text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
mtwara kumekucha suala la gesi mtwara lisifanywe kama ajenda ya kisiasa suala la gesi mtwara lisifanywe kama ajenda ya kisiasa kilichotokea tarehe 13/1/2013 uwanja wa mashujaa ni funzo kwa wanasiasa wote wanaochukulia suala la gesi kama ajenda yao ya kisiasa majira ya saa 900 alasiri nikiwa sina hili wala lile nashtuliwa na jirani yangu kwamba kuna mkutano wa hadhara juu ya suala lile lile la gesi maana kwa siku za hivi karibuni suala la gesi limekuwa gumzo huwezi kuwapita watu watano bila kusikia suala la gesi naam mgeni rasmi ni james mbatia mwenyekiti wa chama cha nccr mageuzi kabla ya mwenyekiti wa nccrmageuzi kuzungumza ulifuata utangulizi wa baadhi ya wanasiasa kuzungumza akiwamo mh moses machali mbunge pamoja na viongozi wengine waandamizi walioambatana na mwenyekiti huyo kisha ukafuatia wakati wa ndugu mbatia kuzungumza kimsingi mbatia alikuwa na hoja ya msingi isipokuwa hakuweza kung'amua kwamba wananchi hawakutaka kusikiliza historia ama maneno ya siasa isipokuwa wao wanataka azimio moja gesi isitoke mtwara kilichofuata hapo sidhani kama atakuja kusahau katika maisha yake blogu hii inampa pole kwani hii ndio changamoto ya kisiasa suala lingine wananchi walimchukulia ndg mbatia kama kibaraka wa ccm haswa baada ya kupata ubunge wa kuteuliwa na rais na hapo wananchi wakawa wanahoji uhalali wa yeye kuweza kuwa mtetezi wao fundisho ni moja tu kwa wanasiasa wawaeleze wananchi ukweli kama sepetu iite sepetu na sio kijiko kikubwa kama wanavyotaka kuwahadaa wananchi suala lingine ni suala la elimu lakini nadhani pia hilo ni too late wamechelewa mno kinachotaka kufanyika ni kama kutumia neno elimu kisiasa kama mbinu ya kuwalainisha wananchi ili waweze kuruhusu gesi yao itolewe mtwara taarifa zisizokuwa rasmi zinaeleza kwamba tayari makachero wa vikosi mbali mbali wapo mkoani mtwara kwa ajili ya kufanya tathmini na namna ya kuweza kukabiliana na machafuko yoyote ambayo yanajitokeza ikiwamo uvunjifu wa amani unaohatarisha usalama wa taifa suala hapa ni moja tu wanansiasa waelewe wananchi wanataka nini wawatimizie wananchi waelewe changamoto za wananchi wao na pia washirikiane na wananchi wao kuzitatua changamoto zao wanasiasa wakishapata madaraka yao inakuwa kana kwamba wameshajipandisha daraja na kujiweka juu ya wananchi na wao kuwa kila kitu kwa kupata stahiki za maisha bora huku wananchi wakiteseka na wao kutia pamba masikioni sasa suala ni moja gesi haitoki mtwara iwe funzo kwao na wanasiasa wote ambao wanatumika kama vibaraka na wapokea rushwa kupitia wawekezaji wakubwa ambao wanawatumia kwa ajili ya kuweza kupata influence ya uwekezaji huku wao wakiwa wanafaidika kwa muda mfupi na wananchi wakichafuliwa mazingira na athari za muda mrefu pamoja na umaskini hao ndio akina chifu mangungo tulionao leo hii posted by baraka mfunguo at monday january 14 2013
2017-10-18T05:51:38
http://mtwarakumekucha.blogspot.com/2013/01/suala-la-gesi-mtwara-lisifanywe-kama.html
maonesho ya kwanza ya kimataifa ya bidhaa za nchi za nje kufanyika mjini shanghai china radio international maonesho ya kwanza ya kimataifa ya bidhaa za nchi za nje kufanyika mjini shanghai (gmt+0800) 20171102 173313 maonesho ya kwanza ya kimataifa ya bidhaa za nje yatafanyika kuanzia tarehe 5 hadi 10 mwezi oktoba mwaka kesho mjini shanghai china na yanatarajiwa kuhudhuriwa na kampuni kutoka nchi na sehemu zaidi ya 100 duniani kwenye mkutano wa kilele wa ushirikiano kimataifa kuhusu ukanda mmoja njia moja uliofanyika mwezi mei mwaka huu mjini beijing rais xi jinping wa china alitangaza kuwa china itaandaa maonesho ya kimataifa ya bidhaa za nchi za nje kuanzia mwaka 2018 naibu waziri wa biashara wa china ambaye pia ni mwakilishi wa china katika mazungumzo ya biashara za kimataifa bw fu ziying kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana alisema maonesho ya kwanza ya kimataifa ya bidhaa za nje yatakuwa na eneo la mita laki 24 za mraba na kugawanywa katika maonesho ya biashara na uwekezaji wa nchi pamoja na maonesho ya biashara za kampuni bw fu anasema madhumuni ya kuandaa maonesho ya biashara na uwekezaji wa nchi ni kuzipatia nchi zenye hali tofauti za uchumi jukwaa la kuongeza ushawishi na kukuza ushirikiano wa biashara za kimataifa kwenye maonesho hayo nchi zinazohusika zitaonesha hali zao za biashara na uwekezaji ikiwemo biashara za bidhaa na huduma hali ya sekta za uzalishaji uwekezaji utalii na bidhaa maalumu lakini ni maonesho tu hayatahusu biashara za papo hapo maonesho ya biashara za kampuni yatagawanyika katika sehemu za biashara za bidhaa na biashara za huduma kwenye maonesho hayo kampuni kutoka nchi mbalimbali zitaonesha bidhaa zao na kufanya biashara halisi bidhaa zitakazooneshwa kwenye maonesho hayo ni pamoja na vifaa vya hali ya juu vya simu za mkononi vifaa vya kielektroniki na umeme vinavyotumiwa katika maisha ya watu magari nguo na mapambo bidhaa za kawaida mazao ya chakula vifaa vya matibabu dawa teknolojia mpya huduma za kuagiza na uvumbuzi licha ya maonesho hayo mawili shughuli nyingine za kuhimiza mawasiliano kati ya kampuni za kuuza na kununua zikiwemo kongamano la biashara za kimataifa la hongqiao semina na mikutano ya utoaji wa bidhaa mpya pia zitafanyika aidha maonesho hayo pia yatazisaidia nchi zinazoendelea kuuza bidhaa zao nchini china naibu waziri wa biashara wa china bw wang bingnan amesema china itapunguza au kusamehe gharama za kuhudhuria maonesho hayo anasema sote tunajua kuwa china ina watu bilioni 13 na soko kubwa sana wachina wanahitaji bidhaa na huduma nzuri nyingi zaidi ili kuboresha maisha yao kupitia maonesho hayo nchi zinazoendelea zitapata nafasi ya kuonesha bidhaa na huduma zao bora kwa wachina na kunufaika kwa pamoja na soko kubwa la china nchi hizo pia zitasaidiwa kuongeza ushirikiano na china na nchi nyingine duniani ili kutimiza mafanikio na maendeleo ya pamoja habari zinasema wizara ya biashara ya china na serikali ya shanghai zimekamlisha mpango wa maonesho hayo na kuanzisha ofisi ya utendaji kwa kuiga mfano wa maonesho ya biashara ya guangzhou hadi sasa china imetoa mwaliko kwa wenzi wake zaidi ya 200 wa biashara na inatarajia kampuni kutoka nchi zaidi ya 100 zitahudhuria maonesho hayo bw fu anasema hatua ijayo ni kwamba tutafanya maandalizi mbalimbali kwa nguvu zote na kuharakisha kusukuma mbele kazi za kuzialika kampuni zaidi kuandaa semina kufanya matangazo na kukamilisha hatua za kuunga mkono ili kuhakikisha maonesho hayo yanafanyika kwa mafanikio
2018-12-11T06:04:30
http://swahili.cri.cn/141/2017/11/02/1s168933.htm
kuna ulazima wa ulinzi huu au ni show off homenewskuna ulazima wa ulinzi huu au ni show off miaka ya nyuma wakati bongo fleva inaanza kushika kasi wasanii hawakuwa na makuzi sana mambo ya kulindwalindwa hayakuwepo kivile ilikuwa ni ngumu sana kukuta staa amezungukwa na hawa wanaojiita mabodigadi sanasana katika maeneo ambayo ni hatarishi na msanii alitakiwa kwenda kufanya shoo ama kuhudhuria shughuli nyingine ya kijamii polisi walichukuliwa na kumlinda ikibidi sana kwa sababu hizohizo za kiusalama baadhi ya wasanii walikuwa wakitembea na washikaji zao ambao waliwatumia kama walinzi kiaina kwamba kwa mfano anataka kwenda klabu usiku anawashitua washikaji zake wawili watatu anatimba nao ili endapo likitokea la kutokea wao wamsaidie kwa kumpa kampani hivyo ndivyo ilivyokuwa enzi zile ambazo akina juma nature prof jay ferouz inspector haroun na wengineo walikuwa wanatamba lakini siku za hivi karibuni kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kwenye ulimwengu wa muziki huu wa bongo fleva kubwa ni hili la ulinzi wa kushangaza wa baadhi ya mastaa wanapokuwa kwenye mjumuiko wa watu yawezekana kuna wasanii wengine ambao wana utaratibu huu wa kusindikizwa na mabaunsa lakini kundi ambalo wasanii wake karibu wote wanalindwa na mabaunsa ni wasafi classic baby wcb hili lilianza kwa msanii anayefanya vizuri sana kwa sasa nasibu abdul diamond platnumz ambaye alianza kuonekana maeneo mbalimbali akiwa na ulinzi wa kutosha vijana wa sasa wanasema mabaunsa kama wote kwa tunavyojua hali halisi ilivyo hasa kutokana na kuwepo kwa haya mabifu kwa wasanii siyo jambo baya kuwa na walinzi lakini sasa ishu inakuja pale ambapo diamond anakuwa amezingirwa na mabaunsa kama 10 hivi unajaribu kujiuliza walinzi wote hao ni kweli wanahitajika au ni show off tu na mbwembwe za mastaa wetu cha kustaajabisha zaidi ni kwamba hili limehamia hata kwa wasanii wake wadogo harmonize alipokuwa wcb naye alikuwa kama braza wake diamond kila alikoenda alikuwa na mabodigadi hata pale ambapo hakustahili kulindwa kivile harmonize ameondoka wcb ndiyo kwanza amezidisha kila anapokwenda anakuwa sambamba na wanaume wa shoka waliojazia ile mbaya ukiuliza kwa nini utaambiwa ni kwa sababu ana maadui wanaoweza kumvamia na kumfanyia kitu kibaya ndiyo maana kunakuwa na ukuta huo wa walinzi hilo limekuwa hadi kwa wasanii wengine wadogo ambao wala hawahitaji kulindwa kivile kama rayvanny mboso na wengineo waliopo wcb swali la kujiuliza ni kwamba ni sahihi kwa msanii kama mboso kulindwa na mabaunsa watano na je wanalipwaje halafu ni kweli kila sehemu anapokuwa mboso anakuwa na walinzi hao au ni pale anapokuwa mbele ya kamera tu bado hili jambo lina maswali mengi sana ambayo majibu yake si rahisi kuyapata kwa haraka hata hivyo kilichonifanya nione hili la kuzungukwa na mabodigadi kibao ni kiki ni tukio la juzikati la mwanadada ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa diamond irene louis lynn huyu naye eti katika bethidei yake aliingia ukumbini akiwa amesindikizwa na mabodigadi kama sita hivi eti wote wanamlinda yeye unajiuliza wanamlinda kwa hatari gani ambayo mwanadada huyo iko nae jibu la haraka ni kwamba hakuna hatari yoyote zaidi ya kutafuta kiki tu na kama ni kutafuta kiki hakika ameipata kwani gumzo kubwa lilitawala kuanzia wakati anaingia ukumbini mpaka siku iliyofuata kwa maana nyingine ni kwamba hata mimi leo hii nikitaka niongelewe sana huko kwenye mitandao ya kijamii nitafute vijana kama 10 hivi niwashonee mavazi rasmi kisha kila ninapokwenda ambapo najua mapaparazi watakuwepo naongozana nao sehemu ambazo hazina kamera nakuwa na washikaji zangu tu si na mimi nitakiki namshangaa tu hamorapa kupitwa na kiki hii kirahisi mshitueni mwambieni anapitwa ingekuwa mimi ni hamorapa mpenda kiki nawazima wote hawa wanaojifanya kila sehemu wako na mabaunsa kuwazima hao unajua unafanyaje unakodisha vijana kama 20 hivi ambao unaenda nao sehemu zenye watu wengi na mapaparazi ukifanya hivyo hii kiki itapungua nguvu maana kwa kweli tumeichoka maana unajiuliza kwani alikiba na wasanii wengine wenye majina makubwa bongo hawana maadui mbona wao hawayaendekezi sana mambo haya
2019-10-17T11:12:01
https://news.bongoex.com/2019/10/kuna-ulazima-wa-ulinzi-huu-au-ni-show.html
pluijm ili ucheze azam fc chini yangu onyesha juhudi na nidhamu bin zubeiry sports online pluijm ili ucheze azam fc chini yangu onyesha juhudi na nidhamu bin zubeiry sports online mwanzo > habari za nyumbani > pluijm ili ucheze azam fc chini yangu onyesha juhudi na nidhamu pluijm ili ucheze azam fc chini yangu onyesha juhudi na nidhamu kocha mpya mkuu wa azam fc mholanzi hans van der pluijm amewataka wachezaji wa timu hiyo kuwa na nidhamu pamoja na kujituma ili waweze kupata nafasi ndani ya kikosi chini yake msimu ujao wa ligi kuu ya tanzania bara kocha huyo aliyetoka singida united na kusaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuitumikia azam fc ameyasema hayo kwenye utambulisho wake uliofanyika kwenye ukumbi wa mkutano mzizima kocha hans amesema wachezaji anaowataka yeye ni wachezaji ambao wanajituma uwanjani na wenye nidhamu ya hali ya juu na chaguo lake yeye ni mchezaji mrefu lakini hata ukiwa mchezaji mfupi ukijituma na ukawa na nidhamu basi kwake utanikuwa ni mchezaji bora ndani ya kikosi chake hans van der pluijm amewataka wachezaji wa azam kujituma ili kupata chini yake hans ameongeza kuwa kitu kilichomsukuma mpaka kuingia mkataba na azam fc ni kutokana na uongozi wa klabu hiyo kuwekeza kwa kila idara katika klabu hiyo na anaamini kuwa kuwepo kwake ndani ya timu hiyo itapata ubingwa msimu ujao wakati huo huo kocha huyo ameongeza kuwa sababu ya kumchagua kocha juma mwambusi kuwa kocha wake msaidizi ni kutokana na kocha huyo kuwa kocha mzuri na anaamini kwa kushirikiana nae watafanya vizuri ndani ya azam fc item reviewed pluijm ili ucheze azam fc chini yangu onyesha juhudi na nidhamu rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry utd podcast the truth about scholesy's comeback
2020-01-28T09:06:45
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/07/pluijm-ili-ucheze-azam-fc-chini-yangu.html
habari na matukio mangula aongoza mazishi ya tasili mgoda iringa mangula aongoza mazishi ya tasili mgoda iringa mwenyekiti wa uwt wilaya ya mufindi marcelina mkini akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa iringa marehemu tasili mgoda wakati wa mazishi yaliyofanyika juzi mjini mafinga makamu wa mwenyekiti wa ccm tanzania bara philip mangula akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa iringa marehemu tasili mgoda wakati wa mazishi yaliyofanyika juzi mjini mafinga waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wiliam lukuvi ambae ni mbunge wa jimbo la isimani mkoani iringa akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa iringa marehemu tasili mgoda wakati wa mazishi yaliyofanyika juzi mjini mafinga mbunge wa jimbo la mufindi kaskazini mahamudu mgimwa (kushoto) na mbunge wa kilolo venance mwamoto wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa iringa marehemu tasili mgoda wakati wa mazishi yaliyofanyika juzi mjini mafinga mwakilishi wa vyama vya upinzani kutoka chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya mufindi akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa iringa marehemu tasili mgoda wakati wa mazishi yaliyofanyika juzi mjini mafinga (picha zote na matukiodaimablog) makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) tanzania bara philip mangula ameongoza mamia ya wakazi wa mkoa wa iringa na mikoa ya jirani katika mazishi ya aliyekuwa mwasisi wa tanu na mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa wa iringa tasili mgoda aliyefariki oktoba 14 wakati wa kumbukumbu ya miaka 17 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu julius nyerere na kuzikwa jana katika makaburi ya mafinga wilaya ya mufindi kudai kuwa ameondoka kwa kuacha upendo kwa taifa mangula katika salamu zake alisema kuwa siku mbili kabla ya kifo chake mgoda alimpigia simu japo kwa bahati mbaya hakuweza kuwasiliana kutokana na kuwa katika mkutano na kuwa kati ya watu na viongozi ambao walikuwa na upendo kwa wengine marehemu mgoda ni mmoja na hivyo kuwataka wanafamilia wananchi wa mufindi na wana ccm kudumisha upendo na kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu zaidi kama njia ya kumuenzi marehemu huyo mgoda na baba wa taifa ambao katika uongozi wao waliweza kuongoza kwa kuzingatia misingi ya uadilifu alisema kuwa mgoda kuna mambo mengi ambayo hayaelezeki aliyoacha kama kielelezo cha uzalendo wake ndani ya wilaya ya mufindi ambako alianzisha shule za shirika la elimu mufindi (met) lakini katika taifa ni moja kati ya watu waliofanya kazi kwa karibu na mwalimu nyerere ila katika ukombozi wa taifa la namibia kwa kumhifadhi mpigania uhuru wa namibia rais wa kwanza wa nchi hiyo sam nujoma akiwa anafukuzwa na serikali ya wakoloni nchini mwake alisema kuwa marehemu mgoda alikuwa ni mtu mwenye upendo kwa wote na hakupenda makuu katika utawala wake hivyo ni vizuri kuendelea kumuenzi kwa kutenda mema na kupendana zaidi mwenyekiti wa uwt mufindi marcelina mkini alisema kuwa wao kama wanawake wanatambua mchango mkubwa ambao mgoda aliutoa kwao ikiwa ni pamoja na kujenga misingi bora ya uongozi ndani ya chama na jumuiya hiyo na kuwa katika wilaya ya mufindi ni mengi ambayo ameyafanya na kubwa zaidi ni kupigania uanzishwaji wa mji mdogo wa mafinga na barabara ya lami kutoka mafinga kwenda madibila wilaya ya mbarali alisema kuwa yote hayo ameyafanya wakati akiwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya mufindi na kubwa zaidi ni uongozi wake uliotukuka kwa kuongoza chama kama mwenyekiti kwa miaka zaidi ya 40 katika maeneo mbali mbali marehemu akiwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa iringa aliweza kupigania ujenzi wa barabara ya lami kutoka iringa dodoma na baada ya kukamilika kwa ujenzi huo alifurahi zaidi na kuwa sasa yupo tayari kufa wakati wowote kwani furaha yake imetimia enzi ya uhai wake alitupa moyo sana wanawake wa wilaya ya mufindi na kujikuta tunasonga mbele kwa upendo zaidi hivyo sisi kwa ajili ya kumuenzi tutaanzisha mradi wa wanawake ambao utapewa jina la tasili mgoda kama sehemu ya kumuenzi zaidi mkini ambae ni mjumbe wa nec taifa alisema kuwa kutokana kifo chake kuwa ni histori kubwa ndani ya taifa kwa mhasisi huyo wa tanu ambaye alifanya kazi na baba wa taifa kifo chake kutokea siku ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya kifo cha mwalimu ni vema wana ccm kuendelea kuenzi uzalendo na kuwakumbuka waasisi hao kwa kuepuka chuki ndani ya chama na badala yake kudumisha umoja zaidi alisema pamoja na kuondoka kwa baba wa taifa hivi sasa watanzania wamepata tumaini jipya la uongozi unaofafana na ule wa mwalimu nyerere kwa kuwa na rais dkt john magufuli ambae misingi yake ni sawa kabisa na ya waasisi hao wa tanu hivyo ni vema kuzidi kumwombea na kuendelea kuwaenzi waasisi waliotangulia kwa kufanya kazi zaidi hivyo alisema kutokana na rais wa awamu ya tano dkt magufuli kuahidi kutoa kiasi cha tsh milioni 50 kwa kila kijiji ana amini wao kama uwt wilaya ya mufindi watakuwa ni mwanga wa kuhamasisha uanzishwaji wa vikundi vya kiuchumi ambavyo vitanufaika na fedha hizo ili kuwakumbuka waasisi hao na kutekeleza kauli mbiu ya hapa kazi tu kwa kufanya kazi bila kuchoka kwa upande wao wabunge walioshiriki katika mazishi hayo mahamudu mgimwa wa mufindi kaskazini cosato chumi wa mafinga deo sanga kutoka mkoa wa njombe kaskazini na mbunge wa kilolo venance mwamoto walisema kuwa kuendelea kumuenzi mdoga ni kufanya kazi kwa umoja na kuepuka kutengana kwa misingi ya kisiasa ama dini huku waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wilima lukuvi ambae ni mbunge wa jimbo la ismani akisema kuwa misingi ya uongozi wake marehemu mgoda ndio ambao leo wananchi wa mikoa ya kusini wanafurahia matunda yake ikiwemo lami ya iringa dodoma na mengine mengi ambayo ameyafanya kazi nafasi yake kama mwenyekiti wa ccm mkoa wa iringa viongozi wengine walijumuika katika mazishi hayo ni pamoja na naibu katibu mkuu wa ccm bara luhwavi mkuu wa wilaya ya ikungi miraji mtaturu na wengine pia aliyekuwa mwenyeviti wa wenyeviti wa ccm pancras ndejembi mwenyekiti wa ccm mkoa wa iringa alisema kuwa wazee wetu hao ambao wametangulia mbele za haki uongozi wao hauonyeshi kama walikuwa wakifuata mikate katika serikali ya tanzania wala ndani ya ccm hivyo kuwataka wana ccm kupunguza njaa katika kutumikia nafasi hizo na badala yake kuungana kuijenga nchi na chama bila kutanguliza njaa mbele akisoma wasifu wa marehemu tasili mgoda msambatavangu alisema kuwa mgoda alizaliwa july 6 1931 katika kijiji cha mdandu wilaya ya njombe ambapo kwa sasa wilaya ya wanging'ombe kwa wakati huo kijiji cha mdandu ndicho kilikuwa makao makuu ya serikali ya kikoloni wilaya ya njombe alipata elimu ya msingi shule ya msingi kidugala kwa muda wa miaka miwili kati ya mwaka 1942 1943 baada ya hapo aliendelea na elimu ya msingi ilembula ambapo alisoma hadi darasa la sita mwaka 1947 alipohamia sekondari ya malangali iliyopo wilaya ya mufindi mwaka 1952 alihitimu kidato cha nne pamoja na masomo ya ufundi mwaka 1973 mgoda alikwenda nchini marekani kupata mafunzo ya kilimo na ufugaji aliwahi kupata mafunzo ya siasa na uongozi chuo cha kivukoni dar es salaam kwa sasa kinajulikana kama chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere mwaka 1953 alianza kazi kama msimamizi wa kampuni ya carpentry furniture iliyokuwa jijini dar es salaam na mwaka 1956 aliamua kuachana na kazi hiyo kwa kuwa alikuwa amejiunga na siasa akiwa ni mmoja wa vijana wachache wa tanu waliokuwa na jukumu la kuhamasisha wananchi kukiunga mkono chama cha tanu katika kutafuta uhuru wa taifa letu mwaka 19571958 mgoda alikuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya mkoa na wilaya lakini pia akiwa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya na mkoa katika uhai wake amepata kushika nafasi mbali mbali zikiwemo za ukuu wa wilaya katika wilaya mbali mbali nchini katibu wa chama mwenyekiti wa chama mkoa wa iringa na udiwani pia uenyekiti wa halmashauri ya mufindi nafasi ambayo alidumu nayo hadi alipostaafu siasa alisema kuwa marehemu mgoda kwa kipindi kirefu alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya shinikizo la damu na hivyo akawa anapata matibabu yake hospitali ya mji wa mafinga hospitali ya mkoa wa iringa na hospitali ya jeshi lugalo dar es salaam na kuwa oktoba 14 hali yake ilibadilika ghafla na kukimbizwa hospitali ya mji wa mafinga majira ya saa 8 mchana na uchunguzi wa madaktari ulibaini kuwa anasumbuliwa na kisukari na shinikizo la damu ndipo alipoanzishiwa matibabu na majira ya saa 345 usiku oktoba 14 aliaga dunia marehemu mdoga ameacha watoto 14 wajukuu 20
2018-01-21T06:30:43
http://www.kajunason.com/2016/10/mangula-aongoza-mazishi-ya-tasili-mgoda_19.html
trump atishia kuiangamiza uturuki kiuchumi | mtanzania home kimataifa trump atishia kuiangamiza uturuki kiuchumi trump atishia kuiangamiza uturuki kiuchumi rais wa marekani donald trump ametishia kuiangamiza uturuki kiuchumi iwapo taifa hilo litashambulia vikosi vya wakurdi waliopo syria baada ya askari wa marekani kuondoka nchini humo katika ujumbe wake alioutuma kwenye mtandao wa twitter trump alisema hatarajii wakurdi kwa upande wao pia kuichokoza uturuki vikosi vya marekani vimepambana kwa ushirikiano na wanamgambo hao kaskazini mwa syria dhidi ya kundi lijiitalo dola la kiislamu (is) uturuki hata hivyo inawachukulia wapiganaji hao wa wa ypg kama magaidi na rais recep tayyip erdogan alizungumza kwa hasira juu ya marekani kuliunga mkono kundi hilo na kuapa kuliangamiza kauli ya trump juzi inafuata shutuma zaidi dhidi ya uamuzi wake wa ghafla kuondosha vikosi vya marekani kutoka syria afisa mkuu wa familia ya kifalme saudia prince turki alfaisal aliliambia shirika la utangazaji la uingereza (bbc) kuwa uamuzi huo utakuwa na athari mbaya kwani huenda iran rais wa syria bashar al assad na urusi zikafaidika nao waziri wa mambo ya nje wa marekani mike pompeo kwa sasa yuko katika mji mkuu wa saudia riyadh katika ziara yake mashariki ya kati kuwahakikishia washirika wa marekani eneo rais ametetea uamuzi wake kuondoa vikosi akieleza kuwa wapiganaji wowote waliosalia wa is wanaweza kushambuliwa kutoka eneo ambalo halikutajwa lililopo katika kambi za karibu lakini pia hakueleza namna uchumi wa uturuki utakavyoathirika iwapo taifa hilo litawashambulia wapiganaji wa ypg msemaji wa rais erdogan ibrahim kalin amejibu katika ujumbe wa twitter akisema uturuki ilitarajia marekani kuheshimu ushirikiano wetu wa kimipango magaidi hawawezi kuwa washirika na wandani wako alisema previous articleruto asahaulika tena hafla ya kiserikali  next articleserikali airtel zaungana tena vikosi vya nchi vyakabiliana na wanamgambo vamizi sudan yaanza kufuatilia mali zilizonyakuliwa na bashir makamu wa rais atangaza kuwa na virusi vya corona
2020-06-02T23:15:09
http://mtanzania.co.tz/trump-atishia-kuiangamiza-uturuki-kiuchumi/
mtumishi wa afya akamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa dawa | masama blog home » news and updates » mtumishi wa afya akamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa dawa mtumishi wa afya akamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa dawa mtumishi mmoja katika hospitali ya wilaya ya igunga mkoani tabora kitengo cha ugawaji dawa anayejulikana kwa jina la francis mlesa (33) anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani humo kwa tuhuma ya wizi wa a dawa zikiwemo za arvs akizungumza na blog hii ofisini kwake ofisa tarafa ya igunga mjini shadrack kalekayo amesema tukio hilo lilitokea disemba 24 mwaka huu ambapo mtumishi huyo alishitukiwa na mlinzi aliyekuwa zamu majira ya sasa mona na nusu usiku baada ya kumuona amefunga maboksi mawili kwenye baiskeli kalekayo amesema baada ya kukagua maboksi hayo ilibainika kuwa zilikuwemo dawa aina ya arvs ila mtumishi huyo alifanikiwa kutoroka nazo baada ya mlinzi kuzidiwa na watu wanaopita getini hapo mlinzi aliyekuwa zamu siku hiyo rushina ngeme paulo alithibitisha kumkamata mtumishi huyo na dawa hizo akidai kuwa zimeisha muda wake na akidai kuwa alikuwa anaenda kuziteketeza ila mlinzi huyo alipoziangalia aliona kuwa zilikuwa hazijaisha muda wake amesema kuwa alitoa taarifa kwa uongozi wa hospitali hiyo disemba 262019 na alifikishwa mbele ya uongozi ambapo alikiri kuiba dawa hizo huku akisema alizichukuwa kwa ajili ya kuziteketeza moto kwa upande wa watumishi wa idara ya afya hospitalini hapo ambao hawajataka majina yao yajulikane wamesema mtumishi huyo amekuwa akiwauzia wafanyabiashara wa ng'ombe kwa ajili ya kunenepesha mifugo yao kwa upande wake kamanda wa takukuru wilayani hapo fransis zuakuu amethibitisha kuwepo kwa tukio hilo huku akisema alipigiwa simu na raia wema wakimjulisha kuwa kuna mtumishi ameiba dawa hospitalini na kutoroka nazo ambapo baada ya kumtafuta na kumkosa alimwagiza mganga mkuu wa wilaya hiyo deus ruha kumsaka ambapo disemba 26 walimpata na tayari yupo mahabusu katika kituo cha polisi wilayani hapo aidha nzuakuu ametoa wito kwa watumishi wa idara zote kufanya kazi kwa uadilifu na kujiepusha na vitendo kama hivyo kwani serikali haitafumbia macho mtumishi yeyote atakayebainika na vitendo kama hivyo vya wizi wa dawa za serikali hata hivyo kamanda wa jeshi la polisi mkoani tabora acp barnabas mwakalukwa alipoulizwa juu ya tukio hilo amethibitisha kushikiliwa kwa francis malesa huku akisema kwa sasa hawezi kuzungumzia suala lolote kwani bado wanaendelea kumhoji ili kubaini thamani ya dawa zilizoibwa from michuzi blog https//ifttt/2f8qqe6 thanks for reading mtumishi wa afya akamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa dawa
2020-02-26T20:20:52
https://www.masamablog.com/2019/12/mtumishi-wa-afya-akamatwa-na-polisi-kwa.html
ni kiongozi gani hutamsahau maishani mwako | jamiiforums | the home of great thinkers ni kiongozi gani hutamsahau maishani mwako discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by amavubi feb 25 2012 moja ya sifa kubwa aliyonayp binadamu ni utashi na mojawapo ya sifa ya utashi ni tafakuri na uamuzije katika historia ya maisha yako kiongozi gani hutamsahau (kwa mema au mabaya)na kwa nini kwa tanzania afrika au dunia nzima kwa ujumla kwa dunia nzima bwa'nchuchu said kwa tanzania afrika au dunia nzima kwa ujumlaclick to expand baba na mamaangu kamwe siwezi kuwasahau wamenipa muuongozo mzuri na sasa naishi na watu vzr kiongozi ambaye sitamsahau hajazaliwa otherwise ni mimi mwenyewe imezidi imepungua kama ni kiongozi binafsi bali ni wazazi wangu na anayefuatia ni mimi jakaya kikwete kwa namna ameigeuza hii nchi nadhani atakua referece for future viongozi reference of good governance or worse mi chichemi unamkumbuka mzee wa kiko sebastian rweikiza kinyondojina na kiko masaa 24 mdomoni kwa mema sokoine kwa mabaya sugu rweyy sitamusahau waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu augustin mrema tanzania ingepata mawaziri watano kama huyo leo tusingekuwa na kitu kama rushwamadawa ya kulevya na vitu feki kwa mema sokoine kwa ubaya uliopitiza baba mwanaasha na cabinet yake karibu yote sina kiongozi wa kumkumbuka wote failure moja ya sifa kubwa aliyonayp binadamu ni utashi na mojawapo ya sifa ya utashi ni tafakuri na uamuzije katika historia ya maisha yako kiongozi gani hutamsahau (kwa mema au mabaya)na kwa niniclick to expand julius kambarage nyerere 1wakati wake hapakuwa na matabaka makubwa ya walionacho na wasionacho tuliosoma miaka ya 70 hadi mwanzoni mwa 90 mtakumbuka shule za milambo tabora bwiru mawenzi mazengo ilboru na nyinginezo tulisoma kwa pamoja watoto wa matajiri na wa masikini tulifanywa kuwa wamoja hatukujali makabila yetu wala dini zetu wala vipato vya wazazi wetu bali uwezo wa mwanafunzi darasani ndio uliamua nani bora zaidi 2 ni mwalimu wa ukweli kwangu mimi ni zaidi ya maprofesa tulionao sasa aliandika vitabu vingi sana akiwa madarakani ili kuwaelimisha sio tu watanzania bali ulimwengu mzimavitabu vyake vinatumika kama rejea katika vyuo vikuu mbalimbali dunianikazi ya urais ni ngumu na ya ubize mwingi lakini aliweza kuandika vitabu mfano wake hakuna mwalimu nyereresokoinelowassathe best leaders ever in tz kanali gadafikwa mema aliyoifanyia afrika baba mwanaasha bush kwa kuwa na misimamo na kunitwangia warabu popote walipo yule aliye tubinafsishia kila kitu tanzania sita msahau kamwe 1 che guevara vi lenin adolf hitler pol pot 2 alphonce capone boris yelstin khu sa marcus garvey baba na mamaangu kamwe siwezi kuwasahau wamenipa muuongozo mzuri na sasa naishi na watu vzrclick to expand nawashukuru wazazi wangu kwa mafanikio memasasa naishi na watu vizuri sasa naishi na watu vizuri ayeeeeee
2017-07-21T21:02:26
https://www.jamiiforums.com/threads/ni-kiongozi-gani-hutamsahau-maishani-mwako.227345/
picha 7 za lowassa alipokuwa babati siku ya jana | mutalemwa blog home » habari kitaifa » picha 7 za lowassa alipokuwa babati siku ya jana picha 7 za lowassa alipokuwa babati siku ya jana mgombea urais wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kupitia mwamvuli wa ukawa edward lowassa october 2 2015 alisimama mbele ya wananchi wa jimbo la babati mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa kwaraha babati manyara edward lowassa akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la monduli kwa chadema kupitia mwamvuli wa ukawa julius karanga katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa barafu mto wa mbu kulikofanyika mkutano wa kampeni filed under habari kitaifa on saturday october 3 2015
2018-02-22T08:39:26
http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2015/10/picha-7-za-lowassa-alipokuwa-babati.html
homenewsmakamu wa rais samia suhulu afungua tamasha la jamafest 2019 jijini dar es salaam makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akipiga ngoma kuashiria ufunguzi wa tamasha la jamafest lililoanza septemba 2128 2019 katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam tamasha la sanaa na utamaduni kwa nchi za afrika mashariki likiwa tayari limefanyika katika nchi tatu kigali (rwanda) nairobi (kenya) kampala (uganda) na sasa linafanyika dar es salaam tanzania makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akifungua tamasha la jamafest lililoanza septemba 2128 2019 katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam tamasha la sanaa na utamaduni kwa nchi za afrika mashariki likiwa tayari limefanyika katika nchi tatu kigali (rwanda) nairobi (kenya) kampala (uganda) na sasa linafanyika dar es salaam tanzania waziri wa habariutamaduni sanaa na mchezo dkt harrison mwakyembe akizungumza wakati ufunguzi wa tamasha la jamafest lililoanza septemba 2128 2019 katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam tamasha la sanaa na utamaduni kwa nchi za afrika mashariki likiwa tayari limefanyika katika nchi tatu kigali (rwanda) nairobi (kenya) kampala (uganda) na sasa linafanyika dar es salaam tanzania katibu mkuu wa wizara ya michezo na utamaduni wa rwanda mhe john ntigengwa akizungumza wakati wa ufunguzi wa tamasha la jamafest lililoanza septemba 2128 2019 katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam tamasha la sanaa na utamaduni kwa nchi za afrika mashariki likiwa tayari limefanyika katika nchi tatu kigali (rwanda) nairobi (kenya) kampala (uganda) na sasa linafanyika dar es salaam tanzania makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan (kushoto) akisalimiana na katibu mkuu wa wizara ya michezo na utamaduni wa rwanda mhe john ntigengwa (kulia) mara baada ya kufika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam tanzania makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan akisalimiana na msanii wa muziki wa bongofleva diamond platnumz wakati wa ufunguzi wa tamasha la #jamafest linalofanyika jijini dar es salaam tanzania kuanzia septemba 2128 2019 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan (kushoto) akisalimia wananchi mara baada ya kufika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam tanzania katika ufunguzi wa jamafest brass bendi ikiongoza nyimbo za taifa za mataifa ya #tanzania #kenya #uganda #burundi #rwanda wakati wa uzinduzi wa tamasha la #jamafest2019 #jamafest linalofanyika jijini dar es salaam tanzania bendera za mataifa yanayoshiriki tamasha la #jamafest 2019 msanii wa muziki wa kizazi kipya diamond platnumz akitoa burudani wakati wa ufunguzi wa tamasha la #jamafest linalofanyika jijini dar es salaam tanzania burudani ya ngoma kutoka #tanzania #kenya #uganda #burundi #rwanda ikipamba moto katika uwanja wa uhuru wakati wa ufunguzi wa tamasha la jamafest ngoma ya #burundi ikipamba moto wakati wa ufunguzi wa tamasha la jamafest linalofanyika jijini dar es salaam tanzania ngoma ya #kenya ikipamba moto wakati wa ufunguzi wa tamasha la jamafest linalofanyika jijini dar es salaam tanzania ngoma ya #uganda ikipamba moto wakati wa ufunguzi wa tamasha la jamafest linalofanyika jijini dar es salaam tanzania
2019-10-19T15:27:41
https://news.bongoex.com/2019/09/makamu-wa-rais-samia-suhulu-afungua.html
ukosefu wa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi ndio chanzo cha umasikini wilayani ileje + mbeya | chimbuko letu home » »unlabelled » ukosefu wa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi ndio chanzo cha umasikini wilayani ileje + mbeya ukosefu wa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi ndio chanzo cha umasikini wilayani ileje + mbeya ukosefu wa elimu ya ujasiriamali kwa baadhi ya wakazi wilayani ileje mkoani mbeya umetajwa kuwa chanzo cha umasikini wilayani humo hayo yamebainika kwenye kikao cha umoja wa wakazi wa ileje waishio tunduma kilichofanyika hivi karibuni wilaya mpya ya momba mji wa tunduma washiriki wa mkutano huo wamesema kuwa umasikini kwa baadhi ya wananchi wilayani ileje unatokana na ukosefu wa elimu ya ujasiriamali pamoja na msukumo wa kujituma katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo madhumuni ya kuanzishwa kwa umoja huo ni kujengeana uwezo wa kujishughulisha kwenye shughuli mbalimbali za kijamii biashara na kilimo
2018-02-21T13:20:47
http://www.chimbukoletu.com/2011/10/ukosefu-wa-elimu-ya-ujasiriamali-kwa.html
iongezee na hii kwenye playlist yako ya south africa millardayocom iongezee na hii kwenye playlist yako ya south africa muziki wa afrika kusini ni sehemu nyingine ya burudani inayomiliki playlist za nchi mbalimbali za afrika ikiwemo tanzania ambako harusi/sherehe nyingi bila kugusa nyimbo flani za harusi bado haijanoga kwenye playlist yako ya nyimbo za south africa unaweza kuongezea na hii ya bucie ft heavy k easy to love ← previous story kingine kutoka kwa wema sepetusikiliza kupitia you heard ya leo mei 13 next story → umesikia sababu iliyosababisha kalapina kumuacha mkewesikiliza kupitia you heard ya leo
2019-09-16T10:27:50
http://millardayo.com/44169sa/
