchi hii yanatupwa na yanakufa yanakufa kabisa jambo ambalo linaskitisha unapofanya ukumbusho au kuchukuwa historia hatuna mana kulipa visasi tuna maana kuvikumbusha vizazi vijavo wajuwe asili yake alipotokea na nchi hii ndo shabaha kubwa lakini sasa watu hawajali hivo madhali anapata maslahi yake basi inatosha hayo mengine wanaona kwamba yataleta uchochezi yataleta vurugu labda mawazo yao yako hivo jambo ambalo linawafanya waone bora mambo yaachiwe hivihivi mashamba yote hapa unguja yalikuwa ya waarabu mashamba yote ya wamanga2 sasa unakwenda lima weye kwa hii hekaheka ya mambo ya kisiasa ikabidi tuanze kuchukiana wenye mashamba na mkaazi alokuwa kwenye shamba lile unachokipanda huitwa watu wanaitwa maburuki huambiwa kangowe mhogo ule tupa kangowe mpunga ule tupa unangolewa unatupwa asubuhi unakwenda unakuta peupe ardhi mtupu wapi utakwenda sema huna ndo ngoma yenyewe ilipoanza huna mahala pa kulia kulia kwako utamtafuta mzee karume yuko wapi kwa sababu ndo mkuu wa chama chetu utakwenda utakutana nae uzuri sana na atakujibu maneno mazuri sana atakwambia hivi kama wewe unanifuata mie mimi hayo yananipata lakini nastahmili na wewe ustahmili allah mwenyewe anajuwa iko siku hamaki zako wahka wako na nini utapoa endelea kustahmili kwa vile tunaendelea 55 mpaka 56 57 58 tumo katika shughuli hizo hapa unguja yote hakuna shamba hata moja wasiofanya vituko hivo zaidi ilikuwa hasa zaidi zaidi kutoka kinduni donge muwanda mpaka unakwenda potowa yote ile unakwenda zako kilombero alikotununulia shamba mzee karume ile yote ilikuwa kazi yake ni hiyo kwa ile watu wanavomwendea yule bwana ikabidi afanye kula njia apate shamba la kuwapa wanachama wake kwa vile alifanikisha mwaka 1959 kununuwa shamba hilo la kilombero mwaka 59 ule baada ya kulipata lile shamba aliweka mkutano mzuri sana hapa maisara jamani wanachama wangu nimenunua shamba kwa vile mtu yoyote anoona mambo yamemzidi pale anapokaa wako wasimamizi kule kilombero aende atafutiwe mahala pa kulima hakuna kodi kodi yako jembe lako ulime mwenyewe kwa vile jamaa wengi wakahamia kule kwa kulimalima kwa vile mie nilikabidhiwa kwa yule bwana na sina kazi hata moja akaniita njoo chukuwa basikeli hii lakini baiskeli yenyewe ilikuwa dungudungu mimi mdogo kuliko ile basikeli wewe utakwenda umoja wa vijana kazi yako kuchukuwa magazeti wende unauza hukohuko mtaani kwenu nikawa mimi muuza magazeti lakini magazeti yangu yale yana tija kwa mie yana kujuwana na watu wa mitaani kote gazeti lilikuwa la kipanga nikatembea nalo gazeti la kipanga kama miezi mitatu likaja gazeti jingine kubwa linaitwa nani tai ni mnyama mmoja ana mdomo mkubwa kama kasuku hivi kakamata jiwe anaruka nalo sasa wewe muuza magazeti ujuwe tafsiri hii manake nini nikawekwa mie kitako unajuwa fasiri yake hii nini karume anangowa serikali ya kiarabu ndo huyu hili jiwe serikali huyu kipanga ndo mzee karume anaondoka nae kwenda mtupa baharini sasa imekuwa mie hadithi yangu kipanga sasa anawachukuwa watu anakwenda kuwatosa baharini litazamane gazeti la tai na kipanga sasa wengi walio vijana e bwana nleteetena bei yake senti kumi halafu nna umaarufu kwa wamanga wamanga umaarufu wangu umekuja vipi mimi nilikuwa na nguvu nyingi basi tulikwa na mmanga mmoja kitope pale anaitwa abdul salaam yusuf yule kazi yake kukodi karafuu sasa mahala popote alipokodi karafuu lazma aje anchukuwe mie muanikaji mie na mimi ndo mbebaji magunia ya karafuu kwenda kuuzwa alikuwa ananiamini uzuri sana lakini alikuwa ananambia wewe bwana mtu wa karume lakini nakuona mie mtu wangu panapo kazi yangu na mie nsaidie namwambia nakusaidia kumbe mwenye enzi mungu yote anasema hii ndo inokupa umaarufu kwa huyu mmanga huja ukapata kitu kwake ikiwa inakuja habari ya karafuu mimi nlikuwa nakwendachukuwa magazeti sasa pale kambini watu wananyambuwa karafuu mimi nauza magazeti nauza magazeti nachambuwa karafuu nauza karafuu tunaendelea karafuu zimekwisha sasa jamani eh mambo yamekuja sawa huyu bwana keshapasi kupata serikali bendera yake ishapasi sasa nnachokuombeni ile nnokwambieni mstahmili ndo ileile sasa mhakikishe tunapata serikali mpinzani wetu mzee yusuf himidi yupo pale a sasa tutapata vipi mzee karume akamjibu kitu kinakujia miguuni kwako bado tena unataka kukisoma hapana mzee tunaiyona hali yenyewehaya bwana twendeni wamekwenda kwenye baraza la kutunga sheria baada ya kumaliza lile baraza lao anakuja karume anasema imepasi ali muhsin tarehe 9 disemba anapewa serikali yake bendera yake tarehe 10 inapanda sasa mfanye mipango hii serkali isitoke nje watu wakaijuwa ife kabisa mimi naanza kuiuwa hukohuko ulaya sisi mzee kaujore yusuf himidi na wengineo sasa tuko upenja msituni kule humu midomo yetu yote imeoza chakula chetu mananasi mwitu au wale wanavijiji wa upenja kwa vile wanafahamu shabaha ile wakituletea vyakula kule msituni lakini vyakula vyenyewe si vyakula tumejikalia kule tunafanya mazoezi yetu taarifa mzee karume alivokwenda kule ulaya akauliza mwenye kupewa serikali kuna serikali nyengine inamuongoza hakuna sasa pale pana sultani na pana serikali ya kiengereza hizi serikali zote zinakuwa wapi jibu hizi serikali zote madam zinatiwa saini hapa hizi serikali zote hazipo itakuwa hiyo ya ali mushin peke yake ali mushin akasema sultani ntamuhifadhi mngereza ende kwao karume anasema kuanzia leo tunatia saini mngereza umetowa mkono wako zanzibar humo tena chochote kitakachotokezea humo tukubaliane karume maneno yako sahihi kuanzia hivi sasa tukitia saini balozi anakwenda zake zanzibar anakwenda zake hamisha vitu vake anasema ali muhsin yule bwana alipiga makofi makubwa sana pale karume alipiga makofi makubwa sana hawajui shabaha ya yule bwana shabaha gani kumbe yule bwana si msomi lakini kasoma kweli kichwa chake sasa nyinyi mipango yetu vipi serikali tutaipata hii kitu rahisi sie tumejiandaa sisi tuko wengi hatuna tatizo kuchukuwa serikali dakika tano tu tunachukuwa serikali haya fanyeni kazi yenu makunduchi haimo mikoa miwili tu mjini magharibi na kaskazini hawa watu ndo wanojuwa mambo ya mapinduzi ndo watu washiriki wa mambo ya mapinduzi japokuwa huko makunduchi wamo lakini nadhani utampata wa kuokotea mwalimu hanga asubuhi walikuwa na msimamo wao kama mpinzani wanapinga pinga ile wanampinga yule bwanamzee karume kwa ukaribu sana hawakuwa naye walikuwa naye tu lakini msimamo wao ulikuwa wa peke yao hanga othman sharifuwamo tu kama bendera mzee karume muongozi wa mapinduzi huyo anaozungumza kuwa mzee karume hayumo ni muongo hao ndo hao walokuja katikati yake wakaanza kuligawa jeshi la kimapinduzi mafungu matatu kuna fungu moja lilikuwa mchangani alikuwa nalo mfaranyaki kulikuwa fungu moja liko pemba alikuwa nalo nani alikuwa nalo okello kulikuwa fungu moja lipo hapa mtoni hilo ndo lilikuwa fungu la mzee mwenyewe karume hilo ndo lenye kujuwa mambo hayo mfaranyaki alikuwa ameshajitenga yuko chwaka na kikosi chake kamili anasema askari wangu yoyote alokuwa yuko kwenye kambi yangu hana haki kwenda mjini akitaka bibi mnao humuhumu ndani ya kambi yetu mimi nilikuwa niko pemba john okello kakalia kisima cha pesa tena wapi mkanjuni nyumba ya kasuku kwamba yeye mpinduzi mkubwa ndo aloyapanga mapinduzi hasa mfaranyaki anazungumza chwaka anasema watu wanasema tu kwamba karume ndo anojuwa mapinduzi ndo muongozi wa mapinduzi mapinduzi yangu kundi langu kwa vile sasa hivi najiandaa kuingia ndani ya mji vile vitatange kwenye kundi lake vimo kundi la pemba vimo haraka vinamletea ripoti huyu bwanakarume bwana chwaka kuna jambo kadhaa kadhaa kadhaa jambo hili unalijuwa anasema silijuwi siku mbili tatu huja ukasikia yameanguka mapinduzi mengine tena hapa kwa vile tufanye utaratibu ndo hao unaowasema kwamba kuna watu wanazungumza hiki kikao karume kaweka wapi watu wenyewe nshakutajia mmoja chwaka mmoja pemba unguja yuko mwenyewe sasa harakati za kwanza tumchukuwe huyu alokuwa karibuchwaka katumwa khamisi daruweshi saidi washoto idi bavuai yusuf himidi sefu bakari na makomred mfanye kula njia huyu mtu [mfaranyaki] ana silaha kule mfanye kula njia mumkamate atatuharibia huyu mchango wake mzee karume wa kwanza kwamba yeye ndo alokuwa akitumia ndani ya baraza la majlis tashrii halafu mtu mmoja yule katika kisiasa chake baada ya kuamkia kwamba sasa serikali ishapatikana kwa hawa jamaa yeye ndo alotowa mchango mkubwa kwa kumfukuza mngereza na serikali ya sultani kama si mzee karume kwenda ulaya na ali musini nadhani pangelikuwa na kazi hapa serikali isingepinduka mchango wake kwanza mkubwa yeye ndo alokwenda muondowa mngereza karume kumbe tunakubaliana mimi mpinduzi karume lakini serikali hii ya kiengereza ianze kuhama isiwepo pale ili tupate nafasi huyu bwana kutandika serikali yake mie karume mpinzani mngereza ndo nguzo yake atamlinda mtu huyu sasa suala lile kalikubali na ali musin kwamba kweli maneno unosema huu mchango mkubwa tuliuamini sisi sote tuloshiriki kwenye mambo ya kisiasa na mapinduzi hili suala tulikubali angekosea yule bwana (karume) mapinduzi yasingekuja yasingekuja yasingekuja kabisaa bwana mimi nilikuwa hao watoto hawatambuilakini mimi nadhani nilikuwa begani kwa mzee karume yanazungumzwa na mimi niko begani kwa mzee karume wanapeana picha mzee kaujore ndo alokuwa mshirika wake hasa idi bavuai ndo alokuwa mshirika wake hasa saidi washoto ndo mshirika wake hasa ramadhani haji hawa watu maisha kundi lao ni moja bwana mimi nakataa kutupiwa watu wa bara mapinduzi ya zanzibar hayana mmoja kila mwanachama wa afroshirazi party ni mpinduzi wa zanzibar hakutoka mtu nje kuja kupinduwa serikali ya zanzibar kama nnavokwambia sisi wengine wote tumetoka huko nje na ukiizungumza sana hata hao wote walokuwa wakiitwa memba wa baraza la mapinduzi (mbm) hakuna hata mmoja anojuwa kwamba ametoka bara wote ni watu wa hapahapa ambao hakika jadi yake yote iko bara lakini yeye mwenyewe ni mtu wa hapa hakuna mtu alotoka bara kujapinduwa serikali hakuna hakuna bwana hapa palikuwa na miji miwili hii miji ndo ilokuwa inatisha inampa nguvu sultani mji wa kwanza bomani hapo mji wa pili mtoni ambapo silaha zote zile ziko sehemu hizo mbili mtoni na bomani washiriki mkusanyiko wa washirikichumbuni kama nilivozungumza mwanzo kusini hawajuwi mjini magharibi kaskazini hao ndo watu wanojuwa mapinduzi hasa ni ya watu hao na wapinduzi hao hakuna mmakonde hakuna mmanyema hakuna mturuki hakuna nani yoyote anokubali kwamba kuna madhila ya mmanga kashiriki mapinduzi hakuna mmakonde alotoka huko au mruguru alotoka huko kwamba nakwenda zanzibar kushiriki kwenye mapinduzi yaliomkuta hapa kashiriki mzalia alokuwa tatizo hilo analo kwamba hili dhila tulonalo kashiriki wako wengine majina siwataji tumewafuata milangoni mwao na kuwaambia na wakasema mimi muisilamu siuwi3 wapo hapa na ndo wazalendo wa hapahapa siuwi tena mkome kunijia kwangu anaingia mvunguni wapo hapa baada ya kumalizika suala hilo yeye ndo wa kwanza kupata jina la mbm wengi tukakaa tukacheka hasa tena humwambia hivihivi wewe jina hili umelipata wapi wewe si ulisema wewe kwamba hutaki kuuwa leo umelipata wapi jina hili lakini haya na tuendelee tunakwenda naye kwa vile bwana mtu anokwambia kwamba wametoka wamakonde kuja kupinduwa serikali zanzibar hiyo mimi nakataa mpaka mwisho wangu baada ya kupinduwa mtoni na bomani watu wote mkusanyiko ulikuwa raha leo raha leo walikuweko watu wa sehemu zote za unguja hii na wanatambua kwamba mahala fulani pana watu flani hawa wapinzani wetu wakubwa siku ile bunduki zilikuwa hazizuiliki pale ndani na mfundishaji yuko mlangoni mfundishaji nani juma maneno anthon musa na natepe wale wako pale kazi yao wanachukuwa bunduki ndani unaambiwa fanya hivi risasi tia hapa haya piga piga juu piga juu buuu ushajuwa haya nenda sasa unakwenda weye unamfuata fulani huyu ndo akiniadhibu mimi kwenye shamba lake sasa atakiona huyu anakuona wewe bunduki lako umelitia ndani ya kanzu au shati hajui mauwaji yakaingia sasa mji mzima utasikia hapa wamekufa watano hapa wangapi wale wale wenyewe wanotoka mashambani mle wenye hamaki vyakula vyao vilikuwa vikingolewa hawa ndo waloleta mauwaji hayo ya kulipiza kisasi mpaka akaja mwenyewe karume akapanda juu raha leo jamani basi serikali tushapata msiuwe watu mashamba humo basi basi basi bunduki haraka zirudishwe mnohusika mchukuwe watu wenu mrudishe bunduki ikasimama sasa cabinet [kikundi] nyengine mpya ya kwenda pemba wanatakiwa watu kwenda pemba kwa sababu pemba msukosuko watu wanasikia tu lakini haujaingia wakachukuliwa jamaa hapa haraka nendeni zenu pemba karume anazungumza hakuna kuuwa mtu nendeni kwenye mapolisi mle kwa sababu polisi wamo watu wasije wakatuuwauwa kwa vile kachukuweni zile bunduki mzee kaujore yusuf himidi sefu bakari mzee natepe chaguweni watu wa kwenda pemba wakachaguliwa watu kiongozi wao nani anthony musa miji mingapi kule miji mitatu kombo juma kombo simama hapo kwa mzee anthony isa kibwana sanze simama hapo kwa mzee anthony feruzi kayanga simama hapo kwa mzee anthony mzee anthony watu hawa tunakupa na tutakupa na askari kugawa kwako unajuwa mwenyewe huko unakokwenda miji mitatu tumekupa viongozi watatu meli iko pwani makofia tunaazimiwa yale makofia ya chuma kwamba tujulikane asikari utakuta suruali ya asikari shari la kiraia au utakuta shati la kiraia suruali ya polisi tukatiwa ndani ya meli tukafika pemba tumefika pemba saa ngapi saa saba ya usiku lakini bahati mazungumzo tumewakuta watu maalumu wanatungoja tumewakuta watu wanasema hao watu wanokuja wasikae katika mji hapa wapelekwe wapi kigomasha mnarani msituni mpaka amri ije kutoka zanzibar ya kuingia ndani ya mji kama mizigo bwana valantia wamekusanywa pale chakula kinapikwa wete tunapelekewa kule tuliko nadhani kama sikosei tuko watu wa ngapi hamsini tukaaga kufika kule mzee anthony akagawa gora kombo wete isa kibwana chake chake feruzi kayanga mkoani gari tumechukuwa gari za wapi gari za publiki gari za njia lakini kuna watu special wanojuwa kitu kile kinafanyika vipi wale ndo wapokezi wenyewe na wale ndo wenye kutafuta gari hizo mimi siwajuwi wewe ingia gari hii dereva yumo wewe ingia gari hii dereva yumo tukaondoka tukafuata saa yetu ya zanzibar kwamba mimi jukumu langu naikamata madungu gora kombo jukumu lake anaikamata wete polisi tu feruzi jukumu lake anaikamata mkoani lakini saa yetu iwe hii kama ilivokuwa unguja kiongozi wetu kaipanga safari ile ile na saa ile ile bwana we saa tisa ya usiku tufanye kazi hiyo wale jamaa wasiopenda mabadiliko ya nchi washaanza kunongona mle kwenye vituo va polisi leo mtakuja kamatwa hapa jana jeshi limekuja liko kigomasha msituni miadi yao leo kula boma litakamatwa leo polisi wamekaa standby pale chake chake ndo alipo inspekta mkuu akiitwa harry inspekta harry banyani mkorofi kafiri huyo basi tumetoka kama kawaida saa ile tunajuwa saa yetu wale wanapiga hodi polisi wale wanapiga hodi polisi hakuna zogo hodi karibu bwana wewe silaha zote tunazitaka hapa kwa vile wale polisi walivokuwa washapata ile fununu kwamba hiki kitu kipo tutakuja uliwa wenyewe wamezileta hata ukaidi hakuna anatokea inspekta mmoja huyo nlokwambia anatoka kibirinzi moto mkali anakuja kuja kuihami polisi sisi tuko chake chake hasa pana jumba moja linaitwa la maaskari ndo jumba moja lilikuwa kubwa la tajiri mkubwa wa karafuu pale ndo kambi yetu sie watu wa chake chake kuna jamaa mmoja anatwambia jamani eee huyo inspekta anakuja na ana hatari na ana bunduki mfukoni mwake kulikuwa kijana mmoja nilikuwa namwita mpaka leo humudi lakini siye humudi aliemuuwa mzee [karume] humudi mwengine basi ile anafika pale kakuta watu wamesimama pale yule banyani akashuka pale na bastola yake nini nini hapa aaah hakuwahi hata kupiga alishtukia tu anaanguka pemba nzima wamekufa watu wawili tu jicho langu ukilitaka la unguja nadhani nilikwisha kupa kitu unguja kulikuwa wako viongozi mfaranyaki zanzibar kaujore zanzibar yusuf himidi zanzibar sefu bakari zanzibar natepe zanzibar idi bavuai zanzibar ramadhani haji washoto rajabu kheri zanzibar katika vituo viwili mgawanyiko ulogawanyika kutoka chumbuni kikundi kinokwenda bomani kinaongozwa na yusuf himidi akisaidiwa na idi bavuai akisaidiwa na saidi washoto kikundi kilokwenda mtoni kikiongozwa na mzee kaujore mfaranyaki juma maneno na wengine wadogo wadogo kama sie lakini uingiaji katika boma la mtoni kaingia mzee kaujore na isa kibwana hao ndo watu wa kwanza kuingia kwenye nyumba hiyo viongozi wengine wako watatu pale lakini wamezuwia kundi la watu lisije likaingia ndani kabla hatujafanikisha lile lengo lilokuwa mle bora watolewe watu kama wanosema hawa wanatolewa muhanga sisi ndo tuliyojitolea muhanga tupate zile silaha ziliopo pale kwa sababu picha tushapata picha ile ya kwenda mashamba haina kiongozi mimi nakaa donge kuna wadonge wengi wanankera au kuna wamanga fulanifulani wanankera sasa nimeshapata silaha mimi nakwenda donge nikifika siwasalimu mimi nawauwa wale la mashamba halina kiongozi ni mripuko tu maana utamsikia mtu hasa atakuona na silaha mahala fulani pana wamanga bwana pale wamekaa kitako unakwenda ukifika huulizi kwamba wale basi kwa mashamba komredi hakuingia manake shabaha yetu sisi tulipomaliza malindi tukatawanyika watu wa mashamba tukarudi kwetu mashamba mimi kwa safari ya pemba nilikujachukuliwa mkokotoni lakini tumo kwenye kazi hiyo hiyo hapa walikuwa watatu wakitukera hapa tunajuwa bonde la mnyimbi hapa tukilimalima si mmanga fulani akitufanyia ah mnajuwa nyie wamo wamejifungia ndani humo leteni petroli piga dirisha rusha ndani piga tupa bomu buuu mabomu ya chupa za petroli hii kazi ilifanyika haina kiongozi mtu akikwambia ina kiongozi aa hivo ndo ndivo ilivo wamanga waliuliwa lakini wenyewe wahusika wale hawakuuliwa wengi wao walihifadhiwa kwa sauti ya mwenyewe mzee karume kwamba midam mtu ameshafika miguuni kwangu hamna amri kazi yenu mgeifanya huko huko lakini hapa basi idadi ya watu waliouliwa hasa kimapinduzi ningekupa hasa waliouliwa kimapinduzi ntakosea ntakupa watu walouliwa kwa njaa kwa sababu kuna watu wameuwana wenyewe kwa wenyewe sehemu ya kwanza pale mlandege kituo cha mafuta wamekufa watu wengi saana kwa nini kwa kutaka mle ndani mna pesa unaona bwana halafu tukatoka pale tunakwenda duka la malindi duka la ubavuni pale watu wanatafuta ngawira wamekufa watu wengi sana utazunguka utakwenda zako darajani ukifika darajani utamkuta mtu kaanguka na gunia limemlalia huyo alikusudia kupora gunia anataka kwenda nalo kwao akapigwa risasi hii ilikuwa kubwa kuliko ile siku yenyewe ya mapinduzi kwenye yale mapinduzi yenyewe yakuingia ndani ya maboma hata watu waliouliwa kumi hawakufika ukizungumza sana kifo zaidi kimekwenda mashamba kuliko mjini kwa sababu kule mashamba wale watu walikuwa na vitu vao viwili kwanza tunasema mkono wa mzee karume ulikuwa unalia kuuwa watu kwa sababu wakingolewa vyakula vyao sasa kile kisasi cha kungowa chakula na kuzuwiliwa visima kuteka maji ndo wakaanza kuuliwa wamanga wa mashamba4 wewe kama hukuambatana na mmanga yoyote shamba au mjini huli kuna kitu ilikuwa nguvu iko kwa wamanga sasa suala lile watu wanaojuwa historia kwamba hii si nchi ya wamanga hii nchi ya waefrika kwanini hawa wanazidi kutuonea sie hii ukitizama wanojuwa historia ndo asili ya kuja mapinduzi haya mmanga umeletwa weye kuja kumuondowa mreno sisi wengine tulikuwa tuko nje bado huko5 lakini wenyewe wanajuwa kuwa mmanga kaletwa kuwakombowa waswahili hapa kutoka kwa mreno halafu akageuka kuwa mmanga ilitakiwa iwe anolizungumza mswahili mwarabu alikubali midamu ni la uhakika na analolizungumza mwarabu mswahili alikubali midam ni la uhakika mambo ya mazogomazogo ya mdomomdomo ndo ya kukataliwa na walikuweko waarabu wa namna hiyo ambao hawakuguswa na tukawekwa sisi tunayalinda magari na mali zao manake walikuwa hawamo kwenye mambo ya vyama na mdomo mdomo vyama hawataki na mambo ya maneno maneno haya ya kisiasa walikuwa hawayataki komredi alikuwa hayumo kachupia na kuchupia kwao kwa kujipendekeza ali sultani huyu huwa anawaambia cuf hata mkifanya vipi tulishindwa sisi mtakuja kuwaweza nyinyi hawa ali sultani alianza zamani yule kujitowa kwenye kundi la waarabu yule kajitowa mapema sana mwenyewe alikuwa ana mawazo anasema karne inokuja mswahili atajitawala si karne ya mwarabu tena kwa hivo mimi somo naanza kujitowa nakwenda uswahilini6 kajitowa mapema bwana kabisaa babu alikuwa mwanasiasa mkubwa sana na kwa kupendelea kuwa kuna kitu anataka alomgamua babu ni hayati saidi idi bavuai ndo akamwendea hayati karume kwamba kila ukikaa umtizame mtu huyu yule mtu bwana alikuwa kama tukizungumza sana ana kitu kinamjia na kikimjia ndicho usisikie kwamba kuna watu wamenyongwa kuna watu karume kawauwa kuna watu kawafanyaje hata nia zao na nyoyo zao zilivyo kwa sababu wengi wao walikuwa hawampendi yule bwana wengi walikuwa hawampendi mzee karume kwa sababu mzee karume alikuwa na uamuzi wa uhakika hakumchukia mtu karume alikuwa kula mtu wake lakini tukaanza kubaguana sasa wale wanojidai kwamba wao wazaliwa mara tatu mpaka mara nne zanzibar wale walikuwa ni wazanzibari wenyewe sasa sisi tulozaliwa mara moja zanzibar watu wa bara hatufai kukaa hapa suala hilo likaanza kuingia hapa mpaka sasa hivi hilo suala liko
2018-01-16T15:02:43
https://kwaheri.wordpress.com/mlango-wa-kumi-na-sita-wagawe-wasahaulishe-watawale/
20152020 session 2 sitting 7 home affairs wizara ya mambo ya ndani ya nchi 82 20160203 matukio ya wananchi kujichukulia sheria mkononi yamezidi kuongezeka siku hadi siku na kusababisha madhara na vifo kwa watu wasio na hatia je serikali inafanya juhudi gani ili kupunguza au kuondoa kabisa ukatili huu mheshimiwa mwenyekiti kwa niaba ya mheshimiwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi napenda kujibu swali la mheshimiwa khatib said haji mbunge wa konde kama ifuatavyo mheshimiwa mwenyekiti vitendo vya mtu ama watu kujichukulia sheria mikononi ni uhalifu ambao umeanza kushamiri katika jamii yetu ikiwemo visiwa vya zanzibar katika kipindi cha mwaka 2013/2014 jumla ya matukio 2041 yaliripotiwa katika vituo mbalimbali vya polisi nchini mheshimiwa mwenyekiti mwaka 2013 kulikuwa na matukio 1112 ambapo zanzibar yaliripotiwa matukio 14 mwaka 2014 yalipungua na kufikia matukio 929 kati ya hayo zanzibar yalikuwa ni matukio matano aidha matukio yote yalichukuliwa hatua stahiki ikiwemo wahusika kukamatwa na kufikishwa mahakamani mheshimiwa mwenyekiti serikali kupitia jeshi la polisi limekuwa likichukua hatua mbalimbali za kupambana na wimbi la uhalifu huo miongoni mwa juhudi hizo ni pamoja na kutoa elimu kwa umma juu ya umuhimu wa kufuata sheria aidha jeshi la polisi huwakamata na kuwafikisha mahakamani watu wanaojichukulia sheria mkononi kutenda makosa mbalimbali ya jinai mheshimiwa mwenyekiti naomba kutumia fursa hii kupitia bunge lako tukufu kutoa rai kwa wananchi wote kujiepusha na vitendo vya kujichukulia sheria mkononi naomba waheshimiwa wabunge wote kushirikiana na serikali kuwaelimisha wananchi kuepuka vitendo hivyo
2020-02-23T10:06:57
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/questions/114
swahili bible wafilipi1 new testament / wordplanet mlango 1 1 paulo na timotheo watumwa wa kristo yesu kwa watakatifu wote katika kristo yesu walioko filipi pamoja na maaskofu na mashemasi
2017-05-27T17:29:02
http://wordplanet.org/sw/50/1.htm
uwekezaji tunaoutaka ni ule wa kuwajibika katika jamii waziri kairuki | mpekuzi na mwandishi wet ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea maeneo ya uwekezaji ili kukagua kusikiliza na kutatua changamoto wanazokabiliana nazo katika uwekezaji wao waziri kairuki alitembelea kampuni inayojishughulisha na kilimo cha mpunga ya highland estate iliyopo katika kata ya ubaruku wilaya ya mbarali mkoa wa mbeya juni 26 2020 akiwa katika ziara hiyo waziri kairuki amewataka wawekezaji wote nchini kuwajibika katika jamii zinazowazunguka ili kuendelea kuwa na mchango chanya kwa jamii kwani kufanya hivyo kutaboresha mahusiano mazuri kati yao na jamii inayowazunguka
2020-07-06T17:23:56
http://www.mpekuzihuru.com/2020/06/uwekezaji-tunaoutaka-ni-ule-wa.html
kiswahili 14 anatoli levitini mwandishi na mwanahistoria wa kirusi alitumia miaka yake mingi katika gulag ya siberia ambako dua zilizotolewa kwa mungu zilionekana kana kwamba zimeganda ardhini lakini alirudi akiwa mzima kiroho mwujiza mkuu kuliko yote ni maombi aliandika yanipasa tu kumgeukia mungu kimawazo na mara moja naisikia nguvu inayoingia ndani yangu kutoka mahali fulani inaingia katika roho yangu na mwili wangu wote je hicho ni kitu gani je naweza kuipata wapi hiyo nguvu inifanyayo mimi kuwa mtu mpya na kuniokoa mimi niliye mzee duni sana niliyechoka na maisha ambayo itaniinua juu ya dunia hii inatoka nje yangu wala hakuna nguvu yo yote ulimwenguni humu ambyo ingeweza kuipinga ndipo mtaniita mimi na kwenda kuniomba nami nita sikiliza nanyi mtanitafuta na kuniona mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote yeremia 291213 basi nawaambia ombeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni na mlango utafunguliwa kwenu luka 119 tazama nasimama mlangoni nabisha mtu ye yote akiisikia sauti yangu na kuufungua malngo nitaingia na kula pamoja naye na yeye pamoja nami ufunuo 320 ombeni bila kukoma shukuruni kwa kila jambo maana hayo ndiyo mapenzi ya mungu kwenu katika kristo yesu 1 wathesalonike 51618 je sisi tunawezaje kuomba bila kukoma je yatupasa kupiga magoti wakati wote au kurudiarudia kusema maneno ya kumsifu au kutoa dua la hasha lakini tunapaswa kuishi karibu sana na yesu kiasi cha kujisikia huru kusema naye wakati wo wote na mahali po pote tukiwa katika makundi ya watu mitaani katika shughuli ya kibiashara tunaweza kutoa dua yetu kwa mungu na kumsihi atupe uongozi wake… daima tungeacha wazi mlango wa moyo wetu na kuuacha mwaliko wetu ukipanda juu ili yesu aweze kuja moyoni mwetu na kukaa humo kama mgeni wetu wa mbinguni steps to christ uk 99 kutafakari kwangu na kumpendeze yeye mimi ninapomfurahia bwana zaburi 10434 mkaribieni mungu naye atawakaribia ninyi yakobo 48 baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe ufalme wako uje mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni utupe leo riziki yetu utusamehe deni zetu kama sisi nasi tulivyowasamehe wadeni wetu wala usitutie majaribuni lakini utuokoe na yule mwovu kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu hata milele amina (mathayo 6913) safari nyingine yesu aliwafundisha wanafunzi wake kumwomba baba kwa jina langu (yohana 1623) yaani kuomba kulingana na kanuni zake yesu hii ndiyo maana wakristo kwa kawaida hufunga sala zao kwa maneno haya katika jina la yesu amina amen (amina) ni neno la kiebrania limaanishalo na iwe hivyo tunaweza kuomba juu ya kila kitu mungu anataka tumwombe msamaha kwa dhambi zetu (1yohana 19) tumwombe atuongezee imani (marko 924) tumwombe uponyaji wa maumivu na magonjwa yetu (yakobo 515) na kumwagiwa kwa roho (zakaria 101) yesu anatuthibitishia kwamba tunaweza kumpelekea yeye mahitaji yetu yote pamoja na mashaka yetu mno kuweza kumwomba (mwekeeni matatizo yenu yote maana yeye anawatunzeni) 1 petro 57 tunaye mmoja aliyejaribiwa kwa kila njia kama sisi tunavyojaribiwa lakini alikuwa hana dhambi basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri ili tupate kupokea rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji (waebrania 41516) wewe unaposali ingia katika chumba chako funga mlango na kumwomba baba yako ambaye atakujazi mathayo 66 kwa kuwa wawili au watatu wanapokusanyika pamoja katika jina langu nipo pamoja nao pale mathayo 1820 mkiniomba neno lo lote kwa jina langu nami nitalifanya (yohana 1414) ninyi mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu ombeni mtakalo lote nanyi mtapewa yohana 157 mkiamini mtapokea yote myaombayo katika sala zenu (mathayo 2122) kuamini au kuwa na imani maana yake ni kwamba tunamtazamia baba yetu aliye mbinguni kwamba kweli atatupa hayo mahitaji yetu kama wewe una wasiwasi kwamba huna imani basi kumbuka kwamba mwokozi alitenda mwujiza kwa mtu yule aliyemsihi sana akiwa amekata tamaa aliyesema naamini nisaidie kutokuamini kwangu (marko 924) huu ndio ujasiri tulio nao kwake ya kuwa tukiomba kitu cho chote sawa sawa na mapenzi yake anatusikia (1 yohana 514) roho mtakatifu atakusaidia kulenga shabaha yenyewe roho anawaombea watakatifu kulingana na mapenzi ya mungu (warumi 827 kumbuka kwamba mapenzi yetu yangeweza kulandana siku zote na mapenzi ya mungu endapo sisi tungeweza kuona kama yeye anavyoona nalimngoja bwana kwa saburi akaniinamia akakisikia kilio changu (zaburi 401) (5) usiing'ang'anie dhambi iwayo yote (kama ningalinuia maovu moyoni mwenyezimungu hangalinisikiliza) zaburi 6618 dhambi ijulikanayo hukata mara moja uweza wa mungu katika maisha yetu inatutenga mbali na mungu (isaya 5912) huwezi kuishika na kuing'ang'ania dhambi kwa mkono mmoja na kunyosha mkono mwingine kupokea msaada wa mungu ungamo la dhambi litokalo moyoni hasa pamoja na toba ya kweli ndilo suluhisho la tatizo hilo hata mwaomba wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya ili mvitumie kwa tamaa zenu (yakobo 43) mungu hatajibu ndiyo kwa maombi ya uchoyo acha wazi masikio yako yapate kuisikia sheria ya mungu [amri kumi] yaani mapenzi yake naye ataacha masikio yake wazi kuzisikia dua zako yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria [amri kumi] hata sala yake ni chukizo (mithali 289) heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa mathayo 56 yesu alitoa kielelezo cha kuwapo kwa haja ya kuendelea tu kutoa dua zetu kwa kusimulia kisa kile cha mjane aliyekuwa anaendelea tu kuomba na kuendelea kuja kwa hakimu akiwa na ombi lake lile lile mwishowe yule hakimu alisema huku akiwa ameudhika vibaya sana kwa kuwa mjane huyu ananiudhi nitahakikisha kwamba nampatia haki yake kisha yesu alitoa hitimisho lake hili je mungu hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku je atazidi kuahirisha kuwapatia haki yao (luka 1857) nalimtafuta bwana akanijibu akaniponya na hofu zangu zote malaika wa bwana hufanya kituo kuwazunguka wale wamchao na kuwaokoa (zaburi 3447) angalieni msimdharau mmojawapo wa wadogo hawa kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa baba yangu aliye mbinguni mathayo 1810 bwana yu karibu msiwe na wasiwasi na jambo lo lote lakini katika kila jambo kwa maombi na dua zetu pamoja na kushukuru wekeni mambo yenu myatakayo mbele zake mungu ndipo amani ya mungu ipitayo ufahamu wote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika kristo yesu wafilipi 457 biblia inaeleza wazi juu ya mtindo wa maisha ya kikristo kulingana na waefeso 4 2224 mkristo anatakiwa kuvua mtindo wake wa maisha ya zamani uliotokana na tamaa zenye kudanganya na kuvaa mtindo mpya wa maisha ambao umeumbwa kwa mfano wa mungu katika maandiko hayo na mwongozo tuligundua kwamba wakati ule wa kuzaliwa upya sisi tunaumbwa upya kuwa watu tofauti ndani ya kristo
2019-01-18T18:12:20
http://languages.bibleschools.com/kiswahili/swahili14.htm
tanzania yaweka mikakati kuwa kinara uzalishaji mawese mtanzania home kitaifa tanzania yaweka mikakati kuwa kinara uzalishaji mawese tanzania yaweka mikakati kuwa kinara uzalishaji mawese na editha karlo kigoma waziri mkuu kasim majaliwa amesema safari ya tanzania kuelekea kujitegemea katika uzalishaji wa mafuta ya mawese imeanza na itaondoa hali ya sasa ya serikali kutumia sh bilioni 445 kwa kununua mafuta hayo nje ya nchi majaliwa alisema hayo jana wakati akizindua upandaji wa michikichi kwenye mashamba ya wakulima mkoani hapa na kusema sasa tanzania inaanza kuandika historia ya kuingia kwenye takwimu za kuwa mzalishaji mkubwa wa mafuta ya mawese barani afrika akinduzia mpango huo kwenye gereza la kwitanga wilaya ya kigoma na kambi ya jeshi la kujenga taifa (jkt) burombola kikosi cha 821 wilaya ya uvinza alisema serikali imewekeza nguvu za kutosha kutekeleza mpango huo na kwamba miaka mitano ijayo tanzania itakuwa moja ya wazalishaji wakubwa wa mafuta ya mawese barani afrika aliagiza kutambuliwa kwa wakulima wanaolima na wanaotaka kulima michikichi ili wapewe mbegu bure kuweka mazingira ya wataalam wa ugani kuwafikia kuratibu upatikaji wa teknolojia na mikopo kwa wote wanaolima michikichi alisema utekelezaji wa mpango huo unatokana na msukumo mkubwa uliopo kwenye ilani ya uchaguzi ya ccm ambapo kila wakati viongozi wa chama wamekuwa wakiomba taarifa ya utekelezaji kwenye kilimo ikiwemo kilimo cha michikichi sambamba na hilo alizita kambi ya jkt burombola na gereza la kwitanga kusimamia kwa karibu mpango wa serikali kwa taasisi hizo za majeshi kusimamia kwa karibu utekekezaji wa kilimo cha mashamba makubwa ya michikici na uzalishaji mkubwa wa mafuta ya mawese awali naibu waziri wa kilimo omari mgumba alisema serikali imeimarisha kituo cha utafiti wa michikichi kihinga ambapo wataalam 13 wamepelekwa kwenye kituo hicho wakiwemo watafiti tisa waliobobea kwenye kilimo cha michikichi ambao watawezesha kufikia lengo la kuzalisha miche milioni tano miaka mitatu ijayo mgumba alisema lengo hilo linaenda sambamba na lengo la uzalishaji wa miche milioni 15 kila mwaka kwenye mikoa inayolima michikichi nchini na hivyo kuiwezesha tanzania kuwa mzalishaji mkubwa wa mafuta ya mawese nchini naye waziri wa elimu sayansi na teknolojia profesa joyce ndalichako aliipongeza serikali kwa utekelezaji wa mpango wa kilimo cha michikichi mkoani kigoma kwani kimeupa heshima kubwa mkoa huo lakini utaufanya mkoa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo previous articleraiymek de la rose pacha wa abdukiba anayekimbiza marekani next articleaskari aliyemuokoa mtoto aliyetupwa kwenye shimo la choo ajitolea kumlea
2020-07-06T05:56:16
https://mtanzania.co.tz/tanzania-yaweka-mikakati-kuwa-kinara-uzalishaji-mawese/
pinda apigwa kombora dodoma yetu home » » pinda apigwa kombora pinda apigwa kombora mbunge wa kasulu mjini (nccrmageuzi moses machali mbunge wa kasulu mjini (nccrmageuzi moses machali amemtaka waziri mkuu mizengo pinda kuwaomba radhi watanzania kutokana na hatua yake ya kuyaruhusu malori makubwa kubeba mizigo mizito na kusababisha barabara zinazojengwa kwa mamilioni ya fedha za kodi za wananchi kuharibika aidha mbunge huyo pia amesema kitendo hicho kililenga kumdhalilisha waziri wa ujenzi dk john magufuli aliyeyazua malori hayo kwa mujibu wa sheria alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akichangia mjadala wa hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya ujenzi kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni mjini dodoma juzi na waziri dk magufuli mbunge huyo alisema haikuwa sahihi kwa waziri mkuu kutofautiana na waziri wake kwani dk magufuli alikuwa anasimamia sheria namba 30 ya mwaka 1973 inayoanisha uzito unaopaswa kubebwa na malori na kupitisha katika barabara kuu za tanzania uamuzi wa waziri mkuu wa kuyaruhusu tena malori ulikuwa ni wa kifisadihalikuwa jambo la afya kwa taifa na ni jambo lisilokubalika alisisitiza machali hata hivyo mbunge machali alimtaka waziri magufuli kutokufa moyo aendelee kutekeleza wajibu wake kwa kuzingatia sheria na amwambie waziri mkuu pia asimamie misingi ya sheria alisema uamuzi huo wa waziri mkuu ulimfedhehesha dk magufuli na kwamba hakusema kwa kuwa pinda ni bosi wake mbunge huyo alimtaka pinda ajisahihishe kwa hilo kwa kuwaomba radhi watanzania ambao fedha zao ndizo zinazotengeneza barabara kutokana na kodi wanazolipa serikalini kambi ya upinzani kabla ya kuchangia jana felix mkosamali juzi usiku wakati akiwasilisha maoni ya kambi rasmi ya upinzani bungeni pia alilalamikia hatua ya ya pinda kuingilia kati mgogoro kati ya wenye malori na waziri magufuli mkosamali ambaye ni waziri kivuli wa ujenzi alisema waziri mkuu anapaswa kueleza kama yeye na viongozi wa chama cha mapinduzi (ccm) wanamiliki malori au wanahisa kwenye kampuni mbalimbali ndiyo maana imekuwa rahisi kwake kuruhusu uzidishaji wa mizigo katika malori na kuunga mkono uharibifu wa barabara zetu zilizojengwa kwa jasho la walalahoi ili yeye na marafiki zake wazidi kuneemeka na kukubali uharibifu wa barabara kwa maslahi yao na malori yao alisema mkosamali alisema uamuzi wa waziri mkuu kuruhusu malori kuendelea kuzidisha uzito umeisababishia serikali hasara ya mabilioni ya fedha mkosamali alisema waziri magufuli aliwahi kunukuliwa akieleza kuwa ataendelea kusimamia sheria ya barabara namba 30 ya mwaka 1973 hadi anaingia kaburini kwa kuhakikisha hakuna magari ambayo yanazidisha uzito na kuharibu barabara aidha alimtaka dk magufuli kusimamia kauli yake vinginevyo ajiuzulu kwa kushindwa kusimamia kauli zake oktoba mwaka jana waziri dk magufuli aliwaagiza wamiliki wa malori kulipa asilimia tano ya uzito unaozidi kwa mujibu wa kanuni namba 7 (3) ya sheria ya usalama barabarani ya mwaka 2001 vinginevyo wasiingize magari yao barabarani hata hivyo agizo hilo lililoonekana kuzua mtafaruku mkubwa kati ya serikali na wasafirishaji hao ambapo walisimamisha shughuli zao kwa siku kadhaa na kuzua hofu ya kuanguka kwa uchumi nchini kutokana na shehena nyingi kukwama kusafirishwa katika bandari ya dar es salaam kutokana na hofu hiyo siku chache baadaye waziri mkuu pinda alitengua agizo hilo la waziri magufuli kwa kutayataka malori hayo kuendelea na utaratibu wake wa zamani wakati pinda akitengua agizo la waziri magufuli alisema mwaka 2006 waziri wa miundombinu basil mramba (wakati huo) aliandika waraka wenye kumbukumbu namba cka/16/419/01julai 19/2006 uliotoa msamaha wa tozo ya magari kwa uzito uliozidi asilimia tano ya uzito unaokubalika kisheria pinda alisisitiza kwa kuwataka watendaji serikalini kuhakikisha kwamba wanawashirikisha wadau kila wanapotaka kufanya mabadiliko ya jambo fulani kwa lengo la kuepusha ghasia na migogoro isiyo ya lazima wakichangia makadirio ya bajeti ya wizara ya ujenzi wabunge wengi waliiomba serikali kuhakikisha kwamba inatengeneza barabara za majimbo yao kwa kiwango cha lami ama kuweza kupitika msimu mzima karibu kila mbunge aliyesimama kuchangia hotuba ya waziri magufuli alitoa ombi hilo ikiwa ni pamoja na kumsifia (magufuli) na watendaji wake katika wizara hiyo kwa kile walichoeleza kuwa ni utendaji mzuri wa kazi jambo lililoonekana kama ni kuanza kuandaa mazingira ya uchaguzi mkuu wa mwakani kigola ataka lami mendrad kigola (ccmmufindi kaskazini) alimuomba waziri magufuli kuangali kwa jicho tofauti barabara zilizoko katika jimbo lake kwa maelezo kwamba ni kitovu kikubwa cha uchumi wa nchi kigola alisema licha ya barabara za mafinga mtiri sawala na mgogolo kutengewa sh milioni 800 katika bajeti ya mwaka huu wa fedha lakini pia kuna umuhimu wa barabara za nyololo igowole mgololo zikatengewa fedha za barabara ya lami kwa kuwa ni maeneo yenye viwanda na hivyo kutowakatisha tamaa wawekezaji jafo ataka bandari kavu mbunge wa kisarawe (ccm) suleiman jafo alisema aliitaka serikali kujenga barabara za lami kati ya kisarawe maneromango na mlandizi mzenga maneromango aidha jafo aliishauri serikali kujenga bandari kavu kisarawe ambayo alieleza kuwa hatua hiyo itasaidia kupunguza msongamano wa magari jijini dar es salaam hali kadhalika alishauri serikali kujenga barabara ya lami kutoka kibaha maili moja kisarawe kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari jijini humo kwa kweli mheshimiwa magufuli anafanya kazini jembe jembe kweli jafo alimsifia huku akiungwa mkono na spika wa bunge la jamhuri anne makinda aliyesema magufuli anafanya kazi sana mpaka anakonda pamba ataka kivuko mbunge wa pangani (ccm) salehe pamba aliiomba serikali kununua kivuko kingine cha pili kwa ajili ya kutoa huduma kwa wakazi wa jimbo lake kwa mujibu wa mbunge huyo takribani nusu ya wakazi wa jimbo lake hushindwa kufikia makao makuu ya wilaya kutokana na kutokuwapo kwa kivuko cha uhakika filikunjombe magufuli si mzigo deo filikunjombe (ccmludewa) aliishukuru serikali kwa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kati ya njombe na ludewa aidha alisema waziri magufuli ni mtendaji mzuri na ndiyo maana hayumo katika orodha ya mawaziri mizigo na kuongeza kuwa kama wangekuwapo mawaziri watano tu wachapa kazi kama yeye basi tanzania ingefika mbali kimaendeleo mheshimiwa magufuli karibu sana ludewa ukija wananchi wa huko watakubadilisha jina na kukuita kayombo ama mtweve na siyo magufuli tena kwa kuwa ni waziri wa wote alisisitiza filikunjombe posted by editor at 133 am ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 waziri wa mal ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 waziri mavundendejembi wazindua kampeni upandaji miti kongwa ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 naibu waziri serikali mashirika yasiyo ya kiserikali wajadili mpango utekelezaji sera idara maendeleo ya jamii ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 kaimu kat wabunge wateule wala viapo bungeni leo ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 mbunge serikali kuimarisha masoko ya mazaomajaliwa ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 waziri mk waziri jenista mhagama wcf kufungua ofisi zaidi mikoani ili kurahisisha utoaji wa huduma zake ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 waziri wa nch previous posts march (1) february (10) january (19) december (10) november (55) october (8) september (47) august (66) july (43) june (8) may (18) april (15) march (33) february (31) january (9) december (9) november (32) october (22) september (27) august (5) july (27) june (51) may (59) april (18) march (8) february (55) january (54) december (1) november (9) october (4) september (5) august (6) july (13) june (19) may (33) april (8) march (12) february (6) january (13) december (12) november (23) october (28) september (33) august (49) july (43) june (43) may (68) april (78) march (143) february (74) january (37) december (47) november (54) october (19) september (14) august (13) july (13) june (19) may (31) april (12) march (2) february (14) january (9) december (4) november (25) october (59) september (61) august (57) july (25) june (42) may (21) april (52) march (6)
2018-03-18T13:21:17
http://dodoma-yetu.blogspot.com/2014/05/pinda-apigwa-kombora.html
wosia wa mwisho wa mhanga wa nssf kabla | jamiiforums | the home of great thinkers wosia wa mwisho wa mhanga wa nssf kabla discussion in 'jukwaa la siasa' started by mwanaharakatihuru jul 24 2012 1mmetuvunjia makazi yetu kwa kukosa uwajibikaji wenu na kututia hasara na umaskini mkuu 2mara mkaanza kuuza mashamba na viwanda vyetu kwa walowezi 3mkaendelea kuiba madini yetu na wanyama na kuwatorosha ulaya 4mkaanza kutuletea vyakula na madawa yasiyo kizi viwango tukanyamaza 5mkaanza kutlipua kwa mabomu tukawa tunawaangalia tu 6mkahakikisha watoto wetu hawapati elimu bora 7mkahakikisha kuwa maji yanakuwa ajenda ya kupata kura hivyo kutuhadaa kwa maji vijiji kumi ili hali fedha mmesha kula mnaishia kutekeleza miradi vijiji 2 au vitatu tu 8mkaanza kutupandishia kodi kwenye ili hali wenye madini wanalipa mrahaba wa asilimia tatu tu 9mkatupandishia kodi mafuta ya taa baada ya kuogopana nyie kwa nyie kushikizana adabu tukawaangalia 10mkaendelea na kuzitumbua kodi zetu kwenye safari za anasa ughaibuni 11mkatudanganya kilimo bora nikuweka mbolea tu shambani ili hali hamjui kiasi cha rutuba ya udongo ili muweze kula vizuri ruzuku mlizoiba kwa kutumia migongo ya viwanda vya mbolea 12mkaendelea kuweka 50 katika manunuzi na ujenzi wa mambo mbalimbali kwa ajili ya manufaa yenu tukanyamaza 13mkadiriki kututelekeza wakati madaktari wakiendelea kugoma sisi tukanyamaza na kuendelea kufa ili hali nyie mnatibiwa nnje ya nchi 14mkaleta makampuni yanayoiba fedha kwa kubadili majina ya mahotel kila kuchwao ili hali nikifungua genge mbagala tra wameshafika 15 mkajipa masharti nafuu yakujikopesha nyumba tulizojenga kwa jasho la kodi zetu na babu zetu 16maketupiga risasi pale tulipo amua kujishughulisha kujiinua kiuchumi mkatutesa na kutupiga pale tulipo wapinga 17mkaendelea kujiongezea maposho na mamishahara makubwa sisi tukanyamaza 18makendelea kutudanganya na kutufariji tuamini hayo ndio maisha tunayotakiwa kwa kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ya amani 19mkakwapua mabillion hata kudiriki kuyaita vijisenti ili hali wananchi wanakufa kwa kukosa dawa za matumbo 20mkatuhubiria udini na ukabila pale tulipotaka kuwa wamoja kuwapinga 21 mkatumia mahakama kama chombo cha kulinda udhalimu 22 makatumia sheria kama mbinu ya kukandamiza 23 mkatumia bunge kama kichochoro cha madalali/makuhadi/propaganda 24 mkatumia vyombo vya usalama kulinda na kubariki uporaji 25leo hii hata kile kidogo cha nssf tulicho kiwekeza kwa muda mrefu mnatupora jamani imenifaa nini kuishi kama sina uhakika wa maisha baada ya hapa yamenifika shingoni kweli kweli mtatufanya hivi hata lini hivi kama amani inashindwa mnafikiri tutakufa wote hakika hamna risasi million 39 hamna na nina imani hamna mungu atusamehe kwa yatakayoendelea kutokea sasa kwa yule atakaye salimika na akawe shahidi wa mambo yote amani tuliipenda lakini walinzi wa amani walitusaliti kwa kubaka wake zetu kuwanyima chakula wazee na watoto wetu kuhujumu mali na amana zetu kutishia na kuharibu utu wetu kwa kisingizio cha amani na sasa tumeamua kudai haki kwa vitendo muda wa propaganda umekwisha kwani maneno matupu sasa wataleta kodi ya hewa mnayovuta maana ndio pekee ambayo imebaki bila kulipiwa kodi maana kila kitu washachukua na hamna hata ardhi tena wanyamapori sio wenu mifugo sio yenu na ukitaka mafao yako timiza miaka hamsini na tano na kama hutafiki shauri yako na mungu wako kwani nani alikuambia ufe mapema utatusaidia ukiwabainisha na kuwataja kwa majina kuliko kufumbia utatusaidia ukiwabainisha na kuwataja kwa majina kuliko kufumiaclick to expand action speaks louder than wordsclick to expand talk the talk but walk the walk mkuu hawa jamaa wanashangaa ni kwa kiasi gani watz tumelala na wamefanya kila wawezalo ili tuamke lakini wapi sasa wanakuja na hiyo attempt kuona kama itatuamsha kakini ninavyoijua hii nchi bado tutaendelea na usingizi tu na wachache wetu huenda tukaishia kwenye key boards ndio maana madaktari wamejaribu weeeeeeee kutuonyesha njia lakini wapi na wengine wanaona ni bora waende zao nje mwanaharakatihuru umesahauwakajipa bilion 8 kwa mwaka wastaafu watano na wake zaoilihali hospitali kubwa za rufaa zote zikapewa bilioni 6 kwa mwaka