kingotanzania habari picha na matangazo hosea cheyo kumrithi kibona jimbo la ileje 2020 hosea cheyo kumrithi kibona jimbo la ileje 2020 mbunge wa ileje anayetetea nafasi yake aliko kibona akizungumza na wananchi wa kata ya luswisi hivi karibuni mtangazaji wa tbc mbeya hosea cheyo akitoa msaada wa fedha taslim kwa kikundi cha ngoma za asili wilayani ileje hosea cheyo akiwa na mmoja wa wazee wa kata ya luswisi wilayani ileje wakibadilishana mawazo hosea cheyo akiwa na baadhi ya wananchi wa ileje wakiangalia burudani ya ngoma za asili hosea cheyo akiwa na viongozi wa kampuni ya simu ya ttcl walivyotembelea kata ya luswisi mbunge wa jimbo la ileje anayetetea nafasi yake aliko kibona amewataka wananchi wa jimbo hilo kumuongeza miaka mingine mitano ili akamilishe miradi ya maendeleo aliyoianza aliyabainisha hayo hivi karibuni alipokuwa akizungumza na wapiga kura kuhusu adhma yake yakutetea nafasi ya ubunge aidha kibona amesema baada ya kumaliza miaka mitano atawaletea mtu ambaye yeye anamuona anamapenzi mazuri na wakazi wa ileje na anauwezo wa kurithi viatu vyake endapo atashawishiwa kugombea kiti hicho mwaka 2010 aliko kibona mbali na kuomba kuongezewa muda na kuaandalia mgombea wananchi wa ileje amepata upinzani mkali kutoka kwa wagombea wengine ambao ni godfrey kasekenyajaneth mbenelyson mnkondyawillium ndile na marcelin ndibwa alisema miradi ambayo ameianza nab ado kukamilika ni pamoja na ujenzi na ukarabati wa nyumba za walimu ambazo amekuwa akitafuta misaada kutoka kwa wadau wa ndani na nje ili kuhakikisha walimu wanaishi katika mazingira mazuri ili kuboresha sekta ya elimu aliongeza kuwa mbali na sekta ya elimu pia suala la umeme vijijini lipo katika hali nzuri huku ujenzi wa barabara ya lami kutoka mpemba hadi isongole ikitarajiwa kuanza muda wowote baada ya waziri wa ujenzi dk john magufuli ambaye aliahidi kuijenga anakuwa rais wa jamhuri ya muunganowa tanzania hivyo akiingia ikulu atakutana na ahadi hiyo akizugumzia mtu anayedhani anaweza kumrithi ifikapo 2020kibona alimtaja mtangazaji na mwakilishi wa shirika la utangazaji tanzania(tbc)mkoa wa mbeya hoseah cheyo alisema katika vijana anaowaona wenye uchungu na ileje ni cheyo hivyo atatumia muda mwingi kumshawishi na kuanza kumuandaa katika chaguzi za ndani za chama kuanzia mwaka 2017 alisema cheyo ni mchapa kazi kwani utendaji wake na jinsi anavyoripoti habari za ileje zinaonesha kuwa na kiu yakuona watu wa ileje wakipata maendeleo ya haraka na kuwa wilaya yenye mafanikio makubwa katika kipindi kifupi niseme kutoka ndani ya mtima wa moyo wangu mtu pekee ninae muona anaweza kunirithi ni osea cheyo niko tayari kumshawishi na kuanza kumuandaa kuwa mbunge kwenye uchaguzi wa ndani ya chama 2017alisema kibona kwaupande wake cheyo alipoulizwa utayari wake wa kushikaubunge wa ileje alisema anashauku kubwa ya kuwaletea maendeleo watu wa ileje hivyo wakati ukifika atakuwa tayari kama itampendezamungu aliongeza kuwa anatamani wilaya ya ileje ikiwa ni kitovu cha kilimo cha kahawa isiyotumia madawa na mbolea za madukani hapa nchini na kuwa na wanunuzi kutoka pande zote za dunia jambo litakalochangia kupatikana kwa maendeleo haraka ikiwemo miundombinu posted by ally kingo at 618 pm
2018-03-22T04:11:51
http://kingotanzania.blogspot.com/2015/07/hosea-cheyo-kumrithi-kibona-jimbo-la.html
waziri mhagama ataka mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia ya kitalu nyumba kuimarishwa usimamizi na uendeshaji zanzinews home habari matukio waziri mhagama ataka mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia ya kitalu nyumba kuimarishwa usimamizi na uendeshaji waziri wa ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu mhe jenista mhagama akihutubia wataalam kutoka ofisi yake wadau na vijana wapokutana kwa lengo la kujadili namna bora ya kuimarisha mafunzo ya kilimo kwa kutumia teknolojia ya kitalu nyumba katika ukumbi wa landmark kilimani jijini dodoma sehemu ya vijana wakifuatilia kwa makini hotuba ya waziri wa ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu mhe jenista mhagama (hayupo pichani) walipokutana kujadili namna bora ya kuimarisha mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia ya kitalu nyumba picha na ofisi ya waziri mkuukazi vijana ajira na wenye ulemavu waziri mhagama ameyasema hayo hii leo machi 11 2020 wakati wa kikao kilichowakutanisha waratibu hao pamoja vijana kwa lengo la kujadili namna bora ya kuimarisha mafunzo ya kilimo hicho kwa kutumia teknolojia ya kitalu nyumba
2020-08-09T11:14:39
http://www.zanzinews.com/2020/03/waziri-mhagama-ataka-mafunzo-ya-kilimo.html
matukio uk story of the skagit ferry story of the skagit ferry mdau facebook anasema kweli ng'ombe wa masikini hazai na akizaa _____ yaani maafa mengine tunajitakia wenyewe na kama kawa hamna mtu atayekuwa held accountable zaidi ya kuundwa tume yaani ile meli ilinunuliwa ebay baada ya kuwa mtumba kaazi ipo na hatuwezi kumuomba mungu manake mungu hasaidii wasiojipenda kujisaidia wenyewe sportpesa sasa yaanzisha ligi ya kenya na tanzania sportpesa super cup ligi hiyo itashirikisha timu nne kutoka tanza stamina aibuka na kumtetea vanessa mdee *rappa stamina amekanusha vikali tuhuma za kushindwana na mwanamuziki vanessa mdee kurekodi wimbo walioshirikiana kwa madai ya kutofautiana juu ya 'direct
2017-05-24T13:28:01
http://matukiouk.blogspot.com/2012/07/story-of-skagit-ferry.html
hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa viwanda na migodi inayofanya shughuli zake za uzalishaji kwa kuharibu mazingiramakamu wa rais pamoja blog home > makamu wa rais > matukio > samia suluhu hassan > hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa viwanda na migodi inayofanya shughuli zake za uzalishaji kwa kuharibu mazingiramakamu wa rais 6/05/2017 125100 pm makamu wa rais matukio samia suluhu hassan
2018-06-18T09:56:55
http://www.pamoja.co.tz/2017/06/hatua-kali-za-kisheria-zichukuliwe-kwa.html
twaunga mkono mchakato wa kisiasa yemen pande ziharakishe ukamilike baraza | habari za un economic development|habari za wiki|human rights|law crime|middle east|peace and security|security council|un affairs sg|women children population
2018-02-26T01:11:49
https://news.un.org/sw/story/2013/11/364422-twaunga-mkono-mchakato-wa-kisiasa-yemen-pande-ziharakishe-ukamilike-baraza
kristen blaire said dominika p said izzy rose said cendrityss said monica barleycorn said yanood said salina jean said
2019-12-06T08:54:35
http://flashesofstyle.blogspot.com/2011/07/revisiting-florals.html?showComment=1310245550720
nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote home > bidhaa > nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote (jumla ya 24 bidhaa kwa nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote) nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china sisi ni maalumu nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka china ya jumla nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu mojawapo ya nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote bidhaa za kuongoza kutoka china jining fuyuan fruits and vegetables co ltd nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote jumla kwenye jining fuyuan fruits and vegetables co ltd na kupata ubora wa juu nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china nyekundu ya njano iqf iliyohifadhiwa ya nafaka yote na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2019-09-19T09:08:42
http://sw.fuyuanfv.com/dp-nyekundu-ya-njano-iqf-iliyohifadhiwa-ya-nafaka-yote.html
dr mwakembye avitaka vyombo vya habari kuweka sera madhubuti katika kutetea na kutangaza mafanikio ya maendeleo ya afrika | mpekuzi
2019-10-20T01:44:08
http://www.mpekuzihuru.com/2019/05/dr-mwakembye-avitaka-vyombo-vya-habari.html
dk mandai hivi unazifahamu faida hizi za kabichi hivi unazifahamu faida hizi za kabichi najua wengi tunaifahamu sana kabichi kama mboga na baadhi yetu tunaitumia sana katika maisha yetu ya kila siku lakini leo nimeona ni vyema tufahamishane hizi baadhi ya faida zinazopatikana kupitia kabichi moja ya faida za kabichi ni ule uwezo wake wa kuwasaida wale wenye nia au malengo ya kupunguza miili yao au wanene kupita kaisi sifa hiyo inatokana na kalori ndogo zilizomo ndani ya kabichi pamoja na ufumwele mwingi aidha ulaji wa kabichi pia huweza kumsaidia mwili kujenga kinga madhubuti dhidi ya magonjwa hatari ikiwemo saratani kabichi imeonekana kuwa na uwezo wa kipekee wa kupambana na ugonjwa huu kutokana na kuwa na kiasi kikubwa cha aina tatu muhimu za mada za 'antioxidant' 'antiinflammatory' na 'glucosinolates' ambazo zina uwezo wa kudhibiti magonjwa kadhaa nyemelezi yanayosababisha saratani za aina mbalimbali mwilini hizi ni aina za kabichi pamoja na kuwa mboga hii ya kabichi si mboga pendwa sana na watu wengi lakini ni mboga yenye kiwango cha kutosha cha aina mbalimbali za vitamin hasa vitamini k b1 b2 vitamin a na c pia kabichi ina kiasi kingi cha ufumwele au kamba lishe kwa maana ya fiber ambapo vyote hivyo ni kinga ya mwili dhidi ya magonjwa nyemelezi hizi ni faida za kabichi nimeona ni vyema uzipate leo kutoka kwetu mandai herbalist clinic lakini kwa maoni na ushauri zaidi unaweza kuwasiliana na dkmandai kwa simu namba 0716 300 200 0754 391 743 0784 300 300 barua pepe dkmandaitz@gmailcom au fika ofisini kwetu ukonga mongolandege jijini dar es salaam karibu
2017-12-17T15:36:22
http://www.dkmandai.com/2015/06/hivi-unazifahamu-faida-hizi-za-kabichi.html
kindumbwendumbwe sugu amfikisha mzazi mwenzake kotini | mutalemwa blog home » wasanii » kindumbwendumbwe sugu amfikisha mzazi mwenzake kotini kindumbwendumbwe sugu amfikisha mzazi mwenzake kotini mbunge wa mbeya mjini kwa leseni ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) joseph osmund mbilinyi sugu amemfikisha kotini aliyekuwa mkewe faiza ally akitaka apewe mtoto wao shaa (2) ili amlee kwa vile mama yake huyo si mwadilifu akizungumza mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo patrick vaginga mheshimiwa sugu alidai kuwa mbali na mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kuvaa nusu utupu pia ana mtindo wa kupiga picha zisizo na maadili na kuziweka mtandaoni yeye mwenyewe joseph mbilinyi akionekana kwa mbali katika maeneo ya mahakama filed under wasanii on tuesday june 23 2015
2017-08-18T04:56:44
http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2015/06/kindumbwendumbwe-sugu-amfikisha-mzazi.html
waziri mkuu mh kassim majaliwa amenunua hisa za vodacom zenye thamani ya tsh milioni 20 | mpekuzi unaweza kununua hisa kupitia mawakala walioidhinishwa na mamlaka ya masoko na mitaji (cmsa) benki ya nbc au kupitia mpesa kwa kubonyeza *150*36# tembelea vdacm/vodacomshares kufahamu mawakala hao na kupata maelezo zaidi
2018-02-18T05:02:22
http://www.mpekuzihuru.com/2017/05/waziri-mkuu-mh-kassim-majaliwa-amenunua.html
kodi habari kodi kodi msamaha wa kodi katika ufaransa kodi habari kodi kodi msamaha wa kodi katika ufaransa kama kila mwaka kodi ya huduma ya bercy kuwa updated mapato mabano kwa ajili ya maombi ya ratiba ya kodi ya mapato ya mipaka ya mapato mabano ya kiwango cha kodi ya mapato wamekuwa revalorsisées juu ya msingi wa mageuzi ya bei ya matumizi bila ya tumbaku ya na msamaha wa kodi ni kubwa mada na défiscaliser katika inaweza kuonekana ngumu zaidi kuliko kabla hasa kutokana na utekelezaji wa ushuru na chanzo kuweka ufumbuzi katika mahali kwa ajili ya msamaha wa kodi katika ni si ngumu zaidi kuliko kabla na kuna njia kadhaa kwa kupunguza kodi ya mapato kwa ajili ya mizani ya gharama za mafuta kwa imekuwa kuchapishwa katika februari hizi ratiba ya ada ya kutumia kwa biashara ya usafiri ya msingi juu ya mafuta aina ya gari na uwezo wa kodi ratiba ya gharama za mafuta kwa kwa ajili ya magari ya abiria nguvukwa kodi ya dizeli super unleaded lpg ukusanyaji wa tatu chanzo wanaweza baridi zaidi ya moja sisi hawajui nini ni zilizokusanywa wakati jinsi nini ni mapendekezo ni nini wanatarajia jinsi unaendelea kwa mapungufu katika nchi lakini hii si sababu ya kutosha na si kuwekeza katika mali isiyohamishika mwaka kuwekeza katika mali isiyohamishika mawaziri wetu wa bajeti na fedha kuwa nzuri kwa kumpongeza ya kuanzishwa kwa mafanikio ya punguzo katika chanzo ni dhahiri kwamba walipa kodi wote kufurahi kama vile wao kama makampuni ambayo inatoa ziada mzigo wa kazi bado haijulikani kwa wengi wa ufaransa ambaye ni mara nyingi wawekezaji bundukiaibu pea wakati mwingine ni alijua kama kodi ya bandari kwa ajili ya wawekezaji na zaidi ya bilioni mia moja bora katika ufaransa pea ni hata hivyo thamani salama katika ili na vyanzo mbalimbali ya mali yake ya specificities ya pea karibu akauntikama pea hairuhusu kuwekeza seneti ya hivi karibuni iliridhia marekebisho kufikishwa na julian denormandie waziri wa halmashauri na nyumba katika mazingira ya sheria ya fedha ya mwaka (plf) marekebisho hii inalenga kupanua kodi ya faida ya sheria pinel katika zamani wakati wa pinel katika zamani kupatikana katika zaidi ya kawaida hadi sasa ni mashirika yasiyo ya mishahara ya wafanyakazi (tns) tunajua ni hali tofauti kabisa na ile ya wafanyakazi wafanyakazi hutegemea juu ya mfumo wa jumla ya usalama ya kijamii ambayo hutoa bima ya afya na kustaafu bora zaidi kuliko wale wa nini inaweza kuwa alidai kwa tns ambayo lazima kwa hiyo wanatarajia yao ya baadaye kustaafu mapema ziara ndogo ya alhamisi ishirini na tisa novemba seneti antog na kura katika neema na kura dhidi ya sehemu ya kwanza ya rasimu ya sheria ya fedha kwa mwaka au plf katika mwendo wa uchunguzi wa makala ya sehemu ya kwanza seneti imefanya mabadiliko kadhaa katika neema ya kaya na makampuni hasa tahadhari ufaransa ni bingwa wa ulaya kuhusu uzito wa kodi kwa uwiano wa pato la taifa lakini si ya kutosha kwa kufurahi kwa sababu maana yake ni kwamba kiwango cha kodi katika uhusiano na utajiri zinazozalishwa ni ya juu katika ulaya kulingana na eurostat ambayo ni mwili na mizigo ya takwimu ya ulaya na kwamba ni moja kwa moja tegemezi juu ya
2019-11-17T00:38:43
https://sw.juristes.live/kodi-habari-kodi-kodi-msamaha-wa-kodi-katika-ufaransa
bibi kizee na kopo la castle | jamiiforums | the home of great thinkers bibi kizee na kopo la castle discussion in 'jokes/utani + udaku/gossips' started by arv oct 31 2011 bibi kizee mmoja alikuwa anasafiri kwenye basi usiku na siti ya nyuma yake alikaa kijana mmoja wakati safari inaendelea akawa anainama chini ya siti yake anachukua kopo la castle na kulipeleka mdomoni(kama anakunywa kitu) sasa yule kijana wa nyuma yake akawa anashangaa huyo bibi anavyofaidi maisha kwa kunywa castle toka safari inaanza akatamani amuibie angalao apige pafu moja halafu arudisha haraka lile kopo kabla bibi hajashtukabasi akamtaimu bibi wakati analitoa mdomoni na kuliweka chini kwa haraka akapitisha mkono chini ya seat akachukua lile kopo akanywa funda moja kuuubwa baada ya hapo tukasikia mtu anapiga makelele na kutema mate kama mtu anayetaka kutapika kumbe yule bibi alikuwa anaumwa kifua kikuu na alichukua kopo lile la castle kwa ajili ya kutemea makohozi mhkichefu chefu bhana bibi kizee mmoja alikuwa anasafiri kwenye basi usiku na siti ya nyuma yake alikaa kijana mmoja wakati safari inaendelea akawa anainama chini ya siti yake anachukua kopo la castle na kulipeleka mdomoni(kama anakunywa kitu) sasa yule kijana wa nyuma yake akawa anashangaa huyo bibi anavyofaidi maisha kwa kunywa castle toka safari inaanza akatamani amuibie angalao apige pafu moja halafu arudisha haraka lile kopo kabla bibi hajashtukabasi akamtaimu bibi wakati analitoa mdomoni na kuliweka chini kwa haraka akapitisha mkono chini ya seat akachukua lile kopo akanywa funda moja kuuubwa baada ya hapo tukasikia mtu anapiga makelele na kutema mate kama mtu anayetaka kutapika kumbe yule bibi alikuwa anaumwa kifua kikuu na alichukua kopo lile la castle kwa ajili ya kutemea makohoziclick to expand nimekosea njia samahani na kwaheli hapana hii sio jokes ebwanaeewengine 2po mezani na jokx kama hivi zinakatiza apetaitihe he mpe pole huyo jamaa ulafi umemponza hii sio joks bana kwanza kitendo cha kutema mate na kunywa kitu haviendani we unaweza kunywa kama unatema kweli aaaaaaghshit umesababisha nimeshindwa kula kukumainithupumayaichipthindizimaembemachungwasasa nalala njaavyakula vyote hivi inabidi nivimwage tuaaagh mmmhhhmambo gani tena hayo ya kutapishana ndugunext time toa tahadhari kabla mtu hajasoma grrrrrrr inatia kinyaa ahaamjini shule wizi ni nouma unaiba visivyoibika wanitapisha hapa wengi tutashinda na njaa du hili bonge la jobs
2016-10-24T12:26:52
http://www.jamiiforums.com/threads/bibi-kizee-na-kopo-la-castle.187726/
 'utamu' wa ligi kuu bara sasa waanza umerudi tena 'utamu' wa ligi kuu bara sasa waanza umerudi tena 13 september 2018 thursday 1759 ule 'utamu' wa ligi kuu bara kama mabao ya kina mnyarwanda meddie kagere wa simba na mkongo harieter makambo wa yanga na 'zengwe' za vijiweni unaanza tena kesho ijumaa katika viwanja viwili vya mwadui complex na uhuru na wikiendi ndio itakuwa raha kabisa hii ni baada ya kuwa kwenye mapumziko kupisha mechi za timu za taifa ambazo zinawania kufuzu fainali za afcon na taifa stars ilikipiga na uganda 'the cranes' ugenini wakamaliza kwa suluhu katika uwanja wa mwadui complex azam fc itakipiga na wenyeji mwadui fc saa 800 mchana na uhuru african lyon itawakaribisha wagosi wa kaya coastal union majira ya saa 1000 kocha wa azam hans pluijm amesema amekwenda shinyanga akiwa na kikosi kamili cha ushindi na watarudi na pointi tatu mechi za jumamosi ndanda fc itawakaribisha wekundu wa msimbazi simba iliyosafiri wa ndege leo alhamisi kwenda mtwara na mchezo utapigwa uwanja wa nangwanda sijaona saa 1000 jioni lipuli fc itacheza na mtibwa sugar uwanja wa samora mkoani iringa saa 800 mchana wakati kmc itakipiga na singida united uwanja wa uhuru muda wa uhuru saa 1000 jioni sawa na mbao fc dhidi ya jkt tanzania uwanja wa ccm kirumba na tanzania prisons na ruvu shooting sokoine jumapili yanga itaikaribisha stand united uwanja wa taifa jijini dar es salaam saa 1000 jioni muda sawa na wa mchezo kati ya biashara united itakayoumana na kagera sugar mjini musoma mbeya city ambayo ilicheza mechi tatu mfululizo ugenini itakuwa mwenyeji wa alliance fc uwanja wa sokoine saa 800 updated 13092018 1815 afconazamsimbaharieter makambomeddie kagereligi kuu bara
2019-10-20T16:45:19
http://www.azaniapost.com/michezo/utamu-wa-ligi-kuu-bara-sasa-waanza-umerudi-tena-2-h22680.html
sababu 9 kwanini wanaume hawatosheki na mpenzi mmoja ▷ tukocoke made in kenya latest politics entertainment swahili feedback livescore submit video fighting alshabaab joho responds to uhuru's i'm not your wife comment with a sobering statement sababu 9 kwanini wanaume hawatosheki na mpenzi mmoja 6120 tweet it mhariri mtaalamu wa mahusiano mhariri mtaalamu wa mahusiano ian isherwood anakueleza baadhi ya sababu kwa nini ni vigumu kwa wanaume kulima shamba moja kwanini hawatosheki na maji ya kisima kimojaunakutana na mwanamume maridadi mnaenda deti kadha lakini mnapolishana mahaba siku ya kwanza anatoweka ghafla bin vutafakari umekutana na mwanamume maridadi mwenye sura ya kuvutia na misuli inayofanya moyo wako kudundadunda anapokuuliza nambari ya simu unaichomoa bila kusita na mnaanza kulishana matamu ya mapenzi kupitia ujumbe mfupi (sms) ama whatsapp mapenzi yako yanazidi kuota deti kadha baadaye unamfungulia roho yako na mnaishia kitandanihabari nyingine sababu tatu za wanaume wakenya kuoa wanawake wa umri mkubwaghafla jamaa anatoweka hatumi tena sms hapigi simu na ukiamua kwenda ofisini kwake anajitetea hapa kazi tukimya kinazidi moto wa mapenzi unadidimia mpaka mwishowe mnatenganamachungu yanautesa moyo wako unajaa maswali chungu nzima ulikosea wapi kwani kuliendajeukweli ni kwamba tatizo lilikuwa yeye na wewe si wa kwanza kujipata katika tandabelua hiyohizo ni baadhi ya ishara za wanaume waliotekwa na hofu ya kupenda ama kuoa philophobia na gamophobia mtawaliakuna wanaume wametekwa na hofu ya kuwa katika uhusiano wa kimapenzi ama kufunga ndoagamophobia ni hofu ya kuoa kuwa katika uhusiano ama kumpa mtu ahadi ya kimapenzi philophobia ni hofu ya kuwa na hisia za mapenzi ama kumpenda mtu kimapenzihabari nyingine je wajua ni kwa nini mumeo si mwaminifutathmini ya wapenzi wengi walio katika uhusiano inakupa matokeo ya kutamausha kila mtu anahofia kutoa ahadi ya kumpenda mwenzio kwa dhati kuwaacha wengine wote na kuganda naye peke yakeni tatizo hususan linalowalemea wanaume pakubwa kinaya ni kwamba bado wanawatarajia wanadada kuwapenda kwa moyo wote lakini wenyewe hawawezi kutimiza hilo ndiposa onenight stand zimekuwa desturi watu wanazama na kuchomoka kutoka kwa uhusiano wa mapenzi kiholela nyingi ya mahusiano hayadumu zaidi ya miezi miwili kwanini wanaume wanahofia kufungwa kambahizi hapa sababu tisa kuu zitakazowasaidia akina dada kubaini kwanini jamaa anakupenda lakini hatosheki na mapenzi unayompa 1 ni mchezo tumzaha tuhabari nyingine maneno sita ya kumfurahisha mpenzi wakoahadi ya mapenzi inamaanisha hakuna akina jane mary na susan ni cate peke yakehii ndiyo changamoto inayowalemea wanaume barobaro wanapenda kuweka foleni ya wanawake na kufanya watakavyo2 bado mchangawanawake hukomaa haraka kuliko wanaume kumaanisha wako tayari kutulia na mpenzi mmoja mapema kuliko binadamu wenzao wa kiumemwanamume anapozidi kukomaa kuna uwezekano wake kuchukulia masuala ya mapenzi kwa uzito na kuacha kurukaruka huku na kuleni moja ya sababu zinazowafanya wanawake wachanga kuwapenda wanaume waliokomaa zaidi katika umri kuweka na kutimiza ahadi ni ishara ya ukomavu na hilo linawashinda vijana barobaro wa miaka kati ya 18303 kibaruakudumisha uhusiano mmoja ni kazi lazima utie bidii utenge muda wako na uwe na moyo wa uvumilivu wanaume wanaogopa sana kibarua hichoni rahisi kwa mwanamume kukatiza mapenzi yoyote kabla hayajakita mizizi kauli yao ni tumalizane papa hapa chumbani 4 mko wengi kuna uwezekano mkubwa kuwa mwanamume ambaye hajaoa lakini ana mchumba anachovya kwingi mwanamume kama huyo anayeonja asali kadha wa kadha kwa wakati mmoja hutatizika kuchagua mwanadada mmojaanawazia wenginehabari nyingine tabia za wanaume zinazoudhi zaidi5 kazi kwanzayawezekana ni wewe nambari moja chumbani lakini fahamu kuwa si wewe kipaumbele maishani mwakeni desturi ya tangu jadi kwamba mwanamume ndiye kitega uchumi katika familia hiyo imewafanya wengi kulenga zaidi kukuza taaluma zao hususan walio katika miaka ya 20 na 30kwa jamaa kama huyo uhusiano wa mapenzi ni bugudha inachosha n ahata kuwapotosha6 marafiki wake hawajafungwa kambautashangaa kujua kuwa wanaume wengi wanataka kudumisha uhusiano mmoja tatizo ni kwamba wanaogopa kuwa wa kwanza kuchukua hatua hiyo miongoni mwa marafiki waoiwapo marafiki wake wanapenda vidosho atafuata mkondo huo huo hata wanaume waliooa huwaonea wivu wenzao ambao hawajafunga pingu za maisha ndiyo majisifu ya kiume hayo7 ni ngono tuni dhana ya wanaume wengine kwamba mwanamke ni kifaa tu cha kumtosheleza atakavyo na vifaa vikiwa vingi ni bora hata zaidiyawezekana wewe ni shupavu mkarimu na mrembo kupindukia lakini si hayo wanayotafuta kitulizo chao ni ngono peke yake sifa zako kaa nazo 8 hajasahau yaliyopitausaliti na kuvunjika kwa uhusiano huwaathiri sana wanaumewanaume hutatizika kuingia tena katika uhusiano wa kudumu iwapo wa awali uliishia katika machungu makovu yake humfanya kuogopa asije akavunjika moyo tenausaliti katika uhusiano huwaathiri sana wanaumehabari nyingine hizi hapa sababu zinazowafanya wanaume kuwatoroka wanawake9 preshawanaume hawapendi kusukumwa hususan na wanawake anataka kuhisi ndiye bingwa katika himaya yake mwenye kufanya maamuziukiwatia presha atajikunja jamvi na kuondoka zake heri aamue mwenyewe anachotaka katika uhusiano wenu hitimishoyote tisa ni hofu ya kila binadamu kujipata katika uhusiano mbaya ndiyo sababu ya wanaume kuchungulia tu kutoka nje mpaka athibitishe kuwa ndiwe ubavu wake ndipo atakuweka pingu za maishahata hivyo kuweka ahadi ya kuwa na mpenzi mmoja si ngumu wanaume wanaogopa tu na kutoa vijisababu lakini tunajua wanatamani sana kuwa na mapenzi ya uhakikahabari nyingine anadanganya sababu za mwenzako kutopenda kushiriki ngonowanaume wanafaa kuwa waaminifu kwa wapenzi wao wawajibike katika uhusiano wanawake nao wasikubali kutumia kama tambara mbovu weka mipaka na ushikilie papo hapoian ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa datemekenyacom ni mtaalamu wa mahusiano ya mtandaoni na mshauri nasaha wa masuala ya uchumba mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 11 mpate ian na tovuti yake ya datemekenyacom kwenye twitter facebook na instagram @datemekenyamakala haya ni uchanganuzi wa mwandishi peke yake maoni yaliyotolewa hayaashirii yale ya tukocoke wala wahariri wake tuma maoni yako kuhusu mada yoyote kwwa barua pepe news@tukocokeread english version ​ uhuru receives rousing welcome in raila odinga's stronghold meet the man who warms the bed of socialite corazon kwamboka (photos) jubilee party fires it's secretary general nononsense cs fred matiang'i fears for his job after the august general election nasa's remaining 2 options for picking flagbearer will this work polygamy in kenya popular polygamous men in kenya polygamy problems are men naturally polygamous polygamy president of kenya hot zari hassan and diamond eric omondi wedding betty kyalo winnie odinga teachers promotion 2016 related news sonko hints on the men who wants him dead sonko exposes uhuru's men who wants him dead moha jicho pevu sends brutal warning to jubilee ahead of the august general election (video) sonkoshebesh lead in latest opinion poll
2017-03-23T10:19:26
https://www.tuko.co.ke/219930-mtaalamu-aeleza-kwanini-wanaume-wanapenda-kuwa-jogoo-wa-kuku-wengi.html
ujumbe unapendeza kuusikiliza hasa waislamu kabla ya wengine ili wajuwe neema waliyomo ndani yake na waweze kujibi watapo kuwa wakiulizwa kwa sababu muislamu nimlinganiaji kwa mwengine
2019-10-18T19:52:07
https://islamhouse.com/sw/category/49261/showall/ar/1/
chumba cha dereva tax chazua kizaa zaa mtaa wa mbezi mtoni gold star jijini dar baada ya kukutwa kimejaa makopo ya mikojo na kinyesi | mpekuzi na ripota wa sufianimafoto dar wananchi na mwenye nyumba wakifungua mlango chupa zinazodaiwa kuwa na mikojo zikiwa zimetapakaa ndani ya chumba hicho huyu ndiye dereva wa tax nyati anayedaiwa kumiliki chumba hicho
2017-01-24T19:08:16
http://www.mpekuzihuru.com/2016/05/chumba-cha-dereva-tax-chazua-kizaa-zaa.html
marando slaa wamvaa kikwete | gazeti la mwanahalisi richmond uchaguzi lowassa rostam chadema sitta pinda makamba cuf dowans mkapa ccm kikwete slaa chenge aliyemteka ulimboka huyu hapa (82169) siri za zitto nje (39332) lowassa rostam kumzima kikwete (30227)
2019-05-19T09:50:29
http://mwanahalisi.co.tz/marando_slaa_wamvaa_kikwete
civitanova abiria na gari feri civitanova abiria na gari kivuko tiketi bei ratiba kutoridhishwa tiketi na habari kwa ajili ya vivuko meli kutoka civitanova kwa ancona pesaro pescara ravenna rimini na venice kulinganisha zote zilizopo civitanova kivuko tiketi bei katika muda halisi na kitabu gharama nafuu civitanova gari na abiria kivuko tiketi meli na kutoka civitanova ancona pesaro pescara ravenna rimini na venice na grandi navi veloci au grimaldi ferry lines vivuko online na papo uthibitisho desturi tafuta bei ya tiketi & rizavu kitabu civitanova ferry tiketi na grandi navi veloci au grimaldi ferry lines kwa vivuko meli kutoka civitanova kwa ancona pesaro pescara ravenna rimini na venice online mapema kufurahia gharama nafuu kivuko tiketi ya bei bei unaweza kuona ni bei kulipa hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote wewe kwa kuchaguliwa civitanova abiria au gari kivuko tiketi onboard malazi na aina ya gari ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi ili kupata civitanova kivuko tiketi ya bei na kitabu kivuko yako tiketi salama online tafadhali kutumia muda halisi kivuko booking fomu upande wa kushoto wewe pia ni uwezo wa kuongeza hoteli katika marudio yenu au mahali popote pengine kwa kivuko yako tiketi wakati kukamilisha kivuko tiketi yako reservation zaidi kuhusu civitanova civitanova marche ni kubwa ya uvuvi na burudani mashua bandari na utalii wa mapumziko hali ya pwani ya adria ya italia karibu maili nnw ya bandari ya porto san giorgio na 15 maili sse ya bandari ya numana tisa chini ya 30 maili kusinimashariki ya bandari ya italia ya ancona civitanova ni maarufu na mazuri mapumziko bahari nchini italia pamoja kunyoosha pretty ya promenade ya kusini ya mji na baadhi fukwe za ajabu katika kanda mji ni moja ya kuvutia zaidi nchini mji ni kamili ya mbuga na maeneo ya umma kama vile nyumba kadhaa sanaa kwamba kuonyesha baadhi ya kazi bora katika kisasa italia sanaa leo civitanova ni hotspot kwa ajili ya shoppers kila mahali ni katikati ya italia viatu sekta hiyo cha kusikitisha wasafiri wachache kuchagua kuacha katika civitanova alta wakati wa kusafiri kwa italia na wale ambao hawana kawaida tu kufanya kuacha kifupi kuona marchigiani maeneo mengine katika eneo inaweza kuwa zaidi ya kuvutia ya kuchunguza civitanova marche italia ina baadhi ya nightlife kubwa na burudani kwa alichagua kutoka tripwolf husaidia kupata nightlife bora na burudani katika civitanova marche chini sisi waliotajwa chama bora nightlife mashoga nightlife kucheza na klabu za usiku wote wawili kwa chini ya 21 18 & na zaidi hii rufaa mapumziko bahari pia doubles kama colorful uvuvi bandari na kituo cha sekta ya viatu kunyoosha kuvutia zaidi ya promenade na pwani uongo kusini na ina kuvutia kupanda na hewa shwari mji yenyewe vituo vya karibu pana piazza xx settembre na inatoa mengi ya mtindo dirishaununuzi na kijani bustani ya umma kuhusu 4 kilomita bara kutoka mji anasimama medieval mlima borgo ya civitanova marche alta bado sehemu iliyoambatanishwa na kuta umri wake na pia thamani ya stroll miongoni mwa majumba faini ya kale na makanisa ni ovanligt nzuri ya kisasa ya italia sanaa ukusanyaji katika kiraia galleria d 'arte moderna kunyoosha kuvutia zaidi ya promenade na pwani uongo kusini na ina kuvutia kupanda na hewa shwari mji yenyewe vituo vya karibu pana piazza xx settembre na inatoa mengi ya mtindo dirishaununuzi na kijani bustani ya umma kuhusu 4 kilomita bara kutoka mji anasimama medieval mlima borgo ya civitanova marche alta bado sehemu iliyoambatanishwa na kuta umri wake na pia thamani ya stroll miongoni mwa majumba faini ya kale na makanisa ni ovanligt nzuri ya kisasa ya italia sanaa ukusanyaji katika kiraia galleria d 'arte moderna moja ya makanisa marche ya mwanzo na wengi haiba santa maria pie di chienti lipo 6km bara pamoja ss 485 hii kulinda uzuri ujenzi romanesque ilijengwa katika karne ya 9th double decker katika fomu sakafu ya juu ni kujengwa ndani ya kanisa mwishoni zaidi ya juu kati nave frescoes 14th karne katika apse juu ya madhabahu ya juu wote ni nguvu zaidi kwa kulinganisha yao fora na salio ya matofali mambo ya ndani rahisi kwa upande wa kaskazini wa civitanova marche ni porto potenza picena sana tofauti juu ya mandhari sawa kama wengi wa resorts kusini marche ya ndogo mahali pa kwenda kwa siku juu ya pwani ya mchanga kama wewe ni kukaa bara jirani kilomita chache bara hata hivyo ni moja ya italia chache bustani iliyobaki 18th karne na nzuri nyekundumatofali vyeo villa (imefungwa kwa umma) katika giardino bonaccorsi thamani ya kutembelea kama wewe ni katika eneo hilo best civitanova ferry tiketi bei ya dhamana best bei ya dhamana sisi daima kutoa wewe wetu chini inapatikana grandi navi veloci au grimaldi ferry lines abiria na feri gari tiketi ya bei na kutoka civitanova hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi pia sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi visa electron bei sisi quote kwa kuchaguliwa civitanova kivuko yako tiketi malazi onboard na gari aina ni wote utakuwa kulipa na kwamba ahadi katika tukio uwezekano kupata huo wote umoja civitanova kivuko tiketi ya bei nafuu katika brosha ya yoyote ziara operator nyingine sisi ahadi kwamba sisi kufanya kazi nzuri ya kuwapiga kwamba bei au kutoa uchaguzi wa kuomba marejesho ya kodi kwa kitabu civitanova gari na abiria kivuko tiketi tafadhali bonyeza hapa wateja care telesales & wasiliana nasi wakati ferrytocom wewe ni uwezo wa kupata kuishi civitanova kivuko tiketi bei kuangalia upatikanaji na kitabu gari na abiria kivuko tiketi kwenda na kutoka civitanova katika inapatikana yetu chini bei ya tiketi ferrytocom ni sehemu ya ukubwa duniani online kivuko tiketi mtandao wa usambazaji kutoa uwezo kwa kitabu juu ya 80 kubwa ya ulaya kampuni ya feri ikiwa ni pamoja na civitanova na zaidi 1200 wengine njia ya feri katika uingereza ufaransa hispania ireland uholanzi ulaya mashariki mediterranean baltic na afrika kaskazini kwa habari zaidi majibu ya mara nyingi kuulizwa maswali au kuwasiliana nasi moja kwa moja tafadhali bonyeza hapa kuhusu sisi
2016-10-26T00:23:53
http://www.ferryto.com/sw/bandari/Civitanova.html
straika tazama daudi mwangosi wa chanel ten alivyozikwa kijijini kwao ujumbe waliotoa msibani dk slaa wa chadema waziri prof mwandosya wa ccm na kauli ya waziri wa mambo ya ndani dk emmanuel nchimbi wakati akitangaza tume ya kusaka majibu ya maswali sita muhimu kuhusiana na tukio la kuuawa mwandishi huyo kwa kupigwa bomu wakati akiripoti tukio la sintofahamu ya polisi na chadema iringa tazama daudi mwangosi wa chanel ten alivyozikwa kijijini kwao ujumbe waliotoa msibani dk slaa wa chadema waziri prof mwandosya wa ccm na kauli ya waziri wa mambo ya ndani dk emmanuel nchimbi wakati akitangaza tume ya kusaka majibu ya maswali sita muhimu kuhusiana na tukio la kuuawa mwandishi huyo kwa kupigwa bomu wakati akiripoti tukio la sintofahamu ya polisi na chadema iringa mjane wa marehemu itika mwangosi (kulia) akilia wakati wa mazishi ya mumewe jana mjane wa marehemu itika mwangosi akilia kwa uchungu pembeni ya kaburi la mumewe marehemu daudi mwangosi mwili wa marehemu mwangosi ukipelekwa makaburini inaelezwa kuwa huu ni mwili wa marehemu katika eneo la tukio baada ya kulipukiwa na bomu askari wakiwa katika 'bifu' na marehemu mwangosi (katikati) kabla ya kutokea kwa kifo chake mabaki ya mwili wa marehemu yakionekana chini katika eneo la tukio wafuasi wa chadema wakionekana na bendera zao katika siku ya tukio gari la mbele ni la kamanda wa polisi mkoa wa iringa michael kamuhanda hapa ni katika siku ya tukio la kifo cha mwangosi askari wakiwa tayari kwa operesheni katika siku ya tukio la kuuawa kwa mwangosi kamanda wa polisi mkoani iringa michael kamuhanda hii ni katika siku ya tukio mwangosi enzi za uhai wake aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha channel ten mkoani iringa daudi mwangosi amezikwa huku waziri wa mambo ya ndani ya nchi dk emmanuel nchimbi akiunda tume ya kuchunguza mauaji yake ambayo inahusisha wajumbe kutoka tasnia za sheria habari jeshi la polisi na jeshi la wananchi wa tanzania (jwtz) mamia ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali jana walijitokeza kumzika mwangosi ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa iringa (ipc) marehemu aliyeuawa kwa kupigwa kwa bomu alizikwa majira ya saa 730 mchana kijijini kwake busoka wilaya ya rungwe mkoani mbeya mwangosi aliuawa jumapili iliyopita katika kijijini cha nyololo wilayani mufindi mkoani iringa katika tukio ambalo chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) walikuwa wakifungua tawi la chama chao huku jeshi la polisi likitumia nguvu kubwa yakiwemo mabomu ya machozi kuzuia uzinduzi wa tawi hilo mamia ya wakazi wa kijiji hicho wanasiasa wa vyama vya ccm na chadema na waandishi wa habari kutoka mikoa ya iringa na mbeya walishiriki katika mazishi hayo mwakilishi wa serikali katika mazishi hayo waziri wa nchi ofisi ya rais asiye na wizara maalum prof mark mwandosya akitoa salamu za rambimbambi katika msiba huo alisema atabeba jukumu la kuwasomesha watoto wengine wa marehemu huyo huku akiahidi kufuatilia ahadi za watu wengine katika kuisaidia familia ya mwangosi kwa kuwa ni ndugu yake na jirani nitahakikisha familia hiyo inaishi maisha kama ambavyo agelikuwepo baba yao kwa kuhakikisha kila mtoto wa familia hiyo anasoma kwa kila hatua kwa kuzingatia kuwa hao ni sehemu ya familia yangu alisema mwandosya ambaye pia ni mbunge wa rungwe mashariki (ccm) katibu mkuu wa chadema dk willibrod slaa alisema watabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa kwanza wa mwangosi aitwae nehemiah ambaye kwa sasa yupo kidato cha nne katika shule ya sekondari ya malangali iliyopo mufindi mkoani iringa mtoto huyu alifika na kutaka kujua sababu za kifo cha baba yake kwa uchungu huku machozi yakimtoka nimewasiliana na mdau wangu na kuahidi kubeba kujumu la kumsomesha na pia naahidi kufuatilia ahadi hiyo kwa kipindi chote cha masomo yake alisema dk slaa katibu msaidizi wa klabu ya waandishi wa habari mkoani iringa (ipc) francis godwin aliwatahadharisha wanasiasa kwamba mwangosi atazikwa kama mwandishi wa habari japokuwa aliuawa katika tukio lililohusisha shughuli za kisiasa ipc walitoa kwa familia ya marehemu sh 700550 kama rambirambi huku klabu ya waandishi mkoani mbeya (mpc) nayo ikitoa kiasia kama hicho wengine waliotoa rambirambi ni mlezi wa ipc salim asas aliyetoa sh milioni moja taasisi ya habari ya kusini mwa afrika tawi la tanzania (misatan) sh 500000 na channel ten sh 700000 wengine ni mbunge wa viti maalum mkoa wa iringa (chadema) chiku abwao sh 100000 mazishi ya mwangosi yalitawaliwa na vilio na simanzi kutoka kwa ndugu jamaa marafiki na wananchi wengine waliohudhuria hata hivyo jeshi la polisi halikuwa na mwakilishi katika mazishi hayo akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam jana wakati wa kutangaza tume hiyo waziri nchimbi alisema nia ni kupata matokeo yasiyoegemea upande wowote kwa kuwa tume iliyoundwa ni huru alisema itaongozwa na jaji mstaafu stephen ihema huku wajumbe wakiwa ni theophil makunga kutoka jukwaa la wahariri tanzania (tef) ambaye pia ni mhariri mkuu mtendaji wa kampuni ya mwananchi communications ofisa mipango wa baraza la habari nchini (mct) pili mtambalike mtaalamu wa milipuko kutoka jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) kanali wema wapo na naibu kamishna wa polisi isaya mngulu tume hiyo imepewa hadidu za rejea sita na itafanyakazi kwa siku 30 kuanzia leo hadidu hizo ni kuchunguza chanzo cha kifo cha mwangosi kama kuna uhasama kati ya waandishi wa iringa na polisi kama kuna orodha ya waandishi watatu waliopangwa kushughulikiwa na polisi mkoani humo kama kuna taratibu za kukata rufaa ya vyama vya siasa dhidi ya polisi pindi mikutano yao inapozuiwa je kuna tatizo la mahusiano kati ya polisi na vyama vya siasa kwa ujumla wake na kama ukubwa wa nguvu zilizotumika katika tukio la iringa ni sahihi alisema kuna maneno mengi yanayozungumzwa kuhusu kuuawa kwa mwandishi huyo hivyo matokeo ya uchunguzi wa tume yataweka wazi uhalisia wa mauaji hayo alipohojiwa kuhusu kampeni za uchaguzi mdogo zinazoendelea katika jimbo la bububu pamoja na maandamano ya wananchama wa chama cha mapinduzi (ccm) wanaorudisha fomu nchimbi alisema kinachofanyika uko kinaratibiwa na tume ya taifa ya uchaguzi (nec) hivyo yenyewe inaweza kuwa na majibu mazuri kuhusu swali hilo kuhusu mikutano ya ccm na maandamano ya wagombea alisema zuio la msajili wa vyama vya siasa linavihusu vyama vyote na hata alipopata taarifa ya mikutano hiyo aliwasiliana na viongozi wa ccm ambao walimjibu kwamba wanafanya mikutano ya ndani hakuna upendeleo wowote kwa vyama maandamano na mikutano yote ya hadhara imezuiwa lakini ieleweke kwamba hatujazuia mikutano ya ndani ya vyama alisema alisema anasikitishwa na mauaji ya raia au uonevu wowote wa raia na ni mambo ambayo hawezi kamwe kuyavumilia wala kumvumilia askari anayenyanyasa raia alisema atashughulikia na askari wachache wanaolipaka matope jeshi la polisi na atawawajibisha wote watakaobainika kunyanyasa raia alipoulizwa kama atakuwa tayari kujiuzulu wadhifa wake ikiwa tume itabaini polisi ndio waliomwua mwangosi alisema nikiondoka hapa mtanikumbuka sana ninyi mimi nitawafanyia mambo makubwa ninachoomba tusubiri tume imalize muda wake alisema anafanya kazi bila kupuuza malalamiko ya raia na kwamba ni muumini wa utawala wa sheria hivyo anasimamia sheria katika utendaji wake wa kila siku waandishi walimkumbusha tume za nyuma zilivyochelewesha matokeo ya uchunguzi ambayo pia hayakuchukuliwa hatua madhubuti kwa kuwa yamekuwa yakilisafisha jeshi la polisi alisema matokeo ya tume yake yatafanyiwa kazi na ikibainika askari wamehusika watawajibishwa alisema hadi sasa hakuna askari anayeshikiliwa wala ambaye amesimamishwa kupisha uchunguzi kwa kuwa wanaowachunguza ni askari wenye vyeo vikubwa ambao hawawezi kuingiliwa katika uchunguzi alisema baada ya kuuawa kwa kijana mkoani morogoro wiki mbili zilizopita inspekta jenerali wa polisi (igp) said mwema alikutana na katibu mkuu wa chadema dk slaa na kuzungumza naye kwa kirefu na kumwomba asitishe kwa muda mikutano ya hadhara dk slaa akakubali lakini katika hali ya kushangaza mikutano hiyo iliendelea rpc iringa chagonja wasimamishwe chadema kimetaka kamishna wa operesheni na mafunzo wa jeshi hilo paul chagonja na kamanda wa polisi mkoa wa iringa michael kamuhanda wasimamishwe kazi ili kupisha uchunguzi wa kifo hicho chadema pia imetaka askari saba wanaoonekana kwenye picha wakimpa kipigo marehemu mwangosi wakamatwe na kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja kwani hakuna haja ya kufanya uchunguzi wakati wanaonekana wakimfanyia unyama mwandishi huyo tamko hilo la chadema lilitolewa na mkurugenzi wake wa habari na uenezi john mnyika alipozungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho jana jijini dar es salaam alisema iwapo mambo hayo hayatatekelezwa uchunguzi utakaofanyika itakuwa ni upotevu tu wa pesa za watanzania mkuu wa jeshi la polisi (igp) licha ya kwenda iringa cha kushangaza bado askari wanaoonekana kuhusika katika mauaji ya mwandishi huyo hawajachukuliwa hatua ya kukamatwa wananchi wataielewaje serikali alihoji mnyika alisema kamishna chagonja tangu mwanzo wa tukio hilo amekuwa akitoa maelezo ya uongo yanayopotosha umma ambayo pia yanatofautiana na waziri wa mambo ya ndani ya nchi dk emmanuel nchimbi hali inayotia shaka kama uchunguzi wa tukio hilo utakuwa wa haki mnyika alisema imeshafahamika kuwa marehemu aliuawa kwa kutupiwa bomu uchunguzi unatakiwa uanzie ni ofisa gani wa jeshi la polisi alitoa agizo hilo na kusababisha mauaji hayo ya kinyama kwa mwandishi huyo alisema kutokana na mfululizo wa mauaji ya vijana yanayofanywa na polisi dhidi ya raia wakati wa mikutano ya kisiasa chadema imekuwa ikipata ujumbe mfupi wa simu ya mkononi (sms) kutoka kwa wananchi mbalimbali ambao wanatoa mapendekezo ya nini kufanywe na chama hicho katika kukabiliana na tatizo hilo ambalo limeamsha hasira zao mnyika alisema miongoni mwa mapendekezo yanayotolewa na watanzania ni pamoja na kuitaka chadema ichukue hatua kwa kushitaki katika mahakama za ndani au za kimataifa ili kuhakikisha haki inapatikana mnyika alisema kama polisi wanashikilia msimamo wa kwamba chadema walivunja sheria kwa kufanya mkutano wakati serikali imepiga marufuku mikutano ya kisiasa isifanyike hadi sensa imalizike basi waanze kumchukulia hatua makamu wa rais dk mohammed gharib bilal chanzo gazeti la nipashe (jumatano septemba 5 2012)
2018-02-22T03:16:57
http://straikamkali.blogspot.com/2012/09/tazama-daudi-mwangosi-wa-chanel-ten.html
mchezo hofu room 3 online kucheza kwa huru mchezo hofu room 3 unachezwa 119 kucheza mchezo hofu room 3 online maelezo ya mchezo hofu room 3 furaha hulemea wewe na wewe ni katika haraka ya kushiriki na watu wengine je una mipira baadhi ya kujifurahisha kwamba kuruka na kufanya kwa namna fulani maalum kuokota kusimama wewe kuanza kuwapiga mipira yake nao watakuwa kuruka juu provocatively kwa kila rehit mpira wewe utakuwa kupata uhakika ziada na hii itakuwa zaidi kumfanya wewe kucheza mchezo hofu room 3 online kiufundi na tabia ya mchezo hofu room 3 mchezo hofu room 3 aliongeza 06042015 mchezo unachezwa 119 mara michezo kama mchezo hofu room 3 download mchezo hofu room 3 embed mchezo hofu room 3 katika tovuti yako kuingiza mchezo hofu room 3 kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo hofu room 3 nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo hofu room 3 pia alicheza katika mchezo
2019-04-19T17:22:09
http://sw.itsmygame.org/1000035683/panic-room-3_online-game.html
raisi wa vad afunguka na movie mpya angalia picha hapa | swahili ughaibuni news raisi wa vad afunguka na movie mpya angalia picha hapa march 27 2014 swahili moviescom leave a comment president safari lukeka director jay msabaha vad imeendelea na kazi zake kwa sasa tena vad iko kwenye shooting ya movie mpya na wiki ilio pita wakati tulikua kwenye pirika pirika za movie mpya tumepigiwa simu na wengine ku tuma message kwenye facebook jumapili asubui wamekuta trailer imepotea kwanza vad imeshukuru wa tizamaji na wapenzi wake kutizama mda yoyote movie na trailer zao na kuwapa ujumbe wakati wanaona kunatatizo bila shaka trailer iyo tutaiweka tena na mutaburudika tena vad imewaandalia movie mpya mda si murefu utapaata vitu vipya na vya kisasa aliongea president mr safari lukeka angalia picha za behind the scene na movie mpya jina kapuni kwa sasa baada ya irene johari nae anunua mkoko mpya bonyeza hapa kucheki picha vad hakuna kulala baada ya movie mbili sokoni sasa watoa trailer ya movie mpya director wa vad baada ya ukimya mrefu atimaye afunguka baada ya trailer yao mpya kuondolewa youtube tao films ya denmark yatoa picha za behind the scene ya filamu yao mpya three days to die previous postndoa ya ustazi juma na johari yanukia asema johari atakuwa mke wake wa pilinext posttujikumbushe je niva kupewa tuzo ya msanii chipukizi ni sahihi cheki hapa baada ya irene johari nae anunua mkoko mpya bonyeza hapa kucheki picha vad hakuna kulala baada ya movie mbili sokoni sasa watoa trailer ya movie mpya director wa vad baada ya ukimya mrefu atimaye afunguka baada ya trailer yao mpya kuondolewa youtube tao films ya denmark yatoa picha za behind the scene ya filamu yao mpya three days to die
2020-03-29T00:29:54
https://www.swahili-movies.com/raisi-wa-v-a-d-afunguka-na-movie-mpya-angalia-picha-hapa/
heavy rainfall news archives radio jambo tag heavy rainfall news posted on october 15 2019 october 15 2019 by bernard kigen athari za mvua kubwa yasababisha mmonyoko wa udongo na kufukua mifupa ya binadamu na kuwatia wakaazi woga mvua kubwa inayonyesha katika maeneo mengi nchini kenya inatarajiwa kuongezeka katika kipindi cha miezi miwili huku mmomonyoko wa udongo na mafuriko yakishuhudiwa wanakijiji wa lokesheni ya kimalel baringo kusini walistaajabu baada ya kupata mifupa ya binadamu anayeaminika kuzikwa miaka mingi iliyopita wakaazi wanasema kwamba mifupa hiyo ya binadamu inakisiwa kusombwa na maji ya mafuriko kwa kuwa wenyeji hawana uhakika iwapo palikuwa na jamii iliyozika maneeo hayo wanasema kwamba wameshindwa kutambua familia ambayo walihusika katika kuzika jamaa yao katika eneo hilo baadhi ya wanakijiji wanasema kwamba tukio hilo ni la ajabu sana na linafaa kufanyiwa tambiko ili lisije likadhuru watu wa eneo hilo mifupa hiyo ya binadamu ilipatikana katika mtaro wenye kimo cha futi saba kwenda chini hata hivyo haijulikani miaka mabyo mwili huo ulizikwa wakaazi walisema posted in featured on homepage slider latest newstagged baringo south heavy rainfall news human skeleton dug out kimalel location posted on march 17 2018 march 17 2018 by chimwani khasiani
2020-07-14T22:18:48
https://radiojambo.co.ke/tag/heavy-rainfall-news/
rais magufuli aongoza kumuaga samuel sitta na atuma rambirambi kifo cha mbunge hafith ali tahil sibuka media rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na makamu wa rais samia hassan saluhu wakati wa kuaga mwili wa marehemu samwel john sitta
2018-07-21T13:17:09
http://sibukamedia.com/rais-magufuli-aongoza-kumuaga-samuel-sitta-na-atuma-rambirambi-kifo-cha-mbunge-hafith-ali-tahil/
kahawa tungu | a personal loan kahawa tungu bitter sweet speaking during the annual media of kenya wikipedia legislation the media in vijimambo lukemusicfactory blogspot com raymond kavombwe is a daniel arap moi wikipedia daniel toroitich arap moi media of kenya wikipedia legislation the media in kenya is regulated by a statutory body called the media council of kenya thvijimambo lukemusicfactory blogspot com raymond kavombwe is a sophomore second year student at norwich university a private military collegedaniel arap moi wikipedia daniel toroitich arap moi ˈ m oʊ iː moh ee born 2 september 1924 is a former kenyan politician who s hashtag # kahawa tungu you can hear or save this videos life ya hustler fatuma kahawa tungu 1 coffee is a common beverage but many people do not know how best to prepare it you cant guess and ma anajulikana na wengi kama msemse katika mtaa wa kariobangi kazi yake huwa ni kupika na kuuza kahawa kahwa is a traditional tea that originates from the kashmir valley it s one of the famous kashmiri r wanywaji wa kahawa kisiwani pemba wanasema ukizoea kunywa kahawa huiachi utamu wake ni sawa na kuwa find the link to the story below another of nyando mp fred outa s aide kills a kdf soldier in ahero kampuni inayozalisha kahawa aina ya mbinga cafe imekuja na aina mbalimbali za kahawa inazozizalisha concealing the cracks kahawa wendani s disaster in waiting workers caught trying to hide building s je riziki yako ya siku hutoka wapi kwenye makala ya bongo la biashara tunaangazia jinsi mwanamume mm makala fupi ya mkoa wa kagera jinsi unavyopambana na magendo ya kahawa katika wilaya za karagwe na k kitu pekee kinachokufanya ujue je riziki yako ya siku hutoka wapi kwenye makala ya bongo la biashara tunaangazia jinsi mwanamume mm kampuni tanzu ya vyakula na vinywaji nchini inakusudia kujenga kiwanda cha kusindika mchanganyiko wa from blending mount kenya s finest beans to roasting it this is inside kahawa having lived in both kenya and the uk i have been witness to the harsh reality of the coffee industr in year 2002 bishop david and his family left kinangop area and went to nairobi to expand the minist leaked nudes of radio africa group md martin khafafa bathing with slay queens leave tongues wagging leaked nudes of radio africa group md martin khafafa bathing with slay queens leave tongues wagging it runs between two architectural landmarks at the heart of nairobi s central business district the dikembe disembe kahawa tungu catherine kahawa tungu kisumu 3 kahawa tungu jake robertson kahawa tungu ktn news live kahawa tungu 10960217_350577988468252_464640096799600302_o kahawa tungu ababu kahawa tungu wilson sossion kahawa tungu dstv now expands to subscribers of family and access packages socialite corazon kwamboka poses nude with boyfriend on the beach photo the shocking physical state of ktn s louis otieno chubby aging and what dennis okari leaving ntv for bbc will he be replacing the late komlar dumor senior unep employees celebrate tom cholmondeley for killing kenyans why is muhoho kenyatta shadowing president uhuru in every foreign visit sonu chair babu owino responds to bahati quot unseating quot the president drama 187 trending co ke meet beyonce and jay z s one month old twins photos life ya hustler fatuma kahawa tungu 1 kahawa tunku ya mombasani life ya hustler fatuma kahawa tungu 2 life ya hustler with kahawa tungu part 2 mgaagaa na upwa barobaro anayegaagaa kwa kuuzia wenyeji wa kariobangi kahawa kashmiri kahwa recipe | a traditional kashmiri cuisine tbc safari utamu wa kahawa ya pemba sawa na kutokumkosa mke ndani life ya hustler with kahawa tungu part 1 bodyguard nyando mp killing a kdf soldier in ahero fahamu utofauti wa kahawa ya mbinga cafe na nyingine bongo la biashara uuzaji wa kahawa na karanga i ktn mbiu maajabu ya kahawa kwenye ngozi yako (huondoa madoa usoni) natural ingredients diy hacks udhibiti wa biashara ya magendo ya kahawa mkoa wa kagera jinsi ya kitengeneza kahawa kahawa maruku 2 mwanamume katika kaunti ya taita taveta anakimu maisha ya familia yake kwa kuuza kahawa na karanga maziwa kahawa na sukari kusindikwa pamoja inside kahawa muuza kahawa kahawa ya tifu habari makala goa kahawa wendani 1st anniversary leaked nudes of radio africa group md martin khafafa bathing with slay queens leave tongues wagging forgotten heroes daudi dabaso wabera kahawa tungu bitter sweet speaking during the annual media of kenya wikipedia legislation the media in vijimambo lukemusicfactory blogspot com raymond kavombwe is a
2018-12-16T21:49:06
http://buyretinaonlinenoprescription.tk/posts/kahawa-tungu.html
a 'lazima kutembelea' mwenyeji katika moyo wa mtego wa utalii wa brussels eu reporter eu reporter eneo la sainte catherine limejaa maeneo ya kula lakini moja ya lazima kutembelea mgahawa kati yao ni l'huitriere akihudumia baadhi ya sahani bora za samaki zinazopatikana huko brussels na wote katika mazingira ya kihistoria anaandika martin benki kidokezo kimoja kuhusu ubora hutolewa moja kwa moja nje na maonyesho makubwa ya dagaa kila kitu kutoka kwa oysters hadi clams na shrimps macho ni kitu cha kuona lakini habari njema ni kwamba ladha ya chakula ni nzuri kama inavyoonekana pia nje ni mtaro unaofurahia ambao wakati wa majira ya joto unakaribia hufanya mahali pa kufurahisha sana ambayo unaweza kufurahia vyakula bora mkazo ni bila shaka sana juu ya dagaa ingawa pia ni muhimu kuzingatia kwamba la carte ina pia chaguo veggie na uteuzi ndogo ya sahani nyama muhimu kama wewe kutokea kwa kula na mtu ambaye hana kula samaki lakini kwa kweli mgahawa huu mkubwa ni mahali pa kula samaki na unajumuisha lobsters ambazo zinaonekana kutoka kwenye tangi unapoingia mgahawa ikiwa lobster ni jambo lako unaweza kufanya uchaguzi wako na chef atafanya wengine angalia pia ndani ya mwingine tangi kubwa yenye samaki zaidi na sanaa ya ajabu ya ukuta ghorofa ya kwanza inaweza kuingiza makundi binafsi ya watu wa 80 na ina maoni mazuri juu ya mraba ikiwa wewe ni dhana ya kusukuma mashua nje na / au tu na hamu kubwa sana huenda ukajaribiwa na ajabujina lake rockefeller imperial platter ambalo lina lobster kaa mbili za langoustine oysters konokono za bahari winkle kijivu shrimp na clams itakuwezesha kurejea € 85 kwa kila mtu lakini inafaa na inafaa kwa tukio hilo maalum kuna kwa kweli orodha ndefu ya sahani ya oyster na sawa na shrimps kidogo na ya kawaida zaidi kadi kuu ambayo hufariji mara kwa mara ili kuhakikisha tu dagaa ya msimu hutolewa tu ina uchaguzi mzuri wa waanzia wa baridi na wa joto wote wenye bei nzuri sana hizi ni pamoja na duo ya croquettes (shrimp na jibini) na scampi katika mchuzi mzuri wa vitunguu pamoja na msimu wa asugiko bado juu yetu (mpaka katikati ya juni) hii sahani ya ubelgiji isiyojulikana pia inajumuisha kwenye orodha pamoja na uteuzi mzuri wa missels kutoka zeeland mchapisho mpya kwenye kadi ni pamoja na swordfish na mchuzi wa mbegu (swordfish pia hutumika kama kebab na mafuta) wauzaji bora ni cod aliyetumiwa na mchuzi wa kijivu cha kijivu na nyeupe na pekee sufuria iliyokaanga au grilled ambayo inakuja na chips mwingine mteja anapenda ni calamari kijiko kote kilichocheka na kinashirikiwa na limao na mafuta chochote unachochagua huwezi kukata tamaa uthibitisho wa kwamba huja kwa kuangalia kwa kawaida maoni ya mshauri wa safari kama vile post hii ya hivi karibuni mgahawa mkubwa sijawahi kukata tamaanenda mara nyingi sana kwa chakula cha mchana na tumeharibiwa sana mwanzo kozi kuu na dessert na uchaguzi wa 3 kila wakati tayari nimetuma marafiki wengi ambao wote walifurahia chakula cha mchana kwa kweli ni chaguo bora sana cha thamani inapatikana kwa € 1790 tu una uchaguzi wa nyota nne majani manne na jangwa nne inapatikana kutoka jumatatu hadi jumamosi ni thamani kubwa ya pesa na hasa inajulikana na watu wengi wanaofanya kazi karibu mgahawa hufanya mteja tofauti kidogo mwishoni mwa wiki wakati huelekea kuwa mara kwa mara zaidi na watalii wengi wengi ambao hupanda sehemu hii ya jiji wakati wa jioni kuna mchanganyiko wa wateja wote wa ndani na wageni hii imekuwa mgahawa kwa miaka mingi lakini wamiliki wapya wamefanya kazi ya kupumua kupumua maisha mapya katika kile ambacho ni kitu cha taasisi ya mini katika sehemu hizi mtu mmoja ambaye ameona mageuzi ni elene meneja wa kirafiki wa mgahawa ambaye hutoka kaskazini mwa hispania lakini amefanya kazi hapa kwa miaka 14 maisha ya jamaa katika sekta yenye mauzo ya wafanyakazi wa haraka anabakia katikati ya mahali na elene mwenye kukaribisha pamoja na timu yake ya kazi ngumu anaelezea kwa urahisi orodha hiyo na kusema kwamba robin ghanno mmiliki anafanya hatua ya kuchunguza samaki wake kutoka soko la asubuhi ningependa kununua kiasi kidogo kila siku ili kuhakikisha kuwa samaki ni safi kama iwezekanavyo ujumbe ni kwamba huwezi kupata samaki waliohifadhiwa katika uanzishwaji huu moja ya mambo muhimu ni sahani safi za dagaa na oysters katika majira ya joto ameketi nje ya mraba kufurahia dagaa safi na chupa ya champagne au divai kutoka pishi ni uzoefu maalum na njia nzuri ya kufurahia mchana au jioni robin mwanafunzi wa usimamizi wa ukarimu ana ujuzi wa upishi usiofaa na pia ni biashara ya savvy tabia zote mbili zimechangia mafanikio yaliyoendelea ya restaurant l'huitriere yeye na timu yake wanastahili sana mikopo kwa kile wanachokifanya katika sehemu hii ya mara moja ya jiji hii ni moja tu ya migahawa matatu kwenye mraba anayo na kila mmoja chini ya utaalamu wake anaonyesha mafanikio makubwa \ quai aux briques 20 brussels simu + 32 (0) 2 512 0866 tags ubelgiji brussels eu featured fullpicha jamii frontpage ubelgiji brussels eu migahawa tathmini « uchaguzi wa ulaya 2019 inapungua kura za posta za ufaransa hazitahesabu #junkscience inaingia mahakamani kwa gharama ya watumiaji »
2020-02-29T00:54:16
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/05/22/a-must-visit-eatery-at-heart-of-brussels-tourist-trap/
mhe dkt immaculate s semesi mheshimiwa spika hatuwezi kuondoa umaskini bila kuigusa sekta inayoajiri watanzania wengi hivyo basi napendekeza kuondoa kodi kwenye uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuboresha na kukuza uchumi kupitia sekta hii mheshimiwa spika wananchi walio wengi wanaojishughulisha na kilimo wameachwa na serikali kujitegemea wenyewe serikali ingewekeza angalau asilimia 40 katika sekta hii itasaidia katika kuboresha na kuimarisha/ kukuza mnyororo wa thamani (agricultural value chain) na kwa jinsi hii itaweza kutengeneza ajira nyingi katika ngazi mbalimbali (vitongoji wilaya mikoa) na itakuwa na major impact katika nchi mheshimiwa spika serikali haijaweka wazi mikakati ya wazi ya kufungamanisha sekta ya kilimo na sekta ya viwanda ni wakati sasa suala hili likaangaliwa katika upana wake mheshimiwa spika suala la pembejeo katika ujumla wake kuna uhaba na ucheleweshwaji wa kusambaziwa kwa wakulima ubora hafifu kutokufika kwa wakati (msimu) bei kuwa juu kwa baadhi ya maeneo na kukosekana mfumo thabiti kuzuia pembejeo zisizo na ubora kwenye soko kwa kuzingatia haya wizara ifanye tathmini na kutengeneza mikakati mahsusi ya kuboresha haya mheshimiwa spika raslimali watu katika sekta ya kilimo kuna upungufu mkubwa wa wataalamu na maafisa ugani katika sekta hii hata kwa wafanyakazi waliopo (especially maafisa ugani) wanafanya kazi katika mazingira magumu kwa ukosefu wa vitendea kazi wizara ilifanyie kazi suala hili mheshimiwa spika udhibiti wa mazao baada ya kuvunwa (postharvest losses) hii husababishwa na (i) wakulima kuwa na elimu ndogo na miundombinu hafifu ya kutunza/kustore mazao yao (na hata wakati mwingine kusababisha kutokea kwa aflatoxins) na (kuhatarisha afya za binadamu na mifugo) (ii) idadi ndogo sana za maghala za kuhifadhi (kati ya vijiji 13000 kuna maghala mangapi) (iii) teknolojia zinazotumiwa wakati wa kuvuna na kusindika ni duni sana hii husababisha upotevu mkubwa wa mavuno (n20 ya mazao hupotea baada ya mavuno) mheshimiwa spika kuimarisha na kuboresha mfumo wa masoko (ndani ya nje ya nchi) changamoto ni nyingi na kusababisha hasara na ugumu wa maisha (hususan kwa wakulima wadogo) wizara/ serikali ijifanyie tathmini ili kuboresha suala hili
2020-08-12T03:23:44
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/11767
kuelekea mchezo wa mwadui vs azam fc | the official website of azam football club kuelekea mchezo wa mwadui vs azam fc by abducado emmanuel on october 08 2017 imebaki wiki moja kabla ya klabu bingwa ya afrika mashariki na kati azam fc haijaivaa mwadui katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara (vpl) inayotarajia kufanyika oktoba 14 mwaka huu ili kujipanga vilivyo na mchezo huo kikosi cha azam fc kinatarajia kuondoka jijini dar es salaam keshokutwa jumanne alfajiri kuelekea mkoani shinyanga tayari kabisa kuikabili mwadui kwenye uwanja wa mwadui complex shinyanga azam fc inauchukulia uzito mchezo huo na katika mikakati ya kuhakikisha inafanya vizuri kikosi hicho kimepanga kuondoka na wachezaji wote iliowasajili msimu huu ambao wako fiti baada ya kikosi hicho kucheza na mwadui kinatarajia kusalia kanda ya ziwa ili kufanya maandalizi ya mchezo mwingine wa ugenini dhidi ya mbao unaotarajia kufanyika mkoani mwanza oktoba 21 mwaka huu ambao utahitimisha siku 12 za azam fc katika mikoa hiyo miwili ya kanda hiyo mabingwa hao wa ngao ya jamii na kombe la mapinduzi msimu uliopita wanaodhaminiwa na maji safi ya uhai drinking water benki bora nchini ya nmb na tradegents wanaelekea kucheza mechi hizo wakiwa na rekodi bora kabisa ndani ya ligi hiyo ikiwa ni miongoni mwa timu tatu za juu kileleni timu hiyo ipo juu baada ya kujikusanyia jumla ya pointi 11 sawa na simba na mtibwa sugar zilizo juu yake kwa tofauti ya mabao ya kufunga lakini azam fc inabakia kuwa ndio timu pekee iliyofungwa bao moja pekee katika mechi tano za ligi zilizochezwa mpaka sasa
2018-09-20T06:46:08
http://azamfc.co.tz/content/kuelekea-mchezo-wa-mwadui-vs-azam-fc
shule 2715 kuunganishwa na mtandao wa intaneti nairobi · global voices in swahili shule 2715 kuunganishwa na mtandao wa intaneti nairobi tafsiri imetumwa 14 machi 2014 1954 gmt tuma hii shule 2715 jijini nairobi kenya hivi karibuni zitaunganishwa na mtandao wa intaneti wa bure wanachi group [kampuni] imefikia makubaliano ya kutekeleza mradi wa thamani ya dola za marekani milioni 3 (takribani ksh milioni 270) na kaunti ya nairobi ili kuunganisha shule 2715 jijini nairobi na mtandao wa intaneti mradi huo ulizinduliwa leo na ifikapo mwezi juni mwaka huu (ndio ndani ya miezi mitatu) shule 245 za mfano zinatarajiwa kuwa zimeunganishwa tayari baada ya hapo mradi huo utatathiminiwa na awamu ya pili itaanza ndani ya miaka mitatu hadi mitano pamoja na mtandao wa bure wa intaneti kampuni hiyo itaipatia kila shule vifaa vya kidijitali kwa ajili ya kuunganisha televisheni kwa ajili ya matumizi ya kupata maudhui ya elimu kwa njia ya sauti kwa faida ya wanafunzi watoto wa shule za awali watapata vifaa hivyo pia ikiwa ni pamoja na televisheni ndogo ilisema taarifa ya kampuni hiyo ya wananchi habari mpya kwenye afrika kusini mwa jangwa la sahara siku 3 zilizopitakenyamiradi ifuatayo inalenga kuifanya simu yako ikusemeshe kwa kiswahili
2017-03-26T05:32:12
https://sw.globalvoices.org/2014/03/shule-2715-kuunganishwa-na-mtandao-wa-intaneti-nairobi/
mkurugenzi wa jiji la mwanza ashikilia msimamo wake dhidi ya watendaji wa serikali za mitaa maganga one blog » mkurugenzi wa jiji la mwanza ashikilia msimamo wake dhidi ya watendaji wa serikali za mitaa juzi jumamosi wenyeviti 174 wa serikali za mitaa jijini mwanza walivunja kikao na mkurugenzi wa jiji la mwanza baada ya mkurugenzi huyo kuwataka kukabidhi mihuri yao #lakefm #binagiblog #bmg #mwanza
2016-12-04T01:52:15
https://magangaone.blogspot.com/2016/10/mkurugenzi-wa-jiji-la-mwanza-ashikilia.html
makala kwenye magazeti ya tanzaniamnisaidie | jamiiforums makala kwenye magazeti ya tanzaniamnisaidie thread starter stv mkn ndugu zangumimi ni muhandishi ninaechipukia wa makala za kijamiikisiasa na kiuchuminimetayarisha makala zangu ambazo nataka zisomwe na umma kupitia magazeti yetu hapa nchini ombi langu 1) naomba kujuzwa ni namna gani naweza kupata nafasi ya kuchapiwa makala zangu gazetini 2) ni mchakato gani niufuate kuweza kupewa iyo nafasi ya makala zangu 3) ni vitu gani nizingatie ili kuandika makala bora inayoweza kuvutia wasomaji wengi 4) kuna maslahi yoyote ya kifedha nayoweza kuyapata endapo makala zangu zitapata nafasi gazetini 5) nakalibisha pia chochote unachoweza kunishauri kuhusu ili wazo cc pasco mzee mwanakijiji mohamedi mtoi yericko nyerere mtambuzi mchambuzi manyerere jackton na wengineo wote reactions mtambuzi and mchambuzi kama upo dar njoo posta ulizia mtu yeyote akuonyeshe klabu ya bilikanasi ukifika mapokezi waambie unakwenda freemedia wachapishaji wa gazeti la tanzania daima hapo shida zako zote zitatatuliwa bila wewe kutoa malipo bali utalipwa ni mwandishi na sio muhandishi reactions stv mkn duh anza kuandika makala kwanza uzirushe hapa then tujue uwezo wako ndyo tutakushauri vizuri kwa maandishi mafupi namna hii umeshaharibu lugha mara 2 yaani muhandishi na nakalibisha sasa ukiandika makala yenye aya 50 si utatuulia kiswahili chetu reactions daddo and stv mkn tofauti na nchi za wenzetu huku bongo sisi huwa tunajiandikia tu kila anaye kurupuka usingizini anataka kuanda makala itoke gazetini lakini ukweli ni kwamba lazima tuige utamaduni wa nchi za wenzetu walioendelea kuandika iwe kwa waledi (professionalism) yaani ifike hatua kama ni kuhusu elimu basi makala hayo yaandikwe na mtaalamu wa elimu aliyefanya tafiti za kutosha kwenye angle anayotaka kuandikia halika dhalikwa kwenye uchumi afya mazingira nk linapokuja swala la kuandikia mambo ya kisiasa basi awe mtu aliyebobea kwenye chambuzi za mambo ya kisiasa na anayejua vyema situation kwenye nchi yake na mbobezi wa taaluma ya siasa makala za watu nilio wataja hapo juu utatamani kuzisoma kila kukicha cha kufanya kabla hujafikiria kupeleka makala zako 1 jipime ujue wewe una uwezo wa kuandika kwenye eneo gani 2 hakikisha unajua kufanya angalau kautafiti ili ukiandika ujue una kuja na ladha gani tofauti itakayo mvutia msomaji wako 3 andika kwenye chombo unacho jua mlengo wake na yajue mapema maslahi utakayo pata usije ukawa na ndoto kubwa kuwa utalipwa vizuri kumbe makala ikitoka unalipwa elfu 10 gazeti linatoka mara moja kwa juma huku ukiwa umetumia nguvu nyingi na wakati mwingine unajikuta unakopwa kama unataka kuandika makala ili ujikimu ki maisha anza kujitafakari upya na andika kama hobi tu 4 hakikisha ukiamua kuandika uamue sawasawa na ukiandika ushike kalamu yako vizuri bila kutetereka hasa unapo simamia ukweli mimi kuna gazeti moja nilisha wahi kutuma makala yenye utafiti wa kina juu ya serikali kumwaga damu za raia wasio kuwa na hatia toleo liliofuata haikutoka nikapata ka ujumbe makala yako ni nzuri sana lakini gazeti linaweza kufungiwa waliogopa gazeti litafungiwa kwa kusema ukweli yaani ili lisifungiwe uandike kinyume chake reactions stv mkn daddo and mtambuzi capitalist m said kama nisingeona huu mchango wako basi ingenilazimu niandike hivyo karibu sana njoo mtaa wa samora dar es salaam jengo la matasalamat ofisi za jamhuri utapata majibu kwa maswali uliyouliza karibu sana hii taaluma haihitaji kuwa mchoyo njoo upate ya kukusaidia kufikia malengo na matamanio yako afisa elimu wilaya ya uyui jacob makala tenda haki na tatua migogoro ya uongozi mashuleni acha kufunika kombe habari na hoja mchanganyiko 1 feb 10 2020 tathmini ya makala zangu kwa mwaka 2019 habari na hoja mchanganyiko 1 dec 29 2019 waandishi wanaoandika makala kwenye magazeti wachunguzwe habari na hoja mchanganyiko 1 dec 12 2016 kwanini wanaacha blank page kwenye baadhi ya makala habari na hoja mchanganyiko 7 nov 29 2016 afisa elimu wilaya ya uyui jacob makala tenda haki na tatua migogoro ya uongozi mashuleni acha kufunika kombe tathmini ya makala zangu kwa mwaka 2019 waandishi wanaoandika makala kwenye magazeti wachunguzwe kwanini wanaacha blank page kwenye baadhi ya makala
2020-02-16T21:17:18
https://www.jamiiforums.com/threads/makala-kwenye-magazeti-ya-tanzania-mnisaidie.571177/
waathirika wa bomu la dhusamareb wapelekwa kwa ndege nairobi addis ababa waathirika kadhaa wa bomu la kujitoa muhanga la dhusamareb siku ya jumanne walipelekwa kwa ndege ethiopia kwa matibabu na wengine walipangwa kupelekwa nairobi redio barkulan inayofadhiliwa na umoja wa mataifa iliripoti jumatano (tarehe 2 mei) makubaliano ya kenyaethiopia kuendelea baada ya kifo cha zenawi muda wa matukio mashambulio ya maguruneti na mabomu ya kufukia ardhini nchini kenya waathirika walielezwa kuwa na hali mbaya sana baada ya ulipuaji wa bomu la kujitoa muhanga kwenye mgahawa mahali ambapo watunga sheria wenyeji walikutana na raia ndege ya kukodi iliwachukua majeruhi kutoka guri el kuwapeleka kwenda addis ababa alisema mkuu wa wilaya osman isse noor waziri wa habari wa zamani ahmed abdisalan na wabunge hussein samatar na abdirizak isaac biihi ni miongoni mwa majeruhi wanaotibiwa huko ethiopia waathirika wengine watano watapelekwa kwa ndege nairobi kwa matibabu alshabaab walidai kuhusika na shambulio hilo ambalo liliua watu wanane unaonaje kuhusu makala hii hii ingepaswa kuwa funzo kwa wafuasi wa taaghuut
2013-05-23T22:28:03
http://sabahionline.com/sw/articles/hoa/articles/newsbriefs/2012/05/03/newsbrief-02
idadi ya vipengele 152 makala kwa lugha ya ispania ikielezea kisa cha kusilimu craig robertson alikuwa mkristo kutokea kanada kwa nini nimechagua uislamu kitabu kimetafsiriwa kwa lugha ya ispania kikielezea kisa cha aliekuwa padri namna alivyo upata uislamu nakuwataka watu wengine wafikiria kwa akili zao waache kusikiliza uongo wa watu dhidi ya uislamu kisa cha kuslimu linda delgado usa makala kwa lugha ya almania ikielezea namna alivyo ujuwa uislamu askari wa kimarekani na namna alivyo alivyo pata mambo mapya baada ya kuingia ktk uislamu kisa cha kuslimu laurence brown doktor usa makala kwa lugha ya almania ikielezea waliyo ingia ktk uislamu na misingi ya kushirikiana nao yeyote atakae kuwa kwenye dini nyingine na kuna kisa cha doktor laurence ambae kakuta uislamu ndiyo dini kisa cha kuslimu la bianca australien makala kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha mwanamke kutokea vijijini kahamia mjini ili ajuwe maisha ya mjini na akaujuwa uislamu latasha alikuwa mkristo usa makala iliyo tafsiriwa kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha kusilimu latasha na sababu ya kusilimu kwake kaona ajabu kuhusu mavazi ya waisilamu wa kike kisa cha kuslimu khadija evans alikuwa mkatolik mmarekani makala iliyo tafsiriwa kwa lugha ya almania ikielezea namna dada khadija evans mwenye uzowefu wa madhehebu ya ukristo na wale wasiyokuwa na dini anaelezea tukiyo la 11september ikawa ni sababu yeye na mume wake kuingia katika uislamu kisa cha kuslimu hommikmrabte estland makala kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha hommik alikuwa hana dini ktk kipindi cha utawala wa sowjetunion alianza kätlin ikiwa na miaka (3) kumtafuta mungu kisa cha kuslimu kareem abduljabbar mcheza basket usa makala kwa lugha ya almania inaelezea kisa cha kuslimu kareem abduljabbar mcheza basket marekani haneefah bint stefan alikuwa mkristo schweden makala kwa lugha ya almania inaelezea majaribio mengi yaliyo fanywa na chuo kikuu harakat hanif kupekuwa na utafiti ktk tamaduni nyingine na kuujua zaidi uislamu kisa cha kuslimu dr laurence brown video kwa lugha ya kingereza kuna kisa cha kusilimu dr laurence brown na kwanini amekataa ukristo na kuingia ktk uislamu kisa cha kuslimu amina hernandiz mmarekani makala hii imetafsiriwa kwa lugha ya almania ikielezea mazingatio ya mwanamke wa kimarekani katika dini ya haki kisa cha kuslimu swahaba abdallah bin salam (ra) makala imetafsiriwa kwa lugha ya almania inaweka wazi kisa cha kuslimu swahaba mtukufu abdallah bin salam (ra) baada ya kuwa kiongozi wa kiyahudi kwa hakika taurati imempeleka katika uislamu kisa cha kuslimu hagar mtu wa brasilien makala kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha mtaalamu wa lugha mbali mbali wa brasilien pamoja na kuslimu kwake kisa cha kuslimu jirda makala iliyo tafsiriwa kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha binti aliyekuwa na kuzama katika ukristo hakuwa na raha hadi alipo gundua ya kwamba uislamu moyo wake ukatulizana kisa cha kuslimu frank estrada makala kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha mkatholik katika watembeyaji baharini kagunduwa uislamu kisa cha kuslimu imily kutokea nyozlanda makala iliyo tafsiriwa kwa lugha ya almania ikielezea kisa cha binti aliyekuwa na shaka juu ya uislamu kisa cha kuslimu dk ally salmani bunuwata alikuwa mkatolik mfaransa makala iliyo tafsiriwa kwa lugha ya almana ikielezea kisa cha dk kilicho muweka mbali na ukristo na kumvuta katika uislamu kisa cha kuslimu diana mormone mmarekani makala iliyo tafsiriwa kwa lugha ya almania kuna kisa cha diana na ilivyo ingia nuru katika moyo wake pale moyo wake ulipoanza kuusoma uislamu ukurasa 8 kutoka 3
2019-10-16T13:13:44
https://islamhouse.com/sw/category/221824/showall/showall/3/