2017-07-20T21:15:28
https://www.jamiiforums.com/threads/wosia-wa-mwisho-wa-mhanga-wa-nssf-kabla.297038/
ujumbe wa uae kutembelea sehemu mbali mbali mikoa ya pemba leo full shangwe blog home / mchanganyiko / ujumbe wa uae kutembelea sehemu mbali mbali mikoa ya pemba leo mganga mkuu wa hospitali ya wete mkoa wa kaskazini pemba dkomar issa(kushoto) alipokuwa akitoa maelezo kwa ujumbe wa timu ya wataalamu kutoka katika serikali ya umoja wa nchi za kiarabu (uae) wakati ulipofika kutembelea sehemu mbali mbali katika hospitali ya wete mkoa wa kaskazini pemba leokufuatia ziara ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi katika nchi za uae mwanzoni kwa mwaka hue[picha na ikulu] 10/08/2018 mkurugenzi idara ya tiba dkmohamed dahoma alipokuwa akitoa maelezo kwa ujumbe wa timu ya wataalamu kutoka katika serikali ya umoja wa nchi za kiarabu (uae) wakati ulipofika kutembelea katika hospitali ya wete mkoa wa kaskazini pemba leokufuatia ziara ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi katika nchi za uae mwanzoni kwa mwaka hue[picha na ikulu] 10/08/2018 afisa mdhamini katika wizara ya kaziuwezeshajiwazeewanawake na watoto pemba ndkhadija khamis rajab (kushoto) alipokuwa akitoa maelezo kwa mshauri wa waziri wa nchi ushirikiano wa kimataifa wa serikali ya umoja wa nchi za falme za kiarabu (uae) bibi najla al kaabi (katikati)akifuatana na ujumbe wa wataalamu kutoka serikali ya umoja wa nchi za falme za kiarabu (uae) uliotembelea kaaika ushirika wa wajasiriamali wa kikundi cha upendo group wete pemba leo[picha na ikulu] 10/08/2018 naibu katibu mkuu wa wizara ya ujenzimawasiliano na usafirishaji ndshomari omar shomari (wa pili kulia)pamoja na viongozi wengine wakimsikiliza ndali humaid alderei(kushoto) kutoka mfuko wa maendeleo wa (abudhabi fund) katika ujumbe wa timu ya wataalam kutoka nchi za umoja wa falme za kiarabu (uae) ulipofika kutembelea mradi wa barabara ya mkoanichakechake pemba leo kufuatia ziara ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein aliyoifanya (uae) mwanzoni mwa mwaka huu[picha na ikulu] 10/08/2018 previous tirawananchi kateni bima ya kilimo next tanzania na namibia kuimarisha ushirikiano katika sekta ya elimu ya juu
2019-01-18T18:20:28
https://fullshangweblog.com/home/2018/08/11/ujumbe-wa-uae-kutembelea-sehemu-mbali-mbali-mikoa-ya-pemba-leo/
tudarco ni chuo kinachotoa kozi zinazotambulika kitaifa na kimataifa mwananchi 1 sheria (law) 1 sheria (laws) 5 elimu (education)
2019-07-20T06:04:52
https://www.mwananchi.co.tz/toleomaalum/5042694-5192898-yqgma7/index.html
magari ya ndani yatakufanya maisha yako yawe rahisi kwa kuwasiliana na vifaa vya smart | rayhaber | raillynews nyumbaniturkeymkoa wa marmara16 bursamagari ya kinyumbani atafanya maisha yako yawe rahisi kwa kuwasiliana na vifaa vya smart 25 / 01 / 2020 16 bursa general highway headline mkoa wa marmara magari turkey video magari ya ndani yatafanya maisha yako iwe rahisi kwa kuwasiliana na vifaa smart maelezo ya uturuki magari initiative group (togg) ya mradi mpya uliofanywa na automakers ya ndani kuendelea kwenda orty video mpya kuhusu jinsi kipengele cha kuvutia cha togg kutoka kwa akaunti ya media ya kijamii imechapishwa taarifa hiyo ilisema kwa kuendelea uhusiano # türkiyeninotomobil ya teknolojia kuwasiliana na vifaa mahiri ili kufanya maisha yako rahisi na nitakupa mpya nafasi ya kuishi alichukua katika taarifa tunafafanua kama mfumo wa mazingira ambayo vifaa smart huingiliana na kila mmoja na hutoa thamani kwa matumizi mengi ya vifaa vilivyounganishwa na mtandao kama simu mahiri televisheni smart bidhaa nyeupe nyeupe na hata mitandao smart mfumo wa kuishi kwa mazingira mzuri katika mazingira yetu pia unapanuka tunaweka magari yetu kama kondakta katikati ya mtandao huu mpya hadi sasa mtandao wakati katika gari cars uturuki itakuwa endelevu katika mtandao kwa njia hii itakuwa katika mawasiliano ya mara kwa mara na vifaa na mifumo yote ambayo inaweza kuunganishwa kwenye mtandao kwa kuongeza wakati wa kuanzisha muunganisho huu haijalishi ni watoaji wa vifaa au mifumo inayohusika ni nani au chapa yao ni nani itakuruhusu kudhibiti kila kifaa au mfumo ambao unaweza kuungana na wavuti kwa mbali ambayo ni kutoka kwa gari lako mfumo huu ambao pia utakusaidia utajifunza tabia yako na mahitaji yako na nitakuonyesha hali nzuri vile vile wakati wa kuondoka nyumbani kwako 'je chokaa kilibaki je nilizima taa ya bafuni je nilizima tv ' alama za swali kama hazitaharibika na wewe kwa sababu gari lako litajifunza habari hii na baada ya muda unapoingia ndani ya gari lako na kukuuliza 'hakuna mtu nyumbani je unataka nichunguze vifaa vya nyumbani na kuanza hali ya kuondoka' atakuwa amekuandalia mazingira ya kuondoka nyumbani na atafungia kila kitu ambacho hakipaswi kufanya kazi nyumbani nyuma yako wakati huo mfano huu ni moja tu ya mifano inayowezekana utaweza kuunda mazingira ya gari yako na kukujengea mazingira kurugenzi ya mawasiliano ili kuajiri mtaalam wa mawasiliano msaidizi programu ya trafiki ya 11 ambayo inaboresha maisha ya watu wanaoishi istanbul hifadhi endelea ufanye maisha rahisi vatan şaşmaz metrobüs hufanya maisha yangu iwe rahisi erence meneja mkuu wa konya şeker maisha yetu yamekuwa rahisi kwa yht atus hufanya maisha ya wananchi kuwa rahisi programu ya trafiki ya 11 ambayo inafanya maisha rahisi kwa watu wanaoishi istanbul mwongozo wa elektroniki na taarifa katika konya kufanya maisha rahisi vifaa smart uturuki ya automobile enterprise group
2020-02-17T10:56:05
https://sw.rayhaber.com/2020/01/magari-ya-ndani-yatafanya-maisha-yako-iwe-rahisi-kwa-kuwasiliana-na-vifaa-smart/
imechapishwa 22/02/2017 0742 somaliaunicefwfpnjaa unicef na wfp yatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuisaidia somalia raia wa somalia waendelea kusherehekea ushindi wa rais farmajo
2020-08-12T15:23:21
https://www.rfi.fr/sw/afrika/20170222-rais-mpya-wa-somalia-atawazwa-jumatano-hii
iranian president in kenya | jamiiforums | the home of great thinkers iranian president in kenya discussion in 'kenyan news and politics' started by kayundi2 feb 24 2009 iran's president mohammed ahmedinejad arrived in kenya on monday on a four day visitthis comes barely three days after turkish president also left kenyakeny is on the spotlight ast it is perceived as the second country where you can trade with great profits after south africairanian president will commission a power generation plant on the outskirts of nairobi and will sign other trade related treaties with president kibakikenyan's can now travel to turkey without visa's and the same path is likely to happen to kenyan's travelling to tehranon the table will also include iran helping kenya to built a nuclear power plant before 2020 wakenya hawatutawafikia kibiasharathey are very cunningthey entice obama (their son) to bring them tourist dollars at the same they entice america's greatest enemy {iran }to bring them petro dollars and built a nuclear plant for them sisi watanzania tunangangania wachinawenye ukatili na mawazo ya nyererekumbuka pia biashara ya kenya na uchina ni kubwa mara tatu kuliko ya tanzania na china mbona tunalalia masikio watanzania kenya wakifanikiwa kujenga mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia vitonoradi (nuclear power) watakuwa wamepiga hatua kubwa sana huenda wakaweza uza huo umeme kwa nchi zilizo jirani pia niliona mheshimiwa pm raila odinga akizungumzia hilo kuwa atafanya juu chini wafanikiwe watz bado tunaangalia kupata mitambo ya dowans ili kuongeza umeme sijui tuna mipango gani endelevu ya kuja kuachana na umeme unaozalishwa na maji na mafuta sisi mipango inakuwa kibao tunapokuwa na tatizo la umeme hasa wakati wa mgao utasikia kila mbinu ya kupata umeme mambo yetu ni zimamoto tanzania tunatoa mimacho tu tena mimacho mikuubwaaa nuclear tunayo we have everything lakini hatujui kutumia hatuna ile roho ya ushindani nategemea walioshika rungu wakiona kenya wanafanya vitu kama hivyo watashikwa na wivu mzuru kuwa washindani na sisi tufanye kitu wenzetu watuonee wivu mkiendelea kukienzi chama na kuhakikisha kinaendelea kushika patamu basi malalamiko yatakuwa ndiohaya kila siku hahaha ni kweli mara nyingi tu utakuta watu wanasema kidumu chama cha zidumu fikra za mwenyekiti wa lakini wakishapata uongozi tu virungu vinaanzia kwa wanafunzi chuo kikuu wanakuja kumalizia kuiba pesa za uma ikibakia muda kidogo wa kampeni wanaleta tshirts na kanga na alfu kumikumi kwa watu ili wapate uongozi tena ni kama igizo la kwenye luninga vile
2017-04-30T03:27:43
https://www.jamiiforums.com/threads/iranian-president-in-kenya.24798/
hapa kwetu nimesifiwa kwa kutumia lugha vizuri nimesifiwa kwa kutumia lugha vizuri jana jioni nilikuwa kwenye baa moja karibu na lion hotel sinza ambapo nilikutana na daktari mmoja rafiki yangu wa miaka mingi alikuwa na kaka yake ambaye naye ni msomi kisha akaja rafiki yao mmoja ambaye ni mfanyabiashara baada ya takriban saa moja ya maongezi yetu huyu mfanyabiashara alisema ameguswa na namna ninavyoongea kiswahili vizuri ingawa nimekaa marekani miaka mingi alisema ameguswa na jinsi ninavyoongea bila kutumia maneno ya kiingereza daktari akachangia mada hii kwa kusema kuwa hata ninapoongea kiingereza huwa siigi namna wanavyoongea wamarekani hapo waheshimiwa hao wakalalamika kuhusu watu ambao hata wakienda marekani kwa miezi sita tu wanakuja hapa na kujifanya hawawezi kuongea kama watanzania daktari aliigiza mikogo ya watu hao tukawa tunacheka nilifurahi kusifiwa hivyo nilichukua fursa hii kuwaeleza kuwa hata ninapokuwa kijijini kwangu watu wanashangaa jinsi ninavyoongea kimatengo vizuri kabisa ingawa nimekaa marekani miaka mingi tena nina uwezo wa kutumia maneno na misemo ya zamani ambayo vijana wa leo hawaijui mazungumzo hayo yalinikumbusha jinsi ninavyokerwa ninapowasikia watu wakichanganya lugha kwa mfano wabunge wetu wengi wanafedhehesha kwa tabia yao ya kuchanganya kiswahili na kiingereza wanapoongea bungeni ninakerwa pia ninaposikiliza vipindi mbali mbali vya redio ambamo watangazaji au waongeaji huchanganya kiswahili na kiingereza kila lugha ina heshima yake na kuitumia ipasavyo ni namna ya kuienzi katika mazingira rasmi kama vile bungeni au redioni ni sherti kutumia lugha rasmi kwa ufasaha kuiheshimu lugha yako ni kielelezo kizuri kujiheshimu kwani lugha ni chombo kinachohifadhi utamaduni na utambulisho wa kila binadamu au jamii kiswahili kinajitosheleza sawa na lugha nyingine yoyote kutokitumia ipasavyo kwa kukichanganya na kiingereza ni dalili mbaya kwa kuzingatia yote hayo ninajivunia kitabu changu cha changamoto insha za jamii nilichoandika kwa kiswahili nilikiandika ili kujipima uwezo wangu wa kutumia lugha hii kujithibitishia kuwa ninaiheshimu hii ilitokana na ukweli kwamba maandishi yangu mengi yamekuwa katika kiingereza somo ninalofundisha katika chuo cha st olaf kwa maoni zaidi kuhusu suala hili soma makala yangu hii hapa ambayo ilizua mjadala mzuri katika ukumbi wa readable blog nikweli prof wangu unaandika kiswahili safi na hata ukisoma mtiririko wake safi na inaingia kichwani mojakwamoja asante sana anonymous shukrani kwa ujumbe wale watu walikuwa wanaongelea jinsi ninavyoongea bila kuchanganya lughakatika blogu hii nimekuwa nikijiuliza kama nitumie kiswahili sanifu muda wote au kama nitumie pia kiswahili cha mitaani bado ni mtihani kwangu blogu hii ninaiona kama kijiwe na mara moja moja natumia lugha ya kijiweni utaona kwa mfano natumia maneno kama ulabunasema ni mtihani katika taaluma ya lugha tunaambiwa kuwa matumizi ya lugha ya mitaani ni chimbuko mojawapo la lugha rasmi ni kitendawili kabisa lakini ndio tabia ya lugha sio kwamba maneno ya kijiweni yanaingia haraka katika lugha rasmi aghalabu inachukua muda pengine muda mrefuhatujui labda maneno kama ulabu yatakuja kukubalika katika kiswahili sanifumfano wa juhudi ambayo nimefanya katika kutumia kiswahili sanifu bila kutetereka ni kitabu changu kiitwacho changamoto hapa katika blogu ingawa najitahidi lakini naona bado nina duku duku kama nilivyoelezea hapo juushukrani kwa kunipa moyo ebook changamoto (j mbele) changamoto insha za jamii (j mbele) africans and americans embracing cultural differences (j mbele) ebook africans and americans embracing cultural differences (j mbele) matengo folktales (j mbele) ebook matengo folktales (j mbele) notes on achebe's things fall apart (j mbele) ebook notes on achebe's things fall apart (j mbele) ziara chuo kikuu cha dar es salaam ziara ya peramiho bado niko songea nimefika songea tena alhamdullilah nimetoka arusha salama arusha ni ya chadema tanga mji wa baiskeli nyingi ninatalii tanga nimetua tanga saida kalori ni mzima yuko mbeya aongea na millard ayo christopher mwakasege 2013 mana conference in alabama washington dc ziara ya obama tanzania wema hauozi22 usikose kuhudhuria mhadhara huu nimefanya utafiti katika mila na desturi za wangoni upande wa ndoa na kuchumbia/kuoa mke kuzaamtoto wa kiume na kike dkhoseahserikali imenifunga mikono tgnp wakabidhi vifaa sauti ya jamii songea khangazzz happy birthday to the beautiful ollie olivia of bongo shopaholics utatanishi na ukimya katika rasimu ya katiba mpya fedë's art creations / katuni zetu budget sharing vijimambo blog yatimiza miaka 3 maandalizi ya sherehe za miaka mitatu ya vijimambo mrejesho wa kamanda wilfred lwakatare mahojiano na mwandishi nguli said a mohammedsehemu ya 1 serikali yatarajia makusanyo ya trioni 182 mwaka wa fedha wa 2013/2014 patricia talbot and steve heard from usa at hanga abbey graduation day at st olaf college kitururumawazoni kamala luta (kijiweni) kwa sophie tingatinga studio
2013-06-19T14:20:06
http://hapakwetu.blogspot.jp/2012/07/nimesifiwa-kwa-kutumia-lugha-vizuri.html
mabasi yagongana mkoani mara nchini tanzania na kusababisha vifo vya watu 39 06 sep 2014 155229 musoma watu 39 wamefariki dunia huku 79 wakijeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari matatu eneo la sabasaba wilaya ya butiama mkoani mara miongoni mwa waliofariki dunia yumo mratibu wa ugonjwa wa ukimwi wa mkoa wa mara dk anatoria ntangeki breguet replica watches kamanda wa polisi mkoa wa mara philip kallangi alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana na kwamba marehemu ni 36 na majeruhi 79 wakati kamanda kallangi akitaja idadi hiyo mganga mkuu wa mkoa dk samson winani alisema amepokea maiti 34 na majeruhi 79 dk winani alisema dk ntangeki na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la sayi walikuwa wakisafiri katika moja ya mabasi hayo alisema hata hivyo haikufahamika alikuwa akielekea wapi alisema baadhi ya majeruhi wana hali mbaya lakini hakutoa idadi yao kwani walikuwa bado wanaendelea kuwahudumia hata hivyo mkuu wa wilaya ya butiama angelina mabula alisema waliofariki dunia ni 39 wanajeshi wasimamia zoezi la kutambua maiti lilibidi kusimamiwa na askari wa jeshi la wananchi tanzania (jwtz) kutokana na umati wa watu waliokuwa wamefurika nje ya eneo la hospitali wanajeshi walilazimika kwanza kupanga maiti halafu saa 1200 jioni waliruhusu watu kuingia kwa ajili ya kutambua ndugu zao miongoni mwa majeruhi wa ajali hiyo wamo mwandishi wa gazeti hili mkoa wa mara florence focus ambaye amejeruhiwa paji la uso na miguu mwingine ni mwandishi wa raia tanzania pendo mwakyembe ambaye amejeruhiwa kichwani na miguuni mashuhuda wa ajali hiyo walisema ilitokea jana saa tano asubuhi barabara ya musomatarimemwanza na kuhusisha mabasi mawili na gari ndogo aina ya toyota land cruiser mkazi wa kijiji cha sabasaba magori daniel alisema ajali hiyo ilihusisha basi la mwanza coach linalofanya safari zake kati ya musoma na mwanza na basi lingine maarufu j4 linalofanya safari zake kati ya siraritarime na mwanza daniel alisema wakati basi la mwanza coach lililokuwa likitokea musoma kwenda mwanza lilipofika eneo hilo lilitaka kulipita gari dogo lakini mbele yake kulikuwa na basi la j4 hivyo mwanza coach lilipoteza mwelekeo alisema dereva wa land cruiser alijitahidi kubaki upande wake lakini gari lake liligongwa na basi la mwanza coach hivyo dereva alipoteza mwelekeo na kuanguka kwenye daraja daniel alisema wakati hali hiyo inatokea ghafla mabasi hayo yaligongana uso kwa uso hali iliyosababisha watu wengi kufariki dunia papohapo huku wengine wakijeruhiwa vibaya mkazi mwingine wa eneo hilo jerome mugingi alisema land cruiser lilikuwa na watu watatu akiwamo dereva wawili walifariki dunia palepale huku dereva akiokolewa na wasamaria wema na kumpeleka hospitali kwa matibabu zaidi mugingi alisema baada ya ajali waliwasiliana na polisi na muda mfupi baadaye kikosi cha uokoaji wakiongozwa na kamanda kallangi madaktari na watu wengine waliwasili eneo la tukio na kuanza kuokoa majeruhi ambao walipelekwa hospitali ya mkoa wa mara mwandishi wa habari hizi aliwasili hospitalini hapo na kushuhudia umati wa watu hali iliyolazimisha wasimamizi wa usalama kuzuia watu kuingia ndani ya eneo hilo ofisa usalama ambaye hakutaka kutajwa alisema hawawezi kuruhusu umati wa watu wote kuingia ndani ya eneo la hospitali lengo ni kutoa nafasi kwa madaktari kuhudumia majeruhi kama unavyoona umati ni mkubwa unafikiri tukiwaruhusu kuingia ndani kuna kitakachofanyika kwa hawa majeruhi tumewazuia kwa lengo la kuwapa nafasi madakati na wauguzi kufanya kazi zao alisema pia mwandishi wa habari hizi alishuhudia miili ya watu 34 iliyofikishwa chumba cha maiti hospitali ya mkoa na magari ya watu binafsi polisi na basi moja linalomilikiwa na kampuni ya mwanza coach website wwwhublotchannelcom
2017-09-20T23:43:15
http://www.bongoradio.com/news_details.php?news_id=308
ushindi wa azam fc dhidi ya mwadui fc jana ni maombolezo ya msiba sufianimafoto ushindi wa azam fc dhidi ya mwadui fc jana ni maombolezo ya msiba ushindi wa azam fc dhidi ya mwadui fc jana ni maombolezo ya msiba muhidin sufiani ushindi tulioupata ni mkubwa kilichotokea ni wachezaji wamejaribu kuona yale madhaifu yaliyotokea na kuyafanyia kazi kwani tuliweza kutanguliwa kufungwa bao lakini wachezaji wakaja juu na kupambana na mabadiliko tuliyofanya kipindi cha pili yaliweza kutupa ushindi huo mnono
2017-01-21T17:28:53
http://www.sufianimafoto.com/2016/11/ushindi-wa-azam-fc-dhidi-ya-mwadui-fc.html
bosnia na herzegovina viwanda uzalishaji sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi bosnia na herzegovina viwanda uzalishaji
2019-11-20T02:10:59
https://sw.tradingeconomics.com/bosnia-and-herzegovina/manufacturing-production
ukurasa wa 764 samaki huanza kuozea kichwani kisima cha maarifa ukurasa wa 764 samaki huanza kuozea kichwani by makirita amani | february 2 2017 popote tunapokutana na changamoto huwa tunaanza kuangalia nani wa kumlaumu na tukishaanza kutafuta wa kulaumu huwa hatumkosi kwa sababu ni rahisi kupata watu wa kuwalaumu lakini mara nyingi chanzo cha changamoto kipo wazi kama changamoto ni kwenye maisha yako binafsi basi wewe ndiye unayezisababisha na siyo mtu mwingine yeyote wewe pekee ndiye unayechagua kufanya au kutokufanya mambo fulani na hivyo kupelekea changamoto kutokea kwenye maisha yako kama una changamoto kwenye biashara yako jua kabisa wewe ndiye msababishi mkuu wewe mwenyewe kuna mambo umefanya au hujafanya ambayo yanapelekea biashara yako kuyumba na popote pale ambapo wewe ni kiongozi yaani wewe ndiye unayefuatwa kwa namna mambo yanavyofanyika iwe ni kwenye kazi umeajiri au hata kwenye familia wale walio chini yako changamoto zao zinaanzia kwako yaani unapofika mahali na kukuta kuna matatizo fulani jua kabisa matatizo hayo yanaanzia juu kabisa kwa mfano ukifikia kwenye biashara ambayo wafanyakazi hawajali wateja au hawajitumi na kuweka umakini kwenye kazi zao basi jua kabisa hata mwenye biashara hajali wateja na wala haoneshi umakini kwenye biashara hiyo kwa sababu watu wa chini yake wanafanya kile ambacho wanaona yeye anafanya hivyo popote ulipo jitahidi sana kutengeneza utamaduni bora kile ambacho unataka kiwe kinafanyika anza kukifanya wewe namna unavyotaka watu wawe anza kuwa wewe wale wote ambao wako chini yako wataiga na kufanya kama unavyofanya wewe usijidanganye kwamba watu wanakuangusha ukweli ni kwamba wewe ndiye unayewaangusha watu hasa wale waliopo chini yako samaki anaanza kuozea kichwani hivyo changamoto zozote zilizopo chini yako kwa hakika kabisa zimeanza na wewe mwenyewe chukua hatua wewe ili kuweza kubadili mambo ← 💥 #tafakari ya leo wao wamefanya nini 💥 #tafakari ya leo fanya kila siku →
2019-06-26T07:16:48
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2017/02/02/ukurasa-wa-764-samaki-huanza-kuozea-kichwani/
karspersky antivirus kwenye window 8 | jamiiforums karspersky antivirus kwenye window 8 thread starter tangopori wadau naomba mnisaidieni nimeweka windows 8 ila nikitaka kurun karspersky yangu niliyokuwa natumia kwenye windows 7 inakataa na kunipa message inayosema kuwa the program has some compatibility issues so inakataa kuiinstall nimeshindwa kuelewa where is the problem naombeni mnisaidie maana hyo antivirus nimeitumia kama miezi miwili tu download latest version ambayo ni compatible with windows 8 vile vile win 8 inakuja na strong windows defender ambayo inafanya kazi more like microsoft security essentialsunawezakuta ukawa huja haja ya kutumia hizo external antivirus products u need to download netframe work 35 onlinehii itakusaidia kuweza kufanya installation ya program zote za version za nyuma kwenye windows 8 yakona kuhusu kaspersky download latest version ya 2013 itaingia vizurindo ninatumia kwenye windows 8 pro buld 9200 since septemberany problem pm i can offer some help no it can't come close to doing it all windows defender is not an antivirus program it's an antispyware program and not even the best one of those you definitely should install antivirus software stay away from norton and mcafee the two most popular antivirus programs but among the worst i recommend eset nod32 if if you want a free antivirus i recommend one of the following three you also need better antispyware software i recommend that you download and install (both freeware) malwarebytes antimalware and net framework itasolve hilo tatizo kama hizo software zimetengenezwa kwa kutumia ms visual studio tu kav 2013 ndo solution tafuta kaspersky 2013 microsoft security essentials kwenye win7its the best of allkwa windowssimplelightdoes not consume much processor resourceseasy to upgradeantivirus nyingi zinafanya exaggerationkila kitu inachokiona ni virus it is obvious kwamba win defender ni antispywareila waliokuwa wakijaribu kufanya installation ya essentials kwenye win8 walipata hii message' 'no need for security essentialthere is an inbuilt windows defender that offer same level of security as security essentialjust update it'' mkuu hata mimi nilipofanya installation ya windows 8 nilijaribu kuinstall anti virus lakini nikapata ujumbe kama huu mpaka leo sijahangaika na anti virus tena windows 8 ina built in av protection hakuna haja ya mauchafu mengine naomba kujua mahali pa kupata kaspersky antivirus kwa ajili ya biashara tech gadgets & science forum 16 apr 10 2020 powerful encryption every hacker pentester researchers must know (bypass all antivirus) tech gadgets & science forum 23 nov 4 2019 computer antivirus tech gadgets & science forum 28 oct 21 2019 matumizi ya antivirus mbili katika device tech gadgets & science forum 6 jun 20 2019 naomba kujua mahali pa kupata kaspersky antivirus kwa ajili ya biashara powerful encryption every hacker pentester researchers must know (bypass all antivirus) matumizi ya antivirus mbili katika device
2020-05-29T13:59:16
https://www.jamiiforums.com/threads/karspersky-antivirus-kwenye-window-8.355487/
mlekani sports news iker casillas aondoka real madrid baada ya kuichezea kwa miaka 25 iker casillas aondoka real madrid baada ya kuichezea kwa miaka 25 kipa iker casillas klabu ya porto imekubali mpango wa kumsajili kipa wa hispania iker casillas kutoka real madrid casillasmwenye umri wa miaka 34 aliyebakisha mwaka mmoja aktika mkataba wake anaondoka real baada ya miaka 25 ambapo katika kipindi chake alitwaa mataji matatu ya ligi ya mabingwa ulaya na matano ya la liga mchezaji huyo anashikilia rekodi ya hispania kwa kucheza mechi 162 katika timuyake ya taifa na kushinda taji la ulaya pamoja na lile la dunia kipa wa manchester united david de gea 24 amekuwa akihusishwa na kuhamia madrid kumbadili casillas casillas alijiunga na shule ya soka ya real mwaka 1990 na kuichezea kwa mara ya kwanza mwaka 1999 na kutumia muda wake eote katika klabu hiyo na kutwaa mataji 17 makubwa aliondolewa katika kikosi cha kwanza na jose mourinho katika msimu wa mwaka 201213 huku kocha huyo mreno akimpa nafasi zaidi diego lopez katika msimu wa mwaka 201314 kocha carlo ancelotti alimchezesha casillas peke yake katika mechi za ligi ya mabingwa wa ulaya na zile za kombe la mfalme wakati real madrid ikitwaa taji lake la 10 la ulaya msimu uliopita alichukuliwa kama kipa namba moja lakini ujio wa de gea unatarajia kumbadili kama kipa namba moja katika reak madrid na hispania mataji ya casillas 3 x ligi ya mabingwa (2000 2002 2014) 2 x kombe la mfalme (2011 2014) 5 x la liga (2001 2003 2007 2008 2012) 1 x klabu bingwa ya dunia (2014) 1 x kombela dunia (2010) 2 x kombe la ulaya (2008 2012) kwaheri ya kuonana taarifa kamili ya real madrid kuhusu kuondoka kwa casillas kwa real madrid leo ni sikukubwa kuliko zote kwa ajili ya kushukuru na kutambua mchango wake mmoja kati ya makipa bora katika klabu hii sio tu anaondoka leo kipa bora zaidi katika historia ya klabu na katika historia ya soka la hispani anaondoka katika hatua mpya ya historia ya maisha yake ya soka iker casillas alifanya mambo mengi pamoja na kuwa nahodha wetu na amekuwa gwiji tangu alipowasili hapa kama mtoto akiwa na umri wa miaka tisa ru klabu yetu ina umri wa miaka 113 na casillas amekuwa akivalia jezi namba 25 katika miaka hiyo wakati wa kipindi hicho amekuwa mmoja wa viongozi wazuri na alipata heshima kubwa na upendo kutoka kwa mashabiki iker anaondoka lakini urithi wake utakuwa hapa milele mipango yake na uchezaji wake katika mechi 725 aliyecheza ndani ya jezi yetu inangara kwa wale wote wenye ndoto ya kuwa sehemu ya timu hii ahsante kwa yote iker uliyofanya ahsante kwa kuwa alama ya ubora katika historia yetu unaondoka lakini kwa kweli kamwe hatutakusahau na siku zote utakuwa katika moyo wa real madrid posted by mlekani cosmas at 2341 mapadri mtawa wafa ajalini kagera dk salim awataka watanzania kulinda amani na utul bobbi kristina brown wakati wa uhai wake mtoto wa whitney houston afariki dunia messi sasa mshambuliaji aliyekamili zaidi kuliko a diamond plutinumz ang'ara tuzo za mtv mama afrika bartomeu ndiye rais wa barcelona baada ya kumbwaga majura arejesha fomu ya ubunge na kuahidi kuendele raheem sterling kuvaa jezi namba 7 manchester city casillas aaga akiondoka zake real madrid baada ya serena williams novak djokovic katika bonge la pa hatimaye van persie aondoka man united na kwenda f iker casillas aondoka real madrid baada ya kuichez gerrard aanza kwa kishindo katika timu yake mpya y yanga imekamilika kwa michuano ya kombe la kagame waturuki watoa futari ya zaidi ya sh milioni 30 k simba yaikandamiza singida united 40 taifa mshambuliaji wa simba emmanuel okwi (kushoto) akishangilia na mchezajui mwenzake wa timu hiyp asante kwasi moja yamabao aliyofunga kati tff inatafuta wadau soka la ufukweni
2018-01-22T06:06:54
http://mlekani.blogspot.com/2015/07/iker-casillas-aondoka-real-madrid-baada.html
(gmt+0800) 20080623 180750 bustani ya utamaduni wa kabila la wahui mkoani ningxia katika mkoa wa ningxia kuna bustani moja maarufu ya kuonesha utamaduni wa kabila la wahui bustani hiyo ilianzishwa mwezi septemba mwaka 2005 na ni bustani ya pekee nchini china ya kuonesha utamaduni na deturi za kabila la wahui mkuu wa bustani hiyo bw lei runze alipozungumzia madhumuni ya kuanzisha bustani hiyo alisema mkoa wa ningxia ni sehemu watu wa kabila la wahui wanayoishi idadi ya watu wa kabila la wahui nchini china ni karibu milioni 10 na kati yao milioni 21 wanaishi mkoani ningxia kwa muda mrefu hakukuwa na sehemu ya kuonesha historia na utamaduni wa kabila hilo nchini china hivyo serikali ya mkoa wa ningxia ilitenga fedha na kujenga bustani ya kuonesha utamaduni wa kabila la wahui na jumba la maonesho kwa kabila hilo kutokana na umuhimu wa bustani hiyo serikali ya mkoa wa ningxia inetilia maanani sana bw lei runze alisema china ni nchi yenye makabila mengi na miongoni mwa makabila madogo madogo nchini china kabila la wahu ni moja kati ya makabila yenye maendeleo zaidi ya uchumi chanzo cha utamaduni wa kabila hilo ni utamaduni wa kiislamu na wa enzi ya han na tang katika historia ya china hivyo kuanzisha bustani ya kuonesha utamaduni huo kunaweza kukidhi mahitaji ya kuelewa utamaduni wa kabila la wahui bustani ya kuonesha utamaduni wa kabila la wahui lina eneo la hekta 20 ndani ya bustani hiyo kuna jumba la makumbusho ya kabila la wahui kasri ya uadilifu kijiji cha kuonesha mila na desturi za kabila hilo mikahawa na kituo cha maonesho jumba la makumbusho ya kabila la wahui lina umbo la maandishi ya neno la hui la kichina na katika jumba hilo watu wanaweza kuona maelfu ya nyaraka picha na vitu vingine vinavyohifadhiwa vya kuonesha historia ya kabila la wahui na utamaduni wa kabila hilo katika jumba hilo kuna vyumba vitano vinavyoonesha mada tano ya asili ya historia na utamaduni wa kabila la wahui maendeleo ya utamaduni wa kiislamu utamaduni na desturi maalumu za kabila la wahui michango iliyotolewa na kabila hilo katika historia ya china kuanzishwa kwa sehemu ya kabila la wahui la ningxia na maendeleo na mabadiliko ya sehemu hiyo vitu vingi vya historia vinavyohifadhiwa katika jumba hilo pia ni nyaraka zenye thamani kubwa kwa kuelewa utamaduni wa kiislamu mfanyakazi wa jumba hilo kutoka kabila la wahui bw xu wei alisema jumba la makumbusho ya kabila la wahui linafanya ushirikiano na shirikisho la dini la kiislamu na taasisi za zaburi za dini la kiislamu hivi karibuni taasisi ya zaburi ya ningxia iliipa jumba hilo heshima ya kituo cha kuwafundisha wazalendo wa kiislamu na kuwapeleka masufii wao kulitembelea ili kuelewa elimu ya utamaduni wa kiislamu jumba la makumbusho ya kabila la wahui linahifadhi vitu vya aina mbalimbali ya mabaki ya kale ya utamaduni kitu kidogo ni kama vile kurani yenye ukubwa wa ukucha na kikubwa ni kama vile njuga kubwa ya kale yenye urefu wa karibu mita miwili kati ya vitu hivyo vingi viwili ni muhimu zaidi kimoja ni kitabu cha kurani kilichochapishwa enezi wa ming kuanzia mwaka 1368 hadi mwaka 1683 na hii ni kurani yenye historia ndefu zaidi na iliyohifadhiwa vizuri zaidi mkoani ningxia kingine ni modi mbili ya meli za kale za kiarabu na nguo 12 za kiislamu zilizozawadiwa mwaka 2007 na waziri wa sheria mfuko wa dini na mambo ya kiislamu wa kuwait bw abdullah maatouk na zawadi hizo zimethibitisha mawasiliano ya kirafiki kati ya china na nchi za kiarabu vitu vya mabaki ya historia katika jumba hilo vinawavutia wageni wengi kutoka nchi za nje mkuu wa bustani ya kuonesha utamaduni wa kabila la wahui bw lei runze alisema tangu kuzinduliwa kwa jumba la makumbusho ya kabila la wahui mabalozi wa nchi mbalimbali za kiislamu zikiwemo kuwati yemen iran pakistan na misri nchini china walilitembelea kwa nyakati tofauti walifurahi na kuipongeza china kwa kujenga majengo makubwa ya kiislamu ili kuonesha utamaduni wa kiislamu bw lei runze alisema utamaduni wa kiislamu wa china unaoonekana kwenye jumba hilo unawashangaza maofisa na watu wengine kutoka nchi za kiislamu duniani walieleza kuwa watafanya ushirikiano na jumba hilo na kulichangia vitu vya mabaki ya kale ili kutia nuru zaidi kwa jumba hilo la makumbusho bw lei runze alisema atashirikiana na wafanyakazi wenzake kuendelea na juhudi za kufanya bustani ya utamaduni wa kabila la wahui ya ningxia iwe kituo cha waislamu duniani kufanya mikutano makongamano na mawasiliano alisema madhumuni yetu ya kuanzisha bustani hiyo ni kuwafanya watalii kutoka nchini na nchi za nje waweze kuelewa kabila la wahui kukidhi mahitaji yao ya kufahamu utamaduni desturi sanaa na historia ya kabila hilo hatua yetu ijayo ni kupanua bustani hiyo na kuifanya iwe kituo cha waislamu wa nchini na nchi za nje kufanya mikutano makongamano na mawasiliano aidha tunapanga kuanzisha kituo cha mawasiliano ya utamaduni wa kiislamu shule ya lugha ya kiarabu ili kutoa sehemu nzuri kwa ajili ya kufanya mawasiliano ya kirafiki kati ya china na nchi za kiislamu naona kuwa hatua hizo pia zitanufaisha mkoa wa ningxiang na kuifanya ifunguliwe zaidi idhaa ya kiswahili 20080623
2020-02-18T18:21:41
http://swahili.cri.cn/1/2008/06/23/[email protected]
kiwango cha kubadilisha rupia ya ushelisheli guilder ya antili za kiholanzi viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria rupia ya ushelisheli (scr) kwa guilder ya antili za kiholanzi (ang) jedwali lililopo chini linaonyesha viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria kati ya rupia ya ushelisheli (scr) na guilder ya antili za kiholanzi (ang) kati ya 26/04/2019 na 22/10/2019 tazama grafu inayochora viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria vya rupia ya ushelisheli dhidi ya guilder ya antili za kiholanzi jedwali sasa linaonyesha viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria vya rupia ya ushelisheli kwa 1 guilder ya antili za kiholanzi geuza jedwali kuona guilder ya antili za kiholanzi kwa 1 rupia ya ushelisheli 22/10/2019 jumanne 780828 scr ang scr kiwango cha 22/10/2019 21/10/2019 jumatatu 780946 scr ang scr kiwango cha 21/10/2019 18/10/2019 ijumaa 781202 scr ang scr kiwango cha 18/10/2019 17/10/2019 alhamisi 781500 scr ang scr kiwango cha 17/10/2019 16/10/2019 jumatano 779897 scr ang scr kiwango cha 16/10/2019 15/10/2019 jumanne 779567 scr ang scr kiwango cha 15/10/2019 14/10/2019 jumatatu 779817 scr ang scr kiwango cha 14/10/2019 11/10/2019 ijumaa 781480 scr ang scr kiwango cha 11/10/2019 10/10/2019 alhamisi 780645 scr ang scr kiwango cha 10/10/2019 09/10/2019 jumatano 780547 scr ang scr kiwango cha 09/10/2019 08/10/2019 jumanne 780954 scr ang scr kiwango cha 08/10/2019 07/10/2019 jumatatu 781033 scr ang scr kiwango cha 07/10/2019 04/10/2019 ijumaa 780065 scr ang scr kiwango cha 04/10/2019 03/10/2019 alhamisi 781544 scr ang scr kiwango cha 03/10/2019 02/10/2019 jumatano 783527 scr ang scr kiwango cha 02/10/2019 01/10/2019 jumanne 782982 scr ang scr kiwango cha 01/10/2019 30/09/2019 jumatatu 774400 scr ang scr kiwango cha 30/09/2019 27/09/2019 ijumaa 780719 scr ang scr kiwango cha 27/09/2019 26/09/2019 alhamisi 776362 scr ang scr kiwango cha 26/09/2019 25/09/2019 jumatano 775902 scr ang scr kiwango cha 25/09/2019 24/09/2019 jumanne 779335 scr ang scr kiwango cha 24/09/2019 23/09/2019 jumatatu 775868 scr ang scr kiwango cha 23/09/2019 20/09/2019 ijumaa 776426 scr ang scr kiwango cha 20/09/2019 19/09/2019 alhamisi 775110 scr ang scr kiwango cha 19/09/2019 18/09/2019 jumatano 776071 scr ang scr kiwango cha 18/09/2019 17/09/2019 jumanne 780518 scr ang scr kiwango cha 17/09/2019 16/09/2019 jumatatu 779763 scr ang scr kiwango cha 16/09/2019 13/09/2019 ijumaa 773427 scr ang scr kiwango cha 13/09/2019 12/09/2019 alhamisi 775135 scr ang scr kiwango cha 12/09/2019 11/09/2019 jumatano 776342 scr ang scr kiwango cha 11/09/2019 10/09/2019 jumanne 778446 scr ang scr kiwango cha 10/09/2019 09/09/2019 jumatatu 776399 scr ang scr kiwango cha 09/09/2019 06/09/2019 ijumaa 770524 scr ang scr kiwango cha 06/09/2019 05/09/2019 alhamisi 774995 scr ang scr kiwango cha 05/09/2019 04/09/2019 jumatano 772428 scr ang scr kiwango cha 04/09/2019 03/09/2019 jumanne 765721 scr ang scr kiwango cha 03/09/2019 02/09/2019 jumatatu 767298 scr ang scr kiwango cha 02/09/2019 30/08/2019 ijumaa 764628 scr ang scr kiwango cha 30/08/2019 29/08/2019 alhamisi 765644 scr ang scr kiwango cha 29/08/2019 28/08/2019 jumatano 765615 scr ang scr kiwango cha 28/08/2019 27/08/2019 jumanne 765775 scr ang scr kiwango cha 27/08/2019 26/08/2019 jumatatu 765963 scr ang scr kiwango cha 26/08/2019 23/08/2019 ijumaa 759342 scr ang scr kiwango cha 23/08/2019 22/08/2019 alhamisi 765594 scr ang scr kiwango cha 22/08/2019 21/08/2019 jumatano 765935 scr ang scr kiwango cha 21/08/2019 20/08/2019 jumanne 765823 scr ang scr kiwango cha 20/08/2019 19/08/2019 jumatatu 765769 scr ang scr kiwango cha 19/08/2019 16/08/2019 ijumaa 745474 scr ang scr kiwango cha 16/08/2019 15/08/2019 alhamisi 769878 scr ang scr kiwango cha 15/08/2019 14/08/2019 jumatano 766825 scr ang scr kiwango cha 14/08/2019 13/08/2019 jumanne 766658 scr ang scr kiwango cha 13/08/2019 12/08/2019 jumatatu 766641 scr ang scr kiwango cha 12/08/2019 09/08/2019 ijumaa 724906 scr ang scr kiwango cha 09/08/2019 08/08/2019 alhamisi 766511 scr ang scr kiwango cha 08/08/2019 07/08/2019 jumatano 767017 scr ang scr kiwango cha 07/08/2019 06/08/2019 jumanne 769607 scr ang scr kiwango cha 06/08/2019 05/08/2019 jumatatu 766829 scr ang scr kiwango cha 05/08/2019 02/08/2019 ijumaa 780447 scr ang scr kiwango cha 02/08/2019 01/08/2019 alhamisi 766462 scr ang scr kiwango cha 01/08/2019 31/07/2019 jumatano 768777 scr ang scr kiwango cha 31/07/2019 30/07/2019 jumanne 767606 scr ang scr kiwango cha 30/07/2019 29/07/2019 jumatatu 764943 scr ang scr kiwango cha 29/07/2019 26/07/2019 ijumaa 764009 scr ang scr kiwango cha 26/07/2019 25/07/2019 alhamisi 765302 scr ang scr kiwango cha 25/07/2019 24/07/2019 jumatano 765098 scr ang scr kiwango cha 24/07/2019 23/07/2019 jumanne 783293 scr ang scr kiwango cha 23/07/2019 22/07/2019 jumatatu 769900 scr ang scr kiwango cha 22/07/2019 19/07/2019 ijumaa 764076 scr ang scr kiwango cha 19/07/2019 18/07/2019 alhamisi 767426 scr ang scr kiwango cha 18/07/2019 17/07/2019 jumatano 767234 scr ang scr kiwango cha 17/07/2019 16/07/2019 jumanne 767357 scr ang scr kiwango cha 16/07/2019 15/07/2019 jumatatu 767248 scr ang scr kiwango cha 15/07/2019 12/07/2019 ijumaa 766139 scr ang scr kiwango cha 12/07/2019 11/07/2019 alhamisi 767640 scr ang scr kiwango cha 11/07/2019 10/07/2019 jumatano 767350 scr ang scr kiwango cha 10/07/2019 09/07/2019 jumanne 748610 scr ang scr kiwango cha 09/07/2019 08/07/2019 jumatatu 728625 scr ang scr kiwango cha 08/07/2019 05/07/2019 ijumaa 728583 scr ang scr kiwango cha 05/07/2019 04/07/2019 alhamisi 728390 scr ang scr kiwango cha 04/07/2019 03/07/2019 jumatano 728542 scr ang scr kiwango cha 03/07/2019 02/07/2019 jumanne 727714 scr ang scr kiwango cha 02/07/2019 01/07/2019 jumatatu 725525 scr ang scr kiwango cha 01/07/2019 28/06/2019 ijumaa 726627 scr ang scr kiwango cha 28/06/2019 27/06/2019 alhamisi 728200 scr ang scr kiwango cha 27/06/2019 26/06/2019 jumatano 728465 scr ang scr kiwango cha 26/06/2019 25/06/2019 jumanne 728099 scr ang scr kiwango cha 25/06/2019 24/06/2019 jumatatu 763199 scr ang scr kiwango cha 24/06/2019 21/06/2019 ijumaa 763076 scr ang scr kiwango cha 21/06/2019 20/06/2019 alhamisi 763653 scr ang scr kiwango cha 20/06/2019 19/06/2019 jumatano 763582 scr ang scr kiwango cha 19/06/2019 18/06/2019 jumanne 767210 scr ang scr kiwango cha 18/06/2019 17/06/2019 jumatatu 763646 scr ang scr kiwango cha 17/06/2019 14/06/2019 ijumaa 763914 scr ang scr kiwango cha 14/06/2019 13/06/2019 alhamisi 764382 scr ang scr kiwango cha 13/06/2019 12/06/2019 jumatano 763937 scr ang scr kiwango cha 12/06/2019 11/06/2019 jumanne 764435 scr ang scr kiwango cha 11/06/2019 10/06/2019 jumatatu 764249 scr ang scr kiwango cha 10/06/2019 07/06/2019 ijumaa 767043 scr ang scr kiwango cha 07/06/2019 06/06/2019 alhamisi 764842 scr ang scr kiwango cha 06/06/2019 05/06/2019 jumatano 764479 scr ang scr kiwango cha 05/06/2019 04/06/2019 jumanne 764820 scr ang scr kiwango cha 04/06/2019 03/06/2019 jumatatu 764396 scr ang scr kiwango cha 03/06/2019 31/05/2019 ijumaa 764305 scr ang scr kiwango cha 31/05/2019 30/05/2019 alhamisi 764767 scr ang scr kiwango cha 30/05/2019 29/05/2019 jumatano 764866 scr ang scr kiwango cha 29/05/2019 28/05/2019 jumanne 764619 scr ang scr kiwango cha 28/05/2019 27/05/2019 jumatatu 764138 scr ang scr kiwango cha 27/05/2019 24/05/2019 ijumaa 763132 scr ang scr kiwango cha 24/05/2019 23/05/2019 alhamisi 763132 scr ang scr kiwango cha 23/05/2019 22/05/2019 jumatano 763132 scr ang scr kiwango cha 22/05/2019 21/05/2019 jumanne 763132 scr ang scr kiwango cha 21/05/2019 20/05/2019 jumatatu 763132 scr ang scr kiwango cha 20/05/2019 17/05/2019 ijumaa 763132 scr ang scr kiwango cha 17/05/2019 16/05/2019 alhamisi 763131 scr ang scr kiwango cha 16/05/2019 15/05/2019 jumatano 763132 scr ang scr kiwango cha 15/05/2019 14/05/2019 jumanne 763132 scr ang scr kiwango cha 14/05/2019 13/05/2019 jumatatu 763132 scr ang scr kiwango cha 13/05/2019 10/05/2019 ijumaa 763132 scr ang scr kiwango cha 10/05/2019 09/05/2019 alhamisi 763131 scr ang scr kiwango cha 09/05/2019 08/05/2019 jumatano 763131 scr ang scr kiwango cha 08/05/2019 07/05/2019 jumanne 763132 scr ang scr kiwango cha 07/05/2019 06/05/2019 jumatatu 763131 scr ang scr kiwango cha 06/05/2019 03/05/2019 ijumaa 763131 scr ang scr kiwango cha 03/05/2019 02/05/2019 alhamisi 763132 scr ang scr kiwango cha 02/05/2019 01/05/2019 jumatano 763132 scr ang scr kiwango cha 01/05/2019 30/04/2019 jumanne 763131 scr ang scr kiwango cha 30/04/2019 29/04/2019 jumatatu 763131 scr ang scr kiwango cha 29/04/2019 28/04/2019 jumapili 763132 scr ang scr kiwango cha 28/04/2019 26/04/2019 ijumaa 763132 scr ang scr kiwango cha 26/04/2019 kiwango cha chini = 72491 (9 agosti) wastani = 76541 kiwango cha juu = 78353 (2 oktoba) jedwali hapo juu linaonyesha viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria kati ya rupia ya ushelisheli na guilder ya antili za kiholanzi kama ungependa kutazama viwango vya kubadilisha fedha vya kihistoria kati ya guilder ya antili za kiholanzi na fedha nyingine tafadhali chagua fedha kutoka kwenye orodha iliyopo chini
2019-10-23T12:46:04
https://sw.exchange-rates.org/history/SCR/ANG/T
wakazi wa kanda ya ziwa waendelea kujizolea zawadi za mzuka wa soka na coka mtaa kwa mtaa blog home biashara wakazi wa kanda ya ziwa waendelea kujizolea zawadi za mzuka wa soka na coka kajunason may 11 2018 biashara zipo zawadi nyingi zimeandaliwa kwa ajili ya wateja wetu zikiwemo pikipikiluninga bapa za kisasafedha taslimu kuanzia 5000 hadi 100000/na soda za bure tunatoa wito waendelee kushiriki waweze kujishindia alisema makenge posted by kajunason at may 11 2018
2018-05-20T11:39:06
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/05/wakazi-wa-kanda-ya-ziwa-waendelea.html