alshabbab yaonya dhidi ya msaada wa israel kwa kenya | matukio ya afrika | dw | 16112011 alshabbab yaonya dhidi ya msaada wa israel kwa kenya kufuatia ziara ya waziri mkuu wa kenya raila odinga nchini israel ambako ameomba msaada wa kupambana na kundi la alshabbab kundi hilo sasa linadai msaada huo ni kwa makusudi ya kuwaangamiza waislamu na dini yao wanajeshi wa kenya wakielekea somalia oktoba 2011 kufuatia mgongano wa kiitikadi na kiusalama kati ya israel na alshabbab kundi hilo limelichukulia ombi la kenya kwa israel kama uchokozi wa makusudi mwaka 2002 alshabbab iliiripuwa kwa mabomu hoteli ya kifahari inayomilikiwa na raia wa israel karibu na mombasa na kuwaua watu 13 kundi hilo lilijaribu pia kuitungua ndege ya israel iliyokuwa ikiruka kwenye anga ya kenya sasa msemaji wa alshabbab sheikh ali mohamud rage ameionya kenya kwamba bado inayo fursa ya kuondoa vikosi vyake nchini somalia na sio kuomba msaada wa taifa hilo la kiyahudi tunaimbia kenya kwamba ngoma hasa bado haijapigwa na tayari ni mwezi mzima sasa bado unayo fursa ya kurudi ndani ya mpaka wako amesema rage katika kauli inayochukuliwa kama indhari ya mashambulizi zaidi katika mji mkuu wa kenya nairobi mshikamano dhidi ya siasa kali juzi jumatatu (14112011) ofisi ya waziri mkuu wa kenya ilisema kwamba nchi hiyo imepata uungwaji mkono wa viongozi wa israel katika kupambana na kile ilichokiita dalili za siasa kali hiyo ni kufuatia ziara ya siku mbili ya waziri mkuu odinga nchini israel akitafuta msaada wa kuimarisha nguvu za vikosi vya usalama vya nchi yake taarifa hiyo imesema kuwa rais shimon peres na waziri mkuu benjamin netanyahu wameahidi kuisaidia kenya kulinda mipaka yake na somalia kujenga mshikamano wa mataifa dhidi ya siasa kali ambao utazijumuisha pamoja nchi za kenya ethiopia sudan kusini na tanzania serikali ya israel imeyaita mazungumzo ya odinga na netanyahu kama hatua ya kuimarisha mahusiano kati yake na mataifa ya afrika bila kueleza undani zaidi watoto zaidi wauawa mashambulizi ya mabomu ya alshabbab tarehe 4 oktoba 2011 katika upande mwengine shirika la watoto la umoja wa mataifa (unicef) limesema watoto 24 wameuawa na wengine 58 kujeruhiwa mwezi uliopita ikiwa ni idadi kubwa kwa mwaka huu taarifa hii ya unicef imetolewa jana mara baada ya bomu kuripuka kwenye kambi ya wakimbizi nchini kenya na kuuwa watu wawili mwakilishi wa unicef nchini somalia sikander khan amesema idadi kamili hasa ya watoto waliouawa na kujeruhiwa huenda ikawa kubwa zaidi maisha ya watoto wa kisomali yanazidi kuwekwa rehani kwa kuongezeka kwa mgogoro kwa mujibu wa sheria za kimataifa tunazitaka pande zote zinazohusika na mgogoro wa somalia kuacha mauaji mateso kuwapa mafunzo ya kijeshi vijana na ubakaji wa watoto amesema khan vikosi vya kenya viliingia nchini somalia katikati ya mwezi uliopita kupambana na alshabbab ingawa msemaji wa unicef jaya murthy amesema shirika lake halihusishi ongezeko la vurugu dhidi ya watoto kwa kundi lolote alshabbab ilichukuwa dhamana ya mashambulizi ya kujitoa muhanga mjini mogadishu mwezi uliopita ambayo yaliua zaidi ya watu 100 unicef ni moja kati ya mashirika machache ya kimataifa yanayoweza kufanya kazi kwenye eneo la kusini mwa somalia linalodhibitiwa na alshabbab mripuko huko kaskazini ya kenya karibu na mji wa garissa umewajeruhi leo wanajeshi watatu wa gsu (28102011) kenya yasema ipo tayari kuzungumza na alshabab wakati wanajeshi wa kenya wakiendelea na operesheni ya kudhibiti vitendo vya kigaidi vinavyotajwa kufanya na wanamgambo wa alshabab serikali yake imesema ipo tayari kufanya mazungumzo na kundi hilo (28102011) nchini kenya mripuko mwengine umetokea kaskazini mwa nchi hiyo ambapo watu wanane wamekufa baada ya basi moja kulipuliwa (27102011) kiungo http//pdwcom/p/13bk2
2017-09-21T23:39:24
http://www.dw.com/sw/al-shabbab-yaonya-dhidi-ya-msaada-wa-israel-kwa-kenya/a-15534846
posted on april 12th 2018 makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm tanzania baraphilip mangula amesema anashazwa kuona kwamba viongozi wa dini wamekuwa sehemu ya kuchochea migogoro ya kisiasa badala ya kusuluhisha</p> posted on march 14th 2018 madereva wa pikipiki za matairi matatu maarufu kama bajaji mjini <br>njombe wamerudishwa barabara kuu ya njombe songea baada ya siku <br>chache kuondolewa na kupelekwa nje ya mji kwa madai ya kus posted on march 14th 2018 <span>makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan jana amekutana na kuzungumza na balozi mpya wa ufaransa nchini mhe frederic clavier ambaye aliongozana na mwakilishi m
2018-04-26T05:17:53
http://njombe.go.tz/news/1
vijimambo wanafunzi 2739 hawakujitokeza kuhakikiwa na heslb mkurugenzi msaidizi wa habari elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu cosmas mwaisobwa (aliyesimama) akitoa utambulisho wa wakurugenzi wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kabla ya kuanza kwa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika julai 13 2016 katika ofisi za bodi zilizoko mwenge jijini dar es salaam kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu bw jerry sabi (kushoto) akiongea na waandishi kadhaa wa habari mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali na kutoa taarifa ya awali ya zoezi la kuhakiki wanafunzi wanufaika wa mikopo ya wanafunzi linaloendelea katika vyuo vya elimu ya juu nchini wanafunzi 2739 hawakujitokeza kuhakikiwa katika zoezi la uhakiki wa wanafunzi kwenye taasisi za elimu ya juu nchini lilifanywa na timu maalum iliypoundwa na bodi ya mikopo kuanzia tarehe 30 mei 2016 ambapo hadi sasa zoezi hilo linaendelea hayo yamesemwa na kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu jerry sabi wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo amesema kuwa katika zoezi la uhakiki wa wanafunzi jumla ya taasisi 26 zimehakikiwa ambapo uchambuzi wa taasisi 18 umekamilika
2018-02-22T20:50:21
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/07/wanafunzi-2739-hawakujitokeza.html
pinda ataka viongozi wa dini wahusishwe katika migogoro mwananchi pinda ataka viongozi wa dini wahusishwe katika migogoro mwanza waziri mkuu wa serikali ya awamu ya nne mizengo pinda amesema viongozi wa dini wakishirikishwa katika matatizo makubwa wanaweza kusaidia kuyamaliza kutokana na nafasi yao katika jamii pinda ambaye alitoa mifano ya matukio mawili yaliyomsumbua wakati wa uongozi wake wa miaka minane alikuwa akizungumza jijini mwanza juzi wakati wa kikao cha kusaini maazimio baina ya serikali na viongozi wa dini kuhusu mapambano dhidi kifua kikuu pinda alisema mambo hayo mawili ambayo ni mauaji ya albino na mgogoro wa kugombea kuchinja mifugo yalikuwa magumu kwa taifa lakini yalimalizwa kwa mashauriano na ushirikiano baina ya pande hizo mbili pinda aliwaambia washiriki wa kikao hicho kilichoandaliwa na mtandao wa wabunge wa kupambana na kifua kikuu kuwa nguvu na ushawishi wa viongozi wa dini katika jamii ikitumiwa vema huweza kuvusha taifa kwenye mambo magumu tulipopata tu janga la mauaji ya walemavu wa ngozi nilikuja kanda ya ziwa kukutana na viongozi wa dini pamoja na watendaji wa serikali tuliwaambia viongozi wa dini kuwa chondechonde mkatusaidie jambo hili liishe leo hii mtu akiniuliza kulitokea nini mimi nitamwambia sijui ila ninachojua mauaji hayo hayapo alisema pinda wakati huo pinda alipitia kipindi kigumu baada ya kuwaambia wananchi mkoani tabora kuwa wawaue watu ambao wangewaona wakiwachinja walemavu wa ngozi au albino kwa ajili ya kuchukua viungo vyao mkimuona mtu anamkata mwingine shingo naye muueni kwa kuwa sasa viongozi wote tumechoka hakuna zaidi siwezi kuvumilia zaidi alisema pinda akisisitiza kuwa kuwapeleka mahakamani ni kuwachelewesha lakini siku chache baadaye akabanwa bungeni kuhusu kauli yake kuonyesha kutoheshimu utawala wa sheria ndipo alipoomba radhi kwa kauli hiyo huku akibubujikwa na machozi pinda pia alizungumzia mgogoro wa kuchinja mifugo ulioibuka wilayani tunduma ambao ulisababisha wananchi waandamane ukatokea mtafaruku mwingine wa nani achinje na nani asichinje kati ya waislamu na wakristo kha pale nikaona uwaziri mkuu ni mchungu kwelikweli lakini tulichukua mtindo huuhuu wa kuwaita na kuzungumza na viongozi wa dini na kukaa pamoja alisema nakumbuka nilienda na geita tukaitisha kikao cha viongozi wa madhehebu ya dini tukajaribu kuwaelewesha vizuri sana mungu ni mwema jambo hilo nalo likaisha wote tukabaki kuulizana tukisema kulitokea nini mgogoro huo wa kuchinja ulidumu kwa takriban siku tatu baada ya wananchi kutoridhishwa na ushauri wa mkuu wa mkoa wa wakati huo wa kuwataka wasubiri ufumbuzi wa tatizo na hivyo kuhamasishana kuandamana na kuchoma matairi mitaani hadi polisi walipowatuliza kwa mabomu ya machozi na maji ya kuwasha katika vurugu hizo walikuwemo pia viongozi wa kidini pinda alisema kwamba matukio hayo mawili na mengine mengi yaliyowahi kutokea nchini ni uthibitisho kuwa viongozi wa dini wana nguvu na ushawishi katika jamii kutokana na imani ya waumini kwao na wakitumika vema wanaweza kusaidia kutatua mambo mengine kwa faida maendeleo na maslahi ya taifa ukaribu wao na mungu na ushawishi wao kwa jamii unawafanya viongozi wa dini kubeba kundi kubwa la watanzania wanaowaamini na kuwasikiliza sana hata katika hili la kupambana na kifua kikuu watatuvusha alisema pinda maarufu kama mtoto wa mkulima aliwataka wananchi kufanya kazi kwa bidii kupambana na maadui watatu ujinga maradhi na umaskini kufanikisha mpango wa kuwa na taifa lenye uchumi wa kati ifikapo 2025 ukitangaza vizuri gonjwa hili linaloitwa tb na utapiamlo utavihusisha na maadui watatu waliotajwa na baba wa taifa alisema
2019-12-09T14:33:11
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/siasa/Pinda-ataka-viongozi-wa-dini-wahusishwe-katika-migogoro/1597436-5369018-trpwdez/index.html
nitonyeni tanzania siasa haileweki tanzania siasa haileweki habari za kusikitisha sana wakati raisi anaangu mtu anasimama na kusema ccm oyeehivi kweli hili ni jambo la kufurahishaheb tuliangalie kwa umakini sana au huyu mtu aliua anajua kinachoendelea hadi aseme ccm oyeehivi jamani ni haki kweli hiimi nataka huyumtu aliyesema ccm oyee wakati alipo anguka raisi afanywe uchunguzi wa kina maana lilelilikua ni jambo la huzuni yeye analifurahia sio haki kabisa maana ni kitu ambacho watu wote wame kiona dunia nzima sio tanzania peke yaehebu toeni maoni yeanu jamani
2018-09-26T05:23:00
http://nitonyeni.blogspot.com/2010/09/tanzania-siasa-haileweki.html
shaaban singano wapeleka kilio toto azam fc ikiua 20 | the official website of azam football club shaaban singano wapeleka kilio toto azam fc ikiua 20 by abducado emmanuel on may 13 2017 klabu bingwa ya afrika mashariki na kati azam fc imezidi kufanya kweli baada ya kuichapa toto african ma bao 20 katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara (vpl) uliomalizika usiku huu kwenye uwanja wa azam complex chamazi dar es salaam wakati ushindi huo ukizidi kuipa matumaini makubwa azam fc kumaliza katika nafasi ya tatu ya ligi baada ya kufikisha jumla ya pointi 52 kwa upande wa toto hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wao ambapo kwa sasa wanahitaji kushinda mechi zao mbili zilizobakia kwenye ligi ili kuepuka janga la kushuka daraja katika mchezo huo kocha mkuu wa azam fc aristica cioaba aliendelea na mfumo wake wa 343 akiwatumia mabeki watatu wa kati aggrey morris yakubu mohammed na daniel amoah mfumo ambao umeonekana kufanya vema tokea alipoanza kuutumia lakini mromania huyo aliwakosa wachezaji wake muhimu wa kikosi cha kwanza kwenye eneo la kiungo nahodha msaidizi himid mao ninja ambaye bado hajarejea nchini baada ya kuwa kwenye majaribio katika timu ya randers ya nchini denmark frank domayo mwenye maumivu ya nyama za nyuma ya paja na stephan kingue aliyekuwa akitumikia adhabu ya kukusanya kadi tatu za njano iliichukua dakika 12 tu azam fc kuweza kuandika bao la uongozi lililofungwa kwa kichwa safi na shaaban idd aliyeunganisha krosi nzuri ya beki wa kushoto bruce kangwa bao lilomfanya kufikisha jumla ya mabao saba kwenye chati ya ufungaji bora msimu huu kinda huyo alijikuta akikosa bao jingine la wazi dakika mbili baadaye baada ya kuiparaza kwa mguu wake krosi safi nyingine iliyochongwa na kangwa na hivyo kufanya mtanange huo umalizike kipindi cha kwanza kwa uongozi wa bao hilo azam fc iliyofanikiwa kumiliki mchezo huo kwa kiasi kikubwa iliweza kuongeza kasi ya mashambulizi kipindi cha pili na katika dakika ya 46 beki wa kulia shomari kapombe aliwatoka mabeki wa toto na kupiga shuti lililopanguliwa na kipa na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda jitihada za kapombe za kutaka kuipatia bao jingine azam fc ziliweza kuzaa matunda dakika ya 50 baada ya kuipenya ngome ya ulinzi ya toto na kutoa pande safi kwa singano ambaye alikutana na mpira huo uliokuwa ukielekea kutoka na kuutumbukiza wavuni na kuiandikia bao la pili mabingwa hao wa ngao ya jamii na kombe la mapinduzi msimu huu matajiri hao wa azam complex walizidi kulisakama lango la wapinzani wao ili kutaka kupata mabao zaidi lakini nguvu kubwa walizokuwa wakizitumia kwa nyakati fulani ziliweza kuzimwa na mwamuzi wa mchezo huo shakaile ole yangalai kutoka mkoani arusha ambaye kwa kiasi kikubwa alishindwa kutafsiri sheria 17 za mchezo wa soka huo ni ushindi wa sita kwa azam fc dhidi ya toto african kwenye mechi 12 za ligi walizokutana tokea msimu wa 2009/10 huku toto ikiwa imeshinda mara moja tu na mechi tano wakienda sare jumla ya mabao 34 yamefungwa (azam fc 24 toto 10) mara baada ya mchezo huo kikosi cha azam fc kitakuwa na mapumziko ya siku mbili kabla ya kuanza rasmi mazoezi jumatatu ijayo jioni kujiandaa na mchezo wa mwisho wa ligi dhidi ya kagera sugar utakaofanyika uwanja wa azam complex mei 20 mwaka huu saa 1000 jioni mechi hiyo itafanyika jioni kutokana na michezo yote ya mwisho ya ligi kufanyika muda mmoja ili kukwepa upangaji matokeo aishi manula shomari kapombe bruce kangwa daniel amoah aggrey morris erasto nyoni shaaban idd/khamis mcha dk 70 salum abubakar john bocco (c)/gadiel michael dk 90+2 ramadhan singano/masoud abdallah dk 86
2018-05-23T03:00:27
http://azamfc.co.tz/content/shaaban-singano-wapeleka-kilio-toto-azam-fc-ikiua-2-0
katika mashindano hayo chipukizi isiaka daudi anayechezea klabu ya lugalo alikuwa ni miongoni aliyekuwa anawasumbua wachezaji wa timu ya taifa akiwemo victor josephabasi adamu na frank mcharo wachezaji wa timu ya taifa ya tanzania ya mchezo wa gofu wameanza kuingiwa na mchecheto kuchukuliwa nafasi zao katika timu hiyo na wachezaji chipukizi wanaoibuka hivi sasa wasiwasi huo umeanza kuingiwa baada ya wachezaji chipukizi kushiriki katika mashindano ya kutafuta wachezaji watakaowakilisha tanzania katika mashindano ya kanda ya nne ya afrika nchini burundi juni mwaka huu katika mashindano hayo chipukizi hao waliweza kuonyesha viwango cha hali ya juu siku zote nne za mashindano hali iliyofanya wachezaji wazoefu wa timu ya taifa wacheze kwa uangalifu mkubwa kuhofia kushindwa mashindano hayo ya kufuzu kuchezea timu ya taifa yalichezewa kwenye viwanja vya kili gofumoshi gymkhana tpc na arusha gymkhna daudi katika mashindano hayo alishika nafasi ya tanohuku nafasi ya kwanza mpaka ya nne ikichukuliwa na victor josephfrank mcharo abas adamu na richard mtweve akizungumzia kuhusiana na chipukizi hao naodha wa timu ya taifa ya tanzania victor joseph alisema kutokana na viwango walivyoonyesha daudi na juma likuli alidai wana uwezo kuchezea timu ya taifa tumecheza pamoja tangu mwanzo na tulikuwa tunashindana hasa na tungeweza kuwadharau nafasi za juu zingechukuliwa na chipukizi hawa alisema joseph akizungumzia maendeleo yake daudi alisema klabu ya gofu ya lugalo imeweza kumfanya aonekane ana uwezo mzuri wa uchezaji kutokana na klabu hiyo kuwadaa vizuri kwa program ya ufundisha gofu kwa vijana waliyo nayo
2019-05-19T14:58:05
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/1799484-5117786-nlw3ew/index.html
ajira ualimu biology & chemistry jamiiforums ajira ualimu biology & chemistry thread starter matindi1 matindi1 habari za muda huu wana jf mm ni muhitimu wa degree ya ualim mwenge catholic university moshi kwenye bachelor of education science biology & chemistry natafuta ajira au sehem ya kujitolea na kulipwa posho mkoa wowote ule pia nina uzoef wa miezi 6 na pia nina uzoefu katika utumiaj wa computer programa kama vile ms word power pointexcelpublisher internet & email pia naweza kufundisha computer katika programnilizotaja kama kuna kazi nyingne yoyote nafanya kwasasa nipo moshi ila naweza kufanya kazi kokote masiliano 0753729699 au 0713968030 amoury07890 kuwa makini humu ili limenitokea mim wamenifata inbox nimewapa namba wakasema niwatumie cv yangu baada ua siku 3 wakasema naweza kuitwa cv yangu imepitamaana nina experience ya miaka minne 4 chemistry and biology shule yenyewe ipo tunduma mtaaluma akajifanya anaomba pesa ili aprint cv yangu na attachment zote tena aprint colourednikamwambia kama ni hvyo kazi basi sitakiiiso be care kuna vitapeli vidogodogo 249 82 45 amoury07890 said mkuu hiyo shule namimi walinipigia kuwa cv yang iko sawa lakin kuna mashaka maana nikama sio waaminifu tutupie namba za hawa matapeli ili wana jmii wawafahamu tapeli huyu anajifanya eti nataka nikaprint cv coloured hahah sasa hapo ndio utajua cjui cv ya rangi ganiatumwe pesailasi secschool kuweni makini nayo mkuu kumbe hyo shule unawajua hawa jamaa n tabu wednesday at 924 pm #7 namba mwisho 56
2019-02-19T05:00:45
https://www.jamiiforums.com/threads/ajira-ualimu-biology-chemistry.1543955/
news and events | earth sciences institute of shinyanga esis tangazo uchukuaji wa vyeti na uhakiki wa matokeo published 3 september 2019 200 pm | by web admin 1 wanafunzi wote wafike chuoni kuchukua vyeti vyao kabla ya tarehe 28092019 2 wanafunzi wote wahakikishe matokeo yao yapo sawa na wamepata award verification number (avn) kutoka nacte kabla ya tarehe 28092019 kwa maulizo yoyote kuhusiana na tangazo hili wawasiliane na mr geofrey/mkuu wa idara ya taaluma kabla ya tarehe 28092019 special and supplementary examination time table august 2019 published 23 august 2019 443 am | by web admin special and supplementary examination time table final draft august 2019 1 file(s) 13598 kb posted in announcements exams timetable our blog | leave a comment published 18 august 2019 1203 am | by web admin 1 wanafunzi wote wenye shida mbalimbali za mitihani na matokeo yao wanapaswa kuwasilisha shida hizo kwa mr geofrey kabla ya tarehe 22082019 2 mitihani ya supplementary special na carryovers itafanyika kuanzia tarehe 26082019 mitihani hii ina gharama zifuatazo a supplementary examination fee ni tshs 30000 @ module b special examination fee ni tsh 30000 @ continue reading → posted in announcements our blog | leave a comment esis final results 20182019 august 2019 published 5 august 2019 607 pm | by web admin download the end of year examination results for third year semester ii students august 2019 esis emg final results 20182019 august 2019 6700 kb 19 downloads end of year examination results for third esis pg final results 20182019 august 2019 continue reading → posted in announcements results | leave a comment posted in exams timetable
2020-01-20T17:02:48
https://www.esis.ac.tz/category/news-and-events/
mradi wa mpango wa kunusuru kaya maskini (tasaf iii) katika mkoa wa mwanza mpango wa kunusuru kaya maskini ni mojawapo ya mradi katika programu ya mfuko wa maendeleo ya jamii awamu ya tatu (tasaf iii) ulizinduliwa mkoani mwanza oktoba 2014 na utekelezaji wake ulianza julai 2015 lengo la mpango ni kuziwezesha kaya maskini kuongeza kipato fursa na kuongeza ufanisi katika matumizi ya chakula afya na elimu kimkoa mpango huu unatekelezwa katika wilaya 7 za nyamagana ilemela magu kwimba misungwi sengerema na ukerewe hali ya utekelezaji wa shughuli za tasaf awamu ya tatu shughuli zilizokwishatekelezwa na zinazoendelea kutekelezwa na mpango huu ni pamoja na utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini ulihusisha jumla ya mitaa 142 na vijiji 362 na kuacha mitaa 205 na vijiji 122 ambayo haijaanza kutekeleza mpango huu jumla ya kaya 75142 zilitambuliwa na kupitishwa katika mfumo wa uhakiki wa kompyuta kwa kutumia vigezo vya utambuzi vilivyowekwa hivyo jumla ya kaya 62412 ziliandikishwa aidha kutokana na zoezi la kufuta kaya zisizo na sifa lililofanyika mwezi mei 2016 na kuendelea idadi ya kaya imepungua na kubaki 55829 kama inavyoonyeshwa katika jedwali lifuatalo jedwali na 1 idadi ya kaya zilizopo baada ya zoezi la uhakiki vijiji/ mitaa iliyohusika idadi ya kaya zilizotarajiwa kuandikishwa idadi ya kaya zilizoandikishwa kaya zilizobaki baada zoezi la kufuta zisizo na sifa (januari 2018) chanzo mamlaka za serikali za mitaa mkoa wa mwanza 2018 soma zaidi mpango wa kunusuru kaya masikini
2019-08-20T14:43:33
http://mwanza.go.tz/index.php/project-details/tasaf
makada kutoka chuo cha viongozi watendaji wa chama cha kikomunisti cha china (cpc) wafanya mazungumzo na mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam ~ blogu ya wananchi makada kutoka chuo cha viongozi watendaji wa chama cha kikomunisti cha china (cpc) wafanya mazungumzo na mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam
2017-05-26T14:59:42
http://www.williammalecela.com/2016/11/makada-kutoka-chuo-cha-viongozi.html
ukrainescottland na polisi wa sheria magazetini | magazetini | dw | 08092014 ukrainescottland na polisi wa sheria magazetini hali mashariki ya ukrainekura ya maoni ya scottland na mjadala kuhusu polisi ya sharia wuppertal na kuwashawishi wapita njia ni miongoni mwa mada magazetini nchini ujerumani miripuko yaripotiwa donetsk licha ya makubaliano ya kuweka chini silaha tuanzie lakini ukraine ambako licha ya makubaliano ya amani kutiwa saini ijumaa iliyopitapande zinazohasimiana zinalaumiana kuyaendeya kinyumeviongozi wa magharibi wanatahadharishagazeti la donaukurier linaandikawaziri wa mambo ya nchi za nje wa ujerumani frankwalter steinemeir hajakosea alipozungumzia wasi wasi kama makubaliano ya kuweka chini silaha yataheshimiwamkataba huo unaangaliwa kama kipindi kifupi cha kuvuta pumzifursa ndogo ya kutafakarindio maana nchi za magharibi zinabidi kufanya kila liwezekanalo ili kutoipoteza fursa hiyokutunisha misuli na kufanya luteka za kijeshi pamoja na kuipatia silaha serikali ya mjini kiev sio dawakinachohitajika ni juhudi kubwa zaidi za kidiplomasia pamoja na kiev na moscow mzozo wa ukraine umewafanya wajerumani wabadilishe msimamo wao kuelekea jumuia ya kujihami ya natogazeti la hannoversche allgemeine linaandikakwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliosimamiwa na kituo cha kwanza cha matangazo ya televisheni nchini ujerumaniardkwasasa ni asili mia nane tu ya wajerumani wanaohisi jumuia ya nato haina maanamiaka mitano iliyopitaidadi yao ilifikia asili mia 12chanzo cha hali hii ni kiu cha kujizidishia madaraka rais wa urusi vladimir putinumoja wa fakhari wa usovieti umevunjika sawa na zilivyotawanyika nchi za mkataba wa warsawukuta wa berlin umeporomoka mwaka 1989matarajio ya walimwengu hivi sasa ni kushuhudia ukuta mpya ukivunjika gorbatchov mwengine akichipuka na kumng'owa madarakani putin hatima ya umoja wa ulaya baada ya kura ya maoni ya scottland bendera ya scottland kura ya maoni itakayoamua kama scottland iendelee au la kuwa sehemu ya uingereza inawakosesha usingizi sio tu viongozi wa serikali mjini london bali pia wale wa umoja wa ulaya mjini brusselsgazeti la volksstimmen la mjini magdeburg linaandikasaa mashuhuri ya big ben ya mjini london inastahiki kuanzia sasa kuonya usiku na mchanauingerezatangu miaka 300 iliyopita haijawahi kujikuta hatarini kama sasawakaazi wa scottland wanapigania kujitenganchi hiyo ya kifalme ya uingereza inatishia kudhoofikakitakuwa kishindo kikubwa kwa malkiawaziri mkuuwakaazi wa uingereza na hata kwa umoja wa ulayakwasababu licha ya hofu zote kuelekea sarafu ya eurouingereza ni mmojawapo ya mihimili ya umoja wa ulayabrussels itakabiliana vipi na uingereza iliyogawikakamishna wa masuala ya mtengano hajatajwa katika orodha ya makamishna itakayotangazwa wiki hii na kiongozi wa halmashauri kuu ya umoja wa ulaya jean claude junckerisingekuwa vibaya lakini tukizingatia vitisho kama hivyo kutoka kataloni nchini hispania na kwengineko wafuasi wa itikadi kali wuppertal polisi ya sharia mjini wuppertalbwana mmoja wa cologne anafuatilizia ripoti kuhusu tukio hilo tumalizie yaliyoandikwa magazetini kwa mjadala uliozuka humu nchini baada ya kundi la wafuasi wa itikadi kali kuteremka majiani mjini wuppertal wakivalia vikoti vilivyoandikwa polisi ya shariagazeti la nordbayerische kurier linaandikakwa mkumbo mmoja nchi imekurupukapolisi ya sheria mjini wuppertal imewagutua wananchihatimae watu wanatambua hatari inayotokana na wafuasi wa itikadi kali wasioijali serikalicha kutia moyo ni ile hali kwamba vyama vyote vya kisiasa vimesimama kidete kupambana na hatari hiyohata kama kuna wanaotaka kuitumia hali hiyo kujipendekezawatambue tu wanapovutana juu ya nani kashindwa kufanya nini katika juhudi za kupambana na wafuasi wa itikadi kaliwanawapa nguvu wafuasi wa siasa kali tu za mrengo wa kulia maneno muhimu ukraine urúri nchi za magharibi ujerumani umoja wa ulaya scottland kiungo http//pdwcom/p/1d8dx waingereza waunga mkono brexit 24062016
2018-01-23T08:57:10
http://www.dw.com/sw/ukrainescottland-na-polisi-wa-sheria-magazetini/a-17907829
matumizi ya karoti na asali kutibu presha ya kushuka ackyshine minisites | best of 2019 1 tengeneza glasi moja ya juisi ya karoti 2 weka vijiko vikubwa viwili vya asali ndani yake na kisha changanya vizuri 3 kunywa yote asubuhi tumbo likiwa tupu na jioni glasi nyingine kwa majuma kadhaa soma na kutoa maoni kuhusu matumizi ya karoti na asali kutibu presha ya kushuka endelea kusoma makala hizi zinazofanana na hii ya matumizi ya karoti na asali kutibu presha ya kushuka unaweza kutumia lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo endelea kusoma kunywa mchanganyiko huu kila siku asubuhi ukiamka tu tumbo likiwa tupu endelea kusoma juisi hii ni nzuri sana katika kutibu shinikizo la juu la damu endelea kusoma [kitendawili kwako] 👉chakata kama kisu kikaii [video nzuri] 👉angalia hii sigara ya ajabu [kichekesho kwako] 👉maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa mchele mpunga 4 vikombe endelea kusoma mchele 3 magi endelea kusoma [picha nzuri] 👉haya mahusiano yalivyoishia ni maajabu [sms kwa umpendaye] 👉sms ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako unayempenda matumizi ya kahawa kutibu presha ya kushuka au shinikizo la chini la damu🍴 matumizi ya lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu🍴 unachotakiwa kujua kuhusu shinikizo la chini la damu🍴
2019-09-20T11:56:33
http://www.ackyshine.com/mapishinalishe:matumizi-ya-karoti-na-asali-kutibu-presha-ya
mwenyekiti wa uzalendo kwanza steve nyerere agonga hodi takukuru habari na matukio home burudani habari habari na matukio habari za kijamii mwenyekiti wa uzalendo kwanza steve nyerere agonga hodi takukuru mwenyekiti wa uzalendo kwanza steve nyerere agonga hodi takukuru kajunason at july 30 2019 burudani habari habari na matukio habari za kijamii mapema leo mwenyekiti wa uzalendo kwanza steve mengele almaarufu steve nyerere (kushoto) amemtembelea ofisini kwake jijini dar es salaam mkurugenzi mkuu wa takukuru cp diwani athumani na kubadilisha mawazo ikiwa ni katika kuhakikisha wasanii wanakuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupamba na vitendo vya rushwa mkurugenzi mkuu wa takukuru cp diwani athumani (kulia) akimkabidhi mwenyekiti wa uzalendo kwanza steve mengele almaarufu steve nyerere (kushoto) kitabu chenye kanuni na miongozo katika kupambana na rushwa mara baada ya kumaliza mazungumzo yao burudani habari habari na matukio habari za kijamii burudani habari habari na matukio habari za kijamii
2020-01-24T00:39:53
https://www.kajunason.com/2019/07/mwenyekiti-wa-uzalendo-kwanza-steve.html
hadithi malipo ya ukarimu1 malipo ya ukarimu1 alex ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 22 tu lakini tayari alikuwa amepata nafasi ya kuingia chuo kikuu kwa mara ya kwanza katika maisha yaka akiwa mwenye furaha tele alex alivuta kumbukumbu ya yale yaliyowahi kumtokea huko nyuma ambapo alikumbuka maisha machungu aliyoyapitia ilikuwa ni vigumu kwake kuamini kama kweli siku moja angefika chuo kikuu mara nyingi kila akikumbuka ya nyuma machozi yalikuwa yakimlenga akitamani kulia lakini alijipa moyo na kuona kama ni sehemu ya maisha ambayo hata wanadamu wengine wanayapitia thanks god leo nimeona jina langu kuwa naenda chuo kikuu duh siamini hayo yalikuwa ni mawazo ya alex akifikiria jinsi maisha yanvyobadilika baada ya muda wa mwezi mmoja tayari alex alikuwa katika maandalizi muhimu ya kwenda chuoni alikuwa amepangwa kwenye chuo cha st augustine university of tanzania tawi la tabora hili lilikuwa ni tawi jipya ambalo lilikuwa limefunguliwa hapo tabora ilikuwa ni furaha isiyo na kifani safari yake ilianzia moshi mjini kuelekea arusha tayari kwa kusafiri kwenda tabora kwenda kuona kwa mara ya kwanza jinsi gani ambavyo maisha ya chuo kikuu hali ilikuwa si ya kawaida ndani ya gari la kutoka moshi hata hivyo alifika arusha mnamo saa 12 jioni na alipofika tu alimpigia simu rafiki yake omary ambaye alikuwa anasoma arusha technical college akaungana na omary pamoja na rafiki yake aliyekuwa anasafiri kutoka moshi kwenda tabora walilala hapo chuoni siku hiyo ki uhalisia alex hakupata hata lepe la usingizi usiku huo alipata shida usiku huo maana mawazo juu ya hali ambayo wangekutana nayo huko chuoni hakuijua wala hakuwahi kufahamu watu huwa wanaishi vipi huko chuoni kwa mawazo yake alifikiri kuwa pengine mtu akienda chuoni atakuwa anaishi kama mwanafunzi wa boarding wa alevel hayo yalikuwa ni mawazo tu ambayo yalikuwa yakimsumbua kijana wetu alex asubuhi waliamka asubuhi na mapema kuwahi usafiri wa basi iliwasije wakachelewa kuelekea chuoni walipofika hapo stendi ya mabasi walipanda gari tayari kwa safari ya kuelekea tabora ambapo matumaini ya safari yake yalikuwa ni kuitimiza malengo yake ambayo alikuwa anayalilia kwa muda wa miaka mingi baada ya kuuacha mji wa arusha aligeuka pembeni mwa siti yake alishituka sana macho yalimtoka kwa taharuki ambayo hata mwenyewe hakujua kama ametaharuki namna ilepamoja na kwamba alex alikuwa anasikiliza mziki kwenye ipod yake lakini hakusikia tena huo mziki ilikuwa ni kazi ngumu kuzuia hisia zake je alex ameona nini au ndio malipo yaukarimu je ni ukarimu upi huu ambao alex analipwa au analipa ungana na jumatano hii toa maoni juu ya hadithi hii posted by meshack jackson at 148 am love stories coming soooooooooooooooon
2017-11-23T18:43:36
http://menacotzhadithi.blogspot.com/2012/07/malipo-ya-ukarimu.html
5732 5793 280 saturday at 1244 pm #81 wewe zako zimejazwa na tope mkuu saturday at 1248 pm #82 jamaa muhuni saturday at 812 pm #83 mbona umepanic 1059 303 180 saturday at 821 pm #84 naona umenena kwa lugha saturday at 824 pm #85 mie nipanic hebu toa upuuzi wako hapa 570 357 80 saturday at 829 pm #86 bibie umchome mtu kisu tena au upo kwenye siku zako 414 317 80 saturday at 833 pm #87 we dogo punguza hasira saturday at 833 pm #88 simpendi huyo mbwa saturday at 834 pm #89 a joke about trying to kill me are you in your right mind he is talking about the president dimwit na ujichunge sana utachomwa visu kweli saturday at 834 pm #90 litakuseta na kukusaga tikitiki saturday at 854 pm #91 na huyo mchomaji kisu anakuja kunichoma kisu kuhusu huyo kichaa nami namuangalia tu mpumbavu kweli wewe 15687 8156 280 saturday at 910 pm #92 kwani mlienda kule kakonko kuhoji uraia wa nchi gani vile saturday at 922 pm #93 saturday at 924 pm #94 kwa hiyo visa yake ya kuishi hapa nchini inaisha lini 6492 559 280 saturday at 925 pm #95 basi na wewe ni mwehu unaongelea kuchoma mtu kisu kwa sababu gani wafuasi wa jpm hawako hivyo koma saturday at 933 pm #96 you will be a bitter person for the rest of your sadistic life saturday at 941 pm #97 dont pretend that you know anything about me i know what i am talking about and i always write the truth about this mediocre government i wish you could speak to those who know me very closely and share with you my characteristics as a person 4962 3204 280 saturday at 1000 pm #98 bora umezungumzia hali yako halisi kuwa ama wewe ni fuko ndezi pimbi au panya na bandiko lako linasadifu uhalisia wako wawezaje kumlazimisha mwingine afuate unachoshabikia haiyumkini wewe ni musiba na au wasiojulikana ambao hulazimisha wengine wafuate wanachoamini wao kwa kuwa unalipwa na ndio kutolewa shimoni hivyo unasahau msemo wa wahenga ya kuwa kila auae kwa upanga hufa kwa upanga andaa shingo kwani wakimalizana nasi utafuata wewe zjilala 264 215 60 saturday at 1003 pm #99 ntinginya machalo 137 63 45 saturday at 1008 pm #100 huo ni utanina huyo ni mtani wake hapo safi tu
2019-01-17T18:11:25
https://www.jamiiforums.com/threads/alichokizungumza-kwenye-mapokezi-ya-ndege-sicho-walichotegemea-kusikia.1534537/page-5
ile picha ya shilole akiwa wazi sehemu za juu za mwili wakeimesababisha basata kutoa kauli hii millardayocom ile picha ya shilole akiwa wazi sehemu za juu za mwili wakeimesababisha basata kutoa kauli hii siku chache zikiwa zimepita tangu picha ambayo ilimuonyesha msanii shilole kuwa wazi baadhi ya sehemu zake za juu akiwa stejini nchi ya ubeligijimei 14 baraza la sanaa tanzania(basata) wameamua kutoa taarifa yao ambayo imetolewa na katibu mkuu godfrey mngerezamtu wako wa nguvu barua hiyo imenifikia naomba kushare na wewe ← previous story alicios na ukweli kuhusu vita ya congo video ya mapenzi au pesa na msami kuumia mguu #255 next story → ayotv ilichonasa kwenye baby shower ya aunty ezekiel kajala na mose iyobo walikuwepo wema
2020-02-20T00:15:23
https://millardayo.com/bstnws/
vitabu vya kwanza panorama ya biblia na imani yetu ndiyo ushindi vilitolewa mwaka 1980 na kuchapishwa na nuschdruck gummersbach ujerumani vitabu vyote viwili vilitafsiriwa kutoka kijerumani na helmut grf aliyekuwa mwanzilishi wa chuo cha biblia nanjoka tunduru mkoa wa ruvuma tanzania palikuwa na uhitaji wa kuandika au kutafsiri vitabu vinavyoeleza biblia kwa walimu na wanafunzi wa biblia afrika mashariki kisha helmut grf alianza kutafsiri ufafanuzi wa agano jipya katika vitabu 5 vinavyoitwa agano jipya lasema no 1 hadi 5 na badaye aliongeza vitabu 10 vya agano la kale lasema no 1 hadi 10huu ni ufafanuzi wa kwanza wa kiswahili wa biblia nzima mfululizo una vitabu 15 na ulitolewa mwaka 1986 hadi 1990 badaye vitabu vyote 15 vilijumlishwa katika kitabu kimoja kinene kinachoitwa bibla inasema na kutolewa mwaka 2000 dodoma kazi ya kusambaza vitabu haikuwa rahisi kutoka tunduru kusini mwa tanzania kwa hiyo kanisa la biblia publishers walihamia kwenye mji mkuu wa tanzania dodoma kutoka hapo katikati ya nchi usambazaji uliendelea vizuri tangu mwaka 1993 wakati wa ujenzi wa kituo cha maandiko dodoma kuanzia mwaka 1991 nd helmut grf aliendelea kutafisiri kamusi ya biblia kutoka kiingereza kitabu hiki muhimu cha rejea kilichoandikwa na don fleming kilitolewa dodoma mwaka 1995 hatua nyingine kubwa ilikuwa kutafsiri na kutoa vitabu viwili vya erich sauer kutoka kijermunai kuhusu historia ya wokovu vitabu viwili the dawn of world redemption na the triumph of the crucified vilitolewa mwaka 2003 katika kitabu kimoja kinachoitwa ufunuo wa mungu na itikio la imani kwa kutumia kitabu hiki msomaji wa panorama ya biblia anaelewa vizuri zaidi historia ya mungu na wanadamu kitabu cha mwisho kilichotolewa kimeandikwa na john stott na kinaitwa wito wa viongozi wa kikristo kitabu hiki kinafundisha mikakati ya uongozi kufuatana na 1 wakorintho sura ya 1 hadi 4
2017-09-25T14:59:12
http://klb-publishers.org/klb_historia.html
seriously watank men mko wapi | jamiiforums | the home of great thinkers seriously watank men mko wapi discussion in 'jukwaa la siasa' started by bongotz may 21 2008 baada ya wengine wote (waandamanaji) kuwa wamenyamazishwa tuli na zaidi ya watu mia saba wakiwa wameripotiwa kuuawa picha ya shujaa mwenye shati jeupe na suruali nyeusi akiwa amesimama peke yake mbele ya sanjari ya vifaru vya kijeshi vilivyokuwa vikiviringika kuelekea kwenye viwanja vya tiananmen kuwatawanya wanafunziwandamanaji wa kichina itabaki kuwa na sehemu ya pekee kila mara siku ya kistroria ya jumatatu june 4 1989 itakapokumbukwa wang weilin ni jina bandia alilopewa rais mstaafu jiangzemin (kipindi hicho katibu mkuu wa ccp) alipotaka kujua zaidi kuhusu mwandamanaji huyo lakini ukweli ni kwamba hadi leo hii hakuna anayefahamu jina lake halisi kiasi cha kupelekea abatizwe jina bandiathe tank man ingawa baadhi ya wachunguzi wa mambo ya kisiasa wanadai kuwa umri wake ulikuwa umepita kwa yeye kuwa mwanafunzi kilichomsukuma kusimama peke yake mbele ya sanjari ya vifaru vilivyokuwa vikielekea tiananmen square huenda pia ndicho kilichomsukuma gandhi kuandamana kwa mfungo wa siku 21 bila kula wakati akipigania uhuru wa india kitu hicho ambacho mwanafalsafa wa kale lau tzu hukiita the tao (virtue) yumkini ndicho pia kilichowasukuma wanaharakati wa miaka ya sitini (1960s) kama vile martin luther king jr ho chi minh patrice lumumba na wengine wengi kusimama kidete na kupinga vitendo vya udhalimu na uonevu vilivyokuwa vikiendeshwa na kundi la watu wachache waliodhani kuwa wanahaki ya kufanya kila walichojisikia kufanya pasipo kuulizwa na mtu yeyote yule the tank man anatukumbusha kuwa mchakato wa mabadiliko yoyote yale yawe ya kisiasa kijamii ama kiuchumi hayataletwa na viongozi wenye majina makubwa yaliyozoeleka masikioni mwetu (malecela kingunge malima mwinyi chambiri msuya sitta chenge ) bali mabadiliko halisi yataletwa na raia wa kawaida watakaohiyari kujitoa mhanga kutetea maslahi ya taifa bila kujali madhara yanayoweza kuwakumba hapo baadaye kama rais kennedy alivyowahi kusema utu wa kweli umekamilika ndani ya yule anayediriki kufanya kila awezacho kutetea haki na uhuru wake pasipokujali madhara yanayoweza kumkumba hapo baadaye enough is enough wakati umefika sasa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu shule za sekondari wakulima vijijini pamoja na tasisi mbalimbali nchini kuiga ujasiri wa the tank man na kuanza rasmi kutetea maslahi ya taifa letu pasipokujali madhara (personal consequences) yanayoweza kuwakumba hapo baadaye kama ilivyo kwa nchi za magharibi tunapaswa sasa kuanzisha vikundi vidogovidogo ( grassroots movement ) vitakavyo hakikisha kuwa viongozi tuliowachangua wanawajibika na kutumika kwa ajiri ya wananchi na si vinginevyo grassroots movement hizo zipange na kuorganize mambo mbalimbali yanayowabana viongozi waliowachaguliwa ili kuhakikisha kuwa maslahi ya taifa zima na sio ya watu wachache (mafisadi) daima yanawekwa mbele mambo kama >kuorganize mikutano mikubwa ya hadhara na kuwakemea viongozi manafiki >wanaoweka mbele maslahi yao binafsi >kutundika mabango makubwa ya billboard yenye ujumbe wa kushinikiza >kukusanya sahihi kupetition jambo linalowakera >kuchangisha hela za kurusha matangazo ya kampeni kwenye tv radio na magazetini >kuorganize maandamano makubwa nchi nzima pale wananchi wanapoona nchi inaelekea kusipo >wananchi wawaandikie wabunge wao kuwaeleza kile kinachowakera >kuorganize get out the vote kwa kuwahamasisha watu kupiga kura ikiwezekana kuwasafirisha kwenda kwenye vituo vya kura kwamba dr harrison mwakyembe ataporudi kuomba kula kyela movement imuulize mwaka huu unaahidi kuongeza vitanda vingapi katika hospitali ya wilaya kadhalika wananchi wa mbulu nao wamuulize philipo sangka marmo nini mikakati yako katika kutatua tatizo lililopo la upungufu wa wauguzi katika hospitali yetu ya wilaya endapo kama wataahidi kutatua matatizo hayo na kutoa maelezo ya kueleweka basi wapewe nafasi ya kurudi dodoma lau wasipotoa maelezo ya kueleweka basi movement itafute mbadala (alternative) kando na hayo movement pia itoe kipaumbele kwenye suala la marekebisho ya katiba katiba ya sasa inampa rais madaraka makubwa sana ya kiutendaji imefikia muda sasa kumpunguzia rais madaraka hayo na badala yake bunge na mahakama ziwe na mamlaka makubwa zaidi ya kuidhibiti serikali sambamba na hilo wakati umefika pia kwa mawaziri na naibu mawaziri wa serikali kuchaguliwa kutoka nje ya bunge kama ilivyo kwa nchi nyingi za magharibi mfano marekani haina maana kuwa na bunge ambalo nusu ya wabunge ni viongozi wa serikali pia katiba mpya iweke bayana kwamba mawaziri wote watoke nje ya bunge ili iwe rahisi kwao kuwajibika kwa wananchi kuliko ilivyo hivi sasa ikiwezekana pia wakuu wote wa wilaya/mikoa wapigiwe kura na wananchi ili wawajibike moja kwa moja kwa wananchi kuliko ilivyo sasa ambapo hutelewa na rais chamsingi hapa ni kupunguza madaraka toka kwa central government kwenda kwenye local government swali linalobaki wazi ni hili je watank men mko wapi mungu ibariki afrika mungu ibariki tanzaniaclick to expand kulikuwa hakuna haya ya kukoti bandiko lote na kuishia kusema ahsante ilhali ungeweza kusema ahsante kwa kubonyeza tu kulikuwa hakuna haya ya kukoti bandiko lote na kuishia kusema ahsante ilhali ungeweza kusema ahsante kwa kubonyeza tuclick to expand asante kibungango kwa post nzuri kibunango unachokisema nimeki note kutokea sana ahsante kwa kukidhihirisha wa tank hatuna bongosadly watu wame solicit walioko marekani kuandamana ubalozi wa tanzania dc with the exception of jmushi kila mtu kimya wa tank hatuna bongosadly watu wame solicit walioko marekani kuandamana ubalozi wa tanzania dc with the exception of jmushi kila mtu kimyaclick to expand wapo bwana lakini kwakuwa 'ndivyo tulivyo' hufanywa 'laughing stock' upepo unapowageukia in other words wanaogopa kufanywa laughing stock sasa wana tofauti gani na hao wapuuzi wanaowafanya laughing stock watank man bongo wapo tatizo ni ukosefu wa kiongozi (leader) wa kuwaunganisha na kuarticulate vision kisha wafuate (wakiwemo raia wa kawaida)
2017-04-23T14:16:47
https://www.jamiiforums.com/threads/seriously-wa-tank-men-mko-wapi.13588/
jamani noti fake kwenye atm zinatoka wapi tena | jamiiforums | the home of great thinkers jamani noti fake kwenye atm zinatoka wapi tena discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by white wizard apr 19 2012 jana nimekwenda bank ya nmbtemekekwenda kuchukua pesa kwenye atmnilitoa tshlaki moja cha ajabu wakati nazihesabu nikagundua kuna shelfu thelathini(wekundu 3) ni bandianikatoka nikaingia ndani kumuona customer managernikamuonyesha hizo fedhacha ajabu anasema haiwezekani kabisaeti nimekuja nazoikabidi niachane naona nilipoulizia wa2 wanasema mbonakwenye atm za nmb ni ki2 cha kawaida sanahivyo nachelea kusema kwamba mjiadhari kwani huwezi kukwepa na kurudishiwa haiwezekaniila mimi kuanzia sasa kama nachukua pesa nyingi nitalazimika kwenda kwa tellerjapo huwa hawataki nitapambanakwani cku unaweza kuta laki 2 zote fake c inakuwa balaana huu mchezo watakuwa wanaufanya wale wanaoongeza pesa kwenye hizi atmna zile hela fake nilimrushia meneja ungewawashia moto mpaka kwa meneja wangekupa haki yako tanzania shamba la bibi jana nimekwenda bank ya nmbtemekekwenda kuchukua pesa kwenye atmnilitoa tshlaki moja cha ajabu wakati nazihesabu nikagundua kuna shelfu thelathini(wekundu 3) ni bandianikatoka nikaingia ndani kumuona customer managernikamuonyesha hizo fedhacha ajabu anasema haiwezekani kabisaeti nimekuja nazoikabidi niachane naona nilipoulizia wa2 wanasema mbonakwenye atm za nmb ni ki2 cha kawaida sanahivyo nachelea kusema kwamba mjiadhari kwani huwezi kukwepa na kurudishiwa haiwezekaniila mimi kuanzia sasa kama nachukua pesa nyingi nitalazimika kwenda kwa tellerjapo huwa hawataki nitapambanakwani cku unaweza kuta laki 2 zote fake c inakuwa balaana huu mchezo watakuwa wanaufanya wale wanaoongeza pesa kwenye hizi atmna zile hela fake nilimrushia menejaclick to expand kumbe huu mchezo upo kote kote niliwahi kutoa fedha crdb ili nikazitume kwenye a/c ya mtu barcleys sikuwa na noti kubwa mfukoni (kwamba ningeweza dhani nimepata kwingine) so nikaenda atm ya crdb nikatoa laki na nusu nikazikunjia mfukoni mie huyooo moja kwa moja bank ya bacleys kwa uaminifu wangu kwa atm (kwa wakati huo) kulinifanya nisizikague zile pesa nilihamaki fedha zimewekwa kwenye kijimashine cha kuhesabia fedha noti moja ya 10000/ inakataa kabisaa tela akaichukua na kuniambia ni feki sikuamini ila ukweli ndo ulikuwa ndiyo huo vitambulisho na risiti ya atm ndivyo viliniokoa siku hiyo ni tabia mbaya sana na ukiingia ndani wanakataa ila ipo siku
2016-10-22T07:25:07
http://www.jamiiforums.com/threads/jamani-noti-fake-kwenye-atm-zinatoka-wapi-tena.253094/
maruffa vicenza wikipedia maruffa vicenza 45°38′55″n 11°22′44″e / 4564867°n 1137894°e / 4564867 1137894 maruffa (italije) maruffa je naselje u italiji u provinciji vicenza u regiji veneto maruffa vicenza na wikimedijinoj ostavi dobavljeno iz https//shwikipediaorg/w/indexphptitle=maruffa_vicenza&oldid=32997454
2020-03-30T17:54:44
https://sh.wikipedia.org/wiki/Maruffa,_Vicenza
dr mohamed gharib bilal december 2011 makamu wa rais mgeni rasmi hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa kiislam wa 1433 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waumini na viongozi wa jumuiya ya kiislamu ya istiqaama baada ya kumalizilika kwa halfa hiyo desemba 12 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akisoma hotuba wakati wa halfa ya kuukaribisha mwaka mpya wa kiislam iliyoandaliwa na jumuiya ya kiislam ya istiqaama tanzania tawi la dar es salaam hafla hiyo ilifanyika desemba 11 2011 katika ukumbi wa karimjee jijini makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akiagana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakati akiondoka kwenye ukumbi wa karimjee dar es salaam desemba 12 baada ya kumaliza shughuli ya hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa kiislam iliyoandaliwa na jumuiya ya kiislam ya istiqaama tawi la dar es salaam posted by dr mohamed gharib bilal at 0834 no comments makamu wa rais dkt bilal ahudhuria mkutano wa 17 wa mabadiliko ya tabianchi durbanafrika ya kusini makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akizungumza wakati wa mkutano wa majadiliano wa viongozi wakuu 194 wa nchi wanachama wa itifaki wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabianchi juu ya kupunguza uzalishaji wa gesijoto duniani kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 17 wa umoja huo uliofanyika jana desemba 6 mjini durban afrika ya kusini posted by dr mohamed gharib bilal at 1040 no comments makamu wa rais atoa rambirambi kwa familia ya marehemu david wakati makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa mtangazaji wa tbc david wakati alipofika nyumbani kwa marehemu huyo oysterbay jijini dar es salaam jana desemba 2 kwa ajili ya kutoa mkono wa pole marehemu wakati alifariki juzi jijini dar es salaam posted by dr mohamed gharib bilal at 0754 no comments makamu wa rais dkt bilal afungua barabara ya nelson mandela temeke jijini dar makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal na kaimu balozi wa umoja wa ulaya enrico strampeli wakifunua kitambaa kwa pamoja ikiwa ni sehemu ya ufunguzi wa jiwe la msingi la barabara wakati wa ufunguzi wa barabara hiyo ya mandela uliofanyika jijini dar es salaam desemba 2 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akipanda mti wa kumbukumbu baada ya kufungua rasmi barabara ya nelson mandela uliofanyika desemba 2 wilaya ya temeke jijini dar es salaam makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal na kaimu balozi wa umoja wa ulaya enrico strampeli wakikata upete kwa pamoja ikiwa ni ishara ya ufunguzi rasmi wa barabara ya nelson mandela uliofanyika leo desemba 2 temeke jijini dar es salaam kulia kwa makamu ni waziri wa ujenzi dkt john magufuli na (kulia) kwa balozi ni mkuu wa mkoa wa dar es salaam meck sadick makamu wa rais dkt bilal akutana na kuzungumza na watanzania waishio burundi makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akizungumza wakati alipokutana na watanzania waishio nchini burundi jana novemba 30 kushoto ni balozi wa tanzania nchini burundi dkt james mwasi nzagi (kulia) ni mwenyekiti wa kinamama wa jumuiya ya kinamama waishio burundi siwajibu hamis (wa pili kulia) ni mwenyekiti wa vijana wa jumuiya hiyo mutalemwa julian makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt mohammed gharib bilal akiwaaga baadhi ya watanzania waishio burundi baada ya kumaliza mazungumzo alipokutana nao bujumbura burundi jana novemba 30 na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea katika taifa la tanzania posted by dr mohamed gharib bilal at 0510 no comments makamu wa rais dkt bilal akutana na kuzungumza na makamu wa rais dkt bilal afungua barabara ya nelso makamu wa rais atoa rambirambi kwa familia ya mare makamu wa rais dkt bilal ahudhuria mkutano wa 17 w makamu wa rais mgeni rasmi hafla ya kuukaribisha m
2017-11-20T03:41:40
http://dkbilal2010.blogspot.com/2011/12/
budalangi rice scheme | watsupafrica africa's latest news & entertainment platform magoha takes over from amina mohamed who how it is working benson mugisha founder quick fire with ride safe founder benson money talk~ financial sacrifices one should make how ride safe is benefiting boda boda laikipia university students paralyse transport as they these are the wild fruits fed on making rice with mongolian beef & chocolate a farmer has been charged in an fake fertilizer claim in bungoma getting to know film makeup artist fatuo dairy farmers complain over influx of milk quick fire with seyi shay im a nation leadership forum mon 8th april 730pm budalangi rice scheme farmers in budalangi have returned to rice production following loans from the agricutural finance corporation according to the counties poverty index busia county is ranked as one of the counties with the highest populace living in poverty but even as the farmers in budalangi that is rwambwa and bunyala irrigation schemes prepare to plant rice with the rains agricultural finance corporation has stepped in to help farmers maximize on their rice output speaking at a seminar attended by the farmers the agricultural finance corporation managing director lucas meso said that budalangi has a greater potential to produce a lot in agricultural sector viongozi wa eneo la bonde la ufa wataka serikali kukaza kamba katika vita dhidi ya ufisadi viongozi wa eneo la bonde la ufa wameitaka serikali kukaza kamba katika vit mume amvamia mkewe eneo la teso kaunti ya busia mama mmoja katika eneo la teso kaunti ya busia anatafuta haki baada ya kuje amani yashuhudiwa baina ya jamii za wapokot na wamarakwet katika kipindi cha miezi miwili iliyopita wizi wa mifugo haujashuhudiwa ba watu wengine 2 wauliwa modogashe hali ya taharuki imetanda katika mpaka wa kaunti za isiolo na garissa eneo watau watatu wafariki eneo la simba kaunti ya makueni watu watatu wameaga dunia na wengine sita kujeruhiwa kwenye ajali iliyotoke magoha takes over from amina mohamed who moved to sports docket how it is working benson mugisha founder of ride safe quick fire with ride safe founder benson mugisha how ride safe is benefiting boda boda operators #tanzania maagizo ya waziri kamwelwe sitaki kuongeza neno nikawakwaza googl/zzq7e4 #tanzania wabunge cuf watoa kauli baada ya actwazalendo kudaiwa kupora mali za chama googl/jkxxah #kenya kiambu budget saga googl/xywwkc #kenya fake fertilizer claim in bungoma googl/8s6dmw #southafrica sas coal power stations are doing little to help the environment googl/zegdum
2019-03-26T19:40:40
http://watsupafrica.com/news/budalangi-rice-scheme/
seneta wa nasa amos wako akariri kuwa alipigia jubilee kura ▷ tukocoke seneta wa nasa amos wako akariri kuwa alipigia jubilee kura maoni 6159 seneta wa kaunti ya busia amos wako alifichua kuwa alimpigia aliyekuwa gavana wa bungoma ken lusaka katika wadhifa wa spika wa seneti wako alichaguliwa kuwa seneta kwa tiketi ya odm lusaka akiwa kigogo katika chama cha jubilee seneta wa kaunti ya busia amos wako amefichua kuwa alimpigia kura aliyekuwa gavana wa bungoma ken lusaka kwa wadhifa wa spika wa bunge la seneti licha kuwa wa jubilee yeye akiwa seneta wa odm chini ya nasa wako alisema kuwa alimpigia lusaka kura licha ya kuwa alichaguliwa kuwa seneta kwa tiketi ya odm chama cha upinzani lusaka akiwa wa jubilee seneta wa nasa akariri kuwa alipigia jubilee katika nafasi ya juu picha hisani wako ambaye alikuwa mkuu wa sheria kwa muda mrefu humu chini alifichua haya katik kongamano la viongozi wa magharibi mwa kenya siku ya jumanne februari 27 hafla iliyokuwa nyumbani kwake ken lusaka mjini nairobi spika wa seneti ken lusaka aliyekuwa ameanaa chajio kwa ajili ya viongozi wa magharibi picha hisani kwa ishara hiyo ndogo bw spika umeweza kuishi kwa majukumu yako kama spika kabla spika kuchaguliwa na bunge yeye huwa mwanachama wa chama lakini baada ya kuchaguliwa hupoteza huwa katikati aliwaambia viongozi lusaka alikuwa amewaalika viongozi wa magharibi ili kutatua tofauti zao za kisiasa ili kuchochea maendeleo ya eneo hilo ababu namwamba kenneth lusaka
2019-08-18T03:29:56
https://kiswahili.tuko.co.ke/267421-seneta-wa-nasa-amos-wako-akariri-kuwa-alipigia-jubilee-kura.html
mbelgiji aipigia hesabu azam mwanaspoti mbelgiji aipigia hesabu azam aussems hesabu zote kwa azam fc kocha patrick aussems anayeinoa simba amesema kwa sasa amesahau kwa muda matokeo ya mechi yao ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya ud songo ya msumbiji waliotoka nao suluhu ugenini na akili zake amezihamishia kwenye pambano lao la ngao ya jamii litakalopigwa jumamosi ijayo mechi hiyo ya kufungua msimu mpya wa ligi kuu bara utachezwa uwanja wa samora mjini iringa na kocha aussems amsema mara baada ya kumaliza mechi ya kwanza ligi ya mabingwa afrika dhidi ya ud songo ugenini akili zake zimeama huko kabla ya kucheza na ud songo mechi ya marudiano tutakuwa na mechi na azam hiyo ndio ambayo tunaifikiria kwa sasa amesema utakuwa mchezo mzuri na mgumu kwa timu zote mbili kutokana na maandalizi ambayo wamekuwa wakifanya hata ukubwa wa timu amesema na kuongeza kikubwa tumeanza kupiga mahesabu ya kucheza nao kwa maana aina ya mchezo utakavyokuwa na jinsi gani tunaweza kupata matokeo mazuri dhidi yao amesema aussems katika hatua nyingine zimepatikana habari za chini ambazo hazijathibitishwa kuwa huenda pambano hilo likahamishiwa jijini dar es salaam kutoka iringa katika muda na tarehe ile ile tunafuatilia kupata ukweli juu ya hili simba walinywea baada ya morrison kuonyesha shibobo zake uwanjani ndio maana kwa sasa unasikia kwa matokeo hayo manchester united sasa wamefufua matumaini ya kushiriki michuano ya ligi ya mtoto wa messi shabiki kindandaki wa ronaldo extra spesho meja kunta kupostiwa na swizz beatz nako kwiyo yanga yamsaka mshambuliaji wa dc motema pembe 1 soka aubameyang amkuna arteta arsenal ikiichakaza everton 2 soka ukweli ndivyo ulivyo yanga isipaniki ichague moja tu 3 soka manchester united yaichapa watford yapaa england 4 soka simba sc yajifua uwanja wa kirumba sven aiwaza stand united 5 soka ozil afichua siri ya kuikosa olympiacos 6 soka mechata aibeba yanga ikilazimisha suluhu kwa coastal union tanzania prisons 7 soka dakika 45 kipa coastal union aigomea yanga uwanja mkwakwani ngoma suluhu 8 soka mtoto wa messi shabiki kindandaki wa ronaldo 9 soka extra spesho meja kunta kupostiwa na swizz beatz nako kwiyo 10 soka kocha eymael aanza kuiondoa yanga katika mbio za ubingwa ligi kuu tanzania
2020-02-24T08:39:27
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Mbelgiji-aipigia-hesabu-Azam/1799484-5231696-iajgpz/index.html
papa francisko ijumaa ya huruma ya mungu awatembelea wagonjwa | vatican news papa francisko ijumaa ya huruma ya mungu tarehe 7 desemba 2018 awatembelea wagonjwa mjini roma papa francisko ijumaa ya huruma ya mungu awatembelea wagonjwa baba mtakatifu akiwa ameandamana na askofu mkuu salvatore rino fisichella rais wa baraza la kipapa la kuhamasisha uinjilishaji mpya ametembelea kituo cha casamica pamoja na kituo cha tiba cha il ponte e albero vilivyoko kusini mwa roma ili kuwajulia hali vijana na wagonjwa wanaopata tiba kutoka katika vituo hivi baba mtakatifu francisko wakati wa maadhimisho ya jubilei ya mwaka mtakatifu wa huruma ya mungu alijiwekea utaratibu wa kumwilisha matendo ya huruma kiroho na kimwili katika maisha yake dhamana ambayo anajitahidi kuiendeleza kila wakati anapopata fursa katika maisha na utume wake kama khalifa wa mtakatifu petro ijumaa tarehe 7 desemba 2018 baba mtakatifu akiwa ameandamana na askofu mkuu salvatore rino fisichella rais wa baraza la kipapa la kuhamasisha uinjilishaji mpya ametembelea kituo cha casamica pamoja na kituo cha tiba cha il ponte e albero vilivyoko kusini mwa roma ili kuwajulia hali vijana na wagonjwa wanaopata tiba kutoka katika vituo hivi kituo cha casamica ni mahali ambapo wagonjwa wenye kipato cha chini kiuchumi wanaweza kupata tiba ya muda mrefu huku wakiwa wanasindikizwa na ndugu zao hawa ni watu ambao wanakabiliwa na changamoto ya kupata mahitaji yao msingi kwa siku kumbe kituo cha casamonica ni kielelezo cha ushuhuda wa huruma ya mungu inayomwilishwa katika uhalisia wa maisha ya watu baba mtakatifu amepata nafasi ya kuweza kusalimiana na wagonjwa ndugu jamaa na wahudumu wa kituo hiki amesikiliza kwa makini simulizi za mateso na mahangaiko yao akawapatia neno la faraja dr lucia cagnacci vedani amemtembeza baba mtakatifu sehemu mbali mbali za kituo hiki ili kujionea mwenyewe hali halisi ya mateso na mahangaiko ya watu wa mungu kutokana na magonjwa ya muda mrefu kabla ya kuondoka kituoni hapo baba mtakatifu amewapatia zawadi na kumbu kumbu ya uwepo wake kituoni hapo ikumbukwe kwamba huruma ya mungu inapaswa kuendelea kumwilishwa katika maisha ya watu sehemu mbali mbali za dunia kama alama ya mwendelezo wa mwaka wa huruma ya mungu uliotoa nafasi kwa waamini kuonja tena huruma na upendo wa mungu usiokuwa na mipaka katika maisha yao baba mtakatifu baadaye ametembelea kituo cha il ponte e albelo hili ni kati ya maeneo ya roma yanayoogelea katika dimbwi la umaskini mkubwa baba mtakatifu amewatembelea vijana kumi na wawili ambao miezi kadhaa iliyopita walimwandikia barua kumwelezea matatizo changamoto na matamanio yao halali kwa siku za usoni kwa kuendelea kupata tiba mahali hapo walimwambia kwamba walitamani walau siku moja aende kuwatembelea na kuwafariji katika shida na mahangaiko yao kutokana na kuteteleka kwa afya ya akili baba mtakatifu amekaa pamoja nao akawasikiliza na kuwafariji katika shida na mahangaiko yao amejibu maswali kadhaa waliyomuuliza na hatimaye wakamshukuru kwa kuwajali sanjari na kuonesha uwepo wa karibu kwa maskini na wale wote wanaoteseka baba mtakatifu pia amepata nafasi ya kumsikiliza dr paolo stievano mkuu wa kitengo cha saikolojia kituoni hapo aliyemsimulia matatizo makubwa wanayokabiliana nayo vijana hawa na jinsi ambavyo wanajitahidi kuwahudumia baba mtakatifu amewapatia zawadi ya noeli na hatimaye akawabariki na kuondoka kurejea tena mjini vatican kuendelea na shughuli zake 08 december 2018 1538
2019-07-22T01:08:06
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-12/papa-francisko-ijumaa-huruma-mungu-casamicaonulus-ilponte-albero.html
new track ange tainer nawaza bongounit new track ange tainer nawaza gomesa tv 743 am kutoka pande za iringa natambulisha ujio mpya wa msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya ambaye hivi punde tu ameachia single yake nyingine toka studio za shyrobaro producer akiwa bob juniour huyu si mwingine ni ange tainer ambaye shughuli zake za muziki amehamishia jijin dar baada ya kumpata promoter ambaye anasimamia kazi zake kwa sasaange tainer amepata promoter huyo wa nguvu ambaye ni mwanadada anamkubali sana kwani ana moyo na jitihada za dhati na za kweli kabisa kumwinua ange tainer katika ulimwengu huu wa muziki wa kizazi kimpya kwahiyo kazi zote za mwanamuziki ange tainer zinasimamiwa na mwanadada huyo na tayari wapo chimbo kuvyatua mawe (nyimbo) menginekaa mkao wa kupata mawe ya nguvu toka kwa anger tainer jina la wimbo nawaza jina la msanii ange tainer studio shyrobaro record producer bob junior
2018-02-22T04:49:52
http://bongounit.blogspot.com/2012/12/new-track-ange-tainer-nawaza.html
mahakama kuu yatupa pingamizi uuzwaji hoteli ya tai five ya jijini mwanza | mpekuzi mahakama kuu yatupa pingamizi uuzwaji hoteli ya tai five ya jijini mwanza mahakama kuu kanda ya mwanza imetupilia mbali mapingamizi mawili yaliyowekwa na wakili wa upande wa mlalamikiwa namba mbili mfanyabiashara wa mabasi ya batco baya malagi kwenye kesi ya mauziano ya hoteli ya tai five ya mwanza kesi hiyo ya madai ya ardhi namba 46 ya mwaka 2017 ilifunguliwa na aliyekuwa mmiliki wa hoteli hiyo iliopo nyamanoro jijini hapa christopher tarimo mwaka 2017 katika mahakama kuu kanda ya mwanza jaji wa mahakama kuu kanda ya mwanza issa maige alitoa hukumu hiyo jana katika kesi ya msingi alisema mapingamizi ya sheria yaliyowekwa na wakili upande wa mlalamikiwa namba mbili mfanyabiashara kusaga malagi hayana msingi mapingamizi hayo mawili yalikuwa ni kufanana kwa shauri lililokuwapo mahakamani hapo mwaka 2011 na pingamizi jingine lililowekwa kuwa ni usumbufu kwa mahakama kusikiliza kesi kwa mara nyingine upande wa mujibu maombi namba moja ambayo ni benki ya crdb uliwakilishwa na wakili galati silwane huku upande wa mlalamikiwa namba mbili ukiwakilishwa na wakili emmanuel anthony upande wa mlalamikaji christopher tarimo uliwakilishwa na mawakili julius mushumbusi na mwita emmanuel kutoka kampuni ya wanasheria ya kailu law chembers baada ya kusikilizwa pande zote mbili kuhusu hoja hizo jaji maige alisema mahakama imeona kulikuwa na utata mkubwa katika mauziano ya hoteli ya tai five yaliyofanyika kati ya mlalamikiwa namba moja na mbili jaji alisema mauziano hayo pia yalighubikwa na mambo ya sintofahamu na kwamba mauziano hayo yalifanyika bila kukazia hukumu ya kesi namba 4 ya 2011 pia alisema mauziano ya wajibu maombi yanaonekana kama yalifanyika baina ya waleta maombi ambao ni tai five ltd na christopher tarimo na mjibu maombi namba moja ambayo ni the mogeji instruments waandishi walipomtaka wakili wa upande mlalamikaji mwita emmanuel kuzungumzia uamuzi huo alidai suala hilo wanaiachia mahakama yenye mamlaka ya kutenda haki
2019-09-20T12:10:56
http://www.mpekuzihuru.com/2018/10/mahakama-kuu-yatupa-pingamizi-uuzwaji.html
ushauri biashara ya pikipiki | jamiiforums | the home of great thinkers ushauri biashara ya pikipiki discussion in 'kilimo ufugaji na uvuvi' started by luck may 24 2012 nafikiria kutumia kaakiba kangu kununua pikipiki kwa ajili ya biashara ya bodaboda naomba ushauri kama ni biashara nzuri kufanya au nipige chini km unaona hailipi nipe ushauri wa biashara mbadala twafadhali mkuu nijuavyo mimi hakuna biashara isiyo kuwa na faida ili muradi inaitwa biashara make biashara ni lazima kuwe na faida na hakuna biashara isiyo kuwa na faida hapa duniani kila biashara inalipa ila ili ikulipe inategemeana unaifanya vipi na kwa sasa hata dunia nzima aidea ni zile zile ila watu wanakuja na njia mpya za kuendesha biashara 1dunini gari ni moja tu alilio unda henry so wengine wote wanaongeza feature tu ili kuteka soko hata simu unazo ona za noki na zinginezo ni moja tu ila makampuni yanajaribu kuja na creativity mpya za kuweza kukamata wateja so mkuu hata biashara ya kuuza karanga inaweza kukufanya uwe mmoja wa matajiri wakubwa tanzania na duniani kote so ishu iko kwa unavyo ifanya hiyo biashara na siu si kwamba unauza karanga sh 50/ juzi nilitolea mfano wa china watu wanaanza transport company na baiskeli ila kwa sabbau wana kua na ambition kubwa sana mwisho wa siku wanafikia kununua magari kabisa biashara ya pikipiki si kwamba hailipi na hakuna biashara isiyo lipa ila mkuu ishu si kulipa ishu ni utakavyo endesha hiyo baishara na ukiwa na malengo gani na creativity gani katika hiyo biashara ya toyo kwa sasa wafanyabiashara wanajaribu kuja na mbinu mpya za kufanya biashara ila biashara duniani ni zile zile ila utofauti ni unavyo fanya mimi leo naweza kuwa na wazo la kufungua hoteli ila nitakapo enda kupresent wazo langu na kuwaambia watu kwamba mimi hotelini kwangu nitakuwa nikipika kobe pekee au wateja watakuwa wanajipikia wenyewe hiyo ndo ubunifu lakini hoteli ni zile zile hakuna hoteli mpaya biashara ni malengo na ubunifu wa hari ja juu mkuu so ukiwa na ubunifu utapata wateja na mwisho wa siku utakuwa tajiri usianze kwa kuwaza kama inalipa waza kwamba mimi hii biashara nitaingia nayo vipi so mkuu tatizo si bodaboda wala kuuza pipi ishi ni hizo pipi unaziuza namna gani je umekua na njia mpya ya kuuza pipi hapo ndo utakuwa emewin tatizo haitadumu mwaka pesa yako haitarudi mm hy biashara nimeifanyakifupi inalipa ila changamoto ni nyingi sanakabla ya kununua hy pkpk nakushauri uulize mafundi khs pkpk nzuri ni ipikwan zinatofautiana sana uboravilevile tafuta kijana unaemwaminitena uandikishane nae mkatabandan ya miezi 5 hivi hela yako itakuwa imerud na kuhusu kudumu inategemea na matunzo na barabara
2017-04-24T07:53:48
https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-biashara-ya-pikipiki.268507/
mahakama kuu kutoa uamuzi dhidi ya shauri la muswaada wa sheria tanzania broadcasting corporation home kitaifa mahakama kuu kutoa uamuzi dhidi ya shauri la muswaada wa mahakama kuu kutoa uamuzi dhidi ya shauri la muswaada wa sheria mahakama kuu ya tanzania januari 14 inatarajia kutoa maamuzi dhidi ya shauri lililofunguliwa na mbunge wa kigoma mjini zitto kabwe na wenzie ya kupinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa kujadiliwa bungeni mahakama hiyo imesikiliza pingamizi la serikali dhidi ya shauri la muswada wa sheria ya marekebisho ya vyama vya siasa wa mwaka 2018 chini ya jaji benhajji masoud pingamizi la serikali liliwasilishwa na jopo la mawakili wa serikali wakiongozwa na wakili wa serikali mkuu mark mulwambo ambaye amedai kuwa mahakama kuu ya tanzania haina mamlaka ya kusikiliza shauri la kupinga muswada wa sheria ya marekebisho ya vyama vya siasa kwa upande wa walalamikaji wamedai kuwa katiba inaipa mamlaka mahakama ya kusikiliza shauri hilo kwa sababu inatoa nafasi kwa mtu yeyote kupekea kesi pindi anapoona haki yake au katiba inavunjwa previous articlesimba kuwavaa js soura ya algeria katika hatua ya makundi next articlemiaka 55 ya mapinduzi yaadhimishwa pemba
2019-01-22T02:23:47
http://tbc.go.tz/kitaifa/mahakama-kuu-kutoa-uamuzi-dhidi-ya-shauri-la-muswaada-wa-sheria/
zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama | jamiiforums | the home of great thinkers zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama discussion in 'jukwaa la siasa' started by kichankuli may 21 2009 wana jf mnaikumbuka salamu hii ya enzi za mwalimu idumu siasa ya ujamaa na kujitegemea zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa ccm ningependa wana jf tujadiliane hivi ni kwa nini baada ya marehemu nyerere kuachia ngazi (mwenyewe akiita kung'atuka) aliamua pia sehemu ya tatu ya salamu hii (zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa ccm) kutotumika tena wakati bado mwenyekiti wa ccm aliendelea kuwepo je kuna uwezekano kuwa aliamini hakuna fikra sahihi toka kwa mtasnzania mwingine zaidi ya za kwake je hii inaweza kuwa ndiyo hadi leo pamoja wengi wetu kukiri kuwa muungano wa tanfganyika na zanziba unakasoro/kero nyingi lakini bado ccm hawako tayari kuzifanyia kazi na ikiwezekana kubadili muundo wa muungano ili watanganyika wakiwa sehemu ya pili ya muungano wasilazimike kulipa kodi ya umiliki wa ardhi wakati wenzao wazanzibari wanajikamatia ardhi kama hawana akili nzuri achilia mbali ubunge mara mkuranga mara wapi huko zenji kichankuli nadhani kwanza nyerere hakutaka kuabudiwa pia alishaona unafiki wa akina kingunge ambao walikuwa wakiimba zidumu zidumu lakini kugeuka ameshakuwa bepari wa kupindukia nadhani kwanza nyerere hakutaka kuabudiwa pia alishaona unafiki wa akina kingunge ambao walikuwa wakiimba zidumu zidumu lakini kugeuka ameshakuwa bepari wa kupindukiaclick to expand unafikiri ni kwa nini hakuacha fikra (sahihi) za mwenyekiti mwinyi za ruksa zisidumishwe na wanaccem mchonga meno alipenda sana kuogopwakuabudiwa na ketetemekewa na hakuzuia kwa wakati wowote kuacha huo msemo wa kipumbavu wa zidumu fikra za mwenyekiti mchonga meno alipenda sana kuogopwakuabudiwa na ketetemekewa na hakuzuia kwa wakati wowote kuacha huo msemo wa kipumbavu wa zidumu fikra za mwenyekiticlick to expand mkulu kumbuka vizuri baada ya mchonga kuachia uenyekiti tu iyo salamu nayo haikutumika tena pamoja na kwamba haikutangazwa hadharani ni wazi yalitolewa maelekezo ya kutoitumia hoja yangu ni kuichambua salamu hiyo na kusitishwa kwake kutotumika maana bado wenyeviti tunaendelea kuwa nao mkulu kumbuka vizuri baada ya mchonga kuachia uenyekiti tu iyo salamu nayo haikutumika tena pamoja na kwamba haikutangazwa hadharani ni wazi yalitolewa maelekezo ya kutoitumia hoja yangu ni kuichambua salamu hiyo na kusitishwa kwake kutotumika maana bado wenyeviti tunaendelea kuwa naoclick to expand salamu hiyo ilikuwa katika enzi za usoshalisti zilikuwa na madhumuni ya kuwadumaza watu kifikra ili kukandamiza fikra zozote zile za siasa mbadalaalipoingia mzee ruksa salamu hizo hazikuwa na maana tena kutokana na hali ya kisiasa duniani kubadilikahakukuwapo haja tena ya kumwabdudu mtu mmoja kwani mfumo wa demokrasia ya vyama vingi ulikuwa ndiyo unaanza kuchomoza ilikuwa sehemu ya unafiki wa mwalimu nyerere the greatest man is he who forms the taste of a nation the next greatest is he who corrupts itclick to expand now i get itthat is why the guys are so busy corrupting the statewahusika wasindwe na walegee nyerere nae kachangia tz kuwa mbovu kwani alikuwa na sera za kikandamizajienzi zake si ruhusa kuwa na biashara ukiwa mtumishi wa serikali je na hii kauli mbiu ina tija kwa taifa au ni ufisadi mtupu pia tumethubutu tumeweza na tunasonga mbele je na hii kauli mbiu ina tija kwa taifa au ni ufisadi mtupu pia tumethubutu tumeweza na tunasonga mbeleclick to expand kaka kauli mbiu hiyo ilikua na tija maana wenyeviti zamani walipatikana kwa fikra thabiti kwa maendeleo ya nchi na watu wakenao walilitambua hiloshv iwe wenyeviti wa kata iwe wa wapi ni ukiwa zuri tuu kutafuta umaarifuu kwa njia yeyote sasa hapo unadhani kauli mbiu zitasaidia nini nime post kauli mbiu yetu 2015 sio wanyonge ambayo ni <wenye neema na watu waosie wanyonge na masikini na wazalendo wenzetu wa kweli dr salimmagufuli na slaa>nashangaa mod wameidelete bhana mie naanza kupata mashaka na jf naona kuna figure zinapendelewa humu nime post kauli mbiu yetu 2015 sio wanyonge ambayo ni <wenye neema na watu waosie wanyonge na masikini na wazalendo wenzetu wa kweli dr salimmagufuli na slaa>nashangaa mod wameidelete bhana mie naanza kupata mashaka na jf naona kuna figure zinapendelewa humuclick to expand hata kwenye jf kuna uchakachuaji sasa mawazo yetu tutayatolea wapi dah bora niamie uhamishoni burundi tz yanakaribia kunishinda tz yanakaribia kunishindaclick to expand kaka uchakachuaji upomie nimeshausoma siku nyingi kuna thread za kusifia baadhi ya watu humu huwa zinafagiliwa sana na wakiguswa tuu au kuwekewa upinzani wanalindwa ni kweli wengi ma best wameshaliona hili hadi kufikia 2015 haka kamchezo kakikomaa watu wengi watasepaa rwand na burudiisije ikawa mradi wa watu huu tena unajua tena bongo huwa najiuliza kila kukicha hawa jamaa wa ccm kusema zidumu fikra za mwenyekiti walimanisha nini ukijaribu kuangalia dunia yote ya democrasia huwezi kuta eti watu wanakumbatia mawazo ya mtu mmoja na kuminya ya wengine eti zidumu fikra za mwenyekiti huu ni kunyima mawazo ya wengine na aina flani ya udikiteta wa siri na kuuwa fikran za wengine na kuaminisha kuwa fikra za mtu mmoja zinatosha kukidhi mahitaji ya watu hivi majuzi kuna kiongozi mkubwa wa ccm nilimuliza kwa njia ya simu hata yeye akasema haelewagi msemo huo una maaana gani kama chama hiki hadi leo kinatembea na msemo huu tunasema no democracy practice kwa hiki chama wanajamvi
2017-01-19T13:25:46
https://www.jamiiforums.com/threads/zidumu-fikra-sahihi-za-mwenyekiti-wa-chama.29471/
matukiomichuzi mo dewji foundation yakabidhi milioni 100 kwa wafugaji wa kuku kijiji cha msoga chalinze
2016-12-06T15:56:45
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/02/mo-dewji-foundation-yakabidhi-milioni.html
mwongozo wa usafirishaji katika masomo ya urusi | rayhaber | raillynews nyumbaniturkeypwani ya mediterranean ya kituruki33 mersinmwongozo wa usafirishaji katika masomo ya urusi 22 / 01 / 2020 33 mersin pwani ya mediterranean ya kituruki general highway mifumo ya magurudumu ya tiro barua ya utangulizi turkey inazingatiwa kuwa usafirishaji wa urusi ambao unahitajika sana kwa sababu ya uhusiano wetu ambao umeboreshwa hivi karibuni pia ni mzuri sana walakini kwa sababu ya kizuizi cha cheti cha kupitisha kati ya nchi hizo mbili ambazo hazijaletwa kwa kiwango cha taka tangu zamani kuna nyakati ambazo kampuni za usafirishaji zina ugumu katika usambazaji wa magari njia pekee halali ya kufunga pengo la gari kubeba ni shirika la malori ya sahani za kigeni walakini wakati wazalishaji wetu na wauzaji wana shida ya kupata wabebaji wanaofanya kazi na magari ya leseni za kigeni wanatafuta mazingira ambayo utafutaji wao wa gari unaweza kumalizika kwa urahisi hatua hii inakuja na programu ya wavuti iliyoundwa kupata magari kupitia mtandao kurasa nyingi za wavuti zilizo na kazi kwenye wavuti hutumikia chini ya jina la usafirishaji wa mizigo na usafirishaji hasa kampuni ya meli nchini urusi watengenezaji wetu wengi wanaosafirisha kwenda russia wanajaribu kuandaa gari na njia hii kurasa hizi kwa ujumla haitoi matokeo bora kwani zinatoa huduma ya kiwango cha amateur walakini kwa kufuata uwazi huu usioweza kuepukika mwongozo wa usafirishaji ambao uliundwa kwa kuzingatia maelezo yote umechukua pumzi kubwa kwa sekta hiyo shukrani kwa huduma yake ya utumiaji rahisi ya bure na utangazaji usio na kikomo ukurasa wetu wa wavuti ambao ni wasiwasi wa wabebaji wote na wazalishaji imefanya iwe rahisi sana kwa wazalishaji kupata magari ya mizigo yao na kwao kupata mzigo wa magari yao matupu mwongozo wa usafirishaji ambayo ni mwanachama wa kampuni nyingi za vifaa vya ndani na nje zinazofanya kazi katika nchi yetu usafirishaji kwenda russia inazingatia umuhimu wake kwa kazi zake na imepata jina la kuwa meli inayopendelea zaidi ya kubeba mizigo na usafirishaji kati ya washindani wake na muundo wake muhimu ambao unaweza kuelezewa katika maeneo yote kama lori kamili usafirishaji wa sehemu kupitisha usafirishaji mzito usafirishaji wa vyombo na usafirishaji wa malori ya frigo habari ya habarikampuni za usafirishaji uturukirussia intershipping kazi yetu inaendelea mwongozo wa kutumia metrobus mwongozo wa kutembea ulaya na treni ya bei mwongozo mpya wa istanbul imm istanbul imewekwa goodyear katika makusanyiko ya sekta ya usafiri kampuni za usafirishaji
2020-02-17T08:57:48
https://sw.rayhaber.com/2020/01/Mwongozo-wa-usafirishaji-katika-masomo-ya-Urusi/