nyumbani2019aralık16 (jumatatu) siku desemba 16 2019 yht matengenezo kuu ya tcdd taşımacılık aş kurugenzi mkuu wa kurugenzi ya uendeshaji wa yht 2019/595431 gcc ilihesabiwa gharama takriban 36975400 tl yht huduma kuu ya mazingira ya matengenezo [zaidi ] zabuni mpya ya kituo cha konya yht 2017 imepangwa kufungua oktoba [zaidi ] waziri wa usafiri na miundombinu cahit turhan gebzehalkalı ilitangaza kwamba 245 iliajiriwa kupitia i̇şkur sözcükulingana na habari ya ali ekber ertürk mafunzo ya mechanics yayakazi [zaidi ] maonyesho ya ushairi wa wimbo la ushairi na kemal demirel kemal demirel ni mwanasiasa wa kwanza anayekuja akifika mafunzo kwa bursa demirel ambaye alikuwa naibu wa chp bursa katika kipindi cha 2 alijitolea kwa ushairi na muziki baada ya shughuli zake za reli kote nchini sasa ni tofauti [zaidi ] katika mazungumzo wale wanaosimamia wanaendelea kusisitiza juu ya gari moshi wa reli ya bursa lakini kuna upande wa mradi wa reli ya kiwango cha juu katika kundi la mradi kwa maneno mengine kutakuwa na mstari kwenye reli hiyo hiyo kwa huduma za treni za abiria na mizigo [zaidi ] wateja nchini uturuki kutokana na ndege zaidi ya moja kwa moja utakuwa na nafasi ya biashara kote ulaya na duniani kote kampuni ya fedex (nyse fdx) na fedex kampuni kubwa zaidi duniani ya uchukuzi wa usafiri [zaidi ] pristina dün adem jashari karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa jana jioni majira ya saa 2000 jioni ajali ilitokea kwenye treni ikigonga gari mtu mmoja aliumia kwa sababu ya ajali hii ajali za ajali na utafiti wa matukio [zaidi ] a first mediterranean coastal highway nchini uturuki anapata smart waziri wa uchukuzi na miundombinu mehmet cahit turhan alisema kuwa miundombinu ya macho ya nyuzi imekamilika kwa kilomita 505 za barabara ya pwani ya mediterania ambayo ilianzishwa kama programu ya smart road pilot [zaidi ] kama matokeo ya kazi kubwa ya barabara iliyofanywa kwa kufungua njia kwenye kituo nyumba ya serikali na jumba la clover na maagizo ya meya wa metropolitan meya wa jiji la yücel yılmaz kulingana na data inayopatikana kutoka kwa mfumo wa kuingiliana kwa smart asilimia ya trafiki huko balıkesir [zaidi ] uuzaji wa ununuzi wa gari ya tram ya starehe ya 3 na ununuzi wa kamisheni kwa sababu ya zabuni idara ya mpango wa usafirishaji wa manispaa ya antalya na mfumo wa reli ina gharama ya takriban [zaidi ] ombi la mkopo la ununuzi wa basi la ego iliyokusanywa mikutano ya mwisho ya desemba ya halmashauri ya manispaa ya ankara ilifanyika chini ya uenyekiti wa rais mansur yavaş jumba la mkutano la metropolitan manispaa na shauku kubwa ya wananchi [zaidi ] manulaş aş kampuni ndogo ya manisa metropolitan manispaa manisa old garage open auto market ambayo inaendeshwa na katika masaa ya mapema ya siku ya kwanza mamia ya wasafiri wa gari walishuka kwenye soko la magari [zaidi ] meya wa manispaa ya mersin metropolitan vahap seçer alikutana na wanafunzi wanaosoma katika chuo kikuu cha mersin chuo kikuu cha tarsus chuo kikuu cha toros na chuo kikuu cha çağ chagua nauli ya basi kwa vijana kama 1 lira [zaidi ] meya ekrem yüce alisema kwamba watapanga njia mbadala kutoka sebahattin zaim boulevard kwenda mkoa wa serdivan na kusema [zaidi ]
2020-02-20T14:49:11
https://sw.rayhaber.com/2019/12/16/
(showing articles 32041 to 32060 of 37912) 06/17/181304 _tcra yatoa ufafanuz 06/17/182258 _'bakwata haitakubal 06/17/182305 _bima ya afya na ene 06/17/182334 _wasichana 40 tarime 06/17/182359 _biteko aelekeza tum 06/18/180326 _gola foundationwad 06/18/180333 _ kamishna mkuu wa t 06/18/180422 _nchi za kenya tanz 06/18/180513 _rais dkt magufuli 06/18/180533 _ tasaf yaivutia nig 06/18/180559 _ strength of commu 06/18/180725 _kampeni ya furaha y 06/18/180727 _wakulima wawekezaj 06/18/180812 _maonesho ya wiki ya 06/18/180829 _waziri mkuu kassim 06/18/180840 _ meya mstaafu kino 06/18/180842 _jafo atoa wiki mbil 06/19/180321 _ratiba ya mazishi y 06/19/180339 _kalemani afurahishw 06/19/180357 _kampeni ya furaha y older | 1 | | 1601 | 1602 | (page 1603) | 1604 | 1605 | | 1896 | newer 06/17/181304 tcra yatoa ufafanuzi kuhusu usajili watumiaji wa mitandao ya kijamii 06/17/182258 'bakwata haitakubali kuonewa na watu wachachetumedhamiria kurejesha mali za waislamu' baraza kuu la waislamu tanzania (bakwata) limesema halitakubali kuonewa na watu wachache na limedhamiria kurejesha mali za waislamu zilizohodhiwa kwa maslahi ya wachache pia limesema waumini wa dini kiislamu wameridhia kuwa chini ya kiongozi mmoja sheikh mkuu wa tanzania na kuwataka wengine wote kufuata katiba ya bakwata ili kuepusha vurugu kauli hiyo ilitolewa ja juzi jijini mwanza kwenye baraza la idd el fitri na mjumbe wa halmashauri kuu ya bakwata taifa sheikh hassan kabeke ambaye pia ni mwenyekiti wa jumuiya ya kuendeleza quraan na suna tanzania (juqusuta) alisema bakwata hitakubali kuporwa mali za waislamu na kuwanufaisha wachache ambao wamelifanya baraza hilo kuwa ombaomba wakati lina mtandao mkubwa kuliko taasisi nyingi za dini nchini kwa kuwa lina mtandao wa uongozi hadi vijijini sheikh kabeke alisema kuwa wamejipanga kurejesha mali za waislamu na kuwataka waumini na viongozi wa dini hiyo kuwa imara na wahakikishe mali zote za waislamu zinarudishwa lakini wakilegea zote zitakwishatunataka bakwata yenye nguvu itakayopambana na watu wanaopuuza maelekezo ya baraza hilo na hatuna sababu ya kuwa ombaomba wakati tumeweka mizizi hadi vijijini isipokuwa tunazidiwa na ccm tu lakini pia tumsaidie mufti wa tanzania pamoja na kudumisha amani na utulivu nchini alisema sheikh kabeke ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa kamati ya amani ya viongozi wa dini mkoa wa mwanzaawali katika risala yake kwa mgeni rasmi john mongela kaimu katibu wa bakwata mkoa wa mwanza sina mwagalazi alisema kutokana na uhusiano uliopo baina ya baraza hilo na serikali aliiomba iwape ushirikiano waweze kurejesha mali za waislamu kwa sababu orodha ya mali hizo zilizohodhiwa na kuwanufaifa watu wachache badala ya waislamu ipo bakwata ndiyo msimamizi wa mali za waislamu kwa mujibu wa katiba ya baraza hilotunawaomba watu waliojimilikisha mali hizo wajitokeze kwa mazungumzo ili kuwwka mambo sawaalisema mwagalaziwakati huohuo kaimu sheikh mkuu wa mkoa wa mwanza sheikh hassan bin almasi aliwataka waumini wa dini ya kiislamu kuwa siku 30 za mfungo wa mwezi wa ramadhani liwe darasa la kujitathmini kutokana na semina aliyowapa mwenyezi mungu alisema waislamu waliokuwa kwenye semina (wamefunga) wafanye tathmini je wataendelea kufanya kama walivyofanya wakati wa mwezi wa ramadhani wafikiri vizuri safari yao ya kuondoka duniani je wataimaliza salama na watakwenda kama ilivyokuwa mwezi mtukufu kukutana kwenye baraza la idd tafsiri yake ni kupata heri ya ramadhani na tunakusanyika kukumbushana semina aliyotuletea mwenyezi mungu na kwamba ameingia kwenye vifua vyetuhebu tujiulize semina hiyo itaendelea ama imefika mwisho alisema sheikh almasi alisisitiza semina hiyo waliyopewa iwe endelevu kwa kuwa na madarasa ya dini badala ya kuishia kwenye siku ya idd el fitri na kuonya misikiti kukosa madarasa kunaifanya safari yao ya kwenda peponi isiwe nzuri sababu watu hawasomi aya za quraan na kusababisha wawatete wengine bila sababu mambo hayo ndiyo balaa ya kuigia kaburini na huwezi kufunga wakati unamsengenya mtu ndiyo maana tunataka waislamu waliokuwa wamefunga kufanya tathminije wataendelea kuwa kama walivyokuwa kwenye mwezi wa ramadhani alieleza kaimu sheikh huyo wa mkoa wa mwanza aidha alidai zipo changamoto za kufarakana kwa waumini wa dini hiyo wanaume na wanawake na kuonya kila mmoja abebe mzigo wake mwenyewe badala ya kuwabebesha wengine sheikh hassan kabeke akizungumza kwenye baraza la idd jijini mwanza ambalo lilifanyika katika ukumbi wa makutano wa new mwanza hotel juzipicha na baltazar mashaka 06/17/182305 bima ya afya na eneo la kutosha changamoto kituo cha kulea watoto yatima cha maunga 06/17/182334 wasichana 40 tarimewapewa elimu ya kupinga ukeketaji wasichana 40 kutoka katika kata tofauti wilayani tarime mkoani mara wamepatiwa mafunzo ya uelimishaji rika katika maeneo wanayotoka kwa lengo la kupinga ukeketaji kwa mtoto wa kike ili aweze kutimiza ndoto zake ikiwemo kupata elimu sarah bedah ni afisa mawasiliano kutoka shirika la msihana initiative lililopo jijini dar es salaam amesema kuwa wao kama shirika kwa kushirikiana na shirila la atfgm masanga lililopo tarime wameamua kutoa elimu hiyo kwa lengo la kuwajengea uwezo wasichana hao ili kuwa mabalozi wazuri katika kufikisha elimu ya kupinga ukeketaji kwa mtoto wa kike kwa upande wake mkurugenzi wa shirika la atfgm masanga sister stella mgaya amesema kuwa wao kama shirika wameamua kutoa pia mafunzo hayo kwa wasichana ambao wamekeketwa tayari na ambao hawajakeketwa ili kuzidi kuwaelimisha wasicha ambao hawajakeketwa ili wasikeketwe pia mgaya ameongeza kuwa licha ya kutoa elimukwa wasichana hao bado wanazunguka na wazee wa mila muungano wa koo12 kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii ili kuondoa ukeketaji ikiwa ni pamoja na kupiga vita miiko ambayo inakandamiza mtoto wa kike ambaye hajakeketwa ili asitengwe kwenye jamii aidha washiriki wa semina hiyo ya siku mbili wamesema kuwa elimu watakayopewa itakuwa chachu kwao na kuitumia vyema kwa lengo la kukomboa mtoto wa kike wilayani tarime mkoani mara naye mratibu wa huduma ya afya ambaye pia ni mwezeshaji katika mafunzo hayo abel gichaine amesema kuwa baada ya kutoa elimu kwa jamii endepo itakiuka lazima sheria itumike ili kuwatia hatiani wale ambao watakao keketa msichana kwani mwaka huu unaogawanyika kwa mbili wenda koo nyingi za kabila la wakurya wilayani tarime zikakeketa ili kutimiza mila zao meneja miradi shirika la atfgm masanga tarime ambao wanapiga vita ukatili wa kijinsia akitoa somo kwa mabinti hao ambao baadhi yao wamekeketwa na kuolewa katika umri mdogo wakipewa elimu ili waweze kuwa mabalozi wazuri wa kuopiga vita ukaili maeneoo wanayotoka 06/17/182359 biteko aelekeza tume ya madini kupeleka timu ya wakaguzi wa madini wilayani ulanga 06/18/180326 gola foundationwadau waanza juhudi za kuinua zao la alizeti kuchochea uchumi wa viwanda 06/18/180333 kamishna mkuu wa tra apongeza utumiaji wa mashine za efd iringa 06/18/180422 nchi za kenya tanzania zaombwa kushirikiana kupinga ukeketaji 06/18/180513 rais dkt magufuli atoa msaada wa shilingi milioni tano kwa mtoto latifa kadogosa aliyepooza mwili jijini dar es salaam 06/18/180533 tasaf yaivutia nigeria na sudan kusiniwaja nchini kujifunza utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini naestom sangatasaf mkurugenzi mtendaji wa tasaf ladislaus mwamanga (aliyesimama) akizungumza na wageni kutoka sudan kusini na nigeria (hawapo pichani) kwenye ukumbi wa mikutano wa tasaf jijijini dar es salaamwageni hao wako nchini kujifunza namna tasaf inavyotekeleza mpango wa kunusuru kaya maskini 06/18/180559 strength of community life competence (clcp) at mwendapole a 06/18/180725 kampeni ya furaha yangu ya kuhamasisha upimaji wa vvu yaendelea mjini dodoma mhamasishaji wa afya kutoka shirika la fhi 360 getruda francis akimhamasisha mmoja wa maderava wa bodaboda na mkaazi wa jijini dodoma eneo la mipango kujitokeza katika zoezi la kitaifa la upimaji na tiba wa vvu linaloratajiwa kuzinduliwa rasmi na waziri mkuu mhe kassim majaliwa tarehe 19 mwezi huu katika uwanja wa jamhuri jijini humo 5 mhamasishaji wa afya kutoka shirika la fhi 360 getruda francis akimhamasisha mmoja wa wakaazi wa area a jijini dodoma ambaye ni mama wa nyumbani kujitokeza katika zoezi la kitaifa la upimaji na tiba wa vvu linaloratajiwa kuzinduliwa rasmi na waziri mkuu mhe kassim majaliwa tarehe 19 mwezi huu katika uwanja wa jamhuri jijini humo 06/18/180727 wakulima wawekezaji zao la korosho wapongeza ufufuaji wa viwanda watoa maombi kwa rais magufuli 06/18/180812 maonesho ya wiki ya utumishi wa umma yafana muhimbili 06/18/180829 waziri mkuu kassim majaliwa afungua kongamano la tatu la uwezeshaji wananchi kiuchumi jijini dodoma 06/18/180840 meya mstaafu kinondoni aishauri jamii kudumisha amani upendo meya mstaafu wa manispaa ya kinondoni jijini dar es salaam yusuph mwenda ameishauri jamii kuendelea kudumisha amani na upendo hasa kipindi hiki ambacho taifa linapopiga hatua za kimaendeleo chini ya uongozi wa rais dkjohn magufuli mwenda aliyasema hayo jijini dar es salaam baada ya kuandaa chakula maalumu kwa ajili ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu wanaolelewa katika kituo cha malaikaamesema katika kipindi hiki ambacho tanzania inaendelea 'kujengwa' kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya kimaendeleo kuna kila sababu kwa wananchi wote kudumisha amani iliyopo nchini kama hatua ya kuungana mkono maendeleo hayo amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa serikali ya awamu ya tano taifa limeshuhudia likitekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleoametaja baadhi ya miradi hiyo ni ujenzi wa reli ya kisasa(standard gauge)bwawa la kuzalisha umeme la mto rufiji(stiggler's george) na kuiunganisha mikoa mbalimbali kwa barabara za lami sote tunashuhudia namna ambavyo taifa letu linazidi kupiga hatua kuelekea mikakati ya serikali ya ujenzi wa uchumi wa viwanda ifikapo 2025ambayo kimsingi kama watanzania tunapaswa kuipongezalakini ili hayo yafanyike kwa ufasaha tunapaswa kwanza kudumisha amani yetu tuliyonayoamesema mwenda aidha mwenda ameiomba jamii kuwa na upendo kwa watoto wadogo hasa yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu ili kujiona kuwa sehemu ya familia zingine ambazo hazipo katika maisha wanayoyapitiaamesema watoto hao ambao wengi wao wamepoteza wazazi wao wana kila sababu ya kuoneshwa upendo ili kuwajenga kisaikolojia wakati wote wanapokuwa katika maeneo wanayoelelewa hiyo itasaidia kuwapa nguvu ya kuwafikisha katika malengo yao mbalimbali ya kimaishatuwapende ili wajione na wao ni sehemu ya jamii kama ilivyo kwa watoto wengineamesema 06/18/180842 jafo atoa wiki mbili kwa wakurugenzi kubainisha maeneo ya ujenzi wa madarasa 06/19/180321 ratiba ya mazishi ya aliyekuwa rais wa tccia ndibalema mayanja 06/19/180339 kalemani afurahishwa na wenye nia ya kutengeneza vifaa vinavyozuia upotevu wa umeme aliwataka wawekezaji hao kukutana na wataalam wa shirika l a umeme tanzania (tanesco) ili kujadiliana nao kuhusu suala la viwango vinavyotakiwa kwa ajili ya vifaa husika pia aliwataka kukutana na wataalam kutoka shirika la viwango tanzania (tbs) ili waweze kufahamishwa viwango vinavyotakiwa nchini 06/19/180357 kampeni ya furaha yangu katika maandalizi ya ufunguzi hapo jana jijini dodoma furaha yangu pima jitambue ishi wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi kwa kushirikiana na fhi360 mradi wa usaid tulonge afyana wadau wengine inatarajia kufanya kampeni ya kitaifa ya upimaji wa vvu na kuanza kutumia arv mapema kampeni hii inasimamiwa na kikosi kazi kilichoundwa kwa kujumuisha wataalamu toka wizara yetu tacaids wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi na wadau wa vvu na ukimwi jukumu kuu la kikosi kazi ni kusimamia maandalizi utekelezaji na tathimini ya kampeni ikiwemo kupitia matangazo na machapisho mbalimbali kamati hii inaongozwa na wenyeviti ambao nacp na tacaids wakishirikiana na wawakilishi wa tamisemi ofisi ya mkuu wa mkoa wa dodoma na kazi za kuweka kumbukumbu zimeongozwa fhi360 kupitia mradi wa usaid tulonge afya hali hali halisi ya maambukizi nchini utafiti wa nne uliofanyika katika ngazi ya kaya kuanzia mwezi oktoba 2016 hadi agosti 2017 ulibainisha kuwa wastani wa kitaifa wa maambukizi ya vvu kwa watu wenye umri wa miaka 15 hadi 49 ni asilimia 47 wanawake ni asilimia 62 na wanaume ni asilimia 31 nchi yetu imeridhia na kuanza utekelezaji wa kauli mbiu ya kidunia ya tisini tatu ifikapo 2020 (asilimia 90 ya watu wanaoishi na vvu wawe wamejua hali zao za maambukizo asilimia 90 ya waliopimwa vvu na kugundulika kuwa wana maambukizo wapatiwe dawa za kufubaza makali ya vvu na asilimia 90 ya watu wanaotumia dawa wawe wamefubaza vvu) hali halisi ya utekelezaji wa kufikia hizi tisini tatu ni kama ifuatavyo tisini ya tatu kati ya watu wanaoishi na vvu wenye umri wa miaka 15 64 ambao wametoa taarifa kuwa wanatumia dawa za kufubaza vvu asilimia 877 ya watu hao inaonyesha kiasi cha vvu kimefubazwa (wanawake ni asilimia 892 na wanaume ni asilimia 84)
2019-12-05T18:27:11
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1603.html
jukwa la sheria lisilo na wanasheria | jamiiforums | the home of great thinkers jukwa la sheria lisilo na wanasheria discussion in 'jukwaa la sheria (the law forum)' started by mwananyiha mar 21 2011 wanajamvi nimekuwa nikifuatilia majukwaa mbalimbali kama vile siasa uchumi technologia na mengine ndani ya jf katika majukwaa yote hayo nimekuta hoja zikitolewa ama kama mtu anahitaji ufafanuzi wa suala fulani hoja na ufafanuzi wa nguvu vimekuwa vikitolewa lakini katika jukwa hili la learned brothers/sisters imekuwa tofauti kwani jukwa limepooza sana mpaka nimeanza kujiuliza je halina wanasheria au ni uchoyo wa kutaka wengine wasijue kile wenyewe wanachokijua au ni uvivu wa the learned kuchukua hatua au wanajanvi nimekuwa nikifuatilia majukwaa mbalimbali kama vile siasa uchumi technologia na mengine ndani ya jf katika majukwaa yote hayo nimekuta hoja zikitolewa ama kama mtu anahitaji ufafanuzi wa suala fulani hoja na ufafanuzi wa nguvu vimekuwa vikitolewa lakini katika jukwa hili la learned brothers/sisters imekuwa tofauti kwani jukwa limepooza sana mpaka nimeanza kujiuliza je halina wanasheria au ni uchoyo wa kutaka wengine wasijue kile wenyewe wanachokijua au ni uvivu wa the learned kuchukua hatua auclick to expand ulichokisema ni kweli kabisa kimsingi kuna wanasheria wengi sana humu jukwaani wanasheria makini wanasheria ****** na wanasheria poribush lawyers kwanini jukwaa hili limekosa msisimko ni kuwa kuna baadhi ya wachangiaji wamekuwa wakileta siasa na usanii katika kuchangia mada usanii huo umekuwa ukiwavunja nguvu wanasheria makini hata hii thread yako inaweza kupondwa wakati umeleta hoja ya maana bora lipooze tu kuliko kuandika mambo yasikuwa na hoja kwani huko kwenye siasa ukianza kufilter post kati ya post 20 basi 5 labda ndio unaona ni za ma great thinker mtu anaulzia anazisha post kama mama salama ikwete wapi sijamsikia / yuko wapi dah jf bana ili kuboresha jukwaa la sheria inabidi wachangie wanasheria tu na kama mtu hana uhakika afanye research kabla ya kutoa opinion yake ukitaka mada yako ichangiwe kwa urahisi we iweke kwenye jukwaa la wakubwa mana wote wanatembelea huko kawaida members wana anza na new posts kisha jukwaa la wakubwa na kutoka huko ni badaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ndo wanende kwenye proffesionalism wanasheria wapo bussy na doewans kuibana tanesco wanasheria wapo bussy na doewans kuibana tanescoclick to expand hilo neno mkuu lakini nadhani ni kuiibia tanesco na si kuibana au vyote kwa pamoja wanajamvi nimekuwa nikifuatilia majukwaa mbalimbali kama vile siasa uchumi technologia na mengine ndani ya jf katika majukwaa yote hayo nimekuta hoja zikitolewa ama kama mtu anahitaji ufafanuzi wa suala fulani hoja na ufafanuzi wa nguvu vimekuwa vikitolewa lakini katika jukwa hili la learned brothers/sisters imekuwa tofauti kwani jukwa limepooza sana mpaka nimeanza kujiuliza je halina wanasheria au ni uchoyo wa kutaka wengine wasijue kile wenyewe wanachokijua au ni uvivu wa the learned kuchukua hatua auclick to expand mkuu kama wewe ni mwanasheria utakuwa unajua au kama hujui unatakiwa kujua kuwa a proper lawyer does not talk unless their is an issue umesema kweli ila wanasheria wapo sana sana ni ubusy tu muda mdogo kuna mambo mengi mezani mfano hapa naandaa submission wakati bado kuna pleadings za plaints na wsd kibao zinasubiri na dates of filing ndiyo hizo zimefika siku ingine anagalau nimepitia sheria co siasa hacha hao wenye mawazo mgando waishie huko huko kwenye hayo majukwaa mtu anaandika wazo utafikiri tamthilia za malichuy (na episode ndani) huku njoo na hoja ya msingi wa sheria ndo'inakua discussed
2016-10-25T17:29:31
http://www.jamiiforums.com/threads/jukwa-la-sheria-lisilo-na-wanasheria.119762/
kuna tofauti ipi kati ya maneno ya mungu yaliyowasilishwa na manabii katika enzi ya sheria na maneno ya mungu yaliyoonyeshwa na mungu mwenye mwili | kanisa la mwenyezi mungu katika enzi ya neema yesu pia alinena mengi na kufanya kazi nyingi alikuwaje tofauti na isaya alikuwaje tofauti na danieli je alikuwa nabii ni kwa nini inasemekana kwamba yeye ni kristo kuna tofauti gani baina yao wote walikuwa wanadamu walionena maneno na maneno yao yalionekana sawa kwa wanadamu wote walinena na kufanya kazi manabii wa agano la kale walitoa unabii na vivyo hivyo pia na yesu ni kwa nini iwe hivi tofauti hapa inapatikana katika aina ya kazi zao ili kutambua suala hili huwezi kuangazia asili ya mwili na hufai kuangazia upurukushani wa maneno ya mtu daima ni sharti kwanza uangazie kazi yake na athari ambayo kazi yake inafanikisha ndani ya mwanadamu unabii uliotolewa na manabii wakati ule haukuyaruzuku maisha ya mwanadamu na ujumbe uliopokelewa na watu kama isaya na danieli ulikuwa tu unabii na si njia ya uzima ingekuwa si kuonekana moja kwa moja kwa yehova hakuna ambaye angefanya hiyo kazi ambayo haiwezekani kwa wanadamu yesu pia alisema mengi lakini maneno yake yalikuwa njia ya uzima ambayo kwayo mwanadamu angepata njia ya kutenda hii ni kusema kuwa kwanza angeukimu uzima wa mwanadamu kwa kuwa yesu ni uzima pili angeweza kuugeuza upotovu wa mwanadamu tatu kazi yake ingeweza kuifuata ile ya yehova ili kuendeleza enzi nne angeweza kutambua mahitaji ya mwanadamu kwa ndani na kufahamu anachokosa mwanadamu tano angeweza kuanzisha enzi mpya na kutamatisha enzi ya zamani ndiyo maana anaitwa mungu na kristo yeye si tofauti na isaya tu bali pia na manabii wengine wote chukua isaya kama ulinganisho wa kazi za manabii kwanza asingeweza kuukimu uzima wa mwanadamu pili asingeweza kuanzisha enzi mpya alikuwa akifanya kazi chini ya uongozi wa yehova wala si kuanzisha enzi mpya tatu alichokizungumza yeye mwenyewe kilikuwa nje ya ufahamu wake alikuwa akipata ufunuo moja kwa moja kutoka kwa roho wa mungu na wengine wasingeelewa hata baada ya kuusikiliza ufunuo huo haya machache yanatosha kuthibitisha kuwa kazi yake haikuwa zaidi ya unabii si zaidi ya kazi iliyofanywa kwa niaba ya yehova hata hivyo asingeweza kumwakilisha yehova kikamilifu alikuwa mtumishi wa yehova chombo katika kazi ya yehova aidha alikuwa anafanya kazi katika enzi ya sheria tu na katika mawanda ya kazi ya yehova hakufanya kazi nje ya enzi ya sheria kinyume na haya kazi ya yesu ilikuwa tofauti alivuka mipaka ya kazi ya yehova alifanya kazi kama mungu mwenye mwili na kupitia mateso ili amkomboe mwanadamu hiyo ni kusema kuwa alifanya kazi mpya nje ya ile iliyofanywa na yehova huku kulikuwa kukaribisha kwa enzi mpya jambo jingine ni kuwa aliweza kuyazungumzia mambo ambayo mwanadamu asingeweza kupata kazi yake ilikuwa kazi ndani ya usimamizi wa mungu na ilijumuisha wanadamu wote hakufanya kazi miongoni mwa watu wachache tu na wala kazi yake haikuwa kuwaongoza watu wachache tu kwa kuwa kazi iliyofanywa na mungu mwenye mwili ilikuwa kuanzisha enzi mpya kuongoza kazi mpya na kuanzisha na kufungua mazingira mapya haya mambo machache tu yanatosha kuthibitisha kuwa yeye ni mungu mwenyewe hili kwa hivyo linamtofautisha na isaya danieli na manabii wengine wakuu katika hatua hii ya mwisho ya kazi matokeo yanapatikana kupitia kwa neno kupitia kwa neno mwanadamu anaelewa mafumbo mengi na kazi ya mungu katika vizazi vilivyopita kupitia kwa neno mwanadamu anapewa nuru na roho mtakatifu kupitia kwa neno mwanadamu anapata kuelewa mafumbo ambayo hayajawahi kuelezwa na vizazi vilivyopita na pia kazi za manabii na mitume wa enzi zilizopita na kanuni ambazo walitumia kufanya kazi kupitia kwa neno mwanadamu anatambua tabia ya mungu mwenyewe na pia uasi na pingamizi ya mwanadamu na kujua dutu yao kupitia kwa hatua hizi za kazi na maneno yote yaliyonenwa mwanadamu anatambua kazi ya roho mtakatifu kazi ya mwili wa mungu na zaidi ya hayo tabia yake yote maarifa yako ya kazi ya usimamizi wa mungu wa kupita miaka elfu sita ulitwaliwa kupitia kwa neno je maarifa yako hayakuwa ya fikira zako za awali na mafanikio kwa kuyaweka kando pia yalipatikana kupitia neno katika hatua ya awali yesu alifanya ishara na maajabu lakini sio hivyo katika hatua hii je si kuelewa kwako kwa nini hafanyi hivyo pia kulipatikana kupitia neno kwa hivyo maneno yanenwayo katika hatua hii yanashinda kazi iliyofanywa na mitume na manabii wa vizazi vilivyopita hata unabii uliotabiriwa na manabii haungeweza kupata matokeo haya manabii waliongelea unabii pekee ya kile kitakachotendeka hapo baadaye lakini sio kazi ambayo mungu angefanya katika wakati huo hawakuongea kuongoza mwanadamu katika maisha yao kuhifadhi ukweli juu ya mwanadamu ama kumfichulia mwanadamu mafumbo ama hata kutawaza maisha kwa maneno yaliyonenwa katika hatua hii kuna unabii na ukweli lakini hasa yanafanya kazi ya kutawaza maisha juu ya mwanadamu maneno ya wakati huu sio kama unabii wa manabii hii ni hatua ya kazi isiyo ya unabii ila ya maisha ya mwanadamu kubadili tabia ya maisha ya mwanadamu wakati mungu alikuwa bado hajawa mwili watu hawakuelewa mengi ya alichosema kwa sababu kilitoka katika uungu kamilifu mtazamo na muktadha wa kile alichosema ulikuwa hauonekani na haufikiwi na mwanadamu ulionyeshwa kutoka katika ulimwengu wa kiroho ambayo watu wasingeweza kuiona kwa watu walioishi katika mwili wasingeweza kupita katika ulimwengu wa kiroho lakini baada ya mungu kuwa mwili aliongea na mwanadamu kutoka katika mtazamo wa ubinadamu na alitoka kwa na na akazidi mawanda ya ulimwengu wa kiroho angeweza kuonyesha tabia yake ya uungu mapenzi na mtazamo kupitia mambo yale ambayo binadamu wangeweza kufikiria na mambo yale wangeweza kuona na kukumbana nayo katika maisha yao kwa kutumia mbinu ambazo binadamu wangeweza kukubali kwa lugha ambayo wangeweza kuelewa na maarifa ambayo wangeweza kuelewa ili kuruhusu mwanadamu kumwelewa na kumjua mungu kufahamu nia yake na viwango vyake hitajika ndani ya mawanda ya uwezo wao hadi kufikia kiwango ambacho wangeweza hii ndiyo iliyokuwa mbinu na kanuni ya kazi ya mungu kwa ubinadamu iliyotangulia:kuna tofauti ipi kati ya maneno ya watu wanaotumiwa na mungu kote katika enzi zote ambayo yanakubaliana na ukweli na maneno ya mungu inayofuata:mungu amekuwa mwili nchini china katika siku za mwisho ni msingi gani upo kwa jambo hili katika unabii wa biblia na katika maneno ya mungu aya za biblia za kurejelea wao ni viongozi vipofu wa vipofu na kipofu akimwelekeza kipofu wote wawili wataanguka ndani ya shimo (mathayo 1514) maneno husika ya mungu kazi ya mungu mwenyewe inahusisha kazi ya wanadamu wote na pia inawakilisha kazi ya enzi nzima hii ni kusema kwamba kazi y maneno husika ya mungu kilicho na umuhimu mkuu katika kumfuata mungu ni kwamba kila kitu kinapaswa kuwa kwa kadri ya maneno halisi ya mungu kama un
2019-11-21T09:17:55
https://sw.godfootsteps.org/voice-of-God-3.html
mambo ya msingi ya kufahamu ukikamatwa mtembezi home habari mambo ya msingi ya kufahamu ukikamatwa mambo ya msingi ya kufahamu ukikamatwa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ibara ya 15 (2) inasema kwa madhumuni ya kuhifadhi haki ya mtu kuwa huru na kuishi kwa uhuru itakuwa marufuku kwa mtu yeyote kukamatwa kufungwa kufungiwa kuwekwa kizuizini kuhamishwa kwa nguvu au kunyanganywa uhuru wake vinginevyo isipokuwa (a) katika hali na kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria au (b) katika kutekeleza hukumu amri au adhabu iliyotolewa na mahakama kutokana na shauri au na mtu kutiwa hatiani kwa kosa la jinai tafsiri ya ibara hii ni kuwa hairuhusiwi kwa mtu yeyote au chombo chochote kunyanganya uhuru wa mtu kuwa huru (kukamata) kinyume na njia zilizoainishwa na sheria zetu za nchi au wakati wa kutekeleza amri ya mahakama busara ya ibara hii ni kutoa fursa kwa kila mtu ndani ya nchi kupata nafasi ya kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo yake binafsi na yale ya kijamii kwa uhuru wa kwenda mahali popote bila kuzuiwa au kupata kizuizi chochote ni vigumu kwa mtu kushiriki katika shughuli za maendeleo kama hayuko huru au amezuiwa kwenda mahali popote anakoona kunafaa kujipatia riziki kwa maana hii ni lazima ziwepo taratibu za kisheria ambazo zinapaswa kufuatwa wakati wa kuiondoa haki hii tuna wajibu wa kuepuka kufanya makosa ambayo yatatufanya tukamatwe na kuondolewa haki hii ya kikatiba ya kuishi kama mtu huru hata hivyo pamoja na kwamba tunaweza kujitahidi kuepuka kufanya makosa maisha nayo hayatabiriki yumkini unaweza kukamatwa kimakosa au likatokea jambo lolote lisilotarajiwa litakalokufanya ukamatwe na hata usipokamatwa yumkini mtu yoyote wa karibu kama rafiki ndugu au jirani anaweza kukamatwa kimsingi kukamatwa ni jambo linaloweza kumtokea mtu yoyote kwa maana hii ni muhimu kupata taarifa za kutosha zinazohusiana na kukamatwa taarifa hizi zitakupa muongozo wa kujua haki na wajibu wako pale unapokamatwa au mtu wako wa karibu anapokamatwa kwa maana hii yafuatayo ni baadhi ya mambo ya msingi ya kufahamu pale mtu yoyote anapokamatwa maana ya kukamatwa kumkamata mtu kwa mujibu wa sheria ni kitendo cha kumuondolea mtu uhuru wake wa kufanya harakati zake za kila siku kwa kumpeleka kwenye kizuizi kinachotambulika kisheria mtuhumiwa anawekwa kizuizini ili apelekwe mahakamani (mapema kwa kadri itakavyowezekana) kujibu mashtaka ya jinai yanayomkabili anaweza pia kuwekwa kizuizini kwa lengo la kufanyiwa upelelezi juu ya mashtaka ya jinai yanayomkabili jinsi ya kumkamata mtuhumiwa sura ya 20 ya sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002 ndiyo sheria inayotoa mwongozo wa namna na jinsi ya kumkamata mtu kwa kawaida kukamatwa kunahusisha kugusa au kumshika mtuhumiwa kwa namna itakayomfanya ashindwe kumtoroka au kumkimbia mtu aliyemkamata kama mtu anayekamatwa atajaribu kukimbia au kufanya jaribio la kuzuia tendo la ukamatwaji halali kufanyika mtu au afisa anayemkamata anaruhusiwa kutumia nguvu kiasi ukamatwaji haupaswi kuendeshwa kwa maslahi binafsi bali unatakiwa kufanywa kwa nia njema ukizingatia utu usiri na haki za binadamu mkamataji anapaswa kutanguliza maslahi ya kutenda haki wakati anamkamata mtuhumiwa aina za ukamataji kuna aina mbili za ukamataji kumkamata mtu kwa kutumia kibali na kumkamata mtu bila kutumia kibali ukamatwaji unaotumia kibali kwa kawaida unatolewa na hakimu katibu kata au katibu wa halmashauri ya kijiji baada ya kupokea taarifa iliyo chini ya kiapo ikimtuhumu mtuhumiwa kuwa kuna sababu za msingi za kuamini kuwa mtu husika ametenda kosa ukamatwaji usio na kibali ni ukamatwaji unaofanywa pale makosa kama uvunjifu wa amani mbele ya polisi au hakimu yanapotokea kumzuia afisa polisi kutekeleza majukumu yake au kitendo chochote kinachoazimia kutusi nembo ya taifa au bendera ya taifa sababu za mtu kukamatwa polisi au afisa anayemkamata mtuhumiwa ana wajibu wa kutaja kosa au kutoa sababu zinazomfanya amkamate mtuhumiwa ieleweke kuwa sio kila kosa linaweza kukufanya ukamatwe (na hasa makosa ya madai) zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazoweza kumfanya mtu akakamatwa kwanza makosa ya jinai kutegemeana na aina au uzito wa kosa ambalo mtuhumiwa ametuhumiwa kulifanya endapo mtuhumiwa atadhaniwa kufanya kosa la ugaidi uhaini unyanganyi wa kutumia silaha na makosa mengineyo ya jinai yatamfanya akamatwe mara moja sababu ya pili inayoweza kumfanya mtu akamatwe ni kudharau kutii amri halali ya mahakama au kukwepa kwa makusudi kufikiwa na wito wa kufika mahakamani yumkini mtuhumiwa ameitwa mara kadhaa mahakamani au amekataa kupokea wito basi mtuhumiwa anaweza kukamatwa kwa kosa hili ulinzi wa uhai na usalama wa mtuhumiwa inaweza kuwa sababu ya tatu itakayomfanya mtu akamatwe mtuhumiwa anaweza kufanya tukio linaloweza kuibua hasira kali kwenye jamii na hivyo wananchi wakataka kuchukua hatua mkononi kama polisi amejiridhisha kuwa uhai wa mtuhumiwa uko hatarini mtuhumiwa anaweza kukamatwa na kuwekwa kizuizini kwa muda ili kulinda uhai na usalama wa maisha yake sababu ya nne inayoweza kumfanya mtu kukamatwa ni pale usalama wa jamii na watu wengine unapokuwa hatarini yumkini mtu husika ana matatizo ya akili au ni mtu anayependa kufanya vurugu kuharibu mali na kujeruhi watu polisi na viongozi wa maeneo husika wakijiridhisha kuwa anavyoendelea kuwa uraiani atazidi kufanya uharibifu nayo inaweza kuwa ni sababu ya kumkamata mtu husika lengo la ukamatwaji huu ni kumdhibiti mtu husika asiendelee kufanya uharibifu ukamataji kinyume cha sheria ukamatwaji ulio kinyume na sheria ni ule ukamataji unaofanywa kinyume na vipengele vya kisheria vilivyopo kwenye sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai vinavyoelekeza namna na jinsi ya kumkamata mtuhumiwa ukamatwaji ulio kinyume na sheria unahusisha mambo yafuatayo kumkamata mtu bila kuwa na mamlaka ya kisheria kumkamata mtu bila kumtaarifu sababu za kumkamata na kutumia nguvu kubwa (zilizopitiliza) aidha kumkamata mtu bila sababu za msingi kumuweka mtuhumiwa kizuizini kwa muda mrefu tofauti na mahitaji ya kisheria yanavyotaka mtuhumiwa anatakiwa apelekwe mahakamani ndani ya saa 24 au kuachiwa kwa dhamana vitendo vya kikatili au vitendo vilivyo kinyume na haki za binadamu wakati wa ukamatwaji navyo haviruhusiwi kwa mujibu wa sheria yapo madhara kwa polisi au afisa kumkamata mtuhumiwa kwa namna iliyo kinyume na sheria mtu aliyekamatwa kinyume na sheria anaweza kumshtaki afisa husika kwa kosa la shambulizi matumizi mabaya ya mamlaka ya kipolisi au afisa husika kuadhibiwa kitaaluma kwa kufanya makosa ya kinidhamu (professional misconduct) kama mtuhumiwa amekamatwa kimakosa au hakuna sababu ya msingi ya kuendelea kumshikilia basi anapaswa kuachiwa mara moja vinginevyo anapaswa kupewa dhamana au kupelekwa mahakamani (iliyo karibu na kituo) ndani ya saa 24 baada ya kukamatwa kwake kama inavyoelekeza sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kifungu cha 33 endapo mtuhumiwa ataendelea kushikiliwa kwa zaidi ya saa 24 bila kupelekwa mahakamani basi upande wa mshitakiwa utaomba agizo la kimahakama litolewe (habeas corpus) ili mtuhumiwa aweze kupelekwa mahakamani kama sheria inavyoelekeza barua pepe fransiscompangala08@gmailcom previous articledawa ya kutibu upara yapatikana next articlesamatta aipa uhai genk europa league watoa huduma za maabara kiholela waonywa rc mjini magharibi awaonya wanaouza pombe ramadhan mwandishi wetu may 22 2018 mtembezi reporter may 22 2018 mbunda nilichumbia wanawake 15 wakanikataa ripoti mali za ccm yabaini wizi utapeli habari3691 tanzania yailalamikia kenya kukiuka taratibu za biashara jumuiya ya afrika mashariki mtembezi reporter june 29 2017
2018-05-23T03:25:20
http://mtembezi.co.tz/2018/05/15/mambo-ya-msingi-ya-kufahamu-ukikamatwa/
mhe risala s kabongo mheshimiwa spika nakushukuru kwa dakika tano hizi ningependa kujikita kwenye makundi matatu yanayotoa huduma katika mlima kilimanjaro mheshimiwa spika kuna makundi matatu yanayotoa huduma katika mlima kilimanjaro kuna waongoza watalii wapagazi na wapishi hifadhi ya taifa ya mlima kilimanjaro ni hifadhi maarufu duniani lakini hifadhi hii ni moja ya maajabu saba ya dunia ni hifadhi yenye urefu wa mita 5895 vilevile hifadhi hii ina wageni wengi wanaotembelea kuliko watanzania nikiangalia nina takwimu hapa mwaka 2013/2014 wageni wa nje walikuwa 35682 na wa ndani walikuwa 2021 lakini mwaka 2016/2017 walifika wageni 45818 na wageni wa ndani walikuwa 2723 tunaona tofauti ilivyo kubwa mheshimiwa spika waongoza watalii wapishi na wapagazi wamekuwa ndiyo engine ya kupandisha wageni katika mlima kilimanjaro na wapagazi hawa wanapandisha mlima kwa mwaka wakiwa na idadi ya zaidi ya 30000 lakini kwa muda mrefu waongoza watalii hawa wamekuwa hawapati stahiki zao kama inavyopaswa watu hawa wamekuwa wakionekana kwamba hawana elimu wala hawana ujuzi wa kutosha lakini ndiyo wanaofanya kazi kubwa sana wakikosekana basi hakuna mgeni anayeweza kupanda mlima kilimanjaro (makofi) mheshimiwa spika hivyo basi ninaiomba serikali itambue kuwa waongoza watalii ni kazi ya kitaalamu na ya kitaaluma inayostahili kuheshimiwa kuthaminiwa ikiwa ni pamoja na kuwawekea mazingira mazuri ya kufanya kazi pia watambulike kisheria (makofi) mheshimiwa spika nitarejea barua moja hapa ya wakati mama shamsa mwangunga alipokuwa waziri wa maliasili na utalii hii ni pamoja na utekelezaji wa changamoto zinazowakabili waongoza watalii pamoja na wapishi na wapagazi ilikuwa ni barua tarehe 15 desemba 2015 na tarehe 8 aprili 2016 kulikuwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja ya namna ya kuwalipa wapagazi hawa wapishi na watembeza watalii ambayo ilikuwa ni ya gn na 228 ya mwaka 2008 (makofi) mheshimiwa spika katika kikao hicho walishiriki tanzania association of tour operators kilimanjaro association of tour operators kilimanjaro guard association tanzania tour guard association tanzania porters organization na kwa upande wa serikali walishiriki wizara ya maliasili na utalii pamoja na wizara ya kazi ajira na ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro kwa masikitiko makubwa kuna zaidi ya makampuni 400 yanayofanya shughuli za kupandisha mlima kilimanjaro lakini ni makampuni 20 yanayowalipa stahiki hawa wapanda mlima wapagazi na wapishi wengi wao wanawalipa shilingi 5000/shilingi 8000 mpaka shilingi 10000 inasikitisha sana kwa sababu wapagazi hawa na wapishi na watembeza wageni wanafanya kazi ngumu wengine wanafia kule mlimani wengine wana familia wana majukumu makubwa hawana makato yoyote yanayowafanya baada ya kumaliza muda wao wa kazi hizi waweze kufaidika na kazi hii lakini bado wanalipwa kipato cha chini sana (makofi) mheshimiwa spika lakini kingine kikubwa watumishi hawa kwa kuwa hawapati mikataba kutoka kwa waajiri wao kama tour operators wanapoteza mapato mengi sana ya serikali kwa mfano hizi withholding tax hawawezi kulipa kwa sababu hawana mikataba na waajiri wao kwa hiyo ninaomba serikali iangalie sana suala hii kwa mfano wizara ya maliasili na utalii pamoja na wizara ya kazi hawawezi kukwepa kukaa pamoja kuweza kushughulikia tatizo hili wamekuwa na kilio cha muda mrefu na hakuna msemaji wameunda vikundi vyao vya kuwasemea lakini wanapofika kwa mwajiri wanakuwa hawana mtetezi kwenye wizara ya kazi wakati mwingine kwenye mikoa kunakuwa na mwakilishi mmoja tu wa wizara ya kazi ambaye anakuwa na mambo mengi hawezi kuwasemea watu hao lakini vilevile wamekuwa wakipata mafunzo katika chuo cha taifa cha mweka kumekuwa na mafunzo ambayo yanatolewa ya muda mfupi wiki tatu wanalipa shilingi 800000 ili waweze kupata certificate lakini nilikuwa naiomba serikali mheshimiwa spika nakushukuru kwa kunipa nafasi
2020-01-27T02:24:37
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/9317
michuzi blog katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani awafunda viongozi waandamizi wa uhamiaji mkoani kilimanjaro katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani awafunda viongozi waandamizi wa uhamiaji mkoani kilimanjaro katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi mhe meja jenerali projest rwegasira (katikati) akiongoza kikao kazi cha viongozi waandamizi wa idara ya uhamiaji (hawapo pichani) wa pili kutoka kushoto ni kamishna jenerali wa uhamiaji dkt anna peter makakala(wa pili toka kulia) ni kamishna wa uhamiaji zanzibar johari m sururu(wa kwanza kulia) ni mkuu wa chuo cha uhamiaji cha kikandatrita kamishna maurice david kitinusa(wa kwanza kushoto) ni kamishna wa utawala na fedha edward p chogero kamishna jenerali wa uhamiaji dkt anna peter makakala akitoa hotuba fupi kwenye kikao kazi cha maafisa waandamizi wa idara ya uhamiaji kilichofanyika hivi karibuni mjini moshi maafisa waandamizi wa uhamiaji wakifuatilia kwa makini hotuba ya kamishna jenerali wa uhamiaji dkt anna peter makakala(hayupo pichani)kwenye kikao kazi hicho kama inavyooneka katika picha kamishna wa pasipoti na uraia gerald kihinga akitoa ufafanuzi katika kikao kazi cha viongozi waandamizi wa idara ya uhamiaji mbele ya katibu mkuu mhe meja jenerali projest rwegasira (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa kikao hicho kilichofanyika hivi karibuni mjini moshi kamishna wa usimamizi na udhibiti wa mipaka samuel r magweiga akifafanua jambo kwa mgeni rasmi katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi mhe meja jenerali projest rwegasira(hayupo pichani) katika kikao hicho kamishna jenerali wa uhamiaji dkt anna peter makakala(kulia) akimuongoza katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi meja jenerali projest rwegasira kukagua moja ya majengo mbalimbali ya chuo cha uhamiaji cha kikandatrita kilichopo moshi mkoani kilimanjaro katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi mhe meja jenerali projest rwegasira akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya makamishna wa idara ya uhamiaji(waliosimama) wa pili toka kushoto ni kamishna jenerali wa uhamiaji dkt anna peter makakala(wa pili toka kulia ni kamishna wa uhamiaji zanzibar johari m sururu(wa kwanza kulia)ni mkuu wa chuo cha uhamiaji cha kikandatrita kamishna maurice kitinusa(picha zote na kitengo cha uhusiano chuo cha uhamiaji cha kikandatrita moshi kilimanjaro)
2017-05-29T00:18:32
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/05/katibu-mkuu-wizara-ya-mambo-ya-ndani.html
you are athome»habari360»wiki hii kwenye dstv by 8020fashionsblog on march 23 2018 habari360 ni wikiendi nyingine tena na stering dstv anakuletea mtanange wa kombe la fa hatua ya robo fainali upande huu ni man united pembeni ni brighton mpira unawekwa kati soka lipigwe je man united watachomoka na ushindi ama watalala doro tena kwa vibonde mimi na wewe hatujui ila tutashudia wenyewe live jumamosi hii saa 440 usiku kwenye supersport 10 ya kifurushi dstv bomba kwa sh19 000 pekee na jumapili hii kwenye mechi nyingine ya fa cup hayua robo fainali dimbani wanaingia leicester city wakichuana na chelsea wote tunajua kipindi kigumu wanachopitia chelsea je watatoka kimasomaso au hali itazidi kuwa mbaya mechi ni saa kuanzia saa moja kamili usiku kwenye supersport 10 kifurushi ni bomba kw ash19 000 tu ukiwa na dstv unapata mechi kama hizi live na nyingi pamoja na uchambuzi wa kina kutoka kwa wakali wa soka duniani bila kusahau fununu zote zinazoendelea kwenye ulimwengu wa soka yani kitu ni hd ni full vyenga bila chenga mwanzo mwisho unasubiri nini sasa jiunge na dstv leo sh79 000 ufaidi utamu wa soka kupiga namba 0659 070707 na ukitaka kujihudumia piga *150*46# kisha fuata maelekezo the punguzo na dstv previous articlewafanyakazi wa shirika la ndege la ufaransa wafanya mgomo next article facts the economist got them wrong on magufuli
2019-08-19T23:01:37
https://habarimpya.com/featured-2/8020fashionsblog/wiki-hii-kwenye-dstv
hii ndio tofauti ya tenga karia dhidi ya kariakoo mwanaspoti hii ndio tofauti ya tenga karia dhidi ya kariakoo simba waliuanza msimu wa 1990 dhidi ya cda ya dodoma kwenye uwanja wa jamhuri zamoyoni mogella alimpiga kiwiko mchezaji mmoja wa cda na kuonyeshwa kadi nyekundu leodegar chilla tenga anafahamika zaidi kwa uongozi wake madhubuti kama rais wa tff kuanzia 2005 hadi 2013 lakini ni wachache wanaojua au kukumbuka kwamba kabla ya majukumu haya tenga alishawahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya mtangulizi wa tff yaani fat ambapo alishika nafasi ya katibu mkuu tenga alishika nafasi hiyo chini ya kamati ya muda baada ya kuondolewa kwa mwenyekiti mohamed mussa aliyerithi mikoba ya said el maamry 1987 miaka hiyo simba ilikuwa dhaifu sana kiasi cha kunusurika kushuka daraja siku ya mwisho ya msimu kwa misimu mitatu mfululizo 1987 1988 na 1989 msimu wa 1990 simba walijipanga kuhakikisha hiyo inabaki historia wakaimarisha kikosi ikiwamo kumrudisha nyumbani nyota zamayoni mogella golden boy aliyetimka kuanzia 1986 akienda volcano united ya kenya na kukipiga pia oman wakati huo ilikuwa imetungwa sheria ya adhabu ya kufungiwa miezi 6 kwa kosa kama hilo basi tenga hakusita akamfungia mogella miezi sita simba walihangaika kuhakikisha wanamuokoa nyota wao lakini ilishindikana tenga alisisitiza kwamba adhabu kwa nyota wakubwa kama mogella kutoka klabu kubwa kama simba ni somo tosha kwa nyota wengine wa klabu vingine simba wakasema tenga anawakomoa makusudi kwa sababu yeye ni yanga mungu si athumani said mwamba kizota wa yanga naye akampiga mtu kiwiko mtu adhabu ikawa ile ile bila kusita kelele za simba kwamba tenga anawaonea kisa yeye yanga zikafa kifo cha asili hata mwaka 2008 tenga akiwa rais wa tff wakati yanga wamegoma kucheza mshindi wa tatu wa kombe la kagame alitangaza kuwafungia miaka 3 kushiriki mashindano ya kimataifa kwenye mkutano wa kamati ya utendaji wazo la tenga kuwafungia yanga lilipata upinzani mkubwa sana akasimama na kuwauliza hivi nyinyi wajumbe mnadhani kuna yanga kuliko mimi humu mimi nimecheza yanga na nimekuwa nahodha wa yanga ila lazima waadhibiwe huko ndiko kutengemaa kwa tenga tofauti na ilivyo kwa wallace karia rais wa sasa wa tff huwa hana makali linapokuja suala la kariakoo januari 4 pascal wawa wa simba alimkanyaga vibaya ditram chimbi wa yanga hakuchukuliwa hatua februari 15 bernard morrison wa yanga alimpiga kiwiko jeremia juma wa tanzania prisons hakuchukuliwa hatua za kisheria pia februari 22 jonas mkude wa simba alimpiga kiwiko ally kombo wa biashara united marahakuchukuliwa hatua zozote machi 8 clatous chama wa simba alimkanyaga feisal salum wa yangahajachukuliwa hatua za kisheria lakini zawadi mauya wa kagera sugar alichukuliwa hatua mara moja alipomfanyia utemi ibrahim ajibu wa simba huo ndiyo udhaifu wa karia dhidi ya kariakoo linapokuja suala la kariakoo karia anakuwa mpole na mnyonge sana ofisa habari wa yanga hassan bumbuli aliwahi kunukuliwa akidai mwenyekiti wa bodi ya ligi akapimwe akili hii ni kauli nzito sana kutolewa na ofisa habari wa klabu dhidi ya mtu mwenye mamlaka makubwa kama mwenyekiti wa bodi ya ligilakini hakuchukuliwa hatua zozote lakini nahodha wa azam fc aggrey moris aliposema ligi inachezeshwa kama soko la samaki akachukuliwa hatua moja kwa moja kwenye dirisha dogo yanga iliwasajili wachezaji kadhaa akiwamo haruna niyonzima nyota huyo mnyarwanda alivaa jezi namba 18 katika mechi yake ya kwanza dhidi simba na nyingine zilizofuata kisha ghafla sasa anavaa namba 8 ambayo hapo awali ilikuwa inavaliwa na mohamed mo banka lakini husikii chochote achana na hiyo david molinga alianza kwa kuvaa namba 22 lakini sasa anavaa namba 49 yaani huku msimu unaendelea watu wanabadili tu namba wanavyojisikia hii ni kinyume na kanuni za ligi ambazo zinaagiza mchezaji mmoja namba moja ya jezi kwa msimu