20152020 session 7 sitting 32 natural resources and tourism wizara ya maliasili na utalii 259 20170523 mhe joseph m mkundi alijibu kisiwa cha ukerewe kina vivutio vingi vya utalii vinavyoweza kuiingizia nchi yetu pesa nyingi za kigeni vikiwemo mapango ya handebezyo makazi ya mtemi rukumbuzya jiwe linalocheza la nyaburebeka huko ukara na kadhalika je serikali ina mpango gani wa kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya ukerewe kuimarisha na kujenga mazingira na kuvitumia vivutio hivyo ili kuongeza pato la taifa na wananchi wa ukerewe mheshimiwa mwenyekiti kwa niaba ya waziri wa maliasili na utalii naomba kujibu swali la mheshimiwa joseph michael mkundi mbunge wa ukerewe kama ifuatavyo mheshimiwa mwenyekiti katika sura ya nne aya ya 427 ya mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka mitano (2016/2017 2020/2021) unasisitiza pamoja na mambo mengine upanuzi wa wigo wa vivutio vya utalii na utalii utokanao na vivutio vya urithi wa utamaduni (the heritage tourism) mheshimiwa mwenyekiti wizara yangu kwa kuzihusisha halmashauri husika inakamilisha orodha ya vivutio vyote vya utalii ikiwa ni pamoja na vivutio vya malikale nchini ili kuweka utaratibu wa kuvisajili kuviboresha na hatimaye kuvitangaza na kuviuza kwa watalii wa ndani na wa nje zoezi hili linatengemea kukamilika mwaka wa 2017/2018 vivutio vya mapango ya handebezyo makazi ya mtemi rukumbuzya na jiwe linalocheza la nyaburebeka vilivyoko katika kisiwa cha ukara katika halmashauri ya ukerewe ni miongoni mwa vivutio hivyo
2020-01-25T21:30:26
https://www.bunge.go.tz/polis/questions/2156
msanii jose chameleone aingia kwenye biashara hii | masama blog » msanii jose chameleone aingia kwenye biashara hii msanii jose chameleone aingia kwenye biashara hii msanii mkongwe kutoka uganda dkjose chameleone mbali ya kuwa na utajiri wakupindukia lakini bado amedhihirisha kuwa ndoto yake haijatimia ya kuongeza ukwasi wake jana kupitia mtandao maarufu wa kijamii wa instagram alidokeza kidogo kupitia ukurasa wake kwa kuweka kipande cha video kilichoonesha bidhaa hiyo huku akiandika xos chameleone 2017 #smartphone yuh ready hata hivyo mkali huyo wa valu valu bado hajaweka wazi specifications ya simu hiyo hivyo nakusihi uwe sanjari nasi kukujuza vingi kuhusiana na bidhaa hiyo mbali na chameleone pia mkali wa wimbo salome diamond platnumz siku kadha hapo nyuma aliweza kuonyesha sample yake ya kwanza ya bidhaa yake mpya ya perfume chibuperfume inayotarajiwa kuingia sokoni siku za usoni muimbaji huyo aliwataka mashabiki wa muziki wake kukaa tayari kwa ajili ya ujio wa bidhaa hiyo ambayo itapatikana katika maduka mbalimbali ya vipodozi nchini kumbuka jose chameleone ndiye msanii tajiri zaidi kuliko msanii yeyote hapa afrika mashariki hivyo tutarajie mapinduzi kutoka kwake kwani ni hatua nzuri kwa wasanii wetu mbali na hilo pia jose chameleone anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyoipa jina la sweet banana mwakani 2017
2017-03-29T22:55:56
http://www.masamablog.com/2016/11/msanii-jose-chameleone-aingia-kwenye.html
jamhuri ya czech muda ajira sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi jamhuri ya czech muda ajira ukosefu wa ajira kiwango cha 290 260 969 009 asilimia [+] watu wasio na ajira 21553200 19728900 62927400 300000 [+] kiwango cha ajira kwa vijana 520 550 2180 440 asilimia [+] kazi gharama 11436 11745 12096 5623 pointi [+] nafasi za kazi 34095700 33867000 35056400 3080300 [+] sehemu muda ajira 31950 32570 33280 19080 elfu [+] tija 12270 11060 12350 6240 pointi [+] kiwango cha ajira 7520 7500 7540 6370 asilimia [+] muda ajira 483390 481570 484870 430610 elfu [+]
2020-01-26T14:25:45
https://sw.tradingeconomics.com/czech-republic/full-time-employment
kupinga wagombea huru ni uamuzi wa kipumbavu | jamiiforums | the home of great thinkers kupinga wagombea huru ni uamuzi wa kipumbavu discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji may 21 2008 nb kichwa cha habari nilichopendekeza kutoka kwenye gazeti ndiyo hicho lakini naona waliamua kubadili kwa discretion yao hii ni hoja yangu ya leo kabla hamjanijia juu niseme mapema kuwa si mimi niliyeuita uamuzi wa kufuta haki ya mtu kuchaguliwa kwa vile hataki kujiunga na chama cha siasa kuwa ni wa kipumbavu nimerudia tu maneno aliyoyasema baba wa taifa mbele ya watawala wetu kwenye sherehe za mei mosi mwaka 1995 katika uwanja wa sokoine mjini mbeya mwalimu hakuwa amewatukana au kuwatusi reja reja bali aliweza kuona kitu ambacho mtu yeyote mwenye akili timamu na ambaye haogopi kufikiri anaweza kukiona bila kutumia darubini au kurunzi kuwa kumkataza mtu kuchaguliwa kwa sababu hataki kuwa udp tlp ccm au chama kingine chochote cha kisiasa ni kufanya uamuzi wa kipumbavu nakubaliana na mwalimu ule mchezo wa kuigiza wa ‘mgombea binafsi’ naona unaendelea bila kukoma baada ya mahakama kuthibitisha maamuzi ya awali yaliyoona kuwa sheria inayomtaka mtu kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa ili achaguliwe ni kinyume cha katiba watawala wetu wameanza tena kuandaa rufaa nyingine ili hatimaye uamuzi wa mwisho uwe wa mahakama ya rufaa ambayo ndiyo yenye uamuzi wa mwisho nchini binafsi nimechoka na danadana hii ya serikali kwani haihitaji mtu uwe msomi wa chuo kikuu au kuwa ni mtaalamu wa anga za juu kuweza kuona kuwa serikali haina hoja hata ikijitahidi vipi kuhalalisha msimamo wake wa kupinga mgombea binafsi na kwa kadiri wanavyozidi kuchelewesha kufanyia mabadiliko katiba na sheria ya uchaguzi ndivyo wanavyozidi kuthibitisha kuwa bado hawajajijengea utaratibu wa kuheshimu maamuzi ya mahakama kama zilivyo nchi nyingine za kidemokrasia ninasema hivyo kwa sababu kesi hii ya mgombea binafsi imeanza tangu mwaka 1993 baada ya mchungaji christopher mtikila kufungua kesi hiyo kwenye mahakama kuu kanda ya dodoma ambako alishinda kesi hiyo lakini serikali ilikwepa kutekeleza hukumu ya mahakama hiyo ilisababisha mtikila kufungua kesi ya kikatiba ambayo nayo alishinda na serikali wakakata rufaa tena na kwa mara nyingine hoja ya mgombea binafsi imeshinda tena hata hivyo kama habari zilizoripotiwa na gazeti moja ni za ukweli basi serikali bado haioni upumbavu wa uamuzi huo na badala yake wanataka kwenda mahakama ya rufaa kuona kama itauthibitisha au la miaka 15 baadaye bado wanajaribu kuonyesha kuwa wana hoja sidhani kama atateremka malaika kutoka mbinguni kuwapigia parapanda ya mwisho kuwa ‘mmeshindwa’ nilipokaa chini kuyasikiliza tena maneno ya baba wa taifa hasa alipoelezea kwanini alikwenda kinyume na chama chake tena hadharani kwenye maelfu ya watu nilitambua jambo moja kuwa hoja ya kukataza mgombea binafsi ni hoja ya kibaguzi ya hatari na ambayo asili yake ni woga wa mtu kukimbia kivuli chake yeye mwenyewe nikiwa mwanafunzi mzuri wa mwalimu nikajiuliza ni kitu gani kweli kilimfanya mwalimu aipinge hoja hiyo kwa nguvu namna hiyo hatimaye nimepata majibu na ninaomba mpendwa msomaji ufuatane nami ili uweze nawe kuona kuwa uamuzi wa kuwanyima wagombea binafsi nafasi ya kuchaguliwa kwa hakika na pasipo shaka ni uamuzi wa ‘kipumbavu’ vipo vipengele vikubwa viwili ndani ya katiba ambavyo ndiyo chanzo cha mgogoro huu wa mgombea binafsi kwanza ni kifungu cha 67 2 kinachosema “bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa mbunge endapo…(b) ni mwanachama na ni mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa na kifungu cha 39 (1) ambacho nacho kinasema kuwa mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha rais wa jamhuri ya muungano isipokuwa tu kama(c) ni mwanachama na mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa” mahakama kuu ilikuwa sahihi mahakama kuu ilipopitisha uamuzi wake wa kukubaliana na hoja za mawakili wa mchungaji mtikila walifafanua kwa kina kwanini serikali haina hoja hasa kwa mtu anayeangalia katiba kama sheria mama na kiini cha sheria nyingine zote nchini kilichofanyika ni kitendo ambacho hakina budi kuwatia aibu wanasheria walioshiriki kukifanya baada ya serikali kushindwa katika ile kesi ya awali ya mtikila ilitaka kukata rufaa lakini kwa namna ambayo wanajua wao wakaamua kuachana na rufaa hiyo na badala yake kwenda bungeni kutunga sheria iliyopinga amri ya mahakama na hivyo kuingiza kwenye katiba vipengele hivyo hapo juu sheria hiyo ya mwaka 1994 ndiyo iliyomfanya baba wa taifa kuita uamuzi wa serikali kufuta haki ya raia ni wa kipumbavu na kuwaambia kuwa kati ya nguvu nyingi ambazo serikali inafikiri inazo haina nguvu ya kufuta haki ya mtu kitendo cha bunge kuingilia kesi iliyokuwa mahakamani na kupitisha sheria iliyokuwa na lengo la ‘kuwahi’ maamuzi ya mahakama hakikupokewa vizuri na mahakama kuu majaji wakiongozwa na aliyekuwa jaji kiongozi manento walisema hivi kuhusu kitendo hicho cha wabunge kuwa “sheria namba 34 ya mwaka 1994 ambayo kama ilivyosemwa awali ilipitishwa na bunge tarehe 16/10/94 wakati uamuzi wa jaji lugakingira (kama alivyokuwa wakati huo) ulitolewa tarehe 24/10/94 kwa vile bado shauri lilikuwa mahakamani bunge lilipopitisha sheria kwa kuzingatia utaratibu ni lazima kwa mara moja tulaani kitendo hiki” lakini wao hawakusikiliza wakaendelea na utaratibu wao ni kwa sababu hiyo basi nichambue kwanini serikali haina hoja na ni kwanini mahakama ilitupilia mbali hoja zao na ni kwanini baba wa taifa aliita uamuzi huo wa kufuta haki ya mtu kuwa ni wa kipumbavu katiba inataja masharti ya mpiga kura ibara ya 5 vipengele vya 1 na 2 vya katiba yetu vinasema hivi kuhusu haki ya raia ya kupiga kura “kila raia wa tanzania aliyetimiza umri wa miaka kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi unaofaywa tanzania na wananchi na haki hii itatumiwa kwa kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti mengineyo ya katiba hii na ya sheria inayotumika nchini tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi (2) bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana na yoyote kati ya sababu zifuatazo yaani raia huyo (a) kuwa na uraia wa nchi nyingine (b) kuwa na ugonjwa wa akili (c) kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai (d) kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa kitambulisho cha umri uraia au uandikishwaji kama mpiga kura mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura” swali ambalo linanikabili mimi ninaposoma ibara hiyo ni kuwa kama mtu ana haki ya kupiga kura baada ya kutimiza masharti hayo machache bila kumlazimisha awe mwanachama wa kisiasa kwanini yule anayechaguliwa (ambaye anaweza pia kuwa ni yeye) alazimishwe kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa kama wabunge wa ccm hawakuona umuhimu wa kumtaka kila mpiga kura awe mwanachama wa chama cha kisiasa kwanini walikubali kuandika sheria ambayo inamtaka kila anayechaguliwa kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa kwanini masharti ya mpiga kura yasiwe sawasawa na yale ya mpigiwa kura na hivyo kuoanisha mambo mawili ambayo yanahusiana katiba inakataza sheria za kibaguzi kifungu kingine cha katiba yetu kinasema hivi kuhusu kutungwa kwa sheria yoyote ya kibaguzi na chombo chochote (kwanza kabisa ni bunge) “ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika jamhuri ya muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake” ibara ya 13 (2) kwa maneno mengine kwa kuwataka wale wanaotaka kugombea nafasi ya uchaguzi kuwa wawe wanachama na wapendekezwe na chama cha kisiasa ni kuwabagua endapo wanatimiza masharti mengine yote ndiyo maana sheria iliyotungwa kuakisi mabadiliko hayo ya kikatiba kimsingi ni sheria ya kibaguzi japo si wa moja kwa moja lakini ni wa taathira yake katiba inakataza mtu kulazimishwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa ibara ya 20 ya katiba yetu kipengele cha 4 kinasema hivi “bila ya kuathiri sheria za nchi zinazohusika ni marufuku kwa mtu yeyote kulazimishwa kujiunga na chama chochote au shirika lolote au kwa chama chochote au cha siasa kukataliwa kusajiliwa kwa sababu tu ya itikadi au falsafa” sasa kipengele hicho kinapingana kabisa na vile vipengele vyetu viwili vya hapo juu ambavyo vinamtaka mgombea wa ubunge au urais lazima awe mwanachama wa chama cha kisiasa kwa kuandika sheria inayomtaka mtu anayetaka kuitumikia nchi yake na raia wenzake kuwa lazima awe mwanachama wa chama cha kisiasa inamfanya mtu huyo kwanza kujiunga na chama cha kisiasa hata kama hakubaliani nacho na pili kumlazimisha aanzishe chama ambacho kitakidhi mahitaji yake tatizo la kwanza si kubwa sana lakini la pili ndilo lenye matatizo haiwezekani kila anayetaka kugombea nafasi ya uongozi katika nchi yake na hakubaliani na sera za chama chochote kile na yeye aanzishe chama chake kwanini tusimpe nafasi mtu huyo kuuza sera zake na ilani yake yeye mwenyewe na kuelezea jinsi gani ataitekeleza na tukikubali tunamchagua tukiona hana mpango tunamkataa kwanini mtu ambaye hapendi ukiritimba na nidhamu ya vyama vya kisiasa alazimishwe kujiunga navyo wakati anaamini na kutambua kuwa sera zake zinaweza kukubalika haki ya kuchaguliwa ni haki ya binadamu katiba hiyo hiyo katika kipengele cha pili kinachohusu haki zetu za msingi kinatambua kwamba “kila binadamu ana haki ya kuthaminiwa na kutambuliwa utu wake” kwa kusema kuwa anayeweza kuongoza katika tanzania ni yule mwenye kadi ya chama cha siasa ambaye amepitishwa na chama hicho hatuoni kuwa kwa taathira yake tunawafanya wale wasio katika vyama vya siasa kuwa duni na kuwatweza je fisadi mwanachama wa chama cha siasa anayetuongoza ni bora zaidi kuliko mwadilifu asiye na chama na ambaye ananyimwa kuongoza kwanini mwanachama wa chama cha siasa awe na ujiko huu wa kuweza kugombea nafasi ya uongozi wakati raia mwingine ambaye naye ana uwezo wa kuongoza anyimwe kama raia ana haki ya kuchagua basi na yeye ana haki ya kuchaguliwa vile vile si hivyo tu kama vile hukumu ya kina jaji manento ilivyosema kuwa sheria hiyo ya 1994 iliyosababisha kufutwa kwa haki ya mtu kugombea bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa “marekebisho hayo yamekiuka katiba na pia yamekiuka mikataba ya kimataifa ambayo tanzania imeridhia” kwanini serikali inaogopa wagombea huru/binafsi hata hivyo kutoangalia sababu za serikali kuruhusu wagombea huru ni kutowatendea haki hebu tuangalie kwa haraka sababu wanazotoa kwanini serikali haiko tayari kuruhusu wagombea binafsi wazo la wagombea binafsi/huru ni la kigeni hoja hii hutolewa ili kuonyesha kuwa katika tanzania mambo ya kuwa na wagombea huru ni ya kigeni na hivyo watanzania hawajazoea mtindo kama huo kimsingi hoja hii inawafanya watanzania kama watoto wadogo mwalimu katika ile hotuba yake aliiponda na kuisagasaga hoja hii pale alipotolea mfano jinsi mbulu ilivyoweza kumsimamisha chifu sarwat ambaye alikuwa anakubalika huko kuliko mgombea wa tanu ambaye nyerere mwenyewe alimpigia kampeni chifu sarwat alichaguliwa na watu wa mbulu kama mgombea huru na mgombea wa chama cha siasa (tanu) alishindwa na serikali ikaheshimu uamuzi wa watu wa mbulu hivyo hii si hoja ya msingi hivyo tunaporudisha wagombea huru hatuigi mambo ya kigeni au hatuigi alimradi tunaiga tu ukweli ni kuwa wazo zima la vyama vya kisiasa ni la kigeni wazo la kuwa na katiba ni la kigeni na hata mambo ya kuandika sheria vitabuni nk nayo pia ni ya kigeni hata hivyo si kila kitu kigeni au utaratibu wa kigeni ni mbaya na usio na manufaa mimi sioni ulazima wa kuiga alimradi tu kuiga ili kufanana hapana tuige pale tunapoona kuwa kwa kufanya hivyo tunajipa nafasi ya kufanikiwa wazo zima la kuruhusu wagombea huru siyo kwa sababu tutapata viongozi bora huko hapana bali kuhakikisha kuwa kila mtu mwenye uwezo na nafasi ya kutaka kuwa kiongozi basi anapewa nafasi hiyo na si kulazimishwa kutumia chombo fulani la maana ni kuwa kiongozi yeyote yule (wa chama au huru) anapatikana kwa kupigiwa kura chama kitakachopoteza sana ni ccm ukweli rahisi hapa ni kuwa endapo wagombea huru watarudishwa tena chama ambacho kitapata athari kubwa sana ni ccm ambacho ni chama tawala kwa sasa hivi nguvu kubwa ya ccm dhidi ya wanachama wake ni kuwa kama wanataka kufanikiwa kweli ni lazima wapendekezwe nacho vinginevyo unaweza kushinda kwenye kura ya maoni lakini ukatemwa na wakubwa wa chama kama yalivyomkuta njelu kasaka miaka michache iliyopita ni kutokana na sheria hiyo mbovu ndiyo njelu akajibandika uanachama wa chama kimoja cha upinzani ili agombee kule chunya kama sheria hiyo isingekuwepo njelu angeweza kusimama kama mgombea huru na kuwapa wananchi wa chunya nafasi ya kumkubali tena kama mbunge wao au kumkataa kwa kuwanyima watu haki hiyo ccm inawanyima watu haki ya kumchagua mtu wamtakaye kama wagombea huru watakubaliwa tena ina maana ccm haitakuwa tena na ule ubabe wa kuwaambia wanachama wake kuwa wasipojipanga mstari wa nidhamu basi hawana nafasi huko mbeleni si kwa nafasi ya ubunge tu hata urais hebu fikiria kama mwaka 2005 tungekuwa na wagombea huru na jukwaa la wagombea huru wangekuwemo kina dk kigoda mzee malecela au dk salim kwa kulazimisha mgombea mmoja wa ccm na kuwakatalia wengine kushiriki nafasi hiyo ccm inajilinda kutokana na fedhea inayoweza kupata kama ilivyotokea kule mbulu ambapo mgombea wa ccm angeangushwa na mgombea binafsi ccm isiendelee na sheria hizi za woga kwani faida ya kurudisha wagombea huru inazidi sana hasara zake kabla ya kuangalia faida hizo niseme kuwa hasara kubwa ya kuwa na wagombea huru ni uwezekano wa watu wenye utajiri au uwezo mkubwa wa mali na rasilimali watu mkubwa kuweza kujiingiza katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wafanyabiashara au wanasiasa matajiri wanaweza kutumia hazina zao kufadhili kampeni zao na hakuna utaratibu mzuri wa kuwasimamia jibu langu kwa hilo ni kuwa ni jukumu la serikali na wadau wengine kukaa chini na kujifunza kutoka nchi nyingine ni jinsi gani tunaweza kuwarudisha wagombea binafsi bila kuanza kutengeneza mamluki wa kisiasa au kuwanyima watu haki zao za msingi za kuchagua na kuchaguliwa faida za wagombea binafsi ukiangalia kwa undani hata kwenye nchi zilizoruhusu wagombea binafasi hakuna wagombea binafsi wengi ambao wameweza kushika nafasi za uongozi wa juu ross perot licha ya mapesa yake yote hakufua dafu dhidi ya wagombea wa democratic party na republican kule marekani ingawa alianza kwa vishindo ni vigumu sana kwa wagombea binafsi kushika nafasi za juu za uongozi hata hivyo uzuri wa kuwa na wagombea huru ni kwanza wanawakilisha mawazo ambayo yako nje ya vyama vikuu kwa sababu hiyo wanaweza kuzungumzia nje ya taratibu za chama bila hofu ya kulazimishwa kutimiza nidhamu ya chama au kujiweka chini ya mfumo wa mikutano na vikao vya chama pili inawapa uhuru watanzania kujaribu kushika nafasi ya uongozi bila kulazimishwa kufungamana na chama au kuanzisha chama kingine kwa mfano watu kama kina mtikila mrema etc wasingelazimika kutafuta nafasi za uongozi kwa kuamua kuanzisha chama cha siasa ingependeza kuona mrema anagombea ubunge wa jimbo fulani bila kutumia chama fulani ila mawazo yake tu ni mambo haya ya kulazimisha vyama yaliyomnyima nafasi njelu kasaka mwaka uliopita kwani bila ya chama hakuwa na jinsi ya kugombea ingawa kama angepewa nafasi nina uhakika angeshinda kule chunya tatu hata kama wagombea huru hawapati nafasi ya kushika uongozi lakini mara nyingi kama hoja wanazojenga zina nafasi basi vyama vikubwa vinaweza kuzidandia hoja hizo ama sivyo wapinzani wanaweza kuzitumia na kupata ushindi nne kama mgombea huru anashinda katika nafasi ya uongozi na hivyo kuwa katika nafasi ya ubunge basi anakuwa ni mtu mwenye kura ya turufu hasa pale ambapo bunge au halmashauri imegawanyika karibu nusu kwa nusu na hivyo kufanya maamuzi na kura kuwa ngumu kwa mfano kama bunge lina viti 100 na wagombea wa chama tawala wana kura 50 na wa vyama vya upinzani wana kura 40 na wagombea huru wana 10 na kama hoja inapitishwa kwa theluthi mbili basi utaona umuhimu wa wagombea huru tano zaidi ya yote kwenye vyama ambavyo vinafanya kura za maoni na kuwaengua baadhi ya wanachama wake kuwa na wagombea huru kunawapa watu nafasi ya kumpigia kura wanayemtaka na si yule ambaye chama kinamtaka hivyo wale walioenguliwa kutokana na wivu kisasi au husuda ya aina yoyote wanaweza kugombea katika majimbo yale yale na kushinda ukiangalia faida hizo utaona ni kwanini chama cha mapinduzi hakiko tayari kuruhusu wagombea huru ni kwa sababu hiyo basi nitoe wito kwa serikali na ofisi ya mwanasheria mkuu kuwa itupilie mbali wazo lake na mpango wake wa kukata rufaa kupinga maamuzi ya mahakama kuu (kwa mara nyingine) kwani haina maana haiingii akilini na kwa hakika kama alivyosema mwalimu nyeyre kuanzia mwanzo uamuzi wa kufuta haki ya wagombea huru uamuzi huo ni ‘kipumbavu’ si maneno yangu ni ya nyerere na kwa vile mnamuenzi basi nawasihi mkubali tu yaishe na msiote hata ndoto ya kwenda bungeni kutunga sheria nyingine ya kupinga mahakama wabunge wetu hawaburuzwi tena mwaka 2003 kuna mkutano ulifanyika afrika kusini ukijumuisha tume za uchaguzi za nchi za sadc na taasisi ya uchaguzi kusini mwa afrikana hoja kubwa ilikuwa ni kuongolea misingi ya udhibitiufuatiliaji na uangalizi katika eneo la sadc ambapo kuna washiriki kutoka zec(zanzibarijaji agustino ramadhani na tume ya taifa ya uchaguzi( jaji lewis makame) walikuwepo moja wapo ya kitu kilichozungumziwa ni hiki kwamba usivunje misingi ya haki za msingi za binadamu na za uhuru (kwa mfano vifungu maalum vya kuheshimu haki za binadamu kama vile uhuru wa kujumuika na uhuru wa kujieleza) uhuru ambao unapaswa kuingiza haki ya kuunda na kuwa mwanachama wa vyama vya siasa na kuwa mgombea binafsina hivi ndivyo katiba yetu inavyosema mbona zimbabwe kulikuwa na mgombea binafsi mwaka huu hivi hii katiba wanavoapa kuilinda ni kwa matumbo ya watuanother vanity under the sun hawa watu ni waogawanaogpa wakiweka wagombea binafsi watu watakamata majimbo na hivyo kushindwa kupitisha mamuzi yao ya kipumbavu ya kila sikuna lingine wameanza kuogopa baada ya kuona hawa wabunge wa ccm nao wameanza kuwabadilikia hivyo kuruhusu wagombea binafsi utawakutawakinamengi na wengine wasiotaka upuuzi wa kipumbavu wa ccm na natuamini 2010 wataona sauti ya watu sauti ya mungu wanaogopa madongo kama haya waone sasa hawakujua watu wamebadilika badala ya kusoma nyakatihawana adabubaba mtikila tuko nyuma yako ccm kukata rufani kesi dhidi ya dk slaa chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa arusha kimetangaza kusudio la kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa na jaji robert makaramba wa mahakama kuu ya tanzania kuhusu kesi ya matokeo ya uchaguzi wa jimbo la karatu akitangaza kusudio la kukata rufaa ya hukumu hiyo katibu wa ccm mkoa wa arusha mohamed mbonde alisema uamuzi wa kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo umefikiwa na kamati ya siasa ya mkoa katika kikao chake kilichofanyika mei 17 mwaka huu kwa mujibu wa katibu huyo kusudio hilo la kukata rufaa litawasilishwa mahakamani wiki hii kabla rufaa yenyewe mwezi ujao “katika kikao hicho kamati ya siasa ilijadili kwa kina hukumu hiyo na kukubaliana kuwa hukumu ya jaji makaramba haikuwatendea haki wana ccm” alisema mbonde jana ofisini kwake alisema kati ya vipengele ambavyo wanaona havijawatendea haki kile cha idadi ya kura zilizokosewa kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi huo solanus nyimbi “lakini hapa tunaomba watanzania watuelewe kuwa ccm inachotafuta ni haki yake na tutatumia taratibu za kisheria kuwa haki hiyo inapatikana” alisema mbonde alisema kamati hiyo ya siasa katika kikao chake imeamua mlalamikaji katika kesi hiyo ya rufaa atatangazwa baadaye pamoja na mawakili watakaowatumia hukumu ya kesi hiyo liyofunguliwa na wanachama watatu wa ccm wakiongozwa na joseph haymu kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 yaliyompa ushindi mgombea wa chadema dkwilbrod slaa dhidi ya patrick tsere wa ccm ilitolewa mei 15 mwaka huu katika hukumu yake jaji makaramba alisema kuwa mahakama imeridhika kuwa dk slaa alikuwa mshindi halali wa uchaguzi huo na kura zilizokosewa kuhesabiwa ziliwaathiri wagombea wote wawili lakini hayakuathiri matokeo ya uchaguzi huo hivi nani anasomaga haya maandiko ya mwanakijijinani anamuda wa kusoma haya tunawezaje kuwafikishia bandiko hilo wale wanaotaka kukata rufaa maana wanaweza kupata shule nzuri sana na nafikiri hawatakuwa na mawazo hayo tena hoja hujibiwa kwa hoja_ mmkj wakiweza kupeleka mahakamani hoja zao zikajibu hoja hii waende lakini kama wao ni kama kichwa cha habari hii basi pia wanaweza kwenda nina uhakika kwa sababu serikali ipo kwa ajili ya maendeleo ya taifa hawatarudia tena kutaka kwenda mahakamani nina uhakika kwa sababu serikali ipo kwa ajili ya maendeleo ya taifa hawatarudia tena kutaka kwenda mahakamaniclick to expand ingekuwa vizuri sana kama hii ingekuwa kweli kwa jinsi mambo yanavyoenda kila siku inayopita nazidi kushawishika kwamba hii siyo kweli na kama siyo kweli tutaandika tunavyotaka lakini it will take action kuwatoa hawa watu tukifikiri kuwa wana moral sensitivity ya kusoma kuelewa na kuchomwa na articles kama hizi tutakuwa naive indeed kama demokrasia ya sasa ni 'upumbavu' ya nyerere ilikuwa 'upunguani' mwanakijiji unapoanza makala na ‘nyerere kasema…’ haisaidii kunikaribisha ili upate nafasi ya kuwasilisha unacho taka kunishawishi kwa sababu sio wote tunakubaliana na nyerere alivyo sema usiendelee kunisoma zaidi ya mwisho wa sentensi hii kama umewaandikia wenzako tu wanaoamini hivyo tayari kama ambavyo mchungaji wa kanisa anavyo fanya misa katikati ya wiki kwa sababu wakristo wengi huwa wana swali jumapili misa za ziada za jumatano zinakosa waumini wa kutosha halafu mchungaji anaishia kukihubiria kikundi cha kwaya ili kujiunga na kikundi cha kuimba kanisani mara nyingi unakuwa tayari umesha yapokea jumla jumla yoyote atakayo sema mchungaji kabla hata hajafungua kinywa chake ukiihubiria kwaya hupati mwenye dhambi mpya sasa jaribu kunishawishi mimi niliyeko nje ya kwaya ili upate wafuasi wapya yangekuwa ni mawazo yako nisinge mgusa mwalimu nyerere lakini kwa sababu umejenga na kutetea hoja yako kwa sababu nyerere kasema basi ngoja nilenge moja kwa moja huko yaliko toka wazungu wanasema ‘tukatishe mbio’ mwalimu nyerere alipokuwa ameshika hatamu wakati ana nguvu ya kuonyesha kujitoa kwake katika demokrasia ya uchaguzi alifanya mabaya zaidi ya aliyo yaita upumbavu baada ya kuondoka madarakani tukiwa ndani ya meli ambayo yeye alikuwa ameshika hatamu yake sio tu ulilazimika kuwa katika ccm kugombea urais bali haikuruhusiwa kuwepo ‘ccm nyingine’ ghafla mwalimu akagundua dini karuka nje ya meli inayo enda mrama kidemokrasia akaanza kubeza mawazo yale yale aliyo yalinda kwa ‘mkono mzito’ ni vigumu kuamini nia ya mtu kama huyo kama kulazimisha mgombea awe katika moja ya vyama ni upumbavu basi kushurutisha kuwe na ccm moja tena ndani ya ccm moja unachagua kiboxi cha nyerere au kiboxi tupu ni vibaya zaidi kwa kiswahili changu finyu sikupata neno baya kuliko ‘upumbavu’ zaidi ya ‘upunguani’ angefanya mabadiliko akiwa bado ndani wakati meli inazama kabla hajajirusha nje kutafuta usalama wake na kuanza kutuambia aliotuacha ndani ya jahazi la ccm bila msaada wa demokrasia ya kweli oooh meli yenu inaendeshwa kipumbavu inazama sawa tuache tujiokoe tunavyo jua wenyewe alitaka kurudi kushika hatamu halafu sasa ututose sisi nje ya meli kama ulivyo tutelekeza mara ya kwanza hakuruhisiwa kushauri lolote kiongozi mstaafu ambaye hakufanya anayo yahubiri baada ya kutoka madarakani moja ya namna ya kurekebisha demokrasia yetu bila kutegemea vigezo vya nyerere ambae haaminiki katika demokrasia ni kubadili katiba lakini kwanza tusubiri uamuzi wa mwisho wa mahakama pia umesema sheria inayopingwa na ccm inawanufaisha ccm kwa hiyo tunategemea tena nahakika wana haki waende mahakamani kutetea maslahi yao ukikubali hilo basi inabidi pia ukubali haki yao ya kumaliza options zao zote ikiwa ni pamoja na kukata rufaa mpaka ngazi za juu kabisa za mahakama mahakama ikitengua uamuzi wa awali na kuenda kama serikali ya ccm inavyotaka yabidi tuangalie mpango wa kubadili katiba tukiiweka katiba sawasawa basi hii haki ya mgombea huru itakuwa haitegemei upepo geugeu unavyo mpuliza mwanasiasa fulani na siasa alizo turithisha za chama chake kama demokrasia ya sasa ni 'upumbavu' ya nyerere ilikuwa 'upunguani'click to expand hakuna mahali popote niliposema kuwa demokrasia ya sasa ni 'upumbavu' kwa hiyo kwanza umeingia na assumption which totally unfounded and immaterial mwanakijiji unapoanza makala na ‘nyerere kasema…’ haisaidii kunikaribisha ili upate nafasi ya kuwasilisha unacho taka kunishawishi kwa sababu sio wote tunakubaliana na nyerere alivyo semaclick to expand kila mtu anavyoandika anaandika apendavyo na siwezi kuanza kuandika vile mtu mwingine anataka kama nyerere alisema kitu fulani ukweli unabakia kuwa alikisema na kama ni kweli kitabakia kuwa kweli kuogopa kunukuu alichosema nyerere kwa sababu kuhani mkuu atakwazika ni woga ambao sina siwezi kuwa nao na sitokuwa nao you should've figured that out by now usiendelee kunisoma zaidi ya mwisho wa sentensi hii kama umewaandikia wenzako tu wanaoamini hivyo tayari kama ambavyo mchungaji wa kanisa anavyo fanya misa katikati ya wiki kwa sababu wakristo wengi huwa wana swali jumapili misa za ziada za jumatano zinakosa waumini wa kutosha halafu mchungaji anaishia kukihubiria kikundi cha kwaya ili kujiunga na kikundi cha kuimba kanisani mara nyingi unakuwa tayari umesha yapokea jumla jumla yoyote atakayo sema mchungaji kabla hata hajafungua kinywa chake ukiihubiria kwaya hupati mwenye dhambi mpya sasa jaribu kunishawishi mimi niliyeko nje ya kwaya ili upate wafuasi wapyaclick to expand sikuwa na kujaribu kukushawishi wewe au mtu yeyote mwingine ambaye anakubaliana na hoja hizo nilikuwa najenga hoja nyepesi na ya moja kwa moja kuwa uamuzi wa kuzuia wagombea binafsi/huru ni uamuzi wa kipumbavu simlengi mtu yeyote zaidi ya hoja ya wagombea binafsi yangekuwa ni mawazo yako nisinge mgusa mwalimu nyerere lakini kwa sababu umejenga na kutetea hoja yako kwa sababu nyerere kasema basi ngoja nilenge moja kwa moja huko yaliko toka wazungu wanasema ‘tukatishe mbio’click to expand ni mawazo yangu na yangu mwenyewe ambayo yanathibitisha na kuungwa mkono pia na mawazo ya watu wengine wengi miongoni mwao ni nyerere mtu anaweza kuwa na mawazo yake lakini mawazo hayo yanakolezwa na kutiwa chumvi na mawazo ya mtu mwingine au yanamulikwa vizuri kama kwa kurunzi na kauli au manano ya mtu mwingine hivyo ondoa shaka nyerere hakusema yote niliyoyasema mimi hapo mwalimu nyerere alipokuwa ameshika hatamu wakati ana nguvu ya kuonyesha kujitoa kwake katika demokrasia ya uchaguzi alifanya mabaya zaidi ya aliyo yaita upumbavu baada ya kuondoka madarakani tukiwa ndani ya meli ambayo yeye alikuwa ameshika hatamu yake sio tu ulilazimika kuwa katika ccm kugombea urais bali haikuruhusiwa kuwepo ‘ccm nyingine’ ghafla mwalimu akagundua dini karuka nje ya meli inayo enda mrama kidemokrasia akaanza kubeza mawazo yale yale aliyo yalinda kwa ‘mkono mzito’ ni vigumu kuamini nia ya mtu kama huyo kama kulazimisha mgombea awe katika moja ya vyama ni upumbavu basi kushurutisha kuwe na ccm moja tena ndani ya ccm moja unachagua kiboxi cha nyerere au kiboxi tupu click to expand absurd unnecessary and completely immaterial sikuwa na mjadili nyerere sikuwa najadili demokrasia wakati wa nyerere sikuwa najadili uchaguzi wakati wa nyerere sikujaribu kujadili suala la dini or whatever other think you might have thought i was discussing nitarudia tena pole pole ili usipotee njia mjadala wangu ni kuwa uamuzi wa serikali ya sasa na iliyotangulia ya kupinga wagombea huru ni uamuzi usio wahaki hauna msingi wa kikatiba na kwa hakika kama mwalimu alivyosema ni wa kipumbavu jukumu lako kama mkosoaji wa hoja yangu ni kunishawishi mimi kwanini uamuzi huu si wa kipumbavu unakubaliana na katiba na haki za raia na kwanini serikali iko sahihi na mahakama imekosea hapo ndipo hoja hujibiwa kwa hoja inapokuja mengine yote unaweza kuyaanzishia mada au yameshajadiliwa unakubaliana na serikali kupinga wagombea huru/binafsi na kwanini iti izi veri veri simpo ni vibaya zaidi kwa kiswahili changu finyu sikupata neno baya kuliko ‘upumbavu’ zaidi ya ‘upunguani’click to expand yawezekana kwa vile tunazungumzia vitu viwili tofauti ila kama ungekuwa nilichokuwa nazungumzia ungejaribu kusema uamuzi wa kutaka wagombea binafsi/huru ni uamuzi wa busara na wa kisomi halafu unajenga hoja halafu ungeweza kuuita msimamo wa mwalimu wa kutetea wagombea huru kuwa ni wa kipunguani na kuonesha kwa hoja upunguani huo kwa vile umeona jina la nyerere basi umeshindwa kutulia na kuangalia kilichoandikwa na umekuwa 'turned off due to your own prejudice bias and unreasonable fear of the name nyerere angefanya mabadiliko akiwa bado ndani wakati meli inazama kabla hajajirusha nje kutafuta usalama wake na kuanza kutuambia aliotuacha ndani ya jahazi la ccm bila msaada wa demokrasia ya kweli oooh meli yenu inaendeshwa kipumbavu inazama sawa tuache tujiokoe tunavyo jua wenyewe alitaka kurudi kushika hatamu halafu sasa ututose sisi nje ya meli kama ulivyo tutelekeza mara ya kwanzaclick to expand once again hakusema meli yenu inaendeshwa kipumbavu inazama alisema serikali haina haki ya kufuta haki ya raia ya kuchaguliwa ati kwa sababu mtu hataki kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa hayo mengine unajaza kisanduku kisicho sahihi kwenye mtihani hakuruhisiwa kushauri lolote kiongozi mstaafu ambaye hakufanya anayo yahubiri baada ya kutoka madarakaniclick to expand inahusu wagombea binafsi vidole vyangu vinauma kukurudisha kwenye mada moja ya namna ya kurekebisha demokrasia yetu bila kutegemea vigezo vya nyerere ambae haaminiki katika demokrasia ni kubadili katiba lakini kwanza tusubiri uamuzi wa mwisho wa mahakamaclick to expand demokrasia inatengenezwa na watu na ukiniuliza mimi yawezekana tulikuwa na demokrasia kubwa katika maeneo wakati wa nyerere kuliko ilivyo sasa kama nyerere alikubali na kuheshimu matokeo ya mbulu ambako mgombea huru wa tanu aliyesimama yeye mwenyewe baada ya kamati ya tanu kupitisha mtu mwingine kwanini usikubali kuwa hiyo ni demokrasia si wangemuacha njelu agombee kama mwanaccm huru yaani ya njelu ni demokrasia na ya chifu swarat siyo pia umesema sheria inayopingwa na ccm inawanufaisha ccm kwa hiyo tunategemea tena nahakika wana haki waende mahakamani kutetea maslahi yao ukikubali hilo basi inabidi pia ukubali haki yao ya kumaliza options zao zote ikiwa ni pamoja na kukata rufaa mpaka ngazi za juu kabisa za mahakamaclick to expand ukisoma makala nzima utaona kuwa hakuna mahali ambapo nimesema kuwa ccm au mtu yeyote hana haki ya kwenda mahakamani kukata rufaa kwa vile umeona jina nyerere na mawazo yako yameenda mbali zaidi basi umesoma kuwa nimesema ccm hawana haki ya kwenda mahakamani hoja yangu ni ile ile uamuzi wa kupinga wagombea huru/binafsi tanzania ni uamuzi wa kipumbavu hauna msingi katika katiba nk na mahakama zimeshaamua hivyo kwa karibu miaka 15 sasa waende mahakama ya rufaa au wafanye uhuni waliofanya mwanzo wa kwenda kubadili sheria wakati kesi iko mahakamani mahakama ikitengua uamuzi wa awali na kuenda kama serikali ya ccm inavyotaka yabidi tuangalie mpango wa kubadili katiba tukiiweka katiba sawasawa basi hii haki ya mgombea huru itakuwa haitegemei upepo geugeu unavyo mpuliza mwanasiasa fulani na siasa alizo turithisha za chama chakeclick to expand ukiiweka katiba sawa wewe na nani kama ccm ingetaka kuwa inatii mahakama ingeshatii zamani sana walibadili sheria baada ya kushtakiwa katika kesi ya chavda ili kufanya serikali iwe vigumu kudaiwa na walibadili sheria walipotakiwa kuruhusu wagombea huru ccm hawatobadili katiba ili watu wengine wanufaike duh mwanakijiji mbona mipasho unaiweza sana wewe jaribu kuwa open minded just because nimekupinga huwezi kusema sikutaka kukushawishi wewe hizo lugha za mipasho si umemwandikia kila mtu mwandishi anatafuta as big an audience as one can get huwezi kususa halafu hakuna sehemu nime quote nyerere lugha ya meli na kuzama jahazi ni 'metaphor' au 'figurative' kila siku unakosea hapo kama ulivyo sema nime nukuu sheria vibaya wewe ni mwandishi kwa nini huelewi metaphors jaribu kuwa open minded just because nimekupinga huwezi kusema sikutaka kukushawishi wewe hizo lugha za mipasho si umemwandikia kila mtu mwandishi anatafuta as big an audience as one can get huwezi kususa halafu hakuna sehemu nime quote nyerere lugha ya meli na kuzama jahazi ni 'metaphor' au 'figurative' kila siku unakosea hapo kama ulivyo sema nime nukuu sheria vibaya wewe ni mwandishi kwa nini huelewi metaphorsclick to expand wewe kuwadi mkuu nakusihi uache mara moja kubishana na mwanakijiji kuhusu nyerereutaishia kulamba sakafu bureoohooooo serikali inasahau kabisa kuwa chama cha siasa ni kikundi cha watu wenye itikadi moja kutokukubaliana na itikadi za vyama vyote vilivyosajiriwa hakumnyimi raia haki yake ya kuchagua viongozi na vile vile kwa yeye kuchaguliwa kuwa kiongozi haki hiyo ni ya msingi kwa raia wote wa nchi hii bila kujali rangi itikadi jinsia itikadi zao in fact kipengele cha kusema kuwa mgombea uraisi au ubunge lazima awe na elimu fulani nacho kinakiuka haki za raia hasa kwa vile inajulikana kuwa kwa tanzania elimu ya chuo kikuu bado ni anasa ni wachache sana wanaoipata acha hasira na maemotions wewe kama ni mawazo yako na yako mwenyewe basi si ungebaki nayo mwenyewe nani alikuomba uyalete hapa kila mara unapoingiza nyerere kwenye mazungumzo basi kwa taarifa yako ua unacompromise sana credibility yako si amini kama wewe si mwana sisiemuhuwezi kuipinga sisiemu wakati unakumbatia nyerere kama hiyo inawezekana basi haupo smart enuff kufanya hivyo na ndicho kisa hasa bongo upinzani ni ziroclick to expand sasa na wewe haya si maoni/ mawazo yako nani kakuomba uyalete hapa kwa nini hukubaki nayo mwenyewe acha upambe wewekila siku ua ana shindwa hizi battle za nyerere this nyerere that hoja nzima ya mada hii ipo fraud kwa kosa lake la kumqoute nyerere kiushabiki na upofu wa hali ya juu bila jaribio lolote la kuzingatia historia ya utawala wa huyo nyerere na issue husika ya wagombea binafsi na vyama vingi vya siasa shameclick to expand tatizo lako wewe una hasira tokea babu yako anyang'anywe ng'ombe wake na nyererekwa hiyo nakuelewa wewe kuwadi mkuu nakusihi uache mara moja kubishana na mwanakijiji kuhusu nyerereutaishia kulamba sakafu bureoohoooooclick to expand mwanakijiji anaeona 'n word' ni sawa likitumika willy nilly humu kwenye forum ni mtu wa kumuogopa kwenye hoja huyo jamani (angalia tundiko lake la mwisho kwenye ishu ya ballal) mtu anaesema oooh sikukuandia wewe sikutaka kukushawishi wewe huyo ni wa kuogopa kweli huyo au yeye ndio anasusa duuh sijaona unayo yasema bado halafu hata angekuwa ni hivyo mimi nisinge mpaka mafuta ya baraka kama wewe napenda ka uhuru kangu kidogo na sipendi kupelekeshwa na mtu yeyote kama hivyo jaribu kuwa open minded just because nimekupinga huwezi kusema sikutaka kukushawishi wewe hizo lugha za mipasho si umemwandikia kila mtu mwandishi anatafuta as big an audience as one can getclick to expand kuhani hiki ndicho ulichosema if you allow me refresh your recent memory ungejaribu kusema haisaidii kunikaribisha mtu kama mimi au unachotaka kushawishi mtu kama mimi lakini ulivyoandika ni kana kwamba ningekaa chini na kufikiri jinsi gani nitamshawishi kuhani mkuu i never think like that na kuhusu audience lengo ni kupata audience yoyote ile na wewe ni ushahidi kuwa nimefanikiwa huwezi kususaclick to expand now where did you get that idea kuna wakati usifikiri zaidi ya kile kilichosemwa ndio maana wakati mwingine mtu anaambiwa unamchumai mtu dhambi hivi hivi [/quote]halafu hakuna sehemu nime quote nyerere lugha ya meli na kuzama jahazi ni 'metaphor' au 'figurative' kila siku unakosea hapo kama ulivyo sema nime nukuu sheria vibaya wewe ni mwandishi kwa nini huelewi metaphors[/quote] metaphor ni kufananisha vitu ambavyo kiasili havifanani lakini kuvifanya vifanane unaposema nchi yetu kwa kweli ni kama meli inayowekwenda kombo unatumia simile (metaphors) tatizo ni kuwa unatumia vibaya na mimi kama mwandishi na mjuzi mzuri tu wa istihali ya lugha yetu basi lazima nijaribu kukuonesha hivyo hebu nikukumbushe ulivyotumia simile nje ya mada hii angefanya mabadiliko akiwa bado ndani wakati meli inazama kabla hajajirusha nje kutafuta usalama wake na kuanza kutuambia aliotuacha ndani ya jahazi la ccm bila msaada wa demokrasia ya kweli oooh meli yenu inaendeshwa kipumbavu inazamaclick to expand ni wewe uliyeashiria kuwa mwalimu alisema something even remotely close to meli yenu inaendeshwa kipumbavu inazama mimi katika kukuonesha kuwa uko nje ya mada na ulichokisema hakihusiani na hoja iliyoko mbele yetu sikubeza simile yako nilichosema na hiki kama ulichukua muda kusoma once again hakusema meli yenu inaendeshwa kipumbavu inazama alisema serikali haina haki ya kufuta haki ya raia ya kuchaguliwa ati kwa sababu mtu hataki kuwa mwanachama wa chama cha kisiasa hayo mengine unajaza kisanduku kisicho sahihi kwenye mtihaniclick to expand sasa kwa vile kuna tatizo hapa niseme kuwa mimi nimesema kuwa nyerere alizungumzia uamuzi kuwa ni wa kipumbavu hakuzungumzia jinsi meli inavyokwenda au kuwa inazama ni wewe ndiyo umechukulia maneno hayo kama hukumu ya nyerere juu ya mwelekeo wa meli sasa unapotumia simile hakikisha hupotei njiani ccm wanaogopa mgombea binafsi kwa sababu wanafahamu kutokana na madudu yao atajitokeza mwanakijiji kutoka kijijini na kushinda uchaguzi kilaini bila wao kujua nani kawafunga goli njia muhimu kwa ccn ni kuwakamata mafisadi wote na kuwaweka rumande na kuacha kutapanya pesa ya walipa kodi huyo mgombea binafsi hataweza kupata kura lakini kwa mwendo huu mgombea binafsi atachukua madaraka 2010 look man mie nakuzimia sana kama mshkaji hapa jf ipo siku tutakutana na utanielewa zaidi thanksclick to expand eazy manmemorial day weekend ishaanzaau vipi hata mimi siamini nyani ngabu is riding on mwnkjj's cocktails he sounds tough some times siamini