2020-04-05T16:54:23
https://www.mwanaspoti.co.tz/kolamu/Hii-ndio-tofauti-ya-Tenga--Karia-dhidi-ya-Kariakoo/1799590-5494176-45vj6iz/index.html
discussion in 'jamii photos' started by saint ivuga feb 14 2012 duh kweli jamaa yuko juu kipanya ni moto kipanya ndiye rais ajaye watanzania heyo heyomimi ni daktare mkare wa mistaremkware wa vibinti vya kitaare nashusha mistare mbele ya mkweree halafu natinga ikulu kama mwigulu mchemba mwanachemba nakuita chemba ukinzingua natambaa kama msambaa makambaa niikibuka niko tilalila kama mr blue huku nawacheki chelsea the bluehuuwezi moto huu mkuu lakini wakuu tusibeze hii cartoon maana inatufundisha somo kuhusiana na current mass failure in tanzania just refer to 99 pass ya last csee na 45 failure ya form two results saint ivuga said huwa namkubali kipanya kama navyomkubalia nathan na pia gadoendelezeni juhudi zenu za kuikumbusha jamii yetu wajibu huwa namkubali kipanya kama navyomkubalia nathan na pia gadoendelezeni juhudi zenu za kuikumbusha jamii yetu wajibuclick to expand mkuu nakubaliana na wewe jamaa wanafanya kazi kubwa sana kuelimisha na kutoa uovu wa jamii na kuuonyesha kwa uhalisia wake big up kwa mwanafunzi aliyeshusha mistari kwenye paper ya form four serikali imedata utampimaje mtu kwa somo ambalo hajawai kumuona mwalimu toka form one mpaka anafanya mtihani huko si kutaka vyeti(karatasi) na si ujuzi nashusha mistare mbele ya mkweree halafu natinga ikulu kama mwigulu mchemba mwanachemba nakuita chemba ukinzingua natambaa kama msambaa makambaa niikibuka niko tilalila kama mr blue huku nawacheki chelsea the bluehuuwezi moto huu mkuuclick to expand ha ha ha sio kama nacheka yo yo bali nadesa nawashukru majita wangu wa east zuu hata hawa wasahishaji wakinifelisha naendeleza fani yo yo ha ha ha sio kama nacheka yo yo bali nadesa nawashukru majita wangu wa east zuu hata hawa wasahishaji wakinifelisha naendeleza fani yo yoclick to expand yo yo yo heshima pesa book mzigo mishemishe mpaka niwe kigogo mzito kama zitto toka pande za kigonipige bingo sitaki ajizi kama aziz wa dowan na nambari waninina division one uraianiyoyoyo kipaji jamaa anacho safi sana jamaa kweli ni katunist anafikiri mbali mnoo aiyayayayaaaaahiyo tunaita maneno mbofu mbofu sasa hivi elimu ya tanzania inaangalia zaidi quantity ya wanaosoma sio quality ya elimusifa kubwa kila mtu yuko shule lakini jeee huko kuna quality ya elimu kweli===kweli dunia inaangalia vyeti mistari imetulia kila mara utamsikia mbunge wa ccm akitaja idadi ya shule kuwa kuna maendeleo wakati wa matokeo ya mtihani ndo utajua watanzania wako gizani hata hawawezi kuandamana kutangaza maafa ya kielimu> ndo maana viongozi wote ni vilaza na wote tumekuwa viraza na ndiyo maana clouds fm walimtemesha job kwa kuhofia uswahiba wao na governmnet ungeisha kabla hata ya 2015 kufika mishemishe mpaka niwe kigogo mzito kama zitto toka pande za kigonipige bingo sitaki ajizi kama aziz wa dowan na nambari waninina division one uraianiyoyoyoclick to expand duuuuuuuuuu aiseee we mkareeeeeeeee ****** wa masoodkazi safi sana hii poa saaaaana yo yo yo we ni mkare ingawa ni dakitare mzee pindare kasarendare nachana kama rwakatare juu ya jforumvp bilah bado makamu sihiingizi udini hata kama sio mwisilamu yo yo
2016-12-08T14:41:26
http://www.jamiiforums.com/threads/kipanya-kaua-bendi-leo.223665/
polisi wachunguza kiini vishawishi vya shambulizi la paris maafisa wa polisi na wafanyakazi wa huduma za dharura wakiwa katika mtaa uliofungwa mjini paris baada ya shambulizi la kutumia kisu kutokea mei 12 2018 waziri wa mambo ya ndani wa ufaransa amekutana na maafisa wa usalama jumapili wakati uchunguzi unaendelea kufanywa na vyombo vya dola kutafuta kiini cha shambulizi hili na vishawishi vilivyopelekea mtu huyu (miaka kati ya 2021) kuwashambulia watu katika mitaa ya mjini paris jumamosi usiku na kumuuwa moja wao kikundi cha islamic state kimedai kuhusika na tukio hili katika mji mkuu wa ufaransa maafisa wa serikali ya ufaransa wamepongeza hatua za haraka zilizochukuliwa na polisi hapa ambao walifika katika eneo la tukio hilo dakika chache tu baada ya kutokea shambulizi hilo kufuatia kelele ya kwanza kabisa ya kuomba msaada polis wanasema kuwa bila ya kupoteza muda maafisa wa polisi walimpiga risasi na kumuua mshukiwa huyo aliyekuwa akishambulia watu ambapo hapo awali walipofika tu walijaribu kumdhibiti kwa kutumia kifaa kingine mwendesha mashtaka wa paris francois molins amewaambia waandishi wa habari kuwa mshukiwa huyo alitamka allahu akbar wakati akiwashambulia watu na kisu amesema wachunguzi wanafuatilia tukio hilo kwa kushukiwa kuwa kulikuwa na hamasisho la kigaidi maafisa wanasema kuwa mshukiwa huyo alimuuwa mtu moja na kuwajeruhi wengine wanne wazazi wake wanashikiliwa na polisi kwa ajili ya kuhojiwa taarifa zaidi zinasema mshukiwa huyo alizaliwa nchini chechnya mwaka 1997 na baadae kupata uraia wa ufaransa shambulizi la kigaidi indonesia
2019-02-20T12:22:33
https://www.voaswahili.com/a/polisi-wanachunguza-kiini-cha-shambulizi-la-paris/4391852.html
lowassa siyo mrahisi kama ra ni mtu wa visasi zaidi | jamiiforums | the home of great thinkers lowassa siyo mrahisi kama ra ni mtu wa visasi zaidi discussion in 'jukwaa la siasa' started by derimto jul 14 2011 watanzania wengi wanasubiri nani atafuatia baada ya ra kujiuzulu wakimsubiri kwa hamu kubwa edward lowassa kuliko hata andrew chenge maana hawa mapacha watatu wamepamba sana vyombo vya habari siku za hivi karibuni lowassa siyo mtu mrahisi kwa kiwango ambacho watu wengi wanamdhania na ni kosa kubwa sana kumweka kwenye kundi la wakata tamaa kama rostam aziz anajua amejipangaje na lazima atimize kusudi lake kusema kwamba lowassa ni kiongozi mzuri na mchapa kazi mwenye kuweza kufanya maamuzi magumu ni ukweli mdogo sana kulingana alivyo ki halisi na tabia zake binafsi 1 ni mtu mjanja sana na anayejua kutumia karata zake vizuri kwa wakati unaofaa huku akisoma alama za nyakati na kuhakikisha kuwa anawajua adui zake wa ndani na nje 2 huwa hawezi kurudi nyuma akishamchukia mtu atahakikisha amelipa kisasi na hasira zake zimekwisha na hana muda wa kuelewana naye atamtafuta mtu mwingine atayejenga naye urafiki na ili kummaliza yule wa awali 3 ni mtu ambaye hujiwekea usalama wa awali kwa kuwapandikiza watu wa kumfanyia kazi na kumletea majungu juu ya wabaya wake sehemu zote nyeti hasa za serikali na sehemu zote zenye nafasi za ulaji na hapishi hata deal ya 2ml 4 pia ni mnafiki na mjanja ambaye anajua kutumia watu wanaojijua na wasio jijua kwa masilahi yake binafsi na hata kuingiza mamluki kwa viongozi wa dini kulingana sadaka zake haramu wa wachunga kondoo wa bwana 5 ni mtu ambaye anapenda kuabudiwa kama mungu mtu na anapenda aogopwe na wale wanomzunguka waitikie na kukubali kila anachotaka na ukipingana naye yatakupata makubwa na na utatupwa nje ya madaraka haraka sana kwa kuwatumia mamluki na vibaraka wake aliowapandikiza kila mahali kwa wanaomjua vizuri ole moloimet aliwauliza baadhi ya (leigwanani) wazee wa kimasai wa monduli kuwa hivi mbuzi akikaa kwenye zizi la ng'ombe miaka 20 anaweza kubadilika na kuwa ng'ombe (akimaanisha lowassa ni mmeru na siyo mmasai na hana tabia za kimasai) wakamjibu hapana habari zikamfikia mungumtu lowassa na ndiyo ulikuwa mwisho wa ole moloimet mpaka leo ole sendeka anatamaniwa sana ila hajapatiwa mahali pazuri subiri apate madaraka kama utamsikia mtu anayeitwa ole sendeka tena kwa kifupi huyu jamaa ana mambo mengi sana ambayo hapa tukiyaeleza kila moja na visa vyake tutachukua muda mrefu sana na hatuwezi kumaliza kulingana na jinsi alivyoenea kila mahali kama soda ya coca cola ni kirusi hatari sana kwa wananchi walio masikini na wenye vipato vya kati na hafai kuwa rais wa jmt kuna watu kibao kutoka upinzani na hata chama tawala ambao ni wazalendo na wana uwezo wa kuwa rais yeye siyo malaika wa kumpamba na kusema kuwa anaweza kufanya maamuzi hi tamaa kubwa namna hii ya na uchu wa uraisi inatoka wapi mpaka alifikia hatua ya kuwaapia marafiki zake kile kiti yaani urais lazima apate iwe kwa damu au sanduku la kura huyu mtu bado watu wanasema kuwa anafaa kuwa rais na anaweza kufanya maamuzi magumu narudia tena kujiuzulu kwa lowassa ni ndoto na hata kama akifanya hivyo atarudi kwa mlango mwingine au atakuwa anaendesha nchi kwa remote control kitu ambaco siyo sawa kwa mtazamo wa haraka kwa watu wasio mjua kwa undani wanona ndiye kiongozi anayewafaa watanzania lakini nadhani kumchagua huyu ndugu ni kuleta janga lingine kubwa kwa mtazamo wa haraka kwa watu wasio mjua kwa undani wanona ndiye kiongozi anayewafaa watanzania lakini nadhani kumchagua huyu ndugu ni kuleta janga lingine kubwaclick to expand wewe ulijulia wapi na tangu lini mkuu hili wenye akili wanalijua jamaa hata hakusatahili kufikia level ya uwaziri mkuu leave alone ubunge no doubt kuwa he is smart guy who knows to use those around him lakini tusije kudhani kuwa rostam naye ni mjinga hawezi kukubali kuwa bangusilo nasubiri karata zake nina uhakika akicheza karata mbili tu vumbi litatimka na watu watajuta kama aliweza kuiweka nchi mkononi haiwezekani aamue kuiacha tu hivi hivi atakuwa amepata njia mbadala joto la uchaguzi ndani ya ccm linazidi kupanda kabla ya uchaguzi huo mwakani 2012 na tayari vyanzo vyangu vya habari za upekuzi zinafunua juu ya viapo vya edward lowassa kuwa amejiapiza atahakikisha kuwa ni wanamtandao wake wanaibuka kidedea kwenye kila ngazi ya uongozi ndani ya ccm hii tuichukulie kama tetesi tu freedom ov express muda wa lowasa ulishapita atambue hivyo kwani muda wote ameongoza kabla wengine hawajazaliwa ina maana kitu hakufanya makusudi ndio anataka afanye sasa nchi hii ina watu wengi sana nao acha waongoze wewe ulishaboronga inatosha noibody cares about ccm anymoreis it not a party of thieves ukiwa kinara wa wezi hivi unalo la kujivunia whose end is destruction whose god is their belly whose glory is in their shame who set their wicked minds on earthly things philippians 319 gamba kuu lililoshindikana kuvuka nadhani muda wa el kisiasa umekwisha atafute shughuli nyingine fedha anazo aende kupumzika monduli kama waziri mkuu mstaafu na sie cuf tutamsimamisha mtatiro kwenye uchaguzi wa 2015 kama chama chetu bado kitakuwa hai kwa kudra za muumba magamba imekula kwenu mwenyewe anadai his past is over na kwa vile ccm wanatumia masaburi lolote laweza kutokea tusibiri tuone nape atalia mbaya bora iwe uongo cz namuonea huruma mwacheni mzee lowassa apumzike alijiuzulu uwaziri mkuu tetesi hii haimtendei haki uamuzi wa kuachia madaraka ni mzito kwa upande wa serikali ndivyo hivyo tunategemea atachukua uamuzi mzito kwenye chama chake kwa kutokuwa nyuma ya kundi lolote ndani ya chama hsagachuma said nadhani muda wa el kisiasa umekwisha atafute shughuli nyingine fedha anazo aende kupumzika monduli kama waziri mkuu mstaafuclick to expand sawazisha hapo kidogo sio mstaafu ni waziri mkuu jiuzulu nape atalia mbaya bora iwe uongo cz namuonea hurumaclick to expand atafichwa mafia na kunyongwa jumla teh teh teh aendelee tu kuota ndoto za mchana kwani lowassa anasahau watanzania wana hasira naye kiama na akiamua kugombea urais akipata kura hata 10 ashukuru mungu mie naomba ccm wamchague awe mgombea urais tumsubiri mtaani kumuangusha anguko kuu once a fisadi always a fisadi there is no redemption mchagueni ccm anawafaa 2012 sijui 2015 tunamsubiri
2017-04-29T11:41:12
https://www.jamiiforums.com/threads/lowassa-siyo-mrahisi-kama-ra-ni-mtu-wa-visasi-zaidi.154752/
78 al´ayyaashiy upotoshaji wake wa kumi na sita wa aal ´imraan | firqatu nnajia 78 al´ayyaashiy upotoshaji wake wa kumi na sita wa aal ´imraan ´umar bin ´abdirrahmaan bin kathiyr amepokea kutoka kwa abu ´abdillaah aliyesema kuhusiana na maneno yake mola wetu hakika sisi tumemsikia mwitaji anaita kwenye imani mwaminini mola wenu basi tukaamini mola wetu tusamehe madhambi yetu na utufutie makosa yetu na tufishe pamoja na waja wema[1] ni kiongozi wa waumini aliyeitwa kutoka mbinguni mwamini mtume basi akawa amemuamini[2] ´aliy peke yake tu ndiye aliyemuamini muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) kwani ´aliy hakumuamini mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka aitwe na mwenye kuita kutoka mbinguni ni ubaya uliyoje raafidhwah walivyo ni ujasiri uliyoje walionao katika kuisemea quraan uongo na kuipotosha aayah ina maana kwamba waumini walisikia mlinganizi anawalingania katika dini ya allaah mlinganizi huo alikuwa ni mtume wa allaah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) wakamuamini na kumfuata raafidhwah wanakengeusha maana ya allaah na ikawa kama unavyoona mwenyewe basi ole kwa wale wenye kuandika kitabu kwa mikono yao kisha wakadai kuwa hayo ni kutoka kwa allaah ili wayabadilishe kwa thamani ndogo basi ole wao kwa yale yaliyoandikwa na mikono yao na ole wao kwa yale wanayoyachuma[3] [1] 03193 [2] tafsiyr al´ayyaashiy (1/211) [3] 0279 marejeo alintiswaar li kitaabil´aziyz aljabbaar uk 116 78 al´ayyaashiy upotoshaji wake wa kumi na sita wa aal ´imraan al´ayyaashiy amesema ´umar bin ´abdirrahmaan bin kathiyr amepokea kutoka kwa abu ´abdillaah aliyesema kuhusiana na maneno yake رَّبَّنَا إِنَّنَا سَمِعْنَا مُنَادِيًا يُنَادِي لِلْإِيمَانِ أَنْ آمِنُوا بِرَبِّكُمْ فَآمَنَّا ۚ رَبَّنَا فَاغْفِرْ لَنَا ذُنُوبَنَا وَكَفِّرْ عَنَّا سَيِّئَاتِنَا وَتَوَفَّنَا مَعَ الْأَبْرَارِ mola wetu hakika sisi tumemsikia mwitaji anaita kwenye imani mwaminini mola wenu basi tukaamini mola wetu tusamehe madhambi yetu na utufutie makosa yetu na tufishe pamoja na waja wema[1] ni kiongozi wa waumini aliyeitwa kutoka mbinguni mwamini mtume basi akawa amemuamini[2] ´aliy peke yake tu ndiye aliyemuamini muhammad (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) kwani ´aliy hakumuamini mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka aitwe na mwenye kuita kutoka mbinguni ni ubaya uliyoje raafidhwah walivyo ni ujasiri uliyoje walionao katika kuisemea quraan uongo na kuipotosha aayah ina maana kwamba waumini walisikia mlinganizi anawalingania katika dini ya allaah mlinganizi huo alikuwa ni mtume wa allaah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) wakamuamini na kumfuata raafidhwah wanakengeusha maana ya allaah na ikawa kama unavyoona mwenyewe فَوَيْلٌ لِّلَّذِينَ يَكْتُبُونَ الْكِتَابَ بِأَيْدِيهِمْ ثُمَّ يَقُولُونَ هَـٰذَا مِنْ عِندِ اللَّـهِ لِيَشْتَرُوا بِهِ ثَمَنًا قَلِيلًا ۖ فَوَيْلٌ لَّهُم مِّمَّا كَتَبَتْ أَيْدِيهِمْ وَوَيْلٌ لَّهُم مِّمَّا يَكْسِبُونَ basi ole kwa wale wenye kuandika kitabu kwa mikono yao kisha wakadai kuwa hayo ni kutoka kwa allaah ili wayabadilishe kwa thamani ndogo basi ole wao kwa yale yaliyoandikwa na mikono yao na ole wao kwa yale wanayoyachuma[3] [1] 03193 [2] tafsiyr al´ayyaashiy (1/211) [3] 0279 mhusika ´allaamah rabiy´ bin haadiy almadkhaliy mfasiri firqatunnajiacom marejeo alintiswaar li kitaabil´aziyz aljabbaar uk 116 imechapishwa 13/04/2017 http//firqatunnajiacom/78alayyaashiyupotoshajiwakewakuminasitawaaalimraan/
2018-06-18T22:43:03
http://firqatunnajia.com/78-al-ayyaashiy-upotoshaji-wake-wa-kumi-na-sita-wa-aal-imraan/
una cheti nina mume jamiiforums una cheti nina mume daah nimekaa nikawaza huyo mwenye cheti anachambwa kwenye msg kupitia simu yake ya kiganjani kwa maneno ka hizi haya bana muwe na mwisho mwema katika hizo mbio zenu vita vya wanawake vinachekesha sana sasa sijui kama anayekusudiwa anapitaga huku karrythas wakati naendelea kusoma comments huu uzi naona wachangiaji wengi wanawake wengine sijawah kuwaona sjui hii mada itakuwa na nini reactions mtu chake and shadeeya 30525 2000 huenda ses au pia yaweza kuwa ni sehemu ya kujifariji teh teh reactions mtu chake sesten zakazaka and dam55 itakuwa leo pombe hazipo kichwani bana mlevi mmoja wewe ni mazaramo duuuh huu uzi wa kibabe una madem kibao halafu id mpya hazijawahi kuonekana sana reactions nakukunda mtu chake and toughlendon_1 ingekua vizuri huu ujinga wako ungemtumia mlengwa kwa simu yake or hata ungemfuata uko aliko unamlipia bundle mwache aandike chochote kama huna mume na una cheti usikasirike hainaga digirii jamiiforums kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii haihusiki kwengine ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii kuna shida kichwani sio bure bwana yesu amtetee aweze kujitambua nafikiri hiyo ndoa ya mwenzake inamtesa sana ametamani kuingia kashindwa kwa hayo maneno nawaza kama kazaliwa manzese vile na kukulia uzuri mungu amsaidie ajitambue kama ni mwanamke mwenye watoto wanaomtegemea wapate malezi bora ili nalo neno unakuta mtu anakomaa na shule weee anakuja kumaliza ana 40 ndo anatafuta mume dah mume mwenyewe ulikuwa unamuona boya nimemchukua nimemtunza kapendeza sasa ndio unakumbuka ulikuwa umeolewa kaa na cheti chako umechelewa stendipole weeeee wanangu kusoma shule nzuri tu ndio linakushuka shuuuuu kumbuka anayesomesha wanangu ndiye aliyesomesha wanao ni baba yao hawa watoto ni ndugu acha roho mbaya eti urithi unazungumzia urithi wa mtu ambaye yuko hai na anatimiza majukumu yote mpaka yale uliyosema hawezi hapa kwangu mbona anatimiza hujioni una matatizo kwa taarifa yako wanangu hawahitaji urithi wako na wala hawana sababu ya kugombana na ndugu zao nilivyo navyo vinanitosha sana na nimeridhika sina tamaa kama za kwako kama ulivyosikia kuwa baba yao kawanunulia viwanja ni kweli hati ziko hapa kwangu sijamzuia asiwanunulie hao wa kwako eti gari kistaleti changu tu ndio unapiga domo kila siku kwa mashoga zako sasa kama na wewe ulitaka kununuliwa si ungemwambia akununulie mbona una magari au hayo hajakununulia kwa hiyo unaona wivu kuwa wewe umejinunulia magari lakini mimi kaninunulia tuliza mshono bibiye kwa taarifa yako gari nimenunua mwenyewe kwa biashara zangu ni kweli kanipa mtaji lakini biashara nimefanya mwenyewe kwa juhudi zangu umeshakuwa mtu mzima sasa tulia sasa usubiri wajukuu sisi ni familia moja sasa upende usipende watoto wetu ni ndugu na wanajuana jiheshimu uheshimiwe kama cheti mali kitandike kitandani kwako ukilalie au jaribu kujifunika nacho kikutie joto nachekajeeee halooooooooo na wanangu wana haki zote kwa baba yao nakukumbusha tu taarabu tena jf wapi nimeandika nimekasirika madima said umeonaeeee ndoa ipi cheti tu anaringia na hakimsaidii kila siku mikelele tu huko anakokunywa mipombe na mashangingi wenzie wa kwenye masemina na warsha na sasa anko m alivyozipiga panga hizo makongamano mbona mishauo kwishneeeee
2019-07-20T13:26:13
https://www.jamiiforums.com/threads/una-cheti-nina-mume.1604734/page-8
uongozi jamii forum nataka niseme hili kwa moyo wangu wote naanika kwenu | jamiiforums | the home of great thinkers uongozi jamii forum nataka niseme hili kwa moyo wangu wote naanika kwenu discussion in 'utambulisho (member intro forum)' started by mansakankanmusa may 6 2012 mimi ni mtanzania muafrika mweusi si nataka niwashukuru kwa kuanzisha hii jf imekuwa shule kuu na nataka niseme itaendelea kuwa shule yangu kabla baada ya shule zangu nilizopitia kwa hiyo basi naahidi kuheshimu sana hii forum si kwamba nishawahi kumess up hapana ni kwa namna ninavyokubali hii forum labda niseme kwamba kabla ya jf nilikuwa paltalk wana forum mbalimbali pia lakini jf naipenda na nilitembea mitandaso yooote na mingine nisojua bado nafaham jk you have huge room to keep me in// jf niliingia wkt nikiwa chuo kikuu kimoja majuu na nikafukuzwa inawezekana ni kwa sababu nilliiingia nikaanzakutumia bila kusoma sheria sijui nilivunja sheria ipi lkn najua lazima nilivunja sheria na ndo maana sijalalamikamaana kutojua sheria si sabb ya msingi kutofungwa jf you are my home please be sijui hata jf mwongozaj yuko wapi lakini hilo najua si muhimu kwangu kwa sasa lakin i swear ikitokea tatizo nijulisheni kabla ya kuniban maana naheshimu forum jf napendelea sana siasana kila kitu humu ndaninatumia zaidi ya saa 6 kila siku jf lkn vunja mbavu jf ni wale watu wanapozodolewa kwa kuandika uchafu mimi huwa nikisoma mtu anavyosemwa akikosea basi mimi mbavu sina kwa mfano leo jamaa mmoja aliomba aliwasema wenzake waliomaliza kidato cha 6 wasiende udom mkuu yule alichambwa sanaakapotea mwingine alikuwa anashauri na akatoa lecture hatari ya kupiga pulinilicheka sanamesejiyake kwa sababu yeye mwenyewe kama hajalipiga mambo aliyoandika na yeye lazima alilipiga sana sasa sijui alioa akaacha au la sasa meseji yake inachekesha tuilivyosiku moja kulitokea kukumbushana humu jfwatu wakaanza kukumbushana chupi tulizovaa miaka hiyooo za vip kama tunacheza mpira utashangaa bchupi ipo kifuanimwingine alivaa kaptula alikuwa haifui siku moja alivua akawa anaogelea sasa kaptula ikabebwana mbwan kukumbuishsna enzi hizo to jf you are the best please biig up ssana sitashangaa kuchumbuliwa na wanajfkaribuni tua s 465 so the point is kwanza umeshachangia jf njia tu ya kuchangia boss yenye uhakika jf ilikufanya ufukuzwe chuo cha majuu university hivi wajameni watu hufukuzwa jf karibu naona umejiunga janagoog start sawa ila changia jf mkono mtupu haulambwi tuendelee kufaudu mi binafsi nshawahi kuandika kwangu jf ni zaidi fb nina mwezi wa 5 sijagusa fb lakini hapa j3 masaa 4 naona nimekosa miaka karibu sana jf japo ulikuwepo nilitaka nikuchambe ila umenichekesha sana mwishoni hapo kwenye post yako so tuko pamoja seriza za jf mojawapo ni usitukane tukane humu au kutuma sparm nawish ningeziona hizo chupi za viplolflypig katika hii dunia kuna mambo mawili ambayo siyaelewi asilani 1 hotuba za kikwete anapowahutunia wale wazee wacheza bao wa mwembe yanga 2 huu waraka uliotuandikia hapa nawish ningeziona hizo chupi za viplolflypigclick to expand hivyo hivyo na nguo zako binafsi toka nijiunge jf january this yearnkimis kupekua jamvini kwa siku nahis kuachwa nyuma miaka 5mabreaking news ya humu ndo yananiacha hoimengine galacha mengine supaila kuna mtu anatumia id ya invisible huyu jamaa noma (but sina hakika kama she or he) mabreaking news yake yanakuwa ya ukweli hivyo hivyo na nguo zakoclick to expand vipi unataka kunionyesha loco dini gani wewe freemasons au tujue hilo kwanza ndio tuchangie vipi unataka kunionyesha lococlick to expand inabidi wote tuvue hata mimi ningependa kuona ya kwako ya kisasa at leastumetambua iloebu fanya ilikama kweli umekiri kwa kinywa chakoweka id yako humu inayoeleweka cyo iyo ya kichinaas a step foward nilikuwa nacho chupi ya vip duuu wanaganda chawa kinomaaaa changia jf loh january february march aprily may june julay august september october november december uko jf mimi nimejiunga jana jamani wana jf hodiiiiii nipokeeni mgeni wenu humu hayo uliyoyasimulia hapo juu sijakutana nayo meku poatumekupata
2017-01-18T08:27:37
https://www.jamiiforums.com/threads/uongozi-jamii-forum-nataka-niseme-hili-kwa-moyo-wangu-wote-naanika-kwenu.263184/
clouds fm wa hack account ya adili ya facebook na kusambaza ujumbe kuwa kajitoa ant virus | jamiiforums | the home of great thinkers clouds fm wa hack account ya adili ya facebook na kusambaza ujumbe kuwa kajitoa ant virus discussion in 'celebrities forum' started by ctu nov 6 2011 inasemekana kuwa clouds ime hack account ya adili mkwera na kuanza kuandika message kuwa kajitoa kama hivi [h=6]adili mkwela kuanzia leo najitoa katika huu usenge wa antivirus kwasababu sisi wenyewe pia ni *******mimi adili sina bifu na clouds wala rugewanaoendelea waendelee ila adili hisabati ''the great'' siponimekaa na kujua what we are doing is not hiphopkaeni mjue kung'ang'ania kusikika redioni na kutoka sio hiphopsifati mkumbo[/h] baadae akaandika tena hivi mapacha ndo chanzo nimejitoa kwenye hizi harakatieti mimi nawabania studio na eti nimechukua dili la kuprint tshirts za antivirus kwa sugu wakati lilikuwa dili laopili bora peke yangu[/h] baadae adili mwenyewe baada ya kujua kuna kirusi kiko ndani ya account yake akaandika hivi aisee mtu ambaye ameingia kwenye account yangu na kuandika vitu ambavyo sijasema nimeshangaa na kusikitishwa mimi ni kinega for life nice try clouds fmmnatuingilia mpaka vyumbani kwetu ktk acount zetu[/h] sugu nae akasirishwa na kuwashukia clouds fm kwani na yeye kaandika hivi taarifakuna virus kaingia kwenye akaunti ya fb ya adili hisabati na kuandika 'usenge'now we see how desparate people make desparate moveshii inanikumbusha lile tangazo la fiesta mbeya ambalo walitumia sauti yangu ili kuwavuruga watuni wazi nguvu ya wasanii inayozidi kuunganika kila siku inawachanganya sasa na kama walivyozoea wanajaribu kutugawahawataweza kutugawa vinega wa antivirus hata siku moja na tar 26 nov kinanuka uwanja wa chuo cha ustawi wa jamiibamaga tukiwa timu kamili kwenye big stage big sound too many lights for the nite[/h] mpaka sasa clouds fm hawajaongea chochote tutafakari juu ya hili mbona haileweki au jamaa kajitoa kweli naona sugu kampiga beat naona karudi tena ha ha ha ha ha sugu moto chini jamni haya mambo kha mbona haileweki au jamaa kajitoa kweli naona sugu kampiga beat naona karudi tena ha ha ha ha ha sugu moto chiniclick to expand nimeona hizo post najaribu kuamini kama kweli account ilikua hacked lakini inaniwia vigumu kuamini nadhani hizi ni publicity stunts kwasababu antivirus inazinduliwa mwezi huu na wanahitaji watu wajue hilo ambao watataka kuhakikisha kama adili hajajitoa watataka kwenda kwenye show you get it i'm just assuming though it makes sense tutafakari juu ya hiliclick to expand naunga mkono hizi harakati za wanahiphophuu muziki ambao baadhi ya wabana pua leo wanafaidika umetolewa mbali sanabinafsi nikiwa arusha miaka hiyo nakumbuka jinsi akina marehemu fred jebi akiwemo huyu anaetamba sasa stopper walivyosotapia nakumbuka shoo za 2 proud kuhamasisha vijanakuna watu wakajipenyeza kama wanania nzuri kumbe mwisho wanataka kuufanya muziki uwe wanavyotaka wao sisi wote ni binadamu pamoja na sugu leo ni mbuge lakini watu wa mawingu waliharibu kabisa mipango yake ya maisha kupitia muziki tena kwa makusudisugu kabla hata ya kuwa mbunge amejaribu sana kuendesha semina kibao kuelimisha wasanii ambao wengi wanashindwa kujitoa kwenye minyororo ya cloudshawa jamaa wanaushawishi kila sector ya muziki mpaka kujikomba kwa mh rais ili wafaidikesugu anawatumikia wana mbeya vizuri tu lakini analo deni ktk muziki sugu pigana muziki uwe huruwatu wafaidi jasho lao na sio kikundi cha watu wachache kuamua muziki gani utambe sasa ndio maana kule kwetu hakuna kutoleana maneno kienyeji mtu akileta za kuleta unampa za chembe ikishindikana panga moja la ugoko heshima inarudi na hiyo story inaisha sasa hii ruge vs sugu kila siku kila uchaotuwape pambano watoane ngeu heshima irudi tufanye kazi ingne ant virus 2 ntaipata wapi nani anajua inapitakan vp na wapi the fixation on clouds continues bila shaka hiyo ni album ya sugu au ndio maana kule kwetu hakuna kutoleana maneno kienyeji mtu akileta za kuleta unampa za chembe ikishindikana panga moja la ugoko heshima inarudi na hiyo story inaisha sasa hii ruge vs sugu kila siku kila uchaotuwape pambano watoane ngeu heshima irudi tufanye kazi ingneclick to expand ruge anaweza kumaliza hayahawa jamaa wametoka mbali sanawalikuwa wanapata heshima kama watu wa burudani na si siasa walipofika wanaweza kutengeneza pesa nzuri tu bila kuingilia mfumo wa muziki na kujiingiza kwenye siasa bifu lenu lina maslahi sie mashabiki holaaaaaa the fixation on clouds continuesclick to expand tena i cant take huyo sugu seriously as an mpi just canthes always pulling something to turn me offsijazoea kuona mbunge akitukana ovyo looking for attentionviongozi wa chama chake wako wapi kumpa mwongozotumemchoka i cant take huyo sugu seriously as an mpi just canthes always pulling something to turn me offsijazoea kuona mbunge akitukana ovyo looking for attentionviongozi wa chama chake wako wapi kumpa mwongozotumemchokaclick to expand ebana jiongelee nafsi yakomi sijamchoka bado sana aiseealaf nadhani hakuhusu kivyovyote bana wamigamba kama accounts zao zimekuwa hacked ina maana kuwa anti virus zao sio effective nitaraudi namchek jamaa hapo mitaa ya katinamdai pesa yangu kanipigia niende nikachuke hip hop for life mbeya for life tangu enzi za kina nigga j sun jacko dicka sharp kbc bbg sugu pia mbeya club ma concert ya mchana centre lyunga meta and all over we are supporting harakati against ruge and his media company
2016-10-28T20:19:34
http://www.jamiiforums.com/threads/clouds-fm-wa-hack-account-ya-adili-ya-facebook-na-kusambaza-ujumbe-kuwa-kajitoa-ant-virus.189687/
canada kutuma wanajeshi na ndege za kivita mali malicanada imechapishwa 20/03/2018 0820 imehaririwa 20/03/2018 0820 picha ikiwaonesha wanajeshi wa ufaransa wanaoshiriki operesheni barkhane nchini mali hapa wakiwa kwenye mji wa timbamogoye pascal guyot afp nchi ya canada imesema itatuma ndege kadhaa za kivita na zile za kusafirisha mizigo pamoja na wanajeshi watakaotoa mafunzo nchini mali katika kipindi cha miezi 12 kusaidia operesheni inayoendelea kufanywa na walinda amani wa umoja wa mataifa waziri wa ulinzi wa canada harjit sajjan amewaambia waandishi wa habari kuwa kikosi hicho maalumu kitajumuisha helkopta mbili kubwa za kivita ambazo zinahitajika kwa sasa kwaajili ya usafirishaji pamoja na helkopta nyingine nne za kuendesha mashambulizi na kulinda misafara ya walinda amani hata hivyo tarehe rasmi ya operesheni hii ya kwanza ya canada barani afrika tangu misheni yake ya nchini rwanda na somalia katika miaka ya 1990 pamoja na idadi kamili ya wanajeshi watakaotumwa haijawekwa wazi hakikisho hili la canada limekuja baada ya mwaka uliopita serikali ya ottawa kusema kuwa ingetuma ndege za kivita na zile za usafirishaji kusaidia operesheni za ukanda mjini entebbe uganda pamoja na kuweka tayari kikosi chake kitakachosaidia operesheni za umoja wa mataifa kilichokuwa na wanajeshi 200 waziri wa mambo ya nje wa canada chrystia freeland amesema kuwa kikosi kitakachotumwa nchini mali kitajumuisha wanawake ili kufikia lengo la usawa wa kijinsia kwenye operesheni za umoja wa mataifa za kulinda amani moja ya vipaumbele vyetu ni kuongeza idadi ya ushiriki wa wanawake katika operesheni za kulinda amani alisema waziri freeland hivi sasa wanawake wanaunda asilimia 37 ya wanajeshi wa kulinda amani na asilimia 95 ya polisi wanaolinda amani umoja wa mataifa hivi sasa unalenga kuongeza maradufu idadu ya wanawake wanaoshiriki operesheni za kulinda amani ifikapo mwaka 2020 operesheni za nchini mali ni moja ya operesheni hatari za umoja wa mataifa ambapo jumla ya walinda amani 150 wameuawa tangu mwaka 2013 wakati mmoja nchi ya mali ilisifika kwa kuwa taifa lililostawi demokrasia na utawala bora limeshuhudia mapinduzi ya kijeshi vita vya wenyewe kwa wenyewe pamoja na kuongeza kwa makundi ya kijihadi wanadipolomasia wawili wa canada walitekwa na kushikiliwa mateka kaskazini mwa mali mwaka 2009 makundi ya kijihadi ya kiislamu yenye uhusiano na mtandao wa kigaidi wa alqaeda walichukua maeneo ya kaskazini mwa mali kwenye mwaka 2012 lakini walifurushwa kwa kiwango kikubwa na majeshi ya ufaransa januari mwaka 2013 mwezi juni mwaka 2015 serikali ya mali ilitiliana saini makubaliano ya mkataba wa amani na baadhi ya makundi yenye silaha lakini makundi mengine ya kijhadi bado yanafanya shughuli zao kaskazini mwa nchi hiyo miezi ya hivi karibuni wanajihadi wamezidisha shughuliz zao katikati mwa nchi ya mali wakilenga vikosi vya serikali na vile vya kigeni jumla ya walinda amani wa nne wa umoja wa mataifa waliuawa na wengine wa nne walijeruhiwa mwezi februari mwaka huu wakati gari walilokuwa wakitumia kukanyaga bomu la kutegwa ardhini barkhane ufaransa maliugaidiwanajeshi wanajeshi wanne wa mali wauawa baada ya gari kukanyaga bomu mlipuko waua watu 26 mali maliufaransaugaidi wanajeshi wawili wa ufaransa wauawa nchini mali
2020-06-02T05:47:08
http://www.rfi.fr/sw/afrika/20180320-canada-kutuma-wanajeshi-na-ndege-za-kivita-mali-0
transponder habari kwa 20102017 satellite na iptv kupokea juu ya android openelec enigma2 na libreelec na guru · 20102017 tv channel dorama yeye alionekana katika mfuko ntv plus dalniy vostok ya 12245 r 27500 3/4 dvbs2 viaccess50 'boomtv yeye alionekana katika 12040h (urusi boriti) hadharani sr 28800 fec 3/4 'world (0hakuna)' 'kwanza channel (+2hakuna)' 'ijumaa (0hakuna) na 'russia 1 (+2hakuna) alionekana kwenye 12160h (urusi boriti) conax / irdeto 2 sr 28800 fec 3/4 sky digital frequency mpya kwa ajili ya tlc hd 1216800mhz polv (1216800mhz polv sr29500 fec8/9 sid3970 pid519[mpeg4]/648 nar647 english videoguard) channel 'movie zetu favorite i kushoto na 12322h channel 'sinema za kupendeza yeye alionekana katika 12322h (boriti kubwa) viaccess 40 sr 27500 fec 3/4 '13 tv yeye alionekana katika 11296h (boriti kubwa) hadharani sr 27500 fec 5/6 'pulsar kuzungumza hadharani juu ya 12348h (boriti ulaya) dvbs2 / 8psk / mpeg4 / waziwazi sr 30000 fec 3/4 tricolor tv itakoma utangazaji njia nne za amedia tv mtangazaji alielezea uamuzi wa viwango vya tv chini kuangalia lakini amedia tv ujasiri sababu katika masharti ya kibiashara ya vituo ya mkataba wa usambazaji national satelaiti company (tricolor tv) kusimamishwa utangazaji njia amedia hit a1 na a2 tv kampuni amedia tv kama sehemu ya mfumo wa uendeshaji wake hii kuripotiwa na utangazaji kwenye ukurasa wake wa facebook tricolor tv alithibitisha kwamba 13 oktoba kwa sababu mfuko toka nje hd a1 na a2 na njia amedia hit na amedia hit hd itapatikana kwa wateja 31 oktoba kulingana na mfumo wake mwenyewe telemetry tricolor amedia njia na chini tv viewing ratings huu ni televisheni maudhui ambayo iliunda vile kwamba ni aina ya promo kwa amediateka huduma hivyo iliamuliwa kusitisha ushirikiano wetu katika muundo huu alielezea mwakilishi wa tricolor tv uliana rasskazova kulingana naye operator yanatilia mkazo maendeleo ya vituo yake mbali watazamaji zaidi na zaidi kuhama kutoka linear na yasiyo ya linear maudhui ya matumizi ya hii yote yalijitokeza katika mabadiliko ya mahusiano na wamiliki na vituo vya televisheni aliongeza amedia tv moyo watazamaji kuwasiliana tricolor tv msaada na mahitaji ya kurudi njia kampuni pia inatoa wanachama wake bure kupata kwa operator 'amediateku kwa ajili ya mwezi kama ilivyoelezwa na mkurugenzi mtendaji amedia tv denis gorshkov vyama na kufikiwa makubaliano ya kibiashara kwa kuongeza mkataba kwa ajili ya usambazaji wa vituo hata hivyo tutaendelea kujadili na tunatarajia kutatua tatizo aliongeza tricolor tv kusisitiza kwamba upanuzi wa mkataba kwa amedia kundi la tv channels utangazaji si ilivyopangwa operator ina alishirikiana na amedia tv kutoka oktoba 2014 mwaka katika novemba 2016 kommersant the kwamba tricolor tv terminated mkataba na discovery mwakilishi wa alliance media kusimamia mtandao televisheni alisema kwamba alama kimetoa haikubaliki hali tricolor tv kwa upande wake na uhakika ambayo ina maudhui sawa katika mfuko zao za msingi katika oktoba 2017 mkurugenzi mkuu wa ntvplus mikhail demin alibainisha katika mahojiano kwamba bila kutatuliwa soko kulipatv bado suala la bei wakati wa kununua bidhaa kuna kila mfano kukubalika ambayo inawezekana kufanya mahesabu mchango wa kila kituo katika viewing televisheni kwa sababu hiyo katika maoni yake kuna hali xtra tv yazindua star family channel c 18 oktoba ushuru paket cinema na xtra mix utakuwa mpya ya kituo cha televisheni star family hivyo gharama ya michango haitabadilika star family ni kweli familia channel ambapo unaweza kupata kuvutia tv mfululizo kwa telezritelnits kiukreni mipango ya elimu kwa watazamaji vijana na sinema ambayo kuleta pamoja ya familia nzima kama hawana cinema au pakiti familia mix xtra unaweza kuunganisha yao sasa baada ya akaunti ya binafsi kwenye tovuti au kwa kupiga kituo cha mawasiliano yetu kwenye 067/050/093 7595759 19 oktoba 2017 mwaka kwenye jukwaa ntvplus televisheni channel kuanza utangazaji dorama kituo cha televisheni kuwa mwanachama wa mfuko basic ntv plus wanachama wanaweza kuangalia juu ya eneo la urusi dorama channel ambapo utapata mfululizo kufanywa kwa japan korea ya kusini china taiwan na nchi nyingine mfululizo hiyo kwa kawaida ulionyehsa kwa generic neno dorama kawaida mandhari yao romance vichekesho kijamii shule mwanafunzi na michezo maisha israel operator spacecom imeagiza uzinduzi wa pili satelaiti mbili amos starter mtoa spacex uamuzi huo ulitolewa licha ya ukweli kutokana na ajali ya mwisho kuanguka falcon 9 spacecraft ulipotea amos6 kwa mujibu wa israel business uchapishaji globes satellite amos17 na amos8 itazinduliwa carrier roketi falcon 9 katika miaka mitatu ijayo amos17 uliopangwa kufanyika uzinduzi katika robo ya kwanza 2019 mwaka kitatolewa masharti bure kwa gharama ya fedha kwamba alama amelipa spacex kwa ajili ya uzinduzi alishindwa wa amos6 spacecraft hili waliopotea katika mlipuko falcon 9 juu ya pedi uzinduzi wakati wa mtihani prelaunch siku mbili kabla ya uzinduzi amos8 itazinduliwa katika kipindi cha pili 2020 mwaka spacecom kwa kulipa huduma hii $62 milioni awali yehuda amir makamu wa rais wa spacecom katika cis mauzo alisema kwamba kutumia uwezo wa satelaiti hizi operator mipango ya kuingia katika soko la urusi hadi leo spacecom hakuweza kupata vibali muhimu kufanya kazi katika urusi lakini operator anasema angeweza kufanya hivyo iliingia muungano na kampuni ya urusi kazakh tv baada 15 miaka tp72 kuondoka tarehe 13 ° e kwa mujibu 14 septemba mwaka huu baada ya kusainiwa kwa iko media group operator mkataba na shirika la utangazaji kazakh tv inaweza kutarajiwa kwamba kituo kimataifa wa kazakhstan inaandaa mabadiliko katika usambazaji na eutelsat moto ndege 13 ° e satellite tena itakuwa haraka kwa sababu 16 oktoba kwa misingi ya makubaliano kazakh tv ilizinduliwa na uwezo ikomg kazakh tv alikuwa mmoja wa vituo kwanza digital ni 13 ° e wakati hot ndege satellite 3 kwa 15 miaka (kwa kuvunja ndogo katika 2012 mji) matangazo ya juu ya mzunguko moja 12149 ghz pol v (sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) channel katika mwanzo wa umma ulaya imekuwa inajulikana chini ya jina caspionet na alikuwa wasifu za rena ya kiufundi na habari katika kiingereza na lugha ya kirusi 1 septemba 2012 mwaka kubadili jina lake na mandhari ya wote ya maadhimisho ya miaka 10 ya utangazaji kazakh tv kwanza nchini satellite channel ya jamhuri ya kazakhstan matangazo 24 masaa siku katika lugha tatu kazakh kirusi na kiingereza kazi muhimu ya kituo sio kutoa taarifa watazamaji kigeni kuhusu matukio na maisha katika kazakhstan pamoja na kuwasilisha haraka na wa haki ya nafasi kazakhstan ya kuhusiana na masuala makubwa ya siasa za kimataifa satellite abs 2a (747° e) alianza umma kituo cha utangazaji wa televisheni mir 24 hd on mawasiliano ya simu mpya ya satelaiti abs 2a (747° e) kulikuwa na mwingine mpango bure katika ubora wa juu (hdtv) russian habari channel world 24 hd mir 24 hd mini ameonekana ndani ya mfuko katika mzunguko 11490 ghz ambayo bado mir channel katika sd azimio ilikuwa inapatikana kwa wakati kukabiliana kuhusiana na toleo moscow ambayo ni kumaliza utangazaji matangazo mir hd kwa ukamilifu hd azimio 1920×1080 katika mpeg4 / h264 na sauti kama 320 kbit / s (mpeg) kituo cha mir 24 hata sasa matangazo kupitia satellite katika sd azimio inapatikana tu kwenye nafasi za abs 2a (747° e) horizons и 2 (85° e) na express amu6 (53° e) world channel 24 ni mtaalamu wa kutoa habari na taarifa za mikoa kutoka nchi cis bidhaa vipimo mir 24 hd mbali na mir 24 hd pia inatoa operator channel world hd ambalo lina mipango katika hd world hd kituo pia matangazo ya satellite abs 2a eutelsat kushindana na jukwaa satellite viasat na xtratv inaonekana kifaransa operator eutelsat satellite hivi karibuni kuzindua satellite yake jukwaa ukraine kampuni tayari alipewa kituo cha kupeleka (kolonschyna katika kijiji kyiv mkoa) huduma kwa ajili ya kupeleka vituo kwenye eutelsat kampuni satellite rasmi kuanza kutoa europort (llc europort) uplink kampuni ni kujengwa si tu kwa ajili ya kuongeza njia satellite tv lakini pia kwa ajili ya matengenezo ya majukwaa satellite wanasema europort eutelsat ni kuandaa nyaraka kwa baraza la taifa katika leseni satellite jukwaa ukraine inatarajiwa inaonekana kwamba katika mwanzo wa mwaka kulingana na vyanzo uplink zinajengwa kwa pesa ya kifaransa ingawa wamiliki wa europoort ilianzishwa mwaka mmoja uliopita kiukreni (kwa mujibu wa hali rejista ltd nusu mwenyewe yuri petrushevsky na edward solonukha pia saraka hiyo) katika mazungumzo na mimi yuri petrushevsky inayoitwa europort mpenzi kipekee eutelsat ukraine lakini alibainisha kwamba kampuni ni bado tayari kutoa maoni hadharani na maelezo kuhusu uzinduzi wa jukwaa satellite kuhusu kwamba eutelsat ni kuandaa na kuzindua uplink yake kuongelea mwaka mmoja uliopita na kuwasili kwa makampuni katika ukraine na telegruppy alitangaza mipango kutolewa satellite signal kuripotiwa kwamba alama mawazo juu ya kuzindua satellite jukwaa yake mashindano na na viasat xtra tv zenye lengo hili kifaransa ni nafuu sana kununua kiufundi tata satellite operator lybid tv iliyoko kolonschyna wakatoka kwa soko katika 2014 vyanzo vingine bayana kwamba kiufundi tata pia kwa sauti kubwa breakwater kuna tu jengo kushoto na electrics na optics kama ya leo europoort inaongea juu ya eutelsat 9b satellite kulipwa televisheni star cinema (ishara inapatikana katika fomu coded encoding conax) mwisho kuanguka eutelsat ilizindua ushirikiano na media group ukraine juu ya eutelsat 9b satellite mtihani katika mfumo wa kupanda channel ukraine «ufo tv» na «indigo» (inapatikana leo ufo na indigo) kama vile 63 kutolewa kwa mtoa channel satellite xtra tv kuna eutelsat na wateja wengine kutoka ukraine eu muziki vituo we # na hdfashion&lifestyle wao kazi katika bajeti kabendi na matangazo kutoka eutelsat kasat 9a satellite kutumia mtoa uplink vikundi tarehe on majadiliano soko kwamba utangazaji gharama yao ya ishara 8 elfu uah / mwezi dhidi $510 elfu kwa mwezi katika spacecom na ses) hata hivyo kabendi njia inapatikana kwenye sahani satellite tu na vifaa maalum hivyo chaguo hili tayari kutumia kitengo tv ambao si hofu ya kupoteza wingi wa watazamaji kumbuka eutelsat imekuwa nafasi kati ya mzunguko mkubwa wa waendeshaji satellite duniani kampuni pia anajulikana kwa ambayo inafanya kazi na njia ya urusi tv kuongeza yao katika ishara ya wazi sky mwaka ujao itaanza kutangaza njia uhd katika italia na ujerumani mkurugenzi wa idara ya makampuni maudhui ya ulaya katika sky gari deyvi aliiambia wageni mipcom waliokuja kusikiliza hotuba yake akitoa katika sony uhd theatre kuhusu mafanikio kuu ya ultrahighdefinition tv (ultra hd) uingereza pamoja na ahadi kwamba katika mwaka kutoa ya sky q pia itapatikana kwa wakazi wa ujerumani na italia davey akatupa kuwa kuwepo kwa uhd video zake ni muhimu zaidi ya sababu kuu tatu hufanya wateja wa kampuni kujiunga na huduma sky q ambayo anasimama juu 12 paundi (1350 euro) kwa mwezi zaidi na kumwambia kwamba kuanzia leo kampuni sky uingereza tayari zinazozalishwa zaidi ya 1 000 masaa ya maudhui ya 4k wasiwasi letu kuu hasa katika kesi ya maambukizi moja kwa moja ya mechi ya kandanda ilihusisha data utata kushangaza jinsi ya haraka tuliweza kushinda tatizo hili sisi hivi karibuni alikuwa matangazo ya moja ya tamasha muziki na mbele wengi zaidi ya miradi kama televisheni hadithi davey pia alithibitisha habari kwamba mwaka ujao itaongeza bajeti kwa ajili ya uzalishaji wa maudhui halisi uhd (haihusiani na michezo) katika muziki wote pia alibainisha kwamba gharama zaidi katika utengenezaji wa uhd maudhui haraka kupunguza nafuu kwa ajili ya uzalishaji davy soobshtil uhd maudhui kwamba ilijiunga na teknolojia hdr na matoleo yote zina ubora katika hali ya maabara hadithi ijayo transponder habari kwa 23102017 hadithi uliopita transponder habari kwa 19102017 na guru · kuchapishwa 17042016
2017-11-23T23:50:27
https://hdbox.ws/sw/sat-tv-novosti/4954-transpondernye-novosti-za-20-10-2017.html