2016-12-05T10:48:11
http://www.jamiiforums.com/threads/kupinga-wagombea-huru-ni-uamuzi-wa-kipumbavu.13579/
somo 23 jehanamu ni nini na iko wapi | kujifunza biblia somo 23 jehanamu ni nini na iko wapi jehanamu ni nini na iko wapi kufyatua risasi kipumbavu kulitokea wakati mwanafunzi mmoja alipoingia katika shule yake na kuwaua wanafunzi wenzake kadhaa mwanaume mmoja mwenye chuki ambaye alikuwa amefukuzwa kazi aliingia mahali pale alipokuwa akifanya kazi zamani na kumpiga risasi mkuu wake wa kazi mama mmoja alisukuma gari lake dogo na kulitumbukiza ziwani likiwa na watoto wake wawili ndani yake na kuwazamisha kwa uchache katika mabara mawili maelfu wamechinjwa katika mauaji ya safishasafisha ya kikabila uhasama wa muda mrefu uliochukua karne nyingi kati ya makundi mawili au zaidi ya makabila hayo ndicho chanzo chake wanaume wanawake watoto na hata watoto wachanga wamepigwa risasi wamekatwakatwa wamepigwa na kubakwa kutoa adhabu ya kifo kwa uhalifu huo wa kishenzi hata kwa wauaji wale walio wakatili sana kunashutumiwa na wengi makundi yaliyo kinyume na hukumu ya kifo yanapinga kwa makelele mengi wakiita hukumu hiyo kuwa sio ya kibinadamu ati ni mfumo wa ibada ya kipagani wanauliza hivi je wauaji hao hawarekebishiki je njia sahihi ya kibinadamu ya kuwaua wahalifu waliohukumiwa kuuawa ni ipi je ni kile kiti cha umeme wengine wanadhani kudungwa sindano yenye sumu ya kufisha ingekuwa ni njia isiyo na maumivu kabisa wengine wanatetea kwamba uhai wa mtu ungekoma kwa upesi zaidi kwa kumnyonga lakini basi wakristo wengi waaminifu wanadhani kwamba baba yetu aliye mbinguni atatenda vibaya kuliko hivyo wao wanasema waovu ni lazima wateswe vibaya ili kubatilizwa kwa ajili ya dhambi zao tena zaidi sana ya hayo wanafikiria kwamba maeneo ya mungu anayoyatumia kuwaulia wahalifu ni mahali pa mateso yasiyo na mwisho ni kitu gani hasa kinachowapata waovu je maangamizi yao yanapatanaje na upendo na haki ya mungu hebu na tuangalie biblia itupe jibu 1 huzuni kubwa ya mwisho ya yesu kwa miaka 6000 mungu amekuwa akiwasihi sana wanaume na wanawake kama mimi niishivyo mimi bwana mwenyezimungumimi sikufurahii kifo cha mtu mwovu bali napenda mtu mwovu aachane na mwenendo wake mbaya apate kuishi (ezekieli 3311) msalaba ulidhihirisha ni kwa kiwango gani mungu anataka kuwaokoa wanadamu walioanguka [dhambini] yesu alipopaza sauti pale msalabani akisema baba uwasamehe kwa kuwa hawajui watendalo aliufunua wazi moyo wake uliokuwa ukimwuma (luka 2334) muda mfupi baada ya hapo yesu akakata roho na kama wengine waaminivyo akafa kwa kupasuka moyo wake (yohana 1930 34) lakini hata pamoja na udhihirisho huo wenye nguvu ya upendo wa mungu watu wengi bado hawamgeukii yesu na kadiri dhambi inavyoendelea kutawala katika dunia hii ndivyo itakavyozidi kuongeza misiba ya wanadamu kwa hiyo ni lazima dhambi iteketezwe kabisa je hivi mungu anapanga kufanya nini ili kuikomesha hiyo dhambi siku ya bwana itakuja mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu na vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto nayo dunia itatoweka (2 petro 310) hatimaye ni lazima mungu aitakase dunia hii kutokana na uovu wake na kuikomesha dhambi kabisa wale wanaoendelea kungangania dhambi hatimaye watateketezwa kwa moto huo ulioandaliwa kwa ajili ya kumteketeza iblisi malaika zake na dhambi katika dunia yetu hii ni wakati wa kuhuzunisha jinsi gani kwa yesu anapouangalia moto ukiwateketeza wale aliokuja kuwafia ili kuwaokoa 2 wapi na lini utakapowaka moto wa jehanamu kinyume na dhana zinazopendwa sana na watu wengi mungu hana moto unaowaka sasa mahali paitwapo jehanamu ambapo wafu huenda wanapokufa jehanamu hutokea wakati ule dunia hii itakapogeuka na kuwa ziwa la moto mungu anangojea kutekeleza hukumu hiyo dhidi ya waovu mpaka hapo hukumu ya mwisho itakapotolewa mwisho wa ile miaka 1000 (ufunuo 20915) bwana anajua jinsi ya kuwaokoa katika majaribu watu wanaomcha mungu na jinsi ya kuwaweka waovu katika adhabu hadi siku ile ya hukumu (2 petro 29) pia anaitakasa dunia yetu kwa moto huo utakasao lakini mbingu na nchi za sasa zimehifadhiwa kwa neno la mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto zimewekwa kwa ajili ya siku ile ambapo watu wasiomcha mungu watahukumiwa na kuangamizwa (2 petro 37) kamwe mungu hakupanga kwamba mwanadamu awaye yote amalizie maisha yake katika mioto ile ya jehanamu lakini watu wanapokataa katakata kuachana na shetani halafu wanaendelea kuzingangania dhambi zao basi ni lazima wapokee hatimaye matokeo ya uchaguzi wao kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa nedeni katika moto wa milele aliotayarishiwa ibilisi na malaika wake mathayo 2541 kulingana na maneno hayo ya kristo je ni lini jehanamu itakapowaka moto kama vile magugu yanavyokusanywa na kuchomwa moto ndivyo itakavyokuwa mwisho mwa nyakati mwana wa mtu atawatuma malaika wake wawakusanye kutoka katika ufalme wake wale wote wenye kusababisha dhambi na wote wenye kutenda maovu na kuwatupa katika tanuru ya moto na watalia na kusaga meno kisha wale wema watangara kama jua katika ufalme wa baba yao mwenye masikio na asikie (mathayo 134042) magugu yaani wale watendao maovu hawachomwi moto mpaka utakapofika ule mwisho wa dunia kabla haijatekelezwa hiyo hukumu malimwengu yote hayana budi kuthibitisha kwamba mungu ni mwenye haki katika kumshughulikia kila mwanadamu kama ilivyoelezwa kwa kinaganaga katika somo la 22 katika pambano kuu linaloendelea kati ya kristo na shetani shetani amekuwa akijaribu kuyathibitishia hayo malimwengu kwamba njia ya dhambi ndiyo njia bora yesu amekuwa akionyesha wazi kwamba njia ya utii ndiyo ufunguo wa maisha yanayoridhisha zaidi mwisho wa miaka ile 1000 udhihirisho huo utaishia katika hukumu ya shetani malaika zake na waovu baada ya kufunguliwa vitabu vya kumbukumbu ambavyo vinafichua sehemu aliyofanya kila mtu katika mfululizo wa matukio hayo ya kusisimua ndipo mungu atakapomtupa shetani mauti na kaburi [kuzimu] pamoja na kila mmoja ambaye jina lake halikuonekana limeandikwa katika kitabu cha uzima katika ziwa la moto (ufunuo 2015) kulingana na fungu hili lifuatalo yaani ufunuo 211 baada ya mungu kuitakasa nchi hii kwa moto kutokana na dhambi anaumba mbingu mpya na nchi mpya 3 jehanamu itawaka kwa muda gani waumini wengi wanalikubali wazo hili lisemalo kwamba mioto ile ya jehanamu inawaka milele na milele hebu na tuangalie kwa makini mafungu yale yanayoeleza jinsi mungu anavyoishughulikia dhambi pamoja na wenye dhambi na miale ya moto huwaadhibu wale wanaomkataa mungu na wale wasiotii habari njema ya bwana ya yesu adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu (2 wathesalonike 189) tafadhali zingatia kwamba hayo maangamizi ya milele sio sawa na mateso makali ya milele maana yake tu ni kwamba hayo ni maangamizi yanayoendelea milele matokeo yake ni mauti ya milele petro alizungumza juu ya siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwao wanadamu wasiomcha mungu (2 petro 37) kulingana na yesu maneno yote mawili yaani roho na mwili huangamizwa katika jehanamu (mathayo 1028) katika hotuba yake ya mlimani yesu alizungumza juu ya mlango ulio mwembamba uendao uzimani na njia ile pana iendayo kwenye maangamizi (mathayo 71314) katika yohana 316 yesu anaeleza kwamba mungu akamtoa mwanawe pekee bali wawe na uzima wa milele yesu anailinganisha miisho miwili uzima wa milele au kuangamia sio kuchomwa moto milele na milele tunapaswa kuhitimisha kwa kusema kwamba ni dhahiri ya kuwa jehanamu ina mwisho wake mwisho wake ni mauti na maangamizi ya waovu semi zinazoeleweka wazi katika maandiko yote zinatuambia kwamba waovu wataangamizwa waovu wataharibiwa (zaburi 3728) wataangamizwa (2 petro 212) watatoweka kama moshi (zaburi 3720) moto ule utawateketeza kabisa hadi watakuwa majivu (malaki 413) mshahara wa dhambi ni mauti sio uzima wa milele katika jehanamu (warumi 623) kusudi la adhabu ya mwisho katika moto ule wa jehanum ni kuiondoa dhambi kabisa ulimwenguni humu sio kuiendeleza dhambi milele na milele ni vigumu kabisa kumwazia kristo aliyeulilia mji ule mkaidi kutokana na ajali yake na ambaye aliwasamehe wale waliomwua kwamba atumie umilele wake wote kuyaangalia maumivu yale makali ya waliolaaniwa ni dhahiri kwamba jehanamu ina mwisho wake mwisho wa miaka 1000 mungu ananyesha moto chini kutoka mawinguni na kumwangamiza kabisa ibilisi malaika zake pamoja na waovu wanaoendelea kuzingangania dhambi zao moto huo unashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza kabisa (ufunuo 209) kulingana na maneno yake kristo moto huo ni moto usiozimika (mathayo 312) hakuna zima moto iwayo yote iwezayo kuuzima mpaka umalize kazi yake ya kuteketeza kabisa mungu anaahidi kwamba kutokana na moto huo utakasao yeye ataiumba nchi mpya ambayo ndani yake taabu zote zilizopita zitakuwa zimesahaulika na sauti ya kuomboleza na kulia haitasikika tena ndani yake (isaya 651619) ile ni siku ilioje kila chanzo kiletacho huzuni kubwa kitakuwa kimetoweka kabisa mungu atayafutilia mbali kabisa majeraha ya dhambi kutoka katika kila moyo ndipo furaha yetu itakuwa imetimilika 4 milele katika maandiko katika mathayo 2541 yesu anazungumza juu ya moto wa milele aliowekewa tayari ibilisi na malaika zake je neno hili milele linadokeza kwamba jehanamu hiyo ni ya milele yuda 7 anaeleza habari za sodoma na gomora kuwa imewekwa kuwa mfano wa wale watakaopata adhabu yao katika ule moto wa milele ni dhahiri kwamba miji ile haiendelei kuteketezwa kwa moto ule lakini moto wenyewe ulikuwa wa milele kwa maana kwamba ulisababisha maangamizi ya kudumu katika 2 petro 26 tunasoma mara moja tena habari za moto wa milele lakini maandiko hayo pia huonyesha wazi kwamba mungu akaihukumu miji ya sodoma na gomora akiiteketeza kabisa kwa moto na kuifanya majivu akaifanya iwe mfano wa kile kitakachowapata wale wasiomcha mungu wale wasiomcha mungu waliokuwa sodoma na gomora hawaendelei kupata maumivu makali waliteketezwa kabisa kuwa majivu zamani sana na hata hivyo moto ule uliowateketeza ni wa milele kwa kuangalia matokeo ya kazi yake yaani maangamizi yale ya kudumu milele maana yake ni adhabu ya kudumu sio kuendelea tu kuadhibiwa kwa kuwa kile kitabu cha ufunuo kinatumia lugha ya mifano dhahiri kama ile baadhi ya vifungu vyake vya maneno vimeeleweka vibaya kwa mfano ufunuo 1411 husema maneno haya juu ya wale waliopotea moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele maneno haya yanasikika kana kwamba ni mateso yasiyo na mwisho lakini tena hebu na tuliache andiko kulitafsiri andiko kutoka 216 katika toleo la kjv huzungumzia habari za mtumishi kutobolewa sikio lake kama ishara ionyeshayo kwamba yeye angeendelea kumtumikia bwana wake milele katika mfano huu neno hili milele lingemaanisha kadiri uhai wa mtumishi yule ambavyo ungeendelea kuwapo yona aliyekaa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la yule nyangumi (mathayo 1240) anatoa taarifa yake kwamba alikuwa ndani mle milele (yona 26) bila shaka zile siku tatu na lile giza lisilokuwa na matumaini kwake vilionekana kana kwamba ni milele basi hatuna budi kuwa waangalifu kuelewa ni jinsi gani na lini maandiko yanapotumia lugha ya mafumbo ya mashairi moshi ukipanda juu milele kutoka katika ziwa lile la moto ni njia dhahiri ya kuonyesha maangamizi ya milele ufunuo 218 hutuambia waziwazi kwamba ziwa lile linalowaka moto na kiberiti ni mauti ya pili jehanum ina mwisho wake waovu wanateketezwa kwa moto yaani wanaangamizwa kabisa 5 kwa nini iweko hiyo jehanamu hapo mwanzo mungu aliiumba dunia hii ikiwa kamilifu lakini dhambi ikaja na kuleta misiba uharibifu na mauti kama jioni moja ungerudi nyumbani kwako na kuikuta nyumba yako imepekuliwa na kuharibiwa je ungeiacha katika hali ile milele hasha ungefagia takataka na uchafu ungepasafisha mahali pale kabisa na kuitupilia mbali samani [fanicha] iliyoharibiwa kiasi cha kutoweza kutengenezeka tena mungu atafanya vivyo hivyo ataushughulikia uharibifu na uchafuzi wa dhambi kwa mara moja tu na kuiumba dunia mpya mahali pake kusudi la mungu kuitakasa dunia hii kwa moto ni kutayarisha njia ya kupatikana dunia kamilifu kwa ajili ya kuishi ndani yake wale waliookolewa lakini mungu anakabiliwa na tatizo zito kwa sababu dhambi hiyo haikuharibu tu dunia hii bali pia imewaambukiza watu dhambi iliharibu uhusiano wetu naye na kati yetu sisi kwa sisi wanadamu wanaedelea kusumbuliwa na watoto wanaoteswa ugaidi picha za wanawake walio uchi zinazoamsha ashiki na maelfu ya kansa nyingine za kiroho siku moja mungu atalazimika kuiangamiza dhambi kabisa kwa sababu dhambi ndiyo inayowaangamiza watu tatizo la mungu ambalo ni gumu kulitatua ni hili jinsi gani akiteketeze kile kirusi cha dhambi kiletacho mauti kutoka katika dunia hii na wakati huo huo asiweze kuwaangamiza watu wote walioambukizwa nacho suluhisho lake lilikuwa ni lile lakukichukua kirusi hicho cha dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe akairuhusu ile kansa ya dhambi kumwangamiza yeye kabisa pale msalabani matokeo yake ni haya tukiziungama dhambi zetu yeye ni mwaminifu na wa haki naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha udhalimu wote (1 yohana 19) mungu anampa bure kila mmoja suluhisho lake kwa hilo tatizo la dhambi lakini ukweli wa kusikitisha ni kwamba wengine wanaungangania ugonjwa huo wa dhambi kwa nguvu zao zote na mungu hatatumia nguvu kuwalazimisha watu hao ili wapate kuichagua njia yake ya uzima wa milele wale wanaolikataa suluhisho lake hatimaye wataangamizwa kabisa pamoja na ugonjwa huo sababu ya kweli ya kuwako hiyo jehanamu ni hii kwa sababu mimi nilipoita ninyi hamkuitika niliponena hamkusikia mlitenda yaliyo mabaya machoni pangu mlichagua mambo nisiyoyafurahia mimi (isaya 6512) wakiwa wametengwa mbali na yesu kwa uchaguzi wao wenyewe waovu watagundua kwamba kumbe njia pekee iliyobaki kwao ni kukabiliwa na ile mauti ya milele 6 nini gharama ya kupotea ijapokuwa maandiko hayafundishi kwamba moto ule wa jehanamu unasababisha maumivu yasiyo na mwisho yanatupa picha ya haraka kuonyesha ni jambo la kutisha jinsi gani kupotea waovu wataukosa uzima wa milele litakuwa ni jambo la kuogofya jinsi gani kutambua kwamba furaha ile ya kuishi milele pamoja na mungu imeteleza mikononi mwao ya kwamba hawatauonja kamwe uhusiano ule wenye furaha kamilifu na upendo milele hata milele kristo alipoangikwa pale msalabani dhambi za ulimwengu mzima zikimtenga na baba yake bila shaka alipata wale watakaopotea milele waovu wanapoliangalia lile giza jeusi lenye ukiwa mbele yao wanaona tu maangamizi yao ya milele hawana budi kufa bila kuwa na tumaini la kufufuliwa mara ya pili wakati huo huo wanaona jinsi walivyomsukumia mbali huyo kristo mara kwa mara alipokuja karibu nao akiwa na maneno ya upendo ya kutaka kufanya amani nao mwisho watapiga magoti yao na kukiri kwamba mungu ni mwenye haki na upendo (wafilipi 21011) si ajabu basi kwamba waandishi wa biblia wanasisitiza sana juu yetu kuhusu uzito wa uchaguzi wetu tunaofanya pamoja na madai ya kristo kwetu basi tukiwa wafanyakazi pamoja na mungu tunawasihi msikubali ile neema mliyopokea kutoka kwa mungu ipotee bure mungu asema hivi wakati wa kufaa nimekusikiliza wakati wa wokovu nikakusaidia basi sasa ndio wakati wa kufaa sasa ndiyo siku ya wokovu 2 wakorintho 612 siwezi kufikiria juu ya msiba mkubwa kuliko ule wa mtu fulani anayeitumia vibaya kafara ya yesu kwa kuchagua kupotea njia zilizobaki mbele yetu ziko dhahiri kabisa yaani yale maangamizi ya milele kutengwa milele mbali na mungu au urafiki wa milele pamoja na kristo ambao unakidhi shauku yetu ya ndani kabisa ya moyo wetu je wewe unachagua ipi kwa nini wewe usiugundue mwisho wako kwa kukaa ndani ya kristo leo
2020-08-10T19:12:48
http://www.kujifunzabiblia.com/mwanzo/kozi-zinazopatikana/gundua/somo-23-jehanamu-ni-nini-na-iko-wapi/
mthailand awasili dar kuzipiga na mtango ijumaa mkwakwani bin zubeiry sports online mthailand awasili dar kuzipiga na mtango ijumaa mkwakwani bin zubeiry sports online mwanzo > ndondi > mthailand awasili dar kuzipiga na mtango ijumaa mkwakwani bondia suriya tatakhun akiwa na kocha wake baada ya kuwasili leo jijini dar es salaam kutoka kwao thailand tayari kwa pambano kubwa la ngumi la kimataifa dhidi ya mwenyeji salim jengo mtango usiku wa ijumaa uwanja wa mkwakwani jijini tanga kuwania taji lilio wazi la ubo uzito wa light item reviewed mthailand awasili dar kuzipiga na mtango ijumaa mkwakwani rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-05-24T21:39:28
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/01/bondia-wa-thailand-awasili-leo-dar.html
frodebu yasema mazungumzo ya amani muhimu | makurukirw | habari za kina mazungumzo ya amani yaliyopangwa kufanyika tena januari 6 mjini arusha tanzania kiongozi aliye uhamishoni wa chama cha opposition front for democracy in burundi amesema juhudi za kutafuta suluhisho la amani kwa mzozo unaolikumba taifa hilo bado zinaendelea kwa sababu warundi wanataka amani mazungumzo ya amani yaliyopangwa kufanyika tena januari 6 mjini arusha tanzania hayakufanyika kwa sababu serikali ya rais pierre nkurinziza ilisema haikuwa tayari kufanya mazungumzo na viongozi fulani wa upinzani ambao iliwaita viongozi wa njama za kuipindua serikali na watu wanaofadhili vitendo vya kigaidi lakini kiongozi huyo wa chama cha frodebu jean minani amesema juhudi za kutafuta amani bado ziko hai kwa sababu wa burundi wanataka amani amesema iwapo serikali ya nkurunziza haitaki kufanya mazungumzo italazimishwa kufanya hivyo
2018-02-22T02:36:42
http://sw.makuruki.rw/spip.php?article1665
wanandoa wengi malawi wasema ni halali kupigwa na waume zao wataja sababu tano raia mwema wanandoa wengi malawi wasema ni halali kupigwa na waume zao wataja sababu tano mar 19 2017 by raia mwema in habari ripoti ya utafiti wa masuala afya na idadi ya watu (mdhs) nchini malawi kwa mwaka 2015/2016 imebaini kwamba asilimia 16 ya wanawake nchini humo wanakiri kuwa ni halali kwa mume kumpiga mkewe matokeo hayo ya utafiti ni kwa mujibu wa taarifa ya ofisi ya taifa ya takwimu malawi (nso) ripoti ya utafiti huo ilizinduliwa na waziri wa fedha na mipango goodall gondwe akiwa pamoja na kamishna wa nso mercy kanyuka mdhs ni utafiti unaohusisha kaya ili hatimaye kupata takwimu za kitafiti zitakazosaidia nchi hiyo kuratibu shughuli za kijamii kama masuala ya afya na lishe utafiti huo uliofanywa na nso umefadhiliwa na serikali ya malawi kwa kushirikiana na taasisi kadhaa zikiwamo usaid unicef nac unfpa un women shirika la misaada la ireland na benki ya dunia kwa mujibu wa utafiti huo wanawake wanaounga mkono vipigo vya wanaume kwa wake zao wameainisha sababu kadhaa ambazo ni pamoja na wake hao kugoma kufanya mapenzi na waume zao na wakati mwingine kuuguza chakula asilimia 16 ya wanawake na asilimia 13 ya wanaume wanakubali kwamba ni haki mwanamume kumpiga mkewe kwa sababu zifuatazo endapo mwanamke atapika chakula na kukiunguza mwanamke atabishana na mumewe ataondoka nyumbani bila kumtaarifu mumewe kutokuwajali watoto au kukataa kufanya mapenzi na mumewe inasomeka sehemu ya utafiti huo nso imeeleza kwamba hii si mara ya kwanza kwa utafiti wa aina hiyo kutoa matokeo hayo na kwamba tangu mwaka 2010 matokeo ya tafiti za aina hiyo yamekuwa yakifanana akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo hivi karibuni waziri gondwe alisema ni lazima takwimu hizo zitumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa ambayo ni pamoja na kuboresha sekta ya afya nchini malawi haitoshi tu kuishia kusikiliza matokeo ya utafiti huu tunapaswa sasa kwenda mbali zaidi kuhusisha utafiti huu na hali halisi nchini kuchukua hatua stahiki kwa kushirikisha wadau wa maendeleo alisema gondwe kwa upande wake kamishna wa nso mercy kanyuka alisema takwimu za utafiti huo zitasaidia wadau kutimiza wajibu wao kikamilifu kwa jamii alisema matokeo ya utafiti huo ni muhimu kwa wadau mbalimbali kwa kuwa yatawasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii ripoti hiyo pia imebainisha kwamba wanawake kwa sasa wamekuwa mstari wa mbele katika kutumia njia za kisasa za kupanga uzazi kwa mujibu wa ripoti ya utafiti huo asilimia 58 ya wanawake waliofunga ndoa wamekuwa wakitumia njia za uzazi wa mpango kutoka asilimia 24 mwaka 2010 wilaya ya chiradzulu ndiyo inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanawake wanaotumia njia za kisasa za uzazi wa mpango ikiwa na asilimia 68 na inayoshika mkia ni wilaya ya mangochi yenye asilimia 31 mkurugenzi mkazi wa shirika la kimataifa la maendeleo la marekani (usaid) littleton tazewell naye alizungumzia utafiti huo akisema ni lazima tuzingatie kuwa takwimu pekee haziwezi kuboresha maisha ya mamilioni ya raia wa malawi akaongeza takwimu ni chombo cha kututaarifu uhalisia ili hatimaye tufanye uamuzi sahihi takwimu zinatuwezesha kujua tutumie mbinu gani muafaka ili tufanikiwe utafiti huo umehusisha sampuli 24562 za wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 katika kaya 26361 na pia umehusisha wanaume 7478 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 54 one thought on wanandoa wengi malawi wasema ni halali kupigwa na waume zao wataja sababu tano ben says mar 21 2017 jamani asilimia 16 ni wengi kweli ebu tumieni weledi kidogo anyhow je na wanawake kuwapiga wanaume pia ni halali si mapenzi pande zote mbili kwanini wanaume tu waoneshe mapenzi na wanawake wasioneshe
2017-06-25T18:52:04
http://www.raiamwema.co.tz/wana-ndoa-wengi-malawi-wasema-ni-halali-kupigwa-na-waume-zao-wataja-sababu-tano/
thenkoromo blog ujerumani yapendekeza wahamiaji kurudishwa afrika ujerumani yapendekeza wahamiaji kurudishwa afrika wizara za mambo ya ndani ya ujerumani inataka kuwazuwiya wahamiaji kutofika kabisa katika mwambao wa ulaya ulioko katika bahari ya mediterenia kwa kuwachukuwa baharini na kuwarudisha afrika kwa kile kitakachokuwa mabadiliko makubwa kwa nchi hiyo yenye sera za ukarimu mkubwa wa kuomba hifadhi wizara hiyo imesema umoja wa ulaya unapaswa kuwa na sera kama ile ya australia ambapo kwayo wahamiaji wanaodukizwa baharini wanapelekwa katika makambi yalioko katika nchi nyengine kushughulikia mchakato wao wa kuomba hifadhi ujerumani la welt am sonntag limeripoti jumapili (06112016 )likimkariri msemaji wa wizara hiyo akisema kufuta uwezekano wa kufika ulaya kunaweza kukawashawishi wahamiaji kuepuka kufunga safari zenye kuhatarisha maisha yao na zenze gharama kubwa kwa mujibu wa wizara hiyo lengo lazima liwe kuwaondolea sababu makundi yanayosafirisha watu kwa magendo na kunusuru maisha ya wahamiaji kutokana na safari hizo za hatari wizara hiyo inapendekeza wahamiaji wanaochukuliwa katika bahari ya mediterenia ambao takriban wote wameondokea kutoka nchi iliyokumbwa na mzozo ya libya wapelekwe tunisiamisri au mataifa mengine ya afrika kaskazini kuomba hifadhi ulaya kutokea nchi hizo hifadhi iombwe nje iwapo maombi yao ya kuomba hifadhi yatakubaliwa hapo tena wahamiaji wanaweza kusafishwa kwa usalama kwenda ulaya wizara hiyo inaongozwa na thomas de madziere mwanachama wa cha christian demokratik cha kansela angela merkel wa ujerumani ambaye amekuwa akikosolewa kwa sera yake ya kuwafungulia milango wahamiaji ambapo chama hicho kimekuja kupoteza kura kwa chama mbadala kwa ujerumani afd katika uchaguzi wa majimbo wa hivi karibuni wizara hiyo inasema pendekezo hilo liko katika hatua ya mwanzo na kwamba hakuna mpango madhubuti juu ya pendekezo hilo au mazungumzo katika ngazi ya ulaya lakini wanasiasa wa upinzani wamelaani pendekezo hilo bernnd riexinger kiongozi wa chama cha upinzani cha sera za mrengo wa kushoto cha die linke amesema itakuwa ni kashfa ya kibinaadamu na hatua nyengine zaidi ya kufuta haki ya kupatiwa hifadhi amesema maombi ya kuomba hifadhi yanapaswa yajazwe ujerumani ili kuhakikisha waombaji wanapatiwa msaada wa kisheria na ameuita mfumo wa australia kuwashughulikia wahamiaji haukubaliki kabisa wahamiaji waendelea kuwasili mwambao wa italia amesema hapo jumamosi zaidi ya wahamiaji 2200 wameokolewa kwa siku hiyo moja katika bahari ya mediterenia na miili kumi ilipatikana shirika la kimataifa la uhamiaji limesema wiki iliopita kwamba watu 159496 walifika italia kwa njia ya bahari mwaka huu na 4220 walikufa wakijaribu kuingia ulaya kwa njia hiyo hilo likiwa ni ongezeko la watu 3777 kwa mwaka mzima wa 2015 wengi waliohatarisha maisha yao kwa kuvuka bahari hiyo mara nyingi wanakuwa katika maboti yaliofurika yanayoendeshwa na makundi yanayosafirisha watu kwa magendo ambao wanakimbia mizozo na ukandamizaji kutoka kwenye nchi zaodw
2017-05-29T03:56:20
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2016/11/ujerumani-yapendekeza-wahamiaji.html
serikali yarejesha asilimia 52 ya hisa zake uda | mpekuzi serikali yarejesha asilimia 52 ya hisa zake uda serikali imefanikiwa kurejesha udhibiti wake kwenye shirika la usafiri dar es salaam (uda) baada ya kurejeshewa asilimia 52 ya hisa zilizonunuliwa kinyume na utaratibu na kampuni ya simon group limited (sgl) kurejeshwa kwa hisa hizo kunatokana na ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali (cag) kwamba mauzo ya hisa hizo yaliyofanywa na bodi ya wakurugenzi wa uda hayakuwa na kibali cha serikali ripoti ya cag ya mwaka 2014/15 ilibainisha licha ya utaratibu kukiukwa pia hakuna vilelezo vya fedha za manunuzi zaidi ya kuonyesha sh320 milioni ziliingizwa kwenye akaunti binafsi ya mwenyekiti wa bodi idd simba ambazo hata hivyo alidai ni malipo ya ushauri alioutoa kwa mwekezaji huo kurejeshwa kwa hisa hizo kutolewa taarifa ndani ya kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa (laac) ambayo jumanne ya wiki hii iliuweka kikaangoni uongozi wa jiji la dar es salaam kuhusiana na sakata la uda pia kamati iliwataka waziri wa nchi katika ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa(tamisemi) george simbachawene mwanasheria mkuu wa serikali george masaju na msajili wa hazina lawrence mafuru wafike kwenye kamati wakiwa na majibu sahihi kuhusu sakata hilo viongozi hao waliitikia wito huo jana na baada ya kikao cha faragha mwenyekiti wa laac vedasto mwiru alisema serikali imeitaarifu kamati yake kuwa imerejesha katika himaya yake fungu kuu la hisa ambazo hazikugawiwa mwiru alisema serikali imerejesha hisa asilimia 52 ambazo ziliuzwa na bodi ya wakurugenzi wa uda kinyume cha utaratibu maelezo yaliyotolewa na serikali zile share (hisa) zote ambazo hazikugawiwa ziko salama chini ya mikono salama ya serikali hazijauzwa alisema mwiru ambaye pia ni mbunge wa kilwa kaskazini (cuf) alisema kutokana na maelezo hayo wabunge wametaka mikataba ya kurudisha hisa hizo kwa serikali ipelekwe kwenye kamati hiyo alisema kamati hiyo inaipa serikali muda wa wiki mbili kuhakikisha kuwa wanawasilisha nyaraka hizo meya wa jiji la dar es salaam isaya mwita alisema wanasubiri majibu ya barua yao ya kuomba ushauri kuhusu uuzwaji wa hisa za jiji za asilimia 51 kutoka kwa mwanasheria mkuu wa serikali alisema baada ya kupokea ushauri huo watapeleka katika baraza la madiwani ili kuona namna ya kwenda mbele pamoja na kuzifanyia kazi fedha walizouza hisa zao ambazo ziko katika benki kuu (bot) mwanasheria mkuu masaju alisema anakwenda kuandika mambo yote yaliyosemwa ili iwasaidie kamati na jiji la dar es salaam kukamilisha utaratibu huo kisheria advertisement
2017-01-22T14:08:20
http://www.mpekuzihuru.com/2016/10/serikali-yarejesha-asilimia-52-ya-hisa.html
tanzania kuandaa mkutano wa kimataifa wa usafiri endelevu mwakani by dismas lyassa september 11 2017 tanzania kuandaa mkutano wa kimataifa wa usafiri endelevu mwakani na mwandishi wetu mtendaji mkuu wa wakala wa mabasi yaendayo haraka mhandisi ronald lwakatare amesema kuwa serikali ya tanzania imepewa heshima ya kuandaa mkutano wa kimataifa wa usafirishaji endelevu utakaofanyika katika jiji la dar es salaam kati ya mwezi wa sita hadi wa saba mwaka 2018 heshima hiyo imetokana na mradi wa mabasi yaendayo haraka (dart) uliopo katika jiji la dar es salaam kutangazwa kushinda tuzo ya usafirishaji endelevu katika mkutano wa usafirishaji endelevu uliofanyika mnamo mwezi mei 2017 katika mji wa santiago nchini chile na hivyo kuliwezesha jiji la dar es salaam kushinda tuzo hiyo kwa mwaka 2018 akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana wakati akielezea mafanikio na changamoto mbalimbali zilizotokana na utekelezaji wa mradi huo kwa kipindi cha mwaka mmoja mhandisi lwakatare ameeleza kuwa sasa wakala wa mabasi yaendayo haraka upo katika maandalizi kwa ajili ya mkutano huo mkubwa wa kimataifa katika heshima hiyo mkutano ujao ambao kama uliofanyika mwaka huu ambao ulitutangaza sisi kama washindi sisi tumepewa heshima ya kuwa wenyeji wa mkutano huo ambao utafanyika katika jiji la dar es salaam mwakani alisema mhandisi lwakatare alieleza kuwa mkutano huo unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni kutoka nchi nyingi kutoka bara la afrika na kote duniani kutakuwa na mada mbalimbali zitakazotolewa kuhusiana na usafiri wa umma nasi tumefurahi kupata heshima hiyo ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo alifafanua mhandisi lwakatare aliongeza kuwa mkutano huo unatarajiwa kufanyika kwa muda wa siku mbili au tatu kati ya mwezi juni au julai mwaka 2018 wakati huo huo wakala wa mabasi yaendayo haraka unatarajiwa kukabidhiwa tuzo ya usafirishaji endelevu kwa mwaka 2018 katika hafla inayotarajiwa kufanyika mwezi januari mwakani katika jiji la washington nchini marekani wakala wa mabasi yaendayo haraka ni taasisi ya serikali iliyo chini ya ofisi ya rais tamisemi na inatekeleza mradi wa mabasi yaendayo haraka kwa njia ya ubia na kampuni binafsi ya udart mradi huo ulianza kutoa huduma ya mabasi wakati wa mpito kuanzia tarehe 10 mei 2016
2018-10-17T18:38:27
https://tanzaniawatchdog.blogspot.com/2017/09/tanzania-kuandaa-mkutano-wa-kimataifa.html
ushirikiano china na tanzania waongezeka mara kumi kwa miaka sita na kufikia trilioni 1582 china radio international ushirikiano china na tanzania waongezeka mara kumi kwa miaka sita na kufikia trilioni 1582 (gmt+0800) 20180814 092847 na theopista nsanzugwanko dar essalaam ushirikiano wa tanzania na china katika sekta mbalimbali unimarisha kila mwaka katika kuhakikisha nchi hizo mbili kila moja inanufaika ongezeko hilo limefanya uwekezaji wa china nchini tanzania kuongezeka mara kumi katika kipindi cha miaka sita kutoka sh trilioni 158 hadi kufikia sh trilioni 1582 hayo yalibainika hivi karibuni wakati rais john magufuli alipofanya mazungumzo na balozi wa china nchini wang ke ambaye pia aliwasilisha barua kutoka kwa rais wa china katika mazungumzo hayo balozi wang anamueleza rais magufuli kuwa uhusiano na ushirikiano wa tanzania na china umeendelea kukua kwa kasi kubwa hususani katika masuala ya kiuchumi anasema miradi mbalimbali ya maendeleo imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa na katika kipindi cha miaka sita iliyopita uwekezaji wa china nchini tanzania umekuwa mara kumi kutoka sh trilioni 158 hadi kufikia sh trilioni 1582 balozi wang alimhakikishia rais magufuli kuwa china itaendelea kuwa mshirika muhimu wa maendeleo ya tanzania kuhusu ombi alilolitoa rais magufuli wakati meli ya matibabu ya china ilipokuja nchini novemba mwaka jana balozi wang ke alisema rais wa china ameshafanyia kazi ombi hilo kwa kutoa udhamini wa masomo kwa madaktari 20 watakaosomea ngazi ya uzamili na uzamivu katika matibabu ya ini na uboho (bone marrow) katika chuo kikuu cha shandong cha china na pia nafasi 30 za wataalamu watakaohudhuria semina ya mafunzo ya usimamizi wa hospitali rais magufuli anamshukuru rais xi kwa kutoa nafasi hizo za masomo na kwa mchango mkubwa wa china katika maendeleo ya tanzania na alimuomba wang ke kufikisha ujumbe wake kwa rais xi kuwa tanzania itaendeleza na kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wake wa kidugu na kihistoria na china rais magufuli anatoa wito kwa wang ke kuendelea kuwahimiza wawekezaji zaidi kuja kushirikiana na tanzania katika uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali kwa manufaa ya pande zote mbili na kwamba serikali ya tanzania itakuwa tayari kujenga mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara katika hatua nyingine rais magufuli alikutana na waziri wa mambo ya nje wa burundi ezechiel nibigira ambaye amewasilisha barua kutoka kwa rais wa jamhuri ya burundi pierre nkurunziza aidha rais magufuli alifanya mazungumzo na nibigira mazungumzo ambayo yalihudhuriwa na naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dk susan kolimba na balozi wa burundi nchini gervais abayeho
2019-04-18T19:29:44
http://swahili.cri.cn/181/2018/08/14/1s177496.htm
wanasayansi wamethibitisha kwamba kunguru mwitu wanaweza kutengeneza zana | nipashe online nyumbani sayansi wanasayansi wamethibitisha kwamba kunguru mwitu wanaweza kutengeneza zana mwaka 2002 kunguru mwitu anaetunzwa kwenye maabara ya new caledonian crow kwa jina betty aliwashangaza wanasayansi mkuu wa uchunguzi huo dr christian rutz kutoka chuo kikuu cha st andrews cha scotland anasema ilionekana ni kama ni kitu ambacho ndege yule alikivumbua katika maabara makala ya awalimwanamke aliyekuwa amekaribia kujifungua ajiua china makala ijayokisiwa cha tajiri richard branson chaharibiwa na kimbunga irma
2020-08-13T13:28:51
https://www.nipasheonline.com/wanasayansi-wamethibitisha-kwamba-kunguru-mwitu-wanaweza-kutengeneza-zana/
kona ya habari jr & lk investment yaanzisha tuzo ya muziki wa asili jr & lk investment yaanzisha tuzo ya muziki wa asili kampuni ya jr & lk investment inatarajia kuzinduwa tuzo yake ya kwanza kwa wasanii wa muziki wa asili itakayojulikana kama 'mwalimu nyerere tanzania contemporary traditional muzic awards' tuzo hiyo inatarajia kuwakumbuka wasanii wa nyimbo za asili ambazo ndizo zinazobeba utamaduni wa mtanzania ambao umekuwa ukifunikwa na tamaduni za nje kwa muda akizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam mkurugenzi wa jr & lk investment mchatta eric mchatta alisema kampuni hiyo tayari imepewa kibali na baraza la sanaa tanzania (basata) kuendesha tuzo hizo alisema kwa mara ya kwanza tuzo hizo zinatarajiwa kuanzishwa kwenye wiki ya kumbukumbu ya kifo cha baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere itakayofanyika kuanzia oktoba 11 2013 aidha alisema tuzo hizo zina lengo la kuthamini na kuinua kazi za wasanii wa asili kubadilisha tamaduni na kuheshimu wanamuziki wa asili tanzania mwalimu nyerere katika siku za uhai wake aliwahi kusema taifa bila tamaduni ni sawa na taifa lililo kufa kwa kuzingatia usemi huo wa mwalimu nyerere jr & lk investment imedhamiria kwa dhati kuwainua wanamuziki wanao fanya muziki wa asili kwa njia ya kuwashindanisha kwa kupigiwa kura na wananchi alisema mchatta alisema kwa sasa tanzania imepoteza baadhi ya tamaduni mila na desturi zake na badala yake kufuata tamaduni za mabara mengine kama ulaya na sehemu nyinginezo tuzo za muziki asili za mwalimu nyerere zinalenga pia kuwaleta watanzania wa kila rika kabila dini na wanaofanya kazi anuai kuungana na kujifunza uzuri na thamani ya kudumisha tamaduni alisema kiongozi huyo jr & lk investment imewaomba watanzania kukaa mkao wa kuunga mkono tuzo hizo ikiwa ni pamoja na wadau kujitokeza kufanikisha shughuli hiyo inayotarajia kuinua muziki wa asili nchini posted by mkojera at 0230
2018-07-16T03:05:52
http://mkojera.blogspot.com/2013/02/jr-lk-investment-yaanzisha-tuzo-ya.html
mfungo wa siku 40 (masaa 12 kutwa)[siku ya 9] | yesunibwana home › mafunzo › mfungo wa siku 40 (masaa 12 kutwa)[siku ya 9] siku ya tisa roho mtakatifu na akili ya kiungu (ayubu 328) bwana akanena na musa na kumwambia angalia nimemwita kwa jina lake bezaleli mwana wa uri mwana wa huri wa kabila ya yuda nami nimemjaza roho ya mungu katika hekima na maarifa na ujuzi na mambo ya kazi ya kila aina ili abuni kazi za ustadi kuwa fundi wa dhahabu na fedha na wa shaba na kukata vito kwa kutiwa mahali na kuchora miti na kufanya kazi ya ustadi iwayo yote mungu akampa suleimani hekima na akili nyingi sana na moyo mkuu kama mchanga ulioko pwani 1 kuna aina kadhaa za akili akili za kawaida za kuzaliwa (common sense) akili za darasani (intellectual literacy) akili za maisha (accumulated knowledge due to life experience) akili za kiungu (divine understanding) 2 akili za kuzaliwa (common sense) zinakupa matokeo sawa na ya wanadamu wengine wote (common results) 3 akili ya darasani ina faida ukiweza kuigeuza maarifa ya maisha lakini wengi wameishia kufaulu mitihani lakini hawajui cha kufanya mtaani 4 akili ya maisha inaweza kukupa matokeo makubwa mno kuliko akili ya kuzaliwa na akili ya darasani lakini nayo kuna wakati inafika mwisho inagonga ukuta mfano petro na ujuzi wake wote wa kuvua samaki alichemka kupata matokeo usiku kucha lakini yesu mwenyewe akili ya kiungu alipokuja kwake alimsaidia kupata matokeo hata nje ya kanuni alizozoea (luka 5111) 5 hii si akili ambayo kila mtu anayo ni akili ambayo inaletwa na upako maalum wa roho mtakatifu (pumzi ya mwenyezi) ili kumfanya mtu afanye vitu ambavyo hakusomea hakuvipata chuo chochote lakini anavijua automatic kwa sababu ya roho mtakatifu (pumzi ya mwenyezi) anayempa akili (ayubu 328 kutoka 3115) 6 wako wengi waliokuwa na akili hii ya kiungu kwenye biblia na ambao waliweka rekodi mbali mfano yusufu (mwanzo 413839) bezaleli na oholiabu (kutoka 31111) daudi (1samweli 185) suleimani (1wafalme 429) wana wa isakari (1nyakati 1232) ayubu (ayubu 328) danieli na wenzake watatu (danieli 117) na wengine wengi na katika siku hizi za mwisho mungu anaiachilia hii kitu juu ya wote wenye mwili ili kanisa zima litembee katika viwango visivyowahi kuwako kamwe (yoeli 228 matendo 21718) 7 roho mtakatifu uliyenaye ndiye aliye na akili hii ambayo inakupa kufanya mambo ambayo macho hayajawahi kuona mambo ambayo masikio hayajawahi kuyasikia mambo ambayo mioyo ya wanadamu wa kawaida haijawahi kufikiri yapo au yanawezekana (1wakorintho 2913) 1 muombe mungu aliyewagusa watu wengine kwenye biblia na kuwapa akili zisizokuwa za sayari hii akuguse na kukupa akili hii ya kiungu ili umzalie matunda kwa viwango vya juu mno 2 muombe roho mtakatifu akupe akili ya kuweza kudaka hata mafumbo na mambo ya siri ya mungu (1wakorintho 2913) 3 muombe mungu akujaze roho wake kama ilivyokuwa kwa bezaleli na oholiabu ufanye vitu ambavyo hukuvisomea wala hukufundishwa na mtu yeyote ila roho mtakatifu (kutoka 31111) ‹ mfungo wa siku 40 (masaa 12 kutwa)[siku ya 8] mfungo wa siku 40 (masaa 12 kutwa)[siku ya 10] ›
2017-10-22T10:12:08
https://yesunibwana.org/2017/02/26/mfungo-wa-siku-40-masaa-12-kutwasiku-ya-9/
duhaibu hiiamanda wa bongo muvi aporomoshewa matusi mtandaonikisamwanaumeshuka nayo hapa | bongo voice duhaibu hiiamanda wa bongo muvi aporomoshewa matusi mtandaonikisamwanaumeshuka nayo hapa mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu za kibongo tamrina poshi amanda amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa matusi na mdada wa mjini aliyejulikana kwa jina la jesca kisa kikidaiwa ni baada ya kutangaza kuwa yeye na mume wake wa zamani hamis bwela bado ni damudamu staa wa filamu za kibongo tamrina poshi amanda akizungumza hivi karibuni na ijumaa amanda alisema kuwa jesca alianza kumtukana kwenye mtandao wa kijamii wa facebook akihisi huenda yeye na bwela bado wanaendeela wakati hakuna chochote zaidi ya ukaribu wa kawaida tu namshangaa sana huyu mdada kunitukana wakati hana hata hadhi ya kutukanana na mimi bwela alikuwa mume wangu lakini tukaachana kwa makubaliano hivyo hatuwezi kuwekeana kinyongo mimi naongea naye vizuri sasa nashangaa kuona eti ananitukana na sijui yeye na bwela wakoje watu wengine bwana alisema amanda
2017-06-28T14:10:41
http://www.bongovoice.com/2014/03/duhaibu-hiiamanda-wa-bongo-muvi.html
ngeleja sisi sio wajinga | jamiiforums | the home of great thinkers ngeleja sisi sio wajinga discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kichomiz aug 18 2011 kwa hili la kutopata umeme kwa muda wa miezi 4 nonstopumegusa pabaya hivi ni kutudharau walipa kodi au bado mnachukulia kwamba watanzania wote ni wajingahivi mnazijua shida tunazopata watu wa hali ya chini au mmeamua kuturudisha kwenye zama za mawe 90 tunategemea umeme kwa kuendeshea shughuli zetuje hii miezi 4 tuhamie kwako msifikiri kwa kuwa mko juu hatuwezi kuwafanya chochotecha kuwafanya tunacho nyie wanyonyaji wakubwasasa msilete huo umeme komaeni na 10 mlioizoeawakati huo na sisi tunachemsha maji ya kunyonyolea soon kazi itaanza ni bora muondoke wenyewe maana kimya chetu cha muda mrefu kishindo chake kitakuwa kikubwa mno zibeni ufa msije kujenga ukuta nimemaliza kweli kabisa tena mimi naungana na wewe hali ilipofikia ni bora tuingi barabarani wakatuue hukohuko na risasi zaokuliko kufa tunajiona huku wao wanafaidi nchi yetu kweli kabisa tena mimi naungana na weweclick to expand wameisha tunyanyasa vya kutosha utafikili sisi ni wapangaji ndani ya nchi yetuthis is too much nchi ya wazungumzajiwatanzania ni waongeaji hodari sana ila ni wa mwisho kwenye kutenda mie sioni haja ya thread za hivi tena make tokea ziwepo hazileti hata maana ni sawa na mbwa asiye na menokama tunaingia mtaani kesho tuambizane ama kupitia magazetiama kupitia tvradiosimu nk ili tufanye actionshuu ni mda wa actionswatanzania tuachane na kulialiatufanye matendocome on jacob mkoba ngeleja unachotakiwa ni kuchapa kazi usgukuru na budgeti yako imepitishwa kisanii tu hali ya mgao wa umeme imezidi marambili zaidi kabla ya kupitisha budget ya wizara yako swali ni kwamba kabla ya budget kupita umeme ulipatikana wapi na sasahivi umekosekana vipi jamani achane utendaji wa kubabaisha dunia ya sasa sio ya 1961 nchi ya wazungumzajiwatanzania ni waongeaji hodari sana ila ni wa mwisho kwenye kutenda<br /> mie sioni haja ya thread za hivi tena make tokea ziwepo hazileti hata maana ni sawa na mbwa asiye na menokama tunaingia mtaani kesho tuambizane ama kupitia magazetiama kupitia tvradiosimu nk ili tufanye actionshuu ni mda wa actionswatanzania tuachane na kulialiatufanye matendocome onclick to expand mkuu tunachemsha maji ya kunyonyolea hapa hakuna woga kazi lazima ifanyike stay tuned
2017-07-27T07:24:58
https://www.jamiiforums.com/threads/ngeleja-sisi-sio-wajinga.164987/
rais erdogan asema shambulizi ni mbinu ya kuigawanya uturuki | matukio ya kisiasa | dw | 04012017 rais erdogan asema shambulizi ni mbinu ya kuigawanya uturuki rais wa uturuki recep tayyip erdogan amesema kwamba shambulizi dhidi ya kilabu kimoja mjini istanbul wakati wa mkesha wa mwaka mpya lilinuia kutatiza jamii ya uturuki katika matamshi yake ya kwanza hadharani kuhusiana na shambulizi la mkesha wa mwaka mpya katika kilabu cha reina mjini istanbul aliyoyatoa katika ikulu ya rais hii rais erdogan alisema kuwa lengo la shambulizi hilo liko wazi la kutaka kuleta mgawanyiko katika nchi hiyo rais huyo aliongeza kuwa ''hakuna mfumo wa mtu yeyote unaokumbwa na hatari hatuwezi kuruhusu jambo hilo kutokea katika miaka 14 madarakani hatujawahi kutoa fursa ya suala kama hilo'' aliendelea kusema kuwa ''mashambulizi haya yananuwia kutufanya kuweka hisia zetu mbele ya fikra'' na kuongeza kuwa hata hali hii itakaposababisha mateso haiwezi kuwa sababu ya kubadilisha mawazo serikali yasema imemtambua mshambuliaji huko hayo yakijiri serikali ya uturuki imesema kuwa imemtambua mshambuliaji wa shambulizi hilo la istanbul lililosababisha mauaji ya watu 39 haya yalisemwa na waziri wa mambo ya nje wa uturuki mevlut cavusoglu wakati wa mahojiano na shirika la habari la anadolu linalomilikiwa na serikali bila kutoa jina la mshambuliaji huyo jamaa ya waathiriwa wa shambulizi la istanbul nje ya kilabu cha reina cavusoglu aliendelea kusema kuwa juhudi za kumkamata zinaendelezwa na kwamba nyumba alimoishi mshukiwa huyo imefanyiwa uchunguzi na kwamba shambulizi hilo lilipangwa kwa njia ya kitaalamu kwa mara ya kwanza kundi la wanamgambo la dola la kiislamu lilidai kutekeleza shambulizi kubwa kama hilo nchini uturuki kulingana na shirika la habari la anadolu katika mji wa magharibi wa izmir takriban watu 20 ikiwa ni pamoja na wanawake 11 wamezuiliwa kama sehemu ya uchunguzi kuhusiana na shambulizi hilo shirika hilo lilisema kuwa watu hao ni wa asili ya arabuni ya kati na syria huku shirika la habari la dogan likisema kuwa ni watu kutoka familia tatu inadaiwa kuwa baadhi ya wale wanaozuiliwa waliishi na mshukiwa wa shambulizi hilo katika nyumba moja huko konya kukamatwa kwa watu hao kunapelekea idadi ya wale wanaozuiliwa na polisi kuwa 36 kufikia sasa ikiwa ni pamoja na raia wawili wa kigeni mwandishi tatu karema/ afpe/ rtre maneno muhimu uturuki rais recep tayyip erdogan istanbul kiungo https//pdwcom/p/2vgye
2018-09-23T07:36:25
https://www.dw.com/sw/rais-erdogan-asema-shambulizi-ni-mbinu-ya-kuigawanya-uturuki/a-37004466
tanzania three banks that dominate banking business | jamiiforums | the home of great thinkers tanzania three banks that dominate banking business discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by invisible nov 16 2009 three banks command the lion's share of banking business in tanzania controlling nearly half of the sector's total assets gross loans and deposits as well as 41 per cent of the total capital the citizen can authoritatively reveal today according to the bank of tanzania (bot) the institutions dictating the banking terms are crdb bank national microfinance bank (nmb) and nbc bank limited by the end of last year crdb was the market leader with a 17 per cent grip of the sector's total assets 19 per cent of the total loans 19 per cent of deposits and 14 per cent of the sector's total capital the top two crdb and nmb had total assets amounting to sh35889 billion by the end of the third quarter of this year they last week announced that their assets had reached sh185987 billion and sh172903 billion respectively during the nine months of 2009 mzumbe university don mr honest ngowi says the dominance of the sector by a few banks was not healthy especially when the banks are foreign owned such an arrangement he explains is not good for the sector the borrowing public and the national economy at large a healthy economy is one where no few banks control a substantial share of the market especially when these banks are foreignowned indeed one wonders why we have such high borrowing interest rates in a competitive financial market with about 40 banking financial institutions and a long litany of nonbanking financial institutions he told the citizen bot figures show that the assets of crdb nmb and nbc were sh145197 billion sh139193 billion and sh1142 billion respectively at the end of last year its directorate of banking supervision (dbs) says in a report that the aggregate balance sheet of the banking sector grew by 21 per cent in 2008 to sh8442 billion from sh6981 billion in 2007 the assets grew by sh1461 billion from sh6981 as at december 31 2007 to sh8442 billion at december 2008 deposits from customers constituted 96 per cent of total depositsthe dbs report released early this month reads in part the gross loan portfolio of the banking sector as at december 31 2008 amounted to sh442616 billion compared to sh29902 billion recorded in 2007 depicting an increase of 4793 per cent the report says that non performing loans accounted for 617 per cent compared to 631 per cent recorded in 2007 crdb's deposits mounted to about sh126773 billion while nmb and nbc bank had sh121355 billion and sh90817 billion respectively by the end of september this year crdb and nmb had mobilized from customers deposits worth sh148694 billion and sh148423 billion respectively the managing director of crdb bank dr charles kimei said in an interview on friday that the bank's total loan portfolio was sh836 billion in 2008 representing 19 per cent of total loans granted by all banks the bank's latest financials show that at sept 30 2009 its loans advances and overdrafts amounted to about sh985 billion compared to nearly sh1645 billion extended during the first six months of this year in easy language 19 per cent of all loans given to various sectors are in the books of crdbdr kimei said noting that most of the bank's lending goes into financing farming activities about 30 per cent of the loans we extended last year or sh300 billion was in agriculture with a substantial portion of that which was more than 40 per cent being in agricultural production bot's director of banking supervision mr joe massawe said that at december 31 2008 the banking sector was composed of 36 banking institutions that consisted of 25 commercial banks and 11 financial institutions out of these four were fully owned by the government 13 were 100 per cent locally owned and 13 were in full foreign control whereas the ownership of 10 was both local and foreign commercial banks dominate the banking sector market with a 96 per cent control of the total assets dbs figures show that last year the 10 largest banks accounted for 83 per cent of the assets 83 per cent of the loans and 84 per cent of the deposits three largest banks had as at december 31 2008 47 per cent of the sector's total assets 48 per cent of the total gross loans and 50 per cent of the depositsthe directorate notes in the report adding 55 per cent of the sector's assets were held by foreign owned banks the report further says that the market share of foreign banks increased from 53 per cent in 2003 to 56 per cent in 2006 before dropping to 54 per cent last year according to it the decline in the market share of foreign banks in assets was accelerated by growth and expansion of domestic banks and establishment of new banking institutions foreign owned banks are expected to lose much share of the sector's assets due to fast growing domestic banks coupled with licensing of community banks which require relatively less capital compared to national wide commercial banks it asserts mr massawe said that despite the challenges posed by the financial crisis the year 2008 was overall a good year for the tanzanian banking system he said the banks were adequately capitalized and the liquidity position of the sector was generally satisfactory he told the citizen in an exclusive interview that the sector has up to now remained strong although tanzania has been a victim of the second round effects of the crisis mabenki ni wanyonyaji wakubwa kwa masikini esp tz whereby we are leading if not mistaken in the world by having the high interst rates je ndio kuendeleza maskini huko na huo uizi umehamia kwa saccoss mh that is monopoly na aina ya uwekezaji wa mabenki yetu unafanana they are highly correlated we wait and see siku itafika unless waongeze diversification pia we need more banks benki tatu ni chache mno kushikilia uchumi tena zoote zikiwa na foreign ownership bado ni benki za nyerere ndo zinawakimbiza wageni unajua hizo benki zina ejoy economies of scale ndo maana mpaka leo naamini bei tuliyowauzia wale makaburu nbc ni gharama za jina peke yake bila mtaji inauma sana wadosi hawa wanafaidi jasho la wazazi wetu kwa gharama za maamuzi ya kibabe ya mkapa na wenzie bado ni benki za nyerere ndo zinawakimbiza wageni unajua hizo benki zina ejoy economies of scale ndo maana mpaka leo naamini bei tuliyowauzia wale makaburu nbc ni gharama za jina peke yake bila mtaji inauma sana wadosi hawa wanafaidi jasho la wazazi wetu kwa gharama za maamuzi ya kibabe ya mkapa na wenzieclick to expand tuelimishwe njia nyingine za kuhifadhi fedha zi lazima iwe bank kwa hali ya nchi yetu kwa sasa bado tunauwezoo kuwa na locally owned bank which meets local financing needs na makaburuu na wenzaoo tukawasukuma sanaa tuu sokoniii kcb as govt owned bank kule kwa jirani zetu inatamba sasa kama regional bank as well as pan african bank wapi local bank tz inachanja mbuga kuexpoloit domestic market na kwenda regional crdb kuna kaharufuu ila mipango yao sijui maana customer service ni gizaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaleave alone how the local capacity is growing and sustainably managed toeni mapendekezo na maoni juu ya mstakabali wa sekta ya bank hapa nchini tuwe tunaongea kwa data ambao wangependa kupata data za kutosha watembelee tovuti ya bank kuu kuna taarifa za kiuchumi za kila mwezi na kila robo mwaka quarterly/monthly economic reports kwa sasa zipo za mpaka september 2009 tukisoma na kuzielewa vyema tunaweza kuchangia mawazo mazuri wakaguzi wa banks na taasisi nyingine za fedha wanaweza kushare nasi taarifa nzuri na kutoa maoni yao siyo lazima wataje benki kwa majina lakini ninaamini wanaweza kuja na data nzuri zaidi vinginevyo maoni ya wengi hapo juu ni too vague hayana data wala hayajazamia kwa kina juu ya report iliyotolewa hapo juu tukitumie chombo hiki vyema critical thinking and evaluation are two strong arms that may uphold the nation sisimizi critical thinking and evaluation are two strong arms that may uphold the nation sisimiziclick to expand mabenki ni wanyonyaji wakubwa kwa masikini esp tz whereby we are leading if not mistaken in the world by having the high interst rates je ndio kuendeleza maskini huko na huo uizi umehamia kwa saccossclick to expand hakuna benki ya biashara inayoanzishwa kwa ajili ya kuwaendeleza maskini mkuu b the way hizo hela za kuweka benki ziko wapi our banks are just used as money store where you have pay monthly for storing your money unlike other countries' banks were you get monthly interest i don't get their operational logic grrrrrrrrni hatari kwa banking system kuwa monopolized by just three banks nbc iponina wasiwasi bank mbovu kwel hyo
2016-10-27T09:28:29
http://www.jamiiforums.com/threads/tanzania-three-banks-that-dominate-banking-business.44059/
rev 14 | `bdd | step | ma ya'e'ebubuna ta lami ya'iteya 'oya saiyoni debana 'itotoholo ma wete tomota 144 tausani ma'iyanao simiyamiya taudi beno sanina ma wete tamana sanina debadiya silelediya to'abihetena 'ina tomotaiyao 1 ma ya'e'ebubuna ta lami ya'iteya 'oya saiyoni debana 'itotoholo ma wete tomota 144 tausani ma'iyanao simiyamiya taudi beno sanina ma wete tamana sanina debadiya silelediya 2 coinega galewega 'enana 'aigeda yahesagoheya gide we'aha 'idaudau ma wete gide gugula 'enana ma 'enanaina yahesagoheya gide 'ebe gihedohedou sidoudou 'adi hesagoha 'ausala 3 ma tomotaedi wagahata wasawasa matana sitoholowa ma wete hebai 'ehataedi ma babadaowedi matadiya sitoholowa ma wali 'ehauna siwaliyeya ta waliina geya 'eta taiya sawasawahina ma 'isanapu beno namo taudi bodaedi 144 tausani sawasawahidi taudi mebale'u ma yehoba 'igimwanediya ta 'i'abihetediya 4 ma taudi loheloheyaedi geya sipui wahiwahine mahetediyao 'idi tuta sedasedega ma 'itautauya ma hesi lami simuliya bwaibwaini 'eguma ta'eha 'itauya taudi yehoba 'igimwane nugetediya tomota 'oidiyega beno yehoba ma lami 'idi 'etahi nugenugetana 5 taudi geya 'eta 'abo 'oidiya ta geya wete 'idi puimo anelose 'etoi 'idi tetela 6 coinega wete 'aigeda anelose ya'iteya tabwanega 'itahetaheya ma tetela bwebwe'ana ta miyamiya hatayana 'i'eweyama ma 'abehega 'ihepwaila mebale'u mabwaiyadi 'oidiya beno 'ebeloinao ma susu ma 'enana ma boda 'aigeda 'aigeda 'oidiya 7 ta aneloseina 'enana madounega 'igwaeya yehoba 'oina wahe'asisi wahepwatu weyahina 'ina tuta yatala 'ilatu pwaima 'oinega tauna galewa ma bale'u ma hola ma wete we'aha daudaudi 'adi tohemasalahaina matana wa'etuluha 8 ma anelose heluwena 'imuliyeya ta 'ibwauwa 'igwae casa madouna babiloni 'ibe'u pwaiya casaina 'ina mumugega boda mabwaiyadi 'ihenumediya mumugaina beno wahi 'ana henuhenuwa mumuga galana weyahina 9 anelose 'eluwaedi mulidiyega 'aigeda wete 'imulimuliyama ta aneloseina tauna wete 'ibwauwa 'igwae ceguma taiyawedi si'e'etuluha hebaiina ma 'ina dimwa tagitagina 'oidiya ma 'adi 'ila'ilala manidiya bo nimadiya 10 nata taudi yehoba 'ina waini* waiwaina 'oinega sinuma ta wainiina beno yehoba 'ina gamwasowala moisa 'isiweya gamwasowala biyona 'oina ma wete 'aiwe yahiyahina ma da'ule yahiyahidi tomotaedi wahidiya silotoho yehoba 'ina aneloseyao ta lami matadiya 11 ma 'aiweina 'asuna 'ihanehane hataya ta geya 'ina 'ebe gumwalamo ma tomotaedi taudi hebaiina ma 'ina dimwa tagitagina 'adi to'etuluhao ma sanina lelelelena 'ana to'ewao taudi 'idi muyamuya geya 'ida gumwala sabwelo ta nihuwana 'oidiya 12 gwae bewa 'oinega yehoba 'ina tomotaiyao 'abwa si'alama'i'ita taudi 'ina loina 'ana tohematamatanao ta yesu 'ana tohemisao 13 eeta galewega 'enana yahesagoheya 'igwaeya bewa 'ulele 'abehega taiyewedi 'ida bada 'ana tohemisao 'eguma 'abwa si'amasa sida yaliyaya tuwa ma yaluyaluwa tabuna wete 'igwaeya moisa tuwa siyaliyaya weyahina 'abwa si'aiyawasi 'idi paihowa madouna 'oinega ma 'ana maisa siloba bale'u 'eli'elinaina 14 ma ya'e'ebubuna ta ya'iteya yaloha wa'ewa'e'ena ma yalohaina 'oina gide tuwa loheya 'imiyatoiya ma debana 'ana pasa wasawasa goula ma nimana 'ina naipi matana 'ai'ainina ma yohuyohuna 15 ta 'aigeda wete anelose hada he'asisiyega 'ilatuma ma wete 'ibwau haneya badaina yaloha debana ma'ina naipi 'oina 'igwaeya cino naipiyega 'u'eli weyahina tuta 'eli'eli bale'uwa 'ilatu pwaima ta 'e'ahai 'imatuha pwaiya 16 ma 'oinega loheyaina yaloha debana 'ina naipi 'igohaeya ta bale'uina 'i'eliya ma 'e'ahaiina 'ihegogonediya 17 ma 'aigeda wete anelose hada he'asisi galewa 'oinega 'ilatuma tauna wete naipi matana 'ai'ainina nimana 18 eeta 'aigeda wete anelose 'ebe pwaoli 'oinega 'inaoma tauna 'aiwe 'ala'alata 'ana toloina ta 'enana madounega 'ibwauwa aneloseina ma'ina naipi 'oina 'igwaeya cino naipiyega 'ugoha ma gileipa* huwainao bale'uwa 'udomwadi weyahina sibwehala pwaiya 19 coinega aneloseina 'ina naipiyega gileipa huwaidi bale'uwa 'i'upwediya ma gilepaedi 'ebe hida madouna 'alona 'iulediya cebe hidaina beno yehoba 'ina gamwasowala 20 ma gilepaedi mabwaiyadi 'ihideya 'ebe hida madouna 'oina beno 'asa madouna mulimulina ma bweyaha 'idaudau 'ebe hidaina 'alonega gide yagewa 'ana dudula teli handeledi kilomita gide ta 'ana ni'u 'ina hane gide bale'uwega ma hosi 'itotoholo 'ani'ona 'oina
2018-03-22T16:23:19
https://www.stepbible.org/?q=version=BDD%7Creference=Rev.14
shinyanga wapata mwenyekiti wa habari mpya life goes on home » » shinyanga wapata mwenyekiti wa habari mpya shinyanga wapata mwenyekiti wa habari mpya kadama malunde achaguliwa mwenyekiti mpya wa wanahabari shinyanga mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa shinyanga aliyemaliza muda wake shija felician akimpongeza mwenyekiti mpya wa waandishi wa habari mkoa wa shinyanga kadama malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa klabu hiyo[/caption] viongozi wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa shinyanga waliomaliza muda wao wakijiuzuru nyadhifa zao kabla ya uchaguzi mkuu kupata viongozi wapya wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa shinyanga (shinyanga press club spc) msimamizi wa uchaguzi mkuu wa waandishi wa habari mkoa wa shinyanga david nkulila akizungumza jambo wakati wa uchaguzi mjini shinyanga mwenyekiti mpya wa spc kadama malunde ambaye pia ni mkurugezi wa malunde1 blog akipongezana na mwenyekiti aliyemaliza muda wake shija felician (kulia) viongozi wapya wa spc wakiwa meza kuu katibu mkuu mpya wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa shinyanga ndugu stephen wang'anyi akizungumza baada ya uchaguzi kushoto ni mweka hazina aliyetetea kiti chake bi stella ibengwe baadhi ya viongozi wa spc wakiwa katika picha ya pamoja kadama malunde mwenyekiti mpya wa wanahabari shinyanga na mwandishi wetu shinyanga chama cha waandishi wa habari mkoa wa shinyanga (shinyanga press clubspc) jana julai 23 2015 kimefanya uchaguzi wake mkuu wa viongozi watakaokiongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo ambapo mwanahabari kadama malunde amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi huo mkuu wa spc uliofanyika mjini shinyanga david nkulila alisema malunde ametwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wenzake watatu ambao ni patrick mabula marco mipawa na greyson kakuru kadama malunde ni mwandishi wa habari wa gazeti la mtanzania kahama fm na mkurugenzi wa malunde1 blog ambayo ni blogu mwanachama wa chama cha blogu tanzania (tanzania bloggers network tbn) nkulila aliwataja viongozi wengine wapya waliochaguliwa kuwa ni stephen wanganyi akichaguliwa kuwa katibu mkuu shaaban alei kuwa makamu mwenyekiti katibu msaidizi ally lytawi na mweka hazina ni stella ibengwe pamoja na kamati tendaji ya wajumbe watano baada ya kutangaza matokeo hayo nkulila amewataka wanachama wa klabu hiyo kuachana na tofauti zillizokuwepo wakati wa uchaguzi na badala yake kushirikiana na viongozi waliowachaguliwa ili kuleta maendeleo na mabadiliko katika klabu hiyo akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi mwenyekiti mpya wa spc kadama aliwashukuru wanachama wote wa chama hicho kwa kumkubali aweze kushirikiana nao kuweza kutatua changamoto mbalimbali za wanahabari mkoani hapo pamoja na kuleta maendeleo kwa klabu hiyo aidha aliahidi kutenda haki kwa kila mmoja na kuzingatia katiba ya chama katika utendaji wa kazi za chama kwa upande wake mwenyekiti aliyemaliza muda wake felician amewataka viongozi wapya wa klabu hiyo kuendeleza misingi ya ushirikiano waliouacha na kuwasisitiza kufanya kazi kwa uwazi na ukweli huku wakizingatia maadili ya wanahabari posted by judith mwaheleja at 1253
2018-06-20T15:20:32
http://jeedygirl.blogspot.com/2015/07/shinyanga-wapata-mwenyekiti-wa-habari.html
maswali 10 ya kujiuliza kila wakati kama una nia ya kuwa tajiri wengi wetu mara nyingi huwa tuna nia ya kufikia mafanikio makubwa na hatimaye kuwa matajiri lakini kwa bahati mbaya sana huwa pia hatujui tuanzie wapi hasa ili kufikia hilo lengo matokeo yake hujikuta tukifanya hiki mara kile bila kupata matokeo ya kutufikisha kwenye lengo husika kwa kawaida ili kuwa tajiri huwa zipo kanuni zake za msingi kabisa ambazo ukizifuata ni lazima uwe tajiri kwa kutumia kanuni hizi huwa haijalishi wewe ni nani unaishi kijijini au mjini umesoma au hujasoma lakini ukizifuta ni lazima ufanikiwe na kuwa tajiri kutokana na umuhimu wa hilo leo hii ningependa nikushirikishe kanuni mojawapo itakayokusaidia kukufikisha kwenye utajiri kanuni zingine tutaendelea kujifunza polepole katika makala zinazofuata hapa kwenye mtandao huu wa dira ya mafanikio kanuni hii ambayo tunajifunza leo ni kanuni ya kujiuliza maswali ambayo yatakusaidia kufikia lengo lako hii ni kanuni ya msingi sana ambayo unatakiwa uitambue ipo na inafanya kazi je unataka kujua kivipi twende pamoja nami kujua maswali muhimu ya kujiuliza ili uwe tajiri 1 jiulize ni kwanini unataka kuwa tajiri hili linaweza likaonekana ni swali la kawaida sana kwako lakini ni lazima uwe na sababu kwa nini unataka kuwa tajiri bila kuwa na sababu ya msingi inayokusukuma wewe kuwa tajiri huwezi kupata msukumo utakaokufanya utafute pesa kwa nguvu zote hadi ufikie lengo hilo unalolitaka hapa sio suala tu la kusema oooh nataka kuwa tajiri ni lazima ujue sababu ipi inayokufanya utake kuwa tajiri je unataka kuwa tajiri ili uwe huru kifedha au je unataka kuwa tajiri ili kusaidia jamii inayokuzunguka ni muhimu sana kuwa na sababu yenye mashiko ili kufikia malengo yako 2 jiulize una imani ya kutosha kukusaidia kufikia lengo lako unaweza ukawa una sababu nzuri inayokufanya utake kuwa tajiri lakini hiyo peke yake haitoshi ni lazima uende hatua ya ziada kwa kujiuliza wewe mwenyewe je una imani ya kufikia malengo yako unaamini kabisa kwamba hayo malengo ya kuwa tajiri utayafikia ili uweze kufanikiwa ni lazima kupima imani hii kumbuka hakuna mafanikio yanayoweza kuja pasipo kuhusisha imani hata iweje hapo ulipo kimaisha ni matokeo ya imani fulani hivi ambazo unazo au ulizibeba na kuziamini sana kwa imani hizo ndizo zimekufikisha hapo ulipo kupima imani ni lazima sana kwako ili kufikia mafanikio 3 jiulize ni tabia zipi za kimafanikio zitakazokusaidia kufanikiwa najua tayari una sababu na imani ya kukutosha kukupeleka kwenye utajiri kitu kingine kwako cha kujiuliza je una tabia zipi za kimafanikio zenye uwezo wa kukufikisha kwenye mafanikio makubwa unayoyataka kama tabia hizi unazo upo kwenye njia sahihi huwezi kuwa unasema unataka kuwa tajiri wakati huo huo una tabia mbaya zinazokurudisha nyuma kimafanikio tabia hizi zinaweza zikawa ukosefu wa nidhamu matumizi mabaya ya pesa muda na nyinginezo kwa kuendekeza tabia hizi na zinazofanana nazo hata ulie machozi ya damu huwezi kuwa tajiri 4 jiulize je unatoa thamani inayoendana na unachokitaka kwa kawaida ili ufanikiwe ni lazima utoe thamani kwa jamii ili ikulipe pesa kama ni huduma fulani ipe jamii husika itakulipa tu hizo pesa hata kama umelala kinyume cha hapo yaani nikiwa na maana kushindwa kutoa thamani huwezi kufanikiwa wala kupata pesa yoyote sasa hapa ndipo unatakiwa jiulize je wewe binafsi unatoa thamani kwa jamii nini ulichonacho ambacho ni msaada kwa watu wengine kama huna kitu hiki unalazimika kukitafuta haraka sana vinginevyo huwezi kufanikiwa na ndiyo maana unalazimka kujiuliza kila wakati je ninatoa thamani hii itakuwa njia bora sana kwako ya kuufikia utajiri 5 jiulize una mipango imara ya kukufikisha kwenye utajiri sawa inawezekana una toa thamani inayotakiwa lakini je una mipango imara ya kukufikisha kwenye lengo la mafanikio hayo makubwa hapa ili ufanikiwe ni lazima kwako uwe na mipango iliyo sawa ambayo unatakiwa uifate kila siku na katika kuhakikisha hili linatimia ni vyema ukawa umejitengenezzea mpango wa siku juma mwezi na hata mwaka na utekelezaji unatakiwa uanze mara moja lakini bila ya kufanya hivi kufanikiwa na kuwa tajiri inaweza ikawa ndoto kama ndoto zingine kuwa na mipango imara ni nguzo imara ya kukufikisha kwenye utajiri 6 jiulize je una hofu zinakuzuia kufanikiwa mara nyingi na kwa asilimia kubwa kinachomzuia binadam kufanikiawa si yale mambo ya nje tunayoyaona hapana kitu kikubwa kinachomzuia binadamu kufanikiwa ni mambo yanayoendelea ndani yake ikiwamo pamoja na hofu unapokuwa na hofu ni adui mkubwa sana wa mafanikio yako kwa ujumla acha kuruhusu hofu ikachukua nafasi kwenye moyo wako kwa nama yoyote ile kwa vyovyote vile kama utairuhusu hofu ni lazima itakurudisha nyuma hivyo inabidi ujifunze kukabiliana nayo mpaka kuweza kuishinda zungukwa na watu wenye mafanikio 7 jiulize unazungukwa na watu wenye mafanikio ukichunguza kidogo maisha ya watu wenye mafanikio utagundua wanazungukwa na watu wenye mafanikio pia hapa ndipo ilipo pia siri ya kuufikia utajiri huwezi kufanikiwa kama wanaokuzunguka ni watu maskini na ambao maisha yao ya kushindwa siku zote unataka kuwa tajiri jiulize tu swali hili rahisi ni watu gani wanao nizunguka ukiona umezungukwa na watu wengi maskini nakushauri kubadili mwelekeo haraka sana kutafuta watu wenzako wasaka mafanikio kwa kuwa na watu hawa watakutia moyo na kukupa hamasa ya kuendelea mbele 8 jiulize uko tayari kujifunza kama una nia ya kuwa tajiri lakini wakati huo huo hujajitoa kwenye kujifunza sahau mafanikio hayo kujifunza kila siku iwe kwenye vitabu au pale tunapokosea ni jambo la msingi sana kwa msaka maendeleo yoyote yule bila kufanya hivi hakuna mafanikio unashangaa ndiyo huwezi kufanikiwa kitakachokufanya usifanikiwe kwa sababu utarudia makosa yake yale kila wakati na hutaweza kupiga hatua maisha ya watu wenye mafanikio ni ya kujifunza siku zote kwa hiyo kama unataka kuwa tajiri jiulize unajifunza kama hufanyi hivyo huwezi kupingana na ukweli mbio za kuelekea kwenye utajiri sio zako 9 jiulize uko tayari kukubaliana na vizuizi kwenye safari yoyote ya mafanikio changamoto huwa hazikosekani changamoto hizi usipokuwa makini nazo ni rahisi sana kuweza kukurudisha nyuma sasa kitu cha kujiuliza hapa je unapokutana na changamoto uko tayari kukabiliana nazo jiulize ni mara ngapi ulishindwa au uliona wengine wakishindwa kwa sababu ya changamoto hapa ndipo wewe unatakiwa uoneshe utofauti wa kuweza kukabiliana na changamoto amua tu kwamba utafanikiwa hata kitokee kitu gani mbele yake lazima ukishinde 10 jiulize una tabia ya kutathmini safari ya mafanikio yako hakuna mafanikio ambayo unaweza ukayapata bila ya kujiwekea tathmini ni lazima kujiuliza na kutathmini safari nzima ya mafanikio yako kama hufanyi hivo unatakiwa kuanza mara moja utayafikia mafanikio yako kwa kujiwekea tathmini kila wakati anza kujiwekea tathmini ya siku kisha jiwekee tathmini ya juma hata mwezi kwa kufanya hivyo utaboresha sana maisha yako hiyo itakusaidia kurekebisha yale maeneo ambayo hujafanyi vizuri na kujiweka sasa kwenye nafasi nzuri ya kuendelea mbele kimafanikio je una nia hamasa na shauku kubwa ya kuufikia utajiri kama jibu ni ndiyo jifunze kutumia mbinu hii kwa kujiuliza maswali yatakayokusaidia kuufikia utajiri ansante kwa kutembelea na kufatilia dira ya mafanikio kila wakati waalike na wengine ili wafaidike na makala tunazozitoa hapa email dirayamfanikio@gmailcom
2017-10-18T15:00:04
http://dirayamafanikio.blogspot.com/2016/02/maswali-10-ya-kujiuliza-kila-wakati.html