← asbaabunnuzuul (sababu ya kuteremshwa)(( قُل هُوَ اللهُ أَحَدٌ اللهُ الصَمَدُ)) surat alikhlaasw jeshi la osama bin zeid → bismillaah waalhamdulillaah wasswalaatu wassalaam alaa muhammad wa alaa aalihi wa aswhaabihil kiraam wa baad zifuatazo ni sababu na hoja ambazomuislam mwenye kupenda kufuata haki na mwenye kutaka apate uongofu ili abakie katika njia iliyonyooka na ajiepushe na mambo ya baatil hoja ni za wazi kutoka katika quraan na sunnah hoja za kupinga jambo hili ziko nyingi sana lakini tulizozikusanya tunatumai kuwa zitamtosheleza muislamu aikinaishe nafsi yake kuwa maulidi ni jambo la uzushi katika dini kwa hiyo ni bora kutenda amali zile tulizopata mafundisho yake kutoka kwa mtumeصلى الله عليه وآله وسلم maswahaba wake na salafus swaalih (watangu wema) kumpenda mola mtukufu aliyetuumba kwanza kabisa ni kwa sababu ya kumpenda mola mtukufu aliyetuumba ambaye anataka kuhakikisha kuwa mapenzi yetu kwake ni kumfuata mtume صلى الله عليه وآله وسلم ambaye tokea kuzaliwa kwake hadi kufa kwake hakufanyiwa wala hakusherehekea siku yake ya kuzaliwa ((قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللّهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَاللّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ)) ((sema ikiwa nyinyi mnampenda allaah basi nifuateni mimi allaah atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu na allaah ni mwenye kufuta madhambi na mwenye kurehemu)) [alimraan 31] sababu ya pili kufuata amri yake mtume صلى الله عليه وآله وسلم ya kushikamana na sunnah zake na sunnah za makhalifa wake sababu ya tatu ametuamrisha allaah سبحانه وتعالىtufuate aliyotuletea mtume صلى الله عليه وآله وسلم na tujiepushe na aliyotukataza ((وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا)) kufuata amri ya kumtii allaah سبحانهوتعالى na mtume wake صلى الله عليه وآله وسلم anasema allaah سبحانه وتعالى katika aayah nyingi kwenye quraan ((na mtiini allaah na mtiini mtume ))[attwaghaabun 12] kutokufuata amri ya mtume صلى الله عليه وآله وسلم ni kumkhalifu na kupata adhabu kali ((فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَن تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيم)) sababu ya sita kumpinga mtume صلى الله عليه وآله وسلمni sababu ya kuingizwa motoni kukhofu upotofu unaompeleka mtu motoni mtume صلى الله عليه وآله وسلم alikuwa akitanguliza khutba zake kwa kutoa maonyo hayo (( إن خير الكلام كلام الله وخير الهدي هدي محمد صلى الله علي وسلم وشر الأمور محدثاتها وكل محدثة بدعة وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار)) أخرجه مسلم في صحيحه ((maneno bora ni kitabu cha allaah (quraan) na uongofu mbora kabisa ni uongofu wa muhammad صلى الله عليه وآله وسلم na jambo la shari kabisa ni uzushi na kila jambo jipya (katika dini) ni bidah (uzushi) na kila bidah ni motoni)) [muslim katika swahiyh yake] mtume صلى الله عليه وآله وسلم alipoonya katika hadiyth ifuatayo kuwa makundi yote yanayojiita ni ya kiislam na hali hayafuati mafunzo kama aliyokuja nayo yeye yatakuwa motoni isipokuwa kundi moja maswahaba walishtuka na wakataka kujua ni kundi gani hilo moja akawajibu kuwa ni kundi ambalo watu wake watakuwa wanafuata mwendo wake na wa maswahaba zake ((افترقت اليهود على إحدى وسبعين فرقة، وافترقت النصارى على اثنتين وسبعين فرقة، وستفترق هذه الأمة على ثلاث وسبعين فرقة كلها في النار إلا واحدة،)) فقال الصحابة من هي يا رسول الله؟ قال ((من كان على مثل ما أنا عليه وأصحابي)) الترمذي و الحاكم ((waligawanyika mayahudi katika makundi sabini na moja na waligawanyika manaswara katika makundi sabini na mbili na utagawanyika umma wangu katika makundi sabini na tatu yote yataingia motoni ila moja)) maswahaba wakasema ni kundi lipi hilo ee mtume wa allaah akajibu ((ni lile ambalo litakuwa katika mwenendo wangu hii leo na maswahaba zangu))[imepokewa na maimaam attirmidhiy na alhaakim] kuitikia wasiya wa allaah سبحانه وتعالى ili kubakia katika njia iliyonyooka ((وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلاَ تَتَّبِعُواْ السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ ذَلِكُمْ وَصَّاكُم بِهِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ)) vitendo visivyokuwa vya sunnah havipokelewi hivyo mtu atapoteza muda wake labda na gharama ya kutekeleza bidah hii na kumbe amali hii haina thamani yoyote mbele ya allaah maulidi yamezushwa karne ya nne (miaka mia nne) baada ya kufa mtume صلى الله عليه وآله وسلم na watu wenye kufru walioanzisha maulidi ni viongozi wafaatwimiyyun huko misr (hawa walikuwa ni rawaafidh (mashia) katika dhehebu la ismailiyah [makoja] walianza kusherehekea maulidi ya aliy bin abi twaalib (radhiya allaahu anhu) na maulidi ya hasan na husayn (radhiya allaahu anhuma) na maulidi ya faatwimah azzahraa (radhiya allaahu anha) na maulidi ya kiongozi wao aliye hai kwa wakati ule sasa kwa nini tuwafuate wao na kamaalivyotujulisha mtume صلى الله عليه وآله وسلمkwamba watu bora kabisa wa kuwafuata ni wa karne tatu pekee aliposema makafiri wanafurahi waislamu wanapofanya bidah kwani ni kuacha mafunzo sahihi ya dini na ni kuzifuta sunnah za mtume صلى الله عليه وآله وسلم baadhi ya maneno katika maulidi yana kufru ya kumpandisha mtume صلى الله عليه وآله وسلم cheo cha usawa na allaah سبحانه وتعالى wakati yeye ametuonya tusifanye hivyo sababu ya kumi na nne wanapoinuka kumswalia mtumeصلى الله عليه وآله وسلم wanaamini kwamba roho yake inahudhuria wakati huo siku moja maswahaba walikuwa wamekaa msikitini pamoja na abubakar رضي الله عنه ambaye alikuwa akisoma quraan abdullah ibn ubbay ibn saluul mnafiki mkubwa alikuja akaweka takia na mto wake akaketi alikuwa ni mwenye sura nzuri na mwenye lugha ya ufasaha alisema ewe abu bakar muulize mtume صلى الله عليه وآله وسلم atuonyeshe alama ya utume wake kama walivyotuonyesha watume wengine mfano muusa عليه السلام ametuletea ubao (wa tauraat) iysa عليه السلام alituletea injiyl na meza ya chakula kutoka mbinguni daawuud عليه السلام alituletea zabuur swaalih عليه السلام alitulietea ngamia wa kike abu bakar رضي الله عنه aliposikia akaanza kulia mara akaingia mtumeصلى الله عليه وآله وسلم na abu bakar رضي الله عنه akawaambia maswahaba wengine wainuke kumpa heshima mtume صلى الله عليه وآله وسلم na kumpa malalamiko ya mnafiki mtume صلى الله عليه وآله وسلمakasema ((sikizeni msiniinukie mimi bali kuchanganyika kwa wanawake na wanaume ((خالفوا المشركين، أحفوا الشوارب، وأوفوا اللحى))البخاري و مسلم na kufanya hivyo (kusherehekea maulidi) tutakuwa tunajifananiza nao na jambo hilo la kuwaiga na kujifananisha na mambo yao limekatazwa kama alivyosema mtumeصلى الله عليه وآله وسلم ((من تشبه بقوم فهو منهم )) أحمد و أبو داود anayejishabihisha na watu basi naye ni miongoni mwao)) [ahmad abu daawuud] kuzusha mambo mapya ya dini ni kama kumtuhumu mtume صلى الله عليه وآله وسلم kuwa ametukhini mafunzo ya dini na hakuyakamilisha bali kuna aliyoyaficha na hakutupa yote na hali aliikamilisha dini kama ilivyompasa aayah hii chiniiliteremshwa kudhihirisha ukamilifu wa dini ya mola mtukufu sasa vipi watu walete mafundisho ya dini mapya yasiyotokana na mafunzo kutoka kwa allaah سبحانه وتعالى na mtume wake صلى الله عليه وآله وسلم anauliza allaah سبحانه وتعالى ((au hao wana miungu ya kishirikina waliowatungia dini asiyoitolea idhini allaah)) [ashshuura 21] عَنْ أَبِي مُحَمَّدٍ عَبْدِ اللَّهِ بِنْ عَمْرُو بِنْ العَاصِ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وآله وسلم ((لا يُؤْمِنُ أَحَدُكُمْ حَتَّى يَكُونَ هَوَاهُ تَبَعَاً لِمَا جِئْتُ بِهِ )) حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ، رَوَيْنَاهُ فِي كِتَابِ الْحُجَّةِ بِإِسْنَادٍ صَحِيحٍ kutoka kwa abu muhammad abdullah ibn amr bin alaasw رضي الله عنهambaye alisema mtume صلى الله عليه وسلم kasema ((hatokuwa kaamini (kikwelikweli) mmoja wenu mpaka mapenzi yake yatakapomili (yatakapotii au kuwafikiana) kwenye yale niliyoyaleta)) (mafundisho)[hadiyth hasan iliyotoka katika kitabu alhujjah ikiwa na mtiriko mzuri wa mapokezi] kuacha mambo yenye shaka na kubakia katika yaliyo wazi عَنْ أَبي مُحمَّدٍ الحسَنِ بْنِ عليّ بْنِ أبي طَالِب، سِبْطِ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم وَرَيْحَانَتِهِ رضيَ اللهُ عنهُما، قالَ حَفِظْتُ مِنْ رَسُولِ الله صلى الله عليه وسلم ((دَعْ ما يَرِيبُكَ إلى مَا لاَ يَرِيُبكَ )) رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ وَالنَّسَائِيُّ وَقَالَ التِّرْمِذِيُّ حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ kutoka kwa abu muhammad alhasan ibn aliy ibn abi twaalib mjukuu wa mtume صلى الله عليه وسلم na kipenzi chakeرَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا alisema nilihifadhi kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلمmaneno haya ((acha kile kinachokutia shaka ufuate kile kisichokutia shaka)) [imesimuliwa naattirmidhiy na annasaaiy attirmidhiy akisema kuwa ni hadiyth hasan na swahiyh] mwezi huu wa rabiyul awwal ni mwezi alioaga dunia mtume صلى الله عليه وآله وسلم sasa vipi muislamu asherehekee wanachuoni wote wameafikiana kuwa siku hii ya tarehe 12 rabiyul awwal nisiku aliyofariki mtume صلى الله عليه وآله وسلمvipi sasa watu watakuwa wanafurahi kwa siku kama hiyo anas bin maalikرضي الله عنه anatuhadithia kuwahakuna siku ambayo watu wa madiynah walikuwa na furaha ya hali ya juu kama siku aliyohamia mtumeصلى الله عليه وآله وسلم katika mji huo na hakuna siku ya huzuni kabisa kwa watu wa madiynah kama siku aliyoaga dunia mtume صلى الله عليه وآله وسلم inaonekana kama sisi tunakwenda kinyume na maadili ya wale watu bora waliokuwa wakimpenda mtume صلى الله عليه وآله وسلم hata kuliko nafsi zao wenyewe ukitaka kujua hoja za waislamu wanaofuata bidah hutopata kutoka kwao hoja nyingi kutoka katika quraan na sunnah bali ni hoja za kutokana na rai zao tu au watakwambia kwani kuna ubaya gani na hata wakitoa hoja kutoka katika quraan na sunnah basi utakuta kwamba wanazifasiri dalili hizo isivyokusudiwa bali wanazishabihisha na matamanio yao kama anavyosema allaah سبحانه وتعالى ((هُوَ الَّذِيَ أَنزَلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ مِنْهُ آيَاتٌ مُّحْكَمَاتٌ هُنَّ أُمُّ الْكِتَابِ وَأُخَرُ مُتَشَابِهَاتٌ فَأَمَّا الَّذِينَ في قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَابَهَ مِنْهُ ابْتِغَاء الْفِتْنَةِ وَابْتِغَاء تَأْوِيلِه)) hufuata matamanio ya nafsi inavyopenda na sio kufuata haki wengine kutokana na unasaba wao huwa ni kwao kama utukufu kuwa nao wamo katika unasaba wa mtumeصلى الله عليه وآله وسلم ((wala usifuate matamanio yakakupoteza kwenye njia ya allaah))[swaad 26] 3 ugumu wa kuacha mila uliotokana na mababa na mababu mitume waliopita walikuwa wakiwaita watu wao wawafuate waliyokuja nayo ya haki walipendelea kubakia katika ujinga na mila za mababa zao na waislamu wenye kufuata mambo ya bidah nao ni vile vile ukiwauliza kwa nini hamuachi mambo yasiyo katikamafundisho ya mtume صلى الله عليه وآله وسلم wanajibu hivyo hivyo kuwa vipi tuache maulidi na hali tumekulia nayo au tutaachaje kitu ambacho mababa zetu walikuwa wakifanya ina maana wao walikuwa hawajui ((وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ تَعَالَوْاْ إِلَى مَا أَنزَلَ اللّهُ وَإِلَى الرَّسُولِ قَالُواْ حَسْبُنَا مَا وَجَدْنَا عَلَيْهِ آبَاءنَا أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لاَ يَعْلَمُونَ شَيْئًا وَلاَ يَهْتَدُون)) ((na wanapoambiwa njooni kwenye yale aliyoyateremsha allaah na kwa mtume husema yanatutosha tuliyowakuta nayo baba zetu je hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka)) [almaaidah 104] ((وَإِن تُطِعْ أَكْثَرَ مَن فِي الأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَن سَبِيلِ اللّهِ إِن يَتَّبِعُونَ إِلاَّ الظَّنَّ وَإِنْ هُمْ إِلاَّ يَخْرُصُونَ)) 5 wengine wanasema kuwa ni kudhihirisha mapenzi ya mtumeصلى الله عليه وآله وسلم mojawapo yao ni kuwa maulidi ni bidatunhasanah katika dini ya kiislamu hakuna bidah nzuri kwani mtume صلى الله عليه وآله وسلم alipotuonya alisema kullu bidatin dhwaalaah (kila bidah ni upotofu) na ikiwa kauli hii wanaipinga kuwa sio kila bidah basi wanasemaje kuhusu kauli ya allaahسبحانه وتعالى anaposema this entry was posted in uncategorized bookmark the permalink ← asbaabunnuzuul (sababu ya kuteremshwa)(( قُل هُوَ اللهُ أَحَدٌ اللهُ الصَمَدُ)) surat alikhlaasw
2016-12-06T15:58:25
https://ahlusuna.wordpress.com/2012/01/29/sababu-21-za-kumfanya-muislam-asisherehekee-maulidi/
majambazi yateka gari na kupora simufedha na bunduki majambazi yateka mabasi yampora polisi bunduki majambazi 10 wakiwa na silaha za kivita wameteka mabasi mawili ya abiria katika hifadhi ya taifa biharamulo na burigi mkoani kagera na kupora bunduki moja ya polisi waliokuwa wakisindikiza moja ya mabasi hayo pamoja na kuwapora abiria mali za aina mbalimbali kufuatia tukio jeshi la polisi mkoani kagera kwa kushirikiana na vikosi vingine vya jeshi la wananchi wa tanzania (jwtz) limeanza msako mkali katika hifadhi hizo kwa lengo la kuwakamata majambazi hao mabasi hayo ya kampuni ya nbs lenye namba za usajili t 644 buk likitoka bukoba kwenda arusha na kampuni ya rs investment lenye namba za usajili t 495 agt likitoka bukoba kwenda dar es salaam yalitekwa juzi saa 230 asubuhi kamanda wa polisi mkoani kagera philip kalangi alifafanua kuwa majambazi hao walikuwa na bunduki mbili za light machine gun (lmg) na sita aina ya sub machine gun (smg) kamanda kilangi alisema majambazi hayo yalipora bunduki moja ya jeshi la polisi yenye namba za usajili 14302551 ambayo ilikuwa na askari wanne walikokuwa ndani ya gari wakilisindikiza moja ya mabasi hayo hata hivyo alisema askari hao walizidiwa nguvu na majambazi hao waliokuwa na silaha za kivita alisema wakati wa majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi abiria frederick rugahyula (47) alijeruhiwa shingoni na amelazwa katika hospitali teule ya biharamulo akipatiwa matibabu habari imetolewa na nipashe
2018-02-25T13:53:24
https://deejaydeo.blogspot.com/2013/07/majambazi-yateka-gari-na-kupora_2151.html
kambi ya watoto na vijana kutoka shinyanga na simiyu (ariel camp2016) yafungwa mkoani kilimanjaro kambi ya ariel ya mwaka 2016 (ariel camp 2016) iliyodumu kwa muda wa siku tano kwa watoto na vijana 50 kutoka mikoa ya shinyanga na simiyu iliyoandaliwa na shirika la ariel glaser pediatric aids healthcare initiative (agpahi) linalojihusisha na mapambano dhidi ya virusi vya ukimwi (vvu) na ukimwi imefungwa kambi hiyo ya 6 iliyokuwa na kauli mbiu isemayo watoto na vijana ni hazina wape kipaumbele katika huduma za afya na makuzi ili kuzuia maambukizi mapya ya vvu ilianza siku ya jumatatujuni 132016 na kumalizika siku ya ijumaa juni 172016 lengo la kambi ilikuwa kuwapatia watoto na vijana maarifa mbalimbali yatakayowawezesha kukua na kuishi katika matumaini chanya akizungumza wakati wa kufunga kambi hiyo katika viwanja vya hoteli ya lutheran uhuru mjini moshi mkoani kilimanjaro mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa ambaye pia ni rais wa chama cha madaktari bingwa wa watoto tanzania alisema washiriki wa kambi hiyo ni watoto na vijana kutoka klabu 50 za watoto kutoka kwenye kliniki za huduma za dawa na matunzo katika mikoa hiyo lengo la klabu hizo ni kuwaleta pamoja watoto na vijana walio katika huduma ya tiba na matunzo ili kufahamu hali zao za kiafya kufuatilia huduma za afya kwa urahisi kupata ujasiri wa kuendelea na malengo yao na kutimiza ndoto zaoaliongeza dr mwakyusa alibainisha kuwa klabu hizo pia zinasaidia watoto kuelimisha watoto wenzao kusaidia watoto wenzao kufika katika huduma za afya kwa wakati lakini pia ni sehemu ya kucheza pamoja na kupeana matumaini mapya na njia mojawapo ya kuwahamasisha watoto na vijana kuendelea kubaki kwenye huduma tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kuwafikia watoto na watu wazima wenye maambukizi ya virusi vya ukimwi (vvu) na kuwaanzishia huduma ya tiba na matunzohata hivyo kazi hii ni nzitotunahitaji ushirikiano wa hali ya juu kutoka serikalini na wadau mbalimbali ili kuhakikisha kuwa tunapunguza hata kumaliza kabisa maambukizi ya vvualiongeza dr mwakyusa awali akisoma historia ya klabu za watoto na kambi ya ariel afisa miradi huduma unganishi kwa jamii agpahi richard kambarangwe alisema kambi zilianza baada ya klabu za watoto kuimarika ndipo shirika la agpahi likaanzisha utaratibu wa kuwakutanisha watoto wanachama wa klabu katika kambi (ariel children camp) ambapo watoto kutoka kila halmashauri za wilaya wakiwawakilisha wenzao kushiriki katika kambi naye afisa mradi kitengo cha tiba na matunzo mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi dr florence ndaturumbali na kulipongeza shirika la agpahi kwa jitihada kubwa linazofanya katika mapambano dhidi ya vvu na ukimwi hususani kwa mama na mtotoaliyataka mashirika na taasisi zingine kuiga mfano kutoka agpahi asilimia kubwa ya watoto wanapata maambukizi ya vvu kutoka kwa mamaagpahi wanasaidia katika kutoa huduma ya kuzuia maambukizi ya vvu kutoka kwa mama kwenda kwa mtotowanaisaidia serikali kwa kiasi kikubwa kuwaanzia tiba na kuwapa matunzo wale wote wanabainika kuwa na maambukizi na kuhakikisha kuwa hawapati maambukizi mapya ya vvu alisema dr ndaturu naye mwakilishi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaropaul shayo alilishukuru shirika hilo kwa kujali afya ya watanzania na kuwaomba kuwafikia watanzania wengi zaidi katika mikoa mingine nao watoto na vijana walioshiriki kambi hiyowalieleza kufurahishwa na kambi hiyo kwani wameweza kucheza pamojakupata maarifa mbalimbali na kuongeza uelewa wa kijiografia baada ya kutembelea maeneo ya vivutio mkoani kilimanjaro kama vile ziwa chala wakiwa kambini watoto na vijana hao walishiriki pia katika shindano la kutafuta mrembo wa kambi miss ariel camp 2016na mtanashati wa kambi mr ariel camp 2016ambapo washindi walikuwa winfrida paul na peter kulwa wakati wa kufunga kambi hiyowatoto na vijana hao walipewa zawadi mbalimbali ikiwemo mabegi ya shulesare za shulekangakalamupenseli na vitu vingine kadha wa kadha muhimu katika maisha yao mwandishi wetukadama malunde ametuletea picha za matukio yaliyojiri kuanzia mwanzo hadi mwishofuatilia hapa chini hapa ni katika viwanja vya hoteli ya lutheran uhuru mjini moshi ambapo hafla ya kufunga ariel camp 2016 imefanyikamiongoni mwa wageni waliohudhuria katika kambi hiyo ni maafisa kutoka agpahi madaktari bingwa wa watotowataalaamu wa masuala ya kisaikolojiaafisa mradi kitengo cha tiba na matunzompango wa taifa wa kudhibiti ukimwi dr florence ndaturu na mratibu wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi (tacaids) mkoa wa kilimanjaro bi razia ngaina wengine ni bi pamela muroambaye ni mwakilishi kutoka shirika la ndege la precision air lililosafirisha watoto na vijana kutoka mwanza hadi kilimanjaro pia kilimanjaro kwenda mwanzamwakilishi ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bwana paul shayo na wasimamizi wa watoto kutoka vituo vya afya watoto na vijana wa ariel camp 2016 wakiandamana kuelekea kwenye eneo la hafla ya kufunga kambi hiyo iliyodumu kwa muda wa siku tano mkoani kilimanjaro maandamano yanaendelea kushoto ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo akipokea maandamano ya watoto na vijana dr mwakyusa pia ni rais wa chama cha madaktari bingwa wa watoto tanzania kulia ni mratibu wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi (tacaids) mkoa wa kilimanjaro bi razia ngaina vijana na watoto wakiandamana meza kuu wakishuhudia maandamano ya watoto na vijanakushoto nimkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa katikati ni mratibu wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi (tacaids) mkoa wa kilimanjaro bi razia ngainawa kwanza kulia ni afisa mradi kitengo cha tiba na matunzompango wa taifa wa kudhibiti ukimwi dr florence ndaturu watoto na vijana wakicheza na walezi wao kutoka mikoa ya shinyanga na simiyu washiriki wa kambi wakiimba na kucheza kila mmoja anacheza katika staili yake walezi wa watoto na vijana wakionesha mbwembwe zao katika kucheza meza kuu wakiangalia burudani iliyokuwa inaendelea mwakilishi ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bwana paul shayo akizungumza katika hafla hiyo ya kufunga kambi ya 6 ya ariel mwaka 2016 vijana na walezi wakiwa eneo la tukio kushoto ni mwakilishi ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bwana paul shayo akiwa na mkurugenzi wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa vijana wakifurahia jambo tunafuatilia kinachoendelea hapa kushoto ni mshindi wa shindano la miss ariel mwaka 2016 akionesha pozi zake kwa mgeni rasmiambaye ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa (kulia) maafisa kutoka agpahi wakiteta jambona wengine wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea afisa miradi huduma unganishi kwa jamii agpahi richard kambarangwe akisoma historia ya klabu za watoto na kambi ya arielalisema shirika la agpahi lilianzisha huduma za kisaikolojiakwa watoto mwaka 2011mpaka kufikia juni mwaka 2016 kuna takribani klabu 50 zenye watoto takribani 2448 kutoka mikoa ya shinyanga na simiyu kambarangwe alisema kupitia kambi za watoto za kila mwakaagpahi huwakutanisha watoto wanachama wa klabu kutoka vituo mbalimbaliambao hujifunza na kupata uzoefu kutoka kwa watoto wenzao kupata elimu ya afya na makuzi kujifunza stadi za maisha kupata huduma ya kisaikologia na kiafya kucheza kuwapa watoto nafasi ya kuonyesha vipaji vyao na kutembelea maeneo mbalimbali ya kihistoria kuongeza ufahamu wao kuhusu jiografia ya tanzania washiriki wa kambi ya ariel wakisikiliza historia ya klabu za kambikambarangwe aliongeza kuwa agpahi haiishi tu kuhamasisha kuundwa kwa klabu za watoto na vijana bali watoto wamekuwa wakinufaika kwa kupata chakula na vinywaji angalu kwa kila mwezi wanapokutana kwenye klabu zao pia wamewekewa vifaa vya kuchezea kama bembeamipira midori kwa watoto wadogo baiskeli za watoto na vifaa vya kuchora kuonesha vipaji vyao pia wamepata luninga na cd zenye kutoa mafunzo afisa miradi huduma unganishi kwa jamii agpahi richard kambarangwe akikabidhi taarifa kuhusu historia ya klabu na kambi za watoto kwa mgeni rasmimkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa afisa miradi huduma unganishi kwa jamii kutoka agpahi cecilia yona akiwaribisha vijana kutoa ushuhuda jinsi walivyopata maambukizi ya vvuwanavyopata tiba na matunzo lakini pia changamoto wanazopitia katika maisha yao na namna wanavyopata msaada kutoka shirika linalojali watoto na kukaa nao karibu ili waweze kuishi maisha yao yote na kufanikisha ndoto zao za kimaisha na wawe na matumaini chanya mmoja wa vijana wa ariel camp 2016 akitoa ushuhuda jinsi alivyopata maambukizi ya vvu washiriki wa ariel camp 2016 wakitafakari kijana akitoa ushuhuda jinsi alivyopata maambukizi ya vvu na kuanza kutumia dawa kufubaza makali ya vvu meza kuu wakitafakari ushuhuda wa vijana na watoto jinsi walivyopata maambukizi ya vvu na namna wanavyoishi kwa kuzingatia masharti ya kuwa wafuasi wazuri wa dawa kijana akiimba wimbo wa kulipongeza shirika la agpahi kwa kujali watoto wadau kutoka mashirika mbalimbali yanahusika na masuala ya watoto wasikiliza wimbo kutoka kwa vijana hao vijana wakiimba wimbo vijana wakiimba kwa hisia kijana akitoa ushuhuda jinsi alivyopata maambukizi ya vvu kutoka kwa mama yake wakati wa kujifungua kijana akisimulia jinsi anavyotumia dawa za kufubaza makali ya vvu tangu akiwa mdogo kijana akitoa ushuhuda jinsi alivyopata maambukizi ya vvu mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa akikata keki na washiriki wa kambi ya arielwashiriki wote wa ariel camp walikula keki wakiongozwa na dr mwakyusa mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakijiandaa kuwalisha keki watoto na vijana mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakimlisha keki mmoja wa vijana hao aliyeamua kupiga magoti akifuata mila na desturi za kabila la kisukuma ambapo kupiga magoti huonesha kuwa anayepiga magoti ana maadili mema mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakimlisha keki miss ariel camp mwaka 2016 mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakijiandaa kumlisha keki mr ariel camp mwaka 2016 mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakimlisha keki mr ariel camp mwaka 2016 mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakimlisha keki afisa miradi huduma unganishi kwa jamii agpahi richard kambarangwe kwa niaba ya maafisa wote kutoka agpahi walioshiriki kambi hiyo miss ariel camp 2016akimlisha keki mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa mr ariel camp 2016akimlisha keki mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa mr ariel camp 2016akimlisha keki mwakilishi ofisi ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bwana paul shayo vijana wakisoma risala kwa mgeni rasmiambapo pamoja na mambo mengine walilishukuru shirika la agpahi kwa kuwasaidia watoto kwa mambo mbalimbali vijana hao pia walipaza kilio chao kwa serikali kuwajali zaidi watoto na kuyaomba mashirika mengine kujitokeza kusaidia watoto kwa vitendo igizo likachukua nafasi yake mgeni rasmi ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusa akizungumza wakati wa kufunga kambi ya ariel ambapo aliiomba serikali ya tanzania kuendelea kushirikana shirika lake ambalo limekuwa msaada mkubwa kwa watanzania katika mapambano dhidi ya maambukizi ya vvu na ukimwi dr mwakyusa akizungumza wakati wa kufunga kambi ya ariel mwaka 2016 mkurugenzi mtendaji wa shirika la agpahi dr sekela mwakyusaakisisitiza jambo muda wa zawadi kwa watoto vijana na walezi ukawadia mabegi ya shule yakiwa na kalamumadaftaripenselisoksi na kanga yakiwa tayari kugawiwa kwa watoto na vijana meneja mawasiliano na huduma za jamii kutoka agpahi jane shuma akitoa maelekezo kuhusu zoezi la utoaji zawadi alisema mabegi hayo ya shule yana peni penseli madaftarisoksi na kanga na kuongeza kuwa wakati wa wiki ya kambi washiriki walipewa sare za shule na viatu meneja mawasiliano na huduma za jamii kutoka agpahi jane shuma akionesha moja ya mabegi hayo ya kisasa kwa ajili ya washiriki wa ariel camp mwaka 2016 afisa miradi huduma unganishi kwa jamii agpahi richard kambarangwe akionesha mfano wa madaftari yaliyomo katika kila begi afisa miradi huduma unganishi kwa jamii agpahi richard kambarangwe akionesha mfano wa kanga zilizomo katika kila begi dr mwakyusa akimkabidhi begi mmoja wa watoto zoezi la kukabidhi zawadi linaendelea dr mwakyusa akishikana mkono na mtoto wakati akimkabidhi begi la shule dr mwakyusa akishikana mkono na kumkabidhi zawadi ya cheti mlezi wa watoto kutoka zahanati ya kagongwa halmashauri ya mji kahama mkoa wa shinyanga emelda ndunguru mlezi wa watoto kutoka wilaya ya ushetu mkoani shinyanga nuru jackson akipokea zawadi muuguzi mkunga kutoka zahanati ya old shinyangaambaye ni mlezi wa watoto katika zahanati hiyo anaschola ndigawe akipokea zawadi mlezi wa watoto kituo zahanati ya old shinyanga katika manispaa ya shinyanga anaschola ndigawe akiwa amebeba zawadi zakemuuguzi huyu maarufu kwa jina la mc mama sabuni ndiye alikuwa mshereheshaji mkuu katika hafla ya kufunga ariel camp 2016 meneja mawasiliano na huduma za jamii kutoka agpahi jane shuma akizungumza wakati mwakilishi kutoka shirika la ndege la precision air pamela muro (kushoto mwenye miwani) akikabidhiwa zawadi ya cheti cha shukrani mwakilishi wa lutheran uhuru hotelbwana nelson munisi ambapo ndipo watotovijana na walezi walikuwa wanapata huduma zote za kimwili kwa muda wote wakiwa kambini akipokea zawadi ya cheti afisa kutoka agpahi bwana felix muchira akitoa zawadi kwa washiriki wa kambi hiyoakiwemo mtunza muda wakati wa kambi waruka sarakasi kutoka kundi la kilimanjaro arts academy wakionesha vipaji vyao waruka sarakasi wakionesha mbwembwe zao picha ya pamoja wafanyakazi wa shirika la agpahi na wageni waalikwa picha ya pamoja wafanyakazi wa shirika la agpahiwageni waalikwa na washiriki wa kambi kutoka mashirika mbalimbali picha ya pamoja wafanyakazi wa shirika la agpahiwageni waalikwawatoto na washiriki wa kambi kutoka mashirika mbalimbali yanayohusika na masuala ya watoto picha ya pamoja wafanyakazi wa shirika la agpahiwageni waalikwa na vijana picha ya pamoja wafanyakazi wa shirika la agpahiwageni waalikwa na walezi wa watoto
2017-12-12T08:14:56
http://agpahi.or.tz/agpahi-media/blog/167-kambi-ya-watoto-na-vijana-kutoka-shinyanga-na-simiyu-ariel-camp2016-yafungwa-mkoani-kilimanjaro.html
majeshi ya burundi waasi yapigana ndani ya tanzania | jamiiforums | the home of great thinkers majeshi ya burundi waasi yapigana ndani ya tanzania discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by mongoiwe jan 15 2012 [td=class contentheading width 100]majeshi ya burundi waasi yapigana ndani ya tanzania [/td] [td=class createdate] sunday 15 january 2012 1029 [/td] mapambano kati ya majeshi ya burundi na vikosi vya waasi wanaoipinga serikali ya nchi hiyo yamezua hofu kwa wakazi wa mkoa wa kagera baada ya vita hiyo kuhamia na kuanza kupiganwa ndani ya ardhi ya tanzania habari zinaeleza kuwa wananchi kwenye maeneo hayo wanaishi kwa mashaka kufuatia waasi wa kundi la forces for national liberation (fnl) kuvamia vijiji kadhaa vya mpakani wilayani ngara huku wakipora mazao na mifugo kwa ajili ya chakula “ni kweli hali hii ipo hawa watu wanavamia kila mara wanaweza kufika na kuiba mazao kweye maghala ya wananchi wakifika inategema wanahitaji nini wakati mwingine hufika kijiji na kupora mifungo ya wananchi na kutoweka” alieleza mtendaji huyo ingawa alionekana kuwa na hofu ya kutoa taarifa zaidi “mimi ninaamini kuwa serikali inaficha ukweli kwa kuogopa kuwapa hofu wananchi mfano sisi wafanyakazi wa mgodi wa kabanga nickel tunapokuwa katika shughuli zetu za utafiti wa madini porini tumekuwa tukikutana nao ndani ya eneo la tanzania kabisa na tunatoa taarifa lakini hatuoni hatua zozote kuchukuliwa” alilalamika mmoja wa watumishi wa mgodi wa kabanga nickel kwa sharti la kutotajwa jina “sijajua kama ni waasi au la lakini serikali inapaswa kuchukua hatua zaidi kila tunapowaona tunatoa taarifa kwa serikali lakini hatuoni utekelezaji kwani hali hii huendelea kibaya ni pale wanapoingia na kupora mazao kwenye mashamba ya watu na mifugo yao alilalamika mwananchi huyo huku akisisitiza kuwa iwapo hali hiyo haitadhibitiwa mapema watu hao wanaweza kuvamia hata mgodi huo “hawa waasi wanapigwa sana wakianza mapigano wanapigwa kweli kweli na inapotokea hali imewazidi hukimbilia kwetu na sisi tukiowaona tunawarudisha huko mfano ni mwezi novemba (mwaka jana) mapigano yalikuwa makali sana walikimbilia kwetu na sisi tulituma vikosi maalumu kuwadhitibi na kuwarudisha ambapo kuna baadhi yao tuliweza kuwakamata na kuwakabidhi kwa serikali ya burundi” alieleza kamanda salewi “tunapozungumza katika vikao vya kamati ya ulinzi na usalama vya ujirani mwema wenzetu wa serikali ya burundi wao wamekuwa wakitueleza kuwa kuna majambazi ambayo wamekuwa wakiyasaka kila yapokimbilia kwetumara nyingi wamekuwa wakiingia kwetu majira ya asubuhi na kurudi kwao usiku ila hakuna madhara ambayo watu wetu wamepata” alieleza mkuu huyo wa mkoa source gazeti la mwananchi jumapili
2017-07-21T10:59:17
https://www.jamiiforums.com/threads/majeshi-ya-burundi-waasi-yapigana-ndani-ya-tanzania.212466/
need helpmostly security experts | jamiiforums | the home of great thinkers need helpmostly security experts discussion in 'tech gadgets & science forum' started by zasasule may 10 2011 heloo jf members kuna hii kitu inaitwa sonic wallnajua ni hardware ambayo inawekwa kwenye gateway for filtering the incoming packets sasa nahitaji msaada mmojaje kuna njia yoyote ya kuweza ku bypass this walli mean so that i can access all the site couse kutokana na hii sonic wall i cant access some of the sites i want torember am just a normal user but not the network admin anybody who knowskindly request for your help stil nt yetexperts mko wapii realy need to know about this the security was put in place to keep people like you out or not accessing the info you need if you cannot get valid access through your administration desk it means unataka kufanya ujanjaujanja hapa jf is not the forum for you seek your wizi elsewhere do some internal hacking first try to access if your admin hasn't updated their sonicwall blockedsite list yet you can use that site to get around sonicwall if that site is blocked then follow the instructions on peacefire's page setting up a circumventor you can set up the circumventor program on your computer and it will give you a url that you can use to bypass sonicwall wherever you go try dat kwanza but kama umezuiliwa na admin wako kwa nini unataka kusumbua yeye easymutant (easily led) did you ask yourself why na hupo kucopy/paste hakuonyeshi kuwa wewe ni mtaalam he should have consulted his system admin na kama hizo sites anazotaka ku'access are ok they could be added to the 'kosha' list na kama sio basi should not have access to these you should have asked him to google this for himself au labda hata googles site nayo wameiziba unaweza kutumia vpn service kuficha site unayokwenda eg proxpn | create a free vpn account i knowthat is why i ask for assistance i have got reason why i do want to know if you dont know or you dont want to say then shut up and go ahead with your business don't just write to increase your no of posts i know this trickbut hii ina ku enable just kubrowse the sitebeside ina many addsss what i want iwe hakuna restriction kabisalike you can be able to upload and download i don't give a monkey about post count just wanted to let you know that the security is there for a reason it does appear that your intentions are not above par hence huu ujanja ujanja i am not a security expert or an expert of anything but can assume that the sites you intend to download/upload from/to are shoddy let me tell uthere could be several reasons for filtering sitesone of the them is the control of the bandwidth and for protection purpose like malwaressince when a user lets say akiwa anaview youtubebasically atakuwa anaslow down the network bandwidthyeah u right security is there for a reasonila i want to know of kama hii kitu iko inawezekanabeside the sites which i do want to visit are cleanand aint shoddy forums site zote kablockyaani when i want to visit forum sites i cantlike jfam using it @my private network and others such as youtube and social network siteslike fb hi5 twitter and torrents site have been all blacklisted i guess he just want people wawe busy with their work only network ni company property mkuu wao ndo wana haki ya kuamua jinsi inavyotumika so kaza buti piga kazi i suppose i did not get jibu to my post ila people sasa wananiadvice on what to do the post has been useless thread has not been useless i say this because i know your intent may lead to your job dismissal assuming kuwa ujanja ujanja wa kukuwezesha kuzipata hizo sites umepewa je unajuaje kuwa the company has sniffer techniques za kujua umeenda wapi ukipoteza kibarua utasema nini usidanganywe kuwa techniques za ku'cheat system zitaficha yote uliyofanya ujue tu watu hapa wanakuonea huruma usije kujiingiza pabaya kama ni emails/facebook basi make time for these kwenye service providers wanaoruhusu hii kitu usi'force kuzipata kazini ndugu yangu nina watu wangu 2 wa karibu sasa wapo nyumbani kibarua kimeota nyasi kwa ujanja kama huu haya kama ulitaka shule basi angalia/google ip tunneling lakini usiseme haukuambiwa techniques za hii kitu zitakwambie u'install utilities kwenye system yako mfn putty na ku'connect kwenye service provision flani ndio utengeneze proxy server sasa onyo ni kuwa hata kama unaweza ku'install applications kwenye machine yako (system admin rights) ujue kuwa corporate system admin pia anaweza kujua what is running on the system na kusoma application setups iwe ni internet explorer firefox nk kwa hivyo labda usiwe ofisini kwetu tutakutimua within 5 minutes of your loginin to facebook i dont plan to use themi just need the knowledge on how 2internet imekuwa vry cheap nw daysi dnt depend cmpny z internet4 my personal stuffby knowing how hv v2 vnafanyika wl b glad nakumbuka ofisini kwe2 nilivokuwa na bypass lile dude lao ili kucheki facebook lakini ile tool nishaisahau subiri niitafute nikiipata nitaku2mia link lakini ilikuwa super slow itakuwa powahunaweza ukanijuza labda ni aina gani ya firewall ambayo mllikuwa munatumia huko ofisini kwenu nimeisahau jaribu hii httptunnel client free software downloads and software reviews cnet downloadcom listen kid will you shut da fu hes asking for help help him out not naging around you noob if you no nothing shutup instead of complimanting unajua awa watoto wasikuhizi wajiunga jamiiforum juzijuzi tu basi wanapiga kelele hawajui kitu ahhh discusting where do i start naona ungetumia kiswahili tu teh teh teh
2018-01-19T12:35:12
https://www.jamiiforums.com/threads/need-help-mostly-security-experts.133396/
katika kuhakikisha tunapata muda wa kuwa pamoja na wana dudumizi timu nzima ya dudumizi technologies ltd inatarajia kuandaa siku ya dudumizi yaani dudumizi day siku hii itakuwa ni wakati pekee wa wana dudumizi kujuana na jamii pia wanajamii kujua kazi mbalimbali zinazofanywa na dudumizi katika kuelekea siku hii tunatarajia kuandaa vifaa vitakavyotumika siku hiyo hivyo kwakuwa dudumizi inahudumia wana jamii na kwakuwa wana jamii ndiyo wanaoijua vyema dudumizi tunapenda kupata mawazo yao ni jinsi gani dudumizi day itaonekana kwenye kulitambua hilo tumeandaa mashindano ya kudesign mchoro (artwork) itakayotumika kwenye siku ya dudumizi mshindi atachaguliwa na wanajamii wenyewe na kujinyakulia 50000tsh pamoja na wireless router mercury mw 302r mpya and genuine kabisa ndugu wateja wa dudumizi kama tulivyowataarifu kwenye salamu ya ujumbe wa mwaka mpya juu ya kuwepo kwa kusudio la kuhama kwa ofisi za dudumizi tunayo furaha kukutaarifu kuwa ofisi za dudumizi zimehama kutoka kwenye eneo la zamani ambapo ilikuwa gates of paradise hotel kuja kwenye ofisi mpya kabisa hapa shamo park house lakini bado tupo hapahapa mbezi beach ujumbe wa mwaka 2015 kutoka dudumizi awali ya yote kwa niaba ya timu nzima ya dudumizi tunapenda kuwatakiwa heri na faraja katika mwaka huu wa 2015 ni mwaka wa mambo makubwa sana hapa dudumizi wengi wetu wanaweza kujiuliza mbona ni salamu zilizochelewa kumbuka wahenga walinena kimya kingi kina mshindo mkuu hivyo tarajia mengi makubwa toka dudumizi na hii itakuwa ni ada yetu kwa kila mwaka kuzungumzana wateja wetu ili kuwawezesha kutambua nini tunatarajia kufanya ili kuifanya dudumizi kuwa kampuni namba moja kwenye kutoa huduma za web tanzania kama wengi tunavyojua dudumizi ilifungua rasmi huduma zake hapa tanzania mnamo aprili 2014 tangu kufunguliwa kwake dudumizi imekuwa ni moja ya kampuni za wazawaambayo ni kimbilio kwa huduma za uhakika kwenye huduma za web huduma hizi ni kama kutengeneza website kutengeneza web systems kuhost website uuzaji wa majina ya website (domain names) kutengenezea logo na huduma nyingne nyingi kwa mwaka huu mzima dudumizi imehakikisha inafikisha huduma iliyo bora kabisa duconnect automation ya whmcs na tznic kwa tz domain registrars
2020-01-28T01:37:05
https://dudumizi.com/blog.html?start=55
hakuna anishindaye isipokuwa michael jackson diamond platinumz msanii wa bongo flava nasib abdul maarufu kama diamond platinumz amefunguka na kusema kuwa hakuna msanii anayemshinda isipokuwa marehemu michael jackson msanii huyo amesisitiza kuwa kila anapopanda juu ya jukwaa kuwatumbuiza mashabiki wake yeye hulenga kuwapa burudani ambalo hawajawahi kuliona kwengine na ndio maana yeye ni bora kuliko msanii yoyote yule diamond platinumz ni mmoja wa wasanii wanaofanya vyema zaidi afrika mashariki
2019-03-26T10:26:58
http://radiokaya.co.ke/hakuna-anishindaye-isipokuwa-michael-jackson-diamond-platinumz/
dunia imetakiwa kuonyesha mshikamano zaidi kwa serikali ya mpito ya somaliaum | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa 25/08/2011 dunia imetakiwa kuonyesha mshikamano zaidi kwa serikali ya mpito ya somaliaum mkutano wa maalumu kuhusu somalia uliohudhuriwa na kuwezeshwa na mwakilishi maalum wa umoja wa mataifa somalia balozi augustine mahiga muungano wa afrika na wadau wengine umekamilika mjini moghadishu mkutano huo ambao umefanyika kwa mara ya kwanza ndani ya somalia umetoka na mapendekezo kadhaa ikiwemo pongezi kwa serikali ya mpito ya somalia kuwa hatua iliyopiga kwa mipango ya kurejesha usalama wa taifa kwa mujibu wa balozi mahiga mkutano huo umetoa ombi kwa jumuiya ya kimataifa kusaidia vifaa na kuviwezesha vikosi vya kulinda amani vya muungano wa afrika nchini somalia amisom ili kutekeleza wajibu wake ipasavyo pia umeshukuru jitihada za serikali ya japan kusaidia kufufua jeshi la polisi la somalia na juhudi za shirika la umoja wa mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura ocha katika kusaidia somalia na wameliomba shirika hilo kufanya mazungumzo na serikali ya mpito kujadili suluhu ya kame na njaa ili kuepuka taifa hilo kuendelea kutegemea misaada
2013-06-19T12:20:18
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2011/08/dunia-imetakiwa-kuonyesha-mshikamano-zaidi-kwa-serikali-ya-mpito-ya-somaliaum/
wachezaji epl na uchovu wa kombe la dunia tanzania sports 15th may 2019 last update at 359 pm fainali za kombe la dunia zimemalizika nchini urusi na wachezaji waliokuwa huko sasa wapo mapumzikoni klabu mbalimbali zimeanza maandalizi ya msimu ujao wa soka 2018/19 zikiwamo za ligi kuu ya england (epl) bila wanasoka wake nyota waliokuwa huko klabu saba za ligi hiyo kubwa na maarufu zaidi duniani zilikuwa na walau wachezaji 10 kwenye kazi ya kimataifa kwa nchi mbalimbali huko urusi na sasa wapo mapumzikoni ni klabu za bournemouth na fulham tu zinazoendelea na mazoezi ya maandalizi ya epl ijayo wakiwa na vikosi timilifu iwapo kuna uwezo wa kuwa na soka sana au la ni maswali ambayo huulizwa wakati wa kiangazi cha fainali za kombe la dunia na kunyanyua vichwa juu kuhusu mipango ya ligi za ndani epl klabu wapo katika mambo tofauti ikiwa ni pamoja na nyingine kuanza kuzoeana miongoni mwa wachezaji na makocha lakini pia kuendelea kwa usajili msimu mpya wa ligi unaanza kama kawaida licha ya uchovu wa wachezaji waliokuwa kwenye fainali hizo za kombe la dunia hasa wale waliosonga mbele hadi walau haua za robo nusu au fainali yenyewe mashindano hayo huwachosha wachezaji kimwili na kiakili kutokana na ugumu wake na utofauti pamoja na ushindani mkubwa uliopo kwenye kazi hiyo baadhi ya wachezaji pia huingia humo wakiwa katika mawazo juu ya kujiunga na klabu mpya au wakiwa na utata wa uhakika wa kubaki kwenye klabu zao idadi ya wachezaji na vilabu vyao (epl) na hatua waliyofikia katika mashindano ya kombe la dunia urusi makocha wameanza kulia juu ya kukosekana kwa baadhi ya wachezaji muhimu mmoja wao akiwa ni yule wa manchester united jose mourinho maana nyota wake kadhaa wapo kwenye mapumziko bado ili kuhakikisha wanakuja kuwa timamu kwa mechi msimu ujao kwa kawaida watakuwa na mapumziko ya walau wiki tatu ambazo ni sawa kwa wachezaji waliokaa hadi juni lakini ngumu kidogo kwa waliosonga mbele hadi katikati ya julai hii kwa kawaida kuna pengo la wiki nne tu kati ya mwisho wa fainali hizo na kuanza kwa epl hata kama bodi ya epl imesogeza mbele zaidi muda wa kuanza kwa epl hadi ijumaa usiku manchester united na leicester ndio watakaokuwa wa kwanza kwenye mtanange na ilivyo ni kwamba waliwakilishwa vilivyo huko urusi na wachezaji wake united walikuwa na wachezaji 11 urusi ikiwa ni pamoja na paul pogba aliyekwenda mbali hadi kucheza mechi ya fainali na kunyakua kombe akishiriki dakika 4230 za nchi yake uwanjani leicester walikuwa na wachezaji 10 kwenye michuano hiyo aliyengara zaidi akiwa mwingereza harry maguire aliyepata dakika zake 700 hawatarajiwi kucheza kwenye mechi ya kwanza old trafford usiku huo wa ijumaa ya kwanza kwenye ligi kuu na wapo wengine kadhaa bournemouth na fulham hawakuwa na mchezaji hata mmoja kwenye fainali hizo kwa hiyo wachezaji wao wote walipata muda wa kutosha wa kupumzika wakati cardiff crystal palace burnley na newcastle waliathiriwa kidogo zaidi kwa wachezaji wawili wawili kwenda urusi everton walishuhudia zaidi ya nusu ya dakika 1324 za fainali hizo zikiwa na kipa wake jordan pickford kwneye jezi za england wakati dejan lovren wa liverpool alifika fainali akicheza na dakika za ziada jumla akifikisha dakika 706 washabiki wengi wangependa kuwatazama wachezaji waliokuwa kwenye fainali hizo waliochoka kuliko walio freshi ambao hawakwenda urusi na labda wapo sawa kutokana na umaarufu ule spurs chelsea na wengine wanao waliowika urusi kama harry kane na kieran trippier na kwa hakika kocha mauricio pochettino atakuwa na wasiwasi juu ya lini wachezaji hao watakuwa wametulia vyema kuingia uwanjani akiwamo kipa wa ufaransa hugo lloris tags epl ligi kuu ya england world cup 2018
2019-05-20T08:45:56
https://www.tanzaniasports.com/2018/07/23/wachezaji-epl-na-uchovu-wa-kombe-la-dunia/
mbunge wa kilombero(chadema) mh lijualikali afungwa jela miezi sita | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today mwenyekiti chadema afungwa miezi sita mwenyekiti wa chadema wilaya ya ukerewe mkoani mwanza jacob munyaga (60) amehukumiwa adhabu ya kifungo cha miezi sita gerezani kwa kosa la kumsaidia ndugu yake maelekezo ya namna ya kujitetea mahakamani
2018-01-22T18:28:20
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/mbunge-wa-kilomberochadema-mh-lijualikali-afungwa-jela-miezi-sita
picha za harusi ya shamsa ford (wedding pics of shamsa ford and chidi mapenzi) best daily health and remedy articles picha za uchi za isha mashauzi | picha za x | bongo flava singer shilole 7 things to avoid doing when you are drunk jokate mwegelo stuns on new fashion kitenge and her new out look
2019-03-22T16:51:52
https://sgggc.org/picha-za-harusi-ya-shamsa-ford-wedding-pics-of-shamsa-ford-and-chidi-mapenzi/
um waonya kuhusu kuajiri watoto katika vita jamhuri ya afrika ya kati | habari za un africa|baraza kuu ga na baraza la usalama|women children population
2018-02-20T06:35:09
https://news.un.org/sw/story/2013/01/336532-um-waonya-kuhusu-kuajiri-watoto-katika-vita-jamhuri-ya-afrika-ya-kati
majira gazeti huru la kila siku tbs yapania kutowaonea haya wazalishaji bidhaa hafifu tbs yapania kutowaonea haya wazalishaji bidhaa hafifu jereme samuel una pozu ng umzi asualalauborawabidhaan chini unalizung umziash irikalaviwangotanzan ia(tbs ) tbsndiloshirik apeke enchini lenye dhama na yaku wekav iwangovyakit aifa nakudhibiti uborawabidh aazinazo zalishwanchini na zilezina zoagizwan jeyanchi mal engoyakiwa n iku we zeshabiashara kukuzau ch umiwanchi na kuwalinda walaj inamaz ing irashir ikahilil ilianz ish wakwa sheriaya b unge sheriayaviw angona3yamwak a 1 975 iliy ofan yi wa mare keb ishonasheriana1yamwaka1 977 sheri ahiyoilifutwa na nafasi yake kuch uku liwana sher iayaviw angona2yamwak a2 009am ba yoililipa shirikauw ezomkubw azaidi wa kutekele zamaju kumuya keshi rikalinamajuk umumengi kamayaliv yoain ishwakatika sheriayaviw angona 2yamw aka200 9 lak inimaju kumu ya kemak uunikuwekaviwangovya kitaifav yabidhaa huduma namifumo ya usimamizi waubo rakatika sekta zote na kuteke lezavi wangohivyokat ikasektazavi wanda b iashara nahud uma kw akutumiaskimumbalimbaliza ud hibiti ubora maj uku mumengine n i upimajiwa b idhaakwalengolakuhakik ishaubora wak e uge zi waza na zakupi mia v iwandani nakut oamafu nzokwawazalishaji nawafan yakazikat ikataasisi na viw andakuhusia nauza lishajiwabidhaabor au zalishaji salama na usimam iziwa uborakaimu mkurugenzi mkuuwa shirikala viwangotanza niabwjo sephmasi kitikoana semakatikakutek elezamajuk umuyake ya udh ibiti ubora shiri kalinazoskimumbalimbali zaud hibiti ubora anasema kwa bidhaa za ndani skimu ku uinay otu mikani ileya alamayau borayatbs amba pobidhaahu pimwanaz ikit hibitishwa kukidh imatak wa yakiwangohu sikamza lishaji hu pewaleseni yakutu miaalamayaubora katikabidhaahusika anad okezakwamba taasisi yake imepigamaru fukuuingi zajiwa nguoza ndan i zamitu mbakam avile vesti soksinang uo zaku lalia anaong ez akuw akat i k a kutekelez a hilo wame om baushirikianowa halmashaurizamiji hapa nchinitumeomba ushirikiano wa halmashau rizamijih apanch ini ili kuwezaku wa dhibi tiwau zajiwanguohizoa nasemabi dhaa hup imwa n c h i zinakotoka k uh usiana nabidhaa zinaz oagizwanjeyanchi bw masikitikoanasema baadhiyabidh aahizohupimwanchini b aad a yaku ingizw a wakati nyingi nehup imwa na kuthibiti shwa uboraka tikanchiz inakotokaanasemashiri kalakelinamawakala a mbaohu fanya kazi duniani koteilikuhakiki shakw amba bidhaazinat hib itishwaubo rakablahazijasafiris hwa kuja nch ini tunaomawakalamakini amba ohu fanyaka ziduniani kotele ngolikiwa niku hakikishakwambahakunabi dhaaa mbazohazijath ibitishw aubor awake zin azoingizw anch iniî anas ema nakuongezaku wamawakalahaowanafanyakazich ini yampangoujulikanao kam apres hipment verificat ionofconformity to standards(pv oc) aidha anabain isha shirikahuendeleakufanyaukaguzi katika masokonaku chuku asampuliili kujihaki kish iakuwak weli bidh aahizo zinau bora unaotakiwa kaimu mkurugenzimkuu an asemash irikalaviwangolatanza nialilian zis hwa kwa ma dhumuniya kuwezes habiasharanakuhakikis hakwambawa tanzania wana shirikika tikakuk uzauchumikwakuzalis habid haazina zokidhi matakwa yauboraanasema bidhaa zinazokidhi matakwayaviw angoh uwe za kushindan a viz urikweny esokonawakati hu oh uokumhaki kishiamlaji usalamana pia hutunzamazin giraan afafan uakuwaili ku hakiki shayotehayoyan afany ikasheriana kanuni mbalimb alizimetungwa lengolikiwani kuwabanawazal ishaji auwafanyabiashara wasiowaaminif u bwma sik itikoana sematbsimekuwanamika katimbali mbali yaku wabanawaf any abiasharawa siowaamin ifunamiongoni mwami kak ati hiyoni k wa ku tu mia sher iayaviwan gona2yamw aka2 00 9 ambayoanasemainamen oyakuwabana w azalishaji nawa fany abiasharawan aovun jashe riakwamakusudi kwalengola kupatafa idakubwaikilinganishwa na sher iailiy otangul ia viwanda vyafungwa kwa sasahat unautani na wavunjas heria balitunaw achukuliahatuam ba limbalikwakuzingatiasheria yaviwang o a nabainisha bwm as ikitikonakuongezakuwahiisi nguvu ya soda kwani shirikalimed ha miriakuwa banawavunja sheriailikuhak ikishakuwa linapu nguzakwakia sikikubwa tatizola bidha a hafi fusok oni ak itoamfa nowabaadhi yaviwanda vyanon dovi liv yosimam ishwakuza lishabid ha ahiyo kwamudahivikarib uninak ishakuruh usiwa ku endelean auzalish aji baadayakutimiz am atakwayaubora kaimumkur ugenzimku uanasemashirika lakelimejiz atitik uwabana wazalishajiwazembe na k wambaukaguzi ut afanyikakwabidhaa zoteukaguzi na ufungaji wa viwanda auma dukahaufanyik ikw enyenon dotu bal i hufanyikakw abidhaa zotekwam fanohi vik aribuni tbsilivifungi abaad hiya viwanda na kuvifung ua baaday akutimizamashartinakwamb ao peresheni hiyoniendelevu tu tah akikishakwamba tunafanya ukaguzi wak ush tukiza k atikakila miezi miwil inasi kamautara tibuulio kuwa ukitumikasikuz anyuma wamaran ne kwa mw aka an asemabwma sikitiko akir ejeaukaguzi ambaohufanyiwawaz alishajiwa liopewaleseni za kutumi aalama yatbstu tafanyahivyom pakahapotutak apojiridhi shakwa s asa uzali shajiunafuatama takwayaubora wakatiw ote anasema hiv i k a r i b u n i tbsilitoamwezi mmoja k wa waza lishaji wasiona alamayauborayat bskuhaki kish akwam ba wanaa nz amc hakatowabi dhaazaokuthib itishw auborakisha kuipata alamahiyoya ubora anabainis haku wabaada yamudahuo kuishatb sita fanyauk aguzi nawale wote wa takaobainikakuk iukah atuak alizitachukuliwa kwamujibuwasheria bw masi kiti ko anatoa mwito kwaw ananchiw oteku saidiakatik amapamban odhid i yabidhaa hafifukwakut onun uabidhaa zisizoth ibitish waaidhaana waombawananchikutoataa rifakwatbswanapoon a bidh aazin azali shwa aukuu zwa bilaku wana ne mboyaub orakwakupi gasim uy abure ya shirikaambayoni 080011 0827 namba hii hupa tikana kw aku pitiamitandao ya vodacom ttcl na sasatel ili ku hakikish akwambahakuna bidhaahafifuz inazopen yezwanchinitbsimekuw anamazungumzo n a wenzaoshi rika laviwangola zan zibar ambapoka imu mkur ugenzimkuuanasema mazungumzo yaoyan alengakuhakikishakwam babidhaa hafifuha ziingi iz anzibarn a kisha tanza niabaran akwamba maeneoyaushiri kianoya meai nishw a an ayatajamaen eohayokuwaniuanda aji waviwango upimaji na ugezinaudh ibiti ubora udhib itiw abid haaza nzibarni muhimusan akw asaba buzanzib arnisehemuya nchi yetu hivyowaowa sipokuw ai marahukututayu mba pia a nasem a bw masikitikonakutoawitokwawazalishaji na wa agizajiwabidha a kufuata sh erianakuacha ma zoeakwani kwasasa tb siko makini kusimamia sheria zanc hi wadauwengi wahusish wakudhibiti uboralakini piaili kuhakikisha kwamb a wananchi hawatumiib idhaahafifutbsinafanyama zung umzonahalmashauri za miji ilikuhakik isha kwambas he riandogondogozinatungw ailikud hibiti matumizi yabidhaaz isizonaubora k aimu mku ru genzi mkuu anabainish a kwamba kwakuwa nchi yetuni kubwau shir ikianowawadaumb alimbali kamavilehalm ashaur i zamiji ni muhimu k atika kuhakikis hakwamba v iwandavyoteambavyovi po katikahalmas hauri zao zinasajiliwa na kupata nembo yaubo ra nakuhakikishakwabid haazinazoin gizwa nchini ku pitia maeneoyaozinadhi bitiwa ushiri kish waji wawadauwengine kamas hirikish olaweny e viwandanchini (cti) nak itu o chauwekezaji tanza nia(tic)ni muhi mu pia nahapabw mas ikitikoanasema ctiwana pasw akuwah imizawanac hamawaoku zalishabidhaa zenyeu bor awakati ticwanapaswakuwa nas heriaina yowabana wawek ezajiwazalishe bidhaaz enyeuboraunao kubalikakatika nchi yetuanafa fanua kuh usuiwapo sheria mpya yaviwango ina menokaimumk urugenzi mkuuanasema sheria mpyaimel ipashirika mamlakaya kuwab anawa le wotewanaokiu kataratibu kuhusiana na masuala ya ubora an abain ishakuwa m io ngoni mwawalewana obanwanasheriahiyo n i w ale w an aotumiavibayaalamayauborayatbs ma thalani kw akuiwekakati kabidha aisiyo naub ora anas emawe nginea mbaosheriahiyo itawa bananiwalewanaoa gizab idhaahafifu na wale ambaoha wazingatiikanuni na taratibu zaudhibiti ubo ra bwm as ikitikoa nab ainishakuwakablayasheria yasasas heria iliyotang uliailikuwadhaifukiasi chakuto weza ku wabana watuwanamna hiyo nahivyowafan yab iasharaw asiowaa minifu waliutu miaudhaifu huo kwa maslahiyao kablayasheriahiimpya kupitishwa waf anyabias hara ambaosi wa aminifuwali kuwa wan atozwafainiya sh1 500sasah ebuifikirie fai ni hiy okwakiwang ocham aisha yasasana dhan i ndiyom aan asherianakan unizetu zi likuwa zinakiukwa san aana sema ana bainish ak uwasheriampya inatoaadhabuy akwen da jela miakamiwilia uk uli pafaini ya k ati yash milioni 50 nami lioni100kwa m tuanayekutwa na hatiakati kamako sa ya ukiukajiw ak anun i natar atibuzauborawa bidhaa nay e mwanasheria wa tbs bw bapti steb itahoanasisi tizakuwa hatuaka liitachu kuliwakwa waleamb aowat ab ainikaku vunja sheria kwalen golakujipa tiafaidazaidi kamaana vyoele zakaimumkuruge nzimkuuni kweli tutakuw awakalikwa wanao vunjasheriana ni vye mawadauwote wakalifahamu hilo anasisitiza bitaho anaf afan uakuwakifungu cha 27chashe ria ya viwangona2yamwaka20 09ki nasema atak ay evu nja she riahi yoatalipafai niyash mi lioni5 0hadi100auki fun goc hamiak am iwili jela wakati kif unguch a 30kin aelezea adhabuyamako samado gomadogoambayo makosa hayo adhabu yake ni kati y a shilingi milioni moja hadi milioni20 kuhu siananakwanini s heriayamwaka2009 in aonekanakuan za kutumikasasakaimu mkurugenzi mkuu ana sema tu likuwatu najipanga ilibidi tujipemuda w akurekebishabaadhiyakanuni zetu ziendane na sheria hiy o aidha ilit upasatuonge ze rasilimaliwatuili kuk abiliananachang amotombalimb ali zasheriahiyompya na sasatuko tayari kabis akuitekeleza ilik uhakikishakwamba sheria hiyoinafan yakazi vizuribw masi kitikoan asema mika katimbalimbali in afan ywa k walen gola kutoa elimukwaummapam ojana wadaumuhimukatika ut ekele zaji mat halani a nasemahivisasa taasis i yakeiko kat ikamkaka ti wa kutoamafun zojuuya sheriahiyokwajesh ilap olis iili kuhakikisha kwa mbaje sh ihilol inatoa mchangomkubw aka tika kuchukua hatua za sheriakw awahusika ikumbu kwek wamb amuuz aji wabidhaahafif uhanato fautinamhali fumwingine anayev unja sheriaza nchi kwanim adharayakenimakubwa kwaw anan chi nakw auc humi wanchi hilini kos ala jinaianasemamwanasheria bw bitaho wafanyabiashara kubanwa ili ku kabilianan amson gamanowabidhaabandarini ta asisimbalimb ali zaserikal i ik iwamotb szime weka uta ratibuwakuifany ami zigoisikaebandarin i kwa mud amrefu mojayanjiaa mbayo tbs inaitu miani kwaku msainishamtejafomu inayoitw a'conditional release' ambayoina mwezeshamfanyabiashara ku toabidhaa kwa mashart iya kuwa hata ziuzampaka ukaguziw atbsu weumeka milikanak wa mbau kaguzi hukamilikapal etubidha ahusikaikishapimwa maabara na tbs kuthibitisha ubora wake k aimumkuruge nzi mk uuwatbs anasemapamojana niahiyonjemayaserikalikwa waf anya biasha ra baadhi yaowameku wawakitumiavibayafursa hiyo nawa mekuwa w akitoko meanakuiachat bsi kiha hakuwatafuta na kwamba hadi sasaku na matukiosabaam bayoy amesha ripotiwa kwen yevyombo vya dolakuhusianana wafanyabiashara wa aina hiyo ni kutokana na tabia hiyo ndiyo maana tumeamua sasa kutafuta taratibu za kuwabana wahusika ikiwamo kuleta taarifa zao mbalimbali ikiwamo barua ya serikali ya mtaa anakotoka ili iwe rahisi kwetu kuwapatalakini pia tunaangalia utaratibu wa kuzitumia kampuni nyingine katika kuwafuatilia wafanyabiashara wa namna hii anasem a beatusjohnmtaalam wa uc huminamkaziwa jijilad ar essalaa m anase mashe ria yaviwango itasaidia k upambanana wajanjawachachewanaoing izabidhaahafif unchin i nad hanis heriahii ni mwafaka kwam azingiraya sasan a itasaid iasana kuwaban awale ambaosi waaminifu anasem a anatoawitok wa t b s kuhaki kish akwambavy ombovinginevyau dhibiti kam apolisi uhami ajina vin ginevyo vinap ataelimuju uyasheriahiyoili viwezekuli said ia shirikakatikakukabil iananawafanyabi ashara wasio waaminifu lakini pia anasema wadau mbalimbali wakiwamo wazalishaji na waagizaji wanapaswa kupewa elimu juu ya sheria hiyo ili waweze kuwa na uhakika kwamba iwapo utatokea uvunjifu wa sheria na kanuni basi adhabu stahiki zitolewe a n a i p o n g e z a s e r i k a l i kwakuipitisha sheria hiyo kwani anasema imekuja wakati mwafaka katika kipindi hiki cha uchumi wa soko huria
2019-09-16T04:33:19
http://majira-hall.blogspot.com/2013/07/tbs-yapania-kutowaonea-haya-wazalishaji.html
ijue siri ya mafanikio ya kiuchumi amka mtanzania watu wengi huwa wananiuliza nini siri ya mafanikio ya kiuchumi/utajiri jee ni vigumu kuwa tajiri au ni rahisi jee kuna njia ya mkato katika makala hii nitatoa majibu siri ya mafanikio ya kiuchumi au utajiri ni kuwa na ndoto za kufanikiwa (kuwa tajiri) ninapenda kila mtu awe na ndoto hii kwani inawezekana kisha aweke malengo yaani ni kiasi gani cha utajiri anachokitaka na kwa muda gani malengo yanatakiwa yawe makubwa mfano kuwa milionea (kumiliki mali zenye thamani ya bilioni 17 ambayo ni sawa na dola milioni 1) muda ambao unapaswa kujiwekea ni kuanzia miaka 5 hadi 10 tafuta fursa ya biashara au mradi wa kufanya kufikia malengo yako fursa ya biashara ni kuwa na bidhaa au huduma inayotakiwa na watu wengi kwa kuangalia historia ya matajiri wengi wamefanikiwa kwa kujishughulisha na fursa zifuatazo kumiliki biashara zinazotokana na jambo wanalolipenda (hobi) kuwekeza kwenye majengo( real estate) kuwekeza kwenye kununua hisa biashara ya madini (dhahabu) biashara ya mafuta (petroli) biashara ya kampuni ya simu biashara ya mabenki biashara ya magazeti kufanya biashara kupitia mtandao wa internet fursa zote nilizozitaja hapo juu nitazizungumzia kwa kirefu kwenye makala zangu zinazofuata hakuna njia ya mkato kwa mtu anayetaka kupata mafanikio malengo yako yanatakiwa yachukue muda wa miaka 5 hadi 10 uwe na mtizamo wa muda mrefu mawazo ya kupata utajiri wa haraka haraka kwa njia za freemason ushirikina kutumia viungo vya albino kuuza madawa ya kulevya ni makosa ya jinai ambayo yanaweza kukusababishia matatizo ya kufungwa jela kitu kingine unachotakiwa kukifanya ni kutafuta mwalimu mtu aliyefanikiwa na mwenye upendo wa kuwafundisha watu mfano mwandishi wa makala hii huwa anatoa huduma hii tuonane wiki ijayo
2018-11-21T20:45:37
https://amkamtanzania.com/2015/03/04/ijue-siri-ya-mafanikio-ya-kiuchumi/
mkatambuga radi ya nyerere kuwapiga ccm radi ya nyerere kuwapiga ccm viongozi wa chama cha mapinduzi wamekwenda katika kabuli la hayati baba wa taifa mwalimu juluis kambarage nyerere na kumdhihaki kutokana na wengi wao kuwa mafisadi katika mazingira hayo radi ya nyerere haitashuka na kuwasambaratisha w ningeiandika kama ifuatavyo 'viongozi wa chama cha mapinduzi wamekwenda katika kaburi la hayati baba wa taifa mwalimu juluis kambarage nyerere kumdhihaki kutokana na wengi wao kuwa mafisadi katika mazingara hayo radi ya nyerere itashuka na kuwasambaratisha wote'
2018-02-20T21:35:21
http://saedkubenea.blogspot.com/2008/03/radi-ya-nyerere-kuwapiga-ccm.html
jeshi lasambazwa addis ababa baada ya mauaji ya watu 80 pars today jul 02 2020 0739 utc jeshi la ethiopia limesambazwa katika mji mkuu wa nchi hiyo addis ababa kwa shabaha ya kudhibiti machafuko yaliyosababisha vifo vya watu wasiopingua 80 watu walioshuhudia wanasema vikosi vya jeshi la ethiopia vimesambazwa katika maeneo mbalimbali ya mji mkuu addis ababa baada ya magenge yanayobeba silaha baridi kuvamia makazi ya raia na kwamba milio ya risasi ilikuwa ikisika hapa na pale vilevile kumeripotiwa mapigano baina ya vijana wa kabila la oromo na vijana kutoka makabila mengine mjini humo machafuko ya sasa nchini ethiopia yaliibuka jumanne iliyopita baada ya mwanamuziki na mwanaharakati mashuhuri nchini humo haacaaluu hundeessaa kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana mjini addis ababa jumatatu usiku machafuko hayo sasa yamepanuka zaidi hadi katika maeneo mengine ya ethiopia hususan katika mkoa wa oromiya ambako polisi inasema watu wasiopinga 50 wameuawa polisi katika mkoa huo pia imemtia nguvuni kiongozi wa chama cha upinzani bekele gerba na vilevile mwanaharakati wa kisiasa na mmiliki wa vyombo vya habari jawar mohammed suala ambalo wachambuzi wa mambo wanasema yumkini likazidisha ghasia na machafuko wakari huo huo waziri mkuu wa ethiopia abiy ahmed amezituhumu baadhi ya nchi za kigeni kwamba zinachochea machafiko nchini kwake kwa shabaha ya kuzuia ukamilishaji wa ujenzi wa bwawa la renaissance ujenzi wa bwawa la renaissance unaofanyika nchini ethiopia juu ya maji ya mto nile umezusha mgogoro mkubwa baina ya nchi hiyo na nchi za misri na sudan misri inatambua ujenzi wa bwawa hilo kuwa ni tishio kwa usalama wake wa kitaifa kwa sababu karibu asilimia 90 ya mahitaji yake ya maji yanadhaminiwa kutokana na mto nile ethiopia inakanusha madai hayo ikisema bwawa la renaissance ni muhimu sana kwa ajili ya ustawi wa maendeleo ya taifa hilo mamia ya wahajiri wa kiethiopia wauawa kwa kupigwa risasi na askari wa saudia kuendelea mgogoro wa bwawa la alnahdha kukataa sudan kurejea katika mazungumzo
2020-08-15T07:39:15
https://parstoday.com/sw/news/africa-i61956-jeshi_lasambazwa_addis_ababa_baada_ya_mauaji_ya_watu_80
mgomo mkuu wa wafanya kazi umeshika kasi afrika kusini | matukio ya kisiasa | dw | 06082008 mgomo mkuu wa wafanya kazi umeshika kasi afrika kusini maelfu kwa maelfu waandamana kupinga kupanda ughali wa maisha nchini afrika kusini maelfu ya watu waligoma kwenda makazini leo kote nchini afrika kusini shughuli zilisita katika migodi ya dhahabu na viwandani sababu ni kwamba watu wanalalamikia juu ya kupanda ughali wa maisha ambao umeikumba nchi hiyo inayotajwa kuwa ni kama injini ya kiuchumi katika bara la afrika maelfu ya watu walimiminika mabarabarani katika mji mkuu wa pretoria wakielekea hadi ofisi ya rais thabo mbeki huku wakibeba mabiramu na wakitaka hatua zichukuliwe kuzuwia kupanda juu bei za bidhaa vyama vya wafanya kazi vinasema usafiri wa umma ulisimama nchi nzima leo huku kukiwekwa vizuwizi mabarabarani na matairi ya magari kuchomwa moto waandamanaji walisema bei za juu hasa za vyakula na mafuta zinawaumiza zaidi watu walio maskini nchini humo ambako asilimia 40 ya karibu wakaazi milioni 48 wa nchi hiyo hawana kazi na milioni nne wanaishi katika hali ya hohe hahe kulikuweko ripoti kwamba wafanya kazi wachache walifika makazini huku makampuni mengine yakifungwa gold fields kampuni kubwa kabisa la migodi ya dhahabu katika afrika kusini lilisema wafanya kazi wake waliofika kazini leo ni baina ya asilimia saba na arbaini na kiwanda cha kutengeneza magari ya volkswagen kilifungwa milolongo mirefu ya ya watu walikua wanangojea kwa masaa mengi usafiri wa mabasi na taxi katika mji wa johannesburg huku watu wengine wakisema wanayaelewa malalamiko ya watu kupinga ughali wa maisha lakini sio mgomo wenyewe mgomo huo ulioitishwa na shirikisho la vyama vya wafanya kazi cosatu lenye wanachama 320000 unaonesha umeitikiwa na wanachama milioni mbili wa vyama vinavoshirikiana na shirikisho hilo katika sekta za uchumi wa kibinafsi na wa umma waandamaji mjini pretoria walisalimisha risala iliokuwa na matakwa yao kwa idara ya nishati wakisema mgao wa umeme usiwe tu kwa watu walio maskini mfumko wa bei za vitu katika mwezi juni huko afrika kusini ulipanda kwa asilimia 122 sababu ya kupanda huko issac khomu mwandishi wa habari huko johannesburg aliniambia hivi uchumi wa afrika kusini katika robo ya kwanza ya mwaka huu umepanda kwa asilimia 21 ukilinganisha na asilimia 53 katika robi ya mwisho ya mwaka jana kama serekali ya rais thabo mbeki ni ya kulaumiwa kutokana na hali hii issac khomu aliongezea kwa kusema na mwanauchumi mmoja alisema pindi shida zinazowapata watu maskini zitadharauliwa basi mambo yatakua hatari kwani mgomo huu wa leo ni kilio cha walio maskini na wafanya kazi kwamba hatua za haraka zichukuliwe kiungo https//pdwcom/p/era3
2019-09-18T22:09:17
https://www.dw.com/sw/mgomo-mkuu-wa-wafanya-kazi-umeshika-kasi-afrika-kusini/a-3542559
registered members 129978 current users online 25289 topic kujiuzulu lowassa kulinishtuasitta 19th october 2011 1335 posts 11160 rep power unajua kuwa ukifika katika umri wangu unakuwa umepitia na kuona mambo mengi unatakiwa kuwa mkweli sikiliza mbona mnakuwa kama hamna uzalendo dowans ni biashara ya kipumbavunawashangaa hata hao wanaotulaumu sisi kuwa ndio tumeifikisha nchi katika hatua hiyo ya kutakiwa kulipa deni hilo dowans ni wizi ambao kila mtanzania anapaswa kuulaani ushenzi huu badala ya kushangilia alisema bw sitta alifafanua kuwa mkataba ulioingia na kampuni hiyo haukuwa sahihi kwakuwa ulikiuka sheria za ununuzi kwa mujibu wa bw sitta kampuni hiyo ilitakiwa kuingia mkataba na bodi ya wakurugenzi ya tanesco lakini zabuni hiyo ilipitiwa na tume iliyoundwa kutoa serikalini jambo ambalo lilikuwa ni ukiukaji wa mkataba huo alisema kuwa bodi ya tanesco ilindaa mkataba kwa kuipa kampuni hiyo vipengele 24 ambayo ilitakiwa kuvitimiza ndipo ipewe zabuni hiyo lakini tume ilivipunguza hadi kufikia vinne ambavyo navyo ilishindwa kuvitimiza kwanza nikuhakikishie huu si mwisho wa mapambano dowans kulipwa ni sawa na kuhalalisha ushenzi wa majizi hayo hatuwezi kushangilia nitapinga hadi mwisho alisema bw sitta 19th october 2011 1509 re kujiuzulu lowassa kulinishtuasitta 19th october 2011 1513 tunahitaji baraza la vijana la taifa by kiwalanikwagude in forum jukwaa la siasa last post 13th july 2011 1247 lowassa hakuonewa alichelewa kujiuzulu last post 6th november 2009 0739 by gembe in forum celebrities forum last post 28th february 2008 1221 by mafish in forum habari na hoja mchanganyiko last post 10th february 2008 1021
2013-05-19T15:03:46
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/183865-kujiuzulu-lowassa-kulinishtua-sitta.html
tofauti kati ya marekesbisho kitabu cha mhubiri wikipedia kamusi elezo huru tofauti kati ya marekesbisho kitabu cha mhubiri kitabu cha mhubiri (hariri) pitio la 1354 2 oktoba 2017 pitio la 1352 2 oktoba 2017 (hariri) pitio la 1354 2 oktoba 2017 (hariri) (tengua) '''mhubiri''' (pia '''koheleti''') ni kimojawapo kati ya [[vitabu chavya hekima]] vilivyomo katika [[tanakh]] ([[biblia ya kiebrania]]) na hivyo pia katika [[agano la kale]] la [[biblia ya kikristo]] kwa sababu hiyo kilidhaniwa kimeandikwa na [[mfalme solomoni]] kielelezo cha [[hekima]] katika [[biblia]] [[kitabu]] hicho kina [[sura]] [[kumi na mbili]] na kwa kiasi kikubwa kimeandikwa kwa njia ya [[ushairi]] yeye anakabili masuala ya [[maisha]] kwa kuzingatia upande chanya na upande hasi wa kila moja ili kufikia [[hekima]] hasa anajiuliza juu ya maana ya [[maadili]] wakati [[ufunuo]] wa [[mungu]] ulikuwa haujafikia hatua ya kufundisha [[uzima wa milele]] na maisha yalikuwa yanaonyesha mara nyingi ustawi wa waovu na hali ngumu ya waadilifu mbele ya utovu wa [[haki]] [[duniani]] mhubiri alikariri ubatili mtupu ubatili mtupu mambo yote ni ubatili (12) hata hivyo hatimaye akajumlisha mawazo yake kwa kuhimiza kwa [[imani]] mche mungu nawe uzishike amri zake maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu kwa maana mungu ataleta hukumuni kila kazi pamoja na kila neno la siri likiwa jema au likiwa baya (121314) rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/wiki/maalummobilediff/1013555
2020-01-26T01:31:26
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/1013555
uhuru kenyatta ampa onyo raila odingaamtakaa asahau habari za kubadili tume | mpekuzi uhuru kenyatta ampa onyo raila odingaamtakaa asahau habari za kubadili tume aliyekuwa rais mteule wa kenya uhuru kenyatta amefunguka na kutoa onyo kwa mpinzani wake raila odinga kuwa asahu kuhusu tume mpya ya uchaguzi lakini pia amemtaka jaji mkuu wa kenya david maraga kutoingilia kwani wao wameheshimu maamuzi ya mahakama uhuru kenyatta amesema chama chake cha jubilee kipo tayari kwa uchaguzi huo wa marudio na sasa wanasubiri tume ya uchaguzi nchini kenya iebc iweze kutangaza siku ya uchaguzi na wanaiomba itangaze siku hiyo haraka aidha uhuru kenyatta amesema kuwa wapinzani hao hawana haja ya uchaguzi bali ni watu ambao wanataka serikali ya mseto kitu ambacho yeye hawezi kukiruhusu hata kidogo mahakama ya juu nchini kenya septemba 1 2017 ilifuta matokeo ya urais nchini kenya na kuamuru kuwa uchaguzi mpya ufanyike katika nafasi ya urais kutokana na mahakama hiyo kubaini baadhi ya mapungufu wakati wa utoaji wa matokeo hayo ya uchaguzi uliofanyika agosti 8 2017 mtazame hapa uhuru kenyatta akifunguka mengi zaidi mpenzi wangu ibilisi ( simulizi ya kweli) sehemu ya 01 blog archive february (389) january (508) december (438) november (427) october (440) september (399) august (446) july (391) june (354) may (375) april (317) march (291) february (307) january (371) december (366) november (351) october (363) september (340) august (403) july (384) june (421) may (486) april (499) march (478) february (404) january (444) december (375) november (317) october (335) september (271) august (250) july (284) june (352) may (325) april (345) march (383) february (339) january (341) december (246) november (239) october (310) september (289) august (369) july (313) june (322) may (333) april (260) march (294) february (251) january (205) december (262) november (240) october (262) september (278) august (226) july (284) june (256) may (262) april (245) march (238) february (168) january (236) december (164) november (134) october (219) september (303) august (376) july (539) june (551) may (827) april (562) march (258) february (149) january (146) december (127) november (173) october (269) september (205) august (734) july (411) june (241) may (8) april (20)
2018-02-22T15:06:03
http://www.mpekuzihuru.com/2017/09/uhuru-kenyatta-ampa-onyo-raila.html
machi 10 2017 1013 pm habari no 816892 rejea abna link shirika la habari la abna linaripoti kuwa rais tayyip erdogan wa uturuki yuko ziarani nchini urusi kuzungumzia masuala ya syria huku umoja wa mataifa ukivilaumu vikosi vya uturuki kwa mauaji ya zaidi ya wakurdi 2000 kusini mashariki mwa nchi hiyo rais vladimir putin wa urusi alimpokea mgeni wake mchana wa leo katika ikulu ya kremlin akisema kwamba ushirikiano wa pande hizo mbili katika kuumaliza mzozo wa syria una mafanikio makubwa tumefurahi sana kwamba mafungamano baina ya nchi zetu mbili yanarejeshwa tena kwa haraka katika siku za hivi karibuni tumekuwa tukiyapandisha mahusiano haya katika kiwango ambacho kinastahiki tunalifanyia kazi suala la kutatuwa migogoro mikubwa sana na wa kwanza ni wa syria alisema putin kwa pamoja uturuki na urusi ziliwezesha kufikiwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano nchini syria mnamo mwezi disemba ambayo yalisaidia kupunguza kiwango cha mapigano kati ya majeshi ya rais bashar assad na magaidi wanaoungwa mkono na uturuki na mareknai na kisha wakawezesha kufanyika kwa duru mbili za mazungumzo kati ya upande wa rais assad na magaidi duru ya tatu ya mazungumzo inatazamiwa wiki ijayo uturuki na urusi pia ziliunganisha operesheni zao dhidi ya kundi la kigaidi la daesh au dola la kiislamu nchini syria ambalo hapo awali lilikuwa linadhaminiwa na uturuki na saudia arabia na licha ya mashambulizi ya ndege za urusi kuwauwa wanajeshi watatu wa uturuki mwezi uliopita kwa bahati mbaya uhusiano wa pande hizo mbili haukutetereka hata hivyo ukiacha ushirikiano wao dhidi ya kundi la kigaidi la daesh nchi hizi zinaunga mkono pande tafauti kwenye vita hivi ambapo urusi na iran zinamsaidia rais assad kuwashinda magaidi ambapo uturuki marekani na ziko katika muungano wa nchi 61 zinazowasaidia magaidi kuiangusha serikali ya bashar assad uturuki yashutumiwa kwa mauaji ya wakurdi mkutano huu wa putin na erdogan unafanyika katika siku ambayo kamisheni ya haki za binaadamu ya umoja wa mataifa imetoa ripoti inayolikosoa jeshi la uturuki kwa mauaji ya watu wapatao 2000 kusini mashariki mwa nchi hiyo ambako yanapambana na wapiganaji wa kikurdi msemaji wa mkuu wa kamisheni hiyo rupert colville anasema picha za satalaiti zinathibitisha kiwango kikubwa cha mateso na ukandamizaji uliofanywa na jeshi la uturuki na kwamba hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi ya waliotenda hayo picha za satalaiti za kabla na baada ya matukio hayo ambazo zinajumuisha ripoti kutoka miji ya nusaybin na sur na viunga vyao zinaonesha mitaa ikiwa imeteketezwa kabisa tunatiwa hofu zaidi na matokeo ya uchambuzi wa picha hizi ambayo yanaashiria kuwepo kwa kiwango kikubwa kabisa cha uharibifu wa majengo kwa kutumia silaha nzito nzito alisema colville mkuu wa kamisheni hiyo zeid ra'ad al hussein anasema kuwa katika kipindi cha kati ya julai 2015 hadi disemba 2016 operesheni za kijeshi za uturuki zilihusika na uharibifu mkubwa wa makazi ya watu na uvunjaji wa haki za binaadamu ambapo wakurdi 500000 wamelazimishwa kuyakimbia makaazi yao
2018-03-23T07:13:51
http://sw.abna24.com/news/habari-muhimu/urusi-na-uturuki-zajadili-mpango-wa-amani-wa-syria_816892.html
michuzi blog je wajua kuwa mbolea ya yaraliva nitrabor huzuia mazao kuharibika kwa haraka ' if(imglength>=1) { imgtag = ' je wajua kuwa mbolea ya yaraliva nitrabor huzuia mazao kuharibika kwa haraka yaraliva nitrabor ni mbolea maalumu yenye calcium inayoyeyuka pamoja na boron kwa ajili ya uchevushaji wa maua kurefusha muda wa mazao kutokuharibika kwa haraka na huongeza ubora wa mazao ya mbogamboga na matunda 1 weka gramu 145 kwenye bomba la lita 15 · pulizia kwenye majani na sio kwenye udongo · tafadhali wasiliana na bwana shamba wa kampuni ya yara kwa maelekezo na mahitaji maalumu wasiliana na wataalamu wa yara tanzania ltd kwa kupiga *149*50*31# bure au +255 22 2112965/6 bw bagalama mkulima wa tikiti na karanga mkoani tabora alienufaika na mbolea aina ya yaraliva nitrabor
2018-06-24T18:56:32
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/05/je-wajua-kuwa-mbolea-ya-yaraliva.html
addis ababa baraza la amani na usalama la umoja wa afrika lakutana | habari za ulimwengu | dw | 13032007 addis ababa baraza la amani na usalama la umoja wa afrika lakutana baraza la amani na usalama la umoja wa afrika linakutana leo mjini addis ababa ethiopia kuzungumzia mzozo wa darfur mkutano huo unafanyika baada ya baraza la haki za binadamu la umoja wa mataifa kuishutumu serikali ya sudan kwa kuchochea na kushiriki katika vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu na uhalifu wa kivita katika jimbo la darfur ripoti iliyowasilishwa kwenye mkutano uliofanyika jana mjini geneva uswissi ilisema hatua zilizochukuliwa na jumuiya ya kimatiafa zimeshindwa kuzuia ubakaji mateso na vitendo vingine viovu dhidi ya raia wa darfur katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon amesema yuko tayari kwenda khartoum kuzungumzo na viongozi wa sudan kwa mujibu wa makadirio ya umoja wa mataifa watu takriban laki mbili waliuwawa na wengine zaidi ya milioni 25 wakalazimika kuyakimbia makazi yao tangu mzozo wa darfur ulipozuka miaka minne iliyopita kiungo http//pdwcom/p/ccjc
2017-08-18T18:42:32
http://www.dw.com/sw/addis-ababa-baraza-la-amani-na-usalama-la-umoja-wa-afrika-lakutana/a-2907280
rwebangira blog saturday september 24 hakuna siri tenaaaaa itakuwa vipi unapita mitaa ya kongo unatungua jeans yako moja swaaaafi unaipiga sop sop kisha watinga nayo kitaani bila kujua kumbe ina kifaa kiduchu maalumu cha mawasiliano ya kidigitali (radiofrequency identification device rfid) ambacho kinaonesha kila unapoenda kila mahali ulipo alafu fikiria waifu anakutwangia we wamzuga kuwa huko mbezi kumbe ye anakuona kupitia mtandaoni kuwa huko chobingo au waifu kapigilia hiyo jeans wampigia akwambia yuko home kumbe yuko chobingo kawekwa mtu kati kisawasawa itakuwa vipi hapo wadau jibu kila mtu atakuwa na la kwake yaweza onekana kama uzushi au mzuka fulani hivi lakini hapana si mzuka wa uzushi bali ndivyo ilivyo huko majuu wametengeneza jeans za namna hiyo zijulikanazo kama internet of things iot zenye kifaa hicho cha mawasiliano ambacho kinatuma ujumbe mfupi kupitia mtandao wa twitter kikionesha kila mahali anakopita mvaaji wa nguo haya ndo mambo ya teknoligia itafika mahali bila shaka hatutakuwa na siri au faragha tena kila kitu kitakuwa hadharani kwa yeyote kuona ama kufuatilia mmh itakuwa vipi kwa sisi wependa vijizawadi toka majuu kumbe jamaa anakupa ili aweze kukumonita vyema kila hatua unayofanya kila unapokwenda na pengine kila unachozungumza na hao unaozungumza nao/ je hii ni habari njema wadau au mwaonaje it sounds farfetched but it's possible if one of your garments is equipped with a tiny radiofrequency identification device (rfid) your location could be revealed without you knowing about it rfids are chips that use radio waves to send data to a reader which in turn can be connected to the web this technology is just one of the current ways of allowing physical objects to go online a concept dubbed the internet of things which industry insiders have shortened to iot satelite hii imeangukia wapi nasa (shirika la mambo ya anga la marekani) linadhani kuwa satelite hii chakavu yenye ukubwa sawa na basi kubwa inaweza kuwa ishadondoka mpaka kufika asubui hii wanadhani kuwa itakuwa imedondoka kwa kishindo kikuu na pengine kutawanyika umbali wa zaidi ya kilomita 800 katika maeneo ya canada afrika ama baharini nasa said early saturday it was trying to confirm the crashlanding of the biggest piece of us space junk to fall in 30 years which was over canada africa and open ocean during the reentry space agency stressed there was a very remote risk to the public from the 26 fragments of the upper atmosphere research satellite (uars) which were expected to survive the fiery reentry into the atmosphere the debris was expected to reenter earth's atmosphere between 1145 pm friday and 1245 am saturday (03450445 gmt saturday) nasa said in its latest update during that time period the satellite was passing over canada and africa as well as vast areas of the pacific atlantic and indian oceans the risk to public safety was very remote the agency nasa is working to confirm the reentry location and time and will provide an update shortlythe center for orbital and reentry debris studies at the californiabased aerospace corporation predicted the reentry would occur at 0404 gmt saturday plus or minus three hours the two dozen parts that survive the reentry may weigh as little as two pounds (one kilogram) or as much as 350 pounds (158 kilograms) nasa said and the debris field is expected to span 500 miles (800 kilometers) dicota convention 2011 yafana diaspora council of tanzanians in america (dicota) is an organization whose purpose is to unite and strengthen the tanzanian american diaspora and its supporters in order to enhance the economic health and social well being of tanzanians and americans we believe in engaging the tanzanian american diaspora and its supporters thus promoting enhancing and sustaining the relationship collaborate in identifying and implementing investment philanthropic and/or economic development opportunities in tanzania utilize the intellectual and financial capital of the diaspora in identifying and engaging in significant longterm and sustainable project initiatives for the purpose of improving the livelihood of all tanzanians seek investment and philanthropic opportunities with public and private organizations within tanzania that will support the development of the identified project initiatives promote the improvement of the infrastructure in tanzania connect tanzanians living in america and be a liaison to american friends and supporters of tanzania
2017-06-23T12:15:27
http://bongopicha.blogspot.com/2011_09_24_archive.html
ambapo kununua glucomannan katika stores katika saint kitts na nevis [glucomannanplus review] glucomannan plus bei saint kitts and nevis ndiyo glucomannan plus ni furaha ya meli maagizo ya kimataifa na kwa saint kitts and nevis pia wanatoa free shipping kwa baadhi ya nchi home » swahili » glucomannan plus » ambapo kununua glucomannan katika stores katika saint kitts na nevis hivyo je inatafuta glucomannan poda katika saint kitts na nevis kwa bila kununua mtandaoni kutoka tovuti hii glucomannan ni maji mumunyifu fiber malazi asili kutoka mizizi ya mimea aitwaye amorphophallus konjac ambayo inakua katika maeneo ya joto joto la asia ni vivyo hivyo kueleweka kwa majina mengine kama vile konjak konjaku na konnyaku viazi kutokana na maji yake soaking up majengo glucomannan ni kawaida kutumika katika vyakula kama thickener glucomannanplus ni ubora wa bidhaa kutoka evolutionslimming lina 500 mg glucomannan unga ambayo itakuwa kupanuka katika tumbo yako kufanya kujisikia kamili kuliko wewe kweli ni matokeo yake ni kwamba calorie matumizi yako ni kikubwa chini ni vivyo hivyo ni pamoja na green chai na chromiu kufanya kazi kwa pamoja katika kudhibiti hamu na kusaidia kupoteza uzito glucomannanplus wazo kuhusu kuwa moja kati ya maarufu glucomannan capsules urahisi katika soko la leo hata hivyo je ninaweza kununua glucomannanplus saint kitts na nevis unaweza kununua glucomannanplus glucomannan vidonge online kutoka tovuti kuu unaweza kuweka agizo kutoka sehemu nyingi duniani ikiwa ni pamoja na saint kitts na nevis wakati unaweza kufurahia faida nyingi kwa nini kusubiri hii glucomannan poda ukaguzi lazima wanavutiwa wewe mahali ili sasa ambapo kununua glucomannan poda katika saint kitts na nevis bei glucomannan poda orodha ya bei ya (saint kitts na nevis) kwa nini unapaswa kutumia gucomannan plus mbali ya kusaidia kukabiliana na njaa glucomannan pia husaidia kudhibiti viwango vya sukari ya damu hivyo kisukari unaweza mno kupunguza insulini spiking hasa wakati kuunganishwa na afya na chakula bora regimen konjac mzizi yamethibitishwa na misaada katika kupunguza ldl cholesterol hivyo unaweza kuweka afya cardio mfumo glucomannan ujumla ni mimea salama ambayo inaweza kujenga faida zaidi ya afya kwa mwili wako ni hakika uwezekano kuumiza afya yako kwa njia yoyote kama ni yote ya asili fiber kiwanja je glucomannan plus kukusaidia kuacha uzito ufumbuzi ikiwa ndiyo pamoja na nyongeza asili yake ecokirafiki chai na vifaa chromium glucomannan plus ni mlo regimen kibao chapa ambayo ina formula bora ambayo dhahiri zaidi misaada yenu nyembamba chini kwa matokeo yenye ufanisi mkubwa unahitaji kuchukua vidonge 2 ya glucomannan plus mara 3 kwa siku hadi siku dakika 1530 kabla ya kila mlo na kioo kubwa ya maji glucomannan / konjac mizizi (500mg kila capsule) green tea dondoo hii kazi kama nguvu ya kupambana na kioksidishaji kwamba inaweza kusaidia kukuza kupunguza uzito na pia kuondoa wasiwasi katika mwili ecokirafiki chai kadhalika hupunguza njaa na pia inaongeza umakini hivyo unaweza kufurahia nguvu zaidi wakati kumwaga mafuta mwilini kitu kura ya watu kupata ngumu kufanya chromium ukimwi kusimamia viwango vya sukari damu na misaada ya wewe matumizi bora ya chakula ngozi maana njaa chini zisizohitajika siku nzima msingi katika bidhaa hii ni glucomannan ambayo ni kukubaliwa na ulaya viwango vya chakula kampuni kama wote wawili kupunguza uzito pamoja na cholesterol kupunguza kuongeza hata hivyo hii inatumika tu kama wewe hutumia 3g au zaidi kila siku ambayo ni sawa kabisa ingest wakati kuchukua glucomannan plus ningependa kupendekeza wewe kununua glucomannanplus kutoka wasambazaji kuu si tu utakuwa kupata refund udhamini utapata meli akili na bili kuhakikisha fedha nyuma utapata kujaribu glucomannan dawa na kurudi ndani ya wiki sita kama huna kuanza kuona matokeo kama mtu ambaye anatumia glucomannanplus na ina kuwasiliana msaada kwa wateja kabla biashara ni ya kuaminika sana wakati wa kutunga unaweza kupata punguzo juu ya glucomannanplus tovuti kuu kwa glucomannan poda ni ushindani bei pamoja na refund kuhakikisha pia hii kabisa chaguo wajanja kwa hiyo wapi can you kununua glucomannan dawa katika saint kitts na nevis mengi ya kuwinda kwa eneo nia ya ununuzi glucomannan dawa katika saint kitts na nevis kiungo kwa tofauti tovuti mauzo ya glucomannan dawa bidhaa kuna haionekani kuwa fulani internet tovuti ambapo glucomannan dawa masoko ya saint kitts na nevis na utafutaji wote kurejea kawaida internet tovuti au bidhaa zingine mbalimbali glucomannan dawa unaweza kununuliwa kutoka evolutionslimmingkuu tovuti kutoka saint kitts na nevis na hii inaonekana kama njia pekee ya kupata hiyo kama ilivyo kwa aina yoyote ya bidhaa inaweza mara kwa mara kuonekana kwenye ebaycom au amazoncom hata hivyo hii si uwezekano wa kuwa na kama kuaminika kama kutoka evolutionslimming kuu tovuti na pia ni kawaida moyo si kununua kutoka ebaycom au amazoncom kama ubora juu au kurejeshewa hawawezi kuwa na uhakika can you kuwajulisha me pa kupata glucomannan vidonge kwa ajili ya kuuza katika saint kitts na nevis kama una dawa unaweza kununua glucomannan vidonge kwa ajili ya kuuza katika karibu duka yoyote ya madawa katika saint kitts na nevis katika baadhi ya mataifa ambako si kudhibitiwa unaweza kununua kisheria nonprescription bila dawa watu wengi kuchagua kununua glucomannan vidonge online badala ya kutoka kwa wauzaji wa mitaani kabla ya kufanya hivyo kuhakikisha kwamba kuweka katika muda wa kukagua baadhi maoni kwa namna hii unaweza kuhakikisha kwamba kupata bidhaa bora kwa bei ya haki glucomannan shipping kwa saint kitts and nevis huna haja ya kuwa na wasiwasi kuhusu glucomannan utoaji kwa anwani yako kwa sababu sasa glucomannan usafirishaji inapatikana katika kanda zote au miji kote saint kitts and nevis
2019-11-13T05:24:18
https://www.justiceweaver.com/sw/glucomannan-plus/saint-kitts-and-nevis/
palace yamtupia virago pardew allardyce kuchukua nafasi bin zubeiry sports online palace yamtupia virago pardew allardyce kuchukua nafasi bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > palace yamtupia virago pardew allardyce kuchukua nafasi palace yamtupia virago pardew allardyce kuchukua nafasi klabu ya crystal palace imemfukuza kocha wake alan pardew na itakutana na wawakilishi wa sam allardyce baadaye leo palace inataka kocha huyo wa zamani wa england achukue nafasi ya pardew haraka iwezekanavyo ili aiongoze timu katika ligi kuu ya england pardew anafukuzwa uwanja wa selhurst park baada ya kiasi cha miaka miwili ya kufanya kazi na klabu hiyo na anaiacha katika nafasi ya 17 kwenye msimamo wa ligi kuu juu ya nafasi za hatari za kushuka daraja mwenyekiti wa palace steve parish amesmhukuru pardew kwa mchango wake katika klabu hiyo ikiwemo kuwapa kombe la fa msimu wa 201516 crystal palace imemfukuza kocha alan pardew baada ya matokeo mabaya msimu huu princezub@hotmailcom bin zubeiry sports online at 0714 thursday december 22 2016 item reviewed palace yamtupia virago pardew allardyce kuchukua nafasi rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-03-24T02:27:04
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/12/palace-yamtupia-virago-pardew-allardyce.html
asha farouq archive | zbc tovuti about asha farouq recent posts by asha farouq walimu wa skuli za mkoa wa kaskazini unguja wapewa mafunzo ya elimu mjumuisho mkuu wa wilaya ya kaskazni b rajab ali rajab amewataka walimu wa skuli za mkoa wa kaskazini unguja kuyatumia vizuri mafunzo ya elimu mjumuisho ili waweze kutatuwa changamoto zinazowakabili wanafunzi katika ufahamu wao wito huo ameutowa katikia skuli ya msingi mkwajuni wakati alipofunguwa mafunzo ya utambuzi wa mapema kupima na kuwapatia huduma wanfunzi wenye changamoto za kielimu amesema katika ufahamu wa wanafunzi kuna changamoto nyingi zinazowakabili ambazo walimu wanahitaji kluzifahamu mapema ili wapate urahisi wa kufundisha akizitaja baadhi ya changamoto amesema kuna baadhi ya wanafunzi huwa na ufahamu mdogo na baadhi yao hadi wachukuwe muda mrefu ndio wafahamu zikiwemo sababu nyengine zinazosababishwa na malezimakuzimazingira na afya amefahamisha kuwa kutokana na sababu hizo ipo haja kwa walimu kuwa makini wakati wa kufundihsha na kuwatambuwa kikiamilifu wanafunzi wao ili kuhakikisaha lengo la kuwapatia elimu na kufaham7un wanchafundishwa lianafikiwa kwa mawanda mapana nae mwalimu juma salim ali kutoka seksheni ya elimu mjumuisho na stadi za maisha zanzibar amesema wizara ya elimu na mafunzo ya amali imeamua kutoa mafunzo hayo ili walimu waweze kuwatambuwa wanafunzi wenye changamoto mbalmbali wakiwemo wenye mahitaji maaluum kwa ajili ya kuwasaidia katika masomo yao amesema mafunzo hayo yatawafanya wawalimu lazima wawatambuwe wanafunzi wao katika hali tafauti na kuweza kuwasomesha kwa wanavyostahiki akitowa mfano wa utambuzi amesema walimu hwataweza kuwajuwa wanafunzi viziwiwasionawagonjwa wa mifupawenye virusi vya ukimwiwalemavu na kuweza kwenda nao vizuri wakti wanpofundisha jumla ya waalimu wa skuli 6 wamepatiwa mafunzo ya stadi za maisha katika mkoa wa kazskazini unguja dkali mohamed shein ameungana na wananchi katika futari maalum aliyoiandaa yeye na familia yake rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi alhaj dkali mohamed shein ameungana pamoja katika futari maalum aliyoiandaa yeye na familia yake kwa ajili ya wananchi mbali mbali wakiwemo majirani zao katika makaazi yake kibele wilaya ya kati mkoa wa kusini unguja wananchi kufuata taratibu za ujenzi ili kuepuka kujenga kwenye njia za maji mkuu wa wilaya magharibi b captain silima haji amewataka wananchi kufuata taratibu za ujenzi ili kuepuka kujenga kwenye njia za maji za asili jambo ambalo husababisha kutuama kwa maji na kuleta athari kwa wakaazi wa maeneo hayo akiwa katika ziara ya kuangalia maeneo mbali mbali yaliyoathiriwa na mvua amesema kadri mvua zinavyoendelea kunyesha athari nyingi zimeweza kujitokeza na kusababisha kuongezeka kwa mashimo kwa baadhi ya maeneo na kuleta madhara makubwa kwa wananchi hivyo amewataka wananchi kuchukua tahadhari za mapema katika maeneo yao kwa upande wao wananchi wa maeneo hayo wamewaomba wananchi wenzao kufuata taratibu zinazotolewa na viongozi hao kuhusiana na ujenzi ili kuepuka maafa hayo yanayojitokeza maeneo aliyoyatembelea mkuu huyo wa wilaya ni pamoja na kituo cha kikosi cha zimamoto mwanakwerewe pamoja fuoni mambosasa mfuko wa bima ya amana kulipa fidia kwa wenye amana spika baraza la wawakilish mh zuberi ali maulid amesema bodi ya bima ya amana inajukumu la kutumia fedha za mfuko wa bima ya amana kulipa fidia kwa wenye amana pale ambapo benki ikiwa imefungwa kwa kufilisika au kutokidhi matakwa ya sheria akifungua mafunzo kwa wajumbe wa baraza la wawakilishi kuhusu majukumu ya bodi ya bima ya amana yaliyowashirikisha wajumbe haoamesema ulipaji wa fidia kwa wenye amana kunaifanya jamii kuendelea kuwa na imani na mfumo mzima wa fedha hapa tanzania meneja muendeshaji kutoka bodi ya bima ya amana nd rosemary tenga amesema lengo la kutoa mafunzo kwa wajumbe hao nikuwasaidia juu ya majukumu yao ya kazi kwa bodi hiyo pamoja na kuisambaza elimu walioipata kwa kuwafikia wananchi katika majimbo yao akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa baraza la wawakiliashi mh mohammed ahmada mwakilishi wa jimbo la malindi ambae pia ni naibu waziri wa ujenzi na mawasiliano amesema mafunzo waliyoyapata ni muhimu katika kuwawezesha katika mipango yao ya kazi pamoja na kuwasaidia wananchi juu ya kujiunga katika bima hiyo akifunga mafunzo hayo kwa niaba ya waziri wa fedha zanzibar naibu spika baraza la wawakilishi mh mgeni hassan amewasisitiza wajumbe hao kuwa mabalozi kwa wananchi juu ya kufikisha ujumbe huo mafunzo hayo ya siku moja ambayo yameandaliwa na bodi ya bima ya amana kwa kushirikiana na wizara ya fedha zanzibar recent comments by asha farouq no comments by asha farouq yet 130497jumla ya waliotembelea 3671wiki iliyopita
2019-09-24T08:59:39
https://www.zbc.co.tz/author/ashuu/
stvincentandthegrenadines holidays data kiuchumi viashiria st vincent na grenadini all countries umojamataifa uingereza china afghanistan albania algeria andorra angola antigua na barbuda argentina armenia aruba australia austria azerbaijan bahamas bahrain bangladesh barbados belarus ubelgiji belize bermuda bhutan bolivia bosnia na herzegovina botswana brazil brunei bulgaria cambodia canada capekijani visiwa vya cayman chile china colombia pwanirica kroatia kuba cyprus jamhuri ya czech denmark dominika jamhuri ya dominika timor ya mashariki ecuador misri themwokozi estonia ethiopia euro eneo fiji finland ufaransa georgia ujerumani ghana ugiriki grenada guatemala guyana haiti honduras hongkong hungary iceland india indonesia iran iraq ireland israeli italia jamaika japan jordan kazakhstan kenya kiribati kosovo kuwait kyrgyzstan laos latvia lebanon liechtenstein lithuania luxemburg macau macedonia malaysia maldivi malta mauritius mexico moldova monako mongolia montenegro morocco msumbiji namibia nepal uholanzi kaledonia mpya mpyazealand nikaragua nigeria norway oman pakistan palestina panama papua guinea mpya paraguay peru philippines poland ureno pwetoriko qatar romania urusi rwanda samoa sao tome na principe saudiarabia serbia shelisheli singapore slovakia slovenia visiwa vya solomon afrika kusini korea ya kusini hispania srilanka surinam sweden uswisi syria taiwan tajikistan tanzania thailand tonga trinidade and tobago uturuki turkmenistan uganda uk ukraine falme za kiarabu uingereza umojamataifa urugwai uzbekistan vanuatu venezuela vietnam yemen zambia zimbabwe
2019-12-08T14:41:01
https://sw.tradingeconomics.com/st-vincent-and-the-grenadines/holidays
katibu wa bunge na spika wake wapimwe akili zao | jamiiforums | the home of great thinkers katibu wa bunge na spika wake wapimwe akili zao discussion in 'jukwaa la siasa' started by mamawille oct 27 2011 leo katibu wa bunge ameutangazia umma kuwa zitto kabwe yu mzima anaendelea vizuri na matibabu tucwe na wacwac hoja yangu ni kwamba ni kweli tanzania hatuwezi kumtibu mtu mwenye malaria kama ya zitto kweli jamani hata malaria mpaka india yaani kweli muhimbili hawawezi kutibu malari agha khan hawawezi kutibu malaria daa tumekwisha madai yangu zitto haumwi malaria hapa kuna usanii mtupu katibu wa bunge na spika wake wakapimwe akili zao hawawezi kutudanganya kiasi hiki jamani inatosha sasa kudanganyana na ukiona serikali inalidanga taifa wazwaz basi kuna njama kali sana zimepangwa zidi ya zitto kabwe ikiwezekana atoweke duniani katibu wa bunge akapimwe akili zake mimi kwa kutumia mawazo mazuri kutoka kwa mungu zitto hasumbuliwi na malaria nina hasira wapendwa aisee sikubaliani na ww hapo uliposema eti kuna njama nzito ikiwezekana zitto atoweke duniani mi nadhani huu si muda muafaka wa kugeuka wanajimu na kuanza kutabiri yajayo la msingi hapa ni kumuombea ili mungu amponye pole shusha pumzi upunguze hasira kama wanadanganya ukweli utajulikana tu hatahivyo nimemsikia kaka yake redioni akisema zito anaumwa malaria na kwamba anaendelea vizuri je na yeye anadanganya tutajua tu hasira za nini na ukiona serikali inalidanga taifa wazwaz basi kuna njama kali sana zimepangwa zidi ya zitto kabwe ikiwezekana atoweke duniani katibu wa bunge akapimwe akili zake mimi kwa kutumia mawazo mazuri kutoka kwa mungu zitto hasumbuliwi na malaria nina hasira wapendwaclick to expand nilikuwa naangalia habari hii nikiwa na mama yangu wakati inarushwamama yangu aliniuliza swali mojaana malaria ya namna gani hiyo mimi nikasema sijui ila muhimbili imeshindwayeye akasema sasa kama muhimbili imeshindwa kutibu malaria jezile hospital zetu za kata kule same na kwingineko itakuwa habari gani kimsingi tukubali tukatae kaka zitto anaumwa ki uhalisia mambo haya yanachanganya hapa bado ukweli halisi hata mimi sijaugrasp kama kweli issue ya malaria mtu inabidi ahamishwe hospitallakini huko nako akahifadhiwe icu na bado tunaelezwa kuwa ikilazimika atapelekwa india mwishoni mwa wiki au mwanzoni mwa next week je hivi hii ni malaria tu au kuna malaria ya kisasa hapa tunahitaji kuambiwa ukweli isije ikawa propaganda kikubwa tumuombe mungu amponye haraka wewe mbona una lugha kali punguz hasiraa bana ccm wanaposema malaria hawana maana ile homa inayo sababishwa na vimelea vya aina ya plasmodium falciparum plasmodium ovale plasmodium vivax ama plasmodium malariae wanao sambazwa na m'mbu aina ya anophele malaria ya ccm ni ushirikina kuchanganya na interijensia ya kifisadi kama magamba yalikaa na kuazimia kuwa chama chao hakija anza kuua leo basi huo ni muendelezo wa kukolimbana tena kwa kasi ya ajabu na kwa mtindo huu lazima wengi wataondoka kwani dalili za mvua ni mawingu madaktari wamesema ni malaria wewe unapinga hebu tuambie ugonjwa wake sasa wacwac ndio kitu gani malaria india msiwe na wasiwasi inawezekana mhe ana complication ya tu ya malariaehivkisukarisis ugonjwa ambao muhimbili umewashinda heri wampeleke india wasije mkata mguu au kichwa namtakia apone haraka ni muhimu kuliangalia hili kwa umakini hasa ukihusianisha na mambo mengi ya kukanganya ya kisiasa yanayoendelea madaktari wamesema ni malaria wewe unapinga hebu tuambie ugonjwa wake sasaclick to expand siyo kila kitu utaambiwa sahihi mbona ugonjwa wa mwakyembe bado inabaki kuwa siri ya dr wake na yeye mwenyewe jiulize inawezekana ili la kutaka kumpeleka india halina ulazima sana lakini itabidi hiwe hivyo mradi tu serikali ijitoe kimasomaso mi nadhani huu si muda muafaka wa kugeuka wanajimu na kuanza kutabiri yajayo la msingi hapa ni kumuombea ili mungu amponyeclick to expand nimeshindwa kuelewa pia haiwezekani malaria ikashindikana aghakhani mgwonjwa awe reffered mnh kuna taarifa haijawekwa wazi ah ushakiri mwenyewe una hasira nilikuwa nina majibu makali sasa ngoja niweke pending ndg ulichokiandika ni sahihi haiwezekani malaria impeleke mtu nchi za nje akapate matibabu kwa hiyo hata hz tiba tunazopewa wanatudanganya hazitibu nadhan hii inajidhilisha wazikwa mh zitto hapa ni suala la kilozi japo serikali inajifanya haitambui tena wakicheza watauana mpaka waishe kwa tamaa na uroho madaraka pamoja na wizi mali za wananchi kwani ni mara ya kwanza zito kuumwa kuumwa sio kifo inatakiwa tumuombea apone kama kuna tatizo la ndani hatuwezi kujua mpaka aseme mwenyewe kwa jinsi wahindi walivyo watu wa dili usikute huko ndo kunageuzwa kuwa machinjio rasmi ya watu wenye uchungu na nchi hii yote haya yana mwisho wanaweza kumtoa mtu duniani lakini hoja zitabaki pale pale na kuendelea kujadiliwa siku zote mpaka kieleweke tutashinda tu
2016-12-11T06:27:19
http://www.jamiiforums.com/threads/katibu-wa-bunge-na-spika-wake-wapimwe-akili-zao.186598/
eactivokihispania kwa ajili ya wahamiaji 12 novemba 2015 | 2 maoni upya mapumziko ya muda mrefu kutoka mali hispania na matumaini mashairi hadithi iliyoandikwa na mwanafunzi wetu etsuko nakajima katika nchi yake japan hapa ni kuanzishwa kwa hadithi yake etsuko sequida ni nzuri haki etsuko iliyopita 70 miaka kwamba kumalizika vita lakini uwezekano wa vita vingine haina kuacha exixtir hivyo natumaini hakuna vita zaidi pia kuongezeka kwa idadi ya familia moja mzazi na idadi ya familia juu ya ustawi na hivyo najisikia kama tuna nchi ambapo watoto wote wanaweza kuishi bila wasiwasi napenda kuwa dunia ni kamili ya upendo nataka kuishi bila hofu natumaini hakuna vita zaidi najisikia kama tuna udongo mzuri sana hopefully tunaishi katika maisha bora ya baadaye napenda watoto kukua afya na nguvu najisikia kama kuwa watoto wote wana wazazi natumaini kwamba watoto wanaishi katika nchi bila uchafuzi nataka watoto kupata elimu nataka kuishi katika maisha bora ya baadaye kazi hii kwa etsuko nakajima na español activo ni leseni chini creative commons attributionyasiyo ya kibiasharanoderivs 30 unported leseni kuchapishwa katika mazoezi b1 mazoezi ngazi tags b1 shairi subjunctive mwanafunzi kazi 19 mei 2015 | maoni 28 oktoba 2014 | 2 maoni sisi ikifuatiwa na mapendekezo ya moja ya wafuasi wetu juan ignacio na tuna aliongeza video nakala maonyesho hivyo kuwa mazungumzo daima karibu transcription maonyesho nakala na kukumbuka videocast na kiungo aliongeza maonyesho shukrani juan ignacio 16 agosti 2014 | maoni
2019-06-16T02:35:47
http://www.e-activo.org/sw/
rais mnangagwa nitampa mafao mazuri robert mugabe cgfm rais mpya wa zimbabwe emmerson mnangagwa ameiambia bbc kuwa atampa malipo mazuri ya kustaafu rais aliyeng`olewa mamlakani robert mugabe na mkewe amesema kuwa mugabe ataendelea kupokea mshahara wake na mafao mengine kama kawaida ikiwemo kusafiri katika kiwango cha kwanza kwenye ndege (first class) pamoja na kusafiri kwa gharama ya serikali lakini rais mnangagwa amesema kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria na asiyeweza kushtakiwa na amesema kuwa zimbabwe itajiunga tena hivi kariubuni na mataifa ya jumuia ya madola hatujampa kinga mtu yoyote isipokua ambacho nimeahidi kwa rais aliyetangulia na baba wa taifa letu rais robert mugabe ni kwamba tunampatia mafao na mshahara wake kama alivyokua akipata awali usafiri ofisi ulinzi na serikali yangu itamuwezesha kuenda singapore kwenye matibabu na vyote hivi mke wake pia ataviapata mnangagwa amesema pia serikali yake mpya inafanya jitahada kubwa za kupambana na rushwa msimamo wangu ni kwamba rushwa haiwezi kuvumiliwa hata kidogo hatuwezi kabisa kuvumilia jambo kama hili na kama mnafatilia mambo yanayotokea zimbabwe kwa sasa watu wengi wenye wadhifa mkubwa wamefikishwa mbele ya mahakama na ni ndani ya miezi miwili tuu tayari tunawashughulikia watu wenye makossa ya rushwa
2019-01-19T13:30:17
http://blog.cgfmradio.com/rais-mnangagwa-nitampa-mafao-mazuri-robert-mugabe/
friends of slaa | fos | slaa ataka balali ajiuzulu ambana lowassa kuhusu richmond slaa ataka balali ajiuzulu ambana lowassa kuhusu richmond hotuba ya msemaji mkuu wa kambi ya upinzani drwillibrod peter slaa(mb) kuhusu makadirio ya matumizi ya fedha ya ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa mwaka wa fedha 2007/2008 1 mheshimiwa spika napenda kuchukua nafasi hii kwa niaba ya kambi ya upinzani kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani kuhusu hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali na makadirio ya matumizi ya fedha ya ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa kwa mwaka wa fedha 2007/2008 kwa mujibu wa kanuni za bunge kifungu cha 43(5)(c) na 81(1) toleo la mwaka 2004 2 mheshimiwa spika kwa namna ya pekee nawashukuru wananchi wa karatu walionichagua kwa kipindi cha tatu kuwa mbunge wao ninawashukuru hasa kwa imani waliyokuwa nayo siyo kwangu tu bali pia kwa madiwani wetu wa chadema kiasi cha kukifanya kwa mara nyingine tena ccm kuwa chama cha upinzani wilayani karatu tunawapongeza sana wananchi hao kwa kuona tofauti ya dhahiri kati ya uongozi wa ccm na wa chadema wameona kwa vitendo maendeleo ambayo kwa miaka 40 chini ya ccm hawakuyapata mimi pamoja na madiwani wangu wa chadema tunawahakikishia kuwa hatutawaangusha na kuwa kama walivyofurahia matunda ya dhamana waliyotupa kwa maana ya maendeleo yanayoonekana kwa kipindi hiki pia tutafanya kila jitihada kutimiza ahadi zetu mbalimbali kwa mujibu wa ilani tuliyoiuza wakati wa kampeni mheshimiwa spika kwa msingi huo huo nawapongeza pia wananchi wa bariadi kwa kuichagua udp na kuifanya pia chama tawala bariadi natambua kuwa dhana hii ni mpya kwa wengi wetu katika demokrasia halisi chama kimoja kushinda uchaguzi kitaifa vyama vingine vikashinda na kuwa na madaraka ya uongozi katika ngazi mbalimbali za serikali za mitaa ni jambo la kawaida mheshimiwa spika nawapongeza kwa namna ya pekee sana wananchi wa pemba ambao kwa uamuzi na hiari yao wameifanya cuf kuwa chama tawala pemba ni imani yangu kuwa serikali kuu itaheshimu daima maamuzi haya ya wananchi na kujenga nchi ya demokrasia ya kweli 3 mheshimiwa spika kama nilivyosema katika hotuba yangu mwaka uliopita ninatoa tena mwito kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania inayoongozwa na ccm kuwa njia pekee ya kupeleka maendeleo ya nchi yetu mbele ni kuanzisha rasmi na kwa vigezo wazi mashindano ya maendeleo kati ya wilaya zinazoongozwa na upinzani na zile zinazoongozwa na chama cha mapinduzi ninawapongeza vile vile madiwani wa chadema na wa ccm kigoma ambao wametoa funzo kubwa kwa tanzania nzima kwa kuwezesha kuundwa kwa baraza la madiwani mseto baada ya kuwa na nguvu zinazolingana hili ni funzo kwa vile wako wanaofikiri hakuna uwezekano wa serikali ya mseto tanzania hata kabla ya kufanyia marekebisho makubwa katiba na sheria zetu mbalimbali mashindano haya yatatoa kwa wananchi nafasi ya kupima utendaji kati ya halmashauri zinazoongozwa na ccm na zile zinazoongozwa na vyama vingine huu ndio ukomavu wa kisiasa na demokrasia katika nchi yetu na ishara ya wazi kuwa serikali na chama tawala kitaifa kweli vimedhamiria kimatendo kuruhusu mfumo wa vyama vingi nchini tofauti na hali ya sasa ambapo viongozi wa vyama vingine wananunuliwa au kurubuniwa kwa mbinu chafu haya yalitokea hivi karibuni kule kigoma au lile tukio la aibu na la kihistoria ambapo mgombea umeya kwa tiketi ya ccm bwana nashon bidyanguze alifanya jaribio la kumtorosha diwani wa chadema bi bahati shabani rehani toka kigoma hadi daressalaam kwa malengo ya kisiasa mtego uliowekwa na bi bahati kwa kushirikiana na uongozi wa chadema makao makuu ndio uliozuia jaribio hilo jambo hilo ni kinyume kabisa na maadili mema kwa bahati mbaya mgombea umeya huyo wala hakuchukuliwa hatua au ya kinadhamu au ya kimaadili na chama chake licha ya kukiabisha na kuliaibisha taifa zima kwa kitendo hicho 4 mheshimiwa spika napenda kumshukuru mhe edward lowassa(mb) mbunge wa monduli na waziri mkuu wa jamhuri ya muungano mhe mizengo pinda waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuutamisemi manaibu wao makatibu wakuu pamoja na wataalamu wote kwa bajeti iliyowasilisha bungeni hivi punde napenda kuwapa pia pole kwa kazi kubwa wanayoifanya katika mazingira magumu 5 mheshimiwa spika nitakuwa mtovu wa shukrani iwapo sitakushukuru wewe binafsi naibu spika na wenyeviti wa bunge kwa kazi nzuri mnayofanya ya kuliongoza bunge letu tukufu ninamwomba mwenyezi mungu awajalie hekima na busara na kuwapatia nguvu na afya mnazohitaji katika kuliendesha vizuri bunge letu masuala ya jumla ya bajeti mwaka wa fedha 2007/2008 6 mheshimiwa spika kabla sijaanza kujadili hotuba ya waziri mkuu naomba nitoe maelezo yafuatayo (i) ninawasilisha ndani ya bunge lako tukufu maoni ya chombo kinachojulikana kama kambi ya upinzani mhe spika kambi ya upinzani bungeni inatambuliwa kwa mujibu wa kanuni za bunge kifungu cha 11 hadi 13 na pia kifungu cha 83a toleo la 2004 (ii) kambi ya upinzani imetafakari kwa kina maana halisi ya maneno vyama vya upinzani au kambi ya upinzani na kugundua kuwa maneno haya yana maana hasi katika mila na desturi za mwafrika tofauti na neno opposition kilichofanywa na kanuni ya sasa ni kuchukua tafsiri ya neno la kiingereza ambayo katika falsafa ya mwingereza haina maana sawa na kupinga kama neno hilo linavyoeleweka kwa mwafrika kwa wenzetu mara nyingi badala ya neno opposition hutumika zaidi minority party kwa nia ya kuepuka tafsiri hiyo hasi ya neno opposition 7 mheshimiwa spika kwa vile suala la jina ni uchaguzi wa mwenye jina hilo tunawasilisha kwako kuwa kambi ya upinzani imebadilisha jina lake na sasa itakuwa inaitwa kambi ya ushindani na tunapenda tutambulike hivyo maana halisi ni kuwa vyama vya siasa huwa vinashindana kwa lengo la kutaka kuingia kwenye utawala vinakwenda kwa wananchi kushindanisha sera na ilani zao hivyo dhana ya upinzani haiko kwa vile hakuna anayempinga mwenzake bali vyama vinashindana ni imani yetu kuwa ofisi yako itapokea jina hili jipya na itakuwa ndiyo jina rasmi la kambi yetu kwa vile jina vyama vya upinzani halitajwi popote kwenye katiba ya jamhuri ya muungano sheria ya uchaguzi wala sheria ya vyama vya siasa hatuoni kuwa badiliko hili linaweza kuwa na kikwazo 8 mheshimiwa spika vyama vyetu pia moja moja au katika umoja wao vinaweza kwa wakati wao kuchukua jina hilo au jina lingine lolote linaloendana na falsafa na fikra za mwafrika hadi hapo kanuni zitakaporekebishwa tutaendelea kutumia neno kambi ya upinzani lakini ikieleweka kwa tafsiri hii ya ushindani na siyo kupingana 9 mheshimiwa spika hii ni bajeti ya pili tangu serikali ya awamu ya nne iliposhika uongozi wa nchi yetu kambi ya upinzani inatoa maoni yake kwa kufanya tathmini ya malengo na mwelekeo wa kazi za serikali katika vipindi mbalimbali vya nyuma ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa malengo ya serikali ya awamu ya nne kwa kipindi cha tangu waliposhika madaraka pamoja na tathmini hii ninapenda niseme machache kuhusu bajeti iliyowasilishwa na waziri wa fedha kwa ujumla na maoni yetu kuhusu majibu yake ndani ya bunge hili 22 june 2007 a) mhe spika ni kweli kanuni zetu toleo la 2004 hazisemi kitu kuhusu bajeti mbadala hili lilisema wazi katika hotuba ya bajeti ya waziri kivuli hatukutegemea kama hili litakuwa na mjadala tena b) mhe spika hata hivyo anayebishia dhana ya bajeti mbadala ni yule asiyefahamu utendaji kazi wa bunge katika mfumo wa vyama vingi bajeti mbadala kwa kifupi ni maoni ya kambi isiyo madarakani kuwa tungekuwa sisi na ridhaa ya kutawala tungelifanya mambo kwa utaratibu huu bajeti ya kiongozi wa upinzani ilifanya hivyo na si zaidi c) mhespika mawazo ya kuwa hakuna bajeti mbadala hadi uwe serikalini ni mawazo potofu ya watu wasioenda na wakati na wala hawafuatilii kinachoendelea duniani mifano hai iko zambia mauritius uganda na india ambako kamati yako ndogo( kamati ya ndugai) mhe spika ilipata fursa ya kutembelea na kujionea utendaji kazi katika mabunge hayo d) mhe spika maoni ya kambi ya upinzani yaliyowasilishwa na waziri kivuli yanaonyesha kuwa kambi ya upinzani ingelikuwa serikalini ingeliweza kukusanya tshs trilioni 53 badala ya trilioni 35 inayokusanywa na serikali sasa bajeti ya kambi ya upinzani ni ziada ya trilioni 22 zaidi ya ile ya serikali e) mhespika na hizi ni fedha ambazo serikali ingelikuwa makini ingezikusanya kutoka rasilimali zetu za ndani mathalan mali asili madini yetu na vito mifugo yetu udhibiti wa misamaha ya kodi kutekeleza na kusimamia sheria zilizoko vizuri zaidi hakuna hata senti moja ya mfadhili katika ziada hii f) mhespika mapato haya yangeongezeka kufikia trilioni 53 bila kumgusa mwananchi wa kawaida zaidi ya kiwango cha kodi anazolipa sasa hii ina maana kuwa kwa mapendekezo ya kambi ya upinzani tungeweza kutekeleza mipango mingi zaidi ya maendeleo kuliko ilivyo katika bajeti ya serikali g) mhe spika huu ndio ubunifu uliokosekana kwa upande wa serikali mtu yeyote aliyesikiliza na kutafakari mawazo mbadala au upande wa pili wa shillingi asingelishindwa kutambua kuwa maoni ya kambi ya upinzani yanapunguza utegemezi kwa wafadhili kutoka asilimia 42 ya sasa ya serikali ya ccm kufikia asilimia 318 kuna uzalendo zaidi ya huu h) mhespika licha ya mbwembwe za mhe waziri hajaweza kukosoa kwa hoja yoyote maoni ya yaliyowasilishwa na kambi ya upinzani kwa bahati mbaya kabebwa na ushabiki wa kisiasa ambao kimsingi hausaidii taifa letu wala wananchi wetu i) mhespika tunawaachia watanzania wachambue mchele kutoka pumba tunaamini ujumbe umefika na ndiyo lengo la maoni ya kambi ya upinzani kuwaonyesha watanzania kuwa inawezekana tukiwa na uzalendo tukiipenda nchi yetu tukiwa wabunifu na tukiacha kufanya kazi kwa mazoea j) mhe spika hoja siyo usitoze kodi na wala wananchi wasilipe kodi hoja ni kuwa kuna kiwango cha kuwakamua watu maskini waziri amesahau kuwa serikali hii hii miaka michache tu iliyopita ilifuta ushuru wa upe wa shs 2000/ kwa vile wananchi wengi walikuwa wanashindwa kupeleka watoto wao shule kwa ajili ya shs 2000 ushuru huu ukaitwa ushuru na kodi zenye kero leo unawapiga kodi lukuki tena kwa njia mbaya kama kupandisha kodi ya mafuta ya aina zote ambayo kimsingi inaathiri gharama zote za maisha k) mhe spika mhe waziri amesahau kuwa asilimia 354 ya watanzania wako katika kiwango cha chini cha mahitaji ya msingi yaani katika kila watu 100 watu 354 ni maskini wa kutupwa nyumba za kulala wasiwasi chakula cha kubangaiza na hata mavazi yao hawa ndio watu ambao mhe waziri anataka waendelee kukamuliwa wakati kuna vianzio vingine vingi tu vinavyoweza kuliingizia taifa mapato mengi hapa tatizo ni mind set ni kufanya kazi kwa uzoefu au kukosa uzalendo kama tulivyosema l) mhe spika kwa kifupi huwezi kuongeza tu kodi kwa mwananchi wakati kuna vianzio vingi vimeachwa nje wakati udhibiti wa fedha hauko imara wakati mabilioni yamekaa tu kwenye akaunti zilizofungwa miaka mingi na mengine mengi m) mhe spika maoni ya kambi ya upinzani siyo tu yameonyesha vipaumbele vile vile vilivyoonyeshwa na serikali bali tumeongeza kipaumbele kingine ambacho serikali haikuona yaani utawala bora wakati bajeti ya serikali imetoa asilimia 18 kwa elimu mapendekezo ya kambi ya upinzani ni asilimia 20 miundo mbinu tumeipa asilimia 21 karibu mara tano ya bajeti ya serikali kilimo tumekipa asilimia 12 badala ya 62 ya serikali na kadhalika serikali isiingize itikadi katika masuala ya kitaifa tunahitaji kwa pamoja kulikomboa nchi yetu kutoka lindi kubwa la umaskini serikali itupe majibu kwa hoja wakati wa ushabiki wa kisiasa umepita kwani wakati tunaendelea na ushabiki wa kisiasa dunia haitusubiri inaenda mbele tunaisihi serikali na wabunge wenzetu wa ccm tufanye kazi kwa uzalendo wananchi tunaowasemea ndio hao hao watakaowachagua tena mwaka 2010 tuwaonee huruma n) mhe spika waziri wa fedha hatimaye alisema kambi ya upinzani haina uzoefu ukweli ni kuwa alhamisi wakati waziri anasoma bajeti yake alikuwa amegawa vitabu vya bajeti volume 11 yenye cover pink baada ya kusoma bajeti yake amegawa volume 11 nyingine safari hii yenye cover blue o) mhe spika vitabu hivi viwili vinatakwimu tofauti chukua mathalan kasma ya 25 ofisi ya waziri mkuu kitabu pink wakati anasoma bajeti yake ilikuwa na makadirio ya matumizi ya jumla ya (net total) 4011489000 p) mhe spika kitabu kilichotolewa baada ya bajeti (blue) kwa kasma hiyo hiyo kina jumla ya (net total) 3372489000 vote 37 ofisi ya waziri mkuu nayo vivyo hivyo kitabu kinaonyesha jumla ya tshs 12332530800 wakati kitabu blue kinaonyesha tshs 10442530800 sasa ipi ni ipi q) mhespika huu ndio utaratibu anaosema waziri unaeleweka huu ndio uzoefu anaosema waziri anao kuliko kambi ya upinzani je waziri anafahamu kuwa kwa taarifa zilizoko yeye ni waziri wa kwanza tangu uhuru aliyewachanganya wabunge kwa kutoa vitabu viwili kwa matumizi ya aina mmoja na wala hajaomba hata msamaha kwa wabunge kwa makosa hayo waziri anajua kuwa sababu moja ya hali hiyo ni kutokuwa makini wakati wa maandalizi kiasi cha kutokuweka fedha kwa miundo mbinu hadi kamati ya fedha na miundombinu (ambamo na wapinzani wapo) ziliposhinikiza kupatikana kwa fedha hizo r) mhespika wakati mwingine uungwana ni muhimu na hauna gharama licha ya kwamba unajenga kuheshimiana na kuaminiana 10 mheshimiwa spika kwa kuwa bajeti iliyowasilishwa na waziri kivuli ni kielelezo kamili ninapenda kusisitiza kuwa maoni yetu kwa bajeti ikiwa ni pamoja na maeneo yaliyoko kwa ofisi ya waziri mkuu ni kama tulivyoeleza hivyo sitahitaji kurudia kuchambua tena bajeti hiyo badala yake nitajielekeza sasa kwenye maeneo machache muhimu ya utendaji wa serikali maeneo ambayo serikali inayaombea fedha za matumizi mhe spika pale inapotakiwa tutatoa maoni yetu mbadala kutaka maelezo kamili kutoka serikalini na au kuitaka serikali kuchukua hatua mahususi 11 mheshimiwa spika waziri wa fedha alitoa majibu yake ndani ya bunge hili na mbele ya mheshimiwa waziri mkuu kiongozi wa shughuli za serikali bungeni na kwa kuwa alizungumza zaidi kisiasa bila kujibu hoja za msingi kwa niaba ya kambi ya upinzani tunaitaka serikali sasa ituhakikishie yafuatayo a) serikali sasa ikanushe au itoe tamko kuwa kiwango cha magogo kilichouzwa china cha cumita 18316 x $150 kwa taaarifa za tanzania ambapo vitabu vya china vinaonyesha cumita 108605 x $ 450 na kuwa kwa kiwango hicho cha underdeclaration serikali imepoteza $ 406 millioni ( sawa na tshs 528 billioni) hiki ndicho kigezo cha uhakika kama taarifa ya upinzani ni ya kweli au si kweli kuna uzoefu au hakuna na wala si maneno tu ya kisiasa serikali isipige siasa wakati nchi inateketea b) iwapo takwimu hizo ni sahihi au kama serikali haina taarifa kamili kama alivyokiri waziri wa mali asili na utalii je serikali inakubali kuwa kulikuwa na uzembe katika kusimamia rasilimali zetu na je wahusika wa uzembe huo wamechukuliwa hatua gani au watachukuliwa hatua gani ikizingatiwa kuwa mhe meghji alikuwa ndiye waziri wa mali asili na utalii kwa wakati huo haiwezekani kuwaadhibu wananchi kwa kodi isiyo lazima wakati serikali inaacha makusudi kuchukua hatua za udhibiti na usimamizi kama walivyokabidhiwa dhamana c) serikali itoe maelezo ya kina ambayo waziri meghji hakujibu kwanini takwimu za soko la dunia zinaonyesha mauzo ya tanzanite ambayo inapatikana tanzania tu kuwa $ 400 millioni wakati takwimu za tanzania zinaonyesha $ 16 millioni tu je serikali inasema nini kuhusu kukosekana kwa mkakati wa udhibiti wa mapato ya serikali ambao umeisababishia serikali hasara ya zaidi ya tshs 100 billioni kama tulivyoeleza kwenye maoni yetu d) je serikali inasema nini kwa takwimu hizi tu bado kuna haja ya kumkamua mwananchi wa kawaida kupitia kodi ya mafuta serikali ilichofanya ni kiini macho kwa kuhamishia kodi ya mafuta ya taa ya shs 4 kwenye kodi ya mafuta aina ya petroli na dieseli serikali inafahamu kuwa kusafirisha mafuta ya taa unahitaji dieseli na kama gharama ya dieseli iko juu hata ya mafuta ya taa haitashuka mwananchi wa kawaida ndiye atakayeendelea kuathirika e) mhe spika japo sihitaji kutetea vyombo vya habari lakini duniani kote vyombo vya habari ni mhimili wa nne baada ya bunge utawala na mahakama ndio wenye kudodosa na mara nyingi huwa wa kwanza kugundua mapungufu ya serikali kutokana na taaluma yao ya uandishi (hasa investigative journalism) vyombo vinavyosimamia utendaji wa serikali mathalan wabunge hutumia taarifa hizo kwa kuitaka serikali kutoa ufafanuzi wa mambo yaliyoko kwenye vyombo hivyo vya habari kujua ukweli waziri mkuu analiambiaje taifa sasa kuhusu hili je vyombo vya habari visiandike mambo hata kama yana ukweli na manufaa kwa taifa hili kwa vile tu hayaifurahishi serikali je serikali anayoisimamia sasa iko tayari kutangaza rasmi kuwa vyombo vya habari vinafanya kazi pale tu vinapoisifu na kuipigia debe serikali kambi ya upinzani ilidhani serikali makini ni ile ambayo inapogundua kasoro fulani tu kupitia chombo cha habari mara mmoja inachukua hatua na kufuatilia kasoro hiyo 12 mheshimiwa spika kambi ya upinzani imefarijika sana kuwa mhe waziri wa fedha amekiri kufahamu taarifa niliyoitoa hapa bungeni kuhusu ubadhirifu mkubwa ndani ya bot unaomgusa govana wa benki kuu pamoja na wafanya biashara wengine wakubwa akiwemo mbunge kupitia kampuni anayoimiliki 13 mheshimiwa spika wakati akichangia hoja ya bot siku ya tarehe 20 june mhe mzindakaya alitoa tuhuma nzito dhidi ya wabunge na ni nanukuu kama kuna mambo mazito na ambayo mbunge angependa kuyasema mimi nafikiri kuhutubia habari za internet haitoshi kuwa ndio ushahidi sahihi kwa sababu baadhi ya mambo tunayoyafahamu sisi wengine tumefayafanyia research kwanza takwimu si sahihi takwimu sio dola milioni 200 ni dola milioni 131 ndio takwimu sahihi pili baadhi ya wafanyabiashara wanaweza wakatumia ujanja wa kuwatumia wabunge waje wawasemee mambo yao au tofauti zao katika biashara na jambo hili linahitaji kuliangaliabahati nzuri habari hii naijua kutoka kwa mhusika mwenyewe 14 mheshimiwa spika hapa mambo kadhaa yanajitokeza na kwa kuwa yamesemwa bungeni ni vema nikayazungumzia pia bungeni (i) mhe spika kwanza kabisa kwa mujibu wa kanuni za bunge kifungu cha 49(7) na ninaomba kunukuu mbunge hatazungumzia jambo lolote ambalo yeye mwenyewe ana maslahi ya kifedha nalo isipokuwa baada ya kutaja jinsi anavyohusika na kiwango cha maslahi hayo mheshimiwa mzindakaya hakutamka lolote kuhusu maslahi yake katika jambo hili (ii) mhe spika utafiti wetu unaonyesha kuwa mwaka 2004 mhe mzindakaya alichukua mkopo kwa shughuli zake binafsi wa tshs 97 billioni benki ya standard charter kwa kudhaminiwa na benki kuu ya tanzania (bot) ambako gavana wa benki ndiye kiongozi mkuu na ndiye mhusika mkuu katika tuhuma zilizotajwa hivi sasa mwaka huu wa 2007 baada ya miaka 4 ya deni hilo kutokulipwa benki kuu sasa kama mdhamini imewajibika kuilipa benki ya standard charter (iii) mhe spika hivi sasa mhe mzindakaya ameomba adhaminiwe na bot mkopo mwingine tena wa tshs billioni mbili (2) mkopo huo uko kwenye hatua ya kujadiliwa na bot ama kuidhinishwa ama la mhe spika hapa ieleweke kuwa hatuzungumzii uhalali au vinginevyo wa mkopo wa mhe mzindakaya tunazungumzia kukiukwa kwa kanuni ya bunge na tunazungumzia dhana anayotaka kujenga mhe mzindakaya dhidi ya baadhi ya wabunge kwa watanzania haya yote mawili na mambo mazito sana (iv) kauli ya mhe mzindakaya ambayo kimsingi ilielekezwa kwangu kwa vile ndiye niliyenukuu taarifa ya internet inataka kutoa dhana kwa watanzania kuwa baadhi ya wabunge nikiwemo mimi hatufanyi research (yaani utafiti) ila yeye tu ndiye anayefanya research hili ni tusi kwa bunge hili kwa watanzania waliotutuma tuwasemee na linalenga kuupotosha umma wa watanzania kuwa kuna wabunge wanakurupuka tu kusema mambo bila kufanyia utafiti (v) kauli yake ni tuhuma nzito hasa anapojenga uwezekano wa baadhi ya wabunge na nina nukuu kutumika na wafanyabiasha wa nje wawasemee mambo yao au tofauti zao za kibiashara hii inajenga dhamira potofu kwa watanzania kuwa kuna wabunge hawana dhamira yao wenyewe hawajui wanalolifanya ila wanatumika kama chombo dhamira ya kutumika pia linaweza kueleweka kuwa wananunuliwa hii ni kauli nzito sana kusemwa dhidi ya mbunge yeyote wa upinzani au wa chama tawala kwa sababu wote ni wabunge kama mhe mzindakaya tumechaguliwa na wananchi wetu kama mhe mzindakaya (vi) mhe mzindakaya hajaeleza kwanini awe na mawazo hayo potofu au kwa vile yeye ni tajiri na sisi wengine anadhani ni malofa hivyo ni rahisi kuhongwa na kununuliwa lakini hata yeye utajiri mbona kaupata kwa fedha alizokopa kwa mdhamana wa bot ambazo watanzania wote matajiri na maskini sasa wanazilipa kwa kodi yao kupitia bot (vii) mhe mzindakaya anajikanyaga pale anapokiri kuwa takwimu sahihi ni dola 131millioni na siyo dola millioni 200 ambazo hata hivyo mimi nilitaka serikali ithibitishe au mhe mzindakaya anaona ni halali dola 131 millioni zikiibiwa ila siyo dola 200 millioni kama takwimu zake zinathibitisha upotevu huo ni vipi mhe mzindakaya anayejulikana kulipua mabomu hapa bungeni mtetezi wa wanyonge leo awageuke wanyonge na kuwa msemaji wa serikali katika kumtetea gavana wa bot (viii) mhe spika hapa tukisema mhe mzindaka anasukumwa na fadhila aliyopewa na gavana kwanza kumdhamini mkopo wake wa zaidi ya billioni 9 kulipiwa deni hilo na sasa anataka gavana huyo huyo amdhamini tena mkopo wa billioni zingine 2 tutakuwa tumekosea nawaachia watanzania kutoa hukumu ya nani hafanyi utafiti kati yetu sisi na mhe mzindakaya nani mtetezi wa wanyonge kati yetu sisi tunaoanika hadharani taarifa za uozo ndani ya benki kuu na mhe mzindakaya ambaye analenga wazi kuuficha waheshimiwa wabunge uzalendo hauna gharama unahitaji dhamira safi tu mtu uwe msafi mwenyewe na uwe tayari kujitoa sadaka unapotaka haki na ukweli (ix) mhe spika kwa yeyote mwenye kuhitaji taarifa zaidi anaweza kwenda bot ni mali ya serikali na kwa utaratibu wa kawaida akathibitishe niliyoyasema kuhusu mkopo wa mhe mzindakaya (x) mhe spika kauli hiyo ya mhe mzindakaya inazidi kutoa utata kuna nini benki kuu jambo linalothibitisha uharaka wa uchunguzi wa kina kama hilo halitoshi taarifa nyingine za uozo ndani ya bot zinazidi kuibuka kila kukicha (xi) mheshimiwa spika magazeti yote nipashe mtanzania mwananchi ya june 24 2007 yamemnukuu mherais wetu akipiga kelele kuhusu ubadhirifu matumizi mabaya ya fedha za umma matumizi mabaya ya ofisi kwa maslahi binafsi kambi ya upinzani kama tulivyokwisha kumwahidi rais tuko nyuma yake na tunamwunga mkono katika vita hii kambi ya upinzani inawaomba waheshimiwa wabunge wote wa ccm wote wenye nia njema tuweke itikadi zetu pembeni tumwunge mkono mhe rais wetu katika hili 15 mheshimiwa spika kambi ya upinzani inazidi kustashwa na taarifa za kiwango cha ubadhirifu na hujuma mathalan malipo yenye mashaka makubwa ya 40 billioni kama ilivyoripotiwa na gazeti la daily news (daily news issue no 08563812 na 9315 la 22 june 2007 p1) tena gazeti la serikali na taarifa hiyo mpaka sasa haikukanushwa 16 mheshimiwa spika haiingii akilini mwa mtu yeyote kuwa kampuni ya kagoda agricultural ltd ilisajiliwa tarehe 29 septemba 2005 na ndani ya wiki zisizozidi nane tayari ilikuwa imeishapewa fedha zaidi ya shilingi 308 billioni kupitia external service debt account na benki kuu ambayo gavana ndiye msimamizi mkuu 17 mheshimiwa spika taarifa hiyo bado inaonyesha kuwa mikataba 9 ilisainiwa tarehe 18 na 19 oktoba na makampuni 12 ya nje chini ya mkataba na kampuni ya kagoda agricultural ltd pamoja na kasoro zilizojitokeza kwa mujibu wa taarifa ya wakaguzi ni kuwa nyaraka zilizotumika hazionyeshi makampuni yao (letter head) majina yaliyotumika kwa wakopaji hao yanatia mashaka walioweka saini kwa niaba ya serikali za ujerumani italia uingereza japan yugoslavia ufaransa na marekani hayakuweza kutambulika kabisa na mkaguzi alipowasiliana na makampuni husika kuna haja ya kufahamu undani wa kampuni hii je wamiliki ni hawa tu walioorodheshwa katika daftari la brela au kuna vigogo nyuma yake je ni suala la rushwa kama hakuna yote hayo fumbo hili linaelezwaje huu ni msingi mwingine unaohitaji uchunguzi wa kina kabisa 18 mheshimiwa spika kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania (ibara ya 63(2) bunge hili kwa niaba ya watanzania wote ndio chombo pekee cha juu cha kuisimamia serikali pamoja na kwamba majibu ya mhe waziri wa fedha hayakuridhisha kabisa na ni matusi kwa bunge kama mwakilishi wa wananchi katika kuisimamia serikali yao kambi ya upinzani sasa (i) kama kweli dhamira ya serikali yetu ya kudhibiti ubadhirifu kama inavyosimamiwa kidete na rais wetu hatua za haraka sana zinahitaji kuchukuliwa kunusuru rasilimali za taifa letu kwa utaratibu wa kawaida katika mazingira ya aina hii kwenye ofisi zote na kwa ngazi zote mhusika husimamishwa mara moja kuruhusu uchunguzi hapa waziri anasema kuwa uchunguzi utakaofanyika utakamilika mwisho wa mwaka 2007 hiki ni kichekesho kambi ya upinzani inaomba sana kwa hili wabunge wote tushikamane bila kujali itikadi zetu tupiganie maslahi ya nchi yetu hakuna anayeichukia serikali kwa vile serikali ikiisha kuchaguliwa itakuwepo hadi uchaguzi mwingine lakini serikali itusikilize pia kilio chetu kwa niaba ya wananchi (ii) mhespika taarifa niliyoitoa bungeni kuhusu tuhuma inayomhusu gavana wa benki kuu inamhusisha gavana moja kwa moja au kwa uzembe katika upotevu au matumizi mabaya ya fedha za serikali ndani ya benki kuu taarifa hiyo haiishii hapo inamtaja mkewe anna muganda kuwa mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya time mining ambayo ndiyo iliyokuwa inaendesha kampuni ya meremeta na hatimaye imeuzwa kwa bei ya kutupa na baada ya bot kulipa dhamana ya zaidi ya dola za marekani 100000 kabla ya kuuzwa kwa rand gold ambako anna muganda mke wa gavana pia ni mwenye hisa watanzania tunajiuliza hapa kuna nini serikali kila ikihojiwa bungeni haitoi majibu kama alivyojibu waziri wa fedha bungeni juzi wakurugenzi wa alex stewart waliolipwa zaidi ya dola za marekani 65 millioni nao walitoka time mining ambako ana muganda anahusika (iii) mhe spika haya yote yametokea kwa bahati mbaya vivyo hivyo kwenye external debt service account au kwenye bank m ambayo inasemekana imeandikishwa bila kufuata utaratibu na inamilikiwa na wamiliki walioonyeshwa kwenye waraka niliowasilisha wiki iliyopita mmoja wa wamiliki hao anasemekana kuwa gavana balali kupitia kampuni yake na mkewe anna muganda inayoitwa napster group iliyosajiliwa uswizi mhe spika kwa haya nchi yetu inateketea kwa hili tunaomba watanzania wote watuunge mkono ikiwa ni pamoja na waheshimiwa wabunge ambao dhamira zao ni safi wana uzalendo wa kweli tuungane ili kuokoa siyo tu jina la nchi yetu lakini pia rasilimali zake nyingi zinazoteketezwa bila huruma (iv) watanzania wote pamoja na wabunge wa ccm tuungane kwa pamoja hatuna sababu ya kugombania fito wakati nyumba tunayojenga ni mmoja kama tulivyosema awali suala hili halihitaji kuangaliwa kwa jicho la kiitikadi na kwa hili kwa niaba watanzania ninamwomba mhe waziri mkuu asiwaite wabunge wa ccm kwenye kikao cha kuwafunga mdomo kama ilivyoripotiwa hapo juu tunaomba uzalendo tu utawale kuanzia kwa viongozi wetu wa juu hadi kiongozi wa ngazi ya chini kabisa hivyo basi (a) tunamwomba kwa heshima kubwa mhe gavana daudi balali ajiuzulu kwa hiari yake ili uchunguzi wa kina uweze kufanyika na kubaini ukweli wa taarifa hizi zilizozagaa kila mahali zenye athari si tu kwa jina lake lakini pia kwa jina na heshima ya nchi nzima ikiwa ni pamoja na kuharibu jina la bunge hili iwapo litashindwa kusimamia jambo hili zito (b) iwapo gavana balali atashindwa kuchukua heshima ya kujiuzulu basi serikali imsimamishe mara mmoja ili uchunguzi wa kina uweze kufanyika si vema uchunguzi ufanyike mhusika yuko ofisini na kwa vyovyote vile uchunguzi utakaochukua mwaka mzima ni njia ya wazi ya kutengeneza mazingira ya kuvuruga uchunguzi (c) wabunge tunaomba kabisa kwa hili tuungane najua ugumu wa nyie kutuunga mkono kama magazeti yalivyoandika wiki hii tunajua mnafungwa midomo lakini tunawaomba wekeni dhamana mbele kabla ya maslahi ya vyama vyetu na pia uwakilishi unahitaji kujitoa sadaka hata kama mtakaangwa kisiasa lakini waliowapigia kura watawaona nyie ni mashujaa (d) mhe spika hapa ninasukumwa zaidi na msemo wa kiswahili kuwa machozi ya wanyonge huwa hayaanguki ardhini bali huanguka mionyoni mwao na kwa hivyo mungu kuotoka mioyo hiyo husikia kilio chao (e) mhe spika wanyonge wanalia sana kuona rasilimali zao zinaangamia wakati wao wamesongwa na mizigo ya kodi michango lukuki lakini wengine wakijinenepea (f) nchi yetu ina historia ndefu ya kuunda tume nyingi za uchunguzi mara chache sana taarifa hizo zinatolewa hadharani kwa maelezo kuwa taarifa ni za mwenye kuunda tume huu ni mtazamo potovu haiwezekani kuwe na kilio cha wananchi fedha za wananchi zitumike kufanya uchunguzi kisha taarifa inakuwa siri (g) kambi ya upinzani basi inapendekeza kwa mujibu wa kanuni ya bunge kifungu cha 104 iundwe kamati teule ya bunge kutimiza jukumu letu la kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba kwa utaratibu huo tutakuwa tumelinda heshima ya bunge letu ambalo sasa watu wengi wanazidi kuona kuwa inalinda maslahi ya chama tawala na au inageuzwa kuwa rubber stamp na kuacha kutekeleza majukumu yake ya msingi mhe spika kama niliivyosema suala hili lisiangaliwe kwa jicho la vyama bali liwe suala la uzalendo na utaifa zaidi 19 mheshimiwa spika maswala haya ni muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu na hivyo tunapenda kupata majibu ya kina na siyo majibu ya kisiasa na kishabiki ambayo hayana manufaa wala kwa taifa letu wala kwetu binafsi isipokuwa kama tuna maslahi yaliyojificha hali ya kisiasa nchini 20 mheshimiwa spika kwa ujumla hali ya ulinzi na usalama na ya siasa nchini ni shwari kama inavyoelezwa na serikali kambi ya upinzani inapenda kuwapongeza jeshi letu la polisi kwa namna ya pekee kwa jinsi walivyoweza kudhibiti ujambazi hasa ujambazi wa silaha za moto kambi ya upinzani inatoa mwito kwa watanzania wote kushirikiana na jeshi la polisi katika masuala yote yanayohusu usalama wetu na wa mali zetu kwani bila ushirikiano wa raia wema jeshi la polisi hawataweza kudhibiti uhalifu kila mahali na kila wakati kutokana na idadi yao na uduni wa nyenzo masuala ya haki za binadamu 21 mheshimiwa spika moja ya malengo makuu kwa mwaka wa fedha 2007/2008 ni pamoja na kuwezesha na kudumisha hali ya utawala bora wenye kuzingatia demokrasia usawa na haki (rasimu fungu 56 kif4(ix)) waziri mkuu ndiye msimamizi mkuu wa shughuli zote za serikali na mratibu wa wizara idara na vyombo vyote vya serikali za mitaa kambi ya upinzani inadhani ofisi ya waziri mkuu ina nafasi kubwa sana katika kusimamia kuimarisha kukemea na hata kurekebisha pale ambapo kuna dosari katika masuala yote ya utawala bora na haki za binadamu katika nchi yetu utawala bora na haki za binadamu zisipoheshimiwa na kusimamiwa kikamilifu yote tunayofanya yanapoteza maana kwani maendeleo yote ni kwa ajili ya binadamu 22 mheshimiwa spika vigezo vya hali shwari ya ulinzi na usalama siyo udhibiti wa majambazi peke yake kama tunavyofikiri mara nyingi kuna mambo mengi yanayoweza kuwafanya wananchi au mali zao zisiwe salama mambo hayo ni kama ifuatavyo (i) kuendelea kwa mauaji yanayotokana na imani za kishirikina bado yanaisumbua nchi yetu matukio mbalimbali ya mauaji ya aina hii yameendelea kuripotiwa katika vyombo vya habari kama ilivyotokea kwa mtoto musswadi hemedi wa wilaya ya moshi ( mwananchi 3 februari 2006 uk 3) au yaliyosababishwa na bwana akabula luhende wa bukoba (the citizen 1st may 2006) au mama tarita katwiko(56) manyoni aliyekatwa mapanga kutokana na imani za kichawi au kishirikina (lhrc database2006) mhespika kama inavyoonekana matukio haya yako sehemu mbalimbali za nchi nzima yameripotiwa mbeya kagera shinyanga njombe na penginepo utafiti wa kituo cha haki za binadamu unaonyesha kuwa mauaji ya aina hii yameongezeka kwa asilimia 13 ya makosa yote dhidi ya haki za binadamu katika mwaka 2006 (tanzania human rights report 2006 p19) mhe spika tuko karne ya sayansi na teknolojia lakini bado tunaendekeza ushirikina wahanga wakubwa wa uhalifu huu ni akina mama (wazee) na watoto kambi ya upinzani inadhani serikali kupitia ofisi ya waziri mkuu inahitaji kuongeza jitihada zaidi katika kusimamia sheria ya the witchcraft act cap 18 (re) sheria hii ikisimamiwa vizuri na vyombo vyote husika tunaweza kuokoa maisha ya watanzania wenzetu (ii) mhespika matukio ya unyanyasaji unaotokana kwa sehemu kubwa na maamuzi ambayo hayapangwi vizuri na serikali pia yameripotiwa katika taarifa mbalimbali kwa kipindi cha 2006 baba na mama lishe wengi wamekuwa wahanga wakuu wa maamuzi haya ya zimamoto ya serikali watu hao hufanya shughuli ambazo zimetambuliwa chini ya sheria ya nguvu kazi tena wanalipa ushuru wa serikali wamejikuta wakiondolewa bila mpango au utaratibu makini (iii) mhe spika kambi ya upinzani haina tatizo kuwa na miji safi iliyopangwa kwa utaratibu makini lakini mara nyingi maamuzi mengi yametolewa kisiasa kuwaondoa mathalan wamachinga jijini daressalaam ambao wamehamishwa bila maandalizi ya kutosha kule wanakohamishiwa au wachimba kifusi waliojikuta ghafla wamepoteza ajira kwa amri ya kupiga marufuku maeneo yao (iv) mhe spika tatizo hapa ni utaratibu mbovu maamuzi ya kisiasa ambayo hayakuandaliwa vizuri yenye athari kwa maisha ya binadamu athari kwa elimu ya watoto wao na athari nyingine nyingi hali hii imesababisha mapambano kati ya polisi na machinga au makundi hayo kwa siku za hivi karibuni tumeanza kuona migomo ambayo haikuwepo katika historia ya nchi yetu kambi ya upinzani inaitaka serikali kuwa makini yanapofanyika maamuzi yenye athari kubwa kuokoa maisha na mali za watanzania tusipodhibiti hali hii tutazalisha ufa mkubwa utakaokuwa msingi wa migogoro mikubwa huko mbele a) mwezi machi 2006 serikali ilitoa agizo kwa jamii ya wafugaji wanaoendesha shughuli zao katika bonde la usangu/ihefu wilaya ya mbarali mkoani mbeya kuondoka katika eneo hilo la hifadhi kuondoshwa kwa wafugaji mbarali na sehemu zingine inatokana na tuhuma kwamba wafugaji ndio chanzo hasa cha uharifibu wa mazingira nchini wafugaji hao waliondolewa wao na mifugo yao kwa kutumia vyombo vya dola tafiti na taarifa mbalimbali zimetolewa zikionyesha uwepo wa unyanyasaji mkubwaviongozi wa serikali kuu na mitaa wamefanya mambo mengi kinyume na taratibu na hivyo kusababisha upotevu mkubwa wa mifugo mathalan mtu mwenye ngombe 400 kupoteza mifugo yake kwa kufa na kubakia na 40 tu au kulazimika kuwauza ili kulipa faini au gharama za kuwapitisha mathalan daraja la mkapa kuna taarifa kuwa kwa lorri moja wafugaji wamelazimika kulipia hadi tshs 300000 tena bila risiti mkuu wa wilaya ya mbarali kuwalazimisha kuwauza mifugo kwa bei chini ya bei ya soko mkuu huyo huyo waliposhindwa kuondoka katika muda mfupi uliotolewa aliagiza wakamatwe wao na ngombe zao wakalazimika kulipa faini ya shs 10000 kwa kila kichwa cha ngombe sasa fikiria mtu mwenye ngombe zaidi ya 1000 amelipa kiasi gani alijiandaa vipi kwa fedha nyingi kiasi hicho kama si kwa kuuza ngombe wake kwa bei ya kutupa serikali kushindwa kufanya maandalizi ya miundombinu utaratibu wa chakula na madawa kabla ya kuwahamisha nakadhalika kule walikoenda kulazimika kutoa fedha ili waonyeshwe mahali pa kufikia (taz taarifa ya utafiti ya hakiardhi na wenzake) 23 mheshimiwa spika hayo yote yanaonyesha matukio ya uvunjwaji wa makusudi wa haki za binadamu na ukosefu wa utawala bora matokeo ya jumla ya uvunjwaji huo wa haki za binadamu ni uporaji na upotevu wa mali kukosekana utawala bora na rushwa iliyokithiri kusambaratika kwa familia kuwanyima elimu watoto waliokuwa shule kuwanyima huduma za kimsingi na muhimu kwa binadamu kusababisha kwa ghafla kuporomoka kwa uchumi wa wafugaji hao 24 mheshimiwa spika matukio kama haya yametokea geita tarime bulyankulu ambapo vijiji vizima vilihamishwa na kutokomea kwa ajili ya kuwapisha wawekezaji wawekezaji sawa lakini haki za msingi za wananchi wetu je tumefika mahali kweli hata utu wa binadamu tunauweka rehani kwa ajili ya wawekezaji wakati hayo yanafanyika hakuna maandalizi ya kutosha ya kuwahamisha wala utaratibu unaoeleweka wa kuwafidia wananchi wetu hali sasa imefikia mahali bunge haliwezi tena kukaa kimya hivyo basi kambi ya upinzani inaitaka serikali (a) kwa vile tume ya serikali imefanya uchunguzi wa kina taarifa ya tume hiyo itolewe hadharani uchunguzi huu umefanyika kwa fedha ya watanzania wote wakiwemo wafugaji walioathirika hivyo ni haki yao kujua matokeo ya uchunguzi (b) serikali ikubali kufanya haraka tathmini ya upotevu wa mali na iwalipe fidia wote walioathirika kuendelea kuchelewa kuchukua hatua ni kuendelea kuwaletea mateso makubwa ya kiuchumi na kisaikolojia (c) serikali ianzishe mjadala wa wazi wa kitaifa juu ya mustakabali wa makabila ya wafugaji ikumbukwe kuwa jamii ya wabarbaig maeneo yao yalitwaliwa na kufanywa wheat complex kule hanang yapatayo ekari zaidi ya 100000 miaka ya 1970 kitendo hicho cha serikali bila maandalizi ya mahali pa kuwahamishia imefanya jamii hiyo kuwa wakimbizi ndani ya nchi yao wenyewe jambo ambalo ni kinyume na misingi ya haki za binadamu 25 mheshimiwa spika suala la adhabu ya kifo (death penalty) bado halijafanyiwa kazi ya kutosha na serikali yetu bado serikali yetu imeendelea kushikilia adhabu hii katika sheria yetu ya kanuni ya adhabu (penal code) na kuendelea na adhabu ya kifo chini ya the national defence act chapter 132 (re) kuna makosa makuu matatu ambayo adhabu yake ni kifo kwa mujibu wa sheria zetu yaani mauaji ya kukusudia (sect 197 penal code) uhaini (sect39 na 40 penal code) na makamanda wa jeshi wanaonyesha tabia mbaya mbele ya adui (misconduct) national defence act cap 192 26 mheshimiwa spika taarifa kamili ya wahalifu wangapi wamehukumiwa adhabu ya kifo imekuwa vigumu kupatikana lakini waziri wa katiba na sheria alitoa taarifa kwenye kamati ya bunge kuwa mhe mkapa mwishoni mwa kipindi chake aliwapunguzia wafungwa wote waliohukumiwa kufungwa na kuwa na kifungo cha maisha yaani kwa kipindi chake chote toka 1995 hadi 2005(taarifa kwa kamati fy 2006/2007 uk4) kwa utafiti wa lhrc kwa mwaka 2006 watuhumiwa 21 walihukumiwa adhabu ya kifo na mahakama ya rufaa tanzania (tanzania human right report sic p10) 27 mheshimiwa spika kama tulivyosema mwaka jana adhabu hii kwanza inakuja wakati mfungwa amekwisha kukaa jela kati ya miaka 7 hadi 10 kabla ya hukumu hii inathibitishwa na hukumu kadhaa za mahakama kuu kanda ya morogoro mahakama kuu registry ya bukoba ya 18 march 2006 ambapo alihukumiwa adhabu ya kifo baada ya miaka rumande 12 tarehe 10 may 2006 mahakama kuu daressalaam nayo ilimhukumu mtu kifo baada ya miaka 9 28 mheshimiwa spika ni dhahiri basi kwanza wamekaa rumande kwa muda mrefu bila kujua hatima yao pili hata baada ya hukumu wanakaa tena miaka 10 kama ilivyoonekana katika uamuzi wa rais mkapa kuwabadilishia hukumu baada ya miaka 10 wakati wote huo bila kujua hatima yao kila siku inayokucha wakidhani ndiyo siku ya kunyongwa jambo ambalo ni mateso ya kisaikolojia kwao na kwa familia zao na ambayo ni sawa na kutumikia adhabu mbili 29 mheshimiwa spika isitoshe utafiti wa kitaalam unaonyesha kuwa kuondoa uhai wa mtu kwa njia ya adhabu ya kifo haimsaidii yeyote kwa vile si tishio tena kwa aliyeuawa (deterrent) wala kuwa tishio kwa wenye nia ya kua kwani hakuna ushahidi wa kitaalam kuonyesha kuwa uhalifu huu unapungua kutokana na adhabu hii (taz the fact sheet death penalty does not deter crimes http//wwwnodeathpenaltywiorg) 30 mheshimiwa spika tatizo lingine ni kuwa adhabu hii pale inapokuwa imetekelezwa haiwezi tena kurekebishwa hata kama itaonekana kuwa aliyehukumiwa siyo huyu (alibi) kama ilivyothibitishwa ireland ambapo aliyefungwa kwa mauaji alikuja kuthibitika miaka 16 baadaye kuwa siye aliyehusika je angelikuwa amenyongwa haki zake zingekuwaje (time magazine 2004 pg 34) 31 mheshimiwa spika utafiti wa kisayansi uliofanywa na lhrc unaonyesha kuwa asilimia 68 ya watanzania ya waliohojiwa walisema adhabu hii ibadilishwe kiwa kifungo cha maisha na asilimia 32 tu ndio waliosema adhabu hii iendelee (utafiti ulifanyika kwa njia ya mahojiano ya field monitors kumbukumbu za library taarifa ya vyombo vya habarina field survey iliyohusisha wilaya zote tanzania bara tazlhrc hrm unit data base2006) 32 mheshimiwa spika tarehe 10 hadi 17 shirika la international federation for human rights (fidh) kwa kushirikiana na taasisi ya legal and human right centre ya tanzania walitembelea magereza yetu taarifa hiyo inayoonyesha kuwa asilimia kubwa ya wafungwa wako tayari kujirekebisha taarifa hii inashabihiana kabisa na barua iliyoandikwa na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa mwezi februari 2006 kwa mhe jakaya mrisho kikwete rais wetu kuwa kweli walihusika na mauaji katika mazingira mbalimbali na wamehukumiwa na mahakama mbalimbali lakini baada ya kusubiri kutekelezwa kwa hukumu yetu kifo kwa miaka kati ya 10 na 15 na kusamehewa na mhe benjamin mkapa rais mstaafu tunamshukuru sana mwenyezi mungu kwa zawadi hiyo ya maisha aliyotuachiatunakuhakikishia mhe rais kuwa uwasamehe wale wenzetu waliokaa gerezani kati ya miaka 10 hadi 30 na kuwabadilishia kifungo cha maisha mhe rais hatuna taasisi ya kututetea sisi ni wahalifu lakini tumetubutumejirekebisha sana mhe spika ni kweli hawa wanaweza kuwa wahalifu wa mauaji lakini mwenye dhamana ya mwisho ya maisha ya binadamu ni mwenyezi mungu 33 mheshimiwa spika kambi ya upinzani inamsihi mhe waziri mkuu aliingilie suala hili yeye mwenyewe na kusukuma taratibu zinazohusika za kufanyia marekebisho sheria zetu ili adhabu hii ifutike katika vitabu vyetu vya sheria 34 mheshimiwa spika kambi ya upinzani kutokana na mafunzo tuliyopata mwaka 2001 inaitaka serikali iingilie kati mazungumzo yanayoendelea kati ya cuf na ccm na kutoa msukumo unaotakiwa kufikia ukomo wa mazungumzo hayo mapema rais wa jamhuri ya muungano ndiye pia rais wa wananchi wa upande wa tanzania visiwani hivyo jambo lolote linaloweza kuhatarisha amani na usalama wa nchi hii mhe rais hawezi kukaa mbali akawa mtazamaji tu kambi ya upinzani inaitaka serikali ichukue hatua ya haraka ili suluhu ya kweli ya mgogoro wa zanzibar ipatikane na misingi ya amani uelewano mshikamano na upendo iweze kujengwa upya kati ya wanachama wa cuf na ccm kwa upande mmoja na kati ya wananchi wetu kwa ujumla wao mheshimiwa spika kambi ya upinzani hairidhishwe na kasi ya mazungumzo hayo na wakati mazungumzo yanademadema uvumilivu wa wananchi nao unayoyoma tuipende nchi yetu na tuwe wepesi wa kuchukua hatua pale maslahi ya taifa yanapohusika shughuli za uchaguzi 35 mheshimiwa spika mwezi decemba 2007 tutakuwa tumekamilisha miaka miwili kamili tangu uchaguzi mkuu wa rais wabunge na madiwani taarifa mbalimbali sasa zimetoka mathalan taarifa ya tume ya uchaguzi (nec) taarifa ya temco taarifa ya waangalizi mbalimbali wa kimataifa wakiwemo waangalizi wa bunge la sadc(sadcpf) kutokana na taarifa hizi mambo mbalimbali yamejitokeza na ninapenda kuyagusia kwa kifupi tu mambo haya ni kama ifuatavyo (i) mhe spika kambi ya upinzani inaitaka kufahamu sasa ni lini serikali itawasilisha mabadiliko makubwa ya katiba baada ya uamuzi wa mahakama kuu na hivyo kutoa haki kwa watanzania wanaotaka kugombea au urais ubunge au udiwani bila kulazimika kupitia chama chochote cha siasa serikali yetu inajitangaza kuwa inaheshimu utawala wa sheria na sisi tuna amini hivyo hatutegemei basi kuwa serikali itakuwa inachukua njia za mkato kukwepa tena uamuzi huo muhimu wa mahakama kama ilivyofanya huko nyuma mabadiliko makubwa ya katiba yanayowashirikisha wadau wote yataondoa aibu tunayopata sasa ya mahakama kutengua sheria zetu kwa yale mambo yanayoitwa unconstitutional tusisubiri na kesi nyingine na nyingine tuchukue hatua ya kufanyia mabadiliko makubwa katiba yetu kutokana na mabadiliko makubwa yanayotokea katika nchi yetu kisiasa kijamii na kiuchumi kambi ya upinzani inategemea maelezo ya kina katika eneo hili (ii) daftari la kudumu la wapiga kura kwa ujumla daftari la kudumu la wapiga kura ni hatua nzuri katika kufanya uchaguzi uwe wa huru na haki kama litatumika vizuri kwa uwazi na misingi yenyewe ya daftari kutumika kama inavyotakiwa pamoja na uzuri huo kuna mambo yamejitokeza ambayo kambi ya upinzani inaitaka serikali yarekebishwe mara moja mambo haya ni a) kwa vile hakuna utaratibu wa kurekebisha daftari hilo mara kwa mara kabla ya uchaguzi vijana wapatao 11000 wamekoseshwa haki yao ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa tunduru ni vema utaratibu wa kurekebisha daftari ukaangaliwa upya na ikiwa lazima sheria husika irekebishwe katika enzi hizi za teknolojia hakuna sababu ya uchelewashaji kama inavyoonekana sasa ikumbukwe kuwa kila siku kuna vijana wanafikia umri wa miaka 18 ambayo ni umri wa kupiga kura (iii) mheshimiwa spika hili ni suala la kikatiba na hatudhani kuna haja ya mtu kwenda mahakamani kudai haki hii tunaamnini serikali itachukua hatua ya haraka kurekebisha jambo hili wananchi wengi wanaoishi nchi za nje pia walinyimwa haki yao ya kikatiba ya kupiga kura kwa vile tu sheria zetu hazitambui njia za kisasa za kupigia kura iwapo nchi kama mozambique wananchi wao wanaoishi nchi wanapiga kura kambi ya upinzani haioni ni kwanini tanzania ishindwe kuwapa haki za kikatiba wananchi wake tusisubiri wakati wa uchaguzi sheria husika zirekebishwe mara moja na ikumbukwe tarehe 12 april 2006 mhe rais wetu alipokuwa namibia aliwaahidi watanzania walioko namibia kuwa watanzania walioko nje wanaweza kupiga kura ifikapo 2010 (daily news 13 april2006) ni imani yetu kuwa ahadi ya mhe rais haitaachwa ipite bila kufanyiwa kazi (iv) mhespika kambi ya upinzani imefurahishwa na uamuzi wa mahakama kuu kuhusu suala la takrima kutokana na shauri no 77 ya 2005 iliyofunguliwa na lhrc leat na nola dhidi ya mwanasheria mkuu wa serikali hukumu hiyo ya kihistoria ilitolewa na mhejaji nkimaro s massati na tmihayo tarehe 24 april 2006 pamoja na hukumu hiyo nzuri na kwa kuwa serikali hadi sasa haijakata rufaa hadi sasa kambi ya upinzani inaitaka serikali kupitia ofisi ya waziri mkuu ambayo kwa sasa ndiyo yenye dhamana ya masuala ya uchaguzi iwasilishe bungeni haraka iwezekanavyo kurekebisha sheria zote zinazohusiana na suala la takrima hasa sheria ya uchaguzi ya cap343 re 2002) (v) mhe spika mahakama kuu ilielekeza kuwa sheria iliyokuwepo awali kabla ya kuruhusu takrima ilitosheleza kutofautisha matumizi ya lazima ya uchaguzi na yale yenye mwelekeo wa rushwa ( judgment pages 3840) mathalan ni utamaduni upi wa kiafrika ambapo mgeni anayekuja nyumbani kwako ndiye anayekukirimu lakini kukirimiwa na mwenyeji (mwenye nyumba) hakuna anayelalamikia hata kidogo rushwa ikifutwa kwenye uchaguzi kimsingi itawafanya viongozi wa kisiasa wawajibike zaidi kwa majimbo yao kwani dhana ya kuwanunua wapiga kura kwa vitu vidogo vidogo itafutika kabisa (vi) mhe spika ulimwengu mzima sasa hivi uko makini kuona wanawake wanashirikishwa kikamilifu katika nafasi zote za maamuzi na hasa bungeni na kwenye baraza la madiwani utendaji wa ngazi zote tunafurahi kuwa tanzania ni moja kati ya nchi chache zilizovuka asilimia 30 iliyowekwa na wakuu wa nchi za sadc kupitia azimio lao la mwaka 2000 tanzania leo ni wanawake 75 ikiwa ni asilimia 30 wanawake na asilimia 6972 wanaume hili ni jambo la kupongezwa na mathalan bungeni hili pale lilipokubali kufanyia marekebisho katiba ya jamhuri ya muungano ibara ya 66(1)(b) kwa vile wakuu wa nchi za afrika au nao pia wameweka azimio sasa la kupandisha asilimia hiyo hadi kufikia 50 kambi ya upinzani haina tatizo kabisa na pendekezo hilo na tunaunga mkono hata hivyo kambi ya upinzani inapenda kutoa tahadhari (vii) mhe spika suala hili si suala la chama cha mapinduzi peke yake taarifa tulizonazo sasa ni kuwa mkakati wa utekelezaji wa azimio hilo unaandaliwa na ccm na serikali zake tu badiliko hili linagusa masuala mengi sana ya nchi yanagusa mustakabali na muundo wa utawala katika nchi yetu na hivyo suala zito kama hili si la kujadiliwa na chama kimoja tu kama ni suala la sera karibu vyama vyote viliisha kukubali na kuunga mkono azimio la wakuu wa au hivyo hatuoni kwanini mjadala wa suala hilo usifunguliwe kwa taifa zima (viii) mhespika kambi ya upinzani inamtaka waziri mkuu ambaye ofisi yake ndiyo yenye dhamana ya masuala ya uchaguzi na mratibu wa vyama vyote aitishe mapema iwezekanavyo vyama vyote vya siasa akishirikisha pia wadau mbalimbali wakiwemo vyama vya hiari na madhehebu ya dini kwa lengo la kuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu suala hili zito utulivu na amani katika nchi vinapatikana kwa kuwa na siasa shirikishi (ix) mhespika tunapenda kutoa tahadhari kuwa siasa zinazogawa wananchi zinazobagua wananchi na kuacha mawazo mbalimbali ya wadau nje ya maamuzi ya msingi ndiyo msingi mkubwa wa migongano na migogoro katika nchi za wenzetu tuepuke nyufa na migongano kwa kushirikishana kujenga tanzania imara yenye wananchi wenye kupendana na wenye mshikamano tukichezea amani tuliyonayo tutakuja kujuta sote (x) mhe spika baadhi ya changamoto zilizoripotiwa na taarifa mbalimbali tulizotaja hapo juu ikiwemo taarifa ya nec ni pamoja na a) jeshi la polisi likiongozwa na ma rpc na ma ocd kuingilia masuala ya uchaguzi hasa kwa kuzuia mikutano ya kampeni(nec pages 71 na 79) b) vurugu zilizotokea katika maeneo hasa ambako upinzani ulionekana na nguvu na jeshi la polisi na ffu kuwa msingi wa vurugu hizo polisi wanasemekana kutumia nguvu hata pale ambapo haikuwa lazima kwa mfano kutumia silaha za moto ijulikane kuwa hakuna anayepinga jeshi la polisi na ffu kulinda amani au kuweka mazingira mazuri lakini taarifa zinaonyesha hata pale wananchi walipokuwa watulivu wamefuata taratibu zote jeshi hilo lilifika na kutishia kuwatawanya watu waliokuwa wanafanya shughuli zao za kampeni kwa utaratibu uliokubalika maeneo kama bariadi bukoba musoma tarime karatu na zanzibar yametajwa na taarifa zote c) mheshimiwa spika kambi ya upinzani inaitaka ofisi ya waziri mkuu kufanya uchunguzi wa kina kwa kushirikisha na watu walio huru mathalan majaji wa mahakama kuu kujua sababu za msingi za vurugu hizo kwa lengo la kupata mapendekezo ya kuondokana na matatizo hayo katika chaguzi zijazo d) mhe spika serikali yenye nia njema ya kujenga demokrasia ya kweli itafanya kila linalowezekana kufanya uchaguzi kuwa wa huru na wa haki na kurekebisha dosari zote zinazojitokeza katika uchaguzi mmoja kuwachukulia hatua wale wote wanaochafua sifa njema ya nchi kwa kusababisha vurugu wakati wa uchaguzi kwa kufanyia marekebisho sheria pale inapoonekana dosari za kisheria ndiyo sababu ya matatizo yanayojitokezamhespika ni imani yetu serikali haitasubiri uchaguzi mwingine ili kuzifanyia kazi dosari hizi e) mhe spika taarifa ya nec pia inaonyesha kuwa vyama vingine havikuweza kufanya kampeni vizuri kwa kukosa rasilimali fedha ni imani yetu kuwa ili demokrasia ikomae vizuri serikali iangalie uwezekano wa kutoa ruzuku kwa shughuli za uchaguzi kwa fomula itakayokubalika na wadau na serikali tukizingatia kuwa hizi ni fedha za walipa kodi wa tanzania na hivyo ni lazima zitumike vizuri sera ya makao makuu kuhamia dodoma 36 mheshimiwa spika mwaka wa fedha 2006/2007 katika kitabu cha maendelo cha bajet yaani volume lv sub sub vote 1003 na kifungu kidogo zaidi 6510 mamlaka ya ustawishaji wa makao makao makuu ilitengewa tshs 427945000 kazi zilizofanyika ni usafishaji wa mifereji ya maji taka ujenzi wa uwanja wa kumbukumbu ya mwalimu nyerere (nyerere square) ununuzi na ujenzi wa mabanda mawili katika uwanja wa kumbukumbu ya mwalimu nyerere kupanda miti katika maeneo mbalimbali ya mji wa dodoma 37 mheshimiwa spika mwaka wa fedha 2007/2008 ofisi ya waziri mkuu wamepewa kwa ajili ya cda jumla ya shs 16billioni cda wamepewa jumla ya shs 17billioni kwa mishahara ya watumishi (taz randama ya ofisi ya waziri mkuu fungu 37 kasma 6510 uk 67) yaani zaidi ya fedha walizopewa kwa shughuli za kustawisha makao makuu kazi wanazotarajia kufanya ni pamoja na pamoja na kumalizia ukarabati wa nyerere square kusafisha mifereji ya maji kuotesha miti kukarabati barabara za manispaa ya dodoma na kupima viwanja 38 mheshimiwa spika kambi ya upinzani inatambua kuwa kuhamisha makao makuu ni sera ya chama cha mapinduzi na hatuna sababu ya kuhoji mambo ya chama cha mapinduzi hata hivyo sera hiyo iliyopitishwa zaidi ya miaka 30 iliyopita haijatekelezwa au imetekelezwa kiwango kidogo sana tangu ilipotangazwa 1973 kwa tangazo la rais no230 kwa takwimu hizi hakuna mkakati wowote wa muda mfupi wala wa muda mrefu wa kutekeleza sera hiyo kikamilifu wakati huo huo taifa linaathirika sana na sera hii kama ifuatavyo b) mhe spika tangu mwaka 2001 tuliambiwa ndani ya bunge hili kuwa wizara 5 zimehamia dodoma tunataka waziri mkuu alithibitishie sasa bunge hili toka uamuzi huo wa kuhamia dodoma ni wizara ngapi zimehamia dodoma kikamilifu c) mwaka huu wa fedha ofisi ya waziri mkuu imeidhinishiwa tshs l 633999000 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya waziri mkuu daressalaam (taz kasma ya 6351 randama ya wizara fungu 37) mwaka jana zilitengwa tshs billioni 1 kwa ajili ya kuchora ramani majengo hayo kambi ya upinzani inataka kufahamu ni kwa nini fedha hizo zisitumike katika kujenga ofisi nzuri ya kisasa dodoma badala ya kukarabati jengo la tangu wakati wa wajerumani ambalo sasa hata ukarabati wake umekuwa wa ghali je kwa mtindo huo azma ya kutekeleza sera ya ccm ya kuhamia dodoma bado ipo iwapo kiongozi wa shughuli za serikali ndiyo kwanza anaimarisha ofisi yake daressalaam d) mhe spika kambi ya upinzani inataka pia kufahamu wakati kasma ya 270104 ujenzi wa jengo tshs 3305353000 inaonekana kwenye kitabu cha bajet volume 11 inatofautiana na kasma ya 6351 iliyotajwa hapo juu fedha zilizotengwa kwa ajili ya kasma 6351 zinaonekana wapi kwani vitabu vya hazina havimsaidii kabisa mbunge kutambua fedha hizi zimetengwa kwa ajili ya nini kwa vile vifungu vimetajwa kwa jumla jumla tu e) mhe spika kwenye randama kasma ya 310801 nayo imeombewa tshs 829819600 kwa ajili ya ukarabati wa majengo ya ofisi ya waziri mkuu dodoma na daressalaam tupatiwe ufafanuzi wa kina kuhusu kasma hizi zinazojirudia rudia f) mhe waziri aliondolee wasiwasi bunge hili kuwepo au kutokuwepo matumizi mabovu ya fedha za walipa kodi kutokana na viongozi wa serikali wa kisiasa na watendaji kuwa na nyumba mbili dodoma na daressalaam zote zikigharimikiwa na serikali kinyume na kanuni za fedha za serikali g) mhe waziri wakati wa majibu yake pia alihakikishie bunge hili ukweli au vinginevyo wa taarifa kuwa wale viongozi waliohamia dodoma ambao kwa sababu karibu serikali yote bado iko daressalaam wanalazimika kukaa daressalaam muda mwingi na muda wote huo hulipwa posho ya safari (per diem) tofauti na kama wangelikuwa wanaishi na kufanyia kazi dodoma jambo ambalo linaichukulia taifa fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika kwenye shughuli za maendeleo h) mhe spika kambi ya upinzani inataka pia kuelezwa kwa kina iwapo taarifa hizo ni za kweli serikali inalielezaje taifa hili kwanini walipa kodi waendelee kugharimia sera ya chama cha siasa ambayo haitekelezwi inavyotakiwa na wala hakuna mkakati mpango unaoeleweka wa kuitekeleza i) mhe spika ieleweke wazi kuwa kambi ya upinzani haina tatizo kabisa na kuhamishia makao makuu ya nchi dodoma kambi ya upinzani inakerwa na sera ambayo miaka nenda rudi haitekelezwi lakini fedha zinatumika kazi nyingi zinazofanywa na cda kimsingi zingeweza kufanywa na manispaa ya dodoma kama ilivyo katika miji mingine bila kikwazo ni dhahiri kuwa huhitaji kuunda mamlaka kwa ajili ya kusafisha mifereji ya maji kutengeneza barabara ndogo ndogo au kupima ploti hizi ni kazi zinazofanyika na manispaa au mamlaka ya jiji kama ilivyo daressalaam tanga mwanza mbeya au arusha kazi hizo zikiunganishwa na mamlaka ya jiji au manispa unaookoa zaidi ya shs billioni 17 ambazo zingeweza kupunguza makali ya wananchi katika ujenzi wa sekondari ujenzi wa zahanati majukumu ya tawala za mikoa na serikali za mitaa 39 mheshimiwa spika serikali za mitaa ni vyombo muhimu sana katika uongozi wa nchi kwa vile vyombo hivi viko karibu na watu na ndiyo ngazi inayokutana na wananchi kuliko ngazi nyingine zote katika hotuba yangu ya mwaka jana nilizungumzia mambo mengi ikiwa ni kuhusu namna ya kuimarisha vyombo hivi ninaomba nirudie tena machache mwaka huu kwa lengo la kutoa mchango wa kambi ya upinzani katika kujenga serikali imara za mitaa na hivyo kujenga demokrasia ya kweli nchini mwetu mambo haya ni kama yafuatayo (i) mhe spika kama tulivyosema wenyeviti wa vitongoji wenyeviti wa vijiji madiwani na viongozi ambao mchana kutwa na usiku kucha wako kazini kusimamia programu zote zinazobuniwa na serikali (ii) mhe spika programu za kupiga vita umaskini mathalan mkukuta au mkurabita wenyeviti wa vitongoji vijiji na madiwani ndio injini ya kutekeleza mipango yote ya maendeleo kama vile mipango ya mmem tasafmmes mpango wa kuboresha kilimo (asdp) mpango wa maji na kwa ujumla mipango yote iliyobuniwa kitaifa wanatakiwa pia kubuni mipango na miradi inayohusiana na maeneo yao hawa ndio walinzi wa amani na usalama katika maeneo yao ni dhahiri basi hawa ni viongozi muhimu sana katika nchi yetu (iii) mhespika kambi ya upinzani inaitaka serikali kubuni mpango maalum wa kuwawezesha viongozi hawa kuwajengea uwezo ili waweze kusimamia vizuri zaidi rasilimali nyingi zilizopelekwa chini na serikali kuu kupitia programu hizi za kitaifa si mara nyingi kusikia viongozi hawa wakienda semina warsha au kongamano lakini sisi viongozi wa juu kila wakati tuko kwenye semina kuanzia mawaziri makatibu wakuu na wabunge ni vema sasa tukapunguza semina katika ngazi ya juu na tukazielekeza chini katika ngazi yetu hata tukipewa maelekezo kwa nyaraka tunaweza kutekeleza maelekezo hayo bila kuhitaji semina za gharama kama zile semina elekezi za ngurundoto (iv) wenyeviti wa vitongoji vijiji na madiwani wawekewe mpango mzuri wa kuwapatia kipato cha uhakika angalau kwa kiwango cha kima cha chini cha mshahara serikalini haiwezekani mtu anayesimamia fedha na rasilimali nyingi kama zinavyopelekwa fedha za program zilizotajwa na yeye maisha yake yawe ya kubangaiza siku za karibuni magazeti mengi yameripoti ubadhirifu unaofanywa katika ngazi za vijiji yote haya kimsingi ni kwa sababu nafasi za vishawishi zimekuwa nyingi zaidi tofauti na huko nyuma ambapo programu zilikuwa zinatekelezwa na kusimamiwa na ngazi za wilaya vijiji viko chini ya 13000 kata ziko kama 2500 (v) mhe spika tukiwa na nia hatutashindwa kuwalipa angalau mshahara wa kima cha chini viongozi hawa ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu tukisimamia vizuri fedha nyingi kama zinavyoainishwa na mdhibiti na mkaguzi mkuu kila mwaka na kubuni vianzio vipya kama vilivyoonyeshwa na waziri kivuli wa fedha kambi ya upinzani inaamini kabisa kuwa tutapata fedha za kutosha kuwalipa hawa viongozi wetu kwa kuanzia bila hata kwenda kuomba fedha kwa mfadhili wafadhili wakitusaidia itakuwa ni nyongeza mhe spika dhamira ndicho kitu kinachotakiwa (vi) watendaji wa kata ambao ni waratibu wakubwa wa maendeleo wanaosimamia amani katika maeneo yao wanamsaidia mkurugenzi wa wilaya (ded) katika utekelezaji wa majukumu yake hawa wanahitaji vyombo vya uhakika vya usafiri mathalan pikipiki ni vema serikali ikabuni mpango wa kudumu (sustainable) wa kuwasaidia watendaji hawa kupata vifaa hivi hata kama ni kwa kuwakopesha kama tunavyofanya kwa wabunge na kukata kwenye mishahara yao kmsingi hawa ndio wanaofanya kazi nyingi zaidi kuliko hata makatibu tarafa ambao tumewapatia pikipiki tayari weo wako karibu zaidi na maeneo ya kazi na makatibu tarafa wana umuhimu wa uratibu tu uratibu hauna tija iwapo mzalishaji hana tija (vii) serikali itazame upya sheria na 7 na 8 ya mwaka 1982 na kuweka wazi zaidi majukumu ya wakuu wa wilaya kama kufuta nafasi hizo zimeshindikana ili kuleta tija zaidi kati ya ofisi ya mkurugenzi wa wilaya (ded) ambaye ndiye mwenye wataalam na ofisi ya mkuu wa wilaya ambaye kimsingi ina viongozi wakuu wasiozidi 3 ni kichekesho kufikiri kuwa watu 3 wanaweza kuwa na utaalam wa aina zote kuweza kusimamia wataalam zaidi ya 100 walioko chini ya ofisi ya mkurugenzi na mtendaji wa halmashauri matokeo ni kuwa wakuu wa wilaya ndio wamekuwa wakitekeleza majukumu ya wakurugenzi kwa kutembelea vijiji na wakurugenzi kubaki maofisini au kuhudhuria semina za nje kutokana na mgawanyo usio wa wazi wa majukumu eneo hili linahitaji kuangaliwa haraka sana (viii) sheria zinazoongoza serikali za mitaa pamoja na sheria ya regional administration inayounda ofisi ya mkuu wa mkoa zirekebishwe haraka sana kuendana na mabadiliko makubwa yanayotokea sasa na kwa kuzingatia mpango wa maboresho ambao sasa uko karibu mwaka wa 8 matunda ya maboresho bado hayajaonekana pamoja na kuwa fedha nyingi sana za wafadhili na za ndani zimetumika katika semina na warsha za maboresho (ix) mheshimiwa spika kambi ya upinzani inataka kufahamu kwa kina kauli ya serikali juu ya mapendekezo haya (x) kambi ya upinzani pia inapenda kupata tathmini ya kina ya mpango wa maboresho ukionyesha malengo yake na mafanikio na matatizo tuliyokutana nayo na mpango mzima umegharimu fedha kiasi gani za ndani na ngapi za nje (xi) kambi ya upinzani inayotaarifa kuhusu program ya mafunzo kwa ushirikiano na serikali ya japan ambapo ma ras na baadhi ya ded walihudhuria kwa awamu kadhaa kule japan taarifa tuliyonayo ni kuwa kutokana na programu hiyo mapendekezo mengi ya msingi yalifanyika mathalan a) mgawanyo mzuri zaidi wa majukumu ya madaraka kati ya serikali kuu na serikali za mitaa hapa kwetu bado serikali za mitaa japo zinatajwa na katiba lakini kiutendaji bado ni field agents wa serikali kuu na maamuzi yake yanaweza kuingiliwa wakati wowote na serikali kuu japan hilo haliwezi kutokea kwa vile wameunda machinery kabisa ya kusuluhisha migogoro kati ya serikali kuu na serikali za mitaa na mahusiano baina ya serikali hizi yanalindwa kabisa kwa sheria ya bunge b) serikali za mitaa zina mamlaka kamili hapa kwetu tunaziita serikali lakini kiutendaji hazionekani kama serikali makusanyo yote yanakusanywa na serikali kuu lakini mgawanyo asilimia 60 unaenda serikali za mitaa na asilimia 40 tu ndiyo inayobaki serikali kuu (xii) kutokana na program hiyo basi je serikali imepanga kutumia vipi uzoefu waliopata ma ras na ma ded hao hatua gani inafuata sasa baada ya kuwa tathmini ya program hiyo imefanyika serikali itatoa lini kwa bunge hili taarifa hiyo ya tathmini ili lifahamu matokeo ya program hiyo kwani wahusika waliporudi walitakiwa kufanya semina kwenye maeneo yao ili elimu hiyo iwafikie watu wengi na kwa taarifa yetu kazi hiyo haikufanyika bajeti ya 2007/2008 na maeneo ya vipau mbele 40 mheshimiwa spika vipaumbele vilivyowekwa vinakubalika kwa vile ndiyo msingi wa maendeleo ndiyo maana hata katika bajeti mbadala ya kambi ya upinzani vipaumbele hivyo hivyo viliwekwa na kuongezea utawala bora kama eneo muhimu sana utawala bora hasa uwazi na uwajibikaji vikikosekana yote mengine yaliyowekwa kama vipaumbele vitaporomoka fedha zitaibiwa zitatumika vibaya hapatukuwa na uwazi na matokeo yake ni kuwa kazi zitafanyika nusu nusu tu kambi ya upinzani inataka kutoa rai kuwa ili tufanikiwe ni lazima tuondokane na dhana ya itikadi 41 mheshimiwa spika maendeleo hayajui itikadi barabara ni barabara tu utoke chama gani maji hayana sura na wananchi hawatajali ni chama bali wataangalia nani kawaongoza kupata maji hivyo ofisi ya waziri mkuu ambayo ndiyo mratibu wa vyama vya siasa ni vyema ikaandaa utaratibu wa kujenga imani kwa watanzania kufanya kazi pamoja kwa ujumla wao bila kujali itikadi zao ni imani yetu kuwa waziri mkuu atakuwa kiungo kati ya serikali na vyama kama malengo ya ofisi yake yanavyoeleza na atapanga mapema iwezekanavyo kukutana na vyama vya siasa ili kubadilishana mawazo na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa mambo ya jumla 46 mheshimiwa spika ni kweli kuwa mwaka 2007 taifa letu lilikumbwa na janga la ukame wote tunaomba mwenyezi mungu atuepushe na janga la aina hiyo tena kutokana na hali hiyo hatua mbalimbali zilichukuliwa kulinusuru taifa letu na athari ya ukame huo baadhi ya hatua za kunusuru zilipigiwa kelele sana na wananchi na makundi ya wadau mbalimbali ni katika hatua hiyo takukuru taasisi ya rushwa ilichukua hatua ya kuchunguza misingi ya malalamiko hayo 47 mheshimiwa spika pamoja na kutambua hali hiyo kambi ya upinzani imestushwa sana na tamko la takuru tamko hilo lilitolewa na mkurugenzi mkuu wa takuru tarehe 11 may 2007 na kwa kifupi inatoa ifuatavyo (i) kuwa mchakato mzima wa kumtafuta mzabuni wa kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ambako kampuni ya richmond iliibuka mshindi ulikuwa wa wazi na hakukuwa na mazingira yeyote ya rushwa (ii) mchakato mzima mbali ya kuwa wazi na shindanishi hakukuwa na ushahidi wowote uliopatikana kuthibitisha vitendo vya rushwa uzembe wala upokeaji wa kamisheni kwa watendaji kama ilivyokuwa inadaiwa (iii) hakuna ushahidi wowote uliopatikana kuthibitisha ofisa yeyote serikalini kumiliki hisa au kuwa na madaraka katika kampuni ya richmond development company (iv) hata hivyo a) uchunguzi umethibitisha kwamba mapungufu yalikuwepo hata hivyo mapungufu hayo yalikuwa ya kawaida na hakuna hasara iliyosababishwa na mapungufu hayo b) kampuni yenyewe ya richmond haikuwa na uwezo na ilikuwa imeegemea kampuni kubwa ya pratt and witney yenye uzoefu mkubwa 48 mheshimiwa spika taarifa hiyo ya takukuru inasikitisha kwa sababu badala ya kutoa majibu ya kuridhisha inazua masuali mengi zaidi masuala haya ni (i) taarifa inakiri kuwa kulikuwa na mapungufu lakini haitaji mapungufu yapi (ii) taarifa inaeleza kuwa mapungufu haya ni ya kawaida na hayakusababisha hasara kwa serikali tunashangaa mapungufu haya ni yapi wakati taarifa iliyotolewa ya tanesco inaonyesha kuwa mitambo iliyonunuliwa na tanesco yenye kutoa megawati 100 kama hiyo iliyodishwa ina thamani ya dola za marekani 134 millioni na wakati huo huo richmond wamelipwa billioni 172 taarifa haielezi hii tofauti inatoka wapi na je hii si hasara kulipia mitambo ya kukodi kwa bei kubwa kuliko bei ya soko na isitoshe kwa bei hiyo ya billioni 172 ingepatikana mitambo ya kununua na siyo ya kukodi (iii) taarifa ya takukuru inaeleza kuwa kampuni ya richmond ilisajiliwa tanzania 12 julai siku kadhaa baada ya kusaini mkataba na tanesco (mkataba huo unasemekana kwa taarifa hiyo ulisainiwa 23 juni 2006 jambo linalotia utata zaidi je ni halali kwa shirika la umma kuingia kwenye mkataba na kampuni ambayo haikusajiliwa (iv) utata mwingine ni pale ambapo awali kampuni zote zilizoomba tenda hiyo zilikataliwa kwa vile hazikuwa na uwezo (capacity) baada ya ofisi ya waziri mkuu kuendelea kampuni ya richmond ambayo haikuwa na uwezo ikateuliwa bila taarifa kufafanua kama tenda ilitangazwa tena jambo ambalo kwa dhahiri kama halikufanyika ni kinyume na sheria ya manunuzi ya ummataarifa inasema tanesco walikuwa wametoa tahadhari kuhusu uwezo wa kampuni ya richmond lakini ushauri huo haukusikilizwa (v) bado watanzania hawajapata pia maelezo ya kina kuhusu kampuni ya dowans ambayo nayo imesemekana kumbwa na matatizo makubwa 49 mheshimiwa spika kutokana na utata huu kwenye taarifa ambayo inaelekea inajikanganya na pia haionyeshi uchunguzi huu wa pccb ulifanyika vipi nani waliohojiwa na sababu za mkataba kusainiwa kabla ya kuandikishwa kampuni hazikupewa majibu kutokana na sababu hiyo kambi ya upinzani inaitaka serikali a) kuiwasilisha bungeni taarifa kamili ya takukuru (pccb) ili waheshimiwa wabunge waweze kuisoma kuitafakari na kuichambua taarifa hiyo ili wajiridhishe na taarifa hiyo fedha zilizotumika ni fedha za umma hivyo ni haki ya wawakilishi wa wananchi kujuridhisha na taarifa hiyo b) serikali ilieleze bunge hili tukufu na taifa kwa ujumla ni kwa nini tumelipa tshs 172 billioni kama kwa fedha hizo hizo au chini yake tungeweza kununua mashine kama hizo za kumiliki sisi moja kwa moja na tusingeliwajibika kulipia capacity charge ambayo sasa tunawajibika kuilipa tutumie umeme au tusitumie umeme wao serikali iwe wazi ni hasara kiasi gani taifa limepata kutokana na kuingia mkataba na kampuni isiyo na uwezo c) kama kulitokea mapungufu bunge hili lielezwe waliohusika na mapungufu hayo ni kina nani na je wamechukuliwa hatua gani d) kwa vile mkataba huu ulikuwa wa dharura kutokana na ukame na hadi mvua ziliponyesha kampuni ya richmond haikuweza kutoa umeme uliotakiwa ni kwanini katika hatua hiyo serikali haikuvunja mkataba na richmond na hivyo kuokoa fedha nyingi za serikali na wananchi 50 mheshimiwa spika kambi ya ushindani inapenda kupata taarifa na majibu ya kina kuhusu hoja hizi sasa naomba nikushukuru tena kwa kunipa fursa hii na pia nawashukuru waheshimiwa wabunge wenzangu kwa kunisikiliza mwenyezi mungu atupe hekima na baraka kwa manufaa ya taifa letu dr willibrod peter slaa (mb) jimbo la karatu msemaji mkuu wa kambi ya upinzani ofisi ya waziri mkuu/tamisemi 25 june 2007 dodoma labels hotuba
2017-12-18T07:11:41
http://marafikiwaslaa.blogspot.com/2010/08/slaa-ataka-balali-ajiuzulu-ambana.html
tusinunue gesi kutoka iran sasa tukanunue wapi ordogan aftruth home asia tusinunue gesi kutoka iran sasa tukanunue wapi ordogan tusinunue gesi kutoka iran sasa tukanunue wapi ordogan rais wa jamhuri ya uturuki mh twayib ordogan ameibuka na kuiambia marekani kwamba haitakuwa mfuasi wa vikwazo vyake vya upande mmoja dhidi ya jamhuri ya kiislamu ya iran likiripoti gazeti moja la serikali ya nchi ya uturuki rais ordogan amejaribu kuiambia marekani kwamba kuiwekea iran vikwazo ni sawa na bure kwani mara kibao wamekuwa wakifanya hivyo lakini taifa hilo limeonekana kutoyumbishwa mbali na kwamba rais wa sasa wa marekani bw donald trump amekuwa akikataza nchi nyinginezo kufanya miamala na iran rais ordogan pia amefichua kwamba hata katika kipindi cha obama aliombwa jambo kama hilo lakini alipinga na kulikataa hata katika zama za obama tuliombwa kuacha kununua gesi kutoka iran na hatukukubali maana ikiwa hatutanunua toka iran tununue wapi sasa alisema rais ordogan maneno haya yanakuja ikiwa ni wiki moja tu tangu ujumbe wa marekani uwasili nchini uturuki kwa ajili ya kuchukua maoni kunako vikwazo vyao dhidi ya iran ujumbe ambao ulikumbana na majibu ya kwamba kuna ujirani mzuri baina ya uturuki na iran previous articlekijana wa kipalestina auawa katika maandamano gaza next articlejeshi la israel laizuia meli ya msaada kuelekea ukanda wa gaza
2019-08-22T02:51:02
https://aftruth.com/swa/2018/07/29/tusinunue-gesi-kutoka-iran-sasa-tukanunue-wapi-ordogan/
the choice kimenuka afrika kusini bunge lawaka moto wabunge watolewa nje kimenuka afrika kusini bunge lawaka moto wabunge watolewa nje julius malema na wafuasi wake wakitoka bungeni' kumetokea malumbano makali bungeni nchini afrika kusini ambapo wanasiasa wa upinzani wamechelewesha hotuba ya rais jacob zuma aliyekuwa akilihutubia taifa na kuzua maswali kuhusu utaratibu baadhi ya wanasiasa wanasema rais huyo hakupaswa kuhutubia bunge kutokana na kashfa mbali mbali alizonazo ni mvutano huo baada ya spika wa bunge la afrika kusini mama baleka mbete na wafuasi wa upinzani wengi wao kutoka chama cha ecoomic freedom fighters eff wakiongozwa na juliasi malema ambao walikuwa wanadai kutaka utaratibu na kuvuruga hotuba ya rais jacob zuma hatimaye uvumilivu ukamshsinda spika wa bunge baleka mbete na kumuru kiongozi wa eff julias malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge baada ya fujo hizo rais jacob zuma alijaribu kuendelea kuhutubia lakini wabunge wa upinzani walibaki wakarudia tena kumkatiza baada fujo hizo baadae angalau kidogo pakawa na utulivu ambapo rais zuma aliweza kumalizia hotuba yake na katika hotuba hiyo rais zuma mbali na mambo mengine alisema serikali yake imekuwa akibana matumizi lakini anaona bado hatua zaidi zinahitajika tumekuwa tukichukua hatua za kubana matumizi ya fedha za umma kwa hekima ikiwa ni pamoja na kubana matumizi yasiyo ya lazima lakini bila kuathiri wajibu muhimu wa serikali na kutoa huduma kwa raia mwaka 2013 waziri wa fedha alitangaza hatua za kubana matumizi matumizi ya ziada na yale yasiyo ya lazima yamepunguzwa lakini bado hatua zaidi zinapaswa kuchukuliwa kubana upotevu wa fedha za umma rais zuma anakabiliwa na kashfa kadhaa lakini kubwa la hivi karibuni ni hatua ya kutumia fedha za umma kufanya ukarabati wa kasri lake la kifahari la nkandlabbc posted by the choice at 0920
2018-04-21T00:16:15
http://thechoicetz.blogspot.com/2016/02/kimenuka-afrika-kusini-bunge-lawaka.html
fanya kazi kwa bidii kimbia kwa kasi ya kichina china radio international fanya kazi kwa bidii kimbia kwa kasi ya kichina (gmt+0800) 20190101 103940 rais xi jinping wa china jana alitoa hotuba ya kukaribisha mwaka mpya akifanya majumuisho ya mafanikio ya china katika mwaka 2018 na kuwahamasisha wachina wote kuendelea kuchapa kazi ili kutimiza ndoto na pia kueleza udhati na wema wa china katika kulinda amani ya dunia na kuhimiza maendeleo ya pamoja duniani kwenye hotuba yake rais xi amefanya majumuisho ya mafanikio ya china katika uchumi uhifadhi wa mazingira maisha ya watu uvumbuzi mageuzi na kufungua mlango na kusisitiza kuwa mafanikio hayo yanatokana na juhudi kubwa za wachina wakiwa wajenzi wa zama mya amesema mwaka 2018 china iliwasaidia watu milioni 10 kuondoka na umaskini na kujenga nyumba milioni 58 kwa ajili ya watu wanaoishi katika makazi duni huu ni mwaka wa 70 tangu kuanzishwa kwa jamhuri ya watu wa china na pia ni mwaka muhimu kwa juhudi za kujenga jamii yenye maisha bora rais xi amesema china itakuwa na fursa pamoja na changamoto na wachina wanapaswa kufanya juhudi kwa pamoja amesema sera ya kupunguza kodi inapaswa kutekelezwa vizuri zaidi ili kupunguza mzigo kwa makampuni na lengo la kuondoa umaskini kwa watu milioni 10 vijijini pia linatakiwa kutimizwa kwa wakati aidha rais xi amesema bila kujali kuna mabadiliko gani duniani imani na nia ya china ya kulinda mamlaka na usalama wa taifa haitabadilika na udhati na wema wa china wa kulinda amani ya dunia na kuhimiza maendeleo ya pamoja hautabadilika kauli hii imeonesha nia ya china ya kuwajibika ikiwa nchi kubwa duniani na pia kuonesha nia ya rais xi ya kuchangia amani na maendeleo duniani akiwa kiongozi wa nchi kubwa
2020-05-31T13:10:34
http://swahili.cri.cn/141/2019/01/01/1s181588.htm
uturuki kupewa euro bilioni 3 kwa ajili ya wakimbizi | matukio ya kisiasa | dw | 30112015 uturuki kupewa euro bilioni 3 kwa ajili ya wakimbizi uturuki itasaidia kuzuia wimbi la wakimbizi wanaoingia ulaya ili ipatiwe fedha viza na mazungumzo ya kujiunga na umoja wa ulaya kuanzishwa tena katika makubaliano yaliyoafikiwa jana viongozi wa mataifa 28 wanachama wa umoja huo walikutana jana jioni na waziri mkuu wa uturuki ahmet davutoglu mjini brussels kuidhinisha makubaliano yaliyoandaliwa na wanadiplomasia katika wiki chache zilizopita kipengele muhimu cha makubaliano hayo ni kitita cha euro bilioni tatu kama msaada wa umoja wa ulaya kwa wakimbizi milioni 22 kutoka syria wanaoishi nchini uturuki zikilenga kuimarisha hali ya maisha na kuwashawishi wabakie nchini humo badala ya kujaribu kukimbilia visiwa vya ugiriki na mataifa ya umoja wa ulaya rais wa halmashauri ya umoja wa ulaya jean claude juncker alisema tuko tayari kutoa euro bilioni tatu kiwango hiki hakitolewi bure bila mafungamano pesa hizi ni kwa ajili ya matumizi katika hali itakayoamuliwa kwa pamoja na utawala wa uturuki makubaliano hayo yamethibitishwa na rais wa baraza kuu la umoja wa ulaya donald tusk kufuatia mkutano wa kilele uliodumu muda wa masaa manne na kusema juhudi za uturuki kutaka kujiunga na umoja wa ulaya zitaanzishwa tena kwa ushirikiano wake katika kuwazuia wakimbizi wa syria inayowahudumia wasikimbilie ulaya tusk ambaye alikuwa mwenyekiti wa mkutano huo alisema mazungumzo hayo yaliashiria mwanzo mpya wa mahusiano na uturuki waziri mkuu wa uturuki ahmet davutoglu (kulia) na rais wa baraza kuu la umoja wa ulaya donald tusk acha niseme wazi kwamba hatukubali mtu yeyote ailinde mipaka yetu kazi hiyo inaweza na inatakiwa kufanywa na wakazi wa ulaya lakini tunatarajia hatua kubwa kuelekea kuzibadili sheria likija suala la kupunguza wimbi la wakimbizi wanaoingia umoja wa ulaya kupitia uturuki pande zote mbili zimeamua kutumia mkakati wa pamoja ulioafikiwa oktoba 15 mwaka huu kusimamia vyema wimbi la wakimbizi chini ya mpango huo uturuki na umoja wa ulaya zitashirikiana kuwalinda watu wanaokimbia vita huku zikiwazuia wahamiaji wengine au kuhakikisha wale wanaoingia umoja wa ulaya na uturuki wanarejeshwa haraka nchi walikotokea mazungumzo ya uanachama wa uturuki kufufuliwa suala lengine muhimu katika makubaliano hayo ni mchakato wa uturuki kutaka kujiunga na umoja wa ulaya kupigwa jeki ingawa ni viongozi wachache tu katika pande zote mbili wenye matumaini kwamba uturuki itajiunga na umoja huo hivi karibuni mazungumzo kuhusu ibara ya 17 ya mchakato huo inayohusu uchumi na sera ya fedha yataanza tarehe 14 mwezi huu akizungumza baada ya mkutano wa mjini brussels waziri mkuu wa uturuki ahmet davutoglu alisema ilikuwa ni siku ya kihistoria na kuahidi kwamba nchi yake itatimiza ahadi zake licha ya baadhi ya mataifa 28 wanachama wa umoja huo kuonyesha wasiwasi tumeupiga jeki mchakato wetu wa kutaka kujiunga na umoja wa ulaya tumekubaliana kuwa na mkakati wa pamoja dhidi ya migogoro yote katika maeneo jirani na ulaya na pia kufanya kazi pamoja kuutafutia ufumbuzi mzozo wa wakimbizi umoja wa ulaya umeridhishwa na jinsi uturuki inavyoharakisha juhudi za kutimiza masharti ya umoja wa ulaya kuifanya rahisi kwa waturuki kupata visa za mataifa wanachama katika makubaliano ya brussels waturuki wengi huenda wakanufaika na safari bila visa katika eneo la schengen barani ulaya kufikia oktoba 2016 ikiwa uturuki itatimiza masharti ya kuimarisha ulinzi katika mipaka yake ya mashariki kuwafungia wahamiaji kutoka asia na kuimarisha sheria kupunguza idadi ya wanaohamia ulaya maneno muhimu turkey eu syria refugees ahmet davutoglu donald tusk jean claude juncker kiungo http//pdwcom/p/1heua kamari ya merkel kwa uturuki 10032016
2017-10-22T07:29:48
http://www.dw.com/sw/uturuki-kupewa-euro-bilioni-3-kwa-ajili-ya-wakimbizi/a-18883624